Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
4768_swa | NDOA YA MKEKA
Halikuwa jambo rahisi kwake kukubali ndoa kabla ya kuhitimisha masomo yake angaa ya sekondari. Shani, alijikaza kukubali matokeo ya upendo wake Kwa Shukurani. Mamakwe alitangaza ndoa mchana wa baada tu ya tukio hilo kutokea! Ingawa halikua jambo la kiungwana, ilibidi wavyele wa Shani wakubali ijapokua kishingo upande . Naye Bi. Mboga, aliona bora amuoze mjukuu wake mapema kabla fedheha haijawapata. Kwani hata hivyo, si walishasema kua ndoa ni sitara?
Shani alikua kidosho aliezaliwa na kujipata na baba wa kambo aliyempenda na kumuenzi Kama mboni ya macho yake.Kwani Abu yake alimtaliki mama yake akiwa bado yu matumboni mwa mamaye. Au Kama wasemavyo, hajaona mwanga wa jua. Hili ,lilikua kinyume na sheria ya dini yao takatifu ya Kiisilamu - kumtaliki mke akiwa mjamzito. Ila, kudura nayo hushinda jitihada. Na mwana wa adamu ni mwingi wa kuasi ilhali Maulana ni wa maghfira.
Shani akalelewa na baba wa kambo asimjue baba yake, kwani babamtu hakua na hamu naye.Ila mama yake baada ya kupata watoto wengine Kwa mume wake wa pili,alimchukia sana Shani na kumbagua kila apatopo fursa ya kutenda hayo. Chuki kwake ilikua halali Kwa Shani. Loh! Maskini! Hata baada ya kukosa upendo wa baba mzazi Shani anakosa mapenzi ya dhati ya mam.
Kila siku inapopambazuka,Shani alijiona mpweke kupitia kiasi , jambo lilompelekea kuhamia Kwa bibi yake,Bi. Mboga.Bi.Mboga alimlea Kwa ihtiramu ya hali ya juu. Ila mama yake kila kukicha alienda kumuudhi hapa na pale.Shani aliyavumilia yote haya Kwa moyo wa matatajio kedekede.kwa hakikisha si wahenga walishasema kua mvumilivu hula mbivu? Na subira huvuta heri?
Siku ayami zikapita huku Shani akiiisubiri heri yake Ila hakuona dalili yote. Madhika yaliendelea kuwa mengi kiasi Cha kunyimwa haki ya kwenda shule Kama auladi wenzake.Mamaye mzazi aliamuru aende amsaidie kazi za nyumbani,kulima ,kuwalea wenzake na hata kupika. Hivyo basi, juu ya upweke alionao,akaamua kujenga urafiki wa kimapenzi na kijana mmoja mtanashati - Shukurani. Pengo lilowachwa na wazazi wake likazibwa na Shukurani.
Shukurani alimfariji na kumuengaenga Kama mtoto mdogo.Alimuahidi ndoa na maisha Bora ya mustakabalini. Laiti tu wangejua qudura ya Rabbana! Shani naye alifarijika kwelikweli. Akampa moyo wake wote akiwa na matarijio makubwa kua atafunga ndoa naye siku moja.Walikua na matatajio ya Hali ya juu Kwa Maulana.
Hivyo basi,hauchi hauchi hucha! Siku moja baada ya Shani madhila kushitadi, Shukurani aliamua kumtorosha Shani na kumpeleka mbali na nyumbani. Walikaa huko siku ayami.Askari waliarifiwa na baada ya majuma mawili wakapatikana. Wakawaacha wengi vinywa wazi! Na hatimaye,ndoa ya mkeka ikafungwa!
| Subira huvuta nini | {
"text": [
"Heri"
]
} |
4768_swa | NDOA YA MKEKA
Halikuwa jambo rahisi kwake kukubali ndoa kabla ya kuhitimisha masomo yake angaa ya sekondari. Shani, alijikaza kukubali matokeo ya upendo wake Kwa Shukurani. Mamakwe alitangaza ndoa mchana wa baada tu ya tukio hilo kutokea! Ingawa halikua jambo la kiungwana, ilibidi wavyele wa Shani wakubali ijapokua kishingo upande . Naye Bi. Mboga, aliona bora amuoze mjukuu wake mapema kabla fedheha haijawapata. Kwani hata hivyo, si walishasema kua ndoa ni sitara?
Shani alikua kidosho aliezaliwa na kujipata na baba wa kambo aliyempenda na kumuenzi Kama mboni ya macho yake.Kwani Abu yake alimtaliki mama yake akiwa bado yu matumboni mwa mamaye. Au Kama wasemavyo, hajaona mwanga wa jua. Hili ,lilikua kinyume na sheria ya dini yao takatifu ya Kiisilamu - kumtaliki mke akiwa mjamzito. Ila, kudura nayo hushinda jitihada. Na mwana wa adamu ni mwingi wa kuasi ilhali Maulana ni wa maghfira.
Shani akalelewa na baba wa kambo asimjue baba yake, kwani babamtu hakua na hamu naye.Ila mama yake baada ya kupata watoto wengine Kwa mume wake wa pili,alimchukia sana Shani na kumbagua kila apatopo fursa ya kutenda hayo. Chuki kwake ilikua halali Kwa Shani. Loh! Maskini! Hata baada ya kukosa upendo wa baba mzazi Shani anakosa mapenzi ya dhati ya mam.
Kila siku inapopambazuka,Shani alijiona mpweke kupitia kiasi , jambo lilompelekea kuhamia Kwa bibi yake,Bi. Mboga.Bi.Mboga alimlea Kwa ihtiramu ya hali ya juu. Ila mama yake kila kukicha alienda kumuudhi hapa na pale.Shani aliyavumilia yote haya Kwa moyo wa matatajio kedekede.kwa hakikisha si wahenga walishasema kua mvumilivu hula mbivu? Na subira huvuta heri?
Siku ayami zikapita huku Shani akiiisubiri heri yake Ila hakuona dalili yote. Madhika yaliendelea kuwa mengi kiasi Cha kunyimwa haki ya kwenda shule Kama auladi wenzake.Mamaye mzazi aliamuru aende amsaidie kazi za nyumbani,kulima ,kuwalea wenzake na hata kupika. Hivyo basi, juu ya upweke alionao,akaamua kujenga urafiki wa kimapenzi na kijana mmoja mtanashati - Shukurani. Pengo lilowachwa na wazazi wake likazibwa na Shukurani.
Shukurani alimfariji na kumuengaenga Kama mtoto mdogo.Alimuahidi ndoa na maisha Bora ya mustakabalini. Laiti tu wangejua qudura ya Rabbana! Shani naye alifarijika kwelikweli. Akampa moyo wake wote akiwa na matarijio makubwa kua atafunga ndoa naye siku moja.Walikua na matatajio ya Hali ya juu Kwa Maulana.
Hivyo basi,hauchi hauchi hucha! Siku moja baada ya Shani madhila kushitadi, Shukurani aliamua kumtorosha Shani na kumpeleka mbali na nyumbani. Walikaa huko siku ayami.Askari waliarifiwa na baada ya majuma mawili wakapatikana. Wakawaacha wengi vinywa wazi! Na hatimaye,ndoa ya mkeka ikafungwa!
| Nani alimfariji na kumuengaenga Shani kama mtoto mdogo | {
"text": [
"Shukurani"
]
} |
4769_swa | HAMISI AJUTA
Hamisi alikuwa mtoto wa pili katika familia ya Mzee Mwinyi. Alilelewa
katika maisha ya asali na maziwa tu. Kijiji kila mtu alimwepuka mithili
ndwele. Alikuwa mkia mbuzi. Shuleni pia hakuna aliyetaka kutangamana
naye. Darasani hakuwa mtu wa kuunga moja na moja kupata mbili. Alikuwa
sumbukuku alikuwa mjeuri sisemi mkia mbuzi. Mama yake kila wakati
alipokuwa anapata ripoti kwamba mtoto wake ni mjeuri hakuamini.
Aliwarushia majirani maneno na kuwaambia kwamba wanamwonea mwana wao.
Majirani walibaki vinywa wazi na kushangaa hawana la kusema. Abdi kwa
kumjua sana na kuwa karibu na Hamisi alijaribu kumwelekeza rafikiye
Hamisi. Alikuwa na matumaini kwamba siku moja Abdi atakuwa mtu mwema na
wa kusifika kama walivyo watoto wengine.
Siku moja nilipokuwa nabarizi kwenye mkeka wangu asubuhi mafungulia
ng'ombe Abdi na Hamisi walifika. Kwa kuwa mimi nilikuwa ninawafahamu
niliwakaribisha kwa mikono miwili na angalau waweze kupa kikombe cha
chai. Dada yangu aliendaa meza kwa haraka kwani sis sote tulikuwa
tukisoma shule moja huko kijijini ya Mwendao. Tulikunywa chai huku
tukipiga mazungumzo na wendani hao. Abdi ndiye aliyekuwa rafiki yangu.
Kupitia kwa Abdi, ndipo nilipomjua huyu kijana Hamisi. Tulipata chakula
cha asubuhi na sote tukamshukuru dada yangu kwa chakula kitamu mithili
ya halua kwa tende.
" Kauleni, mama hatafurahia akikuona mkitembea na Hamisi, " dada yangu
alininong'onezea. Kisha nikamjibu kwamba mimi siandamani nao kamwe bali
tu ni tasalia humu. Dada yangu alikuja juu na kutuambia kwamba
tusiomdoke kwani mama angetaka kutuona ili tuwe na mazungumzo na yeye.
Tulimwahidi dada kwamba hatuendi popote. Tuliendelea na gumzo hadi pale
Hamisi alipotushauri ingekuwa vyema kama tungepiga guu mosi guu pili
tuone vile upande wa kijiji huo mwingine unavyokaa. Sote tuliamua kwa
kauli moja na tukaona tuende tutembelee rafiki yake Hamisi. Rafikiye
Hamisi aliitwa Mambo. Mambo alikuwa pia mwenye sifa zinazoana na zake
Hamisi. Nyumbani kwa akina Mambo kulikuwa upande wa pili wa barabara
itwayo Mwendatezi. Ilikuwa ni barabara iliyokuwa ikiziungaa nchi mbili.
Nchi ya Bidii na nchi ya Zusha. Tuliandamana moja kwa moja tukielekea
kwa akina Mambo. Tulitembea asteaste ndiposa tumpate mama kabla
hajarejea. Abdi alikuwa mbele naye Hamisi katikakati. Mimi ndiye
niliyefunga tatu.
Tulipofika njiani tuliona watu wamebeba magudulia na mandoo wakielekea
upande mmoja. Tulishangaa kwani hawa watu wanaenda wapi? Mungu amewaita
ama ni nini wanaenda haswa? Maswali yalivuruka vichwa vyetu. "Babu
shikamoo, watu wanae..." Kabla Hamisi hajamaliza maongezi yake na babu,
Mambo alitokea pia akiwa amejihami kwa ndoo. "Morioo vipiii, mnakimbiza
na nini hii mbogi ya mamorio, " Hamisi alimwuliza Mambo kwa lugha ya
mtaani yaani sheng'. " Wasee lori la ngata limeunguka huko tunaendea
ngata" Mambo pia alimjibu kwa lugha ya sheng'. Kumaanisha kwamba lori la
mafuta lilikuwa limeanguka na watu walikuwa wanakimbilia huko.
Hamisi na Mambo kwa sababu ya kuwa na tamaa ya pesa, walikimbia huko.
Nasi pia tuliekea huko. Tulipokaribia macho yetu yalijipatia chakula
chake cha bure. Kando kando mwa barabara lori la mafuta lililala.
Lilikuwa likitokwa na mafuta mithili ya kanjo livujalo wakati wa masika.
Watu walikuwa wameinama huku wakifurahia dhahabu ya siku moja hiyo.
Waliinama huku wakipiga kelele mithili ya chiriku mlaanifu akiyemimina
tani milioni za maji ya chooni. Tuliwaona Hamisi pia wakiwa mle mle
wakijaribu kupata sehemu yao ya mafuta. Abdi alirunga upande wa pili wa
barabara ili aweze kuona huo mkasa kwa pua na mdomo.
"Hivi ndivyo mabomu ya kupanga huua watu wengi. Badala ya wao kuepuka
mahala pa mikasa wao hukimbilia huko, " nilijiambia kimoyomoyo. Mzee
mmoja mraibu wa sigara alihizi kugonga kiu chake. Mara hiyo akatoa
kiberiti na kuasha. Twaalalalallaa!! Moto ulizuka. Watu walianza
kukimbia huku na kule wasijue la kufanya.
Muda mchache baadaye, mahali hapo palikuwa pamegeuzwa tanuri la kuchoma
makaa. Vilio vilisikika vikitoka mle jehanamu. Ilisikitika kusikia
vipingiti na mafuvu ya vichwa ikapasuka kwa kishindo. Ving'oru vya gari
la kuzima moto vilisikika hata karibu vifufue wale waliotutangulia mbele
ya haki. Vita vikali vilizuka baina ya watu na wazima moto. Walijitahidi
na baada ya nusu saa hivi moto ulitii amri na kujisalamisha. Magari ya
ambulansi yalikuwa yashafika. Tulianza kutoa msaada tuliokuwa nao.
Tuliwapanga majeruhi kando na wale walikuwa wameshasafifishwa jongeomeo
kando. Majeruhi waliweza kukimbizwa hospitalini. Lo! Nilichokiona si
kuamini. Mwandani wangu wake Abdi alikuwa ameunguzwa kiasi cha
kutotambuliwa. Alikkuwa akifunguafungua mdomo kilichomtoka ni majuto tu
pekee. Aisee Hamisi pia alikuwa hivyo hivyo. Hakuwa wa uji wala maji.
Walipelekwa hospitalini nami na mwendani wangu tukafwata pia.
Hospitalini wazazi wao walikuwa wameshapata habari. Mama yake Hamisi
alilia. Kwa kweli uchungu wa mwana ajuaye mama. Walilazwa na wakaanza
kufanyiwa matibabu ya dharura. Majeruhi mbali mbali waliweza kufika na
vitanda vikajaa kiasi cha wengine kulazwa sakafuni. Mamake Mambo alikuwa
akigaragara chini ungedhani alikuwa amevamiwa na pepo wachafu. Alilia
kwa uchungu sana.
Mimi niliondoka hospitalini nisijue ambacho nyumbani kilikuwa
kimeningojea. Njiani nilikuwa nakumbuka semi za dadangu nabaki nadodokwa
na machozi. Kumbe ningetii yale dada aliniambia. Kwa kweli majuto ni
mjukuu huja baadaye na asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
| Mtoto wa pili wa mzee mwinyi aliitwaje | {
"text": [
"Hamisi"
]
} |
4769_swa | HAMISI AJUTA
Hamisi alikuwa mtoto wa pili katika familia ya Mzee Mwinyi. Alilelewa
katika maisha ya asali na maziwa tu. Kijiji kila mtu alimwepuka mithili
ndwele. Alikuwa mkia mbuzi. Shuleni pia hakuna aliyetaka kutangamana
naye. Darasani hakuwa mtu wa kuunga moja na moja kupata mbili. Alikuwa
sumbukuku alikuwa mjeuri sisemi mkia mbuzi. Mama yake kila wakati
alipokuwa anapata ripoti kwamba mtoto wake ni mjeuri hakuamini.
Aliwarushia majirani maneno na kuwaambia kwamba wanamwonea mwana wao.
Majirani walibaki vinywa wazi na kushangaa hawana la kusema. Abdi kwa
kumjua sana na kuwa karibu na Hamisi alijaribu kumwelekeza rafikiye
Hamisi. Alikuwa na matumaini kwamba siku moja Abdi atakuwa mtu mwema na
wa kusifika kama walivyo watoto wengine.
Siku moja nilipokuwa nabarizi kwenye mkeka wangu asubuhi mafungulia
ng'ombe Abdi na Hamisi walifika. Kwa kuwa mimi nilikuwa ninawafahamu
niliwakaribisha kwa mikono miwili na angalau waweze kupa kikombe cha
chai. Dada yangu aliendaa meza kwa haraka kwani sis sote tulikuwa
tukisoma shule moja huko kijijini ya Mwendao. Tulikunywa chai huku
tukipiga mazungumzo na wendani hao. Abdi ndiye aliyekuwa rafiki yangu.
Kupitia kwa Abdi, ndipo nilipomjua huyu kijana Hamisi. Tulipata chakula
cha asubuhi na sote tukamshukuru dada yangu kwa chakula kitamu mithili
ya halua kwa tende.
" Kauleni, mama hatafurahia akikuona mkitembea na Hamisi, " dada yangu
alininong'onezea. Kisha nikamjibu kwamba mimi siandamani nao kamwe bali
tu ni tasalia humu. Dada yangu alikuja juu na kutuambia kwamba
tusiomdoke kwani mama angetaka kutuona ili tuwe na mazungumzo na yeye.
Tulimwahidi dada kwamba hatuendi popote. Tuliendelea na gumzo hadi pale
Hamisi alipotushauri ingekuwa vyema kama tungepiga guu mosi guu pili
tuone vile upande wa kijiji huo mwingine unavyokaa. Sote tuliamua kwa
kauli moja na tukaona tuende tutembelee rafiki yake Hamisi. Rafikiye
Hamisi aliitwa Mambo. Mambo alikuwa pia mwenye sifa zinazoana na zake
Hamisi. Nyumbani kwa akina Mambo kulikuwa upande wa pili wa barabara
itwayo Mwendatezi. Ilikuwa ni barabara iliyokuwa ikiziungaa nchi mbili.
Nchi ya Bidii na nchi ya Zusha. Tuliandamana moja kwa moja tukielekea
kwa akina Mambo. Tulitembea asteaste ndiposa tumpate mama kabla
hajarejea. Abdi alikuwa mbele naye Hamisi katikakati. Mimi ndiye
niliyefunga tatu.
Tulipofika njiani tuliona watu wamebeba magudulia na mandoo wakielekea
upande mmoja. Tulishangaa kwani hawa watu wanaenda wapi? Mungu amewaita
ama ni nini wanaenda haswa? Maswali yalivuruka vichwa vyetu. "Babu
shikamoo, watu wanae..." Kabla Hamisi hajamaliza maongezi yake na babu,
Mambo alitokea pia akiwa amejihami kwa ndoo. "Morioo vipiii, mnakimbiza
na nini hii mbogi ya mamorio, " Hamisi alimwuliza Mambo kwa lugha ya
mtaani yaani sheng'. " Wasee lori la ngata limeunguka huko tunaendea
ngata" Mambo pia alimjibu kwa lugha ya sheng'. Kumaanisha kwamba lori la
mafuta lilikuwa limeanguka na watu walikuwa wanakimbilia huko.
Hamisi na Mambo kwa sababu ya kuwa na tamaa ya pesa, walikimbia huko.
Nasi pia tuliekea huko. Tulipokaribia macho yetu yalijipatia chakula
chake cha bure. Kando kando mwa barabara lori la mafuta lililala.
Lilikuwa likitokwa na mafuta mithili ya kanjo livujalo wakati wa masika.
Watu walikuwa wameinama huku wakifurahia dhahabu ya siku moja hiyo.
Waliinama huku wakipiga kelele mithili ya chiriku mlaanifu akiyemimina
tani milioni za maji ya chooni. Tuliwaona Hamisi pia wakiwa mle mle
wakijaribu kupata sehemu yao ya mafuta. Abdi alirunga upande wa pili wa
barabara ili aweze kuona huo mkasa kwa pua na mdomo.
"Hivi ndivyo mabomu ya kupanga huua watu wengi. Badala ya wao kuepuka
mahala pa mikasa wao hukimbilia huko, " nilijiambia kimoyomoyo. Mzee
mmoja mraibu wa sigara alihizi kugonga kiu chake. Mara hiyo akatoa
kiberiti na kuasha. Twaalalalallaa!! Moto ulizuka. Watu walianza
kukimbia huku na kule wasijue la kufanya.
Muda mchache baadaye, mahali hapo palikuwa pamegeuzwa tanuri la kuchoma
makaa. Vilio vilisikika vikitoka mle jehanamu. Ilisikitika kusikia
vipingiti na mafuvu ya vichwa ikapasuka kwa kishindo. Ving'oru vya gari
la kuzima moto vilisikika hata karibu vifufue wale waliotutangulia mbele
ya haki. Vita vikali vilizuka baina ya watu na wazima moto. Walijitahidi
na baada ya nusu saa hivi moto ulitii amri na kujisalamisha. Magari ya
ambulansi yalikuwa yashafika. Tulianza kutoa msaada tuliokuwa nao.
Tuliwapanga majeruhi kando na wale walikuwa wameshasafifishwa jongeomeo
kando. Majeruhi waliweza kukimbizwa hospitalini. Lo! Nilichokiona si
kuamini. Mwandani wangu wake Abdi alikuwa ameunguzwa kiasi cha
kutotambuliwa. Alikkuwa akifunguafungua mdomo kilichomtoka ni majuto tu
pekee. Aisee Hamisi pia alikuwa hivyo hivyo. Hakuwa wa uji wala maji.
Walipelekwa hospitalini nami na mwendani wangu tukafwata pia.
Hospitalini wazazi wao walikuwa wameshapata habari. Mama yake Hamisi
alilia. Kwa kweli uchungu wa mwana ajuaye mama. Walilazwa na wakaanza
kufanyiwa matibabu ya dharura. Majeruhi mbali mbali waliweza kufika na
vitanda vikajaa kiasi cha wengine kulazwa sakafuni. Mamake Mambo alikuwa
akigaragara chini ungedhani alikuwa amevamiwa na pepo wachafu. Alilia
kwa uchungu sana.
Mimi niliondoka hospitalini nisijue ambacho nyumbani kilikuwa
kimeningojea. Njiani nilikuwa nakumbuka semi za dadangu nabaki nadodokwa
na machozi. Kumbe ningetii yale dada aliniambia. Kwa kweli majuto ni
mjukuu huja baadaye na asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
| Shule waliosomea, Abdi, hamisi na rafikiye ilikuwa wapi | {
"text": [
"Mwendao"
]
} |
4769_swa | HAMISI AJUTA
Hamisi alikuwa mtoto wa pili katika familia ya Mzee Mwinyi. Alilelewa
katika maisha ya asali na maziwa tu. Kijiji kila mtu alimwepuka mithili
ndwele. Alikuwa mkia mbuzi. Shuleni pia hakuna aliyetaka kutangamana
naye. Darasani hakuwa mtu wa kuunga moja na moja kupata mbili. Alikuwa
sumbukuku alikuwa mjeuri sisemi mkia mbuzi. Mama yake kila wakati
alipokuwa anapata ripoti kwamba mtoto wake ni mjeuri hakuamini.
Aliwarushia majirani maneno na kuwaambia kwamba wanamwonea mwana wao.
Majirani walibaki vinywa wazi na kushangaa hawana la kusema. Abdi kwa
kumjua sana na kuwa karibu na Hamisi alijaribu kumwelekeza rafikiye
Hamisi. Alikuwa na matumaini kwamba siku moja Abdi atakuwa mtu mwema na
wa kusifika kama walivyo watoto wengine.
Siku moja nilipokuwa nabarizi kwenye mkeka wangu asubuhi mafungulia
ng'ombe Abdi na Hamisi walifika. Kwa kuwa mimi nilikuwa ninawafahamu
niliwakaribisha kwa mikono miwili na angalau waweze kupa kikombe cha
chai. Dada yangu aliendaa meza kwa haraka kwani sis sote tulikuwa
tukisoma shule moja huko kijijini ya Mwendao. Tulikunywa chai huku
tukipiga mazungumzo na wendani hao. Abdi ndiye aliyekuwa rafiki yangu.
Kupitia kwa Abdi, ndipo nilipomjua huyu kijana Hamisi. Tulipata chakula
cha asubuhi na sote tukamshukuru dada yangu kwa chakula kitamu mithili
ya halua kwa tende.
" Kauleni, mama hatafurahia akikuona mkitembea na Hamisi, " dada yangu
alininong'onezea. Kisha nikamjibu kwamba mimi siandamani nao kamwe bali
tu ni tasalia humu. Dada yangu alikuja juu na kutuambia kwamba
tusiomdoke kwani mama angetaka kutuona ili tuwe na mazungumzo na yeye.
Tulimwahidi dada kwamba hatuendi popote. Tuliendelea na gumzo hadi pale
Hamisi alipotushauri ingekuwa vyema kama tungepiga guu mosi guu pili
tuone vile upande wa kijiji huo mwingine unavyokaa. Sote tuliamua kwa
kauli moja na tukaona tuende tutembelee rafiki yake Hamisi. Rafikiye
Hamisi aliitwa Mambo. Mambo alikuwa pia mwenye sifa zinazoana na zake
Hamisi. Nyumbani kwa akina Mambo kulikuwa upande wa pili wa barabara
itwayo Mwendatezi. Ilikuwa ni barabara iliyokuwa ikiziungaa nchi mbili.
Nchi ya Bidii na nchi ya Zusha. Tuliandamana moja kwa moja tukielekea
kwa akina Mambo. Tulitembea asteaste ndiposa tumpate mama kabla
hajarejea. Abdi alikuwa mbele naye Hamisi katikakati. Mimi ndiye
niliyefunga tatu.
Tulipofika njiani tuliona watu wamebeba magudulia na mandoo wakielekea
upande mmoja. Tulishangaa kwani hawa watu wanaenda wapi? Mungu amewaita
ama ni nini wanaenda haswa? Maswali yalivuruka vichwa vyetu. "Babu
shikamoo, watu wanae..." Kabla Hamisi hajamaliza maongezi yake na babu,
Mambo alitokea pia akiwa amejihami kwa ndoo. "Morioo vipiii, mnakimbiza
na nini hii mbogi ya mamorio, " Hamisi alimwuliza Mambo kwa lugha ya
mtaani yaani sheng'. " Wasee lori la ngata limeunguka huko tunaendea
ngata" Mambo pia alimjibu kwa lugha ya sheng'. Kumaanisha kwamba lori la
mafuta lilikuwa limeanguka na watu walikuwa wanakimbilia huko.
Hamisi na Mambo kwa sababu ya kuwa na tamaa ya pesa, walikimbia huko.
Nasi pia tuliekea huko. Tulipokaribia macho yetu yalijipatia chakula
chake cha bure. Kando kando mwa barabara lori la mafuta lililala.
Lilikuwa likitokwa na mafuta mithili ya kanjo livujalo wakati wa masika.
Watu walikuwa wameinama huku wakifurahia dhahabu ya siku moja hiyo.
Waliinama huku wakipiga kelele mithili ya chiriku mlaanifu akiyemimina
tani milioni za maji ya chooni. Tuliwaona Hamisi pia wakiwa mle mle
wakijaribu kupata sehemu yao ya mafuta. Abdi alirunga upande wa pili wa
barabara ili aweze kuona huo mkasa kwa pua na mdomo.
"Hivi ndivyo mabomu ya kupanga huua watu wengi. Badala ya wao kuepuka
mahala pa mikasa wao hukimbilia huko, " nilijiambia kimoyomoyo. Mzee
mmoja mraibu wa sigara alihizi kugonga kiu chake. Mara hiyo akatoa
kiberiti na kuasha. Twaalalalallaa!! Moto ulizuka. Watu walianza
kukimbia huku na kule wasijue la kufanya.
Muda mchache baadaye, mahali hapo palikuwa pamegeuzwa tanuri la kuchoma
makaa. Vilio vilisikika vikitoka mle jehanamu. Ilisikitika kusikia
vipingiti na mafuvu ya vichwa ikapasuka kwa kishindo. Ving'oru vya gari
la kuzima moto vilisikika hata karibu vifufue wale waliotutangulia mbele
ya haki. Vita vikali vilizuka baina ya watu na wazima moto. Walijitahidi
na baada ya nusu saa hivi moto ulitii amri na kujisalamisha. Magari ya
ambulansi yalikuwa yashafika. Tulianza kutoa msaada tuliokuwa nao.
Tuliwapanga majeruhi kando na wale walikuwa wameshasafifishwa jongeomeo
kando. Majeruhi waliweza kukimbizwa hospitalini. Lo! Nilichokiona si
kuamini. Mwandani wangu wake Abdi alikuwa ameunguzwa kiasi cha
kutotambuliwa. Alikkuwa akifunguafungua mdomo kilichomtoka ni majuto tu
pekee. Aisee Hamisi pia alikuwa hivyo hivyo. Hakuwa wa uji wala maji.
Walipelekwa hospitalini nami na mwendani wangu tukafwata pia.
Hospitalini wazazi wao walikuwa wameshapata habari. Mama yake Hamisi
alilia. Kwa kweli uchungu wa mwana ajuaye mama. Walilazwa na wakaanza
kufanyiwa matibabu ya dharura. Majeruhi mbali mbali waliweza kufika na
vitanda vikajaa kiasi cha wengine kulazwa sakafuni. Mamake Mambo alikuwa
akigaragara chini ungedhani alikuwa amevamiwa na pepo wachafu. Alilia
kwa uchungu sana.
Mimi niliondoka hospitalini nisijue ambacho nyumbani kilikuwa
kimeningojea. Njiani nilikuwa nakumbuka semi za dadangu nabaki nadodokwa
na machozi. Kumbe ningetii yale dada aliniambia. Kwa kweli majuto ni
mjukuu huja baadaye na asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
| Watu waliobeba magundulia na ndoo walielekea wapi | {
"text": [
"Kuliko anguka lori la maguta"
]
} |
4769_swa | HAMISI AJUTA
Hamisi alikuwa mtoto wa pili katika familia ya Mzee Mwinyi. Alilelewa
katika maisha ya asali na maziwa tu. Kijiji kila mtu alimwepuka mithili
ndwele. Alikuwa mkia mbuzi. Shuleni pia hakuna aliyetaka kutangamana
naye. Darasani hakuwa mtu wa kuunga moja na moja kupata mbili. Alikuwa
sumbukuku alikuwa mjeuri sisemi mkia mbuzi. Mama yake kila wakati
alipokuwa anapata ripoti kwamba mtoto wake ni mjeuri hakuamini.
Aliwarushia majirani maneno na kuwaambia kwamba wanamwonea mwana wao.
Majirani walibaki vinywa wazi na kushangaa hawana la kusema. Abdi kwa
kumjua sana na kuwa karibu na Hamisi alijaribu kumwelekeza rafikiye
Hamisi. Alikuwa na matumaini kwamba siku moja Abdi atakuwa mtu mwema na
wa kusifika kama walivyo watoto wengine.
Siku moja nilipokuwa nabarizi kwenye mkeka wangu asubuhi mafungulia
ng'ombe Abdi na Hamisi walifika. Kwa kuwa mimi nilikuwa ninawafahamu
niliwakaribisha kwa mikono miwili na angalau waweze kupa kikombe cha
chai. Dada yangu aliendaa meza kwa haraka kwani sis sote tulikuwa
tukisoma shule moja huko kijijini ya Mwendao. Tulikunywa chai huku
tukipiga mazungumzo na wendani hao. Abdi ndiye aliyekuwa rafiki yangu.
Kupitia kwa Abdi, ndipo nilipomjua huyu kijana Hamisi. Tulipata chakula
cha asubuhi na sote tukamshukuru dada yangu kwa chakula kitamu mithili
ya halua kwa tende.
" Kauleni, mama hatafurahia akikuona mkitembea na Hamisi, " dada yangu
alininong'onezea. Kisha nikamjibu kwamba mimi siandamani nao kamwe bali
tu ni tasalia humu. Dada yangu alikuja juu na kutuambia kwamba
tusiomdoke kwani mama angetaka kutuona ili tuwe na mazungumzo na yeye.
Tulimwahidi dada kwamba hatuendi popote. Tuliendelea na gumzo hadi pale
Hamisi alipotushauri ingekuwa vyema kama tungepiga guu mosi guu pili
tuone vile upande wa kijiji huo mwingine unavyokaa. Sote tuliamua kwa
kauli moja na tukaona tuende tutembelee rafiki yake Hamisi. Rafikiye
Hamisi aliitwa Mambo. Mambo alikuwa pia mwenye sifa zinazoana na zake
Hamisi. Nyumbani kwa akina Mambo kulikuwa upande wa pili wa barabara
itwayo Mwendatezi. Ilikuwa ni barabara iliyokuwa ikiziungaa nchi mbili.
Nchi ya Bidii na nchi ya Zusha. Tuliandamana moja kwa moja tukielekea
kwa akina Mambo. Tulitembea asteaste ndiposa tumpate mama kabla
hajarejea. Abdi alikuwa mbele naye Hamisi katikakati. Mimi ndiye
niliyefunga tatu.
Tulipofika njiani tuliona watu wamebeba magudulia na mandoo wakielekea
upande mmoja. Tulishangaa kwani hawa watu wanaenda wapi? Mungu amewaita
ama ni nini wanaenda haswa? Maswali yalivuruka vichwa vyetu. "Babu
shikamoo, watu wanae..." Kabla Hamisi hajamaliza maongezi yake na babu,
Mambo alitokea pia akiwa amejihami kwa ndoo. "Morioo vipiii, mnakimbiza
na nini hii mbogi ya mamorio, " Hamisi alimwuliza Mambo kwa lugha ya
mtaani yaani sheng'. " Wasee lori la ngata limeunguka huko tunaendea
ngata" Mambo pia alimjibu kwa lugha ya sheng'. Kumaanisha kwamba lori la
mafuta lilikuwa limeanguka na watu walikuwa wanakimbilia huko.
Hamisi na Mambo kwa sababu ya kuwa na tamaa ya pesa, walikimbia huko.
Nasi pia tuliekea huko. Tulipokaribia macho yetu yalijipatia chakula
chake cha bure. Kando kando mwa barabara lori la mafuta lililala.
Lilikuwa likitokwa na mafuta mithili ya kanjo livujalo wakati wa masika.
Watu walikuwa wameinama huku wakifurahia dhahabu ya siku moja hiyo.
Waliinama huku wakipiga kelele mithili ya chiriku mlaanifu akiyemimina
tani milioni za maji ya chooni. Tuliwaona Hamisi pia wakiwa mle mle
wakijaribu kupata sehemu yao ya mafuta. Abdi alirunga upande wa pili wa
barabara ili aweze kuona huo mkasa kwa pua na mdomo.
"Hivi ndivyo mabomu ya kupanga huua watu wengi. Badala ya wao kuepuka
mahala pa mikasa wao hukimbilia huko, " nilijiambia kimoyomoyo. Mzee
mmoja mraibu wa sigara alihizi kugonga kiu chake. Mara hiyo akatoa
kiberiti na kuasha. Twaalalalallaa!! Moto ulizuka. Watu walianza
kukimbia huku na kule wasijue la kufanya.
Muda mchache baadaye, mahali hapo palikuwa pamegeuzwa tanuri la kuchoma
makaa. Vilio vilisikika vikitoka mle jehanamu. Ilisikitika kusikia
vipingiti na mafuvu ya vichwa ikapasuka kwa kishindo. Ving'oru vya gari
la kuzima moto vilisikika hata karibu vifufue wale waliotutangulia mbele
ya haki. Vita vikali vilizuka baina ya watu na wazima moto. Walijitahidi
na baada ya nusu saa hivi moto ulitii amri na kujisalamisha. Magari ya
ambulansi yalikuwa yashafika. Tulianza kutoa msaada tuliokuwa nao.
Tuliwapanga majeruhi kando na wale walikuwa wameshasafifishwa jongeomeo
kando. Majeruhi waliweza kukimbizwa hospitalini. Lo! Nilichokiona si
kuamini. Mwandani wangu wake Abdi alikuwa ameunguzwa kiasi cha
kutotambuliwa. Alikkuwa akifunguafungua mdomo kilichomtoka ni majuto tu
pekee. Aisee Hamisi pia alikuwa hivyo hivyo. Hakuwa wa uji wala maji.
Walipelekwa hospitalini nami na mwendani wangu tukafwata pia.
Hospitalini wazazi wao walikuwa wameshapata habari. Mama yake Hamisi
alilia. Kwa kweli uchungu wa mwana ajuaye mama. Walilazwa na wakaanza
kufanyiwa matibabu ya dharura. Majeruhi mbali mbali waliweza kufika na
vitanda vikajaa kiasi cha wengine kulazwa sakafuni. Mamake Mambo alikuwa
akigaragara chini ungedhani alikuwa amevamiwa na pepo wachafu. Alilia
kwa uchungu sana.
Mimi niliondoka hospitalini nisijue ambacho nyumbani kilikuwa
kimeningojea. Njiani nilikuwa nakumbuka semi za dadangu nabaki nadodokwa
na machozi. Kumbe ningetii yale dada aliniambia. Kwa kweli majuto ni
mjukuu huja baadaye na asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
| Ni dhahabu gani ya siku moja iliyofurahiwa na watu | {
"text": [
"Mafuta"
]
} |
4769_swa | HAMISI AJUTA
Hamisi alikuwa mtoto wa pili katika familia ya Mzee Mwinyi. Alilelewa
katika maisha ya asali na maziwa tu. Kijiji kila mtu alimwepuka mithili
ndwele. Alikuwa mkia mbuzi. Shuleni pia hakuna aliyetaka kutangamana
naye. Darasani hakuwa mtu wa kuunga moja na moja kupata mbili. Alikuwa
sumbukuku alikuwa mjeuri sisemi mkia mbuzi. Mama yake kila wakati
alipokuwa anapata ripoti kwamba mtoto wake ni mjeuri hakuamini.
Aliwarushia majirani maneno na kuwaambia kwamba wanamwonea mwana wao.
Majirani walibaki vinywa wazi na kushangaa hawana la kusema. Abdi kwa
kumjua sana na kuwa karibu na Hamisi alijaribu kumwelekeza rafikiye
Hamisi. Alikuwa na matumaini kwamba siku moja Abdi atakuwa mtu mwema na
wa kusifika kama walivyo watoto wengine.
Siku moja nilipokuwa nabarizi kwenye mkeka wangu asubuhi mafungulia
ng'ombe Abdi na Hamisi walifika. Kwa kuwa mimi nilikuwa ninawafahamu
niliwakaribisha kwa mikono miwili na angalau waweze kupa kikombe cha
chai. Dada yangu aliendaa meza kwa haraka kwani sis sote tulikuwa
tukisoma shule moja huko kijijini ya Mwendao. Tulikunywa chai huku
tukipiga mazungumzo na wendani hao. Abdi ndiye aliyekuwa rafiki yangu.
Kupitia kwa Abdi, ndipo nilipomjua huyu kijana Hamisi. Tulipata chakula
cha asubuhi na sote tukamshukuru dada yangu kwa chakula kitamu mithili
ya halua kwa tende.
" Kauleni, mama hatafurahia akikuona mkitembea na Hamisi, " dada yangu
alininong'onezea. Kisha nikamjibu kwamba mimi siandamani nao kamwe bali
tu ni tasalia humu. Dada yangu alikuja juu na kutuambia kwamba
tusiomdoke kwani mama angetaka kutuona ili tuwe na mazungumzo na yeye.
Tulimwahidi dada kwamba hatuendi popote. Tuliendelea na gumzo hadi pale
Hamisi alipotushauri ingekuwa vyema kama tungepiga guu mosi guu pili
tuone vile upande wa kijiji huo mwingine unavyokaa. Sote tuliamua kwa
kauli moja na tukaona tuende tutembelee rafiki yake Hamisi. Rafikiye
Hamisi aliitwa Mambo. Mambo alikuwa pia mwenye sifa zinazoana na zake
Hamisi. Nyumbani kwa akina Mambo kulikuwa upande wa pili wa barabara
itwayo Mwendatezi. Ilikuwa ni barabara iliyokuwa ikiziungaa nchi mbili.
Nchi ya Bidii na nchi ya Zusha. Tuliandamana moja kwa moja tukielekea
kwa akina Mambo. Tulitembea asteaste ndiposa tumpate mama kabla
hajarejea. Abdi alikuwa mbele naye Hamisi katikakati. Mimi ndiye
niliyefunga tatu.
Tulipofika njiani tuliona watu wamebeba magudulia na mandoo wakielekea
upande mmoja. Tulishangaa kwani hawa watu wanaenda wapi? Mungu amewaita
ama ni nini wanaenda haswa? Maswali yalivuruka vichwa vyetu. "Babu
shikamoo, watu wanae..." Kabla Hamisi hajamaliza maongezi yake na babu,
Mambo alitokea pia akiwa amejihami kwa ndoo. "Morioo vipiii, mnakimbiza
na nini hii mbogi ya mamorio, " Hamisi alimwuliza Mambo kwa lugha ya
mtaani yaani sheng'. " Wasee lori la ngata limeunguka huko tunaendea
ngata" Mambo pia alimjibu kwa lugha ya sheng'. Kumaanisha kwamba lori la
mafuta lilikuwa limeanguka na watu walikuwa wanakimbilia huko.
Hamisi na Mambo kwa sababu ya kuwa na tamaa ya pesa, walikimbia huko.
Nasi pia tuliekea huko. Tulipokaribia macho yetu yalijipatia chakula
chake cha bure. Kando kando mwa barabara lori la mafuta lililala.
Lilikuwa likitokwa na mafuta mithili ya kanjo livujalo wakati wa masika.
Watu walikuwa wameinama huku wakifurahia dhahabu ya siku moja hiyo.
Waliinama huku wakipiga kelele mithili ya chiriku mlaanifu akiyemimina
tani milioni za maji ya chooni. Tuliwaona Hamisi pia wakiwa mle mle
wakijaribu kupata sehemu yao ya mafuta. Abdi alirunga upande wa pili wa
barabara ili aweze kuona huo mkasa kwa pua na mdomo.
"Hivi ndivyo mabomu ya kupanga huua watu wengi. Badala ya wao kuepuka
mahala pa mikasa wao hukimbilia huko, " nilijiambia kimoyomoyo. Mzee
mmoja mraibu wa sigara alihizi kugonga kiu chake. Mara hiyo akatoa
kiberiti na kuasha. Twaalalalallaa!! Moto ulizuka. Watu walianza
kukimbia huku na kule wasijue la kufanya.
Muda mchache baadaye, mahali hapo palikuwa pamegeuzwa tanuri la kuchoma
makaa. Vilio vilisikika vikitoka mle jehanamu. Ilisikitika kusikia
vipingiti na mafuvu ya vichwa ikapasuka kwa kishindo. Ving'oru vya gari
la kuzima moto vilisikika hata karibu vifufue wale waliotutangulia mbele
ya haki. Vita vikali vilizuka baina ya watu na wazima moto. Walijitahidi
na baada ya nusu saa hivi moto ulitii amri na kujisalamisha. Magari ya
ambulansi yalikuwa yashafika. Tulianza kutoa msaada tuliokuwa nao.
Tuliwapanga majeruhi kando na wale walikuwa wameshasafifishwa jongeomeo
kando. Majeruhi waliweza kukimbizwa hospitalini. Lo! Nilichokiona si
kuamini. Mwandani wangu wake Abdi alikuwa ameunguzwa kiasi cha
kutotambuliwa. Alikkuwa akifunguafungua mdomo kilichomtoka ni majuto tu
pekee. Aisee Hamisi pia alikuwa hivyo hivyo. Hakuwa wa uji wala maji.
Walipelekwa hospitalini nami na mwendani wangu tukafwata pia.
Hospitalini wazazi wao walikuwa wameshapata habari. Mama yake Hamisi
alilia. Kwa kweli uchungu wa mwana ajuaye mama. Walilazwa na wakaanza
kufanyiwa matibabu ya dharura. Majeruhi mbali mbali waliweza kufika na
vitanda vikajaa kiasi cha wengine kulazwa sakafuni. Mamake Mambo alikuwa
akigaragara chini ungedhani alikuwa amevamiwa na pepo wachafu. Alilia
kwa uchungu sana.
Mimi niliondoka hospitalini nisijue ambacho nyumbani kilikuwa
kimeningojea. Njiani nilikuwa nakumbuka semi za dadangu nabaki nadodokwa
na machozi. Kumbe ningetii yale dada aliniambia. Kwa kweli majuto ni
mjukuu huja baadaye na asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
| Nani aliyeasha moto lori ililokuwa ma mafuta | {
"text": [
"Mzee mmoja mraibu wa sigara"
]
} |
4772_swa | MAJUTO NI MJUKUU HUJA BAADAYE
Kiwiliwili hafifu kilijinyoosha ndani ya mashuka meupe huku kikiguna kwa
maumivu makali. Kichwa kilichochukua sura ya fuvu kwa kukosa vijinyama
vya kukipa umbo halisia kilitikisika sambamba na mtetemo wa mwili wa
Masumbuko. Mirija ya kupitishia damu ilimzonga kote mwilini ikamlemaza
na kumfanya asiweze kusogea. Chumba kilikuwa kimya kiasi cha kutoa mlio
wa mpito wa matone ya damu kwa mwangwi wa kuogofya ukivuma kuelekea
mwilini mwa mtu ambaye alikua gofu hasa sio mtu tena. Kelele pekee
ilikua ile ya mguno wa mara kwa mara. Masumbuko alikuwa amekonda hata
kushinda ng’onda. Alikuwa kama kijisindano cha kufumia vyepeo ndani ya
mashuka meupe. Kushotoni mwake kijistuli kilijisimamisha imara huku
kimebeba bakuli lenye kiowevu cha hudhurungi. Bakuli lenyewe lilikuwa
limetua kwa huzuni kana kwamba linamsononekea mgonjwa.
Chozi liliiririka kutoka kwenye jicho lake la kulia. Chozi hilo
lilivumbika uchungu wa shubiri ulioyabeba yaliyomsibu. Masumbuko
aliyainua macho yake na kuitazama saa iliyotundikwa ukutani akatambua
kuwa ilikuwa saa saba mchana. Huu ndio wakati ule yalipotokea
yaliyomkaanga. Siku ile bado ilikuwa mbichi kichwani mwake. Alimkumbuka
bwana Jack Mapesa alivomchukua ndani ya gari lake aina ya Lamborghini
mchana wa siku ile. Kama kawaida yake alikuwa amesimama kando ya
barabara ya Maweni kati huku kisketi chake cha buluu kikimbana mapajani
na kuiangaza haiba ya mng’ao wa ngozi yake yenye ulaini wa hariri.
Mdomoni alikuwa akiiafuna chingamu kwa utafunaji wa mbuzi aliouita
usasa. Ni usasa gani unaomfanya mtu atafune chingamu kana kwamba ni
majani makavu kwa ulaji wa mbuzi? Masumbuko alikitoma chanda chake
mdomoni akaiviringaviringa ile chingamu nje kwa madaha huku bwana Mapesa
akimpigia miluzi. Bwana Mapesa alimpungia mkono aingie garini huku
akimkonyezea.
Kama afanyavyo na wateja wake wa kawaida ,waliongea bei akijihashua kwa
madaha ya kumteka bwana wake mpya. Bwana Mapesa aliahidi kumpa Masumbuko
shilingi milioni tatu. Safari yao ya kuelekea nyumbani kwa Mapesa
ilianza huku Masumbuko akiiwazia bahati ya milioni tatu kwa mshangao.
Alijawa na furaha huku akiipangia pesa ambayo hanayo bajeti kichwani
wake. Gari llisimaishwa nje ya jumba kubwa nao wakashikana mikono
kuelekea chumbani mwa bwana Mapesa. Mapesa hakukawia kuukomea mlango na
kisha kuyavua mavazi yake kutoka mwilini mwake na kubaki kama
aliyezaliwa. Masumbuko alishangaa kuuona uume wa Mapesa ukiwa
unatiririkwa na damu na usaha. Madonda yalikuwa yamejaa kila mahali.
Masumbuko aliingiwa na kinyaa na kutapika chakula chote alichokuwa
amekila siku hiyo. Kwa hasira, Mapesa alimnyooshesa bunduki kichwani na
kumuamuru ‘ nifyonze niridhike au nitakuua!’ Kwa kuwa Masumbuko hakuwa
na namna aliitii amri ya bwana wake huku akilia. Kisha wakaelekea
kitandani akatendewa ya kutendewa katikati ya kilio. Baada ya hapo
Mapesa akalitoa joka lake alilokuwa akilifuga na kumwamuru Masumbuko
aliridhishe kimapenzi.
Masumbuko aliimaliza kazi yake na kisha kudai malipo yake kutoka kwa
bwana Mapesa. Bwana Mapesa alimsukuma Masumbuko nje ya nyumba na
kumfukuza kama mbwakoko. Walinzi walikuja kumfurusha mwanamke huyo
aliyekuwa akizua rabsha kwenye mazingira tulivu ya majumba ya matajiri
wa mji . Masumbuko alijiendea zake kwake akiwa na simanzi tele. Siku
kadhaa zilipita akaanza kuugua hapa na pale. Koo lake likavimba na
kutuna usaha akawa hawezi kumeza kitu. Aliugua sehemu nyeti akawa anatoa
harufu mbaya inayokera ungedhani ni panya na papa waliooza. Jirani yake
Amina ndiye aliyemsaidia kumpeleka hospitali alipokuja kuomba chumvi na
kumwona mwenzake hajifai. Vipimo vya daktari vilionyesha maambukizi ya
ukimwi na kaswende. Masumbuko akawa anakonda tu na kujililia kwa
kujihurumia. Akakonda na kukondeana akatamani asingalitoroka kwao ambako
alilelewa vyema na wazazi wake.
Masumbuko alikumbuka jinsi alkivyotoroka kijijini akakimbilia mjini na
kuambulia kuwa kahaba akijisimamisha kama muhogo wa kuchoma mbele ya
matrela akitafuta wateja. Ingawa kijijini Ukavu alikuwa akilelewa kwa
chai ya mkandaa kwa mbatata, alikuwa na furaha. Alikuwa akisoma katika
darasa la nane katika shule ya Ukingoni. Shinikizo la rika likampumbaza
naye akabebwa kama upepo na kina Saumu kuelekea mjini ambapo walijiuza
yapata miaka mitatu sasa. Laiti angalisoma na kuwafuta machozi wazazi
wake waliokuwa na bidii kwenye mashamba ya kahawa wakiwachumia wana wao
riziki. Laiti angalitulia kijijini asingekuwa nusu ya mauti leo hii.
Lakini kwa kuwa majuto ni mjukuu aliyawacha ya umajimaji yamtiririke
usoni. Akalia mpaka uso ukamwiva wekundu. Polepole, alijinyanyua
akachukua vidonge vya dawa alizoekewa na nesi kwenye stuli, akavimimina
vidonge vyote mdomoni kwa kupitiliza ,akavisukuma kwa maji. Mapovu meupe
yakatiririka huku mwili ukimpukutika kisha kimya. Yakaisha.
| Nani alikuwa amekonda hata kushinda ngonda | {
"text": [
"Masumbuko"
]
} |
4772_swa | MAJUTO NI MJUKUU HUJA BAADAYE
Kiwiliwili hafifu kilijinyoosha ndani ya mashuka meupe huku kikiguna kwa
maumivu makali. Kichwa kilichochukua sura ya fuvu kwa kukosa vijinyama
vya kukipa umbo halisia kilitikisika sambamba na mtetemo wa mwili wa
Masumbuko. Mirija ya kupitishia damu ilimzonga kote mwilini ikamlemaza
na kumfanya asiweze kusogea. Chumba kilikuwa kimya kiasi cha kutoa mlio
wa mpito wa matone ya damu kwa mwangwi wa kuogofya ukivuma kuelekea
mwilini mwa mtu ambaye alikua gofu hasa sio mtu tena. Kelele pekee
ilikua ile ya mguno wa mara kwa mara. Masumbuko alikuwa amekonda hata
kushinda ng’onda. Alikuwa kama kijisindano cha kufumia vyepeo ndani ya
mashuka meupe. Kushotoni mwake kijistuli kilijisimamisha imara huku
kimebeba bakuli lenye kiowevu cha hudhurungi. Bakuli lenyewe lilikuwa
limetua kwa huzuni kana kwamba linamsononekea mgonjwa.
Chozi liliiririka kutoka kwenye jicho lake la kulia. Chozi hilo
lilivumbika uchungu wa shubiri ulioyabeba yaliyomsibu. Masumbuko
aliyainua macho yake na kuitazama saa iliyotundikwa ukutani akatambua
kuwa ilikuwa saa saba mchana. Huu ndio wakati ule yalipotokea
yaliyomkaanga. Siku ile bado ilikuwa mbichi kichwani mwake. Alimkumbuka
bwana Jack Mapesa alivomchukua ndani ya gari lake aina ya Lamborghini
mchana wa siku ile. Kama kawaida yake alikuwa amesimama kando ya
barabara ya Maweni kati huku kisketi chake cha buluu kikimbana mapajani
na kuiangaza haiba ya mng’ao wa ngozi yake yenye ulaini wa hariri.
Mdomoni alikuwa akiiafuna chingamu kwa utafunaji wa mbuzi aliouita
usasa. Ni usasa gani unaomfanya mtu atafune chingamu kana kwamba ni
majani makavu kwa ulaji wa mbuzi? Masumbuko alikitoma chanda chake
mdomoni akaiviringaviringa ile chingamu nje kwa madaha huku bwana Mapesa
akimpigia miluzi. Bwana Mapesa alimpungia mkono aingie garini huku
akimkonyezea.
Kama afanyavyo na wateja wake wa kawaida ,waliongea bei akijihashua kwa
madaha ya kumteka bwana wake mpya. Bwana Mapesa aliahidi kumpa Masumbuko
shilingi milioni tatu. Safari yao ya kuelekea nyumbani kwa Mapesa
ilianza huku Masumbuko akiiwazia bahati ya milioni tatu kwa mshangao.
Alijawa na furaha huku akiipangia pesa ambayo hanayo bajeti kichwani
wake. Gari llisimaishwa nje ya jumba kubwa nao wakashikana mikono
kuelekea chumbani mwa bwana Mapesa. Mapesa hakukawia kuukomea mlango na
kisha kuyavua mavazi yake kutoka mwilini mwake na kubaki kama
aliyezaliwa. Masumbuko alishangaa kuuona uume wa Mapesa ukiwa
unatiririkwa na damu na usaha. Madonda yalikuwa yamejaa kila mahali.
Masumbuko aliingiwa na kinyaa na kutapika chakula chote alichokuwa
amekila siku hiyo. Kwa hasira, Mapesa alimnyooshesa bunduki kichwani na
kumuamuru ‘ nifyonze niridhike au nitakuua!’ Kwa kuwa Masumbuko hakuwa
na namna aliitii amri ya bwana wake huku akilia. Kisha wakaelekea
kitandani akatendewa ya kutendewa katikati ya kilio. Baada ya hapo
Mapesa akalitoa joka lake alilokuwa akilifuga na kumwamuru Masumbuko
aliridhishe kimapenzi.
Masumbuko aliimaliza kazi yake na kisha kudai malipo yake kutoka kwa
bwana Mapesa. Bwana Mapesa alimsukuma Masumbuko nje ya nyumba na
kumfukuza kama mbwakoko. Walinzi walikuja kumfurusha mwanamke huyo
aliyekuwa akizua rabsha kwenye mazingira tulivu ya majumba ya matajiri
wa mji . Masumbuko alijiendea zake kwake akiwa na simanzi tele. Siku
kadhaa zilipita akaanza kuugua hapa na pale. Koo lake likavimba na
kutuna usaha akawa hawezi kumeza kitu. Aliugua sehemu nyeti akawa anatoa
harufu mbaya inayokera ungedhani ni panya na papa waliooza. Jirani yake
Amina ndiye aliyemsaidia kumpeleka hospitali alipokuja kuomba chumvi na
kumwona mwenzake hajifai. Vipimo vya daktari vilionyesha maambukizi ya
ukimwi na kaswende. Masumbuko akawa anakonda tu na kujililia kwa
kujihurumia. Akakonda na kukondeana akatamani asingalitoroka kwao ambako
alilelewa vyema na wazazi wake.
Masumbuko alikumbuka jinsi alkivyotoroka kijijini akakimbilia mjini na
kuambulia kuwa kahaba akijisimamisha kama muhogo wa kuchoma mbele ya
matrela akitafuta wateja. Ingawa kijijini Ukavu alikuwa akilelewa kwa
chai ya mkandaa kwa mbatata, alikuwa na furaha. Alikuwa akisoma katika
darasa la nane katika shule ya Ukingoni. Shinikizo la rika likampumbaza
naye akabebwa kama upepo na kina Saumu kuelekea mjini ambapo walijiuza
yapata miaka mitatu sasa. Laiti angalisoma na kuwafuta machozi wazazi
wake waliokuwa na bidii kwenye mashamba ya kahawa wakiwachumia wana wao
riziki. Laiti angalitulia kijijini asingekuwa nusu ya mauti leo hii.
Lakini kwa kuwa majuto ni mjukuu aliyawacha ya umajimaji yamtiririke
usoni. Akalia mpaka uso ukamwiva wekundu. Polepole, alijinyanyua
akachukua vidonge vya dawa alizoekewa na nesi kwenye stuli, akavimimina
vidonge vyote mdomoni kwa kupitiliza ,akavisukuma kwa maji. Mapovu meupe
yakatiririka huku mwili ukimpukutika kisha kimya. Yakaisha.
| Bw mapesa alimiliki gari la aina gani | {
"text": [
"Lamborghini"
]
} |
4772_swa | MAJUTO NI MJUKUU HUJA BAADAYE
Kiwiliwili hafifu kilijinyoosha ndani ya mashuka meupe huku kikiguna kwa
maumivu makali. Kichwa kilichochukua sura ya fuvu kwa kukosa vijinyama
vya kukipa umbo halisia kilitikisika sambamba na mtetemo wa mwili wa
Masumbuko. Mirija ya kupitishia damu ilimzonga kote mwilini ikamlemaza
na kumfanya asiweze kusogea. Chumba kilikuwa kimya kiasi cha kutoa mlio
wa mpito wa matone ya damu kwa mwangwi wa kuogofya ukivuma kuelekea
mwilini mwa mtu ambaye alikua gofu hasa sio mtu tena. Kelele pekee
ilikua ile ya mguno wa mara kwa mara. Masumbuko alikuwa amekonda hata
kushinda ng’onda. Alikuwa kama kijisindano cha kufumia vyepeo ndani ya
mashuka meupe. Kushotoni mwake kijistuli kilijisimamisha imara huku
kimebeba bakuli lenye kiowevu cha hudhurungi. Bakuli lenyewe lilikuwa
limetua kwa huzuni kana kwamba linamsononekea mgonjwa.
Chozi liliiririka kutoka kwenye jicho lake la kulia. Chozi hilo
lilivumbika uchungu wa shubiri ulioyabeba yaliyomsibu. Masumbuko
aliyainua macho yake na kuitazama saa iliyotundikwa ukutani akatambua
kuwa ilikuwa saa saba mchana. Huu ndio wakati ule yalipotokea
yaliyomkaanga. Siku ile bado ilikuwa mbichi kichwani mwake. Alimkumbuka
bwana Jack Mapesa alivomchukua ndani ya gari lake aina ya Lamborghini
mchana wa siku ile. Kama kawaida yake alikuwa amesimama kando ya
barabara ya Maweni kati huku kisketi chake cha buluu kikimbana mapajani
na kuiangaza haiba ya mng’ao wa ngozi yake yenye ulaini wa hariri.
Mdomoni alikuwa akiiafuna chingamu kwa utafunaji wa mbuzi aliouita
usasa. Ni usasa gani unaomfanya mtu atafune chingamu kana kwamba ni
majani makavu kwa ulaji wa mbuzi? Masumbuko alikitoma chanda chake
mdomoni akaiviringaviringa ile chingamu nje kwa madaha huku bwana Mapesa
akimpigia miluzi. Bwana Mapesa alimpungia mkono aingie garini huku
akimkonyezea.
Kama afanyavyo na wateja wake wa kawaida ,waliongea bei akijihashua kwa
madaha ya kumteka bwana wake mpya. Bwana Mapesa aliahidi kumpa Masumbuko
shilingi milioni tatu. Safari yao ya kuelekea nyumbani kwa Mapesa
ilianza huku Masumbuko akiiwazia bahati ya milioni tatu kwa mshangao.
Alijawa na furaha huku akiipangia pesa ambayo hanayo bajeti kichwani
wake. Gari llisimaishwa nje ya jumba kubwa nao wakashikana mikono
kuelekea chumbani mwa bwana Mapesa. Mapesa hakukawia kuukomea mlango na
kisha kuyavua mavazi yake kutoka mwilini mwake na kubaki kama
aliyezaliwa. Masumbuko alishangaa kuuona uume wa Mapesa ukiwa
unatiririkwa na damu na usaha. Madonda yalikuwa yamejaa kila mahali.
Masumbuko aliingiwa na kinyaa na kutapika chakula chote alichokuwa
amekila siku hiyo. Kwa hasira, Mapesa alimnyooshesa bunduki kichwani na
kumuamuru ‘ nifyonze niridhike au nitakuua!’ Kwa kuwa Masumbuko hakuwa
na namna aliitii amri ya bwana wake huku akilia. Kisha wakaelekea
kitandani akatendewa ya kutendewa katikati ya kilio. Baada ya hapo
Mapesa akalitoa joka lake alilokuwa akilifuga na kumwamuru Masumbuko
aliridhishe kimapenzi.
Masumbuko aliimaliza kazi yake na kisha kudai malipo yake kutoka kwa
bwana Mapesa. Bwana Mapesa alimsukuma Masumbuko nje ya nyumba na
kumfukuza kama mbwakoko. Walinzi walikuja kumfurusha mwanamke huyo
aliyekuwa akizua rabsha kwenye mazingira tulivu ya majumba ya matajiri
wa mji . Masumbuko alijiendea zake kwake akiwa na simanzi tele. Siku
kadhaa zilipita akaanza kuugua hapa na pale. Koo lake likavimba na
kutuna usaha akawa hawezi kumeza kitu. Aliugua sehemu nyeti akawa anatoa
harufu mbaya inayokera ungedhani ni panya na papa waliooza. Jirani yake
Amina ndiye aliyemsaidia kumpeleka hospitali alipokuja kuomba chumvi na
kumwona mwenzake hajifai. Vipimo vya daktari vilionyesha maambukizi ya
ukimwi na kaswende. Masumbuko akawa anakonda tu na kujililia kwa
kujihurumia. Akakonda na kukondeana akatamani asingalitoroka kwao ambako
alilelewa vyema na wazazi wake.
Masumbuko alikumbuka jinsi alkivyotoroka kijijini akakimbilia mjini na
kuambulia kuwa kahaba akijisimamisha kama muhogo wa kuchoma mbele ya
matrela akitafuta wateja. Ingawa kijijini Ukavu alikuwa akilelewa kwa
chai ya mkandaa kwa mbatata, alikuwa na furaha. Alikuwa akisoma katika
darasa la nane katika shule ya Ukingoni. Shinikizo la rika likampumbaza
naye akabebwa kama upepo na kina Saumu kuelekea mjini ambapo walijiuza
yapata miaka mitatu sasa. Laiti angalisoma na kuwafuta machozi wazazi
wake waliokuwa na bidii kwenye mashamba ya kahawa wakiwachumia wana wao
riziki. Laiti angalitulia kijijini asingekuwa nusu ya mauti leo hii.
Lakini kwa kuwa majuto ni mjukuu aliyawacha ya umajimaji yamtiririke
usoni. Akalia mpaka uso ukamwiva wekundu. Polepole, alijinyanyua
akachukua vidonge vya dawa alizoekewa na nesi kwenye stuli, akavimimina
vidonge vyote mdomoni kwa kupitiliza ,akavisukuma kwa maji. Mapovu meupe
yakatiririka huku mwili ukimpukutika kisha kimya. Yakaisha.
| Bw Mapesa alimwahidi Masumbuko pesa ngapi | {
"text": [
"Shilingi milioni tatu"
]
} |
4772_swa | MAJUTO NI MJUKUU HUJA BAADAYE
Kiwiliwili hafifu kilijinyoosha ndani ya mashuka meupe huku kikiguna kwa
maumivu makali. Kichwa kilichochukua sura ya fuvu kwa kukosa vijinyama
vya kukipa umbo halisia kilitikisika sambamba na mtetemo wa mwili wa
Masumbuko. Mirija ya kupitishia damu ilimzonga kote mwilini ikamlemaza
na kumfanya asiweze kusogea. Chumba kilikuwa kimya kiasi cha kutoa mlio
wa mpito wa matone ya damu kwa mwangwi wa kuogofya ukivuma kuelekea
mwilini mwa mtu ambaye alikua gofu hasa sio mtu tena. Kelele pekee
ilikua ile ya mguno wa mara kwa mara. Masumbuko alikuwa amekonda hata
kushinda ng’onda. Alikuwa kama kijisindano cha kufumia vyepeo ndani ya
mashuka meupe. Kushotoni mwake kijistuli kilijisimamisha imara huku
kimebeba bakuli lenye kiowevu cha hudhurungi. Bakuli lenyewe lilikuwa
limetua kwa huzuni kana kwamba linamsononekea mgonjwa.
Chozi liliiririka kutoka kwenye jicho lake la kulia. Chozi hilo
lilivumbika uchungu wa shubiri ulioyabeba yaliyomsibu. Masumbuko
aliyainua macho yake na kuitazama saa iliyotundikwa ukutani akatambua
kuwa ilikuwa saa saba mchana. Huu ndio wakati ule yalipotokea
yaliyomkaanga. Siku ile bado ilikuwa mbichi kichwani mwake. Alimkumbuka
bwana Jack Mapesa alivomchukua ndani ya gari lake aina ya Lamborghini
mchana wa siku ile. Kama kawaida yake alikuwa amesimama kando ya
barabara ya Maweni kati huku kisketi chake cha buluu kikimbana mapajani
na kuiangaza haiba ya mng’ao wa ngozi yake yenye ulaini wa hariri.
Mdomoni alikuwa akiiafuna chingamu kwa utafunaji wa mbuzi aliouita
usasa. Ni usasa gani unaomfanya mtu atafune chingamu kana kwamba ni
majani makavu kwa ulaji wa mbuzi? Masumbuko alikitoma chanda chake
mdomoni akaiviringaviringa ile chingamu nje kwa madaha huku bwana Mapesa
akimpigia miluzi. Bwana Mapesa alimpungia mkono aingie garini huku
akimkonyezea.
Kama afanyavyo na wateja wake wa kawaida ,waliongea bei akijihashua kwa
madaha ya kumteka bwana wake mpya. Bwana Mapesa aliahidi kumpa Masumbuko
shilingi milioni tatu. Safari yao ya kuelekea nyumbani kwa Mapesa
ilianza huku Masumbuko akiiwazia bahati ya milioni tatu kwa mshangao.
Alijawa na furaha huku akiipangia pesa ambayo hanayo bajeti kichwani
wake. Gari llisimaishwa nje ya jumba kubwa nao wakashikana mikono
kuelekea chumbani mwa bwana Mapesa. Mapesa hakukawia kuukomea mlango na
kisha kuyavua mavazi yake kutoka mwilini mwake na kubaki kama
aliyezaliwa. Masumbuko alishangaa kuuona uume wa Mapesa ukiwa
unatiririkwa na damu na usaha. Madonda yalikuwa yamejaa kila mahali.
Masumbuko aliingiwa na kinyaa na kutapika chakula chote alichokuwa
amekila siku hiyo. Kwa hasira, Mapesa alimnyooshesa bunduki kichwani na
kumuamuru ‘ nifyonze niridhike au nitakuua!’ Kwa kuwa Masumbuko hakuwa
na namna aliitii amri ya bwana wake huku akilia. Kisha wakaelekea
kitandani akatendewa ya kutendewa katikati ya kilio. Baada ya hapo
Mapesa akalitoa joka lake alilokuwa akilifuga na kumwamuru Masumbuko
aliridhishe kimapenzi.
Masumbuko aliimaliza kazi yake na kisha kudai malipo yake kutoka kwa
bwana Mapesa. Bwana Mapesa alimsukuma Masumbuko nje ya nyumba na
kumfukuza kama mbwakoko. Walinzi walikuja kumfurusha mwanamke huyo
aliyekuwa akizua rabsha kwenye mazingira tulivu ya majumba ya matajiri
wa mji . Masumbuko alijiendea zake kwake akiwa na simanzi tele. Siku
kadhaa zilipita akaanza kuugua hapa na pale. Koo lake likavimba na
kutuna usaha akawa hawezi kumeza kitu. Aliugua sehemu nyeti akawa anatoa
harufu mbaya inayokera ungedhani ni panya na papa waliooza. Jirani yake
Amina ndiye aliyemsaidia kumpeleka hospitali alipokuja kuomba chumvi na
kumwona mwenzake hajifai. Vipimo vya daktari vilionyesha maambukizi ya
ukimwi na kaswende. Masumbuko akawa anakonda tu na kujililia kwa
kujihurumia. Akakonda na kukondeana akatamani asingalitoroka kwao ambako
alilelewa vyema na wazazi wake.
Masumbuko alikumbuka jinsi alkivyotoroka kijijini akakimbilia mjini na
kuambulia kuwa kahaba akijisimamisha kama muhogo wa kuchoma mbele ya
matrela akitafuta wateja. Ingawa kijijini Ukavu alikuwa akilelewa kwa
chai ya mkandaa kwa mbatata, alikuwa na furaha. Alikuwa akisoma katika
darasa la nane katika shule ya Ukingoni. Shinikizo la rika likampumbaza
naye akabebwa kama upepo na kina Saumu kuelekea mjini ambapo walijiuza
yapata miaka mitatu sasa. Laiti angalisoma na kuwafuta machozi wazazi
wake waliokuwa na bidii kwenye mashamba ya kahawa wakiwachumia wana wao
riziki. Laiti angalitulia kijijini asingekuwa nusu ya mauti leo hii.
Lakini kwa kuwa majuto ni mjukuu aliyawacha ya umajimaji yamtiririke
usoni. Akalia mpaka uso ukamwiva wekundu. Polepole, alijinyanyua
akachukua vidonge vya dawa alizoekewa na nesi kwenye stuli, akavimimina
vidonge vyote mdomoni kwa kupitiliza ,akavisukuma kwa maji. Mapovu meupe
yakatiririka huku mwili ukimpukutika kisha kimya. Yakaisha.
| Masumbuko aliambukizwa maradhi yapi | {
"text": [
"Ukimwi na kaswende"
]
} |
4772_swa | MAJUTO NI MJUKUU HUJA BAADAYE
Kiwiliwili hafifu kilijinyoosha ndani ya mashuka meupe huku kikiguna kwa
maumivu makali. Kichwa kilichochukua sura ya fuvu kwa kukosa vijinyama
vya kukipa umbo halisia kilitikisika sambamba na mtetemo wa mwili wa
Masumbuko. Mirija ya kupitishia damu ilimzonga kote mwilini ikamlemaza
na kumfanya asiweze kusogea. Chumba kilikuwa kimya kiasi cha kutoa mlio
wa mpito wa matone ya damu kwa mwangwi wa kuogofya ukivuma kuelekea
mwilini mwa mtu ambaye alikua gofu hasa sio mtu tena. Kelele pekee
ilikua ile ya mguno wa mara kwa mara. Masumbuko alikuwa amekonda hata
kushinda ng’onda. Alikuwa kama kijisindano cha kufumia vyepeo ndani ya
mashuka meupe. Kushotoni mwake kijistuli kilijisimamisha imara huku
kimebeba bakuli lenye kiowevu cha hudhurungi. Bakuli lenyewe lilikuwa
limetua kwa huzuni kana kwamba linamsononekea mgonjwa.
Chozi liliiririka kutoka kwenye jicho lake la kulia. Chozi hilo
lilivumbika uchungu wa shubiri ulioyabeba yaliyomsibu. Masumbuko
aliyainua macho yake na kuitazama saa iliyotundikwa ukutani akatambua
kuwa ilikuwa saa saba mchana. Huu ndio wakati ule yalipotokea
yaliyomkaanga. Siku ile bado ilikuwa mbichi kichwani mwake. Alimkumbuka
bwana Jack Mapesa alivomchukua ndani ya gari lake aina ya Lamborghini
mchana wa siku ile. Kama kawaida yake alikuwa amesimama kando ya
barabara ya Maweni kati huku kisketi chake cha buluu kikimbana mapajani
na kuiangaza haiba ya mng’ao wa ngozi yake yenye ulaini wa hariri.
Mdomoni alikuwa akiiafuna chingamu kwa utafunaji wa mbuzi aliouita
usasa. Ni usasa gani unaomfanya mtu atafune chingamu kana kwamba ni
majani makavu kwa ulaji wa mbuzi? Masumbuko alikitoma chanda chake
mdomoni akaiviringaviringa ile chingamu nje kwa madaha huku bwana Mapesa
akimpigia miluzi. Bwana Mapesa alimpungia mkono aingie garini huku
akimkonyezea.
Kama afanyavyo na wateja wake wa kawaida ,waliongea bei akijihashua kwa
madaha ya kumteka bwana wake mpya. Bwana Mapesa aliahidi kumpa Masumbuko
shilingi milioni tatu. Safari yao ya kuelekea nyumbani kwa Mapesa
ilianza huku Masumbuko akiiwazia bahati ya milioni tatu kwa mshangao.
Alijawa na furaha huku akiipangia pesa ambayo hanayo bajeti kichwani
wake. Gari llisimaishwa nje ya jumba kubwa nao wakashikana mikono
kuelekea chumbani mwa bwana Mapesa. Mapesa hakukawia kuukomea mlango na
kisha kuyavua mavazi yake kutoka mwilini mwake na kubaki kama
aliyezaliwa. Masumbuko alishangaa kuuona uume wa Mapesa ukiwa
unatiririkwa na damu na usaha. Madonda yalikuwa yamejaa kila mahali.
Masumbuko aliingiwa na kinyaa na kutapika chakula chote alichokuwa
amekila siku hiyo. Kwa hasira, Mapesa alimnyooshesa bunduki kichwani na
kumuamuru ‘ nifyonze niridhike au nitakuua!’ Kwa kuwa Masumbuko hakuwa
na namna aliitii amri ya bwana wake huku akilia. Kisha wakaelekea
kitandani akatendewa ya kutendewa katikati ya kilio. Baada ya hapo
Mapesa akalitoa joka lake alilokuwa akilifuga na kumwamuru Masumbuko
aliridhishe kimapenzi.
Masumbuko aliimaliza kazi yake na kisha kudai malipo yake kutoka kwa
bwana Mapesa. Bwana Mapesa alimsukuma Masumbuko nje ya nyumba na
kumfukuza kama mbwakoko. Walinzi walikuja kumfurusha mwanamke huyo
aliyekuwa akizua rabsha kwenye mazingira tulivu ya majumba ya matajiri
wa mji . Masumbuko alijiendea zake kwake akiwa na simanzi tele. Siku
kadhaa zilipita akaanza kuugua hapa na pale. Koo lake likavimba na
kutuna usaha akawa hawezi kumeza kitu. Aliugua sehemu nyeti akawa anatoa
harufu mbaya inayokera ungedhani ni panya na papa waliooza. Jirani yake
Amina ndiye aliyemsaidia kumpeleka hospitali alipokuja kuomba chumvi na
kumwona mwenzake hajifai. Vipimo vya daktari vilionyesha maambukizi ya
ukimwi na kaswende. Masumbuko akawa anakonda tu na kujililia kwa
kujihurumia. Akakonda na kukondeana akatamani asingalitoroka kwao ambako
alilelewa vyema na wazazi wake.
Masumbuko alikumbuka jinsi alkivyotoroka kijijini akakimbilia mjini na
kuambulia kuwa kahaba akijisimamisha kama muhogo wa kuchoma mbele ya
matrela akitafuta wateja. Ingawa kijijini Ukavu alikuwa akilelewa kwa
chai ya mkandaa kwa mbatata, alikuwa na furaha. Alikuwa akisoma katika
darasa la nane katika shule ya Ukingoni. Shinikizo la rika likampumbaza
naye akabebwa kama upepo na kina Saumu kuelekea mjini ambapo walijiuza
yapata miaka mitatu sasa. Laiti angalisoma na kuwafuta machozi wazazi
wake waliokuwa na bidii kwenye mashamba ya kahawa wakiwachumia wana wao
riziki. Laiti angalitulia kijijini asingekuwa nusu ya mauti leo hii.
Lakini kwa kuwa majuto ni mjukuu aliyawacha ya umajimaji yamtiririke
usoni. Akalia mpaka uso ukamwiva wekundu. Polepole, alijinyanyua
akachukua vidonge vya dawa alizoekewa na nesi kwenye stuli, akavimimina
vidonge vyote mdomoni kwa kupitiliza ,akavisukuma kwa maji. Mapovu meupe
yakatiririka huku mwili ukimpukutika kisha kimya. Yakaisha.
| Kwa nini Masumbuko kijijini kuelekea mjini | {
"text": [
"Kwa sababu ya sinikizo la rika"
]
} |
4775_swa | SADFA YA MTENDE NA BAHATI
Ilikuwa siku ya kipekee kwa rijali uyo aliyejulikana kama Mtende. Pamoja na marafiki zake akiwemo rafikiye wa chanda kwa jina Mawazo, Mtende alijiandaa kuelekea Uwanja wa kandanda ulioko katika Kijiji cha Mwabungo kujivinjari kujionea michwano ya Ligi ya mgombea wa kiti cha ubunge eneo bunge la Msambweni. Mheshimiwa Rajab Mwamajani ni mwanasiasa shupavu mwenye tajriba na uzoefu wa uongozi katika eneo hilo. Ni kijana maarufu kwa wakaazi wa eneo hilo na anatambulika sana kwa misingi mbalimbali aliyofanya kwa wananchi pindi akiwa Msaidizi wa Hayati mheshimiwa bw. Suleiman Dori. Safari ilianza guu mosi guu pili na takriban saa tisa kamili iliwapungia mkono wa burihani wakiwa tayari washafika uwanjani. Uwanja ulijaa pomoni si wazee si vijana, si wasichana si wavulana, si weupe si weusi,warefu kwa wafupi, wanene na wembamba walijaza ukumbi huo. Timu zilizopambana zilikuwa tayari uwanjani zikipasha misuli kwa ajili ya kusawazisha viungo kwa kujiandaa na pambano. Ilikuwa vijana wa Orlando F.c wakikwaruzana na Timu ya Ukunda; Waizata F.C. Saa tisa na nusu rifarii alipuliza kipenga kwa Idhini ya Mheshimiwa Rajab aliyekuwa pambizoni akitazama dimba hilo akiwa na viongozi wengne.
Saa kumi na robo Mtende na rafikiye Mawazo walielekea kununua vitafunio wakiwa na furaha kwa kuwa timu ya nyumbani Orlando F.c ilikua imeshikilia msukani kwa mabao mawili kwa nunge. ‘’Mtende mambo!’’ Sauti nyororo ya kumtoa nyoka pangoni ilitokea kutoka kwenye kikundi cha wasichana waliokua wamejulusu wakinunua barafu. Kwa hakika sauti yake ilikua ni kitambulisho cha urembo wake. ‘’Poa sana hofu nawe!’’ Mtende alijikuta amejibu bila ya kutarajia na kutambua nani amemsalimia. Alikua msichana mweupe mnene kiasi mwenye macho ya gololi. Jina lake Bahati lilidhihirisha jinsi mrembo huyo alivyobahatika kwa uzuri wa umbo,rangi,kimo,kivune na akili.
Bahati alikua rafiki wa chanda na pete wa kijana Mtende. Walisoma shule ya upili ya Kinondo wakiwa na mahaba yasiyo kifani. Walitembea pamoja,kula pamoja,kusoma na kushindana kwa kuongoza kwenye mtihani kidato cha kwanza hadi cha tatu. Ushirikiano wao katika mambo mbalimbali na kusaidiana kwa harusi na matanga kulipalilia mapenzi ya hali ya juu kati yao. Chambilecho wanaosema mazoea yana tabu, kuzoeana sana kwao kuliwataabisha walipofika kidato cha tatu. Wazazi wa Bahati walikuwa wakaazi wa mtaa wa kina Mtende kwa kununua shamba na wala sio kwa kuzaliwa eneo hilo. Waliiishi Kinondo takriban miaka sudusi kabla ya mabwenyenye na walaghai kuwafurusha kwa kimabavu na kumpokonya milki yake. Wanasema aliyenguvu mpishe na ukishindana na ndovu,utapasuka msamba. Naam, Lisilobudi hubidi, Bahati na wazaziwe walilazimika kuenda kwao KilIfi kuanza Maisha upya,bila shamba wala nyumba. Jambo hili liliwahuzunisha bahati na Mtende ila hawakua na budi. Hatimaye miaka kumi imepita na leo Bahati na Mtende wanaona tena nuru ya mwezi baada ya mwongo mzima wa upofu.
Kauli ya mwisho kutoka kinywani mwa Bahati ‘’Milima na milima haikutani lakini watu hukutana,ipo siku tutaonana atakama ni baada ya miaka kumi’’ ilikuwa ikimjia mara kwa mara na kumtia huzuni na kumtoa matumaini. Walikumbatiana uku machozi ya furaha yakiwamiminika mithili ya chemchem za mto Tana. Furaha yao ilikua imezaliwa tena baada ya kuzikwa katika kaburi la sahau walipofarikiana. Shukrani kuu ilielekezwa kwa Maulana kwa jinsi ya kuwapiga tochi familia ya zee Riziki,babake Bahati. Mengi yalitokea kwa muda huu wa miaka kumi lakini yote hayakuwa adhwimu na muhimu kama yaliyowaleta tena kina Bahati katika eneo la Kinondo kuanza ukurasa wa maisha yaliyojaa furaha na matumaini. Naam, Mungu hamtupi mja wake, Mzee Riziki aliokolewa kutoka kwenye jekejeke na dhulma aliyofanyiwa kwa kuporwa mali zake na mabwenyenye. Hayati Mheshimiwa Bwana Dori akisaidiwa na mwandalizi wa dimba la michwano hiyo bwana Rajab Mwamajani walimuokoa Mzee Riziki kutokana kutapatapa mithili ya mfamaji katikati ya bahari hindi. Kama viongozi watetezi wa haki, waadilifu na wenye utu na kujali maslahi ya watu wao, waliingilia kati jangwa lililomvamia mzee huyo wakapambana kishujaa na walaghai waliotumia uwezo na vyeo vyao kunyanyasa mwananchi. Hatimaye kabla ya kifo kumkodolea macho,mheshimiwa Dori alifua dafu na umiliki wa shamba ulirudi mikononi mwa Mzee Riziki. Aidha, nyumba na majengo yote yaliyobomolewa na matrakta yalijengwa upya kwa muda wa miezi mitatu. Muda huu, Mtende akiwa chuo kikuu cha Kenyatta hajui yanayojiri kama mtu aliyeusingizini.
Kipindi cha pili na cha mwisho kilianza Mtende na Bahati wakiwa unyounyo wakibadilishana yaliyojiri mazuri na mabaya kwa muda ule mfupi ila mrefu wa karne kwa waliopendana kwa dhati. Mawazo alijipea sababu yakuepuka uwepo wake akaondoka. Mawazo alikua rafiki wa Mtende aliyemliwaza na kumpea matumaini na uvumilivu Mtende wakati akiwa mbali na kilichopendwa na roho yake. Alikua kijana aliyepevuka kimawazo japo na umri wa makamo. Ni Dhahiri shahiri kuwa, isingekuwa uwepo wa Mawazo kwa Mtende, vipenzi hivi viwili visinge kutana tena baada ya miaka ya changamoto na kukurukakara mbalimbali. Hapa ndipo Mtende alijuwa kuwa Bahati ako Katika chuo kikuu cha Nairobi. Kama Mtende, alipata alama ya A- Kwenye mtihani wa kitaifa. Ilikuwa ni sadfa pia kwa kuwa walikua wanafanya shahada ya unesi wote wakiwa mwaka wa pili katika vyuo tofauti ila vilivyo pua na mdomo kimaeneo yao. Bahati na Mtende wote wako katika mapumziko ya mwezi mmoja na wamemaliza siku tatu wakiwa Kinondo. Tofauti yao ilikua moja wakati huu; Bahati alikua akimtafuta Mtende kwa Udi na uvumba, kama mtoto aliyepoteza pesa ya pekee kwenye mchanga. Kwa kijana Mtende japo alitamani kumuona bahati, uwepo wa rafikiye Mawazo ulimpunguzia unyonge na mawazo,kwa hili, haikuwa matarajio yake kamwe kuona chaguo la moyo wake.
Hatimaye, michwano hiyo ilifika ukingoni huku timu ya Orlando F.c wakiwapiku wapinzani kwa kunyakua mabao matatu kupitia mchezaji Muhamad,kifungua mimba wa kina Mtende. Waizata walipata bao la kufutia machozi dakika ya themanini na tatu kupitia kijana Pedro.
| Rijali huyo alijulikana kama nani | {
"text": [
"Mtende"
]
} |
4775_swa | SADFA YA MTENDE NA BAHATI
Ilikuwa siku ya kipekee kwa rijali uyo aliyejulikana kama Mtende. Pamoja na marafiki zake akiwemo rafikiye wa chanda kwa jina Mawazo, Mtende alijiandaa kuelekea Uwanja wa kandanda ulioko katika Kijiji cha Mwabungo kujivinjari kujionea michwano ya Ligi ya mgombea wa kiti cha ubunge eneo bunge la Msambweni. Mheshimiwa Rajab Mwamajani ni mwanasiasa shupavu mwenye tajriba na uzoefu wa uongozi katika eneo hilo. Ni kijana maarufu kwa wakaazi wa eneo hilo na anatambulika sana kwa misingi mbalimbali aliyofanya kwa wananchi pindi akiwa Msaidizi wa Hayati mheshimiwa bw. Suleiman Dori. Safari ilianza guu mosi guu pili na takriban saa tisa kamili iliwapungia mkono wa burihani wakiwa tayari washafika uwanjani. Uwanja ulijaa pomoni si wazee si vijana, si wasichana si wavulana, si weupe si weusi,warefu kwa wafupi, wanene na wembamba walijaza ukumbi huo. Timu zilizopambana zilikuwa tayari uwanjani zikipasha misuli kwa ajili ya kusawazisha viungo kwa kujiandaa na pambano. Ilikuwa vijana wa Orlando F.c wakikwaruzana na Timu ya Ukunda; Waizata F.C. Saa tisa na nusu rifarii alipuliza kipenga kwa Idhini ya Mheshimiwa Rajab aliyekuwa pambizoni akitazama dimba hilo akiwa na viongozi wengne.
Saa kumi na robo Mtende na rafikiye Mawazo walielekea kununua vitafunio wakiwa na furaha kwa kuwa timu ya nyumbani Orlando F.c ilikua imeshikilia msukani kwa mabao mawili kwa nunge. ‘’Mtende mambo!’’ Sauti nyororo ya kumtoa nyoka pangoni ilitokea kutoka kwenye kikundi cha wasichana waliokua wamejulusu wakinunua barafu. Kwa hakika sauti yake ilikua ni kitambulisho cha urembo wake. ‘’Poa sana hofu nawe!’’ Mtende alijikuta amejibu bila ya kutarajia na kutambua nani amemsalimia. Alikua msichana mweupe mnene kiasi mwenye macho ya gololi. Jina lake Bahati lilidhihirisha jinsi mrembo huyo alivyobahatika kwa uzuri wa umbo,rangi,kimo,kivune na akili.
Bahati alikua rafiki wa chanda na pete wa kijana Mtende. Walisoma shule ya upili ya Kinondo wakiwa na mahaba yasiyo kifani. Walitembea pamoja,kula pamoja,kusoma na kushindana kwa kuongoza kwenye mtihani kidato cha kwanza hadi cha tatu. Ushirikiano wao katika mambo mbalimbali na kusaidiana kwa harusi na matanga kulipalilia mapenzi ya hali ya juu kati yao. Chambilecho wanaosema mazoea yana tabu, kuzoeana sana kwao kuliwataabisha walipofika kidato cha tatu. Wazazi wa Bahati walikuwa wakaazi wa mtaa wa kina Mtende kwa kununua shamba na wala sio kwa kuzaliwa eneo hilo. Waliiishi Kinondo takriban miaka sudusi kabla ya mabwenyenye na walaghai kuwafurusha kwa kimabavu na kumpokonya milki yake. Wanasema aliyenguvu mpishe na ukishindana na ndovu,utapasuka msamba. Naam, Lisilobudi hubidi, Bahati na wazaziwe walilazimika kuenda kwao KilIfi kuanza Maisha upya,bila shamba wala nyumba. Jambo hili liliwahuzunisha bahati na Mtende ila hawakua na budi. Hatimaye miaka kumi imepita na leo Bahati na Mtende wanaona tena nuru ya mwezi baada ya mwongo mzima wa upofu.
Kauli ya mwisho kutoka kinywani mwa Bahati ‘’Milima na milima haikutani lakini watu hukutana,ipo siku tutaonana atakama ni baada ya miaka kumi’’ ilikuwa ikimjia mara kwa mara na kumtia huzuni na kumtoa matumaini. Walikumbatiana uku machozi ya furaha yakiwamiminika mithili ya chemchem za mto Tana. Furaha yao ilikua imezaliwa tena baada ya kuzikwa katika kaburi la sahau walipofarikiana. Shukrani kuu ilielekezwa kwa Maulana kwa jinsi ya kuwapiga tochi familia ya zee Riziki,babake Bahati. Mengi yalitokea kwa muda huu wa miaka kumi lakini yote hayakuwa adhwimu na muhimu kama yaliyowaleta tena kina Bahati katika eneo la Kinondo kuanza ukurasa wa maisha yaliyojaa furaha na matumaini. Naam, Mungu hamtupi mja wake, Mzee Riziki aliokolewa kutoka kwenye jekejeke na dhulma aliyofanyiwa kwa kuporwa mali zake na mabwenyenye. Hayati Mheshimiwa Bwana Dori akisaidiwa na mwandalizi wa dimba la michwano hiyo bwana Rajab Mwamajani walimuokoa Mzee Riziki kutokana kutapatapa mithili ya mfamaji katikati ya bahari hindi. Kama viongozi watetezi wa haki, waadilifu na wenye utu na kujali maslahi ya watu wao, waliingilia kati jangwa lililomvamia mzee huyo wakapambana kishujaa na walaghai waliotumia uwezo na vyeo vyao kunyanyasa mwananchi. Hatimaye kabla ya kifo kumkodolea macho,mheshimiwa Dori alifua dafu na umiliki wa shamba ulirudi mikononi mwa Mzee Riziki. Aidha, nyumba na majengo yote yaliyobomolewa na matrakta yalijengwa upya kwa muda wa miezi mitatu. Muda huu, Mtende akiwa chuo kikuu cha Kenyatta hajui yanayojiri kama mtu aliyeusingizini.
Kipindi cha pili na cha mwisho kilianza Mtende na Bahati wakiwa unyounyo wakibadilishana yaliyojiri mazuri na mabaya kwa muda ule mfupi ila mrefu wa karne kwa waliopendana kwa dhati. Mawazo alijipea sababu yakuepuka uwepo wake akaondoka. Mawazo alikua rafiki wa Mtende aliyemliwaza na kumpea matumaini na uvumilivu Mtende wakati akiwa mbali na kilichopendwa na roho yake. Alikua kijana aliyepevuka kimawazo japo na umri wa makamo. Ni Dhahiri shahiri kuwa, isingekuwa uwepo wa Mawazo kwa Mtende, vipenzi hivi viwili visinge kutana tena baada ya miaka ya changamoto na kukurukakara mbalimbali. Hapa ndipo Mtende alijuwa kuwa Bahati ako Katika chuo kikuu cha Nairobi. Kama Mtende, alipata alama ya A- Kwenye mtihani wa kitaifa. Ilikuwa ni sadfa pia kwa kuwa walikua wanafanya shahada ya unesi wote wakiwa mwaka wa pili katika vyuo tofauti ila vilivyo pua na mdomo kimaeneo yao. Bahati na Mtende wote wako katika mapumziko ya mwezi mmoja na wamemaliza siku tatu wakiwa Kinondo. Tofauti yao ilikua moja wakati huu; Bahati alikua akimtafuta Mtende kwa Udi na uvumba, kama mtoto aliyepoteza pesa ya pekee kwenye mchanga. Kwa kijana Mtende japo alitamani kumuona bahati, uwepo wa rafikiye Mawazo ulimpunguzia unyonge na mawazo,kwa hili, haikuwa matarajio yake kamwe kuona chaguo la moyo wake.
Hatimaye, michwano hiyo ilifika ukingoni huku timu ya Orlando F.c wakiwapiku wapinzani kwa kunyakua mabao matatu kupitia mchezaji Muhamad,kifungua mimba wa kina Mtende. Waizata walipata bao la kufutia machozi dakika ya themanini na tatu kupitia kijana Pedro.
| Rafikiye Mtende wa chanda alijulikana kwa jina gani | {
"text": [
"Mawazo"
]
} |
4775_swa | SADFA YA MTENDE NA BAHATI
Ilikuwa siku ya kipekee kwa rijali uyo aliyejulikana kama Mtende. Pamoja na marafiki zake akiwemo rafikiye wa chanda kwa jina Mawazo, Mtende alijiandaa kuelekea Uwanja wa kandanda ulioko katika Kijiji cha Mwabungo kujivinjari kujionea michwano ya Ligi ya mgombea wa kiti cha ubunge eneo bunge la Msambweni. Mheshimiwa Rajab Mwamajani ni mwanasiasa shupavu mwenye tajriba na uzoefu wa uongozi katika eneo hilo. Ni kijana maarufu kwa wakaazi wa eneo hilo na anatambulika sana kwa misingi mbalimbali aliyofanya kwa wananchi pindi akiwa Msaidizi wa Hayati mheshimiwa bw. Suleiman Dori. Safari ilianza guu mosi guu pili na takriban saa tisa kamili iliwapungia mkono wa burihani wakiwa tayari washafika uwanjani. Uwanja ulijaa pomoni si wazee si vijana, si wasichana si wavulana, si weupe si weusi,warefu kwa wafupi, wanene na wembamba walijaza ukumbi huo. Timu zilizopambana zilikuwa tayari uwanjani zikipasha misuli kwa ajili ya kusawazisha viungo kwa kujiandaa na pambano. Ilikuwa vijana wa Orlando F.c wakikwaruzana na Timu ya Ukunda; Waizata F.C. Saa tisa na nusu rifarii alipuliza kipenga kwa Idhini ya Mheshimiwa Rajab aliyekuwa pambizoni akitazama dimba hilo akiwa na viongozi wengne.
Saa kumi na robo Mtende na rafikiye Mawazo walielekea kununua vitafunio wakiwa na furaha kwa kuwa timu ya nyumbani Orlando F.c ilikua imeshikilia msukani kwa mabao mawili kwa nunge. ‘’Mtende mambo!’’ Sauti nyororo ya kumtoa nyoka pangoni ilitokea kutoka kwenye kikundi cha wasichana waliokua wamejulusu wakinunua barafu. Kwa hakika sauti yake ilikua ni kitambulisho cha urembo wake. ‘’Poa sana hofu nawe!’’ Mtende alijikuta amejibu bila ya kutarajia na kutambua nani amemsalimia. Alikua msichana mweupe mnene kiasi mwenye macho ya gololi. Jina lake Bahati lilidhihirisha jinsi mrembo huyo alivyobahatika kwa uzuri wa umbo,rangi,kimo,kivune na akili.
Bahati alikua rafiki wa chanda na pete wa kijana Mtende. Walisoma shule ya upili ya Kinondo wakiwa na mahaba yasiyo kifani. Walitembea pamoja,kula pamoja,kusoma na kushindana kwa kuongoza kwenye mtihani kidato cha kwanza hadi cha tatu. Ushirikiano wao katika mambo mbalimbali na kusaidiana kwa harusi na matanga kulipalilia mapenzi ya hali ya juu kati yao. Chambilecho wanaosema mazoea yana tabu, kuzoeana sana kwao kuliwataabisha walipofika kidato cha tatu. Wazazi wa Bahati walikuwa wakaazi wa mtaa wa kina Mtende kwa kununua shamba na wala sio kwa kuzaliwa eneo hilo. Waliiishi Kinondo takriban miaka sudusi kabla ya mabwenyenye na walaghai kuwafurusha kwa kimabavu na kumpokonya milki yake. Wanasema aliyenguvu mpishe na ukishindana na ndovu,utapasuka msamba. Naam, Lisilobudi hubidi, Bahati na wazaziwe walilazimika kuenda kwao KilIfi kuanza Maisha upya,bila shamba wala nyumba. Jambo hili liliwahuzunisha bahati na Mtende ila hawakua na budi. Hatimaye miaka kumi imepita na leo Bahati na Mtende wanaona tena nuru ya mwezi baada ya mwongo mzima wa upofu.
Kauli ya mwisho kutoka kinywani mwa Bahati ‘’Milima na milima haikutani lakini watu hukutana,ipo siku tutaonana atakama ni baada ya miaka kumi’’ ilikuwa ikimjia mara kwa mara na kumtia huzuni na kumtoa matumaini. Walikumbatiana uku machozi ya furaha yakiwamiminika mithili ya chemchem za mto Tana. Furaha yao ilikua imezaliwa tena baada ya kuzikwa katika kaburi la sahau walipofarikiana. Shukrani kuu ilielekezwa kwa Maulana kwa jinsi ya kuwapiga tochi familia ya zee Riziki,babake Bahati. Mengi yalitokea kwa muda huu wa miaka kumi lakini yote hayakuwa adhwimu na muhimu kama yaliyowaleta tena kina Bahati katika eneo la Kinondo kuanza ukurasa wa maisha yaliyojaa furaha na matumaini. Naam, Mungu hamtupi mja wake, Mzee Riziki aliokolewa kutoka kwenye jekejeke na dhulma aliyofanyiwa kwa kuporwa mali zake na mabwenyenye. Hayati Mheshimiwa Bwana Dori akisaidiwa na mwandalizi wa dimba la michwano hiyo bwana Rajab Mwamajani walimuokoa Mzee Riziki kutokana kutapatapa mithili ya mfamaji katikati ya bahari hindi. Kama viongozi watetezi wa haki, waadilifu na wenye utu na kujali maslahi ya watu wao, waliingilia kati jangwa lililomvamia mzee huyo wakapambana kishujaa na walaghai waliotumia uwezo na vyeo vyao kunyanyasa mwananchi. Hatimaye kabla ya kifo kumkodolea macho,mheshimiwa Dori alifua dafu na umiliki wa shamba ulirudi mikononi mwa Mzee Riziki. Aidha, nyumba na majengo yote yaliyobomolewa na matrakta yalijengwa upya kwa muda wa miezi mitatu. Muda huu, Mtende akiwa chuo kikuu cha Kenyatta hajui yanayojiri kama mtu aliyeusingizini.
Kipindi cha pili na cha mwisho kilianza Mtende na Bahati wakiwa unyounyo wakibadilishana yaliyojiri mazuri na mabaya kwa muda ule mfupi ila mrefu wa karne kwa waliopendana kwa dhati. Mawazo alijipea sababu yakuepuka uwepo wake akaondoka. Mawazo alikua rafiki wa Mtende aliyemliwaza na kumpea matumaini na uvumilivu Mtende wakati akiwa mbali na kilichopendwa na roho yake. Alikua kijana aliyepevuka kimawazo japo na umri wa makamo. Ni Dhahiri shahiri kuwa, isingekuwa uwepo wa Mawazo kwa Mtende, vipenzi hivi viwili visinge kutana tena baada ya miaka ya changamoto na kukurukakara mbalimbali. Hapa ndipo Mtende alijuwa kuwa Bahati ako Katika chuo kikuu cha Nairobi. Kama Mtende, alipata alama ya A- Kwenye mtihani wa kitaifa. Ilikuwa ni sadfa pia kwa kuwa walikua wanafanya shahada ya unesi wote wakiwa mwaka wa pili katika vyuo tofauti ila vilivyo pua na mdomo kimaeneo yao. Bahati na Mtende wote wako katika mapumziko ya mwezi mmoja na wamemaliza siku tatu wakiwa Kinondo. Tofauti yao ilikua moja wakati huu; Bahati alikua akimtafuta Mtende kwa Udi na uvumba, kama mtoto aliyepoteza pesa ya pekee kwenye mchanga. Kwa kijana Mtende japo alitamani kumuona bahati, uwepo wa rafikiye Mawazo ulimpunguzia unyonge na mawazo,kwa hili, haikuwa matarajio yake kamwe kuona chaguo la moyo wake.
Hatimaye, michwano hiyo ilifika ukingoni huku timu ya Orlando F.c wakiwapiku wapinzani kwa kunyakua mabao matatu kupitia mchezaji Muhamad,kifungua mimba wa kina Mtende. Waizata walipata bao la kufutia machozi dakika ya themanini na tatu kupitia kijana Pedro.
| Mtende alijiandaa kuelekea wapi | {
"text": [
"Uwanja wa kandanda"
]
} |
4775_swa | SADFA YA MTENDE NA BAHATI
Ilikuwa siku ya kipekee kwa rijali uyo aliyejulikana kama Mtende. Pamoja na marafiki zake akiwemo rafikiye wa chanda kwa jina Mawazo, Mtende alijiandaa kuelekea Uwanja wa kandanda ulioko katika Kijiji cha Mwabungo kujivinjari kujionea michwano ya Ligi ya mgombea wa kiti cha ubunge eneo bunge la Msambweni. Mheshimiwa Rajab Mwamajani ni mwanasiasa shupavu mwenye tajriba na uzoefu wa uongozi katika eneo hilo. Ni kijana maarufu kwa wakaazi wa eneo hilo na anatambulika sana kwa misingi mbalimbali aliyofanya kwa wananchi pindi akiwa Msaidizi wa Hayati mheshimiwa bw. Suleiman Dori. Safari ilianza guu mosi guu pili na takriban saa tisa kamili iliwapungia mkono wa burihani wakiwa tayari washafika uwanjani. Uwanja ulijaa pomoni si wazee si vijana, si wasichana si wavulana, si weupe si weusi,warefu kwa wafupi, wanene na wembamba walijaza ukumbi huo. Timu zilizopambana zilikuwa tayari uwanjani zikipasha misuli kwa ajili ya kusawazisha viungo kwa kujiandaa na pambano. Ilikuwa vijana wa Orlando F.c wakikwaruzana na Timu ya Ukunda; Waizata F.C. Saa tisa na nusu rifarii alipuliza kipenga kwa Idhini ya Mheshimiwa Rajab aliyekuwa pambizoni akitazama dimba hilo akiwa na viongozi wengne.
Saa kumi na robo Mtende na rafikiye Mawazo walielekea kununua vitafunio wakiwa na furaha kwa kuwa timu ya nyumbani Orlando F.c ilikua imeshikilia msukani kwa mabao mawili kwa nunge. ‘’Mtende mambo!’’ Sauti nyororo ya kumtoa nyoka pangoni ilitokea kutoka kwenye kikundi cha wasichana waliokua wamejulusu wakinunua barafu. Kwa hakika sauti yake ilikua ni kitambulisho cha urembo wake. ‘’Poa sana hofu nawe!’’ Mtende alijikuta amejibu bila ya kutarajia na kutambua nani amemsalimia. Alikua msichana mweupe mnene kiasi mwenye macho ya gololi. Jina lake Bahati lilidhihirisha jinsi mrembo huyo alivyobahatika kwa uzuri wa umbo,rangi,kimo,kivune na akili.
Bahati alikua rafiki wa chanda na pete wa kijana Mtende. Walisoma shule ya upili ya Kinondo wakiwa na mahaba yasiyo kifani. Walitembea pamoja,kula pamoja,kusoma na kushindana kwa kuongoza kwenye mtihani kidato cha kwanza hadi cha tatu. Ushirikiano wao katika mambo mbalimbali na kusaidiana kwa harusi na matanga kulipalilia mapenzi ya hali ya juu kati yao. Chambilecho wanaosema mazoea yana tabu, kuzoeana sana kwao kuliwataabisha walipofika kidato cha tatu. Wazazi wa Bahati walikuwa wakaazi wa mtaa wa kina Mtende kwa kununua shamba na wala sio kwa kuzaliwa eneo hilo. Waliiishi Kinondo takriban miaka sudusi kabla ya mabwenyenye na walaghai kuwafurusha kwa kimabavu na kumpokonya milki yake. Wanasema aliyenguvu mpishe na ukishindana na ndovu,utapasuka msamba. Naam, Lisilobudi hubidi, Bahati na wazaziwe walilazimika kuenda kwao KilIfi kuanza Maisha upya,bila shamba wala nyumba. Jambo hili liliwahuzunisha bahati na Mtende ila hawakua na budi. Hatimaye miaka kumi imepita na leo Bahati na Mtende wanaona tena nuru ya mwezi baada ya mwongo mzima wa upofu.
Kauli ya mwisho kutoka kinywani mwa Bahati ‘’Milima na milima haikutani lakini watu hukutana,ipo siku tutaonana atakama ni baada ya miaka kumi’’ ilikuwa ikimjia mara kwa mara na kumtia huzuni na kumtoa matumaini. Walikumbatiana uku machozi ya furaha yakiwamiminika mithili ya chemchem za mto Tana. Furaha yao ilikua imezaliwa tena baada ya kuzikwa katika kaburi la sahau walipofarikiana. Shukrani kuu ilielekezwa kwa Maulana kwa jinsi ya kuwapiga tochi familia ya zee Riziki,babake Bahati. Mengi yalitokea kwa muda huu wa miaka kumi lakini yote hayakuwa adhwimu na muhimu kama yaliyowaleta tena kina Bahati katika eneo la Kinondo kuanza ukurasa wa maisha yaliyojaa furaha na matumaini. Naam, Mungu hamtupi mja wake, Mzee Riziki aliokolewa kutoka kwenye jekejeke na dhulma aliyofanyiwa kwa kuporwa mali zake na mabwenyenye. Hayati Mheshimiwa Bwana Dori akisaidiwa na mwandalizi wa dimba la michwano hiyo bwana Rajab Mwamajani walimuokoa Mzee Riziki kutokana kutapatapa mithili ya mfamaji katikati ya bahari hindi. Kama viongozi watetezi wa haki, waadilifu na wenye utu na kujali maslahi ya watu wao, waliingilia kati jangwa lililomvamia mzee huyo wakapambana kishujaa na walaghai waliotumia uwezo na vyeo vyao kunyanyasa mwananchi. Hatimaye kabla ya kifo kumkodolea macho,mheshimiwa Dori alifua dafu na umiliki wa shamba ulirudi mikononi mwa Mzee Riziki. Aidha, nyumba na majengo yote yaliyobomolewa na matrakta yalijengwa upya kwa muda wa miezi mitatu. Muda huu, Mtende akiwa chuo kikuu cha Kenyatta hajui yanayojiri kama mtu aliyeusingizini.
Kipindi cha pili na cha mwisho kilianza Mtende na Bahati wakiwa unyounyo wakibadilishana yaliyojiri mazuri na mabaya kwa muda ule mfupi ila mrefu wa karne kwa waliopendana kwa dhati. Mawazo alijipea sababu yakuepuka uwepo wake akaondoka. Mawazo alikua rafiki wa Mtende aliyemliwaza na kumpea matumaini na uvumilivu Mtende wakati akiwa mbali na kilichopendwa na roho yake. Alikua kijana aliyepevuka kimawazo japo na umri wa makamo. Ni Dhahiri shahiri kuwa, isingekuwa uwepo wa Mawazo kwa Mtende, vipenzi hivi viwili visinge kutana tena baada ya miaka ya changamoto na kukurukakara mbalimbali. Hapa ndipo Mtende alijuwa kuwa Bahati ako Katika chuo kikuu cha Nairobi. Kama Mtende, alipata alama ya A- Kwenye mtihani wa kitaifa. Ilikuwa ni sadfa pia kwa kuwa walikua wanafanya shahada ya unesi wote wakiwa mwaka wa pili katika vyuo tofauti ila vilivyo pua na mdomo kimaeneo yao. Bahati na Mtende wote wako katika mapumziko ya mwezi mmoja na wamemaliza siku tatu wakiwa Kinondo. Tofauti yao ilikua moja wakati huu; Bahati alikua akimtafuta Mtende kwa Udi na uvumba, kama mtoto aliyepoteza pesa ya pekee kwenye mchanga. Kwa kijana Mtende japo alitamani kumuona bahati, uwepo wa rafikiye Mawazo ulimpunguzia unyonge na mawazo,kwa hili, haikuwa matarajio yake kamwe kuona chaguo la moyo wake.
Hatimaye, michwano hiyo ilifika ukingoni huku timu ya Orlando F.c wakiwapiku wapinzani kwa kunyakua mabao matatu kupitia mchezaji Muhamad,kifungua mimba wa kina Mtende. Waizata walipata bao la kufutia machozi dakika ya themanini na tatu kupitia kijana Pedro.
| Mtende na rafikiye Mawazo walielekea kununua nini | {
"text": [
"Vitafunio"
]
} |
4775_swa | SADFA YA MTENDE NA BAHATI
Ilikuwa siku ya kipekee kwa rijali uyo aliyejulikana kama Mtende. Pamoja na marafiki zake akiwemo rafikiye wa chanda kwa jina Mawazo, Mtende alijiandaa kuelekea Uwanja wa kandanda ulioko katika Kijiji cha Mwabungo kujivinjari kujionea michwano ya Ligi ya mgombea wa kiti cha ubunge eneo bunge la Msambweni. Mheshimiwa Rajab Mwamajani ni mwanasiasa shupavu mwenye tajriba na uzoefu wa uongozi katika eneo hilo. Ni kijana maarufu kwa wakaazi wa eneo hilo na anatambulika sana kwa misingi mbalimbali aliyofanya kwa wananchi pindi akiwa Msaidizi wa Hayati mheshimiwa bw. Suleiman Dori. Safari ilianza guu mosi guu pili na takriban saa tisa kamili iliwapungia mkono wa burihani wakiwa tayari washafika uwanjani. Uwanja ulijaa pomoni si wazee si vijana, si wasichana si wavulana, si weupe si weusi,warefu kwa wafupi, wanene na wembamba walijaza ukumbi huo. Timu zilizopambana zilikuwa tayari uwanjani zikipasha misuli kwa ajili ya kusawazisha viungo kwa kujiandaa na pambano. Ilikuwa vijana wa Orlando F.c wakikwaruzana na Timu ya Ukunda; Waizata F.C. Saa tisa na nusu rifarii alipuliza kipenga kwa Idhini ya Mheshimiwa Rajab aliyekuwa pambizoni akitazama dimba hilo akiwa na viongozi wengne.
Saa kumi na robo Mtende na rafikiye Mawazo walielekea kununua vitafunio wakiwa na furaha kwa kuwa timu ya nyumbani Orlando F.c ilikua imeshikilia msukani kwa mabao mawili kwa nunge. ‘’Mtende mambo!’’ Sauti nyororo ya kumtoa nyoka pangoni ilitokea kutoka kwenye kikundi cha wasichana waliokua wamejulusu wakinunua barafu. Kwa hakika sauti yake ilikua ni kitambulisho cha urembo wake. ‘’Poa sana hofu nawe!’’ Mtende alijikuta amejibu bila ya kutarajia na kutambua nani amemsalimia. Alikua msichana mweupe mnene kiasi mwenye macho ya gololi. Jina lake Bahati lilidhihirisha jinsi mrembo huyo alivyobahatika kwa uzuri wa umbo,rangi,kimo,kivune na akili.
Bahati alikua rafiki wa chanda na pete wa kijana Mtende. Walisoma shule ya upili ya Kinondo wakiwa na mahaba yasiyo kifani. Walitembea pamoja,kula pamoja,kusoma na kushindana kwa kuongoza kwenye mtihani kidato cha kwanza hadi cha tatu. Ushirikiano wao katika mambo mbalimbali na kusaidiana kwa harusi na matanga kulipalilia mapenzi ya hali ya juu kati yao. Chambilecho wanaosema mazoea yana tabu, kuzoeana sana kwao kuliwataabisha walipofika kidato cha tatu. Wazazi wa Bahati walikuwa wakaazi wa mtaa wa kina Mtende kwa kununua shamba na wala sio kwa kuzaliwa eneo hilo. Waliiishi Kinondo takriban miaka sudusi kabla ya mabwenyenye na walaghai kuwafurusha kwa kimabavu na kumpokonya milki yake. Wanasema aliyenguvu mpishe na ukishindana na ndovu,utapasuka msamba. Naam, Lisilobudi hubidi, Bahati na wazaziwe walilazimika kuenda kwao KilIfi kuanza Maisha upya,bila shamba wala nyumba. Jambo hili liliwahuzunisha bahati na Mtende ila hawakua na budi. Hatimaye miaka kumi imepita na leo Bahati na Mtende wanaona tena nuru ya mwezi baada ya mwongo mzima wa upofu.
Kauli ya mwisho kutoka kinywani mwa Bahati ‘’Milima na milima haikutani lakini watu hukutana,ipo siku tutaonana atakama ni baada ya miaka kumi’’ ilikuwa ikimjia mara kwa mara na kumtia huzuni na kumtoa matumaini. Walikumbatiana uku machozi ya furaha yakiwamiminika mithili ya chemchem za mto Tana. Furaha yao ilikua imezaliwa tena baada ya kuzikwa katika kaburi la sahau walipofarikiana. Shukrani kuu ilielekezwa kwa Maulana kwa jinsi ya kuwapiga tochi familia ya zee Riziki,babake Bahati. Mengi yalitokea kwa muda huu wa miaka kumi lakini yote hayakuwa adhwimu na muhimu kama yaliyowaleta tena kina Bahati katika eneo la Kinondo kuanza ukurasa wa maisha yaliyojaa furaha na matumaini. Naam, Mungu hamtupi mja wake, Mzee Riziki aliokolewa kutoka kwenye jekejeke na dhulma aliyofanyiwa kwa kuporwa mali zake na mabwenyenye. Hayati Mheshimiwa Bwana Dori akisaidiwa na mwandalizi wa dimba la michwano hiyo bwana Rajab Mwamajani walimuokoa Mzee Riziki kutokana kutapatapa mithili ya mfamaji katikati ya bahari hindi. Kama viongozi watetezi wa haki, waadilifu na wenye utu na kujali maslahi ya watu wao, waliingilia kati jangwa lililomvamia mzee huyo wakapambana kishujaa na walaghai waliotumia uwezo na vyeo vyao kunyanyasa mwananchi. Hatimaye kabla ya kifo kumkodolea macho,mheshimiwa Dori alifua dafu na umiliki wa shamba ulirudi mikononi mwa Mzee Riziki. Aidha, nyumba na majengo yote yaliyobomolewa na matrakta yalijengwa upya kwa muda wa miezi mitatu. Muda huu, Mtende akiwa chuo kikuu cha Kenyatta hajui yanayojiri kama mtu aliyeusingizini.
Kipindi cha pili na cha mwisho kilianza Mtende na Bahati wakiwa unyounyo wakibadilishana yaliyojiri mazuri na mabaya kwa muda ule mfupi ila mrefu wa karne kwa waliopendana kwa dhati. Mawazo alijipea sababu yakuepuka uwepo wake akaondoka. Mawazo alikua rafiki wa Mtende aliyemliwaza na kumpea matumaini na uvumilivu Mtende wakati akiwa mbali na kilichopendwa na roho yake. Alikua kijana aliyepevuka kimawazo japo na umri wa makamo. Ni Dhahiri shahiri kuwa, isingekuwa uwepo wa Mawazo kwa Mtende, vipenzi hivi viwili visinge kutana tena baada ya miaka ya changamoto na kukurukakara mbalimbali. Hapa ndipo Mtende alijuwa kuwa Bahati ako Katika chuo kikuu cha Nairobi. Kama Mtende, alipata alama ya A- Kwenye mtihani wa kitaifa. Ilikuwa ni sadfa pia kwa kuwa walikua wanafanya shahada ya unesi wote wakiwa mwaka wa pili katika vyuo tofauti ila vilivyo pua na mdomo kimaeneo yao. Bahati na Mtende wote wako katika mapumziko ya mwezi mmoja na wamemaliza siku tatu wakiwa Kinondo. Tofauti yao ilikua moja wakati huu; Bahati alikua akimtafuta Mtende kwa Udi na uvumba, kama mtoto aliyepoteza pesa ya pekee kwenye mchanga. Kwa kijana Mtende japo alitamani kumuona bahati, uwepo wa rafikiye Mawazo ulimpunguzia unyonge na mawazo,kwa hili, haikuwa matarajio yake kamwe kuona chaguo la moyo wake.
Hatimaye, michwano hiyo ilifika ukingoni huku timu ya Orlando F.c wakiwapiku wapinzani kwa kunyakua mabao matatu kupitia mchezaji Muhamad,kifungua mimba wa kina Mtende. Waizata walipata bao la kufutia machozi dakika ya themanini na tatu kupitia kijana Pedro.
| Waizata walipata bao la kufutia machozi kupitia nani | {
"text": [
"Kijana Pedro"
]
} |
4776_swa | Vipindi mbalimbali vya historia vimeshuhudia kuibuka kwa magonjwa ya ajabu. Magonjwa hayo yamehahangaisha watu na kuzishughulisha bongo za wanasayansi na madaktari katika kutafuta tiba. Magonjwa kama vile tauni, kifua kikuu, homa ya matumbo, malaria na ndui ni baadhi ya yale yaliyotisha sana nyakati fulani za historia ya binadamu. Magonjwa haya yaliwauwa maelfu ya watu na kutibua mifumo na taratibu za maisha ya watu.
Hata hivyo magonjwa hayo yaliweza kuchunguzwa na kutafutiwa tiba kabla ya kumaliza kabisa kizazi cha binadamu. Lakini hii ni baada ya kuwasukuma maelfu ya watu kaburini. Mambo yalienda maenge ulimwenguni uliposhuhudia janga jingine la maradhi sugu ya Ukimwi. Neno "UKIMWI" lilitolewa kutokana na athari za ugonjwa huo mwilini. Neno' "UKIMWI humanisha Ukosefu wa Kinga mwilini, ambapo herufi za kwanza za maneno matatu huunganishwa pamoja na kuunda neno hilo. Ugonjwa huu umewaua mamilioni ya watu kote ulimwenguni na unazidi kuenea kwa kasi, mfano wa moto katika kichaka. Kutokana na kasi yake ya kuua watu, ugonjwa wa UKIMWI umepewa majina kama vile 'umeme’ na pia 'ugonjwa wa vijana'. Watu wengi wanaoambukizwa virusi vya UKIMWI ni wale walio na miaka kati ya 15 hadi 49. Kundi hili kwa kweli ndilo, linalohesabiwa kuwa na nguvu za kutunza jamii kwa njia nyingi. Iwapo wengi katika kundi hili watakumbwa na maradhi haya, watasalia wakongwe na watoto wasioweza kujimudu.
Miongo minne badaaye, dunia ilikumbwa na janga ligine ambalo lilistaajabisha wengi. Mwaka wa 2019, nchini China- Wuhan, ugonjwa wa korona -19 uligunduliwa. Ugonjwa huu ulikuwa hatari kwani ilibainka kuwa inasambazwa kwa njia ya hewa. Mojawapo ya dalili ya ugonjwa huu ni kupiga chafya, kikohozi, kupandwa na joto mwilini, kukosa hisi ya muojo na mnuso. Kufika mwezi wa Januari 2020, korona ilikua imeenea kote duniani na kuwaua wengi kwa kasi ya kustaajabisha. Kulingana na Muungano wa Afya Duniani (WHO) inakisiwa kuwa ugonjwa huu una uwezo wa kuwaua watu wapatao milioni sitini. Hivi sasa, inasemekana kuwa takriban watu zaidi ya elfu moja hufa kila siku kutokana na janga hili. Aidha, imethibitishwa kwamba takriban watu milioni tano diniani tayari wamepoteza maisha yao kutokana na ugonjwa huu ambao sasa umekuwa janga la kimataifa.
Kutokana na kuongezeka kwa visa vya Korona, hospitali na zahanati nyingi kote nchini zinashindwa kukidhi mahitaji ya wagonjwa. Hii ni kuwa ugonjwa huu hauna tiba mahususi. Hivyo, madaktari hutibu tu dalili ambazo zinaweza kuoenekana. Wagonjwa pia walihitajika kutengwa na wagonjwa wengine hospitalini ili wasiweze kuwaambukiza. Kwa hivyo makundi ya kujitolea na mashirika mbalimbali yameundwa ili kuwahudumia wagonjwa. Baadhi ya makundi hayo hutoa tiba ya kisaikolojia pamoja na kuwapa ushauri wa hima yakuishi,badala ya kukata tamaa. Wagonjwa wengi pia huishia kutibiwa nyumbani kwao.
Wataalam na wanasayansi nao pia hawakulaza damu. Walijitahidi iwezekenavyo kutafuta tiba na chanjo dhidi ya uginjwa huu. Kutokana na juhudi zao, walifanikiwa kupata chanjo za ugonjwa huu. Mifano ya chanjo hizi ni Aztrezeneca, Pfizer, Johnson and Johnson n.k .Lakini jambo la kuzingatia ni hili, tujifunze kuepukana na ugonjwa huu kwa kuzingatia masharti yaliyowekwa ili kuzuia na kujikinga nao. Muhimu Zaidi ni kuchukua chanjo bila wasiwasi wowote kuwa yanaweza kuwa na athari ya baadaye kama yanavyoenezwa na watu walio na Imani potovu.
Tuwe na matumaini kwamba siku moja tiba ya ugonjwa huu itapatikana. Hii ni kwa sababu tumethibitishiwa haya kutoka katika historia yetu wenyewe. Ikiwa magonjwa yaliyosababisha vifo vya wengi kutokana na ukosefu wa tiba yalitokomezwa kupitia juhudi za kimatibabu, sembuse huu ugonjwa tulio nao sasa? Huku tukijikinga kutokana na maradhi haya tusife moyo bali tuwe na matumaini kwani subira huvuta heri.
| Vipindi mbalimbali vya historia vimeshuhudia kuibuka kwa kitu gani | {
"text": [
"Magonjwa ya ajabu"
]
} |
4776_swa | Vipindi mbalimbali vya historia vimeshuhudia kuibuka kwa magonjwa ya ajabu. Magonjwa hayo yamehahangaisha watu na kuzishughulisha bongo za wanasayansi na madaktari katika kutafuta tiba. Magonjwa kama vile tauni, kifua kikuu, homa ya matumbo, malaria na ndui ni baadhi ya yale yaliyotisha sana nyakati fulani za historia ya binadamu. Magonjwa haya yaliwauwa maelfu ya watu na kutibua mifumo na taratibu za maisha ya watu.
Hata hivyo magonjwa hayo yaliweza kuchunguzwa na kutafutiwa tiba kabla ya kumaliza kabisa kizazi cha binadamu. Lakini hii ni baada ya kuwasukuma maelfu ya watu kaburini. Mambo yalienda maenge ulimwenguni uliposhuhudia janga jingine la maradhi sugu ya Ukimwi. Neno "UKIMWI" lilitolewa kutokana na athari za ugonjwa huo mwilini. Neno' "UKIMWI humanisha Ukosefu wa Kinga mwilini, ambapo herufi za kwanza za maneno matatu huunganishwa pamoja na kuunda neno hilo. Ugonjwa huu umewaua mamilioni ya watu kote ulimwenguni na unazidi kuenea kwa kasi, mfano wa moto katika kichaka. Kutokana na kasi yake ya kuua watu, ugonjwa wa UKIMWI umepewa majina kama vile 'umeme’ na pia 'ugonjwa wa vijana'. Watu wengi wanaoambukizwa virusi vya UKIMWI ni wale walio na miaka kati ya 15 hadi 49. Kundi hili kwa kweli ndilo, linalohesabiwa kuwa na nguvu za kutunza jamii kwa njia nyingi. Iwapo wengi katika kundi hili watakumbwa na maradhi haya, watasalia wakongwe na watoto wasioweza kujimudu.
Miongo minne badaaye, dunia ilikumbwa na janga ligine ambalo lilistaajabisha wengi. Mwaka wa 2019, nchini China- Wuhan, ugonjwa wa korona -19 uligunduliwa. Ugonjwa huu ulikuwa hatari kwani ilibainka kuwa inasambazwa kwa njia ya hewa. Mojawapo ya dalili ya ugonjwa huu ni kupiga chafya, kikohozi, kupandwa na joto mwilini, kukosa hisi ya muojo na mnuso. Kufika mwezi wa Januari 2020, korona ilikua imeenea kote duniani na kuwaua wengi kwa kasi ya kustaajabisha. Kulingana na Muungano wa Afya Duniani (WHO) inakisiwa kuwa ugonjwa huu una uwezo wa kuwaua watu wapatao milioni sitini. Hivi sasa, inasemekana kuwa takriban watu zaidi ya elfu moja hufa kila siku kutokana na janga hili. Aidha, imethibitishwa kwamba takriban watu milioni tano diniani tayari wamepoteza maisha yao kutokana na ugonjwa huu ambao sasa umekuwa janga la kimataifa.
Kutokana na kuongezeka kwa visa vya Korona, hospitali na zahanati nyingi kote nchini zinashindwa kukidhi mahitaji ya wagonjwa. Hii ni kuwa ugonjwa huu hauna tiba mahususi. Hivyo, madaktari hutibu tu dalili ambazo zinaweza kuoenekana. Wagonjwa pia walihitajika kutengwa na wagonjwa wengine hospitalini ili wasiweze kuwaambukiza. Kwa hivyo makundi ya kujitolea na mashirika mbalimbali yameundwa ili kuwahudumia wagonjwa. Baadhi ya makundi hayo hutoa tiba ya kisaikolojia pamoja na kuwapa ushauri wa hima yakuishi,badala ya kukata tamaa. Wagonjwa wengi pia huishia kutibiwa nyumbani kwao.
Wataalam na wanasayansi nao pia hawakulaza damu. Walijitahidi iwezekenavyo kutafuta tiba na chanjo dhidi ya uginjwa huu. Kutokana na juhudi zao, walifanikiwa kupata chanjo za ugonjwa huu. Mifano ya chanjo hizi ni Aztrezeneca, Pfizer, Johnson and Johnson n.k .Lakini jambo la kuzingatia ni hili, tujifunze kuepukana na ugonjwa huu kwa kuzingatia masharti yaliyowekwa ili kuzuia na kujikinga nao. Muhimu Zaidi ni kuchukua chanjo bila wasiwasi wowote kuwa yanaweza kuwa na athari ya baadaye kama yanavyoenezwa na watu walio na Imani potovu.
Tuwe na matumaini kwamba siku moja tiba ya ugonjwa huu itapatikana. Hii ni kwa sababu tumethibitishiwa haya kutoka katika historia yetu wenyewe. Ikiwa magonjwa yaliyosababisha vifo vya wengi kutokana na ukosefu wa tiba yalitokomezwa kupitia juhudi za kimatibabu, sembuse huu ugonjwa tulio nao sasa? Huku tukijikinga kutokana na maradhi haya tusife moyo bali tuwe na matumaini kwani subira huvuta heri.
| Magonjwa hayo yamehangaisha nani | {
"text": [
"Watu"
]
} |
4776_swa | Vipindi mbalimbali vya historia vimeshuhudia kuibuka kwa magonjwa ya ajabu. Magonjwa hayo yamehahangaisha watu na kuzishughulisha bongo za wanasayansi na madaktari katika kutafuta tiba. Magonjwa kama vile tauni, kifua kikuu, homa ya matumbo, malaria na ndui ni baadhi ya yale yaliyotisha sana nyakati fulani za historia ya binadamu. Magonjwa haya yaliwauwa maelfu ya watu na kutibua mifumo na taratibu za maisha ya watu.
Hata hivyo magonjwa hayo yaliweza kuchunguzwa na kutafutiwa tiba kabla ya kumaliza kabisa kizazi cha binadamu. Lakini hii ni baada ya kuwasukuma maelfu ya watu kaburini. Mambo yalienda maenge ulimwenguni uliposhuhudia janga jingine la maradhi sugu ya Ukimwi. Neno "UKIMWI" lilitolewa kutokana na athari za ugonjwa huo mwilini. Neno' "UKIMWI humanisha Ukosefu wa Kinga mwilini, ambapo herufi za kwanza za maneno matatu huunganishwa pamoja na kuunda neno hilo. Ugonjwa huu umewaua mamilioni ya watu kote ulimwenguni na unazidi kuenea kwa kasi, mfano wa moto katika kichaka. Kutokana na kasi yake ya kuua watu, ugonjwa wa UKIMWI umepewa majina kama vile 'umeme’ na pia 'ugonjwa wa vijana'. Watu wengi wanaoambukizwa virusi vya UKIMWI ni wale walio na miaka kati ya 15 hadi 49. Kundi hili kwa kweli ndilo, linalohesabiwa kuwa na nguvu za kutunza jamii kwa njia nyingi. Iwapo wengi katika kundi hili watakumbwa na maradhi haya, watasalia wakongwe na watoto wasioweza kujimudu.
Miongo minne badaaye, dunia ilikumbwa na janga ligine ambalo lilistaajabisha wengi. Mwaka wa 2019, nchini China- Wuhan, ugonjwa wa korona -19 uligunduliwa. Ugonjwa huu ulikuwa hatari kwani ilibainka kuwa inasambazwa kwa njia ya hewa. Mojawapo ya dalili ya ugonjwa huu ni kupiga chafya, kikohozi, kupandwa na joto mwilini, kukosa hisi ya muojo na mnuso. Kufika mwezi wa Januari 2020, korona ilikua imeenea kote duniani na kuwaua wengi kwa kasi ya kustaajabisha. Kulingana na Muungano wa Afya Duniani (WHO) inakisiwa kuwa ugonjwa huu una uwezo wa kuwaua watu wapatao milioni sitini. Hivi sasa, inasemekana kuwa takriban watu zaidi ya elfu moja hufa kila siku kutokana na janga hili. Aidha, imethibitishwa kwamba takriban watu milioni tano diniani tayari wamepoteza maisha yao kutokana na ugonjwa huu ambao sasa umekuwa janga la kimataifa.
Kutokana na kuongezeka kwa visa vya Korona, hospitali na zahanati nyingi kote nchini zinashindwa kukidhi mahitaji ya wagonjwa. Hii ni kuwa ugonjwa huu hauna tiba mahususi. Hivyo, madaktari hutibu tu dalili ambazo zinaweza kuoenekana. Wagonjwa pia walihitajika kutengwa na wagonjwa wengine hospitalini ili wasiweze kuwaambukiza. Kwa hivyo makundi ya kujitolea na mashirika mbalimbali yameundwa ili kuwahudumia wagonjwa. Baadhi ya makundi hayo hutoa tiba ya kisaikolojia pamoja na kuwapa ushauri wa hima yakuishi,badala ya kukata tamaa. Wagonjwa wengi pia huishia kutibiwa nyumbani kwao.
Wataalam na wanasayansi nao pia hawakulaza damu. Walijitahidi iwezekenavyo kutafuta tiba na chanjo dhidi ya uginjwa huu. Kutokana na juhudi zao, walifanikiwa kupata chanjo za ugonjwa huu. Mifano ya chanjo hizi ni Aztrezeneca, Pfizer, Johnson and Johnson n.k .Lakini jambo la kuzingatia ni hili, tujifunze kuepukana na ugonjwa huu kwa kuzingatia masharti yaliyowekwa ili kuzuia na kujikinga nao. Muhimu Zaidi ni kuchukua chanjo bila wasiwasi wowote kuwa yanaweza kuwa na athari ya baadaye kama yanavyoenezwa na watu walio na Imani potovu.
Tuwe na matumaini kwamba siku moja tiba ya ugonjwa huu itapatikana. Hii ni kwa sababu tumethibitishiwa haya kutoka katika historia yetu wenyewe. Ikiwa magonjwa yaliyosababisha vifo vya wengi kutokana na ukosefu wa tiba yalitokomezwa kupitia juhudi za kimatibabu, sembuse huu ugonjwa tulio nao sasa? Huku tukijikinga kutokana na maradhi haya tusife moyo bali tuwe na matumaini kwani subira huvuta heri.
| Hata hivyo magonjwa hayo yaliweza kuchunguzwa na kutafutiwa nini | {
"text": [
"Tiba"
]
} |
4776_swa | Vipindi mbalimbali vya historia vimeshuhudia kuibuka kwa magonjwa ya ajabu. Magonjwa hayo yamehahangaisha watu na kuzishughulisha bongo za wanasayansi na madaktari katika kutafuta tiba. Magonjwa kama vile tauni, kifua kikuu, homa ya matumbo, malaria na ndui ni baadhi ya yale yaliyotisha sana nyakati fulani za historia ya binadamu. Magonjwa haya yaliwauwa maelfu ya watu na kutibua mifumo na taratibu za maisha ya watu.
Hata hivyo magonjwa hayo yaliweza kuchunguzwa na kutafutiwa tiba kabla ya kumaliza kabisa kizazi cha binadamu. Lakini hii ni baada ya kuwasukuma maelfu ya watu kaburini. Mambo yalienda maenge ulimwenguni uliposhuhudia janga jingine la maradhi sugu ya Ukimwi. Neno "UKIMWI" lilitolewa kutokana na athari za ugonjwa huo mwilini. Neno' "UKIMWI humanisha Ukosefu wa Kinga mwilini, ambapo herufi za kwanza za maneno matatu huunganishwa pamoja na kuunda neno hilo. Ugonjwa huu umewaua mamilioni ya watu kote ulimwenguni na unazidi kuenea kwa kasi, mfano wa moto katika kichaka. Kutokana na kasi yake ya kuua watu, ugonjwa wa UKIMWI umepewa majina kama vile 'umeme’ na pia 'ugonjwa wa vijana'. Watu wengi wanaoambukizwa virusi vya UKIMWI ni wale walio na miaka kati ya 15 hadi 49. Kundi hili kwa kweli ndilo, linalohesabiwa kuwa na nguvu za kutunza jamii kwa njia nyingi. Iwapo wengi katika kundi hili watakumbwa na maradhi haya, watasalia wakongwe na watoto wasioweza kujimudu.
Miongo minne badaaye, dunia ilikumbwa na janga ligine ambalo lilistaajabisha wengi. Mwaka wa 2019, nchini China- Wuhan, ugonjwa wa korona -19 uligunduliwa. Ugonjwa huu ulikuwa hatari kwani ilibainka kuwa inasambazwa kwa njia ya hewa. Mojawapo ya dalili ya ugonjwa huu ni kupiga chafya, kikohozi, kupandwa na joto mwilini, kukosa hisi ya muojo na mnuso. Kufika mwezi wa Januari 2020, korona ilikua imeenea kote duniani na kuwaua wengi kwa kasi ya kustaajabisha. Kulingana na Muungano wa Afya Duniani (WHO) inakisiwa kuwa ugonjwa huu una uwezo wa kuwaua watu wapatao milioni sitini. Hivi sasa, inasemekana kuwa takriban watu zaidi ya elfu moja hufa kila siku kutokana na janga hili. Aidha, imethibitishwa kwamba takriban watu milioni tano diniani tayari wamepoteza maisha yao kutokana na ugonjwa huu ambao sasa umekuwa janga la kimataifa.
Kutokana na kuongezeka kwa visa vya Korona, hospitali na zahanati nyingi kote nchini zinashindwa kukidhi mahitaji ya wagonjwa. Hii ni kuwa ugonjwa huu hauna tiba mahususi. Hivyo, madaktari hutibu tu dalili ambazo zinaweza kuoenekana. Wagonjwa pia walihitajika kutengwa na wagonjwa wengine hospitalini ili wasiweze kuwaambukiza. Kwa hivyo makundi ya kujitolea na mashirika mbalimbali yameundwa ili kuwahudumia wagonjwa. Baadhi ya makundi hayo hutoa tiba ya kisaikolojia pamoja na kuwapa ushauri wa hima yakuishi,badala ya kukata tamaa. Wagonjwa wengi pia huishia kutibiwa nyumbani kwao.
Wataalam na wanasayansi nao pia hawakulaza damu. Walijitahidi iwezekenavyo kutafuta tiba na chanjo dhidi ya uginjwa huu. Kutokana na juhudi zao, walifanikiwa kupata chanjo za ugonjwa huu. Mifano ya chanjo hizi ni Aztrezeneca, Pfizer, Johnson and Johnson n.k .Lakini jambo la kuzingatia ni hili, tujifunze kuepukana na ugonjwa huu kwa kuzingatia masharti yaliyowekwa ili kuzuia na kujikinga nao. Muhimu Zaidi ni kuchukua chanjo bila wasiwasi wowote kuwa yanaweza kuwa na athari ya baadaye kama yanavyoenezwa na watu walio na Imani potovu.
Tuwe na matumaini kwamba siku moja tiba ya ugonjwa huu itapatikana. Hii ni kwa sababu tumethibitishiwa haya kutoka katika historia yetu wenyewe. Ikiwa magonjwa yaliyosababisha vifo vya wengi kutokana na ukosefu wa tiba yalitokomezwa kupitia juhudi za kimatibabu, sembuse huu ugonjwa tulio nao sasa? Huku tukijikinga kutokana na maradhi haya tusife moyo bali tuwe na matumaini kwani subira huvuta heri.
| Nini kilikumbwa na janga lingine lililostaajabisha wengi | {
"text": [
"Dunia"
]
} |
4776_swa | Vipindi mbalimbali vya historia vimeshuhudia kuibuka kwa magonjwa ya ajabu. Magonjwa hayo yamehahangaisha watu na kuzishughulisha bongo za wanasayansi na madaktari katika kutafuta tiba. Magonjwa kama vile tauni, kifua kikuu, homa ya matumbo, malaria na ndui ni baadhi ya yale yaliyotisha sana nyakati fulani za historia ya binadamu. Magonjwa haya yaliwauwa maelfu ya watu na kutibua mifumo na taratibu za maisha ya watu.
Hata hivyo magonjwa hayo yaliweza kuchunguzwa na kutafutiwa tiba kabla ya kumaliza kabisa kizazi cha binadamu. Lakini hii ni baada ya kuwasukuma maelfu ya watu kaburini. Mambo yalienda maenge ulimwenguni uliposhuhudia janga jingine la maradhi sugu ya Ukimwi. Neno "UKIMWI" lilitolewa kutokana na athari za ugonjwa huo mwilini. Neno' "UKIMWI humanisha Ukosefu wa Kinga mwilini, ambapo herufi za kwanza za maneno matatu huunganishwa pamoja na kuunda neno hilo. Ugonjwa huu umewaua mamilioni ya watu kote ulimwenguni na unazidi kuenea kwa kasi, mfano wa moto katika kichaka. Kutokana na kasi yake ya kuua watu, ugonjwa wa UKIMWI umepewa majina kama vile 'umeme’ na pia 'ugonjwa wa vijana'. Watu wengi wanaoambukizwa virusi vya UKIMWI ni wale walio na miaka kati ya 15 hadi 49. Kundi hili kwa kweli ndilo, linalohesabiwa kuwa na nguvu za kutunza jamii kwa njia nyingi. Iwapo wengi katika kundi hili watakumbwa na maradhi haya, watasalia wakongwe na watoto wasioweza kujimudu.
Miongo minne badaaye, dunia ilikumbwa na janga ligine ambalo lilistaajabisha wengi. Mwaka wa 2019, nchini China- Wuhan, ugonjwa wa korona -19 uligunduliwa. Ugonjwa huu ulikuwa hatari kwani ilibainka kuwa inasambazwa kwa njia ya hewa. Mojawapo ya dalili ya ugonjwa huu ni kupiga chafya, kikohozi, kupandwa na joto mwilini, kukosa hisi ya muojo na mnuso. Kufika mwezi wa Januari 2020, korona ilikua imeenea kote duniani na kuwaua wengi kwa kasi ya kustaajabisha. Kulingana na Muungano wa Afya Duniani (WHO) inakisiwa kuwa ugonjwa huu una uwezo wa kuwaua watu wapatao milioni sitini. Hivi sasa, inasemekana kuwa takriban watu zaidi ya elfu moja hufa kila siku kutokana na janga hili. Aidha, imethibitishwa kwamba takriban watu milioni tano diniani tayari wamepoteza maisha yao kutokana na ugonjwa huu ambao sasa umekuwa janga la kimataifa.
Kutokana na kuongezeka kwa visa vya Korona, hospitali na zahanati nyingi kote nchini zinashindwa kukidhi mahitaji ya wagonjwa. Hii ni kuwa ugonjwa huu hauna tiba mahususi. Hivyo, madaktari hutibu tu dalili ambazo zinaweza kuoenekana. Wagonjwa pia walihitajika kutengwa na wagonjwa wengine hospitalini ili wasiweze kuwaambukiza. Kwa hivyo makundi ya kujitolea na mashirika mbalimbali yameundwa ili kuwahudumia wagonjwa. Baadhi ya makundi hayo hutoa tiba ya kisaikolojia pamoja na kuwapa ushauri wa hima yakuishi,badala ya kukata tamaa. Wagonjwa wengi pia huishia kutibiwa nyumbani kwao.
Wataalam na wanasayansi nao pia hawakulaza damu. Walijitahidi iwezekenavyo kutafuta tiba na chanjo dhidi ya uginjwa huu. Kutokana na juhudi zao, walifanikiwa kupata chanjo za ugonjwa huu. Mifano ya chanjo hizi ni Aztrezeneca, Pfizer, Johnson and Johnson n.k .Lakini jambo la kuzingatia ni hili, tujifunze kuepukana na ugonjwa huu kwa kuzingatia masharti yaliyowekwa ili kuzuia na kujikinga nao. Muhimu Zaidi ni kuchukua chanjo bila wasiwasi wowote kuwa yanaweza kuwa na athari ya baadaye kama yanavyoenezwa na watu walio na Imani potovu.
Tuwe na matumaini kwamba siku moja tiba ya ugonjwa huu itapatikana. Hii ni kwa sababu tumethibitishiwa haya kutoka katika historia yetu wenyewe. Ikiwa magonjwa yaliyosababisha vifo vya wengi kutokana na ukosefu wa tiba yalitokomezwa kupitia juhudi za kimatibabu, sembuse huu ugonjwa tulio nao sasa? Huku tukijikinga kutokana na maradhi haya tusife moyo bali tuwe na matumaini kwani subira huvuta heri.
| Hospitali na zahanati nyingi kote nchini zinashindwa kukidhi mahitaji ya nani | {
"text": [
"Wagonjwa"
]
} |
4777_swa | Nchi yetu imeraukia mawio ya machafuzi ya kisiasa baada ya shughuli za
uchaguzi zilizogonga mwamba mkuu. Hili lilijiri baada ya Tume ya
Uchaguzi kukosa kuendeleza uchaguzi kwa njia iliyostahiki. Jambo hili
lilizaa msukosuko wa kisiasa usiomithilishwa katika historia ya taifa
letu.
Hivi sasa Wakenya wanaishi kwenye kambi za watu wasio na makazi. Hiki ni
kinaya kikuu kwani matukio haya yamezuka baada ya zaidi ya miongo minne
ya uhuru. Vilio vya Wakenya vimeshamiri na kupaaza sauti vikilalamikia
kukosa makazi, lishe na hata ndoa kusambaratika. Ndoa zimevunjika baada
ya ‘wenyeji’ kuwatimua ‘wageni’ na damu kumwagika.
Misukosuko ya kisiasa kama hii imekumba mataifa mengi ya Afrika miaka
nenda rudi na kuchangia bara kudumaa na kuvia kiuchumi. Kenya imekuwa
miongoni mwa mataifa yanayowapa faraja wakimbizi kutoka nchi jirani
zinazokumbwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe, zikiwemo Somalia na Sudan.
Kinaya ni kwamba Wakenya wamekuwa wakimbizi katika nchi yao wenyewe.
Vita katika Somalia vimesababishwa na koo mbali mbali zinazopigania
uongozi hali ambayo imekwamisha shughuli zote za kiuchumi.
Hali ya sasa ya Kenya imechochewa na msururu wa sababu. Ukabila na tamaa
ya uongozi zilionekana wazi katika miundo ya vyama vikuu vya kisiasa na
katika kampeni zao. Wakenya walipiga kura kwa misingi ya kikabila kila
upande ukitazamia mtu wao kushinda uchaguzi huo. Kwa upande mwingine,
viongozi hao kutokana na tamaa ya uongozi walikuwa wameamua kushinda
uchaguzi huo kwa vyovyote vile. Leo tunavuna matunda ya siasa za ukabila
na tamaa ya mamlaka.
Maelfu ya Wakenya ni wakimbizi nchini na katika nchi jirani ya Uganda.
Wakenya hao wanahitaji msaada wa chakula na mahitaji mengine ya
kimsingi. Serikali na Shirika la Msalaba Mwekundu zimefanya juhudi
kuwasaidia wahasiriwa Lakini, kuna tetesi kwamba ubaguzi umejipenyeza
katika ugawaji wa msaada huo. Waliopewa jukumu la kugawa msaada huo ni
sharti waelewe kuwa waathiriwa ni Wakenya wenzao na hawafai kubaguliwa
kwa misingi ya makabila yao. Matukio kama haya hayastahili kutukia
asilani katika taifa hili.
Twahitaji zao aali la viongozi wasiojitwika ubabe bali wawe watumishi wa
wananchi. Wanastahili kutupilia mbali tamaa za kujilimbikizia mali na
kung’ang’ania uongozi. Pia katiba inafaa irekebishwe. Wakenya
wanastahili kuelimishwa kuhusu udugu na utaifa. Fauka ya haya, masuala
yanayohusiana na umiliki wa ardhi yanafaa kutadarukiwa kwa dhati. Hivyo,
tutaweza kuishi kwa amani na ule undugu ambao daima ndichi mhimili wa
maendeleo yoyote.
| Nchi imeraukia mawio ya machafuzi ya nini | {
"text": [
"Kisiasa"
]
} |
4777_swa | Nchi yetu imeraukia mawio ya machafuzi ya kisiasa baada ya shughuli za
uchaguzi zilizogonga mwamba mkuu. Hili lilijiri baada ya Tume ya
Uchaguzi kukosa kuendeleza uchaguzi kwa njia iliyostahiki. Jambo hili
lilizaa msukosuko wa kisiasa usiomithilishwa katika historia ya taifa
letu.
Hivi sasa Wakenya wanaishi kwenye kambi za watu wasio na makazi. Hiki ni
kinaya kikuu kwani matukio haya yamezuka baada ya zaidi ya miongo minne
ya uhuru. Vilio vya Wakenya vimeshamiri na kupaaza sauti vikilalamikia
kukosa makazi, lishe na hata ndoa kusambaratika. Ndoa zimevunjika baada
ya ‘wenyeji’ kuwatimua ‘wageni’ na damu kumwagika.
Misukosuko ya kisiasa kama hii imekumba mataifa mengi ya Afrika miaka
nenda rudi na kuchangia bara kudumaa na kuvia kiuchumi. Kenya imekuwa
miongoni mwa mataifa yanayowapa faraja wakimbizi kutoka nchi jirani
zinazokumbwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe, zikiwemo Somalia na Sudan.
Kinaya ni kwamba Wakenya wamekuwa wakimbizi katika nchi yao wenyewe.
Vita katika Somalia vimesababishwa na koo mbali mbali zinazopigania
uongozi hali ambayo imekwamisha shughuli zote za kiuchumi.
Hali ya sasa ya Kenya imechochewa na msururu wa sababu. Ukabila na tamaa
ya uongozi zilionekana wazi katika miundo ya vyama vikuu vya kisiasa na
katika kampeni zao. Wakenya walipiga kura kwa misingi ya kikabila kila
upande ukitazamia mtu wao kushinda uchaguzi huo. Kwa upande mwingine,
viongozi hao kutokana na tamaa ya uongozi walikuwa wameamua kushinda
uchaguzi huo kwa vyovyote vile. Leo tunavuna matunda ya siasa za ukabila
na tamaa ya mamlaka.
Maelfu ya Wakenya ni wakimbizi nchini na katika nchi jirani ya Uganda.
Wakenya hao wanahitaji msaada wa chakula na mahitaji mengine ya
kimsingi. Serikali na Shirika la Msalaba Mwekundu zimefanya juhudi
kuwasaidia wahasiriwa Lakini, kuna tetesi kwamba ubaguzi umejipenyeza
katika ugawaji wa msaada huo. Waliopewa jukumu la kugawa msaada huo ni
sharti waelewe kuwa waathiriwa ni Wakenya wenzao na hawafai kubaguliwa
kwa misingi ya makabila yao. Matukio kama haya hayastahili kutukia
asilani katika taifa hili.
Twahitaji zao aali la viongozi wasiojitwika ubabe bali wawe watumishi wa
wananchi. Wanastahili kutupilia mbali tamaa za kujilimbikizia mali na
kung’ang’ania uongozi. Pia katiba inafaa irekebishwe. Wakenya
wanastahili kuelimishwa kuhusu udugu na utaifa. Fauka ya haya, masuala
yanayohusiana na umiliki wa ardhi yanafaa kutadarukiwa kwa dhati. Hivyo,
tutaweza kuishi kwa amani na ule undugu ambao daima ndichi mhimili wa
maendeleo yoyote.
| Nani wanaishi katika kambi za watu wasio na makazi | {
"text": [
"Wakenya"
]
} |
4777_swa | Nchi yetu imeraukia mawio ya machafuzi ya kisiasa baada ya shughuli za
uchaguzi zilizogonga mwamba mkuu. Hili lilijiri baada ya Tume ya
Uchaguzi kukosa kuendeleza uchaguzi kwa njia iliyostahiki. Jambo hili
lilizaa msukosuko wa kisiasa usiomithilishwa katika historia ya taifa
letu.
Hivi sasa Wakenya wanaishi kwenye kambi za watu wasio na makazi. Hiki ni
kinaya kikuu kwani matukio haya yamezuka baada ya zaidi ya miongo minne
ya uhuru. Vilio vya Wakenya vimeshamiri na kupaaza sauti vikilalamikia
kukosa makazi, lishe na hata ndoa kusambaratika. Ndoa zimevunjika baada
ya ‘wenyeji’ kuwatimua ‘wageni’ na damu kumwagika.
Misukosuko ya kisiasa kama hii imekumba mataifa mengi ya Afrika miaka
nenda rudi na kuchangia bara kudumaa na kuvia kiuchumi. Kenya imekuwa
miongoni mwa mataifa yanayowapa faraja wakimbizi kutoka nchi jirani
zinazokumbwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe, zikiwemo Somalia na Sudan.
Kinaya ni kwamba Wakenya wamekuwa wakimbizi katika nchi yao wenyewe.
Vita katika Somalia vimesababishwa na koo mbali mbali zinazopigania
uongozi hali ambayo imekwamisha shughuli zote za kiuchumi.
Hali ya sasa ya Kenya imechochewa na msururu wa sababu. Ukabila na tamaa
ya uongozi zilionekana wazi katika miundo ya vyama vikuu vya kisiasa na
katika kampeni zao. Wakenya walipiga kura kwa misingi ya kikabila kila
upande ukitazamia mtu wao kushinda uchaguzi huo. Kwa upande mwingine,
viongozi hao kutokana na tamaa ya uongozi walikuwa wameamua kushinda
uchaguzi huo kwa vyovyote vile. Leo tunavuna matunda ya siasa za ukabila
na tamaa ya mamlaka.
Maelfu ya Wakenya ni wakimbizi nchini na katika nchi jirani ya Uganda.
Wakenya hao wanahitaji msaada wa chakula na mahitaji mengine ya
kimsingi. Serikali na Shirika la Msalaba Mwekundu zimefanya juhudi
kuwasaidia wahasiriwa Lakini, kuna tetesi kwamba ubaguzi umejipenyeza
katika ugawaji wa msaada huo. Waliopewa jukumu la kugawa msaada huo ni
sharti waelewe kuwa waathiriwa ni Wakenya wenzao na hawafai kubaguliwa
kwa misingi ya makabila yao. Matukio kama haya hayastahili kutukia
asilani katika taifa hili.
Twahitaji zao aali la viongozi wasiojitwika ubabe bali wawe watumishi wa
wananchi. Wanastahili kutupilia mbali tamaa za kujilimbikizia mali na
kung’ang’ania uongozi. Pia katiba inafaa irekebishwe. Wakenya
wanastahili kuelimishwa kuhusu udugu na utaifa. Fauka ya haya, masuala
yanayohusiana na umiliki wa ardhi yanafaa kutadarukiwa kwa dhati. Hivyo,
tutaweza kuishi kwa amani na ule undugu ambao daima ndichi mhimili wa
maendeleo yoyote.
| Wakenya walipiga kura kwa misingi ipi | {
"text": [
"Kikabila"
]
} |
4777_swa | Nchi yetu imeraukia mawio ya machafuzi ya kisiasa baada ya shughuli za
uchaguzi zilizogonga mwamba mkuu. Hili lilijiri baada ya Tume ya
Uchaguzi kukosa kuendeleza uchaguzi kwa njia iliyostahiki. Jambo hili
lilizaa msukosuko wa kisiasa usiomithilishwa katika historia ya taifa
letu.
Hivi sasa Wakenya wanaishi kwenye kambi za watu wasio na makazi. Hiki ni
kinaya kikuu kwani matukio haya yamezuka baada ya zaidi ya miongo minne
ya uhuru. Vilio vya Wakenya vimeshamiri na kupaaza sauti vikilalamikia
kukosa makazi, lishe na hata ndoa kusambaratika. Ndoa zimevunjika baada
ya ‘wenyeji’ kuwatimua ‘wageni’ na damu kumwagika.
Misukosuko ya kisiasa kama hii imekumba mataifa mengi ya Afrika miaka
nenda rudi na kuchangia bara kudumaa na kuvia kiuchumi. Kenya imekuwa
miongoni mwa mataifa yanayowapa faraja wakimbizi kutoka nchi jirani
zinazokumbwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe, zikiwemo Somalia na Sudan.
Kinaya ni kwamba Wakenya wamekuwa wakimbizi katika nchi yao wenyewe.
Vita katika Somalia vimesababishwa na koo mbali mbali zinazopigania
uongozi hali ambayo imekwamisha shughuli zote za kiuchumi.
Hali ya sasa ya Kenya imechochewa na msururu wa sababu. Ukabila na tamaa
ya uongozi zilionekana wazi katika miundo ya vyama vikuu vya kisiasa na
katika kampeni zao. Wakenya walipiga kura kwa misingi ya kikabila kila
upande ukitazamia mtu wao kushinda uchaguzi huo. Kwa upande mwingine,
viongozi hao kutokana na tamaa ya uongozi walikuwa wameamua kushinda
uchaguzi huo kwa vyovyote vile. Leo tunavuna matunda ya siasa za ukabila
na tamaa ya mamlaka.
Maelfu ya Wakenya ni wakimbizi nchini na katika nchi jirani ya Uganda.
Wakenya hao wanahitaji msaada wa chakula na mahitaji mengine ya
kimsingi. Serikali na Shirika la Msalaba Mwekundu zimefanya juhudi
kuwasaidia wahasiriwa Lakini, kuna tetesi kwamba ubaguzi umejipenyeza
katika ugawaji wa msaada huo. Waliopewa jukumu la kugawa msaada huo ni
sharti waelewe kuwa waathiriwa ni Wakenya wenzao na hawafai kubaguliwa
kwa misingi ya makabila yao. Matukio kama haya hayastahili kutukia
asilani katika taifa hili.
Twahitaji zao aali la viongozi wasiojitwika ubabe bali wawe watumishi wa
wananchi. Wanastahili kutupilia mbali tamaa za kujilimbikizia mali na
kung’ang’ania uongozi. Pia katiba inafaa irekebishwe. Wakenya
wanastahili kuelimishwa kuhusu udugu na utaifa. Fauka ya haya, masuala
yanayohusiana na umiliki wa ardhi yanafaa kutadarukiwa kwa dhati. Hivyo,
tutaweza kuishi kwa amani na ule undugu ambao daima ndichi mhimili wa
maendeleo yoyote.
| Maelfu ya Wakenya ni wakimbizi katika nchi gani | {
"text": [
"Uganda"
]
} |
4777_swa | Nchi yetu imeraukia mawio ya machafuzi ya kisiasa baada ya shughuli za
uchaguzi zilizogonga mwamba mkuu. Hili lilijiri baada ya Tume ya
Uchaguzi kukosa kuendeleza uchaguzi kwa njia iliyostahiki. Jambo hili
lilizaa msukosuko wa kisiasa usiomithilishwa katika historia ya taifa
letu.
Hivi sasa Wakenya wanaishi kwenye kambi za watu wasio na makazi. Hiki ni
kinaya kikuu kwani matukio haya yamezuka baada ya zaidi ya miongo minne
ya uhuru. Vilio vya Wakenya vimeshamiri na kupaaza sauti vikilalamikia
kukosa makazi, lishe na hata ndoa kusambaratika. Ndoa zimevunjika baada
ya ‘wenyeji’ kuwatimua ‘wageni’ na damu kumwagika.
Misukosuko ya kisiasa kama hii imekumba mataifa mengi ya Afrika miaka
nenda rudi na kuchangia bara kudumaa na kuvia kiuchumi. Kenya imekuwa
miongoni mwa mataifa yanayowapa faraja wakimbizi kutoka nchi jirani
zinazokumbwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe, zikiwemo Somalia na Sudan.
Kinaya ni kwamba Wakenya wamekuwa wakimbizi katika nchi yao wenyewe.
Vita katika Somalia vimesababishwa na koo mbali mbali zinazopigania
uongozi hali ambayo imekwamisha shughuli zote za kiuchumi.
Hali ya sasa ya Kenya imechochewa na msururu wa sababu. Ukabila na tamaa
ya uongozi zilionekana wazi katika miundo ya vyama vikuu vya kisiasa na
katika kampeni zao. Wakenya walipiga kura kwa misingi ya kikabila kila
upande ukitazamia mtu wao kushinda uchaguzi huo. Kwa upande mwingine,
viongozi hao kutokana na tamaa ya uongozi walikuwa wameamua kushinda
uchaguzi huo kwa vyovyote vile. Leo tunavuna matunda ya siasa za ukabila
na tamaa ya mamlaka.
Maelfu ya Wakenya ni wakimbizi nchini na katika nchi jirani ya Uganda.
Wakenya hao wanahitaji msaada wa chakula na mahitaji mengine ya
kimsingi. Serikali na Shirika la Msalaba Mwekundu zimefanya juhudi
kuwasaidia wahasiriwa Lakini, kuna tetesi kwamba ubaguzi umejipenyeza
katika ugawaji wa msaada huo. Waliopewa jukumu la kugawa msaada huo ni
sharti waelewe kuwa waathiriwa ni Wakenya wenzao na hawafai kubaguliwa
kwa misingi ya makabila yao. Matukio kama haya hayastahili kutukia
asilani katika taifa hili.
Twahitaji zao aali la viongozi wasiojitwika ubabe bali wawe watumishi wa
wananchi. Wanastahili kutupilia mbali tamaa za kujilimbikizia mali na
kung’ang’ania uongozi. Pia katiba inafaa irekebishwe. Wakenya
wanastahili kuelimishwa kuhusu udugu na utaifa. Fauka ya haya, masuala
yanayohusiana na umiliki wa ardhi yanafaa kutadarukiwa kwa dhati. Hivyo,
tutaweza kuishi kwa amani na ule undugu ambao daima ndichi mhimili wa
maendeleo yoyote.
| Kwa nini Wakenya wanafaa kuelimishwa kuhusu undugu na utaifa | {
"text": [
"Ili kuzuia vita baada ya uchaguzi"
]
} |
4778_swa | Watu husema mengi kuhusu maisha, Wengine husema mtu anapozaliwa hatima
yake huwa imeshaamuliwa na Mwenyezi na hata afanye nini hakuna wa
kubadilisha, yaani kama majaaliwa yake ni awe mwizi stadi katika siku
zake za halafu, basi atakuwa mwizi stadi bila shaka; kama majaaliwa yake
ni awe daktari maarufu, basi atakuwa daktari mashuhuri, na kadhalika,
Watu kama hawa wana msimamo sawa na ule wa raia wa Uyunani (Ugiriki)
wanaoamini kuwa maisha ya kila binadamu yana sehemu mbili kuu: sehemu
mbaya na sehemu nzuri. Wayunani hawa wanashikilia kuwa kila mtu lazima
azionje sehemu zote mbili katika aushi yake na kwamba haiwezekani
kuliepuka jambo hili. Watu hawa pia wanaamini kuwa miungu wao ndio
wanaoamua maisha yao yatafuata mkondo gani. Yaani, wana imani kamili
kwenye jaala eti kwa vile wino wa Mungu haufutiki.
Kwa bahati mbaya, humu nchini mwetu wapo watu ambao wanashiriki imani
hiyo ya majaaliwa. Wao wanaamini kuwa wanapozaliwa, kazi yao kuu ni
kuponda raha kwani hatima yao Mungu anaijua na hata wafanye nini
hawawezi kuibadilisha. Kwa hivyo kazi yao hapa ni kukaa sambejambe na
kuingojea hatima hiyo. Ukipiga alinacha utagundua kuwa asilimia kubwa ya
watu wanaishi katika ufukara mkubwa lakini si kwa sababu hayo ndiyo
majaaliwa yao kama wanavyodai, lakini ni kutokana na tabia ya kufanya
msirimbo miradi yote iliyo mbele yao.
Maisha si majaaliwa. Hutegemea mipango na juhudi. Mtu asipojibidiisha na
kupanga maisha yake vilivyo, basi bila shaka mambo yatamwendea mvange na
ataishia kuishi maisha ya ufukara wa sina sinani. Ukitazama binadamu
wengi katika nyanja mbalimbali, utaona kuwa hawana utaratibu imara wa
kuendesha maisha yao. Chukua mfano wa vijana.Wao ndio waliokabiliwa
vikali na tatizo hili. Wawapo shuleni, wengi wao hawana haja na elimu.
Wanaamini kuwa shuleni ni pahali pa kuonjea utamu wa maisha huku
wakingoja kubaleghe na kuoa au kuolewa.
Wengi hujihusisha na vitendo vya ajabu kama kushiriki katika migomo.
Sigara haziwatoki midomoni. Majira ya jioni hawapatikani tena shuleni
kwani huwa wametorokea mijini na vitongojini kuponda raha. Dawa za
kulevya nazo ndizo hizo. Wengine wanazielewa zote kwa majina hata
wameshawahi kuonja kila sampuli ya dawa zenyewe. Si ajabu kuwa tayari
baadhi yao ni wagonjwa wa ukosefu wa kinga mwilini. Wapo wale mahiri wa
kufanya biashara yenyewe ya kusambaza dawa hizo za kulevya; walanguzi
waliokubuhu hasa.
Kuwepo kwao- shuleni hakuhusiani kwa vyovyote na elimu. La hasha. Ni
mahali tu kwa kusukumia miradi yao hiyo. Wengine ni majambazi. Wao
hushirikiana na wavunja sheria wengine kupora mali ya wenyewe bila ya
mtu yeyote kuwashuku. Haya yote huweza kuonekana kama yamepigwa chuku.
Lakini ukikumbuka hivi majuzi kifurushi kilichojaa bunduki kilipatikana
chumbani mwa mwanafunzi mmoja chuoni, basi utaanza kuyaamini haya yote.
Wanafunzi wengine huifanya kazi yao kuu kuwa ile ya kuwahangaisha
wenzao. Katika baadhi ya shule, wanafunzi hasa wa kidato cha pili
hujihusisha na vitendo vya kuwadhulumu wenzao wa kidato cha kwanza.
Wengine wamefika kiwango cha kuwatisha na hata kuwapiga walimu wao.
Wawapo huko nyumbani huwa ni balaa tupu.
Baadhi yao huvaa mavazi ya ajabu. Kina dada huvaa nguo fupi kiasi kwamba
utadhani wako uchi. Ukiwauliza kisa na maana wanakujibu kuwa eti ndio
mtindo. Wengine huweka herini chungu nzima masikioni mwao na kujipaka
rangi za kutisha midomoni. Wengine bila kusita hushirikiana kimwili na
wavulana na hata wazee ambao huwafurahisha daima kwa darahima na zawadi
kochokocho. Ugonjwa wa 'Ukimwi' si mgeni kwao. Sababu kuu ni kuwa
wengine, hasa waliokulia mijini, wana mazoea ya kutembelea vilabu na
kushiriki ulevi pamoja na ngono.
Si ajabu kwamba baadhi yao wameenda jongomeo na wengine wako safarini
kuelekea kuko huko. Wakikutana na kina dada watalii kutoka ng'ambo
wanazuzuliwa na hizo ngozi zao nyeupe pepepe na kuapa kuwa nao pia ni
lazima watakuwa kama wao. Wanafanya juu chini kutafuta ngwenje ili
kujinunulia vipodozi aina aina vya kupaushia ngozi zao. Wasichana
wengine hawasomi tena. Wametulia tuli kama maji mitungini humo majumbani
wakiwanyonyesha wana wao waliopata kupitia harakati zao hizo.
Wavulana nao hawaachwi nyuma. Neno ‘nidhamu’ ni istilahi mpya kwao. Wao
wanaishi leo, kesho itajililia. Wengine nywele wameziacha kuwa matimtimu
utadhani ni wajukuu wa majemedari wa vita vya Mau Mau. Wamejitoboa
mashimo chungu nzima masikioni ili wavae herini mbilimbili au tatutatu
kulingana na mtindo uliopo. Wengine hata nywele wameonelea bora kuzisuka
ili wafanane sawa bin sawa na akina dada. Na ili wasiachwe nyuma sana na
kina dada hao, hawasahau kuvaa mikufu inayong'ara kuliko hiyo ya akina
dada.
Nayo mitindo ya nguo huzihangaisha akili zao saa ishirini na nne za
kutwa. Macho na masikio yao hukaa chonjo kila dakika ili wafahamu ni
mitindo gani mipya iliyoingia hasa kutoka ng'ambo kunakoishi wazungu
wenyewe. Wengine nywele wameziweka 'kalikiti'. Suruali wanavaa
zilizoganda mwilini utadhani zimewekwa gundi. Nao wengine wana mikururo
ya marafiki wasichana. Ukiwauliza kisa na maana ya kutongoja hadi wakati
ufike wanasema ndio mtindo. Ukiwauliza na 'Ukimwi je? Wanakuchezesha
kayamba huku wakilumba kuwa Ukimwi ni porojo tupu; eti wamefanya vituko
vyao miaka yote hiyo; inakuwaje hawajaenda na ulele ngoma?
Hata hivyo, kwa vile unga wa manga si dawaya chongo, baada ya pata shika
zote hizo, kilichokuwa na mwanzo kinaanza kufikia hatima yake. Ukweli
unaanza kuchukua mahali pake. Muda ambao wangetumia kujizatiti kwa
minajili ya siku za baadaye wanashtukia ghafla kuwa tayari umeshawapa
kisogo. Majuto na mikasa inawafuata unyo unyo. Ni muhimu sana vijana
kufungua macho yao ili kuona mwanga.Wanafaa kuelewa fika kuwa ujana ni
moshi tu. Dakika hii upo, dakika nyingine ushatoweka. Mungu alipoamua
kuwa kila binadamu ni lazima apitie ujanani alikuwa na sababu maalumu.
Ujana ni kipindi cha maisha cha kujifunga masombo kwa majukumu ya
baadaye. Ni kipindi cha kujitafutia maarifa tunu. Iwapo hali ni kinyume,
basi mambo hayana budi kwenda mrama.
| Nani huamua hatima ya mtu | {
"text": [
"Mwenyezi"
]
} |
4778_swa | Watu husema mengi kuhusu maisha, Wengine husema mtu anapozaliwa hatima
yake huwa imeshaamuliwa na Mwenyezi na hata afanye nini hakuna wa
kubadilisha, yaani kama majaaliwa yake ni awe mwizi stadi katika siku
zake za halafu, basi atakuwa mwizi stadi bila shaka; kama majaaliwa yake
ni awe daktari maarufu, basi atakuwa daktari mashuhuri, na kadhalika,
Watu kama hawa wana msimamo sawa na ule wa raia wa Uyunani (Ugiriki)
wanaoamini kuwa maisha ya kila binadamu yana sehemu mbili kuu: sehemu
mbaya na sehemu nzuri. Wayunani hawa wanashikilia kuwa kila mtu lazima
azionje sehemu zote mbili katika aushi yake na kwamba haiwezekani
kuliepuka jambo hili. Watu hawa pia wanaamini kuwa miungu wao ndio
wanaoamua maisha yao yatafuata mkondo gani. Yaani, wana imani kamili
kwenye jaala eti kwa vile wino wa Mungu haufutiki.
Kwa bahati mbaya, humu nchini mwetu wapo watu ambao wanashiriki imani
hiyo ya majaaliwa. Wao wanaamini kuwa wanapozaliwa, kazi yao kuu ni
kuponda raha kwani hatima yao Mungu anaijua na hata wafanye nini
hawawezi kuibadilisha. Kwa hivyo kazi yao hapa ni kukaa sambejambe na
kuingojea hatima hiyo. Ukipiga alinacha utagundua kuwa asilimia kubwa ya
watu wanaishi katika ufukara mkubwa lakini si kwa sababu hayo ndiyo
majaaliwa yao kama wanavyodai, lakini ni kutokana na tabia ya kufanya
msirimbo miradi yote iliyo mbele yao.
Maisha si majaaliwa. Hutegemea mipango na juhudi. Mtu asipojibidiisha na
kupanga maisha yake vilivyo, basi bila shaka mambo yatamwendea mvange na
ataishia kuishi maisha ya ufukara wa sina sinani. Ukitazama binadamu
wengi katika nyanja mbalimbali, utaona kuwa hawana utaratibu imara wa
kuendesha maisha yao. Chukua mfano wa vijana.Wao ndio waliokabiliwa
vikali na tatizo hili. Wawapo shuleni, wengi wao hawana haja na elimu.
Wanaamini kuwa shuleni ni pahali pa kuonjea utamu wa maisha huku
wakingoja kubaleghe na kuoa au kuolewa.
Wengi hujihusisha na vitendo vya ajabu kama kushiriki katika migomo.
Sigara haziwatoki midomoni. Majira ya jioni hawapatikani tena shuleni
kwani huwa wametorokea mijini na vitongojini kuponda raha. Dawa za
kulevya nazo ndizo hizo. Wengine wanazielewa zote kwa majina hata
wameshawahi kuonja kila sampuli ya dawa zenyewe. Si ajabu kuwa tayari
baadhi yao ni wagonjwa wa ukosefu wa kinga mwilini. Wapo wale mahiri wa
kufanya biashara yenyewe ya kusambaza dawa hizo za kulevya; walanguzi
waliokubuhu hasa.
Kuwepo kwao- shuleni hakuhusiani kwa vyovyote na elimu. La hasha. Ni
mahali tu kwa kusukumia miradi yao hiyo. Wengine ni majambazi. Wao
hushirikiana na wavunja sheria wengine kupora mali ya wenyewe bila ya
mtu yeyote kuwashuku. Haya yote huweza kuonekana kama yamepigwa chuku.
Lakini ukikumbuka hivi majuzi kifurushi kilichojaa bunduki kilipatikana
chumbani mwa mwanafunzi mmoja chuoni, basi utaanza kuyaamini haya yote.
Wanafunzi wengine huifanya kazi yao kuu kuwa ile ya kuwahangaisha
wenzao. Katika baadhi ya shule, wanafunzi hasa wa kidato cha pili
hujihusisha na vitendo vya kuwadhulumu wenzao wa kidato cha kwanza.
Wengine wamefika kiwango cha kuwatisha na hata kuwapiga walimu wao.
Wawapo huko nyumbani huwa ni balaa tupu.
Baadhi yao huvaa mavazi ya ajabu. Kina dada huvaa nguo fupi kiasi kwamba
utadhani wako uchi. Ukiwauliza kisa na maana wanakujibu kuwa eti ndio
mtindo. Wengine huweka herini chungu nzima masikioni mwao na kujipaka
rangi za kutisha midomoni. Wengine bila kusita hushirikiana kimwili na
wavulana na hata wazee ambao huwafurahisha daima kwa darahima na zawadi
kochokocho. Ugonjwa wa 'Ukimwi' si mgeni kwao. Sababu kuu ni kuwa
wengine, hasa waliokulia mijini, wana mazoea ya kutembelea vilabu na
kushiriki ulevi pamoja na ngono.
Si ajabu kwamba baadhi yao wameenda jongomeo na wengine wako safarini
kuelekea kuko huko. Wakikutana na kina dada watalii kutoka ng'ambo
wanazuzuliwa na hizo ngozi zao nyeupe pepepe na kuapa kuwa nao pia ni
lazima watakuwa kama wao. Wanafanya juu chini kutafuta ngwenje ili
kujinunulia vipodozi aina aina vya kupaushia ngozi zao. Wasichana
wengine hawasomi tena. Wametulia tuli kama maji mitungini humo majumbani
wakiwanyonyesha wana wao waliopata kupitia harakati zao hizo.
Wavulana nao hawaachwi nyuma. Neno ‘nidhamu’ ni istilahi mpya kwao. Wao
wanaishi leo, kesho itajililia. Wengine nywele wameziacha kuwa matimtimu
utadhani ni wajukuu wa majemedari wa vita vya Mau Mau. Wamejitoboa
mashimo chungu nzima masikioni ili wavae herini mbilimbili au tatutatu
kulingana na mtindo uliopo. Wengine hata nywele wameonelea bora kuzisuka
ili wafanane sawa bin sawa na akina dada. Na ili wasiachwe nyuma sana na
kina dada hao, hawasahau kuvaa mikufu inayong'ara kuliko hiyo ya akina
dada.
Nayo mitindo ya nguo huzihangaisha akili zao saa ishirini na nne za
kutwa. Macho na masikio yao hukaa chonjo kila dakika ili wafahamu ni
mitindo gani mipya iliyoingia hasa kutoka ng'ambo kunakoishi wazungu
wenyewe. Wengine nywele wameziweka 'kalikiti'. Suruali wanavaa
zilizoganda mwilini utadhani zimewekwa gundi. Nao wengine wana mikururo
ya marafiki wasichana. Ukiwauliza kisa na maana ya kutongoja hadi wakati
ufike wanasema ndio mtindo. Ukiwauliza na 'Ukimwi je? Wanakuchezesha
kayamba huku wakilumba kuwa Ukimwi ni porojo tupu; eti wamefanya vituko
vyao miaka yote hiyo; inakuwaje hawajaenda na ulele ngoma?
Hata hivyo, kwa vile unga wa manga si dawaya chongo, baada ya pata shika
zote hizo, kilichokuwa na mwanzo kinaanza kufikia hatima yake. Ukweli
unaanza kuchukua mahali pake. Muda ambao wangetumia kujizatiti kwa
minajili ya siku za baadaye wanashtukia ghafla kuwa tayari umeshawapa
kisogo. Majuto na mikasa inawafuata unyo unyo. Ni muhimu sana vijana
kufungua macho yao ili kuona mwanga.Wanafaa kuelewa fika kuwa ujana ni
moshi tu. Dakika hii upo, dakika nyingine ushatoweka. Mungu alipoamua
kuwa kila binadamu ni lazima apitie ujanani alikuwa na sababu maalumu.
Ujana ni kipindi cha maisha cha kujifunga masombo kwa majukumu ya
baadaye. Ni kipindi cha kujitafutia maarifa tunu. Iwapo hali ni kinyume,
basi mambo hayana budi kwenda mrama.
| Maisha ya binadamu yana sehemu ngapi kuu | {
"text": [
"Mbili ~nzuri na mbaya"
]
} |
4778_swa | Watu husema mengi kuhusu maisha, Wengine husema mtu anapozaliwa hatima
yake huwa imeshaamuliwa na Mwenyezi na hata afanye nini hakuna wa
kubadilisha, yaani kama majaaliwa yake ni awe mwizi stadi katika siku
zake za halafu, basi atakuwa mwizi stadi bila shaka; kama majaaliwa yake
ni awe daktari maarufu, basi atakuwa daktari mashuhuri, na kadhalika,
Watu kama hawa wana msimamo sawa na ule wa raia wa Uyunani (Ugiriki)
wanaoamini kuwa maisha ya kila binadamu yana sehemu mbili kuu: sehemu
mbaya na sehemu nzuri. Wayunani hawa wanashikilia kuwa kila mtu lazima
azionje sehemu zote mbili katika aushi yake na kwamba haiwezekani
kuliepuka jambo hili. Watu hawa pia wanaamini kuwa miungu wao ndio
wanaoamua maisha yao yatafuata mkondo gani. Yaani, wana imani kamili
kwenye jaala eti kwa vile wino wa Mungu haufutiki.
Kwa bahati mbaya, humu nchini mwetu wapo watu ambao wanashiriki imani
hiyo ya majaaliwa. Wao wanaamini kuwa wanapozaliwa, kazi yao kuu ni
kuponda raha kwani hatima yao Mungu anaijua na hata wafanye nini
hawawezi kuibadilisha. Kwa hivyo kazi yao hapa ni kukaa sambejambe na
kuingojea hatima hiyo. Ukipiga alinacha utagundua kuwa asilimia kubwa ya
watu wanaishi katika ufukara mkubwa lakini si kwa sababu hayo ndiyo
majaaliwa yao kama wanavyodai, lakini ni kutokana na tabia ya kufanya
msirimbo miradi yote iliyo mbele yao.
Maisha si majaaliwa. Hutegemea mipango na juhudi. Mtu asipojibidiisha na
kupanga maisha yake vilivyo, basi bila shaka mambo yatamwendea mvange na
ataishia kuishi maisha ya ufukara wa sina sinani. Ukitazama binadamu
wengi katika nyanja mbalimbali, utaona kuwa hawana utaratibu imara wa
kuendesha maisha yao. Chukua mfano wa vijana.Wao ndio waliokabiliwa
vikali na tatizo hili. Wawapo shuleni, wengi wao hawana haja na elimu.
Wanaamini kuwa shuleni ni pahali pa kuonjea utamu wa maisha huku
wakingoja kubaleghe na kuoa au kuolewa.
Wengi hujihusisha na vitendo vya ajabu kama kushiriki katika migomo.
Sigara haziwatoki midomoni. Majira ya jioni hawapatikani tena shuleni
kwani huwa wametorokea mijini na vitongojini kuponda raha. Dawa za
kulevya nazo ndizo hizo. Wengine wanazielewa zote kwa majina hata
wameshawahi kuonja kila sampuli ya dawa zenyewe. Si ajabu kuwa tayari
baadhi yao ni wagonjwa wa ukosefu wa kinga mwilini. Wapo wale mahiri wa
kufanya biashara yenyewe ya kusambaza dawa hizo za kulevya; walanguzi
waliokubuhu hasa.
Kuwepo kwao- shuleni hakuhusiani kwa vyovyote na elimu. La hasha. Ni
mahali tu kwa kusukumia miradi yao hiyo. Wengine ni majambazi. Wao
hushirikiana na wavunja sheria wengine kupora mali ya wenyewe bila ya
mtu yeyote kuwashuku. Haya yote huweza kuonekana kama yamepigwa chuku.
Lakini ukikumbuka hivi majuzi kifurushi kilichojaa bunduki kilipatikana
chumbani mwa mwanafunzi mmoja chuoni, basi utaanza kuyaamini haya yote.
Wanafunzi wengine huifanya kazi yao kuu kuwa ile ya kuwahangaisha
wenzao. Katika baadhi ya shule, wanafunzi hasa wa kidato cha pili
hujihusisha na vitendo vya kuwadhulumu wenzao wa kidato cha kwanza.
Wengine wamefika kiwango cha kuwatisha na hata kuwapiga walimu wao.
Wawapo huko nyumbani huwa ni balaa tupu.
Baadhi yao huvaa mavazi ya ajabu. Kina dada huvaa nguo fupi kiasi kwamba
utadhani wako uchi. Ukiwauliza kisa na maana wanakujibu kuwa eti ndio
mtindo. Wengine huweka herini chungu nzima masikioni mwao na kujipaka
rangi za kutisha midomoni. Wengine bila kusita hushirikiana kimwili na
wavulana na hata wazee ambao huwafurahisha daima kwa darahima na zawadi
kochokocho. Ugonjwa wa 'Ukimwi' si mgeni kwao. Sababu kuu ni kuwa
wengine, hasa waliokulia mijini, wana mazoea ya kutembelea vilabu na
kushiriki ulevi pamoja na ngono.
Si ajabu kwamba baadhi yao wameenda jongomeo na wengine wako safarini
kuelekea kuko huko. Wakikutana na kina dada watalii kutoka ng'ambo
wanazuzuliwa na hizo ngozi zao nyeupe pepepe na kuapa kuwa nao pia ni
lazima watakuwa kama wao. Wanafanya juu chini kutafuta ngwenje ili
kujinunulia vipodozi aina aina vya kupaushia ngozi zao. Wasichana
wengine hawasomi tena. Wametulia tuli kama maji mitungini humo majumbani
wakiwanyonyesha wana wao waliopata kupitia harakati zao hizo.
Wavulana nao hawaachwi nyuma. Neno ‘nidhamu’ ni istilahi mpya kwao. Wao
wanaishi leo, kesho itajililia. Wengine nywele wameziacha kuwa matimtimu
utadhani ni wajukuu wa majemedari wa vita vya Mau Mau. Wamejitoboa
mashimo chungu nzima masikioni ili wavae herini mbilimbili au tatutatu
kulingana na mtindo uliopo. Wengine hata nywele wameonelea bora kuzisuka
ili wafanane sawa bin sawa na akina dada. Na ili wasiachwe nyuma sana na
kina dada hao, hawasahau kuvaa mikufu inayong'ara kuliko hiyo ya akina
dada.
Nayo mitindo ya nguo huzihangaisha akili zao saa ishirini na nne za
kutwa. Macho na masikio yao hukaa chonjo kila dakika ili wafahamu ni
mitindo gani mipya iliyoingia hasa kutoka ng'ambo kunakoishi wazungu
wenyewe. Wengine nywele wameziweka 'kalikiti'. Suruali wanavaa
zilizoganda mwilini utadhani zimewekwa gundi. Nao wengine wana mikururo
ya marafiki wasichana. Ukiwauliza kisa na maana ya kutongoja hadi wakati
ufike wanasema ndio mtindo. Ukiwauliza na 'Ukimwi je? Wanakuchezesha
kayamba huku wakilumba kuwa Ukimwi ni porojo tupu; eti wamefanya vituko
vyao miaka yote hiyo; inakuwaje hawajaenda na ulele ngoma?
Hata hivyo, kwa vile unga wa manga si dawaya chongo, baada ya pata shika
zote hizo, kilichokuwa na mwanzo kinaanza kufikia hatima yake. Ukweli
unaanza kuchukua mahali pake. Muda ambao wangetumia kujizatiti kwa
minajili ya siku za baadaye wanashtukia ghafla kuwa tayari umeshawapa
kisogo. Majuto na mikasa inawafuata unyo unyo. Ni muhimu sana vijana
kufungua macho yao ili kuona mwanga.Wanafaa kuelewa fika kuwa ujana ni
moshi tu. Dakika hii upo, dakika nyingine ushatoweka. Mungu alipoamua
kuwa kila binadamu ni lazima apitie ujanani alikuwa na sababu maalumu.
Ujana ni kipindi cha maisha cha kujifunga masombo kwa majukumu ya
baadaye. Ni kipindi cha kujitafutia maarifa tunu. Iwapo hali ni kinyume,
basi mambo hayana budi kwenda mrama.
| Mtu asipojibiidisha huishi maisha gani | {
"text": [
"Ya ufukara"
]
} |
4778_swa | Watu husema mengi kuhusu maisha, Wengine husema mtu anapozaliwa hatima
yake huwa imeshaamuliwa na Mwenyezi na hata afanye nini hakuna wa
kubadilisha, yaani kama majaaliwa yake ni awe mwizi stadi katika siku
zake za halafu, basi atakuwa mwizi stadi bila shaka; kama majaaliwa yake
ni awe daktari maarufu, basi atakuwa daktari mashuhuri, na kadhalika,
Watu kama hawa wana msimamo sawa na ule wa raia wa Uyunani (Ugiriki)
wanaoamini kuwa maisha ya kila binadamu yana sehemu mbili kuu: sehemu
mbaya na sehemu nzuri. Wayunani hawa wanashikilia kuwa kila mtu lazima
azionje sehemu zote mbili katika aushi yake na kwamba haiwezekani
kuliepuka jambo hili. Watu hawa pia wanaamini kuwa miungu wao ndio
wanaoamua maisha yao yatafuata mkondo gani. Yaani, wana imani kamili
kwenye jaala eti kwa vile wino wa Mungu haufutiki.
Kwa bahati mbaya, humu nchini mwetu wapo watu ambao wanashiriki imani
hiyo ya majaaliwa. Wao wanaamini kuwa wanapozaliwa, kazi yao kuu ni
kuponda raha kwani hatima yao Mungu anaijua na hata wafanye nini
hawawezi kuibadilisha. Kwa hivyo kazi yao hapa ni kukaa sambejambe na
kuingojea hatima hiyo. Ukipiga alinacha utagundua kuwa asilimia kubwa ya
watu wanaishi katika ufukara mkubwa lakini si kwa sababu hayo ndiyo
majaaliwa yao kama wanavyodai, lakini ni kutokana na tabia ya kufanya
msirimbo miradi yote iliyo mbele yao.
Maisha si majaaliwa. Hutegemea mipango na juhudi. Mtu asipojibidiisha na
kupanga maisha yake vilivyo, basi bila shaka mambo yatamwendea mvange na
ataishia kuishi maisha ya ufukara wa sina sinani. Ukitazama binadamu
wengi katika nyanja mbalimbali, utaona kuwa hawana utaratibu imara wa
kuendesha maisha yao. Chukua mfano wa vijana.Wao ndio waliokabiliwa
vikali na tatizo hili. Wawapo shuleni, wengi wao hawana haja na elimu.
Wanaamini kuwa shuleni ni pahali pa kuonjea utamu wa maisha huku
wakingoja kubaleghe na kuoa au kuolewa.
Wengi hujihusisha na vitendo vya ajabu kama kushiriki katika migomo.
Sigara haziwatoki midomoni. Majira ya jioni hawapatikani tena shuleni
kwani huwa wametorokea mijini na vitongojini kuponda raha. Dawa za
kulevya nazo ndizo hizo. Wengine wanazielewa zote kwa majina hata
wameshawahi kuonja kila sampuli ya dawa zenyewe. Si ajabu kuwa tayari
baadhi yao ni wagonjwa wa ukosefu wa kinga mwilini. Wapo wale mahiri wa
kufanya biashara yenyewe ya kusambaza dawa hizo za kulevya; walanguzi
waliokubuhu hasa.
Kuwepo kwao- shuleni hakuhusiani kwa vyovyote na elimu. La hasha. Ni
mahali tu kwa kusukumia miradi yao hiyo. Wengine ni majambazi. Wao
hushirikiana na wavunja sheria wengine kupora mali ya wenyewe bila ya
mtu yeyote kuwashuku. Haya yote huweza kuonekana kama yamepigwa chuku.
Lakini ukikumbuka hivi majuzi kifurushi kilichojaa bunduki kilipatikana
chumbani mwa mwanafunzi mmoja chuoni, basi utaanza kuyaamini haya yote.
Wanafunzi wengine huifanya kazi yao kuu kuwa ile ya kuwahangaisha
wenzao. Katika baadhi ya shule, wanafunzi hasa wa kidato cha pili
hujihusisha na vitendo vya kuwadhulumu wenzao wa kidato cha kwanza.
Wengine wamefika kiwango cha kuwatisha na hata kuwapiga walimu wao.
Wawapo huko nyumbani huwa ni balaa tupu.
Baadhi yao huvaa mavazi ya ajabu. Kina dada huvaa nguo fupi kiasi kwamba
utadhani wako uchi. Ukiwauliza kisa na maana wanakujibu kuwa eti ndio
mtindo. Wengine huweka herini chungu nzima masikioni mwao na kujipaka
rangi za kutisha midomoni. Wengine bila kusita hushirikiana kimwili na
wavulana na hata wazee ambao huwafurahisha daima kwa darahima na zawadi
kochokocho. Ugonjwa wa 'Ukimwi' si mgeni kwao. Sababu kuu ni kuwa
wengine, hasa waliokulia mijini, wana mazoea ya kutembelea vilabu na
kushiriki ulevi pamoja na ngono.
Si ajabu kwamba baadhi yao wameenda jongomeo na wengine wako safarini
kuelekea kuko huko. Wakikutana na kina dada watalii kutoka ng'ambo
wanazuzuliwa na hizo ngozi zao nyeupe pepepe na kuapa kuwa nao pia ni
lazima watakuwa kama wao. Wanafanya juu chini kutafuta ngwenje ili
kujinunulia vipodozi aina aina vya kupaushia ngozi zao. Wasichana
wengine hawasomi tena. Wametulia tuli kama maji mitungini humo majumbani
wakiwanyonyesha wana wao waliopata kupitia harakati zao hizo.
Wavulana nao hawaachwi nyuma. Neno ‘nidhamu’ ni istilahi mpya kwao. Wao
wanaishi leo, kesho itajililia. Wengine nywele wameziacha kuwa matimtimu
utadhani ni wajukuu wa majemedari wa vita vya Mau Mau. Wamejitoboa
mashimo chungu nzima masikioni ili wavae herini mbilimbili au tatutatu
kulingana na mtindo uliopo. Wengine hata nywele wameonelea bora kuzisuka
ili wafanane sawa bin sawa na akina dada. Na ili wasiachwe nyuma sana na
kina dada hao, hawasahau kuvaa mikufu inayong'ara kuliko hiyo ya akina
dada.
Nayo mitindo ya nguo huzihangaisha akili zao saa ishirini na nne za
kutwa. Macho na masikio yao hukaa chonjo kila dakika ili wafahamu ni
mitindo gani mipya iliyoingia hasa kutoka ng'ambo kunakoishi wazungu
wenyewe. Wengine nywele wameziweka 'kalikiti'. Suruali wanavaa
zilizoganda mwilini utadhani zimewekwa gundi. Nao wengine wana mikururo
ya marafiki wasichana. Ukiwauliza kisa na maana ya kutongoja hadi wakati
ufike wanasema ndio mtindo. Ukiwauliza na 'Ukimwi je? Wanakuchezesha
kayamba huku wakilumba kuwa Ukimwi ni porojo tupu; eti wamefanya vituko
vyao miaka yote hiyo; inakuwaje hawajaenda na ulele ngoma?
Hata hivyo, kwa vile unga wa manga si dawaya chongo, baada ya pata shika
zote hizo, kilichokuwa na mwanzo kinaanza kufikia hatima yake. Ukweli
unaanza kuchukua mahali pake. Muda ambao wangetumia kujizatiti kwa
minajili ya siku za baadaye wanashtukia ghafla kuwa tayari umeshawapa
kisogo. Majuto na mikasa inawafuata unyo unyo. Ni muhimu sana vijana
kufungua macho yao ili kuona mwanga.Wanafaa kuelewa fika kuwa ujana ni
moshi tu. Dakika hii upo, dakika nyingine ushatoweka. Mungu alipoamua
kuwa kila binadamu ni lazima apitie ujanani alikuwa na sababu maalumu.
Ujana ni kipindi cha maisha cha kujifunga masombo kwa majukumu ya
baadaye. Ni kipindi cha kujitafutia maarifa tunu. Iwapo hali ni kinyume,
basi mambo hayana budi kwenda mrama.
| Ni kina nani wakiwa shuleni hawana haja na elimu | {
"text": [
"Vijana"
]
} |
4778_swa | Watu husema mengi kuhusu maisha, Wengine husema mtu anapozaliwa hatima
yake huwa imeshaamuliwa na Mwenyezi na hata afanye nini hakuna wa
kubadilisha, yaani kama majaaliwa yake ni awe mwizi stadi katika siku
zake za halafu, basi atakuwa mwizi stadi bila shaka; kama majaaliwa yake
ni awe daktari maarufu, basi atakuwa daktari mashuhuri, na kadhalika,
Watu kama hawa wana msimamo sawa na ule wa raia wa Uyunani (Ugiriki)
wanaoamini kuwa maisha ya kila binadamu yana sehemu mbili kuu: sehemu
mbaya na sehemu nzuri. Wayunani hawa wanashikilia kuwa kila mtu lazima
azionje sehemu zote mbili katika aushi yake na kwamba haiwezekani
kuliepuka jambo hili. Watu hawa pia wanaamini kuwa miungu wao ndio
wanaoamua maisha yao yatafuata mkondo gani. Yaani, wana imani kamili
kwenye jaala eti kwa vile wino wa Mungu haufutiki.
Kwa bahati mbaya, humu nchini mwetu wapo watu ambao wanashiriki imani
hiyo ya majaaliwa. Wao wanaamini kuwa wanapozaliwa, kazi yao kuu ni
kuponda raha kwani hatima yao Mungu anaijua na hata wafanye nini
hawawezi kuibadilisha. Kwa hivyo kazi yao hapa ni kukaa sambejambe na
kuingojea hatima hiyo. Ukipiga alinacha utagundua kuwa asilimia kubwa ya
watu wanaishi katika ufukara mkubwa lakini si kwa sababu hayo ndiyo
majaaliwa yao kama wanavyodai, lakini ni kutokana na tabia ya kufanya
msirimbo miradi yote iliyo mbele yao.
Maisha si majaaliwa. Hutegemea mipango na juhudi. Mtu asipojibidiisha na
kupanga maisha yake vilivyo, basi bila shaka mambo yatamwendea mvange na
ataishia kuishi maisha ya ufukara wa sina sinani. Ukitazama binadamu
wengi katika nyanja mbalimbali, utaona kuwa hawana utaratibu imara wa
kuendesha maisha yao. Chukua mfano wa vijana.Wao ndio waliokabiliwa
vikali na tatizo hili. Wawapo shuleni, wengi wao hawana haja na elimu.
Wanaamini kuwa shuleni ni pahali pa kuonjea utamu wa maisha huku
wakingoja kubaleghe na kuoa au kuolewa.
Wengi hujihusisha na vitendo vya ajabu kama kushiriki katika migomo.
Sigara haziwatoki midomoni. Majira ya jioni hawapatikani tena shuleni
kwani huwa wametorokea mijini na vitongojini kuponda raha. Dawa za
kulevya nazo ndizo hizo. Wengine wanazielewa zote kwa majina hata
wameshawahi kuonja kila sampuli ya dawa zenyewe. Si ajabu kuwa tayari
baadhi yao ni wagonjwa wa ukosefu wa kinga mwilini. Wapo wale mahiri wa
kufanya biashara yenyewe ya kusambaza dawa hizo za kulevya; walanguzi
waliokubuhu hasa.
Kuwepo kwao- shuleni hakuhusiani kwa vyovyote na elimu. La hasha. Ni
mahali tu kwa kusukumia miradi yao hiyo. Wengine ni majambazi. Wao
hushirikiana na wavunja sheria wengine kupora mali ya wenyewe bila ya
mtu yeyote kuwashuku. Haya yote huweza kuonekana kama yamepigwa chuku.
Lakini ukikumbuka hivi majuzi kifurushi kilichojaa bunduki kilipatikana
chumbani mwa mwanafunzi mmoja chuoni, basi utaanza kuyaamini haya yote.
Wanafunzi wengine huifanya kazi yao kuu kuwa ile ya kuwahangaisha
wenzao. Katika baadhi ya shule, wanafunzi hasa wa kidato cha pili
hujihusisha na vitendo vya kuwadhulumu wenzao wa kidato cha kwanza.
Wengine wamefika kiwango cha kuwatisha na hata kuwapiga walimu wao.
Wawapo huko nyumbani huwa ni balaa tupu.
Baadhi yao huvaa mavazi ya ajabu. Kina dada huvaa nguo fupi kiasi kwamba
utadhani wako uchi. Ukiwauliza kisa na maana wanakujibu kuwa eti ndio
mtindo. Wengine huweka herini chungu nzima masikioni mwao na kujipaka
rangi za kutisha midomoni. Wengine bila kusita hushirikiana kimwili na
wavulana na hata wazee ambao huwafurahisha daima kwa darahima na zawadi
kochokocho. Ugonjwa wa 'Ukimwi' si mgeni kwao. Sababu kuu ni kuwa
wengine, hasa waliokulia mijini, wana mazoea ya kutembelea vilabu na
kushiriki ulevi pamoja na ngono.
Si ajabu kwamba baadhi yao wameenda jongomeo na wengine wako safarini
kuelekea kuko huko. Wakikutana na kina dada watalii kutoka ng'ambo
wanazuzuliwa na hizo ngozi zao nyeupe pepepe na kuapa kuwa nao pia ni
lazima watakuwa kama wao. Wanafanya juu chini kutafuta ngwenje ili
kujinunulia vipodozi aina aina vya kupaushia ngozi zao. Wasichana
wengine hawasomi tena. Wametulia tuli kama maji mitungini humo majumbani
wakiwanyonyesha wana wao waliopata kupitia harakati zao hizo.
Wavulana nao hawaachwi nyuma. Neno ‘nidhamu’ ni istilahi mpya kwao. Wao
wanaishi leo, kesho itajililia. Wengine nywele wameziacha kuwa matimtimu
utadhani ni wajukuu wa majemedari wa vita vya Mau Mau. Wamejitoboa
mashimo chungu nzima masikioni ili wavae herini mbilimbili au tatutatu
kulingana na mtindo uliopo. Wengine hata nywele wameonelea bora kuzisuka
ili wafanane sawa bin sawa na akina dada. Na ili wasiachwe nyuma sana na
kina dada hao, hawasahau kuvaa mikufu inayong'ara kuliko hiyo ya akina
dada.
Nayo mitindo ya nguo huzihangaisha akili zao saa ishirini na nne za
kutwa. Macho na masikio yao hukaa chonjo kila dakika ili wafahamu ni
mitindo gani mipya iliyoingia hasa kutoka ng'ambo kunakoishi wazungu
wenyewe. Wengine nywele wameziweka 'kalikiti'. Suruali wanavaa
zilizoganda mwilini utadhani zimewekwa gundi. Nao wengine wana mikururo
ya marafiki wasichana. Ukiwauliza kisa na maana ya kutongoja hadi wakati
ufike wanasema ndio mtindo. Ukiwauliza na 'Ukimwi je? Wanakuchezesha
kayamba huku wakilumba kuwa Ukimwi ni porojo tupu; eti wamefanya vituko
vyao miaka yote hiyo; inakuwaje hawajaenda na ulele ngoma?
Hata hivyo, kwa vile unga wa manga si dawaya chongo, baada ya pata shika
zote hizo, kilichokuwa na mwanzo kinaanza kufikia hatima yake. Ukweli
unaanza kuchukua mahali pake. Muda ambao wangetumia kujizatiti kwa
minajili ya siku za baadaye wanashtukia ghafla kuwa tayari umeshawapa
kisogo. Majuto na mikasa inawafuata unyo unyo. Ni muhimu sana vijana
kufungua macho yao ili kuona mwanga.Wanafaa kuelewa fika kuwa ujana ni
moshi tu. Dakika hii upo, dakika nyingine ushatoweka. Mungu alipoamua
kuwa kila binadamu ni lazima apitie ujanani alikuwa na sababu maalumu.
Ujana ni kipindi cha maisha cha kujifunga masombo kwa majukumu ya
baadaye. Ni kipindi cha kujitafutia maarifa tunu. Iwapo hali ni kinyume,
basi mambo hayana budi kwenda mrama.
| Vijana hujihusisha na vitendo vipi vya ajabu | {
"text": [
"Kushiriki migomo na kuvuta sigara"
]
} |
4779_swa | JERAHA LA MAHABA
Maisha ya mapenzi kweli hayana huruma iwe wewe ni jahili au mwerevu
yanakufanya upoteze fikra za utu .Sikupenda jinsi watu walivyojitosa kwa
mapenzi wangali katika shule ya upili au shule ya msingi yote niliyaona
Kama kukosa adabu na kukosa dira katika maisha yao.Wote walijibanza kwa
mahaba wakidai kuwa wanaipata raha wakipenda na kupendwa.
Waliyoniambia yalinipa utashi wa kutaka kuipata furaha
waliyoizungumzia.Lakini sikujua nianzie wapi kwa sababu nilikuwa bado
msungo Kama wasemavyo wengine waliofundwa.Nilikuwa na ari ya kuharamia
nijue jinsi ya kuanza kupenda na jinsi ya kupendwa na jinsi furaha
inapatikana kwenye hayo mapenzi.
Nilitamani kugubua Siri iliyokuwa imejibanza katika mapenzi
.Nilipomaliza kidato cha nne nilifaulu kuendelea na masomo yangu katika
chuo kikuu. Hapo ndipo maisha ya mapenzi yalipong'oa nanga kama
nilivyokuwa nimeyafikiri .Nilijaribu kutalii ulimwengu wa mapenzi ili
niweze kuyaona yote ambayo nilijizuia kuyajua kwa takriban miaka kumi na
Saba .
Hata hivyo nilikuwa na woga chungu nzima kwani bado niliogopa jinsi watu
wengine walivyoyakashifu mapenzi kuwa hakuna mapenzi ya kweli ila ni
kupotezeana muda na hata kupata msongo wa mawazo unaoletwa na mfarakano
kati ya wapendanao.Hata hivyo Mimi nilitaka kung'amua hasa furaha
inayoletwa na mapenzi Wala sikutaka kujishughulisha kujua Kama pia penzi
linaweza kukugeuza bwege hasa mchumba atakapokukimbia na kukuacha.
Mwaka wa Kwanza katika chuo kikuu haukumalizika kabla ya mimi kujitosa
kwenye mahaba ambayo kwa sasa nitayaita haramu.Maisha kidogo
yalibadilika ,kwa sababu kipindi ambacho nilikuwa sijapenda ghulamu
mmoja , wakati mwingi nililala kwenye chumba changu ila pindi tu
nilivyochanganyikiwa na mahaba yake basi ikawa kwamba ninakwendwa
kumtembelea kwenye kichumba chake alipokuwa akiishi.Sitakosea kusema
kwamba nilipitikiwa na yale wakubwa wangu na hata wazazi wangu
waliyonikanya dhidi ya mapenzi hayo ya chuo kikuu ila wakati huo
niliyazika kwenye kaburi ya sahau.Mapenzi ya barubaru yalinipofusha
nisijue pa kutembea nililowa na huba lake alilonipa kwa ustaarabu bila
pupa wala kurupukwa.
Nilikweta kwenye mahaba ya kijana huyo aliyeitwa Amope.Alikuwa ni
barubaru mtanashati na hata ujasiri wa mambo yake ulinifanya niwe na
kwina isiyokadirika.Alinikifu kwa kile nilichotaka na kunifanya
nijisahau. Tulipendana Kama ulimi na mate .Penzi lilishamiri pande zote
hakuna pengo tuliloliacha kuziba ili waliokuwa na gere waweze kuliona na
kitudhihaki kuwa hatukupendana.Alijaribu kadri ya uwezo wake kuuondoa
uwoga uliokuwa umeshamiri kwa moyo wangu alinitia skuli na kunifunza
mengi nisiyoyajua kwa takriban karibia miongo miwili.
Nilifika muda ambao tanuri la penzi letu lilianza kuzima .Mambo
tuliyokuwa tunayafurahia kwenye penzi letu lililokuwa Tamu kama halua
tena hatukuvizungumzia.Penzi lililokuwa limekolea tena hata hakuna
aliyetamani kulikoleza zaidi na zaidi ili lizidi kunoga.Kila mmoja
aliona mwenzake kama bweshu kwani penzi lililokuwa changa na mbwembwe
nyingi za kusheheza Sasa lilikonga na kupoteza ladha yake.Sairi zote
zilizokuwa hapo awali ziliyeyuka na kupotea.
Amope kipenzi cha roho tena nilikuwa simwoni Tena kama hapo awali
ilivyokuwa ada yangu. Simu zangu akawa hapokei tena. Nilibaki kuwa
yatima wa mapenzi ambayo niliyaparamia mwenyewe.Machozi yalinitoka njia
mbili na kuchirizika kwenye mabebe yangu .Alikuwa aangaza macho yake
kwangu kwani aliniona kama taka kwenye jalala.Alivyokuwa akinidadavua
tulivyokuwa kwenye safari ya penzi hakuonyesha ari ya kujikumbusha
tena.Kwa kweli penzi letu lilikuwa limeugua maradhi yasokuwa na
dawa.lilikuwa limevuja.Kitabu chetu cha mapenzi kurasa zake zilikuwa
zimechanika na tenzi hazikuwa zikiso eka tena.
Niliingia kwenye ulimwengu wa sintofahamu kwa sababu sikuweza
kustahimili majina aliyoniita Kama bweshu,msungo na mengineo.Moyoni
nilijilaiti kwa nini niliwapuuza wakubwa wangu, na hata hivyo nilikuwa
mdogo Sana kujitia ukungu wa kujitosa kwenye mahaba nisiyokuwa najua
umuhimu wake na hata madhara yake ambayo yalikuwa na uzani mkubwa
kuupiku uzuri wake.
Amope naye alinilaghai kuwa atakuja kunitia ndani tutakapomaliza chuo
kikuu kwa maana kuwa atanioa.Lakini wapi ? Penzi bado limekufa na
kufukiwa mchango bado lingali changa.Niliwaza na kuwazua jinsi
nitakavyojinasua kwenye msongo wa mawazo ambao nusura unigeuze mbulu.
Sikumwelewa Amope mbona akafanya uamuzi wa aina hiyo mpaka sasa
,sikumwelewa alichokidhamiria kifanyika ila hakuona kuwa kingefanyika
hivyo basi akaamua kukatiza penzi.Sikumwelewa.Kichwa kilikuwa kizito
Kama nanga sikuweza hata kukisitiri.Miguu nayo nilipokuwa nawaza penzi
letu lilivyotawanyika nilikuwa nashindwa hata kuinyanyua.Mpenzi
nilimpania kuwa wangu wa kufa kuzikani alikuwa amepotea mbali na upeo wa
macho yangu nisije nikamwona tena kwenye aushi yangu.
Mpaka sasa naliuguza jeraha.
| Maisha ya mapenzi kweli hayana nini | {
"text": [
"huruma"
]
} |
4779_swa | JERAHA LA MAHABA
Maisha ya mapenzi kweli hayana huruma iwe wewe ni jahili au mwerevu
yanakufanya upoteze fikra za utu .Sikupenda jinsi watu walivyojitosa kwa
mapenzi wangali katika shule ya upili au shule ya msingi yote niliyaona
Kama kukosa adabu na kukosa dira katika maisha yao.Wote walijibanza kwa
mahaba wakidai kuwa wanaipata raha wakipenda na kupendwa.
Waliyoniambia yalinipa utashi wa kutaka kuipata furaha
waliyoizungumzia.Lakini sikujua nianzie wapi kwa sababu nilikuwa bado
msungo Kama wasemavyo wengine waliofundwa.Nilikuwa na ari ya kuharamia
nijue jinsi ya kuanza kupenda na jinsi ya kupendwa na jinsi furaha
inapatikana kwenye hayo mapenzi.
Nilitamani kugubua Siri iliyokuwa imejibanza katika mapenzi
.Nilipomaliza kidato cha nne nilifaulu kuendelea na masomo yangu katika
chuo kikuu. Hapo ndipo maisha ya mapenzi yalipong'oa nanga kama
nilivyokuwa nimeyafikiri .Nilijaribu kutalii ulimwengu wa mapenzi ili
niweze kuyaona yote ambayo nilijizuia kuyajua kwa takriban miaka kumi na
Saba .
Hata hivyo nilikuwa na woga chungu nzima kwani bado niliogopa jinsi watu
wengine walivyoyakashifu mapenzi kuwa hakuna mapenzi ya kweli ila ni
kupotezeana muda na hata kupata msongo wa mawazo unaoletwa na mfarakano
kati ya wapendanao.Hata hivyo Mimi nilitaka kung'amua hasa furaha
inayoletwa na mapenzi Wala sikutaka kujishughulisha kujua Kama pia penzi
linaweza kukugeuza bwege hasa mchumba atakapokukimbia na kukuacha.
Mwaka wa Kwanza katika chuo kikuu haukumalizika kabla ya mimi kujitosa
kwenye mahaba ambayo kwa sasa nitayaita haramu.Maisha kidogo
yalibadilika ,kwa sababu kipindi ambacho nilikuwa sijapenda ghulamu
mmoja , wakati mwingi nililala kwenye chumba changu ila pindi tu
nilivyochanganyikiwa na mahaba yake basi ikawa kwamba ninakwendwa
kumtembelea kwenye kichumba chake alipokuwa akiishi.Sitakosea kusema
kwamba nilipitikiwa na yale wakubwa wangu na hata wazazi wangu
waliyonikanya dhidi ya mapenzi hayo ya chuo kikuu ila wakati huo
niliyazika kwenye kaburi ya sahau.Mapenzi ya barubaru yalinipofusha
nisijue pa kutembea nililowa na huba lake alilonipa kwa ustaarabu bila
pupa wala kurupukwa.
Nilikweta kwenye mahaba ya kijana huyo aliyeitwa Amope.Alikuwa ni
barubaru mtanashati na hata ujasiri wa mambo yake ulinifanya niwe na
kwina isiyokadirika.Alinikifu kwa kile nilichotaka na kunifanya
nijisahau. Tulipendana Kama ulimi na mate .Penzi lilishamiri pande zote
hakuna pengo tuliloliacha kuziba ili waliokuwa na gere waweze kuliona na
kitudhihaki kuwa hatukupendana.Alijaribu kadri ya uwezo wake kuuondoa
uwoga uliokuwa umeshamiri kwa moyo wangu alinitia skuli na kunifunza
mengi nisiyoyajua kwa takriban karibia miongo miwili.
Nilifika muda ambao tanuri la penzi letu lilianza kuzima .Mambo
tuliyokuwa tunayafurahia kwenye penzi letu lililokuwa Tamu kama halua
tena hatukuvizungumzia.Penzi lililokuwa limekolea tena hata hakuna
aliyetamani kulikoleza zaidi na zaidi ili lizidi kunoga.Kila mmoja
aliona mwenzake kama bweshu kwani penzi lililokuwa changa na mbwembwe
nyingi za kusheheza Sasa lilikonga na kupoteza ladha yake.Sairi zote
zilizokuwa hapo awali ziliyeyuka na kupotea.
Amope kipenzi cha roho tena nilikuwa simwoni Tena kama hapo awali
ilivyokuwa ada yangu. Simu zangu akawa hapokei tena. Nilibaki kuwa
yatima wa mapenzi ambayo niliyaparamia mwenyewe.Machozi yalinitoka njia
mbili na kuchirizika kwenye mabebe yangu .Alikuwa aangaza macho yake
kwangu kwani aliniona kama taka kwenye jalala.Alivyokuwa akinidadavua
tulivyokuwa kwenye safari ya penzi hakuonyesha ari ya kujikumbusha
tena.Kwa kweli penzi letu lilikuwa limeugua maradhi yasokuwa na
dawa.lilikuwa limevuja.Kitabu chetu cha mapenzi kurasa zake zilikuwa
zimechanika na tenzi hazikuwa zikiso eka tena.
Niliingia kwenye ulimwengu wa sintofahamu kwa sababu sikuweza
kustahimili majina aliyoniita Kama bweshu,msungo na mengineo.Moyoni
nilijilaiti kwa nini niliwapuuza wakubwa wangu, na hata hivyo nilikuwa
mdogo Sana kujitia ukungu wa kujitosa kwenye mahaba nisiyokuwa najua
umuhimu wake na hata madhara yake ambayo yalikuwa na uzani mkubwa
kuupiku uzuri wake.
Amope naye alinilaghai kuwa atakuja kunitia ndani tutakapomaliza chuo
kikuu kwa maana kuwa atanioa.Lakini wapi ? Penzi bado limekufa na
kufukiwa mchango bado lingali changa.Niliwaza na kuwazua jinsi
nitakavyojinasua kwenye msongo wa mawazo ambao nusura unigeuze mbulu.
Sikumwelewa Amope mbona akafanya uamuzi wa aina hiyo mpaka sasa
,sikumwelewa alichokidhamiria kifanyika ila hakuona kuwa kingefanyika
hivyo basi akaamua kukatiza penzi.Sikumwelewa.Kichwa kilikuwa kizito
Kama nanga sikuweza hata kukisitiri.Miguu nayo nilipokuwa nawaza penzi
letu lilivyotawanyika nilikuwa nashindwa hata kuinyanyua.Mpenzi
nilimpania kuwa wangu wa kufa kuzikani alikuwa amepotea mbali na upeo wa
macho yangu nisije nikamwona tena kwenye aushi yangu.
Mpaka sasa naliuguza jeraha.
| Maisha ya mapenzi yanakufanya upoteze nini | {
"text": [
"fikra za utu"
]
} |
4779_swa | JERAHA LA MAHABA
Maisha ya mapenzi kweli hayana huruma iwe wewe ni jahili au mwerevu
yanakufanya upoteze fikra za utu .Sikupenda jinsi watu walivyojitosa kwa
mapenzi wangali katika shule ya upili au shule ya msingi yote niliyaona
Kama kukosa adabu na kukosa dira katika maisha yao.Wote walijibanza kwa
mahaba wakidai kuwa wanaipata raha wakipenda na kupendwa.
Waliyoniambia yalinipa utashi wa kutaka kuipata furaha
waliyoizungumzia.Lakini sikujua nianzie wapi kwa sababu nilikuwa bado
msungo Kama wasemavyo wengine waliofundwa.Nilikuwa na ari ya kuharamia
nijue jinsi ya kuanza kupenda na jinsi ya kupendwa na jinsi furaha
inapatikana kwenye hayo mapenzi.
Nilitamani kugubua Siri iliyokuwa imejibanza katika mapenzi
.Nilipomaliza kidato cha nne nilifaulu kuendelea na masomo yangu katika
chuo kikuu. Hapo ndipo maisha ya mapenzi yalipong'oa nanga kama
nilivyokuwa nimeyafikiri .Nilijaribu kutalii ulimwengu wa mapenzi ili
niweze kuyaona yote ambayo nilijizuia kuyajua kwa takriban miaka kumi na
Saba .
Hata hivyo nilikuwa na woga chungu nzima kwani bado niliogopa jinsi watu
wengine walivyoyakashifu mapenzi kuwa hakuna mapenzi ya kweli ila ni
kupotezeana muda na hata kupata msongo wa mawazo unaoletwa na mfarakano
kati ya wapendanao.Hata hivyo Mimi nilitaka kung'amua hasa furaha
inayoletwa na mapenzi Wala sikutaka kujishughulisha kujua Kama pia penzi
linaweza kukugeuza bwege hasa mchumba atakapokukimbia na kukuacha.
Mwaka wa Kwanza katika chuo kikuu haukumalizika kabla ya mimi kujitosa
kwenye mahaba ambayo kwa sasa nitayaita haramu.Maisha kidogo
yalibadilika ,kwa sababu kipindi ambacho nilikuwa sijapenda ghulamu
mmoja , wakati mwingi nililala kwenye chumba changu ila pindi tu
nilivyochanganyikiwa na mahaba yake basi ikawa kwamba ninakwendwa
kumtembelea kwenye kichumba chake alipokuwa akiishi.Sitakosea kusema
kwamba nilipitikiwa na yale wakubwa wangu na hata wazazi wangu
waliyonikanya dhidi ya mapenzi hayo ya chuo kikuu ila wakati huo
niliyazika kwenye kaburi ya sahau.Mapenzi ya barubaru yalinipofusha
nisijue pa kutembea nililowa na huba lake alilonipa kwa ustaarabu bila
pupa wala kurupukwa.
Nilikweta kwenye mahaba ya kijana huyo aliyeitwa Amope.Alikuwa ni
barubaru mtanashati na hata ujasiri wa mambo yake ulinifanya niwe na
kwina isiyokadirika.Alinikifu kwa kile nilichotaka na kunifanya
nijisahau. Tulipendana Kama ulimi na mate .Penzi lilishamiri pande zote
hakuna pengo tuliloliacha kuziba ili waliokuwa na gere waweze kuliona na
kitudhihaki kuwa hatukupendana.Alijaribu kadri ya uwezo wake kuuondoa
uwoga uliokuwa umeshamiri kwa moyo wangu alinitia skuli na kunifunza
mengi nisiyoyajua kwa takriban karibia miongo miwili.
Nilifika muda ambao tanuri la penzi letu lilianza kuzima .Mambo
tuliyokuwa tunayafurahia kwenye penzi letu lililokuwa Tamu kama halua
tena hatukuvizungumzia.Penzi lililokuwa limekolea tena hata hakuna
aliyetamani kulikoleza zaidi na zaidi ili lizidi kunoga.Kila mmoja
aliona mwenzake kama bweshu kwani penzi lililokuwa changa na mbwembwe
nyingi za kusheheza Sasa lilikonga na kupoteza ladha yake.Sairi zote
zilizokuwa hapo awali ziliyeyuka na kupotea.
Amope kipenzi cha roho tena nilikuwa simwoni Tena kama hapo awali
ilivyokuwa ada yangu. Simu zangu akawa hapokei tena. Nilibaki kuwa
yatima wa mapenzi ambayo niliyaparamia mwenyewe.Machozi yalinitoka njia
mbili na kuchirizika kwenye mabebe yangu .Alikuwa aangaza macho yake
kwangu kwani aliniona kama taka kwenye jalala.Alivyokuwa akinidadavua
tulivyokuwa kwenye safari ya penzi hakuonyesha ari ya kujikumbusha
tena.Kwa kweli penzi letu lilikuwa limeugua maradhi yasokuwa na
dawa.lilikuwa limevuja.Kitabu chetu cha mapenzi kurasa zake zilikuwa
zimechanika na tenzi hazikuwa zikiso eka tena.
Niliingia kwenye ulimwengu wa sintofahamu kwa sababu sikuweza
kustahimili majina aliyoniita Kama bweshu,msungo na mengineo.Moyoni
nilijilaiti kwa nini niliwapuuza wakubwa wangu, na hata hivyo nilikuwa
mdogo Sana kujitia ukungu wa kujitosa kwenye mahaba nisiyokuwa najua
umuhimu wake na hata madhara yake ambayo yalikuwa na uzani mkubwa
kuupiku uzuri wake.
Amope naye alinilaghai kuwa atakuja kunitia ndani tutakapomaliza chuo
kikuu kwa maana kuwa atanioa.Lakini wapi ? Penzi bado limekufa na
kufukiwa mchango bado lingali changa.Niliwaza na kuwazua jinsi
nitakavyojinasua kwenye msongo wa mawazo ambao nusura unigeuze mbulu.
Sikumwelewa Amope mbona akafanya uamuzi wa aina hiyo mpaka sasa
,sikumwelewa alichokidhamiria kifanyika ila hakuona kuwa kingefanyika
hivyo basi akaamua kukatiza penzi.Sikumwelewa.Kichwa kilikuwa kizito
Kama nanga sikuweza hata kukisitiri.Miguu nayo nilipokuwa nawaza penzi
letu lilivyotawanyika nilikuwa nashindwa hata kuinyanyua.Mpenzi
nilimpania kuwa wangu wa kufa kuzikani alikuwa amepotea mbali na upeo wa
macho yangu nisije nikamwona tena kwenye aushi yangu.
Mpaka sasa naliuguza jeraha.
| Penzi linaweza kukugeuza nini | {
"text": [
"bwege"
]
} |
4779_swa | JERAHA LA MAHABA
Maisha ya mapenzi kweli hayana huruma iwe wewe ni jahili au mwerevu
yanakufanya upoteze fikra za utu .Sikupenda jinsi watu walivyojitosa kwa
mapenzi wangali katika shule ya upili au shule ya msingi yote niliyaona
Kama kukosa adabu na kukosa dira katika maisha yao.Wote walijibanza kwa
mahaba wakidai kuwa wanaipata raha wakipenda na kupendwa.
Waliyoniambia yalinipa utashi wa kutaka kuipata furaha
waliyoizungumzia.Lakini sikujua nianzie wapi kwa sababu nilikuwa bado
msungo Kama wasemavyo wengine waliofundwa.Nilikuwa na ari ya kuharamia
nijue jinsi ya kuanza kupenda na jinsi ya kupendwa na jinsi furaha
inapatikana kwenye hayo mapenzi.
Nilitamani kugubua Siri iliyokuwa imejibanza katika mapenzi
.Nilipomaliza kidato cha nne nilifaulu kuendelea na masomo yangu katika
chuo kikuu. Hapo ndipo maisha ya mapenzi yalipong'oa nanga kama
nilivyokuwa nimeyafikiri .Nilijaribu kutalii ulimwengu wa mapenzi ili
niweze kuyaona yote ambayo nilijizuia kuyajua kwa takriban miaka kumi na
Saba .
Hata hivyo nilikuwa na woga chungu nzima kwani bado niliogopa jinsi watu
wengine walivyoyakashifu mapenzi kuwa hakuna mapenzi ya kweli ila ni
kupotezeana muda na hata kupata msongo wa mawazo unaoletwa na mfarakano
kati ya wapendanao.Hata hivyo Mimi nilitaka kung'amua hasa furaha
inayoletwa na mapenzi Wala sikutaka kujishughulisha kujua Kama pia penzi
linaweza kukugeuza bwege hasa mchumba atakapokukimbia na kukuacha.
Mwaka wa Kwanza katika chuo kikuu haukumalizika kabla ya mimi kujitosa
kwenye mahaba ambayo kwa sasa nitayaita haramu.Maisha kidogo
yalibadilika ,kwa sababu kipindi ambacho nilikuwa sijapenda ghulamu
mmoja , wakati mwingi nililala kwenye chumba changu ila pindi tu
nilivyochanganyikiwa na mahaba yake basi ikawa kwamba ninakwendwa
kumtembelea kwenye kichumba chake alipokuwa akiishi.Sitakosea kusema
kwamba nilipitikiwa na yale wakubwa wangu na hata wazazi wangu
waliyonikanya dhidi ya mapenzi hayo ya chuo kikuu ila wakati huo
niliyazika kwenye kaburi ya sahau.Mapenzi ya barubaru yalinipofusha
nisijue pa kutembea nililowa na huba lake alilonipa kwa ustaarabu bila
pupa wala kurupukwa.
Nilikweta kwenye mahaba ya kijana huyo aliyeitwa Amope.Alikuwa ni
barubaru mtanashati na hata ujasiri wa mambo yake ulinifanya niwe na
kwina isiyokadirika.Alinikifu kwa kile nilichotaka na kunifanya
nijisahau. Tulipendana Kama ulimi na mate .Penzi lilishamiri pande zote
hakuna pengo tuliloliacha kuziba ili waliokuwa na gere waweze kuliona na
kitudhihaki kuwa hatukupendana.Alijaribu kadri ya uwezo wake kuuondoa
uwoga uliokuwa umeshamiri kwa moyo wangu alinitia skuli na kunifunza
mengi nisiyoyajua kwa takriban karibia miongo miwili.
Nilifika muda ambao tanuri la penzi letu lilianza kuzima .Mambo
tuliyokuwa tunayafurahia kwenye penzi letu lililokuwa Tamu kama halua
tena hatukuvizungumzia.Penzi lililokuwa limekolea tena hata hakuna
aliyetamani kulikoleza zaidi na zaidi ili lizidi kunoga.Kila mmoja
aliona mwenzake kama bweshu kwani penzi lililokuwa changa na mbwembwe
nyingi za kusheheza Sasa lilikonga na kupoteza ladha yake.Sairi zote
zilizokuwa hapo awali ziliyeyuka na kupotea.
Amope kipenzi cha roho tena nilikuwa simwoni Tena kama hapo awali
ilivyokuwa ada yangu. Simu zangu akawa hapokei tena. Nilibaki kuwa
yatima wa mapenzi ambayo niliyaparamia mwenyewe.Machozi yalinitoka njia
mbili na kuchirizika kwenye mabebe yangu .Alikuwa aangaza macho yake
kwangu kwani aliniona kama taka kwenye jalala.Alivyokuwa akinidadavua
tulivyokuwa kwenye safari ya penzi hakuonyesha ari ya kujikumbusha
tena.Kwa kweli penzi letu lilikuwa limeugua maradhi yasokuwa na
dawa.lilikuwa limevuja.Kitabu chetu cha mapenzi kurasa zake zilikuwa
zimechanika na tenzi hazikuwa zikiso eka tena.
Niliingia kwenye ulimwengu wa sintofahamu kwa sababu sikuweza
kustahimili majina aliyoniita Kama bweshu,msungo na mengineo.Moyoni
nilijilaiti kwa nini niliwapuuza wakubwa wangu, na hata hivyo nilikuwa
mdogo Sana kujitia ukungu wa kujitosa kwenye mahaba nisiyokuwa najua
umuhimu wake na hata madhara yake ambayo yalikuwa na uzani mkubwa
kuupiku uzuri wake.
Amope naye alinilaghai kuwa atakuja kunitia ndani tutakapomaliza chuo
kikuu kwa maana kuwa atanioa.Lakini wapi ? Penzi bado limekufa na
kufukiwa mchango bado lingali changa.Niliwaza na kuwazua jinsi
nitakavyojinasua kwenye msongo wa mawazo ambao nusura unigeuze mbulu.
Sikumwelewa Amope mbona akafanya uamuzi wa aina hiyo mpaka sasa
,sikumwelewa alichokidhamiria kifanyika ila hakuona kuwa kingefanyika
hivyo basi akaamua kukatiza penzi.Sikumwelewa.Kichwa kilikuwa kizito
Kama nanga sikuweza hata kukisitiri.Miguu nayo nilipokuwa nawaza penzi
letu lilivyotawanyika nilikuwa nashindwa hata kuinyanyua.Mpenzi
nilimpania kuwa wangu wa kufa kuzikani alikuwa amepotea mbali na upeo wa
macho yangu nisije nikamwona tena kwenye aushi yangu.
Mpaka sasa naliuguza jeraha.
| Maisha ya mapenzi yaling'oa nanga lini | {
"text": [
"alipokua chuo kikuu"
]
} |
4779_swa | JERAHA LA MAHABA
Maisha ya mapenzi kweli hayana huruma iwe wewe ni jahili au mwerevu
yanakufanya upoteze fikra za utu .Sikupenda jinsi watu walivyojitosa kwa
mapenzi wangali katika shule ya upili au shule ya msingi yote niliyaona
Kama kukosa adabu na kukosa dira katika maisha yao.Wote walijibanza kwa
mahaba wakidai kuwa wanaipata raha wakipenda na kupendwa.
Waliyoniambia yalinipa utashi wa kutaka kuipata furaha
waliyoizungumzia.Lakini sikujua nianzie wapi kwa sababu nilikuwa bado
msungo Kama wasemavyo wengine waliofundwa.Nilikuwa na ari ya kuharamia
nijue jinsi ya kuanza kupenda na jinsi ya kupendwa na jinsi furaha
inapatikana kwenye hayo mapenzi.
Nilitamani kugubua Siri iliyokuwa imejibanza katika mapenzi
.Nilipomaliza kidato cha nne nilifaulu kuendelea na masomo yangu katika
chuo kikuu. Hapo ndipo maisha ya mapenzi yalipong'oa nanga kama
nilivyokuwa nimeyafikiri .Nilijaribu kutalii ulimwengu wa mapenzi ili
niweze kuyaona yote ambayo nilijizuia kuyajua kwa takriban miaka kumi na
Saba .
Hata hivyo nilikuwa na woga chungu nzima kwani bado niliogopa jinsi watu
wengine walivyoyakashifu mapenzi kuwa hakuna mapenzi ya kweli ila ni
kupotezeana muda na hata kupata msongo wa mawazo unaoletwa na mfarakano
kati ya wapendanao.Hata hivyo Mimi nilitaka kung'amua hasa furaha
inayoletwa na mapenzi Wala sikutaka kujishughulisha kujua Kama pia penzi
linaweza kukugeuza bwege hasa mchumba atakapokukimbia na kukuacha.
Mwaka wa Kwanza katika chuo kikuu haukumalizika kabla ya mimi kujitosa
kwenye mahaba ambayo kwa sasa nitayaita haramu.Maisha kidogo
yalibadilika ,kwa sababu kipindi ambacho nilikuwa sijapenda ghulamu
mmoja , wakati mwingi nililala kwenye chumba changu ila pindi tu
nilivyochanganyikiwa na mahaba yake basi ikawa kwamba ninakwendwa
kumtembelea kwenye kichumba chake alipokuwa akiishi.Sitakosea kusema
kwamba nilipitikiwa na yale wakubwa wangu na hata wazazi wangu
waliyonikanya dhidi ya mapenzi hayo ya chuo kikuu ila wakati huo
niliyazika kwenye kaburi ya sahau.Mapenzi ya barubaru yalinipofusha
nisijue pa kutembea nililowa na huba lake alilonipa kwa ustaarabu bila
pupa wala kurupukwa.
Nilikweta kwenye mahaba ya kijana huyo aliyeitwa Amope.Alikuwa ni
barubaru mtanashati na hata ujasiri wa mambo yake ulinifanya niwe na
kwina isiyokadirika.Alinikifu kwa kile nilichotaka na kunifanya
nijisahau. Tulipendana Kama ulimi na mate .Penzi lilishamiri pande zote
hakuna pengo tuliloliacha kuziba ili waliokuwa na gere waweze kuliona na
kitudhihaki kuwa hatukupendana.Alijaribu kadri ya uwezo wake kuuondoa
uwoga uliokuwa umeshamiri kwa moyo wangu alinitia skuli na kunifunza
mengi nisiyoyajua kwa takriban karibia miongo miwili.
Nilifika muda ambao tanuri la penzi letu lilianza kuzima .Mambo
tuliyokuwa tunayafurahia kwenye penzi letu lililokuwa Tamu kama halua
tena hatukuvizungumzia.Penzi lililokuwa limekolea tena hata hakuna
aliyetamani kulikoleza zaidi na zaidi ili lizidi kunoga.Kila mmoja
aliona mwenzake kama bweshu kwani penzi lililokuwa changa na mbwembwe
nyingi za kusheheza Sasa lilikonga na kupoteza ladha yake.Sairi zote
zilizokuwa hapo awali ziliyeyuka na kupotea.
Amope kipenzi cha roho tena nilikuwa simwoni Tena kama hapo awali
ilivyokuwa ada yangu. Simu zangu akawa hapokei tena. Nilibaki kuwa
yatima wa mapenzi ambayo niliyaparamia mwenyewe.Machozi yalinitoka njia
mbili na kuchirizika kwenye mabebe yangu .Alikuwa aangaza macho yake
kwangu kwani aliniona kama taka kwenye jalala.Alivyokuwa akinidadavua
tulivyokuwa kwenye safari ya penzi hakuonyesha ari ya kujikumbusha
tena.Kwa kweli penzi letu lilikuwa limeugua maradhi yasokuwa na
dawa.lilikuwa limevuja.Kitabu chetu cha mapenzi kurasa zake zilikuwa
zimechanika na tenzi hazikuwa zikiso eka tena.
Niliingia kwenye ulimwengu wa sintofahamu kwa sababu sikuweza
kustahimili majina aliyoniita Kama bweshu,msungo na mengineo.Moyoni
nilijilaiti kwa nini niliwapuuza wakubwa wangu, na hata hivyo nilikuwa
mdogo Sana kujitia ukungu wa kujitosa kwenye mahaba nisiyokuwa najua
umuhimu wake na hata madhara yake ambayo yalikuwa na uzani mkubwa
kuupiku uzuri wake.
Amope naye alinilaghai kuwa atakuja kunitia ndani tutakapomaliza chuo
kikuu kwa maana kuwa atanioa.Lakini wapi ? Penzi bado limekufa na
kufukiwa mchango bado lingali changa.Niliwaza na kuwazua jinsi
nitakavyojinasua kwenye msongo wa mawazo ambao nusura unigeuze mbulu.
Sikumwelewa Amope mbona akafanya uamuzi wa aina hiyo mpaka sasa
,sikumwelewa alichokidhamiria kifanyika ila hakuona kuwa kingefanyika
hivyo basi akaamua kukatiza penzi.Sikumwelewa.Kichwa kilikuwa kizito
Kama nanga sikuweza hata kukisitiri.Miguu nayo nilipokuwa nawaza penzi
letu lilivyotawanyika nilikuwa nashindwa hata kuinyanyua.Mpenzi
nilimpania kuwa wangu wa kufa kuzikani alikuwa amepotea mbali na upeo wa
macho yangu nisije nikamwona tena kwenye aushi yangu.
Mpaka sasa naliuguza jeraha.
| Mbona alibaki kuwa yatima wa mapenzi | {
"text": [
"hakuweza tena kumwona kipenzi chake Amope na simu hakua akipokea"
]
} |
4780_swa | UKOSEFU WA AJIRA DUNIANi
Pengo kubwa kati ya wenye mishahara minono na wanaolipwa kijungu jiko Ripoti hiyo imegundua kuwa inawachukua takriban muda wa miaka 11 kwa asilimia 20 ya watu wenye kipato cha chini kupata kipato sawa na kile asilimia 20 ya wanaolipwa vizuri hupata katika mwaka mmoja pekee.
Wakati huo huo, shirika hilo limesisitiza kuwa takriban watu milioni 285 ulimwenguni kote, wanachukuliwa kama ambao hawajaajiriwa chini ya kiwango. Kumaanisha wanafanya kazi kidogo kuliko wanavyotaka kufanya au, wamekata tamaa kutafuta kazi, au wameshindwa kupenyeza katika soko la ajira. ILO imeongeza kuwa kwa jumla hiyo ni takriban watu nusu bilioni, na inawakilisha asilimia 13 ya nguvu kazi kote duniani. Ryder amesema ripoti hiyo imefichua hali mbaya zaidi ya kutia wasiwasi, huku akiongeza kuwa kukosa kazi nzuri ya kufanya, kunachangia kuongezeka kwa makundi ya waandamanaji katika jamii na machafuko vanavyotokea ulimwenguni.
Umoja wa Mataifa umesema kuwa watu milioni 470 kwa sasa ulimwenguni kote hawana ajira kabisa au wameajiriwa chini ya kiwango. Kwenye ripoti yao iliyotolewa jana Umoja huo umeonya kuwa ukosefu wa ajira bora unachangia machafuko katika jamii.
Kwenye ripoti yake ya kila mwaka kuhusu ajira na tathmini ya jami, Shirika la Kazi Duniani, ILO, limesema Mwaka huu, idadi ya watu ambao wamesajiliwa kuwa hawana ajira inatarajiwa kuongezeka kutoka milioni 188 mwaka uliopita hadi milioni 190.5. Mnamo mwaka uliopita, zaidi ya watu milioni 630, ikiwa ni asilimia 20 ya idadi jumla ya wanaofanya kazi ulimwenguni, walitegemea kazi ya kijungu jiko, yaani kipato ni chini ya dola 3.20 kila siku.
Ripoti ya ILO imeonyesha kuwa asilimia 60 ya nguvu kazi ulimwenguni kote kwa sasa ni wale wanaofanya kazi zisizo rasmi, ambapo malipo ni kidogo na hawapati marupurupu muhimu.
Takwimu za Umoja wa Mataifa zinaonyesha kuwa uchumi wa mataifa umekua kwa asilimia 7 lakini licha ya mafanikio haya, ukosefu wa ajira miongoi mwa vijana bado ni changamoto kubwa ikiwa katika kiwango cha asilimia 12.
Yaelezwa kuwa kwa kila vijana 700,000 ambao wanasaka ajira kila mwaka ni fursa 40,000 tu ambazo ziko wazi hii ikimaanisha kwamba ni asilimia 6 tu ya vijana ambao wanapata kazi rasmi. Hali hiyo imesababisha Umoja wa Matifa kupitia shirika lake la maendeleo ya viwanda, UNIDO, kuanza mipango rasmi ili kukabiliana na changamoto hizo. linaitahadharisha Ujerumani juu ya mgogoro wa madeni unaozikabili nchi kadhaa katika Umoja wa Ulaya. inasemekana, kwa sasa Ujerumani bado ni imara, lakini haina maana kwamba haitaweza kuguswa na mgogoro siku moja.inasemekana anafanua kwamba mgogoro wa mabenki na madeni umesababisha athari kubwa,kama ilivyoshuhudiwa kwenye soko la ajira .Takwimu zinathibitisha kuwa nchi za Ulaya zinazidi kufarakana.
Soko la ajira nchini Ujerumani bado ni imara,kutokana na mageuzi yaliyofanywa mnamo miaka ya nyuma. Hali ni tofauti katika nchi za kusini mwa Ulaya.Nchi hizo zimenasa katika dimbwi la matatizo, na hazijui namna ya kujinasua. Kwa mtazamo wa Ujerumani, mgogoro wa madeni bado ni tatizo la wengine.Lakini hayo hayana maana kwamba Wajerumani hawayajali matatizo ya wengine. Wanajua kwamba udhaifu wa kiuchumi katika nchi nyingine ni jambo la wasi wasi kwa uchumi wa Ujeremani.
Ripoti hiyo "kiwango cha mishahara 2018-2019", iliyotolewa leo mjini Geneva Uswis na shirika la kazi duniani ILO, inasema duniani kote kiwango cha mishahara kilishuka hadi asilimia1.8 mwaka 2017 kutoka asilimia 2.4 mwaka wa 2016, kutokana na takwim zilizokusanya kutoka mataifa 136.
Ripoti pia ikifafanua kuhusu pengo hilo la mishahara kimataifa imnasema imebaini kwamba wanawake wanaendelea kulipwa takribani asilimia 20 pungufu ya wanaumme. Na Ikwa nchi zilizoendelea pengo hilo liko bayana kwenye kazi zenye malipo makubwa wakati katika nchi za kipato cha nini pengo kubwa la mishahara liko katika kazi za ujira mdogo.
Kwa mujibu wa Ushahidi uliokusanywa na ripoti hiyo sababu zilizozoeleka kama tofauti za viwango vya elimu kati ya wanawake na wanaume ambao wanafanya kazi na kupipwa zinanafasi ndogo sana katika pengo hilo la mishahara baina ya wanawake na wanaumme.
| Watu wamekata tamaa kutafuta nini | {
"text": [
"kazi"
]
} |
4780_swa | UKOSEFU WA AJIRA DUNIANi
Pengo kubwa kati ya wenye mishahara minono na wanaolipwa kijungu jiko Ripoti hiyo imegundua kuwa inawachukua takriban muda wa miaka 11 kwa asilimia 20 ya watu wenye kipato cha chini kupata kipato sawa na kile asilimia 20 ya wanaolipwa vizuri hupata katika mwaka mmoja pekee.
Wakati huo huo, shirika hilo limesisitiza kuwa takriban watu milioni 285 ulimwenguni kote, wanachukuliwa kama ambao hawajaajiriwa chini ya kiwango. Kumaanisha wanafanya kazi kidogo kuliko wanavyotaka kufanya au, wamekata tamaa kutafuta kazi, au wameshindwa kupenyeza katika soko la ajira. ILO imeongeza kuwa kwa jumla hiyo ni takriban watu nusu bilioni, na inawakilisha asilimia 13 ya nguvu kazi kote duniani. Ryder amesema ripoti hiyo imefichua hali mbaya zaidi ya kutia wasiwasi, huku akiongeza kuwa kukosa kazi nzuri ya kufanya, kunachangia kuongezeka kwa makundi ya waandamanaji katika jamii na machafuko vanavyotokea ulimwenguni.
Umoja wa Mataifa umesema kuwa watu milioni 470 kwa sasa ulimwenguni kote hawana ajira kabisa au wameajiriwa chini ya kiwango. Kwenye ripoti yao iliyotolewa jana Umoja huo umeonya kuwa ukosefu wa ajira bora unachangia machafuko katika jamii.
Kwenye ripoti yake ya kila mwaka kuhusu ajira na tathmini ya jami, Shirika la Kazi Duniani, ILO, limesema Mwaka huu, idadi ya watu ambao wamesajiliwa kuwa hawana ajira inatarajiwa kuongezeka kutoka milioni 188 mwaka uliopita hadi milioni 190.5. Mnamo mwaka uliopita, zaidi ya watu milioni 630, ikiwa ni asilimia 20 ya idadi jumla ya wanaofanya kazi ulimwenguni, walitegemea kazi ya kijungu jiko, yaani kipato ni chini ya dola 3.20 kila siku.
Ripoti ya ILO imeonyesha kuwa asilimia 60 ya nguvu kazi ulimwenguni kote kwa sasa ni wale wanaofanya kazi zisizo rasmi, ambapo malipo ni kidogo na hawapati marupurupu muhimu.
Takwimu za Umoja wa Mataifa zinaonyesha kuwa uchumi wa mataifa umekua kwa asilimia 7 lakini licha ya mafanikio haya, ukosefu wa ajira miongoi mwa vijana bado ni changamoto kubwa ikiwa katika kiwango cha asilimia 12.
Yaelezwa kuwa kwa kila vijana 700,000 ambao wanasaka ajira kila mwaka ni fursa 40,000 tu ambazo ziko wazi hii ikimaanisha kwamba ni asilimia 6 tu ya vijana ambao wanapata kazi rasmi. Hali hiyo imesababisha Umoja wa Matifa kupitia shirika lake la maendeleo ya viwanda, UNIDO, kuanza mipango rasmi ili kukabiliana na changamoto hizo. linaitahadharisha Ujerumani juu ya mgogoro wa madeni unaozikabili nchi kadhaa katika Umoja wa Ulaya. inasemekana, kwa sasa Ujerumani bado ni imara, lakini haina maana kwamba haitaweza kuguswa na mgogoro siku moja.inasemekana anafanua kwamba mgogoro wa mabenki na madeni umesababisha athari kubwa,kama ilivyoshuhudiwa kwenye soko la ajira .Takwimu zinathibitisha kuwa nchi za Ulaya zinazidi kufarakana.
Soko la ajira nchini Ujerumani bado ni imara,kutokana na mageuzi yaliyofanywa mnamo miaka ya nyuma. Hali ni tofauti katika nchi za kusini mwa Ulaya.Nchi hizo zimenasa katika dimbwi la matatizo, na hazijui namna ya kujinasua. Kwa mtazamo wa Ujerumani, mgogoro wa madeni bado ni tatizo la wengine.Lakini hayo hayana maana kwamba Wajerumani hawayajali matatizo ya wengine. Wanajua kwamba udhaifu wa kiuchumi katika nchi nyingine ni jambo la wasi wasi kwa uchumi wa Ujeremani.
Ripoti hiyo "kiwango cha mishahara 2018-2019", iliyotolewa leo mjini Geneva Uswis na shirika la kazi duniani ILO, inasema duniani kote kiwango cha mishahara kilishuka hadi asilimia1.8 mwaka 2017 kutoka asilimia 2.4 mwaka wa 2016, kutokana na takwim zilizokusanya kutoka mataifa 136.
Ripoti pia ikifafanua kuhusu pengo hilo la mishahara kimataifa imnasema imebaini kwamba wanawake wanaendelea kulipwa takribani asilimia 20 pungufu ya wanaumme. Na Ikwa nchi zilizoendelea pengo hilo liko bayana kwenye kazi zenye malipo makubwa wakati katika nchi za kipato cha nini pengo kubwa la mishahara liko katika kazi za ujira mdogo.
Kwa mujibu wa Ushahidi uliokusanywa na ripoti hiyo sababu zilizozoeleka kama tofauti za viwango vya elimu kati ya wanawake na wanaume ambao wanafanya kazi na kupipwa zinanafasi ndogo sana katika pengo hilo la mishahara baina ya wanawake na wanaumme.
| Ripoti ilitolewa lini | {
"text": [
"jana"
]
} |
4780_swa | UKOSEFU WA AJIRA DUNIANi
Pengo kubwa kati ya wenye mishahara minono na wanaolipwa kijungu jiko Ripoti hiyo imegundua kuwa inawachukua takriban muda wa miaka 11 kwa asilimia 20 ya watu wenye kipato cha chini kupata kipato sawa na kile asilimia 20 ya wanaolipwa vizuri hupata katika mwaka mmoja pekee.
Wakati huo huo, shirika hilo limesisitiza kuwa takriban watu milioni 285 ulimwenguni kote, wanachukuliwa kama ambao hawajaajiriwa chini ya kiwango. Kumaanisha wanafanya kazi kidogo kuliko wanavyotaka kufanya au, wamekata tamaa kutafuta kazi, au wameshindwa kupenyeza katika soko la ajira. ILO imeongeza kuwa kwa jumla hiyo ni takriban watu nusu bilioni, na inawakilisha asilimia 13 ya nguvu kazi kote duniani. Ryder amesema ripoti hiyo imefichua hali mbaya zaidi ya kutia wasiwasi, huku akiongeza kuwa kukosa kazi nzuri ya kufanya, kunachangia kuongezeka kwa makundi ya waandamanaji katika jamii na machafuko vanavyotokea ulimwenguni.
Umoja wa Mataifa umesema kuwa watu milioni 470 kwa sasa ulimwenguni kote hawana ajira kabisa au wameajiriwa chini ya kiwango. Kwenye ripoti yao iliyotolewa jana Umoja huo umeonya kuwa ukosefu wa ajira bora unachangia machafuko katika jamii.
Kwenye ripoti yake ya kila mwaka kuhusu ajira na tathmini ya jami, Shirika la Kazi Duniani, ILO, limesema Mwaka huu, idadi ya watu ambao wamesajiliwa kuwa hawana ajira inatarajiwa kuongezeka kutoka milioni 188 mwaka uliopita hadi milioni 190.5. Mnamo mwaka uliopita, zaidi ya watu milioni 630, ikiwa ni asilimia 20 ya idadi jumla ya wanaofanya kazi ulimwenguni, walitegemea kazi ya kijungu jiko, yaani kipato ni chini ya dola 3.20 kila siku.
Ripoti ya ILO imeonyesha kuwa asilimia 60 ya nguvu kazi ulimwenguni kote kwa sasa ni wale wanaofanya kazi zisizo rasmi, ambapo malipo ni kidogo na hawapati marupurupu muhimu.
Takwimu za Umoja wa Mataifa zinaonyesha kuwa uchumi wa mataifa umekua kwa asilimia 7 lakini licha ya mafanikio haya, ukosefu wa ajira miongoi mwa vijana bado ni changamoto kubwa ikiwa katika kiwango cha asilimia 12.
Yaelezwa kuwa kwa kila vijana 700,000 ambao wanasaka ajira kila mwaka ni fursa 40,000 tu ambazo ziko wazi hii ikimaanisha kwamba ni asilimia 6 tu ya vijana ambao wanapata kazi rasmi. Hali hiyo imesababisha Umoja wa Matifa kupitia shirika lake la maendeleo ya viwanda, UNIDO, kuanza mipango rasmi ili kukabiliana na changamoto hizo. linaitahadharisha Ujerumani juu ya mgogoro wa madeni unaozikabili nchi kadhaa katika Umoja wa Ulaya. inasemekana, kwa sasa Ujerumani bado ni imara, lakini haina maana kwamba haitaweza kuguswa na mgogoro siku moja.inasemekana anafanua kwamba mgogoro wa mabenki na madeni umesababisha athari kubwa,kama ilivyoshuhudiwa kwenye soko la ajira .Takwimu zinathibitisha kuwa nchi za Ulaya zinazidi kufarakana.
Soko la ajira nchini Ujerumani bado ni imara,kutokana na mageuzi yaliyofanywa mnamo miaka ya nyuma. Hali ni tofauti katika nchi za kusini mwa Ulaya.Nchi hizo zimenasa katika dimbwi la matatizo, na hazijui namna ya kujinasua. Kwa mtazamo wa Ujerumani, mgogoro wa madeni bado ni tatizo la wengine.Lakini hayo hayana maana kwamba Wajerumani hawayajali matatizo ya wengine. Wanajua kwamba udhaifu wa kiuchumi katika nchi nyingine ni jambo la wasi wasi kwa uchumi wa Ujeremani.
Ripoti hiyo "kiwango cha mishahara 2018-2019", iliyotolewa leo mjini Geneva Uswis na shirika la kazi duniani ILO, inasema duniani kote kiwango cha mishahara kilishuka hadi asilimia1.8 mwaka 2017 kutoka asilimia 2.4 mwaka wa 2016, kutokana na takwim zilizokusanya kutoka mataifa 136.
Ripoti pia ikifafanua kuhusu pengo hilo la mishahara kimataifa imnasema imebaini kwamba wanawake wanaendelea kulipwa takribani asilimia 20 pungufu ya wanaumme. Na Ikwa nchi zilizoendelea pengo hilo liko bayana kwenye kazi zenye malipo makubwa wakati katika nchi za kipato cha nini pengo kubwa la mishahara liko katika kazi za ujira mdogo.
Kwa mujibu wa Ushahidi uliokusanywa na ripoti hiyo sababu zilizozoeleka kama tofauti za viwango vya elimu kati ya wanawake na wanaume ambao wanafanya kazi na kupipwa zinanafasi ndogo sana katika pengo hilo la mishahara baina ya wanawake na wanaumme.
| Asilimia 60 ya nguvu kazi ni wale wanaofanya kazi gani | {
"text": [
"zisizo rasmi"
]
} |
4780_swa | UKOSEFU WA AJIRA DUNIANi
Pengo kubwa kati ya wenye mishahara minono na wanaolipwa kijungu jiko Ripoti hiyo imegundua kuwa inawachukua takriban muda wa miaka 11 kwa asilimia 20 ya watu wenye kipato cha chini kupata kipato sawa na kile asilimia 20 ya wanaolipwa vizuri hupata katika mwaka mmoja pekee.
Wakati huo huo, shirika hilo limesisitiza kuwa takriban watu milioni 285 ulimwenguni kote, wanachukuliwa kama ambao hawajaajiriwa chini ya kiwango. Kumaanisha wanafanya kazi kidogo kuliko wanavyotaka kufanya au, wamekata tamaa kutafuta kazi, au wameshindwa kupenyeza katika soko la ajira. ILO imeongeza kuwa kwa jumla hiyo ni takriban watu nusu bilioni, na inawakilisha asilimia 13 ya nguvu kazi kote duniani. Ryder amesema ripoti hiyo imefichua hali mbaya zaidi ya kutia wasiwasi, huku akiongeza kuwa kukosa kazi nzuri ya kufanya, kunachangia kuongezeka kwa makundi ya waandamanaji katika jamii na machafuko vanavyotokea ulimwenguni.
Umoja wa Mataifa umesema kuwa watu milioni 470 kwa sasa ulimwenguni kote hawana ajira kabisa au wameajiriwa chini ya kiwango. Kwenye ripoti yao iliyotolewa jana Umoja huo umeonya kuwa ukosefu wa ajira bora unachangia machafuko katika jamii.
Kwenye ripoti yake ya kila mwaka kuhusu ajira na tathmini ya jami, Shirika la Kazi Duniani, ILO, limesema Mwaka huu, idadi ya watu ambao wamesajiliwa kuwa hawana ajira inatarajiwa kuongezeka kutoka milioni 188 mwaka uliopita hadi milioni 190.5. Mnamo mwaka uliopita, zaidi ya watu milioni 630, ikiwa ni asilimia 20 ya idadi jumla ya wanaofanya kazi ulimwenguni, walitegemea kazi ya kijungu jiko, yaani kipato ni chini ya dola 3.20 kila siku.
Ripoti ya ILO imeonyesha kuwa asilimia 60 ya nguvu kazi ulimwenguni kote kwa sasa ni wale wanaofanya kazi zisizo rasmi, ambapo malipo ni kidogo na hawapati marupurupu muhimu.
Takwimu za Umoja wa Mataifa zinaonyesha kuwa uchumi wa mataifa umekua kwa asilimia 7 lakini licha ya mafanikio haya, ukosefu wa ajira miongoi mwa vijana bado ni changamoto kubwa ikiwa katika kiwango cha asilimia 12.
Yaelezwa kuwa kwa kila vijana 700,000 ambao wanasaka ajira kila mwaka ni fursa 40,000 tu ambazo ziko wazi hii ikimaanisha kwamba ni asilimia 6 tu ya vijana ambao wanapata kazi rasmi. Hali hiyo imesababisha Umoja wa Matifa kupitia shirika lake la maendeleo ya viwanda, UNIDO, kuanza mipango rasmi ili kukabiliana na changamoto hizo. linaitahadharisha Ujerumani juu ya mgogoro wa madeni unaozikabili nchi kadhaa katika Umoja wa Ulaya. inasemekana, kwa sasa Ujerumani bado ni imara, lakini haina maana kwamba haitaweza kuguswa na mgogoro siku moja.inasemekana anafanua kwamba mgogoro wa mabenki na madeni umesababisha athari kubwa,kama ilivyoshuhudiwa kwenye soko la ajira .Takwimu zinathibitisha kuwa nchi za Ulaya zinazidi kufarakana.
Soko la ajira nchini Ujerumani bado ni imara,kutokana na mageuzi yaliyofanywa mnamo miaka ya nyuma. Hali ni tofauti katika nchi za kusini mwa Ulaya.Nchi hizo zimenasa katika dimbwi la matatizo, na hazijui namna ya kujinasua. Kwa mtazamo wa Ujerumani, mgogoro wa madeni bado ni tatizo la wengine.Lakini hayo hayana maana kwamba Wajerumani hawayajali matatizo ya wengine. Wanajua kwamba udhaifu wa kiuchumi katika nchi nyingine ni jambo la wasi wasi kwa uchumi wa Ujeremani.
Ripoti hiyo "kiwango cha mishahara 2018-2019", iliyotolewa leo mjini Geneva Uswis na shirika la kazi duniani ILO, inasema duniani kote kiwango cha mishahara kilishuka hadi asilimia1.8 mwaka 2017 kutoka asilimia 2.4 mwaka wa 2016, kutokana na takwim zilizokusanya kutoka mataifa 136.
Ripoti pia ikifafanua kuhusu pengo hilo la mishahara kimataifa imnasema imebaini kwamba wanawake wanaendelea kulipwa takribani asilimia 20 pungufu ya wanaumme. Na Ikwa nchi zilizoendelea pengo hilo liko bayana kwenye kazi zenye malipo makubwa wakati katika nchi za kipato cha nini pengo kubwa la mishahara liko katika kazi za ujira mdogo.
Kwa mujibu wa Ushahidi uliokusanywa na ripoti hiyo sababu zilizozoeleka kama tofauti za viwango vya elimu kati ya wanawake na wanaume ambao wanafanya kazi na kupipwa zinanafasi ndogo sana katika pengo hilo la mishahara baina ya wanawake na wanaumme.
| Ukosefu wa ajira miongoni mwa nani ni changamoto | {
"text": [
"vijana"
]
} |
4780_swa | UKOSEFU WA AJIRA DUNIANi
Pengo kubwa kati ya wenye mishahara minono na wanaolipwa kijungu jiko Ripoti hiyo imegundua kuwa inawachukua takriban muda wa miaka 11 kwa asilimia 20 ya watu wenye kipato cha chini kupata kipato sawa na kile asilimia 20 ya wanaolipwa vizuri hupata katika mwaka mmoja pekee.
Wakati huo huo, shirika hilo limesisitiza kuwa takriban watu milioni 285 ulimwenguni kote, wanachukuliwa kama ambao hawajaajiriwa chini ya kiwango. Kumaanisha wanafanya kazi kidogo kuliko wanavyotaka kufanya au, wamekata tamaa kutafuta kazi, au wameshindwa kupenyeza katika soko la ajira. ILO imeongeza kuwa kwa jumla hiyo ni takriban watu nusu bilioni, na inawakilisha asilimia 13 ya nguvu kazi kote duniani. Ryder amesema ripoti hiyo imefichua hali mbaya zaidi ya kutia wasiwasi, huku akiongeza kuwa kukosa kazi nzuri ya kufanya, kunachangia kuongezeka kwa makundi ya waandamanaji katika jamii na machafuko vanavyotokea ulimwenguni.
Umoja wa Mataifa umesema kuwa watu milioni 470 kwa sasa ulimwenguni kote hawana ajira kabisa au wameajiriwa chini ya kiwango. Kwenye ripoti yao iliyotolewa jana Umoja huo umeonya kuwa ukosefu wa ajira bora unachangia machafuko katika jamii.
Kwenye ripoti yake ya kila mwaka kuhusu ajira na tathmini ya jami, Shirika la Kazi Duniani, ILO, limesema Mwaka huu, idadi ya watu ambao wamesajiliwa kuwa hawana ajira inatarajiwa kuongezeka kutoka milioni 188 mwaka uliopita hadi milioni 190.5. Mnamo mwaka uliopita, zaidi ya watu milioni 630, ikiwa ni asilimia 20 ya idadi jumla ya wanaofanya kazi ulimwenguni, walitegemea kazi ya kijungu jiko, yaani kipato ni chini ya dola 3.20 kila siku.
Ripoti ya ILO imeonyesha kuwa asilimia 60 ya nguvu kazi ulimwenguni kote kwa sasa ni wale wanaofanya kazi zisizo rasmi, ambapo malipo ni kidogo na hawapati marupurupu muhimu.
Takwimu za Umoja wa Mataifa zinaonyesha kuwa uchumi wa mataifa umekua kwa asilimia 7 lakini licha ya mafanikio haya, ukosefu wa ajira miongoi mwa vijana bado ni changamoto kubwa ikiwa katika kiwango cha asilimia 12.
Yaelezwa kuwa kwa kila vijana 700,000 ambao wanasaka ajira kila mwaka ni fursa 40,000 tu ambazo ziko wazi hii ikimaanisha kwamba ni asilimia 6 tu ya vijana ambao wanapata kazi rasmi. Hali hiyo imesababisha Umoja wa Matifa kupitia shirika lake la maendeleo ya viwanda, UNIDO, kuanza mipango rasmi ili kukabiliana na changamoto hizo. linaitahadharisha Ujerumani juu ya mgogoro wa madeni unaozikabili nchi kadhaa katika Umoja wa Ulaya. inasemekana, kwa sasa Ujerumani bado ni imara, lakini haina maana kwamba haitaweza kuguswa na mgogoro siku moja.inasemekana anafanua kwamba mgogoro wa mabenki na madeni umesababisha athari kubwa,kama ilivyoshuhudiwa kwenye soko la ajira .Takwimu zinathibitisha kuwa nchi za Ulaya zinazidi kufarakana.
Soko la ajira nchini Ujerumani bado ni imara,kutokana na mageuzi yaliyofanywa mnamo miaka ya nyuma. Hali ni tofauti katika nchi za kusini mwa Ulaya.Nchi hizo zimenasa katika dimbwi la matatizo, na hazijui namna ya kujinasua. Kwa mtazamo wa Ujerumani, mgogoro wa madeni bado ni tatizo la wengine.Lakini hayo hayana maana kwamba Wajerumani hawayajali matatizo ya wengine. Wanajua kwamba udhaifu wa kiuchumi katika nchi nyingine ni jambo la wasi wasi kwa uchumi wa Ujeremani.
Ripoti hiyo "kiwango cha mishahara 2018-2019", iliyotolewa leo mjini Geneva Uswis na shirika la kazi duniani ILO, inasema duniani kote kiwango cha mishahara kilishuka hadi asilimia1.8 mwaka 2017 kutoka asilimia 2.4 mwaka wa 2016, kutokana na takwim zilizokusanya kutoka mataifa 136.
Ripoti pia ikifafanua kuhusu pengo hilo la mishahara kimataifa imnasema imebaini kwamba wanawake wanaendelea kulipwa takribani asilimia 20 pungufu ya wanaumme. Na Ikwa nchi zilizoendelea pengo hilo liko bayana kwenye kazi zenye malipo makubwa wakati katika nchi za kipato cha nini pengo kubwa la mishahara liko katika kazi za ujira mdogo.
Kwa mujibu wa Ushahidi uliokusanywa na ripoti hiyo sababu zilizozoeleka kama tofauti za viwango vya elimu kati ya wanawake na wanaume ambao wanafanya kazi na kupipwa zinanafasi ndogo sana katika pengo hilo la mishahara baina ya wanawake na wanaumme.
| Mbona UNIDO imeanza mipango rasmi | {
"text": [
"ili kukabiliana na changamoto hizo"
]
} |
4781_swa | Karen
Katika familia ya watoto walili, Karen alikuwa msichana wa kipekee.
Ndugu yake Ben ndiye aliyekuwa kitinda mimba wa familia hiyo. Wote
wawili waliishi na mama yao mjini Nairobi na hawakuwa na baba
Mama yake Karen alikuwa akifanya kazi kama msaidizi wa nyumba katika
katika jumba moja la tajiri mashuhuri uko Nairobi kwa hivyo maisha yao
haikuwa rahisi kwasababu ya ukosefu wa fedha na majitaji ya kila siku
Uhusiano kati ya Karen na mama yake haikuwa ya kupendeza, Mama yake Ann
alikuwa mwanamke mwenye tabia ya kumezea mate na zaidi ya yote alikuwa
anapenda mambo ya kanisa na Imani yake ilikuwa ya kupigia mfano. Alikuwa
mshiriki wa kanisa katoliki huko jijini. Karen naye kwa upande mwingine
kwasababu ya shida walizokuwa nazo nyumbani na alitaka kuishi maisha ya
kifahari na alijitafutia njia.
Alikuwa msichna mrembo yani aliumbwa akaumbika, umbo lake liliochora
nane lilikuwamchukua vizuri kwa kila nguo aliyovaa. Wengi wa vijani
walimtamani lakini Karen ni nani? Aliona Kama vijana Hawa hawakuwa wa
kiwango chake.
Katika umri hii wa miaka kumi na minne alianza kuwatembea na wanaume wa
umri wa babake. Mama yake aligundua tabia yake na kujaribu kumrekebisha
lakini hakusikia chochote wala lolote na hii ndio ilivuruga uhusiano
wake na mama yake.
Basi muda ukaenda na Karen akamaliza shule ya upili na kujiunga na Chuo
kikuu Cha Nairobi , huku tofauti na masomo alikuwa na kazi ya kufanya,
baada ya shule hakuwa mwanafunzi tena alikuwa kahaba na kutumia njia hii
kujipatia pesa na kusema ukweli alipata pesa na kutona na kazi hii.
Maisha yake yalibadilka na hakuwa Karen wa zamani tena, aliishi nyumba
ya pesa, alivaa nguo za bei na vyatu vya bei na kila kitu katika maisha
yangu haikuwa kawaida tena Yani alianza kuishi maisha ya kifahari.
Mama yake alipata hizi habari na kujaribu tena kuongea na mwanake,
hakupenda Karen kuendelea kuisha maisha haya" Karen mwanangu badilisha
mwenendo , nakupenda sana na sipendi kukuona ukiebdelea hivo" Ann alijua
madhara ya maisha haya na alihofia mtoto wake kwasababu uchungu wa mwana
amjuaye ni mama. Karen alijubu mamake kuwa hayo maisha yalikuwa ni yake
na ni yeye aliyachagua na hatakubali kufa akiwa maskini. Ann alisitika
sana kusikia maneno haya lakini alikosa cha kufanya alijisemea tu
kimoyomoyo asiyefunzwa na mamake hufunzwa na ulimwengu.
Siku moja katika kazi yake ya baada masomo Karen alikutana na Bwana
mmoja kwa jina la James. James alikuwa tajiri na alikuwa tena mtu wa
heshim zake, alikuwa akijulikana na kuheshimiwa kote mjini kama jaji
mashuhuri sana, basi Karen naye akafanya kazi yake na kuenda zake siku
hiyo.
Kama kawaida yake Karen alihakikisha kwamba alimjua kila mmoja anayekuwa
naye kwa undani zaidi. Alichokora kibeti yake Kisha akatambua kuwa
alikuwa Jaji mmoja tajiri huko jijini na hata yeye humu chuo kikuu
katika shule ya sheria alikuwa amesikia sifa zake za kupendeza
zilizokuwa zimeenea kila mahali.
Chuoni Karen alikutana na msichana kwa Jina Amanda, jirani wake katika
nyumba walizokuwa wakiishi. Kwa maneno machache tuseme Amanda alikuwa
malaika , alikuwa anapenda kuja kwa Karen ili afadhali apate mtu wa
kuongea naye, siku moja alikuja kwa Karen na kumweleza kwamba maishani
mwake ako na kila kitu binadamu anahitaji si pesa si wazazi si Mali si
nguo lakini maisha yake hayajakamilika, ' nmekosa rafiki, Sina mtu wa
kuongea naye' Amanda alisema . Karen kwa hurumu alimuliza Amanda kwamba
alikuwa na sababu gani kusema hivyo basi mazungumzo yakachacha kati ya
warembo walili.
Amanda alimweleza Karene kwamba licha ya kuwa na wazazi tajiri sana
hakuna hakuna aliyeelewa hisia zake na kwamba kila mmoja wa wao alikuwa
tu na haja na sifa za familia, hawakujali wanafanya Nini ili kuendeleza
sifa zao zilizokuwa zimeenea kote duniani, alimwelezea kwamba kulingana
na uweze wake wa kimasomo hafai kuwa shule ya sheria lakini ako hapo
kwasababu ya wazazi wake. Katika mazungumzo yao Amanda alitaja kwamba
kulikuwa na sherehe na itambidi aende nyumbani kuhudhuria Kisha
kumwambia Karen aandamane naye kwao.
Basi Karen na Amanda wakafika nyumbani kwa akina Amanda, akatambuliswa
kama rafikiye Amanda kutoka shule ya sheria hivyo alikaribishwa vizuri
na wazazi wake Amanda alikaa pamoja na wageni. James alimfikia Amanda na
kumkumbatia kwa upendo wa baba ma mtoto wake.Hapo ndipo karen aligundua
kuwa Jemes yule Jaji alikuwa naye ndiye babake Amanda.
James alishtuka kumwona Karen kwake nyumbani lakini Karen alihisi kana
kwamba milango ya binguni ilikuwa imeanza kufunguka kwake, aliona njia
ya kujitengenezea pesa , wote wawili walijifanya hawajuani James
hakutaka bibi yake Jane ama Amanda kujua Kambwa aliwahi kuwa na uhusiano
wa kimapenzi na Karen.
Wakati wa kula ukafika basi wasaidizi wakaanza kuingia ndani na chakula,
Ann mamake Karen alikuwa mmoja wa wafanyikazi wa bwana James, Ann
kumwona Karen huku alishtuka na kuangusha sinia ya chakula chini. Jane
alisimama kwa haraka na kumsaidia kusafisha Kisha akarudi kwa wageni na
kuwaomba radhi.
Karen alisimama na kutembea haste haste kuelekea pale ambapo Ann
alikuwa, alimwangalia kwa dharau na bezo kisha akamgeukia Jane na
kumuuliza"" mfanyikazi wenu anaitwa nani?" Jane akamjibu Ann, Karen
alimugeukia tena na na kumwambia kwa dharau " ukimaliza hapa niletee
maji ya kunywa!" Ann aliinama kuonyesha ishara za heshima Kisha
akaondoka kuelekea jikoni.
Baada ya muda mfupi Ann alirudi na maji ya kunywa jinsi alivyoagiziwa na
Karen basi Karen naye akasimama kuchukua maji yale. Kimaksudi Ann
alimwagilia Karen maji yale yate kwenye nguo Kisha akajifanya kwamba
imetokea bahati mbaya. Jane alisimama na kuwakaribia wote wawili akiomba
tena radhi kwa Karen na kumweleza kwamba msaidizi wake Ann hakuwa
anahijisi vizuri , Jane alikuwa mtu aliyejali maslahi ya wafanyakazi
wake na hata watu wengine kwa hivyo hata hapo hakushuku kama kulikuwa na
jambo kati ya Karen na Ann
"Samahani sana madam niwie radhi haitarudia tena" Ann alimwambia Karen
kwa sauti ya unyenyekevu, wote walili waliondoka kuelekea bafuni. Huko
bafuni walikuwa wawili Ann alimzaba Karen Kofi kwenye shavu na kumuuliza
alikuwa akifanya kwenye jumba hilo Karen alishika shavu lake na baada ya
sekunde kama mbili alirudisha mkono wake chini na kumkodolea mamake
macho," Ann fanya kazi yako na uniache nifanye yangu" Karen alitoka huko
bafuni na kurudi kwenye chumba Cha kula.
Huku kila mtu alikuwa akiendelea na kula chajio, Karen alimwangalia
Bwana James pale alipokuwa akikaa karibu na bibi yake na Kisha
kumnong'onea jicho, James alijifanya kana kwamba hakaona chochote na na
kuendelea na chakula. Baada ya muda chache James aliondoka na kuelekea
ofini mwake iliyokuwa ndani ya jumba lake hapo.
Karen alijichafua tena na chakula Kisha kuondika kuelekea bafuni. Mara
hii alifutwa na Amanada aleimsaidia nguo za kumsaidia wakati alikuwa
akisafisha zake na Amanda akaondoka na kumwacha bafuni. Karen alijifunga
nguo hiyo na kuondoka kuelekea ofini mwa James.
Allibisha mlango kisha akaingia ndani, alichukua kifungu kilichokuwa
mlangoni na kufunga malngo akatoa nguo Ile aliyokuwa amejifunga na
kutupa kitini, alibaki jinsi alivyozaliwa na kumsongea Bwana James pale
alipokuwa amekalia kitini kisha kumwangalia na macho ya kikahaba bila
kutamka lolote. James hakuweza kujizuia alimsogea na kukaribusha domo
lake na lile la Karen huku akitoa nguo zake na wote wawili wakapotelea
kwa ulimwengu usilojulikana.
Karen alikuwa ameweka simu yake kunasa kila kitu kilichokuwa kinafanyika
ofini mle Kati yake ya James na baada ya sherehe Ile alirudi nyumbani na
kuanza kazi yake. Alituma hiyo video kwa James na kumwambia kwamba
anahitaji milioni kumi na tano ama asambaze video hiyo mtandaoni. James
alishtuka alifikiria kwanza heshima na sifa zote familia yake ilikuwa
nayo, alifikiria muda ambayo ilimchukua kujenga sifa hizo, akafikifia
Jane bibi yake na mtoto wake Amanda, alifikiria watasema Nini au dunia
itasema Nini kuona au kusikiza kuhusu video hii.
James alimpigia Karen simu Mara hiyo hiyo na kumwomba wakutane waongee
basi Karen naye akakubali kukutana na yeye katika hoteli moja mjini kwa
maagizo, alimwambia abebe pesa na amtumie kwanza dhibitisho ndio aweze
kufika hotelini. Jame alifanya jinsi alivyoagizwa na Karen. Usiku hiyo
wote wawili walikutana hotelini, Karen alifika na kumpata James alikuwa
akikaa na kinywaji mbele yake akimgojea naye alifika na kuagiza kinywaji
Kisha kukaa kando la James.
James alimwonyesha kisanduki kilichokuwa kimebebe pesa na kumwambia
apeane Ile rekodi zote za video hiyo kwake. Karen alipokuwa ameinamisha
kichwa kweye pochi lake kutoa rekodi ya video hiyo James alitumia muda
huo kuweka sumu katika kinywaji chake. Karen alipeana rekodi Kisha
kumaliza kinwaji chake na wote walili wakaondoka. Karen alisimamisha
takski na kuingia ndani, alihisi usingizi hata kabla ya texti kuondoka
na akaamua ajilaze kidogo ndani. Baada ya masaa mawili Karen alpatikana
amekata roho ndani ya taksi ile.
| Karen na familia yao waliishi wapi | {
"text": [
"Mjini Nairobi"
]
} |
4781_swa | Karen
Katika familia ya watoto walili, Karen alikuwa msichana wa kipekee.
Ndugu yake Ben ndiye aliyekuwa kitinda mimba wa familia hiyo. Wote
wawili waliishi na mama yao mjini Nairobi na hawakuwa na baba
Mama yake Karen alikuwa akifanya kazi kama msaidizi wa nyumba katika
katika jumba moja la tajiri mashuhuri uko Nairobi kwa hivyo maisha yao
haikuwa rahisi kwasababu ya ukosefu wa fedha na majitaji ya kila siku
Uhusiano kati ya Karen na mama yake haikuwa ya kupendeza, Mama yake Ann
alikuwa mwanamke mwenye tabia ya kumezea mate na zaidi ya yote alikuwa
anapenda mambo ya kanisa na Imani yake ilikuwa ya kupigia mfano. Alikuwa
mshiriki wa kanisa katoliki huko jijini. Karen naye kwa upande mwingine
kwasababu ya shida walizokuwa nazo nyumbani na alitaka kuishi maisha ya
kifahari na alijitafutia njia.
Alikuwa msichna mrembo yani aliumbwa akaumbika, umbo lake liliochora
nane lilikuwamchukua vizuri kwa kila nguo aliyovaa. Wengi wa vijani
walimtamani lakini Karen ni nani? Aliona Kama vijana Hawa hawakuwa wa
kiwango chake.
Katika umri hii wa miaka kumi na minne alianza kuwatembea na wanaume wa
umri wa babake. Mama yake aligundua tabia yake na kujaribu kumrekebisha
lakini hakusikia chochote wala lolote na hii ndio ilivuruga uhusiano
wake na mama yake.
Basi muda ukaenda na Karen akamaliza shule ya upili na kujiunga na Chuo
kikuu Cha Nairobi , huku tofauti na masomo alikuwa na kazi ya kufanya,
baada ya shule hakuwa mwanafunzi tena alikuwa kahaba na kutumia njia hii
kujipatia pesa na kusema ukweli alipata pesa na kutona na kazi hii.
Maisha yake yalibadilka na hakuwa Karen wa zamani tena, aliishi nyumba
ya pesa, alivaa nguo za bei na vyatu vya bei na kila kitu katika maisha
yangu haikuwa kawaida tena Yani alianza kuishi maisha ya kifahari.
Mama yake alipata hizi habari na kujaribu tena kuongea na mwanake,
hakupenda Karen kuendelea kuisha maisha haya" Karen mwanangu badilisha
mwenendo , nakupenda sana na sipendi kukuona ukiebdelea hivo" Ann alijua
madhara ya maisha haya na alihofia mtoto wake kwasababu uchungu wa mwana
amjuaye ni mama. Karen alijubu mamake kuwa hayo maisha yalikuwa ni yake
na ni yeye aliyachagua na hatakubali kufa akiwa maskini. Ann alisitika
sana kusikia maneno haya lakini alikosa cha kufanya alijisemea tu
kimoyomoyo asiyefunzwa na mamake hufunzwa na ulimwengu.
Siku moja katika kazi yake ya baada masomo Karen alikutana na Bwana
mmoja kwa jina la James. James alikuwa tajiri na alikuwa tena mtu wa
heshim zake, alikuwa akijulikana na kuheshimiwa kote mjini kama jaji
mashuhuri sana, basi Karen naye akafanya kazi yake na kuenda zake siku
hiyo.
Kama kawaida yake Karen alihakikisha kwamba alimjua kila mmoja anayekuwa
naye kwa undani zaidi. Alichokora kibeti yake Kisha akatambua kuwa
alikuwa Jaji mmoja tajiri huko jijini na hata yeye humu chuo kikuu
katika shule ya sheria alikuwa amesikia sifa zake za kupendeza
zilizokuwa zimeenea kila mahali.
Chuoni Karen alikutana na msichana kwa Jina Amanda, jirani wake katika
nyumba walizokuwa wakiishi. Kwa maneno machache tuseme Amanda alikuwa
malaika , alikuwa anapenda kuja kwa Karen ili afadhali apate mtu wa
kuongea naye, siku moja alikuja kwa Karen na kumweleza kwamba maishani
mwake ako na kila kitu binadamu anahitaji si pesa si wazazi si Mali si
nguo lakini maisha yake hayajakamilika, ' nmekosa rafiki, Sina mtu wa
kuongea naye' Amanda alisema . Karen kwa hurumu alimuliza Amanda kwamba
alikuwa na sababu gani kusema hivyo basi mazungumzo yakachacha kati ya
warembo walili.
Amanda alimweleza Karene kwamba licha ya kuwa na wazazi tajiri sana
hakuna hakuna aliyeelewa hisia zake na kwamba kila mmoja wa wao alikuwa
tu na haja na sifa za familia, hawakujali wanafanya Nini ili kuendeleza
sifa zao zilizokuwa zimeenea kote duniani, alimwelezea kwamba kulingana
na uweze wake wa kimasomo hafai kuwa shule ya sheria lakini ako hapo
kwasababu ya wazazi wake. Katika mazungumzo yao Amanda alitaja kwamba
kulikuwa na sherehe na itambidi aende nyumbani kuhudhuria Kisha
kumwambia Karen aandamane naye kwao.
Basi Karen na Amanda wakafika nyumbani kwa akina Amanda, akatambuliswa
kama rafikiye Amanda kutoka shule ya sheria hivyo alikaribishwa vizuri
na wazazi wake Amanda alikaa pamoja na wageni. James alimfikia Amanda na
kumkumbatia kwa upendo wa baba ma mtoto wake.Hapo ndipo karen aligundua
kuwa Jemes yule Jaji alikuwa naye ndiye babake Amanda.
James alishtuka kumwona Karen kwake nyumbani lakini Karen alihisi kana
kwamba milango ya binguni ilikuwa imeanza kufunguka kwake, aliona njia
ya kujitengenezea pesa , wote wawili walijifanya hawajuani James
hakutaka bibi yake Jane ama Amanda kujua Kambwa aliwahi kuwa na uhusiano
wa kimapenzi na Karen.
Wakati wa kula ukafika basi wasaidizi wakaanza kuingia ndani na chakula,
Ann mamake Karen alikuwa mmoja wa wafanyikazi wa bwana James, Ann
kumwona Karen huku alishtuka na kuangusha sinia ya chakula chini. Jane
alisimama kwa haraka na kumsaidia kusafisha Kisha akarudi kwa wageni na
kuwaomba radhi.
Karen alisimama na kutembea haste haste kuelekea pale ambapo Ann
alikuwa, alimwangalia kwa dharau na bezo kisha akamgeukia Jane na
kumuuliza"" mfanyikazi wenu anaitwa nani?" Jane akamjibu Ann, Karen
alimugeukia tena na na kumwambia kwa dharau " ukimaliza hapa niletee
maji ya kunywa!" Ann aliinama kuonyesha ishara za heshima Kisha
akaondoka kuelekea jikoni.
Baada ya muda mfupi Ann alirudi na maji ya kunywa jinsi alivyoagiziwa na
Karen basi Karen naye akasimama kuchukua maji yale. Kimaksudi Ann
alimwagilia Karen maji yale yate kwenye nguo Kisha akajifanya kwamba
imetokea bahati mbaya. Jane alisimama na kuwakaribia wote wawili akiomba
tena radhi kwa Karen na kumweleza kwamba msaidizi wake Ann hakuwa
anahijisi vizuri , Jane alikuwa mtu aliyejali maslahi ya wafanyakazi
wake na hata watu wengine kwa hivyo hata hapo hakushuku kama kulikuwa na
jambo kati ya Karen na Ann
"Samahani sana madam niwie radhi haitarudia tena" Ann alimwambia Karen
kwa sauti ya unyenyekevu, wote walili waliondoka kuelekea bafuni. Huko
bafuni walikuwa wawili Ann alimzaba Karen Kofi kwenye shavu na kumuuliza
alikuwa akifanya kwenye jumba hilo Karen alishika shavu lake na baada ya
sekunde kama mbili alirudisha mkono wake chini na kumkodolea mamake
macho," Ann fanya kazi yako na uniache nifanye yangu" Karen alitoka huko
bafuni na kurudi kwenye chumba Cha kula.
Huku kila mtu alikuwa akiendelea na kula chajio, Karen alimwangalia
Bwana James pale alipokuwa akikaa karibu na bibi yake na Kisha
kumnong'onea jicho, James alijifanya kana kwamba hakaona chochote na na
kuendelea na chakula. Baada ya muda chache James aliondoka na kuelekea
ofini mwake iliyokuwa ndani ya jumba lake hapo.
Karen alijichafua tena na chakula Kisha kuondika kuelekea bafuni. Mara
hii alifutwa na Amanada aleimsaidia nguo za kumsaidia wakati alikuwa
akisafisha zake na Amanda akaondoka na kumwacha bafuni. Karen alijifunga
nguo hiyo na kuondoka kuelekea ofini mwa James.
Allibisha mlango kisha akaingia ndani, alichukua kifungu kilichokuwa
mlangoni na kufunga malngo akatoa nguo Ile aliyokuwa amejifunga na
kutupa kitini, alibaki jinsi alivyozaliwa na kumsongea Bwana James pale
alipokuwa amekalia kitini kisha kumwangalia na macho ya kikahaba bila
kutamka lolote. James hakuweza kujizuia alimsogea na kukaribusha domo
lake na lile la Karen huku akitoa nguo zake na wote wawili wakapotelea
kwa ulimwengu usilojulikana.
Karen alikuwa ameweka simu yake kunasa kila kitu kilichokuwa kinafanyika
ofini mle Kati yake ya James na baada ya sherehe Ile alirudi nyumbani na
kuanza kazi yake. Alituma hiyo video kwa James na kumwambia kwamba
anahitaji milioni kumi na tano ama asambaze video hiyo mtandaoni. James
alishtuka alifikiria kwanza heshima na sifa zote familia yake ilikuwa
nayo, alifikiria muda ambayo ilimchukua kujenga sifa hizo, akafikifia
Jane bibi yake na mtoto wake Amanda, alifikiria watasema Nini au dunia
itasema Nini kuona au kusikiza kuhusu video hii.
James alimpigia Karen simu Mara hiyo hiyo na kumwomba wakutane waongee
basi Karen naye akakubali kukutana na yeye katika hoteli moja mjini kwa
maagizo, alimwambia abebe pesa na amtumie kwanza dhibitisho ndio aweze
kufika hotelini. Jame alifanya jinsi alivyoagizwa na Karen. Usiku hiyo
wote wawili walikutana hotelini, Karen alifika na kumpata James alikuwa
akikaa na kinywaji mbele yake akimgojea naye alifika na kuagiza kinywaji
Kisha kukaa kando la James.
James alimwonyesha kisanduki kilichokuwa kimebebe pesa na kumwambia
apeane Ile rekodi zote za video hiyo kwake. Karen alipokuwa ameinamisha
kichwa kweye pochi lake kutoa rekodi ya video hiyo James alitumia muda
huo kuweka sumu katika kinywaji chake. Karen alipeana rekodi Kisha
kumaliza kinwaji chake na wote walili wakaondoka. Karen alisimamisha
takski na kuingia ndani, alihisi usingizi hata kabla ya texti kuondoka
na akaamua ajilaze kidogo ndani. Baada ya masaa mawili Karen alpatikana
amekata roho ndani ya taksi ile.
| Mamake karen alifanya kazi gani | {
"text": [
"Msaidizi wa nyumbani katika jumba la tajiri mmoja"
]
} |
4781_swa | Karen
Katika familia ya watoto walili, Karen alikuwa msichana wa kipekee.
Ndugu yake Ben ndiye aliyekuwa kitinda mimba wa familia hiyo. Wote
wawili waliishi na mama yao mjini Nairobi na hawakuwa na baba
Mama yake Karen alikuwa akifanya kazi kama msaidizi wa nyumba katika
katika jumba moja la tajiri mashuhuri uko Nairobi kwa hivyo maisha yao
haikuwa rahisi kwasababu ya ukosefu wa fedha na majitaji ya kila siku
Uhusiano kati ya Karen na mama yake haikuwa ya kupendeza, Mama yake Ann
alikuwa mwanamke mwenye tabia ya kumezea mate na zaidi ya yote alikuwa
anapenda mambo ya kanisa na Imani yake ilikuwa ya kupigia mfano. Alikuwa
mshiriki wa kanisa katoliki huko jijini. Karen naye kwa upande mwingine
kwasababu ya shida walizokuwa nazo nyumbani na alitaka kuishi maisha ya
kifahari na alijitafutia njia.
Alikuwa msichna mrembo yani aliumbwa akaumbika, umbo lake liliochora
nane lilikuwamchukua vizuri kwa kila nguo aliyovaa. Wengi wa vijani
walimtamani lakini Karen ni nani? Aliona Kama vijana Hawa hawakuwa wa
kiwango chake.
Katika umri hii wa miaka kumi na minne alianza kuwatembea na wanaume wa
umri wa babake. Mama yake aligundua tabia yake na kujaribu kumrekebisha
lakini hakusikia chochote wala lolote na hii ndio ilivuruga uhusiano
wake na mama yake.
Basi muda ukaenda na Karen akamaliza shule ya upili na kujiunga na Chuo
kikuu Cha Nairobi , huku tofauti na masomo alikuwa na kazi ya kufanya,
baada ya shule hakuwa mwanafunzi tena alikuwa kahaba na kutumia njia hii
kujipatia pesa na kusema ukweli alipata pesa na kutona na kazi hii.
Maisha yake yalibadilka na hakuwa Karen wa zamani tena, aliishi nyumba
ya pesa, alivaa nguo za bei na vyatu vya bei na kila kitu katika maisha
yangu haikuwa kawaida tena Yani alianza kuishi maisha ya kifahari.
Mama yake alipata hizi habari na kujaribu tena kuongea na mwanake,
hakupenda Karen kuendelea kuisha maisha haya" Karen mwanangu badilisha
mwenendo , nakupenda sana na sipendi kukuona ukiebdelea hivo" Ann alijua
madhara ya maisha haya na alihofia mtoto wake kwasababu uchungu wa mwana
amjuaye ni mama. Karen alijubu mamake kuwa hayo maisha yalikuwa ni yake
na ni yeye aliyachagua na hatakubali kufa akiwa maskini. Ann alisitika
sana kusikia maneno haya lakini alikosa cha kufanya alijisemea tu
kimoyomoyo asiyefunzwa na mamake hufunzwa na ulimwengu.
Siku moja katika kazi yake ya baada masomo Karen alikutana na Bwana
mmoja kwa jina la James. James alikuwa tajiri na alikuwa tena mtu wa
heshim zake, alikuwa akijulikana na kuheshimiwa kote mjini kama jaji
mashuhuri sana, basi Karen naye akafanya kazi yake na kuenda zake siku
hiyo.
Kama kawaida yake Karen alihakikisha kwamba alimjua kila mmoja anayekuwa
naye kwa undani zaidi. Alichokora kibeti yake Kisha akatambua kuwa
alikuwa Jaji mmoja tajiri huko jijini na hata yeye humu chuo kikuu
katika shule ya sheria alikuwa amesikia sifa zake za kupendeza
zilizokuwa zimeenea kila mahali.
Chuoni Karen alikutana na msichana kwa Jina Amanda, jirani wake katika
nyumba walizokuwa wakiishi. Kwa maneno machache tuseme Amanda alikuwa
malaika , alikuwa anapenda kuja kwa Karen ili afadhali apate mtu wa
kuongea naye, siku moja alikuja kwa Karen na kumweleza kwamba maishani
mwake ako na kila kitu binadamu anahitaji si pesa si wazazi si Mali si
nguo lakini maisha yake hayajakamilika, ' nmekosa rafiki, Sina mtu wa
kuongea naye' Amanda alisema . Karen kwa hurumu alimuliza Amanda kwamba
alikuwa na sababu gani kusema hivyo basi mazungumzo yakachacha kati ya
warembo walili.
Amanda alimweleza Karene kwamba licha ya kuwa na wazazi tajiri sana
hakuna hakuna aliyeelewa hisia zake na kwamba kila mmoja wa wao alikuwa
tu na haja na sifa za familia, hawakujali wanafanya Nini ili kuendeleza
sifa zao zilizokuwa zimeenea kote duniani, alimwelezea kwamba kulingana
na uweze wake wa kimasomo hafai kuwa shule ya sheria lakini ako hapo
kwasababu ya wazazi wake. Katika mazungumzo yao Amanda alitaja kwamba
kulikuwa na sherehe na itambidi aende nyumbani kuhudhuria Kisha
kumwambia Karen aandamane naye kwao.
Basi Karen na Amanda wakafika nyumbani kwa akina Amanda, akatambuliswa
kama rafikiye Amanda kutoka shule ya sheria hivyo alikaribishwa vizuri
na wazazi wake Amanda alikaa pamoja na wageni. James alimfikia Amanda na
kumkumbatia kwa upendo wa baba ma mtoto wake.Hapo ndipo karen aligundua
kuwa Jemes yule Jaji alikuwa naye ndiye babake Amanda.
James alishtuka kumwona Karen kwake nyumbani lakini Karen alihisi kana
kwamba milango ya binguni ilikuwa imeanza kufunguka kwake, aliona njia
ya kujitengenezea pesa , wote wawili walijifanya hawajuani James
hakutaka bibi yake Jane ama Amanda kujua Kambwa aliwahi kuwa na uhusiano
wa kimapenzi na Karen.
Wakati wa kula ukafika basi wasaidizi wakaanza kuingia ndani na chakula,
Ann mamake Karen alikuwa mmoja wa wafanyikazi wa bwana James, Ann
kumwona Karen huku alishtuka na kuangusha sinia ya chakula chini. Jane
alisimama kwa haraka na kumsaidia kusafisha Kisha akarudi kwa wageni na
kuwaomba radhi.
Karen alisimama na kutembea haste haste kuelekea pale ambapo Ann
alikuwa, alimwangalia kwa dharau na bezo kisha akamgeukia Jane na
kumuuliza"" mfanyikazi wenu anaitwa nani?" Jane akamjibu Ann, Karen
alimugeukia tena na na kumwambia kwa dharau " ukimaliza hapa niletee
maji ya kunywa!" Ann aliinama kuonyesha ishara za heshima Kisha
akaondoka kuelekea jikoni.
Baada ya muda mfupi Ann alirudi na maji ya kunywa jinsi alivyoagiziwa na
Karen basi Karen naye akasimama kuchukua maji yale. Kimaksudi Ann
alimwagilia Karen maji yale yate kwenye nguo Kisha akajifanya kwamba
imetokea bahati mbaya. Jane alisimama na kuwakaribia wote wawili akiomba
tena radhi kwa Karen na kumweleza kwamba msaidizi wake Ann hakuwa
anahijisi vizuri , Jane alikuwa mtu aliyejali maslahi ya wafanyakazi
wake na hata watu wengine kwa hivyo hata hapo hakushuku kama kulikuwa na
jambo kati ya Karen na Ann
"Samahani sana madam niwie radhi haitarudia tena" Ann alimwambia Karen
kwa sauti ya unyenyekevu, wote walili waliondoka kuelekea bafuni. Huko
bafuni walikuwa wawili Ann alimzaba Karen Kofi kwenye shavu na kumuuliza
alikuwa akifanya kwenye jumba hilo Karen alishika shavu lake na baada ya
sekunde kama mbili alirudisha mkono wake chini na kumkodolea mamake
macho," Ann fanya kazi yako na uniache nifanye yangu" Karen alitoka huko
bafuni na kurudi kwenye chumba Cha kula.
Huku kila mtu alikuwa akiendelea na kula chajio, Karen alimwangalia
Bwana James pale alipokuwa akikaa karibu na bibi yake na Kisha
kumnong'onea jicho, James alijifanya kana kwamba hakaona chochote na na
kuendelea na chakula. Baada ya muda chache James aliondoka na kuelekea
ofini mwake iliyokuwa ndani ya jumba lake hapo.
Karen alijichafua tena na chakula Kisha kuondika kuelekea bafuni. Mara
hii alifutwa na Amanada aleimsaidia nguo za kumsaidia wakati alikuwa
akisafisha zake na Amanda akaondoka na kumwacha bafuni. Karen alijifunga
nguo hiyo na kuondoka kuelekea ofini mwa James.
Allibisha mlango kisha akaingia ndani, alichukua kifungu kilichokuwa
mlangoni na kufunga malngo akatoa nguo Ile aliyokuwa amejifunga na
kutupa kitini, alibaki jinsi alivyozaliwa na kumsongea Bwana James pale
alipokuwa amekalia kitini kisha kumwangalia na macho ya kikahaba bila
kutamka lolote. James hakuweza kujizuia alimsogea na kukaribusha domo
lake na lile la Karen huku akitoa nguo zake na wote wawili wakapotelea
kwa ulimwengu usilojulikana.
Karen alikuwa ameweka simu yake kunasa kila kitu kilichokuwa kinafanyika
ofini mle Kati yake ya James na baada ya sherehe Ile alirudi nyumbani na
kuanza kazi yake. Alituma hiyo video kwa James na kumwambia kwamba
anahitaji milioni kumi na tano ama asambaze video hiyo mtandaoni. James
alishtuka alifikiria kwanza heshima na sifa zote familia yake ilikuwa
nayo, alifikiria muda ambayo ilimchukua kujenga sifa hizo, akafikifia
Jane bibi yake na mtoto wake Amanda, alifikiria watasema Nini au dunia
itasema Nini kuona au kusikiza kuhusu video hii.
James alimpigia Karen simu Mara hiyo hiyo na kumwomba wakutane waongee
basi Karen naye akakubali kukutana na yeye katika hoteli moja mjini kwa
maagizo, alimwambia abebe pesa na amtumie kwanza dhibitisho ndio aweze
kufika hotelini. Jame alifanya jinsi alivyoagizwa na Karen. Usiku hiyo
wote wawili walikutana hotelini, Karen alifika na kumpata James alikuwa
akikaa na kinywaji mbele yake akimgojea naye alifika na kuagiza kinywaji
Kisha kukaa kando la James.
James alimwonyesha kisanduki kilichokuwa kimebebe pesa na kumwambia
apeane Ile rekodi zote za video hiyo kwake. Karen alipokuwa ameinamisha
kichwa kweye pochi lake kutoa rekodi ya video hiyo James alitumia muda
huo kuweka sumu katika kinywaji chake. Karen alipeana rekodi Kisha
kumaliza kinwaji chake na wote walili wakaondoka. Karen alisimamisha
takski na kuingia ndani, alihisi usingizi hata kabla ya texti kuondoka
na akaamua ajilaze kidogo ndani. Baada ya masaa mawili Karen alpatikana
amekata roho ndani ya taksi ile.
| Mamake karen alikuwa na hulka gani | {
"text": [
"Alipenda mambo ya kanisa"
]
} |
4781_swa | Karen
Katika familia ya watoto walili, Karen alikuwa msichana wa kipekee.
Ndugu yake Ben ndiye aliyekuwa kitinda mimba wa familia hiyo. Wote
wawili waliishi na mama yao mjini Nairobi na hawakuwa na baba
Mama yake Karen alikuwa akifanya kazi kama msaidizi wa nyumba katika
katika jumba moja la tajiri mashuhuri uko Nairobi kwa hivyo maisha yao
haikuwa rahisi kwasababu ya ukosefu wa fedha na majitaji ya kila siku
Uhusiano kati ya Karen na mama yake haikuwa ya kupendeza, Mama yake Ann
alikuwa mwanamke mwenye tabia ya kumezea mate na zaidi ya yote alikuwa
anapenda mambo ya kanisa na Imani yake ilikuwa ya kupigia mfano. Alikuwa
mshiriki wa kanisa katoliki huko jijini. Karen naye kwa upande mwingine
kwasababu ya shida walizokuwa nazo nyumbani na alitaka kuishi maisha ya
kifahari na alijitafutia njia.
Alikuwa msichna mrembo yani aliumbwa akaumbika, umbo lake liliochora
nane lilikuwamchukua vizuri kwa kila nguo aliyovaa. Wengi wa vijani
walimtamani lakini Karen ni nani? Aliona Kama vijana Hawa hawakuwa wa
kiwango chake.
Katika umri hii wa miaka kumi na minne alianza kuwatembea na wanaume wa
umri wa babake. Mama yake aligundua tabia yake na kujaribu kumrekebisha
lakini hakusikia chochote wala lolote na hii ndio ilivuruga uhusiano
wake na mama yake.
Basi muda ukaenda na Karen akamaliza shule ya upili na kujiunga na Chuo
kikuu Cha Nairobi , huku tofauti na masomo alikuwa na kazi ya kufanya,
baada ya shule hakuwa mwanafunzi tena alikuwa kahaba na kutumia njia hii
kujipatia pesa na kusema ukweli alipata pesa na kutona na kazi hii.
Maisha yake yalibadilka na hakuwa Karen wa zamani tena, aliishi nyumba
ya pesa, alivaa nguo za bei na vyatu vya bei na kila kitu katika maisha
yangu haikuwa kawaida tena Yani alianza kuishi maisha ya kifahari.
Mama yake alipata hizi habari na kujaribu tena kuongea na mwanake,
hakupenda Karen kuendelea kuisha maisha haya" Karen mwanangu badilisha
mwenendo , nakupenda sana na sipendi kukuona ukiebdelea hivo" Ann alijua
madhara ya maisha haya na alihofia mtoto wake kwasababu uchungu wa mwana
amjuaye ni mama. Karen alijubu mamake kuwa hayo maisha yalikuwa ni yake
na ni yeye aliyachagua na hatakubali kufa akiwa maskini. Ann alisitika
sana kusikia maneno haya lakini alikosa cha kufanya alijisemea tu
kimoyomoyo asiyefunzwa na mamake hufunzwa na ulimwengu.
Siku moja katika kazi yake ya baada masomo Karen alikutana na Bwana
mmoja kwa jina la James. James alikuwa tajiri na alikuwa tena mtu wa
heshim zake, alikuwa akijulikana na kuheshimiwa kote mjini kama jaji
mashuhuri sana, basi Karen naye akafanya kazi yake na kuenda zake siku
hiyo.
Kama kawaida yake Karen alihakikisha kwamba alimjua kila mmoja anayekuwa
naye kwa undani zaidi. Alichokora kibeti yake Kisha akatambua kuwa
alikuwa Jaji mmoja tajiri huko jijini na hata yeye humu chuo kikuu
katika shule ya sheria alikuwa amesikia sifa zake za kupendeza
zilizokuwa zimeenea kila mahali.
Chuoni Karen alikutana na msichana kwa Jina Amanda, jirani wake katika
nyumba walizokuwa wakiishi. Kwa maneno machache tuseme Amanda alikuwa
malaika , alikuwa anapenda kuja kwa Karen ili afadhali apate mtu wa
kuongea naye, siku moja alikuja kwa Karen na kumweleza kwamba maishani
mwake ako na kila kitu binadamu anahitaji si pesa si wazazi si Mali si
nguo lakini maisha yake hayajakamilika, ' nmekosa rafiki, Sina mtu wa
kuongea naye' Amanda alisema . Karen kwa hurumu alimuliza Amanda kwamba
alikuwa na sababu gani kusema hivyo basi mazungumzo yakachacha kati ya
warembo walili.
Amanda alimweleza Karene kwamba licha ya kuwa na wazazi tajiri sana
hakuna hakuna aliyeelewa hisia zake na kwamba kila mmoja wa wao alikuwa
tu na haja na sifa za familia, hawakujali wanafanya Nini ili kuendeleza
sifa zao zilizokuwa zimeenea kote duniani, alimwelezea kwamba kulingana
na uweze wake wa kimasomo hafai kuwa shule ya sheria lakini ako hapo
kwasababu ya wazazi wake. Katika mazungumzo yao Amanda alitaja kwamba
kulikuwa na sherehe na itambidi aende nyumbani kuhudhuria Kisha
kumwambia Karen aandamane naye kwao.
Basi Karen na Amanda wakafika nyumbani kwa akina Amanda, akatambuliswa
kama rafikiye Amanda kutoka shule ya sheria hivyo alikaribishwa vizuri
na wazazi wake Amanda alikaa pamoja na wageni. James alimfikia Amanda na
kumkumbatia kwa upendo wa baba ma mtoto wake.Hapo ndipo karen aligundua
kuwa Jemes yule Jaji alikuwa naye ndiye babake Amanda.
James alishtuka kumwona Karen kwake nyumbani lakini Karen alihisi kana
kwamba milango ya binguni ilikuwa imeanza kufunguka kwake, aliona njia
ya kujitengenezea pesa , wote wawili walijifanya hawajuani James
hakutaka bibi yake Jane ama Amanda kujua Kambwa aliwahi kuwa na uhusiano
wa kimapenzi na Karen.
Wakati wa kula ukafika basi wasaidizi wakaanza kuingia ndani na chakula,
Ann mamake Karen alikuwa mmoja wa wafanyikazi wa bwana James, Ann
kumwona Karen huku alishtuka na kuangusha sinia ya chakula chini. Jane
alisimama kwa haraka na kumsaidia kusafisha Kisha akarudi kwa wageni na
kuwaomba radhi.
Karen alisimama na kutembea haste haste kuelekea pale ambapo Ann
alikuwa, alimwangalia kwa dharau na bezo kisha akamgeukia Jane na
kumuuliza"" mfanyikazi wenu anaitwa nani?" Jane akamjibu Ann, Karen
alimugeukia tena na na kumwambia kwa dharau " ukimaliza hapa niletee
maji ya kunywa!" Ann aliinama kuonyesha ishara za heshima Kisha
akaondoka kuelekea jikoni.
Baada ya muda mfupi Ann alirudi na maji ya kunywa jinsi alivyoagiziwa na
Karen basi Karen naye akasimama kuchukua maji yale. Kimaksudi Ann
alimwagilia Karen maji yale yate kwenye nguo Kisha akajifanya kwamba
imetokea bahati mbaya. Jane alisimama na kuwakaribia wote wawili akiomba
tena radhi kwa Karen na kumweleza kwamba msaidizi wake Ann hakuwa
anahijisi vizuri , Jane alikuwa mtu aliyejali maslahi ya wafanyakazi
wake na hata watu wengine kwa hivyo hata hapo hakushuku kama kulikuwa na
jambo kati ya Karen na Ann
"Samahani sana madam niwie radhi haitarudia tena" Ann alimwambia Karen
kwa sauti ya unyenyekevu, wote walili waliondoka kuelekea bafuni. Huko
bafuni walikuwa wawili Ann alimzaba Karen Kofi kwenye shavu na kumuuliza
alikuwa akifanya kwenye jumba hilo Karen alishika shavu lake na baada ya
sekunde kama mbili alirudisha mkono wake chini na kumkodolea mamake
macho," Ann fanya kazi yako na uniache nifanye yangu" Karen alitoka huko
bafuni na kurudi kwenye chumba Cha kula.
Huku kila mtu alikuwa akiendelea na kula chajio, Karen alimwangalia
Bwana James pale alipokuwa akikaa karibu na bibi yake na Kisha
kumnong'onea jicho, James alijifanya kana kwamba hakaona chochote na na
kuendelea na chakula. Baada ya muda chache James aliondoka na kuelekea
ofini mwake iliyokuwa ndani ya jumba lake hapo.
Karen alijichafua tena na chakula Kisha kuondika kuelekea bafuni. Mara
hii alifutwa na Amanada aleimsaidia nguo za kumsaidia wakati alikuwa
akisafisha zake na Amanda akaondoka na kumwacha bafuni. Karen alijifunga
nguo hiyo na kuondoka kuelekea ofini mwa James.
Allibisha mlango kisha akaingia ndani, alichukua kifungu kilichokuwa
mlangoni na kufunga malngo akatoa nguo Ile aliyokuwa amejifunga na
kutupa kitini, alibaki jinsi alivyozaliwa na kumsongea Bwana James pale
alipokuwa amekalia kitini kisha kumwangalia na macho ya kikahaba bila
kutamka lolote. James hakuweza kujizuia alimsogea na kukaribusha domo
lake na lile la Karen huku akitoa nguo zake na wote wawili wakapotelea
kwa ulimwengu usilojulikana.
Karen alikuwa ameweka simu yake kunasa kila kitu kilichokuwa kinafanyika
ofini mle Kati yake ya James na baada ya sherehe Ile alirudi nyumbani na
kuanza kazi yake. Alituma hiyo video kwa James na kumwambia kwamba
anahitaji milioni kumi na tano ama asambaze video hiyo mtandaoni. James
alishtuka alifikiria kwanza heshima na sifa zote familia yake ilikuwa
nayo, alifikiria muda ambayo ilimchukua kujenga sifa hizo, akafikifia
Jane bibi yake na mtoto wake Amanda, alifikiria watasema Nini au dunia
itasema Nini kuona au kusikiza kuhusu video hii.
James alimpigia Karen simu Mara hiyo hiyo na kumwomba wakutane waongee
basi Karen naye akakubali kukutana na yeye katika hoteli moja mjini kwa
maagizo, alimwambia abebe pesa na amtumie kwanza dhibitisho ndio aweze
kufika hotelini. Jame alifanya jinsi alivyoagizwa na Karen. Usiku hiyo
wote wawili walikutana hotelini, Karen alifika na kumpata James alikuwa
akikaa na kinywaji mbele yake akimgojea naye alifika na kuagiza kinywaji
Kisha kukaa kando la James.
James alimwonyesha kisanduki kilichokuwa kimebebe pesa na kumwambia
apeane Ile rekodi zote za video hiyo kwake. Karen alipokuwa ameinamisha
kichwa kweye pochi lake kutoa rekodi ya video hiyo James alitumia muda
huo kuweka sumu katika kinywaji chake. Karen alipeana rekodi Kisha
kumaliza kinwaji chake na wote walili wakaondoka. Karen alisimamisha
takski na kuingia ndani, alihisi usingizi hata kabla ya texti kuondoka
na akaamua ajilaze kidogo ndani. Baada ya masaa mawili Karen alpatikana
amekata roho ndani ya taksi ile.
| Karen alianza kutembea na wamaume wakubwa wakati gani | {
"text": [
"Akiwa na miaka kumi na nane"
]
} |
4781_swa | Karen
Katika familia ya watoto walili, Karen alikuwa msichana wa kipekee.
Ndugu yake Ben ndiye aliyekuwa kitinda mimba wa familia hiyo. Wote
wawili waliishi na mama yao mjini Nairobi na hawakuwa na baba
Mama yake Karen alikuwa akifanya kazi kama msaidizi wa nyumba katika
katika jumba moja la tajiri mashuhuri uko Nairobi kwa hivyo maisha yao
haikuwa rahisi kwasababu ya ukosefu wa fedha na majitaji ya kila siku
Uhusiano kati ya Karen na mama yake haikuwa ya kupendeza, Mama yake Ann
alikuwa mwanamke mwenye tabia ya kumezea mate na zaidi ya yote alikuwa
anapenda mambo ya kanisa na Imani yake ilikuwa ya kupigia mfano. Alikuwa
mshiriki wa kanisa katoliki huko jijini. Karen naye kwa upande mwingine
kwasababu ya shida walizokuwa nazo nyumbani na alitaka kuishi maisha ya
kifahari na alijitafutia njia.
Alikuwa msichna mrembo yani aliumbwa akaumbika, umbo lake liliochora
nane lilikuwamchukua vizuri kwa kila nguo aliyovaa. Wengi wa vijani
walimtamani lakini Karen ni nani? Aliona Kama vijana Hawa hawakuwa wa
kiwango chake.
Katika umri hii wa miaka kumi na minne alianza kuwatembea na wanaume wa
umri wa babake. Mama yake aligundua tabia yake na kujaribu kumrekebisha
lakini hakusikia chochote wala lolote na hii ndio ilivuruga uhusiano
wake na mama yake.
Basi muda ukaenda na Karen akamaliza shule ya upili na kujiunga na Chuo
kikuu Cha Nairobi , huku tofauti na masomo alikuwa na kazi ya kufanya,
baada ya shule hakuwa mwanafunzi tena alikuwa kahaba na kutumia njia hii
kujipatia pesa na kusema ukweli alipata pesa na kutona na kazi hii.
Maisha yake yalibadilka na hakuwa Karen wa zamani tena, aliishi nyumba
ya pesa, alivaa nguo za bei na vyatu vya bei na kila kitu katika maisha
yangu haikuwa kawaida tena Yani alianza kuishi maisha ya kifahari.
Mama yake alipata hizi habari na kujaribu tena kuongea na mwanake,
hakupenda Karen kuendelea kuisha maisha haya" Karen mwanangu badilisha
mwenendo , nakupenda sana na sipendi kukuona ukiebdelea hivo" Ann alijua
madhara ya maisha haya na alihofia mtoto wake kwasababu uchungu wa mwana
amjuaye ni mama. Karen alijubu mamake kuwa hayo maisha yalikuwa ni yake
na ni yeye aliyachagua na hatakubali kufa akiwa maskini. Ann alisitika
sana kusikia maneno haya lakini alikosa cha kufanya alijisemea tu
kimoyomoyo asiyefunzwa na mamake hufunzwa na ulimwengu.
Siku moja katika kazi yake ya baada masomo Karen alikutana na Bwana
mmoja kwa jina la James. James alikuwa tajiri na alikuwa tena mtu wa
heshim zake, alikuwa akijulikana na kuheshimiwa kote mjini kama jaji
mashuhuri sana, basi Karen naye akafanya kazi yake na kuenda zake siku
hiyo.
Kama kawaida yake Karen alihakikisha kwamba alimjua kila mmoja anayekuwa
naye kwa undani zaidi. Alichokora kibeti yake Kisha akatambua kuwa
alikuwa Jaji mmoja tajiri huko jijini na hata yeye humu chuo kikuu
katika shule ya sheria alikuwa amesikia sifa zake za kupendeza
zilizokuwa zimeenea kila mahali.
Chuoni Karen alikutana na msichana kwa Jina Amanda, jirani wake katika
nyumba walizokuwa wakiishi. Kwa maneno machache tuseme Amanda alikuwa
malaika , alikuwa anapenda kuja kwa Karen ili afadhali apate mtu wa
kuongea naye, siku moja alikuja kwa Karen na kumweleza kwamba maishani
mwake ako na kila kitu binadamu anahitaji si pesa si wazazi si Mali si
nguo lakini maisha yake hayajakamilika, ' nmekosa rafiki, Sina mtu wa
kuongea naye' Amanda alisema . Karen kwa hurumu alimuliza Amanda kwamba
alikuwa na sababu gani kusema hivyo basi mazungumzo yakachacha kati ya
warembo walili.
Amanda alimweleza Karene kwamba licha ya kuwa na wazazi tajiri sana
hakuna hakuna aliyeelewa hisia zake na kwamba kila mmoja wa wao alikuwa
tu na haja na sifa za familia, hawakujali wanafanya Nini ili kuendeleza
sifa zao zilizokuwa zimeenea kote duniani, alimwelezea kwamba kulingana
na uweze wake wa kimasomo hafai kuwa shule ya sheria lakini ako hapo
kwasababu ya wazazi wake. Katika mazungumzo yao Amanda alitaja kwamba
kulikuwa na sherehe na itambidi aende nyumbani kuhudhuria Kisha
kumwambia Karen aandamane naye kwao.
Basi Karen na Amanda wakafika nyumbani kwa akina Amanda, akatambuliswa
kama rafikiye Amanda kutoka shule ya sheria hivyo alikaribishwa vizuri
na wazazi wake Amanda alikaa pamoja na wageni. James alimfikia Amanda na
kumkumbatia kwa upendo wa baba ma mtoto wake.Hapo ndipo karen aligundua
kuwa Jemes yule Jaji alikuwa naye ndiye babake Amanda.
James alishtuka kumwona Karen kwake nyumbani lakini Karen alihisi kana
kwamba milango ya binguni ilikuwa imeanza kufunguka kwake, aliona njia
ya kujitengenezea pesa , wote wawili walijifanya hawajuani James
hakutaka bibi yake Jane ama Amanda kujua Kambwa aliwahi kuwa na uhusiano
wa kimapenzi na Karen.
Wakati wa kula ukafika basi wasaidizi wakaanza kuingia ndani na chakula,
Ann mamake Karen alikuwa mmoja wa wafanyikazi wa bwana James, Ann
kumwona Karen huku alishtuka na kuangusha sinia ya chakula chini. Jane
alisimama kwa haraka na kumsaidia kusafisha Kisha akarudi kwa wageni na
kuwaomba radhi.
Karen alisimama na kutembea haste haste kuelekea pale ambapo Ann
alikuwa, alimwangalia kwa dharau na bezo kisha akamgeukia Jane na
kumuuliza"" mfanyikazi wenu anaitwa nani?" Jane akamjibu Ann, Karen
alimugeukia tena na na kumwambia kwa dharau " ukimaliza hapa niletee
maji ya kunywa!" Ann aliinama kuonyesha ishara za heshima Kisha
akaondoka kuelekea jikoni.
Baada ya muda mfupi Ann alirudi na maji ya kunywa jinsi alivyoagiziwa na
Karen basi Karen naye akasimama kuchukua maji yale. Kimaksudi Ann
alimwagilia Karen maji yale yate kwenye nguo Kisha akajifanya kwamba
imetokea bahati mbaya. Jane alisimama na kuwakaribia wote wawili akiomba
tena radhi kwa Karen na kumweleza kwamba msaidizi wake Ann hakuwa
anahijisi vizuri , Jane alikuwa mtu aliyejali maslahi ya wafanyakazi
wake na hata watu wengine kwa hivyo hata hapo hakushuku kama kulikuwa na
jambo kati ya Karen na Ann
"Samahani sana madam niwie radhi haitarudia tena" Ann alimwambia Karen
kwa sauti ya unyenyekevu, wote walili waliondoka kuelekea bafuni. Huko
bafuni walikuwa wawili Ann alimzaba Karen Kofi kwenye shavu na kumuuliza
alikuwa akifanya kwenye jumba hilo Karen alishika shavu lake na baada ya
sekunde kama mbili alirudisha mkono wake chini na kumkodolea mamake
macho," Ann fanya kazi yako na uniache nifanye yangu" Karen alitoka huko
bafuni na kurudi kwenye chumba Cha kula.
Huku kila mtu alikuwa akiendelea na kula chajio, Karen alimwangalia
Bwana James pale alipokuwa akikaa karibu na bibi yake na Kisha
kumnong'onea jicho, James alijifanya kana kwamba hakaona chochote na na
kuendelea na chakula. Baada ya muda chache James aliondoka na kuelekea
ofini mwake iliyokuwa ndani ya jumba lake hapo.
Karen alijichafua tena na chakula Kisha kuondika kuelekea bafuni. Mara
hii alifutwa na Amanada aleimsaidia nguo za kumsaidia wakati alikuwa
akisafisha zake na Amanda akaondoka na kumwacha bafuni. Karen alijifunga
nguo hiyo na kuondoka kuelekea ofini mwa James.
Allibisha mlango kisha akaingia ndani, alichukua kifungu kilichokuwa
mlangoni na kufunga malngo akatoa nguo Ile aliyokuwa amejifunga na
kutupa kitini, alibaki jinsi alivyozaliwa na kumsongea Bwana James pale
alipokuwa amekalia kitini kisha kumwangalia na macho ya kikahaba bila
kutamka lolote. James hakuweza kujizuia alimsogea na kukaribusha domo
lake na lile la Karen huku akitoa nguo zake na wote wawili wakapotelea
kwa ulimwengu usilojulikana.
Karen alikuwa ameweka simu yake kunasa kila kitu kilichokuwa kinafanyika
ofini mle Kati yake ya James na baada ya sherehe Ile alirudi nyumbani na
kuanza kazi yake. Alituma hiyo video kwa James na kumwambia kwamba
anahitaji milioni kumi na tano ama asambaze video hiyo mtandaoni. James
alishtuka alifikiria kwanza heshima na sifa zote familia yake ilikuwa
nayo, alifikiria muda ambayo ilimchukua kujenga sifa hizo, akafikifia
Jane bibi yake na mtoto wake Amanda, alifikiria watasema Nini au dunia
itasema Nini kuona au kusikiza kuhusu video hii.
James alimpigia Karen simu Mara hiyo hiyo na kumwomba wakutane waongee
basi Karen naye akakubali kukutana na yeye katika hoteli moja mjini kwa
maagizo, alimwambia abebe pesa na amtumie kwanza dhibitisho ndio aweze
kufika hotelini. Jame alifanya jinsi alivyoagizwa na Karen. Usiku hiyo
wote wawili walikutana hotelini, Karen alifika na kumpata James alikuwa
akikaa na kinywaji mbele yake akimgojea naye alifika na kuagiza kinywaji
Kisha kukaa kando la James.
James alimwonyesha kisanduki kilichokuwa kimebebe pesa na kumwambia
apeane Ile rekodi zote za video hiyo kwake. Karen alipokuwa ameinamisha
kichwa kweye pochi lake kutoa rekodi ya video hiyo James alitumia muda
huo kuweka sumu katika kinywaji chake. Karen alipeana rekodi Kisha
kumaliza kinwaji chake na wote walili wakaondoka. Karen alisimamisha
takski na kuingia ndani, alihisi usingizi hata kabla ya texti kuondoka
na akaamua ajilaze kidogo ndani. Baada ya masaa mawili Karen alpatikana
amekata roho ndani ya taksi ile.
| Karen alifanya kazi ingiine ipi mbali na masomo | {
"text": [
"Ukahaba"
]
} |
4782_swa | Katika siku za hivi karibuni,visa vya uhalifu vimeendelea
kuongezeka.juma lililopita pekee,watu kumi wameuawa na majambazi wenye
silaha hatari.katika kisa kimoja cha juma lililopita familia moja
ilishambuliwa huko nakuru,kutekwa nyara kwa saa mbili,kuporwa mali na
baadaye majambazi hao kuondoka.
Kando na kuwa polisi wanaohusika wanaohusika wamekuwa wakijaribu
kukabiliana na hali hii bado tunaamini kuwa hatua kali zaidi
zinahitajika kuchukuliwa. Ni ukweli unaoeleweka kwamba ukosefu wa kazi
,hali ya uchumi nchini na umasikini unaoendelea kukithiri ni mambo
yanayotatiza jamii yetu.
Hata hivyo, huku serikali ikiendelea kushughulikia hali hii, ni muhimu
kwa mikakati inayofaa kuchukuliwa kuhakikisha kuwa usalama unaimarishwa
na amani kudumishwa. Lawama kwa yeyote Yule haziwezi kusaidi kusitisha
tatizo hilo.
Viongozi wa Nyanja zote wanafaa kuwa katika mstari wa mbele katika
kutafuta suluhisho kwa tatizo hili sugu kwa kushirikiana na polisi.
Vikosi vyote vya polisi vinavyohusika pia vinafaa kushirikiana kwa
karibu na wadau wengine ili kufanikiwa.
Msimamo wetu ni kuwa wote wanaohusika kushirikishwa katika
kulishughulikia tatizo hili na kulipa uvumbuzi.
| Visa gani vimeendelea kuongezeka | {
"text": [
"vya uhalifu"
]
} |
4782_swa | Katika siku za hivi karibuni,visa vya uhalifu vimeendelea
kuongezeka.juma lililopita pekee,watu kumi wameuawa na majambazi wenye
silaha hatari.katika kisa kimoja cha juma lililopita familia moja
ilishambuliwa huko nakuru,kutekwa nyara kwa saa mbili,kuporwa mali na
baadaye majambazi hao kuondoka.
Kando na kuwa polisi wanaohusika wanaohusika wamekuwa wakijaribu
kukabiliana na hali hii bado tunaamini kuwa hatua kali zaidi
zinahitajika kuchukuliwa. Ni ukweli unaoeleweka kwamba ukosefu wa kazi
,hali ya uchumi nchini na umasikini unaoendelea kukithiri ni mambo
yanayotatiza jamii yetu.
Hata hivyo, huku serikali ikiendelea kushughulikia hali hii, ni muhimu
kwa mikakati inayofaa kuchukuliwa kuhakikisha kuwa usalama unaimarishwa
na amani kudumishwa. Lawama kwa yeyote Yule haziwezi kusaidi kusitisha
tatizo hilo.
Viongozi wa Nyanja zote wanafaa kuwa katika mstari wa mbele katika
kutafuta suluhisho kwa tatizo hili sugu kwa kushirikiana na polisi.
Vikosi vyote vya polisi vinavyohusika pia vinafaa kushirikiana kwa
karibu na wadau wengine ili kufanikiwa.
Msimamo wetu ni kuwa wote wanaohusika kushirikishwa katika
kulishughulikia tatizo hili na kulipa uvumbuzi.
| Watu kumi waliuwawa lini | {
"text": [
"juma lililopita"
]
} |
4782_swa | Katika siku za hivi karibuni,visa vya uhalifu vimeendelea
kuongezeka.juma lililopita pekee,watu kumi wameuawa na majambazi wenye
silaha hatari.katika kisa kimoja cha juma lililopita familia moja
ilishambuliwa huko nakuru,kutekwa nyara kwa saa mbili,kuporwa mali na
baadaye majambazi hao kuondoka.
Kando na kuwa polisi wanaohusika wanaohusika wamekuwa wakijaribu
kukabiliana na hali hii bado tunaamini kuwa hatua kali zaidi
zinahitajika kuchukuliwa. Ni ukweli unaoeleweka kwamba ukosefu wa kazi
,hali ya uchumi nchini na umasikini unaoendelea kukithiri ni mambo
yanayotatiza jamii yetu.
Hata hivyo, huku serikali ikiendelea kushughulikia hali hii, ni muhimu
kwa mikakati inayofaa kuchukuliwa kuhakikisha kuwa usalama unaimarishwa
na amani kudumishwa. Lawama kwa yeyote Yule haziwezi kusaidi kusitisha
tatizo hilo.
Viongozi wa Nyanja zote wanafaa kuwa katika mstari wa mbele katika
kutafuta suluhisho kwa tatizo hili sugu kwa kushirikiana na polisi.
Vikosi vyote vya polisi vinavyohusika pia vinafaa kushirikiana kwa
karibu na wadau wengine ili kufanikiwa.
Msimamo wetu ni kuwa wote wanaohusika kushirikishwa katika
kulishughulikia tatizo hili na kulipa uvumbuzi.
| Ukosefu wa nini unaendelea kukithiri | {
"text": [
"kazi"
]
} |
4782_swa | Katika siku za hivi karibuni,visa vya uhalifu vimeendelea
kuongezeka.juma lililopita pekee,watu kumi wameuawa na majambazi wenye
silaha hatari.katika kisa kimoja cha juma lililopita familia moja
ilishambuliwa huko nakuru,kutekwa nyara kwa saa mbili,kuporwa mali na
baadaye majambazi hao kuondoka.
Kando na kuwa polisi wanaohusika wanaohusika wamekuwa wakijaribu
kukabiliana na hali hii bado tunaamini kuwa hatua kali zaidi
zinahitajika kuchukuliwa. Ni ukweli unaoeleweka kwamba ukosefu wa kazi
,hali ya uchumi nchini na umasikini unaoendelea kukithiri ni mambo
yanayotatiza jamii yetu.
Hata hivyo, huku serikali ikiendelea kushughulikia hali hii, ni muhimu
kwa mikakati inayofaa kuchukuliwa kuhakikisha kuwa usalama unaimarishwa
na amani kudumishwa. Lawama kwa yeyote Yule haziwezi kusaidi kusitisha
tatizo hilo.
Viongozi wa Nyanja zote wanafaa kuwa katika mstari wa mbele katika
kutafuta suluhisho kwa tatizo hili sugu kwa kushirikiana na polisi.
Vikosi vyote vya polisi vinavyohusika pia vinafaa kushirikiana kwa
karibu na wadau wengine ili kufanikiwa.
Msimamo wetu ni kuwa wote wanaohusika kushirikishwa katika
kulishughulikia tatizo hili na kulipa uvumbuzi.
| Viongozi wa nyanda zote washirikiane na nani | {
"text": [
"polisi"
]
} |
4782_swa | Katika siku za hivi karibuni,visa vya uhalifu vimeendelea
kuongezeka.juma lililopita pekee,watu kumi wameuawa na majambazi wenye
silaha hatari.katika kisa kimoja cha juma lililopita familia moja
ilishambuliwa huko nakuru,kutekwa nyara kwa saa mbili,kuporwa mali na
baadaye majambazi hao kuondoka.
Kando na kuwa polisi wanaohusika wanaohusika wamekuwa wakijaribu
kukabiliana na hali hii bado tunaamini kuwa hatua kali zaidi
zinahitajika kuchukuliwa. Ni ukweli unaoeleweka kwamba ukosefu wa kazi
,hali ya uchumi nchini na umasikini unaoendelea kukithiri ni mambo
yanayotatiza jamii yetu.
Hata hivyo, huku serikali ikiendelea kushughulikia hali hii, ni muhimu
kwa mikakati inayofaa kuchukuliwa kuhakikisha kuwa usalama unaimarishwa
na amani kudumishwa. Lawama kwa yeyote Yule haziwezi kusaidi kusitisha
tatizo hilo.
Viongozi wa Nyanja zote wanafaa kuwa katika mstari wa mbele katika
kutafuta suluhisho kwa tatizo hili sugu kwa kushirikiana na polisi.
Vikosi vyote vya polisi vinavyohusika pia vinafaa kushirikiana kwa
karibu na wadau wengine ili kufanikiwa.
Msimamo wetu ni kuwa wote wanaohusika kushirikishwa katika
kulishughulikia tatizo hili na kulipa uvumbuzi.
| Mbona vikosi vya polisi vishirikiane na wadau wengine | {
"text": [
"ili kufanikiwa"
]
} |
4783_swa | KOSA NILILOFANYA
Nikiwa kwenye kijumba chetu kuu kuu mawazo yangu yalizamia ukatani.mle
ambamo nzige alikuwa amenaswa kwenye utandu wa buibui ajaribu kujinasua
ila ameshindwa.Nilikodoa macho yangu kuangalia ikiwa nzige angeweza
kujinasua kutoka kwenye utandu huo.Yamkini alifaulu.Hivi sasa
nilitazamia maisha yetu pale nyumbani yalivyofuka moshi.Niliwaza na
kuwazua jinsi nitakavyo jitoa kwenye utandu huo kama yule nzige.Iweje
nzige mdudu mdogo kama yule ana uwezo was kujinasua kutoka kwenye
utandabui nami niliye na nguvu kikamilifu nishindwe kujinasua kwenye
uozo huu wa umasikini?
Nilitazama kiporo kilichobaki kwenye sufuria na kukivamia ghafla bin
vuu.Kwetu tumezaliwa watatu nami ndiye kitindamimba.Wakubwa wangu
walikua wamekabwa na majukumu mengi kwa kujitosa kwa ndoa za mapema na
pia hawakuwa wamehitimu masomo kwa viwango vya juu.Maisha yao yalikua
kusaka tonge nakutia mdomoni bila kuwazia ya kesho,walikuwa wamezaa wana
wengi,masaibu juu ya masaibu.Hivyo hata Mimi nilikua nasoma kwa juhudi
za mama aliyeuza maboga kwenye kibanda chake kuukuu kule Githurai,Mama
ndiye alikua kichwa cha familia yetu, alishika usukani pande zote akawa
baba Mara na mama wakati moja.Sitaki kumzungumzia baba,maana alikua
mlevi chakari kupindukia,alipiga mtindi kutwa kucha.Alisahau majukumu
yake kama mzazi na kuparamia kwenye dunia ya vileo, hivi sasa kama
kungekuwa na tuzo kwa mlevi shupavu mjini, basi nani angemshinda mzee
malimali?
Malimali ni jina alopewa babangu hasa kutokana na tabia zake za
kujisifu.Alijishaua jinsi alivyokuwa na wana walisomea ngambo na
mashamba makubwa makubwa.Kila jioni baba angeonekana soko la Githurai
akiyumba yumba ja mashua majini.Ameejiendea haja nguoni ananuka fye!Mara
matapiko yammetapakaa kwenye shati lake na hata wakati mwingine mama
angetaarifiwa aje amchukue mume wake aliyejilaza mtaroni.Wakati mwingine
wahisani wema wangembeba hobela hobela hadi maskani mwetu.Kwa kweli
picha hii haikuwa ya kupendeza hasa kijiji chote kilimjua kwa tabia hizi
za ulevi.
Wakati mwingine mle shuleni wanafunzi wangenikejeli kwa visa ambavyo
babangu alifanya na kuviiga mbele ya darasa lakini ndio malimwengu sasa
ningefanya vipi?Ikiwa huo ndio ukweli was mambo.Hivi sasa nilikua kidato
cha pili katika shule ya upili ya Mbuyu.Najitahidi labda mambo yatakuwa
sawa mbeleni.Mara mingi ningefukuzwa shuleni kuleta karo ningekaa
nyumbani kwa kipindi kirefu kabla ya kupata karo.Kilicho wapendeza
walimu ni umakini wangu pale darasani maana nilifuzu vyema masomoni na
kuibuka was kwanza.Hata hivyo lilowashangaza wanafunzi wengi kwa kuwa
ningekaa nyumbani kipindi kirefu kisha nikirejea ningewaonyesha kivumbi.
Baada ya mwaka moja nilikua kidato cha nne nasubiri kuufanya mtihani
wangu was kitaifa.Hayawi hayawi huwa.Mtihani ulifanywa matokeo yakatokea
nikaibuka na alama(A-) katika mtihani wangu was kitaifa.Furaha
iliyoje?Mamangu alifurahi vilivyo lakini sasa shida kubwa ilikuwa kupata
fedha za kuendeleza masomo yangu chuoni.Ikawa mtihani mgumu kwetu
sasa.Hapa sasa mzee Malimali alipata hadithi mpya ya kujishaua nayo.Kila
alipolewa alitangaza barabarani jina langu na maki nilizopata."Mimi nina
daktari kwenye boma langu amepata alama (A-) ananuia kujiunga na chuo
kikuu hak-u-na mtoto ali-ye-mshi-nda katika shule yao.Hivi karibuni
atasafiri na kuenda ng'ambo,nita-uza-za shamba langu lo-ote na kusomesha
mwanangu shule ya ngambo,daktari atasafiri mwezi moja kabla ya kuanza
masomo yake ajivinjari na kubarizi,kutuliza akili yake."Mzee MaliMali
alisema.
Mama alijawa na huzuni maana alijua fika kuwa ni yeye angepaswa
kuwajibika katika kuendeleza masomo yangu.Hivyo nami nikaamua
kujitafutia vibarua kabla ya mwito wangu katika chuo kikuu.Nilipata kazi
ya mhudumu katika mkahawa pale kayole ingawa malipo yalikua duni sikua
na pasi ila kufanya tu.Nivichange vipesa labda vingenikimu mahali
Fulani.Mkahawa ule ulikua wa mhindi aliyejizolea biashara pale
nakuandika watu kufanya kazi hizo. Ningepaswa kufika kazini mafungulia
ng'ombe nakurejea saa nne usiku kwa kuwa kazi zilitapakaa kote kote.
Siku Moja nilipokuwa katika huduma zangu za kawaida,niliona gari
limeegeshwa pale nje ya mkahawa.Akilini mwangu nilijua kuwa wale ni
wateja wa kawaida.Jizee moja lilisongea karibu nami likitabasamu."Wewe
ndiye Zubena?" Aliniuliza.Nilitikisa kichwa change kuonyesha ni
mimi."Naam mimi ndiye Zubena kuna shida lolote?"niliuliza.Zubena hivi
Leo tunafuraha kufika mahali hapa kwa ajili ya yako.Nina uhakika wazazi
wako wana fahari kuwa na na mwana kama wewe.Kisha akinipokezea kibahasha
na kunieleza nifungue.Alihamdululahi!Sikuamini niliyoona pale.Nilikuwa
nimepewa fursa kusoma chuo kikuu cha kitaifa kule Uisbania,kusomea
udakitari.Serikali ilikua imeteua watahiniwa mia moja waliofuzu
vyema,nikawa miongoni mwao.Jizee like liliniambia niwapeleka kwa wazee
wangu,nilimwomba bosi wangu ruhusa kisha nikaingia kwenye bonge la
gari.Gari la kifahari.Tukampasulia mama mbarika,mama alibaki ameduwaa na
habari hizi.Ama kweli Mungu hamwachi mja wake!
Mama alipata afueni zaidi ya hayo aliyeleta ujumbe huo aliguswa na utu
kwa kuangalia maisha tuliyoishi.Alimnunulia mama konde na kumjengea
nyumba kisha akamfungulia biashara la samaki waliokaangwa kwa
mafuta.Hata hivyo popote niendapo ningekaa na utulivu akilini mwangu
mama yupo salama salmini.
Yote haya yakasalia kama ndoto kwangu.Sikuamini haya.Juhudi zangu
zilifua dafu kwa hakika.Hivi sasa ni safari hii tu niliyosubiria kwa
hamu na ghamu.Hatimaye wakati uliwadia nami nikafungasha safari had I
uhabeshi kuendeleza masomo yangu.Mazingira yae yalikua tulivu
ajabu,usasa na teknolojia ulijidhihiri waziwazi kwa ubunifu wa vyombo
vya usafiri vilivyo kuwa,nilipewa kijumba ambacho ningeishi,nikapewa
simu tamba mpya,mavazi na hata chakula, maisha yalikua mepesi nywe!Nami
nikatia fora masomoni mwangu,nilitafakari mazingira ya pale nilipoishi
na nilipokulia.Ikiwa sasa singetia bidii masomoni mwangu basi tatizo
lingekuwa langu tu.Nilijizatiti nakufuata sheria zote zilizotakikana,
nakufanya wajibu wangu ipasavyo.Nilirauka mapema na kulala usiku
kabisa.Kule wakufunzi wenzagu wangestaajabishwa kwa matokeo
niliyopata.Ijapokuwa hapo awali walinitenga kwa kuwa na ngozi
nyeusi,walistaajabishwa na ueledi wangu vitabuni.Nipo katika ulimwengu
mpya.Sina ufahamu wowote ila tu ni mola na mie, hata imepita kipindi
kirefu sijasemezana na mama,wakati mwingine natamani nirudi kwetu
Afrika.Vyakula vya kitamaduni.Tamasha za muziki.Hali ya anga
tulivu,rafiki zangu niliowaacha.Nabaki kuwafuatilia tu mtandaoni.Ila
najua Siku moja nitapata kuonana nao,lakini nikiwa njmerejea na habari
za kufana.Habari za kufuzu.Niwe daktari bora,daktari mkarabati was
mifupa,daktari hawa ni nadra nchini mwetu.Niokoe watu wangu kutoka
kwenye janga la umasikini niwavushe daraja la imani,niwape matumaini
yanawezekana lakini sitaweza haya yote pasipo Mungu.Ndio mwanzo wa imani
yangu. Mama ametutanguliza kwa dini tungali vikinda nasi twajua pasi
Mungu ni vigumu kufaulu.
Katika kozi yetu nilikutana na kidosho moja.Ameumbwa akumbika.Alinivutia
nikamvutia tukapendana.Lakini hili in tambiko kuu.Napotoka mama
amenikanya kutagusana na wasichana wasio na haiba ya kiafrika. Leo hii
nimekengeukwa.Lakini sasa nimempenda Maldiva.Maldiva hana tashwishi na
ngozi yangu,wala tabaka langu,anapenda nilivyo na uasili wangu anaelewa
japo tu katika ulimwengu tofauti twaweza pendana.Mbona ndugu na Jamaa
zangu walioko Afrika wasione haya. Maldiva amenitambulisha kwa wazee
wake,wakanikumbatia vyema.Nimekuwa mwana wa familia ile. Hivi sasa
tumebakisha miaka miwili tumalize kozi yetu ya udaktari, tunapanga
uchumba wetu kisha tufunganye pingu za maisha.
Bado sijamsimulia mama haya sijui atalichukulia vipi,sijui kamwe.Liwe
liwalo simwachi Maldiva.Nimenaswa kwa penzi lake,siendi pahali Mimi.Hivi
tulipomaliza masomo yetu tulifungasha safari kurudi Afrika mie pamoja na
mchumba wangu tumefunga ndoa na hivyo sisi ni mume na mke
halali.Tulipofika nyumbani kijiji chetu cha madongoporomoko kilikuwa
kibadili kiasi,watu walikua wamejenga nyumba nzuri na kuboresha maisha
yao ya zamani.Nikapata kumjuza mama kwa Maldiva.
Baada ya kipindi kile cha ukaribisho mama aliniita kando kusemezana
nami. Alihuzunika kwa maamuzi niliyoyafanya,"mbona uasi mila yako
mwanangu,hili halifai! ungetafuta msichana wa asili ya kiafrika,ajuaye
kazi za kiafrika,apike vyakula vya kiafrika afuate tamaduni za kiafrika
lakini huyu sasa hatamudu."Alisema mama.Sikutaka kukorofishana na
mama,kwanza ni mama yangu mzazi na ana hila zozote zile za
kunikaripia.Tulifungasha virago vyetu na Maldiva na kurudi zetu Uhabeshi
bila neno. Hata haya sikuwahi Siku moja kumwelezea Maldiva.Tukapata kazi
na kujaliwa na mtoto moja was kike Alma.Alma na mamake walikua maziwa na
tui.Tukaishi kwa furaha hadi kipindi kimoja kitumbua kilipo tumbukia
mchangani.
Askari wawili walinitia pingu na kuniegesha kwenye gari lao.Nilimwona
Maldiva na Alma pale nje ya nyumba.Maldiva amemkumbatia Alma
kifuani.Tena hataki kusemezana nami,nikijaribu kuuliza makosa yangu
siambiwa.Nilipofikishwa mahakamani nilituhumiwa kwa kosa la kumtishia
Maldiva na mwanangu maisha.Niliachishwa kazi na kunyanganywa pesa zote
zilizokuwa kwenye akaunti yangu.Nilichosalia nacho ni paspoti ya kurejea
kwetu Afrika.Ikiwa nimeharibiwa mukabali wangu wa kazi singeweza kufanya
kazi popote pale ningepata.Maldiva akamwoa mtanashati kutoka Uhabeshi na
wakaendeleza familia yao.
Mwenda tenzi na omo marejeo in ngamani.Leo hii mimi Bakari nilieenda
pale na azimio la kubadili maisha yangu.Maamuzi yangu
yamenibadili.Nimekuwa kama mwana mpotevu,natubu mbele za mamangu
aliyenishauri nikatia nta kwenye sikio.Majuto ni mjukuu na huja kinyume.
| Nzige alikuwa amenaswa na nini | {
"text": [
"Utandu wa buibui"
]
} |
4783_swa | KOSA NILILOFANYA
Nikiwa kwenye kijumba chetu kuu kuu mawazo yangu yalizamia ukatani.mle
ambamo nzige alikuwa amenaswa kwenye utandu wa buibui ajaribu kujinasua
ila ameshindwa.Nilikodoa macho yangu kuangalia ikiwa nzige angeweza
kujinasua kutoka kwenye utandu huo.Yamkini alifaulu.Hivi sasa
nilitazamia maisha yetu pale nyumbani yalivyofuka moshi.Niliwaza na
kuwazua jinsi nitakavyo jitoa kwenye utandu huo kama yule nzige.Iweje
nzige mdudu mdogo kama yule ana uwezo was kujinasua kutoka kwenye
utandabui nami niliye na nguvu kikamilifu nishindwe kujinasua kwenye
uozo huu wa umasikini?
Nilitazama kiporo kilichobaki kwenye sufuria na kukivamia ghafla bin
vuu.Kwetu tumezaliwa watatu nami ndiye kitindamimba.Wakubwa wangu
walikua wamekabwa na majukumu mengi kwa kujitosa kwa ndoa za mapema na
pia hawakuwa wamehitimu masomo kwa viwango vya juu.Maisha yao yalikua
kusaka tonge nakutia mdomoni bila kuwazia ya kesho,walikuwa wamezaa wana
wengi,masaibu juu ya masaibu.Hivyo hata Mimi nilikua nasoma kwa juhudi
za mama aliyeuza maboga kwenye kibanda chake kuukuu kule Githurai,Mama
ndiye alikua kichwa cha familia yetu, alishika usukani pande zote akawa
baba Mara na mama wakati moja.Sitaki kumzungumzia baba,maana alikua
mlevi chakari kupindukia,alipiga mtindi kutwa kucha.Alisahau majukumu
yake kama mzazi na kuparamia kwenye dunia ya vileo, hivi sasa kama
kungekuwa na tuzo kwa mlevi shupavu mjini, basi nani angemshinda mzee
malimali?
Malimali ni jina alopewa babangu hasa kutokana na tabia zake za
kujisifu.Alijishaua jinsi alivyokuwa na wana walisomea ngambo na
mashamba makubwa makubwa.Kila jioni baba angeonekana soko la Githurai
akiyumba yumba ja mashua majini.Ameejiendea haja nguoni ananuka fye!Mara
matapiko yammetapakaa kwenye shati lake na hata wakati mwingine mama
angetaarifiwa aje amchukue mume wake aliyejilaza mtaroni.Wakati mwingine
wahisani wema wangembeba hobela hobela hadi maskani mwetu.Kwa kweli
picha hii haikuwa ya kupendeza hasa kijiji chote kilimjua kwa tabia hizi
za ulevi.
Wakati mwingine mle shuleni wanafunzi wangenikejeli kwa visa ambavyo
babangu alifanya na kuviiga mbele ya darasa lakini ndio malimwengu sasa
ningefanya vipi?Ikiwa huo ndio ukweli was mambo.Hivi sasa nilikua kidato
cha pili katika shule ya upili ya Mbuyu.Najitahidi labda mambo yatakuwa
sawa mbeleni.Mara mingi ningefukuzwa shuleni kuleta karo ningekaa
nyumbani kwa kipindi kirefu kabla ya kupata karo.Kilicho wapendeza
walimu ni umakini wangu pale darasani maana nilifuzu vyema masomoni na
kuibuka was kwanza.Hata hivyo lilowashangaza wanafunzi wengi kwa kuwa
ningekaa nyumbani kipindi kirefu kisha nikirejea ningewaonyesha kivumbi.
Baada ya mwaka moja nilikua kidato cha nne nasubiri kuufanya mtihani
wangu was kitaifa.Hayawi hayawi huwa.Mtihani ulifanywa matokeo yakatokea
nikaibuka na alama(A-) katika mtihani wangu was kitaifa.Furaha
iliyoje?Mamangu alifurahi vilivyo lakini sasa shida kubwa ilikuwa kupata
fedha za kuendeleza masomo yangu chuoni.Ikawa mtihani mgumu kwetu
sasa.Hapa sasa mzee Malimali alipata hadithi mpya ya kujishaua nayo.Kila
alipolewa alitangaza barabarani jina langu na maki nilizopata."Mimi nina
daktari kwenye boma langu amepata alama (A-) ananuia kujiunga na chuo
kikuu hak-u-na mtoto ali-ye-mshi-nda katika shule yao.Hivi karibuni
atasafiri na kuenda ng'ambo,nita-uza-za shamba langu lo-ote na kusomesha
mwanangu shule ya ngambo,daktari atasafiri mwezi moja kabla ya kuanza
masomo yake ajivinjari na kubarizi,kutuliza akili yake."Mzee MaliMali
alisema.
Mama alijawa na huzuni maana alijua fika kuwa ni yeye angepaswa
kuwajibika katika kuendeleza masomo yangu.Hivyo nami nikaamua
kujitafutia vibarua kabla ya mwito wangu katika chuo kikuu.Nilipata kazi
ya mhudumu katika mkahawa pale kayole ingawa malipo yalikua duni sikua
na pasi ila kufanya tu.Nivichange vipesa labda vingenikimu mahali
Fulani.Mkahawa ule ulikua wa mhindi aliyejizolea biashara pale
nakuandika watu kufanya kazi hizo. Ningepaswa kufika kazini mafungulia
ng'ombe nakurejea saa nne usiku kwa kuwa kazi zilitapakaa kote kote.
Siku Moja nilipokuwa katika huduma zangu za kawaida,niliona gari
limeegeshwa pale nje ya mkahawa.Akilini mwangu nilijua kuwa wale ni
wateja wa kawaida.Jizee moja lilisongea karibu nami likitabasamu."Wewe
ndiye Zubena?" Aliniuliza.Nilitikisa kichwa change kuonyesha ni
mimi."Naam mimi ndiye Zubena kuna shida lolote?"niliuliza.Zubena hivi
Leo tunafuraha kufika mahali hapa kwa ajili ya yako.Nina uhakika wazazi
wako wana fahari kuwa na na mwana kama wewe.Kisha akinipokezea kibahasha
na kunieleza nifungue.Alihamdululahi!Sikuamini niliyoona pale.Nilikuwa
nimepewa fursa kusoma chuo kikuu cha kitaifa kule Uisbania,kusomea
udakitari.Serikali ilikua imeteua watahiniwa mia moja waliofuzu
vyema,nikawa miongoni mwao.Jizee like liliniambia niwapeleka kwa wazee
wangu,nilimwomba bosi wangu ruhusa kisha nikaingia kwenye bonge la
gari.Gari la kifahari.Tukampasulia mama mbarika,mama alibaki ameduwaa na
habari hizi.Ama kweli Mungu hamwachi mja wake!
Mama alipata afueni zaidi ya hayo aliyeleta ujumbe huo aliguswa na utu
kwa kuangalia maisha tuliyoishi.Alimnunulia mama konde na kumjengea
nyumba kisha akamfungulia biashara la samaki waliokaangwa kwa
mafuta.Hata hivyo popote niendapo ningekaa na utulivu akilini mwangu
mama yupo salama salmini.
Yote haya yakasalia kama ndoto kwangu.Sikuamini haya.Juhudi zangu
zilifua dafu kwa hakika.Hivi sasa ni safari hii tu niliyosubiria kwa
hamu na ghamu.Hatimaye wakati uliwadia nami nikafungasha safari had I
uhabeshi kuendeleza masomo yangu.Mazingira yae yalikua tulivu
ajabu,usasa na teknolojia ulijidhihiri waziwazi kwa ubunifu wa vyombo
vya usafiri vilivyo kuwa,nilipewa kijumba ambacho ningeishi,nikapewa
simu tamba mpya,mavazi na hata chakula, maisha yalikua mepesi nywe!Nami
nikatia fora masomoni mwangu,nilitafakari mazingira ya pale nilipoishi
na nilipokulia.Ikiwa sasa singetia bidii masomoni mwangu basi tatizo
lingekuwa langu tu.Nilijizatiti nakufuata sheria zote zilizotakikana,
nakufanya wajibu wangu ipasavyo.Nilirauka mapema na kulala usiku
kabisa.Kule wakufunzi wenzagu wangestaajabishwa kwa matokeo
niliyopata.Ijapokuwa hapo awali walinitenga kwa kuwa na ngozi
nyeusi,walistaajabishwa na ueledi wangu vitabuni.Nipo katika ulimwengu
mpya.Sina ufahamu wowote ila tu ni mola na mie, hata imepita kipindi
kirefu sijasemezana na mama,wakati mwingine natamani nirudi kwetu
Afrika.Vyakula vya kitamaduni.Tamasha za muziki.Hali ya anga
tulivu,rafiki zangu niliowaacha.Nabaki kuwafuatilia tu mtandaoni.Ila
najua Siku moja nitapata kuonana nao,lakini nikiwa njmerejea na habari
za kufana.Habari za kufuzu.Niwe daktari bora,daktari mkarabati was
mifupa,daktari hawa ni nadra nchini mwetu.Niokoe watu wangu kutoka
kwenye janga la umasikini niwavushe daraja la imani,niwape matumaini
yanawezekana lakini sitaweza haya yote pasipo Mungu.Ndio mwanzo wa imani
yangu. Mama ametutanguliza kwa dini tungali vikinda nasi twajua pasi
Mungu ni vigumu kufaulu.
Katika kozi yetu nilikutana na kidosho moja.Ameumbwa akumbika.Alinivutia
nikamvutia tukapendana.Lakini hili in tambiko kuu.Napotoka mama
amenikanya kutagusana na wasichana wasio na haiba ya kiafrika. Leo hii
nimekengeukwa.Lakini sasa nimempenda Maldiva.Maldiva hana tashwishi na
ngozi yangu,wala tabaka langu,anapenda nilivyo na uasili wangu anaelewa
japo tu katika ulimwengu tofauti twaweza pendana.Mbona ndugu na Jamaa
zangu walioko Afrika wasione haya. Maldiva amenitambulisha kwa wazee
wake,wakanikumbatia vyema.Nimekuwa mwana wa familia ile. Hivi sasa
tumebakisha miaka miwili tumalize kozi yetu ya udaktari, tunapanga
uchumba wetu kisha tufunganye pingu za maisha.
Bado sijamsimulia mama haya sijui atalichukulia vipi,sijui kamwe.Liwe
liwalo simwachi Maldiva.Nimenaswa kwa penzi lake,siendi pahali Mimi.Hivi
tulipomaliza masomo yetu tulifungasha safari kurudi Afrika mie pamoja na
mchumba wangu tumefunga ndoa na hivyo sisi ni mume na mke
halali.Tulipofika nyumbani kijiji chetu cha madongoporomoko kilikuwa
kibadili kiasi,watu walikua wamejenga nyumba nzuri na kuboresha maisha
yao ya zamani.Nikapata kumjuza mama kwa Maldiva.
Baada ya kipindi kile cha ukaribisho mama aliniita kando kusemezana
nami. Alihuzunika kwa maamuzi niliyoyafanya,"mbona uasi mila yako
mwanangu,hili halifai! ungetafuta msichana wa asili ya kiafrika,ajuaye
kazi za kiafrika,apike vyakula vya kiafrika afuate tamaduni za kiafrika
lakini huyu sasa hatamudu."Alisema mama.Sikutaka kukorofishana na
mama,kwanza ni mama yangu mzazi na ana hila zozote zile za
kunikaripia.Tulifungasha virago vyetu na Maldiva na kurudi zetu Uhabeshi
bila neno. Hata haya sikuwahi Siku moja kumwelezea Maldiva.Tukapata kazi
na kujaliwa na mtoto moja was kike Alma.Alma na mamake walikua maziwa na
tui.Tukaishi kwa furaha hadi kipindi kimoja kitumbua kilipo tumbukia
mchangani.
Askari wawili walinitia pingu na kuniegesha kwenye gari lao.Nilimwona
Maldiva na Alma pale nje ya nyumba.Maldiva amemkumbatia Alma
kifuani.Tena hataki kusemezana nami,nikijaribu kuuliza makosa yangu
siambiwa.Nilipofikishwa mahakamani nilituhumiwa kwa kosa la kumtishia
Maldiva na mwanangu maisha.Niliachishwa kazi na kunyanganywa pesa zote
zilizokuwa kwenye akaunti yangu.Nilichosalia nacho ni paspoti ya kurejea
kwetu Afrika.Ikiwa nimeharibiwa mukabali wangu wa kazi singeweza kufanya
kazi popote pale ningepata.Maldiva akamwoa mtanashati kutoka Uhabeshi na
wakaendeleza familia yao.
Mwenda tenzi na omo marejeo in ngamani.Leo hii mimi Bakari nilieenda
pale na azimio la kubadili maisha yangu.Maamuzi yangu
yamenibadili.Nimekuwa kama mwana mpotevu,natubu mbele za mamangu
aliyenishauri nikatia nta kwenye sikio.Majuto ni mjukuu na huja kinyume.
| Msimulizi alikuwa anamtazama nani kwenye kijumba chao | {
"text": [
"Nzige"
]
} |
4783_swa | KOSA NILILOFANYA
Nikiwa kwenye kijumba chetu kuu kuu mawazo yangu yalizamia ukatani.mle
ambamo nzige alikuwa amenaswa kwenye utandu wa buibui ajaribu kujinasua
ila ameshindwa.Nilikodoa macho yangu kuangalia ikiwa nzige angeweza
kujinasua kutoka kwenye utandu huo.Yamkini alifaulu.Hivi sasa
nilitazamia maisha yetu pale nyumbani yalivyofuka moshi.Niliwaza na
kuwazua jinsi nitakavyo jitoa kwenye utandu huo kama yule nzige.Iweje
nzige mdudu mdogo kama yule ana uwezo was kujinasua kutoka kwenye
utandabui nami niliye na nguvu kikamilifu nishindwe kujinasua kwenye
uozo huu wa umasikini?
Nilitazama kiporo kilichobaki kwenye sufuria na kukivamia ghafla bin
vuu.Kwetu tumezaliwa watatu nami ndiye kitindamimba.Wakubwa wangu
walikua wamekabwa na majukumu mengi kwa kujitosa kwa ndoa za mapema na
pia hawakuwa wamehitimu masomo kwa viwango vya juu.Maisha yao yalikua
kusaka tonge nakutia mdomoni bila kuwazia ya kesho,walikuwa wamezaa wana
wengi,masaibu juu ya masaibu.Hivyo hata Mimi nilikua nasoma kwa juhudi
za mama aliyeuza maboga kwenye kibanda chake kuukuu kule Githurai,Mama
ndiye alikua kichwa cha familia yetu, alishika usukani pande zote akawa
baba Mara na mama wakati moja.Sitaki kumzungumzia baba,maana alikua
mlevi chakari kupindukia,alipiga mtindi kutwa kucha.Alisahau majukumu
yake kama mzazi na kuparamia kwenye dunia ya vileo, hivi sasa kama
kungekuwa na tuzo kwa mlevi shupavu mjini, basi nani angemshinda mzee
malimali?
Malimali ni jina alopewa babangu hasa kutokana na tabia zake za
kujisifu.Alijishaua jinsi alivyokuwa na wana walisomea ngambo na
mashamba makubwa makubwa.Kila jioni baba angeonekana soko la Githurai
akiyumba yumba ja mashua majini.Ameejiendea haja nguoni ananuka fye!Mara
matapiko yammetapakaa kwenye shati lake na hata wakati mwingine mama
angetaarifiwa aje amchukue mume wake aliyejilaza mtaroni.Wakati mwingine
wahisani wema wangembeba hobela hobela hadi maskani mwetu.Kwa kweli
picha hii haikuwa ya kupendeza hasa kijiji chote kilimjua kwa tabia hizi
za ulevi.
Wakati mwingine mle shuleni wanafunzi wangenikejeli kwa visa ambavyo
babangu alifanya na kuviiga mbele ya darasa lakini ndio malimwengu sasa
ningefanya vipi?Ikiwa huo ndio ukweli was mambo.Hivi sasa nilikua kidato
cha pili katika shule ya upili ya Mbuyu.Najitahidi labda mambo yatakuwa
sawa mbeleni.Mara mingi ningefukuzwa shuleni kuleta karo ningekaa
nyumbani kwa kipindi kirefu kabla ya kupata karo.Kilicho wapendeza
walimu ni umakini wangu pale darasani maana nilifuzu vyema masomoni na
kuibuka was kwanza.Hata hivyo lilowashangaza wanafunzi wengi kwa kuwa
ningekaa nyumbani kipindi kirefu kisha nikirejea ningewaonyesha kivumbi.
Baada ya mwaka moja nilikua kidato cha nne nasubiri kuufanya mtihani
wangu was kitaifa.Hayawi hayawi huwa.Mtihani ulifanywa matokeo yakatokea
nikaibuka na alama(A-) katika mtihani wangu was kitaifa.Furaha
iliyoje?Mamangu alifurahi vilivyo lakini sasa shida kubwa ilikuwa kupata
fedha za kuendeleza masomo yangu chuoni.Ikawa mtihani mgumu kwetu
sasa.Hapa sasa mzee Malimali alipata hadithi mpya ya kujishaua nayo.Kila
alipolewa alitangaza barabarani jina langu na maki nilizopata."Mimi nina
daktari kwenye boma langu amepata alama (A-) ananuia kujiunga na chuo
kikuu hak-u-na mtoto ali-ye-mshi-nda katika shule yao.Hivi karibuni
atasafiri na kuenda ng'ambo,nita-uza-za shamba langu lo-ote na kusomesha
mwanangu shule ya ngambo,daktari atasafiri mwezi moja kabla ya kuanza
masomo yake ajivinjari na kubarizi,kutuliza akili yake."Mzee MaliMali
alisema.
Mama alijawa na huzuni maana alijua fika kuwa ni yeye angepaswa
kuwajibika katika kuendeleza masomo yangu.Hivyo nami nikaamua
kujitafutia vibarua kabla ya mwito wangu katika chuo kikuu.Nilipata kazi
ya mhudumu katika mkahawa pale kayole ingawa malipo yalikua duni sikua
na pasi ila kufanya tu.Nivichange vipesa labda vingenikimu mahali
Fulani.Mkahawa ule ulikua wa mhindi aliyejizolea biashara pale
nakuandika watu kufanya kazi hizo. Ningepaswa kufika kazini mafungulia
ng'ombe nakurejea saa nne usiku kwa kuwa kazi zilitapakaa kote kote.
Siku Moja nilipokuwa katika huduma zangu za kawaida,niliona gari
limeegeshwa pale nje ya mkahawa.Akilini mwangu nilijua kuwa wale ni
wateja wa kawaida.Jizee moja lilisongea karibu nami likitabasamu."Wewe
ndiye Zubena?" Aliniuliza.Nilitikisa kichwa change kuonyesha ni
mimi."Naam mimi ndiye Zubena kuna shida lolote?"niliuliza.Zubena hivi
Leo tunafuraha kufika mahali hapa kwa ajili ya yako.Nina uhakika wazazi
wako wana fahari kuwa na na mwana kama wewe.Kisha akinipokezea kibahasha
na kunieleza nifungue.Alihamdululahi!Sikuamini niliyoona pale.Nilikuwa
nimepewa fursa kusoma chuo kikuu cha kitaifa kule Uisbania,kusomea
udakitari.Serikali ilikua imeteua watahiniwa mia moja waliofuzu
vyema,nikawa miongoni mwao.Jizee like liliniambia niwapeleka kwa wazee
wangu,nilimwomba bosi wangu ruhusa kisha nikaingia kwenye bonge la
gari.Gari la kifahari.Tukampasulia mama mbarika,mama alibaki ameduwaa na
habari hizi.Ama kweli Mungu hamwachi mja wake!
Mama alipata afueni zaidi ya hayo aliyeleta ujumbe huo aliguswa na utu
kwa kuangalia maisha tuliyoishi.Alimnunulia mama konde na kumjengea
nyumba kisha akamfungulia biashara la samaki waliokaangwa kwa
mafuta.Hata hivyo popote niendapo ningekaa na utulivu akilini mwangu
mama yupo salama salmini.
Yote haya yakasalia kama ndoto kwangu.Sikuamini haya.Juhudi zangu
zilifua dafu kwa hakika.Hivi sasa ni safari hii tu niliyosubiria kwa
hamu na ghamu.Hatimaye wakati uliwadia nami nikafungasha safari had I
uhabeshi kuendeleza masomo yangu.Mazingira yae yalikua tulivu
ajabu,usasa na teknolojia ulijidhihiri waziwazi kwa ubunifu wa vyombo
vya usafiri vilivyo kuwa,nilipewa kijumba ambacho ningeishi,nikapewa
simu tamba mpya,mavazi na hata chakula, maisha yalikua mepesi nywe!Nami
nikatia fora masomoni mwangu,nilitafakari mazingira ya pale nilipoishi
na nilipokulia.Ikiwa sasa singetia bidii masomoni mwangu basi tatizo
lingekuwa langu tu.Nilijizatiti nakufuata sheria zote zilizotakikana,
nakufanya wajibu wangu ipasavyo.Nilirauka mapema na kulala usiku
kabisa.Kule wakufunzi wenzagu wangestaajabishwa kwa matokeo
niliyopata.Ijapokuwa hapo awali walinitenga kwa kuwa na ngozi
nyeusi,walistaajabishwa na ueledi wangu vitabuni.Nipo katika ulimwengu
mpya.Sina ufahamu wowote ila tu ni mola na mie, hata imepita kipindi
kirefu sijasemezana na mama,wakati mwingine natamani nirudi kwetu
Afrika.Vyakula vya kitamaduni.Tamasha za muziki.Hali ya anga
tulivu,rafiki zangu niliowaacha.Nabaki kuwafuatilia tu mtandaoni.Ila
najua Siku moja nitapata kuonana nao,lakini nikiwa njmerejea na habari
za kufana.Habari za kufuzu.Niwe daktari bora,daktari mkarabati was
mifupa,daktari hawa ni nadra nchini mwetu.Niokoe watu wangu kutoka
kwenye janga la umasikini niwavushe daraja la imani,niwape matumaini
yanawezekana lakini sitaweza haya yote pasipo Mungu.Ndio mwanzo wa imani
yangu. Mama ametutanguliza kwa dini tungali vikinda nasi twajua pasi
Mungu ni vigumu kufaulu.
Katika kozi yetu nilikutana na kidosho moja.Ameumbwa akumbika.Alinivutia
nikamvutia tukapendana.Lakini hili in tambiko kuu.Napotoka mama
amenikanya kutagusana na wasichana wasio na haiba ya kiafrika. Leo hii
nimekengeukwa.Lakini sasa nimempenda Maldiva.Maldiva hana tashwishi na
ngozi yangu,wala tabaka langu,anapenda nilivyo na uasili wangu anaelewa
japo tu katika ulimwengu tofauti twaweza pendana.Mbona ndugu na Jamaa
zangu walioko Afrika wasione haya. Maldiva amenitambulisha kwa wazee
wake,wakanikumbatia vyema.Nimekuwa mwana wa familia ile. Hivi sasa
tumebakisha miaka miwili tumalize kozi yetu ya udaktari, tunapanga
uchumba wetu kisha tufunganye pingu za maisha.
Bado sijamsimulia mama haya sijui atalichukulia vipi,sijui kamwe.Liwe
liwalo simwachi Maldiva.Nimenaswa kwa penzi lake,siendi pahali Mimi.Hivi
tulipomaliza masomo yetu tulifungasha safari kurudi Afrika mie pamoja na
mchumba wangu tumefunga ndoa na hivyo sisi ni mume na mke
halali.Tulipofika nyumbani kijiji chetu cha madongoporomoko kilikuwa
kibadili kiasi,watu walikua wamejenga nyumba nzuri na kuboresha maisha
yao ya zamani.Nikapata kumjuza mama kwa Maldiva.
Baada ya kipindi kile cha ukaribisho mama aliniita kando kusemezana
nami. Alihuzunika kwa maamuzi niliyoyafanya,"mbona uasi mila yako
mwanangu,hili halifai! ungetafuta msichana wa asili ya kiafrika,ajuaye
kazi za kiafrika,apike vyakula vya kiafrika afuate tamaduni za kiafrika
lakini huyu sasa hatamudu."Alisema mama.Sikutaka kukorofishana na
mama,kwanza ni mama yangu mzazi na ana hila zozote zile za
kunikaripia.Tulifungasha virago vyetu na Maldiva na kurudi zetu Uhabeshi
bila neno. Hata haya sikuwahi Siku moja kumwelezea Maldiva.Tukapata kazi
na kujaliwa na mtoto moja was kike Alma.Alma na mamake walikua maziwa na
tui.Tukaishi kwa furaha hadi kipindi kimoja kitumbua kilipo tumbukia
mchangani.
Askari wawili walinitia pingu na kuniegesha kwenye gari lao.Nilimwona
Maldiva na Alma pale nje ya nyumba.Maldiva amemkumbatia Alma
kifuani.Tena hataki kusemezana nami,nikijaribu kuuliza makosa yangu
siambiwa.Nilipofikishwa mahakamani nilituhumiwa kwa kosa la kumtishia
Maldiva na mwanangu maisha.Niliachishwa kazi na kunyanganywa pesa zote
zilizokuwa kwenye akaunti yangu.Nilichosalia nacho ni paspoti ya kurejea
kwetu Afrika.Ikiwa nimeharibiwa mukabali wangu wa kazi singeweza kufanya
kazi popote pale ningepata.Maldiva akamwoa mtanashati kutoka Uhabeshi na
wakaendeleza familia yao.
Mwenda tenzi na omo marejeo in ngamani.Leo hii mimi Bakari nilieenda
pale na azimio la kubadili maisha yangu.Maamuzi yangu
yamenibadili.Nimekuwa kama mwana mpotevu,natubu mbele za mamangu
aliyenishauri nikatia nta kwenye sikio.Majuto ni mjukuu na huja kinyume.
| Msimulizi alikuwa wa ngapi kwao | {
"text": [
"Kitindamimba ~mwisho"
]
} |
4783_swa | KOSA NILILOFANYA
Nikiwa kwenye kijumba chetu kuu kuu mawazo yangu yalizamia ukatani.mle
ambamo nzige alikuwa amenaswa kwenye utandu wa buibui ajaribu kujinasua
ila ameshindwa.Nilikodoa macho yangu kuangalia ikiwa nzige angeweza
kujinasua kutoka kwenye utandu huo.Yamkini alifaulu.Hivi sasa
nilitazamia maisha yetu pale nyumbani yalivyofuka moshi.Niliwaza na
kuwazua jinsi nitakavyo jitoa kwenye utandu huo kama yule nzige.Iweje
nzige mdudu mdogo kama yule ana uwezo was kujinasua kutoka kwenye
utandabui nami niliye na nguvu kikamilifu nishindwe kujinasua kwenye
uozo huu wa umasikini?
Nilitazama kiporo kilichobaki kwenye sufuria na kukivamia ghafla bin
vuu.Kwetu tumezaliwa watatu nami ndiye kitindamimba.Wakubwa wangu
walikua wamekabwa na majukumu mengi kwa kujitosa kwa ndoa za mapema na
pia hawakuwa wamehitimu masomo kwa viwango vya juu.Maisha yao yalikua
kusaka tonge nakutia mdomoni bila kuwazia ya kesho,walikuwa wamezaa wana
wengi,masaibu juu ya masaibu.Hivyo hata Mimi nilikua nasoma kwa juhudi
za mama aliyeuza maboga kwenye kibanda chake kuukuu kule Githurai,Mama
ndiye alikua kichwa cha familia yetu, alishika usukani pande zote akawa
baba Mara na mama wakati moja.Sitaki kumzungumzia baba,maana alikua
mlevi chakari kupindukia,alipiga mtindi kutwa kucha.Alisahau majukumu
yake kama mzazi na kuparamia kwenye dunia ya vileo, hivi sasa kama
kungekuwa na tuzo kwa mlevi shupavu mjini, basi nani angemshinda mzee
malimali?
Malimali ni jina alopewa babangu hasa kutokana na tabia zake za
kujisifu.Alijishaua jinsi alivyokuwa na wana walisomea ngambo na
mashamba makubwa makubwa.Kila jioni baba angeonekana soko la Githurai
akiyumba yumba ja mashua majini.Ameejiendea haja nguoni ananuka fye!Mara
matapiko yammetapakaa kwenye shati lake na hata wakati mwingine mama
angetaarifiwa aje amchukue mume wake aliyejilaza mtaroni.Wakati mwingine
wahisani wema wangembeba hobela hobela hadi maskani mwetu.Kwa kweli
picha hii haikuwa ya kupendeza hasa kijiji chote kilimjua kwa tabia hizi
za ulevi.
Wakati mwingine mle shuleni wanafunzi wangenikejeli kwa visa ambavyo
babangu alifanya na kuviiga mbele ya darasa lakini ndio malimwengu sasa
ningefanya vipi?Ikiwa huo ndio ukweli was mambo.Hivi sasa nilikua kidato
cha pili katika shule ya upili ya Mbuyu.Najitahidi labda mambo yatakuwa
sawa mbeleni.Mara mingi ningefukuzwa shuleni kuleta karo ningekaa
nyumbani kwa kipindi kirefu kabla ya kupata karo.Kilicho wapendeza
walimu ni umakini wangu pale darasani maana nilifuzu vyema masomoni na
kuibuka was kwanza.Hata hivyo lilowashangaza wanafunzi wengi kwa kuwa
ningekaa nyumbani kipindi kirefu kisha nikirejea ningewaonyesha kivumbi.
Baada ya mwaka moja nilikua kidato cha nne nasubiri kuufanya mtihani
wangu was kitaifa.Hayawi hayawi huwa.Mtihani ulifanywa matokeo yakatokea
nikaibuka na alama(A-) katika mtihani wangu was kitaifa.Furaha
iliyoje?Mamangu alifurahi vilivyo lakini sasa shida kubwa ilikuwa kupata
fedha za kuendeleza masomo yangu chuoni.Ikawa mtihani mgumu kwetu
sasa.Hapa sasa mzee Malimali alipata hadithi mpya ya kujishaua nayo.Kila
alipolewa alitangaza barabarani jina langu na maki nilizopata."Mimi nina
daktari kwenye boma langu amepata alama (A-) ananuia kujiunga na chuo
kikuu hak-u-na mtoto ali-ye-mshi-nda katika shule yao.Hivi karibuni
atasafiri na kuenda ng'ambo,nita-uza-za shamba langu lo-ote na kusomesha
mwanangu shule ya ngambo,daktari atasafiri mwezi moja kabla ya kuanza
masomo yake ajivinjari na kubarizi,kutuliza akili yake."Mzee MaliMali
alisema.
Mama alijawa na huzuni maana alijua fika kuwa ni yeye angepaswa
kuwajibika katika kuendeleza masomo yangu.Hivyo nami nikaamua
kujitafutia vibarua kabla ya mwito wangu katika chuo kikuu.Nilipata kazi
ya mhudumu katika mkahawa pale kayole ingawa malipo yalikua duni sikua
na pasi ila kufanya tu.Nivichange vipesa labda vingenikimu mahali
Fulani.Mkahawa ule ulikua wa mhindi aliyejizolea biashara pale
nakuandika watu kufanya kazi hizo. Ningepaswa kufika kazini mafungulia
ng'ombe nakurejea saa nne usiku kwa kuwa kazi zilitapakaa kote kote.
Siku Moja nilipokuwa katika huduma zangu za kawaida,niliona gari
limeegeshwa pale nje ya mkahawa.Akilini mwangu nilijua kuwa wale ni
wateja wa kawaida.Jizee moja lilisongea karibu nami likitabasamu."Wewe
ndiye Zubena?" Aliniuliza.Nilitikisa kichwa change kuonyesha ni
mimi."Naam mimi ndiye Zubena kuna shida lolote?"niliuliza.Zubena hivi
Leo tunafuraha kufika mahali hapa kwa ajili ya yako.Nina uhakika wazazi
wako wana fahari kuwa na na mwana kama wewe.Kisha akinipokezea kibahasha
na kunieleza nifungue.Alihamdululahi!Sikuamini niliyoona pale.Nilikuwa
nimepewa fursa kusoma chuo kikuu cha kitaifa kule Uisbania,kusomea
udakitari.Serikali ilikua imeteua watahiniwa mia moja waliofuzu
vyema,nikawa miongoni mwao.Jizee like liliniambia niwapeleka kwa wazee
wangu,nilimwomba bosi wangu ruhusa kisha nikaingia kwenye bonge la
gari.Gari la kifahari.Tukampasulia mama mbarika,mama alibaki ameduwaa na
habari hizi.Ama kweli Mungu hamwachi mja wake!
Mama alipata afueni zaidi ya hayo aliyeleta ujumbe huo aliguswa na utu
kwa kuangalia maisha tuliyoishi.Alimnunulia mama konde na kumjengea
nyumba kisha akamfungulia biashara la samaki waliokaangwa kwa
mafuta.Hata hivyo popote niendapo ningekaa na utulivu akilini mwangu
mama yupo salama salmini.
Yote haya yakasalia kama ndoto kwangu.Sikuamini haya.Juhudi zangu
zilifua dafu kwa hakika.Hivi sasa ni safari hii tu niliyosubiria kwa
hamu na ghamu.Hatimaye wakati uliwadia nami nikafungasha safari had I
uhabeshi kuendeleza masomo yangu.Mazingira yae yalikua tulivu
ajabu,usasa na teknolojia ulijidhihiri waziwazi kwa ubunifu wa vyombo
vya usafiri vilivyo kuwa,nilipewa kijumba ambacho ningeishi,nikapewa
simu tamba mpya,mavazi na hata chakula, maisha yalikua mepesi nywe!Nami
nikatia fora masomoni mwangu,nilitafakari mazingira ya pale nilipoishi
na nilipokulia.Ikiwa sasa singetia bidii masomoni mwangu basi tatizo
lingekuwa langu tu.Nilijizatiti nakufuata sheria zote zilizotakikana,
nakufanya wajibu wangu ipasavyo.Nilirauka mapema na kulala usiku
kabisa.Kule wakufunzi wenzagu wangestaajabishwa kwa matokeo
niliyopata.Ijapokuwa hapo awali walinitenga kwa kuwa na ngozi
nyeusi,walistaajabishwa na ueledi wangu vitabuni.Nipo katika ulimwengu
mpya.Sina ufahamu wowote ila tu ni mola na mie, hata imepita kipindi
kirefu sijasemezana na mama,wakati mwingine natamani nirudi kwetu
Afrika.Vyakula vya kitamaduni.Tamasha za muziki.Hali ya anga
tulivu,rafiki zangu niliowaacha.Nabaki kuwafuatilia tu mtandaoni.Ila
najua Siku moja nitapata kuonana nao,lakini nikiwa njmerejea na habari
za kufana.Habari za kufuzu.Niwe daktari bora,daktari mkarabati was
mifupa,daktari hawa ni nadra nchini mwetu.Niokoe watu wangu kutoka
kwenye janga la umasikini niwavushe daraja la imani,niwape matumaini
yanawezekana lakini sitaweza haya yote pasipo Mungu.Ndio mwanzo wa imani
yangu. Mama ametutanguliza kwa dini tungali vikinda nasi twajua pasi
Mungu ni vigumu kufaulu.
Katika kozi yetu nilikutana na kidosho moja.Ameumbwa akumbika.Alinivutia
nikamvutia tukapendana.Lakini hili in tambiko kuu.Napotoka mama
amenikanya kutagusana na wasichana wasio na haiba ya kiafrika. Leo hii
nimekengeukwa.Lakini sasa nimempenda Maldiva.Maldiva hana tashwishi na
ngozi yangu,wala tabaka langu,anapenda nilivyo na uasili wangu anaelewa
japo tu katika ulimwengu tofauti twaweza pendana.Mbona ndugu na Jamaa
zangu walioko Afrika wasione haya. Maldiva amenitambulisha kwa wazee
wake,wakanikumbatia vyema.Nimekuwa mwana wa familia ile. Hivi sasa
tumebakisha miaka miwili tumalize kozi yetu ya udaktari, tunapanga
uchumba wetu kisha tufunganye pingu za maisha.
Bado sijamsimulia mama haya sijui atalichukulia vipi,sijui kamwe.Liwe
liwalo simwachi Maldiva.Nimenaswa kwa penzi lake,siendi pahali Mimi.Hivi
tulipomaliza masomo yetu tulifungasha safari kurudi Afrika mie pamoja na
mchumba wangu tumefunga ndoa na hivyo sisi ni mume na mke
halali.Tulipofika nyumbani kijiji chetu cha madongoporomoko kilikuwa
kibadili kiasi,watu walikua wamejenga nyumba nzuri na kuboresha maisha
yao ya zamani.Nikapata kumjuza mama kwa Maldiva.
Baada ya kipindi kile cha ukaribisho mama aliniita kando kusemezana
nami. Alihuzunika kwa maamuzi niliyoyafanya,"mbona uasi mila yako
mwanangu,hili halifai! ungetafuta msichana wa asili ya kiafrika,ajuaye
kazi za kiafrika,apike vyakula vya kiafrika afuate tamaduni za kiafrika
lakini huyu sasa hatamudu."Alisema mama.Sikutaka kukorofishana na
mama,kwanza ni mama yangu mzazi na ana hila zozote zile za
kunikaripia.Tulifungasha virago vyetu na Maldiva na kurudi zetu Uhabeshi
bila neno. Hata haya sikuwahi Siku moja kumwelezea Maldiva.Tukapata kazi
na kujaliwa na mtoto moja was kike Alma.Alma na mamake walikua maziwa na
tui.Tukaishi kwa furaha hadi kipindi kimoja kitumbua kilipo tumbukia
mchangani.
Askari wawili walinitia pingu na kuniegesha kwenye gari lao.Nilimwona
Maldiva na Alma pale nje ya nyumba.Maldiva amemkumbatia Alma
kifuani.Tena hataki kusemezana nami,nikijaribu kuuliza makosa yangu
siambiwa.Nilipofikishwa mahakamani nilituhumiwa kwa kosa la kumtishia
Maldiva na mwanangu maisha.Niliachishwa kazi na kunyanganywa pesa zote
zilizokuwa kwenye akaunti yangu.Nilichosalia nacho ni paspoti ya kurejea
kwetu Afrika.Ikiwa nimeharibiwa mukabali wangu wa kazi singeweza kufanya
kazi popote pale ningepata.Maldiva akamwoa mtanashati kutoka Uhabeshi na
wakaendeleza familia yao.
Mwenda tenzi na omo marejeo in ngamani.Leo hii mimi Bakari nilieenda
pale na azimio la kubadili maisha yangu.Maamuzi yangu
yamenibadili.Nimekuwa kama mwana mpotevu,natubu mbele za mamangu
aliyenishauri nikatia nta kwenye sikio.Majuto ni mjukuu na huja kinyume.
| Msimulizi kwao walizaliwa wangapi | {
"text": [
"Watatu"
]
} |
4783_swa | KOSA NILILOFANYA
Nikiwa kwenye kijumba chetu kuu kuu mawazo yangu yalizamia ukatani.mle
ambamo nzige alikuwa amenaswa kwenye utandu wa buibui ajaribu kujinasua
ila ameshindwa.Nilikodoa macho yangu kuangalia ikiwa nzige angeweza
kujinasua kutoka kwenye utandu huo.Yamkini alifaulu.Hivi sasa
nilitazamia maisha yetu pale nyumbani yalivyofuka moshi.Niliwaza na
kuwazua jinsi nitakavyo jitoa kwenye utandu huo kama yule nzige.Iweje
nzige mdudu mdogo kama yule ana uwezo was kujinasua kutoka kwenye
utandabui nami niliye na nguvu kikamilifu nishindwe kujinasua kwenye
uozo huu wa umasikini?
Nilitazama kiporo kilichobaki kwenye sufuria na kukivamia ghafla bin
vuu.Kwetu tumezaliwa watatu nami ndiye kitindamimba.Wakubwa wangu
walikua wamekabwa na majukumu mengi kwa kujitosa kwa ndoa za mapema na
pia hawakuwa wamehitimu masomo kwa viwango vya juu.Maisha yao yalikua
kusaka tonge nakutia mdomoni bila kuwazia ya kesho,walikuwa wamezaa wana
wengi,masaibu juu ya masaibu.Hivyo hata Mimi nilikua nasoma kwa juhudi
za mama aliyeuza maboga kwenye kibanda chake kuukuu kule Githurai,Mama
ndiye alikua kichwa cha familia yetu, alishika usukani pande zote akawa
baba Mara na mama wakati moja.Sitaki kumzungumzia baba,maana alikua
mlevi chakari kupindukia,alipiga mtindi kutwa kucha.Alisahau majukumu
yake kama mzazi na kuparamia kwenye dunia ya vileo, hivi sasa kama
kungekuwa na tuzo kwa mlevi shupavu mjini, basi nani angemshinda mzee
malimali?
Malimali ni jina alopewa babangu hasa kutokana na tabia zake za
kujisifu.Alijishaua jinsi alivyokuwa na wana walisomea ngambo na
mashamba makubwa makubwa.Kila jioni baba angeonekana soko la Githurai
akiyumba yumba ja mashua majini.Ameejiendea haja nguoni ananuka fye!Mara
matapiko yammetapakaa kwenye shati lake na hata wakati mwingine mama
angetaarifiwa aje amchukue mume wake aliyejilaza mtaroni.Wakati mwingine
wahisani wema wangembeba hobela hobela hadi maskani mwetu.Kwa kweli
picha hii haikuwa ya kupendeza hasa kijiji chote kilimjua kwa tabia hizi
za ulevi.
Wakati mwingine mle shuleni wanafunzi wangenikejeli kwa visa ambavyo
babangu alifanya na kuviiga mbele ya darasa lakini ndio malimwengu sasa
ningefanya vipi?Ikiwa huo ndio ukweli was mambo.Hivi sasa nilikua kidato
cha pili katika shule ya upili ya Mbuyu.Najitahidi labda mambo yatakuwa
sawa mbeleni.Mara mingi ningefukuzwa shuleni kuleta karo ningekaa
nyumbani kwa kipindi kirefu kabla ya kupata karo.Kilicho wapendeza
walimu ni umakini wangu pale darasani maana nilifuzu vyema masomoni na
kuibuka was kwanza.Hata hivyo lilowashangaza wanafunzi wengi kwa kuwa
ningekaa nyumbani kipindi kirefu kisha nikirejea ningewaonyesha kivumbi.
Baada ya mwaka moja nilikua kidato cha nne nasubiri kuufanya mtihani
wangu was kitaifa.Hayawi hayawi huwa.Mtihani ulifanywa matokeo yakatokea
nikaibuka na alama(A-) katika mtihani wangu was kitaifa.Furaha
iliyoje?Mamangu alifurahi vilivyo lakini sasa shida kubwa ilikuwa kupata
fedha za kuendeleza masomo yangu chuoni.Ikawa mtihani mgumu kwetu
sasa.Hapa sasa mzee Malimali alipata hadithi mpya ya kujishaua nayo.Kila
alipolewa alitangaza barabarani jina langu na maki nilizopata."Mimi nina
daktari kwenye boma langu amepata alama (A-) ananuia kujiunga na chuo
kikuu hak-u-na mtoto ali-ye-mshi-nda katika shule yao.Hivi karibuni
atasafiri na kuenda ng'ambo,nita-uza-za shamba langu lo-ote na kusomesha
mwanangu shule ya ngambo,daktari atasafiri mwezi moja kabla ya kuanza
masomo yake ajivinjari na kubarizi,kutuliza akili yake."Mzee MaliMali
alisema.
Mama alijawa na huzuni maana alijua fika kuwa ni yeye angepaswa
kuwajibika katika kuendeleza masomo yangu.Hivyo nami nikaamua
kujitafutia vibarua kabla ya mwito wangu katika chuo kikuu.Nilipata kazi
ya mhudumu katika mkahawa pale kayole ingawa malipo yalikua duni sikua
na pasi ila kufanya tu.Nivichange vipesa labda vingenikimu mahali
Fulani.Mkahawa ule ulikua wa mhindi aliyejizolea biashara pale
nakuandika watu kufanya kazi hizo. Ningepaswa kufika kazini mafungulia
ng'ombe nakurejea saa nne usiku kwa kuwa kazi zilitapakaa kote kote.
Siku Moja nilipokuwa katika huduma zangu za kawaida,niliona gari
limeegeshwa pale nje ya mkahawa.Akilini mwangu nilijua kuwa wale ni
wateja wa kawaida.Jizee moja lilisongea karibu nami likitabasamu."Wewe
ndiye Zubena?" Aliniuliza.Nilitikisa kichwa change kuonyesha ni
mimi."Naam mimi ndiye Zubena kuna shida lolote?"niliuliza.Zubena hivi
Leo tunafuraha kufika mahali hapa kwa ajili ya yako.Nina uhakika wazazi
wako wana fahari kuwa na na mwana kama wewe.Kisha akinipokezea kibahasha
na kunieleza nifungue.Alihamdululahi!Sikuamini niliyoona pale.Nilikuwa
nimepewa fursa kusoma chuo kikuu cha kitaifa kule Uisbania,kusomea
udakitari.Serikali ilikua imeteua watahiniwa mia moja waliofuzu
vyema,nikawa miongoni mwao.Jizee like liliniambia niwapeleka kwa wazee
wangu,nilimwomba bosi wangu ruhusa kisha nikaingia kwenye bonge la
gari.Gari la kifahari.Tukampasulia mama mbarika,mama alibaki ameduwaa na
habari hizi.Ama kweli Mungu hamwachi mja wake!
Mama alipata afueni zaidi ya hayo aliyeleta ujumbe huo aliguswa na utu
kwa kuangalia maisha tuliyoishi.Alimnunulia mama konde na kumjengea
nyumba kisha akamfungulia biashara la samaki waliokaangwa kwa
mafuta.Hata hivyo popote niendapo ningekaa na utulivu akilini mwangu
mama yupo salama salmini.
Yote haya yakasalia kama ndoto kwangu.Sikuamini haya.Juhudi zangu
zilifua dafu kwa hakika.Hivi sasa ni safari hii tu niliyosubiria kwa
hamu na ghamu.Hatimaye wakati uliwadia nami nikafungasha safari had I
uhabeshi kuendeleza masomo yangu.Mazingira yae yalikua tulivu
ajabu,usasa na teknolojia ulijidhihiri waziwazi kwa ubunifu wa vyombo
vya usafiri vilivyo kuwa,nilipewa kijumba ambacho ningeishi,nikapewa
simu tamba mpya,mavazi na hata chakula, maisha yalikua mepesi nywe!Nami
nikatia fora masomoni mwangu,nilitafakari mazingira ya pale nilipoishi
na nilipokulia.Ikiwa sasa singetia bidii masomoni mwangu basi tatizo
lingekuwa langu tu.Nilijizatiti nakufuata sheria zote zilizotakikana,
nakufanya wajibu wangu ipasavyo.Nilirauka mapema na kulala usiku
kabisa.Kule wakufunzi wenzagu wangestaajabishwa kwa matokeo
niliyopata.Ijapokuwa hapo awali walinitenga kwa kuwa na ngozi
nyeusi,walistaajabishwa na ueledi wangu vitabuni.Nipo katika ulimwengu
mpya.Sina ufahamu wowote ila tu ni mola na mie, hata imepita kipindi
kirefu sijasemezana na mama,wakati mwingine natamani nirudi kwetu
Afrika.Vyakula vya kitamaduni.Tamasha za muziki.Hali ya anga
tulivu,rafiki zangu niliowaacha.Nabaki kuwafuatilia tu mtandaoni.Ila
najua Siku moja nitapata kuonana nao,lakini nikiwa njmerejea na habari
za kufana.Habari za kufuzu.Niwe daktari bora,daktari mkarabati was
mifupa,daktari hawa ni nadra nchini mwetu.Niokoe watu wangu kutoka
kwenye janga la umasikini niwavushe daraja la imani,niwape matumaini
yanawezekana lakini sitaweza haya yote pasipo Mungu.Ndio mwanzo wa imani
yangu. Mama ametutanguliza kwa dini tungali vikinda nasi twajua pasi
Mungu ni vigumu kufaulu.
Katika kozi yetu nilikutana na kidosho moja.Ameumbwa akumbika.Alinivutia
nikamvutia tukapendana.Lakini hili in tambiko kuu.Napotoka mama
amenikanya kutagusana na wasichana wasio na haiba ya kiafrika. Leo hii
nimekengeukwa.Lakini sasa nimempenda Maldiva.Maldiva hana tashwishi na
ngozi yangu,wala tabaka langu,anapenda nilivyo na uasili wangu anaelewa
japo tu katika ulimwengu tofauti twaweza pendana.Mbona ndugu na Jamaa
zangu walioko Afrika wasione haya. Maldiva amenitambulisha kwa wazee
wake,wakanikumbatia vyema.Nimekuwa mwana wa familia ile. Hivi sasa
tumebakisha miaka miwili tumalize kozi yetu ya udaktari, tunapanga
uchumba wetu kisha tufunganye pingu za maisha.
Bado sijamsimulia mama haya sijui atalichukulia vipi,sijui kamwe.Liwe
liwalo simwachi Maldiva.Nimenaswa kwa penzi lake,siendi pahali Mimi.Hivi
tulipomaliza masomo yetu tulifungasha safari kurudi Afrika mie pamoja na
mchumba wangu tumefunga ndoa na hivyo sisi ni mume na mke
halali.Tulipofika nyumbani kijiji chetu cha madongoporomoko kilikuwa
kibadili kiasi,watu walikua wamejenga nyumba nzuri na kuboresha maisha
yao ya zamani.Nikapata kumjuza mama kwa Maldiva.
Baada ya kipindi kile cha ukaribisho mama aliniita kando kusemezana
nami. Alihuzunika kwa maamuzi niliyoyafanya,"mbona uasi mila yako
mwanangu,hili halifai! ungetafuta msichana wa asili ya kiafrika,ajuaye
kazi za kiafrika,apike vyakula vya kiafrika afuate tamaduni za kiafrika
lakini huyu sasa hatamudu."Alisema mama.Sikutaka kukorofishana na
mama,kwanza ni mama yangu mzazi na ana hila zozote zile za
kunikaripia.Tulifungasha virago vyetu na Maldiva na kurudi zetu Uhabeshi
bila neno. Hata haya sikuwahi Siku moja kumwelezea Maldiva.Tukapata kazi
na kujaliwa na mtoto moja was kike Alma.Alma na mamake walikua maziwa na
tui.Tukaishi kwa furaha hadi kipindi kimoja kitumbua kilipo tumbukia
mchangani.
Askari wawili walinitia pingu na kuniegesha kwenye gari lao.Nilimwona
Maldiva na Alma pale nje ya nyumba.Maldiva amemkumbatia Alma
kifuani.Tena hataki kusemezana nami,nikijaribu kuuliza makosa yangu
siambiwa.Nilipofikishwa mahakamani nilituhumiwa kwa kosa la kumtishia
Maldiva na mwanangu maisha.Niliachishwa kazi na kunyanganywa pesa zote
zilizokuwa kwenye akaunti yangu.Nilichosalia nacho ni paspoti ya kurejea
kwetu Afrika.Ikiwa nimeharibiwa mukabali wangu wa kazi singeweza kufanya
kazi popote pale ningepata.Maldiva akamwoa mtanashati kutoka Uhabeshi na
wakaendeleza familia yao.
Mwenda tenzi na omo marejeo in ngamani.Leo hii mimi Bakari nilieenda
pale na azimio la kubadili maisha yangu.Maamuzi yangu
yamenibadili.Nimekuwa kama mwana mpotevu,natubu mbele za mamangu
aliyenishauri nikatia nta kwenye sikio.Majuto ni mjukuu na huja kinyume.
| Malimali alikuwa nani | {
"text": [
"Babake msimulizi"
]
} |
4784_swa | MNYONGE MSONGE
Mtungi wa rangi ya njano uliochakaa ulijikunyata kwa kilio jikoni.
Matundu makubwa yaliutamalaki huku weusi wa masizi ya moshi wa kuni
ukaugubika uso wake. Zainati, aliyeonekana kuwa na haraka aliuburura
mtungi huo na kuupeleka kwenye ua wa nyumba. Huku akiimbaimba wimbo
maarufu wa taarabu uitwao ‘ mja hunifaidishi’, alikivuta kikapu cha nguo
chafu na kuzikagua . Alikuwa anaweka nyeupe kando na za rangi kando .
Zainati aliukalia mtungi nao ukatoa sauti ya kulalama kwa kuwa mkaaji
alikuwa na makalio si haba. Ni umbile lilo hilo ndilo lililomfanya Mzee
Mambo amwoe kama mke wa pili na kumpuuza mkewe wa kwanza. Anga
ilitamalaki sauti tamu ya mwimbaji na michekecho ya nguo ndani ya beseni
la maji. Mwimbaji mwenyewe alikua ameubebedua mdomo wake huku kope zake
za bandia zikipepesuka kwa upepo na kumfanya kama anayetaka kupaa
angani.
Batuli aliyekuwa na mkungu wa ndizi kichwani alijipitia zake ili aingie
ndani angalau awachemshie wanawe chamcha. Zainati akachefukwa na kupaza
sauti akisema ‘’ Utabaki kula midizi umee misuli ya kiume ikuumbue bure,
mie mwenzio laini kama bata, ulaji wangu tende na halua!’’ Batuli
alimlaani shetani na kuufunga mdomo wake akajiendea zake jikoni
kuzimenya ndizi zake. Alikuwa mke wa kwanza wa mzee Mambo na
aliyejitenga na shari zote. Alikuwa amechoshwa na vitimbi vya mke mwenza
ila alijikaza kuvumilia. Mzee Mambo mwenyewe alikuwa hamhudumii kwa
lolote licha ya kuwa ni mkewe. Pesa zote zilimiminwa kwa huyo kipenzi
chake Zainati. Apeweje pesa ilhali alikuwa mwanamke wa kizamani tena
asiyeujua usasa? Umbile lake lenyewe liliambulia uhafifu baada ya
kujifungua mapacha wake Ali na Aliya. Ngozi yake ilipauka kwa kuwa hata
mafuta ya kujipaka alikosa. Visenti alivyovipata katika biashara yake ya
ndizi huko sokoni Ulingo alivitumia kuwalipia wanawe ada ya twisheni
iliyokuwa ikitozwa shuleni.
Batuli alikuwa ameshachemsha ndizi akaamua kuchambua vidagaa vyake
alivyokuwa amevibakiza ili avifanye mboga na kuvisongea ugali wa jioni.
Zainati naye alikuwa amekwishamaliza kufua na kuja jikoni na bakuli lake
la nyama. Kwa makusudi, akakaa karibu na Batuli huku akiikatakata nyama
yake akivitazama vidagaa vya mwenzake. Kicheko kikubwa kilimtoka
kinywani huku akisema ‘’Nikila manofu mwenzangu wala misumari ya bati!’’
Kwa kujipitishapitisha pale jikoni, Zainati akalipiga kumbo sinia la
vidagaa, mboga za mwenzake zikaanguka chini na kisha akaipindua sufuria
ya ndizi chini zikaambulia mchanga. Machozi yakampukutika Batuli akawa
hawezi kujizuia tena. Alivurumisha ngumi ikampata zainati sambamba
usoni. Zainati alipepesuka na kuanguka chini huku kisketi chake
kikipanda juu na kumwacha nusu uchi. Zainati aliinuka upesi na kuyaendea
maji ya moto yliyokuwa yasongewe ugali na Batuli. Kwa hasira,
aliyamimina maji hayo usoni mwa Batuli aliyekuwa anapiga kelele huku
maji yakauteketeza uso wake na kuacha madonda mabichi.
Ali na Aliya walifika nyumbani kutoka shuleni na wakaanza kumlilia mama
yao aliyekuwa akigaagaa chini kwa maumivu. Ali alikimbia kumwita Jirani
yao mama Paulo aliyekuja haraka na dawa yake ya kibulushi na kumpaka
Batuli usoni. Chapuchapu, Bakari mchuuza matunda akaagizwa alete
mkokoteni wake alimotiwa ndani Batuli na kukimbizwa hospitali ya
Milimani kwa matibabu. Msamaria mwema huko njiani aliamua kugharamikia
matibabu ya Batuli aliyelazwa kwa wiki moja nao wanawe wakaishi kwa mama
Paulo. Batuli alirudi nyumbani akiwa na makovu usoni na vidonda ambavyo
vilikuwa katika hali mbaya. Batuli alipitia kwa chifu Pinda kumshitaki
Zainati ili atendewe haki.
Chifu Pinda aliyasikiza mashtaka ya Batuli na kisha kuita kikao kati ya
Batuli, zainati na mzee Mambo. Vikao viliendelea kwa siku nyingi bila
kesi kuamuliwa. Siku moja, Zainati alimjia chifu Pinda usiku akiwa
amevalia mavazi yaso heshima. Alimpa chifu Pinda uroda kama hongo
afutilie mbali kesi yake na Batuli. Siku ya Ijumaa ambapo kesi ilikuwa
iamuliwe ilifika nao kina Batuli wakakusanyika. Bwana chifu aliyekuwa
tambo la mtu aliyevalia kikoi kilichodhihirisha kitambi chake,
aliishikilia bakora yake na kusimama. Kisha alisema ‘’ kesi hii inahusu
mambo ya kinyumbani ya wanawake ambayo mnapaswa kutatua nyumbani. Sina
muda wa kuamua vikesi vidogo. Mimi ni mtu mwenye majukumu mengi ya
kiserikali. Ondokeni msije kuniua kabla ya siku zangu!’’ Batuli
alishangazwa na maneno ya chifu akafungua kinywa ili aongee mara ,’’
usijaribu kuinua mdomo wako kelbu we, mambo ya kinyumbani hayo, nenda
mama nsije kukutimua kwa sime!’’
Kwa simanzi Batuli alijiondoa kuelekea nyumbani. Zainati na mzee Mambo
nao walitembea wakishikana mikono kudhihirisha mahaba yao. Mara
washikane kidevu, mara wavutanevutane, mara wasukumane huku Zainati
akikimbiakimbia, ilimradi tu wamuudhi Batuli. Batuli alielekea kwa
Jirani yake mama Paulo aliyemketisha chini na kumpa maneno ya busara. ‘’
Dada yangu Batuli, pulika tena usiyapuuze ninayokwambia mdogo wangu.
Usikitafute kifo kutoka kwa walimwengu. Inusuru roho yako na watoto
wako. Mzee Mambo na mkewe ni hayawani , beba vilivyo vyako uende zako
Shinyanga iliko familia yako. Watakuua!’’ Batuli aliyaunga mkono maneno
ya rafikiye na jioni ya siku hiyo alionekana na kikapu chake cha nguo
pamoja na wanawe, akichana vijia na kutokomea kuelekea kwao alikozaliwa,
ambako hakuwahi kufukuzwa na yeyote hadi akaondoka kwa hiari yake
alipoolewa. Katu hakutundwa mtini, yeye pia alikuwa na kwao alikozaliwa.
| Nani aliburura mtungi | {
"text": [
"Zainati"
]
} |
4784_swa | MNYONGE MSONGE
Mtungi wa rangi ya njano uliochakaa ulijikunyata kwa kilio jikoni.
Matundu makubwa yaliutamalaki huku weusi wa masizi ya moshi wa kuni
ukaugubika uso wake. Zainati, aliyeonekana kuwa na haraka aliuburura
mtungi huo na kuupeleka kwenye ua wa nyumba. Huku akiimbaimba wimbo
maarufu wa taarabu uitwao ‘ mja hunifaidishi’, alikivuta kikapu cha nguo
chafu na kuzikagua . Alikuwa anaweka nyeupe kando na za rangi kando .
Zainati aliukalia mtungi nao ukatoa sauti ya kulalama kwa kuwa mkaaji
alikuwa na makalio si haba. Ni umbile lilo hilo ndilo lililomfanya Mzee
Mambo amwoe kama mke wa pili na kumpuuza mkewe wa kwanza. Anga
ilitamalaki sauti tamu ya mwimbaji na michekecho ya nguo ndani ya beseni
la maji. Mwimbaji mwenyewe alikua ameubebedua mdomo wake huku kope zake
za bandia zikipepesuka kwa upepo na kumfanya kama anayetaka kupaa
angani.
Batuli aliyekuwa na mkungu wa ndizi kichwani alijipitia zake ili aingie
ndani angalau awachemshie wanawe chamcha. Zainati akachefukwa na kupaza
sauti akisema ‘’ Utabaki kula midizi umee misuli ya kiume ikuumbue bure,
mie mwenzio laini kama bata, ulaji wangu tende na halua!’’ Batuli
alimlaani shetani na kuufunga mdomo wake akajiendea zake jikoni
kuzimenya ndizi zake. Alikuwa mke wa kwanza wa mzee Mambo na
aliyejitenga na shari zote. Alikuwa amechoshwa na vitimbi vya mke mwenza
ila alijikaza kuvumilia. Mzee Mambo mwenyewe alikuwa hamhudumii kwa
lolote licha ya kuwa ni mkewe. Pesa zote zilimiminwa kwa huyo kipenzi
chake Zainati. Apeweje pesa ilhali alikuwa mwanamke wa kizamani tena
asiyeujua usasa? Umbile lake lenyewe liliambulia uhafifu baada ya
kujifungua mapacha wake Ali na Aliya. Ngozi yake ilipauka kwa kuwa hata
mafuta ya kujipaka alikosa. Visenti alivyovipata katika biashara yake ya
ndizi huko sokoni Ulingo alivitumia kuwalipia wanawe ada ya twisheni
iliyokuwa ikitozwa shuleni.
Batuli alikuwa ameshachemsha ndizi akaamua kuchambua vidagaa vyake
alivyokuwa amevibakiza ili avifanye mboga na kuvisongea ugali wa jioni.
Zainati naye alikuwa amekwishamaliza kufua na kuja jikoni na bakuli lake
la nyama. Kwa makusudi, akakaa karibu na Batuli huku akiikatakata nyama
yake akivitazama vidagaa vya mwenzake. Kicheko kikubwa kilimtoka
kinywani huku akisema ‘’Nikila manofu mwenzangu wala misumari ya bati!’’
Kwa kujipitishapitisha pale jikoni, Zainati akalipiga kumbo sinia la
vidagaa, mboga za mwenzake zikaanguka chini na kisha akaipindua sufuria
ya ndizi chini zikaambulia mchanga. Machozi yakampukutika Batuli akawa
hawezi kujizuia tena. Alivurumisha ngumi ikampata zainati sambamba
usoni. Zainati alipepesuka na kuanguka chini huku kisketi chake
kikipanda juu na kumwacha nusu uchi. Zainati aliinuka upesi na kuyaendea
maji ya moto yliyokuwa yasongewe ugali na Batuli. Kwa hasira,
aliyamimina maji hayo usoni mwa Batuli aliyekuwa anapiga kelele huku
maji yakauteketeza uso wake na kuacha madonda mabichi.
Ali na Aliya walifika nyumbani kutoka shuleni na wakaanza kumlilia mama
yao aliyekuwa akigaagaa chini kwa maumivu. Ali alikimbia kumwita Jirani
yao mama Paulo aliyekuja haraka na dawa yake ya kibulushi na kumpaka
Batuli usoni. Chapuchapu, Bakari mchuuza matunda akaagizwa alete
mkokoteni wake alimotiwa ndani Batuli na kukimbizwa hospitali ya
Milimani kwa matibabu. Msamaria mwema huko njiani aliamua kugharamikia
matibabu ya Batuli aliyelazwa kwa wiki moja nao wanawe wakaishi kwa mama
Paulo. Batuli alirudi nyumbani akiwa na makovu usoni na vidonda ambavyo
vilikuwa katika hali mbaya. Batuli alipitia kwa chifu Pinda kumshitaki
Zainati ili atendewe haki.
Chifu Pinda aliyasikiza mashtaka ya Batuli na kisha kuita kikao kati ya
Batuli, zainati na mzee Mambo. Vikao viliendelea kwa siku nyingi bila
kesi kuamuliwa. Siku moja, Zainati alimjia chifu Pinda usiku akiwa
amevalia mavazi yaso heshima. Alimpa chifu Pinda uroda kama hongo
afutilie mbali kesi yake na Batuli. Siku ya Ijumaa ambapo kesi ilikuwa
iamuliwe ilifika nao kina Batuli wakakusanyika. Bwana chifu aliyekuwa
tambo la mtu aliyevalia kikoi kilichodhihirisha kitambi chake,
aliishikilia bakora yake na kusimama. Kisha alisema ‘’ kesi hii inahusu
mambo ya kinyumbani ya wanawake ambayo mnapaswa kutatua nyumbani. Sina
muda wa kuamua vikesi vidogo. Mimi ni mtu mwenye majukumu mengi ya
kiserikali. Ondokeni msije kuniua kabla ya siku zangu!’’ Batuli
alishangazwa na maneno ya chifu akafungua kinywa ili aongee mara ,’’
usijaribu kuinua mdomo wako kelbu we, mambo ya kinyumbani hayo, nenda
mama nsije kukutimua kwa sime!’’
Kwa simanzi Batuli alijiondoa kuelekea nyumbani. Zainati na mzee Mambo
nao walitembea wakishikana mikono kudhihirisha mahaba yao. Mara
washikane kidevu, mara wavutanevutane, mara wasukumane huku Zainati
akikimbiakimbia, ilimradi tu wamuudhi Batuli. Batuli alielekea kwa
Jirani yake mama Paulo aliyemketisha chini na kumpa maneno ya busara. ‘’
Dada yangu Batuli, pulika tena usiyapuuze ninayokwambia mdogo wangu.
Usikitafute kifo kutoka kwa walimwengu. Inusuru roho yako na watoto
wako. Mzee Mambo na mkewe ni hayawani , beba vilivyo vyako uende zako
Shinyanga iliko familia yako. Watakuua!’’ Batuli aliyaunga mkono maneno
ya rafikiye na jioni ya siku hiyo alionekana na kikapu chake cha nguo
pamoja na wanawe, akichana vijia na kutokomea kuelekea kwao alikozaliwa,
ambako hakuwahi kufukuzwa na yeyote hadi akaondoka kwa hiari yake
alipoolewa. Katu hakutundwa mtini, yeye pia alikuwa na kwao alikozaliwa.
| Batuli alikuwa mke wa kwanza wa nani | {
"text": [
"Mzee Mambo"
]
} |
4784_swa | MNYONGE MSONGE
Mtungi wa rangi ya njano uliochakaa ulijikunyata kwa kilio jikoni.
Matundu makubwa yaliutamalaki huku weusi wa masizi ya moshi wa kuni
ukaugubika uso wake. Zainati, aliyeonekana kuwa na haraka aliuburura
mtungi huo na kuupeleka kwenye ua wa nyumba. Huku akiimbaimba wimbo
maarufu wa taarabu uitwao ‘ mja hunifaidishi’, alikivuta kikapu cha nguo
chafu na kuzikagua . Alikuwa anaweka nyeupe kando na za rangi kando .
Zainati aliukalia mtungi nao ukatoa sauti ya kulalama kwa kuwa mkaaji
alikuwa na makalio si haba. Ni umbile lilo hilo ndilo lililomfanya Mzee
Mambo amwoe kama mke wa pili na kumpuuza mkewe wa kwanza. Anga
ilitamalaki sauti tamu ya mwimbaji na michekecho ya nguo ndani ya beseni
la maji. Mwimbaji mwenyewe alikua ameubebedua mdomo wake huku kope zake
za bandia zikipepesuka kwa upepo na kumfanya kama anayetaka kupaa
angani.
Batuli aliyekuwa na mkungu wa ndizi kichwani alijipitia zake ili aingie
ndani angalau awachemshie wanawe chamcha. Zainati akachefukwa na kupaza
sauti akisema ‘’ Utabaki kula midizi umee misuli ya kiume ikuumbue bure,
mie mwenzio laini kama bata, ulaji wangu tende na halua!’’ Batuli
alimlaani shetani na kuufunga mdomo wake akajiendea zake jikoni
kuzimenya ndizi zake. Alikuwa mke wa kwanza wa mzee Mambo na
aliyejitenga na shari zote. Alikuwa amechoshwa na vitimbi vya mke mwenza
ila alijikaza kuvumilia. Mzee Mambo mwenyewe alikuwa hamhudumii kwa
lolote licha ya kuwa ni mkewe. Pesa zote zilimiminwa kwa huyo kipenzi
chake Zainati. Apeweje pesa ilhali alikuwa mwanamke wa kizamani tena
asiyeujua usasa? Umbile lake lenyewe liliambulia uhafifu baada ya
kujifungua mapacha wake Ali na Aliya. Ngozi yake ilipauka kwa kuwa hata
mafuta ya kujipaka alikosa. Visenti alivyovipata katika biashara yake ya
ndizi huko sokoni Ulingo alivitumia kuwalipia wanawe ada ya twisheni
iliyokuwa ikitozwa shuleni.
Batuli alikuwa ameshachemsha ndizi akaamua kuchambua vidagaa vyake
alivyokuwa amevibakiza ili avifanye mboga na kuvisongea ugali wa jioni.
Zainati naye alikuwa amekwishamaliza kufua na kuja jikoni na bakuli lake
la nyama. Kwa makusudi, akakaa karibu na Batuli huku akiikatakata nyama
yake akivitazama vidagaa vya mwenzake. Kicheko kikubwa kilimtoka
kinywani huku akisema ‘’Nikila manofu mwenzangu wala misumari ya bati!’’
Kwa kujipitishapitisha pale jikoni, Zainati akalipiga kumbo sinia la
vidagaa, mboga za mwenzake zikaanguka chini na kisha akaipindua sufuria
ya ndizi chini zikaambulia mchanga. Machozi yakampukutika Batuli akawa
hawezi kujizuia tena. Alivurumisha ngumi ikampata zainati sambamba
usoni. Zainati alipepesuka na kuanguka chini huku kisketi chake
kikipanda juu na kumwacha nusu uchi. Zainati aliinuka upesi na kuyaendea
maji ya moto yliyokuwa yasongewe ugali na Batuli. Kwa hasira,
aliyamimina maji hayo usoni mwa Batuli aliyekuwa anapiga kelele huku
maji yakauteketeza uso wake na kuacha madonda mabichi.
Ali na Aliya walifika nyumbani kutoka shuleni na wakaanza kumlilia mama
yao aliyekuwa akigaagaa chini kwa maumivu. Ali alikimbia kumwita Jirani
yao mama Paulo aliyekuja haraka na dawa yake ya kibulushi na kumpaka
Batuli usoni. Chapuchapu, Bakari mchuuza matunda akaagizwa alete
mkokoteni wake alimotiwa ndani Batuli na kukimbizwa hospitali ya
Milimani kwa matibabu. Msamaria mwema huko njiani aliamua kugharamikia
matibabu ya Batuli aliyelazwa kwa wiki moja nao wanawe wakaishi kwa mama
Paulo. Batuli alirudi nyumbani akiwa na makovu usoni na vidonda ambavyo
vilikuwa katika hali mbaya. Batuli alipitia kwa chifu Pinda kumshitaki
Zainati ili atendewe haki.
Chifu Pinda aliyasikiza mashtaka ya Batuli na kisha kuita kikao kati ya
Batuli, zainati na mzee Mambo. Vikao viliendelea kwa siku nyingi bila
kesi kuamuliwa. Siku moja, Zainati alimjia chifu Pinda usiku akiwa
amevalia mavazi yaso heshima. Alimpa chifu Pinda uroda kama hongo
afutilie mbali kesi yake na Batuli. Siku ya Ijumaa ambapo kesi ilikuwa
iamuliwe ilifika nao kina Batuli wakakusanyika. Bwana chifu aliyekuwa
tambo la mtu aliyevalia kikoi kilichodhihirisha kitambi chake,
aliishikilia bakora yake na kusimama. Kisha alisema ‘’ kesi hii inahusu
mambo ya kinyumbani ya wanawake ambayo mnapaswa kutatua nyumbani. Sina
muda wa kuamua vikesi vidogo. Mimi ni mtu mwenye majukumu mengi ya
kiserikali. Ondokeni msije kuniua kabla ya siku zangu!’’ Batuli
alishangazwa na maneno ya chifu akafungua kinywa ili aongee mara ,’’
usijaribu kuinua mdomo wako kelbu we, mambo ya kinyumbani hayo, nenda
mama nsije kukutimua kwa sime!’’
Kwa simanzi Batuli alijiondoa kuelekea nyumbani. Zainati na mzee Mambo
nao walitembea wakishikana mikono kudhihirisha mahaba yao. Mara
washikane kidevu, mara wavutanevutane, mara wasukumane huku Zainati
akikimbiakimbia, ilimradi tu wamuudhi Batuli. Batuli alielekea kwa
Jirani yake mama Paulo aliyemketisha chini na kumpa maneno ya busara. ‘’
Dada yangu Batuli, pulika tena usiyapuuze ninayokwambia mdogo wangu.
Usikitafute kifo kutoka kwa walimwengu. Inusuru roho yako na watoto
wako. Mzee Mambo na mkewe ni hayawani , beba vilivyo vyako uende zako
Shinyanga iliko familia yako. Watakuua!’’ Batuli aliyaunga mkono maneno
ya rafikiye na jioni ya siku hiyo alionekana na kikapu chake cha nguo
pamoja na wanawe, akichana vijia na kutokomea kuelekea kwao alikozaliwa,
ambako hakuwahi kufukuzwa na yeyote hadi akaondoka kwa hiari yake
alipoolewa. Katu hakutundwa mtini, yeye pia alikuwa na kwao alikozaliwa.
| Batuli alipelekwa hospitali wapi | {
"text": [
"Milimani"
]
} |
4784_swa | MNYONGE MSONGE
Mtungi wa rangi ya njano uliochakaa ulijikunyata kwa kilio jikoni.
Matundu makubwa yaliutamalaki huku weusi wa masizi ya moshi wa kuni
ukaugubika uso wake. Zainati, aliyeonekana kuwa na haraka aliuburura
mtungi huo na kuupeleka kwenye ua wa nyumba. Huku akiimbaimba wimbo
maarufu wa taarabu uitwao ‘ mja hunifaidishi’, alikivuta kikapu cha nguo
chafu na kuzikagua . Alikuwa anaweka nyeupe kando na za rangi kando .
Zainati aliukalia mtungi nao ukatoa sauti ya kulalama kwa kuwa mkaaji
alikuwa na makalio si haba. Ni umbile lilo hilo ndilo lililomfanya Mzee
Mambo amwoe kama mke wa pili na kumpuuza mkewe wa kwanza. Anga
ilitamalaki sauti tamu ya mwimbaji na michekecho ya nguo ndani ya beseni
la maji. Mwimbaji mwenyewe alikua ameubebedua mdomo wake huku kope zake
za bandia zikipepesuka kwa upepo na kumfanya kama anayetaka kupaa
angani.
Batuli aliyekuwa na mkungu wa ndizi kichwani alijipitia zake ili aingie
ndani angalau awachemshie wanawe chamcha. Zainati akachefukwa na kupaza
sauti akisema ‘’ Utabaki kula midizi umee misuli ya kiume ikuumbue bure,
mie mwenzio laini kama bata, ulaji wangu tende na halua!’’ Batuli
alimlaani shetani na kuufunga mdomo wake akajiendea zake jikoni
kuzimenya ndizi zake. Alikuwa mke wa kwanza wa mzee Mambo na
aliyejitenga na shari zote. Alikuwa amechoshwa na vitimbi vya mke mwenza
ila alijikaza kuvumilia. Mzee Mambo mwenyewe alikuwa hamhudumii kwa
lolote licha ya kuwa ni mkewe. Pesa zote zilimiminwa kwa huyo kipenzi
chake Zainati. Apeweje pesa ilhali alikuwa mwanamke wa kizamani tena
asiyeujua usasa? Umbile lake lenyewe liliambulia uhafifu baada ya
kujifungua mapacha wake Ali na Aliya. Ngozi yake ilipauka kwa kuwa hata
mafuta ya kujipaka alikosa. Visenti alivyovipata katika biashara yake ya
ndizi huko sokoni Ulingo alivitumia kuwalipia wanawe ada ya twisheni
iliyokuwa ikitozwa shuleni.
Batuli alikuwa ameshachemsha ndizi akaamua kuchambua vidagaa vyake
alivyokuwa amevibakiza ili avifanye mboga na kuvisongea ugali wa jioni.
Zainati naye alikuwa amekwishamaliza kufua na kuja jikoni na bakuli lake
la nyama. Kwa makusudi, akakaa karibu na Batuli huku akiikatakata nyama
yake akivitazama vidagaa vya mwenzake. Kicheko kikubwa kilimtoka
kinywani huku akisema ‘’Nikila manofu mwenzangu wala misumari ya bati!’’
Kwa kujipitishapitisha pale jikoni, Zainati akalipiga kumbo sinia la
vidagaa, mboga za mwenzake zikaanguka chini na kisha akaipindua sufuria
ya ndizi chini zikaambulia mchanga. Machozi yakampukutika Batuli akawa
hawezi kujizuia tena. Alivurumisha ngumi ikampata zainati sambamba
usoni. Zainati alipepesuka na kuanguka chini huku kisketi chake
kikipanda juu na kumwacha nusu uchi. Zainati aliinuka upesi na kuyaendea
maji ya moto yliyokuwa yasongewe ugali na Batuli. Kwa hasira,
aliyamimina maji hayo usoni mwa Batuli aliyekuwa anapiga kelele huku
maji yakauteketeza uso wake na kuacha madonda mabichi.
Ali na Aliya walifika nyumbani kutoka shuleni na wakaanza kumlilia mama
yao aliyekuwa akigaagaa chini kwa maumivu. Ali alikimbia kumwita Jirani
yao mama Paulo aliyekuja haraka na dawa yake ya kibulushi na kumpaka
Batuli usoni. Chapuchapu, Bakari mchuuza matunda akaagizwa alete
mkokoteni wake alimotiwa ndani Batuli na kukimbizwa hospitali ya
Milimani kwa matibabu. Msamaria mwema huko njiani aliamua kugharamikia
matibabu ya Batuli aliyelazwa kwa wiki moja nao wanawe wakaishi kwa mama
Paulo. Batuli alirudi nyumbani akiwa na makovu usoni na vidonda ambavyo
vilikuwa katika hali mbaya. Batuli alipitia kwa chifu Pinda kumshitaki
Zainati ili atendewe haki.
Chifu Pinda aliyasikiza mashtaka ya Batuli na kisha kuita kikao kati ya
Batuli, zainati na mzee Mambo. Vikao viliendelea kwa siku nyingi bila
kesi kuamuliwa. Siku moja, Zainati alimjia chifu Pinda usiku akiwa
amevalia mavazi yaso heshima. Alimpa chifu Pinda uroda kama hongo
afutilie mbali kesi yake na Batuli. Siku ya Ijumaa ambapo kesi ilikuwa
iamuliwe ilifika nao kina Batuli wakakusanyika. Bwana chifu aliyekuwa
tambo la mtu aliyevalia kikoi kilichodhihirisha kitambi chake,
aliishikilia bakora yake na kusimama. Kisha alisema ‘’ kesi hii inahusu
mambo ya kinyumbani ya wanawake ambayo mnapaswa kutatua nyumbani. Sina
muda wa kuamua vikesi vidogo. Mimi ni mtu mwenye majukumu mengi ya
kiserikali. Ondokeni msije kuniua kabla ya siku zangu!’’ Batuli
alishangazwa na maneno ya chifu akafungua kinywa ili aongee mara ,’’
usijaribu kuinua mdomo wako kelbu we, mambo ya kinyumbani hayo, nenda
mama nsije kukutimua kwa sime!’’
Kwa simanzi Batuli alijiondoa kuelekea nyumbani. Zainati na mzee Mambo
nao walitembea wakishikana mikono kudhihirisha mahaba yao. Mara
washikane kidevu, mara wavutanevutane, mara wasukumane huku Zainati
akikimbiakimbia, ilimradi tu wamuudhi Batuli. Batuli alielekea kwa
Jirani yake mama Paulo aliyemketisha chini na kumpa maneno ya busara. ‘’
Dada yangu Batuli, pulika tena usiyapuuze ninayokwambia mdogo wangu.
Usikitafute kifo kutoka kwa walimwengu. Inusuru roho yako na watoto
wako. Mzee Mambo na mkewe ni hayawani , beba vilivyo vyako uende zako
Shinyanga iliko familia yako. Watakuua!’’ Batuli aliyaunga mkono maneno
ya rafikiye na jioni ya siku hiyo alionekana na kikapu chake cha nguo
pamoja na wanawe, akichana vijia na kutokomea kuelekea kwao alikozaliwa,
ambako hakuwahi kufukuzwa na yeyote hadi akaondoka kwa hiari yake
alipoolewa. Katu hakutundwa mtini, yeye pia alikuwa na kwao alikozaliwa.
| Batuli alilazwa hospitali wiki ngapi | {
"text": [
"Moja"
]
} |
4784_swa | MNYONGE MSONGE
Mtungi wa rangi ya njano uliochakaa ulijikunyata kwa kilio jikoni.
Matundu makubwa yaliutamalaki huku weusi wa masizi ya moshi wa kuni
ukaugubika uso wake. Zainati, aliyeonekana kuwa na haraka aliuburura
mtungi huo na kuupeleka kwenye ua wa nyumba. Huku akiimbaimba wimbo
maarufu wa taarabu uitwao ‘ mja hunifaidishi’, alikivuta kikapu cha nguo
chafu na kuzikagua . Alikuwa anaweka nyeupe kando na za rangi kando .
Zainati aliukalia mtungi nao ukatoa sauti ya kulalama kwa kuwa mkaaji
alikuwa na makalio si haba. Ni umbile lilo hilo ndilo lililomfanya Mzee
Mambo amwoe kama mke wa pili na kumpuuza mkewe wa kwanza. Anga
ilitamalaki sauti tamu ya mwimbaji na michekecho ya nguo ndani ya beseni
la maji. Mwimbaji mwenyewe alikua ameubebedua mdomo wake huku kope zake
za bandia zikipepesuka kwa upepo na kumfanya kama anayetaka kupaa
angani.
Batuli aliyekuwa na mkungu wa ndizi kichwani alijipitia zake ili aingie
ndani angalau awachemshie wanawe chamcha. Zainati akachefukwa na kupaza
sauti akisema ‘’ Utabaki kula midizi umee misuli ya kiume ikuumbue bure,
mie mwenzio laini kama bata, ulaji wangu tende na halua!’’ Batuli
alimlaani shetani na kuufunga mdomo wake akajiendea zake jikoni
kuzimenya ndizi zake. Alikuwa mke wa kwanza wa mzee Mambo na
aliyejitenga na shari zote. Alikuwa amechoshwa na vitimbi vya mke mwenza
ila alijikaza kuvumilia. Mzee Mambo mwenyewe alikuwa hamhudumii kwa
lolote licha ya kuwa ni mkewe. Pesa zote zilimiminwa kwa huyo kipenzi
chake Zainati. Apeweje pesa ilhali alikuwa mwanamke wa kizamani tena
asiyeujua usasa? Umbile lake lenyewe liliambulia uhafifu baada ya
kujifungua mapacha wake Ali na Aliya. Ngozi yake ilipauka kwa kuwa hata
mafuta ya kujipaka alikosa. Visenti alivyovipata katika biashara yake ya
ndizi huko sokoni Ulingo alivitumia kuwalipia wanawe ada ya twisheni
iliyokuwa ikitozwa shuleni.
Batuli alikuwa ameshachemsha ndizi akaamua kuchambua vidagaa vyake
alivyokuwa amevibakiza ili avifanye mboga na kuvisongea ugali wa jioni.
Zainati naye alikuwa amekwishamaliza kufua na kuja jikoni na bakuli lake
la nyama. Kwa makusudi, akakaa karibu na Batuli huku akiikatakata nyama
yake akivitazama vidagaa vya mwenzake. Kicheko kikubwa kilimtoka
kinywani huku akisema ‘’Nikila manofu mwenzangu wala misumari ya bati!’’
Kwa kujipitishapitisha pale jikoni, Zainati akalipiga kumbo sinia la
vidagaa, mboga za mwenzake zikaanguka chini na kisha akaipindua sufuria
ya ndizi chini zikaambulia mchanga. Machozi yakampukutika Batuli akawa
hawezi kujizuia tena. Alivurumisha ngumi ikampata zainati sambamba
usoni. Zainati alipepesuka na kuanguka chini huku kisketi chake
kikipanda juu na kumwacha nusu uchi. Zainati aliinuka upesi na kuyaendea
maji ya moto yliyokuwa yasongewe ugali na Batuli. Kwa hasira,
aliyamimina maji hayo usoni mwa Batuli aliyekuwa anapiga kelele huku
maji yakauteketeza uso wake na kuacha madonda mabichi.
Ali na Aliya walifika nyumbani kutoka shuleni na wakaanza kumlilia mama
yao aliyekuwa akigaagaa chini kwa maumivu. Ali alikimbia kumwita Jirani
yao mama Paulo aliyekuja haraka na dawa yake ya kibulushi na kumpaka
Batuli usoni. Chapuchapu, Bakari mchuuza matunda akaagizwa alete
mkokoteni wake alimotiwa ndani Batuli na kukimbizwa hospitali ya
Milimani kwa matibabu. Msamaria mwema huko njiani aliamua kugharamikia
matibabu ya Batuli aliyelazwa kwa wiki moja nao wanawe wakaishi kwa mama
Paulo. Batuli alirudi nyumbani akiwa na makovu usoni na vidonda ambavyo
vilikuwa katika hali mbaya. Batuli alipitia kwa chifu Pinda kumshitaki
Zainati ili atendewe haki.
Chifu Pinda aliyasikiza mashtaka ya Batuli na kisha kuita kikao kati ya
Batuli, zainati na mzee Mambo. Vikao viliendelea kwa siku nyingi bila
kesi kuamuliwa. Siku moja, Zainati alimjia chifu Pinda usiku akiwa
amevalia mavazi yaso heshima. Alimpa chifu Pinda uroda kama hongo
afutilie mbali kesi yake na Batuli. Siku ya Ijumaa ambapo kesi ilikuwa
iamuliwe ilifika nao kina Batuli wakakusanyika. Bwana chifu aliyekuwa
tambo la mtu aliyevalia kikoi kilichodhihirisha kitambi chake,
aliishikilia bakora yake na kusimama. Kisha alisema ‘’ kesi hii inahusu
mambo ya kinyumbani ya wanawake ambayo mnapaswa kutatua nyumbani. Sina
muda wa kuamua vikesi vidogo. Mimi ni mtu mwenye majukumu mengi ya
kiserikali. Ondokeni msije kuniua kabla ya siku zangu!’’ Batuli
alishangazwa na maneno ya chifu akafungua kinywa ili aongee mara ,’’
usijaribu kuinua mdomo wako kelbu we, mambo ya kinyumbani hayo, nenda
mama nsije kukutimua kwa sime!’’
Kwa simanzi Batuli alijiondoa kuelekea nyumbani. Zainati na mzee Mambo
nao walitembea wakishikana mikono kudhihirisha mahaba yao. Mara
washikane kidevu, mara wavutanevutane, mara wasukumane huku Zainati
akikimbiakimbia, ilimradi tu wamuudhi Batuli. Batuli alielekea kwa
Jirani yake mama Paulo aliyemketisha chini na kumpa maneno ya busara. ‘’
Dada yangu Batuli, pulika tena usiyapuuze ninayokwambia mdogo wangu.
Usikitafute kifo kutoka kwa walimwengu. Inusuru roho yako na watoto
wako. Mzee Mambo na mkewe ni hayawani , beba vilivyo vyako uende zako
Shinyanga iliko familia yako. Watakuua!’’ Batuli aliyaunga mkono maneno
ya rafikiye na jioni ya siku hiyo alionekana na kikapu chake cha nguo
pamoja na wanawe, akichana vijia na kutokomea kuelekea kwao alikozaliwa,
ambako hakuwahi kufukuzwa na yeyote hadi akaondoka kwa hiari yake
alipoolewa. Katu hakutundwa mtini, yeye pia alikuwa na kwao alikozaliwa.
| Kwa nini chifu alisema hana muda wa kutatua vikesi vidogo | {
"text": [
"Kwa vile alikuwa amepewa uroda na Zainati"
]
} |
4785_swa | Kesho yake, wakati kama ule ule, Machweo yalimkuta Ziyad akiwa palepale.
Alikuwa amekaa mkao wake ule ule wa kawaida na macho yake yalikuwa
yakiangaza kulekule. Kule kule mbali. Mbali ya upeo wake.
Alichokishuhudia sasa ni tafrani na harakati za abiria waliokuwemo ndani
ya jahazi. Nahodha alikuwa ameacha kamba za tanga. Uso wake ulionekana
kufadhaika kwa mughma. Upepo ulikuwa mkali na mawaimbi yalishindana kwa
nguvu zao na hasira zao. Nahodha alikuwa ashakata tama. Hapana shaka
mambo yalikwishamshinda.
Hapo ndipo Ziyad alipoishuhudia ajabu. Bahari ilianza kuwa chafu. Kidau,
pamoja na udogo wake, kikafanywa kuwa kimbilio la wale abiria wa
jahazini. Nahodha wa kidau aliamrisha nafasi zitengwe kwa wageni wao.
Huku kidau kikiendelea kuburutwa, kiliwapokea abiria wa jahazini kwa
ukarimu. Walipatiwa nafasi nzuri karibu na nahodha.
"Nyiye ndiye ndugu zetu. Tu pamoja katika heri na shaka zote.," nahodha
wa jahazi, alipiga kelele za kumsifu na kumshukuru nahodha mwenziwe wa
kidau. Safari ikawa inaendelea.
Kufika mbele kidogo, Ziyad alishuhudia hali ikizidi kuwa mbaya. Kidau
kilikuwa kimezidiwa na shehena. Polepole kilianza kunywa maji chumvi,
tangu mafundamafunda, hadi katakata, mpaka ndoondoo. Kidau kilikuwa
kinazama. Msaada ulihitajika haraka. Mungu ashukuriwe maana baadhi ya
ndugu zao wa jahazini walikuwa walimebakia kwenye jahazi. Baada ya kuona
vile wakawarurushia kamba na chombo walichokuwa nacho cha kuwaokoa.
Mwenyezi Mungu ni mkubwa. Si kitambo kirefu baadaye, abiria wote
waliokuwa kidauni walikuwa wametulia ndani ya jahazi. Bahari kidogo
ilionekana kutulia. Safari sasa ikawa moja ndani ya chombo kimoja, chini
ya unahodha wa nahodha mmoja tu, Yule wa jahazi.
Ziyad aliendelea kukitazama kidau kile kizuri kikizama kidogokidogo.
Hakujijua hasa yeye mwenyewe alikuwa wapi. Hakuwemo kwenye jahazi.
Hakuwa miongoni mwa waliookolewa, lakini pia hakuwemo kidauni. Alikiona
namna kilivyoghariki peke yake na rangi zake nzuri. Weupe kwa weusi,
wekundu kwa kijivujivu. Kilikuwa kikizama peke yake. Kilikuwa na ukiwa
na upweke. Abiria kiliokuwa kimewachukua walikwisha kukiacha kipotee.
Walikwisha kikisahau. Walikuwa radhi kizame peke yake, mbao zake zioze
na kuyeyukia baharini.
Katika dhati ya moyo wake, Ziyad alikihisi kidau kikisikitika huku
kikpukutiwa na machozi. Machozi! Masikini machozi ya kidau. Naye Ziyad
akaanza kuputikwa na machozi, maana alijiona kuwa ni yeye tu aliyeyahisi
machungu ya machozi yale. Wengine wote hawakuwa na habari nayo. Kwao
yalikuwa machozi ya samaki, yaliyokuwa yakipotea na maji, lakini kwake
yeye, kila tone la chozi lilipoanguka baharini ni kama liliangukia juu
ya ngozi yake. Lilizizimia na kutetemesha kwa uchungu wake. Kidau
maskini kidau, kilikuwa kinalia. Kilikuwa kinalilia kusalitiwa, kilikuwa
kinalilia msaada. "Sitogharik!" Ziyad alikisikia kikisema katikati ya
kwikwi na kilio. "Sitopotea kamwe! Sitopotea….. sitopotea, nitaokolewa!"
Kidau kilinadi ingawa kilikuwa kishazama chote isipokuwa kile kisogo
chake tu. Kilikuwa kinapotea, hata kama kilikana kupotea kwake!
"Ndiyo hutoghariki! Hupotei, nitakuokoa….. Tutakuokoa…" Ziyad alipiga
kelele akikimbilia baharini. Mbio kama farasi wa mishindanoni,
akikimbilia kuokoa kidau.
| Yazid alishuhudia nini katika jahazi | {
"text": [
"Tafrani na harakati za abiria"
]
} |
4785_swa | Kesho yake, wakati kama ule ule, Machweo yalimkuta Ziyad akiwa palepale.
Alikuwa amekaa mkao wake ule ule wa kawaida na macho yake yalikuwa
yakiangaza kulekule. Kule kule mbali. Mbali ya upeo wake.
Alichokishuhudia sasa ni tafrani na harakati za abiria waliokuwemo ndani
ya jahazi. Nahodha alikuwa ameacha kamba za tanga. Uso wake ulionekana
kufadhaika kwa mughma. Upepo ulikuwa mkali na mawaimbi yalishindana kwa
nguvu zao na hasira zao. Nahodha alikuwa ashakata tama. Hapana shaka
mambo yalikwishamshinda.
Hapo ndipo Ziyad alipoishuhudia ajabu. Bahari ilianza kuwa chafu. Kidau,
pamoja na udogo wake, kikafanywa kuwa kimbilio la wale abiria wa
jahazini. Nahodha wa kidau aliamrisha nafasi zitengwe kwa wageni wao.
Huku kidau kikiendelea kuburutwa, kiliwapokea abiria wa jahazini kwa
ukarimu. Walipatiwa nafasi nzuri karibu na nahodha.
"Nyiye ndiye ndugu zetu. Tu pamoja katika heri na shaka zote.," nahodha
wa jahazi, alipiga kelele za kumsifu na kumshukuru nahodha mwenziwe wa
kidau. Safari ikawa inaendelea.
Kufika mbele kidogo, Ziyad alishuhudia hali ikizidi kuwa mbaya. Kidau
kilikuwa kimezidiwa na shehena. Polepole kilianza kunywa maji chumvi,
tangu mafundamafunda, hadi katakata, mpaka ndoondoo. Kidau kilikuwa
kinazama. Msaada ulihitajika haraka. Mungu ashukuriwe maana baadhi ya
ndugu zao wa jahazini walikuwa walimebakia kwenye jahazi. Baada ya kuona
vile wakawarurushia kamba na chombo walichokuwa nacho cha kuwaokoa.
Mwenyezi Mungu ni mkubwa. Si kitambo kirefu baadaye, abiria wote
waliokuwa kidauni walikuwa wametulia ndani ya jahazi. Bahari kidogo
ilionekana kutulia. Safari sasa ikawa moja ndani ya chombo kimoja, chini
ya unahodha wa nahodha mmoja tu, Yule wa jahazi.
Ziyad aliendelea kukitazama kidau kile kizuri kikizama kidogokidogo.
Hakujijua hasa yeye mwenyewe alikuwa wapi. Hakuwemo kwenye jahazi.
Hakuwa miongoni mwa waliookolewa, lakini pia hakuwemo kidauni. Alikiona
namna kilivyoghariki peke yake na rangi zake nzuri. Weupe kwa weusi,
wekundu kwa kijivujivu. Kilikuwa kikizama peke yake. Kilikuwa na ukiwa
na upweke. Abiria kiliokuwa kimewachukua walikwisha kukiacha kipotee.
Walikwisha kikisahau. Walikuwa radhi kizame peke yake, mbao zake zioze
na kuyeyukia baharini.
Katika dhati ya moyo wake, Ziyad alikihisi kidau kikisikitika huku
kikpukutiwa na machozi. Machozi! Masikini machozi ya kidau. Naye Ziyad
akaanza kuputikwa na machozi, maana alijiona kuwa ni yeye tu aliyeyahisi
machungu ya machozi yale. Wengine wote hawakuwa na habari nayo. Kwao
yalikuwa machozi ya samaki, yaliyokuwa yakipotea na maji, lakini kwake
yeye, kila tone la chozi lilipoanguka baharini ni kama liliangukia juu
ya ngozi yake. Lilizizimia na kutetemesha kwa uchungu wake. Kidau
maskini kidau, kilikuwa kinalia. Kilikuwa kinalilia kusalitiwa, kilikuwa
kinalilia msaada. "Sitogharik!" Ziyad alikisikia kikisema katikati ya
kwikwi na kilio. "Sitopotea kamwe! Sitopotea….. sitopotea, nitaokolewa!"
Kidau kilinadi ingawa kilikuwa kishazama chote isipokuwa kile kisogo
chake tu. Kilikuwa kinapotea, hata kama kilikana kupotea kwake!
"Ndiyo hutoghariki! Hupotei, nitakuokoa….. Tutakuokoa…" Ziyad alipiga
kelele akikimbilia baharini. Mbio kama farasi wa mishindanoni,
akikimbilia kuokoa kidau.
| Ni nini ilitokea baharini | {
"text": [
"Machafuko"
]
} |
4785_swa | Kesho yake, wakati kama ule ule, Machweo yalimkuta Ziyad akiwa palepale.
Alikuwa amekaa mkao wake ule ule wa kawaida na macho yake yalikuwa
yakiangaza kulekule. Kule kule mbali. Mbali ya upeo wake.
Alichokishuhudia sasa ni tafrani na harakati za abiria waliokuwemo ndani
ya jahazi. Nahodha alikuwa ameacha kamba za tanga. Uso wake ulionekana
kufadhaika kwa mughma. Upepo ulikuwa mkali na mawaimbi yalishindana kwa
nguvu zao na hasira zao. Nahodha alikuwa ashakata tama. Hapana shaka
mambo yalikwishamshinda.
Hapo ndipo Ziyad alipoishuhudia ajabu. Bahari ilianza kuwa chafu. Kidau,
pamoja na udogo wake, kikafanywa kuwa kimbilio la wale abiria wa
jahazini. Nahodha wa kidau aliamrisha nafasi zitengwe kwa wageni wao.
Huku kidau kikiendelea kuburutwa, kiliwapokea abiria wa jahazini kwa
ukarimu. Walipatiwa nafasi nzuri karibu na nahodha.
"Nyiye ndiye ndugu zetu. Tu pamoja katika heri na shaka zote.," nahodha
wa jahazi, alipiga kelele za kumsifu na kumshukuru nahodha mwenziwe wa
kidau. Safari ikawa inaendelea.
Kufika mbele kidogo, Ziyad alishuhudia hali ikizidi kuwa mbaya. Kidau
kilikuwa kimezidiwa na shehena. Polepole kilianza kunywa maji chumvi,
tangu mafundamafunda, hadi katakata, mpaka ndoondoo. Kidau kilikuwa
kinazama. Msaada ulihitajika haraka. Mungu ashukuriwe maana baadhi ya
ndugu zao wa jahazini walikuwa walimebakia kwenye jahazi. Baada ya kuona
vile wakawarurushia kamba na chombo walichokuwa nacho cha kuwaokoa.
Mwenyezi Mungu ni mkubwa. Si kitambo kirefu baadaye, abiria wote
waliokuwa kidauni walikuwa wametulia ndani ya jahazi. Bahari kidogo
ilionekana kutulia. Safari sasa ikawa moja ndani ya chombo kimoja, chini
ya unahodha wa nahodha mmoja tu, Yule wa jahazi.
Ziyad aliendelea kukitazama kidau kile kizuri kikizama kidogokidogo.
Hakujijua hasa yeye mwenyewe alikuwa wapi. Hakuwemo kwenye jahazi.
Hakuwa miongoni mwa waliookolewa, lakini pia hakuwemo kidauni. Alikiona
namna kilivyoghariki peke yake na rangi zake nzuri. Weupe kwa weusi,
wekundu kwa kijivujivu. Kilikuwa kikizama peke yake. Kilikuwa na ukiwa
na upweke. Abiria kiliokuwa kimewachukua walikwisha kukiacha kipotee.
Walikwisha kikisahau. Walikuwa radhi kizame peke yake, mbao zake zioze
na kuyeyukia baharini.
Katika dhati ya moyo wake, Ziyad alikihisi kidau kikisikitika huku
kikpukutiwa na machozi. Machozi! Masikini machozi ya kidau. Naye Ziyad
akaanza kuputikwa na machozi, maana alijiona kuwa ni yeye tu aliyeyahisi
machungu ya machozi yale. Wengine wote hawakuwa na habari nayo. Kwao
yalikuwa machozi ya samaki, yaliyokuwa yakipotea na maji, lakini kwake
yeye, kila tone la chozi lilipoanguka baharini ni kama liliangukia juu
ya ngozi yake. Lilizizimia na kutetemesha kwa uchungu wake. Kidau
maskini kidau, kilikuwa kinalia. Kilikuwa kinalilia kusalitiwa, kilikuwa
kinalilia msaada. "Sitogharik!" Ziyad alikisikia kikisema katikati ya
kwikwi na kilio. "Sitopotea kamwe! Sitopotea….. sitopotea, nitaokolewa!"
Kidau kilinadi ingawa kilikuwa kishazama chote isipokuwa kile kisogo
chake tu. Kilikuwa kinapotea, hata kama kilikana kupotea kwake!
"Ndiyo hutoghariki! Hupotei, nitakuokoa….. Tutakuokoa…" Ziyad alipiga
kelele akikimbilia baharini. Mbio kama farasi wa mishindanoni,
akikimbilia kuokoa kidau.
| Ni nini ilitokea kidua kilipozidiwa na shehena | {
"text": [
"Kilianza kuzama"
]
} |
4785_swa | Kesho yake, wakati kama ule ule, Machweo yalimkuta Ziyad akiwa palepale.
Alikuwa amekaa mkao wake ule ule wa kawaida na macho yake yalikuwa
yakiangaza kulekule. Kule kule mbali. Mbali ya upeo wake.
Alichokishuhudia sasa ni tafrani na harakati za abiria waliokuwemo ndani
ya jahazi. Nahodha alikuwa ameacha kamba za tanga. Uso wake ulionekana
kufadhaika kwa mughma. Upepo ulikuwa mkali na mawaimbi yalishindana kwa
nguvu zao na hasira zao. Nahodha alikuwa ashakata tama. Hapana shaka
mambo yalikwishamshinda.
Hapo ndipo Ziyad alipoishuhudia ajabu. Bahari ilianza kuwa chafu. Kidau,
pamoja na udogo wake, kikafanywa kuwa kimbilio la wale abiria wa
jahazini. Nahodha wa kidau aliamrisha nafasi zitengwe kwa wageni wao.
Huku kidau kikiendelea kuburutwa, kiliwapokea abiria wa jahazini kwa
ukarimu. Walipatiwa nafasi nzuri karibu na nahodha.
"Nyiye ndiye ndugu zetu. Tu pamoja katika heri na shaka zote.," nahodha
wa jahazi, alipiga kelele za kumsifu na kumshukuru nahodha mwenziwe wa
kidau. Safari ikawa inaendelea.
Kufika mbele kidogo, Ziyad alishuhudia hali ikizidi kuwa mbaya. Kidau
kilikuwa kimezidiwa na shehena. Polepole kilianza kunywa maji chumvi,
tangu mafundamafunda, hadi katakata, mpaka ndoondoo. Kidau kilikuwa
kinazama. Msaada ulihitajika haraka. Mungu ashukuriwe maana baadhi ya
ndugu zao wa jahazini walikuwa walimebakia kwenye jahazi. Baada ya kuona
vile wakawarurushia kamba na chombo walichokuwa nacho cha kuwaokoa.
Mwenyezi Mungu ni mkubwa. Si kitambo kirefu baadaye, abiria wote
waliokuwa kidauni walikuwa wametulia ndani ya jahazi. Bahari kidogo
ilionekana kutulia. Safari sasa ikawa moja ndani ya chombo kimoja, chini
ya unahodha wa nahodha mmoja tu, Yule wa jahazi.
Ziyad aliendelea kukitazama kidau kile kizuri kikizama kidogokidogo.
Hakujijua hasa yeye mwenyewe alikuwa wapi. Hakuwemo kwenye jahazi.
Hakuwa miongoni mwa waliookolewa, lakini pia hakuwemo kidauni. Alikiona
namna kilivyoghariki peke yake na rangi zake nzuri. Weupe kwa weusi,
wekundu kwa kijivujivu. Kilikuwa kikizama peke yake. Kilikuwa na ukiwa
na upweke. Abiria kiliokuwa kimewachukua walikwisha kukiacha kipotee.
Walikwisha kikisahau. Walikuwa radhi kizame peke yake, mbao zake zioze
na kuyeyukia baharini.
Katika dhati ya moyo wake, Ziyad alikihisi kidau kikisikitika huku
kikpukutiwa na machozi. Machozi! Masikini machozi ya kidau. Naye Ziyad
akaanza kuputikwa na machozi, maana alijiona kuwa ni yeye tu aliyeyahisi
machungu ya machozi yale. Wengine wote hawakuwa na habari nayo. Kwao
yalikuwa machozi ya samaki, yaliyokuwa yakipotea na maji, lakini kwake
yeye, kila tone la chozi lilipoanguka baharini ni kama liliangukia juu
ya ngozi yake. Lilizizimia na kutetemesha kwa uchungu wake. Kidau
maskini kidau, kilikuwa kinalia. Kilikuwa kinalilia kusalitiwa, kilikuwa
kinalilia msaada. "Sitogharik!" Ziyad alikisikia kikisema katikati ya
kwikwi na kilio. "Sitopotea kamwe! Sitopotea….. sitopotea, nitaokolewa!"
Kidau kilinadi ingawa kilikuwa kishazama chote isipokuwa kile kisogo
chake tu. Kilikuwa kinapotea, hata kama kilikana kupotea kwake!
"Ndiyo hutoghariki! Hupotei, nitakuokoa….. Tutakuokoa…" Ziyad alipiga
kelele akikimbilia baharini. Mbio kama farasi wa mishindanoni,
akikimbilia kuokoa kidau.
| Ziyad alisikia kidau kikisema nini | {
"text": [
"Sitoghariki"
]
} |
4785_swa | Kesho yake, wakati kama ule ule, Machweo yalimkuta Ziyad akiwa palepale.
Alikuwa amekaa mkao wake ule ule wa kawaida na macho yake yalikuwa
yakiangaza kulekule. Kule kule mbali. Mbali ya upeo wake.
Alichokishuhudia sasa ni tafrani na harakati za abiria waliokuwemo ndani
ya jahazi. Nahodha alikuwa ameacha kamba za tanga. Uso wake ulionekana
kufadhaika kwa mughma. Upepo ulikuwa mkali na mawaimbi yalishindana kwa
nguvu zao na hasira zao. Nahodha alikuwa ashakata tama. Hapana shaka
mambo yalikwishamshinda.
Hapo ndipo Ziyad alipoishuhudia ajabu. Bahari ilianza kuwa chafu. Kidau,
pamoja na udogo wake, kikafanywa kuwa kimbilio la wale abiria wa
jahazini. Nahodha wa kidau aliamrisha nafasi zitengwe kwa wageni wao.
Huku kidau kikiendelea kuburutwa, kiliwapokea abiria wa jahazini kwa
ukarimu. Walipatiwa nafasi nzuri karibu na nahodha.
"Nyiye ndiye ndugu zetu. Tu pamoja katika heri na shaka zote.," nahodha
wa jahazi, alipiga kelele za kumsifu na kumshukuru nahodha mwenziwe wa
kidau. Safari ikawa inaendelea.
Kufika mbele kidogo, Ziyad alishuhudia hali ikizidi kuwa mbaya. Kidau
kilikuwa kimezidiwa na shehena. Polepole kilianza kunywa maji chumvi,
tangu mafundamafunda, hadi katakata, mpaka ndoondoo. Kidau kilikuwa
kinazama. Msaada ulihitajika haraka. Mungu ashukuriwe maana baadhi ya
ndugu zao wa jahazini walikuwa walimebakia kwenye jahazi. Baada ya kuona
vile wakawarurushia kamba na chombo walichokuwa nacho cha kuwaokoa.
Mwenyezi Mungu ni mkubwa. Si kitambo kirefu baadaye, abiria wote
waliokuwa kidauni walikuwa wametulia ndani ya jahazi. Bahari kidogo
ilionekana kutulia. Safari sasa ikawa moja ndani ya chombo kimoja, chini
ya unahodha wa nahodha mmoja tu, Yule wa jahazi.
Ziyad aliendelea kukitazama kidau kile kizuri kikizama kidogokidogo.
Hakujijua hasa yeye mwenyewe alikuwa wapi. Hakuwemo kwenye jahazi.
Hakuwa miongoni mwa waliookolewa, lakini pia hakuwemo kidauni. Alikiona
namna kilivyoghariki peke yake na rangi zake nzuri. Weupe kwa weusi,
wekundu kwa kijivujivu. Kilikuwa kikizama peke yake. Kilikuwa na ukiwa
na upweke. Abiria kiliokuwa kimewachukua walikwisha kukiacha kipotee.
Walikwisha kikisahau. Walikuwa radhi kizame peke yake, mbao zake zioze
na kuyeyukia baharini.
Katika dhati ya moyo wake, Ziyad alikihisi kidau kikisikitika huku
kikpukutiwa na machozi. Machozi! Masikini machozi ya kidau. Naye Ziyad
akaanza kuputikwa na machozi, maana alijiona kuwa ni yeye tu aliyeyahisi
machungu ya machozi yale. Wengine wote hawakuwa na habari nayo. Kwao
yalikuwa machozi ya samaki, yaliyokuwa yakipotea na maji, lakini kwake
yeye, kila tone la chozi lilipoanguka baharini ni kama liliangukia juu
ya ngozi yake. Lilizizimia na kutetemesha kwa uchungu wake. Kidau
maskini kidau, kilikuwa kinalia. Kilikuwa kinalilia kusalitiwa, kilikuwa
kinalilia msaada. "Sitogharik!" Ziyad alikisikia kikisema katikati ya
kwikwi na kilio. "Sitopotea kamwe! Sitopotea….. sitopotea, nitaokolewa!"
Kidau kilinadi ingawa kilikuwa kishazama chote isipokuwa kile kisogo
chake tu. Kilikuwa kinapotea, hata kama kilikana kupotea kwake!
"Ndiyo hutoghariki! Hupotei, nitakuokoa….. Tutakuokoa…" Ziyad alipiga
kelele akikimbilia baharini. Mbio kama farasi wa mishindanoni,
akikimbilia kuokoa kidau.
| Ziyad alipiga kelele kuelekea wapi | {
"text": [
"Baharini"
]
} |
4786_swa | Kila mwanafunzi anayeandika insha ama mtungo wa aina yoyote hana budi
kuzingatia umuhimu wa msamiati. Msamiati ndio nguzo inayotumiwa kujenga
sentensi. Wakati mwingine, baadhi ya watahiniwa huwa wana mtazamo finyu
wanaposhughulikia msamiati kama maneno magumu kuonyesha ukwasi wao wa
lugha katika uandishi.
Mtahiniwa yeyote hana budi kuteua msamiati kulingana na mada,na hadhira
yake.msamiati ya uwanja, taaluma fulani ama sajili huenda usifae ule wa
sajili nyingine. Kwa hivo, mwanafunzi yeyote anayeandika kuhusu mada
iliyopendekezwa ni muhimu kuzingatia msamiati wa eneo linalotungiwa.
Kando na hilo, azingatie pia kwamba msamiati atakaotumia utawasilisha
ujumbe unaotaka kwa njia mwafaka zaidi ikilinganishwa na kama atatumia
mwingine.
Kama ilivyo, lugha ina msamiati ambao wakati mwingine haufai katika
mitungo ya aina fulani. Katika kuteua msamiati na kuutumia katika
sentensi za insha,ni muhimu kwa mtahiniwa kuelewa unatumika kuongeka
suala ma jambo lipi. Mwanafunzi atakapoelewa aina za msamiati kutegemea
muktadha,atatunga sentensi sanifu zinazovutia na kuishia na mtungo wa
kuvutia vilevile.
Vilevile,ni muhimu kukumbuka kuwa lugha, kama lugha ya Kiswahili ilivyo,
ina lahaja mbalimbali.ikiwa unaandika mtungo, ni vizuri kutumia lugha
sanifu inayoeleweka na jumuiya kubwa. Kuna msamiati ambayo huandikwa kwa
kirefu ama kifupi kama ilivyo katika akronimo. Muhimu ni kuhakikisha
kuwa kila kitu kinaelezwa kwa kirefu ila kieleweke. Kutumia vifipisho
hutatiza kuwasilishwa kwa ujumbe vifaavyo.
Kando na msamiati, sentensi hutumiwa katika utunzi kuwasilisha wazo
linalo kamilika. Kwa sababu hii ni muhimu sentensi kwa njia
iliyokamalika kwa mujibu wa kanuni za kisarufi ya lugha ya Kiswahili.
Kuna sentensi sahili ambazo zinaweza kueleza wazo kwa njia ya moja kwa
moja. Sentensi hizi pia husaidia kufanya uelezi, kwa mwepesi na wa kupeo
wa juu kimfululizo.
Sentensi changamano ni nyingine, nayo inamfaidi mwanfunzi kueleza mawazo
zaidi ya mawili kwa mkupuo. Kwa hivyo, ni muhimu kubadili sentensi
katika uandishi ili kuongeza kuvutia kwa mtungo wako na kutoa ujumbe kwa
njia iliyo bora. Insha bora ni ile ambayo huweza kutumia sentensi ya
neno moja, sahili, ambatano na changamano huku kila moja ikitumiwa kwa
kusudi maalumu.
Jambo muhimu ambalo halipaswi kusahaulika na wanafunzi ni ile kuepukana
na sentensi ndefundefu katika uandishi. Kutumia sentensi za aina hii kwa
wingi, huweza kukukanganya uawasilishajiwa ujumbe kando na kuchosha.
| Kila mwanafunzi anayeandika insha hana budi kuzingatia umuhimu wa nini | {
"text": [
"msamiati"
]
} |
4786_swa | Kila mwanafunzi anayeandika insha ama mtungo wa aina yoyote hana budi
kuzingatia umuhimu wa msamiati. Msamiati ndio nguzo inayotumiwa kujenga
sentensi. Wakati mwingine, baadhi ya watahiniwa huwa wana mtazamo finyu
wanaposhughulikia msamiati kama maneno magumu kuonyesha ukwasi wao wa
lugha katika uandishi.
Mtahiniwa yeyote hana budi kuteua msamiati kulingana na mada,na hadhira
yake.msamiati ya uwanja, taaluma fulani ama sajili huenda usifae ule wa
sajili nyingine. Kwa hivo, mwanafunzi yeyote anayeandika kuhusu mada
iliyopendekezwa ni muhimu kuzingatia msamiati wa eneo linalotungiwa.
Kando na hilo, azingatie pia kwamba msamiati atakaotumia utawasilisha
ujumbe unaotaka kwa njia mwafaka zaidi ikilinganishwa na kama atatumia
mwingine.
Kama ilivyo, lugha ina msamiati ambao wakati mwingine haufai katika
mitungo ya aina fulani. Katika kuteua msamiati na kuutumia katika
sentensi za insha,ni muhimu kwa mtahiniwa kuelewa unatumika kuongeka
suala ma jambo lipi. Mwanafunzi atakapoelewa aina za msamiati kutegemea
muktadha,atatunga sentensi sanifu zinazovutia na kuishia na mtungo wa
kuvutia vilevile.
Vilevile,ni muhimu kukumbuka kuwa lugha, kama lugha ya Kiswahili ilivyo,
ina lahaja mbalimbali.ikiwa unaandika mtungo, ni vizuri kutumia lugha
sanifu inayoeleweka na jumuiya kubwa. Kuna msamiati ambayo huandikwa kwa
kirefu ama kifupi kama ilivyo katika akronimo. Muhimu ni kuhakikisha
kuwa kila kitu kinaelezwa kwa kirefu ila kieleweke. Kutumia vifipisho
hutatiza kuwasilishwa kwa ujumbe vifaavyo.
Kando na msamiati, sentensi hutumiwa katika utunzi kuwasilisha wazo
linalo kamilika. Kwa sababu hii ni muhimu sentensi kwa njia
iliyokamalika kwa mujibu wa kanuni za kisarufi ya lugha ya Kiswahili.
Kuna sentensi sahili ambazo zinaweza kueleza wazo kwa njia ya moja kwa
moja. Sentensi hizi pia husaidia kufanya uelezi, kwa mwepesi na wa kupeo
wa juu kimfululizo.
Sentensi changamano ni nyingine, nayo inamfaidi mwanfunzi kueleza mawazo
zaidi ya mawili kwa mkupuo. Kwa hivyo, ni muhimu kubadili sentensi
katika uandishi ili kuongeza kuvutia kwa mtungo wako na kutoa ujumbe kwa
njia iliyo bora. Insha bora ni ile ambayo huweza kutumia sentensi ya
neno moja, sahili, ambatano na changamano huku kila moja ikitumiwa kwa
kusudi maalumu.
Jambo muhimu ambalo halipaswi kusahaulika na wanafunzi ni ile kuepukana
na sentensi ndefundefu katika uandishi. Kutumia sentensi za aina hii kwa
wingi, huweza kukukanganya uawasilishajiwa ujumbe kando na kuchosha.
| Msamiati ndio nini | {
"text": [
"nguzo"
]
} |
4786_swa | Kila mwanafunzi anayeandika insha ama mtungo wa aina yoyote hana budi
kuzingatia umuhimu wa msamiati. Msamiati ndio nguzo inayotumiwa kujenga
sentensi. Wakati mwingine, baadhi ya watahiniwa huwa wana mtazamo finyu
wanaposhughulikia msamiati kama maneno magumu kuonyesha ukwasi wao wa
lugha katika uandishi.
Mtahiniwa yeyote hana budi kuteua msamiati kulingana na mada,na hadhira
yake.msamiati ya uwanja, taaluma fulani ama sajili huenda usifae ule wa
sajili nyingine. Kwa hivo, mwanafunzi yeyote anayeandika kuhusu mada
iliyopendekezwa ni muhimu kuzingatia msamiati wa eneo linalotungiwa.
Kando na hilo, azingatie pia kwamba msamiati atakaotumia utawasilisha
ujumbe unaotaka kwa njia mwafaka zaidi ikilinganishwa na kama atatumia
mwingine.
Kama ilivyo, lugha ina msamiati ambao wakati mwingine haufai katika
mitungo ya aina fulani. Katika kuteua msamiati na kuutumia katika
sentensi za insha,ni muhimu kwa mtahiniwa kuelewa unatumika kuongeka
suala ma jambo lipi. Mwanafunzi atakapoelewa aina za msamiati kutegemea
muktadha,atatunga sentensi sanifu zinazovutia na kuishia na mtungo wa
kuvutia vilevile.
Vilevile,ni muhimu kukumbuka kuwa lugha, kama lugha ya Kiswahili ilivyo,
ina lahaja mbalimbali.ikiwa unaandika mtungo, ni vizuri kutumia lugha
sanifu inayoeleweka na jumuiya kubwa. Kuna msamiati ambayo huandikwa kwa
kirefu ama kifupi kama ilivyo katika akronimo. Muhimu ni kuhakikisha
kuwa kila kitu kinaelezwa kwa kirefu ila kieleweke. Kutumia vifipisho
hutatiza kuwasilishwa kwa ujumbe vifaavyo.
Kando na msamiati, sentensi hutumiwa katika utunzi kuwasilisha wazo
linalo kamilika. Kwa sababu hii ni muhimu sentensi kwa njia
iliyokamalika kwa mujibu wa kanuni za kisarufi ya lugha ya Kiswahili.
Kuna sentensi sahili ambazo zinaweza kueleza wazo kwa njia ya moja kwa
moja. Sentensi hizi pia husaidia kufanya uelezi, kwa mwepesi na wa kupeo
wa juu kimfululizo.
Sentensi changamano ni nyingine, nayo inamfaidi mwanfunzi kueleza mawazo
zaidi ya mawili kwa mkupuo. Kwa hivyo, ni muhimu kubadili sentensi
katika uandishi ili kuongeza kuvutia kwa mtungo wako na kutoa ujumbe kwa
njia iliyo bora. Insha bora ni ile ambayo huweza kutumia sentensi ya
neno moja, sahili, ambatano na changamano huku kila moja ikitumiwa kwa
kusudi maalumu.
Jambo muhimu ambalo halipaswi kusahaulika na wanafunzi ni ile kuepukana
na sentensi ndefundefu katika uandishi. Kutumia sentensi za aina hii kwa
wingi, huweza kukukanganya uawasilishajiwa ujumbe kando na kuchosha.
| Mtahiniwa yeyote hana budi kuteua msamiati kulingana na nini | {
"text": [
"mada na hadhira"
]
} |
4786_swa | Kila mwanafunzi anayeandika insha ama mtungo wa aina yoyote hana budi
kuzingatia umuhimu wa msamiati. Msamiati ndio nguzo inayotumiwa kujenga
sentensi. Wakati mwingine, baadhi ya watahiniwa huwa wana mtazamo finyu
wanaposhughulikia msamiati kama maneno magumu kuonyesha ukwasi wao wa
lugha katika uandishi.
Mtahiniwa yeyote hana budi kuteua msamiati kulingana na mada,na hadhira
yake.msamiati ya uwanja, taaluma fulani ama sajili huenda usifae ule wa
sajili nyingine. Kwa hivo, mwanafunzi yeyote anayeandika kuhusu mada
iliyopendekezwa ni muhimu kuzingatia msamiati wa eneo linalotungiwa.
Kando na hilo, azingatie pia kwamba msamiati atakaotumia utawasilisha
ujumbe unaotaka kwa njia mwafaka zaidi ikilinganishwa na kama atatumia
mwingine.
Kama ilivyo, lugha ina msamiati ambao wakati mwingine haufai katika
mitungo ya aina fulani. Katika kuteua msamiati na kuutumia katika
sentensi za insha,ni muhimu kwa mtahiniwa kuelewa unatumika kuongeka
suala ma jambo lipi. Mwanafunzi atakapoelewa aina za msamiati kutegemea
muktadha,atatunga sentensi sanifu zinazovutia na kuishia na mtungo wa
kuvutia vilevile.
Vilevile,ni muhimu kukumbuka kuwa lugha, kama lugha ya Kiswahili ilivyo,
ina lahaja mbalimbali.ikiwa unaandika mtungo, ni vizuri kutumia lugha
sanifu inayoeleweka na jumuiya kubwa. Kuna msamiati ambayo huandikwa kwa
kirefu ama kifupi kama ilivyo katika akronimo. Muhimu ni kuhakikisha
kuwa kila kitu kinaelezwa kwa kirefu ila kieleweke. Kutumia vifipisho
hutatiza kuwasilishwa kwa ujumbe vifaavyo.
Kando na msamiati, sentensi hutumiwa katika utunzi kuwasilisha wazo
linalo kamilika. Kwa sababu hii ni muhimu sentensi kwa njia
iliyokamalika kwa mujibu wa kanuni za kisarufi ya lugha ya Kiswahili.
Kuna sentensi sahili ambazo zinaweza kueleza wazo kwa njia ya moja kwa
moja. Sentensi hizi pia husaidia kufanya uelezi, kwa mwepesi na wa kupeo
wa juu kimfululizo.
Sentensi changamano ni nyingine, nayo inamfaidi mwanfunzi kueleza mawazo
zaidi ya mawili kwa mkupuo. Kwa hivyo, ni muhimu kubadili sentensi
katika uandishi ili kuongeza kuvutia kwa mtungo wako na kutoa ujumbe kwa
njia iliyo bora. Insha bora ni ile ambayo huweza kutumia sentensi ya
neno moja, sahili, ambatano na changamano huku kila moja ikitumiwa kwa
kusudi maalumu.
Jambo muhimu ambalo halipaswi kusahaulika na wanafunzi ni ile kuepukana
na sentensi ndefundefu katika uandishi. Kutumia sentensi za aina hii kwa
wingi, huweza kukukanganya uawasilishajiwa ujumbe kando na kuchosha.
| Kando na msamiati sentensi hutumiwa lini kuwasilisha wazo linalokamilika | {
"text": [
"inapotumika katika utunzi"
]
} |
4786_swa | Kila mwanafunzi anayeandika insha ama mtungo wa aina yoyote hana budi
kuzingatia umuhimu wa msamiati. Msamiati ndio nguzo inayotumiwa kujenga
sentensi. Wakati mwingine, baadhi ya watahiniwa huwa wana mtazamo finyu
wanaposhughulikia msamiati kama maneno magumu kuonyesha ukwasi wao wa
lugha katika uandishi.
Mtahiniwa yeyote hana budi kuteua msamiati kulingana na mada,na hadhira
yake.msamiati ya uwanja, taaluma fulani ama sajili huenda usifae ule wa
sajili nyingine. Kwa hivo, mwanafunzi yeyote anayeandika kuhusu mada
iliyopendekezwa ni muhimu kuzingatia msamiati wa eneo linalotungiwa.
Kando na hilo, azingatie pia kwamba msamiati atakaotumia utawasilisha
ujumbe unaotaka kwa njia mwafaka zaidi ikilinganishwa na kama atatumia
mwingine.
Kama ilivyo, lugha ina msamiati ambao wakati mwingine haufai katika
mitungo ya aina fulani. Katika kuteua msamiati na kuutumia katika
sentensi za insha,ni muhimu kwa mtahiniwa kuelewa unatumika kuongeka
suala ma jambo lipi. Mwanafunzi atakapoelewa aina za msamiati kutegemea
muktadha,atatunga sentensi sanifu zinazovutia na kuishia na mtungo wa
kuvutia vilevile.
Vilevile,ni muhimu kukumbuka kuwa lugha, kama lugha ya Kiswahili ilivyo,
ina lahaja mbalimbali.ikiwa unaandika mtungo, ni vizuri kutumia lugha
sanifu inayoeleweka na jumuiya kubwa. Kuna msamiati ambayo huandikwa kwa
kirefu ama kifupi kama ilivyo katika akronimo. Muhimu ni kuhakikisha
kuwa kila kitu kinaelezwa kwa kirefu ila kieleweke. Kutumia vifipisho
hutatiza kuwasilishwa kwa ujumbe vifaavyo.
Kando na msamiati, sentensi hutumiwa katika utunzi kuwasilisha wazo
linalo kamilika. Kwa sababu hii ni muhimu sentensi kwa njia
iliyokamalika kwa mujibu wa kanuni za kisarufi ya lugha ya Kiswahili.
Kuna sentensi sahili ambazo zinaweza kueleza wazo kwa njia ya moja kwa
moja. Sentensi hizi pia husaidia kufanya uelezi, kwa mwepesi na wa kupeo
wa juu kimfululizo.
Sentensi changamano ni nyingine, nayo inamfaidi mwanfunzi kueleza mawazo
zaidi ya mawili kwa mkupuo. Kwa hivyo, ni muhimu kubadili sentensi
katika uandishi ili kuongeza kuvutia kwa mtungo wako na kutoa ujumbe kwa
njia iliyo bora. Insha bora ni ile ambayo huweza kutumia sentensi ya
neno moja, sahili, ambatano na changamano huku kila moja ikitumiwa kwa
kusudi maalumu.
Jambo muhimu ambalo halipaswi kusahaulika na wanafunzi ni ile kuepukana
na sentensi ndefundefu katika uandishi. Kutumia sentensi za aina hii kwa
wingi, huweza kukukanganya uawasilishajiwa ujumbe kando na kuchosha.
| Mbona ni muhimu kubadili sentensi katika uandishi | {
"text": [
"ili kuongeza kuvutia kwa mtungo wako na kutoa ujumbe"
]
} |
4787_swa | KIVUMBI CHA WAPENZI
Mwaruka alikuwa ameketi sebuleni akitazama runinga wakati simu yake ya
mkononi ilipokiriza. Aliunyoosha mkono wake mezani na kuichukua kisha
akabofya kitufe cha kupokea. Sauti nzito ilisikika ikisema "Haloo
habari yako Mwaruka, unaongea na Mugambi kutoka Kisumu. Niko katika
barabara ya Dala nilipokutana na msichana mrembo niliyekuwa nikimtongoza
lakini akanikataa na kuniambia kuwa ana mpenzi ambaye ni wewe. Nilitaka
kuhakikisha kuwa jambo hili ni kweli ndipo nikaomba nambari yako ya simu
nihakikishe ukweli wa swala hili ndipo niache kumsumbua mwanadada huyu.
Ninataka tu ulitaje jina la mpenzi wako." Mwaruka akajibu, "Mpenzi?
Kwani yeye anasema anaitwa nani?" "Mwaruka hulijui jina la mpenzi
wako? Niambie tu jina la unayechumbiana naye." Mwaruka alijipurukisha
kwa "Mpenzi wangu Atieno ? unamzungumzia Atieno?"
Aisha alikuwa amesimama mkabala na Mugambi huku jasho likimtiririka nayo
machozi yakianza kumtoka huku akijisemea "Namnunulia kila kitu!
Nimemnunulia nyumba na gari. Nimempa mapenzi yote kumbe hata hanitambui
kama mimi ni mpenziwe! Tulijuana kitambo wakati hatuna mbele wala nyuma
nikafanya kazi kama msaidizi wa nyumbani na kuifadhili elimu yake!
Nilijinyima sana. Kweli sijaitendea haki nafsi yangu! Kumbe ana wanawake
wengine? Atieno! Ana mpenzi kwa jina la Atieno! " Aisha alijiangusha
chini akaanza kulia. Mwaruka ambaye ni mwelekezi wa kipindi cha
'Uaminifu wa Wapenzi' kilichokuwa kikipeperushwa moja kwa moja katika
idhaa ya Fanaka alimsihi Aisha aache kulia.
Kipindi cha Uaminifu wa Wapenzi kilikuwa mtego wa kuwakanganya wapenzi
wasiokuwa waaminifu na kuwanasa ili kuanika ukweli hadharani. Mugambi
hakuwa Kisumu. Alikuwa na Aisha nje ya nyumba ya Mwaruka mjini Mombasa
wakati alipokuwa akimpigia simu ile. Kwa kuwa ukweli ulijulikana kuwa
Mwaruka alikuwa ana mpenzi mwingine, kamera zilibebwa nao Aisha na
Mugambi wakaelekea ndani kuuvumbua ukweli wa Mwaruka. Mwaruka alikuwa
bado yupo sebuleni akiitazama runinga wakati Wairimu alipotoka bafuni na
kitaulo kifupi kilichokuwa kimening'inizwa maungoni. Wairimu alikuja
kumkalia Mwaruka mapajani na wakaanza kulishana mabusu nao mlango
ukafunguka na kina Aisha wakaingia.
Bila ya kupoteza muda Aisha alimrukia Wairimu na kuanza kumpiga.
Wanawake wawili walianza vita wakirushiana magumi na makonde. Aisha
alikuwa tu akipiga kelele "Mwaruka nimekosa nini miye hadi unakuwa na
wapenzi wengine? Tena katika nyumba niliyoinunua na pesa zangu
nilizozipata kwa tabu!" Wenye kamera walikuwa wakirekodi tukio hilo
huku Mugambi akiwa anaongea kwa kipaza sauti akisema, "Wapenzi
watazamaji ndipo mwanzo tumefika nyumbani pa Mwaruka amabapo kumewaka
moto. Ya leo ni moto sana tafadhali usibanduke kutoka kwenye runinga
yako." Mwaruka alikuwa ameshikwa na ghadhabu akazikaribia kamera
akitaka kuzivunja. Kamau, aliyekuwa ameishika kamera alimrushia Mwaruka
kofi na kumwambia, "umepatikana leo! Hutatoroka!"
Aisha aliichukua simu ya Mwaruka na kuiangusha chini akaivunja huku
akisema, "hata hii mimi ndiye niliyekununulia na unaitumia kuwapigia
hawara wako! Hata chupi unazovaa ni mimi ndiye ninayezinunua! Huna
shukrani gumegume we! Niletee funguo za gari na nyumba, nirejeshee vitu
vyote nilivyokupa! Hata ile safari ya kukupeleka marekani imekwisha!
Hustahili fadhila punda we!" Mwaruka alikuwa amepiga magoti
akijipurukusha kwa, "Babe nisamehe, ni shetani tu, usifanye hivyo
kumbuka tumetoana mbali!"
Aisha alikuwa hataki kusikia jambo lolote akawa anafoka na kufyoa kwa
hasira. Mwaruka alipojaribu kumsogelea alimpiga kofi na kumwashiria
atoke nyumbani kwake. Alichukua nguo za Mwaruka na kuzirusha nje huku
kamera zikirekodi matukio yote. Wairimu alipata upenyo na kutorokea nje
kisha akatokomea katika kijia cha kulia huku kitaulo chake kikimuanguka
mara kwa mara akawa anakiokota na kuchapua mbio huku watu wakimshangaa
njiani. Aisha alimtoa Mwaruka nje na kumwambia aikome nyumba yake kama
alivyolikoma titi la mamake. Huo ndio ulikuwa mwisho wa mapenzi yao.
Aisha aliwashukuru akina Mugambi na kuwaambia kuwa walikuwa wamemsaidia
kujua ukweli kuhusu mpenziwe.
| Kulingana na Mwaruka alimchumbia nani | {
"text": [
"Atieno"
]
} |
4787_swa | KIVUMBI CHA WAPENZI
Mwaruka alikuwa ameketi sebuleni akitazama runinga wakati simu yake ya
mkononi ilipokiriza. Aliunyoosha mkono wake mezani na kuichukua kisha
akabofya kitufe cha kupokea. Sauti nzito ilisikika ikisema "Haloo
habari yako Mwaruka, unaongea na Mugambi kutoka Kisumu. Niko katika
barabara ya Dala nilipokutana na msichana mrembo niliyekuwa nikimtongoza
lakini akanikataa na kuniambia kuwa ana mpenzi ambaye ni wewe. Nilitaka
kuhakikisha kuwa jambo hili ni kweli ndipo nikaomba nambari yako ya simu
nihakikishe ukweli wa swala hili ndipo niache kumsumbua mwanadada huyu.
Ninataka tu ulitaje jina la mpenzi wako." Mwaruka akajibu, "Mpenzi?
Kwani yeye anasema anaitwa nani?" "Mwaruka hulijui jina la mpenzi
wako? Niambie tu jina la unayechumbiana naye." Mwaruka alijipurukisha
kwa "Mpenzi wangu Atieno ? unamzungumzia Atieno?"
Aisha alikuwa amesimama mkabala na Mugambi huku jasho likimtiririka nayo
machozi yakianza kumtoka huku akijisemea "Namnunulia kila kitu!
Nimemnunulia nyumba na gari. Nimempa mapenzi yote kumbe hata hanitambui
kama mimi ni mpenziwe! Tulijuana kitambo wakati hatuna mbele wala nyuma
nikafanya kazi kama msaidizi wa nyumbani na kuifadhili elimu yake!
Nilijinyima sana. Kweli sijaitendea haki nafsi yangu! Kumbe ana wanawake
wengine? Atieno! Ana mpenzi kwa jina la Atieno! " Aisha alijiangusha
chini akaanza kulia. Mwaruka ambaye ni mwelekezi wa kipindi cha
'Uaminifu wa Wapenzi' kilichokuwa kikipeperushwa moja kwa moja katika
idhaa ya Fanaka alimsihi Aisha aache kulia.
Kipindi cha Uaminifu wa Wapenzi kilikuwa mtego wa kuwakanganya wapenzi
wasiokuwa waaminifu na kuwanasa ili kuanika ukweli hadharani. Mugambi
hakuwa Kisumu. Alikuwa na Aisha nje ya nyumba ya Mwaruka mjini Mombasa
wakati alipokuwa akimpigia simu ile. Kwa kuwa ukweli ulijulikana kuwa
Mwaruka alikuwa ana mpenzi mwingine, kamera zilibebwa nao Aisha na
Mugambi wakaelekea ndani kuuvumbua ukweli wa Mwaruka. Mwaruka alikuwa
bado yupo sebuleni akiitazama runinga wakati Wairimu alipotoka bafuni na
kitaulo kifupi kilichokuwa kimening'inizwa maungoni. Wairimu alikuja
kumkalia Mwaruka mapajani na wakaanza kulishana mabusu nao mlango
ukafunguka na kina Aisha wakaingia.
Bila ya kupoteza muda Aisha alimrukia Wairimu na kuanza kumpiga.
Wanawake wawili walianza vita wakirushiana magumi na makonde. Aisha
alikuwa tu akipiga kelele "Mwaruka nimekosa nini miye hadi unakuwa na
wapenzi wengine? Tena katika nyumba niliyoinunua na pesa zangu
nilizozipata kwa tabu!" Wenye kamera walikuwa wakirekodi tukio hilo
huku Mugambi akiwa anaongea kwa kipaza sauti akisema, "Wapenzi
watazamaji ndipo mwanzo tumefika nyumbani pa Mwaruka amabapo kumewaka
moto. Ya leo ni moto sana tafadhali usibanduke kutoka kwenye runinga
yako." Mwaruka alikuwa ameshikwa na ghadhabu akazikaribia kamera
akitaka kuzivunja. Kamau, aliyekuwa ameishika kamera alimrushia Mwaruka
kofi na kumwambia, "umepatikana leo! Hutatoroka!"
Aisha aliichukua simu ya Mwaruka na kuiangusha chini akaivunja huku
akisema, "hata hii mimi ndiye niliyekununulia na unaitumia kuwapigia
hawara wako! Hata chupi unazovaa ni mimi ndiye ninayezinunua! Huna
shukrani gumegume we! Niletee funguo za gari na nyumba, nirejeshee vitu
vyote nilivyokupa! Hata ile safari ya kukupeleka marekani imekwisha!
Hustahili fadhila punda we!" Mwaruka alikuwa amepiga magoti
akijipurukusha kwa, "Babe nisamehe, ni shetani tu, usifanye hivyo
kumbuka tumetoana mbali!"
Aisha alikuwa hataki kusikia jambo lolote akawa anafoka na kufyoa kwa
hasira. Mwaruka alipojaribu kumsogelea alimpiga kofi na kumwashiria
atoke nyumbani kwake. Alichukua nguo za Mwaruka na kuzirusha nje huku
kamera zikirekodi matukio yote. Wairimu alipata upenyo na kutorokea nje
kisha akatokomea katika kijia cha kulia huku kitaulo chake kikimuanguka
mara kwa mara akawa anakiokota na kuchapua mbio huku watu wakimshangaa
njiani. Aisha alimtoa Mwaruka nje na kumwambia aikome nyumba yake kama
alivyolikoma titi la mamake. Huo ndio ulikuwa mwisho wa mapenzi yao.
Aisha aliwashukuru akina Mugambi na kuwaambia kuwa walikuwa wamemsaidia
kujua ukweli kuhusu mpenziwe.
| Mbana Aisha alitiririkwa na machozi | {
"text": [
"Mwaruka hakumtambua kama mpenziwe"
]
} |
4787_swa | KIVUMBI CHA WAPENZI
Mwaruka alikuwa ameketi sebuleni akitazama runinga wakati simu yake ya
mkononi ilipokiriza. Aliunyoosha mkono wake mezani na kuichukua kisha
akabofya kitufe cha kupokea. Sauti nzito ilisikika ikisema "Haloo
habari yako Mwaruka, unaongea na Mugambi kutoka Kisumu. Niko katika
barabara ya Dala nilipokutana na msichana mrembo niliyekuwa nikimtongoza
lakini akanikataa na kuniambia kuwa ana mpenzi ambaye ni wewe. Nilitaka
kuhakikisha kuwa jambo hili ni kweli ndipo nikaomba nambari yako ya simu
nihakikishe ukweli wa swala hili ndipo niache kumsumbua mwanadada huyu.
Ninataka tu ulitaje jina la mpenzi wako." Mwaruka akajibu, "Mpenzi?
Kwani yeye anasema anaitwa nani?" "Mwaruka hulijui jina la mpenzi
wako? Niambie tu jina la unayechumbiana naye." Mwaruka alijipurukisha
kwa "Mpenzi wangu Atieno ? unamzungumzia Atieno?"
Aisha alikuwa amesimama mkabala na Mugambi huku jasho likimtiririka nayo
machozi yakianza kumtoka huku akijisemea "Namnunulia kila kitu!
Nimemnunulia nyumba na gari. Nimempa mapenzi yote kumbe hata hanitambui
kama mimi ni mpenziwe! Tulijuana kitambo wakati hatuna mbele wala nyuma
nikafanya kazi kama msaidizi wa nyumbani na kuifadhili elimu yake!
Nilijinyima sana. Kweli sijaitendea haki nafsi yangu! Kumbe ana wanawake
wengine? Atieno! Ana mpenzi kwa jina la Atieno! " Aisha alijiangusha
chini akaanza kulia. Mwaruka ambaye ni mwelekezi wa kipindi cha
'Uaminifu wa Wapenzi' kilichokuwa kikipeperushwa moja kwa moja katika
idhaa ya Fanaka alimsihi Aisha aache kulia.
Kipindi cha Uaminifu wa Wapenzi kilikuwa mtego wa kuwakanganya wapenzi
wasiokuwa waaminifu na kuwanasa ili kuanika ukweli hadharani. Mugambi
hakuwa Kisumu. Alikuwa na Aisha nje ya nyumba ya Mwaruka mjini Mombasa
wakati alipokuwa akimpigia simu ile. Kwa kuwa ukweli ulijulikana kuwa
Mwaruka alikuwa ana mpenzi mwingine, kamera zilibebwa nao Aisha na
Mugambi wakaelekea ndani kuuvumbua ukweli wa Mwaruka. Mwaruka alikuwa
bado yupo sebuleni akiitazama runinga wakati Wairimu alipotoka bafuni na
kitaulo kifupi kilichokuwa kimening'inizwa maungoni. Wairimu alikuja
kumkalia Mwaruka mapajani na wakaanza kulishana mabusu nao mlango
ukafunguka na kina Aisha wakaingia.
Bila ya kupoteza muda Aisha alimrukia Wairimu na kuanza kumpiga.
Wanawake wawili walianza vita wakirushiana magumi na makonde. Aisha
alikuwa tu akipiga kelele "Mwaruka nimekosa nini miye hadi unakuwa na
wapenzi wengine? Tena katika nyumba niliyoinunua na pesa zangu
nilizozipata kwa tabu!" Wenye kamera walikuwa wakirekodi tukio hilo
huku Mugambi akiwa anaongea kwa kipaza sauti akisema, "Wapenzi
watazamaji ndipo mwanzo tumefika nyumbani pa Mwaruka amabapo kumewaka
moto. Ya leo ni moto sana tafadhali usibanduke kutoka kwenye runinga
yako." Mwaruka alikuwa ameshikwa na ghadhabu akazikaribia kamera
akitaka kuzivunja. Kamau, aliyekuwa ameishika kamera alimrushia Mwaruka
kofi na kumwambia, "umepatikana leo! Hutatoroka!"
Aisha aliichukua simu ya Mwaruka na kuiangusha chini akaivunja huku
akisema, "hata hii mimi ndiye niliyekununulia na unaitumia kuwapigia
hawara wako! Hata chupi unazovaa ni mimi ndiye ninayezinunua! Huna
shukrani gumegume we! Niletee funguo za gari na nyumba, nirejeshee vitu
vyote nilivyokupa! Hata ile safari ya kukupeleka marekani imekwisha!
Hustahili fadhila punda we!" Mwaruka alikuwa amepiga magoti
akijipurukusha kwa, "Babe nisamehe, ni shetani tu, usifanye hivyo
kumbuka tumetoana mbali!"
Aisha alikuwa hataki kusikia jambo lolote akawa anafoka na kufyoa kwa
hasira. Mwaruka alipojaribu kumsogelea alimpiga kofi na kumwashiria
atoke nyumbani kwake. Alichukua nguo za Mwaruka na kuzirusha nje huku
kamera zikirekodi matukio yote. Wairimu alipata upenyo na kutorokea nje
kisha akatokomea katika kijia cha kulia huku kitaulo chake kikimuanguka
mara kwa mara akawa anakiokota na kuchapua mbio huku watu wakimshangaa
njiani. Aisha alimtoa Mwaruka nje na kumwambia aikome nyumba yake kama
alivyolikoma titi la mamake. Huo ndio ulikuwa mwisho wa mapenzi yao.
Aisha aliwashukuru akina Mugambi na kuwaambia kuwa walikuwa wamemsaidia
kujua ukweli kuhusu mpenziwe.
| Nia ya kipindi ca Uaminifu wa Waminifu ilikuwa ipi | {
"text": [
"Mtego wa kuwakananya wapenzi wasiokuwa waaminifu, kuwanasa na kuwaanika"
]
} |
4787_swa | KIVUMBI CHA WAPENZI
Mwaruka alikuwa ameketi sebuleni akitazama runinga wakati simu yake ya
mkononi ilipokiriza. Aliunyoosha mkono wake mezani na kuichukua kisha
akabofya kitufe cha kupokea. Sauti nzito ilisikika ikisema "Haloo
habari yako Mwaruka, unaongea na Mugambi kutoka Kisumu. Niko katika
barabara ya Dala nilipokutana na msichana mrembo niliyekuwa nikimtongoza
lakini akanikataa na kuniambia kuwa ana mpenzi ambaye ni wewe. Nilitaka
kuhakikisha kuwa jambo hili ni kweli ndipo nikaomba nambari yako ya simu
nihakikishe ukweli wa swala hili ndipo niache kumsumbua mwanadada huyu.
Ninataka tu ulitaje jina la mpenzi wako." Mwaruka akajibu, "Mpenzi?
Kwani yeye anasema anaitwa nani?" "Mwaruka hulijui jina la mpenzi
wako? Niambie tu jina la unayechumbiana naye." Mwaruka alijipurukisha
kwa "Mpenzi wangu Atieno ? unamzungumzia Atieno?"
Aisha alikuwa amesimama mkabala na Mugambi huku jasho likimtiririka nayo
machozi yakianza kumtoka huku akijisemea "Namnunulia kila kitu!
Nimemnunulia nyumba na gari. Nimempa mapenzi yote kumbe hata hanitambui
kama mimi ni mpenziwe! Tulijuana kitambo wakati hatuna mbele wala nyuma
nikafanya kazi kama msaidizi wa nyumbani na kuifadhili elimu yake!
Nilijinyima sana. Kweli sijaitendea haki nafsi yangu! Kumbe ana wanawake
wengine? Atieno! Ana mpenzi kwa jina la Atieno! " Aisha alijiangusha
chini akaanza kulia. Mwaruka ambaye ni mwelekezi wa kipindi cha
'Uaminifu wa Wapenzi' kilichokuwa kikipeperushwa moja kwa moja katika
idhaa ya Fanaka alimsihi Aisha aache kulia.
Kipindi cha Uaminifu wa Wapenzi kilikuwa mtego wa kuwakanganya wapenzi
wasiokuwa waaminifu na kuwanasa ili kuanika ukweli hadharani. Mugambi
hakuwa Kisumu. Alikuwa na Aisha nje ya nyumba ya Mwaruka mjini Mombasa
wakati alipokuwa akimpigia simu ile. Kwa kuwa ukweli ulijulikana kuwa
Mwaruka alikuwa ana mpenzi mwingine, kamera zilibebwa nao Aisha na
Mugambi wakaelekea ndani kuuvumbua ukweli wa Mwaruka. Mwaruka alikuwa
bado yupo sebuleni akiitazama runinga wakati Wairimu alipotoka bafuni na
kitaulo kifupi kilichokuwa kimening'inizwa maungoni. Wairimu alikuja
kumkalia Mwaruka mapajani na wakaanza kulishana mabusu nao mlango
ukafunguka na kina Aisha wakaingia.
Bila ya kupoteza muda Aisha alimrukia Wairimu na kuanza kumpiga.
Wanawake wawili walianza vita wakirushiana magumi na makonde. Aisha
alikuwa tu akipiga kelele "Mwaruka nimekosa nini miye hadi unakuwa na
wapenzi wengine? Tena katika nyumba niliyoinunua na pesa zangu
nilizozipata kwa tabu!" Wenye kamera walikuwa wakirekodi tukio hilo
huku Mugambi akiwa anaongea kwa kipaza sauti akisema, "Wapenzi
watazamaji ndipo mwanzo tumefika nyumbani pa Mwaruka amabapo kumewaka
moto. Ya leo ni moto sana tafadhali usibanduke kutoka kwenye runinga
yako." Mwaruka alikuwa ameshikwa na ghadhabu akazikaribia kamera
akitaka kuzivunja. Kamau, aliyekuwa ameishika kamera alimrushia Mwaruka
kofi na kumwambia, "umepatikana leo! Hutatoroka!"
Aisha aliichukua simu ya Mwaruka na kuiangusha chini akaivunja huku
akisema, "hata hii mimi ndiye niliyekununulia na unaitumia kuwapigia
hawara wako! Hata chupi unazovaa ni mimi ndiye ninayezinunua! Huna
shukrani gumegume we! Niletee funguo za gari na nyumba, nirejeshee vitu
vyote nilivyokupa! Hata ile safari ya kukupeleka marekani imekwisha!
Hustahili fadhila punda we!" Mwaruka alikuwa amepiga magoti
akijipurukusha kwa, "Babe nisamehe, ni shetani tu, usifanye hivyo
kumbuka tumetoana mbali!"
Aisha alikuwa hataki kusikia jambo lolote akawa anafoka na kufyoa kwa
hasira. Mwaruka alipojaribu kumsogelea alimpiga kofi na kumwashiria
atoke nyumbani kwake. Alichukua nguo za Mwaruka na kuzirusha nje huku
kamera zikirekodi matukio yote. Wairimu alipata upenyo na kutorokea nje
kisha akatokomea katika kijia cha kulia huku kitaulo chake kikimuanguka
mara kwa mara akawa anakiokota na kuchapua mbio huku watu wakimshangaa
njiani. Aisha alimtoa Mwaruka nje na kumwambia aikome nyumba yake kama
alivyolikoma titi la mamake. Huo ndio ulikuwa mwisho wa mapenzi yao.
Aisha aliwashukuru akina Mugambi na kuwaambia kuwa walikuwa wamemsaidia
kujua ukweli kuhusu mpenziwe.
| Aisha alikuwa amefanyia nini Mwaruka | {
"text": [
"Kumnunulia nyumba, gari na kumwahidi kumpeleka Marekani"
]
} |
4787_swa | KIVUMBI CHA WAPENZI
Mwaruka alikuwa ameketi sebuleni akitazama runinga wakati simu yake ya
mkononi ilipokiriza. Aliunyoosha mkono wake mezani na kuichukua kisha
akabofya kitufe cha kupokea. Sauti nzito ilisikika ikisema "Haloo
habari yako Mwaruka, unaongea na Mugambi kutoka Kisumu. Niko katika
barabara ya Dala nilipokutana na msichana mrembo niliyekuwa nikimtongoza
lakini akanikataa na kuniambia kuwa ana mpenzi ambaye ni wewe. Nilitaka
kuhakikisha kuwa jambo hili ni kweli ndipo nikaomba nambari yako ya simu
nihakikishe ukweli wa swala hili ndipo niache kumsumbua mwanadada huyu.
Ninataka tu ulitaje jina la mpenzi wako." Mwaruka akajibu, "Mpenzi?
Kwani yeye anasema anaitwa nani?" "Mwaruka hulijui jina la mpenzi
wako? Niambie tu jina la unayechumbiana naye." Mwaruka alijipurukisha
kwa "Mpenzi wangu Atieno ? unamzungumzia Atieno?"
Aisha alikuwa amesimama mkabala na Mugambi huku jasho likimtiririka nayo
machozi yakianza kumtoka huku akijisemea "Namnunulia kila kitu!
Nimemnunulia nyumba na gari. Nimempa mapenzi yote kumbe hata hanitambui
kama mimi ni mpenziwe! Tulijuana kitambo wakati hatuna mbele wala nyuma
nikafanya kazi kama msaidizi wa nyumbani na kuifadhili elimu yake!
Nilijinyima sana. Kweli sijaitendea haki nafsi yangu! Kumbe ana wanawake
wengine? Atieno! Ana mpenzi kwa jina la Atieno! " Aisha alijiangusha
chini akaanza kulia. Mwaruka ambaye ni mwelekezi wa kipindi cha
'Uaminifu wa Wapenzi' kilichokuwa kikipeperushwa moja kwa moja katika
idhaa ya Fanaka alimsihi Aisha aache kulia.
Kipindi cha Uaminifu wa Wapenzi kilikuwa mtego wa kuwakanganya wapenzi
wasiokuwa waaminifu na kuwanasa ili kuanika ukweli hadharani. Mugambi
hakuwa Kisumu. Alikuwa na Aisha nje ya nyumba ya Mwaruka mjini Mombasa
wakati alipokuwa akimpigia simu ile. Kwa kuwa ukweli ulijulikana kuwa
Mwaruka alikuwa ana mpenzi mwingine, kamera zilibebwa nao Aisha na
Mugambi wakaelekea ndani kuuvumbua ukweli wa Mwaruka. Mwaruka alikuwa
bado yupo sebuleni akiitazama runinga wakati Wairimu alipotoka bafuni na
kitaulo kifupi kilichokuwa kimening'inizwa maungoni. Wairimu alikuja
kumkalia Mwaruka mapajani na wakaanza kulishana mabusu nao mlango
ukafunguka na kina Aisha wakaingia.
Bila ya kupoteza muda Aisha alimrukia Wairimu na kuanza kumpiga.
Wanawake wawili walianza vita wakirushiana magumi na makonde. Aisha
alikuwa tu akipiga kelele "Mwaruka nimekosa nini miye hadi unakuwa na
wapenzi wengine? Tena katika nyumba niliyoinunua na pesa zangu
nilizozipata kwa tabu!" Wenye kamera walikuwa wakirekodi tukio hilo
huku Mugambi akiwa anaongea kwa kipaza sauti akisema, "Wapenzi
watazamaji ndipo mwanzo tumefika nyumbani pa Mwaruka amabapo kumewaka
moto. Ya leo ni moto sana tafadhali usibanduke kutoka kwenye runinga
yako." Mwaruka alikuwa ameshikwa na ghadhabu akazikaribia kamera
akitaka kuzivunja. Kamau, aliyekuwa ameishika kamera alimrushia Mwaruka
kofi na kumwambia, "umepatikana leo! Hutatoroka!"
Aisha aliichukua simu ya Mwaruka na kuiangusha chini akaivunja huku
akisema, "hata hii mimi ndiye niliyekununulia na unaitumia kuwapigia
hawara wako! Hata chupi unazovaa ni mimi ndiye ninayezinunua! Huna
shukrani gumegume we! Niletee funguo za gari na nyumba, nirejeshee vitu
vyote nilivyokupa! Hata ile safari ya kukupeleka marekani imekwisha!
Hustahili fadhila punda we!" Mwaruka alikuwa amepiga magoti
akijipurukusha kwa, "Babe nisamehe, ni shetani tu, usifanye hivyo
kumbuka tumetoana mbali!"
Aisha alikuwa hataki kusikia jambo lolote akawa anafoka na kufyoa kwa
hasira. Mwaruka alipojaribu kumsogelea alimpiga kofi na kumwashiria
atoke nyumbani kwake. Alichukua nguo za Mwaruka na kuzirusha nje huku
kamera zikirekodi matukio yote. Wairimu alipata upenyo na kutorokea nje
kisha akatokomea katika kijia cha kulia huku kitaulo chake kikimuanguka
mara kwa mara akawa anakiokota na kuchapua mbio huku watu wakimshangaa
njiani. Aisha alimtoa Mwaruka nje na kumwambia aikome nyumba yake kama
alivyolikoma titi la mamake. Huo ndio ulikuwa mwisho wa mapenzi yao.
Aisha aliwashukuru akina Mugambi na kuwaambia kuwa walikuwa wamemsaidia
kujua ukweli kuhusu mpenziwe.
| Aisha alichukua hatua gani baada ya kujua mpenziwe alimhadaa | {
"text": [
"Alimpiga kofi na kuchukua nguo zake na kuzirusha nje"
]
} |
4788_swa | Kule kuukubali ukristo kulimaanisha kuuasi uafrika pamoja na utamaduni wake. Kulimaanisha pia kuikataa miko na matambiko ambayo yalikuwa yanatuunganisha. Kulimaanisha kuyakubali maisha na tabia za aina Fulani kutoka bara uropa. Wamisheni walikuwa wameshambulia maisha ya jamii zetu na kushutumu mila na desturi za waafrika kama vile nyimbo na densi za kuvutia miungu mbalimbali, mambo ambayo yalitokana na misimamo Yao kuhusu Imani kama hizi.
Kwa sababu hii, nchini Kenya Kwa mfano, huku waafrika wakinyanfanywa mashamba na raslimali nyingine zilizotokana na jasho lao, wamisheni nao waliwanyanganya roho zao. Hivyo basi, mwili na roho ya mwafrika ilikatwakatwa Kwa ahadi ya mazuri ya mbinguni Uropa.
Elimu haikua jawabu Kwa nyoyo za waafrika zilizokuwa na njaa kwani ilitukuza maadili ya kikristo ambayo yalikuwa yamedinda kushutumu kudhulumiwa Kwa-mwafrika - kimwili na kiakili. Elimu ya kwanza aliyopata mwafrika ilikuwa ya kumwezesha kuisoma biblia ili aweze kutekeleza majukumu rahisi kama msaidizi wa wamisheni. Ndipo baadaye elimu ikaanza kuchukuliwa kama kigezo muhimu cha kujipatia kazi nzuri, kuwa na Mali na hivyo kuishia maisha mazuri, ingawa katika mfumo wa maisha ya huko uropa. Mwafrika aliyekuwa amesoma na mkristo, alikuwa tayari amejitenga na asili na utamaduni wake. Uhasama kati ya wakenya na kanisa za misheni, kuanzisha Kwa makanisa yenye misingi yake katika uafrika pamoja na masuala ya kidini ya vuguvugu la maumau, yote yalikuwa mazao ya uhasama wa kitamaduni ulioasisiwa na haja ya wamisheni ya kumbadili mwafrika. Makanisa mbalimbali yaliyoanza yaliwa na uhusiano na wamisheni na baadaye kujitenga yalijaribu kuanzisha mfumo wa maombi na elimu ambao ulikuwa sambamba na uliohusiana na matamanio ya jamii ya kiafrika huku yakijumuisha baadhi ya tamaduni za kiafrika katika kuabudu na maisha ya Kila siku.
Siku hizi, kanisa nchini Kenya ni zao la wamisheni kutoka bara uropa. Wamisheni walikuwa sehemu ya mchakato wa historia yetu yaani majilio ya wakoloni. Au kwa maneno mengine, wamisheni, masetla, na wazungu wengine walikuwa maajenti wa wakoloni. Imewahi kusemekana kuwa wanabiashara kutoka ulaya na masetla walifuata miongozo iliyotolewa na wamisheni.
Katika maeneo mengine barani Afrika, uongozi wa kisasa ulioasisiwa kutokana na ombi au shinikizo la wamisheni kutoka nchi ya wakoloni.
| Kule kuukubali Ukristo kulimaanisha kuuasi nini | {
"text": [
"Uafrika"
]
} |
4788_swa | Kule kuukubali ukristo kulimaanisha kuuasi uafrika pamoja na utamaduni wake. Kulimaanisha pia kuikataa miko na matambiko ambayo yalikuwa yanatuunganisha. Kulimaanisha kuyakubali maisha na tabia za aina Fulani kutoka bara uropa. Wamisheni walikuwa wameshambulia maisha ya jamii zetu na kushutumu mila na desturi za waafrika kama vile nyimbo na densi za kuvutia miungu mbalimbali, mambo ambayo yalitokana na misimamo Yao kuhusu Imani kama hizi.
Kwa sababu hii, nchini Kenya Kwa mfano, huku waafrika wakinyanfanywa mashamba na raslimali nyingine zilizotokana na jasho lao, wamisheni nao waliwanyanganya roho zao. Hivyo basi, mwili na roho ya mwafrika ilikatwakatwa Kwa ahadi ya mazuri ya mbinguni Uropa.
Elimu haikua jawabu Kwa nyoyo za waafrika zilizokuwa na njaa kwani ilitukuza maadili ya kikristo ambayo yalikuwa yamedinda kushutumu kudhulumiwa Kwa-mwafrika - kimwili na kiakili. Elimu ya kwanza aliyopata mwafrika ilikuwa ya kumwezesha kuisoma biblia ili aweze kutekeleza majukumu rahisi kama msaidizi wa wamisheni. Ndipo baadaye elimu ikaanza kuchukuliwa kama kigezo muhimu cha kujipatia kazi nzuri, kuwa na Mali na hivyo kuishia maisha mazuri, ingawa katika mfumo wa maisha ya huko uropa. Mwafrika aliyekuwa amesoma na mkristo, alikuwa tayari amejitenga na asili na utamaduni wake. Uhasama kati ya wakenya na kanisa za misheni, kuanzisha Kwa makanisa yenye misingi yake katika uafrika pamoja na masuala ya kidini ya vuguvugu la maumau, yote yalikuwa mazao ya uhasama wa kitamaduni ulioasisiwa na haja ya wamisheni ya kumbadili mwafrika. Makanisa mbalimbali yaliyoanza yaliwa na uhusiano na wamisheni na baadaye kujitenga yalijaribu kuanzisha mfumo wa maombi na elimu ambao ulikuwa sambamba na uliohusiana na matamanio ya jamii ya kiafrika huku yakijumuisha baadhi ya tamaduni za kiafrika katika kuabudu na maisha ya Kila siku.
Siku hizi, kanisa nchini Kenya ni zao la wamisheni kutoka bara uropa. Wamisheni walikuwa sehemu ya mchakato wa historia yetu yaani majilio ya wakoloni. Au kwa maneno mengine, wamisheni, masetla, na wazungu wengine walikuwa maajenti wa wakoloni. Imewahi kusemekana kuwa wanabiashara kutoka ulaya na masetla walifuata miongozo iliyotolewa na wamisheni.
Katika maeneo mengine barani Afrika, uongozi wa kisasa ulioasisiwa kutokana na ombi au shinikizo la wamisheni kutoka nchi ya wakoloni.
| Huku waafrika wakinyanganywa mashamba na raslimali nyingine, wamisheni waliwanyanganya nini | {
"text": [
"Roho zao"
]
} |
4788_swa | Kule kuukubali ukristo kulimaanisha kuuasi uafrika pamoja na utamaduni wake. Kulimaanisha pia kuikataa miko na matambiko ambayo yalikuwa yanatuunganisha. Kulimaanisha kuyakubali maisha na tabia za aina Fulani kutoka bara uropa. Wamisheni walikuwa wameshambulia maisha ya jamii zetu na kushutumu mila na desturi za waafrika kama vile nyimbo na densi za kuvutia miungu mbalimbali, mambo ambayo yalitokana na misimamo Yao kuhusu Imani kama hizi.
Kwa sababu hii, nchini Kenya Kwa mfano, huku waafrika wakinyanfanywa mashamba na raslimali nyingine zilizotokana na jasho lao, wamisheni nao waliwanyanganya roho zao. Hivyo basi, mwili na roho ya mwafrika ilikatwakatwa Kwa ahadi ya mazuri ya mbinguni Uropa.
Elimu haikua jawabu Kwa nyoyo za waafrika zilizokuwa na njaa kwani ilitukuza maadili ya kikristo ambayo yalikuwa yamedinda kushutumu kudhulumiwa Kwa-mwafrika - kimwili na kiakili. Elimu ya kwanza aliyopata mwafrika ilikuwa ya kumwezesha kuisoma biblia ili aweze kutekeleza majukumu rahisi kama msaidizi wa wamisheni. Ndipo baadaye elimu ikaanza kuchukuliwa kama kigezo muhimu cha kujipatia kazi nzuri, kuwa na Mali na hivyo kuishia maisha mazuri, ingawa katika mfumo wa maisha ya huko uropa. Mwafrika aliyekuwa amesoma na mkristo, alikuwa tayari amejitenga na asili na utamaduni wake. Uhasama kati ya wakenya na kanisa za misheni, kuanzisha Kwa makanisa yenye misingi yake katika uafrika pamoja na masuala ya kidini ya vuguvugu la maumau, yote yalikuwa mazao ya uhasama wa kitamaduni ulioasisiwa na haja ya wamisheni ya kumbadili mwafrika. Makanisa mbalimbali yaliyoanza yaliwa na uhusiano na wamisheni na baadaye kujitenga yalijaribu kuanzisha mfumo wa maombi na elimu ambao ulikuwa sambamba na uliohusiana na matamanio ya jamii ya kiafrika huku yakijumuisha baadhi ya tamaduni za kiafrika katika kuabudu na maisha ya Kila siku.
Siku hizi, kanisa nchini Kenya ni zao la wamisheni kutoka bara uropa. Wamisheni walikuwa sehemu ya mchakato wa historia yetu yaani majilio ya wakoloni. Au kwa maneno mengine, wamisheni, masetla, na wazungu wengine walikuwa maajenti wa wakoloni. Imewahi kusemekana kuwa wanabiashara kutoka ulaya na masetla walifuata miongozo iliyotolewa na wamisheni.
Katika maeneo mengine barani Afrika, uongozi wa kisasa ulioasisiwa kutokana na ombi au shinikizo la wamisheni kutoka nchi ya wakoloni.
| Nini hakikuwa jawabu kwa nyoyo za waafrika zilizokuwa na njaa | {
"text": [
"Elimu"
]
} |
4788_swa | Kule kuukubali ukristo kulimaanisha kuuasi uafrika pamoja na utamaduni wake. Kulimaanisha pia kuikataa miko na matambiko ambayo yalikuwa yanatuunganisha. Kulimaanisha kuyakubali maisha na tabia za aina Fulani kutoka bara uropa. Wamisheni walikuwa wameshambulia maisha ya jamii zetu na kushutumu mila na desturi za waafrika kama vile nyimbo na densi za kuvutia miungu mbalimbali, mambo ambayo yalitokana na misimamo Yao kuhusu Imani kama hizi.
Kwa sababu hii, nchini Kenya Kwa mfano, huku waafrika wakinyanfanywa mashamba na raslimali nyingine zilizotokana na jasho lao, wamisheni nao waliwanyanganya roho zao. Hivyo basi, mwili na roho ya mwafrika ilikatwakatwa Kwa ahadi ya mazuri ya mbinguni Uropa.
Elimu haikua jawabu Kwa nyoyo za waafrika zilizokuwa na njaa kwani ilitukuza maadili ya kikristo ambayo yalikuwa yamedinda kushutumu kudhulumiwa Kwa-mwafrika - kimwili na kiakili. Elimu ya kwanza aliyopata mwafrika ilikuwa ya kumwezesha kuisoma biblia ili aweze kutekeleza majukumu rahisi kama msaidizi wa wamisheni. Ndipo baadaye elimu ikaanza kuchukuliwa kama kigezo muhimu cha kujipatia kazi nzuri, kuwa na Mali na hivyo kuishia maisha mazuri, ingawa katika mfumo wa maisha ya huko uropa. Mwafrika aliyekuwa amesoma na mkristo, alikuwa tayari amejitenga na asili na utamaduni wake. Uhasama kati ya wakenya na kanisa za misheni, kuanzisha Kwa makanisa yenye misingi yake katika uafrika pamoja na masuala ya kidini ya vuguvugu la maumau, yote yalikuwa mazao ya uhasama wa kitamaduni ulioasisiwa na haja ya wamisheni ya kumbadili mwafrika. Makanisa mbalimbali yaliyoanza yaliwa na uhusiano na wamisheni na baadaye kujitenga yalijaribu kuanzisha mfumo wa maombi na elimu ambao ulikuwa sambamba na uliohusiana na matamanio ya jamii ya kiafrika huku yakijumuisha baadhi ya tamaduni za kiafrika katika kuabudu na maisha ya Kila siku.
Siku hizi, kanisa nchini Kenya ni zao la wamisheni kutoka bara uropa. Wamisheni walikuwa sehemu ya mchakato wa historia yetu yaani majilio ya wakoloni. Au kwa maneno mengine, wamisheni, masetla, na wazungu wengine walikuwa maajenti wa wakoloni. Imewahi kusemekana kuwa wanabiashara kutoka ulaya na masetla walifuata miongozo iliyotolewa na wamisheni.
Katika maeneo mengine barani Afrika, uongozi wa kisasa ulioasisiwa kutokana na ombi au shinikizo la wamisheni kutoka nchi ya wakoloni.
| Baadaye elimu ilianza kuchukuliwa kama kigezo muhimu cha kujipatia nini | {
"text": [
"Kazi nzuri"
]
} |
4788_swa | Kule kuukubali ukristo kulimaanisha kuuasi uafrika pamoja na utamaduni wake. Kulimaanisha pia kuikataa miko na matambiko ambayo yalikuwa yanatuunganisha. Kulimaanisha kuyakubali maisha na tabia za aina Fulani kutoka bara uropa. Wamisheni walikuwa wameshambulia maisha ya jamii zetu na kushutumu mila na desturi za waafrika kama vile nyimbo na densi za kuvutia miungu mbalimbali, mambo ambayo yalitokana na misimamo Yao kuhusu Imani kama hizi.
Kwa sababu hii, nchini Kenya Kwa mfano, huku waafrika wakinyanfanywa mashamba na raslimali nyingine zilizotokana na jasho lao, wamisheni nao waliwanyanganya roho zao. Hivyo basi, mwili na roho ya mwafrika ilikatwakatwa Kwa ahadi ya mazuri ya mbinguni Uropa.
Elimu haikua jawabu Kwa nyoyo za waafrika zilizokuwa na njaa kwani ilitukuza maadili ya kikristo ambayo yalikuwa yamedinda kushutumu kudhulumiwa Kwa-mwafrika - kimwili na kiakili. Elimu ya kwanza aliyopata mwafrika ilikuwa ya kumwezesha kuisoma biblia ili aweze kutekeleza majukumu rahisi kama msaidizi wa wamisheni. Ndipo baadaye elimu ikaanza kuchukuliwa kama kigezo muhimu cha kujipatia kazi nzuri, kuwa na Mali na hivyo kuishia maisha mazuri, ingawa katika mfumo wa maisha ya huko uropa. Mwafrika aliyekuwa amesoma na mkristo, alikuwa tayari amejitenga na asili na utamaduni wake. Uhasama kati ya wakenya na kanisa za misheni, kuanzisha Kwa makanisa yenye misingi yake katika uafrika pamoja na masuala ya kidini ya vuguvugu la maumau, yote yalikuwa mazao ya uhasama wa kitamaduni ulioasisiwa na haja ya wamisheni ya kumbadili mwafrika. Makanisa mbalimbali yaliyoanza yaliwa na uhusiano na wamisheni na baadaye kujitenga yalijaribu kuanzisha mfumo wa maombi na elimu ambao ulikuwa sambamba na uliohusiana na matamanio ya jamii ya kiafrika huku yakijumuisha baadhi ya tamaduni za kiafrika katika kuabudu na maisha ya Kila siku.
Siku hizi, kanisa nchini Kenya ni zao la wamisheni kutoka bara uropa. Wamisheni walikuwa sehemu ya mchakato wa historia yetu yaani majilio ya wakoloni. Au kwa maneno mengine, wamisheni, masetla, na wazungu wengine walikuwa maajenti wa wakoloni. Imewahi kusemekana kuwa wanabiashara kutoka ulaya na masetla walifuata miongozo iliyotolewa na wamisheni.
Katika maeneo mengine barani Afrika, uongozi wa kisasa ulioasisiwa kutokana na ombi au shinikizo la wamisheni kutoka nchi ya wakoloni.
| Siku hizi, kanisa nchini Kenya ni zao la wamisheni kutoka wapi | {
"text": [
"Bara Uropa"
]
} |
4789_swa | LISHE BORA
Chakula ni kitu Cha muhimu katika maisha ya Kila mwanadamu. Kila mtu
hukubaliana na hili. Aidha, jambo la muhimu sana sio jinsi
inavyoandaliwa Wala kipimo iliwapo. La muhimu zaidi ni kuweza kupata
lishe bora. Mara nyingi Madaktari na Wanasayansi wanasisitiza ya kwamba
Kila mtu anafaa kula vyakula mbalimbali ili kupata virutubisho
vinavyohitajika mwilini. Virutubisho husaidia katika kukinga mwili dhidi
ya magonjwa na pia kuwezesha mwili kukua ipasavyo. Kwa hivyo hili ni
jambo linalopaswa kupewa kipao mbele katika Kila jamii Dunia nzima.
Ijapokuwa mara nyingi watu wameendelea kupuuza haya, wadau katika wizara
ya afya wanaendelea kusisitiza umuhimu wake. Watoto Kwa vijana na hata
wakongwe wanapaswa kupata lishe bora ili tuweze kuwa na jamii yenye afya
nzuri. Wadau husema ya kwamba jamii yenye afya njema ndiyo hufanya kazi
Bora.
Tukiangazia lishe bora, tunaagalia vyakula vingi vinavyoleta virutubisho
tofauti tofauti. Kwa kawaida Kuna aina tatu ya vyakula huangaziwa Sana
katika idara hili. Kwanza ni kabohidrati. Vyakula vya aina hii ni kama
mahindi, Mchele na kadhalika. Kazi ya kabohidrati Sana Sana ni kupeana
nguvu mwilini. Pili Kuna protini. Hii husaidia katika ukuaji na
kuimarisha mwili. Protini hupatikana katika vyakula vinavyotokana na
mimea na hata katika wanyama. Zinazotokana na mimea ni kama maharagwe
ilhali protini ambazo hupatikana katika wanyama ni nyama, mayai na
mengine. Tatu ni vitamini. Kazi yake haswa inayojulikana ni kusaidia
mwili ili vidonda viweze kupona haraka. Vitamini hupatikana Sana katika
matunda na mboga. Kulingana na kazi ya chakula mbalimbali mwilini, Kila
mtu yapaswa kuzingatia wanaosema wahudumu wa afya.
Swala la muhimu Sasa ni kwa nini watu hawatilii maanani swala hili la
lishe bora? Kulingana na utafiti mbalimbali, takwimu yaonyesha kuwa ni
wachache mno huzingatatia na kufuata jinsi ya kula ipasavyo. Wengi wa
wale wanaofanya hivyo ni wale wako na uwezo kifedha. Hi ni kwa sababu
wasio na uwezo kifedha mara nyingi husema Bora uhai. Kwa hivyo hununua
tu aina mbili ya vyakula au Moja isiyoweza kuwapea virutubisho
vipasavyo. Wao husema Bora wamepata kutoa makali ya njaa na kupata
kushiba. Kwa hivyo Kinga mwilini inakosekana. Pia utapata ya kwamba
wanakosa afya njema. Sasa wanakuwa rahisi wa kupatwa na magonjwa
mbalimbali.
Ukosefu wa fedha na uhaba wa vyakula ndio chanzo kuu cha ukosefu wa
lishe bora. Wengi husema ya kwamba vyakula vimekuwa bei Kali haswa
matunda. Kwa hivyo utapata wale walio ma mapato ya chini watakosa
kuyanunua matunda Kwa sababu ya bei. Kwa mfano wanaoishi katika mitaa ya
mabanda wengi wao hula tu matunda wakienda vijijini. Hii ni kwa sababu
bei ya tunda Moja huenda ukawa ndio ya kununua chakula Cha kutosha Kwa
siku mzima katika familia Moja.
Ingawa watu hawazingatii haya, umuhimu wa lishe bora umedhihirika wazi
wakati huu wa korona. Mtu yeyote aliyepatwa na ugonjwa huu aliambiwa
Moja wapo ya tiba ama hoja muhimu ni kupata kula ipasavyo na kunywa maji
mingi. Kwa hivyo wagonjwa wengi wamejaribu kufanya hivyo na matokeo Yao
yamekuwa Bora. Kulingana na hayo yote, watu wengi wamegundua ya kwamba
lishe bora ni kitu cha muhimu sio tu wakati huu wa korona, Bali katika
Kila Hali ili mtu awe na afya njema na kuweza kupata Kinga dhidi ya
magonjwa.
| Kitu cha muhimu katika maisha ya mwanadamu ni gani | {
"text": [
"Chakula"
]
} |
4789_swa | LISHE BORA
Chakula ni kitu Cha muhimu katika maisha ya Kila mwanadamu. Kila mtu
hukubaliana na hili. Aidha, jambo la muhimu sana sio jinsi
inavyoandaliwa Wala kipimo iliwapo. La muhimu zaidi ni kuweza kupata
lishe bora. Mara nyingi Madaktari na Wanasayansi wanasisitiza ya kwamba
Kila mtu anafaa kula vyakula mbalimbali ili kupata virutubisho
vinavyohitajika mwilini. Virutubisho husaidia katika kukinga mwili dhidi
ya magonjwa na pia kuwezesha mwili kukua ipasavyo. Kwa hivyo hili ni
jambo linalopaswa kupewa kipao mbele katika Kila jamii Dunia nzima.
Ijapokuwa mara nyingi watu wameendelea kupuuza haya, wadau katika wizara
ya afya wanaendelea kusisitiza umuhimu wake. Watoto Kwa vijana na hata
wakongwe wanapaswa kupata lishe bora ili tuweze kuwa na jamii yenye afya
nzuri. Wadau husema ya kwamba jamii yenye afya njema ndiyo hufanya kazi
Bora.
Tukiangazia lishe bora, tunaagalia vyakula vingi vinavyoleta virutubisho
tofauti tofauti. Kwa kawaida Kuna aina tatu ya vyakula huangaziwa Sana
katika idara hili. Kwanza ni kabohidrati. Vyakula vya aina hii ni kama
mahindi, Mchele na kadhalika. Kazi ya kabohidrati Sana Sana ni kupeana
nguvu mwilini. Pili Kuna protini. Hii husaidia katika ukuaji na
kuimarisha mwili. Protini hupatikana katika vyakula vinavyotokana na
mimea na hata katika wanyama. Zinazotokana na mimea ni kama maharagwe
ilhali protini ambazo hupatikana katika wanyama ni nyama, mayai na
mengine. Tatu ni vitamini. Kazi yake haswa inayojulikana ni kusaidia
mwili ili vidonda viweze kupona haraka. Vitamini hupatikana Sana katika
matunda na mboga. Kulingana na kazi ya chakula mbalimbali mwilini, Kila
mtu yapaswa kuzingatia wanaosema wahudumu wa afya.
Swala la muhimu Sasa ni kwa nini watu hawatilii maanani swala hili la
lishe bora? Kulingana na utafiti mbalimbali, takwimu yaonyesha kuwa ni
wachache mno huzingatatia na kufuata jinsi ya kula ipasavyo. Wengi wa
wale wanaofanya hivyo ni wale wako na uwezo kifedha. Hi ni kwa sababu
wasio na uwezo kifedha mara nyingi husema Bora uhai. Kwa hivyo hununua
tu aina mbili ya vyakula au Moja isiyoweza kuwapea virutubisho
vipasavyo. Wao husema Bora wamepata kutoa makali ya njaa na kupata
kushiba. Kwa hivyo Kinga mwilini inakosekana. Pia utapata ya kwamba
wanakosa afya njema. Sasa wanakuwa rahisi wa kupatwa na magonjwa
mbalimbali.
Ukosefu wa fedha na uhaba wa vyakula ndio chanzo kuu cha ukosefu wa
lishe bora. Wengi husema ya kwamba vyakula vimekuwa bei Kali haswa
matunda. Kwa hivyo utapata wale walio ma mapato ya chini watakosa
kuyanunua matunda Kwa sababu ya bei. Kwa mfano wanaoishi katika mitaa ya
mabanda wengi wao hula tu matunda wakienda vijijini. Hii ni kwa sababu
bei ya tunda Moja huenda ukawa ndio ya kununua chakula Cha kutosha Kwa
siku mzima katika familia Moja.
Ingawa watu hawazingatii haya, umuhimu wa lishe bora umedhihirika wazi
wakati huu wa korona. Mtu yeyote aliyepatwa na ugonjwa huu aliambiwa
Moja wapo ya tiba ama hoja muhimu ni kupata kula ipasavyo na kunywa maji
mingi. Kwa hivyo wagonjwa wengi wamejaribu kufanya hivyo na matokeo Yao
yamekuwa Bora. Kulingana na hayo yote, watu wengi wamegundua ya kwamba
lishe bora ni kitu cha muhimu sio tu wakati huu wa korona, Bali katika
Kila Hali ili mtu awe na afya njema na kuweza kupata Kinga dhidi ya
magonjwa.
| Nini husaidia kinga ya mwili dhidi ya magonjwa | {
"text": [
"Virutubishi"
]
} |
4789_swa | LISHE BORA
Chakula ni kitu Cha muhimu katika maisha ya Kila mwanadamu. Kila mtu
hukubaliana na hili. Aidha, jambo la muhimu sana sio jinsi
inavyoandaliwa Wala kipimo iliwapo. La muhimu zaidi ni kuweza kupata
lishe bora. Mara nyingi Madaktari na Wanasayansi wanasisitiza ya kwamba
Kila mtu anafaa kula vyakula mbalimbali ili kupata virutubisho
vinavyohitajika mwilini. Virutubisho husaidia katika kukinga mwili dhidi
ya magonjwa na pia kuwezesha mwili kukua ipasavyo. Kwa hivyo hili ni
jambo linalopaswa kupewa kipao mbele katika Kila jamii Dunia nzima.
Ijapokuwa mara nyingi watu wameendelea kupuuza haya, wadau katika wizara
ya afya wanaendelea kusisitiza umuhimu wake. Watoto Kwa vijana na hata
wakongwe wanapaswa kupata lishe bora ili tuweze kuwa na jamii yenye afya
nzuri. Wadau husema ya kwamba jamii yenye afya njema ndiyo hufanya kazi
Bora.
Tukiangazia lishe bora, tunaagalia vyakula vingi vinavyoleta virutubisho
tofauti tofauti. Kwa kawaida Kuna aina tatu ya vyakula huangaziwa Sana
katika idara hili. Kwanza ni kabohidrati. Vyakula vya aina hii ni kama
mahindi, Mchele na kadhalika. Kazi ya kabohidrati Sana Sana ni kupeana
nguvu mwilini. Pili Kuna protini. Hii husaidia katika ukuaji na
kuimarisha mwili. Protini hupatikana katika vyakula vinavyotokana na
mimea na hata katika wanyama. Zinazotokana na mimea ni kama maharagwe
ilhali protini ambazo hupatikana katika wanyama ni nyama, mayai na
mengine. Tatu ni vitamini. Kazi yake haswa inayojulikana ni kusaidia
mwili ili vidonda viweze kupona haraka. Vitamini hupatikana Sana katika
matunda na mboga. Kulingana na kazi ya chakula mbalimbali mwilini, Kila
mtu yapaswa kuzingatia wanaosema wahudumu wa afya.
Swala la muhimu Sasa ni kwa nini watu hawatilii maanani swala hili la
lishe bora? Kulingana na utafiti mbalimbali, takwimu yaonyesha kuwa ni
wachache mno huzingatatia na kufuata jinsi ya kula ipasavyo. Wengi wa
wale wanaofanya hivyo ni wale wako na uwezo kifedha. Hi ni kwa sababu
wasio na uwezo kifedha mara nyingi husema Bora uhai. Kwa hivyo hununua
tu aina mbili ya vyakula au Moja isiyoweza kuwapea virutubisho
vipasavyo. Wao husema Bora wamepata kutoa makali ya njaa na kupata
kushiba. Kwa hivyo Kinga mwilini inakosekana. Pia utapata ya kwamba
wanakosa afya njema. Sasa wanakuwa rahisi wa kupatwa na magonjwa
mbalimbali.
Ukosefu wa fedha na uhaba wa vyakula ndio chanzo kuu cha ukosefu wa
lishe bora. Wengi husema ya kwamba vyakula vimekuwa bei Kali haswa
matunda. Kwa hivyo utapata wale walio ma mapato ya chini watakosa
kuyanunua matunda Kwa sababu ya bei. Kwa mfano wanaoishi katika mitaa ya
mabanda wengi wao hula tu matunda wakienda vijijini. Hii ni kwa sababu
bei ya tunda Moja huenda ukawa ndio ya kununua chakula Cha kutosha Kwa
siku mzima katika familia Moja.
Ingawa watu hawazingatii haya, umuhimu wa lishe bora umedhihirika wazi
wakati huu wa korona. Mtu yeyote aliyepatwa na ugonjwa huu aliambiwa
Moja wapo ya tiba ama hoja muhimu ni kupata kula ipasavyo na kunywa maji
mingi. Kwa hivyo wagonjwa wengi wamejaribu kufanya hivyo na matokeo Yao
yamekuwa Bora. Kulingana na hayo yote, watu wengi wamegundua ya kwamba
lishe bora ni kitu cha muhimu sio tu wakati huu wa korona, Bali katika
Kila Hali ili mtu awe na afya njema na kuweza kupata Kinga dhidi ya
magonjwa.
| Ni nani wanastahili lishe bora | {
"text": [
"Watoto, vijana na hata vikongwe"
]
} |
4789_swa | LISHE BORA
Chakula ni kitu Cha muhimu katika maisha ya Kila mwanadamu. Kila mtu
hukubaliana na hili. Aidha, jambo la muhimu sana sio jinsi
inavyoandaliwa Wala kipimo iliwapo. La muhimu zaidi ni kuweza kupata
lishe bora. Mara nyingi Madaktari na Wanasayansi wanasisitiza ya kwamba
Kila mtu anafaa kula vyakula mbalimbali ili kupata virutubisho
vinavyohitajika mwilini. Virutubisho husaidia katika kukinga mwili dhidi
ya magonjwa na pia kuwezesha mwili kukua ipasavyo. Kwa hivyo hili ni
jambo linalopaswa kupewa kipao mbele katika Kila jamii Dunia nzima.
Ijapokuwa mara nyingi watu wameendelea kupuuza haya, wadau katika wizara
ya afya wanaendelea kusisitiza umuhimu wake. Watoto Kwa vijana na hata
wakongwe wanapaswa kupata lishe bora ili tuweze kuwa na jamii yenye afya
nzuri. Wadau husema ya kwamba jamii yenye afya njema ndiyo hufanya kazi
Bora.
Tukiangazia lishe bora, tunaagalia vyakula vingi vinavyoleta virutubisho
tofauti tofauti. Kwa kawaida Kuna aina tatu ya vyakula huangaziwa Sana
katika idara hili. Kwanza ni kabohidrati. Vyakula vya aina hii ni kama
mahindi, Mchele na kadhalika. Kazi ya kabohidrati Sana Sana ni kupeana
nguvu mwilini. Pili Kuna protini. Hii husaidia katika ukuaji na
kuimarisha mwili. Protini hupatikana katika vyakula vinavyotokana na
mimea na hata katika wanyama. Zinazotokana na mimea ni kama maharagwe
ilhali protini ambazo hupatikana katika wanyama ni nyama, mayai na
mengine. Tatu ni vitamini. Kazi yake haswa inayojulikana ni kusaidia
mwili ili vidonda viweze kupona haraka. Vitamini hupatikana Sana katika
matunda na mboga. Kulingana na kazi ya chakula mbalimbali mwilini, Kila
mtu yapaswa kuzingatia wanaosema wahudumu wa afya.
Swala la muhimu Sasa ni kwa nini watu hawatilii maanani swala hili la
lishe bora? Kulingana na utafiti mbalimbali, takwimu yaonyesha kuwa ni
wachache mno huzingatatia na kufuata jinsi ya kula ipasavyo. Wengi wa
wale wanaofanya hivyo ni wale wako na uwezo kifedha. Hi ni kwa sababu
wasio na uwezo kifedha mara nyingi husema Bora uhai. Kwa hivyo hununua
tu aina mbili ya vyakula au Moja isiyoweza kuwapea virutubisho
vipasavyo. Wao husema Bora wamepata kutoa makali ya njaa na kupata
kushiba. Kwa hivyo Kinga mwilini inakosekana. Pia utapata ya kwamba
wanakosa afya njema. Sasa wanakuwa rahisi wa kupatwa na magonjwa
mbalimbali.
Ukosefu wa fedha na uhaba wa vyakula ndio chanzo kuu cha ukosefu wa
lishe bora. Wengi husema ya kwamba vyakula vimekuwa bei Kali haswa
matunda. Kwa hivyo utapata wale walio ma mapato ya chini watakosa
kuyanunua matunda Kwa sababu ya bei. Kwa mfano wanaoishi katika mitaa ya
mabanda wengi wao hula tu matunda wakienda vijijini. Hii ni kwa sababu
bei ya tunda Moja huenda ukawa ndio ya kununua chakula Cha kutosha Kwa
siku mzima katika familia Moja.
Ingawa watu hawazingatii haya, umuhimu wa lishe bora umedhihirika wazi
wakati huu wa korona. Mtu yeyote aliyepatwa na ugonjwa huu aliambiwa
Moja wapo ya tiba ama hoja muhimu ni kupata kula ipasavyo na kunywa maji
mingi. Kwa hivyo wagonjwa wengi wamejaribu kufanya hivyo na matokeo Yao
yamekuwa Bora. Kulingana na hayo yote, watu wengi wamegundua ya kwamba
lishe bora ni kitu cha muhimu sio tu wakati huu wa korona, Bali katika
Kila Hali ili mtu awe na afya njema na kuweza kupata Kinga dhidi ya
magonjwa.
| Taja aina tatu ya vyakula vinavyoleta virutubishi mwilini | {
"text": [
"Kabohidrati, protini, na vitamini"
]
} |
4789_swa | LISHE BORA
Chakula ni kitu Cha muhimu katika maisha ya Kila mwanadamu. Kila mtu
hukubaliana na hili. Aidha, jambo la muhimu sana sio jinsi
inavyoandaliwa Wala kipimo iliwapo. La muhimu zaidi ni kuweza kupata
lishe bora. Mara nyingi Madaktari na Wanasayansi wanasisitiza ya kwamba
Kila mtu anafaa kula vyakula mbalimbali ili kupata virutubisho
vinavyohitajika mwilini. Virutubisho husaidia katika kukinga mwili dhidi
ya magonjwa na pia kuwezesha mwili kukua ipasavyo. Kwa hivyo hili ni
jambo linalopaswa kupewa kipao mbele katika Kila jamii Dunia nzima.
Ijapokuwa mara nyingi watu wameendelea kupuuza haya, wadau katika wizara
ya afya wanaendelea kusisitiza umuhimu wake. Watoto Kwa vijana na hata
wakongwe wanapaswa kupata lishe bora ili tuweze kuwa na jamii yenye afya
nzuri. Wadau husema ya kwamba jamii yenye afya njema ndiyo hufanya kazi
Bora.
Tukiangazia lishe bora, tunaagalia vyakula vingi vinavyoleta virutubisho
tofauti tofauti. Kwa kawaida Kuna aina tatu ya vyakula huangaziwa Sana
katika idara hili. Kwanza ni kabohidrati. Vyakula vya aina hii ni kama
mahindi, Mchele na kadhalika. Kazi ya kabohidrati Sana Sana ni kupeana
nguvu mwilini. Pili Kuna protini. Hii husaidia katika ukuaji na
kuimarisha mwili. Protini hupatikana katika vyakula vinavyotokana na
mimea na hata katika wanyama. Zinazotokana na mimea ni kama maharagwe
ilhali protini ambazo hupatikana katika wanyama ni nyama, mayai na
mengine. Tatu ni vitamini. Kazi yake haswa inayojulikana ni kusaidia
mwili ili vidonda viweze kupona haraka. Vitamini hupatikana Sana katika
matunda na mboga. Kulingana na kazi ya chakula mbalimbali mwilini, Kila
mtu yapaswa kuzingatia wanaosema wahudumu wa afya.
Swala la muhimu Sasa ni kwa nini watu hawatilii maanani swala hili la
lishe bora? Kulingana na utafiti mbalimbali, takwimu yaonyesha kuwa ni
wachache mno huzingatatia na kufuata jinsi ya kula ipasavyo. Wengi wa
wale wanaofanya hivyo ni wale wako na uwezo kifedha. Hi ni kwa sababu
wasio na uwezo kifedha mara nyingi husema Bora uhai. Kwa hivyo hununua
tu aina mbili ya vyakula au Moja isiyoweza kuwapea virutubisho
vipasavyo. Wao husema Bora wamepata kutoa makali ya njaa na kupata
kushiba. Kwa hivyo Kinga mwilini inakosekana. Pia utapata ya kwamba
wanakosa afya njema. Sasa wanakuwa rahisi wa kupatwa na magonjwa
mbalimbali.
Ukosefu wa fedha na uhaba wa vyakula ndio chanzo kuu cha ukosefu wa
lishe bora. Wengi husema ya kwamba vyakula vimekuwa bei Kali haswa
matunda. Kwa hivyo utapata wale walio ma mapato ya chini watakosa
kuyanunua matunda Kwa sababu ya bei. Kwa mfano wanaoishi katika mitaa ya
mabanda wengi wao hula tu matunda wakienda vijijini. Hii ni kwa sababu
bei ya tunda Moja huenda ukawa ndio ya kununua chakula Cha kutosha Kwa
siku mzima katika familia Moja.
Ingawa watu hawazingatii haya, umuhimu wa lishe bora umedhihirika wazi
wakati huu wa korona. Mtu yeyote aliyepatwa na ugonjwa huu aliambiwa
Moja wapo ya tiba ama hoja muhimu ni kupata kula ipasavyo na kunywa maji
mingi. Kwa hivyo wagonjwa wengi wamejaribu kufanya hivyo na matokeo Yao
yamekuwa Bora. Kulingana na hayo yote, watu wengi wamegundua ya kwamba
lishe bora ni kitu cha muhimu sio tu wakati huu wa korona, Bali katika
Kila Hali ili mtu awe na afya njema na kuweza kupata Kinga dhidi ya
magonjwa.
| Kwa nini ni watu wachache huzingatia lishe bora | {
"text": [
"Ukosefu wa kifedha"
]
} |
4791_swa | Madhara ya mashambulizi
Nchi nyingi zimeshuhudia mashambulizi ya mara kwa mara. Japo nchi nyingi
zimejitahidi katika kudhibiti mashambulizi, hayajaweza kuondoa kabisa.
Barani afrika, nchi nyingi bado zinatatizwa na hili. Sababu nyingi
huchangia katika suala hili . Mojawapo ya sababu hizo ni kutokuwa na
uhusiano mwema baina ya mataifa jirani. Ukosefu wa utangamano na amani
katika nchi jirani huchangia katika uadui huu. Ugomvi kati ya nchi mbili
pia unaosababishwa na utata wa mipaka na sababu nyinginezo. Hali hii
imeshuhudiwa hasa ugomvi wa hivi punde wa mpaka wa bahari kati ya taifa
la Kenya na somalia. Utata huu umesababisha athari nyingi katika mataifa
haya mawili. Jamii hupatwa na madhara mengi sana mashambulizi
yanapotokea.
Madhara ya mashambulizi huathiri sekta mbalimbali katika taifa husika na
hata jirani. Miongoni mwazo ni kama, sekta ya uchumi, ya usalama na
nyingi nyinginezo.
Mashambulizi huweza kuzorotesha uchumi wa taifa na mataifa. Rasilimali
za kiuchumi huteketezwa na kupoteza mabilioni ya fedha. Nchini Kenya,
mashambulizi kama vile ya Westgate miongoni mwa mengine yaliweza
kuathiri pakubwa uchumi wa taifa. Pia, barabara, mijengo, masoko huweza
kuathirika pia. Watu wengi hukosa kazi Kwa sababu ya athari kama hiyo.
Hasa tukizingatia watu huchangia pakubwa katika ulipaji ushuru wa nchi.
Nchi hujikita katika kushughulikia suala hilo la mashambulizi na
kuachilia mbali shughuli za kiuchumi na za kimaendeleo.rasilimali nyingi
hutumiwa katika kudhibiti mashambulizi. Viwanda vingi vilevile
huathiriwa Kwa kusimamishwa Kwa shughuli viwandani humo. Ukuaji wa
viwanda hivyo na uzalishaji wa bidhaa huathirika. Hivyo, kuzorota Kwa
uchumi.
Mashambulizi vilevile huleta udororaji wa usalama. Wananchi huishi Kwa
hofu nyingi Kwa kutokuwepo Kwa usalama.Hali ya kisiasa ya nchi pia
huathirika. Ukosefu wa usalama pia husababisha kutokuwepo Kwa amani
katika nchi. Jambo hili huweza kusababisha uhamaji wa watu kutoka eneo
moja hadi jingine.
Mashambulizi vilevile husababisha umaskini katika nchi. Wananchi Huwa
maskini kwa kukosa ajira au kupoteza kazi zao. Hii ni kutokana na
kuharibiwa kwa vianda na meneo ya kazi kama vile masoko.
Mahali popote ambapo mashambulizi hutokea, vifo pia hutokea.watu huaga
dunia kutokana na mashambulizi kama hayo. Katika shambulio la Westgate
nchini Kenya,watu wengi waliaga dunia. Vilevile, katika shambulio la
chuo kikuu cha garissa, watu wengi walikufa pia. Wakati wa shambulizi
lolote la kigaidi, wananchi hawana habariya ujio wa shambulizi hilo.
Hali hii husababisha watu wengi kuaga dunia.
Mashambulizi vilevile husababisha kuzorota Kwa maendeleo ya nchi. Sekta
kama vile biashara, viwanda, uimarishaji wa miundomsingi husitishwa.
Uchumi ukizorota, basi maendeleo ya nchi husitishwa. Kutokuwepo wa
usalama pia ni miongoni mwa vipengele vya kudhoofisha maendeleo.
Mashambulizi husababisha uharibifu wa rasilimali nyingi za nchi.
Masoko,viwanda,maduka, nyumba za watu wengi huharibiwa wakati
mashambulizi yatukiapo.
Mashambulizi ya kigaidi kwa jumla huathiri jamii kwa upana wake. Athari
katika sekta mbalimbali husabisha shida nyingi katika nchi. Hali hii
hupelekea shida nyingi ambazo zinawakumba wananchi. Ukosefu wa usalama,
uharibifu wa rasilimali, kuzorota Kwa uchumi, vifo vya wananchi,
kusitishwa Kwa maendeleo ni baadhi ya madhara ya mashambulizi
yanapotokea nchini. Ipo haja ya nchi na mataifa kuwa na mbinu za
kukabili na kudhibiti mashambulizi.
Mbinu kabambe zinafaa kuwekwa na mataifa ili kusitisha mashambulizi
hayo. Mataifa pia yanafaa yaweze kushirikiana na kuwa na ujirani mwema,
ili waweze kudhibiti mashambulizi yanayotokea.
| Nchi nyingi zimeshudia mashambulizi ya lini | {
"text": [
"mara kwa mara"
]
} |
4791_swa | Madhara ya mashambulizi
Nchi nyingi zimeshuhudia mashambulizi ya mara kwa mara. Japo nchi nyingi
zimejitahidi katika kudhibiti mashambulizi, hayajaweza kuondoa kabisa.
Barani afrika, nchi nyingi bado zinatatizwa na hili. Sababu nyingi
huchangia katika suala hili . Mojawapo ya sababu hizo ni kutokuwa na
uhusiano mwema baina ya mataifa jirani. Ukosefu wa utangamano na amani
katika nchi jirani huchangia katika uadui huu. Ugomvi kati ya nchi mbili
pia unaosababishwa na utata wa mipaka na sababu nyinginezo. Hali hii
imeshuhudiwa hasa ugomvi wa hivi punde wa mpaka wa bahari kati ya taifa
la Kenya na somalia. Utata huu umesababisha athari nyingi katika mataifa
haya mawili. Jamii hupatwa na madhara mengi sana mashambulizi
yanapotokea.
Madhara ya mashambulizi huathiri sekta mbalimbali katika taifa husika na
hata jirani. Miongoni mwazo ni kama, sekta ya uchumi, ya usalama na
nyingi nyinginezo.
Mashambulizi huweza kuzorotesha uchumi wa taifa na mataifa. Rasilimali
za kiuchumi huteketezwa na kupoteza mabilioni ya fedha. Nchini Kenya,
mashambulizi kama vile ya Westgate miongoni mwa mengine yaliweza
kuathiri pakubwa uchumi wa taifa. Pia, barabara, mijengo, masoko huweza
kuathirika pia. Watu wengi hukosa kazi Kwa sababu ya athari kama hiyo.
Hasa tukizingatia watu huchangia pakubwa katika ulipaji ushuru wa nchi.
Nchi hujikita katika kushughulikia suala hilo la mashambulizi na
kuachilia mbali shughuli za kiuchumi na za kimaendeleo.rasilimali nyingi
hutumiwa katika kudhibiti mashambulizi. Viwanda vingi vilevile
huathiriwa Kwa kusimamishwa Kwa shughuli viwandani humo. Ukuaji wa
viwanda hivyo na uzalishaji wa bidhaa huathirika. Hivyo, kuzorota Kwa
uchumi.
Mashambulizi vilevile huleta udororaji wa usalama. Wananchi huishi Kwa
hofu nyingi Kwa kutokuwepo Kwa usalama.Hali ya kisiasa ya nchi pia
huathirika. Ukosefu wa usalama pia husababisha kutokuwepo Kwa amani
katika nchi. Jambo hili huweza kusababisha uhamaji wa watu kutoka eneo
moja hadi jingine.
Mashambulizi vilevile husababisha umaskini katika nchi. Wananchi Huwa
maskini kwa kukosa ajira au kupoteza kazi zao. Hii ni kutokana na
kuharibiwa kwa vianda na meneo ya kazi kama vile masoko.
Mahali popote ambapo mashambulizi hutokea, vifo pia hutokea.watu huaga
dunia kutokana na mashambulizi kama hayo. Katika shambulio la Westgate
nchini Kenya,watu wengi waliaga dunia. Vilevile, katika shambulio la
chuo kikuu cha garissa, watu wengi walikufa pia. Wakati wa shambulizi
lolote la kigaidi, wananchi hawana habariya ujio wa shambulizi hilo.
Hali hii husababisha watu wengi kuaga dunia.
Mashambulizi vilevile husababisha kuzorota Kwa maendeleo ya nchi. Sekta
kama vile biashara, viwanda, uimarishaji wa miundomsingi husitishwa.
Uchumi ukizorota, basi maendeleo ya nchi husitishwa. Kutokuwepo wa
usalama pia ni miongoni mwa vipengele vya kudhoofisha maendeleo.
Mashambulizi husababisha uharibifu wa rasilimali nyingi za nchi.
Masoko,viwanda,maduka, nyumba za watu wengi huharibiwa wakati
mashambulizi yatukiapo.
Mashambulizi ya kigaidi kwa jumla huathiri jamii kwa upana wake. Athari
katika sekta mbalimbali husabisha shida nyingi katika nchi. Hali hii
hupelekea shida nyingi ambazo zinawakumba wananchi. Ukosefu wa usalama,
uharibifu wa rasilimali, kuzorota Kwa uchumi, vifo vya wananchi,
kusitishwa Kwa maendeleo ni baadhi ya madhara ya mashambulizi
yanapotokea nchini. Ipo haja ya nchi na mataifa kuwa na mbinu za
kukabili na kudhibiti mashambulizi.
Mbinu kabambe zinafaa kuwekwa na mataifa ili kusitisha mashambulizi
hayo. Mataifa pia yanafaa yaweze kushirikiana na kuwa na ujirani mwema,
ili waweze kudhibiti mashambulizi yanayotokea.
| Hakujakuwa na uhusiamo mwema baina ya mataifa gani | {
"text": [
"jirani"
]
} |
4791_swa | Madhara ya mashambulizi
Nchi nyingi zimeshuhudia mashambulizi ya mara kwa mara. Japo nchi nyingi
zimejitahidi katika kudhibiti mashambulizi, hayajaweza kuondoa kabisa.
Barani afrika, nchi nyingi bado zinatatizwa na hili. Sababu nyingi
huchangia katika suala hili . Mojawapo ya sababu hizo ni kutokuwa na
uhusiano mwema baina ya mataifa jirani. Ukosefu wa utangamano na amani
katika nchi jirani huchangia katika uadui huu. Ugomvi kati ya nchi mbili
pia unaosababishwa na utata wa mipaka na sababu nyinginezo. Hali hii
imeshuhudiwa hasa ugomvi wa hivi punde wa mpaka wa bahari kati ya taifa
la Kenya na somalia. Utata huu umesababisha athari nyingi katika mataifa
haya mawili. Jamii hupatwa na madhara mengi sana mashambulizi
yanapotokea.
Madhara ya mashambulizi huathiri sekta mbalimbali katika taifa husika na
hata jirani. Miongoni mwazo ni kama, sekta ya uchumi, ya usalama na
nyingi nyinginezo.
Mashambulizi huweza kuzorotesha uchumi wa taifa na mataifa. Rasilimali
za kiuchumi huteketezwa na kupoteza mabilioni ya fedha. Nchini Kenya,
mashambulizi kama vile ya Westgate miongoni mwa mengine yaliweza
kuathiri pakubwa uchumi wa taifa. Pia, barabara, mijengo, masoko huweza
kuathirika pia. Watu wengi hukosa kazi Kwa sababu ya athari kama hiyo.
Hasa tukizingatia watu huchangia pakubwa katika ulipaji ushuru wa nchi.
Nchi hujikita katika kushughulikia suala hilo la mashambulizi na
kuachilia mbali shughuli za kiuchumi na za kimaendeleo.rasilimali nyingi
hutumiwa katika kudhibiti mashambulizi. Viwanda vingi vilevile
huathiriwa Kwa kusimamishwa Kwa shughuli viwandani humo. Ukuaji wa
viwanda hivyo na uzalishaji wa bidhaa huathirika. Hivyo, kuzorota Kwa
uchumi.
Mashambulizi vilevile huleta udororaji wa usalama. Wananchi huishi Kwa
hofu nyingi Kwa kutokuwepo Kwa usalama.Hali ya kisiasa ya nchi pia
huathirika. Ukosefu wa usalama pia husababisha kutokuwepo Kwa amani
katika nchi. Jambo hili huweza kusababisha uhamaji wa watu kutoka eneo
moja hadi jingine.
Mashambulizi vilevile husababisha umaskini katika nchi. Wananchi Huwa
maskini kwa kukosa ajira au kupoteza kazi zao. Hii ni kutokana na
kuharibiwa kwa vianda na meneo ya kazi kama vile masoko.
Mahali popote ambapo mashambulizi hutokea, vifo pia hutokea.watu huaga
dunia kutokana na mashambulizi kama hayo. Katika shambulio la Westgate
nchini Kenya,watu wengi waliaga dunia. Vilevile, katika shambulio la
chuo kikuu cha garissa, watu wengi walikufa pia. Wakati wa shambulizi
lolote la kigaidi, wananchi hawana habariya ujio wa shambulizi hilo.
Hali hii husababisha watu wengi kuaga dunia.
Mashambulizi vilevile husababisha kuzorota Kwa maendeleo ya nchi. Sekta
kama vile biashara, viwanda, uimarishaji wa miundomsingi husitishwa.
Uchumi ukizorota, basi maendeleo ya nchi husitishwa. Kutokuwepo wa
usalama pia ni miongoni mwa vipengele vya kudhoofisha maendeleo.
Mashambulizi husababisha uharibifu wa rasilimali nyingi za nchi.
Masoko,viwanda,maduka, nyumba za watu wengi huharibiwa wakati
mashambulizi yatukiapo.
Mashambulizi ya kigaidi kwa jumla huathiri jamii kwa upana wake. Athari
katika sekta mbalimbali husabisha shida nyingi katika nchi. Hali hii
hupelekea shida nyingi ambazo zinawakumba wananchi. Ukosefu wa usalama,
uharibifu wa rasilimali, kuzorota Kwa uchumi, vifo vya wananchi,
kusitishwa Kwa maendeleo ni baadhi ya madhara ya mashambulizi
yanapotokea nchini. Ipo haja ya nchi na mataifa kuwa na mbinu za
kukabili na kudhibiti mashambulizi.
Mbinu kabambe zinafaa kuwekwa na mataifa ili kusitisha mashambulizi
hayo. Mataifa pia yanafaa yaweze kushirikiana na kuwa na ujirani mwema,
ili waweze kudhibiti mashambulizi yanayotokea.
| Mashambulizi huleta udororaji wa nini | {
"text": [
"usalama"
]
} |
4791_swa | Madhara ya mashambulizi
Nchi nyingi zimeshuhudia mashambulizi ya mara kwa mara. Japo nchi nyingi
zimejitahidi katika kudhibiti mashambulizi, hayajaweza kuondoa kabisa.
Barani afrika, nchi nyingi bado zinatatizwa na hili. Sababu nyingi
huchangia katika suala hili . Mojawapo ya sababu hizo ni kutokuwa na
uhusiano mwema baina ya mataifa jirani. Ukosefu wa utangamano na amani
katika nchi jirani huchangia katika uadui huu. Ugomvi kati ya nchi mbili
pia unaosababishwa na utata wa mipaka na sababu nyinginezo. Hali hii
imeshuhudiwa hasa ugomvi wa hivi punde wa mpaka wa bahari kati ya taifa
la Kenya na somalia. Utata huu umesababisha athari nyingi katika mataifa
haya mawili. Jamii hupatwa na madhara mengi sana mashambulizi
yanapotokea.
Madhara ya mashambulizi huathiri sekta mbalimbali katika taifa husika na
hata jirani. Miongoni mwazo ni kama, sekta ya uchumi, ya usalama na
nyingi nyinginezo.
Mashambulizi huweza kuzorotesha uchumi wa taifa na mataifa. Rasilimali
za kiuchumi huteketezwa na kupoteza mabilioni ya fedha. Nchini Kenya,
mashambulizi kama vile ya Westgate miongoni mwa mengine yaliweza
kuathiri pakubwa uchumi wa taifa. Pia, barabara, mijengo, masoko huweza
kuathirika pia. Watu wengi hukosa kazi Kwa sababu ya athari kama hiyo.
Hasa tukizingatia watu huchangia pakubwa katika ulipaji ushuru wa nchi.
Nchi hujikita katika kushughulikia suala hilo la mashambulizi na
kuachilia mbali shughuli za kiuchumi na za kimaendeleo.rasilimali nyingi
hutumiwa katika kudhibiti mashambulizi. Viwanda vingi vilevile
huathiriwa Kwa kusimamishwa Kwa shughuli viwandani humo. Ukuaji wa
viwanda hivyo na uzalishaji wa bidhaa huathirika. Hivyo, kuzorota Kwa
uchumi.
Mashambulizi vilevile huleta udororaji wa usalama. Wananchi huishi Kwa
hofu nyingi Kwa kutokuwepo Kwa usalama.Hali ya kisiasa ya nchi pia
huathirika. Ukosefu wa usalama pia husababisha kutokuwepo Kwa amani
katika nchi. Jambo hili huweza kusababisha uhamaji wa watu kutoka eneo
moja hadi jingine.
Mashambulizi vilevile husababisha umaskini katika nchi. Wananchi Huwa
maskini kwa kukosa ajira au kupoteza kazi zao. Hii ni kutokana na
kuharibiwa kwa vianda na meneo ya kazi kama vile masoko.
Mahali popote ambapo mashambulizi hutokea, vifo pia hutokea.watu huaga
dunia kutokana na mashambulizi kama hayo. Katika shambulio la Westgate
nchini Kenya,watu wengi waliaga dunia. Vilevile, katika shambulio la
chuo kikuu cha garissa, watu wengi walikufa pia. Wakati wa shambulizi
lolote la kigaidi, wananchi hawana habariya ujio wa shambulizi hilo.
Hali hii husababisha watu wengi kuaga dunia.
Mashambulizi vilevile husababisha kuzorota Kwa maendeleo ya nchi. Sekta
kama vile biashara, viwanda, uimarishaji wa miundomsingi husitishwa.
Uchumi ukizorota, basi maendeleo ya nchi husitishwa. Kutokuwepo wa
usalama pia ni miongoni mwa vipengele vya kudhoofisha maendeleo.
Mashambulizi husababisha uharibifu wa rasilimali nyingi za nchi.
Masoko,viwanda,maduka, nyumba za watu wengi huharibiwa wakati
mashambulizi yatukiapo.
Mashambulizi ya kigaidi kwa jumla huathiri jamii kwa upana wake. Athari
katika sekta mbalimbali husabisha shida nyingi katika nchi. Hali hii
hupelekea shida nyingi ambazo zinawakumba wananchi. Ukosefu wa usalama,
uharibifu wa rasilimali, kuzorota Kwa uchumi, vifo vya wananchi,
kusitishwa Kwa maendeleo ni baadhi ya madhara ya mashambulizi
yanapotokea nchini. Ipo haja ya nchi na mataifa kuwa na mbinu za
kukabili na kudhibiti mashambulizi.
Mbinu kabambe zinafaa kuwekwa na mataifa ili kusitisha mashambulizi
hayo. Mataifa pia yanafaa yaweze kushirikiana na kuwa na ujirani mwema,
ili waweze kudhibiti mashambulizi yanayotokea.
| Nyumba za nani huharibiwa wakati wa mashambulizi | {
"text": [
"watu wengi"
]
} |
4791_swa | Madhara ya mashambulizi
Nchi nyingi zimeshuhudia mashambulizi ya mara kwa mara. Japo nchi nyingi
zimejitahidi katika kudhibiti mashambulizi, hayajaweza kuondoa kabisa.
Barani afrika, nchi nyingi bado zinatatizwa na hili. Sababu nyingi
huchangia katika suala hili . Mojawapo ya sababu hizo ni kutokuwa na
uhusiano mwema baina ya mataifa jirani. Ukosefu wa utangamano na amani
katika nchi jirani huchangia katika uadui huu. Ugomvi kati ya nchi mbili
pia unaosababishwa na utata wa mipaka na sababu nyinginezo. Hali hii
imeshuhudiwa hasa ugomvi wa hivi punde wa mpaka wa bahari kati ya taifa
la Kenya na somalia. Utata huu umesababisha athari nyingi katika mataifa
haya mawili. Jamii hupatwa na madhara mengi sana mashambulizi
yanapotokea.
Madhara ya mashambulizi huathiri sekta mbalimbali katika taifa husika na
hata jirani. Miongoni mwazo ni kama, sekta ya uchumi, ya usalama na
nyingi nyinginezo.
Mashambulizi huweza kuzorotesha uchumi wa taifa na mataifa. Rasilimali
za kiuchumi huteketezwa na kupoteza mabilioni ya fedha. Nchini Kenya,
mashambulizi kama vile ya Westgate miongoni mwa mengine yaliweza
kuathiri pakubwa uchumi wa taifa. Pia, barabara, mijengo, masoko huweza
kuathirika pia. Watu wengi hukosa kazi Kwa sababu ya athari kama hiyo.
Hasa tukizingatia watu huchangia pakubwa katika ulipaji ushuru wa nchi.
Nchi hujikita katika kushughulikia suala hilo la mashambulizi na
kuachilia mbali shughuli za kiuchumi na za kimaendeleo.rasilimali nyingi
hutumiwa katika kudhibiti mashambulizi. Viwanda vingi vilevile
huathiriwa Kwa kusimamishwa Kwa shughuli viwandani humo. Ukuaji wa
viwanda hivyo na uzalishaji wa bidhaa huathirika. Hivyo, kuzorota Kwa
uchumi.
Mashambulizi vilevile huleta udororaji wa usalama. Wananchi huishi Kwa
hofu nyingi Kwa kutokuwepo Kwa usalama.Hali ya kisiasa ya nchi pia
huathirika. Ukosefu wa usalama pia husababisha kutokuwepo Kwa amani
katika nchi. Jambo hili huweza kusababisha uhamaji wa watu kutoka eneo
moja hadi jingine.
Mashambulizi vilevile husababisha umaskini katika nchi. Wananchi Huwa
maskini kwa kukosa ajira au kupoteza kazi zao. Hii ni kutokana na
kuharibiwa kwa vianda na meneo ya kazi kama vile masoko.
Mahali popote ambapo mashambulizi hutokea, vifo pia hutokea.watu huaga
dunia kutokana na mashambulizi kama hayo. Katika shambulio la Westgate
nchini Kenya,watu wengi waliaga dunia. Vilevile, katika shambulio la
chuo kikuu cha garissa, watu wengi walikufa pia. Wakati wa shambulizi
lolote la kigaidi, wananchi hawana habariya ujio wa shambulizi hilo.
Hali hii husababisha watu wengi kuaga dunia.
Mashambulizi vilevile husababisha kuzorota Kwa maendeleo ya nchi. Sekta
kama vile biashara, viwanda, uimarishaji wa miundomsingi husitishwa.
Uchumi ukizorota, basi maendeleo ya nchi husitishwa. Kutokuwepo wa
usalama pia ni miongoni mwa vipengele vya kudhoofisha maendeleo.
Mashambulizi husababisha uharibifu wa rasilimali nyingi za nchi.
Masoko,viwanda,maduka, nyumba za watu wengi huharibiwa wakati
mashambulizi yatukiapo.
Mashambulizi ya kigaidi kwa jumla huathiri jamii kwa upana wake. Athari
katika sekta mbalimbali husabisha shida nyingi katika nchi. Hali hii
hupelekea shida nyingi ambazo zinawakumba wananchi. Ukosefu wa usalama,
uharibifu wa rasilimali, kuzorota Kwa uchumi, vifo vya wananchi,
kusitishwa Kwa maendeleo ni baadhi ya madhara ya mashambulizi
yanapotokea nchini. Ipo haja ya nchi na mataifa kuwa na mbinu za
kukabili na kudhibiti mashambulizi.
Mbinu kabambe zinafaa kuwekwa na mataifa ili kusitisha mashambulizi
hayo. Mataifa pia yanafaa yaweze kushirikiana na kuwa na ujirani mwema,
ili waweze kudhibiti mashambulizi yanayotokea.
| Mbona mbinu kabambe zinafaa kuwekwa na mataifa | {
"text": [
"ili kusitisha mashambulizi hayo"
]
} |
4792_swa | VIJIMAMBO
"Kenga rusha mpira! Huoooo!" Kelele za watoto waliokuwa wakicheza
zilihanikiza hewani. Kwenye kijia cha mavumbi, Amina, Kenga, Joji,Fami
na watoto wengine wengi walikuwa wakiuchezea mpira walioutengeneza kwa
mifuko ya sandarusi. Mara "Wacha malali! Nyobweeee! Joji rusha juu."
na vicheko vikahanikiza anga huku vumbi likatifuka na kupepea angani na
kuunda kiwingu. Watoto watatu wa kike walikuwa wameketi kibarazani
wakikoroga matope kwenye vifuu vya nazi. Wengine walikuwa wakicheza na
wanasesere waliowatengeneza kwa viguguta vya mahindi. Diana alikuwa
amemweka mwanasesere wake mgongoni huku akimwimbia bembezi kwa sauti
nyororo.
Mzee mmoja alipita katika kijia hicho ambacho watoto walikuwa wakicheza.
Mpira ulirushwa na ukaangukia kwenye mkongojo wake naye akaanguka chini
pu! "Yarabbi stara! Jamani miguu yangu! Pumbavu zenu! Nimebakiza siku
chache tu na mnataka kunitoa roho kabla ya siku zangu!" Mzee alifoka
huku watoto wakimsaidia kuinuka na kumfuta vumbi lililokolea kwenye
kikoi chake. Mzee huyo alikuwa ameghadhabika akasimama na kuushika ukuta
huku ameushikilia mkongojo hewani akampiga nao Kenga aliyekuwa anamfuta
mavumbi. Watoto wote walitorokea mafichoni na wakarudi kuendelea na
mchezo wao wakati mzee huyo alipotokomea na kujiendea zake.
Mchezo ulinoga kwa nusu saa mara dirisha la mbao likafunguliwa naye Mama
Jenifa akatokeza kichwa chake akifoka, "Toeni kelele zenu hapa
mtaniamshia mtoto! Maluuni nyie mpaka mcheze madirishani mwa watu kwa
kelele! Chezeni kwa utulivu ama nitakuja kuwapiga na bakora kisawasawa!
Wenzenu wakisoma madaftari yao nyie ni kelele tu. Si hata mkalale
mtulize vichwa vyenu mpate kukua! Purukushani tu huku na kule. Mmekua
kama sikio la kufa hamuambiliki hamsemezeki. Sasa ole wenu, pigeni tena
kelele niwatibue!" Mama Jenifa alilifunga dirisha lake kukawa kimya.
Watoto wakaangaliana na kisha wakasogea mbali kidogo na dirisha huku
wakijichekea kichinichini.
Mchezo wa mpira uliendelea tena mara mpira ukaanguka juu ya paa la
nyumba ya Mzee Mengi na kutua. Mpira huo ulikuwa hausogei na paa hilo
lilikuwa juu sana kiasi cha kwamba watoto wale wasingeufikia. Baada ya
kufikiri kwa muda, Joji aliwaambia wenzake warushe mawe ili waweze
kuuangusha mpira chini. Katika harakati za kurusha mawe, jiwe la Fami
lilimpata Maria kichwani akawa anatoka damu na kulia kwa sauti kubwa
kwelikweli. Maria alikuwa miongoni mwa watoto waliokuwa wakichezea
wanasesere pale kibarazani. Bi. Sada alikisikia kilio cha mwanawe na
kujitundika kanga begani akatoka nje haraka. Hata viatu hakuvaa kwa
haraka zake.
Bi. Sada alimshika mwanaye aliyekuwa akilia huku akimwotea kidole Fami.
Bi Sada alikuwa alijifunga leso yake kiunoni na kumshikilia Fami. "Twende kwa mamako mjinga we! Wataka kuniulia mwanangu, mwenyewe ndiye
huyu mmoja." Bi. Sada aliandamana na Fami hadi kwao akifuatwa na kundi
la watoto waliokuwa na hamu ya kujua kitakachoendelea. Mamake Fami, Bi.
Safina alikuwa akiosha vyombo huku akiimbaimba wakati Bi. Sada alipokuja
na vurugu na vurumai. "Habari yako Bi. Sada, kunani tena fujo la sahii
mwenzangu?" aliuliza Bi. Safina. "Unaniuliza kunani? Huoni mwanao
kanipasulia mwanangu kichwa? Sitaki kuongea mengi, nataka umchukue
mwanangu umpeleke hospitali!" Bi. Safina alijibu, "Chonde mwenzangu,
haya ni mambo ya watoto tena ya bahati mbaya, haina haja tukosane,
tuyaongee kwa upole. Mwenzako sina hata shilingi hapa nilipo!"
Bi. Safina alishtukia konde zito maungoni mwake kutoka kwa Bi. Sada
aliyekuwa anachemka kwa hasira. Bi. Safina aliangushwa chini na
kukanyagwa tumboni. Fami alikuwa akilia kwa kumuona mamake akipigwa.
Umati ulijaa nyumbani kwa akina Fami huku watu wakiamua vita. Bi. Sada
alishikiliwa na kijana mmoja, akawa anampiga mateke. "Niache nimfunze
huyo mjinga adabu. Hawezi kumfunza mwanaye amwepuke mwanangu. Mwanangu
ameumbuliwa kichwa! Amlipe!" Mume wa Bi. Sada aliwasili akamshika
mkewe na kumpeleka nyumbani huku Bi. Safina akaachwa akilia kwa maumivu
huku jicho lake likitoja damu.
| Watoto wangapi walikuwa wameketi kibarazani | {
"text": [
"Watatu wa kike"
]
} |
4792_swa | VIJIMAMBO
"Kenga rusha mpira! Huoooo!" Kelele za watoto waliokuwa wakicheza
zilihanikiza hewani. Kwenye kijia cha mavumbi, Amina, Kenga, Joji,Fami
na watoto wengine wengi walikuwa wakiuchezea mpira walioutengeneza kwa
mifuko ya sandarusi. Mara "Wacha malali! Nyobweeee! Joji rusha juu."
na vicheko vikahanikiza anga huku vumbi likatifuka na kupepea angani na
kuunda kiwingu. Watoto watatu wa kike walikuwa wameketi kibarazani
wakikoroga matope kwenye vifuu vya nazi. Wengine walikuwa wakicheza na
wanasesere waliowatengeneza kwa viguguta vya mahindi. Diana alikuwa
amemweka mwanasesere wake mgongoni huku akimwimbia bembezi kwa sauti
nyororo.
Mzee mmoja alipita katika kijia hicho ambacho watoto walikuwa wakicheza.
Mpira ulirushwa na ukaangukia kwenye mkongojo wake naye akaanguka chini
pu! "Yarabbi stara! Jamani miguu yangu! Pumbavu zenu! Nimebakiza siku
chache tu na mnataka kunitoa roho kabla ya siku zangu!" Mzee alifoka
huku watoto wakimsaidia kuinuka na kumfuta vumbi lililokolea kwenye
kikoi chake. Mzee huyo alikuwa ameghadhabika akasimama na kuushika ukuta
huku ameushikilia mkongojo hewani akampiga nao Kenga aliyekuwa anamfuta
mavumbi. Watoto wote walitorokea mafichoni na wakarudi kuendelea na
mchezo wao wakati mzee huyo alipotokomea na kujiendea zake.
Mchezo ulinoga kwa nusu saa mara dirisha la mbao likafunguliwa naye Mama
Jenifa akatokeza kichwa chake akifoka, "Toeni kelele zenu hapa
mtaniamshia mtoto! Maluuni nyie mpaka mcheze madirishani mwa watu kwa
kelele! Chezeni kwa utulivu ama nitakuja kuwapiga na bakora kisawasawa!
Wenzenu wakisoma madaftari yao nyie ni kelele tu. Si hata mkalale
mtulize vichwa vyenu mpate kukua! Purukushani tu huku na kule. Mmekua
kama sikio la kufa hamuambiliki hamsemezeki. Sasa ole wenu, pigeni tena
kelele niwatibue!" Mama Jenifa alilifunga dirisha lake kukawa kimya.
Watoto wakaangaliana na kisha wakasogea mbali kidogo na dirisha huku
wakijichekea kichinichini.
Mchezo wa mpira uliendelea tena mara mpira ukaanguka juu ya paa la
nyumba ya Mzee Mengi na kutua. Mpira huo ulikuwa hausogei na paa hilo
lilikuwa juu sana kiasi cha kwamba watoto wale wasingeufikia. Baada ya
kufikiri kwa muda, Joji aliwaambia wenzake warushe mawe ili waweze
kuuangusha mpira chini. Katika harakati za kurusha mawe, jiwe la Fami
lilimpata Maria kichwani akawa anatoka damu na kulia kwa sauti kubwa
kwelikweli. Maria alikuwa miongoni mwa watoto waliokuwa wakichezea
wanasesere pale kibarazani. Bi. Sada alikisikia kilio cha mwanawe na
kujitundika kanga begani akatoka nje haraka. Hata viatu hakuvaa kwa
haraka zake.
Bi. Sada alimshika mwanaye aliyekuwa akilia huku akimwotea kidole Fami.
Bi Sada alikuwa alijifunga leso yake kiunoni na kumshikilia Fami. "Twende kwa mamako mjinga we! Wataka kuniulia mwanangu, mwenyewe ndiye
huyu mmoja." Bi. Sada aliandamana na Fami hadi kwao akifuatwa na kundi
la watoto waliokuwa na hamu ya kujua kitakachoendelea. Mamake Fami, Bi.
Safina alikuwa akiosha vyombo huku akiimbaimba wakati Bi. Sada alipokuja
na vurugu na vurumai. "Habari yako Bi. Sada, kunani tena fujo la sahii
mwenzangu?" aliuliza Bi. Safina. "Unaniuliza kunani? Huoni mwanao
kanipasulia mwanangu kichwa? Sitaki kuongea mengi, nataka umchukue
mwanangu umpeleke hospitali!" Bi. Safina alijibu, "Chonde mwenzangu,
haya ni mambo ya watoto tena ya bahati mbaya, haina haja tukosane,
tuyaongee kwa upole. Mwenzako sina hata shilingi hapa nilipo!"
Bi. Safina alishtukia konde zito maungoni mwake kutoka kwa Bi. Sada
aliyekuwa anachemka kwa hasira. Bi. Safina aliangushwa chini na
kukanyagwa tumboni. Fami alikuwa akilia kwa kumuona mamake akipigwa.
Umati ulijaa nyumbani kwa akina Fami huku watu wakiamua vita. Bi. Sada
alishikiliwa na kijana mmoja, akawa anampiga mateke. "Niache nimfunze
huyo mjinga adabu. Hawezi kumfunza mwanaye amwepuke mwanangu. Mwanangu
ameumbuliwa kichwa! Amlipe!" Mume wa Bi. Sada aliwasili akamshika
mkewe na kumpeleka nyumbani huku Bi. Safina akaachwa akilia kwa maumivu
huku jicho lake likitoja damu.
| Nani walikuwa wakiucheza mpira uliotengenezwa kwa mifuko ya sandarusi | {
"text": [
"Amina, kenga, joji na Fami"
]
} |
4792_swa | VIJIMAMBO
"Kenga rusha mpira! Huoooo!" Kelele za watoto waliokuwa wakicheza
zilihanikiza hewani. Kwenye kijia cha mavumbi, Amina, Kenga, Joji,Fami
na watoto wengine wengi walikuwa wakiuchezea mpira walioutengeneza kwa
mifuko ya sandarusi. Mara "Wacha malali! Nyobweeee! Joji rusha juu."
na vicheko vikahanikiza anga huku vumbi likatifuka na kupepea angani na
kuunda kiwingu. Watoto watatu wa kike walikuwa wameketi kibarazani
wakikoroga matope kwenye vifuu vya nazi. Wengine walikuwa wakicheza na
wanasesere waliowatengeneza kwa viguguta vya mahindi. Diana alikuwa
amemweka mwanasesere wake mgongoni huku akimwimbia bembezi kwa sauti
nyororo.
Mzee mmoja alipita katika kijia hicho ambacho watoto walikuwa wakicheza.
Mpira ulirushwa na ukaangukia kwenye mkongojo wake naye akaanguka chini
pu! "Yarabbi stara! Jamani miguu yangu! Pumbavu zenu! Nimebakiza siku
chache tu na mnataka kunitoa roho kabla ya siku zangu!" Mzee alifoka
huku watoto wakimsaidia kuinuka na kumfuta vumbi lililokolea kwenye
kikoi chake. Mzee huyo alikuwa ameghadhabika akasimama na kuushika ukuta
huku ameushikilia mkongojo hewani akampiga nao Kenga aliyekuwa anamfuta
mavumbi. Watoto wote walitorokea mafichoni na wakarudi kuendelea na
mchezo wao wakati mzee huyo alipotokomea na kujiendea zake.
Mchezo ulinoga kwa nusu saa mara dirisha la mbao likafunguliwa naye Mama
Jenifa akatokeza kichwa chake akifoka, "Toeni kelele zenu hapa
mtaniamshia mtoto! Maluuni nyie mpaka mcheze madirishani mwa watu kwa
kelele! Chezeni kwa utulivu ama nitakuja kuwapiga na bakora kisawasawa!
Wenzenu wakisoma madaftari yao nyie ni kelele tu. Si hata mkalale
mtulize vichwa vyenu mpate kukua! Purukushani tu huku na kule. Mmekua
kama sikio la kufa hamuambiliki hamsemezeki. Sasa ole wenu, pigeni tena
kelele niwatibue!" Mama Jenifa alilifunga dirisha lake kukawa kimya.
Watoto wakaangaliana na kisha wakasogea mbali kidogo na dirisha huku
wakijichekea kichinichini.
Mchezo wa mpira uliendelea tena mara mpira ukaanguka juu ya paa la
nyumba ya Mzee Mengi na kutua. Mpira huo ulikuwa hausogei na paa hilo
lilikuwa juu sana kiasi cha kwamba watoto wale wasingeufikia. Baada ya
kufikiri kwa muda, Joji aliwaambia wenzake warushe mawe ili waweze
kuuangusha mpira chini. Katika harakati za kurusha mawe, jiwe la Fami
lilimpata Maria kichwani akawa anatoka damu na kulia kwa sauti kubwa
kwelikweli. Maria alikuwa miongoni mwa watoto waliokuwa wakichezea
wanasesere pale kibarazani. Bi. Sada alikisikia kilio cha mwanawe na
kujitundika kanga begani akatoka nje haraka. Hata viatu hakuvaa kwa
haraka zake.
Bi. Sada alimshika mwanaye aliyekuwa akilia huku akimwotea kidole Fami.
Bi Sada alikuwa alijifunga leso yake kiunoni na kumshikilia Fami. "Twende kwa mamako mjinga we! Wataka kuniulia mwanangu, mwenyewe ndiye
huyu mmoja." Bi. Sada aliandamana na Fami hadi kwao akifuatwa na kundi
la watoto waliokuwa na hamu ya kujua kitakachoendelea. Mamake Fami, Bi.
Safina alikuwa akiosha vyombo huku akiimbaimba wakati Bi. Sada alipokuja
na vurugu na vurumai. "Habari yako Bi. Sada, kunani tena fujo la sahii
mwenzangu?" aliuliza Bi. Safina. "Unaniuliza kunani? Huoni mwanao
kanipasulia mwanangu kichwa? Sitaki kuongea mengi, nataka umchukue
mwanangu umpeleke hospitali!" Bi. Safina alijibu, "Chonde mwenzangu,
haya ni mambo ya watoto tena ya bahati mbaya, haina haja tukosane,
tuyaongee kwa upole. Mwenzako sina hata shilingi hapa nilipo!"
Bi. Safina alishtukia konde zito maungoni mwake kutoka kwa Bi. Sada
aliyekuwa anachemka kwa hasira. Bi. Safina aliangushwa chini na
kukanyagwa tumboni. Fami alikuwa akilia kwa kumuona mamake akipigwa.
Umati ulijaa nyumbani kwa akina Fami huku watu wakiamua vita. Bi. Sada
alishikiliwa na kijana mmoja, akawa anampiga mateke. "Niache nimfunze
huyo mjinga adabu. Hawezi kumfunza mwanaye amwepuke mwanangu. Mwanangu
ameumbuliwa kichwa! Amlipe!" Mume wa Bi. Sada aliwasili akamshika
mkewe na kumpeleka nyumbani huku Bi. Safina akaachwa akilia kwa maumivu
huku jicho lake likitoja damu.
| Nani aliyekuwa akimwimbia bembezi mwanasesere kwa sauti nyororo | {
"text": [
"Diana"
]
} |
4792_swa | VIJIMAMBO
"Kenga rusha mpira! Huoooo!" Kelele za watoto waliokuwa wakicheza
zilihanikiza hewani. Kwenye kijia cha mavumbi, Amina, Kenga, Joji,Fami
na watoto wengine wengi walikuwa wakiuchezea mpira walioutengeneza kwa
mifuko ya sandarusi. Mara "Wacha malali! Nyobweeee! Joji rusha juu."
na vicheko vikahanikiza anga huku vumbi likatifuka na kupepea angani na
kuunda kiwingu. Watoto watatu wa kike walikuwa wameketi kibarazani
wakikoroga matope kwenye vifuu vya nazi. Wengine walikuwa wakicheza na
wanasesere waliowatengeneza kwa viguguta vya mahindi. Diana alikuwa
amemweka mwanasesere wake mgongoni huku akimwimbia bembezi kwa sauti
nyororo.
Mzee mmoja alipita katika kijia hicho ambacho watoto walikuwa wakicheza.
Mpira ulirushwa na ukaangukia kwenye mkongojo wake naye akaanguka chini
pu! "Yarabbi stara! Jamani miguu yangu! Pumbavu zenu! Nimebakiza siku
chache tu na mnataka kunitoa roho kabla ya siku zangu!" Mzee alifoka
huku watoto wakimsaidia kuinuka na kumfuta vumbi lililokolea kwenye
kikoi chake. Mzee huyo alikuwa ameghadhabika akasimama na kuushika ukuta
huku ameushikilia mkongojo hewani akampiga nao Kenga aliyekuwa anamfuta
mavumbi. Watoto wote walitorokea mafichoni na wakarudi kuendelea na
mchezo wao wakati mzee huyo alipotokomea na kujiendea zake.
Mchezo ulinoga kwa nusu saa mara dirisha la mbao likafunguliwa naye Mama
Jenifa akatokeza kichwa chake akifoka, "Toeni kelele zenu hapa
mtaniamshia mtoto! Maluuni nyie mpaka mcheze madirishani mwa watu kwa
kelele! Chezeni kwa utulivu ama nitakuja kuwapiga na bakora kisawasawa!
Wenzenu wakisoma madaftari yao nyie ni kelele tu. Si hata mkalale
mtulize vichwa vyenu mpate kukua! Purukushani tu huku na kule. Mmekua
kama sikio la kufa hamuambiliki hamsemezeki. Sasa ole wenu, pigeni tena
kelele niwatibue!" Mama Jenifa alilifunga dirisha lake kukawa kimya.
Watoto wakaangaliana na kisha wakasogea mbali kidogo na dirisha huku
wakijichekea kichinichini.
Mchezo wa mpira uliendelea tena mara mpira ukaanguka juu ya paa la
nyumba ya Mzee Mengi na kutua. Mpira huo ulikuwa hausogei na paa hilo
lilikuwa juu sana kiasi cha kwamba watoto wale wasingeufikia. Baada ya
kufikiri kwa muda, Joji aliwaambia wenzake warushe mawe ili waweze
kuuangusha mpira chini. Katika harakati za kurusha mawe, jiwe la Fami
lilimpata Maria kichwani akawa anatoka damu na kulia kwa sauti kubwa
kwelikweli. Maria alikuwa miongoni mwa watoto waliokuwa wakichezea
wanasesere pale kibarazani. Bi. Sada alikisikia kilio cha mwanawe na
kujitundika kanga begani akatoka nje haraka. Hata viatu hakuvaa kwa
haraka zake.
Bi. Sada alimshika mwanaye aliyekuwa akilia huku akimwotea kidole Fami.
Bi Sada alikuwa alijifunga leso yake kiunoni na kumshikilia Fami. "Twende kwa mamako mjinga we! Wataka kuniulia mwanangu, mwenyewe ndiye
huyu mmoja." Bi. Sada aliandamana na Fami hadi kwao akifuatwa na kundi
la watoto waliokuwa na hamu ya kujua kitakachoendelea. Mamake Fami, Bi.
Safina alikuwa akiosha vyombo huku akiimbaimba wakati Bi. Sada alipokuja
na vurugu na vurumai. "Habari yako Bi. Sada, kunani tena fujo la sahii
mwenzangu?" aliuliza Bi. Safina. "Unaniuliza kunani? Huoni mwanao
kanipasulia mwanangu kichwa? Sitaki kuongea mengi, nataka umchukue
mwanangu umpeleke hospitali!" Bi. Safina alijibu, "Chonde mwenzangu,
haya ni mambo ya watoto tena ya bahati mbaya, haina haja tukosane,
tuyaongee kwa upole. Mwenzako sina hata shilingi hapa nilipo!"
Bi. Safina alishtukia konde zito maungoni mwake kutoka kwa Bi. Sada
aliyekuwa anachemka kwa hasira. Bi. Safina aliangushwa chini na
kukanyagwa tumboni. Fami alikuwa akilia kwa kumuona mamake akipigwa.
Umati ulijaa nyumbani kwa akina Fami huku watu wakiamua vita. Bi. Sada
alishikiliwa na kijana mmoja, akawa anampiga mateke. "Niache nimfunze
huyo mjinga adabu. Hawezi kumfunza mwanaye amwepuke mwanangu. Mwanangu
ameumbuliwa kichwa! Amlipe!" Mume wa Bi. Sada aliwasili akamshika
mkewe na kumpeleka nyumbani huku Bi. Safina akaachwa akilia kwa maumivu
huku jicho lake likitoja damu.
| Nani alimpiga kenga na mkongojo | {
"text": [
"Mzee"
]
} |
4792_swa | VIJIMAMBO
"Kenga rusha mpira! Huoooo!" Kelele za watoto waliokuwa wakicheza
zilihanikiza hewani. Kwenye kijia cha mavumbi, Amina, Kenga, Joji,Fami
na watoto wengine wengi walikuwa wakiuchezea mpira walioutengeneza kwa
mifuko ya sandarusi. Mara "Wacha malali! Nyobweeee! Joji rusha juu."
na vicheko vikahanikiza anga huku vumbi likatifuka na kupepea angani na
kuunda kiwingu. Watoto watatu wa kike walikuwa wameketi kibarazani
wakikoroga matope kwenye vifuu vya nazi. Wengine walikuwa wakicheza na
wanasesere waliowatengeneza kwa viguguta vya mahindi. Diana alikuwa
amemweka mwanasesere wake mgongoni huku akimwimbia bembezi kwa sauti
nyororo.
Mzee mmoja alipita katika kijia hicho ambacho watoto walikuwa wakicheza.
Mpira ulirushwa na ukaangukia kwenye mkongojo wake naye akaanguka chini
pu! "Yarabbi stara! Jamani miguu yangu! Pumbavu zenu! Nimebakiza siku
chache tu na mnataka kunitoa roho kabla ya siku zangu!" Mzee alifoka
huku watoto wakimsaidia kuinuka na kumfuta vumbi lililokolea kwenye
kikoi chake. Mzee huyo alikuwa ameghadhabika akasimama na kuushika ukuta
huku ameushikilia mkongojo hewani akampiga nao Kenga aliyekuwa anamfuta
mavumbi. Watoto wote walitorokea mafichoni na wakarudi kuendelea na
mchezo wao wakati mzee huyo alipotokomea na kujiendea zake.
Mchezo ulinoga kwa nusu saa mara dirisha la mbao likafunguliwa naye Mama
Jenifa akatokeza kichwa chake akifoka, "Toeni kelele zenu hapa
mtaniamshia mtoto! Maluuni nyie mpaka mcheze madirishani mwa watu kwa
kelele! Chezeni kwa utulivu ama nitakuja kuwapiga na bakora kisawasawa!
Wenzenu wakisoma madaftari yao nyie ni kelele tu. Si hata mkalale
mtulize vichwa vyenu mpate kukua! Purukushani tu huku na kule. Mmekua
kama sikio la kufa hamuambiliki hamsemezeki. Sasa ole wenu, pigeni tena
kelele niwatibue!" Mama Jenifa alilifunga dirisha lake kukawa kimya.
Watoto wakaangaliana na kisha wakasogea mbali kidogo na dirisha huku
wakijichekea kichinichini.
Mchezo wa mpira uliendelea tena mara mpira ukaanguka juu ya paa la
nyumba ya Mzee Mengi na kutua. Mpira huo ulikuwa hausogei na paa hilo
lilikuwa juu sana kiasi cha kwamba watoto wale wasingeufikia. Baada ya
kufikiri kwa muda, Joji aliwaambia wenzake warushe mawe ili waweze
kuuangusha mpira chini. Katika harakati za kurusha mawe, jiwe la Fami
lilimpata Maria kichwani akawa anatoka damu na kulia kwa sauti kubwa
kwelikweli. Maria alikuwa miongoni mwa watoto waliokuwa wakichezea
wanasesere pale kibarazani. Bi. Sada alikisikia kilio cha mwanawe na
kujitundika kanga begani akatoka nje haraka. Hata viatu hakuvaa kwa
haraka zake.
Bi. Sada alimshika mwanaye aliyekuwa akilia huku akimwotea kidole Fami.
Bi Sada alikuwa alijifunga leso yake kiunoni na kumshikilia Fami. "Twende kwa mamako mjinga we! Wataka kuniulia mwanangu, mwenyewe ndiye
huyu mmoja." Bi. Sada aliandamana na Fami hadi kwao akifuatwa na kundi
la watoto waliokuwa na hamu ya kujua kitakachoendelea. Mamake Fami, Bi.
Safina alikuwa akiosha vyombo huku akiimbaimba wakati Bi. Sada alipokuja
na vurugu na vurumai. "Habari yako Bi. Sada, kunani tena fujo la sahii
mwenzangu?" aliuliza Bi. Safina. "Unaniuliza kunani? Huoni mwanao
kanipasulia mwanangu kichwa? Sitaki kuongea mengi, nataka umchukue
mwanangu umpeleke hospitali!" Bi. Safina alijibu, "Chonde mwenzangu,
haya ni mambo ya watoto tena ya bahati mbaya, haina haja tukosane,
tuyaongee kwa upole. Mwenzako sina hata shilingi hapa nilipo!"
Bi. Safina alishtukia konde zito maungoni mwake kutoka kwa Bi. Sada
aliyekuwa anachemka kwa hasira. Bi. Safina aliangushwa chini na
kukanyagwa tumboni. Fami alikuwa akilia kwa kumuona mamake akipigwa.
Umati ulijaa nyumbani kwa akina Fami huku watu wakiamua vita. Bi. Sada
alishikiliwa na kijana mmoja, akawa anampiga mateke. "Niache nimfunze
huyo mjinga adabu. Hawezi kumfunza mwanaye amwepuke mwanangu. Mwanangu
ameumbuliwa kichwa! Amlipe!" Mume wa Bi. Sada aliwasili akamshika
mkewe na kumpeleka nyumbani huku Bi. Safina akaachwa akilia kwa maumivu
huku jicho lake likitoja damu.
| Bi Sada alikuwa mamake nani | {
"text": [
"Maria"
]
} |
4793_swa | MIKAZA YA MOTO SHULENI
Hivi majuuzi takribani miezi mbili au moja na nusu shule nyingi zimekuwa
zikinakili visa vya moto. Wizara ya elimu ikiongozwa na profesa George
Makokha aliteua jopo la kuchunguza chanzo cha mikaza hiyo ya moto.
Walimu pamoja na wazazi wanashangaa ni nini mbaya na watoto wao.
Nyumbani kule hawalali. Haswa wale ambao wana wanafunzi wao shule za
mabweni. Wakikumbuka mikasa ya moto hasa kwa mfano ile iliyotokea katika
shule moja ya upili kule Nairobi wanaogopa sana. Kisa hicho kilifanyika
shule ya upili ya wasichana ya Moi ambapo tuliweza kupoteza wanafunzi
kadhaa takribani miaka tano iliyopita. Mikaza hii ya moto watu wengi
wameweza kuzamia swala hili lakini kitendawili hiki kung'amua imekuwa
ngumu. Je, ni nani wa kulaumiwa? Wizara ya elimu? Walimu? Ama tulaumu
bodi simamizi za shule zenyewe?
Shule zinachomeka na huku wanafunzi wenyewe wamekuwa kama wanyama.
Wanasema tu wao hawawezi kuadhibiwa. Wizara ya elimu kidogo ilikosea
pale ilipoondoa adhabu ya kiboko shuleni. Wanafunzi wamekuwa watundu
kwani wao wenyewe wanajiita watoto wa serikali. Watoto hao hawapaswi
kushikwa na mkono na mwalimu yeyote ule. Hii imepelekea wao kujiamulia
na kuona kwamba kwasababu shule ni ya serikali na wao pia ni wa
serikali, wanaweza kuchoma shule tu. Si kwani ni yao? La hasha serikali
yafaa irudishe kiboko shuleni la sivyo pale ambapo tunaelekea si pazuri.
Shule mingi zimekuwa jivu na chanzo chake bado hatujabaini. Kila wiki
utawapata wanafunzi wa shule kadhaa wanarejea nyumbani kutoka shuleni.
Ukiwauliza utasikia wakisema kwamba labda tumechoma mabweni kadhaa ama
utasikia wakisema walikuwa na njama ya kuteketeza mabweni ndiposa wamo
njiani kuelekea makwao. Wanafunzi wanapofanya hivyo wao hawaoni kama
wanapoteza. Je, vitengo vya kuwaelekeza na kushauri wanafunzi bado
zinafanyakazi kule shuleni? Kama ndio mbona visa bado vinaendelea? Hao
wanafunzi wanasukumwa na baadhi ya walimu kufanya hayo? Na je? Wanafunzi
hao wanapata wapi ushauri wa jinsi mambo huko nje yanafanyika.
Mikaza hii ya moto inaweza kuwa inachangia na misisimo ya wengine ambao
wamechoma shule na wako kule nyumbani. Hao wanaposikia shule fulani ipo
nyumbani pia hao wanataka kuteteketeza shule ndiposa waende nyumbani
kama wenzao. Tukiangalia kwa mfano kisa cha hivi majuuzi upande wa
Kaunti ya Kakamega, shule fulani wa wasichana wameweza kutoka nje huku
wakiwa uchi wa mnyama. Sababu ni kwamba wenzao wa shule ya wavulana wapo
nyumbani na wao wako shuleni. Maafisa wa polisi walipofika hata
walishindwa na kupigwa na butwaa kwa kitendo hicho. Wanafunzi walitoka
nje ya lango ya shule na kumwambia mwalimu mkuu kwamba watarejea shuleni
hadi pale wenzao wa shule ya wavulana watakaporejea. Hiyo ni akili finyu
ya wasichana hao. Kwani wanasomea hao wavulana. Maisha yao hivyo ndivyo
wanavyoharibu. Hapo ndipo kitengo cha kushauri yafaa kiwe kimekaa na hao
wanafunzi na kuwajuza maisha ni yao si ya hao wavulana.
Swala jingine linasomekana kuchangia kwa mikaza hii ni likizo fupi fupi
ambazo wanafunzi hawafurahii kamwe. Wanafunzi kutoka kule kitambo
walizoea kuwa na likizo ndefu ndefu. Saa hii likizo sasa hivi ni wiki
moja tu. Hii imechangia wanafunzi kuzua kila wakati. Juzi walilazimisha
likizo fupi ambayo hata haikuwepo hata kwenye mipango ya wizara ya
elimu. Wanafunzi walisikizwa na kupewa likizo. Baada tu ya wao tena
kutoka likizo fupi bado visa vya shule kuchomeka tunanakili. Wanasema
kwamba itakuwa mbaya historia wao ndio wakwanza kukaa shuleni wakati wa
likizo ya Desemba. Hivyo basi hawataki masomo wakati huu. Shule zilikuwa
zimeratibiwa kufungwa mnamo tarehe 23/12/2021. Lakini ni baada tu wao
kurudi shuleni na kudai kwamba hawawezi kufunga tarehe hiyo.
Wamependekeza kufunga tarehe 17/12/2021 jambo ambalo kufikia saa hii
wizara ya elimu haijaongea. Magazeti walimu wakuu wa shule mbalimbali
wamependekeza kufunga mapema kwasababu ya msukumo wa wanafunzi.
Wanafunzi ndio siku hizi wanajiamulia ni nini la kufanya na ni wakati
gani wangependata kusoma. Haha hao ni wanafunzi wa karne ishirini na
moja.
Baadhi wa wengine wanasema kwamba huenda mikasa hii ya moto inachangia
na mtaala mpya wa elimu CBC. Lakini hilo si ambalo linachangia moto.
Kuna siri tu ambayo sisi sote tungekaa pamoja na kufikiria. CBC ni
mtaala unaungwa na wanfunzi wengi mno kwasababu wao ni wale ambao
huogopa mitihani. Hayo kando.
Wengine wanasema chanzo cha moto shuleni huenda kinachangia na wanafunzi
kutokuwa na michezo shuleni. Michezo ilipigwa marufuku shuleni kwasababu
ya kutangamana kwokwote kule kungechangia kuenea kwa virusi vya korona.
Michezo huwa na maana nyingi kule shuleni. Wanafunzi wanapotangamana
kupitia michezo wao hujifunza mengi na hiyo ndiyo raha yao. Tamasha pia
shuleni hazipo. Tamasha za drama na miziki ndizo zinazopendwa na
wanafunzi. Sasa hivi wanafunzi wamo madarasani kumaliza silabasi tu.
Kazi ni nyingi kwao. Likizo ni fupi. Sasa wanaona ni kwamba wanaumizwa
bure tu. Wanafunzi wamo vitabuni kutoka saa kumi na mbili asubuhi hadi
saa nne usiku. Akili haipumziki. Huenda hizi ndizo zinachangia wao
kuteketeza shule ndiposa waende nyumbani wakapumzike.
Serikali nayo ningeomba wao kwasababu walifunga walimu kuadhibu
wanafunzi, watafute njia mubadala ya kuadhibu wanafunzi hao. Walimu
wengi wanapendekeza kwamba serikali iandike kwa kila shule askari mmoja
au wawili wa kuadhibu wanafunzi hao kwani wao wakiadhibu wanafunzi
halafu washtakiwe wanapoteza kazi. Vijana pia ( National Youth Service
NYS) waletwe katika shule ili kuwadhibu wanafunzi hao. Vitengo pia
ushauri kule shuleni viwajibike. Walete watu wakuigiza shule, wale
wakunena nao na kila mara walimu pia kuwashauri. Walimu wasitumie muda
mwingi kufundisha tu. Wanapokuwa mle darasani wawashauri wanafunzi na
kuwaelekeza. Inasikitisha wanafunzi kutaka tu kuenda huko nyumbani na
hawana la kufanya. Mwanafunzi hana mke kule nyumbani. Hana mifugo
aliyeacha kule nyumbani. Hana biashara hata tu ya kuuza peremende. Mbona
sasa anataka kurudi nyumbani? Huenda wanataka tu kurudi nyumbani
kufwatilia video fulani vile inavyoendelea. Labda Zora imefikia wapi?
Hayo tu ndiyo inayowapeleka nyumbani. Yafaa wanafunzi washauriwe.
Mikasa hii huenda ikaisha pale tu tutakaposhirikiana sote. Kuanzia kwa
wizara ya elimu ikiongozwa na profesa Magokha. Wizara ya maswala ya
kindani ikiongozwa na daktari Fred Matinyi. Walimu wote kwa ujumla.
Wazazi na pamoja na wanafunzi. Sote tusikize maoni ya mwengine kwani
wazee wa zamani hakukosea waliposema umoja ni nguvu na utengano ni
udhaifu. Kwa pamoja fumbo hili la moto shuleni huenda likatokomea. Sote
tushirikiane.
| Shule nyingi zimekuwa na visa vya nini | {
"text": [
"Moto"
]
} |
4793_swa | MIKAZA YA MOTO SHULENI
Hivi majuuzi takribani miezi mbili au moja na nusu shule nyingi zimekuwa
zikinakili visa vya moto. Wizara ya elimu ikiongozwa na profesa George
Makokha aliteua jopo la kuchunguza chanzo cha mikaza hiyo ya moto.
Walimu pamoja na wazazi wanashangaa ni nini mbaya na watoto wao.
Nyumbani kule hawalali. Haswa wale ambao wana wanafunzi wao shule za
mabweni. Wakikumbuka mikasa ya moto hasa kwa mfano ile iliyotokea katika
shule moja ya upili kule Nairobi wanaogopa sana. Kisa hicho kilifanyika
shule ya upili ya wasichana ya Moi ambapo tuliweza kupoteza wanafunzi
kadhaa takribani miaka tano iliyopita. Mikaza hii ya moto watu wengi
wameweza kuzamia swala hili lakini kitendawili hiki kung'amua imekuwa
ngumu. Je, ni nani wa kulaumiwa? Wizara ya elimu? Walimu? Ama tulaumu
bodi simamizi za shule zenyewe?
Shule zinachomeka na huku wanafunzi wenyewe wamekuwa kama wanyama.
Wanasema tu wao hawawezi kuadhibiwa. Wizara ya elimu kidogo ilikosea
pale ilipoondoa adhabu ya kiboko shuleni. Wanafunzi wamekuwa watundu
kwani wao wenyewe wanajiita watoto wa serikali. Watoto hao hawapaswi
kushikwa na mkono na mwalimu yeyote ule. Hii imepelekea wao kujiamulia
na kuona kwamba kwasababu shule ni ya serikali na wao pia ni wa
serikali, wanaweza kuchoma shule tu. Si kwani ni yao? La hasha serikali
yafaa irudishe kiboko shuleni la sivyo pale ambapo tunaelekea si pazuri.
Shule mingi zimekuwa jivu na chanzo chake bado hatujabaini. Kila wiki
utawapata wanafunzi wa shule kadhaa wanarejea nyumbani kutoka shuleni.
Ukiwauliza utasikia wakisema kwamba labda tumechoma mabweni kadhaa ama
utasikia wakisema walikuwa na njama ya kuteketeza mabweni ndiposa wamo
njiani kuelekea makwao. Wanafunzi wanapofanya hivyo wao hawaoni kama
wanapoteza. Je, vitengo vya kuwaelekeza na kushauri wanafunzi bado
zinafanyakazi kule shuleni? Kama ndio mbona visa bado vinaendelea? Hao
wanafunzi wanasukumwa na baadhi ya walimu kufanya hayo? Na je? Wanafunzi
hao wanapata wapi ushauri wa jinsi mambo huko nje yanafanyika.
Mikaza hii ya moto inaweza kuwa inachangia na misisimo ya wengine ambao
wamechoma shule na wako kule nyumbani. Hao wanaposikia shule fulani ipo
nyumbani pia hao wanataka kuteteketeza shule ndiposa waende nyumbani
kama wenzao. Tukiangalia kwa mfano kisa cha hivi majuuzi upande wa
Kaunti ya Kakamega, shule fulani wa wasichana wameweza kutoka nje huku
wakiwa uchi wa mnyama. Sababu ni kwamba wenzao wa shule ya wavulana wapo
nyumbani na wao wako shuleni. Maafisa wa polisi walipofika hata
walishindwa na kupigwa na butwaa kwa kitendo hicho. Wanafunzi walitoka
nje ya lango ya shule na kumwambia mwalimu mkuu kwamba watarejea shuleni
hadi pale wenzao wa shule ya wavulana watakaporejea. Hiyo ni akili finyu
ya wasichana hao. Kwani wanasomea hao wavulana. Maisha yao hivyo ndivyo
wanavyoharibu. Hapo ndipo kitengo cha kushauri yafaa kiwe kimekaa na hao
wanafunzi na kuwajuza maisha ni yao si ya hao wavulana.
Swala jingine linasomekana kuchangia kwa mikaza hii ni likizo fupi fupi
ambazo wanafunzi hawafurahii kamwe. Wanafunzi kutoka kule kitambo
walizoea kuwa na likizo ndefu ndefu. Saa hii likizo sasa hivi ni wiki
moja tu. Hii imechangia wanafunzi kuzua kila wakati. Juzi walilazimisha
likizo fupi ambayo hata haikuwepo hata kwenye mipango ya wizara ya
elimu. Wanafunzi walisikizwa na kupewa likizo. Baada tu ya wao tena
kutoka likizo fupi bado visa vya shule kuchomeka tunanakili. Wanasema
kwamba itakuwa mbaya historia wao ndio wakwanza kukaa shuleni wakati wa
likizo ya Desemba. Hivyo basi hawataki masomo wakati huu. Shule zilikuwa
zimeratibiwa kufungwa mnamo tarehe 23/12/2021. Lakini ni baada tu wao
kurudi shuleni na kudai kwamba hawawezi kufunga tarehe hiyo.
Wamependekeza kufunga tarehe 17/12/2021 jambo ambalo kufikia saa hii
wizara ya elimu haijaongea. Magazeti walimu wakuu wa shule mbalimbali
wamependekeza kufunga mapema kwasababu ya msukumo wa wanafunzi.
Wanafunzi ndio siku hizi wanajiamulia ni nini la kufanya na ni wakati
gani wangependata kusoma. Haha hao ni wanafunzi wa karne ishirini na
moja.
Baadhi wa wengine wanasema kwamba huenda mikasa hii ya moto inachangia
na mtaala mpya wa elimu CBC. Lakini hilo si ambalo linachangia moto.
Kuna siri tu ambayo sisi sote tungekaa pamoja na kufikiria. CBC ni
mtaala unaungwa na wanfunzi wengi mno kwasababu wao ni wale ambao
huogopa mitihani. Hayo kando.
Wengine wanasema chanzo cha moto shuleni huenda kinachangia na wanafunzi
kutokuwa na michezo shuleni. Michezo ilipigwa marufuku shuleni kwasababu
ya kutangamana kwokwote kule kungechangia kuenea kwa virusi vya korona.
Michezo huwa na maana nyingi kule shuleni. Wanafunzi wanapotangamana
kupitia michezo wao hujifunza mengi na hiyo ndiyo raha yao. Tamasha pia
shuleni hazipo. Tamasha za drama na miziki ndizo zinazopendwa na
wanafunzi. Sasa hivi wanafunzi wamo madarasani kumaliza silabasi tu.
Kazi ni nyingi kwao. Likizo ni fupi. Sasa wanaona ni kwamba wanaumizwa
bure tu. Wanafunzi wamo vitabuni kutoka saa kumi na mbili asubuhi hadi
saa nne usiku. Akili haipumziki. Huenda hizi ndizo zinachangia wao
kuteketeza shule ndiposa waende nyumbani wakapumzike.
Serikali nayo ningeomba wao kwasababu walifunga walimu kuadhibu
wanafunzi, watafute njia mubadala ya kuadhibu wanafunzi hao. Walimu
wengi wanapendekeza kwamba serikali iandike kwa kila shule askari mmoja
au wawili wa kuadhibu wanafunzi hao kwani wao wakiadhibu wanafunzi
halafu washtakiwe wanapoteza kazi. Vijana pia ( National Youth Service
NYS) waletwe katika shule ili kuwadhibu wanafunzi hao. Vitengo pia
ushauri kule shuleni viwajibike. Walete watu wakuigiza shule, wale
wakunena nao na kila mara walimu pia kuwashauri. Walimu wasitumie muda
mwingi kufundisha tu. Wanapokuwa mle darasani wawashauri wanafunzi na
kuwaelekeza. Inasikitisha wanafunzi kutaka tu kuenda huko nyumbani na
hawana la kufanya. Mwanafunzi hana mke kule nyumbani. Hana mifugo
aliyeacha kule nyumbani. Hana biashara hata tu ya kuuza peremende. Mbona
sasa anataka kurudi nyumbani? Huenda wanataka tu kurudi nyumbani
kufwatilia video fulani vile inavyoendelea. Labda Zora imefikia wapi?
Hayo tu ndiyo inayowapeleka nyumbani. Yafaa wanafunzi washauriwe.
Mikasa hii huenda ikaisha pale tu tutakaposhirikiana sote. Kuanzia kwa
wizara ya elimu ikiongozwa na profesa Magokha. Wizara ya maswala ya
kindani ikiongozwa na daktari Fred Matinyi. Walimu wote kwa ujumla.
Wazazi na pamoja na wanafunzi. Sote tusikize maoni ya mwengine kwani
wazee wa zamani hakukosea waliposema umoja ni nguvu na utengano ni
udhaifu. Kwa pamoja fumbo hili la moto shuleni huenda likatokomea. Sote
tushirikiane.
| Kila wiki wanafunzi wanarejea wapi | {
"text": [
"Nyumbani"
]
} |
4793_swa | MIKAZA YA MOTO SHULENI
Hivi majuuzi takribani miezi mbili au moja na nusu shule nyingi zimekuwa
zikinakili visa vya moto. Wizara ya elimu ikiongozwa na profesa George
Makokha aliteua jopo la kuchunguza chanzo cha mikaza hiyo ya moto.
Walimu pamoja na wazazi wanashangaa ni nini mbaya na watoto wao.
Nyumbani kule hawalali. Haswa wale ambao wana wanafunzi wao shule za
mabweni. Wakikumbuka mikasa ya moto hasa kwa mfano ile iliyotokea katika
shule moja ya upili kule Nairobi wanaogopa sana. Kisa hicho kilifanyika
shule ya upili ya wasichana ya Moi ambapo tuliweza kupoteza wanafunzi
kadhaa takribani miaka tano iliyopita. Mikaza hii ya moto watu wengi
wameweza kuzamia swala hili lakini kitendawili hiki kung'amua imekuwa
ngumu. Je, ni nani wa kulaumiwa? Wizara ya elimu? Walimu? Ama tulaumu
bodi simamizi za shule zenyewe?
Shule zinachomeka na huku wanafunzi wenyewe wamekuwa kama wanyama.
Wanasema tu wao hawawezi kuadhibiwa. Wizara ya elimu kidogo ilikosea
pale ilipoondoa adhabu ya kiboko shuleni. Wanafunzi wamekuwa watundu
kwani wao wenyewe wanajiita watoto wa serikali. Watoto hao hawapaswi
kushikwa na mkono na mwalimu yeyote ule. Hii imepelekea wao kujiamulia
na kuona kwamba kwasababu shule ni ya serikali na wao pia ni wa
serikali, wanaweza kuchoma shule tu. Si kwani ni yao? La hasha serikali
yafaa irudishe kiboko shuleni la sivyo pale ambapo tunaelekea si pazuri.
Shule mingi zimekuwa jivu na chanzo chake bado hatujabaini. Kila wiki
utawapata wanafunzi wa shule kadhaa wanarejea nyumbani kutoka shuleni.
Ukiwauliza utasikia wakisema kwamba labda tumechoma mabweni kadhaa ama
utasikia wakisema walikuwa na njama ya kuteketeza mabweni ndiposa wamo
njiani kuelekea makwao. Wanafunzi wanapofanya hivyo wao hawaoni kama
wanapoteza. Je, vitengo vya kuwaelekeza na kushauri wanafunzi bado
zinafanyakazi kule shuleni? Kama ndio mbona visa bado vinaendelea? Hao
wanafunzi wanasukumwa na baadhi ya walimu kufanya hayo? Na je? Wanafunzi
hao wanapata wapi ushauri wa jinsi mambo huko nje yanafanyika.
Mikaza hii ya moto inaweza kuwa inachangia na misisimo ya wengine ambao
wamechoma shule na wako kule nyumbani. Hao wanaposikia shule fulani ipo
nyumbani pia hao wanataka kuteteketeza shule ndiposa waende nyumbani
kama wenzao. Tukiangalia kwa mfano kisa cha hivi majuuzi upande wa
Kaunti ya Kakamega, shule fulani wa wasichana wameweza kutoka nje huku
wakiwa uchi wa mnyama. Sababu ni kwamba wenzao wa shule ya wavulana wapo
nyumbani na wao wako shuleni. Maafisa wa polisi walipofika hata
walishindwa na kupigwa na butwaa kwa kitendo hicho. Wanafunzi walitoka
nje ya lango ya shule na kumwambia mwalimu mkuu kwamba watarejea shuleni
hadi pale wenzao wa shule ya wavulana watakaporejea. Hiyo ni akili finyu
ya wasichana hao. Kwani wanasomea hao wavulana. Maisha yao hivyo ndivyo
wanavyoharibu. Hapo ndipo kitengo cha kushauri yafaa kiwe kimekaa na hao
wanafunzi na kuwajuza maisha ni yao si ya hao wavulana.
Swala jingine linasomekana kuchangia kwa mikaza hii ni likizo fupi fupi
ambazo wanafunzi hawafurahii kamwe. Wanafunzi kutoka kule kitambo
walizoea kuwa na likizo ndefu ndefu. Saa hii likizo sasa hivi ni wiki
moja tu. Hii imechangia wanafunzi kuzua kila wakati. Juzi walilazimisha
likizo fupi ambayo hata haikuwepo hata kwenye mipango ya wizara ya
elimu. Wanafunzi walisikizwa na kupewa likizo. Baada tu ya wao tena
kutoka likizo fupi bado visa vya shule kuchomeka tunanakili. Wanasema
kwamba itakuwa mbaya historia wao ndio wakwanza kukaa shuleni wakati wa
likizo ya Desemba. Hivyo basi hawataki masomo wakati huu. Shule zilikuwa
zimeratibiwa kufungwa mnamo tarehe 23/12/2021. Lakini ni baada tu wao
kurudi shuleni na kudai kwamba hawawezi kufunga tarehe hiyo.
Wamependekeza kufunga tarehe 17/12/2021 jambo ambalo kufikia saa hii
wizara ya elimu haijaongea. Magazeti walimu wakuu wa shule mbalimbali
wamependekeza kufunga mapema kwasababu ya msukumo wa wanafunzi.
Wanafunzi ndio siku hizi wanajiamulia ni nini la kufanya na ni wakati
gani wangependata kusoma. Haha hao ni wanafunzi wa karne ishirini na
moja.
Baadhi wa wengine wanasema kwamba huenda mikasa hii ya moto inachangia
na mtaala mpya wa elimu CBC. Lakini hilo si ambalo linachangia moto.
Kuna siri tu ambayo sisi sote tungekaa pamoja na kufikiria. CBC ni
mtaala unaungwa na wanfunzi wengi mno kwasababu wao ni wale ambao
huogopa mitihani. Hayo kando.
Wengine wanasema chanzo cha moto shuleni huenda kinachangia na wanafunzi
kutokuwa na michezo shuleni. Michezo ilipigwa marufuku shuleni kwasababu
ya kutangamana kwokwote kule kungechangia kuenea kwa virusi vya korona.
Michezo huwa na maana nyingi kule shuleni. Wanafunzi wanapotangamana
kupitia michezo wao hujifunza mengi na hiyo ndiyo raha yao. Tamasha pia
shuleni hazipo. Tamasha za drama na miziki ndizo zinazopendwa na
wanafunzi. Sasa hivi wanafunzi wamo madarasani kumaliza silabasi tu.
Kazi ni nyingi kwao. Likizo ni fupi. Sasa wanaona ni kwamba wanaumizwa
bure tu. Wanafunzi wamo vitabuni kutoka saa kumi na mbili asubuhi hadi
saa nne usiku. Akili haipumziki. Huenda hizi ndizo zinachangia wao
kuteketeza shule ndiposa waende nyumbani wakapumzike.
Serikali nayo ningeomba wao kwasababu walifunga walimu kuadhibu
wanafunzi, watafute njia mubadala ya kuadhibu wanafunzi hao. Walimu
wengi wanapendekeza kwamba serikali iandike kwa kila shule askari mmoja
au wawili wa kuadhibu wanafunzi hao kwani wao wakiadhibu wanafunzi
halafu washtakiwe wanapoteza kazi. Vijana pia ( National Youth Service
NYS) waletwe katika shule ili kuwadhibu wanafunzi hao. Vitengo pia
ushauri kule shuleni viwajibike. Walete watu wakuigiza shule, wale
wakunena nao na kila mara walimu pia kuwashauri. Walimu wasitumie muda
mwingi kufundisha tu. Wanapokuwa mle darasani wawashauri wanafunzi na
kuwaelekeza. Inasikitisha wanafunzi kutaka tu kuenda huko nyumbani na
hawana la kufanya. Mwanafunzi hana mke kule nyumbani. Hana mifugo
aliyeacha kule nyumbani. Hana biashara hata tu ya kuuza peremende. Mbona
sasa anataka kurudi nyumbani? Huenda wanataka tu kurudi nyumbani
kufwatilia video fulani vile inavyoendelea. Labda Zora imefikia wapi?
Hayo tu ndiyo inayowapeleka nyumbani. Yafaa wanafunzi washauriwe.
Mikasa hii huenda ikaisha pale tu tutakaposhirikiana sote. Kuanzia kwa
wizara ya elimu ikiongozwa na profesa Magokha. Wizara ya maswala ya
kindani ikiongozwa na daktari Fred Matinyi. Walimu wote kwa ujumla.
Wazazi na pamoja na wanafunzi. Sote tusikize maoni ya mwengine kwani
wazee wa zamani hakukosea waliposema umoja ni nguvu na utengano ni
udhaifu. Kwa pamoja fumbo hili la moto shuleni huenda likatokomea. Sote
tushirikiane.
| Shule zinaratibiwa kufungwa lini | {
"text": [
"23/12/2021"
]
} |
Subsets and Splits