Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
4814_swa | Ugatuzi una manufaa mengi kuliko uongozi wa serikali kuu.
Tangu Kenya kujinyakulia uhuru kutoka kwa mkoloni, ilitawaliwa na
serikali kuu. Hii ni kama miaka takriban hamsini iliyopita. Kupitia kwa
mabadilisho ya katiba ya 2010, ugatuzi ulianzishwa. Yapo manufaa ya
ugatuzi huo. Ugatuzi umeleta manufaa mengi nchini kuliko hasara. Tunayo
magatuzi 47 nchini yanayofurahia manufaa haya.
Ugatuzi umeimarisha ugawaji wa Mali kwa usawa katika magatuzi yote 47.
Chini ya serikali kuu, Kuna maeneo yalikuwa yametengwa kwa muda mrefu.
Kwa maeneo hayo, ugatuzi ni kama bahati ya mtende. Migao kutoka
serikalini huyafikia hata maeneo ambayo hayakuwa yanafikiwa na huduma za
serikali. Hili litaendelea luimarisha usawa wa kimaendeleo katika nchi
nzima.
Ugatuzi umeregesha uongozi katika nyanja za chini. Wananchi wanaweza
kufikiwa kwa urahisi. Jambo hili litaimarisha utoaji wa huduma za
serikali kwa wananchi kwa urahisi. Watanufaika na huduma zote za
serikali kwa ukaribu sana. Kila wadi inaye mwakilishu ambaye huwasilisha
mahitaji na matakwa ya wananchi wake katika bunge la gatuzi husika na
kushughulikiwa ipasavyo.
Ugatuzi umehakikisha utekelezaji waaendeleo kwa mwananchi kwa ufanisi na
Kwa wakati. Maendeleo haya ni ya kimsingi kwa jamii. Maendeleo haya
walikuwa wameyakosa kwauda mrefu. Baadhi yake ni kama vile: matibabu,
Elimu, miundomsingi na mengi mengineyo.
Wakenya Sasa wanaweza kushiriki kwa ukamilifu katika uimarishaji wa
maendeleo mashinani. Kupitia haya, kila gatuzi huyashughulikia maendeleo
ya kimsingi sana yatakayofaa wananchi. Watawala wamekuwa karibu na
watawaliwa.
Licha ya kuwepo kwa manufaa mengi, ugatuzi umeihatarisha na kuidhuru
jamii.
Serikali za ugatuzi zimehusishwa pakubwa na ufisadi. Ufisadi
umeshuhudiwa katika sehemu nyingi za nchi kupitia ugatuzi. Viongozi
wanatumia jina la miradi ya kaunti kifidia matumbo yao. Viongozi
wameendelea kufuja mali na fedha za mwananchi kwa asilimia kubwa.
Katika huduma za kiserikali, viongozi wengi huyatumia vibaya mamlaka yao
badala ya kuhudumia wananchi. Baadhi ya viongozi wanatumia jina la
"kiongozi" katika shughuli mbalimbali mbaya na zisizo na faida kwa
mwananchi.
Ugatuzi unaleta hatari na tishio la kuigawanya nchi. Visa vya hivi
karibuni vimeshuhudia hili. magatuzi mengi huwa na wakaazi wa kabila
moja au mawili. Jambo hili linaweza kuleta utengano katika nchi. Kabila
hili linalopatikana katika gatuzi moja huenda likaibua Hisia za ukabila
miongoni mwa wananchi. Hali hii itazidi kulemaza Zita dhidi ya ukabila
nchini.
Serikali za ugatuzi zimeleleta ubaguzi. Ubaguzi unashuhudiwa katika
usawa wa ugawaji wa Mali katika magatuzi yote. Hasa katika sekta ya
ugawaji wa fedha na rasilali nyingine kwa wananchi. Kuna baadhi ya
kaunti ambazo hupata asilimia kubwa za rasilimali na fedha kuliko kaunti
nyingine. Magatuzi mbalimbali hutofautiana kiukubwa wa kijiografia, na
kiukubwa na wingi was watu. Ubaguzi huu umeleta chuki baina ya kaunti.
Chuki hizi huweza kuleta kutoelewana miongoni mwa magatuzi hivyo,
kulemaza na kudidimiza maendeleo ya kaunti na nchi pamoja.
Ugatuzi pia umeathiri mwananchi pakubwa. Mwananchi anataabika katika
nyongeza ya ulipaji ushuru ili kukidhi ongezeko la viongozi wa nchi na
shughuli nyingine.
Ni dhahiri kuwa tumeshuhudia manufaa kwa kugatuliwa kwa serikali. Kwa
kuwa hakuna kisicho kasoro, ugatuzi umeleta athira kubwa sana.wananchi
wanafurahia huduma kwa ukaribu sana vilevile utawala na kushirikishwa
katika uongozi. Hivi vyote ni miongoni mwa vigezo Bora katika maendeleo
ya nchi. Hongera Kwa ugatuzi.
| Serikali ya ugatuzi zimehusishwa pakubwa na nini | {
"text": [
"Ufisadi"
]
} |
4814_swa | Ugatuzi una manufaa mengi kuliko uongozi wa serikali kuu.
Tangu Kenya kujinyakulia uhuru kutoka kwa mkoloni, ilitawaliwa na
serikali kuu. Hii ni kama miaka takriban hamsini iliyopita. Kupitia kwa
mabadilisho ya katiba ya 2010, ugatuzi ulianzishwa. Yapo manufaa ya
ugatuzi huo. Ugatuzi umeleta manufaa mengi nchini kuliko hasara. Tunayo
magatuzi 47 nchini yanayofurahia manufaa haya.
Ugatuzi umeimarisha ugawaji wa Mali kwa usawa katika magatuzi yote 47.
Chini ya serikali kuu, Kuna maeneo yalikuwa yametengwa kwa muda mrefu.
Kwa maeneo hayo, ugatuzi ni kama bahati ya mtende. Migao kutoka
serikalini huyafikia hata maeneo ambayo hayakuwa yanafikiwa na huduma za
serikali. Hili litaendelea luimarisha usawa wa kimaendeleo katika nchi
nzima.
Ugatuzi umeregesha uongozi katika nyanja za chini. Wananchi wanaweza
kufikiwa kwa urahisi. Jambo hili litaimarisha utoaji wa huduma za
serikali kwa wananchi kwa urahisi. Watanufaika na huduma zote za
serikali kwa ukaribu sana. Kila wadi inaye mwakilishu ambaye huwasilisha
mahitaji na matakwa ya wananchi wake katika bunge la gatuzi husika na
kushughulikiwa ipasavyo.
Ugatuzi umehakikisha utekelezaji waaendeleo kwa mwananchi kwa ufanisi na
Kwa wakati. Maendeleo haya ni ya kimsingi kwa jamii. Maendeleo haya
walikuwa wameyakosa kwauda mrefu. Baadhi yake ni kama vile: matibabu,
Elimu, miundomsingi na mengi mengineyo.
Wakenya Sasa wanaweza kushiriki kwa ukamilifu katika uimarishaji wa
maendeleo mashinani. Kupitia haya, kila gatuzi huyashughulikia maendeleo
ya kimsingi sana yatakayofaa wananchi. Watawala wamekuwa karibu na
watawaliwa.
Licha ya kuwepo kwa manufaa mengi, ugatuzi umeihatarisha na kuidhuru
jamii.
Serikali za ugatuzi zimehusishwa pakubwa na ufisadi. Ufisadi
umeshuhudiwa katika sehemu nyingi za nchi kupitia ugatuzi. Viongozi
wanatumia jina la miradi ya kaunti kifidia matumbo yao. Viongozi
wameendelea kufuja mali na fedha za mwananchi kwa asilimia kubwa.
Katika huduma za kiserikali, viongozi wengi huyatumia vibaya mamlaka yao
badala ya kuhudumia wananchi. Baadhi ya viongozi wanatumia jina la
"kiongozi" katika shughuli mbalimbali mbaya na zisizo na faida kwa
mwananchi.
Ugatuzi unaleta hatari na tishio la kuigawanya nchi. Visa vya hivi
karibuni vimeshuhudia hili. magatuzi mengi huwa na wakaazi wa kabila
moja au mawili. Jambo hili linaweza kuleta utengano katika nchi. Kabila
hili linalopatikana katika gatuzi moja huenda likaibua Hisia za ukabila
miongoni mwa wananchi. Hali hii itazidi kulemaza Zita dhidi ya ukabila
nchini.
Serikali za ugatuzi zimeleleta ubaguzi. Ubaguzi unashuhudiwa katika
usawa wa ugawaji wa Mali katika magatuzi yote. Hasa katika sekta ya
ugawaji wa fedha na rasilali nyingine kwa wananchi. Kuna baadhi ya
kaunti ambazo hupata asilimia kubwa za rasilimali na fedha kuliko kaunti
nyingine. Magatuzi mbalimbali hutofautiana kiukubwa wa kijiografia, na
kiukubwa na wingi was watu. Ubaguzi huu umeleta chuki baina ya kaunti.
Chuki hizi huweza kuleta kutoelewana miongoni mwa magatuzi hivyo,
kulemaza na kudidimiza maendeleo ya kaunti na nchi pamoja.
Ugatuzi pia umeathiri mwananchi pakubwa. Mwananchi anataabika katika
nyongeza ya ulipaji ushuru ili kukidhi ongezeko la viongozi wa nchi na
shughuli nyingine.
Ni dhahiri kuwa tumeshuhudia manufaa kwa kugatuliwa kwa serikali. Kwa
kuwa hakuna kisicho kasoro, ugatuzi umeleta athira kubwa sana.wananchi
wanafurahia huduma kwa ukaribu sana vilevile utawala na kushirikishwa
katika uongozi. Hivi vyote ni miongoni mwa vigezo Bora katika maendeleo
ya nchi. Hongera Kwa ugatuzi.
| Kwa nini ugatuzi unagawanya nchi | {
"text": [
"Magatuzi mengi huwa na wakaazi wa kabila moja au mawili"
]
} |
4816_swa | Katika utafiti uliofanywa mwaka Jana, bara la Afrika liligunduliwa kuwa
ndilo bara maskini kote duniani. Wakaazi wengi wa bara hilo hulala njaa
kutokana na ukosefu wa chakula. Baadhi ya watoto hawapati elimu Kwa
sababu ya ukosefu wa karo ya shule, ndio maana takwimu za wasomi ni
chache ikilinganishwa na mabara nyingine.
Jambo la kwanza ni kwamba, bara la Afrika lilitawaliwa na wakoloni kwa
kipindi kirefu. Wakoloni hao walinyakua wafrika walioonekana wana nguvu
ya kufanya kazi na kuwafunga minyororo na kuwapeleka katika nchi zao
kuwafanyia kazi na kutajirisha nchi zao. Waafrika hao walionyakuliwa
ndio walikuwa na uwezo wa kustawisha bara lao. Kwa hivyo, bara hili
liliporwa nguvu na uwezo wa kujistawisha. Nchi zao zilinawiri na
biashara zao zikaendelea vyema. Wakoloni hao wakafungua viwanda na
kuwaajiri waafrika.
Katika viwanda hizo, waafrika waliajiriwa huko na kudhalilishwa. Mapato
yao yalikuwa duni. Mazingira yao yalikuwa machafu na walilazimishwa
kufanya kazi Kwa kipindi kirefu bila kupumzika. Yeyote aliyekataa
kufanya kazi aliadhibiwa vikali. Hali hii iliongezea bara la Afrika
kuendeleza kuwa maskini Kwa sababu wazungu walipogundua kuwa waafrika
wangeweza kufanya kazi ngumu kwa malipo duni, waliendelea kuwanyakua
waafrika na kuwadhalilisha.
Isitoshe, baada ya hii, wakoloni waligeukia bara la Afrika na kuigawanya
katika koloni mbalimbali. Waliwanyan'ganya mashamba, mifugo na Kila kitu
walichokuwa nacho cha thamani. Waafrika walibaki bila chochote.
Halikadhalika, walilazimishwa kufanya kazi Kwa mashamba yao bila malipo.
Wake zao na watoto walilazimishwa kuwafanyia kazi za nyumbani kama
kuosha nguo, kupika na kushughulikia wake zao. Bara la Afrika lilikuwa
chini ya uongozi wao. Baadhi ya machifu waliteuliwa na wakoloni ili
kuwasaidia katika uongozi na kuwachunguza waafrika katika mipango zao.
Machifu hao walipata faida kidogo kutokana na kazi zao.
Baada ya kipindi kirefu cha ukoloni mamboleo, hatimaye wakoloni
waliondoka barani afrika. Walipoondoka, waliacha wafrika wakizama katika
lindi la ufukara. Machifu ndio walikuwa tajiri Kwa sababu walipewa
mashamba na wakoloni na kujistawisha. Swala hili ndilo sababu kuu la
bara la Afrika kuzama katika umasikini.
| Ni bara lipi maskini kuliko nyingine | {
"text": [
"Afrika"
]
} |
4816_swa | Katika utafiti uliofanywa mwaka Jana, bara la Afrika liligunduliwa kuwa
ndilo bara maskini kote duniani. Wakaazi wengi wa bara hilo hulala njaa
kutokana na ukosefu wa chakula. Baadhi ya watoto hawapati elimu Kwa
sababu ya ukosefu wa karo ya shule, ndio maana takwimu za wasomi ni
chache ikilinganishwa na mabara nyingine.
Jambo la kwanza ni kwamba, bara la Afrika lilitawaliwa na wakoloni kwa
kipindi kirefu. Wakoloni hao walinyakua wafrika walioonekana wana nguvu
ya kufanya kazi na kuwafunga minyororo na kuwapeleka katika nchi zao
kuwafanyia kazi na kutajirisha nchi zao. Waafrika hao walionyakuliwa
ndio walikuwa na uwezo wa kustawisha bara lao. Kwa hivyo, bara hili
liliporwa nguvu na uwezo wa kujistawisha. Nchi zao zilinawiri na
biashara zao zikaendelea vyema. Wakoloni hao wakafungua viwanda na
kuwaajiri waafrika.
Katika viwanda hizo, waafrika waliajiriwa huko na kudhalilishwa. Mapato
yao yalikuwa duni. Mazingira yao yalikuwa machafu na walilazimishwa
kufanya kazi Kwa kipindi kirefu bila kupumzika. Yeyote aliyekataa
kufanya kazi aliadhibiwa vikali. Hali hii iliongezea bara la Afrika
kuendeleza kuwa maskini Kwa sababu wazungu walipogundua kuwa waafrika
wangeweza kufanya kazi ngumu kwa malipo duni, waliendelea kuwanyakua
waafrika na kuwadhalilisha.
Isitoshe, baada ya hii, wakoloni waligeukia bara la Afrika na kuigawanya
katika koloni mbalimbali. Waliwanyan'ganya mashamba, mifugo na Kila kitu
walichokuwa nacho cha thamani. Waafrika walibaki bila chochote.
Halikadhalika, walilazimishwa kufanya kazi Kwa mashamba yao bila malipo.
Wake zao na watoto walilazimishwa kuwafanyia kazi za nyumbani kama
kuosha nguo, kupika na kushughulikia wake zao. Bara la Afrika lilikuwa
chini ya uongozi wao. Baadhi ya machifu waliteuliwa na wakoloni ili
kuwasaidia katika uongozi na kuwachunguza waafrika katika mipango zao.
Machifu hao walipata faida kidogo kutokana na kazi zao.
Baada ya kipindi kirefu cha ukoloni mamboleo, hatimaye wakoloni
waliondoka barani afrika. Walipoondoka, waliacha wafrika wakizama katika
lindi la ufukara. Machifu ndio walikuwa tajiri Kwa sababu walipewa
mashamba na wakoloni na kujistawisha. Swala hili ndilo sababu kuu la
bara la Afrika kuzama katika umasikini.
| Bara la Afrika lilitawaliwa nani kwa muda mrefu | {
"text": [
"Wakoloni"
]
} |
4816_swa | Katika utafiti uliofanywa mwaka Jana, bara la Afrika liligunduliwa kuwa
ndilo bara maskini kote duniani. Wakaazi wengi wa bara hilo hulala njaa
kutokana na ukosefu wa chakula. Baadhi ya watoto hawapati elimu Kwa
sababu ya ukosefu wa karo ya shule, ndio maana takwimu za wasomi ni
chache ikilinganishwa na mabara nyingine.
Jambo la kwanza ni kwamba, bara la Afrika lilitawaliwa na wakoloni kwa
kipindi kirefu. Wakoloni hao walinyakua wafrika walioonekana wana nguvu
ya kufanya kazi na kuwafunga minyororo na kuwapeleka katika nchi zao
kuwafanyia kazi na kutajirisha nchi zao. Waafrika hao walionyakuliwa
ndio walikuwa na uwezo wa kustawisha bara lao. Kwa hivyo, bara hili
liliporwa nguvu na uwezo wa kujistawisha. Nchi zao zilinawiri na
biashara zao zikaendelea vyema. Wakoloni hao wakafungua viwanda na
kuwaajiri waafrika.
Katika viwanda hizo, waafrika waliajiriwa huko na kudhalilishwa. Mapato
yao yalikuwa duni. Mazingira yao yalikuwa machafu na walilazimishwa
kufanya kazi Kwa kipindi kirefu bila kupumzika. Yeyote aliyekataa
kufanya kazi aliadhibiwa vikali. Hali hii iliongezea bara la Afrika
kuendeleza kuwa maskini Kwa sababu wazungu walipogundua kuwa waafrika
wangeweza kufanya kazi ngumu kwa malipo duni, waliendelea kuwanyakua
waafrika na kuwadhalilisha.
Isitoshe, baada ya hii, wakoloni waligeukia bara la Afrika na kuigawanya
katika koloni mbalimbali. Waliwanyan'ganya mashamba, mifugo na Kila kitu
walichokuwa nacho cha thamani. Waafrika walibaki bila chochote.
Halikadhalika, walilazimishwa kufanya kazi Kwa mashamba yao bila malipo.
Wake zao na watoto walilazimishwa kuwafanyia kazi za nyumbani kama
kuosha nguo, kupika na kushughulikia wake zao. Bara la Afrika lilikuwa
chini ya uongozi wao. Baadhi ya machifu waliteuliwa na wakoloni ili
kuwasaidia katika uongozi na kuwachunguza waafrika katika mipango zao.
Machifu hao walipata faida kidogo kutokana na kazi zao.
Baada ya kipindi kirefu cha ukoloni mamboleo, hatimaye wakoloni
waliondoka barani afrika. Walipoondoka, waliacha wafrika wakizama katika
lindi la ufukara. Machifu ndio walikuwa tajiri Kwa sababu walipewa
mashamba na wakoloni na kujistawisha. Swala hili ndilo sababu kuu la
bara la Afrika kuzama katika umasikini.
| Ni wapi waafrika wanadhalilishwa n | {
"text": [
"Viwandani"
]
} |
4816_swa | Katika utafiti uliofanywa mwaka Jana, bara la Afrika liligunduliwa kuwa
ndilo bara maskini kote duniani. Wakaazi wengi wa bara hilo hulala njaa
kutokana na ukosefu wa chakula. Baadhi ya watoto hawapati elimu Kwa
sababu ya ukosefu wa karo ya shule, ndio maana takwimu za wasomi ni
chache ikilinganishwa na mabara nyingine.
Jambo la kwanza ni kwamba, bara la Afrika lilitawaliwa na wakoloni kwa
kipindi kirefu. Wakoloni hao walinyakua wafrika walioonekana wana nguvu
ya kufanya kazi na kuwafunga minyororo na kuwapeleka katika nchi zao
kuwafanyia kazi na kutajirisha nchi zao. Waafrika hao walionyakuliwa
ndio walikuwa na uwezo wa kustawisha bara lao. Kwa hivyo, bara hili
liliporwa nguvu na uwezo wa kujistawisha. Nchi zao zilinawiri na
biashara zao zikaendelea vyema. Wakoloni hao wakafungua viwanda na
kuwaajiri waafrika.
Katika viwanda hizo, waafrika waliajiriwa huko na kudhalilishwa. Mapato
yao yalikuwa duni. Mazingira yao yalikuwa machafu na walilazimishwa
kufanya kazi Kwa kipindi kirefu bila kupumzika. Yeyote aliyekataa
kufanya kazi aliadhibiwa vikali. Hali hii iliongezea bara la Afrika
kuendeleza kuwa maskini Kwa sababu wazungu walipogundua kuwa waafrika
wangeweza kufanya kazi ngumu kwa malipo duni, waliendelea kuwanyakua
waafrika na kuwadhalilisha.
Isitoshe, baada ya hii, wakoloni waligeukia bara la Afrika na kuigawanya
katika koloni mbalimbali. Waliwanyan'ganya mashamba, mifugo na Kila kitu
walichokuwa nacho cha thamani. Waafrika walibaki bila chochote.
Halikadhalika, walilazimishwa kufanya kazi Kwa mashamba yao bila malipo.
Wake zao na watoto walilazimishwa kuwafanyia kazi za nyumbani kama
kuosha nguo, kupika na kushughulikia wake zao. Bara la Afrika lilikuwa
chini ya uongozi wao. Baadhi ya machifu waliteuliwa na wakoloni ili
kuwasaidia katika uongozi na kuwachunguza waafrika katika mipango zao.
Machifu hao walipata faida kidogo kutokana na kazi zao.
Baada ya kipindi kirefu cha ukoloni mamboleo, hatimaye wakoloni
waliondoka barani afrika. Walipoondoka, waliacha wafrika wakizama katika
lindi la ufukara. Machifu ndio walikuwa tajiri Kwa sababu walipewa
mashamba na wakoloni na kujistawisha. Swala hili ndilo sababu kuu la
bara la Afrika kuzama katika umasikini.
| Waafrika walilazimishwa kufanya nini | {
"text": [
"Kazi"
]
} |
4816_swa | Katika utafiti uliofanywa mwaka Jana, bara la Afrika liligunduliwa kuwa
ndilo bara maskini kote duniani. Wakaazi wengi wa bara hilo hulala njaa
kutokana na ukosefu wa chakula. Baadhi ya watoto hawapati elimu Kwa
sababu ya ukosefu wa karo ya shule, ndio maana takwimu za wasomi ni
chache ikilinganishwa na mabara nyingine.
Jambo la kwanza ni kwamba, bara la Afrika lilitawaliwa na wakoloni kwa
kipindi kirefu. Wakoloni hao walinyakua wafrika walioonekana wana nguvu
ya kufanya kazi na kuwafunga minyororo na kuwapeleka katika nchi zao
kuwafanyia kazi na kutajirisha nchi zao. Waafrika hao walionyakuliwa
ndio walikuwa na uwezo wa kustawisha bara lao. Kwa hivyo, bara hili
liliporwa nguvu na uwezo wa kujistawisha. Nchi zao zilinawiri na
biashara zao zikaendelea vyema. Wakoloni hao wakafungua viwanda na
kuwaajiri waafrika.
Katika viwanda hizo, waafrika waliajiriwa huko na kudhalilishwa. Mapato
yao yalikuwa duni. Mazingira yao yalikuwa machafu na walilazimishwa
kufanya kazi Kwa kipindi kirefu bila kupumzika. Yeyote aliyekataa
kufanya kazi aliadhibiwa vikali. Hali hii iliongezea bara la Afrika
kuendeleza kuwa maskini Kwa sababu wazungu walipogundua kuwa waafrika
wangeweza kufanya kazi ngumu kwa malipo duni, waliendelea kuwanyakua
waafrika na kuwadhalilisha.
Isitoshe, baada ya hii, wakoloni waligeukia bara la Afrika na kuigawanya
katika koloni mbalimbali. Waliwanyan'ganya mashamba, mifugo na Kila kitu
walichokuwa nacho cha thamani. Waafrika walibaki bila chochote.
Halikadhalika, walilazimishwa kufanya kazi Kwa mashamba yao bila malipo.
Wake zao na watoto walilazimishwa kuwafanyia kazi za nyumbani kama
kuosha nguo, kupika na kushughulikia wake zao. Bara la Afrika lilikuwa
chini ya uongozi wao. Baadhi ya machifu waliteuliwa na wakoloni ili
kuwasaidia katika uongozi na kuwachunguza waafrika katika mipango zao.
Machifu hao walipata faida kidogo kutokana na kazi zao.
Baada ya kipindi kirefu cha ukoloni mamboleo, hatimaye wakoloni
waliondoka barani afrika. Walipoondoka, waliacha wafrika wakizama katika
lindi la ufukara. Machifu ndio walikuwa tajiri Kwa sababu walipewa
mashamba na wakoloni na kujistawisha. Swala hili ndilo sababu kuu la
bara la Afrika kuzama katika umasikini.
| Kwa nini machifu walikuwa matajiri | {
"text": [
"Walipewa mashamba na wakoloni"
]
} |
4817_swa | WINGU LA SIMANZI
Ilikuwa siku ya ijumaa, wote tulikuwa kwa gwaride tulisubiri kupewa
mawaidha kuhusu jinsi tungeweza kufanya katika safari yetu ya kuenda
Mombasa. Ilikuwa ni siku yetu ya kuenda Mombasa kuona mambo mbalimbali
yaliyokuwa yanahusiana na masomo. Wote tulikuwa tumevaa vilivyo. Kila
mtu alikuwa na furaha ghaya. Hakuna aliyekuwa hajasubiri siku hii kwa
ghamu. Hii Leo hata kuamka haikuwa taabu. Tulirauka haraka kwa kuwa
tuliamini kuwa endapo hungechelewa basi ungebaki shuleni na hakuna mtu
angekubali kubaki. Mwalimu wetu mwalimu Bella alikuwa tayri amejinoa na
akawa anavutia sana hakuna mtu aliyewahi kumwona akiwa safi hivyo na WA
kuvutia kiasi hicho. Alisimama na kutuhutubia na kutambua kuwa
tungeondika kwa mabasi mawili.
Bella alikuwa mamaye June. June alikuwa kiranja wa darasa letu na
tulimpenda sana. Kila wakati alituongesha jinsi ya kuwafanya walimu wetu
waridhike nasi na watuoende zaidi. Alikuwa na nidhamu ya juu sana.
Alipokuwa kidato cha kwanza kabla awe kiranja aliwahi kujishindia tuzo
la kuwa mwanafunzi Bora kwa nidhamu na usafi pia. Hiyo ndiyo siku
tulijua kuwa alikuwa mtoto wa Bi. Bella. Alikuwa mtoto wa kupigiwa Mfano
shule nzima. Nakumbuka ilikuwa siku ya kupewa zawadi na basi wageni
mbalimbali wakaja shuleni. Siku hiyo basi June akawa anakariri shairi.
Kila mtu alibaki kinywa wazi. Mtoto wa wenyewe alikuwa na sauti ya
malenga . Alipkkea zawadi mbalimbali kutoka kwa wageni mbalimbali.
Baada ya muda mfupi. Shuleni tuliwahi kuletewa mwalimu mpya ambaye
alikuwa akuwe ndiye mwalimu wetu mkuu. Alijitambulisha kwa jina basi
akawa ndiye mwalimu wetu mkuu. Tulimpenda kwa kuwa alikuwa na moyo
mkunjufu ajabu. Alikuwa mzuri na mwenye kuwasikiliza wanafunzi kila
walipokuwa na tatizo. Alitekeleza baadhi ya mambo ambayo mwalimu
aliteondoka hakuweza kutekeleza . Jambo la kwanza ni kuhakikisha
tunaenda mahali mbalimbali kwa ajili ya matembezi na ndio maana hii Leo
tupo tayari kwa safari. Alipenda sana masomo na yeyote ambaye angeweza
kupita mtihani alimpatia zawadi tele. Hakuwahi penda wanafunzi wavivu.
Kila siku aliposimama kuhutubua gwaride alitukumbusha kuwa umaskini
huletwa na umaskini na basi sio vyema kuwa maskini. Alisema kuwa baadhi
ya waliokuwa wakituhangaisha kwenye bweni na wizi walikuwa watu wavivu.
Haikuchukua Muda kabla yeye aanzishe kampeni za kumaliza wizi shuleni.
Yeyote ambaye angepatikana na kitu Cha wizi basi alitumwa nyumbani na
akalipa maradufu.
Dereva wetu tayari amewasili. Pia ana furaha tele kwa kuwa ataweza
kufurahia vile vitu ambavyo tunaenda kuona. Leo amevaa vazi la kuvutia
mno. Anatusalimu na kuelekea ofisi ya mwalimu mkuu. Nadhani ameenda
kupewa baadhi ya Sheria zitakazoongoza safari yetu siku hiyo. Anaondoka
na kuingia garini na kuliwasha. Kila mtu na roho mkononi tayari kuondoka
sasa. Bi. Bella anakuja na karatasi iliyokuwa na majina zetu na kutuita
huku tunaingia kwenye basi . Kila mtu anaketi na basic tunasubiri
maelekezao zaidi kutoka kwa walimu kabla ya kung'oa nanga. Tayari dereva
ameanza kucheza nyimbo kwenye gari. Nyimbo zinacheza ni za kikiristu kwa
kuwa shule yetu ni ya kikiristu. Moyoni Nia furaha kwa kuwa safari yetu
itakuwa ya kuenda Mombasa. Sijawahi kuenda Mombasa hata siku moja ila
marafiki zangu wanaoishi huko hinipa hadithi kuhusu na naamini ni mahali
pema sana. Tuliondoka mpaka barabara ya majimu. Hapa gari lilokuwa mbele
yetu lilianza kuyumbayumba na dakika haikuisha kabla ya gari Hilo
kuanguka chini kwa kishindo kikubwa. Nduru ziliskika hewani. Dereva wetu
aliliegesha gari letu kando na wanafunzi wakaanza kutoka kila mmoja na
butwaa. Watu walikimbia na kuanza kumsaidia. Wanafunzi wenzetu waliaga
dunia. Bi. Bella na mwalimu mkuu waliaga dunia. June alibaki maskini
hohehahe asuweze kujishikulia. Majeruhi walikimbizwa hospitali. Kila
mmoja alifondokwa na machozi. Hakuna aliyetaka kuendelea na safari tena.
Tulirudi shuleni tukiwa wachovu kama wagonjwa. Tulipofika shuleni
tulitangaziwa kuwa tumewapoteza walimu wawili ambao walikuwa bwana na
bibi.
Mimi binafsi sikujua kuwa Bi. Bella alikuwa bibi ya mwalimu mkuu.
Sikujua kuwa wawili Hawa walikuwa wazazi wake June. Hakuna mtu
aliyeendea chakula siku hiyo. Kila mtu alibaki alimuomba Mungu na
kufondosha machozi.
| Nini ina umuhimu mkubwa kwa binadamu | {
"text": [
"miti"
]
} |
4817_swa | WINGU LA SIMANZI
Ilikuwa siku ya ijumaa, wote tulikuwa kwa gwaride tulisubiri kupewa
mawaidha kuhusu jinsi tungeweza kufanya katika safari yetu ya kuenda
Mombasa. Ilikuwa ni siku yetu ya kuenda Mombasa kuona mambo mbalimbali
yaliyokuwa yanahusiana na masomo. Wote tulikuwa tumevaa vilivyo. Kila
mtu alikuwa na furaha ghaya. Hakuna aliyekuwa hajasubiri siku hii kwa
ghamu. Hii Leo hata kuamka haikuwa taabu. Tulirauka haraka kwa kuwa
tuliamini kuwa endapo hungechelewa basi ungebaki shuleni na hakuna mtu
angekubali kubaki. Mwalimu wetu mwalimu Bella alikuwa tayri amejinoa na
akawa anavutia sana hakuna mtu aliyewahi kumwona akiwa safi hivyo na WA
kuvutia kiasi hicho. Alisimama na kutuhutubia na kutambua kuwa
tungeondika kwa mabasi mawili.
Bella alikuwa mamaye June. June alikuwa kiranja wa darasa letu na
tulimpenda sana. Kila wakati alituongesha jinsi ya kuwafanya walimu wetu
waridhike nasi na watuoende zaidi. Alikuwa na nidhamu ya juu sana.
Alipokuwa kidato cha kwanza kabla awe kiranja aliwahi kujishindia tuzo
la kuwa mwanafunzi Bora kwa nidhamu na usafi pia. Hiyo ndiyo siku
tulijua kuwa alikuwa mtoto wa Bi. Bella. Alikuwa mtoto wa kupigiwa Mfano
shule nzima. Nakumbuka ilikuwa siku ya kupewa zawadi na basi wageni
mbalimbali wakaja shuleni. Siku hiyo basi June akawa anakariri shairi.
Kila mtu alibaki kinywa wazi. Mtoto wa wenyewe alikuwa na sauti ya
malenga . Alipkkea zawadi mbalimbali kutoka kwa wageni mbalimbali.
Baada ya muda mfupi. Shuleni tuliwahi kuletewa mwalimu mpya ambaye
alikuwa akuwe ndiye mwalimu wetu mkuu. Alijitambulisha kwa jina basi
akawa ndiye mwalimu wetu mkuu. Tulimpenda kwa kuwa alikuwa na moyo
mkunjufu ajabu. Alikuwa mzuri na mwenye kuwasikiliza wanafunzi kila
walipokuwa na tatizo. Alitekeleza baadhi ya mambo ambayo mwalimu
aliteondoka hakuweza kutekeleza . Jambo la kwanza ni kuhakikisha
tunaenda mahali mbalimbali kwa ajili ya matembezi na ndio maana hii Leo
tupo tayari kwa safari. Alipenda sana masomo na yeyote ambaye angeweza
kupita mtihani alimpatia zawadi tele. Hakuwahi penda wanafunzi wavivu.
Kila siku aliposimama kuhutubua gwaride alitukumbusha kuwa umaskini
huletwa na umaskini na basi sio vyema kuwa maskini. Alisema kuwa baadhi
ya waliokuwa wakituhangaisha kwenye bweni na wizi walikuwa watu wavivu.
Haikuchukua Muda kabla yeye aanzishe kampeni za kumaliza wizi shuleni.
Yeyote ambaye angepatikana na kitu Cha wizi basi alitumwa nyumbani na
akalipa maradufu.
Dereva wetu tayari amewasili. Pia ana furaha tele kwa kuwa ataweza
kufurahia vile vitu ambavyo tunaenda kuona. Leo amevaa vazi la kuvutia
mno. Anatusalimu na kuelekea ofisi ya mwalimu mkuu. Nadhani ameenda
kupewa baadhi ya Sheria zitakazoongoza safari yetu siku hiyo. Anaondoka
na kuingia garini na kuliwasha. Kila mtu na roho mkononi tayari kuondoka
sasa. Bi. Bella anakuja na karatasi iliyokuwa na majina zetu na kutuita
huku tunaingia kwenye basi . Kila mtu anaketi na basic tunasubiri
maelekezao zaidi kutoka kwa walimu kabla ya kung'oa nanga. Tayari dereva
ameanza kucheza nyimbo kwenye gari. Nyimbo zinacheza ni za kikiristu kwa
kuwa shule yetu ni ya kikiristu. Moyoni Nia furaha kwa kuwa safari yetu
itakuwa ya kuenda Mombasa. Sijawahi kuenda Mombasa hata siku moja ila
marafiki zangu wanaoishi huko hinipa hadithi kuhusu na naamini ni mahali
pema sana. Tuliondoka mpaka barabara ya majimu. Hapa gari lilokuwa mbele
yetu lilianza kuyumbayumba na dakika haikuisha kabla ya gari Hilo
kuanguka chini kwa kishindo kikubwa. Nduru ziliskika hewani. Dereva wetu
aliliegesha gari letu kando na wanafunzi wakaanza kutoka kila mmoja na
butwaa. Watu walikimbia na kuanza kumsaidia. Wanafunzi wenzetu waliaga
dunia. Bi. Bella na mwalimu mkuu waliaga dunia. June alibaki maskini
hohehahe asuweze kujishikulia. Majeruhi walikimbizwa hospitali. Kila
mmoja alifondokwa na machozi. Hakuna aliyetaka kuendelea na safari tena.
Tulirudi shuleni tukiwa wachovu kama wagonjwa. Tulipofika shuleni
tulitangaziwa kuwa tumewapoteza walimu wawili ambao walikuwa bwana na
bibi.
Mimi binafsi sikujua kuwa Bi. Bella alikuwa bibi ya mwalimu mkuu.
Sikujua kuwa wawili Hawa walikuwa wazazi wake June. Hakuna mtu
aliyeendea chakula siku hiyo. Kila mtu alibaki alimuomba Mungu na
kufondosha machozi.
| Hewa gani husaidia mwili wa binadamu | {
"text": [
"oksijeni"
]
} |
4817_swa | WINGU LA SIMANZI
Ilikuwa siku ya ijumaa, wote tulikuwa kwa gwaride tulisubiri kupewa
mawaidha kuhusu jinsi tungeweza kufanya katika safari yetu ya kuenda
Mombasa. Ilikuwa ni siku yetu ya kuenda Mombasa kuona mambo mbalimbali
yaliyokuwa yanahusiana na masomo. Wote tulikuwa tumevaa vilivyo. Kila
mtu alikuwa na furaha ghaya. Hakuna aliyekuwa hajasubiri siku hii kwa
ghamu. Hii Leo hata kuamka haikuwa taabu. Tulirauka haraka kwa kuwa
tuliamini kuwa endapo hungechelewa basi ungebaki shuleni na hakuna mtu
angekubali kubaki. Mwalimu wetu mwalimu Bella alikuwa tayri amejinoa na
akawa anavutia sana hakuna mtu aliyewahi kumwona akiwa safi hivyo na WA
kuvutia kiasi hicho. Alisimama na kutuhutubia na kutambua kuwa
tungeondika kwa mabasi mawili.
Bella alikuwa mamaye June. June alikuwa kiranja wa darasa letu na
tulimpenda sana. Kila wakati alituongesha jinsi ya kuwafanya walimu wetu
waridhike nasi na watuoende zaidi. Alikuwa na nidhamu ya juu sana.
Alipokuwa kidato cha kwanza kabla awe kiranja aliwahi kujishindia tuzo
la kuwa mwanafunzi Bora kwa nidhamu na usafi pia. Hiyo ndiyo siku
tulijua kuwa alikuwa mtoto wa Bi. Bella. Alikuwa mtoto wa kupigiwa Mfano
shule nzima. Nakumbuka ilikuwa siku ya kupewa zawadi na basi wageni
mbalimbali wakaja shuleni. Siku hiyo basi June akawa anakariri shairi.
Kila mtu alibaki kinywa wazi. Mtoto wa wenyewe alikuwa na sauti ya
malenga . Alipkkea zawadi mbalimbali kutoka kwa wageni mbalimbali.
Baada ya muda mfupi. Shuleni tuliwahi kuletewa mwalimu mpya ambaye
alikuwa akuwe ndiye mwalimu wetu mkuu. Alijitambulisha kwa jina basi
akawa ndiye mwalimu wetu mkuu. Tulimpenda kwa kuwa alikuwa na moyo
mkunjufu ajabu. Alikuwa mzuri na mwenye kuwasikiliza wanafunzi kila
walipokuwa na tatizo. Alitekeleza baadhi ya mambo ambayo mwalimu
aliteondoka hakuweza kutekeleza . Jambo la kwanza ni kuhakikisha
tunaenda mahali mbalimbali kwa ajili ya matembezi na ndio maana hii Leo
tupo tayari kwa safari. Alipenda sana masomo na yeyote ambaye angeweza
kupita mtihani alimpatia zawadi tele. Hakuwahi penda wanafunzi wavivu.
Kila siku aliposimama kuhutubua gwaride alitukumbusha kuwa umaskini
huletwa na umaskini na basi sio vyema kuwa maskini. Alisema kuwa baadhi
ya waliokuwa wakituhangaisha kwenye bweni na wizi walikuwa watu wavivu.
Haikuchukua Muda kabla yeye aanzishe kampeni za kumaliza wizi shuleni.
Yeyote ambaye angepatikana na kitu Cha wizi basi alitumwa nyumbani na
akalipa maradufu.
Dereva wetu tayari amewasili. Pia ana furaha tele kwa kuwa ataweza
kufurahia vile vitu ambavyo tunaenda kuona. Leo amevaa vazi la kuvutia
mno. Anatusalimu na kuelekea ofisi ya mwalimu mkuu. Nadhani ameenda
kupewa baadhi ya Sheria zitakazoongoza safari yetu siku hiyo. Anaondoka
na kuingia garini na kuliwasha. Kila mtu na roho mkononi tayari kuondoka
sasa. Bi. Bella anakuja na karatasi iliyokuwa na majina zetu na kutuita
huku tunaingia kwenye basi . Kila mtu anaketi na basic tunasubiri
maelekezao zaidi kutoka kwa walimu kabla ya kung'oa nanga. Tayari dereva
ameanza kucheza nyimbo kwenye gari. Nyimbo zinacheza ni za kikiristu kwa
kuwa shule yetu ni ya kikiristu. Moyoni Nia furaha kwa kuwa safari yetu
itakuwa ya kuenda Mombasa. Sijawahi kuenda Mombasa hata siku moja ila
marafiki zangu wanaoishi huko hinipa hadithi kuhusu na naamini ni mahali
pema sana. Tuliondoka mpaka barabara ya majimu. Hapa gari lilokuwa mbele
yetu lilianza kuyumbayumba na dakika haikuisha kabla ya gari Hilo
kuanguka chini kwa kishindo kikubwa. Nduru ziliskika hewani. Dereva wetu
aliliegesha gari letu kando na wanafunzi wakaanza kutoka kila mmoja na
butwaa. Watu walikimbia na kuanza kumsaidia. Wanafunzi wenzetu waliaga
dunia. Bi. Bella na mwalimu mkuu waliaga dunia. June alibaki maskini
hohehahe asuweze kujishikulia. Majeruhi walikimbizwa hospitali. Kila
mmoja alifondokwa na machozi. Hakuna aliyetaka kuendelea na safari tena.
Tulirudi shuleni tukiwa wachovu kama wagonjwa. Tulipofika shuleni
tulitangaziwa kuwa tumewapoteza walimu wawili ambao walikuwa bwana na
bibi.
Mimi binafsi sikujua kuwa Bi. Bella alikuwa bibi ya mwalimu mkuu.
Sikujua kuwa wawili Hawa walikuwa wazazi wake June. Hakuna mtu
aliyeendea chakula siku hiyo. Kila mtu alibaki alimuomba Mungu na
kufondosha machozi.
| Mbona wakulima hutegemea mvua | {
"text": [
"ili vyakula vinawiri"
]
} |
4817_swa | WINGU LA SIMANZI
Ilikuwa siku ya ijumaa, wote tulikuwa kwa gwaride tulisubiri kupewa
mawaidha kuhusu jinsi tungeweza kufanya katika safari yetu ya kuenda
Mombasa. Ilikuwa ni siku yetu ya kuenda Mombasa kuona mambo mbalimbali
yaliyokuwa yanahusiana na masomo. Wote tulikuwa tumevaa vilivyo. Kila
mtu alikuwa na furaha ghaya. Hakuna aliyekuwa hajasubiri siku hii kwa
ghamu. Hii Leo hata kuamka haikuwa taabu. Tulirauka haraka kwa kuwa
tuliamini kuwa endapo hungechelewa basi ungebaki shuleni na hakuna mtu
angekubali kubaki. Mwalimu wetu mwalimu Bella alikuwa tayri amejinoa na
akawa anavutia sana hakuna mtu aliyewahi kumwona akiwa safi hivyo na WA
kuvutia kiasi hicho. Alisimama na kutuhutubia na kutambua kuwa
tungeondika kwa mabasi mawili.
Bella alikuwa mamaye June. June alikuwa kiranja wa darasa letu na
tulimpenda sana. Kila wakati alituongesha jinsi ya kuwafanya walimu wetu
waridhike nasi na watuoende zaidi. Alikuwa na nidhamu ya juu sana.
Alipokuwa kidato cha kwanza kabla awe kiranja aliwahi kujishindia tuzo
la kuwa mwanafunzi Bora kwa nidhamu na usafi pia. Hiyo ndiyo siku
tulijua kuwa alikuwa mtoto wa Bi. Bella. Alikuwa mtoto wa kupigiwa Mfano
shule nzima. Nakumbuka ilikuwa siku ya kupewa zawadi na basi wageni
mbalimbali wakaja shuleni. Siku hiyo basi June akawa anakariri shairi.
Kila mtu alibaki kinywa wazi. Mtoto wa wenyewe alikuwa na sauti ya
malenga . Alipkkea zawadi mbalimbali kutoka kwa wageni mbalimbali.
Baada ya muda mfupi. Shuleni tuliwahi kuletewa mwalimu mpya ambaye
alikuwa akuwe ndiye mwalimu wetu mkuu. Alijitambulisha kwa jina basi
akawa ndiye mwalimu wetu mkuu. Tulimpenda kwa kuwa alikuwa na moyo
mkunjufu ajabu. Alikuwa mzuri na mwenye kuwasikiliza wanafunzi kila
walipokuwa na tatizo. Alitekeleza baadhi ya mambo ambayo mwalimu
aliteondoka hakuweza kutekeleza . Jambo la kwanza ni kuhakikisha
tunaenda mahali mbalimbali kwa ajili ya matembezi na ndio maana hii Leo
tupo tayari kwa safari. Alipenda sana masomo na yeyote ambaye angeweza
kupita mtihani alimpatia zawadi tele. Hakuwahi penda wanafunzi wavivu.
Kila siku aliposimama kuhutubua gwaride alitukumbusha kuwa umaskini
huletwa na umaskini na basi sio vyema kuwa maskini. Alisema kuwa baadhi
ya waliokuwa wakituhangaisha kwenye bweni na wizi walikuwa watu wavivu.
Haikuchukua Muda kabla yeye aanzishe kampeni za kumaliza wizi shuleni.
Yeyote ambaye angepatikana na kitu Cha wizi basi alitumwa nyumbani na
akalipa maradufu.
Dereva wetu tayari amewasili. Pia ana furaha tele kwa kuwa ataweza
kufurahia vile vitu ambavyo tunaenda kuona. Leo amevaa vazi la kuvutia
mno. Anatusalimu na kuelekea ofisi ya mwalimu mkuu. Nadhani ameenda
kupewa baadhi ya Sheria zitakazoongoza safari yetu siku hiyo. Anaondoka
na kuingia garini na kuliwasha. Kila mtu na roho mkononi tayari kuondoka
sasa. Bi. Bella anakuja na karatasi iliyokuwa na majina zetu na kutuita
huku tunaingia kwenye basi . Kila mtu anaketi na basic tunasubiri
maelekezao zaidi kutoka kwa walimu kabla ya kung'oa nanga. Tayari dereva
ameanza kucheza nyimbo kwenye gari. Nyimbo zinacheza ni za kikiristu kwa
kuwa shule yetu ni ya kikiristu. Moyoni Nia furaha kwa kuwa safari yetu
itakuwa ya kuenda Mombasa. Sijawahi kuenda Mombasa hata siku moja ila
marafiki zangu wanaoishi huko hinipa hadithi kuhusu na naamini ni mahali
pema sana. Tuliondoka mpaka barabara ya majimu. Hapa gari lilokuwa mbele
yetu lilianza kuyumbayumba na dakika haikuisha kabla ya gari Hilo
kuanguka chini kwa kishindo kikubwa. Nduru ziliskika hewani. Dereva wetu
aliliegesha gari letu kando na wanafunzi wakaanza kutoka kila mmoja na
butwaa. Watu walikimbia na kuanza kumsaidia. Wanafunzi wenzetu waliaga
dunia. Bi. Bella na mwalimu mkuu waliaga dunia. June alibaki maskini
hohehahe asuweze kujishikulia. Majeruhi walikimbizwa hospitali. Kila
mmoja alifondokwa na machozi. Hakuna aliyetaka kuendelea na safari tena.
Tulirudi shuleni tukiwa wachovu kama wagonjwa. Tulipofika shuleni
tulitangaziwa kuwa tumewapoteza walimu wawili ambao walikuwa bwana na
bibi.
Mimi binafsi sikujua kuwa Bi. Bella alikuwa bibi ya mwalimu mkuu.
Sikujua kuwa wawili Hawa walikuwa wazazi wake June. Hakuna mtu
aliyeendea chakula siku hiyo. Kila mtu alibaki alimuomba Mungu na
kufondosha machozi.
| Nani huhitajika kunywa maji ya majani | {
"text": [
"mgonjwa"
]
} |
4817_swa | WINGU LA SIMANZI
Ilikuwa siku ya ijumaa, wote tulikuwa kwa gwaride tulisubiri kupewa
mawaidha kuhusu jinsi tungeweza kufanya katika safari yetu ya kuenda
Mombasa. Ilikuwa ni siku yetu ya kuenda Mombasa kuona mambo mbalimbali
yaliyokuwa yanahusiana na masomo. Wote tulikuwa tumevaa vilivyo. Kila
mtu alikuwa na furaha ghaya. Hakuna aliyekuwa hajasubiri siku hii kwa
ghamu. Hii Leo hata kuamka haikuwa taabu. Tulirauka haraka kwa kuwa
tuliamini kuwa endapo hungechelewa basi ungebaki shuleni na hakuna mtu
angekubali kubaki. Mwalimu wetu mwalimu Bella alikuwa tayri amejinoa na
akawa anavutia sana hakuna mtu aliyewahi kumwona akiwa safi hivyo na WA
kuvutia kiasi hicho. Alisimama na kutuhutubia na kutambua kuwa
tungeondika kwa mabasi mawili.
Bella alikuwa mamaye June. June alikuwa kiranja wa darasa letu na
tulimpenda sana. Kila wakati alituongesha jinsi ya kuwafanya walimu wetu
waridhike nasi na watuoende zaidi. Alikuwa na nidhamu ya juu sana.
Alipokuwa kidato cha kwanza kabla awe kiranja aliwahi kujishindia tuzo
la kuwa mwanafunzi Bora kwa nidhamu na usafi pia. Hiyo ndiyo siku
tulijua kuwa alikuwa mtoto wa Bi. Bella. Alikuwa mtoto wa kupigiwa Mfano
shule nzima. Nakumbuka ilikuwa siku ya kupewa zawadi na basi wageni
mbalimbali wakaja shuleni. Siku hiyo basi June akawa anakariri shairi.
Kila mtu alibaki kinywa wazi. Mtoto wa wenyewe alikuwa na sauti ya
malenga . Alipkkea zawadi mbalimbali kutoka kwa wageni mbalimbali.
Baada ya muda mfupi. Shuleni tuliwahi kuletewa mwalimu mpya ambaye
alikuwa akuwe ndiye mwalimu wetu mkuu. Alijitambulisha kwa jina basi
akawa ndiye mwalimu wetu mkuu. Tulimpenda kwa kuwa alikuwa na moyo
mkunjufu ajabu. Alikuwa mzuri na mwenye kuwasikiliza wanafunzi kila
walipokuwa na tatizo. Alitekeleza baadhi ya mambo ambayo mwalimu
aliteondoka hakuweza kutekeleza . Jambo la kwanza ni kuhakikisha
tunaenda mahali mbalimbali kwa ajili ya matembezi na ndio maana hii Leo
tupo tayari kwa safari. Alipenda sana masomo na yeyote ambaye angeweza
kupita mtihani alimpatia zawadi tele. Hakuwahi penda wanafunzi wavivu.
Kila siku aliposimama kuhutubua gwaride alitukumbusha kuwa umaskini
huletwa na umaskini na basi sio vyema kuwa maskini. Alisema kuwa baadhi
ya waliokuwa wakituhangaisha kwenye bweni na wizi walikuwa watu wavivu.
Haikuchukua Muda kabla yeye aanzishe kampeni za kumaliza wizi shuleni.
Yeyote ambaye angepatikana na kitu Cha wizi basi alitumwa nyumbani na
akalipa maradufu.
Dereva wetu tayari amewasili. Pia ana furaha tele kwa kuwa ataweza
kufurahia vile vitu ambavyo tunaenda kuona. Leo amevaa vazi la kuvutia
mno. Anatusalimu na kuelekea ofisi ya mwalimu mkuu. Nadhani ameenda
kupewa baadhi ya Sheria zitakazoongoza safari yetu siku hiyo. Anaondoka
na kuingia garini na kuliwasha. Kila mtu na roho mkononi tayari kuondoka
sasa. Bi. Bella anakuja na karatasi iliyokuwa na majina zetu na kutuita
huku tunaingia kwenye basi . Kila mtu anaketi na basic tunasubiri
maelekezao zaidi kutoka kwa walimu kabla ya kung'oa nanga. Tayari dereva
ameanza kucheza nyimbo kwenye gari. Nyimbo zinacheza ni za kikiristu kwa
kuwa shule yetu ni ya kikiristu. Moyoni Nia furaha kwa kuwa safari yetu
itakuwa ya kuenda Mombasa. Sijawahi kuenda Mombasa hata siku moja ila
marafiki zangu wanaoishi huko hinipa hadithi kuhusu na naamini ni mahali
pema sana. Tuliondoka mpaka barabara ya majimu. Hapa gari lilokuwa mbele
yetu lilianza kuyumbayumba na dakika haikuisha kabla ya gari Hilo
kuanguka chini kwa kishindo kikubwa. Nduru ziliskika hewani. Dereva wetu
aliliegesha gari letu kando na wanafunzi wakaanza kutoka kila mmoja na
butwaa. Watu walikimbia na kuanza kumsaidia. Wanafunzi wenzetu waliaga
dunia. Bi. Bella na mwalimu mkuu waliaga dunia. June alibaki maskini
hohehahe asuweze kujishikulia. Majeruhi walikimbizwa hospitali. Kila
mmoja alifondokwa na machozi. Hakuna aliyetaka kuendelea na safari tena.
Tulirudi shuleni tukiwa wachovu kama wagonjwa. Tulipofika shuleni
tulitangaziwa kuwa tumewapoteza walimu wawili ambao walikuwa bwana na
bibi.
Mimi binafsi sikujua kuwa Bi. Bella alikuwa bibi ya mwalimu mkuu.
Sikujua kuwa wawili Hawa walikuwa wazazi wake June. Hakuna mtu
aliyeendea chakula siku hiyo. Kila mtu alibaki alimuomba Mungu na
kufondosha machozi.
| Maua huleta sura nzuri lini | {
"text": [
"kila wakati"
]
} |
4818_swa | Usiku wa kuamkia Jumamosi niliamsha na kelele kutoka Kwa jirani. Jirani
Amina alikuwa anaishi peke yake baada ya mumewe kufariki mwaka jana.
Alikuwa na mtoto mmoja. Niliamka Kwa blanketi na kuelekea kwake. Kabla
ya kufungua mlango wangu, nilipatwa na mshangao. Mlango wangu ulikuwa
umefunguliwa. Nilipigwa na butwaa, miguu zangu zikaanza kutetemeka.
Nilijipata nimeduwaa na kuzubaa. Damu ikaganda mwilini. Sauti ikatokea
nyuma yangu"usijaribu kupiga kelele". Nilitamani Dunia inimeze. Kutazama
nyuma, niliwaona wanaume wawili wakiwa nyuma yangu. Wote walikuwa na
bunduki na panga. Jasho lilinitiririka kama maji.
Baada ya muda mfupi,wakaniagiza kuwapa hela zote nilizokuwa nazo.
Waliniambia kwamba wanajua Nina hela nyingi Kwa maana biashara yangu
imepanuka sana. Wezi hao walikuwa wakinitambua vyema. Mimi nilikuwa na
biashara ya kuuza nguo mjini na ilikuwa inaenda vyema hadi nikawapa watu
kazi ya kuniuzia Kwa maduka yangu. Kwa bahati mzuri, siku hiyo sikurudi
na pesa nyumbani Kwa maana nilienda kuweka kwenye benki. Niliwaambia
kwamba sina hela. Nilipigwa kofi nikajikuta niko sakafuni. Nilizirai kwa
muda mchache .
Nilipofungua macho yangu, sikuamini nilichokiona. Nyumba yangu ilikuwa
imefagiliwa. Runinga yangu na jokofu zote zilikuwa zimeenda. Sikupata
kiti Wala meza. Niliamka Kwa maumivu makali kichwani. Kwa kuwa ilikuwa
usiku, sikuweza kuona vizuri. Nilikuwa nimechanganyikiwa sana.
Nilichukua muda kidogo kutulia ilhali sikuweza kujitambua.
Katika Hali hiyo ya mchanganyiko, nikasikia nduru huko nje. Nduru
ilikuwa inatoka Kwa yule jirani yangu.sikujua cha kufanya. Niliamua
kudamka na kutembea polepole hadi kwake. Nilichungulia Kwa dirisha na
singeweza kutazama chochote. Baada ya muda mfupi, polisi walifika. Wezi
nao wakatoka mbio ilihali polisi waliwakamata. Kila mmoja alielezea
jinsi alivyoibiwa. Polisi walituamuru turudi nyumbani kisha Kila mmoja
afike kituoni siku iliyofuata. Nilienda kwa jirani yangu na akaniambia
kuwa aliporwa shilingi laki Tano.
Asubuhi ilipofika, sote tuliandamana katika kitukio cha polisi. Cha
kushangaza ni kwamba, vifaa vyetu vyote vilivyoibiwa vilikuwa pale.
Polisi walitushukuru kwa ujasiri wetu na kuturudishia vitu vyetu. Jirani
yangu alirudishiwa fedha zake. Wezi hao wakapewa kifungo cha maisha kwa
kutuhangaisha na kutuibia wa muda ya miaka tatu sasa.
| Kelele zilitoka wapi usiku wa kuamkia jumamasi | {
"text": [
"Kwa jirani Amina"
]
} |
4818_swa | Usiku wa kuamkia Jumamosi niliamsha na kelele kutoka Kwa jirani. Jirani
Amina alikuwa anaishi peke yake baada ya mumewe kufariki mwaka jana.
Alikuwa na mtoto mmoja. Niliamka Kwa blanketi na kuelekea kwake. Kabla
ya kufungua mlango wangu, nilipatwa na mshangao. Mlango wangu ulikuwa
umefunguliwa. Nilipigwa na butwaa, miguu zangu zikaanza kutetemeka.
Nilijipata nimeduwaa na kuzubaa. Damu ikaganda mwilini. Sauti ikatokea
nyuma yangu"usijaribu kupiga kelele". Nilitamani Dunia inimeze. Kutazama
nyuma, niliwaona wanaume wawili wakiwa nyuma yangu. Wote walikuwa na
bunduki na panga. Jasho lilinitiririka kama maji.
Baada ya muda mfupi,wakaniagiza kuwapa hela zote nilizokuwa nazo.
Waliniambia kwamba wanajua Nina hela nyingi Kwa maana biashara yangu
imepanuka sana. Wezi hao walikuwa wakinitambua vyema. Mimi nilikuwa na
biashara ya kuuza nguo mjini na ilikuwa inaenda vyema hadi nikawapa watu
kazi ya kuniuzia Kwa maduka yangu. Kwa bahati mzuri, siku hiyo sikurudi
na pesa nyumbani Kwa maana nilienda kuweka kwenye benki. Niliwaambia
kwamba sina hela. Nilipigwa kofi nikajikuta niko sakafuni. Nilizirai kwa
muda mchache .
Nilipofungua macho yangu, sikuamini nilichokiona. Nyumba yangu ilikuwa
imefagiliwa. Runinga yangu na jokofu zote zilikuwa zimeenda. Sikupata
kiti Wala meza. Niliamka Kwa maumivu makali kichwani. Kwa kuwa ilikuwa
usiku, sikuweza kuona vizuri. Nilikuwa nimechanganyikiwa sana.
Nilichukua muda kidogo kutulia ilhali sikuweza kujitambua.
Katika Hali hiyo ya mchanganyiko, nikasikia nduru huko nje. Nduru
ilikuwa inatoka Kwa yule jirani yangu.sikujua cha kufanya. Niliamua
kudamka na kutembea polepole hadi kwake. Nilichungulia Kwa dirisha na
singeweza kutazama chochote. Baada ya muda mfupi, polisi walifika. Wezi
nao wakatoka mbio ilihali polisi waliwakamata. Kila mmoja alielezea
jinsi alivyoibiwa. Polisi walituamuru turudi nyumbani kisha Kila mmoja
afike kituoni siku iliyofuata. Nilienda kwa jirani yangu na akaniambia
kuwa aliporwa shilingi laki Tano.
Asubuhi ilipofika, sote tuliandamana katika kitukio cha polisi. Cha
kushangaza ni kwamba, vifaa vyetu vyote vilivyoibiwa vilikuwa pale.
Polisi walitushukuru kwa ujasiri wetu na kuturudishia vitu vyetu. Jirani
yangu alirudishiwa fedha zake. Wezi hao wakapewa kifungo cha maisha kwa
kutuhangaisha na kutuibia wa muda ya miaka tatu sasa.
| Wezi waliagiza mfanyi biashara afanya nini | {
"text": [
"kuwapa hela zote alizokuwa nazo"
]
} |
4818_swa | Usiku wa kuamkia Jumamosi niliamsha na kelele kutoka Kwa jirani. Jirani
Amina alikuwa anaishi peke yake baada ya mumewe kufariki mwaka jana.
Alikuwa na mtoto mmoja. Niliamka Kwa blanketi na kuelekea kwake. Kabla
ya kufungua mlango wangu, nilipatwa na mshangao. Mlango wangu ulikuwa
umefunguliwa. Nilipigwa na butwaa, miguu zangu zikaanza kutetemeka.
Nilijipata nimeduwaa na kuzubaa. Damu ikaganda mwilini. Sauti ikatokea
nyuma yangu"usijaribu kupiga kelele". Nilitamani Dunia inimeze. Kutazama
nyuma, niliwaona wanaume wawili wakiwa nyuma yangu. Wote walikuwa na
bunduki na panga. Jasho lilinitiririka kama maji.
Baada ya muda mfupi,wakaniagiza kuwapa hela zote nilizokuwa nazo.
Waliniambia kwamba wanajua Nina hela nyingi Kwa maana biashara yangu
imepanuka sana. Wezi hao walikuwa wakinitambua vyema. Mimi nilikuwa na
biashara ya kuuza nguo mjini na ilikuwa inaenda vyema hadi nikawapa watu
kazi ya kuniuzia Kwa maduka yangu. Kwa bahati mzuri, siku hiyo sikurudi
na pesa nyumbani Kwa maana nilienda kuweka kwenye benki. Niliwaambia
kwamba sina hela. Nilipigwa kofi nikajikuta niko sakafuni. Nilizirai kwa
muda mchache .
Nilipofungua macho yangu, sikuamini nilichokiona. Nyumba yangu ilikuwa
imefagiliwa. Runinga yangu na jokofu zote zilikuwa zimeenda. Sikupata
kiti Wala meza. Niliamka Kwa maumivu makali kichwani. Kwa kuwa ilikuwa
usiku, sikuweza kuona vizuri. Nilikuwa nimechanganyikiwa sana.
Nilichukua muda kidogo kutulia ilhali sikuweza kujitambua.
Katika Hali hiyo ya mchanganyiko, nikasikia nduru huko nje. Nduru
ilikuwa inatoka Kwa yule jirani yangu.sikujua cha kufanya. Niliamua
kudamka na kutembea polepole hadi kwake. Nilichungulia Kwa dirisha na
singeweza kutazama chochote. Baada ya muda mfupi, polisi walifika. Wezi
nao wakatoka mbio ilihali polisi waliwakamata. Kila mmoja alielezea
jinsi alivyoibiwa. Polisi walituamuru turudi nyumbani kisha Kila mmoja
afike kituoni siku iliyofuata. Nilienda kwa jirani yangu na akaniambia
kuwa aliporwa shilingi laki Tano.
Asubuhi ilipofika, sote tuliandamana katika kitukio cha polisi. Cha
kushangaza ni kwamba, vifaa vyetu vyote vilivyoibiwa vilikuwa pale.
Polisi walitushukuru kwa ujasiri wetu na kuturudishia vitu vyetu. Jirani
yangu alirudishiwa fedha zake. Wezi hao wakapewa kifungo cha maisha kwa
kutuhangaisha na kutuibia wa muda ya miaka tatu sasa.
| Ni nini kilitokea mfanyi biashara alipowaeleza hakuwa na pesa | {
"text": [
"Alipigwa kofi hadi akazirai"
]
} |
4818_swa | Usiku wa kuamkia Jumamosi niliamsha na kelele kutoka Kwa jirani. Jirani
Amina alikuwa anaishi peke yake baada ya mumewe kufariki mwaka jana.
Alikuwa na mtoto mmoja. Niliamka Kwa blanketi na kuelekea kwake. Kabla
ya kufungua mlango wangu, nilipatwa na mshangao. Mlango wangu ulikuwa
umefunguliwa. Nilipigwa na butwaa, miguu zangu zikaanza kutetemeka.
Nilijipata nimeduwaa na kuzubaa. Damu ikaganda mwilini. Sauti ikatokea
nyuma yangu"usijaribu kupiga kelele". Nilitamani Dunia inimeze. Kutazama
nyuma, niliwaona wanaume wawili wakiwa nyuma yangu. Wote walikuwa na
bunduki na panga. Jasho lilinitiririka kama maji.
Baada ya muda mfupi,wakaniagiza kuwapa hela zote nilizokuwa nazo.
Waliniambia kwamba wanajua Nina hela nyingi Kwa maana biashara yangu
imepanuka sana. Wezi hao walikuwa wakinitambua vyema. Mimi nilikuwa na
biashara ya kuuza nguo mjini na ilikuwa inaenda vyema hadi nikawapa watu
kazi ya kuniuzia Kwa maduka yangu. Kwa bahati mzuri, siku hiyo sikurudi
na pesa nyumbani Kwa maana nilienda kuweka kwenye benki. Niliwaambia
kwamba sina hela. Nilipigwa kofi nikajikuta niko sakafuni. Nilizirai kwa
muda mchache .
Nilipofungua macho yangu, sikuamini nilichokiona. Nyumba yangu ilikuwa
imefagiliwa. Runinga yangu na jokofu zote zilikuwa zimeenda. Sikupata
kiti Wala meza. Niliamka Kwa maumivu makali kichwani. Kwa kuwa ilikuwa
usiku, sikuweza kuona vizuri. Nilikuwa nimechanganyikiwa sana.
Nilichukua muda kidogo kutulia ilhali sikuweza kujitambua.
Katika Hali hiyo ya mchanganyiko, nikasikia nduru huko nje. Nduru
ilikuwa inatoka Kwa yule jirani yangu.sikujua cha kufanya. Niliamua
kudamka na kutembea polepole hadi kwake. Nilichungulia Kwa dirisha na
singeweza kutazama chochote. Baada ya muda mfupi, polisi walifika. Wezi
nao wakatoka mbio ilihali polisi waliwakamata. Kila mmoja alielezea
jinsi alivyoibiwa. Polisi walituamuru turudi nyumbani kisha Kila mmoja
afike kituoni siku iliyofuata. Nilienda kwa jirani yangu na akaniambia
kuwa aliporwa shilingi laki Tano.
Asubuhi ilipofika, sote tuliandamana katika kitukio cha polisi. Cha
kushangaza ni kwamba, vifaa vyetu vyote vilivyoibiwa vilikuwa pale.
Polisi walitushukuru kwa ujasiri wetu na kuturudishia vitu vyetu. Jirani
yangu alirudishiwa fedha zake. Wezi hao wakapewa kifungo cha maisha kwa
kutuhangaisha na kutuibia wa muda ya miaka tatu sasa.
| Wezi waliiba nini kutoka kwa mfanyi biashara | {
"text": [
"Runinga, jokofu, viti na meza"
]
} |
4818_swa | Usiku wa kuamkia Jumamosi niliamsha na kelele kutoka Kwa jirani. Jirani
Amina alikuwa anaishi peke yake baada ya mumewe kufariki mwaka jana.
Alikuwa na mtoto mmoja. Niliamka Kwa blanketi na kuelekea kwake. Kabla
ya kufungua mlango wangu, nilipatwa na mshangao. Mlango wangu ulikuwa
umefunguliwa. Nilipigwa na butwaa, miguu zangu zikaanza kutetemeka.
Nilijipata nimeduwaa na kuzubaa. Damu ikaganda mwilini. Sauti ikatokea
nyuma yangu"usijaribu kupiga kelele". Nilitamani Dunia inimeze. Kutazama
nyuma, niliwaona wanaume wawili wakiwa nyuma yangu. Wote walikuwa na
bunduki na panga. Jasho lilinitiririka kama maji.
Baada ya muda mfupi,wakaniagiza kuwapa hela zote nilizokuwa nazo.
Waliniambia kwamba wanajua Nina hela nyingi Kwa maana biashara yangu
imepanuka sana. Wezi hao walikuwa wakinitambua vyema. Mimi nilikuwa na
biashara ya kuuza nguo mjini na ilikuwa inaenda vyema hadi nikawapa watu
kazi ya kuniuzia Kwa maduka yangu. Kwa bahati mzuri, siku hiyo sikurudi
na pesa nyumbani Kwa maana nilienda kuweka kwenye benki. Niliwaambia
kwamba sina hela. Nilipigwa kofi nikajikuta niko sakafuni. Nilizirai kwa
muda mchache .
Nilipofungua macho yangu, sikuamini nilichokiona. Nyumba yangu ilikuwa
imefagiliwa. Runinga yangu na jokofu zote zilikuwa zimeenda. Sikupata
kiti Wala meza. Niliamka Kwa maumivu makali kichwani. Kwa kuwa ilikuwa
usiku, sikuweza kuona vizuri. Nilikuwa nimechanganyikiwa sana.
Nilichukua muda kidogo kutulia ilhali sikuweza kujitambua.
Katika Hali hiyo ya mchanganyiko, nikasikia nduru huko nje. Nduru
ilikuwa inatoka Kwa yule jirani yangu.sikujua cha kufanya. Niliamua
kudamka na kutembea polepole hadi kwake. Nilichungulia Kwa dirisha na
singeweza kutazama chochote. Baada ya muda mfupi, polisi walifika. Wezi
nao wakatoka mbio ilihali polisi waliwakamata. Kila mmoja alielezea
jinsi alivyoibiwa. Polisi walituamuru turudi nyumbani kisha Kila mmoja
afike kituoni siku iliyofuata. Nilienda kwa jirani yangu na akaniambia
kuwa aliporwa shilingi laki Tano.
Asubuhi ilipofika, sote tuliandamana katika kitukio cha polisi. Cha
kushangaza ni kwamba, vifaa vyetu vyote vilivyoibiwa vilikuwa pale.
Polisi walitushukuru kwa ujasiri wetu na kuturudishia vitu vyetu. Jirani
yangu alirudishiwa fedha zake. Wezi hao wakapewa kifungo cha maisha kwa
kutuhangaisha na kutuibia wa muda ya miaka tatu sasa.
| Wezi walipewa adhabu gani waliposhikwa | {
"text": [
"Kifungu cha miaka mitatu"
]
} |
4820_swa | DHULUMA DHIDI YA WANAWAKE
Wanawake katika jamii yeyote ile wana umuhimu wao. Wengine wetu wameza
kuguzwa na wanawake. Wanawake wanapojitahidi hivyo, kuna mambo mengi
ambayo wao hupitia. Hawawezi kulalama kwani ni nani atawasikia? Wao
wanadhulumiwa kwa njia tofauti tofauti ambazo tutaziangalia pale.
Kwanza wanawake wanadhulumiwa kwa wao kutorithi mali ya mume anaposafiri
jongomeo. Utapata kwamba kama mama huyo hakuwa na uwezo wa kuzaa huenda
akafukuzwa kwani haezi rithi mali bila yeye kuwa na mtoto. Watoto ni
baraka. Watoto hutoka kwa mungu. Bila mtoto au ukiwa na mtoto yafaa tu
tumshukuru Mungu kwani ni yeye aliyepanga hivyo hivyo. Tunapoangalia
jamii nyingi mke akiwa hana watoto ama kama atazaa watoto wa kike tu
basi yeye haezi rithi mali ya mume wake. Jamii inaamuru hivyo na ni
makosa kuwa na kasumba kama hiyo.
Dhuluma nyingine ni ndoa za mapema. Wanawake wanaozwa mapema. Hivi
majuzi runingani ilihuzunisha kuona mtoto wa miaka kumi akiozwa kwa mzee
wa miaka thelathini na mitano. Nilishangaa na kuomba Rabana tu awape
binadamu utu. Unawezaje kuoa mtoto kama huyo? Hiyo ni dhuluma kubwa
sana. Pia wanawake wanapashwa tohara. Jambo hili limewakera sana watu
wengi. Unaeza aje kumpasha binti tohara? Mashirika mengi haswa upande wa
Narok huko yameweza kuanzishwa ili kukabili tatizo hilo kubwa. Wanawake
wanapopashwa tohara huenda wakaathirika kwa namna moja au nyingine.
Madhara hayo huenda yakabebwa hadi ndoani. Nasikia kwamba wanapopashwa
tohara hivo, wakitoka unyagoni wanaozwa hivyo hivyo. Majabu ya Musa.
Wanawake wanadhulumiwa kwa kutowapa uhuru wa kutoka. Nchi yetu imetupea
uhuru lakini watu wengine wanawanyima wanawake uhuru huo. Wanaamini
kwamba haifai mwanamke kutoka nje. Mwanamke ni mtu wa kukaa tu
asitangamane na wengine. La hasha. Hayo ni makosa kubwa. Inafaa tuwape
wanawake uhuru wa kutembea. Unapotembea unapata kutangamana na watu
wengi na kujifunza mambo mengi. Wao pia wakitembea hivyo wanapata uhuru
wa kuunda makundi madogo madogo ambayo huwa ya manufaa kwao.
Kutoelimishwa pia hiyo ni mojawapo ya dhuluma kwa wanawake. Wanawake
hawaelimishwi kwani wanasema kwamba hatafaidi familia akiolewa. Wengine
wanasema kwamba wanawake wakielimishwa watawapanda wanaume vichwa.
Kasumba nyingine ni eti wanawake wakielimishwa watakuwa malaya. Hayo
yote ni mambo yaliyopita na wakati. Wanawake wanafaa kuelimishwa tu kama
vile wanaume wanavyoelimishwa. Watu wengi husema kwamba mke akisoma
hataolewa. Huo ni uongo. Siku hizi wanaume wanataka mke aliyehitimu
angalau anajua kuunga moja kwa moja na kupata mbili. Wale wanaosema
kwamba mke akisoma atawapanda wao ndio shida. Wanaogop wake waliosoma
kwani wanaona aibu kulishwa na mke. Ni ukweli kama mke amesoma anapata
pesa atakulisha kama wewe umejikalia tu. Watu wawache hiyo kasumba na
kuelimisha mabinti. Ni ukweli kwamba ukisomesha binti, yeye angalau
hukumbuka nyumbani. Mwanaume yeye ataangazia tu familia yake lakini
binti akila anatamani pia mamake mzazi ale tu kama yeye anapokula.
Wanawake wananyimwa haki ya kusema. Panapo tokea makundi kwa mfano msimu
huno wa krismasi, kuna mikutano mingi ya familia ambayo itafanyika.
Mikutano hiyo ifanyikapo, utasikia wakiwapa wanaume kibao mbele wao
kuongea huku wanawake wakinyamaza tu. Huenda pia wanaona mahali kuna
mambo yanaenda kombo lakini wao hawawezi kupewa nafasi ya kusema.
Wanawambia wao waangalia ya kule walikooleka. Hata kwenye familia tu
utapata mke hana uhuru wa kusema. Mume akishaamua ni hivyo tu. Hakuna wa
kumpinga. Wanawake wanadhulumiwa kweli kweli.
Kulaumiwa watoto wanapokosa. Utapata baba anatukana mtoto kwamba hii
tabia si yetu. Hiyo ni tabia ya huko kwa akina mama. Kwetu katika
familia yetu hatukuwa na mtu wa tabia kama hiyo. Hata watoto wanapofeli
mtihani, wataambiwa kwamba mnafeli kama tu mama yenu. Kwetu hatukuwa
wajinga. Kwa akina mama yenu ndio huo ujinga uko. Mama hapo haezi sema
kitu kwani hana uhuru wa kusema. Mtoto anapokosa haswa wasichana kwa
mfano aende na apate ujauzito ni mama atalaumiwa. Mbona hukumshauri
binti wako? Hayo ndio maswali mama ataulizwa kana kwamba alizaa mtoto
huyo pekee yake. Mama atapigwa kwa makosa ya binti yake kwa kusingiziwa
hakumfunza bintiye. Tena hata ikiwa ghulamu atampajika mimba binti wa
wenyewe, ni mama ataulizwa kama ni mama aliyempa binti huyo mimba. Mama
atapigwa na hata kunyimwa chakula kwa kuwaruhusu watoto wafanye vitendo
kama hivyo.
Wanawake wanadhulumiwa na waume wao kutokuwa waaminifu kwao. Unapata
mwanaume amewacha mke kwa nyumba na kuenda matanguroni kulala na mabinti
wengine. Jambo hili huniuma sana. Pale mume amewacha mke na watoto bila
kitu chochote na kuenda matanguroni kulipa chumba shilingi elfu kumi kwa
saa tatu tu. Isitoshe chakula ambacho wao watakila ni cha pesa nyingi
mno. Takribani shilingi elfu tano. Atampa binti huyo elfu kama mbili
pesa ya matumizi. Kumbuka huyu mume ana watoto nyumbani. Akirejea
nyumbani na bibi kumwuliza chochote, mke atapigwa mithili ya punda.
Anataka mke ambaye amemnyima uhuru wa kutembea aelekea wapi kutafutia
watoto chakula? Haifai hivyo. Wanaume pia utawapata wao wanavalia
nadhifu ilhali wake zao kuvalia tu bora nguo. Hawawajali hata. Lakini
binti akiitisha nguo ya fasheni mpya anatumiwa pesa na kukimbia dukani
na kununua. Iwapo atapata nguo hiyo imepanda bei, akiuliza mume huyo,
mume atakuwa hiari kuongeza pesa. Watoto nao nyumbani ni chai ya mkandaa
tu na mihogo. Mkate kwao hawaoni. Lakini baba mtu anawatumia mabinti
wengine pesa.
Wanawake wanalazimishwa kuvaa mavazi aina fulani. Wao wamekatazwa kuvaa
aina nyingine ya mavazi. Mimi sijawahi ona wanawake wakiwakataza wanaume
kuvalia mavazi ya kike kama vile shimizi au rinda. Wanaume wao wamo tu
mbioni kukashifu jinsi wake wanavyovalia. Miaka mitatu iliyopita,
wanawake waliteseka sana. Kila walipopatwa wamevalia sketi fupi
waliraruliwa na kuwaacha na chupi tu. Hii ilimanisha kwamba wanataka
kutembea bila nguo na ndio maana wakararuliwa nguo. Wanawake ilibidi
waamke na kupiga vita vya nguo yangu chaguo langu. Sijawahi waona
wanaume wakivalia nguo iliyowabana kifua wakitolewa nguo. Lakini mbona
tu wanawake? Kila mtu ana uhuru wa kuvalia vazi lolote lile. Bora tu
yeye anaona yuko sawa. Hamna haja ya kumtoa na kumwacha uchi wa mnyama.
Wanawake wanadhulumiwa kwa kunyimwa ajira sehemu fulani. Wanaamini
kwamba akipata kazi atajikokota haswa wakati yeye ni mjamzito. Pia
wanasema kwamba huenda likizo ndefu atakayopewa ikaathiri sehemu fulani
kwa kazi. Hivyo basi, wao hawapewi kazi yeyote ile. Iwapo basi watapewa
kazi hiyo wao watachunguzwa kwa ukaribu mno. Mshahara wao pia huenda
ukawa mdogo mno. Hii pia ni moja wapo wa dhuluma dhidi ya wanawake.
Ukienda nyumbani wanawake hufanyishwa kazi za utumwa. Huko kwetu utapata
mke anapalilia miwa. Yeye pia ndiye anayejukumika na mifugo wakati mzee
yupo tu. Wakati wa kuvuna ufikapo, mama hataona hata hela kidogo. Mume
anachukua hiyo pesa yote na kuanza kulewa nayo.
Dhuluma nyingine ni ajira kwa watoto wadogo. Utapata ni mabinti wetu
ambao wanapekwa kule ng'ambo kufanya kazi ngumu. Wao wafikapo huko
wanaanza kuteseka na wengine hata kufariki. Ajira hiyo huwa mi ya pesa
kidogo mno. Wao hufanya kazi ya sulubu lakini mshahara mdogo mno.
Wanawake pia hudhulumiwa kwa kubakwa. Kila mwaka kati ya wanawake kumi,
wawili huwa wamejaribu kubakwa. Wanafanyiwa hivyo ndiposa wapate ajira.
Wasipokubali wao hawawezi kuajiriwa. Pia wanawake wanadhulumiwa kwa
kuzalishwa watoto wengi. Wanazalishwa na wanaume kuwachia kazi ya kulea.
Wao hupitia changamoto mingi sana. Ni vyema kama tutasima na tupige vita
hivi. Vita hivi si vya wanawake tu bali pia waume tujitahidi. Tukifanya
hivyo tutakuwa washindi na tutafurahia nchi bila hizi dhuluma.
| Ni kina nani walio na umuhimu katika jamii yoyote | {
"text": [
"Wanawake"
]
} |
4820_swa | DHULUMA DHIDI YA WANAWAKE
Wanawake katika jamii yeyote ile wana umuhimu wao. Wengine wetu wameza
kuguzwa na wanawake. Wanawake wanapojitahidi hivyo, kuna mambo mengi
ambayo wao hupitia. Hawawezi kulalama kwani ni nani atawasikia? Wao
wanadhulumiwa kwa njia tofauti tofauti ambazo tutaziangalia pale.
Kwanza wanawake wanadhulumiwa kwa wao kutorithi mali ya mume anaposafiri
jongomeo. Utapata kwamba kama mama huyo hakuwa na uwezo wa kuzaa huenda
akafukuzwa kwani haezi rithi mali bila yeye kuwa na mtoto. Watoto ni
baraka. Watoto hutoka kwa mungu. Bila mtoto au ukiwa na mtoto yafaa tu
tumshukuru Mungu kwani ni yeye aliyepanga hivyo hivyo. Tunapoangalia
jamii nyingi mke akiwa hana watoto ama kama atazaa watoto wa kike tu
basi yeye haezi rithi mali ya mume wake. Jamii inaamuru hivyo na ni
makosa kuwa na kasumba kama hiyo.
Dhuluma nyingine ni ndoa za mapema. Wanawake wanaozwa mapema. Hivi
majuzi runingani ilihuzunisha kuona mtoto wa miaka kumi akiozwa kwa mzee
wa miaka thelathini na mitano. Nilishangaa na kuomba Rabana tu awape
binadamu utu. Unawezaje kuoa mtoto kama huyo? Hiyo ni dhuluma kubwa
sana. Pia wanawake wanapashwa tohara. Jambo hili limewakera sana watu
wengi. Unaeza aje kumpasha binti tohara? Mashirika mengi haswa upande wa
Narok huko yameweza kuanzishwa ili kukabili tatizo hilo kubwa. Wanawake
wanapopashwa tohara huenda wakaathirika kwa namna moja au nyingine.
Madhara hayo huenda yakabebwa hadi ndoani. Nasikia kwamba wanapopashwa
tohara hivo, wakitoka unyagoni wanaozwa hivyo hivyo. Majabu ya Musa.
Wanawake wanadhulumiwa kwa kutowapa uhuru wa kutoka. Nchi yetu imetupea
uhuru lakini watu wengine wanawanyima wanawake uhuru huo. Wanaamini
kwamba haifai mwanamke kutoka nje. Mwanamke ni mtu wa kukaa tu
asitangamane na wengine. La hasha. Hayo ni makosa kubwa. Inafaa tuwape
wanawake uhuru wa kutembea. Unapotembea unapata kutangamana na watu
wengi na kujifunza mambo mengi. Wao pia wakitembea hivyo wanapata uhuru
wa kuunda makundi madogo madogo ambayo huwa ya manufaa kwao.
Kutoelimishwa pia hiyo ni mojawapo ya dhuluma kwa wanawake. Wanawake
hawaelimishwi kwani wanasema kwamba hatafaidi familia akiolewa. Wengine
wanasema kwamba wanawake wakielimishwa watawapanda wanaume vichwa.
Kasumba nyingine ni eti wanawake wakielimishwa watakuwa malaya. Hayo
yote ni mambo yaliyopita na wakati. Wanawake wanafaa kuelimishwa tu kama
vile wanaume wanavyoelimishwa. Watu wengi husema kwamba mke akisoma
hataolewa. Huo ni uongo. Siku hizi wanaume wanataka mke aliyehitimu
angalau anajua kuunga moja kwa moja na kupata mbili. Wale wanaosema
kwamba mke akisoma atawapanda wao ndio shida. Wanaogop wake waliosoma
kwani wanaona aibu kulishwa na mke. Ni ukweli kama mke amesoma anapata
pesa atakulisha kama wewe umejikalia tu. Watu wawache hiyo kasumba na
kuelimisha mabinti. Ni ukweli kwamba ukisomesha binti, yeye angalau
hukumbuka nyumbani. Mwanaume yeye ataangazia tu familia yake lakini
binti akila anatamani pia mamake mzazi ale tu kama yeye anapokula.
Wanawake wananyimwa haki ya kusema. Panapo tokea makundi kwa mfano msimu
huno wa krismasi, kuna mikutano mingi ya familia ambayo itafanyika.
Mikutano hiyo ifanyikapo, utasikia wakiwapa wanaume kibao mbele wao
kuongea huku wanawake wakinyamaza tu. Huenda pia wanaona mahali kuna
mambo yanaenda kombo lakini wao hawawezi kupewa nafasi ya kusema.
Wanawambia wao waangalia ya kule walikooleka. Hata kwenye familia tu
utapata mke hana uhuru wa kusema. Mume akishaamua ni hivyo tu. Hakuna wa
kumpinga. Wanawake wanadhulumiwa kweli kweli.
Kulaumiwa watoto wanapokosa. Utapata baba anatukana mtoto kwamba hii
tabia si yetu. Hiyo ni tabia ya huko kwa akina mama. Kwetu katika
familia yetu hatukuwa na mtu wa tabia kama hiyo. Hata watoto wanapofeli
mtihani, wataambiwa kwamba mnafeli kama tu mama yenu. Kwetu hatukuwa
wajinga. Kwa akina mama yenu ndio huo ujinga uko. Mama hapo haezi sema
kitu kwani hana uhuru wa kusema. Mtoto anapokosa haswa wasichana kwa
mfano aende na apate ujauzito ni mama atalaumiwa. Mbona hukumshauri
binti wako? Hayo ndio maswali mama ataulizwa kana kwamba alizaa mtoto
huyo pekee yake. Mama atapigwa kwa makosa ya binti yake kwa kusingiziwa
hakumfunza bintiye. Tena hata ikiwa ghulamu atampajika mimba binti wa
wenyewe, ni mama ataulizwa kama ni mama aliyempa binti huyo mimba. Mama
atapigwa na hata kunyimwa chakula kwa kuwaruhusu watoto wafanye vitendo
kama hivyo.
Wanawake wanadhulumiwa na waume wao kutokuwa waaminifu kwao. Unapata
mwanaume amewacha mke kwa nyumba na kuenda matanguroni kulala na mabinti
wengine. Jambo hili huniuma sana. Pale mume amewacha mke na watoto bila
kitu chochote na kuenda matanguroni kulipa chumba shilingi elfu kumi kwa
saa tatu tu. Isitoshe chakula ambacho wao watakila ni cha pesa nyingi
mno. Takribani shilingi elfu tano. Atampa binti huyo elfu kama mbili
pesa ya matumizi. Kumbuka huyu mume ana watoto nyumbani. Akirejea
nyumbani na bibi kumwuliza chochote, mke atapigwa mithili ya punda.
Anataka mke ambaye amemnyima uhuru wa kutembea aelekea wapi kutafutia
watoto chakula? Haifai hivyo. Wanaume pia utawapata wao wanavalia
nadhifu ilhali wake zao kuvalia tu bora nguo. Hawawajali hata. Lakini
binti akiitisha nguo ya fasheni mpya anatumiwa pesa na kukimbia dukani
na kununua. Iwapo atapata nguo hiyo imepanda bei, akiuliza mume huyo,
mume atakuwa hiari kuongeza pesa. Watoto nao nyumbani ni chai ya mkandaa
tu na mihogo. Mkate kwao hawaoni. Lakini baba mtu anawatumia mabinti
wengine pesa.
Wanawake wanalazimishwa kuvaa mavazi aina fulani. Wao wamekatazwa kuvaa
aina nyingine ya mavazi. Mimi sijawahi ona wanawake wakiwakataza wanaume
kuvalia mavazi ya kike kama vile shimizi au rinda. Wanaume wao wamo tu
mbioni kukashifu jinsi wake wanavyovalia. Miaka mitatu iliyopita,
wanawake waliteseka sana. Kila walipopatwa wamevalia sketi fupi
waliraruliwa na kuwaacha na chupi tu. Hii ilimanisha kwamba wanataka
kutembea bila nguo na ndio maana wakararuliwa nguo. Wanawake ilibidi
waamke na kupiga vita vya nguo yangu chaguo langu. Sijawahi waona
wanaume wakivalia nguo iliyowabana kifua wakitolewa nguo. Lakini mbona
tu wanawake? Kila mtu ana uhuru wa kuvalia vazi lolote lile. Bora tu
yeye anaona yuko sawa. Hamna haja ya kumtoa na kumwacha uchi wa mnyama.
Wanawake wanadhulumiwa kwa kunyimwa ajira sehemu fulani. Wanaamini
kwamba akipata kazi atajikokota haswa wakati yeye ni mjamzito. Pia
wanasema kwamba huenda likizo ndefu atakayopewa ikaathiri sehemu fulani
kwa kazi. Hivyo basi, wao hawapewi kazi yeyote ile. Iwapo basi watapewa
kazi hiyo wao watachunguzwa kwa ukaribu mno. Mshahara wao pia huenda
ukawa mdogo mno. Hii pia ni moja wapo wa dhuluma dhidi ya wanawake.
Ukienda nyumbani wanawake hufanyishwa kazi za utumwa. Huko kwetu utapata
mke anapalilia miwa. Yeye pia ndiye anayejukumika na mifugo wakati mzee
yupo tu. Wakati wa kuvuna ufikapo, mama hataona hata hela kidogo. Mume
anachukua hiyo pesa yote na kuanza kulewa nayo.
Dhuluma nyingine ni ajira kwa watoto wadogo. Utapata ni mabinti wetu
ambao wanapekwa kule ng'ambo kufanya kazi ngumu. Wao wafikapo huko
wanaanza kuteseka na wengine hata kufariki. Ajira hiyo huwa mi ya pesa
kidogo mno. Wao hufanya kazi ya sulubu lakini mshahara mdogo mno.
Wanawake pia hudhulumiwa kwa kubakwa. Kila mwaka kati ya wanawake kumi,
wawili huwa wamejaribu kubakwa. Wanafanyiwa hivyo ndiposa wapate ajira.
Wasipokubali wao hawawezi kuajiriwa. Pia wanawake wanadhulumiwa kwa
kuzalishwa watoto wengi. Wanazalishwa na wanaume kuwachia kazi ya kulea.
Wao hupitia changamoto mingi sana. Ni vyema kama tutasima na tupige vita
hivi. Vita hivi si vya wanawake tu bali pia waume tujitahidi. Tukifanya
hivyo tutakuwa washindi na tutafurahia nchi bila hizi dhuluma.
| Wanawake hudhulumiwa kwa kukosa kurithi mali ya nani | {
"text": [
"Mume"
]
} |
4820_swa | DHULUMA DHIDI YA WANAWAKE
Wanawake katika jamii yeyote ile wana umuhimu wao. Wengine wetu wameza
kuguzwa na wanawake. Wanawake wanapojitahidi hivyo, kuna mambo mengi
ambayo wao hupitia. Hawawezi kulalama kwani ni nani atawasikia? Wao
wanadhulumiwa kwa njia tofauti tofauti ambazo tutaziangalia pale.
Kwanza wanawake wanadhulumiwa kwa wao kutorithi mali ya mume anaposafiri
jongomeo. Utapata kwamba kama mama huyo hakuwa na uwezo wa kuzaa huenda
akafukuzwa kwani haezi rithi mali bila yeye kuwa na mtoto. Watoto ni
baraka. Watoto hutoka kwa mungu. Bila mtoto au ukiwa na mtoto yafaa tu
tumshukuru Mungu kwani ni yeye aliyepanga hivyo hivyo. Tunapoangalia
jamii nyingi mke akiwa hana watoto ama kama atazaa watoto wa kike tu
basi yeye haezi rithi mali ya mume wake. Jamii inaamuru hivyo na ni
makosa kuwa na kasumba kama hiyo.
Dhuluma nyingine ni ndoa za mapema. Wanawake wanaozwa mapema. Hivi
majuzi runingani ilihuzunisha kuona mtoto wa miaka kumi akiozwa kwa mzee
wa miaka thelathini na mitano. Nilishangaa na kuomba Rabana tu awape
binadamu utu. Unawezaje kuoa mtoto kama huyo? Hiyo ni dhuluma kubwa
sana. Pia wanawake wanapashwa tohara. Jambo hili limewakera sana watu
wengi. Unaeza aje kumpasha binti tohara? Mashirika mengi haswa upande wa
Narok huko yameweza kuanzishwa ili kukabili tatizo hilo kubwa. Wanawake
wanapopashwa tohara huenda wakaathirika kwa namna moja au nyingine.
Madhara hayo huenda yakabebwa hadi ndoani. Nasikia kwamba wanapopashwa
tohara hivo, wakitoka unyagoni wanaozwa hivyo hivyo. Majabu ya Musa.
Wanawake wanadhulumiwa kwa kutowapa uhuru wa kutoka. Nchi yetu imetupea
uhuru lakini watu wengine wanawanyima wanawake uhuru huo. Wanaamini
kwamba haifai mwanamke kutoka nje. Mwanamke ni mtu wa kukaa tu
asitangamane na wengine. La hasha. Hayo ni makosa kubwa. Inafaa tuwape
wanawake uhuru wa kutembea. Unapotembea unapata kutangamana na watu
wengi na kujifunza mambo mengi. Wao pia wakitembea hivyo wanapata uhuru
wa kuunda makundi madogo madogo ambayo huwa ya manufaa kwao.
Kutoelimishwa pia hiyo ni mojawapo ya dhuluma kwa wanawake. Wanawake
hawaelimishwi kwani wanasema kwamba hatafaidi familia akiolewa. Wengine
wanasema kwamba wanawake wakielimishwa watawapanda wanaume vichwa.
Kasumba nyingine ni eti wanawake wakielimishwa watakuwa malaya. Hayo
yote ni mambo yaliyopita na wakati. Wanawake wanafaa kuelimishwa tu kama
vile wanaume wanavyoelimishwa. Watu wengi husema kwamba mke akisoma
hataolewa. Huo ni uongo. Siku hizi wanaume wanataka mke aliyehitimu
angalau anajua kuunga moja kwa moja na kupata mbili. Wale wanaosema
kwamba mke akisoma atawapanda wao ndio shida. Wanaogop wake waliosoma
kwani wanaona aibu kulishwa na mke. Ni ukweli kama mke amesoma anapata
pesa atakulisha kama wewe umejikalia tu. Watu wawache hiyo kasumba na
kuelimisha mabinti. Ni ukweli kwamba ukisomesha binti, yeye angalau
hukumbuka nyumbani. Mwanaume yeye ataangazia tu familia yake lakini
binti akila anatamani pia mamake mzazi ale tu kama yeye anapokula.
Wanawake wananyimwa haki ya kusema. Panapo tokea makundi kwa mfano msimu
huno wa krismasi, kuna mikutano mingi ya familia ambayo itafanyika.
Mikutano hiyo ifanyikapo, utasikia wakiwapa wanaume kibao mbele wao
kuongea huku wanawake wakinyamaza tu. Huenda pia wanaona mahali kuna
mambo yanaenda kombo lakini wao hawawezi kupewa nafasi ya kusema.
Wanawambia wao waangalia ya kule walikooleka. Hata kwenye familia tu
utapata mke hana uhuru wa kusema. Mume akishaamua ni hivyo tu. Hakuna wa
kumpinga. Wanawake wanadhulumiwa kweli kweli.
Kulaumiwa watoto wanapokosa. Utapata baba anatukana mtoto kwamba hii
tabia si yetu. Hiyo ni tabia ya huko kwa akina mama. Kwetu katika
familia yetu hatukuwa na mtu wa tabia kama hiyo. Hata watoto wanapofeli
mtihani, wataambiwa kwamba mnafeli kama tu mama yenu. Kwetu hatukuwa
wajinga. Kwa akina mama yenu ndio huo ujinga uko. Mama hapo haezi sema
kitu kwani hana uhuru wa kusema. Mtoto anapokosa haswa wasichana kwa
mfano aende na apate ujauzito ni mama atalaumiwa. Mbona hukumshauri
binti wako? Hayo ndio maswali mama ataulizwa kana kwamba alizaa mtoto
huyo pekee yake. Mama atapigwa kwa makosa ya binti yake kwa kusingiziwa
hakumfunza bintiye. Tena hata ikiwa ghulamu atampajika mimba binti wa
wenyewe, ni mama ataulizwa kama ni mama aliyempa binti huyo mimba. Mama
atapigwa na hata kunyimwa chakula kwa kuwaruhusu watoto wafanye vitendo
kama hivyo.
Wanawake wanadhulumiwa na waume wao kutokuwa waaminifu kwao. Unapata
mwanaume amewacha mke kwa nyumba na kuenda matanguroni kulala na mabinti
wengine. Jambo hili huniuma sana. Pale mume amewacha mke na watoto bila
kitu chochote na kuenda matanguroni kulipa chumba shilingi elfu kumi kwa
saa tatu tu. Isitoshe chakula ambacho wao watakila ni cha pesa nyingi
mno. Takribani shilingi elfu tano. Atampa binti huyo elfu kama mbili
pesa ya matumizi. Kumbuka huyu mume ana watoto nyumbani. Akirejea
nyumbani na bibi kumwuliza chochote, mke atapigwa mithili ya punda.
Anataka mke ambaye amemnyima uhuru wa kutembea aelekea wapi kutafutia
watoto chakula? Haifai hivyo. Wanaume pia utawapata wao wanavalia
nadhifu ilhali wake zao kuvalia tu bora nguo. Hawawajali hata. Lakini
binti akiitisha nguo ya fasheni mpya anatumiwa pesa na kukimbia dukani
na kununua. Iwapo atapata nguo hiyo imepanda bei, akiuliza mume huyo,
mume atakuwa hiari kuongeza pesa. Watoto nao nyumbani ni chai ya mkandaa
tu na mihogo. Mkate kwao hawaoni. Lakini baba mtu anawatumia mabinti
wengine pesa.
Wanawake wanalazimishwa kuvaa mavazi aina fulani. Wao wamekatazwa kuvaa
aina nyingine ya mavazi. Mimi sijawahi ona wanawake wakiwakataza wanaume
kuvalia mavazi ya kike kama vile shimizi au rinda. Wanaume wao wamo tu
mbioni kukashifu jinsi wake wanavyovalia. Miaka mitatu iliyopita,
wanawake waliteseka sana. Kila walipopatwa wamevalia sketi fupi
waliraruliwa na kuwaacha na chupi tu. Hii ilimanisha kwamba wanataka
kutembea bila nguo na ndio maana wakararuliwa nguo. Wanawake ilibidi
waamke na kupiga vita vya nguo yangu chaguo langu. Sijawahi waona
wanaume wakivalia nguo iliyowabana kifua wakitolewa nguo. Lakini mbona
tu wanawake? Kila mtu ana uhuru wa kuvalia vazi lolote lile. Bora tu
yeye anaona yuko sawa. Hamna haja ya kumtoa na kumwacha uchi wa mnyama.
Wanawake wanadhulumiwa kwa kunyimwa ajira sehemu fulani. Wanaamini
kwamba akipata kazi atajikokota haswa wakati yeye ni mjamzito. Pia
wanasema kwamba huenda likizo ndefu atakayopewa ikaathiri sehemu fulani
kwa kazi. Hivyo basi, wao hawapewi kazi yeyote ile. Iwapo basi watapewa
kazi hiyo wao watachunguzwa kwa ukaribu mno. Mshahara wao pia huenda
ukawa mdogo mno. Hii pia ni moja wapo wa dhuluma dhidi ya wanawake.
Ukienda nyumbani wanawake hufanyishwa kazi za utumwa. Huko kwetu utapata
mke anapalilia miwa. Yeye pia ndiye anayejukumika na mifugo wakati mzee
yupo tu. Wakati wa kuvuna ufikapo, mama hataona hata hela kidogo. Mume
anachukua hiyo pesa yote na kuanza kulewa nayo.
Dhuluma nyingine ni ajira kwa watoto wadogo. Utapata ni mabinti wetu
ambao wanapekwa kule ng'ambo kufanya kazi ngumu. Wao wafikapo huko
wanaanza kuteseka na wengine hata kufariki. Ajira hiyo huwa mi ya pesa
kidogo mno. Wao hufanya kazi ya sulubu lakini mshahara mdogo mno.
Wanawake pia hudhulumiwa kwa kubakwa. Kila mwaka kati ya wanawake kumi,
wawili huwa wamejaribu kubakwa. Wanafanyiwa hivyo ndiposa wapate ajira.
Wasipokubali wao hawawezi kuajiriwa. Pia wanawake wanadhulumiwa kwa
kuzalishwa watoto wengi. Wanazalishwa na wanaume kuwachia kazi ya kulea.
Wao hupitia changamoto mingi sana. Ni vyema kama tutasima na tupige vita
hivi. Vita hivi si vya wanawake tu bali pia waume tujitahidi. Tukifanya
hivyo tutakuwa washindi na tutafurahia nchi bila hizi dhuluma.
| Mwanamke hawezi kurithi mali bila ya kuwa na nani | {
"text": [
"Mtoto"
]
} |
4820_swa | DHULUMA DHIDI YA WANAWAKE
Wanawake katika jamii yeyote ile wana umuhimu wao. Wengine wetu wameza
kuguzwa na wanawake. Wanawake wanapojitahidi hivyo, kuna mambo mengi
ambayo wao hupitia. Hawawezi kulalama kwani ni nani atawasikia? Wao
wanadhulumiwa kwa njia tofauti tofauti ambazo tutaziangalia pale.
Kwanza wanawake wanadhulumiwa kwa wao kutorithi mali ya mume anaposafiri
jongomeo. Utapata kwamba kama mama huyo hakuwa na uwezo wa kuzaa huenda
akafukuzwa kwani haezi rithi mali bila yeye kuwa na mtoto. Watoto ni
baraka. Watoto hutoka kwa mungu. Bila mtoto au ukiwa na mtoto yafaa tu
tumshukuru Mungu kwani ni yeye aliyepanga hivyo hivyo. Tunapoangalia
jamii nyingi mke akiwa hana watoto ama kama atazaa watoto wa kike tu
basi yeye haezi rithi mali ya mume wake. Jamii inaamuru hivyo na ni
makosa kuwa na kasumba kama hiyo.
Dhuluma nyingine ni ndoa za mapema. Wanawake wanaozwa mapema. Hivi
majuzi runingani ilihuzunisha kuona mtoto wa miaka kumi akiozwa kwa mzee
wa miaka thelathini na mitano. Nilishangaa na kuomba Rabana tu awape
binadamu utu. Unawezaje kuoa mtoto kama huyo? Hiyo ni dhuluma kubwa
sana. Pia wanawake wanapashwa tohara. Jambo hili limewakera sana watu
wengi. Unaeza aje kumpasha binti tohara? Mashirika mengi haswa upande wa
Narok huko yameweza kuanzishwa ili kukabili tatizo hilo kubwa. Wanawake
wanapopashwa tohara huenda wakaathirika kwa namna moja au nyingine.
Madhara hayo huenda yakabebwa hadi ndoani. Nasikia kwamba wanapopashwa
tohara hivo, wakitoka unyagoni wanaozwa hivyo hivyo. Majabu ya Musa.
Wanawake wanadhulumiwa kwa kutowapa uhuru wa kutoka. Nchi yetu imetupea
uhuru lakini watu wengine wanawanyima wanawake uhuru huo. Wanaamini
kwamba haifai mwanamke kutoka nje. Mwanamke ni mtu wa kukaa tu
asitangamane na wengine. La hasha. Hayo ni makosa kubwa. Inafaa tuwape
wanawake uhuru wa kutembea. Unapotembea unapata kutangamana na watu
wengi na kujifunza mambo mengi. Wao pia wakitembea hivyo wanapata uhuru
wa kuunda makundi madogo madogo ambayo huwa ya manufaa kwao.
Kutoelimishwa pia hiyo ni mojawapo ya dhuluma kwa wanawake. Wanawake
hawaelimishwi kwani wanasema kwamba hatafaidi familia akiolewa. Wengine
wanasema kwamba wanawake wakielimishwa watawapanda wanaume vichwa.
Kasumba nyingine ni eti wanawake wakielimishwa watakuwa malaya. Hayo
yote ni mambo yaliyopita na wakati. Wanawake wanafaa kuelimishwa tu kama
vile wanaume wanavyoelimishwa. Watu wengi husema kwamba mke akisoma
hataolewa. Huo ni uongo. Siku hizi wanaume wanataka mke aliyehitimu
angalau anajua kuunga moja kwa moja na kupata mbili. Wale wanaosema
kwamba mke akisoma atawapanda wao ndio shida. Wanaogop wake waliosoma
kwani wanaona aibu kulishwa na mke. Ni ukweli kama mke amesoma anapata
pesa atakulisha kama wewe umejikalia tu. Watu wawache hiyo kasumba na
kuelimisha mabinti. Ni ukweli kwamba ukisomesha binti, yeye angalau
hukumbuka nyumbani. Mwanaume yeye ataangazia tu familia yake lakini
binti akila anatamani pia mamake mzazi ale tu kama yeye anapokula.
Wanawake wananyimwa haki ya kusema. Panapo tokea makundi kwa mfano msimu
huno wa krismasi, kuna mikutano mingi ya familia ambayo itafanyika.
Mikutano hiyo ifanyikapo, utasikia wakiwapa wanaume kibao mbele wao
kuongea huku wanawake wakinyamaza tu. Huenda pia wanaona mahali kuna
mambo yanaenda kombo lakini wao hawawezi kupewa nafasi ya kusema.
Wanawambia wao waangalia ya kule walikooleka. Hata kwenye familia tu
utapata mke hana uhuru wa kusema. Mume akishaamua ni hivyo tu. Hakuna wa
kumpinga. Wanawake wanadhulumiwa kweli kweli.
Kulaumiwa watoto wanapokosa. Utapata baba anatukana mtoto kwamba hii
tabia si yetu. Hiyo ni tabia ya huko kwa akina mama. Kwetu katika
familia yetu hatukuwa na mtu wa tabia kama hiyo. Hata watoto wanapofeli
mtihani, wataambiwa kwamba mnafeli kama tu mama yenu. Kwetu hatukuwa
wajinga. Kwa akina mama yenu ndio huo ujinga uko. Mama hapo haezi sema
kitu kwani hana uhuru wa kusema. Mtoto anapokosa haswa wasichana kwa
mfano aende na apate ujauzito ni mama atalaumiwa. Mbona hukumshauri
binti wako? Hayo ndio maswali mama ataulizwa kana kwamba alizaa mtoto
huyo pekee yake. Mama atapigwa kwa makosa ya binti yake kwa kusingiziwa
hakumfunza bintiye. Tena hata ikiwa ghulamu atampajika mimba binti wa
wenyewe, ni mama ataulizwa kama ni mama aliyempa binti huyo mimba. Mama
atapigwa na hata kunyimwa chakula kwa kuwaruhusu watoto wafanye vitendo
kama hivyo.
Wanawake wanadhulumiwa na waume wao kutokuwa waaminifu kwao. Unapata
mwanaume amewacha mke kwa nyumba na kuenda matanguroni kulala na mabinti
wengine. Jambo hili huniuma sana. Pale mume amewacha mke na watoto bila
kitu chochote na kuenda matanguroni kulipa chumba shilingi elfu kumi kwa
saa tatu tu. Isitoshe chakula ambacho wao watakila ni cha pesa nyingi
mno. Takribani shilingi elfu tano. Atampa binti huyo elfu kama mbili
pesa ya matumizi. Kumbuka huyu mume ana watoto nyumbani. Akirejea
nyumbani na bibi kumwuliza chochote, mke atapigwa mithili ya punda.
Anataka mke ambaye amemnyima uhuru wa kutembea aelekea wapi kutafutia
watoto chakula? Haifai hivyo. Wanaume pia utawapata wao wanavalia
nadhifu ilhali wake zao kuvalia tu bora nguo. Hawawajali hata. Lakini
binti akiitisha nguo ya fasheni mpya anatumiwa pesa na kukimbia dukani
na kununua. Iwapo atapata nguo hiyo imepanda bei, akiuliza mume huyo,
mume atakuwa hiari kuongeza pesa. Watoto nao nyumbani ni chai ya mkandaa
tu na mihogo. Mkate kwao hawaoni. Lakini baba mtu anawatumia mabinti
wengine pesa.
Wanawake wanalazimishwa kuvaa mavazi aina fulani. Wao wamekatazwa kuvaa
aina nyingine ya mavazi. Mimi sijawahi ona wanawake wakiwakataza wanaume
kuvalia mavazi ya kike kama vile shimizi au rinda. Wanaume wao wamo tu
mbioni kukashifu jinsi wake wanavyovalia. Miaka mitatu iliyopita,
wanawake waliteseka sana. Kila walipopatwa wamevalia sketi fupi
waliraruliwa na kuwaacha na chupi tu. Hii ilimanisha kwamba wanataka
kutembea bila nguo na ndio maana wakararuliwa nguo. Wanawake ilibidi
waamke na kupiga vita vya nguo yangu chaguo langu. Sijawahi waona
wanaume wakivalia nguo iliyowabana kifua wakitolewa nguo. Lakini mbona
tu wanawake? Kila mtu ana uhuru wa kuvalia vazi lolote lile. Bora tu
yeye anaona yuko sawa. Hamna haja ya kumtoa na kumwacha uchi wa mnyama.
Wanawake wanadhulumiwa kwa kunyimwa ajira sehemu fulani. Wanaamini
kwamba akipata kazi atajikokota haswa wakati yeye ni mjamzito. Pia
wanasema kwamba huenda likizo ndefu atakayopewa ikaathiri sehemu fulani
kwa kazi. Hivyo basi, wao hawapewi kazi yeyote ile. Iwapo basi watapewa
kazi hiyo wao watachunguzwa kwa ukaribu mno. Mshahara wao pia huenda
ukawa mdogo mno. Hii pia ni moja wapo wa dhuluma dhidi ya wanawake.
Ukienda nyumbani wanawake hufanyishwa kazi za utumwa. Huko kwetu utapata
mke anapalilia miwa. Yeye pia ndiye anayejukumika na mifugo wakati mzee
yupo tu. Wakati wa kuvuna ufikapo, mama hataona hata hela kidogo. Mume
anachukua hiyo pesa yote na kuanza kulewa nayo.
Dhuluma nyingine ni ajira kwa watoto wadogo. Utapata ni mabinti wetu
ambao wanapekwa kule ng'ambo kufanya kazi ngumu. Wao wafikapo huko
wanaanza kuteseka na wengine hata kufariki. Ajira hiyo huwa mi ya pesa
kidogo mno. Wao hufanya kazi ya sulubu lakini mshahara mdogo mno.
Wanawake pia hudhulumiwa kwa kubakwa. Kila mwaka kati ya wanawake kumi,
wawili huwa wamejaribu kubakwa. Wanafanyiwa hivyo ndiposa wapate ajira.
Wasipokubali wao hawawezi kuajiriwa. Pia wanawake wanadhulumiwa kwa
kuzalishwa watoto wengi. Wanazalishwa na wanaume kuwachia kazi ya kulea.
Wao hupitia changamoto mingi sana. Ni vyema kama tutasima na tupige vita
hivi. Vita hivi si vya wanawake tu bali pia waume tujitahidi. Tukifanya
hivyo tutakuwa washindi na tutafurahia nchi bila hizi dhuluma.
| Watoto ni nini | {
"text": [
"Baraka"
]
} |
4820_swa | DHULUMA DHIDI YA WANAWAKE
Wanawake katika jamii yeyote ile wana umuhimu wao. Wengine wetu wameza
kuguzwa na wanawake. Wanawake wanapojitahidi hivyo, kuna mambo mengi
ambayo wao hupitia. Hawawezi kulalama kwani ni nani atawasikia? Wao
wanadhulumiwa kwa njia tofauti tofauti ambazo tutaziangalia pale.
Kwanza wanawake wanadhulumiwa kwa wao kutorithi mali ya mume anaposafiri
jongomeo. Utapata kwamba kama mama huyo hakuwa na uwezo wa kuzaa huenda
akafukuzwa kwani haezi rithi mali bila yeye kuwa na mtoto. Watoto ni
baraka. Watoto hutoka kwa mungu. Bila mtoto au ukiwa na mtoto yafaa tu
tumshukuru Mungu kwani ni yeye aliyepanga hivyo hivyo. Tunapoangalia
jamii nyingi mke akiwa hana watoto ama kama atazaa watoto wa kike tu
basi yeye haezi rithi mali ya mume wake. Jamii inaamuru hivyo na ni
makosa kuwa na kasumba kama hiyo.
Dhuluma nyingine ni ndoa za mapema. Wanawake wanaozwa mapema. Hivi
majuzi runingani ilihuzunisha kuona mtoto wa miaka kumi akiozwa kwa mzee
wa miaka thelathini na mitano. Nilishangaa na kuomba Rabana tu awape
binadamu utu. Unawezaje kuoa mtoto kama huyo? Hiyo ni dhuluma kubwa
sana. Pia wanawake wanapashwa tohara. Jambo hili limewakera sana watu
wengi. Unaeza aje kumpasha binti tohara? Mashirika mengi haswa upande wa
Narok huko yameweza kuanzishwa ili kukabili tatizo hilo kubwa. Wanawake
wanapopashwa tohara huenda wakaathirika kwa namna moja au nyingine.
Madhara hayo huenda yakabebwa hadi ndoani. Nasikia kwamba wanapopashwa
tohara hivo, wakitoka unyagoni wanaozwa hivyo hivyo. Majabu ya Musa.
Wanawake wanadhulumiwa kwa kutowapa uhuru wa kutoka. Nchi yetu imetupea
uhuru lakini watu wengine wanawanyima wanawake uhuru huo. Wanaamini
kwamba haifai mwanamke kutoka nje. Mwanamke ni mtu wa kukaa tu
asitangamane na wengine. La hasha. Hayo ni makosa kubwa. Inafaa tuwape
wanawake uhuru wa kutembea. Unapotembea unapata kutangamana na watu
wengi na kujifunza mambo mengi. Wao pia wakitembea hivyo wanapata uhuru
wa kuunda makundi madogo madogo ambayo huwa ya manufaa kwao.
Kutoelimishwa pia hiyo ni mojawapo ya dhuluma kwa wanawake. Wanawake
hawaelimishwi kwani wanasema kwamba hatafaidi familia akiolewa. Wengine
wanasema kwamba wanawake wakielimishwa watawapanda wanaume vichwa.
Kasumba nyingine ni eti wanawake wakielimishwa watakuwa malaya. Hayo
yote ni mambo yaliyopita na wakati. Wanawake wanafaa kuelimishwa tu kama
vile wanaume wanavyoelimishwa. Watu wengi husema kwamba mke akisoma
hataolewa. Huo ni uongo. Siku hizi wanaume wanataka mke aliyehitimu
angalau anajua kuunga moja kwa moja na kupata mbili. Wale wanaosema
kwamba mke akisoma atawapanda wao ndio shida. Wanaogop wake waliosoma
kwani wanaona aibu kulishwa na mke. Ni ukweli kama mke amesoma anapata
pesa atakulisha kama wewe umejikalia tu. Watu wawache hiyo kasumba na
kuelimisha mabinti. Ni ukweli kwamba ukisomesha binti, yeye angalau
hukumbuka nyumbani. Mwanaume yeye ataangazia tu familia yake lakini
binti akila anatamani pia mamake mzazi ale tu kama yeye anapokula.
Wanawake wananyimwa haki ya kusema. Panapo tokea makundi kwa mfano msimu
huno wa krismasi, kuna mikutano mingi ya familia ambayo itafanyika.
Mikutano hiyo ifanyikapo, utasikia wakiwapa wanaume kibao mbele wao
kuongea huku wanawake wakinyamaza tu. Huenda pia wanaona mahali kuna
mambo yanaenda kombo lakini wao hawawezi kupewa nafasi ya kusema.
Wanawambia wao waangalia ya kule walikooleka. Hata kwenye familia tu
utapata mke hana uhuru wa kusema. Mume akishaamua ni hivyo tu. Hakuna wa
kumpinga. Wanawake wanadhulumiwa kweli kweli.
Kulaumiwa watoto wanapokosa. Utapata baba anatukana mtoto kwamba hii
tabia si yetu. Hiyo ni tabia ya huko kwa akina mama. Kwetu katika
familia yetu hatukuwa na mtu wa tabia kama hiyo. Hata watoto wanapofeli
mtihani, wataambiwa kwamba mnafeli kama tu mama yenu. Kwetu hatukuwa
wajinga. Kwa akina mama yenu ndio huo ujinga uko. Mama hapo haezi sema
kitu kwani hana uhuru wa kusema. Mtoto anapokosa haswa wasichana kwa
mfano aende na apate ujauzito ni mama atalaumiwa. Mbona hukumshauri
binti wako? Hayo ndio maswali mama ataulizwa kana kwamba alizaa mtoto
huyo pekee yake. Mama atapigwa kwa makosa ya binti yake kwa kusingiziwa
hakumfunza bintiye. Tena hata ikiwa ghulamu atampajika mimba binti wa
wenyewe, ni mama ataulizwa kama ni mama aliyempa binti huyo mimba. Mama
atapigwa na hata kunyimwa chakula kwa kuwaruhusu watoto wafanye vitendo
kama hivyo.
Wanawake wanadhulumiwa na waume wao kutokuwa waaminifu kwao. Unapata
mwanaume amewacha mke kwa nyumba na kuenda matanguroni kulala na mabinti
wengine. Jambo hili huniuma sana. Pale mume amewacha mke na watoto bila
kitu chochote na kuenda matanguroni kulipa chumba shilingi elfu kumi kwa
saa tatu tu. Isitoshe chakula ambacho wao watakila ni cha pesa nyingi
mno. Takribani shilingi elfu tano. Atampa binti huyo elfu kama mbili
pesa ya matumizi. Kumbuka huyu mume ana watoto nyumbani. Akirejea
nyumbani na bibi kumwuliza chochote, mke atapigwa mithili ya punda.
Anataka mke ambaye amemnyima uhuru wa kutembea aelekea wapi kutafutia
watoto chakula? Haifai hivyo. Wanaume pia utawapata wao wanavalia
nadhifu ilhali wake zao kuvalia tu bora nguo. Hawawajali hata. Lakini
binti akiitisha nguo ya fasheni mpya anatumiwa pesa na kukimbia dukani
na kununua. Iwapo atapata nguo hiyo imepanda bei, akiuliza mume huyo,
mume atakuwa hiari kuongeza pesa. Watoto nao nyumbani ni chai ya mkandaa
tu na mihogo. Mkate kwao hawaoni. Lakini baba mtu anawatumia mabinti
wengine pesa.
Wanawake wanalazimishwa kuvaa mavazi aina fulani. Wao wamekatazwa kuvaa
aina nyingine ya mavazi. Mimi sijawahi ona wanawake wakiwakataza wanaume
kuvalia mavazi ya kike kama vile shimizi au rinda. Wanaume wao wamo tu
mbioni kukashifu jinsi wake wanavyovalia. Miaka mitatu iliyopita,
wanawake waliteseka sana. Kila walipopatwa wamevalia sketi fupi
waliraruliwa na kuwaacha na chupi tu. Hii ilimanisha kwamba wanataka
kutembea bila nguo na ndio maana wakararuliwa nguo. Wanawake ilibidi
waamke na kupiga vita vya nguo yangu chaguo langu. Sijawahi waona
wanaume wakivalia nguo iliyowabana kifua wakitolewa nguo. Lakini mbona
tu wanawake? Kila mtu ana uhuru wa kuvalia vazi lolote lile. Bora tu
yeye anaona yuko sawa. Hamna haja ya kumtoa na kumwacha uchi wa mnyama.
Wanawake wanadhulumiwa kwa kunyimwa ajira sehemu fulani. Wanaamini
kwamba akipata kazi atajikokota haswa wakati yeye ni mjamzito. Pia
wanasema kwamba huenda likizo ndefu atakayopewa ikaathiri sehemu fulani
kwa kazi. Hivyo basi, wao hawapewi kazi yeyote ile. Iwapo basi watapewa
kazi hiyo wao watachunguzwa kwa ukaribu mno. Mshahara wao pia huenda
ukawa mdogo mno. Hii pia ni moja wapo wa dhuluma dhidi ya wanawake.
Ukienda nyumbani wanawake hufanyishwa kazi za utumwa. Huko kwetu utapata
mke anapalilia miwa. Yeye pia ndiye anayejukumika na mifugo wakati mzee
yupo tu. Wakati wa kuvuna ufikapo, mama hataona hata hela kidogo. Mume
anachukua hiyo pesa yote na kuanza kulewa nayo.
Dhuluma nyingine ni ajira kwa watoto wadogo. Utapata ni mabinti wetu
ambao wanapekwa kule ng'ambo kufanya kazi ngumu. Wao wafikapo huko
wanaanza kuteseka na wengine hata kufariki. Ajira hiyo huwa mi ya pesa
kidogo mno. Wao hufanya kazi ya sulubu lakini mshahara mdogo mno.
Wanawake pia hudhulumiwa kwa kubakwa. Kila mwaka kati ya wanawake kumi,
wawili huwa wamejaribu kubakwa. Wanafanyiwa hivyo ndiposa wapate ajira.
Wasipokubali wao hawawezi kuajiriwa. Pia wanawake wanadhulumiwa kwa
kuzalishwa watoto wengi. Wanazalishwa na wanaume kuwachia kazi ya kulea.
Wao hupitia changamoto mingi sana. Ni vyema kama tutasima na tupige vita
hivi. Vita hivi si vya wanawake tu bali pia waume tujitahidi. Tukifanya
hivyo tutakuwa washindi na tutafurahia nchi bila hizi dhuluma.
| Inapasa tuwape wanawake uhuru wa kufanya nini | {
"text": [
"Kutembea"
]
} |
4821_swa | AJALI BARABARANI.
Nimeamua kuzamia swala hili nzima la ajali zilizoko kwenye barabara
zetu. Hii ni baada ya kutembea tembea mwezi huu wa krismasi na kujionea
mengi. Watu wengi wameshindwa kung'amua chanzo haswa cha ajali
barabarani. Kuna wale wanaolaumu madereva. Wengine wanawalaumu askari wa
barabarani. Sijui wewe unamlaumu nani? Wengine wanasema kutoluwa na
alama za barabarani ndicho chanzo kikuu. Labda ni hicho. Mimi nimevalia
njuga jambo hili lote. Si kwa kuangalia sehemu moja na kuacha sehemu
nyingine. La hasha. Nitapegua kila upande. Mwezi huu wa mapumziko
nimeweza kutumia barabara kwa wingi sana. Nimeabiri matwana, pikipiki na
baiskeli. Nimeweza kutumia hata tuktuk. Na nikaweza kujionea tu labda
baadhi ya vyanzo vya ajali katika barabara zetu.
Barabara mbovu ndicho chanzo cha kwanza nilichoona. Barabara zetu zimo
katika hali mbaya. Ni barabara finyu mno. Magari hayawezi kupitana.
Yanapotaka kupitana, inalazimu gari moja kusimama pembeni mwa barabara
ili kubisha gari jingine. Utapata kama ni trekta za miwa, zinayakwaruza
magari haya madogo. Ni hali ambayo imepelekea kuwepo kwa ajali nyingi
hasa upande ule ninakotoka.
Licha ya kuwa na barabara finyu, hamna alama za barabarani. Alama za
kuonyesha labda kuna kona hatari mbele hamna. Hamna alama za kuonyesha
kuna kivuko cha watoto. Hii imechangia pakubwa bodaboda kugonga watoto
kwa wingi. Wengine wameachwa vilema. Isitoshe wengine nao husafirishwa
jongomeo basi nauli. Yafaa serikali kuhakikisha kwamba kunazo alama za
barabarani. Niliweza kutaguzana na baadhi ya madereva. Walinieleza kuwa
alama hizo zipo kwenye baadhi ya barabara. Lakini kuna zile ambazo
zimefutika na hasiwezi kuonekana kamwe. Huezi jua kwamba alama hii
inaonyesha kuna mlima mahali ama yafaa uendeshe gari kwa mwendo wa
kilomita ishirini kwa saa moja. Alama zimefutika na huwa zinawachanganya
madereva.
Chanzo kingine ni ulevi. Ajali nyingi zimeweza kusababishwa na dereva
ambaye amelewa. Ni juzi tu nilipong'amua kwamba sababu kuu za kuongezeka
ajali nyingi ni kuwepo kwa madereva waliolewa. Naikumbuka vizuri sana.
Tarehe ishirini na nane niliweza kuondoka kuona mijuano fulani ya
kandanda huku kwetu. Kwa kuwa mimi ni mraibu wa kutafuta habari niliweza
kupanda pikipiki. Wanarika huita "nduthi". Mwendo wa saa nane mchana
niliabiri pikipiki. Tulikuwa wanne. Mimi, dereva, kidosho fulani mwenye
umri wa miaka kama kumi na sita hivi na baba mmoja. Kwanza tulikuwa
tumeabiri kupita kiasi. Yafaa pikipiki kubeba watu wawili ikienda sana
watu watatu akiwemo dereva. Tulifika kwenye uwanja salama. Kwa kweli
uliwanja ulifirika pomoni kiasi cha kuwatapiga watu wengine. Barabara
ilikuwa na vumbi na magari yalikuwa yanaenda mwendo wa kobe.
Baada ya mijuano kuisha watu walikuwa mbioni kurejea nyumbani.
Nilisubiri kidogo kwani nilijua kwamba kwetu kulikuwa tu pua na mdomo.
Bei ya usafiri waliweka juu. Mahali pa kilomita kumi hivi waliweka
shilingi mia mbili. Kwa kawaida nauli yake huwa shilingi sabini. Ilikuwa
ni siku yao ya kuchota mihela. Basi sekunde zilienda, dakika zikapita na
saa kusonga. Mwendo wa saa mbili hivi na robo nilitaka kusafiri.
Walikuwa hawataki watu wa kuenda karibu kwani mimi ningelipa shilingi
hamsini tu kufika kwangu. Walikataa. Niliendelea kusubiri kwani subira
huvuta heri.
Mwendo wa saa tatu kasorobo dakika kumi hivi hatimaye nilipata pikipiki.
Walikuwa wandani wangu tuliosoma nao shule ya msingi. Yapita miaka nane
tangu tuachane hatukuwa tumepatana. Kwa kweli milima ndio haikutani.
Walionekana kama waliolewa lakini dereva hakuwa amelewa. Tuliabiri
pikipiki hiyo. Tulipanda watu wanne. Tukazidi kuvunja sheria. Sijui
nijilaumu kwa kweli. Tuliondoka na kuanza safari yetu kuelekea nyumbani.
Mwendo wa saa tatu hivi. Insi walikuwa wamejaa barabarani. Alianza
kuonekana mlevi wakati alianza kupiga king'oru ili wampishe. Tulienda na
tulikuwa tunajikaza vizuri. Watatu hao walikuwa wamelewa. Niliwaomba
wanipe usukani wakakataa. Walisema mimi nilikuwa na mwili mdogo na
singeweza kuwabeba. Mwenye nguvu mpishe.
Tulianza kuenda vizuri hadi pale jahazi ilianza kuzama. Gari aina ya
Voksi lilikuwa likija nyuma. Tulikuwa kwenye mlima. Alijaribu sana huku
akipiga king'oru kuashiria kwamba mwenye gari akuje kwa mwendo wa
polepole. Pikipiki yetu iliacha barabara na tukatumbukia kwenye mtaro.
Tulishukuru Mungu kwani hakuna aliachwa na majeraha mabaya. Mwenye gari
aliamuka na kuja kuona ni hali gani tulikuwa. Alipata tu wazima.
Magwanda tuliyokuwa tumeyavalia ndio yalituepusha na majeraha. Isitoshe
ni vile tulikuwa tunaendesha kwa mwendo wa polepole tu. Hapo ndipo
niling'amua kuwa ulevi ndicho chanzo cha ajali mingi. Ikiwa basi umelewa
waweza kumtafuta dereva ambaye atakupeleka uendako. Hakikisha kwamba
kabla uabiri gari dereva wako yuko sawa. Yafaa pia ukumbuke kwamba mtu
huishi mara moja. Na iwapo utavunjika mguu huenda usipate mguu mwingine
kwani mili yetu haina akiba (spare).
Chanzo kingine ni kuzidisha idadi ya abiria. Gari limeandikwa abiria
kumi na wanne. Kama ni basi limeandikwa idadi. Kwa tamaa za utingo
anajaza gari kabisa. Gari linapokuwa limejaa hukosa ustadi. Haliwezi
kuwa sawa. Ndio maana inafaa kuwa na kiwango kifaacho cha abiria.
Magari mabovu pia husababisha ajali. Utapata kwamba magari haya hufika
sehemu fulani na kushindwa kudhibiti kasi yake. Iwapo ni kwenye
mteremko, magari haya huwacha kushika breki. Hii hupelekea kuwepo kwa
ajali. Inanikumbusha wakati fulani hivi. Kulikuwa na dereva wa gari na
pikipiki. Gari lilikuwa bovu na taa zake zilikuwa ni za upande mmoja.
Basi mwendo wa saa mbili hivi wakati giza lishashika na kulikuwa
kunanyesha. Wakati huo hamna magari wala pikipiki nyingi kwenye
barabara. Kwenye upinde wa barabara kukatokea gari likiwa na taa moja
tu. Dereva wa pikipiki naye ametoka huko anataka kupinda naye. Akaona
gari lina taa moja tu. Akadhania ni pikipiki na wanaeza pitana vizuri
tu. Twa! Dereva huyo alijigonga kwenye gari hilo. Abiria wake akavunjika
mguu vibaya sana. Ilikuwa ni huzuni. Walikimbizwa hospitalini.
Magari au pikipiki mbovu yafaa ziondolewe barabarani. Msako mkali
ufanyike ili kuondoa pikipiki na magari mabovu barabarani bila
mapendeleo. Chanzo kingine ni usembe wa kutochukua tahadhari. Wewe kama
abiria unaona gari limejaa abiria lakini unapenya tu ili uingie. Gari ni
bovu lakini wewe abiria huoni na unajitoma ndani. Ni wewe wa kulaumiwa
tu. Mwezi mmoja uliopita ilksikitisha kuona basi moja likizama kwenye
mto Uwenzoi. Hii ilitokana na mapuuza ya dereva na abiria wake.
Inasemekana kwamba unapoona maji ya urefu wa sentimita kumi, haifai.
Kisa cha basi kuzama tulisikia ya kwamba dereva alikuwa amekataa lakini
abiria wakamlazimu. Basi lao liliweza kusombwa na maji na watu ishirini
wakapoteza maisha yao. Ni manusura tu wanne waliobaki. Na pia imeonekana
tu mapuuza hayo si kwa yule dereva tu bali ni kwa kila dereva. Kuna
video ziliweza kusambaa unaona madereva wanajaribu kupita mahali ambapo
kuna maji mengi. Niliona kuwa kumbe madereva wengi wana mapuuza.
Chanzo kingine ni kutokuwa na ukaguzi kabla gari halijaondoka. Ukaguzi
huu husaidia kujua idadi ya abiria. Pia ukaguzi husaidia kuona kama gari
li salama kwa kutembea kwenye barabara zetu. Kuna changamoto tu moja
kwenye huu ukaguzi. Askari wetu wanapenda hongo sana. Wanapokagua gari
wanachukua tu pesa. Hawawezi kuangalia makosa ila ni tumbo zao tu.
Wakipata yule ambaye anakataa kuwapa pesa, basi wanamshika yeye. Akitoa
shilingi hamsini anaachwa. Kumbuka makosa anayotozwa shilingi hamsini ni
makosa ambayo akipelekwa kortini atatozwa laki moja.
Pia mawazo huchangia kusababisha ajali. Mtu anaweza kufikiria na
ajisahau kwamba alikuwa anafikiria. Hii humpelekea yeye kutokuwa na
umakini anapoliendesha gari. Unapochukua gari, pikipiki na hata tuktuk
yafaa uwe sawa. Unapokuwa kwenye mawazo huenda ukazama huko na
kujisahau.
Wengine husema kuwa pia hawa wasichana warembo sana husabisha ajali.
Wanapokuwa kando kando mwa barabara huku wamevalia nguo fupifupi. Sijui
wewe waniunga mkono au la? Kwa asilimia sitini hivi naunga mkono. Hii
hutokea kwa wale wavulana wadogo ambao wamo kwenye rika ya kubadilika
kwa mwili. Yaani ( adolescence). Hata pia wazee wenye mate.
Inanikumbusha ajali moja niliyeishuhudia. Ghulamu mmoja alikuwa
akiendesha pikipiki yake. Basi akapita mwanadada aliyekuwa ameumbika
kweli kweli. Alikuwa mwenye shingo la upanga. Macho yake ya koloni
ilivutia sana. Alikuwa mwenye umbo la wastani na alikamilishwa kwa kiuno
cha bunzi. Alikuwa mwenye rangi ya dhahabu.
Alipopita kijana huyu alimsalimu. Hakujibu. Akaendelea kumwongelesha
huku ameangalia nyuma. "Wewe ni mrembo. Mimi nishakipenda. Kwenu ni
wapi? Nikuje nikubebe?" Alimsaili maswali kweli kweli. Na kumbuka
anaendesha pikipiki huku ameangalia nyuma. Pa! Aligonga mtini kando ya
barabara. Alivunjika vibaya vibaya akawa si wa mchele wala uji. Binti
huyo akaanza kulaumiwa bure bilashi. Kwa kweli macho hayana pazia.
Alichukuliwa na kupelekwa hospitalini. Ama kweli ulikuwa ni msiba wa
kujitakia hauambiwi.....
Ni vyema kama tutashirikiana ili kuhakikisha kwamba tunapiga vita hivi
vya ajali barabarani. Wengi wameachwa yatima. Wengine wajane. Yote
sababu ni ajali hizi. Wasemavyo ajali haina kinga lakini kinga ipo.
Kinga ni sisi. Tuzushe tunapoona makosa. Kwani ukimficha fisi atakula
wewe.
| Nini ziko kwenye barabara zetu | {
"text": [
"ajali"
]
} |
4821_swa | AJALI BARABARANI.
Nimeamua kuzamia swala hili nzima la ajali zilizoko kwenye barabara
zetu. Hii ni baada ya kutembea tembea mwezi huu wa krismasi na kujionea
mengi. Watu wengi wameshindwa kung'amua chanzo haswa cha ajali
barabarani. Kuna wale wanaolaumu madereva. Wengine wanawalaumu askari wa
barabarani. Sijui wewe unamlaumu nani? Wengine wanasema kutoluwa na
alama za barabarani ndicho chanzo kikuu. Labda ni hicho. Mimi nimevalia
njuga jambo hili lote. Si kwa kuangalia sehemu moja na kuacha sehemu
nyingine. La hasha. Nitapegua kila upande. Mwezi huu wa mapumziko
nimeweza kutumia barabara kwa wingi sana. Nimeabiri matwana, pikipiki na
baiskeli. Nimeweza kutumia hata tuktuk. Na nikaweza kujionea tu labda
baadhi ya vyanzo vya ajali katika barabara zetu.
Barabara mbovu ndicho chanzo cha kwanza nilichoona. Barabara zetu zimo
katika hali mbaya. Ni barabara finyu mno. Magari hayawezi kupitana.
Yanapotaka kupitana, inalazimu gari moja kusimama pembeni mwa barabara
ili kubisha gari jingine. Utapata kama ni trekta za miwa, zinayakwaruza
magari haya madogo. Ni hali ambayo imepelekea kuwepo kwa ajali nyingi
hasa upande ule ninakotoka.
Licha ya kuwa na barabara finyu, hamna alama za barabarani. Alama za
kuonyesha labda kuna kona hatari mbele hamna. Hamna alama za kuonyesha
kuna kivuko cha watoto. Hii imechangia pakubwa bodaboda kugonga watoto
kwa wingi. Wengine wameachwa vilema. Isitoshe wengine nao husafirishwa
jongomeo basi nauli. Yafaa serikali kuhakikisha kwamba kunazo alama za
barabarani. Niliweza kutaguzana na baadhi ya madereva. Walinieleza kuwa
alama hizo zipo kwenye baadhi ya barabara. Lakini kuna zile ambazo
zimefutika na hasiwezi kuonekana kamwe. Huezi jua kwamba alama hii
inaonyesha kuna mlima mahali ama yafaa uendeshe gari kwa mwendo wa
kilomita ishirini kwa saa moja. Alama zimefutika na huwa zinawachanganya
madereva.
Chanzo kingine ni ulevi. Ajali nyingi zimeweza kusababishwa na dereva
ambaye amelewa. Ni juzi tu nilipong'amua kwamba sababu kuu za kuongezeka
ajali nyingi ni kuwepo kwa madereva waliolewa. Naikumbuka vizuri sana.
Tarehe ishirini na nane niliweza kuondoka kuona mijuano fulani ya
kandanda huku kwetu. Kwa kuwa mimi ni mraibu wa kutafuta habari niliweza
kupanda pikipiki. Wanarika huita "nduthi". Mwendo wa saa nane mchana
niliabiri pikipiki. Tulikuwa wanne. Mimi, dereva, kidosho fulani mwenye
umri wa miaka kama kumi na sita hivi na baba mmoja. Kwanza tulikuwa
tumeabiri kupita kiasi. Yafaa pikipiki kubeba watu wawili ikienda sana
watu watatu akiwemo dereva. Tulifika kwenye uwanja salama. Kwa kweli
uliwanja ulifirika pomoni kiasi cha kuwatapiga watu wengine. Barabara
ilikuwa na vumbi na magari yalikuwa yanaenda mwendo wa kobe.
Baada ya mijuano kuisha watu walikuwa mbioni kurejea nyumbani.
Nilisubiri kidogo kwani nilijua kwamba kwetu kulikuwa tu pua na mdomo.
Bei ya usafiri waliweka juu. Mahali pa kilomita kumi hivi waliweka
shilingi mia mbili. Kwa kawaida nauli yake huwa shilingi sabini. Ilikuwa
ni siku yao ya kuchota mihela. Basi sekunde zilienda, dakika zikapita na
saa kusonga. Mwendo wa saa mbili hivi na robo nilitaka kusafiri.
Walikuwa hawataki watu wa kuenda karibu kwani mimi ningelipa shilingi
hamsini tu kufika kwangu. Walikataa. Niliendelea kusubiri kwani subira
huvuta heri.
Mwendo wa saa tatu kasorobo dakika kumi hivi hatimaye nilipata pikipiki.
Walikuwa wandani wangu tuliosoma nao shule ya msingi. Yapita miaka nane
tangu tuachane hatukuwa tumepatana. Kwa kweli milima ndio haikutani.
Walionekana kama waliolewa lakini dereva hakuwa amelewa. Tuliabiri
pikipiki hiyo. Tulipanda watu wanne. Tukazidi kuvunja sheria. Sijui
nijilaumu kwa kweli. Tuliondoka na kuanza safari yetu kuelekea nyumbani.
Mwendo wa saa tatu hivi. Insi walikuwa wamejaa barabarani. Alianza
kuonekana mlevi wakati alianza kupiga king'oru ili wampishe. Tulienda na
tulikuwa tunajikaza vizuri. Watatu hao walikuwa wamelewa. Niliwaomba
wanipe usukani wakakataa. Walisema mimi nilikuwa na mwili mdogo na
singeweza kuwabeba. Mwenye nguvu mpishe.
Tulianza kuenda vizuri hadi pale jahazi ilianza kuzama. Gari aina ya
Voksi lilikuwa likija nyuma. Tulikuwa kwenye mlima. Alijaribu sana huku
akipiga king'oru kuashiria kwamba mwenye gari akuje kwa mwendo wa
polepole. Pikipiki yetu iliacha barabara na tukatumbukia kwenye mtaro.
Tulishukuru Mungu kwani hakuna aliachwa na majeraha mabaya. Mwenye gari
aliamuka na kuja kuona ni hali gani tulikuwa. Alipata tu wazima.
Magwanda tuliyokuwa tumeyavalia ndio yalituepusha na majeraha. Isitoshe
ni vile tulikuwa tunaendesha kwa mwendo wa polepole tu. Hapo ndipo
niling'amua kuwa ulevi ndicho chanzo cha ajali mingi. Ikiwa basi umelewa
waweza kumtafuta dereva ambaye atakupeleka uendako. Hakikisha kwamba
kabla uabiri gari dereva wako yuko sawa. Yafaa pia ukumbuke kwamba mtu
huishi mara moja. Na iwapo utavunjika mguu huenda usipate mguu mwingine
kwani mili yetu haina akiba (spare).
Chanzo kingine ni kuzidisha idadi ya abiria. Gari limeandikwa abiria
kumi na wanne. Kama ni basi limeandikwa idadi. Kwa tamaa za utingo
anajaza gari kabisa. Gari linapokuwa limejaa hukosa ustadi. Haliwezi
kuwa sawa. Ndio maana inafaa kuwa na kiwango kifaacho cha abiria.
Magari mabovu pia husababisha ajali. Utapata kwamba magari haya hufika
sehemu fulani na kushindwa kudhibiti kasi yake. Iwapo ni kwenye
mteremko, magari haya huwacha kushika breki. Hii hupelekea kuwepo kwa
ajali. Inanikumbusha wakati fulani hivi. Kulikuwa na dereva wa gari na
pikipiki. Gari lilikuwa bovu na taa zake zilikuwa ni za upande mmoja.
Basi mwendo wa saa mbili hivi wakati giza lishashika na kulikuwa
kunanyesha. Wakati huo hamna magari wala pikipiki nyingi kwenye
barabara. Kwenye upinde wa barabara kukatokea gari likiwa na taa moja
tu. Dereva wa pikipiki naye ametoka huko anataka kupinda naye. Akaona
gari lina taa moja tu. Akadhania ni pikipiki na wanaeza pitana vizuri
tu. Twa! Dereva huyo alijigonga kwenye gari hilo. Abiria wake akavunjika
mguu vibaya sana. Ilikuwa ni huzuni. Walikimbizwa hospitalini.
Magari au pikipiki mbovu yafaa ziondolewe barabarani. Msako mkali
ufanyike ili kuondoa pikipiki na magari mabovu barabarani bila
mapendeleo. Chanzo kingine ni usembe wa kutochukua tahadhari. Wewe kama
abiria unaona gari limejaa abiria lakini unapenya tu ili uingie. Gari ni
bovu lakini wewe abiria huoni na unajitoma ndani. Ni wewe wa kulaumiwa
tu. Mwezi mmoja uliopita ilksikitisha kuona basi moja likizama kwenye
mto Uwenzoi. Hii ilitokana na mapuuza ya dereva na abiria wake.
Inasemekana kwamba unapoona maji ya urefu wa sentimita kumi, haifai.
Kisa cha basi kuzama tulisikia ya kwamba dereva alikuwa amekataa lakini
abiria wakamlazimu. Basi lao liliweza kusombwa na maji na watu ishirini
wakapoteza maisha yao. Ni manusura tu wanne waliobaki. Na pia imeonekana
tu mapuuza hayo si kwa yule dereva tu bali ni kwa kila dereva. Kuna
video ziliweza kusambaa unaona madereva wanajaribu kupita mahali ambapo
kuna maji mengi. Niliona kuwa kumbe madereva wengi wana mapuuza.
Chanzo kingine ni kutokuwa na ukaguzi kabla gari halijaondoka. Ukaguzi
huu husaidia kujua idadi ya abiria. Pia ukaguzi husaidia kuona kama gari
li salama kwa kutembea kwenye barabara zetu. Kuna changamoto tu moja
kwenye huu ukaguzi. Askari wetu wanapenda hongo sana. Wanapokagua gari
wanachukua tu pesa. Hawawezi kuangalia makosa ila ni tumbo zao tu.
Wakipata yule ambaye anakataa kuwapa pesa, basi wanamshika yeye. Akitoa
shilingi hamsini anaachwa. Kumbuka makosa anayotozwa shilingi hamsini ni
makosa ambayo akipelekwa kortini atatozwa laki moja.
Pia mawazo huchangia kusababisha ajali. Mtu anaweza kufikiria na
ajisahau kwamba alikuwa anafikiria. Hii humpelekea yeye kutokuwa na
umakini anapoliendesha gari. Unapochukua gari, pikipiki na hata tuktuk
yafaa uwe sawa. Unapokuwa kwenye mawazo huenda ukazama huko na
kujisahau.
Wengine husema kuwa pia hawa wasichana warembo sana husabisha ajali.
Wanapokuwa kando kando mwa barabara huku wamevalia nguo fupifupi. Sijui
wewe waniunga mkono au la? Kwa asilimia sitini hivi naunga mkono. Hii
hutokea kwa wale wavulana wadogo ambao wamo kwenye rika ya kubadilika
kwa mwili. Yaani ( adolescence). Hata pia wazee wenye mate.
Inanikumbusha ajali moja niliyeishuhudia. Ghulamu mmoja alikuwa
akiendesha pikipiki yake. Basi akapita mwanadada aliyekuwa ameumbika
kweli kweli. Alikuwa mwenye shingo la upanga. Macho yake ya koloni
ilivutia sana. Alikuwa mwenye umbo la wastani na alikamilishwa kwa kiuno
cha bunzi. Alikuwa mwenye rangi ya dhahabu.
Alipopita kijana huyu alimsalimu. Hakujibu. Akaendelea kumwongelesha
huku ameangalia nyuma. "Wewe ni mrembo. Mimi nishakipenda. Kwenu ni
wapi? Nikuje nikubebe?" Alimsaili maswali kweli kweli. Na kumbuka
anaendesha pikipiki huku ameangalia nyuma. Pa! Aligonga mtini kando ya
barabara. Alivunjika vibaya vibaya akawa si wa mchele wala uji. Binti
huyo akaanza kulaumiwa bure bilashi. Kwa kweli macho hayana pazia.
Alichukuliwa na kupelekwa hospitalini. Ama kweli ulikuwa ni msiba wa
kujitakia hauambiwi.....
Ni vyema kama tutashirikiana ili kuhakikisha kwamba tunapiga vita hivi
vya ajali barabarani. Wengi wameachwa yatima. Wengine wajane. Yote
sababu ni ajali hizi. Wasemavyo ajali haina kinga lakini kinga ipo.
Kinga ni sisi. Tuzushe tunapoona makosa. Kwani ukimficha fisi atakula
wewe.
| Alitembea tembea lini | {
"text": [
"mwezi wa Krismasi"
]
} |
4821_swa | AJALI BARABARANI.
Nimeamua kuzamia swala hili nzima la ajali zilizoko kwenye barabara
zetu. Hii ni baada ya kutembea tembea mwezi huu wa krismasi na kujionea
mengi. Watu wengi wameshindwa kung'amua chanzo haswa cha ajali
barabarani. Kuna wale wanaolaumu madereva. Wengine wanawalaumu askari wa
barabarani. Sijui wewe unamlaumu nani? Wengine wanasema kutoluwa na
alama za barabarani ndicho chanzo kikuu. Labda ni hicho. Mimi nimevalia
njuga jambo hili lote. Si kwa kuangalia sehemu moja na kuacha sehemu
nyingine. La hasha. Nitapegua kila upande. Mwezi huu wa mapumziko
nimeweza kutumia barabara kwa wingi sana. Nimeabiri matwana, pikipiki na
baiskeli. Nimeweza kutumia hata tuktuk. Na nikaweza kujionea tu labda
baadhi ya vyanzo vya ajali katika barabara zetu.
Barabara mbovu ndicho chanzo cha kwanza nilichoona. Barabara zetu zimo
katika hali mbaya. Ni barabara finyu mno. Magari hayawezi kupitana.
Yanapotaka kupitana, inalazimu gari moja kusimama pembeni mwa barabara
ili kubisha gari jingine. Utapata kama ni trekta za miwa, zinayakwaruza
magari haya madogo. Ni hali ambayo imepelekea kuwepo kwa ajali nyingi
hasa upande ule ninakotoka.
Licha ya kuwa na barabara finyu, hamna alama za barabarani. Alama za
kuonyesha labda kuna kona hatari mbele hamna. Hamna alama za kuonyesha
kuna kivuko cha watoto. Hii imechangia pakubwa bodaboda kugonga watoto
kwa wingi. Wengine wameachwa vilema. Isitoshe wengine nao husafirishwa
jongomeo basi nauli. Yafaa serikali kuhakikisha kwamba kunazo alama za
barabarani. Niliweza kutaguzana na baadhi ya madereva. Walinieleza kuwa
alama hizo zipo kwenye baadhi ya barabara. Lakini kuna zile ambazo
zimefutika na hasiwezi kuonekana kamwe. Huezi jua kwamba alama hii
inaonyesha kuna mlima mahali ama yafaa uendeshe gari kwa mwendo wa
kilomita ishirini kwa saa moja. Alama zimefutika na huwa zinawachanganya
madereva.
Chanzo kingine ni ulevi. Ajali nyingi zimeweza kusababishwa na dereva
ambaye amelewa. Ni juzi tu nilipong'amua kwamba sababu kuu za kuongezeka
ajali nyingi ni kuwepo kwa madereva waliolewa. Naikumbuka vizuri sana.
Tarehe ishirini na nane niliweza kuondoka kuona mijuano fulani ya
kandanda huku kwetu. Kwa kuwa mimi ni mraibu wa kutafuta habari niliweza
kupanda pikipiki. Wanarika huita "nduthi". Mwendo wa saa nane mchana
niliabiri pikipiki. Tulikuwa wanne. Mimi, dereva, kidosho fulani mwenye
umri wa miaka kama kumi na sita hivi na baba mmoja. Kwanza tulikuwa
tumeabiri kupita kiasi. Yafaa pikipiki kubeba watu wawili ikienda sana
watu watatu akiwemo dereva. Tulifika kwenye uwanja salama. Kwa kweli
uliwanja ulifirika pomoni kiasi cha kuwatapiga watu wengine. Barabara
ilikuwa na vumbi na magari yalikuwa yanaenda mwendo wa kobe.
Baada ya mijuano kuisha watu walikuwa mbioni kurejea nyumbani.
Nilisubiri kidogo kwani nilijua kwamba kwetu kulikuwa tu pua na mdomo.
Bei ya usafiri waliweka juu. Mahali pa kilomita kumi hivi waliweka
shilingi mia mbili. Kwa kawaida nauli yake huwa shilingi sabini. Ilikuwa
ni siku yao ya kuchota mihela. Basi sekunde zilienda, dakika zikapita na
saa kusonga. Mwendo wa saa mbili hivi na robo nilitaka kusafiri.
Walikuwa hawataki watu wa kuenda karibu kwani mimi ningelipa shilingi
hamsini tu kufika kwangu. Walikataa. Niliendelea kusubiri kwani subira
huvuta heri.
Mwendo wa saa tatu kasorobo dakika kumi hivi hatimaye nilipata pikipiki.
Walikuwa wandani wangu tuliosoma nao shule ya msingi. Yapita miaka nane
tangu tuachane hatukuwa tumepatana. Kwa kweli milima ndio haikutani.
Walionekana kama waliolewa lakini dereva hakuwa amelewa. Tuliabiri
pikipiki hiyo. Tulipanda watu wanne. Tukazidi kuvunja sheria. Sijui
nijilaumu kwa kweli. Tuliondoka na kuanza safari yetu kuelekea nyumbani.
Mwendo wa saa tatu hivi. Insi walikuwa wamejaa barabarani. Alianza
kuonekana mlevi wakati alianza kupiga king'oru ili wampishe. Tulienda na
tulikuwa tunajikaza vizuri. Watatu hao walikuwa wamelewa. Niliwaomba
wanipe usukani wakakataa. Walisema mimi nilikuwa na mwili mdogo na
singeweza kuwabeba. Mwenye nguvu mpishe.
Tulianza kuenda vizuri hadi pale jahazi ilianza kuzama. Gari aina ya
Voksi lilikuwa likija nyuma. Tulikuwa kwenye mlima. Alijaribu sana huku
akipiga king'oru kuashiria kwamba mwenye gari akuje kwa mwendo wa
polepole. Pikipiki yetu iliacha barabara na tukatumbukia kwenye mtaro.
Tulishukuru Mungu kwani hakuna aliachwa na majeraha mabaya. Mwenye gari
aliamuka na kuja kuona ni hali gani tulikuwa. Alipata tu wazima.
Magwanda tuliyokuwa tumeyavalia ndio yalituepusha na majeraha. Isitoshe
ni vile tulikuwa tunaendesha kwa mwendo wa polepole tu. Hapo ndipo
niling'amua kuwa ulevi ndicho chanzo cha ajali mingi. Ikiwa basi umelewa
waweza kumtafuta dereva ambaye atakupeleka uendako. Hakikisha kwamba
kabla uabiri gari dereva wako yuko sawa. Yafaa pia ukumbuke kwamba mtu
huishi mara moja. Na iwapo utavunjika mguu huenda usipate mguu mwingine
kwani mili yetu haina akiba (spare).
Chanzo kingine ni kuzidisha idadi ya abiria. Gari limeandikwa abiria
kumi na wanne. Kama ni basi limeandikwa idadi. Kwa tamaa za utingo
anajaza gari kabisa. Gari linapokuwa limejaa hukosa ustadi. Haliwezi
kuwa sawa. Ndio maana inafaa kuwa na kiwango kifaacho cha abiria.
Magari mabovu pia husababisha ajali. Utapata kwamba magari haya hufika
sehemu fulani na kushindwa kudhibiti kasi yake. Iwapo ni kwenye
mteremko, magari haya huwacha kushika breki. Hii hupelekea kuwepo kwa
ajali. Inanikumbusha wakati fulani hivi. Kulikuwa na dereva wa gari na
pikipiki. Gari lilikuwa bovu na taa zake zilikuwa ni za upande mmoja.
Basi mwendo wa saa mbili hivi wakati giza lishashika na kulikuwa
kunanyesha. Wakati huo hamna magari wala pikipiki nyingi kwenye
barabara. Kwenye upinde wa barabara kukatokea gari likiwa na taa moja
tu. Dereva wa pikipiki naye ametoka huko anataka kupinda naye. Akaona
gari lina taa moja tu. Akadhania ni pikipiki na wanaeza pitana vizuri
tu. Twa! Dereva huyo alijigonga kwenye gari hilo. Abiria wake akavunjika
mguu vibaya sana. Ilikuwa ni huzuni. Walikimbizwa hospitalini.
Magari au pikipiki mbovu yafaa ziondolewe barabarani. Msako mkali
ufanyike ili kuondoa pikipiki na magari mabovu barabarani bila
mapendeleo. Chanzo kingine ni usembe wa kutochukua tahadhari. Wewe kama
abiria unaona gari limejaa abiria lakini unapenya tu ili uingie. Gari ni
bovu lakini wewe abiria huoni na unajitoma ndani. Ni wewe wa kulaumiwa
tu. Mwezi mmoja uliopita ilksikitisha kuona basi moja likizama kwenye
mto Uwenzoi. Hii ilitokana na mapuuza ya dereva na abiria wake.
Inasemekana kwamba unapoona maji ya urefu wa sentimita kumi, haifai.
Kisa cha basi kuzama tulisikia ya kwamba dereva alikuwa amekataa lakini
abiria wakamlazimu. Basi lao liliweza kusombwa na maji na watu ishirini
wakapoteza maisha yao. Ni manusura tu wanne waliobaki. Na pia imeonekana
tu mapuuza hayo si kwa yule dereva tu bali ni kwa kila dereva. Kuna
video ziliweza kusambaa unaona madereva wanajaribu kupita mahali ambapo
kuna maji mengi. Niliona kuwa kumbe madereva wengi wana mapuuza.
Chanzo kingine ni kutokuwa na ukaguzi kabla gari halijaondoka. Ukaguzi
huu husaidia kujua idadi ya abiria. Pia ukaguzi husaidia kuona kama gari
li salama kwa kutembea kwenye barabara zetu. Kuna changamoto tu moja
kwenye huu ukaguzi. Askari wetu wanapenda hongo sana. Wanapokagua gari
wanachukua tu pesa. Hawawezi kuangalia makosa ila ni tumbo zao tu.
Wakipata yule ambaye anakataa kuwapa pesa, basi wanamshika yeye. Akitoa
shilingi hamsini anaachwa. Kumbuka makosa anayotozwa shilingi hamsini ni
makosa ambayo akipelekwa kortini atatozwa laki moja.
Pia mawazo huchangia kusababisha ajali. Mtu anaweza kufikiria na
ajisahau kwamba alikuwa anafikiria. Hii humpelekea yeye kutokuwa na
umakini anapoliendesha gari. Unapochukua gari, pikipiki na hata tuktuk
yafaa uwe sawa. Unapokuwa kwenye mawazo huenda ukazama huko na
kujisahau.
Wengine husema kuwa pia hawa wasichana warembo sana husabisha ajali.
Wanapokuwa kando kando mwa barabara huku wamevalia nguo fupifupi. Sijui
wewe waniunga mkono au la? Kwa asilimia sitini hivi naunga mkono. Hii
hutokea kwa wale wavulana wadogo ambao wamo kwenye rika ya kubadilika
kwa mwili. Yaani ( adolescence). Hata pia wazee wenye mate.
Inanikumbusha ajali moja niliyeishuhudia. Ghulamu mmoja alikuwa
akiendesha pikipiki yake. Basi akapita mwanadada aliyekuwa ameumbika
kweli kweli. Alikuwa mwenye shingo la upanga. Macho yake ya koloni
ilivutia sana. Alikuwa mwenye umbo la wastani na alikamilishwa kwa kiuno
cha bunzi. Alikuwa mwenye rangi ya dhahabu.
Alipopita kijana huyu alimsalimu. Hakujibu. Akaendelea kumwongelesha
huku ameangalia nyuma. "Wewe ni mrembo. Mimi nishakipenda. Kwenu ni
wapi? Nikuje nikubebe?" Alimsaili maswali kweli kweli. Na kumbuka
anaendesha pikipiki huku ameangalia nyuma. Pa! Aligonga mtini kando ya
barabara. Alivunjika vibaya vibaya akawa si wa mchele wala uji. Binti
huyo akaanza kulaumiwa bure bilashi. Kwa kweli macho hayana pazia.
Alichukuliwa na kupelekwa hospitalini. Ama kweli ulikuwa ni msiba wa
kujitakia hauambiwi.....
Ni vyema kama tutashirikiana ili kuhakikisha kwamba tunapiga vita hivi
vya ajali barabarani. Wengi wameachwa yatima. Wengine wajane. Yote
sababu ni ajali hizi. Wasemavyo ajali haina kinga lakini kinga ipo.
Kinga ni sisi. Tuzushe tunapoona makosa. Kwani ukimficha fisi atakula
wewe.
| Barabara zetu zimo katika hali gani | {
"text": [
"mbaya"
]
} |
4821_swa | AJALI BARABARANI.
Nimeamua kuzamia swala hili nzima la ajali zilizoko kwenye barabara
zetu. Hii ni baada ya kutembea tembea mwezi huu wa krismasi na kujionea
mengi. Watu wengi wameshindwa kung'amua chanzo haswa cha ajali
barabarani. Kuna wale wanaolaumu madereva. Wengine wanawalaumu askari wa
barabarani. Sijui wewe unamlaumu nani? Wengine wanasema kutoluwa na
alama za barabarani ndicho chanzo kikuu. Labda ni hicho. Mimi nimevalia
njuga jambo hili lote. Si kwa kuangalia sehemu moja na kuacha sehemu
nyingine. La hasha. Nitapegua kila upande. Mwezi huu wa mapumziko
nimeweza kutumia barabara kwa wingi sana. Nimeabiri matwana, pikipiki na
baiskeli. Nimeweza kutumia hata tuktuk. Na nikaweza kujionea tu labda
baadhi ya vyanzo vya ajali katika barabara zetu.
Barabara mbovu ndicho chanzo cha kwanza nilichoona. Barabara zetu zimo
katika hali mbaya. Ni barabara finyu mno. Magari hayawezi kupitana.
Yanapotaka kupitana, inalazimu gari moja kusimama pembeni mwa barabara
ili kubisha gari jingine. Utapata kama ni trekta za miwa, zinayakwaruza
magari haya madogo. Ni hali ambayo imepelekea kuwepo kwa ajali nyingi
hasa upande ule ninakotoka.
Licha ya kuwa na barabara finyu, hamna alama za barabarani. Alama za
kuonyesha labda kuna kona hatari mbele hamna. Hamna alama za kuonyesha
kuna kivuko cha watoto. Hii imechangia pakubwa bodaboda kugonga watoto
kwa wingi. Wengine wameachwa vilema. Isitoshe wengine nao husafirishwa
jongomeo basi nauli. Yafaa serikali kuhakikisha kwamba kunazo alama za
barabarani. Niliweza kutaguzana na baadhi ya madereva. Walinieleza kuwa
alama hizo zipo kwenye baadhi ya barabara. Lakini kuna zile ambazo
zimefutika na hasiwezi kuonekana kamwe. Huezi jua kwamba alama hii
inaonyesha kuna mlima mahali ama yafaa uendeshe gari kwa mwendo wa
kilomita ishirini kwa saa moja. Alama zimefutika na huwa zinawachanganya
madereva.
Chanzo kingine ni ulevi. Ajali nyingi zimeweza kusababishwa na dereva
ambaye amelewa. Ni juzi tu nilipong'amua kwamba sababu kuu za kuongezeka
ajali nyingi ni kuwepo kwa madereva waliolewa. Naikumbuka vizuri sana.
Tarehe ishirini na nane niliweza kuondoka kuona mijuano fulani ya
kandanda huku kwetu. Kwa kuwa mimi ni mraibu wa kutafuta habari niliweza
kupanda pikipiki. Wanarika huita "nduthi". Mwendo wa saa nane mchana
niliabiri pikipiki. Tulikuwa wanne. Mimi, dereva, kidosho fulani mwenye
umri wa miaka kama kumi na sita hivi na baba mmoja. Kwanza tulikuwa
tumeabiri kupita kiasi. Yafaa pikipiki kubeba watu wawili ikienda sana
watu watatu akiwemo dereva. Tulifika kwenye uwanja salama. Kwa kweli
uliwanja ulifirika pomoni kiasi cha kuwatapiga watu wengine. Barabara
ilikuwa na vumbi na magari yalikuwa yanaenda mwendo wa kobe.
Baada ya mijuano kuisha watu walikuwa mbioni kurejea nyumbani.
Nilisubiri kidogo kwani nilijua kwamba kwetu kulikuwa tu pua na mdomo.
Bei ya usafiri waliweka juu. Mahali pa kilomita kumi hivi waliweka
shilingi mia mbili. Kwa kawaida nauli yake huwa shilingi sabini. Ilikuwa
ni siku yao ya kuchota mihela. Basi sekunde zilienda, dakika zikapita na
saa kusonga. Mwendo wa saa mbili hivi na robo nilitaka kusafiri.
Walikuwa hawataki watu wa kuenda karibu kwani mimi ningelipa shilingi
hamsini tu kufika kwangu. Walikataa. Niliendelea kusubiri kwani subira
huvuta heri.
Mwendo wa saa tatu kasorobo dakika kumi hivi hatimaye nilipata pikipiki.
Walikuwa wandani wangu tuliosoma nao shule ya msingi. Yapita miaka nane
tangu tuachane hatukuwa tumepatana. Kwa kweli milima ndio haikutani.
Walionekana kama waliolewa lakini dereva hakuwa amelewa. Tuliabiri
pikipiki hiyo. Tulipanda watu wanne. Tukazidi kuvunja sheria. Sijui
nijilaumu kwa kweli. Tuliondoka na kuanza safari yetu kuelekea nyumbani.
Mwendo wa saa tatu hivi. Insi walikuwa wamejaa barabarani. Alianza
kuonekana mlevi wakati alianza kupiga king'oru ili wampishe. Tulienda na
tulikuwa tunajikaza vizuri. Watatu hao walikuwa wamelewa. Niliwaomba
wanipe usukani wakakataa. Walisema mimi nilikuwa na mwili mdogo na
singeweza kuwabeba. Mwenye nguvu mpishe.
Tulianza kuenda vizuri hadi pale jahazi ilianza kuzama. Gari aina ya
Voksi lilikuwa likija nyuma. Tulikuwa kwenye mlima. Alijaribu sana huku
akipiga king'oru kuashiria kwamba mwenye gari akuje kwa mwendo wa
polepole. Pikipiki yetu iliacha barabara na tukatumbukia kwenye mtaro.
Tulishukuru Mungu kwani hakuna aliachwa na majeraha mabaya. Mwenye gari
aliamuka na kuja kuona ni hali gani tulikuwa. Alipata tu wazima.
Magwanda tuliyokuwa tumeyavalia ndio yalituepusha na majeraha. Isitoshe
ni vile tulikuwa tunaendesha kwa mwendo wa polepole tu. Hapo ndipo
niling'amua kuwa ulevi ndicho chanzo cha ajali mingi. Ikiwa basi umelewa
waweza kumtafuta dereva ambaye atakupeleka uendako. Hakikisha kwamba
kabla uabiri gari dereva wako yuko sawa. Yafaa pia ukumbuke kwamba mtu
huishi mara moja. Na iwapo utavunjika mguu huenda usipate mguu mwingine
kwani mili yetu haina akiba (spare).
Chanzo kingine ni kuzidisha idadi ya abiria. Gari limeandikwa abiria
kumi na wanne. Kama ni basi limeandikwa idadi. Kwa tamaa za utingo
anajaza gari kabisa. Gari linapokuwa limejaa hukosa ustadi. Haliwezi
kuwa sawa. Ndio maana inafaa kuwa na kiwango kifaacho cha abiria.
Magari mabovu pia husababisha ajali. Utapata kwamba magari haya hufika
sehemu fulani na kushindwa kudhibiti kasi yake. Iwapo ni kwenye
mteremko, magari haya huwacha kushika breki. Hii hupelekea kuwepo kwa
ajali. Inanikumbusha wakati fulani hivi. Kulikuwa na dereva wa gari na
pikipiki. Gari lilikuwa bovu na taa zake zilikuwa ni za upande mmoja.
Basi mwendo wa saa mbili hivi wakati giza lishashika na kulikuwa
kunanyesha. Wakati huo hamna magari wala pikipiki nyingi kwenye
barabara. Kwenye upinde wa barabara kukatokea gari likiwa na taa moja
tu. Dereva wa pikipiki naye ametoka huko anataka kupinda naye. Akaona
gari lina taa moja tu. Akadhania ni pikipiki na wanaeza pitana vizuri
tu. Twa! Dereva huyo alijigonga kwenye gari hilo. Abiria wake akavunjika
mguu vibaya sana. Ilikuwa ni huzuni. Walikimbizwa hospitalini.
Magari au pikipiki mbovu yafaa ziondolewe barabarani. Msako mkali
ufanyike ili kuondoa pikipiki na magari mabovu barabarani bila
mapendeleo. Chanzo kingine ni usembe wa kutochukua tahadhari. Wewe kama
abiria unaona gari limejaa abiria lakini unapenya tu ili uingie. Gari ni
bovu lakini wewe abiria huoni na unajitoma ndani. Ni wewe wa kulaumiwa
tu. Mwezi mmoja uliopita ilksikitisha kuona basi moja likizama kwenye
mto Uwenzoi. Hii ilitokana na mapuuza ya dereva na abiria wake.
Inasemekana kwamba unapoona maji ya urefu wa sentimita kumi, haifai.
Kisa cha basi kuzama tulisikia ya kwamba dereva alikuwa amekataa lakini
abiria wakamlazimu. Basi lao liliweza kusombwa na maji na watu ishirini
wakapoteza maisha yao. Ni manusura tu wanne waliobaki. Na pia imeonekana
tu mapuuza hayo si kwa yule dereva tu bali ni kwa kila dereva. Kuna
video ziliweza kusambaa unaona madereva wanajaribu kupita mahali ambapo
kuna maji mengi. Niliona kuwa kumbe madereva wengi wana mapuuza.
Chanzo kingine ni kutokuwa na ukaguzi kabla gari halijaondoka. Ukaguzi
huu husaidia kujua idadi ya abiria. Pia ukaguzi husaidia kuona kama gari
li salama kwa kutembea kwenye barabara zetu. Kuna changamoto tu moja
kwenye huu ukaguzi. Askari wetu wanapenda hongo sana. Wanapokagua gari
wanachukua tu pesa. Hawawezi kuangalia makosa ila ni tumbo zao tu.
Wakipata yule ambaye anakataa kuwapa pesa, basi wanamshika yeye. Akitoa
shilingi hamsini anaachwa. Kumbuka makosa anayotozwa shilingi hamsini ni
makosa ambayo akipelekwa kortini atatozwa laki moja.
Pia mawazo huchangia kusababisha ajali. Mtu anaweza kufikiria na
ajisahau kwamba alikuwa anafikiria. Hii humpelekea yeye kutokuwa na
umakini anapoliendesha gari. Unapochukua gari, pikipiki na hata tuktuk
yafaa uwe sawa. Unapokuwa kwenye mawazo huenda ukazama huko na
kujisahau.
Wengine husema kuwa pia hawa wasichana warembo sana husabisha ajali.
Wanapokuwa kando kando mwa barabara huku wamevalia nguo fupifupi. Sijui
wewe waniunga mkono au la? Kwa asilimia sitini hivi naunga mkono. Hii
hutokea kwa wale wavulana wadogo ambao wamo kwenye rika ya kubadilika
kwa mwili. Yaani ( adolescence). Hata pia wazee wenye mate.
Inanikumbusha ajali moja niliyeishuhudia. Ghulamu mmoja alikuwa
akiendesha pikipiki yake. Basi akapita mwanadada aliyekuwa ameumbika
kweli kweli. Alikuwa mwenye shingo la upanga. Macho yake ya koloni
ilivutia sana. Alikuwa mwenye umbo la wastani na alikamilishwa kwa kiuno
cha bunzi. Alikuwa mwenye rangi ya dhahabu.
Alipopita kijana huyu alimsalimu. Hakujibu. Akaendelea kumwongelesha
huku ameangalia nyuma. "Wewe ni mrembo. Mimi nishakipenda. Kwenu ni
wapi? Nikuje nikubebe?" Alimsaili maswali kweli kweli. Na kumbuka
anaendesha pikipiki huku ameangalia nyuma. Pa! Aligonga mtini kando ya
barabara. Alivunjika vibaya vibaya akawa si wa mchele wala uji. Binti
huyo akaanza kulaumiwa bure bilashi. Kwa kweli macho hayana pazia.
Alichukuliwa na kupelekwa hospitalini. Ama kweli ulikuwa ni msiba wa
kujitakia hauambiwi.....
Ni vyema kama tutashirikiana ili kuhakikisha kwamba tunapiga vita hivi
vya ajali barabarani. Wengi wameachwa yatima. Wengine wajane. Yote
sababu ni ajali hizi. Wasemavyo ajali haina kinga lakini kinga ipo.
Kinga ni sisi. Tuzushe tunapoona makosa. Kwani ukimficha fisi atakula
wewe.
| Msimulizi aliweza kutagusana na nani | {
"text": [
"madereva"
]
} |
4821_swa | AJALI BARABARANI.
Nimeamua kuzamia swala hili nzima la ajali zilizoko kwenye barabara
zetu. Hii ni baada ya kutembea tembea mwezi huu wa krismasi na kujionea
mengi. Watu wengi wameshindwa kung'amua chanzo haswa cha ajali
barabarani. Kuna wale wanaolaumu madereva. Wengine wanawalaumu askari wa
barabarani. Sijui wewe unamlaumu nani? Wengine wanasema kutoluwa na
alama za barabarani ndicho chanzo kikuu. Labda ni hicho. Mimi nimevalia
njuga jambo hili lote. Si kwa kuangalia sehemu moja na kuacha sehemu
nyingine. La hasha. Nitapegua kila upande. Mwezi huu wa mapumziko
nimeweza kutumia barabara kwa wingi sana. Nimeabiri matwana, pikipiki na
baiskeli. Nimeweza kutumia hata tuktuk. Na nikaweza kujionea tu labda
baadhi ya vyanzo vya ajali katika barabara zetu.
Barabara mbovu ndicho chanzo cha kwanza nilichoona. Barabara zetu zimo
katika hali mbaya. Ni barabara finyu mno. Magari hayawezi kupitana.
Yanapotaka kupitana, inalazimu gari moja kusimama pembeni mwa barabara
ili kubisha gari jingine. Utapata kama ni trekta za miwa, zinayakwaruza
magari haya madogo. Ni hali ambayo imepelekea kuwepo kwa ajali nyingi
hasa upande ule ninakotoka.
Licha ya kuwa na barabara finyu, hamna alama za barabarani. Alama za
kuonyesha labda kuna kona hatari mbele hamna. Hamna alama za kuonyesha
kuna kivuko cha watoto. Hii imechangia pakubwa bodaboda kugonga watoto
kwa wingi. Wengine wameachwa vilema. Isitoshe wengine nao husafirishwa
jongomeo basi nauli. Yafaa serikali kuhakikisha kwamba kunazo alama za
barabarani. Niliweza kutaguzana na baadhi ya madereva. Walinieleza kuwa
alama hizo zipo kwenye baadhi ya barabara. Lakini kuna zile ambazo
zimefutika na hasiwezi kuonekana kamwe. Huezi jua kwamba alama hii
inaonyesha kuna mlima mahali ama yafaa uendeshe gari kwa mwendo wa
kilomita ishirini kwa saa moja. Alama zimefutika na huwa zinawachanganya
madereva.
Chanzo kingine ni ulevi. Ajali nyingi zimeweza kusababishwa na dereva
ambaye amelewa. Ni juzi tu nilipong'amua kwamba sababu kuu za kuongezeka
ajali nyingi ni kuwepo kwa madereva waliolewa. Naikumbuka vizuri sana.
Tarehe ishirini na nane niliweza kuondoka kuona mijuano fulani ya
kandanda huku kwetu. Kwa kuwa mimi ni mraibu wa kutafuta habari niliweza
kupanda pikipiki. Wanarika huita "nduthi". Mwendo wa saa nane mchana
niliabiri pikipiki. Tulikuwa wanne. Mimi, dereva, kidosho fulani mwenye
umri wa miaka kama kumi na sita hivi na baba mmoja. Kwanza tulikuwa
tumeabiri kupita kiasi. Yafaa pikipiki kubeba watu wawili ikienda sana
watu watatu akiwemo dereva. Tulifika kwenye uwanja salama. Kwa kweli
uliwanja ulifirika pomoni kiasi cha kuwatapiga watu wengine. Barabara
ilikuwa na vumbi na magari yalikuwa yanaenda mwendo wa kobe.
Baada ya mijuano kuisha watu walikuwa mbioni kurejea nyumbani.
Nilisubiri kidogo kwani nilijua kwamba kwetu kulikuwa tu pua na mdomo.
Bei ya usafiri waliweka juu. Mahali pa kilomita kumi hivi waliweka
shilingi mia mbili. Kwa kawaida nauli yake huwa shilingi sabini. Ilikuwa
ni siku yao ya kuchota mihela. Basi sekunde zilienda, dakika zikapita na
saa kusonga. Mwendo wa saa mbili hivi na robo nilitaka kusafiri.
Walikuwa hawataki watu wa kuenda karibu kwani mimi ningelipa shilingi
hamsini tu kufika kwangu. Walikataa. Niliendelea kusubiri kwani subira
huvuta heri.
Mwendo wa saa tatu kasorobo dakika kumi hivi hatimaye nilipata pikipiki.
Walikuwa wandani wangu tuliosoma nao shule ya msingi. Yapita miaka nane
tangu tuachane hatukuwa tumepatana. Kwa kweli milima ndio haikutani.
Walionekana kama waliolewa lakini dereva hakuwa amelewa. Tuliabiri
pikipiki hiyo. Tulipanda watu wanne. Tukazidi kuvunja sheria. Sijui
nijilaumu kwa kweli. Tuliondoka na kuanza safari yetu kuelekea nyumbani.
Mwendo wa saa tatu hivi. Insi walikuwa wamejaa barabarani. Alianza
kuonekana mlevi wakati alianza kupiga king'oru ili wampishe. Tulienda na
tulikuwa tunajikaza vizuri. Watatu hao walikuwa wamelewa. Niliwaomba
wanipe usukani wakakataa. Walisema mimi nilikuwa na mwili mdogo na
singeweza kuwabeba. Mwenye nguvu mpishe.
Tulianza kuenda vizuri hadi pale jahazi ilianza kuzama. Gari aina ya
Voksi lilikuwa likija nyuma. Tulikuwa kwenye mlima. Alijaribu sana huku
akipiga king'oru kuashiria kwamba mwenye gari akuje kwa mwendo wa
polepole. Pikipiki yetu iliacha barabara na tukatumbukia kwenye mtaro.
Tulishukuru Mungu kwani hakuna aliachwa na majeraha mabaya. Mwenye gari
aliamuka na kuja kuona ni hali gani tulikuwa. Alipata tu wazima.
Magwanda tuliyokuwa tumeyavalia ndio yalituepusha na majeraha. Isitoshe
ni vile tulikuwa tunaendesha kwa mwendo wa polepole tu. Hapo ndipo
niling'amua kuwa ulevi ndicho chanzo cha ajali mingi. Ikiwa basi umelewa
waweza kumtafuta dereva ambaye atakupeleka uendako. Hakikisha kwamba
kabla uabiri gari dereva wako yuko sawa. Yafaa pia ukumbuke kwamba mtu
huishi mara moja. Na iwapo utavunjika mguu huenda usipate mguu mwingine
kwani mili yetu haina akiba (spare).
Chanzo kingine ni kuzidisha idadi ya abiria. Gari limeandikwa abiria
kumi na wanne. Kama ni basi limeandikwa idadi. Kwa tamaa za utingo
anajaza gari kabisa. Gari linapokuwa limejaa hukosa ustadi. Haliwezi
kuwa sawa. Ndio maana inafaa kuwa na kiwango kifaacho cha abiria.
Magari mabovu pia husababisha ajali. Utapata kwamba magari haya hufika
sehemu fulani na kushindwa kudhibiti kasi yake. Iwapo ni kwenye
mteremko, magari haya huwacha kushika breki. Hii hupelekea kuwepo kwa
ajali. Inanikumbusha wakati fulani hivi. Kulikuwa na dereva wa gari na
pikipiki. Gari lilikuwa bovu na taa zake zilikuwa ni za upande mmoja.
Basi mwendo wa saa mbili hivi wakati giza lishashika na kulikuwa
kunanyesha. Wakati huo hamna magari wala pikipiki nyingi kwenye
barabara. Kwenye upinde wa barabara kukatokea gari likiwa na taa moja
tu. Dereva wa pikipiki naye ametoka huko anataka kupinda naye. Akaona
gari lina taa moja tu. Akadhania ni pikipiki na wanaeza pitana vizuri
tu. Twa! Dereva huyo alijigonga kwenye gari hilo. Abiria wake akavunjika
mguu vibaya sana. Ilikuwa ni huzuni. Walikimbizwa hospitalini.
Magari au pikipiki mbovu yafaa ziondolewe barabarani. Msako mkali
ufanyike ili kuondoa pikipiki na magari mabovu barabarani bila
mapendeleo. Chanzo kingine ni usembe wa kutochukua tahadhari. Wewe kama
abiria unaona gari limejaa abiria lakini unapenya tu ili uingie. Gari ni
bovu lakini wewe abiria huoni na unajitoma ndani. Ni wewe wa kulaumiwa
tu. Mwezi mmoja uliopita ilksikitisha kuona basi moja likizama kwenye
mto Uwenzoi. Hii ilitokana na mapuuza ya dereva na abiria wake.
Inasemekana kwamba unapoona maji ya urefu wa sentimita kumi, haifai.
Kisa cha basi kuzama tulisikia ya kwamba dereva alikuwa amekataa lakini
abiria wakamlazimu. Basi lao liliweza kusombwa na maji na watu ishirini
wakapoteza maisha yao. Ni manusura tu wanne waliobaki. Na pia imeonekana
tu mapuuza hayo si kwa yule dereva tu bali ni kwa kila dereva. Kuna
video ziliweza kusambaa unaona madereva wanajaribu kupita mahali ambapo
kuna maji mengi. Niliona kuwa kumbe madereva wengi wana mapuuza.
Chanzo kingine ni kutokuwa na ukaguzi kabla gari halijaondoka. Ukaguzi
huu husaidia kujua idadi ya abiria. Pia ukaguzi husaidia kuona kama gari
li salama kwa kutembea kwenye barabara zetu. Kuna changamoto tu moja
kwenye huu ukaguzi. Askari wetu wanapenda hongo sana. Wanapokagua gari
wanachukua tu pesa. Hawawezi kuangalia makosa ila ni tumbo zao tu.
Wakipata yule ambaye anakataa kuwapa pesa, basi wanamshika yeye. Akitoa
shilingi hamsini anaachwa. Kumbuka makosa anayotozwa shilingi hamsini ni
makosa ambayo akipelekwa kortini atatozwa laki moja.
Pia mawazo huchangia kusababisha ajali. Mtu anaweza kufikiria na
ajisahau kwamba alikuwa anafikiria. Hii humpelekea yeye kutokuwa na
umakini anapoliendesha gari. Unapochukua gari, pikipiki na hata tuktuk
yafaa uwe sawa. Unapokuwa kwenye mawazo huenda ukazama huko na
kujisahau.
Wengine husema kuwa pia hawa wasichana warembo sana husabisha ajali.
Wanapokuwa kando kando mwa barabara huku wamevalia nguo fupifupi. Sijui
wewe waniunga mkono au la? Kwa asilimia sitini hivi naunga mkono. Hii
hutokea kwa wale wavulana wadogo ambao wamo kwenye rika ya kubadilika
kwa mwili. Yaani ( adolescence). Hata pia wazee wenye mate.
Inanikumbusha ajali moja niliyeishuhudia. Ghulamu mmoja alikuwa
akiendesha pikipiki yake. Basi akapita mwanadada aliyekuwa ameumbika
kweli kweli. Alikuwa mwenye shingo la upanga. Macho yake ya koloni
ilivutia sana. Alikuwa mwenye umbo la wastani na alikamilishwa kwa kiuno
cha bunzi. Alikuwa mwenye rangi ya dhahabu.
Alipopita kijana huyu alimsalimu. Hakujibu. Akaendelea kumwongelesha
huku ameangalia nyuma. "Wewe ni mrembo. Mimi nishakipenda. Kwenu ni
wapi? Nikuje nikubebe?" Alimsaili maswali kweli kweli. Na kumbuka
anaendesha pikipiki huku ameangalia nyuma. Pa! Aligonga mtini kando ya
barabara. Alivunjika vibaya vibaya akawa si wa mchele wala uji. Binti
huyo akaanza kulaumiwa bure bilashi. Kwa kweli macho hayana pazia.
Alichukuliwa na kupelekwa hospitalini. Ama kweli ulikuwa ni msiba wa
kujitakia hauambiwi.....
Ni vyema kama tutashirikiana ili kuhakikisha kwamba tunapiga vita hivi
vya ajali barabarani. Wengi wameachwa yatima. Wengine wajane. Yote
sababu ni ajali hizi. Wasemavyo ajali haina kinga lakini kinga ipo.
Kinga ni sisi. Tuzushe tunapoona makosa. Kwani ukimficha fisi atakula
wewe.
| Kwa nini alipanda pikipiki | {
"text": [
"kwa kuwa yeye ni mraibu wa kutafuta habari"
]
} |
4823_swa | AKUFAAYE KWA DHIKI NDIYE RAFIKI
Nilizoea kucheza na rafiki yangu Musa mchezo wa kukimbizana. Musa
alikuwa mnene na mfupi na hivyo mimi ndiye niliyeibuka mshindi kwa mara
nyingi kwa kuwa ni gekimbia mbio kumuliko. Musa inasemekana kuwa mma
yake alipokuwa amebeba mimba yake alikuwa anakula tu vibanzi na ndicho
chanzo Cha kumzaa mtoto mwenye limo kikubwa. Musa shuleni alitambulika
kwa jina la mheshimiwa. Nakumbuka jina hili lilianza tukiwa darasa la
nne. Mwalimu wetu wa hesabu Bwana Mwirigi alikuwa anaogopewa sana.
Alipokuwa darasani ni nadra sana angemaliza kabla atucharaze basi
akiuliza swali na tukashindwa kujibu alitutum nje tukakimbia. Tuliporudi
aliyekuwa wa mwisho alichapwa kabla mwalimu amchape, mwalimu alimuuliza
aliyekuja nambari moja mbona akawa wa kwanza na wengine wakawa wa mwisho
basi alijibu kuwa mimi sio mheshimiwa. Kila mtu aliangua kicheko na
hivyo ndivyo Musa alipata jina la kilakabu la Mheshimiwa.
Tulizoeana na Musa mpaka tukahitimu kidato cha nne. Hatukufeli mtihani
na hivyo wote tulijiunga vyuo vikuu. Ilikuwa sadfa mimi na Musa
tukajipata chuo kimoja. Chuoni mimi nilisomea udaktari naye Musa kasomea
uwakili. Tulitia fora masomomi bila kulegeza kama. Tulikuwa wembe
darasani na basi tulijinyakulia nafasi tele za kuwalisha chuo katika
mashindano mbalimbali nchini na hata nje ya nchi. Tulipofika mwaka wa
Tano tuliamua kuishi nje ya shule basi mimi na Musa tukaagana kuwa
tungetafuta nyumba na tuishi pamoja kwa kuwa tayari tulikuwa
tumeshazoeana basi kuishi pamoja halingekuwa tatizo. Tulipata nyumba na
tukaanza kusukuma maisha. Hatukuwahi kosana na Musa hata siku moja.
Ingawa tulikuwa na tofauti ndogondogo basi Hilo halikuleta uadui kati
yetu. Tuliendelea kuishi kama ndugu wa toka nitoke. Musa alifurahi sana
nilipomwita ndugu na basi nikafanya mazoea ya kumwita ndugu yangu.
Nilifanya hivyo kwa muda mrefu hadi pale wazo fulani likinijia akilini.
Nikitaka sana kujua rafiki wangu wa kweli. Nilikuwa natangamana na watu
wengi mno na nikitaka kujua ni nani mkweli. Ingawa tulikuwa tumejuana na
Musa kwa muda mrefu sikuwa nafahamu kama upendo wake kwangu ulikuwa wa
kweli ama uongo tu. Basi nilimtafutia namna. Niliamua kudanganya.
Nilisema kuwa nimeanza kuugua. Nilienda hospitalini huko wakasema kuwa
ufigo wangu ulikuwa na tatizo na ilibidi nibadilishiwe figo la si hivyo
ningeaga dunia. Madaktari walitaka ubadilishaji wa figo ifanyike kwa
haraka mno kwa kuwa maisha yangu yalikuwa hatarini. Basi Musa aliwajuvya
wazazi wangu kuhusu hali yangu. Mama na baba walifika mtaani haraka
iwezekanavyo. Mama alikuwa tayari kutoa yake ili niwekewe angalau
niishi. Madaktari walikataa kuwa singeweza kupewa figo na mtu wa familia
na basi ilibidi watafute mtu wa nje. Mtu ambaye alikuwa anatazamiwa ni
Musa Musa alioimwa na basi ikatambulika kuwa anaweza akanipa figo na
ikanifaa. Musa aliposikia havari hizo hakuoinga alisema kuwa alikuwa
aende kufanya matayarisho ili arejee siku moja kabla ya upasuaji. Basi
tulisubiri mimi na familia yangu. Siku ya kuja ya Musa iliwadia na
hakuonekana. Tulijaribu kumpigia simu ila simu yake ilikuwa mteja .
Uwoga ukawaigia wazazi na ikawalazimu kuchapisha havari hiyo kwa
mtandao.
Hali yangu ilikuwa imezidi kuzorota zaidi na madaktari wakasema kuwa
nilikuwa nachungulia kabuti. Nakumbuka ilikuwa siku ya Jumanne. Dola
akaingia hospitalini na kuomba aweze kuonana nami. Dola alikuwa rafiki
yangu ila tukikosana na basi tukawa hatuongeleshani tena. Nakumbuka
aliwahi niambia kuwa Musa alikuwa anisema vibaya basi nijihadhari naye
ila mimi nikakuwa zuzu na nikamweleza havari hizo pamoja na aliyenijuza.
Musa alimkemea na Hilo likajenga uadua baina yangu na Dola. Dola alipewa
nafasi akaja kuniona. Alipoingia nilidhani alikuwa amekuja kuniombea
mabaya ama kinikemea kwa kumusaliti ila hayo yalikuwa kinyume.
Aliniuliza na kunipa moyo kisha akauliza Daktari ikiwa anaweza akatoa
ufigo wake ili niwekewe. Sikuamini maskio yangu. Dola alioimwa na
kuambiwa kuwa anaweza akatoa figo kwangu. Siku iliyofuata Dola alikuja
mapema sana akiwa tayari. Aliketi nje akisubiri kuingia chumba Cha
upasuaji. Akaingizwa ndani alipokuwa ndani nikatokea mlangoni.
Hakuamini, alitoka kitandani na kuuliza ikiwa alikuwa anaona mambo ya
kweli ama ni ndoto. "Nimeamini wewe ndiwe rafiki wa kweli Dola,
sikuamini nachukia rafiki wa kweli na kumpenda mbwa mwitu aliyekuwa
kwenye ngozi ya kondoo" Dola alinikumbayia na kusema kuwa hakudhani kuna
rafiki mwingine ambaye angenifanana. Wazazi wangu walitabasamu.
Tuliondoka hospitalini na Dola na nilikuwa nimetambua kuwa yeye ndiye
aliyekuwa rafiki wa kweli. Tulipowadia nyumbani tulifanya sherehe . Musa
hakuwahi rejea kwangu nilipofika chumbani nilipata alishahama. Tukawa
tunaonana kwa umbali. Naye Dola akawa rafiki wa kipekee. Ama kweli
akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki.
| Alizoea kucheza na rafiki yake Musa mchezo upi | {
"text": [
"kukimbizana"
]
} |
4823_swa | AKUFAAYE KWA DHIKI NDIYE RAFIKI
Nilizoea kucheza na rafiki yangu Musa mchezo wa kukimbizana. Musa
alikuwa mnene na mfupi na hivyo mimi ndiye niliyeibuka mshindi kwa mara
nyingi kwa kuwa ni gekimbia mbio kumuliko. Musa inasemekana kuwa mma
yake alipokuwa amebeba mimba yake alikuwa anakula tu vibanzi na ndicho
chanzo Cha kumzaa mtoto mwenye limo kikubwa. Musa shuleni alitambulika
kwa jina la mheshimiwa. Nakumbuka jina hili lilianza tukiwa darasa la
nne. Mwalimu wetu wa hesabu Bwana Mwirigi alikuwa anaogopewa sana.
Alipokuwa darasani ni nadra sana angemaliza kabla atucharaze basi
akiuliza swali na tukashindwa kujibu alitutum nje tukakimbia. Tuliporudi
aliyekuwa wa mwisho alichapwa kabla mwalimu amchape, mwalimu alimuuliza
aliyekuja nambari moja mbona akawa wa kwanza na wengine wakawa wa mwisho
basi alijibu kuwa mimi sio mheshimiwa. Kila mtu aliangua kicheko na
hivyo ndivyo Musa alipata jina la kilakabu la Mheshimiwa.
Tulizoeana na Musa mpaka tukahitimu kidato cha nne. Hatukufeli mtihani
na hivyo wote tulijiunga vyuo vikuu. Ilikuwa sadfa mimi na Musa
tukajipata chuo kimoja. Chuoni mimi nilisomea udaktari naye Musa kasomea
uwakili. Tulitia fora masomomi bila kulegeza kama. Tulikuwa wembe
darasani na basi tulijinyakulia nafasi tele za kuwalisha chuo katika
mashindano mbalimbali nchini na hata nje ya nchi. Tulipofika mwaka wa
Tano tuliamua kuishi nje ya shule basi mimi na Musa tukaagana kuwa
tungetafuta nyumba na tuishi pamoja kwa kuwa tayari tulikuwa
tumeshazoeana basi kuishi pamoja halingekuwa tatizo. Tulipata nyumba na
tukaanza kusukuma maisha. Hatukuwahi kosana na Musa hata siku moja.
Ingawa tulikuwa na tofauti ndogondogo basi Hilo halikuleta uadui kati
yetu. Tuliendelea kuishi kama ndugu wa toka nitoke. Musa alifurahi sana
nilipomwita ndugu na basi nikafanya mazoea ya kumwita ndugu yangu.
Nilifanya hivyo kwa muda mrefu hadi pale wazo fulani likinijia akilini.
Nikitaka sana kujua rafiki wangu wa kweli. Nilikuwa natangamana na watu
wengi mno na nikitaka kujua ni nani mkweli. Ingawa tulikuwa tumejuana na
Musa kwa muda mrefu sikuwa nafahamu kama upendo wake kwangu ulikuwa wa
kweli ama uongo tu. Basi nilimtafutia namna. Niliamua kudanganya.
Nilisema kuwa nimeanza kuugua. Nilienda hospitalini huko wakasema kuwa
ufigo wangu ulikuwa na tatizo na ilibidi nibadilishiwe figo la si hivyo
ningeaga dunia. Madaktari walitaka ubadilishaji wa figo ifanyike kwa
haraka mno kwa kuwa maisha yangu yalikuwa hatarini. Basi Musa aliwajuvya
wazazi wangu kuhusu hali yangu. Mama na baba walifika mtaani haraka
iwezekanavyo. Mama alikuwa tayari kutoa yake ili niwekewe angalau
niishi. Madaktari walikataa kuwa singeweza kupewa figo na mtu wa familia
na basi ilibidi watafute mtu wa nje. Mtu ambaye alikuwa anatazamiwa ni
Musa Musa alioimwa na basi ikatambulika kuwa anaweza akanipa figo na
ikanifaa. Musa aliposikia havari hizo hakuoinga alisema kuwa alikuwa
aende kufanya matayarisho ili arejee siku moja kabla ya upasuaji. Basi
tulisubiri mimi na familia yangu. Siku ya kuja ya Musa iliwadia na
hakuonekana. Tulijaribu kumpigia simu ila simu yake ilikuwa mteja .
Uwoga ukawaigia wazazi na ikawalazimu kuchapisha havari hiyo kwa
mtandao.
Hali yangu ilikuwa imezidi kuzorota zaidi na madaktari wakasema kuwa
nilikuwa nachungulia kabuti. Nakumbuka ilikuwa siku ya Jumanne. Dola
akaingia hospitalini na kuomba aweze kuonana nami. Dola alikuwa rafiki
yangu ila tukikosana na basi tukawa hatuongeleshani tena. Nakumbuka
aliwahi niambia kuwa Musa alikuwa anisema vibaya basi nijihadhari naye
ila mimi nikakuwa zuzu na nikamweleza havari hizo pamoja na aliyenijuza.
Musa alimkemea na Hilo likajenga uadua baina yangu na Dola. Dola alipewa
nafasi akaja kuniona. Alipoingia nilidhani alikuwa amekuja kuniombea
mabaya ama kinikemea kwa kumusaliti ila hayo yalikuwa kinyume.
Aliniuliza na kunipa moyo kisha akauliza Daktari ikiwa anaweza akatoa
ufigo wake ili niwekewe. Sikuamini maskio yangu. Dola alioimwa na
kuambiwa kuwa anaweza akatoa figo kwangu. Siku iliyofuata Dola alikuja
mapema sana akiwa tayari. Aliketi nje akisubiri kuingia chumba Cha
upasuaji. Akaingizwa ndani alipokuwa ndani nikatokea mlangoni.
Hakuamini, alitoka kitandani na kuuliza ikiwa alikuwa anaona mambo ya
kweli ama ni ndoto. "Nimeamini wewe ndiwe rafiki wa kweli Dola,
sikuamini nachukia rafiki wa kweli na kumpenda mbwa mwitu aliyekuwa
kwenye ngozi ya kondoo" Dola alinikumbayia na kusema kuwa hakudhani kuna
rafiki mwingine ambaye angenifanana. Wazazi wangu walitabasamu.
Tuliondoka hospitalini na Dola na nilikuwa nimetambua kuwa yeye ndiye
aliyekuwa rafiki wa kweli. Tulipowadia nyumbani tulifanya sherehe . Musa
hakuwahi rejea kwangu nilipofika chumbani nilipata alishahama. Tukawa
tunaonana kwa umbali. Naye Dola akawa rafiki wa kipekee. Ama kweli
akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki.
| walizoeana na Musa mpaka wakahitimu kidato kipi | {
"text": [
"Cha nne"
]
} |
4823_swa | AKUFAAYE KWA DHIKI NDIYE RAFIKI
Nilizoea kucheza na rafiki yangu Musa mchezo wa kukimbizana. Musa
alikuwa mnene na mfupi na hivyo mimi ndiye niliyeibuka mshindi kwa mara
nyingi kwa kuwa ni gekimbia mbio kumuliko. Musa inasemekana kuwa mma
yake alipokuwa amebeba mimba yake alikuwa anakula tu vibanzi na ndicho
chanzo Cha kumzaa mtoto mwenye limo kikubwa. Musa shuleni alitambulika
kwa jina la mheshimiwa. Nakumbuka jina hili lilianza tukiwa darasa la
nne. Mwalimu wetu wa hesabu Bwana Mwirigi alikuwa anaogopewa sana.
Alipokuwa darasani ni nadra sana angemaliza kabla atucharaze basi
akiuliza swali na tukashindwa kujibu alitutum nje tukakimbia. Tuliporudi
aliyekuwa wa mwisho alichapwa kabla mwalimu amchape, mwalimu alimuuliza
aliyekuja nambari moja mbona akawa wa kwanza na wengine wakawa wa mwisho
basi alijibu kuwa mimi sio mheshimiwa. Kila mtu aliangua kicheko na
hivyo ndivyo Musa alipata jina la kilakabu la Mheshimiwa.
Tulizoeana na Musa mpaka tukahitimu kidato cha nne. Hatukufeli mtihani
na hivyo wote tulijiunga vyuo vikuu. Ilikuwa sadfa mimi na Musa
tukajipata chuo kimoja. Chuoni mimi nilisomea udaktari naye Musa kasomea
uwakili. Tulitia fora masomomi bila kulegeza kama. Tulikuwa wembe
darasani na basi tulijinyakulia nafasi tele za kuwalisha chuo katika
mashindano mbalimbali nchini na hata nje ya nchi. Tulipofika mwaka wa
Tano tuliamua kuishi nje ya shule basi mimi na Musa tukaagana kuwa
tungetafuta nyumba na tuishi pamoja kwa kuwa tayari tulikuwa
tumeshazoeana basi kuishi pamoja halingekuwa tatizo. Tulipata nyumba na
tukaanza kusukuma maisha. Hatukuwahi kosana na Musa hata siku moja.
Ingawa tulikuwa na tofauti ndogondogo basi Hilo halikuleta uadui kati
yetu. Tuliendelea kuishi kama ndugu wa toka nitoke. Musa alifurahi sana
nilipomwita ndugu na basi nikafanya mazoea ya kumwita ndugu yangu.
Nilifanya hivyo kwa muda mrefu hadi pale wazo fulani likinijia akilini.
Nikitaka sana kujua rafiki wangu wa kweli. Nilikuwa natangamana na watu
wengi mno na nikitaka kujua ni nani mkweli. Ingawa tulikuwa tumejuana na
Musa kwa muda mrefu sikuwa nafahamu kama upendo wake kwangu ulikuwa wa
kweli ama uongo tu. Basi nilimtafutia namna. Niliamua kudanganya.
Nilisema kuwa nimeanza kuugua. Nilienda hospitalini huko wakasema kuwa
ufigo wangu ulikuwa na tatizo na ilibidi nibadilishiwe figo la si hivyo
ningeaga dunia. Madaktari walitaka ubadilishaji wa figo ifanyike kwa
haraka mno kwa kuwa maisha yangu yalikuwa hatarini. Basi Musa aliwajuvya
wazazi wangu kuhusu hali yangu. Mama na baba walifika mtaani haraka
iwezekanavyo. Mama alikuwa tayari kutoa yake ili niwekewe angalau
niishi. Madaktari walikataa kuwa singeweza kupewa figo na mtu wa familia
na basi ilibidi watafute mtu wa nje. Mtu ambaye alikuwa anatazamiwa ni
Musa Musa alioimwa na basi ikatambulika kuwa anaweza akanipa figo na
ikanifaa. Musa aliposikia havari hizo hakuoinga alisema kuwa alikuwa
aende kufanya matayarisho ili arejee siku moja kabla ya upasuaji. Basi
tulisubiri mimi na familia yangu. Siku ya kuja ya Musa iliwadia na
hakuonekana. Tulijaribu kumpigia simu ila simu yake ilikuwa mteja .
Uwoga ukawaigia wazazi na ikawalazimu kuchapisha havari hiyo kwa
mtandao.
Hali yangu ilikuwa imezidi kuzorota zaidi na madaktari wakasema kuwa
nilikuwa nachungulia kabuti. Nakumbuka ilikuwa siku ya Jumanne. Dola
akaingia hospitalini na kuomba aweze kuonana nami. Dola alikuwa rafiki
yangu ila tukikosana na basi tukawa hatuongeleshani tena. Nakumbuka
aliwahi niambia kuwa Musa alikuwa anisema vibaya basi nijihadhari naye
ila mimi nikakuwa zuzu na nikamweleza havari hizo pamoja na aliyenijuza.
Musa alimkemea na Hilo likajenga uadua baina yangu na Dola. Dola alipewa
nafasi akaja kuniona. Alipoingia nilidhani alikuwa amekuja kuniombea
mabaya ama kinikemea kwa kumusaliti ila hayo yalikuwa kinyume.
Aliniuliza na kunipa moyo kisha akauliza Daktari ikiwa anaweza akatoa
ufigo wake ili niwekewe. Sikuamini maskio yangu. Dola alioimwa na
kuambiwa kuwa anaweza akatoa figo kwangu. Siku iliyofuata Dola alikuja
mapema sana akiwa tayari. Aliketi nje akisubiri kuingia chumba Cha
upasuaji. Akaingizwa ndani alipokuwa ndani nikatokea mlangoni.
Hakuamini, alitoka kitandani na kuuliza ikiwa alikuwa anaona mambo ya
kweli ama ni ndoto. "Nimeamini wewe ndiwe rafiki wa kweli Dola,
sikuamini nachukia rafiki wa kweli na kumpenda mbwa mwitu aliyekuwa
kwenye ngozi ya kondoo" Dola alinikumbayia na kusema kuwa hakudhani kuna
rafiki mwingine ambaye angenifanana. Wazazi wangu walitabasamu.
Tuliondoka hospitalini na Dola na nilikuwa nimetambua kuwa yeye ndiye
aliyekuwa rafiki wa kweli. Tulipowadia nyumbani tulifanya sherehe . Musa
hakuwahi rejea kwangu nilipofika chumbani nilipata alishahama. Tukawa
tunaonana kwa umbali. Naye Dola akawa rafiki wa kipekee. Ama kweli
akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki.
| Madaktari walitaka ubadilishaji wa nini | {
"text": [
"Figo"
]
} |
4823_swa | AKUFAAYE KWA DHIKI NDIYE RAFIKI
Nilizoea kucheza na rafiki yangu Musa mchezo wa kukimbizana. Musa
alikuwa mnene na mfupi na hivyo mimi ndiye niliyeibuka mshindi kwa mara
nyingi kwa kuwa ni gekimbia mbio kumuliko. Musa inasemekana kuwa mma
yake alipokuwa amebeba mimba yake alikuwa anakula tu vibanzi na ndicho
chanzo Cha kumzaa mtoto mwenye limo kikubwa. Musa shuleni alitambulika
kwa jina la mheshimiwa. Nakumbuka jina hili lilianza tukiwa darasa la
nne. Mwalimu wetu wa hesabu Bwana Mwirigi alikuwa anaogopewa sana.
Alipokuwa darasani ni nadra sana angemaliza kabla atucharaze basi
akiuliza swali na tukashindwa kujibu alitutum nje tukakimbia. Tuliporudi
aliyekuwa wa mwisho alichapwa kabla mwalimu amchape, mwalimu alimuuliza
aliyekuja nambari moja mbona akawa wa kwanza na wengine wakawa wa mwisho
basi alijibu kuwa mimi sio mheshimiwa. Kila mtu aliangua kicheko na
hivyo ndivyo Musa alipata jina la kilakabu la Mheshimiwa.
Tulizoeana na Musa mpaka tukahitimu kidato cha nne. Hatukufeli mtihani
na hivyo wote tulijiunga vyuo vikuu. Ilikuwa sadfa mimi na Musa
tukajipata chuo kimoja. Chuoni mimi nilisomea udaktari naye Musa kasomea
uwakili. Tulitia fora masomomi bila kulegeza kama. Tulikuwa wembe
darasani na basi tulijinyakulia nafasi tele za kuwalisha chuo katika
mashindano mbalimbali nchini na hata nje ya nchi. Tulipofika mwaka wa
Tano tuliamua kuishi nje ya shule basi mimi na Musa tukaagana kuwa
tungetafuta nyumba na tuishi pamoja kwa kuwa tayari tulikuwa
tumeshazoeana basi kuishi pamoja halingekuwa tatizo. Tulipata nyumba na
tukaanza kusukuma maisha. Hatukuwahi kosana na Musa hata siku moja.
Ingawa tulikuwa na tofauti ndogondogo basi Hilo halikuleta uadui kati
yetu. Tuliendelea kuishi kama ndugu wa toka nitoke. Musa alifurahi sana
nilipomwita ndugu na basi nikafanya mazoea ya kumwita ndugu yangu.
Nilifanya hivyo kwa muda mrefu hadi pale wazo fulani likinijia akilini.
Nikitaka sana kujua rafiki wangu wa kweli. Nilikuwa natangamana na watu
wengi mno na nikitaka kujua ni nani mkweli. Ingawa tulikuwa tumejuana na
Musa kwa muda mrefu sikuwa nafahamu kama upendo wake kwangu ulikuwa wa
kweli ama uongo tu. Basi nilimtafutia namna. Niliamua kudanganya.
Nilisema kuwa nimeanza kuugua. Nilienda hospitalini huko wakasema kuwa
ufigo wangu ulikuwa na tatizo na ilibidi nibadilishiwe figo la si hivyo
ningeaga dunia. Madaktari walitaka ubadilishaji wa figo ifanyike kwa
haraka mno kwa kuwa maisha yangu yalikuwa hatarini. Basi Musa aliwajuvya
wazazi wangu kuhusu hali yangu. Mama na baba walifika mtaani haraka
iwezekanavyo. Mama alikuwa tayari kutoa yake ili niwekewe angalau
niishi. Madaktari walikataa kuwa singeweza kupewa figo na mtu wa familia
na basi ilibidi watafute mtu wa nje. Mtu ambaye alikuwa anatazamiwa ni
Musa Musa alioimwa na basi ikatambulika kuwa anaweza akanipa figo na
ikanifaa. Musa aliposikia havari hizo hakuoinga alisema kuwa alikuwa
aende kufanya matayarisho ili arejee siku moja kabla ya upasuaji. Basi
tulisubiri mimi na familia yangu. Siku ya kuja ya Musa iliwadia na
hakuonekana. Tulijaribu kumpigia simu ila simu yake ilikuwa mteja .
Uwoga ukawaigia wazazi na ikawalazimu kuchapisha havari hiyo kwa
mtandao.
Hali yangu ilikuwa imezidi kuzorota zaidi na madaktari wakasema kuwa
nilikuwa nachungulia kabuti. Nakumbuka ilikuwa siku ya Jumanne. Dola
akaingia hospitalini na kuomba aweze kuonana nami. Dola alikuwa rafiki
yangu ila tukikosana na basi tukawa hatuongeleshani tena. Nakumbuka
aliwahi niambia kuwa Musa alikuwa anisema vibaya basi nijihadhari naye
ila mimi nikakuwa zuzu na nikamweleza havari hizo pamoja na aliyenijuza.
Musa alimkemea na Hilo likajenga uadua baina yangu na Dola. Dola alipewa
nafasi akaja kuniona. Alipoingia nilidhani alikuwa amekuja kuniombea
mabaya ama kinikemea kwa kumusaliti ila hayo yalikuwa kinyume.
Aliniuliza na kunipa moyo kisha akauliza Daktari ikiwa anaweza akatoa
ufigo wake ili niwekewe. Sikuamini maskio yangu. Dola alioimwa na
kuambiwa kuwa anaweza akatoa figo kwangu. Siku iliyofuata Dola alikuja
mapema sana akiwa tayari. Aliketi nje akisubiri kuingia chumba Cha
upasuaji. Akaingizwa ndani alipokuwa ndani nikatokea mlangoni.
Hakuamini, alitoka kitandani na kuuliza ikiwa alikuwa anaona mambo ya
kweli ama ni ndoto. "Nimeamini wewe ndiwe rafiki wa kweli Dola,
sikuamini nachukia rafiki wa kweli na kumpenda mbwa mwitu aliyekuwa
kwenye ngozi ya kondoo" Dola alinikumbayia na kusema kuwa hakudhani kuna
rafiki mwingine ambaye angenifanana. Wazazi wangu walitabasamu.
Tuliondoka hospitalini na Dola na nilikuwa nimetambua kuwa yeye ndiye
aliyekuwa rafiki wa kweli. Tulipowadia nyumbani tulifanya sherehe . Musa
hakuwahi rejea kwangu nilipofika chumbani nilipata alishahama. Tukawa
tunaonana kwa umbali. Naye Dola akawa rafiki wa kipekee. Ama kweli
akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki.
| Nani aliiingia hospitalini na kuomba aweze kuonana naye | {
"text": [
"Dola "
]
} |
4823_swa | AKUFAAYE KWA DHIKI NDIYE RAFIKI
Nilizoea kucheza na rafiki yangu Musa mchezo wa kukimbizana. Musa
alikuwa mnene na mfupi na hivyo mimi ndiye niliyeibuka mshindi kwa mara
nyingi kwa kuwa ni gekimbia mbio kumuliko. Musa inasemekana kuwa mma
yake alipokuwa amebeba mimba yake alikuwa anakula tu vibanzi na ndicho
chanzo Cha kumzaa mtoto mwenye limo kikubwa. Musa shuleni alitambulika
kwa jina la mheshimiwa. Nakumbuka jina hili lilianza tukiwa darasa la
nne. Mwalimu wetu wa hesabu Bwana Mwirigi alikuwa anaogopewa sana.
Alipokuwa darasani ni nadra sana angemaliza kabla atucharaze basi
akiuliza swali na tukashindwa kujibu alitutum nje tukakimbia. Tuliporudi
aliyekuwa wa mwisho alichapwa kabla mwalimu amchape, mwalimu alimuuliza
aliyekuja nambari moja mbona akawa wa kwanza na wengine wakawa wa mwisho
basi alijibu kuwa mimi sio mheshimiwa. Kila mtu aliangua kicheko na
hivyo ndivyo Musa alipata jina la kilakabu la Mheshimiwa.
Tulizoeana na Musa mpaka tukahitimu kidato cha nne. Hatukufeli mtihani
na hivyo wote tulijiunga vyuo vikuu. Ilikuwa sadfa mimi na Musa
tukajipata chuo kimoja. Chuoni mimi nilisomea udaktari naye Musa kasomea
uwakili. Tulitia fora masomomi bila kulegeza kama. Tulikuwa wembe
darasani na basi tulijinyakulia nafasi tele za kuwalisha chuo katika
mashindano mbalimbali nchini na hata nje ya nchi. Tulipofika mwaka wa
Tano tuliamua kuishi nje ya shule basi mimi na Musa tukaagana kuwa
tungetafuta nyumba na tuishi pamoja kwa kuwa tayari tulikuwa
tumeshazoeana basi kuishi pamoja halingekuwa tatizo. Tulipata nyumba na
tukaanza kusukuma maisha. Hatukuwahi kosana na Musa hata siku moja.
Ingawa tulikuwa na tofauti ndogondogo basi Hilo halikuleta uadui kati
yetu. Tuliendelea kuishi kama ndugu wa toka nitoke. Musa alifurahi sana
nilipomwita ndugu na basi nikafanya mazoea ya kumwita ndugu yangu.
Nilifanya hivyo kwa muda mrefu hadi pale wazo fulani likinijia akilini.
Nikitaka sana kujua rafiki wangu wa kweli. Nilikuwa natangamana na watu
wengi mno na nikitaka kujua ni nani mkweli. Ingawa tulikuwa tumejuana na
Musa kwa muda mrefu sikuwa nafahamu kama upendo wake kwangu ulikuwa wa
kweli ama uongo tu. Basi nilimtafutia namna. Niliamua kudanganya.
Nilisema kuwa nimeanza kuugua. Nilienda hospitalini huko wakasema kuwa
ufigo wangu ulikuwa na tatizo na ilibidi nibadilishiwe figo la si hivyo
ningeaga dunia. Madaktari walitaka ubadilishaji wa figo ifanyike kwa
haraka mno kwa kuwa maisha yangu yalikuwa hatarini. Basi Musa aliwajuvya
wazazi wangu kuhusu hali yangu. Mama na baba walifika mtaani haraka
iwezekanavyo. Mama alikuwa tayari kutoa yake ili niwekewe angalau
niishi. Madaktari walikataa kuwa singeweza kupewa figo na mtu wa familia
na basi ilibidi watafute mtu wa nje. Mtu ambaye alikuwa anatazamiwa ni
Musa Musa alioimwa na basi ikatambulika kuwa anaweza akanipa figo na
ikanifaa. Musa aliposikia havari hizo hakuoinga alisema kuwa alikuwa
aende kufanya matayarisho ili arejee siku moja kabla ya upasuaji. Basi
tulisubiri mimi na familia yangu. Siku ya kuja ya Musa iliwadia na
hakuonekana. Tulijaribu kumpigia simu ila simu yake ilikuwa mteja .
Uwoga ukawaigia wazazi na ikawalazimu kuchapisha havari hiyo kwa
mtandao.
Hali yangu ilikuwa imezidi kuzorota zaidi na madaktari wakasema kuwa
nilikuwa nachungulia kabuti. Nakumbuka ilikuwa siku ya Jumanne. Dola
akaingia hospitalini na kuomba aweze kuonana nami. Dola alikuwa rafiki
yangu ila tukikosana na basi tukawa hatuongeleshani tena. Nakumbuka
aliwahi niambia kuwa Musa alikuwa anisema vibaya basi nijihadhari naye
ila mimi nikakuwa zuzu na nikamweleza havari hizo pamoja na aliyenijuza.
Musa alimkemea na Hilo likajenga uadua baina yangu na Dola. Dola alipewa
nafasi akaja kuniona. Alipoingia nilidhani alikuwa amekuja kuniombea
mabaya ama kinikemea kwa kumusaliti ila hayo yalikuwa kinyume.
Aliniuliza na kunipa moyo kisha akauliza Daktari ikiwa anaweza akatoa
ufigo wake ili niwekewe. Sikuamini maskio yangu. Dola alioimwa na
kuambiwa kuwa anaweza akatoa figo kwangu. Siku iliyofuata Dola alikuja
mapema sana akiwa tayari. Aliketi nje akisubiri kuingia chumba Cha
upasuaji. Akaingizwa ndani alipokuwa ndani nikatokea mlangoni.
Hakuamini, alitoka kitandani na kuuliza ikiwa alikuwa anaona mambo ya
kweli ama ni ndoto. "Nimeamini wewe ndiwe rafiki wa kweli Dola,
sikuamini nachukia rafiki wa kweli na kumpenda mbwa mwitu aliyekuwa
kwenye ngozi ya kondoo" Dola alinikumbayia na kusema kuwa hakudhani kuna
rafiki mwingine ambaye angenifanana. Wazazi wangu walitabasamu.
Tuliondoka hospitalini na Dola na nilikuwa nimetambua kuwa yeye ndiye
aliyekuwa rafiki wa kweli. Tulipowadia nyumbani tulifanya sherehe . Musa
hakuwahi rejea kwangu nilipofika chumbani nilipata alishahama. Tukawa
tunaonana kwa umbali. Naye Dola akawa rafiki wa kipekee. Ama kweli
akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki.
| Kwa nini Dola alikuwa rafiki wa kweli | {
"text": [
"Alikuwa tayari kutolewa figo ili ampe Dola"
]
} |
4824_swa | BAHATI YA BAHATI.
Katika Kaya ya Tundaua palisakini binti bashashi aliyekuwa na uzuri wa
malaika.Kukopolewa kwake ilikuwa furaha isiyomithilika katika aila
iliyoishi wapenzi wawili Bi.Mrashi na Bwana Makame.Baada ya kusali kwa
muda wa miongo kadhaa baada ya akidi yao,Maulana aliwajaalia mtoto wa
kipekee wakamwita Bahati.Kwa kweli alikuwa Bahati,alioana na jina lake
alilopewa si bahati ya uzuri si bahati ya tabia,si bahati ya
maisha,almuradi bahati.Mungu ampe nini amnyime nini Bahati!
Wazazi,wanakijiji,ndugu na jamaa walimpenda na kumuenzi Bahati kama
mboni za macho yao.Akalelewa na kila mmoja,hatimae alikuwa mtoto bora na
sio bora mtoto.Maadili aliyokuwa nayo ungedhani sufii.Ushungi,nikabu na
buibui havikumng’oka mwilini,viligandana nae na kumgandama kama kupe
amgandavyo mnyama.Ama kweli alikuwa wakupigiwa mfano na wakuigwa
Bahati.Waama,chenye sifa kipewe sifa.
Siku zikapita,miaka ikapereji na kuwa miezi,miezi nayo ikavunja ungo na
kuwa wiki,wiki zikavutana na kuwa siku na siku ikawa saa na saa
haikusubiri kuwa dakika na hatimae sekunde.Kufumba na kufumbua,Bahati
alikamilisha masomo yake ya shule ya upili na kufaulu vyema.Kila mmoja
katika kijiji chao alifurahi na kujivunia matokeo ya binti huyo.Bahati
alipata bahati ya kujiunga na Chuo kikuu cha Pwani huko mjini Kilifi
katika mji wa kusini mwa Mombasa nchini Kenya.Matarajio na ndoto za
Bahati kuwa mwanakilimo bora zilionekana zikikamilika baada ya muda
mfupi tu ambao ungefuata.Kwani hakuna mwanzo ukosao mwisho.Nayo matunda
yalikaribia.
Baada ya Bahati kujiunga na Chuo hicho kinachosifika kwa ukulima nchini
Kenya,Bahati aliwahakikishia wanakaria wote kuwa angefanya bidii ya
mchwa ajengaye kichuguu kwa mate na kurudisha nyumbani mafanikio na
kutia faraja katika mioyo ya wanatundauwa wote.Lakini haya yalianza
kubadilika punde tu Bahati alipoanza kutamani maisha ya raha na kusahau
lengo na ahadi aliyoieka hapo mwanzoni,ni kweli muda si rafiki.
Bahati alianza kufuatana na wanafunzi waliopenda starehe.Na kwa kuwa
hakukuwa na mtu yeyote wakumwangalia na kumwongoza,Bahati alilivua
shungi na buibui akaingia mjini.Akavaa nguo zilizomwonyesha sehemu zake
ambazo hazikuwa za siri tena kwani zilionekana parwanja.Akatumia kila
Aina ya ulevi,akatumia mirungi na ‘mgokaa’ ungedhani mbuzi kwa mitafuno
yake.Akavuta bangi na sigara kweupe hadharani.Kwenye kumbi za starehe
alionekana akinengua kila miondoko,akaanza kazi ya nipe nikupe,sikuambii
ukahaba.
Akaonekana na kila aina ya mwanaune si kimbau mbau si mnene kama
tembo,si mrefu kama twiga si mfupi kama nyundo,ilimradi mwenye pesa basi
alienda nae na kumstarehesha.sasa Bahati akawa bahari,akameza kila kitu
asishibe,naye akawa gwiji mjini.Tabia mbovu zikashika usukani na
kumwongoza,neno tabia njema likasahaulika katika kamusi ya akili
yake,maadili likawa neno geni kwake Kwa maana uzinzi na starehe mbovu
zilishika usukani na kumwongoza,akajifanya hamnazo kucheza ngoma
atakazo.
Habari zilienea katika kijiji chao kama moto nyikani.Wazazi wake na
wazee waliomtambua walimpa nasaha lakini ikawa ni mfano kumpigia mbuzi
zeze ili acheze.Kwa kweli hakuna aliyemtamani,kwani tabia zake zilinuka
mf!kama kidonda kilichooza kwa usaha.Akawa hasikii la mwadhini wala la
mteka maji msikitini.Kibaoni alipofanyia biashara yake ya kubadilisha
mwili Kwa fedha alipaona hapana hadhi tena akaaamua kuguria Mtwapa.
Sehemu iliyojulikana kwa jina maarufu ‘posta' pakawa makaazi yake
hasa.Mchana ukawa usiku kwake na usiku kuwa mchana.Akapatana na umati wa
mabaghiya.Akafanya kazi yake hiyo nao kwa muda wa miaka kadhaa.Wazazi
wake waliamua afunzwe na ulimwengu baada ya kuamua kuachana na
masomo.Nao ulimwengu shujaa binadamu hadaa.Bahati alipata ujauzito
asimjue aliyempa ujauzito huo.Kila mmoja akamtenga wakati huo wa
dhiki.Ghafla stendi ya basi za ‘Tahmeed' kwa nyambura ikawa sehemu yake
ya kujihifadhia.Muda mwingine mvua za masika zilimnyeshea kupita kiasi.
Wasiomjua walimwonea huruma lakini hakuna hata mmoja
aliyemsaidia.Waliomjua walisema mwiba wa kujidunga hauambiwi pole na
kichwa kisichoakili huumiza mwili.Bahati akapata bahati ya kuchukuliwa
na msamaria mwema alipougulia uchungu akakimbizwa iliko zahanati ya
Jambo Jipya.Bahati alijifungua salama salimini kitoto cha
kike,chakusikitisha ni kuwa aligunduliwa alikuwa ameathirika kwa muda
mrefu.Ama kweli starehe gharama,kwani ilimgharimu maisha na wakati.
Bahati alijuwa kuwa ng’ombe avunjikapo mguu hukimbilia zizini.Akaamua
kurudi nyumbani kwao Tundauwa ili akawaombe radhi wazazi wake na
wanakijiji wenzake.Pia aliamua kubadilisha mwendo wa maisha yake na
kumrudia Muumba wake baada ya kupewa nasaha lufufu na daktari.Akaanza
kutumia dawa na kufuata masharti yote kwa umakini ili kuhakikisha
usalama wa maisha yake.’Mtoto akinyea paja halikatwi’.Wazazi wake
walimpokea kwa mikono miwili mwana wao wa pekee na mjukuu wao waliomwita
Tunu.Mzee Makame akapata mke wa pili.Sasa naamini damu nzito kuliko
maji.
| Bi.Mrashi na Bwana Makame walijaliwa kupata mtoto wa kike aliyeitwaje? | {
"text": [
"Bahati"
]
} |
4824_swa | BAHATI YA BAHATI.
Katika Kaya ya Tundaua palisakini binti bashashi aliyekuwa na uzuri wa
malaika.Kukopolewa kwake ilikuwa furaha isiyomithilika katika aila
iliyoishi wapenzi wawili Bi.Mrashi na Bwana Makame.Baada ya kusali kwa
muda wa miongo kadhaa baada ya akidi yao,Maulana aliwajaalia mtoto wa
kipekee wakamwita Bahati.Kwa kweli alikuwa Bahati,alioana na jina lake
alilopewa si bahati ya uzuri si bahati ya tabia,si bahati ya
maisha,almuradi bahati.Mungu ampe nini amnyime nini Bahati!
Wazazi,wanakijiji,ndugu na jamaa walimpenda na kumuenzi Bahati kama
mboni za macho yao.Akalelewa na kila mmoja,hatimae alikuwa mtoto bora na
sio bora mtoto.Maadili aliyokuwa nayo ungedhani sufii.Ushungi,nikabu na
buibui havikumng’oka mwilini,viligandana nae na kumgandama kama kupe
amgandavyo mnyama.Ama kweli alikuwa wakupigiwa mfano na wakuigwa
Bahati.Waama,chenye sifa kipewe sifa.
Siku zikapita,miaka ikapereji na kuwa miezi,miezi nayo ikavunja ungo na
kuwa wiki,wiki zikavutana na kuwa siku na siku ikawa saa na saa
haikusubiri kuwa dakika na hatimae sekunde.Kufumba na kufumbua,Bahati
alikamilisha masomo yake ya shule ya upili na kufaulu vyema.Kila mmoja
katika kijiji chao alifurahi na kujivunia matokeo ya binti huyo.Bahati
alipata bahati ya kujiunga na Chuo kikuu cha Pwani huko mjini Kilifi
katika mji wa kusini mwa Mombasa nchini Kenya.Matarajio na ndoto za
Bahati kuwa mwanakilimo bora zilionekana zikikamilika baada ya muda
mfupi tu ambao ungefuata.Kwani hakuna mwanzo ukosao mwisho.Nayo matunda
yalikaribia.
Baada ya Bahati kujiunga na Chuo hicho kinachosifika kwa ukulima nchini
Kenya,Bahati aliwahakikishia wanakaria wote kuwa angefanya bidii ya
mchwa ajengaye kichuguu kwa mate na kurudisha nyumbani mafanikio na
kutia faraja katika mioyo ya wanatundauwa wote.Lakini haya yalianza
kubadilika punde tu Bahati alipoanza kutamani maisha ya raha na kusahau
lengo na ahadi aliyoieka hapo mwanzoni,ni kweli muda si rafiki.
Bahati alianza kufuatana na wanafunzi waliopenda starehe.Na kwa kuwa
hakukuwa na mtu yeyote wakumwangalia na kumwongoza,Bahati alilivua
shungi na buibui akaingia mjini.Akavaa nguo zilizomwonyesha sehemu zake
ambazo hazikuwa za siri tena kwani zilionekana parwanja.Akatumia kila
Aina ya ulevi,akatumia mirungi na ‘mgokaa’ ungedhani mbuzi kwa mitafuno
yake.Akavuta bangi na sigara kweupe hadharani.Kwenye kumbi za starehe
alionekana akinengua kila miondoko,akaanza kazi ya nipe nikupe,sikuambii
ukahaba.
Akaonekana na kila aina ya mwanaune si kimbau mbau si mnene kama
tembo,si mrefu kama twiga si mfupi kama nyundo,ilimradi mwenye pesa basi
alienda nae na kumstarehesha.sasa Bahati akawa bahari,akameza kila kitu
asishibe,naye akawa gwiji mjini.Tabia mbovu zikashika usukani na
kumwongoza,neno tabia njema likasahaulika katika kamusi ya akili
yake,maadili likawa neno geni kwake Kwa maana uzinzi na starehe mbovu
zilishika usukani na kumwongoza,akajifanya hamnazo kucheza ngoma
atakazo.
Habari zilienea katika kijiji chao kama moto nyikani.Wazazi wake na
wazee waliomtambua walimpa nasaha lakini ikawa ni mfano kumpigia mbuzi
zeze ili acheze.Kwa kweli hakuna aliyemtamani,kwani tabia zake zilinuka
mf!kama kidonda kilichooza kwa usaha.Akawa hasikii la mwadhini wala la
mteka maji msikitini.Kibaoni alipofanyia biashara yake ya kubadilisha
mwili Kwa fedha alipaona hapana hadhi tena akaaamua kuguria Mtwapa.
Sehemu iliyojulikana kwa jina maarufu ‘posta' pakawa makaazi yake
hasa.Mchana ukawa usiku kwake na usiku kuwa mchana.Akapatana na umati wa
mabaghiya.Akafanya kazi yake hiyo nao kwa muda wa miaka kadhaa.Wazazi
wake waliamua afunzwe na ulimwengu baada ya kuamua kuachana na
masomo.Nao ulimwengu shujaa binadamu hadaa.Bahati alipata ujauzito
asimjue aliyempa ujauzito huo.Kila mmoja akamtenga wakati huo wa
dhiki.Ghafla stendi ya basi za ‘Tahmeed' kwa nyambura ikawa sehemu yake
ya kujihifadhia.Muda mwingine mvua za masika zilimnyeshea kupita kiasi.
Wasiomjua walimwonea huruma lakini hakuna hata mmoja
aliyemsaidia.Waliomjua walisema mwiba wa kujidunga hauambiwi pole na
kichwa kisichoakili huumiza mwili.Bahati akapata bahati ya kuchukuliwa
na msamaria mwema alipougulia uchungu akakimbizwa iliko zahanati ya
Jambo Jipya.Bahati alijifungua salama salimini kitoto cha
kike,chakusikitisha ni kuwa aligunduliwa alikuwa ameathirika kwa muda
mrefu.Ama kweli starehe gharama,kwani ilimgharimu maisha na wakati.
Bahati alijuwa kuwa ng’ombe avunjikapo mguu hukimbilia zizini.Akaamua
kurudi nyumbani kwao Tundauwa ili akawaombe radhi wazazi wake na
wanakijiji wenzake.Pia aliamua kubadilisha mwendo wa maisha yake na
kumrudia Muumba wake baada ya kupewa nasaha lufufu na daktari.Akaanza
kutumia dawa na kufuata masharti yote kwa umakini ili kuhakikisha
usalama wa maisha yake.’Mtoto akinyea paja halikatwi’.Wazazi wake
walimpokea kwa mikono miwili mwana wao wa pekee na mjukuu wao waliomwita
Tunu.Mzee Makame akapata mke wa pili.Sasa naamini damu nzito kuliko
maji.
| Bahati aliiishi katika kaya ipi? | {
"text": [
"Tundaua"
]
} |
4824_swa | BAHATI YA BAHATI.
Katika Kaya ya Tundaua palisakini binti bashashi aliyekuwa na uzuri wa
malaika.Kukopolewa kwake ilikuwa furaha isiyomithilika katika aila
iliyoishi wapenzi wawili Bi.Mrashi na Bwana Makame.Baada ya kusali kwa
muda wa miongo kadhaa baada ya akidi yao,Maulana aliwajaalia mtoto wa
kipekee wakamwita Bahati.Kwa kweli alikuwa Bahati,alioana na jina lake
alilopewa si bahati ya uzuri si bahati ya tabia,si bahati ya
maisha,almuradi bahati.Mungu ampe nini amnyime nini Bahati!
Wazazi,wanakijiji,ndugu na jamaa walimpenda na kumuenzi Bahati kama
mboni za macho yao.Akalelewa na kila mmoja,hatimae alikuwa mtoto bora na
sio bora mtoto.Maadili aliyokuwa nayo ungedhani sufii.Ushungi,nikabu na
buibui havikumng’oka mwilini,viligandana nae na kumgandama kama kupe
amgandavyo mnyama.Ama kweli alikuwa wakupigiwa mfano na wakuigwa
Bahati.Waama,chenye sifa kipewe sifa.
Siku zikapita,miaka ikapereji na kuwa miezi,miezi nayo ikavunja ungo na
kuwa wiki,wiki zikavutana na kuwa siku na siku ikawa saa na saa
haikusubiri kuwa dakika na hatimae sekunde.Kufumba na kufumbua,Bahati
alikamilisha masomo yake ya shule ya upili na kufaulu vyema.Kila mmoja
katika kijiji chao alifurahi na kujivunia matokeo ya binti huyo.Bahati
alipata bahati ya kujiunga na Chuo kikuu cha Pwani huko mjini Kilifi
katika mji wa kusini mwa Mombasa nchini Kenya.Matarajio na ndoto za
Bahati kuwa mwanakilimo bora zilionekana zikikamilika baada ya muda
mfupi tu ambao ungefuata.Kwani hakuna mwanzo ukosao mwisho.Nayo matunda
yalikaribia.
Baada ya Bahati kujiunga na Chuo hicho kinachosifika kwa ukulima nchini
Kenya,Bahati aliwahakikishia wanakaria wote kuwa angefanya bidii ya
mchwa ajengaye kichuguu kwa mate na kurudisha nyumbani mafanikio na
kutia faraja katika mioyo ya wanatundauwa wote.Lakini haya yalianza
kubadilika punde tu Bahati alipoanza kutamani maisha ya raha na kusahau
lengo na ahadi aliyoieka hapo mwanzoni,ni kweli muda si rafiki.
Bahati alianza kufuatana na wanafunzi waliopenda starehe.Na kwa kuwa
hakukuwa na mtu yeyote wakumwangalia na kumwongoza,Bahati alilivua
shungi na buibui akaingia mjini.Akavaa nguo zilizomwonyesha sehemu zake
ambazo hazikuwa za siri tena kwani zilionekana parwanja.Akatumia kila
Aina ya ulevi,akatumia mirungi na ‘mgokaa’ ungedhani mbuzi kwa mitafuno
yake.Akavuta bangi na sigara kweupe hadharani.Kwenye kumbi za starehe
alionekana akinengua kila miondoko,akaanza kazi ya nipe nikupe,sikuambii
ukahaba.
Akaonekana na kila aina ya mwanaune si kimbau mbau si mnene kama
tembo,si mrefu kama twiga si mfupi kama nyundo,ilimradi mwenye pesa basi
alienda nae na kumstarehesha.sasa Bahati akawa bahari,akameza kila kitu
asishibe,naye akawa gwiji mjini.Tabia mbovu zikashika usukani na
kumwongoza,neno tabia njema likasahaulika katika kamusi ya akili
yake,maadili likawa neno geni kwake Kwa maana uzinzi na starehe mbovu
zilishika usukani na kumwongoza,akajifanya hamnazo kucheza ngoma
atakazo.
Habari zilienea katika kijiji chao kama moto nyikani.Wazazi wake na
wazee waliomtambua walimpa nasaha lakini ikawa ni mfano kumpigia mbuzi
zeze ili acheze.Kwa kweli hakuna aliyemtamani,kwani tabia zake zilinuka
mf!kama kidonda kilichooza kwa usaha.Akawa hasikii la mwadhini wala la
mteka maji msikitini.Kibaoni alipofanyia biashara yake ya kubadilisha
mwili Kwa fedha alipaona hapana hadhi tena akaaamua kuguria Mtwapa.
Sehemu iliyojulikana kwa jina maarufu ‘posta' pakawa makaazi yake
hasa.Mchana ukawa usiku kwake na usiku kuwa mchana.Akapatana na umati wa
mabaghiya.Akafanya kazi yake hiyo nao kwa muda wa miaka kadhaa.Wazazi
wake waliamua afunzwe na ulimwengu baada ya kuamua kuachana na
masomo.Nao ulimwengu shujaa binadamu hadaa.Bahati alipata ujauzito
asimjue aliyempa ujauzito huo.Kila mmoja akamtenga wakati huo wa
dhiki.Ghafla stendi ya basi za ‘Tahmeed' kwa nyambura ikawa sehemu yake
ya kujihifadhia.Muda mwingine mvua za masika zilimnyeshea kupita kiasi.
Wasiomjua walimwonea huruma lakini hakuna hata mmoja
aliyemsaidia.Waliomjua walisema mwiba wa kujidunga hauambiwi pole na
kichwa kisichoakili huumiza mwili.Bahati akapata bahati ya kuchukuliwa
na msamaria mwema alipougulia uchungu akakimbizwa iliko zahanati ya
Jambo Jipya.Bahati alijifungua salama salimini kitoto cha
kike,chakusikitisha ni kuwa aligunduliwa alikuwa ameathirika kwa muda
mrefu.Ama kweli starehe gharama,kwani ilimgharimu maisha na wakati.
Bahati alijuwa kuwa ng’ombe avunjikapo mguu hukimbilia zizini.Akaamua
kurudi nyumbani kwao Tundauwa ili akawaombe radhi wazazi wake na
wanakijiji wenzake.Pia aliamua kubadilisha mwendo wa maisha yake na
kumrudia Muumba wake baada ya kupewa nasaha lufufu na daktari.Akaanza
kutumia dawa na kufuata masharti yote kwa umakini ili kuhakikisha
usalama wa maisha yake.’Mtoto akinyea paja halikatwi’.Wazazi wake
walimpokea kwa mikono miwili mwana wao wa pekee na mjukuu wao waliomwita
Tunu.Mzee Makame akapata mke wa pili.Sasa naamini damu nzito kuliko
maji.
| Bahati alijiunga na chuo kikuu cha wapi? | {
"text": [
"Pwani"
]
} |
4824_swa | BAHATI YA BAHATI.
Katika Kaya ya Tundaua palisakini binti bashashi aliyekuwa na uzuri wa
malaika.Kukopolewa kwake ilikuwa furaha isiyomithilika katika aila
iliyoishi wapenzi wawili Bi.Mrashi na Bwana Makame.Baada ya kusali kwa
muda wa miongo kadhaa baada ya akidi yao,Maulana aliwajaalia mtoto wa
kipekee wakamwita Bahati.Kwa kweli alikuwa Bahati,alioana na jina lake
alilopewa si bahati ya uzuri si bahati ya tabia,si bahati ya
maisha,almuradi bahati.Mungu ampe nini amnyime nini Bahati!
Wazazi,wanakijiji,ndugu na jamaa walimpenda na kumuenzi Bahati kama
mboni za macho yao.Akalelewa na kila mmoja,hatimae alikuwa mtoto bora na
sio bora mtoto.Maadili aliyokuwa nayo ungedhani sufii.Ushungi,nikabu na
buibui havikumng’oka mwilini,viligandana nae na kumgandama kama kupe
amgandavyo mnyama.Ama kweli alikuwa wakupigiwa mfano na wakuigwa
Bahati.Waama,chenye sifa kipewe sifa.
Siku zikapita,miaka ikapereji na kuwa miezi,miezi nayo ikavunja ungo na
kuwa wiki,wiki zikavutana na kuwa siku na siku ikawa saa na saa
haikusubiri kuwa dakika na hatimae sekunde.Kufumba na kufumbua,Bahati
alikamilisha masomo yake ya shule ya upili na kufaulu vyema.Kila mmoja
katika kijiji chao alifurahi na kujivunia matokeo ya binti huyo.Bahati
alipata bahati ya kujiunga na Chuo kikuu cha Pwani huko mjini Kilifi
katika mji wa kusini mwa Mombasa nchini Kenya.Matarajio na ndoto za
Bahati kuwa mwanakilimo bora zilionekana zikikamilika baada ya muda
mfupi tu ambao ungefuata.Kwani hakuna mwanzo ukosao mwisho.Nayo matunda
yalikaribia.
Baada ya Bahati kujiunga na Chuo hicho kinachosifika kwa ukulima nchini
Kenya,Bahati aliwahakikishia wanakaria wote kuwa angefanya bidii ya
mchwa ajengaye kichuguu kwa mate na kurudisha nyumbani mafanikio na
kutia faraja katika mioyo ya wanatundauwa wote.Lakini haya yalianza
kubadilika punde tu Bahati alipoanza kutamani maisha ya raha na kusahau
lengo na ahadi aliyoieka hapo mwanzoni,ni kweli muda si rafiki.
Bahati alianza kufuatana na wanafunzi waliopenda starehe.Na kwa kuwa
hakukuwa na mtu yeyote wakumwangalia na kumwongoza,Bahati alilivua
shungi na buibui akaingia mjini.Akavaa nguo zilizomwonyesha sehemu zake
ambazo hazikuwa za siri tena kwani zilionekana parwanja.Akatumia kila
Aina ya ulevi,akatumia mirungi na ‘mgokaa’ ungedhani mbuzi kwa mitafuno
yake.Akavuta bangi na sigara kweupe hadharani.Kwenye kumbi za starehe
alionekana akinengua kila miondoko,akaanza kazi ya nipe nikupe,sikuambii
ukahaba.
Akaonekana na kila aina ya mwanaune si kimbau mbau si mnene kama
tembo,si mrefu kama twiga si mfupi kama nyundo,ilimradi mwenye pesa basi
alienda nae na kumstarehesha.sasa Bahati akawa bahari,akameza kila kitu
asishibe,naye akawa gwiji mjini.Tabia mbovu zikashika usukani na
kumwongoza,neno tabia njema likasahaulika katika kamusi ya akili
yake,maadili likawa neno geni kwake Kwa maana uzinzi na starehe mbovu
zilishika usukani na kumwongoza,akajifanya hamnazo kucheza ngoma
atakazo.
Habari zilienea katika kijiji chao kama moto nyikani.Wazazi wake na
wazee waliomtambua walimpa nasaha lakini ikawa ni mfano kumpigia mbuzi
zeze ili acheze.Kwa kweli hakuna aliyemtamani,kwani tabia zake zilinuka
mf!kama kidonda kilichooza kwa usaha.Akawa hasikii la mwadhini wala la
mteka maji msikitini.Kibaoni alipofanyia biashara yake ya kubadilisha
mwili Kwa fedha alipaona hapana hadhi tena akaaamua kuguria Mtwapa.
Sehemu iliyojulikana kwa jina maarufu ‘posta' pakawa makaazi yake
hasa.Mchana ukawa usiku kwake na usiku kuwa mchana.Akapatana na umati wa
mabaghiya.Akafanya kazi yake hiyo nao kwa muda wa miaka kadhaa.Wazazi
wake waliamua afunzwe na ulimwengu baada ya kuamua kuachana na
masomo.Nao ulimwengu shujaa binadamu hadaa.Bahati alipata ujauzito
asimjue aliyempa ujauzito huo.Kila mmoja akamtenga wakati huo wa
dhiki.Ghafla stendi ya basi za ‘Tahmeed' kwa nyambura ikawa sehemu yake
ya kujihifadhia.Muda mwingine mvua za masika zilimnyeshea kupita kiasi.
Wasiomjua walimwonea huruma lakini hakuna hata mmoja
aliyemsaidia.Waliomjua walisema mwiba wa kujidunga hauambiwi pole na
kichwa kisichoakili huumiza mwili.Bahati akapata bahati ya kuchukuliwa
na msamaria mwema alipougulia uchungu akakimbizwa iliko zahanati ya
Jambo Jipya.Bahati alijifungua salama salimini kitoto cha
kike,chakusikitisha ni kuwa aligunduliwa alikuwa ameathirika kwa muda
mrefu.Ama kweli starehe gharama,kwani ilimgharimu maisha na wakati.
Bahati alijuwa kuwa ng’ombe avunjikapo mguu hukimbilia zizini.Akaamua
kurudi nyumbani kwao Tundauwa ili akawaombe radhi wazazi wake na
wanakijiji wenzake.Pia aliamua kubadilisha mwendo wa maisha yake na
kumrudia Muumba wake baada ya kupewa nasaha lufufu na daktari.Akaanza
kutumia dawa na kufuata masharti yote kwa umakini ili kuhakikisha
usalama wa maisha yake.’Mtoto akinyea paja halikatwi’.Wazazi wake
walimpokea kwa mikono miwili mwana wao wa pekee na mjukuu wao waliomwita
Tunu.Mzee Makame akapata mke wa pili.Sasa naamini damu nzito kuliko
maji.
| Mdudu yupi hujenga kichunguu kwa mate? | {
"text": [
"Mchwa"
]
} |
4824_swa | BAHATI YA BAHATI.
Katika Kaya ya Tundaua palisakini binti bashashi aliyekuwa na uzuri wa
malaika.Kukopolewa kwake ilikuwa furaha isiyomithilika katika aila
iliyoishi wapenzi wawili Bi.Mrashi na Bwana Makame.Baada ya kusali kwa
muda wa miongo kadhaa baada ya akidi yao,Maulana aliwajaalia mtoto wa
kipekee wakamwita Bahati.Kwa kweli alikuwa Bahati,alioana na jina lake
alilopewa si bahati ya uzuri si bahati ya tabia,si bahati ya
maisha,almuradi bahati.Mungu ampe nini amnyime nini Bahati!
Wazazi,wanakijiji,ndugu na jamaa walimpenda na kumuenzi Bahati kama
mboni za macho yao.Akalelewa na kila mmoja,hatimae alikuwa mtoto bora na
sio bora mtoto.Maadili aliyokuwa nayo ungedhani sufii.Ushungi,nikabu na
buibui havikumng’oka mwilini,viligandana nae na kumgandama kama kupe
amgandavyo mnyama.Ama kweli alikuwa wakupigiwa mfano na wakuigwa
Bahati.Waama,chenye sifa kipewe sifa.
Siku zikapita,miaka ikapereji na kuwa miezi,miezi nayo ikavunja ungo na
kuwa wiki,wiki zikavutana na kuwa siku na siku ikawa saa na saa
haikusubiri kuwa dakika na hatimae sekunde.Kufumba na kufumbua,Bahati
alikamilisha masomo yake ya shule ya upili na kufaulu vyema.Kila mmoja
katika kijiji chao alifurahi na kujivunia matokeo ya binti huyo.Bahati
alipata bahati ya kujiunga na Chuo kikuu cha Pwani huko mjini Kilifi
katika mji wa kusini mwa Mombasa nchini Kenya.Matarajio na ndoto za
Bahati kuwa mwanakilimo bora zilionekana zikikamilika baada ya muda
mfupi tu ambao ungefuata.Kwani hakuna mwanzo ukosao mwisho.Nayo matunda
yalikaribia.
Baada ya Bahati kujiunga na Chuo hicho kinachosifika kwa ukulima nchini
Kenya,Bahati aliwahakikishia wanakaria wote kuwa angefanya bidii ya
mchwa ajengaye kichuguu kwa mate na kurudisha nyumbani mafanikio na
kutia faraja katika mioyo ya wanatundauwa wote.Lakini haya yalianza
kubadilika punde tu Bahati alipoanza kutamani maisha ya raha na kusahau
lengo na ahadi aliyoieka hapo mwanzoni,ni kweli muda si rafiki.
Bahati alianza kufuatana na wanafunzi waliopenda starehe.Na kwa kuwa
hakukuwa na mtu yeyote wakumwangalia na kumwongoza,Bahati alilivua
shungi na buibui akaingia mjini.Akavaa nguo zilizomwonyesha sehemu zake
ambazo hazikuwa za siri tena kwani zilionekana parwanja.Akatumia kila
Aina ya ulevi,akatumia mirungi na ‘mgokaa’ ungedhani mbuzi kwa mitafuno
yake.Akavuta bangi na sigara kweupe hadharani.Kwenye kumbi za starehe
alionekana akinengua kila miondoko,akaanza kazi ya nipe nikupe,sikuambii
ukahaba.
Akaonekana na kila aina ya mwanaune si kimbau mbau si mnene kama
tembo,si mrefu kama twiga si mfupi kama nyundo,ilimradi mwenye pesa basi
alienda nae na kumstarehesha.sasa Bahati akawa bahari,akameza kila kitu
asishibe,naye akawa gwiji mjini.Tabia mbovu zikashika usukani na
kumwongoza,neno tabia njema likasahaulika katika kamusi ya akili
yake,maadili likawa neno geni kwake Kwa maana uzinzi na starehe mbovu
zilishika usukani na kumwongoza,akajifanya hamnazo kucheza ngoma
atakazo.
Habari zilienea katika kijiji chao kama moto nyikani.Wazazi wake na
wazee waliomtambua walimpa nasaha lakini ikawa ni mfano kumpigia mbuzi
zeze ili acheze.Kwa kweli hakuna aliyemtamani,kwani tabia zake zilinuka
mf!kama kidonda kilichooza kwa usaha.Akawa hasikii la mwadhini wala la
mteka maji msikitini.Kibaoni alipofanyia biashara yake ya kubadilisha
mwili Kwa fedha alipaona hapana hadhi tena akaaamua kuguria Mtwapa.
Sehemu iliyojulikana kwa jina maarufu ‘posta' pakawa makaazi yake
hasa.Mchana ukawa usiku kwake na usiku kuwa mchana.Akapatana na umati wa
mabaghiya.Akafanya kazi yake hiyo nao kwa muda wa miaka kadhaa.Wazazi
wake waliamua afunzwe na ulimwengu baada ya kuamua kuachana na
masomo.Nao ulimwengu shujaa binadamu hadaa.Bahati alipata ujauzito
asimjue aliyempa ujauzito huo.Kila mmoja akamtenga wakati huo wa
dhiki.Ghafla stendi ya basi za ‘Tahmeed' kwa nyambura ikawa sehemu yake
ya kujihifadhia.Muda mwingine mvua za masika zilimnyeshea kupita kiasi.
Wasiomjua walimwonea huruma lakini hakuna hata mmoja
aliyemsaidia.Waliomjua walisema mwiba wa kujidunga hauambiwi pole na
kichwa kisichoakili huumiza mwili.Bahati akapata bahati ya kuchukuliwa
na msamaria mwema alipougulia uchungu akakimbizwa iliko zahanati ya
Jambo Jipya.Bahati alijifungua salama salimini kitoto cha
kike,chakusikitisha ni kuwa aligunduliwa alikuwa ameathirika kwa muda
mrefu.Ama kweli starehe gharama,kwani ilimgharimu maisha na wakati.
Bahati alijuwa kuwa ng’ombe avunjikapo mguu hukimbilia zizini.Akaamua
kurudi nyumbani kwao Tundauwa ili akawaombe radhi wazazi wake na
wanakijiji wenzake.Pia aliamua kubadilisha mwendo wa maisha yake na
kumrudia Muumba wake baada ya kupewa nasaha lufufu na daktari.Akaanza
kutumia dawa na kufuata masharti yote kwa umakini ili kuhakikisha
usalama wa maisha yake.’Mtoto akinyea paja halikatwi’.Wazazi wake
walimpokea kwa mikono miwili mwana wao wa pekee na mjukuu wao waliomwita
Tunu.Mzee Makame akapata mke wa pili.Sasa naamini damu nzito kuliko
maji.
| Mtu anayetafuna 'mgokaa' anafananishwa na mnyama yupi? | {
"text": [
"Mbuzi"
]
} |
4825_swa | BURUDANI
Burudani ni sanaa ambayo wengi wameilenga. Hapa duniani, maadam mtu huwa
na njia moja ambayo humfurahisha sana. Hivyo hilo jambo anapolitekeleza,
anaishi umuhimu wa maisha. Hata hivyo njia hizi ni mingi sana. Basi vile
wanadamu hutofautiana, pia basi aina za burudani hutofautiana.
Katika karne hii, njia minji zimeonekena kama njia za kujipa burhdani.
Hata hivyo wakati na nyakati huwa zinatofauna. Aina za burudani
hutofautiana kulingana na mtu. Burudani inaweza kuwa kwa kudensi nyimbo
au kusikiza. Wengine huthamini kusoma ili wajipe furaha. Hata hivyo,
michezo pia imeonekana kuwa na wafuasi wengi. Bila kusahau televisheni
nao ikisheeni kwenye familia nyimgi, mathumuni yakiwa burudani.
Hata hivyo, kuna burudani ambazo humnufaisha unayeburudika. Kwa upande
mwingine, zingine hazina manufaa hata kidogo. La kustaajabisha ni
kwamba, wanadamu hupendelea zile ambazo hazina manufaa. Zina ambazo zina
manufaa huonekana kama majukumu na si ya kujiburudisha.
Lazima tukabali kwamba kile ukipandacho ndicho utavuna. Katika karne
hii, burudani imebadilishwa na kuwa potovu. Hii imepalia kutokea kwa
watu ambao hawana maadili hata kidogo. Watu wameacha kuwa na ubinadamu
na kuwa wenye kiburi na walawiti kwenye jamii.
Nikipigia mfano televisheni. Hiki ni chombo ambacho kumetumika vibaya
kikiwaburudisha wapenzi watazamaji. Mara nyingi kimeonekana kikionyesha
picha ambazo zilikuwa adimu enzi za mababu wetu. Picha za watu wakiwa
nusu-uchi zimepeperushwa bila kujali anayetazama. Kutia kidonda makaa,
visa vya watu kupiga busu ovyoovyo hata kufanya tendo la ndoa
zinapeperushwa tu. Japo mara kwa mara tahadhari hutolewa, bado watoto
wadogo hupata wakati kutazama. Matekeo yake ni kwamba kazi hiki kina
mtazamo tofauti kuhusu mapenzi. Kazazi hiki kimeathirika kwa kishindo
kikibwa kikijaribu kuwa kama wale waigizaji.
Pili, televisheni imefanya wengi kuwa wavivu. Itabainika wazi kuwa
vipindi vinavyopeperushwa hewani huwa na mvuto uliyo wa ajabu. Si ajabu
kupata mtazamaji akiketi kitako siku mzima mbele ya runinga. Kwake
kupitwa na kipindi fulani ni hatia ambao hawezi jisamee. Ukweli ni
kwamba muda huu ungetumika kufanya jambo la maana maishani. Madhara haya
huwa bayana pale mtazamaji hujipata hajui pa kumalizia wala pa kuanzia
anapozungukwa na mambo anahitaji kufanya. Mjuto ni mjukuu. Hata hivyo,
mtazamaji huanza kufanya vitu kwa papara. Pia hili si jambo jema. Si
ajabu kupata makosa mengi kwenye kazi zilizofanywa kwa papara.
Runinga yafaa iwe sehemu ya kujifunza. Mara nyingi maisha ya watu
wanaoigiza huonekana yakifuata mweelekeo fulani. Hata hivyo maagizo yao
huwa kioo cha jamii. Lakini la kushangaza ni kuwa, wengi wa watazamaji
huwa wanayoana kama maagizo tu. Ikiwa hizi vipindi havitatugeuza ili
tuwe watu tofauti, basi hatuna budi kuachana nazo. Yafaa tujifunze
kutokana na hayo maigizo.
| Aina za burudani hutofautiana kulingana na nani | {
"text": [
"Mtu"
]
} |
4825_swa | BURUDANI
Burudani ni sanaa ambayo wengi wameilenga. Hapa duniani, maadam mtu huwa
na njia moja ambayo humfurahisha sana. Hivyo hilo jambo anapolitekeleza,
anaishi umuhimu wa maisha. Hata hivyo njia hizi ni mingi sana. Basi vile
wanadamu hutofautiana, pia basi aina za burudani hutofautiana.
Katika karne hii, njia minji zimeonekena kama njia za kujipa burhdani.
Hata hivyo wakati na nyakati huwa zinatofauna. Aina za burudani
hutofautiana kulingana na mtu. Burudani inaweza kuwa kwa kudensi nyimbo
au kusikiza. Wengine huthamini kusoma ili wajipe furaha. Hata hivyo,
michezo pia imeonekana kuwa na wafuasi wengi. Bila kusahau televisheni
nao ikisheeni kwenye familia nyimgi, mathumuni yakiwa burudani.
Hata hivyo, kuna burudani ambazo humnufaisha unayeburudika. Kwa upande
mwingine, zingine hazina manufaa hata kidogo. La kustaajabisha ni
kwamba, wanadamu hupendelea zile ambazo hazina manufaa. Zina ambazo zina
manufaa huonekana kama majukumu na si ya kujiburudisha.
Lazima tukabali kwamba kile ukipandacho ndicho utavuna. Katika karne
hii, burudani imebadilishwa na kuwa potovu. Hii imepalia kutokea kwa
watu ambao hawana maadili hata kidogo. Watu wameacha kuwa na ubinadamu
na kuwa wenye kiburi na walawiti kwenye jamii.
Nikipigia mfano televisheni. Hiki ni chombo ambacho kumetumika vibaya
kikiwaburudisha wapenzi watazamaji. Mara nyingi kimeonekana kikionyesha
picha ambazo zilikuwa adimu enzi za mababu wetu. Picha za watu wakiwa
nusu-uchi zimepeperushwa bila kujali anayetazama. Kutia kidonda makaa,
visa vya watu kupiga busu ovyoovyo hata kufanya tendo la ndoa
zinapeperushwa tu. Japo mara kwa mara tahadhari hutolewa, bado watoto
wadogo hupata wakati kutazama. Matekeo yake ni kwamba kazi hiki kina
mtazamo tofauti kuhusu mapenzi. Kazazi hiki kimeathirika kwa kishindo
kikibwa kikijaribu kuwa kama wale waigizaji.
Pili, televisheni imefanya wengi kuwa wavivu. Itabainika wazi kuwa
vipindi vinavyopeperushwa hewani huwa na mvuto uliyo wa ajabu. Si ajabu
kupata mtazamaji akiketi kitako siku mzima mbele ya runinga. Kwake
kupitwa na kipindi fulani ni hatia ambao hawezi jisamee. Ukweli ni
kwamba muda huu ungetumika kufanya jambo la maana maishani. Madhara haya
huwa bayana pale mtazamaji hujipata hajui pa kumalizia wala pa kuanzia
anapozungukwa na mambo anahitaji kufanya. Mjuto ni mjukuu. Hata hivyo,
mtazamaji huanza kufanya vitu kwa papara. Pia hili si jambo jema. Si
ajabu kupata makosa mengi kwenye kazi zilizofanywa kwa papara.
Runinga yafaa iwe sehemu ya kujifunza. Mara nyingi maisha ya watu
wanaoigiza huonekana yakifuata mweelekeo fulani. Hata hivyo maagizo yao
huwa kioo cha jamii. Lakini la kushangaza ni kuwa, wengi wa watazamaji
huwa wanayoana kama maagizo tu. Ikiwa hizi vipindi havitatugeuza ili
tuwe watu tofauti, basi hatuna budi kuachana nazo. Yafaa tujifunze
kutokana na hayo maigizo.
| Kile ukipandacho ndicho utafanya nini | {
"text": [
"Utavuna"
]
} |
4825_swa | BURUDANI
Burudani ni sanaa ambayo wengi wameilenga. Hapa duniani, maadam mtu huwa
na njia moja ambayo humfurahisha sana. Hivyo hilo jambo anapolitekeleza,
anaishi umuhimu wa maisha. Hata hivyo njia hizi ni mingi sana. Basi vile
wanadamu hutofautiana, pia basi aina za burudani hutofautiana.
Katika karne hii, njia minji zimeonekena kama njia za kujipa burhdani.
Hata hivyo wakati na nyakati huwa zinatofauna. Aina za burudani
hutofautiana kulingana na mtu. Burudani inaweza kuwa kwa kudensi nyimbo
au kusikiza. Wengine huthamini kusoma ili wajipe furaha. Hata hivyo,
michezo pia imeonekana kuwa na wafuasi wengi. Bila kusahau televisheni
nao ikisheeni kwenye familia nyimgi, mathumuni yakiwa burudani.
Hata hivyo, kuna burudani ambazo humnufaisha unayeburudika. Kwa upande
mwingine, zingine hazina manufaa hata kidogo. La kustaajabisha ni
kwamba, wanadamu hupendelea zile ambazo hazina manufaa. Zina ambazo zina
manufaa huonekana kama majukumu na si ya kujiburudisha.
Lazima tukabali kwamba kile ukipandacho ndicho utavuna. Katika karne
hii, burudani imebadilishwa na kuwa potovu. Hii imepalia kutokea kwa
watu ambao hawana maadili hata kidogo. Watu wameacha kuwa na ubinadamu
na kuwa wenye kiburi na walawiti kwenye jamii.
Nikipigia mfano televisheni. Hiki ni chombo ambacho kumetumika vibaya
kikiwaburudisha wapenzi watazamaji. Mara nyingi kimeonekana kikionyesha
picha ambazo zilikuwa adimu enzi za mababu wetu. Picha za watu wakiwa
nusu-uchi zimepeperushwa bila kujali anayetazama. Kutia kidonda makaa,
visa vya watu kupiga busu ovyoovyo hata kufanya tendo la ndoa
zinapeperushwa tu. Japo mara kwa mara tahadhari hutolewa, bado watoto
wadogo hupata wakati kutazama. Matekeo yake ni kwamba kazi hiki kina
mtazamo tofauti kuhusu mapenzi. Kazazi hiki kimeathirika kwa kishindo
kikibwa kikijaribu kuwa kama wale waigizaji.
Pili, televisheni imefanya wengi kuwa wavivu. Itabainika wazi kuwa
vipindi vinavyopeperushwa hewani huwa na mvuto uliyo wa ajabu. Si ajabu
kupata mtazamaji akiketi kitako siku mzima mbele ya runinga. Kwake
kupitwa na kipindi fulani ni hatia ambao hawezi jisamee. Ukweli ni
kwamba muda huu ungetumika kufanya jambo la maana maishani. Madhara haya
huwa bayana pale mtazamaji hujipata hajui pa kumalizia wala pa kuanzia
anapozungukwa na mambo anahitaji kufanya. Mjuto ni mjukuu. Hata hivyo,
mtazamaji huanza kufanya vitu kwa papara. Pia hili si jambo jema. Si
ajabu kupata makosa mengi kwenye kazi zilizofanywa kwa papara.
Runinga yafaa iwe sehemu ya kujifunza. Mara nyingi maisha ya watu
wanaoigiza huonekana yakifuata mweelekeo fulani. Hata hivyo maagizo yao
huwa kioo cha jamii. Lakini la kushangaza ni kuwa, wengi wa watazamaji
huwa wanayoana kama maagizo tu. Ikiwa hizi vipindi havitatugeuza ili
tuwe watu tofauti, basi hatuna budi kuachana nazo. Yafaa tujifunze
kutokana na hayo maigizo.
| televisheni imefanya wengi kuwa nini | {
"text": [
"wavivu"
]
} |
4825_swa | BURUDANI
Burudani ni sanaa ambayo wengi wameilenga. Hapa duniani, maadam mtu huwa
na njia moja ambayo humfurahisha sana. Hivyo hilo jambo anapolitekeleza,
anaishi umuhimu wa maisha. Hata hivyo njia hizi ni mingi sana. Basi vile
wanadamu hutofautiana, pia basi aina za burudani hutofautiana.
Katika karne hii, njia minji zimeonekena kama njia za kujipa burhdani.
Hata hivyo wakati na nyakati huwa zinatofauna. Aina za burudani
hutofautiana kulingana na mtu. Burudani inaweza kuwa kwa kudensi nyimbo
au kusikiza. Wengine huthamini kusoma ili wajipe furaha. Hata hivyo,
michezo pia imeonekana kuwa na wafuasi wengi. Bila kusahau televisheni
nao ikisheeni kwenye familia nyimgi, mathumuni yakiwa burudani.
Hata hivyo, kuna burudani ambazo humnufaisha unayeburudika. Kwa upande
mwingine, zingine hazina manufaa hata kidogo. La kustaajabisha ni
kwamba, wanadamu hupendelea zile ambazo hazina manufaa. Zina ambazo zina
manufaa huonekana kama majukumu na si ya kujiburudisha.
Lazima tukabali kwamba kile ukipandacho ndicho utavuna. Katika karne
hii, burudani imebadilishwa na kuwa potovu. Hii imepalia kutokea kwa
watu ambao hawana maadili hata kidogo. Watu wameacha kuwa na ubinadamu
na kuwa wenye kiburi na walawiti kwenye jamii.
Nikipigia mfano televisheni. Hiki ni chombo ambacho kumetumika vibaya
kikiwaburudisha wapenzi watazamaji. Mara nyingi kimeonekana kikionyesha
picha ambazo zilikuwa adimu enzi za mababu wetu. Picha za watu wakiwa
nusu-uchi zimepeperushwa bila kujali anayetazama. Kutia kidonda makaa,
visa vya watu kupiga busu ovyoovyo hata kufanya tendo la ndoa
zinapeperushwa tu. Japo mara kwa mara tahadhari hutolewa, bado watoto
wadogo hupata wakati kutazama. Matekeo yake ni kwamba kazi hiki kina
mtazamo tofauti kuhusu mapenzi. Kazazi hiki kimeathirika kwa kishindo
kikibwa kikijaribu kuwa kama wale waigizaji.
Pili, televisheni imefanya wengi kuwa wavivu. Itabainika wazi kuwa
vipindi vinavyopeperushwa hewani huwa na mvuto uliyo wa ajabu. Si ajabu
kupata mtazamaji akiketi kitako siku mzima mbele ya runinga. Kwake
kupitwa na kipindi fulani ni hatia ambao hawezi jisamee. Ukweli ni
kwamba muda huu ungetumika kufanya jambo la maana maishani. Madhara haya
huwa bayana pale mtazamaji hujipata hajui pa kumalizia wala pa kuanzia
anapozungukwa na mambo anahitaji kufanya. Mjuto ni mjukuu. Hata hivyo,
mtazamaji huanza kufanya vitu kwa papara. Pia hili si jambo jema. Si
ajabu kupata makosa mengi kwenye kazi zilizofanywa kwa papara.
Runinga yafaa iwe sehemu ya kujifunza. Mara nyingi maisha ya watu
wanaoigiza huonekana yakifuata mweelekeo fulani. Hata hivyo maagizo yao
huwa kioo cha jamii. Lakini la kushangaza ni kuwa, wengi wa watazamaji
huwa wanayoana kama maagizo tu. Ikiwa hizi vipindi havitatugeuza ili
tuwe watu tofauti, basi hatuna budi kuachana nazo. Yafaa tujifunze
kutokana na hayo maigizo.
| Nini yafaa iwe sehemu ya kujifunza. | {
"text": [
"Runinga"
]
} |
4825_swa | BURUDANI
Burudani ni sanaa ambayo wengi wameilenga. Hapa duniani, maadam mtu huwa
na njia moja ambayo humfurahisha sana. Hivyo hilo jambo anapolitekeleza,
anaishi umuhimu wa maisha. Hata hivyo njia hizi ni mingi sana. Basi vile
wanadamu hutofautiana, pia basi aina za burudani hutofautiana.
Katika karne hii, njia minji zimeonekena kama njia za kujipa burhdani.
Hata hivyo wakati na nyakati huwa zinatofauna. Aina za burudani
hutofautiana kulingana na mtu. Burudani inaweza kuwa kwa kudensi nyimbo
au kusikiza. Wengine huthamini kusoma ili wajipe furaha. Hata hivyo,
michezo pia imeonekana kuwa na wafuasi wengi. Bila kusahau televisheni
nao ikisheeni kwenye familia nyimgi, mathumuni yakiwa burudani.
Hata hivyo, kuna burudani ambazo humnufaisha unayeburudika. Kwa upande
mwingine, zingine hazina manufaa hata kidogo. La kustaajabisha ni
kwamba, wanadamu hupendelea zile ambazo hazina manufaa. Zina ambazo zina
manufaa huonekana kama majukumu na si ya kujiburudisha.
Lazima tukabali kwamba kile ukipandacho ndicho utavuna. Katika karne
hii, burudani imebadilishwa na kuwa potovu. Hii imepalia kutokea kwa
watu ambao hawana maadili hata kidogo. Watu wameacha kuwa na ubinadamu
na kuwa wenye kiburi na walawiti kwenye jamii.
Nikipigia mfano televisheni. Hiki ni chombo ambacho kumetumika vibaya
kikiwaburudisha wapenzi watazamaji. Mara nyingi kimeonekana kikionyesha
picha ambazo zilikuwa adimu enzi za mababu wetu. Picha za watu wakiwa
nusu-uchi zimepeperushwa bila kujali anayetazama. Kutia kidonda makaa,
visa vya watu kupiga busu ovyoovyo hata kufanya tendo la ndoa
zinapeperushwa tu. Japo mara kwa mara tahadhari hutolewa, bado watoto
wadogo hupata wakati kutazama. Matekeo yake ni kwamba kazi hiki kina
mtazamo tofauti kuhusu mapenzi. Kazazi hiki kimeathirika kwa kishindo
kikibwa kikijaribu kuwa kama wale waigizaji.
Pili, televisheni imefanya wengi kuwa wavivu. Itabainika wazi kuwa
vipindi vinavyopeperushwa hewani huwa na mvuto uliyo wa ajabu. Si ajabu
kupata mtazamaji akiketi kitako siku mzima mbele ya runinga. Kwake
kupitwa na kipindi fulani ni hatia ambao hawezi jisamee. Ukweli ni
kwamba muda huu ungetumika kufanya jambo la maana maishani. Madhara haya
huwa bayana pale mtazamaji hujipata hajui pa kumalizia wala pa kuanzia
anapozungukwa na mambo anahitaji kufanya. Mjuto ni mjukuu. Hata hivyo,
mtazamaji huanza kufanya vitu kwa papara. Pia hili si jambo jema. Si
ajabu kupata makosa mengi kwenye kazi zilizofanywa kwa papara.
Runinga yafaa iwe sehemu ya kujifunza. Mara nyingi maisha ya watu
wanaoigiza huonekana yakifuata mweelekeo fulani. Hata hivyo maagizo yao
huwa kioo cha jamii. Lakini la kushangaza ni kuwa, wengi wa watazamaji
huwa wanayoana kama maagizo tu. Ikiwa hizi vipindi havitatugeuza ili
tuwe watu tofauti, basi hatuna budi kuachana nazo. Yafaa tujifunze
kutokana na hayo maigizo.
| Kwa nini si vyema kufanya mambo kwa papara | {
"text": [
"Makosa mengi hutokea kwa kazi zinazofanywa kwa papara"
]
} |
4826_swa | BWANA JABURUTI
Jijini komongo paliishi mzee mmoja ,bw jaburuti na mkwe,bi jaburuti.
Walikuwa wafanyabiashara wa kutajika. Himaya yao ya biashara ilitapakaa
kote nchini. Hata nchi za nje. Wawili hao ndio walikuwa wakurugenzi wa
biashara yao. Kilichowabainisha zaidi ni bidii yao ya mchwa. Wanajamii
waliwatamani kwa sababu walikuwa na mali nyingi. Walijaliwa mambo yote
ya kutamanika na binadamu wa kawaida isipokuwa kitu kimoja tu.
Walimwomba mungu kila kukicha ili asikie kilio chao. Walitamani sana
kupata mrithi wa mali yao. Matumaini yao yalififia kwa mpito wa nyakati.
Uzee ulikuwa unawanyapia. Walijua kuwa kumpata mrithi uzeeni kungalikuwa
muujiza.
Mungu naye hamtupi mja wake. Maombi Yao yalijibiwa. Bi. Baruti alipata
ujauzito. Jambo hili liliwashangaza wengi kutokana na uzee wao. Kwao
hata hivyo ilikuwa wakati wa furaha. Walimshukuru mungu. Waliomba mungu
waweze kupata mtoto salama. Muda ulifika wa mama kujifungua. Alijifungua
salama salmini. Akapata mtoto wa kiume. Wazazi wakamlea mtoto wao kwa
tunu na tamasha.
Hata hivyo,alipofika umri wa kutambaa. Kukua kwake kulianza kubadilika.
Mgongo ulianza kupinda. Kichwa chake kikawa kikubwa kuliko sehemu
nyingine za mwili. Msaada wa kimatibabu ulitafutwa katika kila pembe ya
dunia. Ilimuradi kuokoa maisha yake. Walitoa pesa nyingi ili tu kumwokoa
mtoto wao. Walisafiri nchi za mbali ili kumwokoa mtoto wao. Baada ya
gangaganga zote hizo. Mtoto aliaga dunia. Mama mtoto alishindwa kuhimili
kushindo hicho. Kidogo naye akaanza kuugua. Baada ya muda mfupi naye
akaaga. Mzee jaburuti akabaki mpweke akiomboleza.
Mzee aliwaza na kuwazua kuhusu mrithi wa mali yake. Hatimaye aliandika
wosia na kumkabidhi wakili wake pamoja na maelezo yote. Haya yalifaa
kufuatwa yeye alipoondoka duniani. Baada ya muda mfupi,naye pia aliaga.
Wakili alitekeleza kulingana na maagizo ya wosia. Aliweka matangazo
katika magazeti, redio na runinga kuhusu mnada wa mali ya Mzee jaburuti.
Halaiki ya watu nchini kote walifika siku ya mnada kununua mali ya
jaburuti. Wengine walitoka njee ya nchi.
Dalali alichukua kengele yake na kuwakaribisha wote. Aliwasomea orodha
ya vitu vilivyopaswa kuuzwa. Vilikuwa biashara zote za marehemu.
Mashamba,makasri. Na nyumba za kukodisha zilizokuwa katika mji
mbalimbali. Pia samani za kifahari. Kwa mujibu wa wosia,bw jaburuti
alitaka picha ya mwanawe uizwe kwanza. Ilikuwa picha kubwa iliyowekwa
fremu. Kisha ikatiwa nakshi ya dhahabu. Licha ya fremu kuvutia. Picha
ile haikuvutia. Ilikuwa ya kuimbe aliyepinda mgongo . Pia kichwa
kilikuwa kikubwa kuliko mwili. Picha iliponadiwa. Ilikosa mnunuzi. Mara
akatokea kijakazi. Akasema kuwa angeinunua picha ile. Wengine waliona
afadhali angenunua pakiti ya posho badala ya picha. Kijakazi alimwendea
dalali. Kisha akamuomba amwuzie picha ile. Dalali naye akakataa.
Kijakazi akamweleza kwamba yeye ndiye alikuwa mlezi wa mtoto yule.
Alijua vile mtoto huyo alivyokuwa tunu kwa wazazi. Pia alifahamu jinsi
walivyosumbuka alipokufa. Alitaka kuinunua kama kumbukumbu kwake. Dalali
alimpa shingo upande . Kijakazi huyo alichukua kwa deni.
Baada ya kuiuza picha, wakili akampa dalali bahasha nyingine.
Dalali akaifungua kwa pupa. Alifikiri ni orodha ya namna mali ile
ingeuzwa. Alitazama kwanza. Akashindwa kuendelea kusoma. Msaidizi wa
dalali akauchukua bahasha. Kisha akausoma. Waraka ulieleza kuwa mtu
ambaye angeinunua ile picha ya mwanawe marehemu ndiye angechukua urithi
wa mali yote ya marehemu. Wote waliokuwepo wakaachwa vinywa wazi. Mali
yote ya marehemu ikakabidhiwa kijakazi.
| Jijini lipi paliishi mzee mmoja ,Bwana Jaburuti na mkwe,Bi Jaburuti | {
"text": [
"Kamongo"
]
} |
4826_swa | BWANA JABURUTI
Jijini komongo paliishi mzee mmoja ,bw jaburuti na mkwe,bi jaburuti.
Walikuwa wafanyabiashara wa kutajika. Himaya yao ya biashara ilitapakaa
kote nchini. Hata nchi za nje. Wawili hao ndio walikuwa wakurugenzi wa
biashara yao. Kilichowabainisha zaidi ni bidii yao ya mchwa. Wanajamii
waliwatamani kwa sababu walikuwa na mali nyingi. Walijaliwa mambo yote
ya kutamanika na binadamu wa kawaida isipokuwa kitu kimoja tu.
Walimwomba mungu kila kukicha ili asikie kilio chao. Walitamani sana
kupata mrithi wa mali yao. Matumaini yao yalififia kwa mpito wa nyakati.
Uzee ulikuwa unawanyapia. Walijua kuwa kumpata mrithi uzeeni kungalikuwa
muujiza.
Mungu naye hamtupi mja wake. Maombi Yao yalijibiwa. Bi. Baruti alipata
ujauzito. Jambo hili liliwashangaza wengi kutokana na uzee wao. Kwao
hata hivyo ilikuwa wakati wa furaha. Walimshukuru mungu. Waliomba mungu
waweze kupata mtoto salama. Muda ulifika wa mama kujifungua. Alijifungua
salama salmini. Akapata mtoto wa kiume. Wazazi wakamlea mtoto wao kwa
tunu na tamasha.
Hata hivyo,alipofika umri wa kutambaa. Kukua kwake kulianza kubadilika.
Mgongo ulianza kupinda. Kichwa chake kikawa kikubwa kuliko sehemu
nyingine za mwili. Msaada wa kimatibabu ulitafutwa katika kila pembe ya
dunia. Ilimuradi kuokoa maisha yake. Walitoa pesa nyingi ili tu kumwokoa
mtoto wao. Walisafiri nchi za mbali ili kumwokoa mtoto wao. Baada ya
gangaganga zote hizo. Mtoto aliaga dunia. Mama mtoto alishindwa kuhimili
kushindo hicho. Kidogo naye akaanza kuugua. Baada ya muda mfupi naye
akaaga. Mzee jaburuti akabaki mpweke akiomboleza.
Mzee aliwaza na kuwazua kuhusu mrithi wa mali yake. Hatimaye aliandika
wosia na kumkabidhi wakili wake pamoja na maelezo yote. Haya yalifaa
kufuatwa yeye alipoondoka duniani. Baada ya muda mfupi,naye pia aliaga.
Wakili alitekeleza kulingana na maagizo ya wosia. Aliweka matangazo
katika magazeti, redio na runinga kuhusu mnada wa mali ya Mzee jaburuti.
Halaiki ya watu nchini kote walifika siku ya mnada kununua mali ya
jaburuti. Wengine walitoka njee ya nchi.
Dalali alichukua kengele yake na kuwakaribisha wote. Aliwasomea orodha
ya vitu vilivyopaswa kuuzwa. Vilikuwa biashara zote za marehemu.
Mashamba,makasri. Na nyumba za kukodisha zilizokuwa katika mji
mbalimbali. Pia samani za kifahari. Kwa mujibu wa wosia,bw jaburuti
alitaka picha ya mwanawe uizwe kwanza. Ilikuwa picha kubwa iliyowekwa
fremu. Kisha ikatiwa nakshi ya dhahabu. Licha ya fremu kuvutia. Picha
ile haikuvutia. Ilikuwa ya kuimbe aliyepinda mgongo . Pia kichwa
kilikuwa kikubwa kuliko mwili. Picha iliponadiwa. Ilikosa mnunuzi. Mara
akatokea kijakazi. Akasema kuwa angeinunua picha ile. Wengine waliona
afadhali angenunua pakiti ya posho badala ya picha. Kijakazi alimwendea
dalali. Kisha akamuomba amwuzie picha ile. Dalali naye akakataa.
Kijakazi akamweleza kwamba yeye ndiye alikuwa mlezi wa mtoto yule.
Alijua vile mtoto huyo alivyokuwa tunu kwa wazazi. Pia alifahamu jinsi
walivyosumbuka alipokufa. Alitaka kuinunua kama kumbukumbu kwake. Dalali
alimpa shingo upande . Kijakazi huyo alichukua kwa deni.
Baada ya kuiuza picha, wakili akampa dalali bahasha nyingine.
Dalali akaifungua kwa pupa. Alifikiri ni orodha ya namna mali ile
ingeuzwa. Alitazama kwanza. Akashindwa kuendelea kusoma. Msaidizi wa
dalali akauchukua bahasha. Kisha akausoma. Waraka ulieleza kuwa mtu
ambaye angeinunua ile picha ya mwanawe marehemu ndiye angechukua urithi
wa mali yote ya marehemu. Wote waliokuwepo wakaachwa vinywa wazi. Mali
yote ya marehemu ikakabidhiwa kijakazi.
| Bi. Baruti alipata nini | {
"text": [
"ujauzito"
]
} |
4826_swa | BWANA JABURUTI
Jijini komongo paliishi mzee mmoja ,bw jaburuti na mkwe,bi jaburuti.
Walikuwa wafanyabiashara wa kutajika. Himaya yao ya biashara ilitapakaa
kote nchini. Hata nchi za nje. Wawili hao ndio walikuwa wakurugenzi wa
biashara yao. Kilichowabainisha zaidi ni bidii yao ya mchwa. Wanajamii
waliwatamani kwa sababu walikuwa na mali nyingi. Walijaliwa mambo yote
ya kutamanika na binadamu wa kawaida isipokuwa kitu kimoja tu.
Walimwomba mungu kila kukicha ili asikie kilio chao. Walitamani sana
kupata mrithi wa mali yao. Matumaini yao yalififia kwa mpito wa nyakati.
Uzee ulikuwa unawanyapia. Walijua kuwa kumpata mrithi uzeeni kungalikuwa
muujiza.
Mungu naye hamtupi mja wake. Maombi Yao yalijibiwa. Bi. Baruti alipata
ujauzito. Jambo hili liliwashangaza wengi kutokana na uzee wao. Kwao
hata hivyo ilikuwa wakati wa furaha. Walimshukuru mungu. Waliomba mungu
waweze kupata mtoto salama. Muda ulifika wa mama kujifungua. Alijifungua
salama salmini. Akapata mtoto wa kiume. Wazazi wakamlea mtoto wao kwa
tunu na tamasha.
Hata hivyo,alipofika umri wa kutambaa. Kukua kwake kulianza kubadilika.
Mgongo ulianza kupinda. Kichwa chake kikawa kikubwa kuliko sehemu
nyingine za mwili. Msaada wa kimatibabu ulitafutwa katika kila pembe ya
dunia. Ilimuradi kuokoa maisha yake. Walitoa pesa nyingi ili tu kumwokoa
mtoto wao. Walisafiri nchi za mbali ili kumwokoa mtoto wao. Baada ya
gangaganga zote hizo. Mtoto aliaga dunia. Mama mtoto alishindwa kuhimili
kushindo hicho. Kidogo naye akaanza kuugua. Baada ya muda mfupi naye
akaaga. Mzee jaburuti akabaki mpweke akiomboleza.
Mzee aliwaza na kuwazua kuhusu mrithi wa mali yake. Hatimaye aliandika
wosia na kumkabidhi wakili wake pamoja na maelezo yote. Haya yalifaa
kufuatwa yeye alipoondoka duniani. Baada ya muda mfupi,naye pia aliaga.
Wakili alitekeleza kulingana na maagizo ya wosia. Aliweka matangazo
katika magazeti, redio na runinga kuhusu mnada wa mali ya Mzee jaburuti.
Halaiki ya watu nchini kote walifika siku ya mnada kununua mali ya
jaburuti. Wengine walitoka njee ya nchi.
Dalali alichukua kengele yake na kuwakaribisha wote. Aliwasomea orodha
ya vitu vilivyopaswa kuuzwa. Vilikuwa biashara zote za marehemu.
Mashamba,makasri. Na nyumba za kukodisha zilizokuwa katika mji
mbalimbali. Pia samani za kifahari. Kwa mujibu wa wosia,bw jaburuti
alitaka picha ya mwanawe uizwe kwanza. Ilikuwa picha kubwa iliyowekwa
fremu. Kisha ikatiwa nakshi ya dhahabu. Licha ya fremu kuvutia. Picha
ile haikuvutia. Ilikuwa ya kuimbe aliyepinda mgongo . Pia kichwa
kilikuwa kikubwa kuliko mwili. Picha iliponadiwa. Ilikosa mnunuzi. Mara
akatokea kijakazi. Akasema kuwa angeinunua picha ile. Wengine waliona
afadhali angenunua pakiti ya posho badala ya picha. Kijakazi alimwendea
dalali. Kisha akamuomba amwuzie picha ile. Dalali naye akakataa.
Kijakazi akamweleza kwamba yeye ndiye alikuwa mlezi wa mtoto yule.
Alijua vile mtoto huyo alivyokuwa tunu kwa wazazi. Pia alifahamu jinsi
walivyosumbuka alipokufa. Alitaka kuinunua kama kumbukumbu kwake. Dalali
alimpa shingo upande . Kijakazi huyo alichukua kwa deni.
Baada ya kuiuza picha, wakili akampa dalali bahasha nyingine.
Dalali akaifungua kwa pupa. Alifikiri ni orodha ya namna mali ile
ingeuzwa. Alitazama kwanza. Akashindwa kuendelea kusoma. Msaidizi wa
dalali akauchukua bahasha. Kisha akausoma. Waraka ulieleza kuwa mtu
ambaye angeinunua ile picha ya mwanawe marehemu ndiye angechukua urithi
wa mali yote ya marehemu. Wote waliokuwepo wakaachwa vinywa wazi. Mali
yote ya marehemu ikakabidhiwa kijakazi.
| Nini ilikuwa kubwa kuliko sehemu nyingine za mwili. | {
"text": [
"Kichwa"
]
} |
4826_swa | BWANA JABURUTI
Jijini komongo paliishi mzee mmoja ,bw jaburuti na mkwe,bi jaburuti.
Walikuwa wafanyabiashara wa kutajika. Himaya yao ya biashara ilitapakaa
kote nchini. Hata nchi za nje. Wawili hao ndio walikuwa wakurugenzi wa
biashara yao. Kilichowabainisha zaidi ni bidii yao ya mchwa. Wanajamii
waliwatamani kwa sababu walikuwa na mali nyingi. Walijaliwa mambo yote
ya kutamanika na binadamu wa kawaida isipokuwa kitu kimoja tu.
Walimwomba mungu kila kukicha ili asikie kilio chao. Walitamani sana
kupata mrithi wa mali yao. Matumaini yao yalififia kwa mpito wa nyakati.
Uzee ulikuwa unawanyapia. Walijua kuwa kumpata mrithi uzeeni kungalikuwa
muujiza.
Mungu naye hamtupi mja wake. Maombi Yao yalijibiwa. Bi. Baruti alipata
ujauzito. Jambo hili liliwashangaza wengi kutokana na uzee wao. Kwao
hata hivyo ilikuwa wakati wa furaha. Walimshukuru mungu. Waliomba mungu
waweze kupata mtoto salama. Muda ulifika wa mama kujifungua. Alijifungua
salama salmini. Akapata mtoto wa kiume. Wazazi wakamlea mtoto wao kwa
tunu na tamasha.
Hata hivyo,alipofika umri wa kutambaa. Kukua kwake kulianza kubadilika.
Mgongo ulianza kupinda. Kichwa chake kikawa kikubwa kuliko sehemu
nyingine za mwili. Msaada wa kimatibabu ulitafutwa katika kila pembe ya
dunia. Ilimuradi kuokoa maisha yake. Walitoa pesa nyingi ili tu kumwokoa
mtoto wao. Walisafiri nchi za mbali ili kumwokoa mtoto wao. Baada ya
gangaganga zote hizo. Mtoto aliaga dunia. Mama mtoto alishindwa kuhimili
kushindo hicho. Kidogo naye akaanza kuugua. Baada ya muda mfupi naye
akaaga. Mzee jaburuti akabaki mpweke akiomboleza.
Mzee aliwaza na kuwazua kuhusu mrithi wa mali yake. Hatimaye aliandika
wosia na kumkabidhi wakili wake pamoja na maelezo yote. Haya yalifaa
kufuatwa yeye alipoondoka duniani. Baada ya muda mfupi,naye pia aliaga.
Wakili alitekeleza kulingana na maagizo ya wosia. Aliweka matangazo
katika magazeti, redio na runinga kuhusu mnada wa mali ya Mzee jaburuti.
Halaiki ya watu nchini kote walifika siku ya mnada kununua mali ya
jaburuti. Wengine walitoka njee ya nchi.
Dalali alichukua kengele yake na kuwakaribisha wote. Aliwasomea orodha
ya vitu vilivyopaswa kuuzwa. Vilikuwa biashara zote za marehemu.
Mashamba,makasri. Na nyumba za kukodisha zilizokuwa katika mji
mbalimbali. Pia samani za kifahari. Kwa mujibu wa wosia,bw jaburuti
alitaka picha ya mwanawe uizwe kwanza. Ilikuwa picha kubwa iliyowekwa
fremu. Kisha ikatiwa nakshi ya dhahabu. Licha ya fremu kuvutia. Picha
ile haikuvutia. Ilikuwa ya kuimbe aliyepinda mgongo . Pia kichwa
kilikuwa kikubwa kuliko mwili. Picha iliponadiwa. Ilikosa mnunuzi. Mara
akatokea kijakazi. Akasema kuwa angeinunua picha ile. Wengine waliona
afadhali angenunua pakiti ya posho badala ya picha. Kijakazi alimwendea
dalali. Kisha akamuomba amwuzie picha ile. Dalali naye akakataa.
Kijakazi akamweleza kwamba yeye ndiye alikuwa mlezi wa mtoto yule.
Alijua vile mtoto huyo alivyokuwa tunu kwa wazazi. Pia alifahamu jinsi
walivyosumbuka alipokufa. Alitaka kuinunua kama kumbukumbu kwake. Dalali
alimpa shingo upande . Kijakazi huyo alichukua kwa deni.
Baada ya kuiuza picha, wakili akampa dalali bahasha nyingine.
Dalali akaifungua kwa pupa. Alifikiri ni orodha ya namna mali ile
ingeuzwa. Alitazama kwanza. Akashindwa kuendelea kusoma. Msaidizi wa
dalali akauchukua bahasha. Kisha akausoma. Waraka ulieleza kuwa mtu
ambaye angeinunua ile picha ya mwanawe marehemu ndiye angechukua urithi
wa mali yote ya marehemu. Wote waliokuwepo wakaachwa vinywa wazi. Mali
yote ya marehemu ikakabidhiwa kijakazi.
| Mzee aliandika wosia na kumkabidhi nani | {
"text": [
"Wakili"
]
} |
4826_swa | BWANA JABURUTI
Jijini komongo paliishi mzee mmoja ,bw jaburuti na mkwe,bi jaburuti.
Walikuwa wafanyabiashara wa kutajika. Himaya yao ya biashara ilitapakaa
kote nchini. Hata nchi za nje. Wawili hao ndio walikuwa wakurugenzi wa
biashara yao. Kilichowabainisha zaidi ni bidii yao ya mchwa. Wanajamii
waliwatamani kwa sababu walikuwa na mali nyingi. Walijaliwa mambo yote
ya kutamanika na binadamu wa kawaida isipokuwa kitu kimoja tu.
Walimwomba mungu kila kukicha ili asikie kilio chao. Walitamani sana
kupata mrithi wa mali yao. Matumaini yao yalififia kwa mpito wa nyakati.
Uzee ulikuwa unawanyapia. Walijua kuwa kumpata mrithi uzeeni kungalikuwa
muujiza.
Mungu naye hamtupi mja wake. Maombi Yao yalijibiwa. Bi. Baruti alipata
ujauzito. Jambo hili liliwashangaza wengi kutokana na uzee wao. Kwao
hata hivyo ilikuwa wakati wa furaha. Walimshukuru mungu. Waliomba mungu
waweze kupata mtoto salama. Muda ulifika wa mama kujifungua. Alijifungua
salama salmini. Akapata mtoto wa kiume. Wazazi wakamlea mtoto wao kwa
tunu na tamasha.
Hata hivyo,alipofika umri wa kutambaa. Kukua kwake kulianza kubadilika.
Mgongo ulianza kupinda. Kichwa chake kikawa kikubwa kuliko sehemu
nyingine za mwili. Msaada wa kimatibabu ulitafutwa katika kila pembe ya
dunia. Ilimuradi kuokoa maisha yake. Walitoa pesa nyingi ili tu kumwokoa
mtoto wao. Walisafiri nchi za mbali ili kumwokoa mtoto wao. Baada ya
gangaganga zote hizo. Mtoto aliaga dunia. Mama mtoto alishindwa kuhimili
kushindo hicho. Kidogo naye akaanza kuugua. Baada ya muda mfupi naye
akaaga. Mzee jaburuti akabaki mpweke akiomboleza.
Mzee aliwaza na kuwazua kuhusu mrithi wa mali yake. Hatimaye aliandika
wosia na kumkabidhi wakili wake pamoja na maelezo yote. Haya yalifaa
kufuatwa yeye alipoondoka duniani. Baada ya muda mfupi,naye pia aliaga.
Wakili alitekeleza kulingana na maagizo ya wosia. Aliweka matangazo
katika magazeti, redio na runinga kuhusu mnada wa mali ya Mzee jaburuti.
Halaiki ya watu nchini kote walifika siku ya mnada kununua mali ya
jaburuti. Wengine walitoka njee ya nchi.
Dalali alichukua kengele yake na kuwakaribisha wote. Aliwasomea orodha
ya vitu vilivyopaswa kuuzwa. Vilikuwa biashara zote za marehemu.
Mashamba,makasri. Na nyumba za kukodisha zilizokuwa katika mji
mbalimbali. Pia samani za kifahari. Kwa mujibu wa wosia,bw jaburuti
alitaka picha ya mwanawe uizwe kwanza. Ilikuwa picha kubwa iliyowekwa
fremu. Kisha ikatiwa nakshi ya dhahabu. Licha ya fremu kuvutia. Picha
ile haikuvutia. Ilikuwa ya kuimbe aliyepinda mgongo . Pia kichwa
kilikuwa kikubwa kuliko mwili. Picha iliponadiwa. Ilikosa mnunuzi. Mara
akatokea kijakazi. Akasema kuwa angeinunua picha ile. Wengine waliona
afadhali angenunua pakiti ya posho badala ya picha. Kijakazi alimwendea
dalali. Kisha akamuomba amwuzie picha ile. Dalali naye akakataa.
Kijakazi akamweleza kwamba yeye ndiye alikuwa mlezi wa mtoto yule.
Alijua vile mtoto huyo alivyokuwa tunu kwa wazazi. Pia alifahamu jinsi
walivyosumbuka alipokufa. Alitaka kuinunua kama kumbukumbu kwake. Dalali
alimpa shingo upande . Kijakazi huyo alichukua kwa deni.
Baada ya kuiuza picha, wakili akampa dalali bahasha nyingine.
Dalali akaifungua kwa pupa. Alifikiri ni orodha ya namna mali ile
ingeuzwa. Alitazama kwanza. Akashindwa kuendelea kusoma. Msaidizi wa
dalali akauchukua bahasha. Kisha akausoma. Waraka ulieleza kuwa mtu
ambaye angeinunua ile picha ya mwanawe marehemu ndiye angechukua urithi
wa mali yote ya marehemu. Wote waliokuwepo wakaachwa vinywa wazi. Mali
yote ya marehemu ikakabidhiwa kijakazi.
| Kwa nini dalali aliifungua kwa pupa | {
"text": [
"Alifikiri ni orodha ya namna mali ile ingeuzwa."
]
} |
4827_swa | CHANGAMOTO ZA JINSIA YA KIKE
Changamoto zinazidi kuwakumba kina mama nchini. Kenya ingawa sasa kuna
katiba mpya. Pamoja na kuwa mwanamke. Amepewa hadhi kubwa ikilinganishwa
na hapo awali. Kumetoka visa vingi vya unyanyasaji wa wanawake. Visa
hivi haviwakati wengi maini. Bali ni vyombo vya kuwazindua viongozi
kuona kwamba hali. Haijafika kiwango cha kuridhisha. Hii ina maana kuwa
ingawa katiba mpya. Ilianza kutekeleza mwaka wa elfu mbili na kumi. Bado
watu wengi hawajabadili mtazamo wao na jinsi . Ya kuhusiana na jinsia ya
kike. Visa vya ubakaji wa watoto wa kike na wazee. Na wakati mwingine
baba zao. Vimetokea katika miaka ya hivi karibuni. Isitoshe akina mama
wengi. Wamekuwa wahasiriwa wa mivua ya makonde kutoka kwa waume zao.
Hata kwa makosa madogomadogo. Hivi majuzi mmoja wa wanawake hawa. Ambao
maisha kwao ni shairi tu. Alichomwa vibaya na mumewe. Kisha na maana
amejitia kujua kuwa kuna siku. Ya wapenzi . Mwanamke huyu. Baada ya
kutoka mashambani kuja. Kujumuika na mumewe kusherehekea siku ya
wapenzi. Alipata sherehe za kuchomwa moto huku. Mumewe akilalamika
kuingiliwa uhuru wake. Mana huyu bado anauguza majeraha. Ya mwili na
moyo.
Mwanamke aliyesoma. Na kupewa fursa ya kufanya kazi. Na ajira ofisini
naye amekabiliwa na changamoto nyingi. Huyu lazima atekeleze majukumu
yake kama mama. Mke na mfanyakazi. Wengi wa wanawake wanaofanya. Kazi
mjini hulalamika wanafanya kazi maradufu ya wanaume. Mwanamke kama huyu.
Kama alivyolalamika mmoja wao ambaye ni afisa. Wa utawala wa mikoa.
Huanza siku yake alfajiri na mapema kuitayarisha familia staftahi. Kisha
kuelekea ofisini ambapo anakabiliwa na migogoro. Mingi ya kusuluhisha.
Arejeapo nyumbani jioni. Hali huwa hiyo hiyo. Kutayarisha chajio.
Kushughulikia kazi za shule za watoto. Na kuichangamsha familia. Maisha
yake huwa hiyo. Siku nenda siku rudi. Utashangaa mja huyu atayabeba
mangapi.
Hali huwa mbaya zaidi kwa wanawake. Ambao wameingia siasa. Hawa mikasa
yao haihesabiki. Mara watupiwe mabezo ya kila aina. Na wanasiasa wenzao.
Mara washutumiwe . Na kutiwa midomoni na wanajamii. Kwa kuonekana
wakichapa. Kazi na kuwa na uhusiano wa Karibu. . Na wazalendo wenzao wa
kiume. Maisha yao hupigwa darubini. Hata nyakati amvazo hayahitaji
kuangazwa.
Mwanamke amekuwa kinyago cha kufanyiwa mzaha. Juzi karibu mbingu
zianguke alipokitokeza . Mwana vitimbi mmoja aliyejitia kufanyia utani
yasiyohitaji. Alimsawiri mwanamke kama aliyechangia. Kukosewa heshima
kwake. Kwa kule kutamani kufanya hivyo. Ingawa wanawake walimshinikiza
mhusika huyu kuomba msamaha. Upayukaji wake haupaswi kuchukuliwa kama
mzaha. Ni ishara ya hisia za ndani za watu wengi kuhusu mwanamke. Kwamba
ingawa wakenya. Wamejitahidi kupigania hazi za wanawake. Baadhi yetu
bado tuna zile fikira za kijadi. Kuhusu wanawake.
Uchumi wa nchi kamwe hauwezi kuendelea. Bila kumhusisha kila mtu. Nchini
humu,baada ya kutambua haya mwanamke amepewa nyathifa mbalimbali katika
serikali. Ingawa kuna baadhi ya wanawake. Waliohusika na kashfa
mbalimbali za kifisadi. Kuna wale ambao wametumia nyadhifa zao kuhifadhi
nchi. Mmoja wa wanawake amejaribu. Kwa jino na ukucha kuyalinda
mazingira dhidi ya mapapa. Nani asiyekumbuka matusi aliyopata mwanamke
huyu. Anayejitoa mhanga kuikinga sehemu fulani za burudani. Dhidi ya
kunyakuliwa na wanaostahili. Hakuyajutia yaliyompata. Aliowatisha
walijaribu kummeza mzimamzima. Mwishowe walisalimu amri. Na kuliacha
eneo hilo. Hiki kilikuwa kitendo cha ujasiri na uzalendo mkubwa. Matunda
yake yamewafaidi wengi. Vijana kwa wazee. Kila mwisho wa wiki huwaona
watu wakimiminika kwenye eneo hili kujipumbaza. Hii si fahari kwake tu.
Bali kwa nchi kwa jumla. Wale waliompinga. Na wale waliomwita punguani
wakati huo. Wamebaki kuinamisha nyuso tu. Bila shaka wamefunzwa mengi.
Wanawake sasa wana haki ya kumiliki mali. Vilevile mashamba. Kutokana na
hili tumeshuhudia ongezeko kubwa la uzalishaji wa chakula. Mashambani na
kwa hivyo kupunguza njaa na umasikini. Biashara ndogondogo
zinazoendelezwa sokoni na mitaani. Kwa kiasi kikubwa. Huhusisha
wanawake. Biashara hizi huchangia pakubwa. Katika kuimarisha uchumi wa
nchi. Kwani hutoa ajira ya kibinafsi kwa maelfu ya watu. Ushuru na
leseni zinazokatiwa biashara hizi huongezea serikali pato la ndani.
Mgala muue na haki umpe. Ni kweli kwamba tumekuwa na visa vya hapa na
pale. Vya ukiukaji wa haki za wanawake. Hata hivyo . Ni dhahiri kwamba
nchi hii imejitahidi mno kuendelea kumkwamua mwanamke kwayo. Hata
mashirika ambayo hapo awali hayakupenda kuwaajiri wanawake. Sasa
yanawapa nafasi sawa na wanaume. Vyuo vikuu vya kibinafsi vimeanzishwa
kuwasajili wanawake. Jijini Nairobi. Mna chuo kikuu cha sayansi cha
wanawake. Aidha kumeanzishwa shule za kuwasajili wasichana. Kutoka
familia masikini kujiunga na kidato cha kwanza. Wasichana hawa watapata
wadhamini. Kutoka mashirika na watu mbalimbali. Ili kujiendeleza
kimasomo.
Kumheshimu mwanamke ni miongoni mwa haki. Za kibinadamu ambazo sharti
zitekelezwe. Hata hivyo. Wanawake wakumbuke hata wanapouliza usawa
kuhusu kupewa haki. Lazima wao pia wajibike. Wao ndio walimu wakwanza wa
wanao. Ikiwa basi wataonekana kwenye vyombo vya habari wakininginia juu
ya magari. Ya wachunga magereza kwa kujitafutia pesa za mayatima. Malezi
bora pia. Watakuwa wanapotosha watoto wao. Wawe watu wa vitendo zaidi ya
upayukaji.
| Kipi kinawakumba kina mama nchini | {
"text": [
"Changamoto"
]
} |
4827_swa | CHANGAMOTO ZA JINSIA YA KIKE
Changamoto zinazidi kuwakumba kina mama nchini. Kenya ingawa sasa kuna
katiba mpya. Pamoja na kuwa mwanamke. Amepewa hadhi kubwa ikilinganishwa
na hapo awali. Kumetoka visa vingi vya unyanyasaji wa wanawake. Visa
hivi haviwakati wengi maini. Bali ni vyombo vya kuwazindua viongozi
kuona kwamba hali. Haijafika kiwango cha kuridhisha. Hii ina maana kuwa
ingawa katiba mpya. Ilianza kutekeleza mwaka wa elfu mbili na kumi. Bado
watu wengi hawajabadili mtazamo wao na jinsi . Ya kuhusiana na jinsia ya
kike. Visa vya ubakaji wa watoto wa kike na wazee. Na wakati mwingine
baba zao. Vimetokea katika miaka ya hivi karibuni. Isitoshe akina mama
wengi. Wamekuwa wahasiriwa wa mivua ya makonde kutoka kwa waume zao.
Hata kwa makosa madogomadogo. Hivi majuzi mmoja wa wanawake hawa. Ambao
maisha kwao ni shairi tu. Alichomwa vibaya na mumewe. Kisha na maana
amejitia kujua kuwa kuna siku. Ya wapenzi . Mwanamke huyu. Baada ya
kutoka mashambani kuja. Kujumuika na mumewe kusherehekea siku ya
wapenzi. Alipata sherehe za kuchomwa moto huku. Mumewe akilalamika
kuingiliwa uhuru wake. Mana huyu bado anauguza majeraha. Ya mwili na
moyo.
Mwanamke aliyesoma. Na kupewa fursa ya kufanya kazi. Na ajira ofisini
naye amekabiliwa na changamoto nyingi. Huyu lazima atekeleze majukumu
yake kama mama. Mke na mfanyakazi. Wengi wa wanawake wanaofanya. Kazi
mjini hulalamika wanafanya kazi maradufu ya wanaume. Mwanamke kama huyu.
Kama alivyolalamika mmoja wao ambaye ni afisa. Wa utawala wa mikoa.
Huanza siku yake alfajiri na mapema kuitayarisha familia staftahi. Kisha
kuelekea ofisini ambapo anakabiliwa na migogoro. Mingi ya kusuluhisha.
Arejeapo nyumbani jioni. Hali huwa hiyo hiyo. Kutayarisha chajio.
Kushughulikia kazi za shule za watoto. Na kuichangamsha familia. Maisha
yake huwa hiyo. Siku nenda siku rudi. Utashangaa mja huyu atayabeba
mangapi.
Hali huwa mbaya zaidi kwa wanawake. Ambao wameingia siasa. Hawa mikasa
yao haihesabiki. Mara watupiwe mabezo ya kila aina. Na wanasiasa wenzao.
Mara washutumiwe . Na kutiwa midomoni na wanajamii. Kwa kuonekana
wakichapa. Kazi na kuwa na uhusiano wa Karibu. . Na wazalendo wenzao wa
kiume. Maisha yao hupigwa darubini. Hata nyakati amvazo hayahitaji
kuangazwa.
Mwanamke amekuwa kinyago cha kufanyiwa mzaha. Juzi karibu mbingu
zianguke alipokitokeza . Mwana vitimbi mmoja aliyejitia kufanyia utani
yasiyohitaji. Alimsawiri mwanamke kama aliyechangia. Kukosewa heshima
kwake. Kwa kule kutamani kufanya hivyo. Ingawa wanawake walimshinikiza
mhusika huyu kuomba msamaha. Upayukaji wake haupaswi kuchukuliwa kama
mzaha. Ni ishara ya hisia za ndani za watu wengi kuhusu mwanamke. Kwamba
ingawa wakenya. Wamejitahidi kupigania hazi za wanawake. Baadhi yetu
bado tuna zile fikira za kijadi. Kuhusu wanawake.
Uchumi wa nchi kamwe hauwezi kuendelea. Bila kumhusisha kila mtu. Nchini
humu,baada ya kutambua haya mwanamke amepewa nyathifa mbalimbali katika
serikali. Ingawa kuna baadhi ya wanawake. Waliohusika na kashfa
mbalimbali za kifisadi. Kuna wale ambao wametumia nyadhifa zao kuhifadhi
nchi. Mmoja wa wanawake amejaribu. Kwa jino na ukucha kuyalinda
mazingira dhidi ya mapapa. Nani asiyekumbuka matusi aliyopata mwanamke
huyu. Anayejitoa mhanga kuikinga sehemu fulani za burudani. Dhidi ya
kunyakuliwa na wanaostahili. Hakuyajutia yaliyompata. Aliowatisha
walijaribu kummeza mzimamzima. Mwishowe walisalimu amri. Na kuliacha
eneo hilo. Hiki kilikuwa kitendo cha ujasiri na uzalendo mkubwa. Matunda
yake yamewafaidi wengi. Vijana kwa wazee. Kila mwisho wa wiki huwaona
watu wakimiminika kwenye eneo hili kujipumbaza. Hii si fahari kwake tu.
Bali kwa nchi kwa jumla. Wale waliompinga. Na wale waliomwita punguani
wakati huo. Wamebaki kuinamisha nyuso tu. Bila shaka wamefunzwa mengi.
Wanawake sasa wana haki ya kumiliki mali. Vilevile mashamba. Kutokana na
hili tumeshuhudia ongezeko kubwa la uzalishaji wa chakula. Mashambani na
kwa hivyo kupunguza njaa na umasikini. Biashara ndogondogo
zinazoendelezwa sokoni na mitaani. Kwa kiasi kikubwa. Huhusisha
wanawake. Biashara hizi huchangia pakubwa. Katika kuimarisha uchumi wa
nchi. Kwani hutoa ajira ya kibinafsi kwa maelfu ya watu. Ushuru na
leseni zinazokatiwa biashara hizi huongezea serikali pato la ndani.
Mgala muue na haki umpe. Ni kweli kwamba tumekuwa na visa vya hapa na
pale. Vya ukiukaji wa haki za wanawake. Hata hivyo . Ni dhahiri kwamba
nchi hii imejitahidi mno kuendelea kumkwamua mwanamke kwayo. Hata
mashirika ambayo hapo awali hayakupenda kuwaajiri wanawake. Sasa
yanawapa nafasi sawa na wanaume. Vyuo vikuu vya kibinafsi vimeanzishwa
kuwasajili wanawake. Jijini Nairobi. Mna chuo kikuu cha sayansi cha
wanawake. Aidha kumeanzishwa shule za kuwasajili wasichana. Kutoka
familia masikini kujiunga na kidato cha kwanza. Wasichana hawa watapata
wadhamini. Kutoka mashirika na watu mbalimbali. Ili kujiendeleza
kimasomo.
Kumheshimu mwanamke ni miongoni mwa haki. Za kibinadamu ambazo sharti
zitekelezwe. Hata hivyo. Wanawake wakumbuke hata wanapouliza usawa
kuhusu kupewa haki. Lazima wao pia wajibike. Wao ndio walimu wakwanza wa
wanao. Ikiwa basi wataonekana kwenye vyombo vya habari wakininginia juu
ya magari. Ya wachunga magereza kwa kujitafutia pesa za mayatima. Malezi
bora pia. Watakuwa wanapotosha watoto wao. Wawe watu wa vitendo zaidi ya
upayukaji.
| Katiba ilianza kutekelezwa lini | {
"text": [
"2010"
]
} |
4827_swa | CHANGAMOTO ZA JINSIA YA KIKE
Changamoto zinazidi kuwakumba kina mama nchini. Kenya ingawa sasa kuna
katiba mpya. Pamoja na kuwa mwanamke. Amepewa hadhi kubwa ikilinganishwa
na hapo awali. Kumetoka visa vingi vya unyanyasaji wa wanawake. Visa
hivi haviwakati wengi maini. Bali ni vyombo vya kuwazindua viongozi
kuona kwamba hali. Haijafika kiwango cha kuridhisha. Hii ina maana kuwa
ingawa katiba mpya. Ilianza kutekeleza mwaka wa elfu mbili na kumi. Bado
watu wengi hawajabadili mtazamo wao na jinsi . Ya kuhusiana na jinsia ya
kike. Visa vya ubakaji wa watoto wa kike na wazee. Na wakati mwingine
baba zao. Vimetokea katika miaka ya hivi karibuni. Isitoshe akina mama
wengi. Wamekuwa wahasiriwa wa mivua ya makonde kutoka kwa waume zao.
Hata kwa makosa madogomadogo. Hivi majuzi mmoja wa wanawake hawa. Ambao
maisha kwao ni shairi tu. Alichomwa vibaya na mumewe. Kisha na maana
amejitia kujua kuwa kuna siku. Ya wapenzi . Mwanamke huyu. Baada ya
kutoka mashambani kuja. Kujumuika na mumewe kusherehekea siku ya
wapenzi. Alipata sherehe za kuchomwa moto huku. Mumewe akilalamika
kuingiliwa uhuru wake. Mana huyu bado anauguza majeraha. Ya mwili na
moyo.
Mwanamke aliyesoma. Na kupewa fursa ya kufanya kazi. Na ajira ofisini
naye amekabiliwa na changamoto nyingi. Huyu lazima atekeleze majukumu
yake kama mama. Mke na mfanyakazi. Wengi wa wanawake wanaofanya. Kazi
mjini hulalamika wanafanya kazi maradufu ya wanaume. Mwanamke kama huyu.
Kama alivyolalamika mmoja wao ambaye ni afisa. Wa utawala wa mikoa.
Huanza siku yake alfajiri na mapema kuitayarisha familia staftahi. Kisha
kuelekea ofisini ambapo anakabiliwa na migogoro. Mingi ya kusuluhisha.
Arejeapo nyumbani jioni. Hali huwa hiyo hiyo. Kutayarisha chajio.
Kushughulikia kazi za shule za watoto. Na kuichangamsha familia. Maisha
yake huwa hiyo. Siku nenda siku rudi. Utashangaa mja huyu atayabeba
mangapi.
Hali huwa mbaya zaidi kwa wanawake. Ambao wameingia siasa. Hawa mikasa
yao haihesabiki. Mara watupiwe mabezo ya kila aina. Na wanasiasa wenzao.
Mara washutumiwe . Na kutiwa midomoni na wanajamii. Kwa kuonekana
wakichapa. Kazi na kuwa na uhusiano wa Karibu. . Na wazalendo wenzao wa
kiume. Maisha yao hupigwa darubini. Hata nyakati amvazo hayahitaji
kuangazwa.
Mwanamke amekuwa kinyago cha kufanyiwa mzaha. Juzi karibu mbingu
zianguke alipokitokeza . Mwana vitimbi mmoja aliyejitia kufanyia utani
yasiyohitaji. Alimsawiri mwanamke kama aliyechangia. Kukosewa heshima
kwake. Kwa kule kutamani kufanya hivyo. Ingawa wanawake walimshinikiza
mhusika huyu kuomba msamaha. Upayukaji wake haupaswi kuchukuliwa kama
mzaha. Ni ishara ya hisia za ndani za watu wengi kuhusu mwanamke. Kwamba
ingawa wakenya. Wamejitahidi kupigania hazi za wanawake. Baadhi yetu
bado tuna zile fikira za kijadi. Kuhusu wanawake.
Uchumi wa nchi kamwe hauwezi kuendelea. Bila kumhusisha kila mtu. Nchini
humu,baada ya kutambua haya mwanamke amepewa nyathifa mbalimbali katika
serikali. Ingawa kuna baadhi ya wanawake. Waliohusika na kashfa
mbalimbali za kifisadi. Kuna wale ambao wametumia nyadhifa zao kuhifadhi
nchi. Mmoja wa wanawake amejaribu. Kwa jino na ukucha kuyalinda
mazingira dhidi ya mapapa. Nani asiyekumbuka matusi aliyopata mwanamke
huyu. Anayejitoa mhanga kuikinga sehemu fulani za burudani. Dhidi ya
kunyakuliwa na wanaostahili. Hakuyajutia yaliyompata. Aliowatisha
walijaribu kummeza mzimamzima. Mwishowe walisalimu amri. Na kuliacha
eneo hilo. Hiki kilikuwa kitendo cha ujasiri na uzalendo mkubwa. Matunda
yake yamewafaidi wengi. Vijana kwa wazee. Kila mwisho wa wiki huwaona
watu wakimiminika kwenye eneo hili kujipumbaza. Hii si fahari kwake tu.
Bali kwa nchi kwa jumla. Wale waliompinga. Na wale waliomwita punguani
wakati huo. Wamebaki kuinamisha nyuso tu. Bila shaka wamefunzwa mengi.
Wanawake sasa wana haki ya kumiliki mali. Vilevile mashamba. Kutokana na
hili tumeshuhudia ongezeko kubwa la uzalishaji wa chakula. Mashambani na
kwa hivyo kupunguza njaa na umasikini. Biashara ndogondogo
zinazoendelezwa sokoni na mitaani. Kwa kiasi kikubwa. Huhusisha
wanawake. Biashara hizi huchangia pakubwa. Katika kuimarisha uchumi wa
nchi. Kwani hutoa ajira ya kibinafsi kwa maelfu ya watu. Ushuru na
leseni zinazokatiwa biashara hizi huongezea serikali pato la ndani.
Mgala muue na haki umpe. Ni kweli kwamba tumekuwa na visa vya hapa na
pale. Vya ukiukaji wa haki za wanawake. Hata hivyo . Ni dhahiri kwamba
nchi hii imejitahidi mno kuendelea kumkwamua mwanamke kwayo. Hata
mashirika ambayo hapo awali hayakupenda kuwaajiri wanawake. Sasa
yanawapa nafasi sawa na wanaume. Vyuo vikuu vya kibinafsi vimeanzishwa
kuwasajili wanawake. Jijini Nairobi. Mna chuo kikuu cha sayansi cha
wanawake. Aidha kumeanzishwa shule za kuwasajili wasichana. Kutoka
familia masikini kujiunga na kidato cha kwanza. Wasichana hawa watapata
wadhamini. Kutoka mashirika na watu mbalimbali. Ili kujiendeleza
kimasomo.
Kumheshimu mwanamke ni miongoni mwa haki. Za kibinadamu ambazo sharti
zitekelezwe. Hata hivyo. Wanawake wakumbuke hata wanapouliza usawa
kuhusu kupewa haki. Lazima wao pia wajibike. Wao ndio walimu wakwanza wa
wanao. Ikiwa basi wataonekana kwenye vyombo vya habari wakininginia juu
ya magari. Ya wachunga magereza kwa kujitafutia pesa za mayatima. Malezi
bora pia. Watakuwa wanapotosha watoto wao. Wawe watu wa vitendo zaidi ya
upayukaji.
| Nini huwa mbaya kwa wanawake wanaoingia siasa | {
"text": [
"Hali"
]
} |
4827_swa | CHANGAMOTO ZA JINSIA YA KIKE
Changamoto zinazidi kuwakumba kina mama nchini. Kenya ingawa sasa kuna
katiba mpya. Pamoja na kuwa mwanamke. Amepewa hadhi kubwa ikilinganishwa
na hapo awali. Kumetoka visa vingi vya unyanyasaji wa wanawake. Visa
hivi haviwakati wengi maini. Bali ni vyombo vya kuwazindua viongozi
kuona kwamba hali. Haijafika kiwango cha kuridhisha. Hii ina maana kuwa
ingawa katiba mpya. Ilianza kutekeleza mwaka wa elfu mbili na kumi. Bado
watu wengi hawajabadili mtazamo wao na jinsi . Ya kuhusiana na jinsia ya
kike. Visa vya ubakaji wa watoto wa kike na wazee. Na wakati mwingine
baba zao. Vimetokea katika miaka ya hivi karibuni. Isitoshe akina mama
wengi. Wamekuwa wahasiriwa wa mivua ya makonde kutoka kwa waume zao.
Hata kwa makosa madogomadogo. Hivi majuzi mmoja wa wanawake hawa. Ambao
maisha kwao ni shairi tu. Alichomwa vibaya na mumewe. Kisha na maana
amejitia kujua kuwa kuna siku. Ya wapenzi . Mwanamke huyu. Baada ya
kutoka mashambani kuja. Kujumuika na mumewe kusherehekea siku ya
wapenzi. Alipata sherehe za kuchomwa moto huku. Mumewe akilalamika
kuingiliwa uhuru wake. Mana huyu bado anauguza majeraha. Ya mwili na
moyo.
Mwanamke aliyesoma. Na kupewa fursa ya kufanya kazi. Na ajira ofisini
naye amekabiliwa na changamoto nyingi. Huyu lazima atekeleze majukumu
yake kama mama. Mke na mfanyakazi. Wengi wa wanawake wanaofanya. Kazi
mjini hulalamika wanafanya kazi maradufu ya wanaume. Mwanamke kama huyu.
Kama alivyolalamika mmoja wao ambaye ni afisa. Wa utawala wa mikoa.
Huanza siku yake alfajiri na mapema kuitayarisha familia staftahi. Kisha
kuelekea ofisini ambapo anakabiliwa na migogoro. Mingi ya kusuluhisha.
Arejeapo nyumbani jioni. Hali huwa hiyo hiyo. Kutayarisha chajio.
Kushughulikia kazi za shule za watoto. Na kuichangamsha familia. Maisha
yake huwa hiyo. Siku nenda siku rudi. Utashangaa mja huyu atayabeba
mangapi.
Hali huwa mbaya zaidi kwa wanawake. Ambao wameingia siasa. Hawa mikasa
yao haihesabiki. Mara watupiwe mabezo ya kila aina. Na wanasiasa wenzao.
Mara washutumiwe . Na kutiwa midomoni na wanajamii. Kwa kuonekana
wakichapa. Kazi na kuwa na uhusiano wa Karibu. . Na wazalendo wenzao wa
kiume. Maisha yao hupigwa darubini. Hata nyakati amvazo hayahitaji
kuangazwa.
Mwanamke amekuwa kinyago cha kufanyiwa mzaha. Juzi karibu mbingu
zianguke alipokitokeza . Mwana vitimbi mmoja aliyejitia kufanyia utani
yasiyohitaji. Alimsawiri mwanamke kama aliyechangia. Kukosewa heshima
kwake. Kwa kule kutamani kufanya hivyo. Ingawa wanawake walimshinikiza
mhusika huyu kuomba msamaha. Upayukaji wake haupaswi kuchukuliwa kama
mzaha. Ni ishara ya hisia za ndani za watu wengi kuhusu mwanamke. Kwamba
ingawa wakenya. Wamejitahidi kupigania hazi za wanawake. Baadhi yetu
bado tuna zile fikira za kijadi. Kuhusu wanawake.
Uchumi wa nchi kamwe hauwezi kuendelea. Bila kumhusisha kila mtu. Nchini
humu,baada ya kutambua haya mwanamke amepewa nyathifa mbalimbali katika
serikali. Ingawa kuna baadhi ya wanawake. Waliohusika na kashfa
mbalimbali za kifisadi. Kuna wale ambao wametumia nyadhifa zao kuhifadhi
nchi. Mmoja wa wanawake amejaribu. Kwa jino na ukucha kuyalinda
mazingira dhidi ya mapapa. Nani asiyekumbuka matusi aliyopata mwanamke
huyu. Anayejitoa mhanga kuikinga sehemu fulani za burudani. Dhidi ya
kunyakuliwa na wanaostahili. Hakuyajutia yaliyompata. Aliowatisha
walijaribu kummeza mzimamzima. Mwishowe walisalimu amri. Na kuliacha
eneo hilo. Hiki kilikuwa kitendo cha ujasiri na uzalendo mkubwa. Matunda
yake yamewafaidi wengi. Vijana kwa wazee. Kila mwisho wa wiki huwaona
watu wakimiminika kwenye eneo hili kujipumbaza. Hii si fahari kwake tu.
Bali kwa nchi kwa jumla. Wale waliompinga. Na wale waliomwita punguani
wakati huo. Wamebaki kuinamisha nyuso tu. Bila shaka wamefunzwa mengi.
Wanawake sasa wana haki ya kumiliki mali. Vilevile mashamba. Kutokana na
hili tumeshuhudia ongezeko kubwa la uzalishaji wa chakula. Mashambani na
kwa hivyo kupunguza njaa na umasikini. Biashara ndogondogo
zinazoendelezwa sokoni na mitaani. Kwa kiasi kikubwa. Huhusisha
wanawake. Biashara hizi huchangia pakubwa. Katika kuimarisha uchumi wa
nchi. Kwani hutoa ajira ya kibinafsi kwa maelfu ya watu. Ushuru na
leseni zinazokatiwa biashara hizi huongezea serikali pato la ndani.
Mgala muue na haki umpe. Ni kweli kwamba tumekuwa na visa vya hapa na
pale. Vya ukiukaji wa haki za wanawake. Hata hivyo . Ni dhahiri kwamba
nchi hii imejitahidi mno kuendelea kumkwamua mwanamke kwayo. Hata
mashirika ambayo hapo awali hayakupenda kuwaajiri wanawake. Sasa
yanawapa nafasi sawa na wanaume. Vyuo vikuu vya kibinafsi vimeanzishwa
kuwasajili wanawake. Jijini Nairobi. Mna chuo kikuu cha sayansi cha
wanawake. Aidha kumeanzishwa shule za kuwasajili wasichana. Kutoka
familia masikini kujiunga na kidato cha kwanza. Wasichana hawa watapata
wadhamini. Kutoka mashirika na watu mbalimbali. Ili kujiendeleza
kimasomo.
Kumheshimu mwanamke ni miongoni mwa haki. Za kibinadamu ambazo sharti
zitekelezwe. Hata hivyo. Wanawake wakumbuke hata wanapouliza usawa
kuhusu kupewa haki. Lazima wao pia wajibike. Wao ndio walimu wakwanza wa
wanao. Ikiwa basi wataonekana kwenye vyombo vya habari wakininginia juu
ya magari. Ya wachunga magereza kwa kujitafutia pesa za mayatima. Malezi
bora pia. Watakuwa wanapotosha watoto wao. Wawe watu wa vitendo zaidi ya
upayukaji.
| Mwanamke amekuwa nini cha kufanyiwa mzaha | {
"text": [
"Kinyago"
]
} |
4827_swa | CHANGAMOTO ZA JINSIA YA KIKE
Changamoto zinazidi kuwakumba kina mama nchini. Kenya ingawa sasa kuna
katiba mpya. Pamoja na kuwa mwanamke. Amepewa hadhi kubwa ikilinganishwa
na hapo awali. Kumetoka visa vingi vya unyanyasaji wa wanawake. Visa
hivi haviwakati wengi maini. Bali ni vyombo vya kuwazindua viongozi
kuona kwamba hali. Haijafika kiwango cha kuridhisha. Hii ina maana kuwa
ingawa katiba mpya. Ilianza kutekeleza mwaka wa elfu mbili na kumi. Bado
watu wengi hawajabadili mtazamo wao na jinsi . Ya kuhusiana na jinsia ya
kike. Visa vya ubakaji wa watoto wa kike na wazee. Na wakati mwingine
baba zao. Vimetokea katika miaka ya hivi karibuni. Isitoshe akina mama
wengi. Wamekuwa wahasiriwa wa mivua ya makonde kutoka kwa waume zao.
Hata kwa makosa madogomadogo. Hivi majuzi mmoja wa wanawake hawa. Ambao
maisha kwao ni shairi tu. Alichomwa vibaya na mumewe. Kisha na maana
amejitia kujua kuwa kuna siku. Ya wapenzi . Mwanamke huyu. Baada ya
kutoka mashambani kuja. Kujumuika na mumewe kusherehekea siku ya
wapenzi. Alipata sherehe za kuchomwa moto huku. Mumewe akilalamika
kuingiliwa uhuru wake. Mana huyu bado anauguza majeraha. Ya mwili na
moyo.
Mwanamke aliyesoma. Na kupewa fursa ya kufanya kazi. Na ajira ofisini
naye amekabiliwa na changamoto nyingi. Huyu lazima atekeleze majukumu
yake kama mama. Mke na mfanyakazi. Wengi wa wanawake wanaofanya. Kazi
mjini hulalamika wanafanya kazi maradufu ya wanaume. Mwanamke kama huyu.
Kama alivyolalamika mmoja wao ambaye ni afisa. Wa utawala wa mikoa.
Huanza siku yake alfajiri na mapema kuitayarisha familia staftahi. Kisha
kuelekea ofisini ambapo anakabiliwa na migogoro. Mingi ya kusuluhisha.
Arejeapo nyumbani jioni. Hali huwa hiyo hiyo. Kutayarisha chajio.
Kushughulikia kazi za shule za watoto. Na kuichangamsha familia. Maisha
yake huwa hiyo. Siku nenda siku rudi. Utashangaa mja huyu atayabeba
mangapi.
Hali huwa mbaya zaidi kwa wanawake. Ambao wameingia siasa. Hawa mikasa
yao haihesabiki. Mara watupiwe mabezo ya kila aina. Na wanasiasa wenzao.
Mara washutumiwe . Na kutiwa midomoni na wanajamii. Kwa kuonekana
wakichapa. Kazi na kuwa na uhusiano wa Karibu. . Na wazalendo wenzao wa
kiume. Maisha yao hupigwa darubini. Hata nyakati amvazo hayahitaji
kuangazwa.
Mwanamke amekuwa kinyago cha kufanyiwa mzaha. Juzi karibu mbingu
zianguke alipokitokeza . Mwana vitimbi mmoja aliyejitia kufanyia utani
yasiyohitaji. Alimsawiri mwanamke kama aliyechangia. Kukosewa heshima
kwake. Kwa kule kutamani kufanya hivyo. Ingawa wanawake walimshinikiza
mhusika huyu kuomba msamaha. Upayukaji wake haupaswi kuchukuliwa kama
mzaha. Ni ishara ya hisia za ndani za watu wengi kuhusu mwanamke. Kwamba
ingawa wakenya. Wamejitahidi kupigania hazi za wanawake. Baadhi yetu
bado tuna zile fikira za kijadi. Kuhusu wanawake.
Uchumi wa nchi kamwe hauwezi kuendelea. Bila kumhusisha kila mtu. Nchini
humu,baada ya kutambua haya mwanamke amepewa nyathifa mbalimbali katika
serikali. Ingawa kuna baadhi ya wanawake. Waliohusika na kashfa
mbalimbali za kifisadi. Kuna wale ambao wametumia nyadhifa zao kuhifadhi
nchi. Mmoja wa wanawake amejaribu. Kwa jino na ukucha kuyalinda
mazingira dhidi ya mapapa. Nani asiyekumbuka matusi aliyopata mwanamke
huyu. Anayejitoa mhanga kuikinga sehemu fulani za burudani. Dhidi ya
kunyakuliwa na wanaostahili. Hakuyajutia yaliyompata. Aliowatisha
walijaribu kummeza mzimamzima. Mwishowe walisalimu amri. Na kuliacha
eneo hilo. Hiki kilikuwa kitendo cha ujasiri na uzalendo mkubwa. Matunda
yake yamewafaidi wengi. Vijana kwa wazee. Kila mwisho wa wiki huwaona
watu wakimiminika kwenye eneo hili kujipumbaza. Hii si fahari kwake tu.
Bali kwa nchi kwa jumla. Wale waliompinga. Na wale waliomwita punguani
wakati huo. Wamebaki kuinamisha nyuso tu. Bila shaka wamefunzwa mengi.
Wanawake sasa wana haki ya kumiliki mali. Vilevile mashamba. Kutokana na
hili tumeshuhudia ongezeko kubwa la uzalishaji wa chakula. Mashambani na
kwa hivyo kupunguza njaa na umasikini. Biashara ndogondogo
zinazoendelezwa sokoni na mitaani. Kwa kiasi kikubwa. Huhusisha
wanawake. Biashara hizi huchangia pakubwa. Katika kuimarisha uchumi wa
nchi. Kwani hutoa ajira ya kibinafsi kwa maelfu ya watu. Ushuru na
leseni zinazokatiwa biashara hizi huongezea serikali pato la ndani.
Mgala muue na haki umpe. Ni kweli kwamba tumekuwa na visa vya hapa na
pale. Vya ukiukaji wa haki za wanawake. Hata hivyo . Ni dhahiri kwamba
nchi hii imejitahidi mno kuendelea kumkwamua mwanamke kwayo. Hata
mashirika ambayo hapo awali hayakupenda kuwaajiri wanawake. Sasa
yanawapa nafasi sawa na wanaume. Vyuo vikuu vya kibinafsi vimeanzishwa
kuwasajili wanawake. Jijini Nairobi. Mna chuo kikuu cha sayansi cha
wanawake. Aidha kumeanzishwa shule za kuwasajili wasichana. Kutoka
familia masikini kujiunga na kidato cha kwanza. Wasichana hawa watapata
wadhamini. Kutoka mashirika na watu mbalimbali. Ili kujiendeleza
kimasomo.
Kumheshimu mwanamke ni miongoni mwa haki. Za kibinadamu ambazo sharti
zitekelezwe. Hata hivyo. Wanawake wakumbuke hata wanapouliza usawa
kuhusu kupewa haki. Lazima wao pia wajibike. Wao ndio walimu wakwanza wa
wanao. Ikiwa basi wataonekana kwenye vyombo vya habari wakininginia juu
ya magari. Ya wachunga magereza kwa kujitafutia pesa za mayatima. Malezi
bora pia. Watakuwa wanapotosha watoto wao. Wawe watu wa vitendo zaidi ya
upayukaji.
| Biashara ndogondogo huendelezwa wapi | {
"text": [
"Sokoni na mitaani"
]
} |
4828_swa | UMUHIMU WA ELIMU
Elimu ni chombo muhimu katika jamii. Umuhimu wake umetambulika katika
Kila jamii bila kujali tabaka, jinsia au dini. Elimu Ina manufaa chungu
nzima sio tu Kwa mtu binafsi Bali hata katika familia na jamii mzima.
Hivyo basi Kila mmoja yapaswa kupata elimu.
Ajira ni muhimu kwa kuwa inawezesha mtu kupata malipo inayoweza kukidhi
mahitaji yake. Kutokana na kuelimika watu hupata maarifa
inayowatayarisha Kwa kazi za afisini inayoenziwa na wengi. Kupitia hii
mtu anakuwa na hakika ya kwamba anapomaliza masomo yake atapata kazi
mzuri na kuishi maisha mazuri. Katika jamii, tunaona ya kwamba asilimia
themanini ya wale waliofanikiwa ni wenye elimu.
Vile vile elimu huwezesha mtu kupata ajira yenye mapato ya juu. Waajiri
wengi mara nyingi wana mapendeleo ya wafanyikazi wenye maarifa, juu ya
wale wasiokuwa mayo. Kwa hivyo kazi zenye mapato ya juu wanapewa wale
wenye elimu ya juu zaidi. Wale wa chini wanabakia kupata zile kazi duni.
Kwa kupata fedha nyingi mtu ataweza kuishi maisha ya kumtosheleza.
Masomo huwezesha mtu kukua na ile ujuzi wa kutatua matatizo. Maisha ya
binadamu yamejawa changamoto chungu nzima. Elimu huandaa mtu jinsi ya
kukumbatana na changamoto hizo. Mtu aliyeelimika Kwa hivyo ana nafasi ya
juu Sana na ujuzi wa kupeana maaoni yenye busara na yanayoweza kuleta
maendeleao katika jamii. Isitoshe, pia ana maarifa ipasavyo ya kulea
familia au jamii yake Kwa njia ya busara.
Walioelimika husaidia kabisa katika kuinua uchumi wa taifa. Uchumi wa
taifa hutegemea Kwa asilimia kubwa ushuru. Ushuru yenyewe hukusanywa Kwa
kutoza ushuru bidhaa na mishahara ya wafanyikazi. Kwa upande wa wafanyi
kazi, Kila mmoja hutozwa Kulingana na kiwango Cha fedha mtu hulipwa. Kwa
kawaida, walioelimika Hupata mishahara ya juu. Hivyo ushuru ambayo
wanatozwa ni juu pia. Kulingana na hii, inamaanisha ya kwamba nchi iliyo
na watu wengi waliosoma huweza kukusanya ushuru mingi na kuinua uchumi
wake.
Wahenga walisema kwamba mtoto akishazaliwa ni WA jamii. Bali sio tu wa
wazazi wake. Kwa hii walimaanisha kuwa mtu yeyote anaweza kumwadhibu
mtoto akiwa na kosa. Vile vile mwanajamii yeyote anaweza toa msaada Kwa
mtoto yeyote mwenye kuhitaji msaada. Mara nyingine tumeona huu
ukitendeka katika jamii. Mfano mmoja ni pale ambapo utapata wanafunzi
waliosomea shule Moja awali wakirudi baadaye kama kikundi na kujenga
darasa au hata maktaba Kwa ajili ya wengine. Pia utapata kwamba
mwanajamii kutoka boma Moja huweza kuelimisha mtoto kutoka boma
nyingine.
Elimu huleta usawa wa kijinsia. Awali wanawake hawakuchukuliwa sawa na
wanaume. Wanawake au mtoto wa kike hakupewa nafasi sawa na mtoto wa
kiume katika jamii. Wengi wao walipewa kazi duni. Watoto wavulana
walipewa kipao mbele katika Kila jambo. Elimu imeleta mabadiliko makubwa
katika maisha ya mtoto wa kike. Masomo yameleta mtazamo tofauti. Katika
siku za hivi karibuni wanawake Kwa wanaume hung'ang'ania vyeo kazini.
Waajiri wengi huona kwamba wanawake Wana maarifa na ujuzi sawia na
wanaume.
Elimu ya kisasa inayojumuisha tamaduni mbalimbali hujenga watu kuwa
viongozi. Masomo kutoka tamaduni tofauti tofauti ni Bora kwani mtu
anakuwa na fahamu ya jinsi ya kutangamana au kushughulikia watu wote Kwa
usawa bila kuwa na mapemdeleo.
| Umuhimu wa elimu unatambukika wapi | {
"text": [
"Katika jamii"
]
} |
4828_swa | UMUHIMU WA ELIMU
Elimu ni chombo muhimu katika jamii. Umuhimu wake umetambulika katika
Kila jamii bila kujali tabaka, jinsia au dini. Elimu Ina manufaa chungu
nzima sio tu Kwa mtu binafsi Bali hata katika familia na jamii mzima.
Hivyo basi Kila mmoja yapaswa kupata elimu.
Ajira ni muhimu kwa kuwa inawezesha mtu kupata malipo inayoweza kukidhi
mahitaji yake. Kutokana na kuelimika watu hupata maarifa
inayowatayarisha Kwa kazi za afisini inayoenziwa na wengi. Kupitia hii
mtu anakuwa na hakika ya kwamba anapomaliza masomo yake atapata kazi
mzuri na kuishi maisha mazuri. Katika jamii, tunaona ya kwamba asilimia
themanini ya wale waliofanikiwa ni wenye elimu.
Vile vile elimu huwezesha mtu kupata ajira yenye mapato ya juu. Waajiri
wengi mara nyingi wana mapendeleo ya wafanyikazi wenye maarifa, juu ya
wale wasiokuwa mayo. Kwa hivyo kazi zenye mapato ya juu wanapewa wale
wenye elimu ya juu zaidi. Wale wa chini wanabakia kupata zile kazi duni.
Kwa kupata fedha nyingi mtu ataweza kuishi maisha ya kumtosheleza.
Masomo huwezesha mtu kukua na ile ujuzi wa kutatua matatizo. Maisha ya
binadamu yamejawa changamoto chungu nzima. Elimu huandaa mtu jinsi ya
kukumbatana na changamoto hizo. Mtu aliyeelimika Kwa hivyo ana nafasi ya
juu Sana na ujuzi wa kupeana maaoni yenye busara na yanayoweza kuleta
maendeleao katika jamii. Isitoshe, pia ana maarifa ipasavyo ya kulea
familia au jamii yake Kwa njia ya busara.
Walioelimika husaidia kabisa katika kuinua uchumi wa taifa. Uchumi wa
taifa hutegemea Kwa asilimia kubwa ushuru. Ushuru yenyewe hukusanywa Kwa
kutoza ushuru bidhaa na mishahara ya wafanyikazi. Kwa upande wa wafanyi
kazi, Kila mmoja hutozwa Kulingana na kiwango Cha fedha mtu hulipwa. Kwa
kawaida, walioelimika Hupata mishahara ya juu. Hivyo ushuru ambayo
wanatozwa ni juu pia. Kulingana na hii, inamaanisha ya kwamba nchi iliyo
na watu wengi waliosoma huweza kukusanya ushuru mingi na kuinua uchumi
wake.
Wahenga walisema kwamba mtoto akishazaliwa ni WA jamii. Bali sio tu wa
wazazi wake. Kwa hii walimaanisha kuwa mtu yeyote anaweza kumwadhibu
mtoto akiwa na kosa. Vile vile mwanajamii yeyote anaweza toa msaada Kwa
mtoto yeyote mwenye kuhitaji msaada. Mara nyingine tumeona huu
ukitendeka katika jamii. Mfano mmoja ni pale ambapo utapata wanafunzi
waliosomea shule Moja awali wakirudi baadaye kama kikundi na kujenga
darasa au hata maktaba Kwa ajili ya wengine. Pia utapata kwamba
mwanajamii kutoka boma Moja huweza kuelimisha mtoto kutoka boma
nyingine.
Elimu huleta usawa wa kijinsia. Awali wanawake hawakuchukuliwa sawa na
wanaume. Wanawake au mtoto wa kike hakupewa nafasi sawa na mtoto wa
kiume katika jamii. Wengi wao walipewa kazi duni. Watoto wavulana
walipewa kipao mbele katika Kila jambo. Elimu imeleta mabadiliko makubwa
katika maisha ya mtoto wa kike. Masomo yameleta mtazamo tofauti. Katika
siku za hivi karibuni wanawake Kwa wanaume hung'ang'ania vyeo kazini.
Waajiri wengi huona kwamba wanawake Wana maarifa na ujuzi sawia na
wanaume.
Elimu ya kisasa inayojumuisha tamaduni mbalimbali hujenga watu kuwa
viongozi. Masomo kutoka tamaduni tofauti tofauti ni Bora kwani mtu
anakuwa na fahamu ya jinsi ya kutangamana au kushughulikia watu wote Kwa
usawa bila kuwa na mapemdeleo.
| Ni jambo lipi hutokea mtu anapomaliza masomo yake | {
"text": [
"Mtu atapata kazi na kuiishi maisha mazuri"
]
} |
4828_swa | UMUHIMU WA ELIMU
Elimu ni chombo muhimu katika jamii. Umuhimu wake umetambulika katika
Kila jamii bila kujali tabaka, jinsia au dini. Elimu Ina manufaa chungu
nzima sio tu Kwa mtu binafsi Bali hata katika familia na jamii mzima.
Hivyo basi Kila mmoja yapaswa kupata elimu.
Ajira ni muhimu kwa kuwa inawezesha mtu kupata malipo inayoweza kukidhi
mahitaji yake. Kutokana na kuelimika watu hupata maarifa
inayowatayarisha Kwa kazi za afisini inayoenziwa na wengi. Kupitia hii
mtu anakuwa na hakika ya kwamba anapomaliza masomo yake atapata kazi
mzuri na kuishi maisha mazuri. Katika jamii, tunaona ya kwamba asilimia
themanini ya wale waliofanikiwa ni wenye elimu.
Vile vile elimu huwezesha mtu kupata ajira yenye mapato ya juu. Waajiri
wengi mara nyingi wana mapendeleo ya wafanyikazi wenye maarifa, juu ya
wale wasiokuwa mayo. Kwa hivyo kazi zenye mapato ya juu wanapewa wale
wenye elimu ya juu zaidi. Wale wa chini wanabakia kupata zile kazi duni.
Kwa kupata fedha nyingi mtu ataweza kuishi maisha ya kumtosheleza.
Masomo huwezesha mtu kukua na ile ujuzi wa kutatua matatizo. Maisha ya
binadamu yamejawa changamoto chungu nzima. Elimu huandaa mtu jinsi ya
kukumbatana na changamoto hizo. Mtu aliyeelimika Kwa hivyo ana nafasi ya
juu Sana na ujuzi wa kupeana maaoni yenye busara na yanayoweza kuleta
maendeleao katika jamii. Isitoshe, pia ana maarifa ipasavyo ya kulea
familia au jamii yake Kwa njia ya busara.
Walioelimika husaidia kabisa katika kuinua uchumi wa taifa. Uchumi wa
taifa hutegemea Kwa asilimia kubwa ushuru. Ushuru yenyewe hukusanywa Kwa
kutoza ushuru bidhaa na mishahara ya wafanyikazi. Kwa upande wa wafanyi
kazi, Kila mmoja hutozwa Kulingana na kiwango Cha fedha mtu hulipwa. Kwa
kawaida, walioelimika Hupata mishahara ya juu. Hivyo ushuru ambayo
wanatozwa ni juu pia. Kulingana na hii, inamaanisha ya kwamba nchi iliyo
na watu wengi waliosoma huweza kukusanya ushuru mingi na kuinua uchumi
wake.
Wahenga walisema kwamba mtoto akishazaliwa ni WA jamii. Bali sio tu wa
wazazi wake. Kwa hii walimaanisha kuwa mtu yeyote anaweza kumwadhibu
mtoto akiwa na kosa. Vile vile mwanajamii yeyote anaweza toa msaada Kwa
mtoto yeyote mwenye kuhitaji msaada. Mara nyingine tumeona huu
ukitendeka katika jamii. Mfano mmoja ni pale ambapo utapata wanafunzi
waliosomea shule Moja awali wakirudi baadaye kama kikundi na kujenga
darasa au hata maktaba Kwa ajili ya wengine. Pia utapata kwamba
mwanajamii kutoka boma Moja huweza kuelimisha mtoto kutoka boma
nyingine.
Elimu huleta usawa wa kijinsia. Awali wanawake hawakuchukuliwa sawa na
wanaume. Wanawake au mtoto wa kike hakupewa nafasi sawa na mtoto wa
kiume katika jamii. Wengi wao walipewa kazi duni. Watoto wavulana
walipewa kipao mbele katika Kila jambo. Elimu imeleta mabadiliko makubwa
katika maisha ya mtoto wa kike. Masomo yameleta mtazamo tofauti. Katika
siku za hivi karibuni wanawake Kwa wanaume hung'ang'ania vyeo kazini.
Waajiri wengi huona kwamba wanawake Wana maarifa na ujuzi sawia na
wanaume.
Elimu ya kisasa inayojumuisha tamaduni mbalimbali hujenga watu kuwa
viongozi. Masomo kutoka tamaduni tofauti tofauti ni Bora kwani mtu
anakuwa na fahamu ya jinsi ya kutangamana au kushughulikia watu wote Kwa
usawa bila kuwa na mapemdeleo.
| Ni nani wanapewa kazi zenye mapato ya juu | {
"text": [
"Wale wenya elimu ya juu zaidi"
]
} |
4828_swa | UMUHIMU WA ELIMU
Elimu ni chombo muhimu katika jamii. Umuhimu wake umetambulika katika
Kila jamii bila kujali tabaka, jinsia au dini. Elimu Ina manufaa chungu
nzima sio tu Kwa mtu binafsi Bali hata katika familia na jamii mzima.
Hivyo basi Kila mmoja yapaswa kupata elimu.
Ajira ni muhimu kwa kuwa inawezesha mtu kupata malipo inayoweza kukidhi
mahitaji yake. Kutokana na kuelimika watu hupata maarifa
inayowatayarisha Kwa kazi za afisini inayoenziwa na wengi. Kupitia hii
mtu anakuwa na hakika ya kwamba anapomaliza masomo yake atapata kazi
mzuri na kuishi maisha mazuri. Katika jamii, tunaona ya kwamba asilimia
themanini ya wale waliofanikiwa ni wenye elimu.
Vile vile elimu huwezesha mtu kupata ajira yenye mapato ya juu. Waajiri
wengi mara nyingi wana mapendeleo ya wafanyikazi wenye maarifa, juu ya
wale wasiokuwa mayo. Kwa hivyo kazi zenye mapato ya juu wanapewa wale
wenye elimu ya juu zaidi. Wale wa chini wanabakia kupata zile kazi duni.
Kwa kupata fedha nyingi mtu ataweza kuishi maisha ya kumtosheleza.
Masomo huwezesha mtu kukua na ile ujuzi wa kutatua matatizo. Maisha ya
binadamu yamejawa changamoto chungu nzima. Elimu huandaa mtu jinsi ya
kukumbatana na changamoto hizo. Mtu aliyeelimika Kwa hivyo ana nafasi ya
juu Sana na ujuzi wa kupeana maaoni yenye busara na yanayoweza kuleta
maendeleao katika jamii. Isitoshe, pia ana maarifa ipasavyo ya kulea
familia au jamii yake Kwa njia ya busara.
Walioelimika husaidia kabisa katika kuinua uchumi wa taifa. Uchumi wa
taifa hutegemea Kwa asilimia kubwa ushuru. Ushuru yenyewe hukusanywa Kwa
kutoza ushuru bidhaa na mishahara ya wafanyikazi. Kwa upande wa wafanyi
kazi, Kila mmoja hutozwa Kulingana na kiwango Cha fedha mtu hulipwa. Kwa
kawaida, walioelimika Hupata mishahara ya juu. Hivyo ushuru ambayo
wanatozwa ni juu pia. Kulingana na hii, inamaanisha ya kwamba nchi iliyo
na watu wengi waliosoma huweza kukusanya ushuru mingi na kuinua uchumi
wake.
Wahenga walisema kwamba mtoto akishazaliwa ni WA jamii. Bali sio tu wa
wazazi wake. Kwa hii walimaanisha kuwa mtu yeyote anaweza kumwadhibu
mtoto akiwa na kosa. Vile vile mwanajamii yeyote anaweza toa msaada Kwa
mtoto yeyote mwenye kuhitaji msaada. Mara nyingine tumeona huu
ukitendeka katika jamii. Mfano mmoja ni pale ambapo utapata wanafunzi
waliosomea shule Moja awali wakirudi baadaye kama kikundi na kujenga
darasa au hata maktaba Kwa ajili ya wengine. Pia utapata kwamba
mwanajamii kutoka boma Moja huweza kuelimisha mtoto kutoka boma
nyingine.
Elimu huleta usawa wa kijinsia. Awali wanawake hawakuchukuliwa sawa na
wanaume. Wanawake au mtoto wa kike hakupewa nafasi sawa na mtoto wa
kiume katika jamii. Wengi wao walipewa kazi duni. Watoto wavulana
walipewa kipao mbele katika Kila jambo. Elimu imeleta mabadiliko makubwa
katika maisha ya mtoto wa kike. Masomo yameleta mtazamo tofauti. Katika
siku za hivi karibuni wanawake Kwa wanaume hung'ang'ania vyeo kazini.
Waajiri wengi huona kwamba wanawake Wana maarifa na ujuzi sawia na
wanaume.
Elimu ya kisasa inayojumuisha tamaduni mbalimbali hujenga watu kuwa
viongozi. Masomo kutoka tamaduni tofauti tofauti ni Bora kwani mtu
anakuwa na fahamu ya jinsi ya kutangamana au kushughulikia watu wote Kwa
usawa bila kuwa na mapemdeleo.
| Elimu huandaa mtu kukabiliana na nini | {
"text": [
"Changamoto za maisha"
]
} |
4828_swa | UMUHIMU WA ELIMU
Elimu ni chombo muhimu katika jamii. Umuhimu wake umetambulika katika
Kila jamii bila kujali tabaka, jinsia au dini. Elimu Ina manufaa chungu
nzima sio tu Kwa mtu binafsi Bali hata katika familia na jamii mzima.
Hivyo basi Kila mmoja yapaswa kupata elimu.
Ajira ni muhimu kwa kuwa inawezesha mtu kupata malipo inayoweza kukidhi
mahitaji yake. Kutokana na kuelimika watu hupata maarifa
inayowatayarisha Kwa kazi za afisini inayoenziwa na wengi. Kupitia hii
mtu anakuwa na hakika ya kwamba anapomaliza masomo yake atapata kazi
mzuri na kuishi maisha mazuri. Katika jamii, tunaona ya kwamba asilimia
themanini ya wale waliofanikiwa ni wenye elimu.
Vile vile elimu huwezesha mtu kupata ajira yenye mapato ya juu. Waajiri
wengi mara nyingi wana mapendeleo ya wafanyikazi wenye maarifa, juu ya
wale wasiokuwa mayo. Kwa hivyo kazi zenye mapato ya juu wanapewa wale
wenye elimu ya juu zaidi. Wale wa chini wanabakia kupata zile kazi duni.
Kwa kupata fedha nyingi mtu ataweza kuishi maisha ya kumtosheleza.
Masomo huwezesha mtu kukua na ile ujuzi wa kutatua matatizo. Maisha ya
binadamu yamejawa changamoto chungu nzima. Elimu huandaa mtu jinsi ya
kukumbatana na changamoto hizo. Mtu aliyeelimika Kwa hivyo ana nafasi ya
juu Sana na ujuzi wa kupeana maaoni yenye busara na yanayoweza kuleta
maendeleao katika jamii. Isitoshe, pia ana maarifa ipasavyo ya kulea
familia au jamii yake Kwa njia ya busara.
Walioelimika husaidia kabisa katika kuinua uchumi wa taifa. Uchumi wa
taifa hutegemea Kwa asilimia kubwa ushuru. Ushuru yenyewe hukusanywa Kwa
kutoza ushuru bidhaa na mishahara ya wafanyikazi. Kwa upande wa wafanyi
kazi, Kila mmoja hutozwa Kulingana na kiwango Cha fedha mtu hulipwa. Kwa
kawaida, walioelimika Hupata mishahara ya juu. Hivyo ushuru ambayo
wanatozwa ni juu pia. Kulingana na hii, inamaanisha ya kwamba nchi iliyo
na watu wengi waliosoma huweza kukusanya ushuru mingi na kuinua uchumi
wake.
Wahenga walisema kwamba mtoto akishazaliwa ni WA jamii. Bali sio tu wa
wazazi wake. Kwa hii walimaanisha kuwa mtu yeyote anaweza kumwadhibu
mtoto akiwa na kosa. Vile vile mwanajamii yeyote anaweza toa msaada Kwa
mtoto yeyote mwenye kuhitaji msaada. Mara nyingine tumeona huu
ukitendeka katika jamii. Mfano mmoja ni pale ambapo utapata wanafunzi
waliosomea shule Moja awali wakirudi baadaye kama kikundi na kujenga
darasa au hata maktaba Kwa ajili ya wengine. Pia utapata kwamba
mwanajamii kutoka boma Moja huweza kuelimisha mtoto kutoka boma
nyingine.
Elimu huleta usawa wa kijinsia. Awali wanawake hawakuchukuliwa sawa na
wanaume. Wanawake au mtoto wa kike hakupewa nafasi sawa na mtoto wa
kiume katika jamii. Wengi wao walipewa kazi duni. Watoto wavulana
walipewa kipao mbele katika Kila jambo. Elimu imeleta mabadiliko makubwa
katika maisha ya mtoto wa kike. Masomo yameleta mtazamo tofauti. Katika
siku za hivi karibuni wanawake Kwa wanaume hung'ang'ania vyeo kazini.
Waajiri wengi huona kwamba wanawake Wana maarifa na ujuzi sawia na
wanaume.
Elimu ya kisasa inayojumuisha tamaduni mbalimbali hujenga watu kuwa
viongozi. Masomo kutoka tamaduni tofauti tofauti ni Bora kwani mtu
anakuwa na fahamu ya jinsi ya kutangamana au kushughulikia watu wote Kwa
usawa bila kuwa na mapemdeleo.
| Mtoto akishazaliwa ni wa nani | {
"text": [
"Wa jamii"
]
} |
4829_swa | ELIMU UFUNGUO WA MAISHA.
Elimu ndio ufunguo wa maisha eti. Watu wengi hujiuliza elimu ni nini?
Watu hujibu elimu ni kitabu. Wengine husema elimu ni somo tu kama
kawaida. Na je, wewe umewahi jiuliza elimu ni nini? Yote tisa. Kumi
umewahi ona manufaa ya elimu? Swali hili limenifanya nimfikirie rafiki
wangu Kazabidii. Kazabidii alikuwa ghulamu tuliyetoka naye kijiji kimoja
cha Tezi. Tulikuwa mahirimu na fauka ya hayo, alikuwa rafiki wangu
sisemi wa chanda na pete. Tulilelewa pamoja. Tukacheza pamoja. Tukaenda
jandoni pamoja hata nakumbuka tulisoma pia pamoja. Wawazi wangu na wake
walikuwa marafiki pia. Wakati wa likizo ulipokuwa ukifika,
tulitembeleana na kujuliana hali kama wanakijiji. Tulichunga mifugo
pamoja na kucheza brikijo pamoja.
Ni mambo mengi tuliyoyafanya na Kazabidii. Tulikuwa watundu wakati
mwingine. Tuliiba zabibu, maembe na mapera pamoja. Mambo ya utoto kweli
yana mambo. Tulienda kuogelea na mengine ambayo hufanywa na watoto.
Nakumbuka siku moja tulipopeleka mifugo wetu kunywa maji. Tulianza
kuogelea na tukajisahau. Mifugo walianza kula mimea ya wenyewe.
Tulipoitwa, tulistaajabu. Tulipelekwa na kupigwa lau mwizi. Kwa kweli
urafiki wetu ulianza tangu jadi na ulionekana kuwa urafiki wa dhati.
Muda ulipita miaka ikaenda. Tulipofanya mtihani wa darasa la nane, wote
tulifuzu kwenda shule ya upili. Kazabidii alijiunga na shule ya upili ya
Utubora. Nami kwa kuwa tu na alama ya wastani, nilijiunga na shule ya
Borasomo. Huko tuliendelea kujuliana hali zetu na urafiki wetu
uliendelea kama kawaida. Shule zilipofunga tulifumukana kujuliana hali
na kuulizana wewe unaendeleaje na wewe je? Hayo ndiyo maswali tuliyokuwa
nayo. Kazabidii yeye kidogo alikuwa anatia makali katika masomo yake.
Mimi nami kidogo nilionekana kuchechemea katika masomo. Tulipoufanya
mtihani wa kidato cha nne, Kazabidii alifanikiwa na kupita vyema. Mimi
sikufua dafu. Ikanibiti kutia nanga masomoni mwangu. Hayo yalitarajiwa
na wengi kutokana na uzembe na uchechefu wa makini shuleni.
Hata hivyo nilikuwa na ndoto ya kujiunga na chuo cha ualimu au taasisi
ya uhandisi. Nilisubiri angalau wazazi wangu wapate hela na nijiunge na
taasisi hiyo. Mwaka ulienda ukapita. Mwingine pia hivo hivo. Hatimaye
nikakata tamaa ya kujiunga na chuo kikuu. Kwani ni nani asiyejua kwamba
ngoja ngoja huumiza matumbo? Niliamua sasa kuelekea mjini. Tukiwa
shuleni tulielezwa jinsi kazi zilizo mjini zinavyolipa pesa mzuri.
Tulikuwa na hamu tukimaliza masomo tutaenda mjini angalau tukapate kazi
huko. Nilikuwa na hamu ya kukutana na marafiki ambao walikuwa
wameshatutangulia mjini. Tulitamani maisha yao kwani ifikapo siku kuu za
krismasi wao hurejea nyumbani. Wakati huo wao huwa wamejiremba kwa
mapambo mbalimbali na kila mtu hutamani kuwa kama wao. Nilielekea mjini
kujaribu nami bahati yangu kwani heri kwenda bure kuliko kukaa bure.
Wasemavyo wazee wa jadi atangaye kwa jua huenda akajua.
Huko mjini nako mambo hayakunionekania. Yaliniendea kombo. Nilichaza
ofisi mingi na barua za kuomba kazi. Nikatembea pia ofisi kadha wa kadha
lengo kuu kutafuta kazi. Nikawa kiguu na njia huko mjini huku nikibisha
ofisini kutafuta kazi. Nilikuwa nikikaa nao wakinipa ushauri na chakula
wakaanza kuchoka nami. Nilitamani nirudi kijijini kuanza kula maembe na
mapera lakini wapi. Maji nilikuwa nishayavulia na sasa ni kuoga tu
kulikokuwa kumesalia. Niling'amua kwamba maisha ya mjini ni ngumu bila
kibarua. Mtu mzima kulishwa, kuvalishwa na kugeshwa ni aibu ya hali ya
juu. Niliendelea kujitia moyo na kujiambia ipo siku. Njia za mjini
zilianza kulalamika kila ziliponiona. Marafiki zangu walikuwa kwa kweli
wamechoka na mimi. Nakumbuka siku moja rafiki niliyekuwa nikikaa kwake
alikuja na mgeni bila kunipa ujumbe. Alikuwa mwanadada mwenye rangi ya
dhahabu. Nilishindwa ni jinsi gani nitakaa kule ilhali yeye anaye mpenzi
wake. Nilijitoa na kukesha kwa baridi usiku kucha. Kwa kweli akufukuzaye
hakwambii toka.
Basi dunia rangi rangile. Waliosema hayo hawakuweza kupanda tufe na
kuvuna upepo. Hawakulenga kando waliyoyasema. Ilibidi nizoe asemavyo
mwimbaji fulani hapa Kenya. Mwimbaji huyo si mwingine bali ni Stiven
Simple boy. Kwenye wimbo wake itabidi uzoe. Mimi nilizoea kushinda na
kulala njaa. Vilevile, ilinibidi kuvumilia baridi shadidi ya usiku
kucha. Mimi sikuwa na mahali pa kulaza kichwa. Rafiki yangu alikuwa kila
mara akija na mgeni wake. Wasemavyo maisha ni sawa na upepo ubadilishao
pande ghafla. Mwezi moja ulikuwa umenifanya kudhoofika na kubaki fremu
ya mtu. Chakula changu kilikuwa tu maji na baridi.
Ni wakati huo ambapo maji yalikuwa sasa yameshanifika kwenye koo.
Yalikuwa yameshaanza kunisakama. Nilikutana na rafiki wangu wa dhati
Kazabidii. Nilifurahi na kuruka kama mja yule aliyepona mauti katika mto
Nzeu baada ya basi walimokuwa wakisafiria kusombwa na maji. Nilijua
kwamba leo angalau rafiki yangu ataniauni hata vijisenti nipate angalau
mlo. Alikuwa amekuja na gari aina ya (Jeep). Lilikuwa lenye rangi ya
damu iliyokosa. Aliliweka pembeni na kutoka nje. Nilipomwona akitoka nje
ya gari, nilifurahi ghaya kwani nilitarajia kuwa angenisaidia. Si
waombao waliamba akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki. La hasha! Kwa kweli
mtegemeya cha nduguye hufa maskini kweli.
Kazabidii alikuwa amepata kazi ya mshahara wa juu sana. Alikuwa mkuu wa
daktari katika wilaya nzima na kipato chake kilikuwa cha hali ya juu.
Rafiki wangu huyo alikuwa amebadilika kweli kweli. Alikuwa mwenye misuli
tinginya. Nywele zake zilikuwa nyeusi ti ti ti. Kwa kweli pesa ni
mafuta. Humfanya mtu kung'ara. Alizungumza kama mwamerika mwafrika.
Lugha yetu ya mama ilimsumbua kidogo kutamka. Niliona hilo wakati
tulipokuwa maongezini. Ni ukweli aliona hana muda mwingi wa mazungumzo
nami. Ni ukweli kuwa aliniona kama kamasi au kohozi lililotemwa
sakafuni. Alitaka sana nimaliza maneno yangu nijiendee.
"Vipi kaka, habari ya siku? Ulipata jiko kweli?" Aliniuliza. Nilimweleza
kwamba sikuwa nimepata jiko kwani maisha yamenipiga jenga kidogo.
Unavyoniona hivi sina hata mahali pa kukaa na wala sina hata chakula.
Kazabidii alinikatisha kauli yangu ma kuendelea kunisukumia maswali kama
polisi.
Kila nilipofungua mdomo kunena, Kazabidii alikunja pua yake. Sijui
nilikuwa natoa uvundo au nini? Nilijiuliza ama ni kuzuia madhara ya
uvundo? Nilijaribu tena kumweleza shida zangu lakini hakunipa sikio. Ni
kama tu yaliingilia sikio moja na kutokea lile jingine. Baada yake,
alizidi kunihujumu na maswali. "Kazi yako ni ipi? Unaishi wapi? Je
waziza wako kila mwezi unawatumia hela ngapi? Nani amekuwa mgonjwa hukp
kwenu? Ulifikia wapi kimasomo? Ushaenda mashambani hivi maajuzi? Huko
shamba ushajenga? Umekuwa mgonjwa wa Ukimwi? Mbona umekonda hivo? Kwani
huogi?" Aliniuliza maswala ya kunikejeli na kunishusha chini. Mengine
yalinikata ini.
Baada ya maswali hayo yote, aliingiza mkono wake kwenye koti. Nilifurahi
kwani nilijua kwamba hizo ni hela ambazo atanipa. Moyo wangu ulianza
kunidunda kwa furaha. Lo! Alitoa kijikaratasi ambacho kilikuwa na
nambari yake ya simu. Kisha anganiambia eti nimpigie simu. Nilijishangaa
sana. Mimi mwenyewe sina hata chakula. Peremende ya shilingi tano sina.
Sembuse za kuwasiliana naye. Nilijua tu pale amenionyesha madharau.
Kazabidii aliingia garini mwake na kutimua vumbi. Huyooooooo! Aliniachia
wingu la moshi tu. Machozi yalinitiririka bila kutarajia. Sikushughulika
kuyazuia. Yalikuwa machozi kwa kdharauliwa na rafiki yangu. Tuliyesoma
na yeye. Tukacheza michezo za watoto na yeye. Kwa kweli alinibeza.
Machozi ya dhiki machozi ya majuto .
Kweli niliona faida ya kusoma kwa bidii. Pia niliona maafa ya kufanya
mzaha shuleni. Kumbe mzaha mzaha huleta usaha. Ama kweli majuto ni
mjukuu huja baadaye.
| Nini ndio ufunguo wa maisha | {
"text": [
"Elimu"
]
} |
4829_swa | ELIMU UFUNGUO WA MAISHA.
Elimu ndio ufunguo wa maisha eti. Watu wengi hujiuliza elimu ni nini?
Watu hujibu elimu ni kitabu. Wengine husema elimu ni somo tu kama
kawaida. Na je, wewe umewahi jiuliza elimu ni nini? Yote tisa. Kumi
umewahi ona manufaa ya elimu? Swali hili limenifanya nimfikirie rafiki
wangu Kazabidii. Kazabidii alikuwa ghulamu tuliyetoka naye kijiji kimoja
cha Tezi. Tulikuwa mahirimu na fauka ya hayo, alikuwa rafiki wangu
sisemi wa chanda na pete. Tulilelewa pamoja. Tukacheza pamoja. Tukaenda
jandoni pamoja hata nakumbuka tulisoma pia pamoja. Wawazi wangu na wake
walikuwa marafiki pia. Wakati wa likizo ulipokuwa ukifika,
tulitembeleana na kujuliana hali kama wanakijiji. Tulichunga mifugo
pamoja na kucheza brikijo pamoja.
Ni mambo mengi tuliyoyafanya na Kazabidii. Tulikuwa watundu wakati
mwingine. Tuliiba zabibu, maembe na mapera pamoja. Mambo ya utoto kweli
yana mambo. Tulienda kuogelea na mengine ambayo hufanywa na watoto.
Nakumbuka siku moja tulipopeleka mifugo wetu kunywa maji. Tulianza
kuogelea na tukajisahau. Mifugo walianza kula mimea ya wenyewe.
Tulipoitwa, tulistaajabu. Tulipelekwa na kupigwa lau mwizi. Kwa kweli
urafiki wetu ulianza tangu jadi na ulionekana kuwa urafiki wa dhati.
Muda ulipita miaka ikaenda. Tulipofanya mtihani wa darasa la nane, wote
tulifuzu kwenda shule ya upili. Kazabidii alijiunga na shule ya upili ya
Utubora. Nami kwa kuwa tu na alama ya wastani, nilijiunga na shule ya
Borasomo. Huko tuliendelea kujuliana hali zetu na urafiki wetu
uliendelea kama kawaida. Shule zilipofunga tulifumukana kujuliana hali
na kuulizana wewe unaendeleaje na wewe je? Hayo ndiyo maswali tuliyokuwa
nayo. Kazabidii yeye kidogo alikuwa anatia makali katika masomo yake.
Mimi nami kidogo nilionekana kuchechemea katika masomo. Tulipoufanya
mtihani wa kidato cha nne, Kazabidii alifanikiwa na kupita vyema. Mimi
sikufua dafu. Ikanibiti kutia nanga masomoni mwangu. Hayo yalitarajiwa
na wengi kutokana na uzembe na uchechefu wa makini shuleni.
Hata hivyo nilikuwa na ndoto ya kujiunga na chuo cha ualimu au taasisi
ya uhandisi. Nilisubiri angalau wazazi wangu wapate hela na nijiunge na
taasisi hiyo. Mwaka ulienda ukapita. Mwingine pia hivo hivo. Hatimaye
nikakata tamaa ya kujiunga na chuo kikuu. Kwani ni nani asiyejua kwamba
ngoja ngoja huumiza matumbo? Niliamua sasa kuelekea mjini. Tukiwa
shuleni tulielezwa jinsi kazi zilizo mjini zinavyolipa pesa mzuri.
Tulikuwa na hamu tukimaliza masomo tutaenda mjini angalau tukapate kazi
huko. Nilikuwa na hamu ya kukutana na marafiki ambao walikuwa
wameshatutangulia mjini. Tulitamani maisha yao kwani ifikapo siku kuu za
krismasi wao hurejea nyumbani. Wakati huo wao huwa wamejiremba kwa
mapambo mbalimbali na kila mtu hutamani kuwa kama wao. Nilielekea mjini
kujaribu nami bahati yangu kwani heri kwenda bure kuliko kukaa bure.
Wasemavyo wazee wa jadi atangaye kwa jua huenda akajua.
Huko mjini nako mambo hayakunionekania. Yaliniendea kombo. Nilichaza
ofisi mingi na barua za kuomba kazi. Nikatembea pia ofisi kadha wa kadha
lengo kuu kutafuta kazi. Nikawa kiguu na njia huko mjini huku nikibisha
ofisini kutafuta kazi. Nilikuwa nikikaa nao wakinipa ushauri na chakula
wakaanza kuchoka nami. Nilitamani nirudi kijijini kuanza kula maembe na
mapera lakini wapi. Maji nilikuwa nishayavulia na sasa ni kuoga tu
kulikokuwa kumesalia. Niling'amua kwamba maisha ya mjini ni ngumu bila
kibarua. Mtu mzima kulishwa, kuvalishwa na kugeshwa ni aibu ya hali ya
juu. Niliendelea kujitia moyo na kujiambia ipo siku. Njia za mjini
zilianza kulalamika kila ziliponiona. Marafiki zangu walikuwa kwa kweli
wamechoka na mimi. Nakumbuka siku moja rafiki niliyekuwa nikikaa kwake
alikuja na mgeni bila kunipa ujumbe. Alikuwa mwanadada mwenye rangi ya
dhahabu. Nilishindwa ni jinsi gani nitakaa kule ilhali yeye anaye mpenzi
wake. Nilijitoa na kukesha kwa baridi usiku kucha. Kwa kweli akufukuzaye
hakwambii toka.
Basi dunia rangi rangile. Waliosema hayo hawakuweza kupanda tufe na
kuvuna upepo. Hawakulenga kando waliyoyasema. Ilibidi nizoe asemavyo
mwimbaji fulani hapa Kenya. Mwimbaji huyo si mwingine bali ni Stiven
Simple boy. Kwenye wimbo wake itabidi uzoe. Mimi nilizoea kushinda na
kulala njaa. Vilevile, ilinibidi kuvumilia baridi shadidi ya usiku
kucha. Mimi sikuwa na mahali pa kulaza kichwa. Rafiki yangu alikuwa kila
mara akija na mgeni wake. Wasemavyo maisha ni sawa na upepo ubadilishao
pande ghafla. Mwezi moja ulikuwa umenifanya kudhoofika na kubaki fremu
ya mtu. Chakula changu kilikuwa tu maji na baridi.
Ni wakati huo ambapo maji yalikuwa sasa yameshanifika kwenye koo.
Yalikuwa yameshaanza kunisakama. Nilikutana na rafiki wangu wa dhati
Kazabidii. Nilifurahi na kuruka kama mja yule aliyepona mauti katika mto
Nzeu baada ya basi walimokuwa wakisafiria kusombwa na maji. Nilijua
kwamba leo angalau rafiki yangu ataniauni hata vijisenti nipate angalau
mlo. Alikuwa amekuja na gari aina ya (Jeep). Lilikuwa lenye rangi ya
damu iliyokosa. Aliliweka pembeni na kutoka nje. Nilipomwona akitoka nje
ya gari, nilifurahi ghaya kwani nilitarajia kuwa angenisaidia. Si
waombao waliamba akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki. La hasha! Kwa kweli
mtegemeya cha nduguye hufa maskini kweli.
Kazabidii alikuwa amepata kazi ya mshahara wa juu sana. Alikuwa mkuu wa
daktari katika wilaya nzima na kipato chake kilikuwa cha hali ya juu.
Rafiki wangu huyo alikuwa amebadilika kweli kweli. Alikuwa mwenye misuli
tinginya. Nywele zake zilikuwa nyeusi ti ti ti. Kwa kweli pesa ni
mafuta. Humfanya mtu kung'ara. Alizungumza kama mwamerika mwafrika.
Lugha yetu ya mama ilimsumbua kidogo kutamka. Niliona hilo wakati
tulipokuwa maongezini. Ni ukweli aliona hana muda mwingi wa mazungumzo
nami. Ni ukweli kuwa aliniona kama kamasi au kohozi lililotemwa
sakafuni. Alitaka sana nimaliza maneno yangu nijiendee.
"Vipi kaka, habari ya siku? Ulipata jiko kweli?" Aliniuliza. Nilimweleza
kwamba sikuwa nimepata jiko kwani maisha yamenipiga jenga kidogo.
Unavyoniona hivi sina hata mahali pa kukaa na wala sina hata chakula.
Kazabidii alinikatisha kauli yangu ma kuendelea kunisukumia maswali kama
polisi.
Kila nilipofungua mdomo kunena, Kazabidii alikunja pua yake. Sijui
nilikuwa natoa uvundo au nini? Nilijiuliza ama ni kuzuia madhara ya
uvundo? Nilijaribu tena kumweleza shida zangu lakini hakunipa sikio. Ni
kama tu yaliingilia sikio moja na kutokea lile jingine. Baada yake,
alizidi kunihujumu na maswali. "Kazi yako ni ipi? Unaishi wapi? Je
waziza wako kila mwezi unawatumia hela ngapi? Nani amekuwa mgonjwa hukp
kwenu? Ulifikia wapi kimasomo? Ushaenda mashambani hivi maajuzi? Huko
shamba ushajenga? Umekuwa mgonjwa wa Ukimwi? Mbona umekonda hivo? Kwani
huogi?" Aliniuliza maswala ya kunikejeli na kunishusha chini. Mengine
yalinikata ini.
Baada ya maswali hayo yote, aliingiza mkono wake kwenye koti. Nilifurahi
kwani nilijua kwamba hizo ni hela ambazo atanipa. Moyo wangu ulianza
kunidunda kwa furaha. Lo! Alitoa kijikaratasi ambacho kilikuwa na
nambari yake ya simu. Kisha anganiambia eti nimpigie simu. Nilijishangaa
sana. Mimi mwenyewe sina hata chakula. Peremende ya shilingi tano sina.
Sembuse za kuwasiliana naye. Nilijua tu pale amenionyesha madharau.
Kazabidii aliingia garini mwake na kutimua vumbi. Huyooooooo! Aliniachia
wingu la moshi tu. Machozi yalinitiririka bila kutarajia. Sikushughulika
kuyazuia. Yalikuwa machozi kwa kdharauliwa na rafiki yangu. Tuliyesoma
na yeye. Tukacheza michezo za watoto na yeye. Kwa kweli alinibeza.
Machozi ya dhiki machozi ya majuto .
Kweli niliona faida ya kusoma kwa bidii. Pia niliona maafa ya kufanya
mzaha shuleni. Kumbe mzaha mzaha huleta usaha. Ama kweli majuto ni
mjukuu huja baadaye.
| Mambo ya utoto kweli yana nini | {
"text": [
"Mambo"
]
} |
4829_swa | ELIMU UFUNGUO WA MAISHA.
Elimu ndio ufunguo wa maisha eti. Watu wengi hujiuliza elimu ni nini?
Watu hujibu elimu ni kitabu. Wengine husema elimu ni somo tu kama
kawaida. Na je, wewe umewahi jiuliza elimu ni nini? Yote tisa. Kumi
umewahi ona manufaa ya elimu? Swali hili limenifanya nimfikirie rafiki
wangu Kazabidii. Kazabidii alikuwa ghulamu tuliyetoka naye kijiji kimoja
cha Tezi. Tulikuwa mahirimu na fauka ya hayo, alikuwa rafiki wangu
sisemi wa chanda na pete. Tulilelewa pamoja. Tukacheza pamoja. Tukaenda
jandoni pamoja hata nakumbuka tulisoma pia pamoja. Wawazi wangu na wake
walikuwa marafiki pia. Wakati wa likizo ulipokuwa ukifika,
tulitembeleana na kujuliana hali kama wanakijiji. Tulichunga mifugo
pamoja na kucheza brikijo pamoja.
Ni mambo mengi tuliyoyafanya na Kazabidii. Tulikuwa watundu wakati
mwingine. Tuliiba zabibu, maembe na mapera pamoja. Mambo ya utoto kweli
yana mambo. Tulienda kuogelea na mengine ambayo hufanywa na watoto.
Nakumbuka siku moja tulipopeleka mifugo wetu kunywa maji. Tulianza
kuogelea na tukajisahau. Mifugo walianza kula mimea ya wenyewe.
Tulipoitwa, tulistaajabu. Tulipelekwa na kupigwa lau mwizi. Kwa kweli
urafiki wetu ulianza tangu jadi na ulionekana kuwa urafiki wa dhati.
Muda ulipita miaka ikaenda. Tulipofanya mtihani wa darasa la nane, wote
tulifuzu kwenda shule ya upili. Kazabidii alijiunga na shule ya upili ya
Utubora. Nami kwa kuwa tu na alama ya wastani, nilijiunga na shule ya
Borasomo. Huko tuliendelea kujuliana hali zetu na urafiki wetu
uliendelea kama kawaida. Shule zilipofunga tulifumukana kujuliana hali
na kuulizana wewe unaendeleaje na wewe je? Hayo ndiyo maswali tuliyokuwa
nayo. Kazabidii yeye kidogo alikuwa anatia makali katika masomo yake.
Mimi nami kidogo nilionekana kuchechemea katika masomo. Tulipoufanya
mtihani wa kidato cha nne, Kazabidii alifanikiwa na kupita vyema. Mimi
sikufua dafu. Ikanibiti kutia nanga masomoni mwangu. Hayo yalitarajiwa
na wengi kutokana na uzembe na uchechefu wa makini shuleni.
Hata hivyo nilikuwa na ndoto ya kujiunga na chuo cha ualimu au taasisi
ya uhandisi. Nilisubiri angalau wazazi wangu wapate hela na nijiunge na
taasisi hiyo. Mwaka ulienda ukapita. Mwingine pia hivo hivo. Hatimaye
nikakata tamaa ya kujiunga na chuo kikuu. Kwani ni nani asiyejua kwamba
ngoja ngoja huumiza matumbo? Niliamua sasa kuelekea mjini. Tukiwa
shuleni tulielezwa jinsi kazi zilizo mjini zinavyolipa pesa mzuri.
Tulikuwa na hamu tukimaliza masomo tutaenda mjini angalau tukapate kazi
huko. Nilikuwa na hamu ya kukutana na marafiki ambao walikuwa
wameshatutangulia mjini. Tulitamani maisha yao kwani ifikapo siku kuu za
krismasi wao hurejea nyumbani. Wakati huo wao huwa wamejiremba kwa
mapambo mbalimbali na kila mtu hutamani kuwa kama wao. Nilielekea mjini
kujaribu nami bahati yangu kwani heri kwenda bure kuliko kukaa bure.
Wasemavyo wazee wa jadi atangaye kwa jua huenda akajua.
Huko mjini nako mambo hayakunionekania. Yaliniendea kombo. Nilichaza
ofisi mingi na barua za kuomba kazi. Nikatembea pia ofisi kadha wa kadha
lengo kuu kutafuta kazi. Nikawa kiguu na njia huko mjini huku nikibisha
ofisini kutafuta kazi. Nilikuwa nikikaa nao wakinipa ushauri na chakula
wakaanza kuchoka nami. Nilitamani nirudi kijijini kuanza kula maembe na
mapera lakini wapi. Maji nilikuwa nishayavulia na sasa ni kuoga tu
kulikokuwa kumesalia. Niling'amua kwamba maisha ya mjini ni ngumu bila
kibarua. Mtu mzima kulishwa, kuvalishwa na kugeshwa ni aibu ya hali ya
juu. Niliendelea kujitia moyo na kujiambia ipo siku. Njia za mjini
zilianza kulalamika kila ziliponiona. Marafiki zangu walikuwa kwa kweli
wamechoka na mimi. Nakumbuka siku moja rafiki niliyekuwa nikikaa kwake
alikuja na mgeni bila kunipa ujumbe. Alikuwa mwanadada mwenye rangi ya
dhahabu. Nilishindwa ni jinsi gani nitakaa kule ilhali yeye anaye mpenzi
wake. Nilijitoa na kukesha kwa baridi usiku kucha. Kwa kweli akufukuzaye
hakwambii toka.
Basi dunia rangi rangile. Waliosema hayo hawakuweza kupanda tufe na
kuvuna upepo. Hawakulenga kando waliyoyasema. Ilibidi nizoe asemavyo
mwimbaji fulani hapa Kenya. Mwimbaji huyo si mwingine bali ni Stiven
Simple boy. Kwenye wimbo wake itabidi uzoe. Mimi nilizoea kushinda na
kulala njaa. Vilevile, ilinibidi kuvumilia baridi shadidi ya usiku
kucha. Mimi sikuwa na mahali pa kulaza kichwa. Rafiki yangu alikuwa kila
mara akija na mgeni wake. Wasemavyo maisha ni sawa na upepo ubadilishao
pande ghafla. Mwezi moja ulikuwa umenifanya kudhoofika na kubaki fremu
ya mtu. Chakula changu kilikuwa tu maji na baridi.
Ni wakati huo ambapo maji yalikuwa sasa yameshanifika kwenye koo.
Yalikuwa yameshaanza kunisakama. Nilikutana na rafiki wangu wa dhati
Kazabidii. Nilifurahi na kuruka kama mja yule aliyepona mauti katika mto
Nzeu baada ya basi walimokuwa wakisafiria kusombwa na maji. Nilijua
kwamba leo angalau rafiki yangu ataniauni hata vijisenti nipate angalau
mlo. Alikuwa amekuja na gari aina ya (Jeep). Lilikuwa lenye rangi ya
damu iliyokosa. Aliliweka pembeni na kutoka nje. Nilipomwona akitoka nje
ya gari, nilifurahi ghaya kwani nilitarajia kuwa angenisaidia. Si
waombao waliamba akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki. La hasha! Kwa kweli
mtegemeya cha nduguye hufa maskini kweli.
Kazabidii alikuwa amepata kazi ya mshahara wa juu sana. Alikuwa mkuu wa
daktari katika wilaya nzima na kipato chake kilikuwa cha hali ya juu.
Rafiki wangu huyo alikuwa amebadilika kweli kweli. Alikuwa mwenye misuli
tinginya. Nywele zake zilikuwa nyeusi ti ti ti. Kwa kweli pesa ni
mafuta. Humfanya mtu kung'ara. Alizungumza kama mwamerika mwafrika.
Lugha yetu ya mama ilimsumbua kidogo kutamka. Niliona hilo wakati
tulipokuwa maongezini. Ni ukweli aliona hana muda mwingi wa mazungumzo
nami. Ni ukweli kuwa aliniona kama kamasi au kohozi lililotemwa
sakafuni. Alitaka sana nimaliza maneno yangu nijiendee.
"Vipi kaka, habari ya siku? Ulipata jiko kweli?" Aliniuliza. Nilimweleza
kwamba sikuwa nimepata jiko kwani maisha yamenipiga jenga kidogo.
Unavyoniona hivi sina hata mahali pa kukaa na wala sina hata chakula.
Kazabidii alinikatisha kauli yangu ma kuendelea kunisukumia maswali kama
polisi.
Kila nilipofungua mdomo kunena, Kazabidii alikunja pua yake. Sijui
nilikuwa natoa uvundo au nini? Nilijiuliza ama ni kuzuia madhara ya
uvundo? Nilijaribu tena kumweleza shida zangu lakini hakunipa sikio. Ni
kama tu yaliingilia sikio moja na kutokea lile jingine. Baada yake,
alizidi kunihujumu na maswali. "Kazi yako ni ipi? Unaishi wapi? Je
waziza wako kila mwezi unawatumia hela ngapi? Nani amekuwa mgonjwa hukp
kwenu? Ulifikia wapi kimasomo? Ushaenda mashambani hivi maajuzi? Huko
shamba ushajenga? Umekuwa mgonjwa wa Ukimwi? Mbona umekonda hivo? Kwani
huogi?" Aliniuliza maswala ya kunikejeli na kunishusha chini. Mengine
yalinikata ini.
Baada ya maswali hayo yote, aliingiza mkono wake kwenye koti. Nilifurahi
kwani nilijua kwamba hizo ni hela ambazo atanipa. Moyo wangu ulianza
kunidunda kwa furaha. Lo! Alitoa kijikaratasi ambacho kilikuwa na
nambari yake ya simu. Kisha anganiambia eti nimpigie simu. Nilijishangaa
sana. Mimi mwenyewe sina hata chakula. Peremende ya shilingi tano sina.
Sembuse za kuwasiliana naye. Nilijua tu pale amenionyesha madharau.
Kazabidii aliingia garini mwake na kutimua vumbi. Huyooooooo! Aliniachia
wingu la moshi tu. Machozi yalinitiririka bila kutarajia. Sikushughulika
kuyazuia. Yalikuwa machozi kwa kdharauliwa na rafiki yangu. Tuliyesoma
na yeye. Tukacheza michezo za watoto na yeye. Kwa kweli alinibeza.
Machozi ya dhiki machozi ya majuto .
Kweli niliona faida ya kusoma kwa bidii. Pia niliona maafa ya kufanya
mzaha shuleni. Kumbe mzaha mzaha huleta usaha. Ama kweli majuto ni
mjukuu huja baadaye.
| Kazibidii alijiunga na shule ipi | {
"text": [
"Utubora"
]
} |
4829_swa | ELIMU UFUNGUO WA MAISHA.
Elimu ndio ufunguo wa maisha eti. Watu wengi hujiuliza elimu ni nini?
Watu hujibu elimu ni kitabu. Wengine husema elimu ni somo tu kama
kawaida. Na je, wewe umewahi jiuliza elimu ni nini? Yote tisa. Kumi
umewahi ona manufaa ya elimu? Swali hili limenifanya nimfikirie rafiki
wangu Kazabidii. Kazabidii alikuwa ghulamu tuliyetoka naye kijiji kimoja
cha Tezi. Tulikuwa mahirimu na fauka ya hayo, alikuwa rafiki wangu
sisemi wa chanda na pete. Tulilelewa pamoja. Tukacheza pamoja. Tukaenda
jandoni pamoja hata nakumbuka tulisoma pia pamoja. Wawazi wangu na wake
walikuwa marafiki pia. Wakati wa likizo ulipokuwa ukifika,
tulitembeleana na kujuliana hali kama wanakijiji. Tulichunga mifugo
pamoja na kucheza brikijo pamoja.
Ni mambo mengi tuliyoyafanya na Kazabidii. Tulikuwa watundu wakati
mwingine. Tuliiba zabibu, maembe na mapera pamoja. Mambo ya utoto kweli
yana mambo. Tulienda kuogelea na mengine ambayo hufanywa na watoto.
Nakumbuka siku moja tulipopeleka mifugo wetu kunywa maji. Tulianza
kuogelea na tukajisahau. Mifugo walianza kula mimea ya wenyewe.
Tulipoitwa, tulistaajabu. Tulipelekwa na kupigwa lau mwizi. Kwa kweli
urafiki wetu ulianza tangu jadi na ulionekana kuwa urafiki wa dhati.
Muda ulipita miaka ikaenda. Tulipofanya mtihani wa darasa la nane, wote
tulifuzu kwenda shule ya upili. Kazabidii alijiunga na shule ya upili ya
Utubora. Nami kwa kuwa tu na alama ya wastani, nilijiunga na shule ya
Borasomo. Huko tuliendelea kujuliana hali zetu na urafiki wetu
uliendelea kama kawaida. Shule zilipofunga tulifumukana kujuliana hali
na kuulizana wewe unaendeleaje na wewe je? Hayo ndiyo maswali tuliyokuwa
nayo. Kazabidii yeye kidogo alikuwa anatia makali katika masomo yake.
Mimi nami kidogo nilionekana kuchechemea katika masomo. Tulipoufanya
mtihani wa kidato cha nne, Kazabidii alifanikiwa na kupita vyema. Mimi
sikufua dafu. Ikanibiti kutia nanga masomoni mwangu. Hayo yalitarajiwa
na wengi kutokana na uzembe na uchechefu wa makini shuleni.
Hata hivyo nilikuwa na ndoto ya kujiunga na chuo cha ualimu au taasisi
ya uhandisi. Nilisubiri angalau wazazi wangu wapate hela na nijiunge na
taasisi hiyo. Mwaka ulienda ukapita. Mwingine pia hivo hivo. Hatimaye
nikakata tamaa ya kujiunga na chuo kikuu. Kwani ni nani asiyejua kwamba
ngoja ngoja huumiza matumbo? Niliamua sasa kuelekea mjini. Tukiwa
shuleni tulielezwa jinsi kazi zilizo mjini zinavyolipa pesa mzuri.
Tulikuwa na hamu tukimaliza masomo tutaenda mjini angalau tukapate kazi
huko. Nilikuwa na hamu ya kukutana na marafiki ambao walikuwa
wameshatutangulia mjini. Tulitamani maisha yao kwani ifikapo siku kuu za
krismasi wao hurejea nyumbani. Wakati huo wao huwa wamejiremba kwa
mapambo mbalimbali na kila mtu hutamani kuwa kama wao. Nilielekea mjini
kujaribu nami bahati yangu kwani heri kwenda bure kuliko kukaa bure.
Wasemavyo wazee wa jadi atangaye kwa jua huenda akajua.
Huko mjini nako mambo hayakunionekania. Yaliniendea kombo. Nilichaza
ofisi mingi na barua za kuomba kazi. Nikatembea pia ofisi kadha wa kadha
lengo kuu kutafuta kazi. Nikawa kiguu na njia huko mjini huku nikibisha
ofisini kutafuta kazi. Nilikuwa nikikaa nao wakinipa ushauri na chakula
wakaanza kuchoka nami. Nilitamani nirudi kijijini kuanza kula maembe na
mapera lakini wapi. Maji nilikuwa nishayavulia na sasa ni kuoga tu
kulikokuwa kumesalia. Niling'amua kwamba maisha ya mjini ni ngumu bila
kibarua. Mtu mzima kulishwa, kuvalishwa na kugeshwa ni aibu ya hali ya
juu. Niliendelea kujitia moyo na kujiambia ipo siku. Njia za mjini
zilianza kulalamika kila ziliponiona. Marafiki zangu walikuwa kwa kweli
wamechoka na mimi. Nakumbuka siku moja rafiki niliyekuwa nikikaa kwake
alikuja na mgeni bila kunipa ujumbe. Alikuwa mwanadada mwenye rangi ya
dhahabu. Nilishindwa ni jinsi gani nitakaa kule ilhali yeye anaye mpenzi
wake. Nilijitoa na kukesha kwa baridi usiku kucha. Kwa kweli akufukuzaye
hakwambii toka.
Basi dunia rangi rangile. Waliosema hayo hawakuweza kupanda tufe na
kuvuna upepo. Hawakulenga kando waliyoyasema. Ilibidi nizoe asemavyo
mwimbaji fulani hapa Kenya. Mwimbaji huyo si mwingine bali ni Stiven
Simple boy. Kwenye wimbo wake itabidi uzoe. Mimi nilizoea kushinda na
kulala njaa. Vilevile, ilinibidi kuvumilia baridi shadidi ya usiku
kucha. Mimi sikuwa na mahali pa kulaza kichwa. Rafiki yangu alikuwa kila
mara akija na mgeni wake. Wasemavyo maisha ni sawa na upepo ubadilishao
pande ghafla. Mwezi moja ulikuwa umenifanya kudhoofika na kubaki fremu
ya mtu. Chakula changu kilikuwa tu maji na baridi.
Ni wakati huo ambapo maji yalikuwa sasa yameshanifika kwenye koo.
Yalikuwa yameshaanza kunisakama. Nilikutana na rafiki wangu wa dhati
Kazabidii. Nilifurahi na kuruka kama mja yule aliyepona mauti katika mto
Nzeu baada ya basi walimokuwa wakisafiria kusombwa na maji. Nilijua
kwamba leo angalau rafiki yangu ataniauni hata vijisenti nipate angalau
mlo. Alikuwa amekuja na gari aina ya (Jeep). Lilikuwa lenye rangi ya
damu iliyokosa. Aliliweka pembeni na kutoka nje. Nilipomwona akitoka nje
ya gari, nilifurahi ghaya kwani nilitarajia kuwa angenisaidia. Si
waombao waliamba akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki. La hasha! Kwa kweli
mtegemeya cha nduguye hufa maskini kweli.
Kazabidii alikuwa amepata kazi ya mshahara wa juu sana. Alikuwa mkuu wa
daktari katika wilaya nzima na kipato chake kilikuwa cha hali ya juu.
Rafiki wangu huyo alikuwa amebadilika kweli kweli. Alikuwa mwenye misuli
tinginya. Nywele zake zilikuwa nyeusi ti ti ti. Kwa kweli pesa ni
mafuta. Humfanya mtu kung'ara. Alizungumza kama mwamerika mwafrika.
Lugha yetu ya mama ilimsumbua kidogo kutamka. Niliona hilo wakati
tulipokuwa maongezini. Ni ukweli aliona hana muda mwingi wa mazungumzo
nami. Ni ukweli kuwa aliniona kama kamasi au kohozi lililotemwa
sakafuni. Alitaka sana nimaliza maneno yangu nijiendee.
"Vipi kaka, habari ya siku? Ulipata jiko kweli?" Aliniuliza. Nilimweleza
kwamba sikuwa nimepata jiko kwani maisha yamenipiga jenga kidogo.
Unavyoniona hivi sina hata mahali pa kukaa na wala sina hata chakula.
Kazabidii alinikatisha kauli yangu ma kuendelea kunisukumia maswali kama
polisi.
Kila nilipofungua mdomo kunena, Kazabidii alikunja pua yake. Sijui
nilikuwa natoa uvundo au nini? Nilijiuliza ama ni kuzuia madhara ya
uvundo? Nilijaribu tena kumweleza shida zangu lakini hakunipa sikio. Ni
kama tu yaliingilia sikio moja na kutokea lile jingine. Baada yake,
alizidi kunihujumu na maswali. "Kazi yako ni ipi? Unaishi wapi? Je
waziza wako kila mwezi unawatumia hela ngapi? Nani amekuwa mgonjwa hukp
kwenu? Ulifikia wapi kimasomo? Ushaenda mashambani hivi maajuzi? Huko
shamba ushajenga? Umekuwa mgonjwa wa Ukimwi? Mbona umekonda hivo? Kwani
huogi?" Aliniuliza maswala ya kunikejeli na kunishusha chini. Mengine
yalinikata ini.
Baada ya maswali hayo yote, aliingiza mkono wake kwenye koti. Nilifurahi
kwani nilijua kwamba hizo ni hela ambazo atanipa. Moyo wangu ulianza
kunidunda kwa furaha. Lo! Alitoa kijikaratasi ambacho kilikuwa na
nambari yake ya simu. Kisha anganiambia eti nimpigie simu. Nilijishangaa
sana. Mimi mwenyewe sina hata chakula. Peremende ya shilingi tano sina.
Sembuse za kuwasiliana naye. Nilijua tu pale amenionyesha madharau.
Kazabidii aliingia garini mwake na kutimua vumbi. Huyooooooo! Aliniachia
wingu la moshi tu. Machozi yalinitiririka bila kutarajia. Sikushughulika
kuyazuia. Yalikuwa machozi kwa kdharauliwa na rafiki yangu. Tuliyesoma
na yeye. Tukacheza michezo za watoto na yeye. Kwa kweli alinibeza.
Machozi ya dhiki machozi ya majuto .
Kweli niliona faida ya kusoma kwa bidii. Pia niliona maafa ya kufanya
mzaha shuleni. Kumbe mzaha mzaha huleta usaha. Ama kweli majuto ni
mjukuu huja baadaye.
| Alipata tamaa ya kujiunga na nini | {
"text": [
"Chuo kikuu"
]
} |
4829_swa | ELIMU UFUNGUO WA MAISHA.
Elimu ndio ufunguo wa maisha eti. Watu wengi hujiuliza elimu ni nini?
Watu hujibu elimu ni kitabu. Wengine husema elimu ni somo tu kama
kawaida. Na je, wewe umewahi jiuliza elimu ni nini? Yote tisa. Kumi
umewahi ona manufaa ya elimu? Swali hili limenifanya nimfikirie rafiki
wangu Kazabidii. Kazabidii alikuwa ghulamu tuliyetoka naye kijiji kimoja
cha Tezi. Tulikuwa mahirimu na fauka ya hayo, alikuwa rafiki wangu
sisemi wa chanda na pete. Tulilelewa pamoja. Tukacheza pamoja. Tukaenda
jandoni pamoja hata nakumbuka tulisoma pia pamoja. Wawazi wangu na wake
walikuwa marafiki pia. Wakati wa likizo ulipokuwa ukifika,
tulitembeleana na kujuliana hali kama wanakijiji. Tulichunga mifugo
pamoja na kucheza brikijo pamoja.
Ni mambo mengi tuliyoyafanya na Kazabidii. Tulikuwa watundu wakati
mwingine. Tuliiba zabibu, maembe na mapera pamoja. Mambo ya utoto kweli
yana mambo. Tulienda kuogelea na mengine ambayo hufanywa na watoto.
Nakumbuka siku moja tulipopeleka mifugo wetu kunywa maji. Tulianza
kuogelea na tukajisahau. Mifugo walianza kula mimea ya wenyewe.
Tulipoitwa, tulistaajabu. Tulipelekwa na kupigwa lau mwizi. Kwa kweli
urafiki wetu ulianza tangu jadi na ulionekana kuwa urafiki wa dhati.
Muda ulipita miaka ikaenda. Tulipofanya mtihani wa darasa la nane, wote
tulifuzu kwenda shule ya upili. Kazabidii alijiunga na shule ya upili ya
Utubora. Nami kwa kuwa tu na alama ya wastani, nilijiunga na shule ya
Borasomo. Huko tuliendelea kujuliana hali zetu na urafiki wetu
uliendelea kama kawaida. Shule zilipofunga tulifumukana kujuliana hali
na kuulizana wewe unaendeleaje na wewe je? Hayo ndiyo maswali tuliyokuwa
nayo. Kazabidii yeye kidogo alikuwa anatia makali katika masomo yake.
Mimi nami kidogo nilionekana kuchechemea katika masomo. Tulipoufanya
mtihani wa kidato cha nne, Kazabidii alifanikiwa na kupita vyema. Mimi
sikufua dafu. Ikanibiti kutia nanga masomoni mwangu. Hayo yalitarajiwa
na wengi kutokana na uzembe na uchechefu wa makini shuleni.
Hata hivyo nilikuwa na ndoto ya kujiunga na chuo cha ualimu au taasisi
ya uhandisi. Nilisubiri angalau wazazi wangu wapate hela na nijiunge na
taasisi hiyo. Mwaka ulienda ukapita. Mwingine pia hivo hivo. Hatimaye
nikakata tamaa ya kujiunga na chuo kikuu. Kwani ni nani asiyejua kwamba
ngoja ngoja huumiza matumbo? Niliamua sasa kuelekea mjini. Tukiwa
shuleni tulielezwa jinsi kazi zilizo mjini zinavyolipa pesa mzuri.
Tulikuwa na hamu tukimaliza masomo tutaenda mjini angalau tukapate kazi
huko. Nilikuwa na hamu ya kukutana na marafiki ambao walikuwa
wameshatutangulia mjini. Tulitamani maisha yao kwani ifikapo siku kuu za
krismasi wao hurejea nyumbani. Wakati huo wao huwa wamejiremba kwa
mapambo mbalimbali na kila mtu hutamani kuwa kama wao. Nilielekea mjini
kujaribu nami bahati yangu kwani heri kwenda bure kuliko kukaa bure.
Wasemavyo wazee wa jadi atangaye kwa jua huenda akajua.
Huko mjini nako mambo hayakunionekania. Yaliniendea kombo. Nilichaza
ofisi mingi na barua za kuomba kazi. Nikatembea pia ofisi kadha wa kadha
lengo kuu kutafuta kazi. Nikawa kiguu na njia huko mjini huku nikibisha
ofisini kutafuta kazi. Nilikuwa nikikaa nao wakinipa ushauri na chakula
wakaanza kuchoka nami. Nilitamani nirudi kijijini kuanza kula maembe na
mapera lakini wapi. Maji nilikuwa nishayavulia na sasa ni kuoga tu
kulikokuwa kumesalia. Niling'amua kwamba maisha ya mjini ni ngumu bila
kibarua. Mtu mzima kulishwa, kuvalishwa na kugeshwa ni aibu ya hali ya
juu. Niliendelea kujitia moyo na kujiambia ipo siku. Njia za mjini
zilianza kulalamika kila ziliponiona. Marafiki zangu walikuwa kwa kweli
wamechoka na mimi. Nakumbuka siku moja rafiki niliyekuwa nikikaa kwake
alikuja na mgeni bila kunipa ujumbe. Alikuwa mwanadada mwenye rangi ya
dhahabu. Nilishindwa ni jinsi gani nitakaa kule ilhali yeye anaye mpenzi
wake. Nilijitoa na kukesha kwa baridi usiku kucha. Kwa kweli akufukuzaye
hakwambii toka.
Basi dunia rangi rangile. Waliosema hayo hawakuweza kupanda tufe na
kuvuna upepo. Hawakulenga kando waliyoyasema. Ilibidi nizoe asemavyo
mwimbaji fulani hapa Kenya. Mwimbaji huyo si mwingine bali ni Stiven
Simple boy. Kwenye wimbo wake itabidi uzoe. Mimi nilizoea kushinda na
kulala njaa. Vilevile, ilinibidi kuvumilia baridi shadidi ya usiku
kucha. Mimi sikuwa na mahali pa kulaza kichwa. Rafiki yangu alikuwa kila
mara akija na mgeni wake. Wasemavyo maisha ni sawa na upepo ubadilishao
pande ghafla. Mwezi moja ulikuwa umenifanya kudhoofika na kubaki fremu
ya mtu. Chakula changu kilikuwa tu maji na baridi.
Ni wakati huo ambapo maji yalikuwa sasa yameshanifika kwenye koo.
Yalikuwa yameshaanza kunisakama. Nilikutana na rafiki wangu wa dhati
Kazabidii. Nilifurahi na kuruka kama mja yule aliyepona mauti katika mto
Nzeu baada ya basi walimokuwa wakisafiria kusombwa na maji. Nilijua
kwamba leo angalau rafiki yangu ataniauni hata vijisenti nipate angalau
mlo. Alikuwa amekuja na gari aina ya (Jeep). Lilikuwa lenye rangi ya
damu iliyokosa. Aliliweka pembeni na kutoka nje. Nilipomwona akitoka nje
ya gari, nilifurahi ghaya kwani nilitarajia kuwa angenisaidia. Si
waombao waliamba akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki. La hasha! Kwa kweli
mtegemeya cha nduguye hufa maskini kweli.
Kazabidii alikuwa amepata kazi ya mshahara wa juu sana. Alikuwa mkuu wa
daktari katika wilaya nzima na kipato chake kilikuwa cha hali ya juu.
Rafiki wangu huyo alikuwa amebadilika kweli kweli. Alikuwa mwenye misuli
tinginya. Nywele zake zilikuwa nyeusi ti ti ti. Kwa kweli pesa ni
mafuta. Humfanya mtu kung'ara. Alizungumza kama mwamerika mwafrika.
Lugha yetu ya mama ilimsumbua kidogo kutamka. Niliona hilo wakati
tulipokuwa maongezini. Ni ukweli aliona hana muda mwingi wa mazungumzo
nami. Ni ukweli kuwa aliniona kama kamasi au kohozi lililotemwa
sakafuni. Alitaka sana nimaliza maneno yangu nijiendee.
"Vipi kaka, habari ya siku? Ulipata jiko kweli?" Aliniuliza. Nilimweleza
kwamba sikuwa nimepata jiko kwani maisha yamenipiga jenga kidogo.
Unavyoniona hivi sina hata mahali pa kukaa na wala sina hata chakula.
Kazabidii alinikatisha kauli yangu ma kuendelea kunisukumia maswali kama
polisi.
Kila nilipofungua mdomo kunena, Kazabidii alikunja pua yake. Sijui
nilikuwa natoa uvundo au nini? Nilijiuliza ama ni kuzuia madhara ya
uvundo? Nilijaribu tena kumweleza shida zangu lakini hakunipa sikio. Ni
kama tu yaliingilia sikio moja na kutokea lile jingine. Baada yake,
alizidi kunihujumu na maswali. "Kazi yako ni ipi? Unaishi wapi? Je
waziza wako kila mwezi unawatumia hela ngapi? Nani amekuwa mgonjwa hukp
kwenu? Ulifikia wapi kimasomo? Ushaenda mashambani hivi maajuzi? Huko
shamba ushajenga? Umekuwa mgonjwa wa Ukimwi? Mbona umekonda hivo? Kwani
huogi?" Aliniuliza maswala ya kunikejeli na kunishusha chini. Mengine
yalinikata ini.
Baada ya maswali hayo yote, aliingiza mkono wake kwenye koti. Nilifurahi
kwani nilijua kwamba hizo ni hela ambazo atanipa. Moyo wangu ulianza
kunidunda kwa furaha. Lo! Alitoa kijikaratasi ambacho kilikuwa na
nambari yake ya simu. Kisha anganiambia eti nimpigie simu. Nilijishangaa
sana. Mimi mwenyewe sina hata chakula. Peremende ya shilingi tano sina.
Sembuse za kuwasiliana naye. Nilijua tu pale amenionyesha madharau.
Kazabidii aliingia garini mwake na kutimua vumbi. Huyooooooo! Aliniachia
wingu la moshi tu. Machozi yalinitiririka bila kutarajia. Sikushughulika
kuyazuia. Yalikuwa machozi kwa kdharauliwa na rafiki yangu. Tuliyesoma
na yeye. Tukacheza michezo za watoto na yeye. Kwa kweli alinibeza.
Machozi ya dhiki machozi ya majuto .
Kweli niliona faida ya kusoma kwa bidii. Pia niliona maafa ya kufanya
mzaha shuleni. Kumbe mzaha mzaha huleta usaha. Ama kweli majuto ni
mjukuu huja baadaye.
| Kwa nini alitamani kurudi kijijini | {
"text": [
"Alikosa kibarua mjini"
]
} |
4830_swa | Aliyesaulika
Andrew alitoka nyumbani akiwa na furaha ghaya kwa kuwa amepata kazi
ng'ambo.Kama kawaida yake alimwaga mke wake akiwa mwingi wa
bashasha.Hatimaye nyota ya jaha ilikuwa imeshukia yeye mja wa
Mungu.Andrew alipokea ujumbe kwamba ombi lake la kazi lilikuwa
limekubalika jioni moja.Kwanza hakuamini macho yake.Aliitazama simu
akiwa amepigwa na mshangao.Nafasi ya kazi alipata kuisikia ikitangazwa
redioni.Licha ya kisomo chake cha juu cha chuo kikuu alikuwa akifanya
kazi ya mjengo ili kukimu familia yake ya watu watatu.Baada ya kumaliza
masomo yake ya uhandisi chuoni alitafuta kazi bila mafanikio.
Hakuzoea kukaa bila kufanya kazi hivyo aliamua kuikumbatia methali
ujapokosa la mama hata la mbwa huamwa.Alikuwa akitoka kwake asubuhi na
kurudi jioni.Alifanya juu chini ili mke wake asijue masaibu
yake.Alijituma katika kazi zote za mkono ili mradi amridishe mke wake na
mwana wao mvulana.Hakukata tamaa kwa sababu alikosa kuajiriwa kazi
katika uwanja aliosomea bali alijitia moyo kuwa ipo siku Mungu
angemkumbuka.Siku yenyewe ikawa tayari ishawasili.Alimwita mke wake
Sharon ili amthibitishie kuwa aliloliona ni kweli na si ndoto.
Mke wake alikosa kujizuia na punde tu alipoona ujumbe ule alianza
kutokwa na machozi.Hakulia kwa sababu alipatwa na msiba bali Kwa kuhofia
kuachwa akiwa mpweke na mume wake.Inasemekana wazazi wa Sharon walikuwa
wameenda jongomeo kitambo hata kabla aolewe.Mume wake ndiye
aliyeikamilisha familia yake kwa kuwa alizaliwa yeye peke yake na wazazi
wake.Mume wake alimwuuliza kwa utaratibu sababu ya kilio chake."Mume
wangu umeitwa kazi ng'ambo ila utaniacha na nani?"Sharon alimwuuliza
mume wake.
Andrew alimwinua na kumweleza kinaganaga Kwa nini ilikuwa muhimu asafiri
ng'ambo kwenda kuitikia mwito na hatimaye wakaelewana.Waliomwitia kazi
waligharamikia kila stakabadhi zilizohitajika na usafiri wake.Mke wake
alimwandaa vilivyo Kwa ajili ya safari na siku ilipowadia wakaandamana
hadi uwanja wa ndege na kuambiana kwa heri ya kuonana.Sharon alibaki
akiiangalia ndege aliyokuwa amepanda mume wake hadi ikatokomea.Alirudi
nyumbani akihisi moyo ukiwa mzito.Akajaribu kuukana uzito ule lakini
bado ulimnyemelea.
Alipomaliza shughuli zake za siku ile alijipumzisha kitandani na
kulipokucha alimshukuru muumba wake.Aliweza kumtayarisha mtoto wake na
kumpeleka shuleni ila aliporudi kwake aliwakuta watu watatu wakimsubiri
nje ya nyumbani yake.Alipokaribia aliwadadisi ili apate angaa kujua
walikuwa kina nani."Ndege iliyoanza safari mnamo saa nane za mchana
haikufika mwisho mwa safari yake." mmoja kati yao alidokeza.Kuja kwao
pale ilikuwa kuweza kuthibisha iwapo mume wa Sharon alipanda ndege ile.
Sharon alihisi nguvu zinamwisha na moyo kumwenda mbio."Haiwezekani,"
alijiambia.Taarifa kamili ilikuwa inasema kwamba ndege ile haikuweza
kustahimili hali mbaya ya anga na hivyo rubani kupoteza mwelekeo na watu
wote waliokuwemo ndani kufa papo hapo.Habari hizi za tanzia
zilimsikitisha Sharon kwa muda.Mazishi yaliandaliwa na jivu likazikwa
kwani inaaminika kwamba waliohusika kwenye ajali walichomeka wakabaki
jivu.
Andrew sasa amerudi yuko nje ya nyumba yake ila mke wake amejifungia
ndani akiamini mzimu umemtembelea.Haamini kuwa mume wake
mzima.Alishamzika akamsauhau.Itakuwaje kwamba yu hai.Kwa sasa ana afya
njema kabisa lakini kila atakayemwona hukimbia akidhani kaona
mzimu.Andrew hakuhusika katika ajali bali alifika ng'ambo akiwa buheri
wa afya akafanya kazi yake na sasa amejaa pesa lakini cha kushangaza ni
kuwa hata mke wake hana hamu naye.
Andrew alimbembeleza mke wake mpaka akatoka nje na kumwuuliza sababu
yake ya kumkimbia.Wote wakahadithiana yaliyotokea na mambo yakawekwa
wazi kisha wakakumbatiana kwa tabasamu wakishukuru Mungu
aliyewakutanisha tena baada ya mmoja kukisiwa ameiaga dunia.
| Nani alipata kazi ng'ambo? | {
"text": [
"Andrew"
]
} |
4830_swa | Aliyesaulika
Andrew alitoka nyumbani akiwa na furaha ghaya kwa kuwa amepata kazi
ng'ambo.Kama kawaida yake alimwaga mke wake akiwa mwingi wa
bashasha.Hatimaye nyota ya jaha ilikuwa imeshukia yeye mja wa
Mungu.Andrew alipokea ujumbe kwamba ombi lake la kazi lilikuwa
limekubalika jioni moja.Kwanza hakuamini macho yake.Aliitazama simu
akiwa amepigwa na mshangao.Nafasi ya kazi alipata kuisikia ikitangazwa
redioni.Licha ya kisomo chake cha juu cha chuo kikuu alikuwa akifanya
kazi ya mjengo ili kukimu familia yake ya watu watatu.Baada ya kumaliza
masomo yake ya uhandisi chuoni alitafuta kazi bila mafanikio.
Hakuzoea kukaa bila kufanya kazi hivyo aliamua kuikumbatia methali
ujapokosa la mama hata la mbwa huamwa.Alikuwa akitoka kwake asubuhi na
kurudi jioni.Alifanya juu chini ili mke wake asijue masaibu
yake.Alijituma katika kazi zote za mkono ili mradi amridishe mke wake na
mwana wao mvulana.Hakukata tamaa kwa sababu alikosa kuajiriwa kazi
katika uwanja aliosomea bali alijitia moyo kuwa ipo siku Mungu
angemkumbuka.Siku yenyewe ikawa tayari ishawasili.Alimwita mke wake
Sharon ili amthibitishie kuwa aliloliona ni kweli na si ndoto.
Mke wake alikosa kujizuia na punde tu alipoona ujumbe ule alianza
kutokwa na machozi.Hakulia kwa sababu alipatwa na msiba bali Kwa kuhofia
kuachwa akiwa mpweke na mume wake.Inasemekana wazazi wa Sharon walikuwa
wameenda jongomeo kitambo hata kabla aolewe.Mume wake ndiye
aliyeikamilisha familia yake kwa kuwa alizaliwa yeye peke yake na wazazi
wake.Mume wake alimwuuliza kwa utaratibu sababu ya kilio chake."Mume
wangu umeitwa kazi ng'ambo ila utaniacha na nani?"Sharon alimwuuliza
mume wake.
Andrew alimwinua na kumweleza kinaganaga Kwa nini ilikuwa muhimu asafiri
ng'ambo kwenda kuitikia mwito na hatimaye wakaelewana.Waliomwitia kazi
waligharamikia kila stakabadhi zilizohitajika na usafiri wake.Mke wake
alimwandaa vilivyo Kwa ajili ya safari na siku ilipowadia wakaandamana
hadi uwanja wa ndege na kuambiana kwa heri ya kuonana.Sharon alibaki
akiiangalia ndege aliyokuwa amepanda mume wake hadi ikatokomea.Alirudi
nyumbani akihisi moyo ukiwa mzito.Akajaribu kuukana uzito ule lakini
bado ulimnyemelea.
Alipomaliza shughuli zake za siku ile alijipumzisha kitandani na
kulipokucha alimshukuru muumba wake.Aliweza kumtayarisha mtoto wake na
kumpeleka shuleni ila aliporudi kwake aliwakuta watu watatu wakimsubiri
nje ya nyumbani yake.Alipokaribia aliwadadisi ili apate angaa kujua
walikuwa kina nani."Ndege iliyoanza safari mnamo saa nane za mchana
haikufika mwisho mwa safari yake." mmoja kati yao alidokeza.Kuja kwao
pale ilikuwa kuweza kuthibisha iwapo mume wa Sharon alipanda ndege ile.
Sharon alihisi nguvu zinamwisha na moyo kumwenda mbio."Haiwezekani,"
alijiambia.Taarifa kamili ilikuwa inasema kwamba ndege ile haikuweza
kustahimili hali mbaya ya anga na hivyo rubani kupoteza mwelekeo na watu
wote waliokuwemo ndani kufa papo hapo.Habari hizi za tanzia
zilimsikitisha Sharon kwa muda.Mazishi yaliandaliwa na jivu likazikwa
kwani inaaminika kwamba waliohusika kwenye ajali walichomeka wakabaki
jivu.
Andrew sasa amerudi yuko nje ya nyumba yake ila mke wake amejifungia
ndani akiamini mzimu umemtembelea.Haamini kuwa mume wake
mzima.Alishamzika akamsauhau.Itakuwaje kwamba yu hai.Kwa sasa ana afya
njema kabisa lakini kila atakayemwona hukimbia akidhani kaona
mzimu.Andrew hakuhusika katika ajali bali alifika ng'ambo akiwa buheri
wa afya akafanya kazi yake na sasa amejaa pesa lakini cha kushangaza ni
kuwa hata mke wake hana hamu naye.
Andrew alimbembeleza mke wake mpaka akatoka nje na kumwuuliza sababu
yake ya kumkimbia.Wote wakahadithiana yaliyotokea na mambo yakawekwa
wazi kisha wakakumbatiana kwa tabasamu wakishukuru Mungu
aliyewakutanisha tena baada ya mmoja kukisiwa ameiaga dunia.
| Andrew alipata ujumbe kwamba ombi lake la kazi lilikuwa limekubalika wakati gani? | {
"text": [
"Jioni"
]
} |
4830_swa | Aliyesaulika
Andrew alitoka nyumbani akiwa na furaha ghaya kwa kuwa amepata kazi
ng'ambo.Kama kawaida yake alimwaga mke wake akiwa mwingi wa
bashasha.Hatimaye nyota ya jaha ilikuwa imeshukia yeye mja wa
Mungu.Andrew alipokea ujumbe kwamba ombi lake la kazi lilikuwa
limekubalika jioni moja.Kwanza hakuamini macho yake.Aliitazama simu
akiwa amepigwa na mshangao.Nafasi ya kazi alipata kuisikia ikitangazwa
redioni.Licha ya kisomo chake cha juu cha chuo kikuu alikuwa akifanya
kazi ya mjengo ili kukimu familia yake ya watu watatu.Baada ya kumaliza
masomo yake ya uhandisi chuoni alitafuta kazi bila mafanikio.
Hakuzoea kukaa bila kufanya kazi hivyo aliamua kuikumbatia methali
ujapokosa la mama hata la mbwa huamwa.Alikuwa akitoka kwake asubuhi na
kurudi jioni.Alifanya juu chini ili mke wake asijue masaibu
yake.Alijituma katika kazi zote za mkono ili mradi amridishe mke wake na
mwana wao mvulana.Hakukata tamaa kwa sababu alikosa kuajiriwa kazi
katika uwanja aliosomea bali alijitia moyo kuwa ipo siku Mungu
angemkumbuka.Siku yenyewe ikawa tayari ishawasili.Alimwita mke wake
Sharon ili amthibitishie kuwa aliloliona ni kweli na si ndoto.
Mke wake alikosa kujizuia na punde tu alipoona ujumbe ule alianza
kutokwa na machozi.Hakulia kwa sababu alipatwa na msiba bali Kwa kuhofia
kuachwa akiwa mpweke na mume wake.Inasemekana wazazi wa Sharon walikuwa
wameenda jongomeo kitambo hata kabla aolewe.Mume wake ndiye
aliyeikamilisha familia yake kwa kuwa alizaliwa yeye peke yake na wazazi
wake.Mume wake alimwuuliza kwa utaratibu sababu ya kilio chake."Mume
wangu umeitwa kazi ng'ambo ila utaniacha na nani?"Sharon alimwuuliza
mume wake.
Andrew alimwinua na kumweleza kinaganaga Kwa nini ilikuwa muhimu asafiri
ng'ambo kwenda kuitikia mwito na hatimaye wakaelewana.Waliomwitia kazi
waligharamikia kila stakabadhi zilizohitajika na usafiri wake.Mke wake
alimwandaa vilivyo Kwa ajili ya safari na siku ilipowadia wakaandamana
hadi uwanja wa ndege na kuambiana kwa heri ya kuonana.Sharon alibaki
akiiangalia ndege aliyokuwa amepanda mume wake hadi ikatokomea.Alirudi
nyumbani akihisi moyo ukiwa mzito.Akajaribu kuukana uzito ule lakini
bado ulimnyemelea.
Alipomaliza shughuli zake za siku ile alijipumzisha kitandani na
kulipokucha alimshukuru muumba wake.Aliweza kumtayarisha mtoto wake na
kumpeleka shuleni ila aliporudi kwake aliwakuta watu watatu wakimsubiri
nje ya nyumbani yake.Alipokaribia aliwadadisi ili apate angaa kujua
walikuwa kina nani."Ndege iliyoanza safari mnamo saa nane za mchana
haikufika mwisho mwa safari yake." mmoja kati yao alidokeza.Kuja kwao
pale ilikuwa kuweza kuthibisha iwapo mume wa Sharon alipanda ndege ile.
Sharon alihisi nguvu zinamwisha na moyo kumwenda mbio."Haiwezekani,"
alijiambia.Taarifa kamili ilikuwa inasema kwamba ndege ile haikuweza
kustahimili hali mbaya ya anga na hivyo rubani kupoteza mwelekeo na watu
wote waliokuwemo ndani kufa papo hapo.Habari hizi za tanzia
zilimsikitisha Sharon kwa muda.Mazishi yaliandaliwa na jivu likazikwa
kwani inaaminika kwamba waliohusika kwenye ajali walichomeka wakabaki
jivu.
Andrew sasa amerudi yuko nje ya nyumba yake ila mke wake amejifungia
ndani akiamini mzimu umemtembelea.Haamini kuwa mume wake
mzima.Alishamzika akamsauhau.Itakuwaje kwamba yu hai.Kwa sasa ana afya
njema kabisa lakini kila atakayemwona hukimbia akidhani kaona
mzimu.Andrew hakuhusika katika ajali bali alifika ng'ambo akiwa buheri
wa afya akafanya kazi yake na sasa amejaa pesa lakini cha kushangaza ni
kuwa hata mke wake hana hamu naye.
Andrew alimbembeleza mke wake mpaka akatoka nje na kumwuuliza sababu
yake ya kumkimbia.Wote wakahadithiana yaliyotokea na mambo yakawekwa
wazi kisha wakakumbatiana kwa tabasamu wakishukuru Mungu
aliyewakutanisha tena baada ya mmoja kukisiwa ameiaga dunia.
| Familia yake Andrew ilikuwa ya watu wangapi? | {
"text": [
"Watatu"
]
} |
4830_swa | Aliyesaulika
Andrew alitoka nyumbani akiwa na furaha ghaya kwa kuwa amepata kazi
ng'ambo.Kama kawaida yake alimwaga mke wake akiwa mwingi wa
bashasha.Hatimaye nyota ya jaha ilikuwa imeshukia yeye mja wa
Mungu.Andrew alipokea ujumbe kwamba ombi lake la kazi lilikuwa
limekubalika jioni moja.Kwanza hakuamini macho yake.Aliitazama simu
akiwa amepigwa na mshangao.Nafasi ya kazi alipata kuisikia ikitangazwa
redioni.Licha ya kisomo chake cha juu cha chuo kikuu alikuwa akifanya
kazi ya mjengo ili kukimu familia yake ya watu watatu.Baada ya kumaliza
masomo yake ya uhandisi chuoni alitafuta kazi bila mafanikio.
Hakuzoea kukaa bila kufanya kazi hivyo aliamua kuikumbatia methali
ujapokosa la mama hata la mbwa huamwa.Alikuwa akitoka kwake asubuhi na
kurudi jioni.Alifanya juu chini ili mke wake asijue masaibu
yake.Alijituma katika kazi zote za mkono ili mradi amridishe mke wake na
mwana wao mvulana.Hakukata tamaa kwa sababu alikosa kuajiriwa kazi
katika uwanja aliosomea bali alijitia moyo kuwa ipo siku Mungu
angemkumbuka.Siku yenyewe ikawa tayari ishawasili.Alimwita mke wake
Sharon ili amthibitishie kuwa aliloliona ni kweli na si ndoto.
Mke wake alikosa kujizuia na punde tu alipoona ujumbe ule alianza
kutokwa na machozi.Hakulia kwa sababu alipatwa na msiba bali Kwa kuhofia
kuachwa akiwa mpweke na mume wake.Inasemekana wazazi wa Sharon walikuwa
wameenda jongomeo kitambo hata kabla aolewe.Mume wake ndiye
aliyeikamilisha familia yake kwa kuwa alizaliwa yeye peke yake na wazazi
wake.Mume wake alimwuuliza kwa utaratibu sababu ya kilio chake."Mume
wangu umeitwa kazi ng'ambo ila utaniacha na nani?"Sharon alimwuuliza
mume wake.
Andrew alimwinua na kumweleza kinaganaga Kwa nini ilikuwa muhimu asafiri
ng'ambo kwenda kuitikia mwito na hatimaye wakaelewana.Waliomwitia kazi
waligharamikia kila stakabadhi zilizohitajika na usafiri wake.Mke wake
alimwandaa vilivyo Kwa ajili ya safari na siku ilipowadia wakaandamana
hadi uwanja wa ndege na kuambiana kwa heri ya kuonana.Sharon alibaki
akiiangalia ndege aliyokuwa amepanda mume wake hadi ikatokomea.Alirudi
nyumbani akihisi moyo ukiwa mzito.Akajaribu kuukana uzito ule lakini
bado ulimnyemelea.
Alipomaliza shughuli zake za siku ile alijipumzisha kitandani na
kulipokucha alimshukuru muumba wake.Aliweza kumtayarisha mtoto wake na
kumpeleka shuleni ila aliporudi kwake aliwakuta watu watatu wakimsubiri
nje ya nyumbani yake.Alipokaribia aliwadadisi ili apate angaa kujua
walikuwa kina nani."Ndege iliyoanza safari mnamo saa nane za mchana
haikufika mwisho mwa safari yake." mmoja kati yao alidokeza.Kuja kwao
pale ilikuwa kuweza kuthibisha iwapo mume wa Sharon alipanda ndege ile.
Sharon alihisi nguvu zinamwisha na moyo kumwenda mbio."Haiwezekani,"
alijiambia.Taarifa kamili ilikuwa inasema kwamba ndege ile haikuweza
kustahimili hali mbaya ya anga na hivyo rubani kupoteza mwelekeo na watu
wote waliokuwemo ndani kufa papo hapo.Habari hizi za tanzia
zilimsikitisha Sharon kwa muda.Mazishi yaliandaliwa na jivu likazikwa
kwani inaaminika kwamba waliohusika kwenye ajali walichomeka wakabaki
jivu.
Andrew sasa amerudi yuko nje ya nyumba yake ila mke wake amejifungia
ndani akiamini mzimu umemtembelea.Haamini kuwa mume wake
mzima.Alishamzika akamsauhau.Itakuwaje kwamba yu hai.Kwa sasa ana afya
njema kabisa lakini kila atakayemwona hukimbia akidhani kaona
mzimu.Andrew hakuhusika katika ajali bali alifika ng'ambo akiwa buheri
wa afya akafanya kazi yake na sasa amejaa pesa lakini cha kushangaza ni
kuwa hata mke wake hana hamu naye.
Andrew alimbembeleza mke wake mpaka akatoka nje na kumwuuliza sababu
yake ya kumkimbia.Wote wakahadithiana yaliyotokea na mambo yakawekwa
wazi kisha wakakumbatiana kwa tabasamu wakishukuru Mungu
aliyewakutanisha tena baada ya mmoja kukisiwa ameiaga dunia.
| Andrew alikuwa anafanya kazi gani ili kukimu familia yake? | {
"text": [
"Mijengo"
]
} |
4830_swa | Aliyesaulika
Andrew alitoka nyumbani akiwa na furaha ghaya kwa kuwa amepata kazi
ng'ambo.Kama kawaida yake alimwaga mke wake akiwa mwingi wa
bashasha.Hatimaye nyota ya jaha ilikuwa imeshukia yeye mja wa
Mungu.Andrew alipokea ujumbe kwamba ombi lake la kazi lilikuwa
limekubalika jioni moja.Kwanza hakuamini macho yake.Aliitazama simu
akiwa amepigwa na mshangao.Nafasi ya kazi alipata kuisikia ikitangazwa
redioni.Licha ya kisomo chake cha juu cha chuo kikuu alikuwa akifanya
kazi ya mjengo ili kukimu familia yake ya watu watatu.Baada ya kumaliza
masomo yake ya uhandisi chuoni alitafuta kazi bila mafanikio.
Hakuzoea kukaa bila kufanya kazi hivyo aliamua kuikumbatia methali
ujapokosa la mama hata la mbwa huamwa.Alikuwa akitoka kwake asubuhi na
kurudi jioni.Alifanya juu chini ili mke wake asijue masaibu
yake.Alijituma katika kazi zote za mkono ili mradi amridishe mke wake na
mwana wao mvulana.Hakukata tamaa kwa sababu alikosa kuajiriwa kazi
katika uwanja aliosomea bali alijitia moyo kuwa ipo siku Mungu
angemkumbuka.Siku yenyewe ikawa tayari ishawasili.Alimwita mke wake
Sharon ili amthibitishie kuwa aliloliona ni kweli na si ndoto.
Mke wake alikosa kujizuia na punde tu alipoona ujumbe ule alianza
kutokwa na machozi.Hakulia kwa sababu alipatwa na msiba bali Kwa kuhofia
kuachwa akiwa mpweke na mume wake.Inasemekana wazazi wa Sharon walikuwa
wameenda jongomeo kitambo hata kabla aolewe.Mume wake ndiye
aliyeikamilisha familia yake kwa kuwa alizaliwa yeye peke yake na wazazi
wake.Mume wake alimwuuliza kwa utaratibu sababu ya kilio chake."Mume
wangu umeitwa kazi ng'ambo ila utaniacha na nani?"Sharon alimwuuliza
mume wake.
Andrew alimwinua na kumweleza kinaganaga Kwa nini ilikuwa muhimu asafiri
ng'ambo kwenda kuitikia mwito na hatimaye wakaelewana.Waliomwitia kazi
waligharamikia kila stakabadhi zilizohitajika na usafiri wake.Mke wake
alimwandaa vilivyo Kwa ajili ya safari na siku ilipowadia wakaandamana
hadi uwanja wa ndege na kuambiana kwa heri ya kuonana.Sharon alibaki
akiiangalia ndege aliyokuwa amepanda mume wake hadi ikatokomea.Alirudi
nyumbani akihisi moyo ukiwa mzito.Akajaribu kuukana uzito ule lakini
bado ulimnyemelea.
Alipomaliza shughuli zake za siku ile alijipumzisha kitandani na
kulipokucha alimshukuru muumba wake.Aliweza kumtayarisha mtoto wake na
kumpeleka shuleni ila aliporudi kwake aliwakuta watu watatu wakimsubiri
nje ya nyumbani yake.Alipokaribia aliwadadisi ili apate angaa kujua
walikuwa kina nani."Ndege iliyoanza safari mnamo saa nane za mchana
haikufika mwisho mwa safari yake." mmoja kati yao alidokeza.Kuja kwao
pale ilikuwa kuweza kuthibisha iwapo mume wa Sharon alipanda ndege ile.
Sharon alihisi nguvu zinamwisha na moyo kumwenda mbio."Haiwezekani,"
alijiambia.Taarifa kamili ilikuwa inasema kwamba ndege ile haikuweza
kustahimili hali mbaya ya anga na hivyo rubani kupoteza mwelekeo na watu
wote waliokuwemo ndani kufa papo hapo.Habari hizi za tanzia
zilimsikitisha Sharon kwa muda.Mazishi yaliandaliwa na jivu likazikwa
kwani inaaminika kwamba waliohusika kwenye ajali walichomeka wakabaki
jivu.
Andrew sasa amerudi yuko nje ya nyumba yake ila mke wake amejifungia
ndani akiamini mzimu umemtembelea.Haamini kuwa mume wake
mzima.Alishamzika akamsauhau.Itakuwaje kwamba yu hai.Kwa sasa ana afya
njema kabisa lakini kila atakayemwona hukimbia akidhani kaona
mzimu.Andrew hakuhusika katika ajali bali alifika ng'ambo akiwa buheri
wa afya akafanya kazi yake na sasa amejaa pesa lakini cha kushangaza ni
kuwa hata mke wake hana hamu naye.
Andrew alimbembeleza mke wake mpaka akatoka nje na kumwuuliza sababu
yake ya kumkimbia.Wote wakahadithiana yaliyotokea na mambo yakawekwa
wazi kisha wakakumbatiana kwa tabasamu wakishukuru Mungu
aliyewakutanisha tena baada ya mmoja kukisiwa ameiaga dunia.
| Mkewe Andrew alijulikana kama nani? | {
"text": [
"Sharon"
]
} |
4831_swa | Asante ya punda
Latifa ni msichana mrembo sana.Kwa bahati nzuri aliweza kusoma hadi chuo
kikuu na akasomea udaktari.Latifa alikuwa wembe masomoni tokea anaanza
masomo yake katika shule ya msingi hadi kutamatisha elimu yake chuo
kikuu.Alibahatika kupata alama za kuridhisha ila hakubahatika kupata
kazi.Aliandika barua nyingi za kuomba kazi lakini hakuitwa kwa ajili ya
kutekeleza huduma yake katika hosipitali yeyote.Alikaa kwao mpaka wazo
la kuoelewa likamjia akilini.Alitaabika usiku kucha alipokuwa katika
kitanda chake cha msonge ambacho hakikulalika.Alikosa kabisa usingizi
kwa kuwa alikuwa na mambo mengi aliyoyafikiria akilini mwake.
Aliuliza Mungu maswali lakini hakupata majibu.Aliona Maulana alikuwa
amemtenga mbali.Polepole akakosa imani naye.Alifadhaiika sana na
kujiuliza kwa nini yeye mtoto wa watu apitie masaibu yale yote.Wakati
mwingine alihisi kalaaniwa au karongwa na wasiomtakia mema.Stakabadhi
zake zilikosa maana yoyote katika maisha yake.Ni mara ngapi ametaka
kuzitia moto? Suala hili la kuwa hakupata kazi licha ya kutimiza
majukumu yake chuoni lilimtoa machozi njia mbili ashindwe
kujizuia.Alipenda sana taaluma yake ya udaktari na alitaka awahudumie
wagonjwa ili kutosheleza azimio lake la kuokoa maisha.
Alitamani ajitegemee kama watu wengine wa umri wake.Wazazi wake walikuwa
wamekula chumvi nyingi na yeye pekee ndiye aliyekuwa tegemeo
lao.Alitamani sana moyoni mwake kwamba angeyabadilisha maisha yao na
kuwapa malezi bora hata zaidi ya alivyowalea yeye.Jambo hili
lingewezekana tu iwapo angepata pesa za kutosha lakini pale alipo hakuwa
hata na senti mfukoni mwake.Wavyele wake walijaribu kumwambia kwamba
ingekuwa bora iwapo angetafuta mtaji na kuanzisha biashara yake lakini
ni kama kwamba walikuwa wanapigia mbuzi gitaa.
Mjomba wake alikuja kuwatembelea wakati wa sherehe za mwaka mpya.Moyo
wake ulijawa na simanzi baada ya kusikia taabu ambazo alikuwa akipitia
Latifa licha ya kufuzu na hapohapo kukata shauri kumsaidia.Kumsaidia
Latifa kusingemwia vigumu kwa kuwa alikuwa mtu wa watu aliyejuana na
wengi wakiwema wakuu wa mahosipitali mbalimbali.Baada ya sikukuu kuisha,
mjomba alimwambia Latifa ajiandae ili aende naye mjini.Latifa alisita
kidogo kisha akafanya matayarisho na hatimaye wakaondoka.
Kule mjini Latifa alikaribishwa kwa mjomba wake na kutimiziwa mahitaji
yake yote.Hakunyanyaswa na mtu yeyote ila alipewa heshima
aliyostahili.Mjomba wake alimnunulia nguo ambazo angeendea kazini na za
kuvaa anapokuwa pale nyumbani.Isitoshe alihangaika huku na kule ili
ahakikishe kuwa mpwa wake angepata kazi na si kazi tu bali ya
udaktari.Hatimaye kazi ilipatikana na Latifa akajuzwa.Latifa alifurahi
sana kama tasa aliyejifungua mtoto.Akajiandaa vilivyo kwa ajili ya
kuanza kazi.Latifa alibadilika alipoanza kazi katika hosipitali moja.
Alianza kumwambaa mjomba wake na kumwona hafai kujua jinsi alivyokuwa
akiendelea.Alihama kwa mjomba bila taarifa na kujiendea zake.Kazini
alionekana akichapa kazi barabara ila hata kumjulia hali mjomba wake
hakuweza.Latifa aligeuka na kuwa hayawani asiyejali lolote wala
chochote.Alianza kujipenda yeye tu.Mjomba wake alipougua hakufahamu
lakini hata baada ya kufahamu baadaye hakuenda kumwuguza.Aliendelea
kuugua kwa siku nyingi ila mpwa wake hakufika.Alimpigia simu lakini
hakushika na alipojaribu kumtumia mjumbe hakuamini macho yake kwani
Latifa alimkana mbele yake.
Kwa wazazi wake hakuonekana tena.Wavyele wake wakasononeka wasijue la
kufanya.Walihofia kuwa mwana wao alikuwa amepotea mjini.Mjomba aliugua
na mwishowe akakata roho bila ya kumwona mpwa wake.Latifa aliyapuzilia
mbali mazishi ya mjomba wake na kuendelea na kazi.
Pale kazini alijipiga kifua kwa wafanyakazi wenzake na hata mwajiri
wake.Kadri siku zilivyosonga ndivyo alivyozidi kuwabeza na kuwaona
waliokosa maana katika maisha yake.
| Nani alikuwa msichana mrembo sana | {
"text": [
"Latifa"
]
} |
4831_swa | Asante ya punda
Latifa ni msichana mrembo sana.Kwa bahati nzuri aliweza kusoma hadi chuo
kikuu na akasomea udaktari.Latifa alikuwa wembe masomoni tokea anaanza
masomo yake katika shule ya msingi hadi kutamatisha elimu yake chuo
kikuu.Alibahatika kupata alama za kuridhisha ila hakubahatika kupata
kazi.Aliandika barua nyingi za kuomba kazi lakini hakuitwa kwa ajili ya
kutekeleza huduma yake katika hosipitali yeyote.Alikaa kwao mpaka wazo
la kuoelewa likamjia akilini.Alitaabika usiku kucha alipokuwa katika
kitanda chake cha msonge ambacho hakikulalika.Alikosa kabisa usingizi
kwa kuwa alikuwa na mambo mengi aliyoyafikiria akilini mwake.
Aliuliza Mungu maswali lakini hakupata majibu.Aliona Maulana alikuwa
amemtenga mbali.Polepole akakosa imani naye.Alifadhaiika sana na
kujiuliza kwa nini yeye mtoto wa watu apitie masaibu yale yote.Wakati
mwingine alihisi kalaaniwa au karongwa na wasiomtakia mema.Stakabadhi
zake zilikosa maana yoyote katika maisha yake.Ni mara ngapi ametaka
kuzitia moto? Suala hili la kuwa hakupata kazi licha ya kutimiza
majukumu yake chuoni lilimtoa machozi njia mbili ashindwe
kujizuia.Alipenda sana taaluma yake ya udaktari na alitaka awahudumie
wagonjwa ili kutosheleza azimio lake la kuokoa maisha.
Alitamani ajitegemee kama watu wengine wa umri wake.Wazazi wake walikuwa
wamekula chumvi nyingi na yeye pekee ndiye aliyekuwa tegemeo
lao.Alitamani sana moyoni mwake kwamba angeyabadilisha maisha yao na
kuwapa malezi bora hata zaidi ya alivyowalea yeye.Jambo hili
lingewezekana tu iwapo angepata pesa za kutosha lakini pale alipo hakuwa
hata na senti mfukoni mwake.Wavyele wake walijaribu kumwambia kwamba
ingekuwa bora iwapo angetafuta mtaji na kuanzisha biashara yake lakini
ni kama kwamba walikuwa wanapigia mbuzi gitaa.
Mjomba wake alikuja kuwatembelea wakati wa sherehe za mwaka mpya.Moyo
wake ulijawa na simanzi baada ya kusikia taabu ambazo alikuwa akipitia
Latifa licha ya kufuzu na hapohapo kukata shauri kumsaidia.Kumsaidia
Latifa kusingemwia vigumu kwa kuwa alikuwa mtu wa watu aliyejuana na
wengi wakiwema wakuu wa mahosipitali mbalimbali.Baada ya sikukuu kuisha,
mjomba alimwambia Latifa ajiandae ili aende naye mjini.Latifa alisita
kidogo kisha akafanya matayarisho na hatimaye wakaondoka.
Kule mjini Latifa alikaribishwa kwa mjomba wake na kutimiziwa mahitaji
yake yote.Hakunyanyaswa na mtu yeyote ila alipewa heshima
aliyostahili.Mjomba wake alimnunulia nguo ambazo angeendea kazini na za
kuvaa anapokuwa pale nyumbani.Isitoshe alihangaika huku na kule ili
ahakikishe kuwa mpwa wake angepata kazi na si kazi tu bali ya
udaktari.Hatimaye kazi ilipatikana na Latifa akajuzwa.Latifa alifurahi
sana kama tasa aliyejifungua mtoto.Akajiandaa vilivyo kwa ajili ya
kuanza kazi.Latifa alibadilika alipoanza kazi katika hosipitali moja.
Alianza kumwambaa mjomba wake na kumwona hafai kujua jinsi alivyokuwa
akiendelea.Alihama kwa mjomba bila taarifa na kujiendea zake.Kazini
alionekana akichapa kazi barabara ila hata kumjulia hali mjomba wake
hakuweza.Latifa aligeuka na kuwa hayawani asiyejali lolote wala
chochote.Alianza kujipenda yeye tu.Mjomba wake alipougua hakufahamu
lakini hata baada ya kufahamu baadaye hakuenda kumwuguza.Aliendelea
kuugua kwa siku nyingi ila mpwa wake hakufika.Alimpigia simu lakini
hakushika na alipojaribu kumtumia mjumbe hakuamini macho yake kwani
Latifa alimkana mbele yake.
Kwa wazazi wake hakuonekana tena.Wavyele wake wakasononeka wasijue la
kufanya.Walihofia kuwa mwana wao alikuwa amepotea mjini.Mjomba aliugua
na mwishowe akakata roho bila ya kumwona mpwa wake.Latifa aliyapuzilia
mbali mazishi ya mjomba wake na kuendelea na kazi.
Pale kazini alijipiga kifua kwa wafanyakazi wenzake na hata mwajiri
wake.Kadri siku zilivyosonga ndivyo alivyozidi kuwabeza na kuwaona
waliokosa maana katika maisha yake.
| Lakini alikuwa tegemeo la pekee kwa nani | {
"text": [
"Wazazi"
]
} |
4831_swa | Asante ya punda
Latifa ni msichana mrembo sana.Kwa bahati nzuri aliweza kusoma hadi chuo
kikuu na akasomea udaktari.Latifa alikuwa wembe masomoni tokea anaanza
masomo yake katika shule ya msingi hadi kutamatisha elimu yake chuo
kikuu.Alibahatika kupata alama za kuridhisha ila hakubahatika kupata
kazi.Aliandika barua nyingi za kuomba kazi lakini hakuitwa kwa ajili ya
kutekeleza huduma yake katika hosipitali yeyote.Alikaa kwao mpaka wazo
la kuoelewa likamjia akilini.Alitaabika usiku kucha alipokuwa katika
kitanda chake cha msonge ambacho hakikulalika.Alikosa kabisa usingizi
kwa kuwa alikuwa na mambo mengi aliyoyafikiria akilini mwake.
Aliuliza Mungu maswali lakini hakupata majibu.Aliona Maulana alikuwa
amemtenga mbali.Polepole akakosa imani naye.Alifadhaiika sana na
kujiuliza kwa nini yeye mtoto wa watu apitie masaibu yale yote.Wakati
mwingine alihisi kalaaniwa au karongwa na wasiomtakia mema.Stakabadhi
zake zilikosa maana yoyote katika maisha yake.Ni mara ngapi ametaka
kuzitia moto? Suala hili la kuwa hakupata kazi licha ya kutimiza
majukumu yake chuoni lilimtoa machozi njia mbili ashindwe
kujizuia.Alipenda sana taaluma yake ya udaktari na alitaka awahudumie
wagonjwa ili kutosheleza azimio lake la kuokoa maisha.
Alitamani ajitegemee kama watu wengine wa umri wake.Wazazi wake walikuwa
wamekula chumvi nyingi na yeye pekee ndiye aliyekuwa tegemeo
lao.Alitamani sana moyoni mwake kwamba angeyabadilisha maisha yao na
kuwapa malezi bora hata zaidi ya alivyowalea yeye.Jambo hili
lingewezekana tu iwapo angepata pesa za kutosha lakini pale alipo hakuwa
hata na senti mfukoni mwake.Wavyele wake walijaribu kumwambia kwamba
ingekuwa bora iwapo angetafuta mtaji na kuanzisha biashara yake lakini
ni kama kwamba walikuwa wanapigia mbuzi gitaa.
Mjomba wake alikuja kuwatembelea wakati wa sherehe za mwaka mpya.Moyo
wake ulijawa na simanzi baada ya kusikia taabu ambazo alikuwa akipitia
Latifa licha ya kufuzu na hapohapo kukata shauri kumsaidia.Kumsaidia
Latifa kusingemwia vigumu kwa kuwa alikuwa mtu wa watu aliyejuana na
wengi wakiwema wakuu wa mahosipitali mbalimbali.Baada ya sikukuu kuisha,
mjomba alimwambia Latifa ajiandae ili aende naye mjini.Latifa alisita
kidogo kisha akafanya matayarisho na hatimaye wakaondoka.
Kule mjini Latifa alikaribishwa kwa mjomba wake na kutimiziwa mahitaji
yake yote.Hakunyanyaswa na mtu yeyote ila alipewa heshima
aliyostahili.Mjomba wake alimnunulia nguo ambazo angeendea kazini na za
kuvaa anapokuwa pale nyumbani.Isitoshe alihangaika huku na kule ili
ahakikishe kuwa mpwa wake angepata kazi na si kazi tu bali ya
udaktari.Hatimaye kazi ilipatikana na Latifa akajuzwa.Latifa alifurahi
sana kama tasa aliyejifungua mtoto.Akajiandaa vilivyo kwa ajili ya
kuanza kazi.Latifa alibadilika alipoanza kazi katika hosipitali moja.
Alianza kumwambaa mjomba wake na kumwona hafai kujua jinsi alivyokuwa
akiendelea.Alihama kwa mjomba bila taarifa na kujiendea zake.Kazini
alionekana akichapa kazi barabara ila hata kumjulia hali mjomba wake
hakuweza.Latifa aligeuka na kuwa hayawani asiyejali lolote wala
chochote.Alianza kujipenda yeye tu.Mjomba wake alipougua hakufahamu
lakini hata baada ya kufahamu baadaye hakuenda kumwuguza.Aliendelea
kuugua kwa siku nyingi ila mpwa wake hakufika.Alimpigia simu lakini
hakushika na alipojaribu kumtumia mjumbe hakuamini macho yake kwani
Latifa alimkana mbele yake.
Kwa wazazi wake hakuonekana tena.Wavyele wake wakasononeka wasijue la
kufanya.Walihofia kuwa mwana wao alikuwa amepotea mjini.Mjomba aliugua
na mwishowe akakata roho bila ya kumwona mpwa wake.Latifa aliyapuzilia
mbali mazishi ya mjomba wake na kuendelea na kazi.
Pale kazini alijipiga kifua kwa wafanyakazi wenzake na hata mwajiri
wake.Kadri siku zilivyosonga ndivyo alivyozidi kuwabeza na kuwaona
waliokosa maana katika maisha yake.
| Nani alikuja kuwatembelea wakati wa sherehe za mwaka mpya | {
"text": [
"Mjomba"
]
} |
4831_swa | Asante ya punda
Latifa ni msichana mrembo sana.Kwa bahati nzuri aliweza kusoma hadi chuo
kikuu na akasomea udaktari.Latifa alikuwa wembe masomoni tokea anaanza
masomo yake katika shule ya msingi hadi kutamatisha elimu yake chuo
kikuu.Alibahatika kupata alama za kuridhisha ila hakubahatika kupata
kazi.Aliandika barua nyingi za kuomba kazi lakini hakuitwa kwa ajili ya
kutekeleza huduma yake katika hosipitali yeyote.Alikaa kwao mpaka wazo
la kuoelewa likamjia akilini.Alitaabika usiku kucha alipokuwa katika
kitanda chake cha msonge ambacho hakikulalika.Alikosa kabisa usingizi
kwa kuwa alikuwa na mambo mengi aliyoyafikiria akilini mwake.
Aliuliza Mungu maswali lakini hakupata majibu.Aliona Maulana alikuwa
amemtenga mbali.Polepole akakosa imani naye.Alifadhaiika sana na
kujiuliza kwa nini yeye mtoto wa watu apitie masaibu yale yote.Wakati
mwingine alihisi kalaaniwa au karongwa na wasiomtakia mema.Stakabadhi
zake zilikosa maana yoyote katika maisha yake.Ni mara ngapi ametaka
kuzitia moto? Suala hili la kuwa hakupata kazi licha ya kutimiza
majukumu yake chuoni lilimtoa machozi njia mbili ashindwe
kujizuia.Alipenda sana taaluma yake ya udaktari na alitaka awahudumie
wagonjwa ili kutosheleza azimio lake la kuokoa maisha.
Alitamani ajitegemee kama watu wengine wa umri wake.Wazazi wake walikuwa
wamekula chumvi nyingi na yeye pekee ndiye aliyekuwa tegemeo
lao.Alitamani sana moyoni mwake kwamba angeyabadilisha maisha yao na
kuwapa malezi bora hata zaidi ya alivyowalea yeye.Jambo hili
lingewezekana tu iwapo angepata pesa za kutosha lakini pale alipo hakuwa
hata na senti mfukoni mwake.Wavyele wake walijaribu kumwambia kwamba
ingekuwa bora iwapo angetafuta mtaji na kuanzisha biashara yake lakini
ni kama kwamba walikuwa wanapigia mbuzi gitaa.
Mjomba wake alikuja kuwatembelea wakati wa sherehe za mwaka mpya.Moyo
wake ulijawa na simanzi baada ya kusikia taabu ambazo alikuwa akipitia
Latifa licha ya kufuzu na hapohapo kukata shauri kumsaidia.Kumsaidia
Latifa kusingemwia vigumu kwa kuwa alikuwa mtu wa watu aliyejuana na
wengi wakiwema wakuu wa mahosipitali mbalimbali.Baada ya sikukuu kuisha,
mjomba alimwambia Latifa ajiandae ili aende naye mjini.Latifa alisita
kidogo kisha akafanya matayarisho na hatimaye wakaondoka.
Kule mjini Latifa alikaribishwa kwa mjomba wake na kutimiziwa mahitaji
yake yote.Hakunyanyaswa na mtu yeyote ila alipewa heshima
aliyostahili.Mjomba wake alimnunulia nguo ambazo angeendea kazini na za
kuvaa anapokuwa pale nyumbani.Isitoshe alihangaika huku na kule ili
ahakikishe kuwa mpwa wake angepata kazi na si kazi tu bali ya
udaktari.Hatimaye kazi ilipatikana na Latifa akajuzwa.Latifa alifurahi
sana kama tasa aliyejifungua mtoto.Akajiandaa vilivyo kwa ajili ya
kuanza kazi.Latifa alibadilika alipoanza kazi katika hosipitali moja.
Alianza kumwambaa mjomba wake na kumwona hafai kujua jinsi alivyokuwa
akiendelea.Alihama kwa mjomba bila taarifa na kujiendea zake.Kazini
alionekana akichapa kazi barabara ila hata kumjulia hali mjomba wake
hakuweza.Latifa aligeuka na kuwa hayawani asiyejali lolote wala
chochote.Alianza kujipenda yeye tu.Mjomba wake alipougua hakufahamu
lakini hata baada ya kufahamu baadaye hakuenda kumwuguza.Aliendelea
kuugua kwa siku nyingi ila mpwa wake hakufika.Alimpigia simu lakini
hakushika na alipojaribu kumtumia mjumbe hakuamini macho yake kwani
Latifa alimkana mbele yake.
Kwa wazazi wake hakuonekana tena.Wavyele wake wakasononeka wasijue la
kufanya.Walihofia kuwa mwana wao alikuwa amepotea mjini.Mjomba aliugua
na mwishowe akakata roho bila ya kumwona mpwa wake.Latifa aliyapuzilia
mbali mazishi ya mjomba wake na kuendelea na kazi.
Pale kazini alijipiga kifua kwa wafanyakazi wenzake na hata mwajiri
wake.Kadri siku zilivyosonga ndivyo alivyozidi kuwabeza na kuwaona
waliokosa maana katika maisha yake.
| Latifa aligeuka na kuwa nini | {
"text": [
"Hayawani"
]
} |
4831_swa | Asante ya punda
Latifa ni msichana mrembo sana.Kwa bahati nzuri aliweza kusoma hadi chuo
kikuu na akasomea udaktari.Latifa alikuwa wembe masomoni tokea anaanza
masomo yake katika shule ya msingi hadi kutamatisha elimu yake chuo
kikuu.Alibahatika kupata alama za kuridhisha ila hakubahatika kupata
kazi.Aliandika barua nyingi za kuomba kazi lakini hakuitwa kwa ajili ya
kutekeleza huduma yake katika hosipitali yeyote.Alikaa kwao mpaka wazo
la kuoelewa likamjia akilini.Alitaabika usiku kucha alipokuwa katika
kitanda chake cha msonge ambacho hakikulalika.Alikosa kabisa usingizi
kwa kuwa alikuwa na mambo mengi aliyoyafikiria akilini mwake.
Aliuliza Mungu maswali lakini hakupata majibu.Aliona Maulana alikuwa
amemtenga mbali.Polepole akakosa imani naye.Alifadhaiika sana na
kujiuliza kwa nini yeye mtoto wa watu apitie masaibu yale yote.Wakati
mwingine alihisi kalaaniwa au karongwa na wasiomtakia mema.Stakabadhi
zake zilikosa maana yoyote katika maisha yake.Ni mara ngapi ametaka
kuzitia moto? Suala hili la kuwa hakupata kazi licha ya kutimiza
majukumu yake chuoni lilimtoa machozi njia mbili ashindwe
kujizuia.Alipenda sana taaluma yake ya udaktari na alitaka awahudumie
wagonjwa ili kutosheleza azimio lake la kuokoa maisha.
Alitamani ajitegemee kama watu wengine wa umri wake.Wazazi wake walikuwa
wamekula chumvi nyingi na yeye pekee ndiye aliyekuwa tegemeo
lao.Alitamani sana moyoni mwake kwamba angeyabadilisha maisha yao na
kuwapa malezi bora hata zaidi ya alivyowalea yeye.Jambo hili
lingewezekana tu iwapo angepata pesa za kutosha lakini pale alipo hakuwa
hata na senti mfukoni mwake.Wavyele wake walijaribu kumwambia kwamba
ingekuwa bora iwapo angetafuta mtaji na kuanzisha biashara yake lakini
ni kama kwamba walikuwa wanapigia mbuzi gitaa.
Mjomba wake alikuja kuwatembelea wakati wa sherehe za mwaka mpya.Moyo
wake ulijawa na simanzi baada ya kusikia taabu ambazo alikuwa akipitia
Latifa licha ya kufuzu na hapohapo kukata shauri kumsaidia.Kumsaidia
Latifa kusingemwia vigumu kwa kuwa alikuwa mtu wa watu aliyejuana na
wengi wakiwema wakuu wa mahosipitali mbalimbali.Baada ya sikukuu kuisha,
mjomba alimwambia Latifa ajiandae ili aende naye mjini.Latifa alisita
kidogo kisha akafanya matayarisho na hatimaye wakaondoka.
Kule mjini Latifa alikaribishwa kwa mjomba wake na kutimiziwa mahitaji
yake yote.Hakunyanyaswa na mtu yeyote ila alipewa heshima
aliyostahili.Mjomba wake alimnunulia nguo ambazo angeendea kazini na za
kuvaa anapokuwa pale nyumbani.Isitoshe alihangaika huku na kule ili
ahakikishe kuwa mpwa wake angepata kazi na si kazi tu bali ya
udaktari.Hatimaye kazi ilipatikana na Latifa akajuzwa.Latifa alifurahi
sana kama tasa aliyejifungua mtoto.Akajiandaa vilivyo kwa ajili ya
kuanza kazi.Latifa alibadilika alipoanza kazi katika hosipitali moja.
Alianza kumwambaa mjomba wake na kumwona hafai kujua jinsi alivyokuwa
akiendelea.Alihama kwa mjomba bila taarifa na kujiendea zake.Kazini
alionekana akichapa kazi barabara ila hata kumjulia hali mjomba wake
hakuweza.Latifa aligeuka na kuwa hayawani asiyejali lolote wala
chochote.Alianza kujipenda yeye tu.Mjomba wake alipougua hakufahamu
lakini hata baada ya kufahamu baadaye hakuenda kumwuguza.Aliendelea
kuugua kwa siku nyingi ila mpwa wake hakufika.Alimpigia simu lakini
hakushika na alipojaribu kumtumia mjumbe hakuamini macho yake kwani
Latifa alimkana mbele yake.
Kwa wazazi wake hakuonekana tena.Wavyele wake wakasononeka wasijue la
kufanya.Walihofia kuwa mwana wao alikuwa amepotea mjini.Mjomba aliugua
na mwishowe akakata roho bila ya kumwona mpwa wake.Latifa aliyapuzilia
mbali mazishi ya mjomba wake na kuendelea na kazi.
Pale kazini alijipiga kifua kwa wafanyakazi wenzake na hata mwajiri
wake.Kadri siku zilivyosonga ndivyo alivyozidi kuwabeza na kuwaona
waliokosa maana katika maisha yake.
| Kwa nini wavyele wake walisononeka wasijue la kufanya. | {
"text": [
"Latifa hakuenda kuwajulia hali"
]
} |
4832_swa | Changu ni changu
Changu alikuwa mmiliki wa kampuni iliyojulikana kwa jina
Milestone.Fununu zinaeleza kuwa jina hili linatokana na kwamba kampuni
ilimchukua miaka kuisimamisha mpaka pale ilipofikia sasa.Anapofikiria
kuhusiana na kampuni yake hujivunia kwa hakika.Yeye hupenda kuitembelea
kampuni yake mara kwa mara na kutazama jinsi mambo
yanavyoendelea.Hupenda kusikia habari njema zikienea kuhusiana na
kampuni yake aliyoijenga kwa mikono yake mwenyewe.
Yeyote anatambulika kuwa na uzembe katika kazi hupigwa kalamu mara
moja.Yeye huuza bidhaa kadha wa kadha.Ameshirikiana na watu wengi
waliobobea katika biashara ili kujiimarisha zaidi.Thomas amekuwa hazidi
wake tangu aanzishe kampuni hii.Alitaka kumpoka umiliki wa kampuni hii
lakini aliyokutana NATO yalimnyoosha.Changu hana mchezo wakati mada kuu
inayozungumziwa inahusu mali zake.Huweza kughadhabika na kuchukua uamuzi
wa kujutia baadaye.
Hapa nilipo nakumbuka kisa chake na Thomas.Walikutana katika uwanja wa
kibiashara lakini kumbe Thomas alimwonea mwenzake kijicho.Alitaka
apaliwe sifa kama alivyopaliwa Changu akajisahau na kuanza kujenga ukuta
kati yake na Changu.Changu alikasirika pindi tu alipojua kuhusiana na
wivu wa Thomas kwake.Akamwona adui badala ya rafiki.Akamwambaa
nakujitenga naye.Mambo yalienda segemnege baada ya kugundua eti Thomas
alikuwa anafanya juu chini ili kumpokonya kampuni yake.
Aliapa kupigana naye hadi kufa kwake.Kwanza kabisa alisusia uhusiano
wake wa kikazi naye.Vilevile alikataa kumshirikisha tena katika mambo
yaliyohusu masuala ya kampuni yake.Inasemekana kuwa Thomas aliamua
kufanya hivi Kwa kuwa alikuwa na pesa nyingi Ila mwenzake ambaye ni
Changu aliamua kuifuata sheria barabara.Hakuwa tajiri wa kutajika ila
alikuwa akitambulika hata na watu katika serikali. Alikusanya stakabadhi
zake muhimu ambazo ndizo zilizothibitisha kuwa yeye ndiye aliyekuwa
mmiliki halisi wa Milestone.
Changu aliamua kumfungulia mashtaka Thomas kwa madai ya kutaka kumpoka
mali yake.Hakuishia hapo tu bali alitafuta wakili ambaye aliaminika
katika kutetea haki za wanyonge kama yeye na kumpa kazi ya kumtetea yeye
pindi tu wanapokuwa kortini.Baada ya kumfungulia mashtaka Thomas
alikamatwa mara moja kwani tayari alikuwa mbioni kuhakikisha kwamba
Changu anatoweka duniani.Alijaribu kulipaka jina lake tope lakini
hakufua dafu maana wengi wa waliomjua hawakuamini tetesi hizo.Mbali na
hayo aliwachochea wafanyakazi wa Changu kugoma huku wakilalamikia
mishahara yao duni lakini hawakufanya hivyo badala yake wakamwambia
mwajiri wao ukweli mtupu kuhusiana na hila za Thomas.
Kuna wakati ambao aliwatuma wahuni kwenda kummaliza afilie mbali lakini
badala yake alipokea habari za tanzia baada ya hao kuuwawa na askari wa
Changu muda waliomvamia."Changu ni Changu hata iweje kitabaki
changu."alijiambia Changu.Aliendelea kusema kuwa jina lake halijakoseka
popote kwani linadhihirisha sifa yake ya kuweza kung'ang'ania kila
kilicho chake.
| Changu alikuwa mmiliki wa kampuni iliyojulikana aje | {
"text": [
"Milestone"
]
} |
4832_swa | Changu ni changu
Changu alikuwa mmiliki wa kampuni iliyojulikana kwa jina
Milestone.Fununu zinaeleza kuwa jina hili linatokana na kwamba kampuni
ilimchukua miaka kuisimamisha mpaka pale ilipofikia sasa.Anapofikiria
kuhusiana na kampuni yake hujivunia kwa hakika.Yeye hupenda kuitembelea
kampuni yake mara kwa mara na kutazama jinsi mambo
yanavyoendelea.Hupenda kusikia habari njema zikienea kuhusiana na
kampuni yake aliyoijenga kwa mikono yake mwenyewe.
Yeyote anatambulika kuwa na uzembe katika kazi hupigwa kalamu mara
moja.Yeye huuza bidhaa kadha wa kadha.Ameshirikiana na watu wengi
waliobobea katika biashara ili kujiimarisha zaidi.Thomas amekuwa hazidi
wake tangu aanzishe kampuni hii.Alitaka kumpoka umiliki wa kampuni hii
lakini aliyokutana NATO yalimnyoosha.Changu hana mchezo wakati mada kuu
inayozungumziwa inahusu mali zake.Huweza kughadhabika na kuchukua uamuzi
wa kujutia baadaye.
Hapa nilipo nakumbuka kisa chake na Thomas.Walikutana katika uwanja wa
kibiashara lakini kumbe Thomas alimwonea mwenzake kijicho.Alitaka
apaliwe sifa kama alivyopaliwa Changu akajisahau na kuanza kujenga ukuta
kati yake na Changu.Changu alikasirika pindi tu alipojua kuhusiana na
wivu wa Thomas kwake.Akamwona adui badala ya rafiki.Akamwambaa
nakujitenga naye.Mambo yalienda segemnege baada ya kugundua eti Thomas
alikuwa anafanya juu chini ili kumpokonya kampuni yake.
Aliapa kupigana naye hadi kufa kwake.Kwanza kabisa alisusia uhusiano
wake wa kikazi naye.Vilevile alikataa kumshirikisha tena katika mambo
yaliyohusu masuala ya kampuni yake.Inasemekana kuwa Thomas aliamua
kufanya hivi Kwa kuwa alikuwa na pesa nyingi Ila mwenzake ambaye ni
Changu aliamua kuifuata sheria barabara.Hakuwa tajiri wa kutajika ila
alikuwa akitambulika hata na watu katika serikali. Alikusanya stakabadhi
zake muhimu ambazo ndizo zilizothibitisha kuwa yeye ndiye aliyekuwa
mmiliki halisi wa Milestone.
Changu aliamua kumfungulia mashtaka Thomas kwa madai ya kutaka kumpoka
mali yake.Hakuishia hapo tu bali alitafuta wakili ambaye aliaminika
katika kutetea haki za wanyonge kama yeye na kumpa kazi ya kumtetea yeye
pindi tu wanapokuwa kortini.Baada ya kumfungulia mashtaka Thomas
alikamatwa mara moja kwani tayari alikuwa mbioni kuhakikisha kwamba
Changu anatoweka duniani.Alijaribu kulipaka jina lake tope lakini
hakufua dafu maana wengi wa waliomjua hawakuamini tetesi hizo.Mbali na
hayo aliwachochea wafanyakazi wa Changu kugoma huku wakilalamikia
mishahara yao duni lakini hawakufanya hivyo badala yake wakamwambia
mwajiri wao ukweli mtupu kuhusiana na hila za Thomas.
Kuna wakati ambao aliwatuma wahuni kwenda kummaliza afilie mbali lakini
badala yake alipokea habari za tanzia baada ya hao kuuwawa na askari wa
Changu muda waliomvamia."Changu ni Changu hata iweje kitabaki
changu."alijiambia Changu.Aliendelea kusema kuwa jina lake halijakoseka
popote kwani linadhihirisha sifa yake ya kuweza kung'ang'ania kila
kilicho chake.
| Nani amekuwa hasidi wake tangu aanzishe kampuni hiyo | {
"text": [
"Thomas"
]
} |
4832_swa | Changu ni changu
Changu alikuwa mmiliki wa kampuni iliyojulikana kwa jina
Milestone.Fununu zinaeleza kuwa jina hili linatokana na kwamba kampuni
ilimchukua miaka kuisimamisha mpaka pale ilipofikia sasa.Anapofikiria
kuhusiana na kampuni yake hujivunia kwa hakika.Yeye hupenda kuitembelea
kampuni yake mara kwa mara na kutazama jinsi mambo
yanavyoendelea.Hupenda kusikia habari njema zikienea kuhusiana na
kampuni yake aliyoijenga kwa mikono yake mwenyewe.
Yeyote anatambulika kuwa na uzembe katika kazi hupigwa kalamu mara
moja.Yeye huuza bidhaa kadha wa kadha.Ameshirikiana na watu wengi
waliobobea katika biashara ili kujiimarisha zaidi.Thomas amekuwa hazidi
wake tangu aanzishe kampuni hii.Alitaka kumpoka umiliki wa kampuni hii
lakini aliyokutana NATO yalimnyoosha.Changu hana mchezo wakati mada kuu
inayozungumziwa inahusu mali zake.Huweza kughadhabika na kuchukua uamuzi
wa kujutia baadaye.
Hapa nilipo nakumbuka kisa chake na Thomas.Walikutana katika uwanja wa
kibiashara lakini kumbe Thomas alimwonea mwenzake kijicho.Alitaka
apaliwe sifa kama alivyopaliwa Changu akajisahau na kuanza kujenga ukuta
kati yake na Changu.Changu alikasirika pindi tu alipojua kuhusiana na
wivu wa Thomas kwake.Akamwona adui badala ya rafiki.Akamwambaa
nakujitenga naye.Mambo yalienda segemnege baada ya kugundua eti Thomas
alikuwa anafanya juu chini ili kumpokonya kampuni yake.
Aliapa kupigana naye hadi kufa kwake.Kwanza kabisa alisusia uhusiano
wake wa kikazi naye.Vilevile alikataa kumshirikisha tena katika mambo
yaliyohusu masuala ya kampuni yake.Inasemekana kuwa Thomas aliamua
kufanya hivi Kwa kuwa alikuwa na pesa nyingi Ila mwenzake ambaye ni
Changu aliamua kuifuata sheria barabara.Hakuwa tajiri wa kutajika ila
alikuwa akitambulika hata na watu katika serikali. Alikusanya stakabadhi
zake muhimu ambazo ndizo zilizothibitisha kuwa yeye ndiye aliyekuwa
mmiliki halisi wa Milestone.
Changu aliamua kumfungulia mashtaka Thomas kwa madai ya kutaka kumpoka
mali yake.Hakuishia hapo tu bali alitafuta wakili ambaye aliaminika
katika kutetea haki za wanyonge kama yeye na kumpa kazi ya kumtetea yeye
pindi tu wanapokuwa kortini.Baada ya kumfungulia mashtaka Thomas
alikamatwa mara moja kwani tayari alikuwa mbioni kuhakikisha kwamba
Changu anatoweka duniani.Alijaribu kulipaka jina lake tope lakini
hakufua dafu maana wengi wa waliomjua hawakuamini tetesi hizo.Mbali na
hayo aliwachochea wafanyakazi wa Changu kugoma huku wakilalamikia
mishahara yao duni lakini hawakufanya hivyo badala yake wakamwambia
mwajiri wao ukweli mtupu kuhusiana na hila za Thomas.
Kuna wakati ambao aliwatuma wahuni kwenda kummaliza afilie mbali lakini
badala yake alipokea habari za tanzia baada ya hao kuuwawa na askari wa
Changu muda waliomvamia."Changu ni Changu hata iweje kitabaki
changu."alijiambia Changu.Aliendelea kusema kuwa jina lake halijakoseka
popote kwani linadhihirisha sifa yake ya kuweza kung'ang'ania kila
kilicho chake.
| Changu aliamua kumfungulia nini Thomas | {
"text": [
"Mashtaka"
]
} |
4832_swa | Changu ni changu
Changu alikuwa mmiliki wa kampuni iliyojulikana kwa jina
Milestone.Fununu zinaeleza kuwa jina hili linatokana na kwamba kampuni
ilimchukua miaka kuisimamisha mpaka pale ilipofikia sasa.Anapofikiria
kuhusiana na kampuni yake hujivunia kwa hakika.Yeye hupenda kuitembelea
kampuni yake mara kwa mara na kutazama jinsi mambo
yanavyoendelea.Hupenda kusikia habari njema zikienea kuhusiana na
kampuni yake aliyoijenga kwa mikono yake mwenyewe.
Yeyote anatambulika kuwa na uzembe katika kazi hupigwa kalamu mara
moja.Yeye huuza bidhaa kadha wa kadha.Ameshirikiana na watu wengi
waliobobea katika biashara ili kujiimarisha zaidi.Thomas amekuwa hazidi
wake tangu aanzishe kampuni hii.Alitaka kumpoka umiliki wa kampuni hii
lakini aliyokutana NATO yalimnyoosha.Changu hana mchezo wakati mada kuu
inayozungumziwa inahusu mali zake.Huweza kughadhabika na kuchukua uamuzi
wa kujutia baadaye.
Hapa nilipo nakumbuka kisa chake na Thomas.Walikutana katika uwanja wa
kibiashara lakini kumbe Thomas alimwonea mwenzake kijicho.Alitaka
apaliwe sifa kama alivyopaliwa Changu akajisahau na kuanza kujenga ukuta
kati yake na Changu.Changu alikasirika pindi tu alipojua kuhusiana na
wivu wa Thomas kwake.Akamwona adui badala ya rafiki.Akamwambaa
nakujitenga naye.Mambo yalienda segemnege baada ya kugundua eti Thomas
alikuwa anafanya juu chini ili kumpokonya kampuni yake.
Aliapa kupigana naye hadi kufa kwake.Kwanza kabisa alisusia uhusiano
wake wa kikazi naye.Vilevile alikataa kumshirikisha tena katika mambo
yaliyohusu masuala ya kampuni yake.Inasemekana kuwa Thomas aliamua
kufanya hivi Kwa kuwa alikuwa na pesa nyingi Ila mwenzake ambaye ni
Changu aliamua kuifuata sheria barabara.Hakuwa tajiri wa kutajika ila
alikuwa akitambulika hata na watu katika serikali. Alikusanya stakabadhi
zake muhimu ambazo ndizo zilizothibitisha kuwa yeye ndiye aliyekuwa
mmiliki halisi wa Milestone.
Changu aliamua kumfungulia mashtaka Thomas kwa madai ya kutaka kumpoka
mali yake.Hakuishia hapo tu bali alitafuta wakili ambaye aliaminika
katika kutetea haki za wanyonge kama yeye na kumpa kazi ya kumtetea yeye
pindi tu wanapokuwa kortini.Baada ya kumfungulia mashtaka Thomas
alikamatwa mara moja kwani tayari alikuwa mbioni kuhakikisha kwamba
Changu anatoweka duniani.Alijaribu kulipaka jina lake tope lakini
hakufua dafu maana wengi wa waliomjua hawakuamini tetesi hizo.Mbali na
hayo aliwachochea wafanyakazi wa Changu kugoma huku wakilalamikia
mishahara yao duni lakini hawakufanya hivyo badala yake wakamwambia
mwajiri wao ukweli mtupu kuhusiana na hila za Thomas.
Kuna wakati ambao aliwatuma wahuni kwenda kummaliza afilie mbali lakini
badala yake alipokea habari za tanzia baada ya hao kuuwawa na askari wa
Changu muda waliomvamia."Changu ni Changu hata iweje kitabaki
changu."alijiambia Changu.Aliendelea kusema kuwa jina lake halijakoseka
popote kwani linadhihirisha sifa yake ya kuweza kung'ang'ania kila
kilicho chake.
| Thomas aliwachochea wafanyikazi wa changu kufanya nini | {
"text": [
"Kugoma"
]
} |
4832_swa | Changu ni changu
Changu alikuwa mmiliki wa kampuni iliyojulikana kwa jina
Milestone.Fununu zinaeleza kuwa jina hili linatokana na kwamba kampuni
ilimchukua miaka kuisimamisha mpaka pale ilipofikia sasa.Anapofikiria
kuhusiana na kampuni yake hujivunia kwa hakika.Yeye hupenda kuitembelea
kampuni yake mara kwa mara na kutazama jinsi mambo
yanavyoendelea.Hupenda kusikia habari njema zikienea kuhusiana na
kampuni yake aliyoijenga kwa mikono yake mwenyewe.
Yeyote anatambulika kuwa na uzembe katika kazi hupigwa kalamu mara
moja.Yeye huuza bidhaa kadha wa kadha.Ameshirikiana na watu wengi
waliobobea katika biashara ili kujiimarisha zaidi.Thomas amekuwa hazidi
wake tangu aanzishe kampuni hii.Alitaka kumpoka umiliki wa kampuni hii
lakini aliyokutana NATO yalimnyoosha.Changu hana mchezo wakati mada kuu
inayozungumziwa inahusu mali zake.Huweza kughadhabika na kuchukua uamuzi
wa kujutia baadaye.
Hapa nilipo nakumbuka kisa chake na Thomas.Walikutana katika uwanja wa
kibiashara lakini kumbe Thomas alimwonea mwenzake kijicho.Alitaka
apaliwe sifa kama alivyopaliwa Changu akajisahau na kuanza kujenga ukuta
kati yake na Changu.Changu alikasirika pindi tu alipojua kuhusiana na
wivu wa Thomas kwake.Akamwona adui badala ya rafiki.Akamwambaa
nakujitenga naye.Mambo yalienda segemnege baada ya kugundua eti Thomas
alikuwa anafanya juu chini ili kumpokonya kampuni yake.
Aliapa kupigana naye hadi kufa kwake.Kwanza kabisa alisusia uhusiano
wake wa kikazi naye.Vilevile alikataa kumshirikisha tena katika mambo
yaliyohusu masuala ya kampuni yake.Inasemekana kuwa Thomas aliamua
kufanya hivi Kwa kuwa alikuwa na pesa nyingi Ila mwenzake ambaye ni
Changu aliamua kuifuata sheria barabara.Hakuwa tajiri wa kutajika ila
alikuwa akitambulika hata na watu katika serikali. Alikusanya stakabadhi
zake muhimu ambazo ndizo zilizothibitisha kuwa yeye ndiye aliyekuwa
mmiliki halisi wa Milestone.
Changu aliamua kumfungulia mashtaka Thomas kwa madai ya kutaka kumpoka
mali yake.Hakuishia hapo tu bali alitafuta wakili ambaye aliaminika
katika kutetea haki za wanyonge kama yeye na kumpa kazi ya kumtetea yeye
pindi tu wanapokuwa kortini.Baada ya kumfungulia mashtaka Thomas
alikamatwa mara moja kwani tayari alikuwa mbioni kuhakikisha kwamba
Changu anatoweka duniani.Alijaribu kulipaka jina lake tope lakini
hakufua dafu maana wengi wa waliomjua hawakuamini tetesi hizo.Mbali na
hayo aliwachochea wafanyakazi wa Changu kugoma huku wakilalamikia
mishahara yao duni lakini hawakufanya hivyo badala yake wakamwambia
mwajiri wao ukweli mtupu kuhusiana na hila za Thomas.
Kuna wakati ambao aliwatuma wahuni kwenda kummaliza afilie mbali lakini
badala yake alipokea habari za tanzia baada ya hao kuuwawa na askari wa
Changu muda waliomvamia."Changu ni Changu hata iweje kitabaki
changu."alijiambia Changu.Aliendelea kusema kuwa jina lake halijakoseka
popote kwani linadhihirisha sifa yake ya kuweza kung'ang'ania kila
kilicho chake.
| Kwa nini wahuni waliaga | {
"text": [
"Waliuliwa na askari wa Changu"
]
} |
4833_swa | Mke wa mtu sumu
Mwanaume hupitia masaibu kabla apate jiko yaani aowe mke hasa
anayempenda.Kwanza kabisa humtafuta na anapompata hujitayarisha namna
ataweza kumpata.Ijapokuwa usemi huhitajika bado lazima
ajipange.Anapofanikiwa kumpata banati aliyemwenzi hulazimika kumpa muda
wake ili uchumba usivunjike.Ndoa inapokaribia hulazimika kwenda kuwaona
wazazi wa yule msichana aliyemchagua awe mke wake.Hugharamika kifedha si
haba.Hutoa mahari na hatimaye hupata mke.
Suala hili halikuwa tofauti sana na la John ambaye alilazimika kutoka
ng'ambo na kujishusha hadhi ili ampate Mary mwanamke aliyebarikiwa kwa
kila hali.Si urembo,akili bali pia tabia.John hujiona amekamilika
anapokuwa karibu naye.Kwa sasa yuko jela Kwa kosa la kumtoa mtu
uhai.Sababu kuu ni kuwa mtu yule alikuwa tishio Kwa mke wake.Marehemu
alikuwa ameapa kumwangamiza mke wake eti kwa sababu yeye John alikuwa
ameshindwa kumlipa deni lake la elfu hamsini.
Akiikumbuka siku yenyewe taswira inamjia akilini.Marehemu alikuwa
mwandani wake John ila urafiki wao uliingia doa baada ya rafiki yake
kuchoka kumdai.Ukweli ni kwamba hakuwa ameshindwa kulipa deni hilo bali
alihitaji muda zaidi ili aweze kutimiza hilo.Marehemu alikuwa amemdai
Kwa takriban miaka miwili na hivyo alikuwa amechoshwa na kuchushwa na
ngojangoja za John zisizo zaa matunda.
Inasemekana yeye ndiye aliyemfuata John nyumbani mwake na kuzua
vurugu.Siku hiyo alifika akiwa mwingi wa hasira na kuanza kumwita John
akiwa mbali kidogo na nyumba yake.Mke wa John ndiye aliyesikia kelele
hizo na hivyo akamjuza mume wake na wote wakatoka nje.Walipotoka tayari
Simon alikuwa amefika."John nilipe pesa zangu leo la sivyo damu
itamwagika."Simon alitamka.
Rabsha ilizidi baada ya mke wa John kujaribu kuingilia kati na kuchapwa
kibao kilichomwangusha chini.John alimkimbilia mke wake na kumwinua
kisha akamgeukia rafiki yake huku amepandwa na za kwao."Aliyekupa ruhusa
ya kumpiga mke wangu kibao ni nani hasa?"John akamuuliza Simon.Simon
hakumjibu bali aliendelea kutoka cheche za matusi pasi kupima maneno
yake.John alikasirika hata zaidi na kumwamrisha atoke kwake ila hakutaka
kuondoka bila pesa zake mkononi.
Mambo yalipozidi unga,walianza kupigana miereka huku John akidhamiria
kumfukuza naye Simon kumwangamiza.Mke wa John alishangazwa na mambo
yaliyokuwa yakijiri asiamini macho yake.Ghafla bin vuu Simon alitoa
bastola na kurusha risasi angani na hapa ndipo John alifahamu mambo sasa
yalikuwa yamegeuka na asipotahadhari atajipata matatani.Baada ya milio
mingi ya risasi angani,Simon alimnyakua Mary tayari kumfwatulia risasi
kichwani huku akimwambia John kwamba angekula jeuri lake kwani
angemwangamiza mke wake mara moja kabla kummaliza yeye.
John alipoona hali si hali aliamua kunyenyekea ila unyenyekevu wake
haukuwa lolote wala chochote kwa Simon.Alizidi kumkosesha pumzi Mary kwa
kumfinya shingo.Punde si punde John alichukua jiwe na kumlenga kipajini
Simon akaanguka chini pu na kumwachilia Mary."Are you okey?"Aliuliza
John.John hakutosheka na jiwe alilomlenga Simon kipajini lakini baada ya
kumwona ameanguka alichukua bastola na kumfyatulia risasi kifuani Mara
saba.
Akili zilipomrudi aligundua kwamba alikuwa amemuua rafiki yake wa siku
nyingi ila husema hakujutia kwa sababu aliweza kumlinda mke wake.Kwa
sasa yu jela akisubiri hukumu yake japo anajua ni kifo bado hashtuki ila
hujiambia atakufa akifufuka ili kuhakikisha kwamba mke wake hadhuriki
kutokana na kitu au mtu yeyote.
| Mwanaume hupata masaibu kabla apate nini | {
"text": [
"mke"
]
} |
4833_swa | Mke wa mtu sumu
Mwanaume hupitia masaibu kabla apate jiko yaani aowe mke hasa
anayempenda.Kwanza kabisa humtafuta na anapompata hujitayarisha namna
ataweza kumpata.Ijapokuwa usemi huhitajika bado lazima
ajipange.Anapofanikiwa kumpata banati aliyemwenzi hulazimika kumpa muda
wake ili uchumba usivunjike.Ndoa inapokaribia hulazimika kwenda kuwaona
wazazi wa yule msichana aliyemchagua awe mke wake.Hugharamika kifedha si
haba.Hutoa mahari na hatimaye hupata mke.
Suala hili halikuwa tofauti sana na la John ambaye alilazimika kutoka
ng'ambo na kujishusha hadhi ili ampate Mary mwanamke aliyebarikiwa kwa
kila hali.Si urembo,akili bali pia tabia.John hujiona amekamilika
anapokuwa karibu naye.Kwa sasa yuko jela Kwa kosa la kumtoa mtu
uhai.Sababu kuu ni kuwa mtu yule alikuwa tishio Kwa mke wake.Marehemu
alikuwa ameapa kumwangamiza mke wake eti kwa sababu yeye John alikuwa
ameshindwa kumlipa deni lake la elfu hamsini.
Akiikumbuka siku yenyewe taswira inamjia akilini.Marehemu alikuwa
mwandani wake John ila urafiki wao uliingia doa baada ya rafiki yake
kuchoka kumdai.Ukweli ni kwamba hakuwa ameshindwa kulipa deni hilo bali
alihitaji muda zaidi ili aweze kutimiza hilo.Marehemu alikuwa amemdai
Kwa takriban miaka miwili na hivyo alikuwa amechoshwa na kuchushwa na
ngojangoja za John zisizo zaa matunda.
Inasemekana yeye ndiye aliyemfuata John nyumbani mwake na kuzua
vurugu.Siku hiyo alifika akiwa mwingi wa hasira na kuanza kumwita John
akiwa mbali kidogo na nyumba yake.Mke wa John ndiye aliyesikia kelele
hizo na hivyo akamjuza mume wake na wote wakatoka nje.Walipotoka tayari
Simon alikuwa amefika."John nilipe pesa zangu leo la sivyo damu
itamwagika."Simon alitamka.
Rabsha ilizidi baada ya mke wa John kujaribu kuingilia kati na kuchapwa
kibao kilichomwangusha chini.John alimkimbilia mke wake na kumwinua
kisha akamgeukia rafiki yake huku amepandwa na za kwao."Aliyekupa ruhusa
ya kumpiga mke wangu kibao ni nani hasa?"John akamuuliza Simon.Simon
hakumjibu bali aliendelea kutoka cheche za matusi pasi kupima maneno
yake.John alikasirika hata zaidi na kumwamrisha atoke kwake ila hakutaka
kuondoka bila pesa zake mkononi.
Mambo yalipozidi unga,walianza kupigana miereka huku John akidhamiria
kumfukuza naye Simon kumwangamiza.Mke wa John alishangazwa na mambo
yaliyokuwa yakijiri asiamini macho yake.Ghafla bin vuu Simon alitoa
bastola na kurusha risasi angani na hapa ndipo John alifahamu mambo sasa
yalikuwa yamegeuka na asipotahadhari atajipata matatani.Baada ya milio
mingi ya risasi angani,Simon alimnyakua Mary tayari kumfwatulia risasi
kichwani huku akimwambia John kwamba angekula jeuri lake kwani
angemwangamiza mke wake mara moja kabla kummaliza yeye.
John alipoona hali si hali aliamua kunyenyekea ila unyenyekevu wake
haukuwa lolote wala chochote kwa Simon.Alizidi kumkosesha pumzi Mary kwa
kumfinya shingo.Punde si punde John alichukua jiwe na kumlenga kipajini
Simon akaanguka chini pu na kumwachilia Mary."Are you okey?"Aliuliza
John.John hakutosheka na jiwe alilomlenga Simon kipajini lakini baada ya
kumwona ameanguka alichukua bastola na kumfyatulia risasi kifuani Mara
saba.
Akili zilipomrudi aligundua kwamba alikuwa amemuua rafiki yake wa siku
nyingi ila husema hakujutia kwa sababu aliweza kumlinda mke wake.Kwa
sasa yu jela akisubiri hukumu yake japo anajua ni kifo bado hashtuki ila
hujiambia atakufa akifufuka ili kuhakikisha kwamba mke wake hadhuriki
kutokana na kitu au mtu yeyote.
| Nani alilazimika kutoka ngambo ili apate mwanamke | {
"text": [
"John"
]
} |
4833_swa | Mke wa mtu sumu
Mwanaume hupitia masaibu kabla apate jiko yaani aowe mke hasa
anayempenda.Kwanza kabisa humtafuta na anapompata hujitayarisha namna
ataweza kumpata.Ijapokuwa usemi huhitajika bado lazima
ajipange.Anapofanikiwa kumpata banati aliyemwenzi hulazimika kumpa muda
wake ili uchumba usivunjike.Ndoa inapokaribia hulazimika kwenda kuwaona
wazazi wa yule msichana aliyemchagua awe mke wake.Hugharamika kifedha si
haba.Hutoa mahari na hatimaye hupata mke.
Suala hili halikuwa tofauti sana na la John ambaye alilazimika kutoka
ng'ambo na kujishusha hadhi ili ampate Mary mwanamke aliyebarikiwa kwa
kila hali.Si urembo,akili bali pia tabia.John hujiona amekamilika
anapokuwa karibu naye.Kwa sasa yuko jela Kwa kosa la kumtoa mtu
uhai.Sababu kuu ni kuwa mtu yule alikuwa tishio Kwa mke wake.Marehemu
alikuwa ameapa kumwangamiza mke wake eti kwa sababu yeye John alikuwa
ameshindwa kumlipa deni lake la elfu hamsini.
Akiikumbuka siku yenyewe taswira inamjia akilini.Marehemu alikuwa
mwandani wake John ila urafiki wao uliingia doa baada ya rafiki yake
kuchoka kumdai.Ukweli ni kwamba hakuwa ameshindwa kulipa deni hilo bali
alihitaji muda zaidi ili aweze kutimiza hilo.Marehemu alikuwa amemdai
Kwa takriban miaka miwili na hivyo alikuwa amechoshwa na kuchushwa na
ngojangoja za John zisizo zaa matunda.
Inasemekana yeye ndiye aliyemfuata John nyumbani mwake na kuzua
vurugu.Siku hiyo alifika akiwa mwingi wa hasira na kuanza kumwita John
akiwa mbali kidogo na nyumba yake.Mke wa John ndiye aliyesikia kelele
hizo na hivyo akamjuza mume wake na wote wakatoka nje.Walipotoka tayari
Simon alikuwa amefika."John nilipe pesa zangu leo la sivyo damu
itamwagika."Simon alitamka.
Rabsha ilizidi baada ya mke wa John kujaribu kuingilia kati na kuchapwa
kibao kilichomwangusha chini.John alimkimbilia mke wake na kumwinua
kisha akamgeukia rafiki yake huku amepandwa na za kwao."Aliyekupa ruhusa
ya kumpiga mke wangu kibao ni nani hasa?"John akamuuliza Simon.Simon
hakumjibu bali aliendelea kutoka cheche za matusi pasi kupima maneno
yake.John alikasirika hata zaidi na kumwamrisha atoke kwake ila hakutaka
kuondoka bila pesa zake mkononi.
Mambo yalipozidi unga,walianza kupigana miereka huku John akidhamiria
kumfukuza naye Simon kumwangamiza.Mke wa John alishangazwa na mambo
yaliyokuwa yakijiri asiamini macho yake.Ghafla bin vuu Simon alitoa
bastola na kurusha risasi angani na hapa ndipo John alifahamu mambo sasa
yalikuwa yamegeuka na asipotahadhari atajipata matatani.Baada ya milio
mingi ya risasi angani,Simon alimnyakua Mary tayari kumfwatulia risasi
kichwani huku akimwambia John kwamba angekula jeuri lake kwani
angemwangamiza mke wake mara moja kabla kummaliza yeye.
John alipoona hali si hali aliamua kunyenyekea ila unyenyekevu wake
haukuwa lolote wala chochote kwa Simon.Alizidi kumkosesha pumzi Mary kwa
kumfinya shingo.Punde si punde John alichukua jiwe na kumlenga kipajini
Simon akaanguka chini pu na kumwachilia Mary."Are you okey?"Aliuliza
John.John hakutosheka na jiwe alilomlenga Simon kipajini lakini baada ya
kumwona ameanguka alichukua bastola na kumfyatulia risasi kifuani Mara
saba.
Akili zilipomrudi aligundua kwamba alikuwa amemuua rafiki yake wa siku
nyingi ila husema hakujutia kwa sababu aliweza kumlinda mke wake.Kwa
sasa yu jela akisubiri hukumu yake japo anajua ni kifo bado hashtuki ila
hujiambia atakufa akifufuka ili kuhakikisha kwamba mke wake hadhuriki
kutokana na kitu au mtu yeyote.
| Urafiki baina ya John na Simon uliingia doa lini | {
"text": [
"Baada ya rafikia yake kuchoka kumdai pesa zake"
]
} |
4833_swa | Mke wa mtu sumu
Mwanaume hupitia masaibu kabla apate jiko yaani aowe mke hasa
anayempenda.Kwanza kabisa humtafuta na anapompata hujitayarisha namna
ataweza kumpata.Ijapokuwa usemi huhitajika bado lazima
ajipange.Anapofanikiwa kumpata banati aliyemwenzi hulazimika kumpa muda
wake ili uchumba usivunjike.Ndoa inapokaribia hulazimika kwenda kuwaona
wazazi wa yule msichana aliyemchagua awe mke wake.Hugharamika kifedha si
haba.Hutoa mahari na hatimaye hupata mke.
Suala hili halikuwa tofauti sana na la John ambaye alilazimika kutoka
ng'ambo na kujishusha hadhi ili ampate Mary mwanamke aliyebarikiwa kwa
kila hali.Si urembo,akili bali pia tabia.John hujiona amekamilika
anapokuwa karibu naye.Kwa sasa yuko jela Kwa kosa la kumtoa mtu
uhai.Sababu kuu ni kuwa mtu yule alikuwa tishio Kwa mke wake.Marehemu
alikuwa ameapa kumwangamiza mke wake eti kwa sababu yeye John alikuwa
ameshindwa kumlipa deni lake la elfu hamsini.
Akiikumbuka siku yenyewe taswira inamjia akilini.Marehemu alikuwa
mwandani wake John ila urafiki wao uliingia doa baada ya rafiki yake
kuchoka kumdai.Ukweli ni kwamba hakuwa ameshindwa kulipa deni hilo bali
alihitaji muda zaidi ili aweze kutimiza hilo.Marehemu alikuwa amemdai
Kwa takriban miaka miwili na hivyo alikuwa amechoshwa na kuchushwa na
ngojangoja za John zisizo zaa matunda.
Inasemekana yeye ndiye aliyemfuata John nyumbani mwake na kuzua
vurugu.Siku hiyo alifika akiwa mwingi wa hasira na kuanza kumwita John
akiwa mbali kidogo na nyumba yake.Mke wa John ndiye aliyesikia kelele
hizo na hivyo akamjuza mume wake na wote wakatoka nje.Walipotoka tayari
Simon alikuwa amefika."John nilipe pesa zangu leo la sivyo damu
itamwagika."Simon alitamka.
Rabsha ilizidi baada ya mke wa John kujaribu kuingilia kati na kuchapwa
kibao kilichomwangusha chini.John alimkimbilia mke wake na kumwinua
kisha akamgeukia rafiki yake huku amepandwa na za kwao."Aliyekupa ruhusa
ya kumpiga mke wangu kibao ni nani hasa?"John akamuuliza Simon.Simon
hakumjibu bali aliendelea kutoka cheche za matusi pasi kupima maneno
yake.John alikasirika hata zaidi na kumwamrisha atoke kwake ila hakutaka
kuondoka bila pesa zake mkononi.
Mambo yalipozidi unga,walianza kupigana miereka huku John akidhamiria
kumfukuza naye Simon kumwangamiza.Mke wa John alishangazwa na mambo
yaliyokuwa yakijiri asiamini macho yake.Ghafla bin vuu Simon alitoa
bastola na kurusha risasi angani na hapa ndipo John alifahamu mambo sasa
yalikuwa yamegeuka na asipotahadhari atajipata matatani.Baada ya milio
mingi ya risasi angani,Simon alimnyakua Mary tayari kumfwatulia risasi
kichwani huku akimwambia John kwamba angekula jeuri lake kwani
angemwangamiza mke wake mara moja kabla kummaliza yeye.
John alipoona hali si hali aliamua kunyenyekea ila unyenyekevu wake
haukuwa lolote wala chochote kwa Simon.Alizidi kumkosesha pumzi Mary kwa
kumfinya shingo.Punde si punde John alichukua jiwe na kumlenga kipajini
Simon akaanguka chini pu na kumwachilia Mary."Are you okey?"Aliuliza
John.John hakutosheka na jiwe alilomlenga Simon kipajini lakini baada ya
kumwona ameanguka alichukua bastola na kumfyatulia risasi kifuani Mara
saba.
Akili zilipomrudi aligundua kwamba alikuwa amemuua rafiki yake wa siku
nyingi ila husema hakujutia kwa sababu aliweza kumlinda mke wake.Kwa
sasa yu jela akisubiri hukumu yake japo anajua ni kifo bado hashtuki ila
hujiambia atakufa akifufuka ili kuhakikisha kwamba mke wake hadhuriki
kutokana na kitu au mtu yeyote.
| Simon alimwita John akiwa mbali kidogo na wapi | {
"text": [
"Nyumba yaKe"
]
} |
4833_swa | Mke wa mtu sumu
Mwanaume hupitia masaibu kabla apate jiko yaani aowe mke hasa
anayempenda.Kwanza kabisa humtafuta na anapompata hujitayarisha namna
ataweza kumpata.Ijapokuwa usemi huhitajika bado lazima
ajipange.Anapofanikiwa kumpata banati aliyemwenzi hulazimika kumpa muda
wake ili uchumba usivunjike.Ndoa inapokaribia hulazimika kwenda kuwaona
wazazi wa yule msichana aliyemchagua awe mke wake.Hugharamika kifedha si
haba.Hutoa mahari na hatimaye hupata mke.
Suala hili halikuwa tofauti sana na la John ambaye alilazimika kutoka
ng'ambo na kujishusha hadhi ili ampate Mary mwanamke aliyebarikiwa kwa
kila hali.Si urembo,akili bali pia tabia.John hujiona amekamilika
anapokuwa karibu naye.Kwa sasa yuko jela Kwa kosa la kumtoa mtu
uhai.Sababu kuu ni kuwa mtu yule alikuwa tishio Kwa mke wake.Marehemu
alikuwa ameapa kumwangamiza mke wake eti kwa sababu yeye John alikuwa
ameshindwa kumlipa deni lake la elfu hamsini.
Akiikumbuka siku yenyewe taswira inamjia akilini.Marehemu alikuwa
mwandani wake John ila urafiki wao uliingia doa baada ya rafiki yake
kuchoka kumdai.Ukweli ni kwamba hakuwa ameshindwa kulipa deni hilo bali
alihitaji muda zaidi ili aweze kutimiza hilo.Marehemu alikuwa amemdai
Kwa takriban miaka miwili na hivyo alikuwa amechoshwa na kuchushwa na
ngojangoja za John zisizo zaa matunda.
Inasemekana yeye ndiye aliyemfuata John nyumbani mwake na kuzua
vurugu.Siku hiyo alifika akiwa mwingi wa hasira na kuanza kumwita John
akiwa mbali kidogo na nyumba yake.Mke wa John ndiye aliyesikia kelele
hizo na hivyo akamjuza mume wake na wote wakatoka nje.Walipotoka tayari
Simon alikuwa amefika."John nilipe pesa zangu leo la sivyo damu
itamwagika."Simon alitamka.
Rabsha ilizidi baada ya mke wa John kujaribu kuingilia kati na kuchapwa
kibao kilichomwangusha chini.John alimkimbilia mke wake na kumwinua
kisha akamgeukia rafiki yake huku amepandwa na za kwao."Aliyekupa ruhusa
ya kumpiga mke wangu kibao ni nani hasa?"John akamuuliza Simon.Simon
hakumjibu bali aliendelea kutoka cheche za matusi pasi kupima maneno
yake.John alikasirika hata zaidi na kumwamrisha atoke kwake ila hakutaka
kuondoka bila pesa zake mkononi.
Mambo yalipozidi unga,walianza kupigana miereka huku John akidhamiria
kumfukuza naye Simon kumwangamiza.Mke wa John alishangazwa na mambo
yaliyokuwa yakijiri asiamini macho yake.Ghafla bin vuu Simon alitoa
bastola na kurusha risasi angani na hapa ndipo John alifahamu mambo sasa
yalikuwa yamegeuka na asipotahadhari atajipata matatani.Baada ya milio
mingi ya risasi angani,Simon alimnyakua Mary tayari kumfwatulia risasi
kichwani huku akimwambia John kwamba angekula jeuri lake kwani
angemwangamiza mke wake mara moja kabla kummaliza yeye.
John alipoona hali si hali aliamua kunyenyekea ila unyenyekevu wake
haukuwa lolote wala chochote kwa Simon.Alizidi kumkosesha pumzi Mary kwa
kumfinya shingo.Punde si punde John alichukua jiwe na kumlenga kipajini
Simon akaanguka chini pu na kumwachilia Mary."Are you okey?"Aliuliza
John.John hakutosheka na jiwe alilomlenga Simon kipajini lakini baada ya
kumwona ameanguka alichukua bastola na kumfyatulia risasi kifuani Mara
saba.
Akili zilipomrudi aligundua kwamba alikuwa amemuua rafiki yake wa siku
nyingi ila husema hakujutia kwa sababu aliweza kumlinda mke wake.Kwa
sasa yu jela akisubiri hukumu yake japo anajua ni kifo bado hashtuki ila
hujiambia atakufa akifufuka ili kuhakikisha kwamba mke wake hadhuriki
kutokana na kitu au mtu yeyote.
| Kwa nini John alikasirika zaidi na kumwamuru atoke k | {
"text": [
"Aliendelea kutoka cheche za matusi bila kupima maneno yake"
]
} |
4834_swa | ZARAA
Zaraa ndio UTI wa mgongo wa taifa la Kenya. Viwanda vingi nchini
hutegemea kilimo kama malighafi yake. Pia huwalisha wafanyikazi. Licha
ya umuhimu wa sekta hii,mkulima ambaye ndiye nguzo ya zaraa anaendelea
kukabiliwa na matatizo mbalimbali yanayokwamiza juhudi zake.
Mojawapo ya matatizo yanayomkabili mkulima ni ukosefu wa ushauri wa
zaraa. Wataalamu wanaotarajiwa kumshauri mkulima kuhusu njia bora za
kuzalisha Pato lake ni haba. Hii ikilinganishwa na idadi ya wakulima
wanaohitaji ushauri. Wachache walioko nao wanakwamizwa na mambo tofauti.
Mathalani. Utawapata hawaendi njanjani. Ili kukutana na wakulima kwa
kuwa hawana vyombo vya usafiri. Iwapo vipo,huenda petroli ikawa ni
kizungumkuti. Halikadhalika. Usisahau kuwa baadhi ya wataalamu hawa ni
wafisadi.kuna wale wanafika ofisini na kushinda siku nzima wakisoma
gazeti. Wengine hucheza bao au karata huku wakipoteza muda. Wengine
hufika na kuangika koti au Sweta kitini ili waonekane kuwa bado wapo.
Kisha wanatokomea kwenda kushughulikia mambo Yao ya kibinafsi. Haya huwa
hayahusu kazi waliyoajiriwa kufanya.
Ukosefu wa sera mwafaka kuhusu ardhi nalo ni tatizo jingine linalotatiza
kilimo nchini. Serikali haijaweka sera mahususi kuhusu matumizi ya
ardhi. Wananchi wengi huongozwa na taratibu za utamaduni za nasaba zao.
Taratibu hizi hupendekeza ugawaju wa ardhi Kwa minajili ya urithi
kulingana na warithi waliopo. Si ajabu kuwa kote nchini. Ardhi inayofaa
Kwa kilimo imekatwakatwa vipande vidogovidogo ambavyo haviwezi kuwa na
faida Kwa zaraa.
Mkulima pia hushindwa kuongeza virutubishi ardhini. Hii ni changamoto
nyingine inayokabili kilimo nchini. Kule kulima sehemu ya ardhi mwaka
nenda mwaka Rudi bila kukipa nafasi ya kupumzika,huufanya mchanga
kupoteza virutubishi muhimu. Hizi virutubishi vinahitajiwa na mimea.
Hili nalo huchangia kupunguza uzalishaji wa mazao. Ili kutatua tatizo
hili, wakulima wengi wanakimbilia mbolea za kisasa. Mbolea hizi badala
ya kumsaidia,humwongezea madhila. Mbolea hizi zinatambulika na kuchangia
uchaguzi wa mchanga na ardhi. Mbolea za zamani Kama vile samadi zilikuwa
zinachangia pakubwa ukuaji wa mimea. Mazao yalikuwa yananawiri Kwa
sababu ya mimea hizo za kiasili.
Mabadiliko ya Hali ya anga nayo huongezea msururu wa madhila ya mkulima.
Mabadiliko haya yamemfanya mkulima kushindwa kupanga wakati anaotakiwa
kutayarisha shamba. Kupanda. Kupalilia. Kunyunyizia dawa na kadhalika
Kwa sababu mvua imekuwa adimu. Badala yake panakuwa na vipindi virefu
vya kiangazi ambavyo huathiri bidii za mkulima. Maji nayo yanaendelea
kupunguza na wakulima wengi hawawezi kukimu mahitaji. Ya unyunyizaji
maji mashambani.
Maradhi na wadudu waharibifu ni changamoto nyingine. Wadudu kama vile
viwavi na kupe hutatiza juhudi za mkulima hapa nchini. Haya hupunguza
uzalishaji wa mkulima. Vilevile wakati mwingine hupunguza mifugo au
mimea yake.
Kwa sadfa,iwapo mkulima ataweza kuzalisha mazao licha ya msururu huu wa
vikwazo. Ana tatizo jingine linalomngojea. Ukosefu wa solo Kwa mazao
yake. Vilevile,maeneo mengi yanayotoa mazao ya kilimo Kwa wingi huwa na
matatizo ya usafiri. Njia na barabara huwa mbovu na hazipitiki. Mazao
mengi huwa hayafiki sokoni Kwa wakati. Hii huwa ni hasara Kwa wakulima.
Fauka ya hayo,gharama ya uzalishaji wa mazao ya kilimo hapa nchini huwa
ya juu zaidi. Hii huwa kidogo kuliko faida anayopata mkulima. Watu wengi
wameacha kutegemea kilimo kama njia ya ajira Kwa kuwa hakilipi. Hii ni
zaidi ya ushindani wa bidhaa za kilimo kutoka nje ya nchi ambao ni
tatizo jingine linalomkabili mkulima. Mara nyingine wakulima wa kutoka
nje ya nchi husaidiwa na serikali zao kuzalisha mazao Kwa kufidiwa.
Mazao kama haya yaingiapo sokoni huuzwa Kwa bei ya chini. Hayawezi
kushindana na Yale ya wale wasiopata mchango wowote kutoka Kwa serikali
kama wakulima wa hapa nchini. Mkulima wa Kenya anahitaji msaada wa
dharura. Ili aweze kunyanyua kilimo ambacho ni UTI wa mgongo wa uchumi
wetu. Lau haya hayatafanyika. Uchumi wetu utaendelea kudidimia.
| Nini ndio uti wa mgongo wa taifa la Kenya | {
"text": [
"Zaraa"
]
} |
4834_swa | ZARAA
Zaraa ndio UTI wa mgongo wa taifa la Kenya. Viwanda vingi nchini
hutegemea kilimo kama malighafi yake. Pia huwalisha wafanyikazi. Licha
ya umuhimu wa sekta hii,mkulima ambaye ndiye nguzo ya zaraa anaendelea
kukabiliwa na matatizo mbalimbali yanayokwamiza juhudi zake.
Mojawapo ya matatizo yanayomkabili mkulima ni ukosefu wa ushauri wa
zaraa. Wataalamu wanaotarajiwa kumshauri mkulima kuhusu njia bora za
kuzalisha Pato lake ni haba. Hii ikilinganishwa na idadi ya wakulima
wanaohitaji ushauri. Wachache walioko nao wanakwamizwa na mambo tofauti.
Mathalani. Utawapata hawaendi njanjani. Ili kukutana na wakulima kwa
kuwa hawana vyombo vya usafiri. Iwapo vipo,huenda petroli ikawa ni
kizungumkuti. Halikadhalika. Usisahau kuwa baadhi ya wataalamu hawa ni
wafisadi.kuna wale wanafika ofisini na kushinda siku nzima wakisoma
gazeti. Wengine hucheza bao au karata huku wakipoteza muda. Wengine
hufika na kuangika koti au Sweta kitini ili waonekane kuwa bado wapo.
Kisha wanatokomea kwenda kushughulikia mambo Yao ya kibinafsi. Haya huwa
hayahusu kazi waliyoajiriwa kufanya.
Ukosefu wa sera mwafaka kuhusu ardhi nalo ni tatizo jingine linalotatiza
kilimo nchini. Serikali haijaweka sera mahususi kuhusu matumizi ya
ardhi. Wananchi wengi huongozwa na taratibu za utamaduni za nasaba zao.
Taratibu hizi hupendekeza ugawaju wa ardhi Kwa minajili ya urithi
kulingana na warithi waliopo. Si ajabu kuwa kote nchini. Ardhi inayofaa
Kwa kilimo imekatwakatwa vipande vidogovidogo ambavyo haviwezi kuwa na
faida Kwa zaraa.
Mkulima pia hushindwa kuongeza virutubishi ardhini. Hii ni changamoto
nyingine inayokabili kilimo nchini. Kule kulima sehemu ya ardhi mwaka
nenda mwaka Rudi bila kukipa nafasi ya kupumzika,huufanya mchanga
kupoteza virutubishi muhimu. Hizi virutubishi vinahitajiwa na mimea.
Hili nalo huchangia kupunguza uzalishaji wa mazao. Ili kutatua tatizo
hili, wakulima wengi wanakimbilia mbolea za kisasa. Mbolea hizi badala
ya kumsaidia,humwongezea madhila. Mbolea hizi zinatambulika na kuchangia
uchaguzi wa mchanga na ardhi. Mbolea za zamani Kama vile samadi zilikuwa
zinachangia pakubwa ukuaji wa mimea. Mazao yalikuwa yananawiri Kwa
sababu ya mimea hizo za kiasili.
Mabadiliko ya Hali ya anga nayo huongezea msururu wa madhila ya mkulima.
Mabadiliko haya yamemfanya mkulima kushindwa kupanga wakati anaotakiwa
kutayarisha shamba. Kupanda. Kupalilia. Kunyunyizia dawa na kadhalika
Kwa sababu mvua imekuwa adimu. Badala yake panakuwa na vipindi virefu
vya kiangazi ambavyo huathiri bidii za mkulima. Maji nayo yanaendelea
kupunguza na wakulima wengi hawawezi kukimu mahitaji. Ya unyunyizaji
maji mashambani.
Maradhi na wadudu waharibifu ni changamoto nyingine. Wadudu kama vile
viwavi na kupe hutatiza juhudi za mkulima hapa nchini. Haya hupunguza
uzalishaji wa mkulima. Vilevile wakati mwingine hupunguza mifugo au
mimea yake.
Kwa sadfa,iwapo mkulima ataweza kuzalisha mazao licha ya msururu huu wa
vikwazo. Ana tatizo jingine linalomngojea. Ukosefu wa solo Kwa mazao
yake. Vilevile,maeneo mengi yanayotoa mazao ya kilimo Kwa wingi huwa na
matatizo ya usafiri. Njia na barabara huwa mbovu na hazipitiki. Mazao
mengi huwa hayafiki sokoni Kwa wakati. Hii huwa ni hasara Kwa wakulima.
Fauka ya hayo,gharama ya uzalishaji wa mazao ya kilimo hapa nchini huwa
ya juu zaidi. Hii huwa kidogo kuliko faida anayopata mkulima. Watu wengi
wameacha kutegemea kilimo kama njia ya ajira Kwa kuwa hakilipi. Hii ni
zaidi ya ushindani wa bidhaa za kilimo kutoka nje ya nchi ambao ni
tatizo jingine linalomkabili mkulima. Mara nyingine wakulima wa kutoka
nje ya nchi husaidiwa na serikali zao kuzalisha mazao Kwa kufidiwa.
Mazao kama haya yaingiapo sokoni huuzwa Kwa bei ya chini. Hayawezi
kushindana na Yale ya wale wasiopata mchango wowote kutoka Kwa serikali
kama wakulima wa hapa nchini. Mkulima wa Kenya anahitaji msaada wa
dharura. Ili aweze kunyanyua kilimo ambacho ni UTI wa mgongo wa uchumi
wetu. Lau haya hayatafanyika. Uchumi wetu utaendelea kudidimia.
| Nani wanatarajiwa kumshauri mkulima | {
"text": [
"Wataalamu"
]
} |
4834_swa | ZARAA
Zaraa ndio UTI wa mgongo wa taifa la Kenya. Viwanda vingi nchini
hutegemea kilimo kama malighafi yake. Pia huwalisha wafanyikazi. Licha
ya umuhimu wa sekta hii,mkulima ambaye ndiye nguzo ya zaraa anaendelea
kukabiliwa na matatizo mbalimbali yanayokwamiza juhudi zake.
Mojawapo ya matatizo yanayomkabili mkulima ni ukosefu wa ushauri wa
zaraa. Wataalamu wanaotarajiwa kumshauri mkulima kuhusu njia bora za
kuzalisha Pato lake ni haba. Hii ikilinganishwa na idadi ya wakulima
wanaohitaji ushauri. Wachache walioko nao wanakwamizwa na mambo tofauti.
Mathalani. Utawapata hawaendi njanjani. Ili kukutana na wakulima kwa
kuwa hawana vyombo vya usafiri. Iwapo vipo,huenda petroli ikawa ni
kizungumkuti. Halikadhalika. Usisahau kuwa baadhi ya wataalamu hawa ni
wafisadi.kuna wale wanafika ofisini na kushinda siku nzima wakisoma
gazeti. Wengine hucheza bao au karata huku wakipoteza muda. Wengine
hufika na kuangika koti au Sweta kitini ili waonekane kuwa bado wapo.
Kisha wanatokomea kwenda kushughulikia mambo Yao ya kibinafsi. Haya huwa
hayahusu kazi waliyoajiriwa kufanya.
Ukosefu wa sera mwafaka kuhusu ardhi nalo ni tatizo jingine linalotatiza
kilimo nchini. Serikali haijaweka sera mahususi kuhusu matumizi ya
ardhi. Wananchi wengi huongozwa na taratibu za utamaduni za nasaba zao.
Taratibu hizi hupendekeza ugawaju wa ardhi Kwa minajili ya urithi
kulingana na warithi waliopo. Si ajabu kuwa kote nchini. Ardhi inayofaa
Kwa kilimo imekatwakatwa vipande vidogovidogo ambavyo haviwezi kuwa na
faida Kwa zaraa.
Mkulima pia hushindwa kuongeza virutubishi ardhini. Hii ni changamoto
nyingine inayokabili kilimo nchini. Kule kulima sehemu ya ardhi mwaka
nenda mwaka Rudi bila kukipa nafasi ya kupumzika,huufanya mchanga
kupoteza virutubishi muhimu. Hizi virutubishi vinahitajiwa na mimea.
Hili nalo huchangia kupunguza uzalishaji wa mazao. Ili kutatua tatizo
hili, wakulima wengi wanakimbilia mbolea za kisasa. Mbolea hizi badala
ya kumsaidia,humwongezea madhila. Mbolea hizi zinatambulika na kuchangia
uchaguzi wa mchanga na ardhi. Mbolea za zamani Kama vile samadi zilikuwa
zinachangia pakubwa ukuaji wa mimea. Mazao yalikuwa yananawiri Kwa
sababu ya mimea hizo za kiasili.
Mabadiliko ya Hali ya anga nayo huongezea msururu wa madhila ya mkulima.
Mabadiliko haya yamemfanya mkulima kushindwa kupanga wakati anaotakiwa
kutayarisha shamba. Kupanda. Kupalilia. Kunyunyizia dawa na kadhalika
Kwa sababu mvua imekuwa adimu. Badala yake panakuwa na vipindi virefu
vya kiangazi ambavyo huathiri bidii za mkulima. Maji nayo yanaendelea
kupunguza na wakulima wengi hawawezi kukimu mahitaji. Ya unyunyizaji
maji mashambani.
Maradhi na wadudu waharibifu ni changamoto nyingine. Wadudu kama vile
viwavi na kupe hutatiza juhudi za mkulima hapa nchini. Haya hupunguza
uzalishaji wa mkulima. Vilevile wakati mwingine hupunguza mifugo au
mimea yake.
Kwa sadfa,iwapo mkulima ataweza kuzalisha mazao licha ya msururu huu wa
vikwazo. Ana tatizo jingine linalomngojea. Ukosefu wa solo Kwa mazao
yake. Vilevile,maeneo mengi yanayotoa mazao ya kilimo Kwa wingi huwa na
matatizo ya usafiri. Njia na barabara huwa mbovu na hazipitiki. Mazao
mengi huwa hayafiki sokoni Kwa wakati. Hii huwa ni hasara Kwa wakulima.
Fauka ya hayo,gharama ya uzalishaji wa mazao ya kilimo hapa nchini huwa
ya juu zaidi. Hii huwa kidogo kuliko faida anayopata mkulima. Watu wengi
wameacha kutegemea kilimo kama njia ya ajira Kwa kuwa hakilipi. Hii ni
zaidi ya ushindani wa bidhaa za kilimo kutoka nje ya nchi ambao ni
tatizo jingine linalomkabili mkulima. Mara nyingine wakulima wa kutoka
nje ya nchi husaidiwa na serikali zao kuzalisha mazao Kwa kufidiwa.
Mazao kama haya yaingiapo sokoni huuzwa Kwa bei ya chini. Hayawezi
kushindana na Yale ya wale wasiopata mchango wowote kutoka Kwa serikali
kama wakulima wa hapa nchini. Mkulima wa Kenya anahitaji msaada wa
dharura. Ili aweze kunyanyua kilimo ambacho ni UTI wa mgongo wa uchumi
wetu. Lau haya hayatafanyika. Uchumi wetu utaendelea kudidimia.
| Nani hajaweka sera mahsusi | {
"text": [
"Serikali"
]
} |
4834_swa | ZARAA
Zaraa ndio UTI wa mgongo wa taifa la Kenya. Viwanda vingi nchini
hutegemea kilimo kama malighafi yake. Pia huwalisha wafanyikazi. Licha
ya umuhimu wa sekta hii,mkulima ambaye ndiye nguzo ya zaraa anaendelea
kukabiliwa na matatizo mbalimbali yanayokwamiza juhudi zake.
Mojawapo ya matatizo yanayomkabili mkulima ni ukosefu wa ushauri wa
zaraa. Wataalamu wanaotarajiwa kumshauri mkulima kuhusu njia bora za
kuzalisha Pato lake ni haba. Hii ikilinganishwa na idadi ya wakulima
wanaohitaji ushauri. Wachache walioko nao wanakwamizwa na mambo tofauti.
Mathalani. Utawapata hawaendi njanjani. Ili kukutana na wakulima kwa
kuwa hawana vyombo vya usafiri. Iwapo vipo,huenda petroli ikawa ni
kizungumkuti. Halikadhalika. Usisahau kuwa baadhi ya wataalamu hawa ni
wafisadi.kuna wale wanafika ofisini na kushinda siku nzima wakisoma
gazeti. Wengine hucheza bao au karata huku wakipoteza muda. Wengine
hufika na kuangika koti au Sweta kitini ili waonekane kuwa bado wapo.
Kisha wanatokomea kwenda kushughulikia mambo Yao ya kibinafsi. Haya huwa
hayahusu kazi waliyoajiriwa kufanya.
Ukosefu wa sera mwafaka kuhusu ardhi nalo ni tatizo jingine linalotatiza
kilimo nchini. Serikali haijaweka sera mahususi kuhusu matumizi ya
ardhi. Wananchi wengi huongozwa na taratibu za utamaduni za nasaba zao.
Taratibu hizi hupendekeza ugawaju wa ardhi Kwa minajili ya urithi
kulingana na warithi waliopo. Si ajabu kuwa kote nchini. Ardhi inayofaa
Kwa kilimo imekatwakatwa vipande vidogovidogo ambavyo haviwezi kuwa na
faida Kwa zaraa.
Mkulima pia hushindwa kuongeza virutubishi ardhini. Hii ni changamoto
nyingine inayokabili kilimo nchini. Kule kulima sehemu ya ardhi mwaka
nenda mwaka Rudi bila kukipa nafasi ya kupumzika,huufanya mchanga
kupoteza virutubishi muhimu. Hizi virutubishi vinahitajiwa na mimea.
Hili nalo huchangia kupunguza uzalishaji wa mazao. Ili kutatua tatizo
hili, wakulima wengi wanakimbilia mbolea za kisasa. Mbolea hizi badala
ya kumsaidia,humwongezea madhila. Mbolea hizi zinatambulika na kuchangia
uchaguzi wa mchanga na ardhi. Mbolea za zamani Kama vile samadi zilikuwa
zinachangia pakubwa ukuaji wa mimea. Mazao yalikuwa yananawiri Kwa
sababu ya mimea hizo za kiasili.
Mabadiliko ya Hali ya anga nayo huongezea msururu wa madhila ya mkulima.
Mabadiliko haya yamemfanya mkulima kushindwa kupanga wakati anaotakiwa
kutayarisha shamba. Kupanda. Kupalilia. Kunyunyizia dawa na kadhalika
Kwa sababu mvua imekuwa adimu. Badala yake panakuwa na vipindi virefu
vya kiangazi ambavyo huathiri bidii za mkulima. Maji nayo yanaendelea
kupunguza na wakulima wengi hawawezi kukimu mahitaji. Ya unyunyizaji
maji mashambani.
Maradhi na wadudu waharibifu ni changamoto nyingine. Wadudu kama vile
viwavi na kupe hutatiza juhudi za mkulima hapa nchini. Haya hupunguza
uzalishaji wa mkulima. Vilevile wakati mwingine hupunguza mifugo au
mimea yake.
Kwa sadfa,iwapo mkulima ataweza kuzalisha mazao licha ya msururu huu wa
vikwazo. Ana tatizo jingine linalomngojea. Ukosefu wa solo Kwa mazao
yake. Vilevile,maeneo mengi yanayotoa mazao ya kilimo Kwa wingi huwa na
matatizo ya usafiri. Njia na barabara huwa mbovu na hazipitiki. Mazao
mengi huwa hayafiki sokoni Kwa wakati. Hii huwa ni hasara Kwa wakulima.
Fauka ya hayo,gharama ya uzalishaji wa mazao ya kilimo hapa nchini huwa
ya juu zaidi. Hii huwa kidogo kuliko faida anayopata mkulima. Watu wengi
wameacha kutegemea kilimo kama njia ya ajira Kwa kuwa hakilipi. Hii ni
zaidi ya ushindani wa bidhaa za kilimo kutoka nje ya nchi ambao ni
tatizo jingine linalomkabili mkulima. Mara nyingine wakulima wa kutoka
nje ya nchi husaidiwa na serikali zao kuzalisha mazao Kwa kufidiwa.
Mazao kama haya yaingiapo sokoni huuzwa Kwa bei ya chini. Hayawezi
kushindana na Yale ya wale wasiopata mchango wowote kutoka Kwa serikali
kama wakulima wa hapa nchini. Mkulima wa Kenya anahitaji msaada wa
dharura. Ili aweze kunyanyua kilimo ambacho ni UTI wa mgongo wa uchumi
wetu. Lau haya hayatafanyika. Uchumi wetu utaendelea kudidimia.
| Mkulima hushindwa kuweka nini ardhini | {
"text": [
"Virutubishi"
]
} |
4834_swa | ZARAA
Zaraa ndio UTI wa mgongo wa taifa la Kenya. Viwanda vingi nchini
hutegemea kilimo kama malighafi yake. Pia huwalisha wafanyikazi. Licha
ya umuhimu wa sekta hii,mkulima ambaye ndiye nguzo ya zaraa anaendelea
kukabiliwa na matatizo mbalimbali yanayokwamiza juhudi zake.
Mojawapo ya matatizo yanayomkabili mkulima ni ukosefu wa ushauri wa
zaraa. Wataalamu wanaotarajiwa kumshauri mkulima kuhusu njia bora za
kuzalisha Pato lake ni haba. Hii ikilinganishwa na idadi ya wakulima
wanaohitaji ushauri. Wachache walioko nao wanakwamizwa na mambo tofauti.
Mathalani. Utawapata hawaendi njanjani. Ili kukutana na wakulima kwa
kuwa hawana vyombo vya usafiri. Iwapo vipo,huenda petroli ikawa ni
kizungumkuti. Halikadhalika. Usisahau kuwa baadhi ya wataalamu hawa ni
wafisadi.kuna wale wanafika ofisini na kushinda siku nzima wakisoma
gazeti. Wengine hucheza bao au karata huku wakipoteza muda. Wengine
hufika na kuangika koti au Sweta kitini ili waonekane kuwa bado wapo.
Kisha wanatokomea kwenda kushughulikia mambo Yao ya kibinafsi. Haya huwa
hayahusu kazi waliyoajiriwa kufanya.
Ukosefu wa sera mwafaka kuhusu ardhi nalo ni tatizo jingine linalotatiza
kilimo nchini. Serikali haijaweka sera mahususi kuhusu matumizi ya
ardhi. Wananchi wengi huongozwa na taratibu za utamaduni za nasaba zao.
Taratibu hizi hupendekeza ugawaju wa ardhi Kwa minajili ya urithi
kulingana na warithi waliopo. Si ajabu kuwa kote nchini. Ardhi inayofaa
Kwa kilimo imekatwakatwa vipande vidogovidogo ambavyo haviwezi kuwa na
faida Kwa zaraa.
Mkulima pia hushindwa kuongeza virutubishi ardhini. Hii ni changamoto
nyingine inayokabili kilimo nchini. Kule kulima sehemu ya ardhi mwaka
nenda mwaka Rudi bila kukipa nafasi ya kupumzika,huufanya mchanga
kupoteza virutubishi muhimu. Hizi virutubishi vinahitajiwa na mimea.
Hili nalo huchangia kupunguza uzalishaji wa mazao. Ili kutatua tatizo
hili, wakulima wengi wanakimbilia mbolea za kisasa. Mbolea hizi badala
ya kumsaidia,humwongezea madhila. Mbolea hizi zinatambulika na kuchangia
uchaguzi wa mchanga na ardhi. Mbolea za zamani Kama vile samadi zilikuwa
zinachangia pakubwa ukuaji wa mimea. Mazao yalikuwa yananawiri Kwa
sababu ya mimea hizo za kiasili.
Mabadiliko ya Hali ya anga nayo huongezea msururu wa madhila ya mkulima.
Mabadiliko haya yamemfanya mkulima kushindwa kupanga wakati anaotakiwa
kutayarisha shamba. Kupanda. Kupalilia. Kunyunyizia dawa na kadhalika
Kwa sababu mvua imekuwa adimu. Badala yake panakuwa na vipindi virefu
vya kiangazi ambavyo huathiri bidii za mkulima. Maji nayo yanaendelea
kupunguza na wakulima wengi hawawezi kukimu mahitaji. Ya unyunyizaji
maji mashambani.
Maradhi na wadudu waharibifu ni changamoto nyingine. Wadudu kama vile
viwavi na kupe hutatiza juhudi za mkulima hapa nchini. Haya hupunguza
uzalishaji wa mkulima. Vilevile wakati mwingine hupunguza mifugo au
mimea yake.
Kwa sadfa,iwapo mkulima ataweza kuzalisha mazao licha ya msururu huu wa
vikwazo. Ana tatizo jingine linalomngojea. Ukosefu wa solo Kwa mazao
yake. Vilevile,maeneo mengi yanayotoa mazao ya kilimo Kwa wingi huwa na
matatizo ya usafiri. Njia na barabara huwa mbovu na hazipitiki. Mazao
mengi huwa hayafiki sokoni Kwa wakati. Hii huwa ni hasara Kwa wakulima.
Fauka ya hayo,gharama ya uzalishaji wa mazao ya kilimo hapa nchini huwa
ya juu zaidi. Hii huwa kidogo kuliko faida anayopata mkulima. Watu wengi
wameacha kutegemea kilimo kama njia ya ajira Kwa kuwa hakilipi. Hii ni
zaidi ya ushindani wa bidhaa za kilimo kutoka nje ya nchi ambao ni
tatizo jingine linalomkabili mkulima. Mara nyingine wakulima wa kutoka
nje ya nchi husaidiwa na serikali zao kuzalisha mazao Kwa kufidiwa.
Mazao kama haya yaingiapo sokoni huuzwa Kwa bei ya chini. Hayawezi
kushindana na Yale ya wale wasiopata mchango wowote kutoka Kwa serikali
kama wakulima wa hapa nchini. Mkulima wa Kenya anahitaji msaada wa
dharura. Ili aweze kunyanyua kilimo ambacho ni UTI wa mgongo wa uchumi
wetu. Lau haya hayatafanyika. Uchumi wetu utaendelea kudidimia.
| Mabadiliko ya anga yanaathiri ukulima vipi | {
"text": [
" Mkulima kushindwa kupanga wakati anaotakiwa kutayarisha shamba"
]
} |
4836_swa | GIZA
Giza . Ni neno linalomaanisha, kutokuwepo kwa mwangaza. Pia ni kinyume
cha Nuru. Mtu akiwa gizani, ni vigumu sana kuona vizuri. Giza hili
husababisha upofu . Upofu wa muda tu. Mimi mara nyingi hujipata
nakitembea gizani, heri nifunge macho. Kwa sababu hayana kazi kabisa.
Wanyama wengine kama vile paka, kondoo na wale wanyama wa mwituni. Macho
yao yameundwa tofauti sana, hivi kwamba wanauwezo wa kuona gizani, bila
tatizo. Ndio maana wengi huwinda usiku. Hasa simba hutafuta chakula
gizani. Au Usiku.
Mungu ndiye aliye umba giza na mwanga. Usiku na mchana. Usiku kuna giza
. Mchana kuna mwanga . Mwanga huu huletwa na jua. Wakati mwingine mwezi
hutoa nuru usiku . Si kila wakati. Mara moja moja tu.
Giza wakati mwingine mchana, husababishwa na mvua . Kwani wingu jeusi
hulifunika jua ,kisha nuru ya jua hupotea . Au kama kuna hali ya anga
tofauti na ya kawaida. Pia wengine huingia kwenye vyumba vyao na
kujifungia ndani. Na kuziba mianya kwa kateni za dirisha. Wao hufanya
hivi ilikusababisha giza chumbani na walale .
Wakati kuna giza. Watu hutumia tochi, kumulika . Tochi ni kifaa maalum
kilichoundwa ili kitoe mwanga. Tochi hizi kuna zile za kielektroniki.
Tochi za kielektroniki huitaji kutia nguvu za umeme ili ziweze kutoa
mwanga. Kule zile za kutumia betri ndogondogo. Hapa ni betri hununuliwa
kila zinapoisha . Pia kuna vile vitochi vidogovidogo ambavyo hutumika
lakini si kwa muda mrefu. Hutumia betri kama za saa. Tochi ni kifaa
muhimu sana . Kifaa hiki hutusaidia kuleta mwanga, si nyumbani tu bali
hata barabarani.
Pia watu hutumia simu zao ili waone kwenye giza. Hakuna simu ambayo
haina tochi. Hata iwe ndogo kiasi gani, lazima ina kidude cha tochi.
Ndio simu za zamani, hasa zile ndogo, zilikuwa zinaitwa 'Mulika Mwizi' .
Yaani zina mwangaza wa kumuona mwizi gizani. Katika karne hii si wengi
hununua tochi. Labda wale ambao hawana simu. Lakini simu hutoa mwanga .
Au nuru. Hili tusaidia kuona vizuri sana gizani.
Katika karne hii. Karne ya ishirini na moja. Umeme umesambazwa karibu
kila mahali. Ukienda mijini hasa, hakuna tofauti kati ya usiku na
mchana. Kwani kuna taa za umeme kila mahali. Barabarani na sokoni. Usiku
watu huendelea na biashara zao bila hofu yoyote. Kwa sababu kuna
mwangaza. Watu hutembea kwa kutohofia chochote kibaya. Kwa sababu hakuna
anayeweza kukudhuru katika mwangaza. Uovu hutekelezwa gizani tu.
Kando na kutumia tochi pamoja na taa za umeme. Na pia simu. Wazee wa
kitambo walikuwa wanawasha Moto usiku. Moto huu uliwashwa nje kwa
minajili ya kupata mwangaza. Na iwapo mtu angehitaji kwenda pengine
msalani alibeba kipande cha kuni chenye moto kiasi. Ili aone vizuri.
Wanahistoria watakwambia kwamba, binadamu wa kwanza, baada ya kuvumbua
moto. Walianza kutumia moto huo kama mwangaza wakati wa usiku. Na
wakienda kuwinda pia walitumia moto huo Kuwa tishia wanyama wakali.
Imethibitika kwamba maovu mengi hutendekea gizani. Barabarani ukitembea
bila mwanga . Unaweza vamiwa na wakora. Mjini, watu huapuka kutembelea
sehemu ambazo hakuna taa za umeme. Kwa sababu wezi hupenda kujificha
sehemu hizo. Kwa Kuwa hakuna anayeweza kuwaona. Wezi hawa wengine
wanaweza kutoa uhai, baada ya kupora mali.
Pia gizani. Maovu kama vile ubakaji, hufanyika. Huwezi kumtuma mtoto wa
kike dukani usiku. Ukifanya hivi, utakuwa unahatarisha maisha yake.
Wabakaji wengi huwatishia wasichana. Huwatishia kwa kutumia kisu.
Wasichana wale ambao hukataa kushiriki tendo hili, wengi wao hupoteza
maisha yao. Kando na kupoteza maisha. Wengine huwambukizwa magonjwa.
Magonjwa ya zinaa. Pia UKIMWI. Hata wengine hupachikwa mimba. Yafaa
tujihadhari sana na kuwatuma watoto gizani. Ili tusiyahatarishe maisha
yao.
Mtu akitembea gizani. Anaweza kujidhuru. Kwa mfano, ikiwa unatembea
chumbani, unaweza kujidhuru, kwa sababu, pengine hutakanyaga panga au
kifaa chochote chenye makali . Pia gizani kujigonga ni rahisi sana. Mtu
hupata jeraha ambalo huwa na maumivu. Hata jicho laweza toboka ,kwa
sababu kama huoni unakokwenda, utajuaje kifaa kilicho mbele yako?. Ili
kuepuka mambo kama haya. Ni vyema tununue tochi, au simu , ili tuwe na
mwanga wakutosha.
Wakora huiba usiku. Wakati karibu kila mtu amelala. Wao hufanya hivi kwa
Kuwa hakuna anayeweza kuwaona. Visa vya mifugo kuibwa . Mara nyingi
huripotiwa asubuhi. Kwani vitendo hivi hufanyika usiku. Kwenye giza.
Majumba kubomolewa usiku. Kwa nini? Kwa sababu kuna giza usiku. Usiku
umekuwa kama mchana kwa wezi. Na pia kwa maovu yote.
Kuna Methali inayosema kwamba. Usilolijua ni kama usiku. Yaani kwenye
giza huwezi jua litakalofanyika. Ajali nyingi za nyumbani hutokea usiku.
Basi ni vyema tuchukue hatua ya kuhakikisha kwamba usiku kuna mwanga.
Tuepuke kutembea gizani. Kumbuka msiba wa kujitakia hauna kilio.
| Kinyume cha nuru ni nini | {
"text": [
"Giza"
]
} |
4836_swa | GIZA
Giza . Ni neno linalomaanisha, kutokuwepo kwa mwangaza. Pia ni kinyume
cha Nuru. Mtu akiwa gizani, ni vigumu sana kuona vizuri. Giza hili
husababisha upofu . Upofu wa muda tu. Mimi mara nyingi hujipata
nakitembea gizani, heri nifunge macho. Kwa sababu hayana kazi kabisa.
Wanyama wengine kama vile paka, kondoo na wale wanyama wa mwituni. Macho
yao yameundwa tofauti sana, hivi kwamba wanauwezo wa kuona gizani, bila
tatizo. Ndio maana wengi huwinda usiku. Hasa simba hutafuta chakula
gizani. Au Usiku.
Mungu ndiye aliye umba giza na mwanga. Usiku na mchana. Usiku kuna giza
. Mchana kuna mwanga . Mwanga huu huletwa na jua. Wakati mwingine mwezi
hutoa nuru usiku . Si kila wakati. Mara moja moja tu.
Giza wakati mwingine mchana, husababishwa na mvua . Kwani wingu jeusi
hulifunika jua ,kisha nuru ya jua hupotea . Au kama kuna hali ya anga
tofauti na ya kawaida. Pia wengine huingia kwenye vyumba vyao na
kujifungia ndani. Na kuziba mianya kwa kateni za dirisha. Wao hufanya
hivi ilikusababisha giza chumbani na walale .
Wakati kuna giza. Watu hutumia tochi, kumulika . Tochi ni kifaa maalum
kilichoundwa ili kitoe mwanga. Tochi hizi kuna zile za kielektroniki.
Tochi za kielektroniki huitaji kutia nguvu za umeme ili ziweze kutoa
mwanga. Kule zile za kutumia betri ndogondogo. Hapa ni betri hununuliwa
kila zinapoisha . Pia kuna vile vitochi vidogovidogo ambavyo hutumika
lakini si kwa muda mrefu. Hutumia betri kama za saa. Tochi ni kifaa
muhimu sana . Kifaa hiki hutusaidia kuleta mwanga, si nyumbani tu bali
hata barabarani.
Pia watu hutumia simu zao ili waone kwenye giza. Hakuna simu ambayo
haina tochi. Hata iwe ndogo kiasi gani, lazima ina kidude cha tochi.
Ndio simu za zamani, hasa zile ndogo, zilikuwa zinaitwa 'Mulika Mwizi' .
Yaani zina mwangaza wa kumuona mwizi gizani. Katika karne hii si wengi
hununua tochi. Labda wale ambao hawana simu. Lakini simu hutoa mwanga .
Au nuru. Hili tusaidia kuona vizuri sana gizani.
Katika karne hii. Karne ya ishirini na moja. Umeme umesambazwa karibu
kila mahali. Ukienda mijini hasa, hakuna tofauti kati ya usiku na
mchana. Kwani kuna taa za umeme kila mahali. Barabarani na sokoni. Usiku
watu huendelea na biashara zao bila hofu yoyote. Kwa sababu kuna
mwangaza. Watu hutembea kwa kutohofia chochote kibaya. Kwa sababu hakuna
anayeweza kukudhuru katika mwangaza. Uovu hutekelezwa gizani tu.
Kando na kutumia tochi pamoja na taa za umeme. Na pia simu. Wazee wa
kitambo walikuwa wanawasha Moto usiku. Moto huu uliwashwa nje kwa
minajili ya kupata mwangaza. Na iwapo mtu angehitaji kwenda pengine
msalani alibeba kipande cha kuni chenye moto kiasi. Ili aone vizuri.
Wanahistoria watakwambia kwamba, binadamu wa kwanza, baada ya kuvumbua
moto. Walianza kutumia moto huo kama mwangaza wakati wa usiku. Na
wakienda kuwinda pia walitumia moto huo Kuwa tishia wanyama wakali.
Imethibitika kwamba maovu mengi hutendekea gizani. Barabarani ukitembea
bila mwanga . Unaweza vamiwa na wakora. Mjini, watu huapuka kutembelea
sehemu ambazo hakuna taa za umeme. Kwa sababu wezi hupenda kujificha
sehemu hizo. Kwa Kuwa hakuna anayeweza kuwaona. Wezi hawa wengine
wanaweza kutoa uhai, baada ya kupora mali.
Pia gizani. Maovu kama vile ubakaji, hufanyika. Huwezi kumtuma mtoto wa
kike dukani usiku. Ukifanya hivi, utakuwa unahatarisha maisha yake.
Wabakaji wengi huwatishia wasichana. Huwatishia kwa kutumia kisu.
Wasichana wale ambao hukataa kushiriki tendo hili, wengi wao hupoteza
maisha yao. Kando na kupoteza maisha. Wengine huwambukizwa magonjwa.
Magonjwa ya zinaa. Pia UKIMWI. Hata wengine hupachikwa mimba. Yafaa
tujihadhari sana na kuwatuma watoto gizani. Ili tusiyahatarishe maisha
yao.
Mtu akitembea gizani. Anaweza kujidhuru. Kwa mfano, ikiwa unatembea
chumbani, unaweza kujidhuru, kwa sababu, pengine hutakanyaga panga au
kifaa chochote chenye makali . Pia gizani kujigonga ni rahisi sana. Mtu
hupata jeraha ambalo huwa na maumivu. Hata jicho laweza toboka ,kwa
sababu kama huoni unakokwenda, utajuaje kifaa kilicho mbele yako?. Ili
kuepuka mambo kama haya. Ni vyema tununue tochi, au simu , ili tuwe na
mwanga wakutosha.
Wakora huiba usiku. Wakati karibu kila mtu amelala. Wao hufanya hivi kwa
Kuwa hakuna anayeweza kuwaona. Visa vya mifugo kuibwa . Mara nyingi
huripotiwa asubuhi. Kwani vitendo hivi hufanyika usiku. Kwenye giza.
Majumba kubomolewa usiku. Kwa nini? Kwa sababu kuna giza usiku. Usiku
umekuwa kama mchana kwa wezi. Na pia kwa maovu yote.
Kuna Methali inayosema kwamba. Usilolijua ni kama usiku. Yaani kwenye
giza huwezi jua litakalofanyika. Ajali nyingi za nyumbani hutokea usiku.
Basi ni vyema tuchukue hatua ya kuhakikisha kwamba usiku kuna mwanga.
Tuepuke kutembea gizani. Kumbuka msiba wa kujitakia hauna kilio.
| Giza husababisha nini | {
"text": [
"Upofu"
]
} |
4836_swa | GIZA
Giza . Ni neno linalomaanisha, kutokuwepo kwa mwangaza. Pia ni kinyume
cha Nuru. Mtu akiwa gizani, ni vigumu sana kuona vizuri. Giza hili
husababisha upofu . Upofu wa muda tu. Mimi mara nyingi hujipata
nakitembea gizani, heri nifunge macho. Kwa sababu hayana kazi kabisa.
Wanyama wengine kama vile paka, kondoo na wale wanyama wa mwituni. Macho
yao yameundwa tofauti sana, hivi kwamba wanauwezo wa kuona gizani, bila
tatizo. Ndio maana wengi huwinda usiku. Hasa simba hutafuta chakula
gizani. Au Usiku.
Mungu ndiye aliye umba giza na mwanga. Usiku na mchana. Usiku kuna giza
. Mchana kuna mwanga . Mwanga huu huletwa na jua. Wakati mwingine mwezi
hutoa nuru usiku . Si kila wakati. Mara moja moja tu.
Giza wakati mwingine mchana, husababishwa na mvua . Kwani wingu jeusi
hulifunika jua ,kisha nuru ya jua hupotea . Au kama kuna hali ya anga
tofauti na ya kawaida. Pia wengine huingia kwenye vyumba vyao na
kujifungia ndani. Na kuziba mianya kwa kateni za dirisha. Wao hufanya
hivi ilikusababisha giza chumbani na walale .
Wakati kuna giza. Watu hutumia tochi, kumulika . Tochi ni kifaa maalum
kilichoundwa ili kitoe mwanga. Tochi hizi kuna zile za kielektroniki.
Tochi za kielektroniki huitaji kutia nguvu za umeme ili ziweze kutoa
mwanga. Kule zile za kutumia betri ndogondogo. Hapa ni betri hununuliwa
kila zinapoisha . Pia kuna vile vitochi vidogovidogo ambavyo hutumika
lakini si kwa muda mrefu. Hutumia betri kama za saa. Tochi ni kifaa
muhimu sana . Kifaa hiki hutusaidia kuleta mwanga, si nyumbani tu bali
hata barabarani.
Pia watu hutumia simu zao ili waone kwenye giza. Hakuna simu ambayo
haina tochi. Hata iwe ndogo kiasi gani, lazima ina kidude cha tochi.
Ndio simu za zamani, hasa zile ndogo, zilikuwa zinaitwa 'Mulika Mwizi' .
Yaani zina mwangaza wa kumuona mwizi gizani. Katika karne hii si wengi
hununua tochi. Labda wale ambao hawana simu. Lakini simu hutoa mwanga .
Au nuru. Hili tusaidia kuona vizuri sana gizani.
Katika karne hii. Karne ya ishirini na moja. Umeme umesambazwa karibu
kila mahali. Ukienda mijini hasa, hakuna tofauti kati ya usiku na
mchana. Kwani kuna taa za umeme kila mahali. Barabarani na sokoni. Usiku
watu huendelea na biashara zao bila hofu yoyote. Kwa sababu kuna
mwangaza. Watu hutembea kwa kutohofia chochote kibaya. Kwa sababu hakuna
anayeweza kukudhuru katika mwangaza. Uovu hutekelezwa gizani tu.
Kando na kutumia tochi pamoja na taa za umeme. Na pia simu. Wazee wa
kitambo walikuwa wanawasha Moto usiku. Moto huu uliwashwa nje kwa
minajili ya kupata mwangaza. Na iwapo mtu angehitaji kwenda pengine
msalani alibeba kipande cha kuni chenye moto kiasi. Ili aone vizuri.
Wanahistoria watakwambia kwamba, binadamu wa kwanza, baada ya kuvumbua
moto. Walianza kutumia moto huo kama mwangaza wakati wa usiku. Na
wakienda kuwinda pia walitumia moto huo Kuwa tishia wanyama wakali.
Imethibitika kwamba maovu mengi hutendekea gizani. Barabarani ukitembea
bila mwanga . Unaweza vamiwa na wakora. Mjini, watu huapuka kutembelea
sehemu ambazo hakuna taa za umeme. Kwa sababu wezi hupenda kujificha
sehemu hizo. Kwa Kuwa hakuna anayeweza kuwaona. Wezi hawa wengine
wanaweza kutoa uhai, baada ya kupora mali.
Pia gizani. Maovu kama vile ubakaji, hufanyika. Huwezi kumtuma mtoto wa
kike dukani usiku. Ukifanya hivi, utakuwa unahatarisha maisha yake.
Wabakaji wengi huwatishia wasichana. Huwatishia kwa kutumia kisu.
Wasichana wale ambao hukataa kushiriki tendo hili, wengi wao hupoteza
maisha yao. Kando na kupoteza maisha. Wengine huwambukizwa magonjwa.
Magonjwa ya zinaa. Pia UKIMWI. Hata wengine hupachikwa mimba. Yafaa
tujihadhari sana na kuwatuma watoto gizani. Ili tusiyahatarishe maisha
yao.
Mtu akitembea gizani. Anaweza kujidhuru. Kwa mfano, ikiwa unatembea
chumbani, unaweza kujidhuru, kwa sababu, pengine hutakanyaga panga au
kifaa chochote chenye makali . Pia gizani kujigonga ni rahisi sana. Mtu
hupata jeraha ambalo huwa na maumivu. Hata jicho laweza toboka ,kwa
sababu kama huoni unakokwenda, utajuaje kifaa kilicho mbele yako?. Ili
kuepuka mambo kama haya. Ni vyema tununue tochi, au simu , ili tuwe na
mwanga wakutosha.
Wakora huiba usiku. Wakati karibu kila mtu amelala. Wao hufanya hivi kwa
Kuwa hakuna anayeweza kuwaona. Visa vya mifugo kuibwa . Mara nyingi
huripotiwa asubuhi. Kwani vitendo hivi hufanyika usiku. Kwenye giza.
Majumba kubomolewa usiku. Kwa nini? Kwa sababu kuna giza usiku. Usiku
umekuwa kama mchana kwa wezi. Na pia kwa maovu yote.
Kuna Methali inayosema kwamba. Usilolijua ni kama usiku. Yaani kwenye
giza huwezi jua litakalofanyika. Ajali nyingi za nyumbani hutokea usiku.
Basi ni vyema tuchukue hatua ya kuhakikisha kwamba usiku kuna mwanga.
Tuepuke kutembea gizani. Kumbuka msiba wa kujitakia hauna kilio.
| Ni wanyama wapi wanaweza ona gizani | {
"text": [
"Paka, kondoo na wa mwituni"
]
} |
4836_swa | GIZA
Giza . Ni neno linalomaanisha, kutokuwepo kwa mwangaza. Pia ni kinyume
cha Nuru. Mtu akiwa gizani, ni vigumu sana kuona vizuri. Giza hili
husababisha upofu . Upofu wa muda tu. Mimi mara nyingi hujipata
nakitembea gizani, heri nifunge macho. Kwa sababu hayana kazi kabisa.
Wanyama wengine kama vile paka, kondoo na wale wanyama wa mwituni. Macho
yao yameundwa tofauti sana, hivi kwamba wanauwezo wa kuona gizani, bila
tatizo. Ndio maana wengi huwinda usiku. Hasa simba hutafuta chakula
gizani. Au Usiku.
Mungu ndiye aliye umba giza na mwanga. Usiku na mchana. Usiku kuna giza
. Mchana kuna mwanga . Mwanga huu huletwa na jua. Wakati mwingine mwezi
hutoa nuru usiku . Si kila wakati. Mara moja moja tu.
Giza wakati mwingine mchana, husababishwa na mvua . Kwani wingu jeusi
hulifunika jua ,kisha nuru ya jua hupotea . Au kama kuna hali ya anga
tofauti na ya kawaida. Pia wengine huingia kwenye vyumba vyao na
kujifungia ndani. Na kuziba mianya kwa kateni za dirisha. Wao hufanya
hivi ilikusababisha giza chumbani na walale .
Wakati kuna giza. Watu hutumia tochi, kumulika . Tochi ni kifaa maalum
kilichoundwa ili kitoe mwanga. Tochi hizi kuna zile za kielektroniki.
Tochi za kielektroniki huitaji kutia nguvu za umeme ili ziweze kutoa
mwanga. Kule zile za kutumia betri ndogondogo. Hapa ni betri hununuliwa
kila zinapoisha . Pia kuna vile vitochi vidogovidogo ambavyo hutumika
lakini si kwa muda mrefu. Hutumia betri kama za saa. Tochi ni kifaa
muhimu sana . Kifaa hiki hutusaidia kuleta mwanga, si nyumbani tu bali
hata barabarani.
Pia watu hutumia simu zao ili waone kwenye giza. Hakuna simu ambayo
haina tochi. Hata iwe ndogo kiasi gani, lazima ina kidude cha tochi.
Ndio simu za zamani, hasa zile ndogo, zilikuwa zinaitwa 'Mulika Mwizi' .
Yaani zina mwangaza wa kumuona mwizi gizani. Katika karne hii si wengi
hununua tochi. Labda wale ambao hawana simu. Lakini simu hutoa mwanga .
Au nuru. Hili tusaidia kuona vizuri sana gizani.
Katika karne hii. Karne ya ishirini na moja. Umeme umesambazwa karibu
kila mahali. Ukienda mijini hasa, hakuna tofauti kati ya usiku na
mchana. Kwani kuna taa za umeme kila mahali. Barabarani na sokoni. Usiku
watu huendelea na biashara zao bila hofu yoyote. Kwa sababu kuna
mwangaza. Watu hutembea kwa kutohofia chochote kibaya. Kwa sababu hakuna
anayeweza kukudhuru katika mwangaza. Uovu hutekelezwa gizani tu.
Kando na kutumia tochi pamoja na taa za umeme. Na pia simu. Wazee wa
kitambo walikuwa wanawasha Moto usiku. Moto huu uliwashwa nje kwa
minajili ya kupata mwangaza. Na iwapo mtu angehitaji kwenda pengine
msalani alibeba kipande cha kuni chenye moto kiasi. Ili aone vizuri.
Wanahistoria watakwambia kwamba, binadamu wa kwanza, baada ya kuvumbua
moto. Walianza kutumia moto huo kama mwangaza wakati wa usiku. Na
wakienda kuwinda pia walitumia moto huo Kuwa tishia wanyama wakali.
Imethibitika kwamba maovu mengi hutendekea gizani. Barabarani ukitembea
bila mwanga . Unaweza vamiwa na wakora. Mjini, watu huapuka kutembelea
sehemu ambazo hakuna taa za umeme. Kwa sababu wezi hupenda kujificha
sehemu hizo. Kwa Kuwa hakuna anayeweza kuwaona. Wezi hawa wengine
wanaweza kutoa uhai, baada ya kupora mali.
Pia gizani. Maovu kama vile ubakaji, hufanyika. Huwezi kumtuma mtoto wa
kike dukani usiku. Ukifanya hivi, utakuwa unahatarisha maisha yake.
Wabakaji wengi huwatishia wasichana. Huwatishia kwa kutumia kisu.
Wasichana wale ambao hukataa kushiriki tendo hili, wengi wao hupoteza
maisha yao. Kando na kupoteza maisha. Wengine huwambukizwa magonjwa.
Magonjwa ya zinaa. Pia UKIMWI. Hata wengine hupachikwa mimba. Yafaa
tujihadhari sana na kuwatuma watoto gizani. Ili tusiyahatarishe maisha
yao.
Mtu akitembea gizani. Anaweza kujidhuru. Kwa mfano, ikiwa unatembea
chumbani, unaweza kujidhuru, kwa sababu, pengine hutakanyaga panga au
kifaa chochote chenye makali . Pia gizani kujigonga ni rahisi sana. Mtu
hupata jeraha ambalo huwa na maumivu. Hata jicho laweza toboka ,kwa
sababu kama huoni unakokwenda, utajuaje kifaa kilicho mbele yako?. Ili
kuepuka mambo kama haya. Ni vyema tununue tochi, au simu , ili tuwe na
mwanga wakutosha.
Wakora huiba usiku. Wakati karibu kila mtu amelala. Wao hufanya hivi kwa
Kuwa hakuna anayeweza kuwaona. Visa vya mifugo kuibwa . Mara nyingi
huripotiwa asubuhi. Kwani vitendo hivi hufanyika usiku. Kwenye giza.
Majumba kubomolewa usiku. Kwa nini? Kwa sababu kuna giza usiku. Usiku
umekuwa kama mchana kwa wezi. Na pia kwa maovu yote.
Kuna Methali inayosema kwamba. Usilolijua ni kama usiku. Yaani kwenye
giza huwezi jua litakalofanyika. Ajali nyingi za nyumbani hutokea usiku.
Basi ni vyema tuchukue hatua ya kuhakikisha kwamba usiku kuna mwanga.
Tuepuke kutembea gizani. Kumbuka msiba wa kujitakia hauna kilio.
| Mnyama yupi hutafuta chakula gizani | {
"text": [
"Simba"
]
} |
4836_swa | GIZA
Giza . Ni neno linalomaanisha, kutokuwepo kwa mwangaza. Pia ni kinyume
cha Nuru. Mtu akiwa gizani, ni vigumu sana kuona vizuri. Giza hili
husababisha upofu . Upofu wa muda tu. Mimi mara nyingi hujipata
nakitembea gizani, heri nifunge macho. Kwa sababu hayana kazi kabisa.
Wanyama wengine kama vile paka, kondoo na wale wanyama wa mwituni. Macho
yao yameundwa tofauti sana, hivi kwamba wanauwezo wa kuona gizani, bila
tatizo. Ndio maana wengi huwinda usiku. Hasa simba hutafuta chakula
gizani. Au Usiku.
Mungu ndiye aliye umba giza na mwanga. Usiku na mchana. Usiku kuna giza
. Mchana kuna mwanga . Mwanga huu huletwa na jua. Wakati mwingine mwezi
hutoa nuru usiku . Si kila wakati. Mara moja moja tu.
Giza wakati mwingine mchana, husababishwa na mvua . Kwani wingu jeusi
hulifunika jua ,kisha nuru ya jua hupotea . Au kama kuna hali ya anga
tofauti na ya kawaida. Pia wengine huingia kwenye vyumba vyao na
kujifungia ndani. Na kuziba mianya kwa kateni za dirisha. Wao hufanya
hivi ilikusababisha giza chumbani na walale .
Wakati kuna giza. Watu hutumia tochi, kumulika . Tochi ni kifaa maalum
kilichoundwa ili kitoe mwanga. Tochi hizi kuna zile za kielektroniki.
Tochi za kielektroniki huitaji kutia nguvu za umeme ili ziweze kutoa
mwanga. Kule zile za kutumia betri ndogondogo. Hapa ni betri hununuliwa
kila zinapoisha . Pia kuna vile vitochi vidogovidogo ambavyo hutumika
lakini si kwa muda mrefu. Hutumia betri kama za saa. Tochi ni kifaa
muhimu sana . Kifaa hiki hutusaidia kuleta mwanga, si nyumbani tu bali
hata barabarani.
Pia watu hutumia simu zao ili waone kwenye giza. Hakuna simu ambayo
haina tochi. Hata iwe ndogo kiasi gani, lazima ina kidude cha tochi.
Ndio simu za zamani, hasa zile ndogo, zilikuwa zinaitwa 'Mulika Mwizi' .
Yaani zina mwangaza wa kumuona mwizi gizani. Katika karne hii si wengi
hununua tochi. Labda wale ambao hawana simu. Lakini simu hutoa mwanga .
Au nuru. Hili tusaidia kuona vizuri sana gizani.
Katika karne hii. Karne ya ishirini na moja. Umeme umesambazwa karibu
kila mahali. Ukienda mijini hasa, hakuna tofauti kati ya usiku na
mchana. Kwani kuna taa za umeme kila mahali. Barabarani na sokoni. Usiku
watu huendelea na biashara zao bila hofu yoyote. Kwa sababu kuna
mwangaza. Watu hutembea kwa kutohofia chochote kibaya. Kwa sababu hakuna
anayeweza kukudhuru katika mwangaza. Uovu hutekelezwa gizani tu.
Kando na kutumia tochi pamoja na taa za umeme. Na pia simu. Wazee wa
kitambo walikuwa wanawasha Moto usiku. Moto huu uliwashwa nje kwa
minajili ya kupata mwangaza. Na iwapo mtu angehitaji kwenda pengine
msalani alibeba kipande cha kuni chenye moto kiasi. Ili aone vizuri.
Wanahistoria watakwambia kwamba, binadamu wa kwanza, baada ya kuvumbua
moto. Walianza kutumia moto huo kama mwangaza wakati wa usiku. Na
wakienda kuwinda pia walitumia moto huo Kuwa tishia wanyama wakali.
Imethibitika kwamba maovu mengi hutendekea gizani. Barabarani ukitembea
bila mwanga . Unaweza vamiwa na wakora. Mjini, watu huapuka kutembelea
sehemu ambazo hakuna taa za umeme. Kwa sababu wezi hupenda kujificha
sehemu hizo. Kwa Kuwa hakuna anayeweza kuwaona. Wezi hawa wengine
wanaweza kutoa uhai, baada ya kupora mali.
Pia gizani. Maovu kama vile ubakaji, hufanyika. Huwezi kumtuma mtoto wa
kike dukani usiku. Ukifanya hivi, utakuwa unahatarisha maisha yake.
Wabakaji wengi huwatishia wasichana. Huwatishia kwa kutumia kisu.
Wasichana wale ambao hukataa kushiriki tendo hili, wengi wao hupoteza
maisha yao. Kando na kupoteza maisha. Wengine huwambukizwa magonjwa.
Magonjwa ya zinaa. Pia UKIMWI. Hata wengine hupachikwa mimba. Yafaa
tujihadhari sana na kuwatuma watoto gizani. Ili tusiyahatarishe maisha
yao.
Mtu akitembea gizani. Anaweza kujidhuru. Kwa mfano, ikiwa unatembea
chumbani, unaweza kujidhuru, kwa sababu, pengine hutakanyaga panga au
kifaa chochote chenye makali . Pia gizani kujigonga ni rahisi sana. Mtu
hupata jeraha ambalo huwa na maumivu. Hata jicho laweza toboka ,kwa
sababu kama huoni unakokwenda, utajuaje kifaa kilicho mbele yako?. Ili
kuepuka mambo kama haya. Ni vyema tununue tochi, au simu , ili tuwe na
mwanga wakutosha.
Wakora huiba usiku. Wakati karibu kila mtu amelala. Wao hufanya hivi kwa
Kuwa hakuna anayeweza kuwaona. Visa vya mifugo kuibwa . Mara nyingi
huripotiwa asubuhi. Kwani vitendo hivi hufanyika usiku. Kwenye giza.
Majumba kubomolewa usiku. Kwa nini? Kwa sababu kuna giza usiku. Usiku
umekuwa kama mchana kwa wezi. Na pia kwa maovu yote.
Kuna Methali inayosema kwamba. Usilolijua ni kama usiku. Yaani kwenye
giza huwezi jua litakalofanyika. Ajali nyingi za nyumbani hutokea usiku.
Basi ni vyema tuchukue hatua ya kuhakikisha kwamba usiku kuna mwanga.
Tuepuke kutembea gizani. Kumbuka msiba wa kujitakia hauna kilio.
| Nani aliyeumba giza na mwanga | {
"text": [
"Mungu"
]
} |
4837_swa | UVUMBUZI WA SHAJARA
Mungu akawaumba wanadamu kwa njia ya kushangaza sana. Kitambo, wanadamu
waliumbwa na uwezo mkuu wa kuweza kukumbuka matukio. Babu zetu
walituhadithia hadithi kila wakati. Hizi hadithi hamkini zilikuwa kama
kumbukumbu. Mababu walitumai kwamba tutaweza kuzinakili akili pasipo na
kupoteza tukio hata moja. Lakini kila kuchao, huu uwezo wa kumbukumbu
umedidimia kwa kina kirefu.
Itakumbukwa pia, tangu jadi mababu zetu waliyapanga mambo yao pasipo na
kuyanakili. Uwezo huu ulihusishwa na shughuli chache zilizowakabili.
Lakini kila kuchao, mazingira ya mwanadamu yanabadilika. Siku hizi
majukumu yamezidi. Mengi yakiwa muhimu kuliko mengine.
Yote haya mawili yakiwekwa pamoja, yamkini yamefanya uvumbi wa shajara.
Shajara ni daftari linalotumiwa kuhifadhi habari muhimu nyumbani,
ofisini, shuleni au hata mahali pa kazi. Shajara imesababisha binadumu
kuwa na uwezo wa kukidhi mahitaji yake ya kukumbuka. Pia na uwezo wa
kufanya yote atakavyo na kwa muda autakao.
Itakumbukwa ya kwamba shajara zipo za aina nyingi. Kunazo shajara ambazo
zimesheni habari nyingi za kimataifa. Shajara hizi huhifadha mutikio
muhimu kuhusu nchi tafauti ulimwenguni. Mara kwa mara nyakati za dunia,
hali ya joto na matukio ya kila siku ya nchi huweza kunakiliwa katika
shajara hizi. Hizi shajara hupatikana sana kwenye ofisi za serikali.
Pili, kunazo shajara za ofisi. Hizi hurekodi matukio na shughuli muhimu
katika ofisi. Hapa, utapata rekodi za mikutano, miadi ya maofisa, majina
ya wateja na kadhalika. Hizi shajara huwa kiungo muhimu katika karatibu
mipangalio ya ofisi. Halikadhalika huwa kipengee muhimu cha marejeleo
wakati wa kufanya uwamuzi katika ofisi.
Katika huu uianishaji, tukumbuke kuwa kuna pia shajara ya kibanafsi.
Hizi hunakiliwa mambo ya kibanfsi. Mwenye shajara ana uwezo wa kunakili
matukio ya muhimu na hata kihifadhi tarehe za muhimu. Itakumbukwa kuwa
hii ni njia rahisi ya kuhifadhi taarifa muhimu kama nambari za pasipoti
na kitambulisho, aina ya damu, nambari muhimu za simu na kadhalika.
Shajara ya kibanafsi yafaa itafautishwe na shajara rasmi. Japo
zinakaribiani, shajara rasmi hunakiliwa mambo ya kawaida tu yanayomsibu
mwenye shajara hilo.
Shajara pia hubainishwa kulingana na utendakazi wake. Katika kundi hili
tutapata shajara la shule. Hili husishwa na mudahalo wa shule.
Yanayonakiliwa katika hili, humzunguka tu mwanafunzi na shule kwa jumla.
Shajara kama hii, itapata imenakiliwa taratibu ya kufanya marudio,
taratibu za leseni shuleni. Ikumbukwe kuwa pia walimu wanaweza
kutengeneza shajara zao pia.
Kuna shajara pia wanasayansi. Hili hurekodi matekeo ya kisayansi kila
yanapojiri. Mara kwa mara, panapotekea uvumbuzi, wanasayansi huridhia
yasipotea kamwe na hivyo shajara hili likiwa kumbukumbu kuu lao. Shajara
kama hizi huwa msingi mkuu wa kuendeleza utafiti.
Mwisho tutaangazia shajara za vita. Hizi hurekodi visa na matekeo ya
vita mbali mbali. Mara mingi hurekodi vita ambavyo hutikisa Dunia. Vita
kwa vile vya wanamgambo wa ISIS, WanaTalban, wanagambo wa Bokoharam
hunakiliwa kwenye shajara kama hizi. Kwa ukubwa, huangazia kiongozi,
maafa yaliyotokea, na muda ambayo hivyo vita vilisheni.
Kwa hitimisho, shajara imekuwa nguzo muhimu katika maisha ya binadamu.
Japo zipo aina nyingi za shajara, ni muhimu kila binadamu angalabu
aukubali na kuutumia uvumbuzi huu. Shajara itamraishisha kumbukumbu
zake.
| Nani akawaumba wanadamu kwa njia ya kushangaza | {
"text": [
"Mungu"
]
} |
4837_swa | UVUMBUZI WA SHAJARA
Mungu akawaumba wanadamu kwa njia ya kushangaza sana. Kitambo, wanadamu
waliumbwa na uwezo mkuu wa kuweza kukumbuka matukio. Babu zetu
walituhadithia hadithi kila wakati. Hizi hadithi hamkini zilikuwa kama
kumbukumbu. Mababu walitumai kwamba tutaweza kuzinakili akili pasipo na
kupoteza tukio hata moja. Lakini kila kuchao, huu uwezo wa kumbukumbu
umedidimia kwa kina kirefu.
Itakumbukwa pia, tangu jadi mababu zetu waliyapanga mambo yao pasipo na
kuyanakili. Uwezo huu ulihusishwa na shughuli chache zilizowakabili.
Lakini kila kuchao, mazingira ya mwanadamu yanabadilika. Siku hizi
majukumu yamezidi. Mengi yakiwa muhimu kuliko mengine.
Yote haya mawili yakiwekwa pamoja, yamkini yamefanya uvumbi wa shajara.
Shajara ni daftari linalotumiwa kuhifadhi habari muhimu nyumbani,
ofisini, shuleni au hata mahali pa kazi. Shajara imesababisha binadumu
kuwa na uwezo wa kukidhi mahitaji yake ya kukumbuka. Pia na uwezo wa
kufanya yote atakavyo na kwa muda autakao.
Itakumbukwa ya kwamba shajara zipo za aina nyingi. Kunazo shajara ambazo
zimesheni habari nyingi za kimataifa. Shajara hizi huhifadha mutikio
muhimu kuhusu nchi tafauti ulimwenguni. Mara kwa mara nyakati za dunia,
hali ya joto na matukio ya kila siku ya nchi huweza kunakiliwa katika
shajara hizi. Hizi shajara hupatikana sana kwenye ofisi za serikali.
Pili, kunazo shajara za ofisi. Hizi hurekodi matukio na shughuli muhimu
katika ofisi. Hapa, utapata rekodi za mikutano, miadi ya maofisa, majina
ya wateja na kadhalika. Hizi shajara huwa kiungo muhimu katika karatibu
mipangalio ya ofisi. Halikadhalika huwa kipengee muhimu cha marejeleo
wakati wa kufanya uwamuzi katika ofisi.
Katika huu uianishaji, tukumbuke kuwa kuna pia shajara ya kibanafsi.
Hizi hunakiliwa mambo ya kibanfsi. Mwenye shajara ana uwezo wa kunakili
matukio ya muhimu na hata kihifadhi tarehe za muhimu. Itakumbukwa kuwa
hii ni njia rahisi ya kuhifadhi taarifa muhimu kama nambari za pasipoti
na kitambulisho, aina ya damu, nambari muhimu za simu na kadhalika.
Shajara ya kibanafsi yafaa itafautishwe na shajara rasmi. Japo
zinakaribiani, shajara rasmi hunakiliwa mambo ya kawaida tu yanayomsibu
mwenye shajara hilo.
Shajara pia hubainishwa kulingana na utendakazi wake. Katika kundi hili
tutapata shajara la shule. Hili husishwa na mudahalo wa shule.
Yanayonakiliwa katika hili, humzunguka tu mwanafunzi na shule kwa jumla.
Shajara kama hii, itapata imenakiliwa taratibu ya kufanya marudio,
taratibu za leseni shuleni. Ikumbukwe kuwa pia walimu wanaweza
kutengeneza shajara zao pia.
Kuna shajara pia wanasayansi. Hili hurekodi matekeo ya kisayansi kila
yanapojiri. Mara kwa mara, panapotekea uvumbuzi, wanasayansi huridhia
yasipotea kamwe na hivyo shajara hili likiwa kumbukumbu kuu lao. Shajara
kama hizi huwa msingi mkuu wa kuendeleza utafiti.
Mwisho tutaangazia shajara za vita. Hizi hurekodi visa na matekeo ya
vita mbali mbali. Mara mingi hurekodi vita ambavyo hutikisa Dunia. Vita
kwa vile vya wanamgambo wa ISIS, WanaTalban, wanagambo wa Bokoharam
hunakiliwa kwenye shajara kama hizi. Kwa ukubwa, huangazia kiongozi,
maafa yaliyotokea, na muda ambayo hivyo vita vilisheni.
Kwa hitimisho, shajara imekuwa nguzo muhimu katika maisha ya binadamu.
Japo zipo aina nyingi za shajara, ni muhimu kila binadamu angalabu
aukubali na kuutumia uvumbuzi huu. Shajara itamraishisha kumbukumbu
zake.
| Shajara za ofisi hurekodi mambo yapi | {
"text": [
"Kiofisi"
]
} |
4837_swa | UVUMBUZI WA SHAJARA
Mungu akawaumba wanadamu kwa njia ya kushangaza sana. Kitambo, wanadamu
waliumbwa na uwezo mkuu wa kuweza kukumbuka matukio. Babu zetu
walituhadithia hadithi kila wakati. Hizi hadithi hamkini zilikuwa kama
kumbukumbu. Mababu walitumai kwamba tutaweza kuzinakili akili pasipo na
kupoteza tukio hata moja. Lakini kila kuchao, huu uwezo wa kumbukumbu
umedidimia kwa kina kirefu.
Itakumbukwa pia, tangu jadi mababu zetu waliyapanga mambo yao pasipo na
kuyanakili. Uwezo huu ulihusishwa na shughuli chache zilizowakabili.
Lakini kila kuchao, mazingira ya mwanadamu yanabadilika. Siku hizi
majukumu yamezidi. Mengi yakiwa muhimu kuliko mengine.
Yote haya mawili yakiwekwa pamoja, yamkini yamefanya uvumbi wa shajara.
Shajara ni daftari linalotumiwa kuhifadhi habari muhimu nyumbani,
ofisini, shuleni au hata mahali pa kazi. Shajara imesababisha binadumu
kuwa na uwezo wa kukidhi mahitaji yake ya kukumbuka. Pia na uwezo wa
kufanya yote atakavyo na kwa muda autakao.
Itakumbukwa ya kwamba shajara zipo za aina nyingi. Kunazo shajara ambazo
zimesheni habari nyingi za kimataifa. Shajara hizi huhifadha mutikio
muhimu kuhusu nchi tafauti ulimwenguni. Mara kwa mara nyakati za dunia,
hali ya joto na matukio ya kila siku ya nchi huweza kunakiliwa katika
shajara hizi. Hizi shajara hupatikana sana kwenye ofisi za serikali.
Pili, kunazo shajara za ofisi. Hizi hurekodi matukio na shughuli muhimu
katika ofisi. Hapa, utapata rekodi za mikutano, miadi ya maofisa, majina
ya wateja na kadhalika. Hizi shajara huwa kiungo muhimu katika karatibu
mipangalio ya ofisi. Halikadhalika huwa kipengee muhimu cha marejeleo
wakati wa kufanya uwamuzi katika ofisi.
Katika huu uianishaji, tukumbuke kuwa kuna pia shajara ya kibanafsi.
Hizi hunakiliwa mambo ya kibanfsi. Mwenye shajara ana uwezo wa kunakili
matukio ya muhimu na hata kihifadhi tarehe za muhimu. Itakumbukwa kuwa
hii ni njia rahisi ya kuhifadhi taarifa muhimu kama nambari za pasipoti
na kitambulisho, aina ya damu, nambari muhimu za simu na kadhalika.
Shajara ya kibanafsi yafaa itafautishwe na shajara rasmi. Japo
zinakaribiani, shajara rasmi hunakiliwa mambo ya kawaida tu yanayomsibu
mwenye shajara hilo.
Shajara pia hubainishwa kulingana na utendakazi wake. Katika kundi hili
tutapata shajara la shule. Hili husishwa na mudahalo wa shule.
Yanayonakiliwa katika hili, humzunguka tu mwanafunzi na shule kwa jumla.
Shajara kama hii, itapata imenakiliwa taratibu ya kufanya marudio,
taratibu za leseni shuleni. Ikumbukwe kuwa pia walimu wanaweza
kutengeneza shajara zao pia.
Kuna shajara pia wanasayansi. Hili hurekodi matekeo ya kisayansi kila
yanapojiri. Mara kwa mara, panapotekea uvumbuzi, wanasayansi huridhia
yasipotea kamwe na hivyo shajara hili likiwa kumbukumbu kuu lao. Shajara
kama hizi huwa msingi mkuu wa kuendeleza utafiti.
Mwisho tutaangazia shajara za vita. Hizi hurekodi visa na matekeo ya
vita mbali mbali. Mara mingi hurekodi vita ambavyo hutikisa Dunia. Vita
kwa vile vya wanamgambo wa ISIS, WanaTalban, wanagambo wa Bokoharam
hunakiliwa kwenye shajara kama hizi. Kwa ukubwa, huangazia kiongozi,
maafa yaliyotokea, na muda ambayo hivyo vita vilisheni.
Kwa hitimisho, shajara imekuwa nguzo muhimu katika maisha ya binadamu.
Japo zipo aina nyingi za shajara, ni muhimu kila binadamu angalabu
aukubali na kuutumia uvumbuzi huu. Shajara itamraishisha kumbukumbu
zake.
| Shajara ni njia rahisi ta kunakili nini | {
"text": [
"Matukio"
]
} |
4837_swa | UVUMBUZI WA SHAJARA
Mungu akawaumba wanadamu kwa njia ya kushangaza sana. Kitambo, wanadamu
waliumbwa na uwezo mkuu wa kuweza kukumbuka matukio. Babu zetu
walituhadithia hadithi kila wakati. Hizi hadithi hamkini zilikuwa kama
kumbukumbu. Mababu walitumai kwamba tutaweza kuzinakili akili pasipo na
kupoteza tukio hata moja. Lakini kila kuchao, huu uwezo wa kumbukumbu
umedidimia kwa kina kirefu.
Itakumbukwa pia, tangu jadi mababu zetu waliyapanga mambo yao pasipo na
kuyanakili. Uwezo huu ulihusishwa na shughuli chache zilizowakabili.
Lakini kila kuchao, mazingira ya mwanadamu yanabadilika. Siku hizi
majukumu yamezidi. Mengi yakiwa muhimu kuliko mengine.
Yote haya mawili yakiwekwa pamoja, yamkini yamefanya uvumbi wa shajara.
Shajara ni daftari linalotumiwa kuhifadhi habari muhimu nyumbani,
ofisini, shuleni au hata mahali pa kazi. Shajara imesababisha binadumu
kuwa na uwezo wa kukidhi mahitaji yake ya kukumbuka. Pia na uwezo wa
kufanya yote atakavyo na kwa muda autakao.
Itakumbukwa ya kwamba shajara zipo za aina nyingi. Kunazo shajara ambazo
zimesheni habari nyingi za kimataifa. Shajara hizi huhifadha mutikio
muhimu kuhusu nchi tafauti ulimwenguni. Mara kwa mara nyakati za dunia,
hali ya joto na matukio ya kila siku ya nchi huweza kunakiliwa katika
shajara hizi. Hizi shajara hupatikana sana kwenye ofisi za serikali.
Pili, kunazo shajara za ofisi. Hizi hurekodi matukio na shughuli muhimu
katika ofisi. Hapa, utapata rekodi za mikutano, miadi ya maofisa, majina
ya wateja na kadhalika. Hizi shajara huwa kiungo muhimu katika karatibu
mipangalio ya ofisi. Halikadhalika huwa kipengee muhimu cha marejeleo
wakati wa kufanya uwamuzi katika ofisi.
Katika huu uianishaji, tukumbuke kuwa kuna pia shajara ya kibanafsi.
Hizi hunakiliwa mambo ya kibanfsi. Mwenye shajara ana uwezo wa kunakili
matukio ya muhimu na hata kihifadhi tarehe za muhimu. Itakumbukwa kuwa
hii ni njia rahisi ya kuhifadhi taarifa muhimu kama nambari za pasipoti
na kitambulisho, aina ya damu, nambari muhimu za simu na kadhalika.
Shajara ya kibanafsi yafaa itafautishwe na shajara rasmi. Japo
zinakaribiani, shajara rasmi hunakiliwa mambo ya kawaida tu yanayomsibu
mwenye shajara hilo.
Shajara pia hubainishwa kulingana na utendakazi wake. Katika kundi hili
tutapata shajara la shule. Hili husishwa na mudahalo wa shule.
Yanayonakiliwa katika hili, humzunguka tu mwanafunzi na shule kwa jumla.
Shajara kama hii, itapata imenakiliwa taratibu ya kufanya marudio,
taratibu za leseni shuleni. Ikumbukwe kuwa pia walimu wanaweza
kutengeneza shajara zao pia.
Kuna shajara pia wanasayansi. Hili hurekodi matekeo ya kisayansi kila
yanapojiri. Mara kwa mara, panapotekea uvumbuzi, wanasayansi huridhia
yasipotea kamwe na hivyo shajara hili likiwa kumbukumbu kuu lao. Shajara
kama hizi huwa msingi mkuu wa kuendeleza utafiti.
Mwisho tutaangazia shajara za vita. Hizi hurekodi visa na matekeo ya
vita mbali mbali. Mara mingi hurekodi vita ambavyo hutikisa Dunia. Vita
kwa vile vya wanamgambo wa ISIS, WanaTalban, wanagambo wa Bokoharam
hunakiliwa kwenye shajara kama hizi. Kwa ukubwa, huangazia kiongozi,
maafa yaliyotokea, na muda ambayo hivyo vita vilisheni.
Kwa hitimisho, shajara imekuwa nguzo muhimu katika maisha ya binadamu.
Japo zipo aina nyingi za shajara, ni muhimu kila binadamu angalabu
aukubali na kuutumia uvumbuzi huu. Shajara itamraishisha kumbukumbu
zake.
| Shajara ya shule huhusishwa na nini | {
"text": [
"Midahalo ya shule"
]
} |
4837_swa | UVUMBUZI WA SHAJARA
Mungu akawaumba wanadamu kwa njia ya kushangaza sana. Kitambo, wanadamu
waliumbwa na uwezo mkuu wa kuweza kukumbuka matukio. Babu zetu
walituhadithia hadithi kila wakati. Hizi hadithi hamkini zilikuwa kama
kumbukumbu. Mababu walitumai kwamba tutaweza kuzinakili akili pasipo na
kupoteza tukio hata moja. Lakini kila kuchao, huu uwezo wa kumbukumbu
umedidimia kwa kina kirefu.
Itakumbukwa pia, tangu jadi mababu zetu waliyapanga mambo yao pasipo na
kuyanakili. Uwezo huu ulihusishwa na shughuli chache zilizowakabili.
Lakini kila kuchao, mazingira ya mwanadamu yanabadilika. Siku hizi
majukumu yamezidi. Mengi yakiwa muhimu kuliko mengine.
Yote haya mawili yakiwekwa pamoja, yamkini yamefanya uvumbi wa shajara.
Shajara ni daftari linalotumiwa kuhifadhi habari muhimu nyumbani,
ofisini, shuleni au hata mahali pa kazi. Shajara imesababisha binadumu
kuwa na uwezo wa kukidhi mahitaji yake ya kukumbuka. Pia na uwezo wa
kufanya yote atakavyo na kwa muda autakao.
Itakumbukwa ya kwamba shajara zipo za aina nyingi. Kunazo shajara ambazo
zimesheni habari nyingi za kimataifa. Shajara hizi huhifadha mutikio
muhimu kuhusu nchi tafauti ulimwenguni. Mara kwa mara nyakati za dunia,
hali ya joto na matukio ya kila siku ya nchi huweza kunakiliwa katika
shajara hizi. Hizi shajara hupatikana sana kwenye ofisi za serikali.
Pili, kunazo shajara za ofisi. Hizi hurekodi matukio na shughuli muhimu
katika ofisi. Hapa, utapata rekodi za mikutano, miadi ya maofisa, majina
ya wateja na kadhalika. Hizi shajara huwa kiungo muhimu katika karatibu
mipangalio ya ofisi. Halikadhalika huwa kipengee muhimu cha marejeleo
wakati wa kufanya uwamuzi katika ofisi.
Katika huu uianishaji, tukumbuke kuwa kuna pia shajara ya kibanafsi.
Hizi hunakiliwa mambo ya kibanfsi. Mwenye shajara ana uwezo wa kunakili
matukio ya muhimu na hata kihifadhi tarehe za muhimu. Itakumbukwa kuwa
hii ni njia rahisi ya kuhifadhi taarifa muhimu kama nambari za pasipoti
na kitambulisho, aina ya damu, nambari muhimu za simu na kadhalika.
Shajara ya kibanafsi yafaa itafautishwe na shajara rasmi. Japo
zinakaribiani, shajara rasmi hunakiliwa mambo ya kawaida tu yanayomsibu
mwenye shajara hilo.
Shajara pia hubainishwa kulingana na utendakazi wake. Katika kundi hili
tutapata shajara la shule. Hili husishwa na mudahalo wa shule.
Yanayonakiliwa katika hili, humzunguka tu mwanafunzi na shule kwa jumla.
Shajara kama hii, itapata imenakiliwa taratibu ya kufanya marudio,
taratibu za leseni shuleni. Ikumbukwe kuwa pia walimu wanaweza
kutengeneza shajara zao pia.
Kuna shajara pia wanasayansi. Hili hurekodi matekeo ya kisayansi kila
yanapojiri. Mara kwa mara, panapotekea uvumbuzi, wanasayansi huridhia
yasipotea kamwe na hivyo shajara hili likiwa kumbukumbu kuu lao. Shajara
kama hizi huwa msingi mkuu wa kuendeleza utafiti.
Mwisho tutaangazia shajara za vita. Hizi hurekodi visa na matekeo ya
vita mbali mbali. Mara mingi hurekodi vita ambavyo hutikisa Dunia. Vita
kwa vile vya wanamgambo wa ISIS, WanaTalban, wanagambo wa Bokoharam
hunakiliwa kwenye shajara kama hizi. Kwa ukubwa, huangazia kiongozi,
maafa yaliyotokea, na muda ambayo hivyo vita vilisheni.
Kwa hitimisho, shajara imekuwa nguzo muhimu katika maisha ya binadamu.
Japo zipo aina nyingi za shajara, ni muhimu kila binadamu angalabu
aukubali na kuutumia uvumbuzi huu. Shajara itamraishisha kumbukumbu
zake.
| Kwa nini ni muhimu kwa kila mtu kutumia shajara | {
"text": [
"Kwa sababu inarahisisha kazi"
]
} |
4838_swa | UTAMADUNI KUPITIA MICHEZO YA WATOTO
Katika mazingira tofauti, hali halisia ya utamaduni, uchumi na siasa za
jamii hubainika wazi katika michezo za watoto. Hili huwa ni dhamira kuu
kuhusu fasihi simulizi ya jamii husika. Hizo michezo hulenga
kuwaelimisha, kuwarai na kurekebisha maadili ya ha watoto husika au wale
wanaoigiziwa. Pia kupitia hizi michezo watoto hujifunza uzalishaji wa
mali kupitia njia mbalimbali, utamaduni na siasa za jamii.
Watoto wanapoigiza, wao huiga mambo halisi yanavyofanyika katika jamii.
Nikitumia Afika kama mfano, wanaumme husishwa na kazi za shamba, kujenga
nyumba, na hata kuwinda. Wanawake nao wanaaminiwa na kazi za jikoni,
malezi ya watoto na kuteka maji mtoni. Huu uhalisia huonekana katika
maigizo ya watoto. Watoto wavulana hucheza michezo ya mawindo, uchungaji
wa mifugo. Huku nao wasichana wakionekena mara kwa mara wakicheza
michezo ya mapishi, kuchota maji na nyenginezo.
Katika uhalisia huu, pia watototo hujipa majukumu wanapocheza. Wao kwa
wao, utapata wamejipa vyeo kama vile baba, mama na watoto. Hili
huambatana na umri na uwezo wa kila mtoto. Mtoto kijana ambaye ana umri
mkubwa kati ya hao wanacheza angalabu hupewa cheo cha mtu mkuu katika
familia. Japo vyeo huwa vingi, watoto wengi hutaka kujihusisha na
wanajamii wenye tabia njema. Mara kwa mara hukataa kuchukua majukumu ya
watu ambayo hawana sifa mzuri katika jamii.
Katika maigizo haya, watoto huwa wabinifu sana. Watoto hujaribu
kuhusisha vitu tofuati na vile vinavyoonekana katika hali halisi.
Utapata watoto wakihusisha vijiti na mishale, vumbi na unga, vifuniko
vya chupa na sufuri. Huu ubunifu hutokea kwa vitu ambavyo watoto huviona
kila wakati katika jamii yao. Kupitia utandawazi, watoto pia wamekuwa na
uwezo wa kubuni vitu ambavyo hutazama katika runinga. Miaka za zama
watoto hawangeweza kubuni vitu kama rununu kama ilivyo kwa sasa.
Kupitia michezo hizi, watoto walikuwa wanakuza mambo na maadili
yanayofaa katika kukua kwao. Mbegu za ujasiri, udadisi n.k zilikuwa
zinapandwa katika kizazi hiki. Hizi michezo zikawa kioo za kila jamii
kama mtu angezitilia mkazo anapozidadisi. Ibaininke kuwa lengo kuu la
michezo hizi lilikuwa ni watoto kujifurahisha.
Uchumi wa jamii hukua unaacha nyuma katika michezo hizi. Kila wakati
watoto walipoigiza, walitilia mkazo hili swala. Katika jamii ambazo
kilimo kilikuwa ndo msingi wa rasimali, ungeona watoto wakiigiza kama
wakulima. Nao wale watoto ambayo biashara ndio imenariwi katika eneo
hilo, wangeigiza wakiwa sokoni wakiviuza vitu vyao kwa wateja. Japo hayo
ni maigizo, lakini ungepata usoni, hawa hawa waigizaji wakijishughulisha
na mambo hayo.
Michezo ya watoto katika jamii zilikuwa kwa wingi tu. Hizi michezo
zililingana na watoto husika na madhumuni ya michezo. Michezo kama baba
na mama ziliwahusisha watoto wadogo ambayo kwa wingi walikuwa kwenye
familia moja. Hii ilirahisha kujipa majukumu kila moja. Watoto wa kijiji
walipojumika pamoja, wangecheza michezo ambazo zinahusisha jamii kwa
ujumla. Ungepata wanacheza densi za jamii, wakiigiza kama wazee wa
jamii. Watoto wa mjini nao ungewapata wanacheza michezo kama soka na
kuruka kamba.
Kwa hitimisho, michezo ya watoto ilikuwa nguzo muhimu katika dhimaya
fasihi simulizi ya jamii zetu hasa za kiafrika. Uwiano na umoja ambayo
tulikuza kupitia hizi michezo ulitupaufanisi sana. Lakini mambo nayo
yamebadilika kila kuchao. Utandawazi umetufanya tuige tabia za ugaibuni.
Siku hizi watoto hawana nafsi ya kujumuika pamoja katika michezo hizi za
utamaduni wetu. Hii desturi imefanya utamaduni wetu kukosa nguvu katika
jamii. Jambo ni kujipika msasa kama jamii ili tuutunze utamaduni wetu.
| Michezo ya watoto hulenga nini | {
"text": [
"Kuelimisha, kuwarai, na kurekebisha maadili yao"
]
} |
4838_swa | UTAMADUNI KUPITIA MICHEZO YA WATOTO
Katika mazingira tofauti, hali halisia ya utamaduni, uchumi na siasa za
jamii hubainika wazi katika michezo za watoto. Hili huwa ni dhamira kuu
kuhusu fasihi simulizi ya jamii husika. Hizo michezo hulenga
kuwaelimisha, kuwarai na kurekebisha maadili ya ha watoto husika au wale
wanaoigiziwa. Pia kupitia hizi michezo watoto hujifunza uzalishaji wa
mali kupitia njia mbalimbali, utamaduni na siasa za jamii.
Watoto wanapoigiza, wao huiga mambo halisi yanavyofanyika katika jamii.
Nikitumia Afika kama mfano, wanaumme husishwa na kazi za shamba, kujenga
nyumba, na hata kuwinda. Wanawake nao wanaaminiwa na kazi za jikoni,
malezi ya watoto na kuteka maji mtoni. Huu uhalisia huonekana katika
maigizo ya watoto. Watoto wavulana hucheza michezo ya mawindo, uchungaji
wa mifugo. Huku nao wasichana wakionekena mara kwa mara wakicheza
michezo ya mapishi, kuchota maji na nyenginezo.
Katika uhalisia huu, pia watototo hujipa majukumu wanapocheza. Wao kwa
wao, utapata wamejipa vyeo kama vile baba, mama na watoto. Hili
huambatana na umri na uwezo wa kila mtoto. Mtoto kijana ambaye ana umri
mkubwa kati ya hao wanacheza angalabu hupewa cheo cha mtu mkuu katika
familia. Japo vyeo huwa vingi, watoto wengi hutaka kujihusisha na
wanajamii wenye tabia njema. Mara kwa mara hukataa kuchukua majukumu ya
watu ambayo hawana sifa mzuri katika jamii.
Katika maigizo haya, watoto huwa wabinifu sana. Watoto hujaribu
kuhusisha vitu tofuati na vile vinavyoonekana katika hali halisi.
Utapata watoto wakihusisha vijiti na mishale, vumbi na unga, vifuniko
vya chupa na sufuri. Huu ubunifu hutokea kwa vitu ambavyo watoto huviona
kila wakati katika jamii yao. Kupitia utandawazi, watoto pia wamekuwa na
uwezo wa kubuni vitu ambavyo hutazama katika runinga. Miaka za zama
watoto hawangeweza kubuni vitu kama rununu kama ilivyo kwa sasa.
Kupitia michezo hizi, watoto walikuwa wanakuza mambo na maadili
yanayofaa katika kukua kwao. Mbegu za ujasiri, udadisi n.k zilikuwa
zinapandwa katika kizazi hiki. Hizi michezo zikawa kioo za kila jamii
kama mtu angezitilia mkazo anapozidadisi. Ibaininke kuwa lengo kuu la
michezo hizi lilikuwa ni watoto kujifurahisha.
Uchumi wa jamii hukua unaacha nyuma katika michezo hizi. Kila wakati
watoto walipoigiza, walitilia mkazo hili swala. Katika jamii ambazo
kilimo kilikuwa ndo msingi wa rasimali, ungeona watoto wakiigiza kama
wakulima. Nao wale watoto ambayo biashara ndio imenariwi katika eneo
hilo, wangeigiza wakiwa sokoni wakiviuza vitu vyao kwa wateja. Japo hayo
ni maigizo, lakini ungepata usoni, hawa hawa waigizaji wakijishughulisha
na mambo hayo.
Michezo ya watoto katika jamii zilikuwa kwa wingi tu. Hizi michezo
zililingana na watoto husika na madhumuni ya michezo. Michezo kama baba
na mama ziliwahusisha watoto wadogo ambayo kwa wingi walikuwa kwenye
familia moja. Hii ilirahisha kujipa majukumu kila moja. Watoto wa kijiji
walipojumika pamoja, wangecheza michezo ambazo zinahusisha jamii kwa
ujumla. Ungepata wanacheza densi za jamii, wakiigiza kama wazee wa
jamii. Watoto wa mjini nao ungewapata wanacheza michezo kama soka na
kuruka kamba.
Kwa hitimisho, michezo ya watoto ilikuwa nguzo muhimu katika dhimaya
fasihi simulizi ya jamii zetu hasa za kiafrika. Uwiano na umoja ambayo
tulikuza kupitia hizi michezo ulitupaufanisi sana. Lakini mambo nayo
yamebadilika kila kuchao. Utandawazi umetufanya tuige tabia za ugaibuni.
Siku hizi watoto hawana nafsi ya kujumuika pamoja katika michezo hizi za
utamaduni wetu. Hii desturi imefanya utamaduni wetu kukosa nguvu katika
jamii. Jambo ni kujipika msasa kama jamii ili tuutunze utamaduni wetu.
| Watoto huigiza mambo yapi | {
"text": [
"Mambo halisi yanayofanyika katika jamii"
]
} |
4838_swa | UTAMADUNI KUPITIA MICHEZO YA WATOTO
Katika mazingira tofauti, hali halisia ya utamaduni, uchumi na siasa za
jamii hubainika wazi katika michezo za watoto. Hili huwa ni dhamira kuu
kuhusu fasihi simulizi ya jamii husika. Hizo michezo hulenga
kuwaelimisha, kuwarai na kurekebisha maadili ya ha watoto husika au wale
wanaoigiziwa. Pia kupitia hizi michezo watoto hujifunza uzalishaji wa
mali kupitia njia mbalimbali, utamaduni na siasa za jamii.
Watoto wanapoigiza, wao huiga mambo halisi yanavyofanyika katika jamii.
Nikitumia Afika kama mfano, wanaumme husishwa na kazi za shamba, kujenga
nyumba, na hata kuwinda. Wanawake nao wanaaminiwa na kazi za jikoni,
malezi ya watoto na kuteka maji mtoni. Huu uhalisia huonekana katika
maigizo ya watoto. Watoto wavulana hucheza michezo ya mawindo, uchungaji
wa mifugo. Huku nao wasichana wakionekena mara kwa mara wakicheza
michezo ya mapishi, kuchota maji na nyenginezo.
Katika uhalisia huu, pia watototo hujipa majukumu wanapocheza. Wao kwa
wao, utapata wamejipa vyeo kama vile baba, mama na watoto. Hili
huambatana na umri na uwezo wa kila mtoto. Mtoto kijana ambaye ana umri
mkubwa kati ya hao wanacheza angalabu hupewa cheo cha mtu mkuu katika
familia. Japo vyeo huwa vingi, watoto wengi hutaka kujihusisha na
wanajamii wenye tabia njema. Mara kwa mara hukataa kuchukua majukumu ya
watu ambayo hawana sifa mzuri katika jamii.
Katika maigizo haya, watoto huwa wabinifu sana. Watoto hujaribu
kuhusisha vitu tofuati na vile vinavyoonekana katika hali halisi.
Utapata watoto wakihusisha vijiti na mishale, vumbi na unga, vifuniko
vya chupa na sufuri. Huu ubunifu hutokea kwa vitu ambavyo watoto huviona
kila wakati katika jamii yao. Kupitia utandawazi, watoto pia wamekuwa na
uwezo wa kubuni vitu ambavyo hutazama katika runinga. Miaka za zama
watoto hawangeweza kubuni vitu kama rununu kama ilivyo kwa sasa.
Kupitia michezo hizi, watoto walikuwa wanakuza mambo na maadili
yanayofaa katika kukua kwao. Mbegu za ujasiri, udadisi n.k zilikuwa
zinapandwa katika kizazi hiki. Hizi michezo zikawa kioo za kila jamii
kama mtu angezitilia mkazo anapozidadisi. Ibaininke kuwa lengo kuu la
michezo hizi lilikuwa ni watoto kujifurahisha.
Uchumi wa jamii hukua unaacha nyuma katika michezo hizi. Kila wakati
watoto walipoigiza, walitilia mkazo hili swala. Katika jamii ambazo
kilimo kilikuwa ndo msingi wa rasimali, ungeona watoto wakiigiza kama
wakulima. Nao wale watoto ambayo biashara ndio imenariwi katika eneo
hilo, wangeigiza wakiwa sokoni wakiviuza vitu vyao kwa wateja. Japo hayo
ni maigizo, lakini ungepata usoni, hawa hawa waigizaji wakijishughulisha
na mambo hayo.
Michezo ya watoto katika jamii zilikuwa kwa wingi tu. Hizi michezo
zililingana na watoto husika na madhumuni ya michezo. Michezo kama baba
na mama ziliwahusisha watoto wadogo ambayo kwa wingi walikuwa kwenye
familia moja. Hii ilirahisha kujipa majukumu kila moja. Watoto wa kijiji
walipojumika pamoja, wangecheza michezo ambazo zinahusisha jamii kwa
ujumla. Ungepata wanacheza densi za jamii, wakiigiza kama wazee wa
jamii. Watoto wa mjini nao ungewapata wanacheza michezo kama soka na
kuruka kamba.
Kwa hitimisho, michezo ya watoto ilikuwa nguzo muhimu katika dhimaya
fasihi simulizi ya jamii zetu hasa za kiafrika. Uwiano na umoja ambayo
tulikuza kupitia hizi michezo ulitupaufanisi sana. Lakini mambo nayo
yamebadilika kila kuchao. Utandawazi umetufanya tuige tabia za ugaibuni.
Siku hizi watoto hawana nafsi ya kujumuika pamoja katika michezo hizi za
utamaduni wetu. Hii desturi imefanya utamaduni wetu kukosa nguvu katika
jamii. Jambo ni kujipika msasa kama jamii ili tuutunze utamaduni wetu.
| Watoto wengi hupenda kujihusisha na nani | {
"text": [
"Wanajamii wenye tabia njema"
]
} |
Subsets and Splits