Story_ID
stringlengths
8
8
context
stringlengths
445
11k
question
stringlengths
12
113
answers
dict
0247_swa
UFISADI Hebu mkwanza tujaribu kufafanua maana ya ufisadi. Sina ifafanuzi wa moja kwa moja lakini nitajaribu kukueleza yanayohusu dhana hii ya ufisadi. Ni hali ambapo jambo linahitajika kutendwa kwa njia inayofaa, hutendwa kwa kupitia misingi mbali mbali kama mkisingi ya ukoo na kadhalika. Licha ya kwamba Kenya tulijinyakulia uhuru mwaka wa 1963, uhuru huo kwa maoni yangu ninaweza sema kuwa ulikua ni uhuru wa bendera tu bali kuna shida kadhaa ambazo tulikua nazo nyakati za ukoloni hadi wakati huu baada ya kupewa hicho tulichokiita uhuru. Kwa mfano, kila mwaka wasomi huhitimu kutoka vyuo vikuu mbali mbali humu nchini, vyuo vrya kadiri ambavyo ni vingi mno. Lakini jiulize mbona hawana kazi ya kuajiriwa? Waziri wa elimu, torati za kitaifa, ulinzi, barabara na kadhalika hamna hata m,mmoja anayeangazia maswala ya vijana. Nambari ya vijana ambao hawajapata ajira iko chini ya asilimia kumi. Tuzingatie visa vya ufisadi ambavyo vimeshawahi kutokea hapa nchini kenya. Ni kiasi gani cha pesa za uma ambacho kimepotea kupitia njia za ufisadi? Tukianza ni mikasa ya Goldenberg, Anglo-Leasing na pesa ya Elimu ya Msingi nakisa cha mahindi. Kamati za kuchunguza visa hivi zimebuniwa hapa nchini Kenya, hata hivyo hakuna kamati hata moja ambayo imefanikiwa kuweka wazi matokeo ya uchunguzi huo. Wakenya wanalala njaa huku mahindi ya wakulima yakinunuliwa kwa bei nafuu na serikali ya nchi hii kutoka mataifa ya nje. Kuna wakati mmoja mahindi yenye sumu yalisafirishwa humu nchini na wakulima ambao hawakua wanayafahamu wangeyanunua na kuyapanda katika mashamba yao. Kitu hicho kingeleta maafa mengi sana hapa nchini kenya. Waziri wa kilimo na biashara wangeliangazia jambo hili lakini kwa sababu Kenya ni nchi yenye ufisadi, jambo hilo halikutiliwa maanani kiasi kinachofaa. Je? Wajua kwamba vita dhidi ya ufisadi vitafanikiwa? Kwanza, vita dhidi ya ufisadi haviwezi kuongozwa na wafisadi na jamaa zao. Pili, vita dhidi ya ufisadi haviwezi kushindwa kwa kuwatia mbaroni wafisadi wachache na kuwaacha wenzao wakiwemo marafiki wao wakiwa huru. Iwapo tutayazingatia hayo, kuna uwezekano mkubwa ya kwamba tutaweza kushinda vita hivi dhidi ya ufisadi.
Mshukiwa wa asipatiwe nini
{ "text": [ "Dhamana" ] }
0247_swa
UFISADI Hebu mkwanza tujaribu kufafanua maana ya ufisadi. Sina ifafanuzi wa moja kwa moja lakini nitajaribu kukueleza yanayohusu dhana hii ya ufisadi. Ni hali ambapo jambo linahitajika kutendwa kwa njia inayofaa, hutendwa kwa kupitia misingi mbali mbali kama mkisingi ya ukoo na kadhalika. Licha ya kwamba Kenya tulijinyakulia uhuru mwaka wa 1963, uhuru huo kwa maoni yangu ninaweza sema kuwa ulikua ni uhuru wa bendera tu bali kuna shida kadhaa ambazo tulikua nazo nyakati za ukoloni hadi wakati huu baada ya kupewa hicho tulichokiita uhuru. Kwa mfano, kila mwaka wasomi huhitimu kutoka vyuo vikuu mbali mbali humu nchini, vyuo vrya kadiri ambavyo ni vingi mno. Lakini jiulize mbona hawana kazi ya kuajiriwa? Waziri wa elimu, torati za kitaifa, ulinzi, barabara na kadhalika hamna hata m,mmoja anayeangazia maswala ya vijana. Nambari ya vijana ambao hawajapata ajira iko chini ya asilimia kumi. Tuzingatie visa vya ufisadi ambavyo vimeshawahi kutokea hapa nchini kenya. Ni kiasi gani cha pesa za uma ambacho kimepotea kupitia njia za ufisadi? Tukianza ni mikasa ya Goldenberg, Anglo-Leasing na pesa ya Elimu ya Msingi nakisa cha mahindi. Kamati za kuchunguza visa hivi zimebuniwa hapa nchini Kenya, hata hivyo hakuna kamati hata moja ambayo imefanikiwa kuweka wazi matokeo ya uchunguzi huo. Wakenya wanalala njaa huku mahindi ya wakulima yakinunuliwa kwa bei nafuu na serikali ya nchi hii kutoka mataifa ya nje. Kuna wakati mmoja mahindi yenye sumu yalisafirishwa humu nchini na wakulima ambao hawakua wanayafahamu wangeyanunua na kuyapanda katika mashamba yao. Kitu hicho kingeleta maafa mengi sana hapa nchini kenya. Waziri wa kilimo na biashara wangeliangazia jambo hili lakini kwa sababu Kenya ni nchi yenye ufisadi, jambo hilo halikutiliwa maanani kiasi kinachofaa. Je? Wajua kwamba vita dhidi ya ufisadi vitafanikiwa? Kwanza, vita dhidi ya ufisadi haviwezi kuongozwa na wafisadi na jamaa zao. Pili, vita dhidi ya ufisadi haviwezi kushindwa kwa kuwatia mbaroni wafisadi wachache na kuwaacha wenzao wakiwemo marafiki wao wakiwa huru. Iwapo tutayazingatia hayo, kuna uwezekano mkubwa ya kwamba tutaweza kushinda vita hivi dhidi ya ufisadi.
Kwa nini wasomi wachanga hawapati kazi
{ "text": [ "Wanaosimamia wizara wamepitisha miaka 55_60" ] }
0248_swa
JINAMIZI Mazingira yaliyonizunguka yaliogofya sana. Mamangu aliyenizaa aliniita kwa sauti nyororo kutoka jikoni, nami nikamwitikia. Niliambua nyayo zangu kuelekea upande wa sauti hiyo, mwendo wa wanguwangu nikijiamulia. Ama kweli, mtu hakatai wito, hukataa aitiwalo. Nilipofika jikoni, nilishtuka na kurudi nyuma ghafla. Nilichokiona kiliniduwaza na kunibungaza. Kiliniacha nimebaki kinywa wazi kama kiwanja cha ahera nusura nyuki apate mzinga. Hapo ndio niliposadiki kuwa maajabu ya musa yaliniandama na karibuni ningeshuhudia ya firauni. Kidude mfano wa binadamu kilikua kimesimama tisti mbele yangu huku kikinikabidhi sahani iliyojaa wali wa kuku nimpelekee dadangu aliyekua sebuleni akisoma. Binadamu huyo “ghushi” alisimama mlangoni. Macho yake yalifanana kana kwamba yametolewa na spana. Alikua amesimama kidete mithili ya mchongoma. Isitoshe, hakuwa na mwili wa kupigiwa mfano, alikua mfano wa ng’onda. Mtu ambaye
Nini kilicho mwogofya
{ "text": [ "Mazingira" ] }
0248_swa
JINAMIZI Mazingira yaliyonizunguka yaliogofya sana. Mamangu aliyenizaa aliniita kwa sauti nyororo kutoka jikoni, nami nikamwitikia. Niliambua nyayo zangu kuelekea upande wa sauti hiyo, mwendo wa wanguwangu nikijiamulia. Ama kweli, mtu hakatai wito, hukataa aitiwalo. Nilipofika jikoni, nilishtuka na kurudi nyuma ghafla. Nilichokiona kiliniduwaza na kunibungaza. Kiliniacha nimebaki kinywa wazi kama kiwanja cha ahera nusura nyuki apate mzinga. Hapo ndio niliposadiki kuwa maajabu ya musa yaliniandama na karibuni ningeshuhudia ya firauni. Kidude mfano wa binadamu kilikua kimesimama tisti mbele yangu huku kikinikabidhi sahani iliyojaa wali wa kuku nimpelekee dadangu aliyekua sebuleni akisoma. Binadamu huyo “ghushi” alisimama mlangoni. Macho yake yalifanana kana kwamba yametolewa na spana. Alikua amesimama kidete mithili ya mchongoma. Isitoshe, hakuwa na mwili wa kupigiwa mfano, alikua mfano wa ng’onda. Mtu ambaye
Mama alimwiita nani kwa sauti myororo
{ "text": [ "Mwanawe" ] }
0248_swa
JINAMIZI Mazingira yaliyonizunguka yaliogofya sana. Mamangu aliyenizaa aliniita kwa sauti nyororo kutoka jikoni, nami nikamwitikia. Niliambua nyayo zangu kuelekea upande wa sauti hiyo, mwendo wa wanguwangu nikijiamulia. Ama kweli, mtu hakatai wito, hukataa aitiwalo. Nilipofika jikoni, nilishtuka na kurudi nyuma ghafla. Nilichokiona kiliniduwaza na kunibungaza. Kiliniacha nimebaki kinywa wazi kama kiwanja cha ahera nusura nyuki apate mzinga. Hapo ndio niliposadiki kuwa maajabu ya musa yaliniandama na karibuni ningeshuhudia ya firauni. Kidude mfano wa binadamu kilikua kimesimama tisti mbele yangu huku kikinikabidhi sahani iliyojaa wali wa kuku nimpelekee dadangu aliyekua sebuleni akisoma. Binadamu huyo “ghushi” alisimama mlangoni. Macho yake yalifanana kana kwamba yametolewa na spana. Alikua amesimama kidete mithili ya mchongoma. Isitoshe, hakuwa na mwili wa kupigiwa mfano, alikua mfano wa ng’onda. Mtu ambaye
Mama alimwiita mwana we kutoka wapi
{ "text": [ "Jikoni" ] }
0248_swa
JINAMIZI Mazingira yaliyonizunguka yaliogofya sana. Mamangu aliyenizaa aliniita kwa sauti nyororo kutoka jikoni, nami nikamwitikia. Niliambua nyayo zangu kuelekea upande wa sauti hiyo, mwendo wa wanguwangu nikijiamulia. Ama kweli, mtu hakatai wito, hukataa aitiwalo. Nilipofika jikoni, nilishtuka na kurudi nyuma ghafla. Nilichokiona kiliniduwaza na kunibungaza. Kiliniacha nimebaki kinywa wazi kama kiwanja cha ahera nusura nyuki apate mzinga. Hapo ndio niliposadiki kuwa maajabu ya musa yaliniandama na karibuni ningeshuhudia ya firauni. Kidude mfano wa binadamu kilikua kimesimama tisti mbele yangu huku kikinikabidhi sahani iliyojaa wali wa kuku nimpelekee dadangu aliyekua sebuleni akisoma. Binadamu huyo “ghushi” alisimama mlangoni. Macho yake yalifanana kana kwamba yametolewa na spana. Alikua amesimama kidete mithili ya mchongoma. Isitoshe, hakuwa na mwili wa kupigiwa mfano, alikua mfano wa ng’onda. Mtu ambaye
Mtu hakatai wito hukataa nini?
{ "text": [ "Aitiwalo" ] }
0248_swa
JINAMIZI Mazingira yaliyonizunguka yaliogofya sana. Mamangu aliyenizaa aliniita kwa sauti nyororo kutoka jikoni, nami nikamwitikia. Niliambua nyayo zangu kuelekea upande wa sauti hiyo, mwendo wa wanguwangu nikijiamulia. Ama kweli, mtu hakatai wito, hukataa aitiwalo. Nilipofika jikoni, nilishtuka na kurudi nyuma ghafla. Nilichokiona kiliniduwaza na kunibungaza. Kiliniacha nimebaki kinywa wazi kama kiwanja cha ahera nusura nyuki apate mzinga. Hapo ndio niliposadiki kuwa maajabu ya musa yaliniandama na karibuni ningeshuhudia ya firauni. Kidude mfano wa binadamu kilikua kimesimama tisti mbele yangu huku kikinikabidhi sahani iliyojaa wali wa kuku nimpelekee dadangu aliyekua sebuleni akisoma. Binadamu huyo “ghushi” alisimama mlangoni. Macho yake yalifanana kana kwamba yametolewa na spana. Alikua amesimama kidete mithili ya mchongoma. Isitoshe, hakuwa na mwili wa kupigiwa mfano, alikua mfano wa ng’onda. Mtu ambaye
Kwa nini alikua maisha ya dadake yalianza kutoweka
{ "text": [ "Alikuwa Kati ya watu aliowashuku na kumtisha" ] }
0281_swa
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI Ukuaji wa lugha yoyote hutegemea sana ushirikiano wa kisiasa uliopo wa viongozi na taasisi za mataifa husika. Msingi wa kisiasa ni nguzo kuu ya ukuaji wa Kiswahili UMEKUWAPO na tumbojoto kuhusu mustakabali wa ufanisi wa umoja wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), baada ya kuibuka madai kuwa Tanzania na Burundi 'zinatengwa' kati-ka mikakati mbalimbali ya kujiunga na jumuiya hiyo. Mtikisiko huo wa umoja wa kanda hii huen-da usiwe habari njema kwa juhudi za ukuzaji wa Kiswahili, hasa ikizingatiwa kuwa Tan-zania na Kenya huonekana kama mihimili na vitovu vya ukuaji wa lugha hii katika ukanda huu. Aidha, ushirikiano wa wasomi kutoka nchi hizi mbili ndio umefanikisha kubuniwa kwa matoleo kadha ya Kamusi Mpya za Kiswahili; hii ikiwa hatua kubwa katika ukuaji wa Kiswa hili katika ukanda huu na sehemu nyingine duniani. Kwa mfano, kongamano la kwanza lil- ilopendekeza wazo la kuandaa Kamusi mpya ya Kiswahili (kuchukua mahali pa Kamusi Kongwe ya TUKI iliyokuwa imetumiwa tangu 1981) liliwashirikisha wasomi wa nchi hizi mbili. Wazo la kuandika kamusi hiyo mpya (tukumbuke kuna matoleo kadha ya Kamusi ya Karne ya 21) lilitokana na fikra za wana- taaluma kadha waliokaa katika warsha ya kutathmini mahitaji ya Kamusi za Kiswahili zilizokuwapo na mabadiliko ambayo yalitakiwa kufanywa. Warsha hiyo, iliyofanywa katika Hoteli ya Silver Springs, jijini Nairobi mnamo 1996. iliwashirikisha wanataaluma: Prof Rocha Chimerah, Prof Mohammed Abdulaziz na Prof Kamani Njogu (wote kutoka Kenya). Wengine walioshirikishwa ni Maprofesa James Mdee, John Kiango na David Massamba, wote wana toka Tanzania. Wakiwa na wengine, wanataaluma hawa walibaini kuwa mawanda ya Kiswahili yalizidi kupanuka na kulikuwa na hitaji la kuandika kamusi ya ziada ili kukidhi mahitaji ya watumiaji wa Kiswahili. Matokeo ya makongamano haya yamekuwa ya kuridhisha sana, kwani yaliweka msingi wa kuendelea kwa ushirikiano wa mataifa haya mawili. Hili ni zao la mwendelezo wa uandaaji wa makongamano mengi zaidi kuangazia ukuaji wa Kiswahili. Hivyo basi, ikiwa kutazuka mgawanyiko, hasa kati ya Kenya na Tanzania kuhusu mwendelezo wa juhudi za ushirikiano wa EAC, litakuwa pigo kuu kwa hatua zilizopigwa na wasomi, wanataaluma na wakereketwa mbalimbali wa Kiswahili.Ikumbukwe kuwa ni miaka michache imepita baada ya wasomi kutoka Kenya na sehemu mbalimbali duniani kushiriki kwenye Makumbusho ya Sheikh Shaaban Robert, nchini Tanzania, kuadhimisha miaka 50 tangu alipofariki. Makumbusho hayo hufanyika kati ya Agosti 19 na 25 kila mwaka na huwakutanisha washikadau mbalimbali wa lugha, ambao huwasilisha tafiti na mapendekezo ainati, yote kuhusu jinsi ushirikiano wao ni muhimu katika kuafiki malengo ya kukifanya Kiswahili kuwa lugha inayoenziwa barani Afrika na kote duniani. Matamshi ya viongozi wa ukanda huu yanayoonyesha tofauti zao za kisiasa si mazuri hata kidogo.Wanasahau kuwa nchi zao huyachukulia kwa uzito yote wanayoyasema na huenda yakaziunganisha au yakasambaratisha ushirikiano uliopo kati ya raia wa mataifa haya mawili. kinapozidi kuenea duniani, Kiswahili kimekuwa 'lishe' kwa baadhi ya walimu kutoka Kenya, katika nchi zilizojiunga upya na jumuiya hiyo kama Sudan Kusini, Rwanda na Burundi. Kando na hayo, wasomi kutoka Kenya na Tanzania wamepata ajira katika mataifa kama Msumbiji, DR Congo, Malawi, Zambia, Afrika Kusini kati ya megine ambayo yamekumbatia Kiswahili kuwa mhimili mkuu wa maendeleo na uunganishaji wa raia wa ukanda huu. Kimsingi, ukuaji wa lugha yoyote hutegemea sana ushirikiano wa kisiasa uliopo wa viongozi na taasisi za mataifa husika. Mazingira mazuri na mikakati ya kisiasa ndiyo ilichangia kutanuka kwa lugha hii. Bila shaka, hii ni changamoto kwa marais Uhuru Kenyatta (Kenya), John Magufuli (Tanzania), Yoweri Museveni (Uganda) kati ya wengine kutambua kuwa Kiswahili ni thawabu kuu ambayo inapaswa kutunzwa sana kwa mustakabali wa kisiasa, kiuchumi na kijamii wa ukanda huu. Hivyo basi, msingi wa kisiasa sharti uwepo ili kuepuka changamoto kama ile ya 1977; mu ungano wa Afrika Mashariki uliposambarati ka na kudumaza ustawi wa Kiswahili. Viongozi hawa pia wanapaswa kujifunza kutokana na mifano ya nchi kama Uingereza, Ujerumani, Ufaransa na Uchina, ambazo zimefanikiwa kueneza lugha zao kote duniani kutokana na uthabiti wa kisiasa. "Viongozi wetu wanapaswa kujifunza kutokana na mitano ya nchi kama Uingereza, Ujerumani, Ufaransa na Uchina, ambazo zimefanikiwa kueneza lugha zao kote duniani kutokana na uthabiti wa kisiasa."
Nchi zipi mihimili na vitovu vya makuzi ya lugha
{ "text": [ "Tanzania na Kenya" ] }
0281_swa
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI Ukuaji wa lugha yoyote hutegemea sana ushirikiano wa kisiasa uliopo wa viongozi na taasisi za mataifa husika. Msingi wa kisiasa ni nguzo kuu ya ukuaji wa Kiswahili UMEKUWAPO na tumbojoto kuhusu mustakabali wa ufanisi wa umoja wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), baada ya kuibuka madai kuwa Tanzania na Burundi 'zinatengwa' kati-ka mikakati mbalimbali ya kujiunga na jumuiya hiyo. Mtikisiko huo wa umoja wa kanda hii huen-da usiwe habari njema kwa juhudi za ukuzaji wa Kiswahili, hasa ikizingatiwa kuwa Tan-zania na Kenya huonekana kama mihimili na vitovu vya ukuaji wa lugha hii katika ukanda huu. Aidha, ushirikiano wa wasomi kutoka nchi hizi mbili ndio umefanikisha kubuniwa kwa matoleo kadha ya Kamusi Mpya za Kiswahili; hii ikiwa hatua kubwa katika ukuaji wa Kiswa hili katika ukanda huu na sehemu nyingine duniani. Kwa mfano, kongamano la kwanza lil- ilopendekeza wazo la kuandaa Kamusi mpya ya Kiswahili (kuchukua mahali pa Kamusi Kongwe ya TUKI iliyokuwa imetumiwa tangu 1981) liliwashirikisha wasomi wa nchi hizi mbili. Wazo la kuandika kamusi hiyo mpya (tukumbuke kuna matoleo kadha ya Kamusi ya Karne ya 21) lilitokana na fikra za wana- taaluma kadha waliokaa katika warsha ya kutathmini mahitaji ya Kamusi za Kiswahili zilizokuwapo na mabadiliko ambayo yalitakiwa kufanywa. Warsha hiyo, iliyofanywa katika Hoteli ya Silver Springs, jijini Nairobi mnamo 1996. iliwashirikisha wanataaluma: Prof Rocha Chimerah, Prof Mohammed Abdulaziz na Prof Kamani Njogu (wote kutoka Kenya). Wengine walioshirikishwa ni Maprofesa James Mdee, John Kiango na David Massamba, wote wana toka Tanzania. Wakiwa na wengine, wanataaluma hawa walibaini kuwa mawanda ya Kiswahili yalizidi kupanuka na kulikuwa na hitaji la kuandika kamusi ya ziada ili kukidhi mahitaji ya watumiaji wa Kiswahili. Matokeo ya makongamano haya yamekuwa ya kuridhisha sana, kwani yaliweka msingi wa kuendelea kwa ushirikiano wa mataifa haya mawili. Hili ni zao la mwendelezo wa uandaaji wa makongamano mengi zaidi kuangazia ukuaji wa Kiswahili. Hivyo basi, ikiwa kutazuka mgawanyiko, hasa kati ya Kenya na Tanzania kuhusu mwendelezo wa juhudi za ushirikiano wa EAC, litakuwa pigo kuu kwa hatua zilizopigwa na wasomi, wanataaluma na wakereketwa mbalimbali wa Kiswahili.Ikumbukwe kuwa ni miaka michache imepita baada ya wasomi kutoka Kenya na sehemu mbalimbali duniani kushiriki kwenye Makumbusho ya Sheikh Shaaban Robert, nchini Tanzania, kuadhimisha miaka 50 tangu alipofariki. Makumbusho hayo hufanyika kati ya Agosti 19 na 25 kila mwaka na huwakutanisha washikadau mbalimbali wa lugha, ambao huwasilisha tafiti na mapendekezo ainati, yote kuhusu jinsi ushirikiano wao ni muhimu katika kuafiki malengo ya kukifanya Kiswahili kuwa lugha inayoenziwa barani Afrika na kote duniani. Matamshi ya viongozi wa ukanda huu yanayoonyesha tofauti zao za kisiasa si mazuri hata kidogo.Wanasahau kuwa nchi zao huyachukulia kwa uzito yote wanayoyasema na huenda yakaziunganisha au yakasambaratisha ushirikiano uliopo kati ya raia wa mataifa haya mawili. kinapozidi kuenea duniani, Kiswahili kimekuwa 'lishe' kwa baadhi ya walimu kutoka Kenya, katika nchi zilizojiunga upya na jumuiya hiyo kama Sudan Kusini, Rwanda na Burundi. Kando na hayo, wasomi kutoka Kenya na Tanzania wamepata ajira katika mataifa kama Msumbiji, DR Congo, Malawi, Zambia, Afrika Kusini kati ya megine ambayo yamekumbatia Kiswahili kuwa mhimili mkuu wa maendeleo na uunganishaji wa raia wa ukanda huu. Kimsingi, ukuaji wa lugha yoyote hutegemea sana ushirikiano wa kisiasa uliopo wa viongozi na taasisi za mataifa husika. Mazingira mazuri na mikakati ya kisiasa ndiyo ilichangia kutanuka kwa lugha hii. Bila shaka, hii ni changamoto kwa marais Uhuru Kenyatta (Kenya), John Magufuli (Tanzania), Yoweri Museveni (Uganda) kati ya wengine kutambua kuwa Kiswahili ni thawabu kuu ambayo inapaswa kutunzwa sana kwa mustakabali wa kisiasa, kiuchumi na kijamii wa ukanda huu. Hivyo basi, msingi wa kisiasa sharti uwepo ili kuepuka changamoto kama ile ya 1977; mu ungano wa Afrika Mashariki uliposambarati ka na kudumaza ustawi wa Kiswahili. Viongozi hawa pia wanapaswa kujifunza kutokana na mifano ya nchi kama Uingereza, Ujerumani, Ufaransa na Uchina, ambazo zimefanikiwa kueneza lugha zao kote duniani kutokana na uthabiti wa kisiasa. "Viongozi wetu wanapaswa kujifunza kutokana na mitano ya nchi kama Uingereza, Ujerumani, Ufaransa na Uchina, ambazo zimefanikiwa kueneza lugha zao kote duniani kutokana na uthabiti wa kisiasa."
Kamusi ya Tuki ilianza kutumika lini
{ "text": [ "Mwaka wa 1981" ] }
0281_swa
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI Ukuaji wa lugha yoyote hutegemea sana ushirikiano wa kisiasa uliopo wa viongozi na taasisi za mataifa husika. Msingi wa kisiasa ni nguzo kuu ya ukuaji wa Kiswahili UMEKUWAPO na tumbojoto kuhusu mustakabali wa ufanisi wa umoja wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), baada ya kuibuka madai kuwa Tanzania na Burundi 'zinatengwa' kati-ka mikakati mbalimbali ya kujiunga na jumuiya hiyo. Mtikisiko huo wa umoja wa kanda hii huen-da usiwe habari njema kwa juhudi za ukuzaji wa Kiswahili, hasa ikizingatiwa kuwa Tan-zania na Kenya huonekana kama mihimili na vitovu vya ukuaji wa lugha hii katika ukanda huu. Aidha, ushirikiano wa wasomi kutoka nchi hizi mbili ndio umefanikisha kubuniwa kwa matoleo kadha ya Kamusi Mpya za Kiswahili; hii ikiwa hatua kubwa katika ukuaji wa Kiswa hili katika ukanda huu na sehemu nyingine duniani. Kwa mfano, kongamano la kwanza lil- ilopendekeza wazo la kuandaa Kamusi mpya ya Kiswahili (kuchukua mahali pa Kamusi Kongwe ya TUKI iliyokuwa imetumiwa tangu 1981) liliwashirikisha wasomi wa nchi hizi mbili. Wazo la kuandika kamusi hiyo mpya (tukumbuke kuna matoleo kadha ya Kamusi ya Karne ya 21) lilitokana na fikra za wana- taaluma kadha waliokaa katika warsha ya kutathmini mahitaji ya Kamusi za Kiswahili zilizokuwapo na mabadiliko ambayo yalitakiwa kufanywa. Warsha hiyo, iliyofanywa katika Hoteli ya Silver Springs, jijini Nairobi mnamo 1996. iliwashirikisha wanataaluma: Prof Rocha Chimerah, Prof Mohammed Abdulaziz na Prof Kamani Njogu (wote kutoka Kenya). Wengine walioshirikishwa ni Maprofesa James Mdee, John Kiango na David Massamba, wote wana toka Tanzania. Wakiwa na wengine, wanataaluma hawa walibaini kuwa mawanda ya Kiswahili yalizidi kupanuka na kulikuwa na hitaji la kuandika kamusi ya ziada ili kukidhi mahitaji ya watumiaji wa Kiswahili. Matokeo ya makongamano haya yamekuwa ya kuridhisha sana, kwani yaliweka msingi wa kuendelea kwa ushirikiano wa mataifa haya mawili. Hili ni zao la mwendelezo wa uandaaji wa makongamano mengi zaidi kuangazia ukuaji wa Kiswahili. Hivyo basi, ikiwa kutazuka mgawanyiko, hasa kati ya Kenya na Tanzania kuhusu mwendelezo wa juhudi za ushirikiano wa EAC, litakuwa pigo kuu kwa hatua zilizopigwa na wasomi, wanataaluma na wakereketwa mbalimbali wa Kiswahili.Ikumbukwe kuwa ni miaka michache imepita baada ya wasomi kutoka Kenya na sehemu mbalimbali duniani kushiriki kwenye Makumbusho ya Sheikh Shaaban Robert, nchini Tanzania, kuadhimisha miaka 50 tangu alipofariki. Makumbusho hayo hufanyika kati ya Agosti 19 na 25 kila mwaka na huwakutanisha washikadau mbalimbali wa lugha, ambao huwasilisha tafiti na mapendekezo ainati, yote kuhusu jinsi ushirikiano wao ni muhimu katika kuafiki malengo ya kukifanya Kiswahili kuwa lugha inayoenziwa barani Afrika na kote duniani. Matamshi ya viongozi wa ukanda huu yanayoonyesha tofauti zao za kisiasa si mazuri hata kidogo.Wanasahau kuwa nchi zao huyachukulia kwa uzito yote wanayoyasema na huenda yakaziunganisha au yakasambaratisha ushirikiano uliopo kati ya raia wa mataifa haya mawili. kinapozidi kuenea duniani, Kiswahili kimekuwa 'lishe' kwa baadhi ya walimu kutoka Kenya, katika nchi zilizojiunga upya na jumuiya hiyo kama Sudan Kusini, Rwanda na Burundi. Kando na hayo, wasomi kutoka Kenya na Tanzania wamepata ajira katika mataifa kama Msumbiji, DR Congo, Malawi, Zambia, Afrika Kusini kati ya megine ambayo yamekumbatia Kiswahili kuwa mhimili mkuu wa maendeleo na uunganishaji wa raia wa ukanda huu. Kimsingi, ukuaji wa lugha yoyote hutegemea sana ushirikiano wa kisiasa uliopo wa viongozi na taasisi za mataifa husika. Mazingira mazuri na mikakati ya kisiasa ndiyo ilichangia kutanuka kwa lugha hii. Bila shaka, hii ni changamoto kwa marais Uhuru Kenyatta (Kenya), John Magufuli (Tanzania), Yoweri Museveni (Uganda) kati ya wengine kutambua kuwa Kiswahili ni thawabu kuu ambayo inapaswa kutunzwa sana kwa mustakabali wa kisiasa, kiuchumi na kijamii wa ukanda huu. Hivyo basi, msingi wa kisiasa sharti uwepo ili kuepuka changamoto kama ile ya 1977; mu ungano wa Afrika Mashariki uliposambarati ka na kudumaza ustawi wa Kiswahili. Viongozi hawa pia wanapaswa kujifunza kutokana na mifano ya nchi kama Uingereza, Ujerumani, Ufaransa na Uchina, ambazo zimefanikiwa kueneza lugha zao kote duniani kutokana na uthabiti wa kisiasa. "Viongozi wetu wanapaswa kujifunza kutokana na mitano ya nchi kama Uingereza, Ujerumani, Ufaransa na Uchina, ambazo zimefanikiwa kueneza lugha zao kote duniani kutokana na uthabiti wa kisiasa."
Maprofesa wangapi walishirikishwa katika warsha iliyoandaliwa katika Hotel ya Silver Springs
{ "text": [ "Sita" ] }
0281_swa
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI Ukuaji wa lugha yoyote hutegemea sana ushirikiano wa kisiasa uliopo wa viongozi na taasisi za mataifa husika. Msingi wa kisiasa ni nguzo kuu ya ukuaji wa Kiswahili UMEKUWAPO na tumbojoto kuhusu mustakabali wa ufanisi wa umoja wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), baada ya kuibuka madai kuwa Tanzania na Burundi 'zinatengwa' kati-ka mikakati mbalimbali ya kujiunga na jumuiya hiyo. Mtikisiko huo wa umoja wa kanda hii huen-da usiwe habari njema kwa juhudi za ukuzaji wa Kiswahili, hasa ikizingatiwa kuwa Tan-zania na Kenya huonekana kama mihimili na vitovu vya ukuaji wa lugha hii katika ukanda huu. Aidha, ushirikiano wa wasomi kutoka nchi hizi mbili ndio umefanikisha kubuniwa kwa matoleo kadha ya Kamusi Mpya za Kiswahili; hii ikiwa hatua kubwa katika ukuaji wa Kiswa hili katika ukanda huu na sehemu nyingine duniani. Kwa mfano, kongamano la kwanza lil- ilopendekeza wazo la kuandaa Kamusi mpya ya Kiswahili (kuchukua mahali pa Kamusi Kongwe ya TUKI iliyokuwa imetumiwa tangu 1981) liliwashirikisha wasomi wa nchi hizi mbili. Wazo la kuandika kamusi hiyo mpya (tukumbuke kuna matoleo kadha ya Kamusi ya Karne ya 21) lilitokana na fikra za wana- taaluma kadha waliokaa katika warsha ya kutathmini mahitaji ya Kamusi za Kiswahili zilizokuwapo na mabadiliko ambayo yalitakiwa kufanywa. Warsha hiyo, iliyofanywa katika Hoteli ya Silver Springs, jijini Nairobi mnamo 1996. iliwashirikisha wanataaluma: Prof Rocha Chimerah, Prof Mohammed Abdulaziz na Prof Kamani Njogu (wote kutoka Kenya). Wengine walioshirikishwa ni Maprofesa James Mdee, John Kiango na David Massamba, wote wana toka Tanzania. Wakiwa na wengine, wanataaluma hawa walibaini kuwa mawanda ya Kiswahili yalizidi kupanuka na kulikuwa na hitaji la kuandika kamusi ya ziada ili kukidhi mahitaji ya watumiaji wa Kiswahili. Matokeo ya makongamano haya yamekuwa ya kuridhisha sana, kwani yaliweka msingi wa kuendelea kwa ushirikiano wa mataifa haya mawili. Hili ni zao la mwendelezo wa uandaaji wa makongamano mengi zaidi kuangazia ukuaji wa Kiswahili. Hivyo basi, ikiwa kutazuka mgawanyiko, hasa kati ya Kenya na Tanzania kuhusu mwendelezo wa juhudi za ushirikiano wa EAC, litakuwa pigo kuu kwa hatua zilizopigwa na wasomi, wanataaluma na wakereketwa mbalimbali wa Kiswahili.Ikumbukwe kuwa ni miaka michache imepita baada ya wasomi kutoka Kenya na sehemu mbalimbali duniani kushiriki kwenye Makumbusho ya Sheikh Shaaban Robert, nchini Tanzania, kuadhimisha miaka 50 tangu alipofariki. Makumbusho hayo hufanyika kati ya Agosti 19 na 25 kila mwaka na huwakutanisha washikadau mbalimbali wa lugha, ambao huwasilisha tafiti na mapendekezo ainati, yote kuhusu jinsi ushirikiano wao ni muhimu katika kuafiki malengo ya kukifanya Kiswahili kuwa lugha inayoenziwa barani Afrika na kote duniani. Matamshi ya viongozi wa ukanda huu yanayoonyesha tofauti zao za kisiasa si mazuri hata kidogo.Wanasahau kuwa nchi zao huyachukulia kwa uzito yote wanayoyasema na huenda yakaziunganisha au yakasambaratisha ushirikiano uliopo kati ya raia wa mataifa haya mawili. kinapozidi kuenea duniani, Kiswahili kimekuwa 'lishe' kwa baadhi ya walimu kutoka Kenya, katika nchi zilizojiunga upya na jumuiya hiyo kama Sudan Kusini, Rwanda na Burundi. Kando na hayo, wasomi kutoka Kenya na Tanzania wamepata ajira katika mataifa kama Msumbiji, DR Congo, Malawi, Zambia, Afrika Kusini kati ya megine ambayo yamekumbatia Kiswahili kuwa mhimili mkuu wa maendeleo na uunganishaji wa raia wa ukanda huu. Kimsingi, ukuaji wa lugha yoyote hutegemea sana ushirikiano wa kisiasa uliopo wa viongozi na taasisi za mataifa husika. Mazingira mazuri na mikakati ya kisiasa ndiyo ilichangia kutanuka kwa lugha hii. Bila shaka, hii ni changamoto kwa marais Uhuru Kenyatta (Kenya), John Magufuli (Tanzania), Yoweri Museveni (Uganda) kati ya wengine kutambua kuwa Kiswahili ni thawabu kuu ambayo inapaswa kutunzwa sana kwa mustakabali wa kisiasa, kiuchumi na kijamii wa ukanda huu. Hivyo basi, msingi wa kisiasa sharti uwepo ili kuepuka changamoto kama ile ya 1977; mu ungano wa Afrika Mashariki uliposambarati ka na kudumaza ustawi wa Kiswahili. Viongozi hawa pia wanapaswa kujifunza kutokana na mifano ya nchi kama Uingereza, Ujerumani, Ufaransa na Uchina, ambazo zimefanikiwa kueneza lugha zao kote duniani kutokana na uthabiti wa kisiasa. "Viongozi wetu wanapaswa kujifunza kutokana na mitano ya nchi kama Uingereza, Ujerumani, Ufaransa na Uchina, ambazo zimefanikiwa kueneza lugha zao kote duniani kutokana na uthabiti wa kisiasa."
Yapita miaka mingapi tangu Sheikh Shaaban Robert alipofarika
{ "text": [ "Miaka hamsini" ] }
0281_swa
UKUMBI WA LUGHA NA FASIHI Ukuaji wa lugha yoyote hutegemea sana ushirikiano wa kisiasa uliopo wa viongozi na taasisi za mataifa husika. Msingi wa kisiasa ni nguzo kuu ya ukuaji wa Kiswahili UMEKUWAPO na tumbojoto kuhusu mustakabali wa ufanisi wa umoja wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), baada ya kuibuka madai kuwa Tanzania na Burundi 'zinatengwa' kati-ka mikakati mbalimbali ya kujiunga na jumuiya hiyo. Mtikisiko huo wa umoja wa kanda hii huen-da usiwe habari njema kwa juhudi za ukuzaji wa Kiswahili, hasa ikizingatiwa kuwa Tan-zania na Kenya huonekana kama mihimili na vitovu vya ukuaji wa lugha hii katika ukanda huu. Aidha, ushirikiano wa wasomi kutoka nchi hizi mbili ndio umefanikisha kubuniwa kwa matoleo kadha ya Kamusi Mpya za Kiswahili; hii ikiwa hatua kubwa katika ukuaji wa Kiswa hili katika ukanda huu na sehemu nyingine duniani. Kwa mfano, kongamano la kwanza lil- ilopendekeza wazo la kuandaa Kamusi mpya ya Kiswahili (kuchukua mahali pa Kamusi Kongwe ya TUKI iliyokuwa imetumiwa tangu 1981) liliwashirikisha wasomi wa nchi hizi mbili. Wazo la kuandika kamusi hiyo mpya (tukumbuke kuna matoleo kadha ya Kamusi ya Karne ya 21) lilitokana na fikra za wana- taaluma kadha waliokaa katika warsha ya kutathmini mahitaji ya Kamusi za Kiswahili zilizokuwapo na mabadiliko ambayo yalitakiwa kufanywa. Warsha hiyo, iliyofanywa katika Hoteli ya Silver Springs, jijini Nairobi mnamo 1996. iliwashirikisha wanataaluma: Prof Rocha Chimerah, Prof Mohammed Abdulaziz na Prof Kamani Njogu (wote kutoka Kenya). Wengine walioshirikishwa ni Maprofesa James Mdee, John Kiango na David Massamba, wote wana toka Tanzania. Wakiwa na wengine, wanataaluma hawa walibaini kuwa mawanda ya Kiswahili yalizidi kupanuka na kulikuwa na hitaji la kuandika kamusi ya ziada ili kukidhi mahitaji ya watumiaji wa Kiswahili. Matokeo ya makongamano haya yamekuwa ya kuridhisha sana, kwani yaliweka msingi wa kuendelea kwa ushirikiano wa mataifa haya mawili. Hili ni zao la mwendelezo wa uandaaji wa makongamano mengi zaidi kuangazia ukuaji wa Kiswahili. Hivyo basi, ikiwa kutazuka mgawanyiko, hasa kati ya Kenya na Tanzania kuhusu mwendelezo wa juhudi za ushirikiano wa EAC, litakuwa pigo kuu kwa hatua zilizopigwa na wasomi, wanataaluma na wakereketwa mbalimbali wa Kiswahili.Ikumbukwe kuwa ni miaka michache imepita baada ya wasomi kutoka Kenya na sehemu mbalimbali duniani kushiriki kwenye Makumbusho ya Sheikh Shaaban Robert, nchini Tanzania, kuadhimisha miaka 50 tangu alipofariki. Makumbusho hayo hufanyika kati ya Agosti 19 na 25 kila mwaka na huwakutanisha washikadau mbalimbali wa lugha, ambao huwasilisha tafiti na mapendekezo ainati, yote kuhusu jinsi ushirikiano wao ni muhimu katika kuafiki malengo ya kukifanya Kiswahili kuwa lugha inayoenziwa barani Afrika na kote duniani. Matamshi ya viongozi wa ukanda huu yanayoonyesha tofauti zao za kisiasa si mazuri hata kidogo.Wanasahau kuwa nchi zao huyachukulia kwa uzito yote wanayoyasema na huenda yakaziunganisha au yakasambaratisha ushirikiano uliopo kati ya raia wa mataifa haya mawili. kinapozidi kuenea duniani, Kiswahili kimekuwa 'lishe' kwa baadhi ya walimu kutoka Kenya, katika nchi zilizojiunga upya na jumuiya hiyo kama Sudan Kusini, Rwanda na Burundi. Kando na hayo, wasomi kutoka Kenya na Tanzania wamepata ajira katika mataifa kama Msumbiji, DR Congo, Malawi, Zambia, Afrika Kusini kati ya megine ambayo yamekumbatia Kiswahili kuwa mhimili mkuu wa maendeleo na uunganishaji wa raia wa ukanda huu. Kimsingi, ukuaji wa lugha yoyote hutegemea sana ushirikiano wa kisiasa uliopo wa viongozi na taasisi za mataifa husika. Mazingira mazuri na mikakati ya kisiasa ndiyo ilichangia kutanuka kwa lugha hii. Bila shaka, hii ni changamoto kwa marais Uhuru Kenyatta (Kenya), John Magufuli (Tanzania), Yoweri Museveni (Uganda) kati ya wengine kutambua kuwa Kiswahili ni thawabu kuu ambayo inapaswa kutunzwa sana kwa mustakabali wa kisiasa, kiuchumi na kijamii wa ukanda huu. Hivyo basi, msingi wa kisiasa sharti uwepo ili kuepuka changamoto kama ile ya 1977; mu ungano wa Afrika Mashariki uliposambarati ka na kudumaza ustawi wa Kiswahili. Viongozi hawa pia wanapaswa kujifunza kutokana na mifano ya nchi kama Uingereza, Ujerumani, Ufaransa na Uchina, ambazo zimefanikiwa kueneza lugha zao kote duniani kutokana na uthabiti wa kisiasa. "Viongozi wetu wanapaswa kujifunza kutokana na mitano ya nchi kama Uingereza, Ujerumani, Ufaransa na Uchina, ambazo zimefanikiwa kueneza lugha zao kote duniani kutokana na uthabiti wa kisiasa."
Kiswahili kimekuwa ajira kwa wengi katika mataifa yapi
{ "text": [ "Msumbiji, DR Congo, Malawi na Zambia" ] }
0286_swa
Polisi wamsaka pasta anayeshukiwa kumnajisi mwanafunzi. Polisi wa eneo la Olenguruone kuresoi Kusini wanamsaka mwanamume mmoja anyedaiwa kumnajisi na kumpachika mimba msichana wa shule.Mshukiwa ambaye mwathiriwa aliambia polisi kuwa ni pasta wa shule yao anasemekana kwenda mafichoni baada ya kugundua kuwa habari zilikuwa zimewafikia polisi. kulingana na ripoti ya kesi ya msichana huyo nambari 10.26/8/ 2019 ambaye pia ni wa umri wa miaka 17 mshukiwa alimnajisi Oktoba mwaka uliopita mnamo Julai mwaka huu, alijifungua mtoto wa kiume. BW Henry Nyanganesi ambaye ni mkuu wa polisi wa kuresoi kusini, alisema hafahamu kisa hicho kwani ni nje ya eneo lake la kazi. Babaye mwathiriwa alisema aligungua hali tofauti katika tabia na afya ya mwanawe wakati wa likizo ya Aprili na alipofanya uchunguzi wa kina alitambua kuwa ujauzito huo ulikuwa wa mhubiri katika shule yao. Mimi ni mkulima wa chai mara nyingi shule zinapofungwa mimi pamoja na familia yangu hutumia muda mwingi shabani tukifanya kazi.Wakati wa likizo za Aprili mwaka huu niligundua kuwa binti yangu alikuwa amebadili tabia na hata kuwa mvivu kila nilipomwelekeza kufanya kazi ya nyumbani Akasema. Kulingana naye aliporipoti habari hizo kwa mwalimu mkuu wa shule aliomba kusuluhisha jambo hilo nje ya shule.
Polisi ni wa eneo gani
{ "text": [ "Olenguruone Kuresoi Kusini" ] }
0286_swa
Polisi wamsaka pasta anayeshukiwa kumnajisi mwanafunzi. Polisi wa eneo la Olenguruone kuresoi Kusini wanamsaka mwanamume mmoja anyedaiwa kumnajisi na kumpachika mimba msichana wa shule.Mshukiwa ambaye mwathiriwa aliambia polisi kuwa ni pasta wa shule yao anasemekana kwenda mafichoni baada ya kugundua kuwa habari zilikuwa zimewafikia polisi. kulingana na ripoti ya kesi ya msichana huyo nambari 10.26/8/ 2019 ambaye pia ni wa umri wa miaka 17 mshukiwa alimnajisi Oktoba mwaka uliopita mnamo Julai mwaka huu, alijifungua mtoto wa kiume. BW Henry Nyanganesi ambaye ni mkuu wa polisi wa kuresoi kusini, alisema hafahamu kisa hicho kwani ni nje ya eneo lake la kazi. Babaye mwathiriwa alisema aligungua hali tofauti katika tabia na afya ya mwanawe wakati wa likizo ya Aprili na alipofanya uchunguzi wa kina alitambua kuwa ujauzito huo ulikuwa wa mhubiri katika shule yao. Mimi ni mkulima wa chai mara nyingi shule zinapofungwa mimi pamoja na familia yangu hutumia muda mwingi shabani tukifanya kazi.Wakati wa likizo za Aprili mwaka huu niligundua kuwa binti yangu alikuwa amebadili tabia na hata kuwa mvivu kila nilipomwelekeza kufanya kazi ya nyumbani Akasema. Kulingana naye aliporipoti habari hizo kwa mwalimu mkuu wa shule aliomba kusuluhisha jambo hilo nje ya shule.
Mshukiwa alikua nani
{ "text": [ "pasta wa shule" ] }
0286_swa
Polisi wamsaka pasta anayeshukiwa kumnajisi mwanafunzi. Polisi wa eneo la Olenguruone kuresoi Kusini wanamsaka mwanamume mmoja anyedaiwa kumnajisi na kumpachika mimba msichana wa shule.Mshukiwa ambaye mwathiriwa aliambia polisi kuwa ni pasta wa shule yao anasemekana kwenda mafichoni baada ya kugundua kuwa habari zilikuwa zimewafikia polisi. kulingana na ripoti ya kesi ya msichana huyo nambari 10.26/8/ 2019 ambaye pia ni wa umri wa miaka 17 mshukiwa alimnajisi Oktoba mwaka uliopita mnamo Julai mwaka huu, alijifungua mtoto wa kiume. BW Henry Nyanganesi ambaye ni mkuu wa polisi wa kuresoi kusini, alisema hafahamu kisa hicho kwani ni nje ya eneo lake la kazi. Babaye mwathiriwa alisema aligungua hali tofauti katika tabia na afya ya mwanawe wakati wa likizo ya Aprili na alipofanya uchunguzi wa kina alitambua kuwa ujauzito huo ulikuwa wa mhubiri katika shule yao. Mimi ni mkulima wa chai mara nyingi shule zinapofungwa mimi pamoja na familia yangu hutumia muda mwingi shabani tukifanya kazi.Wakati wa likizo za Aprili mwaka huu niligundua kuwa binti yangu alikuwa amebadili tabia na hata kuwa mvivu kila nilipomwelekeza kufanya kazi ya nyumbani Akasema. Kulingana naye aliporipoti habari hizo kwa mwalimu mkuu wa shule aliomba kusuluhisha jambo hilo nje ya shule.
Msichani alikua miaka ngapi
{ "text": [ "17" ] }
0286_swa
Polisi wamsaka pasta anayeshukiwa kumnajisi mwanafunzi. Polisi wa eneo la Olenguruone kuresoi Kusini wanamsaka mwanamume mmoja anyedaiwa kumnajisi na kumpachika mimba msichana wa shule.Mshukiwa ambaye mwathiriwa aliambia polisi kuwa ni pasta wa shule yao anasemekana kwenda mafichoni baada ya kugundua kuwa habari zilikuwa zimewafikia polisi. kulingana na ripoti ya kesi ya msichana huyo nambari 10.26/8/ 2019 ambaye pia ni wa umri wa miaka 17 mshukiwa alimnajisi Oktoba mwaka uliopita mnamo Julai mwaka huu, alijifungua mtoto wa kiume. BW Henry Nyanganesi ambaye ni mkuu wa polisi wa kuresoi kusini, alisema hafahamu kisa hicho kwani ni nje ya eneo lake la kazi. Babaye mwathiriwa alisema aligungua hali tofauti katika tabia na afya ya mwanawe wakati wa likizo ya Aprili na alipofanya uchunguzi wa kina alitambua kuwa ujauzito huo ulikuwa wa mhubiri katika shule yao. Mimi ni mkulima wa chai mara nyingi shule zinapofungwa mimi pamoja na familia yangu hutumia muda mwingi shabani tukifanya kazi.Wakati wa likizo za Aprili mwaka huu niligundua kuwa binti yangu alikuwa amebadili tabia na hata kuwa mvivu kila nilipomwelekeza kufanya kazi ya nyumbani Akasema. Kulingana naye aliporipoti habari hizo kwa mwalimu mkuu wa shule aliomba kusuluhisha jambo hilo nje ya shule.
Babaye mwathiriwa alichunguza akagundua ujauzito ni wa nani
{ "text": [ "mhubiri" ] }
0286_swa
Polisi wamsaka pasta anayeshukiwa kumnajisi mwanafunzi. Polisi wa eneo la Olenguruone kuresoi Kusini wanamsaka mwanamume mmoja anyedaiwa kumnajisi na kumpachika mimba msichana wa shule.Mshukiwa ambaye mwathiriwa aliambia polisi kuwa ni pasta wa shule yao anasemekana kwenda mafichoni baada ya kugundua kuwa habari zilikuwa zimewafikia polisi. kulingana na ripoti ya kesi ya msichana huyo nambari 10.26/8/ 2019 ambaye pia ni wa umri wa miaka 17 mshukiwa alimnajisi Oktoba mwaka uliopita mnamo Julai mwaka huu, alijifungua mtoto wa kiume. BW Henry Nyanganesi ambaye ni mkuu wa polisi wa kuresoi kusini, alisema hafahamu kisa hicho kwani ni nje ya eneo lake la kazi. Babaye mwathiriwa alisema aligungua hali tofauti katika tabia na afya ya mwanawe wakati wa likizo ya Aprili na alipofanya uchunguzi wa kina alitambua kuwa ujauzito huo ulikuwa wa mhubiri katika shule yao. Mimi ni mkulima wa chai mara nyingi shule zinapofungwa mimi pamoja na familia yangu hutumia muda mwingi shabani tukifanya kazi.Wakati wa likizo za Aprili mwaka huu niligundua kuwa binti yangu alikuwa amebadili tabia na hata kuwa mvivu kila nilipomwelekeza kufanya kazi ya nyumbani Akasema. Kulingana naye aliporipoti habari hizo kwa mwalimu mkuu wa shule aliomba kusuluhisha jambo hilo nje ya shule.
Babaye mwathiriwa alikua mkulima wa nini
{ "text": [ "chai" ] }
0289_swa
Hujaacha mlemavu kumfungia mlango Wapenzi wa raggae wanamkumbuka marehemu Mighty King Kong, jina lake halisi Paul Otieno Imbaya aliyejiundia himaya kubwa ya mashabiki Nairobi, Uganda n ahata Mombasa. Aliwahi kuimba katika vilabu tofauti tofauti Nairobi na pia kushirikiana na Pressman Band na Them Mushrooms kabla ya kuachia albamu yake ya kwanza Ladies Choice(1999) na kufuatisha na Cinderella, Return of the King na hatimaye albamu mesto ya The Best of King Kong. Marehemu aliguza nyoyo za wengi kwa kete kalikali na mmoja wa shabiki wake sugu ni Emmanuel Ogutu al maarufu Kleanheart, msanii kutoka Malindi. Kleanheart anasema kuwa aliingiwa na ari ya kuwa mwanamuziki kutokana na kumsikiliza Might King Kong ambaye alikuwa mlemavu kutoka na gonjwa la polio. Aidha, anasema yeye alipata ulemavu wa mguu kutokana na sindano ya chanjo aliwa na miaka mitano. Ulianzaje hata ukajiingiza katika fani ya uimbaji? Kleanheart: Sikuanza kwa kuwa mwimbaji bali nilianza katika Sanaa ya uigizaji nikiwa produsa wa filamu. Katika Sanaa hiyo ya uigizaji ulitayarisha filamu zozote na zipi kama ziko? Kleanheart: Nilitayarisha filamu tatu; Mumew a Kazi, Uzito wa hisis na The Meeting Na ngoma yako ya kwanza uliachilia lini? Kleanheart: Ngoma yangu ya kwanza siamini niliyoshirikiana na Akraba 2004. Kibao hicho kilipokelewa vyema na hakika kilinipa msukumo wa kuanza kuimba solo kwa kuachia vibao kama Pesa, Nitatulia, Muda, Nisha, Lini, Utaruri, Mada, Chemchem, Niahidi, Nitarudi, Nalia, Slowdown, Amina, Napenda Pombe, Tabia za madem na Nipe nafasi. Bado unaprodusi filamu ama sasa umejikita kabisa katika mziki? Kleanheart; Kwa wakati huu mimezama katika muziki na niko studioni natayarisha albamu ya nyimbo 20 ambayo inawahusisha wasanii sab ana ambayo natarajia kuizindua wakati wowote mwezi ujao. Nina imni zitaitikiwa vizuri na mashabiki wa muziki Unatumia mitindo gani kwenye nyimbo zako na kwa nini waipendelea? Kleanheart: Natumia mitindo ya HipHop na RnB sababu inavutia vijana Zaidi na hao ndio mashabiki ninaolenga kwa kazi yangu. Unawaambia nini maprodusa wenzako na wahusika wengine wa muziki pwani? Kleanheart: Ninawasihi wahusike katika kuinua vipaji vya uimbaji Pwani kuimarisha sekta hii kiuchumi pia. Nini mani yako ya walemavu kujiingiza katika fani ya muziki? Kleanheart: Naomba wazazi wenye Watoto walemavu wawasomeshe na pia wawape fursa ya kunoa vipaji vyao waweze kujikimu maishani baadaye.
Wapenzi wa Reggae wanamkumbuka nani
{ "text": [ "Mighty King Kong" ] }
0289_swa
Hujaacha mlemavu kumfungia mlango Wapenzi wa raggae wanamkumbuka marehemu Mighty King Kong, jina lake halisi Paul Otieno Imbaya aliyejiundia himaya kubwa ya mashabiki Nairobi, Uganda n ahata Mombasa. Aliwahi kuimba katika vilabu tofauti tofauti Nairobi na pia kushirikiana na Pressman Band na Them Mushrooms kabla ya kuachia albamu yake ya kwanza Ladies Choice(1999) na kufuatisha na Cinderella, Return of the King na hatimaye albamu mesto ya The Best of King Kong. Marehemu aliguza nyoyo za wengi kwa kete kalikali na mmoja wa shabiki wake sugu ni Emmanuel Ogutu al maarufu Kleanheart, msanii kutoka Malindi. Kleanheart anasema kuwa aliingiwa na ari ya kuwa mwanamuziki kutokana na kumsikiliza Might King Kong ambaye alikuwa mlemavu kutoka na gonjwa la polio. Aidha, anasema yeye alipata ulemavu wa mguu kutokana na sindano ya chanjo aliwa na miaka mitano. Ulianzaje hata ukajiingiza katika fani ya uimbaji? Kleanheart: Sikuanza kwa kuwa mwimbaji bali nilianza katika Sanaa ya uigizaji nikiwa produsa wa filamu. Katika Sanaa hiyo ya uigizaji ulitayarisha filamu zozote na zipi kama ziko? Kleanheart: Nilitayarisha filamu tatu; Mumew a Kazi, Uzito wa hisis na The Meeting Na ngoma yako ya kwanza uliachilia lini? Kleanheart: Ngoma yangu ya kwanza siamini niliyoshirikiana na Akraba 2004. Kibao hicho kilipokelewa vyema na hakika kilinipa msukumo wa kuanza kuimba solo kwa kuachia vibao kama Pesa, Nitatulia, Muda, Nisha, Lini, Utaruri, Mada, Chemchem, Niahidi, Nitarudi, Nalia, Slowdown, Amina, Napenda Pombe, Tabia za madem na Nipe nafasi. Bado unaprodusi filamu ama sasa umejikita kabisa katika mziki? Kleanheart; Kwa wakati huu mimezama katika muziki na niko studioni natayarisha albamu ya nyimbo 20 ambayo inawahusisha wasanii sab ana ambayo natarajia kuizindua wakati wowote mwezi ujao. Nina imni zitaitikiwa vizuri na mashabiki wa muziki Unatumia mitindo gani kwenye nyimbo zako na kwa nini waipendelea? Kleanheart: Natumia mitindo ya HipHop na RnB sababu inavutia vijana Zaidi na hao ndio mashabiki ninaolenga kwa kazi yangu. Unawaambia nini maprodusa wenzako na wahusika wengine wa muziki pwani? Kleanheart: Ninawasihi wahusike katika kuinua vipaji vya uimbaji Pwani kuimarisha sekta hii kiuchumi pia. Nini mani yako ya walemavu kujiingiza katika fani ya muziki? Kleanheart: Naomba wazazi wenye Watoto walemavu wawasomeshe na pia wawape fursa ya kunoa vipaji vyao waweze kujikimu maishani baadaye.
Paul Otieno alijiundia nini
{ "text": [ "himaya kubwa" ] }
0289_swa
Hujaacha mlemavu kumfungia mlango Wapenzi wa raggae wanamkumbuka marehemu Mighty King Kong, jina lake halisi Paul Otieno Imbaya aliyejiundia himaya kubwa ya mashabiki Nairobi, Uganda n ahata Mombasa. Aliwahi kuimba katika vilabu tofauti tofauti Nairobi na pia kushirikiana na Pressman Band na Them Mushrooms kabla ya kuachia albamu yake ya kwanza Ladies Choice(1999) na kufuatisha na Cinderella, Return of the King na hatimaye albamu mesto ya The Best of King Kong. Marehemu aliguza nyoyo za wengi kwa kete kalikali na mmoja wa shabiki wake sugu ni Emmanuel Ogutu al maarufu Kleanheart, msanii kutoka Malindi. Kleanheart anasema kuwa aliingiwa na ari ya kuwa mwanamuziki kutokana na kumsikiliza Might King Kong ambaye alikuwa mlemavu kutoka na gonjwa la polio. Aidha, anasema yeye alipata ulemavu wa mguu kutokana na sindano ya chanjo aliwa na miaka mitano. Ulianzaje hata ukajiingiza katika fani ya uimbaji? Kleanheart: Sikuanza kwa kuwa mwimbaji bali nilianza katika Sanaa ya uigizaji nikiwa produsa wa filamu. Katika Sanaa hiyo ya uigizaji ulitayarisha filamu zozote na zipi kama ziko? Kleanheart: Nilitayarisha filamu tatu; Mumew a Kazi, Uzito wa hisis na The Meeting Na ngoma yako ya kwanza uliachilia lini? Kleanheart: Ngoma yangu ya kwanza siamini niliyoshirikiana na Akraba 2004. Kibao hicho kilipokelewa vyema na hakika kilinipa msukumo wa kuanza kuimba solo kwa kuachia vibao kama Pesa, Nitatulia, Muda, Nisha, Lini, Utaruri, Mada, Chemchem, Niahidi, Nitarudi, Nalia, Slowdown, Amina, Napenda Pombe, Tabia za madem na Nipe nafasi. Bado unaprodusi filamu ama sasa umejikita kabisa katika mziki? Kleanheart; Kwa wakati huu mimezama katika muziki na niko studioni natayarisha albamu ya nyimbo 20 ambayo inawahusisha wasanii sab ana ambayo natarajia kuizindua wakati wowote mwezi ujao. Nina imni zitaitikiwa vizuri na mashabiki wa muziki Unatumia mitindo gani kwenye nyimbo zako na kwa nini waipendelea? Kleanheart: Natumia mitindo ya HipHop na RnB sababu inavutia vijana Zaidi na hao ndio mashabiki ninaolenga kwa kazi yangu. Unawaambia nini maprodusa wenzako na wahusika wengine wa muziki pwani? Kleanheart: Ninawasihi wahusike katika kuinua vipaji vya uimbaji Pwani kuimarisha sekta hii kiuchumi pia. Nini mani yako ya walemavu kujiingiza katika fani ya muziki? Kleanheart: Naomba wazazi wenye Watoto walemavu wawasomeshe na pia wawape fursa ya kunoa vipaji vyao waweze kujikimu maishani baadaye.
Aliachilia album yake ya kwanza lini
{ "text": [ "1999" ] }
0289_swa
Hujaacha mlemavu kumfungia mlango Wapenzi wa raggae wanamkumbuka marehemu Mighty King Kong, jina lake halisi Paul Otieno Imbaya aliyejiundia himaya kubwa ya mashabiki Nairobi, Uganda n ahata Mombasa. Aliwahi kuimba katika vilabu tofauti tofauti Nairobi na pia kushirikiana na Pressman Band na Them Mushrooms kabla ya kuachia albamu yake ya kwanza Ladies Choice(1999) na kufuatisha na Cinderella, Return of the King na hatimaye albamu mesto ya The Best of King Kong. Marehemu aliguza nyoyo za wengi kwa kete kalikali na mmoja wa shabiki wake sugu ni Emmanuel Ogutu al maarufu Kleanheart, msanii kutoka Malindi. Kleanheart anasema kuwa aliingiwa na ari ya kuwa mwanamuziki kutokana na kumsikiliza Might King Kong ambaye alikuwa mlemavu kutoka na gonjwa la polio. Aidha, anasema yeye alipata ulemavu wa mguu kutokana na sindano ya chanjo aliwa na miaka mitano. Ulianzaje hata ukajiingiza katika fani ya uimbaji? Kleanheart: Sikuanza kwa kuwa mwimbaji bali nilianza katika Sanaa ya uigizaji nikiwa produsa wa filamu. Katika Sanaa hiyo ya uigizaji ulitayarisha filamu zozote na zipi kama ziko? Kleanheart: Nilitayarisha filamu tatu; Mumew a Kazi, Uzito wa hisis na The Meeting Na ngoma yako ya kwanza uliachilia lini? Kleanheart: Ngoma yangu ya kwanza siamini niliyoshirikiana na Akraba 2004. Kibao hicho kilipokelewa vyema na hakika kilinipa msukumo wa kuanza kuimba solo kwa kuachia vibao kama Pesa, Nitatulia, Muda, Nisha, Lini, Utaruri, Mada, Chemchem, Niahidi, Nitarudi, Nalia, Slowdown, Amina, Napenda Pombe, Tabia za madem na Nipe nafasi. Bado unaprodusi filamu ama sasa umejikita kabisa katika mziki? Kleanheart; Kwa wakati huu mimezama katika muziki na niko studioni natayarisha albamu ya nyimbo 20 ambayo inawahusisha wasanii sab ana ambayo natarajia kuizindua wakati wowote mwezi ujao. Nina imni zitaitikiwa vizuri na mashabiki wa muziki Unatumia mitindo gani kwenye nyimbo zako na kwa nini waipendelea? Kleanheart: Natumia mitindo ya HipHop na RnB sababu inavutia vijana Zaidi na hao ndio mashabiki ninaolenga kwa kazi yangu. Unawaambia nini maprodusa wenzako na wahusika wengine wa muziki pwani? Kleanheart: Ninawasihi wahusike katika kuinua vipaji vya uimbaji Pwani kuimarisha sekta hii kiuchumi pia. Nini mani yako ya walemavu kujiingiza katika fani ya muziki? Kleanheart: Naomba wazazi wenye Watoto walemavu wawasomeshe na pia wawape fursa ya kunoa vipaji vyao waweze kujikimu maishani baadaye.
Aligusa nini za wengi
{ "text": [ "nyoyo" ] }
0289_swa
Hujaacha mlemavu kumfungia mlango Wapenzi wa raggae wanamkumbuka marehemu Mighty King Kong, jina lake halisi Paul Otieno Imbaya aliyejiundia himaya kubwa ya mashabiki Nairobi, Uganda n ahata Mombasa. Aliwahi kuimba katika vilabu tofauti tofauti Nairobi na pia kushirikiana na Pressman Band na Them Mushrooms kabla ya kuachia albamu yake ya kwanza Ladies Choice(1999) na kufuatisha na Cinderella, Return of the King na hatimaye albamu mesto ya The Best of King Kong. Marehemu aliguza nyoyo za wengi kwa kete kalikali na mmoja wa shabiki wake sugu ni Emmanuel Ogutu al maarufu Kleanheart, msanii kutoka Malindi. Kleanheart anasema kuwa aliingiwa na ari ya kuwa mwanamuziki kutokana na kumsikiliza Might King Kong ambaye alikuwa mlemavu kutoka na gonjwa la polio. Aidha, anasema yeye alipata ulemavu wa mguu kutokana na sindano ya chanjo aliwa na miaka mitano. Ulianzaje hata ukajiingiza katika fani ya uimbaji? Kleanheart: Sikuanza kwa kuwa mwimbaji bali nilianza katika Sanaa ya uigizaji nikiwa produsa wa filamu. Katika Sanaa hiyo ya uigizaji ulitayarisha filamu zozote na zipi kama ziko? Kleanheart: Nilitayarisha filamu tatu; Mumew a Kazi, Uzito wa hisis na The Meeting Na ngoma yako ya kwanza uliachilia lini? Kleanheart: Ngoma yangu ya kwanza siamini niliyoshirikiana na Akraba 2004. Kibao hicho kilipokelewa vyema na hakika kilinipa msukumo wa kuanza kuimba solo kwa kuachia vibao kama Pesa, Nitatulia, Muda, Nisha, Lini, Utaruri, Mada, Chemchem, Niahidi, Nitarudi, Nalia, Slowdown, Amina, Napenda Pombe, Tabia za madem na Nipe nafasi. Bado unaprodusi filamu ama sasa umejikita kabisa katika mziki? Kleanheart; Kwa wakati huu mimezama katika muziki na niko studioni natayarisha albamu ya nyimbo 20 ambayo inawahusisha wasanii sab ana ambayo natarajia kuizindua wakati wowote mwezi ujao. Nina imni zitaitikiwa vizuri na mashabiki wa muziki Unatumia mitindo gani kwenye nyimbo zako na kwa nini waipendelea? Kleanheart: Natumia mitindo ya HipHop na RnB sababu inavutia vijana Zaidi na hao ndio mashabiki ninaolenga kwa kazi yangu. Unawaambia nini maprodusa wenzako na wahusika wengine wa muziki pwani? Kleanheart: Ninawasihi wahusike katika kuinua vipaji vya uimbaji Pwani kuimarisha sekta hii kiuchumi pia. Nini mani yako ya walemavu kujiingiza katika fani ya muziki? Kleanheart: Naomba wazazi wenye Watoto walemavu wawasomeshe na pia wawape fursa ya kunoa vipaji vyao waweze kujikimu maishani baadaye.
Alipata ulemavu wa mguu kutokana na nini
{ "text": [ "sindano ya chanjo" ] }
0290_swa
Umuhimu wa mshikamano, udugu na umoja wa Kiislamu kote duniani Sifa zote njema anastahiki Mola Azzawajalla, Mwenye kuneemesha neema kubwakubwa na nyene ndogondogo. Swala na salamu zimwendee Mtume wetu Muhammad, natan lil 'alamiyn, maswahaba wake na watangu wema hadi siku ya kinah. Kuzaliwa kwa Muhammad bin Abdul Swalla Allahu A'alayhi Wasallam kuwa mithili na jua lililochomoza katika giza za giza totoro na kukunja jamvi na ujahilia. Tukio hilo lilitoa njema ya kumkomboa mwanadamu toka minyororo ya utumwa wa aina mbalimbali, dhulma na matamanio yao. Ilikuwa kengele ya wito wa Tauhidi kumwabudu Mungu Mmoja kote dunia kuwaunganisha wanadamu wote kwa kwamba moja iliyonyooka. Pamoja na mshikamano ni miongoni mwa mafundisho muhimu ya dini ya kiamu. Japokuwa neno "Wahda" lenye maana ya umoja halikutumiwa katika aya Qur'ani, lakini maana yake imetajwa katika aya nyingi za kitabu hicho. Kwa mfano tu katika aya ya 103 ya Suratu Aalan, Mwenyezi Mungu Azzawajalla alisema: Na shikamaneni na Kamba ya Mwenyezi Mungu nyote pamoja, wala farikiane. Na kumbukeni neema ya Mwenyezi Mungu iliyo juu yenu: vile vinavyokuwa nyinyi kwa nyinyi maadui wale akaziunganisha nyoyo zenu, kwa mama yake mkawa ndugu. Na mlikuwa ukingoni mwa shimo la Moto, naye kakuokoeni nalo... Kwa hakika njia na Mwenyezi Mungu kuwaita watu katika elimu, maarifa na nisi wa milele na kuwatahadharisha ujinga, uadui na mifarakano. Kwa msingi huo, dini ya Uislamu daima inawataka waumini na wafuasi wake kuwa ndugu kama walivyo ndugu wa baba na mama au hata zaidi Si havo tu bali Our'ani baada va kutilia mkazo umoja na mshikamano baina ya Waislamu inawataka wafuasi wa dini hiyo pia kuungana na wafuasi wa dini nyingine za mbinguni kwa msingi wa Tauhidi na kumpwekesha Mwenyezi Mungu. Aya ya 64 ya Suratu Aal Imran inasema: Sema: Envi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba, tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote: wala tusifanya ne sisi kwa sisi kuwa miungu badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudieni ya kwamba sisi ni Waislamu. Kwa msingi huo, hitilafu ndogo ndogo hazipasi kuwa kikwazo cha mshikamano na udugu baina ya Waislamu. Waislamu wana utamaduni wa aina moja na wanashirikiana katika itikadi kuu na muhimu. Wote wanamwamini na kumwabudu Mwenyezi Mungu Mmoja asiye na mshirika, na wanaamini utume wa Nabii Muhammad Swalla Allahu A'alayhi Wasallam na kwamba yeye ndiye Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu. Kitabu chao wote ni Qur'ani Tukufu na kibla chao ni al Kaaba takatifu iliyoko katika ardhi iliyotakasika ya Makka. Waislamu wote wanafanya pamoja ibada ya Hija na kuswali Swala tano kwa siku. Wote wanafunga mwezi mtukufu wa Ramadhani na wanashirikiana katika taratibu na sheria za ndoa, biashara kuzika na kadhalika bila ya kujali tofauti ndogondogo zinazosababishwa na tofauti za kimitazamo na ufahamu wa aya au hadithi baina ya wasomi na wanazuoni wa Kiislamu. Hapa linajitokeza swali kwamba, ni nini maana ya umoja wa Kiislamu? Umoja baina ya Waislamu si umoja wa kimkakati na mbinu ya kutimiza maslahi ya kisiasa. Umoja huo si kama umoja unaofanyika baina ya vyama viwili vya siasa na kadhalika kwa ajili ya kufikia lengo moja kwa muda maalumu. Kwa mfano, iwapo katika jamii ya Waislamu kutakuwepo makundi mawili ya kisiasa, moja likawa la watu wasiokuwa na dini na walahidi na jingine likawa na Waislamu wanaompwekesha Mwenyezi Mungu, haijuzu na haipasi kuwepo umoja na mshikamano baina ya makundi hayo mawili. Umoja na mshikamano wa Kiislamu hauna maana ya kila madhehebu kutupilia mbali itikadi zake. Hakuna anayetutajia kuwa, madhehebu yote ya Waislamu yanapaswa kutupiliwa mbali na kuchagua dhehebu moja tu au kuchukua masuala yanayowashirikisha wafuasi wa madhehebu yote na kutupilia mbali mengine na hivyo kuanzisha madhehebu mpya na Waislamu wote. La hasha, maana ya umoja kati ya Waislamu ni kuweka kando masuala waliyohitilafiana juu yake na kusisitiza yale yanayowakutanisha pamoja katika kuamiliana baina yao na katika masuala yanayohusiana na ulimwengu wa Kiislamu na medarte ya kimataifa. Kwa kadiri kwamba, Waislamu wote watakuwa na mshikamano na mwelekeo mmoja bila ya kujali hitilafu za kimitazamo na tofauti zao. Sheikh Muhammad A'shur ambaye ni Naibu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Azhar nchini Misri na Mwenyekiti wa Kamati ya Mazungumzo Baina ya Madhehebu za Kiislamu anasema: Lengo letu si kuunda dhehebu moja na kutupilia mbali madhehebu mengine ya Waislamu: jambo hilo ja madhehebu ya Kiislamu. Wanazuoni wa kila madhehebu wanapaswa kufanya mijadala ya kielimu na kuelimishana, kukumbushana na kufikia natija.
Qurani yatilia mkazo nini
{ "text": [ "Umoja na mshikamano baina ya waislamu na pia dini zigine" ] }
0290_swa
Umuhimu wa mshikamano, udugu na umoja wa Kiislamu kote duniani Sifa zote njema anastahiki Mola Azzawajalla, Mwenye kuneemesha neema kubwakubwa na nyene ndogondogo. Swala na salamu zimwendee Mtume wetu Muhammad, natan lil 'alamiyn, maswahaba wake na watangu wema hadi siku ya kinah. Kuzaliwa kwa Muhammad bin Abdul Swalla Allahu A'alayhi Wasallam kuwa mithili na jua lililochomoza katika giza za giza totoro na kukunja jamvi na ujahilia. Tukio hilo lilitoa njema ya kumkomboa mwanadamu toka minyororo ya utumwa wa aina mbalimbali, dhulma na matamanio yao. Ilikuwa kengele ya wito wa Tauhidi kumwabudu Mungu Mmoja kote dunia kuwaunganisha wanadamu wote kwa kwamba moja iliyonyooka. Pamoja na mshikamano ni miongoni mwa mafundisho muhimu ya dini ya kiamu. Japokuwa neno "Wahda" lenye maana ya umoja halikutumiwa katika aya Qur'ani, lakini maana yake imetajwa katika aya nyingi za kitabu hicho. Kwa mfano tu katika aya ya 103 ya Suratu Aalan, Mwenyezi Mungu Azzawajalla alisema: Na shikamaneni na Kamba ya Mwenyezi Mungu nyote pamoja, wala farikiane. Na kumbukeni neema ya Mwenyezi Mungu iliyo juu yenu: vile vinavyokuwa nyinyi kwa nyinyi maadui wale akaziunganisha nyoyo zenu, kwa mama yake mkawa ndugu. Na mlikuwa ukingoni mwa shimo la Moto, naye kakuokoeni nalo... Kwa hakika njia na Mwenyezi Mungu kuwaita watu katika elimu, maarifa na nisi wa milele na kuwatahadharisha ujinga, uadui na mifarakano. Kwa msingi huo, dini ya Uislamu daima inawataka waumini na wafuasi wake kuwa ndugu kama walivyo ndugu wa baba na mama au hata zaidi Si havo tu bali Our'ani baada va kutilia mkazo umoja na mshikamano baina ya Waislamu inawataka wafuasi wa dini hiyo pia kuungana na wafuasi wa dini nyingine za mbinguni kwa msingi wa Tauhidi na kumpwekesha Mwenyezi Mungu. Aya ya 64 ya Suratu Aal Imran inasema: Sema: Envi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba, tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote: wala tusifanya ne sisi kwa sisi kuwa miungu badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudieni ya kwamba sisi ni Waislamu. Kwa msingi huo, hitilafu ndogo ndogo hazipasi kuwa kikwazo cha mshikamano na udugu baina ya Waislamu. Waislamu wana utamaduni wa aina moja na wanashirikiana katika itikadi kuu na muhimu. Wote wanamwamini na kumwabudu Mwenyezi Mungu Mmoja asiye na mshirika, na wanaamini utume wa Nabii Muhammad Swalla Allahu A'alayhi Wasallam na kwamba yeye ndiye Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu. Kitabu chao wote ni Qur'ani Tukufu na kibla chao ni al Kaaba takatifu iliyoko katika ardhi iliyotakasika ya Makka. Waislamu wote wanafanya pamoja ibada ya Hija na kuswali Swala tano kwa siku. Wote wanafunga mwezi mtukufu wa Ramadhani na wanashirikiana katika taratibu na sheria za ndoa, biashara kuzika na kadhalika bila ya kujali tofauti ndogondogo zinazosababishwa na tofauti za kimitazamo na ufahamu wa aya au hadithi baina ya wasomi na wanazuoni wa Kiislamu. Hapa linajitokeza swali kwamba, ni nini maana ya umoja wa Kiislamu? Umoja baina ya Waislamu si umoja wa kimkakati na mbinu ya kutimiza maslahi ya kisiasa. Umoja huo si kama umoja unaofanyika baina ya vyama viwili vya siasa na kadhalika kwa ajili ya kufikia lengo moja kwa muda maalumu. Kwa mfano, iwapo katika jamii ya Waislamu kutakuwepo makundi mawili ya kisiasa, moja likawa la watu wasiokuwa na dini na walahidi na jingine likawa na Waislamu wanaompwekesha Mwenyezi Mungu, haijuzu na haipasi kuwepo umoja na mshikamano baina ya makundi hayo mawili. Umoja na mshikamano wa Kiislamu hauna maana ya kila madhehebu kutupilia mbali itikadi zake. Hakuna anayetutajia kuwa, madhehebu yote ya Waislamu yanapaswa kutupiliwa mbali na kuchagua dhehebu moja tu au kuchukua masuala yanayowashirikisha wafuasi wa madhehebu yote na kutupilia mbali mengine na hivyo kuanzisha madhehebu mpya na Waislamu wote. La hasha, maana ya umoja kati ya Waislamu ni kuweka kando masuala waliyohitilafiana juu yake na kusisitiza yale yanayowakutanisha pamoja katika kuamiliana baina yao na katika masuala yanayohusiana na ulimwengu wa Kiislamu na medarte ya kimataifa. Kwa kadiri kwamba, Waislamu wote watakuwa na mshikamano na mwelekeo mmoja bila ya kujali hitilafu za kimitazamo na tofauti zao. Sheikh Muhammad A'shur ambaye ni Naibu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Azhar nchini Misri na Mwenyekiti wa Kamati ya Mazungumzo Baina ya Madhehebu za Kiislamu anasema: Lengo letu si kuunda dhehebu moja na kutupilia mbali madhehebu mengine ya Waislamu: jambo hilo ja madhehebu ya Kiislamu. Wanazuoni wa kila madhehebu wanapaswa kufanya mijadala ya kielimu na kuelimishana, kukumbushana na kufikia natija.
quarani yawaagiza wafuasi wake wamwabudu nani
{ "text": [ "Mwenyezi Mungu" ] }
0290_swa
Umuhimu wa mshikamano, udugu na umoja wa Kiislamu kote duniani Sifa zote njema anastahiki Mola Azzawajalla, Mwenye kuneemesha neema kubwakubwa na nyene ndogondogo. Swala na salamu zimwendee Mtume wetu Muhammad, natan lil 'alamiyn, maswahaba wake na watangu wema hadi siku ya kinah. Kuzaliwa kwa Muhammad bin Abdul Swalla Allahu A'alayhi Wasallam kuwa mithili na jua lililochomoza katika giza za giza totoro na kukunja jamvi na ujahilia. Tukio hilo lilitoa njema ya kumkomboa mwanadamu toka minyororo ya utumwa wa aina mbalimbali, dhulma na matamanio yao. Ilikuwa kengele ya wito wa Tauhidi kumwabudu Mungu Mmoja kote dunia kuwaunganisha wanadamu wote kwa kwamba moja iliyonyooka. Pamoja na mshikamano ni miongoni mwa mafundisho muhimu ya dini ya kiamu. Japokuwa neno "Wahda" lenye maana ya umoja halikutumiwa katika aya Qur'ani, lakini maana yake imetajwa katika aya nyingi za kitabu hicho. Kwa mfano tu katika aya ya 103 ya Suratu Aalan, Mwenyezi Mungu Azzawajalla alisema: Na shikamaneni na Kamba ya Mwenyezi Mungu nyote pamoja, wala farikiane. Na kumbukeni neema ya Mwenyezi Mungu iliyo juu yenu: vile vinavyokuwa nyinyi kwa nyinyi maadui wale akaziunganisha nyoyo zenu, kwa mama yake mkawa ndugu. Na mlikuwa ukingoni mwa shimo la Moto, naye kakuokoeni nalo... Kwa hakika njia na Mwenyezi Mungu kuwaita watu katika elimu, maarifa na nisi wa milele na kuwatahadharisha ujinga, uadui na mifarakano. Kwa msingi huo, dini ya Uislamu daima inawataka waumini na wafuasi wake kuwa ndugu kama walivyo ndugu wa baba na mama au hata zaidi Si havo tu bali Our'ani baada va kutilia mkazo umoja na mshikamano baina ya Waislamu inawataka wafuasi wa dini hiyo pia kuungana na wafuasi wa dini nyingine za mbinguni kwa msingi wa Tauhidi na kumpwekesha Mwenyezi Mungu. Aya ya 64 ya Suratu Aal Imran inasema: Sema: Envi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba, tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote: wala tusifanya ne sisi kwa sisi kuwa miungu badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudieni ya kwamba sisi ni Waislamu. Kwa msingi huo, hitilafu ndogo ndogo hazipasi kuwa kikwazo cha mshikamano na udugu baina ya Waislamu. Waislamu wana utamaduni wa aina moja na wanashirikiana katika itikadi kuu na muhimu. Wote wanamwamini na kumwabudu Mwenyezi Mungu Mmoja asiye na mshirika, na wanaamini utume wa Nabii Muhammad Swalla Allahu A'alayhi Wasallam na kwamba yeye ndiye Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu. Kitabu chao wote ni Qur'ani Tukufu na kibla chao ni al Kaaba takatifu iliyoko katika ardhi iliyotakasika ya Makka. Waislamu wote wanafanya pamoja ibada ya Hija na kuswali Swala tano kwa siku. Wote wanafunga mwezi mtukufu wa Ramadhani na wanashirikiana katika taratibu na sheria za ndoa, biashara kuzika na kadhalika bila ya kujali tofauti ndogondogo zinazosababishwa na tofauti za kimitazamo na ufahamu wa aya au hadithi baina ya wasomi na wanazuoni wa Kiislamu. Hapa linajitokeza swali kwamba, ni nini maana ya umoja wa Kiislamu? Umoja baina ya Waislamu si umoja wa kimkakati na mbinu ya kutimiza maslahi ya kisiasa. Umoja huo si kama umoja unaofanyika baina ya vyama viwili vya siasa na kadhalika kwa ajili ya kufikia lengo moja kwa muda maalumu. Kwa mfano, iwapo katika jamii ya Waislamu kutakuwepo makundi mawili ya kisiasa, moja likawa la watu wasiokuwa na dini na walahidi na jingine likawa na Waislamu wanaompwekesha Mwenyezi Mungu, haijuzu na haipasi kuwepo umoja na mshikamano baina ya makundi hayo mawili. Umoja na mshikamano wa Kiislamu hauna maana ya kila madhehebu kutupilia mbali itikadi zake. Hakuna anayetutajia kuwa, madhehebu yote ya Waislamu yanapaswa kutupiliwa mbali na kuchagua dhehebu moja tu au kuchukua masuala yanayowashirikisha wafuasi wa madhehebu yote na kutupilia mbali mengine na hivyo kuanzisha madhehebu mpya na Waislamu wote. La hasha, maana ya umoja kati ya Waislamu ni kuweka kando masuala waliyohitilafiana juu yake na kusisitiza yale yanayowakutanisha pamoja katika kuamiliana baina yao na katika masuala yanayohusiana na ulimwengu wa Kiislamu na medarte ya kimataifa. Kwa kadiri kwamba, Waislamu wote watakuwa na mshikamano na mwelekeo mmoja bila ya kujali hitilafu za kimitazamo na tofauti zao. Sheikh Muhammad A'shur ambaye ni Naibu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Azhar nchini Misri na Mwenyekiti wa Kamati ya Mazungumzo Baina ya Madhehebu za Kiislamu anasema: Lengo letu si kuunda dhehebu moja na kutupilia mbali madhehebu mengine ya Waislamu: jambo hilo ja madhehebu ya Kiislamu. Wanazuoni wa kila madhehebu wanapaswa kufanya mijadala ya kielimu na kuelimishana, kukumbushana na kufikia natija.
Waislamu wanaimani gani
{ "text": [ "Wanaamini mwenyezi Mungu mmoja asiye na mshirika" ] }
0290_swa
Umuhimu wa mshikamano, udugu na umoja wa Kiislamu kote duniani Sifa zote njema anastahiki Mola Azzawajalla, Mwenye kuneemesha neema kubwakubwa na nyene ndogondogo. Swala na salamu zimwendee Mtume wetu Muhammad, natan lil 'alamiyn, maswahaba wake na watangu wema hadi siku ya kinah. Kuzaliwa kwa Muhammad bin Abdul Swalla Allahu A'alayhi Wasallam kuwa mithili na jua lililochomoza katika giza za giza totoro na kukunja jamvi na ujahilia. Tukio hilo lilitoa njema ya kumkomboa mwanadamu toka minyororo ya utumwa wa aina mbalimbali, dhulma na matamanio yao. Ilikuwa kengele ya wito wa Tauhidi kumwabudu Mungu Mmoja kote dunia kuwaunganisha wanadamu wote kwa kwamba moja iliyonyooka. Pamoja na mshikamano ni miongoni mwa mafundisho muhimu ya dini ya kiamu. Japokuwa neno "Wahda" lenye maana ya umoja halikutumiwa katika aya Qur'ani, lakini maana yake imetajwa katika aya nyingi za kitabu hicho. Kwa mfano tu katika aya ya 103 ya Suratu Aalan, Mwenyezi Mungu Azzawajalla alisema: Na shikamaneni na Kamba ya Mwenyezi Mungu nyote pamoja, wala farikiane. Na kumbukeni neema ya Mwenyezi Mungu iliyo juu yenu: vile vinavyokuwa nyinyi kwa nyinyi maadui wale akaziunganisha nyoyo zenu, kwa mama yake mkawa ndugu. Na mlikuwa ukingoni mwa shimo la Moto, naye kakuokoeni nalo... Kwa hakika njia na Mwenyezi Mungu kuwaita watu katika elimu, maarifa na nisi wa milele na kuwatahadharisha ujinga, uadui na mifarakano. Kwa msingi huo, dini ya Uislamu daima inawataka waumini na wafuasi wake kuwa ndugu kama walivyo ndugu wa baba na mama au hata zaidi Si havo tu bali Our'ani baada va kutilia mkazo umoja na mshikamano baina ya Waislamu inawataka wafuasi wa dini hiyo pia kuungana na wafuasi wa dini nyingine za mbinguni kwa msingi wa Tauhidi na kumpwekesha Mwenyezi Mungu. Aya ya 64 ya Suratu Aal Imran inasema: Sema: Envi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba, tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote: wala tusifanya ne sisi kwa sisi kuwa miungu badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudieni ya kwamba sisi ni Waislamu. Kwa msingi huo, hitilafu ndogo ndogo hazipasi kuwa kikwazo cha mshikamano na udugu baina ya Waislamu. Waislamu wana utamaduni wa aina moja na wanashirikiana katika itikadi kuu na muhimu. Wote wanamwamini na kumwabudu Mwenyezi Mungu Mmoja asiye na mshirika, na wanaamini utume wa Nabii Muhammad Swalla Allahu A'alayhi Wasallam na kwamba yeye ndiye Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu. Kitabu chao wote ni Qur'ani Tukufu na kibla chao ni al Kaaba takatifu iliyoko katika ardhi iliyotakasika ya Makka. Waislamu wote wanafanya pamoja ibada ya Hija na kuswali Swala tano kwa siku. Wote wanafunga mwezi mtukufu wa Ramadhani na wanashirikiana katika taratibu na sheria za ndoa, biashara kuzika na kadhalika bila ya kujali tofauti ndogondogo zinazosababishwa na tofauti za kimitazamo na ufahamu wa aya au hadithi baina ya wasomi na wanazuoni wa Kiislamu. Hapa linajitokeza swali kwamba, ni nini maana ya umoja wa Kiislamu? Umoja baina ya Waislamu si umoja wa kimkakati na mbinu ya kutimiza maslahi ya kisiasa. Umoja huo si kama umoja unaofanyika baina ya vyama viwili vya siasa na kadhalika kwa ajili ya kufikia lengo moja kwa muda maalumu. Kwa mfano, iwapo katika jamii ya Waislamu kutakuwepo makundi mawili ya kisiasa, moja likawa la watu wasiokuwa na dini na walahidi na jingine likawa na Waislamu wanaompwekesha Mwenyezi Mungu, haijuzu na haipasi kuwepo umoja na mshikamano baina ya makundi hayo mawili. Umoja na mshikamano wa Kiislamu hauna maana ya kila madhehebu kutupilia mbali itikadi zake. Hakuna anayetutajia kuwa, madhehebu yote ya Waislamu yanapaswa kutupiliwa mbali na kuchagua dhehebu moja tu au kuchukua masuala yanayowashirikisha wafuasi wa madhehebu yote na kutupilia mbali mengine na hivyo kuanzisha madhehebu mpya na Waislamu wote. La hasha, maana ya umoja kati ya Waislamu ni kuweka kando masuala waliyohitilafiana juu yake na kusisitiza yale yanayowakutanisha pamoja katika kuamiliana baina yao na katika masuala yanayohusiana na ulimwengu wa Kiislamu na medarte ya kimataifa. Kwa kadiri kwamba, Waislamu wote watakuwa na mshikamano na mwelekeo mmoja bila ya kujali hitilafu za kimitazamo na tofauti zao. Sheikh Muhammad A'shur ambaye ni Naibu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Azhar nchini Misri na Mwenyekiti wa Kamati ya Mazungumzo Baina ya Madhehebu za Kiislamu anasema: Lengo letu si kuunda dhehebu moja na kutupilia mbali madhehebu mengine ya Waislamu: jambo hilo ja madhehebu ya Kiislamu. Wanazuoni wa kila madhehebu wanapaswa kufanya mijadala ya kielimu na kuelimishana, kukumbushana na kufikia natija.
Kitabu cha waislamu wote ni kipi
{ "text": [ "Qurani tukufu" ] }
0290_swa
Umuhimu wa mshikamano, udugu na umoja wa Kiislamu kote duniani Sifa zote njema anastahiki Mola Azzawajalla, Mwenye kuneemesha neema kubwakubwa na nyene ndogondogo. Swala na salamu zimwendee Mtume wetu Muhammad, natan lil 'alamiyn, maswahaba wake na watangu wema hadi siku ya kinah. Kuzaliwa kwa Muhammad bin Abdul Swalla Allahu A'alayhi Wasallam kuwa mithili na jua lililochomoza katika giza za giza totoro na kukunja jamvi na ujahilia. Tukio hilo lilitoa njema ya kumkomboa mwanadamu toka minyororo ya utumwa wa aina mbalimbali, dhulma na matamanio yao. Ilikuwa kengele ya wito wa Tauhidi kumwabudu Mungu Mmoja kote dunia kuwaunganisha wanadamu wote kwa kwamba moja iliyonyooka. Pamoja na mshikamano ni miongoni mwa mafundisho muhimu ya dini ya kiamu. Japokuwa neno "Wahda" lenye maana ya umoja halikutumiwa katika aya Qur'ani, lakini maana yake imetajwa katika aya nyingi za kitabu hicho. Kwa mfano tu katika aya ya 103 ya Suratu Aalan, Mwenyezi Mungu Azzawajalla alisema: Na shikamaneni na Kamba ya Mwenyezi Mungu nyote pamoja, wala farikiane. Na kumbukeni neema ya Mwenyezi Mungu iliyo juu yenu: vile vinavyokuwa nyinyi kwa nyinyi maadui wale akaziunganisha nyoyo zenu, kwa mama yake mkawa ndugu. Na mlikuwa ukingoni mwa shimo la Moto, naye kakuokoeni nalo... Kwa hakika njia na Mwenyezi Mungu kuwaita watu katika elimu, maarifa na nisi wa milele na kuwatahadharisha ujinga, uadui na mifarakano. Kwa msingi huo, dini ya Uislamu daima inawataka waumini na wafuasi wake kuwa ndugu kama walivyo ndugu wa baba na mama au hata zaidi Si havo tu bali Our'ani baada va kutilia mkazo umoja na mshikamano baina ya Waislamu inawataka wafuasi wa dini hiyo pia kuungana na wafuasi wa dini nyingine za mbinguni kwa msingi wa Tauhidi na kumpwekesha Mwenyezi Mungu. Aya ya 64 ya Suratu Aal Imran inasema: Sema: Envi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba, tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote: wala tusifanya ne sisi kwa sisi kuwa miungu badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudieni ya kwamba sisi ni Waislamu. Kwa msingi huo, hitilafu ndogo ndogo hazipasi kuwa kikwazo cha mshikamano na udugu baina ya Waislamu. Waislamu wana utamaduni wa aina moja na wanashirikiana katika itikadi kuu na muhimu. Wote wanamwamini na kumwabudu Mwenyezi Mungu Mmoja asiye na mshirika, na wanaamini utume wa Nabii Muhammad Swalla Allahu A'alayhi Wasallam na kwamba yeye ndiye Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu. Kitabu chao wote ni Qur'ani Tukufu na kibla chao ni al Kaaba takatifu iliyoko katika ardhi iliyotakasika ya Makka. Waislamu wote wanafanya pamoja ibada ya Hija na kuswali Swala tano kwa siku. Wote wanafunga mwezi mtukufu wa Ramadhani na wanashirikiana katika taratibu na sheria za ndoa, biashara kuzika na kadhalika bila ya kujali tofauti ndogondogo zinazosababishwa na tofauti za kimitazamo na ufahamu wa aya au hadithi baina ya wasomi na wanazuoni wa Kiislamu. Hapa linajitokeza swali kwamba, ni nini maana ya umoja wa Kiislamu? Umoja baina ya Waislamu si umoja wa kimkakati na mbinu ya kutimiza maslahi ya kisiasa. Umoja huo si kama umoja unaofanyika baina ya vyama viwili vya siasa na kadhalika kwa ajili ya kufikia lengo moja kwa muda maalumu. Kwa mfano, iwapo katika jamii ya Waislamu kutakuwepo makundi mawili ya kisiasa, moja likawa la watu wasiokuwa na dini na walahidi na jingine likawa na Waislamu wanaompwekesha Mwenyezi Mungu, haijuzu na haipasi kuwepo umoja na mshikamano baina ya makundi hayo mawili. Umoja na mshikamano wa Kiislamu hauna maana ya kila madhehebu kutupilia mbali itikadi zake. Hakuna anayetutajia kuwa, madhehebu yote ya Waislamu yanapaswa kutupiliwa mbali na kuchagua dhehebu moja tu au kuchukua masuala yanayowashirikisha wafuasi wa madhehebu yote na kutupilia mbali mengine na hivyo kuanzisha madhehebu mpya na Waislamu wote. La hasha, maana ya umoja kati ya Waislamu ni kuweka kando masuala waliyohitilafiana juu yake na kusisitiza yale yanayowakutanisha pamoja katika kuamiliana baina yao na katika masuala yanayohusiana na ulimwengu wa Kiislamu na medarte ya kimataifa. Kwa kadiri kwamba, Waislamu wote watakuwa na mshikamano na mwelekeo mmoja bila ya kujali hitilafu za kimitazamo na tofauti zao. Sheikh Muhammad A'shur ambaye ni Naibu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Azhar nchini Misri na Mwenyekiti wa Kamati ya Mazungumzo Baina ya Madhehebu za Kiislamu anasema: Lengo letu si kuunda dhehebu moja na kutupilia mbali madhehebu mengine ya Waislamu: jambo hilo ja madhehebu ya Kiislamu. Wanazuoni wa kila madhehebu wanapaswa kufanya mijadala ya kielimu na kuelimishana, kukumbushana na kufikia natija.
waislamu hufunga lini
{ "text": [ "Mwezi mtukufu wa Ramdhani" ] }
0291_swa
Wakulima wa mahindi sasa wahofia hasara Wakulima wa mahindi katika eneo la Bonde la Ufa, huenda wakapata hasara kubwa kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha. Mvua hiyo imeharibu zao hilo na kutishia kusababisha uhaba wa chakula nchini. Uharibifu huo pia umeathiri mifumo ya usafiri katika maeneo mengi nchini, hali ambiyo imetatiza usafirishaji wa mavuno. Mvua hiyo imetatiza shughuli ya kuvuna zao hilo iliyoanza mnamo Oktoba na inaendelea hadi mwezi ujao, huku Wizara ya Kilimo ikielezea hofu kwamba huenda isifikishe kiwango kilichopangiwa cha magunia 21 ya mahindi msimu huu. Hii ilisema ni kutokana na hasara inayosababishwa na kuoza kwa zao hilo. "Mvua hiyo imesababisha zao kuozea shambani na kuvuruga faida iliyotarajiwa kutokana na bei nzuri msimu huu," alisema, Bw Jackson Kosgei kutoka Moiben, kaunti ya Uasin Gishu. Wakulima hao walisema mvua imefanya kuwa vigumu kutumia mashine shambani huku mazao ambayo tayari yamevunwa yakikabiliwa na hatari ya kuoza kutokana na viwango vya juu vya unyevunyevu. "Mvua imefanya vigumu kwa trekta zetu kufanya kazi shambani na kutu lazimu kusimamisha shughuli za kilimo kwa kuwa hakuna mashine za kukausha mazao ambayo tayari yamevunwa na kufanya kuoza," alisema Bw Wilson Kirwa kutoka Kibomet, kaunti ya Trans Nzoia. Wiki iliyopita, baadhi ya wakulima wallisihi serikali kufungua mabohari ya Bodi ya Kitaifa ya Nafaka na Mazao (NCPB), ili kuwapa wakulima mitambo ya kukaushia nafaka. Muungano wa Wakuzaji Nafaka (CGA) unasema kwamba serikali inapaswa kuwafadhili wakulima kukausha mahindi yao kwenye mabohari ili kuzuia uhaba wa chakula.
Wakulima wa mahindi Bonde la ufa watapata nini
{ "text": [ "hasara kubwa " ] }
0291_swa
Wakulima wa mahindi sasa wahofia hasara Wakulima wa mahindi katika eneo la Bonde la Ufa, huenda wakapata hasara kubwa kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha. Mvua hiyo imeharibu zao hilo na kutishia kusababisha uhaba wa chakula nchini. Uharibifu huo pia umeathiri mifumo ya usafiri katika maeneo mengi nchini, hali ambiyo imetatiza usafirishaji wa mavuno. Mvua hiyo imetatiza shughuli ya kuvuna zao hilo iliyoanza mnamo Oktoba na inaendelea hadi mwezi ujao, huku Wizara ya Kilimo ikielezea hofu kwamba huenda isifikishe kiwango kilichopangiwa cha magunia 21 ya mahindi msimu huu. Hii ilisema ni kutokana na hasara inayosababishwa na kuoza kwa zao hilo. "Mvua hiyo imesababisha zao kuozea shambani na kuvuruga faida iliyotarajiwa kutokana na bei nzuri msimu huu," alisema, Bw Jackson Kosgei kutoka Moiben, kaunti ya Uasin Gishu. Wakulima hao walisema mvua imefanya kuwa vigumu kutumia mashine shambani huku mazao ambayo tayari yamevunwa yakikabiliwa na hatari ya kuoza kutokana na viwango vya juu vya unyevunyevu. "Mvua imefanya vigumu kwa trekta zetu kufanya kazi shambani na kutu lazimu kusimamisha shughuli za kilimo kwa kuwa hakuna mashine za kukausha mazao ambayo tayari yamevunwa na kufanya kuoza," alisema Bw Wilson Kirwa kutoka Kibomet, kaunti ya Trans Nzoia. Wiki iliyopita, baadhi ya wakulima wallisihi serikali kufungua mabohari ya Bodi ya Kitaifa ya Nafaka na Mazao (NCPB), ili kuwapa wakulima mitambo ya kukaushia nafaka. Muungano wa Wakuzaji Nafaka (CGA) unasema kwamba serikali inapaswa kuwafadhili wakulima kukausha mahindi yao kwenye mabohari ili kuzuia uhaba wa chakula.
Shughuli ya kuvuna zao hilo ilianza lini
{ "text": [ "Oktoba" ] }
0291_swa
Wakulima wa mahindi sasa wahofia hasara Wakulima wa mahindi katika eneo la Bonde la Ufa, huenda wakapata hasara kubwa kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha. Mvua hiyo imeharibu zao hilo na kutishia kusababisha uhaba wa chakula nchini. Uharibifu huo pia umeathiri mifumo ya usafiri katika maeneo mengi nchini, hali ambiyo imetatiza usafirishaji wa mavuno. Mvua hiyo imetatiza shughuli ya kuvuna zao hilo iliyoanza mnamo Oktoba na inaendelea hadi mwezi ujao, huku Wizara ya Kilimo ikielezea hofu kwamba huenda isifikishe kiwango kilichopangiwa cha magunia 21 ya mahindi msimu huu. Hii ilisema ni kutokana na hasara inayosababishwa na kuoza kwa zao hilo. "Mvua hiyo imesababisha zao kuozea shambani na kuvuruga faida iliyotarajiwa kutokana na bei nzuri msimu huu," alisema, Bw Jackson Kosgei kutoka Moiben, kaunti ya Uasin Gishu. Wakulima hao walisema mvua imefanya kuwa vigumu kutumia mashine shambani huku mazao ambayo tayari yamevunwa yakikabiliwa na hatari ya kuoza kutokana na viwango vya juu vya unyevunyevu. "Mvua imefanya vigumu kwa trekta zetu kufanya kazi shambani na kutu lazimu kusimamisha shughuli za kilimo kwa kuwa hakuna mashine za kukausha mazao ambayo tayari yamevunwa na kufanya kuoza," alisema Bw Wilson Kirwa kutoka Kibomet, kaunti ya Trans Nzoia. Wiki iliyopita, baadhi ya wakulima wallisihi serikali kufungua mabohari ya Bodi ya Kitaifa ya Nafaka na Mazao (NCPB), ili kuwapa wakulima mitambo ya kukaushia nafaka. Muungano wa Wakuzaji Nafaka (CGA) unasema kwamba serikali inapaswa kuwafadhili wakulima kukausha mahindi yao kwenye mabohari ili kuzuia uhaba wa chakula.
Nani wamesema mvua imefanya kuwa vigumu kutumia mashine
{ "text": [ "wakulima" ] }
0291_swa
Wakulima wa mahindi sasa wahofia hasara Wakulima wa mahindi katika eneo la Bonde la Ufa, huenda wakapata hasara kubwa kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha. Mvua hiyo imeharibu zao hilo na kutishia kusababisha uhaba wa chakula nchini. Uharibifu huo pia umeathiri mifumo ya usafiri katika maeneo mengi nchini, hali ambiyo imetatiza usafirishaji wa mavuno. Mvua hiyo imetatiza shughuli ya kuvuna zao hilo iliyoanza mnamo Oktoba na inaendelea hadi mwezi ujao, huku Wizara ya Kilimo ikielezea hofu kwamba huenda isifikishe kiwango kilichopangiwa cha magunia 21 ya mahindi msimu huu. Hii ilisema ni kutokana na hasara inayosababishwa na kuoza kwa zao hilo. "Mvua hiyo imesababisha zao kuozea shambani na kuvuruga faida iliyotarajiwa kutokana na bei nzuri msimu huu," alisema, Bw Jackson Kosgei kutoka Moiben, kaunti ya Uasin Gishu. Wakulima hao walisema mvua imefanya kuwa vigumu kutumia mashine shambani huku mazao ambayo tayari yamevunwa yakikabiliwa na hatari ya kuoza kutokana na viwango vya juu vya unyevunyevu. "Mvua imefanya vigumu kwa trekta zetu kufanya kazi shambani na kutu lazimu kusimamisha shughuli za kilimo kwa kuwa hakuna mashine za kukausha mazao ambayo tayari yamevunwa na kufanya kuoza," alisema Bw Wilson Kirwa kutoka Kibomet, kaunti ya Trans Nzoia. Wiki iliyopita, baadhi ya wakulima wallisihi serikali kufungua mabohari ya Bodi ya Kitaifa ya Nafaka na Mazao (NCPB), ili kuwapa wakulima mitambo ya kukaushia nafaka. Muungano wa Wakuzaji Nafaka (CGA) unasema kwamba serikali inapaswa kuwafadhili wakulima kukausha mahindi yao kwenye mabohari ili kuzuia uhaba wa chakula.
Nini imefanya vigumu kwa trekta zao kufanya kazi
{ "text": [ "mvua" ] }
0291_swa
Wakulima wa mahindi sasa wahofia hasara Wakulima wa mahindi katika eneo la Bonde la Ufa, huenda wakapata hasara kubwa kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha. Mvua hiyo imeharibu zao hilo na kutishia kusababisha uhaba wa chakula nchini. Uharibifu huo pia umeathiri mifumo ya usafiri katika maeneo mengi nchini, hali ambiyo imetatiza usafirishaji wa mavuno. Mvua hiyo imetatiza shughuli ya kuvuna zao hilo iliyoanza mnamo Oktoba na inaendelea hadi mwezi ujao, huku Wizara ya Kilimo ikielezea hofu kwamba huenda isifikishe kiwango kilichopangiwa cha magunia 21 ya mahindi msimu huu. Hii ilisema ni kutokana na hasara inayosababishwa na kuoza kwa zao hilo. "Mvua hiyo imesababisha zao kuozea shambani na kuvuruga faida iliyotarajiwa kutokana na bei nzuri msimu huu," alisema, Bw Jackson Kosgei kutoka Moiben, kaunti ya Uasin Gishu. Wakulima hao walisema mvua imefanya kuwa vigumu kutumia mashine shambani huku mazao ambayo tayari yamevunwa yakikabiliwa na hatari ya kuoza kutokana na viwango vya juu vya unyevunyevu. "Mvua imefanya vigumu kwa trekta zetu kufanya kazi shambani na kutu lazimu kusimamisha shughuli za kilimo kwa kuwa hakuna mashine za kukausha mazao ambayo tayari yamevunwa na kufanya kuoza," alisema Bw Wilson Kirwa kutoka Kibomet, kaunti ya Trans Nzoia. Wiki iliyopita, baadhi ya wakulima wallisihi serikali kufungua mabohari ya Bodi ya Kitaifa ya Nafaka na Mazao (NCPB), ili kuwapa wakulima mitambo ya kukaushia nafaka. Muungano wa Wakuzaji Nafaka (CGA) unasema kwamba serikali inapaswa kuwafadhili wakulima kukausha mahindi yao kwenye mabohari ili kuzuia uhaba wa chakula.
Nani alisema hakuna mashine za kukausha mazao
{ "text": [ "Bw Wilson Kirwa" ] }
0297_swa
Wakulima walio karibu na uwanja wa ndege wafurushwa Wakaazi zaidi ya 50 wanaofanya kilimo karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Moi mjini Mombasa wanaendelea kufurushwa eneo hilo na kuonywa dhidi ya kunyemelea ardhi hiyo. Aidha wasimamizi wa uwanja huo wa ndege wametangaza mpango wa kuweka ua katika eneo hilo. “Tunafanya kazi ya kuweka ua kwenye uwanja huo ambao uko chini ya usimamizi wa mamlaka ya Ndege Kenya (KAA) Hakuna mtu yeyote ambaye amefurushwa. Kama unalisha ng'ombe wako katika uwanja wa ndege halafu tukukataze, kuna ufurushwaji wowote hapo?” akauliza meneja wa uwanja huo Bw Peter Wafula. Kando na kulisha mifugo, wakazi hao walisema huwa wanajishughulisha na ukulima wa mikanju,minazi,ndizi,paipai,mapera,mihogo na miwa ambayo walidai kuwa iliharibiwa wakati wa kufurushwa. Wakazi hao walilalamika wakisema wakijitafutia riziki hapo kupitia kilimo kwa miaka na mikaka huku wakitaja ufurushwaji huo ulioanza wiki iliyopita ikiwa ya kinyama “Mimea yetu iliyokuwa katika shamba hilo iliharibiwa wakati tulifurushwa na hata bila ya kuarifiwa kuhusu mpango huo angalau tungenusuru mali yetu. Takriban familia 57 ambazo zilikuwa zimewekeza katika eneo hilo zimeathirika,” alisema Bw Mwaruwa Kijimbi, na pia kukarabati mkaazi. Alisema hawapingi kuwa shamba hilo ni la uwanja huo wa ndege hata hivyo wangearifiwa kuhusu mpango huo. Hata hivyo usimamizi wa uwanja huo ulisisitiza wakazi waliarifiwa kuhusu mpango huo wa kuweka ua. Bw Wafula alisema uwanja huo haupanuliwi bali ni kuwekwa ua, shughuli ambayo pia imepangiwa kufanyika kati uwanja wa ndege wa Diani. “Hata huko Diani tumewaarifu wa kazi na pia tumewajengea barabara yao maalum ambayo watakuwa wanatumia. Wakazi walikuwa na wasiwasi kwamba watakosa njia yao lakini hilo tumeshughulikia,” alisisitiza Bw Wafula. Hayo yaliyojiri wakati ambapo Amerika ilitoa onyo kuhusu usalama wa baadhi ya anga za Kenya kwa usafiri wa ndege.
Mbona wakazi wanaoishi karibu na uwanja wa ndege wanafurushwa
{ "text": [ "Kwa sababu ya kunyemelea ardhi ya uwanja wa ndege" ] }
0297_swa
Wakulima walio karibu na uwanja wa ndege wafurushwa Wakaazi zaidi ya 50 wanaofanya kilimo karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Moi mjini Mombasa wanaendelea kufurushwa eneo hilo na kuonywa dhidi ya kunyemelea ardhi hiyo. Aidha wasimamizi wa uwanja huo wa ndege wametangaza mpango wa kuweka ua katika eneo hilo. “Tunafanya kazi ya kuweka ua kwenye uwanja huo ambao uko chini ya usimamizi wa mamlaka ya Ndege Kenya (KAA) Hakuna mtu yeyote ambaye amefurushwa. Kama unalisha ng'ombe wako katika uwanja wa ndege halafu tukukataze, kuna ufurushwaji wowote hapo?” akauliza meneja wa uwanja huo Bw Peter Wafula. Kando na kulisha mifugo, wakazi hao walisema huwa wanajishughulisha na ukulima wa mikanju,minazi,ndizi,paipai,mapera,mihogo na miwa ambayo walidai kuwa iliharibiwa wakati wa kufurushwa. Wakazi hao walilalamika wakisema wakijitafutia riziki hapo kupitia kilimo kwa miaka na mikaka huku wakitaja ufurushwaji huo ulioanza wiki iliyopita ikiwa ya kinyama “Mimea yetu iliyokuwa katika shamba hilo iliharibiwa wakati tulifurushwa na hata bila ya kuarifiwa kuhusu mpango huo angalau tungenusuru mali yetu. Takriban familia 57 ambazo zilikuwa zimewekeza katika eneo hilo zimeathirika,” alisema Bw Mwaruwa Kijimbi, na pia kukarabati mkaazi. Alisema hawapingi kuwa shamba hilo ni la uwanja huo wa ndege hata hivyo wangearifiwa kuhusu mpango huo. Hata hivyo usimamizi wa uwanja huo ulisisitiza wakazi waliarifiwa kuhusu mpango huo wa kuweka ua. Bw Wafula alisema uwanja huo haupanuliwi bali ni kuwekwa ua, shughuli ambayo pia imepangiwa kufanyika kati uwanja wa ndege wa Diani. “Hata huko Diani tumewaarifu wa kazi na pia tumewajengea barabara yao maalum ambayo watakuwa wanatumia. Wakazi walikuwa na wasiwasi kwamba watakosa njia yao lakini hilo tumeshughulikia,” alisisitiza Bw Wafula. Hayo yaliyojiri wakati ambapo Amerika ilitoa onyo kuhusu usalama wa baadhi ya anga za Kenya kwa usafiri wa ndege.
Wasimamizi wa uwanja wanamipango gani
{ "text": [ "Kuweka ua katika eneo hilo na kukarabati barabara" ] }
0297_swa
Wakulima walio karibu na uwanja wa ndege wafurushwa Wakaazi zaidi ya 50 wanaofanya kilimo karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Moi mjini Mombasa wanaendelea kufurushwa eneo hilo na kuonywa dhidi ya kunyemelea ardhi hiyo. Aidha wasimamizi wa uwanja huo wa ndege wametangaza mpango wa kuweka ua katika eneo hilo. “Tunafanya kazi ya kuweka ua kwenye uwanja huo ambao uko chini ya usimamizi wa mamlaka ya Ndege Kenya (KAA) Hakuna mtu yeyote ambaye amefurushwa. Kama unalisha ng'ombe wako katika uwanja wa ndege halafu tukukataze, kuna ufurushwaji wowote hapo?” akauliza meneja wa uwanja huo Bw Peter Wafula. Kando na kulisha mifugo, wakazi hao walisema huwa wanajishughulisha na ukulima wa mikanju,minazi,ndizi,paipai,mapera,mihogo na miwa ambayo walidai kuwa iliharibiwa wakati wa kufurushwa. Wakazi hao walilalamika wakisema wakijitafutia riziki hapo kupitia kilimo kwa miaka na mikaka huku wakitaja ufurushwaji huo ulioanza wiki iliyopita ikiwa ya kinyama “Mimea yetu iliyokuwa katika shamba hilo iliharibiwa wakati tulifurushwa na hata bila ya kuarifiwa kuhusu mpango huo angalau tungenusuru mali yetu. Takriban familia 57 ambazo zilikuwa zimewekeza katika eneo hilo zimeathirika,” alisema Bw Mwaruwa Kijimbi, na pia kukarabati mkaazi. Alisema hawapingi kuwa shamba hilo ni la uwanja huo wa ndege hata hivyo wangearifiwa kuhusu mpango huo. Hata hivyo usimamizi wa uwanja huo ulisisitiza wakazi waliarifiwa kuhusu mpango huo wa kuweka ua. Bw Wafula alisema uwanja huo haupanuliwi bali ni kuwekwa ua, shughuli ambayo pia imepangiwa kufanyika kati uwanja wa ndege wa Diani. “Hata huko Diani tumewaarifu wa kazi na pia tumewajengea barabara yao maalum ambayo watakuwa wanatumia. Wakazi walikuwa na wasiwasi kwamba watakosa njia yao lakini hilo tumeshughulikia,” alisisitiza Bw Wafula. Hayo yaliyojiri wakati ambapo Amerika ilitoa onyo kuhusu usalama wa baadhi ya anga za Kenya kwa usafiri wa ndege.
Uwanja wa ndege unasimamiwa na mamlaka gani
{ "text": [ "Mamlaka ya viwanja vya ndege Kenya (AA)" ] }
0297_swa
Wakulima walio karibu na uwanja wa ndege wafurushwa Wakaazi zaidi ya 50 wanaofanya kilimo karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Moi mjini Mombasa wanaendelea kufurushwa eneo hilo na kuonywa dhidi ya kunyemelea ardhi hiyo. Aidha wasimamizi wa uwanja huo wa ndege wametangaza mpango wa kuweka ua katika eneo hilo. “Tunafanya kazi ya kuweka ua kwenye uwanja huo ambao uko chini ya usimamizi wa mamlaka ya Ndege Kenya (KAA) Hakuna mtu yeyote ambaye amefurushwa. Kama unalisha ng'ombe wako katika uwanja wa ndege halafu tukukataze, kuna ufurushwaji wowote hapo?” akauliza meneja wa uwanja huo Bw Peter Wafula. Kando na kulisha mifugo, wakazi hao walisema huwa wanajishughulisha na ukulima wa mikanju,minazi,ndizi,paipai,mapera,mihogo na miwa ambayo walidai kuwa iliharibiwa wakati wa kufurushwa. Wakazi hao walilalamika wakisema wakijitafutia riziki hapo kupitia kilimo kwa miaka na mikaka huku wakitaja ufurushwaji huo ulioanza wiki iliyopita ikiwa ya kinyama “Mimea yetu iliyokuwa katika shamba hilo iliharibiwa wakati tulifurushwa na hata bila ya kuarifiwa kuhusu mpango huo angalau tungenusuru mali yetu. Takriban familia 57 ambazo zilikuwa zimewekeza katika eneo hilo zimeathirika,” alisema Bw Mwaruwa Kijimbi, na pia kukarabati mkaazi. Alisema hawapingi kuwa shamba hilo ni la uwanja huo wa ndege hata hivyo wangearifiwa kuhusu mpango huo. Hata hivyo usimamizi wa uwanja huo ulisisitiza wakazi waliarifiwa kuhusu mpango huo wa kuweka ua. Bw Wafula alisema uwanja huo haupanuliwi bali ni kuwekwa ua, shughuli ambayo pia imepangiwa kufanyika kati uwanja wa ndege wa Diani. “Hata huko Diani tumewaarifu wa kazi na pia tumewajengea barabara yao maalum ambayo watakuwa wanatumia. Wakazi walikuwa na wasiwasi kwamba watakosa njia yao lakini hilo tumeshughulikia,” alisisitiza Bw Wafula. Hayo yaliyojiri wakati ambapo Amerika ilitoa onyo kuhusu usalama wa baadhi ya anga za Kenya kwa usafiri wa ndege.
wakazi wanapfurushwa, wanajishughulisha na kilimo kipAya - 3 i
{ "text": [ "Ukulima wa mihogo, mikanju, minazi ndizi, papai na mapera" ] }
0297_swa
Wakulima walio karibu na uwanja wa ndege wafurushwa Wakaazi zaidi ya 50 wanaofanya kilimo karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Moi mjini Mombasa wanaendelea kufurushwa eneo hilo na kuonywa dhidi ya kunyemelea ardhi hiyo. Aidha wasimamizi wa uwanja huo wa ndege wametangaza mpango wa kuweka ua katika eneo hilo. “Tunafanya kazi ya kuweka ua kwenye uwanja huo ambao uko chini ya usimamizi wa mamlaka ya Ndege Kenya (KAA) Hakuna mtu yeyote ambaye amefurushwa. Kama unalisha ng'ombe wako katika uwanja wa ndege halafu tukukataze, kuna ufurushwaji wowote hapo?” akauliza meneja wa uwanja huo Bw Peter Wafula. Kando na kulisha mifugo, wakazi hao walisema huwa wanajishughulisha na ukulima wa mikanju,minazi,ndizi,paipai,mapera,mihogo na miwa ambayo walidai kuwa iliharibiwa wakati wa kufurushwa. Wakazi hao walilalamika wakisema wakijitafutia riziki hapo kupitia kilimo kwa miaka na mikaka huku wakitaja ufurushwaji huo ulioanza wiki iliyopita ikiwa ya kinyama “Mimea yetu iliyokuwa katika shamba hilo iliharibiwa wakati tulifurushwa na hata bila ya kuarifiwa kuhusu mpango huo angalau tungenusuru mali yetu. Takriban familia 57 ambazo zilikuwa zimewekeza katika eneo hilo zimeathirika,” alisema Bw Mwaruwa Kijimbi, na pia kukarabati mkaazi. Alisema hawapingi kuwa shamba hilo ni la uwanja huo wa ndege hata hivyo wangearifiwa kuhusu mpango huo. Hata hivyo usimamizi wa uwanja huo ulisisitiza wakazi waliarifiwa kuhusu mpango huo wa kuweka ua. Bw Wafula alisema uwanja huo haupanuliwi bali ni kuwekwa ua, shughuli ambayo pia imepangiwa kufanyika kati uwanja wa ndege wa Diani. “Hata huko Diani tumewaarifu wa kazi na pia tumewajengea barabara yao maalum ambayo watakuwa wanatumia. Wakazi walikuwa na wasiwasi kwamba watakosa njia yao lakini hilo tumeshughulikia,” alisisitiza Bw Wafula. Hayo yaliyojiri wakati ambapo Amerika ilitoa onyo kuhusu usalama wa baadhi ya anga za Kenya kwa usafiri wa ndege.
kwa nini wakazi hao wanalalamika
{ "text": [ "Kukosa kuarifiwa kuhusu mpago wa kuweka ua" ] }
0298_swa
Wauzaji vitabu walia wanapata hasara Wamiliki wa maduka ya vitabu mjini Mombasa wameitaka serikali iwaepushie hasara inayotokana na kubadilishwa kwa vitabu hivyo mara kwa mara. Walisema miaka ya sasa wizara ya elimu imekuwa na mazoea ya kubadilisha vitabu kabla ya shehena ya vitabu waliyonunua kuuza kumalizika madukani mwao. Bw Abbas Mohammed anayehudumu katika duka la vitabu la Coastal Emporium, alisema mara kwa mara huwa wanasalia na rundo la vitabu visivyokua na umuhimu. “Tunanunua shehena lakini baada ya kuuza vitabu vichache unasikia kuwa vitabu vipya vimetolewa jambo linalotufanya kuuza vitabu tulivyonavyo kwa bei ya kutupa au kuvipeana bure kwa shule waweke kwa maktaba zao,” akasema. "Tunashangaa kwa sababu daima moja ukiongeza moja ni mbili hakuna siku itabadilika sasa iweje kila uchao vitabu vipya kutoka kwa watunzi tofauti vinapendekezwa kisha baada ya muda vinatolewa,"alisema. Kilio chake kiliungwa mkono na Amina Patel anayehudumu katika duka la vitabu la Salmanji, ambaye alieleza kuwa mbeleni hawakuwa na wasiwasi shehena ya vitabu viliposalia kwa sababu walijua wataviuza mwaka unaofuata. “Sielewi kama kinachoangaliwa ni ubora wa kitabu au tu kufanya biashara," alisema. Bi Patel alieleza kufuatia hali hiyo wamiliki wengi wa maduka ya vitabu wamelazimika kupunguza shehena wanayochukuwa na wengine wamelazimika kufunga biashara zao kwa sababu ya kupata hasara. Bibi Halima Imran, ambaye ni mzazi wa mwanafunzi wa darasa la saba, alisema mabadiliko hayo yanamuathiri zaidi mzazi ambaye ana watoto kadha. Alieleza kuwa wakati wake mzazi alikuwa akinunua kitabu kisha watoto kupokezana jambo lililomfanya kutumia kiasi kidogo cha fedha, ikilinganishwa na sasa ambapo mzazi analazimika kununua vitabu vipya kwa kila mtoto. “Tulikuwa tunanunuliwa vitabu kisha kila tukienda darasa la mbele unamuachia mdogo wako kitabu hicho lakini sasa jambo hilo haliwezekani."aliongeza.
Nani anahudumu katika duka kuu la vitabu la Coastal Emporium
{ "text": [ "Bw. Abbas Mohammed" ] }
0298_swa
Wauzaji vitabu walia wanapata hasara Wamiliki wa maduka ya vitabu mjini Mombasa wameitaka serikali iwaepushie hasara inayotokana na kubadilishwa kwa vitabu hivyo mara kwa mara. Walisema miaka ya sasa wizara ya elimu imekuwa na mazoea ya kubadilisha vitabu kabla ya shehena ya vitabu waliyonunua kuuza kumalizika madukani mwao. Bw Abbas Mohammed anayehudumu katika duka la vitabu la Coastal Emporium, alisema mara kwa mara huwa wanasalia na rundo la vitabu visivyokua na umuhimu. “Tunanunua shehena lakini baada ya kuuza vitabu vichache unasikia kuwa vitabu vipya vimetolewa jambo linalotufanya kuuza vitabu tulivyonavyo kwa bei ya kutupa au kuvipeana bure kwa shule waweke kwa maktaba zao,” akasema. "Tunashangaa kwa sababu daima moja ukiongeza moja ni mbili hakuna siku itabadilika sasa iweje kila uchao vitabu vipya kutoka kwa watunzi tofauti vinapendekezwa kisha baada ya muda vinatolewa,"alisema. Kilio chake kiliungwa mkono na Amina Patel anayehudumu katika duka la vitabu la Salmanji, ambaye alieleza kuwa mbeleni hawakuwa na wasiwasi shehena ya vitabu viliposalia kwa sababu walijua wataviuza mwaka unaofuata. “Sielewi kama kinachoangaliwa ni ubora wa kitabu au tu kufanya biashara," alisema. Bi Patel alieleza kufuatia hali hiyo wamiliki wengi wa maduka ya vitabu wamelazimika kupunguza shehena wanayochukuwa na wengine wamelazimika kufunga biashara zao kwa sababu ya kupata hasara. Bibi Halima Imran, ambaye ni mzazi wa mwanafunzi wa darasa la saba, alisema mabadiliko hayo yanamuathiri zaidi mzazi ambaye ana watoto kadha. Alieleza kuwa wakati wake mzazi alikuwa akinunua kitabu kisha watoto kupokezana jambo lililomfanya kutumia kiasi kidogo cha fedha, ikilinganishwa na sasa ambapo mzazi analazimika kununua vitabu vipya kwa kila mtoto. “Tulikuwa tunanunuliwa vitabu kisha kila tukienda darasa la mbele unamuachia mdogo wako kitabu hicho lakini sasa jambo hilo haliwezekani."aliongeza.
Bi Halima ni nani
{ "text": [ "Mzazi wa mwanafunzi darasa la saba" ] }
0298_swa
Wauzaji vitabu walia wanapata hasara Wamiliki wa maduka ya vitabu mjini Mombasa wameitaka serikali iwaepushie hasara inayotokana na kubadilishwa kwa vitabu hivyo mara kwa mara. Walisema miaka ya sasa wizara ya elimu imekuwa na mazoea ya kubadilisha vitabu kabla ya shehena ya vitabu waliyonunua kuuza kumalizika madukani mwao. Bw Abbas Mohammed anayehudumu katika duka la vitabu la Coastal Emporium, alisema mara kwa mara huwa wanasalia na rundo la vitabu visivyokua na umuhimu. “Tunanunua shehena lakini baada ya kuuza vitabu vichache unasikia kuwa vitabu vipya vimetolewa jambo linalotufanya kuuza vitabu tulivyonavyo kwa bei ya kutupa au kuvipeana bure kwa shule waweke kwa maktaba zao,” akasema. "Tunashangaa kwa sababu daima moja ukiongeza moja ni mbili hakuna siku itabadilika sasa iweje kila uchao vitabu vipya kutoka kwa watunzi tofauti vinapendekezwa kisha baada ya muda vinatolewa,"alisema. Kilio chake kiliungwa mkono na Amina Patel anayehudumu katika duka la vitabu la Salmanji, ambaye alieleza kuwa mbeleni hawakuwa na wasiwasi shehena ya vitabu viliposalia kwa sababu walijua wataviuza mwaka unaofuata. “Sielewi kama kinachoangaliwa ni ubora wa kitabu au tu kufanya biashara," alisema. Bi Patel alieleza kufuatia hali hiyo wamiliki wengi wa maduka ya vitabu wamelazimika kupunguza shehena wanayochukuwa na wengine wamelazimika kufunga biashara zao kwa sababu ya kupata hasara. Bibi Halima Imran, ambaye ni mzazi wa mwanafunzi wa darasa la saba, alisema mabadiliko hayo yanamuathiri zaidi mzazi ambaye ana watoto kadha. Alieleza kuwa wakati wake mzazi alikuwa akinunua kitabu kisha watoto kupokezana jambo lililomfanya kutumia kiasi kidogo cha fedha, ikilinganishwa na sasa ambapo mzazi analazimika kununua vitabu vipya kwa kila mtoto. “Tulikuwa tunanunuliwa vitabu kisha kila tukienda darasa la mbele unamuachia mdogo wako kitabu hicho lakini sasa jambo hilo haliwezekani."aliongeza.
Nani anayeuza vitabu katika duka kuu la Salmanji
{ "text": [ "Bi Amina Patel" ] }
0298_swa
Wauzaji vitabu walia wanapata hasara Wamiliki wa maduka ya vitabu mjini Mombasa wameitaka serikali iwaepushie hasara inayotokana na kubadilishwa kwa vitabu hivyo mara kwa mara. Walisema miaka ya sasa wizara ya elimu imekuwa na mazoea ya kubadilisha vitabu kabla ya shehena ya vitabu waliyonunua kuuza kumalizika madukani mwao. Bw Abbas Mohammed anayehudumu katika duka la vitabu la Coastal Emporium, alisema mara kwa mara huwa wanasalia na rundo la vitabu visivyokua na umuhimu. “Tunanunua shehena lakini baada ya kuuza vitabu vichache unasikia kuwa vitabu vipya vimetolewa jambo linalotufanya kuuza vitabu tulivyonavyo kwa bei ya kutupa au kuvipeana bure kwa shule waweke kwa maktaba zao,” akasema. "Tunashangaa kwa sababu daima moja ukiongeza moja ni mbili hakuna siku itabadilika sasa iweje kila uchao vitabu vipya kutoka kwa watunzi tofauti vinapendekezwa kisha baada ya muda vinatolewa,"alisema. Kilio chake kiliungwa mkono na Amina Patel anayehudumu katika duka la vitabu la Salmanji, ambaye alieleza kuwa mbeleni hawakuwa na wasiwasi shehena ya vitabu viliposalia kwa sababu walijua wataviuza mwaka unaofuata. “Sielewi kama kinachoangaliwa ni ubora wa kitabu au tu kufanya biashara," alisema. Bi Patel alieleza kufuatia hali hiyo wamiliki wengi wa maduka ya vitabu wamelazimika kupunguza shehena wanayochukuwa na wengine wamelazimika kufunga biashara zao kwa sababu ya kupata hasara. Bibi Halima Imran, ambaye ni mzazi wa mwanafunzi wa darasa la saba, alisema mabadiliko hayo yanamuathiri zaidi mzazi ambaye ana watoto kadha. Alieleza kuwa wakati wake mzazi alikuwa akinunua kitabu kisha watoto kupokezana jambo lililomfanya kutumia kiasi kidogo cha fedha, ikilinganishwa na sasa ambapo mzazi analazimika kununua vitabu vipya kwa kila mtoto. “Tulikuwa tunanunuliwa vitabu kisha kila tukienda darasa la mbele unamuachia mdogo wako kitabu hicho lakini sasa jambo hilo haliwezekani."aliongeza.
Ipi ni lalama ya wauza vitabu kwa serikali
{ "text": [ "Kubadilishwabadilishwa kwa vitabu" ] }
0298_swa
Wauzaji vitabu walia wanapata hasara Wamiliki wa maduka ya vitabu mjini Mombasa wameitaka serikali iwaepushie hasara inayotokana na kubadilishwa kwa vitabu hivyo mara kwa mara. Walisema miaka ya sasa wizara ya elimu imekuwa na mazoea ya kubadilisha vitabu kabla ya shehena ya vitabu waliyonunua kuuza kumalizika madukani mwao. Bw Abbas Mohammed anayehudumu katika duka la vitabu la Coastal Emporium, alisema mara kwa mara huwa wanasalia na rundo la vitabu visivyokua na umuhimu. “Tunanunua shehena lakini baada ya kuuza vitabu vichache unasikia kuwa vitabu vipya vimetolewa jambo linalotufanya kuuza vitabu tulivyonavyo kwa bei ya kutupa au kuvipeana bure kwa shule waweke kwa maktaba zao,” akasema. "Tunashangaa kwa sababu daima moja ukiongeza moja ni mbili hakuna siku itabadilika sasa iweje kila uchao vitabu vipya kutoka kwa watunzi tofauti vinapendekezwa kisha baada ya muda vinatolewa,"alisema. Kilio chake kiliungwa mkono na Amina Patel anayehudumu katika duka la vitabu la Salmanji, ambaye alieleza kuwa mbeleni hawakuwa na wasiwasi shehena ya vitabu viliposalia kwa sababu walijua wataviuza mwaka unaofuata. “Sielewi kama kinachoangaliwa ni ubora wa kitabu au tu kufanya biashara," alisema. Bi Patel alieleza kufuatia hali hiyo wamiliki wengi wa maduka ya vitabu wamelazimika kupunguza shehena wanayochukuwa na wengine wamelazimika kufunga biashara zao kwa sababu ya kupata hasara. Bibi Halima Imran, ambaye ni mzazi wa mwanafunzi wa darasa la saba, alisema mabadiliko hayo yanamuathiri zaidi mzazi ambaye ana watoto kadha. Alieleza kuwa wakati wake mzazi alikuwa akinunua kitabu kisha watoto kupokezana jambo lililomfanya kutumia kiasi kidogo cha fedha, ikilinganishwa na sasa ambapo mzazi analazimika kununua vitabu vipya kwa kila mtoto. “Tulikuwa tunanunuliwa vitabu kisha kila tukienda darasa la mbele unamuachia mdogo wako kitabu hicho lakini sasa jambo hilo haliwezekani."aliongeza.
Wamiliki wa maduka ya kuuza vitabu wameyafunga maduka hayo kwa hofu ya kupata nini
{ "text": [ "Hasara" ] }
0299_swa
Demu pabaya kujilipia mahari Kidosho wa hapa alikaripiwa na wazee kwa kuchukua mkopo kusaidia mumewe kulipa mahari. Duru zasema kuwa kidosho na mpenzi wake walifika kwa wazee kuomba baraka zao ili waanze maisha kama mume na mke baada ya kuhitimu chuoni. Kidosho alifanikiwa kupata ajira punde tu baada ya kukamilisha masomo, jambo lililomfanya babake kuwaita wazee wapinge pendekezo la binti kuolewa na jamaa ambaye hakuwa na kazi. Mzee alisema alitaka kujengewa nyumba ya kifahari na binti yake. Baada ya kuwaza na kuwazua, kidoshokeza jamaa. Hata hivyo, hawakufanikiwa kushawishi aliamua kuchukua loni ili asaidie jamaa kulipa "unawezaje kukopa loni kulipa mahari kana tiye kwani alikuwa ameamua kuolewa na jamaa mahari kwa hofu ya ndoa yao kusambaratika. kwamba umekuwa mume? Si ungemuacha huyo licha ya kuwa hakuwa amefanikiwa maisha wakawakabidhi wazee hela nyumba ya kifahari au utaendelea kulea mume? Kama adhabu, wazee walimtoza jamaa maelfu ya pesa kama mahari licha ya kufahamu hakuwa amefanikiwa kupata ajira walimpa kipindi cha miezi michache kulipa mahari yote na kutishia kutwaa binti yao iwapo angeshindwa kutimiza matakwa yao.
Kidosho alikaripiwa kwa kuchukua nini
{ "text": [ "mkopo" ] }
0299_swa
Demu pabaya kujilipia mahari Kidosho wa hapa alikaripiwa na wazee kwa kuchukua mkopo kusaidia mumewe kulipa mahari. Duru zasema kuwa kidosho na mpenzi wake walifika kwa wazee kuomba baraka zao ili waanze maisha kama mume na mke baada ya kuhitimu chuoni. Kidosho alifanikiwa kupata ajira punde tu baada ya kukamilisha masomo, jambo lililomfanya babake kuwaita wazee wapinge pendekezo la binti kuolewa na jamaa ambaye hakuwa na kazi. Mzee alisema alitaka kujengewa nyumba ya kifahari na binti yake. Baada ya kuwaza na kuwazua, kidoshokeza jamaa. Hata hivyo, hawakufanikiwa kushawishi aliamua kuchukua loni ili asaidie jamaa kulipa "unawezaje kukopa loni kulipa mahari kana tiye kwani alikuwa ameamua kuolewa na jamaa mahari kwa hofu ya ndoa yao kusambaratika. kwamba umekuwa mume? Si ungemuacha huyo licha ya kuwa hakuwa amefanikiwa maisha wakawakabidhi wazee hela nyumba ya kifahari au utaendelea kulea mume? Kama adhabu, wazee walimtoza jamaa maelfu ya pesa kama mahari licha ya kufahamu hakuwa amefanikiwa kupata ajira walimpa kipindi cha miezi michache kulipa mahari yote na kutishia kutwaa binti yao iwapo angeshindwa kutimiza matakwa yao.
Kidosho na mpenziwe walienda kuomba nini kwa wazee
{ "text": [ "baraka" ] }
0299_swa
Demu pabaya kujilipia mahari Kidosho wa hapa alikaripiwa na wazee kwa kuchukua mkopo kusaidia mumewe kulipa mahari. Duru zasema kuwa kidosho na mpenzi wake walifika kwa wazee kuomba baraka zao ili waanze maisha kama mume na mke baada ya kuhitimu chuoni. Kidosho alifanikiwa kupata ajira punde tu baada ya kukamilisha masomo, jambo lililomfanya babake kuwaita wazee wapinge pendekezo la binti kuolewa na jamaa ambaye hakuwa na kazi. Mzee alisema alitaka kujengewa nyumba ya kifahari na binti yake. Baada ya kuwaza na kuwazua, kidoshokeza jamaa. Hata hivyo, hawakufanikiwa kushawishi aliamua kuchukua loni ili asaidie jamaa kulipa "unawezaje kukopa loni kulipa mahari kana tiye kwani alikuwa ameamua kuolewa na jamaa mahari kwa hofu ya ndoa yao kusambaratika. kwamba umekuwa mume? Si ungemuacha huyo licha ya kuwa hakuwa amefanikiwa maisha wakawakabidhi wazee hela nyumba ya kifahari au utaendelea kulea mume? Kama adhabu, wazee walimtoza jamaa maelfu ya pesa kama mahari licha ya kufahamu hakuwa amefanikiwa kupata ajira walimpa kipindi cha miezi michache kulipa mahari yote na kutishia kutwaa binti yao iwapo angeshindwa kutimiza matakwa yao.
Kidosho alifanikiwa kupata nini
{ "text": [ "ajira" ] }
0299_swa
Demu pabaya kujilipia mahari Kidosho wa hapa alikaripiwa na wazee kwa kuchukua mkopo kusaidia mumewe kulipa mahari. Duru zasema kuwa kidosho na mpenzi wake walifika kwa wazee kuomba baraka zao ili waanze maisha kama mume na mke baada ya kuhitimu chuoni. Kidosho alifanikiwa kupata ajira punde tu baada ya kukamilisha masomo, jambo lililomfanya babake kuwaita wazee wapinge pendekezo la binti kuolewa na jamaa ambaye hakuwa na kazi. Mzee alisema alitaka kujengewa nyumba ya kifahari na binti yake. Baada ya kuwaza na kuwazua, kidoshokeza jamaa. Hata hivyo, hawakufanikiwa kushawishi aliamua kuchukua loni ili asaidie jamaa kulipa "unawezaje kukopa loni kulipa mahari kana tiye kwani alikuwa ameamua kuolewa na jamaa mahari kwa hofu ya ndoa yao kusambaratika. kwamba umekuwa mume? Si ungemuacha huyo licha ya kuwa hakuwa amefanikiwa maisha wakawakabidhi wazee hela nyumba ya kifahari au utaendelea kulea mume? Kama adhabu, wazee walimtoza jamaa maelfu ya pesa kama mahari licha ya kufahamu hakuwa amefanikiwa kupata ajira walimpa kipindi cha miezi michache kulipa mahari yote na kutishia kutwaa binti yao iwapo angeshindwa kutimiza matakwa yao.
Mzee alisema anataka kujengewa nini
{ "text": [ "nyumba ya kifahari" ] }
0299_swa
Demu pabaya kujilipia mahari Kidosho wa hapa alikaripiwa na wazee kwa kuchukua mkopo kusaidia mumewe kulipa mahari. Duru zasema kuwa kidosho na mpenzi wake walifika kwa wazee kuomba baraka zao ili waanze maisha kama mume na mke baada ya kuhitimu chuoni. Kidosho alifanikiwa kupata ajira punde tu baada ya kukamilisha masomo, jambo lililomfanya babake kuwaita wazee wapinge pendekezo la binti kuolewa na jamaa ambaye hakuwa na kazi. Mzee alisema alitaka kujengewa nyumba ya kifahari na binti yake. Baada ya kuwaza na kuwazua, kidoshokeza jamaa. Hata hivyo, hawakufanikiwa kushawishi aliamua kuchukua loni ili asaidie jamaa kulipa "unawezaje kukopa loni kulipa mahari kana tiye kwani alikuwa ameamua kuolewa na jamaa mahari kwa hofu ya ndoa yao kusambaratika. kwamba umekuwa mume? Si ungemuacha huyo licha ya kuwa hakuwa amefanikiwa maisha wakawakabidhi wazee hela nyumba ya kifahari au utaendelea kulea mume? Kama adhabu, wazee walimtoza jamaa maelfu ya pesa kama mahari licha ya kufahamu hakuwa amefanikiwa kupata ajira walimpa kipindi cha miezi michache kulipa mahari yote na kutishia kutwaa binti yao iwapo angeshindwa kutimiza matakwa yao.
Kidosho aliamua kuchukua nini baada ya kuwaza
{ "text": [ "loni" ] }
0306_swa
UFAHAMU 4 Familia ni kiungo muhimu cha jamii. Familia zikiwa nzuri bila shaka jamii nzima itakuwa bora. Mzee Rhiga na mkewe Chao waliamini hivyo, nao wakaazimia kuwalea wana wao wawili kwa njia inayofaa. Mziwanda aliitwa Kilio naye mwanambee alikuwa ni Shuma. Wote walifuata maagizo ya wazazi wao. Walipobaleghe, kila mmoja alipata jiko. Wake walibahatika kupendwa na kwa mahaba kamili. Kipendacho moyo ni dawa na bila shaka kila mtu alipata dawa ya moyo wake. Hata hivyo, hakuna kizuri kisichokuwa na ila. Mapenzi kati ya ndugu hawa yalianza kupungua. Inasemekana wake wao walitia uhusiano wa ndugu hawa doa. Wake wenyewe walikuwa hawawezi kupikika katika chungu kimoja. Mmoja akimwona mwenzake, anakunja uso kama nyati. Uhasama uliendelea, wakawa hawawezi kusemezana tena. Uadui ulifika kiwango cha kutisha. Ajabu ni kwamba watoto wao walikuwa hawana hata habari. Walicheza pamoja. Shuma alikuwa hapendezwi kamwe na mambo yale. Alijaribu juu chini kusuluhisha mgogoro ule lakini aliambulia patupu. Siku moja, Shuma aliamua kumpa mpwa wake jogoo mkubwa ili waende wakamchinje. Mtoto alifurahi sana na kukimbilia nyumbani." Baba! Baba! Nimepewa jogoo na ami. Leo nitakula nyama," mtoto alisema kwa furaha." Ni nani aliyemwambia ami yako tunahitaji kuku? Hebu mlete!" kijana yule alimkabidhi baba yake jogoo yule kwa heshima na taadhima. Kwa kuwa nyumba zao zilitenganishwa na ua, baba mtu alitoka na kumrusha jogoo upande wa pili wa ua. Shuma alishangaa kumwona kuku akipuruka akirudi nyumbani. Aliwaza na kuwazua. "Lazima nitafanya kitu. Hatuwezi kuendelea hivyo" akajisemea. Usiku ule alipata wazo. Alitaka kujua kati ya rafiki na ndugu, ni nani anayeweza kukusaidia wakati wa shida. Alienda kwa rafiki zake akiwa na kisu chenye damu. Alibisha mlango na rafiki yake akafungua."Kuna nini usiku huu?" akaulizwa". Niwie radhi lakini nimemwua mtu. Naomba unisaidie tumzike nisijulikane," akamwambia vivyo hivyo. Alienda kwa ndugu yake na kumwambia vile vile. Ndugu yake alivaa haraka na kutoka. Mke wake alijaribu kumzuia lakini wapi? Aliandamana na kaka yake tayari kumpa msaada aliouhitaji. Walipofika nyumbani, alikuta kuwa hakumwua mtu yeyote bali alikuwa amemchinja fahali. Nilitaka kujua kama unaweza kunisaidia wakati wa shida. Akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki. Wewe ni rafiki yangu. Ama kweli meno ya mbwa haya ni," alisema kwa furaha. Ikawa ni bishwa. Ndugu wale waliandaa karamu kubwa na kuwatangazia marafiki zao kuwa "mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe". Waliishi kwa furaha wakishirikiana kwa kila jambo.
Nini kiungo muhimu cha jamii
{ "text": [ "familia" ] }
0306_swa
UFAHAMU 4 Familia ni kiungo muhimu cha jamii. Familia zikiwa nzuri bila shaka jamii nzima itakuwa bora. Mzee Rhiga na mkewe Chao waliamini hivyo, nao wakaazimia kuwalea wana wao wawili kwa njia inayofaa. Mziwanda aliitwa Kilio naye mwanambee alikuwa ni Shuma. Wote walifuata maagizo ya wazazi wao. Walipobaleghe, kila mmoja alipata jiko. Wake walibahatika kupendwa na kwa mahaba kamili. Kipendacho moyo ni dawa na bila shaka kila mtu alipata dawa ya moyo wake. Hata hivyo, hakuna kizuri kisichokuwa na ila. Mapenzi kati ya ndugu hawa yalianza kupungua. Inasemekana wake wao walitia uhusiano wa ndugu hawa doa. Wake wenyewe walikuwa hawawezi kupikika katika chungu kimoja. Mmoja akimwona mwenzake, anakunja uso kama nyati. Uhasama uliendelea, wakawa hawawezi kusemezana tena. Uadui ulifika kiwango cha kutisha. Ajabu ni kwamba watoto wao walikuwa hawana hata habari. Walicheza pamoja. Shuma alikuwa hapendezwi kamwe na mambo yale. Alijaribu juu chini kusuluhisha mgogoro ule lakini aliambulia patupu. Siku moja, Shuma aliamua kumpa mpwa wake jogoo mkubwa ili waende wakamchinje. Mtoto alifurahi sana na kukimbilia nyumbani." Baba! Baba! Nimepewa jogoo na ami. Leo nitakula nyama," mtoto alisema kwa furaha." Ni nani aliyemwambia ami yako tunahitaji kuku? Hebu mlete!" kijana yule alimkabidhi baba yake jogoo yule kwa heshima na taadhima. Kwa kuwa nyumba zao zilitenganishwa na ua, baba mtu alitoka na kumrusha jogoo upande wa pili wa ua. Shuma alishangaa kumwona kuku akipuruka akirudi nyumbani. Aliwaza na kuwazua. "Lazima nitafanya kitu. Hatuwezi kuendelea hivyo" akajisemea. Usiku ule alipata wazo. Alitaka kujua kati ya rafiki na ndugu, ni nani anayeweza kukusaidia wakati wa shida. Alienda kwa rafiki zake akiwa na kisu chenye damu. Alibisha mlango na rafiki yake akafungua."Kuna nini usiku huu?" akaulizwa". Niwie radhi lakini nimemwua mtu. Naomba unisaidie tumzike nisijulikane," akamwambia vivyo hivyo. Alienda kwa ndugu yake na kumwambia vile vile. Ndugu yake alivaa haraka na kutoka. Mke wake alijaribu kumzuia lakini wapi? Aliandamana na kaka yake tayari kumpa msaada aliouhitaji. Walipofika nyumbani, alikuta kuwa hakumwua mtu yeyote bali alikuwa amemchinja fahali. Nilitaka kujua kama unaweza kunisaidia wakati wa shida. Akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki. Wewe ni rafiki yangu. Ama kweli meno ya mbwa haya ni," alisema kwa furaha. Ikawa ni bishwa. Ndugu wale waliandaa karamu kubwa na kuwatangazia marafiki zao kuwa "mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe". Waliishi kwa furaha wakishirikiana kwa kila jambo.
Nani walibahatika kupendwa
{ "text": [ "wake" ] }
0306_swa
UFAHAMU 4 Familia ni kiungo muhimu cha jamii. Familia zikiwa nzuri bila shaka jamii nzima itakuwa bora. Mzee Rhiga na mkewe Chao waliamini hivyo, nao wakaazimia kuwalea wana wao wawili kwa njia inayofaa. Mziwanda aliitwa Kilio naye mwanambee alikuwa ni Shuma. Wote walifuata maagizo ya wazazi wao. Walipobaleghe, kila mmoja alipata jiko. Wake walibahatika kupendwa na kwa mahaba kamili. Kipendacho moyo ni dawa na bila shaka kila mtu alipata dawa ya moyo wake. Hata hivyo, hakuna kizuri kisichokuwa na ila. Mapenzi kati ya ndugu hawa yalianza kupungua. Inasemekana wake wao walitia uhusiano wa ndugu hawa doa. Wake wenyewe walikuwa hawawezi kupikika katika chungu kimoja. Mmoja akimwona mwenzake, anakunja uso kama nyati. Uhasama uliendelea, wakawa hawawezi kusemezana tena. Uadui ulifika kiwango cha kutisha. Ajabu ni kwamba watoto wao walikuwa hawana hata habari. Walicheza pamoja. Shuma alikuwa hapendezwi kamwe na mambo yale. Alijaribu juu chini kusuluhisha mgogoro ule lakini aliambulia patupu. Siku moja, Shuma aliamua kumpa mpwa wake jogoo mkubwa ili waende wakamchinje. Mtoto alifurahi sana na kukimbilia nyumbani." Baba! Baba! Nimepewa jogoo na ami. Leo nitakula nyama," mtoto alisema kwa furaha." Ni nani aliyemwambia ami yako tunahitaji kuku? Hebu mlete!" kijana yule alimkabidhi baba yake jogoo yule kwa heshima na taadhima. Kwa kuwa nyumba zao zilitenganishwa na ua, baba mtu alitoka na kumrusha jogoo upande wa pili wa ua. Shuma alishangaa kumwona kuku akipuruka akirudi nyumbani. Aliwaza na kuwazua. "Lazima nitafanya kitu. Hatuwezi kuendelea hivyo" akajisemea. Usiku ule alipata wazo. Alitaka kujua kati ya rafiki na ndugu, ni nani anayeweza kukusaidia wakati wa shida. Alienda kwa rafiki zake akiwa na kisu chenye damu. Alibisha mlango na rafiki yake akafungua."Kuna nini usiku huu?" akaulizwa". Niwie radhi lakini nimemwua mtu. Naomba unisaidie tumzike nisijulikane," akamwambia vivyo hivyo. Alienda kwa ndugu yake na kumwambia vile vile. Ndugu yake alivaa haraka na kutoka. Mke wake alijaribu kumzuia lakini wapi? Aliandamana na kaka yake tayari kumpa msaada aliouhitaji. Walipofika nyumbani, alikuta kuwa hakumwua mtu yeyote bali alikuwa amemchinja fahali. Nilitaka kujua kama unaweza kunisaidia wakati wa shida. Akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki. Wewe ni rafiki yangu. Ama kweli meno ya mbwa haya ni," alisema kwa furaha. Ikawa ni bishwa. Ndugu wale waliandaa karamu kubwa na kuwatangazia marafiki zao kuwa "mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe". Waliishi kwa furaha wakishirikiana kwa kila jambo.
Uadui ulifika kiwango gani
{ "text": [ "cha kutisha" ] }
0306_swa
UFAHAMU 4 Familia ni kiungo muhimu cha jamii. Familia zikiwa nzuri bila shaka jamii nzima itakuwa bora. Mzee Rhiga na mkewe Chao waliamini hivyo, nao wakaazimia kuwalea wana wao wawili kwa njia inayofaa. Mziwanda aliitwa Kilio naye mwanambee alikuwa ni Shuma. Wote walifuata maagizo ya wazazi wao. Walipobaleghe, kila mmoja alipata jiko. Wake walibahatika kupendwa na kwa mahaba kamili. Kipendacho moyo ni dawa na bila shaka kila mtu alipata dawa ya moyo wake. Hata hivyo, hakuna kizuri kisichokuwa na ila. Mapenzi kati ya ndugu hawa yalianza kupungua. Inasemekana wake wao walitia uhusiano wa ndugu hawa doa. Wake wenyewe walikuwa hawawezi kupikika katika chungu kimoja. Mmoja akimwona mwenzake, anakunja uso kama nyati. Uhasama uliendelea, wakawa hawawezi kusemezana tena. Uadui ulifika kiwango cha kutisha. Ajabu ni kwamba watoto wao walikuwa hawana hata habari. Walicheza pamoja. Shuma alikuwa hapendezwi kamwe na mambo yale. Alijaribu juu chini kusuluhisha mgogoro ule lakini aliambulia patupu. Siku moja, Shuma aliamua kumpa mpwa wake jogoo mkubwa ili waende wakamchinje. Mtoto alifurahi sana na kukimbilia nyumbani." Baba! Baba! Nimepewa jogoo na ami. Leo nitakula nyama," mtoto alisema kwa furaha." Ni nani aliyemwambia ami yako tunahitaji kuku? Hebu mlete!" kijana yule alimkabidhi baba yake jogoo yule kwa heshima na taadhima. Kwa kuwa nyumba zao zilitenganishwa na ua, baba mtu alitoka na kumrusha jogoo upande wa pili wa ua. Shuma alishangaa kumwona kuku akipuruka akirudi nyumbani. Aliwaza na kuwazua. "Lazima nitafanya kitu. Hatuwezi kuendelea hivyo" akajisemea. Usiku ule alipata wazo. Alitaka kujua kati ya rafiki na ndugu, ni nani anayeweza kukusaidia wakati wa shida. Alienda kwa rafiki zake akiwa na kisu chenye damu. Alibisha mlango na rafiki yake akafungua."Kuna nini usiku huu?" akaulizwa". Niwie radhi lakini nimemwua mtu. Naomba unisaidie tumzike nisijulikane," akamwambia vivyo hivyo. Alienda kwa ndugu yake na kumwambia vile vile. Ndugu yake alivaa haraka na kutoka. Mke wake alijaribu kumzuia lakini wapi? Aliandamana na kaka yake tayari kumpa msaada aliouhitaji. Walipofika nyumbani, alikuta kuwa hakumwua mtu yeyote bali alikuwa amemchinja fahali. Nilitaka kujua kama unaweza kunisaidia wakati wa shida. Akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki. Wewe ni rafiki yangu. Ama kweli meno ya mbwa haya ni," alisema kwa furaha. Ikawa ni bishwa. Ndugu wale waliandaa karamu kubwa na kuwatangazia marafiki zao kuwa "mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe". Waliishi kwa furaha wakishirikiana kwa kila jambo.
Ndugu wale waliandaa nini
{ "text": [ "karamu kubwa" ] }
0306_swa
UFAHAMU 4 Familia ni kiungo muhimu cha jamii. Familia zikiwa nzuri bila shaka jamii nzima itakuwa bora. Mzee Rhiga na mkewe Chao waliamini hivyo, nao wakaazimia kuwalea wana wao wawili kwa njia inayofaa. Mziwanda aliitwa Kilio naye mwanambee alikuwa ni Shuma. Wote walifuata maagizo ya wazazi wao. Walipobaleghe, kila mmoja alipata jiko. Wake walibahatika kupendwa na kwa mahaba kamili. Kipendacho moyo ni dawa na bila shaka kila mtu alipata dawa ya moyo wake. Hata hivyo, hakuna kizuri kisichokuwa na ila. Mapenzi kati ya ndugu hawa yalianza kupungua. Inasemekana wake wao walitia uhusiano wa ndugu hawa doa. Wake wenyewe walikuwa hawawezi kupikika katika chungu kimoja. Mmoja akimwona mwenzake, anakunja uso kama nyati. Uhasama uliendelea, wakawa hawawezi kusemezana tena. Uadui ulifika kiwango cha kutisha. Ajabu ni kwamba watoto wao walikuwa hawana hata habari. Walicheza pamoja. Shuma alikuwa hapendezwi kamwe na mambo yale. Alijaribu juu chini kusuluhisha mgogoro ule lakini aliambulia patupu. Siku moja, Shuma aliamua kumpa mpwa wake jogoo mkubwa ili waende wakamchinje. Mtoto alifurahi sana na kukimbilia nyumbani." Baba! Baba! Nimepewa jogoo na ami. Leo nitakula nyama," mtoto alisema kwa furaha." Ni nani aliyemwambia ami yako tunahitaji kuku? Hebu mlete!" kijana yule alimkabidhi baba yake jogoo yule kwa heshima na taadhima. Kwa kuwa nyumba zao zilitenganishwa na ua, baba mtu alitoka na kumrusha jogoo upande wa pili wa ua. Shuma alishangaa kumwona kuku akipuruka akirudi nyumbani. Aliwaza na kuwazua. "Lazima nitafanya kitu. Hatuwezi kuendelea hivyo" akajisemea. Usiku ule alipata wazo. Alitaka kujua kati ya rafiki na ndugu, ni nani anayeweza kukusaidia wakati wa shida. Alienda kwa rafiki zake akiwa na kisu chenye damu. Alibisha mlango na rafiki yake akafungua."Kuna nini usiku huu?" akaulizwa". Niwie radhi lakini nimemwua mtu. Naomba unisaidie tumzike nisijulikane," akamwambia vivyo hivyo. Alienda kwa ndugu yake na kumwambia vile vile. Ndugu yake alivaa haraka na kutoka. Mke wake alijaribu kumzuia lakini wapi? Aliandamana na kaka yake tayari kumpa msaada aliouhitaji. Walipofika nyumbani, alikuta kuwa hakumwua mtu yeyote bali alikuwa amemchinja fahali. Nilitaka kujua kama unaweza kunisaidia wakati wa shida. Akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki. Wewe ni rafiki yangu. Ama kweli meno ya mbwa haya ni," alisema kwa furaha. Ikawa ni bishwa. Ndugu wale waliandaa karamu kubwa na kuwatangazia marafiki zao kuwa "mla nawe hafi nawe ila mzaliwa nawe". Waliishi kwa furaha wakishirikiana kwa kila jambo.
Mbona Shuma alimpa mpwa wake jogoo mkubwa
{ "text": [ "ili waende wakamchinje" ] }
0309_swa
Hata hivyo, Mandela alipokuwa na umri wa miaka ishirini aligura kwao. Barobaro huyo alihamia kwenye mji mkuu wa Johannesburg. Amini usiamini, alitoroka kulazimishwa kuoa msichana ambaye wazazi wake walikuwa wamemchagulia bila kumhusisha. Maadamu ilikuwa mwiko kupinga uamuzi wa wazazi wake, aidha hapangekuwa na njia nyingine ya kujitolea, alikata shauri kutoroka. Ingawa wazazi wangepandwa na mori, huo ulikuwa uamuz ambao Mandela asingebadilisha liwe liwalo, lije lijalo.  Kule jijini alikutana na Walter Sisulu na Oliver Tambo. Wawili hao, Sisulu na Tambo walikuwa wakikiongoza chama cha kisiasa kwa jina A.N.C. Mandela alikuwa ni mahiri wa masomo. Aidha alikuwa kijana mlimbwende na mnenaji mzuri sana hadharani. Mintaarafu ya hayo Mandela alikuwa ni kivutio kikubwa sana hasa kwa vijana Alichaguliwa kuwa kiongozi wa vijana wa chama hicho.  Wakati huo nchini Afrika Kusini kulikuwa na tatizo kubwa sana. Tatizo lenyewe lilikuwa ni lile la ubaguzi wa rangi Waafrika weusi walikuwa wakidhulumiwa na hawakuruhusiwa kutangamana na wazungu popote pale. Kulikuwa na barabara za wazungu na hata mitaa ya wazungu pekee na hakuna mwafrika aliyeruhusiwa kupatikana kwenye maenco hayo la sivyo angeona cha mtema kuni. Hospitali bora, shule nzuri pia zilikuwa ni za wazingu, Mandela alichukizwa sana na udhalimu huo uliokuwa ukiendelezwa katika nchi yake licha ya kuwa waafrika wa ngozi nyeus ndio waliokuwa wengi. Mandela aliamua kuwa ama kwa kuti au mauti, angepigania haki na usawa kwa watu wote walioishi katika Afrika Kusini.  Pamoja na mashujaa wenzake, waliongoza migomo mikali na maandamano ya kutetea haki na usa kwa wati wote. Walishikilia msimamo kuwa, kabila na rangi ni za utambuzi wala si za ubaguzi. Kutokana na ush: wishi wako mkubwa Mandela aliungwa mkono na wananchi wengi na hata viongozi wengine  Mandela alifahamu fika masaibu ambayo yangemkuba kwa kuchokoza serikali lakini hili halikumtia wasiwasi. Alikuwa tayari hata kukabiliana na kifo mradi haki ipatikane. Msemo wa wahenga kuwa kwa shujaa huenda kilio na kwa mwoga huenda kicheko haukumbabaisha. Alisema ni heri kilio na si kilio tu bali kilio cha haki.. Mandela alitiwa mbaroni na kufungwa gerezani.  Wakati akiwa gerezani serikali ilimrai aachane na harakati zake za kuwatetea wanyonge. Aliahidiwa zawadi z thamani iwapo angetupilia mbali harakati hizo. "Liwe liwalo, siwezi katu, kuwasaliti waafrika wenzangu. Niko radhi kufa nikitetea usawa na ukombozi wa Waafrika," Mandela aliwahakikishia kuwa alikuwa hatishiki wala habanduki.  Kutokana na ukaidi wake huo, mandela alihukumiwa kifungo cha maisha katika kisiwa cha Roben. Kisiwa ch: Roben kiko mbali sana, katika bahari ya Atlantiki. Licha ya kufungwa na kufanyizwa kazi za sulubu na mateso yote iliyopitia humo gerezani, Mandela hakughairi.  Akiwa angali gerezani, aliendeleza harakati zake. Alikuwa akiandika nyaraka ambazo angezituma zikachapishw magazetini. Kupitia kwa barua hizo, aliwapa motisha waafrika wasife moyo wala kutamauka katika kupigani uhuru na usawa wa kijamii. Mandela alivunja rekodi kwa kuwa mfungwa wa kisiasa aliyehudumu kwa muda mrefu sana. Hatimaye, aliachiliwa huru mnamo mwaka wa elfu moja mia tisa tisini. Penye nia pana njia. Mandela pamoj na wenzake walikuwa wamefanikiwa kuleta usawa katika nchi yao.  Mandela alichaguliwa kuwa rais wa kwanza mwafrika wa nchi ya Afrika Kusini. Licha ya madhila na mateso yot aliyokuwa amepitia mikononi mwa wazungu, hakuweka kisasi. Kwa kuamini kuwa kosa halikosoi kosa, Mandel aliwasamehca wazungu. Alichagua makamu wake kuwa mzungu kama njia ya kuleta umoja na mapatano. Kinyum * na viongozi wengine ambao hukatalia uongozini, Mandela alistaafu baada ya kuongoza kwa miaka mitano pekee. Aliendelca na jitihada za kuhubiri amani na usawa kote ulimwenguni.  35. Uchimbaji wa madini kwa jumla: A. Huwa na manufaa mengi sana na hauna changamoto zozote zile. B. Unafaa kuendelezwa katika maeneo ambayo hakuna watu wanaoishi huko. C. Licha ya manufaa yake una matatizo mengi ambayo yanafaa kurekebishwa. D. Iluwasaidi watu wageni huku wale walio wenyeji wakiendelea kuteseka. 36. Ipi hapa haijatajwa kuwa athari mbaya inayotokana na uchimbaji wa madini? A. Uchafuzi wa mazingira. B. Vifo kutokana na wachimba migodi kuchoka sana. C. Matatizo ya kiafya. D. Machimbo yaliyoachwa wazi kuwa hatari kwa maisha 37. Machimbo hayo huporomoka na kumeza idadi kubwa ya wafu, mi famathali gani iliyotumiwa hapa? A. Fumbo B. Methali C. Sitiari D. lasihihi 38. Baruti zitumiwazo kupasulia miamba ya madini A. Kuwashtua watu sana na kuwaua wengi wao. B. Huathiri watoto na wenye maradhi ya msisimko wa dantu licha ya kuharibu nyumba. C. Huharibu viwambo vya masikio ya watu wote na kuwafanya kuwa viziwi. D. huchangia wachimbamigodi wengi kupoteza uhai wanapoanguka kwenye mashimo ya migodi. 39. Maoni ya mwandishi katika aya ya tisa ni gani? A.Uchimbaji wa madini usipofanywa kwa tahadhari unaweza kuitumbukiza nchi katika hali ya mateso. B. Mataifa ya kigeni yanayofadhili waasi kwa silaha huwa na nia nzuri ya kutuliza hali. C. Nchi ya kidemokrasia ya Kongo ni mfano wa nchi zilizonufaika pakubwa kutokana na madini. D:Nchi ya kidemokrasia ya Kongo ikiacha kuchimba madini itapata amani ya kudumu. 40. Kauli, "ukiona ndugu wawili wakipigana enda ukawaibic, wakipatana wapiganishe tena inaonyesha wazi kuwa: A. Watu wenye nia mbaya hufaidi wakati kuna migogoro na hutamani fujo hizo ziendelee. B. Wakati wa ghasia na vurugu anayefaidika pakubwa ni yule aliyejinyamazia na kujitia hamnazo. C. Watu wanastahili kuachwa wajiamulie mambo yao wenyewe kwa njia yoyote wanayoiona kuwa nzuri. D. Wanaopigana wanastahili kuachwa waendelee kupigana hadi watakapopata funzo kutokana na vita wao wenyewe. Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu muswali 41 mpaka 50. Mtu yeyote akiulizwa ataje mu mmoja maarufu zaidi aliyewahi kuishi Afrika, yamkini hatakosa kutaja hayati Nelson Mandela. Mandela ni mzalendo kindakindaki ambaye sifa zake alipokuwa hai zilitamba katika pembe zote za ulimwengu. Ilata baada ya kifo chake pia angali ameandikwa akilini na nyayoni mwa wengi kwa wino usioweza kulutika. Hayati Mandela alizaliwa nchini Afrika Kusini katika kitongoji cha Traskei mnamo mwaka wa elfu moja mia tisa na kumi na nane. Alitoka katika jamaa tajika ya lhembu. Kwa mujibu wa tamaduni za kwao, bila shaka angekuwa chifu wa jamii hiyo. Mandela alisomea kwenye chuo kikuu cha Hare alikohitimu kazi ya uwakili. 41. Kwa mujibu wa aya ya kwanza. Si sahihi kusema kuwa A.msimulizi ana uhakika kuwa kila mtu anamfahamu hayati Nelson Mandela. B. sifa za havati Mandela zilienea sana katika maeneo mengi ya ulimwengu. C. kumbukumbu za hayati Mandela bado zingali katika mioyo ya watu wengi. D. Hata baada ya kifo chake, watu waliendelea kumkumbuka na kumwenzi hayati Mandela, 42. Neno, aligura lina maana gani kama lilivyotuiniwa kwenye kifungu? A. Alitorokea B. Alihamia C. Alienda D. Alihama 43. Kulingana na kifungu, Mandela A. alifaa kuwa chifu baada yake kuhitimu masomo ya chuo kikuu. B. alihamia kwenye mji mkuu wa hannesburg akiwa na lengo la kutafuta elimu ya kiwango cha juu. C. alikuwa ameamua kutoroka licha ya kuwa alifahamu kuwa wazazi wake wangekasirishwa sana na uamuzi huo. D. alinuia kujihusisha na siasa tangu akiwa inidogo ndiyo maana akatorokea mji mkuu wa Johannesburg. 44. Chagua jibu ambalo ni sahihi kwa mujibu wa aya ya nne, A. Licha ya umahiri wake masomoni, ulimbwende wake na usemaji mzuri mbele ya watu vilifanya avutie sana miongoni mwa vijana. B. Viongozi Walter Sisulu na Oliver Tambo walichangia kwa kiwango kikubwakuchaguliwa kwa Mandela kama kinara wa vijana. C. Mandela aliasi mila za jamii yake kwa kukataa kuchaguliwa mchumba na wazazi wake kulingana na mila. D. Kuchaguliwa kwa Mandela kuwa kinara wa chama cha A.N.C. kulichangiwa pakubwa na kiwango chake cha masomo pekee. 45. Kulingana na aya ya tano. A. Tatizo la ubaguzi wa rangi lilikuwa linaendelea kulifia katika nchi ya Afrika Kusini. B. Mandela alichukizwa sana kwa kushuhudia jinsi wananchi wa asili ya kiafrika walivyokuwa wakidhulumiwa na wazungu. C. Mandela aliamua kuwa angepigania wazungu wenzake kwa njia zozote zile ambazo angeweza. D. Ni waafrika wachache sana walioruhusiwa kupata huduma za matibabu kwenye hospitali za wazungu. 46. Migomo na maandamano A. yaliungwa mkono na mashujaa ingawa shingo upande. B. ilikusudiwa kufundisha na kuhamasisha watu kuhusu umuhimu wa ukabila. C. yalikuwa na dhamira ya kupigania haki na usawa kwa watu wa asili na matabaka yote. D. haikufanikiwa kwa njia yoyote ile kuafikia malengo yake makuu ya kupigania haki. 47.Chagua sifa za mhusika mkuu katika kifungu hiki. A. Mwoga, shujaa, msaliti B. Dhalimu, mtetezi, mpelelezi C. Kigeugeu, mwenye tamaa, katili. D. Mkakamavu, mwenye msimamo thabiti, mzalendo. 48. Neno "hakughairi lina maana gani kulingana na kifungu. A. Hakuendelea B. Hakusahau C. Hakulalamika D. Hakubadili nia 49. Chagua jibu sahihi kulingana na kifungu. A. Mandela alikamilisha kifungo kizima alichokuwa amehukumiwa. B. Mandela alishikilia msimamo wa kutetea raia wanyonge licha ya kupitia madhila mengi. C. Kuachiliwa kwa Mandela kulichangiwa na kulegeza kwake msimamo na kusalimu amri. D. Nyaraka alizokuwa akiziandikia gerezani zilizuiliwa wala hazikuweza kuwafikia wananchi nje. 50. Chagua methali inayoweza kutoa muhtasari wa aya ya mwisho. A. Ukubwa ni jaa. B. Akikalia kigoda mtii. C. Kisasi si maungwana. D. Mumunye huharibikia ukubwani.
Mandela aligura kwao akiwa na miaka mingapi?
{ "text": [ "20" ] }
0309_swa
Hata hivyo, Mandela alipokuwa na umri wa miaka ishirini aligura kwao. Barobaro huyo alihamia kwenye mji mkuu wa Johannesburg. Amini usiamini, alitoroka kulazimishwa kuoa msichana ambaye wazazi wake walikuwa wamemchagulia bila kumhusisha. Maadamu ilikuwa mwiko kupinga uamuzi wa wazazi wake, aidha hapangekuwa na njia nyingine ya kujitolea, alikata shauri kutoroka. Ingawa wazazi wangepandwa na mori, huo ulikuwa uamuz ambao Mandela asingebadilisha liwe liwalo, lije lijalo.  Kule jijini alikutana na Walter Sisulu na Oliver Tambo. Wawili hao, Sisulu na Tambo walikuwa wakikiongoza chama cha kisiasa kwa jina A.N.C. Mandela alikuwa ni mahiri wa masomo. Aidha alikuwa kijana mlimbwende na mnenaji mzuri sana hadharani. Mintaarafu ya hayo Mandela alikuwa ni kivutio kikubwa sana hasa kwa vijana Alichaguliwa kuwa kiongozi wa vijana wa chama hicho.  Wakati huo nchini Afrika Kusini kulikuwa na tatizo kubwa sana. Tatizo lenyewe lilikuwa ni lile la ubaguzi wa rangi Waafrika weusi walikuwa wakidhulumiwa na hawakuruhusiwa kutangamana na wazungu popote pale. Kulikuwa na barabara za wazungu na hata mitaa ya wazungu pekee na hakuna mwafrika aliyeruhusiwa kupatikana kwenye maenco hayo la sivyo angeona cha mtema kuni. Hospitali bora, shule nzuri pia zilikuwa ni za wazingu, Mandela alichukizwa sana na udhalimu huo uliokuwa ukiendelezwa katika nchi yake licha ya kuwa waafrika wa ngozi nyeus ndio waliokuwa wengi. Mandela aliamua kuwa ama kwa kuti au mauti, angepigania haki na usawa kwa watu wote walioishi katika Afrika Kusini.  Pamoja na mashujaa wenzake, waliongoza migomo mikali na maandamano ya kutetea haki na usa kwa wati wote. Walishikilia msimamo kuwa, kabila na rangi ni za utambuzi wala si za ubaguzi. Kutokana na ush: wishi wako mkubwa Mandela aliungwa mkono na wananchi wengi na hata viongozi wengine  Mandela alifahamu fika masaibu ambayo yangemkuba kwa kuchokoza serikali lakini hili halikumtia wasiwasi. Alikuwa tayari hata kukabiliana na kifo mradi haki ipatikane. Msemo wa wahenga kuwa kwa shujaa huenda kilio na kwa mwoga huenda kicheko haukumbabaisha. Alisema ni heri kilio na si kilio tu bali kilio cha haki.. Mandela alitiwa mbaroni na kufungwa gerezani.  Wakati akiwa gerezani serikali ilimrai aachane na harakati zake za kuwatetea wanyonge. Aliahidiwa zawadi z thamani iwapo angetupilia mbali harakati hizo. "Liwe liwalo, siwezi katu, kuwasaliti waafrika wenzangu. Niko radhi kufa nikitetea usawa na ukombozi wa Waafrika," Mandela aliwahakikishia kuwa alikuwa hatishiki wala habanduki.  Kutokana na ukaidi wake huo, mandela alihukumiwa kifungo cha maisha katika kisiwa cha Roben. Kisiwa ch: Roben kiko mbali sana, katika bahari ya Atlantiki. Licha ya kufungwa na kufanyizwa kazi za sulubu na mateso yote iliyopitia humo gerezani, Mandela hakughairi.  Akiwa angali gerezani, aliendeleza harakati zake. Alikuwa akiandika nyaraka ambazo angezituma zikachapishw magazetini. Kupitia kwa barua hizo, aliwapa motisha waafrika wasife moyo wala kutamauka katika kupigani uhuru na usawa wa kijamii. Mandela alivunja rekodi kwa kuwa mfungwa wa kisiasa aliyehudumu kwa muda mrefu sana. Hatimaye, aliachiliwa huru mnamo mwaka wa elfu moja mia tisa tisini. Penye nia pana njia. Mandela pamoj na wenzake walikuwa wamefanikiwa kuleta usawa katika nchi yao.  Mandela alichaguliwa kuwa rais wa kwanza mwafrika wa nchi ya Afrika Kusini. Licha ya madhila na mateso yot aliyokuwa amepitia mikononi mwa wazungu, hakuweka kisasi. Kwa kuamini kuwa kosa halikosoi kosa, Mandel aliwasamehca wazungu. Alichagua makamu wake kuwa mzungu kama njia ya kuleta umoja na mapatano. Kinyum * na viongozi wengine ambao hukatalia uongozini, Mandela alistaafu baada ya kuongoza kwa miaka mitano pekee. Aliendelca na jitihada za kuhubiri amani na usawa kote ulimwenguni.  35. Uchimbaji wa madini kwa jumla: A. Huwa na manufaa mengi sana na hauna changamoto zozote zile. B. Unafaa kuendelezwa katika maeneo ambayo hakuna watu wanaoishi huko. C. Licha ya manufaa yake una matatizo mengi ambayo yanafaa kurekebishwa. D. Iluwasaidi watu wageni huku wale walio wenyeji wakiendelea kuteseka. 36. Ipi hapa haijatajwa kuwa athari mbaya inayotokana na uchimbaji wa madini? A. Uchafuzi wa mazingira. B. Vifo kutokana na wachimba migodi kuchoka sana. C. Matatizo ya kiafya. D. Machimbo yaliyoachwa wazi kuwa hatari kwa maisha 37. Machimbo hayo huporomoka na kumeza idadi kubwa ya wafu, mi famathali gani iliyotumiwa hapa? A. Fumbo B. Methali C. Sitiari D. lasihihi 38. Baruti zitumiwazo kupasulia miamba ya madini A. Kuwashtua watu sana na kuwaua wengi wao. B. Huathiri watoto na wenye maradhi ya msisimko wa dantu licha ya kuharibu nyumba. C. Huharibu viwambo vya masikio ya watu wote na kuwafanya kuwa viziwi. D. huchangia wachimbamigodi wengi kupoteza uhai wanapoanguka kwenye mashimo ya migodi. 39. Maoni ya mwandishi katika aya ya tisa ni gani? A.Uchimbaji wa madini usipofanywa kwa tahadhari unaweza kuitumbukiza nchi katika hali ya mateso. B. Mataifa ya kigeni yanayofadhili waasi kwa silaha huwa na nia nzuri ya kutuliza hali. C. Nchi ya kidemokrasia ya Kongo ni mfano wa nchi zilizonufaika pakubwa kutokana na madini. D:Nchi ya kidemokrasia ya Kongo ikiacha kuchimba madini itapata amani ya kudumu. 40. Kauli, "ukiona ndugu wawili wakipigana enda ukawaibic, wakipatana wapiganishe tena inaonyesha wazi kuwa: A. Watu wenye nia mbaya hufaidi wakati kuna migogoro na hutamani fujo hizo ziendelee. B. Wakati wa ghasia na vurugu anayefaidika pakubwa ni yule aliyejinyamazia na kujitia hamnazo. C. Watu wanastahili kuachwa wajiamulie mambo yao wenyewe kwa njia yoyote wanayoiona kuwa nzuri. D. Wanaopigana wanastahili kuachwa waendelee kupigana hadi watakapopata funzo kutokana na vita wao wenyewe. Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu muswali 41 mpaka 50. Mtu yeyote akiulizwa ataje mu mmoja maarufu zaidi aliyewahi kuishi Afrika, yamkini hatakosa kutaja hayati Nelson Mandela. Mandela ni mzalendo kindakindaki ambaye sifa zake alipokuwa hai zilitamba katika pembe zote za ulimwengu. Ilata baada ya kifo chake pia angali ameandikwa akilini na nyayoni mwa wengi kwa wino usioweza kulutika. Hayati Mandela alizaliwa nchini Afrika Kusini katika kitongoji cha Traskei mnamo mwaka wa elfu moja mia tisa na kumi na nane. Alitoka katika jamaa tajika ya lhembu. Kwa mujibu wa tamaduni za kwao, bila shaka angekuwa chifu wa jamii hiyo. Mandela alisomea kwenye chuo kikuu cha Hare alikohitimu kazi ya uwakili. 41. Kwa mujibu wa aya ya kwanza. Si sahihi kusema kuwa A.msimulizi ana uhakika kuwa kila mtu anamfahamu hayati Nelson Mandela. B. sifa za havati Mandela zilienea sana katika maeneo mengi ya ulimwengu. C. kumbukumbu za hayati Mandela bado zingali katika mioyo ya watu wengi. D. Hata baada ya kifo chake, watu waliendelea kumkumbuka na kumwenzi hayati Mandela, 42. Neno, aligura lina maana gani kama lilivyotuiniwa kwenye kifungu? A. Alitorokea B. Alihamia C. Alienda D. Alihama 43. Kulingana na kifungu, Mandela A. alifaa kuwa chifu baada yake kuhitimu masomo ya chuo kikuu. B. alihamia kwenye mji mkuu wa hannesburg akiwa na lengo la kutafuta elimu ya kiwango cha juu. C. alikuwa ameamua kutoroka licha ya kuwa alifahamu kuwa wazazi wake wangekasirishwa sana na uamuzi huo. D. alinuia kujihusisha na siasa tangu akiwa inidogo ndiyo maana akatorokea mji mkuu wa Johannesburg. 44. Chagua jibu ambalo ni sahihi kwa mujibu wa aya ya nne, A. Licha ya umahiri wake masomoni, ulimbwende wake na usemaji mzuri mbele ya watu vilifanya avutie sana miongoni mwa vijana. B. Viongozi Walter Sisulu na Oliver Tambo walichangia kwa kiwango kikubwakuchaguliwa kwa Mandela kama kinara wa vijana. C. Mandela aliasi mila za jamii yake kwa kukataa kuchaguliwa mchumba na wazazi wake kulingana na mila. D. Kuchaguliwa kwa Mandela kuwa kinara wa chama cha A.N.C. kulichangiwa pakubwa na kiwango chake cha masomo pekee. 45. Kulingana na aya ya tano. A. Tatizo la ubaguzi wa rangi lilikuwa linaendelea kulifia katika nchi ya Afrika Kusini. B. Mandela alichukizwa sana kwa kushuhudia jinsi wananchi wa asili ya kiafrika walivyokuwa wakidhulumiwa na wazungu. C. Mandela aliamua kuwa angepigania wazungu wenzake kwa njia zozote zile ambazo angeweza. D. Ni waafrika wachache sana walioruhusiwa kupata huduma za matibabu kwenye hospitali za wazungu. 46. Migomo na maandamano A. yaliungwa mkono na mashujaa ingawa shingo upande. B. ilikusudiwa kufundisha na kuhamasisha watu kuhusu umuhimu wa ukabila. C. yalikuwa na dhamira ya kupigania haki na usawa kwa watu wa asili na matabaka yote. D. haikufanikiwa kwa njia yoyote ile kuafikia malengo yake makuu ya kupigania haki. 47.Chagua sifa za mhusika mkuu katika kifungu hiki. A. Mwoga, shujaa, msaliti B. Dhalimu, mtetezi, mpelelezi C. Kigeugeu, mwenye tamaa, katili. D. Mkakamavu, mwenye msimamo thabiti, mzalendo. 48. Neno "hakughairi lina maana gani kulingana na kifungu. A. Hakuendelea B. Hakusahau C. Hakulalamika D. Hakubadili nia 49. Chagua jibu sahihi kulingana na kifungu. A. Mandela alikamilisha kifungo kizima alichokuwa amehukumiwa. B. Mandela alishikilia msimamo wa kutetea raia wanyonge licha ya kupitia madhila mengi. C. Kuachiliwa kwa Mandela kulichangiwa na kulegeza kwake msimamo na kusalimu amri. D. Nyaraka alizokuwa akiziandikia gerezani zilizuiliwa wala hazikuweza kuwafikia wananchi nje. 50. Chagua methali inayoweza kutoa muhtasari wa aya ya mwisho. A. Ukubwa ni jaa. B. Akikalia kigoda mtii. C. Kisasi si maungwana. D. Mumunye huharibikia ukubwani.
Mandela alihamia katika mji upi?
{ "text": [ "Johannesburg" ] }
0309_swa
Hata hivyo, Mandela alipokuwa na umri wa miaka ishirini aligura kwao. Barobaro huyo alihamia kwenye mji mkuu wa Johannesburg. Amini usiamini, alitoroka kulazimishwa kuoa msichana ambaye wazazi wake walikuwa wamemchagulia bila kumhusisha. Maadamu ilikuwa mwiko kupinga uamuzi wa wazazi wake, aidha hapangekuwa na njia nyingine ya kujitolea, alikata shauri kutoroka. Ingawa wazazi wangepandwa na mori, huo ulikuwa uamuz ambao Mandela asingebadilisha liwe liwalo, lije lijalo.  Kule jijini alikutana na Walter Sisulu na Oliver Tambo. Wawili hao, Sisulu na Tambo walikuwa wakikiongoza chama cha kisiasa kwa jina A.N.C. Mandela alikuwa ni mahiri wa masomo. Aidha alikuwa kijana mlimbwende na mnenaji mzuri sana hadharani. Mintaarafu ya hayo Mandela alikuwa ni kivutio kikubwa sana hasa kwa vijana Alichaguliwa kuwa kiongozi wa vijana wa chama hicho.  Wakati huo nchini Afrika Kusini kulikuwa na tatizo kubwa sana. Tatizo lenyewe lilikuwa ni lile la ubaguzi wa rangi Waafrika weusi walikuwa wakidhulumiwa na hawakuruhusiwa kutangamana na wazungu popote pale. Kulikuwa na barabara za wazungu na hata mitaa ya wazungu pekee na hakuna mwafrika aliyeruhusiwa kupatikana kwenye maenco hayo la sivyo angeona cha mtema kuni. Hospitali bora, shule nzuri pia zilikuwa ni za wazingu, Mandela alichukizwa sana na udhalimu huo uliokuwa ukiendelezwa katika nchi yake licha ya kuwa waafrika wa ngozi nyeus ndio waliokuwa wengi. Mandela aliamua kuwa ama kwa kuti au mauti, angepigania haki na usawa kwa watu wote walioishi katika Afrika Kusini.  Pamoja na mashujaa wenzake, waliongoza migomo mikali na maandamano ya kutetea haki na usa kwa wati wote. Walishikilia msimamo kuwa, kabila na rangi ni za utambuzi wala si za ubaguzi. Kutokana na ush: wishi wako mkubwa Mandela aliungwa mkono na wananchi wengi na hata viongozi wengine  Mandela alifahamu fika masaibu ambayo yangemkuba kwa kuchokoza serikali lakini hili halikumtia wasiwasi. Alikuwa tayari hata kukabiliana na kifo mradi haki ipatikane. Msemo wa wahenga kuwa kwa shujaa huenda kilio na kwa mwoga huenda kicheko haukumbabaisha. Alisema ni heri kilio na si kilio tu bali kilio cha haki.. Mandela alitiwa mbaroni na kufungwa gerezani.  Wakati akiwa gerezani serikali ilimrai aachane na harakati zake za kuwatetea wanyonge. Aliahidiwa zawadi z thamani iwapo angetupilia mbali harakati hizo. "Liwe liwalo, siwezi katu, kuwasaliti waafrika wenzangu. Niko radhi kufa nikitetea usawa na ukombozi wa Waafrika," Mandela aliwahakikishia kuwa alikuwa hatishiki wala habanduki.  Kutokana na ukaidi wake huo, mandela alihukumiwa kifungo cha maisha katika kisiwa cha Roben. Kisiwa ch: Roben kiko mbali sana, katika bahari ya Atlantiki. Licha ya kufungwa na kufanyizwa kazi za sulubu na mateso yote iliyopitia humo gerezani, Mandela hakughairi.  Akiwa angali gerezani, aliendeleza harakati zake. Alikuwa akiandika nyaraka ambazo angezituma zikachapishw magazetini. Kupitia kwa barua hizo, aliwapa motisha waafrika wasife moyo wala kutamauka katika kupigani uhuru na usawa wa kijamii. Mandela alivunja rekodi kwa kuwa mfungwa wa kisiasa aliyehudumu kwa muda mrefu sana. Hatimaye, aliachiliwa huru mnamo mwaka wa elfu moja mia tisa tisini. Penye nia pana njia. Mandela pamoj na wenzake walikuwa wamefanikiwa kuleta usawa katika nchi yao.  Mandela alichaguliwa kuwa rais wa kwanza mwafrika wa nchi ya Afrika Kusini. Licha ya madhila na mateso yot aliyokuwa amepitia mikononi mwa wazungu, hakuweka kisasi. Kwa kuamini kuwa kosa halikosoi kosa, Mandel aliwasamehca wazungu. Alichagua makamu wake kuwa mzungu kama njia ya kuleta umoja na mapatano. Kinyum * na viongozi wengine ambao hukatalia uongozini, Mandela alistaafu baada ya kuongoza kwa miaka mitano pekee. Aliendelca na jitihada za kuhubiri amani na usawa kote ulimwenguni.  35. Uchimbaji wa madini kwa jumla: A. Huwa na manufaa mengi sana na hauna changamoto zozote zile. B. Unafaa kuendelezwa katika maeneo ambayo hakuna watu wanaoishi huko. C. Licha ya manufaa yake una matatizo mengi ambayo yanafaa kurekebishwa. D. Iluwasaidi watu wageni huku wale walio wenyeji wakiendelea kuteseka. 36. Ipi hapa haijatajwa kuwa athari mbaya inayotokana na uchimbaji wa madini? A. Uchafuzi wa mazingira. B. Vifo kutokana na wachimba migodi kuchoka sana. C. Matatizo ya kiafya. D. Machimbo yaliyoachwa wazi kuwa hatari kwa maisha 37. Machimbo hayo huporomoka na kumeza idadi kubwa ya wafu, mi famathali gani iliyotumiwa hapa? A. Fumbo B. Methali C. Sitiari D. lasihihi 38. Baruti zitumiwazo kupasulia miamba ya madini A. Kuwashtua watu sana na kuwaua wengi wao. B. Huathiri watoto na wenye maradhi ya msisimko wa dantu licha ya kuharibu nyumba. C. Huharibu viwambo vya masikio ya watu wote na kuwafanya kuwa viziwi. D. huchangia wachimbamigodi wengi kupoteza uhai wanapoanguka kwenye mashimo ya migodi. 39. Maoni ya mwandishi katika aya ya tisa ni gani? A.Uchimbaji wa madini usipofanywa kwa tahadhari unaweza kuitumbukiza nchi katika hali ya mateso. B. Mataifa ya kigeni yanayofadhili waasi kwa silaha huwa na nia nzuri ya kutuliza hali. C. Nchi ya kidemokrasia ya Kongo ni mfano wa nchi zilizonufaika pakubwa kutokana na madini. D:Nchi ya kidemokrasia ya Kongo ikiacha kuchimba madini itapata amani ya kudumu. 40. Kauli, "ukiona ndugu wawili wakipigana enda ukawaibic, wakipatana wapiganishe tena inaonyesha wazi kuwa: A. Watu wenye nia mbaya hufaidi wakati kuna migogoro na hutamani fujo hizo ziendelee. B. Wakati wa ghasia na vurugu anayefaidika pakubwa ni yule aliyejinyamazia na kujitia hamnazo. C. Watu wanastahili kuachwa wajiamulie mambo yao wenyewe kwa njia yoyote wanayoiona kuwa nzuri. D. Wanaopigana wanastahili kuachwa waendelee kupigana hadi watakapopata funzo kutokana na vita wao wenyewe. Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu muswali 41 mpaka 50. Mtu yeyote akiulizwa ataje mu mmoja maarufu zaidi aliyewahi kuishi Afrika, yamkini hatakosa kutaja hayati Nelson Mandela. Mandela ni mzalendo kindakindaki ambaye sifa zake alipokuwa hai zilitamba katika pembe zote za ulimwengu. Ilata baada ya kifo chake pia angali ameandikwa akilini na nyayoni mwa wengi kwa wino usioweza kulutika. Hayati Mandela alizaliwa nchini Afrika Kusini katika kitongoji cha Traskei mnamo mwaka wa elfu moja mia tisa na kumi na nane. Alitoka katika jamaa tajika ya lhembu. Kwa mujibu wa tamaduni za kwao, bila shaka angekuwa chifu wa jamii hiyo. Mandela alisomea kwenye chuo kikuu cha Hare alikohitimu kazi ya uwakili. 41. Kwa mujibu wa aya ya kwanza. Si sahihi kusema kuwa A.msimulizi ana uhakika kuwa kila mtu anamfahamu hayati Nelson Mandela. B. sifa za havati Mandela zilienea sana katika maeneo mengi ya ulimwengu. C. kumbukumbu za hayati Mandela bado zingali katika mioyo ya watu wengi. D. Hata baada ya kifo chake, watu waliendelea kumkumbuka na kumwenzi hayati Mandela, 42. Neno, aligura lina maana gani kama lilivyotuiniwa kwenye kifungu? A. Alitorokea B. Alihamia C. Alienda D. Alihama 43. Kulingana na kifungu, Mandela A. alifaa kuwa chifu baada yake kuhitimu masomo ya chuo kikuu. B. alihamia kwenye mji mkuu wa hannesburg akiwa na lengo la kutafuta elimu ya kiwango cha juu. C. alikuwa ameamua kutoroka licha ya kuwa alifahamu kuwa wazazi wake wangekasirishwa sana na uamuzi huo. D. alinuia kujihusisha na siasa tangu akiwa inidogo ndiyo maana akatorokea mji mkuu wa Johannesburg. 44. Chagua jibu ambalo ni sahihi kwa mujibu wa aya ya nne, A. Licha ya umahiri wake masomoni, ulimbwende wake na usemaji mzuri mbele ya watu vilifanya avutie sana miongoni mwa vijana. B. Viongozi Walter Sisulu na Oliver Tambo walichangia kwa kiwango kikubwakuchaguliwa kwa Mandela kama kinara wa vijana. C. Mandela aliasi mila za jamii yake kwa kukataa kuchaguliwa mchumba na wazazi wake kulingana na mila. D. Kuchaguliwa kwa Mandela kuwa kinara wa chama cha A.N.C. kulichangiwa pakubwa na kiwango chake cha masomo pekee. 45. Kulingana na aya ya tano. A. Tatizo la ubaguzi wa rangi lilikuwa linaendelea kulifia katika nchi ya Afrika Kusini. B. Mandela alichukizwa sana kwa kushuhudia jinsi wananchi wa asili ya kiafrika walivyokuwa wakidhulumiwa na wazungu. C. Mandela aliamua kuwa angepigania wazungu wenzake kwa njia zozote zile ambazo angeweza. D. Ni waafrika wachache sana walioruhusiwa kupata huduma za matibabu kwenye hospitali za wazungu. 46. Migomo na maandamano A. yaliungwa mkono na mashujaa ingawa shingo upande. B. ilikusudiwa kufundisha na kuhamasisha watu kuhusu umuhimu wa ukabila. C. yalikuwa na dhamira ya kupigania haki na usawa kwa watu wa asili na matabaka yote. D. haikufanikiwa kwa njia yoyote ile kuafikia malengo yake makuu ya kupigania haki. 47.Chagua sifa za mhusika mkuu katika kifungu hiki. A. Mwoga, shujaa, msaliti B. Dhalimu, mtetezi, mpelelezi C. Kigeugeu, mwenye tamaa, katili. D. Mkakamavu, mwenye msimamo thabiti, mzalendo. 48. Neno "hakughairi lina maana gani kulingana na kifungu. A. Hakuendelea B. Hakusahau C. Hakulalamika D. Hakubadili nia 49. Chagua jibu sahihi kulingana na kifungu. A. Mandela alikamilisha kifungo kizima alichokuwa amehukumiwa. B. Mandela alishikilia msimamo wa kutetea raia wanyonge licha ya kupitia madhila mengi. C. Kuachiliwa kwa Mandela kulichangiwa na kulegeza kwake msimamo na kusalimu amri. D. Nyaraka alizokuwa akiziandikia gerezani zilizuiliwa wala hazikuweza kuwafikia wananchi nje. 50. Chagua methali inayoweza kutoa muhtasari wa aya ya mwisho. A. Ukubwa ni jaa. B. Akikalia kigoda mtii. C. Kisasi si maungwana. D. Mumunye huharibikia ukubwani.
Mandela alitoroka nyumbani kwa sababu gani?
{ "text": [ "Aliletewa msichana wa kuoa" ] }
0309_swa
Hata hivyo, Mandela alipokuwa na umri wa miaka ishirini aligura kwao. Barobaro huyo alihamia kwenye mji mkuu wa Johannesburg. Amini usiamini, alitoroka kulazimishwa kuoa msichana ambaye wazazi wake walikuwa wamemchagulia bila kumhusisha. Maadamu ilikuwa mwiko kupinga uamuzi wa wazazi wake, aidha hapangekuwa na njia nyingine ya kujitolea, alikata shauri kutoroka. Ingawa wazazi wangepandwa na mori, huo ulikuwa uamuz ambao Mandela asingebadilisha liwe liwalo, lije lijalo.  Kule jijini alikutana na Walter Sisulu na Oliver Tambo. Wawili hao, Sisulu na Tambo walikuwa wakikiongoza chama cha kisiasa kwa jina A.N.C. Mandela alikuwa ni mahiri wa masomo. Aidha alikuwa kijana mlimbwende na mnenaji mzuri sana hadharani. Mintaarafu ya hayo Mandela alikuwa ni kivutio kikubwa sana hasa kwa vijana Alichaguliwa kuwa kiongozi wa vijana wa chama hicho.  Wakati huo nchini Afrika Kusini kulikuwa na tatizo kubwa sana. Tatizo lenyewe lilikuwa ni lile la ubaguzi wa rangi Waafrika weusi walikuwa wakidhulumiwa na hawakuruhusiwa kutangamana na wazungu popote pale. Kulikuwa na barabara za wazungu na hata mitaa ya wazungu pekee na hakuna mwafrika aliyeruhusiwa kupatikana kwenye maenco hayo la sivyo angeona cha mtema kuni. Hospitali bora, shule nzuri pia zilikuwa ni za wazingu, Mandela alichukizwa sana na udhalimu huo uliokuwa ukiendelezwa katika nchi yake licha ya kuwa waafrika wa ngozi nyeus ndio waliokuwa wengi. Mandela aliamua kuwa ama kwa kuti au mauti, angepigania haki na usawa kwa watu wote walioishi katika Afrika Kusini.  Pamoja na mashujaa wenzake, waliongoza migomo mikali na maandamano ya kutetea haki na usa kwa wati wote. Walishikilia msimamo kuwa, kabila na rangi ni za utambuzi wala si za ubaguzi. Kutokana na ush: wishi wako mkubwa Mandela aliungwa mkono na wananchi wengi na hata viongozi wengine  Mandela alifahamu fika masaibu ambayo yangemkuba kwa kuchokoza serikali lakini hili halikumtia wasiwasi. Alikuwa tayari hata kukabiliana na kifo mradi haki ipatikane. Msemo wa wahenga kuwa kwa shujaa huenda kilio na kwa mwoga huenda kicheko haukumbabaisha. Alisema ni heri kilio na si kilio tu bali kilio cha haki.. Mandela alitiwa mbaroni na kufungwa gerezani.  Wakati akiwa gerezani serikali ilimrai aachane na harakati zake za kuwatetea wanyonge. Aliahidiwa zawadi z thamani iwapo angetupilia mbali harakati hizo. "Liwe liwalo, siwezi katu, kuwasaliti waafrika wenzangu. Niko radhi kufa nikitetea usawa na ukombozi wa Waafrika," Mandela aliwahakikishia kuwa alikuwa hatishiki wala habanduki.  Kutokana na ukaidi wake huo, mandela alihukumiwa kifungo cha maisha katika kisiwa cha Roben. Kisiwa ch: Roben kiko mbali sana, katika bahari ya Atlantiki. Licha ya kufungwa na kufanyizwa kazi za sulubu na mateso yote iliyopitia humo gerezani, Mandela hakughairi.  Akiwa angali gerezani, aliendeleza harakati zake. Alikuwa akiandika nyaraka ambazo angezituma zikachapishw magazetini. Kupitia kwa barua hizo, aliwapa motisha waafrika wasife moyo wala kutamauka katika kupigani uhuru na usawa wa kijamii. Mandela alivunja rekodi kwa kuwa mfungwa wa kisiasa aliyehudumu kwa muda mrefu sana. Hatimaye, aliachiliwa huru mnamo mwaka wa elfu moja mia tisa tisini. Penye nia pana njia. Mandela pamoj na wenzake walikuwa wamefanikiwa kuleta usawa katika nchi yao.  Mandela alichaguliwa kuwa rais wa kwanza mwafrika wa nchi ya Afrika Kusini. Licha ya madhila na mateso yot aliyokuwa amepitia mikononi mwa wazungu, hakuweka kisasi. Kwa kuamini kuwa kosa halikosoi kosa, Mandel aliwasamehca wazungu. Alichagua makamu wake kuwa mzungu kama njia ya kuleta umoja na mapatano. Kinyum * na viongozi wengine ambao hukatalia uongozini, Mandela alistaafu baada ya kuongoza kwa miaka mitano pekee. Aliendelca na jitihada za kuhubiri amani na usawa kote ulimwenguni.  35. Uchimbaji wa madini kwa jumla: A. Huwa na manufaa mengi sana na hauna changamoto zozote zile. B. Unafaa kuendelezwa katika maeneo ambayo hakuna watu wanaoishi huko. C. Licha ya manufaa yake una matatizo mengi ambayo yanafaa kurekebishwa. D. Iluwasaidi watu wageni huku wale walio wenyeji wakiendelea kuteseka. 36. Ipi hapa haijatajwa kuwa athari mbaya inayotokana na uchimbaji wa madini? A. Uchafuzi wa mazingira. B. Vifo kutokana na wachimba migodi kuchoka sana. C. Matatizo ya kiafya. D. Machimbo yaliyoachwa wazi kuwa hatari kwa maisha 37. Machimbo hayo huporomoka na kumeza idadi kubwa ya wafu, mi famathali gani iliyotumiwa hapa? A. Fumbo B. Methali C. Sitiari D. lasihihi 38. Baruti zitumiwazo kupasulia miamba ya madini A. Kuwashtua watu sana na kuwaua wengi wao. B. Huathiri watoto na wenye maradhi ya msisimko wa dantu licha ya kuharibu nyumba. C. Huharibu viwambo vya masikio ya watu wote na kuwafanya kuwa viziwi. D. huchangia wachimbamigodi wengi kupoteza uhai wanapoanguka kwenye mashimo ya migodi. 39. Maoni ya mwandishi katika aya ya tisa ni gani? A.Uchimbaji wa madini usipofanywa kwa tahadhari unaweza kuitumbukiza nchi katika hali ya mateso. B. Mataifa ya kigeni yanayofadhili waasi kwa silaha huwa na nia nzuri ya kutuliza hali. C. Nchi ya kidemokrasia ya Kongo ni mfano wa nchi zilizonufaika pakubwa kutokana na madini. D:Nchi ya kidemokrasia ya Kongo ikiacha kuchimba madini itapata amani ya kudumu. 40. Kauli, "ukiona ndugu wawili wakipigana enda ukawaibic, wakipatana wapiganishe tena inaonyesha wazi kuwa: A. Watu wenye nia mbaya hufaidi wakati kuna migogoro na hutamani fujo hizo ziendelee. B. Wakati wa ghasia na vurugu anayefaidika pakubwa ni yule aliyejinyamazia na kujitia hamnazo. C. Watu wanastahili kuachwa wajiamulie mambo yao wenyewe kwa njia yoyote wanayoiona kuwa nzuri. D. Wanaopigana wanastahili kuachwa waendelee kupigana hadi watakapopata funzo kutokana na vita wao wenyewe. Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu muswali 41 mpaka 50. Mtu yeyote akiulizwa ataje mu mmoja maarufu zaidi aliyewahi kuishi Afrika, yamkini hatakosa kutaja hayati Nelson Mandela. Mandela ni mzalendo kindakindaki ambaye sifa zake alipokuwa hai zilitamba katika pembe zote za ulimwengu. Ilata baada ya kifo chake pia angali ameandikwa akilini na nyayoni mwa wengi kwa wino usioweza kulutika. Hayati Mandela alizaliwa nchini Afrika Kusini katika kitongoji cha Traskei mnamo mwaka wa elfu moja mia tisa na kumi na nane. Alitoka katika jamaa tajika ya lhembu. Kwa mujibu wa tamaduni za kwao, bila shaka angekuwa chifu wa jamii hiyo. Mandela alisomea kwenye chuo kikuu cha Hare alikohitimu kazi ya uwakili. 41. Kwa mujibu wa aya ya kwanza. Si sahihi kusema kuwa A.msimulizi ana uhakika kuwa kila mtu anamfahamu hayati Nelson Mandela. B. sifa za havati Mandela zilienea sana katika maeneo mengi ya ulimwengu. C. kumbukumbu za hayati Mandela bado zingali katika mioyo ya watu wengi. D. Hata baada ya kifo chake, watu waliendelea kumkumbuka na kumwenzi hayati Mandela, 42. Neno, aligura lina maana gani kama lilivyotuiniwa kwenye kifungu? A. Alitorokea B. Alihamia C. Alienda D. Alihama 43. Kulingana na kifungu, Mandela A. alifaa kuwa chifu baada yake kuhitimu masomo ya chuo kikuu. B. alihamia kwenye mji mkuu wa hannesburg akiwa na lengo la kutafuta elimu ya kiwango cha juu. C. alikuwa ameamua kutoroka licha ya kuwa alifahamu kuwa wazazi wake wangekasirishwa sana na uamuzi huo. D. alinuia kujihusisha na siasa tangu akiwa inidogo ndiyo maana akatorokea mji mkuu wa Johannesburg. 44. Chagua jibu ambalo ni sahihi kwa mujibu wa aya ya nne, A. Licha ya umahiri wake masomoni, ulimbwende wake na usemaji mzuri mbele ya watu vilifanya avutie sana miongoni mwa vijana. B. Viongozi Walter Sisulu na Oliver Tambo walichangia kwa kiwango kikubwakuchaguliwa kwa Mandela kama kinara wa vijana. C. Mandela aliasi mila za jamii yake kwa kukataa kuchaguliwa mchumba na wazazi wake kulingana na mila. D. Kuchaguliwa kwa Mandela kuwa kinara wa chama cha A.N.C. kulichangiwa pakubwa na kiwango chake cha masomo pekee. 45. Kulingana na aya ya tano. A. Tatizo la ubaguzi wa rangi lilikuwa linaendelea kulifia katika nchi ya Afrika Kusini. B. Mandela alichukizwa sana kwa kushuhudia jinsi wananchi wa asili ya kiafrika walivyokuwa wakidhulumiwa na wazungu. C. Mandela aliamua kuwa angepigania wazungu wenzake kwa njia zozote zile ambazo angeweza. D. Ni waafrika wachache sana walioruhusiwa kupata huduma za matibabu kwenye hospitali za wazungu. 46. Migomo na maandamano A. yaliungwa mkono na mashujaa ingawa shingo upande. B. ilikusudiwa kufundisha na kuhamasisha watu kuhusu umuhimu wa ukabila. C. yalikuwa na dhamira ya kupigania haki na usawa kwa watu wa asili na matabaka yote. D. haikufanikiwa kwa njia yoyote ile kuafikia malengo yake makuu ya kupigania haki. 47.Chagua sifa za mhusika mkuu katika kifungu hiki. A. Mwoga, shujaa, msaliti B. Dhalimu, mtetezi, mpelelezi C. Kigeugeu, mwenye tamaa, katili. D. Mkakamavu, mwenye msimamo thabiti, mzalendo. 48. Neno "hakughairi lina maana gani kulingana na kifungu. A. Hakuendelea B. Hakusahau C. Hakulalamika D. Hakubadili nia 49. Chagua jibu sahihi kulingana na kifungu. A. Mandela alikamilisha kifungo kizima alichokuwa amehukumiwa. B. Mandela alishikilia msimamo wa kutetea raia wanyonge licha ya kupitia madhila mengi. C. Kuachiliwa kwa Mandela kulichangiwa na kulegeza kwake msimamo na kusalimu amri. D. Nyaraka alizokuwa akiziandikia gerezani zilizuiliwa wala hazikuweza kuwafikia wananchi nje. 50. Chagua methali inayoweza kutoa muhtasari wa aya ya mwisho. A. Ukubwa ni jaa. B. Akikalia kigoda mtii. C. Kisasi si maungwana. D. Mumunye huharibikia ukubwani.
Sisulu na Tambo walikuwa viongozi wa chama kipi?
{ "text": [ "ANC" ] }
0309_swa
Hata hivyo, Mandela alipokuwa na umri wa miaka ishirini aligura kwao. Barobaro huyo alihamia kwenye mji mkuu wa Johannesburg. Amini usiamini, alitoroka kulazimishwa kuoa msichana ambaye wazazi wake walikuwa wamemchagulia bila kumhusisha. Maadamu ilikuwa mwiko kupinga uamuzi wa wazazi wake, aidha hapangekuwa na njia nyingine ya kujitolea, alikata shauri kutoroka. Ingawa wazazi wangepandwa na mori, huo ulikuwa uamuz ambao Mandela asingebadilisha liwe liwalo, lije lijalo.  Kule jijini alikutana na Walter Sisulu na Oliver Tambo. Wawili hao, Sisulu na Tambo walikuwa wakikiongoza chama cha kisiasa kwa jina A.N.C. Mandela alikuwa ni mahiri wa masomo. Aidha alikuwa kijana mlimbwende na mnenaji mzuri sana hadharani. Mintaarafu ya hayo Mandela alikuwa ni kivutio kikubwa sana hasa kwa vijana Alichaguliwa kuwa kiongozi wa vijana wa chama hicho.  Wakati huo nchini Afrika Kusini kulikuwa na tatizo kubwa sana. Tatizo lenyewe lilikuwa ni lile la ubaguzi wa rangi Waafrika weusi walikuwa wakidhulumiwa na hawakuruhusiwa kutangamana na wazungu popote pale. Kulikuwa na barabara za wazungu na hata mitaa ya wazungu pekee na hakuna mwafrika aliyeruhusiwa kupatikana kwenye maenco hayo la sivyo angeona cha mtema kuni. Hospitali bora, shule nzuri pia zilikuwa ni za wazingu, Mandela alichukizwa sana na udhalimu huo uliokuwa ukiendelezwa katika nchi yake licha ya kuwa waafrika wa ngozi nyeus ndio waliokuwa wengi. Mandela aliamua kuwa ama kwa kuti au mauti, angepigania haki na usawa kwa watu wote walioishi katika Afrika Kusini.  Pamoja na mashujaa wenzake, waliongoza migomo mikali na maandamano ya kutetea haki na usa kwa wati wote. Walishikilia msimamo kuwa, kabila na rangi ni za utambuzi wala si za ubaguzi. Kutokana na ush: wishi wako mkubwa Mandela aliungwa mkono na wananchi wengi na hata viongozi wengine  Mandela alifahamu fika masaibu ambayo yangemkuba kwa kuchokoza serikali lakini hili halikumtia wasiwasi. Alikuwa tayari hata kukabiliana na kifo mradi haki ipatikane. Msemo wa wahenga kuwa kwa shujaa huenda kilio na kwa mwoga huenda kicheko haukumbabaisha. Alisema ni heri kilio na si kilio tu bali kilio cha haki.. Mandela alitiwa mbaroni na kufungwa gerezani.  Wakati akiwa gerezani serikali ilimrai aachane na harakati zake za kuwatetea wanyonge. Aliahidiwa zawadi z thamani iwapo angetupilia mbali harakati hizo. "Liwe liwalo, siwezi katu, kuwasaliti waafrika wenzangu. Niko radhi kufa nikitetea usawa na ukombozi wa Waafrika," Mandela aliwahakikishia kuwa alikuwa hatishiki wala habanduki.  Kutokana na ukaidi wake huo, mandela alihukumiwa kifungo cha maisha katika kisiwa cha Roben. Kisiwa ch: Roben kiko mbali sana, katika bahari ya Atlantiki. Licha ya kufungwa na kufanyizwa kazi za sulubu na mateso yote iliyopitia humo gerezani, Mandela hakughairi.  Akiwa angali gerezani, aliendeleza harakati zake. Alikuwa akiandika nyaraka ambazo angezituma zikachapishw magazetini. Kupitia kwa barua hizo, aliwapa motisha waafrika wasife moyo wala kutamauka katika kupigani uhuru na usawa wa kijamii. Mandela alivunja rekodi kwa kuwa mfungwa wa kisiasa aliyehudumu kwa muda mrefu sana. Hatimaye, aliachiliwa huru mnamo mwaka wa elfu moja mia tisa tisini. Penye nia pana njia. Mandela pamoj na wenzake walikuwa wamefanikiwa kuleta usawa katika nchi yao.  Mandela alichaguliwa kuwa rais wa kwanza mwafrika wa nchi ya Afrika Kusini. Licha ya madhila na mateso yot aliyokuwa amepitia mikononi mwa wazungu, hakuweka kisasi. Kwa kuamini kuwa kosa halikosoi kosa, Mandel aliwasamehca wazungu. Alichagua makamu wake kuwa mzungu kama njia ya kuleta umoja na mapatano. Kinyum * na viongozi wengine ambao hukatalia uongozini, Mandela alistaafu baada ya kuongoza kwa miaka mitano pekee. Aliendelca na jitihada za kuhubiri amani na usawa kote ulimwenguni.  35. Uchimbaji wa madini kwa jumla: A. Huwa na manufaa mengi sana na hauna changamoto zozote zile. B. Unafaa kuendelezwa katika maeneo ambayo hakuna watu wanaoishi huko. C. Licha ya manufaa yake una matatizo mengi ambayo yanafaa kurekebishwa. D. Iluwasaidi watu wageni huku wale walio wenyeji wakiendelea kuteseka. 36. Ipi hapa haijatajwa kuwa athari mbaya inayotokana na uchimbaji wa madini? A. Uchafuzi wa mazingira. B. Vifo kutokana na wachimba migodi kuchoka sana. C. Matatizo ya kiafya. D. Machimbo yaliyoachwa wazi kuwa hatari kwa maisha 37. Machimbo hayo huporomoka na kumeza idadi kubwa ya wafu, mi famathali gani iliyotumiwa hapa? A. Fumbo B. Methali C. Sitiari D. lasihihi 38. Baruti zitumiwazo kupasulia miamba ya madini A. Kuwashtua watu sana na kuwaua wengi wao. B. Huathiri watoto na wenye maradhi ya msisimko wa dantu licha ya kuharibu nyumba. C. Huharibu viwambo vya masikio ya watu wote na kuwafanya kuwa viziwi. D. huchangia wachimbamigodi wengi kupoteza uhai wanapoanguka kwenye mashimo ya migodi. 39. Maoni ya mwandishi katika aya ya tisa ni gani? A.Uchimbaji wa madini usipofanywa kwa tahadhari unaweza kuitumbukiza nchi katika hali ya mateso. B. Mataifa ya kigeni yanayofadhili waasi kwa silaha huwa na nia nzuri ya kutuliza hali. C. Nchi ya kidemokrasia ya Kongo ni mfano wa nchi zilizonufaika pakubwa kutokana na madini. D:Nchi ya kidemokrasia ya Kongo ikiacha kuchimba madini itapata amani ya kudumu. 40. Kauli, "ukiona ndugu wawili wakipigana enda ukawaibic, wakipatana wapiganishe tena inaonyesha wazi kuwa: A. Watu wenye nia mbaya hufaidi wakati kuna migogoro na hutamani fujo hizo ziendelee. B. Wakati wa ghasia na vurugu anayefaidika pakubwa ni yule aliyejinyamazia na kujitia hamnazo. C. Watu wanastahili kuachwa wajiamulie mambo yao wenyewe kwa njia yoyote wanayoiona kuwa nzuri. D. Wanaopigana wanastahili kuachwa waendelee kupigana hadi watakapopata funzo kutokana na vita wao wenyewe. Soma taarifa ifuatayo kisha ujibu muswali 41 mpaka 50. Mtu yeyote akiulizwa ataje mu mmoja maarufu zaidi aliyewahi kuishi Afrika, yamkini hatakosa kutaja hayati Nelson Mandela. Mandela ni mzalendo kindakindaki ambaye sifa zake alipokuwa hai zilitamba katika pembe zote za ulimwengu. Ilata baada ya kifo chake pia angali ameandikwa akilini na nyayoni mwa wengi kwa wino usioweza kulutika. Hayati Mandela alizaliwa nchini Afrika Kusini katika kitongoji cha Traskei mnamo mwaka wa elfu moja mia tisa na kumi na nane. Alitoka katika jamaa tajika ya lhembu. Kwa mujibu wa tamaduni za kwao, bila shaka angekuwa chifu wa jamii hiyo. Mandela alisomea kwenye chuo kikuu cha Hare alikohitimu kazi ya uwakili. 41. Kwa mujibu wa aya ya kwanza. Si sahihi kusema kuwa A.msimulizi ana uhakika kuwa kila mtu anamfahamu hayati Nelson Mandela. B. sifa za havati Mandela zilienea sana katika maeneo mengi ya ulimwengu. C. kumbukumbu za hayati Mandela bado zingali katika mioyo ya watu wengi. D. Hata baada ya kifo chake, watu waliendelea kumkumbuka na kumwenzi hayati Mandela, 42. Neno, aligura lina maana gani kama lilivyotuiniwa kwenye kifungu? A. Alitorokea B. Alihamia C. Alienda D. Alihama 43. Kulingana na kifungu, Mandela A. alifaa kuwa chifu baada yake kuhitimu masomo ya chuo kikuu. B. alihamia kwenye mji mkuu wa hannesburg akiwa na lengo la kutafuta elimu ya kiwango cha juu. C. alikuwa ameamua kutoroka licha ya kuwa alifahamu kuwa wazazi wake wangekasirishwa sana na uamuzi huo. D. alinuia kujihusisha na siasa tangu akiwa inidogo ndiyo maana akatorokea mji mkuu wa Johannesburg. 44. Chagua jibu ambalo ni sahihi kwa mujibu wa aya ya nne, A. Licha ya umahiri wake masomoni, ulimbwende wake na usemaji mzuri mbele ya watu vilifanya avutie sana miongoni mwa vijana. B. Viongozi Walter Sisulu na Oliver Tambo walichangia kwa kiwango kikubwakuchaguliwa kwa Mandela kama kinara wa vijana. C. Mandela aliasi mila za jamii yake kwa kukataa kuchaguliwa mchumba na wazazi wake kulingana na mila. D. Kuchaguliwa kwa Mandela kuwa kinara wa chama cha A.N.C. kulichangiwa pakubwa na kiwango chake cha masomo pekee. 45. Kulingana na aya ya tano. A. Tatizo la ubaguzi wa rangi lilikuwa linaendelea kulifia katika nchi ya Afrika Kusini. B. Mandela alichukizwa sana kwa kushuhudia jinsi wananchi wa asili ya kiafrika walivyokuwa wakidhulumiwa na wazungu. C. Mandela aliamua kuwa angepigania wazungu wenzake kwa njia zozote zile ambazo angeweza. D. Ni waafrika wachache sana walioruhusiwa kupata huduma za matibabu kwenye hospitali za wazungu. 46. Migomo na maandamano A. yaliungwa mkono na mashujaa ingawa shingo upande. B. ilikusudiwa kufundisha na kuhamasisha watu kuhusu umuhimu wa ukabila. C. yalikuwa na dhamira ya kupigania haki na usawa kwa watu wa asili na matabaka yote. D. haikufanikiwa kwa njia yoyote ile kuafikia malengo yake makuu ya kupigania haki. 47.Chagua sifa za mhusika mkuu katika kifungu hiki. A. Mwoga, shujaa, msaliti B. Dhalimu, mtetezi, mpelelezi C. Kigeugeu, mwenye tamaa, katili. D. Mkakamavu, mwenye msimamo thabiti, mzalendo. 48. Neno "hakughairi lina maana gani kulingana na kifungu. A. Hakuendelea B. Hakusahau C. Hakulalamika D. Hakubadili nia 49. Chagua jibu sahihi kulingana na kifungu. A. Mandela alikamilisha kifungo kizima alichokuwa amehukumiwa. B. Mandela alishikilia msimamo wa kutetea raia wanyonge licha ya kupitia madhila mengi. C. Kuachiliwa kwa Mandela kulichangiwa na kulegeza kwake msimamo na kusalimu amri. D. Nyaraka alizokuwa akiziandikia gerezani zilizuiliwa wala hazikuweza kuwafikia wananchi nje. 50. Chagua methali inayoweza kutoa muhtasari wa aya ya mwisho. A. Ukubwa ni jaa. B. Akikalia kigoda mtii. C. Kisasi si maungwana. D. Mumunye huharibikia ukubwani.
Mbona Mandela alichaguliwa kuwa kiongozi wa vijana?
{ "text": [ "Alikuwa na mvuto mkubwa" ] }
0310_swa
28. Giza lilitoweka kukaanza kuwa ……. na kukapendeza. A. mweupe B. peupe C. kweupe D. weupe 29. Kutokana na jina kilimo tutapata kitenzi. A. Ukulima B. Lima C. Mlinia D. Zaraa 30. Ni sentensi ipi iliyotumia kiunganishi sahihi? A. Mradi hakuwa na pesa hakulipa deni. B. Lau si kwa msaada wako ningeshindwa i kazi hii. C. Minghairi hili gari ni dhaifu haliwezi kubeba shehena hii. D. Fauka ya kumwita alikataa kuitika. Soma kifungu kifuatacho kisha zjibu maswali 31 mpaka 40. Bara la Afrika limebarikiwa kuwa na maliasili si baba. Kati ya maliasili hayo ni pamoja na misitu, miti, maziwa hata inilo. Vilevile bara la Afrika lina madini chungu nzima. Wataalamu wa madini waliwahi kunukuliwa wakisei kuwa ni karibu Afrika vote. Baadhi ya madini haya ni pamoja na dhahabu, chokaa, chuma na hata mafuta. Mah ambapo madini huchimbwa huitwa migodi. Mfanyakazi anayechimba madini huitwa mchimbamigodi. Madini haya liuwa na faida chungu nzima katika bara hili la Afrika. Madini hava huletea bara hili fedha za kige vanapouzwa Fedha hizi hutumiwa katika kujenga na kuboresha miundomsingi katika bara bili. Yakini, yakini mataifa lajiri zaidi Afrika mathalan Afrika Kusini Nigeria, Misri na mengineo huwa na hazina kubwa ya madini. Kando na hayo, madini hutoa nafasi nyingi sana za ajira kwa waafrika wengi sana. Wapo wataalamu wa kuchungu mahali madini hupatikana. Wengine wengi nao hupata riziki yao kwa kuyachimba madini, wengine hujikimu kupit usafirishaji wa madini hayo, vilevile kuna mamilioni ya wafanyabiashara ambao wametajirika kupitia kwa msen maarufu. "Tajirika kama muuza madini." Isitoshe maeneo kunakochimbwa madini, huduma huimarishwa. Kwa mfano barabara nzuri zitatengeneza umeme utasambazwa kwenye maeneo kunakopatikana madini na kadhalika. Wakazi wa maeneo hayo hufaidi pakubwa kutokana na madini hayo. liata hivyo, chambilecho wahenga, hakuna masika yasiyokuwa na mbu. Licha va faida kochokocho za uchimbaji 1 madini, madini hayo yana mgao na changamole zake pis. Mwanzo kabisa, mchimbaji wa madini huchangia kv kiwango kikubwa katika uchafuzi wa mazingira. Migodi huifanya ardhi kuwa chapwa na kutovutia kam Ilalikadhalika, upasuaji wa miamba ya madini ueneza vumbi angani. Mavumbi haya hudhuru afya za watu Viumbe wengine. Uchunguzi uliofanywa mwala wa elfu inbili na kumi na saba na shirika la afya dunia ulidhihirisha kuwa asilimia kubwa ya watu wenye shida za macho na kifua ni wafanyao kazi migodini au wanaok: karibu na migodi hiyo. Machimbo mengi baada ya madini kupatikana huachwa yakiwa wazi. Wakati wa msimu wa masika maji hu katika majishimo hayo. Humo huwa ni msingira bora ya mbu na wadudu wengine hatari. Kuzaana kwa mbu ha lucreza ugonjwa wa malaria. Isitoshe, Visa vingi vinazidi kuripotiwa na watu, hasa waioto, wanaotumbukia kuyama katika vidimbwi vyama himbo ya migodi Ilaia majambazi wengine huwaua watu na kuwatupa kuko hul kwenye machimbo hayo. Hauka ya hayo, wachimba migodi wengine hutumia baruti kupasulia miamba. Kando na kutoa sauti za kushtua wa sana hasa watoto na wenye tasisimko wa damu, baruti hizi hutikisa majumba yakajiporomokea. Madaktari husen kuwa sauti za baruti hizo zinaweza kumsababishia mtu uziwi asiweze kusikia tena. Hii ni kutokana na kuharibiv kwa viwambo vya masikio. Zaidi ya hayo, wachimbamigodi wengi hupoteza uhai wanapoanguka kwenye mashimo hayo ya migodi. Wakati mwingine machimbo hayo huporomoka na kumeza idadi kubwa ya watu. Machimbo mengine huwa zaidi ya kilomita ishirini kwenda chini. Hii ina maana kuwa kunao wachimba migodi ambao hukosa hewa safi ya oksijeni na kuaga dunia. Hakika mahali huko huwa ni hatari sana. Changamoto kubwa ambayo hukumba nchi nyingi zilizo na utajiri mkubwa wa madini ni vita. Chukulia mfano wa nchi kama Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Licha ya utajiri wake mkubwa wa madini taifa hili limeishi kukumbwa na vita, ghasia, vurugu na machafuko ya mara kwa mara. Wakimbizi ni wengi sana katika nchi hiyo. Vita hivyo huenezwa na wakiritimba na mabepari ambao nia yao ni kupiganisha raia ili wao wenyewe wafaidike kutokana na utajiri huo. Badala ya hali ya: ukiona ndugu wawili wakipigana chukua jembe ukalime. wakielewana chukua kapu ukavune, hali huwa ukiona ndugu wawili wakipigana, enda ukawaibie, wakipatana wapiganishe tena. I lata yapo mataifa mengine ya nchi za kigeni ambazo hufadhili makundi ya waasi kwa silaha na fedha ili serikali isiwe imara. Baadaye wanakuja kama wapatanishi huku wakipora madini va nchi hiyo. Hakika madini badala ya kuwa baraka yanaweza kuwa laana wapo wasipotahadhari. Kando na hayo, tatizo jingine kuu ni wananchi kutegemea uchimbaji wa madini kupindukia na kutelekeza sekia nyingine za kiuchumi kama kilimo. Mwisho wa hayo huwa ni taifa licha ya kuwa na madini kukumbwa na baa la njaa. Isitoshe, iwapo madini fulani yataisha, watu wote watakula mwata ilhali hawaijui kazi nyingine yoye isipokuwa ya madini. Ama kwa hakika, madini yanazo faida na changamoto zake. Lazima tuwe waangalifu tusije tukawa na madini ambayo yatatuletea shida badala ya baraka. 31. Chagua kauli sahihi kwa mujibu wa aya y. kwanza. A: Bara la Afrika limebarikiwa kuwa na maliasili haba. B. Bara la Afrika lina madini yote yanayoweza kupatikana ulimwenguni. C. Migodi ni mahali ambapo madini huchimbwa. D. Wataalamu wa madini waliwahi kunukuliwa wakisema kuwa Afrika iko karibu na migodi. 32. Chagua jibu ambalo si sahihi kulingana na aya ya pili. A. Madini huwa na faida chungu nzima katika bara la Afrika pekee. B. Madini yanapouzwa nje ya nchi huiletea nchi fedha za kigeni. C.Fedha zinazotokana na uuzaji wa madini hutumiwa katika koboresha miundo msingi. D. Mataifa tajiri zaidi Afrika huwa na madini mengi sana. 33Ni tamathali ipi ya lugha iliyotumiwa hapa? "Tajirika kama muuza madini.” A. Kinaya B: Tashbihi C. Chuku D. Majazi 34. Ava ya nne imedhihirisha kuwa; A. Maeneo kunakochimbwa madin buwa kuna kuboreshwa kwa huduma za maoneo hayo. B. Wakazi wa maeneo yanakopatikana madini hawafaidiki pakubwa kutokana na madini hayo. C. Madini hutoa nafasi nyingi za ajira kwa wakazi wa maeneo ambayo madini hayo hupatikana. D. Licha ya faida nyingi, madini huwa na madhara kwa watu wa maeneo yanakopatikana.
Kando na maliasili, bara la Afrika lina nini
{ "text": [ "Madini" ] }
0310_swa
28. Giza lilitoweka kukaanza kuwa ……. na kukapendeza. A. mweupe B. peupe C. kweupe D. weupe 29. Kutokana na jina kilimo tutapata kitenzi. A. Ukulima B. Lima C. Mlinia D. Zaraa 30. Ni sentensi ipi iliyotumia kiunganishi sahihi? A. Mradi hakuwa na pesa hakulipa deni. B. Lau si kwa msaada wako ningeshindwa i kazi hii. C. Minghairi hili gari ni dhaifu haliwezi kubeba shehena hii. D. Fauka ya kumwita alikataa kuitika. Soma kifungu kifuatacho kisha zjibu maswali 31 mpaka 40. Bara la Afrika limebarikiwa kuwa na maliasili si baba. Kati ya maliasili hayo ni pamoja na misitu, miti, maziwa hata inilo. Vilevile bara la Afrika lina madini chungu nzima. Wataalamu wa madini waliwahi kunukuliwa wakisei kuwa ni karibu Afrika vote. Baadhi ya madini haya ni pamoja na dhahabu, chokaa, chuma na hata mafuta. Mah ambapo madini huchimbwa huitwa migodi. Mfanyakazi anayechimba madini huitwa mchimbamigodi. Madini haya liuwa na faida chungu nzima katika bara hili la Afrika. Madini hava huletea bara hili fedha za kige vanapouzwa Fedha hizi hutumiwa katika kujenga na kuboresha miundomsingi katika bara bili. Yakini, yakini mataifa lajiri zaidi Afrika mathalan Afrika Kusini Nigeria, Misri na mengineo huwa na hazina kubwa ya madini. Kando na hayo, madini hutoa nafasi nyingi sana za ajira kwa waafrika wengi sana. Wapo wataalamu wa kuchungu mahali madini hupatikana. Wengine wengi nao hupata riziki yao kwa kuyachimba madini, wengine hujikimu kupit usafirishaji wa madini hayo, vilevile kuna mamilioni ya wafanyabiashara ambao wametajirika kupitia kwa msen maarufu. "Tajirika kama muuza madini." Isitoshe maeneo kunakochimbwa madini, huduma huimarishwa. Kwa mfano barabara nzuri zitatengeneza umeme utasambazwa kwenye maeneo kunakopatikana madini na kadhalika. Wakazi wa maeneo hayo hufaidi pakubwa kutokana na madini hayo. liata hivyo, chambilecho wahenga, hakuna masika yasiyokuwa na mbu. Licha va faida kochokocho za uchimbaji 1 madini, madini hayo yana mgao na changamole zake pis. Mwanzo kabisa, mchimbaji wa madini huchangia kv kiwango kikubwa katika uchafuzi wa mazingira. Migodi huifanya ardhi kuwa chapwa na kutovutia kam Ilalikadhalika, upasuaji wa miamba ya madini ueneza vumbi angani. Mavumbi haya hudhuru afya za watu Viumbe wengine. Uchunguzi uliofanywa mwala wa elfu inbili na kumi na saba na shirika la afya dunia ulidhihirisha kuwa asilimia kubwa ya watu wenye shida za macho na kifua ni wafanyao kazi migodini au wanaok: karibu na migodi hiyo. Machimbo mengi baada ya madini kupatikana huachwa yakiwa wazi. Wakati wa msimu wa masika maji hu katika majishimo hayo. Humo huwa ni msingira bora ya mbu na wadudu wengine hatari. Kuzaana kwa mbu ha lucreza ugonjwa wa malaria. Isitoshe, Visa vingi vinazidi kuripotiwa na watu, hasa waioto, wanaotumbukia kuyama katika vidimbwi vyama himbo ya migodi Ilaia majambazi wengine huwaua watu na kuwatupa kuko hul kwenye machimbo hayo. Hauka ya hayo, wachimba migodi wengine hutumia baruti kupasulia miamba. Kando na kutoa sauti za kushtua wa sana hasa watoto na wenye tasisimko wa damu, baruti hizi hutikisa majumba yakajiporomokea. Madaktari husen kuwa sauti za baruti hizo zinaweza kumsababishia mtu uziwi asiweze kusikia tena. Hii ni kutokana na kuharibiv kwa viwambo vya masikio. Zaidi ya hayo, wachimbamigodi wengi hupoteza uhai wanapoanguka kwenye mashimo hayo ya migodi. Wakati mwingine machimbo hayo huporomoka na kumeza idadi kubwa ya watu. Machimbo mengine huwa zaidi ya kilomita ishirini kwenda chini. Hii ina maana kuwa kunao wachimba migodi ambao hukosa hewa safi ya oksijeni na kuaga dunia. Hakika mahali huko huwa ni hatari sana. Changamoto kubwa ambayo hukumba nchi nyingi zilizo na utajiri mkubwa wa madini ni vita. Chukulia mfano wa nchi kama Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Licha ya utajiri wake mkubwa wa madini taifa hili limeishi kukumbwa na vita, ghasia, vurugu na machafuko ya mara kwa mara. Wakimbizi ni wengi sana katika nchi hiyo. Vita hivyo huenezwa na wakiritimba na mabepari ambao nia yao ni kupiganisha raia ili wao wenyewe wafaidike kutokana na utajiri huo. Badala ya hali ya: ukiona ndugu wawili wakipigana chukua jembe ukalime. wakielewana chukua kapu ukavune, hali huwa ukiona ndugu wawili wakipigana, enda ukawaibie, wakipatana wapiganishe tena. I lata yapo mataifa mengine ya nchi za kigeni ambazo hufadhili makundi ya waasi kwa silaha na fedha ili serikali isiwe imara. Baadaye wanakuja kama wapatanishi huku wakipora madini va nchi hiyo. Hakika madini badala ya kuwa baraka yanaweza kuwa laana wapo wasipotahadhari. Kando na hayo, tatizo jingine kuu ni wananchi kutegemea uchimbaji wa madini kupindukia na kutelekeza sekia nyingine za kiuchumi kama kilimo. Mwisho wa hayo huwa ni taifa licha ya kuwa na madini kukumbwa na baa la njaa. Isitoshe, iwapo madini fulani yataisha, watu wote watakula mwata ilhali hawaijui kazi nyingine yoye isipokuwa ya madini. Ama kwa hakika, madini yanazo faida na changamoto zake. Lazima tuwe waangalifu tusije tukawa na madini ambayo yatatuletea shida badala ya baraka. 31. Chagua kauli sahihi kwa mujibu wa aya y. kwanza. A: Bara la Afrika limebarikiwa kuwa na maliasili haba. B. Bara la Afrika lina madini yote yanayoweza kupatikana ulimwenguni. C. Migodi ni mahali ambapo madini huchimbwa. D. Wataalamu wa madini waliwahi kunukuliwa wakisema kuwa Afrika iko karibu na migodi. 32. Chagua jibu ambalo si sahihi kulingana na aya ya pili. A. Madini huwa na faida chungu nzima katika bara la Afrika pekee. B. Madini yanapouzwa nje ya nchi huiletea nchi fedha za kigeni. C.Fedha zinazotokana na uuzaji wa madini hutumiwa katika koboresha miundo msingi. D. Mataifa tajiri zaidi Afrika huwa na madini mengi sana. 33Ni tamathali ipi ya lugha iliyotumiwa hapa? "Tajirika kama muuza madini.” A. Kinaya B: Tashbihi C. Chuku D. Majazi 34. Ava ya nne imedhihirisha kuwa; A. Maeneo kunakochimbwa madin buwa kuna kuboreshwa kwa huduma za maoneo hayo. B. Wakazi wa maeneo yanakopatikana madini hawafaidiki pakubwa kutokana na madini hayo. C. Madini hutoa nafasi nyingi za ajira kwa wakazi wa maeneo ambayo madini hayo hupatikana. D. Licha ya faida nyingi, madini huwa na madhara kwa watu wa maeneo yanakopatikana.
Faida mojawapo ya madini ni ipi
{ "text": [ "Huleta pesa za kigeni" ] }
0310_swa
28. Giza lilitoweka kukaanza kuwa ……. na kukapendeza. A. mweupe B. peupe C. kweupe D. weupe 29. Kutokana na jina kilimo tutapata kitenzi. A. Ukulima B. Lima C. Mlinia D. Zaraa 30. Ni sentensi ipi iliyotumia kiunganishi sahihi? A. Mradi hakuwa na pesa hakulipa deni. B. Lau si kwa msaada wako ningeshindwa i kazi hii. C. Minghairi hili gari ni dhaifu haliwezi kubeba shehena hii. D. Fauka ya kumwita alikataa kuitika. Soma kifungu kifuatacho kisha zjibu maswali 31 mpaka 40. Bara la Afrika limebarikiwa kuwa na maliasili si baba. Kati ya maliasili hayo ni pamoja na misitu, miti, maziwa hata inilo. Vilevile bara la Afrika lina madini chungu nzima. Wataalamu wa madini waliwahi kunukuliwa wakisei kuwa ni karibu Afrika vote. Baadhi ya madini haya ni pamoja na dhahabu, chokaa, chuma na hata mafuta. Mah ambapo madini huchimbwa huitwa migodi. Mfanyakazi anayechimba madini huitwa mchimbamigodi. Madini haya liuwa na faida chungu nzima katika bara hili la Afrika. Madini hava huletea bara hili fedha za kige vanapouzwa Fedha hizi hutumiwa katika kujenga na kuboresha miundomsingi katika bara bili. Yakini, yakini mataifa lajiri zaidi Afrika mathalan Afrika Kusini Nigeria, Misri na mengineo huwa na hazina kubwa ya madini. Kando na hayo, madini hutoa nafasi nyingi sana za ajira kwa waafrika wengi sana. Wapo wataalamu wa kuchungu mahali madini hupatikana. Wengine wengi nao hupata riziki yao kwa kuyachimba madini, wengine hujikimu kupit usafirishaji wa madini hayo, vilevile kuna mamilioni ya wafanyabiashara ambao wametajirika kupitia kwa msen maarufu. "Tajirika kama muuza madini." Isitoshe maeneo kunakochimbwa madini, huduma huimarishwa. Kwa mfano barabara nzuri zitatengeneza umeme utasambazwa kwenye maeneo kunakopatikana madini na kadhalika. Wakazi wa maeneo hayo hufaidi pakubwa kutokana na madini hayo. liata hivyo, chambilecho wahenga, hakuna masika yasiyokuwa na mbu. Licha va faida kochokocho za uchimbaji 1 madini, madini hayo yana mgao na changamole zake pis. Mwanzo kabisa, mchimbaji wa madini huchangia kv kiwango kikubwa katika uchafuzi wa mazingira. Migodi huifanya ardhi kuwa chapwa na kutovutia kam Ilalikadhalika, upasuaji wa miamba ya madini ueneza vumbi angani. Mavumbi haya hudhuru afya za watu Viumbe wengine. Uchunguzi uliofanywa mwala wa elfu inbili na kumi na saba na shirika la afya dunia ulidhihirisha kuwa asilimia kubwa ya watu wenye shida za macho na kifua ni wafanyao kazi migodini au wanaok: karibu na migodi hiyo. Machimbo mengi baada ya madini kupatikana huachwa yakiwa wazi. Wakati wa msimu wa masika maji hu katika majishimo hayo. Humo huwa ni msingira bora ya mbu na wadudu wengine hatari. Kuzaana kwa mbu ha lucreza ugonjwa wa malaria. Isitoshe, Visa vingi vinazidi kuripotiwa na watu, hasa waioto, wanaotumbukia kuyama katika vidimbwi vyama himbo ya migodi Ilaia majambazi wengine huwaua watu na kuwatupa kuko hul kwenye machimbo hayo. Hauka ya hayo, wachimba migodi wengine hutumia baruti kupasulia miamba. Kando na kutoa sauti za kushtua wa sana hasa watoto na wenye tasisimko wa damu, baruti hizi hutikisa majumba yakajiporomokea. Madaktari husen kuwa sauti za baruti hizo zinaweza kumsababishia mtu uziwi asiweze kusikia tena. Hii ni kutokana na kuharibiv kwa viwambo vya masikio. Zaidi ya hayo, wachimbamigodi wengi hupoteza uhai wanapoanguka kwenye mashimo hayo ya migodi. Wakati mwingine machimbo hayo huporomoka na kumeza idadi kubwa ya watu. Machimbo mengine huwa zaidi ya kilomita ishirini kwenda chini. Hii ina maana kuwa kunao wachimba migodi ambao hukosa hewa safi ya oksijeni na kuaga dunia. Hakika mahali huko huwa ni hatari sana. Changamoto kubwa ambayo hukumba nchi nyingi zilizo na utajiri mkubwa wa madini ni vita. Chukulia mfano wa nchi kama Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Licha ya utajiri wake mkubwa wa madini taifa hili limeishi kukumbwa na vita, ghasia, vurugu na machafuko ya mara kwa mara. Wakimbizi ni wengi sana katika nchi hiyo. Vita hivyo huenezwa na wakiritimba na mabepari ambao nia yao ni kupiganisha raia ili wao wenyewe wafaidike kutokana na utajiri huo. Badala ya hali ya: ukiona ndugu wawili wakipigana chukua jembe ukalime. wakielewana chukua kapu ukavune, hali huwa ukiona ndugu wawili wakipigana, enda ukawaibie, wakipatana wapiganishe tena. I lata yapo mataifa mengine ya nchi za kigeni ambazo hufadhili makundi ya waasi kwa silaha na fedha ili serikali isiwe imara. Baadaye wanakuja kama wapatanishi huku wakipora madini va nchi hiyo. Hakika madini badala ya kuwa baraka yanaweza kuwa laana wapo wasipotahadhari. Kando na hayo, tatizo jingine kuu ni wananchi kutegemea uchimbaji wa madini kupindukia na kutelekeza sekia nyingine za kiuchumi kama kilimo. Mwisho wa hayo huwa ni taifa licha ya kuwa na madini kukumbwa na baa la njaa. Isitoshe, iwapo madini fulani yataisha, watu wote watakula mwata ilhali hawaijui kazi nyingine yoye isipokuwa ya madini. Ama kwa hakika, madini yanazo faida na changamoto zake. Lazima tuwe waangalifu tusije tukawa na madini ambayo yatatuletea shida badala ya baraka. 31. Chagua kauli sahihi kwa mujibu wa aya y. kwanza. A: Bara la Afrika limebarikiwa kuwa na maliasili haba. B. Bara la Afrika lina madini yote yanayoweza kupatikana ulimwenguni. C. Migodi ni mahali ambapo madini huchimbwa. D. Wataalamu wa madini waliwahi kunukuliwa wakisema kuwa Afrika iko karibu na migodi. 32. Chagua jibu ambalo si sahihi kulingana na aya ya pili. A. Madini huwa na faida chungu nzima katika bara la Afrika pekee. B. Madini yanapouzwa nje ya nchi huiletea nchi fedha za kigeni. C.Fedha zinazotokana na uuzaji wa madini hutumiwa katika koboresha miundo msingi. D. Mataifa tajiri zaidi Afrika huwa na madini mengi sana. 33Ni tamathali ipi ya lugha iliyotumiwa hapa? "Tajirika kama muuza madini.” A. Kinaya B: Tashbihi C. Chuku D. Majazi 34. Ava ya nne imedhihirisha kuwa; A. Maeneo kunakochimbwa madin buwa kuna kuboreshwa kwa huduma za maoneo hayo. B. Wakazi wa maeneo yanakopatikana madini hawafaidiki pakubwa kutokana na madini hayo. C. Madini hutoa nafasi nyingi za ajira kwa wakazi wa maeneo ambayo madini hayo hupatikana. D. Licha ya faida nyingi, madini huwa na madhara kwa watu wa maeneo yanakopatikana.
Ni mataifa yapi huwa na hazina kubwa ya madini
{ "text": [ "Afrika kusini, Nigeria" ] }
0310_swa
28. Giza lilitoweka kukaanza kuwa ……. na kukapendeza. A. mweupe B. peupe C. kweupe D. weupe 29. Kutokana na jina kilimo tutapata kitenzi. A. Ukulima B. Lima C. Mlinia D. Zaraa 30. Ni sentensi ipi iliyotumia kiunganishi sahihi? A. Mradi hakuwa na pesa hakulipa deni. B. Lau si kwa msaada wako ningeshindwa i kazi hii. C. Minghairi hili gari ni dhaifu haliwezi kubeba shehena hii. D. Fauka ya kumwita alikataa kuitika. Soma kifungu kifuatacho kisha zjibu maswali 31 mpaka 40. Bara la Afrika limebarikiwa kuwa na maliasili si baba. Kati ya maliasili hayo ni pamoja na misitu, miti, maziwa hata inilo. Vilevile bara la Afrika lina madini chungu nzima. Wataalamu wa madini waliwahi kunukuliwa wakisei kuwa ni karibu Afrika vote. Baadhi ya madini haya ni pamoja na dhahabu, chokaa, chuma na hata mafuta. Mah ambapo madini huchimbwa huitwa migodi. Mfanyakazi anayechimba madini huitwa mchimbamigodi. Madini haya liuwa na faida chungu nzima katika bara hili la Afrika. Madini hava huletea bara hili fedha za kige vanapouzwa Fedha hizi hutumiwa katika kujenga na kuboresha miundomsingi katika bara bili. Yakini, yakini mataifa lajiri zaidi Afrika mathalan Afrika Kusini Nigeria, Misri na mengineo huwa na hazina kubwa ya madini. Kando na hayo, madini hutoa nafasi nyingi sana za ajira kwa waafrika wengi sana. Wapo wataalamu wa kuchungu mahali madini hupatikana. Wengine wengi nao hupata riziki yao kwa kuyachimba madini, wengine hujikimu kupit usafirishaji wa madini hayo, vilevile kuna mamilioni ya wafanyabiashara ambao wametajirika kupitia kwa msen maarufu. "Tajirika kama muuza madini." Isitoshe maeneo kunakochimbwa madini, huduma huimarishwa. Kwa mfano barabara nzuri zitatengeneza umeme utasambazwa kwenye maeneo kunakopatikana madini na kadhalika. Wakazi wa maeneo hayo hufaidi pakubwa kutokana na madini hayo. liata hivyo, chambilecho wahenga, hakuna masika yasiyokuwa na mbu. Licha va faida kochokocho za uchimbaji 1 madini, madini hayo yana mgao na changamole zake pis. Mwanzo kabisa, mchimbaji wa madini huchangia kv kiwango kikubwa katika uchafuzi wa mazingira. Migodi huifanya ardhi kuwa chapwa na kutovutia kam Ilalikadhalika, upasuaji wa miamba ya madini ueneza vumbi angani. Mavumbi haya hudhuru afya za watu Viumbe wengine. Uchunguzi uliofanywa mwala wa elfu inbili na kumi na saba na shirika la afya dunia ulidhihirisha kuwa asilimia kubwa ya watu wenye shida za macho na kifua ni wafanyao kazi migodini au wanaok: karibu na migodi hiyo. Machimbo mengi baada ya madini kupatikana huachwa yakiwa wazi. Wakati wa msimu wa masika maji hu katika majishimo hayo. Humo huwa ni msingira bora ya mbu na wadudu wengine hatari. Kuzaana kwa mbu ha lucreza ugonjwa wa malaria. Isitoshe, Visa vingi vinazidi kuripotiwa na watu, hasa waioto, wanaotumbukia kuyama katika vidimbwi vyama himbo ya migodi Ilaia majambazi wengine huwaua watu na kuwatupa kuko hul kwenye machimbo hayo. Hauka ya hayo, wachimba migodi wengine hutumia baruti kupasulia miamba. Kando na kutoa sauti za kushtua wa sana hasa watoto na wenye tasisimko wa damu, baruti hizi hutikisa majumba yakajiporomokea. Madaktari husen kuwa sauti za baruti hizo zinaweza kumsababishia mtu uziwi asiweze kusikia tena. Hii ni kutokana na kuharibiv kwa viwambo vya masikio. Zaidi ya hayo, wachimbamigodi wengi hupoteza uhai wanapoanguka kwenye mashimo hayo ya migodi. Wakati mwingine machimbo hayo huporomoka na kumeza idadi kubwa ya watu. Machimbo mengine huwa zaidi ya kilomita ishirini kwenda chini. Hii ina maana kuwa kunao wachimba migodi ambao hukosa hewa safi ya oksijeni na kuaga dunia. Hakika mahali huko huwa ni hatari sana. Changamoto kubwa ambayo hukumba nchi nyingi zilizo na utajiri mkubwa wa madini ni vita. Chukulia mfano wa nchi kama Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Licha ya utajiri wake mkubwa wa madini taifa hili limeishi kukumbwa na vita, ghasia, vurugu na machafuko ya mara kwa mara. Wakimbizi ni wengi sana katika nchi hiyo. Vita hivyo huenezwa na wakiritimba na mabepari ambao nia yao ni kupiganisha raia ili wao wenyewe wafaidike kutokana na utajiri huo. Badala ya hali ya: ukiona ndugu wawili wakipigana chukua jembe ukalime. wakielewana chukua kapu ukavune, hali huwa ukiona ndugu wawili wakipigana, enda ukawaibie, wakipatana wapiganishe tena. I lata yapo mataifa mengine ya nchi za kigeni ambazo hufadhili makundi ya waasi kwa silaha na fedha ili serikali isiwe imara. Baadaye wanakuja kama wapatanishi huku wakipora madini va nchi hiyo. Hakika madini badala ya kuwa baraka yanaweza kuwa laana wapo wasipotahadhari. Kando na hayo, tatizo jingine kuu ni wananchi kutegemea uchimbaji wa madini kupindukia na kutelekeza sekia nyingine za kiuchumi kama kilimo. Mwisho wa hayo huwa ni taifa licha ya kuwa na madini kukumbwa na baa la njaa. Isitoshe, iwapo madini fulani yataisha, watu wote watakula mwata ilhali hawaijui kazi nyingine yoye isipokuwa ya madini. Ama kwa hakika, madini yanazo faida na changamoto zake. Lazima tuwe waangalifu tusije tukawa na madini ambayo yatatuletea shida badala ya baraka. 31. Chagua kauli sahihi kwa mujibu wa aya y. kwanza. A: Bara la Afrika limebarikiwa kuwa na maliasili haba. B. Bara la Afrika lina madini yote yanayoweza kupatikana ulimwenguni. C. Migodi ni mahali ambapo madini huchimbwa. D. Wataalamu wa madini waliwahi kunukuliwa wakisema kuwa Afrika iko karibu na migodi. 32. Chagua jibu ambalo si sahihi kulingana na aya ya pili. A. Madini huwa na faida chungu nzima katika bara la Afrika pekee. B. Madini yanapouzwa nje ya nchi huiletea nchi fedha za kigeni. C.Fedha zinazotokana na uuzaji wa madini hutumiwa katika koboresha miundo msingi. D. Mataifa tajiri zaidi Afrika huwa na madini mengi sana. 33Ni tamathali ipi ya lugha iliyotumiwa hapa? "Tajirika kama muuza madini.” A. Kinaya B: Tashbihi C. Chuku D. Majazi 34. Ava ya nne imedhihirisha kuwa; A. Maeneo kunakochimbwa madin buwa kuna kuboreshwa kwa huduma za maoneo hayo. B. Wakazi wa maeneo yanakopatikana madini hawafaidiki pakubwa kutokana na madini hayo. C. Madini hutoa nafasi nyingi za ajira kwa wakazi wa maeneo ambayo madini hayo hupatikana. D. Licha ya faida nyingi, madini huwa na madhara kwa watu wa maeneo yanakopatikana.
Huduma zipi huimarishwa maeneo kunakochimbwa madini
{ "text": [ "Barabara hutengenezwa, umeme kusambazwa" ] }
0310_swa
28. Giza lilitoweka kukaanza kuwa ……. na kukapendeza. A. mweupe B. peupe C. kweupe D. weupe 29. Kutokana na jina kilimo tutapata kitenzi. A. Ukulima B. Lima C. Mlinia D. Zaraa 30. Ni sentensi ipi iliyotumia kiunganishi sahihi? A. Mradi hakuwa na pesa hakulipa deni. B. Lau si kwa msaada wako ningeshindwa i kazi hii. C. Minghairi hili gari ni dhaifu haliwezi kubeba shehena hii. D. Fauka ya kumwita alikataa kuitika. Soma kifungu kifuatacho kisha zjibu maswali 31 mpaka 40. Bara la Afrika limebarikiwa kuwa na maliasili si baba. Kati ya maliasili hayo ni pamoja na misitu, miti, maziwa hata inilo. Vilevile bara la Afrika lina madini chungu nzima. Wataalamu wa madini waliwahi kunukuliwa wakisei kuwa ni karibu Afrika vote. Baadhi ya madini haya ni pamoja na dhahabu, chokaa, chuma na hata mafuta. Mah ambapo madini huchimbwa huitwa migodi. Mfanyakazi anayechimba madini huitwa mchimbamigodi. Madini haya liuwa na faida chungu nzima katika bara hili la Afrika. Madini hava huletea bara hili fedha za kige vanapouzwa Fedha hizi hutumiwa katika kujenga na kuboresha miundomsingi katika bara bili. Yakini, yakini mataifa lajiri zaidi Afrika mathalan Afrika Kusini Nigeria, Misri na mengineo huwa na hazina kubwa ya madini. Kando na hayo, madini hutoa nafasi nyingi sana za ajira kwa waafrika wengi sana. Wapo wataalamu wa kuchungu mahali madini hupatikana. Wengine wengi nao hupata riziki yao kwa kuyachimba madini, wengine hujikimu kupit usafirishaji wa madini hayo, vilevile kuna mamilioni ya wafanyabiashara ambao wametajirika kupitia kwa msen maarufu. "Tajirika kama muuza madini." Isitoshe maeneo kunakochimbwa madini, huduma huimarishwa. Kwa mfano barabara nzuri zitatengeneza umeme utasambazwa kwenye maeneo kunakopatikana madini na kadhalika. Wakazi wa maeneo hayo hufaidi pakubwa kutokana na madini hayo. liata hivyo, chambilecho wahenga, hakuna masika yasiyokuwa na mbu. Licha va faida kochokocho za uchimbaji 1 madini, madini hayo yana mgao na changamole zake pis. Mwanzo kabisa, mchimbaji wa madini huchangia kv kiwango kikubwa katika uchafuzi wa mazingira. Migodi huifanya ardhi kuwa chapwa na kutovutia kam Ilalikadhalika, upasuaji wa miamba ya madini ueneza vumbi angani. Mavumbi haya hudhuru afya za watu Viumbe wengine. Uchunguzi uliofanywa mwala wa elfu inbili na kumi na saba na shirika la afya dunia ulidhihirisha kuwa asilimia kubwa ya watu wenye shida za macho na kifua ni wafanyao kazi migodini au wanaok: karibu na migodi hiyo. Machimbo mengi baada ya madini kupatikana huachwa yakiwa wazi. Wakati wa msimu wa masika maji hu katika majishimo hayo. Humo huwa ni msingira bora ya mbu na wadudu wengine hatari. Kuzaana kwa mbu ha lucreza ugonjwa wa malaria. Isitoshe, Visa vingi vinazidi kuripotiwa na watu, hasa waioto, wanaotumbukia kuyama katika vidimbwi vyama himbo ya migodi Ilaia majambazi wengine huwaua watu na kuwatupa kuko hul kwenye machimbo hayo. Hauka ya hayo, wachimba migodi wengine hutumia baruti kupasulia miamba. Kando na kutoa sauti za kushtua wa sana hasa watoto na wenye tasisimko wa damu, baruti hizi hutikisa majumba yakajiporomokea. Madaktari husen kuwa sauti za baruti hizo zinaweza kumsababishia mtu uziwi asiweze kusikia tena. Hii ni kutokana na kuharibiv kwa viwambo vya masikio. Zaidi ya hayo, wachimbamigodi wengi hupoteza uhai wanapoanguka kwenye mashimo hayo ya migodi. Wakati mwingine machimbo hayo huporomoka na kumeza idadi kubwa ya watu. Machimbo mengine huwa zaidi ya kilomita ishirini kwenda chini. Hii ina maana kuwa kunao wachimba migodi ambao hukosa hewa safi ya oksijeni na kuaga dunia. Hakika mahali huko huwa ni hatari sana. Changamoto kubwa ambayo hukumba nchi nyingi zilizo na utajiri mkubwa wa madini ni vita. Chukulia mfano wa nchi kama Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Licha ya utajiri wake mkubwa wa madini taifa hili limeishi kukumbwa na vita, ghasia, vurugu na machafuko ya mara kwa mara. Wakimbizi ni wengi sana katika nchi hiyo. Vita hivyo huenezwa na wakiritimba na mabepari ambao nia yao ni kupiganisha raia ili wao wenyewe wafaidike kutokana na utajiri huo. Badala ya hali ya: ukiona ndugu wawili wakipigana chukua jembe ukalime. wakielewana chukua kapu ukavune, hali huwa ukiona ndugu wawili wakipigana, enda ukawaibie, wakipatana wapiganishe tena. I lata yapo mataifa mengine ya nchi za kigeni ambazo hufadhili makundi ya waasi kwa silaha na fedha ili serikali isiwe imara. Baadaye wanakuja kama wapatanishi huku wakipora madini va nchi hiyo. Hakika madini badala ya kuwa baraka yanaweza kuwa laana wapo wasipotahadhari. Kando na hayo, tatizo jingine kuu ni wananchi kutegemea uchimbaji wa madini kupindukia na kutelekeza sekia nyingine za kiuchumi kama kilimo. Mwisho wa hayo huwa ni taifa licha ya kuwa na madini kukumbwa na baa la njaa. Isitoshe, iwapo madini fulani yataisha, watu wote watakula mwata ilhali hawaijui kazi nyingine yoye isipokuwa ya madini. Ama kwa hakika, madini yanazo faida na changamoto zake. Lazima tuwe waangalifu tusije tukawa na madini ambayo yatatuletea shida badala ya baraka. 31. Chagua kauli sahihi kwa mujibu wa aya y. kwanza. A: Bara la Afrika limebarikiwa kuwa na maliasili haba. B. Bara la Afrika lina madini yote yanayoweza kupatikana ulimwenguni. C. Migodi ni mahali ambapo madini huchimbwa. D. Wataalamu wa madini waliwahi kunukuliwa wakisema kuwa Afrika iko karibu na migodi. 32. Chagua jibu ambalo si sahihi kulingana na aya ya pili. A. Madini huwa na faida chungu nzima katika bara la Afrika pekee. B. Madini yanapouzwa nje ya nchi huiletea nchi fedha za kigeni. C.Fedha zinazotokana na uuzaji wa madini hutumiwa katika koboresha miundo msingi. D. Mataifa tajiri zaidi Afrika huwa na madini mengi sana. 33Ni tamathali ipi ya lugha iliyotumiwa hapa? "Tajirika kama muuza madini.” A. Kinaya B: Tashbihi C. Chuku D. Majazi 34. Ava ya nne imedhihirisha kuwa; A. Maeneo kunakochimbwa madin buwa kuna kuboreshwa kwa huduma za maoneo hayo. B. Wakazi wa maeneo yanakopatikana madini hawafaidiki pakubwa kutokana na madini hayo. C. Madini hutoa nafasi nyingi za ajira kwa wakazi wa maeneo ambayo madini hayo hupatikana. D. Licha ya faida nyingi, madini huwa na madhara kwa watu wa maeneo yanakopatikana.
Taja mifano miwili ya maliasili
{ "text": [ "Miti na maziwa" ] }
0417_swa
Ushauri wa Kocha Mulee kwa Harambee Aliyekuwa kocha wa Harambee Stars Jacob 'Ghost' Mulee akizungumza na kikosi cha Ushuru FC mwaka jana. Kocha huyo ametoa mawaidha kwa Harambee inayojifua kwa AFCON. Huku zikiwa zimesalia siku saba tu kabla ya kuanza kwa michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON), kocha wa zamani wa Harambee Stars, Jacob 'Ghost Mulee amewataka vijana wa kikosi hicho watumie jukwaa hilo kubwa kujitengenezea maisha ya baadaye. Mulee ambaye aliongoza kikosi cha mwisho kushiriki michuano hiyo mnamo 2004 ilipofanyika nchini Tunisia alisema ni fursa nyingine ya kimataifa kwa vijana wetu kupata kuonekana hadharani duniani kote. Harambee Stars itakuwa miongoni mwa timu zitakazowania ubingwa huo baada ya kuwa nje kwa kipindi cha miaka 15 baada ya kushiriki kwa mara ya mwisho mnamo 2004. Awali, Stars iliwahi kushiriki katika fainali za 1972, 1988, 1990 na 1992. Alisema, mbali na kutazama kwa televisheni, kuna maskauti wa kila aina ambao tayari wamefika Misri kuzitazama mechi hizo moja kwa moja kwa lengo la kupata wachezaji walio na vipaji ili wajiunge na klabu zao barani Ulaya. "Lazima vijana wetu wakumbuke kwamba sio wanasoka wote wa Kiafrika wameangukiwa na bahati hiyo ya kuonyesha vipaji vyao hadharani,” aliongeza. Mulee alitaka yeyote atakayepewa nafasi ajitahidi vilivyo kuridhisha mawakala hao ambao wamezuru Afrika kwa niaba ya klabu zao zinazoshiriki ligi maarufu za Ulaya. AFCON ndiyo mashindano makubwa ya soka barani Afrika kwa kiwango cha kimataifa ambayo awali yameweza kusaidia vijana wengi kutambuliwa na kusajiliwa na klabu za ng'ambo. Kila mchezaji anatamani kupata nafasi ya kushiriki katika mashindano ya kiwango hiki, lakini lazima nchi yake iwe imefuzu, Kuna vijana kadhaa katika kikosi cha kocha Sebastien Migne wanaotarajiwa kuvutia mawakala wengi iwapo watapewa kikosini.
Jacob alitaka vijana watumie jukwaa hilo kufanya nini
{ "text": [ "kujitengenezea maisha" ] }
0417_swa
Ushauri wa Kocha Mulee kwa Harambee Aliyekuwa kocha wa Harambee Stars Jacob 'Ghost' Mulee akizungumza na kikosi cha Ushuru FC mwaka jana. Kocha huyo ametoa mawaidha kwa Harambee inayojifua kwa AFCON. Huku zikiwa zimesalia siku saba tu kabla ya kuanza kwa michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON), kocha wa zamani wa Harambee Stars, Jacob 'Ghost Mulee amewataka vijana wa kikosi hicho watumie jukwaa hilo kubwa kujitengenezea maisha ya baadaye. Mulee ambaye aliongoza kikosi cha mwisho kushiriki michuano hiyo mnamo 2004 ilipofanyika nchini Tunisia alisema ni fursa nyingine ya kimataifa kwa vijana wetu kupata kuonekana hadharani duniani kote. Harambee Stars itakuwa miongoni mwa timu zitakazowania ubingwa huo baada ya kuwa nje kwa kipindi cha miaka 15 baada ya kushiriki kwa mara ya mwisho mnamo 2004. Awali, Stars iliwahi kushiriki katika fainali za 1972, 1988, 1990 na 1992. Alisema, mbali na kutazama kwa televisheni, kuna maskauti wa kila aina ambao tayari wamefika Misri kuzitazama mechi hizo moja kwa moja kwa lengo la kupata wachezaji walio na vipaji ili wajiunge na klabu zao barani Ulaya. "Lazima vijana wetu wakumbuke kwamba sio wanasoka wote wa Kiafrika wameangukiwa na bahati hiyo ya kuonyesha vipaji vyao hadharani,” aliongeza. Mulee alitaka yeyote atakayepewa nafasi ajitahidi vilivyo kuridhisha mawakala hao ambao wamezuru Afrika kwa niaba ya klabu zao zinazoshiriki ligi maarufu za Ulaya. AFCON ndiyo mashindano makubwa ya soka barani Afrika kwa kiwango cha kimataifa ambayo awali yameweza kusaidia vijana wengi kutambuliwa na kusajiliwa na klabu za ng'ambo. Kila mchezaji anatamani kupata nafasi ya kushiriki katika mashindano ya kiwango hiki, lakini lazima nchi yake iwe imefuzu, Kuna vijana kadhaa katika kikosi cha kocha Sebastien Migne wanaotarajiwa kuvutia mawakala wengi iwapo watapewa kikosini.
Michuano ilifanyika nchi gani
{ "text": [ "Tunisia" ] }
0417_swa
Ushauri wa Kocha Mulee kwa Harambee Aliyekuwa kocha wa Harambee Stars Jacob 'Ghost' Mulee akizungumza na kikosi cha Ushuru FC mwaka jana. Kocha huyo ametoa mawaidha kwa Harambee inayojifua kwa AFCON. Huku zikiwa zimesalia siku saba tu kabla ya kuanza kwa michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON), kocha wa zamani wa Harambee Stars, Jacob 'Ghost Mulee amewataka vijana wa kikosi hicho watumie jukwaa hilo kubwa kujitengenezea maisha ya baadaye. Mulee ambaye aliongoza kikosi cha mwisho kushiriki michuano hiyo mnamo 2004 ilipofanyika nchini Tunisia alisema ni fursa nyingine ya kimataifa kwa vijana wetu kupata kuonekana hadharani duniani kote. Harambee Stars itakuwa miongoni mwa timu zitakazowania ubingwa huo baada ya kuwa nje kwa kipindi cha miaka 15 baada ya kushiriki kwa mara ya mwisho mnamo 2004. Awali, Stars iliwahi kushiriki katika fainali za 1972, 1988, 1990 na 1992. Alisema, mbali na kutazama kwa televisheni, kuna maskauti wa kila aina ambao tayari wamefika Misri kuzitazama mechi hizo moja kwa moja kwa lengo la kupata wachezaji walio na vipaji ili wajiunge na klabu zao barani Ulaya. "Lazima vijana wetu wakumbuke kwamba sio wanasoka wote wa Kiafrika wameangukiwa na bahati hiyo ya kuonyesha vipaji vyao hadharani,” aliongeza. Mulee alitaka yeyote atakayepewa nafasi ajitahidi vilivyo kuridhisha mawakala hao ambao wamezuru Afrika kwa niaba ya klabu zao zinazoshiriki ligi maarufu za Ulaya. AFCON ndiyo mashindano makubwa ya soka barani Afrika kwa kiwango cha kimataifa ambayo awali yameweza kusaidia vijana wengi kutambuliwa na kusajiliwa na klabu za ng'ambo. Kila mchezaji anatamani kupata nafasi ya kushiriki katika mashindano ya kiwango hiki, lakini lazima nchi yake iwe imefuzu, Kuna vijana kadhaa katika kikosi cha kocha Sebastien Migne wanaotarajiwa kuvutia mawakala wengi iwapo watapewa kikosini.
Harambee stars itakua miongoni mwa timu zitakazowania nini
{ "text": [ "ubingwa" ] }
0417_swa
Ushauri wa Kocha Mulee kwa Harambee Aliyekuwa kocha wa Harambee Stars Jacob 'Ghost' Mulee akizungumza na kikosi cha Ushuru FC mwaka jana. Kocha huyo ametoa mawaidha kwa Harambee inayojifua kwa AFCON. Huku zikiwa zimesalia siku saba tu kabla ya kuanza kwa michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON), kocha wa zamani wa Harambee Stars, Jacob 'Ghost Mulee amewataka vijana wa kikosi hicho watumie jukwaa hilo kubwa kujitengenezea maisha ya baadaye. Mulee ambaye aliongoza kikosi cha mwisho kushiriki michuano hiyo mnamo 2004 ilipofanyika nchini Tunisia alisema ni fursa nyingine ya kimataifa kwa vijana wetu kupata kuonekana hadharani duniani kote. Harambee Stars itakuwa miongoni mwa timu zitakazowania ubingwa huo baada ya kuwa nje kwa kipindi cha miaka 15 baada ya kushiriki kwa mara ya mwisho mnamo 2004. Awali, Stars iliwahi kushiriki katika fainali za 1972, 1988, 1990 na 1992. Alisema, mbali na kutazama kwa televisheni, kuna maskauti wa kila aina ambao tayari wamefika Misri kuzitazama mechi hizo moja kwa moja kwa lengo la kupata wachezaji walio na vipaji ili wajiunge na klabu zao barani Ulaya. "Lazima vijana wetu wakumbuke kwamba sio wanasoka wote wa Kiafrika wameangukiwa na bahati hiyo ya kuonyesha vipaji vyao hadharani,” aliongeza. Mulee alitaka yeyote atakayepewa nafasi ajitahidi vilivyo kuridhisha mawakala hao ambao wamezuru Afrika kwa niaba ya klabu zao zinazoshiriki ligi maarufu za Ulaya. AFCON ndiyo mashindano makubwa ya soka barani Afrika kwa kiwango cha kimataifa ambayo awali yameweza kusaidia vijana wengi kutambuliwa na kusajiliwa na klabu za ng'ambo. Kila mchezaji anatamani kupata nafasi ya kushiriki katika mashindano ya kiwango hiki, lakini lazima nchi yake iwe imefuzu, Kuna vijana kadhaa katika kikosi cha kocha Sebastien Migne wanaotarajiwa kuvutia mawakala wengi iwapo watapewa kikosini.
Maskauti lengo lao ni nini
{ "text": [ "kupata wachezaji" ] }
0417_swa
Ushauri wa Kocha Mulee kwa Harambee Aliyekuwa kocha wa Harambee Stars Jacob 'Ghost' Mulee akizungumza na kikosi cha Ushuru FC mwaka jana. Kocha huyo ametoa mawaidha kwa Harambee inayojifua kwa AFCON. Huku zikiwa zimesalia siku saba tu kabla ya kuanza kwa michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON), kocha wa zamani wa Harambee Stars, Jacob 'Ghost Mulee amewataka vijana wa kikosi hicho watumie jukwaa hilo kubwa kujitengenezea maisha ya baadaye. Mulee ambaye aliongoza kikosi cha mwisho kushiriki michuano hiyo mnamo 2004 ilipofanyika nchini Tunisia alisema ni fursa nyingine ya kimataifa kwa vijana wetu kupata kuonekana hadharani duniani kote. Harambee Stars itakuwa miongoni mwa timu zitakazowania ubingwa huo baada ya kuwa nje kwa kipindi cha miaka 15 baada ya kushiriki kwa mara ya mwisho mnamo 2004. Awali, Stars iliwahi kushiriki katika fainali za 1972, 1988, 1990 na 1992. Alisema, mbali na kutazama kwa televisheni, kuna maskauti wa kila aina ambao tayari wamefika Misri kuzitazama mechi hizo moja kwa moja kwa lengo la kupata wachezaji walio na vipaji ili wajiunge na klabu zao barani Ulaya. "Lazima vijana wetu wakumbuke kwamba sio wanasoka wote wa Kiafrika wameangukiwa na bahati hiyo ya kuonyesha vipaji vyao hadharani,” aliongeza. Mulee alitaka yeyote atakayepewa nafasi ajitahidi vilivyo kuridhisha mawakala hao ambao wamezuru Afrika kwa niaba ya klabu zao zinazoshiriki ligi maarufu za Ulaya. AFCON ndiyo mashindano makubwa ya soka barani Afrika kwa kiwango cha kimataifa ambayo awali yameweza kusaidia vijana wengi kutambuliwa na kusajiliwa na klabu za ng'ambo. Kila mchezaji anatamani kupata nafasi ya kushiriki katika mashindano ya kiwango hiki, lakini lazima nchi yake iwe imefuzu, Kuna vijana kadhaa katika kikosi cha kocha Sebastien Migne wanaotarajiwa kuvutia mawakala wengi iwapo watapewa kikosini.
Sio wanasoka wote wameangukiwa na bahati ya kufanya nini
{ "text": [ "kuonyesha vipaji vyao" ] }
0421_swa
Ukosefu wa vyoo wazua hofu ya maradhi Kaunti VIONGOZI katika Kaunti ya Marsabit wameelezea hofu yao kuhusu hali duni ya usafi katika eneo hilo kutokana na ukosefu wa vyoo. Wakazi wengi wamekuwa wakijisaidia vichakani na maeneo ya wazi kwa kukosa vyoo. Kulingana na Naibu Gavana katika kaunti hiyo, Bw David Saruni, utafiti uliofanywa majuzi ulionyesha kuwa karibu robo tatu ya wenyeji huwa wanajisaidia katika maeneo ya wazi. "Kama ilivyoibuka kwenye mojawapo ya vikao vya kamati za kaunti, kuna haja kubwa kukabili hali hiyo kabla igeuke kuwa janga hatari katika eneo hili," akasema. Alisikitika kuwa hali duni ya usafi imesalia kuwa kuwa tatizo kuu katika eneo hilo kwa muda mrefu, akiwataka wadau kubuni njia za kutafuta suluhisho kwa matatizo ya maji. Hali hiyo imetajwa kuchangia maradhi kama homa ya matumbo, kipindupindu, kuharisha na kudumaa katika ukuaji miongoni mwa watoto. Alisema kuwa kijumla, hali pia inawaathiri hata kiuchumi kwani watu wengi huwa hawana nguvu kushiriki kwenye shughuli za maendeleo. Aliwaomba wahisani kujitokeza kupiga jeki juhudi za kuwasaidia wakazi katika kaunti zilizo katika maeneo kame kama MarsabiT, Isiolo, Tana River na Wajir. Alisema idadi kubwa ya wenyeji hawana vibuyu vya kuchotea maji. Kulingana na Wizara ya Afya, kaunti hiyo inakisiwa kupoteza zaidi ya Sh332 milioni kutokana na matatizo yanayohusiana na ukosefu wa usafi. Utafiti huo ulifanywa na mashirika ya Oxfam, PACIDA, Concern Worldwide. Wasda, Racida, Acted kati ya mengine mengi.
Hali duni ya usafi imesababishwa na nini
{ "text": [ "ukosefu wa vyoo" ] }
0421_swa
Ukosefu wa vyoo wazua hofu ya maradhi Kaunti VIONGOZI katika Kaunti ya Marsabit wameelezea hofu yao kuhusu hali duni ya usafi katika eneo hilo kutokana na ukosefu wa vyoo. Wakazi wengi wamekuwa wakijisaidia vichakani na maeneo ya wazi kwa kukosa vyoo. Kulingana na Naibu Gavana katika kaunti hiyo, Bw David Saruni, utafiti uliofanywa majuzi ulionyesha kuwa karibu robo tatu ya wenyeji huwa wanajisaidia katika maeneo ya wazi. "Kama ilivyoibuka kwenye mojawapo ya vikao vya kamati za kaunti, kuna haja kubwa kukabili hali hiyo kabla igeuke kuwa janga hatari katika eneo hili," akasema. Alisikitika kuwa hali duni ya usafi imesalia kuwa kuwa tatizo kuu katika eneo hilo kwa muda mrefu, akiwataka wadau kubuni njia za kutafuta suluhisho kwa matatizo ya maji. Hali hiyo imetajwa kuchangia maradhi kama homa ya matumbo, kipindupindu, kuharisha na kudumaa katika ukuaji miongoni mwa watoto. Alisema kuwa kijumla, hali pia inawaathiri hata kiuchumi kwani watu wengi huwa hawana nguvu kushiriki kwenye shughuli za maendeleo. Aliwaomba wahisani kujitokeza kupiga jeki juhudi za kuwasaidia wakazi katika kaunti zilizo katika maeneo kame kama MarsabiT, Isiolo, Tana River na Wajir. Alisema idadi kubwa ya wenyeji hawana vibuyu vya kuchotea maji. Kulingana na Wizara ya Afya, kaunti hiyo inakisiwa kupoteza zaidi ya Sh332 milioni kutokana na matatizo yanayohusiana na ukosefu wa usafi. Utafiti huo ulifanywa na mashirika ya Oxfam, PACIDA, Concern Worldwide. Wasda, Racida, Acted kati ya mengine mengi.
Nani wamekua wakijisaidia vichakani
{ "text": [ "wakazi wengi" ] }
0421_swa
Ukosefu wa vyoo wazua hofu ya maradhi Kaunti VIONGOZI katika Kaunti ya Marsabit wameelezea hofu yao kuhusu hali duni ya usafi katika eneo hilo kutokana na ukosefu wa vyoo. Wakazi wengi wamekuwa wakijisaidia vichakani na maeneo ya wazi kwa kukosa vyoo. Kulingana na Naibu Gavana katika kaunti hiyo, Bw David Saruni, utafiti uliofanywa majuzi ulionyesha kuwa karibu robo tatu ya wenyeji huwa wanajisaidia katika maeneo ya wazi. "Kama ilivyoibuka kwenye mojawapo ya vikao vya kamati za kaunti, kuna haja kubwa kukabili hali hiyo kabla igeuke kuwa janga hatari katika eneo hili," akasema. Alisikitika kuwa hali duni ya usafi imesalia kuwa kuwa tatizo kuu katika eneo hilo kwa muda mrefu, akiwataka wadau kubuni njia za kutafuta suluhisho kwa matatizo ya maji. Hali hiyo imetajwa kuchangia maradhi kama homa ya matumbo, kipindupindu, kuharisha na kudumaa katika ukuaji miongoni mwa watoto. Alisema kuwa kijumla, hali pia inawaathiri hata kiuchumi kwani watu wengi huwa hawana nguvu kushiriki kwenye shughuli za maendeleo. Aliwaomba wahisani kujitokeza kupiga jeki juhudi za kuwasaidia wakazi katika kaunti zilizo katika maeneo kame kama MarsabiT, Isiolo, Tana River na Wajir. Alisema idadi kubwa ya wenyeji hawana vibuyu vya kuchotea maji. Kulingana na Wizara ya Afya, kaunti hiyo inakisiwa kupoteza zaidi ya Sh332 milioni kutokana na matatizo yanayohusiana na ukosefu wa usafi. Utafiti huo ulifanywa na mashirika ya Oxfam, PACIDA, Concern Worldwide. Wasda, Racida, Acted kati ya mengine mengi.
Naibu Gavana wa kaunti ya Marsabit ni nani
{ "text": [ "Bw David Saruni" ] }
0421_swa
Ukosefu wa vyoo wazua hofu ya maradhi Kaunti VIONGOZI katika Kaunti ya Marsabit wameelezea hofu yao kuhusu hali duni ya usafi katika eneo hilo kutokana na ukosefu wa vyoo. Wakazi wengi wamekuwa wakijisaidia vichakani na maeneo ya wazi kwa kukosa vyoo. Kulingana na Naibu Gavana katika kaunti hiyo, Bw David Saruni, utafiti uliofanywa majuzi ulionyesha kuwa karibu robo tatu ya wenyeji huwa wanajisaidia katika maeneo ya wazi. "Kama ilivyoibuka kwenye mojawapo ya vikao vya kamati za kaunti, kuna haja kubwa kukabili hali hiyo kabla igeuke kuwa janga hatari katika eneo hili," akasema. Alisikitika kuwa hali duni ya usafi imesalia kuwa kuwa tatizo kuu katika eneo hilo kwa muda mrefu, akiwataka wadau kubuni njia za kutafuta suluhisho kwa matatizo ya maji. Hali hiyo imetajwa kuchangia maradhi kama homa ya matumbo, kipindupindu, kuharisha na kudumaa katika ukuaji miongoni mwa watoto. Alisema kuwa kijumla, hali pia inawaathiri hata kiuchumi kwani watu wengi huwa hawana nguvu kushiriki kwenye shughuli za maendeleo. Aliwaomba wahisani kujitokeza kupiga jeki juhudi za kuwasaidia wakazi katika kaunti zilizo katika maeneo kame kama MarsabiT, Isiolo, Tana River na Wajir. Alisema idadi kubwa ya wenyeji hawana vibuyu vya kuchotea maji. Kulingana na Wizara ya Afya, kaunti hiyo inakisiwa kupoteza zaidi ya Sh332 milioni kutokana na matatizo yanayohusiana na ukosefu wa usafi. Utafiti huo ulifanywa na mashirika ya Oxfam, PACIDA, Concern Worldwide. Wasda, Racida, Acted kati ya mengine mengi.
Wadau walipaswa kutafuta suluhisho kwa matatizo ya nini
{ "text": [ "maji" ] }
0421_swa
Ukosefu wa vyoo wazua hofu ya maradhi Kaunti VIONGOZI katika Kaunti ya Marsabit wameelezea hofu yao kuhusu hali duni ya usafi katika eneo hilo kutokana na ukosefu wa vyoo. Wakazi wengi wamekuwa wakijisaidia vichakani na maeneo ya wazi kwa kukosa vyoo. Kulingana na Naibu Gavana katika kaunti hiyo, Bw David Saruni, utafiti uliofanywa majuzi ulionyesha kuwa karibu robo tatu ya wenyeji huwa wanajisaidia katika maeneo ya wazi. "Kama ilivyoibuka kwenye mojawapo ya vikao vya kamati za kaunti, kuna haja kubwa kukabili hali hiyo kabla igeuke kuwa janga hatari katika eneo hili," akasema. Alisikitika kuwa hali duni ya usafi imesalia kuwa kuwa tatizo kuu katika eneo hilo kwa muda mrefu, akiwataka wadau kubuni njia za kutafuta suluhisho kwa matatizo ya maji. Hali hiyo imetajwa kuchangia maradhi kama homa ya matumbo, kipindupindu, kuharisha na kudumaa katika ukuaji miongoni mwa watoto. Alisema kuwa kijumla, hali pia inawaathiri hata kiuchumi kwani watu wengi huwa hawana nguvu kushiriki kwenye shughuli za maendeleo. Aliwaomba wahisani kujitokeza kupiga jeki juhudi za kuwasaidia wakazi katika kaunti zilizo katika maeneo kame kama MarsabiT, Isiolo, Tana River na Wajir. Alisema idadi kubwa ya wenyeji hawana vibuyu vya kuchotea maji. Kulingana na Wizara ya Afya, kaunti hiyo inakisiwa kupoteza zaidi ya Sh332 milioni kutokana na matatizo yanayohusiana na ukosefu wa usafi. Utafiti huo ulifanywa na mashirika ya Oxfam, PACIDA, Concern Worldwide. Wasda, Racida, Acted kati ya mengine mengi.
Idadi kubwa ya wenyeji hawana nini
{ "text": [ "vibuyu vya maji" ] }
0423_swa
Kilio wachumaji 20,000 wachai wakipoteza ajira Takriban watu 20,000 wanaofanya kazi katika kampuni za majanichai nchini wamefutwa kazi kwa muda wa mwaka mmoja uliopita kutokana na athari za janga la virusi vya corona katika sekta hiyo. Kampuni hizo, ambazo nyingi ni za kigeni, zimeanza kutumia mashine maalum za kuchuma zao hilo ili kupunguza uwezekano wa maambukizi ya virusi hivyo. Hilo ni kulingana na Chama cha Wafanyakazi wa Mashamba Makubwa Kenya KPAWU, ambacho kimepinga vikali hatua hiyo. "Tangu janga la corona lilipofika nchi ni mwaka uliopita, kampuni za majanichai za kigeni zimewafuta kazi zaidi ya wafanyakazi 20,000 hasa katika maeneo ya Kati na Bonde la Ufa. Badala yake, zimeanza kutumia mashine za kuchuma majanichai mwenyekiti wa kitaifa wa chama hicho, Bw Eliakim Ochieng, alisema kwenye mahojiano na Taifa Leo. "Kampuni hizo zinatumia kisingizio cha janga hilo kuwafuta wafanyakazi. Watoto wao wamelazimika kuacha shule kwani wazazi wao hawana ajira," aliongeza. Wafanyakazi hao sasa wanataka kuandaa kikao na usimamizi wa kampuni hizo kujadiliana na kusuluhisha tatizo hilo. Wanaomba kikao hicho kupitia Chama cha Wakuzaji Majanichai Kenya (KTGA) na KPAWU. Kampuni hizo pia zimelaumiwa kwa kutowalipa ridhaa wafanyakazi wengi waliopata majeraha kwa kutumia mashine hizo. Chama hicho kilisema wafanyakazi hawakupewa mafunzo ya kutosha kuhusu namna ya kutumia mashine hizo. "Wafanyakazi wengi ambao wamekuwa wakitumia mashine hizo katika maeneo ya Kati na Bonde la Ufa wamekatwa vidole vyao kwani hawakupewa mafunzo kuhusu taratibu zifaazo za kuzitumia," akasema Bw Ochieng. Alisema kampuni hizo zinaendesha uchumaji kwa kutumia mashine hizo kwa asilimia 100 katika kaunti za Kericho na Bomet, huku kiwango hicho kikiwa zaidi ya nusu katika Kaunti ya Nandi. Waliitaja kuwa hali ambayo imewaumiza wafanyakazi wengi. Kutokana na hayo, waliiomba serikali kuwatoza ushuru mkubwa wale wanaoagiza mashine hizo ili kupunguza idadi ya ajira zinazopotea. Alimlaumu Rais Uhuru Kenyatta na Naibu Rais William Ruto kwa kutofanya lolote kuwasaidia wafanyakazi hao, licha ya kuwaahidi wengi wao nafasi za kazi. Wakuu wa wafanyikazi wanahofia huenda uchumi wa maeneo kama Kericho, Kisii, Kapsabet, Nyamira na Bomet ukaathirika iwapo wafanyikazi hawatarejeshwa. Wanadai kampuni zinatafuta vibarua wanaolipwa Sh300 kwa siku.
Watu wamefutwa kazi kutokana na athari za janga la
{ "text": [ "korona" ] }
0423_swa
Kilio wachumaji 20,000 wachai wakipoteza ajira Takriban watu 20,000 wanaofanya kazi katika kampuni za majanichai nchini wamefutwa kazi kwa muda wa mwaka mmoja uliopita kutokana na athari za janga la virusi vya corona katika sekta hiyo. Kampuni hizo, ambazo nyingi ni za kigeni, zimeanza kutumia mashine maalum za kuchuma zao hilo ili kupunguza uwezekano wa maambukizi ya virusi hivyo. Hilo ni kulingana na Chama cha Wafanyakazi wa Mashamba Makubwa Kenya KPAWU, ambacho kimepinga vikali hatua hiyo. "Tangu janga la corona lilipofika nchi ni mwaka uliopita, kampuni za majanichai za kigeni zimewafuta kazi zaidi ya wafanyakazi 20,000 hasa katika maeneo ya Kati na Bonde la Ufa. Badala yake, zimeanza kutumia mashine za kuchuma majanichai mwenyekiti wa kitaifa wa chama hicho, Bw Eliakim Ochieng, alisema kwenye mahojiano na Taifa Leo. "Kampuni hizo zinatumia kisingizio cha janga hilo kuwafuta wafanyakazi. Watoto wao wamelazimika kuacha shule kwani wazazi wao hawana ajira," aliongeza. Wafanyakazi hao sasa wanataka kuandaa kikao na usimamizi wa kampuni hizo kujadiliana na kusuluhisha tatizo hilo. Wanaomba kikao hicho kupitia Chama cha Wakuzaji Majanichai Kenya (KTGA) na KPAWU. Kampuni hizo pia zimelaumiwa kwa kutowalipa ridhaa wafanyakazi wengi waliopata majeraha kwa kutumia mashine hizo. Chama hicho kilisema wafanyakazi hawakupewa mafunzo ya kutosha kuhusu namna ya kutumia mashine hizo. "Wafanyakazi wengi ambao wamekuwa wakitumia mashine hizo katika maeneo ya Kati na Bonde la Ufa wamekatwa vidole vyao kwani hawakupewa mafunzo kuhusu taratibu zifaazo za kuzitumia," akasema Bw Ochieng. Alisema kampuni hizo zinaendesha uchumaji kwa kutumia mashine hizo kwa asilimia 100 katika kaunti za Kericho na Bomet, huku kiwango hicho kikiwa zaidi ya nusu katika Kaunti ya Nandi. Waliitaja kuwa hali ambayo imewaumiza wafanyakazi wengi. Kutokana na hayo, waliiomba serikali kuwatoza ushuru mkubwa wale wanaoagiza mashine hizo ili kupunguza idadi ya ajira zinazopotea. Alimlaumu Rais Uhuru Kenyatta na Naibu Rais William Ruto kwa kutofanya lolote kuwasaidia wafanyakazi hao, licha ya kuwaahidi wengi wao nafasi za kazi. Wakuu wa wafanyikazi wanahofia huenda uchumi wa maeneo kama Kericho, Kisii, Kapsabet, Nyamira na Bomet ukaathirika iwapo wafanyikazi hawatarejeshwa. Wanadai kampuni zinatafuta vibarua wanaolipwa Sh300 kwa siku.
Kampuni zinatumia nini kuchuma majani chai
{ "text": [ "Mashine" ] }
0423_swa
Kilio wachumaji 20,000 wachai wakipoteza ajira Takriban watu 20,000 wanaofanya kazi katika kampuni za majanichai nchini wamefutwa kazi kwa muda wa mwaka mmoja uliopita kutokana na athari za janga la virusi vya corona katika sekta hiyo. Kampuni hizo, ambazo nyingi ni za kigeni, zimeanza kutumia mashine maalum za kuchuma zao hilo ili kupunguza uwezekano wa maambukizi ya virusi hivyo. Hilo ni kulingana na Chama cha Wafanyakazi wa Mashamba Makubwa Kenya KPAWU, ambacho kimepinga vikali hatua hiyo. "Tangu janga la corona lilipofika nchi ni mwaka uliopita, kampuni za majanichai za kigeni zimewafuta kazi zaidi ya wafanyakazi 20,000 hasa katika maeneo ya Kati na Bonde la Ufa. Badala yake, zimeanza kutumia mashine za kuchuma majanichai mwenyekiti wa kitaifa wa chama hicho, Bw Eliakim Ochieng, alisema kwenye mahojiano na Taifa Leo. "Kampuni hizo zinatumia kisingizio cha janga hilo kuwafuta wafanyakazi. Watoto wao wamelazimika kuacha shule kwani wazazi wao hawana ajira," aliongeza. Wafanyakazi hao sasa wanataka kuandaa kikao na usimamizi wa kampuni hizo kujadiliana na kusuluhisha tatizo hilo. Wanaomba kikao hicho kupitia Chama cha Wakuzaji Majanichai Kenya (KTGA) na KPAWU. Kampuni hizo pia zimelaumiwa kwa kutowalipa ridhaa wafanyakazi wengi waliopata majeraha kwa kutumia mashine hizo. Chama hicho kilisema wafanyakazi hawakupewa mafunzo ya kutosha kuhusu namna ya kutumia mashine hizo. "Wafanyakazi wengi ambao wamekuwa wakitumia mashine hizo katika maeneo ya Kati na Bonde la Ufa wamekatwa vidole vyao kwani hawakupewa mafunzo kuhusu taratibu zifaazo za kuzitumia," akasema Bw Ochieng. Alisema kampuni hizo zinaendesha uchumaji kwa kutumia mashine hizo kwa asilimia 100 katika kaunti za Kericho na Bomet, huku kiwango hicho kikiwa zaidi ya nusu katika Kaunti ya Nandi. Waliitaja kuwa hali ambayo imewaumiza wafanyakazi wengi. Kutokana na hayo, waliiomba serikali kuwatoza ushuru mkubwa wale wanaoagiza mashine hizo ili kupunguza idadi ya ajira zinazopotea. Alimlaumu Rais Uhuru Kenyatta na Naibu Rais William Ruto kwa kutofanya lolote kuwasaidia wafanyakazi hao, licha ya kuwaahidi wengi wao nafasi za kazi. Wakuu wa wafanyikazi wanahofia huenda uchumi wa maeneo kama Kericho, Kisii, Kapsabet, Nyamira na Bomet ukaathirika iwapo wafanyikazi hawatarejeshwa. Wanadai kampuni zinatafuta vibarua wanaolipwa Sh300 kwa siku.
Wafanyikazi wanataka kuandaa nini na usimamizi wa kampuni
{ "text": [ "kikao" ] }
0423_swa
Kilio wachumaji 20,000 wachai wakipoteza ajira Takriban watu 20,000 wanaofanya kazi katika kampuni za majanichai nchini wamefutwa kazi kwa muda wa mwaka mmoja uliopita kutokana na athari za janga la virusi vya corona katika sekta hiyo. Kampuni hizo, ambazo nyingi ni za kigeni, zimeanza kutumia mashine maalum za kuchuma zao hilo ili kupunguza uwezekano wa maambukizi ya virusi hivyo. Hilo ni kulingana na Chama cha Wafanyakazi wa Mashamba Makubwa Kenya KPAWU, ambacho kimepinga vikali hatua hiyo. "Tangu janga la corona lilipofika nchi ni mwaka uliopita, kampuni za majanichai za kigeni zimewafuta kazi zaidi ya wafanyakazi 20,000 hasa katika maeneo ya Kati na Bonde la Ufa. Badala yake, zimeanza kutumia mashine za kuchuma majanichai mwenyekiti wa kitaifa wa chama hicho, Bw Eliakim Ochieng, alisema kwenye mahojiano na Taifa Leo. "Kampuni hizo zinatumia kisingizio cha janga hilo kuwafuta wafanyakazi. Watoto wao wamelazimika kuacha shule kwani wazazi wao hawana ajira," aliongeza. Wafanyakazi hao sasa wanataka kuandaa kikao na usimamizi wa kampuni hizo kujadiliana na kusuluhisha tatizo hilo. Wanaomba kikao hicho kupitia Chama cha Wakuzaji Majanichai Kenya (KTGA) na KPAWU. Kampuni hizo pia zimelaumiwa kwa kutowalipa ridhaa wafanyakazi wengi waliopata majeraha kwa kutumia mashine hizo. Chama hicho kilisema wafanyakazi hawakupewa mafunzo ya kutosha kuhusu namna ya kutumia mashine hizo. "Wafanyakazi wengi ambao wamekuwa wakitumia mashine hizo katika maeneo ya Kati na Bonde la Ufa wamekatwa vidole vyao kwani hawakupewa mafunzo kuhusu taratibu zifaazo za kuzitumia," akasema Bw Ochieng. Alisema kampuni hizo zinaendesha uchumaji kwa kutumia mashine hizo kwa asilimia 100 katika kaunti za Kericho na Bomet, huku kiwango hicho kikiwa zaidi ya nusu katika Kaunti ya Nandi. Waliitaja kuwa hali ambayo imewaumiza wafanyakazi wengi. Kutokana na hayo, waliiomba serikali kuwatoza ushuru mkubwa wale wanaoagiza mashine hizo ili kupunguza idadi ya ajira zinazopotea. Alimlaumu Rais Uhuru Kenyatta na Naibu Rais William Ruto kwa kutofanya lolote kuwasaidia wafanyakazi hao, licha ya kuwaahidi wengi wao nafasi za kazi. Wakuu wa wafanyikazi wanahofia huenda uchumi wa maeneo kama Kericho, Kisii, Kapsabet, Nyamira na Bomet ukaathirika iwapo wafanyikazi hawatarejeshwa. Wanadai kampuni zinatafuta vibarua wanaolipwa Sh300 kwa siku.
Wafanyikazi wanaomba wanaoagiza mashine watozwe nini
{ "text": [ "ushuru" ] }
0423_swa
Kilio wachumaji 20,000 wachai wakipoteza ajira Takriban watu 20,000 wanaofanya kazi katika kampuni za majanichai nchini wamefutwa kazi kwa muda wa mwaka mmoja uliopita kutokana na athari za janga la virusi vya corona katika sekta hiyo. Kampuni hizo, ambazo nyingi ni za kigeni, zimeanza kutumia mashine maalum za kuchuma zao hilo ili kupunguza uwezekano wa maambukizi ya virusi hivyo. Hilo ni kulingana na Chama cha Wafanyakazi wa Mashamba Makubwa Kenya KPAWU, ambacho kimepinga vikali hatua hiyo. "Tangu janga la corona lilipofika nchi ni mwaka uliopita, kampuni za majanichai za kigeni zimewafuta kazi zaidi ya wafanyakazi 20,000 hasa katika maeneo ya Kati na Bonde la Ufa. Badala yake, zimeanza kutumia mashine za kuchuma majanichai mwenyekiti wa kitaifa wa chama hicho, Bw Eliakim Ochieng, alisema kwenye mahojiano na Taifa Leo. "Kampuni hizo zinatumia kisingizio cha janga hilo kuwafuta wafanyakazi. Watoto wao wamelazimika kuacha shule kwani wazazi wao hawana ajira," aliongeza. Wafanyakazi hao sasa wanataka kuandaa kikao na usimamizi wa kampuni hizo kujadiliana na kusuluhisha tatizo hilo. Wanaomba kikao hicho kupitia Chama cha Wakuzaji Majanichai Kenya (KTGA) na KPAWU. Kampuni hizo pia zimelaumiwa kwa kutowalipa ridhaa wafanyakazi wengi waliopata majeraha kwa kutumia mashine hizo. Chama hicho kilisema wafanyakazi hawakupewa mafunzo ya kutosha kuhusu namna ya kutumia mashine hizo. "Wafanyakazi wengi ambao wamekuwa wakitumia mashine hizo katika maeneo ya Kati na Bonde la Ufa wamekatwa vidole vyao kwani hawakupewa mafunzo kuhusu taratibu zifaazo za kuzitumia," akasema Bw Ochieng. Alisema kampuni hizo zinaendesha uchumaji kwa kutumia mashine hizo kwa asilimia 100 katika kaunti za Kericho na Bomet, huku kiwango hicho kikiwa zaidi ya nusu katika Kaunti ya Nandi. Waliitaja kuwa hali ambayo imewaumiza wafanyakazi wengi. Kutokana na hayo, waliiomba serikali kuwatoza ushuru mkubwa wale wanaoagiza mashine hizo ili kupunguza idadi ya ajira zinazopotea. Alimlaumu Rais Uhuru Kenyatta na Naibu Rais William Ruto kwa kutofanya lolote kuwasaidia wafanyakazi hao, licha ya kuwaahidi wengi wao nafasi za kazi. Wakuu wa wafanyikazi wanahofia huenda uchumi wa maeneo kama Kericho, Kisii, Kapsabet, Nyamira na Bomet ukaathirika iwapo wafanyikazi hawatarejeshwa. Wanadai kampuni zinatafuta vibarua wanaolipwa Sh300 kwa siku.
Kampuni zinatafuta vibarua wanalipwa pesa ngapi kwa siku
{ "text": [ "300" ] }
0426_swa
Basari ni za matajiri tu? Gavana wa Lamu, Fahim Twaha ambaye alijitolea kumfadhili mwanafunzi Kisa cha msichana Diana Nyaboke kutoka Bungoma aliyenyimwa basari kumwezesha kujiunga na kidato cha kwanza kimeanika uozo ambao umezonga utaratibu wa ugavi wa fedha hizo. Msichana huyo alikosa karo kumwezesha kujiunga na shule ya upili ya Moi Girls, Eldoret. Licha ya kuzoa alama 401 kwenye mtihani wa Darasa la Nane (KCPE) Kulingana na mamake, Bi Priscilla Nyanchera, ombi lake la kuomba basari katika Mpango wa Ufadhili wa Masomo Kaunti ya Bungoma lilitupiliwa mbali katika hali ya kutatanisha. Ikizingatiwa anatoka katika famila maskini, mwanafunzi huyo alikuwa anatakaa kurudia katika Darasa la Nane, kilio chake kilipowafikia Wakenya Gavana Fahim Twaha wa Lamualiahidi kumlipia msichana huyo karo ya Sh53,000 ya mwaka mzima, kumweze sha kumaliza masomo yake ya kidato cha Kwanza. Gavana Wycliffe Wangamati alitaja tukio hilo kuwa kosa" lililofanyika bila ufahamu wake. Gavana Twaha alikuwa miongoni mwa mamia ya Wakenya maarufu waliojitokeza kumwahidi kumlipia karo kumaliza masomo yake ya shule ya upili. Miongoni mwa wale walioahidi kumsaidia ni Spika wa Bunge la Seneti KenLusaka, Seneta Maalum Milicent Omanga, mwanamuziki Akothee, kampuni ya kutengeneza mikate ya Broadways kati ya Tana River) kati ya wengine. Licha ya ahadi hizo, wadadisi wa elimu na uwajibikaji wa kijamii wanasema kuna maelfu ya wanafunzi wengi werevu kutoka wanaotoka familia maskini wanaokosa nafasi kuendeleza masomo yao kutokana na ufisadi, mapendeleo na usiri unaogubika mchakato mzima wa utoaji basari za elimu nchini. Wanataja kisa hicho kuwa sehemu ya maelfu ya wanafunzi kutoka familia maskini ambao hukosa kufanikisha ndoto zao maishani kwa kukosa njia za kuwafikia watu wanaoweza kuwasaidia kupata ufadhili wa masomo. “Tukio hilo ni taswira kamili kuhusu uozo upo katika taasisi muhimu nchini. Ni vipi mwanafunzi aliyezoa alama kama 420 anapata hizo anaweza kukosa ufadhili katika kaunti iliyo na mpango wa ufadhili wa gavana, mbunge na Mwakilishi wa Wanawake? Ni ishara kuwa bado tuna safari ndefu kulainisha utendakazi katika taasisi hizo," akasema Bi Wanjiru Gikonyo kutoka Taasisi ya Uwajibikaji wa Jamii . Mbali na mwanafunzi huyo, baadhi ya wale wameeleza hofu ya kukosa kujiunga na Kidato cha kwanza ni Caroline Mkamburi kutoka Kaunti ya Migori, aliyezoa alama 363, Becky Anyango (303, Migori), Margaret Miteka (378, Nakuru), TeddyJoshua (301, Uasin Gishu), Mata Kaja (351, wengine. Caroline anasema babake anafanya kazi za vibarua, hivi kwamba inakuwa vigumu kwao hata kupata chakula cha kutosha na kuwalipia karo ndugu zake wengine wawili ambao wamo katika shule ya upili. Simulizi ni kama iyo hiyo kwa binti Mata Kaja, anayesema amelazimika kuingilia uvuvi ili kukidhi mahitaji ya familia yao. “Mimi ni yatima. Nilipata barua katika Shule ya Upili ya Wasichana ya Bura. Je, ni vipi ninaweza kupata karo? Kila mara huwa naamka mapema kwenda katika Ziwa Shakababo kuvua samaki pamoja na shangazi yangu,” akasema, Wazazi wengi ambao walizungumza nasi walieleza kutamaushwa na taratibu nyingi ambazo huwa wanalazimishwa kufuata ili kupata ufadhili wa elimu kwa watoto wao, hasa katika Hazina ya Maeneobunge (NG-CDF) “Ni kinaya kuwa basari hupewa watu matajiri na wenye uwezo wa kulipa karo za wanao bila matatizo yoyote. Watu maskini huwa wanaachwa kujitetea kwa njia zote bila mafanikio," asema Bi Mary Auma, ambaye ni mkazi wa Nairobi. Wadadisi wanasema, kuna haja serikali kubuni mfumo utakaohakikisha kuna uwazi kutambua wanafunzi werevu wanaotoka familia maskini ili kuhakikisha kila mmoja ana nafasi ya kutimiza ndoto zake maishani.
Diana Nyamboke ametoka kaunti gani
{ "text": [ "Bungoma" ] }
0426_swa
Basari ni za matajiri tu? Gavana wa Lamu, Fahim Twaha ambaye alijitolea kumfadhili mwanafunzi Kisa cha msichana Diana Nyaboke kutoka Bungoma aliyenyimwa basari kumwezesha kujiunga na kidato cha kwanza kimeanika uozo ambao umezonga utaratibu wa ugavi wa fedha hizo. Msichana huyo alikosa karo kumwezesha kujiunga na shule ya upili ya Moi Girls, Eldoret. Licha ya kuzoa alama 401 kwenye mtihani wa Darasa la Nane (KCPE) Kulingana na mamake, Bi Priscilla Nyanchera, ombi lake la kuomba basari katika Mpango wa Ufadhili wa Masomo Kaunti ya Bungoma lilitupiliwa mbali katika hali ya kutatanisha. Ikizingatiwa anatoka katika famila maskini, mwanafunzi huyo alikuwa anatakaa kurudia katika Darasa la Nane, kilio chake kilipowafikia Wakenya Gavana Fahim Twaha wa Lamualiahidi kumlipia msichana huyo karo ya Sh53,000 ya mwaka mzima, kumweze sha kumaliza masomo yake ya kidato cha Kwanza. Gavana Wycliffe Wangamati alitaja tukio hilo kuwa kosa" lililofanyika bila ufahamu wake. Gavana Twaha alikuwa miongoni mwa mamia ya Wakenya maarufu waliojitokeza kumwahidi kumlipia karo kumaliza masomo yake ya shule ya upili. Miongoni mwa wale walioahidi kumsaidia ni Spika wa Bunge la Seneti KenLusaka, Seneta Maalum Milicent Omanga, mwanamuziki Akothee, kampuni ya kutengeneza mikate ya Broadways kati ya Tana River) kati ya wengine. Licha ya ahadi hizo, wadadisi wa elimu na uwajibikaji wa kijamii wanasema kuna maelfu ya wanafunzi wengi werevu kutoka wanaotoka familia maskini wanaokosa nafasi kuendeleza masomo yao kutokana na ufisadi, mapendeleo na usiri unaogubika mchakato mzima wa utoaji basari za elimu nchini. Wanataja kisa hicho kuwa sehemu ya maelfu ya wanafunzi kutoka familia maskini ambao hukosa kufanikisha ndoto zao maishani kwa kukosa njia za kuwafikia watu wanaoweza kuwasaidia kupata ufadhili wa masomo. “Tukio hilo ni taswira kamili kuhusu uozo upo katika taasisi muhimu nchini. Ni vipi mwanafunzi aliyezoa alama kama 420 anapata hizo anaweza kukosa ufadhili katika kaunti iliyo na mpango wa ufadhili wa gavana, mbunge na Mwakilishi wa Wanawake? Ni ishara kuwa bado tuna safari ndefu kulainisha utendakazi katika taasisi hizo," akasema Bi Wanjiru Gikonyo kutoka Taasisi ya Uwajibikaji wa Jamii . Mbali na mwanafunzi huyo, baadhi ya wale wameeleza hofu ya kukosa kujiunga na Kidato cha kwanza ni Caroline Mkamburi kutoka Kaunti ya Migori, aliyezoa alama 363, Becky Anyango (303, Migori), Margaret Miteka (378, Nakuru), TeddyJoshua (301, Uasin Gishu), Mata Kaja (351, wengine. Caroline anasema babake anafanya kazi za vibarua, hivi kwamba inakuwa vigumu kwao hata kupata chakula cha kutosha na kuwalipia karo ndugu zake wengine wawili ambao wamo katika shule ya upili. Simulizi ni kama iyo hiyo kwa binti Mata Kaja, anayesema amelazimika kuingilia uvuvi ili kukidhi mahitaji ya familia yao. “Mimi ni yatima. Nilipata barua katika Shule ya Upili ya Wasichana ya Bura. Je, ni vipi ninaweza kupata karo? Kila mara huwa naamka mapema kwenda katika Ziwa Shakababo kuvua samaki pamoja na shangazi yangu,” akasema, Wazazi wengi ambao walizungumza nasi walieleza kutamaushwa na taratibu nyingi ambazo huwa wanalazimishwa kufuata ili kupata ufadhili wa elimu kwa watoto wao, hasa katika Hazina ya Maeneobunge (NG-CDF) “Ni kinaya kuwa basari hupewa watu matajiri na wenye uwezo wa kulipa karo za wanao bila matatizo yoyote. Watu maskini huwa wanaachwa kujitetea kwa njia zote bila mafanikio," asema Bi Mary Auma, ambaye ni mkazi wa Nairobi. Wadadisi wanasema, kuna haja serikali kubuni mfumo utakaohakikisha kuna uwazi kutambua wanafunzi werevu wanaotoka familia maskini ili kuhakikisha kila mmoja ana nafasi ya kutimiza ndoto zake maishani.
Diana Nyamboke alizoa alama ngapi
{ "text": [ "401" ] }
0426_swa
Basari ni za matajiri tu? Gavana wa Lamu, Fahim Twaha ambaye alijitolea kumfadhili mwanafunzi Kisa cha msichana Diana Nyaboke kutoka Bungoma aliyenyimwa basari kumwezesha kujiunga na kidato cha kwanza kimeanika uozo ambao umezonga utaratibu wa ugavi wa fedha hizo. Msichana huyo alikosa karo kumwezesha kujiunga na shule ya upili ya Moi Girls, Eldoret. Licha ya kuzoa alama 401 kwenye mtihani wa Darasa la Nane (KCPE) Kulingana na mamake, Bi Priscilla Nyanchera, ombi lake la kuomba basari katika Mpango wa Ufadhili wa Masomo Kaunti ya Bungoma lilitupiliwa mbali katika hali ya kutatanisha. Ikizingatiwa anatoka katika famila maskini, mwanafunzi huyo alikuwa anatakaa kurudia katika Darasa la Nane, kilio chake kilipowafikia Wakenya Gavana Fahim Twaha wa Lamualiahidi kumlipia msichana huyo karo ya Sh53,000 ya mwaka mzima, kumweze sha kumaliza masomo yake ya kidato cha Kwanza. Gavana Wycliffe Wangamati alitaja tukio hilo kuwa kosa" lililofanyika bila ufahamu wake. Gavana Twaha alikuwa miongoni mwa mamia ya Wakenya maarufu waliojitokeza kumwahidi kumlipia karo kumaliza masomo yake ya shule ya upili. Miongoni mwa wale walioahidi kumsaidia ni Spika wa Bunge la Seneti KenLusaka, Seneta Maalum Milicent Omanga, mwanamuziki Akothee, kampuni ya kutengeneza mikate ya Broadways kati ya Tana River) kati ya wengine. Licha ya ahadi hizo, wadadisi wa elimu na uwajibikaji wa kijamii wanasema kuna maelfu ya wanafunzi wengi werevu kutoka wanaotoka familia maskini wanaokosa nafasi kuendeleza masomo yao kutokana na ufisadi, mapendeleo na usiri unaogubika mchakato mzima wa utoaji basari za elimu nchini. Wanataja kisa hicho kuwa sehemu ya maelfu ya wanafunzi kutoka familia maskini ambao hukosa kufanikisha ndoto zao maishani kwa kukosa njia za kuwafikia watu wanaoweza kuwasaidia kupata ufadhili wa masomo. “Tukio hilo ni taswira kamili kuhusu uozo upo katika taasisi muhimu nchini. Ni vipi mwanafunzi aliyezoa alama kama 420 anapata hizo anaweza kukosa ufadhili katika kaunti iliyo na mpango wa ufadhili wa gavana, mbunge na Mwakilishi wa Wanawake? Ni ishara kuwa bado tuna safari ndefu kulainisha utendakazi katika taasisi hizo," akasema Bi Wanjiru Gikonyo kutoka Taasisi ya Uwajibikaji wa Jamii . Mbali na mwanafunzi huyo, baadhi ya wale wameeleza hofu ya kukosa kujiunga na Kidato cha kwanza ni Caroline Mkamburi kutoka Kaunti ya Migori, aliyezoa alama 363, Becky Anyango (303, Migori), Margaret Miteka (378, Nakuru), TeddyJoshua (301, Uasin Gishu), Mata Kaja (351, wengine. Caroline anasema babake anafanya kazi za vibarua, hivi kwamba inakuwa vigumu kwao hata kupata chakula cha kutosha na kuwalipia karo ndugu zake wengine wawili ambao wamo katika shule ya upili. Simulizi ni kama iyo hiyo kwa binti Mata Kaja, anayesema amelazimika kuingilia uvuvi ili kukidhi mahitaji ya familia yao. “Mimi ni yatima. Nilipata barua katika Shule ya Upili ya Wasichana ya Bura. Je, ni vipi ninaweza kupata karo? Kila mara huwa naamka mapema kwenda katika Ziwa Shakababo kuvua samaki pamoja na shangazi yangu,” akasema, Wazazi wengi ambao walizungumza nasi walieleza kutamaushwa na taratibu nyingi ambazo huwa wanalazimishwa kufuata ili kupata ufadhili wa elimu kwa watoto wao, hasa katika Hazina ya Maeneobunge (NG-CDF) “Ni kinaya kuwa basari hupewa watu matajiri na wenye uwezo wa kulipa karo za wanao bila matatizo yoyote. Watu maskini huwa wanaachwa kujitetea kwa njia zote bila mafanikio," asema Bi Mary Auma, ambaye ni mkazi wa Nairobi. Wadadisi wanasema, kuna haja serikali kubuni mfumo utakaohakikisha kuna uwazi kutambua wanafunzi werevu wanaotoka familia maskini ili kuhakikisha kila mmoja ana nafasi ya kutimiza ndoto zake maishani.
Wanafunzi wengi hawafikishi ndoto zao kwa kukosa nini
{ "text": [ "Ufadhili" ] }
0426_swa
Basari ni za matajiri tu? Gavana wa Lamu, Fahim Twaha ambaye alijitolea kumfadhili mwanafunzi Kisa cha msichana Diana Nyaboke kutoka Bungoma aliyenyimwa basari kumwezesha kujiunga na kidato cha kwanza kimeanika uozo ambao umezonga utaratibu wa ugavi wa fedha hizo. Msichana huyo alikosa karo kumwezesha kujiunga na shule ya upili ya Moi Girls, Eldoret. Licha ya kuzoa alama 401 kwenye mtihani wa Darasa la Nane (KCPE) Kulingana na mamake, Bi Priscilla Nyanchera, ombi lake la kuomba basari katika Mpango wa Ufadhili wa Masomo Kaunti ya Bungoma lilitupiliwa mbali katika hali ya kutatanisha. Ikizingatiwa anatoka katika famila maskini, mwanafunzi huyo alikuwa anatakaa kurudia katika Darasa la Nane, kilio chake kilipowafikia Wakenya Gavana Fahim Twaha wa Lamualiahidi kumlipia msichana huyo karo ya Sh53,000 ya mwaka mzima, kumweze sha kumaliza masomo yake ya kidato cha Kwanza. Gavana Wycliffe Wangamati alitaja tukio hilo kuwa kosa" lililofanyika bila ufahamu wake. Gavana Twaha alikuwa miongoni mwa mamia ya Wakenya maarufu waliojitokeza kumwahidi kumlipia karo kumaliza masomo yake ya shule ya upili. Miongoni mwa wale walioahidi kumsaidia ni Spika wa Bunge la Seneti KenLusaka, Seneta Maalum Milicent Omanga, mwanamuziki Akothee, kampuni ya kutengeneza mikate ya Broadways kati ya Tana River) kati ya wengine. Licha ya ahadi hizo, wadadisi wa elimu na uwajibikaji wa kijamii wanasema kuna maelfu ya wanafunzi wengi werevu kutoka wanaotoka familia maskini wanaokosa nafasi kuendeleza masomo yao kutokana na ufisadi, mapendeleo na usiri unaogubika mchakato mzima wa utoaji basari za elimu nchini. Wanataja kisa hicho kuwa sehemu ya maelfu ya wanafunzi kutoka familia maskini ambao hukosa kufanikisha ndoto zao maishani kwa kukosa njia za kuwafikia watu wanaoweza kuwasaidia kupata ufadhili wa masomo. “Tukio hilo ni taswira kamili kuhusu uozo upo katika taasisi muhimu nchini. Ni vipi mwanafunzi aliyezoa alama kama 420 anapata hizo anaweza kukosa ufadhili katika kaunti iliyo na mpango wa ufadhili wa gavana, mbunge na Mwakilishi wa Wanawake? Ni ishara kuwa bado tuna safari ndefu kulainisha utendakazi katika taasisi hizo," akasema Bi Wanjiru Gikonyo kutoka Taasisi ya Uwajibikaji wa Jamii . Mbali na mwanafunzi huyo, baadhi ya wale wameeleza hofu ya kukosa kujiunga na Kidato cha kwanza ni Caroline Mkamburi kutoka Kaunti ya Migori, aliyezoa alama 363, Becky Anyango (303, Migori), Margaret Miteka (378, Nakuru), TeddyJoshua (301, Uasin Gishu), Mata Kaja (351, wengine. Caroline anasema babake anafanya kazi za vibarua, hivi kwamba inakuwa vigumu kwao hata kupata chakula cha kutosha na kuwalipia karo ndugu zake wengine wawili ambao wamo katika shule ya upili. Simulizi ni kama iyo hiyo kwa binti Mata Kaja, anayesema amelazimika kuingilia uvuvi ili kukidhi mahitaji ya familia yao. “Mimi ni yatima. Nilipata barua katika Shule ya Upili ya Wasichana ya Bura. Je, ni vipi ninaweza kupata karo? Kila mara huwa naamka mapema kwenda katika Ziwa Shakababo kuvua samaki pamoja na shangazi yangu,” akasema, Wazazi wengi ambao walizungumza nasi walieleza kutamaushwa na taratibu nyingi ambazo huwa wanalazimishwa kufuata ili kupata ufadhili wa elimu kwa watoto wao, hasa katika Hazina ya Maeneobunge (NG-CDF) “Ni kinaya kuwa basari hupewa watu matajiri na wenye uwezo wa kulipa karo za wanao bila matatizo yoyote. Watu maskini huwa wanaachwa kujitetea kwa njia zote bila mafanikio," asema Bi Mary Auma, ambaye ni mkazi wa Nairobi. Wadadisi wanasema, kuna haja serikali kubuni mfumo utakaohakikisha kuna uwazi kutambua wanafunzi werevu wanaotoka familia maskini ili kuhakikisha kila mmoja ana nafasi ya kutimiza ndoto zake maishani.
Ni nani ameingilia uvuvi kukidhi mahitaji ya familia yao
{ "text": [ "Mata Kaja" ] }
0426_swa
Basari ni za matajiri tu? Gavana wa Lamu, Fahim Twaha ambaye alijitolea kumfadhili mwanafunzi Kisa cha msichana Diana Nyaboke kutoka Bungoma aliyenyimwa basari kumwezesha kujiunga na kidato cha kwanza kimeanika uozo ambao umezonga utaratibu wa ugavi wa fedha hizo. Msichana huyo alikosa karo kumwezesha kujiunga na shule ya upili ya Moi Girls, Eldoret. Licha ya kuzoa alama 401 kwenye mtihani wa Darasa la Nane (KCPE) Kulingana na mamake, Bi Priscilla Nyanchera, ombi lake la kuomba basari katika Mpango wa Ufadhili wa Masomo Kaunti ya Bungoma lilitupiliwa mbali katika hali ya kutatanisha. Ikizingatiwa anatoka katika famila maskini, mwanafunzi huyo alikuwa anatakaa kurudia katika Darasa la Nane, kilio chake kilipowafikia Wakenya Gavana Fahim Twaha wa Lamualiahidi kumlipia msichana huyo karo ya Sh53,000 ya mwaka mzima, kumweze sha kumaliza masomo yake ya kidato cha Kwanza. Gavana Wycliffe Wangamati alitaja tukio hilo kuwa kosa" lililofanyika bila ufahamu wake. Gavana Twaha alikuwa miongoni mwa mamia ya Wakenya maarufu waliojitokeza kumwahidi kumlipia karo kumaliza masomo yake ya shule ya upili. Miongoni mwa wale walioahidi kumsaidia ni Spika wa Bunge la Seneti KenLusaka, Seneta Maalum Milicent Omanga, mwanamuziki Akothee, kampuni ya kutengeneza mikate ya Broadways kati ya Tana River) kati ya wengine. Licha ya ahadi hizo, wadadisi wa elimu na uwajibikaji wa kijamii wanasema kuna maelfu ya wanafunzi wengi werevu kutoka wanaotoka familia maskini wanaokosa nafasi kuendeleza masomo yao kutokana na ufisadi, mapendeleo na usiri unaogubika mchakato mzima wa utoaji basari za elimu nchini. Wanataja kisa hicho kuwa sehemu ya maelfu ya wanafunzi kutoka familia maskini ambao hukosa kufanikisha ndoto zao maishani kwa kukosa njia za kuwafikia watu wanaoweza kuwasaidia kupata ufadhili wa masomo. “Tukio hilo ni taswira kamili kuhusu uozo upo katika taasisi muhimu nchini. Ni vipi mwanafunzi aliyezoa alama kama 420 anapata hizo anaweza kukosa ufadhili katika kaunti iliyo na mpango wa ufadhili wa gavana, mbunge na Mwakilishi wa Wanawake? Ni ishara kuwa bado tuna safari ndefu kulainisha utendakazi katika taasisi hizo," akasema Bi Wanjiru Gikonyo kutoka Taasisi ya Uwajibikaji wa Jamii . Mbali na mwanafunzi huyo, baadhi ya wale wameeleza hofu ya kukosa kujiunga na Kidato cha kwanza ni Caroline Mkamburi kutoka Kaunti ya Migori, aliyezoa alama 363, Becky Anyango (303, Migori), Margaret Miteka (378, Nakuru), TeddyJoshua (301, Uasin Gishu), Mata Kaja (351, wengine. Caroline anasema babake anafanya kazi za vibarua, hivi kwamba inakuwa vigumu kwao hata kupata chakula cha kutosha na kuwalipia karo ndugu zake wengine wawili ambao wamo katika shule ya upili. Simulizi ni kama iyo hiyo kwa binti Mata Kaja, anayesema amelazimika kuingilia uvuvi ili kukidhi mahitaji ya familia yao. “Mimi ni yatima. Nilipata barua katika Shule ya Upili ya Wasichana ya Bura. Je, ni vipi ninaweza kupata karo? Kila mara huwa naamka mapema kwenda katika Ziwa Shakababo kuvua samaki pamoja na shangazi yangu,” akasema, Wazazi wengi ambao walizungumza nasi walieleza kutamaushwa na taratibu nyingi ambazo huwa wanalazimishwa kufuata ili kupata ufadhili wa elimu kwa watoto wao, hasa katika Hazina ya Maeneobunge (NG-CDF) “Ni kinaya kuwa basari hupewa watu matajiri na wenye uwezo wa kulipa karo za wanao bila matatizo yoyote. Watu maskini huwa wanaachwa kujitetea kwa njia zote bila mafanikio," asema Bi Mary Auma, ambaye ni mkazi wa Nairobi. Wadadisi wanasema, kuna haja serikali kubuni mfumo utakaohakikisha kuna uwazi kutambua wanafunzi werevu wanaotoka familia maskini ili kuhakikisha kila mmoja ana nafasi ya kutimiza ndoto zake maishani.
Ni kinaya basari inapewa nani
{ "text": [ "Matajiri" ] }
0498_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YASABABISHWAYO NA JANGA LA KORONA Virusi vya korona ni jamii kubwa ya virusi vinavyojulikana kusababisha magonjwa yanayoanzisha homa ya kawaida hadi homa kali. Virusi vya corona vya sasa viligunduliwa mwezi Disemba mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa Wuhan, China. Ghafla bin vuu, makundi ya watu huko Wahun walianza kupata magonjwa yaliyoshabihi nimonia. Ugonjwa huo ulifanyiwa utafiti na kupachikwa jina UVIKO-19 kwa kuwa uligunduliwa mwaka wa elfu mbili na kumi na kenda. Dalili ya maradhi ya UVIKO-19 huwa ni kikohozi kikavu, ugumu wa kupumua na maumivu ya misuli au mwili. Maadamu kinga ni bora kuliko tiba. Binadamu yeyote anapaswa kuepuka msongamano, kuvalia barakoa na hata kufuta vifaa unavyovitumia, maana ni vyema kujihadhari kabla ya athari. Uwele wa UVIKO huaminika kupenda mahali penye unyevunyevu na sehemu zenye baridi na huaminika kusambaa kutoka mtu mmoja hadi mwingine kupitia vitone vidogo vidogo vya maji vinavyobebwa puani au mdomoni. Corona ni ziraili aletaye madhara yafuatayo: Mosi kabisa, janga la corona limepeleka watu wengi jongomeo. Si wakuu wa serikali, si mburomatari, si mabwanyenye, si wazee. Kufikia tarehe thelathini mwezi wa tatu mwaka huu, idadi ya watu waliofariki dunia nzima ilikuwa ni milioni mbili laki saba tisini na nne elfu na thelathini na tano kwa mujibu wa gazeti la "Daily Nation". Uviko-19 ni ugonjwa unaowaonea wakongwe na wadogo maana mifumokinga ya ni dhaifu haiwezi kudhibiti maambukizo ya virusi vya korona. La kusikitisha ni kuwa, maradhi ya corona humtinga binadamu mwenye maradhi sugu kama pumu, kifua kikuu, kisukari, shini la damu au kifaduro. Roho mbaya ya corona imetenganisha watu mashuhuri na uhai mathalani, Burundi Bwana Nkurunziza. Wauguzi nao pia wako hatarini kwani tulitaarifiwa na gazeti la Daily Nation” la tarehe thelathini, mwezi wa tatu mwaka huu, wauguzi wanaonewa sana na corona katika gatuzi la Vihiga mmoja wao aliaga dunia. Daktari Stephen Duko alinukuliwa na gazeti la "Daily Nation" akisalimikia kifo cha muuguzi huyo. Kisababishi? Virusi vya corona vilimpeleka jongomeo Bwana Mohammed Hamisi aliyekuwa mudiri wa shule ya upili ya maghulamu ya Tononoka. Simanzi ilitanda kama wingu la mvua. Isitoshe, janga la corona limefanya imani za kidini kupungua katika nchi tofauti na serikali nyingi zimechukua mikakati ya kupambana na ugonjwa tandavu. Waziri wa Afya wa Kenya, Bwana Mutahi Kagwe mnamo tarehe kumi na nne mwezi wa Aprili mwaka huu, alichukua hatua na kukataza mahuluku kutokwenda kanisani katika kaunti kumi na tatu zilizoko kando ya magharibi mwa Kenya ambazo ni Busia, Kakamega, Vihiga, Kisii, Nyamira, Kericho, Bomet, Bungoma, Trans Nzoia, Kisumu, Homabay, Migori na Siaya. Pasipo na maabadi imani hupungua maanake waamini wakutanapo kanisani, msikitini. au hekaluni huongezana imani kwa kuhimizana. Kulingana na taarifa tuliopashwa na gazeti la “Daily Nation” mnamo tarehe kumi na saba mwezi wa saba mwaka huu nchini Uganda waliharamishwa kwenda kanisani. Ama kweli lisilobudi hutendwa. Kilele cha unyama wa Corona ni kuwa imebananga utamaduni wa jamii mbalimbali. Kwa mfano kusalimiana kwa mikono ni mila na hata pia mtu anapokufa hafai kukaa zaidi ya saa sabini na mbili yaani siku tatu. Rais Yoweri Museveni wa Uganda alitia amri ya kuwa matanga na harusi isihudhuriwe na watu zaidi ya ishirini · Fauka ya hayo, janga la Corona limezorotesha elimu. Afrika hukutanisha malaki ya watu kwa nyimbo na chakula hurusini na matangani. Waziri wa Afya wa Kenya, Bwana Mutahi Kagwe alipotangaza kuwa mgonjwa wa kwanza mnamo tarehe kumi na tatu mwezi wa tatu mwaka wa elfu mbili na ishirini na kufungwa kwa shule za kibinafsi na hata za serikali. Alhamdulillah! Shule zilifunguliwa baada ya miezi sita. Corona imekuwa msumari moto katika vidonda vya walimu wengi kwani walibaki kulia takriban miezi sita bila lolote na kuwaza akilini mwao kuwa watalisha familia nini? Maswali mchafukoge yaliwatinga akilini mwao. Wanafunzi nao hawakuwachwa nyuma kwani wengi wao walifunga pingu za maisha na wengine kupata ujauzito wa utotoni. Wengi wakawa wahalifu na baadhi yao wakawa waraibu. Wanafunzi wengine walianza kufanya vibarua na wakazoea hela. Walipuuzilia mbali maana na umuhimu wa elimu. Asiyejua maana haambiwi maana. Vilevile, michezo ilidororeshwa na corona. Michezo ya Olimpiki iliratibiwa kufanyika Tokyo mwaka jana na kuandaliwa kwa hamu na hamumu mithili ya waislamu wanavyousubiri mwezi Kongo wa Ramadhani. Janga la corona lilivuma na kuvuruga vuruga mipango yote ya Olimpiki. Vilevile Sam Kendrieks wa Marekani alikatazwa kushiriki kwa mrukaji viunzi. Alhamdulillah! Hayawi hayawi huwa. Baada ya kusubiri kwa takribani mwaka mmoja, michezo hiyo itaanza mwisho wa Julai. Kwa upande mwingine hakuna mwanafunzi wa shule humu nchini aliyeshiriki katika mchezo wowote si mchezo wa pete, si kandanda, si mchezo wa magongo wala mchezo wa nyavu hadi sasa ninapoiandika insha hii. Si siri sirini bali ni dhahiri shahiri kuwa janga la corona limewafanya watu wanaoipenda ligi kuu ya Uingereza kutoiona kwa miezi na watu kuanza kuiona mwaka jana. Tuna imani kuwa itafanyika pasi na kizuizi. Biashara za kimataifa zilidorora baada ya mlipuko wa UVIKO-19. Kenya huuzia uingereza maua na matunda hasa kutoka Naivasha, lakini mwaka jana haikuwezekana kwani ndege zote zilikatazwa kupaa angani. Iliaminika hata matunda yanaweza kubeba virusi vya Corona. Vilevile nchi nyingi zilipiga marufuku ya mahuruji. Kwa mfano mwaka jana baada ya corona kulipuka Kenya haikuweza kuagiza kati ya Machi na Julai, vitu kutoka China. Kenya hununua nguo, dawa na hata pia magari yalishindikana. Masalaleh ! Ama kweli corona ni Ibilisi na ndio maana mimi na corona tumetenga kama ardhi na mbingu. Kwa kuongeza, janga la corona liliongeza ufisadi na kuenea kama moto katika kichaka chenye miti mikavu. Serikali ya kenye ilipokea zaidi ya mabilioni mia mbili kutoka Shirika la Afya Duniani. Cha kusikitisha ni kuwa, pesa hizo zimetumika kiufisadi na wananchi wengine wasiojua uzalendo. Unajua wanaitwa nani siku hizi? Ni mabilionea wa Uviko-19. Badala ya kununua glavu, barakoa, vitakasa, barakoa za 1195 na hata pia kikinga macho. Ama kweli akutukanaye hakuchagulii tusi na pia asiyejua utu si mtu. Kadhalika, janga la corona lilivuruga uhusiano wa kidiplomasia. Nusura Kenya ikosane na Tanzania mwaka jana. Corona ilipokuwa inaanza serikali ya Kenya ilisisitiza kuwa madereva wanaoleta bidhaa kwa malori kutoka Tanzania lazima wapimwe ikiwa wana virusi vya Corona. Rais wa Tanzania marehemu John Pombe Magufuli pamoja na wananchi wake walikuwa wanadai kuwa wameidhibiti UVIK0-19 nchini mwao. Fauka ya hayo, janga la corona limesababisha ucheleweshaji wa huduma katika maofisi kwa sababu ya kuepuka msongamano wa watu kwani watu wanatakiwa kuwa kando na mwenzake kwa mita mbili na ndio maana wanabiashara wakaambiwa wafanyie kazi nyumbani ili kudhibiti ueneaji wa UVIKO-19. Janga la corona pia limebananga uchumi wa nchi yetu. Hivi sasa ninavyoiandika insha hii bei ya vyakula na gesi imepaa na kupaa kama kuvu inashindana na kipungu kwenda juu. Tuna imani bei itashuka maana hata kipungu mwenyewe hafiki mbinguni. Juu ya hayo, janga la corona linaongeza idadi kubwa ya ulalahoi katika nchi tofauti. Watu wengi walipoteza ajira na waliobaki waliokuwa wana bahati ya mtende kulipwa mshahara wao nusu. Ikiwa wanalipwa mshahara wote kwani wenzao kwingineko wanalipwa mshahara nusu basi binadamu yeyote angebidi kubadili manzili aliyokuwa akiishi ili kuweza kulipa kodi ya nyumba. Kafyu imepunguza muda wa kufanya biashara. Isitoshe, janga la corona limeharibu utalii kwani nchi kadhaa zina zuio la kutotoka nyumbani. Kwa sasa nchi ya Uganda na India zimewekwa zuio la kutotoka nyumbani na India zuio lao la kutotoka nje ya nyumba limeisha majuzi tu. Jambo hili limefanya utalii kupungua kwani kila mtu ana hofu zake kuhusu kuenea kwa UVIKO-19. Hayawi hayawi huwa na Mungu si Athumani. Baada ya wanasayansi wa kila pembe za dunia kufanya utafiti na kukesha usiku na mchana waliweza kugundua chanjo kadhaa kama vile Pfizer Bion Tech, Moderna, Johnson's Janseen Novavax, Viral vector, chanjo ya MrNa na AstraZeneca. Kulingana na gazeti la “Taifa Leo" la Tarehe sita, Julai, mwaka huu, Tanzania itaanza kuunda kiwango cha chanjo ya UVIKO-19. Uturuki nayo haikuwachwa nyuma kwani ina chanjo inayoitwa Abdala. Ama kweli mgagaa na upwa hali wali mkavu na juhudi za mchwa anayejenga kingulima pamoja na watafiti zimethibitisha hili. Baada ya dhiki ni faraja, siku moja tutayazika maradhi ya corona kwenye kaburi la sahau.
Ni nini ambayo janga la Corono limezorotesha
{ "text": [ "elimu" ] }
0498_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YASABABISHWAYO NA JANGA LA KORONA Virusi vya korona ni jamii kubwa ya virusi vinavyojulikana kusababisha magonjwa yanayoanzisha homa ya kawaida hadi homa kali. Virusi vya corona vya sasa viligunduliwa mwezi Disemba mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa Wuhan, China. Ghafla bin vuu, makundi ya watu huko Wahun walianza kupata magonjwa yaliyoshabihi nimonia. Ugonjwa huo ulifanyiwa utafiti na kupachikwa jina UVIKO-19 kwa kuwa uligunduliwa mwaka wa elfu mbili na kumi na kenda. Dalili ya maradhi ya UVIKO-19 huwa ni kikohozi kikavu, ugumu wa kupumua na maumivu ya misuli au mwili. Maadamu kinga ni bora kuliko tiba. Binadamu yeyote anapaswa kuepuka msongamano, kuvalia barakoa na hata kufuta vifaa unavyovitumia, maana ni vyema kujihadhari kabla ya athari. Uwele wa UVIKO huaminika kupenda mahali penye unyevunyevu na sehemu zenye baridi na huaminika kusambaa kutoka mtu mmoja hadi mwingine kupitia vitone vidogo vidogo vya maji vinavyobebwa puani au mdomoni. Corona ni ziraili aletaye madhara yafuatayo: Mosi kabisa, janga la corona limepeleka watu wengi jongomeo. Si wakuu wa serikali, si mburomatari, si mabwanyenye, si wazee. Kufikia tarehe thelathini mwezi wa tatu mwaka huu, idadi ya watu waliofariki dunia nzima ilikuwa ni milioni mbili laki saba tisini na nne elfu na thelathini na tano kwa mujibu wa gazeti la "Daily Nation". Uviko-19 ni ugonjwa unaowaonea wakongwe na wadogo maana mifumokinga ya ni dhaifu haiwezi kudhibiti maambukizo ya virusi vya korona. La kusikitisha ni kuwa, maradhi ya corona humtinga binadamu mwenye maradhi sugu kama pumu, kifua kikuu, kisukari, shini la damu au kifaduro. Roho mbaya ya corona imetenganisha watu mashuhuri na uhai mathalani, Burundi Bwana Nkurunziza. Wauguzi nao pia wako hatarini kwani tulitaarifiwa na gazeti la Daily Nation” la tarehe thelathini, mwezi wa tatu mwaka huu, wauguzi wanaonewa sana na corona katika gatuzi la Vihiga mmoja wao aliaga dunia. Daktari Stephen Duko alinukuliwa na gazeti la "Daily Nation" akisalimikia kifo cha muuguzi huyo. Kisababishi? Virusi vya corona vilimpeleka jongomeo Bwana Mohammed Hamisi aliyekuwa mudiri wa shule ya upili ya maghulamu ya Tononoka. Simanzi ilitanda kama wingu la mvua. Isitoshe, janga la corona limefanya imani za kidini kupungua katika nchi tofauti na serikali nyingi zimechukua mikakati ya kupambana na ugonjwa tandavu. Waziri wa Afya wa Kenya, Bwana Mutahi Kagwe mnamo tarehe kumi na nne mwezi wa Aprili mwaka huu, alichukua hatua na kukataza mahuluku kutokwenda kanisani katika kaunti kumi na tatu zilizoko kando ya magharibi mwa Kenya ambazo ni Busia, Kakamega, Vihiga, Kisii, Nyamira, Kericho, Bomet, Bungoma, Trans Nzoia, Kisumu, Homabay, Migori na Siaya. Pasipo na maabadi imani hupungua maanake waamini wakutanapo kanisani, msikitini. au hekaluni huongezana imani kwa kuhimizana. Kulingana na taarifa tuliopashwa na gazeti la “Daily Nation” mnamo tarehe kumi na saba mwezi wa saba mwaka huu nchini Uganda waliharamishwa kwenda kanisani. Ama kweli lisilobudi hutendwa. Kilele cha unyama wa Corona ni kuwa imebananga utamaduni wa jamii mbalimbali. Kwa mfano kusalimiana kwa mikono ni mila na hata pia mtu anapokufa hafai kukaa zaidi ya saa sabini na mbili yaani siku tatu. Rais Yoweri Museveni wa Uganda alitia amri ya kuwa matanga na harusi isihudhuriwe na watu zaidi ya ishirini · Fauka ya hayo, janga la Corona limezorotesha elimu. Afrika hukutanisha malaki ya watu kwa nyimbo na chakula hurusini na matangani. Waziri wa Afya wa Kenya, Bwana Mutahi Kagwe alipotangaza kuwa mgonjwa wa kwanza mnamo tarehe kumi na tatu mwezi wa tatu mwaka wa elfu mbili na ishirini na kufungwa kwa shule za kibinafsi na hata za serikali. Alhamdulillah! Shule zilifunguliwa baada ya miezi sita. Corona imekuwa msumari moto katika vidonda vya walimu wengi kwani walibaki kulia takriban miezi sita bila lolote na kuwaza akilini mwao kuwa watalisha familia nini? Maswali mchafukoge yaliwatinga akilini mwao. Wanafunzi nao hawakuwachwa nyuma kwani wengi wao walifunga pingu za maisha na wengine kupata ujauzito wa utotoni. Wengi wakawa wahalifu na baadhi yao wakawa waraibu. Wanafunzi wengine walianza kufanya vibarua na wakazoea hela. Walipuuzilia mbali maana na umuhimu wa elimu. Asiyejua maana haambiwi maana. Vilevile, michezo ilidororeshwa na corona. Michezo ya Olimpiki iliratibiwa kufanyika Tokyo mwaka jana na kuandaliwa kwa hamu na hamumu mithili ya waislamu wanavyousubiri mwezi Kongo wa Ramadhani. Janga la corona lilivuma na kuvuruga vuruga mipango yote ya Olimpiki. Vilevile Sam Kendrieks wa Marekani alikatazwa kushiriki kwa mrukaji viunzi. Alhamdulillah! Hayawi hayawi huwa. Baada ya kusubiri kwa takribani mwaka mmoja, michezo hiyo itaanza mwisho wa Julai. Kwa upande mwingine hakuna mwanafunzi wa shule humu nchini aliyeshiriki katika mchezo wowote si mchezo wa pete, si kandanda, si mchezo wa magongo wala mchezo wa nyavu hadi sasa ninapoiandika insha hii. Si siri sirini bali ni dhahiri shahiri kuwa janga la corona limewafanya watu wanaoipenda ligi kuu ya Uingereza kutoiona kwa miezi na watu kuanza kuiona mwaka jana. Tuna imani kuwa itafanyika pasi na kizuizi. Biashara za kimataifa zilidorora baada ya mlipuko wa UVIKO-19. Kenya huuzia uingereza maua na matunda hasa kutoka Naivasha, lakini mwaka jana haikuwezekana kwani ndege zote zilikatazwa kupaa angani. Iliaminika hata matunda yanaweza kubeba virusi vya Corona. Vilevile nchi nyingi zilipiga marufuku ya mahuruji. Kwa mfano mwaka jana baada ya corona kulipuka Kenya haikuweza kuagiza kati ya Machi na Julai, vitu kutoka China. Kenya hununua nguo, dawa na hata pia magari yalishindikana. Masalaleh ! Ama kweli corona ni Ibilisi na ndio maana mimi na corona tumetenga kama ardhi na mbingu. Kwa kuongeza, janga la corona liliongeza ufisadi na kuenea kama moto katika kichaka chenye miti mikavu. Serikali ya kenye ilipokea zaidi ya mabilioni mia mbili kutoka Shirika la Afya Duniani. Cha kusikitisha ni kuwa, pesa hizo zimetumika kiufisadi na wananchi wengine wasiojua uzalendo. Unajua wanaitwa nani siku hizi? Ni mabilionea wa Uviko-19. Badala ya kununua glavu, barakoa, vitakasa, barakoa za 1195 na hata pia kikinga macho. Ama kweli akutukanaye hakuchagulii tusi na pia asiyejua utu si mtu. Kadhalika, janga la corona lilivuruga uhusiano wa kidiplomasia. Nusura Kenya ikosane na Tanzania mwaka jana. Corona ilipokuwa inaanza serikali ya Kenya ilisisitiza kuwa madereva wanaoleta bidhaa kwa malori kutoka Tanzania lazima wapimwe ikiwa wana virusi vya Corona. Rais wa Tanzania marehemu John Pombe Magufuli pamoja na wananchi wake walikuwa wanadai kuwa wameidhibiti UVIK0-19 nchini mwao. Fauka ya hayo, janga la corona limesababisha ucheleweshaji wa huduma katika maofisi kwa sababu ya kuepuka msongamano wa watu kwani watu wanatakiwa kuwa kando na mwenzake kwa mita mbili na ndio maana wanabiashara wakaambiwa wafanyie kazi nyumbani ili kudhibiti ueneaji wa UVIKO-19. Janga la corona pia limebananga uchumi wa nchi yetu. Hivi sasa ninavyoiandika insha hii bei ya vyakula na gesi imepaa na kupaa kama kuvu inashindana na kipungu kwenda juu. Tuna imani bei itashuka maana hata kipungu mwenyewe hafiki mbinguni. Juu ya hayo, janga la corona linaongeza idadi kubwa ya ulalahoi katika nchi tofauti. Watu wengi walipoteza ajira na waliobaki waliokuwa wana bahati ya mtende kulipwa mshahara wao nusu. Ikiwa wanalipwa mshahara wote kwani wenzao kwingineko wanalipwa mshahara nusu basi binadamu yeyote angebidi kubadili manzili aliyokuwa akiishi ili kuweza kulipa kodi ya nyumba. Kafyu imepunguza muda wa kufanya biashara. Isitoshe, janga la corona limeharibu utalii kwani nchi kadhaa zina zuio la kutotoka nyumbani. Kwa sasa nchi ya Uganda na India zimewekwa zuio la kutotoka nyumbani na India zuio lao la kutotoka nje ya nyumba limeisha majuzi tu. Jambo hili limefanya utalii kupungua kwani kila mtu ana hofu zake kuhusu kuenea kwa UVIKO-19. Hayawi hayawi huwa na Mungu si Athumani. Baada ya wanasayansi wa kila pembe za dunia kufanya utafiti na kukesha usiku na mchana waliweza kugundua chanjo kadhaa kama vile Pfizer Bion Tech, Moderna, Johnson's Janseen Novavax, Viral vector, chanjo ya MrNa na AstraZeneca. Kulingana na gazeti la “Taifa Leo" la Tarehe sita, Julai, mwaka huu, Tanzania itaanza kuunda kiwango cha chanjo ya UVIKO-19. Uturuki nayo haikuwachwa nyuma kwani ina chanjo inayoitwa Abdala. Ama kweli mgagaa na upwa hali wali mkavu na juhudi za mchwa anayejenga kingulima pamoja na watafiti zimethibitisha hili. Baada ya dhiki ni faraja, siku moja tutayazika maradhi ya corona kwenye kaburi la sahau.
Ni idadi ngapi ya watu ilikatazwa kuhudhuria matanga na harusi
{ "text": [ "zaidi ya ishirini" ] }
0498_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YASABABISHWAYO NA JANGA LA KORONA Virusi vya korona ni jamii kubwa ya virusi vinavyojulikana kusababisha magonjwa yanayoanzisha homa ya kawaida hadi homa kali. Virusi vya corona vya sasa viligunduliwa mwezi Disemba mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa Wuhan, China. Ghafla bin vuu, makundi ya watu huko Wahun walianza kupata magonjwa yaliyoshabihi nimonia. Ugonjwa huo ulifanyiwa utafiti na kupachikwa jina UVIKO-19 kwa kuwa uligunduliwa mwaka wa elfu mbili na kumi na kenda. Dalili ya maradhi ya UVIKO-19 huwa ni kikohozi kikavu, ugumu wa kupumua na maumivu ya misuli au mwili. Maadamu kinga ni bora kuliko tiba. Binadamu yeyote anapaswa kuepuka msongamano, kuvalia barakoa na hata kufuta vifaa unavyovitumia, maana ni vyema kujihadhari kabla ya athari. Uwele wa UVIKO huaminika kupenda mahali penye unyevunyevu na sehemu zenye baridi na huaminika kusambaa kutoka mtu mmoja hadi mwingine kupitia vitone vidogo vidogo vya maji vinavyobebwa puani au mdomoni. Corona ni ziraili aletaye madhara yafuatayo: Mosi kabisa, janga la corona limepeleka watu wengi jongomeo. Si wakuu wa serikali, si mburomatari, si mabwanyenye, si wazee. Kufikia tarehe thelathini mwezi wa tatu mwaka huu, idadi ya watu waliofariki dunia nzima ilikuwa ni milioni mbili laki saba tisini na nne elfu na thelathini na tano kwa mujibu wa gazeti la "Daily Nation". Uviko-19 ni ugonjwa unaowaonea wakongwe na wadogo maana mifumokinga ya ni dhaifu haiwezi kudhibiti maambukizo ya virusi vya korona. La kusikitisha ni kuwa, maradhi ya corona humtinga binadamu mwenye maradhi sugu kama pumu, kifua kikuu, kisukari, shini la damu au kifaduro. Roho mbaya ya corona imetenganisha watu mashuhuri na uhai mathalani, Burundi Bwana Nkurunziza. Wauguzi nao pia wako hatarini kwani tulitaarifiwa na gazeti la Daily Nation” la tarehe thelathini, mwezi wa tatu mwaka huu, wauguzi wanaonewa sana na corona katika gatuzi la Vihiga mmoja wao aliaga dunia. Daktari Stephen Duko alinukuliwa na gazeti la "Daily Nation" akisalimikia kifo cha muuguzi huyo. Kisababishi? Virusi vya corona vilimpeleka jongomeo Bwana Mohammed Hamisi aliyekuwa mudiri wa shule ya upili ya maghulamu ya Tononoka. Simanzi ilitanda kama wingu la mvua. Isitoshe, janga la corona limefanya imani za kidini kupungua katika nchi tofauti na serikali nyingi zimechukua mikakati ya kupambana na ugonjwa tandavu. Waziri wa Afya wa Kenya, Bwana Mutahi Kagwe mnamo tarehe kumi na nne mwezi wa Aprili mwaka huu, alichukua hatua na kukataza mahuluku kutokwenda kanisani katika kaunti kumi na tatu zilizoko kando ya magharibi mwa Kenya ambazo ni Busia, Kakamega, Vihiga, Kisii, Nyamira, Kericho, Bomet, Bungoma, Trans Nzoia, Kisumu, Homabay, Migori na Siaya. Pasipo na maabadi imani hupungua maanake waamini wakutanapo kanisani, msikitini. au hekaluni huongezana imani kwa kuhimizana. Kulingana na taarifa tuliopashwa na gazeti la “Daily Nation” mnamo tarehe kumi na saba mwezi wa saba mwaka huu nchini Uganda waliharamishwa kwenda kanisani. Ama kweli lisilobudi hutendwa. Kilele cha unyama wa Corona ni kuwa imebananga utamaduni wa jamii mbalimbali. Kwa mfano kusalimiana kwa mikono ni mila na hata pia mtu anapokufa hafai kukaa zaidi ya saa sabini na mbili yaani siku tatu. Rais Yoweri Museveni wa Uganda alitia amri ya kuwa matanga na harusi isihudhuriwe na watu zaidi ya ishirini · Fauka ya hayo, janga la Corona limezorotesha elimu. Afrika hukutanisha malaki ya watu kwa nyimbo na chakula hurusini na matangani. Waziri wa Afya wa Kenya, Bwana Mutahi Kagwe alipotangaza kuwa mgonjwa wa kwanza mnamo tarehe kumi na tatu mwezi wa tatu mwaka wa elfu mbili na ishirini na kufungwa kwa shule za kibinafsi na hata za serikali. Alhamdulillah! Shule zilifunguliwa baada ya miezi sita. Corona imekuwa msumari moto katika vidonda vya walimu wengi kwani walibaki kulia takriban miezi sita bila lolote na kuwaza akilini mwao kuwa watalisha familia nini? Maswali mchafukoge yaliwatinga akilini mwao. Wanafunzi nao hawakuwachwa nyuma kwani wengi wao walifunga pingu za maisha na wengine kupata ujauzito wa utotoni. Wengi wakawa wahalifu na baadhi yao wakawa waraibu. Wanafunzi wengine walianza kufanya vibarua na wakazoea hela. Walipuuzilia mbali maana na umuhimu wa elimu. Asiyejua maana haambiwi maana. Vilevile, michezo ilidororeshwa na corona. Michezo ya Olimpiki iliratibiwa kufanyika Tokyo mwaka jana na kuandaliwa kwa hamu na hamumu mithili ya waislamu wanavyousubiri mwezi Kongo wa Ramadhani. Janga la corona lilivuma na kuvuruga vuruga mipango yote ya Olimpiki. Vilevile Sam Kendrieks wa Marekani alikatazwa kushiriki kwa mrukaji viunzi. Alhamdulillah! Hayawi hayawi huwa. Baada ya kusubiri kwa takribani mwaka mmoja, michezo hiyo itaanza mwisho wa Julai. Kwa upande mwingine hakuna mwanafunzi wa shule humu nchini aliyeshiriki katika mchezo wowote si mchezo wa pete, si kandanda, si mchezo wa magongo wala mchezo wa nyavu hadi sasa ninapoiandika insha hii. Si siri sirini bali ni dhahiri shahiri kuwa janga la corona limewafanya watu wanaoipenda ligi kuu ya Uingereza kutoiona kwa miezi na watu kuanza kuiona mwaka jana. Tuna imani kuwa itafanyika pasi na kizuizi. Biashara za kimataifa zilidorora baada ya mlipuko wa UVIKO-19. Kenya huuzia uingereza maua na matunda hasa kutoka Naivasha, lakini mwaka jana haikuwezekana kwani ndege zote zilikatazwa kupaa angani. Iliaminika hata matunda yanaweza kubeba virusi vya Corona. Vilevile nchi nyingi zilipiga marufuku ya mahuruji. Kwa mfano mwaka jana baada ya corona kulipuka Kenya haikuweza kuagiza kati ya Machi na Julai, vitu kutoka China. Kenya hununua nguo, dawa na hata pia magari yalishindikana. Masalaleh ! Ama kweli corona ni Ibilisi na ndio maana mimi na corona tumetenga kama ardhi na mbingu. Kwa kuongeza, janga la corona liliongeza ufisadi na kuenea kama moto katika kichaka chenye miti mikavu. Serikali ya kenye ilipokea zaidi ya mabilioni mia mbili kutoka Shirika la Afya Duniani. Cha kusikitisha ni kuwa, pesa hizo zimetumika kiufisadi na wananchi wengine wasiojua uzalendo. Unajua wanaitwa nani siku hizi? Ni mabilionea wa Uviko-19. Badala ya kununua glavu, barakoa, vitakasa, barakoa za 1195 na hata pia kikinga macho. Ama kweli akutukanaye hakuchagulii tusi na pia asiyejua utu si mtu. Kadhalika, janga la corona lilivuruga uhusiano wa kidiplomasia. Nusura Kenya ikosane na Tanzania mwaka jana. Corona ilipokuwa inaanza serikali ya Kenya ilisisitiza kuwa madereva wanaoleta bidhaa kwa malori kutoka Tanzania lazima wapimwe ikiwa wana virusi vya Corona. Rais wa Tanzania marehemu John Pombe Magufuli pamoja na wananchi wake walikuwa wanadai kuwa wameidhibiti UVIK0-19 nchini mwao. Fauka ya hayo, janga la corona limesababisha ucheleweshaji wa huduma katika maofisi kwa sababu ya kuepuka msongamano wa watu kwani watu wanatakiwa kuwa kando na mwenzake kwa mita mbili na ndio maana wanabiashara wakaambiwa wafanyie kazi nyumbani ili kudhibiti ueneaji wa UVIKO-19. Janga la corona pia limebananga uchumi wa nchi yetu. Hivi sasa ninavyoiandika insha hii bei ya vyakula na gesi imepaa na kupaa kama kuvu inashindana na kipungu kwenda juu. Tuna imani bei itashuka maana hata kipungu mwenyewe hafiki mbinguni. Juu ya hayo, janga la corona linaongeza idadi kubwa ya ulalahoi katika nchi tofauti. Watu wengi walipoteza ajira na waliobaki waliokuwa wana bahati ya mtende kulipwa mshahara wao nusu. Ikiwa wanalipwa mshahara wote kwani wenzao kwingineko wanalipwa mshahara nusu basi binadamu yeyote angebidi kubadili manzili aliyokuwa akiishi ili kuweza kulipa kodi ya nyumba. Kafyu imepunguza muda wa kufanya biashara. Isitoshe, janga la corona limeharibu utalii kwani nchi kadhaa zina zuio la kutotoka nyumbani. Kwa sasa nchi ya Uganda na India zimewekwa zuio la kutotoka nyumbani na India zuio lao la kutotoka nje ya nyumba limeisha majuzi tu. Jambo hili limefanya utalii kupungua kwani kila mtu ana hofu zake kuhusu kuenea kwa UVIKO-19. Hayawi hayawi huwa na Mungu si Athumani. Baada ya wanasayansi wa kila pembe za dunia kufanya utafiti na kukesha usiku na mchana waliweza kugundua chanjo kadhaa kama vile Pfizer Bion Tech, Moderna, Johnson's Janseen Novavax, Viral vector, chanjo ya MrNa na AstraZeneca. Kulingana na gazeti la “Taifa Leo" la Tarehe sita, Julai, mwaka huu, Tanzania itaanza kuunda kiwango cha chanjo ya UVIKO-19. Uturuki nayo haikuwachwa nyuma kwani ina chanjo inayoitwa Abdala. Ama kweli mgagaa na upwa hali wali mkavu na juhudi za mchwa anayejenga kingulima pamoja na watafiti zimethibitisha hili. Baada ya dhiki ni faraja, siku moja tutayazika maradhi ya corona kwenye kaburi la sahau.
Nini iliaminika inaweza beba virusi vya corona inaposafirishwa
{ "text": [ "matunda" ] }
0498_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YASABABISHWAYO NA JANGA LA KORONA Virusi vya korona ni jamii kubwa ya virusi vinavyojulikana kusababisha magonjwa yanayoanzisha homa ya kawaida hadi homa kali. Virusi vya corona vya sasa viligunduliwa mwezi Disemba mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa Wuhan, China. Ghafla bin vuu, makundi ya watu huko Wahun walianza kupata magonjwa yaliyoshabihi nimonia. Ugonjwa huo ulifanyiwa utafiti na kupachikwa jina UVIKO-19 kwa kuwa uligunduliwa mwaka wa elfu mbili na kumi na kenda. Dalili ya maradhi ya UVIKO-19 huwa ni kikohozi kikavu, ugumu wa kupumua na maumivu ya misuli au mwili. Maadamu kinga ni bora kuliko tiba. Binadamu yeyote anapaswa kuepuka msongamano, kuvalia barakoa na hata kufuta vifaa unavyovitumia, maana ni vyema kujihadhari kabla ya athari. Uwele wa UVIKO huaminika kupenda mahali penye unyevunyevu na sehemu zenye baridi na huaminika kusambaa kutoka mtu mmoja hadi mwingine kupitia vitone vidogo vidogo vya maji vinavyobebwa puani au mdomoni. Corona ni ziraili aletaye madhara yafuatayo: Mosi kabisa, janga la corona limepeleka watu wengi jongomeo. Si wakuu wa serikali, si mburomatari, si mabwanyenye, si wazee. Kufikia tarehe thelathini mwezi wa tatu mwaka huu, idadi ya watu waliofariki dunia nzima ilikuwa ni milioni mbili laki saba tisini na nne elfu na thelathini na tano kwa mujibu wa gazeti la "Daily Nation". Uviko-19 ni ugonjwa unaowaonea wakongwe na wadogo maana mifumokinga ya ni dhaifu haiwezi kudhibiti maambukizo ya virusi vya korona. La kusikitisha ni kuwa, maradhi ya corona humtinga binadamu mwenye maradhi sugu kama pumu, kifua kikuu, kisukari, shini la damu au kifaduro. Roho mbaya ya corona imetenganisha watu mashuhuri na uhai mathalani, Burundi Bwana Nkurunziza. Wauguzi nao pia wako hatarini kwani tulitaarifiwa na gazeti la Daily Nation” la tarehe thelathini, mwezi wa tatu mwaka huu, wauguzi wanaonewa sana na corona katika gatuzi la Vihiga mmoja wao aliaga dunia. Daktari Stephen Duko alinukuliwa na gazeti la "Daily Nation" akisalimikia kifo cha muuguzi huyo. Kisababishi? Virusi vya corona vilimpeleka jongomeo Bwana Mohammed Hamisi aliyekuwa mudiri wa shule ya upili ya maghulamu ya Tononoka. Simanzi ilitanda kama wingu la mvua. Isitoshe, janga la corona limefanya imani za kidini kupungua katika nchi tofauti na serikali nyingi zimechukua mikakati ya kupambana na ugonjwa tandavu. Waziri wa Afya wa Kenya, Bwana Mutahi Kagwe mnamo tarehe kumi na nne mwezi wa Aprili mwaka huu, alichukua hatua na kukataza mahuluku kutokwenda kanisani katika kaunti kumi na tatu zilizoko kando ya magharibi mwa Kenya ambazo ni Busia, Kakamega, Vihiga, Kisii, Nyamira, Kericho, Bomet, Bungoma, Trans Nzoia, Kisumu, Homabay, Migori na Siaya. Pasipo na maabadi imani hupungua maanake waamini wakutanapo kanisani, msikitini. au hekaluni huongezana imani kwa kuhimizana. Kulingana na taarifa tuliopashwa na gazeti la “Daily Nation” mnamo tarehe kumi na saba mwezi wa saba mwaka huu nchini Uganda waliharamishwa kwenda kanisani. Ama kweli lisilobudi hutendwa. Kilele cha unyama wa Corona ni kuwa imebananga utamaduni wa jamii mbalimbali. Kwa mfano kusalimiana kwa mikono ni mila na hata pia mtu anapokufa hafai kukaa zaidi ya saa sabini na mbili yaani siku tatu. Rais Yoweri Museveni wa Uganda alitia amri ya kuwa matanga na harusi isihudhuriwe na watu zaidi ya ishirini · Fauka ya hayo, janga la Corona limezorotesha elimu. Afrika hukutanisha malaki ya watu kwa nyimbo na chakula hurusini na matangani. Waziri wa Afya wa Kenya, Bwana Mutahi Kagwe alipotangaza kuwa mgonjwa wa kwanza mnamo tarehe kumi na tatu mwezi wa tatu mwaka wa elfu mbili na ishirini na kufungwa kwa shule za kibinafsi na hata za serikali. Alhamdulillah! Shule zilifunguliwa baada ya miezi sita. Corona imekuwa msumari moto katika vidonda vya walimu wengi kwani walibaki kulia takriban miezi sita bila lolote na kuwaza akilini mwao kuwa watalisha familia nini? Maswali mchafukoge yaliwatinga akilini mwao. Wanafunzi nao hawakuwachwa nyuma kwani wengi wao walifunga pingu za maisha na wengine kupata ujauzito wa utotoni. Wengi wakawa wahalifu na baadhi yao wakawa waraibu. Wanafunzi wengine walianza kufanya vibarua na wakazoea hela. Walipuuzilia mbali maana na umuhimu wa elimu. Asiyejua maana haambiwi maana. Vilevile, michezo ilidororeshwa na corona. Michezo ya Olimpiki iliratibiwa kufanyika Tokyo mwaka jana na kuandaliwa kwa hamu na hamumu mithili ya waislamu wanavyousubiri mwezi Kongo wa Ramadhani. Janga la corona lilivuma na kuvuruga vuruga mipango yote ya Olimpiki. Vilevile Sam Kendrieks wa Marekani alikatazwa kushiriki kwa mrukaji viunzi. Alhamdulillah! Hayawi hayawi huwa. Baada ya kusubiri kwa takribani mwaka mmoja, michezo hiyo itaanza mwisho wa Julai. Kwa upande mwingine hakuna mwanafunzi wa shule humu nchini aliyeshiriki katika mchezo wowote si mchezo wa pete, si kandanda, si mchezo wa magongo wala mchezo wa nyavu hadi sasa ninapoiandika insha hii. Si siri sirini bali ni dhahiri shahiri kuwa janga la corona limewafanya watu wanaoipenda ligi kuu ya Uingereza kutoiona kwa miezi na watu kuanza kuiona mwaka jana. Tuna imani kuwa itafanyika pasi na kizuizi. Biashara za kimataifa zilidorora baada ya mlipuko wa UVIKO-19. Kenya huuzia uingereza maua na matunda hasa kutoka Naivasha, lakini mwaka jana haikuwezekana kwani ndege zote zilikatazwa kupaa angani. Iliaminika hata matunda yanaweza kubeba virusi vya Corona. Vilevile nchi nyingi zilipiga marufuku ya mahuruji. Kwa mfano mwaka jana baada ya corona kulipuka Kenya haikuweza kuagiza kati ya Machi na Julai, vitu kutoka China. Kenya hununua nguo, dawa na hata pia magari yalishindikana. Masalaleh ! Ama kweli corona ni Ibilisi na ndio maana mimi na corona tumetenga kama ardhi na mbingu. Kwa kuongeza, janga la corona liliongeza ufisadi na kuenea kama moto katika kichaka chenye miti mikavu. Serikali ya kenye ilipokea zaidi ya mabilioni mia mbili kutoka Shirika la Afya Duniani. Cha kusikitisha ni kuwa, pesa hizo zimetumika kiufisadi na wananchi wengine wasiojua uzalendo. Unajua wanaitwa nani siku hizi? Ni mabilionea wa Uviko-19. Badala ya kununua glavu, barakoa, vitakasa, barakoa za 1195 na hata pia kikinga macho. Ama kweli akutukanaye hakuchagulii tusi na pia asiyejua utu si mtu. Kadhalika, janga la corona lilivuruga uhusiano wa kidiplomasia. Nusura Kenya ikosane na Tanzania mwaka jana. Corona ilipokuwa inaanza serikali ya Kenya ilisisitiza kuwa madereva wanaoleta bidhaa kwa malori kutoka Tanzania lazima wapimwe ikiwa wana virusi vya Corona. Rais wa Tanzania marehemu John Pombe Magufuli pamoja na wananchi wake walikuwa wanadai kuwa wameidhibiti UVIK0-19 nchini mwao. Fauka ya hayo, janga la corona limesababisha ucheleweshaji wa huduma katika maofisi kwa sababu ya kuepuka msongamano wa watu kwani watu wanatakiwa kuwa kando na mwenzake kwa mita mbili na ndio maana wanabiashara wakaambiwa wafanyie kazi nyumbani ili kudhibiti ueneaji wa UVIKO-19. Janga la corona pia limebananga uchumi wa nchi yetu. Hivi sasa ninavyoiandika insha hii bei ya vyakula na gesi imepaa na kupaa kama kuvu inashindana na kipungu kwenda juu. Tuna imani bei itashuka maana hata kipungu mwenyewe hafiki mbinguni. Juu ya hayo, janga la corona linaongeza idadi kubwa ya ulalahoi katika nchi tofauti. Watu wengi walipoteza ajira na waliobaki waliokuwa wana bahati ya mtende kulipwa mshahara wao nusu. Ikiwa wanalipwa mshahara wote kwani wenzao kwingineko wanalipwa mshahara nusu basi binadamu yeyote angebidi kubadili manzili aliyokuwa akiishi ili kuweza kulipa kodi ya nyumba. Kafyu imepunguza muda wa kufanya biashara. Isitoshe, janga la corona limeharibu utalii kwani nchi kadhaa zina zuio la kutotoka nyumbani. Kwa sasa nchi ya Uganda na India zimewekwa zuio la kutotoka nyumbani na India zuio lao la kutotoka nje ya nyumba limeisha majuzi tu. Jambo hili limefanya utalii kupungua kwani kila mtu ana hofu zake kuhusu kuenea kwa UVIKO-19. Hayawi hayawi huwa na Mungu si Athumani. Baada ya wanasayansi wa kila pembe za dunia kufanya utafiti na kukesha usiku na mchana waliweza kugundua chanjo kadhaa kama vile Pfizer Bion Tech, Moderna, Johnson's Janseen Novavax, Viral vector, chanjo ya MrNa na AstraZeneca. Kulingana na gazeti la “Taifa Leo" la Tarehe sita, Julai, mwaka huu, Tanzania itaanza kuunda kiwango cha chanjo ya UVIKO-19. Uturuki nayo haikuwachwa nyuma kwani ina chanjo inayoitwa Abdala. Ama kweli mgagaa na upwa hali wali mkavu na juhudi za mchwa anayejenga kingulima pamoja na watafiti zimethibitisha hili. Baada ya dhiki ni faraja, siku moja tutayazika maradhi ya corona kwenye kaburi la sahau.
baada ya michezo ya olimpiki kuhairishwa yalikua yaanze lini
{ "text": [ "mwisho wa Julai" ] }
0498_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YASABABISHWAYO NA JANGA LA KORONA Virusi vya korona ni jamii kubwa ya virusi vinavyojulikana kusababisha magonjwa yanayoanzisha homa ya kawaida hadi homa kali. Virusi vya corona vya sasa viligunduliwa mwezi Disemba mwaka wa elfu mbili na kumi na tisa Wuhan, China. Ghafla bin vuu, makundi ya watu huko Wahun walianza kupata magonjwa yaliyoshabihi nimonia. Ugonjwa huo ulifanyiwa utafiti na kupachikwa jina UVIKO-19 kwa kuwa uligunduliwa mwaka wa elfu mbili na kumi na kenda. Dalili ya maradhi ya UVIKO-19 huwa ni kikohozi kikavu, ugumu wa kupumua na maumivu ya misuli au mwili. Maadamu kinga ni bora kuliko tiba. Binadamu yeyote anapaswa kuepuka msongamano, kuvalia barakoa na hata kufuta vifaa unavyovitumia, maana ni vyema kujihadhari kabla ya athari. Uwele wa UVIKO huaminika kupenda mahali penye unyevunyevu na sehemu zenye baridi na huaminika kusambaa kutoka mtu mmoja hadi mwingine kupitia vitone vidogo vidogo vya maji vinavyobebwa puani au mdomoni. Corona ni ziraili aletaye madhara yafuatayo: Mosi kabisa, janga la corona limepeleka watu wengi jongomeo. Si wakuu wa serikali, si mburomatari, si mabwanyenye, si wazee. Kufikia tarehe thelathini mwezi wa tatu mwaka huu, idadi ya watu waliofariki dunia nzima ilikuwa ni milioni mbili laki saba tisini na nne elfu na thelathini na tano kwa mujibu wa gazeti la "Daily Nation". Uviko-19 ni ugonjwa unaowaonea wakongwe na wadogo maana mifumokinga ya ni dhaifu haiwezi kudhibiti maambukizo ya virusi vya korona. La kusikitisha ni kuwa, maradhi ya corona humtinga binadamu mwenye maradhi sugu kama pumu, kifua kikuu, kisukari, shini la damu au kifaduro. Roho mbaya ya corona imetenganisha watu mashuhuri na uhai mathalani, Burundi Bwana Nkurunziza. Wauguzi nao pia wako hatarini kwani tulitaarifiwa na gazeti la Daily Nation” la tarehe thelathini, mwezi wa tatu mwaka huu, wauguzi wanaonewa sana na corona katika gatuzi la Vihiga mmoja wao aliaga dunia. Daktari Stephen Duko alinukuliwa na gazeti la "Daily Nation" akisalimikia kifo cha muuguzi huyo. Kisababishi? Virusi vya corona vilimpeleka jongomeo Bwana Mohammed Hamisi aliyekuwa mudiri wa shule ya upili ya maghulamu ya Tononoka. Simanzi ilitanda kama wingu la mvua. Isitoshe, janga la corona limefanya imani za kidini kupungua katika nchi tofauti na serikali nyingi zimechukua mikakati ya kupambana na ugonjwa tandavu. Waziri wa Afya wa Kenya, Bwana Mutahi Kagwe mnamo tarehe kumi na nne mwezi wa Aprili mwaka huu, alichukua hatua na kukataza mahuluku kutokwenda kanisani katika kaunti kumi na tatu zilizoko kando ya magharibi mwa Kenya ambazo ni Busia, Kakamega, Vihiga, Kisii, Nyamira, Kericho, Bomet, Bungoma, Trans Nzoia, Kisumu, Homabay, Migori na Siaya. Pasipo na maabadi imani hupungua maanake waamini wakutanapo kanisani, msikitini. au hekaluni huongezana imani kwa kuhimizana. Kulingana na taarifa tuliopashwa na gazeti la “Daily Nation” mnamo tarehe kumi na saba mwezi wa saba mwaka huu nchini Uganda waliharamishwa kwenda kanisani. Ama kweli lisilobudi hutendwa. Kilele cha unyama wa Corona ni kuwa imebananga utamaduni wa jamii mbalimbali. Kwa mfano kusalimiana kwa mikono ni mila na hata pia mtu anapokufa hafai kukaa zaidi ya saa sabini na mbili yaani siku tatu. Rais Yoweri Museveni wa Uganda alitia amri ya kuwa matanga na harusi isihudhuriwe na watu zaidi ya ishirini · Fauka ya hayo, janga la Corona limezorotesha elimu. Afrika hukutanisha malaki ya watu kwa nyimbo na chakula hurusini na matangani. Waziri wa Afya wa Kenya, Bwana Mutahi Kagwe alipotangaza kuwa mgonjwa wa kwanza mnamo tarehe kumi na tatu mwezi wa tatu mwaka wa elfu mbili na ishirini na kufungwa kwa shule za kibinafsi na hata za serikali. Alhamdulillah! Shule zilifunguliwa baada ya miezi sita. Corona imekuwa msumari moto katika vidonda vya walimu wengi kwani walibaki kulia takriban miezi sita bila lolote na kuwaza akilini mwao kuwa watalisha familia nini? Maswali mchafukoge yaliwatinga akilini mwao. Wanafunzi nao hawakuwachwa nyuma kwani wengi wao walifunga pingu za maisha na wengine kupata ujauzito wa utotoni. Wengi wakawa wahalifu na baadhi yao wakawa waraibu. Wanafunzi wengine walianza kufanya vibarua na wakazoea hela. Walipuuzilia mbali maana na umuhimu wa elimu. Asiyejua maana haambiwi maana. Vilevile, michezo ilidororeshwa na corona. Michezo ya Olimpiki iliratibiwa kufanyika Tokyo mwaka jana na kuandaliwa kwa hamu na hamumu mithili ya waislamu wanavyousubiri mwezi Kongo wa Ramadhani. Janga la corona lilivuma na kuvuruga vuruga mipango yote ya Olimpiki. Vilevile Sam Kendrieks wa Marekani alikatazwa kushiriki kwa mrukaji viunzi. Alhamdulillah! Hayawi hayawi huwa. Baada ya kusubiri kwa takribani mwaka mmoja, michezo hiyo itaanza mwisho wa Julai. Kwa upande mwingine hakuna mwanafunzi wa shule humu nchini aliyeshiriki katika mchezo wowote si mchezo wa pete, si kandanda, si mchezo wa magongo wala mchezo wa nyavu hadi sasa ninapoiandika insha hii. Si siri sirini bali ni dhahiri shahiri kuwa janga la corona limewafanya watu wanaoipenda ligi kuu ya Uingereza kutoiona kwa miezi na watu kuanza kuiona mwaka jana. Tuna imani kuwa itafanyika pasi na kizuizi. Biashara za kimataifa zilidorora baada ya mlipuko wa UVIKO-19. Kenya huuzia uingereza maua na matunda hasa kutoka Naivasha, lakini mwaka jana haikuwezekana kwani ndege zote zilikatazwa kupaa angani. Iliaminika hata matunda yanaweza kubeba virusi vya Corona. Vilevile nchi nyingi zilipiga marufuku ya mahuruji. Kwa mfano mwaka jana baada ya corona kulipuka Kenya haikuweza kuagiza kati ya Machi na Julai, vitu kutoka China. Kenya hununua nguo, dawa na hata pia magari yalishindikana. Masalaleh ! Ama kweli corona ni Ibilisi na ndio maana mimi na corona tumetenga kama ardhi na mbingu. Kwa kuongeza, janga la corona liliongeza ufisadi na kuenea kama moto katika kichaka chenye miti mikavu. Serikali ya kenye ilipokea zaidi ya mabilioni mia mbili kutoka Shirika la Afya Duniani. Cha kusikitisha ni kuwa, pesa hizo zimetumika kiufisadi na wananchi wengine wasiojua uzalendo. Unajua wanaitwa nani siku hizi? Ni mabilionea wa Uviko-19. Badala ya kununua glavu, barakoa, vitakasa, barakoa za 1195 na hata pia kikinga macho. Ama kweli akutukanaye hakuchagulii tusi na pia asiyejua utu si mtu. Kadhalika, janga la corona lilivuruga uhusiano wa kidiplomasia. Nusura Kenya ikosane na Tanzania mwaka jana. Corona ilipokuwa inaanza serikali ya Kenya ilisisitiza kuwa madereva wanaoleta bidhaa kwa malori kutoka Tanzania lazima wapimwe ikiwa wana virusi vya Corona. Rais wa Tanzania marehemu John Pombe Magufuli pamoja na wananchi wake walikuwa wanadai kuwa wameidhibiti UVIK0-19 nchini mwao. Fauka ya hayo, janga la corona limesababisha ucheleweshaji wa huduma katika maofisi kwa sababu ya kuepuka msongamano wa watu kwani watu wanatakiwa kuwa kando na mwenzake kwa mita mbili na ndio maana wanabiashara wakaambiwa wafanyie kazi nyumbani ili kudhibiti ueneaji wa UVIKO-19. Janga la corona pia limebananga uchumi wa nchi yetu. Hivi sasa ninavyoiandika insha hii bei ya vyakula na gesi imepaa na kupaa kama kuvu inashindana na kipungu kwenda juu. Tuna imani bei itashuka maana hata kipungu mwenyewe hafiki mbinguni. Juu ya hayo, janga la corona linaongeza idadi kubwa ya ulalahoi katika nchi tofauti. Watu wengi walipoteza ajira na waliobaki waliokuwa wana bahati ya mtende kulipwa mshahara wao nusu. Ikiwa wanalipwa mshahara wote kwani wenzao kwingineko wanalipwa mshahara nusu basi binadamu yeyote angebidi kubadili manzili aliyokuwa akiishi ili kuweza kulipa kodi ya nyumba. Kafyu imepunguza muda wa kufanya biashara. Isitoshe, janga la corona limeharibu utalii kwani nchi kadhaa zina zuio la kutotoka nyumbani. Kwa sasa nchi ya Uganda na India zimewekwa zuio la kutotoka nyumbani na India zuio lao la kutotoka nje ya nyumba limeisha majuzi tu. Jambo hili limefanya utalii kupungua kwani kila mtu ana hofu zake kuhusu kuenea kwa UVIKO-19. Hayawi hayawi huwa na Mungu si Athumani. Baada ya wanasayansi wa kila pembe za dunia kufanya utafiti na kukesha usiku na mchana waliweza kugundua chanjo kadhaa kama vile Pfizer Bion Tech, Moderna, Johnson's Janseen Novavax, Viral vector, chanjo ya MrNa na AstraZeneca. Kulingana na gazeti la “Taifa Leo" la Tarehe sita, Julai, mwaka huu, Tanzania itaanza kuunda kiwango cha chanjo ya UVIKO-19. Uturuki nayo haikuwachwa nyuma kwani ina chanjo inayoitwa Abdala. Ama kweli mgagaa na upwa hali wali mkavu na juhudi za mchwa anayejenga kingulima pamoja na watafiti zimethibitisha hili. Baada ya dhiki ni faraja, siku moja tutayazika maradhi ya corona kwenye kaburi la sahau.
Corono iliongeza idadi ya ulalahoi katika nchi tofauti aje
{ "text": [ "watu wengi walipoteza ajira na waliobaki walilipwa mshahara nusu" ] }
0499_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Kwa yakini, asiyejua maana haambiwi maana, kinyume cha haya, mimi nitakuambia maana ya corona. Corona ni kundi la virusi vinavyopatikana kwa wanyama kama vile popo na paka. Aidha, virusi hivi hupitikana kwa binadamu. Ingawa virusi vya corona vimekuwa duniani kwa zaidi ya karne moja, bado kitovu chake hakijitambuliwa, lakini virusi vya sasa ambavyo vimeleta maradhi ya UVIKO-19 vilijitokeza China ya kati, mji wa Wuhan mnamo mwezi wa Disemba mwaka wa elfu mbili kumi na tisa. Waziri wa Afya wa Kenya, Bw Mutahi Kagwe alitangaza katika habari za runinga kuwa uwele wa UVIKO-19 ulifika nchini tarehe kumi na tatu mwezi wa tatu mwaka wa elfu mbili na ishirini. Juu ya haya, uwele wa corona umeathiri nchi zote kijamii, kiuchumi na kisiasa. Madhara yake ni; Kwanza kabisa, uwele wa corona umesambaratisha uchumi si biashara za kimataifa, si biashara za kibinafsi, si biashara za makampuni, zote zimeathiriwa, kisa na maana? Uwele wa corona. Kwa mfano, mwaka wa elfu mbili na ishirini, nchi ya Kenya iliweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hata mipakani na hivyo basi haikuweza kuagizia bidhaa kutoka nje. Bidhaa hizo ni kama nguo, mashine, simu za mkononi, kompyuta na viatu. Virusi hivi viliaminiwa kupatikana katika bidhaa hizo hivyo kusababisha usambaratishaji wa uchumi. Si Kenya tu, bali pia nchi zote zilifungwa mipakani na kuweka zuio la kutotoka nyumbani ili kuzuia ueneaji wa virusi vya corona. Pili, ambapo mlipuko wa virusi vya corona inasababisha vifo kote duniani. Idadi ya waja waliopelekwa jongemeo ni mithili ya mchanga baharini. Wenye hatari kubwa zaidi ni waja wenye mifumokinga ya hali ya chini kama vile wenye ugonjwa wa shinikizo la damu, kisukari, pumu, matatizo ya figo, kifua kikuu na maradhi ya moyo. Je, unamkumbuka marehemu Papa Shirandula? Ni nduli gani aliyemtenganisha na uhai? Si ni corona? Alikuwa mja mtanashati wa kadhi ya kuigiza ambapo alipaa na kupaa kisanaa. Kwa bahati mbaya aliambukizwa ugonjwa wa UVIKO-19 kwani haubagui mlalahoi wala mlalahai. Si yeye pekee bali pia naibu gavana wa Kenicho,Bi Susan Kikwai, Mwalimu Wilson Yego, mudiri wa Shule ya upili ya wavulana ya Mtakatifu Yusufu. Tatu, janga la Corona limebananga sekta ya utalii. Watali, wengi kutoka nchi za Ughaibuni hutembelea uvutio vya watalii sekta mbali mbali mathalani Ngome ya Yesu, Kenya mbuga za wanyama za Tsavo. Mashariki na Magharibi, fuo za baharini, mikahawa na jabali la Hadai. Mlipuko wa virusi vya corona ulipofika katika nchi tofauti tofauti, watalii wanahofia kuvinjari maneno ya utalii maadamu ukongo huu ni wa kuambukiza. Nchi hizi zilipunguza mapato na mamia ya wafanyakazi wakahuwagua unga. Katika kutilia mbolea kwa mzizi wa mawazo yaliyo hapa juu, uwele wa corona umesababisha adinasi kukosa ajira. Si shuleni, si afisini, si hotelini wafanya kazi walifutwa kazi ili kuzuia msongamano kazini ambayo ni chanzo kiko cha kueneza ukongo huu wa corona. Wafanya kazi asilimia arobaini walifutwa kazi na waliobaki nusu walishauriwa wafanyie kazi majumbani mwao. Baadhi ya makampuni yalipunguza mishahara na baadhi ya shule za kibinafsi ziliacha kuwalipa wadarisi. Si hayo tu, bali pia madereva, utingo na mameneja wa makampuni wa mabasi ya kusafiria yalipoteza kazi. Kwa mfano, makampuni ya Modern Coast, na Mombasa Raha yalikunja jamvi ya biashara ya kubeba abiria kwa sababu ya sheria kutoka Wizara ya Afya ya Kenya inayotaka magari yabebe nusu ya uwezo wao. Mbali na hayo, janga la corona limesababisha ukosefu wa chakula. Waja wenye nguvu ya kulima mashamba wamepelekwa jongomeo na waliobaki hawataki kuigiza bidhaa hadi mjini kwa kuhofia kuambukizwa virusi vya corona. Katika gazeti la Taifa Leo mnamo Julai tarehe. tatu mwaka jana, miji mingi ikiwemo Nairobi, Cape Town, Addis Ababa zinazopata virusi vya corona aina ya delta ziliekwa amri ya kutotembea inayoaanza saa moja usiku. Kutokana na gazeti hilo, ilisemekana kuwa asilimia themanini na sita ya waja ni walalahoi maadamu hawana muda mwafaka wa kufanya kazi. Pia wengineo waliofanya kazi usiku watafanya nini? Je, adinasi hawa watakula nini? Kuambatana na haya, hadhi ya zaraa imepungua. Kwa mfano Kenya huuzia Uingereza matunda aina aina na maua aina tofauti kutoka Naivasha, lakini mwaka jana uuzaji uliambulia patupu kwa sababu karibu nchi zote za duniani zilikataa uchukuzi na mawasiliano kwa kuhofia kuambukizana virusi vya corona. Nchi nyingi zikiwemo Zanzibar, Canada, Italia, Ujerumani, Misri. Afrika Kusini ikiwemo Kenya zilipiga marufuku usafirishaji wa bidhaa na kuweka zuio kamili la kutoka nyumbani" Zaidi ya hayo, serikali za kimataifa zimetumia lukuki ya pesa kununua chanjo ya kupunguza uwele huu wa Corona kuambukiza kwa haraka, kujenga vituo vya vipimo vya virusi vya corona na kununua kiringe cha kipimo cha corona. Chanjo hizi ni kama Morderna, Pfizer, Viral Vector, Johnson and Johnson's, Janveen, Astra Zenera na chanjo ya MrNa. Ingawa chanjo hizo huzuia aina za virusi vya corona kama vile Delta, Alpha, Beta na Gamma, kuambukiza kwa haraka, hela hizo zingetumika kudidimiza maradhi sugu kama kipindupindu, kifaduro na kisukari. Minghairi ya hayo, janga la corona limesababisha uhusiano wa kimataifa kuzoroteka. Nusura Kenya ikosane na Tanzania mwaka jana. Sababu? Serikali ya Kenya ilisisitiza kuwa madereva wanaoleta bidhaa kamá matunda, nyanya na karafuu kutoka mji wa Namanga na Lunga Lunga lazima wapime virusi vya corona na waonyeshe vyeti vya majibu nayo serikali ya Tanzania ilisisitiza kuwa imedhibitisha ukongo wa Corona nchini mwao. Uzozano huo huweza kusababisha vita dhidi ya nchi tofauti. Alhamdulillah! Nchi hazikupigana. Licha ya hayo, janga la corona linasababisha imani ya kidini kupungua. Nchi nyingi kama vile Uganda, India, Uhabeshi, Misri na Uingereza zimeweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hivyo kufunga maabadi. Wimbi la tatu la corona aina ya Delta lilipofika nchini Kenya , Waziri wa Afya, Bw Mutahi Kagwe aliweka sheria ya kusikitisha kuwa thuluthi moja ya watu ndio inauptakikana mabadini. Wengine wata kwenda wapi? Pia, corona imeibua ufisadi katika nchi tofauti tofauti.si Kenya , si Tanzania , si Marekani, si Oman , si Korea zote zimezidiwa na ufisadi ulioshinikizwa na janga la corona. Kenya ilipokea mabillioni ya pesa na walafii waliojitia wanakandarasi walitumia pesa hizi vibaya. Walipokea pesa hizi ingawa hawakuleta bidhaa mathalani chanjo, vivunge vya vipimo vya virusi vya corona na kujenga vituo vya vipimo na uchunguzi na virusi vya corona. Fauka ya hayo, janga la corona limevuruga ratiba ya michezo. Si ya kimataifa na taifa tu bali pia ya shuleni. Mashabiki wa Ligi Kuu ya Uingereza walikosa kushabikia kwa sababu ya ukongo wa corona. Michezo ya Olimpiki ilikuwa ifanyike mwaka jana lakini iliahirishwa hadi mwaka huu. Alhamdulillah! Michezo hii itafanyika kuanzia mwisho wa mwezi huu wa Julai. Cha kusikitisha ni kuwa michezo ya shule bado imepigwa marufuku humu nchini. Si kandanda, si mpira wa vikapu, si mpira wa pete, si golfu, zote zilipigwa marufuku kulipokuwa na mlipuko wa corona. Tupilia mbali virusi vya corona kuiponda michezo, virusi vyenyewe vimeharibu na kuvyoga uwekezaji. Mabwenyenye wengi wanaogopa kuwekeza pesa zao maadamu hakuta kuwepo na wateja kwa uwele wa corona unaibua wasi wasi. Wanaekezaji walifarajiwa hawa huamua kuweka pesa zao katika benki na hivyo hupunguza uwekezaji katika nchi tofauti tofauti. Hisa za Safaricom pia zilipungua. Kisa ni nini? Janga la corona. Vilevile, virusi vya corona vimesababisha uchewelevhaji wa haki. Kesi zaidi ya laki sita zimedhihirishwa. Kulingana na gazeti la Daily Nation la tarehe thelathini mwezi wa Machi mwaka huu. Hakimu mkuu Bi Philomena Mwilu alilalamika kuwa humu nchini kuna kesi zinazosubiri na zingine zimeahirishwa. Licha ya hayo, janga la corona limesababivha uchafuzi wa mazingira. Ili kuzuia ukongo wa corona kuenea , serikali limetengeneza barakoa. Barakoa hizi hutakikana kuvaliwa kwa siku moja, kisha hutupwa. Barakoa hizi hutupwa ovyo ovyo na huchafua mazingira . Zingine husombwa na maji na kuchafua maji. Je, barakoa hizi zitetupwa wapi? Mazingira yatahifadhiwa vipi? Kabla kalamu yangu haijaisha wino, ningependa kumalizia kwa kusema kuwa ingawa uwele huu wa corona umesababisha madhara mengi duniani bado inaweza kudhibitishwa kwani kinga ni bora kuliko tiba. Ikiwa wananchi na wa matabaka mbalimbali watatahadhari kabla ya hatari na wasaidiane kama mche na kinu na kuambatana falau maziwa na maji ili kudhibitisha ukongo huu wa corona basi tutashinda kwani wamantika hawakukosea waliponena kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Pia, sote tunapaswa kunawa vizuri kwa maji vuguvugu na sabuni au kitakasa mikono na kuyafuata masharti yaliyotolewa na serikali.
Virusi vya korona hupatikana katika wanyama gani
{ "text": [ "Popo na paka" ] }
0499_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Kwa yakini, asiyejua maana haambiwi maana, kinyume cha haya, mimi nitakuambia maana ya corona. Corona ni kundi la virusi vinavyopatikana kwa wanyama kama vile popo na paka. Aidha, virusi hivi hupitikana kwa binadamu. Ingawa virusi vya corona vimekuwa duniani kwa zaidi ya karne moja, bado kitovu chake hakijitambuliwa, lakini virusi vya sasa ambavyo vimeleta maradhi ya UVIKO-19 vilijitokeza China ya kati, mji wa Wuhan mnamo mwezi wa Disemba mwaka wa elfu mbili kumi na tisa. Waziri wa Afya wa Kenya, Bw Mutahi Kagwe alitangaza katika habari za runinga kuwa uwele wa UVIKO-19 ulifika nchini tarehe kumi na tatu mwezi wa tatu mwaka wa elfu mbili na ishirini. Juu ya haya, uwele wa corona umeathiri nchi zote kijamii, kiuchumi na kisiasa. Madhara yake ni; Kwanza kabisa, uwele wa corona umesambaratisha uchumi si biashara za kimataifa, si biashara za kibinafsi, si biashara za makampuni, zote zimeathiriwa, kisa na maana? Uwele wa corona. Kwa mfano, mwaka wa elfu mbili na ishirini, nchi ya Kenya iliweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hata mipakani na hivyo basi haikuweza kuagizia bidhaa kutoka nje. Bidhaa hizo ni kama nguo, mashine, simu za mkononi, kompyuta na viatu. Virusi hivi viliaminiwa kupatikana katika bidhaa hizo hivyo kusababisha usambaratishaji wa uchumi. Si Kenya tu, bali pia nchi zote zilifungwa mipakani na kuweka zuio la kutotoka nyumbani ili kuzuia ueneaji wa virusi vya corona. Pili, ambapo mlipuko wa virusi vya corona inasababisha vifo kote duniani. Idadi ya waja waliopelekwa jongemeo ni mithili ya mchanga baharini. Wenye hatari kubwa zaidi ni waja wenye mifumokinga ya hali ya chini kama vile wenye ugonjwa wa shinikizo la damu, kisukari, pumu, matatizo ya figo, kifua kikuu na maradhi ya moyo. Je, unamkumbuka marehemu Papa Shirandula? Ni nduli gani aliyemtenganisha na uhai? Si ni corona? Alikuwa mja mtanashati wa kadhi ya kuigiza ambapo alipaa na kupaa kisanaa. Kwa bahati mbaya aliambukizwa ugonjwa wa UVIKO-19 kwani haubagui mlalahoi wala mlalahai. Si yeye pekee bali pia naibu gavana wa Kenicho,Bi Susan Kikwai, Mwalimu Wilson Yego, mudiri wa Shule ya upili ya wavulana ya Mtakatifu Yusufu. Tatu, janga la Corona limebananga sekta ya utalii. Watali, wengi kutoka nchi za Ughaibuni hutembelea uvutio vya watalii sekta mbali mbali mathalani Ngome ya Yesu, Kenya mbuga za wanyama za Tsavo. Mashariki na Magharibi, fuo za baharini, mikahawa na jabali la Hadai. Mlipuko wa virusi vya corona ulipofika katika nchi tofauti tofauti, watalii wanahofia kuvinjari maneno ya utalii maadamu ukongo huu ni wa kuambukiza. Nchi hizi zilipunguza mapato na mamia ya wafanyakazi wakahuwagua unga. Katika kutilia mbolea kwa mzizi wa mawazo yaliyo hapa juu, uwele wa corona umesababisha adinasi kukosa ajira. Si shuleni, si afisini, si hotelini wafanya kazi walifutwa kazi ili kuzuia msongamano kazini ambayo ni chanzo kiko cha kueneza ukongo huu wa corona. Wafanya kazi asilimia arobaini walifutwa kazi na waliobaki nusu walishauriwa wafanyie kazi majumbani mwao. Baadhi ya makampuni yalipunguza mishahara na baadhi ya shule za kibinafsi ziliacha kuwalipa wadarisi. Si hayo tu, bali pia madereva, utingo na mameneja wa makampuni wa mabasi ya kusafiria yalipoteza kazi. Kwa mfano, makampuni ya Modern Coast, na Mombasa Raha yalikunja jamvi ya biashara ya kubeba abiria kwa sababu ya sheria kutoka Wizara ya Afya ya Kenya inayotaka magari yabebe nusu ya uwezo wao. Mbali na hayo, janga la corona limesababisha ukosefu wa chakula. Waja wenye nguvu ya kulima mashamba wamepelekwa jongomeo na waliobaki hawataki kuigiza bidhaa hadi mjini kwa kuhofia kuambukizwa virusi vya corona. Katika gazeti la Taifa Leo mnamo Julai tarehe. tatu mwaka jana, miji mingi ikiwemo Nairobi, Cape Town, Addis Ababa zinazopata virusi vya corona aina ya delta ziliekwa amri ya kutotembea inayoaanza saa moja usiku. Kutokana na gazeti hilo, ilisemekana kuwa asilimia themanini na sita ya waja ni walalahoi maadamu hawana muda mwafaka wa kufanya kazi. Pia wengineo waliofanya kazi usiku watafanya nini? Je, adinasi hawa watakula nini? Kuambatana na haya, hadhi ya zaraa imepungua. Kwa mfano Kenya huuzia Uingereza matunda aina aina na maua aina tofauti kutoka Naivasha, lakini mwaka jana uuzaji uliambulia patupu kwa sababu karibu nchi zote za duniani zilikataa uchukuzi na mawasiliano kwa kuhofia kuambukizana virusi vya corona. Nchi nyingi zikiwemo Zanzibar, Canada, Italia, Ujerumani, Misri. Afrika Kusini ikiwemo Kenya zilipiga marufuku usafirishaji wa bidhaa na kuweka zuio kamili la kutoka nyumbani" Zaidi ya hayo, serikali za kimataifa zimetumia lukuki ya pesa kununua chanjo ya kupunguza uwele huu wa Corona kuambukiza kwa haraka, kujenga vituo vya vipimo vya virusi vya corona na kununua kiringe cha kipimo cha corona. Chanjo hizi ni kama Morderna, Pfizer, Viral Vector, Johnson and Johnson's, Janveen, Astra Zenera na chanjo ya MrNa. Ingawa chanjo hizo huzuia aina za virusi vya corona kama vile Delta, Alpha, Beta na Gamma, kuambukiza kwa haraka, hela hizo zingetumika kudidimiza maradhi sugu kama kipindupindu, kifaduro na kisukari. Minghairi ya hayo, janga la corona limesababisha uhusiano wa kimataifa kuzoroteka. Nusura Kenya ikosane na Tanzania mwaka jana. Sababu? Serikali ya Kenya ilisisitiza kuwa madereva wanaoleta bidhaa kamá matunda, nyanya na karafuu kutoka mji wa Namanga na Lunga Lunga lazima wapime virusi vya corona na waonyeshe vyeti vya majibu nayo serikali ya Tanzania ilisisitiza kuwa imedhibitisha ukongo wa Corona nchini mwao. Uzozano huo huweza kusababisha vita dhidi ya nchi tofauti. Alhamdulillah! Nchi hazikupigana. Licha ya hayo, janga la corona linasababisha imani ya kidini kupungua. Nchi nyingi kama vile Uganda, India, Uhabeshi, Misri na Uingereza zimeweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hivyo kufunga maabadi. Wimbi la tatu la corona aina ya Delta lilipofika nchini Kenya , Waziri wa Afya, Bw Mutahi Kagwe aliweka sheria ya kusikitisha kuwa thuluthi moja ya watu ndio inauptakikana mabadini. Wengine wata kwenda wapi? Pia, corona imeibua ufisadi katika nchi tofauti tofauti.si Kenya , si Tanzania , si Marekani, si Oman , si Korea zote zimezidiwa na ufisadi ulioshinikizwa na janga la corona. Kenya ilipokea mabillioni ya pesa na walafii waliojitia wanakandarasi walitumia pesa hizi vibaya. Walipokea pesa hizi ingawa hawakuleta bidhaa mathalani chanjo, vivunge vya vipimo vya virusi vya corona na kujenga vituo vya vipimo na uchunguzi na virusi vya corona. Fauka ya hayo, janga la corona limevuruga ratiba ya michezo. Si ya kimataifa na taifa tu bali pia ya shuleni. Mashabiki wa Ligi Kuu ya Uingereza walikosa kushabikia kwa sababu ya ukongo wa corona. Michezo ya Olimpiki ilikuwa ifanyike mwaka jana lakini iliahirishwa hadi mwaka huu. Alhamdulillah! Michezo hii itafanyika kuanzia mwisho wa mwezi huu wa Julai. Cha kusikitisha ni kuwa michezo ya shule bado imepigwa marufuku humu nchini. Si kandanda, si mpira wa vikapu, si mpira wa pete, si golfu, zote zilipigwa marufuku kulipokuwa na mlipuko wa corona. Tupilia mbali virusi vya corona kuiponda michezo, virusi vyenyewe vimeharibu na kuvyoga uwekezaji. Mabwenyenye wengi wanaogopa kuwekeza pesa zao maadamu hakuta kuwepo na wateja kwa uwele wa corona unaibua wasi wasi. Wanaekezaji walifarajiwa hawa huamua kuweka pesa zao katika benki na hivyo hupunguza uwekezaji katika nchi tofauti tofauti. Hisa za Safaricom pia zilipungua. Kisa ni nini? Janga la corona. Vilevile, virusi vya corona vimesababisha uchewelevhaji wa haki. Kesi zaidi ya laki sita zimedhihirishwa. Kulingana na gazeti la Daily Nation la tarehe thelathini mwezi wa Machi mwaka huu. Hakimu mkuu Bi Philomena Mwilu alilalamika kuwa humu nchini kuna kesi zinazosubiri na zingine zimeahirishwa. Licha ya hayo, janga la corona limesababivha uchafuzi wa mazingira. Ili kuzuia ukongo wa corona kuenea , serikali limetengeneza barakoa. Barakoa hizi hutakikana kuvaliwa kwa siku moja, kisha hutupwa. Barakoa hizi hutupwa ovyo ovyo na huchafua mazingira . Zingine husombwa na maji na kuchafua maji. Je, barakoa hizi zitetupwa wapi? Mazingira yatahifadhiwa vipi? Kabla kalamu yangu haijaisha wino, ningependa kumalizia kwa kusema kuwa ingawa uwele huu wa corona umesababisha madhara mengi duniani bado inaweza kudhibitishwa kwani kinga ni bora kuliko tiba. Ikiwa wananchi na wa matabaka mbalimbali watatahadhari kabla ya hatari na wasaidiane kama mche na kinu na kuambatana falau maziwa na maji ili kudhibitisha ukongo huu wa corona basi tutashinda kwani wamantika hawakukosea waliponena kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Pia, sote tunapaswa kunawa vizuri kwa maji vuguvugu na sabuni au kitakasa mikono na kuyafuata masharti yaliyotolewa na serikali.
Virusi vilivyosababisha maradhi ya uviko-19 vilijitokeza katika mji upi China
{ "text": [ "Wuhan" ] }
0499_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Kwa yakini, asiyejua maana haambiwi maana, kinyume cha haya, mimi nitakuambia maana ya corona. Corona ni kundi la virusi vinavyopatikana kwa wanyama kama vile popo na paka. Aidha, virusi hivi hupitikana kwa binadamu. Ingawa virusi vya corona vimekuwa duniani kwa zaidi ya karne moja, bado kitovu chake hakijitambuliwa, lakini virusi vya sasa ambavyo vimeleta maradhi ya UVIKO-19 vilijitokeza China ya kati, mji wa Wuhan mnamo mwezi wa Disemba mwaka wa elfu mbili kumi na tisa. Waziri wa Afya wa Kenya, Bw Mutahi Kagwe alitangaza katika habari za runinga kuwa uwele wa UVIKO-19 ulifika nchini tarehe kumi na tatu mwezi wa tatu mwaka wa elfu mbili na ishirini. Juu ya haya, uwele wa corona umeathiri nchi zote kijamii, kiuchumi na kisiasa. Madhara yake ni; Kwanza kabisa, uwele wa corona umesambaratisha uchumi si biashara za kimataifa, si biashara za kibinafsi, si biashara za makampuni, zote zimeathiriwa, kisa na maana? Uwele wa corona. Kwa mfano, mwaka wa elfu mbili na ishirini, nchi ya Kenya iliweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hata mipakani na hivyo basi haikuweza kuagizia bidhaa kutoka nje. Bidhaa hizo ni kama nguo, mashine, simu za mkononi, kompyuta na viatu. Virusi hivi viliaminiwa kupatikana katika bidhaa hizo hivyo kusababisha usambaratishaji wa uchumi. Si Kenya tu, bali pia nchi zote zilifungwa mipakani na kuweka zuio la kutotoka nyumbani ili kuzuia ueneaji wa virusi vya corona. Pili, ambapo mlipuko wa virusi vya corona inasababisha vifo kote duniani. Idadi ya waja waliopelekwa jongemeo ni mithili ya mchanga baharini. Wenye hatari kubwa zaidi ni waja wenye mifumokinga ya hali ya chini kama vile wenye ugonjwa wa shinikizo la damu, kisukari, pumu, matatizo ya figo, kifua kikuu na maradhi ya moyo. Je, unamkumbuka marehemu Papa Shirandula? Ni nduli gani aliyemtenganisha na uhai? Si ni corona? Alikuwa mja mtanashati wa kadhi ya kuigiza ambapo alipaa na kupaa kisanaa. Kwa bahati mbaya aliambukizwa ugonjwa wa UVIKO-19 kwani haubagui mlalahoi wala mlalahai. Si yeye pekee bali pia naibu gavana wa Kenicho,Bi Susan Kikwai, Mwalimu Wilson Yego, mudiri wa Shule ya upili ya wavulana ya Mtakatifu Yusufu. Tatu, janga la Corona limebananga sekta ya utalii. Watali, wengi kutoka nchi za Ughaibuni hutembelea uvutio vya watalii sekta mbali mbali mathalani Ngome ya Yesu, Kenya mbuga za wanyama za Tsavo. Mashariki na Magharibi, fuo za baharini, mikahawa na jabali la Hadai. Mlipuko wa virusi vya corona ulipofika katika nchi tofauti tofauti, watalii wanahofia kuvinjari maneno ya utalii maadamu ukongo huu ni wa kuambukiza. Nchi hizi zilipunguza mapato na mamia ya wafanyakazi wakahuwagua unga. Katika kutilia mbolea kwa mzizi wa mawazo yaliyo hapa juu, uwele wa corona umesababisha adinasi kukosa ajira. Si shuleni, si afisini, si hotelini wafanya kazi walifutwa kazi ili kuzuia msongamano kazini ambayo ni chanzo kiko cha kueneza ukongo huu wa corona. Wafanya kazi asilimia arobaini walifutwa kazi na waliobaki nusu walishauriwa wafanyie kazi majumbani mwao. Baadhi ya makampuni yalipunguza mishahara na baadhi ya shule za kibinafsi ziliacha kuwalipa wadarisi. Si hayo tu, bali pia madereva, utingo na mameneja wa makampuni wa mabasi ya kusafiria yalipoteza kazi. Kwa mfano, makampuni ya Modern Coast, na Mombasa Raha yalikunja jamvi ya biashara ya kubeba abiria kwa sababu ya sheria kutoka Wizara ya Afya ya Kenya inayotaka magari yabebe nusu ya uwezo wao. Mbali na hayo, janga la corona limesababisha ukosefu wa chakula. Waja wenye nguvu ya kulima mashamba wamepelekwa jongomeo na waliobaki hawataki kuigiza bidhaa hadi mjini kwa kuhofia kuambukizwa virusi vya corona. Katika gazeti la Taifa Leo mnamo Julai tarehe. tatu mwaka jana, miji mingi ikiwemo Nairobi, Cape Town, Addis Ababa zinazopata virusi vya corona aina ya delta ziliekwa amri ya kutotembea inayoaanza saa moja usiku. Kutokana na gazeti hilo, ilisemekana kuwa asilimia themanini na sita ya waja ni walalahoi maadamu hawana muda mwafaka wa kufanya kazi. Pia wengineo waliofanya kazi usiku watafanya nini? Je, adinasi hawa watakula nini? Kuambatana na haya, hadhi ya zaraa imepungua. Kwa mfano Kenya huuzia Uingereza matunda aina aina na maua aina tofauti kutoka Naivasha, lakini mwaka jana uuzaji uliambulia patupu kwa sababu karibu nchi zote za duniani zilikataa uchukuzi na mawasiliano kwa kuhofia kuambukizana virusi vya corona. Nchi nyingi zikiwemo Zanzibar, Canada, Italia, Ujerumani, Misri. Afrika Kusini ikiwemo Kenya zilipiga marufuku usafirishaji wa bidhaa na kuweka zuio kamili la kutoka nyumbani" Zaidi ya hayo, serikali za kimataifa zimetumia lukuki ya pesa kununua chanjo ya kupunguza uwele huu wa Corona kuambukiza kwa haraka, kujenga vituo vya vipimo vya virusi vya corona na kununua kiringe cha kipimo cha corona. Chanjo hizi ni kama Morderna, Pfizer, Viral Vector, Johnson and Johnson's, Janveen, Astra Zenera na chanjo ya MrNa. Ingawa chanjo hizo huzuia aina za virusi vya corona kama vile Delta, Alpha, Beta na Gamma, kuambukiza kwa haraka, hela hizo zingetumika kudidimiza maradhi sugu kama kipindupindu, kifaduro na kisukari. Minghairi ya hayo, janga la corona limesababisha uhusiano wa kimataifa kuzoroteka. Nusura Kenya ikosane na Tanzania mwaka jana. Sababu? Serikali ya Kenya ilisisitiza kuwa madereva wanaoleta bidhaa kamá matunda, nyanya na karafuu kutoka mji wa Namanga na Lunga Lunga lazima wapime virusi vya corona na waonyeshe vyeti vya majibu nayo serikali ya Tanzania ilisisitiza kuwa imedhibitisha ukongo wa Corona nchini mwao. Uzozano huo huweza kusababisha vita dhidi ya nchi tofauti. Alhamdulillah! Nchi hazikupigana. Licha ya hayo, janga la corona linasababisha imani ya kidini kupungua. Nchi nyingi kama vile Uganda, India, Uhabeshi, Misri na Uingereza zimeweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hivyo kufunga maabadi. Wimbi la tatu la corona aina ya Delta lilipofika nchini Kenya , Waziri wa Afya, Bw Mutahi Kagwe aliweka sheria ya kusikitisha kuwa thuluthi moja ya watu ndio inauptakikana mabadini. Wengine wata kwenda wapi? Pia, corona imeibua ufisadi katika nchi tofauti tofauti.si Kenya , si Tanzania , si Marekani, si Oman , si Korea zote zimezidiwa na ufisadi ulioshinikizwa na janga la corona. Kenya ilipokea mabillioni ya pesa na walafii waliojitia wanakandarasi walitumia pesa hizi vibaya. Walipokea pesa hizi ingawa hawakuleta bidhaa mathalani chanjo, vivunge vya vipimo vya virusi vya corona na kujenga vituo vya vipimo na uchunguzi na virusi vya corona. Fauka ya hayo, janga la corona limevuruga ratiba ya michezo. Si ya kimataifa na taifa tu bali pia ya shuleni. Mashabiki wa Ligi Kuu ya Uingereza walikosa kushabikia kwa sababu ya ukongo wa corona. Michezo ya Olimpiki ilikuwa ifanyike mwaka jana lakini iliahirishwa hadi mwaka huu. Alhamdulillah! Michezo hii itafanyika kuanzia mwisho wa mwezi huu wa Julai. Cha kusikitisha ni kuwa michezo ya shule bado imepigwa marufuku humu nchini. Si kandanda, si mpira wa vikapu, si mpira wa pete, si golfu, zote zilipigwa marufuku kulipokuwa na mlipuko wa corona. Tupilia mbali virusi vya corona kuiponda michezo, virusi vyenyewe vimeharibu na kuvyoga uwekezaji. Mabwenyenye wengi wanaogopa kuwekeza pesa zao maadamu hakuta kuwepo na wateja kwa uwele wa corona unaibua wasi wasi. Wanaekezaji walifarajiwa hawa huamua kuweka pesa zao katika benki na hivyo hupunguza uwekezaji katika nchi tofauti tofauti. Hisa za Safaricom pia zilipungua. Kisa ni nini? Janga la corona. Vilevile, virusi vya corona vimesababisha uchewelevhaji wa haki. Kesi zaidi ya laki sita zimedhihirishwa. Kulingana na gazeti la Daily Nation la tarehe thelathini mwezi wa Machi mwaka huu. Hakimu mkuu Bi Philomena Mwilu alilalamika kuwa humu nchini kuna kesi zinazosubiri na zingine zimeahirishwa. Licha ya hayo, janga la corona limesababivha uchafuzi wa mazingira. Ili kuzuia ukongo wa corona kuenea , serikali limetengeneza barakoa. Barakoa hizi hutakikana kuvaliwa kwa siku moja, kisha hutupwa. Barakoa hizi hutupwa ovyo ovyo na huchafua mazingira . Zingine husombwa na maji na kuchafua maji. Je, barakoa hizi zitetupwa wapi? Mazingira yatahifadhiwa vipi? Kabla kalamu yangu haijaisha wino, ningependa kumalizia kwa kusema kuwa ingawa uwele huu wa corona umesababisha madhara mengi duniani bado inaweza kudhibitishwa kwani kinga ni bora kuliko tiba. Ikiwa wananchi na wa matabaka mbalimbali watatahadhari kabla ya hatari na wasaidiane kama mche na kinu na kuambatana falau maziwa na maji ili kudhibitisha ukongo huu wa corona basi tutashinda kwani wamantika hawakukosea waliponena kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Pia, sote tunapaswa kunawa vizuri kwa maji vuguvugu na sabuni au kitakasa mikono na kuyafuata masharti yaliyotolewa na serikali.
Uwele wa uviko-19 ulifika Kenya tarehe ngapi
{ "text": [ "13/02/2020" ] }
0499_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Kwa yakini, asiyejua maana haambiwi maana, kinyume cha haya, mimi nitakuambia maana ya corona. Corona ni kundi la virusi vinavyopatikana kwa wanyama kama vile popo na paka. Aidha, virusi hivi hupitikana kwa binadamu. Ingawa virusi vya corona vimekuwa duniani kwa zaidi ya karne moja, bado kitovu chake hakijitambuliwa, lakini virusi vya sasa ambavyo vimeleta maradhi ya UVIKO-19 vilijitokeza China ya kati, mji wa Wuhan mnamo mwezi wa Disemba mwaka wa elfu mbili kumi na tisa. Waziri wa Afya wa Kenya, Bw Mutahi Kagwe alitangaza katika habari za runinga kuwa uwele wa UVIKO-19 ulifika nchini tarehe kumi na tatu mwezi wa tatu mwaka wa elfu mbili na ishirini. Juu ya haya, uwele wa corona umeathiri nchi zote kijamii, kiuchumi na kisiasa. Madhara yake ni; Kwanza kabisa, uwele wa corona umesambaratisha uchumi si biashara za kimataifa, si biashara za kibinafsi, si biashara za makampuni, zote zimeathiriwa, kisa na maana? Uwele wa corona. Kwa mfano, mwaka wa elfu mbili na ishirini, nchi ya Kenya iliweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hata mipakani na hivyo basi haikuweza kuagizia bidhaa kutoka nje. Bidhaa hizo ni kama nguo, mashine, simu za mkononi, kompyuta na viatu. Virusi hivi viliaminiwa kupatikana katika bidhaa hizo hivyo kusababisha usambaratishaji wa uchumi. Si Kenya tu, bali pia nchi zote zilifungwa mipakani na kuweka zuio la kutotoka nyumbani ili kuzuia ueneaji wa virusi vya corona. Pili, ambapo mlipuko wa virusi vya corona inasababisha vifo kote duniani. Idadi ya waja waliopelekwa jongemeo ni mithili ya mchanga baharini. Wenye hatari kubwa zaidi ni waja wenye mifumokinga ya hali ya chini kama vile wenye ugonjwa wa shinikizo la damu, kisukari, pumu, matatizo ya figo, kifua kikuu na maradhi ya moyo. Je, unamkumbuka marehemu Papa Shirandula? Ni nduli gani aliyemtenganisha na uhai? Si ni corona? Alikuwa mja mtanashati wa kadhi ya kuigiza ambapo alipaa na kupaa kisanaa. Kwa bahati mbaya aliambukizwa ugonjwa wa UVIKO-19 kwani haubagui mlalahoi wala mlalahai. Si yeye pekee bali pia naibu gavana wa Kenicho,Bi Susan Kikwai, Mwalimu Wilson Yego, mudiri wa Shule ya upili ya wavulana ya Mtakatifu Yusufu. Tatu, janga la Corona limebananga sekta ya utalii. Watali, wengi kutoka nchi za Ughaibuni hutembelea uvutio vya watalii sekta mbali mbali mathalani Ngome ya Yesu, Kenya mbuga za wanyama za Tsavo. Mashariki na Magharibi, fuo za baharini, mikahawa na jabali la Hadai. Mlipuko wa virusi vya corona ulipofika katika nchi tofauti tofauti, watalii wanahofia kuvinjari maneno ya utalii maadamu ukongo huu ni wa kuambukiza. Nchi hizi zilipunguza mapato na mamia ya wafanyakazi wakahuwagua unga. Katika kutilia mbolea kwa mzizi wa mawazo yaliyo hapa juu, uwele wa corona umesababisha adinasi kukosa ajira. Si shuleni, si afisini, si hotelini wafanya kazi walifutwa kazi ili kuzuia msongamano kazini ambayo ni chanzo kiko cha kueneza ukongo huu wa corona. Wafanya kazi asilimia arobaini walifutwa kazi na waliobaki nusu walishauriwa wafanyie kazi majumbani mwao. Baadhi ya makampuni yalipunguza mishahara na baadhi ya shule za kibinafsi ziliacha kuwalipa wadarisi. Si hayo tu, bali pia madereva, utingo na mameneja wa makampuni wa mabasi ya kusafiria yalipoteza kazi. Kwa mfano, makampuni ya Modern Coast, na Mombasa Raha yalikunja jamvi ya biashara ya kubeba abiria kwa sababu ya sheria kutoka Wizara ya Afya ya Kenya inayotaka magari yabebe nusu ya uwezo wao. Mbali na hayo, janga la corona limesababisha ukosefu wa chakula. Waja wenye nguvu ya kulima mashamba wamepelekwa jongomeo na waliobaki hawataki kuigiza bidhaa hadi mjini kwa kuhofia kuambukizwa virusi vya corona. Katika gazeti la Taifa Leo mnamo Julai tarehe. tatu mwaka jana, miji mingi ikiwemo Nairobi, Cape Town, Addis Ababa zinazopata virusi vya corona aina ya delta ziliekwa amri ya kutotembea inayoaanza saa moja usiku. Kutokana na gazeti hilo, ilisemekana kuwa asilimia themanini na sita ya waja ni walalahoi maadamu hawana muda mwafaka wa kufanya kazi. Pia wengineo waliofanya kazi usiku watafanya nini? Je, adinasi hawa watakula nini? Kuambatana na haya, hadhi ya zaraa imepungua. Kwa mfano Kenya huuzia Uingereza matunda aina aina na maua aina tofauti kutoka Naivasha, lakini mwaka jana uuzaji uliambulia patupu kwa sababu karibu nchi zote za duniani zilikataa uchukuzi na mawasiliano kwa kuhofia kuambukizana virusi vya corona. Nchi nyingi zikiwemo Zanzibar, Canada, Italia, Ujerumani, Misri. Afrika Kusini ikiwemo Kenya zilipiga marufuku usafirishaji wa bidhaa na kuweka zuio kamili la kutoka nyumbani" Zaidi ya hayo, serikali za kimataifa zimetumia lukuki ya pesa kununua chanjo ya kupunguza uwele huu wa Corona kuambukiza kwa haraka, kujenga vituo vya vipimo vya virusi vya corona na kununua kiringe cha kipimo cha corona. Chanjo hizi ni kama Morderna, Pfizer, Viral Vector, Johnson and Johnson's, Janveen, Astra Zenera na chanjo ya MrNa. Ingawa chanjo hizo huzuia aina za virusi vya corona kama vile Delta, Alpha, Beta na Gamma, kuambukiza kwa haraka, hela hizo zingetumika kudidimiza maradhi sugu kama kipindupindu, kifaduro na kisukari. Minghairi ya hayo, janga la corona limesababisha uhusiano wa kimataifa kuzoroteka. Nusura Kenya ikosane na Tanzania mwaka jana. Sababu? Serikali ya Kenya ilisisitiza kuwa madereva wanaoleta bidhaa kamá matunda, nyanya na karafuu kutoka mji wa Namanga na Lunga Lunga lazima wapime virusi vya corona na waonyeshe vyeti vya majibu nayo serikali ya Tanzania ilisisitiza kuwa imedhibitisha ukongo wa Corona nchini mwao. Uzozano huo huweza kusababisha vita dhidi ya nchi tofauti. Alhamdulillah! Nchi hazikupigana. Licha ya hayo, janga la corona linasababisha imani ya kidini kupungua. Nchi nyingi kama vile Uganda, India, Uhabeshi, Misri na Uingereza zimeweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hivyo kufunga maabadi. Wimbi la tatu la corona aina ya Delta lilipofika nchini Kenya , Waziri wa Afya, Bw Mutahi Kagwe aliweka sheria ya kusikitisha kuwa thuluthi moja ya watu ndio inauptakikana mabadini. Wengine wata kwenda wapi? Pia, corona imeibua ufisadi katika nchi tofauti tofauti.si Kenya , si Tanzania , si Marekani, si Oman , si Korea zote zimezidiwa na ufisadi ulioshinikizwa na janga la corona. Kenya ilipokea mabillioni ya pesa na walafii waliojitia wanakandarasi walitumia pesa hizi vibaya. Walipokea pesa hizi ingawa hawakuleta bidhaa mathalani chanjo, vivunge vya vipimo vya virusi vya corona na kujenga vituo vya vipimo na uchunguzi na virusi vya corona. Fauka ya hayo, janga la corona limevuruga ratiba ya michezo. Si ya kimataifa na taifa tu bali pia ya shuleni. Mashabiki wa Ligi Kuu ya Uingereza walikosa kushabikia kwa sababu ya ukongo wa corona. Michezo ya Olimpiki ilikuwa ifanyike mwaka jana lakini iliahirishwa hadi mwaka huu. Alhamdulillah! Michezo hii itafanyika kuanzia mwisho wa mwezi huu wa Julai. Cha kusikitisha ni kuwa michezo ya shule bado imepigwa marufuku humu nchini. Si kandanda, si mpira wa vikapu, si mpira wa pete, si golfu, zote zilipigwa marufuku kulipokuwa na mlipuko wa corona. Tupilia mbali virusi vya corona kuiponda michezo, virusi vyenyewe vimeharibu na kuvyoga uwekezaji. Mabwenyenye wengi wanaogopa kuwekeza pesa zao maadamu hakuta kuwepo na wateja kwa uwele wa corona unaibua wasi wasi. Wanaekezaji walifarajiwa hawa huamua kuweka pesa zao katika benki na hivyo hupunguza uwekezaji katika nchi tofauti tofauti. Hisa za Safaricom pia zilipungua. Kisa ni nini? Janga la corona. Vilevile, virusi vya corona vimesababisha uchewelevhaji wa haki. Kesi zaidi ya laki sita zimedhihirishwa. Kulingana na gazeti la Daily Nation la tarehe thelathini mwezi wa Machi mwaka huu. Hakimu mkuu Bi Philomena Mwilu alilalamika kuwa humu nchini kuna kesi zinazosubiri na zingine zimeahirishwa. Licha ya hayo, janga la corona limesababivha uchafuzi wa mazingira. Ili kuzuia ukongo wa corona kuenea , serikali limetengeneza barakoa. Barakoa hizi hutakikana kuvaliwa kwa siku moja, kisha hutupwa. Barakoa hizi hutupwa ovyo ovyo na huchafua mazingira . Zingine husombwa na maji na kuchafua maji. Je, barakoa hizi zitetupwa wapi? Mazingira yatahifadhiwa vipi? Kabla kalamu yangu haijaisha wino, ningependa kumalizia kwa kusema kuwa ingawa uwele huu wa corona umesababisha madhara mengi duniani bado inaweza kudhibitishwa kwani kinga ni bora kuliko tiba. Ikiwa wananchi na wa matabaka mbalimbali watatahadhari kabla ya hatari na wasaidiane kama mche na kinu na kuambatana falau maziwa na maji ili kudhibitisha ukongo huu wa corona basi tutashinda kwani wamantika hawakukosea waliponena kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Pia, sote tunapaswa kunawa vizuri kwa maji vuguvugu na sabuni au kitakasa mikono na kuyafuata masharti yaliyotolewa na serikali.
Ni naibu gavana wa kaunti gani aliyekufa kutokana na korona
{ "text": [ "Kaunti ya Kericho" ] }
0499_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Kwa yakini, asiyejua maana haambiwi maana, kinyume cha haya, mimi nitakuambia maana ya corona. Corona ni kundi la virusi vinavyopatikana kwa wanyama kama vile popo na paka. Aidha, virusi hivi hupitikana kwa binadamu. Ingawa virusi vya corona vimekuwa duniani kwa zaidi ya karne moja, bado kitovu chake hakijitambuliwa, lakini virusi vya sasa ambavyo vimeleta maradhi ya UVIKO-19 vilijitokeza China ya kati, mji wa Wuhan mnamo mwezi wa Disemba mwaka wa elfu mbili kumi na tisa. Waziri wa Afya wa Kenya, Bw Mutahi Kagwe alitangaza katika habari za runinga kuwa uwele wa UVIKO-19 ulifika nchini tarehe kumi na tatu mwezi wa tatu mwaka wa elfu mbili na ishirini. Juu ya haya, uwele wa corona umeathiri nchi zote kijamii, kiuchumi na kisiasa. Madhara yake ni; Kwanza kabisa, uwele wa corona umesambaratisha uchumi si biashara za kimataifa, si biashara za kibinafsi, si biashara za makampuni, zote zimeathiriwa, kisa na maana? Uwele wa corona. Kwa mfano, mwaka wa elfu mbili na ishirini, nchi ya Kenya iliweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hata mipakani na hivyo basi haikuweza kuagizia bidhaa kutoka nje. Bidhaa hizo ni kama nguo, mashine, simu za mkononi, kompyuta na viatu. Virusi hivi viliaminiwa kupatikana katika bidhaa hizo hivyo kusababisha usambaratishaji wa uchumi. Si Kenya tu, bali pia nchi zote zilifungwa mipakani na kuweka zuio la kutotoka nyumbani ili kuzuia ueneaji wa virusi vya corona. Pili, ambapo mlipuko wa virusi vya corona inasababisha vifo kote duniani. Idadi ya waja waliopelekwa jongemeo ni mithili ya mchanga baharini. Wenye hatari kubwa zaidi ni waja wenye mifumokinga ya hali ya chini kama vile wenye ugonjwa wa shinikizo la damu, kisukari, pumu, matatizo ya figo, kifua kikuu na maradhi ya moyo. Je, unamkumbuka marehemu Papa Shirandula? Ni nduli gani aliyemtenganisha na uhai? Si ni corona? Alikuwa mja mtanashati wa kadhi ya kuigiza ambapo alipaa na kupaa kisanaa. Kwa bahati mbaya aliambukizwa ugonjwa wa UVIKO-19 kwani haubagui mlalahoi wala mlalahai. Si yeye pekee bali pia naibu gavana wa Kenicho,Bi Susan Kikwai, Mwalimu Wilson Yego, mudiri wa Shule ya upili ya wavulana ya Mtakatifu Yusufu. Tatu, janga la Corona limebananga sekta ya utalii. Watali, wengi kutoka nchi za Ughaibuni hutembelea uvutio vya watalii sekta mbali mbali mathalani Ngome ya Yesu, Kenya mbuga za wanyama za Tsavo. Mashariki na Magharibi, fuo za baharini, mikahawa na jabali la Hadai. Mlipuko wa virusi vya corona ulipofika katika nchi tofauti tofauti, watalii wanahofia kuvinjari maneno ya utalii maadamu ukongo huu ni wa kuambukiza. Nchi hizi zilipunguza mapato na mamia ya wafanyakazi wakahuwagua unga. Katika kutilia mbolea kwa mzizi wa mawazo yaliyo hapa juu, uwele wa corona umesababisha adinasi kukosa ajira. Si shuleni, si afisini, si hotelini wafanya kazi walifutwa kazi ili kuzuia msongamano kazini ambayo ni chanzo kiko cha kueneza ukongo huu wa corona. Wafanya kazi asilimia arobaini walifutwa kazi na waliobaki nusu walishauriwa wafanyie kazi majumbani mwao. Baadhi ya makampuni yalipunguza mishahara na baadhi ya shule za kibinafsi ziliacha kuwalipa wadarisi. Si hayo tu, bali pia madereva, utingo na mameneja wa makampuni wa mabasi ya kusafiria yalipoteza kazi. Kwa mfano, makampuni ya Modern Coast, na Mombasa Raha yalikunja jamvi ya biashara ya kubeba abiria kwa sababu ya sheria kutoka Wizara ya Afya ya Kenya inayotaka magari yabebe nusu ya uwezo wao. Mbali na hayo, janga la corona limesababisha ukosefu wa chakula. Waja wenye nguvu ya kulima mashamba wamepelekwa jongomeo na waliobaki hawataki kuigiza bidhaa hadi mjini kwa kuhofia kuambukizwa virusi vya corona. Katika gazeti la Taifa Leo mnamo Julai tarehe. tatu mwaka jana, miji mingi ikiwemo Nairobi, Cape Town, Addis Ababa zinazopata virusi vya corona aina ya delta ziliekwa amri ya kutotembea inayoaanza saa moja usiku. Kutokana na gazeti hilo, ilisemekana kuwa asilimia themanini na sita ya waja ni walalahoi maadamu hawana muda mwafaka wa kufanya kazi. Pia wengineo waliofanya kazi usiku watafanya nini? Je, adinasi hawa watakula nini? Kuambatana na haya, hadhi ya zaraa imepungua. Kwa mfano Kenya huuzia Uingereza matunda aina aina na maua aina tofauti kutoka Naivasha, lakini mwaka jana uuzaji uliambulia patupu kwa sababu karibu nchi zote za duniani zilikataa uchukuzi na mawasiliano kwa kuhofia kuambukizana virusi vya corona. Nchi nyingi zikiwemo Zanzibar, Canada, Italia, Ujerumani, Misri. Afrika Kusini ikiwemo Kenya zilipiga marufuku usafirishaji wa bidhaa na kuweka zuio kamili la kutoka nyumbani" Zaidi ya hayo, serikali za kimataifa zimetumia lukuki ya pesa kununua chanjo ya kupunguza uwele huu wa Corona kuambukiza kwa haraka, kujenga vituo vya vipimo vya virusi vya corona na kununua kiringe cha kipimo cha corona. Chanjo hizi ni kama Morderna, Pfizer, Viral Vector, Johnson and Johnson's, Janveen, Astra Zenera na chanjo ya MrNa. Ingawa chanjo hizo huzuia aina za virusi vya corona kama vile Delta, Alpha, Beta na Gamma, kuambukiza kwa haraka, hela hizo zingetumika kudidimiza maradhi sugu kama kipindupindu, kifaduro na kisukari. Minghairi ya hayo, janga la corona limesababisha uhusiano wa kimataifa kuzoroteka. Nusura Kenya ikosane na Tanzania mwaka jana. Sababu? Serikali ya Kenya ilisisitiza kuwa madereva wanaoleta bidhaa kamá matunda, nyanya na karafuu kutoka mji wa Namanga na Lunga Lunga lazima wapime virusi vya corona na waonyeshe vyeti vya majibu nayo serikali ya Tanzania ilisisitiza kuwa imedhibitisha ukongo wa Corona nchini mwao. Uzozano huo huweza kusababisha vita dhidi ya nchi tofauti. Alhamdulillah! Nchi hazikupigana. Licha ya hayo, janga la corona linasababisha imani ya kidini kupungua. Nchi nyingi kama vile Uganda, India, Uhabeshi, Misri na Uingereza zimeweka zuio kamili la kutotoka nyumbani na hivyo kufunga maabadi. Wimbi la tatu la corona aina ya Delta lilipofika nchini Kenya , Waziri wa Afya, Bw Mutahi Kagwe aliweka sheria ya kusikitisha kuwa thuluthi moja ya watu ndio inauptakikana mabadini. Wengine wata kwenda wapi? Pia, corona imeibua ufisadi katika nchi tofauti tofauti.si Kenya , si Tanzania , si Marekani, si Oman , si Korea zote zimezidiwa na ufisadi ulioshinikizwa na janga la corona. Kenya ilipokea mabillioni ya pesa na walafii waliojitia wanakandarasi walitumia pesa hizi vibaya. Walipokea pesa hizi ingawa hawakuleta bidhaa mathalani chanjo, vivunge vya vipimo vya virusi vya corona na kujenga vituo vya vipimo na uchunguzi na virusi vya corona. Fauka ya hayo, janga la corona limevuruga ratiba ya michezo. Si ya kimataifa na taifa tu bali pia ya shuleni. Mashabiki wa Ligi Kuu ya Uingereza walikosa kushabikia kwa sababu ya ukongo wa corona. Michezo ya Olimpiki ilikuwa ifanyike mwaka jana lakini iliahirishwa hadi mwaka huu. Alhamdulillah! Michezo hii itafanyika kuanzia mwisho wa mwezi huu wa Julai. Cha kusikitisha ni kuwa michezo ya shule bado imepigwa marufuku humu nchini. Si kandanda, si mpira wa vikapu, si mpira wa pete, si golfu, zote zilipigwa marufuku kulipokuwa na mlipuko wa corona. Tupilia mbali virusi vya corona kuiponda michezo, virusi vyenyewe vimeharibu na kuvyoga uwekezaji. Mabwenyenye wengi wanaogopa kuwekeza pesa zao maadamu hakuta kuwepo na wateja kwa uwele wa corona unaibua wasi wasi. Wanaekezaji walifarajiwa hawa huamua kuweka pesa zao katika benki na hivyo hupunguza uwekezaji katika nchi tofauti tofauti. Hisa za Safaricom pia zilipungua. Kisa ni nini? Janga la corona. Vilevile, virusi vya corona vimesababisha uchewelevhaji wa haki. Kesi zaidi ya laki sita zimedhihirishwa. Kulingana na gazeti la Daily Nation la tarehe thelathini mwezi wa Machi mwaka huu. Hakimu mkuu Bi Philomena Mwilu alilalamika kuwa humu nchini kuna kesi zinazosubiri na zingine zimeahirishwa. Licha ya hayo, janga la corona limesababivha uchafuzi wa mazingira. Ili kuzuia ukongo wa corona kuenea , serikali limetengeneza barakoa. Barakoa hizi hutakikana kuvaliwa kwa siku moja, kisha hutupwa. Barakoa hizi hutupwa ovyo ovyo na huchafua mazingira . Zingine husombwa na maji na kuchafua maji. Je, barakoa hizi zitetupwa wapi? Mazingira yatahifadhiwa vipi? Kabla kalamu yangu haijaisha wino, ningependa kumalizia kwa kusema kuwa ingawa uwele huu wa corona umesababisha madhara mengi duniani bado inaweza kudhibitishwa kwani kinga ni bora kuliko tiba. Ikiwa wananchi na wa matabaka mbalimbali watatahadhari kabla ya hatari na wasaidiane kama mche na kinu na kuambatana falau maziwa na maji ili kudhibitisha ukongo huu wa corona basi tutashinda kwani wamantika hawakukosea waliponena kuwa umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu. Pia, sote tunapaswa kunawa vizuri kwa maji vuguvugu na sabuni au kitakasa mikono na kuyafuata masharti yaliyotolewa na serikali.
Mbali na uhaba wa kazi, janga la korono lilichangia ukosefu wa nini
{ "text": [ "Chakula" ] }
0500_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YASABABISHLAYO NA JANGA LA CORONA. Korona ni kundi la virusi vinavyoweza kusababisha magonjwa kwa wanyama na binadamu. Virusi vya korona husababisha maradhi ya UVIKO-19. Ungaminiwa kuwa ulitoka Wuhan, nchini China, katika mkoa wa Hubei: Shirika la Afya Duniani ilitangazo kuwa Uviko-19 umeenea duniani kote mwezi wa Machi, tarehe kumi na moja mwaka elfu mbili na ishirini. Dalili zake ni homa kali, uchovu, kikohozi kikavu, kukosa pumzi, joto jingi, baridi kali kutapika kupoteza hisia za kula na kuendesha. Baadhi ya chanjo zilizogunduliwa ambazo hupambana dhidi ya janga la corona ni Astrazeneca, Johnson, Viral vector, na Navavax. Baadhi ya madhara ya janga la korona ni: Kifo, awali Liviko-19 imewafunya watu wengi kutengana na sayari ya tatu, hasa wakongwe, watu wenye magonjwa sugu na watoto wadogo. Aila nyingi zimepoteza wapendwa wao kutokana na ndumukuwili huyu. Uviko-19 ni jeneza ambalo limemeza mamilioni ya walimwengu na kutapika wengine nje. Nchini India, sote huambatana na mila za wahindi, maiti zao huchomwa, lakini sasa uwele huu wa korona umewapelekea kuyafukua makuburi ili wapate nafusi ya kuzika maiti. Kisa na maana, maiti zao ni nyingi sana? Pili jangu la korona linachangia katika kusambaratika kwa uchumi. Biashara ya kimataifa imeathirika kwa makubwa na madogo. Je, imeathirika vipi? Kwa mfano, Kenya haikuweza kuagiza bidhaa kutoka China katika mwaka wa elfu mbili na ishirini, kwa sababu ya uwele huu ulitokea nchini humo. Baadhi ya bidhaa tunazoagiza kutoka China ni nguo, mashine na magari. Biashara ya kimataifa haiagizi tena bidhaa kutoka China kwa sababu wengi wetu wanahofu ya kwamba bidhaa hizo zina uwezekano wa kuwa na virusi ndani yake kama tunavyojua. Aghalabu virusi hutegemea sehemu nyevunyevu kusumbaa, nguo siku hizi hupigwa dawa si shuleni si kazini ili kupunguza na kuzuia virusi hivyo. Ushuru pia ulidorora kwa sababu watu walifuta kazi yaani katika hoteli za watalii na hoteli za ufuoni hazina wahudumu. Korona pia imeleta ulalahoi katika aushi za aila nyingi. Je, Korona imeleta uchochole kivipi? Watu wengi walifutwa kazi na hata shule za kibinafsi zilifungwa mwaka jana nchini Kenya. Kufungwa kwa shule nako kulifanya wanafunzi wengi kujitoa uhai, kuna wengi ambao walikuwa wanamaliza lakini ikabidi wagonje mwaka mwingine waendeleze masomo yao. Nchi nyingi ziliweka kufyu ya kuwa saa nne usiku ni mwisho. Sasa familia nyingi haziwezi kutimiza mahitaji yao ya nyumbani na kuwapeleka kuwa maskini wasiokuwa na mbele wala nyuma. Kadhalika corona imepunguza imani ya kidini kwa sababu maabadi mengi yaani misikiti na makanisa yamepigwa kufuli. Baadhi ya sehemu ambazo maabadi yamefungwa ni Busia, Vihiga, Kisii, Nyamira, Kakamega, Siaya, Homabay na Migori. Katika kaunti zingine za Kenya, idadi ya watu maabadini imepungua. Kwa mfano, ikiwa msikiti unabeba watu mia mbili, sasa unabeba thuluthi yake kulingana na kanuni wizara, sasa unabeba watu tisini na nane. Korona pia imeathiri utamaduni wa kanisa, ikiwa kulikuwa na kukumbatiana pindi wanapoimba nyimbo zao za kidini, sasa kukumbatiana kumepigwa marufuku. Isitoshe utafiti uliofanyika bungeni, unaonyesha kuwa asilimia themanini na sita ya wakenya , wanakumbana na upungufu wa chakula . Katika jiji la Nairobi, sehemu ya Mathare tunayakini fika ya kwamba sehemu ile haipati chakula na lishe bora, maji safi na mazingine safi. Je, ungependa kujiuliza hali ya hivi sasa inaendeleaje? Watu huko sasa wamezidi kuathirika, si kiafya si kiakili na si kimwili, na hata wengine kujitia kitanzi wanapoona familia zao zikiaga dunia kila uchao. Tena korona imetuathiri pakubwa mno kwani imetuulia wakulima ambao huleta vyakula ambavyo hutupa viini kama vile vitamini ambavyo huweza kupambana na maradhi. Imeathiri pia uajiri wa kazi, kazi sasa zimeadimika kama kaburi la buriani kwa sababu watu wengi wamepigwa kalamu na waliobaki, wanalipwa mshahara nusu ama kidogo. Katika mwaka wa elfu mbili kumi na tisa, Benki kuu ya Dunia kulikuwa na asilimia sabini na tano ya wakenya walikuwa wamemjiriwa lakini idadi ya waajiriwa lilipungua kuwa asilimia hamsini na sita mwezi wa Aprili mwaka jana. Ama kweli, fisi akimla muwele mzima funga mlango. Licha ya korona kutuathiri, ni lazima tutafute namna na njia za kupunguza makali ya korona. Baadhi ya njia hizi ni kukaa mita moja mbali na watu wenye dalili za corona, kuepuka kushika sehemu zilizo majimaji ya mwili kwa mfano, macho, pua kwa mikono isiyo safi kuepukana na sehemu zenye watu wengi na kuvaa barakoa kila wakati. Mwisho, kila kibaya kina uzuri wake. Waama, baniani mbaya kiatu chake dawa. Licha ya changamoto tunazokumbana na shetani huyu aitwae korona, tunapata faida. Je faida hiyo tunaipata kivipi? Watu ambao walikuwa hawana biashara sasa wamepata biashara ya kuuza barakoa na kutokana na biashara hiyo, wanaweza kukidhi mahitaji yao na familia zao. Mwisho kabisa ningependa kutoa onyo ya kwamba lazima tufwate masharti yaliyowekwa na shirika la afya duniani na wizara ya afya.
Maradhi ya UVIKO19 yalitokea wapi kwa mara ya kwanza
{ "text": [ "Wuhan China" ] }
0500_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YASABABISHLAYO NA JANGA LA CORONA. Korona ni kundi la virusi vinavyoweza kusababisha magonjwa kwa wanyama na binadamu. Virusi vya korona husababisha maradhi ya UVIKO-19. Ungaminiwa kuwa ulitoka Wuhan, nchini China, katika mkoa wa Hubei: Shirika la Afya Duniani ilitangazo kuwa Uviko-19 umeenea duniani kote mwezi wa Machi, tarehe kumi na moja mwaka elfu mbili na ishirini. Dalili zake ni homa kali, uchovu, kikohozi kikavu, kukosa pumzi, joto jingi, baridi kali kutapika kupoteza hisia za kula na kuendesha. Baadhi ya chanjo zilizogunduliwa ambazo hupambana dhidi ya janga la corona ni Astrazeneca, Johnson, Viral vector, na Navavax. Baadhi ya madhara ya janga la korona ni: Kifo, awali Liviko-19 imewafunya watu wengi kutengana na sayari ya tatu, hasa wakongwe, watu wenye magonjwa sugu na watoto wadogo. Aila nyingi zimepoteza wapendwa wao kutokana na ndumukuwili huyu. Uviko-19 ni jeneza ambalo limemeza mamilioni ya walimwengu na kutapika wengine nje. Nchini India, sote huambatana na mila za wahindi, maiti zao huchomwa, lakini sasa uwele huu wa korona umewapelekea kuyafukua makuburi ili wapate nafusi ya kuzika maiti. Kisa na maana, maiti zao ni nyingi sana? Pili jangu la korona linachangia katika kusambaratika kwa uchumi. Biashara ya kimataifa imeathirika kwa makubwa na madogo. Je, imeathirika vipi? Kwa mfano, Kenya haikuweza kuagiza bidhaa kutoka China katika mwaka wa elfu mbili na ishirini, kwa sababu ya uwele huu ulitokea nchini humo. Baadhi ya bidhaa tunazoagiza kutoka China ni nguo, mashine na magari. Biashara ya kimataifa haiagizi tena bidhaa kutoka China kwa sababu wengi wetu wanahofu ya kwamba bidhaa hizo zina uwezekano wa kuwa na virusi ndani yake kama tunavyojua. Aghalabu virusi hutegemea sehemu nyevunyevu kusumbaa, nguo siku hizi hupigwa dawa si shuleni si kazini ili kupunguza na kuzuia virusi hivyo. Ushuru pia ulidorora kwa sababu watu walifuta kazi yaani katika hoteli za watalii na hoteli za ufuoni hazina wahudumu. Korona pia imeleta ulalahoi katika aushi za aila nyingi. Je, Korona imeleta uchochole kivipi? Watu wengi walifutwa kazi na hata shule za kibinafsi zilifungwa mwaka jana nchini Kenya. Kufungwa kwa shule nako kulifanya wanafunzi wengi kujitoa uhai, kuna wengi ambao walikuwa wanamaliza lakini ikabidi wagonje mwaka mwingine waendeleze masomo yao. Nchi nyingi ziliweka kufyu ya kuwa saa nne usiku ni mwisho. Sasa familia nyingi haziwezi kutimiza mahitaji yao ya nyumbani na kuwapeleka kuwa maskini wasiokuwa na mbele wala nyuma. Kadhalika corona imepunguza imani ya kidini kwa sababu maabadi mengi yaani misikiti na makanisa yamepigwa kufuli. Baadhi ya sehemu ambazo maabadi yamefungwa ni Busia, Vihiga, Kisii, Nyamira, Kakamega, Siaya, Homabay na Migori. Katika kaunti zingine za Kenya, idadi ya watu maabadini imepungua. Kwa mfano, ikiwa msikiti unabeba watu mia mbili, sasa unabeba thuluthi yake kulingana na kanuni wizara, sasa unabeba watu tisini na nane. Korona pia imeathiri utamaduni wa kanisa, ikiwa kulikuwa na kukumbatiana pindi wanapoimba nyimbo zao za kidini, sasa kukumbatiana kumepigwa marufuku. Isitoshe utafiti uliofanyika bungeni, unaonyesha kuwa asilimia themanini na sita ya wakenya , wanakumbana na upungufu wa chakula . Katika jiji la Nairobi, sehemu ya Mathare tunayakini fika ya kwamba sehemu ile haipati chakula na lishe bora, maji safi na mazingine safi. Je, ungependa kujiuliza hali ya hivi sasa inaendeleaje? Watu huko sasa wamezidi kuathirika, si kiafya si kiakili na si kimwili, na hata wengine kujitia kitanzi wanapoona familia zao zikiaga dunia kila uchao. Tena korona imetuathiri pakubwa mno kwani imetuulia wakulima ambao huleta vyakula ambavyo hutupa viini kama vile vitamini ambavyo huweza kupambana na maradhi. Imeathiri pia uajiri wa kazi, kazi sasa zimeadimika kama kaburi la buriani kwa sababu watu wengi wamepigwa kalamu na waliobaki, wanalipwa mshahara nusu ama kidogo. Katika mwaka wa elfu mbili kumi na tisa, Benki kuu ya Dunia kulikuwa na asilimia sabini na tano ya wakenya walikuwa wamemjiriwa lakini idadi ya waajiriwa lilipungua kuwa asilimia hamsini na sita mwezi wa Aprili mwaka jana. Ama kweli, fisi akimla muwele mzima funga mlango. Licha ya korona kutuathiri, ni lazima tutafute namna na njia za kupunguza makali ya korona. Baadhi ya njia hizi ni kukaa mita moja mbali na watu wenye dalili za corona, kuepuka kushika sehemu zilizo majimaji ya mwili kwa mfano, macho, pua kwa mikono isiyo safi kuepukana na sehemu zenye watu wengi na kuvaa barakoa kila wakati. Mwisho, kila kibaya kina uzuri wake. Waama, baniani mbaya kiatu chake dawa. Licha ya changamoto tunazokumbana na shetani huyu aitwae korona, tunapata faida. Je faida hiyo tunaipata kivipi? Watu ambao walikuwa hawana biashara sasa wamepata biashara ya kuuza barakoa na kutokana na biashara hiyo, wanaweza kukidhi mahitaji yao na familia zao. Mwisho kabisa ningependa kutoa onyo ya kwamba lazima tufwate masharti yaliyowekwa na shirika la afya duniani na wizara ya afya.
Virusi vya corona vilishinikiza kufungwa kwa kitu gani
{ "text": [ "Shule" ] }
0500_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YASABABISHLAYO NA JANGA LA CORONA. Korona ni kundi la virusi vinavyoweza kusababisha magonjwa kwa wanyama na binadamu. Virusi vya korona husababisha maradhi ya UVIKO-19. Ungaminiwa kuwa ulitoka Wuhan, nchini China, katika mkoa wa Hubei: Shirika la Afya Duniani ilitangazo kuwa Uviko-19 umeenea duniani kote mwezi wa Machi, tarehe kumi na moja mwaka elfu mbili na ishirini. Dalili zake ni homa kali, uchovu, kikohozi kikavu, kukosa pumzi, joto jingi, baridi kali kutapika kupoteza hisia za kula na kuendesha. Baadhi ya chanjo zilizogunduliwa ambazo hupambana dhidi ya janga la corona ni Astrazeneca, Johnson, Viral vector, na Navavax. Baadhi ya madhara ya janga la korona ni: Kifo, awali Liviko-19 imewafunya watu wengi kutengana na sayari ya tatu, hasa wakongwe, watu wenye magonjwa sugu na watoto wadogo. Aila nyingi zimepoteza wapendwa wao kutokana na ndumukuwili huyu. Uviko-19 ni jeneza ambalo limemeza mamilioni ya walimwengu na kutapika wengine nje. Nchini India, sote huambatana na mila za wahindi, maiti zao huchomwa, lakini sasa uwele huu wa korona umewapelekea kuyafukua makuburi ili wapate nafusi ya kuzika maiti. Kisa na maana, maiti zao ni nyingi sana? Pili jangu la korona linachangia katika kusambaratika kwa uchumi. Biashara ya kimataifa imeathirika kwa makubwa na madogo. Je, imeathirika vipi? Kwa mfano, Kenya haikuweza kuagiza bidhaa kutoka China katika mwaka wa elfu mbili na ishirini, kwa sababu ya uwele huu ulitokea nchini humo. Baadhi ya bidhaa tunazoagiza kutoka China ni nguo, mashine na magari. Biashara ya kimataifa haiagizi tena bidhaa kutoka China kwa sababu wengi wetu wanahofu ya kwamba bidhaa hizo zina uwezekano wa kuwa na virusi ndani yake kama tunavyojua. Aghalabu virusi hutegemea sehemu nyevunyevu kusumbaa, nguo siku hizi hupigwa dawa si shuleni si kazini ili kupunguza na kuzuia virusi hivyo. Ushuru pia ulidorora kwa sababu watu walifuta kazi yaani katika hoteli za watalii na hoteli za ufuoni hazina wahudumu. Korona pia imeleta ulalahoi katika aushi za aila nyingi. Je, Korona imeleta uchochole kivipi? Watu wengi walifutwa kazi na hata shule za kibinafsi zilifungwa mwaka jana nchini Kenya. Kufungwa kwa shule nako kulifanya wanafunzi wengi kujitoa uhai, kuna wengi ambao walikuwa wanamaliza lakini ikabidi wagonje mwaka mwingine waendeleze masomo yao. Nchi nyingi ziliweka kufyu ya kuwa saa nne usiku ni mwisho. Sasa familia nyingi haziwezi kutimiza mahitaji yao ya nyumbani na kuwapeleka kuwa maskini wasiokuwa na mbele wala nyuma. Kadhalika corona imepunguza imani ya kidini kwa sababu maabadi mengi yaani misikiti na makanisa yamepigwa kufuli. Baadhi ya sehemu ambazo maabadi yamefungwa ni Busia, Vihiga, Kisii, Nyamira, Kakamega, Siaya, Homabay na Migori. Katika kaunti zingine za Kenya, idadi ya watu maabadini imepungua. Kwa mfano, ikiwa msikiti unabeba watu mia mbili, sasa unabeba thuluthi yake kulingana na kanuni wizara, sasa unabeba watu tisini na nane. Korona pia imeathiri utamaduni wa kanisa, ikiwa kulikuwa na kukumbatiana pindi wanapoimba nyimbo zao za kidini, sasa kukumbatiana kumepigwa marufuku. Isitoshe utafiti uliofanyika bungeni, unaonyesha kuwa asilimia themanini na sita ya wakenya , wanakumbana na upungufu wa chakula . Katika jiji la Nairobi, sehemu ya Mathare tunayakini fika ya kwamba sehemu ile haipati chakula na lishe bora, maji safi na mazingine safi. Je, ungependa kujiuliza hali ya hivi sasa inaendeleaje? Watu huko sasa wamezidi kuathirika, si kiafya si kiakili na si kimwili, na hata wengine kujitia kitanzi wanapoona familia zao zikiaga dunia kila uchao. Tena korona imetuathiri pakubwa mno kwani imetuulia wakulima ambao huleta vyakula ambavyo hutupa viini kama vile vitamini ambavyo huweza kupambana na maradhi. Imeathiri pia uajiri wa kazi, kazi sasa zimeadimika kama kaburi la buriani kwa sababu watu wengi wamepigwa kalamu na waliobaki, wanalipwa mshahara nusu ama kidogo. Katika mwaka wa elfu mbili kumi na tisa, Benki kuu ya Dunia kulikuwa na asilimia sabini na tano ya wakenya walikuwa wamemjiriwa lakini idadi ya waajiriwa lilipungua kuwa asilimia hamsini na sita mwezi wa Aprili mwaka jana. Ama kweli, fisi akimla muwele mzima funga mlango. Licha ya korona kutuathiri, ni lazima tutafute namna na njia za kupunguza makali ya korona. Baadhi ya njia hizi ni kukaa mita moja mbali na watu wenye dalili za corona, kuepuka kushika sehemu zilizo majimaji ya mwili kwa mfano, macho, pua kwa mikono isiyo safi kuepukana na sehemu zenye watu wengi na kuvaa barakoa kila wakati. Mwisho, kila kibaya kina uzuri wake. Waama, baniani mbaya kiatu chake dawa. Licha ya changamoto tunazokumbana na shetani huyu aitwae korona, tunapata faida. Je faida hiyo tunaipata kivipi? Watu ambao walikuwa hawana biashara sasa wamepata biashara ya kuuza barakoa na kutokana na biashara hiyo, wanaweza kukidhi mahitaji yao na familia zao. Mwisho kabisa ningependa kutoa onyo ya kwamba lazima tufwate masharti yaliyowekwa na shirika la afya duniani na wizara ya afya.
Ni nini kimedororesha uchumi
{ "text": [ "janga la corona" ] }
0500_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YASABABISHLAYO NA JANGA LA CORONA. Korona ni kundi la virusi vinavyoweza kusababisha magonjwa kwa wanyama na binadamu. Virusi vya korona husababisha maradhi ya UVIKO-19. Ungaminiwa kuwa ulitoka Wuhan, nchini China, katika mkoa wa Hubei: Shirika la Afya Duniani ilitangazo kuwa Uviko-19 umeenea duniani kote mwezi wa Machi, tarehe kumi na moja mwaka elfu mbili na ishirini. Dalili zake ni homa kali, uchovu, kikohozi kikavu, kukosa pumzi, joto jingi, baridi kali kutapika kupoteza hisia za kula na kuendesha. Baadhi ya chanjo zilizogunduliwa ambazo hupambana dhidi ya janga la corona ni Astrazeneca, Johnson, Viral vector, na Navavax. Baadhi ya madhara ya janga la korona ni: Kifo, awali Liviko-19 imewafunya watu wengi kutengana na sayari ya tatu, hasa wakongwe, watu wenye magonjwa sugu na watoto wadogo. Aila nyingi zimepoteza wapendwa wao kutokana na ndumukuwili huyu. Uviko-19 ni jeneza ambalo limemeza mamilioni ya walimwengu na kutapika wengine nje. Nchini India, sote huambatana na mila za wahindi, maiti zao huchomwa, lakini sasa uwele huu wa korona umewapelekea kuyafukua makuburi ili wapate nafusi ya kuzika maiti. Kisa na maana, maiti zao ni nyingi sana? Pili jangu la korona linachangia katika kusambaratika kwa uchumi. Biashara ya kimataifa imeathirika kwa makubwa na madogo. Je, imeathirika vipi? Kwa mfano, Kenya haikuweza kuagiza bidhaa kutoka China katika mwaka wa elfu mbili na ishirini, kwa sababu ya uwele huu ulitokea nchini humo. Baadhi ya bidhaa tunazoagiza kutoka China ni nguo, mashine na magari. Biashara ya kimataifa haiagizi tena bidhaa kutoka China kwa sababu wengi wetu wanahofu ya kwamba bidhaa hizo zina uwezekano wa kuwa na virusi ndani yake kama tunavyojua. Aghalabu virusi hutegemea sehemu nyevunyevu kusumbaa, nguo siku hizi hupigwa dawa si shuleni si kazini ili kupunguza na kuzuia virusi hivyo. Ushuru pia ulidorora kwa sababu watu walifuta kazi yaani katika hoteli za watalii na hoteli za ufuoni hazina wahudumu. Korona pia imeleta ulalahoi katika aushi za aila nyingi. Je, Korona imeleta uchochole kivipi? Watu wengi walifutwa kazi na hata shule za kibinafsi zilifungwa mwaka jana nchini Kenya. Kufungwa kwa shule nako kulifanya wanafunzi wengi kujitoa uhai, kuna wengi ambao walikuwa wanamaliza lakini ikabidi wagonje mwaka mwingine waendeleze masomo yao. Nchi nyingi ziliweka kufyu ya kuwa saa nne usiku ni mwisho. Sasa familia nyingi haziwezi kutimiza mahitaji yao ya nyumbani na kuwapeleka kuwa maskini wasiokuwa na mbele wala nyuma. Kadhalika corona imepunguza imani ya kidini kwa sababu maabadi mengi yaani misikiti na makanisa yamepigwa kufuli. Baadhi ya sehemu ambazo maabadi yamefungwa ni Busia, Vihiga, Kisii, Nyamira, Kakamega, Siaya, Homabay na Migori. Katika kaunti zingine za Kenya, idadi ya watu maabadini imepungua. Kwa mfano, ikiwa msikiti unabeba watu mia mbili, sasa unabeba thuluthi yake kulingana na kanuni wizara, sasa unabeba watu tisini na nane. Korona pia imeathiri utamaduni wa kanisa, ikiwa kulikuwa na kukumbatiana pindi wanapoimba nyimbo zao za kidini, sasa kukumbatiana kumepigwa marufuku. Isitoshe utafiti uliofanyika bungeni, unaonyesha kuwa asilimia themanini na sita ya wakenya , wanakumbana na upungufu wa chakula . Katika jiji la Nairobi, sehemu ya Mathare tunayakini fika ya kwamba sehemu ile haipati chakula na lishe bora, maji safi na mazingine safi. Je, ungependa kujiuliza hali ya hivi sasa inaendeleaje? Watu huko sasa wamezidi kuathirika, si kiafya si kiakili na si kimwili, na hata wengine kujitia kitanzi wanapoona familia zao zikiaga dunia kila uchao. Tena korona imetuathiri pakubwa mno kwani imetuulia wakulima ambao huleta vyakula ambavyo hutupa viini kama vile vitamini ambavyo huweza kupambana na maradhi. Imeathiri pia uajiri wa kazi, kazi sasa zimeadimika kama kaburi la buriani kwa sababu watu wengi wamepigwa kalamu na waliobaki, wanalipwa mshahara nusu ama kidogo. Katika mwaka wa elfu mbili kumi na tisa, Benki kuu ya Dunia kulikuwa na asilimia sabini na tano ya wakenya walikuwa wamemjiriwa lakini idadi ya waajiriwa lilipungua kuwa asilimia hamsini na sita mwezi wa Aprili mwaka jana. Ama kweli, fisi akimla muwele mzima funga mlango. Licha ya korona kutuathiri, ni lazima tutafute namna na njia za kupunguza makali ya korona. Baadhi ya njia hizi ni kukaa mita moja mbali na watu wenye dalili za corona, kuepuka kushika sehemu zilizo majimaji ya mwili kwa mfano, macho, pua kwa mikono isiyo safi kuepukana na sehemu zenye watu wengi na kuvaa barakoa kila wakati. Mwisho, kila kibaya kina uzuri wake. Waama, baniani mbaya kiatu chake dawa. Licha ya changamoto tunazokumbana na shetani huyu aitwae korona, tunapata faida. Je faida hiyo tunaipata kivipi? Watu ambao walikuwa hawana biashara sasa wamepata biashara ya kuuza barakoa na kutokana na biashara hiyo, wanaweza kukidhi mahitaji yao na familia zao. Mwisho kabisa ningependa kutoa onyo ya kwamba lazima tufwate masharti yaliyowekwa na shirika la afya duniani na wizara ya afya.
Nchini, kumekuwa na uhaba wa nini
{ "text": [ "Maharagwe" ] }
0500_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YASABABISHLAYO NA JANGA LA CORONA. Korona ni kundi la virusi vinavyoweza kusababisha magonjwa kwa wanyama na binadamu. Virusi vya korona husababisha maradhi ya UVIKO-19. Ungaminiwa kuwa ulitoka Wuhan, nchini China, katika mkoa wa Hubei: Shirika la Afya Duniani ilitangazo kuwa Uviko-19 umeenea duniani kote mwezi wa Machi, tarehe kumi na moja mwaka elfu mbili na ishirini. Dalili zake ni homa kali, uchovu, kikohozi kikavu, kukosa pumzi, joto jingi, baridi kali kutapika kupoteza hisia za kula na kuendesha. Baadhi ya chanjo zilizogunduliwa ambazo hupambana dhidi ya janga la corona ni Astrazeneca, Johnson, Viral vector, na Navavax. Baadhi ya madhara ya janga la korona ni: Kifo, awali Liviko-19 imewafunya watu wengi kutengana na sayari ya tatu, hasa wakongwe, watu wenye magonjwa sugu na watoto wadogo. Aila nyingi zimepoteza wapendwa wao kutokana na ndumukuwili huyu. Uviko-19 ni jeneza ambalo limemeza mamilioni ya walimwengu na kutapika wengine nje. Nchini India, sote huambatana na mila za wahindi, maiti zao huchomwa, lakini sasa uwele huu wa korona umewapelekea kuyafukua makuburi ili wapate nafusi ya kuzika maiti. Kisa na maana, maiti zao ni nyingi sana? Pili jangu la korona linachangia katika kusambaratika kwa uchumi. Biashara ya kimataifa imeathirika kwa makubwa na madogo. Je, imeathirika vipi? Kwa mfano, Kenya haikuweza kuagiza bidhaa kutoka China katika mwaka wa elfu mbili na ishirini, kwa sababu ya uwele huu ulitokea nchini humo. Baadhi ya bidhaa tunazoagiza kutoka China ni nguo, mashine na magari. Biashara ya kimataifa haiagizi tena bidhaa kutoka China kwa sababu wengi wetu wanahofu ya kwamba bidhaa hizo zina uwezekano wa kuwa na virusi ndani yake kama tunavyojua. Aghalabu virusi hutegemea sehemu nyevunyevu kusumbaa, nguo siku hizi hupigwa dawa si shuleni si kazini ili kupunguza na kuzuia virusi hivyo. Ushuru pia ulidorora kwa sababu watu walifuta kazi yaani katika hoteli za watalii na hoteli za ufuoni hazina wahudumu. Korona pia imeleta ulalahoi katika aushi za aila nyingi. Je, Korona imeleta uchochole kivipi? Watu wengi walifutwa kazi na hata shule za kibinafsi zilifungwa mwaka jana nchini Kenya. Kufungwa kwa shule nako kulifanya wanafunzi wengi kujitoa uhai, kuna wengi ambao walikuwa wanamaliza lakini ikabidi wagonje mwaka mwingine waendeleze masomo yao. Nchi nyingi ziliweka kufyu ya kuwa saa nne usiku ni mwisho. Sasa familia nyingi haziwezi kutimiza mahitaji yao ya nyumbani na kuwapeleka kuwa maskini wasiokuwa na mbele wala nyuma. Kadhalika corona imepunguza imani ya kidini kwa sababu maabadi mengi yaani misikiti na makanisa yamepigwa kufuli. Baadhi ya sehemu ambazo maabadi yamefungwa ni Busia, Vihiga, Kisii, Nyamira, Kakamega, Siaya, Homabay na Migori. Katika kaunti zingine za Kenya, idadi ya watu maabadini imepungua. Kwa mfano, ikiwa msikiti unabeba watu mia mbili, sasa unabeba thuluthi yake kulingana na kanuni wizara, sasa unabeba watu tisini na nane. Korona pia imeathiri utamaduni wa kanisa, ikiwa kulikuwa na kukumbatiana pindi wanapoimba nyimbo zao za kidini, sasa kukumbatiana kumepigwa marufuku. Isitoshe utafiti uliofanyika bungeni, unaonyesha kuwa asilimia themanini na sita ya wakenya , wanakumbana na upungufu wa chakula . Katika jiji la Nairobi, sehemu ya Mathare tunayakini fika ya kwamba sehemu ile haipati chakula na lishe bora, maji safi na mazingine safi. Je, ungependa kujiuliza hali ya hivi sasa inaendeleaje? Watu huko sasa wamezidi kuathirika, si kiafya si kiakili na si kimwili, na hata wengine kujitia kitanzi wanapoona familia zao zikiaga dunia kila uchao. Tena korona imetuathiri pakubwa mno kwani imetuulia wakulima ambao huleta vyakula ambavyo hutupa viini kama vile vitamini ambavyo huweza kupambana na maradhi. Imeathiri pia uajiri wa kazi, kazi sasa zimeadimika kama kaburi la buriani kwa sababu watu wengi wamepigwa kalamu na waliobaki, wanalipwa mshahara nusu ama kidogo. Katika mwaka wa elfu mbili kumi na tisa, Benki kuu ya Dunia kulikuwa na asilimia sabini na tano ya wakenya walikuwa wamemjiriwa lakini idadi ya waajiriwa lilipungua kuwa asilimia hamsini na sita mwezi wa Aprili mwaka jana. Ama kweli, fisi akimla muwele mzima funga mlango. Licha ya korona kutuathiri, ni lazima tutafute namna na njia za kupunguza makali ya korona. Baadhi ya njia hizi ni kukaa mita moja mbali na watu wenye dalili za corona, kuepuka kushika sehemu zilizo majimaji ya mwili kwa mfano, macho, pua kwa mikono isiyo safi kuepukana na sehemu zenye watu wengi na kuvaa barakoa kila wakati. Mwisho, kila kibaya kina uzuri wake. Waama, baniani mbaya kiatu chake dawa. Licha ya changamoto tunazokumbana na shetani huyu aitwae korona, tunapata faida. Je faida hiyo tunaipata kivipi? Watu ambao walikuwa hawana biashara sasa wamepata biashara ya kuuza barakoa na kutokana na biashara hiyo, wanaweza kukidhi mahitaji yao na familia zao. Mwisho kabisa ningependa kutoa onyo ya kwamba lazima tufwate masharti yaliyowekwa na shirika la afya duniani na wizara ya afya.
Ni vipi janga la corona lilileta matatizo ya uchukuzi
{ "text": [ "Ndege hazikuruhusiwa kubeba abiria katika maeneo mbalimbali" ] }
0501_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Corona ni jamii kubwa ya virusi vinavyosababisha maradhi kwa wanyama na binadamu . Virusi vipya vya Corona viligunduliwa mwaka elfu mbili na kumi na tisa huko Wuhan, China. Delta na Alpha ini aina za virusi vya Corona ambazo husababisha maradhi ya ugonjwa wa virusi vya Corona. Chanjo zilizotengenezwa na kutumia na watu ni za aina nyingi, Pfizer na AstraZeneca ni aina za hizo chanjo. Uviko-19 ni jina linaloambatana na mwaka ambao virusi viligunduliwa. Dalili zake ni homa, kikohozi kikavu, shida ya kupumua, uchovu, kichefuchefu na kuharisha. Mnamo tarehe kumi na moja, mwezi wa tatu, mwaka elfu mbili na ishirini, shirika la Afya Duniani lilitangaza kuwa ugonjwa wa Uviko - 19 ulienea duniani kote. Madhara ya kuenea kwa janga hili ni kama yafuatayo: Kwanza kabisa, janga la Corona limesababisha vifo vingi vilivyowaogopesha watu chungu nzima. Virusi vya Corona vimewaua watu wengi si wazee, si vijana, si wanawake, si wanaume. Kumbe virusi vya Corona havina huruma! Corona ni jinamizi lililowahangaisha watu hasa wale waliokuwa na magonjwa sugu kama kisukari, shinikizo la damu na pumu. Pia watoto wadogo wako hatarini kwa sababu mfumo kinga wao haujakomaa. Pili, kiwango cha elimu kilididimizwa na janga la Corona. Elimu ilizorota mwaka jana nchini Kenya baada ya shule zote za kibinafsi na za serikali kutiwa kufuli kutoka tarehe kumi na sita Machi hadi tarehe nne Januari mwaka elfu mbili na ishirini na moja. Walimu kadhaa wa shule za kibinafsi walijiua kwa kukosa mishahara kwani shule walizofundisha zilikuwa zikitegemea karo za wanafunzi waliosoma hapo. Wapishi, wahazili, wafyekaji, walimu, walinzi na wafanya kazi wengine walikosa mishahara yao walipokuwa nyumbani, shule zilipofungwa. Kando na hayo, janga la Corona limezorotesha uchumi wa nchi yetu na uchumi wa dunia nzima. Mwaka elfu mbili na ishirini, kati ya mwezi wa Machi na Mei, hatukuweza kuingiza bidhaa kama nguo, viatu , mashine na dawa kutoka China kwa sababu virusi vya Corona vinaweza kukaa bidhaani. Hii ikisababisha serikali kutopata ushuru katika sekta hii. Kadhalika, Corona imeleta ukosefu wa vitanda na oksijeni hospitalini. Mwanzoni watu hawakujua jinsi ya kuzuia usambazaji wa virusi vya Corona wala hawakujikinga kutokana na virusi hivyo. Virusi hivi vilienea haraka na kuwaathiri watu wengi ambao walipelekwa hospitalini na kupata oksijeni, vitanda na vifaa vingine vikiwa kidogo kwani kuna watu wabinafsi walionunua mitungi mengi na kujiekea majumbani mwao. Minghairi ya hayo, janga la Corona linafanya usalama wa wananchi kuzorota kwa vile watu wengi wanafutwa kazi na wengine hawana kazi wanaona kujiunga na magenge mabaya wanahatarisha maisha ya watu wengine. Usalama wa wananchi umefifia. Watu wanatekwa nyara mara kwa mara na kupatikana wakiwa wamekufa . Watu hao wabaya wanatoa viungo vya mwili vya waliowateka na kuziuza. Watu wanapotoka majumbani mwao huwa na wasiwasi. Binadamu wanauliwa na kutupwa jaani.Je hii ni haki? Juu ya hayo, janga la Corona limechangia kwa chakula kupungua nchini Kenya. Wakulima wengi wamekufa na wakulima waliopanda chakula wanaogopa kupeleka bidhaa zao sokoni kwa sababu virusi vya Corona vinakaa bidhaani. Watu wengi walikosa kula chakula bora kwa sababu ya zuio la kutoka nyumbani. Licha ya hayo, jangu la Corona limeuwa utamaduni wa Kiafrika, watu hawawezi kutembeleana. Kuenda katika sherehe, kukumbatiana kwa wanaohusiana na kutangamana katika sherehe kama harusi na matanga watu hamsini peke yake ndio wanaoruhusiwa kuhudhuria. Nchini Kenya na Uganda, watu ishirini peke yake ndio wanaohudhuria. Makabila wenye tamaduni yenye kuhitaji watu kutangamana kama tohara kwa watoto walioingia katika utu uzima hazikufanyika mwaka jana. Fauka ya hayo, biashara zilididimia na kuharibika. Biashara nyingi zilizofanywa na watu kama kuuza kahawa, kupika na kuuza viazi na kuuza makulati hawakuweza kwa sababu ya virusi hivi vya Corona vinavyoenea haraka. Makampuni mbalimbali yalifungwa kwa sababu ya amri waliopewa wamiliki hao na serikali. Mfano wa makampuni yaliyofungwa ni Mombasa Raha na Modern Coast. Kabla ya mlipuko wa Corona, wafanya biashara waliokuwa wakiuza bidhaa zao usiku walikuwa wengi lakini kwa sababu ya kafyu, biashara hizo ziliachwa. Isitoshe, janga la Corona limeengeza ufisadi Kenya na duniani. Madaktari wanachukua hongo kwa watu wanaotaka kupita katika vizuio vilivyowekwa na serikali, wanaotembea bila barakoa na wenye kutembea usiku baada ya masaa ya kafyu. Watu wanaanza kutengeneza chanjo mbaya zinazodhuru watu. Madaktari wanadanganya watu wenye magonjwa yaliyo na dalili kama za Corona kuwa wao wana Corona na kuchukua pesa za matibabu kutoka kwao. Zaidi ya hayo, janga la Corona limefanya vijana wengi kuathirika. Vijana wengi waliharibika shule zilipofungwa. Wasichana walipachikwa mimba na wengine kaolewa. Vijana walijiunga na magenge mabaya ya watu, kutumia dawa za kulevya, wengine kuacha kusoma na baadhi yao kufanya vibarua. Vijana walitumia mitandao kwa njia mbaya badala ya kusoma waliangalia vitu vibaya. Kwa hakika, Corona imeleta faida zake. Watu wameanza kutengeneza barakoa na kuziuza ili wapate pesa. Madaktari wengi wamepata kazi. Wazazi wamepata wakati wa kutangamana na watoto wao . Watu wengine wamepata wakati ya kuandika vitabu. Kampuni zilizotoa hewa chafu na kuchafua maji ya mito ziliacha kwa sababu ya zuio la kutotoka nyumbani wakiacha hewa ikiwa safi na maji pia. Tunaweza kuzuia kusambaa kwa virusi hivi kwa kuosha mikono, kuvaa barakoa, kutumia kipukusi, kuepuka msongamano, kutokaribiana, kutopeana mikono na kuzingatia masharti yaliyowekwa na serikali.
Ugonjwa wa Uviko-19 umeenea kwa zaidi ya mataifa mangapi
{ "text": [ "Mia moja themanini" ] }
0501_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Corona ni jamii kubwa ya virusi vinavyosababisha maradhi kwa wanyama na binadamu . Virusi vipya vya Corona viligunduliwa mwaka elfu mbili na kumi na tisa huko Wuhan, China. Delta na Alpha ini aina za virusi vya Corona ambazo husababisha maradhi ya ugonjwa wa virusi vya Corona. Chanjo zilizotengenezwa na kutumia na watu ni za aina nyingi, Pfizer na AstraZeneca ni aina za hizo chanjo. Uviko-19 ni jina linaloambatana na mwaka ambao virusi viligunduliwa. Dalili zake ni homa, kikohozi kikavu, shida ya kupumua, uchovu, kichefuchefu na kuharisha. Mnamo tarehe kumi na moja, mwezi wa tatu, mwaka elfu mbili na ishirini, shirika la Afya Duniani lilitangaza kuwa ugonjwa wa Uviko - 19 ulienea duniani kote. Madhara ya kuenea kwa janga hili ni kama yafuatayo: Kwanza kabisa, janga la Corona limesababisha vifo vingi vilivyowaogopesha watu chungu nzima. Virusi vya Corona vimewaua watu wengi si wazee, si vijana, si wanawake, si wanaume. Kumbe virusi vya Corona havina huruma! Corona ni jinamizi lililowahangaisha watu hasa wale waliokuwa na magonjwa sugu kama kisukari, shinikizo la damu na pumu. Pia watoto wadogo wako hatarini kwa sababu mfumo kinga wao haujakomaa. Pili, kiwango cha elimu kilididimizwa na janga la Corona. Elimu ilizorota mwaka jana nchini Kenya baada ya shule zote za kibinafsi na za serikali kutiwa kufuli kutoka tarehe kumi na sita Machi hadi tarehe nne Januari mwaka elfu mbili na ishirini na moja. Walimu kadhaa wa shule za kibinafsi walijiua kwa kukosa mishahara kwani shule walizofundisha zilikuwa zikitegemea karo za wanafunzi waliosoma hapo. Wapishi, wahazili, wafyekaji, walimu, walinzi na wafanya kazi wengine walikosa mishahara yao walipokuwa nyumbani, shule zilipofungwa. Kando na hayo, janga la Corona limezorotesha uchumi wa nchi yetu na uchumi wa dunia nzima. Mwaka elfu mbili na ishirini, kati ya mwezi wa Machi na Mei, hatukuweza kuingiza bidhaa kama nguo, viatu , mashine na dawa kutoka China kwa sababu virusi vya Corona vinaweza kukaa bidhaani. Hii ikisababisha serikali kutopata ushuru katika sekta hii. Kadhalika, Corona imeleta ukosefu wa vitanda na oksijeni hospitalini. Mwanzoni watu hawakujua jinsi ya kuzuia usambazaji wa virusi vya Corona wala hawakujikinga kutokana na virusi hivyo. Virusi hivi vilienea haraka na kuwaathiri watu wengi ambao walipelekwa hospitalini na kupata oksijeni, vitanda na vifaa vingine vikiwa kidogo kwani kuna watu wabinafsi walionunua mitungi mengi na kujiekea majumbani mwao. Minghairi ya hayo, janga la Corona linafanya usalama wa wananchi kuzorota kwa vile watu wengi wanafutwa kazi na wengine hawana kazi wanaona kujiunga na magenge mabaya wanahatarisha maisha ya watu wengine. Usalama wa wananchi umefifia. Watu wanatekwa nyara mara kwa mara na kupatikana wakiwa wamekufa . Watu hao wabaya wanatoa viungo vya mwili vya waliowateka na kuziuza. Watu wanapotoka majumbani mwao huwa na wasiwasi. Binadamu wanauliwa na kutupwa jaani.Je hii ni haki? Juu ya hayo, janga la Corona limechangia kwa chakula kupungua nchini Kenya. Wakulima wengi wamekufa na wakulima waliopanda chakula wanaogopa kupeleka bidhaa zao sokoni kwa sababu virusi vya Corona vinakaa bidhaani. Watu wengi walikosa kula chakula bora kwa sababu ya zuio la kutoka nyumbani. Licha ya hayo, jangu la Corona limeuwa utamaduni wa Kiafrika, watu hawawezi kutembeleana. Kuenda katika sherehe, kukumbatiana kwa wanaohusiana na kutangamana katika sherehe kama harusi na matanga watu hamsini peke yake ndio wanaoruhusiwa kuhudhuria. Nchini Kenya na Uganda, watu ishirini peke yake ndio wanaohudhuria. Makabila wenye tamaduni yenye kuhitaji watu kutangamana kama tohara kwa watoto walioingia katika utu uzima hazikufanyika mwaka jana. Fauka ya hayo, biashara zilididimia na kuharibika. Biashara nyingi zilizofanywa na watu kama kuuza kahawa, kupika na kuuza viazi na kuuza makulati hawakuweza kwa sababu ya virusi hivi vya Corona vinavyoenea haraka. Makampuni mbalimbali yalifungwa kwa sababu ya amri waliopewa wamiliki hao na serikali. Mfano wa makampuni yaliyofungwa ni Mombasa Raha na Modern Coast. Kabla ya mlipuko wa Corona, wafanya biashara waliokuwa wakiuza bidhaa zao usiku walikuwa wengi lakini kwa sababu ya kafyu, biashara hizo ziliachwa. Isitoshe, janga la Corona limeengeza ufisadi Kenya na duniani. Madaktari wanachukua hongo kwa watu wanaotaka kupita katika vizuio vilivyowekwa na serikali, wanaotembea bila barakoa na wenye kutembea usiku baada ya masaa ya kafyu. Watu wanaanza kutengeneza chanjo mbaya zinazodhuru watu. Madaktari wanadanganya watu wenye magonjwa yaliyo na dalili kama za Corona kuwa wao wana Corona na kuchukua pesa za matibabu kutoka kwao. Zaidi ya hayo, janga la Corona limefanya vijana wengi kuathirika. Vijana wengi waliharibika shule zilipofungwa. Wasichana walipachikwa mimba na wengine kaolewa. Vijana walijiunga na magenge mabaya ya watu, kutumia dawa za kulevya, wengine kuacha kusoma na baadhi yao kufanya vibarua. Vijana walitumia mitandao kwa njia mbaya badala ya kusoma waliangalia vitu vibaya. Kwa hakika, Corona imeleta faida zake. Watu wameanza kutengeneza barakoa na kuziuza ili wapate pesa. Madaktari wengi wamepata kazi. Wazazi wamepata wakati wa kutangamana na watoto wao . Watu wengine wamepata wakati ya kuandika vitabu. Kampuni zilizotoa hewa chafu na kuchafua maji ya mito ziliacha kwa sababu ya zuio la kutotoka nyumbani wakiacha hewa ikiwa safi na maji pia. Tunaweza kuzuia kusambaa kwa virusi hivi kwa kuosha mikono, kuvaa barakoa, kutumia kipukusi, kuepuka msongamano, kutokaribiana, kutopeana mikono na kuzingatia masharti yaliyowekwa na serikali.
Athari za uviko -19 ziliwachochea wananchi wa Kilifi kuanza ufugaji wa nini
{ "text": [ "Kuku" ] }
0501_swa
MJADALA KUHUSU MADHARA YANAYOSABABISHWA NA JANGA LA CORONA Corona ni jamii kubwa ya virusi vinavyosababisha maradhi kwa wanyama na binadamu . Virusi vipya vya Corona viligunduliwa mwaka elfu mbili na kumi na tisa huko Wuhan, China. Delta na Alpha ini aina za virusi vya Corona ambazo husababisha maradhi ya ugonjwa wa virusi vya Corona. Chanjo zilizotengenezwa na kutumia na watu ni za aina nyingi, Pfizer na AstraZeneca ni aina za hizo chanjo. Uviko-19 ni jina linaloambatana na mwaka ambao virusi viligunduliwa. Dalili zake ni homa, kikohozi kikavu, shida ya kupumua, uchovu, kichefuchefu na kuharisha. Mnamo tarehe kumi na moja, mwezi wa tatu, mwaka elfu mbili na ishirini, shirika la Afya Duniani lilitangaza kuwa ugonjwa wa Uviko - 19 ulienea duniani kote. Madhara ya kuenea kwa janga hili ni kama yafuatayo: Kwanza kabisa, janga la Corona limesababisha vifo vingi vilivyowaogopesha watu chungu nzima. Virusi vya Corona vimewaua watu wengi si wazee, si vijana, si wanawake, si wanaume. Kumbe virusi vya Corona havina huruma! Corona ni jinamizi lililowahangaisha watu hasa wale waliokuwa na magonjwa sugu kama kisukari, shinikizo la damu na pumu. Pia watoto wadogo wako hatarini kwa sababu mfumo kinga wao haujakomaa. Pili, kiwango cha elimu kilididimizwa na janga la Corona. Elimu ilizorota mwaka jana nchini Kenya baada ya shule zote za kibinafsi na za serikali kutiwa kufuli kutoka tarehe kumi na sita Machi hadi tarehe nne Januari mwaka elfu mbili na ishirini na moja. Walimu kadhaa wa shule za kibinafsi walijiua kwa kukosa mishahara kwani shule walizofundisha zilikuwa zikitegemea karo za wanafunzi waliosoma hapo. Wapishi, wahazili, wafyekaji, walimu, walinzi na wafanya kazi wengine walikosa mishahara yao walipokuwa nyumbani, shule zilipofungwa. Kando na hayo, janga la Corona limezorotesha uchumi wa nchi yetu na uchumi wa dunia nzima. Mwaka elfu mbili na ishirini, kati ya mwezi wa Machi na Mei, hatukuweza kuingiza bidhaa kama nguo, viatu , mashine na dawa kutoka China kwa sababu virusi vya Corona vinaweza kukaa bidhaani. Hii ikisababisha serikali kutopata ushuru katika sekta hii. Kadhalika, Corona imeleta ukosefu wa vitanda na oksijeni hospitalini. Mwanzoni watu hawakujua jinsi ya kuzuia usambazaji wa virusi vya Corona wala hawakujikinga kutokana na virusi hivyo. Virusi hivi vilienea haraka na kuwaathiri watu wengi ambao walipelekwa hospitalini na kupata oksijeni, vitanda na vifaa vingine vikiwa kidogo kwani kuna watu wabinafsi walionunua mitungi mengi na kujiekea majumbani mwao. Minghairi ya hayo, janga la Corona linafanya usalama wa wananchi kuzorota kwa vile watu wengi wanafutwa kazi na wengine hawana kazi wanaona kujiunga na magenge mabaya wanahatarisha maisha ya watu wengine. Usalama wa wananchi umefifia. Watu wanatekwa nyara mara kwa mara na kupatikana wakiwa wamekufa . Watu hao wabaya wanatoa viungo vya mwili vya waliowateka na kuziuza. Watu wanapotoka majumbani mwao huwa na wasiwasi. Binadamu wanauliwa na kutupwa jaani.Je hii ni haki? Juu ya hayo, janga la Corona limechangia kwa chakula kupungua nchini Kenya. Wakulima wengi wamekufa na wakulima waliopanda chakula wanaogopa kupeleka bidhaa zao sokoni kwa sababu virusi vya Corona vinakaa bidhaani. Watu wengi walikosa kula chakula bora kwa sababu ya zuio la kutoka nyumbani. Licha ya hayo, jangu la Corona limeuwa utamaduni wa Kiafrika, watu hawawezi kutembeleana. Kuenda katika sherehe, kukumbatiana kwa wanaohusiana na kutangamana katika sherehe kama harusi na matanga watu hamsini peke yake ndio wanaoruhusiwa kuhudhuria. Nchini Kenya na Uganda, watu ishirini peke yake ndio wanaohudhuria. Makabila wenye tamaduni yenye kuhitaji watu kutangamana kama tohara kwa watoto walioingia katika utu uzima hazikufanyika mwaka jana. Fauka ya hayo, biashara zilididimia na kuharibika. Biashara nyingi zilizofanywa na watu kama kuuza kahawa, kupika na kuuza viazi na kuuza makulati hawakuweza kwa sababu ya virusi hivi vya Corona vinavyoenea haraka. Makampuni mbalimbali yalifungwa kwa sababu ya amri waliopewa wamiliki hao na serikali. Mfano wa makampuni yaliyofungwa ni Mombasa Raha na Modern Coast. Kabla ya mlipuko wa Corona, wafanya biashara waliokuwa wakiuza bidhaa zao usiku walikuwa wengi lakini kwa sababu ya kafyu, biashara hizo ziliachwa. Isitoshe, janga la Corona limeengeza ufisadi Kenya na duniani. Madaktari wanachukua hongo kwa watu wanaotaka kupita katika vizuio vilivyowekwa na serikali, wanaotembea bila barakoa na wenye kutembea usiku baada ya masaa ya kafyu. Watu wanaanza kutengeneza chanjo mbaya zinazodhuru watu. Madaktari wanadanganya watu wenye magonjwa yaliyo na dalili kama za Corona kuwa wao wana Corona na kuchukua pesa za matibabu kutoka kwao. Zaidi ya hayo, janga la Corona limefanya vijana wengi kuathirika. Vijana wengi waliharibika shule zilipofungwa. Wasichana walipachikwa mimba na wengine kaolewa. Vijana walijiunga na magenge mabaya ya watu, kutumia dawa za kulevya, wengine kuacha kusoma na baadhi yao kufanya vibarua. Vijana walitumia mitandao kwa njia mbaya badala ya kusoma waliangalia vitu vibaya. Kwa hakika, Corona imeleta faida zake. Watu wameanza kutengeneza barakoa na kuziuza ili wapate pesa. Madaktari wengi wamepata kazi. Wazazi wamepata wakati wa kutangamana na watoto wao . Watu wengine wamepata wakati ya kuandika vitabu. Kampuni zilizotoa hewa chafu na kuchafua maji ya mito ziliacha kwa sababu ya zuio la kutotoka nyumbani wakiacha hewa ikiwa safi na maji pia. Tunaweza kuzuia kusambaa kwa virusi hivi kwa kuosha mikono, kuvaa barakoa, kutumia kipukusi, kuepuka msongamano, kutokaribiana, kutopeana mikono na kuzingatia masharti yaliyowekwa na serikali.
Uviko-19 ulichangia wanafunzi kupewa likizo ndefu ya zaidi ya miezi mingapi
{ "text": [ "Miezi minane" ] }