Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
4814_swa
Ugatuzi una manufaa mengi kuliko uongozi wa serikali kuu. Tangu Kenya kujinyakulia uhuru kutoka kwa mkoloni, ilitawaliwa na serikali kuu. Hii ni kama miaka takriban hamsini iliyopita. Kupitia kwa mabadilisho ya katiba ya 2010, ugatuzi ulianzishwa. Yapo manufaa ya ugatuzi huo. Ugatuzi umeleta manufaa mengi nchini kuliko hasara. Tunayo magatuzi 47 nchini yanayofurahia manufaa haya. Ugatuzi umeimarisha ugawaji wa Mali kwa usawa katika magatuzi yote 47. Chini ya serikali kuu, Kuna maeneo yalikuwa yametengwa kwa muda mrefu. Kwa maeneo hayo, ugatuzi ni kama bahati ya mtende. Migao kutoka serikalini huyafikia hata maeneo ambayo hayakuwa yanafikiwa na huduma za serikali. Hili litaendelea luimarisha usawa wa kimaendeleo katika nchi nzima. Ugatuzi umeregesha uongozi katika nyanja za chini. Wananchi wanaweza kufikiwa kwa urahisi. Jambo hili litaimarisha utoaji wa huduma za serikali kwa wananchi kwa urahisi. Watanufaika na huduma zote za serikali kwa ukaribu sana. Kila wadi inaye mwakilishu ambaye huwasilisha mahitaji na matakwa ya wananchi wake katika bunge la gatuzi husika na kushughulikiwa ipasavyo. Ugatuzi umehakikisha utekelezaji waaendeleo kwa mwananchi kwa ufanisi na Kwa wakati. Maendeleo haya ni ya kimsingi kwa jamii. Maendeleo haya walikuwa wameyakosa kwauda mrefu. Baadhi yake ni kama vile: matibabu, Elimu, miundomsingi na mengi mengineyo. Wakenya Sasa wanaweza kushiriki kwa ukamilifu katika uimarishaji wa maendeleo mashinani. Kupitia haya, kila gatuzi huyashughulikia maendeleo ya kimsingi sana yatakayofaa wananchi. Watawala wamekuwa karibu na watawaliwa. Licha ya kuwepo kwa manufaa mengi, ugatuzi umeihatarisha na kuidhuru jamii. Serikali za ugatuzi zimehusishwa pakubwa na ufisadi. Ufisadi umeshuhudiwa katika sehemu nyingi za nchi kupitia ugatuzi. Viongozi wanatumia jina la miradi ya kaunti kifidia matumbo yao. Viongozi wameendelea kufuja mali na fedha za mwananchi kwa asilimia kubwa. Katika huduma za kiserikali, viongozi wengi huyatumia vibaya mamlaka yao badala ya kuhudumia wananchi. Baadhi ya viongozi wanatumia jina la "kiongozi" katika shughuli mbalimbali mbaya na zisizo na faida kwa mwananchi. Ugatuzi unaleta hatari na tishio la kuigawanya nchi. Visa vya hivi karibuni vimeshuhudia hili. magatuzi mengi huwa na wakaazi wa kabila moja au mawili. Jambo hili linaweza kuleta utengano katika nchi. Kabila hili linalopatikana katika gatuzi moja huenda likaibua Hisia za ukabila miongoni mwa wananchi. Hali hii itazidi kulemaza Zita dhidi ya ukabila nchini. Serikali za ugatuzi zimeleleta ubaguzi. Ubaguzi unashuhudiwa katika usawa wa ugawaji wa Mali katika magatuzi yote. Hasa katika sekta ya ugawaji wa fedha na rasilali nyingine kwa wananchi. Kuna baadhi ya kaunti ambazo hupata asilimia kubwa za rasilimali na fedha kuliko kaunti nyingine. Magatuzi mbalimbali hutofautiana kiukubwa wa kijiografia, na kiukubwa na wingi was watu. Ubaguzi huu umeleta chuki baina ya kaunti. Chuki hizi huweza kuleta kutoelewana miongoni mwa magatuzi hivyo, kulemaza na kudidimiza maendeleo ya kaunti na nchi pamoja. Ugatuzi pia umeathiri mwananchi pakubwa. Mwananchi anataabika katika nyongeza ya ulipaji ushuru ili kukidhi ongezeko la viongozi wa nchi na shughuli nyingine. Ni dhahiri kuwa tumeshuhudia manufaa kwa kugatuliwa kwa serikali. Kwa kuwa hakuna kisicho kasoro, ugatuzi umeleta athira kubwa sana.wananchi wanafurahia huduma kwa ukaribu sana vilevile utawala na kushirikishwa katika uongozi. Hivi vyote ni miongoni mwa vigezo Bora katika maendeleo ya nchi. Hongera Kwa ugatuzi.
Serikali ya ugatuzi zimehusishwa pakubwa na nini
{ "text": [ "Ufisadi" ] }
4814_swa
Ugatuzi una manufaa mengi kuliko uongozi wa serikali kuu. Tangu Kenya kujinyakulia uhuru kutoka kwa mkoloni, ilitawaliwa na serikali kuu. Hii ni kama miaka takriban hamsini iliyopita. Kupitia kwa mabadilisho ya katiba ya 2010, ugatuzi ulianzishwa. Yapo manufaa ya ugatuzi huo. Ugatuzi umeleta manufaa mengi nchini kuliko hasara. Tunayo magatuzi 47 nchini yanayofurahia manufaa haya. Ugatuzi umeimarisha ugawaji wa Mali kwa usawa katika magatuzi yote 47. Chini ya serikali kuu, Kuna maeneo yalikuwa yametengwa kwa muda mrefu. Kwa maeneo hayo, ugatuzi ni kama bahati ya mtende. Migao kutoka serikalini huyafikia hata maeneo ambayo hayakuwa yanafikiwa na huduma za serikali. Hili litaendelea luimarisha usawa wa kimaendeleo katika nchi nzima. Ugatuzi umeregesha uongozi katika nyanja za chini. Wananchi wanaweza kufikiwa kwa urahisi. Jambo hili litaimarisha utoaji wa huduma za serikali kwa wananchi kwa urahisi. Watanufaika na huduma zote za serikali kwa ukaribu sana. Kila wadi inaye mwakilishu ambaye huwasilisha mahitaji na matakwa ya wananchi wake katika bunge la gatuzi husika na kushughulikiwa ipasavyo. Ugatuzi umehakikisha utekelezaji waaendeleo kwa mwananchi kwa ufanisi na Kwa wakati. Maendeleo haya ni ya kimsingi kwa jamii. Maendeleo haya walikuwa wameyakosa kwauda mrefu. Baadhi yake ni kama vile: matibabu, Elimu, miundomsingi na mengi mengineyo. Wakenya Sasa wanaweza kushiriki kwa ukamilifu katika uimarishaji wa maendeleo mashinani. Kupitia haya, kila gatuzi huyashughulikia maendeleo ya kimsingi sana yatakayofaa wananchi. Watawala wamekuwa karibu na watawaliwa. Licha ya kuwepo kwa manufaa mengi, ugatuzi umeihatarisha na kuidhuru jamii. Serikali za ugatuzi zimehusishwa pakubwa na ufisadi. Ufisadi umeshuhudiwa katika sehemu nyingi za nchi kupitia ugatuzi. Viongozi wanatumia jina la miradi ya kaunti kifidia matumbo yao. Viongozi wameendelea kufuja mali na fedha za mwananchi kwa asilimia kubwa. Katika huduma za kiserikali, viongozi wengi huyatumia vibaya mamlaka yao badala ya kuhudumia wananchi. Baadhi ya viongozi wanatumia jina la "kiongozi" katika shughuli mbalimbali mbaya na zisizo na faida kwa mwananchi. Ugatuzi unaleta hatari na tishio la kuigawanya nchi. Visa vya hivi karibuni vimeshuhudia hili. magatuzi mengi huwa na wakaazi wa kabila moja au mawili. Jambo hili linaweza kuleta utengano katika nchi. Kabila hili linalopatikana katika gatuzi moja huenda likaibua Hisia za ukabila miongoni mwa wananchi. Hali hii itazidi kulemaza Zita dhidi ya ukabila nchini. Serikali za ugatuzi zimeleleta ubaguzi. Ubaguzi unashuhudiwa katika usawa wa ugawaji wa Mali katika magatuzi yote. Hasa katika sekta ya ugawaji wa fedha na rasilali nyingine kwa wananchi. Kuna baadhi ya kaunti ambazo hupata asilimia kubwa za rasilimali na fedha kuliko kaunti nyingine. Magatuzi mbalimbali hutofautiana kiukubwa wa kijiografia, na kiukubwa na wingi was watu. Ubaguzi huu umeleta chuki baina ya kaunti. Chuki hizi huweza kuleta kutoelewana miongoni mwa magatuzi hivyo, kulemaza na kudidimiza maendeleo ya kaunti na nchi pamoja. Ugatuzi pia umeathiri mwananchi pakubwa. Mwananchi anataabika katika nyongeza ya ulipaji ushuru ili kukidhi ongezeko la viongozi wa nchi na shughuli nyingine. Ni dhahiri kuwa tumeshuhudia manufaa kwa kugatuliwa kwa serikali. Kwa kuwa hakuna kisicho kasoro, ugatuzi umeleta athira kubwa sana.wananchi wanafurahia huduma kwa ukaribu sana vilevile utawala na kushirikishwa katika uongozi. Hivi vyote ni miongoni mwa vigezo Bora katika maendeleo ya nchi. Hongera Kwa ugatuzi.
Kwa nini ugatuzi unagawanya nchi
{ "text": [ "Magatuzi mengi huwa na wakaazi wa kabila moja au mawili" ] }
4816_swa
Katika utafiti uliofanywa mwaka Jana, bara la Afrika liligunduliwa kuwa ndilo bara maskini kote duniani. Wakaazi wengi wa bara hilo hulala njaa kutokana na ukosefu wa chakula. Baadhi ya watoto hawapati elimu Kwa sababu ya ukosefu wa karo ya shule, ndio maana takwimu za wasomi ni chache ikilinganishwa na mabara nyingine. Jambo la kwanza ni kwamba, bara la Afrika lilitawaliwa na wakoloni kwa kipindi kirefu. Wakoloni hao walinyakua wafrika walioonekana wana nguvu ya kufanya kazi na kuwafunga minyororo na kuwapeleka katika nchi zao kuwafanyia kazi na kutajirisha nchi zao. Waafrika hao walionyakuliwa ndio walikuwa na uwezo wa kustawisha bara lao. Kwa hivyo, bara hili liliporwa nguvu na uwezo wa kujistawisha. Nchi zao zilinawiri na biashara zao zikaendelea vyema. Wakoloni hao wakafungua viwanda na kuwaajiri waafrika. Katika viwanda hizo, waafrika waliajiriwa huko na kudhalilishwa. Mapato yao yalikuwa duni. Mazingira yao yalikuwa machafu na walilazimishwa kufanya kazi Kwa kipindi kirefu bila kupumzika. Yeyote aliyekataa kufanya kazi aliadhibiwa vikali. Hali hii iliongezea bara la Afrika kuendeleza kuwa maskini Kwa sababu wazungu walipogundua kuwa waafrika wangeweza kufanya kazi ngumu kwa malipo duni, waliendelea kuwanyakua waafrika na kuwadhalilisha. Isitoshe, baada ya hii, wakoloni waligeukia bara la Afrika na kuigawanya katika koloni mbalimbali. Waliwanyan'ganya mashamba, mifugo na Kila kitu walichokuwa nacho cha thamani. Waafrika walibaki bila chochote. Halikadhalika, walilazimishwa kufanya kazi Kwa mashamba yao bila malipo. Wake zao na watoto walilazimishwa kuwafanyia kazi za nyumbani kama kuosha nguo, kupika na kushughulikia wake zao. Bara la Afrika lilikuwa chini ya uongozi wao. Baadhi ya machifu waliteuliwa na wakoloni ili kuwasaidia katika uongozi na kuwachunguza waafrika katika mipango zao. Machifu hao walipata faida kidogo kutokana na kazi zao. Baada ya kipindi kirefu cha ukoloni mamboleo, hatimaye wakoloni waliondoka barani afrika. Walipoondoka, waliacha wafrika wakizama katika lindi la ufukara. Machifu ndio walikuwa tajiri Kwa sababu walipewa mashamba na wakoloni na kujistawisha. Swala hili ndilo sababu kuu la bara la Afrika kuzama katika umasikini.
Ni bara lipi maskini kuliko nyingine
{ "text": [ "Afrika" ] }
4816_swa
Katika utafiti uliofanywa mwaka Jana, bara la Afrika liligunduliwa kuwa ndilo bara maskini kote duniani. Wakaazi wengi wa bara hilo hulala njaa kutokana na ukosefu wa chakula. Baadhi ya watoto hawapati elimu Kwa sababu ya ukosefu wa karo ya shule, ndio maana takwimu za wasomi ni chache ikilinganishwa na mabara nyingine. Jambo la kwanza ni kwamba, bara la Afrika lilitawaliwa na wakoloni kwa kipindi kirefu. Wakoloni hao walinyakua wafrika walioonekana wana nguvu ya kufanya kazi na kuwafunga minyororo na kuwapeleka katika nchi zao kuwafanyia kazi na kutajirisha nchi zao. Waafrika hao walionyakuliwa ndio walikuwa na uwezo wa kustawisha bara lao. Kwa hivyo, bara hili liliporwa nguvu na uwezo wa kujistawisha. Nchi zao zilinawiri na biashara zao zikaendelea vyema. Wakoloni hao wakafungua viwanda na kuwaajiri waafrika. Katika viwanda hizo, waafrika waliajiriwa huko na kudhalilishwa. Mapato yao yalikuwa duni. Mazingira yao yalikuwa machafu na walilazimishwa kufanya kazi Kwa kipindi kirefu bila kupumzika. Yeyote aliyekataa kufanya kazi aliadhibiwa vikali. Hali hii iliongezea bara la Afrika kuendeleza kuwa maskini Kwa sababu wazungu walipogundua kuwa waafrika wangeweza kufanya kazi ngumu kwa malipo duni, waliendelea kuwanyakua waafrika na kuwadhalilisha. Isitoshe, baada ya hii, wakoloni waligeukia bara la Afrika na kuigawanya katika koloni mbalimbali. Waliwanyan'ganya mashamba, mifugo na Kila kitu walichokuwa nacho cha thamani. Waafrika walibaki bila chochote. Halikadhalika, walilazimishwa kufanya kazi Kwa mashamba yao bila malipo. Wake zao na watoto walilazimishwa kuwafanyia kazi za nyumbani kama kuosha nguo, kupika na kushughulikia wake zao. Bara la Afrika lilikuwa chini ya uongozi wao. Baadhi ya machifu waliteuliwa na wakoloni ili kuwasaidia katika uongozi na kuwachunguza waafrika katika mipango zao. Machifu hao walipata faida kidogo kutokana na kazi zao. Baada ya kipindi kirefu cha ukoloni mamboleo, hatimaye wakoloni waliondoka barani afrika. Walipoondoka, waliacha wafrika wakizama katika lindi la ufukara. Machifu ndio walikuwa tajiri Kwa sababu walipewa mashamba na wakoloni na kujistawisha. Swala hili ndilo sababu kuu la bara la Afrika kuzama katika umasikini.
Bara la Afrika lilitawaliwa nani kwa muda mrefu
{ "text": [ "Wakoloni" ] }
4816_swa
Katika utafiti uliofanywa mwaka Jana, bara la Afrika liligunduliwa kuwa ndilo bara maskini kote duniani. Wakaazi wengi wa bara hilo hulala njaa kutokana na ukosefu wa chakula. Baadhi ya watoto hawapati elimu Kwa sababu ya ukosefu wa karo ya shule, ndio maana takwimu za wasomi ni chache ikilinganishwa na mabara nyingine. Jambo la kwanza ni kwamba, bara la Afrika lilitawaliwa na wakoloni kwa kipindi kirefu. Wakoloni hao walinyakua wafrika walioonekana wana nguvu ya kufanya kazi na kuwafunga minyororo na kuwapeleka katika nchi zao kuwafanyia kazi na kutajirisha nchi zao. Waafrika hao walionyakuliwa ndio walikuwa na uwezo wa kustawisha bara lao. Kwa hivyo, bara hili liliporwa nguvu na uwezo wa kujistawisha. Nchi zao zilinawiri na biashara zao zikaendelea vyema. Wakoloni hao wakafungua viwanda na kuwaajiri waafrika. Katika viwanda hizo, waafrika waliajiriwa huko na kudhalilishwa. Mapato yao yalikuwa duni. Mazingira yao yalikuwa machafu na walilazimishwa kufanya kazi Kwa kipindi kirefu bila kupumzika. Yeyote aliyekataa kufanya kazi aliadhibiwa vikali. Hali hii iliongezea bara la Afrika kuendeleza kuwa maskini Kwa sababu wazungu walipogundua kuwa waafrika wangeweza kufanya kazi ngumu kwa malipo duni, waliendelea kuwanyakua waafrika na kuwadhalilisha. Isitoshe, baada ya hii, wakoloni waligeukia bara la Afrika na kuigawanya katika koloni mbalimbali. Waliwanyan'ganya mashamba, mifugo na Kila kitu walichokuwa nacho cha thamani. Waafrika walibaki bila chochote. Halikadhalika, walilazimishwa kufanya kazi Kwa mashamba yao bila malipo. Wake zao na watoto walilazimishwa kuwafanyia kazi za nyumbani kama kuosha nguo, kupika na kushughulikia wake zao. Bara la Afrika lilikuwa chini ya uongozi wao. Baadhi ya machifu waliteuliwa na wakoloni ili kuwasaidia katika uongozi na kuwachunguza waafrika katika mipango zao. Machifu hao walipata faida kidogo kutokana na kazi zao. Baada ya kipindi kirefu cha ukoloni mamboleo, hatimaye wakoloni waliondoka barani afrika. Walipoondoka, waliacha wafrika wakizama katika lindi la ufukara. Machifu ndio walikuwa tajiri Kwa sababu walipewa mashamba na wakoloni na kujistawisha. Swala hili ndilo sababu kuu la bara la Afrika kuzama katika umasikini.
Ni wapi waafrika wanadhalilishwa n
{ "text": [ "Viwandani" ] }
4816_swa
Katika utafiti uliofanywa mwaka Jana, bara la Afrika liligunduliwa kuwa ndilo bara maskini kote duniani. Wakaazi wengi wa bara hilo hulala njaa kutokana na ukosefu wa chakula. Baadhi ya watoto hawapati elimu Kwa sababu ya ukosefu wa karo ya shule, ndio maana takwimu za wasomi ni chache ikilinganishwa na mabara nyingine. Jambo la kwanza ni kwamba, bara la Afrika lilitawaliwa na wakoloni kwa kipindi kirefu. Wakoloni hao walinyakua wafrika walioonekana wana nguvu ya kufanya kazi na kuwafunga minyororo na kuwapeleka katika nchi zao kuwafanyia kazi na kutajirisha nchi zao. Waafrika hao walionyakuliwa ndio walikuwa na uwezo wa kustawisha bara lao. Kwa hivyo, bara hili liliporwa nguvu na uwezo wa kujistawisha. Nchi zao zilinawiri na biashara zao zikaendelea vyema. Wakoloni hao wakafungua viwanda na kuwaajiri waafrika. Katika viwanda hizo, waafrika waliajiriwa huko na kudhalilishwa. Mapato yao yalikuwa duni. Mazingira yao yalikuwa machafu na walilazimishwa kufanya kazi Kwa kipindi kirefu bila kupumzika. Yeyote aliyekataa kufanya kazi aliadhibiwa vikali. Hali hii iliongezea bara la Afrika kuendeleza kuwa maskini Kwa sababu wazungu walipogundua kuwa waafrika wangeweza kufanya kazi ngumu kwa malipo duni, waliendelea kuwanyakua waafrika na kuwadhalilisha. Isitoshe, baada ya hii, wakoloni waligeukia bara la Afrika na kuigawanya katika koloni mbalimbali. Waliwanyan'ganya mashamba, mifugo na Kila kitu walichokuwa nacho cha thamani. Waafrika walibaki bila chochote. Halikadhalika, walilazimishwa kufanya kazi Kwa mashamba yao bila malipo. Wake zao na watoto walilazimishwa kuwafanyia kazi za nyumbani kama kuosha nguo, kupika na kushughulikia wake zao. Bara la Afrika lilikuwa chini ya uongozi wao. Baadhi ya machifu waliteuliwa na wakoloni ili kuwasaidia katika uongozi na kuwachunguza waafrika katika mipango zao. Machifu hao walipata faida kidogo kutokana na kazi zao. Baada ya kipindi kirefu cha ukoloni mamboleo, hatimaye wakoloni waliondoka barani afrika. Walipoondoka, waliacha wafrika wakizama katika lindi la ufukara. Machifu ndio walikuwa tajiri Kwa sababu walipewa mashamba na wakoloni na kujistawisha. Swala hili ndilo sababu kuu la bara la Afrika kuzama katika umasikini.
Waafrika walilazimishwa kufanya nini
{ "text": [ "Kazi" ] }
4816_swa
Katika utafiti uliofanywa mwaka Jana, bara la Afrika liligunduliwa kuwa ndilo bara maskini kote duniani. Wakaazi wengi wa bara hilo hulala njaa kutokana na ukosefu wa chakula. Baadhi ya watoto hawapati elimu Kwa sababu ya ukosefu wa karo ya shule, ndio maana takwimu za wasomi ni chache ikilinganishwa na mabara nyingine. Jambo la kwanza ni kwamba, bara la Afrika lilitawaliwa na wakoloni kwa kipindi kirefu. Wakoloni hao walinyakua wafrika walioonekana wana nguvu ya kufanya kazi na kuwafunga minyororo na kuwapeleka katika nchi zao kuwafanyia kazi na kutajirisha nchi zao. Waafrika hao walionyakuliwa ndio walikuwa na uwezo wa kustawisha bara lao. Kwa hivyo, bara hili liliporwa nguvu na uwezo wa kujistawisha. Nchi zao zilinawiri na biashara zao zikaendelea vyema. Wakoloni hao wakafungua viwanda na kuwaajiri waafrika. Katika viwanda hizo, waafrika waliajiriwa huko na kudhalilishwa. Mapato yao yalikuwa duni. Mazingira yao yalikuwa machafu na walilazimishwa kufanya kazi Kwa kipindi kirefu bila kupumzika. Yeyote aliyekataa kufanya kazi aliadhibiwa vikali. Hali hii iliongezea bara la Afrika kuendeleza kuwa maskini Kwa sababu wazungu walipogundua kuwa waafrika wangeweza kufanya kazi ngumu kwa malipo duni, waliendelea kuwanyakua waafrika na kuwadhalilisha. Isitoshe, baada ya hii, wakoloni waligeukia bara la Afrika na kuigawanya katika koloni mbalimbali. Waliwanyan'ganya mashamba, mifugo na Kila kitu walichokuwa nacho cha thamani. Waafrika walibaki bila chochote. Halikadhalika, walilazimishwa kufanya kazi Kwa mashamba yao bila malipo. Wake zao na watoto walilazimishwa kuwafanyia kazi za nyumbani kama kuosha nguo, kupika na kushughulikia wake zao. Bara la Afrika lilikuwa chini ya uongozi wao. Baadhi ya machifu waliteuliwa na wakoloni ili kuwasaidia katika uongozi na kuwachunguza waafrika katika mipango zao. Machifu hao walipata faida kidogo kutokana na kazi zao. Baada ya kipindi kirefu cha ukoloni mamboleo, hatimaye wakoloni waliondoka barani afrika. Walipoondoka, waliacha wafrika wakizama katika lindi la ufukara. Machifu ndio walikuwa tajiri Kwa sababu walipewa mashamba na wakoloni na kujistawisha. Swala hili ndilo sababu kuu la bara la Afrika kuzama katika umasikini.
Kwa nini machifu walikuwa matajiri
{ "text": [ "Walipewa mashamba na wakoloni" ] }
4817_swa
WINGU LA SIMANZI Ilikuwa siku ya ijumaa, wote tulikuwa kwa gwaride tulisubiri kupewa mawaidha kuhusu jinsi tungeweza kufanya katika safari yetu ya kuenda Mombasa. Ilikuwa ni siku yetu ya kuenda Mombasa kuona mambo mbalimbali yaliyokuwa yanahusiana na masomo. Wote tulikuwa tumevaa vilivyo. Kila mtu alikuwa na furaha ghaya. Hakuna aliyekuwa hajasubiri siku hii kwa ghamu. Hii Leo hata kuamka haikuwa taabu. Tulirauka haraka kwa kuwa tuliamini kuwa endapo hungechelewa basi ungebaki shuleni na hakuna mtu angekubali kubaki. Mwalimu wetu mwalimu Bella alikuwa tayri amejinoa na akawa anavutia sana hakuna mtu aliyewahi kumwona akiwa safi hivyo na WA kuvutia kiasi hicho. Alisimama na kutuhutubia na kutambua kuwa tungeondika kwa mabasi mawili. Bella alikuwa mamaye June. June alikuwa kiranja wa darasa letu na tulimpenda sana. Kila wakati alituongesha jinsi ya kuwafanya walimu wetu waridhike nasi na watuoende zaidi. Alikuwa na nidhamu ya juu sana. Alipokuwa kidato cha kwanza kabla awe kiranja aliwahi kujishindia tuzo la kuwa mwanafunzi Bora kwa nidhamu na usafi pia. Hiyo ndiyo siku tulijua kuwa alikuwa mtoto wa Bi. Bella. Alikuwa mtoto wa kupigiwa Mfano shule nzima. Nakumbuka ilikuwa siku ya kupewa zawadi na basi wageni mbalimbali wakaja shuleni. Siku hiyo basi June akawa anakariri shairi. Kila mtu alibaki kinywa wazi. Mtoto wa wenyewe alikuwa na sauti ya malenga . Alipkkea zawadi mbalimbali kutoka kwa wageni mbalimbali. Baada ya muda mfupi. Shuleni tuliwahi kuletewa mwalimu mpya ambaye alikuwa akuwe ndiye mwalimu wetu mkuu. Alijitambulisha kwa jina basi akawa ndiye mwalimu wetu mkuu. Tulimpenda kwa kuwa alikuwa na moyo mkunjufu ajabu. Alikuwa mzuri na mwenye kuwasikiliza wanafunzi kila walipokuwa na tatizo. Alitekeleza baadhi ya mambo ambayo mwalimu aliteondoka hakuweza kutekeleza . Jambo la kwanza ni kuhakikisha tunaenda mahali mbalimbali kwa ajili ya matembezi na ndio maana hii Leo tupo tayari kwa safari. Alipenda sana masomo na yeyote ambaye angeweza kupita mtihani alimpatia zawadi tele. Hakuwahi penda wanafunzi wavivu. Kila siku aliposimama kuhutubua gwaride alitukumbusha kuwa umaskini huletwa na umaskini na basi sio vyema kuwa maskini. Alisema kuwa baadhi ya waliokuwa wakituhangaisha kwenye bweni na wizi walikuwa watu wavivu. Haikuchukua Muda kabla yeye aanzishe kampeni za kumaliza wizi shuleni. Yeyote ambaye angepatikana na kitu Cha wizi basi alitumwa nyumbani na akalipa maradufu. Dereva wetu tayari amewasili. Pia ana furaha tele kwa kuwa ataweza kufurahia vile vitu ambavyo tunaenda kuona. Leo amevaa vazi la kuvutia mno. Anatusalimu na kuelekea ofisi ya mwalimu mkuu. Nadhani ameenda kupewa baadhi ya Sheria zitakazoongoza safari yetu siku hiyo. Anaondoka na kuingia garini na kuliwasha. Kila mtu na roho mkononi tayari kuondoka sasa. Bi. Bella anakuja na karatasi iliyokuwa na majina zetu na kutuita huku tunaingia kwenye basi . Kila mtu anaketi na basic tunasubiri maelekezao zaidi kutoka kwa walimu kabla ya kung'oa nanga. Tayari dereva ameanza kucheza nyimbo kwenye gari. Nyimbo zinacheza ni za kikiristu kwa kuwa shule yetu ni ya kikiristu. Moyoni Nia furaha kwa kuwa safari yetu itakuwa ya kuenda Mombasa. Sijawahi kuenda Mombasa hata siku moja ila marafiki zangu wanaoishi huko hinipa hadithi kuhusu na naamini ni mahali pema sana. Tuliondoka mpaka barabara ya majimu. Hapa gari lilokuwa mbele yetu lilianza kuyumbayumba na dakika haikuisha kabla ya gari Hilo kuanguka chini kwa kishindo kikubwa. Nduru ziliskika hewani. Dereva wetu aliliegesha gari letu kando na wanafunzi wakaanza kutoka kila mmoja na butwaa. Watu walikimbia na kuanza kumsaidia. Wanafunzi wenzetu waliaga dunia. Bi. Bella na mwalimu mkuu waliaga dunia. June alibaki maskini hohehahe asuweze kujishikulia. Majeruhi walikimbizwa hospitali. Kila mmoja alifondokwa na machozi. Hakuna aliyetaka kuendelea na safari tena. Tulirudi shuleni tukiwa wachovu kama wagonjwa. Tulipofika shuleni tulitangaziwa kuwa tumewapoteza walimu wawili ambao walikuwa bwana na bibi. Mimi binafsi sikujua kuwa Bi. Bella alikuwa bibi ya mwalimu mkuu. Sikujua kuwa wawili Hawa walikuwa wazazi wake June. Hakuna mtu aliyeendea chakula siku hiyo. Kila mtu alibaki alimuomba Mungu na kufondosha machozi.
Nini ina umuhimu mkubwa kwa binadamu
{ "text": [ "miti" ] }
4817_swa
WINGU LA SIMANZI Ilikuwa siku ya ijumaa, wote tulikuwa kwa gwaride tulisubiri kupewa mawaidha kuhusu jinsi tungeweza kufanya katika safari yetu ya kuenda Mombasa. Ilikuwa ni siku yetu ya kuenda Mombasa kuona mambo mbalimbali yaliyokuwa yanahusiana na masomo. Wote tulikuwa tumevaa vilivyo. Kila mtu alikuwa na furaha ghaya. Hakuna aliyekuwa hajasubiri siku hii kwa ghamu. Hii Leo hata kuamka haikuwa taabu. Tulirauka haraka kwa kuwa tuliamini kuwa endapo hungechelewa basi ungebaki shuleni na hakuna mtu angekubali kubaki. Mwalimu wetu mwalimu Bella alikuwa tayri amejinoa na akawa anavutia sana hakuna mtu aliyewahi kumwona akiwa safi hivyo na WA kuvutia kiasi hicho. Alisimama na kutuhutubia na kutambua kuwa tungeondika kwa mabasi mawili. Bella alikuwa mamaye June. June alikuwa kiranja wa darasa letu na tulimpenda sana. Kila wakati alituongesha jinsi ya kuwafanya walimu wetu waridhike nasi na watuoende zaidi. Alikuwa na nidhamu ya juu sana. Alipokuwa kidato cha kwanza kabla awe kiranja aliwahi kujishindia tuzo la kuwa mwanafunzi Bora kwa nidhamu na usafi pia. Hiyo ndiyo siku tulijua kuwa alikuwa mtoto wa Bi. Bella. Alikuwa mtoto wa kupigiwa Mfano shule nzima. Nakumbuka ilikuwa siku ya kupewa zawadi na basi wageni mbalimbali wakaja shuleni. Siku hiyo basi June akawa anakariri shairi. Kila mtu alibaki kinywa wazi. Mtoto wa wenyewe alikuwa na sauti ya malenga . Alipkkea zawadi mbalimbali kutoka kwa wageni mbalimbali. Baada ya muda mfupi. Shuleni tuliwahi kuletewa mwalimu mpya ambaye alikuwa akuwe ndiye mwalimu wetu mkuu. Alijitambulisha kwa jina basi akawa ndiye mwalimu wetu mkuu. Tulimpenda kwa kuwa alikuwa na moyo mkunjufu ajabu. Alikuwa mzuri na mwenye kuwasikiliza wanafunzi kila walipokuwa na tatizo. Alitekeleza baadhi ya mambo ambayo mwalimu aliteondoka hakuweza kutekeleza . Jambo la kwanza ni kuhakikisha tunaenda mahali mbalimbali kwa ajili ya matembezi na ndio maana hii Leo tupo tayari kwa safari. Alipenda sana masomo na yeyote ambaye angeweza kupita mtihani alimpatia zawadi tele. Hakuwahi penda wanafunzi wavivu. Kila siku aliposimama kuhutubua gwaride alitukumbusha kuwa umaskini huletwa na umaskini na basi sio vyema kuwa maskini. Alisema kuwa baadhi ya waliokuwa wakituhangaisha kwenye bweni na wizi walikuwa watu wavivu. Haikuchukua Muda kabla yeye aanzishe kampeni za kumaliza wizi shuleni. Yeyote ambaye angepatikana na kitu Cha wizi basi alitumwa nyumbani na akalipa maradufu. Dereva wetu tayari amewasili. Pia ana furaha tele kwa kuwa ataweza kufurahia vile vitu ambavyo tunaenda kuona. Leo amevaa vazi la kuvutia mno. Anatusalimu na kuelekea ofisi ya mwalimu mkuu. Nadhani ameenda kupewa baadhi ya Sheria zitakazoongoza safari yetu siku hiyo. Anaondoka na kuingia garini na kuliwasha. Kila mtu na roho mkononi tayari kuondoka sasa. Bi. Bella anakuja na karatasi iliyokuwa na majina zetu na kutuita huku tunaingia kwenye basi . Kila mtu anaketi na basic tunasubiri maelekezao zaidi kutoka kwa walimu kabla ya kung'oa nanga. Tayari dereva ameanza kucheza nyimbo kwenye gari. Nyimbo zinacheza ni za kikiristu kwa kuwa shule yetu ni ya kikiristu. Moyoni Nia furaha kwa kuwa safari yetu itakuwa ya kuenda Mombasa. Sijawahi kuenda Mombasa hata siku moja ila marafiki zangu wanaoishi huko hinipa hadithi kuhusu na naamini ni mahali pema sana. Tuliondoka mpaka barabara ya majimu. Hapa gari lilokuwa mbele yetu lilianza kuyumbayumba na dakika haikuisha kabla ya gari Hilo kuanguka chini kwa kishindo kikubwa. Nduru ziliskika hewani. Dereva wetu aliliegesha gari letu kando na wanafunzi wakaanza kutoka kila mmoja na butwaa. Watu walikimbia na kuanza kumsaidia. Wanafunzi wenzetu waliaga dunia. Bi. Bella na mwalimu mkuu waliaga dunia. June alibaki maskini hohehahe asuweze kujishikulia. Majeruhi walikimbizwa hospitali. Kila mmoja alifondokwa na machozi. Hakuna aliyetaka kuendelea na safari tena. Tulirudi shuleni tukiwa wachovu kama wagonjwa. Tulipofika shuleni tulitangaziwa kuwa tumewapoteza walimu wawili ambao walikuwa bwana na bibi. Mimi binafsi sikujua kuwa Bi. Bella alikuwa bibi ya mwalimu mkuu. Sikujua kuwa wawili Hawa walikuwa wazazi wake June. Hakuna mtu aliyeendea chakula siku hiyo. Kila mtu alibaki alimuomba Mungu na kufondosha machozi.
Hewa gani husaidia mwili wa binadamu
{ "text": [ "oksijeni" ] }
4817_swa
WINGU LA SIMANZI Ilikuwa siku ya ijumaa, wote tulikuwa kwa gwaride tulisubiri kupewa mawaidha kuhusu jinsi tungeweza kufanya katika safari yetu ya kuenda Mombasa. Ilikuwa ni siku yetu ya kuenda Mombasa kuona mambo mbalimbali yaliyokuwa yanahusiana na masomo. Wote tulikuwa tumevaa vilivyo. Kila mtu alikuwa na furaha ghaya. Hakuna aliyekuwa hajasubiri siku hii kwa ghamu. Hii Leo hata kuamka haikuwa taabu. Tulirauka haraka kwa kuwa tuliamini kuwa endapo hungechelewa basi ungebaki shuleni na hakuna mtu angekubali kubaki. Mwalimu wetu mwalimu Bella alikuwa tayri amejinoa na akawa anavutia sana hakuna mtu aliyewahi kumwona akiwa safi hivyo na WA kuvutia kiasi hicho. Alisimama na kutuhutubia na kutambua kuwa tungeondika kwa mabasi mawili. Bella alikuwa mamaye June. June alikuwa kiranja wa darasa letu na tulimpenda sana. Kila wakati alituongesha jinsi ya kuwafanya walimu wetu waridhike nasi na watuoende zaidi. Alikuwa na nidhamu ya juu sana. Alipokuwa kidato cha kwanza kabla awe kiranja aliwahi kujishindia tuzo la kuwa mwanafunzi Bora kwa nidhamu na usafi pia. Hiyo ndiyo siku tulijua kuwa alikuwa mtoto wa Bi. Bella. Alikuwa mtoto wa kupigiwa Mfano shule nzima. Nakumbuka ilikuwa siku ya kupewa zawadi na basi wageni mbalimbali wakaja shuleni. Siku hiyo basi June akawa anakariri shairi. Kila mtu alibaki kinywa wazi. Mtoto wa wenyewe alikuwa na sauti ya malenga . Alipkkea zawadi mbalimbali kutoka kwa wageni mbalimbali. Baada ya muda mfupi. Shuleni tuliwahi kuletewa mwalimu mpya ambaye alikuwa akuwe ndiye mwalimu wetu mkuu. Alijitambulisha kwa jina basi akawa ndiye mwalimu wetu mkuu. Tulimpenda kwa kuwa alikuwa na moyo mkunjufu ajabu. Alikuwa mzuri na mwenye kuwasikiliza wanafunzi kila walipokuwa na tatizo. Alitekeleza baadhi ya mambo ambayo mwalimu aliteondoka hakuweza kutekeleza . Jambo la kwanza ni kuhakikisha tunaenda mahali mbalimbali kwa ajili ya matembezi na ndio maana hii Leo tupo tayari kwa safari. Alipenda sana masomo na yeyote ambaye angeweza kupita mtihani alimpatia zawadi tele. Hakuwahi penda wanafunzi wavivu. Kila siku aliposimama kuhutubua gwaride alitukumbusha kuwa umaskini huletwa na umaskini na basi sio vyema kuwa maskini. Alisema kuwa baadhi ya waliokuwa wakituhangaisha kwenye bweni na wizi walikuwa watu wavivu. Haikuchukua Muda kabla yeye aanzishe kampeni za kumaliza wizi shuleni. Yeyote ambaye angepatikana na kitu Cha wizi basi alitumwa nyumbani na akalipa maradufu. Dereva wetu tayari amewasili. Pia ana furaha tele kwa kuwa ataweza kufurahia vile vitu ambavyo tunaenda kuona. Leo amevaa vazi la kuvutia mno. Anatusalimu na kuelekea ofisi ya mwalimu mkuu. Nadhani ameenda kupewa baadhi ya Sheria zitakazoongoza safari yetu siku hiyo. Anaondoka na kuingia garini na kuliwasha. Kila mtu na roho mkononi tayari kuondoka sasa. Bi. Bella anakuja na karatasi iliyokuwa na majina zetu na kutuita huku tunaingia kwenye basi . Kila mtu anaketi na basic tunasubiri maelekezao zaidi kutoka kwa walimu kabla ya kung'oa nanga. Tayari dereva ameanza kucheza nyimbo kwenye gari. Nyimbo zinacheza ni za kikiristu kwa kuwa shule yetu ni ya kikiristu. Moyoni Nia furaha kwa kuwa safari yetu itakuwa ya kuenda Mombasa. Sijawahi kuenda Mombasa hata siku moja ila marafiki zangu wanaoishi huko hinipa hadithi kuhusu na naamini ni mahali pema sana. Tuliondoka mpaka barabara ya majimu. Hapa gari lilokuwa mbele yetu lilianza kuyumbayumba na dakika haikuisha kabla ya gari Hilo kuanguka chini kwa kishindo kikubwa. Nduru ziliskika hewani. Dereva wetu aliliegesha gari letu kando na wanafunzi wakaanza kutoka kila mmoja na butwaa. Watu walikimbia na kuanza kumsaidia. Wanafunzi wenzetu waliaga dunia. Bi. Bella na mwalimu mkuu waliaga dunia. June alibaki maskini hohehahe asuweze kujishikulia. Majeruhi walikimbizwa hospitali. Kila mmoja alifondokwa na machozi. Hakuna aliyetaka kuendelea na safari tena. Tulirudi shuleni tukiwa wachovu kama wagonjwa. Tulipofika shuleni tulitangaziwa kuwa tumewapoteza walimu wawili ambao walikuwa bwana na bibi. Mimi binafsi sikujua kuwa Bi. Bella alikuwa bibi ya mwalimu mkuu. Sikujua kuwa wawili Hawa walikuwa wazazi wake June. Hakuna mtu aliyeendea chakula siku hiyo. Kila mtu alibaki alimuomba Mungu na kufondosha machozi.
Mbona wakulima hutegemea mvua
{ "text": [ "ili vyakula vinawiri" ] }
4817_swa
WINGU LA SIMANZI Ilikuwa siku ya ijumaa, wote tulikuwa kwa gwaride tulisubiri kupewa mawaidha kuhusu jinsi tungeweza kufanya katika safari yetu ya kuenda Mombasa. Ilikuwa ni siku yetu ya kuenda Mombasa kuona mambo mbalimbali yaliyokuwa yanahusiana na masomo. Wote tulikuwa tumevaa vilivyo. Kila mtu alikuwa na furaha ghaya. Hakuna aliyekuwa hajasubiri siku hii kwa ghamu. Hii Leo hata kuamka haikuwa taabu. Tulirauka haraka kwa kuwa tuliamini kuwa endapo hungechelewa basi ungebaki shuleni na hakuna mtu angekubali kubaki. Mwalimu wetu mwalimu Bella alikuwa tayri amejinoa na akawa anavutia sana hakuna mtu aliyewahi kumwona akiwa safi hivyo na WA kuvutia kiasi hicho. Alisimama na kutuhutubia na kutambua kuwa tungeondika kwa mabasi mawili. Bella alikuwa mamaye June. June alikuwa kiranja wa darasa letu na tulimpenda sana. Kila wakati alituongesha jinsi ya kuwafanya walimu wetu waridhike nasi na watuoende zaidi. Alikuwa na nidhamu ya juu sana. Alipokuwa kidato cha kwanza kabla awe kiranja aliwahi kujishindia tuzo la kuwa mwanafunzi Bora kwa nidhamu na usafi pia. Hiyo ndiyo siku tulijua kuwa alikuwa mtoto wa Bi. Bella. Alikuwa mtoto wa kupigiwa Mfano shule nzima. Nakumbuka ilikuwa siku ya kupewa zawadi na basi wageni mbalimbali wakaja shuleni. Siku hiyo basi June akawa anakariri shairi. Kila mtu alibaki kinywa wazi. Mtoto wa wenyewe alikuwa na sauti ya malenga . Alipkkea zawadi mbalimbali kutoka kwa wageni mbalimbali. Baada ya muda mfupi. Shuleni tuliwahi kuletewa mwalimu mpya ambaye alikuwa akuwe ndiye mwalimu wetu mkuu. Alijitambulisha kwa jina basi akawa ndiye mwalimu wetu mkuu. Tulimpenda kwa kuwa alikuwa na moyo mkunjufu ajabu. Alikuwa mzuri na mwenye kuwasikiliza wanafunzi kila walipokuwa na tatizo. Alitekeleza baadhi ya mambo ambayo mwalimu aliteondoka hakuweza kutekeleza . Jambo la kwanza ni kuhakikisha tunaenda mahali mbalimbali kwa ajili ya matembezi na ndio maana hii Leo tupo tayari kwa safari. Alipenda sana masomo na yeyote ambaye angeweza kupita mtihani alimpatia zawadi tele. Hakuwahi penda wanafunzi wavivu. Kila siku aliposimama kuhutubua gwaride alitukumbusha kuwa umaskini huletwa na umaskini na basi sio vyema kuwa maskini. Alisema kuwa baadhi ya waliokuwa wakituhangaisha kwenye bweni na wizi walikuwa watu wavivu. Haikuchukua Muda kabla yeye aanzishe kampeni za kumaliza wizi shuleni. Yeyote ambaye angepatikana na kitu Cha wizi basi alitumwa nyumbani na akalipa maradufu. Dereva wetu tayari amewasili. Pia ana furaha tele kwa kuwa ataweza kufurahia vile vitu ambavyo tunaenda kuona. Leo amevaa vazi la kuvutia mno. Anatusalimu na kuelekea ofisi ya mwalimu mkuu. Nadhani ameenda kupewa baadhi ya Sheria zitakazoongoza safari yetu siku hiyo. Anaondoka na kuingia garini na kuliwasha. Kila mtu na roho mkononi tayari kuondoka sasa. Bi. Bella anakuja na karatasi iliyokuwa na majina zetu na kutuita huku tunaingia kwenye basi . Kila mtu anaketi na basic tunasubiri maelekezao zaidi kutoka kwa walimu kabla ya kung'oa nanga. Tayari dereva ameanza kucheza nyimbo kwenye gari. Nyimbo zinacheza ni za kikiristu kwa kuwa shule yetu ni ya kikiristu. Moyoni Nia furaha kwa kuwa safari yetu itakuwa ya kuenda Mombasa. Sijawahi kuenda Mombasa hata siku moja ila marafiki zangu wanaoishi huko hinipa hadithi kuhusu na naamini ni mahali pema sana. Tuliondoka mpaka barabara ya majimu. Hapa gari lilokuwa mbele yetu lilianza kuyumbayumba na dakika haikuisha kabla ya gari Hilo kuanguka chini kwa kishindo kikubwa. Nduru ziliskika hewani. Dereva wetu aliliegesha gari letu kando na wanafunzi wakaanza kutoka kila mmoja na butwaa. Watu walikimbia na kuanza kumsaidia. Wanafunzi wenzetu waliaga dunia. Bi. Bella na mwalimu mkuu waliaga dunia. June alibaki maskini hohehahe asuweze kujishikulia. Majeruhi walikimbizwa hospitali. Kila mmoja alifondokwa na machozi. Hakuna aliyetaka kuendelea na safari tena. Tulirudi shuleni tukiwa wachovu kama wagonjwa. Tulipofika shuleni tulitangaziwa kuwa tumewapoteza walimu wawili ambao walikuwa bwana na bibi. Mimi binafsi sikujua kuwa Bi. Bella alikuwa bibi ya mwalimu mkuu. Sikujua kuwa wawili Hawa walikuwa wazazi wake June. Hakuna mtu aliyeendea chakula siku hiyo. Kila mtu alibaki alimuomba Mungu na kufondosha machozi.
Nani huhitajika kunywa maji ya majani
{ "text": [ "mgonjwa" ] }
4817_swa
WINGU LA SIMANZI Ilikuwa siku ya ijumaa, wote tulikuwa kwa gwaride tulisubiri kupewa mawaidha kuhusu jinsi tungeweza kufanya katika safari yetu ya kuenda Mombasa. Ilikuwa ni siku yetu ya kuenda Mombasa kuona mambo mbalimbali yaliyokuwa yanahusiana na masomo. Wote tulikuwa tumevaa vilivyo. Kila mtu alikuwa na furaha ghaya. Hakuna aliyekuwa hajasubiri siku hii kwa ghamu. Hii Leo hata kuamka haikuwa taabu. Tulirauka haraka kwa kuwa tuliamini kuwa endapo hungechelewa basi ungebaki shuleni na hakuna mtu angekubali kubaki. Mwalimu wetu mwalimu Bella alikuwa tayri amejinoa na akawa anavutia sana hakuna mtu aliyewahi kumwona akiwa safi hivyo na WA kuvutia kiasi hicho. Alisimama na kutuhutubia na kutambua kuwa tungeondika kwa mabasi mawili. Bella alikuwa mamaye June. June alikuwa kiranja wa darasa letu na tulimpenda sana. Kila wakati alituongesha jinsi ya kuwafanya walimu wetu waridhike nasi na watuoende zaidi. Alikuwa na nidhamu ya juu sana. Alipokuwa kidato cha kwanza kabla awe kiranja aliwahi kujishindia tuzo la kuwa mwanafunzi Bora kwa nidhamu na usafi pia. Hiyo ndiyo siku tulijua kuwa alikuwa mtoto wa Bi. Bella. Alikuwa mtoto wa kupigiwa Mfano shule nzima. Nakumbuka ilikuwa siku ya kupewa zawadi na basi wageni mbalimbali wakaja shuleni. Siku hiyo basi June akawa anakariri shairi. Kila mtu alibaki kinywa wazi. Mtoto wa wenyewe alikuwa na sauti ya malenga . Alipkkea zawadi mbalimbali kutoka kwa wageni mbalimbali. Baada ya muda mfupi. Shuleni tuliwahi kuletewa mwalimu mpya ambaye alikuwa akuwe ndiye mwalimu wetu mkuu. Alijitambulisha kwa jina basi akawa ndiye mwalimu wetu mkuu. Tulimpenda kwa kuwa alikuwa na moyo mkunjufu ajabu. Alikuwa mzuri na mwenye kuwasikiliza wanafunzi kila walipokuwa na tatizo. Alitekeleza baadhi ya mambo ambayo mwalimu aliteondoka hakuweza kutekeleza . Jambo la kwanza ni kuhakikisha tunaenda mahali mbalimbali kwa ajili ya matembezi na ndio maana hii Leo tupo tayari kwa safari. Alipenda sana masomo na yeyote ambaye angeweza kupita mtihani alimpatia zawadi tele. Hakuwahi penda wanafunzi wavivu. Kila siku aliposimama kuhutubua gwaride alitukumbusha kuwa umaskini huletwa na umaskini na basi sio vyema kuwa maskini. Alisema kuwa baadhi ya waliokuwa wakituhangaisha kwenye bweni na wizi walikuwa watu wavivu. Haikuchukua Muda kabla yeye aanzishe kampeni za kumaliza wizi shuleni. Yeyote ambaye angepatikana na kitu Cha wizi basi alitumwa nyumbani na akalipa maradufu. Dereva wetu tayari amewasili. Pia ana furaha tele kwa kuwa ataweza kufurahia vile vitu ambavyo tunaenda kuona. Leo amevaa vazi la kuvutia mno. Anatusalimu na kuelekea ofisi ya mwalimu mkuu. Nadhani ameenda kupewa baadhi ya Sheria zitakazoongoza safari yetu siku hiyo. Anaondoka na kuingia garini na kuliwasha. Kila mtu na roho mkononi tayari kuondoka sasa. Bi. Bella anakuja na karatasi iliyokuwa na majina zetu na kutuita huku tunaingia kwenye basi . Kila mtu anaketi na basic tunasubiri maelekezao zaidi kutoka kwa walimu kabla ya kung'oa nanga. Tayari dereva ameanza kucheza nyimbo kwenye gari. Nyimbo zinacheza ni za kikiristu kwa kuwa shule yetu ni ya kikiristu. Moyoni Nia furaha kwa kuwa safari yetu itakuwa ya kuenda Mombasa. Sijawahi kuenda Mombasa hata siku moja ila marafiki zangu wanaoishi huko hinipa hadithi kuhusu na naamini ni mahali pema sana. Tuliondoka mpaka barabara ya majimu. Hapa gari lilokuwa mbele yetu lilianza kuyumbayumba na dakika haikuisha kabla ya gari Hilo kuanguka chini kwa kishindo kikubwa. Nduru ziliskika hewani. Dereva wetu aliliegesha gari letu kando na wanafunzi wakaanza kutoka kila mmoja na butwaa. Watu walikimbia na kuanza kumsaidia. Wanafunzi wenzetu waliaga dunia. Bi. Bella na mwalimu mkuu waliaga dunia. June alibaki maskini hohehahe asuweze kujishikulia. Majeruhi walikimbizwa hospitali. Kila mmoja alifondokwa na machozi. Hakuna aliyetaka kuendelea na safari tena. Tulirudi shuleni tukiwa wachovu kama wagonjwa. Tulipofika shuleni tulitangaziwa kuwa tumewapoteza walimu wawili ambao walikuwa bwana na bibi. Mimi binafsi sikujua kuwa Bi. Bella alikuwa bibi ya mwalimu mkuu. Sikujua kuwa wawili Hawa walikuwa wazazi wake June. Hakuna mtu aliyeendea chakula siku hiyo. Kila mtu alibaki alimuomba Mungu na kufondosha machozi.
Maua huleta sura nzuri lini
{ "text": [ "kila wakati" ] }
4818_swa
Usiku wa kuamkia Jumamosi niliamsha na kelele kutoka Kwa jirani. Jirani Amina alikuwa anaishi peke yake baada ya mumewe kufariki mwaka jana. Alikuwa na mtoto mmoja. Niliamka Kwa blanketi na kuelekea kwake. Kabla ya kufungua mlango wangu, nilipatwa na mshangao. Mlango wangu ulikuwa umefunguliwa. Nilipigwa na butwaa, miguu zangu zikaanza kutetemeka. Nilijipata nimeduwaa na kuzubaa. Damu ikaganda mwilini. Sauti ikatokea nyuma yangu"usijaribu kupiga kelele". Nilitamani Dunia inimeze. Kutazama nyuma, niliwaona wanaume wawili wakiwa nyuma yangu. Wote walikuwa na bunduki na panga. Jasho lilinitiririka kama maji. Baada ya muda mfupi,wakaniagiza kuwapa hela zote nilizokuwa nazo. Waliniambia kwamba wanajua Nina hela nyingi Kwa maana biashara yangu imepanuka sana. Wezi hao walikuwa wakinitambua vyema. Mimi nilikuwa na biashara ya kuuza nguo mjini na ilikuwa inaenda vyema hadi nikawapa watu kazi ya kuniuzia Kwa maduka yangu. Kwa bahati mzuri, siku hiyo sikurudi na pesa nyumbani Kwa maana nilienda kuweka kwenye benki. Niliwaambia kwamba sina hela. Nilipigwa kofi nikajikuta niko sakafuni. Nilizirai kwa muda mchache . Nilipofungua macho yangu, sikuamini nilichokiona. Nyumba yangu ilikuwa imefagiliwa. Runinga yangu na jokofu zote zilikuwa zimeenda. Sikupata kiti Wala meza. Niliamka Kwa maumivu makali kichwani. Kwa kuwa ilikuwa usiku, sikuweza kuona vizuri. Nilikuwa nimechanganyikiwa sana. Nilichukua muda kidogo kutulia ilhali sikuweza kujitambua. Katika Hali hiyo ya mchanganyiko, nikasikia nduru huko nje. Nduru ilikuwa inatoka Kwa yule jirani yangu.sikujua cha kufanya. Niliamua kudamka na kutembea polepole hadi kwake. Nilichungulia Kwa dirisha na singeweza kutazama chochote. Baada ya muda mfupi, polisi walifika. Wezi nao wakatoka mbio ilihali polisi waliwakamata. Kila mmoja alielezea jinsi alivyoibiwa. Polisi walituamuru turudi nyumbani kisha Kila mmoja afike kituoni siku iliyofuata. Nilienda kwa jirani yangu na akaniambia kuwa aliporwa shilingi laki Tano. Asubuhi ilipofika, sote tuliandamana katika kitukio cha polisi. Cha kushangaza ni kwamba, vifaa vyetu vyote vilivyoibiwa vilikuwa pale. Polisi walitushukuru kwa ujasiri wetu na kuturudishia vitu vyetu. Jirani yangu alirudishiwa fedha zake. Wezi hao wakapewa kifungo cha maisha kwa kutuhangaisha na kutuibia wa muda ya miaka tatu sasa.
Kelele zilitoka wapi usiku wa kuamkia jumamasi
{ "text": [ "Kwa jirani Amina" ] }
4818_swa
Usiku wa kuamkia Jumamosi niliamsha na kelele kutoka Kwa jirani. Jirani Amina alikuwa anaishi peke yake baada ya mumewe kufariki mwaka jana. Alikuwa na mtoto mmoja. Niliamka Kwa blanketi na kuelekea kwake. Kabla ya kufungua mlango wangu, nilipatwa na mshangao. Mlango wangu ulikuwa umefunguliwa. Nilipigwa na butwaa, miguu zangu zikaanza kutetemeka. Nilijipata nimeduwaa na kuzubaa. Damu ikaganda mwilini. Sauti ikatokea nyuma yangu"usijaribu kupiga kelele". Nilitamani Dunia inimeze. Kutazama nyuma, niliwaona wanaume wawili wakiwa nyuma yangu. Wote walikuwa na bunduki na panga. Jasho lilinitiririka kama maji. Baada ya muda mfupi,wakaniagiza kuwapa hela zote nilizokuwa nazo. Waliniambia kwamba wanajua Nina hela nyingi Kwa maana biashara yangu imepanuka sana. Wezi hao walikuwa wakinitambua vyema. Mimi nilikuwa na biashara ya kuuza nguo mjini na ilikuwa inaenda vyema hadi nikawapa watu kazi ya kuniuzia Kwa maduka yangu. Kwa bahati mzuri, siku hiyo sikurudi na pesa nyumbani Kwa maana nilienda kuweka kwenye benki. Niliwaambia kwamba sina hela. Nilipigwa kofi nikajikuta niko sakafuni. Nilizirai kwa muda mchache . Nilipofungua macho yangu, sikuamini nilichokiona. Nyumba yangu ilikuwa imefagiliwa. Runinga yangu na jokofu zote zilikuwa zimeenda. Sikupata kiti Wala meza. Niliamka Kwa maumivu makali kichwani. Kwa kuwa ilikuwa usiku, sikuweza kuona vizuri. Nilikuwa nimechanganyikiwa sana. Nilichukua muda kidogo kutulia ilhali sikuweza kujitambua. Katika Hali hiyo ya mchanganyiko, nikasikia nduru huko nje. Nduru ilikuwa inatoka Kwa yule jirani yangu.sikujua cha kufanya. Niliamua kudamka na kutembea polepole hadi kwake. Nilichungulia Kwa dirisha na singeweza kutazama chochote. Baada ya muda mfupi, polisi walifika. Wezi nao wakatoka mbio ilihali polisi waliwakamata. Kila mmoja alielezea jinsi alivyoibiwa. Polisi walituamuru turudi nyumbani kisha Kila mmoja afike kituoni siku iliyofuata. Nilienda kwa jirani yangu na akaniambia kuwa aliporwa shilingi laki Tano. Asubuhi ilipofika, sote tuliandamana katika kitukio cha polisi. Cha kushangaza ni kwamba, vifaa vyetu vyote vilivyoibiwa vilikuwa pale. Polisi walitushukuru kwa ujasiri wetu na kuturudishia vitu vyetu. Jirani yangu alirudishiwa fedha zake. Wezi hao wakapewa kifungo cha maisha kwa kutuhangaisha na kutuibia wa muda ya miaka tatu sasa.
Wezi waliagiza mfanyi biashara afanya nini
{ "text": [ "kuwapa hela zote alizokuwa nazo" ] }
4818_swa
Usiku wa kuamkia Jumamosi niliamsha na kelele kutoka Kwa jirani. Jirani Amina alikuwa anaishi peke yake baada ya mumewe kufariki mwaka jana. Alikuwa na mtoto mmoja. Niliamka Kwa blanketi na kuelekea kwake. Kabla ya kufungua mlango wangu, nilipatwa na mshangao. Mlango wangu ulikuwa umefunguliwa. Nilipigwa na butwaa, miguu zangu zikaanza kutetemeka. Nilijipata nimeduwaa na kuzubaa. Damu ikaganda mwilini. Sauti ikatokea nyuma yangu"usijaribu kupiga kelele". Nilitamani Dunia inimeze. Kutazama nyuma, niliwaona wanaume wawili wakiwa nyuma yangu. Wote walikuwa na bunduki na panga. Jasho lilinitiririka kama maji. Baada ya muda mfupi,wakaniagiza kuwapa hela zote nilizokuwa nazo. Waliniambia kwamba wanajua Nina hela nyingi Kwa maana biashara yangu imepanuka sana. Wezi hao walikuwa wakinitambua vyema. Mimi nilikuwa na biashara ya kuuza nguo mjini na ilikuwa inaenda vyema hadi nikawapa watu kazi ya kuniuzia Kwa maduka yangu. Kwa bahati mzuri, siku hiyo sikurudi na pesa nyumbani Kwa maana nilienda kuweka kwenye benki. Niliwaambia kwamba sina hela. Nilipigwa kofi nikajikuta niko sakafuni. Nilizirai kwa muda mchache . Nilipofungua macho yangu, sikuamini nilichokiona. Nyumba yangu ilikuwa imefagiliwa. Runinga yangu na jokofu zote zilikuwa zimeenda. Sikupata kiti Wala meza. Niliamka Kwa maumivu makali kichwani. Kwa kuwa ilikuwa usiku, sikuweza kuona vizuri. Nilikuwa nimechanganyikiwa sana. Nilichukua muda kidogo kutulia ilhali sikuweza kujitambua. Katika Hali hiyo ya mchanganyiko, nikasikia nduru huko nje. Nduru ilikuwa inatoka Kwa yule jirani yangu.sikujua cha kufanya. Niliamua kudamka na kutembea polepole hadi kwake. Nilichungulia Kwa dirisha na singeweza kutazama chochote. Baada ya muda mfupi, polisi walifika. Wezi nao wakatoka mbio ilihali polisi waliwakamata. Kila mmoja alielezea jinsi alivyoibiwa. Polisi walituamuru turudi nyumbani kisha Kila mmoja afike kituoni siku iliyofuata. Nilienda kwa jirani yangu na akaniambia kuwa aliporwa shilingi laki Tano. Asubuhi ilipofika, sote tuliandamana katika kitukio cha polisi. Cha kushangaza ni kwamba, vifaa vyetu vyote vilivyoibiwa vilikuwa pale. Polisi walitushukuru kwa ujasiri wetu na kuturudishia vitu vyetu. Jirani yangu alirudishiwa fedha zake. Wezi hao wakapewa kifungo cha maisha kwa kutuhangaisha na kutuibia wa muda ya miaka tatu sasa.
Ni nini kilitokea mfanyi biashara alipowaeleza hakuwa na pesa
{ "text": [ "Alipigwa kofi hadi akazirai" ] }
4818_swa
Usiku wa kuamkia Jumamosi niliamsha na kelele kutoka Kwa jirani. Jirani Amina alikuwa anaishi peke yake baada ya mumewe kufariki mwaka jana. Alikuwa na mtoto mmoja. Niliamka Kwa blanketi na kuelekea kwake. Kabla ya kufungua mlango wangu, nilipatwa na mshangao. Mlango wangu ulikuwa umefunguliwa. Nilipigwa na butwaa, miguu zangu zikaanza kutetemeka. Nilijipata nimeduwaa na kuzubaa. Damu ikaganda mwilini. Sauti ikatokea nyuma yangu"usijaribu kupiga kelele". Nilitamani Dunia inimeze. Kutazama nyuma, niliwaona wanaume wawili wakiwa nyuma yangu. Wote walikuwa na bunduki na panga. Jasho lilinitiririka kama maji. Baada ya muda mfupi,wakaniagiza kuwapa hela zote nilizokuwa nazo. Waliniambia kwamba wanajua Nina hela nyingi Kwa maana biashara yangu imepanuka sana. Wezi hao walikuwa wakinitambua vyema. Mimi nilikuwa na biashara ya kuuza nguo mjini na ilikuwa inaenda vyema hadi nikawapa watu kazi ya kuniuzia Kwa maduka yangu. Kwa bahati mzuri, siku hiyo sikurudi na pesa nyumbani Kwa maana nilienda kuweka kwenye benki. Niliwaambia kwamba sina hela. Nilipigwa kofi nikajikuta niko sakafuni. Nilizirai kwa muda mchache . Nilipofungua macho yangu, sikuamini nilichokiona. Nyumba yangu ilikuwa imefagiliwa. Runinga yangu na jokofu zote zilikuwa zimeenda. Sikupata kiti Wala meza. Niliamka Kwa maumivu makali kichwani. Kwa kuwa ilikuwa usiku, sikuweza kuona vizuri. Nilikuwa nimechanganyikiwa sana. Nilichukua muda kidogo kutulia ilhali sikuweza kujitambua. Katika Hali hiyo ya mchanganyiko, nikasikia nduru huko nje. Nduru ilikuwa inatoka Kwa yule jirani yangu.sikujua cha kufanya. Niliamua kudamka na kutembea polepole hadi kwake. Nilichungulia Kwa dirisha na singeweza kutazama chochote. Baada ya muda mfupi, polisi walifika. Wezi nao wakatoka mbio ilihali polisi waliwakamata. Kila mmoja alielezea jinsi alivyoibiwa. Polisi walituamuru turudi nyumbani kisha Kila mmoja afike kituoni siku iliyofuata. Nilienda kwa jirani yangu na akaniambia kuwa aliporwa shilingi laki Tano. Asubuhi ilipofika, sote tuliandamana katika kitukio cha polisi. Cha kushangaza ni kwamba, vifaa vyetu vyote vilivyoibiwa vilikuwa pale. Polisi walitushukuru kwa ujasiri wetu na kuturudishia vitu vyetu. Jirani yangu alirudishiwa fedha zake. Wezi hao wakapewa kifungo cha maisha kwa kutuhangaisha na kutuibia wa muda ya miaka tatu sasa.
Wezi waliiba nini kutoka kwa mfanyi biashara
{ "text": [ "Runinga, jokofu, viti na meza" ] }
4818_swa
Usiku wa kuamkia Jumamosi niliamsha na kelele kutoka Kwa jirani. Jirani Amina alikuwa anaishi peke yake baada ya mumewe kufariki mwaka jana. Alikuwa na mtoto mmoja. Niliamka Kwa blanketi na kuelekea kwake. Kabla ya kufungua mlango wangu, nilipatwa na mshangao. Mlango wangu ulikuwa umefunguliwa. Nilipigwa na butwaa, miguu zangu zikaanza kutetemeka. Nilijipata nimeduwaa na kuzubaa. Damu ikaganda mwilini. Sauti ikatokea nyuma yangu"usijaribu kupiga kelele". Nilitamani Dunia inimeze. Kutazama nyuma, niliwaona wanaume wawili wakiwa nyuma yangu. Wote walikuwa na bunduki na panga. Jasho lilinitiririka kama maji. Baada ya muda mfupi,wakaniagiza kuwapa hela zote nilizokuwa nazo. Waliniambia kwamba wanajua Nina hela nyingi Kwa maana biashara yangu imepanuka sana. Wezi hao walikuwa wakinitambua vyema. Mimi nilikuwa na biashara ya kuuza nguo mjini na ilikuwa inaenda vyema hadi nikawapa watu kazi ya kuniuzia Kwa maduka yangu. Kwa bahati mzuri, siku hiyo sikurudi na pesa nyumbani Kwa maana nilienda kuweka kwenye benki. Niliwaambia kwamba sina hela. Nilipigwa kofi nikajikuta niko sakafuni. Nilizirai kwa muda mchache . Nilipofungua macho yangu, sikuamini nilichokiona. Nyumba yangu ilikuwa imefagiliwa. Runinga yangu na jokofu zote zilikuwa zimeenda. Sikupata kiti Wala meza. Niliamka Kwa maumivu makali kichwani. Kwa kuwa ilikuwa usiku, sikuweza kuona vizuri. Nilikuwa nimechanganyikiwa sana. Nilichukua muda kidogo kutulia ilhali sikuweza kujitambua. Katika Hali hiyo ya mchanganyiko, nikasikia nduru huko nje. Nduru ilikuwa inatoka Kwa yule jirani yangu.sikujua cha kufanya. Niliamua kudamka na kutembea polepole hadi kwake. Nilichungulia Kwa dirisha na singeweza kutazama chochote. Baada ya muda mfupi, polisi walifika. Wezi nao wakatoka mbio ilihali polisi waliwakamata. Kila mmoja alielezea jinsi alivyoibiwa. Polisi walituamuru turudi nyumbani kisha Kila mmoja afike kituoni siku iliyofuata. Nilienda kwa jirani yangu na akaniambia kuwa aliporwa shilingi laki Tano. Asubuhi ilipofika, sote tuliandamana katika kitukio cha polisi. Cha kushangaza ni kwamba, vifaa vyetu vyote vilivyoibiwa vilikuwa pale. Polisi walitushukuru kwa ujasiri wetu na kuturudishia vitu vyetu. Jirani yangu alirudishiwa fedha zake. Wezi hao wakapewa kifungo cha maisha kwa kutuhangaisha na kutuibia wa muda ya miaka tatu sasa.
Wezi walipewa adhabu gani waliposhikwa
{ "text": [ "Kifungu cha miaka mitatu" ] }
4820_swa
DHULUMA DHIDI YA WANAWAKE Wanawake katika jamii yeyote ile wana umuhimu wao. Wengine wetu wameza kuguzwa na wanawake. Wanawake wanapojitahidi hivyo, kuna mambo mengi ambayo wao hupitia. Hawawezi kulalama kwani ni nani atawasikia? Wao wanadhulumiwa kwa njia tofauti tofauti ambazo tutaziangalia pale. Kwanza wanawake wanadhulumiwa kwa wao kutorithi mali ya mume anaposafiri jongomeo. Utapata kwamba kama mama huyo hakuwa na uwezo wa kuzaa huenda akafukuzwa kwani haezi rithi mali bila yeye kuwa na mtoto. Watoto ni baraka. Watoto hutoka kwa mungu. Bila mtoto au ukiwa na mtoto yafaa tu tumshukuru Mungu kwani ni yeye aliyepanga hivyo hivyo. Tunapoangalia jamii nyingi mke akiwa hana watoto ama kama atazaa watoto wa kike tu basi yeye haezi rithi mali ya mume wake. Jamii inaamuru hivyo na ni makosa kuwa na kasumba kama hiyo. Dhuluma nyingine ni ndoa za mapema. Wanawake wanaozwa mapema. Hivi majuzi runingani ilihuzunisha kuona mtoto wa miaka kumi akiozwa kwa mzee wa miaka thelathini na mitano. Nilishangaa na kuomba Rabana tu awape binadamu utu. Unawezaje kuoa mtoto kama huyo? Hiyo ni dhuluma kubwa sana. Pia wanawake wanapashwa tohara. Jambo hili limewakera sana watu wengi. Unaeza aje kumpasha binti tohara? Mashirika mengi haswa upande wa Narok huko yameweza kuanzishwa ili kukabili tatizo hilo kubwa. Wanawake wanapopashwa tohara huenda wakaathirika kwa namna moja au nyingine. Madhara hayo huenda yakabebwa hadi ndoani. Nasikia kwamba wanapopashwa tohara hivo, wakitoka unyagoni wanaozwa hivyo hivyo. Majabu ya Musa. Wanawake wanadhulumiwa kwa kutowapa uhuru wa kutoka. Nchi yetu imetupea uhuru lakini watu wengine wanawanyima wanawake uhuru huo. Wanaamini kwamba haifai mwanamke kutoka nje. Mwanamke ni mtu wa kukaa tu asitangamane na wengine. La hasha. Hayo ni makosa kubwa. Inafaa tuwape wanawake uhuru wa kutembea. Unapotembea unapata kutangamana na watu wengi na kujifunza mambo mengi. Wao pia wakitembea hivyo wanapata uhuru wa kuunda makundi madogo madogo ambayo huwa ya manufaa kwao. Kutoelimishwa pia hiyo ni mojawapo ya dhuluma kwa wanawake. Wanawake hawaelimishwi kwani wanasema kwamba hatafaidi familia akiolewa. Wengine wanasema kwamba wanawake wakielimishwa watawapanda wanaume vichwa. Kasumba nyingine ni eti wanawake wakielimishwa watakuwa malaya. Hayo yote ni mambo yaliyopita na wakati. Wanawake wanafaa kuelimishwa tu kama vile wanaume wanavyoelimishwa. Watu wengi husema kwamba mke akisoma hataolewa. Huo ni uongo. Siku hizi wanaume wanataka mke aliyehitimu angalau anajua kuunga moja kwa moja na kupata mbili. Wale wanaosema kwamba mke akisoma atawapanda wao ndio shida. Wanaogop wake waliosoma kwani wanaona aibu kulishwa na mke. Ni ukweli kama mke amesoma anapata pesa atakulisha kama wewe umejikalia tu. Watu wawache hiyo kasumba na kuelimisha mabinti. Ni ukweli kwamba ukisomesha binti, yeye angalau hukumbuka nyumbani. Mwanaume yeye ataangazia tu familia yake lakini binti akila anatamani pia mamake mzazi ale tu kama yeye anapokula. Wanawake wananyimwa haki ya kusema. Panapo tokea makundi kwa mfano msimu huno wa krismasi, kuna mikutano mingi ya familia ambayo itafanyika. Mikutano hiyo ifanyikapo, utasikia wakiwapa wanaume kibao mbele wao kuongea huku wanawake wakinyamaza tu. Huenda pia wanaona mahali kuna mambo yanaenda kombo lakini wao hawawezi kupewa nafasi ya kusema. Wanawambia wao waangalia ya kule walikooleka. Hata kwenye familia tu utapata mke hana uhuru wa kusema. Mume akishaamua ni hivyo tu. Hakuna wa kumpinga. Wanawake wanadhulumiwa kweli kweli. Kulaumiwa watoto wanapokosa. Utapata baba anatukana mtoto kwamba hii tabia si yetu. Hiyo ni tabia ya huko kwa akina mama. Kwetu katika familia yetu hatukuwa na mtu wa tabia kama hiyo. Hata watoto wanapofeli mtihani, wataambiwa kwamba mnafeli kama tu mama yenu. Kwetu hatukuwa wajinga. Kwa akina mama yenu ndio huo ujinga uko. Mama hapo haezi sema kitu kwani hana uhuru wa kusema. Mtoto anapokosa haswa wasichana kwa mfano aende na apate ujauzito ni mama atalaumiwa. Mbona hukumshauri binti wako? Hayo ndio maswali mama ataulizwa kana kwamba alizaa mtoto huyo pekee yake. Mama atapigwa kwa makosa ya binti yake kwa kusingiziwa hakumfunza bintiye. Tena hata ikiwa ghulamu atampajika mimba binti wa wenyewe, ni mama ataulizwa kama ni mama aliyempa binti huyo mimba. Mama atapigwa na hata kunyimwa chakula kwa kuwaruhusu watoto wafanye vitendo kama hivyo. Wanawake wanadhulumiwa na waume wao kutokuwa waaminifu kwao. Unapata mwanaume amewacha mke kwa nyumba na kuenda matanguroni kulala na mabinti wengine. Jambo hili huniuma sana. Pale mume amewacha mke na watoto bila kitu chochote na kuenda matanguroni kulipa chumba shilingi elfu kumi kwa saa tatu tu. Isitoshe chakula ambacho wao watakila ni cha pesa nyingi mno. Takribani shilingi elfu tano. Atampa binti huyo elfu kama mbili pesa ya matumizi. Kumbuka huyu mume ana watoto nyumbani. Akirejea nyumbani na bibi kumwuliza chochote, mke atapigwa mithili ya punda. Anataka mke ambaye amemnyima uhuru wa kutembea aelekea wapi kutafutia watoto chakula? Haifai hivyo. Wanaume pia utawapata wao wanavalia nadhifu ilhali wake zao kuvalia tu bora nguo. Hawawajali hata. Lakini binti akiitisha nguo ya fasheni mpya anatumiwa pesa na kukimbia dukani na kununua. Iwapo atapata nguo hiyo imepanda bei, akiuliza mume huyo, mume atakuwa hiari kuongeza pesa. Watoto nao nyumbani ni chai ya mkandaa tu na mihogo. Mkate kwao hawaoni. Lakini baba mtu anawatumia mabinti wengine pesa. Wanawake wanalazimishwa kuvaa mavazi aina fulani. Wao wamekatazwa kuvaa aina nyingine ya mavazi. Mimi sijawahi ona wanawake wakiwakataza wanaume kuvalia mavazi ya kike kama vile shimizi au rinda. Wanaume wao wamo tu mbioni kukashifu jinsi wake wanavyovalia. Miaka mitatu iliyopita, wanawake waliteseka sana. Kila walipopatwa wamevalia sketi fupi waliraruliwa na kuwaacha na chupi tu. Hii ilimanisha kwamba wanataka kutembea bila nguo na ndio maana wakararuliwa nguo. Wanawake ilibidi waamke na kupiga vita vya nguo yangu chaguo langu. Sijawahi waona wanaume wakivalia nguo iliyowabana kifua wakitolewa nguo. Lakini mbona tu wanawake? Kila mtu ana uhuru wa kuvalia vazi lolote lile. Bora tu yeye anaona yuko sawa. Hamna haja ya kumtoa na kumwacha uchi wa mnyama. Wanawake wanadhulumiwa kwa kunyimwa ajira sehemu fulani. Wanaamini kwamba akipata kazi atajikokota haswa wakati yeye ni mjamzito. Pia wanasema kwamba huenda likizo ndefu atakayopewa ikaathiri sehemu fulani kwa kazi. Hivyo basi, wao hawapewi kazi yeyote ile. Iwapo basi watapewa kazi hiyo wao watachunguzwa kwa ukaribu mno. Mshahara wao pia huenda ukawa mdogo mno. Hii pia ni moja wapo wa dhuluma dhidi ya wanawake. Ukienda nyumbani wanawake hufanyishwa kazi za utumwa. Huko kwetu utapata mke anapalilia miwa. Yeye pia ndiye anayejukumika na mifugo wakati mzee yupo tu. Wakati wa kuvuna ufikapo, mama hataona hata hela kidogo. Mume anachukua hiyo pesa yote na kuanza kulewa nayo. Dhuluma nyingine ni ajira kwa watoto wadogo. Utapata ni mabinti wetu ambao wanapekwa kule ng'ambo kufanya kazi ngumu. Wao wafikapo huko wanaanza kuteseka na wengine hata kufariki. Ajira hiyo huwa mi ya pesa kidogo mno. Wao hufanya kazi ya sulubu lakini mshahara mdogo mno. Wanawake pia hudhulumiwa kwa kubakwa. Kila mwaka kati ya wanawake kumi, wawili huwa wamejaribu kubakwa. Wanafanyiwa hivyo ndiposa wapate ajira. Wasipokubali wao hawawezi kuajiriwa. Pia wanawake wanadhulumiwa kwa kuzalishwa watoto wengi. Wanazalishwa na wanaume kuwachia kazi ya kulea. Wao hupitia changamoto mingi sana. Ni vyema kama tutasima na tupige vita hivi. Vita hivi si vya wanawake tu bali pia waume tujitahidi. Tukifanya hivyo tutakuwa washindi na tutafurahia nchi bila hizi dhuluma.
Ni kina nani walio na umuhimu katika jamii yoyote
{ "text": [ "Wanawake" ] }
4820_swa
DHULUMA DHIDI YA WANAWAKE Wanawake katika jamii yeyote ile wana umuhimu wao. Wengine wetu wameza kuguzwa na wanawake. Wanawake wanapojitahidi hivyo, kuna mambo mengi ambayo wao hupitia. Hawawezi kulalama kwani ni nani atawasikia? Wao wanadhulumiwa kwa njia tofauti tofauti ambazo tutaziangalia pale. Kwanza wanawake wanadhulumiwa kwa wao kutorithi mali ya mume anaposafiri jongomeo. Utapata kwamba kama mama huyo hakuwa na uwezo wa kuzaa huenda akafukuzwa kwani haezi rithi mali bila yeye kuwa na mtoto. Watoto ni baraka. Watoto hutoka kwa mungu. Bila mtoto au ukiwa na mtoto yafaa tu tumshukuru Mungu kwani ni yeye aliyepanga hivyo hivyo. Tunapoangalia jamii nyingi mke akiwa hana watoto ama kama atazaa watoto wa kike tu basi yeye haezi rithi mali ya mume wake. Jamii inaamuru hivyo na ni makosa kuwa na kasumba kama hiyo. Dhuluma nyingine ni ndoa za mapema. Wanawake wanaozwa mapema. Hivi majuzi runingani ilihuzunisha kuona mtoto wa miaka kumi akiozwa kwa mzee wa miaka thelathini na mitano. Nilishangaa na kuomba Rabana tu awape binadamu utu. Unawezaje kuoa mtoto kama huyo? Hiyo ni dhuluma kubwa sana. Pia wanawake wanapashwa tohara. Jambo hili limewakera sana watu wengi. Unaeza aje kumpasha binti tohara? Mashirika mengi haswa upande wa Narok huko yameweza kuanzishwa ili kukabili tatizo hilo kubwa. Wanawake wanapopashwa tohara huenda wakaathirika kwa namna moja au nyingine. Madhara hayo huenda yakabebwa hadi ndoani. Nasikia kwamba wanapopashwa tohara hivo, wakitoka unyagoni wanaozwa hivyo hivyo. Majabu ya Musa. Wanawake wanadhulumiwa kwa kutowapa uhuru wa kutoka. Nchi yetu imetupea uhuru lakini watu wengine wanawanyima wanawake uhuru huo. Wanaamini kwamba haifai mwanamke kutoka nje. Mwanamke ni mtu wa kukaa tu asitangamane na wengine. La hasha. Hayo ni makosa kubwa. Inafaa tuwape wanawake uhuru wa kutembea. Unapotembea unapata kutangamana na watu wengi na kujifunza mambo mengi. Wao pia wakitembea hivyo wanapata uhuru wa kuunda makundi madogo madogo ambayo huwa ya manufaa kwao. Kutoelimishwa pia hiyo ni mojawapo ya dhuluma kwa wanawake. Wanawake hawaelimishwi kwani wanasema kwamba hatafaidi familia akiolewa. Wengine wanasema kwamba wanawake wakielimishwa watawapanda wanaume vichwa. Kasumba nyingine ni eti wanawake wakielimishwa watakuwa malaya. Hayo yote ni mambo yaliyopita na wakati. Wanawake wanafaa kuelimishwa tu kama vile wanaume wanavyoelimishwa. Watu wengi husema kwamba mke akisoma hataolewa. Huo ni uongo. Siku hizi wanaume wanataka mke aliyehitimu angalau anajua kuunga moja kwa moja na kupata mbili. Wale wanaosema kwamba mke akisoma atawapanda wao ndio shida. Wanaogop wake waliosoma kwani wanaona aibu kulishwa na mke. Ni ukweli kama mke amesoma anapata pesa atakulisha kama wewe umejikalia tu. Watu wawache hiyo kasumba na kuelimisha mabinti. Ni ukweli kwamba ukisomesha binti, yeye angalau hukumbuka nyumbani. Mwanaume yeye ataangazia tu familia yake lakini binti akila anatamani pia mamake mzazi ale tu kama yeye anapokula. Wanawake wananyimwa haki ya kusema. Panapo tokea makundi kwa mfano msimu huno wa krismasi, kuna mikutano mingi ya familia ambayo itafanyika. Mikutano hiyo ifanyikapo, utasikia wakiwapa wanaume kibao mbele wao kuongea huku wanawake wakinyamaza tu. Huenda pia wanaona mahali kuna mambo yanaenda kombo lakini wao hawawezi kupewa nafasi ya kusema. Wanawambia wao waangalia ya kule walikooleka. Hata kwenye familia tu utapata mke hana uhuru wa kusema. Mume akishaamua ni hivyo tu. Hakuna wa kumpinga. Wanawake wanadhulumiwa kweli kweli. Kulaumiwa watoto wanapokosa. Utapata baba anatukana mtoto kwamba hii tabia si yetu. Hiyo ni tabia ya huko kwa akina mama. Kwetu katika familia yetu hatukuwa na mtu wa tabia kama hiyo. Hata watoto wanapofeli mtihani, wataambiwa kwamba mnafeli kama tu mama yenu. Kwetu hatukuwa wajinga. Kwa akina mama yenu ndio huo ujinga uko. Mama hapo haezi sema kitu kwani hana uhuru wa kusema. Mtoto anapokosa haswa wasichana kwa mfano aende na apate ujauzito ni mama atalaumiwa. Mbona hukumshauri binti wako? Hayo ndio maswali mama ataulizwa kana kwamba alizaa mtoto huyo pekee yake. Mama atapigwa kwa makosa ya binti yake kwa kusingiziwa hakumfunza bintiye. Tena hata ikiwa ghulamu atampajika mimba binti wa wenyewe, ni mama ataulizwa kama ni mama aliyempa binti huyo mimba. Mama atapigwa na hata kunyimwa chakula kwa kuwaruhusu watoto wafanye vitendo kama hivyo. Wanawake wanadhulumiwa na waume wao kutokuwa waaminifu kwao. Unapata mwanaume amewacha mke kwa nyumba na kuenda matanguroni kulala na mabinti wengine. Jambo hili huniuma sana. Pale mume amewacha mke na watoto bila kitu chochote na kuenda matanguroni kulipa chumba shilingi elfu kumi kwa saa tatu tu. Isitoshe chakula ambacho wao watakila ni cha pesa nyingi mno. Takribani shilingi elfu tano. Atampa binti huyo elfu kama mbili pesa ya matumizi. Kumbuka huyu mume ana watoto nyumbani. Akirejea nyumbani na bibi kumwuliza chochote, mke atapigwa mithili ya punda. Anataka mke ambaye amemnyima uhuru wa kutembea aelekea wapi kutafutia watoto chakula? Haifai hivyo. Wanaume pia utawapata wao wanavalia nadhifu ilhali wake zao kuvalia tu bora nguo. Hawawajali hata. Lakini binti akiitisha nguo ya fasheni mpya anatumiwa pesa na kukimbia dukani na kununua. Iwapo atapata nguo hiyo imepanda bei, akiuliza mume huyo, mume atakuwa hiari kuongeza pesa. Watoto nao nyumbani ni chai ya mkandaa tu na mihogo. Mkate kwao hawaoni. Lakini baba mtu anawatumia mabinti wengine pesa. Wanawake wanalazimishwa kuvaa mavazi aina fulani. Wao wamekatazwa kuvaa aina nyingine ya mavazi. Mimi sijawahi ona wanawake wakiwakataza wanaume kuvalia mavazi ya kike kama vile shimizi au rinda. Wanaume wao wamo tu mbioni kukashifu jinsi wake wanavyovalia. Miaka mitatu iliyopita, wanawake waliteseka sana. Kila walipopatwa wamevalia sketi fupi waliraruliwa na kuwaacha na chupi tu. Hii ilimanisha kwamba wanataka kutembea bila nguo na ndio maana wakararuliwa nguo. Wanawake ilibidi waamke na kupiga vita vya nguo yangu chaguo langu. Sijawahi waona wanaume wakivalia nguo iliyowabana kifua wakitolewa nguo. Lakini mbona tu wanawake? Kila mtu ana uhuru wa kuvalia vazi lolote lile. Bora tu yeye anaona yuko sawa. Hamna haja ya kumtoa na kumwacha uchi wa mnyama. Wanawake wanadhulumiwa kwa kunyimwa ajira sehemu fulani. Wanaamini kwamba akipata kazi atajikokota haswa wakati yeye ni mjamzito. Pia wanasema kwamba huenda likizo ndefu atakayopewa ikaathiri sehemu fulani kwa kazi. Hivyo basi, wao hawapewi kazi yeyote ile. Iwapo basi watapewa kazi hiyo wao watachunguzwa kwa ukaribu mno. Mshahara wao pia huenda ukawa mdogo mno. Hii pia ni moja wapo wa dhuluma dhidi ya wanawake. Ukienda nyumbani wanawake hufanyishwa kazi za utumwa. Huko kwetu utapata mke anapalilia miwa. Yeye pia ndiye anayejukumika na mifugo wakati mzee yupo tu. Wakati wa kuvuna ufikapo, mama hataona hata hela kidogo. Mume anachukua hiyo pesa yote na kuanza kulewa nayo. Dhuluma nyingine ni ajira kwa watoto wadogo. Utapata ni mabinti wetu ambao wanapekwa kule ng'ambo kufanya kazi ngumu. Wao wafikapo huko wanaanza kuteseka na wengine hata kufariki. Ajira hiyo huwa mi ya pesa kidogo mno. Wao hufanya kazi ya sulubu lakini mshahara mdogo mno. Wanawake pia hudhulumiwa kwa kubakwa. Kila mwaka kati ya wanawake kumi, wawili huwa wamejaribu kubakwa. Wanafanyiwa hivyo ndiposa wapate ajira. Wasipokubali wao hawawezi kuajiriwa. Pia wanawake wanadhulumiwa kwa kuzalishwa watoto wengi. Wanazalishwa na wanaume kuwachia kazi ya kulea. Wao hupitia changamoto mingi sana. Ni vyema kama tutasima na tupige vita hivi. Vita hivi si vya wanawake tu bali pia waume tujitahidi. Tukifanya hivyo tutakuwa washindi na tutafurahia nchi bila hizi dhuluma.
Wanawake hudhulumiwa kwa kukosa kurithi mali ya nani
{ "text": [ "Mume" ] }
4820_swa
DHULUMA DHIDI YA WANAWAKE Wanawake katika jamii yeyote ile wana umuhimu wao. Wengine wetu wameza kuguzwa na wanawake. Wanawake wanapojitahidi hivyo, kuna mambo mengi ambayo wao hupitia. Hawawezi kulalama kwani ni nani atawasikia? Wao wanadhulumiwa kwa njia tofauti tofauti ambazo tutaziangalia pale. Kwanza wanawake wanadhulumiwa kwa wao kutorithi mali ya mume anaposafiri jongomeo. Utapata kwamba kama mama huyo hakuwa na uwezo wa kuzaa huenda akafukuzwa kwani haezi rithi mali bila yeye kuwa na mtoto. Watoto ni baraka. Watoto hutoka kwa mungu. Bila mtoto au ukiwa na mtoto yafaa tu tumshukuru Mungu kwani ni yeye aliyepanga hivyo hivyo. Tunapoangalia jamii nyingi mke akiwa hana watoto ama kama atazaa watoto wa kike tu basi yeye haezi rithi mali ya mume wake. Jamii inaamuru hivyo na ni makosa kuwa na kasumba kama hiyo. Dhuluma nyingine ni ndoa za mapema. Wanawake wanaozwa mapema. Hivi majuzi runingani ilihuzunisha kuona mtoto wa miaka kumi akiozwa kwa mzee wa miaka thelathini na mitano. Nilishangaa na kuomba Rabana tu awape binadamu utu. Unawezaje kuoa mtoto kama huyo? Hiyo ni dhuluma kubwa sana. Pia wanawake wanapashwa tohara. Jambo hili limewakera sana watu wengi. Unaeza aje kumpasha binti tohara? Mashirika mengi haswa upande wa Narok huko yameweza kuanzishwa ili kukabili tatizo hilo kubwa. Wanawake wanapopashwa tohara huenda wakaathirika kwa namna moja au nyingine. Madhara hayo huenda yakabebwa hadi ndoani. Nasikia kwamba wanapopashwa tohara hivo, wakitoka unyagoni wanaozwa hivyo hivyo. Majabu ya Musa. Wanawake wanadhulumiwa kwa kutowapa uhuru wa kutoka. Nchi yetu imetupea uhuru lakini watu wengine wanawanyima wanawake uhuru huo. Wanaamini kwamba haifai mwanamke kutoka nje. Mwanamke ni mtu wa kukaa tu asitangamane na wengine. La hasha. Hayo ni makosa kubwa. Inafaa tuwape wanawake uhuru wa kutembea. Unapotembea unapata kutangamana na watu wengi na kujifunza mambo mengi. Wao pia wakitembea hivyo wanapata uhuru wa kuunda makundi madogo madogo ambayo huwa ya manufaa kwao. Kutoelimishwa pia hiyo ni mojawapo ya dhuluma kwa wanawake. Wanawake hawaelimishwi kwani wanasema kwamba hatafaidi familia akiolewa. Wengine wanasema kwamba wanawake wakielimishwa watawapanda wanaume vichwa. Kasumba nyingine ni eti wanawake wakielimishwa watakuwa malaya. Hayo yote ni mambo yaliyopita na wakati. Wanawake wanafaa kuelimishwa tu kama vile wanaume wanavyoelimishwa. Watu wengi husema kwamba mke akisoma hataolewa. Huo ni uongo. Siku hizi wanaume wanataka mke aliyehitimu angalau anajua kuunga moja kwa moja na kupata mbili. Wale wanaosema kwamba mke akisoma atawapanda wao ndio shida. Wanaogop wake waliosoma kwani wanaona aibu kulishwa na mke. Ni ukweli kama mke amesoma anapata pesa atakulisha kama wewe umejikalia tu. Watu wawache hiyo kasumba na kuelimisha mabinti. Ni ukweli kwamba ukisomesha binti, yeye angalau hukumbuka nyumbani. Mwanaume yeye ataangazia tu familia yake lakini binti akila anatamani pia mamake mzazi ale tu kama yeye anapokula. Wanawake wananyimwa haki ya kusema. Panapo tokea makundi kwa mfano msimu huno wa krismasi, kuna mikutano mingi ya familia ambayo itafanyika. Mikutano hiyo ifanyikapo, utasikia wakiwapa wanaume kibao mbele wao kuongea huku wanawake wakinyamaza tu. Huenda pia wanaona mahali kuna mambo yanaenda kombo lakini wao hawawezi kupewa nafasi ya kusema. Wanawambia wao waangalia ya kule walikooleka. Hata kwenye familia tu utapata mke hana uhuru wa kusema. Mume akishaamua ni hivyo tu. Hakuna wa kumpinga. Wanawake wanadhulumiwa kweli kweli. Kulaumiwa watoto wanapokosa. Utapata baba anatukana mtoto kwamba hii tabia si yetu. Hiyo ni tabia ya huko kwa akina mama. Kwetu katika familia yetu hatukuwa na mtu wa tabia kama hiyo. Hata watoto wanapofeli mtihani, wataambiwa kwamba mnafeli kama tu mama yenu. Kwetu hatukuwa wajinga. Kwa akina mama yenu ndio huo ujinga uko. Mama hapo haezi sema kitu kwani hana uhuru wa kusema. Mtoto anapokosa haswa wasichana kwa mfano aende na apate ujauzito ni mama atalaumiwa. Mbona hukumshauri binti wako? Hayo ndio maswali mama ataulizwa kana kwamba alizaa mtoto huyo pekee yake. Mama atapigwa kwa makosa ya binti yake kwa kusingiziwa hakumfunza bintiye. Tena hata ikiwa ghulamu atampajika mimba binti wa wenyewe, ni mama ataulizwa kama ni mama aliyempa binti huyo mimba. Mama atapigwa na hata kunyimwa chakula kwa kuwaruhusu watoto wafanye vitendo kama hivyo. Wanawake wanadhulumiwa na waume wao kutokuwa waaminifu kwao. Unapata mwanaume amewacha mke kwa nyumba na kuenda matanguroni kulala na mabinti wengine. Jambo hili huniuma sana. Pale mume amewacha mke na watoto bila kitu chochote na kuenda matanguroni kulipa chumba shilingi elfu kumi kwa saa tatu tu. Isitoshe chakula ambacho wao watakila ni cha pesa nyingi mno. Takribani shilingi elfu tano. Atampa binti huyo elfu kama mbili pesa ya matumizi. Kumbuka huyu mume ana watoto nyumbani. Akirejea nyumbani na bibi kumwuliza chochote, mke atapigwa mithili ya punda. Anataka mke ambaye amemnyima uhuru wa kutembea aelekea wapi kutafutia watoto chakula? Haifai hivyo. Wanaume pia utawapata wao wanavalia nadhifu ilhali wake zao kuvalia tu bora nguo. Hawawajali hata. Lakini binti akiitisha nguo ya fasheni mpya anatumiwa pesa na kukimbia dukani na kununua. Iwapo atapata nguo hiyo imepanda bei, akiuliza mume huyo, mume atakuwa hiari kuongeza pesa. Watoto nao nyumbani ni chai ya mkandaa tu na mihogo. Mkate kwao hawaoni. Lakini baba mtu anawatumia mabinti wengine pesa. Wanawake wanalazimishwa kuvaa mavazi aina fulani. Wao wamekatazwa kuvaa aina nyingine ya mavazi. Mimi sijawahi ona wanawake wakiwakataza wanaume kuvalia mavazi ya kike kama vile shimizi au rinda. Wanaume wao wamo tu mbioni kukashifu jinsi wake wanavyovalia. Miaka mitatu iliyopita, wanawake waliteseka sana. Kila walipopatwa wamevalia sketi fupi waliraruliwa na kuwaacha na chupi tu. Hii ilimanisha kwamba wanataka kutembea bila nguo na ndio maana wakararuliwa nguo. Wanawake ilibidi waamke na kupiga vita vya nguo yangu chaguo langu. Sijawahi waona wanaume wakivalia nguo iliyowabana kifua wakitolewa nguo. Lakini mbona tu wanawake? Kila mtu ana uhuru wa kuvalia vazi lolote lile. Bora tu yeye anaona yuko sawa. Hamna haja ya kumtoa na kumwacha uchi wa mnyama. Wanawake wanadhulumiwa kwa kunyimwa ajira sehemu fulani. Wanaamini kwamba akipata kazi atajikokota haswa wakati yeye ni mjamzito. Pia wanasema kwamba huenda likizo ndefu atakayopewa ikaathiri sehemu fulani kwa kazi. Hivyo basi, wao hawapewi kazi yeyote ile. Iwapo basi watapewa kazi hiyo wao watachunguzwa kwa ukaribu mno. Mshahara wao pia huenda ukawa mdogo mno. Hii pia ni moja wapo wa dhuluma dhidi ya wanawake. Ukienda nyumbani wanawake hufanyishwa kazi za utumwa. Huko kwetu utapata mke anapalilia miwa. Yeye pia ndiye anayejukumika na mifugo wakati mzee yupo tu. Wakati wa kuvuna ufikapo, mama hataona hata hela kidogo. Mume anachukua hiyo pesa yote na kuanza kulewa nayo. Dhuluma nyingine ni ajira kwa watoto wadogo. Utapata ni mabinti wetu ambao wanapekwa kule ng'ambo kufanya kazi ngumu. Wao wafikapo huko wanaanza kuteseka na wengine hata kufariki. Ajira hiyo huwa mi ya pesa kidogo mno. Wao hufanya kazi ya sulubu lakini mshahara mdogo mno. Wanawake pia hudhulumiwa kwa kubakwa. Kila mwaka kati ya wanawake kumi, wawili huwa wamejaribu kubakwa. Wanafanyiwa hivyo ndiposa wapate ajira. Wasipokubali wao hawawezi kuajiriwa. Pia wanawake wanadhulumiwa kwa kuzalishwa watoto wengi. Wanazalishwa na wanaume kuwachia kazi ya kulea. Wao hupitia changamoto mingi sana. Ni vyema kama tutasima na tupige vita hivi. Vita hivi si vya wanawake tu bali pia waume tujitahidi. Tukifanya hivyo tutakuwa washindi na tutafurahia nchi bila hizi dhuluma.
Mwanamke hawezi kurithi mali bila ya kuwa na nani
{ "text": [ "Mtoto" ] }
4820_swa
DHULUMA DHIDI YA WANAWAKE Wanawake katika jamii yeyote ile wana umuhimu wao. Wengine wetu wameza kuguzwa na wanawake. Wanawake wanapojitahidi hivyo, kuna mambo mengi ambayo wao hupitia. Hawawezi kulalama kwani ni nani atawasikia? Wao wanadhulumiwa kwa njia tofauti tofauti ambazo tutaziangalia pale. Kwanza wanawake wanadhulumiwa kwa wao kutorithi mali ya mume anaposafiri jongomeo. Utapata kwamba kama mama huyo hakuwa na uwezo wa kuzaa huenda akafukuzwa kwani haezi rithi mali bila yeye kuwa na mtoto. Watoto ni baraka. Watoto hutoka kwa mungu. Bila mtoto au ukiwa na mtoto yafaa tu tumshukuru Mungu kwani ni yeye aliyepanga hivyo hivyo. Tunapoangalia jamii nyingi mke akiwa hana watoto ama kama atazaa watoto wa kike tu basi yeye haezi rithi mali ya mume wake. Jamii inaamuru hivyo na ni makosa kuwa na kasumba kama hiyo. Dhuluma nyingine ni ndoa za mapema. Wanawake wanaozwa mapema. Hivi majuzi runingani ilihuzunisha kuona mtoto wa miaka kumi akiozwa kwa mzee wa miaka thelathini na mitano. Nilishangaa na kuomba Rabana tu awape binadamu utu. Unawezaje kuoa mtoto kama huyo? Hiyo ni dhuluma kubwa sana. Pia wanawake wanapashwa tohara. Jambo hili limewakera sana watu wengi. Unaeza aje kumpasha binti tohara? Mashirika mengi haswa upande wa Narok huko yameweza kuanzishwa ili kukabili tatizo hilo kubwa. Wanawake wanapopashwa tohara huenda wakaathirika kwa namna moja au nyingine. Madhara hayo huenda yakabebwa hadi ndoani. Nasikia kwamba wanapopashwa tohara hivo, wakitoka unyagoni wanaozwa hivyo hivyo. Majabu ya Musa. Wanawake wanadhulumiwa kwa kutowapa uhuru wa kutoka. Nchi yetu imetupea uhuru lakini watu wengine wanawanyima wanawake uhuru huo. Wanaamini kwamba haifai mwanamke kutoka nje. Mwanamke ni mtu wa kukaa tu asitangamane na wengine. La hasha. Hayo ni makosa kubwa. Inafaa tuwape wanawake uhuru wa kutembea. Unapotembea unapata kutangamana na watu wengi na kujifunza mambo mengi. Wao pia wakitembea hivyo wanapata uhuru wa kuunda makundi madogo madogo ambayo huwa ya manufaa kwao. Kutoelimishwa pia hiyo ni mojawapo ya dhuluma kwa wanawake. Wanawake hawaelimishwi kwani wanasema kwamba hatafaidi familia akiolewa. Wengine wanasema kwamba wanawake wakielimishwa watawapanda wanaume vichwa. Kasumba nyingine ni eti wanawake wakielimishwa watakuwa malaya. Hayo yote ni mambo yaliyopita na wakati. Wanawake wanafaa kuelimishwa tu kama vile wanaume wanavyoelimishwa. Watu wengi husema kwamba mke akisoma hataolewa. Huo ni uongo. Siku hizi wanaume wanataka mke aliyehitimu angalau anajua kuunga moja kwa moja na kupata mbili. Wale wanaosema kwamba mke akisoma atawapanda wao ndio shida. Wanaogop wake waliosoma kwani wanaona aibu kulishwa na mke. Ni ukweli kama mke amesoma anapata pesa atakulisha kama wewe umejikalia tu. Watu wawache hiyo kasumba na kuelimisha mabinti. Ni ukweli kwamba ukisomesha binti, yeye angalau hukumbuka nyumbani. Mwanaume yeye ataangazia tu familia yake lakini binti akila anatamani pia mamake mzazi ale tu kama yeye anapokula. Wanawake wananyimwa haki ya kusema. Panapo tokea makundi kwa mfano msimu huno wa krismasi, kuna mikutano mingi ya familia ambayo itafanyika. Mikutano hiyo ifanyikapo, utasikia wakiwapa wanaume kibao mbele wao kuongea huku wanawake wakinyamaza tu. Huenda pia wanaona mahali kuna mambo yanaenda kombo lakini wao hawawezi kupewa nafasi ya kusema. Wanawambia wao waangalia ya kule walikooleka. Hata kwenye familia tu utapata mke hana uhuru wa kusema. Mume akishaamua ni hivyo tu. Hakuna wa kumpinga. Wanawake wanadhulumiwa kweli kweli. Kulaumiwa watoto wanapokosa. Utapata baba anatukana mtoto kwamba hii tabia si yetu. Hiyo ni tabia ya huko kwa akina mama. Kwetu katika familia yetu hatukuwa na mtu wa tabia kama hiyo. Hata watoto wanapofeli mtihani, wataambiwa kwamba mnafeli kama tu mama yenu. Kwetu hatukuwa wajinga. Kwa akina mama yenu ndio huo ujinga uko. Mama hapo haezi sema kitu kwani hana uhuru wa kusema. Mtoto anapokosa haswa wasichana kwa mfano aende na apate ujauzito ni mama atalaumiwa. Mbona hukumshauri binti wako? Hayo ndio maswali mama ataulizwa kana kwamba alizaa mtoto huyo pekee yake. Mama atapigwa kwa makosa ya binti yake kwa kusingiziwa hakumfunza bintiye. Tena hata ikiwa ghulamu atampajika mimba binti wa wenyewe, ni mama ataulizwa kama ni mama aliyempa binti huyo mimba. Mama atapigwa na hata kunyimwa chakula kwa kuwaruhusu watoto wafanye vitendo kama hivyo. Wanawake wanadhulumiwa na waume wao kutokuwa waaminifu kwao. Unapata mwanaume amewacha mke kwa nyumba na kuenda matanguroni kulala na mabinti wengine. Jambo hili huniuma sana. Pale mume amewacha mke na watoto bila kitu chochote na kuenda matanguroni kulipa chumba shilingi elfu kumi kwa saa tatu tu. Isitoshe chakula ambacho wao watakila ni cha pesa nyingi mno. Takribani shilingi elfu tano. Atampa binti huyo elfu kama mbili pesa ya matumizi. Kumbuka huyu mume ana watoto nyumbani. Akirejea nyumbani na bibi kumwuliza chochote, mke atapigwa mithili ya punda. Anataka mke ambaye amemnyima uhuru wa kutembea aelekea wapi kutafutia watoto chakula? Haifai hivyo. Wanaume pia utawapata wao wanavalia nadhifu ilhali wake zao kuvalia tu bora nguo. Hawawajali hata. Lakini binti akiitisha nguo ya fasheni mpya anatumiwa pesa na kukimbia dukani na kununua. Iwapo atapata nguo hiyo imepanda bei, akiuliza mume huyo, mume atakuwa hiari kuongeza pesa. Watoto nao nyumbani ni chai ya mkandaa tu na mihogo. Mkate kwao hawaoni. Lakini baba mtu anawatumia mabinti wengine pesa. Wanawake wanalazimishwa kuvaa mavazi aina fulani. Wao wamekatazwa kuvaa aina nyingine ya mavazi. Mimi sijawahi ona wanawake wakiwakataza wanaume kuvalia mavazi ya kike kama vile shimizi au rinda. Wanaume wao wamo tu mbioni kukashifu jinsi wake wanavyovalia. Miaka mitatu iliyopita, wanawake waliteseka sana. Kila walipopatwa wamevalia sketi fupi waliraruliwa na kuwaacha na chupi tu. Hii ilimanisha kwamba wanataka kutembea bila nguo na ndio maana wakararuliwa nguo. Wanawake ilibidi waamke na kupiga vita vya nguo yangu chaguo langu. Sijawahi waona wanaume wakivalia nguo iliyowabana kifua wakitolewa nguo. Lakini mbona tu wanawake? Kila mtu ana uhuru wa kuvalia vazi lolote lile. Bora tu yeye anaona yuko sawa. Hamna haja ya kumtoa na kumwacha uchi wa mnyama. Wanawake wanadhulumiwa kwa kunyimwa ajira sehemu fulani. Wanaamini kwamba akipata kazi atajikokota haswa wakati yeye ni mjamzito. Pia wanasema kwamba huenda likizo ndefu atakayopewa ikaathiri sehemu fulani kwa kazi. Hivyo basi, wao hawapewi kazi yeyote ile. Iwapo basi watapewa kazi hiyo wao watachunguzwa kwa ukaribu mno. Mshahara wao pia huenda ukawa mdogo mno. Hii pia ni moja wapo wa dhuluma dhidi ya wanawake. Ukienda nyumbani wanawake hufanyishwa kazi za utumwa. Huko kwetu utapata mke anapalilia miwa. Yeye pia ndiye anayejukumika na mifugo wakati mzee yupo tu. Wakati wa kuvuna ufikapo, mama hataona hata hela kidogo. Mume anachukua hiyo pesa yote na kuanza kulewa nayo. Dhuluma nyingine ni ajira kwa watoto wadogo. Utapata ni mabinti wetu ambao wanapekwa kule ng'ambo kufanya kazi ngumu. Wao wafikapo huko wanaanza kuteseka na wengine hata kufariki. Ajira hiyo huwa mi ya pesa kidogo mno. Wao hufanya kazi ya sulubu lakini mshahara mdogo mno. Wanawake pia hudhulumiwa kwa kubakwa. Kila mwaka kati ya wanawake kumi, wawili huwa wamejaribu kubakwa. Wanafanyiwa hivyo ndiposa wapate ajira. Wasipokubali wao hawawezi kuajiriwa. Pia wanawake wanadhulumiwa kwa kuzalishwa watoto wengi. Wanazalishwa na wanaume kuwachia kazi ya kulea. Wao hupitia changamoto mingi sana. Ni vyema kama tutasima na tupige vita hivi. Vita hivi si vya wanawake tu bali pia waume tujitahidi. Tukifanya hivyo tutakuwa washindi na tutafurahia nchi bila hizi dhuluma.
Watoto ni nini
{ "text": [ "Baraka" ] }
4820_swa
DHULUMA DHIDI YA WANAWAKE Wanawake katika jamii yeyote ile wana umuhimu wao. Wengine wetu wameza kuguzwa na wanawake. Wanawake wanapojitahidi hivyo, kuna mambo mengi ambayo wao hupitia. Hawawezi kulalama kwani ni nani atawasikia? Wao wanadhulumiwa kwa njia tofauti tofauti ambazo tutaziangalia pale. Kwanza wanawake wanadhulumiwa kwa wao kutorithi mali ya mume anaposafiri jongomeo. Utapata kwamba kama mama huyo hakuwa na uwezo wa kuzaa huenda akafukuzwa kwani haezi rithi mali bila yeye kuwa na mtoto. Watoto ni baraka. Watoto hutoka kwa mungu. Bila mtoto au ukiwa na mtoto yafaa tu tumshukuru Mungu kwani ni yeye aliyepanga hivyo hivyo. Tunapoangalia jamii nyingi mke akiwa hana watoto ama kama atazaa watoto wa kike tu basi yeye haezi rithi mali ya mume wake. Jamii inaamuru hivyo na ni makosa kuwa na kasumba kama hiyo. Dhuluma nyingine ni ndoa za mapema. Wanawake wanaozwa mapema. Hivi majuzi runingani ilihuzunisha kuona mtoto wa miaka kumi akiozwa kwa mzee wa miaka thelathini na mitano. Nilishangaa na kuomba Rabana tu awape binadamu utu. Unawezaje kuoa mtoto kama huyo? Hiyo ni dhuluma kubwa sana. Pia wanawake wanapashwa tohara. Jambo hili limewakera sana watu wengi. Unaeza aje kumpasha binti tohara? Mashirika mengi haswa upande wa Narok huko yameweza kuanzishwa ili kukabili tatizo hilo kubwa. Wanawake wanapopashwa tohara huenda wakaathirika kwa namna moja au nyingine. Madhara hayo huenda yakabebwa hadi ndoani. Nasikia kwamba wanapopashwa tohara hivo, wakitoka unyagoni wanaozwa hivyo hivyo. Majabu ya Musa. Wanawake wanadhulumiwa kwa kutowapa uhuru wa kutoka. Nchi yetu imetupea uhuru lakini watu wengine wanawanyima wanawake uhuru huo. Wanaamini kwamba haifai mwanamke kutoka nje. Mwanamke ni mtu wa kukaa tu asitangamane na wengine. La hasha. Hayo ni makosa kubwa. Inafaa tuwape wanawake uhuru wa kutembea. Unapotembea unapata kutangamana na watu wengi na kujifunza mambo mengi. Wao pia wakitembea hivyo wanapata uhuru wa kuunda makundi madogo madogo ambayo huwa ya manufaa kwao. Kutoelimishwa pia hiyo ni mojawapo ya dhuluma kwa wanawake. Wanawake hawaelimishwi kwani wanasema kwamba hatafaidi familia akiolewa. Wengine wanasema kwamba wanawake wakielimishwa watawapanda wanaume vichwa. Kasumba nyingine ni eti wanawake wakielimishwa watakuwa malaya. Hayo yote ni mambo yaliyopita na wakati. Wanawake wanafaa kuelimishwa tu kama vile wanaume wanavyoelimishwa. Watu wengi husema kwamba mke akisoma hataolewa. Huo ni uongo. Siku hizi wanaume wanataka mke aliyehitimu angalau anajua kuunga moja kwa moja na kupata mbili. Wale wanaosema kwamba mke akisoma atawapanda wao ndio shida. Wanaogop wake waliosoma kwani wanaona aibu kulishwa na mke. Ni ukweli kama mke amesoma anapata pesa atakulisha kama wewe umejikalia tu. Watu wawache hiyo kasumba na kuelimisha mabinti. Ni ukweli kwamba ukisomesha binti, yeye angalau hukumbuka nyumbani. Mwanaume yeye ataangazia tu familia yake lakini binti akila anatamani pia mamake mzazi ale tu kama yeye anapokula. Wanawake wananyimwa haki ya kusema. Panapo tokea makundi kwa mfano msimu huno wa krismasi, kuna mikutano mingi ya familia ambayo itafanyika. Mikutano hiyo ifanyikapo, utasikia wakiwapa wanaume kibao mbele wao kuongea huku wanawake wakinyamaza tu. Huenda pia wanaona mahali kuna mambo yanaenda kombo lakini wao hawawezi kupewa nafasi ya kusema. Wanawambia wao waangalia ya kule walikooleka. Hata kwenye familia tu utapata mke hana uhuru wa kusema. Mume akishaamua ni hivyo tu. Hakuna wa kumpinga. Wanawake wanadhulumiwa kweli kweli. Kulaumiwa watoto wanapokosa. Utapata baba anatukana mtoto kwamba hii tabia si yetu. Hiyo ni tabia ya huko kwa akina mama. Kwetu katika familia yetu hatukuwa na mtu wa tabia kama hiyo. Hata watoto wanapofeli mtihani, wataambiwa kwamba mnafeli kama tu mama yenu. Kwetu hatukuwa wajinga. Kwa akina mama yenu ndio huo ujinga uko. Mama hapo haezi sema kitu kwani hana uhuru wa kusema. Mtoto anapokosa haswa wasichana kwa mfano aende na apate ujauzito ni mama atalaumiwa. Mbona hukumshauri binti wako? Hayo ndio maswali mama ataulizwa kana kwamba alizaa mtoto huyo pekee yake. Mama atapigwa kwa makosa ya binti yake kwa kusingiziwa hakumfunza bintiye. Tena hata ikiwa ghulamu atampajika mimba binti wa wenyewe, ni mama ataulizwa kama ni mama aliyempa binti huyo mimba. Mama atapigwa na hata kunyimwa chakula kwa kuwaruhusu watoto wafanye vitendo kama hivyo. Wanawake wanadhulumiwa na waume wao kutokuwa waaminifu kwao. Unapata mwanaume amewacha mke kwa nyumba na kuenda matanguroni kulala na mabinti wengine. Jambo hili huniuma sana. Pale mume amewacha mke na watoto bila kitu chochote na kuenda matanguroni kulipa chumba shilingi elfu kumi kwa saa tatu tu. Isitoshe chakula ambacho wao watakila ni cha pesa nyingi mno. Takribani shilingi elfu tano. Atampa binti huyo elfu kama mbili pesa ya matumizi. Kumbuka huyu mume ana watoto nyumbani. Akirejea nyumbani na bibi kumwuliza chochote, mke atapigwa mithili ya punda. Anataka mke ambaye amemnyima uhuru wa kutembea aelekea wapi kutafutia watoto chakula? Haifai hivyo. Wanaume pia utawapata wao wanavalia nadhifu ilhali wake zao kuvalia tu bora nguo. Hawawajali hata. Lakini binti akiitisha nguo ya fasheni mpya anatumiwa pesa na kukimbia dukani na kununua. Iwapo atapata nguo hiyo imepanda bei, akiuliza mume huyo, mume atakuwa hiari kuongeza pesa. Watoto nao nyumbani ni chai ya mkandaa tu na mihogo. Mkate kwao hawaoni. Lakini baba mtu anawatumia mabinti wengine pesa. Wanawake wanalazimishwa kuvaa mavazi aina fulani. Wao wamekatazwa kuvaa aina nyingine ya mavazi. Mimi sijawahi ona wanawake wakiwakataza wanaume kuvalia mavazi ya kike kama vile shimizi au rinda. Wanaume wao wamo tu mbioni kukashifu jinsi wake wanavyovalia. Miaka mitatu iliyopita, wanawake waliteseka sana. Kila walipopatwa wamevalia sketi fupi waliraruliwa na kuwaacha na chupi tu. Hii ilimanisha kwamba wanataka kutembea bila nguo na ndio maana wakararuliwa nguo. Wanawake ilibidi waamke na kupiga vita vya nguo yangu chaguo langu. Sijawahi waona wanaume wakivalia nguo iliyowabana kifua wakitolewa nguo. Lakini mbona tu wanawake? Kila mtu ana uhuru wa kuvalia vazi lolote lile. Bora tu yeye anaona yuko sawa. Hamna haja ya kumtoa na kumwacha uchi wa mnyama. Wanawake wanadhulumiwa kwa kunyimwa ajira sehemu fulani. Wanaamini kwamba akipata kazi atajikokota haswa wakati yeye ni mjamzito. Pia wanasema kwamba huenda likizo ndefu atakayopewa ikaathiri sehemu fulani kwa kazi. Hivyo basi, wao hawapewi kazi yeyote ile. Iwapo basi watapewa kazi hiyo wao watachunguzwa kwa ukaribu mno. Mshahara wao pia huenda ukawa mdogo mno. Hii pia ni moja wapo wa dhuluma dhidi ya wanawake. Ukienda nyumbani wanawake hufanyishwa kazi za utumwa. Huko kwetu utapata mke anapalilia miwa. Yeye pia ndiye anayejukumika na mifugo wakati mzee yupo tu. Wakati wa kuvuna ufikapo, mama hataona hata hela kidogo. Mume anachukua hiyo pesa yote na kuanza kulewa nayo. Dhuluma nyingine ni ajira kwa watoto wadogo. Utapata ni mabinti wetu ambao wanapekwa kule ng'ambo kufanya kazi ngumu. Wao wafikapo huko wanaanza kuteseka na wengine hata kufariki. Ajira hiyo huwa mi ya pesa kidogo mno. Wao hufanya kazi ya sulubu lakini mshahara mdogo mno. Wanawake pia hudhulumiwa kwa kubakwa. Kila mwaka kati ya wanawake kumi, wawili huwa wamejaribu kubakwa. Wanafanyiwa hivyo ndiposa wapate ajira. Wasipokubali wao hawawezi kuajiriwa. Pia wanawake wanadhulumiwa kwa kuzalishwa watoto wengi. Wanazalishwa na wanaume kuwachia kazi ya kulea. Wao hupitia changamoto mingi sana. Ni vyema kama tutasima na tupige vita hivi. Vita hivi si vya wanawake tu bali pia waume tujitahidi. Tukifanya hivyo tutakuwa washindi na tutafurahia nchi bila hizi dhuluma.
Inapasa tuwape wanawake uhuru wa kufanya nini
{ "text": [ "Kutembea" ] }
4821_swa
AJALI BARABARANI. Nimeamua kuzamia swala hili nzima la ajali zilizoko kwenye barabara zetu. Hii ni baada ya kutembea tembea mwezi huu wa krismasi na kujionea mengi. Watu wengi wameshindwa kung'amua chanzo haswa cha ajali barabarani. Kuna wale wanaolaumu madereva. Wengine wanawalaumu askari wa barabarani. Sijui wewe unamlaumu nani? Wengine wanasema kutoluwa na alama za barabarani ndicho chanzo kikuu. Labda ni hicho. Mimi nimevalia njuga jambo hili lote. Si kwa kuangalia sehemu moja na kuacha sehemu nyingine. La hasha. Nitapegua kila upande. Mwezi huu wa mapumziko nimeweza kutumia barabara kwa wingi sana. Nimeabiri matwana, pikipiki na baiskeli. Nimeweza kutumia hata tuktuk. Na nikaweza kujionea tu labda baadhi ya vyanzo vya ajali katika barabara zetu. Barabara mbovu ndicho chanzo cha kwanza nilichoona. Barabara zetu zimo katika hali mbaya. Ni barabara finyu mno. Magari hayawezi kupitana. Yanapotaka kupitana, inalazimu gari moja kusimama pembeni mwa barabara ili kubisha gari jingine. Utapata kama ni trekta za miwa, zinayakwaruza magari haya madogo. Ni hali ambayo imepelekea kuwepo kwa ajali nyingi hasa upande ule ninakotoka. Licha ya kuwa na barabara finyu, hamna alama za barabarani. Alama za kuonyesha labda kuna kona hatari mbele hamna. Hamna alama za kuonyesha kuna kivuko cha watoto. Hii imechangia pakubwa bodaboda kugonga watoto kwa wingi. Wengine wameachwa vilema. Isitoshe wengine nao husafirishwa jongomeo basi nauli. Yafaa serikali kuhakikisha kwamba kunazo alama za barabarani. Niliweza kutaguzana na baadhi ya madereva. Walinieleza kuwa alama hizo zipo kwenye baadhi ya barabara. Lakini kuna zile ambazo zimefutika na hasiwezi kuonekana kamwe. Huezi jua kwamba alama hii inaonyesha kuna mlima mahali ama yafaa uendeshe gari kwa mwendo wa kilomita ishirini kwa saa moja. Alama zimefutika na huwa zinawachanganya madereva. Chanzo kingine ni ulevi. Ajali nyingi zimeweza kusababishwa na dereva ambaye amelewa. Ni juzi tu nilipong'amua kwamba sababu kuu za kuongezeka ajali nyingi ni kuwepo kwa madereva waliolewa. Naikumbuka vizuri sana. Tarehe ishirini na nane niliweza kuondoka kuona mijuano fulani ya kandanda huku kwetu. Kwa kuwa mimi ni mraibu wa kutafuta habari niliweza kupanda pikipiki. Wanarika huita "nduthi". Mwendo wa saa nane mchana niliabiri pikipiki. Tulikuwa wanne. Mimi, dereva, kidosho fulani mwenye umri wa miaka kama kumi na sita hivi na baba mmoja. Kwanza tulikuwa tumeabiri kupita kiasi. Yafaa pikipiki kubeba watu wawili ikienda sana watu watatu akiwemo dereva. Tulifika kwenye uwanja salama. Kwa kweli uliwanja ulifirika pomoni kiasi cha kuwatapiga watu wengine. Barabara ilikuwa na vumbi na magari yalikuwa yanaenda mwendo wa kobe. Baada ya mijuano kuisha watu walikuwa mbioni kurejea nyumbani. Nilisubiri kidogo kwani nilijua kwamba kwetu kulikuwa tu pua na mdomo. Bei ya usafiri waliweka juu. Mahali pa kilomita kumi hivi waliweka shilingi mia mbili. Kwa kawaida nauli yake huwa shilingi sabini. Ilikuwa ni siku yao ya kuchota mihela. Basi sekunde zilienda, dakika zikapita na saa kusonga. Mwendo wa saa mbili hivi na robo nilitaka kusafiri. Walikuwa hawataki watu wa kuenda karibu kwani mimi ningelipa shilingi hamsini tu kufika kwangu. Walikataa. Niliendelea kusubiri kwani subira huvuta heri. Mwendo wa saa tatu kasorobo dakika kumi hivi hatimaye nilipata pikipiki. Walikuwa wandani wangu tuliosoma nao shule ya msingi. Yapita miaka nane tangu tuachane hatukuwa tumepatana. Kwa kweli milima ndio haikutani. Walionekana kama waliolewa lakini dereva hakuwa amelewa. Tuliabiri pikipiki hiyo. Tulipanda watu wanne. Tukazidi kuvunja sheria. Sijui nijilaumu kwa kweli. Tuliondoka na kuanza safari yetu kuelekea nyumbani. Mwendo wa saa tatu hivi. Insi walikuwa wamejaa barabarani. Alianza kuonekana mlevi wakati alianza kupiga king'oru ili wampishe. Tulienda na tulikuwa tunajikaza vizuri. Watatu hao walikuwa wamelewa. Niliwaomba wanipe usukani wakakataa. Walisema mimi nilikuwa na mwili mdogo na singeweza kuwabeba. Mwenye nguvu mpishe. Tulianza kuenda vizuri hadi pale jahazi ilianza kuzama. Gari aina ya Voksi lilikuwa likija nyuma. Tulikuwa kwenye mlima. Alijaribu sana huku akipiga king'oru kuashiria kwamba mwenye gari akuje kwa mwendo wa polepole. Pikipiki yetu iliacha barabara na tukatumbukia kwenye mtaro. Tulishukuru Mungu kwani hakuna aliachwa na majeraha mabaya. Mwenye gari aliamuka na kuja kuona ni hali gani tulikuwa. Alipata tu wazima. Magwanda tuliyokuwa tumeyavalia ndio yalituepusha na majeraha. Isitoshe ni vile tulikuwa tunaendesha kwa mwendo wa polepole tu. Hapo ndipo niling'amua kuwa ulevi ndicho chanzo cha ajali mingi. Ikiwa basi umelewa waweza kumtafuta dereva ambaye atakupeleka uendako. Hakikisha kwamba kabla uabiri gari dereva wako yuko sawa. Yafaa pia ukumbuke kwamba mtu huishi mara moja. Na iwapo utavunjika mguu huenda usipate mguu mwingine kwani mili yetu haina akiba (spare). Chanzo kingine ni kuzidisha idadi ya abiria. Gari limeandikwa abiria kumi na wanne. Kama ni basi limeandikwa idadi. Kwa tamaa za utingo anajaza gari kabisa. Gari linapokuwa limejaa hukosa ustadi. Haliwezi kuwa sawa. Ndio maana inafaa kuwa na kiwango kifaacho cha abiria. Magari mabovu pia husababisha ajali. Utapata kwamba magari haya hufika sehemu fulani na kushindwa kudhibiti kasi yake. Iwapo ni kwenye mteremko, magari haya huwacha kushika breki. Hii hupelekea kuwepo kwa ajali. Inanikumbusha wakati fulani hivi. Kulikuwa na dereva wa gari na pikipiki. Gari lilikuwa bovu na taa zake zilikuwa ni za upande mmoja. Basi mwendo wa saa mbili hivi wakati giza lishashika na kulikuwa kunanyesha. Wakati huo hamna magari wala pikipiki nyingi kwenye barabara. Kwenye upinde wa barabara kukatokea gari likiwa na taa moja tu. Dereva wa pikipiki naye ametoka huko anataka kupinda naye. Akaona gari lina taa moja tu. Akadhania ni pikipiki na wanaeza pitana vizuri tu. Twa! Dereva huyo alijigonga kwenye gari hilo. Abiria wake akavunjika mguu vibaya sana. Ilikuwa ni huzuni. Walikimbizwa hospitalini. Magari au pikipiki mbovu yafaa ziondolewe barabarani. Msako mkali ufanyike ili kuondoa pikipiki na magari mabovu barabarani bila mapendeleo. Chanzo kingine ni usembe wa kutochukua tahadhari. Wewe kama abiria unaona gari limejaa abiria lakini unapenya tu ili uingie. Gari ni bovu lakini wewe abiria huoni na unajitoma ndani. Ni wewe wa kulaumiwa tu. Mwezi mmoja uliopita ilksikitisha kuona basi moja likizama kwenye mto Uwenzoi. Hii ilitokana na mapuuza ya dereva na abiria wake. Inasemekana kwamba unapoona maji ya urefu wa sentimita kumi, haifai. Kisa cha basi kuzama tulisikia ya kwamba dereva alikuwa amekataa lakini abiria wakamlazimu. Basi lao liliweza kusombwa na maji na watu ishirini wakapoteza maisha yao. Ni manusura tu wanne waliobaki. Na pia imeonekana tu mapuuza hayo si kwa yule dereva tu bali ni kwa kila dereva. Kuna video ziliweza kusambaa unaona madereva wanajaribu kupita mahali ambapo kuna maji mengi. Niliona kuwa kumbe madereva wengi wana mapuuza. Chanzo kingine ni kutokuwa na ukaguzi kabla gari halijaondoka. Ukaguzi huu husaidia kujua idadi ya abiria. Pia ukaguzi husaidia kuona kama gari li salama kwa kutembea kwenye barabara zetu. Kuna changamoto tu moja kwenye huu ukaguzi. Askari wetu wanapenda hongo sana. Wanapokagua gari wanachukua tu pesa. Hawawezi kuangalia makosa ila ni tumbo zao tu. Wakipata yule ambaye anakataa kuwapa pesa, basi wanamshika yeye. Akitoa shilingi hamsini anaachwa. Kumbuka makosa anayotozwa shilingi hamsini ni makosa ambayo akipelekwa kortini atatozwa laki moja. Pia mawazo huchangia kusababisha ajali. Mtu anaweza kufikiria na ajisahau kwamba alikuwa anafikiria. Hii humpelekea yeye kutokuwa na umakini anapoliendesha gari. Unapochukua gari, pikipiki na hata tuktuk yafaa uwe sawa. Unapokuwa kwenye mawazo huenda ukazama huko na kujisahau. Wengine husema kuwa pia hawa wasichana warembo sana husabisha ajali. Wanapokuwa kando kando mwa barabara huku wamevalia nguo fupifupi. Sijui wewe waniunga mkono au la? Kwa asilimia sitini hivi naunga mkono. Hii hutokea kwa wale wavulana wadogo ambao wamo kwenye rika ya kubadilika kwa mwili. Yaani ( adolescence). Hata pia wazee wenye mate. Inanikumbusha ajali moja niliyeishuhudia. Ghulamu mmoja alikuwa akiendesha pikipiki yake. Basi akapita mwanadada aliyekuwa ameumbika kweli kweli. Alikuwa mwenye shingo la upanga. Macho yake ya koloni ilivutia sana. Alikuwa mwenye umbo la wastani na alikamilishwa kwa kiuno cha bunzi. Alikuwa mwenye rangi ya dhahabu. Alipopita kijana huyu alimsalimu. Hakujibu. Akaendelea kumwongelesha huku ameangalia nyuma. "Wewe ni mrembo. Mimi nishakipenda. Kwenu ni wapi? Nikuje nikubebe?" Alimsaili maswali kweli kweli. Na kumbuka anaendesha pikipiki huku ameangalia nyuma. Pa! Aligonga mtini kando ya barabara. Alivunjika vibaya vibaya akawa si wa mchele wala uji. Binti huyo akaanza kulaumiwa bure bilashi. Kwa kweli macho hayana pazia. Alichukuliwa na kupelekwa hospitalini. Ama kweli ulikuwa ni msiba wa kujitakia hauambiwi..... Ni vyema kama tutashirikiana ili kuhakikisha kwamba tunapiga vita hivi vya ajali barabarani. Wengi wameachwa yatima. Wengine wajane. Yote sababu ni ajali hizi. Wasemavyo ajali haina kinga lakini kinga ipo. Kinga ni sisi. Tuzushe tunapoona makosa. Kwani ukimficha fisi atakula wewe.
Nini ziko kwenye barabara zetu
{ "text": [ "ajali" ] }
4821_swa
AJALI BARABARANI. Nimeamua kuzamia swala hili nzima la ajali zilizoko kwenye barabara zetu. Hii ni baada ya kutembea tembea mwezi huu wa krismasi na kujionea mengi. Watu wengi wameshindwa kung'amua chanzo haswa cha ajali barabarani. Kuna wale wanaolaumu madereva. Wengine wanawalaumu askari wa barabarani. Sijui wewe unamlaumu nani? Wengine wanasema kutoluwa na alama za barabarani ndicho chanzo kikuu. Labda ni hicho. Mimi nimevalia njuga jambo hili lote. Si kwa kuangalia sehemu moja na kuacha sehemu nyingine. La hasha. Nitapegua kila upande. Mwezi huu wa mapumziko nimeweza kutumia barabara kwa wingi sana. Nimeabiri matwana, pikipiki na baiskeli. Nimeweza kutumia hata tuktuk. Na nikaweza kujionea tu labda baadhi ya vyanzo vya ajali katika barabara zetu. Barabara mbovu ndicho chanzo cha kwanza nilichoona. Barabara zetu zimo katika hali mbaya. Ni barabara finyu mno. Magari hayawezi kupitana. Yanapotaka kupitana, inalazimu gari moja kusimama pembeni mwa barabara ili kubisha gari jingine. Utapata kama ni trekta za miwa, zinayakwaruza magari haya madogo. Ni hali ambayo imepelekea kuwepo kwa ajali nyingi hasa upande ule ninakotoka. Licha ya kuwa na barabara finyu, hamna alama za barabarani. Alama za kuonyesha labda kuna kona hatari mbele hamna. Hamna alama za kuonyesha kuna kivuko cha watoto. Hii imechangia pakubwa bodaboda kugonga watoto kwa wingi. Wengine wameachwa vilema. Isitoshe wengine nao husafirishwa jongomeo basi nauli. Yafaa serikali kuhakikisha kwamba kunazo alama za barabarani. Niliweza kutaguzana na baadhi ya madereva. Walinieleza kuwa alama hizo zipo kwenye baadhi ya barabara. Lakini kuna zile ambazo zimefutika na hasiwezi kuonekana kamwe. Huezi jua kwamba alama hii inaonyesha kuna mlima mahali ama yafaa uendeshe gari kwa mwendo wa kilomita ishirini kwa saa moja. Alama zimefutika na huwa zinawachanganya madereva. Chanzo kingine ni ulevi. Ajali nyingi zimeweza kusababishwa na dereva ambaye amelewa. Ni juzi tu nilipong'amua kwamba sababu kuu za kuongezeka ajali nyingi ni kuwepo kwa madereva waliolewa. Naikumbuka vizuri sana. Tarehe ishirini na nane niliweza kuondoka kuona mijuano fulani ya kandanda huku kwetu. Kwa kuwa mimi ni mraibu wa kutafuta habari niliweza kupanda pikipiki. Wanarika huita "nduthi". Mwendo wa saa nane mchana niliabiri pikipiki. Tulikuwa wanne. Mimi, dereva, kidosho fulani mwenye umri wa miaka kama kumi na sita hivi na baba mmoja. Kwanza tulikuwa tumeabiri kupita kiasi. Yafaa pikipiki kubeba watu wawili ikienda sana watu watatu akiwemo dereva. Tulifika kwenye uwanja salama. Kwa kweli uliwanja ulifirika pomoni kiasi cha kuwatapiga watu wengine. Barabara ilikuwa na vumbi na magari yalikuwa yanaenda mwendo wa kobe. Baada ya mijuano kuisha watu walikuwa mbioni kurejea nyumbani. Nilisubiri kidogo kwani nilijua kwamba kwetu kulikuwa tu pua na mdomo. Bei ya usafiri waliweka juu. Mahali pa kilomita kumi hivi waliweka shilingi mia mbili. Kwa kawaida nauli yake huwa shilingi sabini. Ilikuwa ni siku yao ya kuchota mihela. Basi sekunde zilienda, dakika zikapita na saa kusonga. Mwendo wa saa mbili hivi na robo nilitaka kusafiri. Walikuwa hawataki watu wa kuenda karibu kwani mimi ningelipa shilingi hamsini tu kufika kwangu. Walikataa. Niliendelea kusubiri kwani subira huvuta heri. Mwendo wa saa tatu kasorobo dakika kumi hivi hatimaye nilipata pikipiki. Walikuwa wandani wangu tuliosoma nao shule ya msingi. Yapita miaka nane tangu tuachane hatukuwa tumepatana. Kwa kweli milima ndio haikutani. Walionekana kama waliolewa lakini dereva hakuwa amelewa. Tuliabiri pikipiki hiyo. Tulipanda watu wanne. Tukazidi kuvunja sheria. Sijui nijilaumu kwa kweli. Tuliondoka na kuanza safari yetu kuelekea nyumbani. Mwendo wa saa tatu hivi. Insi walikuwa wamejaa barabarani. Alianza kuonekana mlevi wakati alianza kupiga king'oru ili wampishe. Tulienda na tulikuwa tunajikaza vizuri. Watatu hao walikuwa wamelewa. Niliwaomba wanipe usukani wakakataa. Walisema mimi nilikuwa na mwili mdogo na singeweza kuwabeba. Mwenye nguvu mpishe. Tulianza kuenda vizuri hadi pale jahazi ilianza kuzama. Gari aina ya Voksi lilikuwa likija nyuma. Tulikuwa kwenye mlima. Alijaribu sana huku akipiga king'oru kuashiria kwamba mwenye gari akuje kwa mwendo wa polepole. Pikipiki yetu iliacha barabara na tukatumbukia kwenye mtaro. Tulishukuru Mungu kwani hakuna aliachwa na majeraha mabaya. Mwenye gari aliamuka na kuja kuona ni hali gani tulikuwa. Alipata tu wazima. Magwanda tuliyokuwa tumeyavalia ndio yalituepusha na majeraha. Isitoshe ni vile tulikuwa tunaendesha kwa mwendo wa polepole tu. Hapo ndipo niling'amua kuwa ulevi ndicho chanzo cha ajali mingi. Ikiwa basi umelewa waweza kumtafuta dereva ambaye atakupeleka uendako. Hakikisha kwamba kabla uabiri gari dereva wako yuko sawa. Yafaa pia ukumbuke kwamba mtu huishi mara moja. Na iwapo utavunjika mguu huenda usipate mguu mwingine kwani mili yetu haina akiba (spare). Chanzo kingine ni kuzidisha idadi ya abiria. Gari limeandikwa abiria kumi na wanne. Kama ni basi limeandikwa idadi. Kwa tamaa za utingo anajaza gari kabisa. Gari linapokuwa limejaa hukosa ustadi. Haliwezi kuwa sawa. Ndio maana inafaa kuwa na kiwango kifaacho cha abiria. Magari mabovu pia husababisha ajali. Utapata kwamba magari haya hufika sehemu fulani na kushindwa kudhibiti kasi yake. Iwapo ni kwenye mteremko, magari haya huwacha kushika breki. Hii hupelekea kuwepo kwa ajali. Inanikumbusha wakati fulani hivi. Kulikuwa na dereva wa gari na pikipiki. Gari lilikuwa bovu na taa zake zilikuwa ni za upande mmoja. Basi mwendo wa saa mbili hivi wakati giza lishashika na kulikuwa kunanyesha. Wakati huo hamna magari wala pikipiki nyingi kwenye barabara. Kwenye upinde wa barabara kukatokea gari likiwa na taa moja tu. Dereva wa pikipiki naye ametoka huko anataka kupinda naye. Akaona gari lina taa moja tu. Akadhania ni pikipiki na wanaeza pitana vizuri tu. Twa! Dereva huyo alijigonga kwenye gari hilo. Abiria wake akavunjika mguu vibaya sana. Ilikuwa ni huzuni. Walikimbizwa hospitalini. Magari au pikipiki mbovu yafaa ziondolewe barabarani. Msako mkali ufanyike ili kuondoa pikipiki na magari mabovu barabarani bila mapendeleo. Chanzo kingine ni usembe wa kutochukua tahadhari. Wewe kama abiria unaona gari limejaa abiria lakini unapenya tu ili uingie. Gari ni bovu lakini wewe abiria huoni na unajitoma ndani. Ni wewe wa kulaumiwa tu. Mwezi mmoja uliopita ilksikitisha kuona basi moja likizama kwenye mto Uwenzoi. Hii ilitokana na mapuuza ya dereva na abiria wake. Inasemekana kwamba unapoona maji ya urefu wa sentimita kumi, haifai. Kisa cha basi kuzama tulisikia ya kwamba dereva alikuwa amekataa lakini abiria wakamlazimu. Basi lao liliweza kusombwa na maji na watu ishirini wakapoteza maisha yao. Ni manusura tu wanne waliobaki. Na pia imeonekana tu mapuuza hayo si kwa yule dereva tu bali ni kwa kila dereva. Kuna video ziliweza kusambaa unaona madereva wanajaribu kupita mahali ambapo kuna maji mengi. Niliona kuwa kumbe madereva wengi wana mapuuza. Chanzo kingine ni kutokuwa na ukaguzi kabla gari halijaondoka. Ukaguzi huu husaidia kujua idadi ya abiria. Pia ukaguzi husaidia kuona kama gari li salama kwa kutembea kwenye barabara zetu. Kuna changamoto tu moja kwenye huu ukaguzi. Askari wetu wanapenda hongo sana. Wanapokagua gari wanachukua tu pesa. Hawawezi kuangalia makosa ila ni tumbo zao tu. Wakipata yule ambaye anakataa kuwapa pesa, basi wanamshika yeye. Akitoa shilingi hamsini anaachwa. Kumbuka makosa anayotozwa shilingi hamsini ni makosa ambayo akipelekwa kortini atatozwa laki moja. Pia mawazo huchangia kusababisha ajali. Mtu anaweza kufikiria na ajisahau kwamba alikuwa anafikiria. Hii humpelekea yeye kutokuwa na umakini anapoliendesha gari. Unapochukua gari, pikipiki na hata tuktuk yafaa uwe sawa. Unapokuwa kwenye mawazo huenda ukazama huko na kujisahau. Wengine husema kuwa pia hawa wasichana warembo sana husabisha ajali. Wanapokuwa kando kando mwa barabara huku wamevalia nguo fupifupi. Sijui wewe waniunga mkono au la? Kwa asilimia sitini hivi naunga mkono. Hii hutokea kwa wale wavulana wadogo ambao wamo kwenye rika ya kubadilika kwa mwili. Yaani ( adolescence). Hata pia wazee wenye mate. Inanikumbusha ajali moja niliyeishuhudia. Ghulamu mmoja alikuwa akiendesha pikipiki yake. Basi akapita mwanadada aliyekuwa ameumbika kweli kweli. Alikuwa mwenye shingo la upanga. Macho yake ya koloni ilivutia sana. Alikuwa mwenye umbo la wastani na alikamilishwa kwa kiuno cha bunzi. Alikuwa mwenye rangi ya dhahabu. Alipopita kijana huyu alimsalimu. Hakujibu. Akaendelea kumwongelesha huku ameangalia nyuma. "Wewe ni mrembo. Mimi nishakipenda. Kwenu ni wapi? Nikuje nikubebe?" Alimsaili maswali kweli kweli. Na kumbuka anaendesha pikipiki huku ameangalia nyuma. Pa! Aligonga mtini kando ya barabara. Alivunjika vibaya vibaya akawa si wa mchele wala uji. Binti huyo akaanza kulaumiwa bure bilashi. Kwa kweli macho hayana pazia. Alichukuliwa na kupelekwa hospitalini. Ama kweli ulikuwa ni msiba wa kujitakia hauambiwi..... Ni vyema kama tutashirikiana ili kuhakikisha kwamba tunapiga vita hivi vya ajali barabarani. Wengi wameachwa yatima. Wengine wajane. Yote sababu ni ajali hizi. Wasemavyo ajali haina kinga lakini kinga ipo. Kinga ni sisi. Tuzushe tunapoona makosa. Kwani ukimficha fisi atakula wewe.
Alitembea tembea lini
{ "text": [ "mwezi wa Krismasi" ] }
4821_swa
AJALI BARABARANI. Nimeamua kuzamia swala hili nzima la ajali zilizoko kwenye barabara zetu. Hii ni baada ya kutembea tembea mwezi huu wa krismasi na kujionea mengi. Watu wengi wameshindwa kung'amua chanzo haswa cha ajali barabarani. Kuna wale wanaolaumu madereva. Wengine wanawalaumu askari wa barabarani. Sijui wewe unamlaumu nani? Wengine wanasema kutoluwa na alama za barabarani ndicho chanzo kikuu. Labda ni hicho. Mimi nimevalia njuga jambo hili lote. Si kwa kuangalia sehemu moja na kuacha sehemu nyingine. La hasha. Nitapegua kila upande. Mwezi huu wa mapumziko nimeweza kutumia barabara kwa wingi sana. Nimeabiri matwana, pikipiki na baiskeli. Nimeweza kutumia hata tuktuk. Na nikaweza kujionea tu labda baadhi ya vyanzo vya ajali katika barabara zetu. Barabara mbovu ndicho chanzo cha kwanza nilichoona. Barabara zetu zimo katika hali mbaya. Ni barabara finyu mno. Magari hayawezi kupitana. Yanapotaka kupitana, inalazimu gari moja kusimama pembeni mwa barabara ili kubisha gari jingine. Utapata kama ni trekta za miwa, zinayakwaruza magari haya madogo. Ni hali ambayo imepelekea kuwepo kwa ajali nyingi hasa upande ule ninakotoka. Licha ya kuwa na barabara finyu, hamna alama za barabarani. Alama za kuonyesha labda kuna kona hatari mbele hamna. Hamna alama za kuonyesha kuna kivuko cha watoto. Hii imechangia pakubwa bodaboda kugonga watoto kwa wingi. Wengine wameachwa vilema. Isitoshe wengine nao husafirishwa jongomeo basi nauli. Yafaa serikali kuhakikisha kwamba kunazo alama za barabarani. Niliweza kutaguzana na baadhi ya madereva. Walinieleza kuwa alama hizo zipo kwenye baadhi ya barabara. Lakini kuna zile ambazo zimefutika na hasiwezi kuonekana kamwe. Huezi jua kwamba alama hii inaonyesha kuna mlima mahali ama yafaa uendeshe gari kwa mwendo wa kilomita ishirini kwa saa moja. Alama zimefutika na huwa zinawachanganya madereva. Chanzo kingine ni ulevi. Ajali nyingi zimeweza kusababishwa na dereva ambaye amelewa. Ni juzi tu nilipong'amua kwamba sababu kuu za kuongezeka ajali nyingi ni kuwepo kwa madereva waliolewa. Naikumbuka vizuri sana. Tarehe ishirini na nane niliweza kuondoka kuona mijuano fulani ya kandanda huku kwetu. Kwa kuwa mimi ni mraibu wa kutafuta habari niliweza kupanda pikipiki. Wanarika huita "nduthi". Mwendo wa saa nane mchana niliabiri pikipiki. Tulikuwa wanne. Mimi, dereva, kidosho fulani mwenye umri wa miaka kama kumi na sita hivi na baba mmoja. Kwanza tulikuwa tumeabiri kupita kiasi. Yafaa pikipiki kubeba watu wawili ikienda sana watu watatu akiwemo dereva. Tulifika kwenye uwanja salama. Kwa kweli uliwanja ulifirika pomoni kiasi cha kuwatapiga watu wengine. Barabara ilikuwa na vumbi na magari yalikuwa yanaenda mwendo wa kobe. Baada ya mijuano kuisha watu walikuwa mbioni kurejea nyumbani. Nilisubiri kidogo kwani nilijua kwamba kwetu kulikuwa tu pua na mdomo. Bei ya usafiri waliweka juu. Mahali pa kilomita kumi hivi waliweka shilingi mia mbili. Kwa kawaida nauli yake huwa shilingi sabini. Ilikuwa ni siku yao ya kuchota mihela. Basi sekunde zilienda, dakika zikapita na saa kusonga. Mwendo wa saa mbili hivi na robo nilitaka kusafiri. Walikuwa hawataki watu wa kuenda karibu kwani mimi ningelipa shilingi hamsini tu kufika kwangu. Walikataa. Niliendelea kusubiri kwani subira huvuta heri. Mwendo wa saa tatu kasorobo dakika kumi hivi hatimaye nilipata pikipiki. Walikuwa wandani wangu tuliosoma nao shule ya msingi. Yapita miaka nane tangu tuachane hatukuwa tumepatana. Kwa kweli milima ndio haikutani. Walionekana kama waliolewa lakini dereva hakuwa amelewa. Tuliabiri pikipiki hiyo. Tulipanda watu wanne. Tukazidi kuvunja sheria. Sijui nijilaumu kwa kweli. Tuliondoka na kuanza safari yetu kuelekea nyumbani. Mwendo wa saa tatu hivi. Insi walikuwa wamejaa barabarani. Alianza kuonekana mlevi wakati alianza kupiga king'oru ili wampishe. Tulienda na tulikuwa tunajikaza vizuri. Watatu hao walikuwa wamelewa. Niliwaomba wanipe usukani wakakataa. Walisema mimi nilikuwa na mwili mdogo na singeweza kuwabeba. Mwenye nguvu mpishe. Tulianza kuenda vizuri hadi pale jahazi ilianza kuzama. Gari aina ya Voksi lilikuwa likija nyuma. Tulikuwa kwenye mlima. Alijaribu sana huku akipiga king'oru kuashiria kwamba mwenye gari akuje kwa mwendo wa polepole. Pikipiki yetu iliacha barabara na tukatumbukia kwenye mtaro. Tulishukuru Mungu kwani hakuna aliachwa na majeraha mabaya. Mwenye gari aliamuka na kuja kuona ni hali gani tulikuwa. Alipata tu wazima. Magwanda tuliyokuwa tumeyavalia ndio yalituepusha na majeraha. Isitoshe ni vile tulikuwa tunaendesha kwa mwendo wa polepole tu. Hapo ndipo niling'amua kuwa ulevi ndicho chanzo cha ajali mingi. Ikiwa basi umelewa waweza kumtafuta dereva ambaye atakupeleka uendako. Hakikisha kwamba kabla uabiri gari dereva wako yuko sawa. Yafaa pia ukumbuke kwamba mtu huishi mara moja. Na iwapo utavunjika mguu huenda usipate mguu mwingine kwani mili yetu haina akiba (spare). Chanzo kingine ni kuzidisha idadi ya abiria. Gari limeandikwa abiria kumi na wanne. Kama ni basi limeandikwa idadi. Kwa tamaa za utingo anajaza gari kabisa. Gari linapokuwa limejaa hukosa ustadi. Haliwezi kuwa sawa. Ndio maana inafaa kuwa na kiwango kifaacho cha abiria. Magari mabovu pia husababisha ajali. Utapata kwamba magari haya hufika sehemu fulani na kushindwa kudhibiti kasi yake. Iwapo ni kwenye mteremko, magari haya huwacha kushika breki. Hii hupelekea kuwepo kwa ajali. Inanikumbusha wakati fulani hivi. Kulikuwa na dereva wa gari na pikipiki. Gari lilikuwa bovu na taa zake zilikuwa ni za upande mmoja. Basi mwendo wa saa mbili hivi wakati giza lishashika na kulikuwa kunanyesha. Wakati huo hamna magari wala pikipiki nyingi kwenye barabara. Kwenye upinde wa barabara kukatokea gari likiwa na taa moja tu. Dereva wa pikipiki naye ametoka huko anataka kupinda naye. Akaona gari lina taa moja tu. Akadhania ni pikipiki na wanaeza pitana vizuri tu. Twa! Dereva huyo alijigonga kwenye gari hilo. Abiria wake akavunjika mguu vibaya sana. Ilikuwa ni huzuni. Walikimbizwa hospitalini. Magari au pikipiki mbovu yafaa ziondolewe barabarani. Msako mkali ufanyike ili kuondoa pikipiki na magari mabovu barabarani bila mapendeleo. Chanzo kingine ni usembe wa kutochukua tahadhari. Wewe kama abiria unaona gari limejaa abiria lakini unapenya tu ili uingie. Gari ni bovu lakini wewe abiria huoni na unajitoma ndani. Ni wewe wa kulaumiwa tu. Mwezi mmoja uliopita ilksikitisha kuona basi moja likizama kwenye mto Uwenzoi. Hii ilitokana na mapuuza ya dereva na abiria wake. Inasemekana kwamba unapoona maji ya urefu wa sentimita kumi, haifai. Kisa cha basi kuzama tulisikia ya kwamba dereva alikuwa amekataa lakini abiria wakamlazimu. Basi lao liliweza kusombwa na maji na watu ishirini wakapoteza maisha yao. Ni manusura tu wanne waliobaki. Na pia imeonekana tu mapuuza hayo si kwa yule dereva tu bali ni kwa kila dereva. Kuna video ziliweza kusambaa unaona madereva wanajaribu kupita mahali ambapo kuna maji mengi. Niliona kuwa kumbe madereva wengi wana mapuuza. Chanzo kingine ni kutokuwa na ukaguzi kabla gari halijaondoka. Ukaguzi huu husaidia kujua idadi ya abiria. Pia ukaguzi husaidia kuona kama gari li salama kwa kutembea kwenye barabara zetu. Kuna changamoto tu moja kwenye huu ukaguzi. Askari wetu wanapenda hongo sana. Wanapokagua gari wanachukua tu pesa. Hawawezi kuangalia makosa ila ni tumbo zao tu. Wakipata yule ambaye anakataa kuwapa pesa, basi wanamshika yeye. Akitoa shilingi hamsini anaachwa. Kumbuka makosa anayotozwa shilingi hamsini ni makosa ambayo akipelekwa kortini atatozwa laki moja. Pia mawazo huchangia kusababisha ajali. Mtu anaweza kufikiria na ajisahau kwamba alikuwa anafikiria. Hii humpelekea yeye kutokuwa na umakini anapoliendesha gari. Unapochukua gari, pikipiki na hata tuktuk yafaa uwe sawa. Unapokuwa kwenye mawazo huenda ukazama huko na kujisahau. Wengine husema kuwa pia hawa wasichana warembo sana husabisha ajali. Wanapokuwa kando kando mwa barabara huku wamevalia nguo fupifupi. Sijui wewe waniunga mkono au la? Kwa asilimia sitini hivi naunga mkono. Hii hutokea kwa wale wavulana wadogo ambao wamo kwenye rika ya kubadilika kwa mwili. Yaani ( adolescence). Hata pia wazee wenye mate. Inanikumbusha ajali moja niliyeishuhudia. Ghulamu mmoja alikuwa akiendesha pikipiki yake. Basi akapita mwanadada aliyekuwa ameumbika kweli kweli. Alikuwa mwenye shingo la upanga. Macho yake ya koloni ilivutia sana. Alikuwa mwenye umbo la wastani na alikamilishwa kwa kiuno cha bunzi. Alikuwa mwenye rangi ya dhahabu. Alipopita kijana huyu alimsalimu. Hakujibu. Akaendelea kumwongelesha huku ameangalia nyuma. "Wewe ni mrembo. Mimi nishakipenda. Kwenu ni wapi? Nikuje nikubebe?" Alimsaili maswali kweli kweli. Na kumbuka anaendesha pikipiki huku ameangalia nyuma. Pa! Aligonga mtini kando ya barabara. Alivunjika vibaya vibaya akawa si wa mchele wala uji. Binti huyo akaanza kulaumiwa bure bilashi. Kwa kweli macho hayana pazia. Alichukuliwa na kupelekwa hospitalini. Ama kweli ulikuwa ni msiba wa kujitakia hauambiwi..... Ni vyema kama tutashirikiana ili kuhakikisha kwamba tunapiga vita hivi vya ajali barabarani. Wengi wameachwa yatima. Wengine wajane. Yote sababu ni ajali hizi. Wasemavyo ajali haina kinga lakini kinga ipo. Kinga ni sisi. Tuzushe tunapoona makosa. Kwani ukimficha fisi atakula wewe.
Barabara zetu zimo katika hali gani
{ "text": [ "mbaya" ] }
4821_swa
AJALI BARABARANI. Nimeamua kuzamia swala hili nzima la ajali zilizoko kwenye barabara zetu. Hii ni baada ya kutembea tembea mwezi huu wa krismasi na kujionea mengi. Watu wengi wameshindwa kung'amua chanzo haswa cha ajali barabarani. Kuna wale wanaolaumu madereva. Wengine wanawalaumu askari wa barabarani. Sijui wewe unamlaumu nani? Wengine wanasema kutoluwa na alama za barabarani ndicho chanzo kikuu. Labda ni hicho. Mimi nimevalia njuga jambo hili lote. Si kwa kuangalia sehemu moja na kuacha sehemu nyingine. La hasha. Nitapegua kila upande. Mwezi huu wa mapumziko nimeweza kutumia barabara kwa wingi sana. Nimeabiri matwana, pikipiki na baiskeli. Nimeweza kutumia hata tuktuk. Na nikaweza kujionea tu labda baadhi ya vyanzo vya ajali katika barabara zetu. Barabara mbovu ndicho chanzo cha kwanza nilichoona. Barabara zetu zimo katika hali mbaya. Ni barabara finyu mno. Magari hayawezi kupitana. Yanapotaka kupitana, inalazimu gari moja kusimama pembeni mwa barabara ili kubisha gari jingine. Utapata kama ni trekta za miwa, zinayakwaruza magari haya madogo. Ni hali ambayo imepelekea kuwepo kwa ajali nyingi hasa upande ule ninakotoka. Licha ya kuwa na barabara finyu, hamna alama za barabarani. Alama za kuonyesha labda kuna kona hatari mbele hamna. Hamna alama za kuonyesha kuna kivuko cha watoto. Hii imechangia pakubwa bodaboda kugonga watoto kwa wingi. Wengine wameachwa vilema. Isitoshe wengine nao husafirishwa jongomeo basi nauli. Yafaa serikali kuhakikisha kwamba kunazo alama za barabarani. Niliweza kutaguzana na baadhi ya madereva. Walinieleza kuwa alama hizo zipo kwenye baadhi ya barabara. Lakini kuna zile ambazo zimefutika na hasiwezi kuonekana kamwe. Huezi jua kwamba alama hii inaonyesha kuna mlima mahali ama yafaa uendeshe gari kwa mwendo wa kilomita ishirini kwa saa moja. Alama zimefutika na huwa zinawachanganya madereva. Chanzo kingine ni ulevi. Ajali nyingi zimeweza kusababishwa na dereva ambaye amelewa. Ni juzi tu nilipong'amua kwamba sababu kuu za kuongezeka ajali nyingi ni kuwepo kwa madereva waliolewa. Naikumbuka vizuri sana. Tarehe ishirini na nane niliweza kuondoka kuona mijuano fulani ya kandanda huku kwetu. Kwa kuwa mimi ni mraibu wa kutafuta habari niliweza kupanda pikipiki. Wanarika huita "nduthi". Mwendo wa saa nane mchana niliabiri pikipiki. Tulikuwa wanne. Mimi, dereva, kidosho fulani mwenye umri wa miaka kama kumi na sita hivi na baba mmoja. Kwanza tulikuwa tumeabiri kupita kiasi. Yafaa pikipiki kubeba watu wawili ikienda sana watu watatu akiwemo dereva. Tulifika kwenye uwanja salama. Kwa kweli uliwanja ulifirika pomoni kiasi cha kuwatapiga watu wengine. Barabara ilikuwa na vumbi na magari yalikuwa yanaenda mwendo wa kobe. Baada ya mijuano kuisha watu walikuwa mbioni kurejea nyumbani. Nilisubiri kidogo kwani nilijua kwamba kwetu kulikuwa tu pua na mdomo. Bei ya usafiri waliweka juu. Mahali pa kilomita kumi hivi waliweka shilingi mia mbili. Kwa kawaida nauli yake huwa shilingi sabini. Ilikuwa ni siku yao ya kuchota mihela. Basi sekunde zilienda, dakika zikapita na saa kusonga. Mwendo wa saa mbili hivi na robo nilitaka kusafiri. Walikuwa hawataki watu wa kuenda karibu kwani mimi ningelipa shilingi hamsini tu kufika kwangu. Walikataa. Niliendelea kusubiri kwani subira huvuta heri. Mwendo wa saa tatu kasorobo dakika kumi hivi hatimaye nilipata pikipiki. Walikuwa wandani wangu tuliosoma nao shule ya msingi. Yapita miaka nane tangu tuachane hatukuwa tumepatana. Kwa kweli milima ndio haikutani. Walionekana kama waliolewa lakini dereva hakuwa amelewa. Tuliabiri pikipiki hiyo. Tulipanda watu wanne. Tukazidi kuvunja sheria. Sijui nijilaumu kwa kweli. Tuliondoka na kuanza safari yetu kuelekea nyumbani. Mwendo wa saa tatu hivi. Insi walikuwa wamejaa barabarani. Alianza kuonekana mlevi wakati alianza kupiga king'oru ili wampishe. Tulienda na tulikuwa tunajikaza vizuri. Watatu hao walikuwa wamelewa. Niliwaomba wanipe usukani wakakataa. Walisema mimi nilikuwa na mwili mdogo na singeweza kuwabeba. Mwenye nguvu mpishe. Tulianza kuenda vizuri hadi pale jahazi ilianza kuzama. Gari aina ya Voksi lilikuwa likija nyuma. Tulikuwa kwenye mlima. Alijaribu sana huku akipiga king'oru kuashiria kwamba mwenye gari akuje kwa mwendo wa polepole. Pikipiki yetu iliacha barabara na tukatumbukia kwenye mtaro. Tulishukuru Mungu kwani hakuna aliachwa na majeraha mabaya. Mwenye gari aliamuka na kuja kuona ni hali gani tulikuwa. Alipata tu wazima. Magwanda tuliyokuwa tumeyavalia ndio yalituepusha na majeraha. Isitoshe ni vile tulikuwa tunaendesha kwa mwendo wa polepole tu. Hapo ndipo niling'amua kuwa ulevi ndicho chanzo cha ajali mingi. Ikiwa basi umelewa waweza kumtafuta dereva ambaye atakupeleka uendako. Hakikisha kwamba kabla uabiri gari dereva wako yuko sawa. Yafaa pia ukumbuke kwamba mtu huishi mara moja. Na iwapo utavunjika mguu huenda usipate mguu mwingine kwani mili yetu haina akiba (spare). Chanzo kingine ni kuzidisha idadi ya abiria. Gari limeandikwa abiria kumi na wanne. Kama ni basi limeandikwa idadi. Kwa tamaa za utingo anajaza gari kabisa. Gari linapokuwa limejaa hukosa ustadi. Haliwezi kuwa sawa. Ndio maana inafaa kuwa na kiwango kifaacho cha abiria. Magari mabovu pia husababisha ajali. Utapata kwamba magari haya hufika sehemu fulani na kushindwa kudhibiti kasi yake. Iwapo ni kwenye mteremko, magari haya huwacha kushika breki. Hii hupelekea kuwepo kwa ajali. Inanikumbusha wakati fulani hivi. Kulikuwa na dereva wa gari na pikipiki. Gari lilikuwa bovu na taa zake zilikuwa ni za upande mmoja. Basi mwendo wa saa mbili hivi wakati giza lishashika na kulikuwa kunanyesha. Wakati huo hamna magari wala pikipiki nyingi kwenye barabara. Kwenye upinde wa barabara kukatokea gari likiwa na taa moja tu. Dereva wa pikipiki naye ametoka huko anataka kupinda naye. Akaona gari lina taa moja tu. Akadhania ni pikipiki na wanaeza pitana vizuri tu. Twa! Dereva huyo alijigonga kwenye gari hilo. Abiria wake akavunjika mguu vibaya sana. Ilikuwa ni huzuni. Walikimbizwa hospitalini. Magari au pikipiki mbovu yafaa ziondolewe barabarani. Msako mkali ufanyike ili kuondoa pikipiki na magari mabovu barabarani bila mapendeleo. Chanzo kingine ni usembe wa kutochukua tahadhari. Wewe kama abiria unaona gari limejaa abiria lakini unapenya tu ili uingie. Gari ni bovu lakini wewe abiria huoni na unajitoma ndani. Ni wewe wa kulaumiwa tu. Mwezi mmoja uliopita ilksikitisha kuona basi moja likizama kwenye mto Uwenzoi. Hii ilitokana na mapuuza ya dereva na abiria wake. Inasemekana kwamba unapoona maji ya urefu wa sentimita kumi, haifai. Kisa cha basi kuzama tulisikia ya kwamba dereva alikuwa amekataa lakini abiria wakamlazimu. Basi lao liliweza kusombwa na maji na watu ishirini wakapoteza maisha yao. Ni manusura tu wanne waliobaki. Na pia imeonekana tu mapuuza hayo si kwa yule dereva tu bali ni kwa kila dereva. Kuna video ziliweza kusambaa unaona madereva wanajaribu kupita mahali ambapo kuna maji mengi. Niliona kuwa kumbe madereva wengi wana mapuuza. Chanzo kingine ni kutokuwa na ukaguzi kabla gari halijaondoka. Ukaguzi huu husaidia kujua idadi ya abiria. Pia ukaguzi husaidia kuona kama gari li salama kwa kutembea kwenye barabara zetu. Kuna changamoto tu moja kwenye huu ukaguzi. Askari wetu wanapenda hongo sana. Wanapokagua gari wanachukua tu pesa. Hawawezi kuangalia makosa ila ni tumbo zao tu. Wakipata yule ambaye anakataa kuwapa pesa, basi wanamshika yeye. Akitoa shilingi hamsini anaachwa. Kumbuka makosa anayotozwa shilingi hamsini ni makosa ambayo akipelekwa kortini atatozwa laki moja. Pia mawazo huchangia kusababisha ajali. Mtu anaweza kufikiria na ajisahau kwamba alikuwa anafikiria. Hii humpelekea yeye kutokuwa na umakini anapoliendesha gari. Unapochukua gari, pikipiki na hata tuktuk yafaa uwe sawa. Unapokuwa kwenye mawazo huenda ukazama huko na kujisahau. Wengine husema kuwa pia hawa wasichana warembo sana husabisha ajali. Wanapokuwa kando kando mwa barabara huku wamevalia nguo fupifupi. Sijui wewe waniunga mkono au la? Kwa asilimia sitini hivi naunga mkono. Hii hutokea kwa wale wavulana wadogo ambao wamo kwenye rika ya kubadilika kwa mwili. Yaani ( adolescence). Hata pia wazee wenye mate. Inanikumbusha ajali moja niliyeishuhudia. Ghulamu mmoja alikuwa akiendesha pikipiki yake. Basi akapita mwanadada aliyekuwa ameumbika kweli kweli. Alikuwa mwenye shingo la upanga. Macho yake ya koloni ilivutia sana. Alikuwa mwenye umbo la wastani na alikamilishwa kwa kiuno cha bunzi. Alikuwa mwenye rangi ya dhahabu. Alipopita kijana huyu alimsalimu. Hakujibu. Akaendelea kumwongelesha huku ameangalia nyuma. "Wewe ni mrembo. Mimi nishakipenda. Kwenu ni wapi? Nikuje nikubebe?" Alimsaili maswali kweli kweli. Na kumbuka anaendesha pikipiki huku ameangalia nyuma. Pa! Aligonga mtini kando ya barabara. Alivunjika vibaya vibaya akawa si wa mchele wala uji. Binti huyo akaanza kulaumiwa bure bilashi. Kwa kweli macho hayana pazia. Alichukuliwa na kupelekwa hospitalini. Ama kweli ulikuwa ni msiba wa kujitakia hauambiwi..... Ni vyema kama tutashirikiana ili kuhakikisha kwamba tunapiga vita hivi vya ajali barabarani. Wengi wameachwa yatima. Wengine wajane. Yote sababu ni ajali hizi. Wasemavyo ajali haina kinga lakini kinga ipo. Kinga ni sisi. Tuzushe tunapoona makosa. Kwani ukimficha fisi atakula wewe.
Msimulizi aliweza kutagusana na nani
{ "text": [ "madereva" ] }
4821_swa
AJALI BARABARANI. Nimeamua kuzamia swala hili nzima la ajali zilizoko kwenye barabara zetu. Hii ni baada ya kutembea tembea mwezi huu wa krismasi na kujionea mengi. Watu wengi wameshindwa kung'amua chanzo haswa cha ajali barabarani. Kuna wale wanaolaumu madereva. Wengine wanawalaumu askari wa barabarani. Sijui wewe unamlaumu nani? Wengine wanasema kutoluwa na alama za barabarani ndicho chanzo kikuu. Labda ni hicho. Mimi nimevalia njuga jambo hili lote. Si kwa kuangalia sehemu moja na kuacha sehemu nyingine. La hasha. Nitapegua kila upande. Mwezi huu wa mapumziko nimeweza kutumia barabara kwa wingi sana. Nimeabiri matwana, pikipiki na baiskeli. Nimeweza kutumia hata tuktuk. Na nikaweza kujionea tu labda baadhi ya vyanzo vya ajali katika barabara zetu. Barabara mbovu ndicho chanzo cha kwanza nilichoona. Barabara zetu zimo katika hali mbaya. Ni barabara finyu mno. Magari hayawezi kupitana. Yanapotaka kupitana, inalazimu gari moja kusimama pembeni mwa barabara ili kubisha gari jingine. Utapata kama ni trekta za miwa, zinayakwaruza magari haya madogo. Ni hali ambayo imepelekea kuwepo kwa ajali nyingi hasa upande ule ninakotoka. Licha ya kuwa na barabara finyu, hamna alama za barabarani. Alama za kuonyesha labda kuna kona hatari mbele hamna. Hamna alama za kuonyesha kuna kivuko cha watoto. Hii imechangia pakubwa bodaboda kugonga watoto kwa wingi. Wengine wameachwa vilema. Isitoshe wengine nao husafirishwa jongomeo basi nauli. Yafaa serikali kuhakikisha kwamba kunazo alama za barabarani. Niliweza kutaguzana na baadhi ya madereva. Walinieleza kuwa alama hizo zipo kwenye baadhi ya barabara. Lakini kuna zile ambazo zimefutika na hasiwezi kuonekana kamwe. Huezi jua kwamba alama hii inaonyesha kuna mlima mahali ama yafaa uendeshe gari kwa mwendo wa kilomita ishirini kwa saa moja. Alama zimefutika na huwa zinawachanganya madereva. Chanzo kingine ni ulevi. Ajali nyingi zimeweza kusababishwa na dereva ambaye amelewa. Ni juzi tu nilipong'amua kwamba sababu kuu za kuongezeka ajali nyingi ni kuwepo kwa madereva waliolewa. Naikumbuka vizuri sana. Tarehe ishirini na nane niliweza kuondoka kuona mijuano fulani ya kandanda huku kwetu. Kwa kuwa mimi ni mraibu wa kutafuta habari niliweza kupanda pikipiki. Wanarika huita "nduthi". Mwendo wa saa nane mchana niliabiri pikipiki. Tulikuwa wanne. Mimi, dereva, kidosho fulani mwenye umri wa miaka kama kumi na sita hivi na baba mmoja. Kwanza tulikuwa tumeabiri kupita kiasi. Yafaa pikipiki kubeba watu wawili ikienda sana watu watatu akiwemo dereva. Tulifika kwenye uwanja salama. Kwa kweli uliwanja ulifirika pomoni kiasi cha kuwatapiga watu wengine. Barabara ilikuwa na vumbi na magari yalikuwa yanaenda mwendo wa kobe. Baada ya mijuano kuisha watu walikuwa mbioni kurejea nyumbani. Nilisubiri kidogo kwani nilijua kwamba kwetu kulikuwa tu pua na mdomo. Bei ya usafiri waliweka juu. Mahali pa kilomita kumi hivi waliweka shilingi mia mbili. Kwa kawaida nauli yake huwa shilingi sabini. Ilikuwa ni siku yao ya kuchota mihela. Basi sekunde zilienda, dakika zikapita na saa kusonga. Mwendo wa saa mbili hivi na robo nilitaka kusafiri. Walikuwa hawataki watu wa kuenda karibu kwani mimi ningelipa shilingi hamsini tu kufika kwangu. Walikataa. Niliendelea kusubiri kwani subira huvuta heri. Mwendo wa saa tatu kasorobo dakika kumi hivi hatimaye nilipata pikipiki. Walikuwa wandani wangu tuliosoma nao shule ya msingi. Yapita miaka nane tangu tuachane hatukuwa tumepatana. Kwa kweli milima ndio haikutani. Walionekana kama waliolewa lakini dereva hakuwa amelewa. Tuliabiri pikipiki hiyo. Tulipanda watu wanne. Tukazidi kuvunja sheria. Sijui nijilaumu kwa kweli. Tuliondoka na kuanza safari yetu kuelekea nyumbani. Mwendo wa saa tatu hivi. Insi walikuwa wamejaa barabarani. Alianza kuonekana mlevi wakati alianza kupiga king'oru ili wampishe. Tulienda na tulikuwa tunajikaza vizuri. Watatu hao walikuwa wamelewa. Niliwaomba wanipe usukani wakakataa. Walisema mimi nilikuwa na mwili mdogo na singeweza kuwabeba. Mwenye nguvu mpishe. Tulianza kuenda vizuri hadi pale jahazi ilianza kuzama. Gari aina ya Voksi lilikuwa likija nyuma. Tulikuwa kwenye mlima. Alijaribu sana huku akipiga king'oru kuashiria kwamba mwenye gari akuje kwa mwendo wa polepole. Pikipiki yetu iliacha barabara na tukatumbukia kwenye mtaro. Tulishukuru Mungu kwani hakuna aliachwa na majeraha mabaya. Mwenye gari aliamuka na kuja kuona ni hali gani tulikuwa. Alipata tu wazima. Magwanda tuliyokuwa tumeyavalia ndio yalituepusha na majeraha. Isitoshe ni vile tulikuwa tunaendesha kwa mwendo wa polepole tu. Hapo ndipo niling'amua kuwa ulevi ndicho chanzo cha ajali mingi. Ikiwa basi umelewa waweza kumtafuta dereva ambaye atakupeleka uendako. Hakikisha kwamba kabla uabiri gari dereva wako yuko sawa. Yafaa pia ukumbuke kwamba mtu huishi mara moja. Na iwapo utavunjika mguu huenda usipate mguu mwingine kwani mili yetu haina akiba (spare). Chanzo kingine ni kuzidisha idadi ya abiria. Gari limeandikwa abiria kumi na wanne. Kama ni basi limeandikwa idadi. Kwa tamaa za utingo anajaza gari kabisa. Gari linapokuwa limejaa hukosa ustadi. Haliwezi kuwa sawa. Ndio maana inafaa kuwa na kiwango kifaacho cha abiria. Magari mabovu pia husababisha ajali. Utapata kwamba magari haya hufika sehemu fulani na kushindwa kudhibiti kasi yake. Iwapo ni kwenye mteremko, magari haya huwacha kushika breki. Hii hupelekea kuwepo kwa ajali. Inanikumbusha wakati fulani hivi. Kulikuwa na dereva wa gari na pikipiki. Gari lilikuwa bovu na taa zake zilikuwa ni za upande mmoja. Basi mwendo wa saa mbili hivi wakati giza lishashika na kulikuwa kunanyesha. Wakati huo hamna magari wala pikipiki nyingi kwenye barabara. Kwenye upinde wa barabara kukatokea gari likiwa na taa moja tu. Dereva wa pikipiki naye ametoka huko anataka kupinda naye. Akaona gari lina taa moja tu. Akadhania ni pikipiki na wanaeza pitana vizuri tu. Twa! Dereva huyo alijigonga kwenye gari hilo. Abiria wake akavunjika mguu vibaya sana. Ilikuwa ni huzuni. Walikimbizwa hospitalini. Magari au pikipiki mbovu yafaa ziondolewe barabarani. Msako mkali ufanyike ili kuondoa pikipiki na magari mabovu barabarani bila mapendeleo. Chanzo kingine ni usembe wa kutochukua tahadhari. Wewe kama abiria unaona gari limejaa abiria lakini unapenya tu ili uingie. Gari ni bovu lakini wewe abiria huoni na unajitoma ndani. Ni wewe wa kulaumiwa tu. Mwezi mmoja uliopita ilksikitisha kuona basi moja likizama kwenye mto Uwenzoi. Hii ilitokana na mapuuza ya dereva na abiria wake. Inasemekana kwamba unapoona maji ya urefu wa sentimita kumi, haifai. Kisa cha basi kuzama tulisikia ya kwamba dereva alikuwa amekataa lakini abiria wakamlazimu. Basi lao liliweza kusombwa na maji na watu ishirini wakapoteza maisha yao. Ni manusura tu wanne waliobaki. Na pia imeonekana tu mapuuza hayo si kwa yule dereva tu bali ni kwa kila dereva. Kuna video ziliweza kusambaa unaona madereva wanajaribu kupita mahali ambapo kuna maji mengi. Niliona kuwa kumbe madereva wengi wana mapuuza. Chanzo kingine ni kutokuwa na ukaguzi kabla gari halijaondoka. Ukaguzi huu husaidia kujua idadi ya abiria. Pia ukaguzi husaidia kuona kama gari li salama kwa kutembea kwenye barabara zetu. Kuna changamoto tu moja kwenye huu ukaguzi. Askari wetu wanapenda hongo sana. Wanapokagua gari wanachukua tu pesa. Hawawezi kuangalia makosa ila ni tumbo zao tu. Wakipata yule ambaye anakataa kuwapa pesa, basi wanamshika yeye. Akitoa shilingi hamsini anaachwa. Kumbuka makosa anayotozwa shilingi hamsini ni makosa ambayo akipelekwa kortini atatozwa laki moja. Pia mawazo huchangia kusababisha ajali. Mtu anaweza kufikiria na ajisahau kwamba alikuwa anafikiria. Hii humpelekea yeye kutokuwa na umakini anapoliendesha gari. Unapochukua gari, pikipiki na hata tuktuk yafaa uwe sawa. Unapokuwa kwenye mawazo huenda ukazama huko na kujisahau. Wengine husema kuwa pia hawa wasichana warembo sana husabisha ajali. Wanapokuwa kando kando mwa barabara huku wamevalia nguo fupifupi. Sijui wewe waniunga mkono au la? Kwa asilimia sitini hivi naunga mkono. Hii hutokea kwa wale wavulana wadogo ambao wamo kwenye rika ya kubadilika kwa mwili. Yaani ( adolescence). Hata pia wazee wenye mate. Inanikumbusha ajali moja niliyeishuhudia. Ghulamu mmoja alikuwa akiendesha pikipiki yake. Basi akapita mwanadada aliyekuwa ameumbika kweli kweli. Alikuwa mwenye shingo la upanga. Macho yake ya koloni ilivutia sana. Alikuwa mwenye umbo la wastani na alikamilishwa kwa kiuno cha bunzi. Alikuwa mwenye rangi ya dhahabu. Alipopita kijana huyu alimsalimu. Hakujibu. Akaendelea kumwongelesha huku ameangalia nyuma. "Wewe ni mrembo. Mimi nishakipenda. Kwenu ni wapi? Nikuje nikubebe?" Alimsaili maswali kweli kweli. Na kumbuka anaendesha pikipiki huku ameangalia nyuma. Pa! Aligonga mtini kando ya barabara. Alivunjika vibaya vibaya akawa si wa mchele wala uji. Binti huyo akaanza kulaumiwa bure bilashi. Kwa kweli macho hayana pazia. Alichukuliwa na kupelekwa hospitalini. Ama kweli ulikuwa ni msiba wa kujitakia hauambiwi..... Ni vyema kama tutashirikiana ili kuhakikisha kwamba tunapiga vita hivi vya ajali barabarani. Wengi wameachwa yatima. Wengine wajane. Yote sababu ni ajali hizi. Wasemavyo ajali haina kinga lakini kinga ipo. Kinga ni sisi. Tuzushe tunapoona makosa. Kwani ukimficha fisi atakula wewe.
Kwa nini alipanda pikipiki
{ "text": [ "kwa kuwa yeye ni mraibu wa kutafuta habari" ] }
4823_swa
AKUFAAYE KWA DHIKI NDIYE RAFIKI Nilizoea kucheza na rafiki yangu Musa mchezo wa kukimbizana. Musa alikuwa mnene na mfupi na hivyo mimi ndiye niliyeibuka mshindi kwa mara nyingi kwa kuwa ni gekimbia mbio kumuliko. Musa inasemekana kuwa mma yake alipokuwa amebeba mimba yake alikuwa anakula tu vibanzi na ndicho chanzo Cha kumzaa mtoto mwenye limo kikubwa. Musa shuleni alitambulika kwa jina la mheshimiwa. Nakumbuka jina hili lilianza tukiwa darasa la nne. Mwalimu wetu wa hesabu Bwana Mwirigi alikuwa anaogopewa sana. Alipokuwa darasani ni nadra sana angemaliza kabla atucharaze basi akiuliza swali na tukashindwa kujibu alitutum nje tukakimbia. Tuliporudi aliyekuwa wa mwisho alichapwa kabla mwalimu amchape, mwalimu alimuuliza aliyekuja nambari moja mbona akawa wa kwanza na wengine wakawa wa mwisho basi alijibu kuwa mimi sio mheshimiwa. Kila mtu aliangua kicheko na hivyo ndivyo Musa alipata jina la kilakabu la Mheshimiwa. Tulizoeana na Musa mpaka tukahitimu kidato cha nne. Hatukufeli mtihani na hivyo wote tulijiunga vyuo vikuu. Ilikuwa sadfa mimi na Musa tukajipata chuo kimoja. Chuoni mimi nilisomea udaktari naye Musa kasomea uwakili. Tulitia fora masomomi bila kulegeza kama. Tulikuwa wembe darasani na basi tulijinyakulia nafasi tele za kuwalisha chuo katika mashindano mbalimbali nchini na hata nje ya nchi. Tulipofika mwaka wa Tano tuliamua kuishi nje ya shule basi mimi na Musa tukaagana kuwa tungetafuta nyumba na tuishi pamoja kwa kuwa tayari tulikuwa tumeshazoeana basi kuishi pamoja halingekuwa tatizo. Tulipata nyumba na tukaanza kusukuma maisha. Hatukuwahi kosana na Musa hata siku moja. Ingawa tulikuwa na tofauti ndogondogo basi Hilo halikuleta uadui kati yetu. Tuliendelea kuishi kama ndugu wa toka nitoke. Musa alifurahi sana nilipomwita ndugu na basi nikafanya mazoea ya kumwita ndugu yangu. Nilifanya hivyo kwa muda mrefu hadi pale wazo fulani likinijia akilini. Nikitaka sana kujua rafiki wangu wa kweli. Nilikuwa natangamana na watu wengi mno na nikitaka kujua ni nani mkweli. Ingawa tulikuwa tumejuana na Musa kwa muda mrefu sikuwa nafahamu kama upendo wake kwangu ulikuwa wa kweli ama uongo tu. Basi nilimtafutia namna. Niliamua kudanganya. Nilisema kuwa nimeanza kuugua. Nilienda hospitalini huko wakasema kuwa ufigo wangu ulikuwa na tatizo na ilibidi nibadilishiwe figo la si hivyo ningeaga dunia. Madaktari walitaka ubadilishaji wa figo ifanyike kwa haraka mno kwa kuwa maisha yangu yalikuwa hatarini. Basi Musa aliwajuvya wazazi wangu kuhusu hali yangu. Mama na baba walifika mtaani haraka iwezekanavyo. Mama alikuwa tayari kutoa yake ili niwekewe angalau niishi. Madaktari walikataa kuwa singeweza kupewa figo na mtu wa familia na basi ilibidi watafute mtu wa nje. Mtu ambaye alikuwa anatazamiwa ni Musa Musa alioimwa na basi ikatambulika kuwa anaweza akanipa figo na ikanifaa. Musa aliposikia havari hizo hakuoinga alisema kuwa alikuwa aende kufanya matayarisho ili arejee siku moja kabla ya upasuaji. Basi tulisubiri mimi na familia yangu. Siku ya kuja ya Musa iliwadia na hakuonekana. Tulijaribu kumpigia simu ila simu yake ilikuwa mteja . Uwoga ukawaigia wazazi na ikawalazimu kuchapisha havari hiyo kwa mtandao. Hali yangu ilikuwa imezidi kuzorota zaidi na madaktari wakasema kuwa nilikuwa nachungulia kabuti. Nakumbuka ilikuwa siku ya Jumanne. Dola akaingia hospitalini na kuomba aweze kuonana nami. Dola alikuwa rafiki yangu ila tukikosana na basi tukawa hatuongeleshani tena. Nakumbuka aliwahi niambia kuwa Musa alikuwa anisema vibaya basi nijihadhari naye ila mimi nikakuwa zuzu na nikamweleza havari hizo pamoja na aliyenijuza. Musa alimkemea na Hilo likajenga uadua baina yangu na Dola. Dola alipewa nafasi akaja kuniona. Alipoingia nilidhani alikuwa amekuja kuniombea mabaya ama kinikemea kwa kumusaliti ila hayo yalikuwa kinyume. Aliniuliza na kunipa moyo kisha akauliza Daktari ikiwa anaweza akatoa ufigo wake ili niwekewe. Sikuamini maskio yangu. Dola alioimwa na kuambiwa kuwa anaweza akatoa figo kwangu. Siku iliyofuata Dola alikuja mapema sana akiwa tayari. Aliketi nje akisubiri kuingia chumba Cha upasuaji. Akaingizwa ndani alipokuwa ndani nikatokea mlangoni. Hakuamini, alitoka kitandani na kuuliza ikiwa alikuwa anaona mambo ya kweli ama ni ndoto. "Nimeamini wewe ndiwe rafiki wa kweli Dola, sikuamini nachukia rafiki wa kweli na kumpenda mbwa mwitu aliyekuwa kwenye ngozi ya kondoo" Dola alinikumbayia na kusema kuwa hakudhani kuna rafiki mwingine ambaye angenifanana. Wazazi wangu walitabasamu. Tuliondoka hospitalini na Dola na nilikuwa nimetambua kuwa yeye ndiye aliyekuwa rafiki wa kweli. Tulipowadia nyumbani tulifanya sherehe . Musa hakuwahi rejea kwangu nilipofika chumbani nilipata alishahama. Tukawa tunaonana kwa umbali. Naye Dola akawa rafiki wa kipekee. Ama kweli akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki.
Alizoea kucheza na rafiki yake Musa mchezo upi
{ "text": [ "kukimbizana" ] }
4823_swa
AKUFAAYE KWA DHIKI NDIYE RAFIKI Nilizoea kucheza na rafiki yangu Musa mchezo wa kukimbizana. Musa alikuwa mnene na mfupi na hivyo mimi ndiye niliyeibuka mshindi kwa mara nyingi kwa kuwa ni gekimbia mbio kumuliko. Musa inasemekana kuwa mma yake alipokuwa amebeba mimba yake alikuwa anakula tu vibanzi na ndicho chanzo Cha kumzaa mtoto mwenye limo kikubwa. Musa shuleni alitambulika kwa jina la mheshimiwa. Nakumbuka jina hili lilianza tukiwa darasa la nne. Mwalimu wetu wa hesabu Bwana Mwirigi alikuwa anaogopewa sana. Alipokuwa darasani ni nadra sana angemaliza kabla atucharaze basi akiuliza swali na tukashindwa kujibu alitutum nje tukakimbia. Tuliporudi aliyekuwa wa mwisho alichapwa kabla mwalimu amchape, mwalimu alimuuliza aliyekuja nambari moja mbona akawa wa kwanza na wengine wakawa wa mwisho basi alijibu kuwa mimi sio mheshimiwa. Kila mtu aliangua kicheko na hivyo ndivyo Musa alipata jina la kilakabu la Mheshimiwa. Tulizoeana na Musa mpaka tukahitimu kidato cha nne. Hatukufeli mtihani na hivyo wote tulijiunga vyuo vikuu. Ilikuwa sadfa mimi na Musa tukajipata chuo kimoja. Chuoni mimi nilisomea udaktari naye Musa kasomea uwakili. Tulitia fora masomomi bila kulegeza kama. Tulikuwa wembe darasani na basi tulijinyakulia nafasi tele za kuwalisha chuo katika mashindano mbalimbali nchini na hata nje ya nchi. Tulipofika mwaka wa Tano tuliamua kuishi nje ya shule basi mimi na Musa tukaagana kuwa tungetafuta nyumba na tuishi pamoja kwa kuwa tayari tulikuwa tumeshazoeana basi kuishi pamoja halingekuwa tatizo. Tulipata nyumba na tukaanza kusukuma maisha. Hatukuwahi kosana na Musa hata siku moja. Ingawa tulikuwa na tofauti ndogondogo basi Hilo halikuleta uadui kati yetu. Tuliendelea kuishi kama ndugu wa toka nitoke. Musa alifurahi sana nilipomwita ndugu na basi nikafanya mazoea ya kumwita ndugu yangu. Nilifanya hivyo kwa muda mrefu hadi pale wazo fulani likinijia akilini. Nikitaka sana kujua rafiki wangu wa kweli. Nilikuwa natangamana na watu wengi mno na nikitaka kujua ni nani mkweli. Ingawa tulikuwa tumejuana na Musa kwa muda mrefu sikuwa nafahamu kama upendo wake kwangu ulikuwa wa kweli ama uongo tu. Basi nilimtafutia namna. Niliamua kudanganya. Nilisema kuwa nimeanza kuugua. Nilienda hospitalini huko wakasema kuwa ufigo wangu ulikuwa na tatizo na ilibidi nibadilishiwe figo la si hivyo ningeaga dunia. Madaktari walitaka ubadilishaji wa figo ifanyike kwa haraka mno kwa kuwa maisha yangu yalikuwa hatarini. Basi Musa aliwajuvya wazazi wangu kuhusu hali yangu. Mama na baba walifika mtaani haraka iwezekanavyo. Mama alikuwa tayari kutoa yake ili niwekewe angalau niishi. Madaktari walikataa kuwa singeweza kupewa figo na mtu wa familia na basi ilibidi watafute mtu wa nje. Mtu ambaye alikuwa anatazamiwa ni Musa Musa alioimwa na basi ikatambulika kuwa anaweza akanipa figo na ikanifaa. Musa aliposikia havari hizo hakuoinga alisema kuwa alikuwa aende kufanya matayarisho ili arejee siku moja kabla ya upasuaji. Basi tulisubiri mimi na familia yangu. Siku ya kuja ya Musa iliwadia na hakuonekana. Tulijaribu kumpigia simu ila simu yake ilikuwa mteja . Uwoga ukawaigia wazazi na ikawalazimu kuchapisha havari hiyo kwa mtandao. Hali yangu ilikuwa imezidi kuzorota zaidi na madaktari wakasema kuwa nilikuwa nachungulia kabuti. Nakumbuka ilikuwa siku ya Jumanne. Dola akaingia hospitalini na kuomba aweze kuonana nami. Dola alikuwa rafiki yangu ila tukikosana na basi tukawa hatuongeleshani tena. Nakumbuka aliwahi niambia kuwa Musa alikuwa anisema vibaya basi nijihadhari naye ila mimi nikakuwa zuzu na nikamweleza havari hizo pamoja na aliyenijuza. Musa alimkemea na Hilo likajenga uadua baina yangu na Dola. Dola alipewa nafasi akaja kuniona. Alipoingia nilidhani alikuwa amekuja kuniombea mabaya ama kinikemea kwa kumusaliti ila hayo yalikuwa kinyume. Aliniuliza na kunipa moyo kisha akauliza Daktari ikiwa anaweza akatoa ufigo wake ili niwekewe. Sikuamini maskio yangu. Dola alioimwa na kuambiwa kuwa anaweza akatoa figo kwangu. Siku iliyofuata Dola alikuja mapema sana akiwa tayari. Aliketi nje akisubiri kuingia chumba Cha upasuaji. Akaingizwa ndani alipokuwa ndani nikatokea mlangoni. Hakuamini, alitoka kitandani na kuuliza ikiwa alikuwa anaona mambo ya kweli ama ni ndoto. "Nimeamini wewe ndiwe rafiki wa kweli Dola, sikuamini nachukia rafiki wa kweli na kumpenda mbwa mwitu aliyekuwa kwenye ngozi ya kondoo" Dola alinikumbayia na kusema kuwa hakudhani kuna rafiki mwingine ambaye angenifanana. Wazazi wangu walitabasamu. Tuliondoka hospitalini na Dola na nilikuwa nimetambua kuwa yeye ndiye aliyekuwa rafiki wa kweli. Tulipowadia nyumbani tulifanya sherehe . Musa hakuwahi rejea kwangu nilipofika chumbani nilipata alishahama. Tukawa tunaonana kwa umbali. Naye Dola akawa rafiki wa kipekee. Ama kweli akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki.
walizoeana na Musa mpaka wakahitimu kidato kipi
{ "text": [ "Cha nne" ] }
4823_swa
AKUFAAYE KWA DHIKI NDIYE RAFIKI Nilizoea kucheza na rafiki yangu Musa mchezo wa kukimbizana. Musa alikuwa mnene na mfupi na hivyo mimi ndiye niliyeibuka mshindi kwa mara nyingi kwa kuwa ni gekimbia mbio kumuliko. Musa inasemekana kuwa mma yake alipokuwa amebeba mimba yake alikuwa anakula tu vibanzi na ndicho chanzo Cha kumzaa mtoto mwenye limo kikubwa. Musa shuleni alitambulika kwa jina la mheshimiwa. Nakumbuka jina hili lilianza tukiwa darasa la nne. Mwalimu wetu wa hesabu Bwana Mwirigi alikuwa anaogopewa sana. Alipokuwa darasani ni nadra sana angemaliza kabla atucharaze basi akiuliza swali na tukashindwa kujibu alitutum nje tukakimbia. Tuliporudi aliyekuwa wa mwisho alichapwa kabla mwalimu amchape, mwalimu alimuuliza aliyekuja nambari moja mbona akawa wa kwanza na wengine wakawa wa mwisho basi alijibu kuwa mimi sio mheshimiwa. Kila mtu aliangua kicheko na hivyo ndivyo Musa alipata jina la kilakabu la Mheshimiwa. Tulizoeana na Musa mpaka tukahitimu kidato cha nne. Hatukufeli mtihani na hivyo wote tulijiunga vyuo vikuu. Ilikuwa sadfa mimi na Musa tukajipata chuo kimoja. Chuoni mimi nilisomea udaktari naye Musa kasomea uwakili. Tulitia fora masomomi bila kulegeza kama. Tulikuwa wembe darasani na basi tulijinyakulia nafasi tele za kuwalisha chuo katika mashindano mbalimbali nchini na hata nje ya nchi. Tulipofika mwaka wa Tano tuliamua kuishi nje ya shule basi mimi na Musa tukaagana kuwa tungetafuta nyumba na tuishi pamoja kwa kuwa tayari tulikuwa tumeshazoeana basi kuishi pamoja halingekuwa tatizo. Tulipata nyumba na tukaanza kusukuma maisha. Hatukuwahi kosana na Musa hata siku moja. Ingawa tulikuwa na tofauti ndogondogo basi Hilo halikuleta uadui kati yetu. Tuliendelea kuishi kama ndugu wa toka nitoke. Musa alifurahi sana nilipomwita ndugu na basi nikafanya mazoea ya kumwita ndugu yangu. Nilifanya hivyo kwa muda mrefu hadi pale wazo fulani likinijia akilini. Nikitaka sana kujua rafiki wangu wa kweli. Nilikuwa natangamana na watu wengi mno na nikitaka kujua ni nani mkweli. Ingawa tulikuwa tumejuana na Musa kwa muda mrefu sikuwa nafahamu kama upendo wake kwangu ulikuwa wa kweli ama uongo tu. Basi nilimtafutia namna. Niliamua kudanganya. Nilisema kuwa nimeanza kuugua. Nilienda hospitalini huko wakasema kuwa ufigo wangu ulikuwa na tatizo na ilibidi nibadilishiwe figo la si hivyo ningeaga dunia. Madaktari walitaka ubadilishaji wa figo ifanyike kwa haraka mno kwa kuwa maisha yangu yalikuwa hatarini. Basi Musa aliwajuvya wazazi wangu kuhusu hali yangu. Mama na baba walifika mtaani haraka iwezekanavyo. Mama alikuwa tayari kutoa yake ili niwekewe angalau niishi. Madaktari walikataa kuwa singeweza kupewa figo na mtu wa familia na basi ilibidi watafute mtu wa nje. Mtu ambaye alikuwa anatazamiwa ni Musa Musa alioimwa na basi ikatambulika kuwa anaweza akanipa figo na ikanifaa. Musa aliposikia havari hizo hakuoinga alisema kuwa alikuwa aende kufanya matayarisho ili arejee siku moja kabla ya upasuaji. Basi tulisubiri mimi na familia yangu. Siku ya kuja ya Musa iliwadia na hakuonekana. Tulijaribu kumpigia simu ila simu yake ilikuwa mteja . Uwoga ukawaigia wazazi na ikawalazimu kuchapisha havari hiyo kwa mtandao. Hali yangu ilikuwa imezidi kuzorota zaidi na madaktari wakasema kuwa nilikuwa nachungulia kabuti. Nakumbuka ilikuwa siku ya Jumanne. Dola akaingia hospitalini na kuomba aweze kuonana nami. Dola alikuwa rafiki yangu ila tukikosana na basi tukawa hatuongeleshani tena. Nakumbuka aliwahi niambia kuwa Musa alikuwa anisema vibaya basi nijihadhari naye ila mimi nikakuwa zuzu na nikamweleza havari hizo pamoja na aliyenijuza. Musa alimkemea na Hilo likajenga uadua baina yangu na Dola. Dola alipewa nafasi akaja kuniona. Alipoingia nilidhani alikuwa amekuja kuniombea mabaya ama kinikemea kwa kumusaliti ila hayo yalikuwa kinyume. Aliniuliza na kunipa moyo kisha akauliza Daktari ikiwa anaweza akatoa ufigo wake ili niwekewe. Sikuamini maskio yangu. Dola alioimwa na kuambiwa kuwa anaweza akatoa figo kwangu. Siku iliyofuata Dola alikuja mapema sana akiwa tayari. Aliketi nje akisubiri kuingia chumba Cha upasuaji. Akaingizwa ndani alipokuwa ndani nikatokea mlangoni. Hakuamini, alitoka kitandani na kuuliza ikiwa alikuwa anaona mambo ya kweli ama ni ndoto. "Nimeamini wewe ndiwe rafiki wa kweli Dola, sikuamini nachukia rafiki wa kweli na kumpenda mbwa mwitu aliyekuwa kwenye ngozi ya kondoo" Dola alinikumbayia na kusema kuwa hakudhani kuna rafiki mwingine ambaye angenifanana. Wazazi wangu walitabasamu. Tuliondoka hospitalini na Dola na nilikuwa nimetambua kuwa yeye ndiye aliyekuwa rafiki wa kweli. Tulipowadia nyumbani tulifanya sherehe . Musa hakuwahi rejea kwangu nilipofika chumbani nilipata alishahama. Tukawa tunaonana kwa umbali. Naye Dola akawa rafiki wa kipekee. Ama kweli akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki.
Madaktari walitaka ubadilishaji wa nini
{ "text": [ "Figo" ] }
4823_swa
AKUFAAYE KWA DHIKI NDIYE RAFIKI Nilizoea kucheza na rafiki yangu Musa mchezo wa kukimbizana. Musa alikuwa mnene na mfupi na hivyo mimi ndiye niliyeibuka mshindi kwa mara nyingi kwa kuwa ni gekimbia mbio kumuliko. Musa inasemekana kuwa mma yake alipokuwa amebeba mimba yake alikuwa anakula tu vibanzi na ndicho chanzo Cha kumzaa mtoto mwenye limo kikubwa. Musa shuleni alitambulika kwa jina la mheshimiwa. Nakumbuka jina hili lilianza tukiwa darasa la nne. Mwalimu wetu wa hesabu Bwana Mwirigi alikuwa anaogopewa sana. Alipokuwa darasani ni nadra sana angemaliza kabla atucharaze basi akiuliza swali na tukashindwa kujibu alitutum nje tukakimbia. Tuliporudi aliyekuwa wa mwisho alichapwa kabla mwalimu amchape, mwalimu alimuuliza aliyekuja nambari moja mbona akawa wa kwanza na wengine wakawa wa mwisho basi alijibu kuwa mimi sio mheshimiwa. Kila mtu aliangua kicheko na hivyo ndivyo Musa alipata jina la kilakabu la Mheshimiwa. Tulizoeana na Musa mpaka tukahitimu kidato cha nne. Hatukufeli mtihani na hivyo wote tulijiunga vyuo vikuu. Ilikuwa sadfa mimi na Musa tukajipata chuo kimoja. Chuoni mimi nilisomea udaktari naye Musa kasomea uwakili. Tulitia fora masomomi bila kulegeza kama. Tulikuwa wembe darasani na basi tulijinyakulia nafasi tele za kuwalisha chuo katika mashindano mbalimbali nchini na hata nje ya nchi. Tulipofika mwaka wa Tano tuliamua kuishi nje ya shule basi mimi na Musa tukaagana kuwa tungetafuta nyumba na tuishi pamoja kwa kuwa tayari tulikuwa tumeshazoeana basi kuishi pamoja halingekuwa tatizo. Tulipata nyumba na tukaanza kusukuma maisha. Hatukuwahi kosana na Musa hata siku moja. Ingawa tulikuwa na tofauti ndogondogo basi Hilo halikuleta uadui kati yetu. Tuliendelea kuishi kama ndugu wa toka nitoke. Musa alifurahi sana nilipomwita ndugu na basi nikafanya mazoea ya kumwita ndugu yangu. Nilifanya hivyo kwa muda mrefu hadi pale wazo fulani likinijia akilini. Nikitaka sana kujua rafiki wangu wa kweli. Nilikuwa natangamana na watu wengi mno na nikitaka kujua ni nani mkweli. Ingawa tulikuwa tumejuana na Musa kwa muda mrefu sikuwa nafahamu kama upendo wake kwangu ulikuwa wa kweli ama uongo tu. Basi nilimtafutia namna. Niliamua kudanganya. Nilisema kuwa nimeanza kuugua. Nilienda hospitalini huko wakasema kuwa ufigo wangu ulikuwa na tatizo na ilibidi nibadilishiwe figo la si hivyo ningeaga dunia. Madaktari walitaka ubadilishaji wa figo ifanyike kwa haraka mno kwa kuwa maisha yangu yalikuwa hatarini. Basi Musa aliwajuvya wazazi wangu kuhusu hali yangu. Mama na baba walifika mtaani haraka iwezekanavyo. Mama alikuwa tayari kutoa yake ili niwekewe angalau niishi. Madaktari walikataa kuwa singeweza kupewa figo na mtu wa familia na basi ilibidi watafute mtu wa nje. Mtu ambaye alikuwa anatazamiwa ni Musa Musa alioimwa na basi ikatambulika kuwa anaweza akanipa figo na ikanifaa. Musa aliposikia havari hizo hakuoinga alisema kuwa alikuwa aende kufanya matayarisho ili arejee siku moja kabla ya upasuaji. Basi tulisubiri mimi na familia yangu. Siku ya kuja ya Musa iliwadia na hakuonekana. Tulijaribu kumpigia simu ila simu yake ilikuwa mteja . Uwoga ukawaigia wazazi na ikawalazimu kuchapisha havari hiyo kwa mtandao. Hali yangu ilikuwa imezidi kuzorota zaidi na madaktari wakasema kuwa nilikuwa nachungulia kabuti. Nakumbuka ilikuwa siku ya Jumanne. Dola akaingia hospitalini na kuomba aweze kuonana nami. Dola alikuwa rafiki yangu ila tukikosana na basi tukawa hatuongeleshani tena. Nakumbuka aliwahi niambia kuwa Musa alikuwa anisema vibaya basi nijihadhari naye ila mimi nikakuwa zuzu na nikamweleza havari hizo pamoja na aliyenijuza. Musa alimkemea na Hilo likajenga uadua baina yangu na Dola. Dola alipewa nafasi akaja kuniona. Alipoingia nilidhani alikuwa amekuja kuniombea mabaya ama kinikemea kwa kumusaliti ila hayo yalikuwa kinyume. Aliniuliza na kunipa moyo kisha akauliza Daktari ikiwa anaweza akatoa ufigo wake ili niwekewe. Sikuamini maskio yangu. Dola alioimwa na kuambiwa kuwa anaweza akatoa figo kwangu. Siku iliyofuata Dola alikuja mapema sana akiwa tayari. Aliketi nje akisubiri kuingia chumba Cha upasuaji. Akaingizwa ndani alipokuwa ndani nikatokea mlangoni. Hakuamini, alitoka kitandani na kuuliza ikiwa alikuwa anaona mambo ya kweli ama ni ndoto. "Nimeamini wewe ndiwe rafiki wa kweli Dola, sikuamini nachukia rafiki wa kweli na kumpenda mbwa mwitu aliyekuwa kwenye ngozi ya kondoo" Dola alinikumbayia na kusema kuwa hakudhani kuna rafiki mwingine ambaye angenifanana. Wazazi wangu walitabasamu. Tuliondoka hospitalini na Dola na nilikuwa nimetambua kuwa yeye ndiye aliyekuwa rafiki wa kweli. Tulipowadia nyumbani tulifanya sherehe . Musa hakuwahi rejea kwangu nilipofika chumbani nilipata alishahama. Tukawa tunaonana kwa umbali. Naye Dola akawa rafiki wa kipekee. Ama kweli akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki.
Nani aliiingia hospitalini na kuomba aweze kuonana naye
{ "text": [ "Dola " ] }
4823_swa
AKUFAAYE KWA DHIKI NDIYE RAFIKI Nilizoea kucheza na rafiki yangu Musa mchezo wa kukimbizana. Musa alikuwa mnene na mfupi na hivyo mimi ndiye niliyeibuka mshindi kwa mara nyingi kwa kuwa ni gekimbia mbio kumuliko. Musa inasemekana kuwa mma yake alipokuwa amebeba mimba yake alikuwa anakula tu vibanzi na ndicho chanzo Cha kumzaa mtoto mwenye limo kikubwa. Musa shuleni alitambulika kwa jina la mheshimiwa. Nakumbuka jina hili lilianza tukiwa darasa la nne. Mwalimu wetu wa hesabu Bwana Mwirigi alikuwa anaogopewa sana. Alipokuwa darasani ni nadra sana angemaliza kabla atucharaze basi akiuliza swali na tukashindwa kujibu alitutum nje tukakimbia. Tuliporudi aliyekuwa wa mwisho alichapwa kabla mwalimu amchape, mwalimu alimuuliza aliyekuja nambari moja mbona akawa wa kwanza na wengine wakawa wa mwisho basi alijibu kuwa mimi sio mheshimiwa. Kila mtu aliangua kicheko na hivyo ndivyo Musa alipata jina la kilakabu la Mheshimiwa. Tulizoeana na Musa mpaka tukahitimu kidato cha nne. Hatukufeli mtihani na hivyo wote tulijiunga vyuo vikuu. Ilikuwa sadfa mimi na Musa tukajipata chuo kimoja. Chuoni mimi nilisomea udaktari naye Musa kasomea uwakili. Tulitia fora masomomi bila kulegeza kama. Tulikuwa wembe darasani na basi tulijinyakulia nafasi tele za kuwalisha chuo katika mashindano mbalimbali nchini na hata nje ya nchi. Tulipofika mwaka wa Tano tuliamua kuishi nje ya shule basi mimi na Musa tukaagana kuwa tungetafuta nyumba na tuishi pamoja kwa kuwa tayari tulikuwa tumeshazoeana basi kuishi pamoja halingekuwa tatizo. Tulipata nyumba na tukaanza kusukuma maisha. Hatukuwahi kosana na Musa hata siku moja. Ingawa tulikuwa na tofauti ndogondogo basi Hilo halikuleta uadui kati yetu. Tuliendelea kuishi kama ndugu wa toka nitoke. Musa alifurahi sana nilipomwita ndugu na basi nikafanya mazoea ya kumwita ndugu yangu. Nilifanya hivyo kwa muda mrefu hadi pale wazo fulani likinijia akilini. Nikitaka sana kujua rafiki wangu wa kweli. Nilikuwa natangamana na watu wengi mno na nikitaka kujua ni nani mkweli. Ingawa tulikuwa tumejuana na Musa kwa muda mrefu sikuwa nafahamu kama upendo wake kwangu ulikuwa wa kweli ama uongo tu. Basi nilimtafutia namna. Niliamua kudanganya. Nilisema kuwa nimeanza kuugua. Nilienda hospitalini huko wakasema kuwa ufigo wangu ulikuwa na tatizo na ilibidi nibadilishiwe figo la si hivyo ningeaga dunia. Madaktari walitaka ubadilishaji wa figo ifanyike kwa haraka mno kwa kuwa maisha yangu yalikuwa hatarini. Basi Musa aliwajuvya wazazi wangu kuhusu hali yangu. Mama na baba walifika mtaani haraka iwezekanavyo. Mama alikuwa tayari kutoa yake ili niwekewe angalau niishi. Madaktari walikataa kuwa singeweza kupewa figo na mtu wa familia na basi ilibidi watafute mtu wa nje. Mtu ambaye alikuwa anatazamiwa ni Musa Musa alioimwa na basi ikatambulika kuwa anaweza akanipa figo na ikanifaa. Musa aliposikia havari hizo hakuoinga alisema kuwa alikuwa aende kufanya matayarisho ili arejee siku moja kabla ya upasuaji. Basi tulisubiri mimi na familia yangu. Siku ya kuja ya Musa iliwadia na hakuonekana. Tulijaribu kumpigia simu ila simu yake ilikuwa mteja . Uwoga ukawaigia wazazi na ikawalazimu kuchapisha havari hiyo kwa mtandao. Hali yangu ilikuwa imezidi kuzorota zaidi na madaktari wakasema kuwa nilikuwa nachungulia kabuti. Nakumbuka ilikuwa siku ya Jumanne. Dola akaingia hospitalini na kuomba aweze kuonana nami. Dola alikuwa rafiki yangu ila tukikosana na basi tukawa hatuongeleshani tena. Nakumbuka aliwahi niambia kuwa Musa alikuwa anisema vibaya basi nijihadhari naye ila mimi nikakuwa zuzu na nikamweleza havari hizo pamoja na aliyenijuza. Musa alimkemea na Hilo likajenga uadua baina yangu na Dola. Dola alipewa nafasi akaja kuniona. Alipoingia nilidhani alikuwa amekuja kuniombea mabaya ama kinikemea kwa kumusaliti ila hayo yalikuwa kinyume. Aliniuliza na kunipa moyo kisha akauliza Daktari ikiwa anaweza akatoa ufigo wake ili niwekewe. Sikuamini maskio yangu. Dola alioimwa na kuambiwa kuwa anaweza akatoa figo kwangu. Siku iliyofuata Dola alikuja mapema sana akiwa tayari. Aliketi nje akisubiri kuingia chumba Cha upasuaji. Akaingizwa ndani alipokuwa ndani nikatokea mlangoni. Hakuamini, alitoka kitandani na kuuliza ikiwa alikuwa anaona mambo ya kweli ama ni ndoto. "Nimeamini wewe ndiwe rafiki wa kweli Dola, sikuamini nachukia rafiki wa kweli na kumpenda mbwa mwitu aliyekuwa kwenye ngozi ya kondoo" Dola alinikumbayia na kusema kuwa hakudhani kuna rafiki mwingine ambaye angenifanana. Wazazi wangu walitabasamu. Tuliondoka hospitalini na Dola na nilikuwa nimetambua kuwa yeye ndiye aliyekuwa rafiki wa kweli. Tulipowadia nyumbani tulifanya sherehe . Musa hakuwahi rejea kwangu nilipofika chumbani nilipata alishahama. Tukawa tunaonana kwa umbali. Naye Dola akawa rafiki wa kipekee. Ama kweli akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki.
Kwa nini Dola alikuwa rafiki wa kweli
{ "text": [ "Alikuwa tayari kutolewa figo ili ampe Dola" ] }
4824_swa
BAHATI YA BAHATI. Katika Kaya ya Tundaua palisakini binti bashashi aliyekuwa na uzuri wa malaika.Kukopolewa kwake ilikuwa furaha isiyomithilika katika aila iliyoishi wapenzi wawili Bi.Mrashi na Bwana Makame.Baada ya kusali kwa muda wa miongo kadhaa baada ya akidi yao,Maulana aliwajaalia mtoto wa kipekee wakamwita Bahati.Kwa kweli alikuwa Bahati,alioana na jina lake alilopewa si bahati ya uzuri si bahati ya tabia,si bahati ya maisha,almuradi bahati.Mungu ampe nini amnyime nini Bahati! Wazazi,wanakijiji,ndugu na jamaa walimpenda na kumuenzi Bahati kama mboni za macho yao.Akalelewa na kila mmoja,hatimae alikuwa mtoto bora na sio bora mtoto.Maadili aliyokuwa nayo ungedhani sufii.Ushungi,nikabu na buibui havikumng’oka mwilini,viligandana nae na kumgandama kama kupe amgandavyo mnyama.Ama kweli alikuwa wakupigiwa mfano na wakuigwa Bahati.Waama,chenye sifa kipewe sifa. Siku zikapita,miaka ikapereji na kuwa miezi,miezi nayo ikavunja ungo na kuwa wiki,wiki zikavutana na kuwa siku na siku ikawa saa na saa haikusubiri kuwa dakika na hatimae sekunde.Kufumba na kufumbua,Bahati alikamilisha masomo yake ya shule ya upili na kufaulu vyema.Kila mmoja katika kijiji chao alifurahi na kujivunia matokeo ya binti huyo.Bahati alipata bahati ya kujiunga na Chuo kikuu cha Pwani huko mjini Kilifi katika mji wa kusini mwa Mombasa nchini Kenya.Matarajio na ndoto za Bahati kuwa mwanakilimo bora zilionekana zikikamilika baada ya muda mfupi tu ambao ungefuata.Kwani hakuna mwanzo ukosao mwisho.Nayo matunda yalikaribia. Baada ya Bahati kujiunga na Chuo hicho kinachosifika kwa ukulima nchini Kenya,Bahati aliwahakikishia wanakaria wote kuwa angefanya bidii ya mchwa ajengaye kichuguu kwa mate na kurudisha nyumbani mafanikio na kutia faraja katika mioyo ya wanatundauwa wote.Lakini haya yalianza kubadilika punde tu Bahati alipoanza kutamani maisha ya raha na kusahau lengo na ahadi aliyoieka hapo mwanzoni,ni kweli muda si rafiki. Bahati alianza kufuatana na wanafunzi waliopenda starehe.Na kwa kuwa hakukuwa na mtu yeyote wakumwangalia na kumwongoza,Bahati alilivua shungi na buibui akaingia mjini.Akavaa nguo zilizomwonyesha sehemu zake ambazo hazikuwa za siri tena kwani zilionekana parwanja.Akatumia kila Aina ya ulevi,akatumia mirungi na ‘mgokaa’ ungedhani mbuzi kwa mitafuno yake.Akavuta bangi na sigara kweupe hadharani.Kwenye kumbi za starehe alionekana akinengua kila miondoko,akaanza kazi ya nipe nikupe,sikuambii ukahaba. Akaonekana na kila aina ya mwanaune si kimbau mbau si mnene kama tembo,si mrefu kama twiga si mfupi kama nyundo,ilimradi mwenye pesa basi alienda nae na kumstarehesha.sasa Bahati akawa bahari,akameza kila kitu asishibe,naye akawa gwiji mjini.Tabia mbovu zikashika usukani na kumwongoza,neno tabia njema likasahaulika katika kamusi ya akili yake,maadili likawa neno geni kwake Kwa maana uzinzi na starehe mbovu zilishika usukani na kumwongoza,akajifanya hamnazo kucheza ngoma atakazo. Habari zilienea katika kijiji chao kama moto nyikani.Wazazi wake na wazee waliomtambua walimpa nasaha lakini ikawa ni mfano kumpigia mbuzi zeze ili acheze.Kwa kweli hakuna aliyemtamani,kwani tabia zake zilinuka mf!kama kidonda kilichooza kwa usaha.Akawa hasikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini.Kibaoni alipofanyia biashara yake ya kubadilisha mwili Kwa fedha alipaona hapana hadhi tena akaaamua kuguria Mtwapa. Sehemu iliyojulikana kwa jina maarufu ‘posta' pakawa makaazi yake hasa.Mchana ukawa usiku kwake na usiku kuwa mchana.Akapatana na umati wa mabaghiya.Akafanya kazi yake hiyo nao kwa muda wa miaka kadhaa.Wazazi wake waliamua afunzwe na ulimwengu baada ya kuamua kuachana na masomo.Nao ulimwengu shujaa binadamu hadaa.Bahati alipata ujauzito asimjue aliyempa ujauzito huo.Kila mmoja akamtenga wakati huo wa dhiki.Ghafla stendi ya basi za ‘Tahmeed' kwa nyambura ikawa sehemu yake ya kujihifadhia.Muda mwingine mvua za masika zilimnyeshea kupita kiasi. Wasiomjua walimwonea huruma lakini hakuna hata mmoja aliyemsaidia.Waliomjua walisema mwiba wa kujidunga hauambiwi pole na kichwa kisichoakili huumiza mwili.Bahati akapata bahati ya kuchukuliwa na msamaria mwema alipougulia uchungu akakimbizwa iliko zahanati ya Jambo Jipya.Bahati alijifungua salama salimini kitoto cha kike,chakusikitisha ni kuwa aligunduliwa alikuwa ameathirika kwa muda mrefu.Ama kweli starehe gharama,kwani ilimgharimu maisha na wakati. Bahati alijuwa kuwa ng’ombe avunjikapo mguu hukimbilia zizini.Akaamua kurudi nyumbani kwao Tundauwa ili akawaombe radhi wazazi wake na wanakijiji wenzake.Pia aliamua kubadilisha mwendo wa maisha yake na kumrudia Muumba wake baada ya kupewa nasaha lufufu na daktari.Akaanza kutumia dawa na kufuata masharti yote kwa umakini ili kuhakikisha usalama wa maisha yake.’Mtoto akinyea paja halikatwi’.Wazazi wake walimpokea kwa mikono miwili mwana wao wa pekee na mjukuu wao waliomwita Tunu.Mzee Makame akapata mke wa pili.Sasa naamini damu nzito kuliko maji.
Bi.Mrashi na Bwana Makame walijaliwa kupata mtoto wa kike aliyeitwaje?
{ "text": [ "Bahati" ] }
4824_swa
BAHATI YA BAHATI. Katika Kaya ya Tundaua palisakini binti bashashi aliyekuwa na uzuri wa malaika.Kukopolewa kwake ilikuwa furaha isiyomithilika katika aila iliyoishi wapenzi wawili Bi.Mrashi na Bwana Makame.Baada ya kusali kwa muda wa miongo kadhaa baada ya akidi yao,Maulana aliwajaalia mtoto wa kipekee wakamwita Bahati.Kwa kweli alikuwa Bahati,alioana na jina lake alilopewa si bahati ya uzuri si bahati ya tabia,si bahati ya maisha,almuradi bahati.Mungu ampe nini amnyime nini Bahati! Wazazi,wanakijiji,ndugu na jamaa walimpenda na kumuenzi Bahati kama mboni za macho yao.Akalelewa na kila mmoja,hatimae alikuwa mtoto bora na sio bora mtoto.Maadili aliyokuwa nayo ungedhani sufii.Ushungi,nikabu na buibui havikumng’oka mwilini,viligandana nae na kumgandama kama kupe amgandavyo mnyama.Ama kweli alikuwa wakupigiwa mfano na wakuigwa Bahati.Waama,chenye sifa kipewe sifa. Siku zikapita,miaka ikapereji na kuwa miezi,miezi nayo ikavunja ungo na kuwa wiki,wiki zikavutana na kuwa siku na siku ikawa saa na saa haikusubiri kuwa dakika na hatimae sekunde.Kufumba na kufumbua,Bahati alikamilisha masomo yake ya shule ya upili na kufaulu vyema.Kila mmoja katika kijiji chao alifurahi na kujivunia matokeo ya binti huyo.Bahati alipata bahati ya kujiunga na Chuo kikuu cha Pwani huko mjini Kilifi katika mji wa kusini mwa Mombasa nchini Kenya.Matarajio na ndoto za Bahati kuwa mwanakilimo bora zilionekana zikikamilika baada ya muda mfupi tu ambao ungefuata.Kwani hakuna mwanzo ukosao mwisho.Nayo matunda yalikaribia. Baada ya Bahati kujiunga na Chuo hicho kinachosifika kwa ukulima nchini Kenya,Bahati aliwahakikishia wanakaria wote kuwa angefanya bidii ya mchwa ajengaye kichuguu kwa mate na kurudisha nyumbani mafanikio na kutia faraja katika mioyo ya wanatundauwa wote.Lakini haya yalianza kubadilika punde tu Bahati alipoanza kutamani maisha ya raha na kusahau lengo na ahadi aliyoieka hapo mwanzoni,ni kweli muda si rafiki. Bahati alianza kufuatana na wanafunzi waliopenda starehe.Na kwa kuwa hakukuwa na mtu yeyote wakumwangalia na kumwongoza,Bahati alilivua shungi na buibui akaingia mjini.Akavaa nguo zilizomwonyesha sehemu zake ambazo hazikuwa za siri tena kwani zilionekana parwanja.Akatumia kila Aina ya ulevi,akatumia mirungi na ‘mgokaa’ ungedhani mbuzi kwa mitafuno yake.Akavuta bangi na sigara kweupe hadharani.Kwenye kumbi za starehe alionekana akinengua kila miondoko,akaanza kazi ya nipe nikupe,sikuambii ukahaba. Akaonekana na kila aina ya mwanaune si kimbau mbau si mnene kama tembo,si mrefu kama twiga si mfupi kama nyundo,ilimradi mwenye pesa basi alienda nae na kumstarehesha.sasa Bahati akawa bahari,akameza kila kitu asishibe,naye akawa gwiji mjini.Tabia mbovu zikashika usukani na kumwongoza,neno tabia njema likasahaulika katika kamusi ya akili yake,maadili likawa neno geni kwake Kwa maana uzinzi na starehe mbovu zilishika usukani na kumwongoza,akajifanya hamnazo kucheza ngoma atakazo. Habari zilienea katika kijiji chao kama moto nyikani.Wazazi wake na wazee waliomtambua walimpa nasaha lakini ikawa ni mfano kumpigia mbuzi zeze ili acheze.Kwa kweli hakuna aliyemtamani,kwani tabia zake zilinuka mf!kama kidonda kilichooza kwa usaha.Akawa hasikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini.Kibaoni alipofanyia biashara yake ya kubadilisha mwili Kwa fedha alipaona hapana hadhi tena akaaamua kuguria Mtwapa. Sehemu iliyojulikana kwa jina maarufu ‘posta' pakawa makaazi yake hasa.Mchana ukawa usiku kwake na usiku kuwa mchana.Akapatana na umati wa mabaghiya.Akafanya kazi yake hiyo nao kwa muda wa miaka kadhaa.Wazazi wake waliamua afunzwe na ulimwengu baada ya kuamua kuachana na masomo.Nao ulimwengu shujaa binadamu hadaa.Bahati alipata ujauzito asimjue aliyempa ujauzito huo.Kila mmoja akamtenga wakati huo wa dhiki.Ghafla stendi ya basi za ‘Tahmeed' kwa nyambura ikawa sehemu yake ya kujihifadhia.Muda mwingine mvua za masika zilimnyeshea kupita kiasi. Wasiomjua walimwonea huruma lakini hakuna hata mmoja aliyemsaidia.Waliomjua walisema mwiba wa kujidunga hauambiwi pole na kichwa kisichoakili huumiza mwili.Bahati akapata bahati ya kuchukuliwa na msamaria mwema alipougulia uchungu akakimbizwa iliko zahanati ya Jambo Jipya.Bahati alijifungua salama salimini kitoto cha kike,chakusikitisha ni kuwa aligunduliwa alikuwa ameathirika kwa muda mrefu.Ama kweli starehe gharama,kwani ilimgharimu maisha na wakati. Bahati alijuwa kuwa ng’ombe avunjikapo mguu hukimbilia zizini.Akaamua kurudi nyumbani kwao Tundauwa ili akawaombe radhi wazazi wake na wanakijiji wenzake.Pia aliamua kubadilisha mwendo wa maisha yake na kumrudia Muumba wake baada ya kupewa nasaha lufufu na daktari.Akaanza kutumia dawa na kufuata masharti yote kwa umakini ili kuhakikisha usalama wa maisha yake.’Mtoto akinyea paja halikatwi’.Wazazi wake walimpokea kwa mikono miwili mwana wao wa pekee na mjukuu wao waliomwita Tunu.Mzee Makame akapata mke wa pili.Sasa naamini damu nzito kuliko maji.
Bahati aliiishi katika kaya ipi?
{ "text": [ "Tundaua" ] }
4824_swa
BAHATI YA BAHATI. Katika Kaya ya Tundaua palisakini binti bashashi aliyekuwa na uzuri wa malaika.Kukopolewa kwake ilikuwa furaha isiyomithilika katika aila iliyoishi wapenzi wawili Bi.Mrashi na Bwana Makame.Baada ya kusali kwa muda wa miongo kadhaa baada ya akidi yao,Maulana aliwajaalia mtoto wa kipekee wakamwita Bahati.Kwa kweli alikuwa Bahati,alioana na jina lake alilopewa si bahati ya uzuri si bahati ya tabia,si bahati ya maisha,almuradi bahati.Mungu ampe nini amnyime nini Bahati! Wazazi,wanakijiji,ndugu na jamaa walimpenda na kumuenzi Bahati kama mboni za macho yao.Akalelewa na kila mmoja,hatimae alikuwa mtoto bora na sio bora mtoto.Maadili aliyokuwa nayo ungedhani sufii.Ushungi,nikabu na buibui havikumng’oka mwilini,viligandana nae na kumgandama kama kupe amgandavyo mnyama.Ama kweli alikuwa wakupigiwa mfano na wakuigwa Bahati.Waama,chenye sifa kipewe sifa. Siku zikapita,miaka ikapereji na kuwa miezi,miezi nayo ikavunja ungo na kuwa wiki,wiki zikavutana na kuwa siku na siku ikawa saa na saa haikusubiri kuwa dakika na hatimae sekunde.Kufumba na kufumbua,Bahati alikamilisha masomo yake ya shule ya upili na kufaulu vyema.Kila mmoja katika kijiji chao alifurahi na kujivunia matokeo ya binti huyo.Bahati alipata bahati ya kujiunga na Chuo kikuu cha Pwani huko mjini Kilifi katika mji wa kusini mwa Mombasa nchini Kenya.Matarajio na ndoto za Bahati kuwa mwanakilimo bora zilionekana zikikamilika baada ya muda mfupi tu ambao ungefuata.Kwani hakuna mwanzo ukosao mwisho.Nayo matunda yalikaribia. Baada ya Bahati kujiunga na Chuo hicho kinachosifika kwa ukulima nchini Kenya,Bahati aliwahakikishia wanakaria wote kuwa angefanya bidii ya mchwa ajengaye kichuguu kwa mate na kurudisha nyumbani mafanikio na kutia faraja katika mioyo ya wanatundauwa wote.Lakini haya yalianza kubadilika punde tu Bahati alipoanza kutamani maisha ya raha na kusahau lengo na ahadi aliyoieka hapo mwanzoni,ni kweli muda si rafiki. Bahati alianza kufuatana na wanafunzi waliopenda starehe.Na kwa kuwa hakukuwa na mtu yeyote wakumwangalia na kumwongoza,Bahati alilivua shungi na buibui akaingia mjini.Akavaa nguo zilizomwonyesha sehemu zake ambazo hazikuwa za siri tena kwani zilionekana parwanja.Akatumia kila Aina ya ulevi,akatumia mirungi na ‘mgokaa’ ungedhani mbuzi kwa mitafuno yake.Akavuta bangi na sigara kweupe hadharani.Kwenye kumbi za starehe alionekana akinengua kila miondoko,akaanza kazi ya nipe nikupe,sikuambii ukahaba. Akaonekana na kila aina ya mwanaune si kimbau mbau si mnene kama tembo,si mrefu kama twiga si mfupi kama nyundo,ilimradi mwenye pesa basi alienda nae na kumstarehesha.sasa Bahati akawa bahari,akameza kila kitu asishibe,naye akawa gwiji mjini.Tabia mbovu zikashika usukani na kumwongoza,neno tabia njema likasahaulika katika kamusi ya akili yake,maadili likawa neno geni kwake Kwa maana uzinzi na starehe mbovu zilishika usukani na kumwongoza,akajifanya hamnazo kucheza ngoma atakazo. Habari zilienea katika kijiji chao kama moto nyikani.Wazazi wake na wazee waliomtambua walimpa nasaha lakini ikawa ni mfano kumpigia mbuzi zeze ili acheze.Kwa kweli hakuna aliyemtamani,kwani tabia zake zilinuka mf!kama kidonda kilichooza kwa usaha.Akawa hasikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini.Kibaoni alipofanyia biashara yake ya kubadilisha mwili Kwa fedha alipaona hapana hadhi tena akaaamua kuguria Mtwapa. Sehemu iliyojulikana kwa jina maarufu ‘posta' pakawa makaazi yake hasa.Mchana ukawa usiku kwake na usiku kuwa mchana.Akapatana na umati wa mabaghiya.Akafanya kazi yake hiyo nao kwa muda wa miaka kadhaa.Wazazi wake waliamua afunzwe na ulimwengu baada ya kuamua kuachana na masomo.Nao ulimwengu shujaa binadamu hadaa.Bahati alipata ujauzito asimjue aliyempa ujauzito huo.Kila mmoja akamtenga wakati huo wa dhiki.Ghafla stendi ya basi za ‘Tahmeed' kwa nyambura ikawa sehemu yake ya kujihifadhia.Muda mwingine mvua za masika zilimnyeshea kupita kiasi. Wasiomjua walimwonea huruma lakini hakuna hata mmoja aliyemsaidia.Waliomjua walisema mwiba wa kujidunga hauambiwi pole na kichwa kisichoakili huumiza mwili.Bahati akapata bahati ya kuchukuliwa na msamaria mwema alipougulia uchungu akakimbizwa iliko zahanati ya Jambo Jipya.Bahati alijifungua salama salimini kitoto cha kike,chakusikitisha ni kuwa aligunduliwa alikuwa ameathirika kwa muda mrefu.Ama kweli starehe gharama,kwani ilimgharimu maisha na wakati. Bahati alijuwa kuwa ng’ombe avunjikapo mguu hukimbilia zizini.Akaamua kurudi nyumbani kwao Tundauwa ili akawaombe radhi wazazi wake na wanakijiji wenzake.Pia aliamua kubadilisha mwendo wa maisha yake na kumrudia Muumba wake baada ya kupewa nasaha lufufu na daktari.Akaanza kutumia dawa na kufuata masharti yote kwa umakini ili kuhakikisha usalama wa maisha yake.’Mtoto akinyea paja halikatwi’.Wazazi wake walimpokea kwa mikono miwili mwana wao wa pekee na mjukuu wao waliomwita Tunu.Mzee Makame akapata mke wa pili.Sasa naamini damu nzito kuliko maji.
Bahati alijiunga na chuo kikuu cha wapi?
{ "text": [ "Pwani" ] }
4824_swa
BAHATI YA BAHATI. Katika Kaya ya Tundaua palisakini binti bashashi aliyekuwa na uzuri wa malaika.Kukopolewa kwake ilikuwa furaha isiyomithilika katika aila iliyoishi wapenzi wawili Bi.Mrashi na Bwana Makame.Baada ya kusali kwa muda wa miongo kadhaa baada ya akidi yao,Maulana aliwajaalia mtoto wa kipekee wakamwita Bahati.Kwa kweli alikuwa Bahati,alioana na jina lake alilopewa si bahati ya uzuri si bahati ya tabia,si bahati ya maisha,almuradi bahati.Mungu ampe nini amnyime nini Bahati! Wazazi,wanakijiji,ndugu na jamaa walimpenda na kumuenzi Bahati kama mboni za macho yao.Akalelewa na kila mmoja,hatimae alikuwa mtoto bora na sio bora mtoto.Maadili aliyokuwa nayo ungedhani sufii.Ushungi,nikabu na buibui havikumng’oka mwilini,viligandana nae na kumgandama kama kupe amgandavyo mnyama.Ama kweli alikuwa wakupigiwa mfano na wakuigwa Bahati.Waama,chenye sifa kipewe sifa. Siku zikapita,miaka ikapereji na kuwa miezi,miezi nayo ikavunja ungo na kuwa wiki,wiki zikavutana na kuwa siku na siku ikawa saa na saa haikusubiri kuwa dakika na hatimae sekunde.Kufumba na kufumbua,Bahati alikamilisha masomo yake ya shule ya upili na kufaulu vyema.Kila mmoja katika kijiji chao alifurahi na kujivunia matokeo ya binti huyo.Bahati alipata bahati ya kujiunga na Chuo kikuu cha Pwani huko mjini Kilifi katika mji wa kusini mwa Mombasa nchini Kenya.Matarajio na ndoto za Bahati kuwa mwanakilimo bora zilionekana zikikamilika baada ya muda mfupi tu ambao ungefuata.Kwani hakuna mwanzo ukosao mwisho.Nayo matunda yalikaribia. Baada ya Bahati kujiunga na Chuo hicho kinachosifika kwa ukulima nchini Kenya,Bahati aliwahakikishia wanakaria wote kuwa angefanya bidii ya mchwa ajengaye kichuguu kwa mate na kurudisha nyumbani mafanikio na kutia faraja katika mioyo ya wanatundauwa wote.Lakini haya yalianza kubadilika punde tu Bahati alipoanza kutamani maisha ya raha na kusahau lengo na ahadi aliyoieka hapo mwanzoni,ni kweli muda si rafiki. Bahati alianza kufuatana na wanafunzi waliopenda starehe.Na kwa kuwa hakukuwa na mtu yeyote wakumwangalia na kumwongoza,Bahati alilivua shungi na buibui akaingia mjini.Akavaa nguo zilizomwonyesha sehemu zake ambazo hazikuwa za siri tena kwani zilionekana parwanja.Akatumia kila Aina ya ulevi,akatumia mirungi na ‘mgokaa’ ungedhani mbuzi kwa mitafuno yake.Akavuta bangi na sigara kweupe hadharani.Kwenye kumbi za starehe alionekana akinengua kila miondoko,akaanza kazi ya nipe nikupe,sikuambii ukahaba. Akaonekana na kila aina ya mwanaune si kimbau mbau si mnene kama tembo,si mrefu kama twiga si mfupi kama nyundo,ilimradi mwenye pesa basi alienda nae na kumstarehesha.sasa Bahati akawa bahari,akameza kila kitu asishibe,naye akawa gwiji mjini.Tabia mbovu zikashika usukani na kumwongoza,neno tabia njema likasahaulika katika kamusi ya akili yake,maadili likawa neno geni kwake Kwa maana uzinzi na starehe mbovu zilishika usukani na kumwongoza,akajifanya hamnazo kucheza ngoma atakazo. Habari zilienea katika kijiji chao kama moto nyikani.Wazazi wake na wazee waliomtambua walimpa nasaha lakini ikawa ni mfano kumpigia mbuzi zeze ili acheze.Kwa kweli hakuna aliyemtamani,kwani tabia zake zilinuka mf!kama kidonda kilichooza kwa usaha.Akawa hasikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini.Kibaoni alipofanyia biashara yake ya kubadilisha mwili Kwa fedha alipaona hapana hadhi tena akaaamua kuguria Mtwapa. Sehemu iliyojulikana kwa jina maarufu ‘posta' pakawa makaazi yake hasa.Mchana ukawa usiku kwake na usiku kuwa mchana.Akapatana na umati wa mabaghiya.Akafanya kazi yake hiyo nao kwa muda wa miaka kadhaa.Wazazi wake waliamua afunzwe na ulimwengu baada ya kuamua kuachana na masomo.Nao ulimwengu shujaa binadamu hadaa.Bahati alipata ujauzito asimjue aliyempa ujauzito huo.Kila mmoja akamtenga wakati huo wa dhiki.Ghafla stendi ya basi za ‘Tahmeed' kwa nyambura ikawa sehemu yake ya kujihifadhia.Muda mwingine mvua za masika zilimnyeshea kupita kiasi. Wasiomjua walimwonea huruma lakini hakuna hata mmoja aliyemsaidia.Waliomjua walisema mwiba wa kujidunga hauambiwi pole na kichwa kisichoakili huumiza mwili.Bahati akapata bahati ya kuchukuliwa na msamaria mwema alipougulia uchungu akakimbizwa iliko zahanati ya Jambo Jipya.Bahati alijifungua salama salimini kitoto cha kike,chakusikitisha ni kuwa aligunduliwa alikuwa ameathirika kwa muda mrefu.Ama kweli starehe gharama,kwani ilimgharimu maisha na wakati. Bahati alijuwa kuwa ng’ombe avunjikapo mguu hukimbilia zizini.Akaamua kurudi nyumbani kwao Tundauwa ili akawaombe radhi wazazi wake na wanakijiji wenzake.Pia aliamua kubadilisha mwendo wa maisha yake na kumrudia Muumba wake baada ya kupewa nasaha lufufu na daktari.Akaanza kutumia dawa na kufuata masharti yote kwa umakini ili kuhakikisha usalama wa maisha yake.’Mtoto akinyea paja halikatwi’.Wazazi wake walimpokea kwa mikono miwili mwana wao wa pekee na mjukuu wao waliomwita Tunu.Mzee Makame akapata mke wa pili.Sasa naamini damu nzito kuliko maji.
Mdudu yupi hujenga kichunguu kwa mate?
{ "text": [ "Mchwa" ] }
4824_swa
BAHATI YA BAHATI. Katika Kaya ya Tundaua palisakini binti bashashi aliyekuwa na uzuri wa malaika.Kukopolewa kwake ilikuwa furaha isiyomithilika katika aila iliyoishi wapenzi wawili Bi.Mrashi na Bwana Makame.Baada ya kusali kwa muda wa miongo kadhaa baada ya akidi yao,Maulana aliwajaalia mtoto wa kipekee wakamwita Bahati.Kwa kweli alikuwa Bahati,alioana na jina lake alilopewa si bahati ya uzuri si bahati ya tabia,si bahati ya maisha,almuradi bahati.Mungu ampe nini amnyime nini Bahati! Wazazi,wanakijiji,ndugu na jamaa walimpenda na kumuenzi Bahati kama mboni za macho yao.Akalelewa na kila mmoja,hatimae alikuwa mtoto bora na sio bora mtoto.Maadili aliyokuwa nayo ungedhani sufii.Ushungi,nikabu na buibui havikumng’oka mwilini,viligandana nae na kumgandama kama kupe amgandavyo mnyama.Ama kweli alikuwa wakupigiwa mfano na wakuigwa Bahati.Waama,chenye sifa kipewe sifa. Siku zikapita,miaka ikapereji na kuwa miezi,miezi nayo ikavunja ungo na kuwa wiki,wiki zikavutana na kuwa siku na siku ikawa saa na saa haikusubiri kuwa dakika na hatimae sekunde.Kufumba na kufumbua,Bahati alikamilisha masomo yake ya shule ya upili na kufaulu vyema.Kila mmoja katika kijiji chao alifurahi na kujivunia matokeo ya binti huyo.Bahati alipata bahati ya kujiunga na Chuo kikuu cha Pwani huko mjini Kilifi katika mji wa kusini mwa Mombasa nchini Kenya.Matarajio na ndoto za Bahati kuwa mwanakilimo bora zilionekana zikikamilika baada ya muda mfupi tu ambao ungefuata.Kwani hakuna mwanzo ukosao mwisho.Nayo matunda yalikaribia. Baada ya Bahati kujiunga na Chuo hicho kinachosifika kwa ukulima nchini Kenya,Bahati aliwahakikishia wanakaria wote kuwa angefanya bidii ya mchwa ajengaye kichuguu kwa mate na kurudisha nyumbani mafanikio na kutia faraja katika mioyo ya wanatundauwa wote.Lakini haya yalianza kubadilika punde tu Bahati alipoanza kutamani maisha ya raha na kusahau lengo na ahadi aliyoieka hapo mwanzoni,ni kweli muda si rafiki. Bahati alianza kufuatana na wanafunzi waliopenda starehe.Na kwa kuwa hakukuwa na mtu yeyote wakumwangalia na kumwongoza,Bahati alilivua shungi na buibui akaingia mjini.Akavaa nguo zilizomwonyesha sehemu zake ambazo hazikuwa za siri tena kwani zilionekana parwanja.Akatumia kila Aina ya ulevi,akatumia mirungi na ‘mgokaa’ ungedhani mbuzi kwa mitafuno yake.Akavuta bangi na sigara kweupe hadharani.Kwenye kumbi za starehe alionekana akinengua kila miondoko,akaanza kazi ya nipe nikupe,sikuambii ukahaba. Akaonekana na kila aina ya mwanaune si kimbau mbau si mnene kama tembo,si mrefu kama twiga si mfupi kama nyundo,ilimradi mwenye pesa basi alienda nae na kumstarehesha.sasa Bahati akawa bahari,akameza kila kitu asishibe,naye akawa gwiji mjini.Tabia mbovu zikashika usukani na kumwongoza,neno tabia njema likasahaulika katika kamusi ya akili yake,maadili likawa neno geni kwake Kwa maana uzinzi na starehe mbovu zilishika usukani na kumwongoza,akajifanya hamnazo kucheza ngoma atakazo. Habari zilienea katika kijiji chao kama moto nyikani.Wazazi wake na wazee waliomtambua walimpa nasaha lakini ikawa ni mfano kumpigia mbuzi zeze ili acheze.Kwa kweli hakuna aliyemtamani,kwani tabia zake zilinuka mf!kama kidonda kilichooza kwa usaha.Akawa hasikii la mwadhini wala la mteka maji msikitini.Kibaoni alipofanyia biashara yake ya kubadilisha mwili Kwa fedha alipaona hapana hadhi tena akaaamua kuguria Mtwapa. Sehemu iliyojulikana kwa jina maarufu ‘posta' pakawa makaazi yake hasa.Mchana ukawa usiku kwake na usiku kuwa mchana.Akapatana na umati wa mabaghiya.Akafanya kazi yake hiyo nao kwa muda wa miaka kadhaa.Wazazi wake waliamua afunzwe na ulimwengu baada ya kuamua kuachana na masomo.Nao ulimwengu shujaa binadamu hadaa.Bahati alipata ujauzito asimjue aliyempa ujauzito huo.Kila mmoja akamtenga wakati huo wa dhiki.Ghafla stendi ya basi za ‘Tahmeed' kwa nyambura ikawa sehemu yake ya kujihifadhia.Muda mwingine mvua za masika zilimnyeshea kupita kiasi. Wasiomjua walimwonea huruma lakini hakuna hata mmoja aliyemsaidia.Waliomjua walisema mwiba wa kujidunga hauambiwi pole na kichwa kisichoakili huumiza mwili.Bahati akapata bahati ya kuchukuliwa na msamaria mwema alipougulia uchungu akakimbizwa iliko zahanati ya Jambo Jipya.Bahati alijifungua salama salimini kitoto cha kike,chakusikitisha ni kuwa aligunduliwa alikuwa ameathirika kwa muda mrefu.Ama kweli starehe gharama,kwani ilimgharimu maisha na wakati. Bahati alijuwa kuwa ng’ombe avunjikapo mguu hukimbilia zizini.Akaamua kurudi nyumbani kwao Tundauwa ili akawaombe radhi wazazi wake na wanakijiji wenzake.Pia aliamua kubadilisha mwendo wa maisha yake na kumrudia Muumba wake baada ya kupewa nasaha lufufu na daktari.Akaanza kutumia dawa na kufuata masharti yote kwa umakini ili kuhakikisha usalama wa maisha yake.’Mtoto akinyea paja halikatwi’.Wazazi wake walimpokea kwa mikono miwili mwana wao wa pekee na mjukuu wao waliomwita Tunu.Mzee Makame akapata mke wa pili.Sasa naamini damu nzito kuliko maji.
Mtu anayetafuna 'mgokaa' anafananishwa na mnyama yupi?
{ "text": [ "Mbuzi" ] }
4825_swa
BURUDANI Burudani ni sanaa ambayo wengi wameilenga. Hapa duniani, maadam mtu huwa na njia moja ambayo humfurahisha sana. Hivyo hilo jambo anapolitekeleza, anaishi umuhimu wa maisha. Hata hivyo njia hizi ni mingi sana. Basi vile wanadamu hutofautiana, pia basi aina za burudani hutofautiana. Katika karne hii, njia minji zimeonekena kama njia za kujipa burhdani. Hata hivyo wakati na nyakati huwa zinatofauna. Aina za burudani hutofautiana kulingana na mtu. Burudani inaweza kuwa kwa kudensi nyimbo au kusikiza. Wengine huthamini kusoma ili wajipe furaha. Hata hivyo, michezo pia imeonekana kuwa na wafuasi wengi. Bila kusahau televisheni nao ikisheeni kwenye familia nyimgi, mathumuni yakiwa burudani. Hata hivyo, kuna burudani ambazo humnufaisha unayeburudika. Kwa upande mwingine, zingine hazina manufaa hata kidogo. La kustaajabisha ni kwamba, wanadamu hupendelea zile ambazo hazina manufaa. Zina ambazo zina manufaa huonekana kama majukumu na si ya kujiburudisha. Lazima tukabali kwamba kile ukipandacho ndicho utavuna. Katika karne hii, burudani imebadilishwa na kuwa potovu. Hii imepalia kutokea kwa watu ambao hawana maadili hata kidogo. Watu wameacha kuwa na ubinadamu na kuwa wenye kiburi na walawiti kwenye jamii. Nikipigia mfano televisheni. Hiki ni chombo ambacho kumetumika vibaya kikiwaburudisha wapenzi watazamaji. Mara nyingi kimeonekana kikionyesha picha ambazo zilikuwa adimu enzi za mababu wetu. Picha za watu wakiwa nusu-uchi zimepeperushwa bila kujali anayetazama. Kutia kidonda makaa, visa vya watu kupiga busu ovyoovyo hata kufanya tendo la ndoa zinapeperushwa tu. Japo mara kwa mara tahadhari hutolewa, bado watoto wadogo hupata wakati kutazama. Matekeo yake ni kwamba kazi hiki kina mtazamo tofauti kuhusu mapenzi. Kazazi hiki kimeathirika kwa kishindo kikibwa kikijaribu kuwa kama wale waigizaji. Pili, televisheni imefanya wengi kuwa wavivu. Itabainika wazi kuwa vipindi vinavyopeperushwa hewani huwa na mvuto uliyo wa ajabu. Si ajabu kupata mtazamaji akiketi kitako siku mzima mbele ya runinga. Kwake kupitwa na kipindi fulani ni hatia ambao hawezi jisamee. Ukweli ni kwamba muda huu ungetumika kufanya jambo la maana maishani. Madhara haya huwa bayana pale mtazamaji hujipata hajui pa kumalizia wala pa kuanzia anapozungukwa na mambo anahitaji kufanya. Mjuto ni mjukuu. Hata hivyo, mtazamaji huanza kufanya vitu kwa papara. Pia hili si jambo jema. Si ajabu kupata makosa mengi kwenye kazi zilizofanywa kwa papara. Runinga yafaa iwe sehemu ya kujifunza. Mara nyingi maisha ya watu wanaoigiza huonekana yakifuata mweelekeo fulani. Hata hivyo maagizo yao huwa kioo cha jamii. Lakini la kushangaza ni kuwa, wengi wa watazamaji huwa wanayoana kama maagizo tu. Ikiwa hizi vipindi havitatugeuza ili tuwe watu tofauti, basi hatuna budi kuachana nazo. Yafaa tujifunze kutokana na hayo maigizo.
Aina za burudani hutofautiana kulingana na nani
{ "text": [ "Mtu" ] }
4825_swa
BURUDANI Burudani ni sanaa ambayo wengi wameilenga. Hapa duniani, maadam mtu huwa na njia moja ambayo humfurahisha sana. Hivyo hilo jambo anapolitekeleza, anaishi umuhimu wa maisha. Hata hivyo njia hizi ni mingi sana. Basi vile wanadamu hutofautiana, pia basi aina za burudani hutofautiana. Katika karne hii, njia minji zimeonekena kama njia za kujipa burhdani. Hata hivyo wakati na nyakati huwa zinatofauna. Aina za burudani hutofautiana kulingana na mtu. Burudani inaweza kuwa kwa kudensi nyimbo au kusikiza. Wengine huthamini kusoma ili wajipe furaha. Hata hivyo, michezo pia imeonekana kuwa na wafuasi wengi. Bila kusahau televisheni nao ikisheeni kwenye familia nyimgi, mathumuni yakiwa burudani. Hata hivyo, kuna burudani ambazo humnufaisha unayeburudika. Kwa upande mwingine, zingine hazina manufaa hata kidogo. La kustaajabisha ni kwamba, wanadamu hupendelea zile ambazo hazina manufaa. Zina ambazo zina manufaa huonekana kama majukumu na si ya kujiburudisha. Lazima tukabali kwamba kile ukipandacho ndicho utavuna. Katika karne hii, burudani imebadilishwa na kuwa potovu. Hii imepalia kutokea kwa watu ambao hawana maadili hata kidogo. Watu wameacha kuwa na ubinadamu na kuwa wenye kiburi na walawiti kwenye jamii. Nikipigia mfano televisheni. Hiki ni chombo ambacho kumetumika vibaya kikiwaburudisha wapenzi watazamaji. Mara nyingi kimeonekana kikionyesha picha ambazo zilikuwa adimu enzi za mababu wetu. Picha za watu wakiwa nusu-uchi zimepeperushwa bila kujali anayetazama. Kutia kidonda makaa, visa vya watu kupiga busu ovyoovyo hata kufanya tendo la ndoa zinapeperushwa tu. Japo mara kwa mara tahadhari hutolewa, bado watoto wadogo hupata wakati kutazama. Matekeo yake ni kwamba kazi hiki kina mtazamo tofauti kuhusu mapenzi. Kazazi hiki kimeathirika kwa kishindo kikibwa kikijaribu kuwa kama wale waigizaji. Pili, televisheni imefanya wengi kuwa wavivu. Itabainika wazi kuwa vipindi vinavyopeperushwa hewani huwa na mvuto uliyo wa ajabu. Si ajabu kupata mtazamaji akiketi kitako siku mzima mbele ya runinga. Kwake kupitwa na kipindi fulani ni hatia ambao hawezi jisamee. Ukweli ni kwamba muda huu ungetumika kufanya jambo la maana maishani. Madhara haya huwa bayana pale mtazamaji hujipata hajui pa kumalizia wala pa kuanzia anapozungukwa na mambo anahitaji kufanya. Mjuto ni mjukuu. Hata hivyo, mtazamaji huanza kufanya vitu kwa papara. Pia hili si jambo jema. Si ajabu kupata makosa mengi kwenye kazi zilizofanywa kwa papara. Runinga yafaa iwe sehemu ya kujifunza. Mara nyingi maisha ya watu wanaoigiza huonekana yakifuata mweelekeo fulani. Hata hivyo maagizo yao huwa kioo cha jamii. Lakini la kushangaza ni kuwa, wengi wa watazamaji huwa wanayoana kama maagizo tu. Ikiwa hizi vipindi havitatugeuza ili tuwe watu tofauti, basi hatuna budi kuachana nazo. Yafaa tujifunze kutokana na hayo maigizo.
Kile ukipandacho ndicho utafanya nini
{ "text": [ "Utavuna" ] }
4825_swa
BURUDANI Burudani ni sanaa ambayo wengi wameilenga. Hapa duniani, maadam mtu huwa na njia moja ambayo humfurahisha sana. Hivyo hilo jambo anapolitekeleza, anaishi umuhimu wa maisha. Hata hivyo njia hizi ni mingi sana. Basi vile wanadamu hutofautiana, pia basi aina za burudani hutofautiana. Katika karne hii, njia minji zimeonekena kama njia za kujipa burhdani. Hata hivyo wakati na nyakati huwa zinatofauna. Aina za burudani hutofautiana kulingana na mtu. Burudani inaweza kuwa kwa kudensi nyimbo au kusikiza. Wengine huthamini kusoma ili wajipe furaha. Hata hivyo, michezo pia imeonekana kuwa na wafuasi wengi. Bila kusahau televisheni nao ikisheeni kwenye familia nyimgi, mathumuni yakiwa burudani. Hata hivyo, kuna burudani ambazo humnufaisha unayeburudika. Kwa upande mwingine, zingine hazina manufaa hata kidogo. La kustaajabisha ni kwamba, wanadamu hupendelea zile ambazo hazina manufaa. Zina ambazo zina manufaa huonekana kama majukumu na si ya kujiburudisha. Lazima tukabali kwamba kile ukipandacho ndicho utavuna. Katika karne hii, burudani imebadilishwa na kuwa potovu. Hii imepalia kutokea kwa watu ambao hawana maadili hata kidogo. Watu wameacha kuwa na ubinadamu na kuwa wenye kiburi na walawiti kwenye jamii. Nikipigia mfano televisheni. Hiki ni chombo ambacho kumetumika vibaya kikiwaburudisha wapenzi watazamaji. Mara nyingi kimeonekana kikionyesha picha ambazo zilikuwa adimu enzi za mababu wetu. Picha za watu wakiwa nusu-uchi zimepeperushwa bila kujali anayetazama. Kutia kidonda makaa, visa vya watu kupiga busu ovyoovyo hata kufanya tendo la ndoa zinapeperushwa tu. Japo mara kwa mara tahadhari hutolewa, bado watoto wadogo hupata wakati kutazama. Matekeo yake ni kwamba kazi hiki kina mtazamo tofauti kuhusu mapenzi. Kazazi hiki kimeathirika kwa kishindo kikibwa kikijaribu kuwa kama wale waigizaji. Pili, televisheni imefanya wengi kuwa wavivu. Itabainika wazi kuwa vipindi vinavyopeperushwa hewani huwa na mvuto uliyo wa ajabu. Si ajabu kupata mtazamaji akiketi kitako siku mzima mbele ya runinga. Kwake kupitwa na kipindi fulani ni hatia ambao hawezi jisamee. Ukweli ni kwamba muda huu ungetumika kufanya jambo la maana maishani. Madhara haya huwa bayana pale mtazamaji hujipata hajui pa kumalizia wala pa kuanzia anapozungukwa na mambo anahitaji kufanya. Mjuto ni mjukuu. Hata hivyo, mtazamaji huanza kufanya vitu kwa papara. Pia hili si jambo jema. Si ajabu kupata makosa mengi kwenye kazi zilizofanywa kwa papara. Runinga yafaa iwe sehemu ya kujifunza. Mara nyingi maisha ya watu wanaoigiza huonekana yakifuata mweelekeo fulani. Hata hivyo maagizo yao huwa kioo cha jamii. Lakini la kushangaza ni kuwa, wengi wa watazamaji huwa wanayoana kama maagizo tu. Ikiwa hizi vipindi havitatugeuza ili tuwe watu tofauti, basi hatuna budi kuachana nazo. Yafaa tujifunze kutokana na hayo maigizo.
televisheni imefanya wengi kuwa nini
{ "text": [ "wavivu" ] }
4825_swa
BURUDANI Burudani ni sanaa ambayo wengi wameilenga. Hapa duniani, maadam mtu huwa na njia moja ambayo humfurahisha sana. Hivyo hilo jambo anapolitekeleza, anaishi umuhimu wa maisha. Hata hivyo njia hizi ni mingi sana. Basi vile wanadamu hutofautiana, pia basi aina za burudani hutofautiana. Katika karne hii, njia minji zimeonekena kama njia za kujipa burhdani. Hata hivyo wakati na nyakati huwa zinatofauna. Aina za burudani hutofautiana kulingana na mtu. Burudani inaweza kuwa kwa kudensi nyimbo au kusikiza. Wengine huthamini kusoma ili wajipe furaha. Hata hivyo, michezo pia imeonekana kuwa na wafuasi wengi. Bila kusahau televisheni nao ikisheeni kwenye familia nyimgi, mathumuni yakiwa burudani. Hata hivyo, kuna burudani ambazo humnufaisha unayeburudika. Kwa upande mwingine, zingine hazina manufaa hata kidogo. La kustaajabisha ni kwamba, wanadamu hupendelea zile ambazo hazina manufaa. Zina ambazo zina manufaa huonekana kama majukumu na si ya kujiburudisha. Lazima tukabali kwamba kile ukipandacho ndicho utavuna. Katika karne hii, burudani imebadilishwa na kuwa potovu. Hii imepalia kutokea kwa watu ambao hawana maadili hata kidogo. Watu wameacha kuwa na ubinadamu na kuwa wenye kiburi na walawiti kwenye jamii. Nikipigia mfano televisheni. Hiki ni chombo ambacho kumetumika vibaya kikiwaburudisha wapenzi watazamaji. Mara nyingi kimeonekana kikionyesha picha ambazo zilikuwa adimu enzi za mababu wetu. Picha za watu wakiwa nusu-uchi zimepeperushwa bila kujali anayetazama. Kutia kidonda makaa, visa vya watu kupiga busu ovyoovyo hata kufanya tendo la ndoa zinapeperushwa tu. Japo mara kwa mara tahadhari hutolewa, bado watoto wadogo hupata wakati kutazama. Matekeo yake ni kwamba kazi hiki kina mtazamo tofauti kuhusu mapenzi. Kazazi hiki kimeathirika kwa kishindo kikibwa kikijaribu kuwa kama wale waigizaji. Pili, televisheni imefanya wengi kuwa wavivu. Itabainika wazi kuwa vipindi vinavyopeperushwa hewani huwa na mvuto uliyo wa ajabu. Si ajabu kupata mtazamaji akiketi kitako siku mzima mbele ya runinga. Kwake kupitwa na kipindi fulani ni hatia ambao hawezi jisamee. Ukweli ni kwamba muda huu ungetumika kufanya jambo la maana maishani. Madhara haya huwa bayana pale mtazamaji hujipata hajui pa kumalizia wala pa kuanzia anapozungukwa na mambo anahitaji kufanya. Mjuto ni mjukuu. Hata hivyo, mtazamaji huanza kufanya vitu kwa papara. Pia hili si jambo jema. Si ajabu kupata makosa mengi kwenye kazi zilizofanywa kwa papara. Runinga yafaa iwe sehemu ya kujifunza. Mara nyingi maisha ya watu wanaoigiza huonekana yakifuata mweelekeo fulani. Hata hivyo maagizo yao huwa kioo cha jamii. Lakini la kushangaza ni kuwa, wengi wa watazamaji huwa wanayoana kama maagizo tu. Ikiwa hizi vipindi havitatugeuza ili tuwe watu tofauti, basi hatuna budi kuachana nazo. Yafaa tujifunze kutokana na hayo maigizo.
Nini yafaa iwe sehemu ya kujifunza.
{ "text": [ "Runinga" ] }
4825_swa
BURUDANI Burudani ni sanaa ambayo wengi wameilenga. Hapa duniani, maadam mtu huwa na njia moja ambayo humfurahisha sana. Hivyo hilo jambo anapolitekeleza, anaishi umuhimu wa maisha. Hata hivyo njia hizi ni mingi sana. Basi vile wanadamu hutofautiana, pia basi aina za burudani hutofautiana. Katika karne hii, njia minji zimeonekena kama njia za kujipa burhdani. Hata hivyo wakati na nyakati huwa zinatofauna. Aina za burudani hutofautiana kulingana na mtu. Burudani inaweza kuwa kwa kudensi nyimbo au kusikiza. Wengine huthamini kusoma ili wajipe furaha. Hata hivyo, michezo pia imeonekana kuwa na wafuasi wengi. Bila kusahau televisheni nao ikisheeni kwenye familia nyimgi, mathumuni yakiwa burudani. Hata hivyo, kuna burudani ambazo humnufaisha unayeburudika. Kwa upande mwingine, zingine hazina manufaa hata kidogo. La kustaajabisha ni kwamba, wanadamu hupendelea zile ambazo hazina manufaa. Zina ambazo zina manufaa huonekana kama majukumu na si ya kujiburudisha. Lazima tukabali kwamba kile ukipandacho ndicho utavuna. Katika karne hii, burudani imebadilishwa na kuwa potovu. Hii imepalia kutokea kwa watu ambao hawana maadili hata kidogo. Watu wameacha kuwa na ubinadamu na kuwa wenye kiburi na walawiti kwenye jamii. Nikipigia mfano televisheni. Hiki ni chombo ambacho kumetumika vibaya kikiwaburudisha wapenzi watazamaji. Mara nyingi kimeonekana kikionyesha picha ambazo zilikuwa adimu enzi za mababu wetu. Picha za watu wakiwa nusu-uchi zimepeperushwa bila kujali anayetazama. Kutia kidonda makaa, visa vya watu kupiga busu ovyoovyo hata kufanya tendo la ndoa zinapeperushwa tu. Japo mara kwa mara tahadhari hutolewa, bado watoto wadogo hupata wakati kutazama. Matekeo yake ni kwamba kazi hiki kina mtazamo tofauti kuhusu mapenzi. Kazazi hiki kimeathirika kwa kishindo kikibwa kikijaribu kuwa kama wale waigizaji. Pili, televisheni imefanya wengi kuwa wavivu. Itabainika wazi kuwa vipindi vinavyopeperushwa hewani huwa na mvuto uliyo wa ajabu. Si ajabu kupata mtazamaji akiketi kitako siku mzima mbele ya runinga. Kwake kupitwa na kipindi fulani ni hatia ambao hawezi jisamee. Ukweli ni kwamba muda huu ungetumika kufanya jambo la maana maishani. Madhara haya huwa bayana pale mtazamaji hujipata hajui pa kumalizia wala pa kuanzia anapozungukwa na mambo anahitaji kufanya. Mjuto ni mjukuu. Hata hivyo, mtazamaji huanza kufanya vitu kwa papara. Pia hili si jambo jema. Si ajabu kupata makosa mengi kwenye kazi zilizofanywa kwa papara. Runinga yafaa iwe sehemu ya kujifunza. Mara nyingi maisha ya watu wanaoigiza huonekana yakifuata mweelekeo fulani. Hata hivyo maagizo yao huwa kioo cha jamii. Lakini la kushangaza ni kuwa, wengi wa watazamaji huwa wanayoana kama maagizo tu. Ikiwa hizi vipindi havitatugeuza ili tuwe watu tofauti, basi hatuna budi kuachana nazo. Yafaa tujifunze kutokana na hayo maigizo.
Kwa nini si vyema kufanya mambo kwa papara
{ "text": [ "Makosa mengi hutokea kwa kazi zinazofanywa kwa papara" ] }
4826_swa
BWANA JABURUTI Jijini komongo paliishi mzee mmoja ,bw jaburuti na mkwe,bi jaburuti. Walikuwa wafanyabiashara wa kutajika. Himaya yao ya biashara ilitapakaa kote nchini. Hata nchi za nje. Wawili hao ndio walikuwa wakurugenzi wa biashara yao. Kilichowabainisha zaidi ni bidii yao ya mchwa. Wanajamii waliwatamani kwa sababu walikuwa na mali nyingi. Walijaliwa mambo yote ya kutamanika na binadamu wa kawaida isipokuwa kitu kimoja tu. Walimwomba mungu kila kukicha ili asikie kilio chao. Walitamani sana kupata mrithi wa mali yao. Matumaini yao yalififia kwa mpito wa nyakati. Uzee ulikuwa unawanyapia. Walijua kuwa kumpata mrithi uzeeni kungalikuwa muujiza. Mungu naye hamtupi mja wake. Maombi Yao yalijibiwa. Bi. Baruti alipata ujauzito. Jambo hili liliwashangaza wengi kutokana na uzee wao. Kwao hata hivyo ilikuwa wakati wa furaha. Walimshukuru mungu. Waliomba mungu waweze kupata mtoto salama. Muda ulifika wa mama kujifungua. Alijifungua salama salmini. Akapata mtoto wa kiume. Wazazi wakamlea mtoto wao kwa tunu na tamasha. Hata hivyo,alipofika umri wa kutambaa. Kukua kwake kulianza kubadilika. Mgongo ulianza kupinda. Kichwa chake kikawa kikubwa kuliko sehemu nyingine za mwili. Msaada wa kimatibabu ulitafutwa katika kila pembe ya dunia. Ilimuradi kuokoa maisha yake. Walitoa pesa nyingi ili tu kumwokoa mtoto wao. Walisafiri nchi za mbali ili kumwokoa mtoto wao. Baada ya gangaganga zote hizo. Mtoto aliaga dunia. Mama mtoto alishindwa kuhimili kushindo hicho. Kidogo naye akaanza kuugua. Baada ya muda mfupi naye akaaga. Mzee jaburuti akabaki mpweke akiomboleza. Mzee aliwaza na kuwazua kuhusu mrithi wa mali yake. Hatimaye aliandika wosia na kumkabidhi wakili wake pamoja na maelezo yote. Haya yalifaa kufuatwa yeye alipoondoka duniani. Baada ya muda mfupi,naye pia aliaga. Wakili alitekeleza kulingana na maagizo ya wosia. Aliweka matangazo katika magazeti, redio na runinga kuhusu mnada wa mali ya Mzee jaburuti. Halaiki ya watu nchini kote walifika siku ya mnada kununua mali ya jaburuti. Wengine walitoka njee ya nchi. Dalali alichukua kengele yake na kuwakaribisha wote. Aliwasomea orodha ya vitu vilivyopaswa kuuzwa. Vilikuwa biashara zote za marehemu. Mashamba,makasri. Na nyumba za kukodisha zilizokuwa katika mji mbalimbali. Pia samani za kifahari. Kwa mujibu wa wosia,bw jaburuti alitaka picha ya mwanawe uizwe kwanza. Ilikuwa picha kubwa iliyowekwa fremu. Kisha ikatiwa nakshi ya dhahabu. Licha ya fremu kuvutia. Picha ile haikuvutia. Ilikuwa ya kuimbe aliyepinda mgongo . Pia kichwa kilikuwa kikubwa kuliko mwili. Picha iliponadiwa. Ilikosa mnunuzi. Mara akatokea kijakazi. Akasema kuwa angeinunua picha ile. Wengine waliona afadhali angenunua pakiti ya posho badala ya picha. Kijakazi alimwendea dalali. Kisha akamuomba amwuzie picha ile. Dalali naye akakataa. Kijakazi akamweleza kwamba yeye ndiye alikuwa mlezi wa mtoto yule. Alijua vile mtoto huyo alivyokuwa tunu kwa wazazi. Pia alifahamu jinsi walivyosumbuka alipokufa. Alitaka kuinunua kama kumbukumbu kwake. Dalali alimpa shingo upande . Kijakazi huyo alichukua kwa deni. Baada ya kuiuza picha, wakili akampa dalali bahasha nyingine. Dalali akaifungua kwa pupa. Alifikiri ni orodha ya namna mali ile ingeuzwa. Alitazama kwanza. Akashindwa kuendelea kusoma. Msaidizi wa dalali akauchukua bahasha. Kisha akausoma. Waraka ulieleza kuwa mtu ambaye angeinunua ile picha ya mwanawe marehemu ndiye angechukua urithi wa mali yote ya marehemu. Wote waliokuwepo wakaachwa vinywa wazi. Mali yote ya marehemu ikakabidhiwa kijakazi.
Jijini lipi paliishi mzee mmoja ,Bwana Jaburuti na mkwe,Bi Jaburuti
{ "text": [ "Kamongo" ] }
4826_swa
BWANA JABURUTI Jijini komongo paliishi mzee mmoja ,bw jaburuti na mkwe,bi jaburuti. Walikuwa wafanyabiashara wa kutajika. Himaya yao ya biashara ilitapakaa kote nchini. Hata nchi za nje. Wawili hao ndio walikuwa wakurugenzi wa biashara yao. Kilichowabainisha zaidi ni bidii yao ya mchwa. Wanajamii waliwatamani kwa sababu walikuwa na mali nyingi. Walijaliwa mambo yote ya kutamanika na binadamu wa kawaida isipokuwa kitu kimoja tu. Walimwomba mungu kila kukicha ili asikie kilio chao. Walitamani sana kupata mrithi wa mali yao. Matumaini yao yalififia kwa mpito wa nyakati. Uzee ulikuwa unawanyapia. Walijua kuwa kumpata mrithi uzeeni kungalikuwa muujiza. Mungu naye hamtupi mja wake. Maombi Yao yalijibiwa. Bi. Baruti alipata ujauzito. Jambo hili liliwashangaza wengi kutokana na uzee wao. Kwao hata hivyo ilikuwa wakati wa furaha. Walimshukuru mungu. Waliomba mungu waweze kupata mtoto salama. Muda ulifika wa mama kujifungua. Alijifungua salama salmini. Akapata mtoto wa kiume. Wazazi wakamlea mtoto wao kwa tunu na tamasha. Hata hivyo,alipofika umri wa kutambaa. Kukua kwake kulianza kubadilika. Mgongo ulianza kupinda. Kichwa chake kikawa kikubwa kuliko sehemu nyingine za mwili. Msaada wa kimatibabu ulitafutwa katika kila pembe ya dunia. Ilimuradi kuokoa maisha yake. Walitoa pesa nyingi ili tu kumwokoa mtoto wao. Walisafiri nchi za mbali ili kumwokoa mtoto wao. Baada ya gangaganga zote hizo. Mtoto aliaga dunia. Mama mtoto alishindwa kuhimili kushindo hicho. Kidogo naye akaanza kuugua. Baada ya muda mfupi naye akaaga. Mzee jaburuti akabaki mpweke akiomboleza. Mzee aliwaza na kuwazua kuhusu mrithi wa mali yake. Hatimaye aliandika wosia na kumkabidhi wakili wake pamoja na maelezo yote. Haya yalifaa kufuatwa yeye alipoondoka duniani. Baada ya muda mfupi,naye pia aliaga. Wakili alitekeleza kulingana na maagizo ya wosia. Aliweka matangazo katika magazeti, redio na runinga kuhusu mnada wa mali ya Mzee jaburuti. Halaiki ya watu nchini kote walifika siku ya mnada kununua mali ya jaburuti. Wengine walitoka njee ya nchi. Dalali alichukua kengele yake na kuwakaribisha wote. Aliwasomea orodha ya vitu vilivyopaswa kuuzwa. Vilikuwa biashara zote za marehemu. Mashamba,makasri. Na nyumba za kukodisha zilizokuwa katika mji mbalimbali. Pia samani za kifahari. Kwa mujibu wa wosia,bw jaburuti alitaka picha ya mwanawe uizwe kwanza. Ilikuwa picha kubwa iliyowekwa fremu. Kisha ikatiwa nakshi ya dhahabu. Licha ya fremu kuvutia. Picha ile haikuvutia. Ilikuwa ya kuimbe aliyepinda mgongo . Pia kichwa kilikuwa kikubwa kuliko mwili. Picha iliponadiwa. Ilikosa mnunuzi. Mara akatokea kijakazi. Akasema kuwa angeinunua picha ile. Wengine waliona afadhali angenunua pakiti ya posho badala ya picha. Kijakazi alimwendea dalali. Kisha akamuomba amwuzie picha ile. Dalali naye akakataa. Kijakazi akamweleza kwamba yeye ndiye alikuwa mlezi wa mtoto yule. Alijua vile mtoto huyo alivyokuwa tunu kwa wazazi. Pia alifahamu jinsi walivyosumbuka alipokufa. Alitaka kuinunua kama kumbukumbu kwake. Dalali alimpa shingo upande . Kijakazi huyo alichukua kwa deni. Baada ya kuiuza picha, wakili akampa dalali bahasha nyingine. Dalali akaifungua kwa pupa. Alifikiri ni orodha ya namna mali ile ingeuzwa. Alitazama kwanza. Akashindwa kuendelea kusoma. Msaidizi wa dalali akauchukua bahasha. Kisha akausoma. Waraka ulieleza kuwa mtu ambaye angeinunua ile picha ya mwanawe marehemu ndiye angechukua urithi wa mali yote ya marehemu. Wote waliokuwepo wakaachwa vinywa wazi. Mali yote ya marehemu ikakabidhiwa kijakazi.
Bi. Baruti alipata nini
{ "text": [ "ujauzito" ] }
4826_swa
BWANA JABURUTI Jijini komongo paliishi mzee mmoja ,bw jaburuti na mkwe,bi jaburuti. Walikuwa wafanyabiashara wa kutajika. Himaya yao ya biashara ilitapakaa kote nchini. Hata nchi za nje. Wawili hao ndio walikuwa wakurugenzi wa biashara yao. Kilichowabainisha zaidi ni bidii yao ya mchwa. Wanajamii waliwatamani kwa sababu walikuwa na mali nyingi. Walijaliwa mambo yote ya kutamanika na binadamu wa kawaida isipokuwa kitu kimoja tu. Walimwomba mungu kila kukicha ili asikie kilio chao. Walitamani sana kupata mrithi wa mali yao. Matumaini yao yalififia kwa mpito wa nyakati. Uzee ulikuwa unawanyapia. Walijua kuwa kumpata mrithi uzeeni kungalikuwa muujiza. Mungu naye hamtupi mja wake. Maombi Yao yalijibiwa. Bi. Baruti alipata ujauzito. Jambo hili liliwashangaza wengi kutokana na uzee wao. Kwao hata hivyo ilikuwa wakati wa furaha. Walimshukuru mungu. Waliomba mungu waweze kupata mtoto salama. Muda ulifika wa mama kujifungua. Alijifungua salama salmini. Akapata mtoto wa kiume. Wazazi wakamlea mtoto wao kwa tunu na tamasha. Hata hivyo,alipofika umri wa kutambaa. Kukua kwake kulianza kubadilika. Mgongo ulianza kupinda. Kichwa chake kikawa kikubwa kuliko sehemu nyingine za mwili. Msaada wa kimatibabu ulitafutwa katika kila pembe ya dunia. Ilimuradi kuokoa maisha yake. Walitoa pesa nyingi ili tu kumwokoa mtoto wao. Walisafiri nchi za mbali ili kumwokoa mtoto wao. Baada ya gangaganga zote hizo. Mtoto aliaga dunia. Mama mtoto alishindwa kuhimili kushindo hicho. Kidogo naye akaanza kuugua. Baada ya muda mfupi naye akaaga. Mzee jaburuti akabaki mpweke akiomboleza. Mzee aliwaza na kuwazua kuhusu mrithi wa mali yake. Hatimaye aliandika wosia na kumkabidhi wakili wake pamoja na maelezo yote. Haya yalifaa kufuatwa yeye alipoondoka duniani. Baada ya muda mfupi,naye pia aliaga. Wakili alitekeleza kulingana na maagizo ya wosia. Aliweka matangazo katika magazeti, redio na runinga kuhusu mnada wa mali ya Mzee jaburuti. Halaiki ya watu nchini kote walifika siku ya mnada kununua mali ya jaburuti. Wengine walitoka njee ya nchi. Dalali alichukua kengele yake na kuwakaribisha wote. Aliwasomea orodha ya vitu vilivyopaswa kuuzwa. Vilikuwa biashara zote za marehemu. Mashamba,makasri. Na nyumba za kukodisha zilizokuwa katika mji mbalimbali. Pia samani za kifahari. Kwa mujibu wa wosia,bw jaburuti alitaka picha ya mwanawe uizwe kwanza. Ilikuwa picha kubwa iliyowekwa fremu. Kisha ikatiwa nakshi ya dhahabu. Licha ya fremu kuvutia. Picha ile haikuvutia. Ilikuwa ya kuimbe aliyepinda mgongo . Pia kichwa kilikuwa kikubwa kuliko mwili. Picha iliponadiwa. Ilikosa mnunuzi. Mara akatokea kijakazi. Akasema kuwa angeinunua picha ile. Wengine waliona afadhali angenunua pakiti ya posho badala ya picha. Kijakazi alimwendea dalali. Kisha akamuomba amwuzie picha ile. Dalali naye akakataa. Kijakazi akamweleza kwamba yeye ndiye alikuwa mlezi wa mtoto yule. Alijua vile mtoto huyo alivyokuwa tunu kwa wazazi. Pia alifahamu jinsi walivyosumbuka alipokufa. Alitaka kuinunua kama kumbukumbu kwake. Dalali alimpa shingo upande . Kijakazi huyo alichukua kwa deni. Baada ya kuiuza picha, wakili akampa dalali bahasha nyingine. Dalali akaifungua kwa pupa. Alifikiri ni orodha ya namna mali ile ingeuzwa. Alitazama kwanza. Akashindwa kuendelea kusoma. Msaidizi wa dalali akauchukua bahasha. Kisha akausoma. Waraka ulieleza kuwa mtu ambaye angeinunua ile picha ya mwanawe marehemu ndiye angechukua urithi wa mali yote ya marehemu. Wote waliokuwepo wakaachwa vinywa wazi. Mali yote ya marehemu ikakabidhiwa kijakazi.
Nini ilikuwa kubwa kuliko sehemu nyingine za mwili.
{ "text": [ "Kichwa" ] }
4826_swa
BWANA JABURUTI Jijini komongo paliishi mzee mmoja ,bw jaburuti na mkwe,bi jaburuti. Walikuwa wafanyabiashara wa kutajika. Himaya yao ya biashara ilitapakaa kote nchini. Hata nchi za nje. Wawili hao ndio walikuwa wakurugenzi wa biashara yao. Kilichowabainisha zaidi ni bidii yao ya mchwa. Wanajamii waliwatamani kwa sababu walikuwa na mali nyingi. Walijaliwa mambo yote ya kutamanika na binadamu wa kawaida isipokuwa kitu kimoja tu. Walimwomba mungu kila kukicha ili asikie kilio chao. Walitamani sana kupata mrithi wa mali yao. Matumaini yao yalififia kwa mpito wa nyakati. Uzee ulikuwa unawanyapia. Walijua kuwa kumpata mrithi uzeeni kungalikuwa muujiza. Mungu naye hamtupi mja wake. Maombi Yao yalijibiwa. Bi. Baruti alipata ujauzito. Jambo hili liliwashangaza wengi kutokana na uzee wao. Kwao hata hivyo ilikuwa wakati wa furaha. Walimshukuru mungu. Waliomba mungu waweze kupata mtoto salama. Muda ulifika wa mama kujifungua. Alijifungua salama salmini. Akapata mtoto wa kiume. Wazazi wakamlea mtoto wao kwa tunu na tamasha. Hata hivyo,alipofika umri wa kutambaa. Kukua kwake kulianza kubadilika. Mgongo ulianza kupinda. Kichwa chake kikawa kikubwa kuliko sehemu nyingine za mwili. Msaada wa kimatibabu ulitafutwa katika kila pembe ya dunia. Ilimuradi kuokoa maisha yake. Walitoa pesa nyingi ili tu kumwokoa mtoto wao. Walisafiri nchi za mbali ili kumwokoa mtoto wao. Baada ya gangaganga zote hizo. Mtoto aliaga dunia. Mama mtoto alishindwa kuhimili kushindo hicho. Kidogo naye akaanza kuugua. Baada ya muda mfupi naye akaaga. Mzee jaburuti akabaki mpweke akiomboleza. Mzee aliwaza na kuwazua kuhusu mrithi wa mali yake. Hatimaye aliandika wosia na kumkabidhi wakili wake pamoja na maelezo yote. Haya yalifaa kufuatwa yeye alipoondoka duniani. Baada ya muda mfupi,naye pia aliaga. Wakili alitekeleza kulingana na maagizo ya wosia. Aliweka matangazo katika magazeti, redio na runinga kuhusu mnada wa mali ya Mzee jaburuti. Halaiki ya watu nchini kote walifika siku ya mnada kununua mali ya jaburuti. Wengine walitoka njee ya nchi. Dalali alichukua kengele yake na kuwakaribisha wote. Aliwasomea orodha ya vitu vilivyopaswa kuuzwa. Vilikuwa biashara zote za marehemu. Mashamba,makasri. Na nyumba za kukodisha zilizokuwa katika mji mbalimbali. Pia samani za kifahari. Kwa mujibu wa wosia,bw jaburuti alitaka picha ya mwanawe uizwe kwanza. Ilikuwa picha kubwa iliyowekwa fremu. Kisha ikatiwa nakshi ya dhahabu. Licha ya fremu kuvutia. Picha ile haikuvutia. Ilikuwa ya kuimbe aliyepinda mgongo . Pia kichwa kilikuwa kikubwa kuliko mwili. Picha iliponadiwa. Ilikosa mnunuzi. Mara akatokea kijakazi. Akasema kuwa angeinunua picha ile. Wengine waliona afadhali angenunua pakiti ya posho badala ya picha. Kijakazi alimwendea dalali. Kisha akamuomba amwuzie picha ile. Dalali naye akakataa. Kijakazi akamweleza kwamba yeye ndiye alikuwa mlezi wa mtoto yule. Alijua vile mtoto huyo alivyokuwa tunu kwa wazazi. Pia alifahamu jinsi walivyosumbuka alipokufa. Alitaka kuinunua kama kumbukumbu kwake. Dalali alimpa shingo upande . Kijakazi huyo alichukua kwa deni. Baada ya kuiuza picha, wakili akampa dalali bahasha nyingine. Dalali akaifungua kwa pupa. Alifikiri ni orodha ya namna mali ile ingeuzwa. Alitazama kwanza. Akashindwa kuendelea kusoma. Msaidizi wa dalali akauchukua bahasha. Kisha akausoma. Waraka ulieleza kuwa mtu ambaye angeinunua ile picha ya mwanawe marehemu ndiye angechukua urithi wa mali yote ya marehemu. Wote waliokuwepo wakaachwa vinywa wazi. Mali yote ya marehemu ikakabidhiwa kijakazi.
Mzee aliandika wosia na kumkabidhi nani
{ "text": [ "Wakili" ] }
4826_swa
BWANA JABURUTI Jijini komongo paliishi mzee mmoja ,bw jaburuti na mkwe,bi jaburuti. Walikuwa wafanyabiashara wa kutajika. Himaya yao ya biashara ilitapakaa kote nchini. Hata nchi za nje. Wawili hao ndio walikuwa wakurugenzi wa biashara yao. Kilichowabainisha zaidi ni bidii yao ya mchwa. Wanajamii waliwatamani kwa sababu walikuwa na mali nyingi. Walijaliwa mambo yote ya kutamanika na binadamu wa kawaida isipokuwa kitu kimoja tu. Walimwomba mungu kila kukicha ili asikie kilio chao. Walitamani sana kupata mrithi wa mali yao. Matumaini yao yalififia kwa mpito wa nyakati. Uzee ulikuwa unawanyapia. Walijua kuwa kumpata mrithi uzeeni kungalikuwa muujiza. Mungu naye hamtupi mja wake. Maombi Yao yalijibiwa. Bi. Baruti alipata ujauzito. Jambo hili liliwashangaza wengi kutokana na uzee wao. Kwao hata hivyo ilikuwa wakati wa furaha. Walimshukuru mungu. Waliomba mungu waweze kupata mtoto salama. Muda ulifika wa mama kujifungua. Alijifungua salama salmini. Akapata mtoto wa kiume. Wazazi wakamlea mtoto wao kwa tunu na tamasha. Hata hivyo,alipofika umri wa kutambaa. Kukua kwake kulianza kubadilika. Mgongo ulianza kupinda. Kichwa chake kikawa kikubwa kuliko sehemu nyingine za mwili. Msaada wa kimatibabu ulitafutwa katika kila pembe ya dunia. Ilimuradi kuokoa maisha yake. Walitoa pesa nyingi ili tu kumwokoa mtoto wao. Walisafiri nchi za mbali ili kumwokoa mtoto wao. Baada ya gangaganga zote hizo. Mtoto aliaga dunia. Mama mtoto alishindwa kuhimili kushindo hicho. Kidogo naye akaanza kuugua. Baada ya muda mfupi naye akaaga. Mzee jaburuti akabaki mpweke akiomboleza. Mzee aliwaza na kuwazua kuhusu mrithi wa mali yake. Hatimaye aliandika wosia na kumkabidhi wakili wake pamoja na maelezo yote. Haya yalifaa kufuatwa yeye alipoondoka duniani. Baada ya muda mfupi,naye pia aliaga. Wakili alitekeleza kulingana na maagizo ya wosia. Aliweka matangazo katika magazeti, redio na runinga kuhusu mnada wa mali ya Mzee jaburuti. Halaiki ya watu nchini kote walifika siku ya mnada kununua mali ya jaburuti. Wengine walitoka njee ya nchi. Dalali alichukua kengele yake na kuwakaribisha wote. Aliwasomea orodha ya vitu vilivyopaswa kuuzwa. Vilikuwa biashara zote za marehemu. Mashamba,makasri. Na nyumba za kukodisha zilizokuwa katika mji mbalimbali. Pia samani za kifahari. Kwa mujibu wa wosia,bw jaburuti alitaka picha ya mwanawe uizwe kwanza. Ilikuwa picha kubwa iliyowekwa fremu. Kisha ikatiwa nakshi ya dhahabu. Licha ya fremu kuvutia. Picha ile haikuvutia. Ilikuwa ya kuimbe aliyepinda mgongo . Pia kichwa kilikuwa kikubwa kuliko mwili. Picha iliponadiwa. Ilikosa mnunuzi. Mara akatokea kijakazi. Akasema kuwa angeinunua picha ile. Wengine waliona afadhali angenunua pakiti ya posho badala ya picha. Kijakazi alimwendea dalali. Kisha akamuomba amwuzie picha ile. Dalali naye akakataa. Kijakazi akamweleza kwamba yeye ndiye alikuwa mlezi wa mtoto yule. Alijua vile mtoto huyo alivyokuwa tunu kwa wazazi. Pia alifahamu jinsi walivyosumbuka alipokufa. Alitaka kuinunua kama kumbukumbu kwake. Dalali alimpa shingo upande . Kijakazi huyo alichukua kwa deni. Baada ya kuiuza picha, wakili akampa dalali bahasha nyingine. Dalali akaifungua kwa pupa. Alifikiri ni orodha ya namna mali ile ingeuzwa. Alitazama kwanza. Akashindwa kuendelea kusoma. Msaidizi wa dalali akauchukua bahasha. Kisha akausoma. Waraka ulieleza kuwa mtu ambaye angeinunua ile picha ya mwanawe marehemu ndiye angechukua urithi wa mali yote ya marehemu. Wote waliokuwepo wakaachwa vinywa wazi. Mali yote ya marehemu ikakabidhiwa kijakazi.
Kwa nini dalali aliifungua kwa pupa
{ "text": [ "Alifikiri ni orodha ya namna mali ile ingeuzwa." ] }
4827_swa
CHANGAMOTO ZA JINSIA YA KIKE Changamoto zinazidi kuwakumba kina mama nchini. Kenya ingawa sasa kuna katiba mpya. Pamoja na kuwa mwanamke. Amepewa hadhi kubwa ikilinganishwa na hapo awali. Kumetoka visa vingi vya unyanyasaji wa wanawake. Visa hivi haviwakati wengi maini. Bali ni vyombo vya kuwazindua viongozi kuona kwamba hali. Haijafika kiwango cha kuridhisha. Hii ina maana kuwa ingawa katiba mpya. Ilianza kutekeleza mwaka wa elfu mbili na kumi. Bado watu wengi hawajabadili mtazamo wao na jinsi . Ya kuhusiana na jinsia ya kike. Visa vya ubakaji wa watoto wa kike na wazee. Na wakati mwingine baba zao. Vimetokea katika miaka ya hivi karibuni. Isitoshe akina mama wengi. Wamekuwa wahasiriwa wa mivua ya makonde kutoka kwa waume zao. Hata kwa makosa madogomadogo. Hivi majuzi mmoja wa wanawake hawa. Ambao maisha kwao ni shairi tu. Alichomwa vibaya na mumewe. Kisha na maana amejitia kujua kuwa kuna siku. Ya wapenzi . Mwanamke huyu. Baada ya kutoka mashambani kuja. Kujumuika na mumewe kusherehekea siku ya wapenzi. Alipata sherehe za kuchomwa moto huku. Mumewe akilalamika kuingiliwa uhuru wake. Mana huyu bado anauguza majeraha. Ya mwili na moyo. Mwanamke aliyesoma. Na kupewa fursa ya kufanya kazi. Na ajira ofisini naye amekabiliwa na changamoto nyingi. Huyu lazima atekeleze majukumu yake kama mama. Mke na mfanyakazi. Wengi wa wanawake wanaofanya. Kazi mjini hulalamika wanafanya kazi maradufu ya wanaume. Mwanamke kama huyu. Kama alivyolalamika mmoja wao ambaye ni afisa. Wa utawala wa mikoa. Huanza siku yake alfajiri na mapema kuitayarisha familia staftahi. Kisha kuelekea ofisini ambapo anakabiliwa na migogoro. Mingi ya kusuluhisha. Arejeapo nyumbani jioni. Hali huwa hiyo hiyo. Kutayarisha chajio. Kushughulikia kazi za shule za watoto. Na kuichangamsha familia. Maisha yake huwa hiyo. Siku nenda siku rudi. Utashangaa mja huyu atayabeba mangapi. Hali huwa mbaya zaidi kwa wanawake. Ambao wameingia siasa. Hawa mikasa yao haihesabiki. Mara watupiwe mabezo ya kila aina. Na wanasiasa wenzao. Mara washutumiwe . Na kutiwa midomoni na wanajamii. Kwa kuonekana wakichapa. Kazi na kuwa na uhusiano wa Karibu. . Na wazalendo wenzao wa kiume. Maisha yao hupigwa darubini. Hata nyakati amvazo hayahitaji kuangazwa. Mwanamke amekuwa kinyago cha kufanyiwa mzaha. Juzi karibu mbingu zianguke alipokitokeza . Mwana vitimbi mmoja aliyejitia kufanyia utani yasiyohitaji. Alimsawiri mwanamke kama aliyechangia. Kukosewa heshima kwake. Kwa kule kutamani kufanya hivyo. Ingawa wanawake walimshinikiza mhusika huyu kuomba msamaha. Upayukaji wake haupaswi kuchukuliwa kama mzaha. Ni ishara ya hisia za ndani za watu wengi kuhusu mwanamke. Kwamba ingawa wakenya. Wamejitahidi kupigania hazi za wanawake. Baadhi yetu bado tuna zile fikira za kijadi. Kuhusu wanawake. Uchumi wa nchi kamwe hauwezi kuendelea. Bila kumhusisha kila mtu. Nchini humu,baada ya kutambua haya mwanamke amepewa nyathifa mbalimbali katika serikali. Ingawa kuna baadhi ya wanawake. Waliohusika na kashfa mbalimbali za kifisadi. Kuna wale ambao wametumia nyadhifa zao kuhifadhi nchi. Mmoja wa wanawake amejaribu. Kwa jino na ukucha kuyalinda mazingira dhidi ya mapapa. Nani asiyekumbuka matusi aliyopata mwanamke huyu. Anayejitoa mhanga kuikinga sehemu fulani za burudani. Dhidi ya kunyakuliwa na wanaostahili. Hakuyajutia yaliyompata. Aliowatisha walijaribu kummeza mzimamzima. Mwishowe walisalimu amri. Na kuliacha eneo hilo. Hiki kilikuwa kitendo cha ujasiri na uzalendo mkubwa. Matunda yake yamewafaidi wengi. Vijana kwa wazee. Kila mwisho wa wiki huwaona watu wakimiminika kwenye eneo hili kujipumbaza. Hii si fahari kwake tu. Bali kwa nchi kwa jumla. Wale waliompinga. Na wale waliomwita punguani wakati huo. Wamebaki kuinamisha nyuso tu. Bila shaka wamefunzwa mengi. Wanawake sasa wana haki ya kumiliki mali. Vilevile mashamba. Kutokana na hili tumeshuhudia ongezeko kubwa la uzalishaji wa chakula. Mashambani na kwa hivyo kupunguza njaa na umasikini. Biashara ndogondogo zinazoendelezwa sokoni na mitaani. Kwa kiasi kikubwa. Huhusisha wanawake. Biashara hizi huchangia pakubwa. Katika kuimarisha uchumi wa nchi. Kwani hutoa ajira ya kibinafsi kwa maelfu ya watu. Ushuru na leseni zinazokatiwa biashara hizi huongezea serikali pato la ndani. Mgala muue na haki umpe. Ni kweli kwamba tumekuwa na visa vya hapa na pale. Vya ukiukaji wa haki za wanawake. Hata hivyo . Ni dhahiri kwamba nchi hii imejitahidi mno kuendelea kumkwamua mwanamke kwayo. Hata mashirika ambayo hapo awali hayakupenda kuwaajiri wanawake. Sasa yanawapa nafasi sawa na wanaume. Vyuo vikuu vya kibinafsi vimeanzishwa kuwasajili wanawake. Jijini Nairobi. Mna chuo kikuu cha sayansi cha wanawake. Aidha kumeanzishwa shule za kuwasajili wasichana. Kutoka familia masikini kujiunga na kidato cha kwanza. Wasichana hawa watapata wadhamini. Kutoka mashirika na watu mbalimbali. Ili kujiendeleza kimasomo. Kumheshimu mwanamke ni miongoni mwa haki. Za kibinadamu ambazo sharti zitekelezwe. Hata hivyo. Wanawake wakumbuke hata wanapouliza usawa kuhusu kupewa haki. Lazima wao pia wajibike. Wao ndio walimu wakwanza wa wanao. Ikiwa basi wataonekana kwenye vyombo vya habari wakininginia juu ya magari. Ya wachunga magereza kwa kujitafutia pesa za mayatima. Malezi bora pia. Watakuwa wanapotosha watoto wao. Wawe watu wa vitendo zaidi ya upayukaji.
Kipi kinawakumba kina mama nchini
{ "text": [ "Changamoto" ] }
4827_swa
CHANGAMOTO ZA JINSIA YA KIKE Changamoto zinazidi kuwakumba kina mama nchini. Kenya ingawa sasa kuna katiba mpya. Pamoja na kuwa mwanamke. Amepewa hadhi kubwa ikilinganishwa na hapo awali. Kumetoka visa vingi vya unyanyasaji wa wanawake. Visa hivi haviwakati wengi maini. Bali ni vyombo vya kuwazindua viongozi kuona kwamba hali. Haijafika kiwango cha kuridhisha. Hii ina maana kuwa ingawa katiba mpya. Ilianza kutekeleza mwaka wa elfu mbili na kumi. Bado watu wengi hawajabadili mtazamo wao na jinsi . Ya kuhusiana na jinsia ya kike. Visa vya ubakaji wa watoto wa kike na wazee. Na wakati mwingine baba zao. Vimetokea katika miaka ya hivi karibuni. Isitoshe akina mama wengi. Wamekuwa wahasiriwa wa mivua ya makonde kutoka kwa waume zao. Hata kwa makosa madogomadogo. Hivi majuzi mmoja wa wanawake hawa. Ambao maisha kwao ni shairi tu. Alichomwa vibaya na mumewe. Kisha na maana amejitia kujua kuwa kuna siku. Ya wapenzi . Mwanamke huyu. Baada ya kutoka mashambani kuja. Kujumuika na mumewe kusherehekea siku ya wapenzi. Alipata sherehe za kuchomwa moto huku. Mumewe akilalamika kuingiliwa uhuru wake. Mana huyu bado anauguza majeraha. Ya mwili na moyo. Mwanamke aliyesoma. Na kupewa fursa ya kufanya kazi. Na ajira ofisini naye amekabiliwa na changamoto nyingi. Huyu lazima atekeleze majukumu yake kama mama. Mke na mfanyakazi. Wengi wa wanawake wanaofanya. Kazi mjini hulalamika wanafanya kazi maradufu ya wanaume. Mwanamke kama huyu. Kama alivyolalamika mmoja wao ambaye ni afisa. Wa utawala wa mikoa. Huanza siku yake alfajiri na mapema kuitayarisha familia staftahi. Kisha kuelekea ofisini ambapo anakabiliwa na migogoro. Mingi ya kusuluhisha. Arejeapo nyumbani jioni. Hali huwa hiyo hiyo. Kutayarisha chajio. Kushughulikia kazi za shule za watoto. Na kuichangamsha familia. Maisha yake huwa hiyo. Siku nenda siku rudi. Utashangaa mja huyu atayabeba mangapi. Hali huwa mbaya zaidi kwa wanawake. Ambao wameingia siasa. Hawa mikasa yao haihesabiki. Mara watupiwe mabezo ya kila aina. Na wanasiasa wenzao. Mara washutumiwe . Na kutiwa midomoni na wanajamii. Kwa kuonekana wakichapa. Kazi na kuwa na uhusiano wa Karibu. . Na wazalendo wenzao wa kiume. Maisha yao hupigwa darubini. Hata nyakati amvazo hayahitaji kuangazwa. Mwanamke amekuwa kinyago cha kufanyiwa mzaha. Juzi karibu mbingu zianguke alipokitokeza . Mwana vitimbi mmoja aliyejitia kufanyia utani yasiyohitaji. Alimsawiri mwanamke kama aliyechangia. Kukosewa heshima kwake. Kwa kule kutamani kufanya hivyo. Ingawa wanawake walimshinikiza mhusika huyu kuomba msamaha. Upayukaji wake haupaswi kuchukuliwa kama mzaha. Ni ishara ya hisia za ndani za watu wengi kuhusu mwanamke. Kwamba ingawa wakenya. Wamejitahidi kupigania hazi za wanawake. Baadhi yetu bado tuna zile fikira za kijadi. Kuhusu wanawake. Uchumi wa nchi kamwe hauwezi kuendelea. Bila kumhusisha kila mtu. Nchini humu,baada ya kutambua haya mwanamke amepewa nyathifa mbalimbali katika serikali. Ingawa kuna baadhi ya wanawake. Waliohusika na kashfa mbalimbali za kifisadi. Kuna wale ambao wametumia nyadhifa zao kuhifadhi nchi. Mmoja wa wanawake amejaribu. Kwa jino na ukucha kuyalinda mazingira dhidi ya mapapa. Nani asiyekumbuka matusi aliyopata mwanamke huyu. Anayejitoa mhanga kuikinga sehemu fulani za burudani. Dhidi ya kunyakuliwa na wanaostahili. Hakuyajutia yaliyompata. Aliowatisha walijaribu kummeza mzimamzima. Mwishowe walisalimu amri. Na kuliacha eneo hilo. Hiki kilikuwa kitendo cha ujasiri na uzalendo mkubwa. Matunda yake yamewafaidi wengi. Vijana kwa wazee. Kila mwisho wa wiki huwaona watu wakimiminika kwenye eneo hili kujipumbaza. Hii si fahari kwake tu. Bali kwa nchi kwa jumla. Wale waliompinga. Na wale waliomwita punguani wakati huo. Wamebaki kuinamisha nyuso tu. Bila shaka wamefunzwa mengi. Wanawake sasa wana haki ya kumiliki mali. Vilevile mashamba. Kutokana na hili tumeshuhudia ongezeko kubwa la uzalishaji wa chakula. Mashambani na kwa hivyo kupunguza njaa na umasikini. Biashara ndogondogo zinazoendelezwa sokoni na mitaani. Kwa kiasi kikubwa. Huhusisha wanawake. Biashara hizi huchangia pakubwa. Katika kuimarisha uchumi wa nchi. Kwani hutoa ajira ya kibinafsi kwa maelfu ya watu. Ushuru na leseni zinazokatiwa biashara hizi huongezea serikali pato la ndani. Mgala muue na haki umpe. Ni kweli kwamba tumekuwa na visa vya hapa na pale. Vya ukiukaji wa haki za wanawake. Hata hivyo . Ni dhahiri kwamba nchi hii imejitahidi mno kuendelea kumkwamua mwanamke kwayo. Hata mashirika ambayo hapo awali hayakupenda kuwaajiri wanawake. Sasa yanawapa nafasi sawa na wanaume. Vyuo vikuu vya kibinafsi vimeanzishwa kuwasajili wanawake. Jijini Nairobi. Mna chuo kikuu cha sayansi cha wanawake. Aidha kumeanzishwa shule za kuwasajili wasichana. Kutoka familia masikini kujiunga na kidato cha kwanza. Wasichana hawa watapata wadhamini. Kutoka mashirika na watu mbalimbali. Ili kujiendeleza kimasomo. Kumheshimu mwanamke ni miongoni mwa haki. Za kibinadamu ambazo sharti zitekelezwe. Hata hivyo. Wanawake wakumbuke hata wanapouliza usawa kuhusu kupewa haki. Lazima wao pia wajibike. Wao ndio walimu wakwanza wa wanao. Ikiwa basi wataonekana kwenye vyombo vya habari wakininginia juu ya magari. Ya wachunga magereza kwa kujitafutia pesa za mayatima. Malezi bora pia. Watakuwa wanapotosha watoto wao. Wawe watu wa vitendo zaidi ya upayukaji.
Katiba ilianza kutekelezwa lini
{ "text": [ "2010" ] }
4827_swa
CHANGAMOTO ZA JINSIA YA KIKE Changamoto zinazidi kuwakumba kina mama nchini. Kenya ingawa sasa kuna katiba mpya. Pamoja na kuwa mwanamke. Amepewa hadhi kubwa ikilinganishwa na hapo awali. Kumetoka visa vingi vya unyanyasaji wa wanawake. Visa hivi haviwakati wengi maini. Bali ni vyombo vya kuwazindua viongozi kuona kwamba hali. Haijafika kiwango cha kuridhisha. Hii ina maana kuwa ingawa katiba mpya. Ilianza kutekeleza mwaka wa elfu mbili na kumi. Bado watu wengi hawajabadili mtazamo wao na jinsi . Ya kuhusiana na jinsia ya kike. Visa vya ubakaji wa watoto wa kike na wazee. Na wakati mwingine baba zao. Vimetokea katika miaka ya hivi karibuni. Isitoshe akina mama wengi. Wamekuwa wahasiriwa wa mivua ya makonde kutoka kwa waume zao. Hata kwa makosa madogomadogo. Hivi majuzi mmoja wa wanawake hawa. Ambao maisha kwao ni shairi tu. Alichomwa vibaya na mumewe. Kisha na maana amejitia kujua kuwa kuna siku. Ya wapenzi . Mwanamke huyu. Baada ya kutoka mashambani kuja. Kujumuika na mumewe kusherehekea siku ya wapenzi. Alipata sherehe za kuchomwa moto huku. Mumewe akilalamika kuingiliwa uhuru wake. Mana huyu bado anauguza majeraha. Ya mwili na moyo. Mwanamke aliyesoma. Na kupewa fursa ya kufanya kazi. Na ajira ofisini naye amekabiliwa na changamoto nyingi. Huyu lazima atekeleze majukumu yake kama mama. Mke na mfanyakazi. Wengi wa wanawake wanaofanya. Kazi mjini hulalamika wanafanya kazi maradufu ya wanaume. Mwanamke kama huyu. Kama alivyolalamika mmoja wao ambaye ni afisa. Wa utawala wa mikoa. Huanza siku yake alfajiri na mapema kuitayarisha familia staftahi. Kisha kuelekea ofisini ambapo anakabiliwa na migogoro. Mingi ya kusuluhisha. Arejeapo nyumbani jioni. Hali huwa hiyo hiyo. Kutayarisha chajio. Kushughulikia kazi za shule za watoto. Na kuichangamsha familia. Maisha yake huwa hiyo. Siku nenda siku rudi. Utashangaa mja huyu atayabeba mangapi. Hali huwa mbaya zaidi kwa wanawake. Ambao wameingia siasa. Hawa mikasa yao haihesabiki. Mara watupiwe mabezo ya kila aina. Na wanasiasa wenzao. Mara washutumiwe . Na kutiwa midomoni na wanajamii. Kwa kuonekana wakichapa. Kazi na kuwa na uhusiano wa Karibu. . Na wazalendo wenzao wa kiume. Maisha yao hupigwa darubini. Hata nyakati amvazo hayahitaji kuangazwa. Mwanamke amekuwa kinyago cha kufanyiwa mzaha. Juzi karibu mbingu zianguke alipokitokeza . Mwana vitimbi mmoja aliyejitia kufanyia utani yasiyohitaji. Alimsawiri mwanamke kama aliyechangia. Kukosewa heshima kwake. Kwa kule kutamani kufanya hivyo. Ingawa wanawake walimshinikiza mhusika huyu kuomba msamaha. Upayukaji wake haupaswi kuchukuliwa kama mzaha. Ni ishara ya hisia za ndani za watu wengi kuhusu mwanamke. Kwamba ingawa wakenya. Wamejitahidi kupigania hazi za wanawake. Baadhi yetu bado tuna zile fikira za kijadi. Kuhusu wanawake. Uchumi wa nchi kamwe hauwezi kuendelea. Bila kumhusisha kila mtu. Nchini humu,baada ya kutambua haya mwanamke amepewa nyathifa mbalimbali katika serikali. Ingawa kuna baadhi ya wanawake. Waliohusika na kashfa mbalimbali za kifisadi. Kuna wale ambao wametumia nyadhifa zao kuhifadhi nchi. Mmoja wa wanawake amejaribu. Kwa jino na ukucha kuyalinda mazingira dhidi ya mapapa. Nani asiyekumbuka matusi aliyopata mwanamke huyu. Anayejitoa mhanga kuikinga sehemu fulani za burudani. Dhidi ya kunyakuliwa na wanaostahili. Hakuyajutia yaliyompata. Aliowatisha walijaribu kummeza mzimamzima. Mwishowe walisalimu amri. Na kuliacha eneo hilo. Hiki kilikuwa kitendo cha ujasiri na uzalendo mkubwa. Matunda yake yamewafaidi wengi. Vijana kwa wazee. Kila mwisho wa wiki huwaona watu wakimiminika kwenye eneo hili kujipumbaza. Hii si fahari kwake tu. Bali kwa nchi kwa jumla. Wale waliompinga. Na wale waliomwita punguani wakati huo. Wamebaki kuinamisha nyuso tu. Bila shaka wamefunzwa mengi. Wanawake sasa wana haki ya kumiliki mali. Vilevile mashamba. Kutokana na hili tumeshuhudia ongezeko kubwa la uzalishaji wa chakula. Mashambani na kwa hivyo kupunguza njaa na umasikini. Biashara ndogondogo zinazoendelezwa sokoni na mitaani. Kwa kiasi kikubwa. Huhusisha wanawake. Biashara hizi huchangia pakubwa. Katika kuimarisha uchumi wa nchi. Kwani hutoa ajira ya kibinafsi kwa maelfu ya watu. Ushuru na leseni zinazokatiwa biashara hizi huongezea serikali pato la ndani. Mgala muue na haki umpe. Ni kweli kwamba tumekuwa na visa vya hapa na pale. Vya ukiukaji wa haki za wanawake. Hata hivyo . Ni dhahiri kwamba nchi hii imejitahidi mno kuendelea kumkwamua mwanamke kwayo. Hata mashirika ambayo hapo awali hayakupenda kuwaajiri wanawake. Sasa yanawapa nafasi sawa na wanaume. Vyuo vikuu vya kibinafsi vimeanzishwa kuwasajili wanawake. Jijini Nairobi. Mna chuo kikuu cha sayansi cha wanawake. Aidha kumeanzishwa shule za kuwasajili wasichana. Kutoka familia masikini kujiunga na kidato cha kwanza. Wasichana hawa watapata wadhamini. Kutoka mashirika na watu mbalimbali. Ili kujiendeleza kimasomo. Kumheshimu mwanamke ni miongoni mwa haki. Za kibinadamu ambazo sharti zitekelezwe. Hata hivyo. Wanawake wakumbuke hata wanapouliza usawa kuhusu kupewa haki. Lazima wao pia wajibike. Wao ndio walimu wakwanza wa wanao. Ikiwa basi wataonekana kwenye vyombo vya habari wakininginia juu ya magari. Ya wachunga magereza kwa kujitafutia pesa za mayatima. Malezi bora pia. Watakuwa wanapotosha watoto wao. Wawe watu wa vitendo zaidi ya upayukaji.
Nini huwa mbaya kwa wanawake wanaoingia siasa
{ "text": [ "Hali" ] }
4827_swa
CHANGAMOTO ZA JINSIA YA KIKE Changamoto zinazidi kuwakumba kina mama nchini. Kenya ingawa sasa kuna katiba mpya. Pamoja na kuwa mwanamke. Amepewa hadhi kubwa ikilinganishwa na hapo awali. Kumetoka visa vingi vya unyanyasaji wa wanawake. Visa hivi haviwakati wengi maini. Bali ni vyombo vya kuwazindua viongozi kuona kwamba hali. Haijafika kiwango cha kuridhisha. Hii ina maana kuwa ingawa katiba mpya. Ilianza kutekeleza mwaka wa elfu mbili na kumi. Bado watu wengi hawajabadili mtazamo wao na jinsi . Ya kuhusiana na jinsia ya kike. Visa vya ubakaji wa watoto wa kike na wazee. Na wakati mwingine baba zao. Vimetokea katika miaka ya hivi karibuni. Isitoshe akina mama wengi. Wamekuwa wahasiriwa wa mivua ya makonde kutoka kwa waume zao. Hata kwa makosa madogomadogo. Hivi majuzi mmoja wa wanawake hawa. Ambao maisha kwao ni shairi tu. Alichomwa vibaya na mumewe. Kisha na maana amejitia kujua kuwa kuna siku. Ya wapenzi . Mwanamke huyu. Baada ya kutoka mashambani kuja. Kujumuika na mumewe kusherehekea siku ya wapenzi. Alipata sherehe za kuchomwa moto huku. Mumewe akilalamika kuingiliwa uhuru wake. Mana huyu bado anauguza majeraha. Ya mwili na moyo. Mwanamke aliyesoma. Na kupewa fursa ya kufanya kazi. Na ajira ofisini naye amekabiliwa na changamoto nyingi. Huyu lazima atekeleze majukumu yake kama mama. Mke na mfanyakazi. Wengi wa wanawake wanaofanya. Kazi mjini hulalamika wanafanya kazi maradufu ya wanaume. Mwanamke kama huyu. Kama alivyolalamika mmoja wao ambaye ni afisa. Wa utawala wa mikoa. Huanza siku yake alfajiri na mapema kuitayarisha familia staftahi. Kisha kuelekea ofisini ambapo anakabiliwa na migogoro. Mingi ya kusuluhisha. Arejeapo nyumbani jioni. Hali huwa hiyo hiyo. Kutayarisha chajio. Kushughulikia kazi za shule za watoto. Na kuichangamsha familia. Maisha yake huwa hiyo. Siku nenda siku rudi. Utashangaa mja huyu atayabeba mangapi. Hali huwa mbaya zaidi kwa wanawake. Ambao wameingia siasa. Hawa mikasa yao haihesabiki. Mara watupiwe mabezo ya kila aina. Na wanasiasa wenzao. Mara washutumiwe . Na kutiwa midomoni na wanajamii. Kwa kuonekana wakichapa. Kazi na kuwa na uhusiano wa Karibu. . Na wazalendo wenzao wa kiume. Maisha yao hupigwa darubini. Hata nyakati amvazo hayahitaji kuangazwa. Mwanamke amekuwa kinyago cha kufanyiwa mzaha. Juzi karibu mbingu zianguke alipokitokeza . Mwana vitimbi mmoja aliyejitia kufanyia utani yasiyohitaji. Alimsawiri mwanamke kama aliyechangia. Kukosewa heshima kwake. Kwa kule kutamani kufanya hivyo. Ingawa wanawake walimshinikiza mhusika huyu kuomba msamaha. Upayukaji wake haupaswi kuchukuliwa kama mzaha. Ni ishara ya hisia za ndani za watu wengi kuhusu mwanamke. Kwamba ingawa wakenya. Wamejitahidi kupigania hazi za wanawake. Baadhi yetu bado tuna zile fikira za kijadi. Kuhusu wanawake. Uchumi wa nchi kamwe hauwezi kuendelea. Bila kumhusisha kila mtu. Nchini humu,baada ya kutambua haya mwanamke amepewa nyathifa mbalimbali katika serikali. Ingawa kuna baadhi ya wanawake. Waliohusika na kashfa mbalimbali za kifisadi. Kuna wale ambao wametumia nyadhifa zao kuhifadhi nchi. Mmoja wa wanawake amejaribu. Kwa jino na ukucha kuyalinda mazingira dhidi ya mapapa. Nani asiyekumbuka matusi aliyopata mwanamke huyu. Anayejitoa mhanga kuikinga sehemu fulani za burudani. Dhidi ya kunyakuliwa na wanaostahili. Hakuyajutia yaliyompata. Aliowatisha walijaribu kummeza mzimamzima. Mwishowe walisalimu amri. Na kuliacha eneo hilo. Hiki kilikuwa kitendo cha ujasiri na uzalendo mkubwa. Matunda yake yamewafaidi wengi. Vijana kwa wazee. Kila mwisho wa wiki huwaona watu wakimiminika kwenye eneo hili kujipumbaza. Hii si fahari kwake tu. Bali kwa nchi kwa jumla. Wale waliompinga. Na wale waliomwita punguani wakati huo. Wamebaki kuinamisha nyuso tu. Bila shaka wamefunzwa mengi. Wanawake sasa wana haki ya kumiliki mali. Vilevile mashamba. Kutokana na hili tumeshuhudia ongezeko kubwa la uzalishaji wa chakula. Mashambani na kwa hivyo kupunguza njaa na umasikini. Biashara ndogondogo zinazoendelezwa sokoni na mitaani. Kwa kiasi kikubwa. Huhusisha wanawake. Biashara hizi huchangia pakubwa. Katika kuimarisha uchumi wa nchi. Kwani hutoa ajira ya kibinafsi kwa maelfu ya watu. Ushuru na leseni zinazokatiwa biashara hizi huongezea serikali pato la ndani. Mgala muue na haki umpe. Ni kweli kwamba tumekuwa na visa vya hapa na pale. Vya ukiukaji wa haki za wanawake. Hata hivyo . Ni dhahiri kwamba nchi hii imejitahidi mno kuendelea kumkwamua mwanamke kwayo. Hata mashirika ambayo hapo awali hayakupenda kuwaajiri wanawake. Sasa yanawapa nafasi sawa na wanaume. Vyuo vikuu vya kibinafsi vimeanzishwa kuwasajili wanawake. Jijini Nairobi. Mna chuo kikuu cha sayansi cha wanawake. Aidha kumeanzishwa shule za kuwasajili wasichana. Kutoka familia masikini kujiunga na kidato cha kwanza. Wasichana hawa watapata wadhamini. Kutoka mashirika na watu mbalimbali. Ili kujiendeleza kimasomo. Kumheshimu mwanamke ni miongoni mwa haki. Za kibinadamu ambazo sharti zitekelezwe. Hata hivyo. Wanawake wakumbuke hata wanapouliza usawa kuhusu kupewa haki. Lazima wao pia wajibike. Wao ndio walimu wakwanza wa wanao. Ikiwa basi wataonekana kwenye vyombo vya habari wakininginia juu ya magari. Ya wachunga magereza kwa kujitafutia pesa za mayatima. Malezi bora pia. Watakuwa wanapotosha watoto wao. Wawe watu wa vitendo zaidi ya upayukaji.
Mwanamke amekuwa nini cha kufanyiwa mzaha
{ "text": [ "Kinyago" ] }
4827_swa
CHANGAMOTO ZA JINSIA YA KIKE Changamoto zinazidi kuwakumba kina mama nchini. Kenya ingawa sasa kuna katiba mpya. Pamoja na kuwa mwanamke. Amepewa hadhi kubwa ikilinganishwa na hapo awali. Kumetoka visa vingi vya unyanyasaji wa wanawake. Visa hivi haviwakati wengi maini. Bali ni vyombo vya kuwazindua viongozi kuona kwamba hali. Haijafika kiwango cha kuridhisha. Hii ina maana kuwa ingawa katiba mpya. Ilianza kutekeleza mwaka wa elfu mbili na kumi. Bado watu wengi hawajabadili mtazamo wao na jinsi . Ya kuhusiana na jinsia ya kike. Visa vya ubakaji wa watoto wa kike na wazee. Na wakati mwingine baba zao. Vimetokea katika miaka ya hivi karibuni. Isitoshe akina mama wengi. Wamekuwa wahasiriwa wa mivua ya makonde kutoka kwa waume zao. Hata kwa makosa madogomadogo. Hivi majuzi mmoja wa wanawake hawa. Ambao maisha kwao ni shairi tu. Alichomwa vibaya na mumewe. Kisha na maana amejitia kujua kuwa kuna siku. Ya wapenzi . Mwanamke huyu. Baada ya kutoka mashambani kuja. Kujumuika na mumewe kusherehekea siku ya wapenzi. Alipata sherehe za kuchomwa moto huku. Mumewe akilalamika kuingiliwa uhuru wake. Mana huyu bado anauguza majeraha. Ya mwili na moyo. Mwanamke aliyesoma. Na kupewa fursa ya kufanya kazi. Na ajira ofisini naye amekabiliwa na changamoto nyingi. Huyu lazima atekeleze majukumu yake kama mama. Mke na mfanyakazi. Wengi wa wanawake wanaofanya. Kazi mjini hulalamika wanafanya kazi maradufu ya wanaume. Mwanamke kama huyu. Kama alivyolalamika mmoja wao ambaye ni afisa. Wa utawala wa mikoa. Huanza siku yake alfajiri na mapema kuitayarisha familia staftahi. Kisha kuelekea ofisini ambapo anakabiliwa na migogoro. Mingi ya kusuluhisha. Arejeapo nyumbani jioni. Hali huwa hiyo hiyo. Kutayarisha chajio. Kushughulikia kazi za shule za watoto. Na kuichangamsha familia. Maisha yake huwa hiyo. Siku nenda siku rudi. Utashangaa mja huyu atayabeba mangapi. Hali huwa mbaya zaidi kwa wanawake. Ambao wameingia siasa. Hawa mikasa yao haihesabiki. Mara watupiwe mabezo ya kila aina. Na wanasiasa wenzao. Mara washutumiwe . Na kutiwa midomoni na wanajamii. Kwa kuonekana wakichapa. Kazi na kuwa na uhusiano wa Karibu. . Na wazalendo wenzao wa kiume. Maisha yao hupigwa darubini. Hata nyakati amvazo hayahitaji kuangazwa. Mwanamke amekuwa kinyago cha kufanyiwa mzaha. Juzi karibu mbingu zianguke alipokitokeza . Mwana vitimbi mmoja aliyejitia kufanyia utani yasiyohitaji. Alimsawiri mwanamke kama aliyechangia. Kukosewa heshima kwake. Kwa kule kutamani kufanya hivyo. Ingawa wanawake walimshinikiza mhusika huyu kuomba msamaha. Upayukaji wake haupaswi kuchukuliwa kama mzaha. Ni ishara ya hisia za ndani za watu wengi kuhusu mwanamke. Kwamba ingawa wakenya. Wamejitahidi kupigania hazi za wanawake. Baadhi yetu bado tuna zile fikira za kijadi. Kuhusu wanawake. Uchumi wa nchi kamwe hauwezi kuendelea. Bila kumhusisha kila mtu. Nchini humu,baada ya kutambua haya mwanamke amepewa nyathifa mbalimbali katika serikali. Ingawa kuna baadhi ya wanawake. Waliohusika na kashfa mbalimbali za kifisadi. Kuna wale ambao wametumia nyadhifa zao kuhifadhi nchi. Mmoja wa wanawake amejaribu. Kwa jino na ukucha kuyalinda mazingira dhidi ya mapapa. Nani asiyekumbuka matusi aliyopata mwanamke huyu. Anayejitoa mhanga kuikinga sehemu fulani za burudani. Dhidi ya kunyakuliwa na wanaostahili. Hakuyajutia yaliyompata. Aliowatisha walijaribu kummeza mzimamzima. Mwishowe walisalimu amri. Na kuliacha eneo hilo. Hiki kilikuwa kitendo cha ujasiri na uzalendo mkubwa. Matunda yake yamewafaidi wengi. Vijana kwa wazee. Kila mwisho wa wiki huwaona watu wakimiminika kwenye eneo hili kujipumbaza. Hii si fahari kwake tu. Bali kwa nchi kwa jumla. Wale waliompinga. Na wale waliomwita punguani wakati huo. Wamebaki kuinamisha nyuso tu. Bila shaka wamefunzwa mengi. Wanawake sasa wana haki ya kumiliki mali. Vilevile mashamba. Kutokana na hili tumeshuhudia ongezeko kubwa la uzalishaji wa chakula. Mashambani na kwa hivyo kupunguza njaa na umasikini. Biashara ndogondogo zinazoendelezwa sokoni na mitaani. Kwa kiasi kikubwa. Huhusisha wanawake. Biashara hizi huchangia pakubwa. Katika kuimarisha uchumi wa nchi. Kwani hutoa ajira ya kibinafsi kwa maelfu ya watu. Ushuru na leseni zinazokatiwa biashara hizi huongezea serikali pato la ndani. Mgala muue na haki umpe. Ni kweli kwamba tumekuwa na visa vya hapa na pale. Vya ukiukaji wa haki za wanawake. Hata hivyo . Ni dhahiri kwamba nchi hii imejitahidi mno kuendelea kumkwamua mwanamke kwayo. Hata mashirika ambayo hapo awali hayakupenda kuwaajiri wanawake. Sasa yanawapa nafasi sawa na wanaume. Vyuo vikuu vya kibinafsi vimeanzishwa kuwasajili wanawake. Jijini Nairobi. Mna chuo kikuu cha sayansi cha wanawake. Aidha kumeanzishwa shule za kuwasajili wasichana. Kutoka familia masikini kujiunga na kidato cha kwanza. Wasichana hawa watapata wadhamini. Kutoka mashirika na watu mbalimbali. Ili kujiendeleza kimasomo. Kumheshimu mwanamke ni miongoni mwa haki. Za kibinadamu ambazo sharti zitekelezwe. Hata hivyo. Wanawake wakumbuke hata wanapouliza usawa kuhusu kupewa haki. Lazima wao pia wajibike. Wao ndio walimu wakwanza wa wanao. Ikiwa basi wataonekana kwenye vyombo vya habari wakininginia juu ya magari. Ya wachunga magereza kwa kujitafutia pesa za mayatima. Malezi bora pia. Watakuwa wanapotosha watoto wao. Wawe watu wa vitendo zaidi ya upayukaji.
Biashara ndogondogo huendelezwa wapi
{ "text": [ "Sokoni na mitaani" ] }
4828_swa
UMUHIMU WA ELIMU Elimu ni chombo muhimu katika jamii. Umuhimu wake umetambulika katika Kila jamii bila kujali tabaka, jinsia au dini. Elimu Ina manufaa chungu nzima sio tu Kwa mtu binafsi Bali hata katika familia na jamii mzima. Hivyo basi Kila mmoja yapaswa kupata elimu. Ajira ni muhimu kwa kuwa inawezesha mtu kupata malipo inayoweza kukidhi mahitaji yake. Kutokana na kuelimika watu hupata maarifa inayowatayarisha Kwa kazi za afisini inayoenziwa na wengi. Kupitia hii mtu anakuwa na hakika ya kwamba anapomaliza masomo yake atapata kazi mzuri na kuishi maisha mazuri. Katika jamii, tunaona ya kwamba asilimia themanini ya wale waliofanikiwa ni wenye elimu. Vile vile elimu huwezesha mtu kupata ajira yenye mapato ya juu. Waajiri wengi mara nyingi wana mapendeleo ya wafanyikazi wenye maarifa, juu ya wale wasiokuwa mayo. Kwa hivyo kazi zenye mapato ya juu wanapewa wale wenye elimu ya juu zaidi. Wale wa chini wanabakia kupata zile kazi duni. Kwa kupata fedha nyingi mtu ataweza kuishi maisha ya kumtosheleza. Masomo huwezesha mtu kukua na ile ujuzi wa kutatua matatizo. Maisha ya binadamu yamejawa changamoto chungu nzima. Elimu huandaa mtu jinsi ya kukumbatana na changamoto hizo. Mtu aliyeelimika Kwa hivyo ana nafasi ya juu Sana na ujuzi wa kupeana maaoni yenye busara na yanayoweza kuleta maendeleao katika jamii. Isitoshe, pia ana maarifa ipasavyo ya kulea familia au jamii yake Kwa njia ya busara. Walioelimika husaidia kabisa katika kuinua uchumi wa taifa. Uchumi wa taifa hutegemea Kwa asilimia kubwa ushuru. Ushuru yenyewe hukusanywa Kwa kutoza ushuru bidhaa na mishahara ya wafanyikazi. Kwa upande wa wafanyi kazi, Kila mmoja hutozwa Kulingana na kiwango Cha fedha mtu hulipwa. Kwa kawaida, walioelimika Hupata mishahara ya juu. Hivyo ushuru ambayo wanatozwa ni juu pia. Kulingana na hii, inamaanisha ya kwamba nchi iliyo na watu wengi waliosoma huweza kukusanya ushuru mingi na kuinua uchumi wake. Wahenga walisema kwamba mtoto akishazaliwa ni WA jamii. Bali sio tu wa wazazi wake. Kwa hii walimaanisha kuwa mtu yeyote anaweza kumwadhibu mtoto akiwa na kosa. Vile vile mwanajamii yeyote anaweza toa msaada Kwa mtoto yeyote mwenye kuhitaji msaada. Mara nyingine tumeona huu ukitendeka katika jamii. Mfano mmoja ni pale ambapo utapata wanafunzi waliosomea shule Moja awali wakirudi baadaye kama kikundi na kujenga darasa au hata maktaba Kwa ajili ya wengine. Pia utapata kwamba mwanajamii kutoka boma Moja huweza kuelimisha mtoto kutoka boma nyingine. Elimu huleta usawa wa kijinsia. Awali wanawake hawakuchukuliwa sawa na wanaume. Wanawake au mtoto wa kike hakupewa nafasi sawa na mtoto wa kiume katika jamii. Wengi wao walipewa kazi duni. Watoto wavulana walipewa kipao mbele katika Kila jambo. Elimu imeleta mabadiliko makubwa katika maisha ya mtoto wa kike. Masomo yameleta mtazamo tofauti. Katika siku za hivi karibuni wanawake Kwa wanaume hung'ang'ania vyeo kazini. Waajiri wengi huona kwamba wanawake Wana maarifa na ujuzi sawia na wanaume. Elimu ya kisasa inayojumuisha tamaduni mbalimbali hujenga watu kuwa viongozi. Masomo kutoka tamaduni tofauti tofauti ni Bora kwani mtu anakuwa na fahamu ya jinsi ya kutangamana au kushughulikia watu wote Kwa usawa bila kuwa na mapemdeleo.
Umuhimu wa elimu unatambukika wapi
{ "text": [ "Katika jamii" ] }
4828_swa
UMUHIMU WA ELIMU Elimu ni chombo muhimu katika jamii. Umuhimu wake umetambulika katika Kila jamii bila kujali tabaka, jinsia au dini. Elimu Ina manufaa chungu nzima sio tu Kwa mtu binafsi Bali hata katika familia na jamii mzima. Hivyo basi Kila mmoja yapaswa kupata elimu. Ajira ni muhimu kwa kuwa inawezesha mtu kupata malipo inayoweza kukidhi mahitaji yake. Kutokana na kuelimika watu hupata maarifa inayowatayarisha Kwa kazi za afisini inayoenziwa na wengi. Kupitia hii mtu anakuwa na hakika ya kwamba anapomaliza masomo yake atapata kazi mzuri na kuishi maisha mazuri. Katika jamii, tunaona ya kwamba asilimia themanini ya wale waliofanikiwa ni wenye elimu. Vile vile elimu huwezesha mtu kupata ajira yenye mapato ya juu. Waajiri wengi mara nyingi wana mapendeleo ya wafanyikazi wenye maarifa, juu ya wale wasiokuwa mayo. Kwa hivyo kazi zenye mapato ya juu wanapewa wale wenye elimu ya juu zaidi. Wale wa chini wanabakia kupata zile kazi duni. Kwa kupata fedha nyingi mtu ataweza kuishi maisha ya kumtosheleza. Masomo huwezesha mtu kukua na ile ujuzi wa kutatua matatizo. Maisha ya binadamu yamejawa changamoto chungu nzima. Elimu huandaa mtu jinsi ya kukumbatana na changamoto hizo. Mtu aliyeelimika Kwa hivyo ana nafasi ya juu Sana na ujuzi wa kupeana maaoni yenye busara na yanayoweza kuleta maendeleao katika jamii. Isitoshe, pia ana maarifa ipasavyo ya kulea familia au jamii yake Kwa njia ya busara. Walioelimika husaidia kabisa katika kuinua uchumi wa taifa. Uchumi wa taifa hutegemea Kwa asilimia kubwa ushuru. Ushuru yenyewe hukusanywa Kwa kutoza ushuru bidhaa na mishahara ya wafanyikazi. Kwa upande wa wafanyi kazi, Kila mmoja hutozwa Kulingana na kiwango Cha fedha mtu hulipwa. Kwa kawaida, walioelimika Hupata mishahara ya juu. Hivyo ushuru ambayo wanatozwa ni juu pia. Kulingana na hii, inamaanisha ya kwamba nchi iliyo na watu wengi waliosoma huweza kukusanya ushuru mingi na kuinua uchumi wake. Wahenga walisema kwamba mtoto akishazaliwa ni WA jamii. Bali sio tu wa wazazi wake. Kwa hii walimaanisha kuwa mtu yeyote anaweza kumwadhibu mtoto akiwa na kosa. Vile vile mwanajamii yeyote anaweza toa msaada Kwa mtoto yeyote mwenye kuhitaji msaada. Mara nyingine tumeona huu ukitendeka katika jamii. Mfano mmoja ni pale ambapo utapata wanafunzi waliosomea shule Moja awali wakirudi baadaye kama kikundi na kujenga darasa au hata maktaba Kwa ajili ya wengine. Pia utapata kwamba mwanajamii kutoka boma Moja huweza kuelimisha mtoto kutoka boma nyingine. Elimu huleta usawa wa kijinsia. Awali wanawake hawakuchukuliwa sawa na wanaume. Wanawake au mtoto wa kike hakupewa nafasi sawa na mtoto wa kiume katika jamii. Wengi wao walipewa kazi duni. Watoto wavulana walipewa kipao mbele katika Kila jambo. Elimu imeleta mabadiliko makubwa katika maisha ya mtoto wa kike. Masomo yameleta mtazamo tofauti. Katika siku za hivi karibuni wanawake Kwa wanaume hung'ang'ania vyeo kazini. Waajiri wengi huona kwamba wanawake Wana maarifa na ujuzi sawia na wanaume. Elimu ya kisasa inayojumuisha tamaduni mbalimbali hujenga watu kuwa viongozi. Masomo kutoka tamaduni tofauti tofauti ni Bora kwani mtu anakuwa na fahamu ya jinsi ya kutangamana au kushughulikia watu wote Kwa usawa bila kuwa na mapemdeleo.
Ni jambo lipi hutokea mtu anapomaliza masomo yake
{ "text": [ "Mtu atapata kazi na kuiishi maisha mazuri" ] }
4828_swa
UMUHIMU WA ELIMU Elimu ni chombo muhimu katika jamii. Umuhimu wake umetambulika katika Kila jamii bila kujali tabaka, jinsia au dini. Elimu Ina manufaa chungu nzima sio tu Kwa mtu binafsi Bali hata katika familia na jamii mzima. Hivyo basi Kila mmoja yapaswa kupata elimu. Ajira ni muhimu kwa kuwa inawezesha mtu kupata malipo inayoweza kukidhi mahitaji yake. Kutokana na kuelimika watu hupata maarifa inayowatayarisha Kwa kazi za afisini inayoenziwa na wengi. Kupitia hii mtu anakuwa na hakika ya kwamba anapomaliza masomo yake atapata kazi mzuri na kuishi maisha mazuri. Katika jamii, tunaona ya kwamba asilimia themanini ya wale waliofanikiwa ni wenye elimu. Vile vile elimu huwezesha mtu kupata ajira yenye mapato ya juu. Waajiri wengi mara nyingi wana mapendeleo ya wafanyikazi wenye maarifa, juu ya wale wasiokuwa mayo. Kwa hivyo kazi zenye mapato ya juu wanapewa wale wenye elimu ya juu zaidi. Wale wa chini wanabakia kupata zile kazi duni. Kwa kupata fedha nyingi mtu ataweza kuishi maisha ya kumtosheleza. Masomo huwezesha mtu kukua na ile ujuzi wa kutatua matatizo. Maisha ya binadamu yamejawa changamoto chungu nzima. Elimu huandaa mtu jinsi ya kukumbatana na changamoto hizo. Mtu aliyeelimika Kwa hivyo ana nafasi ya juu Sana na ujuzi wa kupeana maaoni yenye busara na yanayoweza kuleta maendeleao katika jamii. Isitoshe, pia ana maarifa ipasavyo ya kulea familia au jamii yake Kwa njia ya busara. Walioelimika husaidia kabisa katika kuinua uchumi wa taifa. Uchumi wa taifa hutegemea Kwa asilimia kubwa ushuru. Ushuru yenyewe hukusanywa Kwa kutoza ushuru bidhaa na mishahara ya wafanyikazi. Kwa upande wa wafanyi kazi, Kila mmoja hutozwa Kulingana na kiwango Cha fedha mtu hulipwa. Kwa kawaida, walioelimika Hupata mishahara ya juu. Hivyo ushuru ambayo wanatozwa ni juu pia. Kulingana na hii, inamaanisha ya kwamba nchi iliyo na watu wengi waliosoma huweza kukusanya ushuru mingi na kuinua uchumi wake. Wahenga walisema kwamba mtoto akishazaliwa ni WA jamii. Bali sio tu wa wazazi wake. Kwa hii walimaanisha kuwa mtu yeyote anaweza kumwadhibu mtoto akiwa na kosa. Vile vile mwanajamii yeyote anaweza toa msaada Kwa mtoto yeyote mwenye kuhitaji msaada. Mara nyingine tumeona huu ukitendeka katika jamii. Mfano mmoja ni pale ambapo utapata wanafunzi waliosomea shule Moja awali wakirudi baadaye kama kikundi na kujenga darasa au hata maktaba Kwa ajili ya wengine. Pia utapata kwamba mwanajamii kutoka boma Moja huweza kuelimisha mtoto kutoka boma nyingine. Elimu huleta usawa wa kijinsia. Awali wanawake hawakuchukuliwa sawa na wanaume. Wanawake au mtoto wa kike hakupewa nafasi sawa na mtoto wa kiume katika jamii. Wengi wao walipewa kazi duni. Watoto wavulana walipewa kipao mbele katika Kila jambo. Elimu imeleta mabadiliko makubwa katika maisha ya mtoto wa kike. Masomo yameleta mtazamo tofauti. Katika siku za hivi karibuni wanawake Kwa wanaume hung'ang'ania vyeo kazini. Waajiri wengi huona kwamba wanawake Wana maarifa na ujuzi sawia na wanaume. Elimu ya kisasa inayojumuisha tamaduni mbalimbali hujenga watu kuwa viongozi. Masomo kutoka tamaduni tofauti tofauti ni Bora kwani mtu anakuwa na fahamu ya jinsi ya kutangamana au kushughulikia watu wote Kwa usawa bila kuwa na mapemdeleo.
Ni nani wanapewa kazi zenye mapato ya juu
{ "text": [ "Wale wenya elimu ya juu zaidi" ] }
4828_swa
UMUHIMU WA ELIMU Elimu ni chombo muhimu katika jamii. Umuhimu wake umetambulika katika Kila jamii bila kujali tabaka, jinsia au dini. Elimu Ina manufaa chungu nzima sio tu Kwa mtu binafsi Bali hata katika familia na jamii mzima. Hivyo basi Kila mmoja yapaswa kupata elimu. Ajira ni muhimu kwa kuwa inawezesha mtu kupata malipo inayoweza kukidhi mahitaji yake. Kutokana na kuelimika watu hupata maarifa inayowatayarisha Kwa kazi za afisini inayoenziwa na wengi. Kupitia hii mtu anakuwa na hakika ya kwamba anapomaliza masomo yake atapata kazi mzuri na kuishi maisha mazuri. Katika jamii, tunaona ya kwamba asilimia themanini ya wale waliofanikiwa ni wenye elimu. Vile vile elimu huwezesha mtu kupata ajira yenye mapato ya juu. Waajiri wengi mara nyingi wana mapendeleo ya wafanyikazi wenye maarifa, juu ya wale wasiokuwa mayo. Kwa hivyo kazi zenye mapato ya juu wanapewa wale wenye elimu ya juu zaidi. Wale wa chini wanabakia kupata zile kazi duni. Kwa kupata fedha nyingi mtu ataweza kuishi maisha ya kumtosheleza. Masomo huwezesha mtu kukua na ile ujuzi wa kutatua matatizo. Maisha ya binadamu yamejawa changamoto chungu nzima. Elimu huandaa mtu jinsi ya kukumbatana na changamoto hizo. Mtu aliyeelimika Kwa hivyo ana nafasi ya juu Sana na ujuzi wa kupeana maaoni yenye busara na yanayoweza kuleta maendeleao katika jamii. Isitoshe, pia ana maarifa ipasavyo ya kulea familia au jamii yake Kwa njia ya busara. Walioelimika husaidia kabisa katika kuinua uchumi wa taifa. Uchumi wa taifa hutegemea Kwa asilimia kubwa ushuru. Ushuru yenyewe hukusanywa Kwa kutoza ushuru bidhaa na mishahara ya wafanyikazi. Kwa upande wa wafanyi kazi, Kila mmoja hutozwa Kulingana na kiwango Cha fedha mtu hulipwa. Kwa kawaida, walioelimika Hupata mishahara ya juu. Hivyo ushuru ambayo wanatozwa ni juu pia. Kulingana na hii, inamaanisha ya kwamba nchi iliyo na watu wengi waliosoma huweza kukusanya ushuru mingi na kuinua uchumi wake. Wahenga walisema kwamba mtoto akishazaliwa ni WA jamii. Bali sio tu wa wazazi wake. Kwa hii walimaanisha kuwa mtu yeyote anaweza kumwadhibu mtoto akiwa na kosa. Vile vile mwanajamii yeyote anaweza toa msaada Kwa mtoto yeyote mwenye kuhitaji msaada. Mara nyingine tumeona huu ukitendeka katika jamii. Mfano mmoja ni pale ambapo utapata wanafunzi waliosomea shule Moja awali wakirudi baadaye kama kikundi na kujenga darasa au hata maktaba Kwa ajili ya wengine. Pia utapata kwamba mwanajamii kutoka boma Moja huweza kuelimisha mtoto kutoka boma nyingine. Elimu huleta usawa wa kijinsia. Awali wanawake hawakuchukuliwa sawa na wanaume. Wanawake au mtoto wa kike hakupewa nafasi sawa na mtoto wa kiume katika jamii. Wengi wao walipewa kazi duni. Watoto wavulana walipewa kipao mbele katika Kila jambo. Elimu imeleta mabadiliko makubwa katika maisha ya mtoto wa kike. Masomo yameleta mtazamo tofauti. Katika siku za hivi karibuni wanawake Kwa wanaume hung'ang'ania vyeo kazini. Waajiri wengi huona kwamba wanawake Wana maarifa na ujuzi sawia na wanaume. Elimu ya kisasa inayojumuisha tamaduni mbalimbali hujenga watu kuwa viongozi. Masomo kutoka tamaduni tofauti tofauti ni Bora kwani mtu anakuwa na fahamu ya jinsi ya kutangamana au kushughulikia watu wote Kwa usawa bila kuwa na mapemdeleo.
Elimu huandaa mtu kukabiliana na nini
{ "text": [ "Changamoto za maisha" ] }
4828_swa
UMUHIMU WA ELIMU Elimu ni chombo muhimu katika jamii. Umuhimu wake umetambulika katika Kila jamii bila kujali tabaka, jinsia au dini. Elimu Ina manufaa chungu nzima sio tu Kwa mtu binafsi Bali hata katika familia na jamii mzima. Hivyo basi Kila mmoja yapaswa kupata elimu. Ajira ni muhimu kwa kuwa inawezesha mtu kupata malipo inayoweza kukidhi mahitaji yake. Kutokana na kuelimika watu hupata maarifa inayowatayarisha Kwa kazi za afisini inayoenziwa na wengi. Kupitia hii mtu anakuwa na hakika ya kwamba anapomaliza masomo yake atapata kazi mzuri na kuishi maisha mazuri. Katika jamii, tunaona ya kwamba asilimia themanini ya wale waliofanikiwa ni wenye elimu. Vile vile elimu huwezesha mtu kupata ajira yenye mapato ya juu. Waajiri wengi mara nyingi wana mapendeleo ya wafanyikazi wenye maarifa, juu ya wale wasiokuwa mayo. Kwa hivyo kazi zenye mapato ya juu wanapewa wale wenye elimu ya juu zaidi. Wale wa chini wanabakia kupata zile kazi duni. Kwa kupata fedha nyingi mtu ataweza kuishi maisha ya kumtosheleza. Masomo huwezesha mtu kukua na ile ujuzi wa kutatua matatizo. Maisha ya binadamu yamejawa changamoto chungu nzima. Elimu huandaa mtu jinsi ya kukumbatana na changamoto hizo. Mtu aliyeelimika Kwa hivyo ana nafasi ya juu Sana na ujuzi wa kupeana maaoni yenye busara na yanayoweza kuleta maendeleao katika jamii. Isitoshe, pia ana maarifa ipasavyo ya kulea familia au jamii yake Kwa njia ya busara. Walioelimika husaidia kabisa katika kuinua uchumi wa taifa. Uchumi wa taifa hutegemea Kwa asilimia kubwa ushuru. Ushuru yenyewe hukusanywa Kwa kutoza ushuru bidhaa na mishahara ya wafanyikazi. Kwa upande wa wafanyi kazi, Kila mmoja hutozwa Kulingana na kiwango Cha fedha mtu hulipwa. Kwa kawaida, walioelimika Hupata mishahara ya juu. Hivyo ushuru ambayo wanatozwa ni juu pia. Kulingana na hii, inamaanisha ya kwamba nchi iliyo na watu wengi waliosoma huweza kukusanya ushuru mingi na kuinua uchumi wake. Wahenga walisema kwamba mtoto akishazaliwa ni WA jamii. Bali sio tu wa wazazi wake. Kwa hii walimaanisha kuwa mtu yeyote anaweza kumwadhibu mtoto akiwa na kosa. Vile vile mwanajamii yeyote anaweza toa msaada Kwa mtoto yeyote mwenye kuhitaji msaada. Mara nyingine tumeona huu ukitendeka katika jamii. Mfano mmoja ni pale ambapo utapata wanafunzi waliosomea shule Moja awali wakirudi baadaye kama kikundi na kujenga darasa au hata maktaba Kwa ajili ya wengine. Pia utapata kwamba mwanajamii kutoka boma Moja huweza kuelimisha mtoto kutoka boma nyingine. Elimu huleta usawa wa kijinsia. Awali wanawake hawakuchukuliwa sawa na wanaume. Wanawake au mtoto wa kike hakupewa nafasi sawa na mtoto wa kiume katika jamii. Wengi wao walipewa kazi duni. Watoto wavulana walipewa kipao mbele katika Kila jambo. Elimu imeleta mabadiliko makubwa katika maisha ya mtoto wa kike. Masomo yameleta mtazamo tofauti. Katika siku za hivi karibuni wanawake Kwa wanaume hung'ang'ania vyeo kazini. Waajiri wengi huona kwamba wanawake Wana maarifa na ujuzi sawia na wanaume. Elimu ya kisasa inayojumuisha tamaduni mbalimbali hujenga watu kuwa viongozi. Masomo kutoka tamaduni tofauti tofauti ni Bora kwani mtu anakuwa na fahamu ya jinsi ya kutangamana au kushughulikia watu wote Kwa usawa bila kuwa na mapemdeleo.
Mtoto akishazaliwa ni wa nani
{ "text": [ "Wa jamii" ] }
4829_swa
ELIMU UFUNGUO WA MAISHA. Elimu ndio ufunguo wa maisha eti. Watu wengi hujiuliza elimu ni nini? Watu hujibu elimu ni kitabu. Wengine husema elimu ni somo tu kama kawaida. Na je, wewe umewahi jiuliza elimu ni nini? Yote tisa. Kumi umewahi ona manufaa ya elimu? Swali hili limenifanya nimfikirie rafiki wangu Kazabidii. Kazabidii alikuwa ghulamu tuliyetoka naye kijiji kimoja cha Tezi. Tulikuwa mahirimu na fauka ya hayo, alikuwa rafiki wangu sisemi wa chanda na pete. Tulilelewa pamoja. Tukacheza pamoja. Tukaenda jandoni pamoja hata nakumbuka tulisoma pia pamoja. Wawazi wangu na wake walikuwa marafiki pia. Wakati wa likizo ulipokuwa ukifika, tulitembeleana na kujuliana hali kama wanakijiji. Tulichunga mifugo pamoja na kucheza brikijo pamoja. Ni mambo mengi tuliyoyafanya na Kazabidii. Tulikuwa watundu wakati mwingine. Tuliiba zabibu, maembe na mapera pamoja. Mambo ya utoto kweli yana mambo. Tulienda kuogelea na mengine ambayo hufanywa na watoto. Nakumbuka siku moja tulipopeleka mifugo wetu kunywa maji. Tulianza kuogelea na tukajisahau. Mifugo walianza kula mimea ya wenyewe. Tulipoitwa, tulistaajabu. Tulipelekwa na kupigwa lau mwizi. Kwa kweli urafiki wetu ulianza tangu jadi na ulionekana kuwa urafiki wa dhati. Muda ulipita miaka ikaenda. Tulipofanya mtihani wa darasa la nane, wote tulifuzu kwenda shule ya upili. Kazabidii alijiunga na shule ya upili ya Utubora. Nami kwa kuwa tu na alama ya wastani, nilijiunga na shule ya Borasomo. Huko tuliendelea kujuliana hali zetu na urafiki wetu uliendelea kama kawaida. Shule zilipofunga tulifumukana kujuliana hali na kuulizana wewe unaendeleaje na wewe je? Hayo ndiyo maswali tuliyokuwa nayo. Kazabidii yeye kidogo alikuwa anatia makali katika masomo yake. Mimi nami kidogo nilionekana kuchechemea katika masomo. Tulipoufanya mtihani wa kidato cha nne, Kazabidii alifanikiwa na kupita vyema. Mimi sikufua dafu. Ikanibiti kutia nanga masomoni mwangu. Hayo yalitarajiwa na wengi kutokana na uzembe na uchechefu wa makini shuleni. Hata hivyo nilikuwa na ndoto ya kujiunga na chuo cha ualimu au taasisi ya uhandisi. Nilisubiri angalau wazazi wangu wapate hela na nijiunge na taasisi hiyo. Mwaka ulienda ukapita. Mwingine pia hivo hivo. Hatimaye nikakata tamaa ya kujiunga na chuo kikuu. Kwani ni nani asiyejua kwamba ngoja ngoja huumiza matumbo? Niliamua sasa kuelekea mjini. Tukiwa shuleni tulielezwa jinsi kazi zilizo mjini zinavyolipa pesa mzuri. Tulikuwa na hamu tukimaliza masomo tutaenda mjini angalau tukapate kazi huko. Nilikuwa na hamu ya kukutana na marafiki ambao walikuwa wameshatutangulia mjini. Tulitamani maisha yao kwani ifikapo siku kuu za krismasi wao hurejea nyumbani. Wakati huo wao huwa wamejiremba kwa mapambo mbalimbali na kila mtu hutamani kuwa kama wao. Nilielekea mjini kujaribu nami bahati yangu kwani heri kwenda bure kuliko kukaa bure. Wasemavyo wazee wa jadi atangaye kwa jua huenda akajua. Huko mjini nako mambo hayakunionekania. Yaliniendea kombo. Nilichaza ofisi mingi na barua za kuomba kazi. Nikatembea pia ofisi kadha wa kadha lengo kuu kutafuta kazi. Nikawa kiguu na njia huko mjini huku nikibisha ofisini kutafuta kazi. Nilikuwa nikikaa nao wakinipa ushauri na chakula wakaanza kuchoka nami. Nilitamani nirudi kijijini kuanza kula maembe na mapera lakini wapi. Maji nilikuwa nishayavulia na sasa ni kuoga tu kulikokuwa kumesalia. Niling'amua kwamba maisha ya mjini ni ngumu bila kibarua. Mtu mzima kulishwa, kuvalishwa na kugeshwa ni aibu ya hali ya juu. Niliendelea kujitia moyo na kujiambia ipo siku. Njia za mjini zilianza kulalamika kila ziliponiona. Marafiki zangu walikuwa kwa kweli wamechoka na mimi. Nakumbuka siku moja rafiki niliyekuwa nikikaa kwake alikuja na mgeni bila kunipa ujumbe. Alikuwa mwanadada mwenye rangi ya dhahabu. Nilishindwa ni jinsi gani nitakaa kule ilhali yeye anaye mpenzi wake. Nilijitoa na kukesha kwa baridi usiku kucha. Kwa kweli akufukuzaye hakwambii toka. Basi dunia rangi rangile. Waliosema hayo hawakuweza kupanda tufe na kuvuna upepo. Hawakulenga kando waliyoyasema. Ilibidi nizoe asemavyo mwimbaji fulani hapa Kenya. Mwimbaji huyo si mwingine bali ni Stiven Simple boy. Kwenye wimbo wake itabidi uzoe. Mimi nilizoea kushinda na kulala njaa. Vilevile, ilinibidi kuvumilia baridi shadidi ya usiku kucha. Mimi sikuwa na mahali pa kulaza kichwa. Rafiki yangu alikuwa kila mara akija na mgeni wake. Wasemavyo maisha ni sawa na upepo ubadilishao pande ghafla. Mwezi moja ulikuwa umenifanya kudhoofika na kubaki fremu ya mtu. Chakula changu kilikuwa tu maji na baridi. Ni wakati huo ambapo maji yalikuwa sasa yameshanifika kwenye koo. Yalikuwa yameshaanza kunisakama. Nilikutana na rafiki wangu wa dhati Kazabidii. Nilifurahi na kuruka kama mja yule aliyepona mauti katika mto Nzeu baada ya basi walimokuwa wakisafiria kusombwa na maji. Nilijua kwamba leo angalau rafiki yangu ataniauni hata vijisenti nipate angalau mlo. Alikuwa amekuja na gari aina ya (Jeep). Lilikuwa lenye rangi ya damu iliyokosa. Aliliweka pembeni na kutoka nje. Nilipomwona akitoka nje ya gari, nilifurahi ghaya kwani nilitarajia kuwa angenisaidia. Si waombao waliamba akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki. La hasha! Kwa kweli mtegemeya cha nduguye hufa maskini kweli. Kazabidii alikuwa amepata kazi ya mshahara wa juu sana. Alikuwa mkuu wa daktari katika wilaya nzima na kipato chake kilikuwa cha hali ya juu. Rafiki wangu huyo alikuwa amebadilika kweli kweli. Alikuwa mwenye misuli tinginya. Nywele zake zilikuwa nyeusi ti ti ti. Kwa kweli pesa ni mafuta. Humfanya mtu kung'ara. Alizungumza kama mwamerika mwafrika. Lugha yetu ya mama ilimsumbua kidogo kutamka. Niliona hilo wakati tulipokuwa maongezini. Ni ukweli aliona hana muda mwingi wa mazungumzo nami. Ni ukweli kuwa aliniona kama kamasi au kohozi lililotemwa sakafuni. Alitaka sana nimaliza maneno yangu nijiendee. "Vipi kaka, habari ya siku? Ulipata jiko kweli?" Aliniuliza. Nilimweleza kwamba sikuwa nimepata jiko kwani maisha yamenipiga jenga kidogo. Unavyoniona hivi sina hata mahali pa kukaa na wala sina hata chakula. Kazabidii alinikatisha kauli yangu ma kuendelea kunisukumia maswali kama polisi. Kila nilipofungua mdomo kunena, Kazabidii alikunja pua yake. Sijui nilikuwa natoa uvundo au nini? Nilijiuliza ama ni kuzuia madhara ya uvundo? Nilijaribu tena kumweleza shida zangu lakini hakunipa sikio. Ni kama tu yaliingilia sikio moja na kutokea lile jingine. Baada yake, alizidi kunihujumu na maswali. "Kazi yako ni ipi? Unaishi wapi? Je waziza wako kila mwezi unawatumia hela ngapi? Nani amekuwa mgonjwa hukp kwenu? Ulifikia wapi kimasomo? Ushaenda mashambani hivi maajuzi? Huko shamba ushajenga? Umekuwa mgonjwa wa Ukimwi? Mbona umekonda hivo? Kwani huogi?" Aliniuliza maswala ya kunikejeli na kunishusha chini. Mengine yalinikata ini. Baada ya maswali hayo yote, aliingiza mkono wake kwenye koti. Nilifurahi kwani nilijua kwamba hizo ni hela ambazo atanipa. Moyo wangu ulianza kunidunda kwa furaha. Lo! Alitoa kijikaratasi ambacho kilikuwa na nambari yake ya simu. Kisha anganiambia eti nimpigie simu. Nilijishangaa sana. Mimi mwenyewe sina hata chakula. Peremende ya shilingi tano sina. Sembuse za kuwasiliana naye. Nilijua tu pale amenionyesha madharau. Kazabidii aliingia garini mwake na kutimua vumbi. Huyooooooo! Aliniachia wingu la moshi tu. Machozi yalinitiririka bila kutarajia. Sikushughulika kuyazuia. Yalikuwa machozi kwa kdharauliwa na rafiki yangu. Tuliyesoma na yeye. Tukacheza michezo za watoto na yeye. Kwa kweli alinibeza. Machozi ya dhiki machozi ya majuto . Kweli niliona faida ya kusoma kwa bidii. Pia niliona maafa ya kufanya mzaha shuleni. Kumbe mzaha mzaha huleta usaha. Ama kweli majuto ni mjukuu huja baadaye.
Nini ndio ufunguo wa maisha
{ "text": [ "Elimu" ] }
4829_swa
ELIMU UFUNGUO WA MAISHA. Elimu ndio ufunguo wa maisha eti. Watu wengi hujiuliza elimu ni nini? Watu hujibu elimu ni kitabu. Wengine husema elimu ni somo tu kama kawaida. Na je, wewe umewahi jiuliza elimu ni nini? Yote tisa. Kumi umewahi ona manufaa ya elimu? Swali hili limenifanya nimfikirie rafiki wangu Kazabidii. Kazabidii alikuwa ghulamu tuliyetoka naye kijiji kimoja cha Tezi. Tulikuwa mahirimu na fauka ya hayo, alikuwa rafiki wangu sisemi wa chanda na pete. Tulilelewa pamoja. Tukacheza pamoja. Tukaenda jandoni pamoja hata nakumbuka tulisoma pia pamoja. Wawazi wangu na wake walikuwa marafiki pia. Wakati wa likizo ulipokuwa ukifika, tulitembeleana na kujuliana hali kama wanakijiji. Tulichunga mifugo pamoja na kucheza brikijo pamoja. Ni mambo mengi tuliyoyafanya na Kazabidii. Tulikuwa watundu wakati mwingine. Tuliiba zabibu, maembe na mapera pamoja. Mambo ya utoto kweli yana mambo. Tulienda kuogelea na mengine ambayo hufanywa na watoto. Nakumbuka siku moja tulipopeleka mifugo wetu kunywa maji. Tulianza kuogelea na tukajisahau. Mifugo walianza kula mimea ya wenyewe. Tulipoitwa, tulistaajabu. Tulipelekwa na kupigwa lau mwizi. Kwa kweli urafiki wetu ulianza tangu jadi na ulionekana kuwa urafiki wa dhati. Muda ulipita miaka ikaenda. Tulipofanya mtihani wa darasa la nane, wote tulifuzu kwenda shule ya upili. Kazabidii alijiunga na shule ya upili ya Utubora. Nami kwa kuwa tu na alama ya wastani, nilijiunga na shule ya Borasomo. Huko tuliendelea kujuliana hali zetu na urafiki wetu uliendelea kama kawaida. Shule zilipofunga tulifumukana kujuliana hali na kuulizana wewe unaendeleaje na wewe je? Hayo ndiyo maswali tuliyokuwa nayo. Kazabidii yeye kidogo alikuwa anatia makali katika masomo yake. Mimi nami kidogo nilionekana kuchechemea katika masomo. Tulipoufanya mtihani wa kidato cha nne, Kazabidii alifanikiwa na kupita vyema. Mimi sikufua dafu. Ikanibiti kutia nanga masomoni mwangu. Hayo yalitarajiwa na wengi kutokana na uzembe na uchechefu wa makini shuleni. Hata hivyo nilikuwa na ndoto ya kujiunga na chuo cha ualimu au taasisi ya uhandisi. Nilisubiri angalau wazazi wangu wapate hela na nijiunge na taasisi hiyo. Mwaka ulienda ukapita. Mwingine pia hivo hivo. Hatimaye nikakata tamaa ya kujiunga na chuo kikuu. Kwani ni nani asiyejua kwamba ngoja ngoja huumiza matumbo? Niliamua sasa kuelekea mjini. Tukiwa shuleni tulielezwa jinsi kazi zilizo mjini zinavyolipa pesa mzuri. Tulikuwa na hamu tukimaliza masomo tutaenda mjini angalau tukapate kazi huko. Nilikuwa na hamu ya kukutana na marafiki ambao walikuwa wameshatutangulia mjini. Tulitamani maisha yao kwani ifikapo siku kuu za krismasi wao hurejea nyumbani. Wakati huo wao huwa wamejiremba kwa mapambo mbalimbali na kila mtu hutamani kuwa kama wao. Nilielekea mjini kujaribu nami bahati yangu kwani heri kwenda bure kuliko kukaa bure. Wasemavyo wazee wa jadi atangaye kwa jua huenda akajua. Huko mjini nako mambo hayakunionekania. Yaliniendea kombo. Nilichaza ofisi mingi na barua za kuomba kazi. Nikatembea pia ofisi kadha wa kadha lengo kuu kutafuta kazi. Nikawa kiguu na njia huko mjini huku nikibisha ofisini kutafuta kazi. Nilikuwa nikikaa nao wakinipa ushauri na chakula wakaanza kuchoka nami. Nilitamani nirudi kijijini kuanza kula maembe na mapera lakini wapi. Maji nilikuwa nishayavulia na sasa ni kuoga tu kulikokuwa kumesalia. Niling'amua kwamba maisha ya mjini ni ngumu bila kibarua. Mtu mzima kulishwa, kuvalishwa na kugeshwa ni aibu ya hali ya juu. Niliendelea kujitia moyo na kujiambia ipo siku. Njia za mjini zilianza kulalamika kila ziliponiona. Marafiki zangu walikuwa kwa kweli wamechoka na mimi. Nakumbuka siku moja rafiki niliyekuwa nikikaa kwake alikuja na mgeni bila kunipa ujumbe. Alikuwa mwanadada mwenye rangi ya dhahabu. Nilishindwa ni jinsi gani nitakaa kule ilhali yeye anaye mpenzi wake. Nilijitoa na kukesha kwa baridi usiku kucha. Kwa kweli akufukuzaye hakwambii toka. Basi dunia rangi rangile. Waliosema hayo hawakuweza kupanda tufe na kuvuna upepo. Hawakulenga kando waliyoyasema. Ilibidi nizoe asemavyo mwimbaji fulani hapa Kenya. Mwimbaji huyo si mwingine bali ni Stiven Simple boy. Kwenye wimbo wake itabidi uzoe. Mimi nilizoea kushinda na kulala njaa. Vilevile, ilinibidi kuvumilia baridi shadidi ya usiku kucha. Mimi sikuwa na mahali pa kulaza kichwa. Rafiki yangu alikuwa kila mara akija na mgeni wake. Wasemavyo maisha ni sawa na upepo ubadilishao pande ghafla. Mwezi moja ulikuwa umenifanya kudhoofika na kubaki fremu ya mtu. Chakula changu kilikuwa tu maji na baridi. Ni wakati huo ambapo maji yalikuwa sasa yameshanifika kwenye koo. Yalikuwa yameshaanza kunisakama. Nilikutana na rafiki wangu wa dhati Kazabidii. Nilifurahi na kuruka kama mja yule aliyepona mauti katika mto Nzeu baada ya basi walimokuwa wakisafiria kusombwa na maji. Nilijua kwamba leo angalau rafiki yangu ataniauni hata vijisenti nipate angalau mlo. Alikuwa amekuja na gari aina ya (Jeep). Lilikuwa lenye rangi ya damu iliyokosa. Aliliweka pembeni na kutoka nje. Nilipomwona akitoka nje ya gari, nilifurahi ghaya kwani nilitarajia kuwa angenisaidia. Si waombao waliamba akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki. La hasha! Kwa kweli mtegemeya cha nduguye hufa maskini kweli. Kazabidii alikuwa amepata kazi ya mshahara wa juu sana. Alikuwa mkuu wa daktari katika wilaya nzima na kipato chake kilikuwa cha hali ya juu. Rafiki wangu huyo alikuwa amebadilika kweli kweli. Alikuwa mwenye misuli tinginya. Nywele zake zilikuwa nyeusi ti ti ti. Kwa kweli pesa ni mafuta. Humfanya mtu kung'ara. Alizungumza kama mwamerika mwafrika. Lugha yetu ya mama ilimsumbua kidogo kutamka. Niliona hilo wakati tulipokuwa maongezini. Ni ukweli aliona hana muda mwingi wa mazungumzo nami. Ni ukweli kuwa aliniona kama kamasi au kohozi lililotemwa sakafuni. Alitaka sana nimaliza maneno yangu nijiendee. "Vipi kaka, habari ya siku? Ulipata jiko kweli?" Aliniuliza. Nilimweleza kwamba sikuwa nimepata jiko kwani maisha yamenipiga jenga kidogo. Unavyoniona hivi sina hata mahali pa kukaa na wala sina hata chakula. Kazabidii alinikatisha kauli yangu ma kuendelea kunisukumia maswali kama polisi. Kila nilipofungua mdomo kunena, Kazabidii alikunja pua yake. Sijui nilikuwa natoa uvundo au nini? Nilijiuliza ama ni kuzuia madhara ya uvundo? Nilijaribu tena kumweleza shida zangu lakini hakunipa sikio. Ni kama tu yaliingilia sikio moja na kutokea lile jingine. Baada yake, alizidi kunihujumu na maswali. "Kazi yako ni ipi? Unaishi wapi? Je waziza wako kila mwezi unawatumia hela ngapi? Nani amekuwa mgonjwa hukp kwenu? Ulifikia wapi kimasomo? Ushaenda mashambani hivi maajuzi? Huko shamba ushajenga? Umekuwa mgonjwa wa Ukimwi? Mbona umekonda hivo? Kwani huogi?" Aliniuliza maswala ya kunikejeli na kunishusha chini. Mengine yalinikata ini. Baada ya maswali hayo yote, aliingiza mkono wake kwenye koti. Nilifurahi kwani nilijua kwamba hizo ni hela ambazo atanipa. Moyo wangu ulianza kunidunda kwa furaha. Lo! Alitoa kijikaratasi ambacho kilikuwa na nambari yake ya simu. Kisha anganiambia eti nimpigie simu. Nilijishangaa sana. Mimi mwenyewe sina hata chakula. Peremende ya shilingi tano sina. Sembuse za kuwasiliana naye. Nilijua tu pale amenionyesha madharau. Kazabidii aliingia garini mwake na kutimua vumbi. Huyooooooo! Aliniachia wingu la moshi tu. Machozi yalinitiririka bila kutarajia. Sikushughulika kuyazuia. Yalikuwa machozi kwa kdharauliwa na rafiki yangu. Tuliyesoma na yeye. Tukacheza michezo za watoto na yeye. Kwa kweli alinibeza. Machozi ya dhiki machozi ya majuto . Kweli niliona faida ya kusoma kwa bidii. Pia niliona maafa ya kufanya mzaha shuleni. Kumbe mzaha mzaha huleta usaha. Ama kweli majuto ni mjukuu huja baadaye.
Mambo ya utoto kweli yana nini
{ "text": [ "Mambo" ] }
4829_swa
ELIMU UFUNGUO WA MAISHA. Elimu ndio ufunguo wa maisha eti. Watu wengi hujiuliza elimu ni nini? Watu hujibu elimu ni kitabu. Wengine husema elimu ni somo tu kama kawaida. Na je, wewe umewahi jiuliza elimu ni nini? Yote tisa. Kumi umewahi ona manufaa ya elimu? Swali hili limenifanya nimfikirie rafiki wangu Kazabidii. Kazabidii alikuwa ghulamu tuliyetoka naye kijiji kimoja cha Tezi. Tulikuwa mahirimu na fauka ya hayo, alikuwa rafiki wangu sisemi wa chanda na pete. Tulilelewa pamoja. Tukacheza pamoja. Tukaenda jandoni pamoja hata nakumbuka tulisoma pia pamoja. Wawazi wangu na wake walikuwa marafiki pia. Wakati wa likizo ulipokuwa ukifika, tulitembeleana na kujuliana hali kama wanakijiji. Tulichunga mifugo pamoja na kucheza brikijo pamoja. Ni mambo mengi tuliyoyafanya na Kazabidii. Tulikuwa watundu wakati mwingine. Tuliiba zabibu, maembe na mapera pamoja. Mambo ya utoto kweli yana mambo. Tulienda kuogelea na mengine ambayo hufanywa na watoto. Nakumbuka siku moja tulipopeleka mifugo wetu kunywa maji. Tulianza kuogelea na tukajisahau. Mifugo walianza kula mimea ya wenyewe. Tulipoitwa, tulistaajabu. Tulipelekwa na kupigwa lau mwizi. Kwa kweli urafiki wetu ulianza tangu jadi na ulionekana kuwa urafiki wa dhati. Muda ulipita miaka ikaenda. Tulipofanya mtihani wa darasa la nane, wote tulifuzu kwenda shule ya upili. Kazabidii alijiunga na shule ya upili ya Utubora. Nami kwa kuwa tu na alama ya wastani, nilijiunga na shule ya Borasomo. Huko tuliendelea kujuliana hali zetu na urafiki wetu uliendelea kama kawaida. Shule zilipofunga tulifumukana kujuliana hali na kuulizana wewe unaendeleaje na wewe je? Hayo ndiyo maswali tuliyokuwa nayo. Kazabidii yeye kidogo alikuwa anatia makali katika masomo yake. Mimi nami kidogo nilionekana kuchechemea katika masomo. Tulipoufanya mtihani wa kidato cha nne, Kazabidii alifanikiwa na kupita vyema. Mimi sikufua dafu. Ikanibiti kutia nanga masomoni mwangu. Hayo yalitarajiwa na wengi kutokana na uzembe na uchechefu wa makini shuleni. Hata hivyo nilikuwa na ndoto ya kujiunga na chuo cha ualimu au taasisi ya uhandisi. Nilisubiri angalau wazazi wangu wapate hela na nijiunge na taasisi hiyo. Mwaka ulienda ukapita. Mwingine pia hivo hivo. Hatimaye nikakata tamaa ya kujiunga na chuo kikuu. Kwani ni nani asiyejua kwamba ngoja ngoja huumiza matumbo? Niliamua sasa kuelekea mjini. Tukiwa shuleni tulielezwa jinsi kazi zilizo mjini zinavyolipa pesa mzuri. Tulikuwa na hamu tukimaliza masomo tutaenda mjini angalau tukapate kazi huko. Nilikuwa na hamu ya kukutana na marafiki ambao walikuwa wameshatutangulia mjini. Tulitamani maisha yao kwani ifikapo siku kuu za krismasi wao hurejea nyumbani. Wakati huo wao huwa wamejiremba kwa mapambo mbalimbali na kila mtu hutamani kuwa kama wao. Nilielekea mjini kujaribu nami bahati yangu kwani heri kwenda bure kuliko kukaa bure. Wasemavyo wazee wa jadi atangaye kwa jua huenda akajua. Huko mjini nako mambo hayakunionekania. Yaliniendea kombo. Nilichaza ofisi mingi na barua za kuomba kazi. Nikatembea pia ofisi kadha wa kadha lengo kuu kutafuta kazi. Nikawa kiguu na njia huko mjini huku nikibisha ofisini kutafuta kazi. Nilikuwa nikikaa nao wakinipa ushauri na chakula wakaanza kuchoka nami. Nilitamani nirudi kijijini kuanza kula maembe na mapera lakini wapi. Maji nilikuwa nishayavulia na sasa ni kuoga tu kulikokuwa kumesalia. Niling'amua kwamba maisha ya mjini ni ngumu bila kibarua. Mtu mzima kulishwa, kuvalishwa na kugeshwa ni aibu ya hali ya juu. Niliendelea kujitia moyo na kujiambia ipo siku. Njia za mjini zilianza kulalamika kila ziliponiona. Marafiki zangu walikuwa kwa kweli wamechoka na mimi. Nakumbuka siku moja rafiki niliyekuwa nikikaa kwake alikuja na mgeni bila kunipa ujumbe. Alikuwa mwanadada mwenye rangi ya dhahabu. Nilishindwa ni jinsi gani nitakaa kule ilhali yeye anaye mpenzi wake. Nilijitoa na kukesha kwa baridi usiku kucha. Kwa kweli akufukuzaye hakwambii toka. Basi dunia rangi rangile. Waliosema hayo hawakuweza kupanda tufe na kuvuna upepo. Hawakulenga kando waliyoyasema. Ilibidi nizoe asemavyo mwimbaji fulani hapa Kenya. Mwimbaji huyo si mwingine bali ni Stiven Simple boy. Kwenye wimbo wake itabidi uzoe. Mimi nilizoea kushinda na kulala njaa. Vilevile, ilinibidi kuvumilia baridi shadidi ya usiku kucha. Mimi sikuwa na mahali pa kulaza kichwa. Rafiki yangu alikuwa kila mara akija na mgeni wake. Wasemavyo maisha ni sawa na upepo ubadilishao pande ghafla. Mwezi moja ulikuwa umenifanya kudhoofika na kubaki fremu ya mtu. Chakula changu kilikuwa tu maji na baridi. Ni wakati huo ambapo maji yalikuwa sasa yameshanifika kwenye koo. Yalikuwa yameshaanza kunisakama. Nilikutana na rafiki wangu wa dhati Kazabidii. Nilifurahi na kuruka kama mja yule aliyepona mauti katika mto Nzeu baada ya basi walimokuwa wakisafiria kusombwa na maji. Nilijua kwamba leo angalau rafiki yangu ataniauni hata vijisenti nipate angalau mlo. Alikuwa amekuja na gari aina ya (Jeep). Lilikuwa lenye rangi ya damu iliyokosa. Aliliweka pembeni na kutoka nje. Nilipomwona akitoka nje ya gari, nilifurahi ghaya kwani nilitarajia kuwa angenisaidia. Si waombao waliamba akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki. La hasha! Kwa kweli mtegemeya cha nduguye hufa maskini kweli. Kazabidii alikuwa amepata kazi ya mshahara wa juu sana. Alikuwa mkuu wa daktari katika wilaya nzima na kipato chake kilikuwa cha hali ya juu. Rafiki wangu huyo alikuwa amebadilika kweli kweli. Alikuwa mwenye misuli tinginya. Nywele zake zilikuwa nyeusi ti ti ti. Kwa kweli pesa ni mafuta. Humfanya mtu kung'ara. Alizungumza kama mwamerika mwafrika. Lugha yetu ya mama ilimsumbua kidogo kutamka. Niliona hilo wakati tulipokuwa maongezini. Ni ukweli aliona hana muda mwingi wa mazungumzo nami. Ni ukweli kuwa aliniona kama kamasi au kohozi lililotemwa sakafuni. Alitaka sana nimaliza maneno yangu nijiendee. "Vipi kaka, habari ya siku? Ulipata jiko kweli?" Aliniuliza. Nilimweleza kwamba sikuwa nimepata jiko kwani maisha yamenipiga jenga kidogo. Unavyoniona hivi sina hata mahali pa kukaa na wala sina hata chakula. Kazabidii alinikatisha kauli yangu ma kuendelea kunisukumia maswali kama polisi. Kila nilipofungua mdomo kunena, Kazabidii alikunja pua yake. Sijui nilikuwa natoa uvundo au nini? Nilijiuliza ama ni kuzuia madhara ya uvundo? Nilijaribu tena kumweleza shida zangu lakini hakunipa sikio. Ni kama tu yaliingilia sikio moja na kutokea lile jingine. Baada yake, alizidi kunihujumu na maswali. "Kazi yako ni ipi? Unaishi wapi? Je waziza wako kila mwezi unawatumia hela ngapi? Nani amekuwa mgonjwa hukp kwenu? Ulifikia wapi kimasomo? Ushaenda mashambani hivi maajuzi? Huko shamba ushajenga? Umekuwa mgonjwa wa Ukimwi? Mbona umekonda hivo? Kwani huogi?" Aliniuliza maswala ya kunikejeli na kunishusha chini. Mengine yalinikata ini. Baada ya maswali hayo yote, aliingiza mkono wake kwenye koti. Nilifurahi kwani nilijua kwamba hizo ni hela ambazo atanipa. Moyo wangu ulianza kunidunda kwa furaha. Lo! Alitoa kijikaratasi ambacho kilikuwa na nambari yake ya simu. Kisha anganiambia eti nimpigie simu. Nilijishangaa sana. Mimi mwenyewe sina hata chakula. Peremende ya shilingi tano sina. Sembuse za kuwasiliana naye. Nilijua tu pale amenionyesha madharau. Kazabidii aliingia garini mwake na kutimua vumbi. Huyooooooo! Aliniachia wingu la moshi tu. Machozi yalinitiririka bila kutarajia. Sikushughulika kuyazuia. Yalikuwa machozi kwa kdharauliwa na rafiki yangu. Tuliyesoma na yeye. Tukacheza michezo za watoto na yeye. Kwa kweli alinibeza. Machozi ya dhiki machozi ya majuto . Kweli niliona faida ya kusoma kwa bidii. Pia niliona maafa ya kufanya mzaha shuleni. Kumbe mzaha mzaha huleta usaha. Ama kweli majuto ni mjukuu huja baadaye.
Kazibidii alijiunga na shule ipi
{ "text": [ "Utubora" ] }
4829_swa
ELIMU UFUNGUO WA MAISHA. Elimu ndio ufunguo wa maisha eti. Watu wengi hujiuliza elimu ni nini? Watu hujibu elimu ni kitabu. Wengine husema elimu ni somo tu kama kawaida. Na je, wewe umewahi jiuliza elimu ni nini? Yote tisa. Kumi umewahi ona manufaa ya elimu? Swali hili limenifanya nimfikirie rafiki wangu Kazabidii. Kazabidii alikuwa ghulamu tuliyetoka naye kijiji kimoja cha Tezi. Tulikuwa mahirimu na fauka ya hayo, alikuwa rafiki wangu sisemi wa chanda na pete. Tulilelewa pamoja. Tukacheza pamoja. Tukaenda jandoni pamoja hata nakumbuka tulisoma pia pamoja. Wawazi wangu na wake walikuwa marafiki pia. Wakati wa likizo ulipokuwa ukifika, tulitembeleana na kujuliana hali kama wanakijiji. Tulichunga mifugo pamoja na kucheza brikijo pamoja. Ni mambo mengi tuliyoyafanya na Kazabidii. Tulikuwa watundu wakati mwingine. Tuliiba zabibu, maembe na mapera pamoja. Mambo ya utoto kweli yana mambo. Tulienda kuogelea na mengine ambayo hufanywa na watoto. Nakumbuka siku moja tulipopeleka mifugo wetu kunywa maji. Tulianza kuogelea na tukajisahau. Mifugo walianza kula mimea ya wenyewe. Tulipoitwa, tulistaajabu. Tulipelekwa na kupigwa lau mwizi. Kwa kweli urafiki wetu ulianza tangu jadi na ulionekana kuwa urafiki wa dhati. Muda ulipita miaka ikaenda. Tulipofanya mtihani wa darasa la nane, wote tulifuzu kwenda shule ya upili. Kazabidii alijiunga na shule ya upili ya Utubora. Nami kwa kuwa tu na alama ya wastani, nilijiunga na shule ya Borasomo. Huko tuliendelea kujuliana hali zetu na urafiki wetu uliendelea kama kawaida. Shule zilipofunga tulifumukana kujuliana hali na kuulizana wewe unaendeleaje na wewe je? Hayo ndiyo maswali tuliyokuwa nayo. Kazabidii yeye kidogo alikuwa anatia makali katika masomo yake. Mimi nami kidogo nilionekana kuchechemea katika masomo. Tulipoufanya mtihani wa kidato cha nne, Kazabidii alifanikiwa na kupita vyema. Mimi sikufua dafu. Ikanibiti kutia nanga masomoni mwangu. Hayo yalitarajiwa na wengi kutokana na uzembe na uchechefu wa makini shuleni. Hata hivyo nilikuwa na ndoto ya kujiunga na chuo cha ualimu au taasisi ya uhandisi. Nilisubiri angalau wazazi wangu wapate hela na nijiunge na taasisi hiyo. Mwaka ulienda ukapita. Mwingine pia hivo hivo. Hatimaye nikakata tamaa ya kujiunga na chuo kikuu. Kwani ni nani asiyejua kwamba ngoja ngoja huumiza matumbo? Niliamua sasa kuelekea mjini. Tukiwa shuleni tulielezwa jinsi kazi zilizo mjini zinavyolipa pesa mzuri. Tulikuwa na hamu tukimaliza masomo tutaenda mjini angalau tukapate kazi huko. Nilikuwa na hamu ya kukutana na marafiki ambao walikuwa wameshatutangulia mjini. Tulitamani maisha yao kwani ifikapo siku kuu za krismasi wao hurejea nyumbani. Wakati huo wao huwa wamejiremba kwa mapambo mbalimbali na kila mtu hutamani kuwa kama wao. Nilielekea mjini kujaribu nami bahati yangu kwani heri kwenda bure kuliko kukaa bure. Wasemavyo wazee wa jadi atangaye kwa jua huenda akajua. Huko mjini nako mambo hayakunionekania. Yaliniendea kombo. Nilichaza ofisi mingi na barua za kuomba kazi. Nikatembea pia ofisi kadha wa kadha lengo kuu kutafuta kazi. Nikawa kiguu na njia huko mjini huku nikibisha ofisini kutafuta kazi. Nilikuwa nikikaa nao wakinipa ushauri na chakula wakaanza kuchoka nami. Nilitamani nirudi kijijini kuanza kula maembe na mapera lakini wapi. Maji nilikuwa nishayavulia na sasa ni kuoga tu kulikokuwa kumesalia. Niling'amua kwamba maisha ya mjini ni ngumu bila kibarua. Mtu mzima kulishwa, kuvalishwa na kugeshwa ni aibu ya hali ya juu. Niliendelea kujitia moyo na kujiambia ipo siku. Njia za mjini zilianza kulalamika kila ziliponiona. Marafiki zangu walikuwa kwa kweli wamechoka na mimi. Nakumbuka siku moja rafiki niliyekuwa nikikaa kwake alikuja na mgeni bila kunipa ujumbe. Alikuwa mwanadada mwenye rangi ya dhahabu. Nilishindwa ni jinsi gani nitakaa kule ilhali yeye anaye mpenzi wake. Nilijitoa na kukesha kwa baridi usiku kucha. Kwa kweli akufukuzaye hakwambii toka. Basi dunia rangi rangile. Waliosema hayo hawakuweza kupanda tufe na kuvuna upepo. Hawakulenga kando waliyoyasema. Ilibidi nizoe asemavyo mwimbaji fulani hapa Kenya. Mwimbaji huyo si mwingine bali ni Stiven Simple boy. Kwenye wimbo wake itabidi uzoe. Mimi nilizoea kushinda na kulala njaa. Vilevile, ilinibidi kuvumilia baridi shadidi ya usiku kucha. Mimi sikuwa na mahali pa kulaza kichwa. Rafiki yangu alikuwa kila mara akija na mgeni wake. Wasemavyo maisha ni sawa na upepo ubadilishao pande ghafla. Mwezi moja ulikuwa umenifanya kudhoofika na kubaki fremu ya mtu. Chakula changu kilikuwa tu maji na baridi. Ni wakati huo ambapo maji yalikuwa sasa yameshanifika kwenye koo. Yalikuwa yameshaanza kunisakama. Nilikutana na rafiki wangu wa dhati Kazabidii. Nilifurahi na kuruka kama mja yule aliyepona mauti katika mto Nzeu baada ya basi walimokuwa wakisafiria kusombwa na maji. Nilijua kwamba leo angalau rafiki yangu ataniauni hata vijisenti nipate angalau mlo. Alikuwa amekuja na gari aina ya (Jeep). Lilikuwa lenye rangi ya damu iliyokosa. Aliliweka pembeni na kutoka nje. Nilipomwona akitoka nje ya gari, nilifurahi ghaya kwani nilitarajia kuwa angenisaidia. Si waombao waliamba akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki. La hasha! Kwa kweli mtegemeya cha nduguye hufa maskini kweli. Kazabidii alikuwa amepata kazi ya mshahara wa juu sana. Alikuwa mkuu wa daktari katika wilaya nzima na kipato chake kilikuwa cha hali ya juu. Rafiki wangu huyo alikuwa amebadilika kweli kweli. Alikuwa mwenye misuli tinginya. Nywele zake zilikuwa nyeusi ti ti ti. Kwa kweli pesa ni mafuta. Humfanya mtu kung'ara. Alizungumza kama mwamerika mwafrika. Lugha yetu ya mama ilimsumbua kidogo kutamka. Niliona hilo wakati tulipokuwa maongezini. Ni ukweli aliona hana muda mwingi wa mazungumzo nami. Ni ukweli kuwa aliniona kama kamasi au kohozi lililotemwa sakafuni. Alitaka sana nimaliza maneno yangu nijiendee. "Vipi kaka, habari ya siku? Ulipata jiko kweli?" Aliniuliza. Nilimweleza kwamba sikuwa nimepata jiko kwani maisha yamenipiga jenga kidogo. Unavyoniona hivi sina hata mahali pa kukaa na wala sina hata chakula. Kazabidii alinikatisha kauli yangu ma kuendelea kunisukumia maswali kama polisi. Kila nilipofungua mdomo kunena, Kazabidii alikunja pua yake. Sijui nilikuwa natoa uvundo au nini? Nilijiuliza ama ni kuzuia madhara ya uvundo? Nilijaribu tena kumweleza shida zangu lakini hakunipa sikio. Ni kama tu yaliingilia sikio moja na kutokea lile jingine. Baada yake, alizidi kunihujumu na maswali. "Kazi yako ni ipi? Unaishi wapi? Je waziza wako kila mwezi unawatumia hela ngapi? Nani amekuwa mgonjwa hukp kwenu? Ulifikia wapi kimasomo? Ushaenda mashambani hivi maajuzi? Huko shamba ushajenga? Umekuwa mgonjwa wa Ukimwi? Mbona umekonda hivo? Kwani huogi?" Aliniuliza maswala ya kunikejeli na kunishusha chini. Mengine yalinikata ini. Baada ya maswali hayo yote, aliingiza mkono wake kwenye koti. Nilifurahi kwani nilijua kwamba hizo ni hela ambazo atanipa. Moyo wangu ulianza kunidunda kwa furaha. Lo! Alitoa kijikaratasi ambacho kilikuwa na nambari yake ya simu. Kisha anganiambia eti nimpigie simu. Nilijishangaa sana. Mimi mwenyewe sina hata chakula. Peremende ya shilingi tano sina. Sembuse za kuwasiliana naye. Nilijua tu pale amenionyesha madharau. Kazabidii aliingia garini mwake na kutimua vumbi. Huyooooooo! Aliniachia wingu la moshi tu. Machozi yalinitiririka bila kutarajia. Sikushughulika kuyazuia. Yalikuwa machozi kwa kdharauliwa na rafiki yangu. Tuliyesoma na yeye. Tukacheza michezo za watoto na yeye. Kwa kweli alinibeza. Machozi ya dhiki machozi ya majuto . Kweli niliona faida ya kusoma kwa bidii. Pia niliona maafa ya kufanya mzaha shuleni. Kumbe mzaha mzaha huleta usaha. Ama kweli majuto ni mjukuu huja baadaye.
Alipata tamaa ya kujiunga na nini
{ "text": [ "Chuo kikuu" ] }
4829_swa
ELIMU UFUNGUO WA MAISHA. Elimu ndio ufunguo wa maisha eti. Watu wengi hujiuliza elimu ni nini? Watu hujibu elimu ni kitabu. Wengine husema elimu ni somo tu kama kawaida. Na je, wewe umewahi jiuliza elimu ni nini? Yote tisa. Kumi umewahi ona manufaa ya elimu? Swali hili limenifanya nimfikirie rafiki wangu Kazabidii. Kazabidii alikuwa ghulamu tuliyetoka naye kijiji kimoja cha Tezi. Tulikuwa mahirimu na fauka ya hayo, alikuwa rafiki wangu sisemi wa chanda na pete. Tulilelewa pamoja. Tukacheza pamoja. Tukaenda jandoni pamoja hata nakumbuka tulisoma pia pamoja. Wawazi wangu na wake walikuwa marafiki pia. Wakati wa likizo ulipokuwa ukifika, tulitembeleana na kujuliana hali kama wanakijiji. Tulichunga mifugo pamoja na kucheza brikijo pamoja. Ni mambo mengi tuliyoyafanya na Kazabidii. Tulikuwa watundu wakati mwingine. Tuliiba zabibu, maembe na mapera pamoja. Mambo ya utoto kweli yana mambo. Tulienda kuogelea na mengine ambayo hufanywa na watoto. Nakumbuka siku moja tulipopeleka mifugo wetu kunywa maji. Tulianza kuogelea na tukajisahau. Mifugo walianza kula mimea ya wenyewe. Tulipoitwa, tulistaajabu. Tulipelekwa na kupigwa lau mwizi. Kwa kweli urafiki wetu ulianza tangu jadi na ulionekana kuwa urafiki wa dhati. Muda ulipita miaka ikaenda. Tulipofanya mtihani wa darasa la nane, wote tulifuzu kwenda shule ya upili. Kazabidii alijiunga na shule ya upili ya Utubora. Nami kwa kuwa tu na alama ya wastani, nilijiunga na shule ya Borasomo. Huko tuliendelea kujuliana hali zetu na urafiki wetu uliendelea kama kawaida. Shule zilipofunga tulifumukana kujuliana hali na kuulizana wewe unaendeleaje na wewe je? Hayo ndiyo maswali tuliyokuwa nayo. Kazabidii yeye kidogo alikuwa anatia makali katika masomo yake. Mimi nami kidogo nilionekana kuchechemea katika masomo. Tulipoufanya mtihani wa kidato cha nne, Kazabidii alifanikiwa na kupita vyema. Mimi sikufua dafu. Ikanibiti kutia nanga masomoni mwangu. Hayo yalitarajiwa na wengi kutokana na uzembe na uchechefu wa makini shuleni. Hata hivyo nilikuwa na ndoto ya kujiunga na chuo cha ualimu au taasisi ya uhandisi. Nilisubiri angalau wazazi wangu wapate hela na nijiunge na taasisi hiyo. Mwaka ulienda ukapita. Mwingine pia hivo hivo. Hatimaye nikakata tamaa ya kujiunga na chuo kikuu. Kwani ni nani asiyejua kwamba ngoja ngoja huumiza matumbo? Niliamua sasa kuelekea mjini. Tukiwa shuleni tulielezwa jinsi kazi zilizo mjini zinavyolipa pesa mzuri. Tulikuwa na hamu tukimaliza masomo tutaenda mjini angalau tukapate kazi huko. Nilikuwa na hamu ya kukutana na marafiki ambao walikuwa wameshatutangulia mjini. Tulitamani maisha yao kwani ifikapo siku kuu za krismasi wao hurejea nyumbani. Wakati huo wao huwa wamejiremba kwa mapambo mbalimbali na kila mtu hutamani kuwa kama wao. Nilielekea mjini kujaribu nami bahati yangu kwani heri kwenda bure kuliko kukaa bure. Wasemavyo wazee wa jadi atangaye kwa jua huenda akajua. Huko mjini nako mambo hayakunionekania. Yaliniendea kombo. Nilichaza ofisi mingi na barua za kuomba kazi. Nikatembea pia ofisi kadha wa kadha lengo kuu kutafuta kazi. Nikawa kiguu na njia huko mjini huku nikibisha ofisini kutafuta kazi. Nilikuwa nikikaa nao wakinipa ushauri na chakula wakaanza kuchoka nami. Nilitamani nirudi kijijini kuanza kula maembe na mapera lakini wapi. Maji nilikuwa nishayavulia na sasa ni kuoga tu kulikokuwa kumesalia. Niling'amua kwamba maisha ya mjini ni ngumu bila kibarua. Mtu mzima kulishwa, kuvalishwa na kugeshwa ni aibu ya hali ya juu. Niliendelea kujitia moyo na kujiambia ipo siku. Njia za mjini zilianza kulalamika kila ziliponiona. Marafiki zangu walikuwa kwa kweli wamechoka na mimi. Nakumbuka siku moja rafiki niliyekuwa nikikaa kwake alikuja na mgeni bila kunipa ujumbe. Alikuwa mwanadada mwenye rangi ya dhahabu. Nilishindwa ni jinsi gani nitakaa kule ilhali yeye anaye mpenzi wake. Nilijitoa na kukesha kwa baridi usiku kucha. Kwa kweli akufukuzaye hakwambii toka. Basi dunia rangi rangile. Waliosema hayo hawakuweza kupanda tufe na kuvuna upepo. Hawakulenga kando waliyoyasema. Ilibidi nizoe asemavyo mwimbaji fulani hapa Kenya. Mwimbaji huyo si mwingine bali ni Stiven Simple boy. Kwenye wimbo wake itabidi uzoe. Mimi nilizoea kushinda na kulala njaa. Vilevile, ilinibidi kuvumilia baridi shadidi ya usiku kucha. Mimi sikuwa na mahali pa kulaza kichwa. Rafiki yangu alikuwa kila mara akija na mgeni wake. Wasemavyo maisha ni sawa na upepo ubadilishao pande ghafla. Mwezi moja ulikuwa umenifanya kudhoofika na kubaki fremu ya mtu. Chakula changu kilikuwa tu maji na baridi. Ni wakati huo ambapo maji yalikuwa sasa yameshanifika kwenye koo. Yalikuwa yameshaanza kunisakama. Nilikutana na rafiki wangu wa dhati Kazabidii. Nilifurahi na kuruka kama mja yule aliyepona mauti katika mto Nzeu baada ya basi walimokuwa wakisafiria kusombwa na maji. Nilijua kwamba leo angalau rafiki yangu ataniauni hata vijisenti nipate angalau mlo. Alikuwa amekuja na gari aina ya (Jeep). Lilikuwa lenye rangi ya damu iliyokosa. Aliliweka pembeni na kutoka nje. Nilipomwona akitoka nje ya gari, nilifurahi ghaya kwani nilitarajia kuwa angenisaidia. Si waombao waliamba akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki. La hasha! Kwa kweli mtegemeya cha nduguye hufa maskini kweli. Kazabidii alikuwa amepata kazi ya mshahara wa juu sana. Alikuwa mkuu wa daktari katika wilaya nzima na kipato chake kilikuwa cha hali ya juu. Rafiki wangu huyo alikuwa amebadilika kweli kweli. Alikuwa mwenye misuli tinginya. Nywele zake zilikuwa nyeusi ti ti ti. Kwa kweli pesa ni mafuta. Humfanya mtu kung'ara. Alizungumza kama mwamerika mwafrika. Lugha yetu ya mama ilimsumbua kidogo kutamka. Niliona hilo wakati tulipokuwa maongezini. Ni ukweli aliona hana muda mwingi wa mazungumzo nami. Ni ukweli kuwa aliniona kama kamasi au kohozi lililotemwa sakafuni. Alitaka sana nimaliza maneno yangu nijiendee. "Vipi kaka, habari ya siku? Ulipata jiko kweli?" Aliniuliza. Nilimweleza kwamba sikuwa nimepata jiko kwani maisha yamenipiga jenga kidogo. Unavyoniona hivi sina hata mahali pa kukaa na wala sina hata chakula. Kazabidii alinikatisha kauli yangu ma kuendelea kunisukumia maswali kama polisi. Kila nilipofungua mdomo kunena, Kazabidii alikunja pua yake. Sijui nilikuwa natoa uvundo au nini? Nilijiuliza ama ni kuzuia madhara ya uvundo? Nilijaribu tena kumweleza shida zangu lakini hakunipa sikio. Ni kama tu yaliingilia sikio moja na kutokea lile jingine. Baada yake, alizidi kunihujumu na maswali. "Kazi yako ni ipi? Unaishi wapi? Je waziza wako kila mwezi unawatumia hela ngapi? Nani amekuwa mgonjwa hukp kwenu? Ulifikia wapi kimasomo? Ushaenda mashambani hivi maajuzi? Huko shamba ushajenga? Umekuwa mgonjwa wa Ukimwi? Mbona umekonda hivo? Kwani huogi?" Aliniuliza maswala ya kunikejeli na kunishusha chini. Mengine yalinikata ini. Baada ya maswali hayo yote, aliingiza mkono wake kwenye koti. Nilifurahi kwani nilijua kwamba hizo ni hela ambazo atanipa. Moyo wangu ulianza kunidunda kwa furaha. Lo! Alitoa kijikaratasi ambacho kilikuwa na nambari yake ya simu. Kisha anganiambia eti nimpigie simu. Nilijishangaa sana. Mimi mwenyewe sina hata chakula. Peremende ya shilingi tano sina. Sembuse za kuwasiliana naye. Nilijua tu pale amenionyesha madharau. Kazabidii aliingia garini mwake na kutimua vumbi. Huyooooooo! Aliniachia wingu la moshi tu. Machozi yalinitiririka bila kutarajia. Sikushughulika kuyazuia. Yalikuwa machozi kwa kdharauliwa na rafiki yangu. Tuliyesoma na yeye. Tukacheza michezo za watoto na yeye. Kwa kweli alinibeza. Machozi ya dhiki machozi ya majuto . Kweli niliona faida ya kusoma kwa bidii. Pia niliona maafa ya kufanya mzaha shuleni. Kumbe mzaha mzaha huleta usaha. Ama kweli majuto ni mjukuu huja baadaye.
Kwa nini alitamani kurudi kijijini
{ "text": [ "Alikosa kibarua mjini" ] }
4830_swa
Aliyesaulika Andrew alitoka nyumbani akiwa na furaha ghaya kwa kuwa amepata kazi ng'ambo.Kama kawaida yake alimwaga mke wake akiwa mwingi wa bashasha.Hatimaye nyota ya jaha ilikuwa imeshukia yeye mja wa Mungu.Andrew alipokea ujumbe kwamba ombi lake la kazi lilikuwa limekubalika jioni moja.Kwanza hakuamini macho yake.Aliitazama simu akiwa amepigwa na mshangao.Nafasi ya kazi alipata kuisikia ikitangazwa redioni.Licha ya kisomo chake cha juu cha chuo kikuu alikuwa akifanya kazi ya mjengo ili kukimu familia yake ya watu watatu.Baada ya kumaliza masomo yake ya uhandisi chuoni alitafuta kazi bila mafanikio. Hakuzoea kukaa bila kufanya kazi hivyo aliamua kuikumbatia methali ujapokosa la mama hata la mbwa huamwa.Alikuwa akitoka kwake asubuhi na kurudi jioni.Alifanya juu chini ili mke wake asijue masaibu yake.Alijituma katika kazi zote za mkono ili mradi amridishe mke wake na mwana wao mvulana.Hakukata tamaa kwa sababu alikosa kuajiriwa kazi katika uwanja aliosomea bali alijitia moyo kuwa ipo siku Mungu angemkumbuka.Siku yenyewe ikawa tayari ishawasili.Alimwita mke wake Sharon ili amthibitishie kuwa aliloliona ni kweli na si ndoto. Mke wake alikosa kujizuia na punde tu alipoona ujumbe ule alianza kutokwa na machozi.Hakulia kwa sababu alipatwa na msiba bali Kwa kuhofia kuachwa akiwa mpweke na mume wake.Inasemekana wazazi wa Sharon walikuwa wameenda jongomeo kitambo hata kabla aolewe.Mume wake ndiye aliyeikamilisha familia yake kwa kuwa alizaliwa yeye peke yake na wazazi wake.Mume wake alimwuuliza kwa utaratibu sababu ya kilio chake."Mume wangu umeitwa kazi ng'ambo ila utaniacha na nani?"Sharon alimwuuliza mume wake. Andrew alimwinua na kumweleza kinaganaga Kwa nini ilikuwa muhimu asafiri ng'ambo kwenda kuitikia mwito na hatimaye wakaelewana.Waliomwitia kazi waligharamikia kila stakabadhi zilizohitajika na usafiri wake.Mke wake alimwandaa vilivyo Kwa ajili ya safari na siku ilipowadia wakaandamana hadi uwanja wa ndege na kuambiana kwa heri ya kuonana.Sharon alibaki akiiangalia ndege aliyokuwa amepanda mume wake hadi ikatokomea.Alirudi nyumbani akihisi moyo ukiwa mzito.Akajaribu kuukana uzito ule lakini bado ulimnyemelea. Alipomaliza shughuli zake za siku ile alijipumzisha kitandani na kulipokucha alimshukuru muumba wake.Aliweza kumtayarisha mtoto wake na kumpeleka shuleni ila aliporudi kwake aliwakuta watu watatu wakimsubiri nje ya nyumbani yake.Alipokaribia aliwadadisi ili apate angaa kujua walikuwa kina nani."Ndege iliyoanza safari mnamo saa nane za mchana haikufika mwisho mwa safari yake." mmoja kati yao alidokeza.Kuja kwao pale ilikuwa kuweza kuthibisha iwapo mume wa Sharon alipanda ndege ile. Sharon alihisi nguvu zinamwisha na moyo kumwenda mbio."Haiwezekani," alijiambia.Taarifa kamili ilikuwa inasema kwamba ndege ile haikuweza kustahimili hali mbaya ya anga na hivyo rubani kupoteza mwelekeo na watu wote waliokuwemo ndani kufa papo hapo.Habari hizi za tanzia zilimsikitisha Sharon kwa muda.Mazishi yaliandaliwa na jivu likazikwa kwani inaaminika kwamba waliohusika kwenye ajali walichomeka wakabaki jivu. Andrew sasa amerudi yuko nje ya nyumba yake ila mke wake amejifungia ndani akiamini mzimu umemtembelea.Haamini kuwa mume wake mzima.Alishamzika akamsauhau.Itakuwaje kwamba yu hai.Kwa sasa ana afya njema kabisa lakini kila atakayemwona hukimbia akidhani kaona mzimu.Andrew hakuhusika katika ajali bali alifika ng'ambo akiwa buheri wa afya akafanya kazi yake na sasa amejaa pesa lakini cha kushangaza ni kuwa hata mke wake hana hamu naye. Andrew alimbembeleza mke wake mpaka akatoka nje na kumwuuliza sababu yake ya kumkimbia.Wote wakahadithiana yaliyotokea na mambo yakawekwa wazi kisha wakakumbatiana kwa tabasamu wakishukuru Mungu aliyewakutanisha tena baada ya mmoja kukisiwa ameiaga dunia.
Nani alipata kazi ng'ambo?
{ "text": [ "Andrew" ] }
4830_swa
Aliyesaulika Andrew alitoka nyumbani akiwa na furaha ghaya kwa kuwa amepata kazi ng'ambo.Kama kawaida yake alimwaga mke wake akiwa mwingi wa bashasha.Hatimaye nyota ya jaha ilikuwa imeshukia yeye mja wa Mungu.Andrew alipokea ujumbe kwamba ombi lake la kazi lilikuwa limekubalika jioni moja.Kwanza hakuamini macho yake.Aliitazama simu akiwa amepigwa na mshangao.Nafasi ya kazi alipata kuisikia ikitangazwa redioni.Licha ya kisomo chake cha juu cha chuo kikuu alikuwa akifanya kazi ya mjengo ili kukimu familia yake ya watu watatu.Baada ya kumaliza masomo yake ya uhandisi chuoni alitafuta kazi bila mafanikio. Hakuzoea kukaa bila kufanya kazi hivyo aliamua kuikumbatia methali ujapokosa la mama hata la mbwa huamwa.Alikuwa akitoka kwake asubuhi na kurudi jioni.Alifanya juu chini ili mke wake asijue masaibu yake.Alijituma katika kazi zote za mkono ili mradi amridishe mke wake na mwana wao mvulana.Hakukata tamaa kwa sababu alikosa kuajiriwa kazi katika uwanja aliosomea bali alijitia moyo kuwa ipo siku Mungu angemkumbuka.Siku yenyewe ikawa tayari ishawasili.Alimwita mke wake Sharon ili amthibitishie kuwa aliloliona ni kweli na si ndoto. Mke wake alikosa kujizuia na punde tu alipoona ujumbe ule alianza kutokwa na machozi.Hakulia kwa sababu alipatwa na msiba bali Kwa kuhofia kuachwa akiwa mpweke na mume wake.Inasemekana wazazi wa Sharon walikuwa wameenda jongomeo kitambo hata kabla aolewe.Mume wake ndiye aliyeikamilisha familia yake kwa kuwa alizaliwa yeye peke yake na wazazi wake.Mume wake alimwuuliza kwa utaratibu sababu ya kilio chake."Mume wangu umeitwa kazi ng'ambo ila utaniacha na nani?"Sharon alimwuuliza mume wake. Andrew alimwinua na kumweleza kinaganaga Kwa nini ilikuwa muhimu asafiri ng'ambo kwenda kuitikia mwito na hatimaye wakaelewana.Waliomwitia kazi waligharamikia kila stakabadhi zilizohitajika na usafiri wake.Mke wake alimwandaa vilivyo Kwa ajili ya safari na siku ilipowadia wakaandamana hadi uwanja wa ndege na kuambiana kwa heri ya kuonana.Sharon alibaki akiiangalia ndege aliyokuwa amepanda mume wake hadi ikatokomea.Alirudi nyumbani akihisi moyo ukiwa mzito.Akajaribu kuukana uzito ule lakini bado ulimnyemelea. Alipomaliza shughuli zake za siku ile alijipumzisha kitandani na kulipokucha alimshukuru muumba wake.Aliweza kumtayarisha mtoto wake na kumpeleka shuleni ila aliporudi kwake aliwakuta watu watatu wakimsubiri nje ya nyumbani yake.Alipokaribia aliwadadisi ili apate angaa kujua walikuwa kina nani."Ndege iliyoanza safari mnamo saa nane za mchana haikufika mwisho mwa safari yake." mmoja kati yao alidokeza.Kuja kwao pale ilikuwa kuweza kuthibisha iwapo mume wa Sharon alipanda ndege ile. Sharon alihisi nguvu zinamwisha na moyo kumwenda mbio."Haiwezekani," alijiambia.Taarifa kamili ilikuwa inasema kwamba ndege ile haikuweza kustahimili hali mbaya ya anga na hivyo rubani kupoteza mwelekeo na watu wote waliokuwemo ndani kufa papo hapo.Habari hizi za tanzia zilimsikitisha Sharon kwa muda.Mazishi yaliandaliwa na jivu likazikwa kwani inaaminika kwamba waliohusika kwenye ajali walichomeka wakabaki jivu. Andrew sasa amerudi yuko nje ya nyumba yake ila mke wake amejifungia ndani akiamini mzimu umemtembelea.Haamini kuwa mume wake mzima.Alishamzika akamsauhau.Itakuwaje kwamba yu hai.Kwa sasa ana afya njema kabisa lakini kila atakayemwona hukimbia akidhani kaona mzimu.Andrew hakuhusika katika ajali bali alifika ng'ambo akiwa buheri wa afya akafanya kazi yake na sasa amejaa pesa lakini cha kushangaza ni kuwa hata mke wake hana hamu naye. Andrew alimbembeleza mke wake mpaka akatoka nje na kumwuuliza sababu yake ya kumkimbia.Wote wakahadithiana yaliyotokea na mambo yakawekwa wazi kisha wakakumbatiana kwa tabasamu wakishukuru Mungu aliyewakutanisha tena baada ya mmoja kukisiwa ameiaga dunia.
Andrew alipata ujumbe kwamba ombi lake la kazi lilikuwa limekubalika wakati gani?
{ "text": [ "Jioni" ] }
4830_swa
Aliyesaulika Andrew alitoka nyumbani akiwa na furaha ghaya kwa kuwa amepata kazi ng'ambo.Kama kawaida yake alimwaga mke wake akiwa mwingi wa bashasha.Hatimaye nyota ya jaha ilikuwa imeshukia yeye mja wa Mungu.Andrew alipokea ujumbe kwamba ombi lake la kazi lilikuwa limekubalika jioni moja.Kwanza hakuamini macho yake.Aliitazama simu akiwa amepigwa na mshangao.Nafasi ya kazi alipata kuisikia ikitangazwa redioni.Licha ya kisomo chake cha juu cha chuo kikuu alikuwa akifanya kazi ya mjengo ili kukimu familia yake ya watu watatu.Baada ya kumaliza masomo yake ya uhandisi chuoni alitafuta kazi bila mafanikio. Hakuzoea kukaa bila kufanya kazi hivyo aliamua kuikumbatia methali ujapokosa la mama hata la mbwa huamwa.Alikuwa akitoka kwake asubuhi na kurudi jioni.Alifanya juu chini ili mke wake asijue masaibu yake.Alijituma katika kazi zote za mkono ili mradi amridishe mke wake na mwana wao mvulana.Hakukata tamaa kwa sababu alikosa kuajiriwa kazi katika uwanja aliosomea bali alijitia moyo kuwa ipo siku Mungu angemkumbuka.Siku yenyewe ikawa tayari ishawasili.Alimwita mke wake Sharon ili amthibitishie kuwa aliloliona ni kweli na si ndoto. Mke wake alikosa kujizuia na punde tu alipoona ujumbe ule alianza kutokwa na machozi.Hakulia kwa sababu alipatwa na msiba bali Kwa kuhofia kuachwa akiwa mpweke na mume wake.Inasemekana wazazi wa Sharon walikuwa wameenda jongomeo kitambo hata kabla aolewe.Mume wake ndiye aliyeikamilisha familia yake kwa kuwa alizaliwa yeye peke yake na wazazi wake.Mume wake alimwuuliza kwa utaratibu sababu ya kilio chake."Mume wangu umeitwa kazi ng'ambo ila utaniacha na nani?"Sharon alimwuuliza mume wake. Andrew alimwinua na kumweleza kinaganaga Kwa nini ilikuwa muhimu asafiri ng'ambo kwenda kuitikia mwito na hatimaye wakaelewana.Waliomwitia kazi waligharamikia kila stakabadhi zilizohitajika na usafiri wake.Mke wake alimwandaa vilivyo Kwa ajili ya safari na siku ilipowadia wakaandamana hadi uwanja wa ndege na kuambiana kwa heri ya kuonana.Sharon alibaki akiiangalia ndege aliyokuwa amepanda mume wake hadi ikatokomea.Alirudi nyumbani akihisi moyo ukiwa mzito.Akajaribu kuukana uzito ule lakini bado ulimnyemelea. Alipomaliza shughuli zake za siku ile alijipumzisha kitandani na kulipokucha alimshukuru muumba wake.Aliweza kumtayarisha mtoto wake na kumpeleka shuleni ila aliporudi kwake aliwakuta watu watatu wakimsubiri nje ya nyumbani yake.Alipokaribia aliwadadisi ili apate angaa kujua walikuwa kina nani."Ndege iliyoanza safari mnamo saa nane za mchana haikufika mwisho mwa safari yake." mmoja kati yao alidokeza.Kuja kwao pale ilikuwa kuweza kuthibisha iwapo mume wa Sharon alipanda ndege ile. Sharon alihisi nguvu zinamwisha na moyo kumwenda mbio."Haiwezekani," alijiambia.Taarifa kamili ilikuwa inasema kwamba ndege ile haikuweza kustahimili hali mbaya ya anga na hivyo rubani kupoteza mwelekeo na watu wote waliokuwemo ndani kufa papo hapo.Habari hizi za tanzia zilimsikitisha Sharon kwa muda.Mazishi yaliandaliwa na jivu likazikwa kwani inaaminika kwamba waliohusika kwenye ajali walichomeka wakabaki jivu. Andrew sasa amerudi yuko nje ya nyumba yake ila mke wake amejifungia ndani akiamini mzimu umemtembelea.Haamini kuwa mume wake mzima.Alishamzika akamsauhau.Itakuwaje kwamba yu hai.Kwa sasa ana afya njema kabisa lakini kila atakayemwona hukimbia akidhani kaona mzimu.Andrew hakuhusika katika ajali bali alifika ng'ambo akiwa buheri wa afya akafanya kazi yake na sasa amejaa pesa lakini cha kushangaza ni kuwa hata mke wake hana hamu naye. Andrew alimbembeleza mke wake mpaka akatoka nje na kumwuuliza sababu yake ya kumkimbia.Wote wakahadithiana yaliyotokea na mambo yakawekwa wazi kisha wakakumbatiana kwa tabasamu wakishukuru Mungu aliyewakutanisha tena baada ya mmoja kukisiwa ameiaga dunia.
Familia yake Andrew ilikuwa ya watu wangapi?
{ "text": [ "Watatu" ] }
4830_swa
Aliyesaulika Andrew alitoka nyumbani akiwa na furaha ghaya kwa kuwa amepata kazi ng'ambo.Kama kawaida yake alimwaga mke wake akiwa mwingi wa bashasha.Hatimaye nyota ya jaha ilikuwa imeshukia yeye mja wa Mungu.Andrew alipokea ujumbe kwamba ombi lake la kazi lilikuwa limekubalika jioni moja.Kwanza hakuamini macho yake.Aliitazama simu akiwa amepigwa na mshangao.Nafasi ya kazi alipata kuisikia ikitangazwa redioni.Licha ya kisomo chake cha juu cha chuo kikuu alikuwa akifanya kazi ya mjengo ili kukimu familia yake ya watu watatu.Baada ya kumaliza masomo yake ya uhandisi chuoni alitafuta kazi bila mafanikio. Hakuzoea kukaa bila kufanya kazi hivyo aliamua kuikumbatia methali ujapokosa la mama hata la mbwa huamwa.Alikuwa akitoka kwake asubuhi na kurudi jioni.Alifanya juu chini ili mke wake asijue masaibu yake.Alijituma katika kazi zote za mkono ili mradi amridishe mke wake na mwana wao mvulana.Hakukata tamaa kwa sababu alikosa kuajiriwa kazi katika uwanja aliosomea bali alijitia moyo kuwa ipo siku Mungu angemkumbuka.Siku yenyewe ikawa tayari ishawasili.Alimwita mke wake Sharon ili amthibitishie kuwa aliloliona ni kweli na si ndoto. Mke wake alikosa kujizuia na punde tu alipoona ujumbe ule alianza kutokwa na machozi.Hakulia kwa sababu alipatwa na msiba bali Kwa kuhofia kuachwa akiwa mpweke na mume wake.Inasemekana wazazi wa Sharon walikuwa wameenda jongomeo kitambo hata kabla aolewe.Mume wake ndiye aliyeikamilisha familia yake kwa kuwa alizaliwa yeye peke yake na wazazi wake.Mume wake alimwuuliza kwa utaratibu sababu ya kilio chake."Mume wangu umeitwa kazi ng'ambo ila utaniacha na nani?"Sharon alimwuuliza mume wake. Andrew alimwinua na kumweleza kinaganaga Kwa nini ilikuwa muhimu asafiri ng'ambo kwenda kuitikia mwito na hatimaye wakaelewana.Waliomwitia kazi waligharamikia kila stakabadhi zilizohitajika na usafiri wake.Mke wake alimwandaa vilivyo Kwa ajili ya safari na siku ilipowadia wakaandamana hadi uwanja wa ndege na kuambiana kwa heri ya kuonana.Sharon alibaki akiiangalia ndege aliyokuwa amepanda mume wake hadi ikatokomea.Alirudi nyumbani akihisi moyo ukiwa mzito.Akajaribu kuukana uzito ule lakini bado ulimnyemelea. Alipomaliza shughuli zake za siku ile alijipumzisha kitandani na kulipokucha alimshukuru muumba wake.Aliweza kumtayarisha mtoto wake na kumpeleka shuleni ila aliporudi kwake aliwakuta watu watatu wakimsubiri nje ya nyumbani yake.Alipokaribia aliwadadisi ili apate angaa kujua walikuwa kina nani."Ndege iliyoanza safari mnamo saa nane za mchana haikufika mwisho mwa safari yake." mmoja kati yao alidokeza.Kuja kwao pale ilikuwa kuweza kuthibisha iwapo mume wa Sharon alipanda ndege ile. Sharon alihisi nguvu zinamwisha na moyo kumwenda mbio."Haiwezekani," alijiambia.Taarifa kamili ilikuwa inasema kwamba ndege ile haikuweza kustahimili hali mbaya ya anga na hivyo rubani kupoteza mwelekeo na watu wote waliokuwemo ndani kufa papo hapo.Habari hizi za tanzia zilimsikitisha Sharon kwa muda.Mazishi yaliandaliwa na jivu likazikwa kwani inaaminika kwamba waliohusika kwenye ajali walichomeka wakabaki jivu. Andrew sasa amerudi yuko nje ya nyumba yake ila mke wake amejifungia ndani akiamini mzimu umemtembelea.Haamini kuwa mume wake mzima.Alishamzika akamsauhau.Itakuwaje kwamba yu hai.Kwa sasa ana afya njema kabisa lakini kila atakayemwona hukimbia akidhani kaona mzimu.Andrew hakuhusika katika ajali bali alifika ng'ambo akiwa buheri wa afya akafanya kazi yake na sasa amejaa pesa lakini cha kushangaza ni kuwa hata mke wake hana hamu naye. Andrew alimbembeleza mke wake mpaka akatoka nje na kumwuuliza sababu yake ya kumkimbia.Wote wakahadithiana yaliyotokea na mambo yakawekwa wazi kisha wakakumbatiana kwa tabasamu wakishukuru Mungu aliyewakutanisha tena baada ya mmoja kukisiwa ameiaga dunia.
Andrew alikuwa anafanya kazi gani ili kukimu familia yake?
{ "text": [ "Mijengo" ] }
4830_swa
Aliyesaulika Andrew alitoka nyumbani akiwa na furaha ghaya kwa kuwa amepata kazi ng'ambo.Kama kawaida yake alimwaga mke wake akiwa mwingi wa bashasha.Hatimaye nyota ya jaha ilikuwa imeshukia yeye mja wa Mungu.Andrew alipokea ujumbe kwamba ombi lake la kazi lilikuwa limekubalika jioni moja.Kwanza hakuamini macho yake.Aliitazama simu akiwa amepigwa na mshangao.Nafasi ya kazi alipata kuisikia ikitangazwa redioni.Licha ya kisomo chake cha juu cha chuo kikuu alikuwa akifanya kazi ya mjengo ili kukimu familia yake ya watu watatu.Baada ya kumaliza masomo yake ya uhandisi chuoni alitafuta kazi bila mafanikio. Hakuzoea kukaa bila kufanya kazi hivyo aliamua kuikumbatia methali ujapokosa la mama hata la mbwa huamwa.Alikuwa akitoka kwake asubuhi na kurudi jioni.Alifanya juu chini ili mke wake asijue masaibu yake.Alijituma katika kazi zote za mkono ili mradi amridishe mke wake na mwana wao mvulana.Hakukata tamaa kwa sababu alikosa kuajiriwa kazi katika uwanja aliosomea bali alijitia moyo kuwa ipo siku Mungu angemkumbuka.Siku yenyewe ikawa tayari ishawasili.Alimwita mke wake Sharon ili amthibitishie kuwa aliloliona ni kweli na si ndoto. Mke wake alikosa kujizuia na punde tu alipoona ujumbe ule alianza kutokwa na machozi.Hakulia kwa sababu alipatwa na msiba bali Kwa kuhofia kuachwa akiwa mpweke na mume wake.Inasemekana wazazi wa Sharon walikuwa wameenda jongomeo kitambo hata kabla aolewe.Mume wake ndiye aliyeikamilisha familia yake kwa kuwa alizaliwa yeye peke yake na wazazi wake.Mume wake alimwuuliza kwa utaratibu sababu ya kilio chake."Mume wangu umeitwa kazi ng'ambo ila utaniacha na nani?"Sharon alimwuuliza mume wake. Andrew alimwinua na kumweleza kinaganaga Kwa nini ilikuwa muhimu asafiri ng'ambo kwenda kuitikia mwito na hatimaye wakaelewana.Waliomwitia kazi waligharamikia kila stakabadhi zilizohitajika na usafiri wake.Mke wake alimwandaa vilivyo Kwa ajili ya safari na siku ilipowadia wakaandamana hadi uwanja wa ndege na kuambiana kwa heri ya kuonana.Sharon alibaki akiiangalia ndege aliyokuwa amepanda mume wake hadi ikatokomea.Alirudi nyumbani akihisi moyo ukiwa mzito.Akajaribu kuukana uzito ule lakini bado ulimnyemelea. Alipomaliza shughuli zake za siku ile alijipumzisha kitandani na kulipokucha alimshukuru muumba wake.Aliweza kumtayarisha mtoto wake na kumpeleka shuleni ila aliporudi kwake aliwakuta watu watatu wakimsubiri nje ya nyumbani yake.Alipokaribia aliwadadisi ili apate angaa kujua walikuwa kina nani."Ndege iliyoanza safari mnamo saa nane za mchana haikufika mwisho mwa safari yake." mmoja kati yao alidokeza.Kuja kwao pale ilikuwa kuweza kuthibisha iwapo mume wa Sharon alipanda ndege ile. Sharon alihisi nguvu zinamwisha na moyo kumwenda mbio."Haiwezekani," alijiambia.Taarifa kamili ilikuwa inasema kwamba ndege ile haikuweza kustahimili hali mbaya ya anga na hivyo rubani kupoteza mwelekeo na watu wote waliokuwemo ndani kufa papo hapo.Habari hizi za tanzia zilimsikitisha Sharon kwa muda.Mazishi yaliandaliwa na jivu likazikwa kwani inaaminika kwamba waliohusika kwenye ajali walichomeka wakabaki jivu. Andrew sasa amerudi yuko nje ya nyumba yake ila mke wake amejifungia ndani akiamini mzimu umemtembelea.Haamini kuwa mume wake mzima.Alishamzika akamsauhau.Itakuwaje kwamba yu hai.Kwa sasa ana afya njema kabisa lakini kila atakayemwona hukimbia akidhani kaona mzimu.Andrew hakuhusika katika ajali bali alifika ng'ambo akiwa buheri wa afya akafanya kazi yake na sasa amejaa pesa lakini cha kushangaza ni kuwa hata mke wake hana hamu naye. Andrew alimbembeleza mke wake mpaka akatoka nje na kumwuuliza sababu yake ya kumkimbia.Wote wakahadithiana yaliyotokea na mambo yakawekwa wazi kisha wakakumbatiana kwa tabasamu wakishukuru Mungu aliyewakutanisha tena baada ya mmoja kukisiwa ameiaga dunia.
Mkewe Andrew alijulikana kama nani?
{ "text": [ "Sharon" ] }
4831_swa
Asante ya punda Latifa ni msichana mrembo sana.Kwa bahati nzuri aliweza kusoma hadi chuo kikuu na akasomea udaktari.Latifa alikuwa wembe masomoni tokea anaanza masomo yake katika shule ya msingi hadi kutamatisha elimu yake chuo kikuu.Alibahatika kupata alama za kuridhisha ila hakubahatika kupata kazi.Aliandika barua nyingi za kuomba kazi lakini hakuitwa kwa ajili ya kutekeleza huduma yake katika hosipitali yeyote.Alikaa kwao mpaka wazo la kuoelewa likamjia akilini.Alitaabika usiku kucha alipokuwa katika kitanda chake cha msonge ambacho hakikulalika.Alikosa kabisa usingizi kwa kuwa alikuwa na mambo mengi aliyoyafikiria akilini mwake. Aliuliza Mungu maswali lakini hakupata majibu.Aliona Maulana alikuwa amemtenga mbali.Polepole akakosa imani naye.Alifadhaiika sana na kujiuliza kwa nini yeye mtoto wa watu apitie masaibu yale yote.Wakati mwingine alihisi kalaaniwa au karongwa na wasiomtakia mema.Stakabadhi zake zilikosa maana yoyote katika maisha yake.Ni mara ngapi ametaka kuzitia moto? Suala hili la kuwa hakupata kazi licha ya kutimiza majukumu yake chuoni lilimtoa machozi njia mbili ashindwe kujizuia.Alipenda sana taaluma yake ya udaktari na alitaka awahudumie wagonjwa ili kutosheleza azimio lake la kuokoa maisha. Alitamani ajitegemee kama watu wengine wa umri wake.Wazazi wake walikuwa wamekula chumvi nyingi na yeye pekee ndiye aliyekuwa tegemeo lao.Alitamani sana moyoni mwake kwamba angeyabadilisha maisha yao na kuwapa malezi bora hata zaidi ya alivyowalea yeye.Jambo hili lingewezekana tu iwapo angepata pesa za kutosha lakini pale alipo hakuwa hata na senti mfukoni mwake.Wavyele wake walijaribu kumwambia kwamba ingekuwa bora iwapo angetafuta mtaji na kuanzisha biashara yake lakini ni kama kwamba walikuwa wanapigia mbuzi gitaa. Mjomba wake alikuja kuwatembelea wakati wa sherehe za mwaka mpya.Moyo wake ulijawa na simanzi baada ya kusikia taabu ambazo alikuwa akipitia Latifa licha ya kufuzu na hapohapo kukata shauri kumsaidia.Kumsaidia Latifa kusingemwia vigumu kwa kuwa alikuwa mtu wa watu aliyejuana na wengi wakiwema wakuu wa mahosipitali mbalimbali.Baada ya sikukuu kuisha, mjomba alimwambia Latifa ajiandae ili aende naye mjini.Latifa alisita kidogo kisha akafanya matayarisho na hatimaye wakaondoka. Kule mjini Latifa alikaribishwa kwa mjomba wake na kutimiziwa mahitaji yake yote.Hakunyanyaswa na mtu yeyote ila alipewa heshima aliyostahili.Mjomba wake alimnunulia nguo ambazo angeendea kazini na za kuvaa anapokuwa pale nyumbani.Isitoshe alihangaika huku na kule ili ahakikishe kuwa mpwa wake angepata kazi na si kazi tu bali ya udaktari.Hatimaye kazi ilipatikana na Latifa akajuzwa.Latifa alifurahi sana kama tasa aliyejifungua mtoto.Akajiandaa vilivyo kwa ajili ya kuanza kazi.Latifa alibadilika alipoanza kazi katika hosipitali moja. Alianza kumwambaa mjomba wake na kumwona hafai kujua jinsi alivyokuwa akiendelea.Alihama kwa mjomba bila taarifa na kujiendea zake.Kazini alionekana akichapa kazi barabara ila hata kumjulia hali mjomba wake hakuweza.Latifa aligeuka na kuwa hayawani asiyejali lolote wala chochote.Alianza kujipenda yeye tu.Mjomba wake alipougua hakufahamu lakini hata baada ya kufahamu baadaye hakuenda kumwuguza.Aliendelea kuugua kwa siku nyingi ila mpwa wake hakufika.Alimpigia simu lakini hakushika na alipojaribu kumtumia mjumbe hakuamini macho yake kwani Latifa alimkana mbele yake. Kwa wazazi wake hakuonekana tena.Wavyele wake wakasononeka wasijue la kufanya.Walihofia kuwa mwana wao alikuwa amepotea mjini.Mjomba aliugua na mwishowe akakata roho bila ya kumwona mpwa wake.Latifa aliyapuzilia mbali mazishi ya mjomba wake na kuendelea na kazi. Pale kazini alijipiga kifua kwa wafanyakazi wenzake na hata mwajiri wake.Kadri siku zilivyosonga ndivyo alivyozidi kuwabeza na kuwaona waliokosa maana katika maisha yake.
Nani alikuwa msichana mrembo sana
{ "text": [ "Latifa" ] }
4831_swa
Asante ya punda Latifa ni msichana mrembo sana.Kwa bahati nzuri aliweza kusoma hadi chuo kikuu na akasomea udaktari.Latifa alikuwa wembe masomoni tokea anaanza masomo yake katika shule ya msingi hadi kutamatisha elimu yake chuo kikuu.Alibahatika kupata alama za kuridhisha ila hakubahatika kupata kazi.Aliandika barua nyingi za kuomba kazi lakini hakuitwa kwa ajili ya kutekeleza huduma yake katika hosipitali yeyote.Alikaa kwao mpaka wazo la kuoelewa likamjia akilini.Alitaabika usiku kucha alipokuwa katika kitanda chake cha msonge ambacho hakikulalika.Alikosa kabisa usingizi kwa kuwa alikuwa na mambo mengi aliyoyafikiria akilini mwake. Aliuliza Mungu maswali lakini hakupata majibu.Aliona Maulana alikuwa amemtenga mbali.Polepole akakosa imani naye.Alifadhaiika sana na kujiuliza kwa nini yeye mtoto wa watu apitie masaibu yale yote.Wakati mwingine alihisi kalaaniwa au karongwa na wasiomtakia mema.Stakabadhi zake zilikosa maana yoyote katika maisha yake.Ni mara ngapi ametaka kuzitia moto? Suala hili la kuwa hakupata kazi licha ya kutimiza majukumu yake chuoni lilimtoa machozi njia mbili ashindwe kujizuia.Alipenda sana taaluma yake ya udaktari na alitaka awahudumie wagonjwa ili kutosheleza azimio lake la kuokoa maisha. Alitamani ajitegemee kama watu wengine wa umri wake.Wazazi wake walikuwa wamekula chumvi nyingi na yeye pekee ndiye aliyekuwa tegemeo lao.Alitamani sana moyoni mwake kwamba angeyabadilisha maisha yao na kuwapa malezi bora hata zaidi ya alivyowalea yeye.Jambo hili lingewezekana tu iwapo angepata pesa za kutosha lakini pale alipo hakuwa hata na senti mfukoni mwake.Wavyele wake walijaribu kumwambia kwamba ingekuwa bora iwapo angetafuta mtaji na kuanzisha biashara yake lakini ni kama kwamba walikuwa wanapigia mbuzi gitaa. Mjomba wake alikuja kuwatembelea wakati wa sherehe za mwaka mpya.Moyo wake ulijawa na simanzi baada ya kusikia taabu ambazo alikuwa akipitia Latifa licha ya kufuzu na hapohapo kukata shauri kumsaidia.Kumsaidia Latifa kusingemwia vigumu kwa kuwa alikuwa mtu wa watu aliyejuana na wengi wakiwema wakuu wa mahosipitali mbalimbali.Baada ya sikukuu kuisha, mjomba alimwambia Latifa ajiandae ili aende naye mjini.Latifa alisita kidogo kisha akafanya matayarisho na hatimaye wakaondoka. Kule mjini Latifa alikaribishwa kwa mjomba wake na kutimiziwa mahitaji yake yote.Hakunyanyaswa na mtu yeyote ila alipewa heshima aliyostahili.Mjomba wake alimnunulia nguo ambazo angeendea kazini na za kuvaa anapokuwa pale nyumbani.Isitoshe alihangaika huku na kule ili ahakikishe kuwa mpwa wake angepata kazi na si kazi tu bali ya udaktari.Hatimaye kazi ilipatikana na Latifa akajuzwa.Latifa alifurahi sana kama tasa aliyejifungua mtoto.Akajiandaa vilivyo kwa ajili ya kuanza kazi.Latifa alibadilika alipoanza kazi katika hosipitali moja. Alianza kumwambaa mjomba wake na kumwona hafai kujua jinsi alivyokuwa akiendelea.Alihama kwa mjomba bila taarifa na kujiendea zake.Kazini alionekana akichapa kazi barabara ila hata kumjulia hali mjomba wake hakuweza.Latifa aligeuka na kuwa hayawani asiyejali lolote wala chochote.Alianza kujipenda yeye tu.Mjomba wake alipougua hakufahamu lakini hata baada ya kufahamu baadaye hakuenda kumwuguza.Aliendelea kuugua kwa siku nyingi ila mpwa wake hakufika.Alimpigia simu lakini hakushika na alipojaribu kumtumia mjumbe hakuamini macho yake kwani Latifa alimkana mbele yake. Kwa wazazi wake hakuonekana tena.Wavyele wake wakasononeka wasijue la kufanya.Walihofia kuwa mwana wao alikuwa amepotea mjini.Mjomba aliugua na mwishowe akakata roho bila ya kumwona mpwa wake.Latifa aliyapuzilia mbali mazishi ya mjomba wake na kuendelea na kazi. Pale kazini alijipiga kifua kwa wafanyakazi wenzake na hata mwajiri wake.Kadri siku zilivyosonga ndivyo alivyozidi kuwabeza na kuwaona waliokosa maana katika maisha yake.
Lakini alikuwa tegemeo la pekee kwa nani
{ "text": [ "Wazazi" ] }
4831_swa
Asante ya punda Latifa ni msichana mrembo sana.Kwa bahati nzuri aliweza kusoma hadi chuo kikuu na akasomea udaktari.Latifa alikuwa wembe masomoni tokea anaanza masomo yake katika shule ya msingi hadi kutamatisha elimu yake chuo kikuu.Alibahatika kupata alama za kuridhisha ila hakubahatika kupata kazi.Aliandika barua nyingi za kuomba kazi lakini hakuitwa kwa ajili ya kutekeleza huduma yake katika hosipitali yeyote.Alikaa kwao mpaka wazo la kuoelewa likamjia akilini.Alitaabika usiku kucha alipokuwa katika kitanda chake cha msonge ambacho hakikulalika.Alikosa kabisa usingizi kwa kuwa alikuwa na mambo mengi aliyoyafikiria akilini mwake. Aliuliza Mungu maswali lakini hakupata majibu.Aliona Maulana alikuwa amemtenga mbali.Polepole akakosa imani naye.Alifadhaiika sana na kujiuliza kwa nini yeye mtoto wa watu apitie masaibu yale yote.Wakati mwingine alihisi kalaaniwa au karongwa na wasiomtakia mema.Stakabadhi zake zilikosa maana yoyote katika maisha yake.Ni mara ngapi ametaka kuzitia moto? Suala hili la kuwa hakupata kazi licha ya kutimiza majukumu yake chuoni lilimtoa machozi njia mbili ashindwe kujizuia.Alipenda sana taaluma yake ya udaktari na alitaka awahudumie wagonjwa ili kutosheleza azimio lake la kuokoa maisha. Alitamani ajitegemee kama watu wengine wa umri wake.Wazazi wake walikuwa wamekula chumvi nyingi na yeye pekee ndiye aliyekuwa tegemeo lao.Alitamani sana moyoni mwake kwamba angeyabadilisha maisha yao na kuwapa malezi bora hata zaidi ya alivyowalea yeye.Jambo hili lingewezekana tu iwapo angepata pesa za kutosha lakini pale alipo hakuwa hata na senti mfukoni mwake.Wavyele wake walijaribu kumwambia kwamba ingekuwa bora iwapo angetafuta mtaji na kuanzisha biashara yake lakini ni kama kwamba walikuwa wanapigia mbuzi gitaa. Mjomba wake alikuja kuwatembelea wakati wa sherehe za mwaka mpya.Moyo wake ulijawa na simanzi baada ya kusikia taabu ambazo alikuwa akipitia Latifa licha ya kufuzu na hapohapo kukata shauri kumsaidia.Kumsaidia Latifa kusingemwia vigumu kwa kuwa alikuwa mtu wa watu aliyejuana na wengi wakiwema wakuu wa mahosipitali mbalimbali.Baada ya sikukuu kuisha, mjomba alimwambia Latifa ajiandae ili aende naye mjini.Latifa alisita kidogo kisha akafanya matayarisho na hatimaye wakaondoka. Kule mjini Latifa alikaribishwa kwa mjomba wake na kutimiziwa mahitaji yake yote.Hakunyanyaswa na mtu yeyote ila alipewa heshima aliyostahili.Mjomba wake alimnunulia nguo ambazo angeendea kazini na za kuvaa anapokuwa pale nyumbani.Isitoshe alihangaika huku na kule ili ahakikishe kuwa mpwa wake angepata kazi na si kazi tu bali ya udaktari.Hatimaye kazi ilipatikana na Latifa akajuzwa.Latifa alifurahi sana kama tasa aliyejifungua mtoto.Akajiandaa vilivyo kwa ajili ya kuanza kazi.Latifa alibadilika alipoanza kazi katika hosipitali moja. Alianza kumwambaa mjomba wake na kumwona hafai kujua jinsi alivyokuwa akiendelea.Alihama kwa mjomba bila taarifa na kujiendea zake.Kazini alionekana akichapa kazi barabara ila hata kumjulia hali mjomba wake hakuweza.Latifa aligeuka na kuwa hayawani asiyejali lolote wala chochote.Alianza kujipenda yeye tu.Mjomba wake alipougua hakufahamu lakini hata baada ya kufahamu baadaye hakuenda kumwuguza.Aliendelea kuugua kwa siku nyingi ila mpwa wake hakufika.Alimpigia simu lakini hakushika na alipojaribu kumtumia mjumbe hakuamini macho yake kwani Latifa alimkana mbele yake. Kwa wazazi wake hakuonekana tena.Wavyele wake wakasononeka wasijue la kufanya.Walihofia kuwa mwana wao alikuwa amepotea mjini.Mjomba aliugua na mwishowe akakata roho bila ya kumwona mpwa wake.Latifa aliyapuzilia mbali mazishi ya mjomba wake na kuendelea na kazi. Pale kazini alijipiga kifua kwa wafanyakazi wenzake na hata mwajiri wake.Kadri siku zilivyosonga ndivyo alivyozidi kuwabeza na kuwaona waliokosa maana katika maisha yake.
Nani alikuja kuwatembelea wakati wa sherehe za mwaka mpya
{ "text": [ "Mjomba" ] }
4831_swa
Asante ya punda Latifa ni msichana mrembo sana.Kwa bahati nzuri aliweza kusoma hadi chuo kikuu na akasomea udaktari.Latifa alikuwa wembe masomoni tokea anaanza masomo yake katika shule ya msingi hadi kutamatisha elimu yake chuo kikuu.Alibahatika kupata alama za kuridhisha ila hakubahatika kupata kazi.Aliandika barua nyingi za kuomba kazi lakini hakuitwa kwa ajili ya kutekeleza huduma yake katika hosipitali yeyote.Alikaa kwao mpaka wazo la kuoelewa likamjia akilini.Alitaabika usiku kucha alipokuwa katika kitanda chake cha msonge ambacho hakikulalika.Alikosa kabisa usingizi kwa kuwa alikuwa na mambo mengi aliyoyafikiria akilini mwake. Aliuliza Mungu maswali lakini hakupata majibu.Aliona Maulana alikuwa amemtenga mbali.Polepole akakosa imani naye.Alifadhaiika sana na kujiuliza kwa nini yeye mtoto wa watu apitie masaibu yale yote.Wakati mwingine alihisi kalaaniwa au karongwa na wasiomtakia mema.Stakabadhi zake zilikosa maana yoyote katika maisha yake.Ni mara ngapi ametaka kuzitia moto? Suala hili la kuwa hakupata kazi licha ya kutimiza majukumu yake chuoni lilimtoa machozi njia mbili ashindwe kujizuia.Alipenda sana taaluma yake ya udaktari na alitaka awahudumie wagonjwa ili kutosheleza azimio lake la kuokoa maisha. Alitamani ajitegemee kama watu wengine wa umri wake.Wazazi wake walikuwa wamekula chumvi nyingi na yeye pekee ndiye aliyekuwa tegemeo lao.Alitamani sana moyoni mwake kwamba angeyabadilisha maisha yao na kuwapa malezi bora hata zaidi ya alivyowalea yeye.Jambo hili lingewezekana tu iwapo angepata pesa za kutosha lakini pale alipo hakuwa hata na senti mfukoni mwake.Wavyele wake walijaribu kumwambia kwamba ingekuwa bora iwapo angetafuta mtaji na kuanzisha biashara yake lakini ni kama kwamba walikuwa wanapigia mbuzi gitaa. Mjomba wake alikuja kuwatembelea wakati wa sherehe za mwaka mpya.Moyo wake ulijawa na simanzi baada ya kusikia taabu ambazo alikuwa akipitia Latifa licha ya kufuzu na hapohapo kukata shauri kumsaidia.Kumsaidia Latifa kusingemwia vigumu kwa kuwa alikuwa mtu wa watu aliyejuana na wengi wakiwema wakuu wa mahosipitali mbalimbali.Baada ya sikukuu kuisha, mjomba alimwambia Latifa ajiandae ili aende naye mjini.Latifa alisita kidogo kisha akafanya matayarisho na hatimaye wakaondoka. Kule mjini Latifa alikaribishwa kwa mjomba wake na kutimiziwa mahitaji yake yote.Hakunyanyaswa na mtu yeyote ila alipewa heshima aliyostahili.Mjomba wake alimnunulia nguo ambazo angeendea kazini na za kuvaa anapokuwa pale nyumbani.Isitoshe alihangaika huku na kule ili ahakikishe kuwa mpwa wake angepata kazi na si kazi tu bali ya udaktari.Hatimaye kazi ilipatikana na Latifa akajuzwa.Latifa alifurahi sana kama tasa aliyejifungua mtoto.Akajiandaa vilivyo kwa ajili ya kuanza kazi.Latifa alibadilika alipoanza kazi katika hosipitali moja. Alianza kumwambaa mjomba wake na kumwona hafai kujua jinsi alivyokuwa akiendelea.Alihama kwa mjomba bila taarifa na kujiendea zake.Kazini alionekana akichapa kazi barabara ila hata kumjulia hali mjomba wake hakuweza.Latifa aligeuka na kuwa hayawani asiyejali lolote wala chochote.Alianza kujipenda yeye tu.Mjomba wake alipougua hakufahamu lakini hata baada ya kufahamu baadaye hakuenda kumwuguza.Aliendelea kuugua kwa siku nyingi ila mpwa wake hakufika.Alimpigia simu lakini hakushika na alipojaribu kumtumia mjumbe hakuamini macho yake kwani Latifa alimkana mbele yake. Kwa wazazi wake hakuonekana tena.Wavyele wake wakasononeka wasijue la kufanya.Walihofia kuwa mwana wao alikuwa amepotea mjini.Mjomba aliugua na mwishowe akakata roho bila ya kumwona mpwa wake.Latifa aliyapuzilia mbali mazishi ya mjomba wake na kuendelea na kazi. Pale kazini alijipiga kifua kwa wafanyakazi wenzake na hata mwajiri wake.Kadri siku zilivyosonga ndivyo alivyozidi kuwabeza na kuwaona waliokosa maana katika maisha yake.
Latifa aligeuka na kuwa nini
{ "text": [ "Hayawani" ] }
4831_swa
Asante ya punda Latifa ni msichana mrembo sana.Kwa bahati nzuri aliweza kusoma hadi chuo kikuu na akasomea udaktari.Latifa alikuwa wembe masomoni tokea anaanza masomo yake katika shule ya msingi hadi kutamatisha elimu yake chuo kikuu.Alibahatika kupata alama za kuridhisha ila hakubahatika kupata kazi.Aliandika barua nyingi za kuomba kazi lakini hakuitwa kwa ajili ya kutekeleza huduma yake katika hosipitali yeyote.Alikaa kwao mpaka wazo la kuoelewa likamjia akilini.Alitaabika usiku kucha alipokuwa katika kitanda chake cha msonge ambacho hakikulalika.Alikosa kabisa usingizi kwa kuwa alikuwa na mambo mengi aliyoyafikiria akilini mwake. Aliuliza Mungu maswali lakini hakupata majibu.Aliona Maulana alikuwa amemtenga mbali.Polepole akakosa imani naye.Alifadhaiika sana na kujiuliza kwa nini yeye mtoto wa watu apitie masaibu yale yote.Wakati mwingine alihisi kalaaniwa au karongwa na wasiomtakia mema.Stakabadhi zake zilikosa maana yoyote katika maisha yake.Ni mara ngapi ametaka kuzitia moto? Suala hili la kuwa hakupata kazi licha ya kutimiza majukumu yake chuoni lilimtoa machozi njia mbili ashindwe kujizuia.Alipenda sana taaluma yake ya udaktari na alitaka awahudumie wagonjwa ili kutosheleza azimio lake la kuokoa maisha. Alitamani ajitegemee kama watu wengine wa umri wake.Wazazi wake walikuwa wamekula chumvi nyingi na yeye pekee ndiye aliyekuwa tegemeo lao.Alitamani sana moyoni mwake kwamba angeyabadilisha maisha yao na kuwapa malezi bora hata zaidi ya alivyowalea yeye.Jambo hili lingewezekana tu iwapo angepata pesa za kutosha lakini pale alipo hakuwa hata na senti mfukoni mwake.Wavyele wake walijaribu kumwambia kwamba ingekuwa bora iwapo angetafuta mtaji na kuanzisha biashara yake lakini ni kama kwamba walikuwa wanapigia mbuzi gitaa. Mjomba wake alikuja kuwatembelea wakati wa sherehe za mwaka mpya.Moyo wake ulijawa na simanzi baada ya kusikia taabu ambazo alikuwa akipitia Latifa licha ya kufuzu na hapohapo kukata shauri kumsaidia.Kumsaidia Latifa kusingemwia vigumu kwa kuwa alikuwa mtu wa watu aliyejuana na wengi wakiwema wakuu wa mahosipitali mbalimbali.Baada ya sikukuu kuisha, mjomba alimwambia Latifa ajiandae ili aende naye mjini.Latifa alisita kidogo kisha akafanya matayarisho na hatimaye wakaondoka. Kule mjini Latifa alikaribishwa kwa mjomba wake na kutimiziwa mahitaji yake yote.Hakunyanyaswa na mtu yeyote ila alipewa heshima aliyostahili.Mjomba wake alimnunulia nguo ambazo angeendea kazini na za kuvaa anapokuwa pale nyumbani.Isitoshe alihangaika huku na kule ili ahakikishe kuwa mpwa wake angepata kazi na si kazi tu bali ya udaktari.Hatimaye kazi ilipatikana na Latifa akajuzwa.Latifa alifurahi sana kama tasa aliyejifungua mtoto.Akajiandaa vilivyo kwa ajili ya kuanza kazi.Latifa alibadilika alipoanza kazi katika hosipitali moja. Alianza kumwambaa mjomba wake na kumwona hafai kujua jinsi alivyokuwa akiendelea.Alihama kwa mjomba bila taarifa na kujiendea zake.Kazini alionekana akichapa kazi barabara ila hata kumjulia hali mjomba wake hakuweza.Latifa aligeuka na kuwa hayawani asiyejali lolote wala chochote.Alianza kujipenda yeye tu.Mjomba wake alipougua hakufahamu lakini hata baada ya kufahamu baadaye hakuenda kumwuguza.Aliendelea kuugua kwa siku nyingi ila mpwa wake hakufika.Alimpigia simu lakini hakushika na alipojaribu kumtumia mjumbe hakuamini macho yake kwani Latifa alimkana mbele yake. Kwa wazazi wake hakuonekana tena.Wavyele wake wakasononeka wasijue la kufanya.Walihofia kuwa mwana wao alikuwa amepotea mjini.Mjomba aliugua na mwishowe akakata roho bila ya kumwona mpwa wake.Latifa aliyapuzilia mbali mazishi ya mjomba wake na kuendelea na kazi. Pale kazini alijipiga kifua kwa wafanyakazi wenzake na hata mwajiri wake.Kadri siku zilivyosonga ndivyo alivyozidi kuwabeza na kuwaona waliokosa maana katika maisha yake.
Kwa nini wavyele wake walisononeka wasijue la kufanya.
{ "text": [ "Latifa hakuenda kuwajulia hali" ] }
4832_swa
Changu ni changu Changu alikuwa mmiliki wa kampuni iliyojulikana kwa jina Milestone.Fununu zinaeleza kuwa jina hili linatokana na kwamba kampuni ilimchukua miaka kuisimamisha mpaka pale ilipofikia sasa.Anapofikiria kuhusiana na kampuni yake hujivunia kwa hakika.Yeye hupenda kuitembelea kampuni yake mara kwa mara na kutazama jinsi mambo yanavyoendelea.Hupenda kusikia habari njema zikienea kuhusiana na kampuni yake aliyoijenga kwa mikono yake mwenyewe. Yeyote anatambulika kuwa na uzembe katika kazi hupigwa kalamu mara moja.Yeye huuza bidhaa kadha wa kadha.Ameshirikiana na watu wengi waliobobea katika biashara ili kujiimarisha zaidi.Thomas amekuwa hazidi wake tangu aanzishe kampuni hii.Alitaka kumpoka umiliki wa kampuni hii lakini aliyokutana NATO yalimnyoosha.Changu hana mchezo wakati mada kuu inayozungumziwa inahusu mali zake.Huweza kughadhabika na kuchukua uamuzi wa kujutia baadaye. Hapa nilipo nakumbuka kisa chake na Thomas.Walikutana katika uwanja wa kibiashara lakini kumbe Thomas alimwonea mwenzake kijicho.Alitaka apaliwe sifa kama alivyopaliwa Changu akajisahau na kuanza kujenga ukuta kati yake na Changu.Changu alikasirika pindi tu alipojua kuhusiana na wivu wa Thomas kwake.Akamwona adui badala ya rafiki.Akamwambaa nakujitenga naye.Mambo yalienda segemnege baada ya kugundua eti Thomas alikuwa anafanya juu chini ili kumpokonya kampuni yake. Aliapa kupigana naye hadi kufa kwake.Kwanza kabisa alisusia uhusiano wake wa kikazi naye.Vilevile alikataa kumshirikisha tena katika mambo yaliyohusu masuala ya kampuni yake.Inasemekana kuwa Thomas aliamua kufanya hivi Kwa kuwa alikuwa na pesa nyingi Ila mwenzake ambaye ni Changu aliamua kuifuata sheria barabara.Hakuwa tajiri wa kutajika ila alikuwa akitambulika hata na watu katika serikali. Alikusanya stakabadhi zake muhimu ambazo ndizo zilizothibitisha kuwa yeye ndiye aliyekuwa mmiliki halisi wa Milestone. Changu aliamua kumfungulia mashtaka Thomas kwa madai ya kutaka kumpoka mali yake.Hakuishia hapo tu bali alitafuta wakili ambaye aliaminika katika kutetea haki za wanyonge kama yeye na kumpa kazi ya kumtetea yeye pindi tu wanapokuwa kortini.Baada ya kumfungulia mashtaka Thomas alikamatwa mara moja kwani tayari alikuwa mbioni kuhakikisha kwamba Changu anatoweka duniani.Alijaribu kulipaka jina lake tope lakini hakufua dafu maana wengi wa waliomjua hawakuamini tetesi hizo.Mbali na hayo aliwachochea wafanyakazi wa Changu kugoma huku wakilalamikia mishahara yao duni lakini hawakufanya hivyo badala yake wakamwambia mwajiri wao ukweli mtupu kuhusiana na hila za Thomas. Kuna wakati ambao aliwatuma wahuni kwenda kummaliza afilie mbali lakini badala yake alipokea habari za tanzia baada ya hao kuuwawa na askari wa Changu muda waliomvamia."Changu ni Changu hata iweje kitabaki changu."alijiambia Changu.Aliendelea kusema kuwa jina lake halijakoseka popote kwani linadhihirisha sifa yake ya kuweza kung'ang'ania kila kilicho chake.
Changu alikuwa mmiliki wa kampuni iliyojulikana aje
{ "text": [ "Milestone" ] }
4832_swa
Changu ni changu Changu alikuwa mmiliki wa kampuni iliyojulikana kwa jina Milestone.Fununu zinaeleza kuwa jina hili linatokana na kwamba kampuni ilimchukua miaka kuisimamisha mpaka pale ilipofikia sasa.Anapofikiria kuhusiana na kampuni yake hujivunia kwa hakika.Yeye hupenda kuitembelea kampuni yake mara kwa mara na kutazama jinsi mambo yanavyoendelea.Hupenda kusikia habari njema zikienea kuhusiana na kampuni yake aliyoijenga kwa mikono yake mwenyewe. Yeyote anatambulika kuwa na uzembe katika kazi hupigwa kalamu mara moja.Yeye huuza bidhaa kadha wa kadha.Ameshirikiana na watu wengi waliobobea katika biashara ili kujiimarisha zaidi.Thomas amekuwa hazidi wake tangu aanzishe kampuni hii.Alitaka kumpoka umiliki wa kampuni hii lakini aliyokutana NATO yalimnyoosha.Changu hana mchezo wakati mada kuu inayozungumziwa inahusu mali zake.Huweza kughadhabika na kuchukua uamuzi wa kujutia baadaye. Hapa nilipo nakumbuka kisa chake na Thomas.Walikutana katika uwanja wa kibiashara lakini kumbe Thomas alimwonea mwenzake kijicho.Alitaka apaliwe sifa kama alivyopaliwa Changu akajisahau na kuanza kujenga ukuta kati yake na Changu.Changu alikasirika pindi tu alipojua kuhusiana na wivu wa Thomas kwake.Akamwona adui badala ya rafiki.Akamwambaa nakujitenga naye.Mambo yalienda segemnege baada ya kugundua eti Thomas alikuwa anafanya juu chini ili kumpokonya kampuni yake. Aliapa kupigana naye hadi kufa kwake.Kwanza kabisa alisusia uhusiano wake wa kikazi naye.Vilevile alikataa kumshirikisha tena katika mambo yaliyohusu masuala ya kampuni yake.Inasemekana kuwa Thomas aliamua kufanya hivi Kwa kuwa alikuwa na pesa nyingi Ila mwenzake ambaye ni Changu aliamua kuifuata sheria barabara.Hakuwa tajiri wa kutajika ila alikuwa akitambulika hata na watu katika serikali. Alikusanya stakabadhi zake muhimu ambazo ndizo zilizothibitisha kuwa yeye ndiye aliyekuwa mmiliki halisi wa Milestone. Changu aliamua kumfungulia mashtaka Thomas kwa madai ya kutaka kumpoka mali yake.Hakuishia hapo tu bali alitafuta wakili ambaye aliaminika katika kutetea haki za wanyonge kama yeye na kumpa kazi ya kumtetea yeye pindi tu wanapokuwa kortini.Baada ya kumfungulia mashtaka Thomas alikamatwa mara moja kwani tayari alikuwa mbioni kuhakikisha kwamba Changu anatoweka duniani.Alijaribu kulipaka jina lake tope lakini hakufua dafu maana wengi wa waliomjua hawakuamini tetesi hizo.Mbali na hayo aliwachochea wafanyakazi wa Changu kugoma huku wakilalamikia mishahara yao duni lakini hawakufanya hivyo badala yake wakamwambia mwajiri wao ukweli mtupu kuhusiana na hila za Thomas. Kuna wakati ambao aliwatuma wahuni kwenda kummaliza afilie mbali lakini badala yake alipokea habari za tanzia baada ya hao kuuwawa na askari wa Changu muda waliomvamia."Changu ni Changu hata iweje kitabaki changu."alijiambia Changu.Aliendelea kusema kuwa jina lake halijakoseka popote kwani linadhihirisha sifa yake ya kuweza kung'ang'ania kila kilicho chake.
Nani amekuwa hasidi wake tangu aanzishe kampuni hiyo
{ "text": [ "Thomas" ] }
4832_swa
Changu ni changu Changu alikuwa mmiliki wa kampuni iliyojulikana kwa jina Milestone.Fununu zinaeleza kuwa jina hili linatokana na kwamba kampuni ilimchukua miaka kuisimamisha mpaka pale ilipofikia sasa.Anapofikiria kuhusiana na kampuni yake hujivunia kwa hakika.Yeye hupenda kuitembelea kampuni yake mara kwa mara na kutazama jinsi mambo yanavyoendelea.Hupenda kusikia habari njema zikienea kuhusiana na kampuni yake aliyoijenga kwa mikono yake mwenyewe. Yeyote anatambulika kuwa na uzembe katika kazi hupigwa kalamu mara moja.Yeye huuza bidhaa kadha wa kadha.Ameshirikiana na watu wengi waliobobea katika biashara ili kujiimarisha zaidi.Thomas amekuwa hazidi wake tangu aanzishe kampuni hii.Alitaka kumpoka umiliki wa kampuni hii lakini aliyokutana NATO yalimnyoosha.Changu hana mchezo wakati mada kuu inayozungumziwa inahusu mali zake.Huweza kughadhabika na kuchukua uamuzi wa kujutia baadaye. Hapa nilipo nakumbuka kisa chake na Thomas.Walikutana katika uwanja wa kibiashara lakini kumbe Thomas alimwonea mwenzake kijicho.Alitaka apaliwe sifa kama alivyopaliwa Changu akajisahau na kuanza kujenga ukuta kati yake na Changu.Changu alikasirika pindi tu alipojua kuhusiana na wivu wa Thomas kwake.Akamwona adui badala ya rafiki.Akamwambaa nakujitenga naye.Mambo yalienda segemnege baada ya kugundua eti Thomas alikuwa anafanya juu chini ili kumpokonya kampuni yake. Aliapa kupigana naye hadi kufa kwake.Kwanza kabisa alisusia uhusiano wake wa kikazi naye.Vilevile alikataa kumshirikisha tena katika mambo yaliyohusu masuala ya kampuni yake.Inasemekana kuwa Thomas aliamua kufanya hivi Kwa kuwa alikuwa na pesa nyingi Ila mwenzake ambaye ni Changu aliamua kuifuata sheria barabara.Hakuwa tajiri wa kutajika ila alikuwa akitambulika hata na watu katika serikali. Alikusanya stakabadhi zake muhimu ambazo ndizo zilizothibitisha kuwa yeye ndiye aliyekuwa mmiliki halisi wa Milestone. Changu aliamua kumfungulia mashtaka Thomas kwa madai ya kutaka kumpoka mali yake.Hakuishia hapo tu bali alitafuta wakili ambaye aliaminika katika kutetea haki za wanyonge kama yeye na kumpa kazi ya kumtetea yeye pindi tu wanapokuwa kortini.Baada ya kumfungulia mashtaka Thomas alikamatwa mara moja kwani tayari alikuwa mbioni kuhakikisha kwamba Changu anatoweka duniani.Alijaribu kulipaka jina lake tope lakini hakufua dafu maana wengi wa waliomjua hawakuamini tetesi hizo.Mbali na hayo aliwachochea wafanyakazi wa Changu kugoma huku wakilalamikia mishahara yao duni lakini hawakufanya hivyo badala yake wakamwambia mwajiri wao ukweli mtupu kuhusiana na hila za Thomas. Kuna wakati ambao aliwatuma wahuni kwenda kummaliza afilie mbali lakini badala yake alipokea habari za tanzia baada ya hao kuuwawa na askari wa Changu muda waliomvamia."Changu ni Changu hata iweje kitabaki changu."alijiambia Changu.Aliendelea kusema kuwa jina lake halijakoseka popote kwani linadhihirisha sifa yake ya kuweza kung'ang'ania kila kilicho chake.
Changu aliamua kumfungulia nini Thomas
{ "text": [ "Mashtaka" ] }
4832_swa
Changu ni changu Changu alikuwa mmiliki wa kampuni iliyojulikana kwa jina Milestone.Fununu zinaeleza kuwa jina hili linatokana na kwamba kampuni ilimchukua miaka kuisimamisha mpaka pale ilipofikia sasa.Anapofikiria kuhusiana na kampuni yake hujivunia kwa hakika.Yeye hupenda kuitembelea kampuni yake mara kwa mara na kutazama jinsi mambo yanavyoendelea.Hupenda kusikia habari njema zikienea kuhusiana na kampuni yake aliyoijenga kwa mikono yake mwenyewe. Yeyote anatambulika kuwa na uzembe katika kazi hupigwa kalamu mara moja.Yeye huuza bidhaa kadha wa kadha.Ameshirikiana na watu wengi waliobobea katika biashara ili kujiimarisha zaidi.Thomas amekuwa hazidi wake tangu aanzishe kampuni hii.Alitaka kumpoka umiliki wa kampuni hii lakini aliyokutana NATO yalimnyoosha.Changu hana mchezo wakati mada kuu inayozungumziwa inahusu mali zake.Huweza kughadhabika na kuchukua uamuzi wa kujutia baadaye. Hapa nilipo nakumbuka kisa chake na Thomas.Walikutana katika uwanja wa kibiashara lakini kumbe Thomas alimwonea mwenzake kijicho.Alitaka apaliwe sifa kama alivyopaliwa Changu akajisahau na kuanza kujenga ukuta kati yake na Changu.Changu alikasirika pindi tu alipojua kuhusiana na wivu wa Thomas kwake.Akamwona adui badala ya rafiki.Akamwambaa nakujitenga naye.Mambo yalienda segemnege baada ya kugundua eti Thomas alikuwa anafanya juu chini ili kumpokonya kampuni yake. Aliapa kupigana naye hadi kufa kwake.Kwanza kabisa alisusia uhusiano wake wa kikazi naye.Vilevile alikataa kumshirikisha tena katika mambo yaliyohusu masuala ya kampuni yake.Inasemekana kuwa Thomas aliamua kufanya hivi Kwa kuwa alikuwa na pesa nyingi Ila mwenzake ambaye ni Changu aliamua kuifuata sheria barabara.Hakuwa tajiri wa kutajika ila alikuwa akitambulika hata na watu katika serikali. Alikusanya stakabadhi zake muhimu ambazo ndizo zilizothibitisha kuwa yeye ndiye aliyekuwa mmiliki halisi wa Milestone. Changu aliamua kumfungulia mashtaka Thomas kwa madai ya kutaka kumpoka mali yake.Hakuishia hapo tu bali alitafuta wakili ambaye aliaminika katika kutetea haki za wanyonge kama yeye na kumpa kazi ya kumtetea yeye pindi tu wanapokuwa kortini.Baada ya kumfungulia mashtaka Thomas alikamatwa mara moja kwani tayari alikuwa mbioni kuhakikisha kwamba Changu anatoweka duniani.Alijaribu kulipaka jina lake tope lakini hakufua dafu maana wengi wa waliomjua hawakuamini tetesi hizo.Mbali na hayo aliwachochea wafanyakazi wa Changu kugoma huku wakilalamikia mishahara yao duni lakini hawakufanya hivyo badala yake wakamwambia mwajiri wao ukweli mtupu kuhusiana na hila za Thomas. Kuna wakati ambao aliwatuma wahuni kwenda kummaliza afilie mbali lakini badala yake alipokea habari za tanzia baada ya hao kuuwawa na askari wa Changu muda waliomvamia."Changu ni Changu hata iweje kitabaki changu."alijiambia Changu.Aliendelea kusema kuwa jina lake halijakoseka popote kwani linadhihirisha sifa yake ya kuweza kung'ang'ania kila kilicho chake.
Thomas aliwachochea wafanyikazi wa changu kufanya nini
{ "text": [ "Kugoma" ] }
4832_swa
Changu ni changu Changu alikuwa mmiliki wa kampuni iliyojulikana kwa jina Milestone.Fununu zinaeleza kuwa jina hili linatokana na kwamba kampuni ilimchukua miaka kuisimamisha mpaka pale ilipofikia sasa.Anapofikiria kuhusiana na kampuni yake hujivunia kwa hakika.Yeye hupenda kuitembelea kampuni yake mara kwa mara na kutazama jinsi mambo yanavyoendelea.Hupenda kusikia habari njema zikienea kuhusiana na kampuni yake aliyoijenga kwa mikono yake mwenyewe. Yeyote anatambulika kuwa na uzembe katika kazi hupigwa kalamu mara moja.Yeye huuza bidhaa kadha wa kadha.Ameshirikiana na watu wengi waliobobea katika biashara ili kujiimarisha zaidi.Thomas amekuwa hazidi wake tangu aanzishe kampuni hii.Alitaka kumpoka umiliki wa kampuni hii lakini aliyokutana NATO yalimnyoosha.Changu hana mchezo wakati mada kuu inayozungumziwa inahusu mali zake.Huweza kughadhabika na kuchukua uamuzi wa kujutia baadaye. Hapa nilipo nakumbuka kisa chake na Thomas.Walikutana katika uwanja wa kibiashara lakini kumbe Thomas alimwonea mwenzake kijicho.Alitaka apaliwe sifa kama alivyopaliwa Changu akajisahau na kuanza kujenga ukuta kati yake na Changu.Changu alikasirika pindi tu alipojua kuhusiana na wivu wa Thomas kwake.Akamwona adui badala ya rafiki.Akamwambaa nakujitenga naye.Mambo yalienda segemnege baada ya kugundua eti Thomas alikuwa anafanya juu chini ili kumpokonya kampuni yake. Aliapa kupigana naye hadi kufa kwake.Kwanza kabisa alisusia uhusiano wake wa kikazi naye.Vilevile alikataa kumshirikisha tena katika mambo yaliyohusu masuala ya kampuni yake.Inasemekana kuwa Thomas aliamua kufanya hivi Kwa kuwa alikuwa na pesa nyingi Ila mwenzake ambaye ni Changu aliamua kuifuata sheria barabara.Hakuwa tajiri wa kutajika ila alikuwa akitambulika hata na watu katika serikali. Alikusanya stakabadhi zake muhimu ambazo ndizo zilizothibitisha kuwa yeye ndiye aliyekuwa mmiliki halisi wa Milestone. Changu aliamua kumfungulia mashtaka Thomas kwa madai ya kutaka kumpoka mali yake.Hakuishia hapo tu bali alitafuta wakili ambaye aliaminika katika kutetea haki za wanyonge kama yeye na kumpa kazi ya kumtetea yeye pindi tu wanapokuwa kortini.Baada ya kumfungulia mashtaka Thomas alikamatwa mara moja kwani tayari alikuwa mbioni kuhakikisha kwamba Changu anatoweka duniani.Alijaribu kulipaka jina lake tope lakini hakufua dafu maana wengi wa waliomjua hawakuamini tetesi hizo.Mbali na hayo aliwachochea wafanyakazi wa Changu kugoma huku wakilalamikia mishahara yao duni lakini hawakufanya hivyo badala yake wakamwambia mwajiri wao ukweli mtupu kuhusiana na hila za Thomas. Kuna wakati ambao aliwatuma wahuni kwenda kummaliza afilie mbali lakini badala yake alipokea habari za tanzia baada ya hao kuuwawa na askari wa Changu muda waliomvamia."Changu ni Changu hata iweje kitabaki changu."alijiambia Changu.Aliendelea kusema kuwa jina lake halijakoseka popote kwani linadhihirisha sifa yake ya kuweza kung'ang'ania kila kilicho chake.
Kwa nini wahuni waliaga
{ "text": [ "Waliuliwa na askari wa Changu" ] }
4833_swa
Mke wa mtu sumu Mwanaume hupitia masaibu kabla apate jiko yaani aowe mke hasa anayempenda.Kwanza kabisa humtafuta na anapompata hujitayarisha namna ataweza kumpata.Ijapokuwa usemi huhitajika bado lazima ajipange.Anapofanikiwa kumpata banati aliyemwenzi hulazimika kumpa muda wake ili uchumba usivunjike.Ndoa inapokaribia hulazimika kwenda kuwaona wazazi wa yule msichana aliyemchagua awe mke wake.Hugharamika kifedha si haba.Hutoa mahari na hatimaye hupata mke. Suala hili halikuwa tofauti sana na la John ambaye alilazimika kutoka ng'ambo na kujishusha hadhi ili ampate Mary mwanamke aliyebarikiwa kwa kila hali.Si urembo,akili bali pia tabia.John hujiona amekamilika anapokuwa karibu naye.Kwa sasa yuko jela Kwa kosa la kumtoa mtu uhai.Sababu kuu ni kuwa mtu yule alikuwa tishio Kwa mke wake.Marehemu alikuwa ameapa kumwangamiza mke wake eti kwa sababu yeye John alikuwa ameshindwa kumlipa deni lake la elfu hamsini. Akiikumbuka siku yenyewe taswira inamjia akilini.Marehemu alikuwa mwandani wake John ila urafiki wao uliingia doa baada ya rafiki yake kuchoka kumdai.Ukweli ni kwamba hakuwa ameshindwa kulipa deni hilo bali alihitaji muda zaidi ili aweze kutimiza hilo.Marehemu alikuwa amemdai Kwa takriban miaka miwili na hivyo alikuwa amechoshwa na kuchushwa na ngojangoja za John zisizo zaa matunda. Inasemekana yeye ndiye aliyemfuata John nyumbani mwake na kuzua vurugu.Siku hiyo alifika akiwa mwingi wa hasira na kuanza kumwita John akiwa mbali kidogo na nyumba yake.Mke wa John ndiye aliyesikia kelele hizo na hivyo akamjuza mume wake na wote wakatoka nje.Walipotoka tayari Simon alikuwa amefika."John nilipe pesa zangu leo la sivyo damu itamwagika."Simon alitamka. Rabsha ilizidi baada ya mke wa John kujaribu kuingilia kati na kuchapwa kibao kilichomwangusha chini.John alimkimbilia mke wake na kumwinua kisha akamgeukia rafiki yake huku amepandwa na za kwao."Aliyekupa ruhusa ya kumpiga mke wangu kibao ni nani hasa?"John akamuuliza Simon.Simon hakumjibu bali aliendelea kutoka cheche za matusi pasi kupima maneno yake.John alikasirika hata zaidi na kumwamrisha atoke kwake ila hakutaka kuondoka bila pesa zake mkononi. Mambo yalipozidi unga,walianza kupigana miereka huku John akidhamiria kumfukuza naye Simon kumwangamiza.Mke wa John alishangazwa na mambo yaliyokuwa yakijiri asiamini macho yake.Ghafla bin vuu Simon alitoa bastola na kurusha risasi angani na hapa ndipo John alifahamu mambo sasa yalikuwa yamegeuka na asipotahadhari atajipata matatani.Baada ya milio mingi ya risasi angani,Simon alimnyakua Mary tayari kumfwatulia risasi kichwani huku akimwambia John kwamba angekula jeuri lake kwani angemwangamiza mke wake mara moja kabla kummaliza yeye. John alipoona hali si hali aliamua kunyenyekea ila unyenyekevu wake haukuwa lolote wala chochote kwa Simon.Alizidi kumkosesha pumzi Mary kwa kumfinya shingo.Punde si punde John alichukua jiwe na kumlenga kipajini Simon akaanguka chini pu na kumwachilia Mary."Are you okey?"Aliuliza John.John hakutosheka na jiwe alilomlenga Simon kipajini lakini baada ya kumwona ameanguka alichukua bastola na kumfyatulia risasi kifuani Mara saba. Akili zilipomrudi aligundua kwamba alikuwa amemuua rafiki yake wa siku nyingi ila husema hakujutia kwa sababu aliweza kumlinda mke wake.Kwa sasa yu jela akisubiri hukumu yake japo anajua ni kifo bado hashtuki ila hujiambia atakufa akifufuka ili kuhakikisha kwamba mke wake hadhuriki kutokana na kitu au mtu yeyote.
Mwanaume hupata masaibu kabla apate nini
{ "text": [ "mke" ] }
4833_swa
Mke wa mtu sumu Mwanaume hupitia masaibu kabla apate jiko yaani aowe mke hasa anayempenda.Kwanza kabisa humtafuta na anapompata hujitayarisha namna ataweza kumpata.Ijapokuwa usemi huhitajika bado lazima ajipange.Anapofanikiwa kumpata banati aliyemwenzi hulazimika kumpa muda wake ili uchumba usivunjike.Ndoa inapokaribia hulazimika kwenda kuwaona wazazi wa yule msichana aliyemchagua awe mke wake.Hugharamika kifedha si haba.Hutoa mahari na hatimaye hupata mke. Suala hili halikuwa tofauti sana na la John ambaye alilazimika kutoka ng'ambo na kujishusha hadhi ili ampate Mary mwanamke aliyebarikiwa kwa kila hali.Si urembo,akili bali pia tabia.John hujiona amekamilika anapokuwa karibu naye.Kwa sasa yuko jela Kwa kosa la kumtoa mtu uhai.Sababu kuu ni kuwa mtu yule alikuwa tishio Kwa mke wake.Marehemu alikuwa ameapa kumwangamiza mke wake eti kwa sababu yeye John alikuwa ameshindwa kumlipa deni lake la elfu hamsini. Akiikumbuka siku yenyewe taswira inamjia akilini.Marehemu alikuwa mwandani wake John ila urafiki wao uliingia doa baada ya rafiki yake kuchoka kumdai.Ukweli ni kwamba hakuwa ameshindwa kulipa deni hilo bali alihitaji muda zaidi ili aweze kutimiza hilo.Marehemu alikuwa amemdai Kwa takriban miaka miwili na hivyo alikuwa amechoshwa na kuchushwa na ngojangoja za John zisizo zaa matunda. Inasemekana yeye ndiye aliyemfuata John nyumbani mwake na kuzua vurugu.Siku hiyo alifika akiwa mwingi wa hasira na kuanza kumwita John akiwa mbali kidogo na nyumba yake.Mke wa John ndiye aliyesikia kelele hizo na hivyo akamjuza mume wake na wote wakatoka nje.Walipotoka tayari Simon alikuwa amefika."John nilipe pesa zangu leo la sivyo damu itamwagika."Simon alitamka. Rabsha ilizidi baada ya mke wa John kujaribu kuingilia kati na kuchapwa kibao kilichomwangusha chini.John alimkimbilia mke wake na kumwinua kisha akamgeukia rafiki yake huku amepandwa na za kwao."Aliyekupa ruhusa ya kumpiga mke wangu kibao ni nani hasa?"John akamuuliza Simon.Simon hakumjibu bali aliendelea kutoka cheche za matusi pasi kupima maneno yake.John alikasirika hata zaidi na kumwamrisha atoke kwake ila hakutaka kuondoka bila pesa zake mkononi. Mambo yalipozidi unga,walianza kupigana miereka huku John akidhamiria kumfukuza naye Simon kumwangamiza.Mke wa John alishangazwa na mambo yaliyokuwa yakijiri asiamini macho yake.Ghafla bin vuu Simon alitoa bastola na kurusha risasi angani na hapa ndipo John alifahamu mambo sasa yalikuwa yamegeuka na asipotahadhari atajipata matatani.Baada ya milio mingi ya risasi angani,Simon alimnyakua Mary tayari kumfwatulia risasi kichwani huku akimwambia John kwamba angekula jeuri lake kwani angemwangamiza mke wake mara moja kabla kummaliza yeye. John alipoona hali si hali aliamua kunyenyekea ila unyenyekevu wake haukuwa lolote wala chochote kwa Simon.Alizidi kumkosesha pumzi Mary kwa kumfinya shingo.Punde si punde John alichukua jiwe na kumlenga kipajini Simon akaanguka chini pu na kumwachilia Mary."Are you okey?"Aliuliza John.John hakutosheka na jiwe alilomlenga Simon kipajini lakini baada ya kumwona ameanguka alichukua bastola na kumfyatulia risasi kifuani Mara saba. Akili zilipomrudi aligundua kwamba alikuwa amemuua rafiki yake wa siku nyingi ila husema hakujutia kwa sababu aliweza kumlinda mke wake.Kwa sasa yu jela akisubiri hukumu yake japo anajua ni kifo bado hashtuki ila hujiambia atakufa akifufuka ili kuhakikisha kwamba mke wake hadhuriki kutokana na kitu au mtu yeyote.
Nani alilazimika kutoka ngambo ili apate mwanamke
{ "text": [ "John" ] }
4833_swa
Mke wa mtu sumu Mwanaume hupitia masaibu kabla apate jiko yaani aowe mke hasa anayempenda.Kwanza kabisa humtafuta na anapompata hujitayarisha namna ataweza kumpata.Ijapokuwa usemi huhitajika bado lazima ajipange.Anapofanikiwa kumpata banati aliyemwenzi hulazimika kumpa muda wake ili uchumba usivunjike.Ndoa inapokaribia hulazimika kwenda kuwaona wazazi wa yule msichana aliyemchagua awe mke wake.Hugharamika kifedha si haba.Hutoa mahari na hatimaye hupata mke. Suala hili halikuwa tofauti sana na la John ambaye alilazimika kutoka ng'ambo na kujishusha hadhi ili ampate Mary mwanamke aliyebarikiwa kwa kila hali.Si urembo,akili bali pia tabia.John hujiona amekamilika anapokuwa karibu naye.Kwa sasa yuko jela Kwa kosa la kumtoa mtu uhai.Sababu kuu ni kuwa mtu yule alikuwa tishio Kwa mke wake.Marehemu alikuwa ameapa kumwangamiza mke wake eti kwa sababu yeye John alikuwa ameshindwa kumlipa deni lake la elfu hamsini. Akiikumbuka siku yenyewe taswira inamjia akilini.Marehemu alikuwa mwandani wake John ila urafiki wao uliingia doa baada ya rafiki yake kuchoka kumdai.Ukweli ni kwamba hakuwa ameshindwa kulipa deni hilo bali alihitaji muda zaidi ili aweze kutimiza hilo.Marehemu alikuwa amemdai Kwa takriban miaka miwili na hivyo alikuwa amechoshwa na kuchushwa na ngojangoja za John zisizo zaa matunda. Inasemekana yeye ndiye aliyemfuata John nyumbani mwake na kuzua vurugu.Siku hiyo alifika akiwa mwingi wa hasira na kuanza kumwita John akiwa mbali kidogo na nyumba yake.Mke wa John ndiye aliyesikia kelele hizo na hivyo akamjuza mume wake na wote wakatoka nje.Walipotoka tayari Simon alikuwa amefika."John nilipe pesa zangu leo la sivyo damu itamwagika."Simon alitamka. Rabsha ilizidi baada ya mke wa John kujaribu kuingilia kati na kuchapwa kibao kilichomwangusha chini.John alimkimbilia mke wake na kumwinua kisha akamgeukia rafiki yake huku amepandwa na za kwao."Aliyekupa ruhusa ya kumpiga mke wangu kibao ni nani hasa?"John akamuuliza Simon.Simon hakumjibu bali aliendelea kutoka cheche za matusi pasi kupima maneno yake.John alikasirika hata zaidi na kumwamrisha atoke kwake ila hakutaka kuondoka bila pesa zake mkononi. Mambo yalipozidi unga,walianza kupigana miereka huku John akidhamiria kumfukuza naye Simon kumwangamiza.Mke wa John alishangazwa na mambo yaliyokuwa yakijiri asiamini macho yake.Ghafla bin vuu Simon alitoa bastola na kurusha risasi angani na hapa ndipo John alifahamu mambo sasa yalikuwa yamegeuka na asipotahadhari atajipata matatani.Baada ya milio mingi ya risasi angani,Simon alimnyakua Mary tayari kumfwatulia risasi kichwani huku akimwambia John kwamba angekula jeuri lake kwani angemwangamiza mke wake mara moja kabla kummaliza yeye. John alipoona hali si hali aliamua kunyenyekea ila unyenyekevu wake haukuwa lolote wala chochote kwa Simon.Alizidi kumkosesha pumzi Mary kwa kumfinya shingo.Punde si punde John alichukua jiwe na kumlenga kipajini Simon akaanguka chini pu na kumwachilia Mary."Are you okey?"Aliuliza John.John hakutosheka na jiwe alilomlenga Simon kipajini lakini baada ya kumwona ameanguka alichukua bastola na kumfyatulia risasi kifuani Mara saba. Akili zilipomrudi aligundua kwamba alikuwa amemuua rafiki yake wa siku nyingi ila husema hakujutia kwa sababu aliweza kumlinda mke wake.Kwa sasa yu jela akisubiri hukumu yake japo anajua ni kifo bado hashtuki ila hujiambia atakufa akifufuka ili kuhakikisha kwamba mke wake hadhuriki kutokana na kitu au mtu yeyote.
Urafiki baina ya John na Simon uliingia doa lini
{ "text": [ "Baada ya rafikia yake kuchoka kumdai pesa zake" ] }
4833_swa
Mke wa mtu sumu Mwanaume hupitia masaibu kabla apate jiko yaani aowe mke hasa anayempenda.Kwanza kabisa humtafuta na anapompata hujitayarisha namna ataweza kumpata.Ijapokuwa usemi huhitajika bado lazima ajipange.Anapofanikiwa kumpata banati aliyemwenzi hulazimika kumpa muda wake ili uchumba usivunjike.Ndoa inapokaribia hulazimika kwenda kuwaona wazazi wa yule msichana aliyemchagua awe mke wake.Hugharamika kifedha si haba.Hutoa mahari na hatimaye hupata mke. Suala hili halikuwa tofauti sana na la John ambaye alilazimika kutoka ng'ambo na kujishusha hadhi ili ampate Mary mwanamke aliyebarikiwa kwa kila hali.Si urembo,akili bali pia tabia.John hujiona amekamilika anapokuwa karibu naye.Kwa sasa yuko jela Kwa kosa la kumtoa mtu uhai.Sababu kuu ni kuwa mtu yule alikuwa tishio Kwa mke wake.Marehemu alikuwa ameapa kumwangamiza mke wake eti kwa sababu yeye John alikuwa ameshindwa kumlipa deni lake la elfu hamsini. Akiikumbuka siku yenyewe taswira inamjia akilini.Marehemu alikuwa mwandani wake John ila urafiki wao uliingia doa baada ya rafiki yake kuchoka kumdai.Ukweli ni kwamba hakuwa ameshindwa kulipa deni hilo bali alihitaji muda zaidi ili aweze kutimiza hilo.Marehemu alikuwa amemdai Kwa takriban miaka miwili na hivyo alikuwa amechoshwa na kuchushwa na ngojangoja za John zisizo zaa matunda. Inasemekana yeye ndiye aliyemfuata John nyumbani mwake na kuzua vurugu.Siku hiyo alifika akiwa mwingi wa hasira na kuanza kumwita John akiwa mbali kidogo na nyumba yake.Mke wa John ndiye aliyesikia kelele hizo na hivyo akamjuza mume wake na wote wakatoka nje.Walipotoka tayari Simon alikuwa amefika."John nilipe pesa zangu leo la sivyo damu itamwagika."Simon alitamka. Rabsha ilizidi baada ya mke wa John kujaribu kuingilia kati na kuchapwa kibao kilichomwangusha chini.John alimkimbilia mke wake na kumwinua kisha akamgeukia rafiki yake huku amepandwa na za kwao."Aliyekupa ruhusa ya kumpiga mke wangu kibao ni nani hasa?"John akamuuliza Simon.Simon hakumjibu bali aliendelea kutoka cheche za matusi pasi kupima maneno yake.John alikasirika hata zaidi na kumwamrisha atoke kwake ila hakutaka kuondoka bila pesa zake mkononi. Mambo yalipozidi unga,walianza kupigana miereka huku John akidhamiria kumfukuza naye Simon kumwangamiza.Mke wa John alishangazwa na mambo yaliyokuwa yakijiri asiamini macho yake.Ghafla bin vuu Simon alitoa bastola na kurusha risasi angani na hapa ndipo John alifahamu mambo sasa yalikuwa yamegeuka na asipotahadhari atajipata matatani.Baada ya milio mingi ya risasi angani,Simon alimnyakua Mary tayari kumfwatulia risasi kichwani huku akimwambia John kwamba angekula jeuri lake kwani angemwangamiza mke wake mara moja kabla kummaliza yeye. John alipoona hali si hali aliamua kunyenyekea ila unyenyekevu wake haukuwa lolote wala chochote kwa Simon.Alizidi kumkosesha pumzi Mary kwa kumfinya shingo.Punde si punde John alichukua jiwe na kumlenga kipajini Simon akaanguka chini pu na kumwachilia Mary."Are you okey?"Aliuliza John.John hakutosheka na jiwe alilomlenga Simon kipajini lakini baada ya kumwona ameanguka alichukua bastola na kumfyatulia risasi kifuani Mara saba. Akili zilipomrudi aligundua kwamba alikuwa amemuua rafiki yake wa siku nyingi ila husema hakujutia kwa sababu aliweza kumlinda mke wake.Kwa sasa yu jela akisubiri hukumu yake japo anajua ni kifo bado hashtuki ila hujiambia atakufa akifufuka ili kuhakikisha kwamba mke wake hadhuriki kutokana na kitu au mtu yeyote.
Simon alimwita John akiwa mbali kidogo na wapi
{ "text": [ "Nyumba yaKe" ] }
4833_swa
Mke wa mtu sumu Mwanaume hupitia masaibu kabla apate jiko yaani aowe mke hasa anayempenda.Kwanza kabisa humtafuta na anapompata hujitayarisha namna ataweza kumpata.Ijapokuwa usemi huhitajika bado lazima ajipange.Anapofanikiwa kumpata banati aliyemwenzi hulazimika kumpa muda wake ili uchumba usivunjike.Ndoa inapokaribia hulazimika kwenda kuwaona wazazi wa yule msichana aliyemchagua awe mke wake.Hugharamika kifedha si haba.Hutoa mahari na hatimaye hupata mke. Suala hili halikuwa tofauti sana na la John ambaye alilazimika kutoka ng'ambo na kujishusha hadhi ili ampate Mary mwanamke aliyebarikiwa kwa kila hali.Si urembo,akili bali pia tabia.John hujiona amekamilika anapokuwa karibu naye.Kwa sasa yuko jela Kwa kosa la kumtoa mtu uhai.Sababu kuu ni kuwa mtu yule alikuwa tishio Kwa mke wake.Marehemu alikuwa ameapa kumwangamiza mke wake eti kwa sababu yeye John alikuwa ameshindwa kumlipa deni lake la elfu hamsini. Akiikumbuka siku yenyewe taswira inamjia akilini.Marehemu alikuwa mwandani wake John ila urafiki wao uliingia doa baada ya rafiki yake kuchoka kumdai.Ukweli ni kwamba hakuwa ameshindwa kulipa deni hilo bali alihitaji muda zaidi ili aweze kutimiza hilo.Marehemu alikuwa amemdai Kwa takriban miaka miwili na hivyo alikuwa amechoshwa na kuchushwa na ngojangoja za John zisizo zaa matunda. Inasemekana yeye ndiye aliyemfuata John nyumbani mwake na kuzua vurugu.Siku hiyo alifika akiwa mwingi wa hasira na kuanza kumwita John akiwa mbali kidogo na nyumba yake.Mke wa John ndiye aliyesikia kelele hizo na hivyo akamjuza mume wake na wote wakatoka nje.Walipotoka tayari Simon alikuwa amefika."John nilipe pesa zangu leo la sivyo damu itamwagika."Simon alitamka. Rabsha ilizidi baada ya mke wa John kujaribu kuingilia kati na kuchapwa kibao kilichomwangusha chini.John alimkimbilia mke wake na kumwinua kisha akamgeukia rafiki yake huku amepandwa na za kwao."Aliyekupa ruhusa ya kumpiga mke wangu kibao ni nani hasa?"John akamuuliza Simon.Simon hakumjibu bali aliendelea kutoka cheche za matusi pasi kupima maneno yake.John alikasirika hata zaidi na kumwamrisha atoke kwake ila hakutaka kuondoka bila pesa zake mkononi. Mambo yalipozidi unga,walianza kupigana miereka huku John akidhamiria kumfukuza naye Simon kumwangamiza.Mke wa John alishangazwa na mambo yaliyokuwa yakijiri asiamini macho yake.Ghafla bin vuu Simon alitoa bastola na kurusha risasi angani na hapa ndipo John alifahamu mambo sasa yalikuwa yamegeuka na asipotahadhari atajipata matatani.Baada ya milio mingi ya risasi angani,Simon alimnyakua Mary tayari kumfwatulia risasi kichwani huku akimwambia John kwamba angekula jeuri lake kwani angemwangamiza mke wake mara moja kabla kummaliza yeye. John alipoona hali si hali aliamua kunyenyekea ila unyenyekevu wake haukuwa lolote wala chochote kwa Simon.Alizidi kumkosesha pumzi Mary kwa kumfinya shingo.Punde si punde John alichukua jiwe na kumlenga kipajini Simon akaanguka chini pu na kumwachilia Mary."Are you okey?"Aliuliza John.John hakutosheka na jiwe alilomlenga Simon kipajini lakini baada ya kumwona ameanguka alichukua bastola na kumfyatulia risasi kifuani Mara saba. Akili zilipomrudi aligundua kwamba alikuwa amemuua rafiki yake wa siku nyingi ila husema hakujutia kwa sababu aliweza kumlinda mke wake.Kwa sasa yu jela akisubiri hukumu yake japo anajua ni kifo bado hashtuki ila hujiambia atakufa akifufuka ili kuhakikisha kwamba mke wake hadhuriki kutokana na kitu au mtu yeyote.
Kwa nini John alikasirika zaidi na kumwamuru atoke k
{ "text": [ "Aliendelea kutoka cheche za matusi bila kupima maneno yake" ] }
4834_swa
ZARAA Zaraa ndio UTI wa mgongo wa taifa la Kenya. Viwanda vingi nchini hutegemea kilimo kama malighafi yake. Pia huwalisha wafanyikazi. Licha ya umuhimu wa sekta hii,mkulima ambaye ndiye nguzo ya zaraa anaendelea kukabiliwa na matatizo mbalimbali yanayokwamiza juhudi zake. Mojawapo ya matatizo yanayomkabili mkulima ni ukosefu wa ushauri wa zaraa. Wataalamu wanaotarajiwa kumshauri mkulima kuhusu njia bora za kuzalisha Pato lake ni haba. Hii ikilinganishwa na idadi ya wakulima wanaohitaji ushauri. Wachache walioko nao wanakwamizwa na mambo tofauti. Mathalani. Utawapata hawaendi njanjani. Ili kukutana na wakulima kwa kuwa hawana vyombo vya usafiri. Iwapo vipo,huenda petroli ikawa ni kizungumkuti. Halikadhalika. Usisahau kuwa baadhi ya wataalamu hawa ni wafisadi.kuna wale wanafika ofisini na kushinda siku nzima wakisoma gazeti. Wengine hucheza bao au karata huku wakipoteza muda. Wengine hufika na kuangika koti au Sweta kitini ili waonekane kuwa bado wapo. Kisha wanatokomea kwenda kushughulikia mambo Yao ya kibinafsi. Haya huwa hayahusu kazi waliyoajiriwa kufanya. Ukosefu wa sera mwafaka kuhusu ardhi nalo ni tatizo jingine linalotatiza kilimo nchini. Serikali haijaweka sera mahususi kuhusu matumizi ya ardhi. Wananchi wengi huongozwa na taratibu za utamaduni za nasaba zao. Taratibu hizi hupendekeza ugawaju wa ardhi Kwa minajili ya urithi kulingana na warithi waliopo. Si ajabu kuwa kote nchini. Ardhi inayofaa Kwa kilimo imekatwakatwa vipande vidogovidogo ambavyo haviwezi kuwa na faida Kwa zaraa. Mkulima pia hushindwa kuongeza virutubishi ardhini. Hii ni changamoto nyingine inayokabili kilimo nchini. Kule kulima sehemu ya ardhi mwaka nenda mwaka Rudi bila kukipa nafasi ya kupumzika,huufanya mchanga kupoteza virutubishi muhimu. Hizi virutubishi vinahitajiwa na mimea. Hili nalo huchangia kupunguza uzalishaji wa mazao. Ili kutatua tatizo hili, wakulima wengi wanakimbilia mbolea za kisasa. Mbolea hizi badala ya kumsaidia,humwongezea madhila. Mbolea hizi zinatambulika na kuchangia uchaguzi wa mchanga na ardhi. Mbolea za zamani Kama vile samadi zilikuwa zinachangia pakubwa ukuaji wa mimea. Mazao yalikuwa yananawiri Kwa sababu ya mimea hizo za kiasili. Mabadiliko ya Hali ya anga nayo huongezea msururu wa madhila ya mkulima. Mabadiliko haya yamemfanya mkulima kushindwa kupanga wakati anaotakiwa kutayarisha shamba. Kupanda. Kupalilia. Kunyunyizia dawa na kadhalika Kwa sababu mvua imekuwa adimu. Badala yake panakuwa na vipindi virefu vya kiangazi ambavyo huathiri bidii za mkulima. Maji nayo yanaendelea kupunguza na wakulima wengi hawawezi kukimu mahitaji. Ya unyunyizaji maji mashambani. Maradhi na wadudu waharibifu ni changamoto nyingine. Wadudu kama vile viwavi na kupe hutatiza juhudi za mkulima hapa nchini. Haya hupunguza uzalishaji wa mkulima. Vilevile wakati mwingine hupunguza mifugo au mimea yake. Kwa sadfa,iwapo mkulima ataweza kuzalisha mazao licha ya msururu huu wa vikwazo. Ana tatizo jingine linalomngojea. Ukosefu wa solo Kwa mazao yake. Vilevile,maeneo mengi yanayotoa mazao ya kilimo Kwa wingi huwa na matatizo ya usafiri. Njia na barabara huwa mbovu na hazipitiki. Mazao mengi huwa hayafiki sokoni Kwa wakati. Hii huwa ni hasara Kwa wakulima. Fauka ya hayo,gharama ya uzalishaji wa mazao ya kilimo hapa nchini huwa ya juu zaidi. Hii huwa kidogo kuliko faida anayopata mkulima. Watu wengi wameacha kutegemea kilimo kama njia ya ajira Kwa kuwa hakilipi. Hii ni zaidi ya ushindani wa bidhaa za kilimo kutoka nje ya nchi ambao ni tatizo jingine linalomkabili mkulima. Mara nyingine wakulima wa kutoka nje ya nchi husaidiwa na serikali zao kuzalisha mazao Kwa kufidiwa. Mazao kama haya yaingiapo sokoni huuzwa Kwa bei ya chini. Hayawezi kushindana na Yale ya wale wasiopata mchango wowote kutoka Kwa serikali kama wakulima wa hapa nchini. Mkulima wa Kenya anahitaji msaada wa dharura. Ili aweze kunyanyua kilimo ambacho ni UTI wa mgongo wa uchumi wetu. Lau haya hayatafanyika. Uchumi wetu utaendelea kudidimia.
Nini ndio uti wa mgongo wa taifa la Kenya
{ "text": [ "Zaraa" ] }
4834_swa
ZARAA Zaraa ndio UTI wa mgongo wa taifa la Kenya. Viwanda vingi nchini hutegemea kilimo kama malighafi yake. Pia huwalisha wafanyikazi. Licha ya umuhimu wa sekta hii,mkulima ambaye ndiye nguzo ya zaraa anaendelea kukabiliwa na matatizo mbalimbali yanayokwamiza juhudi zake. Mojawapo ya matatizo yanayomkabili mkulima ni ukosefu wa ushauri wa zaraa. Wataalamu wanaotarajiwa kumshauri mkulima kuhusu njia bora za kuzalisha Pato lake ni haba. Hii ikilinganishwa na idadi ya wakulima wanaohitaji ushauri. Wachache walioko nao wanakwamizwa na mambo tofauti. Mathalani. Utawapata hawaendi njanjani. Ili kukutana na wakulima kwa kuwa hawana vyombo vya usafiri. Iwapo vipo,huenda petroli ikawa ni kizungumkuti. Halikadhalika. Usisahau kuwa baadhi ya wataalamu hawa ni wafisadi.kuna wale wanafika ofisini na kushinda siku nzima wakisoma gazeti. Wengine hucheza bao au karata huku wakipoteza muda. Wengine hufika na kuangika koti au Sweta kitini ili waonekane kuwa bado wapo. Kisha wanatokomea kwenda kushughulikia mambo Yao ya kibinafsi. Haya huwa hayahusu kazi waliyoajiriwa kufanya. Ukosefu wa sera mwafaka kuhusu ardhi nalo ni tatizo jingine linalotatiza kilimo nchini. Serikali haijaweka sera mahususi kuhusu matumizi ya ardhi. Wananchi wengi huongozwa na taratibu za utamaduni za nasaba zao. Taratibu hizi hupendekeza ugawaju wa ardhi Kwa minajili ya urithi kulingana na warithi waliopo. Si ajabu kuwa kote nchini. Ardhi inayofaa Kwa kilimo imekatwakatwa vipande vidogovidogo ambavyo haviwezi kuwa na faida Kwa zaraa. Mkulima pia hushindwa kuongeza virutubishi ardhini. Hii ni changamoto nyingine inayokabili kilimo nchini. Kule kulima sehemu ya ardhi mwaka nenda mwaka Rudi bila kukipa nafasi ya kupumzika,huufanya mchanga kupoteza virutubishi muhimu. Hizi virutubishi vinahitajiwa na mimea. Hili nalo huchangia kupunguza uzalishaji wa mazao. Ili kutatua tatizo hili, wakulima wengi wanakimbilia mbolea za kisasa. Mbolea hizi badala ya kumsaidia,humwongezea madhila. Mbolea hizi zinatambulika na kuchangia uchaguzi wa mchanga na ardhi. Mbolea za zamani Kama vile samadi zilikuwa zinachangia pakubwa ukuaji wa mimea. Mazao yalikuwa yananawiri Kwa sababu ya mimea hizo za kiasili. Mabadiliko ya Hali ya anga nayo huongezea msururu wa madhila ya mkulima. Mabadiliko haya yamemfanya mkulima kushindwa kupanga wakati anaotakiwa kutayarisha shamba. Kupanda. Kupalilia. Kunyunyizia dawa na kadhalika Kwa sababu mvua imekuwa adimu. Badala yake panakuwa na vipindi virefu vya kiangazi ambavyo huathiri bidii za mkulima. Maji nayo yanaendelea kupunguza na wakulima wengi hawawezi kukimu mahitaji. Ya unyunyizaji maji mashambani. Maradhi na wadudu waharibifu ni changamoto nyingine. Wadudu kama vile viwavi na kupe hutatiza juhudi za mkulima hapa nchini. Haya hupunguza uzalishaji wa mkulima. Vilevile wakati mwingine hupunguza mifugo au mimea yake. Kwa sadfa,iwapo mkulima ataweza kuzalisha mazao licha ya msururu huu wa vikwazo. Ana tatizo jingine linalomngojea. Ukosefu wa solo Kwa mazao yake. Vilevile,maeneo mengi yanayotoa mazao ya kilimo Kwa wingi huwa na matatizo ya usafiri. Njia na barabara huwa mbovu na hazipitiki. Mazao mengi huwa hayafiki sokoni Kwa wakati. Hii huwa ni hasara Kwa wakulima. Fauka ya hayo,gharama ya uzalishaji wa mazao ya kilimo hapa nchini huwa ya juu zaidi. Hii huwa kidogo kuliko faida anayopata mkulima. Watu wengi wameacha kutegemea kilimo kama njia ya ajira Kwa kuwa hakilipi. Hii ni zaidi ya ushindani wa bidhaa za kilimo kutoka nje ya nchi ambao ni tatizo jingine linalomkabili mkulima. Mara nyingine wakulima wa kutoka nje ya nchi husaidiwa na serikali zao kuzalisha mazao Kwa kufidiwa. Mazao kama haya yaingiapo sokoni huuzwa Kwa bei ya chini. Hayawezi kushindana na Yale ya wale wasiopata mchango wowote kutoka Kwa serikali kama wakulima wa hapa nchini. Mkulima wa Kenya anahitaji msaada wa dharura. Ili aweze kunyanyua kilimo ambacho ni UTI wa mgongo wa uchumi wetu. Lau haya hayatafanyika. Uchumi wetu utaendelea kudidimia.
Nani wanatarajiwa kumshauri mkulima
{ "text": [ "Wataalamu" ] }
4834_swa
ZARAA Zaraa ndio UTI wa mgongo wa taifa la Kenya. Viwanda vingi nchini hutegemea kilimo kama malighafi yake. Pia huwalisha wafanyikazi. Licha ya umuhimu wa sekta hii,mkulima ambaye ndiye nguzo ya zaraa anaendelea kukabiliwa na matatizo mbalimbali yanayokwamiza juhudi zake. Mojawapo ya matatizo yanayomkabili mkulima ni ukosefu wa ushauri wa zaraa. Wataalamu wanaotarajiwa kumshauri mkulima kuhusu njia bora za kuzalisha Pato lake ni haba. Hii ikilinganishwa na idadi ya wakulima wanaohitaji ushauri. Wachache walioko nao wanakwamizwa na mambo tofauti. Mathalani. Utawapata hawaendi njanjani. Ili kukutana na wakulima kwa kuwa hawana vyombo vya usafiri. Iwapo vipo,huenda petroli ikawa ni kizungumkuti. Halikadhalika. Usisahau kuwa baadhi ya wataalamu hawa ni wafisadi.kuna wale wanafika ofisini na kushinda siku nzima wakisoma gazeti. Wengine hucheza bao au karata huku wakipoteza muda. Wengine hufika na kuangika koti au Sweta kitini ili waonekane kuwa bado wapo. Kisha wanatokomea kwenda kushughulikia mambo Yao ya kibinafsi. Haya huwa hayahusu kazi waliyoajiriwa kufanya. Ukosefu wa sera mwafaka kuhusu ardhi nalo ni tatizo jingine linalotatiza kilimo nchini. Serikali haijaweka sera mahususi kuhusu matumizi ya ardhi. Wananchi wengi huongozwa na taratibu za utamaduni za nasaba zao. Taratibu hizi hupendekeza ugawaju wa ardhi Kwa minajili ya urithi kulingana na warithi waliopo. Si ajabu kuwa kote nchini. Ardhi inayofaa Kwa kilimo imekatwakatwa vipande vidogovidogo ambavyo haviwezi kuwa na faida Kwa zaraa. Mkulima pia hushindwa kuongeza virutubishi ardhini. Hii ni changamoto nyingine inayokabili kilimo nchini. Kule kulima sehemu ya ardhi mwaka nenda mwaka Rudi bila kukipa nafasi ya kupumzika,huufanya mchanga kupoteza virutubishi muhimu. Hizi virutubishi vinahitajiwa na mimea. Hili nalo huchangia kupunguza uzalishaji wa mazao. Ili kutatua tatizo hili, wakulima wengi wanakimbilia mbolea za kisasa. Mbolea hizi badala ya kumsaidia,humwongezea madhila. Mbolea hizi zinatambulika na kuchangia uchaguzi wa mchanga na ardhi. Mbolea za zamani Kama vile samadi zilikuwa zinachangia pakubwa ukuaji wa mimea. Mazao yalikuwa yananawiri Kwa sababu ya mimea hizo za kiasili. Mabadiliko ya Hali ya anga nayo huongezea msururu wa madhila ya mkulima. Mabadiliko haya yamemfanya mkulima kushindwa kupanga wakati anaotakiwa kutayarisha shamba. Kupanda. Kupalilia. Kunyunyizia dawa na kadhalika Kwa sababu mvua imekuwa adimu. Badala yake panakuwa na vipindi virefu vya kiangazi ambavyo huathiri bidii za mkulima. Maji nayo yanaendelea kupunguza na wakulima wengi hawawezi kukimu mahitaji. Ya unyunyizaji maji mashambani. Maradhi na wadudu waharibifu ni changamoto nyingine. Wadudu kama vile viwavi na kupe hutatiza juhudi za mkulima hapa nchini. Haya hupunguza uzalishaji wa mkulima. Vilevile wakati mwingine hupunguza mifugo au mimea yake. Kwa sadfa,iwapo mkulima ataweza kuzalisha mazao licha ya msururu huu wa vikwazo. Ana tatizo jingine linalomngojea. Ukosefu wa solo Kwa mazao yake. Vilevile,maeneo mengi yanayotoa mazao ya kilimo Kwa wingi huwa na matatizo ya usafiri. Njia na barabara huwa mbovu na hazipitiki. Mazao mengi huwa hayafiki sokoni Kwa wakati. Hii huwa ni hasara Kwa wakulima. Fauka ya hayo,gharama ya uzalishaji wa mazao ya kilimo hapa nchini huwa ya juu zaidi. Hii huwa kidogo kuliko faida anayopata mkulima. Watu wengi wameacha kutegemea kilimo kama njia ya ajira Kwa kuwa hakilipi. Hii ni zaidi ya ushindani wa bidhaa za kilimo kutoka nje ya nchi ambao ni tatizo jingine linalomkabili mkulima. Mara nyingine wakulima wa kutoka nje ya nchi husaidiwa na serikali zao kuzalisha mazao Kwa kufidiwa. Mazao kama haya yaingiapo sokoni huuzwa Kwa bei ya chini. Hayawezi kushindana na Yale ya wale wasiopata mchango wowote kutoka Kwa serikali kama wakulima wa hapa nchini. Mkulima wa Kenya anahitaji msaada wa dharura. Ili aweze kunyanyua kilimo ambacho ni UTI wa mgongo wa uchumi wetu. Lau haya hayatafanyika. Uchumi wetu utaendelea kudidimia.
Nani hajaweka sera mahsusi
{ "text": [ "Serikali" ] }
4834_swa
ZARAA Zaraa ndio UTI wa mgongo wa taifa la Kenya. Viwanda vingi nchini hutegemea kilimo kama malighafi yake. Pia huwalisha wafanyikazi. Licha ya umuhimu wa sekta hii,mkulima ambaye ndiye nguzo ya zaraa anaendelea kukabiliwa na matatizo mbalimbali yanayokwamiza juhudi zake. Mojawapo ya matatizo yanayomkabili mkulima ni ukosefu wa ushauri wa zaraa. Wataalamu wanaotarajiwa kumshauri mkulima kuhusu njia bora za kuzalisha Pato lake ni haba. Hii ikilinganishwa na idadi ya wakulima wanaohitaji ushauri. Wachache walioko nao wanakwamizwa na mambo tofauti. Mathalani. Utawapata hawaendi njanjani. Ili kukutana na wakulima kwa kuwa hawana vyombo vya usafiri. Iwapo vipo,huenda petroli ikawa ni kizungumkuti. Halikadhalika. Usisahau kuwa baadhi ya wataalamu hawa ni wafisadi.kuna wale wanafika ofisini na kushinda siku nzima wakisoma gazeti. Wengine hucheza bao au karata huku wakipoteza muda. Wengine hufika na kuangika koti au Sweta kitini ili waonekane kuwa bado wapo. Kisha wanatokomea kwenda kushughulikia mambo Yao ya kibinafsi. Haya huwa hayahusu kazi waliyoajiriwa kufanya. Ukosefu wa sera mwafaka kuhusu ardhi nalo ni tatizo jingine linalotatiza kilimo nchini. Serikali haijaweka sera mahususi kuhusu matumizi ya ardhi. Wananchi wengi huongozwa na taratibu za utamaduni za nasaba zao. Taratibu hizi hupendekeza ugawaju wa ardhi Kwa minajili ya urithi kulingana na warithi waliopo. Si ajabu kuwa kote nchini. Ardhi inayofaa Kwa kilimo imekatwakatwa vipande vidogovidogo ambavyo haviwezi kuwa na faida Kwa zaraa. Mkulima pia hushindwa kuongeza virutubishi ardhini. Hii ni changamoto nyingine inayokabili kilimo nchini. Kule kulima sehemu ya ardhi mwaka nenda mwaka Rudi bila kukipa nafasi ya kupumzika,huufanya mchanga kupoteza virutubishi muhimu. Hizi virutubishi vinahitajiwa na mimea. Hili nalo huchangia kupunguza uzalishaji wa mazao. Ili kutatua tatizo hili, wakulima wengi wanakimbilia mbolea za kisasa. Mbolea hizi badala ya kumsaidia,humwongezea madhila. Mbolea hizi zinatambulika na kuchangia uchaguzi wa mchanga na ardhi. Mbolea za zamani Kama vile samadi zilikuwa zinachangia pakubwa ukuaji wa mimea. Mazao yalikuwa yananawiri Kwa sababu ya mimea hizo za kiasili. Mabadiliko ya Hali ya anga nayo huongezea msururu wa madhila ya mkulima. Mabadiliko haya yamemfanya mkulima kushindwa kupanga wakati anaotakiwa kutayarisha shamba. Kupanda. Kupalilia. Kunyunyizia dawa na kadhalika Kwa sababu mvua imekuwa adimu. Badala yake panakuwa na vipindi virefu vya kiangazi ambavyo huathiri bidii za mkulima. Maji nayo yanaendelea kupunguza na wakulima wengi hawawezi kukimu mahitaji. Ya unyunyizaji maji mashambani. Maradhi na wadudu waharibifu ni changamoto nyingine. Wadudu kama vile viwavi na kupe hutatiza juhudi za mkulima hapa nchini. Haya hupunguza uzalishaji wa mkulima. Vilevile wakati mwingine hupunguza mifugo au mimea yake. Kwa sadfa,iwapo mkulima ataweza kuzalisha mazao licha ya msururu huu wa vikwazo. Ana tatizo jingine linalomngojea. Ukosefu wa solo Kwa mazao yake. Vilevile,maeneo mengi yanayotoa mazao ya kilimo Kwa wingi huwa na matatizo ya usafiri. Njia na barabara huwa mbovu na hazipitiki. Mazao mengi huwa hayafiki sokoni Kwa wakati. Hii huwa ni hasara Kwa wakulima. Fauka ya hayo,gharama ya uzalishaji wa mazao ya kilimo hapa nchini huwa ya juu zaidi. Hii huwa kidogo kuliko faida anayopata mkulima. Watu wengi wameacha kutegemea kilimo kama njia ya ajira Kwa kuwa hakilipi. Hii ni zaidi ya ushindani wa bidhaa za kilimo kutoka nje ya nchi ambao ni tatizo jingine linalomkabili mkulima. Mara nyingine wakulima wa kutoka nje ya nchi husaidiwa na serikali zao kuzalisha mazao Kwa kufidiwa. Mazao kama haya yaingiapo sokoni huuzwa Kwa bei ya chini. Hayawezi kushindana na Yale ya wale wasiopata mchango wowote kutoka Kwa serikali kama wakulima wa hapa nchini. Mkulima wa Kenya anahitaji msaada wa dharura. Ili aweze kunyanyua kilimo ambacho ni UTI wa mgongo wa uchumi wetu. Lau haya hayatafanyika. Uchumi wetu utaendelea kudidimia.
Mkulima hushindwa kuweka nini ardhini
{ "text": [ "Virutubishi" ] }
4834_swa
ZARAA Zaraa ndio UTI wa mgongo wa taifa la Kenya. Viwanda vingi nchini hutegemea kilimo kama malighafi yake. Pia huwalisha wafanyikazi. Licha ya umuhimu wa sekta hii,mkulima ambaye ndiye nguzo ya zaraa anaendelea kukabiliwa na matatizo mbalimbali yanayokwamiza juhudi zake. Mojawapo ya matatizo yanayomkabili mkulima ni ukosefu wa ushauri wa zaraa. Wataalamu wanaotarajiwa kumshauri mkulima kuhusu njia bora za kuzalisha Pato lake ni haba. Hii ikilinganishwa na idadi ya wakulima wanaohitaji ushauri. Wachache walioko nao wanakwamizwa na mambo tofauti. Mathalani. Utawapata hawaendi njanjani. Ili kukutana na wakulima kwa kuwa hawana vyombo vya usafiri. Iwapo vipo,huenda petroli ikawa ni kizungumkuti. Halikadhalika. Usisahau kuwa baadhi ya wataalamu hawa ni wafisadi.kuna wale wanafika ofisini na kushinda siku nzima wakisoma gazeti. Wengine hucheza bao au karata huku wakipoteza muda. Wengine hufika na kuangika koti au Sweta kitini ili waonekane kuwa bado wapo. Kisha wanatokomea kwenda kushughulikia mambo Yao ya kibinafsi. Haya huwa hayahusu kazi waliyoajiriwa kufanya. Ukosefu wa sera mwafaka kuhusu ardhi nalo ni tatizo jingine linalotatiza kilimo nchini. Serikali haijaweka sera mahususi kuhusu matumizi ya ardhi. Wananchi wengi huongozwa na taratibu za utamaduni za nasaba zao. Taratibu hizi hupendekeza ugawaju wa ardhi Kwa minajili ya urithi kulingana na warithi waliopo. Si ajabu kuwa kote nchini. Ardhi inayofaa Kwa kilimo imekatwakatwa vipande vidogovidogo ambavyo haviwezi kuwa na faida Kwa zaraa. Mkulima pia hushindwa kuongeza virutubishi ardhini. Hii ni changamoto nyingine inayokabili kilimo nchini. Kule kulima sehemu ya ardhi mwaka nenda mwaka Rudi bila kukipa nafasi ya kupumzika,huufanya mchanga kupoteza virutubishi muhimu. Hizi virutubishi vinahitajiwa na mimea. Hili nalo huchangia kupunguza uzalishaji wa mazao. Ili kutatua tatizo hili, wakulima wengi wanakimbilia mbolea za kisasa. Mbolea hizi badala ya kumsaidia,humwongezea madhila. Mbolea hizi zinatambulika na kuchangia uchaguzi wa mchanga na ardhi. Mbolea za zamani Kama vile samadi zilikuwa zinachangia pakubwa ukuaji wa mimea. Mazao yalikuwa yananawiri Kwa sababu ya mimea hizo za kiasili. Mabadiliko ya Hali ya anga nayo huongezea msururu wa madhila ya mkulima. Mabadiliko haya yamemfanya mkulima kushindwa kupanga wakati anaotakiwa kutayarisha shamba. Kupanda. Kupalilia. Kunyunyizia dawa na kadhalika Kwa sababu mvua imekuwa adimu. Badala yake panakuwa na vipindi virefu vya kiangazi ambavyo huathiri bidii za mkulima. Maji nayo yanaendelea kupunguza na wakulima wengi hawawezi kukimu mahitaji. Ya unyunyizaji maji mashambani. Maradhi na wadudu waharibifu ni changamoto nyingine. Wadudu kama vile viwavi na kupe hutatiza juhudi za mkulima hapa nchini. Haya hupunguza uzalishaji wa mkulima. Vilevile wakati mwingine hupunguza mifugo au mimea yake. Kwa sadfa,iwapo mkulima ataweza kuzalisha mazao licha ya msururu huu wa vikwazo. Ana tatizo jingine linalomngojea. Ukosefu wa solo Kwa mazao yake. Vilevile,maeneo mengi yanayotoa mazao ya kilimo Kwa wingi huwa na matatizo ya usafiri. Njia na barabara huwa mbovu na hazipitiki. Mazao mengi huwa hayafiki sokoni Kwa wakati. Hii huwa ni hasara Kwa wakulima. Fauka ya hayo,gharama ya uzalishaji wa mazao ya kilimo hapa nchini huwa ya juu zaidi. Hii huwa kidogo kuliko faida anayopata mkulima. Watu wengi wameacha kutegemea kilimo kama njia ya ajira Kwa kuwa hakilipi. Hii ni zaidi ya ushindani wa bidhaa za kilimo kutoka nje ya nchi ambao ni tatizo jingine linalomkabili mkulima. Mara nyingine wakulima wa kutoka nje ya nchi husaidiwa na serikali zao kuzalisha mazao Kwa kufidiwa. Mazao kama haya yaingiapo sokoni huuzwa Kwa bei ya chini. Hayawezi kushindana na Yale ya wale wasiopata mchango wowote kutoka Kwa serikali kama wakulima wa hapa nchini. Mkulima wa Kenya anahitaji msaada wa dharura. Ili aweze kunyanyua kilimo ambacho ni UTI wa mgongo wa uchumi wetu. Lau haya hayatafanyika. Uchumi wetu utaendelea kudidimia.
Mabadiliko ya anga yanaathiri ukulima vipi
{ "text": [ " Mkulima kushindwa kupanga wakati anaotakiwa kutayarisha shamba" ] }
4836_swa
GIZA Giza . Ni neno linalomaanisha, kutokuwepo kwa mwangaza. Pia ni kinyume cha Nuru. Mtu akiwa gizani, ni vigumu sana kuona vizuri. Giza hili husababisha upofu . Upofu wa muda tu. Mimi mara nyingi hujipata nakitembea gizani, heri nifunge macho. Kwa sababu hayana kazi kabisa. Wanyama wengine kama vile paka, kondoo na wale wanyama wa mwituni. Macho yao yameundwa tofauti sana, hivi kwamba wanauwezo wa kuona gizani, bila tatizo. Ndio maana wengi huwinda usiku. Hasa simba hutafuta chakula gizani. Au Usiku. Mungu ndiye aliye umba giza na mwanga. Usiku na mchana. Usiku kuna giza . Mchana kuna mwanga . Mwanga huu huletwa na jua. Wakati mwingine mwezi hutoa nuru usiku . Si kila wakati. Mara moja moja tu. Giza wakati mwingine mchana, husababishwa na mvua . Kwani wingu jeusi hulifunika jua ,kisha nuru ya jua hupotea . Au kama kuna hali ya anga tofauti na ya kawaida. Pia wengine huingia kwenye vyumba vyao na kujifungia ndani. Na kuziba mianya kwa kateni za dirisha. Wao hufanya hivi ilikusababisha giza chumbani na walale . Wakati kuna giza. Watu hutumia tochi, kumulika . Tochi ni kifaa maalum kilichoundwa ili kitoe mwanga. Tochi hizi kuna zile za kielektroniki. Tochi za kielektroniki huitaji kutia nguvu za umeme ili ziweze kutoa mwanga. Kule zile za kutumia betri ndogondogo. Hapa ni betri hununuliwa kila zinapoisha . Pia kuna vile vitochi vidogovidogo ambavyo hutumika lakini si kwa muda mrefu. Hutumia betri kama za saa. Tochi ni kifaa muhimu sana . Kifaa hiki hutusaidia kuleta mwanga, si nyumbani tu bali hata barabarani. Pia watu hutumia simu zao ili waone kwenye giza. Hakuna simu ambayo haina tochi. Hata iwe ndogo kiasi gani, lazima ina kidude cha tochi. Ndio simu za zamani, hasa zile ndogo, zilikuwa zinaitwa 'Mulika Mwizi' . Yaani zina mwangaza wa kumuona mwizi gizani. Katika karne hii si wengi hununua tochi. Labda wale ambao hawana simu. Lakini simu hutoa mwanga . Au nuru. Hili tusaidia kuona vizuri sana gizani. Katika karne hii. Karne ya ishirini na moja. Umeme umesambazwa karibu kila mahali. Ukienda mijini hasa, hakuna tofauti kati ya usiku na mchana. Kwani kuna taa za umeme kila mahali. Barabarani na sokoni. Usiku watu huendelea na biashara zao bila hofu yoyote. Kwa sababu kuna mwangaza. Watu hutembea kwa kutohofia chochote kibaya. Kwa sababu hakuna anayeweza kukudhuru katika mwangaza. Uovu hutekelezwa gizani tu. Kando na kutumia tochi pamoja na taa za umeme. Na pia simu. Wazee wa kitambo walikuwa wanawasha Moto usiku. Moto huu uliwashwa nje kwa minajili ya kupata mwangaza. Na iwapo mtu angehitaji kwenda pengine msalani alibeba kipande cha kuni chenye moto kiasi. Ili aone vizuri. Wanahistoria watakwambia kwamba, binadamu wa kwanza, baada ya kuvumbua moto. Walianza kutumia moto huo kama mwangaza wakati wa usiku. Na wakienda kuwinda pia walitumia moto huo Kuwa tishia wanyama wakali. Imethibitika kwamba maovu mengi hutendekea gizani. Barabarani ukitembea bila mwanga . Unaweza vamiwa na wakora. Mjini, watu huapuka kutembelea sehemu ambazo hakuna taa za umeme. Kwa sababu wezi hupenda kujificha sehemu hizo. Kwa Kuwa hakuna anayeweza kuwaona. Wezi hawa wengine wanaweza kutoa uhai, baada ya kupora mali. Pia gizani. Maovu kama vile ubakaji, hufanyika. Huwezi kumtuma mtoto wa kike dukani usiku. Ukifanya hivi, utakuwa unahatarisha maisha yake. Wabakaji wengi huwatishia wasichana. Huwatishia kwa kutumia kisu. Wasichana wale ambao hukataa kushiriki tendo hili, wengi wao hupoteza maisha yao. Kando na kupoteza maisha. Wengine huwambukizwa magonjwa. Magonjwa ya zinaa. Pia UKIMWI. Hata wengine hupachikwa mimba. Yafaa tujihadhari sana na kuwatuma watoto gizani. Ili tusiyahatarishe maisha yao. Mtu akitembea gizani. Anaweza kujidhuru. Kwa mfano, ikiwa unatembea chumbani, unaweza kujidhuru, kwa sababu, pengine hutakanyaga panga au kifaa chochote chenye makali . Pia gizani kujigonga ni rahisi sana. Mtu hupata jeraha ambalo huwa na maumivu. Hata jicho laweza toboka ,kwa sababu kama huoni unakokwenda, utajuaje kifaa kilicho mbele yako?. Ili kuepuka mambo kama haya. Ni vyema tununue tochi, au simu , ili tuwe na mwanga wakutosha. Wakora huiba usiku. Wakati karibu kila mtu amelala. Wao hufanya hivi kwa Kuwa hakuna anayeweza kuwaona. Visa vya mifugo kuibwa . Mara nyingi huripotiwa asubuhi. Kwani vitendo hivi hufanyika usiku. Kwenye giza. Majumba kubomolewa usiku. Kwa nini? Kwa sababu kuna giza usiku. Usiku umekuwa kama mchana kwa wezi. Na pia kwa maovu yote. Kuna Methali inayosema kwamba. Usilolijua ni kama usiku. Yaani kwenye giza huwezi jua litakalofanyika. Ajali nyingi za nyumbani hutokea usiku. Basi ni vyema tuchukue hatua ya kuhakikisha kwamba usiku kuna mwanga. Tuepuke kutembea gizani. Kumbuka msiba wa kujitakia hauna kilio.
Kinyume cha nuru ni nini
{ "text": [ "Giza" ] }
4836_swa
GIZA Giza . Ni neno linalomaanisha, kutokuwepo kwa mwangaza. Pia ni kinyume cha Nuru. Mtu akiwa gizani, ni vigumu sana kuona vizuri. Giza hili husababisha upofu . Upofu wa muda tu. Mimi mara nyingi hujipata nakitembea gizani, heri nifunge macho. Kwa sababu hayana kazi kabisa. Wanyama wengine kama vile paka, kondoo na wale wanyama wa mwituni. Macho yao yameundwa tofauti sana, hivi kwamba wanauwezo wa kuona gizani, bila tatizo. Ndio maana wengi huwinda usiku. Hasa simba hutafuta chakula gizani. Au Usiku. Mungu ndiye aliye umba giza na mwanga. Usiku na mchana. Usiku kuna giza . Mchana kuna mwanga . Mwanga huu huletwa na jua. Wakati mwingine mwezi hutoa nuru usiku . Si kila wakati. Mara moja moja tu. Giza wakati mwingine mchana, husababishwa na mvua . Kwani wingu jeusi hulifunika jua ,kisha nuru ya jua hupotea . Au kama kuna hali ya anga tofauti na ya kawaida. Pia wengine huingia kwenye vyumba vyao na kujifungia ndani. Na kuziba mianya kwa kateni za dirisha. Wao hufanya hivi ilikusababisha giza chumbani na walale . Wakati kuna giza. Watu hutumia tochi, kumulika . Tochi ni kifaa maalum kilichoundwa ili kitoe mwanga. Tochi hizi kuna zile za kielektroniki. Tochi za kielektroniki huitaji kutia nguvu za umeme ili ziweze kutoa mwanga. Kule zile za kutumia betri ndogondogo. Hapa ni betri hununuliwa kila zinapoisha . Pia kuna vile vitochi vidogovidogo ambavyo hutumika lakini si kwa muda mrefu. Hutumia betri kama za saa. Tochi ni kifaa muhimu sana . Kifaa hiki hutusaidia kuleta mwanga, si nyumbani tu bali hata barabarani. Pia watu hutumia simu zao ili waone kwenye giza. Hakuna simu ambayo haina tochi. Hata iwe ndogo kiasi gani, lazima ina kidude cha tochi. Ndio simu za zamani, hasa zile ndogo, zilikuwa zinaitwa 'Mulika Mwizi' . Yaani zina mwangaza wa kumuona mwizi gizani. Katika karne hii si wengi hununua tochi. Labda wale ambao hawana simu. Lakini simu hutoa mwanga . Au nuru. Hili tusaidia kuona vizuri sana gizani. Katika karne hii. Karne ya ishirini na moja. Umeme umesambazwa karibu kila mahali. Ukienda mijini hasa, hakuna tofauti kati ya usiku na mchana. Kwani kuna taa za umeme kila mahali. Barabarani na sokoni. Usiku watu huendelea na biashara zao bila hofu yoyote. Kwa sababu kuna mwangaza. Watu hutembea kwa kutohofia chochote kibaya. Kwa sababu hakuna anayeweza kukudhuru katika mwangaza. Uovu hutekelezwa gizani tu. Kando na kutumia tochi pamoja na taa za umeme. Na pia simu. Wazee wa kitambo walikuwa wanawasha Moto usiku. Moto huu uliwashwa nje kwa minajili ya kupata mwangaza. Na iwapo mtu angehitaji kwenda pengine msalani alibeba kipande cha kuni chenye moto kiasi. Ili aone vizuri. Wanahistoria watakwambia kwamba, binadamu wa kwanza, baada ya kuvumbua moto. Walianza kutumia moto huo kama mwangaza wakati wa usiku. Na wakienda kuwinda pia walitumia moto huo Kuwa tishia wanyama wakali. Imethibitika kwamba maovu mengi hutendekea gizani. Barabarani ukitembea bila mwanga . Unaweza vamiwa na wakora. Mjini, watu huapuka kutembelea sehemu ambazo hakuna taa za umeme. Kwa sababu wezi hupenda kujificha sehemu hizo. Kwa Kuwa hakuna anayeweza kuwaona. Wezi hawa wengine wanaweza kutoa uhai, baada ya kupora mali. Pia gizani. Maovu kama vile ubakaji, hufanyika. Huwezi kumtuma mtoto wa kike dukani usiku. Ukifanya hivi, utakuwa unahatarisha maisha yake. Wabakaji wengi huwatishia wasichana. Huwatishia kwa kutumia kisu. Wasichana wale ambao hukataa kushiriki tendo hili, wengi wao hupoteza maisha yao. Kando na kupoteza maisha. Wengine huwambukizwa magonjwa. Magonjwa ya zinaa. Pia UKIMWI. Hata wengine hupachikwa mimba. Yafaa tujihadhari sana na kuwatuma watoto gizani. Ili tusiyahatarishe maisha yao. Mtu akitembea gizani. Anaweza kujidhuru. Kwa mfano, ikiwa unatembea chumbani, unaweza kujidhuru, kwa sababu, pengine hutakanyaga panga au kifaa chochote chenye makali . Pia gizani kujigonga ni rahisi sana. Mtu hupata jeraha ambalo huwa na maumivu. Hata jicho laweza toboka ,kwa sababu kama huoni unakokwenda, utajuaje kifaa kilicho mbele yako?. Ili kuepuka mambo kama haya. Ni vyema tununue tochi, au simu , ili tuwe na mwanga wakutosha. Wakora huiba usiku. Wakati karibu kila mtu amelala. Wao hufanya hivi kwa Kuwa hakuna anayeweza kuwaona. Visa vya mifugo kuibwa . Mara nyingi huripotiwa asubuhi. Kwani vitendo hivi hufanyika usiku. Kwenye giza. Majumba kubomolewa usiku. Kwa nini? Kwa sababu kuna giza usiku. Usiku umekuwa kama mchana kwa wezi. Na pia kwa maovu yote. Kuna Methali inayosema kwamba. Usilolijua ni kama usiku. Yaani kwenye giza huwezi jua litakalofanyika. Ajali nyingi za nyumbani hutokea usiku. Basi ni vyema tuchukue hatua ya kuhakikisha kwamba usiku kuna mwanga. Tuepuke kutembea gizani. Kumbuka msiba wa kujitakia hauna kilio.
Giza husababisha nini
{ "text": [ "Upofu" ] }
4836_swa
GIZA Giza . Ni neno linalomaanisha, kutokuwepo kwa mwangaza. Pia ni kinyume cha Nuru. Mtu akiwa gizani, ni vigumu sana kuona vizuri. Giza hili husababisha upofu . Upofu wa muda tu. Mimi mara nyingi hujipata nakitembea gizani, heri nifunge macho. Kwa sababu hayana kazi kabisa. Wanyama wengine kama vile paka, kondoo na wale wanyama wa mwituni. Macho yao yameundwa tofauti sana, hivi kwamba wanauwezo wa kuona gizani, bila tatizo. Ndio maana wengi huwinda usiku. Hasa simba hutafuta chakula gizani. Au Usiku. Mungu ndiye aliye umba giza na mwanga. Usiku na mchana. Usiku kuna giza . Mchana kuna mwanga . Mwanga huu huletwa na jua. Wakati mwingine mwezi hutoa nuru usiku . Si kila wakati. Mara moja moja tu. Giza wakati mwingine mchana, husababishwa na mvua . Kwani wingu jeusi hulifunika jua ,kisha nuru ya jua hupotea . Au kama kuna hali ya anga tofauti na ya kawaida. Pia wengine huingia kwenye vyumba vyao na kujifungia ndani. Na kuziba mianya kwa kateni za dirisha. Wao hufanya hivi ilikusababisha giza chumbani na walale . Wakati kuna giza. Watu hutumia tochi, kumulika . Tochi ni kifaa maalum kilichoundwa ili kitoe mwanga. Tochi hizi kuna zile za kielektroniki. Tochi za kielektroniki huitaji kutia nguvu za umeme ili ziweze kutoa mwanga. Kule zile za kutumia betri ndogondogo. Hapa ni betri hununuliwa kila zinapoisha . Pia kuna vile vitochi vidogovidogo ambavyo hutumika lakini si kwa muda mrefu. Hutumia betri kama za saa. Tochi ni kifaa muhimu sana . Kifaa hiki hutusaidia kuleta mwanga, si nyumbani tu bali hata barabarani. Pia watu hutumia simu zao ili waone kwenye giza. Hakuna simu ambayo haina tochi. Hata iwe ndogo kiasi gani, lazima ina kidude cha tochi. Ndio simu za zamani, hasa zile ndogo, zilikuwa zinaitwa 'Mulika Mwizi' . Yaani zina mwangaza wa kumuona mwizi gizani. Katika karne hii si wengi hununua tochi. Labda wale ambao hawana simu. Lakini simu hutoa mwanga . Au nuru. Hili tusaidia kuona vizuri sana gizani. Katika karne hii. Karne ya ishirini na moja. Umeme umesambazwa karibu kila mahali. Ukienda mijini hasa, hakuna tofauti kati ya usiku na mchana. Kwani kuna taa za umeme kila mahali. Barabarani na sokoni. Usiku watu huendelea na biashara zao bila hofu yoyote. Kwa sababu kuna mwangaza. Watu hutembea kwa kutohofia chochote kibaya. Kwa sababu hakuna anayeweza kukudhuru katika mwangaza. Uovu hutekelezwa gizani tu. Kando na kutumia tochi pamoja na taa za umeme. Na pia simu. Wazee wa kitambo walikuwa wanawasha Moto usiku. Moto huu uliwashwa nje kwa minajili ya kupata mwangaza. Na iwapo mtu angehitaji kwenda pengine msalani alibeba kipande cha kuni chenye moto kiasi. Ili aone vizuri. Wanahistoria watakwambia kwamba, binadamu wa kwanza, baada ya kuvumbua moto. Walianza kutumia moto huo kama mwangaza wakati wa usiku. Na wakienda kuwinda pia walitumia moto huo Kuwa tishia wanyama wakali. Imethibitika kwamba maovu mengi hutendekea gizani. Barabarani ukitembea bila mwanga . Unaweza vamiwa na wakora. Mjini, watu huapuka kutembelea sehemu ambazo hakuna taa za umeme. Kwa sababu wezi hupenda kujificha sehemu hizo. Kwa Kuwa hakuna anayeweza kuwaona. Wezi hawa wengine wanaweza kutoa uhai, baada ya kupora mali. Pia gizani. Maovu kama vile ubakaji, hufanyika. Huwezi kumtuma mtoto wa kike dukani usiku. Ukifanya hivi, utakuwa unahatarisha maisha yake. Wabakaji wengi huwatishia wasichana. Huwatishia kwa kutumia kisu. Wasichana wale ambao hukataa kushiriki tendo hili, wengi wao hupoteza maisha yao. Kando na kupoteza maisha. Wengine huwambukizwa magonjwa. Magonjwa ya zinaa. Pia UKIMWI. Hata wengine hupachikwa mimba. Yafaa tujihadhari sana na kuwatuma watoto gizani. Ili tusiyahatarishe maisha yao. Mtu akitembea gizani. Anaweza kujidhuru. Kwa mfano, ikiwa unatembea chumbani, unaweza kujidhuru, kwa sababu, pengine hutakanyaga panga au kifaa chochote chenye makali . Pia gizani kujigonga ni rahisi sana. Mtu hupata jeraha ambalo huwa na maumivu. Hata jicho laweza toboka ,kwa sababu kama huoni unakokwenda, utajuaje kifaa kilicho mbele yako?. Ili kuepuka mambo kama haya. Ni vyema tununue tochi, au simu , ili tuwe na mwanga wakutosha. Wakora huiba usiku. Wakati karibu kila mtu amelala. Wao hufanya hivi kwa Kuwa hakuna anayeweza kuwaona. Visa vya mifugo kuibwa . Mara nyingi huripotiwa asubuhi. Kwani vitendo hivi hufanyika usiku. Kwenye giza. Majumba kubomolewa usiku. Kwa nini? Kwa sababu kuna giza usiku. Usiku umekuwa kama mchana kwa wezi. Na pia kwa maovu yote. Kuna Methali inayosema kwamba. Usilolijua ni kama usiku. Yaani kwenye giza huwezi jua litakalofanyika. Ajali nyingi za nyumbani hutokea usiku. Basi ni vyema tuchukue hatua ya kuhakikisha kwamba usiku kuna mwanga. Tuepuke kutembea gizani. Kumbuka msiba wa kujitakia hauna kilio.
Ni wanyama wapi wanaweza ona gizani
{ "text": [ "Paka, kondoo na wa mwituni" ] }
4836_swa
GIZA Giza . Ni neno linalomaanisha, kutokuwepo kwa mwangaza. Pia ni kinyume cha Nuru. Mtu akiwa gizani, ni vigumu sana kuona vizuri. Giza hili husababisha upofu . Upofu wa muda tu. Mimi mara nyingi hujipata nakitembea gizani, heri nifunge macho. Kwa sababu hayana kazi kabisa. Wanyama wengine kama vile paka, kondoo na wale wanyama wa mwituni. Macho yao yameundwa tofauti sana, hivi kwamba wanauwezo wa kuona gizani, bila tatizo. Ndio maana wengi huwinda usiku. Hasa simba hutafuta chakula gizani. Au Usiku. Mungu ndiye aliye umba giza na mwanga. Usiku na mchana. Usiku kuna giza . Mchana kuna mwanga . Mwanga huu huletwa na jua. Wakati mwingine mwezi hutoa nuru usiku . Si kila wakati. Mara moja moja tu. Giza wakati mwingine mchana, husababishwa na mvua . Kwani wingu jeusi hulifunika jua ,kisha nuru ya jua hupotea . Au kama kuna hali ya anga tofauti na ya kawaida. Pia wengine huingia kwenye vyumba vyao na kujifungia ndani. Na kuziba mianya kwa kateni za dirisha. Wao hufanya hivi ilikusababisha giza chumbani na walale . Wakati kuna giza. Watu hutumia tochi, kumulika . Tochi ni kifaa maalum kilichoundwa ili kitoe mwanga. Tochi hizi kuna zile za kielektroniki. Tochi za kielektroniki huitaji kutia nguvu za umeme ili ziweze kutoa mwanga. Kule zile za kutumia betri ndogondogo. Hapa ni betri hununuliwa kila zinapoisha . Pia kuna vile vitochi vidogovidogo ambavyo hutumika lakini si kwa muda mrefu. Hutumia betri kama za saa. Tochi ni kifaa muhimu sana . Kifaa hiki hutusaidia kuleta mwanga, si nyumbani tu bali hata barabarani. Pia watu hutumia simu zao ili waone kwenye giza. Hakuna simu ambayo haina tochi. Hata iwe ndogo kiasi gani, lazima ina kidude cha tochi. Ndio simu za zamani, hasa zile ndogo, zilikuwa zinaitwa 'Mulika Mwizi' . Yaani zina mwangaza wa kumuona mwizi gizani. Katika karne hii si wengi hununua tochi. Labda wale ambao hawana simu. Lakini simu hutoa mwanga . Au nuru. Hili tusaidia kuona vizuri sana gizani. Katika karne hii. Karne ya ishirini na moja. Umeme umesambazwa karibu kila mahali. Ukienda mijini hasa, hakuna tofauti kati ya usiku na mchana. Kwani kuna taa za umeme kila mahali. Barabarani na sokoni. Usiku watu huendelea na biashara zao bila hofu yoyote. Kwa sababu kuna mwangaza. Watu hutembea kwa kutohofia chochote kibaya. Kwa sababu hakuna anayeweza kukudhuru katika mwangaza. Uovu hutekelezwa gizani tu. Kando na kutumia tochi pamoja na taa za umeme. Na pia simu. Wazee wa kitambo walikuwa wanawasha Moto usiku. Moto huu uliwashwa nje kwa minajili ya kupata mwangaza. Na iwapo mtu angehitaji kwenda pengine msalani alibeba kipande cha kuni chenye moto kiasi. Ili aone vizuri. Wanahistoria watakwambia kwamba, binadamu wa kwanza, baada ya kuvumbua moto. Walianza kutumia moto huo kama mwangaza wakati wa usiku. Na wakienda kuwinda pia walitumia moto huo Kuwa tishia wanyama wakali. Imethibitika kwamba maovu mengi hutendekea gizani. Barabarani ukitembea bila mwanga . Unaweza vamiwa na wakora. Mjini, watu huapuka kutembelea sehemu ambazo hakuna taa za umeme. Kwa sababu wezi hupenda kujificha sehemu hizo. Kwa Kuwa hakuna anayeweza kuwaona. Wezi hawa wengine wanaweza kutoa uhai, baada ya kupora mali. Pia gizani. Maovu kama vile ubakaji, hufanyika. Huwezi kumtuma mtoto wa kike dukani usiku. Ukifanya hivi, utakuwa unahatarisha maisha yake. Wabakaji wengi huwatishia wasichana. Huwatishia kwa kutumia kisu. Wasichana wale ambao hukataa kushiriki tendo hili, wengi wao hupoteza maisha yao. Kando na kupoteza maisha. Wengine huwambukizwa magonjwa. Magonjwa ya zinaa. Pia UKIMWI. Hata wengine hupachikwa mimba. Yafaa tujihadhari sana na kuwatuma watoto gizani. Ili tusiyahatarishe maisha yao. Mtu akitembea gizani. Anaweza kujidhuru. Kwa mfano, ikiwa unatembea chumbani, unaweza kujidhuru, kwa sababu, pengine hutakanyaga panga au kifaa chochote chenye makali . Pia gizani kujigonga ni rahisi sana. Mtu hupata jeraha ambalo huwa na maumivu. Hata jicho laweza toboka ,kwa sababu kama huoni unakokwenda, utajuaje kifaa kilicho mbele yako?. Ili kuepuka mambo kama haya. Ni vyema tununue tochi, au simu , ili tuwe na mwanga wakutosha. Wakora huiba usiku. Wakati karibu kila mtu amelala. Wao hufanya hivi kwa Kuwa hakuna anayeweza kuwaona. Visa vya mifugo kuibwa . Mara nyingi huripotiwa asubuhi. Kwani vitendo hivi hufanyika usiku. Kwenye giza. Majumba kubomolewa usiku. Kwa nini? Kwa sababu kuna giza usiku. Usiku umekuwa kama mchana kwa wezi. Na pia kwa maovu yote. Kuna Methali inayosema kwamba. Usilolijua ni kama usiku. Yaani kwenye giza huwezi jua litakalofanyika. Ajali nyingi za nyumbani hutokea usiku. Basi ni vyema tuchukue hatua ya kuhakikisha kwamba usiku kuna mwanga. Tuepuke kutembea gizani. Kumbuka msiba wa kujitakia hauna kilio.
Mnyama yupi hutafuta chakula gizani
{ "text": [ "Simba" ] }
4836_swa
GIZA Giza . Ni neno linalomaanisha, kutokuwepo kwa mwangaza. Pia ni kinyume cha Nuru. Mtu akiwa gizani, ni vigumu sana kuona vizuri. Giza hili husababisha upofu . Upofu wa muda tu. Mimi mara nyingi hujipata nakitembea gizani, heri nifunge macho. Kwa sababu hayana kazi kabisa. Wanyama wengine kama vile paka, kondoo na wale wanyama wa mwituni. Macho yao yameundwa tofauti sana, hivi kwamba wanauwezo wa kuona gizani, bila tatizo. Ndio maana wengi huwinda usiku. Hasa simba hutafuta chakula gizani. Au Usiku. Mungu ndiye aliye umba giza na mwanga. Usiku na mchana. Usiku kuna giza . Mchana kuna mwanga . Mwanga huu huletwa na jua. Wakati mwingine mwezi hutoa nuru usiku . Si kila wakati. Mara moja moja tu. Giza wakati mwingine mchana, husababishwa na mvua . Kwani wingu jeusi hulifunika jua ,kisha nuru ya jua hupotea . Au kama kuna hali ya anga tofauti na ya kawaida. Pia wengine huingia kwenye vyumba vyao na kujifungia ndani. Na kuziba mianya kwa kateni za dirisha. Wao hufanya hivi ilikusababisha giza chumbani na walale . Wakati kuna giza. Watu hutumia tochi, kumulika . Tochi ni kifaa maalum kilichoundwa ili kitoe mwanga. Tochi hizi kuna zile za kielektroniki. Tochi za kielektroniki huitaji kutia nguvu za umeme ili ziweze kutoa mwanga. Kule zile za kutumia betri ndogondogo. Hapa ni betri hununuliwa kila zinapoisha . Pia kuna vile vitochi vidogovidogo ambavyo hutumika lakini si kwa muda mrefu. Hutumia betri kama za saa. Tochi ni kifaa muhimu sana . Kifaa hiki hutusaidia kuleta mwanga, si nyumbani tu bali hata barabarani. Pia watu hutumia simu zao ili waone kwenye giza. Hakuna simu ambayo haina tochi. Hata iwe ndogo kiasi gani, lazima ina kidude cha tochi. Ndio simu za zamani, hasa zile ndogo, zilikuwa zinaitwa 'Mulika Mwizi' . Yaani zina mwangaza wa kumuona mwizi gizani. Katika karne hii si wengi hununua tochi. Labda wale ambao hawana simu. Lakini simu hutoa mwanga . Au nuru. Hili tusaidia kuona vizuri sana gizani. Katika karne hii. Karne ya ishirini na moja. Umeme umesambazwa karibu kila mahali. Ukienda mijini hasa, hakuna tofauti kati ya usiku na mchana. Kwani kuna taa za umeme kila mahali. Barabarani na sokoni. Usiku watu huendelea na biashara zao bila hofu yoyote. Kwa sababu kuna mwangaza. Watu hutembea kwa kutohofia chochote kibaya. Kwa sababu hakuna anayeweza kukudhuru katika mwangaza. Uovu hutekelezwa gizani tu. Kando na kutumia tochi pamoja na taa za umeme. Na pia simu. Wazee wa kitambo walikuwa wanawasha Moto usiku. Moto huu uliwashwa nje kwa minajili ya kupata mwangaza. Na iwapo mtu angehitaji kwenda pengine msalani alibeba kipande cha kuni chenye moto kiasi. Ili aone vizuri. Wanahistoria watakwambia kwamba, binadamu wa kwanza, baada ya kuvumbua moto. Walianza kutumia moto huo kama mwangaza wakati wa usiku. Na wakienda kuwinda pia walitumia moto huo Kuwa tishia wanyama wakali. Imethibitika kwamba maovu mengi hutendekea gizani. Barabarani ukitembea bila mwanga . Unaweza vamiwa na wakora. Mjini, watu huapuka kutembelea sehemu ambazo hakuna taa za umeme. Kwa sababu wezi hupenda kujificha sehemu hizo. Kwa Kuwa hakuna anayeweza kuwaona. Wezi hawa wengine wanaweza kutoa uhai, baada ya kupora mali. Pia gizani. Maovu kama vile ubakaji, hufanyika. Huwezi kumtuma mtoto wa kike dukani usiku. Ukifanya hivi, utakuwa unahatarisha maisha yake. Wabakaji wengi huwatishia wasichana. Huwatishia kwa kutumia kisu. Wasichana wale ambao hukataa kushiriki tendo hili, wengi wao hupoteza maisha yao. Kando na kupoteza maisha. Wengine huwambukizwa magonjwa. Magonjwa ya zinaa. Pia UKIMWI. Hata wengine hupachikwa mimba. Yafaa tujihadhari sana na kuwatuma watoto gizani. Ili tusiyahatarishe maisha yao. Mtu akitembea gizani. Anaweza kujidhuru. Kwa mfano, ikiwa unatembea chumbani, unaweza kujidhuru, kwa sababu, pengine hutakanyaga panga au kifaa chochote chenye makali . Pia gizani kujigonga ni rahisi sana. Mtu hupata jeraha ambalo huwa na maumivu. Hata jicho laweza toboka ,kwa sababu kama huoni unakokwenda, utajuaje kifaa kilicho mbele yako?. Ili kuepuka mambo kama haya. Ni vyema tununue tochi, au simu , ili tuwe na mwanga wakutosha. Wakora huiba usiku. Wakati karibu kila mtu amelala. Wao hufanya hivi kwa Kuwa hakuna anayeweza kuwaona. Visa vya mifugo kuibwa . Mara nyingi huripotiwa asubuhi. Kwani vitendo hivi hufanyika usiku. Kwenye giza. Majumba kubomolewa usiku. Kwa nini? Kwa sababu kuna giza usiku. Usiku umekuwa kama mchana kwa wezi. Na pia kwa maovu yote. Kuna Methali inayosema kwamba. Usilolijua ni kama usiku. Yaani kwenye giza huwezi jua litakalofanyika. Ajali nyingi za nyumbani hutokea usiku. Basi ni vyema tuchukue hatua ya kuhakikisha kwamba usiku kuna mwanga. Tuepuke kutembea gizani. Kumbuka msiba wa kujitakia hauna kilio.
Nani aliyeumba giza na mwanga
{ "text": [ "Mungu" ] }
4837_swa
UVUMBUZI WA SHAJARA Mungu akawaumba wanadamu kwa njia ya kushangaza sana. Kitambo, wanadamu waliumbwa na uwezo mkuu wa kuweza kukumbuka matukio. Babu zetu walituhadithia hadithi kila wakati. Hizi hadithi hamkini zilikuwa kama kumbukumbu. Mababu walitumai kwamba tutaweza kuzinakili akili pasipo na kupoteza tukio hata moja. Lakini kila kuchao, huu uwezo wa kumbukumbu umedidimia kwa kina kirefu. Itakumbukwa pia, tangu jadi mababu zetu waliyapanga mambo yao pasipo na kuyanakili. Uwezo huu ulihusishwa na shughuli chache zilizowakabili. Lakini kila kuchao, mazingira ya mwanadamu yanabadilika. Siku hizi majukumu yamezidi. Mengi yakiwa muhimu kuliko mengine. Yote haya mawili yakiwekwa pamoja, yamkini yamefanya uvumbi wa shajara. Shajara ni daftari linalotumiwa kuhifadhi habari muhimu nyumbani, ofisini, shuleni au hata mahali pa kazi. Shajara imesababisha binadumu kuwa na uwezo wa kukidhi mahitaji yake ya kukumbuka. Pia na uwezo wa kufanya yote atakavyo na kwa muda autakao. Itakumbukwa ya kwamba shajara zipo za aina nyingi. Kunazo shajara ambazo zimesheni habari nyingi za kimataifa. Shajara hizi huhifadha mutikio muhimu kuhusu nchi tafauti ulimwenguni. Mara kwa mara nyakati za dunia, hali ya joto na matukio ya kila siku ya nchi huweza kunakiliwa katika shajara hizi. Hizi shajara hupatikana sana kwenye ofisi za serikali. Pili, kunazo shajara za ofisi. Hizi hurekodi matukio na shughuli muhimu katika ofisi. Hapa, utapata rekodi za mikutano, miadi ya maofisa, majina ya wateja na kadhalika. Hizi shajara huwa kiungo muhimu katika karatibu mipangalio ya ofisi. Halikadhalika huwa kipengee muhimu cha marejeleo wakati wa kufanya uwamuzi katika ofisi. Katika huu uianishaji, tukumbuke kuwa kuna pia shajara ya kibanafsi. Hizi hunakiliwa mambo ya kibanfsi. Mwenye shajara ana uwezo wa kunakili matukio ya muhimu na hata kihifadhi tarehe za muhimu. Itakumbukwa kuwa hii ni njia rahisi ya kuhifadhi taarifa muhimu kama nambari za pasipoti na kitambulisho, aina ya damu, nambari muhimu za simu na kadhalika. Shajara ya kibanafsi yafaa itafautishwe na shajara rasmi. Japo zinakaribiani, shajara rasmi hunakiliwa mambo ya kawaida tu yanayomsibu mwenye shajara hilo. Shajara pia hubainishwa kulingana na utendakazi wake. Katika kundi hili tutapata shajara la shule. Hili husishwa na mudahalo wa shule. Yanayonakiliwa katika hili, humzunguka tu mwanafunzi na shule kwa jumla. Shajara kama hii, itapata imenakiliwa taratibu ya kufanya marudio, taratibu za leseni shuleni. Ikumbukwe kuwa pia walimu wanaweza kutengeneza shajara zao pia. Kuna shajara pia wanasayansi. Hili hurekodi matekeo ya kisayansi kila yanapojiri. Mara kwa mara, panapotekea uvumbuzi, wanasayansi huridhia yasipotea kamwe na hivyo shajara hili likiwa kumbukumbu kuu lao. Shajara kama hizi huwa msingi mkuu wa kuendeleza utafiti. Mwisho tutaangazia shajara za vita. Hizi hurekodi visa na matekeo ya vita mbali mbali. Mara mingi hurekodi vita ambavyo hutikisa Dunia. Vita kwa vile vya wanamgambo wa ISIS, WanaTalban, wanagambo wa Bokoharam hunakiliwa kwenye shajara kama hizi. Kwa ukubwa, huangazia kiongozi, maafa yaliyotokea, na muda ambayo hivyo vita vilisheni. Kwa hitimisho, shajara imekuwa nguzo muhimu katika maisha ya binadamu. Japo zipo aina nyingi za shajara, ni muhimu kila binadamu angalabu aukubali na kuutumia uvumbuzi huu. Shajara itamraishisha kumbukumbu zake.
Nani akawaumba wanadamu kwa njia ya kushangaza
{ "text": [ "Mungu" ] }
4837_swa
UVUMBUZI WA SHAJARA Mungu akawaumba wanadamu kwa njia ya kushangaza sana. Kitambo, wanadamu waliumbwa na uwezo mkuu wa kuweza kukumbuka matukio. Babu zetu walituhadithia hadithi kila wakati. Hizi hadithi hamkini zilikuwa kama kumbukumbu. Mababu walitumai kwamba tutaweza kuzinakili akili pasipo na kupoteza tukio hata moja. Lakini kila kuchao, huu uwezo wa kumbukumbu umedidimia kwa kina kirefu. Itakumbukwa pia, tangu jadi mababu zetu waliyapanga mambo yao pasipo na kuyanakili. Uwezo huu ulihusishwa na shughuli chache zilizowakabili. Lakini kila kuchao, mazingira ya mwanadamu yanabadilika. Siku hizi majukumu yamezidi. Mengi yakiwa muhimu kuliko mengine. Yote haya mawili yakiwekwa pamoja, yamkini yamefanya uvumbi wa shajara. Shajara ni daftari linalotumiwa kuhifadhi habari muhimu nyumbani, ofisini, shuleni au hata mahali pa kazi. Shajara imesababisha binadumu kuwa na uwezo wa kukidhi mahitaji yake ya kukumbuka. Pia na uwezo wa kufanya yote atakavyo na kwa muda autakao. Itakumbukwa ya kwamba shajara zipo za aina nyingi. Kunazo shajara ambazo zimesheni habari nyingi za kimataifa. Shajara hizi huhifadha mutikio muhimu kuhusu nchi tafauti ulimwenguni. Mara kwa mara nyakati za dunia, hali ya joto na matukio ya kila siku ya nchi huweza kunakiliwa katika shajara hizi. Hizi shajara hupatikana sana kwenye ofisi za serikali. Pili, kunazo shajara za ofisi. Hizi hurekodi matukio na shughuli muhimu katika ofisi. Hapa, utapata rekodi za mikutano, miadi ya maofisa, majina ya wateja na kadhalika. Hizi shajara huwa kiungo muhimu katika karatibu mipangalio ya ofisi. Halikadhalika huwa kipengee muhimu cha marejeleo wakati wa kufanya uwamuzi katika ofisi. Katika huu uianishaji, tukumbuke kuwa kuna pia shajara ya kibanafsi. Hizi hunakiliwa mambo ya kibanfsi. Mwenye shajara ana uwezo wa kunakili matukio ya muhimu na hata kihifadhi tarehe za muhimu. Itakumbukwa kuwa hii ni njia rahisi ya kuhifadhi taarifa muhimu kama nambari za pasipoti na kitambulisho, aina ya damu, nambari muhimu za simu na kadhalika. Shajara ya kibanafsi yafaa itafautishwe na shajara rasmi. Japo zinakaribiani, shajara rasmi hunakiliwa mambo ya kawaida tu yanayomsibu mwenye shajara hilo. Shajara pia hubainishwa kulingana na utendakazi wake. Katika kundi hili tutapata shajara la shule. Hili husishwa na mudahalo wa shule. Yanayonakiliwa katika hili, humzunguka tu mwanafunzi na shule kwa jumla. Shajara kama hii, itapata imenakiliwa taratibu ya kufanya marudio, taratibu za leseni shuleni. Ikumbukwe kuwa pia walimu wanaweza kutengeneza shajara zao pia. Kuna shajara pia wanasayansi. Hili hurekodi matekeo ya kisayansi kila yanapojiri. Mara kwa mara, panapotekea uvumbuzi, wanasayansi huridhia yasipotea kamwe na hivyo shajara hili likiwa kumbukumbu kuu lao. Shajara kama hizi huwa msingi mkuu wa kuendeleza utafiti. Mwisho tutaangazia shajara za vita. Hizi hurekodi visa na matekeo ya vita mbali mbali. Mara mingi hurekodi vita ambavyo hutikisa Dunia. Vita kwa vile vya wanamgambo wa ISIS, WanaTalban, wanagambo wa Bokoharam hunakiliwa kwenye shajara kama hizi. Kwa ukubwa, huangazia kiongozi, maafa yaliyotokea, na muda ambayo hivyo vita vilisheni. Kwa hitimisho, shajara imekuwa nguzo muhimu katika maisha ya binadamu. Japo zipo aina nyingi za shajara, ni muhimu kila binadamu angalabu aukubali na kuutumia uvumbuzi huu. Shajara itamraishisha kumbukumbu zake.
Shajara za ofisi hurekodi mambo yapi
{ "text": [ "Kiofisi" ] }
4837_swa
UVUMBUZI WA SHAJARA Mungu akawaumba wanadamu kwa njia ya kushangaza sana. Kitambo, wanadamu waliumbwa na uwezo mkuu wa kuweza kukumbuka matukio. Babu zetu walituhadithia hadithi kila wakati. Hizi hadithi hamkini zilikuwa kama kumbukumbu. Mababu walitumai kwamba tutaweza kuzinakili akili pasipo na kupoteza tukio hata moja. Lakini kila kuchao, huu uwezo wa kumbukumbu umedidimia kwa kina kirefu. Itakumbukwa pia, tangu jadi mababu zetu waliyapanga mambo yao pasipo na kuyanakili. Uwezo huu ulihusishwa na shughuli chache zilizowakabili. Lakini kila kuchao, mazingira ya mwanadamu yanabadilika. Siku hizi majukumu yamezidi. Mengi yakiwa muhimu kuliko mengine. Yote haya mawili yakiwekwa pamoja, yamkini yamefanya uvumbi wa shajara. Shajara ni daftari linalotumiwa kuhifadhi habari muhimu nyumbani, ofisini, shuleni au hata mahali pa kazi. Shajara imesababisha binadumu kuwa na uwezo wa kukidhi mahitaji yake ya kukumbuka. Pia na uwezo wa kufanya yote atakavyo na kwa muda autakao. Itakumbukwa ya kwamba shajara zipo za aina nyingi. Kunazo shajara ambazo zimesheni habari nyingi za kimataifa. Shajara hizi huhifadha mutikio muhimu kuhusu nchi tafauti ulimwenguni. Mara kwa mara nyakati za dunia, hali ya joto na matukio ya kila siku ya nchi huweza kunakiliwa katika shajara hizi. Hizi shajara hupatikana sana kwenye ofisi za serikali. Pili, kunazo shajara za ofisi. Hizi hurekodi matukio na shughuli muhimu katika ofisi. Hapa, utapata rekodi za mikutano, miadi ya maofisa, majina ya wateja na kadhalika. Hizi shajara huwa kiungo muhimu katika karatibu mipangalio ya ofisi. Halikadhalika huwa kipengee muhimu cha marejeleo wakati wa kufanya uwamuzi katika ofisi. Katika huu uianishaji, tukumbuke kuwa kuna pia shajara ya kibanafsi. Hizi hunakiliwa mambo ya kibanfsi. Mwenye shajara ana uwezo wa kunakili matukio ya muhimu na hata kihifadhi tarehe za muhimu. Itakumbukwa kuwa hii ni njia rahisi ya kuhifadhi taarifa muhimu kama nambari za pasipoti na kitambulisho, aina ya damu, nambari muhimu za simu na kadhalika. Shajara ya kibanafsi yafaa itafautishwe na shajara rasmi. Japo zinakaribiani, shajara rasmi hunakiliwa mambo ya kawaida tu yanayomsibu mwenye shajara hilo. Shajara pia hubainishwa kulingana na utendakazi wake. Katika kundi hili tutapata shajara la shule. Hili husishwa na mudahalo wa shule. Yanayonakiliwa katika hili, humzunguka tu mwanafunzi na shule kwa jumla. Shajara kama hii, itapata imenakiliwa taratibu ya kufanya marudio, taratibu za leseni shuleni. Ikumbukwe kuwa pia walimu wanaweza kutengeneza shajara zao pia. Kuna shajara pia wanasayansi. Hili hurekodi matekeo ya kisayansi kila yanapojiri. Mara kwa mara, panapotekea uvumbuzi, wanasayansi huridhia yasipotea kamwe na hivyo shajara hili likiwa kumbukumbu kuu lao. Shajara kama hizi huwa msingi mkuu wa kuendeleza utafiti. Mwisho tutaangazia shajara za vita. Hizi hurekodi visa na matekeo ya vita mbali mbali. Mara mingi hurekodi vita ambavyo hutikisa Dunia. Vita kwa vile vya wanamgambo wa ISIS, WanaTalban, wanagambo wa Bokoharam hunakiliwa kwenye shajara kama hizi. Kwa ukubwa, huangazia kiongozi, maafa yaliyotokea, na muda ambayo hivyo vita vilisheni. Kwa hitimisho, shajara imekuwa nguzo muhimu katika maisha ya binadamu. Japo zipo aina nyingi za shajara, ni muhimu kila binadamu angalabu aukubali na kuutumia uvumbuzi huu. Shajara itamraishisha kumbukumbu zake.
Shajara ni njia rahisi ta kunakili nini
{ "text": [ "Matukio" ] }
4837_swa
UVUMBUZI WA SHAJARA Mungu akawaumba wanadamu kwa njia ya kushangaza sana. Kitambo, wanadamu waliumbwa na uwezo mkuu wa kuweza kukumbuka matukio. Babu zetu walituhadithia hadithi kila wakati. Hizi hadithi hamkini zilikuwa kama kumbukumbu. Mababu walitumai kwamba tutaweza kuzinakili akili pasipo na kupoteza tukio hata moja. Lakini kila kuchao, huu uwezo wa kumbukumbu umedidimia kwa kina kirefu. Itakumbukwa pia, tangu jadi mababu zetu waliyapanga mambo yao pasipo na kuyanakili. Uwezo huu ulihusishwa na shughuli chache zilizowakabili. Lakini kila kuchao, mazingira ya mwanadamu yanabadilika. Siku hizi majukumu yamezidi. Mengi yakiwa muhimu kuliko mengine. Yote haya mawili yakiwekwa pamoja, yamkini yamefanya uvumbi wa shajara. Shajara ni daftari linalotumiwa kuhifadhi habari muhimu nyumbani, ofisini, shuleni au hata mahali pa kazi. Shajara imesababisha binadumu kuwa na uwezo wa kukidhi mahitaji yake ya kukumbuka. Pia na uwezo wa kufanya yote atakavyo na kwa muda autakao. Itakumbukwa ya kwamba shajara zipo za aina nyingi. Kunazo shajara ambazo zimesheni habari nyingi za kimataifa. Shajara hizi huhifadha mutikio muhimu kuhusu nchi tafauti ulimwenguni. Mara kwa mara nyakati za dunia, hali ya joto na matukio ya kila siku ya nchi huweza kunakiliwa katika shajara hizi. Hizi shajara hupatikana sana kwenye ofisi za serikali. Pili, kunazo shajara za ofisi. Hizi hurekodi matukio na shughuli muhimu katika ofisi. Hapa, utapata rekodi za mikutano, miadi ya maofisa, majina ya wateja na kadhalika. Hizi shajara huwa kiungo muhimu katika karatibu mipangalio ya ofisi. Halikadhalika huwa kipengee muhimu cha marejeleo wakati wa kufanya uwamuzi katika ofisi. Katika huu uianishaji, tukumbuke kuwa kuna pia shajara ya kibanafsi. Hizi hunakiliwa mambo ya kibanfsi. Mwenye shajara ana uwezo wa kunakili matukio ya muhimu na hata kihifadhi tarehe za muhimu. Itakumbukwa kuwa hii ni njia rahisi ya kuhifadhi taarifa muhimu kama nambari za pasipoti na kitambulisho, aina ya damu, nambari muhimu za simu na kadhalika. Shajara ya kibanafsi yafaa itafautishwe na shajara rasmi. Japo zinakaribiani, shajara rasmi hunakiliwa mambo ya kawaida tu yanayomsibu mwenye shajara hilo. Shajara pia hubainishwa kulingana na utendakazi wake. Katika kundi hili tutapata shajara la shule. Hili husishwa na mudahalo wa shule. Yanayonakiliwa katika hili, humzunguka tu mwanafunzi na shule kwa jumla. Shajara kama hii, itapata imenakiliwa taratibu ya kufanya marudio, taratibu za leseni shuleni. Ikumbukwe kuwa pia walimu wanaweza kutengeneza shajara zao pia. Kuna shajara pia wanasayansi. Hili hurekodi matekeo ya kisayansi kila yanapojiri. Mara kwa mara, panapotekea uvumbuzi, wanasayansi huridhia yasipotea kamwe na hivyo shajara hili likiwa kumbukumbu kuu lao. Shajara kama hizi huwa msingi mkuu wa kuendeleza utafiti. Mwisho tutaangazia shajara za vita. Hizi hurekodi visa na matekeo ya vita mbali mbali. Mara mingi hurekodi vita ambavyo hutikisa Dunia. Vita kwa vile vya wanamgambo wa ISIS, WanaTalban, wanagambo wa Bokoharam hunakiliwa kwenye shajara kama hizi. Kwa ukubwa, huangazia kiongozi, maafa yaliyotokea, na muda ambayo hivyo vita vilisheni. Kwa hitimisho, shajara imekuwa nguzo muhimu katika maisha ya binadamu. Japo zipo aina nyingi za shajara, ni muhimu kila binadamu angalabu aukubali na kuutumia uvumbuzi huu. Shajara itamraishisha kumbukumbu zake.
Shajara ya shule huhusishwa na nini
{ "text": [ "Midahalo ya shule" ] }
4837_swa
UVUMBUZI WA SHAJARA Mungu akawaumba wanadamu kwa njia ya kushangaza sana. Kitambo, wanadamu waliumbwa na uwezo mkuu wa kuweza kukumbuka matukio. Babu zetu walituhadithia hadithi kila wakati. Hizi hadithi hamkini zilikuwa kama kumbukumbu. Mababu walitumai kwamba tutaweza kuzinakili akili pasipo na kupoteza tukio hata moja. Lakini kila kuchao, huu uwezo wa kumbukumbu umedidimia kwa kina kirefu. Itakumbukwa pia, tangu jadi mababu zetu waliyapanga mambo yao pasipo na kuyanakili. Uwezo huu ulihusishwa na shughuli chache zilizowakabili. Lakini kila kuchao, mazingira ya mwanadamu yanabadilika. Siku hizi majukumu yamezidi. Mengi yakiwa muhimu kuliko mengine. Yote haya mawili yakiwekwa pamoja, yamkini yamefanya uvumbi wa shajara. Shajara ni daftari linalotumiwa kuhifadhi habari muhimu nyumbani, ofisini, shuleni au hata mahali pa kazi. Shajara imesababisha binadumu kuwa na uwezo wa kukidhi mahitaji yake ya kukumbuka. Pia na uwezo wa kufanya yote atakavyo na kwa muda autakao. Itakumbukwa ya kwamba shajara zipo za aina nyingi. Kunazo shajara ambazo zimesheni habari nyingi za kimataifa. Shajara hizi huhifadha mutikio muhimu kuhusu nchi tafauti ulimwenguni. Mara kwa mara nyakati za dunia, hali ya joto na matukio ya kila siku ya nchi huweza kunakiliwa katika shajara hizi. Hizi shajara hupatikana sana kwenye ofisi za serikali. Pili, kunazo shajara za ofisi. Hizi hurekodi matukio na shughuli muhimu katika ofisi. Hapa, utapata rekodi za mikutano, miadi ya maofisa, majina ya wateja na kadhalika. Hizi shajara huwa kiungo muhimu katika karatibu mipangalio ya ofisi. Halikadhalika huwa kipengee muhimu cha marejeleo wakati wa kufanya uwamuzi katika ofisi. Katika huu uianishaji, tukumbuke kuwa kuna pia shajara ya kibanafsi. Hizi hunakiliwa mambo ya kibanfsi. Mwenye shajara ana uwezo wa kunakili matukio ya muhimu na hata kihifadhi tarehe za muhimu. Itakumbukwa kuwa hii ni njia rahisi ya kuhifadhi taarifa muhimu kama nambari za pasipoti na kitambulisho, aina ya damu, nambari muhimu za simu na kadhalika. Shajara ya kibanafsi yafaa itafautishwe na shajara rasmi. Japo zinakaribiani, shajara rasmi hunakiliwa mambo ya kawaida tu yanayomsibu mwenye shajara hilo. Shajara pia hubainishwa kulingana na utendakazi wake. Katika kundi hili tutapata shajara la shule. Hili husishwa na mudahalo wa shule. Yanayonakiliwa katika hili, humzunguka tu mwanafunzi na shule kwa jumla. Shajara kama hii, itapata imenakiliwa taratibu ya kufanya marudio, taratibu za leseni shuleni. Ikumbukwe kuwa pia walimu wanaweza kutengeneza shajara zao pia. Kuna shajara pia wanasayansi. Hili hurekodi matekeo ya kisayansi kila yanapojiri. Mara kwa mara, panapotekea uvumbuzi, wanasayansi huridhia yasipotea kamwe na hivyo shajara hili likiwa kumbukumbu kuu lao. Shajara kama hizi huwa msingi mkuu wa kuendeleza utafiti. Mwisho tutaangazia shajara za vita. Hizi hurekodi visa na matekeo ya vita mbali mbali. Mara mingi hurekodi vita ambavyo hutikisa Dunia. Vita kwa vile vya wanamgambo wa ISIS, WanaTalban, wanagambo wa Bokoharam hunakiliwa kwenye shajara kama hizi. Kwa ukubwa, huangazia kiongozi, maafa yaliyotokea, na muda ambayo hivyo vita vilisheni. Kwa hitimisho, shajara imekuwa nguzo muhimu katika maisha ya binadamu. Japo zipo aina nyingi za shajara, ni muhimu kila binadamu angalabu aukubali na kuutumia uvumbuzi huu. Shajara itamraishisha kumbukumbu zake.
Kwa nini ni muhimu kwa kila mtu kutumia shajara
{ "text": [ "Kwa sababu inarahisisha kazi" ] }
4838_swa
UTAMADUNI KUPITIA MICHEZO YA WATOTO Katika mazingira tofauti, hali halisia ya utamaduni, uchumi na siasa za jamii hubainika wazi katika michezo za watoto. Hili huwa ni dhamira kuu kuhusu fasihi simulizi ya jamii husika. Hizo michezo hulenga kuwaelimisha, kuwarai na kurekebisha maadili ya ha watoto husika au wale wanaoigiziwa. Pia kupitia hizi michezo watoto hujifunza uzalishaji wa mali kupitia njia mbalimbali, utamaduni na siasa za jamii. Watoto wanapoigiza, wao huiga mambo halisi yanavyofanyika katika jamii. Nikitumia Afika kama mfano, wanaumme husishwa na kazi za shamba, kujenga nyumba, na hata kuwinda. Wanawake nao wanaaminiwa na kazi za jikoni, malezi ya watoto na kuteka maji mtoni. Huu uhalisia huonekana katika maigizo ya watoto. Watoto wavulana hucheza michezo ya mawindo, uchungaji wa mifugo. Huku nao wasichana wakionekena mara kwa mara wakicheza michezo ya mapishi, kuchota maji na nyenginezo. Katika uhalisia huu, pia watototo hujipa majukumu wanapocheza. Wao kwa wao, utapata wamejipa vyeo kama vile baba, mama na watoto. Hili huambatana na umri na uwezo wa kila mtoto. Mtoto kijana ambaye ana umri mkubwa kati ya hao wanacheza angalabu hupewa cheo cha mtu mkuu katika familia. Japo vyeo huwa vingi, watoto wengi hutaka kujihusisha na wanajamii wenye tabia njema. Mara kwa mara hukataa kuchukua majukumu ya watu ambayo hawana sifa mzuri katika jamii. Katika maigizo haya, watoto huwa wabinifu sana. Watoto hujaribu kuhusisha vitu tofuati na vile vinavyoonekana katika hali halisi. Utapata watoto wakihusisha vijiti na mishale, vumbi na unga, vifuniko vya chupa na sufuri. Huu ubunifu hutokea kwa vitu ambavyo watoto huviona kila wakati katika jamii yao. Kupitia utandawazi, watoto pia wamekuwa na uwezo wa kubuni vitu ambavyo hutazama katika runinga. Miaka za zama watoto hawangeweza kubuni vitu kama rununu kama ilivyo kwa sasa. Kupitia michezo hizi, watoto walikuwa wanakuza mambo na maadili yanayofaa katika kukua kwao. Mbegu za ujasiri, udadisi n.k zilikuwa zinapandwa katika kizazi hiki. Hizi michezo zikawa kioo za kila jamii kama mtu angezitilia mkazo anapozidadisi. Ibaininke kuwa lengo kuu la michezo hizi lilikuwa ni watoto kujifurahisha. Uchumi wa jamii hukua unaacha nyuma katika michezo hizi. Kila wakati watoto walipoigiza, walitilia mkazo hili swala. Katika jamii ambazo kilimo kilikuwa ndo msingi wa rasimali, ungeona watoto wakiigiza kama wakulima. Nao wale watoto ambayo biashara ndio imenariwi katika eneo hilo, wangeigiza wakiwa sokoni wakiviuza vitu vyao kwa wateja. Japo hayo ni maigizo, lakini ungepata usoni, hawa hawa waigizaji wakijishughulisha na mambo hayo. Michezo ya watoto katika jamii zilikuwa kwa wingi tu. Hizi michezo zililingana na watoto husika na madhumuni ya michezo. Michezo kama baba na mama ziliwahusisha watoto wadogo ambayo kwa wingi walikuwa kwenye familia moja. Hii ilirahisha kujipa majukumu kila moja. Watoto wa kijiji walipojumika pamoja, wangecheza michezo ambazo zinahusisha jamii kwa ujumla. Ungepata wanacheza densi za jamii, wakiigiza kama wazee wa jamii. Watoto wa mjini nao ungewapata wanacheza michezo kama soka na kuruka kamba. Kwa hitimisho, michezo ya watoto ilikuwa nguzo muhimu katika dhimaya fasihi simulizi ya jamii zetu hasa za kiafrika. Uwiano na umoja ambayo tulikuza kupitia hizi michezo ulitupaufanisi sana. Lakini mambo nayo yamebadilika kila kuchao. Utandawazi umetufanya tuige tabia za ugaibuni. Siku hizi watoto hawana nafsi ya kujumuika pamoja katika michezo hizi za utamaduni wetu. Hii desturi imefanya utamaduni wetu kukosa nguvu katika jamii. Jambo ni kujipika msasa kama jamii ili tuutunze utamaduni wetu.
Michezo ya watoto hulenga nini
{ "text": [ "Kuelimisha, kuwarai, na kurekebisha maadili yao" ] }
4838_swa
UTAMADUNI KUPITIA MICHEZO YA WATOTO Katika mazingira tofauti, hali halisia ya utamaduni, uchumi na siasa za jamii hubainika wazi katika michezo za watoto. Hili huwa ni dhamira kuu kuhusu fasihi simulizi ya jamii husika. Hizo michezo hulenga kuwaelimisha, kuwarai na kurekebisha maadili ya ha watoto husika au wale wanaoigiziwa. Pia kupitia hizi michezo watoto hujifunza uzalishaji wa mali kupitia njia mbalimbali, utamaduni na siasa za jamii. Watoto wanapoigiza, wao huiga mambo halisi yanavyofanyika katika jamii. Nikitumia Afika kama mfano, wanaumme husishwa na kazi za shamba, kujenga nyumba, na hata kuwinda. Wanawake nao wanaaminiwa na kazi za jikoni, malezi ya watoto na kuteka maji mtoni. Huu uhalisia huonekana katika maigizo ya watoto. Watoto wavulana hucheza michezo ya mawindo, uchungaji wa mifugo. Huku nao wasichana wakionekena mara kwa mara wakicheza michezo ya mapishi, kuchota maji na nyenginezo. Katika uhalisia huu, pia watototo hujipa majukumu wanapocheza. Wao kwa wao, utapata wamejipa vyeo kama vile baba, mama na watoto. Hili huambatana na umri na uwezo wa kila mtoto. Mtoto kijana ambaye ana umri mkubwa kati ya hao wanacheza angalabu hupewa cheo cha mtu mkuu katika familia. Japo vyeo huwa vingi, watoto wengi hutaka kujihusisha na wanajamii wenye tabia njema. Mara kwa mara hukataa kuchukua majukumu ya watu ambayo hawana sifa mzuri katika jamii. Katika maigizo haya, watoto huwa wabinifu sana. Watoto hujaribu kuhusisha vitu tofuati na vile vinavyoonekana katika hali halisi. Utapata watoto wakihusisha vijiti na mishale, vumbi na unga, vifuniko vya chupa na sufuri. Huu ubunifu hutokea kwa vitu ambavyo watoto huviona kila wakati katika jamii yao. Kupitia utandawazi, watoto pia wamekuwa na uwezo wa kubuni vitu ambavyo hutazama katika runinga. Miaka za zama watoto hawangeweza kubuni vitu kama rununu kama ilivyo kwa sasa. Kupitia michezo hizi, watoto walikuwa wanakuza mambo na maadili yanayofaa katika kukua kwao. Mbegu za ujasiri, udadisi n.k zilikuwa zinapandwa katika kizazi hiki. Hizi michezo zikawa kioo za kila jamii kama mtu angezitilia mkazo anapozidadisi. Ibaininke kuwa lengo kuu la michezo hizi lilikuwa ni watoto kujifurahisha. Uchumi wa jamii hukua unaacha nyuma katika michezo hizi. Kila wakati watoto walipoigiza, walitilia mkazo hili swala. Katika jamii ambazo kilimo kilikuwa ndo msingi wa rasimali, ungeona watoto wakiigiza kama wakulima. Nao wale watoto ambayo biashara ndio imenariwi katika eneo hilo, wangeigiza wakiwa sokoni wakiviuza vitu vyao kwa wateja. Japo hayo ni maigizo, lakini ungepata usoni, hawa hawa waigizaji wakijishughulisha na mambo hayo. Michezo ya watoto katika jamii zilikuwa kwa wingi tu. Hizi michezo zililingana na watoto husika na madhumuni ya michezo. Michezo kama baba na mama ziliwahusisha watoto wadogo ambayo kwa wingi walikuwa kwenye familia moja. Hii ilirahisha kujipa majukumu kila moja. Watoto wa kijiji walipojumika pamoja, wangecheza michezo ambazo zinahusisha jamii kwa ujumla. Ungepata wanacheza densi za jamii, wakiigiza kama wazee wa jamii. Watoto wa mjini nao ungewapata wanacheza michezo kama soka na kuruka kamba. Kwa hitimisho, michezo ya watoto ilikuwa nguzo muhimu katika dhimaya fasihi simulizi ya jamii zetu hasa za kiafrika. Uwiano na umoja ambayo tulikuza kupitia hizi michezo ulitupaufanisi sana. Lakini mambo nayo yamebadilika kila kuchao. Utandawazi umetufanya tuige tabia za ugaibuni. Siku hizi watoto hawana nafsi ya kujumuika pamoja katika michezo hizi za utamaduni wetu. Hii desturi imefanya utamaduni wetu kukosa nguvu katika jamii. Jambo ni kujipika msasa kama jamii ili tuutunze utamaduni wetu.
Watoto huigiza mambo yapi
{ "text": [ "Mambo halisi yanayofanyika katika jamii" ] }
4838_swa
UTAMADUNI KUPITIA MICHEZO YA WATOTO Katika mazingira tofauti, hali halisia ya utamaduni, uchumi na siasa za jamii hubainika wazi katika michezo za watoto. Hili huwa ni dhamira kuu kuhusu fasihi simulizi ya jamii husika. Hizo michezo hulenga kuwaelimisha, kuwarai na kurekebisha maadili ya ha watoto husika au wale wanaoigiziwa. Pia kupitia hizi michezo watoto hujifunza uzalishaji wa mali kupitia njia mbalimbali, utamaduni na siasa za jamii. Watoto wanapoigiza, wao huiga mambo halisi yanavyofanyika katika jamii. Nikitumia Afika kama mfano, wanaumme husishwa na kazi za shamba, kujenga nyumba, na hata kuwinda. Wanawake nao wanaaminiwa na kazi za jikoni, malezi ya watoto na kuteka maji mtoni. Huu uhalisia huonekana katika maigizo ya watoto. Watoto wavulana hucheza michezo ya mawindo, uchungaji wa mifugo. Huku nao wasichana wakionekena mara kwa mara wakicheza michezo ya mapishi, kuchota maji na nyenginezo. Katika uhalisia huu, pia watototo hujipa majukumu wanapocheza. Wao kwa wao, utapata wamejipa vyeo kama vile baba, mama na watoto. Hili huambatana na umri na uwezo wa kila mtoto. Mtoto kijana ambaye ana umri mkubwa kati ya hao wanacheza angalabu hupewa cheo cha mtu mkuu katika familia. Japo vyeo huwa vingi, watoto wengi hutaka kujihusisha na wanajamii wenye tabia njema. Mara kwa mara hukataa kuchukua majukumu ya watu ambayo hawana sifa mzuri katika jamii. Katika maigizo haya, watoto huwa wabinifu sana. Watoto hujaribu kuhusisha vitu tofuati na vile vinavyoonekana katika hali halisi. Utapata watoto wakihusisha vijiti na mishale, vumbi na unga, vifuniko vya chupa na sufuri. Huu ubunifu hutokea kwa vitu ambavyo watoto huviona kila wakati katika jamii yao. Kupitia utandawazi, watoto pia wamekuwa na uwezo wa kubuni vitu ambavyo hutazama katika runinga. Miaka za zama watoto hawangeweza kubuni vitu kama rununu kama ilivyo kwa sasa. Kupitia michezo hizi, watoto walikuwa wanakuza mambo na maadili yanayofaa katika kukua kwao. Mbegu za ujasiri, udadisi n.k zilikuwa zinapandwa katika kizazi hiki. Hizi michezo zikawa kioo za kila jamii kama mtu angezitilia mkazo anapozidadisi. Ibaininke kuwa lengo kuu la michezo hizi lilikuwa ni watoto kujifurahisha. Uchumi wa jamii hukua unaacha nyuma katika michezo hizi. Kila wakati watoto walipoigiza, walitilia mkazo hili swala. Katika jamii ambazo kilimo kilikuwa ndo msingi wa rasimali, ungeona watoto wakiigiza kama wakulima. Nao wale watoto ambayo biashara ndio imenariwi katika eneo hilo, wangeigiza wakiwa sokoni wakiviuza vitu vyao kwa wateja. Japo hayo ni maigizo, lakini ungepata usoni, hawa hawa waigizaji wakijishughulisha na mambo hayo. Michezo ya watoto katika jamii zilikuwa kwa wingi tu. Hizi michezo zililingana na watoto husika na madhumuni ya michezo. Michezo kama baba na mama ziliwahusisha watoto wadogo ambayo kwa wingi walikuwa kwenye familia moja. Hii ilirahisha kujipa majukumu kila moja. Watoto wa kijiji walipojumika pamoja, wangecheza michezo ambazo zinahusisha jamii kwa ujumla. Ungepata wanacheza densi za jamii, wakiigiza kama wazee wa jamii. Watoto wa mjini nao ungewapata wanacheza michezo kama soka na kuruka kamba. Kwa hitimisho, michezo ya watoto ilikuwa nguzo muhimu katika dhimaya fasihi simulizi ya jamii zetu hasa za kiafrika. Uwiano na umoja ambayo tulikuza kupitia hizi michezo ulitupaufanisi sana. Lakini mambo nayo yamebadilika kila kuchao. Utandawazi umetufanya tuige tabia za ugaibuni. Siku hizi watoto hawana nafsi ya kujumuika pamoja katika michezo hizi za utamaduni wetu. Hii desturi imefanya utamaduni wetu kukosa nguvu katika jamii. Jambo ni kujipika msasa kama jamii ili tuutunze utamaduni wetu.
Watoto wengi hupenda kujihusisha na nani
{ "text": [ "Wanajamii wenye tabia njema" ] }