Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
4768_swa
NDOA YA MKEKA Halikuwa jambo rahisi kwake kukubali ndoa kabla ya kuhitimisha masomo yake angaa ya sekondari. Shani, alijikaza kukubali matokeo ya upendo wake Kwa Shukurani. Mamakwe alitangaza ndoa mchana wa baada tu ya tukio hilo kutokea! Ingawa halikua jambo la kiungwana, ilibidi wavyele wa Shani wakubali ijapokua kishingo upande . Naye Bi. Mboga, aliona bora amuoze mjukuu wake mapema kabla fedheha haijawapata. Kwani hata hivyo, si walishasema kua ndoa ni sitara? Shani alikua kidosho aliezaliwa na kujipata na baba wa kambo aliyempenda na kumuenzi Kama mboni ya macho yake.Kwani Abu yake alimtaliki mama yake akiwa bado yu matumboni mwa mamaye. Au Kama wasemavyo, hajaona mwanga wa jua. Hili ,lilikua kinyume na sheria ya dini yao takatifu ya Kiisilamu - kumtaliki mke akiwa mjamzito. Ila, kudura nayo hushinda jitihada. Na mwana wa adamu ni mwingi wa kuasi ilhali Maulana ni wa maghfira. Shani akalelewa na baba wa kambo asimjue baba yake, kwani babamtu hakua na hamu naye.Ila mama yake baada ya kupata watoto wengine Kwa mume wake wa pili,alimchukia sana Shani na kumbagua kila apatopo fursa ya kutenda hayo. Chuki kwake ilikua halali Kwa Shani. Loh! Maskini! Hata baada ya kukosa upendo wa baba mzazi Shani anakosa mapenzi ya dhati ya mam. Kila siku inapopambazuka,Shani alijiona mpweke kupitia kiasi , jambo lilompelekea kuhamia Kwa bibi yake,Bi. Mboga.Bi.Mboga alimlea Kwa ihtiramu ya hali ya juu. Ila mama yake kila kukicha alienda kumuudhi hapa na pale.Shani aliyavumilia yote haya Kwa moyo wa matatajio kedekede.kwa hakikisha si wahenga walishasema kua mvumilivu hula mbivu? Na subira huvuta heri? Siku ayami zikapita huku Shani akiiisubiri heri yake Ila hakuona dalili yote. Madhika yaliendelea kuwa mengi kiasi Cha kunyimwa haki ya kwenda shule Kama auladi wenzake.Mamaye mzazi aliamuru aende amsaidie kazi za nyumbani,kulima ,kuwalea wenzake na hata kupika. Hivyo basi, juu ya upweke alionao,akaamua kujenga urafiki wa kimapenzi na kijana mmoja mtanashati - Shukurani. Pengo lilowachwa na wazazi wake likazibwa na Shukurani. Shukurani alimfariji na kumuengaenga Kama mtoto mdogo.Alimuahidi ndoa na maisha Bora ya mustakabalini. Laiti tu wangejua qudura ya Rabbana! Shani naye alifarijika kwelikweli. Akampa moyo wake wote akiwa na matarijio makubwa kua atafunga ndoa naye siku moja.Walikua na matatajio ya Hali ya juu Kwa Maulana. Hivyo basi,hauchi hauchi hucha! Siku moja baada ya Shani madhila kushitadi, Shukurani aliamua kumtorosha Shani na kumpeleka mbali na nyumbani. Walikaa huko siku ayami.Askari waliarifiwa na baada ya majuma mawili wakapatikana. Wakawaacha wengi vinywa wazi! Na hatimaye,ndoa ya mkeka ikafungwa!
Subira huvuta nini
{ "text": [ "Heri" ] }
4768_swa
NDOA YA MKEKA Halikuwa jambo rahisi kwake kukubali ndoa kabla ya kuhitimisha masomo yake angaa ya sekondari. Shani, alijikaza kukubali matokeo ya upendo wake Kwa Shukurani. Mamakwe alitangaza ndoa mchana wa baada tu ya tukio hilo kutokea! Ingawa halikua jambo la kiungwana, ilibidi wavyele wa Shani wakubali ijapokua kishingo upande . Naye Bi. Mboga, aliona bora amuoze mjukuu wake mapema kabla fedheha haijawapata. Kwani hata hivyo, si walishasema kua ndoa ni sitara? Shani alikua kidosho aliezaliwa na kujipata na baba wa kambo aliyempenda na kumuenzi Kama mboni ya macho yake.Kwani Abu yake alimtaliki mama yake akiwa bado yu matumboni mwa mamaye. Au Kama wasemavyo, hajaona mwanga wa jua. Hili ,lilikua kinyume na sheria ya dini yao takatifu ya Kiisilamu - kumtaliki mke akiwa mjamzito. Ila, kudura nayo hushinda jitihada. Na mwana wa adamu ni mwingi wa kuasi ilhali Maulana ni wa maghfira. Shani akalelewa na baba wa kambo asimjue baba yake, kwani babamtu hakua na hamu naye.Ila mama yake baada ya kupata watoto wengine Kwa mume wake wa pili,alimchukia sana Shani na kumbagua kila apatopo fursa ya kutenda hayo. Chuki kwake ilikua halali Kwa Shani. Loh! Maskini! Hata baada ya kukosa upendo wa baba mzazi Shani anakosa mapenzi ya dhati ya mam. Kila siku inapopambazuka,Shani alijiona mpweke kupitia kiasi , jambo lilompelekea kuhamia Kwa bibi yake,Bi. Mboga.Bi.Mboga alimlea Kwa ihtiramu ya hali ya juu. Ila mama yake kila kukicha alienda kumuudhi hapa na pale.Shani aliyavumilia yote haya Kwa moyo wa matatajio kedekede.kwa hakikisha si wahenga walishasema kua mvumilivu hula mbivu? Na subira huvuta heri? Siku ayami zikapita huku Shani akiiisubiri heri yake Ila hakuona dalili yote. Madhika yaliendelea kuwa mengi kiasi Cha kunyimwa haki ya kwenda shule Kama auladi wenzake.Mamaye mzazi aliamuru aende amsaidie kazi za nyumbani,kulima ,kuwalea wenzake na hata kupika. Hivyo basi, juu ya upweke alionao,akaamua kujenga urafiki wa kimapenzi na kijana mmoja mtanashati - Shukurani. Pengo lilowachwa na wazazi wake likazibwa na Shukurani. Shukurani alimfariji na kumuengaenga Kama mtoto mdogo.Alimuahidi ndoa na maisha Bora ya mustakabalini. Laiti tu wangejua qudura ya Rabbana! Shani naye alifarijika kwelikweli. Akampa moyo wake wote akiwa na matarijio makubwa kua atafunga ndoa naye siku moja.Walikua na matatajio ya Hali ya juu Kwa Maulana. Hivyo basi,hauchi hauchi hucha! Siku moja baada ya Shani madhila kushitadi, Shukurani aliamua kumtorosha Shani na kumpeleka mbali na nyumbani. Walikaa huko siku ayami.Askari waliarifiwa na baada ya majuma mawili wakapatikana. Wakawaacha wengi vinywa wazi! Na hatimaye,ndoa ya mkeka ikafungwa!
Nani alimfariji na kumuengaenga Shani kama mtoto mdogo
{ "text": [ "Shukurani" ] }
4769_swa
HAMISI AJUTA Hamisi alikuwa mtoto wa pili katika familia ya Mzee Mwinyi. Alilelewa katika maisha ya asali na maziwa tu. Kijiji kila mtu alimwepuka mithili ndwele. Alikuwa mkia mbuzi. Shuleni pia hakuna aliyetaka kutangamana naye. Darasani hakuwa mtu wa kuunga moja na moja kupata mbili. Alikuwa sumbukuku alikuwa mjeuri sisemi mkia mbuzi. Mama yake kila wakati alipokuwa anapata ripoti kwamba mtoto wake ni mjeuri hakuamini. Aliwarushia majirani maneno na kuwaambia kwamba wanamwonea mwana wao. Majirani walibaki vinywa wazi na kushangaa hawana la kusema. Abdi kwa kumjua sana na kuwa karibu na Hamisi alijaribu kumwelekeza rafikiye Hamisi. Alikuwa na matumaini kwamba siku moja Abdi atakuwa mtu mwema na wa kusifika kama walivyo watoto wengine. Siku moja nilipokuwa nabarizi kwenye mkeka wangu asubuhi mafungulia ng'ombe Abdi na Hamisi walifika. Kwa kuwa mimi nilikuwa ninawafahamu niliwakaribisha kwa mikono miwili na angalau waweze kupa kikombe cha chai. Dada yangu aliendaa meza kwa haraka kwani sis sote tulikuwa tukisoma shule moja huko kijijini ya Mwendao. Tulikunywa chai huku tukipiga mazungumzo na wendani hao. Abdi ndiye aliyekuwa rafiki yangu. Kupitia kwa Abdi, ndipo nilipomjua huyu kijana Hamisi. Tulipata chakula cha asubuhi na sote tukamshukuru dada yangu kwa chakula kitamu mithili ya halua kwa tende. " Kauleni, mama hatafurahia akikuona mkitembea na Hamisi, " dada yangu alininong'onezea. Kisha nikamjibu kwamba mimi siandamani nao kamwe bali tu ni tasalia humu. Dada yangu alikuja juu na kutuambia kwamba tusiomdoke kwani mama angetaka kutuona ili tuwe na mazungumzo na yeye. Tulimwahidi dada kwamba hatuendi popote. Tuliendelea na gumzo hadi pale Hamisi alipotushauri ingekuwa vyema kama tungepiga guu mosi guu pili tuone vile upande wa kijiji huo mwingine unavyokaa. Sote tuliamua kwa kauli moja na tukaona tuende tutembelee rafiki yake Hamisi. Rafikiye Hamisi aliitwa Mambo. Mambo alikuwa pia mwenye sifa zinazoana na zake Hamisi. Nyumbani kwa akina Mambo kulikuwa upande wa pili wa barabara itwayo Mwendatezi. Ilikuwa ni barabara iliyokuwa ikiziungaa nchi mbili. Nchi ya Bidii na nchi ya Zusha. Tuliandamana moja kwa moja tukielekea kwa akina Mambo. Tulitembea asteaste ndiposa tumpate mama kabla hajarejea. Abdi alikuwa mbele naye Hamisi katikakati. Mimi ndiye niliyefunga tatu. Tulipofika njiani tuliona watu wamebeba magudulia na mandoo wakielekea upande mmoja. Tulishangaa kwani hawa watu wanaenda wapi? Mungu amewaita ama ni nini wanaenda haswa? Maswali yalivuruka vichwa vyetu. "Babu shikamoo, watu wanae..." Kabla Hamisi hajamaliza maongezi yake na babu, Mambo alitokea pia akiwa amejihami kwa ndoo. "Morioo vipiii, mnakimbiza na nini hii mbogi ya mamorio, " Hamisi alimwuliza Mambo kwa lugha ya mtaani yaani sheng'. " Wasee lori la ngata limeunguka huko tunaendea ngata" Mambo pia alimjibu kwa lugha ya sheng'. Kumaanisha kwamba lori la mafuta lilikuwa limeanguka na watu walikuwa wanakimbilia huko. Hamisi na Mambo kwa sababu ya kuwa na tamaa ya pesa, walikimbia huko. Nasi pia tuliekea huko. Tulipokaribia macho yetu yalijipatia chakula chake cha bure. Kando kando mwa barabara lori la mafuta lililala. Lilikuwa likitokwa na mafuta mithili ya kanjo livujalo wakati wa masika. Watu walikuwa wameinama huku wakifurahia dhahabu ya siku moja hiyo. Waliinama huku wakipiga kelele mithili ya chiriku mlaanifu akiyemimina tani milioni za maji ya chooni. Tuliwaona Hamisi pia wakiwa mle mle wakijaribu kupata sehemu yao ya mafuta. Abdi alirunga upande wa pili wa barabara ili aweze kuona huo mkasa kwa pua na mdomo. "Hivi ndivyo mabomu ya kupanga huua watu wengi. Badala ya wao kuepuka mahala pa mikasa wao hukimbilia huko, " nilijiambia kimoyomoyo. Mzee mmoja mraibu wa sigara alihizi kugonga kiu chake. Mara hiyo akatoa kiberiti na kuasha. Twaalalalallaa!! Moto ulizuka. Watu walianza kukimbia huku na kule wasijue la kufanya. Muda mchache baadaye, mahali hapo palikuwa pamegeuzwa tanuri la kuchoma makaa. Vilio vilisikika vikitoka mle jehanamu. Ilisikitika kusikia vipingiti na mafuvu ya vichwa ikapasuka kwa kishindo. Ving'oru vya gari la kuzima moto vilisikika hata karibu vifufue wale waliotutangulia mbele ya haki. Vita vikali vilizuka baina ya watu na wazima moto. Walijitahidi na baada ya nusu saa hivi moto ulitii amri na kujisalamisha. Magari ya ambulansi yalikuwa yashafika. Tulianza kutoa msaada tuliokuwa nao. Tuliwapanga majeruhi kando na wale walikuwa wameshasafifishwa jongeomeo kando. Majeruhi waliweza kukimbizwa hospitalini. Lo! Nilichokiona si kuamini. Mwandani wangu wake Abdi alikuwa ameunguzwa kiasi cha kutotambuliwa. Alikkuwa akifunguafungua mdomo kilichomtoka ni majuto tu pekee. Aisee Hamisi pia alikuwa hivyo hivyo. Hakuwa wa uji wala maji. Walipelekwa hospitalini nami na mwendani wangu tukafwata pia. Hospitalini wazazi wao walikuwa wameshapata habari. Mama yake Hamisi alilia. Kwa kweli uchungu wa mwana ajuaye mama. Walilazwa na wakaanza kufanyiwa matibabu ya dharura. Majeruhi mbali mbali waliweza kufika na vitanda vikajaa kiasi cha wengine kulazwa sakafuni. Mamake Mambo alikuwa akigaragara chini ungedhani alikuwa amevamiwa na pepo wachafu. Alilia kwa uchungu sana. Mimi niliondoka hospitalini nisijue ambacho nyumbani kilikuwa kimeningojea. Njiani nilikuwa nakumbuka semi za dadangu nabaki nadodokwa na machozi. Kumbe ningetii yale dada aliniambia. Kwa kweli majuto ni mjukuu huja baadaye na asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Mtoto wa pili wa mzee mwinyi aliitwaje
{ "text": [ "Hamisi" ] }
4769_swa
HAMISI AJUTA Hamisi alikuwa mtoto wa pili katika familia ya Mzee Mwinyi. Alilelewa katika maisha ya asali na maziwa tu. Kijiji kila mtu alimwepuka mithili ndwele. Alikuwa mkia mbuzi. Shuleni pia hakuna aliyetaka kutangamana naye. Darasani hakuwa mtu wa kuunga moja na moja kupata mbili. Alikuwa sumbukuku alikuwa mjeuri sisemi mkia mbuzi. Mama yake kila wakati alipokuwa anapata ripoti kwamba mtoto wake ni mjeuri hakuamini. Aliwarushia majirani maneno na kuwaambia kwamba wanamwonea mwana wao. Majirani walibaki vinywa wazi na kushangaa hawana la kusema. Abdi kwa kumjua sana na kuwa karibu na Hamisi alijaribu kumwelekeza rafikiye Hamisi. Alikuwa na matumaini kwamba siku moja Abdi atakuwa mtu mwema na wa kusifika kama walivyo watoto wengine. Siku moja nilipokuwa nabarizi kwenye mkeka wangu asubuhi mafungulia ng'ombe Abdi na Hamisi walifika. Kwa kuwa mimi nilikuwa ninawafahamu niliwakaribisha kwa mikono miwili na angalau waweze kupa kikombe cha chai. Dada yangu aliendaa meza kwa haraka kwani sis sote tulikuwa tukisoma shule moja huko kijijini ya Mwendao. Tulikunywa chai huku tukipiga mazungumzo na wendani hao. Abdi ndiye aliyekuwa rafiki yangu. Kupitia kwa Abdi, ndipo nilipomjua huyu kijana Hamisi. Tulipata chakula cha asubuhi na sote tukamshukuru dada yangu kwa chakula kitamu mithili ya halua kwa tende. " Kauleni, mama hatafurahia akikuona mkitembea na Hamisi, " dada yangu alininong'onezea. Kisha nikamjibu kwamba mimi siandamani nao kamwe bali tu ni tasalia humu. Dada yangu alikuja juu na kutuambia kwamba tusiomdoke kwani mama angetaka kutuona ili tuwe na mazungumzo na yeye. Tulimwahidi dada kwamba hatuendi popote. Tuliendelea na gumzo hadi pale Hamisi alipotushauri ingekuwa vyema kama tungepiga guu mosi guu pili tuone vile upande wa kijiji huo mwingine unavyokaa. Sote tuliamua kwa kauli moja na tukaona tuende tutembelee rafiki yake Hamisi. Rafikiye Hamisi aliitwa Mambo. Mambo alikuwa pia mwenye sifa zinazoana na zake Hamisi. Nyumbani kwa akina Mambo kulikuwa upande wa pili wa barabara itwayo Mwendatezi. Ilikuwa ni barabara iliyokuwa ikiziungaa nchi mbili. Nchi ya Bidii na nchi ya Zusha. Tuliandamana moja kwa moja tukielekea kwa akina Mambo. Tulitembea asteaste ndiposa tumpate mama kabla hajarejea. Abdi alikuwa mbele naye Hamisi katikakati. Mimi ndiye niliyefunga tatu. Tulipofika njiani tuliona watu wamebeba magudulia na mandoo wakielekea upande mmoja. Tulishangaa kwani hawa watu wanaenda wapi? Mungu amewaita ama ni nini wanaenda haswa? Maswali yalivuruka vichwa vyetu. "Babu shikamoo, watu wanae..." Kabla Hamisi hajamaliza maongezi yake na babu, Mambo alitokea pia akiwa amejihami kwa ndoo. "Morioo vipiii, mnakimbiza na nini hii mbogi ya mamorio, " Hamisi alimwuliza Mambo kwa lugha ya mtaani yaani sheng'. " Wasee lori la ngata limeunguka huko tunaendea ngata" Mambo pia alimjibu kwa lugha ya sheng'. Kumaanisha kwamba lori la mafuta lilikuwa limeanguka na watu walikuwa wanakimbilia huko. Hamisi na Mambo kwa sababu ya kuwa na tamaa ya pesa, walikimbia huko. Nasi pia tuliekea huko. Tulipokaribia macho yetu yalijipatia chakula chake cha bure. Kando kando mwa barabara lori la mafuta lililala. Lilikuwa likitokwa na mafuta mithili ya kanjo livujalo wakati wa masika. Watu walikuwa wameinama huku wakifurahia dhahabu ya siku moja hiyo. Waliinama huku wakipiga kelele mithili ya chiriku mlaanifu akiyemimina tani milioni za maji ya chooni. Tuliwaona Hamisi pia wakiwa mle mle wakijaribu kupata sehemu yao ya mafuta. Abdi alirunga upande wa pili wa barabara ili aweze kuona huo mkasa kwa pua na mdomo. "Hivi ndivyo mabomu ya kupanga huua watu wengi. Badala ya wao kuepuka mahala pa mikasa wao hukimbilia huko, " nilijiambia kimoyomoyo. Mzee mmoja mraibu wa sigara alihizi kugonga kiu chake. Mara hiyo akatoa kiberiti na kuasha. Twaalalalallaa!! Moto ulizuka. Watu walianza kukimbia huku na kule wasijue la kufanya. Muda mchache baadaye, mahali hapo palikuwa pamegeuzwa tanuri la kuchoma makaa. Vilio vilisikika vikitoka mle jehanamu. Ilisikitika kusikia vipingiti na mafuvu ya vichwa ikapasuka kwa kishindo. Ving'oru vya gari la kuzima moto vilisikika hata karibu vifufue wale waliotutangulia mbele ya haki. Vita vikali vilizuka baina ya watu na wazima moto. Walijitahidi na baada ya nusu saa hivi moto ulitii amri na kujisalamisha. Magari ya ambulansi yalikuwa yashafika. Tulianza kutoa msaada tuliokuwa nao. Tuliwapanga majeruhi kando na wale walikuwa wameshasafifishwa jongeomeo kando. Majeruhi waliweza kukimbizwa hospitalini. Lo! Nilichokiona si kuamini. Mwandani wangu wake Abdi alikuwa ameunguzwa kiasi cha kutotambuliwa. Alikkuwa akifunguafungua mdomo kilichomtoka ni majuto tu pekee. Aisee Hamisi pia alikuwa hivyo hivyo. Hakuwa wa uji wala maji. Walipelekwa hospitalini nami na mwendani wangu tukafwata pia. Hospitalini wazazi wao walikuwa wameshapata habari. Mama yake Hamisi alilia. Kwa kweli uchungu wa mwana ajuaye mama. Walilazwa na wakaanza kufanyiwa matibabu ya dharura. Majeruhi mbali mbali waliweza kufika na vitanda vikajaa kiasi cha wengine kulazwa sakafuni. Mamake Mambo alikuwa akigaragara chini ungedhani alikuwa amevamiwa na pepo wachafu. Alilia kwa uchungu sana. Mimi niliondoka hospitalini nisijue ambacho nyumbani kilikuwa kimeningojea. Njiani nilikuwa nakumbuka semi za dadangu nabaki nadodokwa na machozi. Kumbe ningetii yale dada aliniambia. Kwa kweli majuto ni mjukuu huja baadaye na asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Shule waliosomea, Abdi, hamisi na rafikiye ilikuwa wapi
{ "text": [ "Mwendao" ] }
4769_swa
HAMISI AJUTA Hamisi alikuwa mtoto wa pili katika familia ya Mzee Mwinyi. Alilelewa katika maisha ya asali na maziwa tu. Kijiji kila mtu alimwepuka mithili ndwele. Alikuwa mkia mbuzi. Shuleni pia hakuna aliyetaka kutangamana naye. Darasani hakuwa mtu wa kuunga moja na moja kupata mbili. Alikuwa sumbukuku alikuwa mjeuri sisemi mkia mbuzi. Mama yake kila wakati alipokuwa anapata ripoti kwamba mtoto wake ni mjeuri hakuamini. Aliwarushia majirani maneno na kuwaambia kwamba wanamwonea mwana wao. Majirani walibaki vinywa wazi na kushangaa hawana la kusema. Abdi kwa kumjua sana na kuwa karibu na Hamisi alijaribu kumwelekeza rafikiye Hamisi. Alikuwa na matumaini kwamba siku moja Abdi atakuwa mtu mwema na wa kusifika kama walivyo watoto wengine. Siku moja nilipokuwa nabarizi kwenye mkeka wangu asubuhi mafungulia ng'ombe Abdi na Hamisi walifika. Kwa kuwa mimi nilikuwa ninawafahamu niliwakaribisha kwa mikono miwili na angalau waweze kupa kikombe cha chai. Dada yangu aliendaa meza kwa haraka kwani sis sote tulikuwa tukisoma shule moja huko kijijini ya Mwendao. Tulikunywa chai huku tukipiga mazungumzo na wendani hao. Abdi ndiye aliyekuwa rafiki yangu. Kupitia kwa Abdi, ndipo nilipomjua huyu kijana Hamisi. Tulipata chakula cha asubuhi na sote tukamshukuru dada yangu kwa chakula kitamu mithili ya halua kwa tende. " Kauleni, mama hatafurahia akikuona mkitembea na Hamisi, " dada yangu alininong'onezea. Kisha nikamjibu kwamba mimi siandamani nao kamwe bali tu ni tasalia humu. Dada yangu alikuja juu na kutuambia kwamba tusiomdoke kwani mama angetaka kutuona ili tuwe na mazungumzo na yeye. Tulimwahidi dada kwamba hatuendi popote. Tuliendelea na gumzo hadi pale Hamisi alipotushauri ingekuwa vyema kama tungepiga guu mosi guu pili tuone vile upande wa kijiji huo mwingine unavyokaa. Sote tuliamua kwa kauli moja na tukaona tuende tutembelee rafiki yake Hamisi. Rafikiye Hamisi aliitwa Mambo. Mambo alikuwa pia mwenye sifa zinazoana na zake Hamisi. Nyumbani kwa akina Mambo kulikuwa upande wa pili wa barabara itwayo Mwendatezi. Ilikuwa ni barabara iliyokuwa ikiziungaa nchi mbili. Nchi ya Bidii na nchi ya Zusha. Tuliandamana moja kwa moja tukielekea kwa akina Mambo. Tulitembea asteaste ndiposa tumpate mama kabla hajarejea. Abdi alikuwa mbele naye Hamisi katikakati. Mimi ndiye niliyefunga tatu. Tulipofika njiani tuliona watu wamebeba magudulia na mandoo wakielekea upande mmoja. Tulishangaa kwani hawa watu wanaenda wapi? Mungu amewaita ama ni nini wanaenda haswa? Maswali yalivuruka vichwa vyetu. "Babu shikamoo, watu wanae..." Kabla Hamisi hajamaliza maongezi yake na babu, Mambo alitokea pia akiwa amejihami kwa ndoo. "Morioo vipiii, mnakimbiza na nini hii mbogi ya mamorio, " Hamisi alimwuliza Mambo kwa lugha ya mtaani yaani sheng'. " Wasee lori la ngata limeunguka huko tunaendea ngata" Mambo pia alimjibu kwa lugha ya sheng'. Kumaanisha kwamba lori la mafuta lilikuwa limeanguka na watu walikuwa wanakimbilia huko. Hamisi na Mambo kwa sababu ya kuwa na tamaa ya pesa, walikimbia huko. Nasi pia tuliekea huko. Tulipokaribia macho yetu yalijipatia chakula chake cha bure. Kando kando mwa barabara lori la mafuta lililala. Lilikuwa likitokwa na mafuta mithili ya kanjo livujalo wakati wa masika. Watu walikuwa wameinama huku wakifurahia dhahabu ya siku moja hiyo. Waliinama huku wakipiga kelele mithili ya chiriku mlaanifu akiyemimina tani milioni za maji ya chooni. Tuliwaona Hamisi pia wakiwa mle mle wakijaribu kupata sehemu yao ya mafuta. Abdi alirunga upande wa pili wa barabara ili aweze kuona huo mkasa kwa pua na mdomo. "Hivi ndivyo mabomu ya kupanga huua watu wengi. Badala ya wao kuepuka mahala pa mikasa wao hukimbilia huko, " nilijiambia kimoyomoyo. Mzee mmoja mraibu wa sigara alihizi kugonga kiu chake. Mara hiyo akatoa kiberiti na kuasha. Twaalalalallaa!! Moto ulizuka. Watu walianza kukimbia huku na kule wasijue la kufanya. Muda mchache baadaye, mahali hapo palikuwa pamegeuzwa tanuri la kuchoma makaa. Vilio vilisikika vikitoka mle jehanamu. Ilisikitika kusikia vipingiti na mafuvu ya vichwa ikapasuka kwa kishindo. Ving'oru vya gari la kuzima moto vilisikika hata karibu vifufue wale waliotutangulia mbele ya haki. Vita vikali vilizuka baina ya watu na wazima moto. Walijitahidi na baada ya nusu saa hivi moto ulitii amri na kujisalamisha. Magari ya ambulansi yalikuwa yashafika. Tulianza kutoa msaada tuliokuwa nao. Tuliwapanga majeruhi kando na wale walikuwa wameshasafifishwa jongeomeo kando. Majeruhi waliweza kukimbizwa hospitalini. Lo! Nilichokiona si kuamini. Mwandani wangu wake Abdi alikuwa ameunguzwa kiasi cha kutotambuliwa. Alikkuwa akifunguafungua mdomo kilichomtoka ni majuto tu pekee. Aisee Hamisi pia alikuwa hivyo hivyo. Hakuwa wa uji wala maji. Walipelekwa hospitalini nami na mwendani wangu tukafwata pia. Hospitalini wazazi wao walikuwa wameshapata habari. Mama yake Hamisi alilia. Kwa kweli uchungu wa mwana ajuaye mama. Walilazwa na wakaanza kufanyiwa matibabu ya dharura. Majeruhi mbali mbali waliweza kufika na vitanda vikajaa kiasi cha wengine kulazwa sakafuni. Mamake Mambo alikuwa akigaragara chini ungedhani alikuwa amevamiwa na pepo wachafu. Alilia kwa uchungu sana. Mimi niliondoka hospitalini nisijue ambacho nyumbani kilikuwa kimeningojea. Njiani nilikuwa nakumbuka semi za dadangu nabaki nadodokwa na machozi. Kumbe ningetii yale dada aliniambia. Kwa kweli majuto ni mjukuu huja baadaye na asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Watu waliobeba magundulia na ndoo walielekea wapi
{ "text": [ "Kuliko anguka lori la maguta" ] }
4769_swa
HAMISI AJUTA Hamisi alikuwa mtoto wa pili katika familia ya Mzee Mwinyi. Alilelewa katika maisha ya asali na maziwa tu. Kijiji kila mtu alimwepuka mithili ndwele. Alikuwa mkia mbuzi. Shuleni pia hakuna aliyetaka kutangamana naye. Darasani hakuwa mtu wa kuunga moja na moja kupata mbili. Alikuwa sumbukuku alikuwa mjeuri sisemi mkia mbuzi. Mama yake kila wakati alipokuwa anapata ripoti kwamba mtoto wake ni mjeuri hakuamini. Aliwarushia majirani maneno na kuwaambia kwamba wanamwonea mwana wao. Majirani walibaki vinywa wazi na kushangaa hawana la kusema. Abdi kwa kumjua sana na kuwa karibu na Hamisi alijaribu kumwelekeza rafikiye Hamisi. Alikuwa na matumaini kwamba siku moja Abdi atakuwa mtu mwema na wa kusifika kama walivyo watoto wengine. Siku moja nilipokuwa nabarizi kwenye mkeka wangu asubuhi mafungulia ng'ombe Abdi na Hamisi walifika. Kwa kuwa mimi nilikuwa ninawafahamu niliwakaribisha kwa mikono miwili na angalau waweze kupa kikombe cha chai. Dada yangu aliendaa meza kwa haraka kwani sis sote tulikuwa tukisoma shule moja huko kijijini ya Mwendao. Tulikunywa chai huku tukipiga mazungumzo na wendani hao. Abdi ndiye aliyekuwa rafiki yangu. Kupitia kwa Abdi, ndipo nilipomjua huyu kijana Hamisi. Tulipata chakula cha asubuhi na sote tukamshukuru dada yangu kwa chakula kitamu mithili ya halua kwa tende. " Kauleni, mama hatafurahia akikuona mkitembea na Hamisi, " dada yangu alininong'onezea. Kisha nikamjibu kwamba mimi siandamani nao kamwe bali tu ni tasalia humu. Dada yangu alikuja juu na kutuambia kwamba tusiomdoke kwani mama angetaka kutuona ili tuwe na mazungumzo na yeye. Tulimwahidi dada kwamba hatuendi popote. Tuliendelea na gumzo hadi pale Hamisi alipotushauri ingekuwa vyema kama tungepiga guu mosi guu pili tuone vile upande wa kijiji huo mwingine unavyokaa. Sote tuliamua kwa kauli moja na tukaona tuende tutembelee rafiki yake Hamisi. Rafikiye Hamisi aliitwa Mambo. Mambo alikuwa pia mwenye sifa zinazoana na zake Hamisi. Nyumbani kwa akina Mambo kulikuwa upande wa pili wa barabara itwayo Mwendatezi. Ilikuwa ni barabara iliyokuwa ikiziungaa nchi mbili. Nchi ya Bidii na nchi ya Zusha. Tuliandamana moja kwa moja tukielekea kwa akina Mambo. Tulitembea asteaste ndiposa tumpate mama kabla hajarejea. Abdi alikuwa mbele naye Hamisi katikakati. Mimi ndiye niliyefunga tatu. Tulipofika njiani tuliona watu wamebeba magudulia na mandoo wakielekea upande mmoja. Tulishangaa kwani hawa watu wanaenda wapi? Mungu amewaita ama ni nini wanaenda haswa? Maswali yalivuruka vichwa vyetu. "Babu shikamoo, watu wanae..." Kabla Hamisi hajamaliza maongezi yake na babu, Mambo alitokea pia akiwa amejihami kwa ndoo. "Morioo vipiii, mnakimbiza na nini hii mbogi ya mamorio, " Hamisi alimwuliza Mambo kwa lugha ya mtaani yaani sheng'. " Wasee lori la ngata limeunguka huko tunaendea ngata" Mambo pia alimjibu kwa lugha ya sheng'. Kumaanisha kwamba lori la mafuta lilikuwa limeanguka na watu walikuwa wanakimbilia huko. Hamisi na Mambo kwa sababu ya kuwa na tamaa ya pesa, walikimbia huko. Nasi pia tuliekea huko. Tulipokaribia macho yetu yalijipatia chakula chake cha bure. Kando kando mwa barabara lori la mafuta lililala. Lilikuwa likitokwa na mafuta mithili ya kanjo livujalo wakati wa masika. Watu walikuwa wameinama huku wakifurahia dhahabu ya siku moja hiyo. Waliinama huku wakipiga kelele mithili ya chiriku mlaanifu akiyemimina tani milioni za maji ya chooni. Tuliwaona Hamisi pia wakiwa mle mle wakijaribu kupata sehemu yao ya mafuta. Abdi alirunga upande wa pili wa barabara ili aweze kuona huo mkasa kwa pua na mdomo. "Hivi ndivyo mabomu ya kupanga huua watu wengi. Badala ya wao kuepuka mahala pa mikasa wao hukimbilia huko, " nilijiambia kimoyomoyo. Mzee mmoja mraibu wa sigara alihizi kugonga kiu chake. Mara hiyo akatoa kiberiti na kuasha. Twaalalalallaa!! Moto ulizuka. Watu walianza kukimbia huku na kule wasijue la kufanya. Muda mchache baadaye, mahali hapo palikuwa pamegeuzwa tanuri la kuchoma makaa. Vilio vilisikika vikitoka mle jehanamu. Ilisikitika kusikia vipingiti na mafuvu ya vichwa ikapasuka kwa kishindo. Ving'oru vya gari la kuzima moto vilisikika hata karibu vifufue wale waliotutangulia mbele ya haki. Vita vikali vilizuka baina ya watu na wazima moto. Walijitahidi na baada ya nusu saa hivi moto ulitii amri na kujisalamisha. Magari ya ambulansi yalikuwa yashafika. Tulianza kutoa msaada tuliokuwa nao. Tuliwapanga majeruhi kando na wale walikuwa wameshasafifishwa jongeomeo kando. Majeruhi waliweza kukimbizwa hospitalini. Lo! Nilichokiona si kuamini. Mwandani wangu wake Abdi alikuwa ameunguzwa kiasi cha kutotambuliwa. Alikkuwa akifunguafungua mdomo kilichomtoka ni majuto tu pekee. Aisee Hamisi pia alikuwa hivyo hivyo. Hakuwa wa uji wala maji. Walipelekwa hospitalini nami na mwendani wangu tukafwata pia. Hospitalini wazazi wao walikuwa wameshapata habari. Mama yake Hamisi alilia. Kwa kweli uchungu wa mwana ajuaye mama. Walilazwa na wakaanza kufanyiwa matibabu ya dharura. Majeruhi mbali mbali waliweza kufika na vitanda vikajaa kiasi cha wengine kulazwa sakafuni. Mamake Mambo alikuwa akigaragara chini ungedhani alikuwa amevamiwa na pepo wachafu. Alilia kwa uchungu sana. Mimi niliondoka hospitalini nisijue ambacho nyumbani kilikuwa kimeningojea. Njiani nilikuwa nakumbuka semi za dadangu nabaki nadodokwa na machozi. Kumbe ningetii yale dada aliniambia. Kwa kweli majuto ni mjukuu huja baadaye na asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Ni dhahabu gani ya siku moja iliyofurahiwa na watu
{ "text": [ "Mafuta" ] }
4769_swa
HAMISI AJUTA Hamisi alikuwa mtoto wa pili katika familia ya Mzee Mwinyi. Alilelewa katika maisha ya asali na maziwa tu. Kijiji kila mtu alimwepuka mithili ndwele. Alikuwa mkia mbuzi. Shuleni pia hakuna aliyetaka kutangamana naye. Darasani hakuwa mtu wa kuunga moja na moja kupata mbili. Alikuwa sumbukuku alikuwa mjeuri sisemi mkia mbuzi. Mama yake kila wakati alipokuwa anapata ripoti kwamba mtoto wake ni mjeuri hakuamini. Aliwarushia majirani maneno na kuwaambia kwamba wanamwonea mwana wao. Majirani walibaki vinywa wazi na kushangaa hawana la kusema. Abdi kwa kumjua sana na kuwa karibu na Hamisi alijaribu kumwelekeza rafikiye Hamisi. Alikuwa na matumaini kwamba siku moja Abdi atakuwa mtu mwema na wa kusifika kama walivyo watoto wengine. Siku moja nilipokuwa nabarizi kwenye mkeka wangu asubuhi mafungulia ng'ombe Abdi na Hamisi walifika. Kwa kuwa mimi nilikuwa ninawafahamu niliwakaribisha kwa mikono miwili na angalau waweze kupa kikombe cha chai. Dada yangu aliendaa meza kwa haraka kwani sis sote tulikuwa tukisoma shule moja huko kijijini ya Mwendao. Tulikunywa chai huku tukipiga mazungumzo na wendani hao. Abdi ndiye aliyekuwa rafiki yangu. Kupitia kwa Abdi, ndipo nilipomjua huyu kijana Hamisi. Tulipata chakula cha asubuhi na sote tukamshukuru dada yangu kwa chakula kitamu mithili ya halua kwa tende. " Kauleni, mama hatafurahia akikuona mkitembea na Hamisi, " dada yangu alininong'onezea. Kisha nikamjibu kwamba mimi siandamani nao kamwe bali tu ni tasalia humu. Dada yangu alikuja juu na kutuambia kwamba tusiomdoke kwani mama angetaka kutuona ili tuwe na mazungumzo na yeye. Tulimwahidi dada kwamba hatuendi popote. Tuliendelea na gumzo hadi pale Hamisi alipotushauri ingekuwa vyema kama tungepiga guu mosi guu pili tuone vile upande wa kijiji huo mwingine unavyokaa. Sote tuliamua kwa kauli moja na tukaona tuende tutembelee rafiki yake Hamisi. Rafikiye Hamisi aliitwa Mambo. Mambo alikuwa pia mwenye sifa zinazoana na zake Hamisi. Nyumbani kwa akina Mambo kulikuwa upande wa pili wa barabara itwayo Mwendatezi. Ilikuwa ni barabara iliyokuwa ikiziungaa nchi mbili. Nchi ya Bidii na nchi ya Zusha. Tuliandamana moja kwa moja tukielekea kwa akina Mambo. Tulitembea asteaste ndiposa tumpate mama kabla hajarejea. Abdi alikuwa mbele naye Hamisi katikakati. Mimi ndiye niliyefunga tatu. Tulipofika njiani tuliona watu wamebeba magudulia na mandoo wakielekea upande mmoja. Tulishangaa kwani hawa watu wanaenda wapi? Mungu amewaita ama ni nini wanaenda haswa? Maswali yalivuruka vichwa vyetu. "Babu shikamoo, watu wanae..." Kabla Hamisi hajamaliza maongezi yake na babu, Mambo alitokea pia akiwa amejihami kwa ndoo. "Morioo vipiii, mnakimbiza na nini hii mbogi ya mamorio, " Hamisi alimwuliza Mambo kwa lugha ya mtaani yaani sheng'. " Wasee lori la ngata limeunguka huko tunaendea ngata" Mambo pia alimjibu kwa lugha ya sheng'. Kumaanisha kwamba lori la mafuta lilikuwa limeanguka na watu walikuwa wanakimbilia huko. Hamisi na Mambo kwa sababu ya kuwa na tamaa ya pesa, walikimbia huko. Nasi pia tuliekea huko. Tulipokaribia macho yetu yalijipatia chakula chake cha bure. Kando kando mwa barabara lori la mafuta lililala. Lilikuwa likitokwa na mafuta mithili ya kanjo livujalo wakati wa masika. Watu walikuwa wameinama huku wakifurahia dhahabu ya siku moja hiyo. Waliinama huku wakipiga kelele mithili ya chiriku mlaanifu akiyemimina tani milioni za maji ya chooni. Tuliwaona Hamisi pia wakiwa mle mle wakijaribu kupata sehemu yao ya mafuta. Abdi alirunga upande wa pili wa barabara ili aweze kuona huo mkasa kwa pua na mdomo. "Hivi ndivyo mabomu ya kupanga huua watu wengi. Badala ya wao kuepuka mahala pa mikasa wao hukimbilia huko, " nilijiambia kimoyomoyo. Mzee mmoja mraibu wa sigara alihizi kugonga kiu chake. Mara hiyo akatoa kiberiti na kuasha. Twaalalalallaa!! Moto ulizuka. Watu walianza kukimbia huku na kule wasijue la kufanya. Muda mchache baadaye, mahali hapo palikuwa pamegeuzwa tanuri la kuchoma makaa. Vilio vilisikika vikitoka mle jehanamu. Ilisikitika kusikia vipingiti na mafuvu ya vichwa ikapasuka kwa kishindo. Ving'oru vya gari la kuzima moto vilisikika hata karibu vifufue wale waliotutangulia mbele ya haki. Vita vikali vilizuka baina ya watu na wazima moto. Walijitahidi na baada ya nusu saa hivi moto ulitii amri na kujisalamisha. Magari ya ambulansi yalikuwa yashafika. Tulianza kutoa msaada tuliokuwa nao. Tuliwapanga majeruhi kando na wale walikuwa wameshasafifishwa jongeomeo kando. Majeruhi waliweza kukimbizwa hospitalini. Lo! Nilichokiona si kuamini. Mwandani wangu wake Abdi alikuwa ameunguzwa kiasi cha kutotambuliwa. Alikkuwa akifunguafungua mdomo kilichomtoka ni majuto tu pekee. Aisee Hamisi pia alikuwa hivyo hivyo. Hakuwa wa uji wala maji. Walipelekwa hospitalini nami na mwendani wangu tukafwata pia. Hospitalini wazazi wao walikuwa wameshapata habari. Mama yake Hamisi alilia. Kwa kweli uchungu wa mwana ajuaye mama. Walilazwa na wakaanza kufanyiwa matibabu ya dharura. Majeruhi mbali mbali waliweza kufika na vitanda vikajaa kiasi cha wengine kulazwa sakafuni. Mamake Mambo alikuwa akigaragara chini ungedhani alikuwa amevamiwa na pepo wachafu. Alilia kwa uchungu sana. Mimi niliondoka hospitalini nisijue ambacho nyumbani kilikuwa kimeningojea. Njiani nilikuwa nakumbuka semi za dadangu nabaki nadodokwa na machozi. Kumbe ningetii yale dada aliniambia. Kwa kweli majuto ni mjukuu huja baadaye na asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Nani aliyeasha moto lori ililokuwa ma mafuta
{ "text": [ "Mzee mmoja mraibu wa sigara" ] }
4772_swa
MAJUTO NI MJUKUU HUJA BAADAYE Kiwiliwili hafifu kilijinyoosha ndani ya mashuka meupe huku kikiguna kwa maumivu makali. Kichwa kilichochukua sura ya fuvu kwa kukosa vijinyama vya kukipa umbo halisia kilitikisika sambamba na mtetemo wa mwili wa Masumbuko. Mirija ya kupitishia damu ilimzonga kote mwilini ikamlemaza na kumfanya asiweze kusogea. Chumba kilikuwa kimya kiasi cha kutoa mlio wa mpito wa matone ya damu kwa mwangwi wa kuogofya ukivuma kuelekea mwilini mwa mtu ambaye alikua gofu hasa sio mtu tena. Kelele pekee ilikua ile ya mguno wa mara kwa mara. Masumbuko alikuwa amekonda hata kushinda ng’onda. Alikuwa kama kijisindano cha kufumia vyepeo ndani ya mashuka meupe. Kushotoni mwake kijistuli kilijisimamisha imara huku kimebeba bakuli lenye kiowevu cha hudhurungi. Bakuli lenyewe lilikuwa limetua kwa huzuni kana kwamba linamsononekea mgonjwa. Chozi liliiririka kutoka kwenye jicho lake la kulia. Chozi hilo lilivumbika uchungu wa shubiri ulioyabeba yaliyomsibu. Masumbuko aliyainua macho yake na kuitazama saa iliyotundikwa ukutani akatambua kuwa ilikuwa saa saba mchana. Huu ndio wakati ule yalipotokea yaliyomkaanga. Siku ile bado ilikuwa mbichi kichwani mwake. Alimkumbuka bwana Jack Mapesa alivomchukua ndani ya gari lake aina ya Lamborghini mchana wa siku ile. Kama kawaida yake alikuwa amesimama kando ya barabara ya Maweni kati huku kisketi chake cha buluu kikimbana mapajani na kuiangaza haiba ya mng’ao wa ngozi yake yenye ulaini wa hariri. Mdomoni alikuwa akiiafuna chingamu kwa utafunaji wa mbuzi aliouita usasa. Ni usasa gani unaomfanya mtu atafune chingamu kana kwamba ni majani makavu kwa ulaji wa mbuzi? Masumbuko alikitoma chanda chake mdomoni akaiviringaviringa ile chingamu nje kwa madaha huku bwana Mapesa akimpigia miluzi. Bwana Mapesa alimpungia mkono aingie garini huku akimkonyezea. Kama afanyavyo na wateja wake wa kawaida ,waliongea bei akijihashua kwa madaha ya kumteka bwana wake mpya. Bwana Mapesa aliahidi kumpa Masumbuko shilingi milioni tatu. Safari yao ya kuelekea nyumbani kwa Mapesa ilianza huku Masumbuko akiiwazia bahati ya milioni tatu kwa mshangao. Alijawa na furaha huku akiipangia pesa ambayo hanayo bajeti kichwani wake. Gari llisimaishwa nje ya jumba kubwa nao wakashikana mikono kuelekea chumbani mwa bwana Mapesa. Mapesa hakukawia kuukomea mlango na kisha kuyavua mavazi yake kutoka mwilini mwake na kubaki kama aliyezaliwa. Masumbuko alishangaa kuuona uume wa Mapesa ukiwa unatiririkwa na damu na usaha. Madonda yalikuwa yamejaa kila mahali. Masumbuko aliingiwa na kinyaa na kutapika chakula chote alichokuwa amekila siku hiyo. Kwa hasira, Mapesa alimnyooshesa bunduki kichwani na kumuamuru ‘ nifyonze niridhike au nitakuua!’ Kwa kuwa Masumbuko hakuwa na namna aliitii amri ya bwana wake huku akilia. Kisha wakaelekea kitandani akatendewa ya kutendewa katikati ya kilio. Baada ya hapo Mapesa akalitoa joka lake alilokuwa akilifuga na kumwamuru Masumbuko aliridhishe kimapenzi. Masumbuko aliimaliza kazi yake na kisha kudai malipo yake kutoka kwa bwana Mapesa. Bwana Mapesa alimsukuma Masumbuko nje ya nyumba na kumfukuza kama mbwakoko. Walinzi walikuja kumfurusha mwanamke huyo aliyekuwa akizua rabsha kwenye mazingira tulivu ya majumba ya matajiri wa mji . Masumbuko alijiendea zake kwake akiwa na simanzi tele. Siku kadhaa zilipita akaanza kuugua hapa na pale. Koo lake likavimba na kutuna usaha akawa hawezi kumeza kitu. Aliugua sehemu nyeti akawa anatoa harufu mbaya inayokera ungedhani ni panya na papa waliooza. Jirani yake Amina ndiye aliyemsaidia kumpeleka hospitali alipokuja kuomba chumvi na kumwona mwenzake hajifai. Vipimo vya daktari vilionyesha maambukizi ya ukimwi na kaswende. Masumbuko akawa anakonda tu na kujililia kwa kujihurumia. Akakonda na kukondeana akatamani asingalitoroka kwao ambako alilelewa vyema na wazazi wake. Masumbuko alikumbuka jinsi alkivyotoroka kijijini akakimbilia mjini na kuambulia kuwa kahaba akijisimamisha kama muhogo wa kuchoma mbele ya matrela akitafuta wateja. Ingawa kijijini Ukavu alikuwa akilelewa kwa chai ya mkandaa kwa mbatata, alikuwa na furaha. Alikuwa akisoma katika darasa la nane katika shule ya Ukingoni. Shinikizo la rika likampumbaza naye akabebwa kama upepo na kina Saumu kuelekea mjini ambapo walijiuza yapata miaka mitatu sasa. Laiti angalisoma na kuwafuta machozi wazazi wake waliokuwa na bidii kwenye mashamba ya kahawa wakiwachumia wana wao riziki. Laiti angalitulia kijijini asingekuwa nusu ya mauti leo hii. Lakini kwa kuwa majuto ni mjukuu aliyawacha ya umajimaji yamtiririke usoni. Akalia mpaka uso ukamwiva wekundu. Polepole, alijinyanyua akachukua vidonge vya dawa alizoekewa na nesi kwenye stuli, akavimimina vidonge vyote mdomoni kwa kupitiliza ,akavisukuma kwa maji. Mapovu meupe yakatiririka huku mwili ukimpukutika kisha kimya. Yakaisha.
Nani alikuwa amekonda hata kushinda ngonda
{ "text": [ "Masumbuko" ] }
4772_swa
MAJUTO NI MJUKUU HUJA BAADAYE Kiwiliwili hafifu kilijinyoosha ndani ya mashuka meupe huku kikiguna kwa maumivu makali. Kichwa kilichochukua sura ya fuvu kwa kukosa vijinyama vya kukipa umbo halisia kilitikisika sambamba na mtetemo wa mwili wa Masumbuko. Mirija ya kupitishia damu ilimzonga kote mwilini ikamlemaza na kumfanya asiweze kusogea. Chumba kilikuwa kimya kiasi cha kutoa mlio wa mpito wa matone ya damu kwa mwangwi wa kuogofya ukivuma kuelekea mwilini mwa mtu ambaye alikua gofu hasa sio mtu tena. Kelele pekee ilikua ile ya mguno wa mara kwa mara. Masumbuko alikuwa amekonda hata kushinda ng’onda. Alikuwa kama kijisindano cha kufumia vyepeo ndani ya mashuka meupe. Kushotoni mwake kijistuli kilijisimamisha imara huku kimebeba bakuli lenye kiowevu cha hudhurungi. Bakuli lenyewe lilikuwa limetua kwa huzuni kana kwamba linamsononekea mgonjwa. Chozi liliiririka kutoka kwenye jicho lake la kulia. Chozi hilo lilivumbika uchungu wa shubiri ulioyabeba yaliyomsibu. Masumbuko aliyainua macho yake na kuitazama saa iliyotundikwa ukutani akatambua kuwa ilikuwa saa saba mchana. Huu ndio wakati ule yalipotokea yaliyomkaanga. Siku ile bado ilikuwa mbichi kichwani mwake. Alimkumbuka bwana Jack Mapesa alivomchukua ndani ya gari lake aina ya Lamborghini mchana wa siku ile. Kama kawaida yake alikuwa amesimama kando ya barabara ya Maweni kati huku kisketi chake cha buluu kikimbana mapajani na kuiangaza haiba ya mng’ao wa ngozi yake yenye ulaini wa hariri. Mdomoni alikuwa akiiafuna chingamu kwa utafunaji wa mbuzi aliouita usasa. Ni usasa gani unaomfanya mtu atafune chingamu kana kwamba ni majani makavu kwa ulaji wa mbuzi? Masumbuko alikitoma chanda chake mdomoni akaiviringaviringa ile chingamu nje kwa madaha huku bwana Mapesa akimpigia miluzi. Bwana Mapesa alimpungia mkono aingie garini huku akimkonyezea. Kama afanyavyo na wateja wake wa kawaida ,waliongea bei akijihashua kwa madaha ya kumteka bwana wake mpya. Bwana Mapesa aliahidi kumpa Masumbuko shilingi milioni tatu. Safari yao ya kuelekea nyumbani kwa Mapesa ilianza huku Masumbuko akiiwazia bahati ya milioni tatu kwa mshangao. Alijawa na furaha huku akiipangia pesa ambayo hanayo bajeti kichwani wake. Gari llisimaishwa nje ya jumba kubwa nao wakashikana mikono kuelekea chumbani mwa bwana Mapesa. Mapesa hakukawia kuukomea mlango na kisha kuyavua mavazi yake kutoka mwilini mwake na kubaki kama aliyezaliwa. Masumbuko alishangaa kuuona uume wa Mapesa ukiwa unatiririkwa na damu na usaha. Madonda yalikuwa yamejaa kila mahali. Masumbuko aliingiwa na kinyaa na kutapika chakula chote alichokuwa amekila siku hiyo. Kwa hasira, Mapesa alimnyooshesa bunduki kichwani na kumuamuru ‘ nifyonze niridhike au nitakuua!’ Kwa kuwa Masumbuko hakuwa na namna aliitii amri ya bwana wake huku akilia. Kisha wakaelekea kitandani akatendewa ya kutendewa katikati ya kilio. Baada ya hapo Mapesa akalitoa joka lake alilokuwa akilifuga na kumwamuru Masumbuko aliridhishe kimapenzi. Masumbuko aliimaliza kazi yake na kisha kudai malipo yake kutoka kwa bwana Mapesa. Bwana Mapesa alimsukuma Masumbuko nje ya nyumba na kumfukuza kama mbwakoko. Walinzi walikuja kumfurusha mwanamke huyo aliyekuwa akizua rabsha kwenye mazingira tulivu ya majumba ya matajiri wa mji . Masumbuko alijiendea zake kwake akiwa na simanzi tele. Siku kadhaa zilipita akaanza kuugua hapa na pale. Koo lake likavimba na kutuna usaha akawa hawezi kumeza kitu. Aliugua sehemu nyeti akawa anatoa harufu mbaya inayokera ungedhani ni panya na papa waliooza. Jirani yake Amina ndiye aliyemsaidia kumpeleka hospitali alipokuja kuomba chumvi na kumwona mwenzake hajifai. Vipimo vya daktari vilionyesha maambukizi ya ukimwi na kaswende. Masumbuko akawa anakonda tu na kujililia kwa kujihurumia. Akakonda na kukondeana akatamani asingalitoroka kwao ambako alilelewa vyema na wazazi wake. Masumbuko alikumbuka jinsi alkivyotoroka kijijini akakimbilia mjini na kuambulia kuwa kahaba akijisimamisha kama muhogo wa kuchoma mbele ya matrela akitafuta wateja. Ingawa kijijini Ukavu alikuwa akilelewa kwa chai ya mkandaa kwa mbatata, alikuwa na furaha. Alikuwa akisoma katika darasa la nane katika shule ya Ukingoni. Shinikizo la rika likampumbaza naye akabebwa kama upepo na kina Saumu kuelekea mjini ambapo walijiuza yapata miaka mitatu sasa. Laiti angalisoma na kuwafuta machozi wazazi wake waliokuwa na bidii kwenye mashamba ya kahawa wakiwachumia wana wao riziki. Laiti angalitulia kijijini asingekuwa nusu ya mauti leo hii. Lakini kwa kuwa majuto ni mjukuu aliyawacha ya umajimaji yamtiririke usoni. Akalia mpaka uso ukamwiva wekundu. Polepole, alijinyanyua akachukua vidonge vya dawa alizoekewa na nesi kwenye stuli, akavimimina vidonge vyote mdomoni kwa kupitiliza ,akavisukuma kwa maji. Mapovu meupe yakatiririka huku mwili ukimpukutika kisha kimya. Yakaisha.
Bw mapesa alimiliki gari la aina gani
{ "text": [ "Lamborghini" ] }
4772_swa
MAJUTO NI MJUKUU HUJA BAADAYE Kiwiliwili hafifu kilijinyoosha ndani ya mashuka meupe huku kikiguna kwa maumivu makali. Kichwa kilichochukua sura ya fuvu kwa kukosa vijinyama vya kukipa umbo halisia kilitikisika sambamba na mtetemo wa mwili wa Masumbuko. Mirija ya kupitishia damu ilimzonga kote mwilini ikamlemaza na kumfanya asiweze kusogea. Chumba kilikuwa kimya kiasi cha kutoa mlio wa mpito wa matone ya damu kwa mwangwi wa kuogofya ukivuma kuelekea mwilini mwa mtu ambaye alikua gofu hasa sio mtu tena. Kelele pekee ilikua ile ya mguno wa mara kwa mara. Masumbuko alikuwa amekonda hata kushinda ng’onda. Alikuwa kama kijisindano cha kufumia vyepeo ndani ya mashuka meupe. Kushotoni mwake kijistuli kilijisimamisha imara huku kimebeba bakuli lenye kiowevu cha hudhurungi. Bakuli lenyewe lilikuwa limetua kwa huzuni kana kwamba linamsononekea mgonjwa. Chozi liliiririka kutoka kwenye jicho lake la kulia. Chozi hilo lilivumbika uchungu wa shubiri ulioyabeba yaliyomsibu. Masumbuko aliyainua macho yake na kuitazama saa iliyotundikwa ukutani akatambua kuwa ilikuwa saa saba mchana. Huu ndio wakati ule yalipotokea yaliyomkaanga. Siku ile bado ilikuwa mbichi kichwani mwake. Alimkumbuka bwana Jack Mapesa alivomchukua ndani ya gari lake aina ya Lamborghini mchana wa siku ile. Kama kawaida yake alikuwa amesimama kando ya barabara ya Maweni kati huku kisketi chake cha buluu kikimbana mapajani na kuiangaza haiba ya mng’ao wa ngozi yake yenye ulaini wa hariri. Mdomoni alikuwa akiiafuna chingamu kwa utafunaji wa mbuzi aliouita usasa. Ni usasa gani unaomfanya mtu atafune chingamu kana kwamba ni majani makavu kwa ulaji wa mbuzi? Masumbuko alikitoma chanda chake mdomoni akaiviringaviringa ile chingamu nje kwa madaha huku bwana Mapesa akimpigia miluzi. Bwana Mapesa alimpungia mkono aingie garini huku akimkonyezea. Kama afanyavyo na wateja wake wa kawaida ,waliongea bei akijihashua kwa madaha ya kumteka bwana wake mpya. Bwana Mapesa aliahidi kumpa Masumbuko shilingi milioni tatu. Safari yao ya kuelekea nyumbani kwa Mapesa ilianza huku Masumbuko akiiwazia bahati ya milioni tatu kwa mshangao. Alijawa na furaha huku akiipangia pesa ambayo hanayo bajeti kichwani wake. Gari llisimaishwa nje ya jumba kubwa nao wakashikana mikono kuelekea chumbani mwa bwana Mapesa. Mapesa hakukawia kuukomea mlango na kisha kuyavua mavazi yake kutoka mwilini mwake na kubaki kama aliyezaliwa. Masumbuko alishangaa kuuona uume wa Mapesa ukiwa unatiririkwa na damu na usaha. Madonda yalikuwa yamejaa kila mahali. Masumbuko aliingiwa na kinyaa na kutapika chakula chote alichokuwa amekila siku hiyo. Kwa hasira, Mapesa alimnyooshesa bunduki kichwani na kumuamuru ‘ nifyonze niridhike au nitakuua!’ Kwa kuwa Masumbuko hakuwa na namna aliitii amri ya bwana wake huku akilia. Kisha wakaelekea kitandani akatendewa ya kutendewa katikati ya kilio. Baada ya hapo Mapesa akalitoa joka lake alilokuwa akilifuga na kumwamuru Masumbuko aliridhishe kimapenzi. Masumbuko aliimaliza kazi yake na kisha kudai malipo yake kutoka kwa bwana Mapesa. Bwana Mapesa alimsukuma Masumbuko nje ya nyumba na kumfukuza kama mbwakoko. Walinzi walikuja kumfurusha mwanamke huyo aliyekuwa akizua rabsha kwenye mazingira tulivu ya majumba ya matajiri wa mji . Masumbuko alijiendea zake kwake akiwa na simanzi tele. Siku kadhaa zilipita akaanza kuugua hapa na pale. Koo lake likavimba na kutuna usaha akawa hawezi kumeza kitu. Aliugua sehemu nyeti akawa anatoa harufu mbaya inayokera ungedhani ni panya na papa waliooza. Jirani yake Amina ndiye aliyemsaidia kumpeleka hospitali alipokuja kuomba chumvi na kumwona mwenzake hajifai. Vipimo vya daktari vilionyesha maambukizi ya ukimwi na kaswende. Masumbuko akawa anakonda tu na kujililia kwa kujihurumia. Akakonda na kukondeana akatamani asingalitoroka kwao ambako alilelewa vyema na wazazi wake. Masumbuko alikumbuka jinsi alkivyotoroka kijijini akakimbilia mjini na kuambulia kuwa kahaba akijisimamisha kama muhogo wa kuchoma mbele ya matrela akitafuta wateja. Ingawa kijijini Ukavu alikuwa akilelewa kwa chai ya mkandaa kwa mbatata, alikuwa na furaha. Alikuwa akisoma katika darasa la nane katika shule ya Ukingoni. Shinikizo la rika likampumbaza naye akabebwa kama upepo na kina Saumu kuelekea mjini ambapo walijiuza yapata miaka mitatu sasa. Laiti angalisoma na kuwafuta machozi wazazi wake waliokuwa na bidii kwenye mashamba ya kahawa wakiwachumia wana wao riziki. Laiti angalitulia kijijini asingekuwa nusu ya mauti leo hii. Lakini kwa kuwa majuto ni mjukuu aliyawacha ya umajimaji yamtiririke usoni. Akalia mpaka uso ukamwiva wekundu. Polepole, alijinyanyua akachukua vidonge vya dawa alizoekewa na nesi kwenye stuli, akavimimina vidonge vyote mdomoni kwa kupitiliza ,akavisukuma kwa maji. Mapovu meupe yakatiririka huku mwili ukimpukutika kisha kimya. Yakaisha.
Bw Mapesa alimwahidi Masumbuko pesa ngapi
{ "text": [ "Shilingi milioni tatu" ] }
4772_swa
MAJUTO NI MJUKUU HUJA BAADAYE Kiwiliwili hafifu kilijinyoosha ndani ya mashuka meupe huku kikiguna kwa maumivu makali. Kichwa kilichochukua sura ya fuvu kwa kukosa vijinyama vya kukipa umbo halisia kilitikisika sambamba na mtetemo wa mwili wa Masumbuko. Mirija ya kupitishia damu ilimzonga kote mwilini ikamlemaza na kumfanya asiweze kusogea. Chumba kilikuwa kimya kiasi cha kutoa mlio wa mpito wa matone ya damu kwa mwangwi wa kuogofya ukivuma kuelekea mwilini mwa mtu ambaye alikua gofu hasa sio mtu tena. Kelele pekee ilikua ile ya mguno wa mara kwa mara. Masumbuko alikuwa amekonda hata kushinda ng’onda. Alikuwa kama kijisindano cha kufumia vyepeo ndani ya mashuka meupe. Kushotoni mwake kijistuli kilijisimamisha imara huku kimebeba bakuli lenye kiowevu cha hudhurungi. Bakuli lenyewe lilikuwa limetua kwa huzuni kana kwamba linamsononekea mgonjwa. Chozi liliiririka kutoka kwenye jicho lake la kulia. Chozi hilo lilivumbika uchungu wa shubiri ulioyabeba yaliyomsibu. Masumbuko aliyainua macho yake na kuitazama saa iliyotundikwa ukutani akatambua kuwa ilikuwa saa saba mchana. Huu ndio wakati ule yalipotokea yaliyomkaanga. Siku ile bado ilikuwa mbichi kichwani mwake. Alimkumbuka bwana Jack Mapesa alivomchukua ndani ya gari lake aina ya Lamborghini mchana wa siku ile. Kama kawaida yake alikuwa amesimama kando ya barabara ya Maweni kati huku kisketi chake cha buluu kikimbana mapajani na kuiangaza haiba ya mng’ao wa ngozi yake yenye ulaini wa hariri. Mdomoni alikuwa akiiafuna chingamu kwa utafunaji wa mbuzi aliouita usasa. Ni usasa gani unaomfanya mtu atafune chingamu kana kwamba ni majani makavu kwa ulaji wa mbuzi? Masumbuko alikitoma chanda chake mdomoni akaiviringaviringa ile chingamu nje kwa madaha huku bwana Mapesa akimpigia miluzi. Bwana Mapesa alimpungia mkono aingie garini huku akimkonyezea. Kama afanyavyo na wateja wake wa kawaida ,waliongea bei akijihashua kwa madaha ya kumteka bwana wake mpya. Bwana Mapesa aliahidi kumpa Masumbuko shilingi milioni tatu. Safari yao ya kuelekea nyumbani kwa Mapesa ilianza huku Masumbuko akiiwazia bahati ya milioni tatu kwa mshangao. Alijawa na furaha huku akiipangia pesa ambayo hanayo bajeti kichwani wake. Gari llisimaishwa nje ya jumba kubwa nao wakashikana mikono kuelekea chumbani mwa bwana Mapesa. Mapesa hakukawia kuukomea mlango na kisha kuyavua mavazi yake kutoka mwilini mwake na kubaki kama aliyezaliwa. Masumbuko alishangaa kuuona uume wa Mapesa ukiwa unatiririkwa na damu na usaha. Madonda yalikuwa yamejaa kila mahali. Masumbuko aliingiwa na kinyaa na kutapika chakula chote alichokuwa amekila siku hiyo. Kwa hasira, Mapesa alimnyooshesa bunduki kichwani na kumuamuru ‘ nifyonze niridhike au nitakuua!’ Kwa kuwa Masumbuko hakuwa na namna aliitii amri ya bwana wake huku akilia. Kisha wakaelekea kitandani akatendewa ya kutendewa katikati ya kilio. Baada ya hapo Mapesa akalitoa joka lake alilokuwa akilifuga na kumwamuru Masumbuko aliridhishe kimapenzi. Masumbuko aliimaliza kazi yake na kisha kudai malipo yake kutoka kwa bwana Mapesa. Bwana Mapesa alimsukuma Masumbuko nje ya nyumba na kumfukuza kama mbwakoko. Walinzi walikuja kumfurusha mwanamke huyo aliyekuwa akizua rabsha kwenye mazingira tulivu ya majumba ya matajiri wa mji . Masumbuko alijiendea zake kwake akiwa na simanzi tele. Siku kadhaa zilipita akaanza kuugua hapa na pale. Koo lake likavimba na kutuna usaha akawa hawezi kumeza kitu. Aliugua sehemu nyeti akawa anatoa harufu mbaya inayokera ungedhani ni panya na papa waliooza. Jirani yake Amina ndiye aliyemsaidia kumpeleka hospitali alipokuja kuomba chumvi na kumwona mwenzake hajifai. Vipimo vya daktari vilionyesha maambukizi ya ukimwi na kaswende. Masumbuko akawa anakonda tu na kujililia kwa kujihurumia. Akakonda na kukondeana akatamani asingalitoroka kwao ambako alilelewa vyema na wazazi wake. Masumbuko alikumbuka jinsi alkivyotoroka kijijini akakimbilia mjini na kuambulia kuwa kahaba akijisimamisha kama muhogo wa kuchoma mbele ya matrela akitafuta wateja. Ingawa kijijini Ukavu alikuwa akilelewa kwa chai ya mkandaa kwa mbatata, alikuwa na furaha. Alikuwa akisoma katika darasa la nane katika shule ya Ukingoni. Shinikizo la rika likampumbaza naye akabebwa kama upepo na kina Saumu kuelekea mjini ambapo walijiuza yapata miaka mitatu sasa. Laiti angalisoma na kuwafuta machozi wazazi wake waliokuwa na bidii kwenye mashamba ya kahawa wakiwachumia wana wao riziki. Laiti angalitulia kijijini asingekuwa nusu ya mauti leo hii. Lakini kwa kuwa majuto ni mjukuu aliyawacha ya umajimaji yamtiririke usoni. Akalia mpaka uso ukamwiva wekundu. Polepole, alijinyanyua akachukua vidonge vya dawa alizoekewa na nesi kwenye stuli, akavimimina vidonge vyote mdomoni kwa kupitiliza ,akavisukuma kwa maji. Mapovu meupe yakatiririka huku mwili ukimpukutika kisha kimya. Yakaisha.
Masumbuko aliambukizwa maradhi yapi
{ "text": [ "Ukimwi na kaswende" ] }
4772_swa
MAJUTO NI MJUKUU HUJA BAADAYE Kiwiliwili hafifu kilijinyoosha ndani ya mashuka meupe huku kikiguna kwa maumivu makali. Kichwa kilichochukua sura ya fuvu kwa kukosa vijinyama vya kukipa umbo halisia kilitikisika sambamba na mtetemo wa mwili wa Masumbuko. Mirija ya kupitishia damu ilimzonga kote mwilini ikamlemaza na kumfanya asiweze kusogea. Chumba kilikuwa kimya kiasi cha kutoa mlio wa mpito wa matone ya damu kwa mwangwi wa kuogofya ukivuma kuelekea mwilini mwa mtu ambaye alikua gofu hasa sio mtu tena. Kelele pekee ilikua ile ya mguno wa mara kwa mara. Masumbuko alikuwa amekonda hata kushinda ng’onda. Alikuwa kama kijisindano cha kufumia vyepeo ndani ya mashuka meupe. Kushotoni mwake kijistuli kilijisimamisha imara huku kimebeba bakuli lenye kiowevu cha hudhurungi. Bakuli lenyewe lilikuwa limetua kwa huzuni kana kwamba linamsononekea mgonjwa. Chozi liliiririka kutoka kwenye jicho lake la kulia. Chozi hilo lilivumbika uchungu wa shubiri ulioyabeba yaliyomsibu. Masumbuko aliyainua macho yake na kuitazama saa iliyotundikwa ukutani akatambua kuwa ilikuwa saa saba mchana. Huu ndio wakati ule yalipotokea yaliyomkaanga. Siku ile bado ilikuwa mbichi kichwani mwake. Alimkumbuka bwana Jack Mapesa alivomchukua ndani ya gari lake aina ya Lamborghini mchana wa siku ile. Kama kawaida yake alikuwa amesimama kando ya barabara ya Maweni kati huku kisketi chake cha buluu kikimbana mapajani na kuiangaza haiba ya mng’ao wa ngozi yake yenye ulaini wa hariri. Mdomoni alikuwa akiiafuna chingamu kwa utafunaji wa mbuzi aliouita usasa. Ni usasa gani unaomfanya mtu atafune chingamu kana kwamba ni majani makavu kwa ulaji wa mbuzi? Masumbuko alikitoma chanda chake mdomoni akaiviringaviringa ile chingamu nje kwa madaha huku bwana Mapesa akimpigia miluzi. Bwana Mapesa alimpungia mkono aingie garini huku akimkonyezea. Kama afanyavyo na wateja wake wa kawaida ,waliongea bei akijihashua kwa madaha ya kumteka bwana wake mpya. Bwana Mapesa aliahidi kumpa Masumbuko shilingi milioni tatu. Safari yao ya kuelekea nyumbani kwa Mapesa ilianza huku Masumbuko akiiwazia bahati ya milioni tatu kwa mshangao. Alijawa na furaha huku akiipangia pesa ambayo hanayo bajeti kichwani wake. Gari llisimaishwa nje ya jumba kubwa nao wakashikana mikono kuelekea chumbani mwa bwana Mapesa. Mapesa hakukawia kuukomea mlango na kisha kuyavua mavazi yake kutoka mwilini mwake na kubaki kama aliyezaliwa. Masumbuko alishangaa kuuona uume wa Mapesa ukiwa unatiririkwa na damu na usaha. Madonda yalikuwa yamejaa kila mahali. Masumbuko aliingiwa na kinyaa na kutapika chakula chote alichokuwa amekila siku hiyo. Kwa hasira, Mapesa alimnyooshesa bunduki kichwani na kumuamuru ‘ nifyonze niridhike au nitakuua!’ Kwa kuwa Masumbuko hakuwa na namna aliitii amri ya bwana wake huku akilia. Kisha wakaelekea kitandani akatendewa ya kutendewa katikati ya kilio. Baada ya hapo Mapesa akalitoa joka lake alilokuwa akilifuga na kumwamuru Masumbuko aliridhishe kimapenzi. Masumbuko aliimaliza kazi yake na kisha kudai malipo yake kutoka kwa bwana Mapesa. Bwana Mapesa alimsukuma Masumbuko nje ya nyumba na kumfukuza kama mbwakoko. Walinzi walikuja kumfurusha mwanamke huyo aliyekuwa akizua rabsha kwenye mazingira tulivu ya majumba ya matajiri wa mji . Masumbuko alijiendea zake kwake akiwa na simanzi tele. Siku kadhaa zilipita akaanza kuugua hapa na pale. Koo lake likavimba na kutuna usaha akawa hawezi kumeza kitu. Aliugua sehemu nyeti akawa anatoa harufu mbaya inayokera ungedhani ni panya na papa waliooza. Jirani yake Amina ndiye aliyemsaidia kumpeleka hospitali alipokuja kuomba chumvi na kumwona mwenzake hajifai. Vipimo vya daktari vilionyesha maambukizi ya ukimwi na kaswende. Masumbuko akawa anakonda tu na kujililia kwa kujihurumia. Akakonda na kukondeana akatamani asingalitoroka kwao ambako alilelewa vyema na wazazi wake. Masumbuko alikumbuka jinsi alkivyotoroka kijijini akakimbilia mjini na kuambulia kuwa kahaba akijisimamisha kama muhogo wa kuchoma mbele ya matrela akitafuta wateja. Ingawa kijijini Ukavu alikuwa akilelewa kwa chai ya mkandaa kwa mbatata, alikuwa na furaha. Alikuwa akisoma katika darasa la nane katika shule ya Ukingoni. Shinikizo la rika likampumbaza naye akabebwa kama upepo na kina Saumu kuelekea mjini ambapo walijiuza yapata miaka mitatu sasa. Laiti angalisoma na kuwafuta machozi wazazi wake waliokuwa na bidii kwenye mashamba ya kahawa wakiwachumia wana wao riziki. Laiti angalitulia kijijini asingekuwa nusu ya mauti leo hii. Lakini kwa kuwa majuto ni mjukuu aliyawacha ya umajimaji yamtiririke usoni. Akalia mpaka uso ukamwiva wekundu. Polepole, alijinyanyua akachukua vidonge vya dawa alizoekewa na nesi kwenye stuli, akavimimina vidonge vyote mdomoni kwa kupitiliza ,akavisukuma kwa maji. Mapovu meupe yakatiririka huku mwili ukimpukutika kisha kimya. Yakaisha.
Kwa nini Masumbuko kijijini kuelekea mjini
{ "text": [ "Kwa sababu ya sinikizo la rika" ] }
4775_swa
SADFA YA MTENDE NA BAHATI Ilikuwa siku ya kipekee kwa rijali uyo aliyejulikana kama Mtende. Pamoja na marafiki zake akiwemo rafikiye wa chanda kwa jina Mawazo, Mtende alijiandaa kuelekea Uwanja wa kandanda ulioko katika Kijiji cha Mwabungo kujivinjari kujionea michwano ya Ligi ya mgombea wa kiti cha ubunge eneo bunge la Msambweni. Mheshimiwa Rajab Mwamajani ni mwanasiasa shupavu mwenye tajriba na uzoefu wa uongozi katika eneo hilo. Ni kijana maarufu kwa wakaazi wa eneo hilo na anatambulika sana kwa misingi mbalimbali aliyofanya kwa wananchi pindi akiwa Msaidizi wa Hayati mheshimiwa bw. Suleiman Dori. Safari ilianza guu mosi guu pili na takriban saa tisa kamili iliwapungia mkono wa burihani wakiwa tayari washafika uwanjani. Uwanja ulijaa pomoni si wazee si vijana, si wasichana si wavulana, si weupe si weusi,warefu kwa wafupi, wanene na wembamba walijaza ukumbi huo. Timu zilizopambana zilikuwa tayari uwanjani zikipasha misuli kwa ajili ya kusawazisha viungo kwa kujiandaa na pambano. Ilikuwa vijana wa Orlando F.c wakikwaruzana na Timu ya Ukunda; Waizata F.C. Saa tisa na nusu rifarii alipuliza kipenga kwa Idhini ya Mheshimiwa Rajab aliyekuwa pambizoni akitazama dimba hilo akiwa na viongozi wengne. Saa kumi na robo Mtende na rafikiye Mawazo walielekea kununua vitafunio wakiwa na furaha kwa kuwa timu ya nyumbani Orlando F.c ilikua imeshikilia msukani kwa mabao mawili kwa nunge. ‘’Mtende mambo!’’ Sauti nyororo ya kumtoa nyoka pangoni ilitokea kutoka kwenye kikundi cha wasichana waliokua wamejulusu wakinunua barafu. Kwa hakika sauti yake ilikua ni kitambulisho cha urembo wake. ‘’Poa sana hofu nawe!’’ Mtende alijikuta amejibu bila ya kutarajia na kutambua nani amemsalimia. Alikua msichana mweupe mnene kiasi mwenye macho ya gololi. Jina lake Bahati lilidhihirisha jinsi mrembo huyo alivyobahatika kwa uzuri wa umbo,rangi,kimo,kivune na akili. Bahati alikua rafiki wa chanda na pete wa kijana Mtende. Walisoma shule ya upili ya Kinondo wakiwa na mahaba yasiyo kifani. Walitembea pamoja,kula pamoja,kusoma na kushindana kwa kuongoza kwenye mtihani kidato cha kwanza hadi cha tatu. Ushirikiano wao katika mambo mbalimbali na kusaidiana kwa harusi na matanga kulipalilia mapenzi ya hali ya juu kati yao. Chambilecho wanaosema mazoea yana tabu, kuzoeana sana kwao kuliwataabisha walipofika kidato cha tatu. Wazazi wa Bahati walikuwa wakaazi wa mtaa wa kina Mtende kwa kununua shamba na wala sio kwa kuzaliwa eneo hilo. Waliiishi Kinondo takriban miaka sudusi kabla ya mabwenyenye na walaghai kuwafurusha kwa kimabavu na kumpokonya milki yake. Wanasema aliyenguvu mpishe na ukishindana na ndovu,utapasuka msamba. Naam, Lisilobudi hubidi, Bahati na wazaziwe walilazimika kuenda kwao KilIfi kuanza Maisha upya,bila shamba wala nyumba. Jambo hili liliwahuzunisha bahati na Mtende ila hawakua na budi. Hatimaye miaka kumi imepita na leo Bahati na Mtende wanaona tena nuru ya mwezi baada ya mwongo mzima wa upofu. Kauli ya mwisho kutoka kinywani mwa Bahati ‘’Milima na milima haikutani lakini watu hukutana,ipo siku tutaonana atakama ni baada ya miaka kumi’’ ilikuwa ikimjia mara kwa mara na kumtia huzuni na kumtoa matumaini. Walikumbatiana uku machozi ya furaha yakiwamiminika mithili ya chemchem za mto Tana. Furaha yao ilikua imezaliwa tena baada ya kuzikwa katika kaburi la sahau walipofarikiana. Shukrani kuu ilielekezwa kwa Maulana kwa jinsi ya kuwapiga tochi familia ya zee Riziki,babake Bahati. Mengi yalitokea kwa muda huu wa miaka kumi lakini yote hayakuwa adhwimu na muhimu kama yaliyowaleta tena kina Bahati katika eneo la Kinondo kuanza ukurasa wa maisha yaliyojaa furaha na matumaini. Naam, Mungu hamtupi mja wake, Mzee Riziki aliokolewa kutoka kwenye jekejeke na dhulma aliyofanyiwa kwa kuporwa mali zake na mabwenyenye. Hayati Mheshimiwa Bwana Dori akisaidiwa na mwandalizi wa dimba la michwano hiyo bwana Rajab Mwamajani walimuokoa Mzee Riziki kutokana kutapatapa mithili ya mfamaji katikati ya bahari hindi. Kama viongozi watetezi wa haki, waadilifu na wenye utu na kujali maslahi ya watu wao, waliingilia kati jangwa lililomvamia mzee huyo wakapambana kishujaa na walaghai waliotumia uwezo na vyeo vyao kunyanyasa mwananchi. Hatimaye kabla ya kifo kumkodolea macho,mheshimiwa Dori alifua dafu na umiliki wa shamba ulirudi mikononi mwa Mzee Riziki. Aidha, nyumba na majengo yote yaliyobomolewa na matrakta yalijengwa upya kwa muda wa miezi mitatu. Muda huu, Mtende akiwa chuo kikuu cha Kenyatta hajui yanayojiri kama mtu aliyeusingizini. Kipindi cha pili na cha mwisho kilianza Mtende na Bahati wakiwa unyounyo wakibadilishana yaliyojiri mazuri na mabaya kwa muda ule mfupi ila mrefu wa karne kwa waliopendana kwa dhati. Mawazo alijipea sababu yakuepuka uwepo wake akaondoka. Mawazo alikua rafiki wa Mtende aliyemliwaza na kumpea matumaini na uvumilivu Mtende wakati akiwa mbali na kilichopendwa na roho yake. Alikua kijana aliyepevuka kimawazo japo na umri wa makamo. Ni Dhahiri shahiri kuwa, isingekuwa uwepo wa Mawazo kwa Mtende, vipenzi hivi viwili visinge kutana tena baada ya miaka ya changamoto na kukurukakara mbalimbali. Hapa ndipo Mtende alijuwa kuwa Bahati ako Katika chuo kikuu cha Nairobi. Kama Mtende, alipata alama ya A- Kwenye mtihani wa kitaifa. Ilikuwa ni sadfa pia kwa kuwa walikua wanafanya shahada ya unesi wote wakiwa mwaka wa pili katika vyuo tofauti ila vilivyo pua na mdomo kimaeneo yao. Bahati na Mtende wote wako katika mapumziko ya mwezi mmoja na wamemaliza siku tatu wakiwa Kinondo. Tofauti yao ilikua moja wakati huu; Bahati alikua akimtafuta Mtende kwa Udi na uvumba, kama mtoto aliyepoteza pesa ya pekee kwenye mchanga. Kwa kijana Mtende japo alitamani kumuona bahati, uwepo wa rafikiye Mawazo ulimpunguzia unyonge na mawazo,kwa hili, haikuwa matarajio yake kamwe kuona chaguo la moyo wake. Hatimaye, michwano hiyo ilifika ukingoni huku timu ya Orlando F.c wakiwapiku wapinzani kwa kunyakua mabao matatu kupitia mchezaji Muhamad,kifungua mimba wa kina Mtende. Waizata walipata bao la kufutia machozi dakika ya themanini na tatu kupitia kijana Pedro.
Rijali huyo alijulikana kama nani
{ "text": [ "Mtende" ] }
4775_swa
SADFA YA MTENDE NA BAHATI Ilikuwa siku ya kipekee kwa rijali uyo aliyejulikana kama Mtende. Pamoja na marafiki zake akiwemo rafikiye wa chanda kwa jina Mawazo, Mtende alijiandaa kuelekea Uwanja wa kandanda ulioko katika Kijiji cha Mwabungo kujivinjari kujionea michwano ya Ligi ya mgombea wa kiti cha ubunge eneo bunge la Msambweni. Mheshimiwa Rajab Mwamajani ni mwanasiasa shupavu mwenye tajriba na uzoefu wa uongozi katika eneo hilo. Ni kijana maarufu kwa wakaazi wa eneo hilo na anatambulika sana kwa misingi mbalimbali aliyofanya kwa wananchi pindi akiwa Msaidizi wa Hayati mheshimiwa bw. Suleiman Dori. Safari ilianza guu mosi guu pili na takriban saa tisa kamili iliwapungia mkono wa burihani wakiwa tayari washafika uwanjani. Uwanja ulijaa pomoni si wazee si vijana, si wasichana si wavulana, si weupe si weusi,warefu kwa wafupi, wanene na wembamba walijaza ukumbi huo. Timu zilizopambana zilikuwa tayari uwanjani zikipasha misuli kwa ajili ya kusawazisha viungo kwa kujiandaa na pambano. Ilikuwa vijana wa Orlando F.c wakikwaruzana na Timu ya Ukunda; Waizata F.C. Saa tisa na nusu rifarii alipuliza kipenga kwa Idhini ya Mheshimiwa Rajab aliyekuwa pambizoni akitazama dimba hilo akiwa na viongozi wengne. Saa kumi na robo Mtende na rafikiye Mawazo walielekea kununua vitafunio wakiwa na furaha kwa kuwa timu ya nyumbani Orlando F.c ilikua imeshikilia msukani kwa mabao mawili kwa nunge. ‘’Mtende mambo!’’ Sauti nyororo ya kumtoa nyoka pangoni ilitokea kutoka kwenye kikundi cha wasichana waliokua wamejulusu wakinunua barafu. Kwa hakika sauti yake ilikua ni kitambulisho cha urembo wake. ‘’Poa sana hofu nawe!’’ Mtende alijikuta amejibu bila ya kutarajia na kutambua nani amemsalimia. Alikua msichana mweupe mnene kiasi mwenye macho ya gololi. Jina lake Bahati lilidhihirisha jinsi mrembo huyo alivyobahatika kwa uzuri wa umbo,rangi,kimo,kivune na akili. Bahati alikua rafiki wa chanda na pete wa kijana Mtende. Walisoma shule ya upili ya Kinondo wakiwa na mahaba yasiyo kifani. Walitembea pamoja,kula pamoja,kusoma na kushindana kwa kuongoza kwenye mtihani kidato cha kwanza hadi cha tatu. Ushirikiano wao katika mambo mbalimbali na kusaidiana kwa harusi na matanga kulipalilia mapenzi ya hali ya juu kati yao. Chambilecho wanaosema mazoea yana tabu, kuzoeana sana kwao kuliwataabisha walipofika kidato cha tatu. Wazazi wa Bahati walikuwa wakaazi wa mtaa wa kina Mtende kwa kununua shamba na wala sio kwa kuzaliwa eneo hilo. Waliiishi Kinondo takriban miaka sudusi kabla ya mabwenyenye na walaghai kuwafurusha kwa kimabavu na kumpokonya milki yake. Wanasema aliyenguvu mpishe na ukishindana na ndovu,utapasuka msamba. Naam, Lisilobudi hubidi, Bahati na wazaziwe walilazimika kuenda kwao KilIfi kuanza Maisha upya,bila shamba wala nyumba. Jambo hili liliwahuzunisha bahati na Mtende ila hawakua na budi. Hatimaye miaka kumi imepita na leo Bahati na Mtende wanaona tena nuru ya mwezi baada ya mwongo mzima wa upofu. Kauli ya mwisho kutoka kinywani mwa Bahati ‘’Milima na milima haikutani lakini watu hukutana,ipo siku tutaonana atakama ni baada ya miaka kumi’’ ilikuwa ikimjia mara kwa mara na kumtia huzuni na kumtoa matumaini. Walikumbatiana uku machozi ya furaha yakiwamiminika mithili ya chemchem za mto Tana. Furaha yao ilikua imezaliwa tena baada ya kuzikwa katika kaburi la sahau walipofarikiana. Shukrani kuu ilielekezwa kwa Maulana kwa jinsi ya kuwapiga tochi familia ya zee Riziki,babake Bahati. Mengi yalitokea kwa muda huu wa miaka kumi lakini yote hayakuwa adhwimu na muhimu kama yaliyowaleta tena kina Bahati katika eneo la Kinondo kuanza ukurasa wa maisha yaliyojaa furaha na matumaini. Naam, Mungu hamtupi mja wake, Mzee Riziki aliokolewa kutoka kwenye jekejeke na dhulma aliyofanyiwa kwa kuporwa mali zake na mabwenyenye. Hayati Mheshimiwa Bwana Dori akisaidiwa na mwandalizi wa dimba la michwano hiyo bwana Rajab Mwamajani walimuokoa Mzee Riziki kutokana kutapatapa mithili ya mfamaji katikati ya bahari hindi. Kama viongozi watetezi wa haki, waadilifu na wenye utu na kujali maslahi ya watu wao, waliingilia kati jangwa lililomvamia mzee huyo wakapambana kishujaa na walaghai waliotumia uwezo na vyeo vyao kunyanyasa mwananchi. Hatimaye kabla ya kifo kumkodolea macho,mheshimiwa Dori alifua dafu na umiliki wa shamba ulirudi mikononi mwa Mzee Riziki. Aidha, nyumba na majengo yote yaliyobomolewa na matrakta yalijengwa upya kwa muda wa miezi mitatu. Muda huu, Mtende akiwa chuo kikuu cha Kenyatta hajui yanayojiri kama mtu aliyeusingizini. Kipindi cha pili na cha mwisho kilianza Mtende na Bahati wakiwa unyounyo wakibadilishana yaliyojiri mazuri na mabaya kwa muda ule mfupi ila mrefu wa karne kwa waliopendana kwa dhati. Mawazo alijipea sababu yakuepuka uwepo wake akaondoka. Mawazo alikua rafiki wa Mtende aliyemliwaza na kumpea matumaini na uvumilivu Mtende wakati akiwa mbali na kilichopendwa na roho yake. Alikua kijana aliyepevuka kimawazo japo na umri wa makamo. Ni Dhahiri shahiri kuwa, isingekuwa uwepo wa Mawazo kwa Mtende, vipenzi hivi viwili visinge kutana tena baada ya miaka ya changamoto na kukurukakara mbalimbali. Hapa ndipo Mtende alijuwa kuwa Bahati ako Katika chuo kikuu cha Nairobi. Kama Mtende, alipata alama ya A- Kwenye mtihani wa kitaifa. Ilikuwa ni sadfa pia kwa kuwa walikua wanafanya shahada ya unesi wote wakiwa mwaka wa pili katika vyuo tofauti ila vilivyo pua na mdomo kimaeneo yao. Bahati na Mtende wote wako katika mapumziko ya mwezi mmoja na wamemaliza siku tatu wakiwa Kinondo. Tofauti yao ilikua moja wakati huu; Bahati alikua akimtafuta Mtende kwa Udi na uvumba, kama mtoto aliyepoteza pesa ya pekee kwenye mchanga. Kwa kijana Mtende japo alitamani kumuona bahati, uwepo wa rafikiye Mawazo ulimpunguzia unyonge na mawazo,kwa hili, haikuwa matarajio yake kamwe kuona chaguo la moyo wake. Hatimaye, michwano hiyo ilifika ukingoni huku timu ya Orlando F.c wakiwapiku wapinzani kwa kunyakua mabao matatu kupitia mchezaji Muhamad,kifungua mimba wa kina Mtende. Waizata walipata bao la kufutia machozi dakika ya themanini na tatu kupitia kijana Pedro.
Rafikiye Mtende wa chanda alijulikana kwa jina gani
{ "text": [ "Mawazo" ] }
4775_swa
SADFA YA MTENDE NA BAHATI Ilikuwa siku ya kipekee kwa rijali uyo aliyejulikana kama Mtende. Pamoja na marafiki zake akiwemo rafikiye wa chanda kwa jina Mawazo, Mtende alijiandaa kuelekea Uwanja wa kandanda ulioko katika Kijiji cha Mwabungo kujivinjari kujionea michwano ya Ligi ya mgombea wa kiti cha ubunge eneo bunge la Msambweni. Mheshimiwa Rajab Mwamajani ni mwanasiasa shupavu mwenye tajriba na uzoefu wa uongozi katika eneo hilo. Ni kijana maarufu kwa wakaazi wa eneo hilo na anatambulika sana kwa misingi mbalimbali aliyofanya kwa wananchi pindi akiwa Msaidizi wa Hayati mheshimiwa bw. Suleiman Dori. Safari ilianza guu mosi guu pili na takriban saa tisa kamili iliwapungia mkono wa burihani wakiwa tayari washafika uwanjani. Uwanja ulijaa pomoni si wazee si vijana, si wasichana si wavulana, si weupe si weusi,warefu kwa wafupi, wanene na wembamba walijaza ukumbi huo. Timu zilizopambana zilikuwa tayari uwanjani zikipasha misuli kwa ajili ya kusawazisha viungo kwa kujiandaa na pambano. Ilikuwa vijana wa Orlando F.c wakikwaruzana na Timu ya Ukunda; Waizata F.C. Saa tisa na nusu rifarii alipuliza kipenga kwa Idhini ya Mheshimiwa Rajab aliyekuwa pambizoni akitazama dimba hilo akiwa na viongozi wengne. Saa kumi na robo Mtende na rafikiye Mawazo walielekea kununua vitafunio wakiwa na furaha kwa kuwa timu ya nyumbani Orlando F.c ilikua imeshikilia msukani kwa mabao mawili kwa nunge. ‘’Mtende mambo!’’ Sauti nyororo ya kumtoa nyoka pangoni ilitokea kutoka kwenye kikundi cha wasichana waliokua wamejulusu wakinunua barafu. Kwa hakika sauti yake ilikua ni kitambulisho cha urembo wake. ‘’Poa sana hofu nawe!’’ Mtende alijikuta amejibu bila ya kutarajia na kutambua nani amemsalimia. Alikua msichana mweupe mnene kiasi mwenye macho ya gololi. Jina lake Bahati lilidhihirisha jinsi mrembo huyo alivyobahatika kwa uzuri wa umbo,rangi,kimo,kivune na akili. Bahati alikua rafiki wa chanda na pete wa kijana Mtende. Walisoma shule ya upili ya Kinondo wakiwa na mahaba yasiyo kifani. Walitembea pamoja,kula pamoja,kusoma na kushindana kwa kuongoza kwenye mtihani kidato cha kwanza hadi cha tatu. Ushirikiano wao katika mambo mbalimbali na kusaidiana kwa harusi na matanga kulipalilia mapenzi ya hali ya juu kati yao. Chambilecho wanaosema mazoea yana tabu, kuzoeana sana kwao kuliwataabisha walipofika kidato cha tatu. Wazazi wa Bahati walikuwa wakaazi wa mtaa wa kina Mtende kwa kununua shamba na wala sio kwa kuzaliwa eneo hilo. Waliiishi Kinondo takriban miaka sudusi kabla ya mabwenyenye na walaghai kuwafurusha kwa kimabavu na kumpokonya milki yake. Wanasema aliyenguvu mpishe na ukishindana na ndovu,utapasuka msamba. Naam, Lisilobudi hubidi, Bahati na wazaziwe walilazimika kuenda kwao KilIfi kuanza Maisha upya,bila shamba wala nyumba. Jambo hili liliwahuzunisha bahati na Mtende ila hawakua na budi. Hatimaye miaka kumi imepita na leo Bahati na Mtende wanaona tena nuru ya mwezi baada ya mwongo mzima wa upofu. Kauli ya mwisho kutoka kinywani mwa Bahati ‘’Milima na milima haikutani lakini watu hukutana,ipo siku tutaonana atakama ni baada ya miaka kumi’’ ilikuwa ikimjia mara kwa mara na kumtia huzuni na kumtoa matumaini. Walikumbatiana uku machozi ya furaha yakiwamiminika mithili ya chemchem za mto Tana. Furaha yao ilikua imezaliwa tena baada ya kuzikwa katika kaburi la sahau walipofarikiana. Shukrani kuu ilielekezwa kwa Maulana kwa jinsi ya kuwapiga tochi familia ya zee Riziki,babake Bahati. Mengi yalitokea kwa muda huu wa miaka kumi lakini yote hayakuwa adhwimu na muhimu kama yaliyowaleta tena kina Bahati katika eneo la Kinondo kuanza ukurasa wa maisha yaliyojaa furaha na matumaini. Naam, Mungu hamtupi mja wake, Mzee Riziki aliokolewa kutoka kwenye jekejeke na dhulma aliyofanyiwa kwa kuporwa mali zake na mabwenyenye. Hayati Mheshimiwa Bwana Dori akisaidiwa na mwandalizi wa dimba la michwano hiyo bwana Rajab Mwamajani walimuokoa Mzee Riziki kutokana kutapatapa mithili ya mfamaji katikati ya bahari hindi. Kama viongozi watetezi wa haki, waadilifu na wenye utu na kujali maslahi ya watu wao, waliingilia kati jangwa lililomvamia mzee huyo wakapambana kishujaa na walaghai waliotumia uwezo na vyeo vyao kunyanyasa mwananchi. Hatimaye kabla ya kifo kumkodolea macho,mheshimiwa Dori alifua dafu na umiliki wa shamba ulirudi mikononi mwa Mzee Riziki. Aidha, nyumba na majengo yote yaliyobomolewa na matrakta yalijengwa upya kwa muda wa miezi mitatu. Muda huu, Mtende akiwa chuo kikuu cha Kenyatta hajui yanayojiri kama mtu aliyeusingizini. Kipindi cha pili na cha mwisho kilianza Mtende na Bahati wakiwa unyounyo wakibadilishana yaliyojiri mazuri na mabaya kwa muda ule mfupi ila mrefu wa karne kwa waliopendana kwa dhati. Mawazo alijipea sababu yakuepuka uwepo wake akaondoka. Mawazo alikua rafiki wa Mtende aliyemliwaza na kumpea matumaini na uvumilivu Mtende wakati akiwa mbali na kilichopendwa na roho yake. Alikua kijana aliyepevuka kimawazo japo na umri wa makamo. Ni Dhahiri shahiri kuwa, isingekuwa uwepo wa Mawazo kwa Mtende, vipenzi hivi viwili visinge kutana tena baada ya miaka ya changamoto na kukurukakara mbalimbali. Hapa ndipo Mtende alijuwa kuwa Bahati ako Katika chuo kikuu cha Nairobi. Kama Mtende, alipata alama ya A- Kwenye mtihani wa kitaifa. Ilikuwa ni sadfa pia kwa kuwa walikua wanafanya shahada ya unesi wote wakiwa mwaka wa pili katika vyuo tofauti ila vilivyo pua na mdomo kimaeneo yao. Bahati na Mtende wote wako katika mapumziko ya mwezi mmoja na wamemaliza siku tatu wakiwa Kinondo. Tofauti yao ilikua moja wakati huu; Bahati alikua akimtafuta Mtende kwa Udi na uvumba, kama mtoto aliyepoteza pesa ya pekee kwenye mchanga. Kwa kijana Mtende japo alitamani kumuona bahati, uwepo wa rafikiye Mawazo ulimpunguzia unyonge na mawazo,kwa hili, haikuwa matarajio yake kamwe kuona chaguo la moyo wake. Hatimaye, michwano hiyo ilifika ukingoni huku timu ya Orlando F.c wakiwapiku wapinzani kwa kunyakua mabao matatu kupitia mchezaji Muhamad,kifungua mimba wa kina Mtende. Waizata walipata bao la kufutia machozi dakika ya themanini na tatu kupitia kijana Pedro.
Mtende alijiandaa kuelekea wapi
{ "text": [ "Uwanja wa kandanda" ] }
4775_swa
SADFA YA MTENDE NA BAHATI Ilikuwa siku ya kipekee kwa rijali uyo aliyejulikana kama Mtende. Pamoja na marafiki zake akiwemo rafikiye wa chanda kwa jina Mawazo, Mtende alijiandaa kuelekea Uwanja wa kandanda ulioko katika Kijiji cha Mwabungo kujivinjari kujionea michwano ya Ligi ya mgombea wa kiti cha ubunge eneo bunge la Msambweni. Mheshimiwa Rajab Mwamajani ni mwanasiasa shupavu mwenye tajriba na uzoefu wa uongozi katika eneo hilo. Ni kijana maarufu kwa wakaazi wa eneo hilo na anatambulika sana kwa misingi mbalimbali aliyofanya kwa wananchi pindi akiwa Msaidizi wa Hayati mheshimiwa bw. Suleiman Dori. Safari ilianza guu mosi guu pili na takriban saa tisa kamili iliwapungia mkono wa burihani wakiwa tayari washafika uwanjani. Uwanja ulijaa pomoni si wazee si vijana, si wasichana si wavulana, si weupe si weusi,warefu kwa wafupi, wanene na wembamba walijaza ukumbi huo. Timu zilizopambana zilikuwa tayari uwanjani zikipasha misuli kwa ajili ya kusawazisha viungo kwa kujiandaa na pambano. Ilikuwa vijana wa Orlando F.c wakikwaruzana na Timu ya Ukunda; Waizata F.C. Saa tisa na nusu rifarii alipuliza kipenga kwa Idhini ya Mheshimiwa Rajab aliyekuwa pambizoni akitazama dimba hilo akiwa na viongozi wengne. Saa kumi na robo Mtende na rafikiye Mawazo walielekea kununua vitafunio wakiwa na furaha kwa kuwa timu ya nyumbani Orlando F.c ilikua imeshikilia msukani kwa mabao mawili kwa nunge. ‘’Mtende mambo!’’ Sauti nyororo ya kumtoa nyoka pangoni ilitokea kutoka kwenye kikundi cha wasichana waliokua wamejulusu wakinunua barafu. Kwa hakika sauti yake ilikua ni kitambulisho cha urembo wake. ‘’Poa sana hofu nawe!’’ Mtende alijikuta amejibu bila ya kutarajia na kutambua nani amemsalimia. Alikua msichana mweupe mnene kiasi mwenye macho ya gololi. Jina lake Bahati lilidhihirisha jinsi mrembo huyo alivyobahatika kwa uzuri wa umbo,rangi,kimo,kivune na akili. Bahati alikua rafiki wa chanda na pete wa kijana Mtende. Walisoma shule ya upili ya Kinondo wakiwa na mahaba yasiyo kifani. Walitembea pamoja,kula pamoja,kusoma na kushindana kwa kuongoza kwenye mtihani kidato cha kwanza hadi cha tatu. Ushirikiano wao katika mambo mbalimbali na kusaidiana kwa harusi na matanga kulipalilia mapenzi ya hali ya juu kati yao. Chambilecho wanaosema mazoea yana tabu, kuzoeana sana kwao kuliwataabisha walipofika kidato cha tatu. Wazazi wa Bahati walikuwa wakaazi wa mtaa wa kina Mtende kwa kununua shamba na wala sio kwa kuzaliwa eneo hilo. Waliiishi Kinondo takriban miaka sudusi kabla ya mabwenyenye na walaghai kuwafurusha kwa kimabavu na kumpokonya milki yake. Wanasema aliyenguvu mpishe na ukishindana na ndovu,utapasuka msamba. Naam, Lisilobudi hubidi, Bahati na wazaziwe walilazimika kuenda kwao KilIfi kuanza Maisha upya,bila shamba wala nyumba. Jambo hili liliwahuzunisha bahati na Mtende ila hawakua na budi. Hatimaye miaka kumi imepita na leo Bahati na Mtende wanaona tena nuru ya mwezi baada ya mwongo mzima wa upofu. Kauli ya mwisho kutoka kinywani mwa Bahati ‘’Milima na milima haikutani lakini watu hukutana,ipo siku tutaonana atakama ni baada ya miaka kumi’’ ilikuwa ikimjia mara kwa mara na kumtia huzuni na kumtoa matumaini. Walikumbatiana uku machozi ya furaha yakiwamiminika mithili ya chemchem za mto Tana. Furaha yao ilikua imezaliwa tena baada ya kuzikwa katika kaburi la sahau walipofarikiana. Shukrani kuu ilielekezwa kwa Maulana kwa jinsi ya kuwapiga tochi familia ya zee Riziki,babake Bahati. Mengi yalitokea kwa muda huu wa miaka kumi lakini yote hayakuwa adhwimu na muhimu kama yaliyowaleta tena kina Bahati katika eneo la Kinondo kuanza ukurasa wa maisha yaliyojaa furaha na matumaini. Naam, Mungu hamtupi mja wake, Mzee Riziki aliokolewa kutoka kwenye jekejeke na dhulma aliyofanyiwa kwa kuporwa mali zake na mabwenyenye. Hayati Mheshimiwa Bwana Dori akisaidiwa na mwandalizi wa dimba la michwano hiyo bwana Rajab Mwamajani walimuokoa Mzee Riziki kutokana kutapatapa mithili ya mfamaji katikati ya bahari hindi. Kama viongozi watetezi wa haki, waadilifu na wenye utu na kujali maslahi ya watu wao, waliingilia kati jangwa lililomvamia mzee huyo wakapambana kishujaa na walaghai waliotumia uwezo na vyeo vyao kunyanyasa mwananchi. Hatimaye kabla ya kifo kumkodolea macho,mheshimiwa Dori alifua dafu na umiliki wa shamba ulirudi mikononi mwa Mzee Riziki. Aidha, nyumba na majengo yote yaliyobomolewa na matrakta yalijengwa upya kwa muda wa miezi mitatu. Muda huu, Mtende akiwa chuo kikuu cha Kenyatta hajui yanayojiri kama mtu aliyeusingizini. Kipindi cha pili na cha mwisho kilianza Mtende na Bahati wakiwa unyounyo wakibadilishana yaliyojiri mazuri na mabaya kwa muda ule mfupi ila mrefu wa karne kwa waliopendana kwa dhati. Mawazo alijipea sababu yakuepuka uwepo wake akaondoka. Mawazo alikua rafiki wa Mtende aliyemliwaza na kumpea matumaini na uvumilivu Mtende wakati akiwa mbali na kilichopendwa na roho yake. Alikua kijana aliyepevuka kimawazo japo na umri wa makamo. Ni Dhahiri shahiri kuwa, isingekuwa uwepo wa Mawazo kwa Mtende, vipenzi hivi viwili visinge kutana tena baada ya miaka ya changamoto na kukurukakara mbalimbali. Hapa ndipo Mtende alijuwa kuwa Bahati ako Katika chuo kikuu cha Nairobi. Kama Mtende, alipata alama ya A- Kwenye mtihani wa kitaifa. Ilikuwa ni sadfa pia kwa kuwa walikua wanafanya shahada ya unesi wote wakiwa mwaka wa pili katika vyuo tofauti ila vilivyo pua na mdomo kimaeneo yao. Bahati na Mtende wote wako katika mapumziko ya mwezi mmoja na wamemaliza siku tatu wakiwa Kinondo. Tofauti yao ilikua moja wakati huu; Bahati alikua akimtafuta Mtende kwa Udi na uvumba, kama mtoto aliyepoteza pesa ya pekee kwenye mchanga. Kwa kijana Mtende japo alitamani kumuona bahati, uwepo wa rafikiye Mawazo ulimpunguzia unyonge na mawazo,kwa hili, haikuwa matarajio yake kamwe kuona chaguo la moyo wake. Hatimaye, michwano hiyo ilifika ukingoni huku timu ya Orlando F.c wakiwapiku wapinzani kwa kunyakua mabao matatu kupitia mchezaji Muhamad,kifungua mimba wa kina Mtende. Waizata walipata bao la kufutia machozi dakika ya themanini na tatu kupitia kijana Pedro.
Mtende na rafikiye Mawazo walielekea kununua nini
{ "text": [ "Vitafunio" ] }
4775_swa
SADFA YA MTENDE NA BAHATI Ilikuwa siku ya kipekee kwa rijali uyo aliyejulikana kama Mtende. Pamoja na marafiki zake akiwemo rafikiye wa chanda kwa jina Mawazo, Mtende alijiandaa kuelekea Uwanja wa kandanda ulioko katika Kijiji cha Mwabungo kujivinjari kujionea michwano ya Ligi ya mgombea wa kiti cha ubunge eneo bunge la Msambweni. Mheshimiwa Rajab Mwamajani ni mwanasiasa shupavu mwenye tajriba na uzoefu wa uongozi katika eneo hilo. Ni kijana maarufu kwa wakaazi wa eneo hilo na anatambulika sana kwa misingi mbalimbali aliyofanya kwa wananchi pindi akiwa Msaidizi wa Hayati mheshimiwa bw. Suleiman Dori. Safari ilianza guu mosi guu pili na takriban saa tisa kamili iliwapungia mkono wa burihani wakiwa tayari washafika uwanjani. Uwanja ulijaa pomoni si wazee si vijana, si wasichana si wavulana, si weupe si weusi,warefu kwa wafupi, wanene na wembamba walijaza ukumbi huo. Timu zilizopambana zilikuwa tayari uwanjani zikipasha misuli kwa ajili ya kusawazisha viungo kwa kujiandaa na pambano. Ilikuwa vijana wa Orlando F.c wakikwaruzana na Timu ya Ukunda; Waizata F.C. Saa tisa na nusu rifarii alipuliza kipenga kwa Idhini ya Mheshimiwa Rajab aliyekuwa pambizoni akitazama dimba hilo akiwa na viongozi wengne. Saa kumi na robo Mtende na rafikiye Mawazo walielekea kununua vitafunio wakiwa na furaha kwa kuwa timu ya nyumbani Orlando F.c ilikua imeshikilia msukani kwa mabao mawili kwa nunge. ‘’Mtende mambo!’’ Sauti nyororo ya kumtoa nyoka pangoni ilitokea kutoka kwenye kikundi cha wasichana waliokua wamejulusu wakinunua barafu. Kwa hakika sauti yake ilikua ni kitambulisho cha urembo wake. ‘’Poa sana hofu nawe!’’ Mtende alijikuta amejibu bila ya kutarajia na kutambua nani amemsalimia. Alikua msichana mweupe mnene kiasi mwenye macho ya gololi. Jina lake Bahati lilidhihirisha jinsi mrembo huyo alivyobahatika kwa uzuri wa umbo,rangi,kimo,kivune na akili. Bahati alikua rafiki wa chanda na pete wa kijana Mtende. Walisoma shule ya upili ya Kinondo wakiwa na mahaba yasiyo kifani. Walitembea pamoja,kula pamoja,kusoma na kushindana kwa kuongoza kwenye mtihani kidato cha kwanza hadi cha tatu. Ushirikiano wao katika mambo mbalimbali na kusaidiana kwa harusi na matanga kulipalilia mapenzi ya hali ya juu kati yao. Chambilecho wanaosema mazoea yana tabu, kuzoeana sana kwao kuliwataabisha walipofika kidato cha tatu. Wazazi wa Bahati walikuwa wakaazi wa mtaa wa kina Mtende kwa kununua shamba na wala sio kwa kuzaliwa eneo hilo. Waliiishi Kinondo takriban miaka sudusi kabla ya mabwenyenye na walaghai kuwafurusha kwa kimabavu na kumpokonya milki yake. Wanasema aliyenguvu mpishe na ukishindana na ndovu,utapasuka msamba. Naam, Lisilobudi hubidi, Bahati na wazaziwe walilazimika kuenda kwao KilIfi kuanza Maisha upya,bila shamba wala nyumba. Jambo hili liliwahuzunisha bahati na Mtende ila hawakua na budi. Hatimaye miaka kumi imepita na leo Bahati na Mtende wanaona tena nuru ya mwezi baada ya mwongo mzima wa upofu. Kauli ya mwisho kutoka kinywani mwa Bahati ‘’Milima na milima haikutani lakini watu hukutana,ipo siku tutaonana atakama ni baada ya miaka kumi’’ ilikuwa ikimjia mara kwa mara na kumtia huzuni na kumtoa matumaini. Walikumbatiana uku machozi ya furaha yakiwamiminika mithili ya chemchem za mto Tana. Furaha yao ilikua imezaliwa tena baada ya kuzikwa katika kaburi la sahau walipofarikiana. Shukrani kuu ilielekezwa kwa Maulana kwa jinsi ya kuwapiga tochi familia ya zee Riziki,babake Bahati. Mengi yalitokea kwa muda huu wa miaka kumi lakini yote hayakuwa adhwimu na muhimu kama yaliyowaleta tena kina Bahati katika eneo la Kinondo kuanza ukurasa wa maisha yaliyojaa furaha na matumaini. Naam, Mungu hamtupi mja wake, Mzee Riziki aliokolewa kutoka kwenye jekejeke na dhulma aliyofanyiwa kwa kuporwa mali zake na mabwenyenye. Hayati Mheshimiwa Bwana Dori akisaidiwa na mwandalizi wa dimba la michwano hiyo bwana Rajab Mwamajani walimuokoa Mzee Riziki kutokana kutapatapa mithili ya mfamaji katikati ya bahari hindi. Kama viongozi watetezi wa haki, waadilifu na wenye utu na kujali maslahi ya watu wao, waliingilia kati jangwa lililomvamia mzee huyo wakapambana kishujaa na walaghai waliotumia uwezo na vyeo vyao kunyanyasa mwananchi. Hatimaye kabla ya kifo kumkodolea macho,mheshimiwa Dori alifua dafu na umiliki wa shamba ulirudi mikononi mwa Mzee Riziki. Aidha, nyumba na majengo yote yaliyobomolewa na matrakta yalijengwa upya kwa muda wa miezi mitatu. Muda huu, Mtende akiwa chuo kikuu cha Kenyatta hajui yanayojiri kama mtu aliyeusingizini. Kipindi cha pili na cha mwisho kilianza Mtende na Bahati wakiwa unyounyo wakibadilishana yaliyojiri mazuri na mabaya kwa muda ule mfupi ila mrefu wa karne kwa waliopendana kwa dhati. Mawazo alijipea sababu yakuepuka uwepo wake akaondoka. Mawazo alikua rafiki wa Mtende aliyemliwaza na kumpea matumaini na uvumilivu Mtende wakati akiwa mbali na kilichopendwa na roho yake. Alikua kijana aliyepevuka kimawazo japo na umri wa makamo. Ni Dhahiri shahiri kuwa, isingekuwa uwepo wa Mawazo kwa Mtende, vipenzi hivi viwili visinge kutana tena baada ya miaka ya changamoto na kukurukakara mbalimbali. Hapa ndipo Mtende alijuwa kuwa Bahati ako Katika chuo kikuu cha Nairobi. Kama Mtende, alipata alama ya A- Kwenye mtihani wa kitaifa. Ilikuwa ni sadfa pia kwa kuwa walikua wanafanya shahada ya unesi wote wakiwa mwaka wa pili katika vyuo tofauti ila vilivyo pua na mdomo kimaeneo yao. Bahati na Mtende wote wako katika mapumziko ya mwezi mmoja na wamemaliza siku tatu wakiwa Kinondo. Tofauti yao ilikua moja wakati huu; Bahati alikua akimtafuta Mtende kwa Udi na uvumba, kama mtoto aliyepoteza pesa ya pekee kwenye mchanga. Kwa kijana Mtende japo alitamani kumuona bahati, uwepo wa rafikiye Mawazo ulimpunguzia unyonge na mawazo,kwa hili, haikuwa matarajio yake kamwe kuona chaguo la moyo wake. Hatimaye, michwano hiyo ilifika ukingoni huku timu ya Orlando F.c wakiwapiku wapinzani kwa kunyakua mabao matatu kupitia mchezaji Muhamad,kifungua mimba wa kina Mtende. Waizata walipata bao la kufutia machozi dakika ya themanini na tatu kupitia kijana Pedro.
Waizata walipata bao la kufutia machozi kupitia nani
{ "text": [ "Kijana Pedro" ] }
4776_swa
Vipindi mbalimbali vya historia vimeshuhudia kuibuka kwa magonjwa ya ajabu. Magonjwa hayo yamehahangaisha watu na kuzishughulisha bongo za wanasayansi na madaktari katika kutafuta tiba. Magonjwa kama vile tauni, kifua kikuu, homa ya matumbo, malaria na ndui ni baadhi ya yale yaliyotisha sana nyakati fulani za historia ya binadamu. Magonjwa haya yaliwauwa maelfu ya watu na kutibua mifumo na taratibu za maisha ya watu. Hata hivyo magonjwa hayo yaliweza kuchunguzwa na kutafutiwa tiba kabla ya kumaliza kabisa kizazi cha binadamu. Lakini hii ni baada ya kuwasukuma maelfu ya watu kaburini. Mambo yalienda maenge ulimwenguni uliposhuhudia janga jingine la maradhi sugu ya Ukimwi. Neno "UKIMWI" lilitolewa kutokana na athari za ugonjwa huo mwilini. Neno' "UKIMWI humanisha Ukosefu wa Kinga mwilini, ambapo herufi za kwanza za maneno matatu huunganishwa pamoja na kuunda neno hilo. Ugonjwa huu umewaua mamilioni ya watu kote ulimwenguni na unazidi kuenea kwa kasi, mfano wa moto katika kichaka. Kutokana na kasi yake ya kuua watu, ugonjwa wa UKIMWI umepewa majina kama vile 'umeme’ na pia 'ugonjwa wa vijana'. Watu wengi wanaoambukizwa virusi vya UKIMWI ni wale walio na miaka kati ya 15 hadi 49. Kundi hili kwa kweli ndilo, linalohesabiwa kuwa na nguvu za kutunza jamii kwa njia nyingi. Iwapo wengi katika kundi hili watakumbwa na maradhi haya, watasalia wakongwe na watoto wasioweza kujimudu. Miongo minne badaaye, dunia ilikumbwa na janga ligine ambalo lilistaajabisha wengi. Mwaka wa 2019, nchini China- Wuhan, ugonjwa wa korona -19 uligunduliwa. Ugonjwa huu ulikuwa hatari kwani ilibainka kuwa inasambazwa kwa njia ya hewa. Mojawapo ya dalili ya ugonjwa huu ni kupiga chafya, kikohozi, kupandwa na joto mwilini, kukosa hisi ya muojo na mnuso. Kufika mwezi wa Januari 2020, korona ilikua imeenea kote duniani na kuwaua wengi kwa kasi ya kustaajabisha. Kulingana na Muungano wa Afya Duniani (WHO) inakisiwa kuwa ugonjwa huu una uwezo wa kuwaua watu wapatao milioni sitini. Hivi sasa, inasemekana kuwa takriban watu zaidi ya elfu moja hufa kila siku kutokana na janga hili. Aidha, imethibitishwa kwamba takriban watu milioni tano diniani tayari wamepoteza maisha yao kutokana na ugonjwa huu ambao sasa umekuwa janga la kimataifa. Kutokana na kuongezeka kwa visa vya Korona, hospitali na zahanati nyingi kote nchini zinashindwa kukidhi mahitaji ya wagonjwa. Hii ni kuwa ugonjwa huu hauna tiba mahususi. Hivyo, madaktari hutibu tu dalili ambazo zinaweza kuoenekana. Wagonjwa pia walihitajika kutengwa na wagonjwa wengine hospitalini ili wasiweze kuwaambukiza. Kwa hivyo makundi ya kujitolea na mashirika mbalimbali yameundwa ili kuwahudumia wagonjwa. Baadhi ya makundi hayo hutoa tiba ya kisaikolojia pamoja na kuwapa ushauri wa hima yakuishi,badala ya kukata tamaa. Wagonjwa wengi pia huishia kutibiwa nyumbani kwao. Wataalam na wanasayansi nao pia hawakulaza damu. Walijitahidi iwezekenavyo kutafuta tiba na chanjo dhidi ya uginjwa huu. Kutokana na juhudi zao, walifanikiwa kupata chanjo za ugonjwa huu. Mifano ya chanjo hizi ni Aztrezeneca, Pfizer, Johnson and Johnson n.k .Lakini jambo la kuzingatia ni hili, tujifunze kuepukana na ugonjwa huu kwa kuzingatia masharti yaliyowekwa ili kuzuia na kujikinga nao. Muhimu Zaidi ni kuchukua chanjo bila wasiwasi wowote kuwa yanaweza kuwa na athari ya baadaye kama yanavyoenezwa na watu walio na Imani potovu. Tuwe na matumaini kwamba siku moja tiba ya ugonjwa huu itapatikana. Hii ni kwa sababu tumethibitishiwa haya kutoka katika historia yetu wenyewe. Ikiwa magonjwa yaliyosababisha vifo vya wengi kutokana na ukosefu wa tiba yalitokomezwa kupitia juhudi za kimatibabu, sembuse huu ugonjwa tulio nao sasa? Huku tukijikinga kutokana na maradhi haya tusife moyo bali tuwe na matumaini kwani subira huvuta heri.
Vipindi mbalimbali vya historia vimeshuhudia kuibuka kwa kitu gani
{ "text": [ "Magonjwa ya ajabu" ] }
4776_swa
Vipindi mbalimbali vya historia vimeshuhudia kuibuka kwa magonjwa ya ajabu. Magonjwa hayo yamehahangaisha watu na kuzishughulisha bongo za wanasayansi na madaktari katika kutafuta tiba. Magonjwa kama vile tauni, kifua kikuu, homa ya matumbo, malaria na ndui ni baadhi ya yale yaliyotisha sana nyakati fulani za historia ya binadamu. Magonjwa haya yaliwauwa maelfu ya watu na kutibua mifumo na taratibu za maisha ya watu. Hata hivyo magonjwa hayo yaliweza kuchunguzwa na kutafutiwa tiba kabla ya kumaliza kabisa kizazi cha binadamu. Lakini hii ni baada ya kuwasukuma maelfu ya watu kaburini. Mambo yalienda maenge ulimwenguni uliposhuhudia janga jingine la maradhi sugu ya Ukimwi. Neno "UKIMWI" lilitolewa kutokana na athari za ugonjwa huo mwilini. Neno' "UKIMWI humanisha Ukosefu wa Kinga mwilini, ambapo herufi za kwanza za maneno matatu huunganishwa pamoja na kuunda neno hilo. Ugonjwa huu umewaua mamilioni ya watu kote ulimwenguni na unazidi kuenea kwa kasi, mfano wa moto katika kichaka. Kutokana na kasi yake ya kuua watu, ugonjwa wa UKIMWI umepewa majina kama vile 'umeme’ na pia 'ugonjwa wa vijana'. Watu wengi wanaoambukizwa virusi vya UKIMWI ni wale walio na miaka kati ya 15 hadi 49. Kundi hili kwa kweli ndilo, linalohesabiwa kuwa na nguvu za kutunza jamii kwa njia nyingi. Iwapo wengi katika kundi hili watakumbwa na maradhi haya, watasalia wakongwe na watoto wasioweza kujimudu. Miongo minne badaaye, dunia ilikumbwa na janga ligine ambalo lilistaajabisha wengi. Mwaka wa 2019, nchini China- Wuhan, ugonjwa wa korona -19 uligunduliwa. Ugonjwa huu ulikuwa hatari kwani ilibainka kuwa inasambazwa kwa njia ya hewa. Mojawapo ya dalili ya ugonjwa huu ni kupiga chafya, kikohozi, kupandwa na joto mwilini, kukosa hisi ya muojo na mnuso. Kufika mwezi wa Januari 2020, korona ilikua imeenea kote duniani na kuwaua wengi kwa kasi ya kustaajabisha. Kulingana na Muungano wa Afya Duniani (WHO) inakisiwa kuwa ugonjwa huu una uwezo wa kuwaua watu wapatao milioni sitini. Hivi sasa, inasemekana kuwa takriban watu zaidi ya elfu moja hufa kila siku kutokana na janga hili. Aidha, imethibitishwa kwamba takriban watu milioni tano diniani tayari wamepoteza maisha yao kutokana na ugonjwa huu ambao sasa umekuwa janga la kimataifa. Kutokana na kuongezeka kwa visa vya Korona, hospitali na zahanati nyingi kote nchini zinashindwa kukidhi mahitaji ya wagonjwa. Hii ni kuwa ugonjwa huu hauna tiba mahususi. Hivyo, madaktari hutibu tu dalili ambazo zinaweza kuoenekana. Wagonjwa pia walihitajika kutengwa na wagonjwa wengine hospitalini ili wasiweze kuwaambukiza. Kwa hivyo makundi ya kujitolea na mashirika mbalimbali yameundwa ili kuwahudumia wagonjwa. Baadhi ya makundi hayo hutoa tiba ya kisaikolojia pamoja na kuwapa ushauri wa hima yakuishi,badala ya kukata tamaa. Wagonjwa wengi pia huishia kutibiwa nyumbani kwao. Wataalam na wanasayansi nao pia hawakulaza damu. Walijitahidi iwezekenavyo kutafuta tiba na chanjo dhidi ya uginjwa huu. Kutokana na juhudi zao, walifanikiwa kupata chanjo za ugonjwa huu. Mifano ya chanjo hizi ni Aztrezeneca, Pfizer, Johnson and Johnson n.k .Lakini jambo la kuzingatia ni hili, tujifunze kuepukana na ugonjwa huu kwa kuzingatia masharti yaliyowekwa ili kuzuia na kujikinga nao. Muhimu Zaidi ni kuchukua chanjo bila wasiwasi wowote kuwa yanaweza kuwa na athari ya baadaye kama yanavyoenezwa na watu walio na Imani potovu. Tuwe na matumaini kwamba siku moja tiba ya ugonjwa huu itapatikana. Hii ni kwa sababu tumethibitishiwa haya kutoka katika historia yetu wenyewe. Ikiwa magonjwa yaliyosababisha vifo vya wengi kutokana na ukosefu wa tiba yalitokomezwa kupitia juhudi za kimatibabu, sembuse huu ugonjwa tulio nao sasa? Huku tukijikinga kutokana na maradhi haya tusife moyo bali tuwe na matumaini kwani subira huvuta heri.
Magonjwa hayo yamehangaisha nani
{ "text": [ "Watu" ] }
4776_swa
Vipindi mbalimbali vya historia vimeshuhudia kuibuka kwa magonjwa ya ajabu. Magonjwa hayo yamehahangaisha watu na kuzishughulisha bongo za wanasayansi na madaktari katika kutafuta tiba. Magonjwa kama vile tauni, kifua kikuu, homa ya matumbo, malaria na ndui ni baadhi ya yale yaliyotisha sana nyakati fulani za historia ya binadamu. Magonjwa haya yaliwauwa maelfu ya watu na kutibua mifumo na taratibu za maisha ya watu. Hata hivyo magonjwa hayo yaliweza kuchunguzwa na kutafutiwa tiba kabla ya kumaliza kabisa kizazi cha binadamu. Lakini hii ni baada ya kuwasukuma maelfu ya watu kaburini. Mambo yalienda maenge ulimwenguni uliposhuhudia janga jingine la maradhi sugu ya Ukimwi. Neno "UKIMWI" lilitolewa kutokana na athari za ugonjwa huo mwilini. Neno' "UKIMWI humanisha Ukosefu wa Kinga mwilini, ambapo herufi za kwanza za maneno matatu huunganishwa pamoja na kuunda neno hilo. Ugonjwa huu umewaua mamilioni ya watu kote ulimwenguni na unazidi kuenea kwa kasi, mfano wa moto katika kichaka. Kutokana na kasi yake ya kuua watu, ugonjwa wa UKIMWI umepewa majina kama vile 'umeme’ na pia 'ugonjwa wa vijana'. Watu wengi wanaoambukizwa virusi vya UKIMWI ni wale walio na miaka kati ya 15 hadi 49. Kundi hili kwa kweli ndilo, linalohesabiwa kuwa na nguvu za kutunza jamii kwa njia nyingi. Iwapo wengi katika kundi hili watakumbwa na maradhi haya, watasalia wakongwe na watoto wasioweza kujimudu. Miongo minne badaaye, dunia ilikumbwa na janga ligine ambalo lilistaajabisha wengi. Mwaka wa 2019, nchini China- Wuhan, ugonjwa wa korona -19 uligunduliwa. Ugonjwa huu ulikuwa hatari kwani ilibainka kuwa inasambazwa kwa njia ya hewa. Mojawapo ya dalili ya ugonjwa huu ni kupiga chafya, kikohozi, kupandwa na joto mwilini, kukosa hisi ya muojo na mnuso. Kufika mwezi wa Januari 2020, korona ilikua imeenea kote duniani na kuwaua wengi kwa kasi ya kustaajabisha. Kulingana na Muungano wa Afya Duniani (WHO) inakisiwa kuwa ugonjwa huu una uwezo wa kuwaua watu wapatao milioni sitini. Hivi sasa, inasemekana kuwa takriban watu zaidi ya elfu moja hufa kila siku kutokana na janga hili. Aidha, imethibitishwa kwamba takriban watu milioni tano diniani tayari wamepoteza maisha yao kutokana na ugonjwa huu ambao sasa umekuwa janga la kimataifa. Kutokana na kuongezeka kwa visa vya Korona, hospitali na zahanati nyingi kote nchini zinashindwa kukidhi mahitaji ya wagonjwa. Hii ni kuwa ugonjwa huu hauna tiba mahususi. Hivyo, madaktari hutibu tu dalili ambazo zinaweza kuoenekana. Wagonjwa pia walihitajika kutengwa na wagonjwa wengine hospitalini ili wasiweze kuwaambukiza. Kwa hivyo makundi ya kujitolea na mashirika mbalimbali yameundwa ili kuwahudumia wagonjwa. Baadhi ya makundi hayo hutoa tiba ya kisaikolojia pamoja na kuwapa ushauri wa hima yakuishi,badala ya kukata tamaa. Wagonjwa wengi pia huishia kutibiwa nyumbani kwao. Wataalam na wanasayansi nao pia hawakulaza damu. Walijitahidi iwezekenavyo kutafuta tiba na chanjo dhidi ya uginjwa huu. Kutokana na juhudi zao, walifanikiwa kupata chanjo za ugonjwa huu. Mifano ya chanjo hizi ni Aztrezeneca, Pfizer, Johnson and Johnson n.k .Lakini jambo la kuzingatia ni hili, tujifunze kuepukana na ugonjwa huu kwa kuzingatia masharti yaliyowekwa ili kuzuia na kujikinga nao. Muhimu Zaidi ni kuchukua chanjo bila wasiwasi wowote kuwa yanaweza kuwa na athari ya baadaye kama yanavyoenezwa na watu walio na Imani potovu. Tuwe na matumaini kwamba siku moja tiba ya ugonjwa huu itapatikana. Hii ni kwa sababu tumethibitishiwa haya kutoka katika historia yetu wenyewe. Ikiwa magonjwa yaliyosababisha vifo vya wengi kutokana na ukosefu wa tiba yalitokomezwa kupitia juhudi za kimatibabu, sembuse huu ugonjwa tulio nao sasa? Huku tukijikinga kutokana na maradhi haya tusife moyo bali tuwe na matumaini kwani subira huvuta heri.
Hata hivyo magonjwa hayo yaliweza kuchunguzwa na kutafutiwa nini
{ "text": [ "Tiba" ] }
4776_swa
Vipindi mbalimbali vya historia vimeshuhudia kuibuka kwa magonjwa ya ajabu. Magonjwa hayo yamehahangaisha watu na kuzishughulisha bongo za wanasayansi na madaktari katika kutafuta tiba. Magonjwa kama vile tauni, kifua kikuu, homa ya matumbo, malaria na ndui ni baadhi ya yale yaliyotisha sana nyakati fulani za historia ya binadamu. Magonjwa haya yaliwauwa maelfu ya watu na kutibua mifumo na taratibu za maisha ya watu. Hata hivyo magonjwa hayo yaliweza kuchunguzwa na kutafutiwa tiba kabla ya kumaliza kabisa kizazi cha binadamu. Lakini hii ni baada ya kuwasukuma maelfu ya watu kaburini. Mambo yalienda maenge ulimwenguni uliposhuhudia janga jingine la maradhi sugu ya Ukimwi. Neno "UKIMWI" lilitolewa kutokana na athari za ugonjwa huo mwilini. Neno' "UKIMWI humanisha Ukosefu wa Kinga mwilini, ambapo herufi za kwanza za maneno matatu huunganishwa pamoja na kuunda neno hilo. Ugonjwa huu umewaua mamilioni ya watu kote ulimwenguni na unazidi kuenea kwa kasi, mfano wa moto katika kichaka. Kutokana na kasi yake ya kuua watu, ugonjwa wa UKIMWI umepewa majina kama vile 'umeme’ na pia 'ugonjwa wa vijana'. Watu wengi wanaoambukizwa virusi vya UKIMWI ni wale walio na miaka kati ya 15 hadi 49. Kundi hili kwa kweli ndilo, linalohesabiwa kuwa na nguvu za kutunza jamii kwa njia nyingi. Iwapo wengi katika kundi hili watakumbwa na maradhi haya, watasalia wakongwe na watoto wasioweza kujimudu. Miongo minne badaaye, dunia ilikumbwa na janga ligine ambalo lilistaajabisha wengi. Mwaka wa 2019, nchini China- Wuhan, ugonjwa wa korona -19 uligunduliwa. Ugonjwa huu ulikuwa hatari kwani ilibainka kuwa inasambazwa kwa njia ya hewa. Mojawapo ya dalili ya ugonjwa huu ni kupiga chafya, kikohozi, kupandwa na joto mwilini, kukosa hisi ya muojo na mnuso. Kufika mwezi wa Januari 2020, korona ilikua imeenea kote duniani na kuwaua wengi kwa kasi ya kustaajabisha. Kulingana na Muungano wa Afya Duniani (WHO) inakisiwa kuwa ugonjwa huu una uwezo wa kuwaua watu wapatao milioni sitini. Hivi sasa, inasemekana kuwa takriban watu zaidi ya elfu moja hufa kila siku kutokana na janga hili. Aidha, imethibitishwa kwamba takriban watu milioni tano diniani tayari wamepoteza maisha yao kutokana na ugonjwa huu ambao sasa umekuwa janga la kimataifa. Kutokana na kuongezeka kwa visa vya Korona, hospitali na zahanati nyingi kote nchini zinashindwa kukidhi mahitaji ya wagonjwa. Hii ni kuwa ugonjwa huu hauna tiba mahususi. Hivyo, madaktari hutibu tu dalili ambazo zinaweza kuoenekana. Wagonjwa pia walihitajika kutengwa na wagonjwa wengine hospitalini ili wasiweze kuwaambukiza. Kwa hivyo makundi ya kujitolea na mashirika mbalimbali yameundwa ili kuwahudumia wagonjwa. Baadhi ya makundi hayo hutoa tiba ya kisaikolojia pamoja na kuwapa ushauri wa hima yakuishi,badala ya kukata tamaa. Wagonjwa wengi pia huishia kutibiwa nyumbani kwao. Wataalam na wanasayansi nao pia hawakulaza damu. Walijitahidi iwezekenavyo kutafuta tiba na chanjo dhidi ya uginjwa huu. Kutokana na juhudi zao, walifanikiwa kupata chanjo za ugonjwa huu. Mifano ya chanjo hizi ni Aztrezeneca, Pfizer, Johnson and Johnson n.k .Lakini jambo la kuzingatia ni hili, tujifunze kuepukana na ugonjwa huu kwa kuzingatia masharti yaliyowekwa ili kuzuia na kujikinga nao. Muhimu Zaidi ni kuchukua chanjo bila wasiwasi wowote kuwa yanaweza kuwa na athari ya baadaye kama yanavyoenezwa na watu walio na Imani potovu. Tuwe na matumaini kwamba siku moja tiba ya ugonjwa huu itapatikana. Hii ni kwa sababu tumethibitishiwa haya kutoka katika historia yetu wenyewe. Ikiwa magonjwa yaliyosababisha vifo vya wengi kutokana na ukosefu wa tiba yalitokomezwa kupitia juhudi za kimatibabu, sembuse huu ugonjwa tulio nao sasa? Huku tukijikinga kutokana na maradhi haya tusife moyo bali tuwe na matumaini kwani subira huvuta heri.
Nini kilikumbwa na janga lingine lililostaajabisha wengi
{ "text": [ "Dunia" ] }
4776_swa
Vipindi mbalimbali vya historia vimeshuhudia kuibuka kwa magonjwa ya ajabu. Magonjwa hayo yamehahangaisha watu na kuzishughulisha bongo za wanasayansi na madaktari katika kutafuta tiba. Magonjwa kama vile tauni, kifua kikuu, homa ya matumbo, malaria na ndui ni baadhi ya yale yaliyotisha sana nyakati fulani za historia ya binadamu. Magonjwa haya yaliwauwa maelfu ya watu na kutibua mifumo na taratibu za maisha ya watu. Hata hivyo magonjwa hayo yaliweza kuchunguzwa na kutafutiwa tiba kabla ya kumaliza kabisa kizazi cha binadamu. Lakini hii ni baada ya kuwasukuma maelfu ya watu kaburini. Mambo yalienda maenge ulimwenguni uliposhuhudia janga jingine la maradhi sugu ya Ukimwi. Neno "UKIMWI" lilitolewa kutokana na athari za ugonjwa huo mwilini. Neno' "UKIMWI humanisha Ukosefu wa Kinga mwilini, ambapo herufi za kwanza za maneno matatu huunganishwa pamoja na kuunda neno hilo. Ugonjwa huu umewaua mamilioni ya watu kote ulimwenguni na unazidi kuenea kwa kasi, mfano wa moto katika kichaka. Kutokana na kasi yake ya kuua watu, ugonjwa wa UKIMWI umepewa majina kama vile 'umeme’ na pia 'ugonjwa wa vijana'. Watu wengi wanaoambukizwa virusi vya UKIMWI ni wale walio na miaka kati ya 15 hadi 49. Kundi hili kwa kweli ndilo, linalohesabiwa kuwa na nguvu za kutunza jamii kwa njia nyingi. Iwapo wengi katika kundi hili watakumbwa na maradhi haya, watasalia wakongwe na watoto wasioweza kujimudu. Miongo minne badaaye, dunia ilikumbwa na janga ligine ambalo lilistaajabisha wengi. Mwaka wa 2019, nchini China- Wuhan, ugonjwa wa korona -19 uligunduliwa. Ugonjwa huu ulikuwa hatari kwani ilibainka kuwa inasambazwa kwa njia ya hewa. Mojawapo ya dalili ya ugonjwa huu ni kupiga chafya, kikohozi, kupandwa na joto mwilini, kukosa hisi ya muojo na mnuso. Kufika mwezi wa Januari 2020, korona ilikua imeenea kote duniani na kuwaua wengi kwa kasi ya kustaajabisha. Kulingana na Muungano wa Afya Duniani (WHO) inakisiwa kuwa ugonjwa huu una uwezo wa kuwaua watu wapatao milioni sitini. Hivi sasa, inasemekana kuwa takriban watu zaidi ya elfu moja hufa kila siku kutokana na janga hili. Aidha, imethibitishwa kwamba takriban watu milioni tano diniani tayari wamepoteza maisha yao kutokana na ugonjwa huu ambao sasa umekuwa janga la kimataifa. Kutokana na kuongezeka kwa visa vya Korona, hospitali na zahanati nyingi kote nchini zinashindwa kukidhi mahitaji ya wagonjwa. Hii ni kuwa ugonjwa huu hauna tiba mahususi. Hivyo, madaktari hutibu tu dalili ambazo zinaweza kuoenekana. Wagonjwa pia walihitajika kutengwa na wagonjwa wengine hospitalini ili wasiweze kuwaambukiza. Kwa hivyo makundi ya kujitolea na mashirika mbalimbali yameundwa ili kuwahudumia wagonjwa. Baadhi ya makundi hayo hutoa tiba ya kisaikolojia pamoja na kuwapa ushauri wa hima yakuishi,badala ya kukata tamaa. Wagonjwa wengi pia huishia kutibiwa nyumbani kwao. Wataalam na wanasayansi nao pia hawakulaza damu. Walijitahidi iwezekenavyo kutafuta tiba na chanjo dhidi ya uginjwa huu. Kutokana na juhudi zao, walifanikiwa kupata chanjo za ugonjwa huu. Mifano ya chanjo hizi ni Aztrezeneca, Pfizer, Johnson and Johnson n.k .Lakini jambo la kuzingatia ni hili, tujifunze kuepukana na ugonjwa huu kwa kuzingatia masharti yaliyowekwa ili kuzuia na kujikinga nao. Muhimu Zaidi ni kuchukua chanjo bila wasiwasi wowote kuwa yanaweza kuwa na athari ya baadaye kama yanavyoenezwa na watu walio na Imani potovu. Tuwe na matumaini kwamba siku moja tiba ya ugonjwa huu itapatikana. Hii ni kwa sababu tumethibitishiwa haya kutoka katika historia yetu wenyewe. Ikiwa magonjwa yaliyosababisha vifo vya wengi kutokana na ukosefu wa tiba yalitokomezwa kupitia juhudi za kimatibabu, sembuse huu ugonjwa tulio nao sasa? Huku tukijikinga kutokana na maradhi haya tusife moyo bali tuwe na matumaini kwani subira huvuta heri.
Hospitali na zahanati nyingi kote nchini zinashindwa kukidhi mahitaji ya nani
{ "text": [ "Wagonjwa" ] }
4777_swa
Nchi yetu imeraukia mawio ya machafuzi ya kisiasa baada ya shughuli za uchaguzi zilizogonga mwamba mkuu. Hili lilijiri baada ya Tume ya Uchaguzi kukosa kuendeleza uchaguzi kwa njia iliyostahiki. Jambo hili lilizaa msukosuko wa kisiasa usiomithilishwa katika historia ya taifa letu. Hivi sasa Wakenya wanaishi kwenye kambi za watu wasio na makazi. Hiki ni kinaya kikuu kwani matukio haya yamezuka baada ya zaidi ya miongo minne ya uhuru. Vilio vya Wakenya vimeshamiri na kupaaza sauti vikilalamikia kukosa makazi, lishe na hata ndoa kusambaratika. Ndoa zimevunjika baada ya ‘wenyeji’ kuwatimua ‘wageni’ na damu kumwagika. Misukosuko ya kisiasa kama hii imekumba mataifa mengi ya Afrika miaka nenda rudi na kuchangia bara kudumaa na kuvia kiuchumi. Kenya imekuwa miongoni mwa mataifa yanayowapa faraja wakimbizi kutoka nchi jirani zinazokumbwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe, zikiwemo Somalia na Sudan. Kinaya ni kwamba Wakenya wamekuwa wakimbizi katika nchi yao wenyewe. Vita katika Somalia vimesababishwa na koo mbali mbali zinazopigania uongozi hali ambayo imekwamisha shughuli zote za kiuchumi. Hali ya sasa ya Kenya imechochewa na msururu wa sababu. Ukabila na tamaa ya uongozi zilionekana wazi katika miundo ya vyama vikuu vya kisiasa na katika kampeni zao. Wakenya walipiga kura kwa misingi ya kikabila kila upande ukitazamia mtu wao kushinda uchaguzi huo. Kwa upande mwingine, viongozi hao kutokana na tamaa ya uongozi walikuwa wameamua kushinda uchaguzi huo kwa vyovyote vile. Leo tunavuna matunda ya siasa za ukabila na tamaa ya mamlaka. Maelfu ya Wakenya ni wakimbizi nchini na katika nchi jirani ya Uganda. Wakenya hao wanahitaji msaada wa chakula na mahitaji mengine ya kimsingi. Serikali na Shirika la Msalaba Mwekundu zimefanya juhudi kuwasaidia wahasiriwa Lakini, kuna tetesi kwamba ubaguzi umejipenyeza katika ugawaji wa msaada huo. Waliopewa jukumu la kugawa msaada huo ni sharti waelewe kuwa waathiriwa ni Wakenya wenzao na hawafai kubaguliwa kwa misingi ya makabila yao. Matukio kama haya hayastahili kutukia asilani katika taifa hili. Twahitaji zao aali la viongozi wasiojitwika ubabe bali wawe watumishi wa wananchi. Wanastahili kutupilia mbali tamaa za kujilimbikizia mali na kung’ang’ania uongozi. Pia katiba inafaa irekebishwe. Wakenya wanastahili kuelimishwa kuhusu udugu na utaifa. Fauka ya haya, masuala yanayohusiana na umiliki wa ardhi yanafaa kutadarukiwa kwa dhati. Hivyo, tutaweza kuishi kwa amani na ule undugu ambao daima ndichi mhimili wa maendeleo yoyote.
Nchi imeraukia mawio ya machafuzi ya nini
{ "text": [ "Kisiasa" ] }
4777_swa
Nchi yetu imeraukia mawio ya machafuzi ya kisiasa baada ya shughuli za uchaguzi zilizogonga mwamba mkuu. Hili lilijiri baada ya Tume ya Uchaguzi kukosa kuendeleza uchaguzi kwa njia iliyostahiki. Jambo hili lilizaa msukosuko wa kisiasa usiomithilishwa katika historia ya taifa letu. Hivi sasa Wakenya wanaishi kwenye kambi za watu wasio na makazi. Hiki ni kinaya kikuu kwani matukio haya yamezuka baada ya zaidi ya miongo minne ya uhuru. Vilio vya Wakenya vimeshamiri na kupaaza sauti vikilalamikia kukosa makazi, lishe na hata ndoa kusambaratika. Ndoa zimevunjika baada ya ‘wenyeji’ kuwatimua ‘wageni’ na damu kumwagika. Misukosuko ya kisiasa kama hii imekumba mataifa mengi ya Afrika miaka nenda rudi na kuchangia bara kudumaa na kuvia kiuchumi. Kenya imekuwa miongoni mwa mataifa yanayowapa faraja wakimbizi kutoka nchi jirani zinazokumbwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe, zikiwemo Somalia na Sudan. Kinaya ni kwamba Wakenya wamekuwa wakimbizi katika nchi yao wenyewe. Vita katika Somalia vimesababishwa na koo mbali mbali zinazopigania uongozi hali ambayo imekwamisha shughuli zote za kiuchumi. Hali ya sasa ya Kenya imechochewa na msururu wa sababu. Ukabila na tamaa ya uongozi zilionekana wazi katika miundo ya vyama vikuu vya kisiasa na katika kampeni zao. Wakenya walipiga kura kwa misingi ya kikabila kila upande ukitazamia mtu wao kushinda uchaguzi huo. Kwa upande mwingine, viongozi hao kutokana na tamaa ya uongozi walikuwa wameamua kushinda uchaguzi huo kwa vyovyote vile. Leo tunavuna matunda ya siasa za ukabila na tamaa ya mamlaka. Maelfu ya Wakenya ni wakimbizi nchini na katika nchi jirani ya Uganda. Wakenya hao wanahitaji msaada wa chakula na mahitaji mengine ya kimsingi. Serikali na Shirika la Msalaba Mwekundu zimefanya juhudi kuwasaidia wahasiriwa Lakini, kuna tetesi kwamba ubaguzi umejipenyeza katika ugawaji wa msaada huo. Waliopewa jukumu la kugawa msaada huo ni sharti waelewe kuwa waathiriwa ni Wakenya wenzao na hawafai kubaguliwa kwa misingi ya makabila yao. Matukio kama haya hayastahili kutukia asilani katika taifa hili. Twahitaji zao aali la viongozi wasiojitwika ubabe bali wawe watumishi wa wananchi. Wanastahili kutupilia mbali tamaa za kujilimbikizia mali na kung’ang’ania uongozi. Pia katiba inafaa irekebishwe. Wakenya wanastahili kuelimishwa kuhusu udugu na utaifa. Fauka ya haya, masuala yanayohusiana na umiliki wa ardhi yanafaa kutadarukiwa kwa dhati. Hivyo, tutaweza kuishi kwa amani na ule undugu ambao daima ndichi mhimili wa maendeleo yoyote.
Nani wanaishi katika kambi za watu wasio na makazi
{ "text": [ "Wakenya" ] }
4777_swa
Nchi yetu imeraukia mawio ya machafuzi ya kisiasa baada ya shughuli za uchaguzi zilizogonga mwamba mkuu. Hili lilijiri baada ya Tume ya Uchaguzi kukosa kuendeleza uchaguzi kwa njia iliyostahiki. Jambo hili lilizaa msukosuko wa kisiasa usiomithilishwa katika historia ya taifa letu. Hivi sasa Wakenya wanaishi kwenye kambi za watu wasio na makazi. Hiki ni kinaya kikuu kwani matukio haya yamezuka baada ya zaidi ya miongo minne ya uhuru. Vilio vya Wakenya vimeshamiri na kupaaza sauti vikilalamikia kukosa makazi, lishe na hata ndoa kusambaratika. Ndoa zimevunjika baada ya ‘wenyeji’ kuwatimua ‘wageni’ na damu kumwagika. Misukosuko ya kisiasa kama hii imekumba mataifa mengi ya Afrika miaka nenda rudi na kuchangia bara kudumaa na kuvia kiuchumi. Kenya imekuwa miongoni mwa mataifa yanayowapa faraja wakimbizi kutoka nchi jirani zinazokumbwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe, zikiwemo Somalia na Sudan. Kinaya ni kwamba Wakenya wamekuwa wakimbizi katika nchi yao wenyewe. Vita katika Somalia vimesababishwa na koo mbali mbali zinazopigania uongozi hali ambayo imekwamisha shughuli zote za kiuchumi. Hali ya sasa ya Kenya imechochewa na msururu wa sababu. Ukabila na tamaa ya uongozi zilionekana wazi katika miundo ya vyama vikuu vya kisiasa na katika kampeni zao. Wakenya walipiga kura kwa misingi ya kikabila kila upande ukitazamia mtu wao kushinda uchaguzi huo. Kwa upande mwingine, viongozi hao kutokana na tamaa ya uongozi walikuwa wameamua kushinda uchaguzi huo kwa vyovyote vile. Leo tunavuna matunda ya siasa za ukabila na tamaa ya mamlaka. Maelfu ya Wakenya ni wakimbizi nchini na katika nchi jirani ya Uganda. Wakenya hao wanahitaji msaada wa chakula na mahitaji mengine ya kimsingi. Serikali na Shirika la Msalaba Mwekundu zimefanya juhudi kuwasaidia wahasiriwa Lakini, kuna tetesi kwamba ubaguzi umejipenyeza katika ugawaji wa msaada huo. Waliopewa jukumu la kugawa msaada huo ni sharti waelewe kuwa waathiriwa ni Wakenya wenzao na hawafai kubaguliwa kwa misingi ya makabila yao. Matukio kama haya hayastahili kutukia asilani katika taifa hili. Twahitaji zao aali la viongozi wasiojitwika ubabe bali wawe watumishi wa wananchi. Wanastahili kutupilia mbali tamaa za kujilimbikizia mali na kung’ang’ania uongozi. Pia katiba inafaa irekebishwe. Wakenya wanastahili kuelimishwa kuhusu udugu na utaifa. Fauka ya haya, masuala yanayohusiana na umiliki wa ardhi yanafaa kutadarukiwa kwa dhati. Hivyo, tutaweza kuishi kwa amani na ule undugu ambao daima ndichi mhimili wa maendeleo yoyote.
Wakenya walipiga kura kwa misingi ipi
{ "text": [ "Kikabila" ] }
4777_swa
Nchi yetu imeraukia mawio ya machafuzi ya kisiasa baada ya shughuli za uchaguzi zilizogonga mwamba mkuu. Hili lilijiri baada ya Tume ya Uchaguzi kukosa kuendeleza uchaguzi kwa njia iliyostahiki. Jambo hili lilizaa msukosuko wa kisiasa usiomithilishwa katika historia ya taifa letu. Hivi sasa Wakenya wanaishi kwenye kambi za watu wasio na makazi. Hiki ni kinaya kikuu kwani matukio haya yamezuka baada ya zaidi ya miongo minne ya uhuru. Vilio vya Wakenya vimeshamiri na kupaaza sauti vikilalamikia kukosa makazi, lishe na hata ndoa kusambaratika. Ndoa zimevunjika baada ya ‘wenyeji’ kuwatimua ‘wageni’ na damu kumwagika. Misukosuko ya kisiasa kama hii imekumba mataifa mengi ya Afrika miaka nenda rudi na kuchangia bara kudumaa na kuvia kiuchumi. Kenya imekuwa miongoni mwa mataifa yanayowapa faraja wakimbizi kutoka nchi jirani zinazokumbwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe, zikiwemo Somalia na Sudan. Kinaya ni kwamba Wakenya wamekuwa wakimbizi katika nchi yao wenyewe. Vita katika Somalia vimesababishwa na koo mbali mbali zinazopigania uongozi hali ambayo imekwamisha shughuli zote za kiuchumi. Hali ya sasa ya Kenya imechochewa na msururu wa sababu. Ukabila na tamaa ya uongozi zilionekana wazi katika miundo ya vyama vikuu vya kisiasa na katika kampeni zao. Wakenya walipiga kura kwa misingi ya kikabila kila upande ukitazamia mtu wao kushinda uchaguzi huo. Kwa upande mwingine, viongozi hao kutokana na tamaa ya uongozi walikuwa wameamua kushinda uchaguzi huo kwa vyovyote vile. Leo tunavuna matunda ya siasa za ukabila na tamaa ya mamlaka. Maelfu ya Wakenya ni wakimbizi nchini na katika nchi jirani ya Uganda. Wakenya hao wanahitaji msaada wa chakula na mahitaji mengine ya kimsingi. Serikali na Shirika la Msalaba Mwekundu zimefanya juhudi kuwasaidia wahasiriwa Lakini, kuna tetesi kwamba ubaguzi umejipenyeza katika ugawaji wa msaada huo. Waliopewa jukumu la kugawa msaada huo ni sharti waelewe kuwa waathiriwa ni Wakenya wenzao na hawafai kubaguliwa kwa misingi ya makabila yao. Matukio kama haya hayastahili kutukia asilani katika taifa hili. Twahitaji zao aali la viongozi wasiojitwika ubabe bali wawe watumishi wa wananchi. Wanastahili kutupilia mbali tamaa za kujilimbikizia mali na kung’ang’ania uongozi. Pia katiba inafaa irekebishwe. Wakenya wanastahili kuelimishwa kuhusu udugu na utaifa. Fauka ya haya, masuala yanayohusiana na umiliki wa ardhi yanafaa kutadarukiwa kwa dhati. Hivyo, tutaweza kuishi kwa amani na ule undugu ambao daima ndichi mhimili wa maendeleo yoyote.
Maelfu ya Wakenya ni wakimbizi katika nchi gani
{ "text": [ "Uganda" ] }
4777_swa
Nchi yetu imeraukia mawio ya machafuzi ya kisiasa baada ya shughuli za uchaguzi zilizogonga mwamba mkuu. Hili lilijiri baada ya Tume ya Uchaguzi kukosa kuendeleza uchaguzi kwa njia iliyostahiki. Jambo hili lilizaa msukosuko wa kisiasa usiomithilishwa katika historia ya taifa letu. Hivi sasa Wakenya wanaishi kwenye kambi za watu wasio na makazi. Hiki ni kinaya kikuu kwani matukio haya yamezuka baada ya zaidi ya miongo minne ya uhuru. Vilio vya Wakenya vimeshamiri na kupaaza sauti vikilalamikia kukosa makazi, lishe na hata ndoa kusambaratika. Ndoa zimevunjika baada ya ‘wenyeji’ kuwatimua ‘wageni’ na damu kumwagika. Misukosuko ya kisiasa kama hii imekumba mataifa mengi ya Afrika miaka nenda rudi na kuchangia bara kudumaa na kuvia kiuchumi. Kenya imekuwa miongoni mwa mataifa yanayowapa faraja wakimbizi kutoka nchi jirani zinazokumbwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe, zikiwemo Somalia na Sudan. Kinaya ni kwamba Wakenya wamekuwa wakimbizi katika nchi yao wenyewe. Vita katika Somalia vimesababishwa na koo mbali mbali zinazopigania uongozi hali ambayo imekwamisha shughuli zote za kiuchumi. Hali ya sasa ya Kenya imechochewa na msururu wa sababu. Ukabila na tamaa ya uongozi zilionekana wazi katika miundo ya vyama vikuu vya kisiasa na katika kampeni zao. Wakenya walipiga kura kwa misingi ya kikabila kila upande ukitazamia mtu wao kushinda uchaguzi huo. Kwa upande mwingine, viongozi hao kutokana na tamaa ya uongozi walikuwa wameamua kushinda uchaguzi huo kwa vyovyote vile. Leo tunavuna matunda ya siasa za ukabila na tamaa ya mamlaka. Maelfu ya Wakenya ni wakimbizi nchini na katika nchi jirani ya Uganda. Wakenya hao wanahitaji msaada wa chakula na mahitaji mengine ya kimsingi. Serikali na Shirika la Msalaba Mwekundu zimefanya juhudi kuwasaidia wahasiriwa Lakini, kuna tetesi kwamba ubaguzi umejipenyeza katika ugawaji wa msaada huo. Waliopewa jukumu la kugawa msaada huo ni sharti waelewe kuwa waathiriwa ni Wakenya wenzao na hawafai kubaguliwa kwa misingi ya makabila yao. Matukio kama haya hayastahili kutukia asilani katika taifa hili. Twahitaji zao aali la viongozi wasiojitwika ubabe bali wawe watumishi wa wananchi. Wanastahili kutupilia mbali tamaa za kujilimbikizia mali na kung’ang’ania uongozi. Pia katiba inafaa irekebishwe. Wakenya wanastahili kuelimishwa kuhusu udugu na utaifa. Fauka ya haya, masuala yanayohusiana na umiliki wa ardhi yanafaa kutadarukiwa kwa dhati. Hivyo, tutaweza kuishi kwa amani na ule undugu ambao daima ndichi mhimili wa maendeleo yoyote.
Kwa nini Wakenya wanafaa kuelimishwa kuhusu undugu na utaifa
{ "text": [ "Ili kuzuia vita baada ya uchaguzi" ] }
4778_swa
Watu husema mengi kuhusu maisha, Wengine husema mtu anapozaliwa hatima yake huwa imeshaamuliwa na Mwenyezi na hata afanye nini hakuna wa kubadilisha, yaani kama majaaliwa yake ni awe mwizi stadi katika siku zake za halafu, basi atakuwa mwizi stadi bila shaka; kama majaaliwa yake ni awe daktari maarufu, basi atakuwa daktari mashuhuri, na kadhalika, Watu kama hawa wana msimamo sawa na ule wa raia wa Uyunani (Ugiriki) wanaoamini kuwa maisha ya kila binadamu yana sehemu mbili kuu: sehemu mbaya na sehemu nzuri. Wayunani hawa wanashikilia kuwa kila mtu lazima azionje sehemu zote mbili katika aushi yake na kwamba haiwezekani kuliepuka jambo hili. Watu hawa pia wanaamini kuwa miungu wao ndio wanaoamua maisha yao yatafuata mkondo gani. Yaani, wana imani kamili kwenye jaala eti kwa vile wino wa Mungu haufutiki. Kwa bahati mbaya, humu nchini mwetu wapo watu ambao wanashiriki imani hiyo ya majaaliwa. Wao wanaamini kuwa wanapozaliwa, kazi yao kuu ni kuponda raha kwani hatima yao Mungu anaijua na hata wafanye nini hawawezi kuibadilisha. Kwa hivyo kazi yao hapa ni kukaa sambejambe na kuingojea hatima hiyo. Ukipiga alinacha utagundua kuwa asilimia kubwa ya watu wanaishi katika ufukara mkubwa lakini si kwa sababu hayo ndiyo majaaliwa yao kama wanavyodai, lakini ni kutokana na tabia ya kufanya msirimbo miradi yote iliyo mbele yao. Maisha si majaaliwa. Hutegemea mipango na juhudi. Mtu asipojibidiisha na kupanga maisha yake vilivyo, basi bila shaka mambo yatamwendea mvange na ataishia kuishi maisha ya ufukara wa sina sinani. Ukitazama binadamu wengi katika nyanja mbalimbali, utaona kuwa hawana utaratibu imara wa kuendesha maisha yao. Chukua mfano wa vijana.Wao ndio waliokabiliwa vikali na tatizo hili. Wawapo shuleni, wengi wao hawana haja na elimu. Wanaamini kuwa shuleni ni pahali pa kuonjea utamu wa maisha huku wakingoja kubaleghe na kuoa au kuolewa. Wengi hujihusisha na vitendo vya ajabu kama kushiriki katika migomo. Sigara haziwatoki midomoni. Majira ya jioni hawapatikani tena shuleni kwani huwa wametorokea mijini na vitongojini kuponda raha. Dawa za kulevya nazo ndizo hizo. Wengine wanazielewa zote kwa majina hata wameshawahi kuonja kila sampuli ya dawa zenyewe. Si ajabu kuwa tayari baadhi yao ni wagonjwa wa ukosefu wa kinga mwilini. Wapo wale mahiri wa kufanya biashara yenyewe ya kusambaza dawa hizo za kulevya; walanguzi waliokubuhu hasa. Kuwepo kwao- shuleni hakuhusiani kwa vyovyote na elimu. La hasha. Ni mahali tu kwa kusukumia miradi yao hiyo. Wengine ni majambazi. Wao hushirikiana na wavunja sheria wengine kupora mali ya wenyewe bila ya mtu yeyote kuwashuku. Haya yote huweza kuonekana kama yamepigwa chuku. Lakini ukikumbuka hivi majuzi kifurushi kilichojaa bunduki kilipatikana chumbani mwa mwanafunzi mmoja chuoni, basi utaanza kuyaamini haya yote. Wanafunzi wengine huifanya kazi yao kuu kuwa ile ya kuwahangaisha wenzao. Katika baadhi ya shule, wanafunzi hasa wa kidato cha pili hujihusisha na vitendo vya kuwadhulumu wenzao wa kidato cha kwanza. Wengine wamefika kiwango cha kuwatisha na hata kuwapiga walimu wao. Wawapo huko nyumbani huwa ni balaa tupu. Baadhi yao huvaa mavazi ya ajabu. Kina dada huvaa nguo fupi kiasi kwamba utadhani wako uchi. Ukiwauliza kisa na maana wanakujibu kuwa eti ndio mtindo. Wengine huweka herini chungu nzima masikioni mwao na kujipaka rangi za kutisha midomoni. Wengine bila kusita hushirikiana kimwili na wavulana na hata wazee ambao huwafurahisha daima kwa darahima na zawadi kochokocho. Ugonjwa wa 'Ukimwi' si mgeni kwao. Sababu kuu ni kuwa wengine, hasa waliokulia mijini, wana mazoea ya kutembelea vilabu na kushiriki ulevi pamoja na ngono. Si ajabu kwamba baadhi yao wameenda jongomeo na wengine wako safarini kuelekea kuko huko. Wakikutana na kina dada watalii kutoka ng'ambo wanazuzuliwa na hizo ngozi zao nyeupe pepepe na kuapa kuwa nao pia ni lazima watakuwa kama wao. Wanafanya juu chini kutafuta ngwenje ili kujinunulia vipodozi aina aina vya kupaushia ngozi zao. Wasichana wengine hawasomi tena. Wametulia tuli kama maji mitungini humo majumbani wakiwanyonyesha wana wao waliopata kupitia harakati zao hizo. Wavulana nao hawaachwi nyuma. Neno ‘nidhamu’ ni istilahi mpya kwao. Wao wanaishi leo, kesho itajililia. Wengine nywele wameziacha kuwa matimtimu utadhani ni wajukuu wa majemedari wa vita vya Mau Mau. Wamejitoboa mashimo chungu nzima masikioni ili wavae herini mbilimbili au tatutatu kulingana na mtindo uliopo. Wengine hata nywele wameonelea bora kuzisuka ili wafanane sawa bin sawa na akina dada. Na ili wasiachwe nyuma sana na kina dada hao, hawasahau kuvaa mikufu inayong'ara kuliko hiyo ya akina dada. Nayo mitindo ya nguo huzihangaisha akili zao saa ishirini na nne za kutwa. Macho na masikio yao hukaa chonjo kila dakika ili wafahamu ni mitindo gani mipya iliyoingia hasa kutoka ng'ambo kunakoishi wazungu wenyewe. Wengine nywele wameziweka 'kalikiti'. Suruali wanavaa zilizoganda mwilini utadhani zimewekwa gundi. Nao wengine wana mikururo ya marafiki wasichana. Ukiwauliza kisa na maana ya kutongoja hadi wakati ufike wanasema ndio mtindo. Ukiwauliza na 'Ukimwi je? Wanakuchezesha kayamba huku wakilumba kuwa Ukimwi ni porojo tupu; eti wamefanya vituko vyao miaka yote hiyo; inakuwaje hawajaenda na ulele ngoma? Hata hivyo, kwa vile unga wa manga si dawaya chongo, baada ya pata shika zote hizo, kilichokuwa na mwanzo kinaanza kufikia hatima yake. Ukweli unaanza kuchukua mahali pake. Muda ambao wangetumia kujizatiti kwa minajili ya siku za baadaye wanashtukia ghafla kuwa tayari umeshawapa kisogo. Majuto na mikasa inawafuata unyo unyo. Ni muhimu sana vijana kufungua macho yao ili kuona mwanga.Wanafaa kuelewa fika kuwa ujana ni moshi tu. Dakika hii upo, dakika nyingine ushatoweka. Mungu alipoamua kuwa kila binadamu ni lazima apitie ujanani alikuwa na sababu maalumu. Ujana ni kipindi cha maisha cha kujifunga masombo kwa majukumu ya baadaye. Ni kipindi cha kujitafutia maarifa tunu. Iwapo hali ni kinyume, basi mambo hayana budi kwenda mrama.
Nani huamua hatima ya mtu
{ "text": [ "Mwenyezi" ] }
4778_swa
Watu husema mengi kuhusu maisha, Wengine husema mtu anapozaliwa hatima yake huwa imeshaamuliwa na Mwenyezi na hata afanye nini hakuna wa kubadilisha, yaani kama majaaliwa yake ni awe mwizi stadi katika siku zake za halafu, basi atakuwa mwizi stadi bila shaka; kama majaaliwa yake ni awe daktari maarufu, basi atakuwa daktari mashuhuri, na kadhalika, Watu kama hawa wana msimamo sawa na ule wa raia wa Uyunani (Ugiriki) wanaoamini kuwa maisha ya kila binadamu yana sehemu mbili kuu: sehemu mbaya na sehemu nzuri. Wayunani hawa wanashikilia kuwa kila mtu lazima azionje sehemu zote mbili katika aushi yake na kwamba haiwezekani kuliepuka jambo hili. Watu hawa pia wanaamini kuwa miungu wao ndio wanaoamua maisha yao yatafuata mkondo gani. Yaani, wana imani kamili kwenye jaala eti kwa vile wino wa Mungu haufutiki. Kwa bahati mbaya, humu nchini mwetu wapo watu ambao wanashiriki imani hiyo ya majaaliwa. Wao wanaamini kuwa wanapozaliwa, kazi yao kuu ni kuponda raha kwani hatima yao Mungu anaijua na hata wafanye nini hawawezi kuibadilisha. Kwa hivyo kazi yao hapa ni kukaa sambejambe na kuingojea hatima hiyo. Ukipiga alinacha utagundua kuwa asilimia kubwa ya watu wanaishi katika ufukara mkubwa lakini si kwa sababu hayo ndiyo majaaliwa yao kama wanavyodai, lakini ni kutokana na tabia ya kufanya msirimbo miradi yote iliyo mbele yao. Maisha si majaaliwa. Hutegemea mipango na juhudi. Mtu asipojibidiisha na kupanga maisha yake vilivyo, basi bila shaka mambo yatamwendea mvange na ataishia kuishi maisha ya ufukara wa sina sinani. Ukitazama binadamu wengi katika nyanja mbalimbali, utaona kuwa hawana utaratibu imara wa kuendesha maisha yao. Chukua mfano wa vijana.Wao ndio waliokabiliwa vikali na tatizo hili. Wawapo shuleni, wengi wao hawana haja na elimu. Wanaamini kuwa shuleni ni pahali pa kuonjea utamu wa maisha huku wakingoja kubaleghe na kuoa au kuolewa. Wengi hujihusisha na vitendo vya ajabu kama kushiriki katika migomo. Sigara haziwatoki midomoni. Majira ya jioni hawapatikani tena shuleni kwani huwa wametorokea mijini na vitongojini kuponda raha. Dawa za kulevya nazo ndizo hizo. Wengine wanazielewa zote kwa majina hata wameshawahi kuonja kila sampuli ya dawa zenyewe. Si ajabu kuwa tayari baadhi yao ni wagonjwa wa ukosefu wa kinga mwilini. Wapo wale mahiri wa kufanya biashara yenyewe ya kusambaza dawa hizo za kulevya; walanguzi waliokubuhu hasa. Kuwepo kwao- shuleni hakuhusiani kwa vyovyote na elimu. La hasha. Ni mahali tu kwa kusukumia miradi yao hiyo. Wengine ni majambazi. Wao hushirikiana na wavunja sheria wengine kupora mali ya wenyewe bila ya mtu yeyote kuwashuku. Haya yote huweza kuonekana kama yamepigwa chuku. Lakini ukikumbuka hivi majuzi kifurushi kilichojaa bunduki kilipatikana chumbani mwa mwanafunzi mmoja chuoni, basi utaanza kuyaamini haya yote. Wanafunzi wengine huifanya kazi yao kuu kuwa ile ya kuwahangaisha wenzao. Katika baadhi ya shule, wanafunzi hasa wa kidato cha pili hujihusisha na vitendo vya kuwadhulumu wenzao wa kidato cha kwanza. Wengine wamefika kiwango cha kuwatisha na hata kuwapiga walimu wao. Wawapo huko nyumbani huwa ni balaa tupu. Baadhi yao huvaa mavazi ya ajabu. Kina dada huvaa nguo fupi kiasi kwamba utadhani wako uchi. Ukiwauliza kisa na maana wanakujibu kuwa eti ndio mtindo. Wengine huweka herini chungu nzima masikioni mwao na kujipaka rangi za kutisha midomoni. Wengine bila kusita hushirikiana kimwili na wavulana na hata wazee ambao huwafurahisha daima kwa darahima na zawadi kochokocho. Ugonjwa wa 'Ukimwi' si mgeni kwao. Sababu kuu ni kuwa wengine, hasa waliokulia mijini, wana mazoea ya kutembelea vilabu na kushiriki ulevi pamoja na ngono. Si ajabu kwamba baadhi yao wameenda jongomeo na wengine wako safarini kuelekea kuko huko. Wakikutana na kina dada watalii kutoka ng'ambo wanazuzuliwa na hizo ngozi zao nyeupe pepepe na kuapa kuwa nao pia ni lazima watakuwa kama wao. Wanafanya juu chini kutafuta ngwenje ili kujinunulia vipodozi aina aina vya kupaushia ngozi zao. Wasichana wengine hawasomi tena. Wametulia tuli kama maji mitungini humo majumbani wakiwanyonyesha wana wao waliopata kupitia harakati zao hizo. Wavulana nao hawaachwi nyuma. Neno ‘nidhamu’ ni istilahi mpya kwao. Wao wanaishi leo, kesho itajililia. Wengine nywele wameziacha kuwa matimtimu utadhani ni wajukuu wa majemedari wa vita vya Mau Mau. Wamejitoboa mashimo chungu nzima masikioni ili wavae herini mbilimbili au tatutatu kulingana na mtindo uliopo. Wengine hata nywele wameonelea bora kuzisuka ili wafanane sawa bin sawa na akina dada. Na ili wasiachwe nyuma sana na kina dada hao, hawasahau kuvaa mikufu inayong'ara kuliko hiyo ya akina dada. Nayo mitindo ya nguo huzihangaisha akili zao saa ishirini na nne za kutwa. Macho na masikio yao hukaa chonjo kila dakika ili wafahamu ni mitindo gani mipya iliyoingia hasa kutoka ng'ambo kunakoishi wazungu wenyewe. Wengine nywele wameziweka 'kalikiti'. Suruali wanavaa zilizoganda mwilini utadhani zimewekwa gundi. Nao wengine wana mikururo ya marafiki wasichana. Ukiwauliza kisa na maana ya kutongoja hadi wakati ufike wanasema ndio mtindo. Ukiwauliza na 'Ukimwi je? Wanakuchezesha kayamba huku wakilumba kuwa Ukimwi ni porojo tupu; eti wamefanya vituko vyao miaka yote hiyo; inakuwaje hawajaenda na ulele ngoma? Hata hivyo, kwa vile unga wa manga si dawaya chongo, baada ya pata shika zote hizo, kilichokuwa na mwanzo kinaanza kufikia hatima yake. Ukweli unaanza kuchukua mahali pake. Muda ambao wangetumia kujizatiti kwa minajili ya siku za baadaye wanashtukia ghafla kuwa tayari umeshawapa kisogo. Majuto na mikasa inawafuata unyo unyo. Ni muhimu sana vijana kufungua macho yao ili kuona mwanga.Wanafaa kuelewa fika kuwa ujana ni moshi tu. Dakika hii upo, dakika nyingine ushatoweka. Mungu alipoamua kuwa kila binadamu ni lazima apitie ujanani alikuwa na sababu maalumu. Ujana ni kipindi cha maisha cha kujifunga masombo kwa majukumu ya baadaye. Ni kipindi cha kujitafutia maarifa tunu. Iwapo hali ni kinyume, basi mambo hayana budi kwenda mrama.
Maisha ya binadamu yana sehemu ngapi kuu
{ "text": [ "Mbili ~nzuri na mbaya" ] }
4778_swa
Watu husema mengi kuhusu maisha, Wengine husema mtu anapozaliwa hatima yake huwa imeshaamuliwa na Mwenyezi na hata afanye nini hakuna wa kubadilisha, yaani kama majaaliwa yake ni awe mwizi stadi katika siku zake za halafu, basi atakuwa mwizi stadi bila shaka; kama majaaliwa yake ni awe daktari maarufu, basi atakuwa daktari mashuhuri, na kadhalika, Watu kama hawa wana msimamo sawa na ule wa raia wa Uyunani (Ugiriki) wanaoamini kuwa maisha ya kila binadamu yana sehemu mbili kuu: sehemu mbaya na sehemu nzuri. Wayunani hawa wanashikilia kuwa kila mtu lazima azionje sehemu zote mbili katika aushi yake na kwamba haiwezekani kuliepuka jambo hili. Watu hawa pia wanaamini kuwa miungu wao ndio wanaoamua maisha yao yatafuata mkondo gani. Yaani, wana imani kamili kwenye jaala eti kwa vile wino wa Mungu haufutiki. Kwa bahati mbaya, humu nchini mwetu wapo watu ambao wanashiriki imani hiyo ya majaaliwa. Wao wanaamini kuwa wanapozaliwa, kazi yao kuu ni kuponda raha kwani hatima yao Mungu anaijua na hata wafanye nini hawawezi kuibadilisha. Kwa hivyo kazi yao hapa ni kukaa sambejambe na kuingojea hatima hiyo. Ukipiga alinacha utagundua kuwa asilimia kubwa ya watu wanaishi katika ufukara mkubwa lakini si kwa sababu hayo ndiyo majaaliwa yao kama wanavyodai, lakini ni kutokana na tabia ya kufanya msirimbo miradi yote iliyo mbele yao. Maisha si majaaliwa. Hutegemea mipango na juhudi. Mtu asipojibidiisha na kupanga maisha yake vilivyo, basi bila shaka mambo yatamwendea mvange na ataishia kuishi maisha ya ufukara wa sina sinani. Ukitazama binadamu wengi katika nyanja mbalimbali, utaona kuwa hawana utaratibu imara wa kuendesha maisha yao. Chukua mfano wa vijana.Wao ndio waliokabiliwa vikali na tatizo hili. Wawapo shuleni, wengi wao hawana haja na elimu. Wanaamini kuwa shuleni ni pahali pa kuonjea utamu wa maisha huku wakingoja kubaleghe na kuoa au kuolewa. Wengi hujihusisha na vitendo vya ajabu kama kushiriki katika migomo. Sigara haziwatoki midomoni. Majira ya jioni hawapatikani tena shuleni kwani huwa wametorokea mijini na vitongojini kuponda raha. Dawa za kulevya nazo ndizo hizo. Wengine wanazielewa zote kwa majina hata wameshawahi kuonja kila sampuli ya dawa zenyewe. Si ajabu kuwa tayari baadhi yao ni wagonjwa wa ukosefu wa kinga mwilini. Wapo wale mahiri wa kufanya biashara yenyewe ya kusambaza dawa hizo za kulevya; walanguzi waliokubuhu hasa. Kuwepo kwao- shuleni hakuhusiani kwa vyovyote na elimu. La hasha. Ni mahali tu kwa kusukumia miradi yao hiyo. Wengine ni majambazi. Wao hushirikiana na wavunja sheria wengine kupora mali ya wenyewe bila ya mtu yeyote kuwashuku. Haya yote huweza kuonekana kama yamepigwa chuku. Lakini ukikumbuka hivi majuzi kifurushi kilichojaa bunduki kilipatikana chumbani mwa mwanafunzi mmoja chuoni, basi utaanza kuyaamini haya yote. Wanafunzi wengine huifanya kazi yao kuu kuwa ile ya kuwahangaisha wenzao. Katika baadhi ya shule, wanafunzi hasa wa kidato cha pili hujihusisha na vitendo vya kuwadhulumu wenzao wa kidato cha kwanza. Wengine wamefika kiwango cha kuwatisha na hata kuwapiga walimu wao. Wawapo huko nyumbani huwa ni balaa tupu. Baadhi yao huvaa mavazi ya ajabu. Kina dada huvaa nguo fupi kiasi kwamba utadhani wako uchi. Ukiwauliza kisa na maana wanakujibu kuwa eti ndio mtindo. Wengine huweka herini chungu nzima masikioni mwao na kujipaka rangi za kutisha midomoni. Wengine bila kusita hushirikiana kimwili na wavulana na hata wazee ambao huwafurahisha daima kwa darahima na zawadi kochokocho. Ugonjwa wa 'Ukimwi' si mgeni kwao. Sababu kuu ni kuwa wengine, hasa waliokulia mijini, wana mazoea ya kutembelea vilabu na kushiriki ulevi pamoja na ngono. Si ajabu kwamba baadhi yao wameenda jongomeo na wengine wako safarini kuelekea kuko huko. Wakikutana na kina dada watalii kutoka ng'ambo wanazuzuliwa na hizo ngozi zao nyeupe pepepe na kuapa kuwa nao pia ni lazima watakuwa kama wao. Wanafanya juu chini kutafuta ngwenje ili kujinunulia vipodozi aina aina vya kupaushia ngozi zao. Wasichana wengine hawasomi tena. Wametulia tuli kama maji mitungini humo majumbani wakiwanyonyesha wana wao waliopata kupitia harakati zao hizo. Wavulana nao hawaachwi nyuma. Neno ‘nidhamu’ ni istilahi mpya kwao. Wao wanaishi leo, kesho itajililia. Wengine nywele wameziacha kuwa matimtimu utadhani ni wajukuu wa majemedari wa vita vya Mau Mau. Wamejitoboa mashimo chungu nzima masikioni ili wavae herini mbilimbili au tatutatu kulingana na mtindo uliopo. Wengine hata nywele wameonelea bora kuzisuka ili wafanane sawa bin sawa na akina dada. Na ili wasiachwe nyuma sana na kina dada hao, hawasahau kuvaa mikufu inayong'ara kuliko hiyo ya akina dada. Nayo mitindo ya nguo huzihangaisha akili zao saa ishirini na nne za kutwa. Macho na masikio yao hukaa chonjo kila dakika ili wafahamu ni mitindo gani mipya iliyoingia hasa kutoka ng'ambo kunakoishi wazungu wenyewe. Wengine nywele wameziweka 'kalikiti'. Suruali wanavaa zilizoganda mwilini utadhani zimewekwa gundi. Nao wengine wana mikururo ya marafiki wasichana. Ukiwauliza kisa na maana ya kutongoja hadi wakati ufike wanasema ndio mtindo. Ukiwauliza na 'Ukimwi je? Wanakuchezesha kayamba huku wakilumba kuwa Ukimwi ni porojo tupu; eti wamefanya vituko vyao miaka yote hiyo; inakuwaje hawajaenda na ulele ngoma? Hata hivyo, kwa vile unga wa manga si dawaya chongo, baada ya pata shika zote hizo, kilichokuwa na mwanzo kinaanza kufikia hatima yake. Ukweli unaanza kuchukua mahali pake. Muda ambao wangetumia kujizatiti kwa minajili ya siku za baadaye wanashtukia ghafla kuwa tayari umeshawapa kisogo. Majuto na mikasa inawafuata unyo unyo. Ni muhimu sana vijana kufungua macho yao ili kuona mwanga.Wanafaa kuelewa fika kuwa ujana ni moshi tu. Dakika hii upo, dakika nyingine ushatoweka. Mungu alipoamua kuwa kila binadamu ni lazima apitie ujanani alikuwa na sababu maalumu. Ujana ni kipindi cha maisha cha kujifunga masombo kwa majukumu ya baadaye. Ni kipindi cha kujitafutia maarifa tunu. Iwapo hali ni kinyume, basi mambo hayana budi kwenda mrama.
Mtu asipojibiidisha huishi maisha gani
{ "text": [ "Ya ufukara" ] }
4778_swa
Watu husema mengi kuhusu maisha, Wengine husema mtu anapozaliwa hatima yake huwa imeshaamuliwa na Mwenyezi na hata afanye nini hakuna wa kubadilisha, yaani kama majaaliwa yake ni awe mwizi stadi katika siku zake za halafu, basi atakuwa mwizi stadi bila shaka; kama majaaliwa yake ni awe daktari maarufu, basi atakuwa daktari mashuhuri, na kadhalika, Watu kama hawa wana msimamo sawa na ule wa raia wa Uyunani (Ugiriki) wanaoamini kuwa maisha ya kila binadamu yana sehemu mbili kuu: sehemu mbaya na sehemu nzuri. Wayunani hawa wanashikilia kuwa kila mtu lazima azionje sehemu zote mbili katika aushi yake na kwamba haiwezekani kuliepuka jambo hili. Watu hawa pia wanaamini kuwa miungu wao ndio wanaoamua maisha yao yatafuata mkondo gani. Yaani, wana imani kamili kwenye jaala eti kwa vile wino wa Mungu haufutiki. Kwa bahati mbaya, humu nchini mwetu wapo watu ambao wanashiriki imani hiyo ya majaaliwa. Wao wanaamini kuwa wanapozaliwa, kazi yao kuu ni kuponda raha kwani hatima yao Mungu anaijua na hata wafanye nini hawawezi kuibadilisha. Kwa hivyo kazi yao hapa ni kukaa sambejambe na kuingojea hatima hiyo. Ukipiga alinacha utagundua kuwa asilimia kubwa ya watu wanaishi katika ufukara mkubwa lakini si kwa sababu hayo ndiyo majaaliwa yao kama wanavyodai, lakini ni kutokana na tabia ya kufanya msirimbo miradi yote iliyo mbele yao. Maisha si majaaliwa. Hutegemea mipango na juhudi. Mtu asipojibidiisha na kupanga maisha yake vilivyo, basi bila shaka mambo yatamwendea mvange na ataishia kuishi maisha ya ufukara wa sina sinani. Ukitazama binadamu wengi katika nyanja mbalimbali, utaona kuwa hawana utaratibu imara wa kuendesha maisha yao. Chukua mfano wa vijana.Wao ndio waliokabiliwa vikali na tatizo hili. Wawapo shuleni, wengi wao hawana haja na elimu. Wanaamini kuwa shuleni ni pahali pa kuonjea utamu wa maisha huku wakingoja kubaleghe na kuoa au kuolewa. Wengi hujihusisha na vitendo vya ajabu kama kushiriki katika migomo. Sigara haziwatoki midomoni. Majira ya jioni hawapatikani tena shuleni kwani huwa wametorokea mijini na vitongojini kuponda raha. Dawa za kulevya nazo ndizo hizo. Wengine wanazielewa zote kwa majina hata wameshawahi kuonja kila sampuli ya dawa zenyewe. Si ajabu kuwa tayari baadhi yao ni wagonjwa wa ukosefu wa kinga mwilini. Wapo wale mahiri wa kufanya biashara yenyewe ya kusambaza dawa hizo za kulevya; walanguzi waliokubuhu hasa. Kuwepo kwao- shuleni hakuhusiani kwa vyovyote na elimu. La hasha. Ni mahali tu kwa kusukumia miradi yao hiyo. Wengine ni majambazi. Wao hushirikiana na wavunja sheria wengine kupora mali ya wenyewe bila ya mtu yeyote kuwashuku. Haya yote huweza kuonekana kama yamepigwa chuku. Lakini ukikumbuka hivi majuzi kifurushi kilichojaa bunduki kilipatikana chumbani mwa mwanafunzi mmoja chuoni, basi utaanza kuyaamini haya yote. Wanafunzi wengine huifanya kazi yao kuu kuwa ile ya kuwahangaisha wenzao. Katika baadhi ya shule, wanafunzi hasa wa kidato cha pili hujihusisha na vitendo vya kuwadhulumu wenzao wa kidato cha kwanza. Wengine wamefika kiwango cha kuwatisha na hata kuwapiga walimu wao. Wawapo huko nyumbani huwa ni balaa tupu. Baadhi yao huvaa mavazi ya ajabu. Kina dada huvaa nguo fupi kiasi kwamba utadhani wako uchi. Ukiwauliza kisa na maana wanakujibu kuwa eti ndio mtindo. Wengine huweka herini chungu nzima masikioni mwao na kujipaka rangi za kutisha midomoni. Wengine bila kusita hushirikiana kimwili na wavulana na hata wazee ambao huwafurahisha daima kwa darahima na zawadi kochokocho. Ugonjwa wa 'Ukimwi' si mgeni kwao. Sababu kuu ni kuwa wengine, hasa waliokulia mijini, wana mazoea ya kutembelea vilabu na kushiriki ulevi pamoja na ngono. Si ajabu kwamba baadhi yao wameenda jongomeo na wengine wako safarini kuelekea kuko huko. Wakikutana na kina dada watalii kutoka ng'ambo wanazuzuliwa na hizo ngozi zao nyeupe pepepe na kuapa kuwa nao pia ni lazima watakuwa kama wao. Wanafanya juu chini kutafuta ngwenje ili kujinunulia vipodozi aina aina vya kupaushia ngozi zao. Wasichana wengine hawasomi tena. Wametulia tuli kama maji mitungini humo majumbani wakiwanyonyesha wana wao waliopata kupitia harakati zao hizo. Wavulana nao hawaachwi nyuma. Neno ‘nidhamu’ ni istilahi mpya kwao. Wao wanaishi leo, kesho itajililia. Wengine nywele wameziacha kuwa matimtimu utadhani ni wajukuu wa majemedari wa vita vya Mau Mau. Wamejitoboa mashimo chungu nzima masikioni ili wavae herini mbilimbili au tatutatu kulingana na mtindo uliopo. Wengine hata nywele wameonelea bora kuzisuka ili wafanane sawa bin sawa na akina dada. Na ili wasiachwe nyuma sana na kina dada hao, hawasahau kuvaa mikufu inayong'ara kuliko hiyo ya akina dada. Nayo mitindo ya nguo huzihangaisha akili zao saa ishirini na nne za kutwa. Macho na masikio yao hukaa chonjo kila dakika ili wafahamu ni mitindo gani mipya iliyoingia hasa kutoka ng'ambo kunakoishi wazungu wenyewe. Wengine nywele wameziweka 'kalikiti'. Suruali wanavaa zilizoganda mwilini utadhani zimewekwa gundi. Nao wengine wana mikururo ya marafiki wasichana. Ukiwauliza kisa na maana ya kutongoja hadi wakati ufike wanasema ndio mtindo. Ukiwauliza na 'Ukimwi je? Wanakuchezesha kayamba huku wakilumba kuwa Ukimwi ni porojo tupu; eti wamefanya vituko vyao miaka yote hiyo; inakuwaje hawajaenda na ulele ngoma? Hata hivyo, kwa vile unga wa manga si dawaya chongo, baada ya pata shika zote hizo, kilichokuwa na mwanzo kinaanza kufikia hatima yake. Ukweli unaanza kuchukua mahali pake. Muda ambao wangetumia kujizatiti kwa minajili ya siku za baadaye wanashtukia ghafla kuwa tayari umeshawapa kisogo. Majuto na mikasa inawafuata unyo unyo. Ni muhimu sana vijana kufungua macho yao ili kuona mwanga.Wanafaa kuelewa fika kuwa ujana ni moshi tu. Dakika hii upo, dakika nyingine ushatoweka. Mungu alipoamua kuwa kila binadamu ni lazima apitie ujanani alikuwa na sababu maalumu. Ujana ni kipindi cha maisha cha kujifunga masombo kwa majukumu ya baadaye. Ni kipindi cha kujitafutia maarifa tunu. Iwapo hali ni kinyume, basi mambo hayana budi kwenda mrama.
Ni kina nani wakiwa shuleni hawana haja na elimu
{ "text": [ "Vijana" ] }
4778_swa
Watu husema mengi kuhusu maisha, Wengine husema mtu anapozaliwa hatima yake huwa imeshaamuliwa na Mwenyezi na hata afanye nini hakuna wa kubadilisha, yaani kama majaaliwa yake ni awe mwizi stadi katika siku zake za halafu, basi atakuwa mwizi stadi bila shaka; kama majaaliwa yake ni awe daktari maarufu, basi atakuwa daktari mashuhuri, na kadhalika, Watu kama hawa wana msimamo sawa na ule wa raia wa Uyunani (Ugiriki) wanaoamini kuwa maisha ya kila binadamu yana sehemu mbili kuu: sehemu mbaya na sehemu nzuri. Wayunani hawa wanashikilia kuwa kila mtu lazima azionje sehemu zote mbili katika aushi yake na kwamba haiwezekani kuliepuka jambo hili. Watu hawa pia wanaamini kuwa miungu wao ndio wanaoamua maisha yao yatafuata mkondo gani. Yaani, wana imani kamili kwenye jaala eti kwa vile wino wa Mungu haufutiki. Kwa bahati mbaya, humu nchini mwetu wapo watu ambao wanashiriki imani hiyo ya majaaliwa. Wao wanaamini kuwa wanapozaliwa, kazi yao kuu ni kuponda raha kwani hatima yao Mungu anaijua na hata wafanye nini hawawezi kuibadilisha. Kwa hivyo kazi yao hapa ni kukaa sambejambe na kuingojea hatima hiyo. Ukipiga alinacha utagundua kuwa asilimia kubwa ya watu wanaishi katika ufukara mkubwa lakini si kwa sababu hayo ndiyo majaaliwa yao kama wanavyodai, lakini ni kutokana na tabia ya kufanya msirimbo miradi yote iliyo mbele yao. Maisha si majaaliwa. Hutegemea mipango na juhudi. Mtu asipojibidiisha na kupanga maisha yake vilivyo, basi bila shaka mambo yatamwendea mvange na ataishia kuishi maisha ya ufukara wa sina sinani. Ukitazama binadamu wengi katika nyanja mbalimbali, utaona kuwa hawana utaratibu imara wa kuendesha maisha yao. Chukua mfano wa vijana.Wao ndio waliokabiliwa vikali na tatizo hili. Wawapo shuleni, wengi wao hawana haja na elimu. Wanaamini kuwa shuleni ni pahali pa kuonjea utamu wa maisha huku wakingoja kubaleghe na kuoa au kuolewa. Wengi hujihusisha na vitendo vya ajabu kama kushiriki katika migomo. Sigara haziwatoki midomoni. Majira ya jioni hawapatikani tena shuleni kwani huwa wametorokea mijini na vitongojini kuponda raha. Dawa za kulevya nazo ndizo hizo. Wengine wanazielewa zote kwa majina hata wameshawahi kuonja kila sampuli ya dawa zenyewe. Si ajabu kuwa tayari baadhi yao ni wagonjwa wa ukosefu wa kinga mwilini. Wapo wale mahiri wa kufanya biashara yenyewe ya kusambaza dawa hizo za kulevya; walanguzi waliokubuhu hasa. Kuwepo kwao- shuleni hakuhusiani kwa vyovyote na elimu. La hasha. Ni mahali tu kwa kusukumia miradi yao hiyo. Wengine ni majambazi. Wao hushirikiana na wavunja sheria wengine kupora mali ya wenyewe bila ya mtu yeyote kuwashuku. Haya yote huweza kuonekana kama yamepigwa chuku. Lakini ukikumbuka hivi majuzi kifurushi kilichojaa bunduki kilipatikana chumbani mwa mwanafunzi mmoja chuoni, basi utaanza kuyaamini haya yote. Wanafunzi wengine huifanya kazi yao kuu kuwa ile ya kuwahangaisha wenzao. Katika baadhi ya shule, wanafunzi hasa wa kidato cha pili hujihusisha na vitendo vya kuwadhulumu wenzao wa kidato cha kwanza. Wengine wamefika kiwango cha kuwatisha na hata kuwapiga walimu wao. Wawapo huko nyumbani huwa ni balaa tupu. Baadhi yao huvaa mavazi ya ajabu. Kina dada huvaa nguo fupi kiasi kwamba utadhani wako uchi. Ukiwauliza kisa na maana wanakujibu kuwa eti ndio mtindo. Wengine huweka herini chungu nzima masikioni mwao na kujipaka rangi za kutisha midomoni. Wengine bila kusita hushirikiana kimwili na wavulana na hata wazee ambao huwafurahisha daima kwa darahima na zawadi kochokocho. Ugonjwa wa 'Ukimwi' si mgeni kwao. Sababu kuu ni kuwa wengine, hasa waliokulia mijini, wana mazoea ya kutembelea vilabu na kushiriki ulevi pamoja na ngono. Si ajabu kwamba baadhi yao wameenda jongomeo na wengine wako safarini kuelekea kuko huko. Wakikutana na kina dada watalii kutoka ng'ambo wanazuzuliwa na hizo ngozi zao nyeupe pepepe na kuapa kuwa nao pia ni lazima watakuwa kama wao. Wanafanya juu chini kutafuta ngwenje ili kujinunulia vipodozi aina aina vya kupaushia ngozi zao. Wasichana wengine hawasomi tena. Wametulia tuli kama maji mitungini humo majumbani wakiwanyonyesha wana wao waliopata kupitia harakati zao hizo. Wavulana nao hawaachwi nyuma. Neno ‘nidhamu’ ni istilahi mpya kwao. Wao wanaishi leo, kesho itajililia. Wengine nywele wameziacha kuwa matimtimu utadhani ni wajukuu wa majemedari wa vita vya Mau Mau. Wamejitoboa mashimo chungu nzima masikioni ili wavae herini mbilimbili au tatutatu kulingana na mtindo uliopo. Wengine hata nywele wameonelea bora kuzisuka ili wafanane sawa bin sawa na akina dada. Na ili wasiachwe nyuma sana na kina dada hao, hawasahau kuvaa mikufu inayong'ara kuliko hiyo ya akina dada. Nayo mitindo ya nguo huzihangaisha akili zao saa ishirini na nne za kutwa. Macho na masikio yao hukaa chonjo kila dakika ili wafahamu ni mitindo gani mipya iliyoingia hasa kutoka ng'ambo kunakoishi wazungu wenyewe. Wengine nywele wameziweka 'kalikiti'. Suruali wanavaa zilizoganda mwilini utadhani zimewekwa gundi. Nao wengine wana mikururo ya marafiki wasichana. Ukiwauliza kisa na maana ya kutongoja hadi wakati ufike wanasema ndio mtindo. Ukiwauliza na 'Ukimwi je? Wanakuchezesha kayamba huku wakilumba kuwa Ukimwi ni porojo tupu; eti wamefanya vituko vyao miaka yote hiyo; inakuwaje hawajaenda na ulele ngoma? Hata hivyo, kwa vile unga wa manga si dawaya chongo, baada ya pata shika zote hizo, kilichokuwa na mwanzo kinaanza kufikia hatima yake. Ukweli unaanza kuchukua mahali pake. Muda ambao wangetumia kujizatiti kwa minajili ya siku za baadaye wanashtukia ghafla kuwa tayari umeshawapa kisogo. Majuto na mikasa inawafuata unyo unyo. Ni muhimu sana vijana kufungua macho yao ili kuona mwanga.Wanafaa kuelewa fika kuwa ujana ni moshi tu. Dakika hii upo, dakika nyingine ushatoweka. Mungu alipoamua kuwa kila binadamu ni lazima apitie ujanani alikuwa na sababu maalumu. Ujana ni kipindi cha maisha cha kujifunga masombo kwa majukumu ya baadaye. Ni kipindi cha kujitafutia maarifa tunu. Iwapo hali ni kinyume, basi mambo hayana budi kwenda mrama.
Vijana hujihusisha na vitendo vipi vya ajabu
{ "text": [ "Kushiriki migomo na kuvuta sigara" ] }
4779_swa
JERAHA LA MAHABA Maisha ya mapenzi kweli hayana huruma iwe wewe ni jahili au mwerevu yanakufanya upoteze fikra za utu .Sikupenda jinsi watu walivyojitosa kwa mapenzi wangali katika shule ya upili au shule ya msingi yote niliyaona Kama kukosa adabu na kukosa dira katika maisha yao.Wote walijibanza kwa mahaba wakidai kuwa wanaipata raha wakipenda na kupendwa. Waliyoniambia yalinipa utashi wa kutaka kuipata furaha waliyoizungumzia.Lakini sikujua nianzie wapi kwa sababu nilikuwa bado msungo Kama wasemavyo wengine waliofundwa.Nilikuwa na ari ya kuharamia nijue jinsi ya kuanza kupenda na jinsi ya kupendwa na jinsi furaha inapatikana kwenye hayo mapenzi. Nilitamani kugubua Siri iliyokuwa imejibanza katika mapenzi .Nilipomaliza kidato cha nne nilifaulu kuendelea na masomo yangu katika chuo kikuu. Hapo ndipo maisha ya mapenzi yalipong'oa nanga kama nilivyokuwa nimeyafikiri .Nilijaribu kutalii ulimwengu wa mapenzi ili niweze kuyaona yote ambayo nilijizuia kuyajua kwa takriban miaka kumi na Saba . Hata hivyo nilikuwa na woga chungu nzima kwani bado niliogopa jinsi watu wengine walivyoyakashifu mapenzi kuwa hakuna mapenzi ya kweli ila ni kupotezeana muda na hata kupata msongo wa mawazo unaoletwa na mfarakano kati ya wapendanao.Hata hivyo Mimi nilitaka kung'amua hasa furaha inayoletwa na mapenzi Wala sikutaka kujishughulisha kujua Kama pia penzi linaweza kukugeuza bwege hasa mchumba atakapokukimbia na kukuacha. Mwaka wa Kwanza katika chuo kikuu haukumalizika kabla ya mimi kujitosa kwenye mahaba ambayo kwa sasa nitayaita haramu.Maisha kidogo yalibadilika ,kwa sababu kipindi ambacho nilikuwa sijapenda ghulamu mmoja , wakati mwingi nililala kwenye chumba changu ila pindi tu nilivyochanganyikiwa na mahaba yake basi ikawa kwamba ninakwendwa kumtembelea kwenye kichumba chake alipokuwa akiishi.Sitakosea kusema kwamba nilipitikiwa na yale wakubwa wangu na hata wazazi wangu waliyonikanya dhidi ya mapenzi hayo ya chuo kikuu ila wakati huo niliyazika kwenye kaburi ya sahau.Mapenzi ya barubaru yalinipofusha nisijue pa kutembea nililowa na huba lake alilonipa kwa ustaarabu bila pupa wala kurupukwa. Nilikweta kwenye mahaba ya kijana huyo aliyeitwa Amope.Alikuwa ni barubaru mtanashati na hata ujasiri wa mambo yake ulinifanya niwe na kwina isiyokadirika.Alinikifu kwa kile nilichotaka na kunifanya nijisahau. Tulipendana Kama ulimi na mate .Penzi lilishamiri pande zote hakuna pengo tuliloliacha kuziba ili waliokuwa na gere waweze kuliona na kitudhihaki kuwa hatukupendana.Alijaribu kadri ya uwezo wake kuuondoa uwoga uliokuwa umeshamiri kwa moyo wangu alinitia skuli na kunifunza mengi nisiyoyajua kwa takriban karibia miongo miwili. Nilifika muda ambao tanuri la penzi letu lilianza kuzima .Mambo tuliyokuwa tunayafurahia kwenye penzi letu lililokuwa Tamu kama halua tena hatukuvizungumzia.Penzi lililokuwa limekolea tena hata hakuna aliyetamani kulikoleza zaidi na zaidi ili lizidi kunoga.Kila mmoja aliona mwenzake kama bweshu kwani penzi lililokuwa changa na mbwembwe nyingi za kusheheza Sasa lilikonga na kupoteza ladha yake.Sairi zote zilizokuwa hapo awali ziliyeyuka na kupotea. Amope kipenzi cha roho tena nilikuwa simwoni Tena kama hapo awali ilivyokuwa ada yangu. Simu zangu akawa hapokei tena. Nilibaki kuwa yatima wa mapenzi ambayo niliyaparamia mwenyewe.Machozi yalinitoka njia mbili na kuchirizika kwenye mabebe yangu .Alikuwa aangaza macho yake kwangu kwani aliniona kama taka kwenye jalala.Alivyokuwa akinidadavua tulivyokuwa kwenye safari ya penzi hakuonyesha ari ya kujikumbusha tena.Kwa kweli penzi letu lilikuwa limeugua maradhi yasokuwa na dawa.lilikuwa limevuja.Kitabu chetu cha mapenzi kurasa zake zilikuwa zimechanika na tenzi hazikuwa zikiso eka tena. Niliingia kwenye ulimwengu wa sintofahamu kwa sababu sikuweza kustahimili majina aliyoniita Kama bweshu,msungo na mengineo.Moyoni nilijilaiti kwa nini niliwapuuza wakubwa wangu, na hata hivyo nilikuwa mdogo Sana kujitia ukungu wa kujitosa kwenye mahaba nisiyokuwa najua umuhimu wake na hata madhara yake ambayo yalikuwa na uzani mkubwa kuupiku uzuri wake. Amope naye alinilaghai kuwa atakuja kunitia ndani tutakapomaliza chuo kikuu kwa maana kuwa atanioa.Lakini wapi ? Penzi bado limekufa na kufukiwa mchango bado lingali changa.Niliwaza na kuwazua jinsi nitakavyojinasua kwenye msongo wa mawazo ambao nusura unigeuze mbulu. Sikumwelewa Amope mbona akafanya uamuzi wa aina hiyo mpaka sasa ,sikumwelewa alichokidhamiria kifanyika ila hakuona kuwa kingefanyika hivyo basi akaamua kukatiza penzi.Sikumwelewa.Kichwa kilikuwa kizito Kama nanga sikuweza hata kukisitiri.Miguu nayo nilipokuwa nawaza penzi letu lilivyotawanyika nilikuwa nashindwa hata kuinyanyua.Mpenzi nilimpania kuwa wangu wa kufa kuzikani alikuwa amepotea mbali na upeo wa macho yangu nisije nikamwona tena kwenye aushi yangu. Mpaka sasa naliuguza jeraha.
Maisha ya mapenzi kweli hayana nini
{ "text": [ "huruma" ] }
4779_swa
JERAHA LA MAHABA Maisha ya mapenzi kweli hayana huruma iwe wewe ni jahili au mwerevu yanakufanya upoteze fikra za utu .Sikupenda jinsi watu walivyojitosa kwa mapenzi wangali katika shule ya upili au shule ya msingi yote niliyaona Kama kukosa adabu na kukosa dira katika maisha yao.Wote walijibanza kwa mahaba wakidai kuwa wanaipata raha wakipenda na kupendwa. Waliyoniambia yalinipa utashi wa kutaka kuipata furaha waliyoizungumzia.Lakini sikujua nianzie wapi kwa sababu nilikuwa bado msungo Kama wasemavyo wengine waliofundwa.Nilikuwa na ari ya kuharamia nijue jinsi ya kuanza kupenda na jinsi ya kupendwa na jinsi furaha inapatikana kwenye hayo mapenzi. Nilitamani kugubua Siri iliyokuwa imejibanza katika mapenzi .Nilipomaliza kidato cha nne nilifaulu kuendelea na masomo yangu katika chuo kikuu. Hapo ndipo maisha ya mapenzi yalipong'oa nanga kama nilivyokuwa nimeyafikiri .Nilijaribu kutalii ulimwengu wa mapenzi ili niweze kuyaona yote ambayo nilijizuia kuyajua kwa takriban miaka kumi na Saba . Hata hivyo nilikuwa na woga chungu nzima kwani bado niliogopa jinsi watu wengine walivyoyakashifu mapenzi kuwa hakuna mapenzi ya kweli ila ni kupotezeana muda na hata kupata msongo wa mawazo unaoletwa na mfarakano kati ya wapendanao.Hata hivyo Mimi nilitaka kung'amua hasa furaha inayoletwa na mapenzi Wala sikutaka kujishughulisha kujua Kama pia penzi linaweza kukugeuza bwege hasa mchumba atakapokukimbia na kukuacha. Mwaka wa Kwanza katika chuo kikuu haukumalizika kabla ya mimi kujitosa kwenye mahaba ambayo kwa sasa nitayaita haramu.Maisha kidogo yalibadilika ,kwa sababu kipindi ambacho nilikuwa sijapenda ghulamu mmoja , wakati mwingi nililala kwenye chumba changu ila pindi tu nilivyochanganyikiwa na mahaba yake basi ikawa kwamba ninakwendwa kumtembelea kwenye kichumba chake alipokuwa akiishi.Sitakosea kusema kwamba nilipitikiwa na yale wakubwa wangu na hata wazazi wangu waliyonikanya dhidi ya mapenzi hayo ya chuo kikuu ila wakati huo niliyazika kwenye kaburi ya sahau.Mapenzi ya barubaru yalinipofusha nisijue pa kutembea nililowa na huba lake alilonipa kwa ustaarabu bila pupa wala kurupukwa. Nilikweta kwenye mahaba ya kijana huyo aliyeitwa Amope.Alikuwa ni barubaru mtanashati na hata ujasiri wa mambo yake ulinifanya niwe na kwina isiyokadirika.Alinikifu kwa kile nilichotaka na kunifanya nijisahau. Tulipendana Kama ulimi na mate .Penzi lilishamiri pande zote hakuna pengo tuliloliacha kuziba ili waliokuwa na gere waweze kuliona na kitudhihaki kuwa hatukupendana.Alijaribu kadri ya uwezo wake kuuondoa uwoga uliokuwa umeshamiri kwa moyo wangu alinitia skuli na kunifunza mengi nisiyoyajua kwa takriban karibia miongo miwili. Nilifika muda ambao tanuri la penzi letu lilianza kuzima .Mambo tuliyokuwa tunayafurahia kwenye penzi letu lililokuwa Tamu kama halua tena hatukuvizungumzia.Penzi lililokuwa limekolea tena hata hakuna aliyetamani kulikoleza zaidi na zaidi ili lizidi kunoga.Kila mmoja aliona mwenzake kama bweshu kwani penzi lililokuwa changa na mbwembwe nyingi za kusheheza Sasa lilikonga na kupoteza ladha yake.Sairi zote zilizokuwa hapo awali ziliyeyuka na kupotea. Amope kipenzi cha roho tena nilikuwa simwoni Tena kama hapo awali ilivyokuwa ada yangu. Simu zangu akawa hapokei tena. Nilibaki kuwa yatima wa mapenzi ambayo niliyaparamia mwenyewe.Machozi yalinitoka njia mbili na kuchirizika kwenye mabebe yangu .Alikuwa aangaza macho yake kwangu kwani aliniona kama taka kwenye jalala.Alivyokuwa akinidadavua tulivyokuwa kwenye safari ya penzi hakuonyesha ari ya kujikumbusha tena.Kwa kweli penzi letu lilikuwa limeugua maradhi yasokuwa na dawa.lilikuwa limevuja.Kitabu chetu cha mapenzi kurasa zake zilikuwa zimechanika na tenzi hazikuwa zikiso eka tena. Niliingia kwenye ulimwengu wa sintofahamu kwa sababu sikuweza kustahimili majina aliyoniita Kama bweshu,msungo na mengineo.Moyoni nilijilaiti kwa nini niliwapuuza wakubwa wangu, na hata hivyo nilikuwa mdogo Sana kujitia ukungu wa kujitosa kwenye mahaba nisiyokuwa najua umuhimu wake na hata madhara yake ambayo yalikuwa na uzani mkubwa kuupiku uzuri wake. Amope naye alinilaghai kuwa atakuja kunitia ndani tutakapomaliza chuo kikuu kwa maana kuwa atanioa.Lakini wapi ? Penzi bado limekufa na kufukiwa mchango bado lingali changa.Niliwaza na kuwazua jinsi nitakavyojinasua kwenye msongo wa mawazo ambao nusura unigeuze mbulu. Sikumwelewa Amope mbona akafanya uamuzi wa aina hiyo mpaka sasa ,sikumwelewa alichokidhamiria kifanyika ila hakuona kuwa kingefanyika hivyo basi akaamua kukatiza penzi.Sikumwelewa.Kichwa kilikuwa kizito Kama nanga sikuweza hata kukisitiri.Miguu nayo nilipokuwa nawaza penzi letu lilivyotawanyika nilikuwa nashindwa hata kuinyanyua.Mpenzi nilimpania kuwa wangu wa kufa kuzikani alikuwa amepotea mbali na upeo wa macho yangu nisije nikamwona tena kwenye aushi yangu. Mpaka sasa naliuguza jeraha.
Maisha ya mapenzi yanakufanya upoteze nini
{ "text": [ "fikra za utu" ] }
4779_swa
JERAHA LA MAHABA Maisha ya mapenzi kweli hayana huruma iwe wewe ni jahili au mwerevu yanakufanya upoteze fikra za utu .Sikupenda jinsi watu walivyojitosa kwa mapenzi wangali katika shule ya upili au shule ya msingi yote niliyaona Kama kukosa adabu na kukosa dira katika maisha yao.Wote walijibanza kwa mahaba wakidai kuwa wanaipata raha wakipenda na kupendwa. Waliyoniambia yalinipa utashi wa kutaka kuipata furaha waliyoizungumzia.Lakini sikujua nianzie wapi kwa sababu nilikuwa bado msungo Kama wasemavyo wengine waliofundwa.Nilikuwa na ari ya kuharamia nijue jinsi ya kuanza kupenda na jinsi ya kupendwa na jinsi furaha inapatikana kwenye hayo mapenzi. Nilitamani kugubua Siri iliyokuwa imejibanza katika mapenzi .Nilipomaliza kidato cha nne nilifaulu kuendelea na masomo yangu katika chuo kikuu. Hapo ndipo maisha ya mapenzi yalipong'oa nanga kama nilivyokuwa nimeyafikiri .Nilijaribu kutalii ulimwengu wa mapenzi ili niweze kuyaona yote ambayo nilijizuia kuyajua kwa takriban miaka kumi na Saba . Hata hivyo nilikuwa na woga chungu nzima kwani bado niliogopa jinsi watu wengine walivyoyakashifu mapenzi kuwa hakuna mapenzi ya kweli ila ni kupotezeana muda na hata kupata msongo wa mawazo unaoletwa na mfarakano kati ya wapendanao.Hata hivyo Mimi nilitaka kung'amua hasa furaha inayoletwa na mapenzi Wala sikutaka kujishughulisha kujua Kama pia penzi linaweza kukugeuza bwege hasa mchumba atakapokukimbia na kukuacha. Mwaka wa Kwanza katika chuo kikuu haukumalizika kabla ya mimi kujitosa kwenye mahaba ambayo kwa sasa nitayaita haramu.Maisha kidogo yalibadilika ,kwa sababu kipindi ambacho nilikuwa sijapenda ghulamu mmoja , wakati mwingi nililala kwenye chumba changu ila pindi tu nilivyochanganyikiwa na mahaba yake basi ikawa kwamba ninakwendwa kumtembelea kwenye kichumba chake alipokuwa akiishi.Sitakosea kusema kwamba nilipitikiwa na yale wakubwa wangu na hata wazazi wangu waliyonikanya dhidi ya mapenzi hayo ya chuo kikuu ila wakati huo niliyazika kwenye kaburi ya sahau.Mapenzi ya barubaru yalinipofusha nisijue pa kutembea nililowa na huba lake alilonipa kwa ustaarabu bila pupa wala kurupukwa. Nilikweta kwenye mahaba ya kijana huyo aliyeitwa Amope.Alikuwa ni barubaru mtanashati na hata ujasiri wa mambo yake ulinifanya niwe na kwina isiyokadirika.Alinikifu kwa kile nilichotaka na kunifanya nijisahau. Tulipendana Kama ulimi na mate .Penzi lilishamiri pande zote hakuna pengo tuliloliacha kuziba ili waliokuwa na gere waweze kuliona na kitudhihaki kuwa hatukupendana.Alijaribu kadri ya uwezo wake kuuondoa uwoga uliokuwa umeshamiri kwa moyo wangu alinitia skuli na kunifunza mengi nisiyoyajua kwa takriban karibia miongo miwili. Nilifika muda ambao tanuri la penzi letu lilianza kuzima .Mambo tuliyokuwa tunayafurahia kwenye penzi letu lililokuwa Tamu kama halua tena hatukuvizungumzia.Penzi lililokuwa limekolea tena hata hakuna aliyetamani kulikoleza zaidi na zaidi ili lizidi kunoga.Kila mmoja aliona mwenzake kama bweshu kwani penzi lililokuwa changa na mbwembwe nyingi za kusheheza Sasa lilikonga na kupoteza ladha yake.Sairi zote zilizokuwa hapo awali ziliyeyuka na kupotea. Amope kipenzi cha roho tena nilikuwa simwoni Tena kama hapo awali ilivyokuwa ada yangu. Simu zangu akawa hapokei tena. Nilibaki kuwa yatima wa mapenzi ambayo niliyaparamia mwenyewe.Machozi yalinitoka njia mbili na kuchirizika kwenye mabebe yangu .Alikuwa aangaza macho yake kwangu kwani aliniona kama taka kwenye jalala.Alivyokuwa akinidadavua tulivyokuwa kwenye safari ya penzi hakuonyesha ari ya kujikumbusha tena.Kwa kweli penzi letu lilikuwa limeugua maradhi yasokuwa na dawa.lilikuwa limevuja.Kitabu chetu cha mapenzi kurasa zake zilikuwa zimechanika na tenzi hazikuwa zikiso eka tena. Niliingia kwenye ulimwengu wa sintofahamu kwa sababu sikuweza kustahimili majina aliyoniita Kama bweshu,msungo na mengineo.Moyoni nilijilaiti kwa nini niliwapuuza wakubwa wangu, na hata hivyo nilikuwa mdogo Sana kujitia ukungu wa kujitosa kwenye mahaba nisiyokuwa najua umuhimu wake na hata madhara yake ambayo yalikuwa na uzani mkubwa kuupiku uzuri wake. Amope naye alinilaghai kuwa atakuja kunitia ndani tutakapomaliza chuo kikuu kwa maana kuwa atanioa.Lakini wapi ? Penzi bado limekufa na kufukiwa mchango bado lingali changa.Niliwaza na kuwazua jinsi nitakavyojinasua kwenye msongo wa mawazo ambao nusura unigeuze mbulu. Sikumwelewa Amope mbona akafanya uamuzi wa aina hiyo mpaka sasa ,sikumwelewa alichokidhamiria kifanyika ila hakuona kuwa kingefanyika hivyo basi akaamua kukatiza penzi.Sikumwelewa.Kichwa kilikuwa kizito Kama nanga sikuweza hata kukisitiri.Miguu nayo nilipokuwa nawaza penzi letu lilivyotawanyika nilikuwa nashindwa hata kuinyanyua.Mpenzi nilimpania kuwa wangu wa kufa kuzikani alikuwa amepotea mbali na upeo wa macho yangu nisije nikamwona tena kwenye aushi yangu. Mpaka sasa naliuguza jeraha.
Penzi linaweza kukugeuza nini
{ "text": [ "bwege" ] }
4779_swa
JERAHA LA MAHABA Maisha ya mapenzi kweli hayana huruma iwe wewe ni jahili au mwerevu yanakufanya upoteze fikra za utu .Sikupenda jinsi watu walivyojitosa kwa mapenzi wangali katika shule ya upili au shule ya msingi yote niliyaona Kama kukosa adabu na kukosa dira katika maisha yao.Wote walijibanza kwa mahaba wakidai kuwa wanaipata raha wakipenda na kupendwa. Waliyoniambia yalinipa utashi wa kutaka kuipata furaha waliyoizungumzia.Lakini sikujua nianzie wapi kwa sababu nilikuwa bado msungo Kama wasemavyo wengine waliofundwa.Nilikuwa na ari ya kuharamia nijue jinsi ya kuanza kupenda na jinsi ya kupendwa na jinsi furaha inapatikana kwenye hayo mapenzi. Nilitamani kugubua Siri iliyokuwa imejibanza katika mapenzi .Nilipomaliza kidato cha nne nilifaulu kuendelea na masomo yangu katika chuo kikuu. Hapo ndipo maisha ya mapenzi yalipong'oa nanga kama nilivyokuwa nimeyafikiri .Nilijaribu kutalii ulimwengu wa mapenzi ili niweze kuyaona yote ambayo nilijizuia kuyajua kwa takriban miaka kumi na Saba . Hata hivyo nilikuwa na woga chungu nzima kwani bado niliogopa jinsi watu wengine walivyoyakashifu mapenzi kuwa hakuna mapenzi ya kweli ila ni kupotezeana muda na hata kupata msongo wa mawazo unaoletwa na mfarakano kati ya wapendanao.Hata hivyo Mimi nilitaka kung'amua hasa furaha inayoletwa na mapenzi Wala sikutaka kujishughulisha kujua Kama pia penzi linaweza kukugeuza bwege hasa mchumba atakapokukimbia na kukuacha. Mwaka wa Kwanza katika chuo kikuu haukumalizika kabla ya mimi kujitosa kwenye mahaba ambayo kwa sasa nitayaita haramu.Maisha kidogo yalibadilika ,kwa sababu kipindi ambacho nilikuwa sijapenda ghulamu mmoja , wakati mwingi nililala kwenye chumba changu ila pindi tu nilivyochanganyikiwa na mahaba yake basi ikawa kwamba ninakwendwa kumtembelea kwenye kichumba chake alipokuwa akiishi.Sitakosea kusema kwamba nilipitikiwa na yale wakubwa wangu na hata wazazi wangu waliyonikanya dhidi ya mapenzi hayo ya chuo kikuu ila wakati huo niliyazika kwenye kaburi ya sahau.Mapenzi ya barubaru yalinipofusha nisijue pa kutembea nililowa na huba lake alilonipa kwa ustaarabu bila pupa wala kurupukwa. Nilikweta kwenye mahaba ya kijana huyo aliyeitwa Amope.Alikuwa ni barubaru mtanashati na hata ujasiri wa mambo yake ulinifanya niwe na kwina isiyokadirika.Alinikifu kwa kile nilichotaka na kunifanya nijisahau. Tulipendana Kama ulimi na mate .Penzi lilishamiri pande zote hakuna pengo tuliloliacha kuziba ili waliokuwa na gere waweze kuliona na kitudhihaki kuwa hatukupendana.Alijaribu kadri ya uwezo wake kuuondoa uwoga uliokuwa umeshamiri kwa moyo wangu alinitia skuli na kunifunza mengi nisiyoyajua kwa takriban karibia miongo miwili. Nilifika muda ambao tanuri la penzi letu lilianza kuzima .Mambo tuliyokuwa tunayafurahia kwenye penzi letu lililokuwa Tamu kama halua tena hatukuvizungumzia.Penzi lililokuwa limekolea tena hata hakuna aliyetamani kulikoleza zaidi na zaidi ili lizidi kunoga.Kila mmoja aliona mwenzake kama bweshu kwani penzi lililokuwa changa na mbwembwe nyingi za kusheheza Sasa lilikonga na kupoteza ladha yake.Sairi zote zilizokuwa hapo awali ziliyeyuka na kupotea. Amope kipenzi cha roho tena nilikuwa simwoni Tena kama hapo awali ilivyokuwa ada yangu. Simu zangu akawa hapokei tena. Nilibaki kuwa yatima wa mapenzi ambayo niliyaparamia mwenyewe.Machozi yalinitoka njia mbili na kuchirizika kwenye mabebe yangu .Alikuwa aangaza macho yake kwangu kwani aliniona kama taka kwenye jalala.Alivyokuwa akinidadavua tulivyokuwa kwenye safari ya penzi hakuonyesha ari ya kujikumbusha tena.Kwa kweli penzi letu lilikuwa limeugua maradhi yasokuwa na dawa.lilikuwa limevuja.Kitabu chetu cha mapenzi kurasa zake zilikuwa zimechanika na tenzi hazikuwa zikiso eka tena. Niliingia kwenye ulimwengu wa sintofahamu kwa sababu sikuweza kustahimili majina aliyoniita Kama bweshu,msungo na mengineo.Moyoni nilijilaiti kwa nini niliwapuuza wakubwa wangu, na hata hivyo nilikuwa mdogo Sana kujitia ukungu wa kujitosa kwenye mahaba nisiyokuwa najua umuhimu wake na hata madhara yake ambayo yalikuwa na uzani mkubwa kuupiku uzuri wake. Amope naye alinilaghai kuwa atakuja kunitia ndani tutakapomaliza chuo kikuu kwa maana kuwa atanioa.Lakini wapi ? Penzi bado limekufa na kufukiwa mchango bado lingali changa.Niliwaza na kuwazua jinsi nitakavyojinasua kwenye msongo wa mawazo ambao nusura unigeuze mbulu. Sikumwelewa Amope mbona akafanya uamuzi wa aina hiyo mpaka sasa ,sikumwelewa alichokidhamiria kifanyika ila hakuona kuwa kingefanyika hivyo basi akaamua kukatiza penzi.Sikumwelewa.Kichwa kilikuwa kizito Kama nanga sikuweza hata kukisitiri.Miguu nayo nilipokuwa nawaza penzi letu lilivyotawanyika nilikuwa nashindwa hata kuinyanyua.Mpenzi nilimpania kuwa wangu wa kufa kuzikani alikuwa amepotea mbali na upeo wa macho yangu nisije nikamwona tena kwenye aushi yangu. Mpaka sasa naliuguza jeraha.
Maisha ya mapenzi yaling'oa nanga lini
{ "text": [ "alipokua chuo kikuu" ] }
4779_swa
JERAHA LA MAHABA Maisha ya mapenzi kweli hayana huruma iwe wewe ni jahili au mwerevu yanakufanya upoteze fikra za utu .Sikupenda jinsi watu walivyojitosa kwa mapenzi wangali katika shule ya upili au shule ya msingi yote niliyaona Kama kukosa adabu na kukosa dira katika maisha yao.Wote walijibanza kwa mahaba wakidai kuwa wanaipata raha wakipenda na kupendwa. Waliyoniambia yalinipa utashi wa kutaka kuipata furaha waliyoizungumzia.Lakini sikujua nianzie wapi kwa sababu nilikuwa bado msungo Kama wasemavyo wengine waliofundwa.Nilikuwa na ari ya kuharamia nijue jinsi ya kuanza kupenda na jinsi ya kupendwa na jinsi furaha inapatikana kwenye hayo mapenzi. Nilitamani kugubua Siri iliyokuwa imejibanza katika mapenzi .Nilipomaliza kidato cha nne nilifaulu kuendelea na masomo yangu katika chuo kikuu. Hapo ndipo maisha ya mapenzi yalipong'oa nanga kama nilivyokuwa nimeyafikiri .Nilijaribu kutalii ulimwengu wa mapenzi ili niweze kuyaona yote ambayo nilijizuia kuyajua kwa takriban miaka kumi na Saba . Hata hivyo nilikuwa na woga chungu nzima kwani bado niliogopa jinsi watu wengine walivyoyakashifu mapenzi kuwa hakuna mapenzi ya kweli ila ni kupotezeana muda na hata kupata msongo wa mawazo unaoletwa na mfarakano kati ya wapendanao.Hata hivyo Mimi nilitaka kung'amua hasa furaha inayoletwa na mapenzi Wala sikutaka kujishughulisha kujua Kama pia penzi linaweza kukugeuza bwege hasa mchumba atakapokukimbia na kukuacha. Mwaka wa Kwanza katika chuo kikuu haukumalizika kabla ya mimi kujitosa kwenye mahaba ambayo kwa sasa nitayaita haramu.Maisha kidogo yalibadilika ,kwa sababu kipindi ambacho nilikuwa sijapenda ghulamu mmoja , wakati mwingi nililala kwenye chumba changu ila pindi tu nilivyochanganyikiwa na mahaba yake basi ikawa kwamba ninakwendwa kumtembelea kwenye kichumba chake alipokuwa akiishi.Sitakosea kusema kwamba nilipitikiwa na yale wakubwa wangu na hata wazazi wangu waliyonikanya dhidi ya mapenzi hayo ya chuo kikuu ila wakati huo niliyazika kwenye kaburi ya sahau.Mapenzi ya barubaru yalinipofusha nisijue pa kutembea nililowa na huba lake alilonipa kwa ustaarabu bila pupa wala kurupukwa. Nilikweta kwenye mahaba ya kijana huyo aliyeitwa Amope.Alikuwa ni barubaru mtanashati na hata ujasiri wa mambo yake ulinifanya niwe na kwina isiyokadirika.Alinikifu kwa kile nilichotaka na kunifanya nijisahau. Tulipendana Kama ulimi na mate .Penzi lilishamiri pande zote hakuna pengo tuliloliacha kuziba ili waliokuwa na gere waweze kuliona na kitudhihaki kuwa hatukupendana.Alijaribu kadri ya uwezo wake kuuondoa uwoga uliokuwa umeshamiri kwa moyo wangu alinitia skuli na kunifunza mengi nisiyoyajua kwa takriban karibia miongo miwili. Nilifika muda ambao tanuri la penzi letu lilianza kuzima .Mambo tuliyokuwa tunayafurahia kwenye penzi letu lililokuwa Tamu kama halua tena hatukuvizungumzia.Penzi lililokuwa limekolea tena hata hakuna aliyetamani kulikoleza zaidi na zaidi ili lizidi kunoga.Kila mmoja aliona mwenzake kama bweshu kwani penzi lililokuwa changa na mbwembwe nyingi za kusheheza Sasa lilikonga na kupoteza ladha yake.Sairi zote zilizokuwa hapo awali ziliyeyuka na kupotea. Amope kipenzi cha roho tena nilikuwa simwoni Tena kama hapo awali ilivyokuwa ada yangu. Simu zangu akawa hapokei tena. Nilibaki kuwa yatima wa mapenzi ambayo niliyaparamia mwenyewe.Machozi yalinitoka njia mbili na kuchirizika kwenye mabebe yangu .Alikuwa aangaza macho yake kwangu kwani aliniona kama taka kwenye jalala.Alivyokuwa akinidadavua tulivyokuwa kwenye safari ya penzi hakuonyesha ari ya kujikumbusha tena.Kwa kweli penzi letu lilikuwa limeugua maradhi yasokuwa na dawa.lilikuwa limevuja.Kitabu chetu cha mapenzi kurasa zake zilikuwa zimechanika na tenzi hazikuwa zikiso eka tena. Niliingia kwenye ulimwengu wa sintofahamu kwa sababu sikuweza kustahimili majina aliyoniita Kama bweshu,msungo na mengineo.Moyoni nilijilaiti kwa nini niliwapuuza wakubwa wangu, na hata hivyo nilikuwa mdogo Sana kujitia ukungu wa kujitosa kwenye mahaba nisiyokuwa najua umuhimu wake na hata madhara yake ambayo yalikuwa na uzani mkubwa kuupiku uzuri wake. Amope naye alinilaghai kuwa atakuja kunitia ndani tutakapomaliza chuo kikuu kwa maana kuwa atanioa.Lakini wapi ? Penzi bado limekufa na kufukiwa mchango bado lingali changa.Niliwaza na kuwazua jinsi nitakavyojinasua kwenye msongo wa mawazo ambao nusura unigeuze mbulu. Sikumwelewa Amope mbona akafanya uamuzi wa aina hiyo mpaka sasa ,sikumwelewa alichokidhamiria kifanyika ila hakuona kuwa kingefanyika hivyo basi akaamua kukatiza penzi.Sikumwelewa.Kichwa kilikuwa kizito Kama nanga sikuweza hata kukisitiri.Miguu nayo nilipokuwa nawaza penzi letu lilivyotawanyika nilikuwa nashindwa hata kuinyanyua.Mpenzi nilimpania kuwa wangu wa kufa kuzikani alikuwa amepotea mbali na upeo wa macho yangu nisije nikamwona tena kwenye aushi yangu. Mpaka sasa naliuguza jeraha.
Mbona alibaki kuwa yatima wa mapenzi
{ "text": [ "hakuweza tena kumwona kipenzi chake Amope na simu hakua akipokea" ] }
4780_swa
UKOSEFU WA AJIRA DUNIANi Pengo kubwa kati ya wenye mishahara minono na wanaolipwa kijungu jiko Ripoti hiyo imegundua kuwa inawachukua takriban muda wa miaka 11 kwa asilimia 20 ya watu wenye kipato cha chini kupata kipato sawa na kile asilimia 20 ya wanaolipwa vizuri hupata katika mwaka mmoja pekee. Wakati huo huo, shirika hilo limesisitiza kuwa takriban watu milioni 285 ulimwenguni kote, wanachukuliwa kama ambao hawajaajiriwa chini ya kiwango. Kumaanisha wanafanya kazi kidogo kuliko wanavyotaka kufanya au, wamekata tamaa kutafuta kazi, au wameshindwa kupenyeza katika soko la ajira. ILO imeongeza kuwa kwa jumla hiyo ni takriban watu nusu bilioni, na inawakilisha asilimia 13 ya nguvu kazi kote duniani. Ryder amesema ripoti hiyo imefichua hali mbaya zaidi ya kutia wasiwasi, huku akiongeza kuwa kukosa kazi nzuri ya kufanya, kunachangia kuongezeka kwa makundi ya waandamanaji katika jamii na machafuko vanavyotokea ulimwenguni. Umoja wa Mataifa umesema kuwa watu milioni 470 kwa sasa ulimwenguni kote hawana ajira kabisa au wameajiriwa chini ya kiwango. Kwenye ripoti yao iliyotolewa jana Umoja huo umeonya kuwa ukosefu wa ajira bora unachangia machafuko katika jamii. Kwenye ripoti yake ya kila mwaka kuhusu ajira na tathmini ya jami, Shirika la Kazi Duniani, ILO, limesema Mwaka huu, idadi ya watu ambao wamesajiliwa kuwa hawana ajira inatarajiwa kuongezeka kutoka milioni 188 mwaka uliopita hadi milioni 190.5. Mnamo mwaka uliopita, zaidi ya watu milioni 630, ikiwa ni asilimia 20 ya idadi jumla ya wanaofanya kazi ulimwenguni, walitegemea kazi ya kijungu jiko, yaani kipato ni chini ya dola 3.20 kila siku. Ripoti ya ILO imeonyesha kuwa asilimia 60 ya nguvu kazi ulimwenguni kote kwa sasa ni wale wanaofanya kazi zisizo rasmi, ambapo malipo ni kidogo na hawapati marupurupu muhimu. Takwimu za Umoja wa Mataifa zinaonyesha kuwa uchumi wa mataifa umekua kwa asilimia 7 lakini licha ya mafanikio haya, ukosefu wa ajira miongoi mwa vijana bado ni changamoto kubwa ikiwa katika kiwango cha asilimia 12. Yaelezwa kuwa kwa kila vijana 700,000 ambao wanasaka ajira kila mwaka ni fursa 40,000 tu ambazo ziko wazi hii ikimaanisha kwamba ni asilimia 6 tu ya vijana ambao wanapata kazi rasmi. Hali hiyo imesababisha Umoja wa Matifa kupitia shirika lake la maendeleo ya viwanda, UNIDO, kuanza mipango rasmi ili kukabiliana na changamoto hizo. linaitahadharisha Ujerumani juu ya mgogoro wa madeni unaozikabili nchi kadhaa katika Umoja wa Ulaya. inasemekana, kwa sasa Ujerumani bado ni imara, lakini haina maana kwamba haitaweza kuguswa na mgogoro siku moja.inasemekana anafanua kwamba mgogoro wa mabenki na madeni umesababisha athari kubwa,kama ilivyoshuhudiwa kwenye soko la ajira .Takwimu zinathibitisha kuwa nchi za Ulaya zinazidi kufarakana. Soko la ajira nchini Ujerumani bado ni imara,kutokana na mageuzi yaliyofanywa mnamo miaka ya nyuma. Hali ni tofauti katika nchi za kusini mwa Ulaya.Nchi hizo zimenasa katika dimbwi la matatizo, na hazijui namna ya kujinasua. Kwa mtazamo wa Ujerumani, mgogoro wa madeni bado ni tatizo la wengine.Lakini hayo hayana maana kwamba Wajerumani hawayajali matatizo ya wengine. Wanajua kwamba udhaifu wa kiuchumi katika nchi nyingine ni jambo la wasi wasi kwa uchumi wa Ujeremani. Ripoti hiyo "kiwango cha mishahara 2018-2019", iliyotolewa leo mjini Geneva Uswis na shirika la kazi duniani ILO, inasema duniani kote kiwango cha mishahara kilishuka hadi asilimia1.8 mwaka 2017 kutoka asilimia 2.4 mwaka wa 2016, kutokana na takwim zilizokusanya kutoka mataifa 136. Ripoti pia ikifafanua kuhusu pengo hilo la mishahara kimataifa imnasema imebaini kwamba wanawake wanaendelea kulipwa takribani asilimia 20 pungufu ya wanaumme. Na Ikwa nchi zilizoendelea pengo hilo liko bayana kwenye kazi zenye malipo makubwa wakati katika nchi za kipato cha nini pengo kubwa la mishahara liko katika kazi za ujira mdogo. Kwa mujibu wa Ushahidi uliokusanywa na ripoti hiyo sababu zilizozoeleka kama tofauti za viwango vya elimu kati ya wanawake na wanaume ambao wanafanya kazi na kupipwa zinanafasi ndogo sana katika pengo hilo la mishahara baina ya wanawake na wanaumme.
Watu wamekata tamaa kutafuta nini
{ "text": [ "kazi" ] }
4780_swa
UKOSEFU WA AJIRA DUNIANi Pengo kubwa kati ya wenye mishahara minono na wanaolipwa kijungu jiko Ripoti hiyo imegundua kuwa inawachukua takriban muda wa miaka 11 kwa asilimia 20 ya watu wenye kipato cha chini kupata kipato sawa na kile asilimia 20 ya wanaolipwa vizuri hupata katika mwaka mmoja pekee. Wakati huo huo, shirika hilo limesisitiza kuwa takriban watu milioni 285 ulimwenguni kote, wanachukuliwa kama ambao hawajaajiriwa chini ya kiwango. Kumaanisha wanafanya kazi kidogo kuliko wanavyotaka kufanya au, wamekata tamaa kutafuta kazi, au wameshindwa kupenyeza katika soko la ajira. ILO imeongeza kuwa kwa jumla hiyo ni takriban watu nusu bilioni, na inawakilisha asilimia 13 ya nguvu kazi kote duniani. Ryder amesema ripoti hiyo imefichua hali mbaya zaidi ya kutia wasiwasi, huku akiongeza kuwa kukosa kazi nzuri ya kufanya, kunachangia kuongezeka kwa makundi ya waandamanaji katika jamii na machafuko vanavyotokea ulimwenguni. Umoja wa Mataifa umesema kuwa watu milioni 470 kwa sasa ulimwenguni kote hawana ajira kabisa au wameajiriwa chini ya kiwango. Kwenye ripoti yao iliyotolewa jana Umoja huo umeonya kuwa ukosefu wa ajira bora unachangia machafuko katika jamii. Kwenye ripoti yake ya kila mwaka kuhusu ajira na tathmini ya jami, Shirika la Kazi Duniani, ILO, limesema Mwaka huu, idadi ya watu ambao wamesajiliwa kuwa hawana ajira inatarajiwa kuongezeka kutoka milioni 188 mwaka uliopita hadi milioni 190.5. Mnamo mwaka uliopita, zaidi ya watu milioni 630, ikiwa ni asilimia 20 ya idadi jumla ya wanaofanya kazi ulimwenguni, walitegemea kazi ya kijungu jiko, yaani kipato ni chini ya dola 3.20 kila siku. Ripoti ya ILO imeonyesha kuwa asilimia 60 ya nguvu kazi ulimwenguni kote kwa sasa ni wale wanaofanya kazi zisizo rasmi, ambapo malipo ni kidogo na hawapati marupurupu muhimu. Takwimu za Umoja wa Mataifa zinaonyesha kuwa uchumi wa mataifa umekua kwa asilimia 7 lakini licha ya mafanikio haya, ukosefu wa ajira miongoi mwa vijana bado ni changamoto kubwa ikiwa katika kiwango cha asilimia 12. Yaelezwa kuwa kwa kila vijana 700,000 ambao wanasaka ajira kila mwaka ni fursa 40,000 tu ambazo ziko wazi hii ikimaanisha kwamba ni asilimia 6 tu ya vijana ambao wanapata kazi rasmi. Hali hiyo imesababisha Umoja wa Matifa kupitia shirika lake la maendeleo ya viwanda, UNIDO, kuanza mipango rasmi ili kukabiliana na changamoto hizo. linaitahadharisha Ujerumani juu ya mgogoro wa madeni unaozikabili nchi kadhaa katika Umoja wa Ulaya. inasemekana, kwa sasa Ujerumani bado ni imara, lakini haina maana kwamba haitaweza kuguswa na mgogoro siku moja.inasemekana anafanua kwamba mgogoro wa mabenki na madeni umesababisha athari kubwa,kama ilivyoshuhudiwa kwenye soko la ajira .Takwimu zinathibitisha kuwa nchi za Ulaya zinazidi kufarakana. Soko la ajira nchini Ujerumani bado ni imara,kutokana na mageuzi yaliyofanywa mnamo miaka ya nyuma. Hali ni tofauti katika nchi za kusini mwa Ulaya.Nchi hizo zimenasa katika dimbwi la matatizo, na hazijui namna ya kujinasua. Kwa mtazamo wa Ujerumani, mgogoro wa madeni bado ni tatizo la wengine.Lakini hayo hayana maana kwamba Wajerumani hawayajali matatizo ya wengine. Wanajua kwamba udhaifu wa kiuchumi katika nchi nyingine ni jambo la wasi wasi kwa uchumi wa Ujeremani. Ripoti hiyo "kiwango cha mishahara 2018-2019", iliyotolewa leo mjini Geneva Uswis na shirika la kazi duniani ILO, inasema duniani kote kiwango cha mishahara kilishuka hadi asilimia1.8 mwaka 2017 kutoka asilimia 2.4 mwaka wa 2016, kutokana na takwim zilizokusanya kutoka mataifa 136. Ripoti pia ikifafanua kuhusu pengo hilo la mishahara kimataifa imnasema imebaini kwamba wanawake wanaendelea kulipwa takribani asilimia 20 pungufu ya wanaumme. Na Ikwa nchi zilizoendelea pengo hilo liko bayana kwenye kazi zenye malipo makubwa wakati katika nchi za kipato cha nini pengo kubwa la mishahara liko katika kazi za ujira mdogo. Kwa mujibu wa Ushahidi uliokusanywa na ripoti hiyo sababu zilizozoeleka kama tofauti za viwango vya elimu kati ya wanawake na wanaume ambao wanafanya kazi na kupipwa zinanafasi ndogo sana katika pengo hilo la mishahara baina ya wanawake na wanaumme.
Ripoti ilitolewa lini
{ "text": [ "jana" ] }
4780_swa
UKOSEFU WA AJIRA DUNIANi Pengo kubwa kati ya wenye mishahara minono na wanaolipwa kijungu jiko Ripoti hiyo imegundua kuwa inawachukua takriban muda wa miaka 11 kwa asilimia 20 ya watu wenye kipato cha chini kupata kipato sawa na kile asilimia 20 ya wanaolipwa vizuri hupata katika mwaka mmoja pekee. Wakati huo huo, shirika hilo limesisitiza kuwa takriban watu milioni 285 ulimwenguni kote, wanachukuliwa kama ambao hawajaajiriwa chini ya kiwango. Kumaanisha wanafanya kazi kidogo kuliko wanavyotaka kufanya au, wamekata tamaa kutafuta kazi, au wameshindwa kupenyeza katika soko la ajira. ILO imeongeza kuwa kwa jumla hiyo ni takriban watu nusu bilioni, na inawakilisha asilimia 13 ya nguvu kazi kote duniani. Ryder amesema ripoti hiyo imefichua hali mbaya zaidi ya kutia wasiwasi, huku akiongeza kuwa kukosa kazi nzuri ya kufanya, kunachangia kuongezeka kwa makundi ya waandamanaji katika jamii na machafuko vanavyotokea ulimwenguni. Umoja wa Mataifa umesema kuwa watu milioni 470 kwa sasa ulimwenguni kote hawana ajira kabisa au wameajiriwa chini ya kiwango. Kwenye ripoti yao iliyotolewa jana Umoja huo umeonya kuwa ukosefu wa ajira bora unachangia machafuko katika jamii. Kwenye ripoti yake ya kila mwaka kuhusu ajira na tathmini ya jami, Shirika la Kazi Duniani, ILO, limesema Mwaka huu, idadi ya watu ambao wamesajiliwa kuwa hawana ajira inatarajiwa kuongezeka kutoka milioni 188 mwaka uliopita hadi milioni 190.5. Mnamo mwaka uliopita, zaidi ya watu milioni 630, ikiwa ni asilimia 20 ya idadi jumla ya wanaofanya kazi ulimwenguni, walitegemea kazi ya kijungu jiko, yaani kipato ni chini ya dola 3.20 kila siku. Ripoti ya ILO imeonyesha kuwa asilimia 60 ya nguvu kazi ulimwenguni kote kwa sasa ni wale wanaofanya kazi zisizo rasmi, ambapo malipo ni kidogo na hawapati marupurupu muhimu. Takwimu za Umoja wa Mataifa zinaonyesha kuwa uchumi wa mataifa umekua kwa asilimia 7 lakini licha ya mafanikio haya, ukosefu wa ajira miongoi mwa vijana bado ni changamoto kubwa ikiwa katika kiwango cha asilimia 12. Yaelezwa kuwa kwa kila vijana 700,000 ambao wanasaka ajira kila mwaka ni fursa 40,000 tu ambazo ziko wazi hii ikimaanisha kwamba ni asilimia 6 tu ya vijana ambao wanapata kazi rasmi. Hali hiyo imesababisha Umoja wa Matifa kupitia shirika lake la maendeleo ya viwanda, UNIDO, kuanza mipango rasmi ili kukabiliana na changamoto hizo. linaitahadharisha Ujerumani juu ya mgogoro wa madeni unaozikabili nchi kadhaa katika Umoja wa Ulaya. inasemekana, kwa sasa Ujerumani bado ni imara, lakini haina maana kwamba haitaweza kuguswa na mgogoro siku moja.inasemekana anafanua kwamba mgogoro wa mabenki na madeni umesababisha athari kubwa,kama ilivyoshuhudiwa kwenye soko la ajira .Takwimu zinathibitisha kuwa nchi za Ulaya zinazidi kufarakana. Soko la ajira nchini Ujerumani bado ni imara,kutokana na mageuzi yaliyofanywa mnamo miaka ya nyuma. Hali ni tofauti katika nchi za kusini mwa Ulaya.Nchi hizo zimenasa katika dimbwi la matatizo, na hazijui namna ya kujinasua. Kwa mtazamo wa Ujerumani, mgogoro wa madeni bado ni tatizo la wengine.Lakini hayo hayana maana kwamba Wajerumani hawayajali matatizo ya wengine. Wanajua kwamba udhaifu wa kiuchumi katika nchi nyingine ni jambo la wasi wasi kwa uchumi wa Ujeremani. Ripoti hiyo "kiwango cha mishahara 2018-2019", iliyotolewa leo mjini Geneva Uswis na shirika la kazi duniani ILO, inasema duniani kote kiwango cha mishahara kilishuka hadi asilimia1.8 mwaka 2017 kutoka asilimia 2.4 mwaka wa 2016, kutokana na takwim zilizokusanya kutoka mataifa 136. Ripoti pia ikifafanua kuhusu pengo hilo la mishahara kimataifa imnasema imebaini kwamba wanawake wanaendelea kulipwa takribani asilimia 20 pungufu ya wanaumme. Na Ikwa nchi zilizoendelea pengo hilo liko bayana kwenye kazi zenye malipo makubwa wakati katika nchi za kipato cha nini pengo kubwa la mishahara liko katika kazi za ujira mdogo. Kwa mujibu wa Ushahidi uliokusanywa na ripoti hiyo sababu zilizozoeleka kama tofauti za viwango vya elimu kati ya wanawake na wanaume ambao wanafanya kazi na kupipwa zinanafasi ndogo sana katika pengo hilo la mishahara baina ya wanawake na wanaumme.
Asilimia 60 ya nguvu kazi ni wale wanaofanya kazi gani
{ "text": [ "zisizo rasmi" ] }
4780_swa
UKOSEFU WA AJIRA DUNIANi Pengo kubwa kati ya wenye mishahara minono na wanaolipwa kijungu jiko Ripoti hiyo imegundua kuwa inawachukua takriban muda wa miaka 11 kwa asilimia 20 ya watu wenye kipato cha chini kupata kipato sawa na kile asilimia 20 ya wanaolipwa vizuri hupata katika mwaka mmoja pekee. Wakati huo huo, shirika hilo limesisitiza kuwa takriban watu milioni 285 ulimwenguni kote, wanachukuliwa kama ambao hawajaajiriwa chini ya kiwango. Kumaanisha wanafanya kazi kidogo kuliko wanavyotaka kufanya au, wamekata tamaa kutafuta kazi, au wameshindwa kupenyeza katika soko la ajira. ILO imeongeza kuwa kwa jumla hiyo ni takriban watu nusu bilioni, na inawakilisha asilimia 13 ya nguvu kazi kote duniani. Ryder amesema ripoti hiyo imefichua hali mbaya zaidi ya kutia wasiwasi, huku akiongeza kuwa kukosa kazi nzuri ya kufanya, kunachangia kuongezeka kwa makundi ya waandamanaji katika jamii na machafuko vanavyotokea ulimwenguni. Umoja wa Mataifa umesema kuwa watu milioni 470 kwa sasa ulimwenguni kote hawana ajira kabisa au wameajiriwa chini ya kiwango. Kwenye ripoti yao iliyotolewa jana Umoja huo umeonya kuwa ukosefu wa ajira bora unachangia machafuko katika jamii. Kwenye ripoti yake ya kila mwaka kuhusu ajira na tathmini ya jami, Shirika la Kazi Duniani, ILO, limesema Mwaka huu, idadi ya watu ambao wamesajiliwa kuwa hawana ajira inatarajiwa kuongezeka kutoka milioni 188 mwaka uliopita hadi milioni 190.5. Mnamo mwaka uliopita, zaidi ya watu milioni 630, ikiwa ni asilimia 20 ya idadi jumla ya wanaofanya kazi ulimwenguni, walitegemea kazi ya kijungu jiko, yaani kipato ni chini ya dola 3.20 kila siku. Ripoti ya ILO imeonyesha kuwa asilimia 60 ya nguvu kazi ulimwenguni kote kwa sasa ni wale wanaofanya kazi zisizo rasmi, ambapo malipo ni kidogo na hawapati marupurupu muhimu. Takwimu za Umoja wa Mataifa zinaonyesha kuwa uchumi wa mataifa umekua kwa asilimia 7 lakini licha ya mafanikio haya, ukosefu wa ajira miongoi mwa vijana bado ni changamoto kubwa ikiwa katika kiwango cha asilimia 12. Yaelezwa kuwa kwa kila vijana 700,000 ambao wanasaka ajira kila mwaka ni fursa 40,000 tu ambazo ziko wazi hii ikimaanisha kwamba ni asilimia 6 tu ya vijana ambao wanapata kazi rasmi. Hali hiyo imesababisha Umoja wa Matifa kupitia shirika lake la maendeleo ya viwanda, UNIDO, kuanza mipango rasmi ili kukabiliana na changamoto hizo. linaitahadharisha Ujerumani juu ya mgogoro wa madeni unaozikabili nchi kadhaa katika Umoja wa Ulaya. inasemekana, kwa sasa Ujerumani bado ni imara, lakini haina maana kwamba haitaweza kuguswa na mgogoro siku moja.inasemekana anafanua kwamba mgogoro wa mabenki na madeni umesababisha athari kubwa,kama ilivyoshuhudiwa kwenye soko la ajira .Takwimu zinathibitisha kuwa nchi za Ulaya zinazidi kufarakana. Soko la ajira nchini Ujerumani bado ni imara,kutokana na mageuzi yaliyofanywa mnamo miaka ya nyuma. Hali ni tofauti katika nchi za kusini mwa Ulaya.Nchi hizo zimenasa katika dimbwi la matatizo, na hazijui namna ya kujinasua. Kwa mtazamo wa Ujerumani, mgogoro wa madeni bado ni tatizo la wengine.Lakini hayo hayana maana kwamba Wajerumani hawayajali matatizo ya wengine. Wanajua kwamba udhaifu wa kiuchumi katika nchi nyingine ni jambo la wasi wasi kwa uchumi wa Ujeremani. Ripoti hiyo "kiwango cha mishahara 2018-2019", iliyotolewa leo mjini Geneva Uswis na shirika la kazi duniani ILO, inasema duniani kote kiwango cha mishahara kilishuka hadi asilimia1.8 mwaka 2017 kutoka asilimia 2.4 mwaka wa 2016, kutokana na takwim zilizokusanya kutoka mataifa 136. Ripoti pia ikifafanua kuhusu pengo hilo la mishahara kimataifa imnasema imebaini kwamba wanawake wanaendelea kulipwa takribani asilimia 20 pungufu ya wanaumme. Na Ikwa nchi zilizoendelea pengo hilo liko bayana kwenye kazi zenye malipo makubwa wakati katika nchi za kipato cha nini pengo kubwa la mishahara liko katika kazi za ujira mdogo. Kwa mujibu wa Ushahidi uliokusanywa na ripoti hiyo sababu zilizozoeleka kama tofauti za viwango vya elimu kati ya wanawake na wanaume ambao wanafanya kazi na kupipwa zinanafasi ndogo sana katika pengo hilo la mishahara baina ya wanawake na wanaumme.
Ukosefu wa ajira miongoni mwa nani ni changamoto
{ "text": [ "vijana" ] }
4780_swa
UKOSEFU WA AJIRA DUNIANi Pengo kubwa kati ya wenye mishahara minono na wanaolipwa kijungu jiko Ripoti hiyo imegundua kuwa inawachukua takriban muda wa miaka 11 kwa asilimia 20 ya watu wenye kipato cha chini kupata kipato sawa na kile asilimia 20 ya wanaolipwa vizuri hupata katika mwaka mmoja pekee. Wakati huo huo, shirika hilo limesisitiza kuwa takriban watu milioni 285 ulimwenguni kote, wanachukuliwa kama ambao hawajaajiriwa chini ya kiwango. Kumaanisha wanafanya kazi kidogo kuliko wanavyotaka kufanya au, wamekata tamaa kutafuta kazi, au wameshindwa kupenyeza katika soko la ajira. ILO imeongeza kuwa kwa jumla hiyo ni takriban watu nusu bilioni, na inawakilisha asilimia 13 ya nguvu kazi kote duniani. Ryder amesema ripoti hiyo imefichua hali mbaya zaidi ya kutia wasiwasi, huku akiongeza kuwa kukosa kazi nzuri ya kufanya, kunachangia kuongezeka kwa makundi ya waandamanaji katika jamii na machafuko vanavyotokea ulimwenguni. Umoja wa Mataifa umesema kuwa watu milioni 470 kwa sasa ulimwenguni kote hawana ajira kabisa au wameajiriwa chini ya kiwango. Kwenye ripoti yao iliyotolewa jana Umoja huo umeonya kuwa ukosefu wa ajira bora unachangia machafuko katika jamii. Kwenye ripoti yake ya kila mwaka kuhusu ajira na tathmini ya jami, Shirika la Kazi Duniani, ILO, limesema Mwaka huu, idadi ya watu ambao wamesajiliwa kuwa hawana ajira inatarajiwa kuongezeka kutoka milioni 188 mwaka uliopita hadi milioni 190.5. Mnamo mwaka uliopita, zaidi ya watu milioni 630, ikiwa ni asilimia 20 ya idadi jumla ya wanaofanya kazi ulimwenguni, walitegemea kazi ya kijungu jiko, yaani kipato ni chini ya dola 3.20 kila siku. Ripoti ya ILO imeonyesha kuwa asilimia 60 ya nguvu kazi ulimwenguni kote kwa sasa ni wale wanaofanya kazi zisizo rasmi, ambapo malipo ni kidogo na hawapati marupurupu muhimu. Takwimu za Umoja wa Mataifa zinaonyesha kuwa uchumi wa mataifa umekua kwa asilimia 7 lakini licha ya mafanikio haya, ukosefu wa ajira miongoi mwa vijana bado ni changamoto kubwa ikiwa katika kiwango cha asilimia 12. Yaelezwa kuwa kwa kila vijana 700,000 ambao wanasaka ajira kila mwaka ni fursa 40,000 tu ambazo ziko wazi hii ikimaanisha kwamba ni asilimia 6 tu ya vijana ambao wanapata kazi rasmi. Hali hiyo imesababisha Umoja wa Matifa kupitia shirika lake la maendeleo ya viwanda, UNIDO, kuanza mipango rasmi ili kukabiliana na changamoto hizo. linaitahadharisha Ujerumani juu ya mgogoro wa madeni unaozikabili nchi kadhaa katika Umoja wa Ulaya. inasemekana, kwa sasa Ujerumani bado ni imara, lakini haina maana kwamba haitaweza kuguswa na mgogoro siku moja.inasemekana anafanua kwamba mgogoro wa mabenki na madeni umesababisha athari kubwa,kama ilivyoshuhudiwa kwenye soko la ajira .Takwimu zinathibitisha kuwa nchi za Ulaya zinazidi kufarakana. Soko la ajira nchini Ujerumani bado ni imara,kutokana na mageuzi yaliyofanywa mnamo miaka ya nyuma. Hali ni tofauti katika nchi za kusini mwa Ulaya.Nchi hizo zimenasa katika dimbwi la matatizo, na hazijui namna ya kujinasua. Kwa mtazamo wa Ujerumani, mgogoro wa madeni bado ni tatizo la wengine.Lakini hayo hayana maana kwamba Wajerumani hawayajali matatizo ya wengine. Wanajua kwamba udhaifu wa kiuchumi katika nchi nyingine ni jambo la wasi wasi kwa uchumi wa Ujeremani. Ripoti hiyo "kiwango cha mishahara 2018-2019", iliyotolewa leo mjini Geneva Uswis na shirika la kazi duniani ILO, inasema duniani kote kiwango cha mishahara kilishuka hadi asilimia1.8 mwaka 2017 kutoka asilimia 2.4 mwaka wa 2016, kutokana na takwim zilizokusanya kutoka mataifa 136. Ripoti pia ikifafanua kuhusu pengo hilo la mishahara kimataifa imnasema imebaini kwamba wanawake wanaendelea kulipwa takribani asilimia 20 pungufu ya wanaumme. Na Ikwa nchi zilizoendelea pengo hilo liko bayana kwenye kazi zenye malipo makubwa wakati katika nchi za kipato cha nini pengo kubwa la mishahara liko katika kazi za ujira mdogo. Kwa mujibu wa Ushahidi uliokusanywa na ripoti hiyo sababu zilizozoeleka kama tofauti za viwango vya elimu kati ya wanawake na wanaume ambao wanafanya kazi na kupipwa zinanafasi ndogo sana katika pengo hilo la mishahara baina ya wanawake na wanaumme.
Mbona UNIDO imeanza mipango rasmi
{ "text": [ "ili kukabiliana na changamoto hizo" ] }
4781_swa
Karen Katika familia ya watoto walili, Karen alikuwa msichana wa kipekee. Ndugu yake Ben ndiye aliyekuwa kitinda mimba wa familia hiyo. Wote wawili waliishi na mama yao mjini Nairobi na hawakuwa na baba Mama yake Karen alikuwa akifanya kazi kama msaidizi wa nyumba katika katika jumba moja la tajiri mashuhuri uko Nairobi kwa hivyo maisha yao haikuwa rahisi kwasababu ya ukosefu wa fedha na majitaji ya kila siku Uhusiano kati ya Karen na mama yake haikuwa ya kupendeza, Mama yake Ann alikuwa mwanamke mwenye tabia ya kumezea mate na zaidi ya yote alikuwa anapenda mambo ya kanisa na Imani yake ilikuwa ya kupigia mfano. Alikuwa mshiriki wa kanisa katoliki huko jijini. Karen naye kwa upande mwingine kwasababu ya shida walizokuwa nazo nyumbani na alitaka kuishi maisha ya kifahari na alijitafutia njia. Alikuwa msichna mrembo yani aliumbwa akaumbika, umbo lake liliochora nane lilikuwamchukua vizuri kwa kila nguo aliyovaa. Wengi wa vijani walimtamani lakini Karen ni nani? Aliona Kama vijana Hawa hawakuwa wa kiwango chake. Katika umri hii wa miaka kumi na minne alianza kuwatembea na wanaume wa umri wa babake. Mama yake aligundua tabia yake na kujaribu kumrekebisha lakini hakusikia chochote wala lolote na hii ndio ilivuruga uhusiano wake na mama yake. Basi muda ukaenda na Karen akamaliza shule ya upili na kujiunga na Chuo kikuu Cha Nairobi , huku tofauti na masomo alikuwa na kazi ya kufanya, baada ya shule hakuwa mwanafunzi tena alikuwa kahaba na kutumia njia hii kujipatia pesa na kusema ukweli alipata pesa na kutona na kazi hii. Maisha yake yalibadilka na hakuwa Karen wa zamani tena, aliishi nyumba ya pesa, alivaa nguo za bei na vyatu vya bei na kila kitu katika maisha yangu haikuwa kawaida tena Yani alianza kuishi maisha ya kifahari. Mama yake alipata hizi habari na kujaribu tena kuongea na mwanake, hakupenda Karen kuendelea kuisha maisha haya" Karen mwanangu badilisha mwenendo , nakupenda sana na sipendi kukuona ukiebdelea hivo" Ann alijua madhara ya maisha haya na alihofia mtoto wake kwasababu uchungu wa mwana amjuaye ni mama. Karen alijubu mamake kuwa hayo maisha yalikuwa ni yake na ni yeye aliyachagua na hatakubali kufa akiwa maskini. Ann alisitika sana kusikia maneno haya lakini alikosa cha kufanya alijisemea tu kimoyomoyo asiyefunzwa na mamake hufunzwa na ulimwengu. Siku moja katika kazi yake ya baada masomo Karen alikutana na Bwana mmoja kwa jina la James. James alikuwa tajiri na alikuwa tena mtu wa heshim zake, alikuwa akijulikana na kuheshimiwa kote mjini kama jaji mashuhuri sana, basi Karen naye akafanya kazi yake na kuenda zake siku hiyo. Kama kawaida yake Karen alihakikisha kwamba alimjua kila mmoja anayekuwa naye kwa undani zaidi. Alichokora kibeti yake Kisha akatambua kuwa alikuwa Jaji mmoja tajiri huko jijini na hata yeye humu chuo kikuu katika shule ya sheria alikuwa amesikia sifa zake za kupendeza zilizokuwa zimeenea kila mahali. Chuoni Karen alikutana na msichana kwa Jina Amanda, jirani wake katika nyumba walizokuwa wakiishi. Kwa maneno machache tuseme Amanda alikuwa malaika , alikuwa anapenda kuja kwa Karen ili afadhali apate mtu wa kuongea naye, siku moja alikuja kwa Karen na kumweleza kwamba maishani mwake ako na kila kitu binadamu anahitaji si pesa si wazazi si Mali si nguo lakini maisha yake hayajakamilika, ' nmekosa rafiki, Sina mtu wa kuongea naye' Amanda alisema . Karen kwa hurumu alimuliza Amanda kwamba alikuwa na sababu gani kusema hivyo basi mazungumzo yakachacha kati ya warembo walili. Amanda alimweleza Karene kwamba licha ya kuwa na wazazi tajiri sana hakuna hakuna aliyeelewa hisia zake na kwamba kila mmoja wa wao alikuwa tu na haja na sifa za familia, hawakujali wanafanya Nini ili kuendeleza sifa zao zilizokuwa zimeenea kote duniani, alimwelezea kwamba kulingana na uweze wake wa kimasomo hafai kuwa shule ya sheria lakini ako hapo kwasababu ya wazazi wake. Katika mazungumzo yao Amanda alitaja kwamba kulikuwa na sherehe na itambidi aende nyumbani kuhudhuria Kisha kumwambia Karen aandamane naye kwao. Basi Karen na Amanda wakafika nyumbani kwa akina Amanda, akatambuliswa kama rafikiye Amanda kutoka shule ya sheria hivyo alikaribishwa vizuri na wazazi wake Amanda alikaa pamoja na wageni. James alimfikia Amanda na kumkumbatia kwa upendo wa baba ma mtoto wake.Hapo ndipo karen aligundua kuwa Jemes yule Jaji alikuwa naye ndiye babake Amanda. James alishtuka kumwona Karen kwake nyumbani lakini Karen alihisi kana kwamba milango ya binguni ilikuwa imeanza kufunguka kwake, aliona njia ya kujitengenezea pesa , wote wawili walijifanya hawajuani James hakutaka bibi yake Jane ama Amanda kujua Kambwa aliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Karen. Wakati wa kula ukafika basi wasaidizi wakaanza kuingia ndani na chakula, Ann mamake Karen alikuwa mmoja wa wafanyikazi wa bwana James, Ann kumwona Karen huku alishtuka na kuangusha sinia ya chakula chini. Jane alisimama kwa haraka na kumsaidia kusafisha Kisha akarudi kwa wageni na kuwaomba radhi. Karen alisimama na kutembea haste haste kuelekea pale ambapo Ann alikuwa, alimwangalia kwa dharau na bezo kisha akamgeukia Jane na kumuuliza"" mfanyikazi wenu anaitwa nani?" Jane akamjibu Ann, Karen alimugeukia tena na na kumwambia kwa dharau " ukimaliza hapa niletee maji ya kunywa!" Ann aliinama kuonyesha ishara za heshima Kisha akaondoka kuelekea jikoni. Baada ya muda mfupi Ann alirudi na maji ya kunywa jinsi alivyoagiziwa na Karen basi Karen naye akasimama kuchukua maji yale. Kimaksudi Ann alimwagilia Karen maji yale yate kwenye nguo Kisha akajifanya kwamba imetokea bahati mbaya. Jane alisimama na kuwakaribia wote wawili akiomba tena radhi kwa Karen na kumweleza kwamba msaidizi wake Ann hakuwa anahijisi vizuri , Jane alikuwa mtu aliyejali maslahi ya wafanyakazi wake na hata watu wengine kwa hivyo hata hapo hakushuku kama kulikuwa na jambo kati ya Karen na Ann "Samahani sana madam niwie radhi haitarudia tena" Ann alimwambia Karen kwa sauti ya unyenyekevu, wote walili waliondoka kuelekea bafuni. Huko bafuni walikuwa wawili Ann alimzaba Karen Kofi kwenye shavu na kumuuliza alikuwa akifanya kwenye jumba hilo Karen alishika shavu lake na baada ya sekunde kama mbili alirudisha mkono wake chini na kumkodolea mamake macho," Ann fanya kazi yako na uniache nifanye yangu" Karen alitoka huko bafuni na kurudi kwenye chumba Cha kula. Huku kila mtu alikuwa akiendelea na kula chajio, Karen alimwangalia Bwana James pale alipokuwa akikaa karibu na bibi yake na Kisha kumnong'onea jicho, James alijifanya kana kwamba hakaona chochote na na kuendelea na chakula. Baada ya muda chache James aliondoka na kuelekea ofini mwake iliyokuwa ndani ya jumba lake hapo. Karen alijichafua tena na chakula Kisha kuondika kuelekea bafuni. Mara hii alifutwa na Amanada aleimsaidia nguo za kumsaidia wakati alikuwa akisafisha zake na Amanda akaondoka na kumwacha bafuni. Karen alijifunga nguo hiyo na kuondoka kuelekea ofini mwa James. Allibisha mlango kisha akaingia ndani, alichukua kifungu kilichokuwa mlangoni na kufunga malngo akatoa nguo Ile aliyokuwa amejifunga na kutupa kitini, alibaki jinsi alivyozaliwa na kumsongea Bwana James pale alipokuwa amekalia kitini kisha kumwangalia na macho ya kikahaba bila kutamka lolote. James hakuweza kujizuia alimsogea na kukaribusha domo lake na lile la Karen huku akitoa nguo zake na wote wawili wakapotelea kwa ulimwengu usilojulikana. Karen alikuwa ameweka simu yake kunasa kila kitu kilichokuwa kinafanyika ofini mle Kati yake ya James na baada ya sherehe Ile alirudi nyumbani na kuanza kazi yake. Alituma hiyo video kwa James na kumwambia kwamba anahitaji milioni kumi na tano ama asambaze video hiyo mtandaoni. James alishtuka alifikiria kwanza heshima na sifa zote familia yake ilikuwa nayo, alifikiria muda ambayo ilimchukua kujenga sifa hizo, akafikifia Jane bibi yake na mtoto wake Amanda, alifikiria watasema Nini au dunia itasema Nini kuona au kusikiza kuhusu video hii. James alimpigia Karen simu Mara hiyo hiyo na kumwomba wakutane waongee basi Karen naye akakubali kukutana na yeye katika hoteli moja mjini kwa maagizo, alimwambia abebe pesa na amtumie kwanza dhibitisho ndio aweze kufika hotelini. Jame alifanya jinsi alivyoagizwa na Karen. Usiku hiyo wote wawili walikutana hotelini, Karen alifika na kumpata James alikuwa akikaa na kinywaji mbele yake akimgojea naye alifika na kuagiza kinywaji Kisha kukaa kando la James. James alimwonyesha kisanduki kilichokuwa kimebebe pesa na kumwambia apeane Ile rekodi zote za video hiyo kwake. Karen alipokuwa ameinamisha kichwa kweye pochi lake kutoa rekodi ya video hiyo James alitumia muda huo kuweka sumu katika kinywaji chake. Karen alipeana rekodi Kisha kumaliza kinwaji chake na wote walili wakaondoka. Karen alisimamisha takski na kuingia ndani, alihisi usingizi hata kabla ya texti kuondoka na akaamua ajilaze kidogo ndani. Baada ya masaa mawili Karen alpatikana amekata roho ndani ya taksi ile.
Karen na familia yao waliishi wapi
{ "text": [ "Mjini Nairobi" ] }
4781_swa
Karen Katika familia ya watoto walili, Karen alikuwa msichana wa kipekee. Ndugu yake Ben ndiye aliyekuwa kitinda mimba wa familia hiyo. Wote wawili waliishi na mama yao mjini Nairobi na hawakuwa na baba Mama yake Karen alikuwa akifanya kazi kama msaidizi wa nyumba katika katika jumba moja la tajiri mashuhuri uko Nairobi kwa hivyo maisha yao haikuwa rahisi kwasababu ya ukosefu wa fedha na majitaji ya kila siku Uhusiano kati ya Karen na mama yake haikuwa ya kupendeza, Mama yake Ann alikuwa mwanamke mwenye tabia ya kumezea mate na zaidi ya yote alikuwa anapenda mambo ya kanisa na Imani yake ilikuwa ya kupigia mfano. Alikuwa mshiriki wa kanisa katoliki huko jijini. Karen naye kwa upande mwingine kwasababu ya shida walizokuwa nazo nyumbani na alitaka kuishi maisha ya kifahari na alijitafutia njia. Alikuwa msichna mrembo yani aliumbwa akaumbika, umbo lake liliochora nane lilikuwamchukua vizuri kwa kila nguo aliyovaa. Wengi wa vijani walimtamani lakini Karen ni nani? Aliona Kama vijana Hawa hawakuwa wa kiwango chake. Katika umri hii wa miaka kumi na minne alianza kuwatembea na wanaume wa umri wa babake. Mama yake aligundua tabia yake na kujaribu kumrekebisha lakini hakusikia chochote wala lolote na hii ndio ilivuruga uhusiano wake na mama yake. Basi muda ukaenda na Karen akamaliza shule ya upili na kujiunga na Chuo kikuu Cha Nairobi , huku tofauti na masomo alikuwa na kazi ya kufanya, baada ya shule hakuwa mwanafunzi tena alikuwa kahaba na kutumia njia hii kujipatia pesa na kusema ukweli alipata pesa na kutona na kazi hii. Maisha yake yalibadilka na hakuwa Karen wa zamani tena, aliishi nyumba ya pesa, alivaa nguo za bei na vyatu vya bei na kila kitu katika maisha yangu haikuwa kawaida tena Yani alianza kuishi maisha ya kifahari. Mama yake alipata hizi habari na kujaribu tena kuongea na mwanake, hakupenda Karen kuendelea kuisha maisha haya" Karen mwanangu badilisha mwenendo , nakupenda sana na sipendi kukuona ukiebdelea hivo" Ann alijua madhara ya maisha haya na alihofia mtoto wake kwasababu uchungu wa mwana amjuaye ni mama. Karen alijubu mamake kuwa hayo maisha yalikuwa ni yake na ni yeye aliyachagua na hatakubali kufa akiwa maskini. Ann alisitika sana kusikia maneno haya lakini alikosa cha kufanya alijisemea tu kimoyomoyo asiyefunzwa na mamake hufunzwa na ulimwengu. Siku moja katika kazi yake ya baada masomo Karen alikutana na Bwana mmoja kwa jina la James. James alikuwa tajiri na alikuwa tena mtu wa heshim zake, alikuwa akijulikana na kuheshimiwa kote mjini kama jaji mashuhuri sana, basi Karen naye akafanya kazi yake na kuenda zake siku hiyo. Kama kawaida yake Karen alihakikisha kwamba alimjua kila mmoja anayekuwa naye kwa undani zaidi. Alichokora kibeti yake Kisha akatambua kuwa alikuwa Jaji mmoja tajiri huko jijini na hata yeye humu chuo kikuu katika shule ya sheria alikuwa amesikia sifa zake za kupendeza zilizokuwa zimeenea kila mahali. Chuoni Karen alikutana na msichana kwa Jina Amanda, jirani wake katika nyumba walizokuwa wakiishi. Kwa maneno machache tuseme Amanda alikuwa malaika , alikuwa anapenda kuja kwa Karen ili afadhali apate mtu wa kuongea naye, siku moja alikuja kwa Karen na kumweleza kwamba maishani mwake ako na kila kitu binadamu anahitaji si pesa si wazazi si Mali si nguo lakini maisha yake hayajakamilika, ' nmekosa rafiki, Sina mtu wa kuongea naye' Amanda alisema . Karen kwa hurumu alimuliza Amanda kwamba alikuwa na sababu gani kusema hivyo basi mazungumzo yakachacha kati ya warembo walili. Amanda alimweleza Karene kwamba licha ya kuwa na wazazi tajiri sana hakuna hakuna aliyeelewa hisia zake na kwamba kila mmoja wa wao alikuwa tu na haja na sifa za familia, hawakujali wanafanya Nini ili kuendeleza sifa zao zilizokuwa zimeenea kote duniani, alimwelezea kwamba kulingana na uweze wake wa kimasomo hafai kuwa shule ya sheria lakini ako hapo kwasababu ya wazazi wake. Katika mazungumzo yao Amanda alitaja kwamba kulikuwa na sherehe na itambidi aende nyumbani kuhudhuria Kisha kumwambia Karen aandamane naye kwao. Basi Karen na Amanda wakafika nyumbani kwa akina Amanda, akatambuliswa kama rafikiye Amanda kutoka shule ya sheria hivyo alikaribishwa vizuri na wazazi wake Amanda alikaa pamoja na wageni. James alimfikia Amanda na kumkumbatia kwa upendo wa baba ma mtoto wake.Hapo ndipo karen aligundua kuwa Jemes yule Jaji alikuwa naye ndiye babake Amanda. James alishtuka kumwona Karen kwake nyumbani lakini Karen alihisi kana kwamba milango ya binguni ilikuwa imeanza kufunguka kwake, aliona njia ya kujitengenezea pesa , wote wawili walijifanya hawajuani James hakutaka bibi yake Jane ama Amanda kujua Kambwa aliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Karen. Wakati wa kula ukafika basi wasaidizi wakaanza kuingia ndani na chakula, Ann mamake Karen alikuwa mmoja wa wafanyikazi wa bwana James, Ann kumwona Karen huku alishtuka na kuangusha sinia ya chakula chini. Jane alisimama kwa haraka na kumsaidia kusafisha Kisha akarudi kwa wageni na kuwaomba radhi. Karen alisimama na kutembea haste haste kuelekea pale ambapo Ann alikuwa, alimwangalia kwa dharau na bezo kisha akamgeukia Jane na kumuuliza"" mfanyikazi wenu anaitwa nani?" Jane akamjibu Ann, Karen alimugeukia tena na na kumwambia kwa dharau " ukimaliza hapa niletee maji ya kunywa!" Ann aliinama kuonyesha ishara za heshima Kisha akaondoka kuelekea jikoni. Baada ya muda mfupi Ann alirudi na maji ya kunywa jinsi alivyoagiziwa na Karen basi Karen naye akasimama kuchukua maji yale. Kimaksudi Ann alimwagilia Karen maji yale yate kwenye nguo Kisha akajifanya kwamba imetokea bahati mbaya. Jane alisimama na kuwakaribia wote wawili akiomba tena radhi kwa Karen na kumweleza kwamba msaidizi wake Ann hakuwa anahijisi vizuri , Jane alikuwa mtu aliyejali maslahi ya wafanyakazi wake na hata watu wengine kwa hivyo hata hapo hakushuku kama kulikuwa na jambo kati ya Karen na Ann "Samahani sana madam niwie radhi haitarudia tena" Ann alimwambia Karen kwa sauti ya unyenyekevu, wote walili waliondoka kuelekea bafuni. Huko bafuni walikuwa wawili Ann alimzaba Karen Kofi kwenye shavu na kumuuliza alikuwa akifanya kwenye jumba hilo Karen alishika shavu lake na baada ya sekunde kama mbili alirudisha mkono wake chini na kumkodolea mamake macho," Ann fanya kazi yako na uniache nifanye yangu" Karen alitoka huko bafuni na kurudi kwenye chumba Cha kula. Huku kila mtu alikuwa akiendelea na kula chajio, Karen alimwangalia Bwana James pale alipokuwa akikaa karibu na bibi yake na Kisha kumnong'onea jicho, James alijifanya kana kwamba hakaona chochote na na kuendelea na chakula. Baada ya muda chache James aliondoka na kuelekea ofini mwake iliyokuwa ndani ya jumba lake hapo. Karen alijichafua tena na chakula Kisha kuondika kuelekea bafuni. Mara hii alifutwa na Amanada aleimsaidia nguo za kumsaidia wakati alikuwa akisafisha zake na Amanda akaondoka na kumwacha bafuni. Karen alijifunga nguo hiyo na kuondoka kuelekea ofini mwa James. Allibisha mlango kisha akaingia ndani, alichukua kifungu kilichokuwa mlangoni na kufunga malngo akatoa nguo Ile aliyokuwa amejifunga na kutupa kitini, alibaki jinsi alivyozaliwa na kumsongea Bwana James pale alipokuwa amekalia kitini kisha kumwangalia na macho ya kikahaba bila kutamka lolote. James hakuweza kujizuia alimsogea na kukaribusha domo lake na lile la Karen huku akitoa nguo zake na wote wawili wakapotelea kwa ulimwengu usilojulikana. Karen alikuwa ameweka simu yake kunasa kila kitu kilichokuwa kinafanyika ofini mle Kati yake ya James na baada ya sherehe Ile alirudi nyumbani na kuanza kazi yake. Alituma hiyo video kwa James na kumwambia kwamba anahitaji milioni kumi na tano ama asambaze video hiyo mtandaoni. James alishtuka alifikiria kwanza heshima na sifa zote familia yake ilikuwa nayo, alifikiria muda ambayo ilimchukua kujenga sifa hizo, akafikifia Jane bibi yake na mtoto wake Amanda, alifikiria watasema Nini au dunia itasema Nini kuona au kusikiza kuhusu video hii. James alimpigia Karen simu Mara hiyo hiyo na kumwomba wakutane waongee basi Karen naye akakubali kukutana na yeye katika hoteli moja mjini kwa maagizo, alimwambia abebe pesa na amtumie kwanza dhibitisho ndio aweze kufika hotelini. Jame alifanya jinsi alivyoagizwa na Karen. Usiku hiyo wote wawili walikutana hotelini, Karen alifika na kumpata James alikuwa akikaa na kinywaji mbele yake akimgojea naye alifika na kuagiza kinywaji Kisha kukaa kando la James. James alimwonyesha kisanduki kilichokuwa kimebebe pesa na kumwambia apeane Ile rekodi zote za video hiyo kwake. Karen alipokuwa ameinamisha kichwa kweye pochi lake kutoa rekodi ya video hiyo James alitumia muda huo kuweka sumu katika kinywaji chake. Karen alipeana rekodi Kisha kumaliza kinwaji chake na wote walili wakaondoka. Karen alisimamisha takski na kuingia ndani, alihisi usingizi hata kabla ya texti kuondoka na akaamua ajilaze kidogo ndani. Baada ya masaa mawili Karen alpatikana amekata roho ndani ya taksi ile.
Mamake karen alifanya kazi gani
{ "text": [ "Msaidizi wa nyumbani katika jumba la tajiri mmoja" ] }
4781_swa
Karen Katika familia ya watoto walili, Karen alikuwa msichana wa kipekee. Ndugu yake Ben ndiye aliyekuwa kitinda mimba wa familia hiyo. Wote wawili waliishi na mama yao mjini Nairobi na hawakuwa na baba Mama yake Karen alikuwa akifanya kazi kama msaidizi wa nyumba katika katika jumba moja la tajiri mashuhuri uko Nairobi kwa hivyo maisha yao haikuwa rahisi kwasababu ya ukosefu wa fedha na majitaji ya kila siku Uhusiano kati ya Karen na mama yake haikuwa ya kupendeza, Mama yake Ann alikuwa mwanamke mwenye tabia ya kumezea mate na zaidi ya yote alikuwa anapenda mambo ya kanisa na Imani yake ilikuwa ya kupigia mfano. Alikuwa mshiriki wa kanisa katoliki huko jijini. Karen naye kwa upande mwingine kwasababu ya shida walizokuwa nazo nyumbani na alitaka kuishi maisha ya kifahari na alijitafutia njia. Alikuwa msichna mrembo yani aliumbwa akaumbika, umbo lake liliochora nane lilikuwamchukua vizuri kwa kila nguo aliyovaa. Wengi wa vijani walimtamani lakini Karen ni nani? Aliona Kama vijana Hawa hawakuwa wa kiwango chake. Katika umri hii wa miaka kumi na minne alianza kuwatembea na wanaume wa umri wa babake. Mama yake aligundua tabia yake na kujaribu kumrekebisha lakini hakusikia chochote wala lolote na hii ndio ilivuruga uhusiano wake na mama yake. Basi muda ukaenda na Karen akamaliza shule ya upili na kujiunga na Chuo kikuu Cha Nairobi , huku tofauti na masomo alikuwa na kazi ya kufanya, baada ya shule hakuwa mwanafunzi tena alikuwa kahaba na kutumia njia hii kujipatia pesa na kusema ukweli alipata pesa na kutona na kazi hii. Maisha yake yalibadilka na hakuwa Karen wa zamani tena, aliishi nyumba ya pesa, alivaa nguo za bei na vyatu vya bei na kila kitu katika maisha yangu haikuwa kawaida tena Yani alianza kuishi maisha ya kifahari. Mama yake alipata hizi habari na kujaribu tena kuongea na mwanake, hakupenda Karen kuendelea kuisha maisha haya" Karen mwanangu badilisha mwenendo , nakupenda sana na sipendi kukuona ukiebdelea hivo" Ann alijua madhara ya maisha haya na alihofia mtoto wake kwasababu uchungu wa mwana amjuaye ni mama. Karen alijubu mamake kuwa hayo maisha yalikuwa ni yake na ni yeye aliyachagua na hatakubali kufa akiwa maskini. Ann alisitika sana kusikia maneno haya lakini alikosa cha kufanya alijisemea tu kimoyomoyo asiyefunzwa na mamake hufunzwa na ulimwengu. Siku moja katika kazi yake ya baada masomo Karen alikutana na Bwana mmoja kwa jina la James. James alikuwa tajiri na alikuwa tena mtu wa heshim zake, alikuwa akijulikana na kuheshimiwa kote mjini kama jaji mashuhuri sana, basi Karen naye akafanya kazi yake na kuenda zake siku hiyo. Kama kawaida yake Karen alihakikisha kwamba alimjua kila mmoja anayekuwa naye kwa undani zaidi. Alichokora kibeti yake Kisha akatambua kuwa alikuwa Jaji mmoja tajiri huko jijini na hata yeye humu chuo kikuu katika shule ya sheria alikuwa amesikia sifa zake za kupendeza zilizokuwa zimeenea kila mahali. Chuoni Karen alikutana na msichana kwa Jina Amanda, jirani wake katika nyumba walizokuwa wakiishi. Kwa maneno machache tuseme Amanda alikuwa malaika , alikuwa anapenda kuja kwa Karen ili afadhali apate mtu wa kuongea naye, siku moja alikuja kwa Karen na kumweleza kwamba maishani mwake ako na kila kitu binadamu anahitaji si pesa si wazazi si Mali si nguo lakini maisha yake hayajakamilika, ' nmekosa rafiki, Sina mtu wa kuongea naye' Amanda alisema . Karen kwa hurumu alimuliza Amanda kwamba alikuwa na sababu gani kusema hivyo basi mazungumzo yakachacha kati ya warembo walili. Amanda alimweleza Karene kwamba licha ya kuwa na wazazi tajiri sana hakuna hakuna aliyeelewa hisia zake na kwamba kila mmoja wa wao alikuwa tu na haja na sifa za familia, hawakujali wanafanya Nini ili kuendeleza sifa zao zilizokuwa zimeenea kote duniani, alimwelezea kwamba kulingana na uweze wake wa kimasomo hafai kuwa shule ya sheria lakini ako hapo kwasababu ya wazazi wake. Katika mazungumzo yao Amanda alitaja kwamba kulikuwa na sherehe na itambidi aende nyumbani kuhudhuria Kisha kumwambia Karen aandamane naye kwao. Basi Karen na Amanda wakafika nyumbani kwa akina Amanda, akatambuliswa kama rafikiye Amanda kutoka shule ya sheria hivyo alikaribishwa vizuri na wazazi wake Amanda alikaa pamoja na wageni. James alimfikia Amanda na kumkumbatia kwa upendo wa baba ma mtoto wake.Hapo ndipo karen aligundua kuwa Jemes yule Jaji alikuwa naye ndiye babake Amanda. James alishtuka kumwona Karen kwake nyumbani lakini Karen alihisi kana kwamba milango ya binguni ilikuwa imeanza kufunguka kwake, aliona njia ya kujitengenezea pesa , wote wawili walijifanya hawajuani James hakutaka bibi yake Jane ama Amanda kujua Kambwa aliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Karen. Wakati wa kula ukafika basi wasaidizi wakaanza kuingia ndani na chakula, Ann mamake Karen alikuwa mmoja wa wafanyikazi wa bwana James, Ann kumwona Karen huku alishtuka na kuangusha sinia ya chakula chini. Jane alisimama kwa haraka na kumsaidia kusafisha Kisha akarudi kwa wageni na kuwaomba radhi. Karen alisimama na kutembea haste haste kuelekea pale ambapo Ann alikuwa, alimwangalia kwa dharau na bezo kisha akamgeukia Jane na kumuuliza"" mfanyikazi wenu anaitwa nani?" Jane akamjibu Ann, Karen alimugeukia tena na na kumwambia kwa dharau " ukimaliza hapa niletee maji ya kunywa!" Ann aliinama kuonyesha ishara za heshima Kisha akaondoka kuelekea jikoni. Baada ya muda mfupi Ann alirudi na maji ya kunywa jinsi alivyoagiziwa na Karen basi Karen naye akasimama kuchukua maji yale. Kimaksudi Ann alimwagilia Karen maji yale yate kwenye nguo Kisha akajifanya kwamba imetokea bahati mbaya. Jane alisimama na kuwakaribia wote wawili akiomba tena radhi kwa Karen na kumweleza kwamba msaidizi wake Ann hakuwa anahijisi vizuri , Jane alikuwa mtu aliyejali maslahi ya wafanyakazi wake na hata watu wengine kwa hivyo hata hapo hakushuku kama kulikuwa na jambo kati ya Karen na Ann "Samahani sana madam niwie radhi haitarudia tena" Ann alimwambia Karen kwa sauti ya unyenyekevu, wote walili waliondoka kuelekea bafuni. Huko bafuni walikuwa wawili Ann alimzaba Karen Kofi kwenye shavu na kumuuliza alikuwa akifanya kwenye jumba hilo Karen alishika shavu lake na baada ya sekunde kama mbili alirudisha mkono wake chini na kumkodolea mamake macho," Ann fanya kazi yako na uniache nifanye yangu" Karen alitoka huko bafuni na kurudi kwenye chumba Cha kula. Huku kila mtu alikuwa akiendelea na kula chajio, Karen alimwangalia Bwana James pale alipokuwa akikaa karibu na bibi yake na Kisha kumnong'onea jicho, James alijifanya kana kwamba hakaona chochote na na kuendelea na chakula. Baada ya muda chache James aliondoka na kuelekea ofini mwake iliyokuwa ndani ya jumba lake hapo. Karen alijichafua tena na chakula Kisha kuondika kuelekea bafuni. Mara hii alifutwa na Amanada aleimsaidia nguo za kumsaidia wakati alikuwa akisafisha zake na Amanda akaondoka na kumwacha bafuni. Karen alijifunga nguo hiyo na kuondoka kuelekea ofini mwa James. Allibisha mlango kisha akaingia ndani, alichukua kifungu kilichokuwa mlangoni na kufunga malngo akatoa nguo Ile aliyokuwa amejifunga na kutupa kitini, alibaki jinsi alivyozaliwa na kumsongea Bwana James pale alipokuwa amekalia kitini kisha kumwangalia na macho ya kikahaba bila kutamka lolote. James hakuweza kujizuia alimsogea na kukaribusha domo lake na lile la Karen huku akitoa nguo zake na wote wawili wakapotelea kwa ulimwengu usilojulikana. Karen alikuwa ameweka simu yake kunasa kila kitu kilichokuwa kinafanyika ofini mle Kati yake ya James na baada ya sherehe Ile alirudi nyumbani na kuanza kazi yake. Alituma hiyo video kwa James na kumwambia kwamba anahitaji milioni kumi na tano ama asambaze video hiyo mtandaoni. James alishtuka alifikiria kwanza heshima na sifa zote familia yake ilikuwa nayo, alifikiria muda ambayo ilimchukua kujenga sifa hizo, akafikifia Jane bibi yake na mtoto wake Amanda, alifikiria watasema Nini au dunia itasema Nini kuona au kusikiza kuhusu video hii. James alimpigia Karen simu Mara hiyo hiyo na kumwomba wakutane waongee basi Karen naye akakubali kukutana na yeye katika hoteli moja mjini kwa maagizo, alimwambia abebe pesa na amtumie kwanza dhibitisho ndio aweze kufika hotelini. Jame alifanya jinsi alivyoagizwa na Karen. Usiku hiyo wote wawili walikutana hotelini, Karen alifika na kumpata James alikuwa akikaa na kinywaji mbele yake akimgojea naye alifika na kuagiza kinywaji Kisha kukaa kando la James. James alimwonyesha kisanduki kilichokuwa kimebebe pesa na kumwambia apeane Ile rekodi zote za video hiyo kwake. Karen alipokuwa ameinamisha kichwa kweye pochi lake kutoa rekodi ya video hiyo James alitumia muda huo kuweka sumu katika kinywaji chake. Karen alipeana rekodi Kisha kumaliza kinwaji chake na wote walili wakaondoka. Karen alisimamisha takski na kuingia ndani, alihisi usingizi hata kabla ya texti kuondoka na akaamua ajilaze kidogo ndani. Baada ya masaa mawili Karen alpatikana amekata roho ndani ya taksi ile.
Mamake karen alikuwa na hulka gani
{ "text": [ "Alipenda mambo ya kanisa" ] }
4781_swa
Karen Katika familia ya watoto walili, Karen alikuwa msichana wa kipekee. Ndugu yake Ben ndiye aliyekuwa kitinda mimba wa familia hiyo. Wote wawili waliishi na mama yao mjini Nairobi na hawakuwa na baba Mama yake Karen alikuwa akifanya kazi kama msaidizi wa nyumba katika katika jumba moja la tajiri mashuhuri uko Nairobi kwa hivyo maisha yao haikuwa rahisi kwasababu ya ukosefu wa fedha na majitaji ya kila siku Uhusiano kati ya Karen na mama yake haikuwa ya kupendeza, Mama yake Ann alikuwa mwanamke mwenye tabia ya kumezea mate na zaidi ya yote alikuwa anapenda mambo ya kanisa na Imani yake ilikuwa ya kupigia mfano. Alikuwa mshiriki wa kanisa katoliki huko jijini. Karen naye kwa upande mwingine kwasababu ya shida walizokuwa nazo nyumbani na alitaka kuishi maisha ya kifahari na alijitafutia njia. Alikuwa msichna mrembo yani aliumbwa akaumbika, umbo lake liliochora nane lilikuwamchukua vizuri kwa kila nguo aliyovaa. Wengi wa vijani walimtamani lakini Karen ni nani? Aliona Kama vijana Hawa hawakuwa wa kiwango chake. Katika umri hii wa miaka kumi na minne alianza kuwatembea na wanaume wa umri wa babake. Mama yake aligundua tabia yake na kujaribu kumrekebisha lakini hakusikia chochote wala lolote na hii ndio ilivuruga uhusiano wake na mama yake. Basi muda ukaenda na Karen akamaliza shule ya upili na kujiunga na Chuo kikuu Cha Nairobi , huku tofauti na masomo alikuwa na kazi ya kufanya, baada ya shule hakuwa mwanafunzi tena alikuwa kahaba na kutumia njia hii kujipatia pesa na kusema ukweli alipata pesa na kutona na kazi hii. Maisha yake yalibadilka na hakuwa Karen wa zamani tena, aliishi nyumba ya pesa, alivaa nguo za bei na vyatu vya bei na kila kitu katika maisha yangu haikuwa kawaida tena Yani alianza kuishi maisha ya kifahari. Mama yake alipata hizi habari na kujaribu tena kuongea na mwanake, hakupenda Karen kuendelea kuisha maisha haya" Karen mwanangu badilisha mwenendo , nakupenda sana na sipendi kukuona ukiebdelea hivo" Ann alijua madhara ya maisha haya na alihofia mtoto wake kwasababu uchungu wa mwana amjuaye ni mama. Karen alijubu mamake kuwa hayo maisha yalikuwa ni yake na ni yeye aliyachagua na hatakubali kufa akiwa maskini. Ann alisitika sana kusikia maneno haya lakini alikosa cha kufanya alijisemea tu kimoyomoyo asiyefunzwa na mamake hufunzwa na ulimwengu. Siku moja katika kazi yake ya baada masomo Karen alikutana na Bwana mmoja kwa jina la James. James alikuwa tajiri na alikuwa tena mtu wa heshim zake, alikuwa akijulikana na kuheshimiwa kote mjini kama jaji mashuhuri sana, basi Karen naye akafanya kazi yake na kuenda zake siku hiyo. Kama kawaida yake Karen alihakikisha kwamba alimjua kila mmoja anayekuwa naye kwa undani zaidi. Alichokora kibeti yake Kisha akatambua kuwa alikuwa Jaji mmoja tajiri huko jijini na hata yeye humu chuo kikuu katika shule ya sheria alikuwa amesikia sifa zake za kupendeza zilizokuwa zimeenea kila mahali. Chuoni Karen alikutana na msichana kwa Jina Amanda, jirani wake katika nyumba walizokuwa wakiishi. Kwa maneno machache tuseme Amanda alikuwa malaika , alikuwa anapenda kuja kwa Karen ili afadhali apate mtu wa kuongea naye, siku moja alikuja kwa Karen na kumweleza kwamba maishani mwake ako na kila kitu binadamu anahitaji si pesa si wazazi si Mali si nguo lakini maisha yake hayajakamilika, ' nmekosa rafiki, Sina mtu wa kuongea naye' Amanda alisema . Karen kwa hurumu alimuliza Amanda kwamba alikuwa na sababu gani kusema hivyo basi mazungumzo yakachacha kati ya warembo walili. Amanda alimweleza Karene kwamba licha ya kuwa na wazazi tajiri sana hakuna hakuna aliyeelewa hisia zake na kwamba kila mmoja wa wao alikuwa tu na haja na sifa za familia, hawakujali wanafanya Nini ili kuendeleza sifa zao zilizokuwa zimeenea kote duniani, alimwelezea kwamba kulingana na uweze wake wa kimasomo hafai kuwa shule ya sheria lakini ako hapo kwasababu ya wazazi wake. Katika mazungumzo yao Amanda alitaja kwamba kulikuwa na sherehe na itambidi aende nyumbani kuhudhuria Kisha kumwambia Karen aandamane naye kwao. Basi Karen na Amanda wakafika nyumbani kwa akina Amanda, akatambuliswa kama rafikiye Amanda kutoka shule ya sheria hivyo alikaribishwa vizuri na wazazi wake Amanda alikaa pamoja na wageni. James alimfikia Amanda na kumkumbatia kwa upendo wa baba ma mtoto wake.Hapo ndipo karen aligundua kuwa Jemes yule Jaji alikuwa naye ndiye babake Amanda. James alishtuka kumwona Karen kwake nyumbani lakini Karen alihisi kana kwamba milango ya binguni ilikuwa imeanza kufunguka kwake, aliona njia ya kujitengenezea pesa , wote wawili walijifanya hawajuani James hakutaka bibi yake Jane ama Amanda kujua Kambwa aliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Karen. Wakati wa kula ukafika basi wasaidizi wakaanza kuingia ndani na chakula, Ann mamake Karen alikuwa mmoja wa wafanyikazi wa bwana James, Ann kumwona Karen huku alishtuka na kuangusha sinia ya chakula chini. Jane alisimama kwa haraka na kumsaidia kusafisha Kisha akarudi kwa wageni na kuwaomba radhi. Karen alisimama na kutembea haste haste kuelekea pale ambapo Ann alikuwa, alimwangalia kwa dharau na bezo kisha akamgeukia Jane na kumuuliza"" mfanyikazi wenu anaitwa nani?" Jane akamjibu Ann, Karen alimugeukia tena na na kumwambia kwa dharau " ukimaliza hapa niletee maji ya kunywa!" Ann aliinama kuonyesha ishara za heshima Kisha akaondoka kuelekea jikoni. Baada ya muda mfupi Ann alirudi na maji ya kunywa jinsi alivyoagiziwa na Karen basi Karen naye akasimama kuchukua maji yale. Kimaksudi Ann alimwagilia Karen maji yale yate kwenye nguo Kisha akajifanya kwamba imetokea bahati mbaya. Jane alisimama na kuwakaribia wote wawili akiomba tena radhi kwa Karen na kumweleza kwamba msaidizi wake Ann hakuwa anahijisi vizuri , Jane alikuwa mtu aliyejali maslahi ya wafanyakazi wake na hata watu wengine kwa hivyo hata hapo hakushuku kama kulikuwa na jambo kati ya Karen na Ann "Samahani sana madam niwie radhi haitarudia tena" Ann alimwambia Karen kwa sauti ya unyenyekevu, wote walili waliondoka kuelekea bafuni. Huko bafuni walikuwa wawili Ann alimzaba Karen Kofi kwenye shavu na kumuuliza alikuwa akifanya kwenye jumba hilo Karen alishika shavu lake na baada ya sekunde kama mbili alirudisha mkono wake chini na kumkodolea mamake macho," Ann fanya kazi yako na uniache nifanye yangu" Karen alitoka huko bafuni na kurudi kwenye chumba Cha kula. Huku kila mtu alikuwa akiendelea na kula chajio, Karen alimwangalia Bwana James pale alipokuwa akikaa karibu na bibi yake na Kisha kumnong'onea jicho, James alijifanya kana kwamba hakaona chochote na na kuendelea na chakula. Baada ya muda chache James aliondoka na kuelekea ofini mwake iliyokuwa ndani ya jumba lake hapo. Karen alijichafua tena na chakula Kisha kuondika kuelekea bafuni. Mara hii alifutwa na Amanada aleimsaidia nguo za kumsaidia wakati alikuwa akisafisha zake na Amanda akaondoka na kumwacha bafuni. Karen alijifunga nguo hiyo na kuondoka kuelekea ofini mwa James. Allibisha mlango kisha akaingia ndani, alichukua kifungu kilichokuwa mlangoni na kufunga malngo akatoa nguo Ile aliyokuwa amejifunga na kutupa kitini, alibaki jinsi alivyozaliwa na kumsongea Bwana James pale alipokuwa amekalia kitini kisha kumwangalia na macho ya kikahaba bila kutamka lolote. James hakuweza kujizuia alimsogea na kukaribusha domo lake na lile la Karen huku akitoa nguo zake na wote wawili wakapotelea kwa ulimwengu usilojulikana. Karen alikuwa ameweka simu yake kunasa kila kitu kilichokuwa kinafanyika ofini mle Kati yake ya James na baada ya sherehe Ile alirudi nyumbani na kuanza kazi yake. Alituma hiyo video kwa James na kumwambia kwamba anahitaji milioni kumi na tano ama asambaze video hiyo mtandaoni. James alishtuka alifikiria kwanza heshima na sifa zote familia yake ilikuwa nayo, alifikiria muda ambayo ilimchukua kujenga sifa hizo, akafikifia Jane bibi yake na mtoto wake Amanda, alifikiria watasema Nini au dunia itasema Nini kuona au kusikiza kuhusu video hii. James alimpigia Karen simu Mara hiyo hiyo na kumwomba wakutane waongee basi Karen naye akakubali kukutana na yeye katika hoteli moja mjini kwa maagizo, alimwambia abebe pesa na amtumie kwanza dhibitisho ndio aweze kufika hotelini. Jame alifanya jinsi alivyoagizwa na Karen. Usiku hiyo wote wawili walikutana hotelini, Karen alifika na kumpata James alikuwa akikaa na kinywaji mbele yake akimgojea naye alifika na kuagiza kinywaji Kisha kukaa kando la James. James alimwonyesha kisanduki kilichokuwa kimebebe pesa na kumwambia apeane Ile rekodi zote za video hiyo kwake. Karen alipokuwa ameinamisha kichwa kweye pochi lake kutoa rekodi ya video hiyo James alitumia muda huo kuweka sumu katika kinywaji chake. Karen alipeana rekodi Kisha kumaliza kinwaji chake na wote walili wakaondoka. Karen alisimamisha takski na kuingia ndani, alihisi usingizi hata kabla ya texti kuondoka na akaamua ajilaze kidogo ndani. Baada ya masaa mawili Karen alpatikana amekata roho ndani ya taksi ile.
Karen alianza kutembea na wamaume wakubwa wakati gani
{ "text": [ "Akiwa na miaka kumi na nane" ] }
4781_swa
Karen Katika familia ya watoto walili, Karen alikuwa msichana wa kipekee. Ndugu yake Ben ndiye aliyekuwa kitinda mimba wa familia hiyo. Wote wawili waliishi na mama yao mjini Nairobi na hawakuwa na baba Mama yake Karen alikuwa akifanya kazi kama msaidizi wa nyumba katika katika jumba moja la tajiri mashuhuri uko Nairobi kwa hivyo maisha yao haikuwa rahisi kwasababu ya ukosefu wa fedha na majitaji ya kila siku Uhusiano kati ya Karen na mama yake haikuwa ya kupendeza, Mama yake Ann alikuwa mwanamke mwenye tabia ya kumezea mate na zaidi ya yote alikuwa anapenda mambo ya kanisa na Imani yake ilikuwa ya kupigia mfano. Alikuwa mshiriki wa kanisa katoliki huko jijini. Karen naye kwa upande mwingine kwasababu ya shida walizokuwa nazo nyumbani na alitaka kuishi maisha ya kifahari na alijitafutia njia. Alikuwa msichna mrembo yani aliumbwa akaumbika, umbo lake liliochora nane lilikuwamchukua vizuri kwa kila nguo aliyovaa. Wengi wa vijani walimtamani lakini Karen ni nani? Aliona Kama vijana Hawa hawakuwa wa kiwango chake. Katika umri hii wa miaka kumi na minne alianza kuwatembea na wanaume wa umri wa babake. Mama yake aligundua tabia yake na kujaribu kumrekebisha lakini hakusikia chochote wala lolote na hii ndio ilivuruga uhusiano wake na mama yake. Basi muda ukaenda na Karen akamaliza shule ya upili na kujiunga na Chuo kikuu Cha Nairobi , huku tofauti na masomo alikuwa na kazi ya kufanya, baada ya shule hakuwa mwanafunzi tena alikuwa kahaba na kutumia njia hii kujipatia pesa na kusema ukweli alipata pesa na kutona na kazi hii. Maisha yake yalibadilka na hakuwa Karen wa zamani tena, aliishi nyumba ya pesa, alivaa nguo za bei na vyatu vya bei na kila kitu katika maisha yangu haikuwa kawaida tena Yani alianza kuishi maisha ya kifahari. Mama yake alipata hizi habari na kujaribu tena kuongea na mwanake, hakupenda Karen kuendelea kuisha maisha haya" Karen mwanangu badilisha mwenendo , nakupenda sana na sipendi kukuona ukiebdelea hivo" Ann alijua madhara ya maisha haya na alihofia mtoto wake kwasababu uchungu wa mwana amjuaye ni mama. Karen alijubu mamake kuwa hayo maisha yalikuwa ni yake na ni yeye aliyachagua na hatakubali kufa akiwa maskini. Ann alisitika sana kusikia maneno haya lakini alikosa cha kufanya alijisemea tu kimoyomoyo asiyefunzwa na mamake hufunzwa na ulimwengu. Siku moja katika kazi yake ya baada masomo Karen alikutana na Bwana mmoja kwa jina la James. James alikuwa tajiri na alikuwa tena mtu wa heshim zake, alikuwa akijulikana na kuheshimiwa kote mjini kama jaji mashuhuri sana, basi Karen naye akafanya kazi yake na kuenda zake siku hiyo. Kama kawaida yake Karen alihakikisha kwamba alimjua kila mmoja anayekuwa naye kwa undani zaidi. Alichokora kibeti yake Kisha akatambua kuwa alikuwa Jaji mmoja tajiri huko jijini na hata yeye humu chuo kikuu katika shule ya sheria alikuwa amesikia sifa zake za kupendeza zilizokuwa zimeenea kila mahali. Chuoni Karen alikutana na msichana kwa Jina Amanda, jirani wake katika nyumba walizokuwa wakiishi. Kwa maneno machache tuseme Amanda alikuwa malaika , alikuwa anapenda kuja kwa Karen ili afadhali apate mtu wa kuongea naye, siku moja alikuja kwa Karen na kumweleza kwamba maishani mwake ako na kila kitu binadamu anahitaji si pesa si wazazi si Mali si nguo lakini maisha yake hayajakamilika, ' nmekosa rafiki, Sina mtu wa kuongea naye' Amanda alisema . Karen kwa hurumu alimuliza Amanda kwamba alikuwa na sababu gani kusema hivyo basi mazungumzo yakachacha kati ya warembo walili. Amanda alimweleza Karene kwamba licha ya kuwa na wazazi tajiri sana hakuna hakuna aliyeelewa hisia zake na kwamba kila mmoja wa wao alikuwa tu na haja na sifa za familia, hawakujali wanafanya Nini ili kuendeleza sifa zao zilizokuwa zimeenea kote duniani, alimwelezea kwamba kulingana na uweze wake wa kimasomo hafai kuwa shule ya sheria lakini ako hapo kwasababu ya wazazi wake. Katika mazungumzo yao Amanda alitaja kwamba kulikuwa na sherehe na itambidi aende nyumbani kuhudhuria Kisha kumwambia Karen aandamane naye kwao. Basi Karen na Amanda wakafika nyumbani kwa akina Amanda, akatambuliswa kama rafikiye Amanda kutoka shule ya sheria hivyo alikaribishwa vizuri na wazazi wake Amanda alikaa pamoja na wageni. James alimfikia Amanda na kumkumbatia kwa upendo wa baba ma mtoto wake.Hapo ndipo karen aligundua kuwa Jemes yule Jaji alikuwa naye ndiye babake Amanda. James alishtuka kumwona Karen kwake nyumbani lakini Karen alihisi kana kwamba milango ya binguni ilikuwa imeanza kufunguka kwake, aliona njia ya kujitengenezea pesa , wote wawili walijifanya hawajuani James hakutaka bibi yake Jane ama Amanda kujua Kambwa aliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Karen. Wakati wa kula ukafika basi wasaidizi wakaanza kuingia ndani na chakula, Ann mamake Karen alikuwa mmoja wa wafanyikazi wa bwana James, Ann kumwona Karen huku alishtuka na kuangusha sinia ya chakula chini. Jane alisimama kwa haraka na kumsaidia kusafisha Kisha akarudi kwa wageni na kuwaomba radhi. Karen alisimama na kutembea haste haste kuelekea pale ambapo Ann alikuwa, alimwangalia kwa dharau na bezo kisha akamgeukia Jane na kumuuliza"" mfanyikazi wenu anaitwa nani?" Jane akamjibu Ann, Karen alimugeukia tena na na kumwambia kwa dharau " ukimaliza hapa niletee maji ya kunywa!" Ann aliinama kuonyesha ishara za heshima Kisha akaondoka kuelekea jikoni. Baada ya muda mfupi Ann alirudi na maji ya kunywa jinsi alivyoagiziwa na Karen basi Karen naye akasimama kuchukua maji yale. Kimaksudi Ann alimwagilia Karen maji yale yate kwenye nguo Kisha akajifanya kwamba imetokea bahati mbaya. Jane alisimama na kuwakaribia wote wawili akiomba tena radhi kwa Karen na kumweleza kwamba msaidizi wake Ann hakuwa anahijisi vizuri , Jane alikuwa mtu aliyejali maslahi ya wafanyakazi wake na hata watu wengine kwa hivyo hata hapo hakushuku kama kulikuwa na jambo kati ya Karen na Ann "Samahani sana madam niwie radhi haitarudia tena" Ann alimwambia Karen kwa sauti ya unyenyekevu, wote walili waliondoka kuelekea bafuni. Huko bafuni walikuwa wawili Ann alimzaba Karen Kofi kwenye shavu na kumuuliza alikuwa akifanya kwenye jumba hilo Karen alishika shavu lake na baada ya sekunde kama mbili alirudisha mkono wake chini na kumkodolea mamake macho," Ann fanya kazi yako na uniache nifanye yangu" Karen alitoka huko bafuni na kurudi kwenye chumba Cha kula. Huku kila mtu alikuwa akiendelea na kula chajio, Karen alimwangalia Bwana James pale alipokuwa akikaa karibu na bibi yake na Kisha kumnong'onea jicho, James alijifanya kana kwamba hakaona chochote na na kuendelea na chakula. Baada ya muda chache James aliondoka na kuelekea ofini mwake iliyokuwa ndani ya jumba lake hapo. Karen alijichafua tena na chakula Kisha kuondika kuelekea bafuni. Mara hii alifutwa na Amanada aleimsaidia nguo za kumsaidia wakati alikuwa akisafisha zake na Amanda akaondoka na kumwacha bafuni. Karen alijifunga nguo hiyo na kuondoka kuelekea ofini mwa James. Allibisha mlango kisha akaingia ndani, alichukua kifungu kilichokuwa mlangoni na kufunga malngo akatoa nguo Ile aliyokuwa amejifunga na kutupa kitini, alibaki jinsi alivyozaliwa na kumsongea Bwana James pale alipokuwa amekalia kitini kisha kumwangalia na macho ya kikahaba bila kutamka lolote. James hakuweza kujizuia alimsogea na kukaribusha domo lake na lile la Karen huku akitoa nguo zake na wote wawili wakapotelea kwa ulimwengu usilojulikana. Karen alikuwa ameweka simu yake kunasa kila kitu kilichokuwa kinafanyika ofini mle Kati yake ya James na baada ya sherehe Ile alirudi nyumbani na kuanza kazi yake. Alituma hiyo video kwa James na kumwambia kwamba anahitaji milioni kumi na tano ama asambaze video hiyo mtandaoni. James alishtuka alifikiria kwanza heshima na sifa zote familia yake ilikuwa nayo, alifikiria muda ambayo ilimchukua kujenga sifa hizo, akafikifia Jane bibi yake na mtoto wake Amanda, alifikiria watasema Nini au dunia itasema Nini kuona au kusikiza kuhusu video hii. James alimpigia Karen simu Mara hiyo hiyo na kumwomba wakutane waongee basi Karen naye akakubali kukutana na yeye katika hoteli moja mjini kwa maagizo, alimwambia abebe pesa na amtumie kwanza dhibitisho ndio aweze kufika hotelini. Jame alifanya jinsi alivyoagizwa na Karen. Usiku hiyo wote wawili walikutana hotelini, Karen alifika na kumpata James alikuwa akikaa na kinywaji mbele yake akimgojea naye alifika na kuagiza kinywaji Kisha kukaa kando la James. James alimwonyesha kisanduki kilichokuwa kimebebe pesa na kumwambia apeane Ile rekodi zote za video hiyo kwake. Karen alipokuwa ameinamisha kichwa kweye pochi lake kutoa rekodi ya video hiyo James alitumia muda huo kuweka sumu katika kinywaji chake. Karen alipeana rekodi Kisha kumaliza kinwaji chake na wote walili wakaondoka. Karen alisimamisha takski na kuingia ndani, alihisi usingizi hata kabla ya texti kuondoka na akaamua ajilaze kidogo ndani. Baada ya masaa mawili Karen alpatikana amekata roho ndani ya taksi ile.
Karen alifanya kazi ingiine ipi mbali na masomo
{ "text": [ "Ukahaba" ] }
4782_swa
Katika siku za hivi karibuni,visa vya uhalifu vimeendelea kuongezeka.juma lililopita pekee,watu kumi wameuawa na majambazi wenye silaha hatari.katika kisa kimoja cha juma lililopita familia moja ilishambuliwa huko nakuru,kutekwa nyara kwa saa mbili,kuporwa mali na baadaye majambazi hao kuondoka. Kando na kuwa polisi wanaohusika wanaohusika wamekuwa wakijaribu kukabiliana na hali hii bado tunaamini kuwa hatua kali zaidi zinahitajika kuchukuliwa. Ni ukweli unaoeleweka kwamba ukosefu wa kazi ,hali ya uchumi nchini na umasikini unaoendelea kukithiri ni mambo yanayotatiza jamii yetu. Hata hivyo, huku serikali ikiendelea kushughulikia hali hii, ni muhimu kwa mikakati inayofaa kuchukuliwa kuhakikisha kuwa usalama unaimarishwa na amani kudumishwa. Lawama kwa yeyote Yule haziwezi kusaidi kusitisha tatizo hilo. Viongozi wa Nyanja zote wanafaa kuwa katika mstari wa mbele katika kutafuta suluhisho kwa tatizo hili sugu kwa kushirikiana na polisi. Vikosi vyote vya polisi vinavyohusika pia vinafaa kushirikiana kwa karibu na wadau wengine ili kufanikiwa. Msimamo wetu ni kuwa wote wanaohusika kushirikishwa katika kulishughulikia tatizo hili na kulipa uvumbuzi.
Visa gani vimeendelea kuongezeka
{ "text": [ "vya uhalifu" ] }
4782_swa
Katika siku za hivi karibuni,visa vya uhalifu vimeendelea kuongezeka.juma lililopita pekee,watu kumi wameuawa na majambazi wenye silaha hatari.katika kisa kimoja cha juma lililopita familia moja ilishambuliwa huko nakuru,kutekwa nyara kwa saa mbili,kuporwa mali na baadaye majambazi hao kuondoka. Kando na kuwa polisi wanaohusika wanaohusika wamekuwa wakijaribu kukabiliana na hali hii bado tunaamini kuwa hatua kali zaidi zinahitajika kuchukuliwa. Ni ukweli unaoeleweka kwamba ukosefu wa kazi ,hali ya uchumi nchini na umasikini unaoendelea kukithiri ni mambo yanayotatiza jamii yetu. Hata hivyo, huku serikali ikiendelea kushughulikia hali hii, ni muhimu kwa mikakati inayofaa kuchukuliwa kuhakikisha kuwa usalama unaimarishwa na amani kudumishwa. Lawama kwa yeyote Yule haziwezi kusaidi kusitisha tatizo hilo. Viongozi wa Nyanja zote wanafaa kuwa katika mstari wa mbele katika kutafuta suluhisho kwa tatizo hili sugu kwa kushirikiana na polisi. Vikosi vyote vya polisi vinavyohusika pia vinafaa kushirikiana kwa karibu na wadau wengine ili kufanikiwa. Msimamo wetu ni kuwa wote wanaohusika kushirikishwa katika kulishughulikia tatizo hili na kulipa uvumbuzi.
Watu kumi waliuwawa lini
{ "text": [ "juma lililopita" ] }
4782_swa
Katika siku za hivi karibuni,visa vya uhalifu vimeendelea kuongezeka.juma lililopita pekee,watu kumi wameuawa na majambazi wenye silaha hatari.katika kisa kimoja cha juma lililopita familia moja ilishambuliwa huko nakuru,kutekwa nyara kwa saa mbili,kuporwa mali na baadaye majambazi hao kuondoka. Kando na kuwa polisi wanaohusika wanaohusika wamekuwa wakijaribu kukabiliana na hali hii bado tunaamini kuwa hatua kali zaidi zinahitajika kuchukuliwa. Ni ukweli unaoeleweka kwamba ukosefu wa kazi ,hali ya uchumi nchini na umasikini unaoendelea kukithiri ni mambo yanayotatiza jamii yetu. Hata hivyo, huku serikali ikiendelea kushughulikia hali hii, ni muhimu kwa mikakati inayofaa kuchukuliwa kuhakikisha kuwa usalama unaimarishwa na amani kudumishwa. Lawama kwa yeyote Yule haziwezi kusaidi kusitisha tatizo hilo. Viongozi wa Nyanja zote wanafaa kuwa katika mstari wa mbele katika kutafuta suluhisho kwa tatizo hili sugu kwa kushirikiana na polisi. Vikosi vyote vya polisi vinavyohusika pia vinafaa kushirikiana kwa karibu na wadau wengine ili kufanikiwa. Msimamo wetu ni kuwa wote wanaohusika kushirikishwa katika kulishughulikia tatizo hili na kulipa uvumbuzi.
Ukosefu wa nini unaendelea kukithiri
{ "text": [ "kazi" ] }
4782_swa
Katika siku za hivi karibuni,visa vya uhalifu vimeendelea kuongezeka.juma lililopita pekee,watu kumi wameuawa na majambazi wenye silaha hatari.katika kisa kimoja cha juma lililopita familia moja ilishambuliwa huko nakuru,kutekwa nyara kwa saa mbili,kuporwa mali na baadaye majambazi hao kuondoka. Kando na kuwa polisi wanaohusika wanaohusika wamekuwa wakijaribu kukabiliana na hali hii bado tunaamini kuwa hatua kali zaidi zinahitajika kuchukuliwa. Ni ukweli unaoeleweka kwamba ukosefu wa kazi ,hali ya uchumi nchini na umasikini unaoendelea kukithiri ni mambo yanayotatiza jamii yetu. Hata hivyo, huku serikali ikiendelea kushughulikia hali hii, ni muhimu kwa mikakati inayofaa kuchukuliwa kuhakikisha kuwa usalama unaimarishwa na amani kudumishwa. Lawama kwa yeyote Yule haziwezi kusaidi kusitisha tatizo hilo. Viongozi wa Nyanja zote wanafaa kuwa katika mstari wa mbele katika kutafuta suluhisho kwa tatizo hili sugu kwa kushirikiana na polisi. Vikosi vyote vya polisi vinavyohusika pia vinafaa kushirikiana kwa karibu na wadau wengine ili kufanikiwa. Msimamo wetu ni kuwa wote wanaohusika kushirikishwa katika kulishughulikia tatizo hili na kulipa uvumbuzi.
Viongozi wa nyanda zote washirikiane na nani
{ "text": [ "polisi" ] }
4782_swa
Katika siku za hivi karibuni,visa vya uhalifu vimeendelea kuongezeka.juma lililopita pekee,watu kumi wameuawa na majambazi wenye silaha hatari.katika kisa kimoja cha juma lililopita familia moja ilishambuliwa huko nakuru,kutekwa nyara kwa saa mbili,kuporwa mali na baadaye majambazi hao kuondoka. Kando na kuwa polisi wanaohusika wanaohusika wamekuwa wakijaribu kukabiliana na hali hii bado tunaamini kuwa hatua kali zaidi zinahitajika kuchukuliwa. Ni ukweli unaoeleweka kwamba ukosefu wa kazi ,hali ya uchumi nchini na umasikini unaoendelea kukithiri ni mambo yanayotatiza jamii yetu. Hata hivyo, huku serikali ikiendelea kushughulikia hali hii, ni muhimu kwa mikakati inayofaa kuchukuliwa kuhakikisha kuwa usalama unaimarishwa na amani kudumishwa. Lawama kwa yeyote Yule haziwezi kusaidi kusitisha tatizo hilo. Viongozi wa Nyanja zote wanafaa kuwa katika mstari wa mbele katika kutafuta suluhisho kwa tatizo hili sugu kwa kushirikiana na polisi. Vikosi vyote vya polisi vinavyohusika pia vinafaa kushirikiana kwa karibu na wadau wengine ili kufanikiwa. Msimamo wetu ni kuwa wote wanaohusika kushirikishwa katika kulishughulikia tatizo hili na kulipa uvumbuzi.
Mbona vikosi vya polisi vishirikiane na wadau wengine
{ "text": [ "ili kufanikiwa" ] }
4783_swa
KOSA NILILOFANYA Nikiwa kwenye kijumba chetu kuu kuu mawazo yangu yalizamia ukatani.mle ambamo nzige alikuwa amenaswa kwenye utandu wa buibui ajaribu kujinasua ila ameshindwa.Nilikodoa macho yangu kuangalia ikiwa nzige angeweza kujinasua kutoka kwenye utandu huo.Yamkini alifaulu.Hivi sasa nilitazamia maisha yetu pale nyumbani yalivyofuka moshi.Niliwaza na kuwazua jinsi nitakavyo jitoa kwenye utandu huo kama yule nzige.Iweje nzige mdudu mdogo kama yule ana uwezo was kujinasua kutoka kwenye utandabui nami niliye na nguvu kikamilifu nishindwe kujinasua kwenye uozo huu wa umasikini? Nilitazama kiporo kilichobaki kwenye sufuria na kukivamia ghafla bin vuu.Kwetu tumezaliwa watatu nami ndiye kitindamimba.Wakubwa wangu walikua wamekabwa na majukumu mengi kwa kujitosa kwa ndoa za mapema na pia hawakuwa wamehitimu masomo kwa viwango vya juu.Maisha yao yalikua kusaka tonge nakutia mdomoni bila kuwazia ya kesho,walikuwa wamezaa wana wengi,masaibu juu ya masaibu.Hivyo hata Mimi nilikua nasoma kwa juhudi za mama aliyeuza maboga kwenye kibanda chake kuukuu kule Githurai,Mama ndiye alikua kichwa cha familia yetu, alishika usukani pande zote akawa baba Mara na mama wakati moja.Sitaki kumzungumzia baba,maana alikua mlevi chakari kupindukia,alipiga mtindi kutwa kucha.Alisahau majukumu yake kama mzazi na kuparamia kwenye dunia ya vileo, hivi sasa kama kungekuwa na tuzo kwa mlevi shupavu mjini, basi nani angemshinda mzee malimali? Malimali ni jina alopewa babangu hasa kutokana na tabia zake za kujisifu.Alijishaua jinsi alivyokuwa na wana walisomea ngambo na mashamba makubwa makubwa.Kila jioni baba angeonekana soko la Githurai akiyumba yumba ja mashua majini.Ameejiendea haja nguoni ananuka fye!Mara matapiko yammetapakaa kwenye shati lake na hata wakati mwingine mama angetaarifiwa aje amchukue mume wake aliyejilaza mtaroni.Wakati mwingine wahisani wema wangembeba hobela hobela hadi maskani mwetu.Kwa kweli picha hii haikuwa ya kupendeza hasa kijiji chote kilimjua kwa tabia hizi za ulevi. Wakati mwingine mle shuleni wanafunzi wangenikejeli kwa visa ambavyo babangu alifanya na kuviiga mbele ya darasa lakini ndio malimwengu sasa ningefanya vipi?Ikiwa huo ndio ukweli was mambo.Hivi sasa nilikua kidato cha pili katika shule ya upili ya Mbuyu.Najitahidi labda mambo yatakuwa sawa mbeleni.Mara mingi ningefukuzwa shuleni kuleta karo ningekaa nyumbani kwa kipindi kirefu kabla ya kupata karo.Kilicho wapendeza walimu ni umakini wangu pale darasani maana nilifuzu vyema masomoni na kuibuka was kwanza.Hata hivyo lilowashangaza wanafunzi wengi kwa kuwa ningekaa nyumbani kipindi kirefu kisha nikirejea ningewaonyesha kivumbi. Baada ya mwaka moja nilikua kidato cha nne nasubiri kuufanya mtihani wangu was kitaifa.Hayawi hayawi huwa.Mtihani ulifanywa matokeo yakatokea nikaibuka na alama(A-) katika mtihani wangu was kitaifa.Furaha iliyoje?Mamangu alifurahi vilivyo lakini sasa shida kubwa ilikuwa kupata fedha za kuendeleza masomo yangu chuoni.Ikawa mtihani mgumu kwetu sasa.Hapa sasa mzee Malimali alipata hadithi mpya ya kujishaua nayo.Kila alipolewa alitangaza barabarani jina langu na maki nilizopata."Mimi nina daktari kwenye boma langu amepata alama (A-) ananuia kujiunga na chuo kikuu hak-u-na mtoto ali-ye-mshi-nda katika shule yao.Hivi karibuni atasafiri na kuenda ng'ambo,nita-uza-za shamba langu lo-ote na kusomesha mwanangu shule ya ngambo,daktari atasafiri mwezi moja kabla ya kuanza masomo yake ajivinjari na kubarizi,kutuliza akili yake."Mzee MaliMali alisema. Mama alijawa na huzuni maana alijua fika kuwa ni yeye angepaswa kuwajibika katika kuendeleza masomo yangu.Hivyo nami nikaamua kujitafutia vibarua kabla ya mwito wangu katika chuo kikuu.Nilipata kazi ya mhudumu katika mkahawa pale kayole ingawa malipo yalikua duni sikua na pasi ila kufanya tu.Nivichange vipesa labda vingenikimu mahali Fulani.Mkahawa ule ulikua wa mhindi aliyejizolea biashara pale nakuandika watu kufanya kazi hizo. Ningepaswa kufika kazini mafungulia ng'ombe nakurejea saa nne usiku kwa kuwa kazi zilitapakaa kote kote. Siku Moja nilipokuwa katika huduma zangu za kawaida,niliona gari limeegeshwa pale nje ya mkahawa.Akilini mwangu nilijua kuwa wale ni wateja wa kawaida.Jizee moja lilisongea karibu nami likitabasamu."Wewe ndiye Zubena?" Aliniuliza.Nilitikisa kichwa change kuonyesha ni mimi."Naam mimi ndiye Zubena kuna shida lolote?"niliuliza.Zubena hivi Leo tunafuraha kufika mahali hapa kwa ajili ya yako.Nina uhakika wazazi wako wana fahari kuwa na na mwana kama wewe.Kisha akinipokezea kibahasha na kunieleza nifungue.Alihamdululahi!Sikuamini niliyoona pale.Nilikuwa nimepewa fursa kusoma chuo kikuu cha kitaifa kule Uisbania,kusomea udakitari.Serikali ilikua imeteua watahiniwa mia moja waliofuzu vyema,nikawa miongoni mwao.Jizee like liliniambia niwapeleka kwa wazee wangu,nilimwomba bosi wangu ruhusa kisha nikaingia kwenye bonge la gari.Gari la kifahari.Tukampasulia mama mbarika,mama alibaki ameduwaa na habari hizi.Ama kweli Mungu hamwachi mja wake! Mama alipata afueni zaidi ya hayo aliyeleta ujumbe huo aliguswa na utu kwa kuangalia maisha tuliyoishi.Alimnunulia mama konde na kumjengea nyumba kisha akamfungulia biashara la samaki waliokaangwa kwa mafuta.Hata hivyo popote niendapo ningekaa na utulivu akilini mwangu mama yupo salama salmini. Yote haya yakasalia kama ndoto kwangu.Sikuamini haya.Juhudi zangu zilifua dafu kwa hakika.Hivi sasa ni safari hii tu niliyosubiria kwa hamu na ghamu.Hatimaye wakati uliwadia nami nikafungasha safari had I uhabeshi kuendeleza masomo yangu.Mazingira yae yalikua tulivu ajabu,usasa na teknolojia ulijidhihiri waziwazi kwa ubunifu wa vyombo vya usafiri vilivyo kuwa,nilipewa kijumba ambacho ningeishi,nikapewa simu tamba mpya,mavazi na hata chakula, maisha yalikua mepesi nywe!Nami nikatia fora masomoni mwangu,nilitafakari mazingira ya pale nilipoishi na nilipokulia.Ikiwa sasa singetia bidii masomoni mwangu basi tatizo lingekuwa langu tu.Nilijizatiti nakufuata sheria zote zilizotakikana, nakufanya wajibu wangu ipasavyo.Nilirauka mapema na kulala usiku kabisa.Kule wakufunzi wenzagu wangestaajabishwa kwa matokeo niliyopata.Ijapokuwa hapo awali walinitenga kwa kuwa na ngozi nyeusi,walistaajabishwa na ueledi wangu vitabuni.Nipo katika ulimwengu mpya.Sina ufahamu wowote ila tu ni mola na mie, hata imepita kipindi kirefu sijasemezana na mama,wakati mwingine natamani nirudi kwetu Afrika.Vyakula vya kitamaduni.Tamasha za muziki.Hali ya anga tulivu,rafiki zangu niliowaacha.Nabaki kuwafuatilia tu mtandaoni.Ila najua Siku moja nitapata kuonana nao,lakini nikiwa njmerejea na habari za kufana.Habari za kufuzu.Niwe daktari bora,daktari mkarabati was mifupa,daktari hawa ni nadra nchini mwetu.Niokoe watu wangu kutoka kwenye janga la umasikini niwavushe daraja la imani,niwape matumaini yanawezekana lakini sitaweza haya yote pasipo Mungu.Ndio mwanzo wa imani yangu. Mama ametutanguliza kwa dini tungali vikinda nasi twajua pasi Mungu ni vigumu kufaulu. Katika kozi yetu nilikutana na kidosho moja.Ameumbwa akumbika.Alinivutia nikamvutia tukapendana.Lakini hili in tambiko kuu.Napotoka mama amenikanya kutagusana na wasichana wasio na haiba ya kiafrika. Leo hii nimekengeukwa.Lakini sasa nimempenda Maldiva.Maldiva hana tashwishi na ngozi yangu,wala tabaka langu,anapenda nilivyo na uasili wangu anaelewa japo tu katika ulimwengu tofauti twaweza pendana.Mbona ndugu na Jamaa zangu walioko Afrika wasione haya. Maldiva amenitambulisha kwa wazee wake,wakanikumbatia vyema.Nimekuwa mwana wa familia ile. Hivi sasa tumebakisha miaka miwili tumalize kozi yetu ya udaktari, tunapanga uchumba wetu kisha tufunganye pingu za maisha. Bado sijamsimulia mama haya sijui atalichukulia vipi,sijui kamwe.Liwe liwalo simwachi Maldiva.Nimenaswa kwa penzi lake,siendi pahali Mimi.Hivi tulipomaliza masomo yetu tulifungasha safari kurudi Afrika mie pamoja na mchumba wangu tumefunga ndoa na hivyo sisi ni mume na mke halali.Tulipofika nyumbani kijiji chetu cha madongoporomoko kilikuwa kibadili kiasi,watu walikua wamejenga nyumba nzuri na kuboresha maisha yao ya zamani.Nikapata kumjuza mama kwa Maldiva. Baada ya kipindi kile cha ukaribisho mama aliniita kando kusemezana nami. Alihuzunika kwa maamuzi niliyoyafanya,"mbona uasi mila yako mwanangu,hili halifai! ungetafuta msichana wa asili ya kiafrika,ajuaye kazi za kiafrika,apike vyakula vya kiafrika afuate tamaduni za kiafrika lakini huyu sasa hatamudu."Alisema mama.Sikutaka kukorofishana na mama,kwanza ni mama yangu mzazi na ana hila zozote zile za kunikaripia.Tulifungasha virago vyetu na Maldiva na kurudi zetu Uhabeshi bila neno. Hata haya sikuwahi Siku moja kumwelezea Maldiva.Tukapata kazi na kujaliwa na mtoto moja was kike Alma.Alma na mamake walikua maziwa na tui.Tukaishi kwa furaha hadi kipindi kimoja kitumbua kilipo tumbukia mchangani. Askari wawili walinitia pingu na kuniegesha kwenye gari lao.Nilimwona Maldiva na Alma pale nje ya nyumba.Maldiva amemkumbatia Alma kifuani.Tena hataki kusemezana nami,nikijaribu kuuliza makosa yangu siambiwa.Nilipofikishwa mahakamani nilituhumiwa kwa kosa la kumtishia Maldiva na mwanangu maisha.Niliachishwa kazi na kunyanganywa pesa zote zilizokuwa kwenye akaunti yangu.Nilichosalia nacho ni paspoti ya kurejea kwetu Afrika.Ikiwa nimeharibiwa mukabali wangu wa kazi singeweza kufanya kazi popote pale ningepata.Maldiva akamwoa mtanashati kutoka Uhabeshi na wakaendeleza familia yao. Mwenda tenzi na omo marejeo in ngamani.Leo hii mimi Bakari nilieenda pale na azimio la kubadili maisha yangu.Maamuzi yangu yamenibadili.Nimekuwa kama mwana mpotevu,natubu mbele za mamangu aliyenishauri nikatia nta kwenye sikio.Majuto ni mjukuu na huja kinyume.
Nzige alikuwa amenaswa na nini
{ "text": [ "Utandu wa buibui" ] }
4783_swa
KOSA NILILOFANYA Nikiwa kwenye kijumba chetu kuu kuu mawazo yangu yalizamia ukatani.mle ambamo nzige alikuwa amenaswa kwenye utandu wa buibui ajaribu kujinasua ila ameshindwa.Nilikodoa macho yangu kuangalia ikiwa nzige angeweza kujinasua kutoka kwenye utandu huo.Yamkini alifaulu.Hivi sasa nilitazamia maisha yetu pale nyumbani yalivyofuka moshi.Niliwaza na kuwazua jinsi nitakavyo jitoa kwenye utandu huo kama yule nzige.Iweje nzige mdudu mdogo kama yule ana uwezo was kujinasua kutoka kwenye utandabui nami niliye na nguvu kikamilifu nishindwe kujinasua kwenye uozo huu wa umasikini? Nilitazama kiporo kilichobaki kwenye sufuria na kukivamia ghafla bin vuu.Kwetu tumezaliwa watatu nami ndiye kitindamimba.Wakubwa wangu walikua wamekabwa na majukumu mengi kwa kujitosa kwa ndoa za mapema na pia hawakuwa wamehitimu masomo kwa viwango vya juu.Maisha yao yalikua kusaka tonge nakutia mdomoni bila kuwazia ya kesho,walikuwa wamezaa wana wengi,masaibu juu ya masaibu.Hivyo hata Mimi nilikua nasoma kwa juhudi za mama aliyeuza maboga kwenye kibanda chake kuukuu kule Githurai,Mama ndiye alikua kichwa cha familia yetu, alishika usukani pande zote akawa baba Mara na mama wakati moja.Sitaki kumzungumzia baba,maana alikua mlevi chakari kupindukia,alipiga mtindi kutwa kucha.Alisahau majukumu yake kama mzazi na kuparamia kwenye dunia ya vileo, hivi sasa kama kungekuwa na tuzo kwa mlevi shupavu mjini, basi nani angemshinda mzee malimali? Malimali ni jina alopewa babangu hasa kutokana na tabia zake za kujisifu.Alijishaua jinsi alivyokuwa na wana walisomea ngambo na mashamba makubwa makubwa.Kila jioni baba angeonekana soko la Githurai akiyumba yumba ja mashua majini.Ameejiendea haja nguoni ananuka fye!Mara matapiko yammetapakaa kwenye shati lake na hata wakati mwingine mama angetaarifiwa aje amchukue mume wake aliyejilaza mtaroni.Wakati mwingine wahisani wema wangembeba hobela hobela hadi maskani mwetu.Kwa kweli picha hii haikuwa ya kupendeza hasa kijiji chote kilimjua kwa tabia hizi za ulevi. Wakati mwingine mle shuleni wanafunzi wangenikejeli kwa visa ambavyo babangu alifanya na kuviiga mbele ya darasa lakini ndio malimwengu sasa ningefanya vipi?Ikiwa huo ndio ukweli was mambo.Hivi sasa nilikua kidato cha pili katika shule ya upili ya Mbuyu.Najitahidi labda mambo yatakuwa sawa mbeleni.Mara mingi ningefukuzwa shuleni kuleta karo ningekaa nyumbani kwa kipindi kirefu kabla ya kupata karo.Kilicho wapendeza walimu ni umakini wangu pale darasani maana nilifuzu vyema masomoni na kuibuka was kwanza.Hata hivyo lilowashangaza wanafunzi wengi kwa kuwa ningekaa nyumbani kipindi kirefu kisha nikirejea ningewaonyesha kivumbi. Baada ya mwaka moja nilikua kidato cha nne nasubiri kuufanya mtihani wangu was kitaifa.Hayawi hayawi huwa.Mtihani ulifanywa matokeo yakatokea nikaibuka na alama(A-) katika mtihani wangu was kitaifa.Furaha iliyoje?Mamangu alifurahi vilivyo lakini sasa shida kubwa ilikuwa kupata fedha za kuendeleza masomo yangu chuoni.Ikawa mtihani mgumu kwetu sasa.Hapa sasa mzee Malimali alipata hadithi mpya ya kujishaua nayo.Kila alipolewa alitangaza barabarani jina langu na maki nilizopata."Mimi nina daktari kwenye boma langu amepata alama (A-) ananuia kujiunga na chuo kikuu hak-u-na mtoto ali-ye-mshi-nda katika shule yao.Hivi karibuni atasafiri na kuenda ng'ambo,nita-uza-za shamba langu lo-ote na kusomesha mwanangu shule ya ngambo,daktari atasafiri mwezi moja kabla ya kuanza masomo yake ajivinjari na kubarizi,kutuliza akili yake."Mzee MaliMali alisema. Mama alijawa na huzuni maana alijua fika kuwa ni yeye angepaswa kuwajibika katika kuendeleza masomo yangu.Hivyo nami nikaamua kujitafutia vibarua kabla ya mwito wangu katika chuo kikuu.Nilipata kazi ya mhudumu katika mkahawa pale kayole ingawa malipo yalikua duni sikua na pasi ila kufanya tu.Nivichange vipesa labda vingenikimu mahali Fulani.Mkahawa ule ulikua wa mhindi aliyejizolea biashara pale nakuandika watu kufanya kazi hizo. Ningepaswa kufika kazini mafungulia ng'ombe nakurejea saa nne usiku kwa kuwa kazi zilitapakaa kote kote. Siku Moja nilipokuwa katika huduma zangu za kawaida,niliona gari limeegeshwa pale nje ya mkahawa.Akilini mwangu nilijua kuwa wale ni wateja wa kawaida.Jizee moja lilisongea karibu nami likitabasamu."Wewe ndiye Zubena?" Aliniuliza.Nilitikisa kichwa change kuonyesha ni mimi."Naam mimi ndiye Zubena kuna shida lolote?"niliuliza.Zubena hivi Leo tunafuraha kufika mahali hapa kwa ajili ya yako.Nina uhakika wazazi wako wana fahari kuwa na na mwana kama wewe.Kisha akinipokezea kibahasha na kunieleza nifungue.Alihamdululahi!Sikuamini niliyoona pale.Nilikuwa nimepewa fursa kusoma chuo kikuu cha kitaifa kule Uisbania,kusomea udakitari.Serikali ilikua imeteua watahiniwa mia moja waliofuzu vyema,nikawa miongoni mwao.Jizee like liliniambia niwapeleka kwa wazee wangu,nilimwomba bosi wangu ruhusa kisha nikaingia kwenye bonge la gari.Gari la kifahari.Tukampasulia mama mbarika,mama alibaki ameduwaa na habari hizi.Ama kweli Mungu hamwachi mja wake! Mama alipata afueni zaidi ya hayo aliyeleta ujumbe huo aliguswa na utu kwa kuangalia maisha tuliyoishi.Alimnunulia mama konde na kumjengea nyumba kisha akamfungulia biashara la samaki waliokaangwa kwa mafuta.Hata hivyo popote niendapo ningekaa na utulivu akilini mwangu mama yupo salama salmini. Yote haya yakasalia kama ndoto kwangu.Sikuamini haya.Juhudi zangu zilifua dafu kwa hakika.Hivi sasa ni safari hii tu niliyosubiria kwa hamu na ghamu.Hatimaye wakati uliwadia nami nikafungasha safari had I uhabeshi kuendeleza masomo yangu.Mazingira yae yalikua tulivu ajabu,usasa na teknolojia ulijidhihiri waziwazi kwa ubunifu wa vyombo vya usafiri vilivyo kuwa,nilipewa kijumba ambacho ningeishi,nikapewa simu tamba mpya,mavazi na hata chakula, maisha yalikua mepesi nywe!Nami nikatia fora masomoni mwangu,nilitafakari mazingira ya pale nilipoishi na nilipokulia.Ikiwa sasa singetia bidii masomoni mwangu basi tatizo lingekuwa langu tu.Nilijizatiti nakufuata sheria zote zilizotakikana, nakufanya wajibu wangu ipasavyo.Nilirauka mapema na kulala usiku kabisa.Kule wakufunzi wenzagu wangestaajabishwa kwa matokeo niliyopata.Ijapokuwa hapo awali walinitenga kwa kuwa na ngozi nyeusi,walistaajabishwa na ueledi wangu vitabuni.Nipo katika ulimwengu mpya.Sina ufahamu wowote ila tu ni mola na mie, hata imepita kipindi kirefu sijasemezana na mama,wakati mwingine natamani nirudi kwetu Afrika.Vyakula vya kitamaduni.Tamasha za muziki.Hali ya anga tulivu,rafiki zangu niliowaacha.Nabaki kuwafuatilia tu mtandaoni.Ila najua Siku moja nitapata kuonana nao,lakini nikiwa njmerejea na habari za kufana.Habari za kufuzu.Niwe daktari bora,daktari mkarabati was mifupa,daktari hawa ni nadra nchini mwetu.Niokoe watu wangu kutoka kwenye janga la umasikini niwavushe daraja la imani,niwape matumaini yanawezekana lakini sitaweza haya yote pasipo Mungu.Ndio mwanzo wa imani yangu. Mama ametutanguliza kwa dini tungali vikinda nasi twajua pasi Mungu ni vigumu kufaulu. Katika kozi yetu nilikutana na kidosho moja.Ameumbwa akumbika.Alinivutia nikamvutia tukapendana.Lakini hili in tambiko kuu.Napotoka mama amenikanya kutagusana na wasichana wasio na haiba ya kiafrika. Leo hii nimekengeukwa.Lakini sasa nimempenda Maldiva.Maldiva hana tashwishi na ngozi yangu,wala tabaka langu,anapenda nilivyo na uasili wangu anaelewa japo tu katika ulimwengu tofauti twaweza pendana.Mbona ndugu na Jamaa zangu walioko Afrika wasione haya. Maldiva amenitambulisha kwa wazee wake,wakanikumbatia vyema.Nimekuwa mwana wa familia ile. Hivi sasa tumebakisha miaka miwili tumalize kozi yetu ya udaktari, tunapanga uchumba wetu kisha tufunganye pingu za maisha. Bado sijamsimulia mama haya sijui atalichukulia vipi,sijui kamwe.Liwe liwalo simwachi Maldiva.Nimenaswa kwa penzi lake,siendi pahali Mimi.Hivi tulipomaliza masomo yetu tulifungasha safari kurudi Afrika mie pamoja na mchumba wangu tumefunga ndoa na hivyo sisi ni mume na mke halali.Tulipofika nyumbani kijiji chetu cha madongoporomoko kilikuwa kibadili kiasi,watu walikua wamejenga nyumba nzuri na kuboresha maisha yao ya zamani.Nikapata kumjuza mama kwa Maldiva. Baada ya kipindi kile cha ukaribisho mama aliniita kando kusemezana nami. Alihuzunika kwa maamuzi niliyoyafanya,"mbona uasi mila yako mwanangu,hili halifai! ungetafuta msichana wa asili ya kiafrika,ajuaye kazi za kiafrika,apike vyakula vya kiafrika afuate tamaduni za kiafrika lakini huyu sasa hatamudu."Alisema mama.Sikutaka kukorofishana na mama,kwanza ni mama yangu mzazi na ana hila zozote zile za kunikaripia.Tulifungasha virago vyetu na Maldiva na kurudi zetu Uhabeshi bila neno. Hata haya sikuwahi Siku moja kumwelezea Maldiva.Tukapata kazi na kujaliwa na mtoto moja was kike Alma.Alma na mamake walikua maziwa na tui.Tukaishi kwa furaha hadi kipindi kimoja kitumbua kilipo tumbukia mchangani. Askari wawili walinitia pingu na kuniegesha kwenye gari lao.Nilimwona Maldiva na Alma pale nje ya nyumba.Maldiva amemkumbatia Alma kifuani.Tena hataki kusemezana nami,nikijaribu kuuliza makosa yangu siambiwa.Nilipofikishwa mahakamani nilituhumiwa kwa kosa la kumtishia Maldiva na mwanangu maisha.Niliachishwa kazi na kunyanganywa pesa zote zilizokuwa kwenye akaunti yangu.Nilichosalia nacho ni paspoti ya kurejea kwetu Afrika.Ikiwa nimeharibiwa mukabali wangu wa kazi singeweza kufanya kazi popote pale ningepata.Maldiva akamwoa mtanashati kutoka Uhabeshi na wakaendeleza familia yao. Mwenda tenzi na omo marejeo in ngamani.Leo hii mimi Bakari nilieenda pale na azimio la kubadili maisha yangu.Maamuzi yangu yamenibadili.Nimekuwa kama mwana mpotevu,natubu mbele za mamangu aliyenishauri nikatia nta kwenye sikio.Majuto ni mjukuu na huja kinyume.
Msimulizi alikuwa anamtazama nani kwenye kijumba chao
{ "text": [ "Nzige" ] }
4783_swa
KOSA NILILOFANYA Nikiwa kwenye kijumba chetu kuu kuu mawazo yangu yalizamia ukatani.mle ambamo nzige alikuwa amenaswa kwenye utandu wa buibui ajaribu kujinasua ila ameshindwa.Nilikodoa macho yangu kuangalia ikiwa nzige angeweza kujinasua kutoka kwenye utandu huo.Yamkini alifaulu.Hivi sasa nilitazamia maisha yetu pale nyumbani yalivyofuka moshi.Niliwaza na kuwazua jinsi nitakavyo jitoa kwenye utandu huo kama yule nzige.Iweje nzige mdudu mdogo kama yule ana uwezo was kujinasua kutoka kwenye utandabui nami niliye na nguvu kikamilifu nishindwe kujinasua kwenye uozo huu wa umasikini? Nilitazama kiporo kilichobaki kwenye sufuria na kukivamia ghafla bin vuu.Kwetu tumezaliwa watatu nami ndiye kitindamimba.Wakubwa wangu walikua wamekabwa na majukumu mengi kwa kujitosa kwa ndoa za mapema na pia hawakuwa wamehitimu masomo kwa viwango vya juu.Maisha yao yalikua kusaka tonge nakutia mdomoni bila kuwazia ya kesho,walikuwa wamezaa wana wengi,masaibu juu ya masaibu.Hivyo hata Mimi nilikua nasoma kwa juhudi za mama aliyeuza maboga kwenye kibanda chake kuukuu kule Githurai,Mama ndiye alikua kichwa cha familia yetu, alishika usukani pande zote akawa baba Mara na mama wakati moja.Sitaki kumzungumzia baba,maana alikua mlevi chakari kupindukia,alipiga mtindi kutwa kucha.Alisahau majukumu yake kama mzazi na kuparamia kwenye dunia ya vileo, hivi sasa kama kungekuwa na tuzo kwa mlevi shupavu mjini, basi nani angemshinda mzee malimali? Malimali ni jina alopewa babangu hasa kutokana na tabia zake za kujisifu.Alijishaua jinsi alivyokuwa na wana walisomea ngambo na mashamba makubwa makubwa.Kila jioni baba angeonekana soko la Githurai akiyumba yumba ja mashua majini.Ameejiendea haja nguoni ananuka fye!Mara matapiko yammetapakaa kwenye shati lake na hata wakati mwingine mama angetaarifiwa aje amchukue mume wake aliyejilaza mtaroni.Wakati mwingine wahisani wema wangembeba hobela hobela hadi maskani mwetu.Kwa kweli picha hii haikuwa ya kupendeza hasa kijiji chote kilimjua kwa tabia hizi za ulevi. Wakati mwingine mle shuleni wanafunzi wangenikejeli kwa visa ambavyo babangu alifanya na kuviiga mbele ya darasa lakini ndio malimwengu sasa ningefanya vipi?Ikiwa huo ndio ukweli was mambo.Hivi sasa nilikua kidato cha pili katika shule ya upili ya Mbuyu.Najitahidi labda mambo yatakuwa sawa mbeleni.Mara mingi ningefukuzwa shuleni kuleta karo ningekaa nyumbani kwa kipindi kirefu kabla ya kupata karo.Kilicho wapendeza walimu ni umakini wangu pale darasani maana nilifuzu vyema masomoni na kuibuka was kwanza.Hata hivyo lilowashangaza wanafunzi wengi kwa kuwa ningekaa nyumbani kipindi kirefu kisha nikirejea ningewaonyesha kivumbi. Baada ya mwaka moja nilikua kidato cha nne nasubiri kuufanya mtihani wangu was kitaifa.Hayawi hayawi huwa.Mtihani ulifanywa matokeo yakatokea nikaibuka na alama(A-) katika mtihani wangu was kitaifa.Furaha iliyoje?Mamangu alifurahi vilivyo lakini sasa shida kubwa ilikuwa kupata fedha za kuendeleza masomo yangu chuoni.Ikawa mtihani mgumu kwetu sasa.Hapa sasa mzee Malimali alipata hadithi mpya ya kujishaua nayo.Kila alipolewa alitangaza barabarani jina langu na maki nilizopata."Mimi nina daktari kwenye boma langu amepata alama (A-) ananuia kujiunga na chuo kikuu hak-u-na mtoto ali-ye-mshi-nda katika shule yao.Hivi karibuni atasafiri na kuenda ng'ambo,nita-uza-za shamba langu lo-ote na kusomesha mwanangu shule ya ngambo,daktari atasafiri mwezi moja kabla ya kuanza masomo yake ajivinjari na kubarizi,kutuliza akili yake."Mzee MaliMali alisema. Mama alijawa na huzuni maana alijua fika kuwa ni yeye angepaswa kuwajibika katika kuendeleza masomo yangu.Hivyo nami nikaamua kujitafutia vibarua kabla ya mwito wangu katika chuo kikuu.Nilipata kazi ya mhudumu katika mkahawa pale kayole ingawa malipo yalikua duni sikua na pasi ila kufanya tu.Nivichange vipesa labda vingenikimu mahali Fulani.Mkahawa ule ulikua wa mhindi aliyejizolea biashara pale nakuandika watu kufanya kazi hizo. Ningepaswa kufika kazini mafungulia ng'ombe nakurejea saa nne usiku kwa kuwa kazi zilitapakaa kote kote. Siku Moja nilipokuwa katika huduma zangu za kawaida,niliona gari limeegeshwa pale nje ya mkahawa.Akilini mwangu nilijua kuwa wale ni wateja wa kawaida.Jizee moja lilisongea karibu nami likitabasamu."Wewe ndiye Zubena?" Aliniuliza.Nilitikisa kichwa change kuonyesha ni mimi."Naam mimi ndiye Zubena kuna shida lolote?"niliuliza.Zubena hivi Leo tunafuraha kufika mahali hapa kwa ajili ya yako.Nina uhakika wazazi wako wana fahari kuwa na na mwana kama wewe.Kisha akinipokezea kibahasha na kunieleza nifungue.Alihamdululahi!Sikuamini niliyoona pale.Nilikuwa nimepewa fursa kusoma chuo kikuu cha kitaifa kule Uisbania,kusomea udakitari.Serikali ilikua imeteua watahiniwa mia moja waliofuzu vyema,nikawa miongoni mwao.Jizee like liliniambia niwapeleka kwa wazee wangu,nilimwomba bosi wangu ruhusa kisha nikaingia kwenye bonge la gari.Gari la kifahari.Tukampasulia mama mbarika,mama alibaki ameduwaa na habari hizi.Ama kweli Mungu hamwachi mja wake! Mama alipata afueni zaidi ya hayo aliyeleta ujumbe huo aliguswa na utu kwa kuangalia maisha tuliyoishi.Alimnunulia mama konde na kumjengea nyumba kisha akamfungulia biashara la samaki waliokaangwa kwa mafuta.Hata hivyo popote niendapo ningekaa na utulivu akilini mwangu mama yupo salama salmini. Yote haya yakasalia kama ndoto kwangu.Sikuamini haya.Juhudi zangu zilifua dafu kwa hakika.Hivi sasa ni safari hii tu niliyosubiria kwa hamu na ghamu.Hatimaye wakati uliwadia nami nikafungasha safari had I uhabeshi kuendeleza masomo yangu.Mazingira yae yalikua tulivu ajabu,usasa na teknolojia ulijidhihiri waziwazi kwa ubunifu wa vyombo vya usafiri vilivyo kuwa,nilipewa kijumba ambacho ningeishi,nikapewa simu tamba mpya,mavazi na hata chakula, maisha yalikua mepesi nywe!Nami nikatia fora masomoni mwangu,nilitafakari mazingira ya pale nilipoishi na nilipokulia.Ikiwa sasa singetia bidii masomoni mwangu basi tatizo lingekuwa langu tu.Nilijizatiti nakufuata sheria zote zilizotakikana, nakufanya wajibu wangu ipasavyo.Nilirauka mapema na kulala usiku kabisa.Kule wakufunzi wenzagu wangestaajabishwa kwa matokeo niliyopata.Ijapokuwa hapo awali walinitenga kwa kuwa na ngozi nyeusi,walistaajabishwa na ueledi wangu vitabuni.Nipo katika ulimwengu mpya.Sina ufahamu wowote ila tu ni mola na mie, hata imepita kipindi kirefu sijasemezana na mama,wakati mwingine natamani nirudi kwetu Afrika.Vyakula vya kitamaduni.Tamasha za muziki.Hali ya anga tulivu,rafiki zangu niliowaacha.Nabaki kuwafuatilia tu mtandaoni.Ila najua Siku moja nitapata kuonana nao,lakini nikiwa njmerejea na habari za kufana.Habari za kufuzu.Niwe daktari bora,daktari mkarabati was mifupa,daktari hawa ni nadra nchini mwetu.Niokoe watu wangu kutoka kwenye janga la umasikini niwavushe daraja la imani,niwape matumaini yanawezekana lakini sitaweza haya yote pasipo Mungu.Ndio mwanzo wa imani yangu. Mama ametutanguliza kwa dini tungali vikinda nasi twajua pasi Mungu ni vigumu kufaulu. Katika kozi yetu nilikutana na kidosho moja.Ameumbwa akumbika.Alinivutia nikamvutia tukapendana.Lakini hili in tambiko kuu.Napotoka mama amenikanya kutagusana na wasichana wasio na haiba ya kiafrika. Leo hii nimekengeukwa.Lakini sasa nimempenda Maldiva.Maldiva hana tashwishi na ngozi yangu,wala tabaka langu,anapenda nilivyo na uasili wangu anaelewa japo tu katika ulimwengu tofauti twaweza pendana.Mbona ndugu na Jamaa zangu walioko Afrika wasione haya. Maldiva amenitambulisha kwa wazee wake,wakanikumbatia vyema.Nimekuwa mwana wa familia ile. Hivi sasa tumebakisha miaka miwili tumalize kozi yetu ya udaktari, tunapanga uchumba wetu kisha tufunganye pingu za maisha. Bado sijamsimulia mama haya sijui atalichukulia vipi,sijui kamwe.Liwe liwalo simwachi Maldiva.Nimenaswa kwa penzi lake,siendi pahali Mimi.Hivi tulipomaliza masomo yetu tulifungasha safari kurudi Afrika mie pamoja na mchumba wangu tumefunga ndoa na hivyo sisi ni mume na mke halali.Tulipofika nyumbani kijiji chetu cha madongoporomoko kilikuwa kibadili kiasi,watu walikua wamejenga nyumba nzuri na kuboresha maisha yao ya zamani.Nikapata kumjuza mama kwa Maldiva. Baada ya kipindi kile cha ukaribisho mama aliniita kando kusemezana nami. Alihuzunika kwa maamuzi niliyoyafanya,"mbona uasi mila yako mwanangu,hili halifai! ungetafuta msichana wa asili ya kiafrika,ajuaye kazi za kiafrika,apike vyakula vya kiafrika afuate tamaduni za kiafrika lakini huyu sasa hatamudu."Alisema mama.Sikutaka kukorofishana na mama,kwanza ni mama yangu mzazi na ana hila zozote zile za kunikaripia.Tulifungasha virago vyetu na Maldiva na kurudi zetu Uhabeshi bila neno. Hata haya sikuwahi Siku moja kumwelezea Maldiva.Tukapata kazi na kujaliwa na mtoto moja was kike Alma.Alma na mamake walikua maziwa na tui.Tukaishi kwa furaha hadi kipindi kimoja kitumbua kilipo tumbukia mchangani. Askari wawili walinitia pingu na kuniegesha kwenye gari lao.Nilimwona Maldiva na Alma pale nje ya nyumba.Maldiva amemkumbatia Alma kifuani.Tena hataki kusemezana nami,nikijaribu kuuliza makosa yangu siambiwa.Nilipofikishwa mahakamani nilituhumiwa kwa kosa la kumtishia Maldiva na mwanangu maisha.Niliachishwa kazi na kunyanganywa pesa zote zilizokuwa kwenye akaunti yangu.Nilichosalia nacho ni paspoti ya kurejea kwetu Afrika.Ikiwa nimeharibiwa mukabali wangu wa kazi singeweza kufanya kazi popote pale ningepata.Maldiva akamwoa mtanashati kutoka Uhabeshi na wakaendeleza familia yao. Mwenda tenzi na omo marejeo in ngamani.Leo hii mimi Bakari nilieenda pale na azimio la kubadili maisha yangu.Maamuzi yangu yamenibadili.Nimekuwa kama mwana mpotevu,natubu mbele za mamangu aliyenishauri nikatia nta kwenye sikio.Majuto ni mjukuu na huja kinyume.
Msimulizi alikuwa wa ngapi kwao
{ "text": [ "Kitindamimba ~mwisho" ] }
4783_swa
KOSA NILILOFANYA Nikiwa kwenye kijumba chetu kuu kuu mawazo yangu yalizamia ukatani.mle ambamo nzige alikuwa amenaswa kwenye utandu wa buibui ajaribu kujinasua ila ameshindwa.Nilikodoa macho yangu kuangalia ikiwa nzige angeweza kujinasua kutoka kwenye utandu huo.Yamkini alifaulu.Hivi sasa nilitazamia maisha yetu pale nyumbani yalivyofuka moshi.Niliwaza na kuwazua jinsi nitakavyo jitoa kwenye utandu huo kama yule nzige.Iweje nzige mdudu mdogo kama yule ana uwezo was kujinasua kutoka kwenye utandabui nami niliye na nguvu kikamilifu nishindwe kujinasua kwenye uozo huu wa umasikini? Nilitazama kiporo kilichobaki kwenye sufuria na kukivamia ghafla bin vuu.Kwetu tumezaliwa watatu nami ndiye kitindamimba.Wakubwa wangu walikua wamekabwa na majukumu mengi kwa kujitosa kwa ndoa za mapema na pia hawakuwa wamehitimu masomo kwa viwango vya juu.Maisha yao yalikua kusaka tonge nakutia mdomoni bila kuwazia ya kesho,walikuwa wamezaa wana wengi,masaibu juu ya masaibu.Hivyo hata Mimi nilikua nasoma kwa juhudi za mama aliyeuza maboga kwenye kibanda chake kuukuu kule Githurai,Mama ndiye alikua kichwa cha familia yetu, alishika usukani pande zote akawa baba Mara na mama wakati moja.Sitaki kumzungumzia baba,maana alikua mlevi chakari kupindukia,alipiga mtindi kutwa kucha.Alisahau majukumu yake kama mzazi na kuparamia kwenye dunia ya vileo, hivi sasa kama kungekuwa na tuzo kwa mlevi shupavu mjini, basi nani angemshinda mzee malimali? Malimali ni jina alopewa babangu hasa kutokana na tabia zake za kujisifu.Alijishaua jinsi alivyokuwa na wana walisomea ngambo na mashamba makubwa makubwa.Kila jioni baba angeonekana soko la Githurai akiyumba yumba ja mashua majini.Ameejiendea haja nguoni ananuka fye!Mara matapiko yammetapakaa kwenye shati lake na hata wakati mwingine mama angetaarifiwa aje amchukue mume wake aliyejilaza mtaroni.Wakati mwingine wahisani wema wangembeba hobela hobela hadi maskani mwetu.Kwa kweli picha hii haikuwa ya kupendeza hasa kijiji chote kilimjua kwa tabia hizi za ulevi. Wakati mwingine mle shuleni wanafunzi wangenikejeli kwa visa ambavyo babangu alifanya na kuviiga mbele ya darasa lakini ndio malimwengu sasa ningefanya vipi?Ikiwa huo ndio ukweli was mambo.Hivi sasa nilikua kidato cha pili katika shule ya upili ya Mbuyu.Najitahidi labda mambo yatakuwa sawa mbeleni.Mara mingi ningefukuzwa shuleni kuleta karo ningekaa nyumbani kwa kipindi kirefu kabla ya kupata karo.Kilicho wapendeza walimu ni umakini wangu pale darasani maana nilifuzu vyema masomoni na kuibuka was kwanza.Hata hivyo lilowashangaza wanafunzi wengi kwa kuwa ningekaa nyumbani kipindi kirefu kisha nikirejea ningewaonyesha kivumbi. Baada ya mwaka moja nilikua kidato cha nne nasubiri kuufanya mtihani wangu was kitaifa.Hayawi hayawi huwa.Mtihani ulifanywa matokeo yakatokea nikaibuka na alama(A-) katika mtihani wangu was kitaifa.Furaha iliyoje?Mamangu alifurahi vilivyo lakini sasa shida kubwa ilikuwa kupata fedha za kuendeleza masomo yangu chuoni.Ikawa mtihani mgumu kwetu sasa.Hapa sasa mzee Malimali alipata hadithi mpya ya kujishaua nayo.Kila alipolewa alitangaza barabarani jina langu na maki nilizopata."Mimi nina daktari kwenye boma langu amepata alama (A-) ananuia kujiunga na chuo kikuu hak-u-na mtoto ali-ye-mshi-nda katika shule yao.Hivi karibuni atasafiri na kuenda ng'ambo,nita-uza-za shamba langu lo-ote na kusomesha mwanangu shule ya ngambo,daktari atasafiri mwezi moja kabla ya kuanza masomo yake ajivinjari na kubarizi,kutuliza akili yake."Mzee MaliMali alisema. Mama alijawa na huzuni maana alijua fika kuwa ni yeye angepaswa kuwajibika katika kuendeleza masomo yangu.Hivyo nami nikaamua kujitafutia vibarua kabla ya mwito wangu katika chuo kikuu.Nilipata kazi ya mhudumu katika mkahawa pale kayole ingawa malipo yalikua duni sikua na pasi ila kufanya tu.Nivichange vipesa labda vingenikimu mahali Fulani.Mkahawa ule ulikua wa mhindi aliyejizolea biashara pale nakuandika watu kufanya kazi hizo. Ningepaswa kufika kazini mafungulia ng'ombe nakurejea saa nne usiku kwa kuwa kazi zilitapakaa kote kote. Siku Moja nilipokuwa katika huduma zangu za kawaida,niliona gari limeegeshwa pale nje ya mkahawa.Akilini mwangu nilijua kuwa wale ni wateja wa kawaida.Jizee moja lilisongea karibu nami likitabasamu."Wewe ndiye Zubena?" Aliniuliza.Nilitikisa kichwa change kuonyesha ni mimi."Naam mimi ndiye Zubena kuna shida lolote?"niliuliza.Zubena hivi Leo tunafuraha kufika mahali hapa kwa ajili ya yako.Nina uhakika wazazi wako wana fahari kuwa na na mwana kama wewe.Kisha akinipokezea kibahasha na kunieleza nifungue.Alihamdululahi!Sikuamini niliyoona pale.Nilikuwa nimepewa fursa kusoma chuo kikuu cha kitaifa kule Uisbania,kusomea udakitari.Serikali ilikua imeteua watahiniwa mia moja waliofuzu vyema,nikawa miongoni mwao.Jizee like liliniambia niwapeleka kwa wazee wangu,nilimwomba bosi wangu ruhusa kisha nikaingia kwenye bonge la gari.Gari la kifahari.Tukampasulia mama mbarika,mama alibaki ameduwaa na habari hizi.Ama kweli Mungu hamwachi mja wake! Mama alipata afueni zaidi ya hayo aliyeleta ujumbe huo aliguswa na utu kwa kuangalia maisha tuliyoishi.Alimnunulia mama konde na kumjengea nyumba kisha akamfungulia biashara la samaki waliokaangwa kwa mafuta.Hata hivyo popote niendapo ningekaa na utulivu akilini mwangu mama yupo salama salmini. Yote haya yakasalia kama ndoto kwangu.Sikuamini haya.Juhudi zangu zilifua dafu kwa hakika.Hivi sasa ni safari hii tu niliyosubiria kwa hamu na ghamu.Hatimaye wakati uliwadia nami nikafungasha safari had I uhabeshi kuendeleza masomo yangu.Mazingira yae yalikua tulivu ajabu,usasa na teknolojia ulijidhihiri waziwazi kwa ubunifu wa vyombo vya usafiri vilivyo kuwa,nilipewa kijumba ambacho ningeishi,nikapewa simu tamba mpya,mavazi na hata chakula, maisha yalikua mepesi nywe!Nami nikatia fora masomoni mwangu,nilitafakari mazingira ya pale nilipoishi na nilipokulia.Ikiwa sasa singetia bidii masomoni mwangu basi tatizo lingekuwa langu tu.Nilijizatiti nakufuata sheria zote zilizotakikana, nakufanya wajibu wangu ipasavyo.Nilirauka mapema na kulala usiku kabisa.Kule wakufunzi wenzagu wangestaajabishwa kwa matokeo niliyopata.Ijapokuwa hapo awali walinitenga kwa kuwa na ngozi nyeusi,walistaajabishwa na ueledi wangu vitabuni.Nipo katika ulimwengu mpya.Sina ufahamu wowote ila tu ni mola na mie, hata imepita kipindi kirefu sijasemezana na mama,wakati mwingine natamani nirudi kwetu Afrika.Vyakula vya kitamaduni.Tamasha za muziki.Hali ya anga tulivu,rafiki zangu niliowaacha.Nabaki kuwafuatilia tu mtandaoni.Ila najua Siku moja nitapata kuonana nao,lakini nikiwa njmerejea na habari za kufana.Habari za kufuzu.Niwe daktari bora,daktari mkarabati was mifupa,daktari hawa ni nadra nchini mwetu.Niokoe watu wangu kutoka kwenye janga la umasikini niwavushe daraja la imani,niwape matumaini yanawezekana lakini sitaweza haya yote pasipo Mungu.Ndio mwanzo wa imani yangu. Mama ametutanguliza kwa dini tungali vikinda nasi twajua pasi Mungu ni vigumu kufaulu. Katika kozi yetu nilikutana na kidosho moja.Ameumbwa akumbika.Alinivutia nikamvutia tukapendana.Lakini hili in tambiko kuu.Napotoka mama amenikanya kutagusana na wasichana wasio na haiba ya kiafrika. Leo hii nimekengeukwa.Lakini sasa nimempenda Maldiva.Maldiva hana tashwishi na ngozi yangu,wala tabaka langu,anapenda nilivyo na uasili wangu anaelewa japo tu katika ulimwengu tofauti twaweza pendana.Mbona ndugu na Jamaa zangu walioko Afrika wasione haya. Maldiva amenitambulisha kwa wazee wake,wakanikumbatia vyema.Nimekuwa mwana wa familia ile. Hivi sasa tumebakisha miaka miwili tumalize kozi yetu ya udaktari, tunapanga uchumba wetu kisha tufunganye pingu za maisha. Bado sijamsimulia mama haya sijui atalichukulia vipi,sijui kamwe.Liwe liwalo simwachi Maldiva.Nimenaswa kwa penzi lake,siendi pahali Mimi.Hivi tulipomaliza masomo yetu tulifungasha safari kurudi Afrika mie pamoja na mchumba wangu tumefunga ndoa na hivyo sisi ni mume na mke halali.Tulipofika nyumbani kijiji chetu cha madongoporomoko kilikuwa kibadili kiasi,watu walikua wamejenga nyumba nzuri na kuboresha maisha yao ya zamani.Nikapata kumjuza mama kwa Maldiva. Baada ya kipindi kile cha ukaribisho mama aliniita kando kusemezana nami. Alihuzunika kwa maamuzi niliyoyafanya,"mbona uasi mila yako mwanangu,hili halifai! ungetafuta msichana wa asili ya kiafrika,ajuaye kazi za kiafrika,apike vyakula vya kiafrika afuate tamaduni za kiafrika lakini huyu sasa hatamudu."Alisema mama.Sikutaka kukorofishana na mama,kwanza ni mama yangu mzazi na ana hila zozote zile za kunikaripia.Tulifungasha virago vyetu na Maldiva na kurudi zetu Uhabeshi bila neno. Hata haya sikuwahi Siku moja kumwelezea Maldiva.Tukapata kazi na kujaliwa na mtoto moja was kike Alma.Alma na mamake walikua maziwa na tui.Tukaishi kwa furaha hadi kipindi kimoja kitumbua kilipo tumbukia mchangani. Askari wawili walinitia pingu na kuniegesha kwenye gari lao.Nilimwona Maldiva na Alma pale nje ya nyumba.Maldiva amemkumbatia Alma kifuani.Tena hataki kusemezana nami,nikijaribu kuuliza makosa yangu siambiwa.Nilipofikishwa mahakamani nilituhumiwa kwa kosa la kumtishia Maldiva na mwanangu maisha.Niliachishwa kazi na kunyanganywa pesa zote zilizokuwa kwenye akaunti yangu.Nilichosalia nacho ni paspoti ya kurejea kwetu Afrika.Ikiwa nimeharibiwa mukabali wangu wa kazi singeweza kufanya kazi popote pale ningepata.Maldiva akamwoa mtanashati kutoka Uhabeshi na wakaendeleza familia yao. Mwenda tenzi na omo marejeo in ngamani.Leo hii mimi Bakari nilieenda pale na azimio la kubadili maisha yangu.Maamuzi yangu yamenibadili.Nimekuwa kama mwana mpotevu,natubu mbele za mamangu aliyenishauri nikatia nta kwenye sikio.Majuto ni mjukuu na huja kinyume.
Msimulizi kwao walizaliwa wangapi
{ "text": [ "Watatu" ] }
4783_swa
KOSA NILILOFANYA Nikiwa kwenye kijumba chetu kuu kuu mawazo yangu yalizamia ukatani.mle ambamo nzige alikuwa amenaswa kwenye utandu wa buibui ajaribu kujinasua ila ameshindwa.Nilikodoa macho yangu kuangalia ikiwa nzige angeweza kujinasua kutoka kwenye utandu huo.Yamkini alifaulu.Hivi sasa nilitazamia maisha yetu pale nyumbani yalivyofuka moshi.Niliwaza na kuwazua jinsi nitakavyo jitoa kwenye utandu huo kama yule nzige.Iweje nzige mdudu mdogo kama yule ana uwezo was kujinasua kutoka kwenye utandabui nami niliye na nguvu kikamilifu nishindwe kujinasua kwenye uozo huu wa umasikini? Nilitazama kiporo kilichobaki kwenye sufuria na kukivamia ghafla bin vuu.Kwetu tumezaliwa watatu nami ndiye kitindamimba.Wakubwa wangu walikua wamekabwa na majukumu mengi kwa kujitosa kwa ndoa za mapema na pia hawakuwa wamehitimu masomo kwa viwango vya juu.Maisha yao yalikua kusaka tonge nakutia mdomoni bila kuwazia ya kesho,walikuwa wamezaa wana wengi,masaibu juu ya masaibu.Hivyo hata Mimi nilikua nasoma kwa juhudi za mama aliyeuza maboga kwenye kibanda chake kuukuu kule Githurai,Mama ndiye alikua kichwa cha familia yetu, alishika usukani pande zote akawa baba Mara na mama wakati moja.Sitaki kumzungumzia baba,maana alikua mlevi chakari kupindukia,alipiga mtindi kutwa kucha.Alisahau majukumu yake kama mzazi na kuparamia kwenye dunia ya vileo, hivi sasa kama kungekuwa na tuzo kwa mlevi shupavu mjini, basi nani angemshinda mzee malimali? Malimali ni jina alopewa babangu hasa kutokana na tabia zake za kujisifu.Alijishaua jinsi alivyokuwa na wana walisomea ngambo na mashamba makubwa makubwa.Kila jioni baba angeonekana soko la Githurai akiyumba yumba ja mashua majini.Ameejiendea haja nguoni ananuka fye!Mara matapiko yammetapakaa kwenye shati lake na hata wakati mwingine mama angetaarifiwa aje amchukue mume wake aliyejilaza mtaroni.Wakati mwingine wahisani wema wangembeba hobela hobela hadi maskani mwetu.Kwa kweli picha hii haikuwa ya kupendeza hasa kijiji chote kilimjua kwa tabia hizi za ulevi. Wakati mwingine mle shuleni wanafunzi wangenikejeli kwa visa ambavyo babangu alifanya na kuviiga mbele ya darasa lakini ndio malimwengu sasa ningefanya vipi?Ikiwa huo ndio ukweli was mambo.Hivi sasa nilikua kidato cha pili katika shule ya upili ya Mbuyu.Najitahidi labda mambo yatakuwa sawa mbeleni.Mara mingi ningefukuzwa shuleni kuleta karo ningekaa nyumbani kwa kipindi kirefu kabla ya kupata karo.Kilicho wapendeza walimu ni umakini wangu pale darasani maana nilifuzu vyema masomoni na kuibuka was kwanza.Hata hivyo lilowashangaza wanafunzi wengi kwa kuwa ningekaa nyumbani kipindi kirefu kisha nikirejea ningewaonyesha kivumbi. Baada ya mwaka moja nilikua kidato cha nne nasubiri kuufanya mtihani wangu was kitaifa.Hayawi hayawi huwa.Mtihani ulifanywa matokeo yakatokea nikaibuka na alama(A-) katika mtihani wangu was kitaifa.Furaha iliyoje?Mamangu alifurahi vilivyo lakini sasa shida kubwa ilikuwa kupata fedha za kuendeleza masomo yangu chuoni.Ikawa mtihani mgumu kwetu sasa.Hapa sasa mzee Malimali alipata hadithi mpya ya kujishaua nayo.Kila alipolewa alitangaza barabarani jina langu na maki nilizopata."Mimi nina daktari kwenye boma langu amepata alama (A-) ananuia kujiunga na chuo kikuu hak-u-na mtoto ali-ye-mshi-nda katika shule yao.Hivi karibuni atasafiri na kuenda ng'ambo,nita-uza-za shamba langu lo-ote na kusomesha mwanangu shule ya ngambo,daktari atasafiri mwezi moja kabla ya kuanza masomo yake ajivinjari na kubarizi,kutuliza akili yake."Mzee MaliMali alisema. Mama alijawa na huzuni maana alijua fika kuwa ni yeye angepaswa kuwajibika katika kuendeleza masomo yangu.Hivyo nami nikaamua kujitafutia vibarua kabla ya mwito wangu katika chuo kikuu.Nilipata kazi ya mhudumu katika mkahawa pale kayole ingawa malipo yalikua duni sikua na pasi ila kufanya tu.Nivichange vipesa labda vingenikimu mahali Fulani.Mkahawa ule ulikua wa mhindi aliyejizolea biashara pale nakuandika watu kufanya kazi hizo. Ningepaswa kufika kazini mafungulia ng'ombe nakurejea saa nne usiku kwa kuwa kazi zilitapakaa kote kote. Siku Moja nilipokuwa katika huduma zangu za kawaida,niliona gari limeegeshwa pale nje ya mkahawa.Akilini mwangu nilijua kuwa wale ni wateja wa kawaida.Jizee moja lilisongea karibu nami likitabasamu."Wewe ndiye Zubena?" Aliniuliza.Nilitikisa kichwa change kuonyesha ni mimi."Naam mimi ndiye Zubena kuna shida lolote?"niliuliza.Zubena hivi Leo tunafuraha kufika mahali hapa kwa ajili ya yako.Nina uhakika wazazi wako wana fahari kuwa na na mwana kama wewe.Kisha akinipokezea kibahasha na kunieleza nifungue.Alihamdululahi!Sikuamini niliyoona pale.Nilikuwa nimepewa fursa kusoma chuo kikuu cha kitaifa kule Uisbania,kusomea udakitari.Serikali ilikua imeteua watahiniwa mia moja waliofuzu vyema,nikawa miongoni mwao.Jizee like liliniambia niwapeleka kwa wazee wangu,nilimwomba bosi wangu ruhusa kisha nikaingia kwenye bonge la gari.Gari la kifahari.Tukampasulia mama mbarika,mama alibaki ameduwaa na habari hizi.Ama kweli Mungu hamwachi mja wake! Mama alipata afueni zaidi ya hayo aliyeleta ujumbe huo aliguswa na utu kwa kuangalia maisha tuliyoishi.Alimnunulia mama konde na kumjengea nyumba kisha akamfungulia biashara la samaki waliokaangwa kwa mafuta.Hata hivyo popote niendapo ningekaa na utulivu akilini mwangu mama yupo salama salmini. Yote haya yakasalia kama ndoto kwangu.Sikuamini haya.Juhudi zangu zilifua dafu kwa hakika.Hivi sasa ni safari hii tu niliyosubiria kwa hamu na ghamu.Hatimaye wakati uliwadia nami nikafungasha safari had I uhabeshi kuendeleza masomo yangu.Mazingira yae yalikua tulivu ajabu,usasa na teknolojia ulijidhihiri waziwazi kwa ubunifu wa vyombo vya usafiri vilivyo kuwa,nilipewa kijumba ambacho ningeishi,nikapewa simu tamba mpya,mavazi na hata chakula, maisha yalikua mepesi nywe!Nami nikatia fora masomoni mwangu,nilitafakari mazingira ya pale nilipoishi na nilipokulia.Ikiwa sasa singetia bidii masomoni mwangu basi tatizo lingekuwa langu tu.Nilijizatiti nakufuata sheria zote zilizotakikana, nakufanya wajibu wangu ipasavyo.Nilirauka mapema na kulala usiku kabisa.Kule wakufunzi wenzagu wangestaajabishwa kwa matokeo niliyopata.Ijapokuwa hapo awali walinitenga kwa kuwa na ngozi nyeusi,walistaajabishwa na ueledi wangu vitabuni.Nipo katika ulimwengu mpya.Sina ufahamu wowote ila tu ni mola na mie, hata imepita kipindi kirefu sijasemezana na mama,wakati mwingine natamani nirudi kwetu Afrika.Vyakula vya kitamaduni.Tamasha za muziki.Hali ya anga tulivu,rafiki zangu niliowaacha.Nabaki kuwafuatilia tu mtandaoni.Ila najua Siku moja nitapata kuonana nao,lakini nikiwa njmerejea na habari za kufana.Habari za kufuzu.Niwe daktari bora,daktari mkarabati was mifupa,daktari hawa ni nadra nchini mwetu.Niokoe watu wangu kutoka kwenye janga la umasikini niwavushe daraja la imani,niwape matumaini yanawezekana lakini sitaweza haya yote pasipo Mungu.Ndio mwanzo wa imani yangu. Mama ametutanguliza kwa dini tungali vikinda nasi twajua pasi Mungu ni vigumu kufaulu. Katika kozi yetu nilikutana na kidosho moja.Ameumbwa akumbika.Alinivutia nikamvutia tukapendana.Lakini hili in tambiko kuu.Napotoka mama amenikanya kutagusana na wasichana wasio na haiba ya kiafrika. Leo hii nimekengeukwa.Lakini sasa nimempenda Maldiva.Maldiva hana tashwishi na ngozi yangu,wala tabaka langu,anapenda nilivyo na uasili wangu anaelewa japo tu katika ulimwengu tofauti twaweza pendana.Mbona ndugu na Jamaa zangu walioko Afrika wasione haya. Maldiva amenitambulisha kwa wazee wake,wakanikumbatia vyema.Nimekuwa mwana wa familia ile. Hivi sasa tumebakisha miaka miwili tumalize kozi yetu ya udaktari, tunapanga uchumba wetu kisha tufunganye pingu za maisha. Bado sijamsimulia mama haya sijui atalichukulia vipi,sijui kamwe.Liwe liwalo simwachi Maldiva.Nimenaswa kwa penzi lake,siendi pahali Mimi.Hivi tulipomaliza masomo yetu tulifungasha safari kurudi Afrika mie pamoja na mchumba wangu tumefunga ndoa na hivyo sisi ni mume na mke halali.Tulipofika nyumbani kijiji chetu cha madongoporomoko kilikuwa kibadili kiasi,watu walikua wamejenga nyumba nzuri na kuboresha maisha yao ya zamani.Nikapata kumjuza mama kwa Maldiva. Baada ya kipindi kile cha ukaribisho mama aliniita kando kusemezana nami. Alihuzunika kwa maamuzi niliyoyafanya,"mbona uasi mila yako mwanangu,hili halifai! ungetafuta msichana wa asili ya kiafrika,ajuaye kazi za kiafrika,apike vyakula vya kiafrika afuate tamaduni za kiafrika lakini huyu sasa hatamudu."Alisema mama.Sikutaka kukorofishana na mama,kwanza ni mama yangu mzazi na ana hila zozote zile za kunikaripia.Tulifungasha virago vyetu na Maldiva na kurudi zetu Uhabeshi bila neno. Hata haya sikuwahi Siku moja kumwelezea Maldiva.Tukapata kazi na kujaliwa na mtoto moja was kike Alma.Alma na mamake walikua maziwa na tui.Tukaishi kwa furaha hadi kipindi kimoja kitumbua kilipo tumbukia mchangani. Askari wawili walinitia pingu na kuniegesha kwenye gari lao.Nilimwona Maldiva na Alma pale nje ya nyumba.Maldiva amemkumbatia Alma kifuani.Tena hataki kusemezana nami,nikijaribu kuuliza makosa yangu siambiwa.Nilipofikishwa mahakamani nilituhumiwa kwa kosa la kumtishia Maldiva na mwanangu maisha.Niliachishwa kazi na kunyanganywa pesa zote zilizokuwa kwenye akaunti yangu.Nilichosalia nacho ni paspoti ya kurejea kwetu Afrika.Ikiwa nimeharibiwa mukabali wangu wa kazi singeweza kufanya kazi popote pale ningepata.Maldiva akamwoa mtanashati kutoka Uhabeshi na wakaendeleza familia yao. Mwenda tenzi na omo marejeo in ngamani.Leo hii mimi Bakari nilieenda pale na azimio la kubadili maisha yangu.Maamuzi yangu yamenibadili.Nimekuwa kama mwana mpotevu,natubu mbele za mamangu aliyenishauri nikatia nta kwenye sikio.Majuto ni mjukuu na huja kinyume.
Malimali alikuwa nani
{ "text": [ "Babake msimulizi" ] }
4784_swa
MNYONGE MSONGE Mtungi wa rangi ya njano uliochakaa ulijikunyata kwa kilio jikoni. Matundu makubwa yaliutamalaki huku weusi wa masizi ya moshi wa kuni ukaugubika uso wake. Zainati, aliyeonekana kuwa na haraka aliuburura mtungi huo na kuupeleka kwenye ua wa nyumba. Huku akiimbaimba wimbo maarufu wa taarabu uitwao ‘ mja hunifaidishi’, alikivuta kikapu cha nguo chafu na kuzikagua . Alikuwa anaweka nyeupe kando na za rangi kando . Zainati aliukalia mtungi nao ukatoa sauti ya kulalama kwa kuwa mkaaji alikuwa na makalio si haba. Ni umbile lilo hilo ndilo lililomfanya Mzee Mambo amwoe kama mke wa pili na kumpuuza mkewe wa kwanza. Anga ilitamalaki sauti tamu ya mwimbaji na michekecho ya nguo ndani ya beseni la maji. Mwimbaji mwenyewe alikua ameubebedua mdomo wake huku kope zake za bandia zikipepesuka kwa upepo na kumfanya kama anayetaka kupaa angani. Batuli aliyekuwa na mkungu wa ndizi kichwani alijipitia zake ili aingie ndani angalau awachemshie wanawe chamcha. Zainati akachefukwa na kupaza sauti akisema ‘’ Utabaki kula midizi umee misuli ya kiume ikuumbue bure, mie mwenzio laini kama bata, ulaji wangu tende na halua!’’ Batuli alimlaani shetani na kuufunga mdomo wake akajiendea zake jikoni kuzimenya ndizi zake. Alikuwa mke wa kwanza wa mzee Mambo na aliyejitenga na shari zote. Alikuwa amechoshwa na vitimbi vya mke mwenza ila alijikaza kuvumilia. Mzee Mambo mwenyewe alikuwa hamhudumii kwa lolote licha ya kuwa ni mkewe. Pesa zote zilimiminwa kwa huyo kipenzi chake Zainati. Apeweje pesa ilhali alikuwa mwanamke wa kizamani tena asiyeujua usasa? Umbile lake lenyewe liliambulia uhafifu baada ya kujifungua mapacha wake Ali na Aliya. Ngozi yake ilipauka kwa kuwa hata mafuta ya kujipaka alikosa. Visenti alivyovipata katika biashara yake ya ndizi huko sokoni Ulingo alivitumia kuwalipia wanawe ada ya twisheni iliyokuwa ikitozwa shuleni. Batuli alikuwa ameshachemsha ndizi akaamua kuchambua vidagaa vyake alivyokuwa amevibakiza ili avifanye mboga na kuvisongea ugali wa jioni. Zainati naye alikuwa amekwishamaliza kufua na kuja jikoni na bakuli lake la nyama. Kwa makusudi, akakaa karibu na Batuli huku akiikatakata nyama yake akivitazama vidagaa vya mwenzake. Kicheko kikubwa kilimtoka kinywani huku akisema ‘’Nikila manofu mwenzangu wala misumari ya bati!’’ Kwa kujipitishapitisha pale jikoni, Zainati akalipiga kumbo sinia la vidagaa, mboga za mwenzake zikaanguka chini na kisha akaipindua sufuria ya ndizi chini zikaambulia mchanga. Machozi yakampukutika Batuli akawa hawezi kujizuia tena. Alivurumisha ngumi ikampata zainati sambamba usoni. Zainati alipepesuka na kuanguka chini huku kisketi chake kikipanda juu na kumwacha nusu uchi. Zainati aliinuka upesi na kuyaendea maji ya moto yliyokuwa yasongewe ugali na Batuli. Kwa hasira, aliyamimina maji hayo usoni mwa Batuli aliyekuwa anapiga kelele huku maji yakauteketeza uso wake na kuacha madonda mabichi. Ali na Aliya walifika nyumbani kutoka shuleni na wakaanza kumlilia mama yao aliyekuwa akigaagaa chini kwa maumivu. Ali alikimbia kumwita Jirani yao mama Paulo aliyekuja haraka na dawa yake ya kibulushi na kumpaka Batuli usoni. Chapuchapu, Bakari mchuuza matunda akaagizwa alete mkokoteni wake alimotiwa ndani Batuli na kukimbizwa hospitali ya Milimani kwa matibabu. Msamaria mwema huko njiani aliamua kugharamikia matibabu ya Batuli aliyelazwa kwa wiki moja nao wanawe wakaishi kwa mama Paulo. Batuli alirudi nyumbani akiwa na makovu usoni na vidonda ambavyo vilikuwa katika hali mbaya. Batuli alipitia kwa chifu Pinda kumshitaki Zainati ili atendewe haki. Chifu Pinda aliyasikiza mashtaka ya Batuli na kisha kuita kikao kati ya Batuli, zainati na mzee Mambo. Vikao viliendelea kwa siku nyingi bila kesi kuamuliwa. Siku moja, Zainati alimjia chifu Pinda usiku akiwa amevalia mavazi yaso heshima. Alimpa chifu Pinda uroda kama hongo afutilie mbali kesi yake na Batuli. Siku ya Ijumaa ambapo kesi ilikuwa iamuliwe ilifika nao kina Batuli wakakusanyika. Bwana chifu aliyekuwa tambo la mtu aliyevalia kikoi kilichodhihirisha kitambi chake, aliishikilia bakora yake na kusimama. Kisha alisema ‘’ kesi hii inahusu mambo ya kinyumbani ya wanawake ambayo mnapaswa kutatua nyumbani. Sina muda wa kuamua vikesi vidogo. Mimi ni mtu mwenye majukumu mengi ya kiserikali. Ondokeni msije kuniua kabla ya siku zangu!’’ Batuli alishangazwa na maneno ya chifu akafungua kinywa ili aongee mara ,’’ usijaribu kuinua mdomo wako kelbu we, mambo ya kinyumbani hayo, nenda mama nsije kukutimua kwa sime!’’ Kwa simanzi Batuli alijiondoa kuelekea nyumbani. Zainati na mzee Mambo nao walitembea wakishikana mikono kudhihirisha mahaba yao. Mara washikane kidevu, mara wavutanevutane, mara wasukumane huku Zainati akikimbiakimbia, ilimradi tu wamuudhi Batuli. Batuli alielekea kwa Jirani yake mama Paulo aliyemketisha chini na kumpa maneno ya busara. ‘’ Dada yangu Batuli, pulika tena usiyapuuze ninayokwambia mdogo wangu. Usikitafute kifo kutoka kwa walimwengu. Inusuru roho yako na watoto wako. Mzee Mambo na mkewe ni hayawani , beba vilivyo vyako uende zako Shinyanga iliko familia yako. Watakuua!’’ Batuli aliyaunga mkono maneno ya rafikiye na jioni ya siku hiyo alionekana na kikapu chake cha nguo pamoja na wanawe, akichana vijia na kutokomea kuelekea kwao alikozaliwa, ambako hakuwahi kufukuzwa na yeyote hadi akaondoka kwa hiari yake alipoolewa. Katu hakutundwa mtini, yeye pia alikuwa na kwao alikozaliwa.
Nani aliburura mtungi
{ "text": [ "Zainati" ] }
4784_swa
MNYONGE MSONGE Mtungi wa rangi ya njano uliochakaa ulijikunyata kwa kilio jikoni. Matundu makubwa yaliutamalaki huku weusi wa masizi ya moshi wa kuni ukaugubika uso wake. Zainati, aliyeonekana kuwa na haraka aliuburura mtungi huo na kuupeleka kwenye ua wa nyumba. Huku akiimbaimba wimbo maarufu wa taarabu uitwao ‘ mja hunifaidishi’, alikivuta kikapu cha nguo chafu na kuzikagua . Alikuwa anaweka nyeupe kando na za rangi kando . Zainati aliukalia mtungi nao ukatoa sauti ya kulalama kwa kuwa mkaaji alikuwa na makalio si haba. Ni umbile lilo hilo ndilo lililomfanya Mzee Mambo amwoe kama mke wa pili na kumpuuza mkewe wa kwanza. Anga ilitamalaki sauti tamu ya mwimbaji na michekecho ya nguo ndani ya beseni la maji. Mwimbaji mwenyewe alikua ameubebedua mdomo wake huku kope zake za bandia zikipepesuka kwa upepo na kumfanya kama anayetaka kupaa angani. Batuli aliyekuwa na mkungu wa ndizi kichwani alijipitia zake ili aingie ndani angalau awachemshie wanawe chamcha. Zainati akachefukwa na kupaza sauti akisema ‘’ Utabaki kula midizi umee misuli ya kiume ikuumbue bure, mie mwenzio laini kama bata, ulaji wangu tende na halua!’’ Batuli alimlaani shetani na kuufunga mdomo wake akajiendea zake jikoni kuzimenya ndizi zake. Alikuwa mke wa kwanza wa mzee Mambo na aliyejitenga na shari zote. Alikuwa amechoshwa na vitimbi vya mke mwenza ila alijikaza kuvumilia. Mzee Mambo mwenyewe alikuwa hamhudumii kwa lolote licha ya kuwa ni mkewe. Pesa zote zilimiminwa kwa huyo kipenzi chake Zainati. Apeweje pesa ilhali alikuwa mwanamke wa kizamani tena asiyeujua usasa? Umbile lake lenyewe liliambulia uhafifu baada ya kujifungua mapacha wake Ali na Aliya. Ngozi yake ilipauka kwa kuwa hata mafuta ya kujipaka alikosa. Visenti alivyovipata katika biashara yake ya ndizi huko sokoni Ulingo alivitumia kuwalipia wanawe ada ya twisheni iliyokuwa ikitozwa shuleni. Batuli alikuwa ameshachemsha ndizi akaamua kuchambua vidagaa vyake alivyokuwa amevibakiza ili avifanye mboga na kuvisongea ugali wa jioni. Zainati naye alikuwa amekwishamaliza kufua na kuja jikoni na bakuli lake la nyama. Kwa makusudi, akakaa karibu na Batuli huku akiikatakata nyama yake akivitazama vidagaa vya mwenzake. Kicheko kikubwa kilimtoka kinywani huku akisema ‘’Nikila manofu mwenzangu wala misumari ya bati!’’ Kwa kujipitishapitisha pale jikoni, Zainati akalipiga kumbo sinia la vidagaa, mboga za mwenzake zikaanguka chini na kisha akaipindua sufuria ya ndizi chini zikaambulia mchanga. Machozi yakampukutika Batuli akawa hawezi kujizuia tena. Alivurumisha ngumi ikampata zainati sambamba usoni. Zainati alipepesuka na kuanguka chini huku kisketi chake kikipanda juu na kumwacha nusu uchi. Zainati aliinuka upesi na kuyaendea maji ya moto yliyokuwa yasongewe ugali na Batuli. Kwa hasira, aliyamimina maji hayo usoni mwa Batuli aliyekuwa anapiga kelele huku maji yakauteketeza uso wake na kuacha madonda mabichi. Ali na Aliya walifika nyumbani kutoka shuleni na wakaanza kumlilia mama yao aliyekuwa akigaagaa chini kwa maumivu. Ali alikimbia kumwita Jirani yao mama Paulo aliyekuja haraka na dawa yake ya kibulushi na kumpaka Batuli usoni. Chapuchapu, Bakari mchuuza matunda akaagizwa alete mkokoteni wake alimotiwa ndani Batuli na kukimbizwa hospitali ya Milimani kwa matibabu. Msamaria mwema huko njiani aliamua kugharamikia matibabu ya Batuli aliyelazwa kwa wiki moja nao wanawe wakaishi kwa mama Paulo. Batuli alirudi nyumbani akiwa na makovu usoni na vidonda ambavyo vilikuwa katika hali mbaya. Batuli alipitia kwa chifu Pinda kumshitaki Zainati ili atendewe haki. Chifu Pinda aliyasikiza mashtaka ya Batuli na kisha kuita kikao kati ya Batuli, zainati na mzee Mambo. Vikao viliendelea kwa siku nyingi bila kesi kuamuliwa. Siku moja, Zainati alimjia chifu Pinda usiku akiwa amevalia mavazi yaso heshima. Alimpa chifu Pinda uroda kama hongo afutilie mbali kesi yake na Batuli. Siku ya Ijumaa ambapo kesi ilikuwa iamuliwe ilifika nao kina Batuli wakakusanyika. Bwana chifu aliyekuwa tambo la mtu aliyevalia kikoi kilichodhihirisha kitambi chake, aliishikilia bakora yake na kusimama. Kisha alisema ‘’ kesi hii inahusu mambo ya kinyumbani ya wanawake ambayo mnapaswa kutatua nyumbani. Sina muda wa kuamua vikesi vidogo. Mimi ni mtu mwenye majukumu mengi ya kiserikali. Ondokeni msije kuniua kabla ya siku zangu!’’ Batuli alishangazwa na maneno ya chifu akafungua kinywa ili aongee mara ,’’ usijaribu kuinua mdomo wako kelbu we, mambo ya kinyumbani hayo, nenda mama nsije kukutimua kwa sime!’’ Kwa simanzi Batuli alijiondoa kuelekea nyumbani. Zainati na mzee Mambo nao walitembea wakishikana mikono kudhihirisha mahaba yao. Mara washikane kidevu, mara wavutanevutane, mara wasukumane huku Zainati akikimbiakimbia, ilimradi tu wamuudhi Batuli. Batuli alielekea kwa Jirani yake mama Paulo aliyemketisha chini na kumpa maneno ya busara. ‘’ Dada yangu Batuli, pulika tena usiyapuuze ninayokwambia mdogo wangu. Usikitafute kifo kutoka kwa walimwengu. Inusuru roho yako na watoto wako. Mzee Mambo na mkewe ni hayawani , beba vilivyo vyako uende zako Shinyanga iliko familia yako. Watakuua!’’ Batuli aliyaunga mkono maneno ya rafikiye na jioni ya siku hiyo alionekana na kikapu chake cha nguo pamoja na wanawe, akichana vijia na kutokomea kuelekea kwao alikozaliwa, ambako hakuwahi kufukuzwa na yeyote hadi akaondoka kwa hiari yake alipoolewa. Katu hakutundwa mtini, yeye pia alikuwa na kwao alikozaliwa.
Batuli alikuwa mke wa kwanza wa nani
{ "text": [ "Mzee Mambo" ] }
4784_swa
MNYONGE MSONGE Mtungi wa rangi ya njano uliochakaa ulijikunyata kwa kilio jikoni. Matundu makubwa yaliutamalaki huku weusi wa masizi ya moshi wa kuni ukaugubika uso wake. Zainati, aliyeonekana kuwa na haraka aliuburura mtungi huo na kuupeleka kwenye ua wa nyumba. Huku akiimbaimba wimbo maarufu wa taarabu uitwao ‘ mja hunifaidishi’, alikivuta kikapu cha nguo chafu na kuzikagua . Alikuwa anaweka nyeupe kando na za rangi kando . Zainati aliukalia mtungi nao ukatoa sauti ya kulalama kwa kuwa mkaaji alikuwa na makalio si haba. Ni umbile lilo hilo ndilo lililomfanya Mzee Mambo amwoe kama mke wa pili na kumpuuza mkewe wa kwanza. Anga ilitamalaki sauti tamu ya mwimbaji na michekecho ya nguo ndani ya beseni la maji. Mwimbaji mwenyewe alikua ameubebedua mdomo wake huku kope zake za bandia zikipepesuka kwa upepo na kumfanya kama anayetaka kupaa angani. Batuli aliyekuwa na mkungu wa ndizi kichwani alijipitia zake ili aingie ndani angalau awachemshie wanawe chamcha. Zainati akachefukwa na kupaza sauti akisema ‘’ Utabaki kula midizi umee misuli ya kiume ikuumbue bure, mie mwenzio laini kama bata, ulaji wangu tende na halua!’’ Batuli alimlaani shetani na kuufunga mdomo wake akajiendea zake jikoni kuzimenya ndizi zake. Alikuwa mke wa kwanza wa mzee Mambo na aliyejitenga na shari zote. Alikuwa amechoshwa na vitimbi vya mke mwenza ila alijikaza kuvumilia. Mzee Mambo mwenyewe alikuwa hamhudumii kwa lolote licha ya kuwa ni mkewe. Pesa zote zilimiminwa kwa huyo kipenzi chake Zainati. Apeweje pesa ilhali alikuwa mwanamke wa kizamani tena asiyeujua usasa? Umbile lake lenyewe liliambulia uhafifu baada ya kujifungua mapacha wake Ali na Aliya. Ngozi yake ilipauka kwa kuwa hata mafuta ya kujipaka alikosa. Visenti alivyovipata katika biashara yake ya ndizi huko sokoni Ulingo alivitumia kuwalipia wanawe ada ya twisheni iliyokuwa ikitozwa shuleni. Batuli alikuwa ameshachemsha ndizi akaamua kuchambua vidagaa vyake alivyokuwa amevibakiza ili avifanye mboga na kuvisongea ugali wa jioni. Zainati naye alikuwa amekwishamaliza kufua na kuja jikoni na bakuli lake la nyama. Kwa makusudi, akakaa karibu na Batuli huku akiikatakata nyama yake akivitazama vidagaa vya mwenzake. Kicheko kikubwa kilimtoka kinywani huku akisema ‘’Nikila manofu mwenzangu wala misumari ya bati!’’ Kwa kujipitishapitisha pale jikoni, Zainati akalipiga kumbo sinia la vidagaa, mboga za mwenzake zikaanguka chini na kisha akaipindua sufuria ya ndizi chini zikaambulia mchanga. Machozi yakampukutika Batuli akawa hawezi kujizuia tena. Alivurumisha ngumi ikampata zainati sambamba usoni. Zainati alipepesuka na kuanguka chini huku kisketi chake kikipanda juu na kumwacha nusu uchi. Zainati aliinuka upesi na kuyaendea maji ya moto yliyokuwa yasongewe ugali na Batuli. Kwa hasira, aliyamimina maji hayo usoni mwa Batuli aliyekuwa anapiga kelele huku maji yakauteketeza uso wake na kuacha madonda mabichi. Ali na Aliya walifika nyumbani kutoka shuleni na wakaanza kumlilia mama yao aliyekuwa akigaagaa chini kwa maumivu. Ali alikimbia kumwita Jirani yao mama Paulo aliyekuja haraka na dawa yake ya kibulushi na kumpaka Batuli usoni. Chapuchapu, Bakari mchuuza matunda akaagizwa alete mkokoteni wake alimotiwa ndani Batuli na kukimbizwa hospitali ya Milimani kwa matibabu. Msamaria mwema huko njiani aliamua kugharamikia matibabu ya Batuli aliyelazwa kwa wiki moja nao wanawe wakaishi kwa mama Paulo. Batuli alirudi nyumbani akiwa na makovu usoni na vidonda ambavyo vilikuwa katika hali mbaya. Batuli alipitia kwa chifu Pinda kumshitaki Zainati ili atendewe haki. Chifu Pinda aliyasikiza mashtaka ya Batuli na kisha kuita kikao kati ya Batuli, zainati na mzee Mambo. Vikao viliendelea kwa siku nyingi bila kesi kuamuliwa. Siku moja, Zainati alimjia chifu Pinda usiku akiwa amevalia mavazi yaso heshima. Alimpa chifu Pinda uroda kama hongo afutilie mbali kesi yake na Batuli. Siku ya Ijumaa ambapo kesi ilikuwa iamuliwe ilifika nao kina Batuli wakakusanyika. Bwana chifu aliyekuwa tambo la mtu aliyevalia kikoi kilichodhihirisha kitambi chake, aliishikilia bakora yake na kusimama. Kisha alisema ‘’ kesi hii inahusu mambo ya kinyumbani ya wanawake ambayo mnapaswa kutatua nyumbani. Sina muda wa kuamua vikesi vidogo. Mimi ni mtu mwenye majukumu mengi ya kiserikali. Ondokeni msije kuniua kabla ya siku zangu!’’ Batuli alishangazwa na maneno ya chifu akafungua kinywa ili aongee mara ,’’ usijaribu kuinua mdomo wako kelbu we, mambo ya kinyumbani hayo, nenda mama nsije kukutimua kwa sime!’’ Kwa simanzi Batuli alijiondoa kuelekea nyumbani. Zainati na mzee Mambo nao walitembea wakishikana mikono kudhihirisha mahaba yao. Mara washikane kidevu, mara wavutanevutane, mara wasukumane huku Zainati akikimbiakimbia, ilimradi tu wamuudhi Batuli. Batuli alielekea kwa Jirani yake mama Paulo aliyemketisha chini na kumpa maneno ya busara. ‘’ Dada yangu Batuli, pulika tena usiyapuuze ninayokwambia mdogo wangu. Usikitafute kifo kutoka kwa walimwengu. Inusuru roho yako na watoto wako. Mzee Mambo na mkewe ni hayawani , beba vilivyo vyako uende zako Shinyanga iliko familia yako. Watakuua!’’ Batuli aliyaunga mkono maneno ya rafikiye na jioni ya siku hiyo alionekana na kikapu chake cha nguo pamoja na wanawe, akichana vijia na kutokomea kuelekea kwao alikozaliwa, ambako hakuwahi kufukuzwa na yeyote hadi akaondoka kwa hiari yake alipoolewa. Katu hakutundwa mtini, yeye pia alikuwa na kwao alikozaliwa.
Batuli alipelekwa hospitali wapi
{ "text": [ "Milimani" ] }
4784_swa
MNYONGE MSONGE Mtungi wa rangi ya njano uliochakaa ulijikunyata kwa kilio jikoni. Matundu makubwa yaliutamalaki huku weusi wa masizi ya moshi wa kuni ukaugubika uso wake. Zainati, aliyeonekana kuwa na haraka aliuburura mtungi huo na kuupeleka kwenye ua wa nyumba. Huku akiimbaimba wimbo maarufu wa taarabu uitwao ‘ mja hunifaidishi’, alikivuta kikapu cha nguo chafu na kuzikagua . Alikuwa anaweka nyeupe kando na za rangi kando . Zainati aliukalia mtungi nao ukatoa sauti ya kulalama kwa kuwa mkaaji alikuwa na makalio si haba. Ni umbile lilo hilo ndilo lililomfanya Mzee Mambo amwoe kama mke wa pili na kumpuuza mkewe wa kwanza. Anga ilitamalaki sauti tamu ya mwimbaji na michekecho ya nguo ndani ya beseni la maji. Mwimbaji mwenyewe alikua ameubebedua mdomo wake huku kope zake za bandia zikipepesuka kwa upepo na kumfanya kama anayetaka kupaa angani. Batuli aliyekuwa na mkungu wa ndizi kichwani alijipitia zake ili aingie ndani angalau awachemshie wanawe chamcha. Zainati akachefukwa na kupaza sauti akisema ‘’ Utabaki kula midizi umee misuli ya kiume ikuumbue bure, mie mwenzio laini kama bata, ulaji wangu tende na halua!’’ Batuli alimlaani shetani na kuufunga mdomo wake akajiendea zake jikoni kuzimenya ndizi zake. Alikuwa mke wa kwanza wa mzee Mambo na aliyejitenga na shari zote. Alikuwa amechoshwa na vitimbi vya mke mwenza ila alijikaza kuvumilia. Mzee Mambo mwenyewe alikuwa hamhudumii kwa lolote licha ya kuwa ni mkewe. Pesa zote zilimiminwa kwa huyo kipenzi chake Zainati. Apeweje pesa ilhali alikuwa mwanamke wa kizamani tena asiyeujua usasa? Umbile lake lenyewe liliambulia uhafifu baada ya kujifungua mapacha wake Ali na Aliya. Ngozi yake ilipauka kwa kuwa hata mafuta ya kujipaka alikosa. Visenti alivyovipata katika biashara yake ya ndizi huko sokoni Ulingo alivitumia kuwalipia wanawe ada ya twisheni iliyokuwa ikitozwa shuleni. Batuli alikuwa ameshachemsha ndizi akaamua kuchambua vidagaa vyake alivyokuwa amevibakiza ili avifanye mboga na kuvisongea ugali wa jioni. Zainati naye alikuwa amekwishamaliza kufua na kuja jikoni na bakuli lake la nyama. Kwa makusudi, akakaa karibu na Batuli huku akiikatakata nyama yake akivitazama vidagaa vya mwenzake. Kicheko kikubwa kilimtoka kinywani huku akisema ‘’Nikila manofu mwenzangu wala misumari ya bati!’’ Kwa kujipitishapitisha pale jikoni, Zainati akalipiga kumbo sinia la vidagaa, mboga za mwenzake zikaanguka chini na kisha akaipindua sufuria ya ndizi chini zikaambulia mchanga. Machozi yakampukutika Batuli akawa hawezi kujizuia tena. Alivurumisha ngumi ikampata zainati sambamba usoni. Zainati alipepesuka na kuanguka chini huku kisketi chake kikipanda juu na kumwacha nusu uchi. Zainati aliinuka upesi na kuyaendea maji ya moto yliyokuwa yasongewe ugali na Batuli. Kwa hasira, aliyamimina maji hayo usoni mwa Batuli aliyekuwa anapiga kelele huku maji yakauteketeza uso wake na kuacha madonda mabichi. Ali na Aliya walifika nyumbani kutoka shuleni na wakaanza kumlilia mama yao aliyekuwa akigaagaa chini kwa maumivu. Ali alikimbia kumwita Jirani yao mama Paulo aliyekuja haraka na dawa yake ya kibulushi na kumpaka Batuli usoni. Chapuchapu, Bakari mchuuza matunda akaagizwa alete mkokoteni wake alimotiwa ndani Batuli na kukimbizwa hospitali ya Milimani kwa matibabu. Msamaria mwema huko njiani aliamua kugharamikia matibabu ya Batuli aliyelazwa kwa wiki moja nao wanawe wakaishi kwa mama Paulo. Batuli alirudi nyumbani akiwa na makovu usoni na vidonda ambavyo vilikuwa katika hali mbaya. Batuli alipitia kwa chifu Pinda kumshitaki Zainati ili atendewe haki. Chifu Pinda aliyasikiza mashtaka ya Batuli na kisha kuita kikao kati ya Batuli, zainati na mzee Mambo. Vikao viliendelea kwa siku nyingi bila kesi kuamuliwa. Siku moja, Zainati alimjia chifu Pinda usiku akiwa amevalia mavazi yaso heshima. Alimpa chifu Pinda uroda kama hongo afutilie mbali kesi yake na Batuli. Siku ya Ijumaa ambapo kesi ilikuwa iamuliwe ilifika nao kina Batuli wakakusanyika. Bwana chifu aliyekuwa tambo la mtu aliyevalia kikoi kilichodhihirisha kitambi chake, aliishikilia bakora yake na kusimama. Kisha alisema ‘’ kesi hii inahusu mambo ya kinyumbani ya wanawake ambayo mnapaswa kutatua nyumbani. Sina muda wa kuamua vikesi vidogo. Mimi ni mtu mwenye majukumu mengi ya kiserikali. Ondokeni msije kuniua kabla ya siku zangu!’’ Batuli alishangazwa na maneno ya chifu akafungua kinywa ili aongee mara ,’’ usijaribu kuinua mdomo wako kelbu we, mambo ya kinyumbani hayo, nenda mama nsije kukutimua kwa sime!’’ Kwa simanzi Batuli alijiondoa kuelekea nyumbani. Zainati na mzee Mambo nao walitembea wakishikana mikono kudhihirisha mahaba yao. Mara washikane kidevu, mara wavutanevutane, mara wasukumane huku Zainati akikimbiakimbia, ilimradi tu wamuudhi Batuli. Batuli alielekea kwa Jirani yake mama Paulo aliyemketisha chini na kumpa maneno ya busara. ‘’ Dada yangu Batuli, pulika tena usiyapuuze ninayokwambia mdogo wangu. Usikitafute kifo kutoka kwa walimwengu. Inusuru roho yako na watoto wako. Mzee Mambo na mkewe ni hayawani , beba vilivyo vyako uende zako Shinyanga iliko familia yako. Watakuua!’’ Batuli aliyaunga mkono maneno ya rafikiye na jioni ya siku hiyo alionekana na kikapu chake cha nguo pamoja na wanawe, akichana vijia na kutokomea kuelekea kwao alikozaliwa, ambako hakuwahi kufukuzwa na yeyote hadi akaondoka kwa hiari yake alipoolewa. Katu hakutundwa mtini, yeye pia alikuwa na kwao alikozaliwa.
Batuli alilazwa hospitali wiki ngapi
{ "text": [ "Moja" ] }
4784_swa
MNYONGE MSONGE Mtungi wa rangi ya njano uliochakaa ulijikunyata kwa kilio jikoni. Matundu makubwa yaliutamalaki huku weusi wa masizi ya moshi wa kuni ukaugubika uso wake. Zainati, aliyeonekana kuwa na haraka aliuburura mtungi huo na kuupeleka kwenye ua wa nyumba. Huku akiimbaimba wimbo maarufu wa taarabu uitwao ‘ mja hunifaidishi’, alikivuta kikapu cha nguo chafu na kuzikagua . Alikuwa anaweka nyeupe kando na za rangi kando . Zainati aliukalia mtungi nao ukatoa sauti ya kulalama kwa kuwa mkaaji alikuwa na makalio si haba. Ni umbile lilo hilo ndilo lililomfanya Mzee Mambo amwoe kama mke wa pili na kumpuuza mkewe wa kwanza. Anga ilitamalaki sauti tamu ya mwimbaji na michekecho ya nguo ndani ya beseni la maji. Mwimbaji mwenyewe alikua ameubebedua mdomo wake huku kope zake za bandia zikipepesuka kwa upepo na kumfanya kama anayetaka kupaa angani. Batuli aliyekuwa na mkungu wa ndizi kichwani alijipitia zake ili aingie ndani angalau awachemshie wanawe chamcha. Zainati akachefukwa na kupaza sauti akisema ‘’ Utabaki kula midizi umee misuli ya kiume ikuumbue bure, mie mwenzio laini kama bata, ulaji wangu tende na halua!’’ Batuli alimlaani shetani na kuufunga mdomo wake akajiendea zake jikoni kuzimenya ndizi zake. Alikuwa mke wa kwanza wa mzee Mambo na aliyejitenga na shari zote. Alikuwa amechoshwa na vitimbi vya mke mwenza ila alijikaza kuvumilia. Mzee Mambo mwenyewe alikuwa hamhudumii kwa lolote licha ya kuwa ni mkewe. Pesa zote zilimiminwa kwa huyo kipenzi chake Zainati. Apeweje pesa ilhali alikuwa mwanamke wa kizamani tena asiyeujua usasa? Umbile lake lenyewe liliambulia uhafifu baada ya kujifungua mapacha wake Ali na Aliya. Ngozi yake ilipauka kwa kuwa hata mafuta ya kujipaka alikosa. Visenti alivyovipata katika biashara yake ya ndizi huko sokoni Ulingo alivitumia kuwalipia wanawe ada ya twisheni iliyokuwa ikitozwa shuleni. Batuli alikuwa ameshachemsha ndizi akaamua kuchambua vidagaa vyake alivyokuwa amevibakiza ili avifanye mboga na kuvisongea ugali wa jioni. Zainati naye alikuwa amekwishamaliza kufua na kuja jikoni na bakuli lake la nyama. Kwa makusudi, akakaa karibu na Batuli huku akiikatakata nyama yake akivitazama vidagaa vya mwenzake. Kicheko kikubwa kilimtoka kinywani huku akisema ‘’Nikila manofu mwenzangu wala misumari ya bati!’’ Kwa kujipitishapitisha pale jikoni, Zainati akalipiga kumbo sinia la vidagaa, mboga za mwenzake zikaanguka chini na kisha akaipindua sufuria ya ndizi chini zikaambulia mchanga. Machozi yakampukutika Batuli akawa hawezi kujizuia tena. Alivurumisha ngumi ikampata zainati sambamba usoni. Zainati alipepesuka na kuanguka chini huku kisketi chake kikipanda juu na kumwacha nusu uchi. Zainati aliinuka upesi na kuyaendea maji ya moto yliyokuwa yasongewe ugali na Batuli. Kwa hasira, aliyamimina maji hayo usoni mwa Batuli aliyekuwa anapiga kelele huku maji yakauteketeza uso wake na kuacha madonda mabichi. Ali na Aliya walifika nyumbani kutoka shuleni na wakaanza kumlilia mama yao aliyekuwa akigaagaa chini kwa maumivu. Ali alikimbia kumwita Jirani yao mama Paulo aliyekuja haraka na dawa yake ya kibulushi na kumpaka Batuli usoni. Chapuchapu, Bakari mchuuza matunda akaagizwa alete mkokoteni wake alimotiwa ndani Batuli na kukimbizwa hospitali ya Milimani kwa matibabu. Msamaria mwema huko njiani aliamua kugharamikia matibabu ya Batuli aliyelazwa kwa wiki moja nao wanawe wakaishi kwa mama Paulo. Batuli alirudi nyumbani akiwa na makovu usoni na vidonda ambavyo vilikuwa katika hali mbaya. Batuli alipitia kwa chifu Pinda kumshitaki Zainati ili atendewe haki. Chifu Pinda aliyasikiza mashtaka ya Batuli na kisha kuita kikao kati ya Batuli, zainati na mzee Mambo. Vikao viliendelea kwa siku nyingi bila kesi kuamuliwa. Siku moja, Zainati alimjia chifu Pinda usiku akiwa amevalia mavazi yaso heshima. Alimpa chifu Pinda uroda kama hongo afutilie mbali kesi yake na Batuli. Siku ya Ijumaa ambapo kesi ilikuwa iamuliwe ilifika nao kina Batuli wakakusanyika. Bwana chifu aliyekuwa tambo la mtu aliyevalia kikoi kilichodhihirisha kitambi chake, aliishikilia bakora yake na kusimama. Kisha alisema ‘’ kesi hii inahusu mambo ya kinyumbani ya wanawake ambayo mnapaswa kutatua nyumbani. Sina muda wa kuamua vikesi vidogo. Mimi ni mtu mwenye majukumu mengi ya kiserikali. Ondokeni msije kuniua kabla ya siku zangu!’’ Batuli alishangazwa na maneno ya chifu akafungua kinywa ili aongee mara ,’’ usijaribu kuinua mdomo wako kelbu we, mambo ya kinyumbani hayo, nenda mama nsije kukutimua kwa sime!’’ Kwa simanzi Batuli alijiondoa kuelekea nyumbani. Zainati na mzee Mambo nao walitembea wakishikana mikono kudhihirisha mahaba yao. Mara washikane kidevu, mara wavutanevutane, mara wasukumane huku Zainati akikimbiakimbia, ilimradi tu wamuudhi Batuli. Batuli alielekea kwa Jirani yake mama Paulo aliyemketisha chini na kumpa maneno ya busara. ‘’ Dada yangu Batuli, pulika tena usiyapuuze ninayokwambia mdogo wangu. Usikitafute kifo kutoka kwa walimwengu. Inusuru roho yako na watoto wako. Mzee Mambo na mkewe ni hayawani , beba vilivyo vyako uende zako Shinyanga iliko familia yako. Watakuua!’’ Batuli aliyaunga mkono maneno ya rafikiye na jioni ya siku hiyo alionekana na kikapu chake cha nguo pamoja na wanawe, akichana vijia na kutokomea kuelekea kwao alikozaliwa, ambako hakuwahi kufukuzwa na yeyote hadi akaondoka kwa hiari yake alipoolewa. Katu hakutundwa mtini, yeye pia alikuwa na kwao alikozaliwa.
Kwa nini chifu alisema hana muda wa kutatua vikesi vidogo
{ "text": [ "Kwa vile alikuwa amepewa uroda na Zainati" ] }
4785_swa
Kesho yake, wakati kama ule ule, Machweo yalimkuta Ziyad akiwa palepale. Alikuwa amekaa mkao wake ule ule wa kawaida na macho yake yalikuwa yakiangaza kulekule. Kule kule mbali. Mbali ya upeo wake. Alichokishuhudia sasa ni tafrani na harakati za abiria waliokuwemo ndani ya jahazi. Nahodha alikuwa ameacha kamba za tanga. Uso wake ulionekana kufadhaika kwa mughma. Upepo ulikuwa mkali na mawaimbi yalishindana kwa nguvu zao na hasira zao. Nahodha alikuwa ashakata tama. Hapana shaka mambo yalikwishamshinda. Hapo ndipo Ziyad alipoishuhudia ajabu. Bahari ilianza kuwa chafu. Kidau, pamoja na udogo wake, kikafanywa kuwa kimbilio la wale abiria wa jahazini. Nahodha wa kidau aliamrisha nafasi zitengwe kwa wageni wao. Huku kidau kikiendelea kuburutwa, kiliwapokea abiria wa jahazini kwa ukarimu. Walipatiwa nafasi nzuri karibu na nahodha. "Nyiye ndiye ndugu zetu. Tu pamoja katika heri na shaka zote.," nahodha wa jahazi, alipiga kelele za kumsifu na kumshukuru nahodha mwenziwe wa kidau. Safari ikawa inaendelea. Kufika mbele kidogo, Ziyad alishuhudia hali ikizidi kuwa mbaya. Kidau kilikuwa kimezidiwa na shehena. Polepole kilianza kunywa maji chumvi, tangu mafundamafunda, hadi katakata, mpaka ndoondoo. Kidau kilikuwa kinazama. Msaada ulihitajika haraka. Mungu ashukuriwe maana baadhi ya ndugu zao wa jahazini walikuwa walimebakia kwenye jahazi. Baada ya kuona vile wakawarurushia kamba na chombo walichokuwa nacho cha kuwaokoa. Mwenyezi Mungu ni mkubwa. Si kitambo kirefu baadaye, abiria wote waliokuwa kidauni walikuwa wametulia ndani ya jahazi. Bahari kidogo ilionekana kutulia. Safari sasa ikawa moja ndani ya chombo kimoja, chini ya unahodha wa nahodha mmoja tu, Yule wa jahazi. Ziyad aliendelea kukitazama kidau kile kizuri kikizama kidogokidogo. Hakujijua hasa yeye mwenyewe alikuwa wapi. Hakuwemo kwenye jahazi. Hakuwa miongoni mwa waliookolewa, lakini pia hakuwemo kidauni. Alikiona namna kilivyoghariki peke yake na rangi zake nzuri. Weupe kwa weusi, wekundu kwa kijivujivu. Kilikuwa kikizama peke yake. Kilikuwa na ukiwa na upweke. Abiria kiliokuwa kimewachukua walikwisha kukiacha kipotee. Walikwisha kikisahau. Walikuwa radhi kizame peke yake, mbao zake zioze na kuyeyukia baharini. Katika dhati ya moyo wake, Ziyad alikihisi kidau kikisikitika huku kikpukutiwa na machozi. Machozi! Masikini machozi ya kidau. Naye Ziyad akaanza kuputikwa na machozi, maana alijiona kuwa ni yeye tu aliyeyahisi machungu ya machozi yale. Wengine wote hawakuwa na habari nayo. Kwao yalikuwa machozi ya samaki, yaliyokuwa yakipotea na maji, lakini kwake yeye, kila tone la chozi lilipoanguka baharini ni kama liliangukia juu ya ngozi yake. Lilizizimia na kutetemesha kwa uchungu wake. Kidau maskini kidau, kilikuwa kinalia. Kilikuwa kinalilia kusalitiwa, kilikuwa kinalilia msaada. "Sitogharik!" Ziyad alikisikia kikisema katikati ya kwikwi na kilio. "Sitopotea kamwe! Sitopotea….. sitopotea, nitaokolewa!" Kidau kilinadi ingawa kilikuwa kishazama chote isipokuwa kile kisogo chake tu. Kilikuwa kinapotea, hata kama kilikana kupotea kwake! "Ndiyo hutoghariki! Hupotei, nitakuokoa….. Tutakuokoa…" Ziyad alipiga kelele akikimbilia baharini. Mbio kama farasi wa mishindanoni, akikimbilia kuokoa kidau.
Yazid alishuhudia nini katika jahazi
{ "text": [ "Tafrani na harakati za abiria" ] }
4785_swa
Kesho yake, wakati kama ule ule, Machweo yalimkuta Ziyad akiwa palepale. Alikuwa amekaa mkao wake ule ule wa kawaida na macho yake yalikuwa yakiangaza kulekule. Kule kule mbali. Mbali ya upeo wake. Alichokishuhudia sasa ni tafrani na harakati za abiria waliokuwemo ndani ya jahazi. Nahodha alikuwa ameacha kamba za tanga. Uso wake ulionekana kufadhaika kwa mughma. Upepo ulikuwa mkali na mawaimbi yalishindana kwa nguvu zao na hasira zao. Nahodha alikuwa ashakata tama. Hapana shaka mambo yalikwishamshinda. Hapo ndipo Ziyad alipoishuhudia ajabu. Bahari ilianza kuwa chafu. Kidau, pamoja na udogo wake, kikafanywa kuwa kimbilio la wale abiria wa jahazini. Nahodha wa kidau aliamrisha nafasi zitengwe kwa wageni wao. Huku kidau kikiendelea kuburutwa, kiliwapokea abiria wa jahazini kwa ukarimu. Walipatiwa nafasi nzuri karibu na nahodha. "Nyiye ndiye ndugu zetu. Tu pamoja katika heri na shaka zote.," nahodha wa jahazi, alipiga kelele za kumsifu na kumshukuru nahodha mwenziwe wa kidau. Safari ikawa inaendelea. Kufika mbele kidogo, Ziyad alishuhudia hali ikizidi kuwa mbaya. Kidau kilikuwa kimezidiwa na shehena. Polepole kilianza kunywa maji chumvi, tangu mafundamafunda, hadi katakata, mpaka ndoondoo. Kidau kilikuwa kinazama. Msaada ulihitajika haraka. Mungu ashukuriwe maana baadhi ya ndugu zao wa jahazini walikuwa walimebakia kwenye jahazi. Baada ya kuona vile wakawarurushia kamba na chombo walichokuwa nacho cha kuwaokoa. Mwenyezi Mungu ni mkubwa. Si kitambo kirefu baadaye, abiria wote waliokuwa kidauni walikuwa wametulia ndani ya jahazi. Bahari kidogo ilionekana kutulia. Safari sasa ikawa moja ndani ya chombo kimoja, chini ya unahodha wa nahodha mmoja tu, Yule wa jahazi. Ziyad aliendelea kukitazama kidau kile kizuri kikizama kidogokidogo. Hakujijua hasa yeye mwenyewe alikuwa wapi. Hakuwemo kwenye jahazi. Hakuwa miongoni mwa waliookolewa, lakini pia hakuwemo kidauni. Alikiona namna kilivyoghariki peke yake na rangi zake nzuri. Weupe kwa weusi, wekundu kwa kijivujivu. Kilikuwa kikizama peke yake. Kilikuwa na ukiwa na upweke. Abiria kiliokuwa kimewachukua walikwisha kukiacha kipotee. Walikwisha kikisahau. Walikuwa radhi kizame peke yake, mbao zake zioze na kuyeyukia baharini. Katika dhati ya moyo wake, Ziyad alikihisi kidau kikisikitika huku kikpukutiwa na machozi. Machozi! Masikini machozi ya kidau. Naye Ziyad akaanza kuputikwa na machozi, maana alijiona kuwa ni yeye tu aliyeyahisi machungu ya machozi yale. Wengine wote hawakuwa na habari nayo. Kwao yalikuwa machozi ya samaki, yaliyokuwa yakipotea na maji, lakini kwake yeye, kila tone la chozi lilipoanguka baharini ni kama liliangukia juu ya ngozi yake. Lilizizimia na kutetemesha kwa uchungu wake. Kidau maskini kidau, kilikuwa kinalia. Kilikuwa kinalilia kusalitiwa, kilikuwa kinalilia msaada. "Sitogharik!" Ziyad alikisikia kikisema katikati ya kwikwi na kilio. "Sitopotea kamwe! Sitopotea….. sitopotea, nitaokolewa!" Kidau kilinadi ingawa kilikuwa kishazama chote isipokuwa kile kisogo chake tu. Kilikuwa kinapotea, hata kama kilikana kupotea kwake! "Ndiyo hutoghariki! Hupotei, nitakuokoa….. Tutakuokoa…" Ziyad alipiga kelele akikimbilia baharini. Mbio kama farasi wa mishindanoni, akikimbilia kuokoa kidau.
Ni nini ilitokea baharini
{ "text": [ "Machafuko" ] }
4785_swa
Kesho yake, wakati kama ule ule, Machweo yalimkuta Ziyad akiwa palepale. Alikuwa amekaa mkao wake ule ule wa kawaida na macho yake yalikuwa yakiangaza kulekule. Kule kule mbali. Mbali ya upeo wake. Alichokishuhudia sasa ni tafrani na harakati za abiria waliokuwemo ndani ya jahazi. Nahodha alikuwa ameacha kamba za tanga. Uso wake ulionekana kufadhaika kwa mughma. Upepo ulikuwa mkali na mawaimbi yalishindana kwa nguvu zao na hasira zao. Nahodha alikuwa ashakata tama. Hapana shaka mambo yalikwishamshinda. Hapo ndipo Ziyad alipoishuhudia ajabu. Bahari ilianza kuwa chafu. Kidau, pamoja na udogo wake, kikafanywa kuwa kimbilio la wale abiria wa jahazini. Nahodha wa kidau aliamrisha nafasi zitengwe kwa wageni wao. Huku kidau kikiendelea kuburutwa, kiliwapokea abiria wa jahazini kwa ukarimu. Walipatiwa nafasi nzuri karibu na nahodha. "Nyiye ndiye ndugu zetu. Tu pamoja katika heri na shaka zote.," nahodha wa jahazi, alipiga kelele za kumsifu na kumshukuru nahodha mwenziwe wa kidau. Safari ikawa inaendelea. Kufika mbele kidogo, Ziyad alishuhudia hali ikizidi kuwa mbaya. Kidau kilikuwa kimezidiwa na shehena. Polepole kilianza kunywa maji chumvi, tangu mafundamafunda, hadi katakata, mpaka ndoondoo. Kidau kilikuwa kinazama. Msaada ulihitajika haraka. Mungu ashukuriwe maana baadhi ya ndugu zao wa jahazini walikuwa walimebakia kwenye jahazi. Baada ya kuona vile wakawarurushia kamba na chombo walichokuwa nacho cha kuwaokoa. Mwenyezi Mungu ni mkubwa. Si kitambo kirefu baadaye, abiria wote waliokuwa kidauni walikuwa wametulia ndani ya jahazi. Bahari kidogo ilionekana kutulia. Safari sasa ikawa moja ndani ya chombo kimoja, chini ya unahodha wa nahodha mmoja tu, Yule wa jahazi. Ziyad aliendelea kukitazama kidau kile kizuri kikizama kidogokidogo. Hakujijua hasa yeye mwenyewe alikuwa wapi. Hakuwemo kwenye jahazi. Hakuwa miongoni mwa waliookolewa, lakini pia hakuwemo kidauni. Alikiona namna kilivyoghariki peke yake na rangi zake nzuri. Weupe kwa weusi, wekundu kwa kijivujivu. Kilikuwa kikizama peke yake. Kilikuwa na ukiwa na upweke. Abiria kiliokuwa kimewachukua walikwisha kukiacha kipotee. Walikwisha kikisahau. Walikuwa radhi kizame peke yake, mbao zake zioze na kuyeyukia baharini. Katika dhati ya moyo wake, Ziyad alikihisi kidau kikisikitika huku kikpukutiwa na machozi. Machozi! Masikini machozi ya kidau. Naye Ziyad akaanza kuputikwa na machozi, maana alijiona kuwa ni yeye tu aliyeyahisi machungu ya machozi yale. Wengine wote hawakuwa na habari nayo. Kwao yalikuwa machozi ya samaki, yaliyokuwa yakipotea na maji, lakini kwake yeye, kila tone la chozi lilipoanguka baharini ni kama liliangukia juu ya ngozi yake. Lilizizimia na kutetemesha kwa uchungu wake. Kidau maskini kidau, kilikuwa kinalia. Kilikuwa kinalilia kusalitiwa, kilikuwa kinalilia msaada. "Sitogharik!" Ziyad alikisikia kikisema katikati ya kwikwi na kilio. "Sitopotea kamwe! Sitopotea….. sitopotea, nitaokolewa!" Kidau kilinadi ingawa kilikuwa kishazama chote isipokuwa kile kisogo chake tu. Kilikuwa kinapotea, hata kama kilikana kupotea kwake! "Ndiyo hutoghariki! Hupotei, nitakuokoa….. Tutakuokoa…" Ziyad alipiga kelele akikimbilia baharini. Mbio kama farasi wa mishindanoni, akikimbilia kuokoa kidau.
Ni nini ilitokea kidua kilipozidiwa na shehena
{ "text": [ "Kilianza kuzama" ] }
4785_swa
Kesho yake, wakati kama ule ule, Machweo yalimkuta Ziyad akiwa palepale. Alikuwa amekaa mkao wake ule ule wa kawaida na macho yake yalikuwa yakiangaza kulekule. Kule kule mbali. Mbali ya upeo wake. Alichokishuhudia sasa ni tafrani na harakati za abiria waliokuwemo ndani ya jahazi. Nahodha alikuwa ameacha kamba za tanga. Uso wake ulionekana kufadhaika kwa mughma. Upepo ulikuwa mkali na mawaimbi yalishindana kwa nguvu zao na hasira zao. Nahodha alikuwa ashakata tama. Hapana shaka mambo yalikwishamshinda. Hapo ndipo Ziyad alipoishuhudia ajabu. Bahari ilianza kuwa chafu. Kidau, pamoja na udogo wake, kikafanywa kuwa kimbilio la wale abiria wa jahazini. Nahodha wa kidau aliamrisha nafasi zitengwe kwa wageni wao. Huku kidau kikiendelea kuburutwa, kiliwapokea abiria wa jahazini kwa ukarimu. Walipatiwa nafasi nzuri karibu na nahodha. "Nyiye ndiye ndugu zetu. Tu pamoja katika heri na shaka zote.," nahodha wa jahazi, alipiga kelele za kumsifu na kumshukuru nahodha mwenziwe wa kidau. Safari ikawa inaendelea. Kufika mbele kidogo, Ziyad alishuhudia hali ikizidi kuwa mbaya. Kidau kilikuwa kimezidiwa na shehena. Polepole kilianza kunywa maji chumvi, tangu mafundamafunda, hadi katakata, mpaka ndoondoo. Kidau kilikuwa kinazama. Msaada ulihitajika haraka. Mungu ashukuriwe maana baadhi ya ndugu zao wa jahazini walikuwa walimebakia kwenye jahazi. Baada ya kuona vile wakawarurushia kamba na chombo walichokuwa nacho cha kuwaokoa. Mwenyezi Mungu ni mkubwa. Si kitambo kirefu baadaye, abiria wote waliokuwa kidauni walikuwa wametulia ndani ya jahazi. Bahari kidogo ilionekana kutulia. Safari sasa ikawa moja ndani ya chombo kimoja, chini ya unahodha wa nahodha mmoja tu, Yule wa jahazi. Ziyad aliendelea kukitazama kidau kile kizuri kikizama kidogokidogo. Hakujijua hasa yeye mwenyewe alikuwa wapi. Hakuwemo kwenye jahazi. Hakuwa miongoni mwa waliookolewa, lakini pia hakuwemo kidauni. Alikiona namna kilivyoghariki peke yake na rangi zake nzuri. Weupe kwa weusi, wekundu kwa kijivujivu. Kilikuwa kikizama peke yake. Kilikuwa na ukiwa na upweke. Abiria kiliokuwa kimewachukua walikwisha kukiacha kipotee. Walikwisha kikisahau. Walikuwa radhi kizame peke yake, mbao zake zioze na kuyeyukia baharini. Katika dhati ya moyo wake, Ziyad alikihisi kidau kikisikitika huku kikpukutiwa na machozi. Machozi! Masikini machozi ya kidau. Naye Ziyad akaanza kuputikwa na machozi, maana alijiona kuwa ni yeye tu aliyeyahisi machungu ya machozi yale. Wengine wote hawakuwa na habari nayo. Kwao yalikuwa machozi ya samaki, yaliyokuwa yakipotea na maji, lakini kwake yeye, kila tone la chozi lilipoanguka baharini ni kama liliangukia juu ya ngozi yake. Lilizizimia na kutetemesha kwa uchungu wake. Kidau maskini kidau, kilikuwa kinalia. Kilikuwa kinalilia kusalitiwa, kilikuwa kinalilia msaada. "Sitogharik!" Ziyad alikisikia kikisema katikati ya kwikwi na kilio. "Sitopotea kamwe! Sitopotea….. sitopotea, nitaokolewa!" Kidau kilinadi ingawa kilikuwa kishazama chote isipokuwa kile kisogo chake tu. Kilikuwa kinapotea, hata kama kilikana kupotea kwake! "Ndiyo hutoghariki! Hupotei, nitakuokoa….. Tutakuokoa…" Ziyad alipiga kelele akikimbilia baharini. Mbio kama farasi wa mishindanoni, akikimbilia kuokoa kidau.
Ziyad alisikia kidau kikisema nini
{ "text": [ "Sitoghariki" ] }
4785_swa
Kesho yake, wakati kama ule ule, Machweo yalimkuta Ziyad akiwa palepale. Alikuwa amekaa mkao wake ule ule wa kawaida na macho yake yalikuwa yakiangaza kulekule. Kule kule mbali. Mbali ya upeo wake. Alichokishuhudia sasa ni tafrani na harakati za abiria waliokuwemo ndani ya jahazi. Nahodha alikuwa ameacha kamba za tanga. Uso wake ulionekana kufadhaika kwa mughma. Upepo ulikuwa mkali na mawaimbi yalishindana kwa nguvu zao na hasira zao. Nahodha alikuwa ashakata tama. Hapana shaka mambo yalikwishamshinda. Hapo ndipo Ziyad alipoishuhudia ajabu. Bahari ilianza kuwa chafu. Kidau, pamoja na udogo wake, kikafanywa kuwa kimbilio la wale abiria wa jahazini. Nahodha wa kidau aliamrisha nafasi zitengwe kwa wageni wao. Huku kidau kikiendelea kuburutwa, kiliwapokea abiria wa jahazini kwa ukarimu. Walipatiwa nafasi nzuri karibu na nahodha. "Nyiye ndiye ndugu zetu. Tu pamoja katika heri na shaka zote.," nahodha wa jahazi, alipiga kelele za kumsifu na kumshukuru nahodha mwenziwe wa kidau. Safari ikawa inaendelea. Kufika mbele kidogo, Ziyad alishuhudia hali ikizidi kuwa mbaya. Kidau kilikuwa kimezidiwa na shehena. Polepole kilianza kunywa maji chumvi, tangu mafundamafunda, hadi katakata, mpaka ndoondoo. Kidau kilikuwa kinazama. Msaada ulihitajika haraka. Mungu ashukuriwe maana baadhi ya ndugu zao wa jahazini walikuwa walimebakia kwenye jahazi. Baada ya kuona vile wakawarurushia kamba na chombo walichokuwa nacho cha kuwaokoa. Mwenyezi Mungu ni mkubwa. Si kitambo kirefu baadaye, abiria wote waliokuwa kidauni walikuwa wametulia ndani ya jahazi. Bahari kidogo ilionekana kutulia. Safari sasa ikawa moja ndani ya chombo kimoja, chini ya unahodha wa nahodha mmoja tu, Yule wa jahazi. Ziyad aliendelea kukitazama kidau kile kizuri kikizama kidogokidogo. Hakujijua hasa yeye mwenyewe alikuwa wapi. Hakuwemo kwenye jahazi. Hakuwa miongoni mwa waliookolewa, lakini pia hakuwemo kidauni. Alikiona namna kilivyoghariki peke yake na rangi zake nzuri. Weupe kwa weusi, wekundu kwa kijivujivu. Kilikuwa kikizama peke yake. Kilikuwa na ukiwa na upweke. Abiria kiliokuwa kimewachukua walikwisha kukiacha kipotee. Walikwisha kikisahau. Walikuwa radhi kizame peke yake, mbao zake zioze na kuyeyukia baharini. Katika dhati ya moyo wake, Ziyad alikihisi kidau kikisikitika huku kikpukutiwa na machozi. Machozi! Masikini machozi ya kidau. Naye Ziyad akaanza kuputikwa na machozi, maana alijiona kuwa ni yeye tu aliyeyahisi machungu ya machozi yale. Wengine wote hawakuwa na habari nayo. Kwao yalikuwa machozi ya samaki, yaliyokuwa yakipotea na maji, lakini kwake yeye, kila tone la chozi lilipoanguka baharini ni kama liliangukia juu ya ngozi yake. Lilizizimia na kutetemesha kwa uchungu wake. Kidau maskini kidau, kilikuwa kinalia. Kilikuwa kinalilia kusalitiwa, kilikuwa kinalilia msaada. "Sitogharik!" Ziyad alikisikia kikisema katikati ya kwikwi na kilio. "Sitopotea kamwe! Sitopotea….. sitopotea, nitaokolewa!" Kidau kilinadi ingawa kilikuwa kishazama chote isipokuwa kile kisogo chake tu. Kilikuwa kinapotea, hata kama kilikana kupotea kwake! "Ndiyo hutoghariki! Hupotei, nitakuokoa….. Tutakuokoa…" Ziyad alipiga kelele akikimbilia baharini. Mbio kama farasi wa mishindanoni, akikimbilia kuokoa kidau.
Ziyad alipiga kelele kuelekea wapi
{ "text": [ "Baharini" ] }
4786_swa
Kila mwanafunzi anayeandika insha ama mtungo wa aina yoyote hana budi kuzingatia umuhimu wa msamiati. Msamiati ndio nguzo inayotumiwa kujenga sentensi. Wakati mwingine, baadhi ya watahiniwa huwa wana mtazamo finyu wanaposhughulikia msamiati kama maneno magumu kuonyesha ukwasi wao wa lugha katika uandishi. Mtahiniwa yeyote hana budi kuteua msamiati kulingana na mada,na hadhira yake.msamiati ya uwanja, taaluma fulani ama sajili huenda usifae ule wa sajili nyingine. Kwa hivo, mwanafunzi yeyote anayeandika kuhusu mada iliyopendekezwa ni muhimu kuzingatia msamiati wa eneo linalotungiwa. Kando na hilo, azingatie pia kwamba msamiati atakaotumia utawasilisha ujumbe unaotaka kwa njia mwafaka zaidi ikilinganishwa na kama atatumia mwingine. Kama ilivyo, lugha ina msamiati ambao wakati mwingine haufai katika mitungo ya aina fulani. Katika kuteua msamiati na kuutumia katika sentensi za insha,ni muhimu kwa mtahiniwa kuelewa unatumika kuongeka suala ma jambo lipi. Mwanafunzi atakapoelewa aina za msamiati kutegemea muktadha,atatunga sentensi sanifu zinazovutia na kuishia na mtungo wa kuvutia vilevile. Vilevile,ni muhimu kukumbuka kuwa lugha, kama lugha ya Kiswahili ilivyo, ina lahaja mbalimbali.ikiwa unaandika mtungo, ni vizuri kutumia lugha sanifu inayoeleweka na jumuiya kubwa. Kuna msamiati ambayo huandikwa kwa kirefu ama kifupi kama ilivyo katika akronimo. Muhimu ni kuhakikisha kuwa kila kitu kinaelezwa kwa kirefu ila kieleweke. Kutumia vifipisho hutatiza kuwasilishwa kwa ujumbe vifaavyo. Kando na msamiati, sentensi hutumiwa katika utunzi kuwasilisha wazo linalo kamilika. Kwa sababu hii ni muhimu sentensi kwa njia iliyokamalika kwa mujibu wa kanuni za kisarufi ya lugha ya Kiswahili. Kuna sentensi sahili ambazo zinaweza kueleza wazo kwa njia ya moja kwa moja. Sentensi hizi pia husaidia kufanya uelezi, kwa mwepesi na wa kupeo wa juu kimfululizo. Sentensi changamano ni nyingine, nayo inamfaidi mwanfunzi kueleza mawazo zaidi ya mawili kwa mkupuo. Kwa hivyo, ni muhimu kubadili sentensi katika uandishi ili kuongeza kuvutia kwa mtungo wako na kutoa ujumbe kwa njia iliyo bora. Insha bora ni ile ambayo huweza kutumia sentensi ya neno moja, sahili, ambatano na changamano huku kila moja ikitumiwa kwa kusudi maalumu. Jambo muhimu ambalo halipaswi kusahaulika na wanafunzi ni ile kuepukana na sentensi ndefundefu katika uandishi. Kutumia sentensi za aina hii kwa wingi, huweza kukukanganya uawasilishajiwa ujumbe kando na kuchosha.
Kila mwanafunzi anayeandika insha hana budi kuzingatia umuhimu wa nini
{ "text": [ "msamiati" ] }
4786_swa
Kila mwanafunzi anayeandika insha ama mtungo wa aina yoyote hana budi kuzingatia umuhimu wa msamiati. Msamiati ndio nguzo inayotumiwa kujenga sentensi. Wakati mwingine, baadhi ya watahiniwa huwa wana mtazamo finyu wanaposhughulikia msamiati kama maneno magumu kuonyesha ukwasi wao wa lugha katika uandishi. Mtahiniwa yeyote hana budi kuteua msamiati kulingana na mada,na hadhira yake.msamiati ya uwanja, taaluma fulani ama sajili huenda usifae ule wa sajili nyingine. Kwa hivo, mwanafunzi yeyote anayeandika kuhusu mada iliyopendekezwa ni muhimu kuzingatia msamiati wa eneo linalotungiwa. Kando na hilo, azingatie pia kwamba msamiati atakaotumia utawasilisha ujumbe unaotaka kwa njia mwafaka zaidi ikilinganishwa na kama atatumia mwingine. Kama ilivyo, lugha ina msamiati ambao wakati mwingine haufai katika mitungo ya aina fulani. Katika kuteua msamiati na kuutumia katika sentensi za insha,ni muhimu kwa mtahiniwa kuelewa unatumika kuongeka suala ma jambo lipi. Mwanafunzi atakapoelewa aina za msamiati kutegemea muktadha,atatunga sentensi sanifu zinazovutia na kuishia na mtungo wa kuvutia vilevile. Vilevile,ni muhimu kukumbuka kuwa lugha, kama lugha ya Kiswahili ilivyo, ina lahaja mbalimbali.ikiwa unaandika mtungo, ni vizuri kutumia lugha sanifu inayoeleweka na jumuiya kubwa. Kuna msamiati ambayo huandikwa kwa kirefu ama kifupi kama ilivyo katika akronimo. Muhimu ni kuhakikisha kuwa kila kitu kinaelezwa kwa kirefu ila kieleweke. Kutumia vifipisho hutatiza kuwasilishwa kwa ujumbe vifaavyo. Kando na msamiati, sentensi hutumiwa katika utunzi kuwasilisha wazo linalo kamilika. Kwa sababu hii ni muhimu sentensi kwa njia iliyokamalika kwa mujibu wa kanuni za kisarufi ya lugha ya Kiswahili. Kuna sentensi sahili ambazo zinaweza kueleza wazo kwa njia ya moja kwa moja. Sentensi hizi pia husaidia kufanya uelezi, kwa mwepesi na wa kupeo wa juu kimfululizo. Sentensi changamano ni nyingine, nayo inamfaidi mwanfunzi kueleza mawazo zaidi ya mawili kwa mkupuo. Kwa hivyo, ni muhimu kubadili sentensi katika uandishi ili kuongeza kuvutia kwa mtungo wako na kutoa ujumbe kwa njia iliyo bora. Insha bora ni ile ambayo huweza kutumia sentensi ya neno moja, sahili, ambatano na changamano huku kila moja ikitumiwa kwa kusudi maalumu. Jambo muhimu ambalo halipaswi kusahaulika na wanafunzi ni ile kuepukana na sentensi ndefundefu katika uandishi. Kutumia sentensi za aina hii kwa wingi, huweza kukukanganya uawasilishajiwa ujumbe kando na kuchosha.
Msamiati ndio nini
{ "text": [ "nguzo" ] }
4786_swa
Kila mwanafunzi anayeandika insha ama mtungo wa aina yoyote hana budi kuzingatia umuhimu wa msamiati. Msamiati ndio nguzo inayotumiwa kujenga sentensi. Wakati mwingine, baadhi ya watahiniwa huwa wana mtazamo finyu wanaposhughulikia msamiati kama maneno magumu kuonyesha ukwasi wao wa lugha katika uandishi. Mtahiniwa yeyote hana budi kuteua msamiati kulingana na mada,na hadhira yake.msamiati ya uwanja, taaluma fulani ama sajili huenda usifae ule wa sajili nyingine. Kwa hivo, mwanafunzi yeyote anayeandika kuhusu mada iliyopendekezwa ni muhimu kuzingatia msamiati wa eneo linalotungiwa. Kando na hilo, azingatie pia kwamba msamiati atakaotumia utawasilisha ujumbe unaotaka kwa njia mwafaka zaidi ikilinganishwa na kama atatumia mwingine. Kama ilivyo, lugha ina msamiati ambao wakati mwingine haufai katika mitungo ya aina fulani. Katika kuteua msamiati na kuutumia katika sentensi za insha,ni muhimu kwa mtahiniwa kuelewa unatumika kuongeka suala ma jambo lipi. Mwanafunzi atakapoelewa aina za msamiati kutegemea muktadha,atatunga sentensi sanifu zinazovutia na kuishia na mtungo wa kuvutia vilevile. Vilevile,ni muhimu kukumbuka kuwa lugha, kama lugha ya Kiswahili ilivyo, ina lahaja mbalimbali.ikiwa unaandika mtungo, ni vizuri kutumia lugha sanifu inayoeleweka na jumuiya kubwa. Kuna msamiati ambayo huandikwa kwa kirefu ama kifupi kama ilivyo katika akronimo. Muhimu ni kuhakikisha kuwa kila kitu kinaelezwa kwa kirefu ila kieleweke. Kutumia vifipisho hutatiza kuwasilishwa kwa ujumbe vifaavyo. Kando na msamiati, sentensi hutumiwa katika utunzi kuwasilisha wazo linalo kamilika. Kwa sababu hii ni muhimu sentensi kwa njia iliyokamalika kwa mujibu wa kanuni za kisarufi ya lugha ya Kiswahili. Kuna sentensi sahili ambazo zinaweza kueleza wazo kwa njia ya moja kwa moja. Sentensi hizi pia husaidia kufanya uelezi, kwa mwepesi na wa kupeo wa juu kimfululizo. Sentensi changamano ni nyingine, nayo inamfaidi mwanfunzi kueleza mawazo zaidi ya mawili kwa mkupuo. Kwa hivyo, ni muhimu kubadili sentensi katika uandishi ili kuongeza kuvutia kwa mtungo wako na kutoa ujumbe kwa njia iliyo bora. Insha bora ni ile ambayo huweza kutumia sentensi ya neno moja, sahili, ambatano na changamano huku kila moja ikitumiwa kwa kusudi maalumu. Jambo muhimu ambalo halipaswi kusahaulika na wanafunzi ni ile kuepukana na sentensi ndefundefu katika uandishi. Kutumia sentensi za aina hii kwa wingi, huweza kukukanganya uawasilishajiwa ujumbe kando na kuchosha.
Mtahiniwa yeyote hana budi kuteua msamiati kulingana na nini
{ "text": [ "mada na hadhira" ] }
4786_swa
Kila mwanafunzi anayeandika insha ama mtungo wa aina yoyote hana budi kuzingatia umuhimu wa msamiati. Msamiati ndio nguzo inayotumiwa kujenga sentensi. Wakati mwingine, baadhi ya watahiniwa huwa wana mtazamo finyu wanaposhughulikia msamiati kama maneno magumu kuonyesha ukwasi wao wa lugha katika uandishi. Mtahiniwa yeyote hana budi kuteua msamiati kulingana na mada,na hadhira yake.msamiati ya uwanja, taaluma fulani ama sajili huenda usifae ule wa sajili nyingine. Kwa hivo, mwanafunzi yeyote anayeandika kuhusu mada iliyopendekezwa ni muhimu kuzingatia msamiati wa eneo linalotungiwa. Kando na hilo, azingatie pia kwamba msamiati atakaotumia utawasilisha ujumbe unaotaka kwa njia mwafaka zaidi ikilinganishwa na kama atatumia mwingine. Kama ilivyo, lugha ina msamiati ambao wakati mwingine haufai katika mitungo ya aina fulani. Katika kuteua msamiati na kuutumia katika sentensi za insha,ni muhimu kwa mtahiniwa kuelewa unatumika kuongeka suala ma jambo lipi. Mwanafunzi atakapoelewa aina za msamiati kutegemea muktadha,atatunga sentensi sanifu zinazovutia na kuishia na mtungo wa kuvutia vilevile. Vilevile,ni muhimu kukumbuka kuwa lugha, kama lugha ya Kiswahili ilivyo, ina lahaja mbalimbali.ikiwa unaandika mtungo, ni vizuri kutumia lugha sanifu inayoeleweka na jumuiya kubwa. Kuna msamiati ambayo huandikwa kwa kirefu ama kifupi kama ilivyo katika akronimo. Muhimu ni kuhakikisha kuwa kila kitu kinaelezwa kwa kirefu ila kieleweke. Kutumia vifipisho hutatiza kuwasilishwa kwa ujumbe vifaavyo. Kando na msamiati, sentensi hutumiwa katika utunzi kuwasilisha wazo linalo kamilika. Kwa sababu hii ni muhimu sentensi kwa njia iliyokamalika kwa mujibu wa kanuni za kisarufi ya lugha ya Kiswahili. Kuna sentensi sahili ambazo zinaweza kueleza wazo kwa njia ya moja kwa moja. Sentensi hizi pia husaidia kufanya uelezi, kwa mwepesi na wa kupeo wa juu kimfululizo. Sentensi changamano ni nyingine, nayo inamfaidi mwanfunzi kueleza mawazo zaidi ya mawili kwa mkupuo. Kwa hivyo, ni muhimu kubadili sentensi katika uandishi ili kuongeza kuvutia kwa mtungo wako na kutoa ujumbe kwa njia iliyo bora. Insha bora ni ile ambayo huweza kutumia sentensi ya neno moja, sahili, ambatano na changamano huku kila moja ikitumiwa kwa kusudi maalumu. Jambo muhimu ambalo halipaswi kusahaulika na wanafunzi ni ile kuepukana na sentensi ndefundefu katika uandishi. Kutumia sentensi za aina hii kwa wingi, huweza kukukanganya uawasilishajiwa ujumbe kando na kuchosha.
Kando na msamiati sentensi hutumiwa lini kuwasilisha wazo linalokamilika
{ "text": [ "inapotumika katika utunzi" ] }
4786_swa
Kila mwanafunzi anayeandika insha ama mtungo wa aina yoyote hana budi kuzingatia umuhimu wa msamiati. Msamiati ndio nguzo inayotumiwa kujenga sentensi. Wakati mwingine, baadhi ya watahiniwa huwa wana mtazamo finyu wanaposhughulikia msamiati kama maneno magumu kuonyesha ukwasi wao wa lugha katika uandishi. Mtahiniwa yeyote hana budi kuteua msamiati kulingana na mada,na hadhira yake.msamiati ya uwanja, taaluma fulani ama sajili huenda usifae ule wa sajili nyingine. Kwa hivo, mwanafunzi yeyote anayeandika kuhusu mada iliyopendekezwa ni muhimu kuzingatia msamiati wa eneo linalotungiwa. Kando na hilo, azingatie pia kwamba msamiati atakaotumia utawasilisha ujumbe unaotaka kwa njia mwafaka zaidi ikilinganishwa na kama atatumia mwingine. Kama ilivyo, lugha ina msamiati ambao wakati mwingine haufai katika mitungo ya aina fulani. Katika kuteua msamiati na kuutumia katika sentensi za insha,ni muhimu kwa mtahiniwa kuelewa unatumika kuongeka suala ma jambo lipi. Mwanafunzi atakapoelewa aina za msamiati kutegemea muktadha,atatunga sentensi sanifu zinazovutia na kuishia na mtungo wa kuvutia vilevile. Vilevile,ni muhimu kukumbuka kuwa lugha, kama lugha ya Kiswahili ilivyo, ina lahaja mbalimbali.ikiwa unaandika mtungo, ni vizuri kutumia lugha sanifu inayoeleweka na jumuiya kubwa. Kuna msamiati ambayo huandikwa kwa kirefu ama kifupi kama ilivyo katika akronimo. Muhimu ni kuhakikisha kuwa kila kitu kinaelezwa kwa kirefu ila kieleweke. Kutumia vifipisho hutatiza kuwasilishwa kwa ujumbe vifaavyo. Kando na msamiati, sentensi hutumiwa katika utunzi kuwasilisha wazo linalo kamilika. Kwa sababu hii ni muhimu sentensi kwa njia iliyokamalika kwa mujibu wa kanuni za kisarufi ya lugha ya Kiswahili. Kuna sentensi sahili ambazo zinaweza kueleza wazo kwa njia ya moja kwa moja. Sentensi hizi pia husaidia kufanya uelezi, kwa mwepesi na wa kupeo wa juu kimfululizo. Sentensi changamano ni nyingine, nayo inamfaidi mwanfunzi kueleza mawazo zaidi ya mawili kwa mkupuo. Kwa hivyo, ni muhimu kubadili sentensi katika uandishi ili kuongeza kuvutia kwa mtungo wako na kutoa ujumbe kwa njia iliyo bora. Insha bora ni ile ambayo huweza kutumia sentensi ya neno moja, sahili, ambatano na changamano huku kila moja ikitumiwa kwa kusudi maalumu. Jambo muhimu ambalo halipaswi kusahaulika na wanafunzi ni ile kuepukana na sentensi ndefundefu katika uandishi. Kutumia sentensi za aina hii kwa wingi, huweza kukukanganya uawasilishajiwa ujumbe kando na kuchosha.
Mbona ni muhimu kubadili sentensi katika uandishi
{ "text": [ "ili kuongeza kuvutia kwa mtungo wako na kutoa ujumbe" ] }
4787_swa
KIVUMBI CHA WAPENZI Mwaruka alikuwa ameketi sebuleni akitazama runinga wakati simu yake ya mkononi ilipokiriza. Aliunyoosha mkono wake mezani na kuichukua kisha akabofya kitufe cha kupokea. Sauti nzito ilisikika ikisema "Haloo habari yako Mwaruka, unaongea na Mugambi kutoka Kisumu. Niko katika barabara ya Dala nilipokutana na msichana mrembo niliyekuwa nikimtongoza lakini akanikataa na kuniambia kuwa ana mpenzi ambaye ni wewe. Nilitaka kuhakikisha kuwa jambo hili ni kweli ndipo nikaomba nambari yako ya simu nihakikishe ukweli wa swala hili ndipo niache kumsumbua mwanadada huyu. Ninataka tu ulitaje jina la mpenzi wako." Mwaruka akajibu, "Mpenzi? Kwani yeye anasema anaitwa nani?" "Mwaruka hulijui jina la mpenzi wako? Niambie tu jina la unayechumbiana naye." Mwaruka alijipurukisha kwa "Mpenzi wangu Atieno ? unamzungumzia Atieno?" Aisha alikuwa amesimama mkabala na Mugambi huku jasho likimtiririka nayo machozi yakianza kumtoka huku akijisemea "Namnunulia kila kitu! Nimemnunulia nyumba na gari. Nimempa mapenzi yote kumbe hata hanitambui kama mimi ni mpenziwe! Tulijuana kitambo wakati hatuna mbele wala nyuma nikafanya kazi kama msaidizi wa nyumbani na kuifadhili elimu yake! Nilijinyima sana. Kweli sijaitendea haki nafsi yangu! Kumbe ana wanawake wengine? Atieno! Ana mpenzi kwa jina la Atieno! " Aisha alijiangusha chini akaanza kulia. Mwaruka ambaye ni mwelekezi wa kipindi cha 'Uaminifu wa Wapenzi' kilichokuwa kikipeperushwa moja kwa moja katika idhaa ya Fanaka alimsihi Aisha aache kulia. Kipindi cha Uaminifu wa Wapenzi kilikuwa mtego wa kuwakanganya wapenzi wasiokuwa waaminifu na kuwanasa ili kuanika ukweli hadharani. Mugambi hakuwa Kisumu. Alikuwa na Aisha nje ya nyumba ya Mwaruka mjini Mombasa wakati alipokuwa akimpigia simu ile. Kwa kuwa ukweli ulijulikana kuwa Mwaruka alikuwa ana mpenzi mwingine, kamera zilibebwa nao Aisha na Mugambi wakaelekea ndani kuuvumbua ukweli wa Mwaruka. Mwaruka alikuwa bado yupo sebuleni akiitazama runinga wakati Wairimu alipotoka bafuni na kitaulo kifupi kilichokuwa kimening'inizwa maungoni. Wairimu alikuja kumkalia Mwaruka mapajani na wakaanza kulishana mabusu nao mlango ukafunguka na kina Aisha wakaingia. Bila ya kupoteza muda Aisha alimrukia Wairimu na kuanza kumpiga. Wanawake wawili walianza vita wakirushiana magumi na makonde. Aisha alikuwa tu akipiga kelele "Mwaruka nimekosa nini miye hadi unakuwa na wapenzi wengine? Tena katika nyumba niliyoinunua na pesa zangu nilizozipata kwa tabu!" Wenye kamera walikuwa wakirekodi tukio hilo huku Mugambi akiwa anaongea kwa kipaza sauti akisema, "Wapenzi watazamaji ndipo mwanzo tumefika nyumbani pa Mwaruka amabapo kumewaka moto. Ya leo ni moto sana tafadhali usibanduke kutoka kwenye runinga yako." Mwaruka alikuwa ameshikwa na ghadhabu akazikaribia kamera akitaka kuzivunja. Kamau, aliyekuwa ameishika kamera alimrushia Mwaruka kofi na kumwambia, "umepatikana leo! Hutatoroka!" Aisha aliichukua simu ya Mwaruka na kuiangusha chini akaivunja huku akisema, "hata hii mimi ndiye niliyekununulia na unaitumia kuwapigia hawara wako! Hata chupi unazovaa ni mimi ndiye ninayezinunua! Huna shukrani gumegume we! Niletee funguo za gari na nyumba, nirejeshee vitu vyote nilivyokupa! Hata ile safari ya kukupeleka marekani imekwisha! Hustahili fadhila punda we!" Mwaruka alikuwa amepiga magoti akijipurukusha kwa, "Babe nisamehe, ni shetani tu, usifanye hivyo kumbuka tumetoana mbali!" Aisha alikuwa hataki kusikia jambo lolote akawa anafoka na kufyoa kwa hasira. Mwaruka alipojaribu kumsogelea alimpiga kofi na kumwashiria atoke nyumbani kwake. Alichukua nguo za Mwaruka na kuzirusha nje huku kamera zikirekodi matukio yote. Wairimu alipata upenyo na kutorokea nje kisha akatokomea katika kijia cha kulia huku kitaulo chake kikimuanguka mara kwa mara akawa anakiokota na kuchapua mbio huku watu wakimshangaa njiani. Aisha alimtoa Mwaruka nje na kumwambia aikome nyumba yake kama alivyolikoma titi la mamake. Huo ndio ulikuwa mwisho wa mapenzi yao. Aisha aliwashukuru akina Mugambi na kuwaambia kuwa walikuwa wamemsaidia kujua ukweli kuhusu mpenziwe.
Kulingana na Mwaruka alimchumbia nani
{ "text": [ "Atieno" ] }
4787_swa
KIVUMBI CHA WAPENZI Mwaruka alikuwa ameketi sebuleni akitazama runinga wakati simu yake ya mkononi ilipokiriza. Aliunyoosha mkono wake mezani na kuichukua kisha akabofya kitufe cha kupokea. Sauti nzito ilisikika ikisema "Haloo habari yako Mwaruka, unaongea na Mugambi kutoka Kisumu. Niko katika barabara ya Dala nilipokutana na msichana mrembo niliyekuwa nikimtongoza lakini akanikataa na kuniambia kuwa ana mpenzi ambaye ni wewe. Nilitaka kuhakikisha kuwa jambo hili ni kweli ndipo nikaomba nambari yako ya simu nihakikishe ukweli wa swala hili ndipo niache kumsumbua mwanadada huyu. Ninataka tu ulitaje jina la mpenzi wako." Mwaruka akajibu, "Mpenzi? Kwani yeye anasema anaitwa nani?" "Mwaruka hulijui jina la mpenzi wako? Niambie tu jina la unayechumbiana naye." Mwaruka alijipurukisha kwa "Mpenzi wangu Atieno ? unamzungumzia Atieno?" Aisha alikuwa amesimama mkabala na Mugambi huku jasho likimtiririka nayo machozi yakianza kumtoka huku akijisemea "Namnunulia kila kitu! Nimemnunulia nyumba na gari. Nimempa mapenzi yote kumbe hata hanitambui kama mimi ni mpenziwe! Tulijuana kitambo wakati hatuna mbele wala nyuma nikafanya kazi kama msaidizi wa nyumbani na kuifadhili elimu yake! Nilijinyima sana. Kweli sijaitendea haki nafsi yangu! Kumbe ana wanawake wengine? Atieno! Ana mpenzi kwa jina la Atieno! " Aisha alijiangusha chini akaanza kulia. Mwaruka ambaye ni mwelekezi wa kipindi cha 'Uaminifu wa Wapenzi' kilichokuwa kikipeperushwa moja kwa moja katika idhaa ya Fanaka alimsihi Aisha aache kulia. Kipindi cha Uaminifu wa Wapenzi kilikuwa mtego wa kuwakanganya wapenzi wasiokuwa waaminifu na kuwanasa ili kuanika ukweli hadharani. Mugambi hakuwa Kisumu. Alikuwa na Aisha nje ya nyumba ya Mwaruka mjini Mombasa wakati alipokuwa akimpigia simu ile. Kwa kuwa ukweli ulijulikana kuwa Mwaruka alikuwa ana mpenzi mwingine, kamera zilibebwa nao Aisha na Mugambi wakaelekea ndani kuuvumbua ukweli wa Mwaruka. Mwaruka alikuwa bado yupo sebuleni akiitazama runinga wakati Wairimu alipotoka bafuni na kitaulo kifupi kilichokuwa kimening'inizwa maungoni. Wairimu alikuja kumkalia Mwaruka mapajani na wakaanza kulishana mabusu nao mlango ukafunguka na kina Aisha wakaingia. Bila ya kupoteza muda Aisha alimrukia Wairimu na kuanza kumpiga. Wanawake wawili walianza vita wakirushiana magumi na makonde. Aisha alikuwa tu akipiga kelele "Mwaruka nimekosa nini miye hadi unakuwa na wapenzi wengine? Tena katika nyumba niliyoinunua na pesa zangu nilizozipata kwa tabu!" Wenye kamera walikuwa wakirekodi tukio hilo huku Mugambi akiwa anaongea kwa kipaza sauti akisema, "Wapenzi watazamaji ndipo mwanzo tumefika nyumbani pa Mwaruka amabapo kumewaka moto. Ya leo ni moto sana tafadhali usibanduke kutoka kwenye runinga yako." Mwaruka alikuwa ameshikwa na ghadhabu akazikaribia kamera akitaka kuzivunja. Kamau, aliyekuwa ameishika kamera alimrushia Mwaruka kofi na kumwambia, "umepatikana leo! Hutatoroka!" Aisha aliichukua simu ya Mwaruka na kuiangusha chini akaivunja huku akisema, "hata hii mimi ndiye niliyekununulia na unaitumia kuwapigia hawara wako! Hata chupi unazovaa ni mimi ndiye ninayezinunua! Huna shukrani gumegume we! Niletee funguo za gari na nyumba, nirejeshee vitu vyote nilivyokupa! Hata ile safari ya kukupeleka marekani imekwisha! Hustahili fadhila punda we!" Mwaruka alikuwa amepiga magoti akijipurukusha kwa, "Babe nisamehe, ni shetani tu, usifanye hivyo kumbuka tumetoana mbali!" Aisha alikuwa hataki kusikia jambo lolote akawa anafoka na kufyoa kwa hasira. Mwaruka alipojaribu kumsogelea alimpiga kofi na kumwashiria atoke nyumbani kwake. Alichukua nguo za Mwaruka na kuzirusha nje huku kamera zikirekodi matukio yote. Wairimu alipata upenyo na kutorokea nje kisha akatokomea katika kijia cha kulia huku kitaulo chake kikimuanguka mara kwa mara akawa anakiokota na kuchapua mbio huku watu wakimshangaa njiani. Aisha alimtoa Mwaruka nje na kumwambia aikome nyumba yake kama alivyolikoma titi la mamake. Huo ndio ulikuwa mwisho wa mapenzi yao. Aisha aliwashukuru akina Mugambi na kuwaambia kuwa walikuwa wamemsaidia kujua ukweli kuhusu mpenziwe.
Mbana Aisha alitiririkwa na machozi
{ "text": [ "Mwaruka hakumtambua kama mpenziwe" ] }
4787_swa
KIVUMBI CHA WAPENZI Mwaruka alikuwa ameketi sebuleni akitazama runinga wakati simu yake ya mkononi ilipokiriza. Aliunyoosha mkono wake mezani na kuichukua kisha akabofya kitufe cha kupokea. Sauti nzito ilisikika ikisema "Haloo habari yako Mwaruka, unaongea na Mugambi kutoka Kisumu. Niko katika barabara ya Dala nilipokutana na msichana mrembo niliyekuwa nikimtongoza lakini akanikataa na kuniambia kuwa ana mpenzi ambaye ni wewe. Nilitaka kuhakikisha kuwa jambo hili ni kweli ndipo nikaomba nambari yako ya simu nihakikishe ukweli wa swala hili ndipo niache kumsumbua mwanadada huyu. Ninataka tu ulitaje jina la mpenzi wako." Mwaruka akajibu, "Mpenzi? Kwani yeye anasema anaitwa nani?" "Mwaruka hulijui jina la mpenzi wako? Niambie tu jina la unayechumbiana naye." Mwaruka alijipurukisha kwa "Mpenzi wangu Atieno ? unamzungumzia Atieno?" Aisha alikuwa amesimama mkabala na Mugambi huku jasho likimtiririka nayo machozi yakianza kumtoka huku akijisemea "Namnunulia kila kitu! Nimemnunulia nyumba na gari. Nimempa mapenzi yote kumbe hata hanitambui kama mimi ni mpenziwe! Tulijuana kitambo wakati hatuna mbele wala nyuma nikafanya kazi kama msaidizi wa nyumbani na kuifadhili elimu yake! Nilijinyima sana. Kweli sijaitendea haki nafsi yangu! Kumbe ana wanawake wengine? Atieno! Ana mpenzi kwa jina la Atieno! " Aisha alijiangusha chini akaanza kulia. Mwaruka ambaye ni mwelekezi wa kipindi cha 'Uaminifu wa Wapenzi' kilichokuwa kikipeperushwa moja kwa moja katika idhaa ya Fanaka alimsihi Aisha aache kulia. Kipindi cha Uaminifu wa Wapenzi kilikuwa mtego wa kuwakanganya wapenzi wasiokuwa waaminifu na kuwanasa ili kuanika ukweli hadharani. Mugambi hakuwa Kisumu. Alikuwa na Aisha nje ya nyumba ya Mwaruka mjini Mombasa wakati alipokuwa akimpigia simu ile. Kwa kuwa ukweli ulijulikana kuwa Mwaruka alikuwa ana mpenzi mwingine, kamera zilibebwa nao Aisha na Mugambi wakaelekea ndani kuuvumbua ukweli wa Mwaruka. Mwaruka alikuwa bado yupo sebuleni akiitazama runinga wakati Wairimu alipotoka bafuni na kitaulo kifupi kilichokuwa kimening'inizwa maungoni. Wairimu alikuja kumkalia Mwaruka mapajani na wakaanza kulishana mabusu nao mlango ukafunguka na kina Aisha wakaingia. Bila ya kupoteza muda Aisha alimrukia Wairimu na kuanza kumpiga. Wanawake wawili walianza vita wakirushiana magumi na makonde. Aisha alikuwa tu akipiga kelele "Mwaruka nimekosa nini miye hadi unakuwa na wapenzi wengine? Tena katika nyumba niliyoinunua na pesa zangu nilizozipata kwa tabu!" Wenye kamera walikuwa wakirekodi tukio hilo huku Mugambi akiwa anaongea kwa kipaza sauti akisema, "Wapenzi watazamaji ndipo mwanzo tumefika nyumbani pa Mwaruka amabapo kumewaka moto. Ya leo ni moto sana tafadhali usibanduke kutoka kwenye runinga yako." Mwaruka alikuwa ameshikwa na ghadhabu akazikaribia kamera akitaka kuzivunja. Kamau, aliyekuwa ameishika kamera alimrushia Mwaruka kofi na kumwambia, "umepatikana leo! Hutatoroka!" Aisha aliichukua simu ya Mwaruka na kuiangusha chini akaivunja huku akisema, "hata hii mimi ndiye niliyekununulia na unaitumia kuwapigia hawara wako! Hata chupi unazovaa ni mimi ndiye ninayezinunua! Huna shukrani gumegume we! Niletee funguo za gari na nyumba, nirejeshee vitu vyote nilivyokupa! Hata ile safari ya kukupeleka marekani imekwisha! Hustahili fadhila punda we!" Mwaruka alikuwa amepiga magoti akijipurukusha kwa, "Babe nisamehe, ni shetani tu, usifanye hivyo kumbuka tumetoana mbali!" Aisha alikuwa hataki kusikia jambo lolote akawa anafoka na kufyoa kwa hasira. Mwaruka alipojaribu kumsogelea alimpiga kofi na kumwashiria atoke nyumbani kwake. Alichukua nguo za Mwaruka na kuzirusha nje huku kamera zikirekodi matukio yote. Wairimu alipata upenyo na kutorokea nje kisha akatokomea katika kijia cha kulia huku kitaulo chake kikimuanguka mara kwa mara akawa anakiokota na kuchapua mbio huku watu wakimshangaa njiani. Aisha alimtoa Mwaruka nje na kumwambia aikome nyumba yake kama alivyolikoma titi la mamake. Huo ndio ulikuwa mwisho wa mapenzi yao. Aisha aliwashukuru akina Mugambi na kuwaambia kuwa walikuwa wamemsaidia kujua ukweli kuhusu mpenziwe.
Nia ya kipindi ca Uaminifu wa Waminifu ilikuwa ipi
{ "text": [ "Mtego wa kuwakananya wapenzi wasiokuwa waaminifu, kuwanasa na kuwaanika" ] }
4787_swa
KIVUMBI CHA WAPENZI Mwaruka alikuwa ameketi sebuleni akitazama runinga wakati simu yake ya mkononi ilipokiriza. Aliunyoosha mkono wake mezani na kuichukua kisha akabofya kitufe cha kupokea. Sauti nzito ilisikika ikisema "Haloo habari yako Mwaruka, unaongea na Mugambi kutoka Kisumu. Niko katika barabara ya Dala nilipokutana na msichana mrembo niliyekuwa nikimtongoza lakini akanikataa na kuniambia kuwa ana mpenzi ambaye ni wewe. Nilitaka kuhakikisha kuwa jambo hili ni kweli ndipo nikaomba nambari yako ya simu nihakikishe ukweli wa swala hili ndipo niache kumsumbua mwanadada huyu. Ninataka tu ulitaje jina la mpenzi wako." Mwaruka akajibu, "Mpenzi? Kwani yeye anasema anaitwa nani?" "Mwaruka hulijui jina la mpenzi wako? Niambie tu jina la unayechumbiana naye." Mwaruka alijipurukisha kwa "Mpenzi wangu Atieno ? unamzungumzia Atieno?" Aisha alikuwa amesimama mkabala na Mugambi huku jasho likimtiririka nayo machozi yakianza kumtoka huku akijisemea "Namnunulia kila kitu! Nimemnunulia nyumba na gari. Nimempa mapenzi yote kumbe hata hanitambui kama mimi ni mpenziwe! Tulijuana kitambo wakati hatuna mbele wala nyuma nikafanya kazi kama msaidizi wa nyumbani na kuifadhili elimu yake! Nilijinyima sana. Kweli sijaitendea haki nafsi yangu! Kumbe ana wanawake wengine? Atieno! Ana mpenzi kwa jina la Atieno! " Aisha alijiangusha chini akaanza kulia. Mwaruka ambaye ni mwelekezi wa kipindi cha 'Uaminifu wa Wapenzi' kilichokuwa kikipeperushwa moja kwa moja katika idhaa ya Fanaka alimsihi Aisha aache kulia. Kipindi cha Uaminifu wa Wapenzi kilikuwa mtego wa kuwakanganya wapenzi wasiokuwa waaminifu na kuwanasa ili kuanika ukweli hadharani. Mugambi hakuwa Kisumu. Alikuwa na Aisha nje ya nyumba ya Mwaruka mjini Mombasa wakati alipokuwa akimpigia simu ile. Kwa kuwa ukweli ulijulikana kuwa Mwaruka alikuwa ana mpenzi mwingine, kamera zilibebwa nao Aisha na Mugambi wakaelekea ndani kuuvumbua ukweli wa Mwaruka. Mwaruka alikuwa bado yupo sebuleni akiitazama runinga wakati Wairimu alipotoka bafuni na kitaulo kifupi kilichokuwa kimening'inizwa maungoni. Wairimu alikuja kumkalia Mwaruka mapajani na wakaanza kulishana mabusu nao mlango ukafunguka na kina Aisha wakaingia. Bila ya kupoteza muda Aisha alimrukia Wairimu na kuanza kumpiga. Wanawake wawili walianza vita wakirushiana magumi na makonde. Aisha alikuwa tu akipiga kelele "Mwaruka nimekosa nini miye hadi unakuwa na wapenzi wengine? Tena katika nyumba niliyoinunua na pesa zangu nilizozipata kwa tabu!" Wenye kamera walikuwa wakirekodi tukio hilo huku Mugambi akiwa anaongea kwa kipaza sauti akisema, "Wapenzi watazamaji ndipo mwanzo tumefika nyumbani pa Mwaruka amabapo kumewaka moto. Ya leo ni moto sana tafadhali usibanduke kutoka kwenye runinga yako." Mwaruka alikuwa ameshikwa na ghadhabu akazikaribia kamera akitaka kuzivunja. Kamau, aliyekuwa ameishika kamera alimrushia Mwaruka kofi na kumwambia, "umepatikana leo! Hutatoroka!" Aisha aliichukua simu ya Mwaruka na kuiangusha chini akaivunja huku akisema, "hata hii mimi ndiye niliyekununulia na unaitumia kuwapigia hawara wako! Hata chupi unazovaa ni mimi ndiye ninayezinunua! Huna shukrani gumegume we! Niletee funguo za gari na nyumba, nirejeshee vitu vyote nilivyokupa! Hata ile safari ya kukupeleka marekani imekwisha! Hustahili fadhila punda we!" Mwaruka alikuwa amepiga magoti akijipurukusha kwa, "Babe nisamehe, ni shetani tu, usifanye hivyo kumbuka tumetoana mbali!" Aisha alikuwa hataki kusikia jambo lolote akawa anafoka na kufyoa kwa hasira. Mwaruka alipojaribu kumsogelea alimpiga kofi na kumwashiria atoke nyumbani kwake. Alichukua nguo za Mwaruka na kuzirusha nje huku kamera zikirekodi matukio yote. Wairimu alipata upenyo na kutorokea nje kisha akatokomea katika kijia cha kulia huku kitaulo chake kikimuanguka mara kwa mara akawa anakiokota na kuchapua mbio huku watu wakimshangaa njiani. Aisha alimtoa Mwaruka nje na kumwambia aikome nyumba yake kama alivyolikoma titi la mamake. Huo ndio ulikuwa mwisho wa mapenzi yao. Aisha aliwashukuru akina Mugambi na kuwaambia kuwa walikuwa wamemsaidia kujua ukweli kuhusu mpenziwe.
Aisha alikuwa amefanyia nini Mwaruka
{ "text": [ "Kumnunulia nyumba, gari na kumwahidi kumpeleka Marekani" ] }
4787_swa
KIVUMBI CHA WAPENZI Mwaruka alikuwa ameketi sebuleni akitazama runinga wakati simu yake ya mkononi ilipokiriza. Aliunyoosha mkono wake mezani na kuichukua kisha akabofya kitufe cha kupokea. Sauti nzito ilisikika ikisema "Haloo habari yako Mwaruka, unaongea na Mugambi kutoka Kisumu. Niko katika barabara ya Dala nilipokutana na msichana mrembo niliyekuwa nikimtongoza lakini akanikataa na kuniambia kuwa ana mpenzi ambaye ni wewe. Nilitaka kuhakikisha kuwa jambo hili ni kweli ndipo nikaomba nambari yako ya simu nihakikishe ukweli wa swala hili ndipo niache kumsumbua mwanadada huyu. Ninataka tu ulitaje jina la mpenzi wako." Mwaruka akajibu, "Mpenzi? Kwani yeye anasema anaitwa nani?" "Mwaruka hulijui jina la mpenzi wako? Niambie tu jina la unayechumbiana naye." Mwaruka alijipurukisha kwa "Mpenzi wangu Atieno ? unamzungumzia Atieno?" Aisha alikuwa amesimama mkabala na Mugambi huku jasho likimtiririka nayo machozi yakianza kumtoka huku akijisemea "Namnunulia kila kitu! Nimemnunulia nyumba na gari. Nimempa mapenzi yote kumbe hata hanitambui kama mimi ni mpenziwe! Tulijuana kitambo wakati hatuna mbele wala nyuma nikafanya kazi kama msaidizi wa nyumbani na kuifadhili elimu yake! Nilijinyima sana. Kweli sijaitendea haki nafsi yangu! Kumbe ana wanawake wengine? Atieno! Ana mpenzi kwa jina la Atieno! " Aisha alijiangusha chini akaanza kulia. Mwaruka ambaye ni mwelekezi wa kipindi cha 'Uaminifu wa Wapenzi' kilichokuwa kikipeperushwa moja kwa moja katika idhaa ya Fanaka alimsihi Aisha aache kulia. Kipindi cha Uaminifu wa Wapenzi kilikuwa mtego wa kuwakanganya wapenzi wasiokuwa waaminifu na kuwanasa ili kuanika ukweli hadharani. Mugambi hakuwa Kisumu. Alikuwa na Aisha nje ya nyumba ya Mwaruka mjini Mombasa wakati alipokuwa akimpigia simu ile. Kwa kuwa ukweli ulijulikana kuwa Mwaruka alikuwa ana mpenzi mwingine, kamera zilibebwa nao Aisha na Mugambi wakaelekea ndani kuuvumbua ukweli wa Mwaruka. Mwaruka alikuwa bado yupo sebuleni akiitazama runinga wakati Wairimu alipotoka bafuni na kitaulo kifupi kilichokuwa kimening'inizwa maungoni. Wairimu alikuja kumkalia Mwaruka mapajani na wakaanza kulishana mabusu nao mlango ukafunguka na kina Aisha wakaingia. Bila ya kupoteza muda Aisha alimrukia Wairimu na kuanza kumpiga. Wanawake wawili walianza vita wakirushiana magumi na makonde. Aisha alikuwa tu akipiga kelele "Mwaruka nimekosa nini miye hadi unakuwa na wapenzi wengine? Tena katika nyumba niliyoinunua na pesa zangu nilizozipata kwa tabu!" Wenye kamera walikuwa wakirekodi tukio hilo huku Mugambi akiwa anaongea kwa kipaza sauti akisema, "Wapenzi watazamaji ndipo mwanzo tumefika nyumbani pa Mwaruka amabapo kumewaka moto. Ya leo ni moto sana tafadhali usibanduke kutoka kwenye runinga yako." Mwaruka alikuwa ameshikwa na ghadhabu akazikaribia kamera akitaka kuzivunja. Kamau, aliyekuwa ameishika kamera alimrushia Mwaruka kofi na kumwambia, "umepatikana leo! Hutatoroka!" Aisha aliichukua simu ya Mwaruka na kuiangusha chini akaivunja huku akisema, "hata hii mimi ndiye niliyekununulia na unaitumia kuwapigia hawara wako! Hata chupi unazovaa ni mimi ndiye ninayezinunua! Huna shukrani gumegume we! Niletee funguo za gari na nyumba, nirejeshee vitu vyote nilivyokupa! Hata ile safari ya kukupeleka marekani imekwisha! Hustahili fadhila punda we!" Mwaruka alikuwa amepiga magoti akijipurukusha kwa, "Babe nisamehe, ni shetani tu, usifanye hivyo kumbuka tumetoana mbali!" Aisha alikuwa hataki kusikia jambo lolote akawa anafoka na kufyoa kwa hasira. Mwaruka alipojaribu kumsogelea alimpiga kofi na kumwashiria atoke nyumbani kwake. Alichukua nguo za Mwaruka na kuzirusha nje huku kamera zikirekodi matukio yote. Wairimu alipata upenyo na kutorokea nje kisha akatokomea katika kijia cha kulia huku kitaulo chake kikimuanguka mara kwa mara akawa anakiokota na kuchapua mbio huku watu wakimshangaa njiani. Aisha alimtoa Mwaruka nje na kumwambia aikome nyumba yake kama alivyolikoma titi la mamake. Huo ndio ulikuwa mwisho wa mapenzi yao. Aisha aliwashukuru akina Mugambi na kuwaambia kuwa walikuwa wamemsaidia kujua ukweli kuhusu mpenziwe.
Aisha alichukua hatua gani baada ya kujua mpenziwe alimhadaa
{ "text": [ "Alimpiga kofi na kuchukua nguo zake na kuzirusha nje" ] }
4788_swa
Kule kuukubali ukristo kulimaanisha kuuasi uafrika pamoja na utamaduni wake. Kulimaanisha pia kuikataa miko na matambiko ambayo yalikuwa yanatuunganisha. Kulimaanisha kuyakubali maisha na tabia za aina Fulani kutoka bara uropa. Wamisheni walikuwa wameshambulia maisha ya jamii zetu na kushutumu mila na desturi za waafrika kama vile nyimbo na densi za kuvutia miungu mbalimbali, mambo ambayo yalitokana na misimamo Yao kuhusu Imani kama hizi. Kwa sababu hii, nchini Kenya Kwa mfano, huku waafrika wakinyanfanywa mashamba na raslimali nyingine zilizotokana na jasho lao, wamisheni nao waliwanyanganya roho zao. Hivyo basi, mwili na roho ya mwafrika ilikatwakatwa Kwa ahadi ya mazuri ya mbinguni Uropa. Elimu haikua jawabu Kwa nyoyo za waafrika zilizokuwa na njaa kwani ilitukuza maadili ya kikristo ambayo yalikuwa yamedinda kushutumu kudhulumiwa Kwa-mwafrika - kimwili na kiakili. Elimu ya kwanza aliyopata mwafrika ilikuwa ya kumwezesha kuisoma biblia ili aweze kutekeleza majukumu rahisi kama msaidizi wa wamisheni. Ndipo baadaye elimu ikaanza kuchukuliwa kama kigezo muhimu cha kujipatia kazi nzuri, kuwa na Mali na hivyo kuishia maisha mazuri, ingawa katika mfumo wa maisha ya huko uropa. Mwafrika aliyekuwa amesoma na mkristo, alikuwa tayari amejitenga na asili na utamaduni wake. Uhasama kati ya wakenya na kanisa za misheni, kuanzisha Kwa makanisa yenye misingi yake katika uafrika pamoja na masuala ya kidini ya vuguvugu la maumau, yote yalikuwa mazao ya uhasama wa kitamaduni ulioasisiwa na haja ya wamisheni ya kumbadili mwafrika. Makanisa mbalimbali yaliyoanza yaliwa na uhusiano na wamisheni na baadaye kujitenga yalijaribu kuanzisha mfumo wa maombi na elimu ambao ulikuwa sambamba na uliohusiana na matamanio ya jamii ya kiafrika huku yakijumuisha baadhi ya tamaduni za kiafrika katika kuabudu na maisha ya Kila siku. Siku hizi, kanisa nchini Kenya ni zao la wamisheni kutoka bara uropa. Wamisheni walikuwa sehemu ya mchakato wa historia yetu yaani majilio ya wakoloni. Au kwa maneno mengine, wamisheni, masetla, na wazungu wengine walikuwa maajenti wa wakoloni. Imewahi kusemekana kuwa wanabiashara kutoka ulaya na masetla walifuata miongozo iliyotolewa na wamisheni. Katika maeneo mengine barani Afrika, uongozi wa kisasa ulioasisiwa kutokana na ombi au shinikizo la wamisheni kutoka nchi ya wakoloni.
Kule kuukubali Ukristo kulimaanisha kuuasi nini
{ "text": [ "Uafrika" ] }
4788_swa
Kule kuukubali ukristo kulimaanisha kuuasi uafrika pamoja na utamaduni wake. Kulimaanisha pia kuikataa miko na matambiko ambayo yalikuwa yanatuunganisha. Kulimaanisha kuyakubali maisha na tabia za aina Fulani kutoka bara uropa. Wamisheni walikuwa wameshambulia maisha ya jamii zetu na kushutumu mila na desturi za waafrika kama vile nyimbo na densi za kuvutia miungu mbalimbali, mambo ambayo yalitokana na misimamo Yao kuhusu Imani kama hizi. Kwa sababu hii, nchini Kenya Kwa mfano, huku waafrika wakinyanfanywa mashamba na raslimali nyingine zilizotokana na jasho lao, wamisheni nao waliwanyanganya roho zao. Hivyo basi, mwili na roho ya mwafrika ilikatwakatwa Kwa ahadi ya mazuri ya mbinguni Uropa. Elimu haikua jawabu Kwa nyoyo za waafrika zilizokuwa na njaa kwani ilitukuza maadili ya kikristo ambayo yalikuwa yamedinda kushutumu kudhulumiwa Kwa-mwafrika - kimwili na kiakili. Elimu ya kwanza aliyopata mwafrika ilikuwa ya kumwezesha kuisoma biblia ili aweze kutekeleza majukumu rahisi kama msaidizi wa wamisheni. Ndipo baadaye elimu ikaanza kuchukuliwa kama kigezo muhimu cha kujipatia kazi nzuri, kuwa na Mali na hivyo kuishia maisha mazuri, ingawa katika mfumo wa maisha ya huko uropa. Mwafrika aliyekuwa amesoma na mkristo, alikuwa tayari amejitenga na asili na utamaduni wake. Uhasama kati ya wakenya na kanisa za misheni, kuanzisha Kwa makanisa yenye misingi yake katika uafrika pamoja na masuala ya kidini ya vuguvugu la maumau, yote yalikuwa mazao ya uhasama wa kitamaduni ulioasisiwa na haja ya wamisheni ya kumbadili mwafrika. Makanisa mbalimbali yaliyoanza yaliwa na uhusiano na wamisheni na baadaye kujitenga yalijaribu kuanzisha mfumo wa maombi na elimu ambao ulikuwa sambamba na uliohusiana na matamanio ya jamii ya kiafrika huku yakijumuisha baadhi ya tamaduni za kiafrika katika kuabudu na maisha ya Kila siku. Siku hizi, kanisa nchini Kenya ni zao la wamisheni kutoka bara uropa. Wamisheni walikuwa sehemu ya mchakato wa historia yetu yaani majilio ya wakoloni. Au kwa maneno mengine, wamisheni, masetla, na wazungu wengine walikuwa maajenti wa wakoloni. Imewahi kusemekana kuwa wanabiashara kutoka ulaya na masetla walifuata miongozo iliyotolewa na wamisheni. Katika maeneo mengine barani Afrika, uongozi wa kisasa ulioasisiwa kutokana na ombi au shinikizo la wamisheni kutoka nchi ya wakoloni.
Huku waafrika wakinyanganywa mashamba na raslimali nyingine, wamisheni waliwanyanganya nini
{ "text": [ "Roho zao" ] }
4788_swa
Kule kuukubali ukristo kulimaanisha kuuasi uafrika pamoja na utamaduni wake. Kulimaanisha pia kuikataa miko na matambiko ambayo yalikuwa yanatuunganisha. Kulimaanisha kuyakubali maisha na tabia za aina Fulani kutoka bara uropa. Wamisheni walikuwa wameshambulia maisha ya jamii zetu na kushutumu mila na desturi za waafrika kama vile nyimbo na densi za kuvutia miungu mbalimbali, mambo ambayo yalitokana na misimamo Yao kuhusu Imani kama hizi. Kwa sababu hii, nchini Kenya Kwa mfano, huku waafrika wakinyanfanywa mashamba na raslimali nyingine zilizotokana na jasho lao, wamisheni nao waliwanyanganya roho zao. Hivyo basi, mwili na roho ya mwafrika ilikatwakatwa Kwa ahadi ya mazuri ya mbinguni Uropa. Elimu haikua jawabu Kwa nyoyo za waafrika zilizokuwa na njaa kwani ilitukuza maadili ya kikristo ambayo yalikuwa yamedinda kushutumu kudhulumiwa Kwa-mwafrika - kimwili na kiakili. Elimu ya kwanza aliyopata mwafrika ilikuwa ya kumwezesha kuisoma biblia ili aweze kutekeleza majukumu rahisi kama msaidizi wa wamisheni. Ndipo baadaye elimu ikaanza kuchukuliwa kama kigezo muhimu cha kujipatia kazi nzuri, kuwa na Mali na hivyo kuishia maisha mazuri, ingawa katika mfumo wa maisha ya huko uropa. Mwafrika aliyekuwa amesoma na mkristo, alikuwa tayari amejitenga na asili na utamaduni wake. Uhasama kati ya wakenya na kanisa za misheni, kuanzisha Kwa makanisa yenye misingi yake katika uafrika pamoja na masuala ya kidini ya vuguvugu la maumau, yote yalikuwa mazao ya uhasama wa kitamaduni ulioasisiwa na haja ya wamisheni ya kumbadili mwafrika. Makanisa mbalimbali yaliyoanza yaliwa na uhusiano na wamisheni na baadaye kujitenga yalijaribu kuanzisha mfumo wa maombi na elimu ambao ulikuwa sambamba na uliohusiana na matamanio ya jamii ya kiafrika huku yakijumuisha baadhi ya tamaduni za kiafrika katika kuabudu na maisha ya Kila siku. Siku hizi, kanisa nchini Kenya ni zao la wamisheni kutoka bara uropa. Wamisheni walikuwa sehemu ya mchakato wa historia yetu yaani majilio ya wakoloni. Au kwa maneno mengine, wamisheni, masetla, na wazungu wengine walikuwa maajenti wa wakoloni. Imewahi kusemekana kuwa wanabiashara kutoka ulaya na masetla walifuata miongozo iliyotolewa na wamisheni. Katika maeneo mengine barani Afrika, uongozi wa kisasa ulioasisiwa kutokana na ombi au shinikizo la wamisheni kutoka nchi ya wakoloni.
Nini hakikuwa jawabu kwa nyoyo za waafrika zilizokuwa na njaa
{ "text": [ "Elimu" ] }
4788_swa
Kule kuukubali ukristo kulimaanisha kuuasi uafrika pamoja na utamaduni wake. Kulimaanisha pia kuikataa miko na matambiko ambayo yalikuwa yanatuunganisha. Kulimaanisha kuyakubali maisha na tabia za aina Fulani kutoka bara uropa. Wamisheni walikuwa wameshambulia maisha ya jamii zetu na kushutumu mila na desturi za waafrika kama vile nyimbo na densi za kuvutia miungu mbalimbali, mambo ambayo yalitokana na misimamo Yao kuhusu Imani kama hizi. Kwa sababu hii, nchini Kenya Kwa mfano, huku waafrika wakinyanfanywa mashamba na raslimali nyingine zilizotokana na jasho lao, wamisheni nao waliwanyanganya roho zao. Hivyo basi, mwili na roho ya mwafrika ilikatwakatwa Kwa ahadi ya mazuri ya mbinguni Uropa. Elimu haikua jawabu Kwa nyoyo za waafrika zilizokuwa na njaa kwani ilitukuza maadili ya kikristo ambayo yalikuwa yamedinda kushutumu kudhulumiwa Kwa-mwafrika - kimwili na kiakili. Elimu ya kwanza aliyopata mwafrika ilikuwa ya kumwezesha kuisoma biblia ili aweze kutekeleza majukumu rahisi kama msaidizi wa wamisheni. Ndipo baadaye elimu ikaanza kuchukuliwa kama kigezo muhimu cha kujipatia kazi nzuri, kuwa na Mali na hivyo kuishia maisha mazuri, ingawa katika mfumo wa maisha ya huko uropa. Mwafrika aliyekuwa amesoma na mkristo, alikuwa tayari amejitenga na asili na utamaduni wake. Uhasama kati ya wakenya na kanisa za misheni, kuanzisha Kwa makanisa yenye misingi yake katika uafrika pamoja na masuala ya kidini ya vuguvugu la maumau, yote yalikuwa mazao ya uhasama wa kitamaduni ulioasisiwa na haja ya wamisheni ya kumbadili mwafrika. Makanisa mbalimbali yaliyoanza yaliwa na uhusiano na wamisheni na baadaye kujitenga yalijaribu kuanzisha mfumo wa maombi na elimu ambao ulikuwa sambamba na uliohusiana na matamanio ya jamii ya kiafrika huku yakijumuisha baadhi ya tamaduni za kiafrika katika kuabudu na maisha ya Kila siku. Siku hizi, kanisa nchini Kenya ni zao la wamisheni kutoka bara uropa. Wamisheni walikuwa sehemu ya mchakato wa historia yetu yaani majilio ya wakoloni. Au kwa maneno mengine, wamisheni, masetla, na wazungu wengine walikuwa maajenti wa wakoloni. Imewahi kusemekana kuwa wanabiashara kutoka ulaya na masetla walifuata miongozo iliyotolewa na wamisheni. Katika maeneo mengine barani Afrika, uongozi wa kisasa ulioasisiwa kutokana na ombi au shinikizo la wamisheni kutoka nchi ya wakoloni.
Baadaye elimu ilianza kuchukuliwa kama kigezo muhimu cha kujipatia nini
{ "text": [ "Kazi nzuri" ] }
4788_swa
Kule kuukubali ukristo kulimaanisha kuuasi uafrika pamoja na utamaduni wake. Kulimaanisha pia kuikataa miko na matambiko ambayo yalikuwa yanatuunganisha. Kulimaanisha kuyakubali maisha na tabia za aina Fulani kutoka bara uropa. Wamisheni walikuwa wameshambulia maisha ya jamii zetu na kushutumu mila na desturi za waafrika kama vile nyimbo na densi za kuvutia miungu mbalimbali, mambo ambayo yalitokana na misimamo Yao kuhusu Imani kama hizi. Kwa sababu hii, nchini Kenya Kwa mfano, huku waafrika wakinyanfanywa mashamba na raslimali nyingine zilizotokana na jasho lao, wamisheni nao waliwanyanganya roho zao. Hivyo basi, mwili na roho ya mwafrika ilikatwakatwa Kwa ahadi ya mazuri ya mbinguni Uropa. Elimu haikua jawabu Kwa nyoyo za waafrika zilizokuwa na njaa kwani ilitukuza maadili ya kikristo ambayo yalikuwa yamedinda kushutumu kudhulumiwa Kwa-mwafrika - kimwili na kiakili. Elimu ya kwanza aliyopata mwafrika ilikuwa ya kumwezesha kuisoma biblia ili aweze kutekeleza majukumu rahisi kama msaidizi wa wamisheni. Ndipo baadaye elimu ikaanza kuchukuliwa kama kigezo muhimu cha kujipatia kazi nzuri, kuwa na Mali na hivyo kuishia maisha mazuri, ingawa katika mfumo wa maisha ya huko uropa. Mwafrika aliyekuwa amesoma na mkristo, alikuwa tayari amejitenga na asili na utamaduni wake. Uhasama kati ya wakenya na kanisa za misheni, kuanzisha Kwa makanisa yenye misingi yake katika uafrika pamoja na masuala ya kidini ya vuguvugu la maumau, yote yalikuwa mazao ya uhasama wa kitamaduni ulioasisiwa na haja ya wamisheni ya kumbadili mwafrika. Makanisa mbalimbali yaliyoanza yaliwa na uhusiano na wamisheni na baadaye kujitenga yalijaribu kuanzisha mfumo wa maombi na elimu ambao ulikuwa sambamba na uliohusiana na matamanio ya jamii ya kiafrika huku yakijumuisha baadhi ya tamaduni za kiafrika katika kuabudu na maisha ya Kila siku. Siku hizi, kanisa nchini Kenya ni zao la wamisheni kutoka bara uropa. Wamisheni walikuwa sehemu ya mchakato wa historia yetu yaani majilio ya wakoloni. Au kwa maneno mengine, wamisheni, masetla, na wazungu wengine walikuwa maajenti wa wakoloni. Imewahi kusemekana kuwa wanabiashara kutoka ulaya na masetla walifuata miongozo iliyotolewa na wamisheni. Katika maeneo mengine barani Afrika, uongozi wa kisasa ulioasisiwa kutokana na ombi au shinikizo la wamisheni kutoka nchi ya wakoloni.
Siku hizi, kanisa nchini Kenya ni zao la wamisheni kutoka wapi
{ "text": [ "Bara Uropa" ] }
4789_swa
LISHE BORA Chakula ni kitu Cha muhimu katika maisha ya Kila mwanadamu. Kila mtu hukubaliana na hili. Aidha, jambo la muhimu sana sio jinsi inavyoandaliwa Wala kipimo iliwapo. La muhimu zaidi ni kuweza kupata lishe bora. Mara nyingi Madaktari na Wanasayansi wanasisitiza ya kwamba Kila mtu anafaa kula vyakula mbalimbali ili kupata virutubisho vinavyohitajika mwilini. Virutubisho husaidia katika kukinga mwili dhidi ya magonjwa na pia kuwezesha mwili kukua ipasavyo. Kwa hivyo hili ni jambo linalopaswa kupewa kipao mbele katika Kila jamii Dunia nzima. Ijapokuwa mara nyingi watu wameendelea kupuuza haya, wadau katika wizara ya afya wanaendelea kusisitiza umuhimu wake. Watoto Kwa vijana na hata wakongwe wanapaswa kupata lishe bora ili tuweze kuwa na jamii yenye afya nzuri. Wadau husema ya kwamba jamii yenye afya njema ndiyo hufanya kazi Bora. Tukiangazia lishe bora, tunaagalia vyakula vingi vinavyoleta virutubisho tofauti tofauti. Kwa kawaida Kuna aina tatu ya vyakula huangaziwa Sana katika idara hili. Kwanza ni kabohidrati. Vyakula vya aina hii ni kama mahindi, Mchele na kadhalika. Kazi ya kabohidrati Sana Sana ni kupeana nguvu mwilini. Pili Kuna protini. Hii husaidia katika ukuaji na kuimarisha mwili. Protini hupatikana katika vyakula vinavyotokana na mimea na hata katika wanyama. Zinazotokana na mimea ni kama maharagwe ilhali protini ambazo hupatikana katika wanyama ni nyama, mayai na mengine. Tatu ni vitamini. Kazi yake haswa inayojulikana ni kusaidia mwili ili vidonda viweze kupona haraka. Vitamini hupatikana Sana katika matunda na mboga. Kulingana na kazi ya chakula mbalimbali mwilini, Kila mtu yapaswa kuzingatia wanaosema wahudumu wa afya. Swala la muhimu Sasa ni kwa nini watu hawatilii maanani swala hili la lishe bora? Kulingana na utafiti mbalimbali, takwimu yaonyesha kuwa ni wachache mno huzingatatia na kufuata jinsi ya kula ipasavyo. Wengi wa wale wanaofanya hivyo ni wale wako na uwezo kifedha. Hi ni kwa sababu wasio na uwezo kifedha mara nyingi husema Bora uhai. Kwa hivyo hununua tu aina mbili ya vyakula au Moja isiyoweza kuwapea virutubisho vipasavyo. Wao husema Bora wamepata kutoa makali ya njaa na kupata kushiba. Kwa hivyo Kinga mwilini inakosekana. Pia utapata ya kwamba wanakosa afya njema. Sasa wanakuwa rahisi wa kupatwa na magonjwa mbalimbali. Ukosefu wa fedha na uhaba wa vyakula ndio chanzo kuu cha ukosefu wa lishe bora. Wengi husema ya kwamba vyakula vimekuwa bei Kali haswa matunda. Kwa hivyo utapata wale walio ma mapato ya chini watakosa kuyanunua matunda Kwa sababu ya bei. Kwa mfano wanaoishi katika mitaa ya mabanda wengi wao hula tu matunda wakienda vijijini. Hii ni kwa sababu bei ya tunda Moja huenda ukawa ndio ya kununua chakula Cha kutosha Kwa siku mzima katika familia Moja. Ingawa watu hawazingatii haya, umuhimu wa lishe bora umedhihirika wazi wakati huu wa korona. Mtu yeyote aliyepatwa na ugonjwa huu aliambiwa Moja wapo ya tiba ama hoja muhimu ni kupata kula ipasavyo na kunywa maji mingi. Kwa hivyo wagonjwa wengi wamejaribu kufanya hivyo na matokeo Yao yamekuwa Bora. Kulingana na hayo yote, watu wengi wamegundua ya kwamba lishe bora ni kitu cha muhimu sio tu wakati huu wa korona, Bali katika Kila Hali ili mtu awe na afya njema na kuweza kupata Kinga dhidi ya magonjwa.
Kitu cha muhimu katika maisha ya mwanadamu ni gani
{ "text": [ "Chakula" ] }
4789_swa
LISHE BORA Chakula ni kitu Cha muhimu katika maisha ya Kila mwanadamu. Kila mtu hukubaliana na hili. Aidha, jambo la muhimu sana sio jinsi inavyoandaliwa Wala kipimo iliwapo. La muhimu zaidi ni kuweza kupata lishe bora. Mara nyingi Madaktari na Wanasayansi wanasisitiza ya kwamba Kila mtu anafaa kula vyakula mbalimbali ili kupata virutubisho vinavyohitajika mwilini. Virutubisho husaidia katika kukinga mwili dhidi ya magonjwa na pia kuwezesha mwili kukua ipasavyo. Kwa hivyo hili ni jambo linalopaswa kupewa kipao mbele katika Kila jamii Dunia nzima. Ijapokuwa mara nyingi watu wameendelea kupuuza haya, wadau katika wizara ya afya wanaendelea kusisitiza umuhimu wake. Watoto Kwa vijana na hata wakongwe wanapaswa kupata lishe bora ili tuweze kuwa na jamii yenye afya nzuri. Wadau husema ya kwamba jamii yenye afya njema ndiyo hufanya kazi Bora. Tukiangazia lishe bora, tunaagalia vyakula vingi vinavyoleta virutubisho tofauti tofauti. Kwa kawaida Kuna aina tatu ya vyakula huangaziwa Sana katika idara hili. Kwanza ni kabohidrati. Vyakula vya aina hii ni kama mahindi, Mchele na kadhalika. Kazi ya kabohidrati Sana Sana ni kupeana nguvu mwilini. Pili Kuna protini. Hii husaidia katika ukuaji na kuimarisha mwili. Protini hupatikana katika vyakula vinavyotokana na mimea na hata katika wanyama. Zinazotokana na mimea ni kama maharagwe ilhali protini ambazo hupatikana katika wanyama ni nyama, mayai na mengine. Tatu ni vitamini. Kazi yake haswa inayojulikana ni kusaidia mwili ili vidonda viweze kupona haraka. Vitamini hupatikana Sana katika matunda na mboga. Kulingana na kazi ya chakula mbalimbali mwilini, Kila mtu yapaswa kuzingatia wanaosema wahudumu wa afya. Swala la muhimu Sasa ni kwa nini watu hawatilii maanani swala hili la lishe bora? Kulingana na utafiti mbalimbali, takwimu yaonyesha kuwa ni wachache mno huzingatatia na kufuata jinsi ya kula ipasavyo. Wengi wa wale wanaofanya hivyo ni wale wako na uwezo kifedha. Hi ni kwa sababu wasio na uwezo kifedha mara nyingi husema Bora uhai. Kwa hivyo hununua tu aina mbili ya vyakula au Moja isiyoweza kuwapea virutubisho vipasavyo. Wao husema Bora wamepata kutoa makali ya njaa na kupata kushiba. Kwa hivyo Kinga mwilini inakosekana. Pia utapata ya kwamba wanakosa afya njema. Sasa wanakuwa rahisi wa kupatwa na magonjwa mbalimbali. Ukosefu wa fedha na uhaba wa vyakula ndio chanzo kuu cha ukosefu wa lishe bora. Wengi husema ya kwamba vyakula vimekuwa bei Kali haswa matunda. Kwa hivyo utapata wale walio ma mapato ya chini watakosa kuyanunua matunda Kwa sababu ya bei. Kwa mfano wanaoishi katika mitaa ya mabanda wengi wao hula tu matunda wakienda vijijini. Hii ni kwa sababu bei ya tunda Moja huenda ukawa ndio ya kununua chakula Cha kutosha Kwa siku mzima katika familia Moja. Ingawa watu hawazingatii haya, umuhimu wa lishe bora umedhihirika wazi wakati huu wa korona. Mtu yeyote aliyepatwa na ugonjwa huu aliambiwa Moja wapo ya tiba ama hoja muhimu ni kupata kula ipasavyo na kunywa maji mingi. Kwa hivyo wagonjwa wengi wamejaribu kufanya hivyo na matokeo Yao yamekuwa Bora. Kulingana na hayo yote, watu wengi wamegundua ya kwamba lishe bora ni kitu cha muhimu sio tu wakati huu wa korona, Bali katika Kila Hali ili mtu awe na afya njema na kuweza kupata Kinga dhidi ya magonjwa.
Nini husaidia kinga ya mwili dhidi ya magonjwa
{ "text": [ "Virutubishi" ] }
4789_swa
LISHE BORA Chakula ni kitu Cha muhimu katika maisha ya Kila mwanadamu. Kila mtu hukubaliana na hili. Aidha, jambo la muhimu sana sio jinsi inavyoandaliwa Wala kipimo iliwapo. La muhimu zaidi ni kuweza kupata lishe bora. Mara nyingi Madaktari na Wanasayansi wanasisitiza ya kwamba Kila mtu anafaa kula vyakula mbalimbali ili kupata virutubisho vinavyohitajika mwilini. Virutubisho husaidia katika kukinga mwili dhidi ya magonjwa na pia kuwezesha mwili kukua ipasavyo. Kwa hivyo hili ni jambo linalopaswa kupewa kipao mbele katika Kila jamii Dunia nzima. Ijapokuwa mara nyingi watu wameendelea kupuuza haya, wadau katika wizara ya afya wanaendelea kusisitiza umuhimu wake. Watoto Kwa vijana na hata wakongwe wanapaswa kupata lishe bora ili tuweze kuwa na jamii yenye afya nzuri. Wadau husema ya kwamba jamii yenye afya njema ndiyo hufanya kazi Bora. Tukiangazia lishe bora, tunaagalia vyakula vingi vinavyoleta virutubisho tofauti tofauti. Kwa kawaida Kuna aina tatu ya vyakula huangaziwa Sana katika idara hili. Kwanza ni kabohidrati. Vyakula vya aina hii ni kama mahindi, Mchele na kadhalika. Kazi ya kabohidrati Sana Sana ni kupeana nguvu mwilini. Pili Kuna protini. Hii husaidia katika ukuaji na kuimarisha mwili. Protini hupatikana katika vyakula vinavyotokana na mimea na hata katika wanyama. Zinazotokana na mimea ni kama maharagwe ilhali protini ambazo hupatikana katika wanyama ni nyama, mayai na mengine. Tatu ni vitamini. Kazi yake haswa inayojulikana ni kusaidia mwili ili vidonda viweze kupona haraka. Vitamini hupatikana Sana katika matunda na mboga. Kulingana na kazi ya chakula mbalimbali mwilini, Kila mtu yapaswa kuzingatia wanaosema wahudumu wa afya. Swala la muhimu Sasa ni kwa nini watu hawatilii maanani swala hili la lishe bora? Kulingana na utafiti mbalimbali, takwimu yaonyesha kuwa ni wachache mno huzingatatia na kufuata jinsi ya kula ipasavyo. Wengi wa wale wanaofanya hivyo ni wale wako na uwezo kifedha. Hi ni kwa sababu wasio na uwezo kifedha mara nyingi husema Bora uhai. Kwa hivyo hununua tu aina mbili ya vyakula au Moja isiyoweza kuwapea virutubisho vipasavyo. Wao husema Bora wamepata kutoa makali ya njaa na kupata kushiba. Kwa hivyo Kinga mwilini inakosekana. Pia utapata ya kwamba wanakosa afya njema. Sasa wanakuwa rahisi wa kupatwa na magonjwa mbalimbali. Ukosefu wa fedha na uhaba wa vyakula ndio chanzo kuu cha ukosefu wa lishe bora. Wengi husema ya kwamba vyakula vimekuwa bei Kali haswa matunda. Kwa hivyo utapata wale walio ma mapato ya chini watakosa kuyanunua matunda Kwa sababu ya bei. Kwa mfano wanaoishi katika mitaa ya mabanda wengi wao hula tu matunda wakienda vijijini. Hii ni kwa sababu bei ya tunda Moja huenda ukawa ndio ya kununua chakula Cha kutosha Kwa siku mzima katika familia Moja. Ingawa watu hawazingatii haya, umuhimu wa lishe bora umedhihirika wazi wakati huu wa korona. Mtu yeyote aliyepatwa na ugonjwa huu aliambiwa Moja wapo ya tiba ama hoja muhimu ni kupata kula ipasavyo na kunywa maji mingi. Kwa hivyo wagonjwa wengi wamejaribu kufanya hivyo na matokeo Yao yamekuwa Bora. Kulingana na hayo yote, watu wengi wamegundua ya kwamba lishe bora ni kitu cha muhimu sio tu wakati huu wa korona, Bali katika Kila Hali ili mtu awe na afya njema na kuweza kupata Kinga dhidi ya magonjwa.
Ni nani wanastahili lishe bora
{ "text": [ "Watoto, vijana na hata vikongwe" ] }
4789_swa
LISHE BORA Chakula ni kitu Cha muhimu katika maisha ya Kila mwanadamu. Kila mtu hukubaliana na hili. Aidha, jambo la muhimu sana sio jinsi inavyoandaliwa Wala kipimo iliwapo. La muhimu zaidi ni kuweza kupata lishe bora. Mara nyingi Madaktari na Wanasayansi wanasisitiza ya kwamba Kila mtu anafaa kula vyakula mbalimbali ili kupata virutubisho vinavyohitajika mwilini. Virutubisho husaidia katika kukinga mwili dhidi ya magonjwa na pia kuwezesha mwili kukua ipasavyo. Kwa hivyo hili ni jambo linalopaswa kupewa kipao mbele katika Kila jamii Dunia nzima. Ijapokuwa mara nyingi watu wameendelea kupuuza haya, wadau katika wizara ya afya wanaendelea kusisitiza umuhimu wake. Watoto Kwa vijana na hata wakongwe wanapaswa kupata lishe bora ili tuweze kuwa na jamii yenye afya nzuri. Wadau husema ya kwamba jamii yenye afya njema ndiyo hufanya kazi Bora. Tukiangazia lishe bora, tunaagalia vyakula vingi vinavyoleta virutubisho tofauti tofauti. Kwa kawaida Kuna aina tatu ya vyakula huangaziwa Sana katika idara hili. Kwanza ni kabohidrati. Vyakula vya aina hii ni kama mahindi, Mchele na kadhalika. Kazi ya kabohidrati Sana Sana ni kupeana nguvu mwilini. Pili Kuna protini. Hii husaidia katika ukuaji na kuimarisha mwili. Protini hupatikana katika vyakula vinavyotokana na mimea na hata katika wanyama. Zinazotokana na mimea ni kama maharagwe ilhali protini ambazo hupatikana katika wanyama ni nyama, mayai na mengine. Tatu ni vitamini. Kazi yake haswa inayojulikana ni kusaidia mwili ili vidonda viweze kupona haraka. Vitamini hupatikana Sana katika matunda na mboga. Kulingana na kazi ya chakula mbalimbali mwilini, Kila mtu yapaswa kuzingatia wanaosema wahudumu wa afya. Swala la muhimu Sasa ni kwa nini watu hawatilii maanani swala hili la lishe bora? Kulingana na utafiti mbalimbali, takwimu yaonyesha kuwa ni wachache mno huzingatatia na kufuata jinsi ya kula ipasavyo. Wengi wa wale wanaofanya hivyo ni wale wako na uwezo kifedha. Hi ni kwa sababu wasio na uwezo kifedha mara nyingi husema Bora uhai. Kwa hivyo hununua tu aina mbili ya vyakula au Moja isiyoweza kuwapea virutubisho vipasavyo. Wao husema Bora wamepata kutoa makali ya njaa na kupata kushiba. Kwa hivyo Kinga mwilini inakosekana. Pia utapata ya kwamba wanakosa afya njema. Sasa wanakuwa rahisi wa kupatwa na magonjwa mbalimbali. Ukosefu wa fedha na uhaba wa vyakula ndio chanzo kuu cha ukosefu wa lishe bora. Wengi husema ya kwamba vyakula vimekuwa bei Kali haswa matunda. Kwa hivyo utapata wale walio ma mapato ya chini watakosa kuyanunua matunda Kwa sababu ya bei. Kwa mfano wanaoishi katika mitaa ya mabanda wengi wao hula tu matunda wakienda vijijini. Hii ni kwa sababu bei ya tunda Moja huenda ukawa ndio ya kununua chakula Cha kutosha Kwa siku mzima katika familia Moja. Ingawa watu hawazingatii haya, umuhimu wa lishe bora umedhihirika wazi wakati huu wa korona. Mtu yeyote aliyepatwa na ugonjwa huu aliambiwa Moja wapo ya tiba ama hoja muhimu ni kupata kula ipasavyo na kunywa maji mingi. Kwa hivyo wagonjwa wengi wamejaribu kufanya hivyo na matokeo Yao yamekuwa Bora. Kulingana na hayo yote, watu wengi wamegundua ya kwamba lishe bora ni kitu cha muhimu sio tu wakati huu wa korona, Bali katika Kila Hali ili mtu awe na afya njema na kuweza kupata Kinga dhidi ya magonjwa.
Taja aina tatu ya vyakula vinavyoleta virutubishi mwilini
{ "text": [ "Kabohidrati, protini, na vitamini" ] }
4789_swa
LISHE BORA Chakula ni kitu Cha muhimu katika maisha ya Kila mwanadamu. Kila mtu hukubaliana na hili. Aidha, jambo la muhimu sana sio jinsi inavyoandaliwa Wala kipimo iliwapo. La muhimu zaidi ni kuweza kupata lishe bora. Mara nyingi Madaktari na Wanasayansi wanasisitiza ya kwamba Kila mtu anafaa kula vyakula mbalimbali ili kupata virutubisho vinavyohitajika mwilini. Virutubisho husaidia katika kukinga mwili dhidi ya magonjwa na pia kuwezesha mwili kukua ipasavyo. Kwa hivyo hili ni jambo linalopaswa kupewa kipao mbele katika Kila jamii Dunia nzima. Ijapokuwa mara nyingi watu wameendelea kupuuza haya, wadau katika wizara ya afya wanaendelea kusisitiza umuhimu wake. Watoto Kwa vijana na hata wakongwe wanapaswa kupata lishe bora ili tuweze kuwa na jamii yenye afya nzuri. Wadau husema ya kwamba jamii yenye afya njema ndiyo hufanya kazi Bora. Tukiangazia lishe bora, tunaagalia vyakula vingi vinavyoleta virutubisho tofauti tofauti. Kwa kawaida Kuna aina tatu ya vyakula huangaziwa Sana katika idara hili. Kwanza ni kabohidrati. Vyakula vya aina hii ni kama mahindi, Mchele na kadhalika. Kazi ya kabohidrati Sana Sana ni kupeana nguvu mwilini. Pili Kuna protini. Hii husaidia katika ukuaji na kuimarisha mwili. Protini hupatikana katika vyakula vinavyotokana na mimea na hata katika wanyama. Zinazotokana na mimea ni kama maharagwe ilhali protini ambazo hupatikana katika wanyama ni nyama, mayai na mengine. Tatu ni vitamini. Kazi yake haswa inayojulikana ni kusaidia mwili ili vidonda viweze kupona haraka. Vitamini hupatikana Sana katika matunda na mboga. Kulingana na kazi ya chakula mbalimbali mwilini, Kila mtu yapaswa kuzingatia wanaosema wahudumu wa afya. Swala la muhimu Sasa ni kwa nini watu hawatilii maanani swala hili la lishe bora? Kulingana na utafiti mbalimbali, takwimu yaonyesha kuwa ni wachache mno huzingatatia na kufuata jinsi ya kula ipasavyo. Wengi wa wale wanaofanya hivyo ni wale wako na uwezo kifedha. Hi ni kwa sababu wasio na uwezo kifedha mara nyingi husema Bora uhai. Kwa hivyo hununua tu aina mbili ya vyakula au Moja isiyoweza kuwapea virutubisho vipasavyo. Wao husema Bora wamepata kutoa makali ya njaa na kupata kushiba. Kwa hivyo Kinga mwilini inakosekana. Pia utapata ya kwamba wanakosa afya njema. Sasa wanakuwa rahisi wa kupatwa na magonjwa mbalimbali. Ukosefu wa fedha na uhaba wa vyakula ndio chanzo kuu cha ukosefu wa lishe bora. Wengi husema ya kwamba vyakula vimekuwa bei Kali haswa matunda. Kwa hivyo utapata wale walio ma mapato ya chini watakosa kuyanunua matunda Kwa sababu ya bei. Kwa mfano wanaoishi katika mitaa ya mabanda wengi wao hula tu matunda wakienda vijijini. Hii ni kwa sababu bei ya tunda Moja huenda ukawa ndio ya kununua chakula Cha kutosha Kwa siku mzima katika familia Moja. Ingawa watu hawazingatii haya, umuhimu wa lishe bora umedhihirika wazi wakati huu wa korona. Mtu yeyote aliyepatwa na ugonjwa huu aliambiwa Moja wapo ya tiba ama hoja muhimu ni kupata kula ipasavyo na kunywa maji mingi. Kwa hivyo wagonjwa wengi wamejaribu kufanya hivyo na matokeo Yao yamekuwa Bora. Kulingana na hayo yote, watu wengi wamegundua ya kwamba lishe bora ni kitu cha muhimu sio tu wakati huu wa korona, Bali katika Kila Hali ili mtu awe na afya njema na kuweza kupata Kinga dhidi ya magonjwa.
Kwa nini ni watu wachache huzingatia lishe bora
{ "text": [ "Ukosefu wa kifedha" ] }
4791_swa
Madhara ya mashambulizi Nchi nyingi zimeshuhudia mashambulizi ya mara kwa mara. Japo nchi nyingi zimejitahidi katika kudhibiti mashambulizi, hayajaweza kuondoa kabisa. Barani afrika, nchi nyingi bado zinatatizwa na hili. Sababu nyingi huchangia katika suala hili . Mojawapo ya sababu hizo ni kutokuwa na uhusiano mwema baina ya mataifa jirani. Ukosefu wa utangamano na amani katika nchi jirani huchangia katika uadui huu. Ugomvi kati ya nchi mbili pia unaosababishwa na utata wa mipaka na sababu nyinginezo. Hali hii imeshuhudiwa hasa ugomvi wa hivi punde wa mpaka wa bahari kati ya taifa la Kenya na somalia. Utata huu umesababisha athari nyingi katika mataifa haya mawili. Jamii hupatwa na madhara mengi sana mashambulizi yanapotokea. Madhara ya mashambulizi huathiri sekta mbalimbali katika taifa husika na hata jirani. Miongoni mwazo ni kama, sekta ya uchumi, ya usalama na nyingi nyinginezo. Mashambulizi huweza kuzorotesha uchumi wa taifa na mataifa. Rasilimali za kiuchumi huteketezwa na kupoteza mabilioni ya fedha. Nchini Kenya, mashambulizi kama vile ya Westgate miongoni mwa mengine yaliweza kuathiri pakubwa uchumi wa taifa. Pia, barabara, mijengo, masoko huweza kuathirika pia. Watu wengi hukosa kazi Kwa sababu ya athari kama hiyo. Hasa tukizingatia watu huchangia pakubwa katika ulipaji ushuru wa nchi. Nchi hujikita katika kushughulikia suala hilo la mashambulizi na kuachilia mbali shughuli za kiuchumi na za kimaendeleo.rasilimali nyingi hutumiwa katika kudhibiti mashambulizi. Viwanda vingi vilevile huathiriwa Kwa kusimamishwa Kwa shughuli viwandani humo. Ukuaji wa viwanda hivyo na uzalishaji wa bidhaa huathirika. Hivyo, kuzorota Kwa uchumi. Mashambulizi vilevile huleta udororaji wa usalama. Wananchi huishi Kwa hofu nyingi Kwa kutokuwepo Kwa usalama.Hali ya kisiasa ya nchi pia huathirika. Ukosefu wa usalama pia husababisha kutokuwepo Kwa amani katika nchi. Jambo hili huweza kusababisha uhamaji wa watu kutoka eneo moja hadi jingine. Mashambulizi vilevile husababisha umaskini katika nchi. Wananchi Huwa maskini kwa kukosa ajira au kupoteza kazi zao. Hii ni kutokana na kuharibiwa kwa vianda na meneo ya kazi kama vile masoko. Mahali popote ambapo mashambulizi hutokea, vifo pia hutokea.watu huaga dunia kutokana na mashambulizi kama hayo. Katika shambulio la Westgate nchini Kenya,watu wengi waliaga dunia. Vilevile, katika shambulio la chuo kikuu cha garissa, watu wengi walikufa pia. Wakati wa shambulizi lolote la kigaidi, wananchi hawana habariya ujio wa shambulizi hilo. Hali hii husababisha watu wengi kuaga dunia. Mashambulizi vilevile husababisha kuzorota Kwa maendeleo ya nchi. Sekta kama vile biashara, viwanda, uimarishaji wa miundomsingi husitishwa. Uchumi ukizorota, basi maendeleo ya nchi husitishwa. Kutokuwepo wa usalama pia ni miongoni mwa vipengele vya kudhoofisha maendeleo. Mashambulizi husababisha uharibifu wa rasilimali nyingi za nchi. Masoko,viwanda,maduka, nyumba za watu wengi huharibiwa wakati mashambulizi yatukiapo. Mashambulizi ya kigaidi kwa jumla huathiri jamii kwa upana wake. Athari katika sekta mbalimbali husabisha shida nyingi katika nchi. Hali hii hupelekea shida nyingi ambazo zinawakumba wananchi. Ukosefu wa usalama, uharibifu wa rasilimali, kuzorota Kwa uchumi, vifo vya wananchi, kusitishwa Kwa maendeleo ni baadhi ya madhara ya mashambulizi yanapotokea nchini. Ipo haja ya nchi na mataifa kuwa na mbinu za kukabili na kudhibiti mashambulizi. Mbinu kabambe zinafaa kuwekwa na mataifa ili kusitisha mashambulizi hayo. Mataifa pia yanafaa yaweze kushirikiana na kuwa na ujirani mwema, ili waweze kudhibiti mashambulizi yanayotokea.
Nchi nyingi zimeshudia mashambulizi ya lini
{ "text": [ "mara kwa mara" ] }
4791_swa
Madhara ya mashambulizi Nchi nyingi zimeshuhudia mashambulizi ya mara kwa mara. Japo nchi nyingi zimejitahidi katika kudhibiti mashambulizi, hayajaweza kuondoa kabisa. Barani afrika, nchi nyingi bado zinatatizwa na hili. Sababu nyingi huchangia katika suala hili . Mojawapo ya sababu hizo ni kutokuwa na uhusiano mwema baina ya mataifa jirani. Ukosefu wa utangamano na amani katika nchi jirani huchangia katika uadui huu. Ugomvi kati ya nchi mbili pia unaosababishwa na utata wa mipaka na sababu nyinginezo. Hali hii imeshuhudiwa hasa ugomvi wa hivi punde wa mpaka wa bahari kati ya taifa la Kenya na somalia. Utata huu umesababisha athari nyingi katika mataifa haya mawili. Jamii hupatwa na madhara mengi sana mashambulizi yanapotokea. Madhara ya mashambulizi huathiri sekta mbalimbali katika taifa husika na hata jirani. Miongoni mwazo ni kama, sekta ya uchumi, ya usalama na nyingi nyinginezo. Mashambulizi huweza kuzorotesha uchumi wa taifa na mataifa. Rasilimali za kiuchumi huteketezwa na kupoteza mabilioni ya fedha. Nchini Kenya, mashambulizi kama vile ya Westgate miongoni mwa mengine yaliweza kuathiri pakubwa uchumi wa taifa. Pia, barabara, mijengo, masoko huweza kuathirika pia. Watu wengi hukosa kazi Kwa sababu ya athari kama hiyo. Hasa tukizingatia watu huchangia pakubwa katika ulipaji ushuru wa nchi. Nchi hujikita katika kushughulikia suala hilo la mashambulizi na kuachilia mbali shughuli za kiuchumi na za kimaendeleo.rasilimali nyingi hutumiwa katika kudhibiti mashambulizi. Viwanda vingi vilevile huathiriwa Kwa kusimamishwa Kwa shughuli viwandani humo. Ukuaji wa viwanda hivyo na uzalishaji wa bidhaa huathirika. Hivyo, kuzorota Kwa uchumi. Mashambulizi vilevile huleta udororaji wa usalama. Wananchi huishi Kwa hofu nyingi Kwa kutokuwepo Kwa usalama.Hali ya kisiasa ya nchi pia huathirika. Ukosefu wa usalama pia husababisha kutokuwepo Kwa amani katika nchi. Jambo hili huweza kusababisha uhamaji wa watu kutoka eneo moja hadi jingine. Mashambulizi vilevile husababisha umaskini katika nchi. Wananchi Huwa maskini kwa kukosa ajira au kupoteza kazi zao. Hii ni kutokana na kuharibiwa kwa vianda na meneo ya kazi kama vile masoko. Mahali popote ambapo mashambulizi hutokea, vifo pia hutokea.watu huaga dunia kutokana na mashambulizi kama hayo. Katika shambulio la Westgate nchini Kenya,watu wengi waliaga dunia. Vilevile, katika shambulio la chuo kikuu cha garissa, watu wengi walikufa pia. Wakati wa shambulizi lolote la kigaidi, wananchi hawana habariya ujio wa shambulizi hilo. Hali hii husababisha watu wengi kuaga dunia. Mashambulizi vilevile husababisha kuzorota Kwa maendeleo ya nchi. Sekta kama vile biashara, viwanda, uimarishaji wa miundomsingi husitishwa. Uchumi ukizorota, basi maendeleo ya nchi husitishwa. Kutokuwepo wa usalama pia ni miongoni mwa vipengele vya kudhoofisha maendeleo. Mashambulizi husababisha uharibifu wa rasilimali nyingi za nchi. Masoko,viwanda,maduka, nyumba za watu wengi huharibiwa wakati mashambulizi yatukiapo. Mashambulizi ya kigaidi kwa jumla huathiri jamii kwa upana wake. Athari katika sekta mbalimbali husabisha shida nyingi katika nchi. Hali hii hupelekea shida nyingi ambazo zinawakumba wananchi. Ukosefu wa usalama, uharibifu wa rasilimali, kuzorota Kwa uchumi, vifo vya wananchi, kusitishwa Kwa maendeleo ni baadhi ya madhara ya mashambulizi yanapotokea nchini. Ipo haja ya nchi na mataifa kuwa na mbinu za kukabili na kudhibiti mashambulizi. Mbinu kabambe zinafaa kuwekwa na mataifa ili kusitisha mashambulizi hayo. Mataifa pia yanafaa yaweze kushirikiana na kuwa na ujirani mwema, ili waweze kudhibiti mashambulizi yanayotokea.
Hakujakuwa na uhusiamo mwema baina ya mataifa gani
{ "text": [ "jirani" ] }
4791_swa
Madhara ya mashambulizi Nchi nyingi zimeshuhudia mashambulizi ya mara kwa mara. Japo nchi nyingi zimejitahidi katika kudhibiti mashambulizi, hayajaweza kuondoa kabisa. Barani afrika, nchi nyingi bado zinatatizwa na hili. Sababu nyingi huchangia katika suala hili . Mojawapo ya sababu hizo ni kutokuwa na uhusiano mwema baina ya mataifa jirani. Ukosefu wa utangamano na amani katika nchi jirani huchangia katika uadui huu. Ugomvi kati ya nchi mbili pia unaosababishwa na utata wa mipaka na sababu nyinginezo. Hali hii imeshuhudiwa hasa ugomvi wa hivi punde wa mpaka wa bahari kati ya taifa la Kenya na somalia. Utata huu umesababisha athari nyingi katika mataifa haya mawili. Jamii hupatwa na madhara mengi sana mashambulizi yanapotokea. Madhara ya mashambulizi huathiri sekta mbalimbali katika taifa husika na hata jirani. Miongoni mwazo ni kama, sekta ya uchumi, ya usalama na nyingi nyinginezo. Mashambulizi huweza kuzorotesha uchumi wa taifa na mataifa. Rasilimali za kiuchumi huteketezwa na kupoteza mabilioni ya fedha. Nchini Kenya, mashambulizi kama vile ya Westgate miongoni mwa mengine yaliweza kuathiri pakubwa uchumi wa taifa. Pia, barabara, mijengo, masoko huweza kuathirika pia. Watu wengi hukosa kazi Kwa sababu ya athari kama hiyo. Hasa tukizingatia watu huchangia pakubwa katika ulipaji ushuru wa nchi. Nchi hujikita katika kushughulikia suala hilo la mashambulizi na kuachilia mbali shughuli za kiuchumi na za kimaendeleo.rasilimali nyingi hutumiwa katika kudhibiti mashambulizi. Viwanda vingi vilevile huathiriwa Kwa kusimamishwa Kwa shughuli viwandani humo. Ukuaji wa viwanda hivyo na uzalishaji wa bidhaa huathirika. Hivyo, kuzorota Kwa uchumi. Mashambulizi vilevile huleta udororaji wa usalama. Wananchi huishi Kwa hofu nyingi Kwa kutokuwepo Kwa usalama.Hali ya kisiasa ya nchi pia huathirika. Ukosefu wa usalama pia husababisha kutokuwepo Kwa amani katika nchi. Jambo hili huweza kusababisha uhamaji wa watu kutoka eneo moja hadi jingine. Mashambulizi vilevile husababisha umaskini katika nchi. Wananchi Huwa maskini kwa kukosa ajira au kupoteza kazi zao. Hii ni kutokana na kuharibiwa kwa vianda na meneo ya kazi kama vile masoko. Mahali popote ambapo mashambulizi hutokea, vifo pia hutokea.watu huaga dunia kutokana na mashambulizi kama hayo. Katika shambulio la Westgate nchini Kenya,watu wengi waliaga dunia. Vilevile, katika shambulio la chuo kikuu cha garissa, watu wengi walikufa pia. Wakati wa shambulizi lolote la kigaidi, wananchi hawana habariya ujio wa shambulizi hilo. Hali hii husababisha watu wengi kuaga dunia. Mashambulizi vilevile husababisha kuzorota Kwa maendeleo ya nchi. Sekta kama vile biashara, viwanda, uimarishaji wa miundomsingi husitishwa. Uchumi ukizorota, basi maendeleo ya nchi husitishwa. Kutokuwepo wa usalama pia ni miongoni mwa vipengele vya kudhoofisha maendeleo. Mashambulizi husababisha uharibifu wa rasilimali nyingi za nchi. Masoko,viwanda,maduka, nyumba za watu wengi huharibiwa wakati mashambulizi yatukiapo. Mashambulizi ya kigaidi kwa jumla huathiri jamii kwa upana wake. Athari katika sekta mbalimbali husabisha shida nyingi katika nchi. Hali hii hupelekea shida nyingi ambazo zinawakumba wananchi. Ukosefu wa usalama, uharibifu wa rasilimali, kuzorota Kwa uchumi, vifo vya wananchi, kusitishwa Kwa maendeleo ni baadhi ya madhara ya mashambulizi yanapotokea nchini. Ipo haja ya nchi na mataifa kuwa na mbinu za kukabili na kudhibiti mashambulizi. Mbinu kabambe zinafaa kuwekwa na mataifa ili kusitisha mashambulizi hayo. Mataifa pia yanafaa yaweze kushirikiana na kuwa na ujirani mwema, ili waweze kudhibiti mashambulizi yanayotokea.
Mashambulizi huleta udororaji wa nini
{ "text": [ "usalama" ] }
4791_swa
Madhara ya mashambulizi Nchi nyingi zimeshuhudia mashambulizi ya mara kwa mara. Japo nchi nyingi zimejitahidi katika kudhibiti mashambulizi, hayajaweza kuondoa kabisa. Barani afrika, nchi nyingi bado zinatatizwa na hili. Sababu nyingi huchangia katika suala hili . Mojawapo ya sababu hizo ni kutokuwa na uhusiano mwema baina ya mataifa jirani. Ukosefu wa utangamano na amani katika nchi jirani huchangia katika uadui huu. Ugomvi kati ya nchi mbili pia unaosababishwa na utata wa mipaka na sababu nyinginezo. Hali hii imeshuhudiwa hasa ugomvi wa hivi punde wa mpaka wa bahari kati ya taifa la Kenya na somalia. Utata huu umesababisha athari nyingi katika mataifa haya mawili. Jamii hupatwa na madhara mengi sana mashambulizi yanapotokea. Madhara ya mashambulizi huathiri sekta mbalimbali katika taifa husika na hata jirani. Miongoni mwazo ni kama, sekta ya uchumi, ya usalama na nyingi nyinginezo. Mashambulizi huweza kuzorotesha uchumi wa taifa na mataifa. Rasilimali za kiuchumi huteketezwa na kupoteza mabilioni ya fedha. Nchini Kenya, mashambulizi kama vile ya Westgate miongoni mwa mengine yaliweza kuathiri pakubwa uchumi wa taifa. Pia, barabara, mijengo, masoko huweza kuathirika pia. Watu wengi hukosa kazi Kwa sababu ya athari kama hiyo. Hasa tukizingatia watu huchangia pakubwa katika ulipaji ushuru wa nchi. Nchi hujikita katika kushughulikia suala hilo la mashambulizi na kuachilia mbali shughuli za kiuchumi na za kimaendeleo.rasilimali nyingi hutumiwa katika kudhibiti mashambulizi. Viwanda vingi vilevile huathiriwa Kwa kusimamishwa Kwa shughuli viwandani humo. Ukuaji wa viwanda hivyo na uzalishaji wa bidhaa huathirika. Hivyo, kuzorota Kwa uchumi. Mashambulizi vilevile huleta udororaji wa usalama. Wananchi huishi Kwa hofu nyingi Kwa kutokuwepo Kwa usalama.Hali ya kisiasa ya nchi pia huathirika. Ukosefu wa usalama pia husababisha kutokuwepo Kwa amani katika nchi. Jambo hili huweza kusababisha uhamaji wa watu kutoka eneo moja hadi jingine. Mashambulizi vilevile husababisha umaskini katika nchi. Wananchi Huwa maskini kwa kukosa ajira au kupoteza kazi zao. Hii ni kutokana na kuharibiwa kwa vianda na meneo ya kazi kama vile masoko. Mahali popote ambapo mashambulizi hutokea, vifo pia hutokea.watu huaga dunia kutokana na mashambulizi kama hayo. Katika shambulio la Westgate nchini Kenya,watu wengi waliaga dunia. Vilevile, katika shambulio la chuo kikuu cha garissa, watu wengi walikufa pia. Wakati wa shambulizi lolote la kigaidi, wananchi hawana habariya ujio wa shambulizi hilo. Hali hii husababisha watu wengi kuaga dunia. Mashambulizi vilevile husababisha kuzorota Kwa maendeleo ya nchi. Sekta kama vile biashara, viwanda, uimarishaji wa miundomsingi husitishwa. Uchumi ukizorota, basi maendeleo ya nchi husitishwa. Kutokuwepo wa usalama pia ni miongoni mwa vipengele vya kudhoofisha maendeleo. Mashambulizi husababisha uharibifu wa rasilimali nyingi za nchi. Masoko,viwanda,maduka, nyumba za watu wengi huharibiwa wakati mashambulizi yatukiapo. Mashambulizi ya kigaidi kwa jumla huathiri jamii kwa upana wake. Athari katika sekta mbalimbali husabisha shida nyingi katika nchi. Hali hii hupelekea shida nyingi ambazo zinawakumba wananchi. Ukosefu wa usalama, uharibifu wa rasilimali, kuzorota Kwa uchumi, vifo vya wananchi, kusitishwa Kwa maendeleo ni baadhi ya madhara ya mashambulizi yanapotokea nchini. Ipo haja ya nchi na mataifa kuwa na mbinu za kukabili na kudhibiti mashambulizi. Mbinu kabambe zinafaa kuwekwa na mataifa ili kusitisha mashambulizi hayo. Mataifa pia yanafaa yaweze kushirikiana na kuwa na ujirani mwema, ili waweze kudhibiti mashambulizi yanayotokea.
Nyumba za nani huharibiwa wakati wa mashambulizi
{ "text": [ "watu wengi" ] }
4791_swa
Madhara ya mashambulizi Nchi nyingi zimeshuhudia mashambulizi ya mara kwa mara. Japo nchi nyingi zimejitahidi katika kudhibiti mashambulizi, hayajaweza kuondoa kabisa. Barani afrika, nchi nyingi bado zinatatizwa na hili. Sababu nyingi huchangia katika suala hili . Mojawapo ya sababu hizo ni kutokuwa na uhusiano mwema baina ya mataifa jirani. Ukosefu wa utangamano na amani katika nchi jirani huchangia katika uadui huu. Ugomvi kati ya nchi mbili pia unaosababishwa na utata wa mipaka na sababu nyinginezo. Hali hii imeshuhudiwa hasa ugomvi wa hivi punde wa mpaka wa bahari kati ya taifa la Kenya na somalia. Utata huu umesababisha athari nyingi katika mataifa haya mawili. Jamii hupatwa na madhara mengi sana mashambulizi yanapotokea. Madhara ya mashambulizi huathiri sekta mbalimbali katika taifa husika na hata jirani. Miongoni mwazo ni kama, sekta ya uchumi, ya usalama na nyingi nyinginezo. Mashambulizi huweza kuzorotesha uchumi wa taifa na mataifa. Rasilimali za kiuchumi huteketezwa na kupoteza mabilioni ya fedha. Nchini Kenya, mashambulizi kama vile ya Westgate miongoni mwa mengine yaliweza kuathiri pakubwa uchumi wa taifa. Pia, barabara, mijengo, masoko huweza kuathirika pia. Watu wengi hukosa kazi Kwa sababu ya athari kama hiyo. Hasa tukizingatia watu huchangia pakubwa katika ulipaji ushuru wa nchi. Nchi hujikita katika kushughulikia suala hilo la mashambulizi na kuachilia mbali shughuli za kiuchumi na za kimaendeleo.rasilimali nyingi hutumiwa katika kudhibiti mashambulizi. Viwanda vingi vilevile huathiriwa Kwa kusimamishwa Kwa shughuli viwandani humo. Ukuaji wa viwanda hivyo na uzalishaji wa bidhaa huathirika. Hivyo, kuzorota Kwa uchumi. Mashambulizi vilevile huleta udororaji wa usalama. Wananchi huishi Kwa hofu nyingi Kwa kutokuwepo Kwa usalama.Hali ya kisiasa ya nchi pia huathirika. Ukosefu wa usalama pia husababisha kutokuwepo Kwa amani katika nchi. Jambo hili huweza kusababisha uhamaji wa watu kutoka eneo moja hadi jingine. Mashambulizi vilevile husababisha umaskini katika nchi. Wananchi Huwa maskini kwa kukosa ajira au kupoteza kazi zao. Hii ni kutokana na kuharibiwa kwa vianda na meneo ya kazi kama vile masoko. Mahali popote ambapo mashambulizi hutokea, vifo pia hutokea.watu huaga dunia kutokana na mashambulizi kama hayo. Katika shambulio la Westgate nchini Kenya,watu wengi waliaga dunia. Vilevile, katika shambulio la chuo kikuu cha garissa, watu wengi walikufa pia. Wakati wa shambulizi lolote la kigaidi, wananchi hawana habariya ujio wa shambulizi hilo. Hali hii husababisha watu wengi kuaga dunia. Mashambulizi vilevile husababisha kuzorota Kwa maendeleo ya nchi. Sekta kama vile biashara, viwanda, uimarishaji wa miundomsingi husitishwa. Uchumi ukizorota, basi maendeleo ya nchi husitishwa. Kutokuwepo wa usalama pia ni miongoni mwa vipengele vya kudhoofisha maendeleo. Mashambulizi husababisha uharibifu wa rasilimali nyingi za nchi. Masoko,viwanda,maduka, nyumba za watu wengi huharibiwa wakati mashambulizi yatukiapo. Mashambulizi ya kigaidi kwa jumla huathiri jamii kwa upana wake. Athari katika sekta mbalimbali husabisha shida nyingi katika nchi. Hali hii hupelekea shida nyingi ambazo zinawakumba wananchi. Ukosefu wa usalama, uharibifu wa rasilimali, kuzorota Kwa uchumi, vifo vya wananchi, kusitishwa Kwa maendeleo ni baadhi ya madhara ya mashambulizi yanapotokea nchini. Ipo haja ya nchi na mataifa kuwa na mbinu za kukabili na kudhibiti mashambulizi. Mbinu kabambe zinafaa kuwekwa na mataifa ili kusitisha mashambulizi hayo. Mataifa pia yanafaa yaweze kushirikiana na kuwa na ujirani mwema, ili waweze kudhibiti mashambulizi yanayotokea.
Mbona mbinu kabambe zinafaa kuwekwa na mataifa
{ "text": [ "ili kusitisha mashambulizi hayo" ] }
4792_swa
VIJIMAMBO "Kenga rusha mpira! Huoooo!" Kelele za watoto waliokuwa wakicheza zilihanikiza hewani. Kwenye kijia cha mavumbi, Amina, Kenga, Joji,Fami na watoto wengine wengi walikuwa wakiuchezea mpira walioutengeneza kwa mifuko ya sandarusi. Mara "Wacha malali! Nyobweeee! Joji rusha juu." na vicheko vikahanikiza anga huku vumbi likatifuka na kupepea angani na kuunda kiwingu. Watoto watatu wa kike walikuwa wameketi kibarazani wakikoroga matope kwenye vifuu vya nazi. Wengine walikuwa wakicheza na wanasesere waliowatengeneza kwa viguguta vya mahindi. Diana alikuwa amemweka mwanasesere wake mgongoni huku akimwimbia bembezi kwa sauti nyororo. Mzee mmoja alipita katika kijia hicho ambacho watoto walikuwa wakicheza. Mpira ulirushwa na ukaangukia kwenye mkongojo wake naye akaanguka chini pu! "Yarabbi stara! Jamani miguu yangu! Pumbavu zenu! Nimebakiza siku chache tu na mnataka kunitoa roho kabla ya siku zangu!" Mzee alifoka huku watoto wakimsaidia kuinuka na kumfuta vumbi lililokolea kwenye kikoi chake. Mzee huyo alikuwa ameghadhabika akasimama na kuushika ukuta huku ameushikilia mkongojo hewani akampiga nao Kenga aliyekuwa anamfuta mavumbi. Watoto wote walitorokea mafichoni na wakarudi kuendelea na mchezo wao wakati mzee huyo alipotokomea na kujiendea zake. Mchezo ulinoga kwa nusu saa mara dirisha la mbao likafunguliwa naye Mama Jenifa akatokeza kichwa chake akifoka, "Toeni kelele zenu hapa mtaniamshia mtoto! Maluuni nyie mpaka mcheze madirishani mwa watu kwa kelele! Chezeni kwa utulivu ama nitakuja kuwapiga na bakora kisawasawa! Wenzenu wakisoma madaftari yao nyie ni kelele tu. Si hata mkalale mtulize vichwa vyenu mpate kukua! Purukushani tu huku na kule. Mmekua kama sikio la kufa hamuambiliki hamsemezeki. Sasa ole wenu, pigeni tena kelele niwatibue!" Mama Jenifa alilifunga dirisha lake kukawa kimya. Watoto wakaangaliana na kisha wakasogea mbali kidogo na dirisha huku wakijichekea kichinichini. Mchezo wa mpira uliendelea tena mara mpira ukaanguka juu ya paa la nyumba ya Mzee Mengi na kutua. Mpira huo ulikuwa hausogei na paa hilo lilikuwa juu sana kiasi cha kwamba watoto wale wasingeufikia. Baada ya kufikiri kwa muda, Joji aliwaambia wenzake warushe mawe ili waweze kuuangusha mpira chini. Katika harakati za kurusha mawe, jiwe la Fami lilimpata Maria kichwani akawa anatoka damu na kulia kwa sauti kubwa kwelikweli. Maria alikuwa miongoni mwa watoto waliokuwa wakichezea wanasesere pale kibarazani. Bi. Sada alikisikia kilio cha mwanawe na kujitundika kanga begani akatoka nje haraka. Hata viatu hakuvaa kwa haraka zake. Bi. Sada alimshika mwanaye aliyekuwa akilia huku akimwotea kidole Fami. Bi Sada alikuwa alijifunga leso yake kiunoni na kumshikilia Fami. "Twende kwa mamako mjinga we! Wataka kuniulia mwanangu, mwenyewe ndiye huyu mmoja." Bi. Sada aliandamana na Fami hadi kwao akifuatwa na kundi la watoto waliokuwa na hamu ya kujua kitakachoendelea. Mamake Fami, Bi. Safina alikuwa akiosha vyombo huku akiimbaimba wakati Bi. Sada alipokuja na vurugu na vurumai. "Habari yako Bi. Sada, kunani tena fujo la sahii mwenzangu?" aliuliza Bi. Safina. "Unaniuliza kunani? Huoni mwanao kanipasulia mwanangu kichwa? Sitaki kuongea mengi, nataka umchukue mwanangu umpeleke hospitali!" Bi. Safina alijibu, "Chonde mwenzangu, haya ni mambo ya watoto tena ya bahati mbaya, haina haja tukosane, tuyaongee kwa upole. Mwenzako sina hata shilingi hapa nilipo!" Bi. Safina alishtukia konde zito maungoni mwake kutoka kwa Bi. Sada aliyekuwa anachemka kwa hasira. Bi. Safina aliangushwa chini na kukanyagwa tumboni. Fami alikuwa akilia kwa kumuona mamake akipigwa. Umati ulijaa nyumbani kwa akina Fami huku watu wakiamua vita. Bi. Sada alishikiliwa na kijana mmoja, akawa anampiga mateke. "Niache nimfunze huyo mjinga adabu. Hawezi kumfunza mwanaye amwepuke mwanangu. Mwanangu ameumbuliwa kichwa! Amlipe!" Mume wa Bi. Sada aliwasili akamshika mkewe na kumpeleka nyumbani huku Bi. Safina akaachwa akilia kwa maumivu huku jicho lake likitoja damu.
Watoto wangapi walikuwa wameketi kibarazani
{ "text": [ "Watatu wa kike" ] }
4792_swa
VIJIMAMBO "Kenga rusha mpira! Huoooo!" Kelele za watoto waliokuwa wakicheza zilihanikiza hewani. Kwenye kijia cha mavumbi, Amina, Kenga, Joji,Fami na watoto wengine wengi walikuwa wakiuchezea mpira walioutengeneza kwa mifuko ya sandarusi. Mara "Wacha malali! Nyobweeee! Joji rusha juu." na vicheko vikahanikiza anga huku vumbi likatifuka na kupepea angani na kuunda kiwingu. Watoto watatu wa kike walikuwa wameketi kibarazani wakikoroga matope kwenye vifuu vya nazi. Wengine walikuwa wakicheza na wanasesere waliowatengeneza kwa viguguta vya mahindi. Diana alikuwa amemweka mwanasesere wake mgongoni huku akimwimbia bembezi kwa sauti nyororo. Mzee mmoja alipita katika kijia hicho ambacho watoto walikuwa wakicheza. Mpira ulirushwa na ukaangukia kwenye mkongojo wake naye akaanguka chini pu! "Yarabbi stara! Jamani miguu yangu! Pumbavu zenu! Nimebakiza siku chache tu na mnataka kunitoa roho kabla ya siku zangu!" Mzee alifoka huku watoto wakimsaidia kuinuka na kumfuta vumbi lililokolea kwenye kikoi chake. Mzee huyo alikuwa ameghadhabika akasimama na kuushika ukuta huku ameushikilia mkongojo hewani akampiga nao Kenga aliyekuwa anamfuta mavumbi. Watoto wote walitorokea mafichoni na wakarudi kuendelea na mchezo wao wakati mzee huyo alipotokomea na kujiendea zake. Mchezo ulinoga kwa nusu saa mara dirisha la mbao likafunguliwa naye Mama Jenifa akatokeza kichwa chake akifoka, "Toeni kelele zenu hapa mtaniamshia mtoto! Maluuni nyie mpaka mcheze madirishani mwa watu kwa kelele! Chezeni kwa utulivu ama nitakuja kuwapiga na bakora kisawasawa! Wenzenu wakisoma madaftari yao nyie ni kelele tu. Si hata mkalale mtulize vichwa vyenu mpate kukua! Purukushani tu huku na kule. Mmekua kama sikio la kufa hamuambiliki hamsemezeki. Sasa ole wenu, pigeni tena kelele niwatibue!" Mama Jenifa alilifunga dirisha lake kukawa kimya. Watoto wakaangaliana na kisha wakasogea mbali kidogo na dirisha huku wakijichekea kichinichini. Mchezo wa mpira uliendelea tena mara mpira ukaanguka juu ya paa la nyumba ya Mzee Mengi na kutua. Mpira huo ulikuwa hausogei na paa hilo lilikuwa juu sana kiasi cha kwamba watoto wale wasingeufikia. Baada ya kufikiri kwa muda, Joji aliwaambia wenzake warushe mawe ili waweze kuuangusha mpira chini. Katika harakati za kurusha mawe, jiwe la Fami lilimpata Maria kichwani akawa anatoka damu na kulia kwa sauti kubwa kwelikweli. Maria alikuwa miongoni mwa watoto waliokuwa wakichezea wanasesere pale kibarazani. Bi. Sada alikisikia kilio cha mwanawe na kujitundika kanga begani akatoka nje haraka. Hata viatu hakuvaa kwa haraka zake. Bi. Sada alimshika mwanaye aliyekuwa akilia huku akimwotea kidole Fami. Bi Sada alikuwa alijifunga leso yake kiunoni na kumshikilia Fami. "Twende kwa mamako mjinga we! Wataka kuniulia mwanangu, mwenyewe ndiye huyu mmoja." Bi. Sada aliandamana na Fami hadi kwao akifuatwa na kundi la watoto waliokuwa na hamu ya kujua kitakachoendelea. Mamake Fami, Bi. Safina alikuwa akiosha vyombo huku akiimbaimba wakati Bi. Sada alipokuja na vurugu na vurumai. "Habari yako Bi. Sada, kunani tena fujo la sahii mwenzangu?" aliuliza Bi. Safina. "Unaniuliza kunani? Huoni mwanao kanipasulia mwanangu kichwa? Sitaki kuongea mengi, nataka umchukue mwanangu umpeleke hospitali!" Bi. Safina alijibu, "Chonde mwenzangu, haya ni mambo ya watoto tena ya bahati mbaya, haina haja tukosane, tuyaongee kwa upole. Mwenzako sina hata shilingi hapa nilipo!" Bi. Safina alishtukia konde zito maungoni mwake kutoka kwa Bi. Sada aliyekuwa anachemka kwa hasira. Bi. Safina aliangushwa chini na kukanyagwa tumboni. Fami alikuwa akilia kwa kumuona mamake akipigwa. Umati ulijaa nyumbani kwa akina Fami huku watu wakiamua vita. Bi. Sada alishikiliwa na kijana mmoja, akawa anampiga mateke. "Niache nimfunze huyo mjinga adabu. Hawezi kumfunza mwanaye amwepuke mwanangu. Mwanangu ameumbuliwa kichwa! Amlipe!" Mume wa Bi. Sada aliwasili akamshika mkewe na kumpeleka nyumbani huku Bi. Safina akaachwa akilia kwa maumivu huku jicho lake likitoja damu.
Nani walikuwa wakiucheza mpira uliotengenezwa kwa mifuko ya sandarusi
{ "text": [ "Amina, kenga, joji na Fami" ] }
4792_swa
VIJIMAMBO "Kenga rusha mpira! Huoooo!" Kelele za watoto waliokuwa wakicheza zilihanikiza hewani. Kwenye kijia cha mavumbi, Amina, Kenga, Joji,Fami na watoto wengine wengi walikuwa wakiuchezea mpira walioutengeneza kwa mifuko ya sandarusi. Mara "Wacha malali! Nyobweeee! Joji rusha juu." na vicheko vikahanikiza anga huku vumbi likatifuka na kupepea angani na kuunda kiwingu. Watoto watatu wa kike walikuwa wameketi kibarazani wakikoroga matope kwenye vifuu vya nazi. Wengine walikuwa wakicheza na wanasesere waliowatengeneza kwa viguguta vya mahindi. Diana alikuwa amemweka mwanasesere wake mgongoni huku akimwimbia bembezi kwa sauti nyororo. Mzee mmoja alipita katika kijia hicho ambacho watoto walikuwa wakicheza. Mpira ulirushwa na ukaangukia kwenye mkongojo wake naye akaanguka chini pu! "Yarabbi stara! Jamani miguu yangu! Pumbavu zenu! Nimebakiza siku chache tu na mnataka kunitoa roho kabla ya siku zangu!" Mzee alifoka huku watoto wakimsaidia kuinuka na kumfuta vumbi lililokolea kwenye kikoi chake. Mzee huyo alikuwa ameghadhabika akasimama na kuushika ukuta huku ameushikilia mkongojo hewani akampiga nao Kenga aliyekuwa anamfuta mavumbi. Watoto wote walitorokea mafichoni na wakarudi kuendelea na mchezo wao wakati mzee huyo alipotokomea na kujiendea zake. Mchezo ulinoga kwa nusu saa mara dirisha la mbao likafunguliwa naye Mama Jenifa akatokeza kichwa chake akifoka, "Toeni kelele zenu hapa mtaniamshia mtoto! Maluuni nyie mpaka mcheze madirishani mwa watu kwa kelele! Chezeni kwa utulivu ama nitakuja kuwapiga na bakora kisawasawa! Wenzenu wakisoma madaftari yao nyie ni kelele tu. Si hata mkalale mtulize vichwa vyenu mpate kukua! Purukushani tu huku na kule. Mmekua kama sikio la kufa hamuambiliki hamsemezeki. Sasa ole wenu, pigeni tena kelele niwatibue!" Mama Jenifa alilifunga dirisha lake kukawa kimya. Watoto wakaangaliana na kisha wakasogea mbali kidogo na dirisha huku wakijichekea kichinichini. Mchezo wa mpira uliendelea tena mara mpira ukaanguka juu ya paa la nyumba ya Mzee Mengi na kutua. Mpira huo ulikuwa hausogei na paa hilo lilikuwa juu sana kiasi cha kwamba watoto wale wasingeufikia. Baada ya kufikiri kwa muda, Joji aliwaambia wenzake warushe mawe ili waweze kuuangusha mpira chini. Katika harakati za kurusha mawe, jiwe la Fami lilimpata Maria kichwani akawa anatoka damu na kulia kwa sauti kubwa kwelikweli. Maria alikuwa miongoni mwa watoto waliokuwa wakichezea wanasesere pale kibarazani. Bi. Sada alikisikia kilio cha mwanawe na kujitundika kanga begani akatoka nje haraka. Hata viatu hakuvaa kwa haraka zake. Bi. Sada alimshika mwanaye aliyekuwa akilia huku akimwotea kidole Fami. Bi Sada alikuwa alijifunga leso yake kiunoni na kumshikilia Fami. "Twende kwa mamako mjinga we! Wataka kuniulia mwanangu, mwenyewe ndiye huyu mmoja." Bi. Sada aliandamana na Fami hadi kwao akifuatwa na kundi la watoto waliokuwa na hamu ya kujua kitakachoendelea. Mamake Fami, Bi. Safina alikuwa akiosha vyombo huku akiimbaimba wakati Bi. Sada alipokuja na vurugu na vurumai. "Habari yako Bi. Sada, kunani tena fujo la sahii mwenzangu?" aliuliza Bi. Safina. "Unaniuliza kunani? Huoni mwanao kanipasulia mwanangu kichwa? Sitaki kuongea mengi, nataka umchukue mwanangu umpeleke hospitali!" Bi. Safina alijibu, "Chonde mwenzangu, haya ni mambo ya watoto tena ya bahati mbaya, haina haja tukosane, tuyaongee kwa upole. Mwenzako sina hata shilingi hapa nilipo!" Bi. Safina alishtukia konde zito maungoni mwake kutoka kwa Bi. Sada aliyekuwa anachemka kwa hasira. Bi. Safina aliangushwa chini na kukanyagwa tumboni. Fami alikuwa akilia kwa kumuona mamake akipigwa. Umati ulijaa nyumbani kwa akina Fami huku watu wakiamua vita. Bi. Sada alishikiliwa na kijana mmoja, akawa anampiga mateke. "Niache nimfunze huyo mjinga adabu. Hawezi kumfunza mwanaye amwepuke mwanangu. Mwanangu ameumbuliwa kichwa! Amlipe!" Mume wa Bi. Sada aliwasili akamshika mkewe na kumpeleka nyumbani huku Bi. Safina akaachwa akilia kwa maumivu huku jicho lake likitoja damu.
Nani aliyekuwa akimwimbia bembezi mwanasesere kwa sauti nyororo
{ "text": [ "Diana" ] }
4792_swa
VIJIMAMBO "Kenga rusha mpira! Huoooo!" Kelele za watoto waliokuwa wakicheza zilihanikiza hewani. Kwenye kijia cha mavumbi, Amina, Kenga, Joji,Fami na watoto wengine wengi walikuwa wakiuchezea mpira walioutengeneza kwa mifuko ya sandarusi. Mara "Wacha malali! Nyobweeee! Joji rusha juu." na vicheko vikahanikiza anga huku vumbi likatifuka na kupepea angani na kuunda kiwingu. Watoto watatu wa kike walikuwa wameketi kibarazani wakikoroga matope kwenye vifuu vya nazi. Wengine walikuwa wakicheza na wanasesere waliowatengeneza kwa viguguta vya mahindi. Diana alikuwa amemweka mwanasesere wake mgongoni huku akimwimbia bembezi kwa sauti nyororo. Mzee mmoja alipita katika kijia hicho ambacho watoto walikuwa wakicheza. Mpira ulirushwa na ukaangukia kwenye mkongojo wake naye akaanguka chini pu! "Yarabbi stara! Jamani miguu yangu! Pumbavu zenu! Nimebakiza siku chache tu na mnataka kunitoa roho kabla ya siku zangu!" Mzee alifoka huku watoto wakimsaidia kuinuka na kumfuta vumbi lililokolea kwenye kikoi chake. Mzee huyo alikuwa ameghadhabika akasimama na kuushika ukuta huku ameushikilia mkongojo hewani akampiga nao Kenga aliyekuwa anamfuta mavumbi. Watoto wote walitorokea mafichoni na wakarudi kuendelea na mchezo wao wakati mzee huyo alipotokomea na kujiendea zake. Mchezo ulinoga kwa nusu saa mara dirisha la mbao likafunguliwa naye Mama Jenifa akatokeza kichwa chake akifoka, "Toeni kelele zenu hapa mtaniamshia mtoto! Maluuni nyie mpaka mcheze madirishani mwa watu kwa kelele! Chezeni kwa utulivu ama nitakuja kuwapiga na bakora kisawasawa! Wenzenu wakisoma madaftari yao nyie ni kelele tu. Si hata mkalale mtulize vichwa vyenu mpate kukua! Purukushani tu huku na kule. Mmekua kama sikio la kufa hamuambiliki hamsemezeki. Sasa ole wenu, pigeni tena kelele niwatibue!" Mama Jenifa alilifunga dirisha lake kukawa kimya. Watoto wakaangaliana na kisha wakasogea mbali kidogo na dirisha huku wakijichekea kichinichini. Mchezo wa mpira uliendelea tena mara mpira ukaanguka juu ya paa la nyumba ya Mzee Mengi na kutua. Mpira huo ulikuwa hausogei na paa hilo lilikuwa juu sana kiasi cha kwamba watoto wale wasingeufikia. Baada ya kufikiri kwa muda, Joji aliwaambia wenzake warushe mawe ili waweze kuuangusha mpira chini. Katika harakati za kurusha mawe, jiwe la Fami lilimpata Maria kichwani akawa anatoka damu na kulia kwa sauti kubwa kwelikweli. Maria alikuwa miongoni mwa watoto waliokuwa wakichezea wanasesere pale kibarazani. Bi. Sada alikisikia kilio cha mwanawe na kujitundika kanga begani akatoka nje haraka. Hata viatu hakuvaa kwa haraka zake. Bi. Sada alimshika mwanaye aliyekuwa akilia huku akimwotea kidole Fami. Bi Sada alikuwa alijifunga leso yake kiunoni na kumshikilia Fami. "Twende kwa mamako mjinga we! Wataka kuniulia mwanangu, mwenyewe ndiye huyu mmoja." Bi. Sada aliandamana na Fami hadi kwao akifuatwa na kundi la watoto waliokuwa na hamu ya kujua kitakachoendelea. Mamake Fami, Bi. Safina alikuwa akiosha vyombo huku akiimbaimba wakati Bi. Sada alipokuja na vurugu na vurumai. "Habari yako Bi. Sada, kunani tena fujo la sahii mwenzangu?" aliuliza Bi. Safina. "Unaniuliza kunani? Huoni mwanao kanipasulia mwanangu kichwa? Sitaki kuongea mengi, nataka umchukue mwanangu umpeleke hospitali!" Bi. Safina alijibu, "Chonde mwenzangu, haya ni mambo ya watoto tena ya bahati mbaya, haina haja tukosane, tuyaongee kwa upole. Mwenzako sina hata shilingi hapa nilipo!" Bi. Safina alishtukia konde zito maungoni mwake kutoka kwa Bi. Sada aliyekuwa anachemka kwa hasira. Bi. Safina aliangushwa chini na kukanyagwa tumboni. Fami alikuwa akilia kwa kumuona mamake akipigwa. Umati ulijaa nyumbani kwa akina Fami huku watu wakiamua vita. Bi. Sada alishikiliwa na kijana mmoja, akawa anampiga mateke. "Niache nimfunze huyo mjinga adabu. Hawezi kumfunza mwanaye amwepuke mwanangu. Mwanangu ameumbuliwa kichwa! Amlipe!" Mume wa Bi. Sada aliwasili akamshika mkewe na kumpeleka nyumbani huku Bi. Safina akaachwa akilia kwa maumivu huku jicho lake likitoja damu.
Nani alimpiga kenga na mkongojo
{ "text": [ "Mzee" ] }
4792_swa
VIJIMAMBO "Kenga rusha mpira! Huoooo!" Kelele za watoto waliokuwa wakicheza zilihanikiza hewani. Kwenye kijia cha mavumbi, Amina, Kenga, Joji,Fami na watoto wengine wengi walikuwa wakiuchezea mpira walioutengeneza kwa mifuko ya sandarusi. Mara "Wacha malali! Nyobweeee! Joji rusha juu." na vicheko vikahanikiza anga huku vumbi likatifuka na kupepea angani na kuunda kiwingu. Watoto watatu wa kike walikuwa wameketi kibarazani wakikoroga matope kwenye vifuu vya nazi. Wengine walikuwa wakicheza na wanasesere waliowatengeneza kwa viguguta vya mahindi. Diana alikuwa amemweka mwanasesere wake mgongoni huku akimwimbia bembezi kwa sauti nyororo. Mzee mmoja alipita katika kijia hicho ambacho watoto walikuwa wakicheza. Mpira ulirushwa na ukaangukia kwenye mkongojo wake naye akaanguka chini pu! "Yarabbi stara! Jamani miguu yangu! Pumbavu zenu! Nimebakiza siku chache tu na mnataka kunitoa roho kabla ya siku zangu!" Mzee alifoka huku watoto wakimsaidia kuinuka na kumfuta vumbi lililokolea kwenye kikoi chake. Mzee huyo alikuwa ameghadhabika akasimama na kuushika ukuta huku ameushikilia mkongojo hewani akampiga nao Kenga aliyekuwa anamfuta mavumbi. Watoto wote walitorokea mafichoni na wakarudi kuendelea na mchezo wao wakati mzee huyo alipotokomea na kujiendea zake. Mchezo ulinoga kwa nusu saa mara dirisha la mbao likafunguliwa naye Mama Jenifa akatokeza kichwa chake akifoka, "Toeni kelele zenu hapa mtaniamshia mtoto! Maluuni nyie mpaka mcheze madirishani mwa watu kwa kelele! Chezeni kwa utulivu ama nitakuja kuwapiga na bakora kisawasawa! Wenzenu wakisoma madaftari yao nyie ni kelele tu. Si hata mkalale mtulize vichwa vyenu mpate kukua! Purukushani tu huku na kule. Mmekua kama sikio la kufa hamuambiliki hamsemezeki. Sasa ole wenu, pigeni tena kelele niwatibue!" Mama Jenifa alilifunga dirisha lake kukawa kimya. Watoto wakaangaliana na kisha wakasogea mbali kidogo na dirisha huku wakijichekea kichinichini. Mchezo wa mpira uliendelea tena mara mpira ukaanguka juu ya paa la nyumba ya Mzee Mengi na kutua. Mpira huo ulikuwa hausogei na paa hilo lilikuwa juu sana kiasi cha kwamba watoto wale wasingeufikia. Baada ya kufikiri kwa muda, Joji aliwaambia wenzake warushe mawe ili waweze kuuangusha mpira chini. Katika harakati za kurusha mawe, jiwe la Fami lilimpata Maria kichwani akawa anatoka damu na kulia kwa sauti kubwa kwelikweli. Maria alikuwa miongoni mwa watoto waliokuwa wakichezea wanasesere pale kibarazani. Bi. Sada alikisikia kilio cha mwanawe na kujitundika kanga begani akatoka nje haraka. Hata viatu hakuvaa kwa haraka zake. Bi. Sada alimshika mwanaye aliyekuwa akilia huku akimwotea kidole Fami. Bi Sada alikuwa alijifunga leso yake kiunoni na kumshikilia Fami. "Twende kwa mamako mjinga we! Wataka kuniulia mwanangu, mwenyewe ndiye huyu mmoja." Bi. Sada aliandamana na Fami hadi kwao akifuatwa na kundi la watoto waliokuwa na hamu ya kujua kitakachoendelea. Mamake Fami, Bi. Safina alikuwa akiosha vyombo huku akiimbaimba wakati Bi. Sada alipokuja na vurugu na vurumai. "Habari yako Bi. Sada, kunani tena fujo la sahii mwenzangu?" aliuliza Bi. Safina. "Unaniuliza kunani? Huoni mwanao kanipasulia mwanangu kichwa? Sitaki kuongea mengi, nataka umchukue mwanangu umpeleke hospitali!" Bi. Safina alijibu, "Chonde mwenzangu, haya ni mambo ya watoto tena ya bahati mbaya, haina haja tukosane, tuyaongee kwa upole. Mwenzako sina hata shilingi hapa nilipo!" Bi. Safina alishtukia konde zito maungoni mwake kutoka kwa Bi. Sada aliyekuwa anachemka kwa hasira. Bi. Safina aliangushwa chini na kukanyagwa tumboni. Fami alikuwa akilia kwa kumuona mamake akipigwa. Umati ulijaa nyumbani kwa akina Fami huku watu wakiamua vita. Bi. Sada alishikiliwa na kijana mmoja, akawa anampiga mateke. "Niache nimfunze huyo mjinga adabu. Hawezi kumfunza mwanaye amwepuke mwanangu. Mwanangu ameumbuliwa kichwa! Amlipe!" Mume wa Bi. Sada aliwasili akamshika mkewe na kumpeleka nyumbani huku Bi. Safina akaachwa akilia kwa maumivu huku jicho lake likitoja damu.
Bi Sada alikuwa mamake nani
{ "text": [ "Maria" ] }
4793_swa
MIKAZA YA MOTO SHULENI Hivi majuuzi takribani miezi mbili au moja na nusu shule nyingi zimekuwa zikinakili visa vya moto. Wizara ya elimu ikiongozwa na profesa George Makokha aliteua jopo la kuchunguza chanzo cha mikaza hiyo ya moto. Walimu pamoja na wazazi wanashangaa ni nini mbaya na watoto wao. Nyumbani kule hawalali. Haswa wale ambao wana wanafunzi wao shule za mabweni. Wakikumbuka mikasa ya moto hasa kwa mfano ile iliyotokea katika shule moja ya upili kule Nairobi wanaogopa sana. Kisa hicho kilifanyika shule ya upili ya wasichana ya Moi ambapo tuliweza kupoteza wanafunzi kadhaa takribani miaka tano iliyopita. Mikaza hii ya moto watu wengi wameweza kuzamia swala hili lakini kitendawili hiki kung'amua imekuwa ngumu. Je, ni nani wa kulaumiwa? Wizara ya elimu? Walimu? Ama tulaumu bodi simamizi za shule zenyewe? Shule zinachomeka na huku wanafunzi wenyewe wamekuwa kama wanyama. Wanasema tu wao hawawezi kuadhibiwa. Wizara ya elimu kidogo ilikosea pale ilipoondoa adhabu ya kiboko shuleni. Wanafunzi wamekuwa watundu kwani wao wenyewe wanajiita watoto wa serikali. Watoto hao hawapaswi kushikwa na mkono na mwalimu yeyote ule. Hii imepelekea wao kujiamulia na kuona kwamba kwasababu shule ni ya serikali na wao pia ni wa serikali, wanaweza kuchoma shule tu. Si kwani ni yao? La hasha serikali yafaa irudishe kiboko shuleni la sivyo pale ambapo tunaelekea si pazuri. Shule mingi zimekuwa jivu na chanzo chake bado hatujabaini. Kila wiki utawapata wanafunzi wa shule kadhaa wanarejea nyumbani kutoka shuleni. Ukiwauliza utasikia wakisema kwamba labda tumechoma mabweni kadhaa ama utasikia wakisema walikuwa na njama ya kuteketeza mabweni ndiposa wamo njiani kuelekea makwao. Wanafunzi wanapofanya hivyo wao hawaoni kama wanapoteza. Je, vitengo vya kuwaelekeza na kushauri wanafunzi bado zinafanyakazi kule shuleni? Kama ndio mbona visa bado vinaendelea? Hao wanafunzi wanasukumwa na baadhi ya walimu kufanya hayo? Na je? Wanafunzi hao wanapata wapi ushauri wa jinsi mambo huko nje yanafanyika. Mikaza hii ya moto inaweza kuwa inachangia na misisimo ya wengine ambao wamechoma shule na wako kule nyumbani. Hao wanaposikia shule fulani ipo nyumbani pia hao wanataka kuteteketeza shule ndiposa waende nyumbani kama wenzao. Tukiangalia kwa mfano kisa cha hivi majuuzi upande wa Kaunti ya Kakamega, shule fulani wa wasichana wameweza kutoka nje huku wakiwa uchi wa mnyama. Sababu ni kwamba wenzao wa shule ya wavulana wapo nyumbani na wao wako shuleni. Maafisa wa polisi walipofika hata walishindwa na kupigwa na butwaa kwa kitendo hicho. Wanafunzi walitoka nje ya lango ya shule na kumwambia mwalimu mkuu kwamba watarejea shuleni hadi pale wenzao wa shule ya wavulana watakaporejea. Hiyo ni akili finyu ya wasichana hao. Kwani wanasomea hao wavulana. Maisha yao hivyo ndivyo wanavyoharibu. Hapo ndipo kitengo cha kushauri yafaa kiwe kimekaa na hao wanafunzi na kuwajuza maisha ni yao si ya hao wavulana. Swala jingine linasomekana kuchangia kwa mikaza hii ni likizo fupi fupi ambazo wanafunzi hawafurahii kamwe. Wanafunzi kutoka kule kitambo walizoea kuwa na likizo ndefu ndefu. Saa hii likizo sasa hivi ni wiki moja tu. Hii imechangia wanafunzi kuzua kila wakati. Juzi walilazimisha likizo fupi ambayo hata haikuwepo hata kwenye mipango ya wizara ya elimu. Wanafunzi walisikizwa na kupewa likizo. Baada tu ya wao tena kutoka likizo fupi bado visa vya shule kuchomeka tunanakili. Wanasema kwamba itakuwa mbaya historia wao ndio wakwanza kukaa shuleni wakati wa likizo ya Desemba. Hivyo basi hawataki masomo wakati huu. Shule zilikuwa zimeratibiwa kufungwa mnamo tarehe 23/12/2021. Lakini ni baada tu wao kurudi shuleni na kudai kwamba hawawezi kufunga tarehe hiyo. Wamependekeza kufunga tarehe 17/12/2021 jambo ambalo kufikia saa hii wizara ya elimu haijaongea. Magazeti walimu wakuu wa shule mbalimbali wamependekeza kufunga mapema kwasababu ya msukumo wa wanafunzi. Wanafunzi ndio siku hizi wanajiamulia ni nini la kufanya na ni wakati gani wangependata kusoma. Haha hao ni wanafunzi wa karne ishirini na moja. Baadhi wa wengine wanasema kwamba huenda mikasa hii ya moto inachangia na mtaala mpya wa elimu CBC. Lakini hilo si ambalo linachangia moto. Kuna siri tu ambayo sisi sote tungekaa pamoja na kufikiria. CBC ni mtaala unaungwa na wanfunzi wengi mno kwasababu wao ni wale ambao huogopa mitihani. Hayo kando. Wengine wanasema chanzo cha moto shuleni huenda kinachangia na wanafunzi kutokuwa na michezo shuleni. Michezo ilipigwa marufuku shuleni kwasababu ya kutangamana kwokwote kule kungechangia kuenea kwa virusi vya korona. Michezo huwa na maana nyingi kule shuleni. Wanafunzi wanapotangamana kupitia michezo wao hujifunza mengi na hiyo ndiyo raha yao. Tamasha pia shuleni hazipo. Tamasha za drama na miziki ndizo zinazopendwa na wanafunzi. Sasa hivi wanafunzi wamo madarasani kumaliza silabasi tu. Kazi ni nyingi kwao. Likizo ni fupi. Sasa wanaona ni kwamba wanaumizwa bure tu. Wanafunzi wamo vitabuni kutoka saa kumi na mbili asubuhi hadi saa nne usiku. Akili haipumziki. Huenda hizi ndizo zinachangia wao kuteketeza shule ndiposa waende nyumbani wakapumzike. Serikali nayo ningeomba wao kwasababu walifunga walimu kuadhibu wanafunzi, watafute njia mubadala ya kuadhibu wanafunzi hao. Walimu wengi wanapendekeza kwamba serikali iandike kwa kila shule askari mmoja au wawili wa kuadhibu wanafunzi hao kwani wao wakiadhibu wanafunzi halafu washtakiwe wanapoteza kazi. Vijana pia ( National Youth Service NYS) waletwe katika shule ili kuwadhibu wanafunzi hao. Vitengo pia ushauri kule shuleni viwajibike. Walete watu wakuigiza shule, wale wakunena nao na kila mara walimu pia kuwashauri. Walimu wasitumie muda mwingi kufundisha tu. Wanapokuwa mle darasani wawashauri wanafunzi na kuwaelekeza. Inasikitisha wanafunzi kutaka tu kuenda huko nyumbani na hawana la kufanya. Mwanafunzi hana mke kule nyumbani. Hana mifugo aliyeacha kule nyumbani. Hana biashara hata tu ya kuuza peremende. Mbona sasa anataka kurudi nyumbani? Huenda wanataka tu kurudi nyumbani kufwatilia video fulani vile inavyoendelea. Labda Zora imefikia wapi? Hayo tu ndiyo inayowapeleka nyumbani. Yafaa wanafunzi washauriwe. Mikasa hii huenda ikaisha pale tu tutakaposhirikiana sote. Kuanzia kwa wizara ya elimu ikiongozwa na profesa Magokha. Wizara ya maswala ya kindani ikiongozwa na daktari Fred Matinyi. Walimu wote kwa ujumla. Wazazi na pamoja na wanafunzi. Sote tusikize maoni ya mwengine kwani wazee wa zamani hakukosea waliposema umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Kwa pamoja fumbo hili la moto shuleni huenda likatokomea. Sote tushirikiane.
Shule nyingi zimekuwa na visa vya nini
{ "text": [ "Moto" ] }
4793_swa
MIKAZA YA MOTO SHULENI Hivi majuuzi takribani miezi mbili au moja na nusu shule nyingi zimekuwa zikinakili visa vya moto. Wizara ya elimu ikiongozwa na profesa George Makokha aliteua jopo la kuchunguza chanzo cha mikaza hiyo ya moto. Walimu pamoja na wazazi wanashangaa ni nini mbaya na watoto wao. Nyumbani kule hawalali. Haswa wale ambao wana wanafunzi wao shule za mabweni. Wakikumbuka mikasa ya moto hasa kwa mfano ile iliyotokea katika shule moja ya upili kule Nairobi wanaogopa sana. Kisa hicho kilifanyika shule ya upili ya wasichana ya Moi ambapo tuliweza kupoteza wanafunzi kadhaa takribani miaka tano iliyopita. Mikaza hii ya moto watu wengi wameweza kuzamia swala hili lakini kitendawili hiki kung'amua imekuwa ngumu. Je, ni nani wa kulaumiwa? Wizara ya elimu? Walimu? Ama tulaumu bodi simamizi za shule zenyewe? Shule zinachomeka na huku wanafunzi wenyewe wamekuwa kama wanyama. Wanasema tu wao hawawezi kuadhibiwa. Wizara ya elimu kidogo ilikosea pale ilipoondoa adhabu ya kiboko shuleni. Wanafunzi wamekuwa watundu kwani wao wenyewe wanajiita watoto wa serikali. Watoto hao hawapaswi kushikwa na mkono na mwalimu yeyote ule. Hii imepelekea wao kujiamulia na kuona kwamba kwasababu shule ni ya serikali na wao pia ni wa serikali, wanaweza kuchoma shule tu. Si kwani ni yao? La hasha serikali yafaa irudishe kiboko shuleni la sivyo pale ambapo tunaelekea si pazuri. Shule mingi zimekuwa jivu na chanzo chake bado hatujabaini. Kila wiki utawapata wanafunzi wa shule kadhaa wanarejea nyumbani kutoka shuleni. Ukiwauliza utasikia wakisema kwamba labda tumechoma mabweni kadhaa ama utasikia wakisema walikuwa na njama ya kuteketeza mabweni ndiposa wamo njiani kuelekea makwao. Wanafunzi wanapofanya hivyo wao hawaoni kama wanapoteza. Je, vitengo vya kuwaelekeza na kushauri wanafunzi bado zinafanyakazi kule shuleni? Kama ndio mbona visa bado vinaendelea? Hao wanafunzi wanasukumwa na baadhi ya walimu kufanya hayo? Na je? Wanafunzi hao wanapata wapi ushauri wa jinsi mambo huko nje yanafanyika. Mikaza hii ya moto inaweza kuwa inachangia na misisimo ya wengine ambao wamechoma shule na wako kule nyumbani. Hao wanaposikia shule fulani ipo nyumbani pia hao wanataka kuteteketeza shule ndiposa waende nyumbani kama wenzao. Tukiangalia kwa mfano kisa cha hivi majuuzi upande wa Kaunti ya Kakamega, shule fulani wa wasichana wameweza kutoka nje huku wakiwa uchi wa mnyama. Sababu ni kwamba wenzao wa shule ya wavulana wapo nyumbani na wao wako shuleni. Maafisa wa polisi walipofika hata walishindwa na kupigwa na butwaa kwa kitendo hicho. Wanafunzi walitoka nje ya lango ya shule na kumwambia mwalimu mkuu kwamba watarejea shuleni hadi pale wenzao wa shule ya wavulana watakaporejea. Hiyo ni akili finyu ya wasichana hao. Kwani wanasomea hao wavulana. Maisha yao hivyo ndivyo wanavyoharibu. Hapo ndipo kitengo cha kushauri yafaa kiwe kimekaa na hao wanafunzi na kuwajuza maisha ni yao si ya hao wavulana. Swala jingine linasomekana kuchangia kwa mikaza hii ni likizo fupi fupi ambazo wanafunzi hawafurahii kamwe. Wanafunzi kutoka kule kitambo walizoea kuwa na likizo ndefu ndefu. Saa hii likizo sasa hivi ni wiki moja tu. Hii imechangia wanafunzi kuzua kila wakati. Juzi walilazimisha likizo fupi ambayo hata haikuwepo hata kwenye mipango ya wizara ya elimu. Wanafunzi walisikizwa na kupewa likizo. Baada tu ya wao tena kutoka likizo fupi bado visa vya shule kuchomeka tunanakili. Wanasema kwamba itakuwa mbaya historia wao ndio wakwanza kukaa shuleni wakati wa likizo ya Desemba. Hivyo basi hawataki masomo wakati huu. Shule zilikuwa zimeratibiwa kufungwa mnamo tarehe 23/12/2021. Lakini ni baada tu wao kurudi shuleni na kudai kwamba hawawezi kufunga tarehe hiyo. Wamependekeza kufunga tarehe 17/12/2021 jambo ambalo kufikia saa hii wizara ya elimu haijaongea. Magazeti walimu wakuu wa shule mbalimbali wamependekeza kufunga mapema kwasababu ya msukumo wa wanafunzi. Wanafunzi ndio siku hizi wanajiamulia ni nini la kufanya na ni wakati gani wangependata kusoma. Haha hao ni wanafunzi wa karne ishirini na moja. Baadhi wa wengine wanasema kwamba huenda mikasa hii ya moto inachangia na mtaala mpya wa elimu CBC. Lakini hilo si ambalo linachangia moto. Kuna siri tu ambayo sisi sote tungekaa pamoja na kufikiria. CBC ni mtaala unaungwa na wanfunzi wengi mno kwasababu wao ni wale ambao huogopa mitihani. Hayo kando. Wengine wanasema chanzo cha moto shuleni huenda kinachangia na wanafunzi kutokuwa na michezo shuleni. Michezo ilipigwa marufuku shuleni kwasababu ya kutangamana kwokwote kule kungechangia kuenea kwa virusi vya korona. Michezo huwa na maana nyingi kule shuleni. Wanafunzi wanapotangamana kupitia michezo wao hujifunza mengi na hiyo ndiyo raha yao. Tamasha pia shuleni hazipo. Tamasha za drama na miziki ndizo zinazopendwa na wanafunzi. Sasa hivi wanafunzi wamo madarasani kumaliza silabasi tu. Kazi ni nyingi kwao. Likizo ni fupi. Sasa wanaona ni kwamba wanaumizwa bure tu. Wanafunzi wamo vitabuni kutoka saa kumi na mbili asubuhi hadi saa nne usiku. Akili haipumziki. Huenda hizi ndizo zinachangia wao kuteketeza shule ndiposa waende nyumbani wakapumzike. Serikali nayo ningeomba wao kwasababu walifunga walimu kuadhibu wanafunzi, watafute njia mubadala ya kuadhibu wanafunzi hao. Walimu wengi wanapendekeza kwamba serikali iandike kwa kila shule askari mmoja au wawili wa kuadhibu wanafunzi hao kwani wao wakiadhibu wanafunzi halafu washtakiwe wanapoteza kazi. Vijana pia ( National Youth Service NYS) waletwe katika shule ili kuwadhibu wanafunzi hao. Vitengo pia ushauri kule shuleni viwajibike. Walete watu wakuigiza shule, wale wakunena nao na kila mara walimu pia kuwashauri. Walimu wasitumie muda mwingi kufundisha tu. Wanapokuwa mle darasani wawashauri wanafunzi na kuwaelekeza. Inasikitisha wanafunzi kutaka tu kuenda huko nyumbani na hawana la kufanya. Mwanafunzi hana mke kule nyumbani. Hana mifugo aliyeacha kule nyumbani. Hana biashara hata tu ya kuuza peremende. Mbona sasa anataka kurudi nyumbani? Huenda wanataka tu kurudi nyumbani kufwatilia video fulani vile inavyoendelea. Labda Zora imefikia wapi? Hayo tu ndiyo inayowapeleka nyumbani. Yafaa wanafunzi washauriwe. Mikasa hii huenda ikaisha pale tu tutakaposhirikiana sote. Kuanzia kwa wizara ya elimu ikiongozwa na profesa Magokha. Wizara ya maswala ya kindani ikiongozwa na daktari Fred Matinyi. Walimu wote kwa ujumla. Wazazi na pamoja na wanafunzi. Sote tusikize maoni ya mwengine kwani wazee wa zamani hakukosea waliposema umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Kwa pamoja fumbo hili la moto shuleni huenda likatokomea. Sote tushirikiane.
Kila wiki wanafunzi wanarejea wapi
{ "text": [ "Nyumbani" ] }
4793_swa
MIKAZA YA MOTO SHULENI Hivi majuuzi takribani miezi mbili au moja na nusu shule nyingi zimekuwa zikinakili visa vya moto. Wizara ya elimu ikiongozwa na profesa George Makokha aliteua jopo la kuchunguza chanzo cha mikaza hiyo ya moto. Walimu pamoja na wazazi wanashangaa ni nini mbaya na watoto wao. Nyumbani kule hawalali. Haswa wale ambao wana wanafunzi wao shule za mabweni. Wakikumbuka mikasa ya moto hasa kwa mfano ile iliyotokea katika shule moja ya upili kule Nairobi wanaogopa sana. Kisa hicho kilifanyika shule ya upili ya wasichana ya Moi ambapo tuliweza kupoteza wanafunzi kadhaa takribani miaka tano iliyopita. Mikaza hii ya moto watu wengi wameweza kuzamia swala hili lakini kitendawili hiki kung'amua imekuwa ngumu. Je, ni nani wa kulaumiwa? Wizara ya elimu? Walimu? Ama tulaumu bodi simamizi za shule zenyewe? Shule zinachomeka na huku wanafunzi wenyewe wamekuwa kama wanyama. Wanasema tu wao hawawezi kuadhibiwa. Wizara ya elimu kidogo ilikosea pale ilipoondoa adhabu ya kiboko shuleni. Wanafunzi wamekuwa watundu kwani wao wenyewe wanajiita watoto wa serikali. Watoto hao hawapaswi kushikwa na mkono na mwalimu yeyote ule. Hii imepelekea wao kujiamulia na kuona kwamba kwasababu shule ni ya serikali na wao pia ni wa serikali, wanaweza kuchoma shule tu. Si kwani ni yao? La hasha serikali yafaa irudishe kiboko shuleni la sivyo pale ambapo tunaelekea si pazuri. Shule mingi zimekuwa jivu na chanzo chake bado hatujabaini. Kila wiki utawapata wanafunzi wa shule kadhaa wanarejea nyumbani kutoka shuleni. Ukiwauliza utasikia wakisema kwamba labda tumechoma mabweni kadhaa ama utasikia wakisema walikuwa na njama ya kuteketeza mabweni ndiposa wamo njiani kuelekea makwao. Wanafunzi wanapofanya hivyo wao hawaoni kama wanapoteza. Je, vitengo vya kuwaelekeza na kushauri wanafunzi bado zinafanyakazi kule shuleni? Kama ndio mbona visa bado vinaendelea? Hao wanafunzi wanasukumwa na baadhi ya walimu kufanya hayo? Na je? Wanafunzi hao wanapata wapi ushauri wa jinsi mambo huko nje yanafanyika. Mikaza hii ya moto inaweza kuwa inachangia na misisimo ya wengine ambao wamechoma shule na wako kule nyumbani. Hao wanaposikia shule fulani ipo nyumbani pia hao wanataka kuteteketeza shule ndiposa waende nyumbani kama wenzao. Tukiangalia kwa mfano kisa cha hivi majuuzi upande wa Kaunti ya Kakamega, shule fulani wa wasichana wameweza kutoka nje huku wakiwa uchi wa mnyama. Sababu ni kwamba wenzao wa shule ya wavulana wapo nyumbani na wao wako shuleni. Maafisa wa polisi walipofika hata walishindwa na kupigwa na butwaa kwa kitendo hicho. Wanafunzi walitoka nje ya lango ya shule na kumwambia mwalimu mkuu kwamba watarejea shuleni hadi pale wenzao wa shule ya wavulana watakaporejea. Hiyo ni akili finyu ya wasichana hao. Kwani wanasomea hao wavulana. Maisha yao hivyo ndivyo wanavyoharibu. Hapo ndipo kitengo cha kushauri yafaa kiwe kimekaa na hao wanafunzi na kuwajuza maisha ni yao si ya hao wavulana. Swala jingine linasomekana kuchangia kwa mikaza hii ni likizo fupi fupi ambazo wanafunzi hawafurahii kamwe. Wanafunzi kutoka kule kitambo walizoea kuwa na likizo ndefu ndefu. Saa hii likizo sasa hivi ni wiki moja tu. Hii imechangia wanafunzi kuzua kila wakati. Juzi walilazimisha likizo fupi ambayo hata haikuwepo hata kwenye mipango ya wizara ya elimu. Wanafunzi walisikizwa na kupewa likizo. Baada tu ya wao tena kutoka likizo fupi bado visa vya shule kuchomeka tunanakili. Wanasema kwamba itakuwa mbaya historia wao ndio wakwanza kukaa shuleni wakati wa likizo ya Desemba. Hivyo basi hawataki masomo wakati huu. Shule zilikuwa zimeratibiwa kufungwa mnamo tarehe 23/12/2021. Lakini ni baada tu wao kurudi shuleni na kudai kwamba hawawezi kufunga tarehe hiyo. Wamependekeza kufunga tarehe 17/12/2021 jambo ambalo kufikia saa hii wizara ya elimu haijaongea. Magazeti walimu wakuu wa shule mbalimbali wamependekeza kufunga mapema kwasababu ya msukumo wa wanafunzi. Wanafunzi ndio siku hizi wanajiamulia ni nini la kufanya na ni wakati gani wangependata kusoma. Haha hao ni wanafunzi wa karne ishirini na moja. Baadhi wa wengine wanasema kwamba huenda mikasa hii ya moto inachangia na mtaala mpya wa elimu CBC. Lakini hilo si ambalo linachangia moto. Kuna siri tu ambayo sisi sote tungekaa pamoja na kufikiria. CBC ni mtaala unaungwa na wanfunzi wengi mno kwasababu wao ni wale ambao huogopa mitihani. Hayo kando. Wengine wanasema chanzo cha moto shuleni huenda kinachangia na wanafunzi kutokuwa na michezo shuleni. Michezo ilipigwa marufuku shuleni kwasababu ya kutangamana kwokwote kule kungechangia kuenea kwa virusi vya korona. Michezo huwa na maana nyingi kule shuleni. Wanafunzi wanapotangamana kupitia michezo wao hujifunza mengi na hiyo ndiyo raha yao. Tamasha pia shuleni hazipo. Tamasha za drama na miziki ndizo zinazopendwa na wanafunzi. Sasa hivi wanafunzi wamo madarasani kumaliza silabasi tu. Kazi ni nyingi kwao. Likizo ni fupi. Sasa wanaona ni kwamba wanaumizwa bure tu. Wanafunzi wamo vitabuni kutoka saa kumi na mbili asubuhi hadi saa nne usiku. Akili haipumziki. Huenda hizi ndizo zinachangia wao kuteketeza shule ndiposa waende nyumbani wakapumzike. Serikali nayo ningeomba wao kwasababu walifunga walimu kuadhibu wanafunzi, watafute njia mubadala ya kuadhibu wanafunzi hao. Walimu wengi wanapendekeza kwamba serikali iandike kwa kila shule askari mmoja au wawili wa kuadhibu wanafunzi hao kwani wao wakiadhibu wanafunzi halafu washtakiwe wanapoteza kazi. Vijana pia ( National Youth Service NYS) waletwe katika shule ili kuwadhibu wanafunzi hao. Vitengo pia ushauri kule shuleni viwajibike. Walete watu wakuigiza shule, wale wakunena nao na kila mara walimu pia kuwashauri. Walimu wasitumie muda mwingi kufundisha tu. Wanapokuwa mle darasani wawashauri wanafunzi na kuwaelekeza. Inasikitisha wanafunzi kutaka tu kuenda huko nyumbani na hawana la kufanya. Mwanafunzi hana mke kule nyumbani. Hana mifugo aliyeacha kule nyumbani. Hana biashara hata tu ya kuuza peremende. Mbona sasa anataka kurudi nyumbani? Huenda wanataka tu kurudi nyumbani kufwatilia video fulani vile inavyoendelea. Labda Zora imefikia wapi? Hayo tu ndiyo inayowapeleka nyumbani. Yafaa wanafunzi washauriwe. Mikasa hii huenda ikaisha pale tu tutakaposhirikiana sote. Kuanzia kwa wizara ya elimu ikiongozwa na profesa Magokha. Wizara ya maswala ya kindani ikiongozwa na daktari Fred Matinyi. Walimu wote kwa ujumla. Wazazi na pamoja na wanafunzi. Sote tusikize maoni ya mwengine kwani wazee wa zamani hakukosea waliposema umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Kwa pamoja fumbo hili la moto shuleni huenda likatokomea. Sote tushirikiane.
Shule zinaratibiwa kufungwa lini
{ "text": [ "23/12/2021" ] }