audio,sentence 200625-112612_swa_5a1_elicit_0.wav,"Ikawa, hapo hilo taifa zima lilipokuwa limekwisha vuka Yordani, ndipo Bwana akanena na Yoshua, akamwambia." 200625-112612_swa_5a1_elicit_1.wav,"Haya, twaeni watu waume kumi na wawili katika hao watu, kila kabila mtu mmoja." 200625-112612_swa_5a1_elicit_2.wav,"Kisha uwaamrishe, kusema, Twaeni mawe kumi na mawili, hapo katikati ya Yordani, mahali hapo miguu Ya hao makuhani iliposimama imara." 200625-112612_swa_5a1_elicit_3.wav,"Mwende nayo mawe hayo, mkayaweke nchi kambini, hapo mtakapolala usiku huu." 200625-112612_swa_5a1_elicit_4.wav,"Basi Yoshua akawaita hao watu kumi na wawili, aliokuwa amewaweka tayari tangu hapo." 200625-112612_swa_5a1_elicit_5.wav,"Katika wana wa Israeli, kila kabila mtu mmoja." 200625-112612_swa_5a1_elicit_6.wav,"Naye Yoshua akawaambia, Haya, piteni ninyi mtangulie mbele ya sanduku la Bwana, Mungu wenu." 200625-112612_swa_5a1_elicit_7.wav,"Mwende pale katikati ya Yordani, mkatwae kila mtu wenu jiwe moja begani mwake." 200625-112612_swa_5a1_elicit_8.wav,"Kwa kadiri ya hesabu ya kabila za wana wa Israeli; ili kwamba jambo hili liwe ishara kati yenu. Hapo watoto wenu watakapowauliza ninyi katika siku zijazo, wakisema, Ni nini maana yake mawe haya?" 200625-112612_swa_5a1_elicit_9.wav,"Ndipo mtakapowaambia, Ni kwa sababu maji ya Yordani yalitindika mbele ya sanduku la agano la Bwana." 200625-112612_swa_5a1_elicit_10.wav,"Hapo lilipovuka Yordani, hayo maji ya Yordani yalitindika; na mawe haya yatakuwa ni ukumbusho kwa wana wa Israeli milele." 200625-112612_swa_5a1_elicit_11.wav,Basi wana wa Israeli walifanya vile vile kama Yoshua alivyowaamuru. 200625-112612_swa_5a1_elicit_13.wav,"Nao wakatwaa mawe kumi na mawili pale katikati ya Yordani, kama Bwana alivyomwambia Yoshua. Sawasawa na hesabu ya kabila za wana wa Israeli." 200625-112612_swa_5a1_elicit_14.wav,"Wakayachukua wakavuka nayo hata mahali pale walipolala, nao wakayaweka nchi kuko huko." 200625-112612_swa_5a1_elicit_15.wav,Kisha Yoshua akapanga mawe kumi na mawili katikati ya Yordani. 200625-112612_swa_5a1_elicit_16.wav,Mahali pale miguu ya hao makuhani waliolichukua hilo sanduku la agano iliposimama; nayo yapo pale pale hata hivi leo. 200625-112612_swa_5a1_elicit_17.wav,Kwa kuwa makuhani waliolichukua hilo sanduku walisimama katikati ya Yordani. 200625-112612_swa_5a1_elicit_18.wav,"Hata mambo yote Bwana aliyomwamuru Yoshua awambie hao watu yakaisha, sawasawa na hayo yote Musa aliyokuwa amemwamuru Yoshua." 200625-112612_swa_5a1_elicit_19.wav,Kisha hao watu wakafanya haraka wakavuka. 200625-112612_swa_5a1_elicit_20.wav,"Ikawa watu wote walipokuwa wamekwisha vuka kabisa, hilo sanduku la Bwana likavuka, na hao makuhani, mbele ya macho ya hao watu." 200625-112612_swa_5a1_elicit_21.wav,"Na wana wa Reubeni, na wana wa Gadi na hiyo nusu ya kabila ya Manase." 200625-112612_swa_5a1_elicit_22.wav,"Wakavuka, hali ya kuvaa silaha mbele ya wana wa Israeli, kama Musa alivyowaambia." 200625-112612_swa_5a1_elicit_23.wav,"Walipata kama watu arobaini elfu hesabu yao, wenye kuvaa silaha tayari kwa vita." 200625-112612_swa_5a1_elicit_24.wav,"Waliovuka mbele ya Bwana, waende vitani, hata nchi tambarare za Yeriko." 200625-112612_swa_5a1_elicit_25.wav,"Siku ile Bwana alimtukuza Yoshua mbele ya macho ya Israeli wote; nao wakamcha, kama walivyokuwa wakimcha Musa, siku zote za maisha yake." 200625-112612_swa_5a1_elicit_26.wav,"Kisha Bwana akanena na Yoshua, akamwambia." 200625-112612_swa_5a1_elicit_27.wav,"Haya, uwaamuru makuhani, hao waliolichukua sanduku la ushuhuda." 200625-112612_swa_5a1_elicit_28.wav,Kwamba wakwee juu kutoka mle katika Yordani. 200625-112612_swa_5a1_elicit_29.wav,"Basi Yoshua akawaamuru hao makuhani, akawaambia, Haya, kweeni mtoke Yordani." 200625-112612_swa_5a1_elicit_30.wav,"Ilikuwa, hapo hao makuhani waliolichukua sanduku la agano la Bwana walipokwea juu kutoka mle kati ya Yordani." 200625-112612_swa_5a1_elicit_31.wav,"Na nyayo za miguu yao hao makuhani zilipoinuliwa na kutiwa katika nchi kavu, ndipo maji ya Yordani yaliporudi mahali pake." 200625-112612_swa_5a1_elicit_32.wav,"Na kujaa na kuipita mipaka yake, kama yalivyokuwa hapo kwanza." 200625-112612_swa_5a1_elicit_33.wav,"Na hao watu wakakwea kutoka Yordani siku ya kumi ya mwezi wa kwanza, wakapiga kambi Gilgali, katika mpaka wa mashariki wa Yeriko." 200625-112612_swa_5a1_elicit_34.wav,Na yale mawe kumi na mawili waliyoyatwaa katikati ya Yordani Yoshua akayasimamisha Gilgali. 200625-112612_swa_5a1_elicit_35.wav,"Akawaambia wana wa Israeli, akasema, Watoto wenu watakapowauliza baba zao katika siku zijazo, wakisema." 200625-112612_swa_5a1_elicit_36.wav,Mawe haya maana yake ni nini? 200625-112612_swa_5a1_elicit_37.wav,"Ndipo mtakapowaarifu watoto wenu mkisema, Israeli walivuka mto huu wa Yordani, kwa njia ya nchi kavu." 200625-112612_swa_5a1_elicit_38.wav,"Kwa sababu Bwana, Mungu wenu aliyakausha maji ya Yordani, mbele yenu." 200625-112612_swa_5a1_elicit_39.wav,"Hata mlipokwisha kuvuka kama Bwana, Mungu wenu, alivyoitenda Bahari ya Shamu." 200625-112612_swa_5a1_elicit_40.wav,Aliyoikausha mbele yetu hata tulipokwisha kuvuka. 200625-112612_swa_5a1_elicit_41.wav,"Watu wote wa duniani wapate kujua mkono wa Bwana, ya kuwa ni mkono wenye uweza, ili wamche Bwana, Mungu wenu, milele." 200625-112612_swa_5a1_elicit_42.wav,"Ikawa, wafalme wa Waamori, waliokaa ng'ambo ya Yordani pande za magharibi" 200625-112612_swa_5a1_elicit_43.wav,"Na wafalme wote wa Wakanaani, waliokuwa karibu na bahari." 200625-112612_swa_5a1_elicit_44.wav,Waliposikia jinsi Bwana alivyoyakausha maji ya Yordani mbele ya wana wa Israeli. 200625-112612_swa_5a1_elicit_45.wav,"Hata tulipokwisha kuvuka, basi mioyo yao iliyeyuka." 200625-112612_swa_5a1_elicit_46.wav,Wala haikuwamo roho ya nguvu ndani yao tena; kwa ajili ya wana wa Israeli. 200625-112612_swa_5a1_elicit_47.wav,Wakati huo Bwana akamwambia Yoshua. 200625-112612_swa_5a1_elicit_48.wav,"Haya, jifanyie visu vya mawe ya gumegume, watahiri tena wana wa Israeli mara ya pili." 200625-112612_swa_5a1_elicit_49.wav,Basi Yoshua akajifanyia visu vya mawe ya gumegume. 200625-112612_swa_5a1_elicit_50.wav,Akawatahiri wana wa Israeli huko Gibea-haaralothi. 200625-112612_swa_5a1_elicit_51.wav,"Na sababu ya Yoshua kutahiri ni hii; watu wote waliotoka Misri, waliokuwa waume" 200625-112612_swa_5a1_elicit_52.wav,"Hao watu waume wote waendao vitani walikufa katika bara njiani, baada ya wao kutoka Misri." 200625-112612_swa_5a1_elicit_53.wav,Kwa kuwa watu wote waliotoka walikuwa wamekwisha kutahiriwa. 200625-112612_swa_5a1_elicit_54.wav,"Lakini watu wote waliozaliwa katika bara njiani walipokwisha kutoka Misri, hao hawakutahiriwa." 200625-112612_swa_5a1_elicit_55.wav,Kwa kuwa wana wa Israeli walitembea muda wa miaka arobaini barani 200625-112612_swa_5a1_elicit_56.wav,"Hata hilo taifa zima, yaani, watu waume waendao vitani, waliotoka Misri, walipokuwa wameangamia." 200625-112612_swa_5a1_elicit_57.wav,Kwa sababu hawakuisikiza sauti ya Bwana; nao ndio Bwana aliowaapia ya kwamba hatawaacha waione hiyo nchi. 200625-112612_swa_5a1_elicit_58.wav,Ambayo Bwana aliwaapia baba zao kwamba atatupa sisi; nchi ijaayo maziwa na asali. 200625-112612_swa_5a1_elicit_59.wav,"Na watoto wao, aliowainua badala yao ndio hao aliowatahiri Yoshua." 200625-112612_swa_5a1_elicit_60.wav,"Kwa kuwa wao walikuwa hawakutahiriwa, kwa maana walikuwa hawakuwatahiri njiani." 200625-112612_swa_5a1_elicit_61.wav,"Ilikuwa walipokwisha kutahiriwa taifa zima, wakakaa kila mtu mahali pake maragoni, hata walipopoa." 200625-112612_swa_5a1_elicit_62.wav,"Bwana akamwambia Yoshua, Siku hii ya leo nimeivingirisha hiyo aibu ya Misri iondoke juu yenu." 200625-112612_swa_5a1_elicit_63.wav,"Kwa hiyo jina la mahali pale likaitwa Gilgali, hata hivi leo." 200625-112612_swa_5a1_elicit_64.wav,Basi wana wa Israeli wakapanga hema zao huko Gilgali. 200625-112612_swa_5a1_elicit_65.wav,"Nao wakala sikukuu ya pasaka siku ya kumi na nne ya mwezi, jioni, katika nchi tambarare za Yeriko." 200625-112612_swa_5a1_elicit_66.wav,Nao wakala katika mazao ya nchi siku ya pili ya kuiandama hiyo sikukuu ya pasaka. 200625-112612_swa_5a1_elicit_67.wav,"Mikate isiyotiwa chachu, na bisi, siku iyo hiyo." 200625-112612_swa_5a1_elicit_68.wav,"Ndipo ile mana ikakoma siku ya pili yake, baada ya wao kuyala hayo mazao ya nchi." 200625-112612_swa_5a1_elicit_69.wav,Na hao wana wa Israeli hawakuwa na mana tena; lakini wakala katika viliwa vya nchi ya Kanaani mwaka huo. 200625-114939_swa_5a1_elicit_0.wav,"Na tazama, mtu mume akasimama kumkabili mbele yake, naye alikuwa na upanga wazi mkononi mwake." 200625-114939_swa_5a1_elicit_1.wav,"Yoshua akamwendea, na kumwambia, Je! Wewe u upande wetu, au upande wa adui zetu?" 200625-114939_swa_5a1_elicit_2.wav,"Akasema, La, lakini nimekuja sasa, nili amiri wa jeshi la Bwana." 200625-114939_swa_5a1_elicit_3.wav,"Yoshua akapomoka kiusouso hata nchi, naye akasujudu, akamwuliza." 200625-114939_swa_5a1_elicit_4.wav,Bwana wangu aniambia nini mimi mtumishi wake? 200625-114939_swa_5a1_elicit_5.wav,"Huyo amiri wa jeshi la Bwana akamwambia Yoshua, Vua viatu vyako miguuni mwako." 200625-114939_swa_5a1_elicit_6.wav,Kwa kuwa mahali hapo usimamapo ni patakatifu. 200625-114939_swa_5a1_elicit_7.wav,Yoshua akafanya vivyo. 200625-114939_swa_5a1_elicit_8.wav,Basi Yeriko ulikuwa umefungwa kabisa kwa sababu ya wana wa Israeli. 200625-114939_swa_5a1_elicit_9.wav,Hapana mtu aliyetoka wala hapana mtu aliyeingia. 200625-114939_swa_5a1_elicit_10.wav,"Bwana akamwambia Yoshua, Tazama, nimeutia Yeriko katika mkono wako, na mfalme wake, na mashujaa wake." 200625-114939_swa_5a1_elicit_11.wav,"Nanyi mtauzunguka mji huu, watu wote wa vita, mkiuzunguka mji mara moja." 200625-114939_swa_5a1_elicit_12.wav,Fanya hivi siku sita. 200625-114939_swa_5a1_elicit_13.wav,Na makuhani saba watachukua tarumbeta saba za pembe za kondoo waume. 200625-114939_swa_5a1_elicit_14.wav,"Mbele ya hilo sanduku; na siku ya saba mtauzunguka mji mara saba, nao makuhani watapiga tarumbeta zao." 200625-114939_swa_5a1_elicit_15.wav,Kisha itakuwa watakapopiga hizo pembe za kondoo waume kwa nguvu. 200625-114939_swa_5a1_elicit_16.wav,"Nanyi mtakaposikia sauti ya tarumbeta, watu wote watapiga kelele kwa sauti kuu." 200625-114939_swa_5a1_elicit_17.wav,"Na ukuta wa mji utaanguka chini pale pale, na hao watu watapanda, kila mtu akiendelea mbele kukabili." 200625-114939_swa_5a1_elicit_18.wav,"Bali Yoshua, mwana wa Nuni, akawaita makuhani, akawaambia." 200625-114939_swa_5a1_elicit_19.wav,"Lichukueni sanduku la agano, tena makuhani saba na wachukue tarumbeta saba za pembe za kondoo waume mbele ya sanduku la Bwana." 200625-114939_swa_5a1_elicit_20.wav,"Naye akawaambia watu, Piteni mbele, mkauzunguke mji." 200625-114939_swa_5a1_elicit_21.wav,Na hao watu wenye silaha na watangulie mbele ya sanduku la Bwana. 200625-114939_swa_5a1_elicit_22.wav,Basi ikawa Yoshua alipokwisha kusema na watu. 200625-114939_swa_5a1_elicit_23.wav,"Wale makuhani saba, wenye kuzichukua tarumbeta saba za pembe za kondoo waume mbele za Bwana." 200625-114939_swa_5a1_elicit_24.wav,"Wakatangulia, wakazipiga hizo tarumbeta; nalo sanduku la agano la Bwana likawafuata." 200625-114939_swa_5a1_elicit_25.wav,Wale watu wenye silaha walikwenda mbele ya hao makuhani waliozipiga tarumbeta. 200625-114939_swa_5a1_elicit_26.wav,Na wale waliokuwa nyuma wakalifuata hilo sanduku; makuhani wakizipiga tarumbeta walipokuwa wakienda. 200625-114939_swa_5a1_elicit_27.wav,"Yoshua akawaamuru watu, akasema Msipige kelele, wala sauti zenu zisisikiwe." 200625-114939_swa_5a1_elicit_28.wav,"Wala neno lo lote lisitoke kinywani mwenu, hata siku ile nitakapowaamuru kupiga kelele, ndipo mtakapopiga kelele." 200625-114939_swa_5a1_elicit_29.wav,"Basi akalipeleka sanduku la Bwana liuzunguke huo mji, likauzunguka mara moja, kisha wakaenda kambini wakakaa kambini." 200625-114939_swa_5a1_elicit_30.wav,"Yoshua akaondoka asubuhi na mapema, nao makuhani wakalichukua sanduku la Bwana." 200625-114939_swa_5a1_elicit_31.wav,Na wale makuhani saba wakazichukua tarumbeta saba za pembe za kondoo waume mbele ya sanduku la Bwana. 200625-114939_swa_5a1_elicit_32.wav,Wakaendelea wakazipiga tarumbeta; nao watu wenye silaha wakawatangulia. 200625-114939_swa_5a1_elicit_33.wav,Na hao waliokuwa nyuma wakalifuata sanduku la Bwana; makuhani wakizipiga tarumbeta walipokuwa wakienda. 200625-114939_swa_5a1_elicit_34.wav,"Siku ya pili wakauzunguka mji mara moja, wakarejea kambini; ndivyo walivyofanya siku sita." 200625-114939_swa_5a1_elicit_35.wav,Ikawa siku ya saba wakaondoka asubuhi na mapema wakati wa mapambazuko. 200625-114939_swa_5a1_elicit_36.wav,Wakauzunguka mji vivyo hivyo mara saba; ila siku hiyo waliuzunguka huo mji mara saba. 200625-114939_swa_5a1_elicit_37.wav,"Hata mara ya saba makuhani walipozipiga tarumbeta, Yoshua akawaambia watu." 200625-114939_swa_5a1_elicit_38.wav,Pigeni kelele; kwa maana Bwana amewapeni mji huu. 200625-114939_swa_5a1_elicit_39.wav,"Na mji huu utakuwa wakfu kwa Bwana, mji wenyewe na vitu vyote vilivyomo." 200625-114939_swa_5a1_elicit_40.wav,"Isipokuwa Rahabu, yule kahaba, ataishi, yeye na watu wote walio pamoja naye nyumbani." 200625-114939_swa_5a1_elicit_41.wav,Kwa sababu aliwaficha hao wapelelezi tuliowatuma. 200625-114939_swa_5a1_elicit_42.wav,"Na ninyi, msikose kujiepusha na kitu kilichowekwa wakfu." 200625-114939_swa_5a1_elicit_43.wav,"Msije mkakitwaa kitu kilichowekwa wakfu, baada ya kukiweka wakfu." 200625-114939_swa_5a1_elicit_44.wav,Nanyi hivyo mtayafanya matuo ya Israeli kuwa yamelaaniwa na kuyafadhaisha. 200625-114939_swa_5a1_elicit_45.wav,"Lakini fedha yote, na dhahabu, na vyombo vya shaba, na chuma, ni vitakatifu kwa Bwana." 200625-114939_swa_5a1_elicit_46.wav,Vitaletwa katika hazina ya Bwana. 200625-114939_swa_5a1_elicit_47.wav,"Basi watu wakapiga kelele, na makuhani wakazipiga tarumbeta." 200625-114939_swa_5a1_elicit_48.wav,"Hata ikawa, hapo watu waliposikia sauti ya tarumbeta hao watu wakapiga kelele kwa sauti kuu sana." 200625-114939_swa_5a1_elicit_49.wav,"Na ule ukuta wa mji ukaanguka nchi kabisa, hata watu wakapanda juu." 200625-114939_swa_5a1_elicit_50.wav,"Wakaingia katika mji, kila mtu akiendelea kukabili mbele; wakautwaa huo mji." 200625-114939_swa_5a1_elicit_51.wav,Basi wakaangamiza kabisa vitu vyote vilivyokuwa ndani ya mji. 200625-114939_swa_5a1_elicit_52.wav,"Wanaume na wanawake, watoto na wazee, na ng'ombe, na kondoo, na punda, kwa makali ya upanga." 200625-114939_swa_5a1_elicit_53.wav,Naye Yoshua akawaambia wale wanaume wawili walioipeleleza nchi. 200625-114939_swa_5a1_elicit_54.wav,"Ingieni katika nyumba ya yule kahaba, mkamtoe huyo mwanamke mwenyewe na vitu vyote alivyo navyo, kama mlivyomwapia." 200625-114939_swa_5a1_elicit_55.wav,"Basi wale vijana wapelelezi wakaingia, wakamtoa Rahabu, na baba yake, na mama yake, na ndugu zake, na vitu vyote walivyokuwa navyo." 200625-114939_swa_5a1_elicit_56.wav,Wakawatoa na jamaa zake wote pia; wakawaweka nje ya matuo ya Israeli. 200625-114939_swa_5a1_elicit_57.wav,"Kisha wakauteketeza mji kwa moto, na vitu vyote vilivyokuwa ndani yake." 200625-114939_swa_5a1_elicit_58.wav,"Bali fedha, na dhahabu, na vyombo vya shaba, na vya chuma." 200625-114939_swa_5a1_elicit_59.wav,Wakavitia katika hazina ya nyumba ya Bwana. 200625-114939_swa_5a1_elicit_60.wav,"Lakini Yoshua akamhifadhi Rahabu, yule kahaba, na watu wa nyumba ya baba yake, na vitu vyote alivyokuwa navyo." 200625-114939_swa_5a1_elicit_61.wav,Naye akakaa kati ya Israeli hata leo; kwa sababu aliwaficha wale wajumbe aliowatuma Yoshua ili kuupeleleza mji wa Yeriko. 200625-114939_swa_5a1_elicit_62.wav,"Naye Yoshua akawaapisha kiapo wakati ule, akasema." 200625-114939_swa_5a1_elicit_63.wav,Na alaaniwe mbele za Bwana mtu yule atakayeinuka na kuujenga tena mji huu wa Yeriko. 200625-114939_swa_5a1_elicit_64.wav,Ataweka msingi wake kwa kufiliwa na mzaliwa wa kwanza wake. 200625-114939_swa_5a1_elicit_65.wav,Tena atayasimamisha malango yake kwa kufiliwa na mtoto wake mwanamume aliye mdogo. 200625-114939_swa_5a1_elicit_66.wav,Basi Bwana alikuwa pamoja na Yoshua; sifa zake zikaenea katika nchi ile yote. 200625-114939_swa_5a1_elicit_67.wav,Lakini wana wa Israeli walifanya dhambi katika kitu kilichowekwa wakfu. 200625-114939_swa_5a1_elicit_68.wav,"Maana Akani, mwana wa Karmi, mwana wa Zabdi, mwana wa Zera, wa kabila ya Yuda." 200625-114939_swa_5a1_elicit_69.wav,Alitwaa baadhi ya vitu vilivyowekwa wakfu; hasira ya Bwana ikawaka juu ya wana wa Israeli. 200625-121032_swa_5a1_elicit_0.wav,"Kisha Yoshua akatuma watu kutoka Yeriko mpaka mji wa Ai, ulio karibu na Bethaveni, upande wa mashariki wa Betheli." 200625-121032_swa_5a1_elicit_1.wav,"Akawaambia, akisema, Pandeni juu mkaipeleleze nchi, basi wakapanda juu wakaupeleleza Ai." 200625-121032_swa_5a1_elicit_2.wav,"Wakarejea kwa Yoshua wakamwambia, Wasiende watu wote, ila waende watu kama elfu mbili, tatu, wakaupige Ai." 200625-121032_swa_5a1_elicit_3.wav,Usiwataabishe watu wote kwa kuwaendesha huko; maana watu hao ni wachache tu. 200625-121032_swa_5a1_elicit_4.wav,Basi watu wakaenda huko wapata elfu tatu tu; nao wakakimbia mbele ya watu wa Ai. 200625-121032_swa_5a1_elicit_5.wav,Watu wa Ai wakawapiga watu kama thelathini na sita; wakawafuatia kutoka mbele ya mlango mpaka Shebarimu. 200625-121032_swa_5a1_elicit_6.wav,"Wakawapiga huko kwenye matelemko; mioyo ya watu ikayeyuka, ikawa kama maji." 200625-121032_swa_5a1_elicit_7.wav,"Yoshua akararua mavazi yake, akaanguka kifudifudi mbele ya sanduku la Bwana hata jioni." 200625-121032_swa_5a1_elicit_8.wav,Yeye na wazee wa Israeli; wakatia mavumbi vichwani mwao. 200625-121032_swa_5a1_elicit_9.wav,"Yoshua akasema, Ee Bwana MUNGU, kwa nini umewavusha watu hawa mto wa Yordani, ili kututia katika mikono ya Waamori, na kutuangamiza?" 200625-121032_swa_5a1_elicit_10.wav,Laiti tungelikuwa radhi kukaa ng'ambo ya Yordani 200625-121032_swa_5a1_elicit_11.wav,"Ee Bwana, niseme nini baada ya Israeli kuwapa visogo adui zao?" 200625-121032_swa_5a1_elicit_12.wav,"Maana Wakanaani na wenyeji wote wa nchi hii watasikia habari hii, nao watatuzingira, na kulifuta jina letu katika nchi." 200625-121032_swa_5a1_elicit_13.wav,Nawe utafanya nini kwa ajili ya jina lako kuu? 200625-121032_swa_5a1_elicit_14.wav,"Bwana akamwambia Yoshua, Haya! Inuka, mbona umeanguka kifudifudi hivi?" 200625-121032_swa_5a1_elicit_15.wav,"Israeli wamefanya dhambi, naam, wamelivunja agano langu nililowaagiza." 200625-121032_swa_5a1_elicit_16.wav,"Naam, wametwaa baadhi ya vitu vilivyowekwa wakfu; tena wameiba, tena wameficha na kuvitia pamoja na vitu vyao wenyewe." 200625-121032_swa_5a1_elicit_17.wav,Ndiposa wana wa Israeli hawawezi kusimama mbele ya adui zao; wakawapa visogo adui zao. 200625-121032_swa_5a1_elicit_18.wav,"Kwa sababu wamelaaniwa; mimi sitakuwa pamoja nanyi tena, msipokiharibu kitu kile mlicho nacho kilichowekwa wakfu." 200625-121032_swa_5a1_elicit_19.wav,"Haya! Inuka, uwatakase watu, ukaseme, Jitakaseni, mwe tayari kesho; maana Bwana, Mungu wa Israeli, asema hivi." 200625-121032_swa_5a1_elicit_20.wav,"Kitu kilichowekwa wakfu kiko katikati yako, Ee Israeli; huwezi kusimama mbele ya adui zako." 200625-121032_swa_5a1_elicit_21.wav,Hata mtakapokiondoa kile mlicho nacho kilichowekwa wakfu. 200625-121032_swa_5a1_elicit_22.wav,Basi asubuhi mtaletwa karibu nami kabila kwa kabila. 200625-121032_swa_5a1_elicit_23.wav,Kisha itakuwa ya kwamba kabila ile atakayoitwaa Bwana itakaribia jamaa kwa jamaa. 200625-121032_swa_5a1_elicit_24.wav,Na jamaa ile atakayoitwaa Bwana itakaribia nyumba kwa nyumba; na nyumba ile atakayoitwaa Bwana itakaribia mtu kwa mtu. 200625-121032_swa_5a1_elicit_25.wav,"Tena itakuwa ya kwamba yeye atakayetwaliwa, naye anacho kitu kile kilichowekwa wakfu." 200625-121032_swa_5a1_elicit_26.wav,"Atateketezwa kwa moto, yeye na vitu vyote alivyo navyo." 200625-121032_swa_5a1_elicit_27.wav,"Kwa sababu amelivunja agano la Bwana, na kwa sababu ametenda upumbavu katika Israeli." 200625-121032_swa_5a1_elicit_28.wav,"Basi Yoshua akaondoka asubuhi na mapema, akawasogeza Israeli kabila kwa kabila; kabila ya Yuda ikatwaliwa." 200625-121032_swa_5a1_elicit_29.wav,"Akazisogeza jamaa za Yuda, akaitwaa jamaa ya Wazera; akaisogeza jamaa ya Wazera mtu kwa mtu; Zabdi akatwaliwa." 200625-121032_swa_5a1_elicit_30.wav,Akawasogeza watu wa nyumba yake mmoja mmoja. 200625-121032_swa_5a1_elicit_31.wav,"Na Akani, mwana wa Karmi, mwana wa Zabdi, mwana wa Zera, wa kabila ya Yuda akatwaliwa." 200625-121032_swa_5a1_elicit_32.wav,"Yoshua akamwambia Akani, Mwanangu, nakusihi, umtukuze Bwana, Mungu wa Israeli." 200625-121032_swa_5a1_elicit_33.wav,Ukaungame kwake; uniambie sasa ulilolitenda; usinifiche. 200625-121032_swa_5a1_elicit_34.wav,"Akani akamjibu Yoshua, akasema, Kweli nimefanya dhambi juu ya Bwana, Mungu wa Israeli, nami nimefanya mambo haya na haya." 200625-121032_swa_5a1_elicit_35.wav,"Nilipoona katika nyara joho nzuri ya Babeli, na shekeli mia mbili za fedha." 200625-121032_swa_5a1_elicit_36.wav,"Na kabari ya dhahabu, uzani wake shekeli hamsini, basi nalivitamani nikavitwaa." 200625-121032_swa_5a1_elicit_37.wav,"Tazama, vimefichwa mchangani katikati ya hema yangu, na ile fedha chini yake." 200625-121032_swa_5a1_elicit_38.wav,Basi Yoshua akatuma wajumbe wakapiga mbio mpaka hemani. 200625-121032_swa_5a1_elicit_39.wav,"Na tazama, vile vitu vilikuwa vimefichwa hemani mwake, na ile fedha chini yake." 200625-121032_swa_5a1_elicit_40.wav,"Wakavitoa kutoka hapo katikati ya hema, wakavileta kwa Yoshua, na kwa wana wa Israeli wote, nao wakaviweka chini mbele za Bwana." 200625-121032_swa_5a1_elicit_41.wav,"Kisha Yoshua, na Israeli wote pamoja naye, wakamtwaa Akani, mwana wa Zera." 200625-121032_swa_5a1_elicit_42.wav,"Na ile fedha, na Lile joho, na ile kabari ya dhahabu, na wanawe, na binti zake, na ng'ombe zake, na punda zake, na kondoo zake." 200625-121032_swa_5a1_elicit_43.wav,"Na hema yake, na vitu vyote alivyokuwa navyo, wakavileta juu hata bonde la Akori." 200625-121032_swa_5a1_elicit_44.wav,"Yoshua akasema, Mbona umetufadhaisha hivi?" 200625-121032_swa_5a1_elicit_45.wav,Bwana atakufadhaisha wewe leo. 200625-121032_swa_5a1_elicit_46.wav,"Ndipo Israeli wote wakampiga kwa mawe, kisha wakawateketeza kwa moto, na kuwapiga kwa mawe." 200625-121032_swa_5a1_elicit_47.wav,Kisha wakakusanya juu yake chungu kubwa ya mawe hata leo. 200625-121032_swa_5a1_elicit_48.wav,Naye Bwana akauacha ukali wa hasira yake. 200625-121032_swa_5a1_elicit_49.wav,"Kwa sababu hiyo jina la mahali pale likaitwa, Bonde la Akori, hata hivi leo." 200627-112925_swa_5a1_elicit_0.wav,"Kisha Bwana akamwambia Yoshua, Usiche, wala usifadhaike." 200627-112925_swa_5a1_elicit_1.wav,"Wachukue watu wote wa vita waende pamoja nawe, nanyi inukeni, mwende Ai." 200627-112925_swa_5a1_elicit_2.wav,"Angalia, mimi nimemtia mkononi mwako huyo mfalme wa Ai, na watu wake, na mji wake, na nchi yake." 200627-112925_swa_5a1_elicit_3.wav,Nawe utautenda mji wa Ai na mfalme wake kama ulivyoutenda mji wa Yeriko na mfalme wake. 200627-112925_swa_5a1_elicit_4.wav,Lakini nyara zake na wanyama wake wa mji mtavitwaa kuwa mateka yenu wenyewe; huo mji uuwekee waoteaji upande wa nyuma. 200627-112925_swa_5a1_elicit_5.wav,"Basi Yoshua akainuka, na watu wote wa vita pamoja naye, ili waende Ai." 200627-112925_swa_5a1_elicit_6.wav,"Yoshua akachagua watu thelathini elfu, watu mashujaa wenye uwezo, akawapeleka wakati wa usiku." 200627-112925_swa_5a1_elicit_7.wav,"Akawaagiza, akasema, Angalieni, mtaotea kuuvizia ule mji, upande wa nyuma wa mji." 200627-112925_swa_5a1_elicit_8.wav,"Msiende mbali sana na mji, lakini kaeni tayari nyote;na mimi, na watu wote walio pamoja nami, tutaukaribia mji." 200627-112925_swa_5a1_elicit_9.wav,"Kisha itakuwa, hapo watakapotoka nje kupigana nasi." 200627-112925_swa_5a1_elicit_10.wav,"Kama walivyofanya hapo kwanza, sisi tutakimbia mbele yao." 200627-112925_swa_5a1_elicit_11.wav,"Nao watatoka nje watufuate, hata tuwavute waende mbali na mji wao." 200627-112925_swa_5a1_elicit_12.wav,"Kwa kuwa watasema, Wakimbia mbele yetu, kama walivyofanya kwanza; nasi tutakimbia mbele yao." 200627-112925_swa_5a1_elicit_13.wav,"Basi ninyi mtainuka mtoke hapo mwoteapo, na kuushika mji." 200627-112925_swa_5a1_elicit_14.wav,"Kwa kuwa Bwana, Mungu wenu, atautia mikononi mwenu." 200627-112925_swa_5a1_elicit_15.wav,"Kisha itakuwa, mtakapoushika mji, ndipo mtauteketeza mji kwa moto; sawasawa na hilo neno la Bwana; angalieni, nimewaagiza." 200627-112925_swa_5a1_elicit_16.wav,Basi Yoshua akawatuma; nao wakaenda hata hapo watakapootea. 200627-112925_swa_5a1_elicit_17.wav,"Wakakaa kati ya Betheli na Ai, upande wa magharibi wa Ai; lakini Yoshua akalala usiku huo kati ya watu." 200627-112925_swa_5a1_elicit_18.wav,"Yoshua akaamka asubuhi na mapema, akawakutanisha watu." 200627-112925_swa_5a1_elicit_19.wav,"Kisha akatangulia kukwea kwenda Ai mbele ya hao watu, yeye na wazee wa Israeli." 200627-112925_swa_5a1_elicit_20.wav,"Watu wote, hao wa vita, waliokuwa pamoja naye, wakaenda wakakaribia, na kufikilia mbele ya mji." 200627-112925_swa_5a1_elicit_21.wav,Wakatua upande wa kaskazini wa Ai; napo palikuwa na bonde kati ya yeye na Ai. 200627-112925_swa_5a1_elicit_22.wav,"Kisha akatwaa watu kama elfu tano, akawaweka kuotea kati ya Betheli na Ai, upande wa magharibi wa huo mji." 200627-112925_swa_5a1_elicit_23.wav,"Basi wakawaweka hao watu, jeshi zima lililokuwa upande wa kaskazini wa mji." 200627-112925_swa_5a1_elicit_24.wav,Na wale waliokuwa waotea upande wa magharibi wa mji; naye Yoshua akaenda usiku huo katikati ya hilo bonde. 200627-112925_swa_5a1_elicit_25.wav,"Kisha ikawa hapo huyo mfalme wa Ai alipoona jambo hilo, ndipo walipofanya haraka." 200627-112925_swa_5a1_elicit_26.wav,"Na wakaamka asubuhi na mapema, na watu waume wa mji wakatoka nje waende kupigana na Israeli." 200627-112925_swa_5a1_elicit_27.wav,"Yeye na watu wake wote, kwa wakati ulioamriwa, kuikabili Araba." 200627-112925_swa_5a1_elicit_28.wav,Lakini hakujua ya kwamba walikuwako waviziao kinyume chake kwa upande wa nyuma wa mji. 200627-112925_swa_5a1_elicit_29.wav,"Kisha Yoshua na watu wa Israeli wote walifanya kana kwamba wameshindwa mbele yao, wakakimbia kwa njia ya nyika." 200627-112925_swa_5a1_elicit_30.wav,Watu wote waliokuwa ndani ya mji waliitwa wakusanyike pamoja ili kuwafuatia. 200627-112925_swa_5a1_elicit_31.wav,"Nao wakamfuatia Yoshua, wakasongea mbele na kuuacha mji." 200627-112925_swa_5a1_elicit_32.wav,"Hakusalia mtu ye yote ndani ya Ai, au katika Betheli, asiyetoka nje kuwafuatia Israeli." 200627-112925_swa_5a1_elicit_33.wav,Wakauacha mji wazi na kuwafuatia Israeli. 200627-112925_swa_5a1_elicit_34.wav,"Kisha Bwana akamwambia Yoshua, Haya, unyoshe huo mkuki ulio nao mkononi mwako." 200627-112925_swa_5a1_elicit_35.wav,Uuelekeze upande wa Ai; kwa kuwa nitautia mkononi mwako. 200627-112925_swa_5a1_elicit_36.wav,Basi Yoshua akaunyosha huo mkuki uliokuwa mkononi mwake kuuelekea huo mji. 200627-112925_swa_5a1_elicit_37.wav,Wale watu waliovizia wakainuka kwa upesi kutoka mahali pao. 200627-112925_swa_5a1_elicit_38.wav,Nao wakapiga mbio mara hapo alipokuwa amekwisha unyosha mkono wake. 200627-112925_swa_5a1_elicit_39.wav,"Wakaingia ndani ya mji, na kuushika; nao wakafanya haraka kuuteketeza kwa moto huo mji." 200627-112925_swa_5a1_elicit_40.wav,"Kisha hapo hao watu wa Ai walipotazama nyuma yao, wakaona." 200627-112925_swa_5a1_elicit_41.wav,"Na tazama, moshi wa huo mji ulikuwa unapaa juu kwenda mawinguni." 200627-112925_swa_5a1_elicit_42.wav,Nao hawakuwa na nguvu za kukimbia huku wala huku. 200627-112925_swa_5a1_elicit_43.wav,Na wale watu waliokuwa wamekimbia kuenenda nyikani wakageuka na kuwarudia hao waliokuwa wakiwafuatia. 200627-112925_swa_5a1_elicit_44.wav,Basi hapo Yoshua na Israeli wote walipoona ya kwamba hao waliovizia wamekwisha kuushika huo mji. 200627-112925_swa_5a1_elicit_45.wav,"Na ya kwamba moshi wa mji umepaa juu, ndipo wakageuka tena, na kuwaua watu wa Ai." 200627-112925_swa_5a1_elicit_46.wav,Tena hao; wengine wakatoka nje kuutoka huo mji kinyume chao; basi hivyo walikuwa wa katikati ya Israeli. 200627-112925_swa_5a1_elicit_47.wav,Wengine upande huu na wengine upande huu; nao wakawapiga. 200627-112925_swa_5a1_elicit_48.wav,"Hata wasimwache hata mmoja miongoni mwao aliyesalia, wala kupona." 200627-112925_swa_5a1_elicit_49.wav,"Kisha wakamshika mfalme wa Ai ali hai, nao wakamleta kwa Yoshua." 200627-112925_swa_5a1_elicit_50.wav,"Kisha ikawa, hapo Israeli walipokuwa wamekwisha kuwaua wenyeji wote wa Ai katika bara." 200627-112925_swa_5a1_elicit_51.wav,"Hapo katika nyika walipokuwamo wakiwafuatia, nao walikuwa wamekwisha anguka wote kwa makali ya upanga." 200627-112925_swa_5a1_elicit_52.wav,"Hata walipokuwa wameangamizwa wote, ndipo Israeli wakarejea Ai, na kuupiga huo mji kwa makali ya upanga." 200627-112925_swa_5a1_elicit_53.wav,"Wote walioanguka siku hiyo waume kwa wake, walikuwa ni kumi na mbili elfu, yaani, watu wote wa mji wa Ai." 200627-112925_swa_5a1_elicit_54.wav,"Kwani huyo Yoshua hakuuzuia mkono wake, huo ulionyosha huo mkuki." 200627-112925_swa_5a1_elicit_55.wav,Hata hapo alipokuwa amewaangamiza kabisa wenyeji wote wa Ai. 200627-112925_swa_5a1_elicit_56.wav,Isipokuwa wanyama wa mji na nyara za mji Israeli wakatwaa wenyewe kuwa ni mapato yao. 200627-112925_swa_5a1_elicit_57.wav,Sawasawa na hilo neno la Bwana alilomwamuru Yoshua. 200627-112925_swa_5a1_elicit_58.wav,"Basi Yoshua akaupiga moto mji wa Ai, na kuufanya kuwa ni chungu ya magofu hata milele kuwa ni ukiwa hata siku hii ya leo." 200627-112925_swa_5a1_elicit_59.wav,Na huyo mfalme wa Ai akamtundika katika mti hata wakati wa jioni. 200627-112925_swa_5a1_elicit_60.wav,"Kisha hapo jua lilipokuchwa Yoshua akaagiza, nao wakauondoa mzoga wake katika huo mti." 200627-112925_swa_5a1_elicit_61.wav,Na kuutupa hapo penye maingilio ya lango la mji. 200627-112925_swa_5a1_elicit_62.wav,"Kisha wakaweka pale juu yake chungu kubwa ya mawe, hata hivi leo." 200627-112925_swa_5a1_elicit_63.wav,"Ndipo Yoshua alijenga madhabahu kwa Bwana, Mungu wa Israeli katika mlima Ebali." 200627-112925_swa_5a1_elicit_64.wav,"Kama Musa, mtumishi wa Bwana, alivyowaamuru wana wa Israeli, kama ilivyoandikwa katika kitabu cha torati ya Musa." 200627-112925_swa_5a1_elicit_65.wav,"Madhabahu ya mawe yasiyochongwa, ambayo mtu hakutumia juu yake chombo cha chuma." 200627-112925_swa_5a1_elicit_66.wav,"Nao wakatoa juu yake sadaka za kuteketezwa kwa Bwana, na kuchinja sadaka za amani." 200627-112925_swa_5a1_elicit_67.wav,"Akaandika huko juu ya mawe hayo nakala ya torati ya Musa, aliyoiandika mbele ya wana wa Israeli." 200627-112925_swa_5a1_elicit_68.wav,"Na Israeli wote, na wazee wao, na maakida yao, na makadhi yao, wakasimama upande huu wa sanduku na upande huu." 200627-112925_swa_5a1_elicit_69.wav,"Mbele ya makuhani Walawi, waliolichukua sanduku la agano la Bwana, huyo aliyekuwa mgeni pamoja na huyo mzalia." 200627-112925_swa_5a1_elicit_70.wav,"Nusu yao mbele ya mlima Gerizimu, na nusu yao mbele ya mlima Ebali." 200627-112925_swa_5a1_elicit_71.wav,"Kama Musa, mtumishi wa Bwana, alivyoamuru, ili wawabarikie watu wa Israeli kwanza." 200627-112925_swa_5a1_elicit_72.wav,"Na baadaye alisoma maneno yote ya torati, baraka na laana, sawasawa na maneno yote yaliyoandikwa katika kitabu cha torati." 200627-112925_swa_5a1_elicit_73.wav,"Hapakuwa na hata neno moja katika hayo aliyoamuru Musa, ambalo Yoshua hakulisoma mbele ya kusanyiko lote la Israeli." 200627-114907_swa_5a1_elicit_0.wav,"Na mbele ya wanawake, na watoto, na wageni waliokaa nao." 200627-114907_swa_5a1_elicit_1.wav,Kisha ikawa hapo wafalme wote waliokaa ng'ambo ya pili ya Yordani. 200627-114907_swa_5a1_elicit_2.wav,"Hapo penye nchi ya vilima, na katika Shefela, na katika upande wa pwani yote ya bahari kubwa kuikabili Lebanoni, yaani." 200627-114907_swa_5a1_elicit_3.wav,"Huyo Mhiti, na Mwamori, na Mkanaani, na Mperizi, na Mhivi, na Myebusi, waliposikia habari ya mambo hayo." 200627-114907_swa_5a1_elicit_4.wav,"Ndipo walipojikutanisha pamoja wenyewe kwa wenyewe, ili kupigana na Yoshua, na hao Israeli, kwa nia moja." 200627-114907_swa_5a1_elicit_5.wav,"Lakini wenyeji wa Gibeoni waliposikia habari ya hayo yote Yoshua aliyokuwa amewatenda watu wa Yeriko, na wa Ai." 200627-114907_swa_5a1_elicit_6.wav,"Wao wakatenda kwa hila, nao wakaenda na kujifanya kama ndio wajumbe." 200627-114907_swa_5a1_elicit_7.wav,"Wakaenda na magunia makuukuu juu ya punda zao, na viriba vya mvinyo vilivyokuwa vikuukuu vilivyoraruka-raruka, na kutiwa viraka." 200627-114907_swa_5a1_elicit_8.wav,Na viatu vilivyotoboka na kushonwa-shonwa katika miguu yao. 200627-114907_swa_5a1_elicit_9.wav,Na mavao makuukuu waliyokuwa wanavaa; tena mkate wote wa chakula chao ulikuwa umekauka na kuingia koga. 200627-114907_swa_5a1_elicit_10.wav,"Nao wakamwendea Yoshua hata maragoni huko Gilgali, nao wakamwambia yeye na watu wa Israeli." 200627-114907_swa_5a1_elicit_11.wav,Sisi tumetoka nchi ya mbali sana; basi kwa hiyo fanyeni agano pamoja nasi. 200627-114907_swa_5a1_elicit_12.wav,"Basi watu wa Israeli wakawaambia hao Wahivi, Labda mwakaa kati yetu; nasi tutawezaje kufanya agano nanyi?" 200627-114907_swa_5a1_elicit_13.wav,"Nao wakamwambia Yoshua, Sisi tu watumishi wako." 200627-114907_swa_5a1_elicit_14.wav,"Yoshua akawauliza, Ninyi ni nani? Nanyi mwatoka wapi?" 200627-114907_swa_5a1_elicit_15.wav,"Nao wakamwambia, Sisi watumishi wako twatoka nchi iliyo mbali sana, kwa sababu ya jina la Bwana, Mungu wako." 200627-114907_swa_5a1_elicit_16.wav,"Kwa kuwa sisi tumesikia sifa zake, na habari ya hayo yote aliyofanya huko Misri." 200627-114907_swa_5a1_elicit_17.wav,Na habari ya hayo yote aliyowatenda wale wafalme wawili wa Waamori. 200627-114907_swa_5a1_elicit_18.wav,"Waliokuwa huko ng'ambo ya pili ya Yordani, maana huyo Sihoni." 200627-114907_swa_5a1_elicit_19.wav,"Mfalme wa Heshboni, na Ogu, mfalme wa Bashani, aliyekuwa huko Ashtarothi." 200627-114907_swa_5a1_elicit_20.wav,"Kisha wazee wetu, na wenyeji wote wa nchi yetu, walinena nasi na kutuambia." 200627-114907_swa_5a1_elicit_21.wav,Chukueni vyakula mkononi mwenu kwa ajili ya safari. 200627-114907_swa_5a1_elicit_22.wav,"Mmwende mkawalaki watu hao, na kuwaambia, Sisi tu watumishi wenu; basi sasa fanyeni agano nasi." 200627-114907_swa_5a1_elicit_23.wav,"Huu mkate wetu tuliutwaa ukali moto katika nyumba zetu, siku hiyo tuliyotoka kuja kwenu." 200627-114907_swa_5a1_elicit_24.wav,"Uwe chakula chetu; lakini sasa, tazama, umekauka, na kuingia koga." 200627-114907_swa_5a1_elicit_25.wav,"Na viriba vyetu hivi, tulivyovitia divai, vilikuwa ni vipya; sasa, tazama." 200627-114907_swa_5a1_elicit_26.wav,Vimeraruka-raruka; na haya mavazi yetu na viatu vyetu vimekuwa vikuukuu kwa vile tulivyokuja safari ya mbali sana. 200627-114907_swa_5a1_elicit_27.wav,"Basi hao watu wakatwaa katika vyakula vyao, wala wasitake shauri kinywani mwa Bwana." 200627-114907_swa_5a1_elicit_28.wav,"Naye Yoshua akafanya amani pamoja nao, na kufanya agano nao, ili kwamba waachwe hai; na wakuu wa mkutano wakawaapia." 200627-114907_swa_5a1_elicit_29.wav,"Kisha ikawa, mwisho wa siku ya tatu baada ya kufanya hilo agano nao." 200627-114907_swa_5a1_elicit_30.wav,"Walisikia habari ya kuwa watu hao ni jirani zao, na ya kwamba waliketi kati yao." 200627-114907_swa_5a1_elicit_31.wav,"Kisha wana wa Israeli walisafiri, wakaifikilia miji ya watu hao siku ya tatu." 200627-114907_swa_5a1_elicit_32.wav,"Basi miji ya watu hao ilikuwa ni hii, Gibeoni, na Kefira, na Beerothi, na Kiriath-yearimu." 200627-114907_swa_5a1_elicit_33.wav,"Wana wa Israeli hawakuwapiga, kwa sababu wakuu wa mkutano walikuwa wamekwisha kuwaapia kwa Bwana, Mungu wa Israeli." 200627-114907_swa_5a1_elicit_34.wav,Nao mkutano wote wakawanung'unikia hao wakuu. 200627-114907_swa_5a1_elicit_35.wav,"Lakini wakuu wote waliwaambia mkutano wote, Sisi tumewaapia kwa Bwana." 200627-114907_swa_5a1_elicit_36.wav,Mungu wa Israeli; basi sasa hatuwezi kuwagusa watu hawa. 200627-114907_swa_5a1_elicit_37.wav,"Tutawafanyia neno hili, kisha tutawaacha wawe hai; hasira isije juu yetu, kwa ajili ya hicho kiapo tulichowaapia." 200627-114907_swa_5a1_elicit_38.wav,"Wakuu waliwaambia, Waacheni wawe hai; basi wakawa wenye kupasua kuni." 200627-114907_swa_5a1_elicit_39.wav,"Na wenye kuteka maji, kwa ajili ya mkutano wote; vile vile kama hao wakuu walivyowaambia." 200627-114907_swa_5a1_elicit_40.wav,"Basi Yoshua akawaita, akanena nao, na kuwaambia, Mbona ninyi mmetudanganya." 200627-114907_swa_5a1_elicit_41.wav,"Huku mkisema, Sisi tu mbali sana na ninyi; nanyi kumbe!Mwakaa kati yetu?" 200627-114907_swa_5a1_elicit_42.wav,Basi sasa mmelaaniwa kisha hatakosekana kuwapo mtu wa kwenu aliye mtumwa. 200627-114907_swa_5a1_elicit_43.wav,"Wenye kupasua kuni, na wenye kuteka maji, kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu." 200627-114907_swa_5a1_elicit_44.wav,"Nao wakamjibu Yoshua, na kusema, Ni kwa sababu ya sisi watumishi wako kuambiwa hakika." 200627-114907_swa_5a1_elicit_45.wav,"Jinsi huyo Bwana, Mungu wako alivyomwamuru mtumishi wake Musa kuwapa ninyi nchi hii yote." 200627-114907_swa_5a1_elicit_46.wav,Na kuwaangamiza wenyeji wote wa nchi hii watoke mbele zenu. 200627-114907_swa_5a1_elicit_47.wav,"Kwa sababu hii tuliogopa mno kwa ajili ya uhai wetu kwa sababu yenu, nasi tumefanya neno hili." 200627-114907_swa_5a1_elicit_48.wav,"Basi sasa, tazama, sisi tu mkononi mwako; basi kama uonavyo kuwa ni vyema na haki kwako wewe kututenda, tutende vivyo." 200627-114907_swa_5a1_elicit_49.wav,"Naye akawafanyia hivyo, na kuwaokoa na mkono wa wana wa Israeli, ili wasiwaue." 200627-114907_swa_5a1_elicit_50.wav,"Siku iyo hiyo Yoshua akawafanya kuwa ni wenye kupasua kuni, na wenye kuteka maji." 200627-114907_swa_5a1_elicit_51.wav,"Kwa ajili ya mkutano, na kwa ajili ya madhabahu ya Bwana, hata siku hii ya leo, katika mahali hapo atakapopachagua." 200627-114907_swa_5a1_elicit_52.wav,"Basi ikawa hapo Adoni-sedeki, mfalme wa Yerusalemu, aliposikia jinsi Yoshua alivyoushika mji wa Ai na kuuharibu kabisa." 200627-114907_swa_5a1_elicit_53.wav,"Kama alivyoufanyia mji wa Yeriko na mfalme wake, akaufanya vivyo Ai na mfalme wake." 200627-114907_swa_5a1_elicit_54.wav,"Na jinsi wenyeji waliokaa Gibeoni walivyofanya amani na Israeli, na ya kwamba walikuwa kati yao." 200627-114907_swa_5a1_elicit_55.wav,"Ndipo wakacha mno, kwa sababu Gibeoni ulikuwa ni mji mkubwa, kama ilivyo miji ya kifalme mmojawapo." 200627-114907_swa_5a1_elicit_56.wav,"Tena kwa sababu ulikuwa ni mji mkubwa kupita Ai, tena watu wake wote walikuwa ni mashujaa." 200627-114907_swa_5a1_elicit_57.wav,"Basi kwa hiyo Adoni-sedeki, mfalme wa Yerusalemu, akatuma ujumbe kwa Hohamu." 200627-114907_swa_5a1_elicit_58.wav,"Mfalme wa Hebroni, na kwa Piramu, mfalme wa Yarmuthi, na kwa Yafia." 200627-114907_swa_5a1_elicit_59.wav,"Mfalme wa Lakishi, na kwa Debiri, mfalme wa Egloni, akiwaambia." 200627-114907_swa_5a1_elicit_60.wav,"Haya, kweeni mje kwangu, mnisaidie, tuupige Gibeoni." 200627-114907_swa_5a1_elicit_61.wav,Kwa sababu umefanya mapatano ya amani pamoja na Yoshua na wana wa Israeli. 200627-114907_swa_5a1_elicit_62.wav,"Ndipo hao wafalme watano wa Waamori, mfalme wa Yerusalemu." 200627-114907_swa_5a1_elicit_63.wav,"Na mfalme wa Hebroni na mfalme wa Yarmuthi na mfalme wa Lakishi, na mfalme wa Egloni." 200627-114907_swa_5a1_elicit_64.wav,"Wakakutana pamoja, kisha wakakwea, wao na jeshi zao zote." 200627-114907_swa_5a1_elicit_65.wav,"Na kupanga marago yao kinyume cha Gibeoni, na kuupiga vita." 200627-114907_swa_5a1_elicit_66.wav,Ndipo watu wa Gibeoni wakatuma wajumbe kwenda kwa Yoshua huko Gilgali maragoni. 200627-114907_swa_5a1_elicit_67.wav,"Wakamwambia, Usiulegeze mkono wako hata ukatuacha sisi watumishi wako." 200627-114907_swa_5a1_elicit_68.wav,"Uje kwetu kwa upesi, utuokoe, na kutusaidia." 200627-114907_swa_5a1_elicit_69.wav,Kwa sababu wafalme wote wa Waamori wakaao katika nchi ya vilima wamekutana pamoja juu yetu. 200627-114907_swa_5a1_elicit_70.wav,"Basi Yoshua akakwea kutoka Gilgali, yeye, na watu wa vita wote pamoja naye, na mashujaa wenye uwezo pia wote." 200627-114907_swa_5a1_elicit_71.wav,"Bwana akamwambia Yoshua, Usiwache watu hao." 200627-114907_swa_5a1_elicit_72.wav,kwa kuwa mimi nimekwisha kuwatia mikononi mwako; hapana mtu awaye yote miongoni mwao atakayesimama mbele yako. 200627-114907_swa_5a1_elicit_73.wav,Basi Yoshua akawafikilia ghafula; kwani alikwea kutoka Gilgali kwenda usiku kucha. 200627-120545_swa_5a1_elicit_0.wav,"Bwana naye akawatapanya mbele ya Israeli, naye Israeli akawaua uuaji ulio mkuu hapo Gibeoni." 200627-120545_swa_5a1_elicit_1.wav,Akawafukuza waikimbilie hiyo njia ya kukwelea kwenda Beth-horoni. 200627-120545_swa_5a1_elicit_2.wav,"Na kuwapiga hata kufikilia Azeka, tena hata kufikilia Makeda." 200627-120545_swa_5a1_elicit_3.wav,"Kisha ikawa, hapo walipokuwa wakimbia mbele ya Israeli." 200627-120545_swa_5a1_elicit_4.wav,Hapo walipokuwa katika kutelemkia Beth-horoni. 200627-120545_swa_5a1_elicit_5.wav,Ndipo Bwana alipowatupia mawe makubwa kutoka mbinguni juu yao hata kufikilia Azeka. 200627-120545_swa_5a1_elicit_6.wav,Nao wakafa; hao waliokufa kwa kuuawa na hayo mawe ya barafu. 200627-120545_swa_5a1_elicit_7.wav,Walikuwa ni wengi kuliko hao waliouawa na wana wa Israeli kwa upanga. 200627-120545_swa_5a1_elicit_8.wav,Ndipo Yoshua akanena na Bwana katika siku hiyo ambayo Bwana aliwatoa Waamori mbele ya wana wa Israeli. 200627-120545_swa_5a1_elicit_9.wav,"Akasema mbele ya macho ya Israeli, Wewe Jua, simama kimya juu ya Gibeoni" 200627-120545_swa_5a1_elicit_10.wav,"Na wewe Mwezi, simama katika bonde la Aiyaloni." 200627-120545_swa_5a1_elicit_11.wav,"Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia, Hata hilo taifa lilipokuwa limekwisha jipatiliza juu ya adui zao." 200627-120545_swa_5a1_elicit_12.wav,Haikuwapo siku nyingine mfano wa siku hiyo katika siku zilizotangulia mbele yake. 200627-120545_swa_5a1_elicit_13.wav,"Wala katika hizo zilizoandama baada yake, hata ikawa yeye Bwana kuisikia sauti ya binadamu." 200627-120545_swa_5a1_elicit_14.wav,Kwa kuwa Bwana alipiga vita kwa ajili ya Israeli. 200627-120545_swa_5a1_elicit_15.wav,"Basi Yoshua akarudi, na Israeli wote wakarudi pamoja naye, mpaka maragoni hapo Gilgali." 200627-120545_swa_5a1_elicit_16.wav,"Na hawa wafalme watano wakakimbia, wakajificha ndani ya pango la Makeda." 200627-120545_swa_5a1_elicit_17.wav,"Kisha Yoshua aliambiwa habari hiyo, ya kwamba, Hao wafalme watano wameonekana." 200627-120545_swa_5a1_elicit_18.wav,Nao wa hali ya kujificha ndani ya pango la Makeda 200627-120545_swa_5a1_elicit_19.wav,"Basi Yoshua akasema, Haya, vingirisheni mawe makubwa mdomoni mwa lile pango." 200627-120545_swa_5a1_elicit_20.wav,Kisha wekeni watu hapo ili kuwalinda. 200627-120545_swa_5a1_elicit_21.wav,"Lakini msikae ninyi; wafuatieni adui zenu, mwapige hao walio nyuma." 200627-120545_swa_5a1_elicit_22.wav,"Msiwaache wakaingia ndani ya miji yao; kwa kuwa Bwana, Mungu wenu, amewatia mikononi mwenu." 200627-120545_swa_5a1_elicit_23.wav,"Kisha ikawa, hapo Yoshua, na wana wa Israeli, walipokuwa wamekwisha kuwaua watu wengi mno." 200627-120545_swa_5a1_elicit_24.wav,"Hata wakaangamizwa, na hayo mabaki yao yaliyowasalia walipokuwa wamekwisha ingia katika miji yao yenye boma." 200627-120545_swa_5a1_elicit_25.wav,Ndipo hao watu wote wakamrudia Yoshua maragoni huko Makeda salama. 200627-120545_swa_5a1_elicit_26.wav,Hakuna mtu awaye yote aliyetoa ulimi kinyume cha hao wana wa Israeli hata mmojawapo. 200627-120545_swa_5a1_elicit_27.wav,"Kisha Yoshua akasema, Haya, funua mdomo wa pango, mniletee hao wafalme watano hapa nje ya pango." 200627-120545_swa_5a1_elicit_28.wav,"Nao wakafanya, wakamletea hao wafalme watano hapo nje ya pango." 200627-120545_swa_5a1_elicit_29.wav,"Yaani, mfalme wa Yerusalemu, na mfalme wa Hebroni, na mfalme wa Yarmuthi, na mfalme wa Lakishi, na mfalme wa Egloni." 200627-120545_swa_5a1_elicit_30.wav,Kisha ikawa hapo walipomletea Yoshua hao wafalme watano hapo nje. 200627-120545_swa_5a1_elicit_31.wav,"Yoshua akawaita wanaume wote wa Israeli, akawaambia majemadari wa watu wa vita waliokwenda naye." 200627-120545_swa_5a1_elicit_32.wav,"Haya, jongeeni karibu, mweke nyayo za miguu yenu katika shingo za wafalme hawa." 200627-120545_swa_5a1_elicit_33.wav,"Nao wakajongea karibu, wakatia nyayo zao katika shingo zao." 200627-120545_swa_5a1_elicit_34.wav,"Yoshua akawaambia, Msiche, wala msifadhaike; iweni hodari na wa mioyo ya ushujaa." 200627-120545_swa_5a1_elicit_35.wav,Kwa kuwa ndivyo Bwana atakavyowafanyia adui zenu wote ambao mwapigana nao. 200627-120545_swa_5a1_elicit_36.wav,"Baadaye Yoshua akawapiga, na kuwaua, akawatundika katika miti mitano." 200627-120545_swa_5a1_elicit_37.wav,Nao wakawa wakitundikwa katika hiyo miti hata jioni. 200627-120545_swa_5a1_elicit_38.wav,"Kisha wakati wa kuchwa jua, Yoshua akatoa amri, nao wakawatelemsha katika hiyo miti." 200627-120545_swa_5a1_elicit_39.wav,"Na kuwatupa katika lile pango ambamo walikuwa walijificha kisha wakatia mawe makubwa mdomoni mwa pango, hata hivi leo." 200627-120545_swa_5a1_elicit_40.wav,"Siku hiyo Yoshua akautwaa mji wa Makeda, akaupiga kwa makali ya upanga, na mfalme wake." 200627-120545_swa_5a1_elicit_41.wav,"Wakawaangamiza kabisa na wote pia waliokuwamo ndani yake, hakumwacha hata mmoja aliyesalia." 200627-120545_swa_5a1_elicit_42.wav,Naye akamfanyia huyo mfalme wa Makeda kama alivyomfanyia huyo mfalme wa Yeriko. 200627-120545_swa_5a1_elicit_43.wav,"Kisha Yoshua akapita kutoka hapo Makeda, mpaka Libna, na Israeli wote pamoja naye, nao wakapiga Libna." 200627-120545_swa_5a1_elicit_44.wav,Bwana akautia na mji huo pia pamoja na mfalme wake mkononi mwa Israeli. 200627-120545_swa_5a1_elicit_45.wav,"Naye akaupiga kwa makali ya upanga, na wote pia waliokuwamo ndani yake." 200627-120545_swa_5a1_elicit_46.wav,Hakumwacha hata mmoja aliyesalia ndani yake; naye akamtenda mfalme wake kama alivyomtenda huyo mfalme wa Yeriko. 200627-120545_swa_5a1_elicit_47.wav,"Kisha Yoshua akapita kutoka hapo Libna, na Israeli wote pamoja naye." 200627-120545_swa_5a1_elicit_48.wav,"Wakafika Lakishi, wakapanga marago mbele yake na kupigana nao." 200627-120545_swa_5a1_elicit_49.wav,"Bwana akautia huo mji wa Lakishi mkononi mwa Israeli, naye akautwaa siku ya pili." 200627-120545_swa_5a1_elicit_50.wav,"Akaupiga kwa makali ya upanga, na wote pia waliokuwamo ndani yake, sawasawa na hayo yote aliyoutenda Libna." 200627-120545_swa_5a1_elicit_51.wav,"Wakati huo Horamu, mfalme wa Gezeri, akakwea ili kuusaidia Lakishi." 200627-120545_swa_5a1_elicit_52.wav,"Lakini Yoshua akampiga yeye na watu wake, hata asimsazie hata mtu mmoja." 200627-120545_swa_5a1_elicit_53.wav,"Kisha Yoshua akapita kutoka hapo Lakishi, na Israeli wote pamoja naye, hata wakafikilia Egloni." 200627-120545_swa_5a1_elicit_54.wav,"Nao wakapanga marago mbele yake, na kupigana nao." 200627-120545_swa_5a1_elicit_55.wav,"Siku iyo hiyo wakautwaa, nao wakaupiga kwa makali ya upanga." 200627-120545_swa_5a1_elicit_56.wav,"Na wote pia waliokuwamo ndani yake akawaangamiza kabisa siku hiyo, sawasawa na hayo yote aliyoufanyia mji wa Lakishi." 200627-120545_swa_5a1_elicit_57.wav,"Kisha Yoshua akakwea kutoka hapo Egloni, na Israeli wote pamoja naye." 200627-120545_swa_5a1_elicit_58.wav,Hata wakafikilia Hebroni; nao wakapigana nao. 200627-120545_swa_5a1_elicit_59.wav,"Wakautwaa, na kuupiga kwa makali ya upanga, na mfalme wake, na miji yake yote." 200627-120545_swa_5a1_elicit_60.wav,Na wote waliokuwamo ndani yake; hakumwacha aliyesalia hata mtu mmoja. 200627-120545_swa_5a1_elicit_61.wav,Sawasawa na hayo yote aliyoufanyia huo mji wa Egloni. 200627-120545_swa_5a1_elicit_62.wav,"Lakini akauangamiza kabisa, na wote pia waliokuwamo ndani yake." 200627-120545_swa_5a1_elicit_63.wav,"Kisha Yoshua akarudi, na Israeli wote pamoja naye, hata Debiri; nao wakapigana nao." 200627-120545_swa_5a1_elicit_64.wav,"Kisha akautwaa, na mfalme wake, na miji yake yote; nao wakawapiga kwa makali ya upanga." 200627-120545_swa_5a1_elicit_65.wav,Wakawaangamiza kabisa wote pia waliokuwamo ndani yake; hakumwacha hata mmoja aliyesalia. 200627-120545_swa_5a1_elicit_66.wav,"Kama alivyoufanyia Hebroni aliufanyia na Debiri vivyo, na mfalme wake; kama alivyoufanyia Libna, na mfalme wake." 200627-120545_swa_5a1_elicit_67.wav,"Basi Yoshua akaipiga nchi hiyo yote, nchi ya vilima, na nchi ya Negebu." 200627-120545_swa_5a1_elicit_68.wav,"Na nchi ya Shefela, na nchi ya matelemko, na wafalme wake wote; hakumwacha aliyesalia hata mmoja." 200627-120545_swa_5a1_elicit_69.wav,"Lakini akawaharibu kabisa wote waliokuwa wavuta pumzi, kama Bwana, Mungu wa Israeli, alivyoamuru." 200627-120545_swa_5a1_elicit_70.wav,"Yoshua akawapiga kutoka Kadesh-barnea mpaka Gaza, na nchi yote ya Gosheni, hata Gibeoni." 200627-120545_swa_5a1_elicit_71.wav,"Na wafalme hao wote na nchi zao Yoshua akatwaa, wakati huo, kwa sababu yeye Bwana." 200627-120545_swa_5a1_elicit_72.wav,"Mungu wa Israeli, alipigana kwa ajili ya Israeli." 200627-120545_swa_5a1_elicit_73.wav,"Kisha Yoshua akarudi, na Israeli wote pamoja naye, hata marago yao huko Gilgali." 200629-122626_swa_5a1_elicit_0.wav,"Kisha ikawa, hapo huyo Yabini, mfalme wa Hazori, aliposikia habari ya mambo hayo." 200629-122626_swa_5a1_elicit_1.wav,"Akatuma mjumbe aende kwa Yobabu, mfalme wa Madoni, na kwa mfalme wa Shimroni." 200629-122626_swa_5a1_elicit_2.wav,"Na mfalme wa Akshafu,na hao wafalme waliokuwa upande wa kaskazini." 200629-122626_swa_5a1_elicit_3.wav,"Katika nchi ya vilima, na katika Araba upande wa kusini wa Kinerethi." 200629-122626_swa_5a1_elicit_4.wav,"Na katika Shefela, na katika nchi zilizoinuka za Dori upande wa magharibi." 200629-122626_swa_5a1_elicit_5.wav,"Na kwa Mkanaani upande wa mashariki, na upande wa magharibi." 200629-122626_swa_5a1_elicit_6.wav,"Na kwa Mwamori, na Mhiti, na Mperizi na Myebusi katika nchi ya vilima." 200629-122626_swa_5a1_elicit_7.wav,Na kwa Mhivi pale chini ya Hermoni katika nchi ya Mispa. 200629-122626_swa_5a1_elicit_8.wav,"Nao wakatoka nje, wao na jeshi zao zote pamoja nao, watu wengi mno." 200629-122626_swa_5a1_elicit_9.wav,"Kama mchanga ulio ufuoni mwa bahari kwa wingi, pamoja na farasi na magari mengi sana." 200629-122626_swa_5a1_elicit_10.wav,Wafalme hao wote wakakutana pamoja; wakaenda na kupanga mahema yao pamoja. 200629-122626_swa_5a1_elicit_11.wav,"Hapo penye maji ya Meromu, ili kupigana na Israeli." 200629-122626_swa_5a1_elicit_12.wav,"Bwana akamwambia Yoshua, Usiche wewe kwa ajili ya hao." 200629-122626_swa_5a1_elicit_13.wav,Kwani kesho wakati kama huu nitawatoa hali wameuawa wote mbele ya Israeli. 200629-122626_swa_5a1_elicit_14.wav,"Utawatema farasi zao, na magari yao utayapiga moto." 200629-122626_swa_5a1_elicit_15.wav,"Basi Yoshua akaenda, na watu wote wa vita pamoja naye." 200629-122626_swa_5a1_elicit_16.wav,Ili kupigana nao hapo penye maji ya Meromu ghafula; wakawaangukia. 200629-122626_swa_5a1_elicit_17.wav,"Bwana akawatia mkononi mwa Israeli, nao wakawapiga." 200629-122626_swa_5a1_elicit_18.wav,"Na kuwafukuza hata kufikilia Sidoni ulio mkuu, na hata kufikilia Misrefoth-maimu." 200629-122626_swa_5a1_elicit_19.wav,Tena hata kufikilia bonde la Mispa upande wa mashariki. 200629-122626_swa_5a1_elicit_20.wav,Wakawapiga hata wasiwasaze hata mtu mmoja aliyesalia. 200629-122626_swa_5a1_elicit_21.wav,Yoshua akawafanyia vile vile kama Bwana alivyomwamuru. 200629-122626_swa_5a1_elicit_22.wav,"Akawatema farasi zao, na magari yao akayapiga moto." 200629-122626_swa_5a1_elicit_23.wav,"Yoshua akarudi wakati huo na kuutwaa Hazori, akampiga mfalme wa Hazori kwa upanga." 200629-122626_swa_5a1_elicit_24.wav,Kwa kuwa Hazori hapo kwanza ulikuwa ni kichwa cha falme hizo zote. 200629-122626_swa_5a1_elicit_25.wav,Nao wakawapiga wote pia waliokuwamo ndani ya Hazori kwa makali ya upanga. 200629-122626_swa_5a1_elicit_26.wav,Wakawaangamiza kabisa; hakusazwa hata mmoja aliyevuta pumzi; kisha akauteketeza Hazori kwa moto. 200629-122626_swa_5a1_elicit_27.wav,"Tena miji yote ya wafalme hao, na wafalme wake wote." 200629-122626_swa_5a1_elicit_28.wav,"Yoshua akawatwaa, akawapiga kwa makali ya upanga, na kuwaangamiza kabisa." 200629-122626_swa_5a1_elicit_29.wav,Vile vile kama huyo Musa mtumishi wa Bwana alivyomwamuru. 200629-122626_swa_5a1_elicit_30.wav,Lakini katika habari ya miji hiyo iliyosimama katika vilima vyao. 200629-122626_swa_5a1_elicit_31.wav,"Israeli hawakuipiga moto miji hiyo, isipokuwa ni mji wa Hazori tu; mji huo Yoshua aliupiga moto." 200629-122626_swa_5a1_elicit_32.wav,"Tena nyara zote za miji hiyo, na wanyama wa miji." 200629-122626_swa_5a1_elicit_33.wav,Wana wa Israeli walitwaa kuwa nyara zao wenyewe. 200629-122626_swa_5a1_elicit_34.wav,"Lakini kila mtu wakampiga kwa makali ya upanga, hata walipokuwa wamewaangamiza wote." 200629-122626_swa_5a1_elicit_35.wav,Wala hawakumsaza mmoja mwenye kuvuta pumzi. 200629-122626_swa_5a1_elicit_36.wav,Vile vile kama Bwana alivyomwamuru Musa mtumishi wake. 200629-122626_swa_5a1_elicit_37.wav,Ndivyo Musa alivyomwamuru Yoshua; naye Yoshua akafanya vivyo. 200629-122626_swa_5a1_elicit_38.wav,Hakukosa kufanya neno lo lote katika hayo yote Bwana aliyomwamuru Musa. 200629-122626_swa_5a1_elicit_39.wav,"Hivyo Yoshua akatwaa nchi hiyo yote, hiyo nchi ya vilima." 200629-122626_swa_5a1_elicit_40.wav,"Na nchi yote ya Negebu, na nchi yote ya Gosheni, na hiyo Shefela." 200629-122626_swa_5a1_elicit_41.wav,"Na hiyo Araba na nchi ya vilima vilima ya Israeli, na hiyo nchi tambarare." 200629-122626_swa_5a1_elicit_42.wav,"Tangu kilima cha Halaki, kiendeleacho upande wa Seiri." 200629-122626_swa_5a1_elicit_43.wav,Mpaka Baal-gadi katika bonde la Lebanoni chini ya kilima cha Hermoni. 200629-122626_swa_5a1_elicit_44.wav,"Naye akawatwaa wafalme wao wote, akawapiga, na kuwaua." 200629-122626_swa_5a1_elicit_45.wav,Yoshua akapiga vita siku nyingi na wafalme hao wote. 200629-122626_swa_5a1_elicit_46.wav,Haukuwapo mji hata mmoja uliofanya amani na wana wa Israeli. 200629-122626_swa_5a1_elicit_47.wav,Isipokuwa ni wale Wahivi wenye kukaa Gibeoni; wakaitwaa yote vitani. 200629-122626_swa_5a1_elicit_48.wav,Kwa kuwa lilikuwa ni la Bwana kuifanya mioyo yao kuwa migumu. 200629-122626_swa_5a1_elicit_49.wav,"Hata wakatoka kupigana na Israeli, ili apate kuwaangamiza kabisa." 200629-122626_swa_5a1_elicit_50.wav,"Wasihurumiwe lakini apate kuwaangamiza, kama vile Bwana alivyomwamuru Musa." 200629-122626_swa_5a1_elicit_51.wav,Wakati huo Yoshua akaenda na kuwakatilia mbali hao Waanaki watoke nchi ya vilima. 200629-122626_swa_5a1_elicit_52.wav,"Kutoka Hebroni, na kutoka Debiri, na kutoka Anabu." 200629-122626_swa_5a1_elicit_53.wav,Na kutoka katika nchi yote ya vilima vilima ya Yuda. 200629-122626_swa_5a1_elicit_54.wav,Na kutoka katika nchi yote ya vilima vilima ya Israeli. 200629-122626_swa_5a1_elicit_55.wav,Yoshua akawaangamiza kabisa na miji yao. 200629-133324_swa_5a1_elicit_0.wav,Na watu wote wenye kuikaa nchi ya vilima kutoka Lebanoni hata Misrefoth-maimu. 200629-133324_swa_5a1_elicit_1.wav,"Maana, hao Wasidoni wote; hao wote nitawafukuza watoke mbele ya wana wa Israeli." 200629-133324_swa_5a1_elicit_2.wav,"Lakini wewe uwape Israeli kuwa ni urithi wao, kama nilivyokuamuru." 200629-133324_swa_5a1_elicit_3.wav,"Basi sasa gawanya nchi hii, iwe urithi wa hizi kabila kenda." 200629-133324_swa_5a1_elicit_4.wav,Na nusu ya kabila ya Manase. 200629-133324_swa_5a1_elicit_5.wav,"Pamoja na yeye, Wareubeni na Wagadi walipata urithi wao." 200629-133324_swa_5a1_elicit_6.wav,"Waliopewa na Musa, huko ng'ambo ya Yordani upande wa mashariki." 200629-133324_swa_5a1_elicit_7.wav,Vile vile kama huyo Musa mtumishi wa Bwana alivyowapa; kutoka huko Aroeri. 200629-133324_swa_5a1_elicit_8.wav,"Iliyo pale ukingoni mwa bonde la Amoni, na huo mji ulio pale katikati ya bonde." 200629-133324_swa_5a1_elicit_9.wav,Na nchi tambarare yote ya Medeba mpaka Diboni. 200629-133324_swa_5a1_elicit_10.wav,"Na miji yote ya Sihoni mfalme wa Waamori, aliyetawala katika Heshboni." 200629-133324_swa_5a1_elicit_11.wav,Hata mpaka wa wana wa Amoni; na Gileadi na mpaka wa Wageshuri. 200629-133324_swa_5a1_elicit_12.wav,"Na Wamaaka, na mlima wa Hermoni wote, na Bashani yote mpaka Saleka." 200629-133324_swa_5a1_elicit_13.wav,Ufalme wote wa Ogu uliokuwa katika Bashani. 200629-133324_swa_5a1_elicit_14.wav,Huyo aliyekuwa akitawala katika Ashtarothi na katika Edrei. 200629-133324_swa_5a1_elicit_15.wav,Huyo alisalia katika mabaki ya wale Warefai; kwa kuwa Musa aliwapiga hao na kuwafukuza. 200629-133324_swa_5a1_elicit_16.wav,"Pamoja na hayo wana wa Israeli hawakuwafukuza Wageshuri, wala Wamaaka." 200629-133324_swa_5a1_elicit_17.wav,"Lakini Wageshuri na Wamaaka wamekaa kati ya Israeli, hata siku hii ya leo." 200629-133324_swa_5a1_elicit_18.wav,Lakini hakuwapa watu wa kabila ya Lawi urithi uwao wote. 200629-133324_swa_5a1_elicit_19.wav,"Maana sadaka za Bwana, Mungu wa Israeli." 200629-133324_swa_5a1_elicit_20.wav,"Zisongezwazo kwa njia ya moto ndizo urithi wake huyo, kama alivyomwambia." 200629-133324_swa_5a1_elicit_21.wav,Musa akawapa kabila ya wana wa Reubeni kwa kadiri ya jamaa zao. 200629-133324_swa_5a1_elicit_22.wav,"Mpaka wao ulikuwa kutoka hapo Aroeri, iliyo pale ukingoni mwa bonde la Arnoni." 200629-133324_swa_5a1_elicit_23.wav,"Na huo mji ulio katikati ya bonde, na nchi tambarare yote iliyo karibu na Medeba." 200629-133324_swa_5a1_elicit_24.wav,Na Heshboni na miji yake yote iliyoko katika bonde; na Diboni. 200629-133324_swa_5a1_elicit_25.wav,"Na Bamoth-baali, na Beth-baal-meoni; na Yahasa, na Kedemothi, na Mefaathi." 200629-133324_swa_5a1_elicit_26.wav,"Na Kiriathaimu, na Sibma, na Sereth-shahari katika kilima cha hilo bonde." 200629-133324_swa_5a1_elicit_27.wav,"Na Beth-peori, na nchi za matelemko ya Pisga, na Beth-yeshimothi." 200629-133324_swa_5a1_elicit_28.wav,"Na miji yote ya nchi tambarare, na ufalme wote wa Sihoni mfalme wa Waamori." 200629-133324_swa_5a1_elicit_29.wav,"Aliyekuwa akitawala katika Heshboni, aliyepigwa na Musa pamoja na hao wakubwa wa Midiani." 200629-133324_swa_5a1_elicit_30.wav,"Nao ni Evi, na Rekemu, na Suri, na Huri, na Reba, hao mashehe wa Sihoni." 200629-133324_swa_5a1_elicit_31.wav,Waliokuwa katika nchi hiyo. 200629-133324_swa_5a1_elicit_32.wav,"Balaamu naye, huyo mwana wa Beori, huyo mchawi." 200629-133324_swa_5a1_elicit_33.wav,Wana wa Israeli walimwua kwa upanga kati ya hao wengine waliowaua. 200629-133324_swa_5a1_elicit_34.wav,"Na mpaka wa wana wa Reubeni ulikuwa ni mto wa Yordani, na mpaka wake." 200629-133324_swa_5a1_elicit_35.wav,"Huo ndio urithi wa wana wa Reubeni sawasawa na jamaa zao, miji yake na vijiji vyake." 200629-133324_swa_5a1_elicit_36.wav,"Musa akawapa kabila ya Gadi, hao wana wa Gadi, kwa kadiri ya jamaa zao." 200629-133324_swa_5a1_elicit_37.wav,"Mpaka wao ulikuwa ni Yazeri, na miji hiyo ya Gileadi." 200629-133324_swa_5a1_elicit_38.wav,"Na nusu ya nchi ya wana wa Amoni, mpaka Aroeri uliokabili Raba." 200629-133324_swa_5a1_elicit_39.wav,"Tena kutoka Heshboni mpaka Ramath-Mizpe, na Betonimu." 200629-133324_swa_5a1_elicit_40.wav,Tena kutoka Mahanaimu hata mpaka wa Debiri. 200629-133324_swa_5a1_elicit_41.wav,"Tena katika bonde, Beth-haramu, na Bethnimira, na Sukothi, na Safoni." 200629-133324_swa_5a1_elicit_42.wav,Hiyo iliyosalia ya ufalme wa Sihoni mfalme wa Heshboni. 200629-133324_swa_5a1_elicit_43.wav,Yaani mto wa Yordani na mpaka wake. 200629-133324_swa_5a1_elicit_44.wav,Mpaka mwisho wa bahari ya Kinerethi ng'ambo ya pili ya Yordani upande wa mashariki. 200629-133324_swa_5a1_elicit_45.wav,"Huo ndio urithi wa wana wa Gadi sawasawa na jamaa zao, miji yake na vijiji vyake." 200629-133324_swa_5a1_elicit_46.wav,Kisha Musa akawapa hao wa nusu ya kabila ya Manase urithi wao. 200629-133324_swa_5a1_elicit_47.wav,Ulikuwa ni wa hiyo nusu ya kabila ya wana wa Manase sawasawa na jamaa zao. 200629-133324_swa_5a1_elicit_48.wav,"Na mpaka wao ulikuwa kutoka huko Mahanaimu, Bashani yote." 200629-133324_swa_5a1_elicit_49.wav,"Na ufalme wote wa Ogu mfalme wa Bashani, na miji yote ya Yairi." 200629-133324_swa_5a1_elicit_50.wav,"Iliyo katika Bashani, miji sitini; na nusu ya Gileadi, na Ashtarothi, na Edrei." 200629-133324_swa_5a1_elicit_51.wav,"Hiyo miji ya ufalme wa Ogu katika Bashani, ilikuwa ni ya wana wa Makiri mwana wa Manase maana." 200629-133324_swa_5a1_elicit_52.wav,Kwa hiyo nusu ya wana wa Makiri sawasawa na jamaa zao. 200629-133324_swa_5a1_elicit_53.wav,Hizi ndizo mirathi ambazo Musa alizigawanya katika nchi tambarare za Moabu. 200629-133324_swa_5a1_elicit_54.wav,"Ng'ambo ya pili ya Yordani, kukabili Yeriko, upande wa mashariki." 200629-133324_swa_5a1_elicit_55.wav,Lakini Musa hakuwapa kabila ya Lawi urithi uwao wote. 200629-133324_swa_5a1_elicit_56.wav,"Yeye Bwana, Mungu wa Israeli, ndiye urithi wao, kama alivyowaambia." 200630-095158_swa_5a1_elicit_0.wav,Kisha hizi ndizo nchi ambazo wana wa Israeli walizitwaa katika nchi ya Kanaani. 200630-095158_swa_5a1_elicit_1.wav,"Ambazo Eleazari kuhani, na Yoshua mwana wa Nuni." 200630-095158_swa_5a1_elicit_2.wav,"Na vichwa vya nyumba za mababa wa kabila za Israeli, waliwagawanyia." 200630-095158_swa_5a1_elicit_3.wav,"Kwa kuandama hiyo kura ya urithi wao, vile vile kama Bwana alivyoamuru kwa mkono wa Musa." 200630-095158_swa_5a1_elicit_4.wav,"Kwa ajili ya hizo kabila kenda, na hiyo nusu ya kabila." 200630-095158_swa_5a1_elicit_5.wav,Kwa kuwa Musa alikuwa amekwisha kuwapa urithi hizo kabila mbili na nusu. 200630-095158_swa_5a1_elicit_6.wav,Ng'ambo ya pili ya Yordani; lakini hakuwapa Walawi urithi uwao wote kati yao. 200630-095158_swa_5a1_elicit_7.wav,"Kwa kuwa wana wa Yusufu walikuwa kabila mbili, Manase na Efraimu." 200630-095158_swa_5a1_elicit_8.wav,"Nao hawakuwapa Walawi sehemu katika hiyo nchi, isipokuwa waliwapa miji wapate kuikaa." 200630-095158_swa_5a1_elicit_9.wav,"Pamoja na viunga vyake kwa ajili ya wanyama wao wa mifugo, na kwa ajili ya riziki zao." 200630-095158_swa_5a1_elicit_10.wav,"Vile vile kama Bwana alivyomwamuru Musa, hao wana wa Israeli walifanya vivyo." 200630-095158_swa_5a1_elicit_11.wav,Nao wakaigawanya hiyo nchi. 200630-095158_swa_5a1_elicit_12.wav,Wakati huo wana wa Yuda walimkaribia Yoshua hapo Gilgali. 200630-095158_swa_5a1_elicit_13.wav,"Na Kalebu, mwana wa Yefune, huyo Mkenizi, akamwambia." 200630-095158_swa_5a1_elicit_14.wav,"Wewe wajua hilo neno Bwana alilomwambia Musa, huyo mtu wa Mung." 200630-095158_swa_5a1_elicit_15.wav,"Katika habari zangu, na katika habari zako wewe, tulipokuwa katika Kadesh-barnea." 200630-095158_swa_5a1_elicit_16.wav,Mimi nilikuwa mtu wa miaka arobaini umri wangu. 200630-095158_swa_5a1_elicit_17.wav,Hapo Musa mtumishi wa Bwana aliponituma niende kutoka Kadesh-barnea ili kuipeleleza hiyo nchi. 200630-095158_swa_5a1_elicit_18.wav,"Nami nilimletea habari tena, kama ilivyokuwa ndani ya moyo wangu." 200630-095158_swa_5a1_elicit_19.wav,Lakini wale ndugu zangu waliokwea kwenda pamoja nami waliiyeyusha mioyo ya watu. 200630-095158_swa_5a1_elicit_20.wav,"Ila mimi nilimfuata Bwana, Mungu wangu, kwa utimilifu." 200630-095158_swa_5a1_elicit_21.wav,"Kisha Musa akaniapia siku hiyo, akasema." 200630-095158_swa_5a1_elicit_22.wav,Hakika hiyo nchi ambayo miguu yako imekanyaga itakuwa ni urithi kwako wewe. 200630-095158_swa_5a1_elicit_23.wav,"Na kwa watoto wako milele, kwa sababu wewe umemfuata Bwana, Mungu wako, kwa utimilifu." 200630-095158_swa_5a1_elicit_24.wav,"Sasa basi, angalia, yeye Bwana ameniweka hai, kama alivyosema." 200630-095158_swa_5a1_elicit_25.wav,"Miaka hii arobaini na mitano, tangu wakati huo Bwana alipomwambia Musa neno hilo." 200630-095158_swa_5a1_elicit_26.wav,Wakati Israeli waliokuwa wakienenda barani; na sasa tazama. 200630-095158_swa_5a1_elicit_27.wav,Hivi leo nimepata miaka themanini na mitano umri wangu. 200630-095158_swa_5a1_elicit_28.wav,Hata sasa mimi nina nguvu zangu hivi leo kama nilivyokuwa siku hiyo Musa aliyonituma. 200630-095158_swa_5a1_elicit_29.wav,"Kama nguvu zangu zilivyokuwa wakati huo, na nguvu zangu ndivyo zilivyo sasa." 200630-095158_swa_5a1_elicit_30.wav,Kwa vita na kwa kutoka nje na kuingia ndani. 200630-095158_swa_5a1_elicit_31.wav,"Basi sasa unipe mlima huu, ambao Bwana alinena habari zake siku hiyo." 200630-095158_swa_5a1_elicit_32.wav,Kwani wewe ulisikia siku hiyo jinsi Waanaki walivyokuwa huko. 200630-095158_swa_5a1_elicit_33.wav,Na miji ilivyokuwa mikubwa yenye boma; yumkini yeye Bwana atakuwa pamoja nami. 200630-095158_swa_5a1_elicit_34.wav,"Nami nitawafukuza watoke nje, kama Bwana alivyonena." 200630-095158_swa_5a1_elicit_35.wav,"Yoshua akambarikia, akampa Kalebu, huyo mwana wa Yefune, Hebroni kuwa urithi wake." 200630-095158_swa_5a1_elicit_36.wav,"Kwa hiyo Hebroni ukawa urithi wa Kalebu, mwana wa Yefune, Mkenizi, hata leo." 200630-095158_swa_5a1_elicit_37.wav,"Kwa sababu alimwandama Bwana, Mungu wa Israeli, kwa utimilifu." 200630-095158_swa_5a1_elicit_38.wav,Basi jina la Hebroni hapo kwanza uliitwa Kiriath-arba. 200630-095158_swa_5a1_elicit_39.wav,Huyo Arba alikuwa ni mtu mkubwa kupita wenziwe wote katika hao Waanaki. 200630-095158_swa_5a1_elicit_40.wav,"Hiyo nchi nayo ikatulia, vita vikakoma." 200630-095158_swa_5a1_elicit_41.wav,Kura ya kabila ya wana wa Yuda kwa kuandama jamaa zao. 200630-095158_swa_5a1_elicit_42.wav,"Ilikuwa kufikilia hata mpaka wa Edomu, hata bara ya Sini upande wa kusini." 200630-095158_swa_5a1_elicit_43.wav,Huko mwisho upande wa kusini. 200630-095158_swa_5a1_elicit_44.wav,Mpaka wao wa kusini ulikuwa kutoka mwisho wa Bahari ya Chumvi. 200630-095158_swa_5a1_elicit_45.wav,Kutoka ile hori ielekeayo kusini. 200630-095158_swa_5a1_elicit_46.wav,Nao ukaendelea upande wa kusini wa kukwea kwenda Akrabimu. 200630-095158_swa_5a1_elicit_47.wav,"Kisha ukaendelea hata Sini, kisha ukaenda upande wa kusini wa Kadesh-barnea." 200630-095158_swa_5a1_elicit_48.wav,"Kisha ukaendelea karibu na Hesroni, kisha ukafikilia Adari, na kuzunguka kwendea Karka." 200630-095158_swa_5a1_elicit_49.wav,"Kisha ukaendelea hata Azmoni, na kutokea hapo penye kijito cha Misri." 200630-095158_swa_5a1_elicit_50.wav,Na matokeo ya huo mpaka yalikuwa baharini; huu ndio mpaka wenu wa upande wa kusini. 200630-095158_swa_5a1_elicit_51.wav,"Na mpaka wa upande wa mashariki ulikuwa Bahari ya Chumvi, hata mwisho wa mto wa Yordani." 200630-095158_swa_5a1_elicit_52.wav,Na mpaka wa upande wa kaskazini ulikuwa kutoka. 200630-095158_swa_5a1_elicit_53.wav,Pale penye hori ya baharini mwisho wa mto wa Yordani. 200630-095158_swa_5a1_elicit_54.wav,"Na huo mpaka ukaendelea hata Beth-hogla, kisha ukaendelea upande wa kaskazini wa Beth-araba." 200630-095158_swa_5a1_elicit_55.wav,Kisha mpaka ukaendelea hata jiwe la Bohani mwana wa Reubeni. 200630-095158_swa_5a1_elicit_56.wav,Kisha mpaka ukaendelea hata Debiri kutoka bonde la Akori. 200630-095158_swa_5a1_elicit_57.wav,"Vivyo ukaendelea upande wa kaskazini, kwa kuelekea Gilgali." 200630-095158_swa_5a1_elicit_58.wav,"Iliyo mkabala wa kukwelea kwenda Adumimu, ulio upande wa kusini wa mto." 200630-095158_swa_5a1_elicit_59.wav,Kisha huo mpaka ukaendelea hata ukafikilia maji ya Enshemeshi. 200630-095158_swa_5a1_elicit_60.wav,Na matokeo yake yalikuwa hapo Enrogeli. 200630-095158_swa_5a1_elicit_61.wav,Kisha mpaka ukaendelea karibu na bonde la mwana wa Hinomu. 200630-095158_swa_5a1_elicit_62.wav,Na kufikilia ubavuni mwa huyu Myebusi upande wa kusini (ndio Yerusalemu). 200630-095158_swa_5a1_elicit_63.wav,Kisha mpaka ukaendelea hata kilele cha mlima ulio pale. 200630-095158_swa_5a1_elicit_64.wav,Mkabala wa bonde la Hinomu upande wa magharibi. 200630-095158_swa_5a1_elicit_65.wav,Lililo pale mwisho wa bonde la Warefai upande wa kaskazini. 200630-095158_swa_5a1_elicit_66.wav,Kisha mpaka ulipigwa kutoka juu ya mlima huo hata kufikilia chemchemi ya maji. 200630-100755_swa_5a1_elicit_0.wav,Ya Neftoa kisha ukatokea hata miji ya kilima cha Efroni. 200630-100755_swa_5a1_elicit_1.wav,Kisha mpaka ulipigwa hata kufikilia Baala (ndio Kiriath-yearimu). 200630-100755_swa_5a1_elicit_2.wav,Kisha mpaka ukazunguka kutoka Baala kwendelea upande wa magharibi hata kilima Seiri. 200630-100755_swa_5a1_elicit_3.wav,Kisha ukaendelea hata upande wa mlima wa Yearimu upande wa kaskazini (huo ndio Kesaloni). 200630-100755_swa_5a1_elicit_4.wav,"Kisha ukatelemkia Beth-shemeshi, na kwendelea karibu na Timna." 200630-100755_swa_5a1_elicit_5.wav,Kisha mpaka ukatokea hata kufikilia upande wa Ekroni upande wa kaskazini. 200630-100755_swa_5a1_elicit_6.wav,"Tena mpaka ulipigwa hata Shikroni, na kwendelea hata kilima cha Baala." 200630-100755_swa_5a1_elicit_7.wav,Kisha ukatokea hapo Yabneeli; na matokeo ya mpaka yalikuwa baharini. 200630-100755_swa_5a1_elicit_8.wav,"Na mpaka wa upande wa magharibi ulifikilia hata bahari kubwa, na mpaka wake." 200630-100755_swa_5a1_elicit_9.wav,Huo ndio mpaka wa wana wa Yuda kwa kuzunguka kote kote sawasawa na jamaa zao. 200630-100755_swa_5a1_elicit_10.wav,Kisha alimpa huyo Kalebu mwana wa Yefune sehemu kati ya wana wa Yuda. 200630-100755_swa_5a1_elicit_11.wav,"Kama Bwana alivyomwamuru Yoshua, maana ni Kiriath-arba." 200630-100755_swa_5a1_elicit_12.wav,Ni huyo Arba aliyekuwa babaye Anaki (huo ndio Hebroni). 200630-100755_swa_5a1_elicit_13.wav,Huyo Kalebu aliwafukuza watoke hapo hao wana watatu wa Anaki. 200630-100755_swa_5a1_elicit_14.wav,"Nao ni Sheshai, na Ahimani, na Talmai, wana wa Anaki." 200630-100755_swa_5a1_elicit_15.wav,Kisha akakwea kutoka huko ili kuwaendea wenyeji wa Debiri. 200630-100755_swa_5a1_elicit_16.wav,Jina la Debiri hapo kwanza lilikuwa Kiriath-seferi. 200630-100755_swa_5a1_elicit_17.wav,"Kalebu akasema, Yeye atakayeupiga Kiriath-seferi na kuutwaa." 200630-100755_swa_5a1_elicit_18.wav,Mimi nitampa Aksa binti yangu awe mkewe. 200630-100755_swa_5a1_elicit_19.wav,"Naye Othnieli mwana wa Kenazi, nduguye Kalebu, aliutwaa; basi akampa Aksa binti yake awe mkewe." 200630-100755_swa_5a1_elicit_20.wav,"Kisha ikawa, hapo huyo mwanamke alipokwenda kwa mumewe, akamtaka aombe shamba kwa baba yake." 200630-100755_swa_5a1_elicit_21.wav,"Akashuka katika punda wake; Kalebu akamwuliza, Wataka nini?" 200630-100755_swa_5a1_elicit_22.wav,"Huyo mwanamke akasema, Nipe baraka; kwa kuwa umeniweka katika nchi ya kusini." 200630-100755_swa_5a1_elicit_23.wav,Unipe na chemchemi za maji pia. Ndipo akampa chemchemi za maji ya juu. 200630-100755_swa_5a1_elicit_24.wav,Na chemchemi za maji ya chini. 200630-100755_swa_5a1_elicit_25.wav,Huu ndio urithi wa kabila ya wana wa Yuda sawasawa na jamaa zao. 200630-100755_swa_5a1_elicit_26.wav,Miji ya mwisho ya kabila ya wana wa Yuda upande wa kuelekea. 200630-100755_swa_5a1_elicit_27.wav,"Mpaka wa Edomu katika nchi ya Negebu ilikuwa ni Kabseeli, na Ederi, na Yaguri." 200630-100755_swa_5a1_elicit_28.wav,"Na Kina, na Dimona, na Adada." 200630-100755_swa_5a1_elicit_29.wav,"Na Kedeshi, na Hazori, na Ithnani, na Zifu, na Telemu, na Bealothi." 200630-100755_swa_5a1_elicit_30.wav,"Na Hazor-hadata, na Kerioth-hezroni (ndio Hazori);na Amamu, na Shema, na Molada." 200630-100755_swa_5a1_elicit_31.wav,"Na Hasar-gada, na Heshmoni, na Bethpeleti; na Hasarshuali, na Beer-sheba, na Biziothia." 200630-100755_swa_5a1_elicit_32.wav,"Na Baala, na Iyimu, na Esemu; na Eltoladi, na Kesili, na Horma." 200630-100755_swa_5a1_elicit_33.wav,"Na Siklagi, na Madmana, na Sansana; na Lebaothi, na Shilhimu, na Aini, na Rimoni." 200630-100755_swa_5a1_elicit_34.wav,"Miji hiyo yote ni miji ishirini na kenda, pamoja na vijiji vyake." 200630-100755_swa_5a1_elicit_35.wav,"Katika nchi ya Shefela, Eshtaoli, na Sora, na Ashna, na Zanoa, na Enganimu." 200630-100755_swa_5a1_elicit_36.wav,"Na Tapua, na Enamu; na Yarmuthi, na Adulamu, na Soko, na Azeka." 200630-100755_swa_5a1_elicit_37.wav,"Na Shaarimu, na Adithaimu, na Gedera, na Gederothaimu miji kumi na minne, pamoja na vijiji vyake." 200630-100755_swa_5a1_elicit_38.wav,"Senani, na Hadasha, na Migdal-gadi; na Dilani, na Mispe, na Yoktheeli." 200630-100755_swa_5a1_elicit_39.wav,"Na Lakishi, na Boskathi, na Egloni; na Kaboni, na Lamasi, na Kithilishi." 200630-100755_swa_5a1_elicit_40.wav,"Na Gederothi, na Beth-dagoni, na Naama, na Makeda; miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake." 200630-100755_swa_5a1_elicit_41.wav,"Libna, na Etheri, na Ashani; na Yifta, na Ashna, na Nesibu." 200630-100755_swa_5a1_elicit_42.wav,"Na Keila, na Akizibu, na Maresha; miji kenda, pamoja na vijiji vyake." 200630-100755_swa_5a1_elicit_43.wav,"Ekroni, pamoja na miji yake na vijiji vyake." 200630-100755_swa_5a1_elicit_44.wav,"Kutoka huko Ekroni mpaka baharini, yote iliyokuwa upande wa Ashdodi, pamoja na vijiji vyake." 200630-100755_swa_5a1_elicit_45.wav,"Ashdodi, na miji yake na vijiji vyake; na Gaza, na miji yake na vijiji vyake." 200630-100755_swa_5a1_elicit_46.wav,"Mpaka kijito cha Misri, na bahari kubwa, na mpaka wake." 200630-100755_swa_5a1_elicit_47.wav,"Na katika nchi ya vilima, Shamiri, na Yatiri, na Soko." 200630-100755_swa_5a1_elicit_48.wav,"Na Dana, na Kiriath-sana (ambao ni Debiri); na Anabu, na Eshtemoa, na Animu." 200630-100755_swa_5a1_elicit_49.wav,"Na Gosheni, na Holoni, na Gilo; miji kumi na mmoja, pamoja na vijiji vyake." 200630-100755_swa_5a1_elicit_50.wav,"Arabu, na Duma, na Eshani; na Yanumu, na Beth-tapua, na Afeka." 200630-100755_swa_5a1_elicit_51.wav,"Na Humta, na Kiriath-arba (ndio Hebroni), na Siori; miji kenda, pamoja na vijiji vyake." 200630-100755_swa_5a1_elicit_52.wav,"Maoni, na Karmeli, na Zifu, na Yuta; na Yezreeli, na Yokdeamu, na Zanoa." 200630-100755_swa_5a1_elicit_53.wav,"Na Kaini, na Gibea, na Timna; miji kumi, pamoja na vijiji vyake." 200630-100755_swa_5a1_elicit_54.wav,"Halhuli, na Bethsuri, na Gedori; na Maarathi, na Bethanothi, Eltekoni." 200630-100755_swa_5a1_elicit_55.wav,"Miji sita, pamoja na vijiji vyake." 200630-100755_swa_5a1_elicit_56.wav,"Kiriath-baali (ndio Kiriath-yearimu), na Raba; miji miwili, pamoja vijiji vyake." 200630-100755_swa_5a1_elicit_57.wav,"Huko nyikani, Betharaba, na Midini, na Sekaka; na Nibshani." 200630-100755_swa_5a1_elicit_58.wav,"Na huo Mji wa Chumvi, na Engedi; miji sita, pamoja na vijiji vyake." 200630-100755_swa_5a1_elicit_59.wav,"Tena katika habari ya Wayebusi, hao wenye kukaa Yerusalemu." 200630-100755_swa_5a1_elicit_60.wav,Wana wa Yuda hawakuweza kuwatoa. 200630-100755_swa_5a1_elicit_61.wav,Lakini hao Wayebusi walikaa pamoja na wana wa Yuda huko Yerusalemu hata hivi leo. 200630-100755_swa_5a1_elicit_62.wav,Kura ya wana wa Yusufu ilianza kutoka mto wa Yordani hapo Yeriko. 200630-100755_swa_5a1_elicit_63.wav,"Hapo penye maji ya Yeriko upande wa mashariki, maana, ni hiyo nyika." 200630-100755_swa_5a1_elicit_64.wav,Kukwea kutoka Yeriko kati ya hiyo nchi ya vilima mpaka Betheli. 200630-100755_swa_5a1_elicit_65.wav,Kisha ikatoka huko Betheli kwendelea Luzu. 200630-100755_swa_5a1_elicit_66.wav,Kisha ikaendelea hata kuufikilia mpaka wa Waarki mpaka Atarothi. 200630-102320_swa_5a1_elicit_0.wav,Kisha ikatelemkia upande wa magharibi hata kuufikilia mpaka wa Wayafleti. 200630-102320_swa_5a1_elicit_1.wav,"Hata mpaka wa Beth-horoni ya chini, hata kufikilia Gezeri." 200630-102320_swa_5a1_elicit_2.wav,Na matokeo yake yalikuwa hapo baharini. 200630-102320_swa_5a1_elicit_3.wav,"Na wana wa Yusufu, Manase na Efraimu, walitwaa urithi wao." 200630-102320_swa_5a1_elicit_4.wav,Na mpaka wa wana wa Efraimu kwa kuandama jamaa zao ulikuwa hivi. 200630-102320_swa_5a1_elicit_5.wav,"Mpaka na urithi wao upande wa mashariki ulikuwa ni Ataroth-adari, hata Beth-horoni wa juu." 200630-102320_swa_5a1_elicit_6.wav,Kisha mpaka ukatokea kwendelea upande wa magharibi huko Mikmeta upande wa kaskazini. 200630-102320_swa_5a1_elicit_7.wav,Kisha mpaka ukazunguka kwendea upande wa mashariki hata Taanath-shilo. 200630-102320_swa_5a1_elicit_8.wav,Kisha ukaendelea upande wa mashariki wa Yanoa; kisha ulitelemka kutoka Yanoa hata Atarothi. 200630-102320_swa_5a1_elicit_9.wav,"Na Naara, kisha ukafikilia Yeriko, na kutokea hapo penye mto wa Yordani." 200630-102320_swa_5a1_elicit_10.wav,Kutoka hapo Tapua mpaka ukaendelea upande wa magharibi hata kijito cha Kana. 200630-102320_swa_5a1_elicit_11.wav,Na matokeo yake yalikuwa baharini. 200630-102320_swa_5a1_elicit_12.wav,Huo ndio urithi wa hao wana wa Efraimu kwa kuandama jamaa zao. 200630-102320_swa_5a1_elicit_13.wav,Pamoja na ile miji iliyotengwa kwa ajili ya wana wa Efraimu. 200630-102320_swa_5a1_elicit_14.wav,"Katikati ya urithi wa hao wana wa Manase, miji yote pamoja na vijiji vyake." 200630-102320_swa_5a1_elicit_15.wav,Nao hawakuwatoa Wakanaani waliokuwa Wakikaa Gezeri. 200630-102320_swa_5a1_elicit_16.wav,"Lakini hao Wakanaani waliketi kati ya Efraimu, hata hivi leo, wakawa watumishi wa kufanya kazi za shokoa." 200630-102320_swa_5a1_elicit_17.wav,Kisha hii ndiyo kura iliyoiangukia kabila ya Manase. 200630-102320_swa_5a1_elicit_18.wav,"Maana, yeye alikuwa ni mzaliwa wa kwanza, wa Yusufu. Katika habari za Makiri." 200630-102320_swa_5a1_elicit_19.wav,"Mzaliwa wa kwanza wa Manase, babaye Gileadi." 200630-102320_swa_5a1_elicit_20.wav,"Kwa sababu alikuwa mtu wa vita, basi alikuwa na Gileadi na Bashani." 200630-102320_swa_5a1_elicit_21.wav,Na kura ilikuwa ni ya hao wana wa Manase waliosalia kwa kuandama jamaa zao. 200630-102320_swa_5a1_elicit_22.wav,"Kwa wana wa Abiezeri, na kwa wana wa Heleki, na kwa wana wa Asrieli." 200630-102320_swa_5a1_elicit_23.wav,"Na kwa wana wa Shekemu, na kwa wana wa Heferi, na kwa wana wa Shemida." 200630-102320_swa_5a1_elicit_24.wav,"Hao ndio wana waume wa Manase, mwana wa Yusufu, kwa kuandama jamaa zao." 200630-102320_swa_5a1_elicit_25.wav,"Lakini Selofehadi, mwana wa Heferi, mwana wa Gileadi, mwana wa Makiri." 200630-102320_swa_5a1_elicit_26.wav,"Mwana wa Manase, hakuwa na wana waume ila binti." 200630-102320_swa_5a1_elicit_27.wav,"Na majina ya hao binti zake walikuwa wakiitwa Mala, na Noa, na Hogla, na Milka, na Tirsa." 200630-102320_swa_5a1_elicit_28.wav,"Nao wakakaribia mbele ya Eleazari, kuhani, na mbele ya Yoshua, mwana wa Nuni." 200630-102320_swa_5a1_elicit_29.wav,"Na mbele ya mashehe, wakasema, Bwana alimwamuru Musa kutupa sisi urithi kati ya ndugu zetu." 200630-102320_swa_5a1_elicit_30.wav,Basi kwa kuiandama hiyo amri ya Bwana akawapa urithi kati ya ndugu za baba yao. 200630-102320_swa_5a1_elicit_31.wav,Kisha kura zilizomwangukia Manase zilikuwa ni sehemu kumi. 200630-102320_swa_5a1_elicit_32.wav,"Mbali na nchi ya Gileadi na Bashani, iliyo ng'ambo ya Yordani." 200630-102320_swa_5a1_elicit_33.wav,Kwa sababu hao binti za Manase walikuwa na urithi katika wanawe waume. 200630-102320_swa_5a1_elicit_34.wav,Na nchi ya Gileadi ilikuwa ni mali ya hao wana waume wa Manase waliosalia. 200630-102320_swa_5a1_elicit_35.wav,"Mpaka wa Manase ulikuwa kutoka Asheri hata Mikmeta, ulioelekea Shekemu." 200630-102320_swa_5a1_elicit_36.wav,"Tena mpaka ukaendelea upande wa kuume, hata kuwafikilia wenyeji wa Entapua." 200630-102320_swa_5a1_elicit_37.wav,Hiyo nchi ya Tapua ilikuwa ni mali ya Manase. 200630-102320_swa_5a1_elicit_38.wav,Lakini ule mji wa Tapua uliokuwa katika mpaka wa Manase ulikuwa ni mali ya wana wa Efraimu. 200630-102320_swa_5a1_elicit_39.wav,"Tena mpaka ulitelemkia mpaka kijito cha Kana, upande wa kusini wa hicho kijito." 200630-102320_swa_5a1_elicit_40.wav,Miji hiyo ilikuwa ya Efraimu kati ya miji ya Manase. 200630-102320_swa_5a1_elicit_41.wav,Na mpaka wa Manase ulikuwa upande wa kaskazini wa hicho kijito. 200630-102320_swa_5a1_elicit_42.wav,Na matokeo yake yalikuwa baharini; upande wa kusini ilikuwa ni mali ya Efraimu. 200630-102320_swa_5a1_elicit_43.wav,"Na upande wa kaskazini ilikuwa ni mali ya Manase, na bahari ilikuwa mpaka wake." 200630-102320_swa_5a1_elicit_44.wav,"Nao wakafikilia hata Asheri upande wa kaskazini, na kufikilia hata Isakari upande wa mashariki." 200630-102320_swa_5a1_elicit_45.wav,"Tena Manase alikuwa na miji katika Isakari na katika Asheri, nayo ni hii." 200630-102320_swa_5a1_elicit_46.wav,"Bethsheani na vijiji vyake, na Ibleamu na miji yake, na wenyeji wa Dori na miji yake." 200630-102320_swa_5a1_elicit_47.wav,"Na wenyeji wa Endori na miji yake, na wenyeji wa Taanaki na miji yake." 200630-102320_swa_5a1_elicit_48.wav,"Na wenyeji wa Megido na miji yake, hata mahali patatu palipoinuka." 200630-102320_swa_5a1_elicit_49.wav,Lakini wana wa Manase hawakuweza kuwafukuza wenyeji wa miji hiyo. 200630-102320_swa_5a1_elicit_50.wav,Bali hao Wakanaani walijikaza ili wakae katika nchi hiyo. 200630-102320_swa_5a1_elicit_51.wav,"Kisha ikawa, hapo hao wana wa Israeli walipokuwa wamepata nguvu zaidi." 200630-102320_swa_5a1_elicit_52.wav,"Ndipo wakawatenza nguvu hao Wakanaani wafanye kazi ya shokoa, wala hawakuwafukuza kabisa." 200630-102320_swa_5a1_elicit_53.wav,"Kisha wana wa Yusufu wakanena na Yoshua, wakasema." 200630-102320_swa_5a1_elicit_54.wav,Kwa nini umenipa mimi kura moja tu na fungu moja kuwa ni urithi wangu. 200630-102320_swa_5a1_elicit_55.wav,"Kwa kuwa mimi ni taifa kubwa la watu, kwa sababu Bwana amenibarikia hata hivi sasa?" 200630-102320_swa_5a1_elicit_56.wav,"Yoshua akawaambia, Kwamba wewe u taifa kubwa la watu, haya, kwea uende mwituni." 200630-102320_swa_5a1_elicit_57.wav,Ujikatie mahali hapo kwa ajili ya nafsi yako katika nchi ya Waperizi. 200630-102320_swa_5a1_elicit_58.wav,"Na ya hao Warefai; ikiwa hiyo nchi ya vilima ya Efraimu ni nyembamba, haikutoshi." 200630-102320_swa_5a1_elicit_59.wav,"Wana wa Yusufu wakasema, Hiyo nchi ya vilima haitutoshi sisi." 200630-102320_swa_5a1_elicit_60.wav,Lakini Wakanaani wote wakaao katika nchi ya bondeni wana magari ya chuma. 200630-102320_swa_5a1_elicit_61.wav,"Nao walio katika Bethsheani na miji yake, na hao walio katika bonde la Yezreeli pia." 200630-102320_swa_5a1_elicit_62.wav,"Kisha Yoshua alinena na nyumba ya Yusufu, maana, ni Efraimu na Manase." 200630-102320_swa_5a1_elicit_63.wav,"Akawaambia, Wewe u taifa kubwa la watu, nawe una uwezo mwingi; hutapata kura moja tu." 200630-102320_swa_5a1_elicit_64.wav,"Lakini hiyo nchi ya vilima itakuwa ni yako; maana, ijapokuwa ni mwitu." 200630-102320_swa_5a1_elicit_65.wav,"Wewe utaukata, na matokeo yake yatakuwa ni yako." 200630-102320_swa_5a1_elicit_66.wav,"Kwa kuwa wewe utawafukuza hao Wakanaani, wajapokuwa wana magari ya chuma." 200630-102320_swa_5a1_elicit_67.wav,Wajapokuwa ni wenye uwezo. 200630-115234_swa_5a1_elicit_0.wav,Kisha mkutano mzima wa wana wa Israeli walikutana pamoja hapo Shilo. 200630-115234_swa_5a1_elicit_1.wav,Wakasimamisha hema ya kukutania kuko; nayo nchi ilikuwa imeshindwa mbele zao. 200630-115234_swa_5a1_elicit_2.wav,Zilisalia katika wana wa Israeli kabila saba ambazo hazijagawanyiwa bado urithi wao. 200630-115234_swa_5a1_elicit_3.wav,"Yoshua akawauliza wana wa Israeli, akasema." 200630-115234_swa_5a1_elicit_4.wav,Je! Hata lini mtakuwa walegevu katika kuingia kwenu na kuimiliki hiyo nchi. 200630-115234_swa_5a1_elicit_5.wav,"Ambayo yeye Bwana, Mungu wa baba zenu, amewapa?" 200630-115234_swa_5a1_elicit_6.wav,"Haya, jichagulieni watu watatu kwa ajili ya kila kabila." 200630-115234_swa_5a1_elicit_7.wav,"Nami nitawatuma, nao watainuka waende kati ya hiyo nchi." 200630-115234_swa_5a1_elicit_8.wav,Na kuiandika kama urithi wao ulivyo; kisha watanijilia mimi. 200630-115234_swa_5a1_elicit_9.wav,Watu hao wataigawanya nchi iwe mafungu saba. 200630-115234_swa_5a1_elicit_10.wav,Yuda atakaa katika mpaka wake huko upande wa kusini. 200630-115234_swa_5a1_elicit_11.wav,Na nyumba ya Yusufu watakaa katika mpaka wao upande wa kaskazini. 200630-115234_swa_5a1_elicit_12.wav,"Nanyi mtaiandika nchi iwe mafungu saba, kisha hayo maandiko yake mtaniletea mimi hapa." 200630-115234_swa_5a1_elicit_13.wav,"Nami nitawapigia kura hapa mbele ya Bwana, Mungu wetu." 200630-115234_swa_5a1_elicit_14.wav,Kwa maana Walawi hawana fungu kati yenu; Kwa kuwa huo ukuhani wa Bwana ndio urithi wao. 200630-115234_swa_5a1_elicit_15.wav,"Tena Gadi, na Reubeni, na hiyo nusu ya kabila ya Manase." 200630-115234_swa_5a1_elicit_16.wav,Wamekwisha pata urithi wao ng'ambo ya pili ya Yordani upande wa mashariki. 200630-115234_swa_5a1_elicit_17.wav,"Ambao walipewa na Musa, mtumishi wa Bwana." 200630-115234_swa_5a1_elicit_18.wav,Basi watu hao wakainuka wakaenda. 200630-115234_swa_5a1_elicit_19.wav,Kisha Yoshua aliwaagiza wale waliokwenda kuiandika nchi. 200630-115234_swa_5a1_elicit_20.wav,"Akawaambia, Endeni, mkapite katikati ya nchi, na kuiandika habari zake." 200630-115234_swa_5a1_elicit_21.wav,"Kisha mnijie tena hapa, nami nitawapigia kura kwa ajili yenu hapo mbele za Bwana huko Shilo." 200630-115234_swa_5a1_elicit_22.wav,"Basi watu hao wakaenda, wakapita katikati ya nchi." 200630-115234_swa_5a1_elicit_23.wav,"Wakaandika habari zake katika chuo, na kuigawanya kwa miji yake." 200630-115234_swa_5a1_elicit_24.wav,"Hata iwe mafungu saba, kisha wakamrejea Yoshua maragoni huko Shilo." 200630-115234_swa_5a1_elicit_25.wav,Kisha Yoshua akapiga kura kwa ajili yao hapo mbele za Bwana katika Shilo. 200630-115234_swa_5a1_elicit_26.wav,Huko Yoshua akawagawanyia wana wa Israeli hiyo nchi sawasawa na mafungu yao. 200630-115234_swa_5a1_elicit_27.wav,Kisha ilizuka kura ya kabila ya wana wa Benyamini kwa kuandama jamaa zao. 200630-115234_swa_5a1_elicit_28.wav,Na mpaka wa hiyo kura yao ukatokea kati ya wana wa Yuda na wana wa Yusufu. 200630-115234_swa_5a1_elicit_29.wav,Mpaka wao upande wa kaskazini ulikuwa kutoka mto wa Yordani. 200630-115234_swa_5a1_elicit_30.wav,Kisha mpaka ukaendelea kufikilia ubavuni mwa mji wa Yeriko upande wa kaskazini. 200630-115234_swa_5a1_elicit_31.wav,Kisha ukaendelea kati ya nchi ya vilima kwa kuelekea upande wa magharibi. 200630-115234_swa_5a1_elicit_32.wav,Na matokeo yake yalikuwa hapo penye nyika ya Bethaveni. 200630-115234_swa_5a1_elicit_33.wav,Kisha mpaka ukaendelea kutoka hapo na kufikilia mji wa Luzu. 200630-115234_swa_5a1_elicit_34.wav,"Ubavuni mwa Luzu (ndio Betheli), kwa upande wa kusini, kisha mpaka." 200630-115234_swa_5a1_elicit_35.wav,"Ukatelemkia Ataroth-adari, karibu na mlima ulio upande wa kusini wa Beth-horoni wa chini." 200630-115234_swa_5a1_elicit_36.wav,Kisha mpaka uliendelea na kuzunguka upande wa magharibi wa kuelekea kusini. 200630-115234_swa_5a1_elicit_37.wav,Kutoka huo mlima ulio mkabala wa Beth-horoni upande wa kusini. 200630-115234_swa_5a1_elicit_38.wav,Na matokeo yake yalikuwa hapo Kiriath-baali (ndio Kiriath-yearimu). 200630-115234_swa_5a1_elicit_39.wav,Ni mji wa wana wa Yuda; huo ndio upande wa magharibi. 200630-115234_swa_5a1_elicit_40.wav,Na upande wa kusini ulikuwa ukitoka upande wa mwisho wa Kiriath-yearimu. 200630-115234_swa_5a1_elicit_41.wav,"Na mpaka ukatokea upande wa magharibi, ukaendelea hata chemchemi ya maji, pale Neftoa." 200630-115234_swa_5a1_elicit_42.wav,Kisha mpaka ulitelemka hata mwisho wa mlima ulio pale mkabala wa bonde la mwana wa Hinomu. 200630-115234_swa_5a1_elicit_43.wav,"Lililo pale katika bonde la Warefai, upande wa kaskazini." 200630-115234_swa_5a1_elicit_44.wav,"Nao ukatelemkia mpaka bonde la Hinomu, hata ubavuni mwa Myebusi upande wa kusini." 200630-115234_swa_5a1_elicit_45.wav,"Kisha ukatelemka hata Enrogeli, kisha ulipigwa upande wa kaskazini." 200630-115234_swa_5a1_elicit_46.wav,"Nao ukatokea hapo Enshemeshi, ukatokea hata kufikilia Gelilothi." 200630-115234_swa_5a1_elicit_47.wav,Ambao ni mkabala wa makweleo ya Adumimu. 200630-115234_swa_5a1_elicit_48.wav,Kisha ulitelemka hata jiwe la Bohani mwana wa Reubeni. 200630-115234_swa_5a1_elicit_49.wav,"Kisha ukaendelea mbele ubavuni kuikabili Araba, upande wa kuelekea kaskazini." 200630-115234_swa_5a1_elicit_50.wav,Nao ukatelemka hata hiyo Araba. 200630-115234_swa_5a1_elicit_51.wav,Kisha mpaka ukaendelea mbele ubavuni mwa Beth-hogla upande wa kaskazini. 200630-115234_swa_5a1_elicit_52.wav,Na matokeo ya mpaka yalikuwa katika ile hori ya kaskazini ya Bahari ya Chumvi. 200630-115234_swa_5a1_elicit_53.wav,Mwisho wa kusini wa mto wa Yordani; huo ndio mpaka wa upande wa kusini. 200630-115234_swa_5a1_elicit_54.wav,Na mto wa Yordani ulikuwa ndio mpaka wake upande wa mashariki. 200630-115234_swa_5a1_elicit_55.wav,"Huo ndio urithi wa wana wa Benyamini, kwa kuandama mipaka yake kwa kuuzunguka kote kote." 200630-115234_swa_5a1_elicit_56.wav,Sawasawa na jamaa zao. 200630-115234_swa_5a1_elicit_57.wav,Basi miji ya kabila ya wana wa Benyamini kwa kuandama jamaa zao ilikuwa ni Yeriko. 200630-115234_swa_5a1_elicit_58.wav,"Na Beth-hogla, na Emek-kesisi, na Bethiaraba, na Semaraimu, na Betheli." 200630-115234_swa_5a1_elicit_59.wav,"Na Avimu, na Para, na Ofra; na Kefar-amoni, na Ofni, na Geba." 200630-120452_swa_5a1_elicit_0.wav,"Miji kumi na miwili, pamoja na vijiji vyake; na Gibeoni, na Rama, na Beerothi." 200630-120452_swa_5a1_elicit_1.wav,"Na Mispa, na Kefira, na Moza; na Rekemu, na Irpeeli, na Tarala." 200630-120452_swa_5a1_elicit_2.wav,"Na Zela, na Elefu, na huyo Myebusi (ndio Yerusalemu), na Gibeathi, na Kiriathi." 200630-120452_swa_5a1_elicit_3.wav,"Miji kumi na minne, pamoja na vijiji vyake." 200630-120452_swa_5a1_elicit_4.wav,Huo ndio urithi wa wana wa Benyamini kwa kuandama jamaa zao. 200630-120452_swa_5a1_elicit_5.wav,"Kisha kura ya pili ilitokea kwa ajili ya Simeoni, maana." 200630-120452_swa_5a1_elicit_6.wav,"Kwa ajili ya hiyo kabila ya wana wa Simeoni, kwa kuandama jamaa zao." 200630-120452_swa_5a1_elicit_7.wav,Na urithi wao ulikuwa katikati ya urithi wa wana wa Yuda. 200630-120452_swa_5a1_elicit_8.wav,"Miji waliyokuwa nayo katika urithi wao ni Beer-sheba, na Sheba, na Molada." 200630-120452_swa_5a1_elicit_9.wav,"Na Hasarshuali, na Bala, na Esemu; na Eltoladi, na Bethuli, na Horma." 200630-120452_swa_5a1_elicit_10.wav,"Na Siklagi, na Bethmarkabothi, na Hasarsusa; na Bethlebaothi, na Sharuheni." 200630-120452_swa_5a1_elicit_11.wav,"Miji kumi na mitatu, pamoja na vijiji vyake; na Aini, na Rimoni, na Etheri, na Ashani." 200630-120452_swa_5a1_elicit_12.wav,"Miji minne, pamoja na vijiji vyake." 200630-120452_swa_5a1_elicit_13.wav,Tena vijiji vyote vilivyozunguka miji hiyo kote kote mpaka Baalath-beeri. 200630-120452_swa_5a1_elicit_14.wav,Rama wa Kusini. Huo ndio urithi wa kabila ya wana wa Simeoni kwa kuandama jamaa zao. 200630-120452_swa_5a1_elicit_15.wav,Huo urithi wa hao wana wa Simeoni ulitoka katika fungu la wana wa Yuda. 200630-120452_swa_5a1_elicit_16.wav,Kwa maana hilo fungu la wana wa Yuda lilikuwa ni kubwa mno kwao. 200630-120452_swa_5a1_elicit_17.wav,Kwa hiyo wana wa Simeoni walikuwa na urithi katikati ya urithi wao. 200630-120452_swa_5a1_elicit_18.wav,Kisha kura ya tatu ilitokea kwa ajili ya wana wa Zabuloni kwa kuandama jamaa zao. 200630-120452_swa_5a1_elicit_19.wav,Na mpaka wa urithi wao ulifikilia hata Saridi. 200630-120452_swa_5a1_elicit_20.wav,"Kisha mpaka wao ukakwea kwendelea upande wa magharibi, hata kufikilia Marala." 200630-120452_swa_5a1_elicit_21.wav,Nao ukafikilia hata Dabeshethi; nao ukafikilia kijito cha maji kilicho mkabala wa Yokneamu. 200630-120452_swa_5a1_elicit_22.wav,Kisha ukazunguka kutoka Saridi kwendelea upande wa mashariki. 200630-120452_swa_5a1_elicit_23.wav,Kwa kuelekea maawio ya jua hata kufikilia mpaka wa Kisiloth-ubori. 200630-120452_swa_5a1_elicit_24.wav,"Kisha ukatokea hata Daberathi, kisha ukakwea kwendelea Yafia." 200630-120452_swa_5a1_elicit_25.wav,Kutoka hapo ukaendelea kuelekea mashariki mpaka Gath-heferi. 200630-120452_swa_5a1_elicit_26.wav,Hata kufikilia Ethkasini; kisha ukatokea huko Rimoni ufikiliao hata Nea. 200630-120452_swa_5a1_elicit_27.wav,Kisha mpaka uliizunguka nchi hiyo kwa upande wa kaskazini hata Hanathoni. 200630-120452_swa_5a1_elicit_28.wav,"Kisha matokeo yake yalikuwa katika bonde la Iftaeli; na Katathi, na Nahalali." 200630-120452_swa_5a1_elicit_29.wav,"Na Shimroni, na Idala, na Bethlehemu; miji kumi na miwili, pamoja na vijiji vyake." 200630-120452_swa_5a1_elicit_30.wav,Huu ndio urithi wa wana wa Zabuloni kwa kuandama jamaa zao; miji hii pamoja na vijiji vyake. 200630-120452_swa_5a1_elicit_31.wav,Kisha kura ya nne ilitokea kwa ajili ya Isakari. 200630-120452_swa_5a1_elicit_32.wav,"Maana, ni kwa ajili ya wana wa Isakari kwa kuandama jamaa zao." 200630-120452_swa_5a1_elicit_33.wav,"Na mpaka wao ulifikilia Yezreeli, na Kesulothi, na Shunemu." 200630-120452_swa_5a1_elicit_34.wav,"Na Hafaraimu, na Shioni, na Anaharathi; na Rabithu, na Kishioni, na Ebesi." 200630-120452_swa_5a1_elicit_35.wav,"Na Remethi, na Enganimu, na Enhada, na Bethpasesi." 200630-120452_swa_5a1_elicit_36.wav,"Na mpaka ukafikilia hata Tabori, na Shahasuma na Bethshemeshi." 200630-120452_swa_5a1_elicit_37.wav,Na matokeo ya mpaka wao yalikuwa katika mto wa Yordani. 200630-120452_swa_5a1_elicit_38.wav,"Miji kumi na sita, pamoja na vijiji vyake." 200630-120452_swa_5a1_elicit_39.wav,Huu ndio urithi wa kabila ya wana wa Isakari kwa kuandama jamaa zao. 200630-120452_swa_5a1_elicit_40.wav,Miji hiyo pamoja na vijiji vyake. 200630-120452_swa_5a1_elicit_41.wav,Kisha kura ya tano ilitokea kwa ajili ya kabila ya wana wa Asheri kwa kuandama jamaa zao. 200630-120452_swa_5a1_elicit_42.wav,"Na mpaka wao ulikuwa ni Helkathi, na Hali, na Beteni, na Akishafu." 200630-120452_swa_5a1_elicit_43.wav,"Na Alameleki, na Amadi, na Mishali; nao ukafikilia hata Karmeli upande wa magharibi." 200630-120452_swa_5a1_elicit_44.wav,Tena ulifikilia hata Shihor-libnathi. 200630-120452_swa_5a1_elicit_45.wav,Kisha ukazunguka kuelekea maawio ya jua mpaka Beth-dagoni. 200630-120452_swa_5a1_elicit_46.wav,"Nao ukafikilia hata Zabuloni, tena mpaka bonde la Iftaeli upande wa kaskazini." 200630-120452_swa_5a1_elicit_47.wav,Hata Bethemeki na Neyeli; kisha ukatokea hata Kabuli upande wa kushoto. 200630-120452_swa_5a1_elicit_48.wav,"Na Ebroni, na Rehobu, na Hamoni, na Kana, hata kufikilia Sidoni mkuu." 200630-120452_swa_5a1_elicit_49.wav,"Kisha mpaka ulizunguka kuelekea Rama, na mji wa Tiro ulio na boma." 200630-120452_swa_5a1_elicit_50.wav,Kisha mpaka ulizunguka kuelekea Hosa. 200630-120452_swa_5a1_elicit_51.wav,Na matokeo yake yalikuwa baharini katika nchi ya Akzibu. 200630-120452_swa_5a1_elicit_52.wav,"Na Uma pia, na Afeka, na Rehobu; miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake." 200630-120452_swa_5a1_elicit_53.wav,Huu ndio urithi wa kabila ya wana wa Asheri kwa kuandama jamaa zao. 200630-120452_swa_5a1_elicit_54.wav,Miji hii pamoja na vijiji vyake. 200630-120452_swa_5a1_elicit_55.wav,Kisha kura ya sita ikatokea kwa ajili ya wana wa Naftali. 200630-120452_swa_5a1_elicit_56.wav,"Maana, ni kwa ajili ya wana wa Naftali kwa kuandama jamaa zao." 200630-120452_swa_5a1_elicit_57.wav,"Na mpaka wao ulikuwa kutoka Helefu, tokea ule mwaloni ulio katika Saananimu." 200630-120452_swa_5a1_elicit_58.wav,"Na Adami-nekebu, na Yabineeli, hata kufikilia Lakumu." 200630-120452_swa_5a1_elicit_59.wav,Na matokeo yake yalikuwa katika mto wa Yordani. 200630-121614_swa_5a1_elicit_0.wav,Tena mpaka ulizunguka kwendelea upande wa magharibi hata Aznoth-tabori. 200630-121614_swa_5a1_elicit_1.wav,Tena kutoka hapo ukaendelea mpaka Hukoki; kisha ukafikilia hata Zabuloni upande wa kusini. 200630-121614_swa_5a1_elicit_2.wav,Tena ulifikilia hata Asheri upande wa magharibi. 200630-121614_swa_5a1_elicit_3.wav,Tena ulifikilia hata Yuda hapo katika mto wa Yordani kwa upande wa kuelekea maawio ya jua. 200630-121614_swa_5a1_elicit_4.wav,"Na miji yenye boma ilikuwa ni hii, Sidimu, na Seri." 200630-121614_swa_5a1_elicit_5.wav,"Na Hamathi, na Rakathi, na Kinerethi;na Adama, na Rama, na Hazori." 200630-121614_swa_5a1_elicit_6.wav,"Na Kedeshi, na Edrei, na Enhasori; na Ironi, na Migdal-eli." 200630-121614_swa_5a1_elicit_7.wav,"Na Horemu, na Bethanathi, na Bethshemeshi; miji kumi na kenda, pamoja na vijiji vyake." 200630-121614_swa_5a1_elicit_8.wav,Huu ndio urithi wa kabila ya wana wa Naftali kwa kuandama jamaa zao. 200630-121614_swa_5a1_elicit_9.wav,Miji hiyo pamoja na vijiji vyake. 200630-121614_swa_5a1_elicit_10.wav,Kisha kura ya saba ilitokea kwa ajili ya kabila ya wana wa Dani kwa kuandama jamaa zao. 200630-121614_swa_5a1_elicit_11.wav,"Na mpaka wa urithi wao ulikuwa ni Sora, na Eshtaoli, na Irishemeshi." 200630-121614_swa_5a1_elicit_12.wav,"Na Shaalabini, na Aiyaloni, na Ithla; na Eloni, na Timna, na Ekroni." 200630-121614_swa_5a1_elicit_13.wav,"Na Elteka, na Gibethoni, na Baalathi; na Yehudi, na Bene-beraki, na Gathrimoni." 200630-121614_swa_5a1_elicit_14.wav,"Na Meyarkoni, na Rakoni, pamoja na huo mpaka uliokuwa mkabala wa Yafa." 200630-121614_swa_5a1_elicit_15.wav,Kisha mpaka wa wana wa Dani ulitokea kuwapita wao. 200630-121614_swa_5a1_elicit_16.wav,Kwa kuwa hao wana wa Dani wakakwea na kupigana na Leshemu. 200630-121614_swa_5a1_elicit_17.wav,"Na kuutwaa, na kuupiga kwa makali ya upanga, na kuumiliki." 200630-121614_swa_5a1_elicit_18.wav,"Nao wakakaa humo, wakauita Dani, kwa kuliandama jina la huyo Dani mzee wao." 200630-121614_swa_5a1_elicit_19.wav,Huu ndio urithi wa kabila ya wana wa Dani kwa kuandama jamaa zao. 200630-121614_swa_5a1_elicit_20.wav,Miji hii pamoja na vijiji vyake. 200630-121614_swa_5a1_elicit_21.wav,Basi wakamaliza hiyo kazi yao ya kuigawanya nchi iwe urithi kwa kuandama mipaka yake. 200630-121614_swa_5a1_elicit_22.wav,"Kisha wana wa Israeli wakampa Yoshua, mwana wa Nuni, urithi katikati yao." 200630-121614_swa_5a1_elicit_23.wav,Sawasawa na ile amri ya Bwana wakampa mji alioutaka. 200630-121614_swa_5a1_elicit_24.wav,"Maana, ni Timnath-sera katika nchi ya vilima ya Efraimu; naye akaujenga huo mji na kukaa mumo." 200630-121614_swa_5a1_elicit_25.wav,"Hizi ndizo nchi, ambazo Eleazari kuhani, na Yoshua huyo mwana wa Nuni." 200630-121614_swa_5a1_elicit_26.wav,Pamoja na hao vichwa vya nyumba za mababa ya kabila za wana wa Israeli. 200630-121614_swa_5a1_elicit_27.wav,"Walizigawanya kwa njia ya kupiga kura, ziwe urithi." 200630-121614_swa_5a1_elicit_28.wav,"Huko Shilo mbele ya Bwana, hapo mlangoni mwa hema ya kukutania." 200630-121614_swa_5a1_elicit_29.wav,Basi hivyo wakamaliza kazi ya kuigawanya hiyo nchi. 200630-121614_swa_5a1_elicit_30.wav,"Kisha Bwana akanena na Yoshua, na kumwambia." 200630-121614_swa_5a1_elicit_31.wav,"Nena wewe na wana wa Israeli, uwaambie, Haya, toeni hiyo miji ya makimbilio." 200630-121614_swa_5a1_elicit_32.wav,Ambayo niliwaambia habari zake kwa mkono wa Musa. 200630-121614_swa_5a1_elicit_33.wav,"Ili kwamba mwenye kuua mtu, aliyemwua mtu awaye yote pasipo kukusudia." 200630-121614_swa_5a1_elicit_34.wav,"Na pasipo kujua, apate kukimbilia kuko; nayo itakuwa ni mahali pa kukimbilia kwenu." 200630-121614_swa_5a1_elicit_35.wav,Kumkimbia huyo ajilipizaye kisasi cha damu. 200630-121614_swa_5a1_elicit_36.wav,Naye ataikimbilia miji hiyo mmojawapo. 200630-121614_swa_5a1_elicit_37.wav,Naye atasimama hapo penye maingilio ya lango la huo mji. 200630-121614_swa_5a1_elicit_38.wav,Kisha atanena neno lake masikioni mwa wazee wa mji; nao watamtia kwao ndani ya mji. 200630-121614_swa_5a1_elicit_39.wav,"Na kumpa mahali, ili apate kukaa kati yao." 200630-121614_swa_5a1_elicit_40.wav,Na kama huyo mwenye kujilipiza kisasi cha damu akimwandamia. 200630-121614_swa_5a1_elicit_41.wav,Ndipo hawatamtoa huyo mwuaji kumtia mkononi mwake huyo. 200630-121614_swa_5a1_elicit_42.wav,"Kwa sababu alimpiga mwenziwe naye hakujua, wala hakumchukia tangu hapo." 200630-121614_swa_5a1_elicit_43.wav,"Naye atakaa katika mji huo, hata hapo atakaposimama mbele ya mkutano kuhukumiwa." 200630-121614_swa_5a1_elicit_44.wav,Hata kifo chake kuhani mkuu mwenye kuwapo siku hizo. 200630-121614_swa_5a1_elicit_45.wav,"Ndipo yule mwuaji atarudi, na kuuendea mji wake mwenyewe." 200630-121614_swa_5a1_elicit_46.wav,"Na nyumba yake mwenyewe, hata mji huo alioutoka hapo alipokimbia." 200630-121614_swa_5a1_elicit_47.wav,Nao wakaweka Kedeshi katika Galilaya katika nchi ya vilima ya Naftali. 200630-121614_swa_5a1_elicit_48.wav,Na Shekemu katika nchi ya vilima ya Efraimu. 200630-121614_swa_5a1_elicit_49.wav,Na Kiriath-arba (ndio Hebroni) katika nchi ya vilima ya Yuda. 200630-121614_swa_5a1_elicit_50.wav,Tena ng'ambo ya pili ya Yordani pande za Yeriko. 200630-121614_swa_5a1_elicit_51.wav,Upande wa kuelekea mashariki wakaweka Bezeri ulioko nyikani. 200630-121614_swa_5a1_elicit_52.wav,Katika nchi tambarare ya kabila ya Reubeni. 200630-121614_swa_5a1_elicit_53.wav,Na Ramothi katika Gileadi katika kabila ya Gadi. 200630-121614_swa_5a1_elicit_54.wav,Na Golani katika Bashani katika kabila ya Manase. 200630-121614_swa_5a1_elicit_55.wav,Miji hiyo ndiyo miji iliyoamriwa kwa ajili ya wana wa Israeli wote. 200630-121614_swa_5a1_elicit_56.wav,Na kwa ajili ya mgeni akaaye kati yao ugenini. 200630-121614_swa_5a1_elicit_57.wav,Ili kwamba mtu awaye yote atakayemwua mtu pasipo kukusudia apate kimbilia huko. 200630-121614_swa_5a1_elicit_58.wav,Asife kwa mkono wa mwenye kujilipiza kisasi cha damu. 200630-121614_swa_5a1_elicit_59.wav,Hata hapo atakapokuwa amekwisha simama mbele ya mkutano. 200630-122906_swa_5a1_elicit_0.wav,"Na Dimna pamoja na malisho yake, na Nahalali pamoja na malisho yake; miji minne." 200630-122906_swa_5a1_elicit_1.wav,"Tena katika kabila ya Reubeni, Bezeri pamoja na malisho yake." 200630-122906_swa_5a1_elicit_2.wav,"na Yahasa pamoja na malisho yake, na Kedemothi pamoja na malisho yake." 200630-122906_swa_5a1_elicit_3.wav,Na Mefaathi pamoja na malisho yake; miji minne. 200630-122906_swa_5a1_elicit_4.wav,Tena katika kabila ya Gadi Ramothi katika Gileadi pamoja na malisho yake. 200630-122906_swa_5a1_elicit_5.wav,"Huo mji wa makimbilio kwa ajili ya mwuaji, na Mahanaimu pamoja na malisho yake." 200630-122906_swa_5a1_elicit_6.wav,"Na Heshboni pamoja na malisho yake, na Yazeri pamoja na malisho yake; jumla yake miji minne." 200630-122906_swa_5a1_elicit_7.wav,Miji hiyo yote ilikuwa ni miji ya wana wa Merari kwa kuandama jamaa zao. 200630-122906_swa_5a1_elicit_8.wav,Ni hizo jamaa za Walawi zilizosalia; na kura yao ilikuwa ni miji kumi na miwili. 200630-122906_swa_5a1_elicit_9.wav,Miji yote ya Walawi iliyokuwa kati ya milki ya wana wa Israeli. 200630-122906_swa_5a1_elicit_10.wav,"Ilikuwa ni miji arobaini na minane, pamoja na malisho yake." 200630-122906_swa_5a1_elicit_11.wav,"Miji hiyo kila mmoja ulikuwa pamoja na malisho yake, yaliyouzunguka pande zote." 200630-122906_swa_5a1_elicit_12.wav,Ndivyo ilivyokuwa katika miji hiyo yote. 200630-122906_swa_5a1_elicit_13.wav,"Basi Bwana aliwapa Israeli nchi hiyo yote, ambayo aliapa kwamba atawapa baba zao." 200630-122906_swa_5a1_elicit_14.wav,"Nao wakaimiliki, na kukaa mumo." 200630-122906_swa_5a1_elicit_15.wav,"Kisha Bwana akawapa raha pande zote, sawasawa na hayo yote aliyokuwa amewaapia baba zao." 200630-122906_swa_5a1_elicit_16.wav,Wala katika adui zao wote hakusimama hata mtu mmoja miongoni mwao mbele zao. 200630-122906_swa_5a1_elicit_17.wav,Yeye Bwana akawatia adui zao wote mikononi mwao. 200630-122906_swa_5a1_elicit_18.wav,Halikuanguka neno lo lote katika jambo lo lote lililokuwa ni jema. 200630-122906_swa_5a1_elicit_19.wav,Ambalo Bwana alikuwa amelinena katika habari ya nyumba ya Israeli; yalitimia mambo yote. 200630-122906_swa_5a1_elicit_20.wav,"Wakati huo Yoshua akawaita Wareubeni, na Wagadi, na hiyo nusu ya kabila ya Manase." 200630-122906_swa_5a1_elicit_21.wav,"Naye akawaambia, Ninyi mmeyaandama hayo yote mliyoamriwa na Musa." 200630-122906_swa_5a1_elicit_22.wav,"Mtumishi wa Bwana, nanyi mmeisikia sauti yangu katika yote niliyowaamuru mimi." 200630-122906_swa_5a1_elicit_23.wav,Hamkuwaacha hao ndugu zenu siku hizi nyingi hata hivi leo. 200630-122906_swa_5a1_elicit_24.wav,"Lakini mmeyashika mausia ya amri ya Bwana, Mungu wenu." 200630-122906_swa_5a1_elicit_25.wav,"Na sasa yeye Bwana, Mungu wenu, amewapa ndugu zenu kustarehe, kama alivyowaambia." 200630-122906_swa_5a1_elicit_26.wav,"Basi sasa rudini ninyi mwende mahemani kwenu, hata nchi ya milki yenu." 200630-122906_swa_5a1_elicit_27.wav,"Ambayo huyo Musa, mtumishi wa Bwana, aliwapa ng'ambo ya pili ya Yordani." 200630-122906_swa_5a1_elicit_28.wav,"Lakini mjibidiishe sana kuzifanya amri na sheria, ambazo Musa." 200630-122906_swa_5a1_elicit_29.wav,"Mtumishi wa Bwana, aliwaamuru, kumpenda Bwana, Mungu wenu." 200630-122906_swa_5a1_elicit_30.wav,"Na kwenenda katika njia zake zote, na kuzishika amri zake." 200630-122906_swa_5a1_elicit_31.wav,"Na kushikamana na yeye, na kumtumikia kwa moyo wenu wote na nafsi yenu yote." 200630-122906_swa_5a1_elicit_32.wav,"Basi Yoshua akawabarikia, na kuwapa ruhusa waende zao; nao wakaenda mahemani kwao." 200630-122906_swa_5a1_elicit_33.wav,Basi Musa alikuwa amewapa hiyo nusu moja ya kabila ya Manase urithi katika Bashani. 200630-122906_swa_5a1_elicit_34.wav,Lakini hiyo nusu ya pili Yoshua aliwapa urithi kati ya ndugu zao. 200630-122906_swa_5a1_elicit_35.wav,Ng'ambo ya Yordani upande wa kuelekea magharibi. 200630-122906_swa_5a1_elicit_36.wav,"Zaidi ya hayo Yoshua, hapo alipowapeleka waende zao mahemani kwao, akawabarikia." 200630-122906_swa_5a1_elicit_37.wav,"Kisha akanena nao, na kuwaambia, Rudini na mali mengi mahemani kwenu." 200630-122906_swa_5a1_elicit_38.wav,"Na ng'ombe wengi sana, na fedha, na dhahabu, na shaba, na chuma, na mavao mengi sana." 200630-122906_swa_5a1_elicit_39.wav,Mzigawanye na ndugu zenu hizo nyara za adui zenu. 200630-122906_swa_5a1_elicit_40.wav,"Basi wana wa Reubeni, na wana wa Gadi, na hiyo nusu ya kabila ya Manase wakarudi." 200630-122906_swa_5a1_elicit_41.wav,"Wakatoka kwa wana wa Israeli katika Shilo, ulioko nchi ya Kanaani." 200630-122906_swa_5a1_elicit_42.wav,"Ili waende nchi ya Gileadi, hiyo nchi ya milki yao, waliyokuwa wanaimiliki." 200630-122906_swa_5a1_elicit_43.wav,Sawasawa na amri ya Bwana kwa mkono wa Musa. 200630-122906_swa_5a1_elicit_44.wav,"Nao walipofika pande za Yordani, zilizo katika nchi ya Kanaani." 200630-122906_swa_5a1_elicit_45.wav,"Nao wana wa Reubeni, na wana wa Gadi, na nusu ya kabila ya Manase." 200630-122906_swa_5a1_elicit_46.wav,"Wakajenga madhabahu huko karibu na Yordani, iliyoonekana kuwa ni madhabahu kubwa." 200630-122906_swa_5a1_elicit_47.wav,"Wana wa Israeli walisikia ikinenwa, Tazama, wana wa Reubeni." 200630-122906_swa_5a1_elicit_48.wav,"Na wana wa Gadi, na hiyo nusu ya kabila ya Manase." 200630-122906_swa_5a1_elicit_49.wav,Wamejenga madhabahu huko upande wa mbele wa nchi ya Kanaani. 200630-122906_swa_5a1_elicit_50.wav,"Katika nchi iliyo karibu na Yordani, kwa upande huo ulio milki ya wana wa Israeli." 200630-122906_swa_5a1_elicit_51.wav,"Basi, wana wa Israeli waliposikia habari hiyo." 200630-122906_swa_5a1_elicit_52.wav,"Mkutano wote wa wana wa Israeli wakakutanika pamoja huko Shilo, ili waende kupigana nao." 200630-122906_swa_5a1_elicit_53.wav,Kisha wana wa Israeli wakatuma wajumbe waende kwa wana wa Reubeni. 200630-122906_swa_5a1_elicit_54.wav,"Na wana wa Gadi, na hiyo nusu ya kabila ya Manase, hata nchi ya Gileadi." 200630-122906_swa_5a1_elicit_55.wav,"Nao ni hawa, Finehasi mwana wa Eleazari kuhani." 200630-122906_swa_5a1_elicit_56.wav,"Na pamoja naye wakuu kumi, mkuu mmoja wa nyumba ya mababa kwa ajili ya kila kabila ya Israeli." 200630-122906_swa_5a1_elicit_57.wav,Nao kila mmoja alikuwa ni kichwa cha nyumba ya mababa katika maelfu ya Israeli. 200630-122906_swa_5a1_elicit_58.wav,"Nao wakawafikilia hao wana wa Reubeni, na wana wa Gadi, na hiyo nusu ya kabila ya Manase." 200630-122906_swa_5a1_elicit_59.wav,"Katika nchi ya Gileadi, na wakasema nao, wakinena." 200630-122906_swa_5a1_elicit_60.wav,"Mkutano wote wa Bwana wanena, Ni kosa gani hili mlilolikosa juu ya Mungu wa Israeli." 200630-122906_swa_5a1_elicit_61.wav,Hata mkakengeuka hivi leo na kuacha kumwandama Bwana. 200702-144301_swa_5a1_elicit_0.wav,"Katika kujijengea madhabahu, na kuasi hivi leo juu ya Bwana?" 200702-144301_swa_5a1_elicit_1.wav,"Je! Ule uovu wa Peori haututoshi, ambao hamjajitakasa nafsi zenu katika huo hata hivi leo." 200702-144301_swa_5a1_elicit_2.wav,Ijapokuwa ilikuja tauni juu ya mkutano wa Bwana. 200702-144301_swa_5a1_elicit_3.wav,Hata ikawa hamna budi hivi leo kugeuka na kuacha kumwandama Bwana? 200702-144301_swa_5a1_elicit_4.wav,"Kisha itakuwa, kwa kuwa ninyi mwamwasi Bwana hivi leo." 200702-144301_swa_5a1_elicit_5.wav,Kwamba kesho yeye atakasirika na mkutano wote wa Israeli. 200702-144301_swa_5a1_elicit_6.wav,Basi kwamba hiyo nchi ya milki yenu si tohara. 200702-144301_swa_5a1_elicit_7.wav,Ndipo ninyi vukeni na kuingia nchi ya milki yake Bwana. 200702-144301_swa_5a1_elicit_8.wav,"Ambayo maskani ya Bwana inakaa ndani yake, nanyi twaeni milki kati yetu." 200702-144301_swa_5a1_elicit_9.wav,"Lakini msimwasi Bwana, wala msituasi sisi." 200702-144301_swa_5a1_elicit_10.wav,"Kwa kujijengea madhabahu zaidi ya hiyo madhabahu ya Bwana, Mungu wetu." 200702-144301_swa_5a1_elicit_11.wav,Je! Huyo Akani mwana wa Zera hakukosa katika vile vitu vilivyowekwa wakfu. 200702-144301_swa_5a1_elicit_12.wav,Na hasira ikauangukia mkutano wote wa Israeli? 200702-144301_swa_5a1_elicit_13.wav,Kisha mtu huyo hakuangamia peke yake katika uovu wake? 200702-144301_swa_5a1_elicit_14.wav,"Ndipo hapo wana wa Reubeni, na wana wa Gadi, na hiyo nusu ya kabila ya Manase." 200702-144301_swa_5a1_elicit_15.wav,"Wakajibu, na kuwaambia hao waliokuwa ni vichwa vya maelfu ya Israeli, wakasema." 200702-144301_swa_5a1_elicit_16.wav,"Mungu, Mungu Bwana, naam, Mungu, Mungu Bwana, yeye yuajua, na Israeli naye atajua." 200702-144301_swa_5a1_elicit_17.wav,"Kama ni katika uasi, au kama ni katika kosa juu ya Bwana, (usituokoe hivi leo)." 200702-144301_swa_5a1_elicit_18.wav,Sisi kujijengea madhabahu ili kukengeuka na kuacha kumwandama Bwana. 200702-144301_swa_5a1_elicit_19.wav,"Au kama ni kusongeza juu yake sadaka ya kuteketezwa, au sadaka ya unga." 200702-144301_swa_5a1_elicit_20.wav,Au kama ni kusongeza sadaka za amani juu yake. 200702-144301_swa_5a1_elicit_21.wav,Yeye Bwana mwenyewe na alitake jambo hili. 200702-144301_swa_5a1_elicit_22.wav,"Au kama sisi tumefanya jambo hili kwa hadhari sana, tena makusudi." 200702-144301_swa_5a1_elicit_23.wav,"Huku tukisema, Katika siku zijazo wana wenu yamkini wakanena na wana wetu." 200702-144301_swa_5a1_elicit_24.wav,"Na kusema, Ninyi mna nini na Bwana, yeye Mungu wa Israeli?" 200702-144301_swa_5a1_elicit_25.wav,Kwa kuwa yeye Bwana ameufanya huu mto wa Yordani uwe mpaka katikati ya sisi na ninyi. 200702-144301_swa_5a1_elicit_26.wav,"Enyi wana wa Reubeni, na wana wa Gadi, hamna fungu katika Bwana." 200702-144301_swa_5a1_elicit_27.wav,Basi hivyo wana wenu wangewakomesha wana wetu wasimche Bwana. 200702-144301_swa_5a1_elicit_28.wav,"Kwa ajili ya hayo tulisema, Na tufanye tayari ili kujijengea madhabahu." 200702-144301_swa_5a1_elicit_29.wav,"Si kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, wala kwa sadaka yo yote." 200702-144301_swa_5a1_elicit_30.wav,"Bali itakuwa ni ushahidi kati ya sisi na ninyi, tena kati ya vizazi vyetu baada yetu." 200702-144301_swa_5a1_elicit_31.wav,Ili kwamba tufanye huo utumishi wa Bwana mbele yake kwa njia ya sadaka zetu. 200702-144301_swa_5a1_elicit_32.wav,"Za kuteketezwa, na kwa dhabihu zetu, na kwa sadaka zetu za amani." 200702-144301_swa_5a1_elicit_33.wav,Ili kwamba wana wenu wasiwaambie wana wetu katika zamani zijazo. 200702-144301_swa_5a1_elicit_34.wav,Ninyi hamna fungu katika Bwana. 200702-144301_swa_5a1_elicit_35.wav,"Kwa hiyo tulisema, Itakuwa, hapo watakapotuambia neno kama hilo." 200702-144301_swa_5a1_elicit_36.wav,Au kuwaambia watu wa vizazi vyetu katika zamani zijazo neno kama hilo. 200702-144301_swa_5a1_elicit_37.wav,"Ndipo sisi tutawaambia, Angalieni huu mfano wa madhabahu ya Bwana." 200702-144301_swa_5a1_elicit_38.wav,"Walioufanya baba zetu, si kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa." 200702-144301_swa_5a1_elicit_39.wav,Wala kwa ajili ya dhabihu; lakini ni ushahidi kati ya sisi na ninyi. 200702-144301_swa_5a1_elicit_40.wav,"Mungu na atuzuie msimwasi Bwana, na kukengeuka hivi leo na kuacha kumwandama Bwana." 200702-144301_swa_5a1_elicit_41.wav,"Hata mkajenga madhabahu kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, au sadaka za unga." 200702-144301_swa_5a1_elicit_42.wav,"Au dhabihu, mbali na ile madhabahu ya Bwana, Mungu wetu, iliyo huko mbele ya maskani yake." 200702-144301_swa_5a1_elicit_43.wav,"Basi Finehasi kuhani, na wakuu wa mkutano." 200702-144301_swa_5a1_elicit_44.wav,"Maana, ni hao waliokuwa vichwa vya maelfu ya Israeli waliokuwa pamoja naye." 200702-144301_swa_5a1_elicit_45.wav,Hapo walipoyasikia hayo maneno waliyoyasema hao wana wa Reubeni. 200702-144301_swa_5a1_elicit_46.wav,"Na wana wa Gadi, na wana wa Manase, maneno hayo yaliwaridhia sana." 200702-144301_swa_5a1_elicit_47.wav,"Naye Finehasi, mwana wa Eleazari, kuhani, akawaambia wana wa Reubeni." 200702-144301_swa_5a1_elicit_48.wav,"Na wana wa Gadi, na wana wa Manase, akasema." 200702-144301_swa_5a1_elicit_49.wav,Siku hii ya leo twajua ya kwamba Bwana yu kati yetu. 200702-144301_swa_5a1_elicit_50.wav,Kwa sababu hamkukosa katika jambo hili mbele ya Bwana. 200702-144301_swa_5a1_elicit_51.wav,Sasa ninyi mmewaokoa wana wa Israeli na mkono wa Bwana. 200702-144301_swa_5a1_elicit_52.wav,"Kisha Finehasi, mwana wa Eleazari, kuhani, na hao wakuu." 200702-144301_swa_5a1_elicit_53.wav,"Wakarudi na kuwaacha wana wa Reubeni, na wana wa Gadi." 200702-144301_swa_5a1_elicit_54.wav,"Wakatoka katika nchi ya Gileadi, na kuingia nchi ya Kanaani." 200702-144301_swa_5a1_elicit_55.wav,"Wakawarudia wana wa Israeli, wakawapa habari." 200702-144301_swa_5a1_elicit_56.wav,Wana wa Israeli nao wakaliridhia jambo hilo. 200702-144301_swa_5a1_elicit_57.wav,Nao wana wa Israeli wakamhimidi Mungu. 200702-144301_swa_5a1_elicit_58.wav,Wala hawakusema tena habari ya kuwaendea juu yao kupigana nao. 200702-144301_swa_5a1_elicit_59.wav,"Wala kuiharibu nchi waliyoikaa wana wa Reubeni, na wana wa Gadi." 200702-144301_swa_5a1_elicit_60.wav,"Basi hao wana wa Reubeni, na wana wa Gadi, wakaiita madhabahu hiyo Edi." 200702-144301_swa_5a1_elicit_61.wav,"Wakasema, Kwa kuwa ni ushahidi kati yetu ya kwamba yeye Bwana ndiye Mungu."