Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
4710_swa
SOKO LETU Soko ni eneo kubwa ambalo linajadiliana na watu, wachuuzi na wanunuaji bidhaa. Soko letu lina vitu kadha wa kadha kama vile nyanya, vitunguu, mayai na mengineyo. Kwa kweli wasemavyo wahenga likikatika moyo uhudi si pato. Wanunuaji bidhaa huja sokoni mwetu kununua vitu kadhaa. Mimi hushirikiana na mama yangu kuuza bidhaa kwa kweli, "umoja ni nguvu utengano ni udhaifu,” katika kukusanya pesa ndipo mimi hushiriki na mamangu. Wanaonunua bidhaa huja na vikapu kwa vile kupima vitu na kuhesabu pesa ni kazi inayohitaji maarifa cha kuzingatia unapoibiwa kama muuzaji ni kwamba wanapotoroka mbio za sakafuni huishia ukingoni. Kwa siku, sisi huuza zaidi ya nyanya ishirini kwa maana sisi hupata shilingi mia mbili. Shamba tunalotoa haya matunda lina rotuba nzuri lakini bali si zuri kama halaika. Muuzaji nyama hupata faida nyingi kutokana na wanunuzi wengi. Viazi huchongwa na kupika chipsi. Chipsi huleta faida nyingi hata kama ni hatari. Kinachomfurahisha mama yangu kama kibogoyo aliyeota meno ni wanunuzi ambao ukiwahimiza kwa kitu wao hawapingi. Chambilecho wahenga, kuwa mgagaa na upwa hali wali mkavu. Macho hayana pazia kwa kweli, wale huweza kuiba bila mtu kufahamu kuwa siku za mwizi ni arobaini. Kabla bidhaa kuuzwa, kabla mama kuwasili mimi huchunguza bei kwanza kabla kumwuzia kitu chochote kwa mtu yeyote. Mama anaweza kuniacha nikauze kwa vile anajua mimi ni mwaminifu kama mchana na kwa vile mpole kama mwanakondoo. Mama huniadhibu ninapowapa watu waende na vitu ovyo. Ninafaa kutii jamaa yangu kwa kuwa nisipo asiyefunzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu. Ni vibaya kumkasirikia kwa kuwa amekuadhibu ni vyema kuona na kujirekebisha tabia. Tumeweka kiambaza kikubwa katika kuzingira soko letu. Chambilecho wahenga vyote ving’aavyo si dhahabu.
Ni nini imewekwa kuzingira soko lao
{ "text": [ "Kiambaza" ] }
1576_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni vitu vinavyo tuzingira pahali tulipo kwa mfano miti, nyumba, na bahari. Mazingira ni pahali pazuri pakiwa pasafi. Hatufai kusema mazingira kuwa safi kwa maneno tu bali pia kwa matendo.Mazingira safi ni muhimu kwa maisha ya mwanadamu. Iwapo tutawacha mazingira yetu yakiwa chafu tutapata magonjwa mengi kama vile kipindupindu, kichocho na malaria. Mwanzo tukizungumzia ugonjwa wa kipindupindu, kwa kingereza cholera, ni ugonjwa unaosababishwa na maji machafu na kuishi mazingira yasiyokuwa safi. Ugonjwa wa malaria ni ugonjwa unaosababishwa na mbu. Mbu hupenda kutaga mayai mahali pachafu, ndio maana tunahimizwa kusafisha mitaro iwapo kuna mkusanyiko wa maji chafu. Tunahimizwa pia kuzichoma chupa za plastiki kwa kuwa mbu hupenda kutaga mayai yao papo hapo. Bila kusahau, tunapaswa kufyeka nyasi ndefu ili tuweze kuangamiza wanyama hatari kwa mfano nyoka, kwa kuwa nyoka hupenda kujificha pahali ambapo kuna giza. Tukifyeka nyasi ndefu tutaepukana na wanyama kama hao. Kwa sababu mazingira ni muhimu kwa nchi yetu ya kenya, watalii hukuja kutoka nchi mbalimbali. Kwa kuwa mazingira huwa makao ya wanyama wa msitu, watalii hufurahia kuja kuwaona na kwa hivyo pia hulipa fedha ili kuwaona wanyama hao. Fedha hizo husaidia kuendeleza nchi yetu. Serikali yetu hujikaza kisabuni ili kuweka nchi yetu safi. Kwa mfano, tukiangalia kule mjini, tutapata kila soko liko na biwi la takataka kila pahali ili tuweke masoko yetu yakiwa safi. Ukirauka asubuhi na mapema, utapata waajiriwa wengi wakifanya kazi zao kama kufagia njia au barabara kuu labda sokoni kwa sababu mzalendo husaidia nchi yake pahali alipo. Ukipatikana ukitupa taka taka utatiwa mbaroni na kupelekwa kortini, ambapo utatozwa faini ya laki tano. Jambo hili litawazuia watu wengine kutupa taka taka ovyo ovyo. Kwa kuwa kila kiumbe hutaka kuishi kwenye maungira safi, tunapaswa kutia bidii kwa kuwa cha mvunguni sharti ainame, tuungane mikono tusafishe mazingira, kwani umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. .
Nini ni vitu vinavyotuzingira
{ "text": [ "mazingira" ] }
1576_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni vitu vinavyo tuzingira pahali tulipo kwa mfano miti, nyumba, na bahari. Mazingira ni pahali pazuri pakiwa pasafi. Hatufai kusema mazingira kuwa safi kwa maneno tu bali pia kwa matendo.Mazingira safi ni muhimu kwa maisha ya mwanadamu. Iwapo tutawacha mazingira yetu yakiwa chafu tutapata magonjwa mengi kama vile kipindupindu, kichocho na malaria. Mwanzo tukizungumzia ugonjwa wa kipindupindu, kwa kingereza cholera, ni ugonjwa unaosababishwa na maji machafu na kuishi mazingira yasiyokuwa safi. Ugonjwa wa malaria ni ugonjwa unaosababishwa na mbu. Mbu hupenda kutaga mayai mahali pachafu, ndio maana tunahimizwa kusafisha mitaro iwapo kuna mkusanyiko wa maji chafu. Tunahimizwa pia kuzichoma chupa za plastiki kwa kuwa mbu hupenda kutaga mayai yao papo hapo. Bila kusahau, tunapaswa kufyeka nyasi ndefu ili tuweze kuangamiza wanyama hatari kwa mfano nyoka, kwa kuwa nyoka hupenda kujificha pahali ambapo kuna giza. Tukifyeka nyasi ndefu tutaepukana na wanyama kama hao. Kwa sababu mazingira ni muhimu kwa nchi yetu ya kenya, watalii hukuja kutoka nchi mbalimbali. Kwa kuwa mazingira huwa makao ya wanyama wa msitu, watalii hufurahia kuja kuwaona na kwa hivyo pia hulipa fedha ili kuwaona wanyama hao. Fedha hizo husaidia kuendeleza nchi yetu. Serikali yetu hujikaza kisabuni ili kuweka nchi yetu safi. Kwa mfano, tukiangalia kule mjini, tutapata kila soko liko na biwi la takataka kila pahali ili tuweke masoko yetu yakiwa safi. Ukirauka asubuhi na mapema, utapata waajiriwa wengi wakifanya kazi zao kama kufagia njia au barabara kuu labda sokoni kwa sababu mzalendo husaidia nchi yake pahali alipo. Ukipatikana ukitupa taka taka utatiwa mbaroni na kupelekwa kortini, ambapo utatozwa faini ya laki tano. Jambo hili litawazuia watu wengine kutupa taka taka ovyo ovyo. Kwa kuwa kila kiumbe hutaka kuishi kwenye maungira safi, tunapaswa kutia bidii kwa kuwa cha mvunguni sharti ainame, tuungane mikono tusafishe mazingira, kwani umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. .
Mazingira safi ni muhimu katika maisha ya nani
{ "text": [ "mwanadamu" ] }
1576_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni vitu vinavyo tuzingira pahali tulipo kwa mfano miti, nyumba, na bahari. Mazingira ni pahali pazuri pakiwa pasafi. Hatufai kusema mazingira kuwa safi kwa maneno tu bali pia kwa matendo.Mazingira safi ni muhimu kwa maisha ya mwanadamu. Iwapo tutawacha mazingira yetu yakiwa chafu tutapata magonjwa mengi kama vile kipindupindu, kichocho na malaria. Mwanzo tukizungumzia ugonjwa wa kipindupindu, kwa kingereza cholera, ni ugonjwa unaosababishwa na maji machafu na kuishi mazingira yasiyokuwa safi. Ugonjwa wa malaria ni ugonjwa unaosababishwa na mbu. Mbu hupenda kutaga mayai mahali pachafu, ndio maana tunahimizwa kusafisha mitaro iwapo kuna mkusanyiko wa maji chafu. Tunahimizwa pia kuzichoma chupa za plastiki kwa kuwa mbu hupenda kutaga mayai yao papo hapo. Bila kusahau, tunapaswa kufyeka nyasi ndefu ili tuweze kuangamiza wanyama hatari kwa mfano nyoka, kwa kuwa nyoka hupenda kujificha pahali ambapo kuna giza. Tukifyeka nyasi ndefu tutaepukana na wanyama kama hao. Kwa sababu mazingira ni muhimu kwa nchi yetu ya kenya, watalii hukuja kutoka nchi mbalimbali. Kwa kuwa mazingira huwa makao ya wanyama wa msitu, watalii hufurahia kuja kuwaona na kwa hivyo pia hulipa fedha ili kuwaona wanyama hao. Fedha hizo husaidia kuendeleza nchi yetu. Serikali yetu hujikaza kisabuni ili kuweka nchi yetu safi. Kwa mfano, tukiangalia kule mjini, tutapata kila soko liko na biwi la takataka kila pahali ili tuweke masoko yetu yakiwa safi. Ukirauka asubuhi na mapema, utapata waajiriwa wengi wakifanya kazi zao kama kufagia njia au barabara kuu labda sokoni kwa sababu mzalendo husaidia nchi yake pahali alipo. Ukipatikana ukitupa taka taka utatiwa mbaroni na kupelekwa kortini, ambapo utatozwa faini ya laki tano. Jambo hili litawazuia watu wengine kutupa taka taka ovyo ovyo. Kwa kuwa kila kiumbe hutaka kuishi kwenye maungira safi, tunapaswa kutia bidii kwa kuwa cha mvunguni sharti ainame, tuungane mikono tusafishe mazingira, kwani umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. .
Ugonjwa wa cholera husababishwa na maji gani
{ "text": [ "machafu" ] }
1576_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni vitu vinavyo tuzingira pahali tulipo kwa mfano miti, nyumba, na bahari. Mazingira ni pahali pazuri pakiwa pasafi. Hatufai kusema mazingira kuwa safi kwa maneno tu bali pia kwa matendo.Mazingira safi ni muhimu kwa maisha ya mwanadamu. Iwapo tutawacha mazingira yetu yakiwa chafu tutapata magonjwa mengi kama vile kipindupindu, kichocho na malaria. Mwanzo tukizungumzia ugonjwa wa kipindupindu, kwa kingereza cholera, ni ugonjwa unaosababishwa na maji machafu na kuishi mazingira yasiyokuwa safi. Ugonjwa wa malaria ni ugonjwa unaosababishwa na mbu. Mbu hupenda kutaga mayai mahali pachafu, ndio maana tunahimizwa kusafisha mitaro iwapo kuna mkusanyiko wa maji chafu. Tunahimizwa pia kuzichoma chupa za plastiki kwa kuwa mbu hupenda kutaga mayai yao papo hapo. Bila kusahau, tunapaswa kufyeka nyasi ndefu ili tuweze kuangamiza wanyama hatari kwa mfano nyoka, kwa kuwa nyoka hupenda kujificha pahali ambapo kuna giza. Tukifyeka nyasi ndefu tutaepukana na wanyama kama hao. Kwa sababu mazingira ni muhimu kwa nchi yetu ya kenya, watalii hukuja kutoka nchi mbalimbali. Kwa kuwa mazingira huwa makao ya wanyama wa msitu, watalii hufurahia kuja kuwaona na kwa hivyo pia hulipa fedha ili kuwaona wanyama hao. Fedha hizo husaidia kuendeleza nchi yetu. Serikali yetu hujikaza kisabuni ili kuweka nchi yetu safi. Kwa mfano, tukiangalia kule mjini, tutapata kila soko liko na biwi la takataka kila pahali ili tuweke masoko yetu yakiwa safi. Ukirauka asubuhi na mapema, utapata waajiriwa wengi wakifanya kazi zao kama kufagia njia au barabara kuu labda sokoni kwa sababu mzalendo husaidia nchi yake pahali alipo. Ukipatikana ukitupa taka taka utatiwa mbaroni na kupelekwa kortini, ambapo utatozwa faini ya laki tano. Jambo hili litawazuia watu wengine kutupa taka taka ovyo ovyo. Kwa kuwa kila kiumbe hutaka kuishi kwenye maungira safi, tunapaswa kutia bidii kwa kuwa cha mvunguni sharti ainame, tuungane mikono tusafishe mazingira, kwani umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. .
Nani hufurahia kuwaona wanyama
{ "text": [ "watalii" ] }
1576_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni vitu vinavyo tuzingira pahali tulipo kwa mfano miti, nyumba, na bahari. Mazingira ni pahali pazuri pakiwa pasafi. Hatufai kusema mazingira kuwa safi kwa maneno tu bali pia kwa matendo.Mazingira safi ni muhimu kwa maisha ya mwanadamu. Iwapo tutawacha mazingira yetu yakiwa chafu tutapata magonjwa mengi kama vile kipindupindu, kichocho na malaria. Mwanzo tukizungumzia ugonjwa wa kipindupindu, kwa kingereza cholera, ni ugonjwa unaosababishwa na maji machafu na kuishi mazingira yasiyokuwa safi. Ugonjwa wa malaria ni ugonjwa unaosababishwa na mbu. Mbu hupenda kutaga mayai mahali pachafu, ndio maana tunahimizwa kusafisha mitaro iwapo kuna mkusanyiko wa maji chafu. Tunahimizwa pia kuzichoma chupa za plastiki kwa kuwa mbu hupenda kutaga mayai yao papo hapo. Bila kusahau, tunapaswa kufyeka nyasi ndefu ili tuweze kuangamiza wanyama hatari kwa mfano nyoka, kwa kuwa nyoka hupenda kujificha pahali ambapo kuna giza. Tukifyeka nyasi ndefu tutaepukana na wanyama kama hao. Kwa sababu mazingira ni muhimu kwa nchi yetu ya kenya, watalii hukuja kutoka nchi mbalimbali. Kwa kuwa mazingira huwa makao ya wanyama wa msitu, watalii hufurahia kuja kuwaona na kwa hivyo pia hulipa fedha ili kuwaona wanyama hao. Fedha hizo husaidia kuendeleza nchi yetu. Serikali yetu hujikaza kisabuni ili kuweka nchi yetu safi. Kwa mfano, tukiangalia kule mjini, tutapata kila soko liko na biwi la takataka kila pahali ili tuweke masoko yetu yakiwa safi. Ukirauka asubuhi na mapema, utapata waajiriwa wengi wakifanya kazi zao kama kufagia njia au barabara kuu labda sokoni kwa sababu mzalendo husaidia nchi yake pahali alipo. Ukipatikana ukitupa taka taka utatiwa mbaroni na kupelekwa kortini, ambapo utatozwa faini ya laki tano. Jambo hili litawazuia watu wengine kutupa taka taka ovyo ovyo. Kwa kuwa kila kiumbe hutaka kuishi kwenye maungira safi, tunapaswa kutia bidii kwa kuwa cha mvunguni sharti ainame, tuungane mikono tusafishe mazingira, kwani umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. .
Waajiriwa wengi hurauka saa ngapi
{ "text": [ "asubuhi na mapema" ] }
1576_swa
MADHARA YA KUCHAFUA MAZINGIRA Mazingira ni vitu vinavyo tuzingira pahali tulipo kwa mfano miti, nyumba, na bahari. Mazingira ni pahali pazuri pakiwa pasafi. Hatufai kusema mazingira kuwa safi kwa maneno tu bali pia kwa matendo.Mazingira safi ni muhimu kwa maisha ya mwanadamu. Iwapo tutawacha mazingira yetu yakiwa chafu tutapata magonjwa mengi kama vile kipindupindu, kichocho na malaria. Mwanzo tukizungumzia ugonjwa wa kipindupindu, kwa kingereza cholera, ni ugonjwa unaosababishwa na maji machafu na kuishi mazingira yasiyokuwa safi. Ugonjwa wa malaria ni ugonjwa unaosababishwa na mbu. Mbu hupenda kutaga mayai mahali pachafu, ndio maana tunahimizwa kusafisha mitaro iwapo kuna mkusanyiko wa maji chafu. Tunahimizwa pia kuzichoma chupa za plastiki kwa kuwa mbu hupenda kutaga mayai yao papo hapo. Bila kusahau, tunapaswa kufyeka nyasi ndefu ili tuweze kuangamiza wanyama hatari kwa mfano nyoka, kwa kuwa nyoka hupenda kujificha pahali ambapo kuna giza. Tukifyeka nyasi ndefu tutaepukana na wanyama kama hao. Kwa sababu mazingira ni muhimu kwa nchi yetu ya kenya, watalii hukuja kutoka nchi mbalimbali. Kwa kuwa mazingira huwa makao ya wanyama wa msitu, watalii hufurahia kuja kuwaona na kwa hivyo pia hulipa fedha ili kuwaona wanyama hao. Fedha hizo husaidia kuendeleza nchi yetu. Serikali yetu hujikaza kisabuni ili kuweka nchi yetu safi. Kwa mfano, tukiangalia kule mjini, tutapata kila soko liko na biwi la takataka kila pahali ili tuweke masoko yetu yakiwa safi. Ukirauka asubuhi na mapema, utapata waajiriwa wengi wakifanya kazi zao kama kufagia njia au barabara kuu labda sokoni kwa sababu mzalendo husaidia nchi yake pahali alipo. Ukipatikana ukitupa taka taka utatiwa mbaroni na kupelekwa kortini, ambapo utatozwa faini ya laki tano. Jambo hili litawazuia watu wengine kutupa taka taka ovyo ovyo. Kwa kuwa kila kiumbe hutaka kuishi kwenye maungira safi, tunapaswa kutia bidii kwa kuwa cha mvunguni sharti ainame, tuungane mikono tusafishe mazingira, kwani umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. .
Mbona tunapaswa kufyeka nyasi ndefu
{ "text": [ "ili tuweze kuangamiza wanyama hatari" ] }
0003_swa
Asubuhi hiyo ilitupata pambajioni pa hospitali ya Uguzwa. Kando yangu ndugu yangu Pendo alikuwa akijipindapinda kwa uchungu mwingi. Aidha, alikuwa akitetemeka sana. Nilimshikilia asije akaanguka chini. Nilijizuia nisimtazame maadamu kila nilipomtaza machozi yalinidondoka. Nakwambia Pendo alikuwa amedhoofika sana. Maradhi hayo ya kifo yalikuwa yamemdhilisha akabaki gofu la mtu. Alikuwa kakonda ghaya ya kukonda akabaki fremu. Nilitokwa na milizamu ya machozi kwa huruma. Nilihisi kama kwamba mimi ndimi nilikuwa nikiugua. Ama kwa hakika damu ni nzito kuliko maji. Siku hiyo mimi na ndugu yangu tuliratibiwa kufanyiwa upasuaji. Maadami figo zake zote zilikuwa zimeharibika, ningempa figo yangu moja kulingana na ripoti ya madaktari. Hiyo ndiyo ingekuwa njia ya pekee ya kusaidia la sivyo angetuacha. Mimi na yeye tulikuwa ndugu wa toka nitoke. Tulipendana mithili ya pete na kidole. Mintaarafu na hayo, nilikuwa nimejitolea mhanga kumpa ndugu yangu figo yangu. Tukiwa tungali tumeketi, nilitoa simu yangu na kuanza kusakurasakura mitandaoni kuhusu ufadhili wa figo; hasara na manufaa yake. Yale niliyoyaona yaliniatua moyo pakubwa. Ilisemekana kuwa ilikuwa muhali kwa mtu mwenye figo moja kuishi kwa zaidi ya miaka ishirini. Mwili wangu mzima uliota vimbimbi kwa woga. Nilihofia kuwa huenda nisingefikisha umri wa miaka umri wa miaka thelathini na mitano. Moyo ulikuwa ukipigapiga mithili ya nyundo ya mhunzi kwenye fuawe. Kwa upande mwingine nilimtupia jicho ndugu yangu aliyekuwa hajifai kwa maumivu. Nilimhurumia sana. Aidha, nilikumbuka msemo kuwa mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe. Huo ndio ulikuwa wasaa wangu wa kuudhihirisha udugu wangu. Nisingemfaa wakati wa dhiki nisingekuwa rafiki shakiki. Vilevile nilikumbuka kuwa udugu ni kufaana wala si kufanana. Ijapokuwa tulikuwa maziwa na tui sikuwa na budi kumfaa. Ndugu, jamaa na marafiki walitujia kutujulia hali na kututakia kila la heri. Nilituhumu kuwa pengine baadhi yao walikuja kutuona kwa mara ya mwisho. ' Msalie mtume. Mbona niyapitie haya? Ya nini nife nikiwa mchanga hivi hata ubwabwa haujanitoka shingoni? Hayo na mengine mengi yalikuwa tu baadhi ya maswali ya balagha yaliyonipitia akilini. Ghafla wazo likanijia akilini, "Ama nijifanye kuwa naenda pembeni kisha mimi huyoonitoroke!" Hata hivyo nilikumbuka jinsi ndugu yangu alivyojiabilia kwangu. Nilitanabahi jinsi alivyoniuguza nilipokuwa nimeumia mkono. Nisingependa kuwa punda nilipe asante kwa mateke. Liwe liwalo lije lijalo nilikata shauri kumpa figoyangu moja. Halikadhalika, kudhihirisha mapenzi ya dhati ningewaambia madaktari waitoe figo ya upande wa kulia;upande wa moyo. Hayawi hayawi hatimaye huwa. Zamu yetu iliwadia. Tuliingizwa katika chumba cha pili. Huko tuliagizwa kuvaa mavazi rasmi ya hospitalini. Nilihisi kama kwamba mavazi hayo yalikuwa ni sanda lililobaki lilikuwa kutiwa ndani ya jeneza. Baada ya kupimwa kwa stethoskopu, tulipatiwa fomu fulani tulizofaa kuzisoma. Fomu yenyewe ilikuwa na maandishi mzengi madogo. Macho yangu yalitua kwenye nambari 6B: IWAPO KWA SABABU YOYOTE ILE UTAAGA DUNIA, HUTAMLAUMU YEYOTE! Nusura moyo wangu ukome kwa ajili ya mshtuko. Nilitetemeka mkono sana nilipokuwa nikitia sahihi ya kuthibitisha kuwa nilikuwa tayari kwa lolote lile. Tulilazwa kwenye machela na madaktari wakatuzingira. Mmoja aliongoza maombi mafupi. Baadaye tulidungwa sindano za kufisha ganzi- nusukaputi na operesheni ikaanza. Nilipoteza fahamu. Nilipozinduka nilikuwa kwenye wodi. Niliuteremsha mkono na kwa tahadhari nikapapasapapasa mwili ili nihisi pale nilipokatwa. Sikuhisi chochote! Nilikuwa katika hali ya kimako muuguzi mmoja aliponijia, " Una bahati ya mtende. Hukufanyiwa operesheni. Madaktari walipata njia nyingine ya kumtibu ndugu yako!"
Asubuhi ilitupata pambajioi pa hospitali gani
{ "text": [ "Uguzwa" ] }
0003_swa
Asubuhi hiyo ilitupata pambajioni pa hospitali ya Uguzwa. Kando yangu ndugu yangu Pendo alikuwa akijipindapinda kwa uchungu mwingi. Aidha, alikuwa akitetemeka sana. Nilimshikilia asije akaanguka chini. Nilijizuia nisimtazame maadamu kila nilipomtaza machozi yalinidondoka. Nakwambia Pendo alikuwa amedhoofika sana. Maradhi hayo ya kifo yalikuwa yamemdhilisha akabaki gofu la mtu. Alikuwa kakonda ghaya ya kukonda akabaki fremu. Nilitokwa na milizamu ya machozi kwa huruma. Nilihisi kama kwamba mimi ndimi nilikuwa nikiugua. Ama kwa hakika damu ni nzito kuliko maji. Siku hiyo mimi na ndugu yangu tuliratibiwa kufanyiwa upasuaji. Maadami figo zake zote zilikuwa zimeharibika, ningempa figo yangu moja kulingana na ripoti ya madaktari. Hiyo ndiyo ingekuwa njia ya pekee ya kusaidia la sivyo angetuacha. Mimi na yeye tulikuwa ndugu wa toka nitoke. Tulipendana mithili ya pete na kidole. Mintaarafu na hayo, nilikuwa nimejitolea mhanga kumpa ndugu yangu figo yangu. Tukiwa tungali tumeketi, nilitoa simu yangu na kuanza kusakurasakura mitandaoni kuhusu ufadhili wa figo; hasara na manufaa yake. Yale niliyoyaona yaliniatua moyo pakubwa. Ilisemekana kuwa ilikuwa muhali kwa mtu mwenye figo moja kuishi kwa zaidi ya miaka ishirini. Mwili wangu mzima uliota vimbimbi kwa woga. Nilihofia kuwa huenda nisingefikisha umri wa miaka umri wa miaka thelathini na mitano. Moyo ulikuwa ukipigapiga mithili ya nyundo ya mhunzi kwenye fuawe. Kwa upande mwingine nilimtupia jicho ndugu yangu aliyekuwa hajifai kwa maumivu. Nilimhurumia sana. Aidha, nilikumbuka msemo kuwa mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe. Huo ndio ulikuwa wasaa wangu wa kuudhihirisha udugu wangu. Nisingemfaa wakati wa dhiki nisingekuwa rafiki shakiki. Vilevile nilikumbuka kuwa udugu ni kufaana wala si kufanana. Ijapokuwa tulikuwa maziwa na tui sikuwa na budi kumfaa. Ndugu, jamaa na marafiki walitujia kutujulia hali na kututakia kila la heri. Nilituhumu kuwa pengine baadhi yao walikuja kutuona kwa mara ya mwisho. ' Msalie mtume. Mbona niyapitie haya? Ya nini nife nikiwa mchanga hivi hata ubwabwa haujanitoka shingoni? Hayo na mengine mengi yalikuwa tu baadhi ya maswali ya balagha yaliyonipitia akilini. Ghafla wazo likanijia akilini, "Ama nijifanye kuwa naenda pembeni kisha mimi huyoonitoroke!" Hata hivyo nilikumbuka jinsi ndugu yangu alivyojiabilia kwangu. Nilitanabahi jinsi alivyoniuguza nilipokuwa nimeumia mkono. Nisingependa kuwa punda nilipe asante kwa mateke. Liwe liwalo lije lijalo nilikata shauri kumpa figoyangu moja. Halikadhalika, kudhihirisha mapenzi ya dhati ningewaambia madaktari waitoe figo ya upande wa kulia;upande wa moyo. Hayawi hayawi hatimaye huwa. Zamu yetu iliwadia. Tuliingizwa katika chumba cha pili. Huko tuliagizwa kuvaa mavazi rasmi ya hospitalini. Nilihisi kama kwamba mavazi hayo yalikuwa ni sanda lililobaki lilikuwa kutiwa ndani ya jeneza. Baada ya kupimwa kwa stethoskopu, tulipatiwa fomu fulani tulizofaa kuzisoma. Fomu yenyewe ilikuwa na maandishi mzengi madogo. Macho yangu yalitua kwenye nambari 6B: IWAPO KWA SABABU YOYOTE ILE UTAAGA DUNIA, HUTAMLAUMU YEYOTE! Nusura moyo wangu ukome kwa ajili ya mshtuko. Nilitetemeka mkono sana nilipokuwa nikitia sahihi ya kuthibitisha kuwa nilikuwa tayari kwa lolote lile. Tulilazwa kwenye machela na madaktari wakatuzingira. Mmoja aliongoza maombi mafupi. Baadaye tulidungwa sindano za kufisha ganzi- nusukaputi na operesheni ikaanza. Nilipoteza fahamu. Nilipozinduka nilikuwa kwenye wodi. Niliuteremsha mkono na kwa tahadhari nikapapasapapasa mwili ili nihisi pale nilipokatwa. Sikuhisi chochote! Nilikuwa katika hali ya kimako muuguzi mmoja aliponijia, " Una bahati ya mtende. Hukufanyiwa operesheni. Madaktari walipata njia nyingine ya kumtibu ndugu yako!"
Mimi na ndugu yangu tuliratibiwa kufanyiwa nini
{ "text": [ "Upasuaji" ] }
0003_swa
Asubuhi hiyo ilitupata pambajioni pa hospitali ya Uguzwa. Kando yangu ndugu yangu Pendo alikuwa akijipindapinda kwa uchungu mwingi. Aidha, alikuwa akitetemeka sana. Nilimshikilia asije akaanguka chini. Nilijizuia nisimtazame maadamu kila nilipomtaza machozi yalinidondoka. Nakwambia Pendo alikuwa amedhoofika sana. Maradhi hayo ya kifo yalikuwa yamemdhilisha akabaki gofu la mtu. Alikuwa kakonda ghaya ya kukonda akabaki fremu. Nilitokwa na milizamu ya machozi kwa huruma. Nilihisi kama kwamba mimi ndimi nilikuwa nikiugua. Ama kwa hakika damu ni nzito kuliko maji. Siku hiyo mimi na ndugu yangu tuliratibiwa kufanyiwa upasuaji. Maadami figo zake zote zilikuwa zimeharibika, ningempa figo yangu moja kulingana na ripoti ya madaktari. Hiyo ndiyo ingekuwa njia ya pekee ya kusaidia la sivyo angetuacha. Mimi na yeye tulikuwa ndugu wa toka nitoke. Tulipendana mithili ya pete na kidole. Mintaarafu na hayo, nilikuwa nimejitolea mhanga kumpa ndugu yangu figo yangu. Tukiwa tungali tumeketi, nilitoa simu yangu na kuanza kusakurasakura mitandaoni kuhusu ufadhili wa figo; hasara na manufaa yake. Yale niliyoyaona yaliniatua moyo pakubwa. Ilisemekana kuwa ilikuwa muhali kwa mtu mwenye figo moja kuishi kwa zaidi ya miaka ishirini. Mwili wangu mzima uliota vimbimbi kwa woga. Nilihofia kuwa huenda nisingefikisha umri wa miaka umri wa miaka thelathini na mitano. Moyo ulikuwa ukipigapiga mithili ya nyundo ya mhunzi kwenye fuawe. Kwa upande mwingine nilimtupia jicho ndugu yangu aliyekuwa hajifai kwa maumivu. Nilimhurumia sana. Aidha, nilikumbuka msemo kuwa mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe. Huo ndio ulikuwa wasaa wangu wa kuudhihirisha udugu wangu. Nisingemfaa wakati wa dhiki nisingekuwa rafiki shakiki. Vilevile nilikumbuka kuwa udugu ni kufaana wala si kufanana. Ijapokuwa tulikuwa maziwa na tui sikuwa na budi kumfaa. Ndugu, jamaa na marafiki walitujia kutujulia hali na kututakia kila la heri. Nilituhumu kuwa pengine baadhi yao walikuja kutuona kwa mara ya mwisho. ' Msalie mtume. Mbona niyapitie haya? Ya nini nife nikiwa mchanga hivi hata ubwabwa haujanitoka shingoni? Hayo na mengine mengi yalikuwa tu baadhi ya maswali ya balagha yaliyonipitia akilini. Ghafla wazo likanijia akilini, "Ama nijifanye kuwa naenda pembeni kisha mimi huyoonitoroke!" Hata hivyo nilikumbuka jinsi ndugu yangu alivyojiabilia kwangu. Nilitanabahi jinsi alivyoniuguza nilipokuwa nimeumia mkono. Nisingependa kuwa punda nilipe asante kwa mateke. Liwe liwalo lije lijalo nilikata shauri kumpa figoyangu moja. Halikadhalika, kudhihirisha mapenzi ya dhati ningewaambia madaktari waitoe figo ya upande wa kulia;upande wa moyo. Hayawi hayawi hatimaye huwa. Zamu yetu iliwadia. Tuliingizwa katika chumba cha pili. Huko tuliagizwa kuvaa mavazi rasmi ya hospitalini. Nilihisi kama kwamba mavazi hayo yalikuwa ni sanda lililobaki lilikuwa kutiwa ndani ya jeneza. Baada ya kupimwa kwa stethoskopu, tulipatiwa fomu fulani tulizofaa kuzisoma. Fomu yenyewe ilikuwa na maandishi mzengi madogo. Macho yangu yalitua kwenye nambari 6B: IWAPO KWA SABABU YOYOTE ILE UTAAGA DUNIA, HUTAMLAUMU YEYOTE! Nusura moyo wangu ukome kwa ajili ya mshtuko. Nilitetemeka mkono sana nilipokuwa nikitia sahihi ya kuthibitisha kuwa nilikuwa tayari kwa lolote lile. Tulilazwa kwenye machela na madaktari wakatuzingira. Mmoja aliongoza maombi mafupi. Baadaye tulidungwa sindano za kufisha ganzi- nusukaputi na operesheni ikaanza. Nilipoteza fahamu. Nilipozinduka nilikuwa kwenye wodi. Niliuteremsha mkono na kwa tahadhari nikapapasapapasa mwili ili nihisi pale nilipokatwa. Sikuhisi chochote! Nilikuwa katika hali ya kimako muuguzi mmoja aliponijia, " Una bahati ya mtende. Hukufanyiwa operesheni. Madaktari walipata njia nyingine ya kumtibu ndugu yako!"
Alitoa simu na kusakurasakura nini
{ "text": [ "Mitandaoni" ] }
0003_swa
Asubuhi hiyo ilitupata pambajioni pa hospitali ya Uguzwa. Kando yangu ndugu yangu Pendo alikuwa akijipindapinda kwa uchungu mwingi. Aidha, alikuwa akitetemeka sana. Nilimshikilia asije akaanguka chini. Nilijizuia nisimtazame maadamu kila nilipomtaza machozi yalinidondoka. Nakwambia Pendo alikuwa amedhoofika sana. Maradhi hayo ya kifo yalikuwa yamemdhilisha akabaki gofu la mtu. Alikuwa kakonda ghaya ya kukonda akabaki fremu. Nilitokwa na milizamu ya machozi kwa huruma. Nilihisi kama kwamba mimi ndimi nilikuwa nikiugua. Ama kwa hakika damu ni nzito kuliko maji. Siku hiyo mimi na ndugu yangu tuliratibiwa kufanyiwa upasuaji. Maadami figo zake zote zilikuwa zimeharibika, ningempa figo yangu moja kulingana na ripoti ya madaktari. Hiyo ndiyo ingekuwa njia ya pekee ya kusaidia la sivyo angetuacha. Mimi na yeye tulikuwa ndugu wa toka nitoke. Tulipendana mithili ya pete na kidole. Mintaarafu na hayo, nilikuwa nimejitolea mhanga kumpa ndugu yangu figo yangu. Tukiwa tungali tumeketi, nilitoa simu yangu na kuanza kusakurasakura mitandaoni kuhusu ufadhili wa figo; hasara na manufaa yake. Yale niliyoyaona yaliniatua moyo pakubwa. Ilisemekana kuwa ilikuwa muhali kwa mtu mwenye figo moja kuishi kwa zaidi ya miaka ishirini. Mwili wangu mzima uliota vimbimbi kwa woga. Nilihofia kuwa huenda nisingefikisha umri wa miaka umri wa miaka thelathini na mitano. Moyo ulikuwa ukipigapiga mithili ya nyundo ya mhunzi kwenye fuawe. Kwa upande mwingine nilimtupia jicho ndugu yangu aliyekuwa hajifai kwa maumivu. Nilimhurumia sana. Aidha, nilikumbuka msemo kuwa mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe. Huo ndio ulikuwa wasaa wangu wa kuudhihirisha udugu wangu. Nisingemfaa wakati wa dhiki nisingekuwa rafiki shakiki. Vilevile nilikumbuka kuwa udugu ni kufaana wala si kufanana. Ijapokuwa tulikuwa maziwa na tui sikuwa na budi kumfaa. Ndugu, jamaa na marafiki walitujia kutujulia hali na kututakia kila la heri. Nilituhumu kuwa pengine baadhi yao walikuja kutuona kwa mara ya mwisho. ' Msalie mtume. Mbona niyapitie haya? Ya nini nife nikiwa mchanga hivi hata ubwabwa haujanitoka shingoni? Hayo na mengine mengi yalikuwa tu baadhi ya maswali ya balagha yaliyonipitia akilini. Ghafla wazo likanijia akilini, "Ama nijifanye kuwa naenda pembeni kisha mimi huyoonitoroke!" Hata hivyo nilikumbuka jinsi ndugu yangu alivyojiabilia kwangu. Nilitanabahi jinsi alivyoniuguza nilipokuwa nimeumia mkono. Nisingependa kuwa punda nilipe asante kwa mateke. Liwe liwalo lije lijalo nilikata shauri kumpa figoyangu moja. Halikadhalika, kudhihirisha mapenzi ya dhati ningewaambia madaktari waitoe figo ya upande wa kulia;upande wa moyo. Hayawi hayawi hatimaye huwa. Zamu yetu iliwadia. Tuliingizwa katika chumba cha pili. Huko tuliagizwa kuvaa mavazi rasmi ya hospitalini. Nilihisi kama kwamba mavazi hayo yalikuwa ni sanda lililobaki lilikuwa kutiwa ndani ya jeneza. Baada ya kupimwa kwa stethoskopu, tulipatiwa fomu fulani tulizofaa kuzisoma. Fomu yenyewe ilikuwa na maandishi mzengi madogo. Macho yangu yalitua kwenye nambari 6B: IWAPO KWA SABABU YOYOTE ILE UTAAGA DUNIA, HUTAMLAUMU YEYOTE! Nusura moyo wangu ukome kwa ajili ya mshtuko. Nilitetemeka mkono sana nilipokuwa nikitia sahihi ya kuthibitisha kuwa nilikuwa tayari kwa lolote lile. Tulilazwa kwenye machela na madaktari wakatuzingira. Mmoja aliongoza maombi mafupi. Baadaye tulidungwa sindano za kufisha ganzi- nusukaputi na operesheni ikaanza. Nilipoteza fahamu. Nilipozinduka nilikuwa kwenye wodi. Niliuteremsha mkono na kwa tahadhari nikapapasapapasa mwili ili nihisi pale nilipokatwa. Sikuhisi chochote! Nilikuwa katika hali ya kimako muuguzi mmoja aliponijia, " Una bahati ya mtende. Hukufanyiwa operesheni. Madaktari walipata njia nyingine ya kumtibu ndugu yako!"
Mtu mwenye figo moja haishi kwa zaidi ya miaka ngapi
{ "text": [ "Ishirini" ] }
0003_swa
Asubuhi hiyo ilitupata pambajioni pa hospitali ya Uguzwa. Kando yangu ndugu yangu Pendo alikuwa akijipindapinda kwa uchungu mwingi. Aidha, alikuwa akitetemeka sana. Nilimshikilia asije akaanguka chini. Nilijizuia nisimtazame maadamu kila nilipomtaza machozi yalinidondoka. Nakwambia Pendo alikuwa amedhoofika sana. Maradhi hayo ya kifo yalikuwa yamemdhilisha akabaki gofu la mtu. Alikuwa kakonda ghaya ya kukonda akabaki fremu. Nilitokwa na milizamu ya machozi kwa huruma. Nilihisi kama kwamba mimi ndimi nilikuwa nikiugua. Ama kwa hakika damu ni nzito kuliko maji. Siku hiyo mimi na ndugu yangu tuliratibiwa kufanyiwa upasuaji. Maadami figo zake zote zilikuwa zimeharibika, ningempa figo yangu moja kulingana na ripoti ya madaktari. Hiyo ndiyo ingekuwa njia ya pekee ya kusaidia la sivyo angetuacha. Mimi na yeye tulikuwa ndugu wa toka nitoke. Tulipendana mithili ya pete na kidole. Mintaarafu na hayo, nilikuwa nimejitolea mhanga kumpa ndugu yangu figo yangu. Tukiwa tungali tumeketi, nilitoa simu yangu na kuanza kusakurasakura mitandaoni kuhusu ufadhili wa figo; hasara na manufaa yake. Yale niliyoyaona yaliniatua moyo pakubwa. Ilisemekana kuwa ilikuwa muhali kwa mtu mwenye figo moja kuishi kwa zaidi ya miaka ishirini. Mwili wangu mzima uliota vimbimbi kwa woga. Nilihofia kuwa huenda nisingefikisha umri wa miaka umri wa miaka thelathini na mitano. Moyo ulikuwa ukipigapiga mithili ya nyundo ya mhunzi kwenye fuawe. Kwa upande mwingine nilimtupia jicho ndugu yangu aliyekuwa hajifai kwa maumivu. Nilimhurumia sana. Aidha, nilikumbuka msemo kuwa mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe. Huo ndio ulikuwa wasaa wangu wa kuudhihirisha udugu wangu. Nisingemfaa wakati wa dhiki nisingekuwa rafiki shakiki. Vilevile nilikumbuka kuwa udugu ni kufaana wala si kufanana. Ijapokuwa tulikuwa maziwa na tui sikuwa na budi kumfaa. Ndugu, jamaa na marafiki walitujia kutujulia hali na kututakia kila la heri. Nilituhumu kuwa pengine baadhi yao walikuja kutuona kwa mara ya mwisho. ' Msalie mtume. Mbona niyapitie haya? Ya nini nife nikiwa mchanga hivi hata ubwabwa haujanitoka shingoni? Hayo na mengine mengi yalikuwa tu baadhi ya maswali ya balagha yaliyonipitia akilini. Ghafla wazo likanijia akilini, "Ama nijifanye kuwa naenda pembeni kisha mimi huyoonitoroke!" Hata hivyo nilikumbuka jinsi ndugu yangu alivyojiabilia kwangu. Nilitanabahi jinsi alivyoniuguza nilipokuwa nimeumia mkono. Nisingependa kuwa punda nilipe asante kwa mateke. Liwe liwalo lije lijalo nilikata shauri kumpa figoyangu moja. Halikadhalika, kudhihirisha mapenzi ya dhati ningewaambia madaktari waitoe figo ya upande wa kulia;upande wa moyo. Hayawi hayawi hatimaye huwa. Zamu yetu iliwadia. Tuliingizwa katika chumba cha pili. Huko tuliagizwa kuvaa mavazi rasmi ya hospitalini. Nilihisi kama kwamba mavazi hayo yalikuwa ni sanda lililobaki lilikuwa kutiwa ndani ya jeneza. Baada ya kupimwa kwa stethoskopu, tulipatiwa fomu fulani tulizofaa kuzisoma. Fomu yenyewe ilikuwa na maandishi mzengi madogo. Macho yangu yalitua kwenye nambari 6B: IWAPO KWA SABABU YOYOTE ILE UTAAGA DUNIA, HUTAMLAUMU YEYOTE! Nusura moyo wangu ukome kwa ajili ya mshtuko. Nilitetemeka mkono sana nilipokuwa nikitia sahihi ya kuthibitisha kuwa nilikuwa tayari kwa lolote lile. Tulilazwa kwenye machela na madaktari wakatuzingira. Mmoja aliongoza maombi mafupi. Baadaye tulidungwa sindano za kufisha ganzi- nusukaputi na operesheni ikaanza. Nilipoteza fahamu. Nilipozinduka nilikuwa kwenye wodi. Niliuteremsha mkono na kwa tahadhari nikapapasapapasa mwili ili nihisi pale nilipokatwa. Sikuhisi chochote! Nilikuwa katika hali ya kimako muuguzi mmoja aliponijia, " Una bahati ya mtende. Hukufanyiwa operesheni. Madaktari walipata njia nyingine ya kumtibu ndugu yako!"
Kwa nini hakuhisi chochote
{ "text": [ "Hakufanyiwa operesheni" ] }
0005_swa
Mpenzi yeyote wa lugha ashirafu ya Kiswahili mara nyingine huwa na matumaini makubwa, mara nyingine hukata tamaa kabisa kuhusu mustakabali wa Kiswahili. Ukitembea mijini, vijijini, pwani na bara na kuwasikia watu wakizungumza Kiswahili, utapata matumaini. Ukihudhuria makongamano ya Kiswahili ya walimu na wanafunzi unakuwa na kila sababu ya kutabasamu. Aidha, ukiingia katika maduka ya vitabu na kuona wingi wa vitabu vya Kiswahili, unatikisa kichwa kwa kuridhika. Yamkini, lugha hii imeenea kwenye kila pembe ya taifa hili. Hata hivyo, ukifikiria kuhusu aina ya Kiswahili kinachosemwa, kinachotumiwa na wazungumzaji wengi, matumaini yako yatadidimia. Kwenye vyombo vya habari ndiko maji yalikozidi unga. Wanahabari wanakosea, wanaweka viambishi mahali pasipofaa na kuviondoa pale ambapo vinapaswa kuwa. Si ibra kusikia mwanahabari akisema "kuku tatu, miaka nane, walimu wakumi au hata vikapu vikumi." Yamkini, hakuna anayejali! Wiki iliyopita mtangazaji mmoja alinukuliwa akisema, "lugha la Kiswahili ni zuri". Jameni lugha la Kiswahili ndio kusema nini? Moyo wako utakuwa karibu kupasuka ukiwasikia watu wanaojidai kuzungumza Kiswahili wakisema, "Masaa, makaratasi, mapua na mashingo." Hiki si Kiswahili kibaya tu bali ni Kiswahili kibaya sana! Swali kuu ambalo tunapaswa kujiuliza ni je, twaenda mbele au twarudi nyuma? Inamaanisha kuwa kabisa hatuwezi au hatutaki katu kusema Kiswahili sanifu tena? Wananchi wazalendo kindakindaki wa mataifa yao huzionea fahari lugha zao na kuzitetea dhidi ya mtu yeyote anayediriki kuzivunja. Mathalani, Wachina wanacho Kichina chao, Wafaransa wanacho Kifaransa chao, Waingereza wanakumbatia KLiingereza chao, huku Waarabu wakikisema Kiarabu kwa dhati. Je, sisi chetu ni kipi? Lugha yetu ni ipi? Ni jambo la kuhuzunisha hadi ya kuhuzunisha kuwaona wageni waliotoka mabara mengine wakija huku na kujua lugha sanifu zaidi ya mzaliwa na mlelewa wa huku. Je, kuzungumza Kiswahili safi na dalili ya udumavu? Wakati sisi tunapofanya masihara ya kusema, "Kiswahili simdomo wangu," wengine wanatambua natija za Kiswahili. Leo hii KLiswahili kinafundishwa kwenye vyuo vikuu vya Marekani, Ujerumani miongoni mwa nchi nyingine maarufu duniani. Na sisi je? Letu limekuwa kushirikiana kama kiko na digali kukishambulia na kukijeruhi Kiswahili. Yafaa tuelewe kuwa Kiswahili ni bura yetu, tusiibadili na rehani. Kabla hatujazikimbilia lugha nyingine, Kiswahili kipewe nafasi ya kwanza. Kukifanya lugha rasmi na ya taifa kupitia kwa katiba hakutoshi, sharti tukishabikie, tukinadi na kukisema kwa ufasaha. Kiswahili kitukuzwe kisifukuzwe!
Kina nani huharibu Kiswahili katika vyombo vya habari
{ "text": [ "Wanahabari" ] }
0005_swa
Mpenzi yeyote wa lugha ashirafu ya Kiswahili mara nyingine huwa na matumaini makubwa, mara nyingine hukata tamaa kabisa kuhusu mustakabali wa Kiswahili. Ukitembea mijini, vijijini, pwani na bara na kuwasikia watu wakizungumza Kiswahili, utapata matumaini. Ukihudhuria makongamano ya Kiswahili ya walimu na wanafunzi unakuwa na kila sababu ya kutabasamu. Aidha, ukiingia katika maduka ya vitabu na kuona wingi wa vitabu vya Kiswahili, unatikisa kichwa kwa kuridhika. Yamkini, lugha hii imeenea kwenye kila pembe ya taifa hili. Hata hivyo, ukifikiria kuhusu aina ya Kiswahili kinachosemwa, kinachotumiwa na wazungumzaji wengi, matumaini yako yatadidimia. Kwenye vyombo vya habari ndiko maji yalikozidi unga. Wanahabari wanakosea, wanaweka viambishi mahali pasipofaa na kuviondoa pale ambapo vinapaswa kuwa. Si ibra kusikia mwanahabari akisema "kuku tatu, miaka nane, walimu wakumi au hata vikapu vikumi." Yamkini, hakuna anayejali! Wiki iliyopita mtangazaji mmoja alinukuliwa akisema, "lugha la Kiswahili ni zuri". Jameni lugha la Kiswahili ndio kusema nini? Moyo wako utakuwa karibu kupasuka ukiwasikia watu wanaojidai kuzungumza Kiswahili wakisema, "Masaa, makaratasi, mapua na mashingo." Hiki si Kiswahili kibaya tu bali ni Kiswahili kibaya sana! Swali kuu ambalo tunapaswa kujiuliza ni je, twaenda mbele au twarudi nyuma? Inamaanisha kuwa kabisa hatuwezi au hatutaki katu kusema Kiswahili sanifu tena? Wananchi wazalendo kindakindaki wa mataifa yao huzionea fahari lugha zao na kuzitetea dhidi ya mtu yeyote anayediriki kuzivunja. Mathalani, Wachina wanacho Kichina chao, Wafaransa wanacho Kifaransa chao, Waingereza wanakumbatia KLiingereza chao, huku Waarabu wakikisema Kiarabu kwa dhati. Je, sisi chetu ni kipi? Lugha yetu ni ipi? Ni jambo la kuhuzunisha hadi ya kuhuzunisha kuwaona wageni waliotoka mabara mengine wakija huku na kujua lugha sanifu zaidi ya mzaliwa na mlelewa wa huku. Je, kuzungumza Kiswahili safi na dalili ya udumavu? Wakati sisi tunapofanya masihara ya kusema, "Kiswahili simdomo wangu," wengine wanatambua natija za Kiswahili. Leo hii KLiswahili kinafundishwa kwenye vyuo vikuu vya Marekani, Ujerumani miongoni mwa nchi nyingine maarufu duniani. Na sisi je? Letu limekuwa kushirikiana kama kiko na digali kukishambulia na kukijeruhi Kiswahili. Yafaa tuelewe kuwa Kiswahili ni bura yetu, tusiibadili na rehani. Kabla hatujazikimbilia lugha nyingine, Kiswahili kipewe nafasi ya kwanza. Kukifanya lugha rasmi na ya taifa kupitia kwa katiba hakutoshi, sharti tukishabikie, tukinadi na kukisema kwa ufasaha. Kiswahili kitukuzwe kisifukuzwe!
Nani hutetea lugha zao
{ "text": [ "Wazalendo wa mataifa mbalimbali" ] }
0005_swa
Mpenzi yeyote wa lugha ashirafu ya Kiswahili mara nyingine huwa na matumaini makubwa, mara nyingine hukata tamaa kabisa kuhusu mustakabali wa Kiswahili. Ukitembea mijini, vijijini, pwani na bara na kuwasikia watu wakizungumza Kiswahili, utapata matumaini. Ukihudhuria makongamano ya Kiswahili ya walimu na wanafunzi unakuwa na kila sababu ya kutabasamu. Aidha, ukiingia katika maduka ya vitabu na kuona wingi wa vitabu vya Kiswahili, unatikisa kichwa kwa kuridhika. Yamkini, lugha hii imeenea kwenye kila pembe ya taifa hili. Hata hivyo, ukifikiria kuhusu aina ya Kiswahili kinachosemwa, kinachotumiwa na wazungumzaji wengi, matumaini yako yatadidimia. Kwenye vyombo vya habari ndiko maji yalikozidi unga. Wanahabari wanakosea, wanaweka viambishi mahali pasipofaa na kuviondoa pale ambapo vinapaswa kuwa. Si ibra kusikia mwanahabari akisema "kuku tatu, miaka nane, walimu wakumi au hata vikapu vikumi." Yamkini, hakuna anayejali! Wiki iliyopita mtangazaji mmoja alinukuliwa akisema, "lugha la Kiswahili ni zuri". Jameni lugha la Kiswahili ndio kusema nini? Moyo wako utakuwa karibu kupasuka ukiwasikia watu wanaojidai kuzungumza Kiswahili wakisema, "Masaa, makaratasi, mapua na mashingo." Hiki si Kiswahili kibaya tu bali ni Kiswahili kibaya sana! Swali kuu ambalo tunapaswa kujiuliza ni je, twaenda mbele au twarudi nyuma? Inamaanisha kuwa kabisa hatuwezi au hatutaki katu kusema Kiswahili sanifu tena? Wananchi wazalendo kindakindaki wa mataifa yao huzionea fahari lugha zao na kuzitetea dhidi ya mtu yeyote anayediriki kuzivunja. Mathalani, Wachina wanacho Kichina chao, Wafaransa wanacho Kifaransa chao, Waingereza wanakumbatia KLiingereza chao, huku Waarabu wakikisema Kiarabu kwa dhati. Je, sisi chetu ni kipi? Lugha yetu ni ipi? Ni jambo la kuhuzunisha hadi ya kuhuzunisha kuwaona wageni waliotoka mabara mengine wakija huku na kujua lugha sanifu zaidi ya mzaliwa na mlelewa wa huku. Je, kuzungumza Kiswahili safi na dalili ya udumavu? Wakati sisi tunapofanya masihara ya kusema, "Kiswahili simdomo wangu," wengine wanatambua natija za Kiswahili. Leo hii KLiswahili kinafundishwa kwenye vyuo vikuu vya Marekani, Ujerumani miongoni mwa nchi nyingine maarufu duniani. Na sisi je? Letu limekuwa kushirikiana kama kiko na digali kukishambulia na kukijeruhi Kiswahili. Yafaa tuelewe kuwa Kiswahili ni bura yetu, tusiibadili na rehani. Kabla hatujazikimbilia lugha nyingine, Kiswahili kipewe nafasi ya kwanza. Kukifanya lugha rasmi na ya taifa kupitia kwa katiba hakutoshi, sharti tukishabikie, tukinadi na kukisema kwa ufasaha. Kiswahili kitukuzwe kisifukuzwe!
Wafaransa huzungumza lugha gani
{ "text": [ "Kifaransa" ] }
0005_swa
Mpenzi yeyote wa lugha ashirafu ya Kiswahili mara nyingine huwa na matumaini makubwa, mara nyingine hukata tamaa kabisa kuhusu mustakabali wa Kiswahili. Ukitembea mijini, vijijini, pwani na bara na kuwasikia watu wakizungumza Kiswahili, utapata matumaini. Ukihudhuria makongamano ya Kiswahili ya walimu na wanafunzi unakuwa na kila sababu ya kutabasamu. Aidha, ukiingia katika maduka ya vitabu na kuona wingi wa vitabu vya Kiswahili, unatikisa kichwa kwa kuridhika. Yamkini, lugha hii imeenea kwenye kila pembe ya taifa hili. Hata hivyo, ukifikiria kuhusu aina ya Kiswahili kinachosemwa, kinachotumiwa na wazungumzaji wengi, matumaini yako yatadidimia. Kwenye vyombo vya habari ndiko maji yalikozidi unga. Wanahabari wanakosea, wanaweka viambishi mahali pasipofaa na kuviondoa pale ambapo vinapaswa kuwa. Si ibra kusikia mwanahabari akisema "kuku tatu, miaka nane, walimu wakumi au hata vikapu vikumi." Yamkini, hakuna anayejali! Wiki iliyopita mtangazaji mmoja alinukuliwa akisema, "lugha la Kiswahili ni zuri". Jameni lugha la Kiswahili ndio kusema nini? Moyo wako utakuwa karibu kupasuka ukiwasikia watu wanaojidai kuzungumza Kiswahili wakisema, "Masaa, makaratasi, mapua na mashingo." Hiki si Kiswahili kibaya tu bali ni Kiswahili kibaya sana! Swali kuu ambalo tunapaswa kujiuliza ni je, twaenda mbele au twarudi nyuma? Inamaanisha kuwa kabisa hatuwezi au hatutaki katu kusema Kiswahili sanifu tena? Wananchi wazalendo kindakindaki wa mataifa yao huzionea fahari lugha zao na kuzitetea dhidi ya mtu yeyote anayediriki kuzivunja. Mathalani, Wachina wanacho Kichina chao, Wafaransa wanacho Kifaransa chao, Waingereza wanakumbatia KLiingereza chao, huku Waarabu wakikisema Kiarabu kwa dhati. Je, sisi chetu ni kipi? Lugha yetu ni ipi? Ni jambo la kuhuzunisha hadi ya kuhuzunisha kuwaona wageni waliotoka mabara mengine wakija huku na kujua lugha sanifu zaidi ya mzaliwa na mlelewa wa huku. Je, kuzungumza Kiswahili safi na dalili ya udumavu? Wakati sisi tunapofanya masihara ya kusema, "Kiswahili simdomo wangu," wengine wanatambua natija za Kiswahili. Leo hii KLiswahili kinafundishwa kwenye vyuo vikuu vya Marekani, Ujerumani miongoni mwa nchi nyingine maarufu duniani. Na sisi je? Letu limekuwa kushirikiana kama kiko na digali kukishambulia na kukijeruhi Kiswahili. Yafaa tuelewe kuwa Kiswahili ni bura yetu, tusiibadili na rehani. Kabla hatujazikimbilia lugha nyingine, Kiswahili kipewe nafasi ya kwanza. Kukifanya lugha rasmi na ya taifa kupitia kwa katiba hakutoshi, sharti tukishabikie, tukinadi na kukisema kwa ufasaha. Kiswahili kitukuzwe kisifukuzwe!
Kiswahili kinafunzwa katika nchi zipi maarufu duniani
{ "text": [ "Marekani na ujerumani" ] }
0005_swa
Mpenzi yeyote wa lugha ashirafu ya Kiswahili mara nyingine huwa na matumaini makubwa, mara nyingine hukata tamaa kabisa kuhusu mustakabali wa Kiswahili. Ukitembea mijini, vijijini, pwani na bara na kuwasikia watu wakizungumza Kiswahili, utapata matumaini. Ukihudhuria makongamano ya Kiswahili ya walimu na wanafunzi unakuwa na kila sababu ya kutabasamu. Aidha, ukiingia katika maduka ya vitabu na kuona wingi wa vitabu vya Kiswahili, unatikisa kichwa kwa kuridhika. Yamkini, lugha hii imeenea kwenye kila pembe ya taifa hili. Hata hivyo, ukifikiria kuhusu aina ya Kiswahili kinachosemwa, kinachotumiwa na wazungumzaji wengi, matumaini yako yatadidimia. Kwenye vyombo vya habari ndiko maji yalikozidi unga. Wanahabari wanakosea, wanaweka viambishi mahali pasipofaa na kuviondoa pale ambapo vinapaswa kuwa. Si ibra kusikia mwanahabari akisema "kuku tatu, miaka nane, walimu wakumi au hata vikapu vikumi." Yamkini, hakuna anayejali! Wiki iliyopita mtangazaji mmoja alinukuliwa akisema, "lugha la Kiswahili ni zuri". Jameni lugha la Kiswahili ndio kusema nini? Moyo wako utakuwa karibu kupasuka ukiwasikia watu wanaojidai kuzungumza Kiswahili wakisema, "Masaa, makaratasi, mapua na mashingo." Hiki si Kiswahili kibaya tu bali ni Kiswahili kibaya sana! Swali kuu ambalo tunapaswa kujiuliza ni je, twaenda mbele au twarudi nyuma? Inamaanisha kuwa kabisa hatuwezi au hatutaki katu kusema Kiswahili sanifu tena? Wananchi wazalendo kindakindaki wa mataifa yao huzionea fahari lugha zao na kuzitetea dhidi ya mtu yeyote anayediriki kuzivunja. Mathalani, Wachina wanacho Kichina chao, Wafaransa wanacho Kifaransa chao, Waingereza wanakumbatia KLiingereza chao, huku Waarabu wakikisema Kiarabu kwa dhati. Je, sisi chetu ni kipi? Lugha yetu ni ipi? Ni jambo la kuhuzunisha hadi ya kuhuzunisha kuwaona wageni waliotoka mabara mengine wakija huku na kujua lugha sanifu zaidi ya mzaliwa na mlelewa wa huku. Je, kuzungumza Kiswahili safi na dalili ya udumavu? Wakati sisi tunapofanya masihara ya kusema, "Kiswahili simdomo wangu," wengine wanatambua natija za Kiswahili. Leo hii KLiswahili kinafundishwa kwenye vyuo vikuu vya Marekani, Ujerumani miongoni mwa nchi nyingine maarufu duniani. Na sisi je? Letu limekuwa kushirikiana kama kiko na digali kukishambulia na kukijeruhi Kiswahili. Yafaa tuelewe kuwa Kiswahili ni bura yetu, tusiibadili na rehani. Kabla hatujazikimbilia lugha nyingine, Kiswahili kipewe nafasi ya kwanza. Kukifanya lugha rasmi na ya taifa kupitia kwa katiba hakutoshi, sharti tukishabikie, tukinadi na kukisema kwa ufasaha. Kiswahili kitukuzwe kisifukuzwe!
Wachina huzungumza lugha gani
{ "text": [ "Kichina" ] }
0019_swa
NAFASI YA MWANAMKE KATIKA JAMII Kuzaliwa mwanamke ni laana katika ulimwengu huu uliotawalwa na wanaume. Wao huteswa na kunyanyaswa bila ya masilahi yao kutiliwa maanani. Huu ni ubinafsi na ubinafsi huvunja jamii. Waja haoni kuwa tofauti iliyopa baina ya viumbe hawa wawili ni ile ya kimaumbile tu na hivyo hapana haja ya kuwanyanyasa wanawake. Wao huishikatika dunia moja,hewa wapumuayo ni sawa, ndio maana wote kwa pamoja huitwa binadamu. Ni jambo la kuhuzunisha kuona kwamba azaliwapo waladi, yeye hupokelewa katika jamii kwa shangwe kubwa zaida ya mtoto wa kike. Ni kama mtoto wa kike huleta laana katika jamii. Watoto hawa wawili hukulia katika mazingira tofauti kabisa, mazingira yaliyotengwa kwa bahari, bahari ambayo haivukiki. Huku waladi akilelewa katika hali ya juu na kwa uangalifu, kwa madai kuwa yeye ndiye kiongozi wa siku za usoni,wa kike hatunzwi vyema. Hunyimwa vyakula muhimu eti wasichana hawafai kula vyakula hivyo. Kwani waladi hudondoshwa kutoka uwinguni na msichana huokotwa ndipo hawa wawili watengwe hivyo? Mtoto wa kike akimshinda waladi katika mashindano yoyote yale, waladi hukemewa akiambiwa kuwa haifai msichana amshinde. Hiyo ni haki kweli, eti kiumbe mmoja aonwe duni kwa mwingine? Mgala muue na haki umpe jamni. Akili ni nywele na kila mtu ana zake. Inachoma moyo waja wanenapo kuwa mwanamke ni mbumbumbu katika masomo ya sayansi. Huu ni uongo mtupu! Kufaulu katika somo fulani kunategemea mtu binafsi na kiwango chake cha kuelewa, awe mwanamke au mwanamume. Hakuna ubaguzi! Wasichana wawashindapo wanaume kwenye mitihani ya kitaifa, habari zaidi hutolewa kwamba " lakini wavulana waliwashinda kwenye masomo ya sayansi." Nani alisema kuwa walishindwa kwa sababu wao ni wanawake? Hii propaganda tupu. Ikumbukwe kuwa, asiyekubali kushindwa si mshindani kamwe. Kwa wale ambao hawakuangukiwa na nyota ya rehema, elimu yao hukomea pale nyumbani. Kumpeleka msichana shuleni huonekana kama hasara. Inasahaulika kuwa, kumuelimisha mwanamke ni kuielimisha jamii nzima. Hebu tujiulize ni kwa nini. Mwalimu wakwanza katika maisha ya kila mmoja wetu ni mama. Amleavyo mtoto, ndivyo akuavyo. Ikiwa mama hatayaelewa maisha yalivyo, bila shaka mtoto naye hatayaelewa. Si haki msichana kukomeshwa shule ili ndugu zake wa kiume waendelee na masomo karo ikosekanapo. Ni huzuni zaidi kiumbe huyu atumiwapo kama kifaa cha kutajirisha wazee wake kwa kuozwa; zaidi, kwa mtu ambaye hampendi! Aliyesema kuwa mwanamke afanyaye kazi afisini hana tabu, haelewi kamwwe ina maana gani kumwaga mafuta mtungi uliotiwa maji. Haoni kuwa, mwanamke huyu na mfanyikazi mwenzake wa kiume hawawezi kuungana na kushirikiana;kuna tofauti. " Haifai mwanamke kutengana na jiko, basi itawezekanaje afanye kazi sawa na mwanamume?" Ndiyo imani wanaume wengi waliyonayo. Aghalabu, wanawake hawa inawabidi wafanye uchaguzi: kupoteza kazi, ambayo labda ni maisha yao, au kupoteza heshima yao. Wengi huchagua kazi na jambo hili huwaathiri katika maisha yao. Hufanya kidonda ambacho hakiwezi kupona. Ndoa ndio mzizi mkubwa wa tabu zinazowakumba wanawake. Wao hununuliwa badala ya kuolewa. Na kwa sababu hii hufanywa kuwa mali ya waume zao, wala si wake; kinyume na matarajio. Huonwa kama wahshi, na ndio maana hawashughulishwi katika majadiliano yanayohusu familia zao. Hawaruhusiwi kuchangia katika mipango ya maendeleo. Wao ni kama watumishi, wapewe amri, na wazitii. Hawana uhuru wa kutoa maoni yao. Kutembelea marafiki ni jambo lisilosikika. Hawawezi kufanya jambo lolote bila idhini ya waume zao. Huchungwa vile kuku awafanyavyo vifaranga wake. Tofauti ni kwamba, mwanamume ni kudhibiti kwa ubaya. Waama, maisha haya si ya kutamanika. Ikiwa bwana huyu na bibi yake wamebarikiwa na watoto, kazi ya kuwalea wawe binadamu kamili ni ya mama. Ni juu yake kuhakikisha kuwa wameshiba, wamevaa vizuri na ni wasafi. Watoto hawa wakiwa na nidhamu na wakifaulu, huwa ni watoto wa baba. Lakini wakikosa nidhamu, hufananishwa na mama yao. Je, huu ni uungwana? Kwa nini mambo yote mabaya yalinganishwe na mwanamke? Ikiwa mwanamke humtegemea mumewe kutimiza haja zake, huona tabu. Zaidi, ikiwa huyo bwana ni mlevi. Wanaume wa namna hii huzitupa familia zao na kuendelea kuponda raha. Hawakumbuki chakula na karo vyahitajika nyumbani. Ni juu ya mwanamke huyu kumenyeka angaa watoto wake waendelee kupumua. Huyu bwana akiwa katika siku za mwambo 'huwakumbuka' watu wake na hapo ndipo hurudi nyumbani kuongeza mzigo kwa mzigo mwingine. Alifajiri na mapema, bwana akiwa amelala, mama ameshaamka kumtayarishia kiamsha kinywa na maji ya kuoga. Nguo zake zipigwe pasi, watoto watayarishwe kwenda shule na ahakikishe kuwa nyumba imepigwa deki na kupangwa. Ikumbukwe kuwa hata yeye mwenyewe anatakikana afike kazini mapema, iwe ya kuajiriwa au ya kujiajiri mwenyewe. Asipofanya hivyo, hutolewa matusi mbele ya watoto. Mbele ya watoto jamani! Watoto hawa hukua wakijua yakuwa, mama yao ni mvivu tena wahshi. Kwenye vipindi vingi vionyeshwavyo katika runinga, aghalabu mwanamke huchorwa kama kiumbe muovu ambaye huvunja jamii. Malenga na manju hawampi amani hata. Tungo za wanawake walio na macho ya nje hutolewa. Neno kahaba litajwapo, taswira apatayo mtu ni mwanamke aliyejipamba akapambika; kisha nusu kavaa, nusu yu uchi. Kwani lazima kahaba awe ni mwanamke tu? Itakuwa ni miujiza ikiwa mwanamke atarithi mali ya wazee wake wanapomaliza safari yao. Arithiye ni waladi, bali si msichana. Badala yake, ni mwanamke kurithiwa bwana akienda ahera. Mwanamke hana haki ya kumiliki mali, hata yaliyo yake hufanywa ya mumewe. Yafaa watoto wa kike na waladi wawe na haki sawa ya kurithi mali ya wazee wao. Mwanamke huonwa kama kiumbe hafifu, ambacho hakiwezi kuongoza. Katika bunge, asilimia ya wabunge wakike ni ndogo sana, ikilinganishwa na ile ya wanaume. Shida hii huendeleahadi kazini ambapo mwanamke hawezi kuwa kiongozi wa mwanamume. Wanaokubali ni wale ambao hawana jingine la kufanya. Kule kumuona mwanamke kama kiumbe hafifu kumehatarisha maisha yake. Hana usalama wowote. Mwanzoni mwaka jana, gazeti la "Nation" liliripoti kisa juu ya mwanamke aliyekatwa kichwa na mumewe. Gazeti lilo hilo likaripoti kisa kingine cha mtoto mdogo msichana kunajisiwa na mwanamume mwenye umri sawa na wa babake. Mwanamke mwingine aliripotiwa kujeruhiwa kwa upanga na mumewe baada ya kuimba wimbo wa "Ndombolo." Katika habari nyingine, wasichana wawili walinajisiwa;mmoja mwenye umri wa miaka kumina mitatu, na mwingine miaka minne unusu tu. Je, heshima,uhuru na usalama wa mwanamke vi wapi?
ulimwengu huu umetawalwa na nani
{ "text": [ "wanaume" ] }
0019_swa
NAFASI YA MWANAMKE KATIKA JAMII Kuzaliwa mwanamke ni laana katika ulimwengu huu uliotawalwa na wanaume. Wao huteswa na kunyanyaswa bila ya masilahi yao kutiliwa maanani. Huu ni ubinafsi na ubinafsi huvunja jamii. Waja haoni kuwa tofauti iliyopa baina ya viumbe hawa wawili ni ile ya kimaumbile tu na hivyo hapana haja ya kuwanyanyasa wanawake. Wao huishikatika dunia moja,hewa wapumuayo ni sawa, ndio maana wote kwa pamoja huitwa binadamu. Ni jambo la kuhuzunisha kuona kwamba azaliwapo waladi, yeye hupokelewa katika jamii kwa shangwe kubwa zaida ya mtoto wa kike. Ni kama mtoto wa kike huleta laana katika jamii. Watoto hawa wawili hukulia katika mazingira tofauti kabisa, mazingira yaliyotengwa kwa bahari, bahari ambayo haivukiki. Huku waladi akilelewa katika hali ya juu na kwa uangalifu, kwa madai kuwa yeye ndiye kiongozi wa siku za usoni,wa kike hatunzwi vyema. Hunyimwa vyakula muhimu eti wasichana hawafai kula vyakula hivyo. Kwani waladi hudondoshwa kutoka uwinguni na msichana huokotwa ndipo hawa wawili watengwe hivyo? Mtoto wa kike akimshinda waladi katika mashindano yoyote yale, waladi hukemewa akiambiwa kuwa haifai msichana amshinde. Hiyo ni haki kweli, eti kiumbe mmoja aonwe duni kwa mwingine? Mgala muue na haki umpe jamni. Akili ni nywele na kila mtu ana zake. Inachoma moyo waja wanenapo kuwa mwanamke ni mbumbumbu katika masomo ya sayansi. Huu ni uongo mtupu! Kufaulu katika somo fulani kunategemea mtu binafsi na kiwango chake cha kuelewa, awe mwanamke au mwanamume. Hakuna ubaguzi! Wasichana wawashindapo wanaume kwenye mitihani ya kitaifa, habari zaidi hutolewa kwamba " lakini wavulana waliwashinda kwenye masomo ya sayansi." Nani alisema kuwa walishindwa kwa sababu wao ni wanawake? Hii propaganda tupu. Ikumbukwe kuwa, asiyekubali kushindwa si mshindani kamwe. Kwa wale ambao hawakuangukiwa na nyota ya rehema, elimu yao hukomea pale nyumbani. Kumpeleka msichana shuleni huonekana kama hasara. Inasahaulika kuwa, kumuelimisha mwanamke ni kuielimisha jamii nzima. Hebu tujiulize ni kwa nini. Mwalimu wakwanza katika maisha ya kila mmoja wetu ni mama. Amleavyo mtoto, ndivyo akuavyo. Ikiwa mama hatayaelewa maisha yalivyo, bila shaka mtoto naye hatayaelewa. Si haki msichana kukomeshwa shule ili ndugu zake wa kiume waendelee na masomo karo ikosekanapo. Ni huzuni zaidi kiumbe huyu atumiwapo kama kifaa cha kutajirisha wazee wake kwa kuozwa; zaidi, kwa mtu ambaye hampendi! Aliyesema kuwa mwanamke afanyaye kazi afisini hana tabu, haelewi kamwwe ina maana gani kumwaga mafuta mtungi uliotiwa maji. Haoni kuwa, mwanamke huyu na mfanyikazi mwenzake wa kiume hawawezi kuungana na kushirikiana;kuna tofauti. " Haifai mwanamke kutengana na jiko, basi itawezekanaje afanye kazi sawa na mwanamume?" Ndiyo imani wanaume wengi waliyonayo. Aghalabu, wanawake hawa inawabidi wafanye uchaguzi: kupoteza kazi, ambayo labda ni maisha yao, au kupoteza heshima yao. Wengi huchagua kazi na jambo hili huwaathiri katika maisha yao. Hufanya kidonda ambacho hakiwezi kupona. Ndoa ndio mzizi mkubwa wa tabu zinazowakumba wanawake. Wao hununuliwa badala ya kuolewa. Na kwa sababu hii hufanywa kuwa mali ya waume zao, wala si wake; kinyume na matarajio. Huonwa kama wahshi, na ndio maana hawashughulishwi katika majadiliano yanayohusu familia zao. Hawaruhusiwi kuchangia katika mipango ya maendeleo. Wao ni kama watumishi, wapewe amri, na wazitii. Hawana uhuru wa kutoa maoni yao. Kutembelea marafiki ni jambo lisilosikika. Hawawezi kufanya jambo lolote bila idhini ya waume zao. Huchungwa vile kuku awafanyavyo vifaranga wake. Tofauti ni kwamba, mwanamume ni kudhibiti kwa ubaya. Waama, maisha haya si ya kutamanika. Ikiwa bwana huyu na bibi yake wamebarikiwa na watoto, kazi ya kuwalea wawe binadamu kamili ni ya mama. Ni juu yake kuhakikisha kuwa wameshiba, wamevaa vizuri na ni wasafi. Watoto hawa wakiwa na nidhamu na wakifaulu, huwa ni watoto wa baba. Lakini wakikosa nidhamu, hufananishwa na mama yao. Je, huu ni uungwana? Kwa nini mambo yote mabaya yalinganishwe na mwanamke? Ikiwa mwanamke humtegemea mumewe kutimiza haja zake, huona tabu. Zaidi, ikiwa huyo bwana ni mlevi. Wanaume wa namna hii huzitupa familia zao na kuendelea kuponda raha. Hawakumbuki chakula na karo vyahitajika nyumbani. Ni juu ya mwanamke huyu kumenyeka angaa watoto wake waendelee kupumua. Huyu bwana akiwa katika siku za mwambo 'huwakumbuka' watu wake na hapo ndipo hurudi nyumbani kuongeza mzigo kwa mzigo mwingine. Alifajiri na mapema, bwana akiwa amelala, mama ameshaamka kumtayarishia kiamsha kinywa na maji ya kuoga. Nguo zake zipigwe pasi, watoto watayarishwe kwenda shule na ahakikishe kuwa nyumba imepigwa deki na kupangwa. Ikumbukwe kuwa hata yeye mwenyewe anatakikana afike kazini mapema, iwe ya kuajiriwa au ya kujiajiri mwenyewe. Asipofanya hivyo, hutolewa matusi mbele ya watoto. Mbele ya watoto jamani! Watoto hawa hukua wakijua yakuwa, mama yao ni mvivu tena wahshi. Kwenye vipindi vingi vionyeshwavyo katika runinga, aghalabu mwanamke huchorwa kama kiumbe muovu ambaye huvunja jamii. Malenga na manju hawampi amani hata. Tungo za wanawake walio na macho ya nje hutolewa. Neno kahaba litajwapo, taswira apatayo mtu ni mwanamke aliyejipamba akapambika; kisha nusu kavaa, nusu yu uchi. Kwani lazima kahaba awe ni mwanamke tu? Itakuwa ni miujiza ikiwa mwanamke atarithi mali ya wazee wake wanapomaliza safari yao. Arithiye ni waladi, bali si msichana. Badala yake, ni mwanamke kurithiwa bwana akienda ahera. Mwanamke hana haki ya kumiliki mali, hata yaliyo yake hufanywa ya mumewe. Yafaa watoto wa kike na waladi wawe na haki sawa ya kurithi mali ya wazee wao. Mwanamke huonwa kama kiumbe hafifu, ambacho hakiwezi kuongoza. Katika bunge, asilimia ya wabunge wakike ni ndogo sana, ikilinganishwa na ile ya wanaume. Shida hii huendeleahadi kazini ambapo mwanamke hawezi kuwa kiongozi wa mwanamume. Wanaokubali ni wale ambao hawana jingine la kufanya. Kule kumuona mwanamke kama kiumbe hafifu kumehatarisha maisha yake. Hana usalama wowote. Mwanzoni mwaka jana, gazeti la "Nation" liliripoti kisa juu ya mwanamke aliyekatwa kichwa na mumewe. Gazeti lilo hilo likaripoti kisa kingine cha mtoto mdogo msichana kunajisiwa na mwanamume mwenye umri sawa na wa babake. Mwanamke mwingine aliripotiwa kujeruhiwa kwa upanga na mumewe baada ya kuimba wimbo wa "Ndombolo." Katika habari nyingine, wasichana wawili walinajisiwa;mmoja mwenye umri wa miaka kumina mitatu, na mwingine miaka minne unusu tu. Je, heshima,uhuru na usalama wa mwanamke vi wapi?
ubinafsi hufanyia nini jamii
{ "text": [ "huvunja jamii" ] }
0019_swa
NAFASI YA MWANAMKE KATIKA JAMII Kuzaliwa mwanamke ni laana katika ulimwengu huu uliotawalwa na wanaume. Wao huteswa na kunyanyaswa bila ya masilahi yao kutiliwa maanani. Huu ni ubinafsi na ubinafsi huvunja jamii. Waja haoni kuwa tofauti iliyopa baina ya viumbe hawa wawili ni ile ya kimaumbile tu na hivyo hapana haja ya kuwanyanyasa wanawake. Wao huishikatika dunia moja,hewa wapumuayo ni sawa, ndio maana wote kwa pamoja huitwa binadamu. Ni jambo la kuhuzunisha kuona kwamba azaliwapo waladi, yeye hupokelewa katika jamii kwa shangwe kubwa zaida ya mtoto wa kike. Ni kama mtoto wa kike huleta laana katika jamii. Watoto hawa wawili hukulia katika mazingira tofauti kabisa, mazingira yaliyotengwa kwa bahari, bahari ambayo haivukiki. Huku waladi akilelewa katika hali ya juu na kwa uangalifu, kwa madai kuwa yeye ndiye kiongozi wa siku za usoni,wa kike hatunzwi vyema. Hunyimwa vyakula muhimu eti wasichana hawafai kula vyakula hivyo. Kwani waladi hudondoshwa kutoka uwinguni na msichana huokotwa ndipo hawa wawili watengwe hivyo? Mtoto wa kike akimshinda waladi katika mashindano yoyote yale, waladi hukemewa akiambiwa kuwa haifai msichana amshinde. Hiyo ni haki kweli, eti kiumbe mmoja aonwe duni kwa mwingine? Mgala muue na haki umpe jamni. Akili ni nywele na kila mtu ana zake. Inachoma moyo waja wanenapo kuwa mwanamke ni mbumbumbu katika masomo ya sayansi. Huu ni uongo mtupu! Kufaulu katika somo fulani kunategemea mtu binafsi na kiwango chake cha kuelewa, awe mwanamke au mwanamume. Hakuna ubaguzi! Wasichana wawashindapo wanaume kwenye mitihani ya kitaifa, habari zaidi hutolewa kwamba " lakini wavulana waliwashinda kwenye masomo ya sayansi." Nani alisema kuwa walishindwa kwa sababu wao ni wanawake? Hii propaganda tupu. Ikumbukwe kuwa, asiyekubali kushindwa si mshindani kamwe. Kwa wale ambao hawakuangukiwa na nyota ya rehema, elimu yao hukomea pale nyumbani. Kumpeleka msichana shuleni huonekana kama hasara. Inasahaulika kuwa, kumuelimisha mwanamke ni kuielimisha jamii nzima. Hebu tujiulize ni kwa nini. Mwalimu wakwanza katika maisha ya kila mmoja wetu ni mama. Amleavyo mtoto, ndivyo akuavyo. Ikiwa mama hatayaelewa maisha yalivyo, bila shaka mtoto naye hatayaelewa. Si haki msichana kukomeshwa shule ili ndugu zake wa kiume waendelee na masomo karo ikosekanapo. Ni huzuni zaidi kiumbe huyu atumiwapo kama kifaa cha kutajirisha wazee wake kwa kuozwa; zaidi, kwa mtu ambaye hampendi! Aliyesema kuwa mwanamke afanyaye kazi afisini hana tabu, haelewi kamwwe ina maana gani kumwaga mafuta mtungi uliotiwa maji. Haoni kuwa, mwanamke huyu na mfanyikazi mwenzake wa kiume hawawezi kuungana na kushirikiana;kuna tofauti. " Haifai mwanamke kutengana na jiko, basi itawezekanaje afanye kazi sawa na mwanamume?" Ndiyo imani wanaume wengi waliyonayo. Aghalabu, wanawake hawa inawabidi wafanye uchaguzi: kupoteza kazi, ambayo labda ni maisha yao, au kupoteza heshima yao. Wengi huchagua kazi na jambo hili huwaathiri katika maisha yao. Hufanya kidonda ambacho hakiwezi kupona. Ndoa ndio mzizi mkubwa wa tabu zinazowakumba wanawake. Wao hununuliwa badala ya kuolewa. Na kwa sababu hii hufanywa kuwa mali ya waume zao, wala si wake; kinyume na matarajio. Huonwa kama wahshi, na ndio maana hawashughulishwi katika majadiliano yanayohusu familia zao. Hawaruhusiwi kuchangia katika mipango ya maendeleo. Wao ni kama watumishi, wapewe amri, na wazitii. Hawana uhuru wa kutoa maoni yao. Kutembelea marafiki ni jambo lisilosikika. Hawawezi kufanya jambo lolote bila idhini ya waume zao. Huchungwa vile kuku awafanyavyo vifaranga wake. Tofauti ni kwamba, mwanamume ni kudhibiti kwa ubaya. Waama, maisha haya si ya kutamanika. Ikiwa bwana huyu na bibi yake wamebarikiwa na watoto, kazi ya kuwalea wawe binadamu kamili ni ya mama. Ni juu yake kuhakikisha kuwa wameshiba, wamevaa vizuri na ni wasafi. Watoto hawa wakiwa na nidhamu na wakifaulu, huwa ni watoto wa baba. Lakini wakikosa nidhamu, hufananishwa na mama yao. Je, huu ni uungwana? Kwa nini mambo yote mabaya yalinganishwe na mwanamke? Ikiwa mwanamke humtegemea mumewe kutimiza haja zake, huona tabu. Zaidi, ikiwa huyo bwana ni mlevi. Wanaume wa namna hii huzitupa familia zao na kuendelea kuponda raha. Hawakumbuki chakula na karo vyahitajika nyumbani. Ni juu ya mwanamke huyu kumenyeka angaa watoto wake waendelee kupumua. Huyu bwana akiwa katika siku za mwambo 'huwakumbuka' watu wake na hapo ndipo hurudi nyumbani kuongeza mzigo kwa mzigo mwingine. Alifajiri na mapema, bwana akiwa amelala, mama ameshaamka kumtayarishia kiamsha kinywa na maji ya kuoga. Nguo zake zipigwe pasi, watoto watayarishwe kwenda shule na ahakikishe kuwa nyumba imepigwa deki na kupangwa. Ikumbukwe kuwa hata yeye mwenyewe anatakikana afike kazini mapema, iwe ya kuajiriwa au ya kujiajiri mwenyewe. Asipofanya hivyo, hutolewa matusi mbele ya watoto. Mbele ya watoto jamani! Watoto hawa hukua wakijua yakuwa, mama yao ni mvivu tena wahshi. Kwenye vipindi vingi vionyeshwavyo katika runinga, aghalabu mwanamke huchorwa kama kiumbe muovu ambaye huvunja jamii. Malenga na manju hawampi amani hata. Tungo za wanawake walio na macho ya nje hutolewa. Neno kahaba litajwapo, taswira apatayo mtu ni mwanamke aliyejipamba akapambika; kisha nusu kavaa, nusu yu uchi. Kwani lazima kahaba awe ni mwanamke tu? Itakuwa ni miujiza ikiwa mwanamke atarithi mali ya wazee wake wanapomaliza safari yao. Arithiye ni waladi, bali si msichana. Badala yake, ni mwanamke kurithiwa bwana akienda ahera. Mwanamke hana haki ya kumiliki mali, hata yaliyo yake hufanywa ya mumewe. Yafaa watoto wa kike na waladi wawe na haki sawa ya kurithi mali ya wazee wao. Mwanamke huonwa kama kiumbe hafifu, ambacho hakiwezi kuongoza. Katika bunge, asilimia ya wabunge wakike ni ndogo sana, ikilinganishwa na ile ya wanaume. Shida hii huendeleahadi kazini ambapo mwanamke hawezi kuwa kiongozi wa mwanamume. Wanaokubali ni wale ambao hawana jingine la kufanya. Kule kumuona mwanamke kama kiumbe hafifu kumehatarisha maisha yake. Hana usalama wowote. Mwanzoni mwaka jana, gazeti la "Nation" liliripoti kisa juu ya mwanamke aliyekatwa kichwa na mumewe. Gazeti lilo hilo likaripoti kisa kingine cha mtoto mdogo msichana kunajisiwa na mwanamume mwenye umri sawa na wa babake. Mwanamke mwingine aliripotiwa kujeruhiwa kwa upanga na mumewe baada ya kuimba wimbo wa "Ndombolo." Katika habari nyingine, wasichana wawili walinajisiwa;mmoja mwenye umri wa miaka kumina mitatu, na mwingine miaka minne unusu tu. Je, heshima,uhuru na usalama wa mwanamke vi wapi?
Mtoto wa kike akimshinda waladi katika mashindano mbona waladi hukemewa
{ "text": [ "haifai msichana amshinde" ] }
0019_swa
NAFASI YA MWANAMKE KATIKA JAMII Kuzaliwa mwanamke ni laana katika ulimwengu huu uliotawalwa na wanaume. Wao huteswa na kunyanyaswa bila ya masilahi yao kutiliwa maanani. Huu ni ubinafsi na ubinafsi huvunja jamii. Waja haoni kuwa tofauti iliyopa baina ya viumbe hawa wawili ni ile ya kimaumbile tu na hivyo hapana haja ya kuwanyanyasa wanawake. Wao huishikatika dunia moja,hewa wapumuayo ni sawa, ndio maana wote kwa pamoja huitwa binadamu. Ni jambo la kuhuzunisha kuona kwamba azaliwapo waladi, yeye hupokelewa katika jamii kwa shangwe kubwa zaida ya mtoto wa kike. Ni kama mtoto wa kike huleta laana katika jamii. Watoto hawa wawili hukulia katika mazingira tofauti kabisa, mazingira yaliyotengwa kwa bahari, bahari ambayo haivukiki. Huku waladi akilelewa katika hali ya juu na kwa uangalifu, kwa madai kuwa yeye ndiye kiongozi wa siku za usoni,wa kike hatunzwi vyema. Hunyimwa vyakula muhimu eti wasichana hawafai kula vyakula hivyo. Kwani waladi hudondoshwa kutoka uwinguni na msichana huokotwa ndipo hawa wawili watengwe hivyo? Mtoto wa kike akimshinda waladi katika mashindano yoyote yale, waladi hukemewa akiambiwa kuwa haifai msichana amshinde. Hiyo ni haki kweli, eti kiumbe mmoja aonwe duni kwa mwingine? Mgala muue na haki umpe jamni. Akili ni nywele na kila mtu ana zake. Inachoma moyo waja wanenapo kuwa mwanamke ni mbumbumbu katika masomo ya sayansi. Huu ni uongo mtupu! Kufaulu katika somo fulani kunategemea mtu binafsi na kiwango chake cha kuelewa, awe mwanamke au mwanamume. Hakuna ubaguzi! Wasichana wawashindapo wanaume kwenye mitihani ya kitaifa, habari zaidi hutolewa kwamba " lakini wavulana waliwashinda kwenye masomo ya sayansi." Nani alisema kuwa walishindwa kwa sababu wao ni wanawake? Hii propaganda tupu. Ikumbukwe kuwa, asiyekubali kushindwa si mshindani kamwe. Kwa wale ambao hawakuangukiwa na nyota ya rehema, elimu yao hukomea pale nyumbani. Kumpeleka msichana shuleni huonekana kama hasara. Inasahaulika kuwa, kumuelimisha mwanamke ni kuielimisha jamii nzima. Hebu tujiulize ni kwa nini. Mwalimu wakwanza katika maisha ya kila mmoja wetu ni mama. Amleavyo mtoto, ndivyo akuavyo. Ikiwa mama hatayaelewa maisha yalivyo, bila shaka mtoto naye hatayaelewa. Si haki msichana kukomeshwa shule ili ndugu zake wa kiume waendelee na masomo karo ikosekanapo. Ni huzuni zaidi kiumbe huyu atumiwapo kama kifaa cha kutajirisha wazee wake kwa kuozwa; zaidi, kwa mtu ambaye hampendi! Aliyesema kuwa mwanamke afanyaye kazi afisini hana tabu, haelewi kamwwe ina maana gani kumwaga mafuta mtungi uliotiwa maji. Haoni kuwa, mwanamke huyu na mfanyikazi mwenzake wa kiume hawawezi kuungana na kushirikiana;kuna tofauti. " Haifai mwanamke kutengana na jiko, basi itawezekanaje afanye kazi sawa na mwanamume?" Ndiyo imani wanaume wengi waliyonayo. Aghalabu, wanawake hawa inawabidi wafanye uchaguzi: kupoteza kazi, ambayo labda ni maisha yao, au kupoteza heshima yao. Wengi huchagua kazi na jambo hili huwaathiri katika maisha yao. Hufanya kidonda ambacho hakiwezi kupona. Ndoa ndio mzizi mkubwa wa tabu zinazowakumba wanawake. Wao hununuliwa badala ya kuolewa. Na kwa sababu hii hufanywa kuwa mali ya waume zao, wala si wake; kinyume na matarajio. Huonwa kama wahshi, na ndio maana hawashughulishwi katika majadiliano yanayohusu familia zao. Hawaruhusiwi kuchangia katika mipango ya maendeleo. Wao ni kama watumishi, wapewe amri, na wazitii. Hawana uhuru wa kutoa maoni yao. Kutembelea marafiki ni jambo lisilosikika. Hawawezi kufanya jambo lolote bila idhini ya waume zao. Huchungwa vile kuku awafanyavyo vifaranga wake. Tofauti ni kwamba, mwanamume ni kudhibiti kwa ubaya. Waama, maisha haya si ya kutamanika. Ikiwa bwana huyu na bibi yake wamebarikiwa na watoto, kazi ya kuwalea wawe binadamu kamili ni ya mama. Ni juu yake kuhakikisha kuwa wameshiba, wamevaa vizuri na ni wasafi. Watoto hawa wakiwa na nidhamu na wakifaulu, huwa ni watoto wa baba. Lakini wakikosa nidhamu, hufananishwa na mama yao. Je, huu ni uungwana? Kwa nini mambo yote mabaya yalinganishwe na mwanamke? Ikiwa mwanamke humtegemea mumewe kutimiza haja zake, huona tabu. Zaidi, ikiwa huyo bwana ni mlevi. Wanaume wa namna hii huzitupa familia zao na kuendelea kuponda raha. Hawakumbuki chakula na karo vyahitajika nyumbani. Ni juu ya mwanamke huyu kumenyeka angaa watoto wake waendelee kupumua. Huyu bwana akiwa katika siku za mwambo 'huwakumbuka' watu wake na hapo ndipo hurudi nyumbani kuongeza mzigo kwa mzigo mwingine. Alifajiri na mapema, bwana akiwa amelala, mama ameshaamka kumtayarishia kiamsha kinywa na maji ya kuoga. Nguo zake zipigwe pasi, watoto watayarishwe kwenda shule na ahakikishe kuwa nyumba imepigwa deki na kupangwa. Ikumbukwe kuwa hata yeye mwenyewe anatakikana afike kazini mapema, iwe ya kuajiriwa au ya kujiajiri mwenyewe. Asipofanya hivyo, hutolewa matusi mbele ya watoto. Mbele ya watoto jamani! Watoto hawa hukua wakijua yakuwa, mama yao ni mvivu tena wahshi. Kwenye vipindi vingi vionyeshwavyo katika runinga, aghalabu mwanamke huchorwa kama kiumbe muovu ambaye huvunja jamii. Malenga na manju hawampi amani hata. Tungo za wanawake walio na macho ya nje hutolewa. Neno kahaba litajwapo, taswira apatayo mtu ni mwanamke aliyejipamba akapambika; kisha nusu kavaa, nusu yu uchi. Kwani lazima kahaba awe ni mwanamke tu? Itakuwa ni miujiza ikiwa mwanamke atarithi mali ya wazee wake wanapomaliza safari yao. Arithiye ni waladi, bali si msichana. Badala yake, ni mwanamke kurithiwa bwana akienda ahera. Mwanamke hana haki ya kumiliki mali, hata yaliyo yake hufanywa ya mumewe. Yafaa watoto wa kike na waladi wawe na haki sawa ya kurithi mali ya wazee wao. Mwanamke huonwa kama kiumbe hafifu, ambacho hakiwezi kuongoza. Katika bunge, asilimia ya wabunge wakike ni ndogo sana, ikilinganishwa na ile ya wanaume. Shida hii huendeleahadi kazini ambapo mwanamke hawezi kuwa kiongozi wa mwanamume. Wanaokubali ni wale ambao hawana jingine la kufanya. Kule kumuona mwanamke kama kiumbe hafifu kumehatarisha maisha yake. Hana usalama wowote. Mwanzoni mwaka jana, gazeti la "Nation" liliripoti kisa juu ya mwanamke aliyekatwa kichwa na mumewe. Gazeti lilo hilo likaripoti kisa kingine cha mtoto mdogo msichana kunajisiwa na mwanamume mwenye umri sawa na wa babake. Mwanamke mwingine aliripotiwa kujeruhiwa kwa upanga na mumewe baada ya kuimba wimbo wa "Ndombolo." Katika habari nyingine, wasichana wawili walinajisiwa;mmoja mwenye umri wa miaka kumina mitatu, na mwingine miaka minne unusu tu. Je, heshima,uhuru na usalama wa mwanamke vi wapi?
Ni nini mzizi wa tabu zinazowakumba wanawake
{ "text": [ "Ndoa" ] }
0019_swa
NAFASI YA MWANAMKE KATIKA JAMII Kuzaliwa mwanamke ni laana katika ulimwengu huu uliotawalwa na wanaume. Wao huteswa na kunyanyaswa bila ya masilahi yao kutiliwa maanani. Huu ni ubinafsi na ubinafsi huvunja jamii. Waja haoni kuwa tofauti iliyopa baina ya viumbe hawa wawili ni ile ya kimaumbile tu na hivyo hapana haja ya kuwanyanyasa wanawake. Wao huishikatika dunia moja,hewa wapumuayo ni sawa, ndio maana wote kwa pamoja huitwa binadamu. Ni jambo la kuhuzunisha kuona kwamba azaliwapo waladi, yeye hupokelewa katika jamii kwa shangwe kubwa zaida ya mtoto wa kike. Ni kama mtoto wa kike huleta laana katika jamii. Watoto hawa wawili hukulia katika mazingira tofauti kabisa, mazingira yaliyotengwa kwa bahari, bahari ambayo haivukiki. Huku waladi akilelewa katika hali ya juu na kwa uangalifu, kwa madai kuwa yeye ndiye kiongozi wa siku za usoni,wa kike hatunzwi vyema. Hunyimwa vyakula muhimu eti wasichana hawafai kula vyakula hivyo. Kwani waladi hudondoshwa kutoka uwinguni na msichana huokotwa ndipo hawa wawili watengwe hivyo? Mtoto wa kike akimshinda waladi katika mashindano yoyote yale, waladi hukemewa akiambiwa kuwa haifai msichana amshinde. Hiyo ni haki kweli, eti kiumbe mmoja aonwe duni kwa mwingine? Mgala muue na haki umpe jamni. Akili ni nywele na kila mtu ana zake. Inachoma moyo waja wanenapo kuwa mwanamke ni mbumbumbu katika masomo ya sayansi. Huu ni uongo mtupu! Kufaulu katika somo fulani kunategemea mtu binafsi na kiwango chake cha kuelewa, awe mwanamke au mwanamume. Hakuna ubaguzi! Wasichana wawashindapo wanaume kwenye mitihani ya kitaifa, habari zaidi hutolewa kwamba " lakini wavulana waliwashinda kwenye masomo ya sayansi." Nani alisema kuwa walishindwa kwa sababu wao ni wanawake? Hii propaganda tupu. Ikumbukwe kuwa, asiyekubali kushindwa si mshindani kamwe. Kwa wale ambao hawakuangukiwa na nyota ya rehema, elimu yao hukomea pale nyumbani. Kumpeleka msichana shuleni huonekana kama hasara. Inasahaulika kuwa, kumuelimisha mwanamke ni kuielimisha jamii nzima. Hebu tujiulize ni kwa nini. Mwalimu wakwanza katika maisha ya kila mmoja wetu ni mama. Amleavyo mtoto, ndivyo akuavyo. Ikiwa mama hatayaelewa maisha yalivyo, bila shaka mtoto naye hatayaelewa. Si haki msichana kukomeshwa shule ili ndugu zake wa kiume waendelee na masomo karo ikosekanapo. Ni huzuni zaidi kiumbe huyu atumiwapo kama kifaa cha kutajirisha wazee wake kwa kuozwa; zaidi, kwa mtu ambaye hampendi! Aliyesema kuwa mwanamke afanyaye kazi afisini hana tabu, haelewi kamwwe ina maana gani kumwaga mafuta mtungi uliotiwa maji. Haoni kuwa, mwanamke huyu na mfanyikazi mwenzake wa kiume hawawezi kuungana na kushirikiana;kuna tofauti. " Haifai mwanamke kutengana na jiko, basi itawezekanaje afanye kazi sawa na mwanamume?" Ndiyo imani wanaume wengi waliyonayo. Aghalabu, wanawake hawa inawabidi wafanye uchaguzi: kupoteza kazi, ambayo labda ni maisha yao, au kupoteza heshima yao. Wengi huchagua kazi na jambo hili huwaathiri katika maisha yao. Hufanya kidonda ambacho hakiwezi kupona. Ndoa ndio mzizi mkubwa wa tabu zinazowakumba wanawake. Wao hununuliwa badala ya kuolewa. Na kwa sababu hii hufanywa kuwa mali ya waume zao, wala si wake; kinyume na matarajio. Huonwa kama wahshi, na ndio maana hawashughulishwi katika majadiliano yanayohusu familia zao. Hawaruhusiwi kuchangia katika mipango ya maendeleo. Wao ni kama watumishi, wapewe amri, na wazitii. Hawana uhuru wa kutoa maoni yao. Kutembelea marafiki ni jambo lisilosikika. Hawawezi kufanya jambo lolote bila idhini ya waume zao. Huchungwa vile kuku awafanyavyo vifaranga wake. Tofauti ni kwamba, mwanamume ni kudhibiti kwa ubaya. Waama, maisha haya si ya kutamanika. Ikiwa bwana huyu na bibi yake wamebarikiwa na watoto, kazi ya kuwalea wawe binadamu kamili ni ya mama. Ni juu yake kuhakikisha kuwa wameshiba, wamevaa vizuri na ni wasafi. Watoto hawa wakiwa na nidhamu na wakifaulu, huwa ni watoto wa baba. Lakini wakikosa nidhamu, hufananishwa na mama yao. Je, huu ni uungwana? Kwa nini mambo yote mabaya yalinganishwe na mwanamke? Ikiwa mwanamke humtegemea mumewe kutimiza haja zake, huona tabu. Zaidi, ikiwa huyo bwana ni mlevi. Wanaume wa namna hii huzitupa familia zao na kuendelea kuponda raha. Hawakumbuki chakula na karo vyahitajika nyumbani. Ni juu ya mwanamke huyu kumenyeka angaa watoto wake waendelee kupumua. Huyu bwana akiwa katika siku za mwambo 'huwakumbuka' watu wake na hapo ndipo hurudi nyumbani kuongeza mzigo kwa mzigo mwingine. Alifajiri na mapema, bwana akiwa amelala, mama ameshaamka kumtayarishia kiamsha kinywa na maji ya kuoga. Nguo zake zipigwe pasi, watoto watayarishwe kwenda shule na ahakikishe kuwa nyumba imepigwa deki na kupangwa. Ikumbukwe kuwa hata yeye mwenyewe anatakikana afike kazini mapema, iwe ya kuajiriwa au ya kujiajiri mwenyewe. Asipofanya hivyo, hutolewa matusi mbele ya watoto. Mbele ya watoto jamani! Watoto hawa hukua wakijua yakuwa, mama yao ni mvivu tena wahshi. Kwenye vipindi vingi vionyeshwavyo katika runinga, aghalabu mwanamke huchorwa kama kiumbe muovu ambaye huvunja jamii. Malenga na manju hawampi amani hata. Tungo za wanawake walio na macho ya nje hutolewa. Neno kahaba litajwapo, taswira apatayo mtu ni mwanamke aliyejipamba akapambika; kisha nusu kavaa, nusu yu uchi. Kwani lazima kahaba awe ni mwanamke tu? Itakuwa ni miujiza ikiwa mwanamke atarithi mali ya wazee wake wanapomaliza safari yao. Arithiye ni waladi, bali si msichana. Badala yake, ni mwanamke kurithiwa bwana akienda ahera. Mwanamke hana haki ya kumiliki mali, hata yaliyo yake hufanywa ya mumewe. Yafaa watoto wa kike na waladi wawe na haki sawa ya kurithi mali ya wazee wao. Mwanamke huonwa kama kiumbe hafifu, ambacho hakiwezi kuongoza. Katika bunge, asilimia ya wabunge wakike ni ndogo sana, ikilinganishwa na ile ya wanaume. Shida hii huendeleahadi kazini ambapo mwanamke hawezi kuwa kiongozi wa mwanamume. Wanaokubali ni wale ambao hawana jingine la kufanya. Kule kumuona mwanamke kama kiumbe hafifu kumehatarisha maisha yake. Hana usalama wowote. Mwanzoni mwaka jana, gazeti la "Nation" liliripoti kisa juu ya mwanamke aliyekatwa kichwa na mumewe. Gazeti lilo hilo likaripoti kisa kingine cha mtoto mdogo msichana kunajisiwa na mwanamume mwenye umri sawa na wa babake. Mwanamke mwingine aliripotiwa kujeruhiwa kwa upanga na mumewe baada ya kuimba wimbo wa "Ndombolo." Katika habari nyingine, wasichana wawili walinajisiwa;mmoja mwenye umri wa miaka kumina mitatu, na mwingine miaka minne unusu tu. Je, heshima,uhuru na usalama wa mwanamke vi wapi?
mwanamke huchorwa vipi kwenye vipindi vionyeshwavyo katika runinga
{ "text": [ "huchorwa kama kiumbe muovu ambaye huvunja jamii" ] }
0021_swa
Bara la Africa lina nafasi bora zaidi ya mabara mengine ulimwenguni katika kujiendeleza kiuchumi. Hii ni kwa kuwa wengi wa raia wa nchi za Afrika huwa ni vijana. Asilimia kubwa ya watu katika kila taifa la Afrika huwa ni ya vijana wenye nguvu na nafasi bora zaidi ya kuendeleza uchumi. Hivyo sivyo katika mabara mengine kama vile Ulaya, ambako idadi kubwa ya watu wake ni wazee. Ni muhimu kwa Afrika kutambua nafasi bora iliyoko na kushughulikia kikamilifu ili kufadaika. Japo hayo ni kweli, ifahamike kuwa vijana hawawezi kuwa lolote ikiwa hawataandaliwa vilivyo ili kupata maarifa na nyenzo bora za kuendeleza uchumi. Kunazo njia maridhawa za kuwaimarisha vijana. Kama tujuavyo elimu ni moja kati ya njia hizo kuu. Ni ukweli usiopingika kuwa vijana wanapopewa elimu ya kutosha huibuka kuwa miangaza inayomulika gizani kukawa kweupe pepepe. Kupitia katika elimu, vijana wanaweza kutambua mengi ambayo yanaweza kutumika kukemea umaskini na matatizo yanayotukodolea macho kila uchao. Jambo linalovunja moyo ni kwamba vijana wengi wa Afrika wamekumbwa na vikwazo kadhaa katika juhudi zao za kujiimarisha. Wengine wao huridhika na elimu mapema baada ya kumaliza darasa la nane. Ni wakati huo ambapo vijana kama hao hudhani wanaweza kuoa na kuanzisha familia yao. Hawajui kuwa watoto kama wao kuanza kukimu familia ni kujichimbia kaburi la ufukara fukarike. Utawasikia wengine wakisingizia kuwa hawataki kusoma kwani wazazi wao ni maskini. Wanadai kuwa hakuna haja ya kufanya bidii kwani hata wakipita mitihani hawatapata kulipiwa karo na wazazi wao chuoni. Huu ni uongo mtupu kwani tumewahi kuona watoto wengi maskini wanaopita mitihani na kupata wadhamini wa masomo yao katika shule za upili na vyuo vikuu. Ni muhimu kwa vijana kufahamu kuwa hata kama hawakufanya vyema katika mitihani yao ya kitaifa, wanaweza kujiunga na vyuo vya ufundi anuwai na kujipatia maarifa yanayoweza kuwapa kazi. Serikali na jamii ina wajibu katika kuimarisha vijana wetu. Nafasi za kazi kwa vijana zinafaa kubuniwa na miradi mbalimbali ya kuwaauni vijana inafaa kufunguliwa. Wale mafisadi wenye mate ya fisi wanaovuja hela zilizotengewa vijana wanafaa kutiwa mbaroni na kufikishwa mahakamani. Nafasi adimu za kazi zilizoko katika serikali zisiwe tu za wazee bali pia vijana wetu wapewe mgao wao. Vilevile, vijana wasibague kazi kwani kazi ni kazi. Wasikimbilie mijini wakidhani kuwa huko watapata kazi za hadhi. Wanaweza kubuni na kushiriki kilimo mashambani na kujipatia hela si kichele. Kwa kufanya hayo yote na mengine, vijana wetu wataweza kutoa mchango wao kikamilifu na kuondoa giza la umaskini linalokumba Afrika. Maswali 1. Katika aya ya kwanza mwandishi anasema yafuatayo isipokuwa ____________________ A. Bara la Afrika lina nafasi bora ya kujiendeleza kiuchumi B.Vijana pekee ndiowenye nguvu na nafasi ya kuendeleza uchumi C.Matifa ya ulaya yana vijana wachache kuliko wazee. D.Vijana huwa na nishati za kutekeleza mengi wapewapo nafasi. 2.Katika aya ya pili mwandishi anasema____________________ A.Kwa sasa hakuna faida yoyote ya kiuchumi Afrika itokanayo na vijana B.Afrika imepiga hatua kuu kimaendeleo kwani vijana wake wana nguvu. C.Vijana wanafaa kutekelezwa katika miradi ya maendeleo. D.Vijana wanafaa kupewa mbinu na maarifa ili wanufaishe jamii. 3.Njia kuu ya kuimarisha vijana ni____________________ A.Kuwapeleka katika vyuo vya ufundi. B.Kuwapa nafasi vya uongozi serikalini. C.Kuwapa elimu na maarifa. D.Kuwapa kazi mashambani na mijini 4.Maneno,"matatizo yanatukodolea macho"ni fani gani ya lugha? A.tashhisi B.tashbihi C.istiara D.kinaya 5.Vijana kuoa katika umri wao mdogo sana ni____ A.Kujipatia nafasi bora ya kuendeleza familia zao B.Kuanza kukimu familia zao kabla hawajachelewa. C.Kujitenga na wazazi ili kuweza kujiimarisha kiuchumi. D.Kujiingiza katika kina cha umaskini 6.Neno,"wadhamini"limepigiwa mstari lina maana? A.Wanaoheshimu B.Wanaowatuliza C.Wanaowasaidia D.Wanaowahimiza 7.Vyuo vya ufundi anuwai aghalabu huwapa vijana yafuatayo isipokuwa: A.Maarifa ya kiuashi B.Maarifa ya kuunganisha mitambo C.Ujuzi wa kujenga barabara. D.Ujuzi wa kufanya ulanguzi 8.Nafasi chache za kazi katika taifa letu A.Zinafaa kugawanywa sawa kwa mahirimu wote B.Zinafaa kuachiwa vijana pekee C.Zinafaa kuachiwa wazee pekee D.Hazifai kupewa yeyote. 9.Watu wenye mate ya fisi ni wale: A.Wanaopenda pesa zilizotengewa vijana B.Walio na tamaa ya mali wasiokuwa na haki yake C.Walio na tamaa ya kuwaimarisha vijana D.Walio na mielekeo chanya kuhusu vijana 10. kazi ya hadhi ni zile ambazo A. Zipatikanazo mjini pekee B. Zinazodhaniwa kuwa za heshima C. Zinazofanywa katika mitaa ya vitongoji vya miji. D. Zinazofanywa na kuleta hela nyingi.
Bara ipi ina nafasi bora kujiendeleza kiuchumi?q
{ "text": [ "Afika" ] }
0021_swa
Bara la Africa lina nafasi bora zaidi ya mabara mengine ulimwenguni katika kujiendeleza kiuchumi. Hii ni kwa kuwa wengi wa raia wa nchi za Afrika huwa ni vijana. Asilimia kubwa ya watu katika kila taifa la Afrika huwa ni ya vijana wenye nguvu na nafasi bora zaidi ya kuendeleza uchumi. Hivyo sivyo katika mabara mengine kama vile Ulaya, ambako idadi kubwa ya watu wake ni wazee. Ni muhimu kwa Afrika kutambua nafasi bora iliyoko na kushughulikia kikamilifu ili kufadaika. Japo hayo ni kweli, ifahamike kuwa vijana hawawezi kuwa lolote ikiwa hawataandaliwa vilivyo ili kupata maarifa na nyenzo bora za kuendeleza uchumi. Kunazo njia maridhawa za kuwaimarisha vijana. Kama tujuavyo elimu ni moja kati ya njia hizo kuu. Ni ukweli usiopingika kuwa vijana wanapopewa elimu ya kutosha huibuka kuwa miangaza inayomulika gizani kukawa kweupe pepepe. Kupitia katika elimu, vijana wanaweza kutambua mengi ambayo yanaweza kutumika kukemea umaskini na matatizo yanayotukodolea macho kila uchao. Jambo linalovunja moyo ni kwamba vijana wengi wa Afrika wamekumbwa na vikwazo kadhaa katika juhudi zao za kujiimarisha. Wengine wao huridhika na elimu mapema baada ya kumaliza darasa la nane. Ni wakati huo ambapo vijana kama hao hudhani wanaweza kuoa na kuanzisha familia yao. Hawajui kuwa watoto kama wao kuanza kukimu familia ni kujichimbia kaburi la ufukara fukarike. Utawasikia wengine wakisingizia kuwa hawataki kusoma kwani wazazi wao ni maskini. Wanadai kuwa hakuna haja ya kufanya bidii kwani hata wakipita mitihani hawatapata kulipiwa karo na wazazi wao chuoni. Huu ni uongo mtupu kwani tumewahi kuona watoto wengi maskini wanaopita mitihani na kupata wadhamini wa masomo yao katika shule za upili na vyuo vikuu. Ni muhimu kwa vijana kufahamu kuwa hata kama hawakufanya vyema katika mitihani yao ya kitaifa, wanaweza kujiunga na vyuo vya ufundi anuwai na kujipatia maarifa yanayoweza kuwapa kazi. Serikali na jamii ina wajibu katika kuimarisha vijana wetu. Nafasi za kazi kwa vijana zinafaa kubuniwa na miradi mbalimbali ya kuwaauni vijana inafaa kufunguliwa. Wale mafisadi wenye mate ya fisi wanaovuja hela zilizotengewa vijana wanafaa kutiwa mbaroni na kufikishwa mahakamani. Nafasi adimu za kazi zilizoko katika serikali zisiwe tu za wazee bali pia vijana wetu wapewe mgao wao. Vilevile, vijana wasibague kazi kwani kazi ni kazi. Wasikimbilie mijini wakidhani kuwa huko watapata kazi za hadhi. Wanaweza kubuni na kushiriki kilimo mashambani na kujipatia hela si kichele. Kwa kufanya hayo yote na mengine, vijana wetu wataweza kutoa mchango wao kikamilifu na kuondoa giza la umaskini linalokumba Afrika. Maswali 1. Katika aya ya kwanza mwandishi anasema yafuatayo isipokuwa ____________________ A. Bara la Afrika lina nafasi bora ya kujiendeleza kiuchumi B.Vijana pekee ndiowenye nguvu na nafasi ya kuendeleza uchumi C.Matifa ya ulaya yana vijana wachache kuliko wazee. D.Vijana huwa na nishati za kutekeleza mengi wapewapo nafasi. 2.Katika aya ya pili mwandishi anasema____________________ A.Kwa sasa hakuna faida yoyote ya kiuchumi Afrika itokanayo na vijana B.Afrika imepiga hatua kuu kimaendeleo kwani vijana wake wana nguvu. C.Vijana wanafaa kutekelezwa katika miradi ya maendeleo. D.Vijana wanafaa kupewa mbinu na maarifa ili wanufaishe jamii. 3.Njia kuu ya kuimarisha vijana ni____________________ A.Kuwapeleka katika vyuo vya ufundi. B.Kuwapa nafasi vya uongozi serikalini. C.Kuwapa elimu na maarifa. D.Kuwapa kazi mashambani na mijini 4.Maneno,"matatizo yanatukodolea macho"ni fani gani ya lugha? A.tashhisi B.tashbihi C.istiara D.kinaya 5.Vijana kuoa katika umri wao mdogo sana ni____ A.Kujipatia nafasi bora ya kuendeleza familia zao B.Kuanza kukimu familia zao kabla hawajachelewa. C.Kujitenga na wazazi ili kuweza kujiimarisha kiuchumi. D.Kujiingiza katika kina cha umaskini 6.Neno,"wadhamini"limepigiwa mstari lina maana? A.Wanaoheshimu B.Wanaowatuliza C.Wanaowasaidia D.Wanaowahimiza 7.Vyuo vya ufundi anuwai aghalabu huwapa vijana yafuatayo isipokuwa: A.Maarifa ya kiuashi B.Maarifa ya kuunganisha mitambo C.Ujuzi wa kujenga barabara. D.Ujuzi wa kufanya ulanguzi 8.Nafasi chache za kazi katika taifa letu A.Zinafaa kugawanywa sawa kwa mahirimu wote B.Zinafaa kuachiwa vijana pekee C.Zinafaa kuachiwa wazee pekee D.Hazifai kupewa yeyote. 9.Watu wenye mate ya fisi ni wale: A.Wanaopenda pesa zilizotengewa vijana B.Walio na tamaa ya mali wasiokuwa na haki yake C.Walio na tamaa ya kuwaimarisha vijana D.Walio na mielekeo chanya kuhusu vijana 10. kazi ya hadhi ni zile ambazo A. Zipatikanazo mjini pekee B. Zinazodhaniwa kuwa za heshima C. Zinazofanywa katika mitaa ya vitongoji vya miji. D. Zinazofanywa na kuleta hela nyingi.
Raia wengi wa nchi za Afrika ni kina nani?
{ "text": [ "Vijana" ] }
0021_swa
Bara la Africa lina nafasi bora zaidi ya mabara mengine ulimwenguni katika kujiendeleza kiuchumi. Hii ni kwa kuwa wengi wa raia wa nchi za Afrika huwa ni vijana. Asilimia kubwa ya watu katika kila taifa la Afrika huwa ni ya vijana wenye nguvu na nafasi bora zaidi ya kuendeleza uchumi. Hivyo sivyo katika mabara mengine kama vile Ulaya, ambako idadi kubwa ya watu wake ni wazee. Ni muhimu kwa Afrika kutambua nafasi bora iliyoko na kushughulikia kikamilifu ili kufadaika. Japo hayo ni kweli, ifahamike kuwa vijana hawawezi kuwa lolote ikiwa hawataandaliwa vilivyo ili kupata maarifa na nyenzo bora za kuendeleza uchumi. Kunazo njia maridhawa za kuwaimarisha vijana. Kama tujuavyo elimu ni moja kati ya njia hizo kuu. Ni ukweli usiopingika kuwa vijana wanapopewa elimu ya kutosha huibuka kuwa miangaza inayomulika gizani kukawa kweupe pepepe. Kupitia katika elimu, vijana wanaweza kutambua mengi ambayo yanaweza kutumika kukemea umaskini na matatizo yanayotukodolea macho kila uchao. Jambo linalovunja moyo ni kwamba vijana wengi wa Afrika wamekumbwa na vikwazo kadhaa katika juhudi zao za kujiimarisha. Wengine wao huridhika na elimu mapema baada ya kumaliza darasa la nane. Ni wakati huo ambapo vijana kama hao hudhani wanaweza kuoa na kuanzisha familia yao. Hawajui kuwa watoto kama wao kuanza kukimu familia ni kujichimbia kaburi la ufukara fukarike. Utawasikia wengine wakisingizia kuwa hawataki kusoma kwani wazazi wao ni maskini. Wanadai kuwa hakuna haja ya kufanya bidii kwani hata wakipita mitihani hawatapata kulipiwa karo na wazazi wao chuoni. Huu ni uongo mtupu kwani tumewahi kuona watoto wengi maskini wanaopita mitihani na kupata wadhamini wa masomo yao katika shule za upili na vyuo vikuu. Ni muhimu kwa vijana kufahamu kuwa hata kama hawakufanya vyema katika mitihani yao ya kitaifa, wanaweza kujiunga na vyuo vya ufundi anuwai na kujipatia maarifa yanayoweza kuwapa kazi. Serikali na jamii ina wajibu katika kuimarisha vijana wetu. Nafasi za kazi kwa vijana zinafaa kubuniwa na miradi mbalimbali ya kuwaauni vijana inafaa kufunguliwa. Wale mafisadi wenye mate ya fisi wanaovuja hela zilizotengewa vijana wanafaa kutiwa mbaroni na kufikishwa mahakamani. Nafasi adimu za kazi zilizoko katika serikali zisiwe tu za wazee bali pia vijana wetu wapewe mgao wao. Vilevile, vijana wasibague kazi kwani kazi ni kazi. Wasikimbilie mijini wakidhani kuwa huko watapata kazi za hadhi. Wanaweza kubuni na kushiriki kilimo mashambani na kujipatia hela si kichele. Kwa kufanya hayo yote na mengine, vijana wetu wataweza kutoa mchango wao kikamilifu na kuondoa giza la umaskini linalokumba Afrika. Maswali 1. Katika aya ya kwanza mwandishi anasema yafuatayo isipokuwa ____________________ A. Bara la Afrika lina nafasi bora ya kujiendeleza kiuchumi B.Vijana pekee ndiowenye nguvu na nafasi ya kuendeleza uchumi C.Matifa ya ulaya yana vijana wachache kuliko wazee. D.Vijana huwa na nishati za kutekeleza mengi wapewapo nafasi. 2.Katika aya ya pili mwandishi anasema____________________ A.Kwa sasa hakuna faida yoyote ya kiuchumi Afrika itokanayo na vijana B.Afrika imepiga hatua kuu kimaendeleo kwani vijana wake wana nguvu. C.Vijana wanafaa kutekelezwa katika miradi ya maendeleo. D.Vijana wanafaa kupewa mbinu na maarifa ili wanufaishe jamii. 3.Njia kuu ya kuimarisha vijana ni____________________ A.Kuwapeleka katika vyuo vya ufundi. B.Kuwapa nafasi vya uongozi serikalini. C.Kuwapa elimu na maarifa. D.Kuwapa kazi mashambani na mijini 4.Maneno,"matatizo yanatukodolea macho"ni fani gani ya lugha? A.tashhisi B.tashbihi C.istiara D.kinaya 5.Vijana kuoa katika umri wao mdogo sana ni____ A.Kujipatia nafasi bora ya kuendeleza familia zao B.Kuanza kukimu familia zao kabla hawajachelewa. C.Kujitenga na wazazi ili kuweza kujiimarisha kiuchumi. D.Kujiingiza katika kina cha umaskini 6.Neno,"wadhamini"limepigiwa mstari lina maana? A.Wanaoheshimu B.Wanaowatuliza C.Wanaowasaidia D.Wanaowahimiza 7.Vyuo vya ufundi anuwai aghalabu huwapa vijana yafuatayo isipokuwa: A.Maarifa ya kiuashi B.Maarifa ya kuunganisha mitambo C.Ujuzi wa kujenga barabara. D.Ujuzi wa kufanya ulanguzi 8.Nafasi chache za kazi katika taifa letu A.Zinafaa kugawanywa sawa kwa mahirimu wote B.Zinafaa kuachiwa vijana pekee C.Zinafaa kuachiwa wazee pekee D.Hazifai kupewa yeyote. 9.Watu wenye mate ya fisi ni wale: A.Wanaopenda pesa zilizotengewa vijana B.Walio na tamaa ya mali wasiokuwa na haki yake C.Walio na tamaa ya kuwaimarisha vijana D.Walio na mielekeo chanya kuhusu vijana 10. kazi ya hadhi ni zile ambazo A. Zipatikanazo mjini pekee B. Zinazodhaniwa kuwa za heshima C. Zinazofanywa katika mitaa ya vitongoji vya miji. D. Zinazofanywa na kuleta hela nyingi.
Vijana wanaweza jikuza iwapo watasaidiwa kufanya nini?
{ "text": [ "Kupata maarifa" ] }
0021_swa
Bara la Africa lina nafasi bora zaidi ya mabara mengine ulimwenguni katika kujiendeleza kiuchumi. Hii ni kwa kuwa wengi wa raia wa nchi za Afrika huwa ni vijana. Asilimia kubwa ya watu katika kila taifa la Afrika huwa ni ya vijana wenye nguvu na nafasi bora zaidi ya kuendeleza uchumi. Hivyo sivyo katika mabara mengine kama vile Ulaya, ambako idadi kubwa ya watu wake ni wazee. Ni muhimu kwa Afrika kutambua nafasi bora iliyoko na kushughulikia kikamilifu ili kufadaika. Japo hayo ni kweli, ifahamike kuwa vijana hawawezi kuwa lolote ikiwa hawataandaliwa vilivyo ili kupata maarifa na nyenzo bora za kuendeleza uchumi. Kunazo njia maridhawa za kuwaimarisha vijana. Kama tujuavyo elimu ni moja kati ya njia hizo kuu. Ni ukweli usiopingika kuwa vijana wanapopewa elimu ya kutosha huibuka kuwa miangaza inayomulika gizani kukawa kweupe pepepe. Kupitia katika elimu, vijana wanaweza kutambua mengi ambayo yanaweza kutumika kukemea umaskini na matatizo yanayotukodolea macho kila uchao. Jambo linalovunja moyo ni kwamba vijana wengi wa Afrika wamekumbwa na vikwazo kadhaa katika juhudi zao za kujiimarisha. Wengine wao huridhika na elimu mapema baada ya kumaliza darasa la nane. Ni wakati huo ambapo vijana kama hao hudhani wanaweza kuoa na kuanzisha familia yao. Hawajui kuwa watoto kama wao kuanza kukimu familia ni kujichimbia kaburi la ufukara fukarike. Utawasikia wengine wakisingizia kuwa hawataki kusoma kwani wazazi wao ni maskini. Wanadai kuwa hakuna haja ya kufanya bidii kwani hata wakipita mitihani hawatapata kulipiwa karo na wazazi wao chuoni. Huu ni uongo mtupu kwani tumewahi kuona watoto wengi maskini wanaopita mitihani na kupata wadhamini wa masomo yao katika shule za upili na vyuo vikuu. Ni muhimu kwa vijana kufahamu kuwa hata kama hawakufanya vyema katika mitihani yao ya kitaifa, wanaweza kujiunga na vyuo vya ufundi anuwai na kujipatia maarifa yanayoweza kuwapa kazi. Serikali na jamii ina wajibu katika kuimarisha vijana wetu. Nafasi za kazi kwa vijana zinafaa kubuniwa na miradi mbalimbali ya kuwaauni vijana inafaa kufunguliwa. Wale mafisadi wenye mate ya fisi wanaovuja hela zilizotengewa vijana wanafaa kutiwa mbaroni na kufikishwa mahakamani. Nafasi adimu za kazi zilizoko katika serikali zisiwe tu za wazee bali pia vijana wetu wapewe mgao wao. Vilevile, vijana wasibague kazi kwani kazi ni kazi. Wasikimbilie mijini wakidhani kuwa huko watapata kazi za hadhi. Wanaweza kubuni na kushiriki kilimo mashambani na kujipatia hela si kichele. Kwa kufanya hayo yote na mengine, vijana wetu wataweza kutoa mchango wao kikamilifu na kuondoa giza la umaskini linalokumba Afrika. Maswali 1. Katika aya ya kwanza mwandishi anasema yafuatayo isipokuwa ____________________ A. Bara la Afrika lina nafasi bora ya kujiendeleza kiuchumi B.Vijana pekee ndiowenye nguvu na nafasi ya kuendeleza uchumi C.Matifa ya ulaya yana vijana wachache kuliko wazee. D.Vijana huwa na nishati za kutekeleza mengi wapewapo nafasi. 2.Katika aya ya pili mwandishi anasema____________________ A.Kwa sasa hakuna faida yoyote ya kiuchumi Afrika itokanayo na vijana B.Afrika imepiga hatua kuu kimaendeleo kwani vijana wake wana nguvu. C.Vijana wanafaa kutekelezwa katika miradi ya maendeleo. D.Vijana wanafaa kupewa mbinu na maarifa ili wanufaishe jamii. 3.Njia kuu ya kuimarisha vijana ni____________________ A.Kuwapeleka katika vyuo vya ufundi. B.Kuwapa nafasi vya uongozi serikalini. C.Kuwapa elimu na maarifa. D.Kuwapa kazi mashambani na mijini 4.Maneno,"matatizo yanatukodolea macho"ni fani gani ya lugha? A.tashhisi B.tashbihi C.istiara D.kinaya 5.Vijana kuoa katika umri wao mdogo sana ni____ A.Kujipatia nafasi bora ya kuendeleza familia zao B.Kuanza kukimu familia zao kabla hawajachelewa. C.Kujitenga na wazazi ili kuweza kujiimarisha kiuchumi. D.Kujiingiza katika kina cha umaskini 6.Neno,"wadhamini"limepigiwa mstari lina maana? A.Wanaoheshimu B.Wanaowatuliza C.Wanaowasaidia D.Wanaowahimiza 7.Vyuo vya ufundi anuwai aghalabu huwapa vijana yafuatayo isipokuwa: A.Maarifa ya kiuashi B.Maarifa ya kuunganisha mitambo C.Ujuzi wa kujenga barabara. D.Ujuzi wa kufanya ulanguzi 8.Nafasi chache za kazi katika taifa letu A.Zinafaa kugawanywa sawa kwa mahirimu wote B.Zinafaa kuachiwa vijana pekee C.Zinafaa kuachiwa wazee pekee D.Hazifai kupewa yeyote. 9.Watu wenye mate ya fisi ni wale: A.Wanaopenda pesa zilizotengewa vijana B.Walio na tamaa ya mali wasiokuwa na haki yake C.Walio na tamaa ya kuwaimarisha vijana D.Walio na mielekeo chanya kuhusu vijana 10. kazi ya hadhi ni zile ambazo A. Zipatikanazo mjini pekee B. Zinazodhaniwa kuwa za heshima C. Zinazofanywa katika mitaa ya vitongoji vya miji. D. Zinazofanywa na kuleta hela nyingi.
Njia moja maridhawa ya kuwaimarisha vijani ni gani?
{ "text": [ "Elimu na masoma" ] }
0021_swa
Bara la Africa lina nafasi bora zaidi ya mabara mengine ulimwenguni katika kujiendeleza kiuchumi. Hii ni kwa kuwa wengi wa raia wa nchi za Afrika huwa ni vijana. Asilimia kubwa ya watu katika kila taifa la Afrika huwa ni ya vijana wenye nguvu na nafasi bora zaidi ya kuendeleza uchumi. Hivyo sivyo katika mabara mengine kama vile Ulaya, ambako idadi kubwa ya watu wake ni wazee. Ni muhimu kwa Afrika kutambua nafasi bora iliyoko na kushughulikia kikamilifu ili kufadaika. Japo hayo ni kweli, ifahamike kuwa vijana hawawezi kuwa lolote ikiwa hawataandaliwa vilivyo ili kupata maarifa na nyenzo bora za kuendeleza uchumi. Kunazo njia maridhawa za kuwaimarisha vijana. Kama tujuavyo elimu ni moja kati ya njia hizo kuu. Ni ukweli usiopingika kuwa vijana wanapopewa elimu ya kutosha huibuka kuwa miangaza inayomulika gizani kukawa kweupe pepepe. Kupitia katika elimu, vijana wanaweza kutambua mengi ambayo yanaweza kutumika kukemea umaskini na matatizo yanayotukodolea macho kila uchao. Jambo linalovunja moyo ni kwamba vijana wengi wa Afrika wamekumbwa na vikwazo kadhaa katika juhudi zao za kujiimarisha. Wengine wao huridhika na elimu mapema baada ya kumaliza darasa la nane. Ni wakati huo ambapo vijana kama hao hudhani wanaweza kuoa na kuanzisha familia yao. Hawajui kuwa watoto kama wao kuanza kukimu familia ni kujichimbia kaburi la ufukara fukarike. Utawasikia wengine wakisingizia kuwa hawataki kusoma kwani wazazi wao ni maskini. Wanadai kuwa hakuna haja ya kufanya bidii kwani hata wakipita mitihani hawatapata kulipiwa karo na wazazi wao chuoni. Huu ni uongo mtupu kwani tumewahi kuona watoto wengi maskini wanaopita mitihani na kupata wadhamini wa masomo yao katika shule za upili na vyuo vikuu. Ni muhimu kwa vijana kufahamu kuwa hata kama hawakufanya vyema katika mitihani yao ya kitaifa, wanaweza kujiunga na vyuo vya ufundi anuwai na kujipatia maarifa yanayoweza kuwapa kazi. Serikali na jamii ina wajibu katika kuimarisha vijana wetu. Nafasi za kazi kwa vijana zinafaa kubuniwa na miradi mbalimbali ya kuwaauni vijana inafaa kufunguliwa. Wale mafisadi wenye mate ya fisi wanaovuja hela zilizotengewa vijana wanafaa kutiwa mbaroni na kufikishwa mahakamani. Nafasi adimu za kazi zilizoko katika serikali zisiwe tu za wazee bali pia vijana wetu wapewe mgao wao. Vilevile, vijana wasibague kazi kwani kazi ni kazi. Wasikimbilie mijini wakidhani kuwa huko watapata kazi za hadhi. Wanaweza kubuni na kushiriki kilimo mashambani na kujipatia hela si kichele. Kwa kufanya hayo yote na mengine, vijana wetu wataweza kutoa mchango wao kikamilifu na kuondoa giza la umaskini linalokumba Afrika. Maswali 1. Katika aya ya kwanza mwandishi anasema yafuatayo isipokuwa ____________________ A. Bara la Afrika lina nafasi bora ya kujiendeleza kiuchumi B.Vijana pekee ndiowenye nguvu na nafasi ya kuendeleza uchumi C.Matifa ya ulaya yana vijana wachache kuliko wazee. D.Vijana huwa na nishati za kutekeleza mengi wapewapo nafasi. 2.Katika aya ya pili mwandishi anasema____________________ A.Kwa sasa hakuna faida yoyote ya kiuchumi Afrika itokanayo na vijana B.Afrika imepiga hatua kuu kimaendeleo kwani vijana wake wana nguvu. C.Vijana wanafaa kutekelezwa katika miradi ya maendeleo. D.Vijana wanafaa kupewa mbinu na maarifa ili wanufaishe jamii. 3.Njia kuu ya kuimarisha vijana ni____________________ A.Kuwapeleka katika vyuo vya ufundi. B.Kuwapa nafasi vya uongozi serikalini. C.Kuwapa elimu na maarifa. D.Kuwapa kazi mashambani na mijini 4.Maneno,"matatizo yanatukodolea macho"ni fani gani ya lugha? A.tashhisi B.tashbihi C.istiara D.kinaya 5.Vijana kuoa katika umri wao mdogo sana ni____ A.Kujipatia nafasi bora ya kuendeleza familia zao B.Kuanza kukimu familia zao kabla hawajachelewa. C.Kujitenga na wazazi ili kuweza kujiimarisha kiuchumi. D.Kujiingiza katika kina cha umaskini 6.Neno,"wadhamini"limepigiwa mstari lina maana? A.Wanaoheshimu B.Wanaowatuliza C.Wanaowasaidia D.Wanaowahimiza 7.Vyuo vya ufundi anuwai aghalabu huwapa vijana yafuatayo isipokuwa: A.Maarifa ya kiuashi B.Maarifa ya kuunganisha mitambo C.Ujuzi wa kujenga barabara. D.Ujuzi wa kufanya ulanguzi 8.Nafasi chache za kazi katika taifa letu A.Zinafaa kugawanywa sawa kwa mahirimu wote B.Zinafaa kuachiwa vijana pekee C.Zinafaa kuachiwa wazee pekee D.Hazifai kupewa yeyote. 9.Watu wenye mate ya fisi ni wale: A.Wanaopenda pesa zilizotengewa vijana B.Walio na tamaa ya mali wasiokuwa na haki yake C.Walio na tamaa ya kuwaimarisha vijana D.Walio na mielekeo chanya kuhusu vijana 10. kazi ya hadhi ni zile ambazo A. Zipatikanazo mjini pekee B. Zinazodhaniwa kuwa za heshima C. Zinazofanywa katika mitaa ya vitongoji vya miji. D. Zinazofanywa na kuleta hela nyingi.
Vijana wengi Afrika huoa na kupata familia baada ya kumaliza darasa lipi?
{ "text": [ "La nane" ] }
0162_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA UGONJWA WA CORONA KATIKA JAMII Uviko-19 ni ugonjwa unaosababishwa na kundi la virusi vya Corona ambayyo hupatikana miongoni mwa hayawani na Insani. Kwa Insi, virusi vya corona husababisha magonjwa kama vile, homa ya kawaida isiyo na dalili kali na hata madhila wakati wa upumuaji. Mgonjwa wa virusi vya corona afanana na homa ya maua shilingi kwa ya pili na inaambukizwa kwa kasi mno kama mageni hapo zamani. Ugonjwa huu huweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja hadi mwengine, kupitia vitonetone. Wakati mtu aliyeathirika, anapopiga chafya, anapokohoa na anapopumua, kaguza vitu au sehemu yenye virusi na kujishika machoni, puani au mdomoni. Ndwele hii imepatikana nchini China nje wa Wuhan, mwezi wa Disemba mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa. Uliingia Kenya mnamo tarehe kumi na mbili mwezi Machi. Kwa kweli virusi hivi vimeleta madhara na faida, kwani wahenga na wahenguzi walisema Baniani mbaya kiatu chake dawa. Madhara yake ni: Ninakunjua jamvi langu kwa kusema kuwa virusi vya Corona vimepoteza maisha ya watu wengi sana vimeweza kuwaua watu kama kuku msimu wa ugonjwa wa kideri. Si humu nchini tu bali jamii nzima ya ulimwengu, familia nyingi zimebaki mayatima kutokana na kuwaua wapendwa wao. Tangu Corona kuanza ulimwenguni, tumenakili visa laki moja elfu sitini mia sita na themanini na tano na zaidi ya vifo zaidi ya milioni mbili na laki tatu ya maambukizi vimenakiliwa katika mataifa mia tisa tisini na tatu tangu ulipotokea nchini China, hivyo kawaida kuwacha watoto mayatima na wajane katika jamii kuongezeka. Jamii nyingi za upande wa magharibi ndizo zilizoathirika zaidi na kupoteza wapendwa wao ikiongozwa na Marekani. Halikadhalika ugonjwa huu umeathiri mifumo ya kisiasa ya jamii nyingi ulimwenguni, kuvuruga, shughuli za kisheria. Wanasiasa pia nao waliambukizwa na waliaga dunia ikiwemo aliyekuweko Mbunge wa Changamwe Ramadhan Seit Kajembe na familia yake. Ratiba kadhaa zilibadilishwa kutokana na hofu ya virusi. Hata hivyo, ugonjwa huu umeathiri mfumo wa elimu katika jamii zote ulimwenguni na kusababisha ufungaji wa shule, vyuo vikuu na taasisi zingine za elimu. Jamii nyingi duniani zimetunga taasisi za elimu kwa muda kama jaribio kudhibiti usambazaji wa virusi hivyo. Mnamo tarehe ishirini na nne Mei Mwaka wa elfu mbili ishirini, wanafunzi takribani bilioni moja milioni mia saba na ishirini na tano waliathiriwa na kufungwa kwa shule. Mitihani ya kitaifa iliathirika pakubwa na kufutiliwa mbali. Wanafunzi sio walioathirika pekee bali hata walimu waliathirika kiuchumi na kijamii. Shule nyingi za kibinafsi zilifungwa na zingine hadi sasa hazijafunguliwa. Kutokana na uchumi mbaya na hasara iliyopatikana wanafunzi wengine hawajajulikana waliko. Shule zililazimika kufungwa ili kuepukana na maafa ya janga la ugonjwa huu kwani wenye kunena hunena heri nusu shari kuliko shari kamili. Vilevile hali hii imeweza kuvutia macho maswala mengi mfano, madeni ya wanafunzi mafunzo ya mtandaoni, ukosefu wa chakula na makazi pamoja na utunzi wa watoto, huduma za afya, nyumbani, mtandao na huduma za walemavu. Juu ya hayo, corona imeathiri jamii kwa kusababisha hospitalini kwa wagonjwa wenye ndwele tofauti kama matatizo ya moyo, wataalamu wa moyo wakiwa na wasiwasi kwamba watu wengi kuaga dunia baini mwao kuhofia kwenda hospitalini. Upungufu wa vifaa na pia vitanda vya hospitalini umeathiri zaidi. Isitoshe mlipuko huu umeathiri sana uchumi wa jamii. Uchumi wa jamii zinazoendelea umeharibika sana hasa jamii za kiafrika ambazo zimeshakuwa na madeni kubwa sana. Jamii zisizojiweza zimechukua deni kwa jamii zinazojiweza lakini wasiwasi upo katika jamii za kiafrika wakati wa kulipa deni. Vile vile pesa zote zilizotengwa na bajeti ziliweza kutumika kukabiliana na ugonjwa wa Corona. Jamii nyingi ziliweza kuweka sheria kali kama subiri kudhibiti msambao wa virusi hivi, ikiwemo sheria ya kutotoka na kusafiri nje ya nchi au mikoani. Hivyo basi kuathiri uchumi wetu wa nchi yetu sana kwasababu ni nchi yenye kupata wageni sana ili kukuza uchumi. Juu ya hayo virusi vya corona vinasababisha ubaguzi wa rangi hasa baini ya insi wenye rangi nyeupe na wenye rangi nyeusi. Wengi wanaamini wachina na watu weupe ndio walileta ndwele hii hivyo basi kujitenga na watu weupe. Pia virusi hivi vimeweza kuathiri kisaikolojia watu wengi. Wanaamini kuwa ndwele hii ikikushika basi huna tena muda au nafasi ya kuishi tena. Mawazo potovu yameathiri wengi na ukweli wa mambo ni kupata ugonjwa huu sio mwisho wa maisha. Ugonjwa huu ukikupata na ukikimbilia matibabu huenda kukatika na kurudi katika hali ya kawaida. Endapo mtu ata hisi dalili za virusi hivi anapaswa kukimbilia kituo cha afya ili apate huduma haraka kabla ya kukwamia kwa kasi kama jeshi la usubi na kuwa vigumu kutibika lakini bila ya kukata tamaa ugonjwa huu unatibika. Aidha ugonjwa huu umeathiri sana nyanja za michezo. Michezo mingi imedorora kutokana na njia za uenezaji wa virusi hivyo ambayo ni kutokusanyika kwenye mahala pamoja kwenye watu wengi. Hivyo basi imeathiri michezo tufanyayo ya Olimpiki kandanda na pia michezo ya shuleni ililazimika kuahirishwa kwa muda usiojulikana. Michezo ya Olimpiki ilipangwa kufanyika Tokyo. Hivyo basi kuathiri nchi kwani nchi ilikosa pesa za kigeni. Wanariadha wengi hukosa pesa waliotumiwa. Zaidi ya hayo ni kwamba corona imeathiri bidhaa na biashara. Tunavyojua kuwa bidhaa ni muhimu ni kitu muhimu kwa jamii nyingi hapa duniani. Bidhaa nyingi tunazozitegemea zinazotoka kutoka nchi za jirani ikiwemo jamii ya Tanzania kama vile viazi, machungwa, kadhalika. Kama wahenga wanenavyo jiwe moja haliijiki chungu, hivyo basi nchi tofauti zinahitajiana. Nikiongezea mimba za watoto wa shule na za mapema zimekithiri sana kupitia msambao wa corona uliosababisha kufunga shule. Kutokana na virusi hivi wanagenzi si wavulana wala mabanati walijitosa katika dimbwi la anasa ambalo utafanya ufuska kushamiri katika jamii. Hivyo basi mimba za haramu zimeenea. Wahenga hawakukosea walipolonga kuwa Ubongo usiofanya kazi ni warsha wa shetani. Wakati huo walikuwa hawana kazi za kufanya hivyo basi mawazo potovu na ushawishi hasa shinikizo la marika kuwafanya kutenda na kujiingiza katika ufuska. Si hayo tu, hata imani za jadi pia zimeweza kuathirika sana. Imani za dini mbalimbali ziliathirika. Dini ya Kiislamu iliyo na tamaduni ya kufanya ibada pamoja kama ijulikanavyo, umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Ibada hiyo haitimii hadi insani wawe bega kwa bega, unyo unyo. Kusalimiana na mikono pia ni mojawapo ya tamaduni kwa upande. Mwingine, wakristo wamezoea kufanya ibada kwa kuimba na kucheza kwenye kwaya. Wakati wa sherehe za dini watu hutembeleana kutoka jamii mbali mbali kama vile wakati wa ld kwa waislamu na Krismasi kwa wakristo lakini ilibidi yote haya yaepukwe ili kupunguza usambazaji wa virusi Kuongezea, kuna taarifa potovu zinazoendelea kusambaa na kuenea kama moshi. Watu wengi husema kuwa watu wa jamii ya kiafrika hawawezi kuambukizwa ugonjwa huu. Hivyo basi kuathiri mfumo wa kufikiria kwa watu wengi. Baadhi yao walisema kuwa watu weusi huambukizwa. Hayo yote yametokana na kutofahamu ugonjwa huu. Vilevile umesababisha kuwekwa karantini jambo ambalo limeathiri watu kisaikolojia. Minghairi ya hayo, tamaduni zimeathiriwa kutokana na ugonjwa huu. Masharti ya kupambana na ugonjwa huu umeathiri sana mila na desturi za watu. Mathalan watu wengi sana wamezoea kusalimiana kwa kupigana pambaja wakati wa kuonana baada ya muda mrefu. Jamii zingine ni kawaida yao kula katika sahani moja. Jamii nyingi za dimasu, turkana, luhya, luo na zingine zina desturi ya kupashwa tohara kila mwaka, ambayo tamaduni hii hutekelezwa kila msimu na huwa ina maana sana na yenye uzito mkubwa. Sherehe za harusi kuwekwa vikwazo vya idadi ya watu na hata chakula kupewa walio karibu na familia. Mazishi pia kupunguzwa idadi ya wanaoweza kuhudhuria na kufariji. Kabla sijasahau, Uviko-19 umezorotesha usalama. Uhalifu umeongezeka na kuwa donda sugu katika jamii. Uhalifu umekithiri kutokana na ukosefu wa kazi na watu kufutwa kazi. Wengi waliokosa kazi wamejiunga na kikundi cha majambazi na uhalifu na wanafunzi waliofunga shule wengi kujitosa na kujiunga kwenye vikundi vibaya vya ugaidi na uhalifu. Hivyo basi wengi wao kijiingiza kwenye vikundi haramu kusababisha mmomonyoko wa maadili. Mbali na athari hizi basi kuna waliofaidika na ugonjwa huu. Ukuzaji wa talanta na vipaji kwani waimbaji na wenye kutunga mashairi na wimbo kupata maudhui. Usalama pia umeimarika na ajali za barabarani kupungua. Baa na klabu kufungwa na kupunguza idadi ya walevi na maafa yake. Katika kutia nanga, ugonjwa huu umetuathiri sana mfumo wetu wa maisha lakini hii yote imechangiwa zaidi na vile tunavyochukulia ugonjwa kwani tukiweza kufuata masharti ya ugonjwa huu basi tutaweza kupambana na Uviko-19. Na hata hivyo tuweze kufuata nidhamu na sheria au masharti yaliyowekwa kwani adabu si adhabu. Tukifanya hivyo virusi hivi tunaweza kuvikomesha na kuvizika katika kaburi la kusahau kwani bila shaka, kamba ilikata jiwe na hata hivyo kila lililo na mwanzo halikosi mwisho na baada ya dhiki ni faraja na tunaelekea kupata faraja kwani chanjo ya ndwele hii tayari zimeshaanza kupatikana na bila shaka tuko karibu kuutia ugonjwa huu katika kaburi la sahau.
Ugonjwa wa korona unafanana na nini
{ "text": [ "homa ya mafua" ] }
0162_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA UGONJWA WA CORONA KATIKA JAMII Uviko-19 ni ugonjwa unaosababishwa na kundi la virusi vya Corona ambayyo hupatikana miongoni mwa hayawani na Insani. Kwa Insi, virusi vya corona husababisha magonjwa kama vile, homa ya kawaida isiyo na dalili kali na hata madhila wakati wa upumuaji. Mgonjwa wa virusi vya corona afanana na homa ya maua shilingi kwa ya pili na inaambukizwa kwa kasi mno kama mageni hapo zamani. Ugonjwa huu huweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja hadi mwengine, kupitia vitonetone. Wakati mtu aliyeathirika, anapopiga chafya, anapokohoa na anapopumua, kaguza vitu au sehemu yenye virusi na kujishika machoni, puani au mdomoni. Ndwele hii imepatikana nchini China nje wa Wuhan, mwezi wa Disemba mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa. Uliingia Kenya mnamo tarehe kumi na mbili mwezi Machi. Kwa kweli virusi hivi vimeleta madhara na faida, kwani wahenga na wahenguzi walisema Baniani mbaya kiatu chake dawa. Madhara yake ni: Ninakunjua jamvi langu kwa kusema kuwa virusi vya Corona vimepoteza maisha ya watu wengi sana vimeweza kuwaua watu kama kuku msimu wa ugonjwa wa kideri. Si humu nchini tu bali jamii nzima ya ulimwengu, familia nyingi zimebaki mayatima kutokana na kuwaua wapendwa wao. Tangu Corona kuanza ulimwenguni, tumenakili visa laki moja elfu sitini mia sita na themanini na tano na zaidi ya vifo zaidi ya milioni mbili na laki tatu ya maambukizi vimenakiliwa katika mataifa mia tisa tisini na tatu tangu ulipotokea nchini China, hivyo kawaida kuwacha watoto mayatima na wajane katika jamii kuongezeka. Jamii nyingi za upande wa magharibi ndizo zilizoathirika zaidi na kupoteza wapendwa wao ikiongozwa na Marekani. Halikadhalika ugonjwa huu umeathiri mifumo ya kisiasa ya jamii nyingi ulimwenguni, kuvuruga, shughuli za kisheria. Wanasiasa pia nao waliambukizwa na waliaga dunia ikiwemo aliyekuweko Mbunge wa Changamwe Ramadhan Seit Kajembe na familia yake. Ratiba kadhaa zilibadilishwa kutokana na hofu ya virusi. Hata hivyo, ugonjwa huu umeathiri mfumo wa elimu katika jamii zote ulimwenguni na kusababisha ufungaji wa shule, vyuo vikuu na taasisi zingine za elimu. Jamii nyingi duniani zimetunga taasisi za elimu kwa muda kama jaribio kudhibiti usambazaji wa virusi hivyo. Mnamo tarehe ishirini na nne Mei Mwaka wa elfu mbili ishirini, wanafunzi takribani bilioni moja milioni mia saba na ishirini na tano waliathiriwa na kufungwa kwa shule. Mitihani ya kitaifa iliathirika pakubwa na kufutiliwa mbali. Wanafunzi sio walioathirika pekee bali hata walimu waliathirika kiuchumi na kijamii. Shule nyingi za kibinafsi zilifungwa na zingine hadi sasa hazijafunguliwa. Kutokana na uchumi mbaya na hasara iliyopatikana wanafunzi wengine hawajajulikana waliko. Shule zililazimika kufungwa ili kuepukana na maafa ya janga la ugonjwa huu kwani wenye kunena hunena heri nusu shari kuliko shari kamili. Vilevile hali hii imeweza kuvutia macho maswala mengi mfano, madeni ya wanafunzi mafunzo ya mtandaoni, ukosefu wa chakula na makazi pamoja na utunzi wa watoto, huduma za afya, nyumbani, mtandao na huduma za walemavu. Juu ya hayo, corona imeathiri jamii kwa kusababisha hospitalini kwa wagonjwa wenye ndwele tofauti kama matatizo ya moyo, wataalamu wa moyo wakiwa na wasiwasi kwamba watu wengi kuaga dunia baini mwao kuhofia kwenda hospitalini. Upungufu wa vifaa na pia vitanda vya hospitalini umeathiri zaidi. Isitoshe mlipuko huu umeathiri sana uchumi wa jamii. Uchumi wa jamii zinazoendelea umeharibika sana hasa jamii za kiafrika ambazo zimeshakuwa na madeni kubwa sana. Jamii zisizojiweza zimechukua deni kwa jamii zinazojiweza lakini wasiwasi upo katika jamii za kiafrika wakati wa kulipa deni. Vile vile pesa zote zilizotengwa na bajeti ziliweza kutumika kukabiliana na ugonjwa wa Corona. Jamii nyingi ziliweza kuweka sheria kali kama subiri kudhibiti msambao wa virusi hivi, ikiwemo sheria ya kutotoka na kusafiri nje ya nchi au mikoani. Hivyo basi kuathiri uchumi wetu wa nchi yetu sana kwasababu ni nchi yenye kupata wageni sana ili kukuza uchumi. Juu ya hayo virusi vya corona vinasababisha ubaguzi wa rangi hasa baini ya insi wenye rangi nyeupe na wenye rangi nyeusi. Wengi wanaamini wachina na watu weupe ndio walileta ndwele hii hivyo basi kujitenga na watu weupe. Pia virusi hivi vimeweza kuathiri kisaikolojia watu wengi. Wanaamini kuwa ndwele hii ikikushika basi huna tena muda au nafasi ya kuishi tena. Mawazo potovu yameathiri wengi na ukweli wa mambo ni kupata ugonjwa huu sio mwisho wa maisha. Ugonjwa huu ukikupata na ukikimbilia matibabu huenda kukatika na kurudi katika hali ya kawaida. Endapo mtu ata hisi dalili za virusi hivi anapaswa kukimbilia kituo cha afya ili apate huduma haraka kabla ya kukwamia kwa kasi kama jeshi la usubi na kuwa vigumu kutibika lakini bila ya kukata tamaa ugonjwa huu unatibika. Aidha ugonjwa huu umeathiri sana nyanja za michezo. Michezo mingi imedorora kutokana na njia za uenezaji wa virusi hivyo ambayo ni kutokusanyika kwenye mahala pamoja kwenye watu wengi. Hivyo basi imeathiri michezo tufanyayo ya Olimpiki kandanda na pia michezo ya shuleni ililazimika kuahirishwa kwa muda usiojulikana. Michezo ya Olimpiki ilipangwa kufanyika Tokyo. Hivyo basi kuathiri nchi kwani nchi ilikosa pesa za kigeni. Wanariadha wengi hukosa pesa waliotumiwa. Zaidi ya hayo ni kwamba corona imeathiri bidhaa na biashara. Tunavyojua kuwa bidhaa ni muhimu ni kitu muhimu kwa jamii nyingi hapa duniani. Bidhaa nyingi tunazozitegemea zinazotoka kutoka nchi za jirani ikiwemo jamii ya Tanzania kama vile viazi, machungwa, kadhalika. Kama wahenga wanenavyo jiwe moja haliijiki chungu, hivyo basi nchi tofauti zinahitajiana. Nikiongezea mimba za watoto wa shule na za mapema zimekithiri sana kupitia msambao wa corona uliosababisha kufunga shule. Kutokana na virusi hivi wanagenzi si wavulana wala mabanati walijitosa katika dimbwi la anasa ambalo utafanya ufuska kushamiri katika jamii. Hivyo basi mimba za haramu zimeenea. Wahenga hawakukosea walipolonga kuwa Ubongo usiofanya kazi ni warsha wa shetani. Wakati huo walikuwa hawana kazi za kufanya hivyo basi mawazo potovu na ushawishi hasa shinikizo la marika kuwafanya kutenda na kujiingiza katika ufuska. Si hayo tu, hata imani za jadi pia zimeweza kuathirika sana. Imani za dini mbalimbali ziliathirika. Dini ya Kiislamu iliyo na tamaduni ya kufanya ibada pamoja kama ijulikanavyo, umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Ibada hiyo haitimii hadi insani wawe bega kwa bega, unyo unyo. Kusalimiana na mikono pia ni mojawapo ya tamaduni kwa upande. Mwingine, wakristo wamezoea kufanya ibada kwa kuimba na kucheza kwenye kwaya. Wakati wa sherehe za dini watu hutembeleana kutoka jamii mbali mbali kama vile wakati wa ld kwa waislamu na Krismasi kwa wakristo lakini ilibidi yote haya yaepukwe ili kupunguza usambazaji wa virusi Kuongezea, kuna taarifa potovu zinazoendelea kusambaa na kuenea kama moshi. Watu wengi husema kuwa watu wa jamii ya kiafrika hawawezi kuambukizwa ugonjwa huu. Hivyo basi kuathiri mfumo wa kufikiria kwa watu wengi. Baadhi yao walisema kuwa watu weusi huambukizwa. Hayo yote yametokana na kutofahamu ugonjwa huu. Vilevile umesababisha kuwekwa karantini jambo ambalo limeathiri watu kisaikolojia. Minghairi ya hayo, tamaduni zimeathiriwa kutokana na ugonjwa huu. Masharti ya kupambana na ugonjwa huu umeathiri sana mila na desturi za watu. Mathalan watu wengi sana wamezoea kusalimiana kwa kupigana pambaja wakati wa kuonana baada ya muda mrefu. Jamii zingine ni kawaida yao kula katika sahani moja. Jamii nyingi za dimasu, turkana, luhya, luo na zingine zina desturi ya kupashwa tohara kila mwaka, ambayo tamaduni hii hutekelezwa kila msimu na huwa ina maana sana na yenye uzito mkubwa. Sherehe za harusi kuwekwa vikwazo vya idadi ya watu na hata chakula kupewa walio karibu na familia. Mazishi pia kupunguzwa idadi ya wanaoweza kuhudhuria na kufariji. Kabla sijasahau, Uviko-19 umezorotesha usalama. Uhalifu umeongezeka na kuwa donda sugu katika jamii. Uhalifu umekithiri kutokana na ukosefu wa kazi na watu kufutwa kazi. Wengi waliokosa kazi wamejiunga na kikundi cha majambazi na uhalifu na wanafunzi waliofunga shule wengi kujitosa na kujiunga kwenye vikundi vibaya vya ugaidi na uhalifu. Hivyo basi wengi wao kijiingiza kwenye vikundi haramu kusababisha mmomonyoko wa maadili. Mbali na athari hizi basi kuna waliofaidika na ugonjwa huu. Ukuzaji wa talanta na vipaji kwani waimbaji na wenye kutunga mashairi na wimbo kupata maudhui. Usalama pia umeimarika na ajali za barabarani kupungua. Baa na klabu kufungwa na kupunguza idadi ya walevi na maafa yake. Katika kutia nanga, ugonjwa huu umetuathiri sana mfumo wetu wa maisha lakini hii yote imechangiwa zaidi na vile tunavyochukulia ugonjwa kwani tukiweza kufuata masharti ya ugonjwa huu basi tutaweza kupambana na Uviko-19. Na hata hivyo tuweze kufuata nidhamu na sheria au masharti yaliyowekwa kwani adabu si adhabu. Tukifanya hivyo virusi hivi tunaweza kuvikomesha na kuvizika katika kaburi la kusahau kwani bila shaka, kamba ilikata jiwe na hata hivyo kila lililo na mwanzo halikosi mwisho na baada ya dhiki ni faraja na tunaelekea kupata faraja kwani chanjo ya ndwele hii tayari zimeshaanza kupatikana na bila shaka tuko karibu kuutia ugonjwa huu katika kaburi la sahau.
Ugonjwa huu ulipatikana wapi
{ "text": [ "nchi ya China" ] }
0162_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA UGONJWA WA CORONA KATIKA JAMII Uviko-19 ni ugonjwa unaosababishwa na kundi la virusi vya Corona ambayyo hupatikana miongoni mwa hayawani na Insani. Kwa Insi, virusi vya corona husababisha magonjwa kama vile, homa ya kawaida isiyo na dalili kali na hata madhila wakati wa upumuaji. Mgonjwa wa virusi vya corona afanana na homa ya maua shilingi kwa ya pili na inaambukizwa kwa kasi mno kama mageni hapo zamani. Ugonjwa huu huweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja hadi mwengine, kupitia vitonetone. Wakati mtu aliyeathirika, anapopiga chafya, anapokohoa na anapopumua, kaguza vitu au sehemu yenye virusi na kujishika machoni, puani au mdomoni. Ndwele hii imepatikana nchini China nje wa Wuhan, mwezi wa Disemba mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa. Uliingia Kenya mnamo tarehe kumi na mbili mwezi Machi. Kwa kweli virusi hivi vimeleta madhara na faida, kwani wahenga na wahenguzi walisema Baniani mbaya kiatu chake dawa. Madhara yake ni: Ninakunjua jamvi langu kwa kusema kuwa virusi vya Corona vimepoteza maisha ya watu wengi sana vimeweza kuwaua watu kama kuku msimu wa ugonjwa wa kideri. Si humu nchini tu bali jamii nzima ya ulimwengu, familia nyingi zimebaki mayatima kutokana na kuwaua wapendwa wao. Tangu Corona kuanza ulimwenguni, tumenakili visa laki moja elfu sitini mia sita na themanini na tano na zaidi ya vifo zaidi ya milioni mbili na laki tatu ya maambukizi vimenakiliwa katika mataifa mia tisa tisini na tatu tangu ulipotokea nchini China, hivyo kawaida kuwacha watoto mayatima na wajane katika jamii kuongezeka. Jamii nyingi za upande wa magharibi ndizo zilizoathirika zaidi na kupoteza wapendwa wao ikiongozwa na Marekani. Halikadhalika ugonjwa huu umeathiri mifumo ya kisiasa ya jamii nyingi ulimwenguni, kuvuruga, shughuli za kisheria. Wanasiasa pia nao waliambukizwa na waliaga dunia ikiwemo aliyekuweko Mbunge wa Changamwe Ramadhan Seit Kajembe na familia yake. Ratiba kadhaa zilibadilishwa kutokana na hofu ya virusi. Hata hivyo, ugonjwa huu umeathiri mfumo wa elimu katika jamii zote ulimwenguni na kusababisha ufungaji wa shule, vyuo vikuu na taasisi zingine za elimu. Jamii nyingi duniani zimetunga taasisi za elimu kwa muda kama jaribio kudhibiti usambazaji wa virusi hivyo. Mnamo tarehe ishirini na nne Mei Mwaka wa elfu mbili ishirini, wanafunzi takribani bilioni moja milioni mia saba na ishirini na tano waliathiriwa na kufungwa kwa shule. Mitihani ya kitaifa iliathirika pakubwa na kufutiliwa mbali. Wanafunzi sio walioathirika pekee bali hata walimu waliathirika kiuchumi na kijamii. Shule nyingi za kibinafsi zilifungwa na zingine hadi sasa hazijafunguliwa. Kutokana na uchumi mbaya na hasara iliyopatikana wanafunzi wengine hawajajulikana waliko. Shule zililazimika kufungwa ili kuepukana na maafa ya janga la ugonjwa huu kwani wenye kunena hunena heri nusu shari kuliko shari kamili. Vilevile hali hii imeweza kuvutia macho maswala mengi mfano, madeni ya wanafunzi mafunzo ya mtandaoni, ukosefu wa chakula na makazi pamoja na utunzi wa watoto, huduma za afya, nyumbani, mtandao na huduma za walemavu. Juu ya hayo, corona imeathiri jamii kwa kusababisha hospitalini kwa wagonjwa wenye ndwele tofauti kama matatizo ya moyo, wataalamu wa moyo wakiwa na wasiwasi kwamba watu wengi kuaga dunia baini mwao kuhofia kwenda hospitalini. Upungufu wa vifaa na pia vitanda vya hospitalini umeathiri zaidi. Isitoshe mlipuko huu umeathiri sana uchumi wa jamii. Uchumi wa jamii zinazoendelea umeharibika sana hasa jamii za kiafrika ambazo zimeshakuwa na madeni kubwa sana. Jamii zisizojiweza zimechukua deni kwa jamii zinazojiweza lakini wasiwasi upo katika jamii za kiafrika wakati wa kulipa deni. Vile vile pesa zote zilizotengwa na bajeti ziliweza kutumika kukabiliana na ugonjwa wa Corona. Jamii nyingi ziliweza kuweka sheria kali kama subiri kudhibiti msambao wa virusi hivi, ikiwemo sheria ya kutotoka na kusafiri nje ya nchi au mikoani. Hivyo basi kuathiri uchumi wetu wa nchi yetu sana kwasababu ni nchi yenye kupata wageni sana ili kukuza uchumi. Juu ya hayo virusi vya corona vinasababisha ubaguzi wa rangi hasa baini ya insi wenye rangi nyeupe na wenye rangi nyeusi. Wengi wanaamini wachina na watu weupe ndio walileta ndwele hii hivyo basi kujitenga na watu weupe. Pia virusi hivi vimeweza kuathiri kisaikolojia watu wengi. Wanaamini kuwa ndwele hii ikikushika basi huna tena muda au nafasi ya kuishi tena. Mawazo potovu yameathiri wengi na ukweli wa mambo ni kupata ugonjwa huu sio mwisho wa maisha. Ugonjwa huu ukikupata na ukikimbilia matibabu huenda kukatika na kurudi katika hali ya kawaida. Endapo mtu ata hisi dalili za virusi hivi anapaswa kukimbilia kituo cha afya ili apate huduma haraka kabla ya kukwamia kwa kasi kama jeshi la usubi na kuwa vigumu kutibika lakini bila ya kukata tamaa ugonjwa huu unatibika. Aidha ugonjwa huu umeathiri sana nyanja za michezo. Michezo mingi imedorora kutokana na njia za uenezaji wa virusi hivyo ambayo ni kutokusanyika kwenye mahala pamoja kwenye watu wengi. Hivyo basi imeathiri michezo tufanyayo ya Olimpiki kandanda na pia michezo ya shuleni ililazimika kuahirishwa kwa muda usiojulikana. Michezo ya Olimpiki ilipangwa kufanyika Tokyo. Hivyo basi kuathiri nchi kwani nchi ilikosa pesa za kigeni. Wanariadha wengi hukosa pesa waliotumiwa. Zaidi ya hayo ni kwamba corona imeathiri bidhaa na biashara. Tunavyojua kuwa bidhaa ni muhimu ni kitu muhimu kwa jamii nyingi hapa duniani. Bidhaa nyingi tunazozitegemea zinazotoka kutoka nchi za jirani ikiwemo jamii ya Tanzania kama vile viazi, machungwa, kadhalika. Kama wahenga wanenavyo jiwe moja haliijiki chungu, hivyo basi nchi tofauti zinahitajiana. Nikiongezea mimba za watoto wa shule na za mapema zimekithiri sana kupitia msambao wa corona uliosababisha kufunga shule. Kutokana na virusi hivi wanagenzi si wavulana wala mabanati walijitosa katika dimbwi la anasa ambalo utafanya ufuska kushamiri katika jamii. Hivyo basi mimba za haramu zimeenea. Wahenga hawakukosea walipolonga kuwa Ubongo usiofanya kazi ni warsha wa shetani. Wakati huo walikuwa hawana kazi za kufanya hivyo basi mawazo potovu na ushawishi hasa shinikizo la marika kuwafanya kutenda na kujiingiza katika ufuska. Si hayo tu, hata imani za jadi pia zimeweza kuathirika sana. Imani za dini mbalimbali ziliathirika. Dini ya Kiislamu iliyo na tamaduni ya kufanya ibada pamoja kama ijulikanavyo, umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Ibada hiyo haitimii hadi insani wawe bega kwa bega, unyo unyo. Kusalimiana na mikono pia ni mojawapo ya tamaduni kwa upande. Mwingine, wakristo wamezoea kufanya ibada kwa kuimba na kucheza kwenye kwaya. Wakati wa sherehe za dini watu hutembeleana kutoka jamii mbali mbali kama vile wakati wa ld kwa waislamu na Krismasi kwa wakristo lakini ilibidi yote haya yaepukwe ili kupunguza usambazaji wa virusi Kuongezea, kuna taarifa potovu zinazoendelea kusambaa na kuenea kama moshi. Watu wengi husema kuwa watu wa jamii ya kiafrika hawawezi kuambukizwa ugonjwa huu. Hivyo basi kuathiri mfumo wa kufikiria kwa watu wengi. Baadhi yao walisema kuwa watu weusi huambukizwa. Hayo yote yametokana na kutofahamu ugonjwa huu. Vilevile umesababisha kuwekwa karantini jambo ambalo limeathiri watu kisaikolojia. Minghairi ya hayo, tamaduni zimeathiriwa kutokana na ugonjwa huu. Masharti ya kupambana na ugonjwa huu umeathiri sana mila na desturi za watu. Mathalan watu wengi sana wamezoea kusalimiana kwa kupigana pambaja wakati wa kuonana baada ya muda mrefu. Jamii zingine ni kawaida yao kula katika sahani moja. Jamii nyingi za dimasu, turkana, luhya, luo na zingine zina desturi ya kupashwa tohara kila mwaka, ambayo tamaduni hii hutekelezwa kila msimu na huwa ina maana sana na yenye uzito mkubwa. Sherehe za harusi kuwekwa vikwazo vya idadi ya watu na hata chakula kupewa walio karibu na familia. Mazishi pia kupunguzwa idadi ya wanaoweza kuhudhuria na kufariji. Kabla sijasahau, Uviko-19 umezorotesha usalama. Uhalifu umeongezeka na kuwa donda sugu katika jamii. Uhalifu umekithiri kutokana na ukosefu wa kazi na watu kufutwa kazi. Wengi waliokosa kazi wamejiunga na kikundi cha majambazi na uhalifu na wanafunzi waliofunga shule wengi kujitosa na kujiunga kwenye vikundi vibaya vya ugaidi na uhalifu. Hivyo basi wengi wao kijiingiza kwenye vikundi haramu kusababisha mmomonyoko wa maadili. Mbali na athari hizi basi kuna waliofaidika na ugonjwa huu. Ukuzaji wa talanta na vipaji kwani waimbaji na wenye kutunga mashairi na wimbo kupata maudhui. Usalama pia umeimarika na ajali za barabarani kupungua. Baa na klabu kufungwa na kupunguza idadi ya walevi na maafa yake. Katika kutia nanga, ugonjwa huu umetuathiri sana mfumo wetu wa maisha lakini hii yote imechangiwa zaidi na vile tunavyochukulia ugonjwa kwani tukiweza kufuata masharti ya ugonjwa huu basi tutaweza kupambana na Uviko-19. Na hata hivyo tuweze kufuata nidhamu na sheria au masharti yaliyowekwa kwani adabu si adhabu. Tukifanya hivyo virusi hivi tunaweza kuvikomesha na kuvizika katika kaburi la kusahau kwani bila shaka, kamba ilikata jiwe na hata hivyo kila lililo na mwanzo halikosi mwisho na baada ya dhiki ni faraja na tunaelekea kupata faraja kwani chanjo ya ndwele hii tayari zimeshaanza kupatikana na bila shaka tuko karibu kuutia ugonjwa huu katika kaburi la sahau.
Mtu mwenye dalili za korona aelekee wapi
{ "text": [ "katika kituo cha afya" ] }
0162_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA UGONJWA WA CORONA KATIKA JAMII Uviko-19 ni ugonjwa unaosababishwa na kundi la virusi vya Corona ambayyo hupatikana miongoni mwa hayawani na Insani. Kwa Insi, virusi vya corona husababisha magonjwa kama vile, homa ya kawaida isiyo na dalili kali na hata madhila wakati wa upumuaji. Mgonjwa wa virusi vya corona afanana na homa ya maua shilingi kwa ya pili na inaambukizwa kwa kasi mno kama mageni hapo zamani. Ugonjwa huu huweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja hadi mwengine, kupitia vitonetone. Wakati mtu aliyeathirika, anapopiga chafya, anapokohoa na anapopumua, kaguza vitu au sehemu yenye virusi na kujishika machoni, puani au mdomoni. Ndwele hii imepatikana nchini China nje wa Wuhan, mwezi wa Disemba mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa. Uliingia Kenya mnamo tarehe kumi na mbili mwezi Machi. Kwa kweli virusi hivi vimeleta madhara na faida, kwani wahenga na wahenguzi walisema Baniani mbaya kiatu chake dawa. Madhara yake ni: Ninakunjua jamvi langu kwa kusema kuwa virusi vya Corona vimepoteza maisha ya watu wengi sana vimeweza kuwaua watu kama kuku msimu wa ugonjwa wa kideri. Si humu nchini tu bali jamii nzima ya ulimwengu, familia nyingi zimebaki mayatima kutokana na kuwaua wapendwa wao. Tangu Corona kuanza ulimwenguni, tumenakili visa laki moja elfu sitini mia sita na themanini na tano na zaidi ya vifo zaidi ya milioni mbili na laki tatu ya maambukizi vimenakiliwa katika mataifa mia tisa tisini na tatu tangu ulipotokea nchini China, hivyo kawaida kuwacha watoto mayatima na wajane katika jamii kuongezeka. Jamii nyingi za upande wa magharibi ndizo zilizoathirika zaidi na kupoteza wapendwa wao ikiongozwa na Marekani. Halikadhalika ugonjwa huu umeathiri mifumo ya kisiasa ya jamii nyingi ulimwenguni, kuvuruga, shughuli za kisheria. Wanasiasa pia nao waliambukizwa na waliaga dunia ikiwemo aliyekuweko Mbunge wa Changamwe Ramadhan Seit Kajembe na familia yake. Ratiba kadhaa zilibadilishwa kutokana na hofu ya virusi. Hata hivyo, ugonjwa huu umeathiri mfumo wa elimu katika jamii zote ulimwenguni na kusababisha ufungaji wa shule, vyuo vikuu na taasisi zingine za elimu. Jamii nyingi duniani zimetunga taasisi za elimu kwa muda kama jaribio kudhibiti usambazaji wa virusi hivyo. Mnamo tarehe ishirini na nne Mei Mwaka wa elfu mbili ishirini, wanafunzi takribani bilioni moja milioni mia saba na ishirini na tano waliathiriwa na kufungwa kwa shule. Mitihani ya kitaifa iliathirika pakubwa na kufutiliwa mbali. Wanafunzi sio walioathirika pekee bali hata walimu waliathirika kiuchumi na kijamii. Shule nyingi za kibinafsi zilifungwa na zingine hadi sasa hazijafunguliwa. Kutokana na uchumi mbaya na hasara iliyopatikana wanafunzi wengine hawajajulikana waliko. Shule zililazimika kufungwa ili kuepukana na maafa ya janga la ugonjwa huu kwani wenye kunena hunena heri nusu shari kuliko shari kamili. Vilevile hali hii imeweza kuvutia macho maswala mengi mfano, madeni ya wanafunzi mafunzo ya mtandaoni, ukosefu wa chakula na makazi pamoja na utunzi wa watoto, huduma za afya, nyumbani, mtandao na huduma za walemavu. Juu ya hayo, corona imeathiri jamii kwa kusababisha hospitalini kwa wagonjwa wenye ndwele tofauti kama matatizo ya moyo, wataalamu wa moyo wakiwa na wasiwasi kwamba watu wengi kuaga dunia baini mwao kuhofia kwenda hospitalini. Upungufu wa vifaa na pia vitanda vya hospitalini umeathiri zaidi. Isitoshe mlipuko huu umeathiri sana uchumi wa jamii. Uchumi wa jamii zinazoendelea umeharibika sana hasa jamii za kiafrika ambazo zimeshakuwa na madeni kubwa sana. Jamii zisizojiweza zimechukua deni kwa jamii zinazojiweza lakini wasiwasi upo katika jamii za kiafrika wakati wa kulipa deni. Vile vile pesa zote zilizotengwa na bajeti ziliweza kutumika kukabiliana na ugonjwa wa Corona. Jamii nyingi ziliweza kuweka sheria kali kama subiri kudhibiti msambao wa virusi hivi, ikiwemo sheria ya kutotoka na kusafiri nje ya nchi au mikoani. Hivyo basi kuathiri uchumi wetu wa nchi yetu sana kwasababu ni nchi yenye kupata wageni sana ili kukuza uchumi. Juu ya hayo virusi vya corona vinasababisha ubaguzi wa rangi hasa baini ya insi wenye rangi nyeupe na wenye rangi nyeusi. Wengi wanaamini wachina na watu weupe ndio walileta ndwele hii hivyo basi kujitenga na watu weupe. Pia virusi hivi vimeweza kuathiri kisaikolojia watu wengi. Wanaamini kuwa ndwele hii ikikushika basi huna tena muda au nafasi ya kuishi tena. Mawazo potovu yameathiri wengi na ukweli wa mambo ni kupata ugonjwa huu sio mwisho wa maisha. Ugonjwa huu ukikupata na ukikimbilia matibabu huenda kukatika na kurudi katika hali ya kawaida. Endapo mtu ata hisi dalili za virusi hivi anapaswa kukimbilia kituo cha afya ili apate huduma haraka kabla ya kukwamia kwa kasi kama jeshi la usubi na kuwa vigumu kutibika lakini bila ya kukata tamaa ugonjwa huu unatibika. Aidha ugonjwa huu umeathiri sana nyanja za michezo. Michezo mingi imedorora kutokana na njia za uenezaji wa virusi hivyo ambayo ni kutokusanyika kwenye mahala pamoja kwenye watu wengi. Hivyo basi imeathiri michezo tufanyayo ya Olimpiki kandanda na pia michezo ya shuleni ililazimika kuahirishwa kwa muda usiojulikana. Michezo ya Olimpiki ilipangwa kufanyika Tokyo. Hivyo basi kuathiri nchi kwani nchi ilikosa pesa za kigeni. Wanariadha wengi hukosa pesa waliotumiwa. Zaidi ya hayo ni kwamba corona imeathiri bidhaa na biashara. Tunavyojua kuwa bidhaa ni muhimu ni kitu muhimu kwa jamii nyingi hapa duniani. Bidhaa nyingi tunazozitegemea zinazotoka kutoka nchi za jirani ikiwemo jamii ya Tanzania kama vile viazi, machungwa, kadhalika. Kama wahenga wanenavyo jiwe moja haliijiki chungu, hivyo basi nchi tofauti zinahitajiana. Nikiongezea mimba za watoto wa shule na za mapema zimekithiri sana kupitia msambao wa corona uliosababisha kufunga shule. Kutokana na virusi hivi wanagenzi si wavulana wala mabanati walijitosa katika dimbwi la anasa ambalo utafanya ufuska kushamiri katika jamii. Hivyo basi mimba za haramu zimeenea. Wahenga hawakukosea walipolonga kuwa Ubongo usiofanya kazi ni warsha wa shetani. Wakati huo walikuwa hawana kazi za kufanya hivyo basi mawazo potovu na ushawishi hasa shinikizo la marika kuwafanya kutenda na kujiingiza katika ufuska. Si hayo tu, hata imani za jadi pia zimeweza kuathirika sana. Imani za dini mbalimbali ziliathirika. Dini ya Kiislamu iliyo na tamaduni ya kufanya ibada pamoja kama ijulikanavyo, umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Ibada hiyo haitimii hadi insani wawe bega kwa bega, unyo unyo. Kusalimiana na mikono pia ni mojawapo ya tamaduni kwa upande. Mwingine, wakristo wamezoea kufanya ibada kwa kuimba na kucheza kwenye kwaya. Wakati wa sherehe za dini watu hutembeleana kutoka jamii mbali mbali kama vile wakati wa ld kwa waislamu na Krismasi kwa wakristo lakini ilibidi yote haya yaepukwe ili kupunguza usambazaji wa virusi Kuongezea, kuna taarifa potovu zinazoendelea kusambaa na kuenea kama moshi. Watu wengi husema kuwa watu wa jamii ya kiafrika hawawezi kuambukizwa ugonjwa huu. Hivyo basi kuathiri mfumo wa kufikiria kwa watu wengi. Baadhi yao walisema kuwa watu weusi huambukizwa. Hayo yote yametokana na kutofahamu ugonjwa huu. Vilevile umesababisha kuwekwa karantini jambo ambalo limeathiri watu kisaikolojia. Minghairi ya hayo, tamaduni zimeathiriwa kutokana na ugonjwa huu. Masharti ya kupambana na ugonjwa huu umeathiri sana mila na desturi za watu. Mathalan watu wengi sana wamezoea kusalimiana kwa kupigana pambaja wakati wa kuonana baada ya muda mrefu. Jamii zingine ni kawaida yao kula katika sahani moja. Jamii nyingi za dimasu, turkana, luhya, luo na zingine zina desturi ya kupashwa tohara kila mwaka, ambayo tamaduni hii hutekelezwa kila msimu na huwa ina maana sana na yenye uzito mkubwa. Sherehe za harusi kuwekwa vikwazo vya idadi ya watu na hata chakula kupewa walio karibu na familia. Mazishi pia kupunguzwa idadi ya wanaoweza kuhudhuria na kufariji. Kabla sijasahau, Uviko-19 umezorotesha usalama. Uhalifu umeongezeka na kuwa donda sugu katika jamii. Uhalifu umekithiri kutokana na ukosefu wa kazi na watu kufutwa kazi. Wengi waliokosa kazi wamejiunga na kikundi cha majambazi na uhalifu na wanafunzi waliofunga shule wengi kujitosa na kujiunga kwenye vikundi vibaya vya ugaidi na uhalifu. Hivyo basi wengi wao kijiingiza kwenye vikundi haramu kusababisha mmomonyoko wa maadili. Mbali na athari hizi basi kuna waliofaidika na ugonjwa huu. Ukuzaji wa talanta na vipaji kwani waimbaji na wenye kutunga mashairi na wimbo kupata maudhui. Usalama pia umeimarika na ajali za barabarani kupungua. Baa na klabu kufungwa na kupunguza idadi ya walevi na maafa yake. Katika kutia nanga, ugonjwa huu umetuathiri sana mfumo wetu wa maisha lakini hii yote imechangiwa zaidi na vile tunavyochukulia ugonjwa kwani tukiweza kufuata masharti ya ugonjwa huu basi tutaweza kupambana na Uviko-19. Na hata hivyo tuweze kufuata nidhamu na sheria au masharti yaliyowekwa kwani adabu si adhabu. Tukifanya hivyo virusi hivi tunaweza kuvikomesha na kuvizika katika kaburi la kusahau kwani bila shaka, kamba ilikata jiwe na hata hivyo kila lililo na mwanzo halikosi mwisho na baada ya dhiki ni faraja na tunaelekea kupata faraja kwani chanjo ya ndwele hii tayari zimeshaanza kupatikana na bila shaka tuko karibu kuutia ugonjwa huu katika kaburi la sahau.
Waimbaji walipata nini kutokana na Uviko - 19
{ "text": [ "maudhui" ] }
0162_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA UGONJWA WA CORONA KATIKA JAMII Uviko-19 ni ugonjwa unaosababishwa na kundi la virusi vya Corona ambayyo hupatikana miongoni mwa hayawani na Insani. Kwa Insi, virusi vya corona husababisha magonjwa kama vile, homa ya kawaida isiyo na dalili kali na hata madhila wakati wa upumuaji. Mgonjwa wa virusi vya corona afanana na homa ya maua shilingi kwa ya pili na inaambukizwa kwa kasi mno kama mageni hapo zamani. Ugonjwa huu huweza kusambaa kutoka kwa mtu mmoja hadi mwengine, kupitia vitonetone. Wakati mtu aliyeathirika, anapopiga chafya, anapokohoa na anapopumua, kaguza vitu au sehemu yenye virusi na kujishika machoni, puani au mdomoni. Ndwele hii imepatikana nchini China nje wa Wuhan, mwezi wa Disemba mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa. Uliingia Kenya mnamo tarehe kumi na mbili mwezi Machi. Kwa kweli virusi hivi vimeleta madhara na faida, kwani wahenga na wahenguzi walisema Baniani mbaya kiatu chake dawa. Madhara yake ni: Ninakunjua jamvi langu kwa kusema kuwa virusi vya Corona vimepoteza maisha ya watu wengi sana vimeweza kuwaua watu kama kuku msimu wa ugonjwa wa kideri. Si humu nchini tu bali jamii nzima ya ulimwengu, familia nyingi zimebaki mayatima kutokana na kuwaua wapendwa wao. Tangu Corona kuanza ulimwenguni, tumenakili visa laki moja elfu sitini mia sita na themanini na tano na zaidi ya vifo zaidi ya milioni mbili na laki tatu ya maambukizi vimenakiliwa katika mataifa mia tisa tisini na tatu tangu ulipotokea nchini China, hivyo kawaida kuwacha watoto mayatima na wajane katika jamii kuongezeka. Jamii nyingi za upande wa magharibi ndizo zilizoathirika zaidi na kupoteza wapendwa wao ikiongozwa na Marekani. Halikadhalika ugonjwa huu umeathiri mifumo ya kisiasa ya jamii nyingi ulimwenguni, kuvuruga, shughuli za kisheria. Wanasiasa pia nao waliambukizwa na waliaga dunia ikiwemo aliyekuweko Mbunge wa Changamwe Ramadhan Seit Kajembe na familia yake. Ratiba kadhaa zilibadilishwa kutokana na hofu ya virusi. Hata hivyo, ugonjwa huu umeathiri mfumo wa elimu katika jamii zote ulimwenguni na kusababisha ufungaji wa shule, vyuo vikuu na taasisi zingine za elimu. Jamii nyingi duniani zimetunga taasisi za elimu kwa muda kama jaribio kudhibiti usambazaji wa virusi hivyo. Mnamo tarehe ishirini na nne Mei Mwaka wa elfu mbili ishirini, wanafunzi takribani bilioni moja milioni mia saba na ishirini na tano waliathiriwa na kufungwa kwa shule. Mitihani ya kitaifa iliathirika pakubwa na kufutiliwa mbali. Wanafunzi sio walioathirika pekee bali hata walimu waliathirika kiuchumi na kijamii. Shule nyingi za kibinafsi zilifungwa na zingine hadi sasa hazijafunguliwa. Kutokana na uchumi mbaya na hasara iliyopatikana wanafunzi wengine hawajajulikana waliko. Shule zililazimika kufungwa ili kuepukana na maafa ya janga la ugonjwa huu kwani wenye kunena hunena heri nusu shari kuliko shari kamili. Vilevile hali hii imeweza kuvutia macho maswala mengi mfano, madeni ya wanafunzi mafunzo ya mtandaoni, ukosefu wa chakula na makazi pamoja na utunzi wa watoto, huduma za afya, nyumbani, mtandao na huduma za walemavu. Juu ya hayo, corona imeathiri jamii kwa kusababisha hospitalini kwa wagonjwa wenye ndwele tofauti kama matatizo ya moyo, wataalamu wa moyo wakiwa na wasiwasi kwamba watu wengi kuaga dunia baini mwao kuhofia kwenda hospitalini. Upungufu wa vifaa na pia vitanda vya hospitalini umeathiri zaidi. Isitoshe mlipuko huu umeathiri sana uchumi wa jamii. Uchumi wa jamii zinazoendelea umeharibika sana hasa jamii za kiafrika ambazo zimeshakuwa na madeni kubwa sana. Jamii zisizojiweza zimechukua deni kwa jamii zinazojiweza lakini wasiwasi upo katika jamii za kiafrika wakati wa kulipa deni. Vile vile pesa zote zilizotengwa na bajeti ziliweza kutumika kukabiliana na ugonjwa wa Corona. Jamii nyingi ziliweza kuweka sheria kali kama subiri kudhibiti msambao wa virusi hivi, ikiwemo sheria ya kutotoka na kusafiri nje ya nchi au mikoani. Hivyo basi kuathiri uchumi wetu wa nchi yetu sana kwasababu ni nchi yenye kupata wageni sana ili kukuza uchumi. Juu ya hayo virusi vya corona vinasababisha ubaguzi wa rangi hasa baini ya insi wenye rangi nyeupe na wenye rangi nyeusi. Wengi wanaamini wachina na watu weupe ndio walileta ndwele hii hivyo basi kujitenga na watu weupe. Pia virusi hivi vimeweza kuathiri kisaikolojia watu wengi. Wanaamini kuwa ndwele hii ikikushika basi huna tena muda au nafasi ya kuishi tena. Mawazo potovu yameathiri wengi na ukweli wa mambo ni kupata ugonjwa huu sio mwisho wa maisha. Ugonjwa huu ukikupata na ukikimbilia matibabu huenda kukatika na kurudi katika hali ya kawaida. Endapo mtu ata hisi dalili za virusi hivi anapaswa kukimbilia kituo cha afya ili apate huduma haraka kabla ya kukwamia kwa kasi kama jeshi la usubi na kuwa vigumu kutibika lakini bila ya kukata tamaa ugonjwa huu unatibika. Aidha ugonjwa huu umeathiri sana nyanja za michezo. Michezo mingi imedorora kutokana na njia za uenezaji wa virusi hivyo ambayo ni kutokusanyika kwenye mahala pamoja kwenye watu wengi. Hivyo basi imeathiri michezo tufanyayo ya Olimpiki kandanda na pia michezo ya shuleni ililazimika kuahirishwa kwa muda usiojulikana. Michezo ya Olimpiki ilipangwa kufanyika Tokyo. Hivyo basi kuathiri nchi kwani nchi ilikosa pesa za kigeni. Wanariadha wengi hukosa pesa waliotumiwa. Zaidi ya hayo ni kwamba corona imeathiri bidhaa na biashara. Tunavyojua kuwa bidhaa ni muhimu ni kitu muhimu kwa jamii nyingi hapa duniani. Bidhaa nyingi tunazozitegemea zinazotoka kutoka nchi za jirani ikiwemo jamii ya Tanzania kama vile viazi, machungwa, kadhalika. Kama wahenga wanenavyo jiwe moja haliijiki chungu, hivyo basi nchi tofauti zinahitajiana. Nikiongezea mimba za watoto wa shule na za mapema zimekithiri sana kupitia msambao wa corona uliosababisha kufunga shule. Kutokana na virusi hivi wanagenzi si wavulana wala mabanati walijitosa katika dimbwi la anasa ambalo utafanya ufuska kushamiri katika jamii. Hivyo basi mimba za haramu zimeenea. Wahenga hawakukosea walipolonga kuwa Ubongo usiofanya kazi ni warsha wa shetani. Wakati huo walikuwa hawana kazi za kufanya hivyo basi mawazo potovu na ushawishi hasa shinikizo la marika kuwafanya kutenda na kujiingiza katika ufuska. Si hayo tu, hata imani za jadi pia zimeweza kuathirika sana. Imani za dini mbalimbali ziliathirika. Dini ya Kiislamu iliyo na tamaduni ya kufanya ibada pamoja kama ijulikanavyo, umoja ni nguvu utengano ni udhaifu. Ibada hiyo haitimii hadi insani wawe bega kwa bega, unyo unyo. Kusalimiana na mikono pia ni mojawapo ya tamaduni kwa upande. Mwingine, wakristo wamezoea kufanya ibada kwa kuimba na kucheza kwenye kwaya. Wakati wa sherehe za dini watu hutembeleana kutoka jamii mbali mbali kama vile wakati wa ld kwa waislamu na Krismasi kwa wakristo lakini ilibidi yote haya yaepukwe ili kupunguza usambazaji wa virusi Kuongezea, kuna taarifa potovu zinazoendelea kusambaa na kuenea kama moshi. Watu wengi husema kuwa watu wa jamii ya kiafrika hawawezi kuambukizwa ugonjwa huu. Hivyo basi kuathiri mfumo wa kufikiria kwa watu wengi. Baadhi yao walisema kuwa watu weusi huambukizwa. Hayo yote yametokana na kutofahamu ugonjwa huu. Vilevile umesababisha kuwekwa karantini jambo ambalo limeathiri watu kisaikolojia. Minghairi ya hayo, tamaduni zimeathiriwa kutokana na ugonjwa huu. Masharti ya kupambana na ugonjwa huu umeathiri sana mila na desturi za watu. Mathalan watu wengi sana wamezoea kusalimiana kwa kupigana pambaja wakati wa kuonana baada ya muda mrefu. Jamii zingine ni kawaida yao kula katika sahani moja. Jamii nyingi za dimasu, turkana, luhya, luo na zingine zina desturi ya kupashwa tohara kila mwaka, ambayo tamaduni hii hutekelezwa kila msimu na huwa ina maana sana na yenye uzito mkubwa. Sherehe za harusi kuwekwa vikwazo vya idadi ya watu na hata chakula kupewa walio karibu na familia. Mazishi pia kupunguzwa idadi ya wanaoweza kuhudhuria na kufariji. Kabla sijasahau, Uviko-19 umezorotesha usalama. Uhalifu umeongezeka na kuwa donda sugu katika jamii. Uhalifu umekithiri kutokana na ukosefu wa kazi na watu kufutwa kazi. Wengi waliokosa kazi wamejiunga na kikundi cha majambazi na uhalifu na wanafunzi waliofunga shule wengi kujitosa na kujiunga kwenye vikundi vibaya vya ugaidi na uhalifu. Hivyo basi wengi wao kijiingiza kwenye vikundi haramu kusababisha mmomonyoko wa maadili. Mbali na athari hizi basi kuna waliofaidika na ugonjwa huu. Ukuzaji wa talanta na vipaji kwani waimbaji na wenye kutunga mashairi na wimbo kupata maudhui. Usalama pia umeimarika na ajali za barabarani kupungua. Baa na klabu kufungwa na kupunguza idadi ya walevi na maafa yake. Katika kutia nanga, ugonjwa huu umetuathiri sana mfumo wetu wa maisha lakini hii yote imechangiwa zaidi na vile tunavyochukulia ugonjwa kwani tukiweza kufuata masharti ya ugonjwa huu basi tutaweza kupambana na Uviko-19. Na hata hivyo tuweze kufuata nidhamu na sheria au masharti yaliyowekwa kwani adabu si adhabu. Tukifanya hivyo virusi hivi tunaweza kuvikomesha na kuvizika katika kaburi la kusahau kwani bila shaka, kamba ilikata jiwe na hata hivyo kila lililo na mwanzo halikosi mwisho na baada ya dhiki ni faraja na tunaelekea kupata faraja kwani chanjo ya ndwele hii tayari zimeshaanza kupatikana na bila shaka tuko karibu kuutia ugonjwa huu katika kaburi la sahau.
Kwa nini shule zingine zimefungwa
{ "text": [ "sababu ya uchumi mbaya na hasara iliyopatikana" ] }
0163_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MESTA ZAN ZA BARABARANI NCHINI KENYA. Ajali ni tukio maalumu linalotumbulika na lisiletarajiwa Hutokea mahali fulani, muda bila sababu au makusudi dhahiri na husababisha madhara yaliyodhahiri kama mchana. Vifo ana ainati mnamo mwaka elfu mbili na Ishirini, kumeripotiwa visa vya ajali elfu mbili mia sita themanini na tisa. Kila kukicha ajali huzidi. Idadi ya wanaokufa huzidi. Ili tupunguze ajali inatubidi tukae kitako tufanye utafiti. Hatimaye baada ya dhiki faraja. Zifuatazo ni tariki mbali mbali jinsi ya kupunguza ajali hizi. Awali, barabara yenye mashimo na mabonde ambazo huteleza zifanyiwe maarifa. Wahandisi wa barabara wafanye kazi zao kinagaubaga. Hali hii hufanya wengi kupiga ndoo teke na kuishi maisha mengine jongomeoni . Hii lawama ni ya nani? Wenye maneno ya hekima husema tahadhari kabla ya hatari, walakini sisi binadamu hupuuza, kwanini tusubiri madhara ya tufike? Pili, sheria za baraste ziwekwe almuradi kupunguza ajali nchini. Naam! Sikatai ziko sheria ila wengi hawazifuati na kuyapa kisogo. Kwa mfano mahali kulipo na barabara ya pundamilia warukie hapo kwa sababu hapo ndipo salama kwa wanafunzi na watembezi kurukia. Aidha, vidhibiti mwendo viekwe, kwa mfano katika tariki kuu, kasi ya magari kupunguzwa. Kwa mfano, katika barabara kuu kama vile Thika magari huenda mbio bila msimamo. Ikiendelea hivyo, naona duniani kutakuwa hakuna insi hata mmoja. Ajali haina kinga hivi basi hutulazimu tujihadhari kabla hatari au la sivyo wengi hakuwa ni majuto ni mjukuu na kwa hakika huja baadaye. Pia, watoto waelimshwe sheria za barabara. Si watoto tu hata akina mama na akina baba, aidna wajulishwe kindakindaki wasije wakaleta madhara baadaye. Mtu afundishwe jinsi ya barabara kwanza anafaa aangalie kulia, kisha kushoto kisha kulia mara ya pili ndio avuke kama hakuna magari. Pia matuta yazingatiwe maana lazima mtu apunguze mwendakasi ndio apite mahali kwa matuta. Waelimishwe pia kuwepo kwa kitambaa chekundu kunaarifu hatari, hivi basi lazima mtu ajitenge na mengine mengi yaelimishwe maana yasipozingatiwa kwa hakika ajali itatokea. Mbali na hayo, wizara ya uchukuzi na miundombinu inafaa kushika doria na kuondoa magari yote mabovu. Magari yenye matatizo kwa injini, vioo vya nyuma, vioo vya mbele, breki na yachukuliwe yakaundwe kinagaubaga hadi yawe mazuri kwa maana husababisha ajali. Mara kwa mfano, gari likose breki na hupita mwendokasi hamna budii ila ajali, au shida kwenye tairi kila muda hutoboka ndipo wengi hufa. Fauka ya hayo, ili usalama uongezeke, uchukuzi na usalama wa abiria barabarani pamoja na askari wa barabarani washikane mikono kufanya kazi kadhaa barabarani, mfano, ili usalama uongezeke trafiki lazima wajitawanye kila eneo kuangalia leseni ya madereva kwa sababu wengine, wanajiita madereva ila ni madereva jina tu. Kazi ya udereva hawajui kichwa wala mguu. Usukani hawajui kuushika mtu huyo huwa ana matarajio gani njiani kama si kifo, au kujeruhiwa mkono au mguu? Vilevile, ni muhimu kuwe na sheria kali inayotoa adhabu kwa madereva wasiotii sheria waadhibiwe hadi wajue kilichomtoa kanga manyoya ni nini. Hii ni kwa sababu wanaendesha magari kiholelaholela huweza kwa bahati mbaya kumgonga mtu. Hii huweza kuleta kifo kwa wote si mama, si baba, wala mtoto. Mtu alewapo au atumiapo mihadarati huwa hajijui hajitambui na kuendesha gari mbio za mkizi huishia ukingoni huishia jela kwa kuua au kusababisha majeraha mabaya. Hizi sheria zikiwekwa mtu atakoma kama kikomo kinavyokoma. Atajua leo ni leo msema kesho, ni mwongo atakapo jaribu kuendesha kiholela chuma chake ki motoni. Minghairi ya hayo, barabara za watembezi zijengwe nchini kote Kenya, kwa maana, hebu tafakari barabara moja, imeze kila kitu, magari makubwa hapo, mikokoteni na hata baiskeli hapo na hata watembezi pia. Ndipo chanzo cha ajali huanza, yaani gari lijapo na mwendo wa kasi mwishowe watu hugongwa na kuumia. Baraste za watembezi zijengwapo itakuwa hakuwi na ajali mengi maana magari na watu itakuwa njia mbili watu kuskia mogari kulia. Si siri sirini bali ni dhahiri kama mchana kwamba bila kuwa mataa kwenye kizaau katika hali ya ukungu, kutaleta ajali. Madereva wengine hujikuta mahiri katika uendeshaji hadi kukosa kuwasha mataa au pengine mataa hayafanyi na kupiga moyo hawajui mdharau biu hubiuka. Ajali namna hii hutokea si haba kila mara ajali nyingi hutokea usiku na hali ya ukungu na mvua. Suluhu ni zitengezwe mataa na madereva wasidharau maana mdharau biu hubiuka mwenyewe. Pasi na hayo, vivukio vya juu na ya chini vijengwe. Vivukio ni kwa barabara zilizojaa shughuli na za chini yaani pundamilia kwa barabara ndogo zilizo karibu na ofisi na kwingine kwingi. Iweje bila hizo si ni msiba wa kujitakia. Serikali ifanye kazi yao kwa kujenga vivuki vya watu maana wengi wamejeruhiwa na hufa. Marufuku iwekwe kwa wanaotumia mihadarati barabarani. Kwa mfano kuna wale akina sijali cha mwadhini wala mteka maji msikitini. Wao hufanya watavyo, kama kunywa tembo, kuchonga miraa na kuvuta sigara, hawajui kwani inadhuru wengine. Kwa uhakika basi huwa hawajijui hawajitambui. Wanaendesha haraka na kutojali cha Sheria wala eti mwendokasi mwisho wa siku kugonga kwa kujeruhi na hata labda kujikuta mbinguni. Watu kama hao wachukuliwe hatua kali, kuadhibiwa miaka miwili na hata hivyo haitoshi, waadhibiwe kwa makosa mawili; mihadarati na kutofuata sheria hivi basi kupunguza ajali barabarani. Kabla sijasahau kuwekwa sheria kwa kuwa abiria wafunge mishipi ni lazima na iwekwe wajibu. Kwa maana mtu asipofunga, mshipi maisha ya huyo mtu huwa hatarini ni kama kujipeleka kaburini. Huwa ni Mungu nistri tu! Ajali saa yoyote. Dereva apigapo breki kwa sadfa vichwa vyote pu! mbele, kuumia. Yote ya nini? Ni waja hawajali au vipi? Wizara ya uchukuzi wa usalama ibebe majukumu ya kuwalipisha faini kiwango flani ili wajue umuhimu wa mishipi kwa magari na maderera kwa jumla. Licha ya hayo, wanaokuwa na haraka ya kufika mahali haraka wajikakamue warauke kusafiri au kuenda mahali huko. Kwa sababu kama wanenavyo chelewa chelewa utapata mwana si wako. Mtu asisuthubutu kuendesha gari lake mbio na kuhepahepa magari akitarajia kupishwa. Dunia hii hamna hiyo. Mtu araukapo, atapata barabara nyeupe pepepe ila baada ya muda kama saa moja mchana magari hujaa ndi. Na kwa mara nyingine adinasi hujaa na msongo wa mawazo kujiendesha na mwishowe husababisha ajali. Halafu pia kukaguliwe leseni katika, kila eneo la kusafiri. Hivi mara nyingine gari huweza kuwa imeibiwa. Mtu huyo iende awe hajui kuendesha gari. Hatima yake nini kama si ajali? Itabidi tueleze jamii kuwa hali hii ina madhara gani. Kabla kumalizia, madereva waache uzembe katika uendeshaji. Waendesha bodaboda, watembeaji, watu wa mazoezi kadhalika. Kila mtu katika nchi hii na dunia yote kwa jumla atahadhari kabla hatari imfikie mlangoni. Wajue kuwa ajali haimtambui yoyote. Nikikunja janvi la mjadala huu, ni kuwa ajali huleta kifo, majeruhi, mayatima na wajane, utegemezi wa familia kwa mfano huacha kumtegea mama mmoja asiye na kazi wala bazi. Shida Za saikolojia kwa waliofiwa pia huleta chuki baina aliyegonga na aliyegongwa. Pia huweza kumfanya mtu kufutwa kazi kwa kuwa pengine dereva akose mikono au miguu na asiweze hata kuinua kikombe, atafanyaje kazi? Basi tuungane mikono, tuzingatie nji zote za kupunguza ajali. Tushike mkondo wa serikali wasemapo tubebe leseni. Tujue sheria zote kwa jumla. Tutumie baraste ya pundamilia, kivuko cha juu. Tuelimishe watu juu ya ajali hata kama ajali haina kinga, tujihadhari kabla ya hatari. Pamoja tupunguze ajali na hatimaye tumalize janga hili.
Vifo ngapi barabarani viliripotiwa mwaka wa 2020?
{ "text": [ "2869" ] }
0163_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MESTA ZAN ZA BARABARANI NCHINI KENYA. Ajali ni tukio maalumu linalotumbulika na lisiletarajiwa Hutokea mahali fulani, muda bila sababu au makusudi dhahiri na husababisha madhara yaliyodhahiri kama mchana. Vifo ana ainati mnamo mwaka elfu mbili na Ishirini, kumeripotiwa visa vya ajali elfu mbili mia sita themanini na tisa. Kila kukicha ajali huzidi. Idadi ya wanaokufa huzidi. Ili tupunguze ajali inatubidi tukae kitako tufanye utafiti. Hatimaye baada ya dhiki faraja. Zifuatazo ni tariki mbali mbali jinsi ya kupunguza ajali hizi. Awali, barabara yenye mashimo na mabonde ambazo huteleza zifanyiwe maarifa. Wahandisi wa barabara wafanye kazi zao kinagaubaga. Hali hii hufanya wengi kupiga ndoo teke na kuishi maisha mengine jongomeoni . Hii lawama ni ya nani? Wenye maneno ya hekima husema tahadhari kabla ya hatari, walakini sisi binadamu hupuuza, kwanini tusubiri madhara ya tufike? Pili, sheria za baraste ziwekwe almuradi kupunguza ajali nchini. Naam! Sikatai ziko sheria ila wengi hawazifuati na kuyapa kisogo. Kwa mfano mahali kulipo na barabara ya pundamilia warukie hapo kwa sababu hapo ndipo salama kwa wanafunzi na watembezi kurukia. Aidha, vidhibiti mwendo viekwe, kwa mfano katika tariki kuu, kasi ya magari kupunguzwa. Kwa mfano, katika barabara kuu kama vile Thika magari huenda mbio bila msimamo. Ikiendelea hivyo, naona duniani kutakuwa hakuna insi hata mmoja. Ajali haina kinga hivi basi hutulazimu tujihadhari kabla hatari au la sivyo wengi hakuwa ni majuto ni mjukuu na kwa hakika huja baadaye. Pia, watoto waelimshwe sheria za barabara. Si watoto tu hata akina mama na akina baba, aidna wajulishwe kindakindaki wasije wakaleta madhara baadaye. Mtu afundishwe jinsi ya barabara kwanza anafaa aangalie kulia, kisha kushoto kisha kulia mara ya pili ndio avuke kama hakuna magari. Pia matuta yazingatiwe maana lazima mtu apunguze mwendakasi ndio apite mahali kwa matuta. Waelimishwe pia kuwepo kwa kitambaa chekundu kunaarifu hatari, hivi basi lazima mtu ajitenge na mengine mengi yaelimishwe maana yasipozingatiwa kwa hakika ajali itatokea. Mbali na hayo, wizara ya uchukuzi na miundombinu inafaa kushika doria na kuondoa magari yote mabovu. Magari yenye matatizo kwa injini, vioo vya nyuma, vioo vya mbele, breki na yachukuliwe yakaundwe kinagaubaga hadi yawe mazuri kwa maana husababisha ajali. Mara kwa mfano, gari likose breki na hupita mwendokasi hamna budii ila ajali, au shida kwenye tairi kila muda hutoboka ndipo wengi hufa. Fauka ya hayo, ili usalama uongezeke, uchukuzi na usalama wa abiria barabarani pamoja na askari wa barabarani washikane mikono kufanya kazi kadhaa barabarani, mfano, ili usalama uongezeke trafiki lazima wajitawanye kila eneo kuangalia leseni ya madereva kwa sababu wengine, wanajiita madereva ila ni madereva jina tu. Kazi ya udereva hawajui kichwa wala mguu. Usukani hawajui kuushika mtu huyo huwa ana matarajio gani njiani kama si kifo, au kujeruhiwa mkono au mguu? Vilevile, ni muhimu kuwe na sheria kali inayotoa adhabu kwa madereva wasiotii sheria waadhibiwe hadi wajue kilichomtoa kanga manyoya ni nini. Hii ni kwa sababu wanaendesha magari kiholelaholela huweza kwa bahati mbaya kumgonga mtu. Hii huweza kuleta kifo kwa wote si mama, si baba, wala mtoto. Mtu alewapo au atumiapo mihadarati huwa hajijui hajitambui na kuendesha gari mbio za mkizi huishia ukingoni huishia jela kwa kuua au kusababisha majeraha mabaya. Hizi sheria zikiwekwa mtu atakoma kama kikomo kinavyokoma. Atajua leo ni leo msema kesho, ni mwongo atakapo jaribu kuendesha kiholela chuma chake ki motoni. Minghairi ya hayo, barabara za watembezi zijengwe nchini kote Kenya, kwa maana, hebu tafakari barabara moja, imeze kila kitu, magari makubwa hapo, mikokoteni na hata baiskeli hapo na hata watembezi pia. Ndipo chanzo cha ajali huanza, yaani gari lijapo na mwendo wa kasi mwishowe watu hugongwa na kuumia. Baraste za watembezi zijengwapo itakuwa hakuwi na ajali mengi maana magari na watu itakuwa njia mbili watu kuskia mogari kulia. Si siri sirini bali ni dhahiri kama mchana kwamba bila kuwa mataa kwenye kizaau katika hali ya ukungu, kutaleta ajali. Madereva wengine hujikuta mahiri katika uendeshaji hadi kukosa kuwasha mataa au pengine mataa hayafanyi na kupiga moyo hawajui mdharau biu hubiuka. Ajali namna hii hutokea si haba kila mara ajali nyingi hutokea usiku na hali ya ukungu na mvua. Suluhu ni zitengezwe mataa na madereva wasidharau maana mdharau biu hubiuka mwenyewe. Pasi na hayo, vivukio vya juu na ya chini vijengwe. Vivukio ni kwa barabara zilizojaa shughuli na za chini yaani pundamilia kwa barabara ndogo zilizo karibu na ofisi na kwingine kwingi. Iweje bila hizo si ni msiba wa kujitakia. Serikali ifanye kazi yao kwa kujenga vivuki vya watu maana wengi wamejeruhiwa na hufa. Marufuku iwekwe kwa wanaotumia mihadarati barabarani. Kwa mfano kuna wale akina sijali cha mwadhini wala mteka maji msikitini. Wao hufanya watavyo, kama kunywa tembo, kuchonga miraa na kuvuta sigara, hawajui kwani inadhuru wengine. Kwa uhakika basi huwa hawajijui hawajitambui. Wanaendesha haraka na kutojali cha Sheria wala eti mwendokasi mwisho wa siku kugonga kwa kujeruhi na hata labda kujikuta mbinguni. Watu kama hao wachukuliwe hatua kali, kuadhibiwa miaka miwili na hata hivyo haitoshi, waadhibiwe kwa makosa mawili; mihadarati na kutofuata sheria hivi basi kupunguza ajali barabarani. Kabla sijasahau kuwekwa sheria kwa kuwa abiria wafunge mishipi ni lazima na iwekwe wajibu. Kwa maana mtu asipofunga, mshipi maisha ya huyo mtu huwa hatarini ni kama kujipeleka kaburini. Huwa ni Mungu nistri tu! Ajali saa yoyote. Dereva apigapo breki kwa sadfa vichwa vyote pu! mbele, kuumia. Yote ya nini? Ni waja hawajali au vipi? Wizara ya uchukuzi wa usalama ibebe majukumu ya kuwalipisha faini kiwango flani ili wajue umuhimu wa mishipi kwa magari na maderera kwa jumla. Licha ya hayo, wanaokuwa na haraka ya kufika mahali haraka wajikakamue warauke kusafiri au kuenda mahali huko. Kwa sababu kama wanenavyo chelewa chelewa utapata mwana si wako. Mtu asisuthubutu kuendesha gari lake mbio na kuhepahepa magari akitarajia kupishwa. Dunia hii hamna hiyo. Mtu araukapo, atapata barabara nyeupe pepepe ila baada ya muda kama saa moja mchana magari hujaa ndi. Na kwa mara nyingine adinasi hujaa na msongo wa mawazo kujiendesha na mwishowe husababisha ajali. Halafu pia kukaguliwe leseni katika, kila eneo la kusafiri. Hivi mara nyingine gari huweza kuwa imeibiwa. Mtu huyo iende awe hajui kuendesha gari. Hatima yake nini kama si ajali? Itabidi tueleze jamii kuwa hali hii ina madhara gani. Kabla kumalizia, madereva waache uzembe katika uendeshaji. Waendesha bodaboda, watembeaji, watu wa mazoezi kadhalika. Kila mtu katika nchi hii na dunia yote kwa jumla atahadhari kabla hatari imfikie mlangoni. Wajue kuwa ajali haimtambui yoyote. Nikikunja janvi la mjadala huu, ni kuwa ajali huleta kifo, majeruhi, mayatima na wajane, utegemezi wa familia kwa mfano huacha kumtegea mama mmoja asiye na kazi wala bazi. Shida Za saikolojia kwa waliofiwa pia huleta chuki baina aliyegonga na aliyegongwa. Pia huweza kumfanya mtu kufutwa kazi kwa kuwa pengine dereva akose mikono au miguu na asiweze hata kuinua kikombe, atafanyaje kazi? Basi tuungane mikono, tuzingatie nji zote za kupunguza ajali. Tushike mkondo wa serikali wasemapo tubebe leseni. Tujue sheria zote kwa jumla. Tutumie baraste ya pundamilia, kivuko cha juu. Tuelimishe watu juu ya ajali hata kama ajali haina kinga, tujihadhari kabla ya hatari. Pamoja tupunguze ajali na hatimaye tumalize janga hili.
Kuna nini baada ya dhiki?
{ "text": [ "Faraja" ] }
0163_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MESTA ZAN ZA BARABARANI NCHINI KENYA. Ajali ni tukio maalumu linalotumbulika na lisiletarajiwa Hutokea mahali fulani, muda bila sababu au makusudi dhahiri na husababisha madhara yaliyodhahiri kama mchana. Vifo ana ainati mnamo mwaka elfu mbili na Ishirini, kumeripotiwa visa vya ajali elfu mbili mia sita themanini na tisa. Kila kukicha ajali huzidi. Idadi ya wanaokufa huzidi. Ili tupunguze ajali inatubidi tukae kitako tufanye utafiti. Hatimaye baada ya dhiki faraja. Zifuatazo ni tariki mbali mbali jinsi ya kupunguza ajali hizi. Awali, barabara yenye mashimo na mabonde ambazo huteleza zifanyiwe maarifa. Wahandisi wa barabara wafanye kazi zao kinagaubaga. Hali hii hufanya wengi kupiga ndoo teke na kuishi maisha mengine jongomeoni . Hii lawama ni ya nani? Wenye maneno ya hekima husema tahadhari kabla ya hatari, walakini sisi binadamu hupuuza, kwanini tusubiri madhara ya tufike? Pili, sheria za baraste ziwekwe almuradi kupunguza ajali nchini. Naam! Sikatai ziko sheria ila wengi hawazifuati na kuyapa kisogo. Kwa mfano mahali kulipo na barabara ya pundamilia warukie hapo kwa sababu hapo ndipo salama kwa wanafunzi na watembezi kurukia. Aidha, vidhibiti mwendo viekwe, kwa mfano katika tariki kuu, kasi ya magari kupunguzwa. Kwa mfano, katika barabara kuu kama vile Thika magari huenda mbio bila msimamo. Ikiendelea hivyo, naona duniani kutakuwa hakuna insi hata mmoja. Ajali haina kinga hivi basi hutulazimu tujihadhari kabla hatari au la sivyo wengi hakuwa ni majuto ni mjukuu na kwa hakika huja baadaye. Pia, watoto waelimshwe sheria za barabara. Si watoto tu hata akina mama na akina baba, aidna wajulishwe kindakindaki wasije wakaleta madhara baadaye. Mtu afundishwe jinsi ya barabara kwanza anafaa aangalie kulia, kisha kushoto kisha kulia mara ya pili ndio avuke kama hakuna magari. Pia matuta yazingatiwe maana lazima mtu apunguze mwendakasi ndio apite mahali kwa matuta. Waelimishwe pia kuwepo kwa kitambaa chekundu kunaarifu hatari, hivi basi lazima mtu ajitenge na mengine mengi yaelimishwe maana yasipozingatiwa kwa hakika ajali itatokea. Mbali na hayo, wizara ya uchukuzi na miundombinu inafaa kushika doria na kuondoa magari yote mabovu. Magari yenye matatizo kwa injini, vioo vya nyuma, vioo vya mbele, breki na yachukuliwe yakaundwe kinagaubaga hadi yawe mazuri kwa maana husababisha ajali. Mara kwa mfano, gari likose breki na hupita mwendokasi hamna budii ila ajali, au shida kwenye tairi kila muda hutoboka ndipo wengi hufa. Fauka ya hayo, ili usalama uongezeke, uchukuzi na usalama wa abiria barabarani pamoja na askari wa barabarani washikane mikono kufanya kazi kadhaa barabarani, mfano, ili usalama uongezeke trafiki lazima wajitawanye kila eneo kuangalia leseni ya madereva kwa sababu wengine, wanajiita madereva ila ni madereva jina tu. Kazi ya udereva hawajui kichwa wala mguu. Usukani hawajui kuushika mtu huyo huwa ana matarajio gani njiani kama si kifo, au kujeruhiwa mkono au mguu? Vilevile, ni muhimu kuwe na sheria kali inayotoa adhabu kwa madereva wasiotii sheria waadhibiwe hadi wajue kilichomtoa kanga manyoya ni nini. Hii ni kwa sababu wanaendesha magari kiholelaholela huweza kwa bahati mbaya kumgonga mtu. Hii huweza kuleta kifo kwa wote si mama, si baba, wala mtoto. Mtu alewapo au atumiapo mihadarati huwa hajijui hajitambui na kuendesha gari mbio za mkizi huishia ukingoni huishia jela kwa kuua au kusababisha majeraha mabaya. Hizi sheria zikiwekwa mtu atakoma kama kikomo kinavyokoma. Atajua leo ni leo msema kesho, ni mwongo atakapo jaribu kuendesha kiholela chuma chake ki motoni. Minghairi ya hayo, barabara za watembezi zijengwe nchini kote Kenya, kwa maana, hebu tafakari barabara moja, imeze kila kitu, magari makubwa hapo, mikokoteni na hata baiskeli hapo na hata watembezi pia. Ndipo chanzo cha ajali huanza, yaani gari lijapo na mwendo wa kasi mwishowe watu hugongwa na kuumia. Baraste za watembezi zijengwapo itakuwa hakuwi na ajali mengi maana magari na watu itakuwa njia mbili watu kuskia mogari kulia. Si siri sirini bali ni dhahiri kama mchana kwamba bila kuwa mataa kwenye kizaau katika hali ya ukungu, kutaleta ajali. Madereva wengine hujikuta mahiri katika uendeshaji hadi kukosa kuwasha mataa au pengine mataa hayafanyi na kupiga moyo hawajui mdharau biu hubiuka. Ajali namna hii hutokea si haba kila mara ajali nyingi hutokea usiku na hali ya ukungu na mvua. Suluhu ni zitengezwe mataa na madereva wasidharau maana mdharau biu hubiuka mwenyewe. Pasi na hayo, vivukio vya juu na ya chini vijengwe. Vivukio ni kwa barabara zilizojaa shughuli na za chini yaani pundamilia kwa barabara ndogo zilizo karibu na ofisi na kwingine kwingi. Iweje bila hizo si ni msiba wa kujitakia. Serikali ifanye kazi yao kwa kujenga vivuki vya watu maana wengi wamejeruhiwa na hufa. Marufuku iwekwe kwa wanaotumia mihadarati barabarani. Kwa mfano kuna wale akina sijali cha mwadhini wala mteka maji msikitini. Wao hufanya watavyo, kama kunywa tembo, kuchonga miraa na kuvuta sigara, hawajui kwani inadhuru wengine. Kwa uhakika basi huwa hawajijui hawajitambui. Wanaendesha haraka na kutojali cha Sheria wala eti mwendokasi mwisho wa siku kugonga kwa kujeruhi na hata labda kujikuta mbinguni. Watu kama hao wachukuliwe hatua kali, kuadhibiwa miaka miwili na hata hivyo haitoshi, waadhibiwe kwa makosa mawili; mihadarati na kutofuata sheria hivi basi kupunguza ajali barabarani. Kabla sijasahau kuwekwa sheria kwa kuwa abiria wafunge mishipi ni lazima na iwekwe wajibu. Kwa maana mtu asipofunga, mshipi maisha ya huyo mtu huwa hatarini ni kama kujipeleka kaburini. Huwa ni Mungu nistri tu! Ajali saa yoyote. Dereva apigapo breki kwa sadfa vichwa vyote pu! mbele, kuumia. Yote ya nini? Ni waja hawajali au vipi? Wizara ya uchukuzi wa usalama ibebe majukumu ya kuwalipisha faini kiwango flani ili wajue umuhimu wa mishipi kwa magari na maderera kwa jumla. Licha ya hayo, wanaokuwa na haraka ya kufika mahali haraka wajikakamue warauke kusafiri au kuenda mahali huko. Kwa sababu kama wanenavyo chelewa chelewa utapata mwana si wako. Mtu asisuthubutu kuendesha gari lake mbio na kuhepahepa magari akitarajia kupishwa. Dunia hii hamna hiyo. Mtu araukapo, atapata barabara nyeupe pepepe ila baada ya muda kama saa moja mchana magari hujaa ndi. Na kwa mara nyingine adinasi hujaa na msongo wa mawazo kujiendesha na mwishowe husababisha ajali. Halafu pia kukaguliwe leseni katika, kila eneo la kusafiri. Hivi mara nyingine gari huweza kuwa imeibiwa. Mtu huyo iende awe hajui kuendesha gari. Hatima yake nini kama si ajali? Itabidi tueleze jamii kuwa hali hii ina madhara gani. Kabla kumalizia, madereva waache uzembe katika uendeshaji. Waendesha bodaboda, watembeaji, watu wa mazoezi kadhalika. Kila mtu katika nchi hii na dunia yote kwa jumla atahadhari kabla hatari imfikie mlangoni. Wajue kuwa ajali haimtambui yoyote. Nikikunja janvi la mjadala huu, ni kuwa ajali huleta kifo, majeruhi, mayatima na wajane, utegemezi wa familia kwa mfano huacha kumtegea mama mmoja asiye na kazi wala bazi. Shida Za saikolojia kwa waliofiwa pia huleta chuki baina aliyegonga na aliyegongwa. Pia huweza kumfanya mtu kufutwa kazi kwa kuwa pengine dereva akose mikono au miguu na asiweze hata kuinua kikombe, atafanyaje kazi? Basi tuungane mikono, tuzingatie nji zote za kupunguza ajali. Tushike mkondo wa serikali wasemapo tubebe leseni. Tujue sheria zote kwa jumla. Tutumie baraste ya pundamilia, kivuko cha juu. Tuelimishe watu juu ya ajali hata kama ajali haina kinga, tujihadhari kabla ya hatari. Pamoja tupunguze ajali na hatimaye tumalize janga hili.
Nani hutengeneza barabara?
{ "text": [ "Wahandisi" ] }
0163_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MESTA ZAN ZA BARABARANI NCHINI KENYA. Ajali ni tukio maalumu linalotumbulika na lisiletarajiwa Hutokea mahali fulani, muda bila sababu au makusudi dhahiri na husababisha madhara yaliyodhahiri kama mchana. Vifo ana ainati mnamo mwaka elfu mbili na Ishirini, kumeripotiwa visa vya ajali elfu mbili mia sita themanini na tisa. Kila kukicha ajali huzidi. Idadi ya wanaokufa huzidi. Ili tupunguze ajali inatubidi tukae kitako tufanye utafiti. Hatimaye baada ya dhiki faraja. Zifuatazo ni tariki mbali mbali jinsi ya kupunguza ajali hizi. Awali, barabara yenye mashimo na mabonde ambazo huteleza zifanyiwe maarifa. Wahandisi wa barabara wafanye kazi zao kinagaubaga. Hali hii hufanya wengi kupiga ndoo teke na kuishi maisha mengine jongomeoni . Hii lawama ni ya nani? Wenye maneno ya hekima husema tahadhari kabla ya hatari, walakini sisi binadamu hupuuza, kwanini tusubiri madhara ya tufike? Pili, sheria za baraste ziwekwe almuradi kupunguza ajali nchini. Naam! Sikatai ziko sheria ila wengi hawazifuati na kuyapa kisogo. Kwa mfano mahali kulipo na barabara ya pundamilia warukie hapo kwa sababu hapo ndipo salama kwa wanafunzi na watembezi kurukia. Aidha, vidhibiti mwendo viekwe, kwa mfano katika tariki kuu, kasi ya magari kupunguzwa. Kwa mfano, katika barabara kuu kama vile Thika magari huenda mbio bila msimamo. Ikiendelea hivyo, naona duniani kutakuwa hakuna insi hata mmoja. Ajali haina kinga hivi basi hutulazimu tujihadhari kabla hatari au la sivyo wengi hakuwa ni majuto ni mjukuu na kwa hakika huja baadaye. Pia, watoto waelimshwe sheria za barabara. Si watoto tu hata akina mama na akina baba, aidna wajulishwe kindakindaki wasije wakaleta madhara baadaye. Mtu afundishwe jinsi ya barabara kwanza anafaa aangalie kulia, kisha kushoto kisha kulia mara ya pili ndio avuke kama hakuna magari. Pia matuta yazingatiwe maana lazima mtu apunguze mwendakasi ndio apite mahali kwa matuta. Waelimishwe pia kuwepo kwa kitambaa chekundu kunaarifu hatari, hivi basi lazima mtu ajitenge na mengine mengi yaelimishwe maana yasipozingatiwa kwa hakika ajali itatokea. Mbali na hayo, wizara ya uchukuzi na miundombinu inafaa kushika doria na kuondoa magari yote mabovu. Magari yenye matatizo kwa injini, vioo vya nyuma, vioo vya mbele, breki na yachukuliwe yakaundwe kinagaubaga hadi yawe mazuri kwa maana husababisha ajali. Mara kwa mfano, gari likose breki na hupita mwendokasi hamna budii ila ajali, au shida kwenye tairi kila muda hutoboka ndipo wengi hufa. Fauka ya hayo, ili usalama uongezeke, uchukuzi na usalama wa abiria barabarani pamoja na askari wa barabarani washikane mikono kufanya kazi kadhaa barabarani, mfano, ili usalama uongezeke trafiki lazima wajitawanye kila eneo kuangalia leseni ya madereva kwa sababu wengine, wanajiita madereva ila ni madereva jina tu. Kazi ya udereva hawajui kichwa wala mguu. Usukani hawajui kuushika mtu huyo huwa ana matarajio gani njiani kama si kifo, au kujeruhiwa mkono au mguu? Vilevile, ni muhimu kuwe na sheria kali inayotoa adhabu kwa madereva wasiotii sheria waadhibiwe hadi wajue kilichomtoa kanga manyoya ni nini. Hii ni kwa sababu wanaendesha magari kiholelaholela huweza kwa bahati mbaya kumgonga mtu. Hii huweza kuleta kifo kwa wote si mama, si baba, wala mtoto. Mtu alewapo au atumiapo mihadarati huwa hajijui hajitambui na kuendesha gari mbio za mkizi huishia ukingoni huishia jela kwa kuua au kusababisha majeraha mabaya. Hizi sheria zikiwekwa mtu atakoma kama kikomo kinavyokoma. Atajua leo ni leo msema kesho, ni mwongo atakapo jaribu kuendesha kiholela chuma chake ki motoni. Minghairi ya hayo, barabara za watembezi zijengwe nchini kote Kenya, kwa maana, hebu tafakari barabara moja, imeze kila kitu, magari makubwa hapo, mikokoteni na hata baiskeli hapo na hata watembezi pia. Ndipo chanzo cha ajali huanza, yaani gari lijapo na mwendo wa kasi mwishowe watu hugongwa na kuumia. Baraste za watembezi zijengwapo itakuwa hakuwi na ajali mengi maana magari na watu itakuwa njia mbili watu kuskia mogari kulia. Si siri sirini bali ni dhahiri kama mchana kwamba bila kuwa mataa kwenye kizaau katika hali ya ukungu, kutaleta ajali. Madereva wengine hujikuta mahiri katika uendeshaji hadi kukosa kuwasha mataa au pengine mataa hayafanyi na kupiga moyo hawajui mdharau biu hubiuka. Ajali namna hii hutokea si haba kila mara ajali nyingi hutokea usiku na hali ya ukungu na mvua. Suluhu ni zitengezwe mataa na madereva wasidharau maana mdharau biu hubiuka mwenyewe. Pasi na hayo, vivukio vya juu na ya chini vijengwe. Vivukio ni kwa barabara zilizojaa shughuli na za chini yaani pundamilia kwa barabara ndogo zilizo karibu na ofisi na kwingine kwingi. Iweje bila hizo si ni msiba wa kujitakia. Serikali ifanye kazi yao kwa kujenga vivuki vya watu maana wengi wamejeruhiwa na hufa. Marufuku iwekwe kwa wanaotumia mihadarati barabarani. Kwa mfano kuna wale akina sijali cha mwadhini wala mteka maji msikitini. Wao hufanya watavyo, kama kunywa tembo, kuchonga miraa na kuvuta sigara, hawajui kwani inadhuru wengine. Kwa uhakika basi huwa hawajijui hawajitambui. Wanaendesha haraka na kutojali cha Sheria wala eti mwendokasi mwisho wa siku kugonga kwa kujeruhi na hata labda kujikuta mbinguni. Watu kama hao wachukuliwe hatua kali, kuadhibiwa miaka miwili na hata hivyo haitoshi, waadhibiwe kwa makosa mawili; mihadarati na kutofuata sheria hivi basi kupunguza ajali barabarani. Kabla sijasahau kuwekwa sheria kwa kuwa abiria wafunge mishipi ni lazima na iwekwe wajibu. Kwa maana mtu asipofunga, mshipi maisha ya huyo mtu huwa hatarini ni kama kujipeleka kaburini. Huwa ni Mungu nistri tu! Ajali saa yoyote. Dereva apigapo breki kwa sadfa vichwa vyote pu! mbele, kuumia. Yote ya nini? Ni waja hawajali au vipi? Wizara ya uchukuzi wa usalama ibebe majukumu ya kuwalipisha faini kiwango flani ili wajue umuhimu wa mishipi kwa magari na maderera kwa jumla. Licha ya hayo, wanaokuwa na haraka ya kufika mahali haraka wajikakamue warauke kusafiri au kuenda mahali huko. Kwa sababu kama wanenavyo chelewa chelewa utapata mwana si wako. Mtu asisuthubutu kuendesha gari lake mbio na kuhepahepa magari akitarajia kupishwa. Dunia hii hamna hiyo. Mtu araukapo, atapata barabara nyeupe pepepe ila baada ya muda kama saa moja mchana magari hujaa ndi. Na kwa mara nyingine adinasi hujaa na msongo wa mawazo kujiendesha na mwishowe husababisha ajali. Halafu pia kukaguliwe leseni katika, kila eneo la kusafiri. Hivi mara nyingine gari huweza kuwa imeibiwa. Mtu huyo iende awe hajui kuendesha gari. Hatima yake nini kama si ajali? Itabidi tueleze jamii kuwa hali hii ina madhara gani. Kabla kumalizia, madereva waache uzembe katika uendeshaji. Waendesha bodaboda, watembeaji, watu wa mazoezi kadhalika. Kila mtu katika nchi hii na dunia yote kwa jumla atahadhari kabla hatari imfikie mlangoni. Wajue kuwa ajali haimtambui yoyote. Nikikunja janvi la mjadala huu, ni kuwa ajali huleta kifo, majeruhi, mayatima na wajane, utegemezi wa familia kwa mfano huacha kumtegea mama mmoja asiye na kazi wala bazi. Shida Za saikolojia kwa waliofiwa pia huleta chuki baina aliyegonga na aliyegongwa. Pia huweza kumfanya mtu kufutwa kazi kwa kuwa pengine dereva akose mikono au miguu na asiweze hata kuinua kikombe, atafanyaje kazi? Basi tuungane mikono, tuzingatie nji zote za kupunguza ajali. Tushike mkondo wa serikali wasemapo tubebe leseni. Tujue sheria zote kwa jumla. Tutumie baraste ya pundamilia, kivuko cha juu. Tuelimishe watu juu ya ajali hata kama ajali haina kinga, tujihadhari kabla ya hatari. Pamoja tupunguze ajali na hatimaye tumalize janga hili.
Ajali haina nini?
{ "text": [ "Kinga" ] }
0163_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MESTA ZAN ZA BARABARANI NCHINI KENYA. Ajali ni tukio maalumu linalotumbulika na lisiletarajiwa Hutokea mahali fulani, muda bila sababu au makusudi dhahiri na husababisha madhara yaliyodhahiri kama mchana. Vifo ana ainati mnamo mwaka elfu mbili na Ishirini, kumeripotiwa visa vya ajali elfu mbili mia sita themanini na tisa. Kila kukicha ajali huzidi. Idadi ya wanaokufa huzidi. Ili tupunguze ajali inatubidi tukae kitako tufanye utafiti. Hatimaye baada ya dhiki faraja. Zifuatazo ni tariki mbali mbali jinsi ya kupunguza ajali hizi. Awali, barabara yenye mashimo na mabonde ambazo huteleza zifanyiwe maarifa. Wahandisi wa barabara wafanye kazi zao kinagaubaga. Hali hii hufanya wengi kupiga ndoo teke na kuishi maisha mengine jongomeoni . Hii lawama ni ya nani? Wenye maneno ya hekima husema tahadhari kabla ya hatari, walakini sisi binadamu hupuuza, kwanini tusubiri madhara ya tufike? Pili, sheria za baraste ziwekwe almuradi kupunguza ajali nchini. Naam! Sikatai ziko sheria ila wengi hawazifuati na kuyapa kisogo. Kwa mfano mahali kulipo na barabara ya pundamilia warukie hapo kwa sababu hapo ndipo salama kwa wanafunzi na watembezi kurukia. Aidha, vidhibiti mwendo viekwe, kwa mfano katika tariki kuu, kasi ya magari kupunguzwa. Kwa mfano, katika barabara kuu kama vile Thika magari huenda mbio bila msimamo. Ikiendelea hivyo, naona duniani kutakuwa hakuna insi hata mmoja. Ajali haina kinga hivi basi hutulazimu tujihadhari kabla hatari au la sivyo wengi hakuwa ni majuto ni mjukuu na kwa hakika huja baadaye. Pia, watoto waelimshwe sheria za barabara. Si watoto tu hata akina mama na akina baba, aidna wajulishwe kindakindaki wasije wakaleta madhara baadaye. Mtu afundishwe jinsi ya barabara kwanza anafaa aangalie kulia, kisha kushoto kisha kulia mara ya pili ndio avuke kama hakuna magari. Pia matuta yazingatiwe maana lazima mtu apunguze mwendakasi ndio apite mahali kwa matuta. Waelimishwe pia kuwepo kwa kitambaa chekundu kunaarifu hatari, hivi basi lazima mtu ajitenge na mengine mengi yaelimishwe maana yasipozingatiwa kwa hakika ajali itatokea. Mbali na hayo, wizara ya uchukuzi na miundombinu inafaa kushika doria na kuondoa magari yote mabovu. Magari yenye matatizo kwa injini, vioo vya nyuma, vioo vya mbele, breki na yachukuliwe yakaundwe kinagaubaga hadi yawe mazuri kwa maana husababisha ajali. Mara kwa mfano, gari likose breki na hupita mwendokasi hamna budii ila ajali, au shida kwenye tairi kila muda hutoboka ndipo wengi hufa. Fauka ya hayo, ili usalama uongezeke, uchukuzi na usalama wa abiria barabarani pamoja na askari wa barabarani washikane mikono kufanya kazi kadhaa barabarani, mfano, ili usalama uongezeke trafiki lazima wajitawanye kila eneo kuangalia leseni ya madereva kwa sababu wengine, wanajiita madereva ila ni madereva jina tu. Kazi ya udereva hawajui kichwa wala mguu. Usukani hawajui kuushika mtu huyo huwa ana matarajio gani njiani kama si kifo, au kujeruhiwa mkono au mguu? Vilevile, ni muhimu kuwe na sheria kali inayotoa adhabu kwa madereva wasiotii sheria waadhibiwe hadi wajue kilichomtoa kanga manyoya ni nini. Hii ni kwa sababu wanaendesha magari kiholelaholela huweza kwa bahati mbaya kumgonga mtu. Hii huweza kuleta kifo kwa wote si mama, si baba, wala mtoto. Mtu alewapo au atumiapo mihadarati huwa hajijui hajitambui na kuendesha gari mbio za mkizi huishia ukingoni huishia jela kwa kuua au kusababisha majeraha mabaya. Hizi sheria zikiwekwa mtu atakoma kama kikomo kinavyokoma. Atajua leo ni leo msema kesho, ni mwongo atakapo jaribu kuendesha kiholela chuma chake ki motoni. Minghairi ya hayo, barabara za watembezi zijengwe nchini kote Kenya, kwa maana, hebu tafakari barabara moja, imeze kila kitu, magari makubwa hapo, mikokoteni na hata baiskeli hapo na hata watembezi pia. Ndipo chanzo cha ajali huanza, yaani gari lijapo na mwendo wa kasi mwishowe watu hugongwa na kuumia. Baraste za watembezi zijengwapo itakuwa hakuwi na ajali mengi maana magari na watu itakuwa njia mbili watu kuskia mogari kulia. Si siri sirini bali ni dhahiri kama mchana kwamba bila kuwa mataa kwenye kizaau katika hali ya ukungu, kutaleta ajali. Madereva wengine hujikuta mahiri katika uendeshaji hadi kukosa kuwasha mataa au pengine mataa hayafanyi na kupiga moyo hawajui mdharau biu hubiuka. Ajali namna hii hutokea si haba kila mara ajali nyingi hutokea usiku na hali ya ukungu na mvua. Suluhu ni zitengezwe mataa na madereva wasidharau maana mdharau biu hubiuka mwenyewe. Pasi na hayo, vivukio vya juu na ya chini vijengwe. Vivukio ni kwa barabara zilizojaa shughuli na za chini yaani pundamilia kwa barabara ndogo zilizo karibu na ofisi na kwingine kwingi. Iweje bila hizo si ni msiba wa kujitakia. Serikali ifanye kazi yao kwa kujenga vivuki vya watu maana wengi wamejeruhiwa na hufa. Marufuku iwekwe kwa wanaotumia mihadarati barabarani. Kwa mfano kuna wale akina sijali cha mwadhini wala mteka maji msikitini. Wao hufanya watavyo, kama kunywa tembo, kuchonga miraa na kuvuta sigara, hawajui kwani inadhuru wengine. Kwa uhakika basi huwa hawajijui hawajitambui. Wanaendesha haraka na kutojali cha Sheria wala eti mwendokasi mwisho wa siku kugonga kwa kujeruhi na hata labda kujikuta mbinguni. Watu kama hao wachukuliwe hatua kali, kuadhibiwa miaka miwili na hata hivyo haitoshi, waadhibiwe kwa makosa mawili; mihadarati na kutofuata sheria hivi basi kupunguza ajali barabarani. Kabla sijasahau kuwekwa sheria kwa kuwa abiria wafunge mishipi ni lazima na iwekwe wajibu. Kwa maana mtu asipofunga, mshipi maisha ya huyo mtu huwa hatarini ni kama kujipeleka kaburini. Huwa ni Mungu nistri tu! Ajali saa yoyote. Dereva apigapo breki kwa sadfa vichwa vyote pu! mbele, kuumia. Yote ya nini? Ni waja hawajali au vipi? Wizara ya uchukuzi wa usalama ibebe majukumu ya kuwalipisha faini kiwango flani ili wajue umuhimu wa mishipi kwa magari na maderera kwa jumla. Licha ya hayo, wanaokuwa na haraka ya kufika mahali haraka wajikakamue warauke kusafiri au kuenda mahali huko. Kwa sababu kama wanenavyo chelewa chelewa utapata mwana si wako. Mtu asisuthubutu kuendesha gari lake mbio na kuhepahepa magari akitarajia kupishwa. Dunia hii hamna hiyo. Mtu araukapo, atapata barabara nyeupe pepepe ila baada ya muda kama saa moja mchana magari hujaa ndi. Na kwa mara nyingine adinasi hujaa na msongo wa mawazo kujiendesha na mwishowe husababisha ajali. Halafu pia kukaguliwe leseni katika, kila eneo la kusafiri. Hivi mara nyingine gari huweza kuwa imeibiwa. Mtu huyo iende awe hajui kuendesha gari. Hatima yake nini kama si ajali? Itabidi tueleze jamii kuwa hali hii ina madhara gani. Kabla kumalizia, madereva waache uzembe katika uendeshaji. Waendesha bodaboda, watembeaji, watu wa mazoezi kadhalika. Kila mtu katika nchi hii na dunia yote kwa jumla atahadhari kabla hatari imfikie mlangoni. Wajue kuwa ajali haimtambui yoyote. Nikikunja janvi la mjadala huu, ni kuwa ajali huleta kifo, majeruhi, mayatima na wajane, utegemezi wa familia kwa mfano huacha kumtegea mama mmoja asiye na kazi wala bazi. Shida Za saikolojia kwa waliofiwa pia huleta chuki baina aliyegonga na aliyegongwa. Pia huweza kumfanya mtu kufutwa kazi kwa kuwa pengine dereva akose mikono au miguu na asiweze hata kuinua kikombe, atafanyaje kazi? Basi tuungane mikono, tuzingatie nji zote za kupunguza ajali. Tushike mkondo wa serikali wasemapo tubebe leseni. Tujue sheria zote kwa jumla. Tutumie baraste ya pundamilia, kivuko cha juu. Tuelimishe watu juu ya ajali hata kama ajali haina kinga, tujihadhari kabla ya hatari. Pamoja tupunguze ajali na hatimaye tumalize janga hili.
Sheria zipi zinafaa kuwekwa?
{ "text": [ "Za baraste ili kupunguza ajali" ] }
0164_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA UGONJWA WA CORONA KATIKA JAMII Ugonjwa wa UVIKO 19 ni maradhi tandaru yanayosababishwa na virusi vya corona· Ugonjwa huu unasambaa haraka kutoka mtu mmoja hadi mwingine. Hadi kufikia leo tarehe ishirini na tatu Februari, idadi ya wagonjwa waliothibitishia ulimwenguni ni milioni mia moja kumi na mbili, mia tano kumi na mbili elfu, mia tano, themanini na wanne idadi ya vifo mikononi mwa corona duniani ni milioni mbili, mia nne na tisini na moja elfu mia tisa arobaini na wawili. Madaktari na serikali wamependekeza mikakati ya kudhibiti maambukizi. Kama ufungaji wa mipaka, upimaji wa mipaka nchini, kuweka zuio la kutotembea na waliokuwa mstari wa mbele kupigana na ugonjwa huu kuwa na vifaa vya kujikinga mathalani glavu, barakoa , vikinga uso, mavazi gubiko na vitakasa. Ugonjwa huu una athari nyingi sana. Kwanza kama tunavyoona hapo juu, waathiriwa wengi waenda jongomeo· Aila nyingi zimepoteza wapendwa wao na wengi wao kukosa fursa ya kuwapa heshima yao ya mwisho kwani serikali pamoja na madaktari wameweka sheria ya kutowazika waathiriwa na kulazimika kuzikwa na washikadi. Katika jambo hili kwa hofu ya maambukizi ya ziada. Kufariki wa watu kumeleta matokeo hasi kwa kuwa idadi ya wananchi katika jamii inapungua kwa asilimia kubwa na hili linaweza kuleta hasara katika ukuzaji wa jamii kwa ujumla. Halikadhalika, kutosana na vifo hivi, uchumi umezorota pakubwa sana. Isitoshe, mlipuko wa ugonjwa wa UVIKO 19 umefanya waajiriwa kupigwa kalamu kazini. Jambo hili limewafanya wao kukosa na kushindwa kutekeleza majukumu yao ya lazima majumbani. Familia nyingi zimelazimika kulala njaa kwani hazina fedha za kujikimu kimaisha. Walalahoi na kina yahe ndiyo walioathirika zaidi kwani waliwategemea waliokuwa na kazi kuwasitiri nao wameshafutwa kazi. Maisha yao yamekuwa magumu kama maisha ya swara mbele ya meno ya simba. Ashakum si matusi nguo ya kuazima haisitiri matako. lsitoshe, UVIKO 19 ni maradhi yaliyochangia katika ongezeko la uhalifu· Vijana kwa wazee wamebaki nyumbani wasijue la mwadhini wala mteka maji msikitini. Imewalazimu vijana hao kujiunga na makundi ya uhalifu. Watoto hapo mwanzo walijishughulisha na masomo ila sasa hivi wote au wengi wao wamejitosa katika bahari ya utumiaji mihadarati na hata biashara haramu. Wengi wao wamekuwa watapeli, wezi wa mabavu na wachopozi . Aidha, ibada kwa upande mwingine zimeathirika. Kama mila na desturi, wanadini hujumuika katika maabadi kama makanisa, misikiti au mahekalu ili kuomba na kutoa shukurani kwa maulana, muumba mbingu na ardhi. Baada ya corona kutawala jamii zetu, serikali iliweka sheria za kuongoza ibada maabadini. Sheria hizi zimewanyima ruhusa wakongo waliozidi miaka sitini na mitatu na watoto walio chini ya miaka kumi na mitatu kuhudhuria ibada. Watu kati ya umri huu wako katika makundi yaliyo na hatari kubwa ya uambukizaji. Mwacha mila si mtumwa ila kwa tukio kama hilo lisilo budi hubidi. Juu ya hayo, unyanyapaa katika jamii umekithiri. Jamaa wenye watu walioambukizwa na virusi vya corona hutengwa na wengine kusahauliwa katika kaburi la sahau na wanajamii wenzao. Hili limewaletea waliokumbwa na unyanyapaa huu hasara nyingi kwa sababu jambo hili limewaathiri kisaikolojia. Nikiongezea, watu hawa walikosa bidhaa aula kwani walitengwa mbali sana na jamii na wengine kuachwa bila hata chakula. Dhana mbaya iliwekwa kuwa jamii fulani ndio wasambazaji wa virusi hivi vya corona na hili sio sawa kabisa. Ilipaswa tuwashike mikono kuwasaidia na kuwaomba wengine kufuata masharti ya kujikinga dhidi ya corona na wawe waangalifu zaidi kuzuia maambukizi ya haraka. Kwa kweli, kinga ni kabla ya tiba. Hakika usafiri ulisitishwa kwa sababu ya mikakati iliyowekwa jamiini na serikali kwa sababu ya kudhibiti usambazaji wa virusi kwa mfano, zuio la kutotoka hususani usiku na kupigwa marufuku uchukuzi. Jambo hili limeathiri madereva wengi kwani wamekosa kazi ambazo zilikuwa zikiwapa angalau tonge lao la siku· Wachukuzi wengi walikosa kusafirisha bidhaa zao muhimu kwa mfano, matunda na nafaka hatimaye wakulima wamepata hasara kwa kutosafirisha mazao yao na mengi yaliharibika mashambani. Watu kutoka jamii mbalimbali walishindwa kusafiri pia. Zaidi ya hayo yote, mila na tamaduni zimeathirika. Mila mbalimbali kama mila ya upashaji tohara inayofanyika kila mwaka katika jamii mbalimbali ilionekana dhahiri shahiri kama jua la mtikati kutofanyika toka virusi vya corona vianze. Wazee walipaswa kufuata masharti kwani utangamano wao katika kukamilisha tamaduni zao ungewaeka katika hatari ya kuambukizana virusi vya corona· Mila kama kusalimiana na kupigana pambaja zimepigwa marufuku kabisa kuzuia usambao wa virusi. Sheria kali huchukuliwa kwa mwenye kufanya tamaduni hizi kinyume cha sheria. Juu ya hayo, sherehe za kitaifa za jamii yetu ya Kenya zimeathirika kwani kwa kuhofia usambazaji wa virusi vya corona. Sherehe kama vile ya sikukuu ya Jamhuri ilifanywa katika ikulu ya rais kukiwa na wageni wachache waliokuwa wakizingatia mikakati ya kudhibiti maambukizi kama kuna umbali wa mita moja unusu na uoshaji wa mikono mara kwa mara au utumiaji wa viyeyuzi venye kiwango cha asilimia sitini ya pombe. Sherehe kama Krisimasi katika jamii ya Wakristo na Iddi katika jamii ya Waislamu zilisherehekewa tofauti bila shamra shamra za hapa na pale Fauka ya hayo, mfumo mpya wa masomo ya kiteknolojia limechangia katika matumizi mabaya ya mtandao. Wanafunzi walilazimika kurudi nyumbani na kuanza kujisomea wenyewe. Katika kujisomea wenyewe, wao hupata fursa ya kuona picha chafu zilizomo mtandaoni na kubadili tabia zao. Wakati mwingine wanapokuwa wanapakua maswali kwa walimu mtandaoni, wengi wao huwa si walimu ila huwanyanyasa na kuwadhulumu wanafunzi hao kimapenzi mtandaoni· Hao ni kondoo waliovalia ngozi ya chui. Pia, masomo yamezorota sana. Watoto wa kina yahe wasio na uwezo wa kutafuta simu au vipakatalishi, walilazimika kubaki vivyo hivyo wasiwe na la kufanya. Watoto hawa walibaki wakifanya kazi za nyumbani na kupoteza wakati wao mwingi kufanya mambo ambayo yasingewaletea faida katika maisha yao. Watoto hawa ndio huanguka mtihani baada ya shule kufunguliwa kwani hawakuwa na nafasi ya kuendeleza masomo yao. Tena, michezo ilisitizwa mathalan michezo ya Olimpiki ya Tokyo haikufanyika· Jamii ya Tokyo ilikuwa imejitayarisha kupokea wageni na vikombe huku ikijua bayana kuwa mcheza kwao hutuzwa. Walitarajia kupata pesa kwani wangefanya biashara mbalimbali kama hoteli zao zingepata wateja na hata bidhaa zao zingenunuliwa kwa wingi. Mambo haya yote yalienda kinyume na matarajio na matayarisho yao yote yaliambulia patupu. Licha ya hayo, vipawa vya uandishi vimedorora kwani waandishi wana nafasi mwafaka ya kuandika vitabu na kutunga tungo zao. Hakuna mipaka imefungwa kwa hiyo waandishi wameshindwa kusafirisha vitabu vyao katika nchi jirani ili kupigwa mnada. Hili limesababisha wao kusita kuandika kwa sababu hawapati faida kama ilivyokuwa kabla ya ugonjwa huu kuwasili katika jamii zetu. Mighaini ya hayo, biashara nyingi zimerudi nyuma hususani utalii katika jamii. Watalii walipungua kwa idadi kubwa kwa sababu uchukuzi ulisitizwa, zuio la kutotoka na hata zuio la kutembea na zuio la kusafiri kutoka nchi moja hadi nyingine kulipigwa marufuku. Hili limefanya watalii kutoka nchi mbalimbali kutoingia katika jamii yetu ya Kenya. Hoteli na sehemu za kujivinjari zililazimika kufungwa. Kabla sijasahau, ufisadi umekithiri sana wakati wa Virusi hivi vya corona. Viongozi wengi wanachukulia mambo kimzaha na hawayatilii mkazo. Pesa nyingi za msaada zilizotengwa na serikali, mashirika mbalimbali ya msaada na hata nchi za kigeni kusaidia jamii wakati huu mgumu zimeishia matumboni mwa watu wabinafsi na walafi jamiini. Wamewaacha walalahoi na wahitaji wa msaada huo kubaki bure bilashi. Barakoa bandia zilitolewa. Barakoa hizi zilikuwa na kemikali zenye marathi mengine. Kwa yamkini si kwa yamkini, baniani mbaya kiatu chake dawa. Virusi vya corona vimeleta athari hasi katika jamii na vimeleta athari chanya pia. Ama kweli muda wa janga hili umesaidia katika kukuza talanta mbalimbali kama uandishi. Utangamano wa familia uliimarishwa, ajali barabarani zilipungua na hata biashara za kibinafsi zilifunguliwa mathalani uuzaji wa barakoa za kutengenezwa nyumbani. Nikikunja jamvi la mjadala huu, nasema kuwa kama tunavyoona athari za virusi vya corona ni kabambe na zimeathiri kila pembe ya jamii zetu. Tufuate maagizo ya madaktari ya kuosha mikono kila mara kwa sabuni na maji, kutumia viyeyuzi, kukaa umbali unaofaa na kuvaa barakoa. Hatimaye kutafaulu kwani baada ya dhiki faraja na lenye mwanzo halikosi mwisho.
Ugonjwa wa Uviko 19 husababishwa na virusi gani
{ "text": [ "korona" ] }
0164_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA UGONJWA WA CORONA KATIKA JAMII Ugonjwa wa UVIKO 19 ni maradhi tandaru yanayosababishwa na virusi vya corona· Ugonjwa huu unasambaa haraka kutoka mtu mmoja hadi mwingine. Hadi kufikia leo tarehe ishirini na tatu Februari, idadi ya wagonjwa waliothibitishia ulimwenguni ni milioni mia moja kumi na mbili, mia tano kumi na mbili elfu, mia tano, themanini na wanne idadi ya vifo mikononi mwa corona duniani ni milioni mbili, mia nne na tisini na moja elfu mia tisa arobaini na wawili. Madaktari na serikali wamependekeza mikakati ya kudhibiti maambukizi. Kama ufungaji wa mipaka, upimaji wa mipaka nchini, kuweka zuio la kutotembea na waliokuwa mstari wa mbele kupigana na ugonjwa huu kuwa na vifaa vya kujikinga mathalani glavu, barakoa , vikinga uso, mavazi gubiko na vitakasa. Ugonjwa huu una athari nyingi sana. Kwanza kama tunavyoona hapo juu, waathiriwa wengi waenda jongomeo· Aila nyingi zimepoteza wapendwa wao na wengi wao kukosa fursa ya kuwapa heshima yao ya mwisho kwani serikali pamoja na madaktari wameweka sheria ya kutowazika waathiriwa na kulazimika kuzikwa na washikadi. Katika jambo hili kwa hofu ya maambukizi ya ziada. Kufariki wa watu kumeleta matokeo hasi kwa kuwa idadi ya wananchi katika jamii inapungua kwa asilimia kubwa na hili linaweza kuleta hasara katika ukuzaji wa jamii kwa ujumla. Halikadhalika, kutosana na vifo hivi, uchumi umezorota pakubwa sana. Isitoshe, mlipuko wa ugonjwa wa UVIKO 19 umefanya waajiriwa kupigwa kalamu kazini. Jambo hili limewafanya wao kukosa na kushindwa kutekeleza majukumu yao ya lazima majumbani. Familia nyingi zimelazimika kulala njaa kwani hazina fedha za kujikimu kimaisha. Walalahoi na kina yahe ndiyo walioathirika zaidi kwani waliwategemea waliokuwa na kazi kuwasitiri nao wameshafutwa kazi. Maisha yao yamekuwa magumu kama maisha ya swara mbele ya meno ya simba. Ashakum si matusi nguo ya kuazima haisitiri matako. lsitoshe, UVIKO 19 ni maradhi yaliyochangia katika ongezeko la uhalifu· Vijana kwa wazee wamebaki nyumbani wasijue la mwadhini wala mteka maji msikitini. Imewalazimu vijana hao kujiunga na makundi ya uhalifu. Watoto hapo mwanzo walijishughulisha na masomo ila sasa hivi wote au wengi wao wamejitosa katika bahari ya utumiaji mihadarati na hata biashara haramu. Wengi wao wamekuwa watapeli, wezi wa mabavu na wachopozi . Aidha, ibada kwa upande mwingine zimeathirika. Kama mila na desturi, wanadini hujumuika katika maabadi kama makanisa, misikiti au mahekalu ili kuomba na kutoa shukurani kwa maulana, muumba mbingu na ardhi. Baada ya corona kutawala jamii zetu, serikali iliweka sheria za kuongoza ibada maabadini. Sheria hizi zimewanyima ruhusa wakongo waliozidi miaka sitini na mitatu na watoto walio chini ya miaka kumi na mitatu kuhudhuria ibada. Watu kati ya umri huu wako katika makundi yaliyo na hatari kubwa ya uambukizaji. Mwacha mila si mtumwa ila kwa tukio kama hilo lisilo budi hubidi. Juu ya hayo, unyanyapaa katika jamii umekithiri. Jamaa wenye watu walioambukizwa na virusi vya corona hutengwa na wengine kusahauliwa katika kaburi la sahau na wanajamii wenzao. Hili limewaletea waliokumbwa na unyanyapaa huu hasara nyingi kwa sababu jambo hili limewaathiri kisaikolojia. Nikiongezea, watu hawa walikosa bidhaa aula kwani walitengwa mbali sana na jamii na wengine kuachwa bila hata chakula. Dhana mbaya iliwekwa kuwa jamii fulani ndio wasambazaji wa virusi hivi vya corona na hili sio sawa kabisa. Ilipaswa tuwashike mikono kuwasaidia na kuwaomba wengine kufuata masharti ya kujikinga dhidi ya corona na wawe waangalifu zaidi kuzuia maambukizi ya haraka. Kwa kweli, kinga ni kabla ya tiba. Hakika usafiri ulisitishwa kwa sababu ya mikakati iliyowekwa jamiini na serikali kwa sababu ya kudhibiti usambazaji wa virusi kwa mfano, zuio la kutotoka hususani usiku na kupigwa marufuku uchukuzi. Jambo hili limeathiri madereva wengi kwani wamekosa kazi ambazo zilikuwa zikiwapa angalau tonge lao la siku· Wachukuzi wengi walikosa kusafirisha bidhaa zao muhimu kwa mfano, matunda na nafaka hatimaye wakulima wamepata hasara kwa kutosafirisha mazao yao na mengi yaliharibika mashambani. Watu kutoka jamii mbalimbali walishindwa kusafiri pia. Zaidi ya hayo yote, mila na tamaduni zimeathirika. Mila mbalimbali kama mila ya upashaji tohara inayofanyika kila mwaka katika jamii mbalimbali ilionekana dhahiri shahiri kama jua la mtikati kutofanyika toka virusi vya corona vianze. Wazee walipaswa kufuata masharti kwani utangamano wao katika kukamilisha tamaduni zao ungewaeka katika hatari ya kuambukizana virusi vya corona· Mila kama kusalimiana na kupigana pambaja zimepigwa marufuku kabisa kuzuia usambao wa virusi. Sheria kali huchukuliwa kwa mwenye kufanya tamaduni hizi kinyume cha sheria. Juu ya hayo, sherehe za kitaifa za jamii yetu ya Kenya zimeathirika kwani kwa kuhofia usambazaji wa virusi vya corona. Sherehe kama vile ya sikukuu ya Jamhuri ilifanywa katika ikulu ya rais kukiwa na wageni wachache waliokuwa wakizingatia mikakati ya kudhibiti maambukizi kama kuna umbali wa mita moja unusu na uoshaji wa mikono mara kwa mara au utumiaji wa viyeyuzi venye kiwango cha asilimia sitini ya pombe. Sherehe kama Krisimasi katika jamii ya Wakristo na Iddi katika jamii ya Waislamu zilisherehekewa tofauti bila shamra shamra za hapa na pale Fauka ya hayo, mfumo mpya wa masomo ya kiteknolojia limechangia katika matumizi mabaya ya mtandao. Wanafunzi walilazimika kurudi nyumbani na kuanza kujisomea wenyewe. Katika kujisomea wenyewe, wao hupata fursa ya kuona picha chafu zilizomo mtandaoni na kubadili tabia zao. Wakati mwingine wanapokuwa wanapakua maswali kwa walimu mtandaoni, wengi wao huwa si walimu ila huwanyanyasa na kuwadhulumu wanafunzi hao kimapenzi mtandaoni· Hao ni kondoo waliovalia ngozi ya chui. Pia, masomo yamezorota sana. Watoto wa kina yahe wasio na uwezo wa kutafuta simu au vipakatalishi, walilazimika kubaki vivyo hivyo wasiwe na la kufanya. Watoto hawa walibaki wakifanya kazi za nyumbani na kupoteza wakati wao mwingi kufanya mambo ambayo yasingewaletea faida katika maisha yao. Watoto hawa ndio huanguka mtihani baada ya shule kufunguliwa kwani hawakuwa na nafasi ya kuendeleza masomo yao. Tena, michezo ilisitizwa mathalan michezo ya Olimpiki ya Tokyo haikufanyika· Jamii ya Tokyo ilikuwa imejitayarisha kupokea wageni na vikombe huku ikijua bayana kuwa mcheza kwao hutuzwa. Walitarajia kupata pesa kwani wangefanya biashara mbalimbali kama hoteli zao zingepata wateja na hata bidhaa zao zingenunuliwa kwa wingi. Mambo haya yote yalienda kinyume na matarajio na matayarisho yao yote yaliambulia patupu. Licha ya hayo, vipawa vya uandishi vimedorora kwani waandishi wana nafasi mwafaka ya kuandika vitabu na kutunga tungo zao. Hakuna mipaka imefungwa kwa hiyo waandishi wameshindwa kusafirisha vitabu vyao katika nchi jirani ili kupigwa mnada. Hili limesababisha wao kusita kuandika kwa sababu hawapati faida kama ilivyokuwa kabla ya ugonjwa huu kuwasili katika jamii zetu. Mighaini ya hayo, biashara nyingi zimerudi nyuma hususani utalii katika jamii. Watalii walipungua kwa idadi kubwa kwa sababu uchukuzi ulisitizwa, zuio la kutotoka na hata zuio la kutembea na zuio la kusafiri kutoka nchi moja hadi nyingine kulipigwa marufuku. Hili limefanya watalii kutoka nchi mbalimbali kutoingia katika jamii yetu ya Kenya. Hoteli na sehemu za kujivinjari zililazimika kufungwa. Kabla sijasahau, ufisadi umekithiri sana wakati wa Virusi hivi vya corona. Viongozi wengi wanachukulia mambo kimzaha na hawayatilii mkazo. Pesa nyingi za msaada zilizotengwa na serikali, mashirika mbalimbali ya msaada na hata nchi za kigeni kusaidia jamii wakati huu mgumu zimeishia matumboni mwa watu wabinafsi na walafi jamiini. Wamewaacha walalahoi na wahitaji wa msaada huo kubaki bure bilashi. Barakoa bandia zilitolewa. Barakoa hizi zilikuwa na kemikali zenye marathi mengine. Kwa yamkini si kwa yamkini, baniani mbaya kiatu chake dawa. Virusi vya corona vimeleta athari hasi katika jamii na vimeleta athari chanya pia. Ama kweli muda wa janga hili umesaidia katika kukuza talanta mbalimbali kama uandishi. Utangamano wa familia uliimarishwa, ajali barabarani zilipungua na hata biashara za kibinafsi zilifunguliwa mathalani uuzaji wa barakoa za kutengenezwa nyumbani. Nikikunja jamvi la mjadala huu, nasema kuwa kama tunavyoona athari za virusi vya corona ni kabambe na zimeathiri kila pembe ya jamii zetu. Tufuate maagizo ya madaktari ya kuosha mikono kila mara kwa sabuni na maji, kutumia viyeyuzi, kukaa umbali unaofaa na kuvaa barakoa. Hatimaye kutafaulu kwani baada ya dhiki faraja na lenye mwanzo halikosi mwisho.
Familia zinalala njaa kwa kukosa nini
{ "text": [ "fedha" ] }
0164_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA UGONJWA WA CORONA KATIKA JAMII Ugonjwa wa UVIKO 19 ni maradhi tandaru yanayosababishwa na virusi vya corona· Ugonjwa huu unasambaa haraka kutoka mtu mmoja hadi mwingine. Hadi kufikia leo tarehe ishirini na tatu Februari, idadi ya wagonjwa waliothibitishia ulimwenguni ni milioni mia moja kumi na mbili, mia tano kumi na mbili elfu, mia tano, themanini na wanne idadi ya vifo mikononi mwa corona duniani ni milioni mbili, mia nne na tisini na moja elfu mia tisa arobaini na wawili. Madaktari na serikali wamependekeza mikakati ya kudhibiti maambukizi. Kama ufungaji wa mipaka, upimaji wa mipaka nchini, kuweka zuio la kutotembea na waliokuwa mstari wa mbele kupigana na ugonjwa huu kuwa na vifaa vya kujikinga mathalani glavu, barakoa , vikinga uso, mavazi gubiko na vitakasa. Ugonjwa huu una athari nyingi sana. Kwanza kama tunavyoona hapo juu, waathiriwa wengi waenda jongomeo· Aila nyingi zimepoteza wapendwa wao na wengi wao kukosa fursa ya kuwapa heshima yao ya mwisho kwani serikali pamoja na madaktari wameweka sheria ya kutowazika waathiriwa na kulazimika kuzikwa na washikadi. Katika jambo hili kwa hofu ya maambukizi ya ziada. Kufariki wa watu kumeleta matokeo hasi kwa kuwa idadi ya wananchi katika jamii inapungua kwa asilimia kubwa na hili linaweza kuleta hasara katika ukuzaji wa jamii kwa ujumla. Halikadhalika, kutosana na vifo hivi, uchumi umezorota pakubwa sana. Isitoshe, mlipuko wa ugonjwa wa UVIKO 19 umefanya waajiriwa kupigwa kalamu kazini. Jambo hili limewafanya wao kukosa na kushindwa kutekeleza majukumu yao ya lazima majumbani. Familia nyingi zimelazimika kulala njaa kwani hazina fedha za kujikimu kimaisha. Walalahoi na kina yahe ndiyo walioathirika zaidi kwani waliwategemea waliokuwa na kazi kuwasitiri nao wameshafutwa kazi. Maisha yao yamekuwa magumu kama maisha ya swara mbele ya meno ya simba. Ashakum si matusi nguo ya kuazima haisitiri matako. lsitoshe, UVIKO 19 ni maradhi yaliyochangia katika ongezeko la uhalifu· Vijana kwa wazee wamebaki nyumbani wasijue la mwadhini wala mteka maji msikitini. Imewalazimu vijana hao kujiunga na makundi ya uhalifu. Watoto hapo mwanzo walijishughulisha na masomo ila sasa hivi wote au wengi wao wamejitosa katika bahari ya utumiaji mihadarati na hata biashara haramu. Wengi wao wamekuwa watapeli, wezi wa mabavu na wachopozi . Aidha, ibada kwa upande mwingine zimeathirika. Kama mila na desturi, wanadini hujumuika katika maabadi kama makanisa, misikiti au mahekalu ili kuomba na kutoa shukurani kwa maulana, muumba mbingu na ardhi. Baada ya corona kutawala jamii zetu, serikali iliweka sheria za kuongoza ibada maabadini. Sheria hizi zimewanyima ruhusa wakongo waliozidi miaka sitini na mitatu na watoto walio chini ya miaka kumi na mitatu kuhudhuria ibada. Watu kati ya umri huu wako katika makundi yaliyo na hatari kubwa ya uambukizaji. Mwacha mila si mtumwa ila kwa tukio kama hilo lisilo budi hubidi. Juu ya hayo, unyanyapaa katika jamii umekithiri. Jamaa wenye watu walioambukizwa na virusi vya corona hutengwa na wengine kusahauliwa katika kaburi la sahau na wanajamii wenzao. Hili limewaletea waliokumbwa na unyanyapaa huu hasara nyingi kwa sababu jambo hili limewaathiri kisaikolojia. Nikiongezea, watu hawa walikosa bidhaa aula kwani walitengwa mbali sana na jamii na wengine kuachwa bila hata chakula. Dhana mbaya iliwekwa kuwa jamii fulani ndio wasambazaji wa virusi hivi vya corona na hili sio sawa kabisa. Ilipaswa tuwashike mikono kuwasaidia na kuwaomba wengine kufuata masharti ya kujikinga dhidi ya corona na wawe waangalifu zaidi kuzuia maambukizi ya haraka. Kwa kweli, kinga ni kabla ya tiba. Hakika usafiri ulisitishwa kwa sababu ya mikakati iliyowekwa jamiini na serikali kwa sababu ya kudhibiti usambazaji wa virusi kwa mfano, zuio la kutotoka hususani usiku na kupigwa marufuku uchukuzi. Jambo hili limeathiri madereva wengi kwani wamekosa kazi ambazo zilikuwa zikiwapa angalau tonge lao la siku· Wachukuzi wengi walikosa kusafirisha bidhaa zao muhimu kwa mfano, matunda na nafaka hatimaye wakulima wamepata hasara kwa kutosafirisha mazao yao na mengi yaliharibika mashambani. Watu kutoka jamii mbalimbali walishindwa kusafiri pia. Zaidi ya hayo yote, mila na tamaduni zimeathirika. Mila mbalimbali kama mila ya upashaji tohara inayofanyika kila mwaka katika jamii mbalimbali ilionekana dhahiri shahiri kama jua la mtikati kutofanyika toka virusi vya corona vianze. Wazee walipaswa kufuata masharti kwani utangamano wao katika kukamilisha tamaduni zao ungewaeka katika hatari ya kuambukizana virusi vya corona· Mila kama kusalimiana na kupigana pambaja zimepigwa marufuku kabisa kuzuia usambao wa virusi. Sheria kali huchukuliwa kwa mwenye kufanya tamaduni hizi kinyume cha sheria. Juu ya hayo, sherehe za kitaifa za jamii yetu ya Kenya zimeathirika kwani kwa kuhofia usambazaji wa virusi vya corona. Sherehe kama vile ya sikukuu ya Jamhuri ilifanywa katika ikulu ya rais kukiwa na wageni wachache waliokuwa wakizingatia mikakati ya kudhibiti maambukizi kama kuna umbali wa mita moja unusu na uoshaji wa mikono mara kwa mara au utumiaji wa viyeyuzi venye kiwango cha asilimia sitini ya pombe. Sherehe kama Krisimasi katika jamii ya Wakristo na Iddi katika jamii ya Waislamu zilisherehekewa tofauti bila shamra shamra za hapa na pale Fauka ya hayo, mfumo mpya wa masomo ya kiteknolojia limechangia katika matumizi mabaya ya mtandao. Wanafunzi walilazimika kurudi nyumbani na kuanza kujisomea wenyewe. Katika kujisomea wenyewe, wao hupata fursa ya kuona picha chafu zilizomo mtandaoni na kubadili tabia zao. Wakati mwingine wanapokuwa wanapakua maswali kwa walimu mtandaoni, wengi wao huwa si walimu ila huwanyanyasa na kuwadhulumu wanafunzi hao kimapenzi mtandaoni· Hao ni kondoo waliovalia ngozi ya chui. Pia, masomo yamezorota sana. Watoto wa kina yahe wasio na uwezo wa kutafuta simu au vipakatalishi, walilazimika kubaki vivyo hivyo wasiwe na la kufanya. Watoto hawa walibaki wakifanya kazi za nyumbani na kupoteza wakati wao mwingi kufanya mambo ambayo yasingewaletea faida katika maisha yao. Watoto hawa ndio huanguka mtihani baada ya shule kufunguliwa kwani hawakuwa na nafasi ya kuendeleza masomo yao. Tena, michezo ilisitizwa mathalan michezo ya Olimpiki ya Tokyo haikufanyika· Jamii ya Tokyo ilikuwa imejitayarisha kupokea wageni na vikombe huku ikijua bayana kuwa mcheza kwao hutuzwa. Walitarajia kupata pesa kwani wangefanya biashara mbalimbali kama hoteli zao zingepata wateja na hata bidhaa zao zingenunuliwa kwa wingi. Mambo haya yote yalienda kinyume na matarajio na matayarisho yao yote yaliambulia patupu. Licha ya hayo, vipawa vya uandishi vimedorora kwani waandishi wana nafasi mwafaka ya kuandika vitabu na kutunga tungo zao. Hakuna mipaka imefungwa kwa hiyo waandishi wameshindwa kusafirisha vitabu vyao katika nchi jirani ili kupigwa mnada. Hili limesababisha wao kusita kuandika kwa sababu hawapati faida kama ilivyokuwa kabla ya ugonjwa huu kuwasili katika jamii zetu. Mighaini ya hayo, biashara nyingi zimerudi nyuma hususani utalii katika jamii. Watalii walipungua kwa idadi kubwa kwa sababu uchukuzi ulisitizwa, zuio la kutotoka na hata zuio la kutembea na zuio la kusafiri kutoka nchi moja hadi nyingine kulipigwa marufuku. Hili limefanya watalii kutoka nchi mbalimbali kutoingia katika jamii yetu ya Kenya. Hoteli na sehemu za kujivinjari zililazimika kufungwa. Kabla sijasahau, ufisadi umekithiri sana wakati wa Virusi hivi vya corona. Viongozi wengi wanachukulia mambo kimzaha na hawayatilii mkazo. Pesa nyingi za msaada zilizotengwa na serikali, mashirika mbalimbali ya msaada na hata nchi za kigeni kusaidia jamii wakati huu mgumu zimeishia matumboni mwa watu wabinafsi na walafi jamiini. Wamewaacha walalahoi na wahitaji wa msaada huo kubaki bure bilashi. Barakoa bandia zilitolewa. Barakoa hizi zilikuwa na kemikali zenye marathi mengine. Kwa yamkini si kwa yamkini, baniani mbaya kiatu chake dawa. Virusi vya corona vimeleta athari hasi katika jamii na vimeleta athari chanya pia. Ama kweli muda wa janga hili umesaidia katika kukuza talanta mbalimbali kama uandishi. Utangamano wa familia uliimarishwa, ajali barabarani zilipungua na hata biashara za kibinafsi zilifunguliwa mathalani uuzaji wa barakoa za kutengenezwa nyumbani. Nikikunja jamvi la mjadala huu, nasema kuwa kama tunavyoona athari za virusi vya corona ni kabambe na zimeathiri kila pembe ya jamii zetu. Tufuate maagizo ya madaktari ya kuosha mikono kila mara kwa sabuni na maji, kutumia viyeyuzi, kukaa umbali unaofaa na kuvaa barakoa. Hatimaye kutafaulu kwani baada ya dhiki faraja na lenye mwanzo halikosi mwisho.
Nini imesababisha kuzorota kwa uchumi
{ "text": [ "vifo" ] }
0164_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA UGONJWA WA CORONA KATIKA JAMII Ugonjwa wa UVIKO 19 ni maradhi tandaru yanayosababishwa na virusi vya corona· Ugonjwa huu unasambaa haraka kutoka mtu mmoja hadi mwingine. Hadi kufikia leo tarehe ishirini na tatu Februari, idadi ya wagonjwa waliothibitishia ulimwenguni ni milioni mia moja kumi na mbili, mia tano kumi na mbili elfu, mia tano, themanini na wanne idadi ya vifo mikononi mwa corona duniani ni milioni mbili, mia nne na tisini na moja elfu mia tisa arobaini na wawili. Madaktari na serikali wamependekeza mikakati ya kudhibiti maambukizi. Kama ufungaji wa mipaka, upimaji wa mipaka nchini, kuweka zuio la kutotembea na waliokuwa mstari wa mbele kupigana na ugonjwa huu kuwa na vifaa vya kujikinga mathalani glavu, barakoa , vikinga uso, mavazi gubiko na vitakasa. Ugonjwa huu una athari nyingi sana. Kwanza kama tunavyoona hapo juu, waathiriwa wengi waenda jongomeo· Aila nyingi zimepoteza wapendwa wao na wengi wao kukosa fursa ya kuwapa heshima yao ya mwisho kwani serikali pamoja na madaktari wameweka sheria ya kutowazika waathiriwa na kulazimika kuzikwa na washikadi. Katika jambo hili kwa hofu ya maambukizi ya ziada. Kufariki wa watu kumeleta matokeo hasi kwa kuwa idadi ya wananchi katika jamii inapungua kwa asilimia kubwa na hili linaweza kuleta hasara katika ukuzaji wa jamii kwa ujumla. Halikadhalika, kutosana na vifo hivi, uchumi umezorota pakubwa sana. Isitoshe, mlipuko wa ugonjwa wa UVIKO 19 umefanya waajiriwa kupigwa kalamu kazini. Jambo hili limewafanya wao kukosa na kushindwa kutekeleza majukumu yao ya lazima majumbani. Familia nyingi zimelazimika kulala njaa kwani hazina fedha za kujikimu kimaisha. Walalahoi na kina yahe ndiyo walioathirika zaidi kwani waliwategemea waliokuwa na kazi kuwasitiri nao wameshafutwa kazi. Maisha yao yamekuwa magumu kama maisha ya swara mbele ya meno ya simba. Ashakum si matusi nguo ya kuazima haisitiri matako. lsitoshe, UVIKO 19 ni maradhi yaliyochangia katika ongezeko la uhalifu· Vijana kwa wazee wamebaki nyumbani wasijue la mwadhini wala mteka maji msikitini. Imewalazimu vijana hao kujiunga na makundi ya uhalifu. Watoto hapo mwanzo walijishughulisha na masomo ila sasa hivi wote au wengi wao wamejitosa katika bahari ya utumiaji mihadarati na hata biashara haramu. Wengi wao wamekuwa watapeli, wezi wa mabavu na wachopozi . Aidha, ibada kwa upande mwingine zimeathirika. Kama mila na desturi, wanadini hujumuika katika maabadi kama makanisa, misikiti au mahekalu ili kuomba na kutoa shukurani kwa maulana, muumba mbingu na ardhi. Baada ya corona kutawala jamii zetu, serikali iliweka sheria za kuongoza ibada maabadini. Sheria hizi zimewanyima ruhusa wakongo waliozidi miaka sitini na mitatu na watoto walio chini ya miaka kumi na mitatu kuhudhuria ibada. Watu kati ya umri huu wako katika makundi yaliyo na hatari kubwa ya uambukizaji. Mwacha mila si mtumwa ila kwa tukio kama hilo lisilo budi hubidi. Juu ya hayo, unyanyapaa katika jamii umekithiri. Jamaa wenye watu walioambukizwa na virusi vya corona hutengwa na wengine kusahauliwa katika kaburi la sahau na wanajamii wenzao. Hili limewaletea waliokumbwa na unyanyapaa huu hasara nyingi kwa sababu jambo hili limewaathiri kisaikolojia. Nikiongezea, watu hawa walikosa bidhaa aula kwani walitengwa mbali sana na jamii na wengine kuachwa bila hata chakula. Dhana mbaya iliwekwa kuwa jamii fulani ndio wasambazaji wa virusi hivi vya corona na hili sio sawa kabisa. Ilipaswa tuwashike mikono kuwasaidia na kuwaomba wengine kufuata masharti ya kujikinga dhidi ya corona na wawe waangalifu zaidi kuzuia maambukizi ya haraka. Kwa kweli, kinga ni kabla ya tiba. Hakika usafiri ulisitishwa kwa sababu ya mikakati iliyowekwa jamiini na serikali kwa sababu ya kudhibiti usambazaji wa virusi kwa mfano, zuio la kutotoka hususani usiku na kupigwa marufuku uchukuzi. Jambo hili limeathiri madereva wengi kwani wamekosa kazi ambazo zilikuwa zikiwapa angalau tonge lao la siku· Wachukuzi wengi walikosa kusafirisha bidhaa zao muhimu kwa mfano, matunda na nafaka hatimaye wakulima wamepata hasara kwa kutosafirisha mazao yao na mengi yaliharibika mashambani. Watu kutoka jamii mbalimbali walishindwa kusafiri pia. Zaidi ya hayo yote, mila na tamaduni zimeathirika. Mila mbalimbali kama mila ya upashaji tohara inayofanyika kila mwaka katika jamii mbalimbali ilionekana dhahiri shahiri kama jua la mtikati kutofanyika toka virusi vya corona vianze. Wazee walipaswa kufuata masharti kwani utangamano wao katika kukamilisha tamaduni zao ungewaeka katika hatari ya kuambukizana virusi vya corona· Mila kama kusalimiana na kupigana pambaja zimepigwa marufuku kabisa kuzuia usambao wa virusi. Sheria kali huchukuliwa kwa mwenye kufanya tamaduni hizi kinyume cha sheria. Juu ya hayo, sherehe za kitaifa za jamii yetu ya Kenya zimeathirika kwani kwa kuhofia usambazaji wa virusi vya corona. Sherehe kama vile ya sikukuu ya Jamhuri ilifanywa katika ikulu ya rais kukiwa na wageni wachache waliokuwa wakizingatia mikakati ya kudhibiti maambukizi kama kuna umbali wa mita moja unusu na uoshaji wa mikono mara kwa mara au utumiaji wa viyeyuzi venye kiwango cha asilimia sitini ya pombe. Sherehe kama Krisimasi katika jamii ya Wakristo na Iddi katika jamii ya Waislamu zilisherehekewa tofauti bila shamra shamra za hapa na pale Fauka ya hayo, mfumo mpya wa masomo ya kiteknolojia limechangia katika matumizi mabaya ya mtandao. Wanafunzi walilazimika kurudi nyumbani na kuanza kujisomea wenyewe. Katika kujisomea wenyewe, wao hupata fursa ya kuona picha chafu zilizomo mtandaoni na kubadili tabia zao. Wakati mwingine wanapokuwa wanapakua maswali kwa walimu mtandaoni, wengi wao huwa si walimu ila huwanyanyasa na kuwadhulumu wanafunzi hao kimapenzi mtandaoni· Hao ni kondoo waliovalia ngozi ya chui. Pia, masomo yamezorota sana. Watoto wa kina yahe wasio na uwezo wa kutafuta simu au vipakatalishi, walilazimika kubaki vivyo hivyo wasiwe na la kufanya. Watoto hawa walibaki wakifanya kazi za nyumbani na kupoteza wakati wao mwingi kufanya mambo ambayo yasingewaletea faida katika maisha yao. Watoto hawa ndio huanguka mtihani baada ya shule kufunguliwa kwani hawakuwa na nafasi ya kuendeleza masomo yao. Tena, michezo ilisitizwa mathalan michezo ya Olimpiki ya Tokyo haikufanyika· Jamii ya Tokyo ilikuwa imejitayarisha kupokea wageni na vikombe huku ikijua bayana kuwa mcheza kwao hutuzwa. Walitarajia kupata pesa kwani wangefanya biashara mbalimbali kama hoteli zao zingepata wateja na hata bidhaa zao zingenunuliwa kwa wingi. Mambo haya yote yalienda kinyume na matarajio na matayarisho yao yote yaliambulia patupu. Licha ya hayo, vipawa vya uandishi vimedorora kwani waandishi wana nafasi mwafaka ya kuandika vitabu na kutunga tungo zao. Hakuna mipaka imefungwa kwa hiyo waandishi wameshindwa kusafirisha vitabu vyao katika nchi jirani ili kupigwa mnada. Hili limesababisha wao kusita kuandika kwa sababu hawapati faida kama ilivyokuwa kabla ya ugonjwa huu kuwasili katika jamii zetu. Mighaini ya hayo, biashara nyingi zimerudi nyuma hususani utalii katika jamii. Watalii walipungua kwa idadi kubwa kwa sababu uchukuzi ulisitizwa, zuio la kutotoka na hata zuio la kutembea na zuio la kusafiri kutoka nchi moja hadi nyingine kulipigwa marufuku. Hili limefanya watalii kutoka nchi mbalimbali kutoingia katika jamii yetu ya Kenya. Hoteli na sehemu za kujivinjari zililazimika kufungwa. Kabla sijasahau, ufisadi umekithiri sana wakati wa Virusi hivi vya corona. Viongozi wengi wanachukulia mambo kimzaha na hawayatilii mkazo. Pesa nyingi za msaada zilizotengwa na serikali, mashirika mbalimbali ya msaada na hata nchi za kigeni kusaidia jamii wakati huu mgumu zimeishia matumboni mwa watu wabinafsi na walafi jamiini. Wamewaacha walalahoi na wahitaji wa msaada huo kubaki bure bilashi. Barakoa bandia zilitolewa. Barakoa hizi zilikuwa na kemikali zenye marathi mengine. Kwa yamkini si kwa yamkini, baniani mbaya kiatu chake dawa. Virusi vya corona vimeleta athari hasi katika jamii na vimeleta athari chanya pia. Ama kweli muda wa janga hili umesaidia katika kukuza talanta mbalimbali kama uandishi. Utangamano wa familia uliimarishwa, ajali barabarani zilipungua na hata biashara za kibinafsi zilifunguliwa mathalani uuzaji wa barakoa za kutengenezwa nyumbani. Nikikunja jamvi la mjadala huu, nasema kuwa kama tunavyoona athari za virusi vya corona ni kabambe na zimeathiri kila pembe ya jamii zetu. Tufuate maagizo ya madaktari ya kuosha mikono kila mara kwa sabuni na maji, kutumia viyeyuzi, kukaa umbali unaofaa na kuvaa barakoa. Hatimaye kutafaulu kwani baada ya dhiki faraja na lenye mwanzo halikosi mwisho.
Kina nani walioathirika zaidi
{ "text": [ "walalahoi" ] }
0164_swa
MJADALA KUHUSU ATHARI ZA UGONJWA WA CORONA KATIKA JAMII Ugonjwa wa UVIKO 19 ni maradhi tandaru yanayosababishwa na virusi vya corona· Ugonjwa huu unasambaa haraka kutoka mtu mmoja hadi mwingine. Hadi kufikia leo tarehe ishirini na tatu Februari, idadi ya wagonjwa waliothibitishia ulimwenguni ni milioni mia moja kumi na mbili, mia tano kumi na mbili elfu, mia tano, themanini na wanne idadi ya vifo mikononi mwa corona duniani ni milioni mbili, mia nne na tisini na moja elfu mia tisa arobaini na wawili. Madaktari na serikali wamependekeza mikakati ya kudhibiti maambukizi. Kama ufungaji wa mipaka, upimaji wa mipaka nchini, kuweka zuio la kutotembea na waliokuwa mstari wa mbele kupigana na ugonjwa huu kuwa na vifaa vya kujikinga mathalani glavu, barakoa , vikinga uso, mavazi gubiko na vitakasa. Ugonjwa huu una athari nyingi sana. Kwanza kama tunavyoona hapo juu, waathiriwa wengi waenda jongomeo· Aila nyingi zimepoteza wapendwa wao na wengi wao kukosa fursa ya kuwapa heshima yao ya mwisho kwani serikali pamoja na madaktari wameweka sheria ya kutowazika waathiriwa na kulazimika kuzikwa na washikadi. Katika jambo hili kwa hofu ya maambukizi ya ziada. Kufariki wa watu kumeleta matokeo hasi kwa kuwa idadi ya wananchi katika jamii inapungua kwa asilimia kubwa na hili linaweza kuleta hasara katika ukuzaji wa jamii kwa ujumla. Halikadhalika, kutosana na vifo hivi, uchumi umezorota pakubwa sana. Isitoshe, mlipuko wa ugonjwa wa UVIKO 19 umefanya waajiriwa kupigwa kalamu kazini. Jambo hili limewafanya wao kukosa na kushindwa kutekeleza majukumu yao ya lazima majumbani. Familia nyingi zimelazimika kulala njaa kwani hazina fedha za kujikimu kimaisha. Walalahoi na kina yahe ndiyo walioathirika zaidi kwani waliwategemea waliokuwa na kazi kuwasitiri nao wameshafutwa kazi. Maisha yao yamekuwa magumu kama maisha ya swara mbele ya meno ya simba. Ashakum si matusi nguo ya kuazima haisitiri matako. lsitoshe, UVIKO 19 ni maradhi yaliyochangia katika ongezeko la uhalifu· Vijana kwa wazee wamebaki nyumbani wasijue la mwadhini wala mteka maji msikitini. Imewalazimu vijana hao kujiunga na makundi ya uhalifu. Watoto hapo mwanzo walijishughulisha na masomo ila sasa hivi wote au wengi wao wamejitosa katika bahari ya utumiaji mihadarati na hata biashara haramu. Wengi wao wamekuwa watapeli, wezi wa mabavu na wachopozi . Aidha, ibada kwa upande mwingine zimeathirika. Kama mila na desturi, wanadini hujumuika katika maabadi kama makanisa, misikiti au mahekalu ili kuomba na kutoa shukurani kwa maulana, muumba mbingu na ardhi. Baada ya corona kutawala jamii zetu, serikali iliweka sheria za kuongoza ibada maabadini. Sheria hizi zimewanyima ruhusa wakongo waliozidi miaka sitini na mitatu na watoto walio chini ya miaka kumi na mitatu kuhudhuria ibada. Watu kati ya umri huu wako katika makundi yaliyo na hatari kubwa ya uambukizaji. Mwacha mila si mtumwa ila kwa tukio kama hilo lisilo budi hubidi. Juu ya hayo, unyanyapaa katika jamii umekithiri. Jamaa wenye watu walioambukizwa na virusi vya corona hutengwa na wengine kusahauliwa katika kaburi la sahau na wanajamii wenzao. Hili limewaletea waliokumbwa na unyanyapaa huu hasara nyingi kwa sababu jambo hili limewaathiri kisaikolojia. Nikiongezea, watu hawa walikosa bidhaa aula kwani walitengwa mbali sana na jamii na wengine kuachwa bila hata chakula. Dhana mbaya iliwekwa kuwa jamii fulani ndio wasambazaji wa virusi hivi vya corona na hili sio sawa kabisa. Ilipaswa tuwashike mikono kuwasaidia na kuwaomba wengine kufuata masharti ya kujikinga dhidi ya corona na wawe waangalifu zaidi kuzuia maambukizi ya haraka. Kwa kweli, kinga ni kabla ya tiba. Hakika usafiri ulisitishwa kwa sababu ya mikakati iliyowekwa jamiini na serikali kwa sababu ya kudhibiti usambazaji wa virusi kwa mfano, zuio la kutotoka hususani usiku na kupigwa marufuku uchukuzi. Jambo hili limeathiri madereva wengi kwani wamekosa kazi ambazo zilikuwa zikiwapa angalau tonge lao la siku· Wachukuzi wengi walikosa kusafirisha bidhaa zao muhimu kwa mfano, matunda na nafaka hatimaye wakulima wamepata hasara kwa kutosafirisha mazao yao na mengi yaliharibika mashambani. Watu kutoka jamii mbalimbali walishindwa kusafiri pia. Zaidi ya hayo yote, mila na tamaduni zimeathirika. Mila mbalimbali kama mila ya upashaji tohara inayofanyika kila mwaka katika jamii mbalimbali ilionekana dhahiri shahiri kama jua la mtikati kutofanyika toka virusi vya corona vianze. Wazee walipaswa kufuata masharti kwani utangamano wao katika kukamilisha tamaduni zao ungewaeka katika hatari ya kuambukizana virusi vya corona· Mila kama kusalimiana na kupigana pambaja zimepigwa marufuku kabisa kuzuia usambao wa virusi. Sheria kali huchukuliwa kwa mwenye kufanya tamaduni hizi kinyume cha sheria. Juu ya hayo, sherehe za kitaifa za jamii yetu ya Kenya zimeathirika kwani kwa kuhofia usambazaji wa virusi vya corona. Sherehe kama vile ya sikukuu ya Jamhuri ilifanywa katika ikulu ya rais kukiwa na wageni wachache waliokuwa wakizingatia mikakati ya kudhibiti maambukizi kama kuna umbali wa mita moja unusu na uoshaji wa mikono mara kwa mara au utumiaji wa viyeyuzi venye kiwango cha asilimia sitini ya pombe. Sherehe kama Krisimasi katika jamii ya Wakristo na Iddi katika jamii ya Waislamu zilisherehekewa tofauti bila shamra shamra za hapa na pale Fauka ya hayo, mfumo mpya wa masomo ya kiteknolojia limechangia katika matumizi mabaya ya mtandao. Wanafunzi walilazimika kurudi nyumbani na kuanza kujisomea wenyewe. Katika kujisomea wenyewe, wao hupata fursa ya kuona picha chafu zilizomo mtandaoni na kubadili tabia zao. Wakati mwingine wanapokuwa wanapakua maswali kwa walimu mtandaoni, wengi wao huwa si walimu ila huwanyanyasa na kuwadhulumu wanafunzi hao kimapenzi mtandaoni· Hao ni kondoo waliovalia ngozi ya chui. Pia, masomo yamezorota sana. Watoto wa kina yahe wasio na uwezo wa kutafuta simu au vipakatalishi, walilazimika kubaki vivyo hivyo wasiwe na la kufanya. Watoto hawa walibaki wakifanya kazi za nyumbani na kupoteza wakati wao mwingi kufanya mambo ambayo yasingewaletea faida katika maisha yao. Watoto hawa ndio huanguka mtihani baada ya shule kufunguliwa kwani hawakuwa na nafasi ya kuendeleza masomo yao. Tena, michezo ilisitizwa mathalan michezo ya Olimpiki ya Tokyo haikufanyika· Jamii ya Tokyo ilikuwa imejitayarisha kupokea wageni na vikombe huku ikijua bayana kuwa mcheza kwao hutuzwa. Walitarajia kupata pesa kwani wangefanya biashara mbalimbali kama hoteli zao zingepata wateja na hata bidhaa zao zingenunuliwa kwa wingi. Mambo haya yote yalienda kinyume na matarajio na matayarisho yao yote yaliambulia patupu. Licha ya hayo, vipawa vya uandishi vimedorora kwani waandishi wana nafasi mwafaka ya kuandika vitabu na kutunga tungo zao. Hakuna mipaka imefungwa kwa hiyo waandishi wameshindwa kusafirisha vitabu vyao katika nchi jirani ili kupigwa mnada. Hili limesababisha wao kusita kuandika kwa sababu hawapati faida kama ilivyokuwa kabla ya ugonjwa huu kuwasili katika jamii zetu. Mighaini ya hayo, biashara nyingi zimerudi nyuma hususani utalii katika jamii. Watalii walipungua kwa idadi kubwa kwa sababu uchukuzi ulisitizwa, zuio la kutotoka na hata zuio la kutembea na zuio la kusafiri kutoka nchi moja hadi nyingine kulipigwa marufuku. Hili limefanya watalii kutoka nchi mbalimbali kutoingia katika jamii yetu ya Kenya. Hoteli na sehemu za kujivinjari zililazimika kufungwa. Kabla sijasahau, ufisadi umekithiri sana wakati wa Virusi hivi vya corona. Viongozi wengi wanachukulia mambo kimzaha na hawayatilii mkazo. Pesa nyingi za msaada zilizotengwa na serikali, mashirika mbalimbali ya msaada na hata nchi za kigeni kusaidia jamii wakati huu mgumu zimeishia matumboni mwa watu wabinafsi na walafi jamiini. Wamewaacha walalahoi na wahitaji wa msaada huo kubaki bure bilashi. Barakoa bandia zilitolewa. Barakoa hizi zilikuwa na kemikali zenye marathi mengine. Kwa yamkini si kwa yamkini, baniani mbaya kiatu chake dawa. Virusi vya corona vimeleta athari hasi katika jamii na vimeleta athari chanya pia. Ama kweli muda wa janga hili umesaidia katika kukuza talanta mbalimbali kama uandishi. Utangamano wa familia uliimarishwa, ajali barabarani zilipungua na hata biashara za kibinafsi zilifunguliwa mathalani uuzaji wa barakoa za kutengenezwa nyumbani. Nikikunja jamvi la mjadala huu, nasema kuwa kama tunavyoona athari za virusi vya corona ni kabambe na zimeathiri kila pembe ya jamii zetu. Tufuate maagizo ya madaktari ya kuosha mikono kila mara kwa sabuni na maji, kutumia viyeyuzi, kukaa umbali unaofaa na kuvaa barakoa. Hatimaye kutafaulu kwani baada ya dhiki faraja na lenye mwanzo halikosi mwisho.
Kwa nini waajiriwa walishindwa kutekeleza majukumu
{ "text": [ "kupigwa kalamu" ] }
0165_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI WA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Kwenye dunia elimu ni msingi wa maisha, kwa ajili hiyo itabidi mtu ajikaze kisabuni asome ili kujikimu maishani kindakindaki. Waama, mchumia juani hulia kivulini. Kila uchao ni masomo hasa hilo somo ni nini? Somo ni mpango wa mafundisho ya elimu maalum. Mfano, Hisabati, Kiswahili Jografia na mengineo. Yaani, fundisho ila masomo yamejigawanya mara mbili: Masomo ya akademia na masomo ya Kiufundi. Mifano ya masomo ya kiakademia ni: Hisabati, Kiingereza, Kiswahili, Biolojia, Kemia, Fizikia, somo la Dini na Historia katika mengineo. Nayo hayo ya kiufundi ni kama Useremala, Ufinyanzi, Somo la kuchomelea, Somo la Sanaa, Kushona na mengineo. Haya yote niliyoyataja ni masomo yanayofunzwa shule ya upili. Wengi huyapuuza masomo ya kiufundi na kuyapa ya kiakademia kipaumbele kwa sababu zifuatazo: Awali, wanafunzi si haba wana msimamo hasa kuhusu masomo ya kiufundi. Wengi wao hudhani kuwa masomo haya ni mawe tena yasiyovunjika. Kwa mfano, mtu hudhani asomae somo la kushona hana mwanzo aelewe kindakindaki ili ajue kinagaubaga itambidi ajue kuweka uzi kwa sindano. Useremala itambidi ujue kupiga msasa kutumia timizi. Adhabu wanavyoita inawafanya wasiyasome masomo hayo. Vile vile, wengi hudhani masomo haya ni ya walalaha na si ya walalahai. Itakuaje mtu aendeshae Prado afanyie kazi katika karakana ya mbao ajichafue na mbao, apige msasa, atumie bisibisi na atumie randa atengeze vitanda? Jamii itamwonaje mtu huyo? Ndiyo maana mtu au mwanafunzi hawezi kufanya hatua hiyo ya useremala. Mighairi ya hayo, wanafunzi wanashinikizwa na wazazi wao kuwa wayabebe masomo ya kiakademia kama almasi na kuyatupa kama kinyesi masomo ya kiufundi. Kwani si masomo? Ama kweli binadamu ana maudhi tena maudhi ya kuudhi. Anayeshona mishonaji, anayetengeza kitanda, seremala na tunapata mlo kutokana na juhudi aliopewa na maanani mkulima. lla jamii inawaona watu wanaosoma masomo hayo kama watu duni, maskini hohe hahe. Mbali na hayo, hata mtu anaposoma masomo ya kiufundi shule ya upili mwisho wa siku hana kazi wala bazi. Sababu kuu ni kuwa vyuo vya kiufundi vingi vimebadilika na kuwa vyuo vikuu. Mfano mkuu ni chuo cha kiufundi cha Mombasa kimebadili. Mtu au mwanafunzi hawezi kujisumbua kuisoma kujikakamua kisha mwisho wa siku hana kazi. Fauka ya hayo, maradhi. Maradhi huwa ni moja na sababu zinaomfanya mtu kupuuza masomo haya ya kiufundi Pumu kwa mfano humfanya mtu kuachana na somo la useremala. Mtu aliye na pumu huweza kuathirika na kuchungulia kaburi. Au shida ya macho ni mtu hawezi kuchomelea, kufinyanzi kitu mzuri kama hana uwezo wa kufanya jambo hilo Akiri, teknolojia imekuwa mno hadi masomo ya kufunza hayana maana. Ufinyanzi, mfano, kenari hii hufanante a roboti ambao huhantau kazi za adannu kuchometa aku Thiri hali kadhalika. Katika hali hii wanafunzi hatika, shule huchagua masomo ya kiakademin badak nore Mfano ya somo la ufinyanzi labda vijijini pekee lakini mjini kazi hufanywa na mashine ya kuchomelea na kadhalika. Nikikunja jamvi langu ni kuwa asiyekujua hakudhamini kabisa. Masomo haya hukuza kipawa cha mwanafunzi pengine mwanafunzi ikawa haelewi masomo ya kiakademia lakini hapo ndipo aelewapo. Aidha masomo ya kiufundi hupunguza uhalifu. Pengine mnajiuliza vipi? Pale ambapo mwanafunzi amemaliza kusoma na endapo hana kazi wala bazi itambidi aanze kuiba. Lakini ikiwa ana ujuzi wa kiufundi hawezi kuiba hivi basi humwezesha mtu kupata kipato cha siku. Mwisho na huku nikibeba viragu vyangu ni kuwa ningependa serikali ifanye masomo ya kiufundi. Lazima wanafunzi kutia fora masomoni yaani ya kiufundi. Mitazamo hasi yawe chanya ili tufaulu katika maisha yetu. Pamoja tufaulu.
Ni nini msingi wa maisha katika dunia
{ "text": [ "elimu" ] }
0165_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI WA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Kwenye dunia elimu ni msingi wa maisha, kwa ajili hiyo itabidi mtu ajikaze kisabuni asome ili kujikimu maishani kindakindaki. Waama, mchumia juani hulia kivulini. Kila uchao ni masomo hasa hilo somo ni nini? Somo ni mpango wa mafundisho ya elimu maalum. Mfano, Hisabati, Kiswahili Jografia na mengineo. Yaani, fundisho ila masomo yamejigawanya mara mbili: Masomo ya akademia na masomo ya Kiufundi. Mifano ya masomo ya kiakademia ni: Hisabati, Kiingereza, Kiswahili, Biolojia, Kemia, Fizikia, somo la Dini na Historia katika mengineo. Nayo hayo ya kiufundi ni kama Useremala, Ufinyanzi, Somo la kuchomelea, Somo la Sanaa, Kushona na mengineo. Haya yote niliyoyataja ni masomo yanayofunzwa shule ya upili. Wengi huyapuuza masomo ya kiufundi na kuyapa ya kiakademia kipaumbele kwa sababu zifuatazo: Awali, wanafunzi si haba wana msimamo hasa kuhusu masomo ya kiufundi. Wengi wao hudhani kuwa masomo haya ni mawe tena yasiyovunjika. Kwa mfano, mtu hudhani asomae somo la kushona hana mwanzo aelewe kindakindaki ili ajue kinagaubaga itambidi ajue kuweka uzi kwa sindano. Useremala itambidi ujue kupiga msasa kutumia timizi. Adhabu wanavyoita inawafanya wasiyasome masomo hayo. Vile vile, wengi hudhani masomo haya ni ya walalaha na si ya walalahai. Itakuaje mtu aendeshae Prado afanyie kazi katika karakana ya mbao ajichafue na mbao, apige msasa, atumie bisibisi na atumie randa atengeze vitanda? Jamii itamwonaje mtu huyo? Ndiyo maana mtu au mwanafunzi hawezi kufanya hatua hiyo ya useremala. Mighairi ya hayo, wanafunzi wanashinikizwa na wazazi wao kuwa wayabebe masomo ya kiakademia kama almasi na kuyatupa kama kinyesi masomo ya kiufundi. Kwani si masomo? Ama kweli binadamu ana maudhi tena maudhi ya kuudhi. Anayeshona mishonaji, anayetengeza kitanda, seremala na tunapata mlo kutokana na juhudi aliopewa na maanani mkulima. lla jamii inawaona watu wanaosoma masomo hayo kama watu duni, maskini hohe hahe. Mbali na hayo, hata mtu anaposoma masomo ya kiufundi shule ya upili mwisho wa siku hana kazi wala bazi. Sababu kuu ni kuwa vyuo vya kiufundi vingi vimebadilika na kuwa vyuo vikuu. Mfano mkuu ni chuo cha kiufundi cha Mombasa kimebadili. Mtu au mwanafunzi hawezi kujisumbua kuisoma kujikakamua kisha mwisho wa siku hana kazi. Fauka ya hayo, maradhi. Maradhi huwa ni moja na sababu zinaomfanya mtu kupuuza masomo haya ya kiufundi Pumu kwa mfano humfanya mtu kuachana na somo la useremala. Mtu aliye na pumu huweza kuathirika na kuchungulia kaburi. Au shida ya macho ni mtu hawezi kuchomelea, kufinyanzi kitu mzuri kama hana uwezo wa kufanya jambo hilo Akiri, teknolojia imekuwa mno hadi masomo ya kufunza hayana maana. Ufinyanzi, mfano, kenari hii hufanante a roboti ambao huhantau kazi za adannu kuchometa aku Thiri hali kadhalika. Katika hali hii wanafunzi hatika, shule huchagua masomo ya kiakademin badak nore Mfano ya somo la ufinyanzi labda vijijini pekee lakini mjini kazi hufanywa na mashine ya kuchomelea na kadhalika. Nikikunja jamvi langu ni kuwa asiyekujua hakudhamini kabisa. Masomo haya hukuza kipawa cha mwanafunzi pengine mwanafunzi ikawa haelewi masomo ya kiakademia lakini hapo ndipo aelewapo. Aidha masomo ya kiufundi hupunguza uhalifu. Pengine mnajiuliza vipi? Pale ambapo mwanafunzi amemaliza kusoma na endapo hana kazi wala bazi itambidi aanze kuiba. Lakini ikiwa ana ujuzi wa kiufundi hawezi kuiba hivi basi humwezesha mtu kupata kipato cha siku. Mwisho na huku nikibeba viragu vyangu ni kuwa ningependa serikali ifanye masomo ya kiufundi. Lazima wanafunzi kutia fora masomoni yaani ya kiufundi. Mitazamo hasi yawe chanya ili tufaulu katika maisha yetu. Pamoja tufaulu.
Masomo gani hupewa kipaumbele
{ "text": [ "ya kiakademia" ] }
0165_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI WA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Kwenye dunia elimu ni msingi wa maisha, kwa ajili hiyo itabidi mtu ajikaze kisabuni asome ili kujikimu maishani kindakindaki. Waama, mchumia juani hulia kivulini. Kila uchao ni masomo hasa hilo somo ni nini? Somo ni mpango wa mafundisho ya elimu maalum. Mfano, Hisabati, Kiswahili Jografia na mengineo. Yaani, fundisho ila masomo yamejigawanya mara mbili: Masomo ya akademia na masomo ya Kiufundi. Mifano ya masomo ya kiakademia ni: Hisabati, Kiingereza, Kiswahili, Biolojia, Kemia, Fizikia, somo la Dini na Historia katika mengineo. Nayo hayo ya kiufundi ni kama Useremala, Ufinyanzi, Somo la kuchomelea, Somo la Sanaa, Kushona na mengineo. Haya yote niliyoyataja ni masomo yanayofunzwa shule ya upili. Wengi huyapuuza masomo ya kiufundi na kuyapa ya kiakademia kipaumbele kwa sababu zifuatazo: Awali, wanafunzi si haba wana msimamo hasa kuhusu masomo ya kiufundi. Wengi wao hudhani kuwa masomo haya ni mawe tena yasiyovunjika. Kwa mfano, mtu hudhani asomae somo la kushona hana mwanzo aelewe kindakindaki ili ajue kinagaubaga itambidi ajue kuweka uzi kwa sindano. Useremala itambidi ujue kupiga msasa kutumia timizi. Adhabu wanavyoita inawafanya wasiyasome masomo hayo. Vile vile, wengi hudhani masomo haya ni ya walalaha na si ya walalahai. Itakuaje mtu aendeshae Prado afanyie kazi katika karakana ya mbao ajichafue na mbao, apige msasa, atumie bisibisi na atumie randa atengeze vitanda? Jamii itamwonaje mtu huyo? Ndiyo maana mtu au mwanafunzi hawezi kufanya hatua hiyo ya useremala. Mighairi ya hayo, wanafunzi wanashinikizwa na wazazi wao kuwa wayabebe masomo ya kiakademia kama almasi na kuyatupa kama kinyesi masomo ya kiufundi. Kwani si masomo? Ama kweli binadamu ana maudhi tena maudhi ya kuudhi. Anayeshona mishonaji, anayetengeza kitanda, seremala na tunapata mlo kutokana na juhudi aliopewa na maanani mkulima. lla jamii inawaona watu wanaosoma masomo hayo kama watu duni, maskini hohe hahe. Mbali na hayo, hata mtu anaposoma masomo ya kiufundi shule ya upili mwisho wa siku hana kazi wala bazi. Sababu kuu ni kuwa vyuo vya kiufundi vingi vimebadilika na kuwa vyuo vikuu. Mfano mkuu ni chuo cha kiufundi cha Mombasa kimebadili. Mtu au mwanafunzi hawezi kujisumbua kuisoma kujikakamua kisha mwisho wa siku hana kazi. Fauka ya hayo, maradhi. Maradhi huwa ni moja na sababu zinaomfanya mtu kupuuza masomo haya ya kiufundi Pumu kwa mfano humfanya mtu kuachana na somo la useremala. Mtu aliye na pumu huweza kuathirika na kuchungulia kaburi. Au shida ya macho ni mtu hawezi kuchomelea, kufinyanzi kitu mzuri kama hana uwezo wa kufanya jambo hilo Akiri, teknolojia imekuwa mno hadi masomo ya kufunza hayana maana. Ufinyanzi, mfano, kenari hii hufanante a roboti ambao huhantau kazi za adannu kuchometa aku Thiri hali kadhalika. Katika hali hii wanafunzi hatika, shule huchagua masomo ya kiakademin badak nore Mfano ya somo la ufinyanzi labda vijijini pekee lakini mjini kazi hufanywa na mashine ya kuchomelea na kadhalika. Nikikunja jamvi langu ni kuwa asiyekujua hakudhamini kabisa. Masomo haya hukuza kipawa cha mwanafunzi pengine mwanafunzi ikawa haelewi masomo ya kiakademia lakini hapo ndipo aelewapo. Aidha masomo ya kiufundi hupunguza uhalifu. Pengine mnajiuliza vipi? Pale ambapo mwanafunzi amemaliza kusoma na endapo hana kazi wala bazi itambidi aanze kuiba. Lakini ikiwa ana ujuzi wa kiufundi hawezi kuiba hivi basi humwezesha mtu kupata kipato cha siku. Mwisho na huku nikibeba viragu vyangu ni kuwa ningependa serikali ifanye masomo ya kiufundi. Lazima wanafunzi kutia fora masomoni yaani ya kiufundi. Mitazamo hasi yawe chanya ili tufaulu katika maisha yetu. Pamoja tufaulu.
Mchumia juani hulia wapi
{ "text": [ "kivulini" ] }
0165_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI WA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Kwenye dunia elimu ni msingi wa maisha, kwa ajili hiyo itabidi mtu ajikaze kisabuni asome ili kujikimu maishani kindakindaki. Waama, mchumia juani hulia kivulini. Kila uchao ni masomo hasa hilo somo ni nini? Somo ni mpango wa mafundisho ya elimu maalum. Mfano, Hisabati, Kiswahili Jografia na mengineo. Yaani, fundisho ila masomo yamejigawanya mara mbili: Masomo ya akademia na masomo ya Kiufundi. Mifano ya masomo ya kiakademia ni: Hisabati, Kiingereza, Kiswahili, Biolojia, Kemia, Fizikia, somo la Dini na Historia katika mengineo. Nayo hayo ya kiufundi ni kama Useremala, Ufinyanzi, Somo la kuchomelea, Somo la Sanaa, Kushona na mengineo. Haya yote niliyoyataja ni masomo yanayofunzwa shule ya upili. Wengi huyapuuza masomo ya kiufundi na kuyapa ya kiakademia kipaumbele kwa sababu zifuatazo: Awali, wanafunzi si haba wana msimamo hasa kuhusu masomo ya kiufundi. Wengi wao hudhani kuwa masomo haya ni mawe tena yasiyovunjika. Kwa mfano, mtu hudhani asomae somo la kushona hana mwanzo aelewe kindakindaki ili ajue kinagaubaga itambidi ajue kuweka uzi kwa sindano. Useremala itambidi ujue kupiga msasa kutumia timizi. Adhabu wanavyoita inawafanya wasiyasome masomo hayo. Vile vile, wengi hudhani masomo haya ni ya walalaha na si ya walalahai. Itakuaje mtu aendeshae Prado afanyie kazi katika karakana ya mbao ajichafue na mbao, apige msasa, atumie bisibisi na atumie randa atengeze vitanda? Jamii itamwonaje mtu huyo? Ndiyo maana mtu au mwanafunzi hawezi kufanya hatua hiyo ya useremala. Mighairi ya hayo, wanafunzi wanashinikizwa na wazazi wao kuwa wayabebe masomo ya kiakademia kama almasi na kuyatupa kama kinyesi masomo ya kiufundi. Kwani si masomo? Ama kweli binadamu ana maudhi tena maudhi ya kuudhi. Anayeshona mishonaji, anayetengeza kitanda, seremala na tunapata mlo kutokana na juhudi aliopewa na maanani mkulima. lla jamii inawaona watu wanaosoma masomo hayo kama watu duni, maskini hohe hahe. Mbali na hayo, hata mtu anaposoma masomo ya kiufundi shule ya upili mwisho wa siku hana kazi wala bazi. Sababu kuu ni kuwa vyuo vya kiufundi vingi vimebadilika na kuwa vyuo vikuu. Mfano mkuu ni chuo cha kiufundi cha Mombasa kimebadili. Mtu au mwanafunzi hawezi kujisumbua kuisoma kujikakamua kisha mwisho wa siku hana kazi. Fauka ya hayo, maradhi. Maradhi huwa ni moja na sababu zinaomfanya mtu kupuuza masomo haya ya kiufundi Pumu kwa mfano humfanya mtu kuachana na somo la useremala. Mtu aliye na pumu huweza kuathirika na kuchungulia kaburi. Au shida ya macho ni mtu hawezi kuchomelea, kufinyanzi kitu mzuri kama hana uwezo wa kufanya jambo hilo Akiri, teknolojia imekuwa mno hadi masomo ya kufunza hayana maana. Ufinyanzi, mfano, kenari hii hufanante a roboti ambao huhantau kazi za adannu kuchometa aku Thiri hali kadhalika. Katika hali hii wanafunzi hatika, shule huchagua masomo ya kiakademin badak nore Mfano ya somo la ufinyanzi labda vijijini pekee lakini mjini kazi hufanywa na mashine ya kuchomelea na kadhalika. Nikikunja jamvi langu ni kuwa asiyekujua hakudhamini kabisa. Masomo haya hukuza kipawa cha mwanafunzi pengine mwanafunzi ikawa haelewi masomo ya kiakademia lakini hapo ndipo aelewapo. Aidha masomo ya kiufundi hupunguza uhalifu. Pengine mnajiuliza vipi? Pale ambapo mwanafunzi amemaliza kusoma na endapo hana kazi wala bazi itambidi aanze kuiba. Lakini ikiwa ana ujuzi wa kiufundi hawezi kuiba hivi basi humwezesha mtu kupata kipato cha siku. Mwisho na huku nikibeba viragu vyangu ni kuwa ningependa serikali ifanye masomo ya kiufundi. Lazima wanafunzi kutia fora masomoni yaani ya kiufundi. Mitazamo hasi yawe chanya ili tufaulu katika maisha yetu. Pamoja tufaulu.
Wanafunzi wana msimamo hasi kuhusu masomo gani
{ "text": [ "ya kiufundi" ] }
0165_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI WA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Kwenye dunia elimu ni msingi wa maisha, kwa ajili hiyo itabidi mtu ajikaze kisabuni asome ili kujikimu maishani kindakindaki. Waama, mchumia juani hulia kivulini. Kila uchao ni masomo hasa hilo somo ni nini? Somo ni mpango wa mafundisho ya elimu maalum. Mfano, Hisabati, Kiswahili Jografia na mengineo. Yaani, fundisho ila masomo yamejigawanya mara mbili: Masomo ya akademia na masomo ya Kiufundi. Mifano ya masomo ya kiakademia ni: Hisabati, Kiingereza, Kiswahili, Biolojia, Kemia, Fizikia, somo la Dini na Historia katika mengineo. Nayo hayo ya kiufundi ni kama Useremala, Ufinyanzi, Somo la kuchomelea, Somo la Sanaa, Kushona na mengineo. Haya yote niliyoyataja ni masomo yanayofunzwa shule ya upili. Wengi huyapuuza masomo ya kiufundi na kuyapa ya kiakademia kipaumbele kwa sababu zifuatazo: Awali, wanafunzi si haba wana msimamo hasa kuhusu masomo ya kiufundi. Wengi wao hudhani kuwa masomo haya ni mawe tena yasiyovunjika. Kwa mfano, mtu hudhani asomae somo la kushona hana mwanzo aelewe kindakindaki ili ajue kinagaubaga itambidi ajue kuweka uzi kwa sindano. Useremala itambidi ujue kupiga msasa kutumia timizi. Adhabu wanavyoita inawafanya wasiyasome masomo hayo. Vile vile, wengi hudhani masomo haya ni ya walalaha na si ya walalahai. Itakuaje mtu aendeshae Prado afanyie kazi katika karakana ya mbao ajichafue na mbao, apige msasa, atumie bisibisi na atumie randa atengeze vitanda? Jamii itamwonaje mtu huyo? Ndiyo maana mtu au mwanafunzi hawezi kufanya hatua hiyo ya useremala. Mighairi ya hayo, wanafunzi wanashinikizwa na wazazi wao kuwa wayabebe masomo ya kiakademia kama almasi na kuyatupa kama kinyesi masomo ya kiufundi. Kwani si masomo? Ama kweli binadamu ana maudhi tena maudhi ya kuudhi. Anayeshona mishonaji, anayetengeza kitanda, seremala na tunapata mlo kutokana na juhudi aliopewa na maanani mkulima. lla jamii inawaona watu wanaosoma masomo hayo kama watu duni, maskini hohe hahe. Mbali na hayo, hata mtu anaposoma masomo ya kiufundi shule ya upili mwisho wa siku hana kazi wala bazi. Sababu kuu ni kuwa vyuo vya kiufundi vingi vimebadilika na kuwa vyuo vikuu. Mfano mkuu ni chuo cha kiufundi cha Mombasa kimebadili. Mtu au mwanafunzi hawezi kujisumbua kuisoma kujikakamua kisha mwisho wa siku hana kazi. Fauka ya hayo, maradhi. Maradhi huwa ni moja na sababu zinaomfanya mtu kupuuza masomo haya ya kiufundi Pumu kwa mfano humfanya mtu kuachana na somo la useremala. Mtu aliye na pumu huweza kuathirika na kuchungulia kaburi. Au shida ya macho ni mtu hawezi kuchomelea, kufinyanzi kitu mzuri kama hana uwezo wa kufanya jambo hilo Akiri, teknolojia imekuwa mno hadi masomo ya kufunza hayana maana. Ufinyanzi, mfano, kenari hii hufanante a roboti ambao huhantau kazi za adannu kuchometa aku Thiri hali kadhalika. Katika hali hii wanafunzi hatika, shule huchagua masomo ya kiakademin badak nore Mfano ya somo la ufinyanzi labda vijijini pekee lakini mjini kazi hufanywa na mashine ya kuchomelea na kadhalika. Nikikunja jamvi langu ni kuwa asiyekujua hakudhamini kabisa. Masomo haya hukuza kipawa cha mwanafunzi pengine mwanafunzi ikawa haelewi masomo ya kiakademia lakini hapo ndipo aelewapo. Aidha masomo ya kiufundi hupunguza uhalifu. Pengine mnajiuliza vipi? Pale ambapo mwanafunzi amemaliza kusoma na endapo hana kazi wala bazi itambidi aanze kuiba. Lakini ikiwa ana ujuzi wa kiufundi hawezi kuiba hivi basi humwezesha mtu kupata kipato cha siku. Mwisho na huku nikibeba viragu vyangu ni kuwa ningependa serikali ifanye masomo ya kiufundi. Lazima wanafunzi kutia fora masomoni yaani ya kiufundi. Mitazamo hasi yawe chanya ili tufaulu katika maisha yetu. Pamoja tufaulu.
Mbona masomo ya kiufundi yawe ya lazima
{ "text": [ "ili tufaulu katika maisha yetu" ] }
0166_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni tukio maalumu linalotambulika, lisilotarajiwa geni na lisilotakikana ambalo hutokea katika muda na mahali fulani bila sababu au maksudi dhahiri lakini husababisha madhara yaliyo wazi hasa vifo. Kuna aina nyingi za ajali, kwa mfano kuna kimaungo na yasiyo ya kimaungo. Ajali hizi ni kama migongano yaliyotarajiwa au maanguko, kujeruhiwa kwa kugusa kitu kikali, moto, umeme au sumu. Kuna ajali katika shughuli. Ajali hizi hupatikana wakati wa utekelezaji wa kazi na majeraha ya michezo. Mwisho ni ajali kwa vyombo vya usafiri kama ajali za baiskeli, pikipiki, magari, malori na kadhalika. Ajali za barabarani zimeripotiwa kufikia vifo milioni moja nukta tatu tano kila mwaka kote duniani. Ripoti hii ni wito kwa serikali na wadau wote kuchukua hatua kutekeleza na kuzingatia jinsi wanavyoweza kukabiliana na ajali hizi. Wahenga hawakukosea walipo amba kuwa kinga ni bora kuliko tiba. Awali ni kuwepo kwa elimu ya kutosha ya udereva. Madereva wengi barabarani hawana ujuzi sahihi wala vibali vya kumiliki magari hayo. Hivi basi husababisha na kutia abiria na wapita njia wote hatarini kwa sababu ya puuza zao. Madereva hawa hawajui kama bahati ni chudi ni lazima wafanye kazi zao vizuri na kwa bidii ndio wafaulu maishani. Madereva hawa wasio na ujuzi wa kuendesha magari ni sharti waondoshwe na wapelekwe katika shule za udereva. Jambo hili pia ni chanzo cha ajali barabarani. Pili ni sheria kali ziwekwe barabarani dhidi ya madereva. Sheria zenyewe ni kama kujifunga mishipi ya gari na wahimize abiria wao pia kujifunga mishipi hio ili tupunguze ajali barabarani. Mishipi ya magari husaidia pale dereva anaposimamisha gari ghafla mtu asitoke nje ya gari kupitia kioo cha mbele. Magari yawekwe vifaa vya huduma ya kwanza. Madereva wapekuliwe vibali na vitambulisho vyao kabla ya kuruhusiwa barabarani ili tuhakikishe usalama wa wananchi. Kuwekwe maarufuku ya utumiaji wa mihadarati barabarani kwani ingawa imekatazwa utapata madereva wengi wakitumia mihadarati kama vile bangi, pombe, miraa, mugoka, sigara na kadhalika na huatharisha maisha wapita njia. Hatua zichukuliwe dhidi ya madereva kama hawa. Ni nani asiyejua kuwa maisha ya abiria imo ndani ya mikono ya madereva? Isitoshe, kivukio cha chini na juu viwekwe na wizara. Uchukuzi na miundo msingi ili kupunguza idadi ya watu barabarani. Mtembeaji anastahili kuvuka barabara aonapo rangi nyekundu ikiashiria magari yote yasimame. Hata hivyo ni sharti wahakikishe barabara iwazi. Hivi basi tutaweza kuona ajali zikipungua barabarani. Licha ya hayo, serikali ya kaunti ziweke kivukamilia katika kila barabara. Kivukamilia ni sehemu iliyochorwa mistari meupe na ndiyo rasmi ya kuvukia barabara. Kivukamilia pia huezesha madereva kujua kuwa hapo ni mahali pa watembeaji kuvukia. Madereva ni sharti wawe waangalifu, wamakinike na waangalie barabara vizuri ili waone kama kuna kuruba, matuta au mizunguko barabarani. Kutokuwa waangalifu barabarani ni mojawapo ya changamoto kubwa cha kuwepo na ajali hizi. Madereva wanapaswa kupeleka magari yao vizuri kuwapo kuruba na matuta ili tuboreshe maisha ya abiria na wapita njia. Waendeshaji pikipiki na abiria wao wavalie helmeti ili wajikinge kwani walivyonena wahenga si uongo kuwa tahadhari kabla ya hatari. Lazima wavae helmeti ili wasiumie wakati wanapokumbana na ajali mbaya. Helmeti husaidia kutoumia kwa waendeshaji pikipiki na abiria wa pikipiki. Minghari ya hayo, madereva wasomeshwe haki za kibinafsi. Madereva wengi hawazitilii mkazo na wengi wao hawazijulii kabisa haki za kibinadamu. Inapaswa shule za udereva zifunze kuhusu suala hili kwa madereva. Askari fisadi wapigwe kalamu na waajiriwe askari wanao wajibika. Askari fisadi hupokea hongo kutoka kwa utingo na madereva ili waachiliwe kama magari yao ni mabovu, yaani hayafai barabarani na iwapo hawana vibali vya udereva. Chanzo chengine ni barabara nyembamba zimechangia kwa ajali barabarani. Barabara zinafaa zipanuliwe ili tupunguze misongamano ya magari na kupunguza kutokea kwa ajali. Nyumba zilizo karibu na barabara ziondolewe. Serikali awahimize wananchi ili wasijenge nyumba zao karibu na barabara kwani huenda malori yakagongana na nyumba hizo na zikaleta madhara zaidi hata kuliko ajali. Vilevile wanyama wa pori waondolewe karibu na barabara. Wanyama kama ndovu wanaozunguka barabarani pia huchangia kama madereva wanapotaka kuwahepa huenda wakagonga miti au wapita njia walio karibu na barabara hizo. Magari yakaguliwe vizuri kabla ya kukubaliwa barabarani. Madereva wamiliki magari mazuri na yenye hali nzuri. Maafisa wa polisi wakague viwango vya gurudumu katika magari makubwa. Magari ya mizigo yanafaa yabebe kiwango fulani ili yasilete ajali barabarani. Fauka ya hayo madereva wazuri na wanaotii sheria wapewe zawadi ili madereva wengine wapate kuiga madereva hawa. Tukuwekwe tuzo kadhaa za kupeana kwa madereva katika siku ya sherehe za Taifa Barabara zinapaswa kuwekwa vidhibiti mwendo ili kupunguza na kuonyesha watu wanazidisha mchapuko katika baraste. Kuongeza mchapuko pia huongeza idadi ya ajali. Hivi basi sababu ya ajali nyingi barabarani ni madereva kukosa makini giza usiku, mvua kubwa, mafunzo duni kwa madereva, kutoboka magurudumu, kuwepo kwa barabara mbovu na nyembamba sana kupita kwenye mito nyakati za mvua, afya duni ya dereva, ulevi wa madereva ushirikina kutumika na kadhalika. Ninaona tukiyatilia mkazo hayo nilivyo orodhesha hapo juu tutaona mwisho wa ajali nyingi barabarani na tutahakikisha usalama wa abiria na wapita njia. Tuungane mikono, kwani mkono mmoja haulei mwana ili tuone mwisho wa ajali nyingi.
Ajali husababisha madhara gani
{ "text": [ "Vifo" ] }
0166_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni tukio maalumu linalotambulika, lisilotarajiwa geni na lisilotakikana ambalo hutokea katika muda na mahali fulani bila sababu au maksudi dhahiri lakini husababisha madhara yaliyo wazi hasa vifo. Kuna aina nyingi za ajali, kwa mfano kuna kimaungo na yasiyo ya kimaungo. Ajali hizi ni kama migongano yaliyotarajiwa au maanguko, kujeruhiwa kwa kugusa kitu kikali, moto, umeme au sumu. Kuna ajali katika shughuli. Ajali hizi hupatikana wakati wa utekelezaji wa kazi na majeraha ya michezo. Mwisho ni ajali kwa vyombo vya usafiri kama ajali za baiskeli, pikipiki, magari, malori na kadhalika. Ajali za barabarani zimeripotiwa kufikia vifo milioni moja nukta tatu tano kila mwaka kote duniani. Ripoti hii ni wito kwa serikali na wadau wote kuchukua hatua kutekeleza na kuzingatia jinsi wanavyoweza kukabiliana na ajali hizi. Wahenga hawakukosea walipo amba kuwa kinga ni bora kuliko tiba. Awali ni kuwepo kwa elimu ya kutosha ya udereva. Madereva wengi barabarani hawana ujuzi sahihi wala vibali vya kumiliki magari hayo. Hivi basi husababisha na kutia abiria na wapita njia wote hatarini kwa sababu ya puuza zao. Madereva hawa hawajui kama bahati ni chudi ni lazima wafanye kazi zao vizuri na kwa bidii ndio wafaulu maishani. Madereva hawa wasio na ujuzi wa kuendesha magari ni sharti waondoshwe na wapelekwe katika shule za udereva. Jambo hili pia ni chanzo cha ajali barabarani. Pili ni sheria kali ziwekwe barabarani dhidi ya madereva. Sheria zenyewe ni kama kujifunga mishipi ya gari na wahimize abiria wao pia kujifunga mishipi hio ili tupunguze ajali barabarani. Mishipi ya magari husaidia pale dereva anaposimamisha gari ghafla mtu asitoke nje ya gari kupitia kioo cha mbele. Magari yawekwe vifaa vya huduma ya kwanza. Madereva wapekuliwe vibali na vitambulisho vyao kabla ya kuruhusiwa barabarani ili tuhakikishe usalama wa wananchi. Kuwekwe maarufuku ya utumiaji wa mihadarati barabarani kwani ingawa imekatazwa utapata madereva wengi wakitumia mihadarati kama vile bangi, pombe, miraa, mugoka, sigara na kadhalika na huatharisha maisha wapita njia. Hatua zichukuliwe dhidi ya madereva kama hawa. Ni nani asiyejua kuwa maisha ya abiria imo ndani ya mikono ya madereva? Isitoshe, kivukio cha chini na juu viwekwe na wizara. Uchukuzi na miundo msingi ili kupunguza idadi ya watu barabarani. Mtembeaji anastahili kuvuka barabara aonapo rangi nyekundu ikiashiria magari yote yasimame. Hata hivyo ni sharti wahakikishe barabara iwazi. Hivi basi tutaweza kuona ajali zikipungua barabarani. Licha ya hayo, serikali ya kaunti ziweke kivukamilia katika kila barabara. Kivukamilia ni sehemu iliyochorwa mistari meupe na ndiyo rasmi ya kuvukia barabara. Kivukamilia pia huezesha madereva kujua kuwa hapo ni mahali pa watembeaji kuvukia. Madereva ni sharti wawe waangalifu, wamakinike na waangalie barabara vizuri ili waone kama kuna kuruba, matuta au mizunguko barabarani. Kutokuwa waangalifu barabarani ni mojawapo ya changamoto kubwa cha kuwepo na ajali hizi. Madereva wanapaswa kupeleka magari yao vizuri kuwapo kuruba na matuta ili tuboreshe maisha ya abiria na wapita njia. Waendeshaji pikipiki na abiria wao wavalie helmeti ili wajikinge kwani walivyonena wahenga si uongo kuwa tahadhari kabla ya hatari. Lazima wavae helmeti ili wasiumie wakati wanapokumbana na ajali mbaya. Helmeti husaidia kutoumia kwa waendeshaji pikipiki na abiria wa pikipiki. Minghari ya hayo, madereva wasomeshwe haki za kibinafsi. Madereva wengi hawazitilii mkazo na wengi wao hawazijulii kabisa haki za kibinadamu. Inapaswa shule za udereva zifunze kuhusu suala hili kwa madereva. Askari fisadi wapigwe kalamu na waajiriwe askari wanao wajibika. Askari fisadi hupokea hongo kutoka kwa utingo na madereva ili waachiliwe kama magari yao ni mabovu, yaani hayafai barabarani na iwapo hawana vibali vya udereva. Chanzo chengine ni barabara nyembamba zimechangia kwa ajali barabarani. Barabara zinafaa zipanuliwe ili tupunguze misongamano ya magari na kupunguza kutokea kwa ajali. Nyumba zilizo karibu na barabara ziondolewe. Serikali awahimize wananchi ili wasijenge nyumba zao karibu na barabara kwani huenda malori yakagongana na nyumba hizo na zikaleta madhara zaidi hata kuliko ajali. Vilevile wanyama wa pori waondolewe karibu na barabara. Wanyama kama ndovu wanaozunguka barabarani pia huchangia kama madereva wanapotaka kuwahepa huenda wakagonga miti au wapita njia walio karibu na barabara hizo. Magari yakaguliwe vizuri kabla ya kukubaliwa barabarani. Madereva wamiliki magari mazuri na yenye hali nzuri. Maafisa wa polisi wakague viwango vya gurudumu katika magari makubwa. Magari ya mizigo yanafaa yabebe kiwango fulani ili yasilete ajali barabarani. Fauka ya hayo madereva wazuri na wanaotii sheria wapewe zawadi ili madereva wengine wapate kuiga madereva hawa. Tukuwekwe tuzo kadhaa za kupeana kwa madereva katika siku ya sherehe za Taifa Barabara zinapaswa kuwekwa vidhibiti mwendo ili kupunguza na kuonyesha watu wanazidisha mchapuko katika baraste. Kuongeza mchapuko pia huongeza idadi ya ajali. Hivi basi sababu ya ajali nyingi barabarani ni madereva kukosa makini giza usiku, mvua kubwa, mafunzo duni kwa madereva, kutoboka magurudumu, kuwepo kwa barabara mbovu na nyembamba sana kupita kwenye mito nyakati za mvua, afya duni ya dereva, ulevi wa madereva ushirikina kutumika na kadhalika. Ninaona tukiyatilia mkazo hayo nilivyo orodhesha hapo juu tutaona mwisho wa ajali nyingi barabarani na tutahakikisha usalama wa abiria na wapita njia. Tuungane mikono, kwani mkono mmoja haulei mwana ili tuone mwisho wa ajali nyingi.
Ni ajali za wapi zimeripotiwa kufika milioni moja nukta tatu tano
{ "text": [ "Barabarani" ] }
0166_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni tukio maalumu linalotambulika, lisilotarajiwa geni na lisilotakikana ambalo hutokea katika muda na mahali fulani bila sababu au maksudi dhahiri lakini husababisha madhara yaliyo wazi hasa vifo. Kuna aina nyingi za ajali, kwa mfano kuna kimaungo na yasiyo ya kimaungo. Ajali hizi ni kama migongano yaliyotarajiwa au maanguko, kujeruhiwa kwa kugusa kitu kikali, moto, umeme au sumu. Kuna ajali katika shughuli. Ajali hizi hupatikana wakati wa utekelezaji wa kazi na majeraha ya michezo. Mwisho ni ajali kwa vyombo vya usafiri kama ajali za baiskeli, pikipiki, magari, malori na kadhalika. Ajali za barabarani zimeripotiwa kufikia vifo milioni moja nukta tatu tano kila mwaka kote duniani. Ripoti hii ni wito kwa serikali na wadau wote kuchukua hatua kutekeleza na kuzingatia jinsi wanavyoweza kukabiliana na ajali hizi. Wahenga hawakukosea walipo amba kuwa kinga ni bora kuliko tiba. Awali ni kuwepo kwa elimu ya kutosha ya udereva. Madereva wengi barabarani hawana ujuzi sahihi wala vibali vya kumiliki magari hayo. Hivi basi husababisha na kutia abiria na wapita njia wote hatarini kwa sababu ya puuza zao. Madereva hawa hawajui kama bahati ni chudi ni lazima wafanye kazi zao vizuri na kwa bidii ndio wafaulu maishani. Madereva hawa wasio na ujuzi wa kuendesha magari ni sharti waondoshwe na wapelekwe katika shule za udereva. Jambo hili pia ni chanzo cha ajali barabarani. Pili ni sheria kali ziwekwe barabarani dhidi ya madereva. Sheria zenyewe ni kama kujifunga mishipi ya gari na wahimize abiria wao pia kujifunga mishipi hio ili tupunguze ajali barabarani. Mishipi ya magari husaidia pale dereva anaposimamisha gari ghafla mtu asitoke nje ya gari kupitia kioo cha mbele. Magari yawekwe vifaa vya huduma ya kwanza. Madereva wapekuliwe vibali na vitambulisho vyao kabla ya kuruhusiwa barabarani ili tuhakikishe usalama wa wananchi. Kuwekwe maarufuku ya utumiaji wa mihadarati barabarani kwani ingawa imekatazwa utapata madereva wengi wakitumia mihadarati kama vile bangi, pombe, miraa, mugoka, sigara na kadhalika na huatharisha maisha wapita njia. Hatua zichukuliwe dhidi ya madereva kama hawa. Ni nani asiyejua kuwa maisha ya abiria imo ndani ya mikono ya madereva? Isitoshe, kivukio cha chini na juu viwekwe na wizara. Uchukuzi na miundo msingi ili kupunguza idadi ya watu barabarani. Mtembeaji anastahili kuvuka barabara aonapo rangi nyekundu ikiashiria magari yote yasimame. Hata hivyo ni sharti wahakikishe barabara iwazi. Hivi basi tutaweza kuona ajali zikipungua barabarani. Licha ya hayo, serikali ya kaunti ziweke kivukamilia katika kila barabara. Kivukamilia ni sehemu iliyochorwa mistari meupe na ndiyo rasmi ya kuvukia barabara. Kivukamilia pia huezesha madereva kujua kuwa hapo ni mahali pa watembeaji kuvukia. Madereva ni sharti wawe waangalifu, wamakinike na waangalie barabara vizuri ili waone kama kuna kuruba, matuta au mizunguko barabarani. Kutokuwa waangalifu barabarani ni mojawapo ya changamoto kubwa cha kuwepo na ajali hizi. Madereva wanapaswa kupeleka magari yao vizuri kuwapo kuruba na matuta ili tuboreshe maisha ya abiria na wapita njia. Waendeshaji pikipiki na abiria wao wavalie helmeti ili wajikinge kwani walivyonena wahenga si uongo kuwa tahadhari kabla ya hatari. Lazima wavae helmeti ili wasiumie wakati wanapokumbana na ajali mbaya. Helmeti husaidia kutoumia kwa waendeshaji pikipiki na abiria wa pikipiki. Minghari ya hayo, madereva wasomeshwe haki za kibinafsi. Madereva wengi hawazitilii mkazo na wengi wao hawazijulii kabisa haki za kibinadamu. Inapaswa shule za udereva zifunze kuhusu suala hili kwa madereva. Askari fisadi wapigwe kalamu na waajiriwe askari wanao wajibika. Askari fisadi hupokea hongo kutoka kwa utingo na madereva ili waachiliwe kama magari yao ni mabovu, yaani hayafai barabarani na iwapo hawana vibali vya udereva. Chanzo chengine ni barabara nyembamba zimechangia kwa ajali barabarani. Barabara zinafaa zipanuliwe ili tupunguze misongamano ya magari na kupunguza kutokea kwa ajali. Nyumba zilizo karibu na barabara ziondolewe. Serikali awahimize wananchi ili wasijenge nyumba zao karibu na barabara kwani huenda malori yakagongana na nyumba hizo na zikaleta madhara zaidi hata kuliko ajali. Vilevile wanyama wa pori waondolewe karibu na barabara. Wanyama kama ndovu wanaozunguka barabarani pia huchangia kama madereva wanapotaka kuwahepa huenda wakagonga miti au wapita njia walio karibu na barabara hizo. Magari yakaguliwe vizuri kabla ya kukubaliwa barabarani. Madereva wamiliki magari mazuri na yenye hali nzuri. Maafisa wa polisi wakague viwango vya gurudumu katika magari makubwa. Magari ya mizigo yanafaa yabebe kiwango fulani ili yasilete ajali barabarani. Fauka ya hayo madereva wazuri na wanaotii sheria wapewe zawadi ili madereva wengine wapate kuiga madereva hawa. Tukuwekwe tuzo kadhaa za kupeana kwa madereva katika siku ya sherehe za Taifa Barabara zinapaswa kuwekwa vidhibiti mwendo ili kupunguza na kuonyesha watu wanazidisha mchapuko katika baraste. Kuongeza mchapuko pia huongeza idadi ya ajali. Hivi basi sababu ya ajali nyingi barabarani ni madereva kukosa makini giza usiku, mvua kubwa, mafunzo duni kwa madereva, kutoboka magurudumu, kuwepo kwa barabara mbovu na nyembamba sana kupita kwenye mito nyakati za mvua, afya duni ya dereva, ulevi wa madereva ushirikina kutumika na kadhalika. Ninaona tukiyatilia mkazo hayo nilivyo orodhesha hapo juu tutaona mwisho wa ajali nyingi barabarani na tutahakikisha usalama wa abiria na wapita njia. Tuungane mikono, kwani mkono mmoja haulei mwana ili tuone mwisho wa ajali nyingi.
Nani wavalie helmeti ili kujikinga kutokana na ajali
{ "text": [ "Waendeshaji pikipiki na abiria wao" ] }
0166_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni tukio maalumu linalotambulika, lisilotarajiwa geni na lisilotakikana ambalo hutokea katika muda na mahali fulani bila sababu au maksudi dhahiri lakini husababisha madhara yaliyo wazi hasa vifo. Kuna aina nyingi za ajali, kwa mfano kuna kimaungo na yasiyo ya kimaungo. Ajali hizi ni kama migongano yaliyotarajiwa au maanguko, kujeruhiwa kwa kugusa kitu kikali, moto, umeme au sumu. Kuna ajali katika shughuli. Ajali hizi hupatikana wakati wa utekelezaji wa kazi na majeraha ya michezo. Mwisho ni ajali kwa vyombo vya usafiri kama ajali za baiskeli, pikipiki, magari, malori na kadhalika. Ajali za barabarani zimeripotiwa kufikia vifo milioni moja nukta tatu tano kila mwaka kote duniani. Ripoti hii ni wito kwa serikali na wadau wote kuchukua hatua kutekeleza na kuzingatia jinsi wanavyoweza kukabiliana na ajali hizi. Wahenga hawakukosea walipo amba kuwa kinga ni bora kuliko tiba. Awali ni kuwepo kwa elimu ya kutosha ya udereva. Madereva wengi barabarani hawana ujuzi sahihi wala vibali vya kumiliki magari hayo. Hivi basi husababisha na kutia abiria na wapita njia wote hatarini kwa sababu ya puuza zao. Madereva hawa hawajui kama bahati ni chudi ni lazima wafanye kazi zao vizuri na kwa bidii ndio wafaulu maishani. Madereva hawa wasio na ujuzi wa kuendesha magari ni sharti waondoshwe na wapelekwe katika shule za udereva. Jambo hili pia ni chanzo cha ajali barabarani. Pili ni sheria kali ziwekwe barabarani dhidi ya madereva. Sheria zenyewe ni kama kujifunga mishipi ya gari na wahimize abiria wao pia kujifunga mishipi hio ili tupunguze ajali barabarani. Mishipi ya magari husaidia pale dereva anaposimamisha gari ghafla mtu asitoke nje ya gari kupitia kioo cha mbele. Magari yawekwe vifaa vya huduma ya kwanza. Madereva wapekuliwe vibali na vitambulisho vyao kabla ya kuruhusiwa barabarani ili tuhakikishe usalama wa wananchi. Kuwekwe maarufuku ya utumiaji wa mihadarati barabarani kwani ingawa imekatazwa utapata madereva wengi wakitumia mihadarati kama vile bangi, pombe, miraa, mugoka, sigara na kadhalika na huatharisha maisha wapita njia. Hatua zichukuliwe dhidi ya madereva kama hawa. Ni nani asiyejua kuwa maisha ya abiria imo ndani ya mikono ya madereva? Isitoshe, kivukio cha chini na juu viwekwe na wizara. Uchukuzi na miundo msingi ili kupunguza idadi ya watu barabarani. Mtembeaji anastahili kuvuka barabara aonapo rangi nyekundu ikiashiria magari yote yasimame. Hata hivyo ni sharti wahakikishe barabara iwazi. Hivi basi tutaweza kuona ajali zikipungua barabarani. Licha ya hayo, serikali ya kaunti ziweke kivukamilia katika kila barabara. Kivukamilia ni sehemu iliyochorwa mistari meupe na ndiyo rasmi ya kuvukia barabara. Kivukamilia pia huezesha madereva kujua kuwa hapo ni mahali pa watembeaji kuvukia. Madereva ni sharti wawe waangalifu, wamakinike na waangalie barabara vizuri ili waone kama kuna kuruba, matuta au mizunguko barabarani. Kutokuwa waangalifu barabarani ni mojawapo ya changamoto kubwa cha kuwepo na ajali hizi. Madereva wanapaswa kupeleka magari yao vizuri kuwapo kuruba na matuta ili tuboreshe maisha ya abiria na wapita njia. Waendeshaji pikipiki na abiria wao wavalie helmeti ili wajikinge kwani walivyonena wahenga si uongo kuwa tahadhari kabla ya hatari. Lazima wavae helmeti ili wasiumie wakati wanapokumbana na ajali mbaya. Helmeti husaidia kutoumia kwa waendeshaji pikipiki na abiria wa pikipiki. Minghari ya hayo, madereva wasomeshwe haki za kibinafsi. Madereva wengi hawazitilii mkazo na wengi wao hawazijulii kabisa haki za kibinadamu. Inapaswa shule za udereva zifunze kuhusu suala hili kwa madereva. Askari fisadi wapigwe kalamu na waajiriwe askari wanao wajibika. Askari fisadi hupokea hongo kutoka kwa utingo na madereva ili waachiliwe kama magari yao ni mabovu, yaani hayafai barabarani na iwapo hawana vibali vya udereva. Chanzo chengine ni barabara nyembamba zimechangia kwa ajali barabarani. Barabara zinafaa zipanuliwe ili tupunguze misongamano ya magari na kupunguza kutokea kwa ajali. Nyumba zilizo karibu na barabara ziondolewe. Serikali awahimize wananchi ili wasijenge nyumba zao karibu na barabara kwani huenda malori yakagongana na nyumba hizo na zikaleta madhara zaidi hata kuliko ajali. Vilevile wanyama wa pori waondolewe karibu na barabara. Wanyama kama ndovu wanaozunguka barabarani pia huchangia kama madereva wanapotaka kuwahepa huenda wakagonga miti au wapita njia walio karibu na barabara hizo. Magari yakaguliwe vizuri kabla ya kukubaliwa barabarani. Madereva wamiliki magari mazuri na yenye hali nzuri. Maafisa wa polisi wakague viwango vya gurudumu katika magari makubwa. Magari ya mizigo yanafaa yabebe kiwango fulani ili yasilete ajali barabarani. Fauka ya hayo madereva wazuri na wanaotii sheria wapewe zawadi ili madereva wengine wapate kuiga madereva hawa. Tukuwekwe tuzo kadhaa za kupeana kwa madereva katika siku ya sherehe za Taifa Barabara zinapaswa kuwekwa vidhibiti mwendo ili kupunguza na kuonyesha watu wanazidisha mchapuko katika baraste. Kuongeza mchapuko pia huongeza idadi ya ajali. Hivi basi sababu ya ajali nyingi barabarani ni madereva kukosa makini giza usiku, mvua kubwa, mafunzo duni kwa madereva, kutoboka magurudumu, kuwepo kwa barabara mbovu na nyembamba sana kupita kwenye mito nyakati za mvua, afya duni ya dereva, ulevi wa madereva ushirikina kutumika na kadhalika. Ninaona tukiyatilia mkazo hayo nilivyo orodhesha hapo juu tutaona mwisho wa ajali nyingi barabarani na tutahakikisha usalama wa abiria na wapita njia. Tuungane mikono, kwani mkono mmoja haulei mwana ili tuone mwisho wa ajali nyingi.
Ni nani hupokea hongo kutoka kwa utingo na dereva barabarani wakiwa na magari mabovu
{ "text": [ "Askari fisadi" ] }
0166_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni tukio maalumu linalotambulika, lisilotarajiwa geni na lisilotakikana ambalo hutokea katika muda na mahali fulani bila sababu au maksudi dhahiri lakini husababisha madhara yaliyo wazi hasa vifo. Kuna aina nyingi za ajali, kwa mfano kuna kimaungo na yasiyo ya kimaungo. Ajali hizi ni kama migongano yaliyotarajiwa au maanguko, kujeruhiwa kwa kugusa kitu kikali, moto, umeme au sumu. Kuna ajali katika shughuli. Ajali hizi hupatikana wakati wa utekelezaji wa kazi na majeraha ya michezo. Mwisho ni ajali kwa vyombo vya usafiri kama ajali za baiskeli, pikipiki, magari, malori na kadhalika. Ajali za barabarani zimeripotiwa kufikia vifo milioni moja nukta tatu tano kila mwaka kote duniani. Ripoti hii ni wito kwa serikali na wadau wote kuchukua hatua kutekeleza na kuzingatia jinsi wanavyoweza kukabiliana na ajali hizi. Wahenga hawakukosea walipo amba kuwa kinga ni bora kuliko tiba. Awali ni kuwepo kwa elimu ya kutosha ya udereva. Madereva wengi barabarani hawana ujuzi sahihi wala vibali vya kumiliki magari hayo. Hivi basi husababisha na kutia abiria na wapita njia wote hatarini kwa sababu ya puuza zao. Madereva hawa hawajui kama bahati ni chudi ni lazima wafanye kazi zao vizuri na kwa bidii ndio wafaulu maishani. Madereva hawa wasio na ujuzi wa kuendesha magari ni sharti waondoshwe na wapelekwe katika shule za udereva. Jambo hili pia ni chanzo cha ajali barabarani. Pili ni sheria kali ziwekwe barabarani dhidi ya madereva. Sheria zenyewe ni kama kujifunga mishipi ya gari na wahimize abiria wao pia kujifunga mishipi hio ili tupunguze ajali barabarani. Mishipi ya magari husaidia pale dereva anaposimamisha gari ghafla mtu asitoke nje ya gari kupitia kioo cha mbele. Magari yawekwe vifaa vya huduma ya kwanza. Madereva wapekuliwe vibali na vitambulisho vyao kabla ya kuruhusiwa barabarani ili tuhakikishe usalama wa wananchi. Kuwekwe maarufuku ya utumiaji wa mihadarati barabarani kwani ingawa imekatazwa utapata madereva wengi wakitumia mihadarati kama vile bangi, pombe, miraa, mugoka, sigara na kadhalika na huatharisha maisha wapita njia. Hatua zichukuliwe dhidi ya madereva kama hawa. Ni nani asiyejua kuwa maisha ya abiria imo ndani ya mikono ya madereva? Isitoshe, kivukio cha chini na juu viwekwe na wizara. Uchukuzi na miundo msingi ili kupunguza idadi ya watu barabarani. Mtembeaji anastahili kuvuka barabara aonapo rangi nyekundu ikiashiria magari yote yasimame. Hata hivyo ni sharti wahakikishe barabara iwazi. Hivi basi tutaweza kuona ajali zikipungua barabarani. Licha ya hayo, serikali ya kaunti ziweke kivukamilia katika kila barabara. Kivukamilia ni sehemu iliyochorwa mistari meupe na ndiyo rasmi ya kuvukia barabara. Kivukamilia pia huezesha madereva kujua kuwa hapo ni mahali pa watembeaji kuvukia. Madereva ni sharti wawe waangalifu, wamakinike na waangalie barabara vizuri ili waone kama kuna kuruba, matuta au mizunguko barabarani. Kutokuwa waangalifu barabarani ni mojawapo ya changamoto kubwa cha kuwepo na ajali hizi. Madereva wanapaswa kupeleka magari yao vizuri kuwapo kuruba na matuta ili tuboreshe maisha ya abiria na wapita njia. Waendeshaji pikipiki na abiria wao wavalie helmeti ili wajikinge kwani walivyonena wahenga si uongo kuwa tahadhari kabla ya hatari. Lazima wavae helmeti ili wasiumie wakati wanapokumbana na ajali mbaya. Helmeti husaidia kutoumia kwa waendeshaji pikipiki na abiria wa pikipiki. Minghari ya hayo, madereva wasomeshwe haki za kibinafsi. Madereva wengi hawazitilii mkazo na wengi wao hawazijulii kabisa haki za kibinadamu. Inapaswa shule za udereva zifunze kuhusu suala hili kwa madereva. Askari fisadi wapigwe kalamu na waajiriwe askari wanao wajibika. Askari fisadi hupokea hongo kutoka kwa utingo na madereva ili waachiliwe kama magari yao ni mabovu, yaani hayafai barabarani na iwapo hawana vibali vya udereva. Chanzo chengine ni barabara nyembamba zimechangia kwa ajali barabarani. Barabara zinafaa zipanuliwe ili tupunguze misongamano ya magari na kupunguza kutokea kwa ajali. Nyumba zilizo karibu na barabara ziondolewe. Serikali awahimize wananchi ili wasijenge nyumba zao karibu na barabara kwani huenda malori yakagongana na nyumba hizo na zikaleta madhara zaidi hata kuliko ajali. Vilevile wanyama wa pori waondolewe karibu na barabara. Wanyama kama ndovu wanaozunguka barabarani pia huchangia kama madereva wanapotaka kuwahepa huenda wakagonga miti au wapita njia walio karibu na barabara hizo. Magari yakaguliwe vizuri kabla ya kukubaliwa barabarani. Madereva wamiliki magari mazuri na yenye hali nzuri. Maafisa wa polisi wakague viwango vya gurudumu katika magari makubwa. Magari ya mizigo yanafaa yabebe kiwango fulani ili yasilete ajali barabarani. Fauka ya hayo madereva wazuri na wanaotii sheria wapewe zawadi ili madereva wengine wapate kuiga madereva hawa. Tukuwekwe tuzo kadhaa za kupeana kwa madereva katika siku ya sherehe za Taifa Barabara zinapaswa kuwekwa vidhibiti mwendo ili kupunguza na kuonyesha watu wanazidisha mchapuko katika baraste. Kuongeza mchapuko pia huongeza idadi ya ajali. Hivi basi sababu ya ajali nyingi barabarani ni madereva kukosa makini giza usiku, mvua kubwa, mafunzo duni kwa madereva, kutoboka magurudumu, kuwepo kwa barabara mbovu na nyembamba sana kupita kwenye mito nyakati za mvua, afya duni ya dereva, ulevi wa madereva ushirikina kutumika na kadhalika. Ninaona tukiyatilia mkazo hayo nilivyo orodhesha hapo juu tutaona mwisho wa ajali nyingi barabarani na tutahakikisha usalama wa abiria na wapita njia. Tuungane mikono, kwani mkono mmoja haulei mwana ili tuone mwisho wa ajali nyingi.
Ni zipi mojawapo ya sababu zinazochangia ajali barabarani
{ "text": [ "Giza usiku na mvua kubwa" ] }
0167_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI WANAFUNZI WA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Kuanzia mwaka wa sitini na tatu hadi wa themanini, vyuo vya kiufundi vilishamiri na kutia foro Kenya nzima. Vyuo ya kiufundi vya ngazi ya chini vilijulikana kama maganlali. Vyuo hivi vilikuwa vikitoa shahada ya ngazi mbalimbali kwa mfano, masomo ya seremala, kushona, kimu, uashi na uhandisi. Wanaotaka kujiendeleza huenda katika vyuo vya diploma, mfano wa vyuo hivi ni chuo cha kiufundi cha Mombasa. Sasa imegeuzwa chuo kikuu. Wakati huo sera ya nchi ilikuwa ni kutoa vijana mafundi watakaojenga nchi kuwa taifa la kitu kiufundi na kimaarifa. Hali ilibadilika baada ya miaka ya themanini ambapo serikali yenyewe iligeuza baadhi ya vyuo hivi vya kiufundi kuwa vyuo vikuu. Jambo ambalo liligeuza mtazamo wa vijana kwamba masomo ya kiufundi hayana thamani kuliko masomo ya kiakademia. Na msisitizo mkubwa ukawa katika masomo ya kiakademia kuliko ya kiufundi. Aidha masomo ya kiufundi yanagharamia kubwa kuliko ya kiakademia. Jambo ambalo limefanya shule nyingi kupuuzilia mbali kuanzisha masomo hayo kwa sababu hazina uwezo za kifedha. Hususan kwa kuwa mgao wa serikali wa pesa kwa haba na haba mno wa kuezesha kununua vifaa takiwa. Jambo hili hufanya shule nyingi kupuuzilia mbali kuanzisha masomo haya Licha ya hayo, jamii imerithi kasumba za kikoloni kwa kuwa ni mtazamo kwamba kazi ya kiofisi ni bora kuliko kazi za kiufundi kama vile kutengeneza mabomba ya maji, useremala, ufundi wa nyaya za stima na uashi. Jamii hizi zimepigia vijana wao kujishughulisha mno na masomo ya kiakademia ambayo huufanya wao kuwa na mishahara minono na kuwapa hadhi kubwa katika jamii, na kuzidunisha masomo ‘duni’ ya kazi za mikono ambazo huwafanya wapate mapato dhaifu na kudhalilishwa katika jamii. Isitoshe, vijana wengi hawayatilii maanani masomo ya kiufundi kwa kuwa vyuo vilioko havina utaratibu wa kupanda ngazi tofauti ya kimasomo na kitaaluma kwa mfano, uwepo wa mfumo na hatua bayana mwanafunzi atakaopitia hadi atakapofika chuo kikuu, Hivyo basi, wanafunzi wengi huvunjika moyo na kutochukua masomo ya kiufundi ambayo yatawafanya wabakie papo hapo, na shahada ya ngazi ya chini bila kusonga mbele kitaaluma. Zaidi ya hayo, baadhi ya waumini wa dini fulani huwawiya vigumu kujiunga na baadhi ya masomo ya kiufundi. Kwa mfano uisilamu kujiunga na vyuo vya paraa kwani ni sharti washiriki katika kusoma na kutambua kuwatibu wanyama falau nguruwe ilhali kulingana na Kuran, kitabu chao kitukufu mnyama huyu ni najisi yaani uchafu wa hali ya juu. Mi faradhi wapitie hatua fulani baada ya kutangamana na nguruwe. Bila kusahau uzembe wa wanafunzi katika karne ya sasa, vijana wanafikiria haji kuwa kazi hizi zinaucho. Vile vile, kwa kuzoea mambo rahisi, vijana wanahofia kujiunga na taaluma hizi kwa fikira huwa ni za sulubu. Fauka ya hayo ubaguzi wa kijinsia pia umechangia pakubwa katika suala hili kwani adinasi tumbi wameikuza imani kuwa kuna kazi hilani ni za maghulamu na wengine za mabinti. Kwa mfano kazi ya kutengeneza magari imeingia porojo kuu ni za wanaume tu. Ilhali zile za mekoni ni za wanawake. Tulio hili huwafanya vijana wengi kuziepuka ‘passion’ zao. Ningependa kuzungumzia mengi ila muda umeyoyoma. Hivyo basi ningelikunja jamvi kwa kunena, licha ya kuchukiwa na wingi masomo ya kiufundi yana umalaika wake, shabash!
Ni katika sehemu gani vyuo vya kifundi vilishamiri na kutia fora
{ "text": [ "Kenya nzima" ] }
0167_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI WANAFUNZI WA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Kuanzia mwaka wa sitini na tatu hadi wa themanini, vyuo vya kiufundi vilishamiri na kutia foro Kenya nzima. Vyuo ya kiufundi vya ngazi ya chini vilijulikana kama maganlali. Vyuo hivi vilikuwa vikitoa shahada ya ngazi mbalimbali kwa mfano, masomo ya seremala, kushona, kimu, uashi na uhandisi. Wanaotaka kujiendeleza huenda katika vyuo vya diploma, mfano wa vyuo hivi ni chuo cha kiufundi cha Mombasa. Sasa imegeuzwa chuo kikuu. Wakati huo sera ya nchi ilikuwa ni kutoa vijana mafundi watakaojenga nchi kuwa taifa la kitu kiufundi na kimaarifa. Hali ilibadilika baada ya miaka ya themanini ambapo serikali yenyewe iligeuza baadhi ya vyuo hivi vya kiufundi kuwa vyuo vikuu. Jambo ambalo liligeuza mtazamo wa vijana kwamba masomo ya kiufundi hayana thamani kuliko masomo ya kiakademia. Na msisitizo mkubwa ukawa katika masomo ya kiakademia kuliko ya kiufundi. Aidha masomo ya kiufundi yanagharamia kubwa kuliko ya kiakademia. Jambo ambalo limefanya shule nyingi kupuuzilia mbali kuanzisha masomo hayo kwa sababu hazina uwezo za kifedha. Hususan kwa kuwa mgao wa serikali wa pesa kwa haba na haba mno wa kuezesha kununua vifaa takiwa. Jambo hili hufanya shule nyingi kupuuzilia mbali kuanzisha masomo haya Licha ya hayo, jamii imerithi kasumba za kikoloni kwa kuwa ni mtazamo kwamba kazi ya kiofisi ni bora kuliko kazi za kiufundi kama vile kutengeneza mabomba ya maji, useremala, ufundi wa nyaya za stima na uashi. Jamii hizi zimepigia vijana wao kujishughulisha mno na masomo ya kiakademia ambayo huufanya wao kuwa na mishahara minono na kuwapa hadhi kubwa katika jamii, na kuzidunisha masomo ‘duni’ ya kazi za mikono ambazo huwafanya wapate mapato dhaifu na kudhalilishwa katika jamii. Isitoshe, vijana wengi hawayatilii maanani masomo ya kiufundi kwa kuwa vyuo vilioko havina utaratibu wa kupanda ngazi tofauti ya kimasomo na kitaaluma kwa mfano, uwepo wa mfumo na hatua bayana mwanafunzi atakaopitia hadi atakapofika chuo kikuu, Hivyo basi, wanafunzi wengi huvunjika moyo na kutochukua masomo ya kiufundi ambayo yatawafanya wabakie papo hapo, na shahada ya ngazi ya chini bila kusonga mbele kitaaluma. Zaidi ya hayo, baadhi ya waumini wa dini fulani huwawiya vigumu kujiunga na baadhi ya masomo ya kiufundi. Kwa mfano uisilamu kujiunga na vyuo vya paraa kwani ni sharti washiriki katika kusoma na kutambua kuwatibu wanyama falau nguruwe ilhali kulingana na Kuran, kitabu chao kitukufu mnyama huyu ni najisi yaani uchafu wa hali ya juu. Mi faradhi wapitie hatua fulani baada ya kutangamana na nguruwe. Bila kusahau uzembe wa wanafunzi katika karne ya sasa, vijana wanafikiria haji kuwa kazi hizi zinaucho. Vile vile, kwa kuzoea mambo rahisi, vijana wanahofia kujiunga na taaluma hizi kwa fikira huwa ni za sulubu. Fauka ya hayo ubaguzi wa kijinsia pia umechangia pakubwa katika suala hili kwani adinasi tumbi wameikuza imani kuwa kuna kazi hilani ni za maghulamu na wengine za mabinti. Kwa mfano kazi ya kutengeneza magari imeingia porojo kuu ni za wanaume tu. Ilhali zile za mekoni ni za wanawake. Tulio hili huwafanya vijana wengi kuziepuka ‘passion’ zao. Ningependa kuzungumzia mengi ila muda umeyoyoma. Hivyo basi ningelikunja jamvi kwa kunena, licha ya kuchukiwa na wingi masomo ya kiufundi yana umalaika wake, shabash!
Vyuo vya kifundi vya ngazi ya chini vilijulikana kama nini
{ "text": [ "Maganlali" ] }
0167_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI WANAFUNZI WA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Kuanzia mwaka wa sitini na tatu hadi wa themanini, vyuo vya kiufundi vilishamiri na kutia foro Kenya nzima. Vyuo ya kiufundi vya ngazi ya chini vilijulikana kama maganlali. Vyuo hivi vilikuwa vikitoa shahada ya ngazi mbalimbali kwa mfano, masomo ya seremala, kushona, kimu, uashi na uhandisi. Wanaotaka kujiendeleza huenda katika vyuo vya diploma, mfano wa vyuo hivi ni chuo cha kiufundi cha Mombasa. Sasa imegeuzwa chuo kikuu. Wakati huo sera ya nchi ilikuwa ni kutoa vijana mafundi watakaojenga nchi kuwa taifa la kitu kiufundi na kimaarifa. Hali ilibadilika baada ya miaka ya themanini ambapo serikali yenyewe iligeuza baadhi ya vyuo hivi vya kiufundi kuwa vyuo vikuu. Jambo ambalo liligeuza mtazamo wa vijana kwamba masomo ya kiufundi hayana thamani kuliko masomo ya kiakademia. Na msisitizo mkubwa ukawa katika masomo ya kiakademia kuliko ya kiufundi. Aidha masomo ya kiufundi yanagharamia kubwa kuliko ya kiakademia. Jambo ambalo limefanya shule nyingi kupuuzilia mbali kuanzisha masomo hayo kwa sababu hazina uwezo za kifedha. Hususan kwa kuwa mgao wa serikali wa pesa kwa haba na haba mno wa kuezesha kununua vifaa takiwa. Jambo hili hufanya shule nyingi kupuuzilia mbali kuanzisha masomo haya Licha ya hayo, jamii imerithi kasumba za kikoloni kwa kuwa ni mtazamo kwamba kazi ya kiofisi ni bora kuliko kazi za kiufundi kama vile kutengeneza mabomba ya maji, useremala, ufundi wa nyaya za stima na uashi. Jamii hizi zimepigia vijana wao kujishughulisha mno na masomo ya kiakademia ambayo huufanya wao kuwa na mishahara minono na kuwapa hadhi kubwa katika jamii, na kuzidunisha masomo ‘duni’ ya kazi za mikono ambazo huwafanya wapate mapato dhaifu na kudhalilishwa katika jamii. Isitoshe, vijana wengi hawayatilii maanani masomo ya kiufundi kwa kuwa vyuo vilioko havina utaratibu wa kupanda ngazi tofauti ya kimasomo na kitaaluma kwa mfano, uwepo wa mfumo na hatua bayana mwanafunzi atakaopitia hadi atakapofika chuo kikuu, Hivyo basi, wanafunzi wengi huvunjika moyo na kutochukua masomo ya kiufundi ambayo yatawafanya wabakie papo hapo, na shahada ya ngazi ya chini bila kusonga mbele kitaaluma. Zaidi ya hayo, baadhi ya waumini wa dini fulani huwawiya vigumu kujiunga na baadhi ya masomo ya kiufundi. Kwa mfano uisilamu kujiunga na vyuo vya paraa kwani ni sharti washiriki katika kusoma na kutambua kuwatibu wanyama falau nguruwe ilhali kulingana na Kuran, kitabu chao kitukufu mnyama huyu ni najisi yaani uchafu wa hali ya juu. Mi faradhi wapitie hatua fulani baada ya kutangamana na nguruwe. Bila kusahau uzembe wa wanafunzi katika karne ya sasa, vijana wanafikiria haji kuwa kazi hizi zinaucho. Vile vile, kwa kuzoea mambo rahisi, vijana wanahofia kujiunga na taaluma hizi kwa fikira huwa ni za sulubu. Fauka ya hayo ubaguzi wa kijinsia pia umechangia pakubwa katika suala hili kwani adinasi tumbi wameikuza imani kuwa kuna kazi hilani ni za maghulamu na wengine za mabinti. Kwa mfano kazi ya kutengeneza magari imeingia porojo kuu ni za wanaume tu. Ilhali zile za mekoni ni za wanawake. Tulio hili huwafanya vijana wengi kuziepuka ‘passion’ zao. Ningependa kuzungumzia mengi ila muda umeyoyoma. Hivyo basi ningelikunja jamvi kwa kunena, licha ya kuchukiwa na wingi masomo ya kiufundi yana umalaika wake, shabash!
Wanaotaka kujiendeleza huenda wapi
{ "text": [ "Katika vyuo vya diploma" ] }
0167_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI WANAFUNZI WA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Kuanzia mwaka wa sitini na tatu hadi wa themanini, vyuo vya kiufundi vilishamiri na kutia foro Kenya nzima. Vyuo ya kiufundi vya ngazi ya chini vilijulikana kama maganlali. Vyuo hivi vilikuwa vikitoa shahada ya ngazi mbalimbali kwa mfano, masomo ya seremala, kushona, kimu, uashi na uhandisi. Wanaotaka kujiendeleza huenda katika vyuo vya diploma, mfano wa vyuo hivi ni chuo cha kiufundi cha Mombasa. Sasa imegeuzwa chuo kikuu. Wakati huo sera ya nchi ilikuwa ni kutoa vijana mafundi watakaojenga nchi kuwa taifa la kitu kiufundi na kimaarifa. Hali ilibadilika baada ya miaka ya themanini ambapo serikali yenyewe iligeuza baadhi ya vyuo hivi vya kiufundi kuwa vyuo vikuu. Jambo ambalo liligeuza mtazamo wa vijana kwamba masomo ya kiufundi hayana thamani kuliko masomo ya kiakademia. Na msisitizo mkubwa ukawa katika masomo ya kiakademia kuliko ya kiufundi. Aidha masomo ya kiufundi yanagharamia kubwa kuliko ya kiakademia. Jambo ambalo limefanya shule nyingi kupuuzilia mbali kuanzisha masomo hayo kwa sababu hazina uwezo za kifedha. Hususan kwa kuwa mgao wa serikali wa pesa kwa haba na haba mno wa kuezesha kununua vifaa takiwa. Jambo hili hufanya shule nyingi kupuuzilia mbali kuanzisha masomo haya Licha ya hayo, jamii imerithi kasumba za kikoloni kwa kuwa ni mtazamo kwamba kazi ya kiofisi ni bora kuliko kazi za kiufundi kama vile kutengeneza mabomba ya maji, useremala, ufundi wa nyaya za stima na uashi. Jamii hizi zimepigia vijana wao kujishughulisha mno na masomo ya kiakademia ambayo huufanya wao kuwa na mishahara minono na kuwapa hadhi kubwa katika jamii, na kuzidunisha masomo ‘duni’ ya kazi za mikono ambazo huwafanya wapate mapato dhaifu na kudhalilishwa katika jamii. Isitoshe, vijana wengi hawayatilii maanani masomo ya kiufundi kwa kuwa vyuo vilioko havina utaratibu wa kupanda ngazi tofauti ya kimasomo na kitaaluma kwa mfano, uwepo wa mfumo na hatua bayana mwanafunzi atakaopitia hadi atakapofika chuo kikuu, Hivyo basi, wanafunzi wengi huvunjika moyo na kutochukua masomo ya kiufundi ambayo yatawafanya wabakie papo hapo, na shahada ya ngazi ya chini bila kusonga mbele kitaaluma. Zaidi ya hayo, baadhi ya waumini wa dini fulani huwawiya vigumu kujiunga na baadhi ya masomo ya kiufundi. Kwa mfano uisilamu kujiunga na vyuo vya paraa kwani ni sharti washiriki katika kusoma na kutambua kuwatibu wanyama falau nguruwe ilhali kulingana na Kuran, kitabu chao kitukufu mnyama huyu ni najisi yaani uchafu wa hali ya juu. Mi faradhi wapitie hatua fulani baada ya kutangamana na nguruwe. Bila kusahau uzembe wa wanafunzi katika karne ya sasa, vijana wanafikiria haji kuwa kazi hizi zinaucho. Vile vile, kwa kuzoea mambo rahisi, vijana wanahofia kujiunga na taaluma hizi kwa fikira huwa ni za sulubu. Fauka ya hayo ubaguzi wa kijinsia pia umechangia pakubwa katika suala hili kwani adinasi tumbi wameikuza imani kuwa kuna kazi hilani ni za maghulamu na wengine za mabinti. Kwa mfano kazi ya kutengeneza magari imeingia porojo kuu ni za wanaume tu. Ilhali zile za mekoni ni za wanawake. Tulio hili huwafanya vijana wengi kuziepuka ‘passion’ zao. Ningependa kuzungumzia mengi ila muda umeyoyoma. Hivyo basi ningelikunja jamvi kwa kunena, licha ya kuchukiwa na wingi masomo ya kiufundi yana umalaika wake, shabash!
Chuo cha ufundi cha Mombasa kimegeuzwa kuwa nini
{ "text": [ "Chuo kikuu" ] }
0167_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI WANAFUNZI WA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Kuanzia mwaka wa sitini na tatu hadi wa themanini, vyuo vya kiufundi vilishamiri na kutia foro Kenya nzima. Vyuo ya kiufundi vya ngazi ya chini vilijulikana kama maganlali. Vyuo hivi vilikuwa vikitoa shahada ya ngazi mbalimbali kwa mfano, masomo ya seremala, kushona, kimu, uashi na uhandisi. Wanaotaka kujiendeleza huenda katika vyuo vya diploma, mfano wa vyuo hivi ni chuo cha kiufundi cha Mombasa. Sasa imegeuzwa chuo kikuu. Wakati huo sera ya nchi ilikuwa ni kutoa vijana mafundi watakaojenga nchi kuwa taifa la kitu kiufundi na kimaarifa. Hali ilibadilika baada ya miaka ya themanini ambapo serikali yenyewe iligeuza baadhi ya vyuo hivi vya kiufundi kuwa vyuo vikuu. Jambo ambalo liligeuza mtazamo wa vijana kwamba masomo ya kiufundi hayana thamani kuliko masomo ya kiakademia. Na msisitizo mkubwa ukawa katika masomo ya kiakademia kuliko ya kiufundi. Aidha masomo ya kiufundi yanagharamia kubwa kuliko ya kiakademia. Jambo ambalo limefanya shule nyingi kupuuzilia mbali kuanzisha masomo hayo kwa sababu hazina uwezo za kifedha. Hususan kwa kuwa mgao wa serikali wa pesa kwa haba na haba mno wa kuezesha kununua vifaa takiwa. Jambo hili hufanya shule nyingi kupuuzilia mbali kuanzisha masomo haya Licha ya hayo, jamii imerithi kasumba za kikoloni kwa kuwa ni mtazamo kwamba kazi ya kiofisi ni bora kuliko kazi za kiufundi kama vile kutengeneza mabomba ya maji, useremala, ufundi wa nyaya za stima na uashi. Jamii hizi zimepigia vijana wao kujishughulisha mno na masomo ya kiakademia ambayo huufanya wao kuwa na mishahara minono na kuwapa hadhi kubwa katika jamii, na kuzidunisha masomo ‘duni’ ya kazi za mikono ambazo huwafanya wapate mapato dhaifu na kudhalilishwa katika jamii. Isitoshe, vijana wengi hawayatilii maanani masomo ya kiufundi kwa kuwa vyuo vilioko havina utaratibu wa kupanda ngazi tofauti ya kimasomo na kitaaluma kwa mfano, uwepo wa mfumo na hatua bayana mwanafunzi atakaopitia hadi atakapofika chuo kikuu, Hivyo basi, wanafunzi wengi huvunjika moyo na kutochukua masomo ya kiufundi ambayo yatawafanya wabakie papo hapo, na shahada ya ngazi ya chini bila kusonga mbele kitaaluma. Zaidi ya hayo, baadhi ya waumini wa dini fulani huwawiya vigumu kujiunga na baadhi ya masomo ya kiufundi. Kwa mfano uisilamu kujiunga na vyuo vya paraa kwani ni sharti washiriki katika kusoma na kutambua kuwatibu wanyama falau nguruwe ilhali kulingana na Kuran, kitabu chao kitukufu mnyama huyu ni najisi yaani uchafu wa hali ya juu. Mi faradhi wapitie hatua fulani baada ya kutangamana na nguruwe. Bila kusahau uzembe wa wanafunzi katika karne ya sasa, vijana wanafikiria haji kuwa kazi hizi zinaucho. Vile vile, kwa kuzoea mambo rahisi, vijana wanahofia kujiunga na taaluma hizi kwa fikira huwa ni za sulubu. Fauka ya hayo ubaguzi wa kijinsia pia umechangia pakubwa katika suala hili kwani adinasi tumbi wameikuza imani kuwa kuna kazi hilani ni za maghulamu na wengine za mabinti. Kwa mfano kazi ya kutengeneza magari imeingia porojo kuu ni za wanaume tu. Ilhali zile za mekoni ni za wanawake. Tulio hili huwafanya vijana wengi kuziepuka ‘passion’ zao. Ningependa kuzungumzia mengi ila muda umeyoyoma. Hivyo basi ningelikunja jamvi kwa kunena, licha ya kuchukiwa na wingi masomo ya kiufundi yana umalaika wake, shabash!
Mbona vijana wanahofia kujiunga na taalumu hizi
{ "text": [ "Kwa sababu wana fikira kuwa ni za sulubu" ] }
0168_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Wengi mungeuliza ya kwamba ajali ni nini? Kwa upande wangu, ningewajibu kuwa ajali ni tukio linalodhuru na lililotokea kwa bahati mbaya. Kuna aina ainati za ajali. Kuna zile za kuanguka kwa kujikwaa, zile za barabarani, za angani na za baharini. Ajali zilizokithiri na kunoga nchini mwetu Kenya ni zile za barabarani. Kila pembe nchini Kenya ina sauti, vilio na malalamishi ya ajali zilizoenea na kushamiri kama moto jangwani. Baadhi ya sababu za ajali ni: Mihadarati ni chanzo cha kwanza ambacho huchangia katika ajali za barabara. Madereva wengi hutumia mihadarati kutokana na sababu mbalimbali. Sababu zenyewe zinaweza kuwa anasa za vijana, mawazo mengi au shinikizo la marika na anasa zinginezo. Madereva walevi waliotumia mihadarati hupata shida kutoa uamuzi wa haraka wakiwa usukanini. Akipita mtu ghafla husikika sauti ya breki skreeech! na ajali hutokea. Ujenzi wa matuta barabarani pia unaweza kupunguza ajali Madereva wengi hupenda kuendesha magari kwa mwendo wa kasi mno kwenye sehemu zenye watu wengi. Matuta haya yanaweza kupunguza ajali vipi? Kama nilivyosema awali madereva hupenda kuendesha magari kwa mwendo wa kasi basi wanapoyaona matuta mbele yao watapunguza mwendo huo na kuyavuka bila wasiwasi wowote na mwishowe kupunguza ajali barabarani. Ningependa kuisihi wizara ya uchukuzi na miundo msingi ijenge matuta. Abiria pamoja na madereva ni lazima wafunge mishipi wakati wa mwendo. Kufunga mishipi huzuia mtikisiko na mwishowe kupunguza visa vya ajali barabarani katika mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa, kaunti ya Mombasa, serikali ilitoa amri ya kwamba adinasi wote wanaoishi humo ni lazima wafunge mishipi si asubuhi si jioni. Na yeyote atakaye ikiuka au kwenda kinyume na amri hiyo basi atapewa adhabu ya kufungwa gerezani kwa muda wa miezi sita na juu yake kupewa kazi ya sulubu na pia kutozwa faini ya milioni kumi kama fidia. Safari za usiku sana pia huchangia pakubwa kwa ajali kutokea kwa sababu huwa madereva hawaoni vizuri hata ikiwa mataa ya mbele ya gari yamewashwa, dereva anaweza kuigonga kitu chochote na hatimaye ajali kubwa kutokea. Kitu hicho kinaweza kuwa ni mlingoti wenye nyaya za umeme, na hata pia anaweza kuwa ni mnyama pori. Nchini Tanzania, kumewekwa kafyu ya kwamba magari ya abiria hayaendeshwi ifikapo saa nne usiku. Hivyo basi ni wajibu wa serikali ya Kenya kupiga marufuku safari za usiku ili kupunguza ajali. Kutokana na Uviko-19, Kenya imeweka sheria ya magari ya abiria yasibebe watu zaidi ya watu saba ili kupunguza makali ya uwele wa corona. Lakini, sikio la kufa halisikii dawa. Baadhi ya magari hubeba watu zaidi na kupitisha kiwango kilichowekwa. Ama kweli msiba wa kujitakia hauna kilio. Maanake abiria wenyewe huabiri magari hayo kwa hiari yao wenyewe. Sita ni kuhusu kuwaelimisha madereva kuhusu umuhimu wa maisha. Tunaweza kuwaelimisha watu kwa kutumia njia tofauti tofauti kama vile tovuti 'Taifa Leo' na kadhalika. Ni lazima watu wajue umuhimu wa maisha hata kama yanawapeleka vibaya. Inaweza kuwa mtu anataka indilini mwake ikiwa ameghaflika mwishowe kuamua kuchukua hatua kubwa ambapo itabadilisha maisha yake kabisa ya kuamua kujiua. Lakini hajui kwamba atapoteza maisha ya watu wangapi kutokana na hatua ile ikiwa yeye ni dereva. Waendeshao pikipiki na abiria wao wanastahili wachukue jukumu la kuvaa helmeti wakati wanapokuwa kwenye mwendo. Heri nusu shari kuliko shari kamili. Pindi wanapozivaa helmeti, hata ajali ikitokea hawataumia na basi kupunguza makali ya ajali. Endapo madereva na abiria watavaa helmeti basi kuna uwezekano mkubwa wa ajali za pikipiki kupunguka barabarani. Madereva lazima wahimizwe kuzingatia alama za barabara, salama za kivuko mto na mzunguko. Kwa mfano, madereva wengi hawapendi kuzingatia alama na taa za barabarani. Yaani ikiwa taa nyekundu imewaka barabarani basi hutuambia na kutuonya tusimame ili magari mengine yapate kupita. Lakini utawaona madereva wengi wanaanza kuiba njia na nafasi ya kupita na mwishowe kusababisha ajali kubwa ambayo huleta vifo nyingi mno. Je, kwanini ajali Marekani si nyingi kuliko hapa mjini Kenya? Ni kwa sababu madereva wao wanaosababisha ajali wanaadhibiwa vilivyo kwa kupokonywa vibali vya kuendesha magari. Ingelikuwa tunafanya hivi, je ajali zingekuwa za rikodiwa kila uchao asubuhi na mchana? Basi ningependa tuige mfano wa Marekani wa kuzuia vibali vya wanaosababisha ajali ili tupate kupunguza ajali hizo. Hali ya anga kubadilika huchukua nambari ya kwanza ya ajali kutokea. Ifikapo msimu wa mvua ya masika , barabara nyingi huharibika haswa zile za mchanga na za maramu. Magari mengi yanashindwa kwa kuenda kwa kusukama matopeni. Wajibu wa madereva waangalifu ni kusikiliza vyombo vya habari vinapotangaza ni siku gani mvua ya masika itanyesha na pia serikali ijenge barabara za lami kwani zinaweza kupeleka magari bila wasiwasi wowote na hivyo basi kupunguza ajali. Yote tisa, kumi nina matumaini ya kwamba mumeona jinsi ajali za barabarani umeshika usukani katika ongezeko la vifo, mikasa na simanzi miongoni mwa baadhi ya matatizo yaliyo nchini. Hivyo basi ningependa serikali itilie maanani yote niliyoyasema humu aghalabu kutilia kikomo la ongezeko la ajali barabarani nchini Kenya. Maana naamini ya kwamba kidole kimoja hakivunji chawa, kuandika kwa mate pekee hakutabadilisha ajali za barabara ila muhimu ni kufuatilia kilichosemwa ili kutafuta suluhisho mwafaka la kuondosha na kuadimisha ajali za barabarani kama kaburi la sahau.
Ni nini hutukia Kwa bahati mbaya
{ "text": [ "Ajali" ] }
0168_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Wengi mungeuliza ya kwamba ajali ni nini? Kwa upande wangu, ningewajibu kuwa ajali ni tukio linalodhuru na lililotokea kwa bahati mbaya. Kuna aina ainati za ajali. Kuna zile za kuanguka kwa kujikwaa, zile za barabarani, za angani na za baharini. Ajali zilizokithiri na kunoga nchini mwetu Kenya ni zile za barabarani. Kila pembe nchini Kenya ina sauti, vilio na malalamishi ya ajali zilizoenea na kushamiri kama moto jangwani. Baadhi ya sababu za ajali ni: Mihadarati ni chanzo cha kwanza ambacho huchangia katika ajali za barabara. Madereva wengi hutumia mihadarati kutokana na sababu mbalimbali. Sababu zenyewe zinaweza kuwa anasa za vijana, mawazo mengi au shinikizo la marika na anasa zinginezo. Madereva walevi waliotumia mihadarati hupata shida kutoa uamuzi wa haraka wakiwa usukanini. Akipita mtu ghafla husikika sauti ya breki skreeech! na ajali hutokea. Ujenzi wa matuta barabarani pia unaweza kupunguza ajali Madereva wengi hupenda kuendesha magari kwa mwendo wa kasi mno kwenye sehemu zenye watu wengi. Matuta haya yanaweza kupunguza ajali vipi? Kama nilivyosema awali madereva hupenda kuendesha magari kwa mwendo wa kasi basi wanapoyaona matuta mbele yao watapunguza mwendo huo na kuyavuka bila wasiwasi wowote na mwishowe kupunguza ajali barabarani. Ningependa kuisihi wizara ya uchukuzi na miundo msingi ijenge matuta. Abiria pamoja na madereva ni lazima wafunge mishipi wakati wa mwendo. Kufunga mishipi huzuia mtikisiko na mwishowe kupunguza visa vya ajali barabarani katika mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa, kaunti ya Mombasa, serikali ilitoa amri ya kwamba adinasi wote wanaoishi humo ni lazima wafunge mishipi si asubuhi si jioni. Na yeyote atakaye ikiuka au kwenda kinyume na amri hiyo basi atapewa adhabu ya kufungwa gerezani kwa muda wa miezi sita na juu yake kupewa kazi ya sulubu na pia kutozwa faini ya milioni kumi kama fidia. Safari za usiku sana pia huchangia pakubwa kwa ajali kutokea kwa sababu huwa madereva hawaoni vizuri hata ikiwa mataa ya mbele ya gari yamewashwa, dereva anaweza kuigonga kitu chochote na hatimaye ajali kubwa kutokea. Kitu hicho kinaweza kuwa ni mlingoti wenye nyaya za umeme, na hata pia anaweza kuwa ni mnyama pori. Nchini Tanzania, kumewekwa kafyu ya kwamba magari ya abiria hayaendeshwi ifikapo saa nne usiku. Hivyo basi ni wajibu wa serikali ya Kenya kupiga marufuku safari za usiku ili kupunguza ajali. Kutokana na Uviko-19, Kenya imeweka sheria ya magari ya abiria yasibebe watu zaidi ya watu saba ili kupunguza makali ya uwele wa corona. Lakini, sikio la kufa halisikii dawa. Baadhi ya magari hubeba watu zaidi na kupitisha kiwango kilichowekwa. Ama kweli msiba wa kujitakia hauna kilio. Maanake abiria wenyewe huabiri magari hayo kwa hiari yao wenyewe. Sita ni kuhusu kuwaelimisha madereva kuhusu umuhimu wa maisha. Tunaweza kuwaelimisha watu kwa kutumia njia tofauti tofauti kama vile tovuti 'Taifa Leo' na kadhalika. Ni lazima watu wajue umuhimu wa maisha hata kama yanawapeleka vibaya. Inaweza kuwa mtu anataka indilini mwake ikiwa ameghaflika mwishowe kuamua kuchukua hatua kubwa ambapo itabadilisha maisha yake kabisa ya kuamua kujiua. Lakini hajui kwamba atapoteza maisha ya watu wangapi kutokana na hatua ile ikiwa yeye ni dereva. Waendeshao pikipiki na abiria wao wanastahili wachukue jukumu la kuvaa helmeti wakati wanapokuwa kwenye mwendo. Heri nusu shari kuliko shari kamili. Pindi wanapozivaa helmeti, hata ajali ikitokea hawataumia na basi kupunguza makali ya ajali. Endapo madereva na abiria watavaa helmeti basi kuna uwezekano mkubwa wa ajali za pikipiki kupunguka barabarani. Madereva lazima wahimizwe kuzingatia alama za barabara, salama za kivuko mto na mzunguko. Kwa mfano, madereva wengi hawapendi kuzingatia alama na taa za barabarani. Yaani ikiwa taa nyekundu imewaka barabarani basi hutuambia na kutuonya tusimame ili magari mengine yapate kupita. Lakini utawaona madereva wengi wanaanza kuiba njia na nafasi ya kupita na mwishowe kusababisha ajali kubwa ambayo huleta vifo nyingi mno. Je, kwanini ajali Marekani si nyingi kuliko hapa mjini Kenya? Ni kwa sababu madereva wao wanaosababisha ajali wanaadhibiwa vilivyo kwa kupokonywa vibali vya kuendesha magari. Ingelikuwa tunafanya hivi, je ajali zingekuwa za rikodiwa kila uchao asubuhi na mchana? Basi ningependa tuige mfano wa Marekani wa kuzuia vibali vya wanaosababisha ajali ili tupate kupunguza ajali hizo. Hali ya anga kubadilika huchukua nambari ya kwanza ya ajali kutokea. Ifikapo msimu wa mvua ya masika , barabara nyingi huharibika haswa zile za mchanga na za maramu. Magari mengi yanashindwa kwa kuenda kwa kusukama matopeni. Wajibu wa madereva waangalifu ni kusikiliza vyombo vya habari vinapotangaza ni siku gani mvua ya masika itanyesha na pia serikali ijenge barabara za lami kwani zinaweza kupeleka magari bila wasiwasi wowote na hivyo basi kupunguza ajali. Yote tisa, kumi nina matumaini ya kwamba mumeona jinsi ajali za barabarani umeshika usukani katika ongezeko la vifo, mikasa na simanzi miongoni mwa baadhi ya matatizo yaliyo nchini. Hivyo basi ningependa serikali itilie maanani yote niliyoyasema humu aghalabu kutilia kikomo la ongezeko la ajali barabarani nchini Kenya. Maana naamini ya kwamba kidole kimoja hakivunji chawa, kuandika kwa mate pekee hakutabadilisha ajali za barabara ila muhimu ni kufuatilia kilichosemwa ili kutafuta suluhisho mwafaka la kuondosha na kuadimisha ajali za barabarani kama kaburi la sahau.
Ajali zilizokidhiri nchini Kenya ni za wapi
{ "text": [ "Barabarani" ] }
0168_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Wengi mungeuliza ya kwamba ajali ni nini? Kwa upande wangu, ningewajibu kuwa ajali ni tukio linalodhuru na lililotokea kwa bahati mbaya. Kuna aina ainati za ajali. Kuna zile za kuanguka kwa kujikwaa, zile za barabarani, za angani na za baharini. Ajali zilizokithiri na kunoga nchini mwetu Kenya ni zile za barabarani. Kila pembe nchini Kenya ina sauti, vilio na malalamishi ya ajali zilizoenea na kushamiri kama moto jangwani. Baadhi ya sababu za ajali ni: Mihadarati ni chanzo cha kwanza ambacho huchangia katika ajali za barabara. Madereva wengi hutumia mihadarati kutokana na sababu mbalimbali. Sababu zenyewe zinaweza kuwa anasa za vijana, mawazo mengi au shinikizo la marika na anasa zinginezo. Madereva walevi waliotumia mihadarati hupata shida kutoa uamuzi wa haraka wakiwa usukanini. Akipita mtu ghafla husikika sauti ya breki skreeech! na ajali hutokea. Ujenzi wa matuta barabarani pia unaweza kupunguza ajali Madereva wengi hupenda kuendesha magari kwa mwendo wa kasi mno kwenye sehemu zenye watu wengi. Matuta haya yanaweza kupunguza ajali vipi? Kama nilivyosema awali madereva hupenda kuendesha magari kwa mwendo wa kasi basi wanapoyaona matuta mbele yao watapunguza mwendo huo na kuyavuka bila wasiwasi wowote na mwishowe kupunguza ajali barabarani. Ningependa kuisihi wizara ya uchukuzi na miundo msingi ijenge matuta. Abiria pamoja na madereva ni lazima wafunge mishipi wakati wa mwendo. Kufunga mishipi huzuia mtikisiko na mwishowe kupunguza visa vya ajali barabarani katika mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa, kaunti ya Mombasa, serikali ilitoa amri ya kwamba adinasi wote wanaoishi humo ni lazima wafunge mishipi si asubuhi si jioni. Na yeyote atakaye ikiuka au kwenda kinyume na amri hiyo basi atapewa adhabu ya kufungwa gerezani kwa muda wa miezi sita na juu yake kupewa kazi ya sulubu na pia kutozwa faini ya milioni kumi kama fidia. Safari za usiku sana pia huchangia pakubwa kwa ajali kutokea kwa sababu huwa madereva hawaoni vizuri hata ikiwa mataa ya mbele ya gari yamewashwa, dereva anaweza kuigonga kitu chochote na hatimaye ajali kubwa kutokea. Kitu hicho kinaweza kuwa ni mlingoti wenye nyaya za umeme, na hata pia anaweza kuwa ni mnyama pori. Nchini Tanzania, kumewekwa kafyu ya kwamba magari ya abiria hayaendeshwi ifikapo saa nne usiku. Hivyo basi ni wajibu wa serikali ya Kenya kupiga marufuku safari za usiku ili kupunguza ajali. Kutokana na Uviko-19, Kenya imeweka sheria ya magari ya abiria yasibebe watu zaidi ya watu saba ili kupunguza makali ya uwele wa corona. Lakini, sikio la kufa halisikii dawa. Baadhi ya magari hubeba watu zaidi na kupitisha kiwango kilichowekwa. Ama kweli msiba wa kujitakia hauna kilio. Maanake abiria wenyewe huabiri magari hayo kwa hiari yao wenyewe. Sita ni kuhusu kuwaelimisha madereva kuhusu umuhimu wa maisha. Tunaweza kuwaelimisha watu kwa kutumia njia tofauti tofauti kama vile tovuti 'Taifa Leo' na kadhalika. Ni lazima watu wajue umuhimu wa maisha hata kama yanawapeleka vibaya. Inaweza kuwa mtu anataka indilini mwake ikiwa ameghaflika mwishowe kuamua kuchukua hatua kubwa ambapo itabadilisha maisha yake kabisa ya kuamua kujiua. Lakini hajui kwamba atapoteza maisha ya watu wangapi kutokana na hatua ile ikiwa yeye ni dereva. Waendeshao pikipiki na abiria wao wanastahili wachukue jukumu la kuvaa helmeti wakati wanapokuwa kwenye mwendo. Heri nusu shari kuliko shari kamili. Pindi wanapozivaa helmeti, hata ajali ikitokea hawataumia na basi kupunguza makali ya ajali. Endapo madereva na abiria watavaa helmeti basi kuna uwezekano mkubwa wa ajali za pikipiki kupunguka barabarani. Madereva lazima wahimizwe kuzingatia alama za barabara, salama za kivuko mto na mzunguko. Kwa mfano, madereva wengi hawapendi kuzingatia alama na taa za barabarani. Yaani ikiwa taa nyekundu imewaka barabarani basi hutuambia na kutuonya tusimame ili magari mengine yapate kupita. Lakini utawaona madereva wengi wanaanza kuiba njia na nafasi ya kupita na mwishowe kusababisha ajali kubwa ambayo huleta vifo nyingi mno. Je, kwanini ajali Marekani si nyingi kuliko hapa mjini Kenya? Ni kwa sababu madereva wao wanaosababisha ajali wanaadhibiwa vilivyo kwa kupokonywa vibali vya kuendesha magari. Ingelikuwa tunafanya hivi, je ajali zingekuwa za rikodiwa kila uchao asubuhi na mchana? Basi ningependa tuige mfano wa Marekani wa kuzuia vibali vya wanaosababisha ajali ili tupate kupunguza ajali hizo. Hali ya anga kubadilika huchukua nambari ya kwanza ya ajali kutokea. Ifikapo msimu wa mvua ya masika , barabara nyingi huharibika haswa zile za mchanga na za maramu. Magari mengi yanashindwa kwa kuenda kwa kusukama matopeni. Wajibu wa madereva waangalifu ni kusikiliza vyombo vya habari vinapotangaza ni siku gani mvua ya masika itanyesha na pia serikali ijenge barabara za lami kwani zinaweza kupeleka magari bila wasiwasi wowote na hivyo basi kupunguza ajali. Yote tisa, kumi nina matumaini ya kwamba mumeona jinsi ajali za barabarani umeshika usukani katika ongezeko la vifo, mikasa na simanzi miongoni mwa baadhi ya matatizo yaliyo nchini. Hivyo basi ningependa serikali itilie maanani yote niliyoyasema humu aghalabu kutilia kikomo la ongezeko la ajali barabarani nchini Kenya. Maana naamini ya kwamba kidole kimoja hakivunji chawa, kuandika kwa mate pekee hakutabadilisha ajali za barabara ila muhimu ni kufuatilia kilichosemwa ili kutafuta suluhisho mwafaka la kuondosha na kuadimisha ajali za barabarani kama kaburi la sahau.
Ni nini chanzo cha kwanza cha ajali
{ "text": [ "Barabarani" ] }
0168_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Wengi mungeuliza ya kwamba ajali ni nini? Kwa upande wangu, ningewajibu kuwa ajali ni tukio linalodhuru na lililotokea kwa bahati mbaya. Kuna aina ainati za ajali. Kuna zile za kuanguka kwa kujikwaa, zile za barabarani, za angani na za baharini. Ajali zilizokithiri na kunoga nchini mwetu Kenya ni zile za barabarani. Kila pembe nchini Kenya ina sauti, vilio na malalamishi ya ajali zilizoenea na kushamiri kama moto jangwani. Baadhi ya sababu za ajali ni: Mihadarati ni chanzo cha kwanza ambacho huchangia katika ajali za barabara. Madereva wengi hutumia mihadarati kutokana na sababu mbalimbali. Sababu zenyewe zinaweza kuwa anasa za vijana, mawazo mengi au shinikizo la marika na anasa zinginezo. Madereva walevi waliotumia mihadarati hupata shida kutoa uamuzi wa haraka wakiwa usukanini. Akipita mtu ghafla husikika sauti ya breki skreeech! na ajali hutokea. Ujenzi wa matuta barabarani pia unaweza kupunguza ajali Madereva wengi hupenda kuendesha magari kwa mwendo wa kasi mno kwenye sehemu zenye watu wengi. Matuta haya yanaweza kupunguza ajali vipi? Kama nilivyosema awali madereva hupenda kuendesha magari kwa mwendo wa kasi basi wanapoyaona matuta mbele yao watapunguza mwendo huo na kuyavuka bila wasiwasi wowote na mwishowe kupunguza ajali barabarani. Ningependa kuisihi wizara ya uchukuzi na miundo msingi ijenge matuta. Abiria pamoja na madereva ni lazima wafunge mishipi wakati wa mwendo. Kufunga mishipi huzuia mtikisiko na mwishowe kupunguza visa vya ajali barabarani katika mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa, kaunti ya Mombasa, serikali ilitoa amri ya kwamba adinasi wote wanaoishi humo ni lazima wafunge mishipi si asubuhi si jioni. Na yeyote atakaye ikiuka au kwenda kinyume na amri hiyo basi atapewa adhabu ya kufungwa gerezani kwa muda wa miezi sita na juu yake kupewa kazi ya sulubu na pia kutozwa faini ya milioni kumi kama fidia. Safari za usiku sana pia huchangia pakubwa kwa ajali kutokea kwa sababu huwa madereva hawaoni vizuri hata ikiwa mataa ya mbele ya gari yamewashwa, dereva anaweza kuigonga kitu chochote na hatimaye ajali kubwa kutokea. Kitu hicho kinaweza kuwa ni mlingoti wenye nyaya za umeme, na hata pia anaweza kuwa ni mnyama pori. Nchini Tanzania, kumewekwa kafyu ya kwamba magari ya abiria hayaendeshwi ifikapo saa nne usiku. Hivyo basi ni wajibu wa serikali ya Kenya kupiga marufuku safari za usiku ili kupunguza ajali. Kutokana na Uviko-19, Kenya imeweka sheria ya magari ya abiria yasibebe watu zaidi ya watu saba ili kupunguza makali ya uwele wa corona. Lakini, sikio la kufa halisikii dawa. Baadhi ya magari hubeba watu zaidi na kupitisha kiwango kilichowekwa. Ama kweli msiba wa kujitakia hauna kilio. Maanake abiria wenyewe huabiri magari hayo kwa hiari yao wenyewe. Sita ni kuhusu kuwaelimisha madereva kuhusu umuhimu wa maisha. Tunaweza kuwaelimisha watu kwa kutumia njia tofauti tofauti kama vile tovuti 'Taifa Leo' na kadhalika. Ni lazima watu wajue umuhimu wa maisha hata kama yanawapeleka vibaya. Inaweza kuwa mtu anataka indilini mwake ikiwa ameghaflika mwishowe kuamua kuchukua hatua kubwa ambapo itabadilisha maisha yake kabisa ya kuamua kujiua. Lakini hajui kwamba atapoteza maisha ya watu wangapi kutokana na hatua ile ikiwa yeye ni dereva. Waendeshao pikipiki na abiria wao wanastahili wachukue jukumu la kuvaa helmeti wakati wanapokuwa kwenye mwendo. Heri nusu shari kuliko shari kamili. Pindi wanapozivaa helmeti, hata ajali ikitokea hawataumia na basi kupunguza makali ya ajali. Endapo madereva na abiria watavaa helmeti basi kuna uwezekano mkubwa wa ajali za pikipiki kupunguka barabarani. Madereva lazima wahimizwe kuzingatia alama za barabara, salama za kivuko mto na mzunguko. Kwa mfano, madereva wengi hawapendi kuzingatia alama na taa za barabarani. Yaani ikiwa taa nyekundu imewaka barabarani basi hutuambia na kutuonya tusimame ili magari mengine yapate kupita. Lakini utawaona madereva wengi wanaanza kuiba njia na nafasi ya kupita na mwishowe kusababisha ajali kubwa ambayo huleta vifo nyingi mno. Je, kwanini ajali Marekani si nyingi kuliko hapa mjini Kenya? Ni kwa sababu madereva wao wanaosababisha ajali wanaadhibiwa vilivyo kwa kupokonywa vibali vya kuendesha magari. Ingelikuwa tunafanya hivi, je ajali zingekuwa za rikodiwa kila uchao asubuhi na mchana? Basi ningependa tuige mfano wa Marekani wa kuzuia vibali vya wanaosababisha ajali ili tupate kupunguza ajali hizo. Hali ya anga kubadilika huchukua nambari ya kwanza ya ajali kutokea. Ifikapo msimu wa mvua ya masika , barabara nyingi huharibika haswa zile za mchanga na za maramu. Magari mengi yanashindwa kwa kuenda kwa kusukama matopeni. Wajibu wa madereva waangalifu ni kusikiliza vyombo vya habari vinapotangaza ni siku gani mvua ya masika itanyesha na pia serikali ijenge barabara za lami kwani zinaweza kupeleka magari bila wasiwasi wowote na hivyo basi kupunguza ajali. Yote tisa, kumi nina matumaini ya kwamba mumeona jinsi ajali za barabarani umeshika usukani katika ongezeko la vifo, mikasa na simanzi miongoni mwa baadhi ya matatizo yaliyo nchini. Hivyo basi ningependa serikali itilie maanani yote niliyoyasema humu aghalabu kutilia kikomo la ongezeko la ajali barabarani nchini Kenya. Maana naamini ya kwamba kidole kimoja hakivunji chawa, kuandika kwa mate pekee hakutabadilisha ajali za barabara ila muhimu ni kufuatilia kilichosemwa ili kutafuta suluhisho mwafaka la kuondosha na kuadimisha ajali za barabarani kama kaburi la sahau.
Ni ujenzi wa nini huzuia ajali
{ "text": [ "Matuta" ] }
0168_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Wengi mungeuliza ya kwamba ajali ni nini? Kwa upande wangu, ningewajibu kuwa ajali ni tukio linalodhuru na lililotokea kwa bahati mbaya. Kuna aina ainati za ajali. Kuna zile za kuanguka kwa kujikwaa, zile za barabarani, za angani na za baharini. Ajali zilizokithiri na kunoga nchini mwetu Kenya ni zile za barabarani. Kila pembe nchini Kenya ina sauti, vilio na malalamishi ya ajali zilizoenea na kushamiri kama moto jangwani. Baadhi ya sababu za ajali ni: Mihadarati ni chanzo cha kwanza ambacho huchangia katika ajali za barabara. Madereva wengi hutumia mihadarati kutokana na sababu mbalimbali. Sababu zenyewe zinaweza kuwa anasa za vijana, mawazo mengi au shinikizo la marika na anasa zinginezo. Madereva walevi waliotumia mihadarati hupata shida kutoa uamuzi wa haraka wakiwa usukanini. Akipita mtu ghafla husikika sauti ya breki skreeech! na ajali hutokea. Ujenzi wa matuta barabarani pia unaweza kupunguza ajali Madereva wengi hupenda kuendesha magari kwa mwendo wa kasi mno kwenye sehemu zenye watu wengi. Matuta haya yanaweza kupunguza ajali vipi? Kama nilivyosema awali madereva hupenda kuendesha magari kwa mwendo wa kasi basi wanapoyaona matuta mbele yao watapunguza mwendo huo na kuyavuka bila wasiwasi wowote na mwishowe kupunguza ajali barabarani. Ningependa kuisihi wizara ya uchukuzi na miundo msingi ijenge matuta. Abiria pamoja na madereva ni lazima wafunge mishipi wakati wa mwendo. Kufunga mishipi huzuia mtikisiko na mwishowe kupunguza visa vya ajali barabarani katika mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa, kaunti ya Mombasa, serikali ilitoa amri ya kwamba adinasi wote wanaoishi humo ni lazima wafunge mishipi si asubuhi si jioni. Na yeyote atakaye ikiuka au kwenda kinyume na amri hiyo basi atapewa adhabu ya kufungwa gerezani kwa muda wa miezi sita na juu yake kupewa kazi ya sulubu na pia kutozwa faini ya milioni kumi kama fidia. Safari za usiku sana pia huchangia pakubwa kwa ajali kutokea kwa sababu huwa madereva hawaoni vizuri hata ikiwa mataa ya mbele ya gari yamewashwa, dereva anaweza kuigonga kitu chochote na hatimaye ajali kubwa kutokea. Kitu hicho kinaweza kuwa ni mlingoti wenye nyaya za umeme, na hata pia anaweza kuwa ni mnyama pori. Nchini Tanzania, kumewekwa kafyu ya kwamba magari ya abiria hayaendeshwi ifikapo saa nne usiku. Hivyo basi ni wajibu wa serikali ya Kenya kupiga marufuku safari za usiku ili kupunguza ajali. Kutokana na Uviko-19, Kenya imeweka sheria ya magari ya abiria yasibebe watu zaidi ya watu saba ili kupunguza makali ya uwele wa corona. Lakini, sikio la kufa halisikii dawa. Baadhi ya magari hubeba watu zaidi na kupitisha kiwango kilichowekwa. Ama kweli msiba wa kujitakia hauna kilio. Maanake abiria wenyewe huabiri magari hayo kwa hiari yao wenyewe. Sita ni kuhusu kuwaelimisha madereva kuhusu umuhimu wa maisha. Tunaweza kuwaelimisha watu kwa kutumia njia tofauti tofauti kama vile tovuti 'Taifa Leo' na kadhalika. Ni lazima watu wajue umuhimu wa maisha hata kama yanawapeleka vibaya. Inaweza kuwa mtu anataka indilini mwake ikiwa ameghaflika mwishowe kuamua kuchukua hatua kubwa ambapo itabadilisha maisha yake kabisa ya kuamua kujiua. Lakini hajui kwamba atapoteza maisha ya watu wangapi kutokana na hatua ile ikiwa yeye ni dereva. Waendeshao pikipiki na abiria wao wanastahili wachukue jukumu la kuvaa helmeti wakati wanapokuwa kwenye mwendo. Heri nusu shari kuliko shari kamili. Pindi wanapozivaa helmeti, hata ajali ikitokea hawataumia na basi kupunguza makali ya ajali. Endapo madereva na abiria watavaa helmeti basi kuna uwezekano mkubwa wa ajali za pikipiki kupunguka barabarani. Madereva lazima wahimizwe kuzingatia alama za barabara, salama za kivuko mto na mzunguko. Kwa mfano, madereva wengi hawapendi kuzingatia alama na taa za barabarani. Yaani ikiwa taa nyekundu imewaka barabarani basi hutuambia na kutuonya tusimame ili magari mengine yapate kupita. Lakini utawaona madereva wengi wanaanza kuiba njia na nafasi ya kupita na mwishowe kusababisha ajali kubwa ambayo huleta vifo nyingi mno. Je, kwanini ajali Marekani si nyingi kuliko hapa mjini Kenya? Ni kwa sababu madereva wao wanaosababisha ajali wanaadhibiwa vilivyo kwa kupokonywa vibali vya kuendesha magari. Ingelikuwa tunafanya hivi, je ajali zingekuwa za rikodiwa kila uchao asubuhi na mchana? Basi ningependa tuige mfano wa Marekani wa kuzuia vibali vya wanaosababisha ajali ili tupate kupunguza ajali hizo. Hali ya anga kubadilika huchukua nambari ya kwanza ya ajali kutokea. Ifikapo msimu wa mvua ya masika , barabara nyingi huharibika haswa zile za mchanga na za maramu. Magari mengi yanashindwa kwa kuenda kwa kusukama matopeni. Wajibu wa madereva waangalifu ni kusikiliza vyombo vya habari vinapotangaza ni siku gani mvua ya masika itanyesha na pia serikali ijenge barabara za lami kwani zinaweza kupeleka magari bila wasiwasi wowote na hivyo basi kupunguza ajali. Yote tisa, kumi nina matumaini ya kwamba mumeona jinsi ajali za barabarani umeshika usukani katika ongezeko la vifo, mikasa na simanzi miongoni mwa baadhi ya matatizo yaliyo nchini. Hivyo basi ningependa serikali itilie maanani yote niliyoyasema humu aghalabu kutilia kikomo la ongezeko la ajali barabarani nchini Kenya. Maana naamini ya kwamba kidole kimoja hakivunji chawa, kuandika kwa mate pekee hakutabadilisha ajali za barabara ila muhimu ni kufuatilia kilichosemwa ili kutafuta suluhisho mwafaka la kuondosha na kuadimisha ajali za barabarani kama kaburi la sahau.
Ni Kwa vipi matuta hupunguza ajali
{ "text": [ "Dereva hupunguza mwendo" ] }
0169_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ulimwenguni mmekithiri ajali zinazosababisha vifo na ulemavu katika jamii. Kwa hivyo ni muhimu tujue maana ya ajali. Ajali ni tukio la ghafla lenye madhara. Ajali hutokea popote. Si jikoni, si uwanjani, si darasani, si njiani, si chumbani, si chooni, si baharini, si barabarani. Ajali za barabarani huletwa na uzembe wa madereva, kuendesha magari mabovu, magari kuendeshwa kwa mwendo kasi, madereva walevi au waliotumia mihadarati, ukuje wa mafunzo ya udereva na uzoefu mkuu, wanyama pori barabarani, waendesha baiskeli na wasukuma yukwama, kutokuwa na makini kwa wavuka barabara, walevi wanaotembea kando ya barabara na ukosefu wa alama za barabara ili kupunguza ajali za barabarani Kenya, yafuatayo lazima yazingatiwe. Awali, serikali inafaa kuliongeza nguvu jeshi la polisi na askari fisadi wachujwe. Iwapo kila pembe itakuwa na uangalizi wa hali ya juu, madereva hawatathubutu kamwe kuvunja sheria za barabarani. Serikali iwajibike kuwapa askari ruhusa ya kuwapiga faini madereva wanaozipatia kisogo sheria za barabarani. Wale wanao ongea kwa simu huku wakiendesha magari, wanaovuta sigara garini huku wameshika usukani na wenye mwendokasi wa kijehanamu. Hawa wote wawasilishwe mahakamani na wahukumiwe faini ambayo itakuwa funzo kwa madereva wengine faini ya laki tatu taslimu ama kifungo cha muongo. Pili madereva wasiojali wengine wapokonywe leseni zao na shirika la uchukuzi na usalama wa barabarani. Ni hatari si salama kamwe kuwepo na madereva wasio thamini maisha ambao huendesha magari. Aghalabu madereva husimamisha gari kabla ya kupunguza mwendokasi na kufanya abiria kurambani vidogo. Aidha abiria kurushwarushwa utadhani hayawani. Ni laini madereva kukimbilia malengo yao pasi na kujua kuwa wanaenda ajalini. Madereva wasioheshimu haki za binadamu huendesha magari shaghala baghala na kugonga magari yasipogongana, hubingira. Lazima madereva wa sampuli hii wapigwe marufuku kuendesha magari. Tatu, wamiliki wa matrakta, matingatinga, tuktuk, bodaboda na malori wahakikishe vyombo hivi viko katika hali nzuri. Magari mabovu huchangia idadi ya ajali. Kuna ambayo hayana breki zilizoshika, hayana taa za mbele ama za nyuma, hayana kioo cha kati. Ajali nyingi zimeshuhudiwa kwenye sehemu za unyevunyevu zenye baridi ambako magari yaliyo na waipa mbovu ndiyo vyanzo vikuu vya ajali za barabarani. Magari yanayotoa mafuta yanapogongana mara nyingi moto huzuka na kuunguza vyote; abiria, dereva na mazingira. lli kuzuia hili, polisi, maafisa kutoka wizara ya mamlaka ya Uchukuzi na Usalama barabarani wakague magari haya mara kwa mara ili kuokoa mamia ya wakenya. Nne, askari watumie teknolojia ili wapunguze ajali. Trafiki lazima wabuni vifaa vitakavyoangaza barabara usiku na mchana. Magari yasiyozingatia sheria yatolewe barabarani na vifaa hivi. Binadamu huchoka ila mashine hazichoki, kamera ziwekwe kwa milangoni. Hiyo kando ya barabara ili zinase namba za magari yanayokosa sheria za uendeshaji magari kwa mifano, gari kupita lingine sehemu yenye mstari wa manjano unaofululiza. Kupitia maarifa haya ya kisayansi, wamiliki waliosajiliwa wa gari hizi wataitajika kufika mahakamani na kusikiliza mashtaka, hivyo basi madereva watakuwa makini jicho na ukucha. Tano, kuendesha magari na bodaboda sharti wawe na leseni na uzoefu. Wengi hawalitambui hili vya bure ni ghali. Huona kwenda kupata mafunzo vyuoni ni kufuja pesa, ilhali wana jamaa zao zinazomiliki magari. Hivyo basi hupata mbinu za kuendesha na sio ujuzi wa udereva bila ya gharama yoyote. Hili hupelekea kukosa masomo kuhusu athari za ajali, haki za binadamu na umuhimu wa maisha. Maisha ni mafupi, mtu asijiingize kwenye maafa kwani msiba wa kujitakia hauna pole. Kwa hivyo, lazima madereva wachungunzwe na wakipatikana warudishwe vyuoni kusomea udereva kila baada ya mwaka ili wajifunze tena kwa sababu madereva wasiohitimu hufanya ajali nyingine kila uchao. Fauka ya hayo, serikali inawajibika kukarabati barabara zenye hatari za mijini na vijijini. Barabara zenye mashimo na changarawe hutoboa magurudumu na kupeleka kutoa upepo kusababisha ajali. Ajali ni nduli majeruhi hawanahati. Serikali kuu na serikali za kaunti ndio zinazohusika hasa. Ni masikitiko makubwa kuona wabunge wanavyo inenepea na kuteremsha vitambi bila ya hangaiko la moyo. Hao huendesha magari ya kifahari kwenye gurufu za mji ilhali wale akina yahe wanaolipa ushuru, bila ya kuchelewa kuporwa familia zao na viungo vya mwili. Vigogo wa makadirio ya pesa za serikali maafisa wa uchukuzi na miundomsingi washikane ili kulisahihisha jambo hili. Aidha, idadi ya watu mijini ipunguzwe. Miji imefurika na kutapika wengine. Kuna safu za magari na watembezi hii huchangia idadi ya ajali barabarani. Miji ya Nairobi, Mombasa, Malindi, Kisumu, Nakuru na Naivasha ipewe kipaumbele kwa kupunguza asilimia thelathini ya watu. Iwapo viwanda vitajengwa mashambani na miundo msingi kuboreshwa vijijini, bila shaka, watu watahamia vijijini vile vitovu vyao. Idadi ya watu ina uhusiano mkubwa na idadi ya magari. Magari yakipungua nchini yatapunguza idadi ya ajali. Vilevile, wasafiri warauke. Walioamba waliamba kuwa, safari ya kesho hupangwa leo na safari ni hatua. Kenya safari za asubuhi warauke kabla jogoo kuwika, wa alasiri wapate chamcha stani ili wasikimbilie magari kusababisha vifo vya wengine. Watu wangapi wamegongwa na magari wakikimbilia magari kwenye vituo vya magari? Haraka haraka haina baraka. Kuambatana na hili ni sharti watu wapange foleni katika vituo vya mabasi matatu. Pia, wanyama pori watengezewe nyua ili wasifike barabarani. Visa vingi vya ajali vimetokana na ndovu, vifaru, viboko na twiga kutoka mbuga za wanyama kujipata barabarani na kuangusha magari. Si busara kwa wa hifadhi mazingira kuwaweka hatarini watu pamoja na wanyama hapo wanyama hawataekewa uzio. Licha ya hayo, serikali kuu na za kaunti zinafaa zitengeneze vivuko vya juu na vya chini. Vitengezwe karibu na shule ambapo vitafaa watoto wadogo na kuhakikisha wanagenzi usalama wao. Ajali nyingi huwafanya wanafunzi kupoteza maisha yao ama kupoteza muda wao wakiuguzwa majeraha makubwa. Hili lizingatiwe ili tukihifadhi kizazi chetu. Minghairi ya hayo, mamlaka ya uchukuzi na usalama barabarani iongeze matuta barabarani. Ingawa yako lakini ni machache na yapo chini sana mbalimbali ambapo hayasaidii kitu. Matuta ni muhimu sana kwani ndiyo yanayoangalia mwendo kasi wa magari Madereva wasiofuata sheria na kutumia mwendokasi hodari hukosa budi kuja kupona. Hivyo basi abiria watakuwa salama salmini watakapotumia barabara zilizo na matuta mengi yaliyo juu. Isitoshe, ni muhimu kuwafunza madereva mahiri. Madereva waliohitimu katika masomo ya udereva na kuendesha magari muongo mmoja au zaidi bila ya kuleta maafa wapewe zawadi kama vile, bodaboda, magari madogo na hata matwana na vyama vya ushirika vya magari ya uchukuzi. Hatua hii itafanya madereva wawe waangalifu ili watuzwe na vyama vyao. Wanaumiliki magari haya shangwe za kuwapatia morali madereva kwa kuwaongeza mshahara wanaowatumikia kwa uadilifu. Juu ya haya Mamlaka ya Uchukuzi na Usalama Barabarani iwajibike kuwaondoa wanabiashara kando kando ya barabara na kuwagurisha walioeka makazi yao. Magari hugonga sana watu wanapokuwa wamesimama kando ya barabara ha kusababisha maafa mingi. Hili ni lazima litekelezwe mara moja bila ya kupoteza muda huku wengi wakiathirika. Kuongeza, alama za barabarani ziwekwe na Mamlaka ya Uchukuzi na Usalama Barabarani. Alama kama ya kuonyesha daraja bovu, ujenzi unaoendelea, kona hatari, kuonyesha matuta, kuonyesha mteremko ni muhimu kuwatahadharisha madereva kabla ya hatari. Magari mengi yamebingira na kukosa muelekeo kupelekea vifo vya wakenya wengi Ninaimani kuwa vifo, ulemavu, uchafuzi wa mazingira yatapungua iwapo tu, yote niliyo angazia yatatekelezwa na Mamlaka ya Uchukuzi na Usalama Barabarani na wale walioandikwa na jalali kuishi maisha marefu wataishi muda wote na familia zao wakiwa wazima kama vigogo. Uchumi wa nchi utaimarika na watu kujitegemea na vibanja vyao.
Ni nani wanafaa kupokonywa leseni
{ "text": [ "madereva wasiojali wengine" ] }
0169_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ulimwenguni mmekithiri ajali zinazosababisha vifo na ulemavu katika jamii. Kwa hivyo ni muhimu tujue maana ya ajali. Ajali ni tukio la ghafla lenye madhara. Ajali hutokea popote. Si jikoni, si uwanjani, si darasani, si njiani, si chumbani, si chooni, si baharini, si barabarani. Ajali za barabarani huletwa na uzembe wa madereva, kuendesha magari mabovu, magari kuendeshwa kwa mwendo kasi, madereva walevi au waliotumia mihadarati, ukuje wa mafunzo ya udereva na uzoefu mkuu, wanyama pori barabarani, waendesha baiskeli na wasukuma yukwama, kutokuwa na makini kwa wavuka barabara, walevi wanaotembea kando ya barabara na ukosefu wa alama za barabara ili kupunguza ajali za barabarani Kenya, yafuatayo lazima yazingatiwe. Awali, serikali inafaa kuliongeza nguvu jeshi la polisi na askari fisadi wachujwe. Iwapo kila pembe itakuwa na uangalizi wa hali ya juu, madereva hawatathubutu kamwe kuvunja sheria za barabarani. Serikali iwajibike kuwapa askari ruhusa ya kuwapiga faini madereva wanaozipatia kisogo sheria za barabarani. Wale wanao ongea kwa simu huku wakiendesha magari, wanaovuta sigara garini huku wameshika usukani na wenye mwendokasi wa kijehanamu. Hawa wote wawasilishwe mahakamani na wahukumiwe faini ambayo itakuwa funzo kwa madereva wengine faini ya laki tatu taslimu ama kifungo cha muongo. Pili madereva wasiojali wengine wapokonywe leseni zao na shirika la uchukuzi na usalama wa barabarani. Ni hatari si salama kamwe kuwepo na madereva wasio thamini maisha ambao huendesha magari. Aghalabu madereva husimamisha gari kabla ya kupunguza mwendokasi na kufanya abiria kurambani vidogo. Aidha abiria kurushwarushwa utadhani hayawani. Ni laini madereva kukimbilia malengo yao pasi na kujua kuwa wanaenda ajalini. Madereva wasioheshimu haki za binadamu huendesha magari shaghala baghala na kugonga magari yasipogongana, hubingira. Lazima madereva wa sampuli hii wapigwe marufuku kuendesha magari. Tatu, wamiliki wa matrakta, matingatinga, tuktuk, bodaboda na malori wahakikishe vyombo hivi viko katika hali nzuri. Magari mabovu huchangia idadi ya ajali. Kuna ambayo hayana breki zilizoshika, hayana taa za mbele ama za nyuma, hayana kioo cha kati. Ajali nyingi zimeshuhudiwa kwenye sehemu za unyevunyevu zenye baridi ambako magari yaliyo na waipa mbovu ndiyo vyanzo vikuu vya ajali za barabarani. Magari yanayotoa mafuta yanapogongana mara nyingi moto huzuka na kuunguza vyote; abiria, dereva na mazingira. lli kuzuia hili, polisi, maafisa kutoka wizara ya mamlaka ya Uchukuzi na Usalama barabarani wakague magari haya mara kwa mara ili kuokoa mamia ya wakenya. Nne, askari watumie teknolojia ili wapunguze ajali. Trafiki lazima wabuni vifaa vitakavyoangaza barabara usiku na mchana. Magari yasiyozingatia sheria yatolewe barabarani na vifaa hivi. Binadamu huchoka ila mashine hazichoki, kamera ziwekwe kwa milangoni. Hiyo kando ya barabara ili zinase namba za magari yanayokosa sheria za uendeshaji magari kwa mifano, gari kupita lingine sehemu yenye mstari wa manjano unaofululiza. Kupitia maarifa haya ya kisayansi, wamiliki waliosajiliwa wa gari hizi wataitajika kufika mahakamani na kusikiliza mashtaka, hivyo basi madereva watakuwa makini jicho na ukucha. Tano, kuendesha magari na bodaboda sharti wawe na leseni na uzoefu. Wengi hawalitambui hili vya bure ni ghali. Huona kwenda kupata mafunzo vyuoni ni kufuja pesa, ilhali wana jamaa zao zinazomiliki magari. Hivyo basi hupata mbinu za kuendesha na sio ujuzi wa udereva bila ya gharama yoyote. Hili hupelekea kukosa masomo kuhusu athari za ajali, haki za binadamu na umuhimu wa maisha. Maisha ni mafupi, mtu asijiingize kwenye maafa kwani msiba wa kujitakia hauna pole. Kwa hivyo, lazima madereva wachungunzwe na wakipatikana warudishwe vyuoni kusomea udereva kila baada ya mwaka ili wajifunze tena kwa sababu madereva wasiohitimu hufanya ajali nyingine kila uchao. Fauka ya hayo, serikali inawajibika kukarabati barabara zenye hatari za mijini na vijijini. Barabara zenye mashimo na changarawe hutoboa magurudumu na kupeleka kutoa upepo kusababisha ajali. Ajali ni nduli majeruhi hawanahati. Serikali kuu na serikali za kaunti ndio zinazohusika hasa. Ni masikitiko makubwa kuona wabunge wanavyo inenepea na kuteremsha vitambi bila ya hangaiko la moyo. Hao huendesha magari ya kifahari kwenye gurufu za mji ilhali wale akina yahe wanaolipa ushuru, bila ya kuchelewa kuporwa familia zao na viungo vya mwili. Vigogo wa makadirio ya pesa za serikali maafisa wa uchukuzi na miundomsingi washikane ili kulisahihisha jambo hili. Aidha, idadi ya watu mijini ipunguzwe. Miji imefurika na kutapika wengine. Kuna safu za magari na watembezi hii huchangia idadi ya ajali barabarani. Miji ya Nairobi, Mombasa, Malindi, Kisumu, Nakuru na Naivasha ipewe kipaumbele kwa kupunguza asilimia thelathini ya watu. Iwapo viwanda vitajengwa mashambani na miundo msingi kuboreshwa vijijini, bila shaka, watu watahamia vijijini vile vitovu vyao. Idadi ya watu ina uhusiano mkubwa na idadi ya magari. Magari yakipungua nchini yatapunguza idadi ya ajali. Vilevile, wasafiri warauke. Walioamba waliamba kuwa, safari ya kesho hupangwa leo na safari ni hatua. Kenya safari za asubuhi warauke kabla jogoo kuwika, wa alasiri wapate chamcha stani ili wasikimbilie magari kusababisha vifo vya wengine. Watu wangapi wamegongwa na magari wakikimbilia magari kwenye vituo vya magari? Haraka haraka haina baraka. Kuambatana na hili ni sharti watu wapange foleni katika vituo vya mabasi matatu. Pia, wanyama pori watengezewe nyua ili wasifike barabarani. Visa vingi vya ajali vimetokana na ndovu, vifaru, viboko na twiga kutoka mbuga za wanyama kujipata barabarani na kuangusha magari. Si busara kwa wa hifadhi mazingira kuwaweka hatarini watu pamoja na wanyama hapo wanyama hawataekewa uzio. Licha ya hayo, serikali kuu na za kaunti zinafaa zitengeneze vivuko vya juu na vya chini. Vitengezwe karibu na shule ambapo vitafaa watoto wadogo na kuhakikisha wanagenzi usalama wao. Ajali nyingi huwafanya wanafunzi kupoteza maisha yao ama kupoteza muda wao wakiuguzwa majeraha makubwa. Hili lizingatiwe ili tukihifadhi kizazi chetu. Minghairi ya hayo, mamlaka ya uchukuzi na usalama barabarani iongeze matuta barabarani. Ingawa yako lakini ni machache na yapo chini sana mbalimbali ambapo hayasaidii kitu. Matuta ni muhimu sana kwani ndiyo yanayoangalia mwendo kasi wa magari Madereva wasiofuata sheria na kutumia mwendokasi hodari hukosa budi kuja kupona. Hivyo basi abiria watakuwa salama salmini watakapotumia barabara zilizo na matuta mengi yaliyo juu. Isitoshe, ni muhimu kuwafunza madereva mahiri. Madereva waliohitimu katika masomo ya udereva na kuendesha magari muongo mmoja au zaidi bila ya kuleta maafa wapewe zawadi kama vile, bodaboda, magari madogo na hata matwana na vyama vya ushirika vya magari ya uchukuzi. Hatua hii itafanya madereva wawe waangalifu ili watuzwe na vyama vyao. Wanaumiliki magari haya shangwe za kuwapatia morali madereva kwa kuwaongeza mshahara wanaowatumikia kwa uadilifu. Juu ya haya Mamlaka ya Uchukuzi na Usalama Barabarani iwajibike kuwaondoa wanabiashara kando kando ya barabara na kuwagurisha walioeka makazi yao. Magari hugonga sana watu wanapokuwa wamesimama kando ya barabara ha kusababisha maafa mingi. Hili ni lazima litekelezwe mara moja bila ya kupoteza muda huku wengi wakiathirika. Kuongeza, alama za barabarani ziwekwe na Mamlaka ya Uchukuzi na Usalama Barabarani. Alama kama ya kuonyesha daraja bovu, ujenzi unaoendelea, kona hatari, kuonyesha matuta, kuonyesha mteremko ni muhimu kuwatahadharisha madereva kabla ya hatari. Magari mengi yamebingira na kukosa muelekeo kupelekea vifo vya wakenya wengi Ninaimani kuwa vifo, ulemavu, uchafuzi wa mazingira yatapungua iwapo tu, yote niliyo angazia yatatekelezwa na Mamlaka ya Uchukuzi na Usalama Barabarani na wale walioandikwa na jalali kuishi maisha marefu wataishi muda wote na familia zao wakiwa wazima kama vigogo. Uchumi wa nchi utaimarika na watu kujitegemea na vibanja vyao.
madereva wasioheshimu haki za binadamu hufanya nini
{ "text": [ "huendesha magari kishaghalabaghala" ] }
0169_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ulimwenguni mmekithiri ajali zinazosababisha vifo na ulemavu katika jamii. Kwa hivyo ni muhimu tujue maana ya ajali. Ajali ni tukio la ghafla lenye madhara. Ajali hutokea popote. Si jikoni, si uwanjani, si darasani, si njiani, si chumbani, si chooni, si baharini, si barabarani. Ajali za barabarani huletwa na uzembe wa madereva, kuendesha magari mabovu, magari kuendeshwa kwa mwendo kasi, madereva walevi au waliotumia mihadarati, ukuje wa mafunzo ya udereva na uzoefu mkuu, wanyama pori barabarani, waendesha baiskeli na wasukuma yukwama, kutokuwa na makini kwa wavuka barabara, walevi wanaotembea kando ya barabara na ukosefu wa alama za barabara ili kupunguza ajali za barabarani Kenya, yafuatayo lazima yazingatiwe. Awali, serikali inafaa kuliongeza nguvu jeshi la polisi na askari fisadi wachujwe. Iwapo kila pembe itakuwa na uangalizi wa hali ya juu, madereva hawatathubutu kamwe kuvunja sheria za barabarani. Serikali iwajibike kuwapa askari ruhusa ya kuwapiga faini madereva wanaozipatia kisogo sheria za barabarani. Wale wanao ongea kwa simu huku wakiendesha magari, wanaovuta sigara garini huku wameshika usukani na wenye mwendokasi wa kijehanamu. Hawa wote wawasilishwe mahakamani na wahukumiwe faini ambayo itakuwa funzo kwa madereva wengine faini ya laki tatu taslimu ama kifungo cha muongo. Pili madereva wasiojali wengine wapokonywe leseni zao na shirika la uchukuzi na usalama wa barabarani. Ni hatari si salama kamwe kuwepo na madereva wasio thamini maisha ambao huendesha magari. Aghalabu madereva husimamisha gari kabla ya kupunguza mwendokasi na kufanya abiria kurambani vidogo. Aidha abiria kurushwarushwa utadhani hayawani. Ni laini madereva kukimbilia malengo yao pasi na kujua kuwa wanaenda ajalini. Madereva wasioheshimu haki za binadamu huendesha magari shaghala baghala na kugonga magari yasipogongana, hubingira. Lazima madereva wa sampuli hii wapigwe marufuku kuendesha magari. Tatu, wamiliki wa matrakta, matingatinga, tuktuk, bodaboda na malori wahakikishe vyombo hivi viko katika hali nzuri. Magari mabovu huchangia idadi ya ajali. Kuna ambayo hayana breki zilizoshika, hayana taa za mbele ama za nyuma, hayana kioo cha kati. Ajali nyingi zimeshuhudiwa kwenye sehemu za unyevunyevu zenye baridi ambako magari yaliyo na waipa mbovu ndiyo vyanzo vikuu vya ajali za barabarani. Magari yanayotoa mafuta yanapogongana mara nyingi moto huzuka na kuunguza vyote; abiria, dereva na mazingira. lli kuzuia hili, polisi, maafisa kutoka wizara ya mamlaka ya Uchukuzi na Usalama barabarani wakague magari haya mara kwa mara ili kuokoa mamia ya wakenya. Nne, askari watumie teknolojia ili wapunguze ajali. Trafiki lazima wabuni vifaa vitakavyoangaza barabara usiku na mchana. Magari yasiyozingatia sheria yatolewe barabarani na vifaa hivi. Binadamu huchoka ila mashine hazichoki, kamera ziwekwe kwa milangoni. Hiyo kando ya barabara ili zinase namba za magari yanayokosa sheria za uendeshaji magari kwa mifano, gari kupita lingine sehemu yenye mstari wa manjano unaofululiza. Kupitia maarifa haya ya kisayansi, wamiliki waliosajiliwa wa gari hizi wataitajika kufika mahakamani na kusikiliza mashtaka, hivyo basi madereva watakuwa makini jicho na ukucha. Tano, kuendesha magari na bodaboda sharti wawe na leseni na uzoefu. Wengi hawalitambui hili vya bure ni ghali. Huona kwenda kupata mafunzo vyuoni ni kufuja pesa, ilhali wana jamaa zao zinazomiliki magari. Hivyo basi hupata mbinu za kuendesha na sio ujuzi wa udereva bila ya gharama yoyote. Hili hupelekea kukosa masomo kuhusu athari za ajali, haki za binadamu na umuhimu wa maisha. Maisha ni mafupi, mtu asijiingize kwenye maafa kwani msiba wa kujitakia hauna pole. Kwa hivyo, lazima madereva wachungunzwe na wakipatikana warudishwe vyuoni kusomea udereva kila baada ya mwaka ili wajifunze tena kwa sababu madereva wasiohitimu hufanya ajali nyingine kila uchao. Fauka ya hayo, serikali inawajibika kukarabati barabara zenye hatari za mijini na vijijini. Barabara zenye mashimo na changarawe hutoboa magurudumu na kupeleka kutoa upepo kusababisha ajali. Ajali ni nduli majeruhi hawanahati. Serikali kuu na serikali za kaunti ndio zinazohusika hasa. Ni masikitiko makubwa kuona wabunge wanavyo inenepea na kuteremsha vitambi bila ya hangaiko la moyo. Hao huendesha magari ya kifahari kwenye gurufu za mji ilhali wale akina yahe wanaolipa ushuru, bila ya kuchelewa kuporwa familia zao na viungo vya mwili. Vigogo wa makadirio ya pesa za serikali maafisa wa uchukuzi na miundomsingi washikane ili kulisahihisha jambo hili. Aidha, idadi ya watu mijini ipunguzwe. Miji imefurika na kutapika wengine. Kuna safu za magari na watembezi hii huchangia idadi ya ajali barabarani. Miji ya Nairobi, Mombasa, Malindi, Kisumu, Nakuru na Naivasha ipewe kipaumbele kwa kupunguza asilimia thelathini ya watu. Iwapo viwanda vitajengwa mashambani na miundo msingi kuboreshwa vijijini, bila shaka, watu watahamia vijijini vile vitovu vyao. Idadi ya watu ina uhusiano mkubwa na idadi ya magari. Magari yakipungua nchini yatapunguza idadi ya ajali. Vilevile, wasafiri warauke. Walioamba waliamba kuwa, safari ya kesho hupangwa leo na safari ni hatua. Kenya safari za asubuhi warauke kabla jogoo kuwika, wa alasiri wapate chamcha stani ili wasikimbilie magari kusababisha vifo vya wengine. Watu wangapi wamegongwa na magari wakikimbilia magari kwenye vituo vya magari? Haraka haraka haina baraka. Kuambatana na hili ni sharti watu wapange foleni katika vituo vya mabasi matatu. Pia, wanyama pori watengezewe nyua ili wasifike barabarani. Visa vingi vya ajali vimetokana na ndovu, vifaru, viboko na twiga kutoka mbuga za wanyama kujipata barabarani na kuangusha magari. Si busara kwa wa hifadhi mazingira kuwaweka hatarini watu pamoja na wanyama hapo wanyama hawataekewa uzio. Licha ya hayo, serikali kuu na za kaunti zinafaa zitengeneze vivuko vya juu na vya chini. Vitengezwe karibu na shule ambapo vitafaa watoto wadogo na kuhakikisha wanagenzi usalama wao. Ajali nyingi huwafanya wanafunzi kupoteza maisha yao ama kupoteza muda wao wakiuguzwa majeraha makubwa. Hili lizingatiwe ili tukihifadhi kizazi chetu. Minghairi ya hayo, mamlaka ya uchukuzi na usalama barabarani iongeze matuta barabarani. Ingawa yako lakini ni machache na yapo chini sana mbalimbali ambapo hayasaidii kitu. Matuta ni muhimu sana kwani ndiyo yanayoangalia mwendo kasi wa magari Madereva wasiofuata sheria na kutumia mwendokasi hodari hukosa budi kuja kupona. Hivyo basi abiria watakuwa salama salmini watakapotumia barabara zilizo na matuta mengi yaliyo juu. Isitoshe, ni muhimu kuwafunza madereva mahiri. Madereva waliohitimu katika masomo ya udereva na kuendesha magari muongo mmoja au zaidi bila ya kuleta maafa wapewe zawadi kama vile, bodaboda, magari madogo na hata matwana na vyama vya ushirika vya magari ya uchukuzi. Hatua hii itafanya madereva wawe waangalifu ili watuzwe na vyama vyao. Wanaumiliki magari haya shangwe za kuwapatia morali madereva kwa kuwaongeza mshahara wanaowatumikia kwa uadilifu. Juu ya haya Mamlaka ya Uchukuzi na Usalama Barabarani iwajibike kuwaondoa wanabiashara kando kando ya barabara na kuwagurisha walioeka makazi yao. Magari hugonga sana watu wanapokuwa wamesimama kando ya barabara ha kusababisha maafa mingi. Hili ni lazima litekelezwe mara moja bila ya kupoteza muda huku wengi wakiathirika. Kuongeza, alama za barabarani ziwekwe na Mamlaka ya Uchukuzi na Usalama Barabarani. Alama kama ya kuonyesha daraja bovu, ujenzi unaoendelea, kona hatari, kuonyesha matuta, kuonyesha mteremko ni muhimu kuwatahadharisha madereva kabla ya hatari. Magari mengi yamebingira na kukosa muelekeo kupelekea vifo vya wakenya wengi Ninaimani kuwa vifo, ulemavu, uchafuzi wa mazingira yatapungua iwapo tu, yote niliyo angazia yatatekelezwa na Mamlaka ya Uchukuzi na Usalama Barabarani na wale walioandikwa na jalali kuishi maisha marefu wataishi muda wote na familia zao wakiwa wazima kama vigogo. Uchumi wa nchi utaimarika na watu kujitegemea na vibanja vyao.
Ni vipi askari wanaweza kupunguza ajali
{ "text": [ "kwa kutumia teknolojia" ] }
0169_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ulimwenguni mmekithiri ajali zinazosababisha vifo na ulemavu katika jamii. Kwa hivyo ni muhimu tujue maana ya ajali. Ajali ni tukio la ghafla lenye madhara. Ajali hutokea popote. Si jikoni, si uwanjani, si darasani, si njiani, si chumbani, si chooni, si baharini, si barabarani. Ajali za barabarani huletwa na uzembe wa madereva, kuendesha magari mabovu, magari kuendeshwa kwa mwendo kasi, madereva walevi au waliotumia mihadarati, ukuje wa mafunzo ya udereva na uzoefu mkuu, wanyama pori barabarani, waendesha baiskeli na wasukuma yukwama, kutokuwa na makini kwa wavuka barabara, walevi wanaotembea kando ya barabara na ukosefu wa alama za barabara ili kupunguza ajali za barabarani Kenya, yafuatayo lazima yazingatiwe. Awali, serikali inafaa kuliongeza nguvu jeshi la polisi na askari fisadi wachujwe. Iwapo kila pembe itakuwa na uangalizi wa hali ya juu, madereva hawatathubutu kamwe kuvunja sheria za barabarani. Serikali iwajibike kuwapa askari ruhusa ya kuwapiga faini madereva wanaozipatia kisogo sheria za barabarani. Wale wanao ongea kwa simu huku wakiendesha magari, wanaovuta sigara garini huku wameshika usukani na wenye mwendokasi wa kijehanamu. Hawa wote wawasilishwe mahakamani na wahukumiwe faini ambayo itakuwa funzo kwa madereva wengine faini ya laki tatu taslimu ama kifungo cha muongo. Pili madereva wasiojali wengine wapokonywe leseni zao na shirika la uchukuzi na usalama wa barabarani. Ni hatari si salama kamwe kuwepo na madereva wasio thamini maisha ambao huendesha magari. Aghalabu madereva husimamisha gari kabla ya kupunguza mwendokasi na kufanya abiria kurambani vidogo. Aidha abiria kurushwarushwa utadhani hayawani. Ni laini madereva kukimbilia malengo yao pasi na kujua kuwa wanaenda ajalini. Madereva wasioheshimu haki za binadamu huendesha magari shaghala baghala na kugonga magari yasipogongana, hubingira. Lazima madereva wa sampuli hii wapigwe marufuku kuendesha magari. Tatu, wamiliki wa matrakta, matingatinga, tuktuk, bodaboda na malori wahakikishe vyombo hivi viko katika hali nzuri. Magari mabovu huchangia idadi ya ajali. Kuna ambayo hayana breki zilizoshika, hayana taa za mbele ama za nyuma, hayana kioo cha kati. Ajali nyingi zimeshuhudiwa kwenye sehemu za unyevunyevu zenye baridi ambako magari yaliyo na waipa mbovu ndiyo vyanzo vikuu vya ajali za barabarani. Magari yanayotoa mafuta yanapogongana mara nyingi moto huzuka na kuunguza vyote; abiria, dereva na mazingira. lli kuzuia hili, polisi, maafisa kutoka wizara ya mamlaka ya Uchukuzi na Usalama barabarani wakague magari haya mara kwa mara ili kuokoa mamia ya wakenya. Nne, askari watumie teknolojia ili wapunguze ajali. Trafiki lazima wabuni vifaa vitakavyoangaza barabara usiku na mchana. Magari yasiyozingatia sheria yatolewe barabarani na vifaa hivi. Binadamu huchoka ila mashine hazichoki, kamera ziwekwe kwa milangoni. Hiyo kando ya barabara ili zinase namba za magari yanayokosa sheria za uendeshaji magari kwa mifano, gari kupita lingine sehemu yenye mstari wa manjano unaofululiza. Kupitia maarifa haya ya kisayansi, wamiliki waliosajiliwa wa gari hizi wataitajika kufika mahakamani na kusikiliza mashtaka, hivyo basi madereva watakuwa makini jicho na ukucha. Tano, kuendesha magari na bodaboda sharti wawe na leseni na uzoefu. Wengi hawalitambui hili vya bure ni ghali. Huona kwenda kupata mafunzo vyuoni ni kufuja pesa, ilhali wana jamaa zao zinazomiliki magari. Hivyo basi hupata mbinu za kuendesha na sio ujuzi wa udereva bila ya gharama yoyote. Hili hupelekea kukosa masomo kuhusu athari za ajali, haki za binadamu na umuhimu wa maisha. Maisha ni mafupi, mtu asijiingize kwenye maafa kwani msiba wa kujitakia hauna pole. Kwa hivyo, lazima madereva wachungunzwe na wakipatikana warudishwe vyuoni kusomea udereva kila baada ya mwaka ili wajifunze tena kwa sababu madereva wasiohitimu hufanya ajali nyingine kila uchao. Fauka ya hayo, serikali inawajibika kukarabati barabara zenye hatari za mijini na vijijini. Barabara zenye mashimo na changarawe hutoboa magurudumu na kupeleka kutoa upepo kusababisha ajali. Ajali ni nduli majeruhi hawanahati. Serikali kuu na serikali za kaunti ndio zinazohusika hasa. Ni masikitiko makubwa kuona wabunge wanavyo inenepea na kuteremsha vitambi bila ya hangaiko la moyo. Hao huendesha magari ya kifahari kwenye gurufu za mji ilhali wale akina yahe wanaolipa ushuru, bila ya kuchelewa kuporwa familia zao na viungo vya mwili. Vigogo wa makadirio ya pesa za serikali maafisa wa uchukuzi na miundomsingi washikane ili kulisahihisha jambo hili. Aidha, idadi ya watu mijini ipunguzwe. Miji imefurika na kutapika wengine. Kuna safu za magari na watembezi hii huchangia idadi ya ajali barabarani. Miji ya Nairobi, Mombasa, Malindi, Kisumu, Nakuru na Naivasha ipewe kipaumbele kwa kupunguza asilimia thelathini ya watu. Iwapo viwanda vitajengwa mashambani na miundo msingi kuboreshwa vijijini, bila shaka, watu watahamia vijijini vile vitovu vyao. Idadi ya watu ina uhusiano mkubwa na idadi ya magari. Magari yakipungua nchini yatapunguza idadi ya ajali. Vilevile, wasafiri warauke. Walioamba waliamba kuwa, safari ya kesho hupangwa leo na safari ni hatua. Kenya safari za asubuhi warauke kabla jogoo kuwika, wa alasiri wapate chamcha stani ili wasikimbilie magari kusababisha vifo vya wengine. Watu wangapi wamegongwa na magari wakikimbilia magari kwenye vituo vya magari? Haraka haraka haina baraka. Kuambatana na hili ni sharti watu wapange foleni katika vituo vya mabasi matatu. Pia, wanyama pori watengezewe nyua ili wasifike barabarani. Visa vingi vya ajali vimetokana na ndovu, vifaru, viboko na twiga kutoka mbuga za wanyama kujipata barabarani na kuangusha magari. Si busara kwa wa hifadhi mazingira kuwaweka hatarini watu pamoja na wanyama hapo wanyama hawataekewa uzio. Licha ya hayo, serikali kuu na za kaunti zinafaa zitengeneze vivuko vya juu na vya chini. Vitengezwe karibu na shule ambapo vitafaa watoto wadogo na kuhakikisha wanagenzi usalama wao. Ajali nyingi huwafanya wanafunzi kupoteza maisha yao ama kupoteza muda wao wakiuguzwa majeraha makubwa. Hili lizingatiwe ili tukihifadhi kizazi chetu. Minghairi ya hayo, mamlaka ya uchukuzi na usalama barabarani iongeze matuta barabarani. Ingawa yako lakini ni machache na yapo chini sana mbalimbali ambapo hayasaidii kitu. Matuta ni muhimu sana kwani ndiyo yanayoangalia mwendo kasi wa magari Madereva wasiofuata sheria na kutumia mwendokasi hodari hukosa budi kuja kupona. Hivyo basi abiria watakuwa salama salmini watakapotumia barabara zilizo na matuta mengi yaliyo juu. Isitoshe, ni muhimu kuwafunza madereva mahiri. Madereva waliohitimu katika masomo ya udereva na kuendesha magari muongo mmoja au zaidi bila ya kuleta maafa wapewe zawadi kama vile, bodaboda, magari madogo na hata matwana na vyama vya ushirika vya magari ya uchukuzi. Hatua hii itafanya madereva wawe waangalifu ili watuzwe na vyama vyao. Wanaumiliki magari haya shangwe za kuwapatia morali madereva kwa kuwaongeza mshahara wanaowatumikia kwa uadilifu. Juu ya haya Mamlaka ya Uchukuzi na Usalama Barabarani iwajibike kuwaondoa wanabiashara kando kando ya barabara na kuwagurisha walioeka makazi yao. Magari hugonga sana watu wanapokuwa wamesimama kando ya barabara ha kusababisha maafa mingi. Hili ni lazima litekelezwe mara moja bila ya kupoteza muda huku wengi wakiathirika. Kuongeza, alama za barabarani ziwekwe na Mamlaka ya Uchukuzi na Usalama Barabarani. Alama kama ya kuonyesha daraja bovu, ujenzi unaoendelea, kona hatari, kuonyesha matuta, kuonyesha mteremko ni muhimu kuwatahadharisha madereva kabla ya hatari. Magari mengi yamebingira na kukosa muelekeo kupelekea vifo vya wakenya wengi Ninaimani kuwa vifo, ulemavu, uchafuzi wa mazingira yatapungua iwapo tu, yote niliyo angazia yatatekelezwa na Mamlaka ya Uchukuzi na Usalama Barabarani na wale walioandikwa na jalali kuishi maisha marefu wataishi muda wote na familia zao wakiwa wazima kama vigogo. Uchumi wa nchi utaimarika na watu kujitegemea na vibanja vyao.
mbona kamera ziwekwe kwa milingoti kando iliyo ya barabara
{ "text": [ "Ili zinase nambari za magari yanayokiuka sheria za uendeshaji" ] }
0169_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ulimwenguni mmekithiri ajali zinazosababisha vifo na ulemavu katika jamii. Kwa hivyo ni muhimu tujue maana ya ajali. Ajali ni tukio la ghafla lenye madhara. Ajali hutokea popote. Si jikoni, si uwanjani, si darasani, si njiani, si chumbani, si chooni, si baharini, si barabarani. Ajali za barabarani huletwa na uzembe wa madereva, kuendesha magari mabovu, magari kuendeshwa kwa mwendo kasi, madereva walevi au waliotumia mihadarati, ukuje wa mafunzo ya udereva na uzoefu mkuu, wanyama pori barabarani, waendesha baiskeli na wasukuma yukwama, kutokuwa na makini kwa wavuka barabara, walevi wanaotembea kando ya barabara na ukosefu wa alama za barabara ili kupunguza ajali za barabarani Kenya, yafuatayo lazima yazingatiwe. Awali, serikali inafaa kuliongeza nguvu jeshi la polisi na askari fisadi wachujwe. Iwapo kila pembe itakuwa na uangalizi wa hali ya juu, madereva hawatathubutu kamwe kuvunja sheria za barabarani. Serikali iwajibike kuwapa askari ruhusa ya kuwapiga faini madereva wanaozipatia kisogo sheria za barabarani. Wale wanao ongea kwa simu huku wakiendesha magari, wanaovuta sigara garini huku wameshika usukani na wenye mwendokasi wa kijehanamu. Hawa wote wawasilishwe mahakamani na wahukumiwe faini ambayo itakuwa funzo kwa madereva wengine faini ya laki tatu taslimu ama kifungo cha muongo. Pili madereva wasiojali wengine wapokonywe leseni zao na shirika la uchukuzi na usalama wa barabarani. Ni hatari si salama kamwe kuwepo na madereva wasio thamini maisha ambao huendesha magari. Aghalabu madereva husimamisha gari kabla ya kupunguza mwendokasi na kufanya abiria kurambani vidogo. Aidha abiria kurushwarushwa utadhani hayawani. Ni laini madereva kukimbilia malengo yao pasi na kujua kuwa wanaenda ajalini. Madereva wasioheshimu haki za binadamu huendesha magari shaghala baghala na kugonga magari yasipogongana, hubingira. Lazima madereva wa sampuli hii wapigwe marufuku kuendesha magari. Tatu, wamiliki wa matrakta, matingatinga, tuktuk, bodaboda na malori wahakikishe vyombo hivi viko katika hali nzuri. Magari mabovu huchangia idadi ya ajali. Kuna ambayo hayana breki zilizoshika, hayana taa za mbele ama za nyuma, hayana kioo cha kati. Ajali nyingi zimeshuhudiwa kwenye sehemu za unyevunyevu zenye baridi ambako magari yaliyo na waipa mbovu ndiyo vyanzo vikuu vya ajali za barabarani. Magari yanayotoa mafuta yanapogongana mara nyingi moto huzuka na kuunguza vyote; abiria, dereva na mazingira. lli kuzuia hili, polisi, maafisa kutoka wizara ya mamlaka ya Uchukuzi na Usalama barabarani wakague magari haya mara kwa mara ili kuokoa mamia ya wakenya. Nne, askari watumie teknolojia ili wapunguze ajali. Trafiki lazima wabuni vifaa vitakavyoangaza barabara usiku na mchana. Magari yasiyozingatia sheria yatolewe barabarani na vifaa hivi. Binadamu huchoka ila mashine hazichoki, kamera ziwekwe kwa milangoni. Hiyo kando ya barabara ili zinase namba za magari yanayokosa sheria za uendeshaji magari kwa mifano, gari kupita lingine sehemu yenye mstari wa manjano unaofululiza. Kupitia maarifa haya ya kisayansi, wamiliki waliosajiliwa wa gari hizi wataitajika kufika mahakamani na kusikiliza mashtaka, hivyo basi madereva watakuwa makini jicho na ukucha. Tano, kuendesha magari na bodaboda sharti wawe na leseni na uzoefu. Wengi hawalitambui hili vya bure ni ghali. Huona kwenda kupata mafunzo vyuoni ni kufuja pesa, ilhali wana jamaa zao zinazomiliki magari. Hivyo basi hupata mbinu za kuendesha na sio ujuzi wa udereva bila ya gharama yoyote. Hili hupelekea kukosa masomo kuhusu athari za ajali, haki za binadamu na umuhimu wa maisha. Maisha ni mafupi, mtu asijiingize kwenye maafa kwani msiba wa kujitakia hauna pole. Kwa hivyo, lazima madereva wachungunzwe na wakipatikana warudishwe vyuoni kusomea udereva kila baada ya mwaka ili wajifunze tena kwa sababu madereva wasiohitimu hufanya ajali nyingine kila uchao. Fauka ya hayo, serikali inawajibika kukarabati barabara zenye hatari za mijini na vijijini. Barabara zenye mashimo na changarawe hutoboa magurudumu na kupeleka kutoa upepo kusababisha ajali. Ajali ni nduli majeruhi hawanahati. Serikali kuu na serikali za kaunti ndio zinazohusika hasa. Ni masikitiko makubwa kuona wabunge wanavyo inenepea na kuteremsha vitambi bila ya hangaiko la moyo. Hao huendesha magari ya kifahari kwenye gurufu za mji ilhali wale akina yahe wanaolipa ushuru, bila ya kuchelewa kuporwa familia zao na viungo vya mwili. Vigogo wa makadirio ya pesa za serikali maafisa wa uchukuzi na miundomsingi washikane ili kulisahihisha jambo hili. Aidha, idadi ya watu mijini ipunguzwe. Miji imefurika na kutapika wengine. Kuna safu za magari na watembezi hii huchangia idadi ya ajali barabarani. Miji ya Nairobi, Mombasa, Malindi, Kisumu, Nakuru na Naivasha ipewe kipaumbele kwa kupunguza asilimia thelathini ya watu. Iwapo viwanda vitajengwa mashambani na miundo msingi kuboreshwa vijijini, bila shaka, watu watahamia vijijini vile vitovu vyao. Idadi ya watu ina uhusiano mkubwa na idadi ya magari. Magari yakipungua nchini yatapunguza idadi ya ajali. Vilevile, wasafiri warauke. Walioamba waliamba kuwa, safari ya kesho hupangwa leo na safari ni hatua. Kenya safari za asubuhi warauke kabla jogoo kuwika, wa alasiri wapate chamcha stani ili wasikimbilie magari kusababisha vifo vya wengine. Watu wangapi wamegongwa na magari wakikimbilia magari kwenye vituo vya magari? Haraka haraka haina baraka. Kuambatana na hili ni sharti watu wapange foleni katika vituo vya mabasi matatu. Pia, wanyama pori watengezewe nyua ili wasifike barabarani. Visa vingi vya ajali vimetokana na ndovu, vifaru, viboko na twiga kutoka mbuga za wanyama kujipata barabarani na kuangusha magari. Si busara kwa wa hifadhi mazingira kuwaweka hatarini watu pamoja na wanyama hapo wanyama hawataekewa uzio. Licha ya hayo, serikali kuu na za kaunti zinafaa zitengeneze vivuko vya juu na vya chini. Vitengezwe karibu na shule ambapo vitafaa watoto wadogo na kuhakikisha wanagenzi usalama wao. Ajali nyingi huwafanya wanafunzi kupoteza maisha yao ama kupoteza muda wao wakiuguzwa majeraha makubwa. Hili lizingatiwe ili tukihifadhi kizazi chetu. Minghairi ya hayo, mamlaka ya uchukuzi na usalama barabarani iongeze matuta barabarani. Ingawa yako lakini ni machache na yapo chini sana mbalimbali ambapo hayasaidii kitu. Matuta ni muhimu sana kwani ndiyo yanayoangalia mwendo kasi wa magari Madereva wasiofuata sheria na kutumia mwendokasi hodari hukosa budi kuja kupona. Hivyo basi abiria watakuwa salama salmini watakapotumia barabara zilizo na matuta mengi yaliyo juu. Isitoshe, ni muhimu kuwafunza madereva mahiri. Madereva waliohitimu katika masomo ya udereva na kuendesha magari muongo mmoja au zaidi bila ya kuleta maafa wapewe zawadi kama vile, bodaboda, magari madogo na hata matwana na vyama vya ushirika vya magari ya uchukuzi. Hatua hii itafanya madereva wawe waangalifu ili watuzwe na vyama vyao. Wanaumiliki magari haya shangwe za kuwapatia morali madereva kwa kuwaongeza mshahara wanaowatumikia kwa uadilifu. Juu ya haya Mamlaka ya Uchukuzi na Usalama Barabarani iwajibike kuwaondoa wanabiashara kando kando ya barabara na kuwagurisha walioeka makazi yao. Magari hugonga sana watu wanapokuwa wamesimama kando ya barabara ha kusababisha maafa mingi. Hili ni lazima litekelezwe mara moja bila ya kupoteza muda huku wengi wakiathirika. Kuongeza, alama za barabarani ziwekwe na Mamlaka ya Uchukuzi na Usalama Barabarani. Alama kama ya kuonyesha daraja bovu, ujenzi unaoendelea, kona hatari, kuonyesha matuta, kuonyesha mteremko ni muhimu kuwatahadharisha madereva kabla ya hatari. Magari mengi yamebingira na kukosa muelekeo kupelekea vifo vya wakenya wengi Ninaimani kuwa vifo, ulemavu, uchafuzi wa mazingira yatapungua iwapo tu, yote niliyo angazia yatatekelezwa na Mamlaka ya Uchukuzi na Usalama Barabarani na wale walioandikwa na jalali kuishi maisha marefu wataishi muda wote na familia zao wakiwa wazima kama vigogo. Uchumi wa nchi utaimarika na watu kujitegemea na vibanja vyao.
ajali husababisha nini
{ "text": [ "vifo na ulemavu" ] }
0171_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni kadhia lenye madhara mengi na hutokea ghafla. Ajali huwa haitokei kisadfa bali hutokea kwa sababu ya binadamu kupuuza mambo fulani. Ajali za barabarani husababishwa na kutofuata alama za barabarani, kutotia sheria za uendeshaji gari barabarani, kupuuza kwa madereva wengine na uendeshaji gari bila ya vyeti wala tajiriba ya uendeshaji gari. Aidha ajali husababishwa na ubovu wa magari na kutowajibika kwa madereva, watembeaji na waendeshaji pikipiki. Kuna aina nyingi za ajali za barabarani. Mathalani ajali za baiskeli, ajali za malori, ajali za bodaboda , ajali za mikokoteni, ajali za matatu, ajali za gari ndogo na ajali za mabasi. Ajali nyingi hutokea nchini Kenya. Unajua kisa na maana? Hata hivyo, penye nia pana njia, ajali za barabarani nchini Kenya zinaweza kupunguzwa kwa kutumia mikakati ifuatayo: Awali kabisa ajali hutokea kwa sababu ya ulevi na matumizi ya mihadarati mengine. Ulevi humfanya binadamu aone vitu mara mbili na kumfanya awe kama amelala yaani mlegevulegevu asiyeweza kutoa uamuzi wa dharura. Mambo haya humfanya dereva asababishe ajali aidha agonge gari au binadamu mwenzake au gari lipinduke. Mlevi anapoendesha gari hujipatia ushupavu na ushujaa nadra. Hayo humfanya dereva awe na mwendo kasi wa ajabu. Mwendokasi ni sababu kuu nchini Kenya ya kutokea kwa ajali. Watu wengi hupenda kusema kuwa wanaharaka na haraka zao huwapeleka jehanamu pasi na kujua kuwa mwendokasi wakati mmoja. Mwendo kasi unaweza kuthibitiwa kwa kueka vituo vya ukaguaji wa ratiba za magari ya abiria. Vilevile kutofuata alama za barabarani ni sababu nyingine inayopandisha idadi ya ajali barabarani. Wizara ya uchukuzi na miundo msingi imeweka mabango barabarani kuonyesha kasi inayofaa au jihadhari na utelezi wa barabara ilhali watu hawafuati haya hupunguza idadi hizi magari yote sharti yatiwe yadhibiti mwendo na wizara ya uchukuzi ihimizwe iwe ikiyakagua kila kuchao. Vyombo vya chakavu kutokana na hali ngumu ya maisha limechangia sehemu kubwa kwa sababu ya ajali nchini. Mtu anaweza kupeleka gari lake gereji na kulipa pesa kidogo na mekanika hao wamwekee vyombo chakavu kwa kuwa amewalipa pesa kidogo. Baada ya ajali watu wengi husema kuwa breki ya gari hilo ilikuwa imekataa kufanya ndiposa ajali ikatokea. Kwa kuepuka hili serikali ipunguze bei ya bidhaa za magari. Katika nchi yetu ya Kenya kila mahali pana barabara mbovu si Machakos, si Kiambu, si Nakuru, si Naivasha wala Mombasa. Barabara huwa na mabonde na huwa zina mashimo na kusababisha ajali. Barabara hizi huwa na kasoro hizi maana hazijakarabitiwa kukaa muda mrefu. Serikali inaweza kupunguza ajali kukikarabati kila mara na kuweka matuta katika kila barabara. Hata pia barabara kuwa finyu husababisha ajali barabarani maana magari huwa mengi na pia kila mmoja huwa na haraka zake. Kila mtu atataka kuwania na kusababisha mgongano wa magari na vifo kutokea. Lazima barabara zipanuliwe kwa sababu za kupunguza msongamano wa magari. Jambo lingine linalosababisha ajali na wasimamia sheria kutotaka ushirikiano. Wasimamia sheria hufika muda na kugoma kufanya kazi mpaka wapewe hongo au bakshishi. Jambo hili linaweza kusababisha upitaji wa vifaa haramu na hata pia madawa ya kulevya. Serikali inaweza kupunguza hili kwa kutuma wachunguzi wa kuwafuatilia wasimamizi wa sheria wanaotaka hongo na kuadhibiwa vikali na hata pia kufutwa kazi. Vilevile udereva bila mafunzo ya taaluma ya kuendesha magari husababisha ajali. Watu wengi huona kuwa wanaweza kuendesha gari bila mafunzo, hujiona kuwa wameshakuwa bingwa ilhali hajui mambo mengi ya barabarani. Nchini Kenya kuna vyuo vikuu vinavyo fundisha taaluma hii kama UNIK, NDOVU, AA, ISTIQAMA na BUDGET mtu kujisajili huona ni upotevu wa muda. Kuepuka ajali madereva wasome taaluma ya uendeshaji wa magari kwa lazima. Hata hivyo pia giza usiku husababisha ajali. Magari huwa na taa za mbele na nyuma lakini huwa hazikidhi haja vizuri. Baada ya saa kumi na mbili jioni hujulikana kuwa duniani huwa mna giza totoro. Basi giza hilo linaweza kusababisha ajali kubwa. Kutotaka kutokea kwa ajali serikali itengeneze mataa makubwa barabarani ili kuepuka vifo vya watu wasio na hatia. Kubeba abiria zaidi ya kiwango cha kawaida pia hueza kusababisha ajali. Hasahasa katika daladala wakati huu wa uviko wa Covid 19, watu au abiria wanafaa wasizidi zaidi ya wanane ilhali daladala kadhaa zinaweza kubeba zaidi ya wanane ili wapate pesa kiurahisi bila ya kujua au kupuuza kuwa wanasambaza uviko huu wa covid-19. Serikali inaweza kupunguza ajali kwa kueka usimamizi wingi na kuwaeka kila kituo ili kuangalia magari yanayokiuka sheria hiyo. Kabla ya kalamu yangu kuisha wino ningependa kuwaambia serikali kuzikarabati barabara kila mara, kuzifanya barabara kuwa kubwa, kuzifanya alama za barabarani kuonekana, kujenga matuta barabarani na kuwalipa wasimamia sheria wakati mwafaka. Vile vile madereva wapewe sheria zinazokataza ulevi, kutoendesha kwa mwendo wa kasi, wafuate alama za barabarani , madereva wa pikipiki na abiria wake wote wavae helmeti na kutoendesha magari usiku· Abiria pia wasikimbilie magari, wafunge mishipi wakiwa safarini na wanaotembea kwa miguu wajengewe vipitio vya juu.
Ni nini sababu kuu ya ajali Kenya
{ "text": [ "mwendokasi" ] }
0171_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni kadhia lenye madhara mengi na hutokea ghafla. Ajali huwa haitokei kisadfa bali hutokea kwa sababu ya binadamu kupuuza mambo fulani. Ajali za barabarani husababishwa na kutofuata alama za barabarani, kutotia sheria za uendeshaji gari barabarani, kupuuza kwa madereva wengine na uendeshaji gari bila ya vyeti wala tajiriba ya uendeshaji gari. Aidha ajali husababishwa na ubovu wa magari na kutowajibika kwa madereva, watembeaji na waendeshaji pikipiki. Kuna aina nyingi za ajali za barabarani. Mathalani ajali za baiskeli, ajali za malori, ajali za bodaboda , ajali za mikokoteni, ajali za matatu, ajali za gari ndogo na ajali za mabasi. Ajali nyingi hutokea nchini Kenya. Unajua kisa na maana? Hata hivyo, penye nia pana njia, ajali za barabarani nchini Kenya zinaweza kupunguzwa kwa kutumia mikakati ifuatayo: Awali kabisa ajali hutokea kwa sababu ya ulevi na matumizi ya mihadarati mengine. Ulevi humfanya binadamu aone vitu mara mbili na kumfanya awe kama amelala yaani mlegevulegevu asiyeweza kutoa uamuzi wa dharura. Mambo haya humfanya dereva asababishe ajali aidha agonge gari au binadamu mwenzake au gari lipinduke. Mlevi anapoendesha gari hujipatia ushupavu na ushujaa nadra. Hayo humfanya dereva awe na mwendo kasi wa ajabu. Mwendokasi ni sababu kuu nchini Kenya ya kutokea kwa ajali. Watu wengi hupenda kusema kuwa wanaharaka na haraka zao huwapeleka jehanamu pasi na kujua kuwa mwendokasi wakati mmoja. Mwendo kasi unaweza kuthibitiwa kwa kueka vituo vya ukaguaji wa ratiba za magari ya abiria. Vilevile kutofuata alama za barabarani ni sababu nyingine inayopandisha idadi ya ajali barabarani. Wizara ya uchukuzi na miundo msingi imeweka mabango barabarani kuonyesha kasi inayofaa au jihadhari na utelezi wa barabara ilhali watu hawafuati haya hupunguza idadi hizi magari yote sharti yatiwe yadhibiti mwendo na wizara ya uchukuzi ihimizwe iwe ikiyakagua kila kuchao. Vyombo vya chakavu kutokana na hali ngumu ya maisha limechangia sehemu kubwa kwa sababu ya ajali nchini. Mtu anaweza kupeleka gari lake gereji na kulipa pesa kidogo na mekanika hao wamwekee vyombo chakavu kwa kuwa amewalipa pesa kidogo. Baada ya ajali watu wengi husema kuwa breki ya gari hilo ilikuwa imekataa kufanya ndiposa ajali ikatokea. Kwa kuepuka hili serikali ipunguze bei ya bidhaa za magari. Katika nchi yetu ya Kenya kila mahali pana barabara mbovu si Machakos, si Kiambu, si Nakuru, si Naivasha wala Mombasa. Barabara huwa na mabonde na huwa zina mashimo na kusababisha ajali. Barabara hizi huwa na kasoro hizi maana hazijakarabitiwa kukaa muda mrefu. Serikali inaweza kupunguza ajali kukikarabati kila mara na kuweka matuta katika kila barabara. Hata pia barabara kuwa finyu husababisha ajali barabarani maana magari huwa mengi na pia kila mmoja huwa na haraka zake. Kila mtu atataka kuwania na kusababisha mgongano wa magari na vifo kutokea. Lazima barabara zipanuliwe kwa sababu za kupunguza msongamano wa magari. Jambo lingine linalosababisha ajali na wasimamia sheria kutotaka ushirikiano. Wasimamia sheria hufika muda na kugoma kufanya kazi mpaka wapewe hongo au bakshishi. Jambo hili linaweza kusababisha upitaji wa vifaa haramu na hata pia madawa ya kulevya. Serikali inaweza kupunguza hili kwa kutuma wachunguzi wa kuwafuatilia wasimamizi wa sheria wanaotaka hongo na kuadhibiwa vikali na hata pia kufutwa kazi. Vilevile udereva bila mafunzo ya taaluma ya kuendesha magari husababisha ajali. Watu wengi huona kuwa wanaweza kuendesha gari bila mafunzo, hujiona kuwa wameshakuwa bingwa ilhali hajui mambo mengi ya barabarani. Nchini Kenya kuna vyuo vikuu vinavyo fundisha taaluma hii kama UNIK, NDOVU, AA, ISTIQAMA na BUDGET mtu kujisajili huona ni upotevu wa muda. Kuepuka ajali madereva wasome taaluma ya uendeshaji wa magari kwa lazima. Hata hivyo pia giza usiku husababisha ajali. Magari huwa na taa za mbele na nyuma lakini huwa hazikidhi haja vizuri. Baada ya saa kumi na mbili jioni hujulikana kuwa duniani huwa mna giza totoro. Basi giza hilo linaweza kusababisha ajali kubwa. Kutotaka kutokea kwa ajali serikali itengeneze mataa makubwa barabarani ili kuepuka vifo vya watu wasio na hatia. Kubeba abiria zaidi ya kiwango cha kawaida pia hueza kusababisha ajali. Hasahasa katika daladala wakati huu wa uviko wa Covid 19, watu au abiria wanafaa wasizidi zaidi ya wanane ilhali daladala kadhaa zinaweza kubeba zaidi ya wanane ili wapate pesa kiurahisi bila ya kujua au kupuuza kuwa wanasambaza uviko huu wa covid-19. Serikali inaweza kupunguza ajali kwa kueka usimamizi wingi na kuwaeka kila kituo ili kuangalia magari yanayokiuka sheria hiyo. Kabla ya kalamu yangu kuisha wino ningependa kuwaambia serikali kuzikarabati barabara kila mara, kuzifanya barabara kuwa kubwa, kuzifanya alama za barabarani kuonekana, kujenga matuta barabarani na kuwalipa wasimamia sheria wakati mwafaka. Vile vile madereva wapewe sheria zinazokataza ulevi, kutoendesha kwa mwendo wa kasi, wafuate alama za barabarani , madereva wa pikipiki na abiria wake wote wavae helmeti na kutoendesha magari usiku· Abiria pia wasikimbilie magari, wafunge mishipi wakiwa safarini na wanaotembea kwa miguu wajengewe vipitio vya juu.
Hapo awali ni nini kilisababisha ajali
{ "text": [ "ulevi na mihadarati" ] }
0171_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni kadhia lenye madhara mengi na hutokea ghafla. Ajali huwa haitokei kisadfa bali hutokea kwa sababu ya binadamu kupuuza mambo fulani. Ajali za barabarani husababishwa na kutofuata alama za barabarani, kutotia sheria za uendeshaji gari barabarani, kupuuza kwa madereva wengine na uendeshaji gari bila ya vyeti wala tajiriba ya uendeshaji gari. Aidha ajali husababishwa na ubovu wa magari na kutowajibika kwa madereva, watembeaji na waendeshaji pikipiki. Kuna aina nyingi za ajali za barabarani. Mathalani ajali za baiskeli, ajali za malori, ajali za bodaboda , ajali za mikokoteni, ajali za matatu, ajali za gari ndogo na ajali za mabasi. Ajali nyingi hutokea nchini Kenya. Unajua kisa na maana? Hata hivyo, penye nia pana njia, ajali za barabarani nchini Kenya zinaweza kupunguzwa kwa kutumia mikakati ifuatayo: Awali kabisa ajali hutokea kwa sababu ya ulevi na matumizi ya mihadarati mengine. Ulevi humfanya binadamu aone vitu mara mbili na kumfanya awe kama amelala yaani mlegevulegevu asiyeweza kutoa uamuzi wa dharura. Mambo haya humfanya dereva asababishe ajali aidha agonge gari au binadamu mwenzake au gari lipinduke. Mlevi anapoendesha gari hujipatia ushupavu na ushujaa nadra. Hayo humfanya dereva awe na mwendo kasi wa ajabu. Mwendokasi ni sababu kuu nchini Kenya ya kutokea kwa ajali. Watu wengi hupenda kusema kuwa wanaharaka na haraka zao huwapeleka jehanamu pasi na kujua kuwa mwendokasi wakati mmoja. Mwendo kasi unaweza kuthibitiwa kwa kueka vituo vya ukaguaji wa ratiba za magari ya abiria. Vilevile kutofuata alama za barabarani ni sababu nyingine inayopandisha idadi ya ajali barabarani. Wizara ya uchukuzi na miundo msingi imeweka mabango barabarani kuonyesha kasi inayofaa au jihadhari na utelezi wa barabara ilhali watu hawafuati haya hupunguza idadi hizi magari yote sharti yatiwe yadhibiti mwendo na wizara ya uchukuzi ihimizwe iwe ikiyakagua kila kuchao. Vyombo vya chakavu kutokana na hali ngumu ya maisha limechangia sehemu kubwa kwa sababu ya ajali nchini. Mtu anaweza kupeleka gari lake gereji na kulipa pesa kidogo na mekanika hao wamwekee vyombo chakavu kwa kuwa amewalipa pesa kidogo. Baada ya ajali watu wengi husema kuwa breki ya gari hilo ilikuwa imekataa kufanya ndiposa ajali ikatokea. Kwa kuepuka hili serikali ipunguze bei ya bidhaa za magari. Katika nchi yetu ya Kenya kila mahali pana barabara mbovu si Machakos, si Kiambu, si Nakuru, si Naivasha wala Mombasa. Barabara huwa na mabonde na huwa zina mashimo na kusababisha ajali. Barabara hizi huwa na kasoro hizi maana hazijakarabitiwa kukaa muda mrefu. Serikali inaweza kupunguza ajali kukikarabati kila mara na kuweka matuta katika kila barabara. Hata pia barabara kuwa finyu husababisha ajali barabarani maana magari huwa mengi na pia kila mmoja huwa na haraka zake. Kila mtu atataka kuwania na kusababisha mgongano wa magari na vifo kutokea. Lazima barabara zipanuliwe kwa sababu za kupunguza msongamano wa magari. Jambo lingine linalosababisha ajali na wasimamia sheria kutotaka ushirikiano. Wasimamia sheria hufika muda na kugoma kufanya kazi mpaka wapewe hongo au bakshishi. Jambo hili linaweza kusababisha upitaji wa vifaa haramu na hata pia madawa ya kulevya. Serikali inaweza kupunguza hili kwa kutuma wachunguzi wa kuwafuatilia wasimamizi wa sheria wanaotaka hongo na kuadhibiwa vikali na hata pia kufutwa kazi. Vilevile udereva bila mafunzo ya taaluma ya kuendesha magari husababisha ajali. Watu wengi huona kuwa wanaweza kuendesha gari bila mafunzo, hujiona kuwa wameshakuwa bingwa ilhali hajui mambo mengi ya barabarani. Nchini Kenya kuna vyuo vikuu vinavyo fundisha taaluma hii kama UNIK, NDOVU, AA, ISTIQAMA na BUDGET mtu kujisajili huona ni upotevu wa muda. Kuepuka ajali madereva wasome taaluma ya uendeshaji wa magari kwa lazima. Hata hivyo pia giza usiku husababisha ajali. Magari huwa na taa za mbele na nyuma lakini huwa hazikidhi haja vizuri. Baada ya saa kumi na mbili jioni hujulikana kuwa duniani huwa mna giza totoro. Basi giza hilo linaweza kusababisha ajali kubwa. Kutotaka kutokea kwa ajali serikali itengeneze mataa makubwa barabarani ili kuepuka vifo vya watu wasio na hatia. Kubeba abiria zaidi ya kiwango cha kawaida pia hueza kusababisha ajali. Hasahasa katika daladala wakati huu wa uviko wa Covid 19, watu au abiria wanafaa wasizidi zaidi ya wanane ilhali daladala kadhaa zinaweza kubeba zaidi ya wanane ili wapate pesa kiurahisi bila ya kujua au kupuuza kuwa wanasambaza uviko huu wa covid-19. Serikali inaweza kupunguza ajali kwa kueka usimamizi wingi na kuwaeka kila kituo ili kuangalia magari yanayokiuka sheria hiyo. Kabla ya kalamu yangu kuisha wino ningependa kuwaambia serikali kuzikarabati barabara kila mara, kuzifanya barabara kuwa kubwa, kuzifanya alama za barabarani kuonekana, kujenga matuta barabarani na kuwalipa wasimamia sheria wakati mwafaka. Vile vile madereva wapewe sheria zinazokataza ulevi, kutoendesha kwa mwendo wa kasi, wafuate alama za barabarani , madereva wa pikipiki na abiria wake wote wavae helmeti na kutoendesha magari usiku· Abiria pia wasikimbilie magari, wafunge mishipi wakiwa safarini na wanaotembea kwa miguu wajengewe vipitio vya juu.
Ni nini kinahitajika kwa magari kupunguza idadi ya ajali
{ "text": [ "vidhibiti mwendo" ] }
0171_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni kadhia lenye madhara mengi na hutokea ghafla. Ajali huwa haitokei kisadfa bali hutokea kwa sababu ya binadamu kupuuza mambo fulani. Ajali za barabarani husababishwa na kutofuata alama za barabarani, kutotia sheria za uendeshaji gari barabarani, kupuuza kwa madereva wengine na uendeshaji gari bila ya vyeti wala tajiriba ya uendeshaji gari. Aidha ajali husababishwa na ubovu wa magari na kutowajibika kwa madereva, watembeaji na waendeshaji pikipiki. Kuna aina nyingi za ajali za barabarani. Mathalani ajali za baiskeli, ajali za malori, ajali za bodaboda , ajali za mikokoteni, ajali za matatu, ajali za gari ndogo na ajali za mabasi. Ajali nyingi hutokea nchini Kenya. Unajua kisa na maana? Hata hivyo, penye nia pana njia, ajali za barabarani nchini Kenya zinaweza kupunguzwa kwa kutumia mikakati ifuatayo: Awali kabisa ajali hutokea kwa sababu ya ulevi na matumizi ya mihadarati mengine. Ulevi humfanya binadamu aone vitu mara mbili na kumfanya awe kama amelala yaani mlegevulegevu asiyeweza kutoa uamuzi wa dharura. Mambo haya humfanya dereva asababishe ajali aidha agonge gari au binadamu mwenzake au gari lipinduke. Mlevi anapoendesha gari hujipatia ushupavu na ushujaa nadra. Hayo humfanya dereva awe na mwendo kasi wa ajabu. Mwendokasi ni sababu kuu nchini Kenya ya kutokea kwa ajali. Watu wengi hupenda kusema kuwa wanaharaka na haraka zao huwapeleka jehanamu pasi na kujua kuwa mwendokasi wakati mmoja. Mwendo kasi unaweza kuthibitiwa kwa kueka vituo vya ukaguaji wa ratiba za magari ya abiria. Vilevile kutofuata alama za barabarani ni sababu nyingine inayopandisha idadi ya ajali barabarani. Wizara ya uchukuzi na miundo msingi imeweka mabango barabarani kuonyesha kasi inayofaa au jihadhari na utelezi wa barabara ilhali watu hawafuati haya hupunguza idadi hizi magari yote sharti yatiwe yadhibiti mwendo na wizara ya uchukuzi ihimizwe iwe ikiyakagua kila kuchao. Vyombo vya chakavu kutokana na hali ngumu ya maisha limechangia sehemu kubwa kwa sababu ya ajali nchini. Mtu anaweza kupeleka gari lake gereji na kulipa pesa kidogo na mekanika hao wamwekee vyombo chakavu kwa kuwa amewalipa pesa kidogo. Baada ya ajali watu wengi husema kuwa breki ya gari hilo ilikuwa imekataa kufanya ndiposa ajali ikatokea. Kwa kuepuka hili serikali ipunguze bei ya bidhaa za magari. Katika nchi yetu ya Kenya kila mahali pana barabara mbovu si Machakos, si Kiambu, si Nakuru, si Naivasha wala Mombasa. Barabara huwa na mabonde na huwa zina mashimo na kusababisha ajali. Barabara hizi huwa na kasoro hizi maana hazijakarabitiwa kukaa muda mrefu. Serikali inaweza kupunguza ajali kukikarabati kila mara na kuweka matuta katika kila barabara. Hata pia barabara kuwa finyu husababisha ajali barabarani maana magari huwa mengi na pia kila mmoja huwa na haraka zake. Kila mtu atataka kuwania na kusababisha mgongano wa magari na vifo kutokea. Lazima barabara zipanuliwe kwa sababu za kupunguza msongamano wa magari. Jambo lingine linalosababisha ajali na wasimamia sheria kutotaka ushirikiano. Wasimamia sheria hufika muda na kugoma kufanya kazi mpaka wapewe hongo au bakshishi. Jambo hili linaweza kusababisha upitaji wa vifaa haramu na hata pia madawa ya kulevya. Serikali inaweza kupunguza hili kwa kutuma wachunguzi wa kuwafuatilia wasimamizi wa sheria wanaotaka hongo na kuadhibiwa vikali na hata pia kufutwa kazi. Vilevile udereva bila mafunzo ya taaluma ya kuendesha magari husababisha ajali. Watu wengi huona kuwa wanaweza kuendesha gari bila mafunzo, hujiona kuwa wameshakuwa bingwa ilhali hajui mambo mengi ya barabarani. Nchini Kenya kuna vyuo vikuu vinavyo fundisha taaluma hii kama UNIK, NDOVU, AA, ISTIQAMA na BUDGET mtu kujisajili huona ni upotevu wa muda. Kuepuka ajali madereva wasome taaluma ya uendeshaji wa magari kwa lazima. Hata hivyo pia giza usiku husababisha ajali. Magari huwa na taa za mbele na nyuma lakini huwa hazikidhi haja vizuri. Baada ya saa kumi na mbili jioni hujulikana kuwa duniani huwa mna giza totoro. Basi giza hilo linaweza kusababisha ajali kubwa. Kutotaka kutokea kwa ajali serikali itengeneze mataa makubwa barabarani ili kuepuka vifo vya watu wasio na hatia. Kubeba abiria zaidi ya kiwango cha kawaida pia hueza kusababisha ajali. Hasahasa katika daladala wakati huu wa uviko wa Covid 19, watu au abiria wanafaa wasizidi zaidi ya wanane ilhali daladala kadhaa zinaweza kubeba zaidi ya wanane ili wapate pesa kiurahisi bila ya kujua au kupuuza kuwa wanasambaza uviko huu wa covid-19. Serikali inaweza kupunguza ajali kwa kueka usimamizi wingi na kuwaeka kila kituo ili kuangalia magari yanayokiuka sheria hiyo. Kabla ya kalamu yangu kuisha wino ningependa kuwaambia serikali kuzikarabati barabara kila mara, kuzifanya barabara kuwa kubwa, kuzifanya alama za barabarani kuonekana, kujenga matuta barabarani na kuwalipa wasimamia sheria wakati mwafaka. Vile vile madereva wapewe sheria zinazokataza ulevi, kutoendesha kwa mwendo wa kasi, wafuate alama za barabarani , madereva wa pikipiki na abiria wake wote wavae helmeti na kutoendesha magari usiku· Abiria pia wasikimbilie magari, wafunge mishipi wakiwa safarini na wanaotembea kwa miguu wajengewe vipitio vya juu.
ni wakati gani mtu huskia mlegevu anapoendesha gari
{ "text": [ "anapokunywa pombe" ] }
0171_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni kadhia lenye madhara mengi na hutokea ghafla. Ajali huwa haitokei kisadfa bali hutokea kwa sababu ya binadamu kupuuza mambo fulani. Ajali za barabarani husababishwa na kutofuata alama za barabarani, kutotia sheria za uendeshaji gari barabarani, kupuuza kwa madereva wengine na uendeshaji gari bila ya vyeti wala tajiriba ya uendeshaji gari. Aidha ajali husababishwa na ubovu wa magari na kutowajibika kwa madereva, watembeaji na waendeshaji pikipiki. Kuna aina nyingi za ajali za barabarani. Mathalani ajali za baiskeli, ajali za malori, ajali za bodaboda , ajali za mikokoteni, ajali za matatu, ajali za gari ndogo na ajali za mabasi. Ajali nyingi hutokea nchini Kenya. Unajua kisa na maana? Hata hivyo, penye nia pana njia, ajali za barabarani nchini Kenya zinaweza kupunguzwa kwa kutumia mikakati ifuatayo: Awali kabisa ajali hutokea kwa sababu ya ulevi na matumizi ya mihadarati mengine. Ulevi humfanya binadamu aone vitu mara mbili na kumfanya awe kama amelala yaani mlegevulegevu asiyeweza kutoa uamuzi wa dharura. Mambo haya humfanya dereva asababishe ajali aidha agonge gari au binadamu mwenzake au gari lipinduke. Mlevi anapoendesha gari hujipatia ushupavu na ushujaa nadra. Hayo humfanya dereva awe na mwendo kasi wa ajabu. Mwendokasi ni sababu kuu nchini Kenya ya kutokea kwa ajali. Watu wengi hupenda kusema kuwa wanaharaka na haraka zao huwapeleka jehanamu pasi na kujua kuwa mwendokasi wakati mmoja. Mwendo kasi unaweza kuthibitiwa kwa kueka vituo vya ukaguaji wa ratiba za magari ya abiria. Vilevile kutofuata alama za barabarani ni sababu nyingine inayopandisha idadi ya ajali barabarani. Wizara ya uchukuzi na miundo msingi imeweka mabango barabarani kuonyesha kasi inayofaa au jihadhari na utelezi wa barabara ilhali watu hawafuati haya hupunguza idadi hizi magari yote sharti yatiwe yadhibiti mwendo na wizara ya uchukuzi ihimizwe iwe ikiyakagua kila kuchao. Vyombo vya chakavu kutokana na hali ngumu ya maisha limechangia sehemu kubwa kwa sababu ya ajali nchini. Mtu anaweza kupeleka gari lake gereji na kulipa pesa kidogo na mekanika hao wamwekee vyombo chakavu kwa kuwa amewalipa pesa kidogo. Baada ya ajali watu wengi husema kuwa breki ya gari hilo ilikuwa imekataa kufanya ndiposa ajali ikatokea. Kwa kuepuka hili serikali ipunguze bei ya bidhaa za magari. Katika nchi yetu ya Kenya kila mahali pana barabara mbovu si Machakos, si Kiambu, si Nakuru, si Naivasha wala Mombasa. Barabara huwa na mabonde na huwa zina mashimo na kusababisha ajali. Barabara hizi huwa na kasoro hizi maana hazijakarabitiwa kukaa muda mrefu. Serikali inaweza kupunguza ajali kukikarabati kila mara na kuweka matuta katika kila barabara. Hata pia barabara kuwa finyu husababisha ajali barabarani maana magari huwa mengi na pia kila mmoja huwa na haraka zake. Kila mtu atataka kuwania na kusababisha mgongano wa magari na vifo kutokea. Lazima barabara zipanuliwe kwa sababu za kupunguza msongamano wa magari. Jambo lingine linalosababisha ajali na wasimamia sheria kutotaka ushirikiano. Wasimamia sheria hufika muda na kugoma kufanya kazi mpaka wapewe hongo au bakshishi. Jambo hili linaweza kusababisha upitaji wa vifaa haramu na hata pia madawa ya kulevya. Serikali inaweza kupunguza hili kwa kutuma wachunguzi wa kuwafuatilia wasimamizi wa sheria wanaotaka hongo na kuadhibiwa vikali na hata pia kufutwa kazi. Vilevile udereva bila mafunzo ya taaluma ya kuendesha magari husababisha ajali. Watu wengi huona kuwa wanaweza kuendesha gari bila mafunzo, hujiona kuwa wameshakuwa bingwa ilhali hajui mambo mengi ya barabarani. Nchini Kenya kuna vyuo vikuu vinavyo fundisha taaluma hii kama UNIK, NDOVU, AA, ISTIQAMA na BUDGET mtu kujisajili huona ni upotevu wa muda. Kuepuka ajali madereva wasome taaluma ya uendeshaji wa magari kwa lazima. Hata hivyo pia giza usiku husababisha ajali. Magari huwa na taa za mbele na nyuma lakini huwa hazikidhi haja vizuri. Baada ya saa kumi na mbili jioni hujulikana kuwa duniani huwa mna giza totoro. Basi giza hilo linaweza kusababisha ajali kubwa. Kutotaka kutokea kwa ajali serikali itengeneze mataa makubwa barabarani ili kuepuka vifo vya watu wasio na hatia. Kubeba abiria zaidi ya kiwango cha kawaida pia hueza kusababisha ajali. Hasahasa katika daladala wakati huu wa uviko wa Covid 19, watu au abiria wanafaa wasizidi zaidi ya wanane ilhali daladala kadhaa zinaweza kubeba zaidi ya wanane ili wapate pesa kiurahisi bila ya kujua au kupuuza kuwa wanasambaza uviko huu wa covid-19. Serikali inaweza kupunguza ajali kwa kueka usimamizi wingi na kuwaeka kila kituo ili kuangalia magari yanayokiuka sheria hiyo. Kabla ya kalamu yangu kuisha wino ningependa kuwaambia serikali kuzikarabati barabara kila mara, kuzifanya barabara kuwa kubwa, kuzifanya alama za barabarani kuonekana, kujenga matuta barabarani na kuwalipa wasimamia sheria wakati mwafaka. Vile vile madereva wapewe sheria zinazokataza ulevi, kutoendesha kwa mwendo wa kasi, wafuate alama za barabarani , madereva wa pikipiki na abiria wake wote wavae helmeti na kutoendesha magari usiku· Abiria pia wasikimbilie magari, wafunge mishipi wakiwa safarini na wanaotembea kwa miguu wajengewe vipitio vya juu.
ni vipi ajali za barabara zinaweza kupunguzwa
{ "text": [ "barabara ziwe katika hali nzuri na madereva kufuata sheria" ] }
0172_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Masomo ya kiufundi ni masomo ambayo yanapatia watu ujuzi wa kufanya kazi kwa mkono viwandani au kujiajiri mwenyewe. Masomo haya huwafanya watu kuwa wabunifu katika kazi mbalimbali ambazo hupunguza fikira potovu kama vile uhalifu wizi na ubakaji. Masomo yenyewe ni kama: Useremala, Uashi, Sayansi kimu, Ujenzi, Umekanika na mengine mengi. Watu hujielewa na kujihudumia wenyewe kupitia masomo haya. Maendeleo katika jamii huongezeka, kila mmoja anajiingizia fedha na kuongeza uchumi wa nchi. Umeme, vyakula aina ainati, nguo na mifugo huwa mengi si haba. Hata hivyo, baadhi ya wanafunzi hawayapendi kwa sababu ya: Awali, wazazi, walimu na jamii kwa ujumla husisitiza wanafunzi wafanye bidii kwa masomo ya kiakademia kama vile: Kemia, Biolojia, Fizikia, Jiografia bidii kwani wanafikiri ndiyo njia pekee na bora zaidi ya kuwapatia riziki nono kila siku. Wamesahau kuwa mchelea mwana kulia hulia mwenyewe. Wamesahau kuwa wanafunzi wa shule za upili ambayo hawayapendi masomo yote ya kiakademia. Aidha athari ya mashauri yao ni kuwafanya wanafunzi waepuke masomo ya kiufundi. Pili, baadhi ya wanajamii wanafikira potovu kuwa huwezi kufanikiwa kwa masomo ya kiufundi. Tikia hizi huwafanya wanagenzi kuyaona masomo haya kuwa magumu. Masomo kama vile masomo ya umeme, ujenzi, uchoraji huchukuliwa kazi hizi ngumu na nzito kwani waashi hubeba mawe na kukoroga simiti. Waashi huonekana kuwa wachafu, saruji mwilini na kuyeruhiwa na vifaa wakati wa ujenzi. Jasho na kutoa uvundo mwilini. Tatu,hapajakuwa na ngazi bayana za kupandia masomo haya ambayo inaonyesha mwanafunzi anastahili kupanda vidaraja gani hadi chuo kikuu. Kuna ukosefu wa utaratibu katika angazi tofauti kwani masomo ya kiufundi hayana katika darasa la kwanza bali huanzia katika shule za upili ambapo fikira za waliofanikiwa pekee au waliofaulu katika mtihani wa shule za upili ndio wanaochukuliwa. Jambo hili limedunisha hali ya masomo ya kiufundi na kufanya wanafunzi wa shule za upili kuyachukia. Aidha jamii kupitia utamaduni wa Kenya hudhalilisha kazi za mikono na kuzipigia debe kazi za maofisini. Taaluma zinazopendwa na watu ainati ni kuhesabu pesa mabenkini, udaktari, unahodha na nyingi nyinginezo. Watu wanaozifanya huonekana kuwa walalahoi wasiojielewa. Jamii huzitetea na kuzinyanyua kazi za ofisini kama vile ni mashairi mangapi yanasifu useremala? Hakuna, lakini yupo mengi yanayohimiza wasome kwa bidii. Utamaduni huu umefanya wanagenzi wengi wayakimbilie masomo kama Fiziki na kuyahepa masomo ya kiufundi mfano zaraa. Zaidi ya hayo, baadhi ya wanafunzi ni wavivu kwani hawataki kujichokesha. Hii ni kwa sababu ya mazingira waliolelewa mfano waliokulia mjini ambako hakuna mashamba. Watoto hawa huchukia somo la kilimo kwani aliyazoea vya kunyongwa vya kuchinja haviwezi. Wao huwa hawataki kujichafua kwa mbolea, udongo, michanga, kulima, kupalilia mbegu na hata kunyunyizia maji. Wanafunzi hawa hujiona warembo na wenye thamani kuliko wote mashambani. Minghairi ya hayo, masomo ya kiufundi huhitaji mtaji. Si walimu au wazazi wote wanafedha za kuwalipia watoto wao au mwalimu kujitolea kuwafundisha watoto na kuwanunulia vifaa kama: msumeno, beleshi, bilisi, misumari na mbao wanaosomea useremala unahitaji fedha za kutosha ili wanafunzi waweze kusoma Pia, baadhi ya wanafunzi huanguka masomo ya kiakademia. Mwanafunzi asiyependa Biolojia ni vigumu apende Sayansi kimu kwani mwanafunzi asiyejua be wala te hawezi kuyapenda masomo ya kiufundi mfano: kupima, kushona, kutengeneza vifaa. Katika hisabati ikiwa haelewi basi hujumuisha, kutoa au kuongeza huwa vigumu kwake. Kando ya hayo, vyuo vingine vya kiufundi vimegeuzwa kuwa vyuo vikuu. Chuo cha anwari cha Mombasa kilikuwa cha ufundi ambapo kilikuwa na wanafunzi tele na wenye hamu ya kutaka kujuwa zaidi. Ukosefu wa fedha, walimu wa kutosha na vifaa kilifungwa na kusahauliwa. Enzini chuo hiki kilikuwa kinatambulika kote nchini. Nikiongezea masomo ya kiufundi hayana mvuto kwa sababu wanaoyafanya huonekana kuwa hawana elimu au cheo katika jamii kwa baadhi ya watu somo kama la umekanika hufanyiwa katika mazingira machafu wakati wanafizikia wakienda maabara mazuri yenye ulimbwende kutani. Kwa upande mwingine, adinasi hufukuzana na ng'ombe shumbani ili kumkama maziwa. Wanaoandamana kwa somo la kilimo hujipata wanarukiwa na tope mashambani au wakiwa na kibaina kigumu cha kufukuzana na mifugo katika hekaheka za kuwatibu. Nikimalizia, nitadokeza athari na gharama ya masomo ya kiufundi. Gharama ya masomo haya huwa juu mfano, Sayansi kimu inahitaji cherehani, jokofu, sindano, nyuzi, sahani na kijiko. Aidha lazima awe na vitabu vya matini na madaftari. Masomo ya kiakademia kama Kiswahili huhitaji vitabu peke yake. Hatimaye nitasema kuwa masomo haya yote yanafaa yafanywe ya lazima kama masomo ya kiakademia. Bure kwani kuna adinasi wasiojiweza· Zawadi zigawanywe kwa waliofaulu ili kuwatia moyo wengine na kuwavutia wanafunzi waliozidharau. Vifaa viganyiziwe na serikali au wanajamii. Mahali pa kugomea pawe penye nafasi ya kutosha na mwisho walimu, wazazi, wanajamii na wanafunzi wahimizane kuyasoma masomo ya kiufundi.
mchelea mwana kulia hufanya nini
{ "text": [ "hulia mwenyewe" ] }
0172_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Masomo ya kiufundi ni masomo ambayo yanapatia watu ujuzi wa kufanya kazi kwa mkono viwandani au kujiajiri mwenyewe. Masomo haya huwafanya watu kuwa wabunifu katika kazi mbalimbali ambazo hupunguza fikira potovu kama vile uhalifu wizi na ubakaji. Masomo yenyewe ni kama: Useremala, Uashi, Sayansi kimu, Ujenzi, Umekanika na mengine mengi. Watu hujielewa na kujihudumia wenyewe kupitia masomo haya. Maendeleo katika jamii huongezeka, kila mmoja anajiingizia fedha na kuongeza uchumi wa nchi. Umeme, vyakula aina ainati, nguo na mifugo huwa mengi si haba. Hata hivyo, baadhi ya wanafunzi hawayapendi kwa sababu ya: Awali, wazazi, walimu na jamii kwa ujumla husisitiza wanafunzi wafanye bidii kwa masomo ya kiakademia kama vile: Kemia, Biolojia, Fizikia, Jiografia bidii kwani wanafikiri ndiyo njia pekee na bora zaidi ya kuwapatia riziki nono kila siku. Wamesahau kuwa mchelea mwana kulia hulia mwenyewe. Wamesahau kuwa wanafunzi wa shule za upili ambayo hawayapendi masomo yote ya kiakademia. Aidha athari ya mashauri yao ni kuwafanya wanafunzi waepuke masomo ya kiufundi. Pili, baadhi ya wanajamii wanafikira potovu kuwa huwezi kufanikiwa kwa masomo ya kiufundi. Tikia hizi huwafanya wanagenzi kuyaona masomo haya kuwa magumu. Masomo kama vile masomo ya umeme, ujenzi, uchoraji huchukuliwa kazi hizi ngumu na nzito kwani waashi hubeba mawe na kukoroga simiti. Waashi huonekana kuwa wachafu, saruji mwilini na kuyeruhiwa na vifaa wakati wa ujenzi. Jasho na kutoa uvundo mwilini. Tatu,hapajakuwa na ngazi bayana za kupandia masomo haya ambayo inaonyesha mwanafunzi anastahili kupanda vidaraja gani hadi chuo kikuu. Kuna ukosefu wa utaratibu katika angazi tofauti kwani masomo ya kiufundi hayana katika darasa la kwanza bali huanzia katika shule za upili ambapo fikira za waliofanikiwa pekee au waliofaulu katika mtihani wa shule za upili ndio wanaochukuliwa. Jambo hili limedunisha hali ya masomo ya kiufundi na kufanya wanafunzi wa shule za upili kuyachukia. Aidha jamii kupitia utamaduni wa Kenya hudhalilisha kazi za mikono na kuzipigia debe kazi za maofisini. Taaluma zinazopendwa na watu ainati ni kuhesabu pesa mabenkini, udaktari, unahodha na nyingi nyinginezo. Watu wanaozifanya huonekana kuwa walalahoi wasiojielewa. Jamii huzitetea na kuzinyanyua kazi za ofisini kama vile ni mashairi mangapi yanasifu useremala? Hakuna, lakini yupo mengi yanayohimiza wasome kwa bidii. Utamaduni huu umefanya wanagenzi wengi wayakimbilie masomo kama Fiziki na kuyahepa masomo ya kiufundi mfano zaraa. Zaidi ya hayo, baadhi ya wanafunzi ni wavivu kwani hawataki kujichokesha. Hii ni kwa sababu ya mazingira waliolelewa mfano waliokulia mjini ambako hakuna mashamba. Watoto hawa huchukia somo la kilimo kwani aliyazoea vya kunyongwa vya kuchinja haviwezi. Wao huwa hawataki kujichafua kwa mbolea, udongo, michanga, kulima, kupalilia mbegu na hata kunyunyizia maji. Wanafunzi hawa hujiona warembo na wenye thamani kuliko wote mashambani. Minghairi ya hayo, masomo ya kiufundi huhitaji mtaji. Si walimu au wazazi wote wanafedha za kuwalipia watoto wao au mwalimu kujitolea kuwafundisha watoto na kuwanunulia vifaa kama: msumeno, beleshi, bilisi, misumari na mbao wanaosomea useremala unahitaji fedha za kutosha ili wanafunzi waweze kusoma Pia, baadhi ya wanafunzi huanguka masomo ya kiakademia. Mwanafunzi asiyependa Biolojia ni vigumu apende Sayansi kimu kwani mwanafunzi asiyejua be wala te hawezi kuyapenda masomo ya kiufundi mfano: kupima, kushona, kutengeneza vifaa. Katika hisabati ikiwa haelewi basi hujumuisha, kutoa au kuongeza huwa vigumu kwake. Kando ya hayo, vyuo vingine vya kiufundi vimegeuzwa kuwa vyuo vikuu. Chuo cha anwari cha Mombasa kilikuwa cha ufundi ambapo kilikuwa na wanafunzi tele na wenye hamu ya kutaka kujuwa zaidi. Ukosefu wa fedha, walimu wa kutosha na vifaa kilifungwa na kusahauliwa. Enzini chuo hiki kilikuwa kinatambulika kote nchini. Nikiongezea masomo ya kiufundi hayana mvuto kwa sababu wanaoyafanya huonekana kuwa hawana elimu au cheo katika jamii kwa baadhi ya watu somo kama la umekanika hufanyiwa katika mazingira machafu wakati wanafizikia wakienda maabara mazuri yenye ulimbwende kutani. Kwa upande mwingine, adinasi hufukuzana na ng'ombe shumbani ili kumkama maziwa. Wanaoandamana kwa somo la kilimo hujipata wanarukiwa na tope mashambani au wakiwa na kibaina kigumu cha kufukuzana na mifugo katika hekaheka za kuwatibu. Nikimalizia, nitadokeza athari na gharama ya masomo ya kiufundi. Gharama ya masomo haya huwa juu mfano, Sayansi kimu inahitaji cherehani, jokofu, sindano, nyuzi, sahani na kijiko. Aidha lazima awe na vitabu vya matini na madaftari. Masomo ya kiakademia kama Kiswahili huhitaji vitabu peke yake. Hatimaye nitasema kuwa masomo haya yote yanafaa yafanywe ya lazima kama masomo ya kiakademia. Bure kwani kuna adinasi wasiojiweza· Zawadi zigawanywe kwa waliofaulu ili kuwatia moyo wengine na kuwavutia wanafunzi waliozidharau. Vifaa viganyiziwe na serikali au wanajamii. Mahali pa kugomea pawe penye nafasi ya kutosha na mwisho walimu, wazazi, wanajamii na wanafunzi wahimizane kuyasoma masomo ya kiufundi.
Ni kina nani huonekana kuwa wachafu
{ "text": [ "waashi" ] }
0172_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Masomo ya kiufundi ni masomo ambayo yanapatia watu ujuzi wa kufanya kazi kwa mkono viwandani au kujiajiri mwenyewe. Masomo haya huwafanya watu kuwa wabunifu katika kazi mbalimbali ambazo hupunguza fikira potovu kama vile uhalifu wizi na ubakaji. Masomo yenyewe ni kama: Useremala, Uashi, Sayansi kimu, Ujenzi, Umekanika na mengine mengi. Watu hujielewa na kujihudumia wenyewe kupitia masomo haya. Maendeleo katika jamii huongezeka, kila mmoja anajiingizia fedha na kuongeza uchumi wa nchi. Umeme, vyakula aina ainati, nguo na mifugo huwa mengi si haba. Hata hivyo, baadhi ya wanafunzi hawayapendi kwa sababu ya: Awali, wazazi, walimu na jamii kwa ujumla husisitiza wanafunzi wafanye bidii kwa masomo ya kiakademia kama vile: Kemia, Biolojia, Fizikia, Jiografia bidii kwani wanafikiri ndiyo njia pekee na bora zaidi ya kuwapatia riziki nono kila siku. Wamesahau kuwa mchelea mwana kulia hulia mwenyewe. Wamesahau kuwa wanafunzi wa shule za upili ambayo hawayapendi masomo yote ya kiakademia. Aidha athari ya mashauri yao ni kuwafanya wanafunzi waepuke masomo ya kiufundi. Pili, baadhi ya wanajamii wanafikira potovu kuwa huwezi kufanikiwa kwa masomo ya kiufundi. Tikia hizi huwafanya wanagenzi kuyaona masomo haya kuwa magumu. Masomo kama vile masomo ya umeme, ujenzi, uchoraji huchukuliwa kazi hizi ngumu na nzito kwani waashi hubeba mawe na kukoroga simiti. Waashi huonekana kuwa wachafu, saruji mwilini na kuyeruhiwa na vifaa wakati wa ujenzi. Jasho na kutoa uvundo mwilini. Tatu,hapajakuwa na ngazi bayana za kupandia masomo haya ambayo inaonyesha mwanafunzi anastahili kupanda vidaraja gani hadi chuo kikuu. Kuna ukosefu wa utaratibu katika angazi tofauti kwani masomo ya kiufundi hayana katika darasa la kwanza bali huanzia katika shule za upili ambapo fikira za waliofanikiwa pekee au waliofaulu katika mtihani wa shule za upili ndio wanaochukuliwa. Jambo hili limedunisha hali ya masomo ya kiufundi na kufanya wanafunzi wa shule za upili kuyachukia. Aidha jamii kupitia utamaduni wa Kenya hudhalilisha kazi za mikono na kuzipigia debe kazi za maofisini. Taaluma zinazopendwa na watu ainati ni kuhesabu pesa mabenkini, udaktari, unahodha na nyingi nyinginezo. Watu wanaozifanya huonekana kuwa walalahoi wasiojielewa. Jamii huzitetea na kuzinyanyua kazi za ofisini kama vile ni mashairi mangapi yanasifu useremala? Hakuna, lakini yupo mengi yanayohimiza wasome kwa bidii. Utamaduni huu umefanya wanagenzi wengi wayakimbilie masomo kama Fiziki na kuyahepa masomo ya kiufundi mfano zaraa. Zaidi ya hayo, baadhi ya wanafunzi ni wavivu kwani hawataki kujichokesha. Hii ni kwa sababu ya mazingira waliolelewa mfano waliokulia mjini ambako hakuna mashamba. Watoto hawa huchukia somo la kilimo kwani aliyazoea vya kunyongwa vya kuchinja haviwezi. Wao huwa hawataki kujichafua kwa mbolea, udongo, michanga, kulima, kupalilia mbegu na hata kunyunyizia maji. Wanafunzi hawa hujiona warembo na wenye thamani kuliko wote mashambani. Minghairi ya hayo, masomo ya kiufundi huhitaji mtaji. Si walimu au wazazi wote wanafedha za kuwalipia watoto wao au mwalimu kujitolea kuwafundisha watoto na kuwanunulia vifaa kama: msumeno, beleshi, bilisi, misumari na mbao wanaosomea useremala unahitaji fedha za kutosha ili wanafunzi waweze kusoma Pia, baadhi ya wanafunzi huanguka masomo ya kiakademia. Mwanafunzi asiyependa Biolojia ni vigumu apende Sayansi kimu kwani mwanafunzi asiyejua be wala te hawezi kuyapenda masomo ya kiufundi mfano: kupima, kushona, kutengeneza vifaa. Katika hisabati ikiwa haelewi basi hujumuisha, kutoa au kuongeza huwa vigumu kwake. Kando ya hayo, vyuo vingine vya kiufundi vimegeuzwa kuwa vyuo vikuu. Chuo cha anwari cha Mombasa kilikuwa cha ufundi ambapo kilikuwa na wanafunzi tele na wenye hamu ya kutaka kujuwa zaidi. Ukosefu wa fedha, walimu wa kutosha na vifaa kilifungwa na kusahauliwa. Enzini chuo hiki kilikuwa kinatambulika kote nchini. Nikiongezea masomo ya kiufundi hayana mvuto kwa sababu wanaoyafanya huonekana kuwa hawana elimu au cheo katika jamii kwa baadhi ya watu somo kama la umekanika hufanyiwa katika mazingira machafu wakati wanafizikia wakienda maabara mazuri yenye ulimbwende kutani. Kwa upande mwingine, adinasi hufukuzana na ng'ombe shumbani ili kumkama maziwa. Wanaoandamana kwa somo la kilimo hujipata wanarukiwa na tope mashambani au wakiwa na kibaina kigumu cha kufukuzana na mifugo katika hekaheka za kuwatibu. Nikimalizia, nitadokeza athari na gharama ya masomo ya kiufundi. Gharama ya masomo haya huwa juu mfano, Sayansi kimu inahitaji cherehani, jokofu, sindano, nyuzi, sahani na kijiko. Aidha lazima awe na vitabu vya matini na madaftari. Masomo ya kiakademia kama Kiswahili huhitaji vitabu peke yake. Hatimaye nitasema kuwa masomo haya yote yanafaa yafanywe ya lazima kama masomo ya kiakademia. Bure kwani kuna adinasi wasiojiweza· Zawadi zigawanywe kwa waliofaulu ili kuwatia moyo wengine na kuwavutia wanafunzi waliozidharau. Vifaa viganyiziwe na serikali au wanajamii. Mahali pa kugomea pawe penye nafasi ya kutosha na mwisho walimu, wazazi, wanajamii na wanafunzi wahimizane kuyasoma masomo ya kiufundi.
Mbona baadhi ya wanafunzi huwa wavivu
{ "text": [ "hawataki kujichokesha" ] }
0172_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Masomo ya kiufundi ni masomo ambayo yanapatia watu ujuzi wa kufanya kazi kwa mkono viwandani au kujiajiri mwenyewe. Masomo haya huwafanya watu kuwa wabunifu katika kazi mbalimbali ambazo hupunguza fikira potovu kama vile uhalifu wizi na ubakaji. Masomo yenyewe ni kama: Useremala, Uashi, Sayansi kimu, Ujenzi, Umekanika na mengine mengi. Watu hujielewa na kujihudumia wenyewe kupitia masomo haya. Maendeleo katika jamii huongezeka, kila mmoja anajiingizia fedha na kuongeza uchumi wa nchi. Umeme, vyakula aina ainati, nguo na mifugo huwa mengi si haba. Hata hivyo, baadhi ya wanafunzi hawayapendi kwa sababu ya: Awali, wazazi, walimu na jamii kwa ujumla husisitiza wanafunzi wafanye bidii kwa masomo ya kiakademia kama vile: Kemia, Biolojia, Fizikia, Jiografia bidii kwani wanafikiri ndiyo njia pekee na bora zaidi ya kuwapatia riziki nono kila siku. Wamesahau kuwa mchelea mwana kulia hulia mwenyewe. Wamesahau kuwa wanafunzi wa shule za upili ambayo hawayapendi masomo yote ya kiakademia. Aidha athari ya mashauri yao ni kuwafanya wanafunzi waepuke masomo ya kiufundi. Pili, baadhi ya wanajamii wanafikira potovu kuwa huwezi kufanikiwa kwa masomo ya kiufundi. Tikia hizi huwafanya wanagenzi kuyaona masomo haya kuwa magumu. Masomo kama vile masomo ya umeme, ujenzi, uchoraji huchukuliwa kazi hizi ngumu na nzito kwani waashi hubeba mawe na kukoroga simiti. Waashi huonekana kuwa wachafu, saruji mwilini na kuyeruhiwa na vifaa wakati wa ujenzi. Jasho na kutoa uvundo mwilini. Tatu,hapajakuwa na ngazi bayana za kupandia masomo haya ambayo inaonyesha mwanafunzi anastahili kupanda vidaraja gani hadi chuo kikuu. Kuna ukosefu wa utaratibu katika angazi tofauti kwani masomo ya kiufundi hayana katika darasa la kwanza bali huanzia katika shule za upili ambapo fikira za waliofanikiwa pekee au waliofaulu katika mtihani wa shule za upili ndio wanaochukuliwa. Jambo hili limedunisha hali ya masomo ya kiufundi na kufanya wanafunzi wa shule za upili kuyachukia. Aidha jamii kupitia utamaduni wa Kenya hudhalilisha kazi za mikono na kuzipigia debe kazi za maofisini. Taaluma zinazopendwa na watu ainati ni kuhesabu pesa mabenkini, udaktari, unahodha na nyingi nyinginezo. Watu wanaozifanya huonekana kuwa walalahoi wasiojielewa. Jamii huzitetea na kuzinyanyua kazi za ofisini kama vile ni mashairi mangapi yanasifu useremala? Hakuna, lakini yupo mengi yanayohimiza wasome kwa bidii. Utamaduni huu umefanya wanagenzi wengi wayakimbilie masomo kama Fiziki na kuyahepa masomo ya kiufundi mfano zaraa. Zaidi ya hayo, baadhi ya wanafunzi ni wavivu kwani hawataki kujichokesha. Hii ni kwa sababu ya mazingira waliolelewa mfano waliokulia mjini ambako hakuna mashamba. Watoto hawa huchukia somo la kilimo kwani aliyazoea vya kunyongwa vya kuchinja haviwezi. Wao huwa hawataki kujichafua kwa mbolea, udongo, michanga, kulima, kupalilia mbegu na hata kunyunyizia maji. Wanafunzi hawa hujiona warembo na wenye thamani kuliko wote mashambani. Minghairi ya hayo, masomo ya kiufundi huhitaji mtaji. Si walimu au wazazi wote wanafedha za kuwalipia watoto wao au mwalimu kujitolea kuwafundisha watoto na kuwanunulia vifaa kama: msumeno, beleshi, bilisi, misumari na mbao wanaosomea useremala unahitaji fedha za kutosha ili wanafunzi waweze kusoma Pia, baadhi ya wanafunzi huanguka masomo ya kiakademia. Mwanafunzi asiyependa Biolojia ni vigumu apende Sayansi kimu kwani mwanafunzi asiyejua be wala te hawezi kuyapenda masomo ya kiufundi mfano: kupima, kushona, kutengeneza vifaa. Katika hisabati ikiwa haelewi basi hujumuisha, kutoa au kuongeza huwa vigumu kwake. Kando ya hayo, vyuo vingine vya kiufundi vimegeuzwa kuwa vyuo vikuu. Chuo cha anwari cha Mombasa kilikuwa cha ufundi ambapo kilikuwa na wanafunzi tele na wenye hamu ya kutaka kujuwa zaidi. Ukosefu wa fedha, walimu wa kutosha na vifaa kilifungwa na kusahauliwa. Enzini chuo hiki kilikuwa kinatambulika kote nchini. Nikiongezea masomo ya kiufundi hayana mvuto kwa sababu wanaoyafanya huonekana kuwa hawana elimu au cheo katika jamii kwa baadhi ya watu somo kama la umekanika hufanyiwa katika mazingira machafu wakati wanafizikia wakienda maabara mazuri yenye ulimbwende kutani. Kwa upande mwingine, adinasi hufukuzana na ng'ombe shumbani ili kumkama maziwa. Wanaoandamana kwa somo la kilimo hujipata wanarukiwa na tope mashambani au wakiwa na kibaina kigumu cha kufukuzana na mifugo katika hekaheka za kuwatibu. Nikimalizia, nitadokeza athari na gharama ya masomo ya kiufundi. Gharama ya masomo haya huwa juu mfano, Sayansi kimu inahitaji cherehani, jokofu, sindano, nyuzi, sahani na kijiko. Aidha lazima awe na vitabu vya matini na madaftari. Masomo ya kiakademia kama Kiswahili huhitaji vitabu peke yake. Hatimaye nitasema kuwa masomo haya yote yanafaa yafanywe ya lazima kama masomo ya kiakademia. Bure kwani kuna adinasi wasiojiweza· Zawadi zigawanywe kwa waliofaulu ili kuwatia moyo wengine na kuwavutia wanafunzi waliozidharau. Vifaa viganyiziwe na serikali au wanajamii. Mahali pa kugomea pawe penye nafasi ya kutosha na mwisho walimu, wazazi, wanajamii na wanafunzi wahimizane kuyasoma masomo ya kiufundi.
mbona masomo ya kiufundi hayana mvuto
{ "text": [ "ni kwa sababu wanaoyafanya huonekana kuwa hawana elimu" ] }
0172_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Masomo ya kiufundi ni masomo ambayo yanapatia watu ujuzi wa kufanya kazi kwa mkono viwandani au kujiajiri mwenyewe. Masomo haya huwafanya watu kuwa wabunifu katika kazi mbalimbali ambazo hupunguza fikira potovu kama vile uhalifu wizi na ubakaji. Masomo yenyewe ni kama: Useremala, Uashi, Sayansi kimu, Ujenzi, Umekanika na mengine mengi. Watu hujielewa na kujihudumia wenyewe kupitia masomo haya. Maendeleo katika jamii huongezeka, kila mmoja anajiingizia fedha na kuongeza uchumi wa nchi. Umeme, vyakula aina ainati, nguo na mifugo huwa mengi si haba. Hata hivyo, baadhi ya wanafunzi hawayapendi kwa sababu ya: Awali, wazazi, walimu na jamii kwa ujumla husisitiza wanafunzi wafanye bidii kwa masomo ya kiakademia kama vile: Kemia, Biolojia, Fizikia, Jiografia bidii kwani wanafikiri ndiyo njia pekee na bora zaidi ya kuwapatia riziki nono kila siku. Wamesahau kuwa mchelea mwana kulia hulia mwenyewe. Wamesahau kuwa wanafunzi wa shule za upili ambayo hawayapendi masomo yote ya kiakademia. Aidha athari ya mashauri yao ni kuwafanya wanafunzi waepuke masomo ya kiufundi. Pili, baadhi ya wanajamii wanafikira potovu kuwa huwezi kufanikiwa kwa masomo ya kiufundi. Tikia hizi huwafanya wanagenzi kuyaona masomo haya kuwa magumu. Masomo kama vile masomo ya umeme, ujenzi, uchoraji huchukuliwa kazi hizi ngumu na nzito kwani waashi hubeba mawe na kukoroga simiti. Waashi huonekana kuwa wachafu, saruji mwilini na kuyeruhiwa na vifaa wakati wa ujenzi. Jasho na kutoa uvundo mwilini. Tatu,hapajakuwa na ngazi bayana za kupandia masomo haya ambayo inaonyesha mwanafunzi anastahili kupanda vidaraja gani hadi chuo kikuu. Kuna ukosefu wa utaratibu katika angazi tofauti kwani masomo ya kiufundi hayana katika darasa la kwanza bali huanzia katika shule za upili ambapo fikira za waliofanikiwa pekee au waliofaulu katika mtihani wa shule za upili ndio wanaochukuliwa. Jambo hili limedunisha hali ya masomo ya kiufundi na kufanya wanafunzi wa shule za upili kuyachukia. Aidha jamii kupitia utamaduni wa Kenya hudhalilisha kazi za mikono na kuzipigia debe kazi za maofisini. Taaluma zinazopendwa na watu ainati ni kuhesabu pesa mabenkini, udaktari, unahodha na nyingi nyinginezo. Watu wanaozifanya huonekana kuwa walalahoi wasiojielewa. Jamii huzitetea na kuzinyanyua kazi za ofisini kama vile ni mashairi mangapi yanasifu useremala? Hakuna, lakini yupo mengi yanayohimiza wasome kwa bidii. Utamaduni huu umefanya wanagenzi wengi wayakimbilie masomo kama Fiziki na kuyahepa masomo ya kiufundi mfano zaraa. Zaidi ya hayo, baadhi ya wanafunzi ni wavivu kwani hawataki kujichokesha. Hii ni kwa sababu ya mazingira waliolelewa mfano waliokulia mjini ambako hakuna mashamba. Watoto hawa huchukia somo la kilimo kwani aliyazoea vya kunyongwa vya kuchinja haviwezi. Wao huwa hawataki kujichafua kwa mbolea, udongo, michanga, kulima, kupalilia mbegu na hata kunyunyizia maji. Wanafunzi hawa hujiona warembo na wenye thamani kuliko wote mashambani. Minghairi ya hayo, masomo ya kiufundi huhitaji mtaji. Si walimu au wazazi wote wanafedha za kuwalipia watoto wao au mwalimu kujitolea kuwafundisha watoto na kuwanunulia vifaa kama: msumeno, beleshi, bilisi, misumari na mbao wanaosomea useremala unahitaji fedha za kutosha ili wanafunzi waweze kusoma Pia, baadhi ya wanafunzi huanguka masomo ya kiakademia. Mwanafunzi asiyependa Biolojia ni vigumu apende Sayansi kimu kwani mwanafunzi asiyejua be wala te hawezi kuyapenda masomo ya kiufundi mfano: kupima, kushona, kutengeneza vifaa. Katika hisabati ikiwa haelewi basi hujumuisha, kutoa au kuongeza huwa vigumu kwake. Kando ya hayo, vyuo vingine vya kiufundi vimegeuzwa kuwa vyuo vikuu. Chuo cha anwari cha Mombasa kilikuwa cha ufundi ambapo kilikuwa na wanafunzi tele na wenye hamu ya kutaka kujuwa zaidi. Ukosefu wa fedha, walimu wa kutosha na vifaa kilifungwa na kusahauliwa. Enzini chuo hiki kilikuwa kinatambulika kote nchini. Nikiongezea masomo ya kiufundi hayana mvuto kwa sababu wanaoyafanya huonekana kuwa hawana elimu au cheo katika jamii kwa baadhi ya watu somo kama la umekanika hufanyiwa katika mazingira machafu wakati wanafizikia wakienda maabara mazuri yenye ulimbwende kutani. Kwa upande mwingine, adinasi hufukuzana na ng'ombe shumbani ili kumkama maziwa. Wanaoandamana kwa somo la kilimo hujipata wanarukiwa na tope mashambani au wakiwa na kibaina kigumu cha kufukuzana na mifugo katika hekaheka za kuwatibu. Nikimalizia, nitadokeza athari na gharama ya masomo ya kiufundi. Gharama ya masomo haya huwa juu mfano, Sayansi kimu inahitaji cherehani, jokofu, sindano, nyuzi, sahani na kijiko. Aidha lazima awe na vitabu vya matini na madaftari. Masomo ya kiakademia kama Kiswahili huhitaji vitabu peke yake. Hatimaye nitasema kuwa masomo haya yote yanafaa yafanywe ya lazima kama masomo ya kiakademia. Bure kwani kuna adinasi wasiojiweza· Zawadi zigawanywe kwa waliofaulu ili kuwatia moyo wengine na kuwavutia wanafunzi waliozidharau. Vifaa viganyiziwe na serikali au wanajamii. Mahali pa kugomea pawe penye nafasi ya kutosha na mwisho walimu, wazazi, wanajamii na wanafunzi wahimizane kuyasoma masomo ya kiufundi.
masomo yapi hupatia watu ujuzi wa kufanya kazi kwa mkono
{ "text": [ "masomo ya kiufundi" ] }
0173_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI BARABARANI NCHINI KENYA Aghalabu ajali hujulikana kama tukio lenye madhara linalotokea kighafla katika barabara. Kuna ajali ya aina nyingi kama vile ajali za jikoni, za ofisini, za majini, za shuleni, za nyumbani na za barabarani. Ajali za barabarani hutokea mara kwa mara. Ajali za barabarani zinaweza kuwa za pikipiki, za magari, za baiskeli, za malori, za magari ya uchukuzi , za mikokoteni na za malori ya petroli na za dizeli. Ajali za barabarani zina vyanzo vyake. Kwa vile chenye mwanzo kina mwisho, ningependa kujadili mikakati ya kupinga ajali barabarani nchini Kenya. Kwanza kabisa, wadau wanapaswa kuelimishwa kuhusu usalama barabarani na njia za kuboresha usalama huo. Waja wengi duniani hasa nchini Kenya hawakujaliwa kupata elimu na hivyo basi hawaelewi sheria za barabarani na maana yake. Serikali ya Kenya kupitia kwa wizara ya uchukuzi na miundo msingi yafaa kuwaelimisha adinasi sheria za barabarani ili kupunguza ajali. Wizara ya uchukuzi na miundo msingi na shirika la kitaifa la uchukuzi na usalama wa abiria linapaswa kuwaelimisha wadau kupitia runinga, tovuti, magazeti na redio. Pili, serikali inafaa kutengeneza mataa ya barabarani. Mataa haya husaidia kupunguza ajali barabarani. Kuna rangi tatu katika taa za barabarani nazo ni rangi ya nyekundu inayomaanisha kusimama kwa magari ili wapita njia wapate fursa ya kuvuka barabara, rangi ya manjano inayomaanisha kuwa tayari kwa madereva na rangi ya kijani kibichi inayomaanisha kuanza kuondoka kwa magari. Shirika la kitaifa la uchukuzi na usalama barabarani yafaa kuyaeka mataa haya barabarani kwa usalama wa madereva, abiria na wapita njia. Tatu, matumizi ya alama za barabara. Serikali ya Kenya inapaswa kutengeneza na kuweka alama za barabarani. Alama hizi ni kama vile; kuna bonde hapo mbele, kuna daraja, kuna mto, kuna kivuko au kuna uwezekano wa kupata wainyama wakivuka barabara. Alama za barabarani humsaidia dereva kupunguza mwendo wa kasi mithili ya suara na kupata tahadhari akiwa barabarani. Pia, madereva wanapaswa kupata usingizi vizuri. Ajali nyingi husababishwa na kutopata usingizi wa kutosha. Mja kwa kawaida anapaswa kulala kwa saa nane ili asiwe na uchovu wa aina wowote ule. Baadhi ya madereva hukosa usingizi kwa sababu ya kurauka alfajiri na mapema na kutoka kazini saa za usiku wa manane. Wao hulazimika kulala saa zinazopungua nane. Ni vyema madereva kupata usingizi wa kutosha ili kuzuia ajali barabarani. Hawa madereva wa umbali mrefu kwa mfano wanaoelekeza bidhaa kutoka Mombasa hadi Kampala. Kuambatana na haya, katika safari ya zaidi saa kumi na nane, kunapaswa kuwa na madereva zaidi ya wawili katika magari ya abiria· Madereva hawa wataweza kusaidiana katika uendeshaji wa mabasi baada ya saa sita. Hivi wataweza kupata usingizi na kuzuia ajali barabarani kwa sababu wakati mmoja anapopata usingizi na mwingine anapata fursa ya kushika usukani. Vilevile, serikali ya Kenya inapaswa kupiga marufuku safari za usiku kwa kuweka kafyu ya lazima inayoanza wakati giza inapoanza kuingia. Aghalabu safari hizi za masaa marefu huwa ni za usiku na hapo ndipo ajali hutokea mara nyingi kwa sababu ya giza totoro ambalo humfanya dereva asione vizuri anapoliendesha gari lake. Mbali na hayo mojawapo ya chanzo cha ajali barabarani ni gari kubeba abiria zaidi ya kiwango halali. Serikali inafaa kuweka sheria mpya na yenye makali itakayo adhibu madereva wanaobeba abiria zaidi ya kiwango cha kawaida. Ingawa sheria hizi zipo, magari bado huachiliwa na askari ambao hukubali hongo kutoka kwa madereva. Madereva hawa huwa na tamaa za fisi wanatafuta fedha za kuwahikimu huku wanasahau kuwa tamaa ilimuua fisi. Magari haya hubingiria na kusababisha maafa. Licha ya hayo, serikali sharti ijenge njia za wanaotembelea kwa miguu kwa sababu watembeaji wengi hugongwa na magari katika hekaheka za kupita barabara. Serikali ijenge njia juu na chini zitakazowawezesha wadau kuvuka barabara bila kuogopa kugongwa na gari au pikipiki. Zaidi ya hayo, serikali kupitia kwa wizara ya uchukuzi na miundo msingi inapaswa kuhimiza kufunga mishipi gari likiwa mwendoni. Serikali lazima itiliwe mkazo na askari wanafaa kuwekwa barabarani ili kuwashika na kuwatia mbaroni waja wasafiri bila ya kufunga mishipi. Mishipi hii huwazuia abiria kuponyoka katika viti vyao na kuumia endapo dereva anapiga breki kwa ghafla. Isitoshe, jamii inastahili kuhakikisha kuwa madereva wao ni heri wa afya. Madereva wengi huendesha magari yao bila kujali afya yao ingawa afya zao huwa zimedhororeka. Matajiri wao wawapatie mishahara mikubwa itakayowapatia madereva lishe bora na maisha mazuri. Serikali inapaswa kuweka sheria kuwa madereva wote wawe na liseni ya kudhibitisha uno ni buheri wa afya. Pia mojawapo ya ajali kutokea barabarani ni kwa sababu wanyama huachwa kuzurura kila mahali. Abiria yeyote yule wa kutoka Mombasa kwenda Nairobi sharti awaone wanyama wa kila aina mathalan ndovu, swara, simba, pundamilia, twiga nyani na chui. Wanyama hawa hupatikana kando ya barabara wakila nyasi huku wengine wanavuka barabara. Aghalabu wanyama hawa hufanya magari yabiringike iwapo dereva anajaribu kuwahepa wavukapo. Vilevile waendeshaji bodaboda na abiria wana bodaboda sharti wainame helmeti. Ajali inapotokea, mwendeshaji bodaboda na abiria wake hupata majeraha kama kipasuka kichwa na ubongo kutoka nje. Helmeti hizi humlinda dhidi ya kupasuka kichwa au kutoka macho. Serikali ya Kenya sharti iweke sheria itakayowatia mbaroni waendeshaji bodaboda ambao hawavai helmeti. Tupilia mbali uendeshaji bodaboda kuvaa helmeti kwa namna ya kuzuia ajali barabarani nchini Kenya, pia watakao katika shule za udereva zizingatie ufundishaji na umuhimu wa maisha na haki za binadamu. Hivi, wataweza kuzuia ajali barabarani. Mtaala wa shule za upili izingatie elimu kuhusu barabara na jinsi ya kuzuia ajali za barabara. Kwa yakini chenye mwanzo hakikosi mwisho. Nimefika tamati na kabla kalamu yangu hajaisha wino, ningependa kumalizia kwa kusema kuwa serikali ichukue hatua nilizozitaja na vifo, vilio na majeruhi barabarani itafika kikomo. Nchi ya Kenya itaendelea, itaepukana na kusongamana katika hospitali na kufa kwa wadau wengi nchini. Pia hakutakuwa na uharibifu wa mali.
Kuna rangi ngapi katika taa za barabarani
{ "text": [ "tatu" ] }
0173_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI BARABARANI NCHINI KENYA Aghalabu ajali hujulikana kama tukio lenye madhara linalotokea kighafla katika barabara. Kuna ajali ya aina nyingi kama vile ajali za jikoni, za ofisini, za majini, za shuleni, za nyumbani na za barabarani. Ajali za barabarani hutokea mara kwa mara. Ajali za barabarani zinaweza kuwa za pikipiki, za magari, za baiskeli, za malori, za magari ya uchukuzi , za mikokoteni na za malori ya petroli na za dizeli. Ajali za barabarani zina vyanzo vyake. Kwa vile chenye mwanzo kina mwisho, ningependa kujadili mikakati ya kupinga ajali barabarani nchini Kenya. Kwanza kabisa, wadau wanapaswa kuelimishwa kuhusu usalama barabarani na njia za kuboresha usalama huo. Waja wengi duniani hasa nchini Kenya hawakujaliwa kupata elimu na hivyo basi hawaelewi sheria za barabarani na maana yake. Serikali ya Kenya kupitia kwa wizara ya uchukuzi na miundo msingi yafaa kuwaelimisha adinasi sheria za barabarani ili kupunguza ajali. Wizara ya uchukuzi na miundo msingi na shirika la kitaifa la uchukuzi na usalama wa abiria linapaswa kuwaelimisha wadau kupitia runinga, tovuti, magazeti na redio. Pili, serikali inafaa kutengeneza mataa ya barabarani. Mataa haya husaidia kupunguza ajali barabarani. Kuna rangi tatu katika taa za barabarani nazo ni rangi ya nyekundu inayomaanisha kusimama kwa magari ili wapita njia wapate fursa ya kuvuka barabara, rangi ya manjano inayomaanisha kuwa tayari kwa madereva na rangi ya kijani kibichi inayomaanisha kuanza kuondoka kwa magari. Shirika la kitaifa la uchukuzi na usalama barabarani yafaa kuyaeka mataa haya barabarani kwa usalama wa madereva, abiria na wapita njia. Tatu, matumizi ya alama za barabara. Serikali ya Kenya inapaswa kutengeneza na kuweka alama za barabarani. Alama hizi ni kama vile; kuna bonde hapo mbele, kuna daraja, kuna mto, kuna kivuko au kuna uwezekano wa kupata wainyama wakivuka barabara. Alama za barabarani humsaidia dereva kupunguza mwendo wa kasi mithili ya suara na kupata tahadhari akiwa barabarani. Pia, madereva wanapaswa kupata usingizi vizuri. Ajali nyingi husababishwa na kutopata usingizi wa kutosha. Mja kwa kawaida anapaswa kulala kwa saa nane ili asiwe na uchovu wa aina wowote ule. Baadhi ya madereva hukosa usingizi kwa sababu ya kurauka alfajiri na mapema na kutoka kazini saa za usiku wa manane. Wao hulazimika kulala saa zinazopungua nane. Ni vyema madereva kupata usingizi wa kutosha ili kuzuia ajali barabarani. Hawa madereva wa umbali mrefu kwa mfano wanaoelekeza bidhaa kutoka Mombasa hadi Kampala. Kuambatana na haya, katika safari ya zaidi saa kumi na nane, kunapaswa kuwa na madereva zaidi ya wawili katika magari ya abiria· Madereva hawa wataweza kusaidiana katika uendeshaji wa mabasi baada ya saa sita. Hivi wataweza kupata usingizi na kuzuia ajali barabarani kwa sababu wakati mmoja anapopata usingizi na mwingine anapata fursa ya kushika usukani. Vilevile, serikali ya Kenya inapaswa kupiga marufuku safari za usiku kwa kuweka kafyu ya lazima inayoanza wakati giza inapoanza kuingia. Aghalabu safari hizi za masaa marefu huwa ni za usiku na hapo ndipo ajali hutokea mara nyingi kwa sababu ya giza totoro ambalo humfanya dereva asione vizuri anapoliendesha gari lake. Mbali na hayo mojawapo ya chanzo cha ajali barabarani ni gari kubeba abiria zaidi ya kiwango halali. Serikali inafaa kuweka sheria mpya na yenye makali itakayo adhibu madereva wanaobeba abiria zaidi ya kiwango cha kawaida. Ingawa sheria hizi zipo, magari bado huachiliwa na askari ambao hukubali hongo kutoka kwa madereva. Madereva hawa huwa na tamaa za fisi wanatafuta fedha za kuwahikimu huku wanasahau kuwa tamaa ilimuua fisi. Magari haya hubingiria na kusababisha maafa. Licha ya hayo, serikali sharti ijenge njia za wanaotembelea kwa miguu kwa sababu watembeaji wengi hugongwa na magari katika hekaheka za kupita barabara. Serikali ijenge njia juu na chini zitakazowawezesha wadau kuvuka barabara bila kuogopa kugongwa na gari au pikipiki. Zaidi ya hayo, serikali kupitia kwa wizara ya uchukuzi na miundo msingi inapaswa kuhimiza kufunga mishipi gari likiwa mwendoni. Serikali lazima itiliwe mkazo na askari wanafaa kuwekwa barabarani ili kuwashika na kuwatia mbaroni waja wasafiri bila ya kufunga mishipi. Mishipi hii huwazuia abiria kuponyoka katika viti vyao na kuumia endapo dereva anapiga breki kwa ghafla. Isitoshe, jamii inastahili kuhakikisha kuwa madereva wao ni heri wa afya. Madereva wengi huendesha magari yao bila kujali afya yao ingawa afya zao huwa zimedhororeka. Matajiri wao wawapatie mishahara mikubwa itakayowapatia madereva lishe bora na maisha mazuri. Serikali inapaswa kuweka sheria kuwa madereva wote wawe na liseni ya kudhibitisha uno ni buheri wa afya. Pia mojawapo ya ajali kutokea barabarani ni kwa sababu wanyama huachwa kuzurura kila mahali. Abiria yeyote yule wa kutoka Mombasa kwenda Nairobi sharti awaone wanyama wa kila aina mathalan ndovu, swara, simba, pundamilia, twiga nyani na chui. Wanyama hawa hupatikana kando ya barabara wakila nyasi huku wengine wanavuka barabara. Aghalabu wanyama hawa hufanya magari yabiringike iwapo dereva anajaribu kuwahepa wavukapo. Vilevile waendeshaji bodaboda na abiria wana bodaboda sharti wainame helmeti. Ajali inapotokea, mwendeshaji bodaboda na abiria wake hupata majeraha kama kipasuka kichwa na ubongo kutoka nje. Helmeti hizi humlinda dhidi ya kupasuka kichwa au kutoka macho. Serikali ya Kenya sharti iweke sheria itakayowatia mbaroni waendeshaji bodaboda ambao hawavai helmeti. Tupilia mbali uendeshaji bodaboda kuvaa helmeti kwa namna ya kuzuia ajali barabarani nchini Kenya, pia watakao katika shule za udereva zizingatie ufundishaji na umuhimu wa maisha na haki za binadamu. Hivi, wataweza kuzuia ajali barabarani. Mtaala wa shule za upili izingatie elimu kuhusu barabara na jinsi ya kuzuia ajali za barabara. Kwa yakini chenye mwanzo hakikosi mwisho. Nimefika tamati na kabla kalamu yangu hajaisha wino, ningependa kumalizia kwa kusema kuwa serikali ichukue hatua nilizozitaja na vifo, vilio na majeruhi barabarani itafika kikomo. Nchi ya Kenya itaendelea, itaepukana na kusongamana katika hospitali na kufa kwa wadau wengi nchini. Pia hakutakuwa na uharibifu wa mali.
Rangi gani inamaanisha kusimama kwa magari
{ "text": [ "nyekundu" ] }
0173_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI BARABARANI NCHINI KENYA Aghalabu ajali hujulikana kama tukio lenye madhara linalotokea kighafla katika barabara. Kuna ajali ya aina nyingi kama vile ajali za jikoni, za ofisini, za majini, za shuleni, za nyumbani na za barabarani. Ajali za barabarani hutokea mara kwa mara. Ajali za barabarani zinaweza kuwa za pikipiki, za magari, za baiskeli, za malori, za magari ya uchukuzi , za mikokoteni na za malori ya petroli na za dizeli. Ajali za barabarani zina vyanzo vyake. Kwa vile chenye mwanzo kina mwisho, ningependa kujadili mikakati ya kupinga ajali barabarani nchini Kenya. Kwanza kabisa, wadau wanapaswa kuelimishwa kuhusu usalama barabarani na njia za kuboresha usalama huo. Waja wengi duniani hasa nchini Kenya hawakujaliwa kupata elimu na hivyo basi hawaelewi sheria za barabarani na maana yake. Serikali ya Kenya kupitia kwa wizara ya uchukuzi na miundo msingi yafaa kuwaelimisha adinasi sheria za barabarani ili kupunguza ajali. Wizara ya uchukuzi na miundo msingi na shirika la kitaifa la uchukuzi na usalama wa abiria linapaswa kuwaelimisha wadau kupitia runinga, tovuti, magazeti na redio. Pili, serikali inafaa kutengeneza mataa ya barabarani. Mataa haya husaidia kupunguza ajali barabarani. Kuna rangi tatu katika taa za barabarani nazo ni rangi ya nyekundu inayomaanisha kusimama kwa magari ili wapita njia wapate fursa ya kuvuka barabara, rangi ya manjano inayomaanisha kuwa tayari kwa madereva na rangi ya kijani kibichi inayomaanisha kuanza kuondoka kwa magari. Shirika la kitaifa la uchukuzi na usalama barabarani yafaa kuyaeka mataa haya barabarani kwa usalama wa madereva, abiria na wapita njia. Tatu, matumizi ya alama za barabara. Serikali ya Kenya inapaswa kutengeneza na kuweka alama za barabarani. Alama hizi ni kama vile; kuna bonde hapo mbele, kuna daraja, kuna mto, kuna kivuko au kuna uwezekano wa kupata wainyama wakivuka barabara. Alama za barabarani humsaidia dereva kupunguza mwendo wa kasi mithili ya suara na kupata tahadhari akiwa barabarani. Pia, madereva wanapaswa kupata usingizi vizuri. Ajali nyingi husababishwa na kutopata usingizi wa kutosha. Mja kwa kawaida anapaswa kulala kwa saa nane ili asiwe na uchovu wa aina wowote ule. Baadhi ya madereva hukosa usingizi kwa sababu ya kurauka alfajiri na mapema na kutoka kazini saa za usiku wa manane. Wao hulazimika kulala saa zinazopungua nane. Ni vyema madereva kupata usingizi wa kutosha ili kuzuia ajali barabarani. Hawa madereva wa umbali mrefu kwa mfano wanaoelekeza bidhaa kutoka Mombasa hadi Kampala. Kuambatana na haya, katika safari ya zaidi saa kumi na nane, kunapaswa kuwa na madereva zaidi ya wawili katika magari ya abiria· Madereva hawa wataweza kusaidiana katika uendeshaji wa mabasi baada ya saa sita. Hivi wataweza kupata usingizi na kuzuia ajali barabarani kwa sababu wakati mmoja anapopata usingizi na mwingine anapata fursa ya kushika usukani. Vilevile, serikali ya Kenya inapaswa kupiga marufuku safari za usiku kwa kuweka kafyu ya lazima inayoanza wakati giza inapoanza kuingia. Aghalabu safari hizi za masaa marefu huwa ni za usiku na hapo ndipo ajali hutokea mara nyingi kwa sababu ya giza totoro ambalo humfanya dereva asione vizuri anapoliendesha gari lake. Mbali na hayo mojawapo ya chanzo cha ajali barabarani ni gari kubeba abiria zaidi ya kiwango halali. Serikali inafaa kuweka sheria mpya na yenye makali itakayo adhibu madereva wanaobeba abiria zaidi ya kiwango cha kawaida. Ingawa sheria hizi zipo, magari bado huachiliwa na askari ambao hukubali hongo kutoka kwa madereva. Madereva hawa huwa na tamaa za fisi wanatafuta fedha za kuwahikimu huku wanasahau kuwa tamaa ilimuua fisi. Magari haya hubingiria na kusababisha maafa. Licha ya hayo, serikali sharti ijenge njia za wanaotembelea kwa miguu kwa sababu watembeaji wengi hugongwa na magari katika hekaheka za kupita barabara. Serikali ijenge njia juu na chini zitakazowawezesha wadau kuvuka barabara bila kuogopa kugongwa na gari au pikipiki. Zaidi ya hayo, serikali kupitia kwa wizara ya uchukuzi na miundo msingi inapaswa kuhimiza kufunga mishipi gari likiwa mwendoni. Serikali lazima itiliwe mkazo na askari wanafaa kuwekwa barabarani ili kuwashika na kuwatia mbaroni waja wasafiri bila ya kufunga mishipi. Mishipi hii huwazuia abiria kuponyoka katika viti vyao na kuumia endapo dereva anapiga breki kwa ghafla. Isitoshe, jamii inastahili kuhakikisha kuwa madereva wao ni heri wa afya. Madereva wengi huendesha magari yao bila kujali afya yao ingawa afya zao huwa zimedhororeka. Matajiri wao wawapatie mishahara mikubwa itakayowapatia madereva lishe bora na maisha mazuri. Serikali inapaswa kuweka sheria kuwa madereva wote wawe na liseni ya kudhibitisha uno ni buheri wa afya. Pia mojawapo ya ajali kutokea barabarani ni kwa sababu wanyama huachwa kuzurura kila mahali. Abiria yeyote yule wa kutoka Mombasa kwenda Nairobi sharti awaone wanyama wa kila aina mathalan ndovu, swara, simba, pundamilia, twiga nyani na chui. Wanyama hawa hupatikana kando ya barabara wakila nyasi huku wengine wanavuka barabara. Aghalabu wanyama hawa hufanya magari yabiringike iwapo dereva anajaribu kuwahepa wavukapo. Vilevile waendeshaji bodaboda na abiria wana bodaboda sharti wainame helmeti. Ajali inapotokea, mwendeshaji bodaboda na abiria wake hupata majeraha kama kipasuka kichwa na ubongo kutoka nje. Helmeti hizi humlinda dhidi ya kupasuka kichwa au kutoka macho. Serikali ya Kenya sharti iweke sheria itakayowatia mbaroni waendeshaji bodaboda ambao hawavai helmeti. Tupilia mbali uendeshaji bodaboda kuvaa helmeti kwa namna ya kuzuia ajali barabarani nchini Kenya, pia watakao katika shule za udereva zizingatie ufundishaji na umuhimu wa maisha na haki za binadamu. Hivi, wataweza kuzuia ajali barabarani. Mtaala wa shule za upili izingatie elimu kuhusu barabara na jinsi ya kuzuia ajali za barabara. Kwa yakini chenye mwanzo hakikosi mwisho. Nimefika tamati na kabla kalamu yangu hajaisha wino, ningependa kumalizia kwa kusema kuwa serikali ichukue hatua nilizozitaja na vifo, vilio na majeruhi barabarani itafika kikomo. Nchi ya Kenya itaendelea, itaepukana na kusongamana katika hospitali na kufa kwa wadau wengi nchini. Pia hakutakuwa na uharibifu wa mali.
Mja anapaswa kulala kwa saa ngapi
{ "text": [ "nane" ] }
0173_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI BARABARANI NCHINI KENYA Aghalabu ajali hujulikana kama tukio lenye madhara linalotokea kighafla katika barabara. Kuna ajali ya aina nyingi kama vile ajali za jikoni, za ofisini, za majini, za shuleni, za nyumbani na za barabarani. Ajali za barabarani hutokea mara kwa mara. Ajali za barabarani zinaweza kuwa za pikipiki, za magari, za baiskeli, za malori, za magari ya uchukuzi , za mikokoteni na za malori ya petroli na za dizeli. Ajali za barabarani zina vyanzo vyake. Kwa vile chenye mwanzo kina mwisho, ningependa kujadili mikakati ya kupinga ajali barabarani nchini Kenya. Kwanza kabisa, wadau wanapaswa kuelimishwa kuhusu usalama barabarani na njia za kuboresha usalama huo. Waja wengi duniani hasa nchini Kenya hawakujaliwa kupata elimu na hivyo basi hawaelewi sheria za barabarani na maana yake. Serikali ya Kenya kupitia kwa wizara ya uchukuzi na miundo msingi yafaa kuwaelimisha adinasi sheria za barabarani ili kupunguza ajali. Wizara ya uchukuzi na miundo msingi na shirika la kitaifa la uchukuzi na usalama wa abiria linapaswa kuwaelimisha wadau kupitia runinga, tovuti, magazeti na redio. Pili, serikali inafaa kutengeneza mataa ya barabarani. Mataa haya husaidia kupunguza ajali barabarani. Kuna rangi tatu katika taa za barabarani nazo ni rangi ya nyekundu inayomaanisha kusimama kwa magari ili wapita njia wapate fursa ya kuvuka barabara, rangi ya manjano inayomaanisha kuwa tayari kwa madereva na rangi ya kijani kibichi inayomaanisha kuanza kuondoka kwa magari. Shirika la kitaifa la uchukuzi na usalama barabarani yafaa kuyaeka mataa haya barabarani kwa usalama wa madereva, abiria na wapita njia. Tatu, matumizi ya alama za barabara. Serikali ya Kenya inapaswa kutengeneza na kuweka alama za barabarani. Alama hizi ni kama vile; kuna bonde hapo mbele, kuna daraja, kuna mto, kuna kivuko au kuna uwezekano wa kupata wainyama wakivuka barabara. Alama za barabarani humsaidia dereva kupunguza mwendo wa kasi mithili ya suara na kupata tahadhari akiwa barabarani. Pia, madereva wanapaswa kupata usingizi vizuri. Ajali nyingi husababishwa na kutopata usingizi wa kutosha. Mja kwa kawaida anapaswa kulala kwa saa nane ili asiwe na uchovu wa aina wowote ule. Baadhi ya madereva hukosa usingizi kwa sababu ya kurauka alfajiri na mapema na kutoka kazini saa za usiku wa manane. Wao hulazimika kulala saa zinazopungua nane. Ni vyema madereva kupata usingizi wa kutosha ili kuzuia ajali barabarani. Hawa madereva wa umbali mrefu kwa mfano wanaoelekeza bidhaa kutoka Mombasa hadi Kampala. Kuambatana na haya, katika safari ya zaidi saa kumi na nane, kunapaswa kuwa na madereva zaidi ya wawili katika magari ya abiria· Madereva hawa wataweza kusaidiana katika uendeshaji wa mabasi baada ya saa sita. Hivi wataweza kupata usingizi na kuzuia ajali barabarani kwa sababu wakati mmoja anapopata usingizi na mwingine anapata fursa ya kushika usukani. Vilevile, serikali ya Kenya inapaswa kupiga marufuku safari za usiku kwa kuweka kafyu ya lazima inayoanza wakati giza inapoanza kuingia. Aghalabu safari hizi za masaa marefu huwa ni za usiku na hapo ndipo ajali hutokea mara nyingi kwa sababu ya giza totoro ambalo humfanya dereva asione vizuri anapoliendesha gari lake. Mbali na hayo mojawapo ya chanzo cha ajali barabarani ni gari kubeba abiria zaidi ya kiwango halali. Serikali inafaa kuweka sheria mpya na yenye makali itakayo adhibu madereva wanaobeba abiria zaidi ya kiwango cha kawaida. Ingawa sheria hizi zipo, magari bado huachiliwa na askari ambao hukubali hongo kutoka kwa madereva. Madereva hawa huwa na tamaa za fisi wanatafuta fedha za kuwahikimu huku wanasahau kuwa tamaa ilimuua fisi. Magari haya hubingiria na kusababisha maafa. Licha ya hayo, serikali sharti ijenge njia za wanaotembelea kwa miguu kwa sababu watembeaji wengi hugongwa na magari katika hekaheka za kupita barabara. Serikali ijenge njia juu na chini zitakazowawezesha wadau kuvuka barabara bila kuogopa kugongwa na gari au pikipiki. Zaidi ya hayo, serikali kupitia kwa wizara ya uchukuzi na miundo msingi inapaswa kuhimiza kufunga mishipi gari likiwa mwendoni. Serikali lazima itiliwe mkazo na askari wanafaa kuwekwa barabarani ili kuwashika na kuwatia mbaroni waja wasafiri bila ya kufunga mishipi. Mishipi hii huwazuia abiria kuponyoka katika viti vyao na kuumia endapo dereva anapiga breki kwa ghafla. Isitoshe, jamii inastahili kuhakikisha kuwa madereva wao ni heri wa afya. Madereva wengi huendesha magari yao bila kujali afya yao ingawa afya zao huwa zimedhororeka. Matajiri wao wawapatie mishahara mikubwa itakayowapatia madereva lishe bora na maisha mazuri. Serikali inapaswa kuweka sheria kuwa madereva wote wawe na liseni ya kudhibitisha uno ni buheri wa afya. Pia mojawapo ya ajali kutokea barabarani ni kwa sababu wanyama huachwa kuzurura kila mahali. Abiria yeyote yule wa kutoka Mombasa kwenda Nairobi sharti awaone wanyama wa kila aina mathalan ndovu, swara, simba, pundamilia, twiga nyani na chui. Wanyama hawa hupatikana kando ya barabara wakila nyasi huku wengine wanavuka barabara. Aghalabu wanyama hawa hufanya magari yabiringike iwapo dereva anajaribu kuwahepa wavukapo. Vilevile waendeshaji bodaboda na abiria wana bodaboda sharti wainame helmeti. Ajali inapotokea, mwendeshaji bodaboda na abiria wake hupata majeraha kama kipasuka kichwa na ubongo kutoka nje. Helmeti hizi humlinda dhidi ya kupasuka kichwa au kutoka macho. Serikali ya Kenya sharti iweke sheria itakayowatia mbaroni waendeshaji bodaboda ambao hawavai helmeti. Tupilia mbali uendeshaji bodaboda kuvaa helmeti kwa namna ya kuzuia ajali barabarani nchini Kenya, pia watakao katika shule za udereva zizingatie ufundishaji na umuhimu wa maisha na haki za binadamu. Hivi, wataweza kuzuia ajali barabarani. Mtaala wa shule za upili izingatie elimu kuhusu barabara na jinsi ya kuzuia ajali za barabara. Kwa yakini chenye mwanzo hakikosi mwisho. Nimefika tamati na kabla kalamu yangu hajaisha wino, ningependa kumalizia kwa kusema kuwa serikali ichukue hatua nilizozitaja na vifo, vilio na majeruhi barabarani itafika kikomo. Nchi ya Kenya itaendelea, itaepukana na kusongamana katika hospitali na kufa kwa wadau wengi nchini. Pia hakutakuwa na uharibifu wa mali.
Waendeshaji bodaboda wanashauriwa wavae nini
{ "text": [ "helmeti" ] }
0173_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI BARABARANI NCHINI KENYA Aghalabu ajali hujulikana kama tukio lenye madhara linalotokea kighafla katika barabara. Kuna ajali ya aina nyingi kama vile ajali za jikoni, za ofisini, za majini, za shuleni, za nyumbani na za barabarani. Ajali za barabarani hutokea mara kwa mara. Ajali za barabarani zinaweza kuwa za pikipiki, za magari, za baiskeli, za malori, za magari ya uchukuzi , za mikokoteni na za malori ya petroli na za dizeli. Ajali za barabarani zina vyanzo vyake. Kwa vile chenye mwanzo kina mwisho, ningependa kujadili mikakati ya kupinga ajali barabarani nchini Kenya. Kwanza kabisa, wadau wanapaswa kuelimishwa kuhusu usalama barabarani na njia za kuboresha usalama huo. Waja wengi duniani hasa nchini Kenya hawakujaliwa kupata elimu na hivyo basi hawaelewi sheria za barabarani na maana yake. Serikali ya Kenya kupitia kwa wizara ya uchukuzi na miundo msingi yafaa kuwaelimisha adinasi sheria za barabarani ili kupunguza ajali. Wizara ya uchukuzi na miundo msingi na shirika la kitaifa la uchukuzi na usalama wa abiria linapaswa kuwaelimisha wadau kupitia runinga, tovuti, magazeti na redio. Pili, serikali inafaa kutengeneza mataa ya barabarani. Mataa haya husaidia kupunguza ajali barabarani. Kuna rangi tatu katika taa za barabarani nazo ni rangi ya nyekundu inayomaanisha kusimama kwa magari ili wapita njia wapate fursa ya kuvuka barabara, rangi ya manjano inayomaanisha kuwa tayari kwa madereva na rangi ya kijani kibichi inayomaanisha kuanza kuondoka kwa magari. Shirika la kitaifa la uchukuzi na usalama barabarani yafaa kuyaeka mataa haya barabarani kwa usalama wa madereva, abiria na wapita njia. Tatu, matumizi ya alama za barabara. Serikali ya Kenya inapaswa kutengeneza na kuweka alama za barabarani. Alama hizi ni kama vile; kuna bonde hapo mbele, kuna daraja, kuna mto, kuna kivuko au kuna uwezekano wa kupata wainyama wakivuka barabara. Alama za barabarani humsaidia dereva kupunguza mwendo wa kasi mithili ya suara na kupata tahadhari akiwa barabarani. Pia, madereva wanapaswa kupata usingizi vizuri. Ajali nyingi husababishwa na kutopata usingizi wa kutosha. Mja kwa kawaida anapaswa kulala kwa saa nane ili asiwe na uchovu wa aina wowote ule. Baadhi ya madereva hukosa usingizi kwa sababu ya kurauka alfajiri na mapema na kutoka kazini saa za usiku wa manane. Wao hulazimika kulala saa zinazopungua nane. Ni vyema madereva kupata usingizi wa kutosha ili kuzuia ajali barabarani. Hawa madereva wa umbali mrefu kwa mfano wanaoelekeza bidhaa kutoka Mombasa hadi Kampala. Kuambatana na haya, katika safari ya zaidi saa kumi na nane, kunapaswa kuwa na madereva zaidi ya wawili katika magari ya abiria· Madereva hawa wataweza kusaidiana katika uendeshaji wa mabasi baada ya saa sita. Hivi wataweza kupata usingizi na kuzuia ajali barabarani kwa sababu wakati mmoja anapopata usingizi na mwingine anapata fursa ya kushika usukani. Vilevile, serikali ya Kenya inapaswa kupiga marufuku safari za usiku kwa kuweka kafyu ya lazima inayoanza wakati giza inapoanza kuingia. Aghalabu safari hizi za masaa marefu huwa ni za usiku na hapo ndipo ajali hutokea mara nyingi kwa sababu ya giza totoro ambalo humfanya dereva asione vizuri anapoliendesha gari lake. Mbali na hayo mojawapo ya chanzo cha ajali barabarani ni gari kubeba abiria zaidi ya kiwango halali. Serikali inafaa kuweka sheria mpya na yenye makali itakayo adhibu madereva wanaobeba abiria zaidi ya kiwango cha kawaida. Ingawa sheria hizi zipo, magari bado huachiliwa na askari ambao hukubali hongo kutoka kwa madereva. Madereva hawa huwa na tamaa za fisi wanatafuta fedha za kuwahikimu huku wanasahau kuwa tamaa ilimuua fisi. Magari haya hubingiria na kusababisha maafa. Licha ya hayo, serikali sharti ijenge njia za wanaotembelea kwa miguu kwa sababu watembeaji wengi hugongwa na magari katika hekaheka za kupita barabara. Serikali ijenge njia juu na chini zitakazowawezesha wadau kuvuka barabara bila kuogopa kugongwa na gari au pikipiki. Zaidi ya hayo, serikali kupitia kwa wizara ya uchukuzi na miundo msingi inapaswa kuhimiza kufunga mishipi gari likiwa mwendoni. Serikali lazima itiliwe mkazo na askari wanafaa kuwekwa barabarani ili kuwashika na kuwatia mbaroni waja wasafiri bila ya kufunga mishipi. Mishipi hii huwazuia abiria kuponyoka katika viti vyao na kuumia endapo dereva anapiga breki kwa ghafla. Isitoshe, jamii inastahili kuhakikisha kuwa madereva wao ni heri wa afya. Madereva wengi huendesha magari yao bila kujali afya yao ingawa afya zao huwa zimedhororeka. Matajiri wao wawapatie mishahara mikubwa itakayowapatia madereva lishe bora na maisha mazuri. Serikali inapaswa kuweka sheria kuwa madereva wote wawe na liseni ya kudhibitisha uno ni buheri wa afya. Pia mojawapo ya ajali kutokea barabarani ni kwa sababu wanyama huachwa kuzurura kila mahali. Abiria yeyote yule wa kutoka Mombasa kwenda Nairobi sharti awaone wanyama wa kila aina mathalan ndovu, swara, simba, pundamilia, twiga nyani na chui. Wanyama hawa hupatikana kando ya barabara wakila nyasi huku wengine wanavuka barabara. Aghalabu wanyama hawa hufanya magari yabiringike iwapo dereva anajaribu kuwahepa wavukapo. Vilevile waendeshaji bodaboda na abiria wana bodaboda sharti wainame helmeti. Ajali inapotokea, mwendeshaji bodaboda na abiria wake hupata majeraha kama kipasuka kichwa na ubongo kutoka nje. Helmeti hizi humlinda dhidi ya kupasuka kichwa au kutoka macho. Serikali ya Kenya sharti iweke sheria itakayowatia mbaroni waendeshaji bodaboda ambao hawavai helmeti. Tupilia mbali uendeshaji bodaboda kuvaa helmeti kwa namna ya kuzuia ajali barabarani nchini Kenya, pia watakao katika shule za udereva zizingatie ufundishaji na umuhimu wa maisha na haki za binadamu. Hivi, wataweza kuzuia ajali barabarani. Mtaala wa shule za upili izingatie elimu kuhusu barabara na jinsi ya kuzuia ajali za barabara. Kwa yakini chenye mwanzo hakikosi mwisho. Nimefika tamati na kabla kalamu yangu hajaisha wino, ningependa kumalizia kwa kusema kuwa serikali ichukue hatua nilizozitaja na vifo, vilio na majeruhi barabarani itafika kikomo. Nchi ya Kenya itaendelea, itaepukana na kusongamana katika hospitali na kufa kwa wadau wengi nchini. Pia hakutakuwa na uharibifu wa mali.
Kwa nini adinasi waelimishwe sheria za barabarani
{ "text": [ "ili kupunguza ajali" ] }
0174_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni tukio linalodhuru ambalo hutokea kwa bahati mbaya na halina kinga wala kafara. Kuna ajali iliyofanyika mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa mwezi wa mwisho wa mwaka. Ajali hiyo ilisababishwa na uwembamba wa baraste wakati vichukuzi kama magari, malori, baisikeli, bodaboda na bajaji vikipishana katika barabara hiyo ya kilifi. Kwa kuwa kifo hakibishi hodi madereva pamoja na baadhi ya maabiria walienda jongomeo nawengine wakiwa na meyeruhi. Wengi walipoteza mizigo ya thamani na wengi kupoteza maisha yao. Awali, kuzuia ajali kutokea, serikali inapaswa kuzipanua baraste zote ili vichukuzi viwe na uwezo wa kupishana bila kukwaruzana na hatimaye kusababisha ajali barabara nyembamba huwa hazina nafasi na aghalabu ajali kufanyika. Pili, vyombo vya uchukuzi vimekuwa vingi, jaa michanga wa ufuo wa bahari kwa kusababisha misongamano barabarani na kusababisha ajali. Serikali inajuzu kuhakikisha wanabiashara wauzaji wa magari kupunguzia biashara ya kuuza magar , kwani kukitokea ajali mashirika mengi hufilisika na kupata hasara. Fauka ya hayo, ajali mara nyingi husababishwa na mwendo kasi wa juu ili kupunguza magari na hatimaye kupenduka kwa vichukuzi. Lazima kama ibada pawe na sheria ya kudhibiti mwendo kasi wa juu ili kupunguza ajali hizo· Vilevile, magari yasipitishe kilomita hamsini kwa saa. Aidha, lazima kuhakikishwe kama kifo kwa yeyote anayeendesha kichukuzi awe na umri wa kuwa na leseni na alionika juu ya masharti ya barabarani. Wengi wa vijana wadogo huacha shule na kufanya kazi za barabarani pasi kuwa na leseni. Hivyo basi kuwakimbia maafisa na kuendesha kwa kasi na mwishowe kupata ajali. Kando ya hayo, pia madereva wasiruhusiwe kuendesha gari wakiwa wametumia mihadarati kkama pombe, utumiaji wa miraa na hata uvutaji wa sigara kwani utumiaji huo huweza kusababisha ajali kwa kuwa mtu huendesha bila na kuangalia barabara na ajali kutokea. Hata hivyo, ajali huweza kusababishwa iwapo vyombo vya uchukuzi vikiwa vibovu. Mathalani, bodaboda inaweza ikakuamia mahali inopopishana na lori na kusababisha ajali kwa ghafla kama umeme. Madereva wanapaswa kuhakikisha viungo vya uchukuzi vipo sawa kabla ya kujiingiza barabarani. Naam, ukiona vyaelea jua vimeundwa. Mighairi ya hayo ajali inaweza kupunguzwa. Iwapo kutapigwa marufuku ya safari za usiku kwa kuwa madereva waendeshao hadi usiku huwa niwachovu kwa kufanya kazi hiyo mchana kutwa na mara nyingi kusababisha ajali. Pia giza linaweza kumfanya asione njia kwa uzuri kwa kupishana na vichukuzi vingine. Halaiki ya hayo yote, nao waendesha pikipiki pamoja na abiria wavae helmeti ili kujikinga na madhara ya ajali ya pikipiki kwa kupata majeruhi hasa ukiwa hujavaa helmeti unaweza kuumia kichwa na viungo vingine. Bali na hayo, madereva wanapaswa kupewa adhabu kali iwapo watavunja kanuni za barabarani. Ikiwezekana wafungwe maisha na kunyang’anywa leseni au kupigwa viboko. Kwani wanao vunja sheria sana kunaweza kutokea ajali kila uchao. Kando na hayo yote madereva wanapaswa kuelimisha kuhusu athari za ajali na wapewe masomo kupitia mtandaoni. Hatua ya kusomeshwa kupitia mtandaoni, habari za ajali hapa na pale hupunguwa kwa kuwa waendeshao vyombo vya uchukuzi huwa ni wenye elimu Wasemao husema kuwa elimu ni mwangaza popote hung’aa. Licha ya hayo yote pia wavukaji wanastahili kuacha uzembe wakati wa uvukaji kwani huenda kuwa changanya, kuwatatiza waendeshao magari, malori na hata bodaboda. Wakati wa mtu kuvuka anajuzu kuangalia kushoto na kulia kwake kwa umakini bila kusababisha ajali. Wavukaji wakifuata masharti hayo ajali nyingi zitapungua kwa idadi kubwa. Katika kutamatisha maelekezo yangu ningependa kuwakumbusha tena kuwa tutahadhari kabla ya hatari na kwa hilo tuwe makini wakati wa kuendesha na kuruka. Na kwa hayo mengi niliyo yasema ningependa serikali ikaze ukande juu ya athari za ajali. Kwa kuwa muda umeyoyoma sina mengi ya kuongezea, bali umakinifu wa barabarani ufuatwe.
Ajali nyingi husababishwa na nini
{ "text": [ "Mwendo kasi wa juu wa magari" ] }
0174_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni tukio linalodhuru ambalo hutokea kwa bahati mbaya na halina kinga wala kafara. Kuna ajali iliyofanyika mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa mwezi wa mwisho wa mwaka. Ajali hiyo ilisababishwa na uwembamba wa baraste wakati vichukuzi kama magari, malori, baisikeli, bodaboda na bajaji vikipishana katika barabara hiyo ya kilifi. Kwa kuwa kifo hakibishi hodi madereva pamoja na baadhi ya maabiria walienda jongomeo nawengine wakiwa na meyeruhi. Wengi walipoteza mizigo ya thamani na wengi kupoteza maisha yao. Awali, kuzuia ajali kutokea, serikali inapaswa kuzipanua baraste zote ili vichukuzi viwe na uwezo wa kupishana bila kukwaruzana na hatimaye kusababisha ajali barabara nyembamba huwa hazina nafasi na aghalabu ajali kufanyika. Pili, vyombo vya uchukuzi vimekuwa vingi, jaa michanga wa ufuo wa bahari kwa kusababisha misongamano barabarani na kusababisha ajali. Serikali inajuzu kuhakikisha wanabiashara wauzaji wa magari kupunguzia biashara ya kuuza magar , kwani kukitokea ajali mashirika mengi hufilisika na kupata hasara. Fauka ya hayo, ajali mara nyingi husababishwa na mwendo kasi wa juu ili kupunguza magari na hatimaye kupenduka kwa vichukuzi. Lazima kama ibada pawe na sheria ya kudhibiti mwendo kasi wa juu ili kupunguza ajali hizo· Vilevile, magari yasipitishe kilomita hamsini kwa saa. Aidha, lazima kuhakikishwe kama kifo kwa yeyote anayeendesha kichukuzi awe na umri wa kuwa na leseni na alionika juu ya masharti ya barabarani. Wengi wa vijana wadogo huacha shule na kufanya kazi za barabarani pasi kuwa na leseni. Hivyo basi kuwakimbia maafisa na kuendesha kwa kasi na mwishowe kupata ajali. Kando ya hayo, pia madereva wasiruhusiwe kuendesha gari wakiwa wametumia mihadarati kkama pombe, utumiaji wa miraa na hata uvutaji wa sigara kwani utumiaji huo huweza kusababisha ajali kwa kuwa mtu huendesha bila na kuangalia barabara na ajali kutokea. Hata hivyo, ajali huweza kusababishwa iwapo vyombo vya uchukuzi vikiwa vibovu. Mathalani, bodaboda inaweza ikakuamia mahali inopopishana na lori na kusababisha ajali kwa ghafla kama umeme. Madereva wanapaswa kuhakikisha viungo vya uchukuzi vipo sawa kabla ya kujiingiza barabarani. Naam, ukiona vyaelea jua vimeundwa. Mighairi ya hayo ajali inaweza kupunguzwa. Iwapo kutapigwa marufuku ya safari za usiku kwa kuwa madereva waendeshao hadi usiku huwa niwachovu kwa kufanya kazi hiyo mchana kutwa na mara nyingi kusababisha ajali. Pia giza linaweza kumfanya asione njia kwa uzuri kwa kupishana na vichukuzi vingine. Halaiki ya hayo yote, nao waendesha pikipiki pamoja na abiria wavae helmeti ili kujikinga na madhara ya ajali ya pikipiki kwa kupata majeruhi hasa ukiwa hujavaa helmeti unaweza kuumia kichwa na viungo vingine. Bali na hayo, madereva wanapaswa kupewa adhabu kali iwapo watavunja kanuni za barabarani. Ikiwezekana wafungwe maisha na kunyang’anywa leseni au kupigwa viboko. Kwani wanao vunja sheria sana kunaweza kutokea ajali kila uchao. Kando na hayo yote madereva wanapaswa kuelimisha kuhusu athari za ajali na wapewe masomo kupitia mtandaoni. Hatua ya kusomeshwa kupitia mtandaoni, habari za ajali hapa na pale hupunguwa kwa kuwa waendeshao vyombo vya uchukuzi huwa ni wenye elimu Wasemao husema kuwa elimu ni mwangaza popote hung’aa. Licha ya hayo yote pia wavukaji wanastahili kuacha uzembe wakati wa uvukaji kwani huenda kuwa changanya, kuwatatiza waendeshao magari, malori na hata bodaboda. Wakati wa mtu kuvuka anajuzu kuangalia kushoto na kulia kwake kwa umakini bila kusababisha ajali. Wavukaji wakifuata masharti hayo ajali nyingi zitapungua kwa idadi kubwa. Katika kutamatisha maelekezo yangu ningependa kuwakumbusha tena kuwa tutahadhari kabla ya hatari na kwa hilo tuwe makini wakati wa kuendesha na kuruka. Na kwa hayo mengi niliyo yasema ningependa serikali ikaze ukande juu ya athari za ajali. Kwa kuwa muda umeyoyoma sina mengi ya kuongezea, bali umakinifu wa barabarani ufuatwe.
Ajali iliyofanyika mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa ilisababishwa na nini
{ "text": [ "Kupishana kwa malori, bodaboda, baisikeli na bajaji kutokana na na wembamba wa barabara" ] }
0174_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni tukio linalodhuru ambalo hutokea kwa bahati mbaya na halina kinga wala kafara. Kuna ajali iliyofanyika mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa mwezi wa mwisho wa mwaka. Ajali hiyo ilisababishwa na uwembamba wa baraste wakati vichukuzi kama magari, malori, baisikeli, bodaboda na bajaji vikipishana katika barabara hiyo ya kilifi. Kwa kuwa kifo hakibishi hodi madereva pamoja na baadhi ya maabiria walienda jongomeo nawengine wakiwa na meyeruhi. Wengi walipoteza mizigo ya thamani na wengi kupoteza maisha yao. Awali, kuzuia ajali kutokea, serikali inapaswa kuzipanua baraste zote ili vichukuzi viwe na uwezo wa kupishana bila kukwaruzana na hatimaye kusababisha ajali barabara nyembamba huwa hazina nafasi na aghalabu ajali kufanyika. Pili, vyombo vya uchukuzi vimekuwa vingi, jaa michanga wa ufuo wa bahari kwa kusababisha misongamano barabarani na kusababisha ajali. Serikali inajuzu kuhakikisha wanabiashara wauzaji wa magari kupunguzia biashara ya kuuza magar , kwani kukitokea ajali mashirika mengi hufilisika na kupata hasara. Fauka ya hayo, ajali mara nyingi husababishwa na mwendo kasi wa juu ili kupunguza magari na hatimaye kupenduka kwa vichukuzi. Lazima kama ibada pawe na sheria ya kudhibiti mwendo kasi wa juu ili kupunguza ajali hizo· Vilevile, magari yasipitishe kilomita hamsini kwa saa. Aidha, lazima kuhakikishwe kama kifo kwa yeyote anayeendesha kichukuzi awe na umri wa kuwa na leseni na alionika juu ya masharti ya barabarani. Wengi wa vijana wadogo huacha shule na kufanya kazi za barabarani pasi kuwa na leseni. Hivyo basi kuwakimbia maafisa na kuendesha kwa kasi na mwishowe kupata ajali. Kando ya hayo, pia madereva wasiruhusiwe kuendesha gari wakiwa wametumia mihadarati kkama pombe, utumiaji wa miraa na hata uvutaji wa sigara kwani utumiaji huo huweza kusababisha ajali kwa kuwa mtu huendesha bila na kuangalia barabara na ajali kutokea. Hata hivyo, ajali huweza kusababishwa iwapo vyombo vya uchukuzi vikiwa vibovu. Mathalani, bodaboda inaweza ikakuamia mahali inopopishana na lori na kusababisha ajali kwa ghafla kama umeme. Madereva wanapaswa kuhakikisha viungo vya uchukuzi vipo sawa kabla ya kujiingiza barabarani. Naam, ukiona vyaelea jua vimeundwa. Mighairi ya hayo ajali inaweza kupunguzwa. Iwapo kutapigwa marufuku ya safari za usiku kwa kuwa madereva waendeshao hadi usiku huwa niwachovu kwa kufanya kazi hiyo mchana kutwa na mara nyingi kusababisha ajali. Pia giza linaweza kumfanya asione njia kwa uzuri kwa kupishana na vichukuzi vingine. Halaiki ya hayo yote, nao waendesha pikipiki pamoja na abiria wavae helmeti ili kujikinga na madhara ya ajali ya pikipiki kwa kupata majeruhi hasa ukiwa hujavaa helmeti unaweza kuumia kichwa na viungo vingine. Bali na hayo, madereva wanapaswa kupewa adhabu kali iwapo watavunja kanuni za barabarani. Ikiwezekana wafungwe maisha na kunyang’anywa leseni au kupigwa viboko. Kwani wanao vunja sheria sana kunaweza kutokea ajali kila uchao. Kando na hayo yote madereva wanapaswa kuelimisha kuhusu athari za ajali na wapewe masomo kupitia mtandaoni. Hatua ya kusomeshwa kupitia mtandaoni, habari za ajali hapa na pale hupunguwa kwa kuwa waendeshao vyombo vya uchukuzi huwa ni wenye elimu Wasemao husema kuwa elimu ni mwangaza popote hung’aa. Licha ya hayo yote pia wavukaji wanastahili kuacha uzembe wakati wa uvukaji kwani huenda kuwa changanya, kuwatatiza waendeshao magari, malori na hata bodaboda. Wakati wa mtu kuvuka anajuzu kuangalia kushoto na kulia kwake kwa umakini bila kusababisha ajali. Wavukaji wakifuata masharti hayo ajali nyingi zitapungua kwa idadi kubwa. Katika kutamatisha maelekezo yangu ningependa kuwakumbusha tena kuwa tutahadhari kabla ya hatari na kwa hilo tuwe makini wakati wa kuendesha na kuruka. Na kwa hayo mengi niliyo yasema ningependa serikali ikaze ukande juu ya athari za ajali. Kwa kuwa muda umeyoyoma sina mengi ya kuongezea, bali umakinifu wa barabarani ufuatwe.
Ni kipi kitapunguzwa iwapo safari za usiku zitapigwa marufuku
{ "text": [ "Ajali" ] }
0174_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni tukio linalodhuru ambalo hutokea kwa bahati mbaya na halina kinga wala kafara. Kuna ajali iliyofanyika mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa mwezi wa mwisho wa mwaka. Ajali hiyo ilisababishwa na uwembamba wa baraste wakati vichukuzi kama magari, malori, baisikeli, bodaboda na bajaji vikipishana katika barabara hiyo ya kilifi. Kwa kuwa kifo hakibishi hodi madereva pamoja na baadhi ya maabiria walienda jongomeo nawengine wakiwa na meyeruhi. Wengi walipoteza mizigo ya thamani na wengi kupoteza maisha yao. Awali, kuzuia ajali kutokea, serikali inapaswa kuzipanua baraste zote ili vichukuzi viwe na uwezo wa kupishana bila kukwaruzana na hatimaye kusababisha ajali barabara nyembamba huwa hazina nafasi na aghalabu ajali kufanyika. Pili, vyombo vya uchukuzi vimekuwa vingi, jaa michanga wa ufuo wa bahari kwa kusababisha misongamano barabarani na kusababisha ajali. Serikali inajuzu kuhakikisha wanabiashara wauzaji wa magari kupunguzia biashara ya kuuza magar , kwani kukitokea ajali mashirika mengi hufilisika na kupata hasara. Fauka ya hayo, ajali mara nyingi husababishwa na mwendo kasi wa juu ili kupunguza magari na hatimaye kupenduka kwa vichukuzi. Lazima kama ibada pawe na sheria ya kudhibiti mwendo kasi wa juu ili kupunguza ajali hizo· Vilevile, magari yasipitishe kilomita hamsini kwa saa. Aidha, lazima kuhakikishwe kama kifo kwa yeyote anayeendesha kichukuzi awe na umri wa kuwa na leseni na alionika juu ya masharti ya barabarani. Wengi wa vijana wadogo huacha shule na kufanya kazi za barabarani pasi kuwa na leseni. Hivyo basi kuwakimbia maafisa na kuendesha kwa kasi na mwishowe kupata ajali. Kando ya hayo, pia madereva wasiruhusiwe kuendesha gari wakiwa wametumia mihadarati kkama pombe, utumiaji wa miraa na hata uvutaji wa sigara kwani utumiaji huo huweza kusababisha ajali kwa kuwa mtu huendesha bila na kuangalia barabara na ajali kutokea. Hata hivyo, ajali huweza kusababishwa iwapo vyombo vya uchukuzi vikiwa vibovu. Mathalani, bodaboda inaweza ikakuamia mahali inopopishana na lori na kusababisha ajali kwa ghafla kama umeme. Madereva wanapaswa kuhakikisha viungo vya uchukuzi vipo sawa kabla ya kujiingiza barabarani. Naam, ukiona vyaelea jua vimeundwa. Mighairi ya hayo ajali inaweza kupunguzwa. Iwapo kutapigwa marufuku ya safari za usiku kwa kuwa madereva waendeshao hadi usiku huwa niwachovu kwa kufanya kazi hiyo mchana kutwa na mara nyingi kusababisha ajali. Pia giza linaweza kumfanya asione njia kwa uzuri kwa kupishana na vichukuzi vingine. Halaiki ya hayo yote, nao waendesha pikipiki pamoja na abiria wavae helmeti ili kujikinga na madhara ya ajali ya pikipiki kwa kupata majeruhi hasa ukiwa hujavaa helmeti unaweza kuumia kichwa na viungo vingine. Bali na hayo, madereva wanapaswa kupewa adhabu kali iwapo watavunja kanuni za barabarani. Ikiwezekana wafungwe maisha na kunyang’anywa leseni au kupigwa viboko. Kwani wanao vunja sheria sana kunaweza kutokea ajali kila uchao. Kando na hayo yote madereva wanapaswa kuelimisha kuhusu athari za ajali na wapewe masomo kupitia mtandaoni. Hatua ya kusomeshwa kupitia mtandaoni, habari za ajali hapa na pale hupunguwa kwa kuwa waendeshao vyombo vya uchukuzi huwa ni wenye elimu Wasemao husema kuwa elimu ni mwangaza popote hung’aa. Licha ya hayo yote pia wavukaji wanastahili kuacha uzembe wakati wa uvukaji kwani huenda kuwa changanya, kuwatatiza waendeshao magari, malori na hata bodaboda. Wakati wa mtu kuvuka anajuzu kuangalia kushoto na kulia kwake kwa umakini bila kusababisha ajali. Wavukaji wakifuata masharti hayo ajali nyingi zitapungua kwa idadi kubwa. Katika kutamatisha maelekezo yangu ningependa kuwakumbusha tena kuwa tutahadhari kabla ya hatari na kwa hilo tuwe makini wakati wa kuendesha na kuruka. Na kwa hayo mengi niliyo yasema ningependa serikali ikaze ukande juu ya athari za ajali. Kwa kuwa muda umeyoyoma sina mengi ya kuongezea, bali umakinifu wa barabarani ufuatwe.
Ni njia ipi bora ya kupunguza ajali
{ "text": [ "Madereva kuelimishwa athari za ajali kwa kupewa masomo kupitia mtandaoni" ] }
0174_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Ajali ni tukio linalodhuru ambalo hutokea kwa bahati mbaya na halina kinga wala kafara. Kuna ajali iliyofanyika mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa mwezi wa mwisho wa mwaka. Ajali hiyo ilisababishwa na uwembamba wa baraste wakati vichukuzi kama magari, malori, baisikeli, bodaboda na bajaji vikipishana katika barabara hiyo ya kilifi. Kwa kuwa kifo hakibishi hodi madereva pamoja na baadhi ya maabiria walienda jongomeo nawengine wakiwa na meyeruhi. Wengi walipoteza mizigo ya thamani na wengi kupoteza maisha yao. Awali, kuzuia ajali kutokea, serikali inapaswa kuzipanua baraste zote ili vichukuzi viwe na uwezo wa kupishana bila kukwaruzana na hatimaye kusababisha ajali barabara nyembamba huwa hazina nafasi na aghalabu ajali kufanyika. Pili, vyombo vya uchukuzi vimekuwa vingi, jaa michanga wa ufuo wa bahari kwa kusababisha misongamano barabarani na kusababisha ajali. Serikali inajuzu kuhakikisha wanabiashara wauzaji wa magari kupunguzia biashara ya kuuza magar , kwani kukitokea ajali mashirika mengi hufilisika na kupata hasara. Fauka ya hayo, ajali mara nyingi husababishwa na mwendo kasi wa juu ili kupunguza magari na hatimaye kupenduka kwa vichukuzi. Lazima kama ibada pawe na sheria ya kudhibiti mwendo kasi wa juu ili kupunguza ajali hizo· Vilevile, magari yasipitishe kilomita hamsini kwa saa. Aidha, lazima kuhakikishwe kama kifo kwa yeyote anayeendesha kichukuzi awe na umri wa kuwa na leseni na alionika juu ya masharti ya barabarani. Wengi wa vijana wadogo huacha shule na kufanya kazi za barabarani pasi kuwa na leseni. Hivyo basi kuwakimbia maafisa na kuendesha kwa kasi na mwishowe kupata ajali. Kando ya hayo, pia madereva wasiruhusiwe kuendesha gari wakiwa wametumia mihadarati kkama pombe, utumiaji wa miraa na hata uvutaji wa sigara kwani utumiaji huo huweza kusababisha ajali kwa kuwa mtu huendesha bila na kuangalia barabara na ajali kutokea. Hata hivyo, ajali huweza kusababishwa iwapo vyombo vya uchukuzi vikiwa vibovu. Mathalani, bodaboda inaweza ikakuamia mahali inopopishana na lori na kusababisha ajali kwa ghafla kama umeme. Madereva wanapaswa kuhakikisha viungo vya uchukuzi vipo sawa kabla ya kujiingiza barabarani. Naam, ukiona vyaelea jua vimeundwa. Mighairi ya hayo ajali inaweza kupunguzwa. Iwapo kutapigwa marufuku ya safari za usiku kwa kuwa madereva waendeshao hadi usiku huwa niwachovu kwa kufanya kazi hiyo mchana kutwa na mara nyingi kusababisha ajali. Pia giza linaweza kumfanya asione njia kwa uzuri kwa kupishana na vichukuzi vingine. Halaiki ya hayo yote, nao waendesha pikipiki pamoja na abiria wavae helmeti ili kujikinga na madhara ya ajali ya pikipiki kwa kupata majeruhi hasa ukiwa hujavaa helmeti unaweza kuumia kichwa na viungo vingine. Bali na hayo, madereva wanapaswa kupewa adhabu kali iwapo watavunja kanuni za barabarani. Ikiwezekana wafungwe maisha na kunyang’anywa leseni au kupigwa viboko. Kwani wanao vunja sheria sana kunaweza kutokea ajali kila uchao. Kando na hayo yote madereva wanapaswa kuelimisha kuhusu athari za ajali na wapewe masomo kupitia mtandaoni. Hatua ya kusomeshwa kupitia mtandaoni, habari za ajali hapa na pale hupunguwa kwa kuwa waendeshao vyombo vya uchukuzi huwa ni wenye elimu Wasemao husema kuwa elimu ni mwangaza popote hung’aa. Licha ya hayo yote pia wavukaji wanastahili kuacha uzembe wakati wa uvukaji kwani huenda kuwa changanya, kuwatatiza waendeshao magari, malori na hata bodaboda. Wakati wa mtu kuvuka anajuzu kuangalia kushoto na kulia kwake kwa umakini bila kusababisha ajali. Wavukaji wakifuata masharti hayo ajali nyingi zitapungua kwa idadi kubwa. Katika kutamatisha maelekezo yangu ningependa kuwakumbusha tena kuwa tutahadhari kabla ya hatari na kwa hilo tuwe makini wakati wa kuendesha na kuruka. Na kwa hayo mengi niliyo yasema ningependa serikali ikaze ukande juu ya athari za ajali. Kwa kuwa muda umeyoyoma sina mengi ya kuongezea, bali umakinifu wa barabarani ufuatwe.
Ni nini husababisha msongamano barabarani
{ "text": [ "Vyombo vya uchukuzi" ] }
0175_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Barabara! Duru yangu imenijuvya ya kwamba ajali ni tukio lenye madhara linalotokea ghafla bin vuu na haina kinga wala kafara. Ama kweli farasi huenda mbio hujulikana katika mashindano na katika ajali, ajali ya barabarani ndiyo ina peleka wengi kuzimuni. Nishawahi kuona mandhari hayo amelilikuwa na wenzangu katika kituo cha mabasi. Matwana moja ilipita ikiyumba yumba kwa kusheheni mizigo na abiria. Gari hilo halikufika mbali ila lilianguka na kubiringika kwa kishindo kikubwa ajabu. Sauti ya kite ilisikika na damu kuenea kila mahali. Ambulesi ilifika na mahututi kupelekwa hospitali. Insi waliokuwa wameipa dunia mkono wa buriani walibebwa kiholelaholela na kupelekwa mochari. Ajali kama hizi twaweza kuzipunguza kwa mambo yafuatayo: Awali, madereva wasiruhusiwe kupeleka magari yao wakiwa wametumia ulevi wa aina yoyote. Kwani madereva hawa wakiingia barabarani wakiwa walevi watakuwa hawana mawazo mazuri na hata hawataweza kuamua vizuri ikitokea lolote barabarani. Madereva wenye kula mirungi huku wakiendesha magari watakuwa hawana makini yoyote ya kuendesha gari hilo hali watakuwa katika harakati ya kula nyasi hizo kama mbuzi mwenye jaa ya wiki. Ama kweli kila chombo na wimbile. Aidha kithibiti mwendo ni muhimu mno kwani magari yenye kwenda kasi bila ya kuthibiti kasi hiyo yanauwezo kuleta ajali kama iliyofanyika Sultan Mahmood mnamo tarehe ishirini na tisa, mwezi wa Disemba ambapo gari ilikuwa ikielekea Nairobi. Kwanza kulikuwa usiku na dereva aliendesha basi lake kwa kasi mno ambapo lilipishana na lori na kujikuta limelasa mbavu chini. Sauti ya kite ilisikika na ambulesi kufika bila kupoteza muda na kuwapeleka majeruhi hospitalini. Haya yalitokea kwa kuwa dereva hakujali kuwa ni usiku na usiku ina giza hata kama mataa yatakua lakini hakutokuwa kama mchana pia dereva hauthibiti mwendo kwani alikuwa akipeleka kwa kasi mno hadi ajali ikatokea. Haya yasingetokea ikiwa serikali itapunguza safari za usiku na kuweka mikakati mikali na adhabu kuchukuliwa dhidi ya kuthibiti muendo. Ama kwa hakika kinga ni bora kuliko dawa. Hali kathalika, magari mabovu yaondolewe barabarani kwani heri nusu shari kuliko shari kamili. Magari haya ni bora yakatengenezwe kuliko yasababisha ajali barabarani na watu wengi kuipa dunia kisogo. Magari ambayo hayana taa za mbele na nyuma wala hayana kioo pembeni yanaweza kuingia gizani wakati wa usiku ya yasiweze kuona mbele na wala kuna nyuma kama kuna gari lengine ambalo linafuatana na gari hilo na ajali kufanyika. Inna, ni muhimu kwa madereva kuchukua leseni mpya kila baada ya wakati fulani kwani kuna madereva ambao wanafanya leseni ghushi na kuingia barabarani bila ya ujuzi wa kutosha wa kupeleka magari, tuktuk na pikipiki, na hawafanyi lengine ila husababisha ajali barabarani. Ningependa wizara ya uchukuzi na miundo msingi kashughulikiye jambo hili. Wahakikishe hakuna mtu atafanya ghushi katika leseni angawa wachukue adhabu kali kwa wenye leseni ghushi. Vilevile, madereva wanafaa wafundishwe na wayaelewe dini vizuri ingawa pia abiria wanafaa kuyajua haya kwani wakati wa Disemba huwa kuna kafara nyingi ambazo zinafanyika kupitia ajali barabarani. Ajali hizi za Disemba huwa nyingi na kawaida watu wengi waipa dunia kisogo na kuelekea kuzimuni na wengine hupotea hata miili yao zisionekane ilipotokomea. Licha ya hayo, ningependa kuwashauri wenzangu ama washawe na shirika za ukulima nchini Kenya warudi mashamba wakalime. Kenya iwe na rai bora na afya bora kuliko waje mjini ambapo kutakuwa na msongamano wa watu barabarani kwa wale waliokosa ajira na kuishia kwa mabasi, magari na hata pikipiki ambapo yatawasafirisha jongomeo bila nauli au kuhatarisha maisha yao kwa kuwa hospitalini mahututi. Fauka ya hayo, watu wapunguze safari za msimu wa masika na madereva ikiwa wataendesha magari yao wakati wa masika basi wawe makini na wasiendeshe kwa kasi kwani kuna ajali ambayo nilishuhudia wakati wa Disemba mwaka elfu mbili na kumi na tisa nilipokuwa naelekea nyumbani, hamu. Ilikuwa jumamosi ya tarehe ishirini na nne iliabiri basi la Tawakal saa moja na tukang’oa nanga kuelekea Lamu. Tulipopita witu karibu na mkurubwi mvua nyingi ilikuwa ikinyesha naye dereva aliendesha gari lake kwa kasi mno. Ghafla bin vuu tulijikuta mchangani. Alhamdullilahi hakuna aliyekufa lakini wengi wetu tulikuwa majeruhi nikiwa mmoja wao. Haya yalinipelekea kutia nadhiri kutosafiri tena wakati wa masika. Na ningependa pia madereva na wapunguze kasi zao wakati wa mvua na watu mno ambapo lilipishana na lori na kujikuta limelaza mbavu chini. Sauti ya kite ilisikika na ambulesi kufika bila kupoteza muda na kuwapeleka majeruhi hospitalini. Haya yalitokea kwa kuwa dereva hakujali kuwa ni usiku na usiku kuna giza. Hata kama mataa yataekwa lakini hakutokuwa kama mchana pia dereva hana thibiti mwendo kwani alikuwa akipeleka kwa kasi mno hadi ajali ikatokea. Haya yasingetokea ikiwa serikali itapunguza safari za usiku na kuweka mikakati mikali na adhabu kuchukuliwa dhidi ya kuthibiti mwendo ama kwa hakika kinga ni bora kuliko dawa. Hali kathalika, magari mabovu yaondelewe barabarani kwani heri nusu shari kuliko shari kamili. Magari haya ni bora yakatengenezwe kuliko yasababishe ajali barabarani na watu wengi kuipa dunia kisogo. Magari ambayo hayana taa za mbele na nyuma wala hayana kioo pembeni yanaweza kuingia gizani wakati wa usiku na yasiweze kuona mbele wala nyuma kama kuna gari lingine ambalo linafuatana na gari hilo na ajali kufanyika. Inna, ni muhimu kwa madereva kuchukua leseni mpya kila baada ya wakati fulani kwani kuna madereva ambao wanafanya leseni ghushi na kuingia barabarani bila ya ujuzi wa kukesha wa kupeleka magari, tuktuk na pikipiki, na hawafanyi lingine ila husababisha ajali barabarani. Ningependa wizara ya uchukuzi na miundo msingi kushughulikia jambo hili. Wahakikishe hatuna mtu atafanya danishi katika leseni ingawa wachukuliwe adhabu kali kwa wenye leseni ghushi. Kabla sijamaliza na kutia nanga mchangani ningependa kuikumbusha serikali kuwa ajali barabarani husababisha mara nyingi na msongamano wa watu na magari barabarani. Serikali inaweza kujenga na kupanua barabara kisha watenganishe baina ya barabara ya watu na barabara ya magari kwani hata Hillary amethibitisha haya na kusema kuwa ajali ya watembea kwa miguu barabara imeongezeka kwa asilia mia 9-4 kutoka mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa hadi mwaka wa elfu mbili ishirini ambapo watu elfu tatu, mia sita, sitini na watatu walienda kuzimuni. Nikiiyacha kalamu yangu ninasema kuwa ajali barabarani za nchi hii yetu ya Kenya zitafika mwisho kama mapendekezo yangu haya yatatiliwa maanani.
Walikuwa wapi na wenzake
{ "text": [ "kituo cha mabasi" ] }
0175_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Barabara! Duru yangu imenijuvya ya kwamba ajali ni tukio lenye madhara linalotokea ghafla bin vuu na haina kinga wala kafara. Ama kweli farasi huenda mbio hujulikana katika mashindano na katika ajali, ajali ya barabarani ndiyo ina peleka wengi kuzimuni. Nishawahi kuona mandhari hayo amelilikuwa na wenzangu katika kituo cha mabasi. Matwana moja ilipita ikiyumba yumba kwa kusheheni mizigo na abiria. Gari hilo halikufika mbali ila lilianguka na kubiringika kwa kishindo kikubwa ajabu. Sauti ya kite ilisikika na damu kuenea kila mahali. Ambulesi ilifika na mahututi kupelekwa hospitali. Insi waliokuwa wameipa dunia mkono wa buriani walibebwa kiholelaholela na kupelekwa mochari. Ajali kama hizi twaweza kuzipunguza kwa mambo yafuatayo: Awali, madereva wasiruhusiwe kupeleka magari yao wakiwa wametumia ulevi wa aina yoyote. Kwani madereva hawa wakiingia barabarani wakiwa walevi watakuwa hawana mawazo mazuri na hata hawataweza kuamua vizuri ikitokea lolote barabarani. Madereva wenye kula mirungi huku wakiendesha magari watakuwa hawana makini yoyote ya kuendesha gari hilo hali watakuwa katika harakati ya kula nyasi hizo kama mbuzi mwenye jaa ya wiki. Ama kweli kila chombo na wimbile. Aidha kithibiti mwendo ni muhimu mno kwani magari yenye kwenda kasi bila ya kuthibiti kasi hiyo yanauwezo kuleta ajali kama iliyofanyika Sultan Mahmood mnamo tarehe ishirini na tisa, mwezi wa Disemba ambapo gari ilikuwa ikielekea Nairobi. Kwanza kulikuwa usiku na dereva aliendesha basi lake kwa kasi mno ambapo lilipishana na lori na kujikuta limelasa mbavu chini. Sauti ya kite ilisikika na ambulesi kufika bila kupoteza muda na kuwapeleka majeruhi hospitalini. Haya yalitokea kwa kuwa dereva hakujali kuwa ni usiku na usiku ina giza hata kama mataa yatakua lakini hakutokuwa kama mchana pia dereva hauthibiti mwendo kwani alikuwa akipeleka kwa kasi mno hadi ajali ikatokea. Haya yasingetokea ikiwa serikali itapunguza safari za usiku na kuweka mikakati mikali na adhabu kuchukuliwa dhidi ya kuthibiti muendo. Ama kwa hakika kinga ni bora kuliko dawa. Hali kathalika, magari mabovu yaondolewe barabarani kwani heri nusu shari kuliko shari kamili. Magari haya ni bora yakatengenezwe kuliko yasababisha ajali barabarani na watu wengi kuipa dunia kisogo. Magari ambayo hayana taa za mbele na nyuma wala hayana kioo pembeni yanaweza kuingia gizani wakati wa usiku ya yasiweze kuona mbele na wala kuna nyuma kama kuna gari lengine ambalo linafuatana na gari hilo na ajali kufanyika. Inna, ni muhimu kwa madereva kuchukua leseni mpya kila baada ya wakati fulani kwani kuna madereva ambao wanafanya leseni ghushi na kuingia barabarani bila ya ujuzi wa kutosha wa kupeleka magari, tuktuk na pikipiki, na hawafanyi lengine ila husababisha ajali barabarani. Ningependa wizara ya uchukuzi na miundo msingi kashughulikiye jambo hili. Wahakikishe hakuna mtu atafanya ghushi katika leseni angawa wachukue adhabu kali kwa wenye leseni ghushi. Vilevile, madereva wanafaa wafundishwe na wayaelewe dini vizuri ingawa pia abiria wanafaa kuyajua haya kwani wakati wa Disemba huwa kuna kafara nyingi ambazo zinafanyika kupitia ajali barabarani. Ajali hizi za Disemba huwa nyingi na kawaida watu wengi waipa dunia kisogo na kuelekea kuzimuni na wengine hupotea hata miili yao zisionekane ilipotokomea. Licha ya hayo, ningependa kuwashauri wenzangu ama washawe na shirika za ukulima nchini Kenya warudi mashamba wakalime. Kenya iwe na rai bora na afya bora kuliko waje mjini ambapo kutakuwa na msongamano wa watu barabarani kwa wale waliokosa ajira na kuishia kwa mabasi, magari na hata pikipiki ambapo yatawasafirisha jongomeo bila nauli au kuhatarisha maisha yao kwa kuwa hospitalini mahututi. Fauka ya hayo, watu wapunguze safari za msimu wa masika na madereva ikiwa wataendesha magari yao wakati wa masika basi wawe makini na wasiendeshe kwa kasi kwani kuna ajali ambayo nilishuhudia wakati wa Disemba mwaka elfu mbili na kumi na tisa nilipokuwa naelekea nyumbani, hamu. Ilikuwa jumamosi ya tarehe ishirini na nne iliabiri basi la Tawakal saa moja na tukang’oa nanga kuelekea Lamu. Tulipopita witu karibu na mkurubwi mvua nyingi ilikuwa ikinyesha naye dereva aliendesha gari lake kwa kasi mno. Ghafla bin vuu tulijikuta mchangani. Alhamdullilahi hakuna aliyekufa lakini wengi wetu tulikuwa majeruhi nikiwa mmoja wao. Haya yalinipelekea kutia nadhiri kutosafiri tena wakati wa masika. Na ningependa pia madereva na wapunguze kasi zao wakati wa mvua na watu mno ambapo lilipishana na lori na kujikuta limelaza mbavu chini. Sauti ya kite ilisikika na ambulesi kufika bila kupoteza muda na kuwapeleka majeruhi hospitalini. Haya yalitokea kwa kuwa dereva hakujali kuwa ni usiku na usiku kuna giza. Hata kama mataa yataekwa lakini hakutokuwa kama mchana pia dereva hana thibiti mwendo kwani alikuwa akipeleka kwa kasi mno hadi ajali ikatokea. Haya yasingetokea ikiwa serikali itapunguza safari za usiku na kuweka mikakati mikali na adhabu kuchukuliwa dhidi ya kuthibiti mwendo ama kwa hakika kinga ni bora kuliko dawa. Hali kathalika, magari mabovu yaondelewe barabarani kwani heri nusu shari kuliko shari kamili. Magari haya ni bora yakatengenezwe kuliko yasababishe ajali barabarani na watu wengi kuipa dunia kisogo. Magari ambayo hayana taa za mbele na nyuma wala hayana kioo pembeni yanaweza kuingia gizani wakati wa usiku na yasiweze kuona mbele wala nyuma kama kuna gari lingine ambalo linafuatana na gari hilo na ajali kufanyika. Inna, ni muhimu kwa madereva kuchukua leseni mpya kila baada ya wakati fulani kwani kuna madereva ambao wanafanya leseni ghushi na kuingia barabarani bila ya ujuzi wa kukesha wa kupeleka magari, tuktuk na pikipiki, na hawafanyi lingine ila husababisha ajali barabarani. Ningependa wizara ya uchukuzi na miundo msingi kushughulikia jambo hili. Wahakikishe hatuna mtu atafanya danishi katika leseni ingawa wachukuliwe adhabu kali kwa wenye leseni ghushi. Kabla sijamaliza na kutia nanga mchangani ningependa kuikumbusha serikali kuwa ajali barabarani husababisha mara nyingi na msongamano wa watu na magari barabarani. Serikali inaweza kujenga na kupanua barabara kisha watenganishe baina ya barabara ya watu na barabara ya magari kwani hata Hillary amethibitisha haya na kusema kuwa ajali ya watembea kwa miguu barabara imeongezeka kwa asilia mia 9-4 kutoka mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa hadi mwaka wa elfu mbili ishirini ambapo watu elfu tatu, mia sita, sitini na watatu walienda kuzimuni. Nikiiyacha kalamu yangu ninasema kuwa ajali barabarani za nchi hii yetu ya Kenya zitafika mwisho kama mapendekezo yangu haya yatatiliwa maanani.
Matwana ngapi zilipita zikiyumbayumba
{ "text": [ "moja" ] }
0175_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Barabara! Duru yangu imenijuvya ya kwamba ajali ni tukio lenye madhara linalotokea ghafla bin vuu na haina kinga wala kafara. Ama kweli farasi huenda mbio hujulikana katika mashindano na katika ajali, ajali ya barabarani ndiyo ina peleka wengi kuzimuni. Nishawahi kuona mandhari hayo amelilikuwa na wenzangu katika kituo cha mabasi. Matwana moja ilipita ikiyumba yumba kwa kusheheni mizigo na abiria. Gari hilo halikufika mbali ila lilianguka na kubiringika kwa kishindo kikubwa ajabu. Sauti ya kite ilisikika na damu kuenea kila mahali. Ambulesi ilifika na mahututi kupelekwa hospitali. Insi waliokuwa wameipa dunia mkono wa buriani walibebwa kiholelaholela na kupelekwa mochari. Ajali kama hizi twaweza kuzipunguza kwa mambo yafuatayo: Awali, madereva wasiruhusiwe kupeleka magari yao wakiwa wametumia ulevi wa aina yoyote. Kwani madereva hawa wakiingia barabarani wakiwa walevi watakuwa hawana mawazo mazuri na hata hawataweza kuamua vizuri ikitokea lolote barabarani. Madereva wenye kula mirungi huku wakiendesha magari watakuwa hawana makini yoyote ya kuendesha gari hilo hali watakuwa katika harakati ya kula nyasi hizo kama mbuzi mwenye jaa ya wiki. Ama kweli kila chombo na wimbile. Aidha kithibiti mwendo ni muhimu mno kwani magari yenye kwenda kasi bila ya kuthibiti kasi hiyo yanauwezo kuleta ajali kama iliyofanyika Sultan Mahmood mnamo tarehe ishirini na tisa, mwezi wa Disemba ambapo gari ilikuwa ikielekea Nairobi. Kwanza kulikuwa usiku na dereva aliendesha basi lake kwa kasi mno ambapo lilipishana na lori na kujikuta limelasa mbavu chini. Sauti ya kite ilisikika na ambulesi kufika bila kupoteza muda na kuwapeleka majeruhi hospitalini. Haya yalitokea kwa kuwa dereva hakujali kuwa ni usiku na usiku ina giza hata kama mataa yatakua lakini hakutokuwa kama mchana pia dereva hauthibiti mwendo kwani alikuwa akipeleka kwa kasi mno hadi ajali ikatokea. Haya yasingetokea ikiwa serikali itapunguza safari za usiku na kuweka mikakati mikali na adhabu kuchukuliwa dhidi ya kuthibiti muendo. Ama kwa hakika kinga ni bora kuliko dawa. Hali kathalika, magari mabovu yaondolewe barabarani kwani heri nusu shari kuliko shari kamili. Magari haya ni bora yakatengenezwe kuliko yasababisha ajali barabarani na watu wengi kuipa dunia kisogo. Magari ambayo hayana taa za mbele na nyuma wala hayana kioo pembeni yanaweza kuingia gizani wakati wa usiku ya yasiweze kuona mbele na wala kuna nyuma kama kuna gari lengine ambalo linafuatana na gari hilo na ajali kufanyika. Inna, ni muhimu kwa madereva kuchukua leseni mpya kila baada ya wakati fulani kwani kuna madereva ambao wanafanya leseni ghushi na kuingia barabarani bila ya ujuzi wa kutosha wa kupeleka magari, tuktuk na pikipiki, na hawafanyi lengine ila husababisha ajali barabarani. Ningependa wizara ya uchukuzi na miundo msingi kashughulikiye jambo hili. Wahakikishe hakuna mtu atafanya ghushi katika leseni angawa wachukue adhabu kali kwa wenye leseni ghushi. Vilevile, madereva wanafaa wafundishwe na wayaelewe dini vizuri ingawa pia abiria wanafaa kuyajua haya kwani wakati wa Disemba huwa kuna kafara nyingi ambazo zinafanyika kupitia ajali barabarani. Ajali hizi za Disemba huwa nyingi na kawaida watu wengi waipa dunia kisogo na kuelekea kuzimuni na wengine hupotea hata miili yao zisionekane ilipotokomea. Licha ya hayo, ningependa kuwashauri wenzangu ama washawe na shirika za ukulima nchini Kenya warudi mashamba wakalime. Kenya iwe na rai bora na afya bora kuliko waje mjini ambapo kutakuwa na msongamano wa watu barabarani kwa wale waliokosa ajira na kuishia kwa mabasi, magari na hata pikipiki ambapo yatawasafirisha jongomeo bila nauli au kuhatarisha maisha yao kwa kuwa hospitalini mahututi. Fauka ya hayo, watu wapunguze safari za msimu wa masika na madereva ikiwa wataendesha magari yao wakati wa masika basi wawe makini na wasiendeshe kwa kasi kwani kuna ajali ambayo nilishuhudia wakati wa Disemba mwaka elfu mbili na kumi na tisa nilipokuwa naelekea nyumbani, hamu. Ilikuwa jumamosi ya tarehe ishirini na nne iliabiri basi la Tawakal saa moja na tukang’oa nanga kuelekea Lamu. Tulipopita witu karibu na mkurubwi mvua nyingi ilikuwa ikinyesha naye dereva aliendesha gari lake kwa kasi mno. Ghafla bin vuu tulijikuta mchangani. Alhamdullilahi hakuna aliyekufa lakini wengi wetu tulikuwa majeruhi nikiwa mmoja wao. Haya yalinipelekea kutia nadhiri kutosafiri tena wakati wa masika. Na ningependa pia madereva na wapunguze kasi zao wakati wa mvua na watu mno ambapo lilipishana na lori na kujikuta limelaza mbavu chini. Sauti ya kite ilisikika na ambulesi kufika bila kupoteza muda na kuwapeleka majeruhi hospitalini. Haya yalitokea kwa kuwa dereva hakujali kuwa ni usiku na usiku kuna giza. Hata kama mataa yataekwa lakini hakutokuwa kama mchana pia dereva hana thibiti mwendo kwani alikuwa akipeleka kwa kasi mno hadi ajali ikatokea. Haya yasingetokea ikiwa serikali itapunguza safari za usiku na kuweka mikakati mikali na adhabu kuchukuliwa dhidi ya kuthibiti mwendo ama kwa hakika kinga ni bora kuliko dawa. Hali kathalika, magari mabovu yaondelewe barabarani kwani heri nusu shari kuliko shari kamili. Magari haya ni bora yakatengenezwe kuliko yasababishe ajali barabarani na watu wengi kuipa dunia kisogo. Magari ambayo hayana taa za mbele na nyuma wala hayana kioo pembeni yanaweza kuingia gizani wakati wa usiku na yasiweze kuona mbele wala nyuma kama kuna gari lingine ambalo linafuatana na gari hilo na ajali kufanyika. Inna, ni muhimu kwa madereva kuchukua leseni mpya kila baada ya wakati fulani kwani kuna madereva ambao wanafanya leseni ghushi na kuingia barabarani bila ya ujuzi wa kukesha wa kupeleka magari, tuktuk na pikipiki, na hawafanyi lingine ila husababisha ajali barabarani. Ningependa wizara ya uchukuzi na miundo msingi kushughulikia jambo hili. Wahakikishe hatuna mtu atafanya danishi katika leseni ingawa wachukuliwe adhabu kali kwa wenye leseni ghushi. Kabla sijamaliza na kutia nanga mchangani ningependa kuikumbusha serikali kuwa ajali barabarani husababisha mara nyingi na msongamano wa watu na magari barabarani. Serikali inaweza kujenga na kupanua barabara kisha watenganishe baina ya barabara ya watu na barabara ya magari kwani hata Hillary amethibitisha haya na kusema kuwa ajali ya watembea kwa miguu barabara imeongezeka kwa asilia mia 9-4 kutoka mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa hadi mwaka wa elfu mbili ishirini ambapo watu elfu tatu, mia sita, sitini na watatu walienda kuzimuni. Nikiiyacha kalamu yangu ninasema kuwa ajali barabarani za nchi hii yetu ya Kenya zitafika mwisho kama mapendekezo yangu haya yatatiliwa maanani.
Ajali nyingi huwa za lini
{ "text": [ "Disemba" ] }
0175_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Barabara! Duru yangu imenijuvya ya kwamba ajali ni tukio lenye madhara linalotokea ghafla bin vuu na haina kinga wala kafara. Ama kweli farasi huenda mbio hujulikana katika mashindano na katika ajali, ajali ya barabarani ndiyo ina peleka wengi kuzimuni. Nishawahi kuona mandhari hayo amelilikuwa na wenzangu katika kituo cha mabasi. Matwana moja ilipita ikiyumba yumba kwa kusheheni mizigo na abiria. Gari hilo halikufika mbali ila lilianguka na kubiringika kwa kishindo kikubwa ajabu. Sauti ya kite ilisikika na damu kuenea kila mahali. Ambulesi ilifika na mahututi kupelekwa hospitali. Insi waliokuwa wameipa dunia mkono wa buriani walibebwa kiholelaholela na kupelekwa mochari. Ajali kama hizi twaweza kuzipunguza kwa mambo yafuatayo: Awali, madereva wasiruhusiwe kupeleka magari yao wakiwa wametumia ulevi wa aina yoyote. Kwani madereva hawa wakiingia barabarani wakiwa walevi watakuwa hawana mawazo mazuri na hata hawataweza kuamua vizuri ikitokea lolote barabarani. Madereva wenye kula mirungi huku wakiendesha magari watakuwa hawana makini yoyote ya kuendesha gari hilo hali watakuwa katika harakati ya kula nyasi hizo kama mbuzi mwenye jaa ya wiki. Ama kweli kila chombo na wimbile. Aidha kithibiti mwendo ni muhimu mno kwani magari yenye kwenda kasi bila ya kuthibiti kasi hiyo yanauwezo kuleta ajali kama iliyofanyika Sultan Mahmood mnamo tarehe ishirini na tisa, mwezi wa Disemba ambapo gari ilikuwa ikielekea Nairobi. Kwanza kulikuwa usiku na dereva aliendesha basi lake kwa kasi mno ambapo lilipishana na lori na kujikuta limelasa mbavu chini. Sauti ya kite ilisikika na ambulesi kufika bila kupoteza muda na kuwapeleka majeruhi hospitalini. Haya yalitokea kwa kuwa dereva hakujali kuwa ni usiku na usiku ina giza hata kama mataa yatakua lakini hakutokuwa kama mchana pia dereva hauthibiti mwendo kwani alikuwa akipeleka kwa kasi mno hadi ajali ikatokea. Haya yasingetokea ikiwa serikali itapunguza safari za usiku na kuweka mikakati mikali na adhabu kuchukuliwa dhidi ya kuthibiti muendo. Ama kwa hakika kinga ni bora kuliko dawa. Hali kathalika, magari mabovu yaondolewe barabarani kwani heri nusu shari kuliko shari kamili. Magari haya ni bora yakatengenezwe kuliko yasababisha ajali barabarani na watu wengi kuipa dunia kisogo. Magari ambayo hayana taa za mbele na nyuma wala hayana kioo pembeni yanaweza kuingia gizani wakati wa usiku ya yasiweze kuona mbele na wala kuna nyuma kama kuna gari lengine ambalo linafuatana na gari hilo na ajali kufanyika. Inna, ni muhimu kwa madereva kuchukua leseni mpya kila baada ya wakati fulani kwani kuna madereva ambao wanafanya leseni ghushi na kuingia barabarani bila ya ujuzi wa kutosha wa kupeleka magari, tuktuk na pikipiki, na hawafanyi lengine ila husababisha ajali barabarani. Ningependa wizara ya uchukuzi na miundo msingi kashughulikiye jambo hili. Wahakikishe hakuna mtu atafanya ghushi katika leseni angawa wachukue adhabu kali kwa wenye leseni ghushi. Vilevile, madereva wanafaa wafundishwe na wayaelewe dini vizuri ingawa pia abiria wanafaa kuyajua haya kwani wakati wa Disemba huwa kuna kafara nyingi ambazo zinafanyika kupitia ajali barabarani. Ajali hizi za Disemba huwa nyingi na kawaida watu wengi waipa dunia kisogo na kuelekea kuzimuni na wengine hupotea hata miili yao zisionekane ilipotokomea. Licha ya hayo, ningependa kuwashauri wenzangu ama washawe na shirika za ukulima nchini Kenya warudi mashamba wakalime. Kenya iwe na rai bora na afya bora kuliko waje mjini ambapo kutakuwa na msongamano wa watu barabarani kwa wale waliokosa ajira na kuishia kwa mabasi, magari na hata pikipiki ambapo yatawasafirisha jongomeo bila nauli au kuhatarisha maisha yao kwa kuwa hospitalini mahututi. Fauka ya hayo, watu wapunguze safari za msimu wa masika na madereva ikiwa wataendesha magari yao wakati wa masika basi wawe makini na wasiendeshe kwa kasi kwani kuna ajali ambayo nilishuhudia wakati wa Disemba mwaka elfu mbili na kumi na tisa nilipokuwa naelekea nyumbani, hamu. Ilikuwa jumamosi ya tarehe ishirini na nne iliabiri basi la Tawakal saa moja na tukang’oa nanga kuelekea Lamu. Tulipopita witu karibu na mkurubwi mvua nyingi ilikuwa ikinyesha naye dereva aliendesha gari lake kwa kasi mno. Ghafla bin vuu tulijikuta mchangani. Alhamdullilahi hakuna aliyekufa lakini wengi wetu tulikuwa majeruhi nikiwa mmoja wao. Haya yalinipelekea kutia nadhiri kutosafiri tena wakati wa masika. Na ningependa pia madereva na wapunguze kasi zao wakati wa mvua na watu mno ambapo lilipishana na lori na kujikuta limelaza mbavu chini. Sauti ya kite ilisikika na ambulesi kufika bila kupoteza muda na kuwapeleka majeruhi hospitalini. Haya yalitokea kwa kuwa dereva hakujali kuwa ni usiku na usiku kuna giza. Hata kama mataa yataekwa lakini hakutokuwa kama mchana pia dereva hana thibiti mwendo kwani alikuwa akipeleka kwa kasi mno hadi ajali ikatokea. Haya yasingetokea ikiwa serikali itapunguza safari za usiku na kuweka mikakati mikali na adhabu kuchukuliwa dhidi ya kuthibiti mwendo ama kwa hakika kinga ni bora kuliko dawa. Hali kathalika, magari mabovu yaondelewe barabarani kwani heri nusu shari kuliko shari kamili. Magari haya ni bora yakatengenezwe kuliko yasababishe ajali barabarani na watu wengi kuipa dunia kisogo. Magari ambayo hayana taa za mbele na nyuma wala hayana kioo pembeni yanaweza kuingia gizani wakati wa usiku na yasiweze kuona mbele wala nyuma kama kuna gari lingine ambalo linafuatana na gari hilo na ajali kufanyika. Inna, ni muhimu kwa madereva kuchukua leseni mpya kila baada ya wakati fulani kwani kuna madereva ambao wanafanya leseni ghushi na kuingia barabarani bila ya ujuzi wa kukesha wa kupeleka magari, tuktuk na pikipiki, na hawafanyi lingine ila husababisha ajali barabarani. Ningependa wizara ya uchukuzi na miundo msingi kushughulikia jambo hili. Wahakikishe hatuna mtu atafanya danishi katika leseni ingawa wachukuliwe adhabu kali kwa wenye leseni ghushi. Kabla sijamaliza na kutia nanga mchangani ningependa kuikumbusha serikali kuwa ajali barabarani husababisha mara nyingi na msongamano wa watu na magari barabarani. Serikali inaweza kujenga na kupanua barabara kisha watenganishe baina ya barabara ya watu na barabara ya magari kwani hata Hillary amethibitisha haya na kusema kuwa ajali ya watembea kwa miguu barabara imeongezeka kwa asilia mia 9-4 kutoka mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa hadi mwaka wa elfu mbili ishirini ambapo watu elfu tatu, mia sita, sitini na watatu walienda kuzimuni. Nikiiyacha kalamu yangu ninasema kuwa ajali barabarani za nchi hii yetu ya Kenya zitafika mwisho kama mapendekezo yangu haya yatatiliwa maanani.
Grown ilikuwa ikielekea wapi
{ "text": [ "Nairobi" ] }
0175_swa
MJADALA KUHUSU NAMNA MBALIMBALI ZA KUPUNGUZA AJALI ZA BARABARANI NCHINI KENYA Barabara! Duru yangu imenijuvya ya kwamba ajali ni tukio lenye madhara linalotokea ghafla bin vuu na haina kinga wala kafara. Ama kweli farasi huenda mbio hujulikana katika mashindano na katika ajali, ajali ya barabarani ndiyo ina peleka wengi kuzimuni. Nishawahi kuona mandhari hayo amelilikuwa na wenzangu katika kituo cha mabasi. Matwana moja ilipita ikiyumba yumba kwa kusheheni mizigo na abiria. Gari hilo halikufika mbali ila lilianguka na kubiringika kwa kishindo kikubwa ajabu. Sauti ya kite ilisikika na damu kuenea kila mahali. Ambulesi ilifika na mahututi kupelekwa hospitali. Insi waliokuwa wameipa dunia mkono wa buriani walibebwa kiholelaholela na kupelekwa mochari. Ajali kama hizi twaweza kuzipunguza kwa mambo yafuatayo: Awali, madereva wasiruhusiwe kupeleka magari yao wakiwa wametumia ulevi wa aina yoyote. Kwani madereva hawa wakiingia barabarani wakiwa walevi watakuwa hawana mawazo mazuri na hata hawataweza kuamua vizuri ikitokea lolote barabarani. Madereva wenye kula mirungi huku wakiendesha magari watakuwa hawana makini yoyote ya kuendesha gari hilo hali watakuwa katika harakati ya kula nyasi hizo kama mbuzi mwenye jaa ya wiki. Ama kweli kila chombo na wimbile. Aidha kithibiti mwendo ni muhimu mno kwani magari yenye kwenda kasi bila ya kuthibiti kasi hiyo yanauwezo kuleta ajali kama iliyofanyika Sultan Mahmood mnamo tarehe ishirini na tisa, mwezi wa Disemba ambapo gari ilikuwa ikielekea Nairobi. Kwanza kulikuwa usiku na dereva aliendesha basi lake kwa kasi mno ambapo lilipishana na lori na kujikuta limelasa mbavu chini. Sauti ya kite ilisikika na ambulesi kufika bila kupoteza muda na kuwapeleka majeruhi hospitalini. Haya yalitokea kwa kuwa dereva hakujali kuwa ni usiku na usiku ina giza hata kama mataa yatakua lakini hakutokuwa kama mchana pia dereva hauthibiti mwendo kwani alikuwa akipeleka kwa kasi mno hadi ajali ikatokea. Haya yasingetokea ikiwa serikali itapunguza safari za usiku na kuweka mikakati mikali na adhabu kuchukuliwa dhidi ya kuthibiti muendo. Ama kwa hakika kinga ni bora kuliko dawa. Hali kathalika, magari mabovu yaondolewe barabarani kwani heri nusu shari kuliko shari kamili. Magari haya ni bora yakatengenezwe kuliko yasababisha ajali barabarani na watu wengi kuipa dunia kisogo. Magari ambayo hayana taa za mbele na nyuma wala hayana kioo pembeni yanaweza kuingia gizani wakati wa usiku ya yasiweze kuona mbele na wala kuna nyuma kama kuna gari lengine ambalo linafuatana na gari hilo na ajali kufanyika. Inna, ni muhimu kwa madereva kuchukua leseni mpya kila baada ya wakati fulani kwani kuna madereva ambao wanafanya leseni ghushi na kuingia barabarani bila ya ujuzi wa kutosha wa kupeleka magari, tuktuk na pikipiki, na hawafanyi lengine ila husababisha ajali barabarani. Ningependa wizara ya uchukuzi na miundo msingi kashughulikiye jambo hili. Wahakikishe hakuna mtu atafanya ghushi katika leseni angawa wachukue adhabu kali kwa wenye leseni ghushi. Vilevile, madereva wanafaa wafundishwe na wayaelewe dini vizuri ingawa pia abiria wanafaa kuyajua haya kwani wakati wa Disemba huwa kuna kafara nyingi ambazo zinafanyika kupitia ajali barabarani. Ajali hizi za Disemba huwa nyingi na kawaida watu wengi waipa dunia kisogo na kuelekea kuzimuni na wengine hupotea hata miili yao zisionekane ilipotokomea. Licha ya hayo, ningependa kuwashauri wenzangu ama washawe na shirika za ukulima nchini Kenya warudi mashamba wakalime. Kenya iwe na rai bora na afya bora kuliko waje mjini ambapo kutakuwa na msongamano wa watu barabarani kwa wale waliokosa ajira na kuishia kwa mabasi, magari na hata pikipiki ambapo yatawasafirisha jongomeo bila nauli au kuhatarisha maisha yao kwa kuwa hospitalini mahututi. Fauka ya hayo, watu wapunguze safari za msimu wa masika na madereva ikiwa wataendesha magari yao wakati wa masika basi wawe makini na wasiendeshe kwa kasi kwani kuna ajali ambayo nilishuhudia wakati wa Disemba mwaka elfu mbili na kumi na tisa nilipokuwa naelekea nyumbani, hamu. Ilikuwa jumamosi ya tarehe ishirini na nne iliabiri basi la Tawakal saa moja na tukang’oa nanga kuelekea Lamu. Tulipopita witu karibu na mkurubwi mvua nyingi ilikuwa ikinyesha naye dereva aliendesha gari lake kwa kasi mno. Ghafla bin vuu tulijikuta mchangani. Alhamdullilahi hakuna aliyekufa lakini wengi wetu tulikuwa majeruhi nikiwa mmoja wao. Haya yalinipelekea kutia nadhiri kutosafiri tena wakati wa masika. Na ningependa pia madereva na wapunguze kasi zao wakati wa mvua na watu mno ambapo lilipishana na lori na kujikuta limelaza mbavu chini. Sauti ya kite ilisikika na ambulesi kufika bila kupoteza muda na kuwapeleka majeruhi hospitalini. Haya yalitokea kwa kuwa dereva hakujali kuwa ni usiku na usiku kuna giza. Hata kama mataa yataekwa lakini hakutokuwa kama mchana pia dereva hana thibiti mwendo kwani alikuwa akipeleka kwa kasi mno hadi ajali ikatokea. Haya yasingetokea ikiwa serikali itapunguza safari za usiku na kuweka mikakati mikali na adhabu kuchukuliwa dhidi ya kuthibiti mwendo ama kwa hakika kinga ni bora kuliko dawa. Hali kathalika, magari mabovu yaondelewe barabarani kwani heri nusu shari kuliko shari kamili. Magari haya ni bora yakatengenezwe kuliko yasababishe ajali barabarani na watu wengi kuipa dunia kisogo. Magari ambayo hayana taa za mbele na nyuma wala hayana kioo pembeni yanaweza kuingia gizani wakati wa usiku na yasiweze kuona mbele wala nyuma kama kuna gari lingine ambalo linafuatana na gari hilo na ajali kufanyika. Inna, ni muhimu kwa madereva kuchukua leseni mpya kila baada ya wakati fulani kwani kuna madereva ambao wanafanya leseni ghushi na kuingia barabarani bila ya ujuzi wa kukesha wa kupeleka magari, tuktuk na pikipiki, na hawafanyi lingine ila husababisha ajali barabarani. Ningependa wizara ya uchukuzi na miundo msingi kushughulikia jambo hili. Wahakikishe hatuna mtu atafanya danishi katika leseni ingawa wachukuliwe adhabu kali kwa wenye leseni ghushi. Kabla sijamaliza na kutia nanga mchangani ningependa kuikumbusha serikali kuwa ajali barabarani husababisha mara nyingi na msongamano wa watu na magari barabarani. Serikali inaweza kujenga na kupanua barabara kisha watenganishe baina ya barabara ya watu na barabara ya magari kwani hata Hillary amethibitisha haya na kusema kuwa ajali ya watembea kwa miguu barabara imeongezeka kwa asilia mia 9-4 kutoka mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa hadi mwaka wa elfu mbili ishirini ambapo watu elfu tatu, mia sita, sitini na watatu walienda kuzimuni. Nikiiyacha kalamu yangu ninasema kuwa ajali barabarani za nchi hii yetu ya Kenya zitafika mwisho kama mapendekezo yangu haya yatatiliwa maanani.
Watu wapunguze safari za msimu gani
{ "text": [ "wa masika" ] }
0176_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Aghalabu elimu hujulikana kama mfumo unaotumika kuwafundisha binadamu mambo yatakayowasaidia aushini mwao kupitia masomo mbalimbali. Masomo ni ya aina mbili nazo ni: ya kiakademia na ya kiufundi. Masomo ya kiakademia hupigiwa debe hadharani ilhali masomo ya kiufundi huzingatia hadharia na vitendo kama vile sayansi kimu, useremala, kilimo na uashi. Masomo ya kiufundi yana umuhimu wake lakini wanagenzi wengi huyambaa kama jini. Ningependa kuzungumzia sababu za wanagenzi wengi wa shule za upili kukataa asali ya masomo ya kiufundi. Kwanza kabisa, kutohimizwa kwa masomo hayakua kwa sababu ya ukosefu wa vifaa katika shule nyingi. Ingawa masomo ya kiufundi huimarisha maendeleo ya kiuchumi na jamii katika nchi, vifaa vya kusoma masomo haya ni ghali kama vipuli vya ndege. Ili shule ianzishe somo la sayansi kimu inahitaji undanisi wenye taaluma hiyo, cherehani, majiko, jokofu, nyuzi, sindano na darasa la kusomea. Vifaa hivi ni mamilioni ya pesa kutokuwepo kwa vifaa hivi hufanya wanagenzi wengi kuyapuuza masomo haya hata kabla hawajajiunga. Pili, msisitizo mkubwa katika masomo ya kiakademia ijapo kuwa masomo ya kiufundi huwapunguzia wakaazi gharama kwa kuunda bidhaa za bei nafuu, wazazi, wadanisi na wanajamii huwasisitizia wanagenzi kuyapenda masomo ya kiakademia kama vile Hisabati, Biolojia, Kemia na Fizikia kwa sababu masomo haya yana vyeo vikubwa katika jamii. Tatu, watu waliofanikiwa kiuchumi, kijamii na kisiasa kwa kutumia ngazi ya masomo ya kiufundi ni nadra kama maziwa ya kuku. Ingawa somo hili la kiufundi hukabiliana na uhaba wa kazi, wanagenzi huyapuuza masomo haya kwa sababu, hawajui waja waliofanikiwa. Wanagenzi hawa huyakimbilia masomo yanayowaahidi kazi zenye vyeo vikubwa na vya juu kama udaktari wa upasuaji, udaktari wa mifugo na wanasheria maadamu mwana akibebwa hutazama kisogo cha nina. wanafunzi hubudika kufuata nyayo za jamii. Kando ya hayo, shinikizo kutoka kwa wazazi, jamaa, jamii na wadarisi huwafanya wanagenzi kuyapuuza masomo ya kiufundi. Tangu zama za kale, wazazi wamekuwa wakiuashinikiza wanao kujiunga na kujishughulisha na masomo mengine ili kupata kazi zenye vyeo vya juu. Wanaoshinikiza wanagenzi hawa husahau kuwa masomo ya kiufundi hujenga ajira za kazi. Vilevile, kuna ukosefu wa wataaluma na magwiji wa masomo ya kiufundi. Ingawa masomo haya hujaribu kuziba pengo la ukosefu wa mafunzo, bado kuna uhaba wa uadarisi. Wadarisi wengi hawajahitimu masomo haya kwa sababu vyuo vya walimu vinavyofunza masomo ya kiufundi ni chache mno. Pia vyuo vya anuwai vimegeuzwa na kufundisha masomo mengine kama Historia na somo la dini. Je, ni vyuo vingapi vinavyofunza kazi ya kuchomelea? Minghairi ya hayo, hapajawa na mfumo bayana unaoonyesha hatua ambazo mwanagenzi atapitia kuanzia chekechea hadi chuo kikuu akipitia darasa la kwanza hadi la nane kisha kidato cha kwanza hadi la nne halafu kupokea stashahada yake. Kama mfumo wa elimu ya kiufundi ungekuwa na taaluma au mtaala maalum, bila shaka wanafunzi hawangeyapuuza masomo haya. Pia kuna mtazamo hasi kwa baadhi ya masomo ya kiufundi kama vile ufundi wa mabomba hudunishwa na waja wengi. Adinasi hawa husahau kuwa fundi hawa wa mabomba ndio wanaotusaidia aushini mwetu wakati mifereji yetu ipasukapo na kuharibika. Mtazamo huo huwafanya wanagenzi kuyapuuza masomo ya kiufundi. Wanagenzi hawa wayapatiapo kisogo hukosa ajira siku za usoni. Ingawa masomo ya kiufundi hupunguza uhamiaji mjini na msongamano katika vyuo vikuu vya kiufundi vya kitaifa, baadhi ya maeneo yana vyuo vichache na vyuo vingi vinazingatia masomo ya Kiakademia kama Fizikia na Historia. Pia waja waliomashambani huwabudi waje mjini na hata kuwalazimu wengine wasisome kabisa. Zaidi ya hayo, gharama huwa ya juu. Vyuo vingi vikuu ni vya ghali sana. Hali hii huwaogopesha wanagenzi kuyafanya masomo haya kwa kuogopa kununua randa, utepe, keekee, patasi na timazi kama somo walilolichagua ni la useremala. Tupilia mbali gharama ya juu kwa sababu ya wanagenzi kuyapuuza masomo ya kiufundi, wazazi, wanajamii na wadarisi wa shule za msingi na za upili huwafundisha wanagenzi nyimbo kupitia utamaduni zinazodunisha kazi za mikono na kuhimiza kufanya kazi za ofisini kama vile udaktari, marubani, wakurufunzi, wakurugenzi na wanasheria. Je, ni nyimbo ngapi ambazo husifu upikaji keki au ufundi wa mitambo? Pia uvivu wa wanagenzi huwafanya wayapuuze masomo yaa kiufundi. Wanafunzi wengi ni wavivu kwani afizi ni nyumba ya njaa. Ulegevu wao huwafanya waepuke masomo kama ya useremala uashi maanake hawaelewi kutumia muda wao katika karakana. Aidha baadhi ya wanafunzi huogopa kazi za sulubu zinazo na masomo haya. Kazi hizi ni kama vile kulima na kupalilia mimea katika miji shamba ndogo ya shule. Vilevile masomo haya hayana mvuto. Masomo haya hufanywa katika mazingira machafu kwa mfano maseremala wanapopiga msasa. Masomo haya yanapolinganishwa na masomo mengine kama vile Biolojia linalofanywa maabarani kwenye mazingira safi na mazuri. Wanagenzi husahau kuwa masomo ya kiufundi huwasaidia kuwa ubunifu. Kwa yakini chenye mwanzo hakikosi mwisho. Kabla kalamu yangu haijaisha wino, ningependa kumaliza kwa kusema kuwa japokuwa masomo ya kiufundi hupuuzwa na wanagenzi wengi katika shule za upili, masomo haya yana umuhimu wake mathalan hupunquza visa vya uhalifu, huimarisha ubunifu, hukabiliana na uhaba wa nafasi za kazi na hupunguza uhamiaji mjini. Pia wakiishika dau wanatoa kuchukua hatua za kunyanyua hadhi za elimu ya kiufundi kwa kuongeza vyuo vya kiufundi, kufanya angalau somo moja la kiufundi liwe la lazima na kujenga vyuo vya ufundi katika kila pembe ya nchi. Hatua hizi zitafanya masomo ya kiufundi yapendwe zaidi.
Mfumo wa kufundisha binadamu unaitwaje
{ "text": [ "Elimu" ] }
0176_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Aghalabu elimu hujulikana kama mfumo unaotumika kuwafundisha binadamu mambo yatakayowasaidia aushini mwao kupitia masomo mbalimbali. Masomo ni ya aina mbili nazo ni: ya kiakademia na ya kiufundi. Masomo ya kiakademia hupigiwa debe hadharani ilhali masomo ya kiufundi huzingatia hadharia na vitendo kama vile sayansi kimu, useremala, kilimo na uashi. Masomo ya kiufundi yana umuhimu wake lakini wanagenzi wengi huyambaa kama jini. Ningependa kuzungumzia sababu za wanagenzi wengi wa shule za upili kukataa asali ya masomo ya kiufundi. Kwanza kabisa, kutohimizwa kwa masomo hayakua kwa sababu ya ukosefu wa vifaa katika shule nyingi. Ingawa masomo ya kiufundi huimarisha maendeleo ya kiuchumi na jamii katika nchi, vifaa vya kusoma masomo haya ni ghali kama vipuli vya ndege. Ili shule ianzishe somo la sayansi kimu inahitaji undanisi wenye taaluma hiyo, cherehani, majiko, jokofu, nyuzi, sindano na darasa la kusomea. Vifaa hivi ni mamilioni ya pesa kutokuwepo kwa vifaa hivi hufanya wanagenzi wengi kuyapuuza masomo haya hata kabla hawajajiunga. Pili, msisitizo mkubwa katika masomo ya kiakademia ijapo kuwa masomo ya kiufundi huwapunguzia wakaazi gharama kwa kuunda bidhaa za bei nafuu, wazazi, wadanisi na wanajamii huwasisitizia wanagenzi kuyapenda masomo ya kiakademia kama vile Hisabati, Biolojia, Kemia na Fizikia kwa sababu masomo haya yana vyeo vikubwa katika jamii. Tatu, watu waliofanikiwa kiuchumi, kijamii na kisiasa kwa kutumia ngazi ya masomo ya kiufundi ni nadra kama maziwa ya kuku. Ingawa somo hili la kiufundi hukabiliana na uhaba wa kazi, wanagenzi huyapuuza masomo haya kwa sababu, hawajui waja waliofanikiwa. Wanagenzi hawa huyakimbilia masomo yanayowaahidi kazi zenye vyeo vikubwa na vya juu kama udaktari wa upasuaji, udaktari wa mifugo na wanasheria maadamu mwana akibebwa hutazama kisogo cha nina. wanafunzi hubudika kufuata nyayo za jamii. Kando ya hayo, shinikizo kutoka kwa wazazi, jamaa, jamii na wadarisi huwafanya wanagenzi kuyapuuza masomo ya kiufundi. Tangu zama za kale, wazazi wamekuwa wakiuashinikiza wanao kujiunga na kujishughulisha na masomo mengine ili kupata kazi zenye vyeo vya juu. Wanaoshinikiza wanagenzi hawa husahau kuwa masomo ya kiufundi hujenga ajira za kazi. Vilevile, kuna ukosefu wa wataaluma na magwiji wa masomo ya kiufundi. Ingawa masomo haya hujaribu kuziba pengo la ukosefu wa mafunzo, bado kuna uhaba wa uadarisi. Wadarisi wengi hawajahitimu masomo haya kwa sababu vyuo vya walimu vinavyofunza masomo ya kiufundi ni chache mno. Pia vyuo vya anuwai vimegeuzwa na kufundisha masomo mengine kama Historia na somo la dini. Je, ni vyuo vingapi vinavyofunza kazi ya kuchomelea? Minghairi ya hayo, hapajawa na mfumo bayana unaoonyesha hatua ambazo mwanagenzi atapitia kuanzia chekechea hadi chuo kikuu akipitia darasa la kwanza hadi la nane kisha kidato cha kwanza hadi la nne halafu kupokea stashahada yake. Kama mfumo wa elimu ya kiufundi ungekuwa na taaluma au mtaala maalum, bila shaka wanafunzi hawangeyapuuza masomo haya. Pia kuna mtazamo hasi kwa baadhi ya masomo ya kiufundi kama vile ufundi wa mabomba hudunishwa na waja wengi. Adinasi hawa husahau kuwa fundi hawa wa mabomba ndio wanaotusaidia aushini mwetu wakati mifereji yetu ipasukapo na kuharibika. Mtazamo huo huwafanya wanagenzi kuyapuuza masomo ya kiufundi. Wanagenzi hawa wayapatiapo kisogo hukosa ajira siku za usoni. Ingawa masomo ya kiufundi hupunguza uhamiaji mjini na msongamano katika vyuo vikuu vya kiufundi vya kitaifa, baadhi ya maeneo yana vyuo vichache na vyuo vingi vinazingatia masomo ya Kiakademia kama Fizikia na Historia. Pia waja waliomashambani huwabudi waje mjini na hata kuwalazimu wengine wasisome kabisa. Zaidi ya hayo, gharama huwa ya juu. Vyuo vingi vikuu ni vya ghali sana. Hali hii huwaogopesha wanagenzi kuyafanya masomo haya kwa kuogopa kununua randa, utepe, keekee, patasi na timazi kama somo walilolichagua ni la useremala. Tupilia mbali gharama ya juu kwa sababu ya wanagenzi kuyapuuza masomo ya kiufundi, wazazi, wanajamii na wadarisi wa shule za msingi na za upili huwafundisha wanagenzi nyimbo kupitia utamaduni zinazodunisha kazi za mikono na kuhimiza kufanya kazi za ofisini kama vile udaktari, marubani, wakurufunzi, wakurugenzi na wanasheria. Je, ni nyimbo ngapi ambazo husifu upikaji keki au ufundi wa mitambo? Pia uvivu wa wanagenzi huwafanya wayapuuze masomo yaa kiufundi. Wanafunzi wengi ni wavivu kwani afizi ni nyumba ya njaa. Ulegevu wao huwafanya waepuke masomo kama ya useremala uashi maanake hawaelewi kutumia muda wao katika karakana. Aidha baadhi ya wanafunzi huogopa kazi za sulubu zinazo na masomo haya. Kazi hizi ni kama vile kulima na kupalilia mimea katika miji shamba ndogo ya shule. Vilevile masomo haya hayana mvuto. Masomo haya hufanywa katika mazingira machafu kwa mfano maseremala wanapopiga msasa. Masomo haya yanapolinganishwa na masomo mengine kama vile Biolojia linalofanywa maabarani kwenye mazingira safi na mazuri. Wanagenzi husahau kuwa masomo ya kiufundi huwasaidia kuwa ubunifu. Kwa yakini chenye mwanzo hakikosi mwisho. Kabla kalamu yangu haijaisha wino, ningependa kumaliza kwa kusema kuwa japokuwa masomo ya kiufundi hupuuzwa na wanagenzi wengi katika shule za upili, masomo haya yana umuhimu wake mathalan hupunquza visa vya uhalifu, huimarisha ubunifu, hukabiliana na uhaba wa nafasi za kazi na hupunguza uhamiaji mjini. Pia wakiishika dau wanatoa kuchukua hatua za kunyanyua hadhi za elimu ya kiufundi kwa kuongeza vyuo vya kiufundi, kufanya angalau somo moja la kiufundi liwe la lazima na kujenga vyuo vya ufundi katika kila pembe ya nchi. Hatua hizi zitafanya masomo ya kiufundi yapendwe zaidi.
Kuna ukosefu wa nini shuleni
{ "text": [ "Vifaa" ] }
0176_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Aghalabu elimu hujulikana kama mfumo unaotumika kuwafundisha binadamu mambo yatakayowasaidia aushini mwao kupitia masomo mbalimbali. Masomo ni ya aina mbili nazo ni: ya kiakademia na ya kiufundi. Masomo ya kiakademia hupigiwa debe hadharani ilhali masomo ya kiufundi huzingatia hadharia na vitendo kama vile sayansi kimu, useremala, kilimo na uashi. Masomo ya kiufundi yana umuhimu wake lakini wanagenzi wengi huyambaa kama jini. Ningependa kuzungumzia sababu za wanagenzi wengi wa shule za upili kukataa asali ya masomo ya kiufundi. Kwanza kabisa, kutohimizwa kwa masomo hayakua kwa sababu ya ukosefu wa vifaa katika shule nyingi. Ingawa masomo ya kiufundi huimarisha maendeleo ya kiuchumi na jamii katika nchi, vifaa vya kusoma masomo haya ni ghali kama vipuli vya ndege. Ili shule ianzishe somo la sayansi kimu inahitaji undanisi wenye taaluma hiyo, cherehani, majiko, jokofu, nyuzi, sindano na darasa la kusomea. Vifaa hivi ni mamilioni ya pesa kutokuwepo kwa vifaa hivi hufanya wanagenzi wengi kuyapuuza masomo haya hata kabla hawajajiunga. Pili, msisitizo mkubwa katika masomo ya kiakademia ijapo kuwa masomo ya kiufundi huwapunguzia wakaazi gharama kwa kuunda bidhaa za bei nafuu, wazazi, wadanisi na wanajamii huwasisitizia wanagenzi kuyapenda masomo ya kiakademia kama vile Hisabati, Biolojia, Kemia na Fizikia kwa sababu masomo haya yana vyeo vikubwa katika jamii. Tatu, watu waliofanikiwa kiuchumi, kijamii na kisiasa kwa kutumia ngazi ya masomo ya kiufundi ni nadra kama maziwa ya kuku. Ingawa somo hili la kiufundi hukabiliana na uhaba wa kazi, wanagenzi huyapuuza masomo haya kwa sababu, hawajui waja waliofanikiwa. Wanagenzi hawa huyakimbilia masomo yanayowaahidi kazi zenye vyeo vikubwa na vya juu kama udaktari wa upasuaji, udaktari wa mifugo na wanasheria maadamu mwana akibebwa hutazama kisogo cha nina. wanafunzi hubudika kufuata nyayo za jamii. Kando ya hayo, shinikizo kutoka kwa wazazi, jamaa, jamii na wadarisi huwafanya wanagenzi kuyapuuza masomo ya kiufundi. Tangu zama za kale, wazazi wamekuwa wakiuashinikiza wanao kujiunga na kujishughulisha na masomo mengine ili kupata kazi zenye vyeo vya juu. Wanaoshinikiza wanagenzi hawa husahau kuwa masomo ya kiufundi hujenga ajira za kazi. Vilevile, kuna ukosefu wa wataaluma na magwiji wa masomo ya kiufundi. Ingawa masomo haya hujaribu kuziba pengo la ukosefu wa mafunzo, bado kuna uhaba wa uadarisi. Wadarisi wengi hawajahitimu masomo haya kwa sababu vyuo vya walimu vinavyofunza masomo ya kiufundi ni chache mno. Pia vyuo vya anuwai vimegeuzwa na kufundisha masomo mengine kama Historia na somo la dini. Je, ni vyuo vingapi vinavyofunza kazi ya kuchomelea? Minghairi ya hayo, hapajawa na mfumo bayana unaoonyesha hatua ambazo mwanagenzi atapitia kuanzia chekechea hadi chuo kikuu akipitia darasa la kwanza hadi la nane kisha kidato cha kwanza hadi la nne halafu kupokea stashahada yake. Kama mfumo wa elimu ya kiufundi ungekuwa na taaluma au mtaala maalum, bila shaka wanafunzi hawangeyapuuza masomo haya. Pia kuna mtazamo hasi kwa baadhi ya masomo ya kiufundi kama vile ufundi wa mabomba hudunishwa na waja wengi. Adinasi hawa husahau kuwa fundi hawa wa mabomba ndio wanaotusaidia aushini mwetu wakati mifereji yetu ipasukapo na kuharibika. Mtazamo huo huwafanya wanagenzi kuyapuuza masomo ya kiufundi. Wanagenzi hawa wayapatiapo kisogo hukosa ajira siku za usoni. Ingawa masomo ya kiufundi hupunguza uhamiaji mjini na msongamano katika vyuo vikuu vya kiufundi vya kitaifa, baadhi ya maeneo yana vyuo vichache na vyuo vingi vinazingatia masomo ya Kiakademia kama Fizikia na Historia. Pia waja waliomashambani huwabudi waje mjini na hata kuwalazimu wengine wasisome kabisa. Zaidi ya hayo, gharama huwa ya juu. Vyuo vingi vikuu ni vya ghali sana. Hali hii huwaogopesha wanagenzi kuyafanya masomo haya kwa kuogopa kununua randa, utepe, keekee, patasi na timazi kama somo walilolichagua ni la useremala. Tupilia mbali gharama ya juu kwa sababu ya wanagenzi kuyapuuza masomo ya kiufundi, wazazi, wanajamii na wadarisi wa shule za msingi na za upili huwafundisha wanagenzi nyimbo kupitia utamaduni zinazodunisha kazi za mikono na kuhimiza kufanya kazi za ofisini kama vile udaktari, marubani, wakurufunzi, wakurugenzi na wanasheria. Je, ni nyimbo ngapi ambazo husifu upikaji keki au ufundi wa mitambo? Pia uvivu wa wanagenzi huwafanya wayapuuze masomo yaa kiufundi. Wanafunzi wengi ni wavivu kwani afizi ni nyumba ya njaa. Ulegevu wao huwafanya waepuke masomo kama ya useremala uashi maanake hawaelewi kutumia muda wao katika karakana. Aidha baadhi ya wanafunzi huogopa kazi za sulubu zinazo na masomo haya. Kazi hizi ni kama vile kulima na kupalilia mimea katika miji shamba ndogo ya shule. Vilevile masomo haya hayana mvuto. Masomo haya hufanywa katika mazingira machafu kwa mfano maseremala wanapopiga msasa. Masomo haya yanapolinganishwa na masomo mengine kama vile Biolojia linalofanywa maabarani kwenye mazingira safi na mazuri. Wanagenzi husahau kuwa masomo ya kiufundi huwasaidia kuwa ubunifu. Kwa yakini chenye mwanzo hakikosi mwisho. Kabla kalamu yangu haijaisha wino, ningependa kumaliza kwa kusema kuwa japokuwa masomo ya kiufundi hupuuzwa na wanagenzi wengi katika shule za upili, masomo haya yana umuhimu wake mathalan hupunquza visa vya uhalifu, huimarisha ubunifu, hukabiliana na uhaba wa nafasi za kazi na hupunguza uhamiaji mjini. Pia wakiishika dau wanatoa kuchukua hatua za kunyanyua hadhi za elimu ya kiufundi kwa kuongeza vyuo vya kiufundi, kufanya angalau somo moja la kiufundi liwe la lazima na kujenga vyuo vya ufundi katika kila pembe ya nchi. Hatua hizi zitafanya masomo ya kiufundi yapendwe zaidi.
Msisitizo mkubwa upo katika masomo yepi
{ "text": [ "Kiakademia" ] }
0176_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Aghalabu elimu hujulikana kama mfumo unaotumika kuwafundisha binadamu mambo yatakayowasaidia aushini mwao kupitia masomo mbalimbali. Masomo ni ya aina mbili nazo ni: ya kiakademia na ya kiufundi. Masomo ya kiakademia hupigiwa debe hadharani ilhali masomo ya kiufundi huzingatia hadharia na vitendo kama vile sayansi kimu, useremala, kilimo na uashi. Masomo ya kiufundi yana umuhimu wake lakini wanagenzi wengi huyambaa kama jini. Ningependa kuzungumzia sababu za wanagenzi wengi wa shule za upili kukataa asali ya masomo ya kiufundi. Kwanza kabisa, kutohimizwa kwa masomo hayakua kwa sababu ya ukosefu wa vifaa katika shule nyingi. Ingawa masomo ya kiufundi huimarisha maendeleo ya kiuchumi na jamii katika nchi, vifaa vya kusoma masomo haya ni ghali kama vipuli vya ndege. Ili shule ianzishe somo la sayansi kimu inahitaji undanisi wenye taaluma hiyo, cherehani, majiko, jokofu, nyuzi, sindano na darasa la kusomea. Vifaa hivi ni mamilioni ya pesa kutokuwepo kwa vifaa hivi hufanya wanagenzi wengi kuyapuuza masomo haya hata kabla hawajajiunga. Pili, msisitizo mkubwa katika masomo ya kiakademia ijapo kuwa masomo ya kiufundi huwapunguzia wakaazi gharama kwa kuunda bidhaa za bei nafuu, wazazi, wadanisi na wanajamii huwasisitizia wanagenzi kuyapenda masomo ya kiakademia kama vile Hisabati, Biolojia, Kemia na Fizikia kwa sababu masomo haya yana vyeo vikubwa katika jamii. Tatu, watu waliofanikiwa kiuchumi, kijamii na kisiasa kwa kutumia ngazi ya masomo ya kiufundi ni nadra kama maziwa ya kuku. Ingawa somo hili la kiufundi hukabiliana na uhaba wa kazi, wanagenzi huyapuuza masomo haya kwa sababu, hawajui waja waliofanikiwa. Wanagenzi hawa huyakimbilia masomo yanayowaahidi kazi zenye vyeo vikubwa na vya juu kama udaktari wa upasuaji, udaktari wa mifugo na wanasheria maadamu mwana akibebwa hutazama kisogo cha nina. wanafunzi hubudika kufuata nyayo za jamii. Kando ya hayo, shinikizo kutoka kwa wazazi, jamaa, jamii na wadarisi huwafanya wanagenzi kuyapuuza masomo ya kiufundi. Tangu zama za kale, wazazi wamekuwa wakiuashinikiza wanao kujiunga na kujishughulisha na masomo mengine ili kupata kazi zenye vyeo vya juu. Wanaoshinikiza wanagenzi hawa husahau kuwa masomo ya kiufundi hujenga ajira za kazi. Vilevile, kuna ukosefu wa wataaluma na magwiji wa masomo ya kiufundi. Ingawa masomo haya hujaribu kuziba pengo la ukosefu wa mafunzo, bado kuna uhaba wa uadarisi. Wadarisi wengi hawajahitimu masomo haya kwa sababu vyuo vya walimu vinavyofunza masomo ya kiufundi ni chache mno. Pia vyuo vya anuwai vimegeuzwa na kufundisha masomo mengine kama Historia na somo la dini. Je, ni vyuo vingapi vinavyofunza kazi ya kuchomelea? Minghairi ya hayo, hapajawa na mfumo bayana unaoonyesha hatua ambazo mwanagenzi atapitia kuanzia chekechea hadi chuo kikuu akipitia darasa la kwanza hadi la nane kisha kidato cha kwanza hadi la nne halafu kupokea stashahada yake. Kama mfumo wa elimu ya kiufundi ungekuwa na taaluma au mtaala maalum, bila shaka wanafunzi hawangeyapuuza masomo haya. Pia kuna mtazamo hasi kwa baadhi ya masomo ya kiufundi kama vile ufundi wa mabomba hudunishwa na waja wengi. Adinasi hawa husahau kuwa fundi hawa wa mabomba ndio wanaotusaidia aushini mwetu wakati mifereji yetu ipasukapo na kuharibika. Mtazamo huo huwafanya wanagenzi kuyapuuza masomo ya kiufundi. Wanagenzi hawa wayapatiapo kisogo hukosa ajira siku za usoni. Ingawa masomo ya kiufundi hupunguza uhamiaji mjini na msongamano katika vyuo vikuu vya kiufundi vya kitaifa, baadhi ya maeneo yana vyuo vichache na vyuo vingi vinazingatia masomo ya Kiakademia kama Fizikia na Historia. Pia waja waliomashambani huwabudi waje mjini na hata kuwalazimu wengine wasisome kabisa. Zaidi ya hayo, gharama huwa ya juu. Vyuo vingi vikuu ni vya ghali sana. Hali hii huwaogopesha wanagenzi kuyafanya masomo haya kwa kuogopa kununua randa, utepe, keekee, patasi na timazi kama somo walilolichagua ni la useremala. Tupilia mbali gharama ya juu kwa sababu ya wanagenzi kuyapuuza masomo ya kiufundi, wazazi, wanajamii na wadarisi wa shule za msingi na za upili huwafundisha wanagenzi nyimbo kupitia utamaduni zinazodunisha kazi za mikono na kuhimiza kufanya kazi za ofisini kama vile udaktari, marubani, wakurufunzi, wakurugenzi na wanasheria. Je, ni nyimbo ngapi ambazo husifu upikaji keki au ufundi wa mitambo? Pia uvivu wa wanagenzi huwafanya wayapuuze masomo yaa kiufundi. Wanafunzi wengi ni wavivu kwani afizi ni nyumba ya njaa. Ulegevu wao huwafanya waepuke masomo kama ya useremala uashi maanake hawaelewi kutumia muda wao katika karakana. Aidha baadhi ya wanafunzi huogopa kazi za sulubu zinazo na masomo haya. Kazi hizi ni kama vile kulima na kupalilia mimea katika miji shamba ndogo ya shule. Vilevile masomo haya hayana mvuto. Masomo haya hufanywa katika mazingira machafu kwa mfano maseremala wanapopiga msasa. Masomo haya yanapolinganishwa na masomo mengine kama vile Biolojia linalofanywa maabarani kwenye mazingira safi na mazuri. Wanagenzi husahau kuwa masomo ya kiufundi huwasaidia kuwa ubunifu. Kwa yakini chenye mwanzo hakikosi mwisho. Kabla kalamu yangu haijaisha wino, ningependa kumaliza kwa kusema kuwa japokuwa masomo ya kiufundi hupuuzwa na wanagenzi wengi katika shule za upili, masomo haya yana umuhimu wake mathalan hupunquza visa vya uhalifu, huimarisha ubunifu, hukabiliana na uhaba wa nafasi za kazi na hupunguza uhamiaji mjini. Pia wakiishika dau wanatoa kuchukua hatua za kunyanyua hadhi za elimu ya kiufundi kwa kuongeza vyuo vya kiufundi, kufanya angalau somo moja la kiufundi liwe la lazima na kujenga vyuo vya ufundi katika kila pembe ya nchi. Hatua hizi zitafanya masomo ya kiufundi yapendwe zaidi.
Kuna mtazamo upi kwa baadhi ya masomo ya kiufundi
{ "text": [ "Hasi" ] }
0176_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Aghalabu elimu hujulikana kama mfumo unaotumika kuwafundisha binadamu mambo yatakayowasaidia aushini mwao kupitia masomo mbalimbali. Masomo ni ya aina mbili nazo ni: ya kiakademia na ya kiufundi. Masomo ya kiakademia hupigiwa debe hadharani ilhali masomo ya kiufundi huzingatia hadharia na vitendo kama vile sayansi kimu, useremala, kilimo na uashi. Masomo ya kiufundi yana umuhimu wake lakini wanagenzi wengi huyambaa kama jini. Ningependa kuzungumzia sababu za wanagenzi wengi wa shule za upili kukataa asali ya masomo ya kiufundi. Kwanza kabisa, kutohimizwa kwa masomo hayakua kwa sababu ya ukosefu wa vifaa katika shule nyingi. Ingawa masomo ya kiufundi huimarisha maendeleo ya kiuchumi na jamii katika nchi, vifaa vya kusoma masomo haya ni ghali kama vipuli vya ndege. Ili shule ianzishe somo la sayansi kimu inahitaji undanisi wenye taaluma hiyo, cherehani, majiko, jokofu, nyuzi, sindano na darasa la kusomea. Vifaa hivi ni mamilioni ya pesa kutokuwepo kwa vifaa hivi hufanya wanagenzi wengi kuyapuuza masomo haya hata kabla hawajajiunga. Pili, msisitizo mkubwa katika masomo ya kiakademia ijapo kuwa masomo ya kiufundi huwapunguzia wakaazi gharama kwa kuunda bidhaa za bei nafuu, wazazi, wadanisi na wanajamii huwasisitizia wanagenzi kuyapenda masomo ya kiakademia kama vile Hisabati, Biolojia, Kemia na Fizikia kwa sababu masomo haya yana vyeo vikubwa katika jamii. Tatu, watu waliofanikiwa kiuchumi, kijamii na kisiasa kwa kutumia ngazi ya masomo ya kiufundi ni nadra kama maziwa ya kuku. Ingawa somo hili la kiufundi hukabiliana na uhaba wa kazi, wanagenzi huyapuuza masomo haya kwa sababu, hawajui waja waliofanikiwa. Wanagenzi hawa huyakimbilia masomo yanayowaahidi kazi zenye vyeo vikubwa na vya juu kama udaktari wa upasuaji, udaktari wa mifugo na wanasheria maadamu mwana akibebwa hutazama kisogo cha nina. wanafunzi hubudika kufuata nyayo za jamii. Kando ya hayo, shinikizo kutoka kwa wazazi, jamaa, jamii na wadarisi huwafanya wanagenzi kuyapuuza masomo ya kiufundi. Tangu zama za kale, wazazi wamekuwa wakiuashinikiza wanao kujiunga na kujishughulisha na masomo mengine ili kupata kazi zenye vyeo vya juu. Wanaoshinikiza wanagenzi hawa husahau kuwa masomo ya kiufundi hujenga ajira za kazi. Vilevile, kuna ukosefu wa wataaluma na magwiji wa masomo ya kiufundi. Ingawa masomo haya hujaribu kuziba pengo la ukosefu wa mafunzo, bado kuna uhaba wa uadarisi. Wadarisi wengi hawajahitimu masomo haya kwa sababu vyuo vya walimu vinavyofunza masomo ya kiufundi ni chache mno. Pia vyuo vya anuwai vimegeuzwa na kufundisha masomo mengine kama Historia na somo la dini. Je, ni vyuo vingapi vinavyofunza kazi ya kuchomelea? Minghairi ya hayo, hapajawa na mfumo bayana unaoonyesha hatua ambazo mwanagenzi atapitia kuanzia chekechea hadi chuo kikuu akipitia darasa la kwanza hadi la nane kisha kidato cha kwanza hadi la nne halafu kupokea stashahada yake. Kama mfumo wa elimu ya kiufundi ungekuwa na taaluma au mtaala maalum, bila shaka wanafunzi hawangeyapuuza masomo haya. Pia kuna mtazamo hasi kwa baadhi ya masomo ya kiufundi kama vile ufundi wa mabomba hudunishwa na waja wengi. Adinasi hawa husahau kuwa fundi hawa wa mabomba ndio wanaotusaidia aushini mwetu wakati mifereji yetu ipasukapo na kuharibika. Mtazamo huo huwafanya wanagenzi kuyapuuza masomo ya kiufundi. Wanagenzi hawa wayapatiapo kisogo hukosa ajira siku za usoni. Ingawa masomo ya kiufundi hupunguza uhamiaji mjini na msongamano katika vyuo vikuu vya kiufundi vya kitaifa, baadhi ya maeneo yana vyuo vichache na vyuo vingi vinazingatia masomo ya Kiakademia kama Fizikia na Historia. Pia waja waliomashambani huwabudi waje mjini na hata kuwalazimu wengine wasisome kabisa. Zaidi ya hayo, gharama huwa ya juu. Vyuo vingi vikuu ni vya ghali sana. Hali hii huwaogopesha wanagenzi kuyafanya masomo haya kwa kuogopa kununua randa, utepe, keekee, patasi na timazi kama somo walilolichagua ni la useremala. Tupilia mbali gharama ya juu kwa sababu ya wanagenzi kuyapuuza masomo ya kiufundi, wazazi, wanajamii na wadarisi wa shule za msingi na za upili huwafundisha wanagenzi nyimbo kupitia utamaduni zinazodunisha kazi za mikono na kuhimiza kufanya kazi za ofisini kama vile udaktari, marubani, wakurufunzi, wakurugenzi na wanasheria. Je, ni nyimbo ngapi ambazo husifu upikaji keki au ufundi wa mitambo? Pia uvivu wa wanagenzi huwafanya wayapuuze masomo yaa kiufundi. Wanafunzi wengi ni wavivu kwani afizi ni nyumba ya njaa. Ulegevu wao huwafanya waepuke masomo kama ya useremala uashi maanake hawaelewi kutumia muda wao katika karakana. Aidha baadhi ya wanafunzi huogopa kazi za sulubu zinazo na masomo haya. Kazi hizi ni kama vile kulima na kupalilia mimea katika miji shamba ndogo ya shule. Vilevile masomo haya hayana mvuto. Masomo haya hufanywa katika mazingira machafu kwa mfano maseremala wanapopiga msasa. Masomo haya yanapolinganishwa na masomo mengine kama vile Biolojia linalofanywa maabarani kwenye mazingira safi na mazuri. Wanagenzi husahau kuwa masomo ya kiufundi huwasaidia kuwa ubunifu. Kwa yakini chenye mwanzo hakikosi mwisho. Kabla kalamu yangu haijaisha wino, ningependa kumaliza kwa kusema kuwa japokuwa masomo ya kiufundi hupuuzwa na wanagenzi wengi katika shule za upili, masomo haya yana umuhimu wake mathalan hupunquza visa vya uhalifu, huimarisha ubunifu, hukabiliana na uhaba wa nafasi za kazi na hupunguza uhamiaji mjini. Pia wakiishika dau wanatoa kuchukua hatua za kunyanyua hadhi za elimu ya kiufundi kwa kuongeza vyuo vya kiufundi, kufanya angalau somo moja la kiufundi liwe la lazima na kujenga vyuo vya ufundi katika kila pembe ya nchi. Hatua hizi zitafanya masomo ya kiufundi yapendwe zaidi.
Masomo ya ufundi yana umuhimu upi
{ "text": [ "Hupunguza visa vya uhalifu na kuimarisha ubunifu" ] }
0179_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana shuleni, vyuoni na maishani. Masomo ni mafunzo ya kutafuta ubingwa wa fani fulani maalumu. Masomo ya kiakademia ni mafunzo yanayotoa elimu au utaalamu maalum. Masomo ya kiufundi ni masomo yanayotumia mikono, nguvu na akili ya mtu. Ni uhodari au ufarisi wa kutenda jambo fulani. Elimu yoyote ile ina umuhimu wake katika maisha ya wanadamu. Maisha ni kama msumeno usipoukata utakukata wewe. Wengi hupuuza masomo ya kiufundi na huwa na sababu zao kun; Kwanza kabisa jamii ya Kenya hutilia mkazo katika masomo ya kiakademia kwa sababu hufikiri kuwa masomo ya kiufundi huwa na mapato duni. Mzazi hataka kushuhudia kuwa mwanawe akiwa amepepea angani kuliko kumuona akifanya kazi ya kujengea mahuluki nyumba. Pili, masomo ya kiufundi hayatimizwi katika shule nyingi. Hii ni kutokana na ukosefu wa walimu waliohitimu katika taaluma hizi na ukosefu wa vifaa. Pia wanagenzi huishia kuvunjika mioyo yao pale tu wanaposikia kuwa shule nyingi kutokuwa na masomo haya na ndio maana walimu ni haba. Tatu, wanajamii wana mtazamo hasi juu ya baadhi ya masomo ya kiufundi kama vile Sayansi kimu, useremala, uhunzi, kilimo na ujenzi. Huona kama ni upotezaji wa nguvu na wakati ilhali malipo yake ni kidogo mno. Hapo ndipo mtu huonekana asome masomo ya kiakademia ili aje awe daktari, rubani au hata nahodha. Hawajui umuhimu wake na asiyekijua hakithamini. Fauka ya hayo, kulazimishwa na wazazi kuchukua masomo mengine yasiyo ya kiufundi. Kuna wazazi wengine ambao hawakusoma na wao huamini kuwa masomo ya kiufundi hayana ajira. Endapo mwanagenzi atamaliza kidato cha nne atahitaji mtaji ili kuanzisha biashara juu ya ubunifu wake wengine wana imani kuwa masomo ya kiakademia kama vile Biolojia, Fizikia Jiografia, Historia na mengineo yatampa mtahiniwa kazi kwa urahisi bila kuhangaika. Juu ya hayo, utamaduni wa jamii, taasubi ya kiume huona wanawake hawawezi kufanya kazi za kiume. Wanawake hujidharau na kujiona kuwa hawafai au hawawezi kufanya kitu katika jamii. Asichofanya mwanamume mwanamke huweza kukifanya zaidi. Licha ya hayo, masomo ya kiufundi yana umuhimu wake katika nchi kwanza, hupunguza visa vya uhalifu kwani vijana hupata vibarua vidogo ambavyo ana ujuzi navyo ili ajikimu kimaisha. Pale kijana anapokosa mkono wa kwenda kinwani na huku ana familia inayomgojea, basi hapo huishia kuingia katika genge za uhalifu au kutekeleza ujambazi kama vile kuiba, kuua au hata kutesa wanajamii nyakati za usiku. Pili, masomo haya huimarisha maendeleo ya kiuchumi ya kijamii katika nchi. Ufundi huleta vyombo na vifaa maridhawa kutoka nje ambavyo hutumika kukuza nchi kifedha kama vile trekta itumikayo katika kurahisisha kazi. Tatu, huimarisha ubunifu. Mtu akiwa na maarifa fulani juu ya kitu na akakibuni vizuri, mtu yule huzidi kujua mambo mengi kuhusu. lle kazi aifanyayo huzidi kuwa mbunifu na huweza hata kutengeneza vitu vya hali ya juu zaidi na yenye mapato makubwa. Juu ya hayo, hukuza vipawa vya vijana. Masomo ya kiufundi huzidi kuikuza talanta ya mwanafunzi kama vile mtu akiwa ana talanta ya uchoraji, akajiunga na somo la sanaa na muundo huzidi kunufaika kwani tayari ana maarifa juu ya kile kitu. Msimamo wangu ni kuwa ikiwa masomo ya kiufundi yatanawiri lazima basi nchi yetu itaimarika kiuchumi kifulusi na kitaaluma. Talanta ya vijana zitazidi kuimarika na kupata ajira bila kubaguliwa. Wakuu wa kidini na mkurugenzi wa elimu watie fora katika kusomeshwa kwa masomo haya ya kiufundi katika shule na vyuo vikuu. Wanafunzi wenye alama cha waruhusiwe kwenda vyuo vikuu na serikali iongeze ufadhili. Tuwe na mfano bayana utakayoweka wazi umuhimu wa masomo ya Kiufundi.
Masomo hufanyika wapi?
{ "text": [ "Shuleni" ] }
0179_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana shuleni, vyuoni na maishani. Masomo ni mafunzo ya kutafuta ubingwa wa fani fulani maalumu. Masomo ya kiakademia ni mafunzo yanayotoa elimu au utaalamu maalum. Masomo ya kiufundi ni masomo yanayotumia mikono, nguvu na akili ya mtu. Ni uhodari au ufarisi wa kutenda jambo fulani. Elimu yoyote ile ina umuhimu wake katika maisha ya wanadamu. Maisha ni kama msumeno usipoukata utakukata wewe. Wengi hupuuza masomo ya kiufundi na huwa na sababu zao kun; Kwanza kabisa jamii ya Kenya hutilia mkazo katika masomo ya kiakademia kwa sababu hufikiri kuwa masomo ya kiufundi huwa na mapato duni. Mzazi hataka kushuhudia kuwa mwanawe akiwa amepepea angani kuliko kumuona akifanya kazi ya kujengea mahuluki nyumba. Pili, masomo ya kiufundi hayatimizwi katika shule nyingi. Hii ni kutokana na ukosefu wa walimu waliohitimu katika taaluma hizi na ukosefu wa vifaa. Pia wanagenzi huishia kuvunjika mioyo yao pale tu wanaposikia kuwa shule nyingi kutokuwa na masomo haya na ndio maana walimu ni haba. Tatu, wanajamii wana mtazamo hasi juu ya baadhi ya masomo ya kiufundi kama vile Sayansi kimu, useremala, uhunzi, kilimo na ujenzi. Huona kama ni upotezaji wa nguvu na wakati ilhali malipo yake ni kidogo mno. Hapo ndipo mtu huonekana asome masomo ya kiakademia ili aje awe daktari, rubani au hata nahodha. Hawajui umuhimu wake na asiyekijua hakithamini. Fauka ya hayo, kulazimishwa na wazazi kuchukua masomo mengine yasiyo ya kiufundi. Kuna wazazi wengine ambao hawakusoma na wao huamini kuwa masomo ya kiufundi hayana ajira. Endapo mwanagenzi atamaliza kidato cha nne atahitaji mtaji ili kuanzisha biashara juu ya ubunifu wake wengine wana imani kuwa masomo ya kiakademia kama vile Biolojia, Fizikia Jiografia, Historia na mengineo yatampa mtahiniwa kazi kwa urahisi bila kuhangaika. Juu ya hayo, utamaduni wa jamii, taasubi ya kiume huona wanawake hawawezi kufanya kazi za kiume. Wanawake hujidharau na kujiona kuwa hawafai au hawawezi kufanya kitu katika jamii. Asichofanya mwanamume mwanamke huweza kukifanya zaidi. Licha ya hayo, masomo ya kiufundi yana umuhimu wake katika nchi kwanza, hupunguza visa vya uhalifu kwani vijana hupata vibarua vidogo ambavyo ana ujuzi navyo ili ajikimu kimaisha. Pale kijana anapokosa mkono wa kwenda kinwani na huku ana familia inayomgojea, basi hapo huishia kuingia katika genge za uhalifu au kutekeleza ujambazi kama vile kuiba, kuua au hata kutesa wanajamii nyakati za usiku. Pili, masomo haya huimarisha maendeleo ya kiuchumi ya kijamii katika nchi. Ufundi huleta vyombo na vifaa maridhawa kutoka nje ambavyo hutumika kukuza nchi kifedha kama vile trekta itumikayo katika kurahisisha kazi. Tatu, huimarisha ubunifu. Mtu akiwa na maarifa fulani juu ya kitu na akakibuni vizuri, mtu yule huzidi kujua mambo mengi kuhusu. lle kazi aifanyayo huzidi kuwa mbunifu na huweza hata kutengeneza vitu vya hali ya juu zaidi na yenye mapato makubwa. Juu ya hayo, hukuza vipawa vya vijana. Masomo ya kiufundi huzidi kuikuza talanta ya mwanafunzi kama vile mtu akiwa ana talanta ya uchoraji, akajiunga na somo la sanaa na muundo huzidi kunufaika kwani tayari ana maarifa juu ya kile kitu. Msimamo wangu ni kuwa ikiwa masomo ya kiufundi yatanawiri lazima basi nchi yetu itaimarika kiuchumi kifulusi na kitaaluma. Talanta ya vijana zitazidi kuimarika na kupata ajira bila kubaguliwa. Wakuu wa kidini na mkurugenzi wa elimu watie fora katika kusomeshwa kwa masomo haya ya kiufundi katika shule na vyuo vikuu. Wanafunzi wenye alama cha waruhusiwe kwenda vyuo vikuu na serikali iongeze ufadhili. Tuwe na mfano bayana utakayoweka wazi umuhimu wa masomo ya Kiufundi.
Masomo ya kifundi ni yapi?
{ "text": [ "Mikono" ] }
0179_swa
MJADALA KUHUSU SABABU MBALIMBALI ZA WANAFUNZI KATIKA SHULE ZA UPILI KUPUUZA MASOMO YA KIUFUNDI Elimu ni mfumo wa mafunzo yanayopatikana shuleni, vyuoni na maishani. Masomo ni mafunzo ya kutafuta ubingwa wa fani fulani maalumu. Masomo ya kiakademia ni mafunzo yanayotoa elimu au utaalamu maalum. Masomo ya kiufundi ni masomo yanayotumia mikono, nguvu na akili ya mtu. Ni uhodari au ufarisi wa kutenda jambo fulani. Elimu yoyote ile ina umuhimu wake katika maisha ya wanadamu. Maisha ni kama msumeno usipoukata utakukata wewe. Wengi hupuuza masomo ya kiufundi na huwa na sababu zao kun; Kwanza kabisa jamii ya Kenya hutilia mkazo katika masomo ya kiakademia kwa sababu hufikiri kuwa masomo ya kiufundi huwa na mapato duni. Mzazi hataka kushuhudia kuwa mwanawe akiwa amepepea angani kuliko kumuona akifanya kazi ya kujengea mahuluki nyumba. Pili, masomo ya kiufundi hayatimizwi katika shule nyingi. Hii ni kutokana na ukosefu wa walimu waliohitimu katika taaluma hizi na ukosefu wa vifaa. Pia wanagenzi huishia kuvunjika mioyo yao pale tu wanaposikia kuwa shule nyingi kutokuwa na masomo haya na ndio maana walimu ni haba. Tatu, wanajamii wana mtazamo hasi juu ya baadhi ya masomo ya kiufundi kama vile Sayansi kimu, useremala, uhunzi, kilimo na ujenzi. Huona kama ni upotezaji wa nguvu na wakati ilhali malipo yake ni kidogo mno. Hapo ndipo mtu huonekana asome masomo ya kiakademia ili aje awe daktari, rubani au hata nahodha. Hawajui umuhimu wake na asiyekijua hakithamini. Fauka ya hayo, kulazimishwa na wazazi kuchukua masomo mengine yasiyo ya kiufundi. Kuna wazazi wengine ambao hawakusoma na wao huamini kuwa masomo ya kiufundi hayana ajira. Endapo mwanagenzi atamaliza kidato cha nne atahitaji mtaji ili kuanzisha biashara juu ya ubunifu wake wengine wana imani kuwa masomo ya kiakademia kama vile Biolojia, Fizikia Jiografia, Historia na mengineo yatampa mtahiniwa kazi kwa urahisi bila kuhangaika. Juu ya hayo, utamaduni wa jamii, taasubi ya kiume huona wanawake hawawezi kufanya kazi za kiume. Wanawake hujidharau na kujiona kuwa hawafai au hawawezi kufanya kitu katika jamii. Asichofanya mwanamume mwanamke huweza kukifanya zaidi. Licha ya hayo, masomo ya kiufundi yana umuhimu wake katika nchi kwanza, hupunguza visa vya uhalifu kwani vijana hupata vibarua vidogo ambavyo ana ujuzi navyo ili ajikimu kimaisha. Pale kijana anapokosa mkono wa kwenda kinwani na huku ana familia inayomgojea, basi hapo huishia kuingia katika genge za uhalifu au kutekeleza ujambazi kama vile kuiba, kuua au hata kutesa wanajamii nyakati za usiku. Pili, masomo haya huimarisha maendeleo ya kiuchumi ya kijamii katika nchi. Ufundi huleta vyombo na vifaa maridhawa kutoka nje ambavyo hutumika kukuza nchi kifedha kama vile trekta itumikayo katika kurahisisha kazi. Tatu, huimarisha ubunifu. Mtu akiwa na maarifa fulani juu ya kitu na akakibuni vizuri, mtu yule huzidi kujua mambo mengi kuhusu. lle kazi aifanyayo huzidi kuwa mbunifu na huweza hata kutengeneza vitu vya hali ya juu zaidi na yenye mapato makubwa. Juu ya hayo, hukuza vipawa vya vijana. Masomo ya kiufundi huzidi kuikuza talanta ya mwanafunzi kama vile mtu akiwa ana talanta ya uchoraji, akajiunga na somo la sanaa na muundo huzidi kunufaika kwani tayari ana maarifa juu ya kile kitu. Msimamo wangu ni kuwa ikiwa masomo ya kiufundi yatanawiri lazima basi nchi yetu itaimarika kiuchumi kifulusi na kitaaluma. Talanta ya vijana zitazidi kuimarika na kupata ajira bila kubaguliwa. Wakuu wa kidini na mkurugenzi wa elimu watie fora katika kusomeshwa kwa masomo haya ya kiufundi katika shule na vyuo vikuu. Wanafunzi wenye alama cha waruhusiwe kwenda vyuo vikuu na serikali iongeze ufadhili. Tuwe na mfano bayana utakayoweka wazi umuhimu wa masomo ya Kiufundi.
Masomo hukuza vipawa ya kina nani?
{ "text": [ "Vijana" ] }