text
stringlengths 44
187k
| timestamp
timestamp[us] | url
stringlengths 16
3.37k
| dup_ids
list |
---|---|---|---|
Kwanini Waziri Magufuli amekosea | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Kwanini Waziri Magufuli amekosea
Discussion in 'Great Thinkers' started by Geza Ulole, Jan 3, 2012.
Kwanini Waziri Magufuli amekosea Tunapoongelea utawala wa haki na sheria tunazungumzia ufuataji wa sheria na taratibu zilizopo katika uendeshaji wa nchi yetu kila siku kwa maana tunajua nchi bila sheria na taratibu ni kama uwendawazimu! Sasa kama serikali yenyewe kupitia wizara ya Ujenzi haifuati utaratibu katika kupandisha nauli yaani inajipandishia bila idhini ya SUMATRA, je pale wauza mafuta wanapokataa kushusha bei za mafuta wanapoamriwa na EWURA tumlaumu nani? JK aliwalaumu wauza mafuta kwa kukataa kupunguza baei ya mafuta katika salamu zake za kufunga mwaka, je si muda muafaka pia kuanza kuwalaumu TEMESA pia kujipandishia bei bila ya kufuata taratibu yaani idhini ya EWURA? Au hizi sheria ziko kwa ajili ya wananchi wa kawaida tu? yaani wamiliki binafsi (hapa tunaongelea wa Kitanzania maana hata wale wa kigeni sheria huwapitia kando pitia suala la Songas na upandishaji wa bei ya gesi)!
Natoa ushauri tuangalie hii tabia ya kutofuata taratibu isije ikafika kiwango cha kutoweza kushikika/kuratibiwa maana tunaona hili ni janga la kitaifa maana mbali ya hii mada hata mavyuoni wakuu wa vyuo hawafuati taratibu na sheria, tunaona wanafuta serikali za wanafunzi kinyume na miongozo ya vyuo inavyosema! Vilevile tunaona mikopo wanapewa wasiostahili, mikataba pia inasainishwa kwa watu wasio na uwezo bila kufuata taratibu za utangazaji wa tenda! Hata bungeni napo chombo cha kutunga sheria wanajipandishia mishahara na kujilipa bila ya utaratibu! Mawizarani pia huko mishahara inalipwa kama wanavyojitakia wao (wakubwa) na hata malipo ya kampuni zinazojenga barabara zetu yanafanywa kwa matakwa ya wakuu wanavyojiskia na kusababisha gharama kuongezeka mara dufu maana kuna matozo ya muda wa nyongeza kwa kutozingatia muda wa mkataba uliowekwa! Tusisahau TANESCO nao naskia wako mbioni kuongeza umeme kwa 254.6% kwa kila unit ya umeme inayotumika! Sijawahi ona dunia hii gharama zikiongezeka zaidi ya 50% ya gharama halisi iliyopo ilhali mishahara ikibaki kama ilivyo na ongezeko la ukali wa maisha ukiwa juu ya 20%!
Kwa kifupi hii nchi baada ya kipindi kirefu cha kukosa "check and balance of power" inaelekea katika ile hali ya "failed state" maana kila vigogo (mawaziri na wale woote waliopewa dhamana) wanajiamulia tu kiutashi na matakwa yao na tunasubiri tu pale wananchi watakapochoka na hali halisi iliyopo na kuingia mitaani labda tuliyempa dhamana (kupitia kura) ya kuwaongoza wao (to check them) ataamka na kujua majukumu yake ni nini japokuwa atakuwa amechelewa! Jamani naombeni mtafakari hili...ninawasiwasi huu mwaka machafuko yatatokea maana hii serikali imeshindwa kuja na majawabu ya mambo muhimu kwa wananchi wake! Mungu ibariki Tanzania Last edited by Geza Ulole; Today at 17:35. MY TAKE
Moderator naomba usiiondoe hii topic watu wai-discusss
Did you mention Magufuli to call JF attantion?
Did you mention Magufuli to call JF attantion?Click to expand...
what do u think? the opinion doesn't make a sense to u?
what do u think? the opinion doesn't make a sense to u?Click to expand...
honestly, sijaiona sababu ya magufuli kuwa head of the topic sir!.. i like ur post but the tittle, no sir!
honestly, sijaiona sababu ya magufuli kuwa head of the topic sir!.. i like ur post but the tittle, no sir!Click to expand...
Kwa vile hufahamu taratibu za uendeshaji wa serikali! na si lazima utakachopenda wewe nami nipende ila ninakuhakikishia nilichoandika kimepimwa na kina nguvu ya hoja leta hoja tukujibu na uweke ushabiki pembeni!
| 2016-10-21T21:59:18 |
http://www.jamiiforums.com/threads/kwanini-waziri-magufuli-amekosea.208808/
|
[
-1
] |
i s a a c k i n . com: Kenya Yachunguza Taarifa Za Aliyemtesa Dk Ulimboka
SERIKALI YA KENYA: imesema inazifanyia kazi taarifa za raia wake kukamatwa na kufikishwa kortini nchini kwa tuhuma za kumteka na kufanya jaribio la kumuua Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania, Dk Steven Ulimboka.
Posted by isaackin at 05:31
| 2018-04-26T03:46:11 |
http://isaackin.blogspot.com/2012/07/kenya-yachunguza-taarifa-za-aliyemtesa.html
|
[
-1
] |
Serikali yapoteza Mil 39 | East Africa Television
Akizungumza leo jijini Arusha, Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Charles Kichere amesema kuwa, malori hayo yenye namba T 985 AJP na T 840 ABF yalikamatwa usiku wa tarehe 10 Mei, 2018 na kusisitiza kuwa wafanyabiashara wenye bidhaa hizo wamevunja sheria kwa kuwa hawakulipa kodi stahiki kama inavyotakiwa.
| 2018-08-17T12:57:50 |
https://www.eatv.tv/news/current-affairs/serikali-yapoteza-mil-39
|
[
-1
] |
FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI: MAALIM SEIF AWATAKA WASOMI WALIYOKUWEKO NJE WARUDI ZANZIBAR
Posted by FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI at 8:40 AM
| 2018-06-23T19:52:16 |
http://free-zanzibar.blogspot.com/2011/06/maalim-seif-awataka-wasomi-waliyokuweko.html
|
[
-1
] |
UKWELI KUHUSU TAARIFA YA MIKOPO KWA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU - HARAKATI ZA MTANZANIA
Home » »Unlabelled » UKWELI KUHUSU TAARIFA YA MIKOPO KWA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU
UKWELI KUHUSU TAARIFA YA MIKOPO KWA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU
Posted by Bertha Mollel at 7:16 AM
| 2018-02-17T19:47:39 |
http://berthamollel.blogspot.com/2013/08/ukweli-kuhusu-taarifa-ya-mikopo-kwa.html
|
[
-1
] |
Wabunge 'wamesota' hata wanashindwa kulipa kodi nyumba ▷ Tuko.co.ke
Wabunge 'wamesota' hata wanashindwa kulipa kodi nyumba
Maoni: 2192
- Mbunge huyo wa Homa Bay anadai kuwa baadhi ya wabunge wanatumia chumba kimoja mtaa wa Kilimani
- Wabunge wachache tu ndio wenye uwezo wa kulipa mikopo
- Peter Kaluma pia anadai kuwa wakati mwingine analazimika kupeleka nyumbani KSh 42 baada ya kukatwa
Mbunge wa Homa Bay mjini, Peter Opondo Kaluma, amewatetea wenzake kuhusu madai ya kusisitiza kupewa marupurupu ya nyumba, kwa kusema kuwa wabunge hawana pesa.
Akizungumza katika kikao na wanahabari mnamo Alhamisi, Juni 13, mbunge huyo wa chama cha ODM, pia alidai baadhi ya wabunge wanaishi katika nyumba ya wajakazi huku wengine watatu ambao alibana majina yao, wakitumia chumba kimoja.
Habari Nyingine: Bajeti ya 2019/20 kuwabebesha maskini mzigo mkubwa huku ikiwakaba koo
Mbunge wa Homa Bay mjini Peter Kaluma anayedai kupokea mshahara wa KSh 42 kila mwezi. Picha: George Peter Opondo Kaluma/Facebook.
Habari Nyingine: Mbunge wa Nakuru East amuomba msamaha Matiang' i kwa kuvuruga polisi
"Baadhi ya wabunge wanaishi katika barabara ya River-road huku kukiwa na habari za wabunge kushambuliwa katika mahali wasipo faa kupatikana. Kuna siku nimemfikisha mwenzangu kutoka Pwani kwa makazi yake Kilimani na kupata wabunge watatu katika chumba kimoja," alidokeza mwanasiasa huyo.
Licha ya wabunge kupewa mikopo ya nyumba ya KSh 35 milioni, Kaluma anadai kuwa ni asilimia 5 pekee ya wabunge waliochukua mikopo hiyo huku wengine wakikosa uwezo wa kulipa mkopo huo.
"Ni Asilimia 5 tu ya wabunge waliochukua mikopo kwani wengine hawana uwezo wa kuichukua. Nilipochukua mkopo wangu, nilisalia na KSh 45 pekee kwenye akaunti yangu. Tumejinyima sana kwa minajili ya kuweza kuwasaidia Wakenya." Kaluma aliongezea.
"Ni Asilimia 5 tu ya wabunge waliochukua mikopo kwani wengine hawana uwezo wa kuichukua. Nilipochukua mkopo wangu, nilisalia na KSh 45 pekee kwenye akaunti yangu. Tumejinyima sana kwa minajili ya kuweza kuwasaidia Wakenya." alisema
Wabunge hao kupitia kwa tume ya kuaajiri wafanyikazi wa umma, wanasisitiza kuwa marupurupu hayo ya nyumba yatawaathiri wabunge katika utendaji kazi zao.
"Ni kwa maslahi ya umma kuwa wabunge wanasikizwa na SRC ili kuweza kutekeleza majukumu yao," tume ya PSC ilisema baada ya mahakama kusitisha malipo hayo hadi Juni 22.
Kcb mpesa Congratulatory message Pilau recipe Bible quotes Nssf registration
| 2019-06-18T19:40:49 |
https://kiswahili.tuko.co.ke/308047-wabunge-wamesota-hata-wanashindwa-kulipa-kodi-nyumba.html
|
[
-1
] |
Anroid Programu SMS Orodha Kwa Whatsapp - iSpyoo Mkono kupeleleza App - Best ufuatiliaji Maombi Kwa GPS Tracking Mahali, Kiini Simu kupeleleza App, Android kupeleleza App,Kupeleleza Whatsapp
| 2018-11-14T20:35:31 |
https://ispyoo.com/sw/anroid-app-sms-track-for-whatsapp/
|
[
-1
] |
M23 yabadilisha jina la jeshi lake | Matukio ya Kisiasa | DW | 22.10.2012
M23 yabadilisha jina la jeshi lake
Kundi la waasi la M23 katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, linaloshutumiwa kuzusha vurugu mashariki mwa nchi hiyo, limesema limebadili jina la tawi lake la kijeshi na linajiandaa kuzima mashambulio mapya dhidi yake.
Wapiganaji wa kundi la waasi la M23
Kwa mujibu wa Kiongozi wa kundi hilo Jean-marie Runiga, sasa tawi la kijeshi la kundi hilo litajulikana kama Jeshi la Kimapinduzi la Kongo (ARC). Katika mahojiano na mwandishi wetu wa Goma, Runiga pia amesema kamanda wa jeshi hilo Kanali Makenga Sultani amepandishwa cheo kuwa Jenerali.
Jumuiya za haki za binaadamu zinalishutumu kundi la M23 kwa kuwabaka wanawake na wasichana pamoja na kufanya mauaji wakati likipigana na jeshi la serikali. M23 iliundwa mwezi Mei na wapiganaji wa zamani katika kundi la waasi wa Kitutsi ambao walijumuishwa katika jeshi la taifa, kutokana na mkataba wa amani wa 2008. Waasi hao wanadai matakwa yao hayakutekelezwa.
Hofu ya kuzuka kwa mapigano mapya
Machafuko mapya mashariki mwa Kongo yamewafanya raia wengi kuyahama makaazi yao
Hatua hiyo ya waasi wa M23 hata hivyo imekuja siku moja baada ya Kiongozi wake Runiga kusema kwamba huenda mapigano yakaanza tena karibuni ikiwa serikali itakataa kuzungumza na kundi hilo.
Nchi jirani ya Rwanda imekuwa ikishutumiwa kwa kuwaunga mkono waasi wa M23 , shutuma ambazo viongozi wa Rwanda wamezikanusha vikali.
Kwa upande mwingine baada ya ripoti ya tume ya wataalamu wa Umoja wa mataifa kumhusisha moja kwa moja waziri wa ulinzi wa Rwanda Jenerali James Kabarebe kuwa ndiye mwenye kuliamrisha kundi hilo , hivi karibuni ripoti nyingine ya Umoja huo ikaitaja pia Uganda.
Ripoti yake ilisema maafisa wa ngazi ya juu wa Uganda wameipa M23 wanajeshi na silaha pamoja na msaada wa kiufundi. Ripoti hiyo pia imeituhumu Uganda kutoa ushauri wa kisiasa kwa kundi hilo na kulirahisishia mahusiano ya kigeni.
Uganda imekanusha kuhusika na harakati za M23. Karibu watu laki tano wamelazimika kuyahama makaazi yao kwa sababu ya harakati za kijeshi za waasi hao, mashariki mwa Kongo.
Afisa mmoja wa polisi wa Kongo aliyekimbilia nchi isiyojulikana adai rais Joseph Kabila alitoa amri ya kuuliwa mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu Floribert Chebeya mwaka 2010 (17.10.2012)
Ripoti ya Umoja wa Mataifa iliotolewa hii leo inasema waziri wa ulinzi wa Rwanda aliamuru uasi Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, unaofanywa na kundi la M23 linalopewa silaha na Rwanda na Uganda. (17.10.2012)
Rais Francois Hollande ameishutumu serikali ya Kongo kwa kukiuka haki za binadamu,na kutoa wito wa kusitishwa kwa mzozo wa mashariki ya nchi hiyo wakati wa mkutano wa viongozi wa Francophonie Jumamosi(13.10.2012) (14.10.2012)
Sikiliza mazungumzo kati ya John Kanyunyu na kiongozi wa chama cha M23 (22.10.2012)
Maneno muhimu M23, Kubadilisha jina
Kiungo https://p.dw.com/p/16UHy
| 2019-07-16T09:19:20 |
https://www.dw.com/sw/m23-yabadilisha-jina-la-jeshi-lake/a-16322738
|
[
-1
] |
Ifahamu Sera ya Diaspora Zanzibar - ZanziNews
Home HABARI Ifahamu Sera ya Diaspora Zanzibar
Ifahamu Sera ya Diaspora Zanzibar
#Sera ya Diaspora ya Zanzibar inafafanua misingi ya kufaidika na michango ya Wanadiaspora wa Zanzibar kwa maendeleo ya Zanzibar kiuchumi na kijamii, wakati huo huo inaweka wazi mahitaji yao kwa kuweka utaratibu mzuri utakaosaidia kujenga uaminifu na utakaowavutia Wanadiaspora hao kuimarisha mahusiano na Nchi Yao ya asili.
# Kazi ya kuandaa Sera hii ilifanywa na Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, kupitia vikao vya kukusanya maoni kutoka kwa Wanadiaspora wenyewe na kupata mapendekezo muhimu yaliyosaidia katika kutengeneza Sera hii. Aidha, mchakato wa kutayarisha Sera hii uliendelea kwa kufanya mapitio ya nyaraka rasmi na zisizo rasmi zilizochapishwa zenye uhusiano wa moja kwa moja na Sera hii.Vile vile, majadiliano yalifanywa katika makundi maalum, watu mbalimbali mashuhuri Serikalini, Taasisi Binafsi, Asasi za Kiraia, Wanadiaspora waliorejea nyumbani na hatimae kwa wanachama wa Jumuiya za Diaspora.
# Masuala ya Diaspora Yana umuhimu mkubwa na yanafahamika kuwa ni nguzo muhimu katika maendeleo ya nchi. Hii ndio sababu iliyopelekea kuliingiza suala hili katika Sera na hatimae kuingizwa rasmi katika mikakati ya maendeleo ya Zanzibar.
# Sera hii imeweka Dira, Dhamira, malengo na muundo wa kitaasisi uliowazi na utakaowezesha Diaspora kwa ufanisi mkubwa kuchangia maendeleo ya nchi yao ya asili.
# Serikali imejizatiti kuhakikisha kuwa Sera ya Diaspora ya Zanzibar inatekelezwa kwa ufanisi na inatoa matokeo yaliyokusudiwa.
# Katika kuhakikisha utekelezaji wa Sera ya Diaspora ya Zanzibar unafanikiwa, uwekaji wa mazingira mazuri na uanzishaji mfumo bora zaidi wa kisheria katika uendeshaji wa suala la Diaspora ni jambo la msingi.
# Kwa kuzingatia hilo, Serikali itahakikisha Idara inayosimamia Wazanzibari wanaoishi nje ya Nchi inafanya kazi kwa kushirikiana na wadau wengine katika kufuata taratibu zilizowekwa na Sera.
# Muda uliopangwa kufikia lengo unahitaji kuchungwa vizuri na kuwekewa miundombinu mizuri kwa ajili ya ufuatiliaji na tathimini.
# Pamoja na Utangulizi, Sera hii kwa ujumla ina sehemu kuu tano;
Sehemu ya kwanza inaelezea historia na hali halisi ya Diaspora wa Zanzibar, Dira, Dhamira, Tunu na Miongozo ya Sera.
Sehemu ya pili ya Sera inafafanua Diaspora wa Zanzibar.
Sehemu ya tatu inaonesha Mantiki na Malengo ya Sera.
Sehemu ya nne inatoa Matamko ya Kisera na Mikakati na Malengo ya Sera.
Sehemu ya tano na ya mwisho, inaelezea kazi na majukumu ya Taasisi mbalimbali ambazo ni wahusika katika utekelezaji wa Sera hii na mapendekezo ya taratibu za ufuatiliaji na tathimini yake.
# Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi inawashukuru Wahusika wote, Taasisi na watu binafsi waliochangia katika kuifanikisha Sera hii ya Diaspora Zanzibar.
# Matarajio yetu ni kwamba matokeo ya utekelezaji wa Sera hii yatasaidia katika kuonesha umuhimu wa Wanadiaspora katika kuchangia maendeleo ya Nchi yao na vile vile kuimarisha ukuaji na ustawi wa Wanadiaspora.
DIBAJI HII IMETOLEWA NA :-
WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI MHE ISSA HAJI USSI GAVU
IMEANDALIWA NA :-
IDARA YA HABARI ( MAELEZO) ZANZIBAR
| 2019-04-25T10:51:53 |
http://www.zanzinews.com/2018/05/ifahamu-sera-ya-diaspora-zanzibar.html
|
[
-1
] |
Maendeleo ya Lugha ya Kiswahili Afrika Mashariki ~ Mwalimu Makoba commented");if(n_rc==true){document.write(" on "+b)}document.write(": ");if(j.length“");document.write(j);document.write("”
Maendeleo ya Lugha ya Kiswahili Afrika Mashariki
Jadili maendeleo ya lugha ya Kiswahili katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Kila siku lugha ya Kiswahili inazidi kupata maendeleo katika nchi za Afrika Mashariki. Maendeleo haya yanaendana na kuongezeka kwa msamiati wa lugha ya Kiswahili, lakini pia,kuongezeka kwa watumiaji wa lugha ya Kiswahili. Nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki ni: Tanzania, Kenya, Uganda, Burundi na Rwanda. Lugha ya Kiswahili imepata maendeleo makubwa katika nchi hizi. Nchini Tanzania, matumizi ya Kiswahili ni makubwa zaidi kwa sababu lugha hii inatumika kuyaunganisha makabila zaidi ya 120 yaliyopo nchini humu. Kenya inafuata kwa kuwa na wazungumzaji wengi. Uganda, Burundi na Rwanda bado zinajikongoja, hata hivyo, hatua zilizopigwa na lugha ya Kiswahili katika nchi hizo si haba. Kwa mujibu wa Choge (2006), katika Afrika Mashariki, hila za watu kukidunisha na kukitokomeza Kiswahili mpaka sasa zimegonga mwamba. Kiswahili kimeimarika na kimepata nafasi ya kuingia katika mkondo wa teknolojia ya habari na mawasiliano. Yafuatayo ni maendeleo ya lugha ya Kiswahili katika nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki:
Kiswahili kinafundishwa na kutahiniwa katika shule na vyuo katika nchi zote za ukanda wa Afrika Mashariki. Kiswahili ni somo mojawapo miongoni mwa masomo yanayofundishwa katika nchi za ukanda wa Afrika wa mashariki. Ufundishwaji wa somo la Kiswahili umezidi kuimarishwa kila mwaka ili kuweza kutoa wanafunzi wenye maarifa na ujuzi wa lugha ya Kiswahili. Hali hii imeimarisha lugha ya Kiswahili kwa kuifanya ipate wazungumzaji wengi. Mfano, wanafunzi wanao soma lugha ya Kiswahili katika nchi za Afrika mashariki, wamekuwa watumiaji wazuri wa lugha hii jambo linalohamashisha watu wengine pia wazungumze lugha ya Kiswahili na kuifanya lugha izidi kukua. Pia, kuongezeka kwa watumiaji Afrika ya Mashariki, kutafanya nchi zingine zivutiwe na kuanza kujifunza Kiswahili.
Idadi ya watu wanaozungumza lugha ya Kiswahili inaongezeka kila siku. Nchi za Afrika mashariki zimekuwa na ongezeka kubwa la wazungumzaji wa lugha ya Kiswahili. Mfano, katika nchi hizi, kila mwaka watoto karibu milioni moja hujiunga darasa la kwanza la shule za msingi ambapo Kiswahili ni somo la lazima. Pia, zaidi ya watu milioni mia moja wanazungumza lugha ya Kiswahili katika nchi za Afrika Mashariki. Kuongezeka kwa idadi ya wazungumzaji, kunaifanya lugha ya Kiswahili izidi kuongezeka thamani kila siku. Idadi hii inafungua fursa ya ajira kwa walimu wa somo la Kiswahili.
Kiswahili ni ‘lingua franca’ ya nchi zote za Afrika Mashariki. Kwa kuwa jamii ya Afrika mashariki ina wazungumzaji wa lugha nyingi, Kiswahili kimesalia kuwa lugha inayowaunganisha watu hawa wenye lugha nyingi. Mfano, huko Kenya na Uganda ukiondoa lugha za makabila, watu wengi hutumia Kiingereza. Huko Burundi watu hutumia Kirundi na huko Rwanda watu huzungumza Kinyarwanda. Lugha moja inayowaunganisha wana Afrika mashariki wenye lugha nyingi hizi ni Kiswahili. Pengine bila Kiswahili, ingekuwa vigumu sana kuwaunganisha wana Afrika mashariki. Kazi inayofanywa na lugha ya Kiswahili katika kuwaunganisha watu wa Afrika Mashariki ni sawasawa na kazi inayofanywa na lugha ya Kiingereza kuwaunganisha watu wa Dunia nzima.
Maandishi kwa Kiswahili yanachapishwa kwa wingi katika nchi za Afrika Mashariki. Nchini Tanzania vitabu vingi vya Kiswahili vinaandikwa mfano: vitabu vya sarufi, fasihi na aina nyinginezo za vitabu. Pia, huko Kenya kuna waandishi wengi wa kazi za Kiswahili kama Profesa Wamitila. Waandishi wa kazi za Kiswahili wapo wengi Afrika Mashariki. Kutokana na kukua kwa teknolojia, sasa Kiswahili kinaandikwa mitandaoni na kinajipatia wasomaji wengi na kufanya idadi ya watumiaji iongezeka maradufu. Hivyo ni ukweli kuwa, Kiswahili ni lugha ambayo inaendana na maendeleo makubwa ya kiteknolojia Duniani.
Wasanii wa muziki Afrika Mashariki wanaimba kwa lugha ya Kiswahili. Huko nchini Kenya, kundi la muziki la ‘sauti soul’, huimba nyimbo zake kwa lugha ya Kiswahili. Jose Chameleon wa Uganda, huimba nyimbo zake kwa lugha ya Kiswahili. Pia, mwanamuziki Kidumu wa Burundi, amekuwa akiimba nyimbo zake kwa lugha ya Kiswahili. Nchini Tanzania, wanamuziki wengi zaidi wanatumia lugha ya Kiswahili. Mifano, Diamond na Alikiba. Wanamuziki wa Afrika mashariki wamegundua kuwa, kuna biashara nzuri ya mziki ukiimb kwa lugha ya Kiswahili tofauti na ukimba kwa lugha ya Kiingereza.
Kiswahili kinatumika katika vyombo vya habari. Vyombo vya habari vya Afrika mashariki kama redio, televisheni na magazeti, vinatumia lugha ya Kiswahili kufikisha habari kwa wananchi. Nchini Tanzania, gazeti la Mwananchi, Redio ya taifa (TBC), na televisheni ya ITV, Kiswahili kinatumika katika kurusha matangazo. Ipo mifano mingi ya Televisheni, magazeti na redio yanayorusha matangazo kwa Kiswahili katika nchi nyingi zaidi za Afrika Mashariki.
Ipo mpango ya kukifanya Kiswahili kuwa lugha ya kufundishia kutoka shule za msingi mpaka chuo Kikuu. Mpango huu ulitajwa katika sera ya elimu ya mwaka 2014 ambayo ilisema kuwa, nchini Tanzania lugha ya Kiswahili itatumika kama lugha ya kufundishia shule za msingi mpaka chuo kikuu. Mpango huu ukifanikiwa nchini Tanzania, basi hapana shaka kuwa, utaweza kufanikiwa hata katika nchi zingine za Afrika Mashariki kama: Kenya, Uganda, Burundi na Rwanda.
Kuongezeka kwa msamiati wa lugha ya Kiswahili. Maneno mengi yameongezeka katika lugha ya Kiswahili. Miongoni mwa maneno hayo ni kama: mubashara, tafrija mchapalo, vibanzi na sharubati. Hii ni ishara kuwa, lugha ya Kiswahili inaweza kutumika sehemu yoyote kwa sababu ina msamiati wa kutosha. Maneno ya wapinzani wa lugha ya Kiswahili kuwa lugha hii haina msamiati wa kutosha hayana nafasi tena.
Maendeleo haya ya lugha ya Kiswahili Afrika ya Mashariki hayajapatikana kwa usiku mmoja. Mapambano yalianza hata kabla ya ukoloni, wakati wa ukoloni na baada ya kupata uhuru. Bado kiswahili kinapiga hatua bila kujali changamoto zilizopo ambazo ni: baadhi ya watu kuamini Kiswahili hakistahili kupewa hadhi ikiwemo hadhi ya kutumika kufundishia chuo Kikuu. Changamoto nyingine ni ulegevu wa sera ya lugha, ulegevu huu unafanya lugha za kigeni zipate mianya ya kupenya na kukifanya Kiswahili kisipewe nafasi. Pia, mawimbi mazito ya tamaduni za kigeni, yanawafanya vijana wetu wapuuze lugha ya Kiswahili. Changamoto hii inasababishwa kwa kiasi kikubwa na vyombo vya habari. Yote kwa yote, lugha ya Kiswahili imepiga hatua kubwa. Ni wajibu wa kila mwana Afrika ya Mashariki kuhakikisha kuwa lugha ya Kiswahili inakua na kufika mbali.
John James na Mduda FAustiono. (2012). Kiswahili Kidato cha Tano na Sita. Dar es Salaam: Oxford University Press.
Kiango, J.G. (hakuna mwaka). Nafasi ya Kiswahili Katika Ujenzi wa Jamii Mpya ya Afrika Mashariki (makala). University of Dar es Salaam, Tanzania.
Mbunda, F. (1976). Mwalimu wa Kiswahili. DSM: OUP.
| 2020-04-01T20:43:03 |
https://www.mwalimumakoba.co.tz/2020/03/maendeleo-ya-lugha-ya-kiswahili-afrika.html
|
[
-1
] |
Matokeo 14391 yamepatikana
Alhamisi, 10:19
TSh 2,327,000 / ekari
Ijumaa, 09:40
5. Nov, 08:49
6. Nov, 11:59
5. Nov, 09:06
processor 2.60GHz hard disk 320gb RAM 4gb display 13inches active CD ROM battery 3hrs
287 Arusha
13344 Dar Es Salaam
139 Dodoma
6 Geita
51 Kilimanjaro
71 Other Location
36 Tanga
187 Imeboreshwa
2226 Imetumika
945 Imetumika nje ya nchi
5080 Mpya
| 2019-12-09T11:04:50 |
https://www.zoomtanzania.com/sw/classifieds?p=2
|
[
-1
] |
PressReader - Dimba: 2018-12-05 - Si kila anayefanya kosa amekusudia
Si kila anayefanya kosa amekusudia
S IFA nyingi ziende kwa Mungu wetu aliyeumba ardhi na mbingu ambaye ameweza kutuwezesha kuikuta Jumatano ya kwanza katika mwezi Desemba ambao ni wa mwisho kwenye mwaka 2018.
Kama ilivyo kawaida ya kila Jumatano, tunakuwa pamoja katika safu pendwa ya Filamu za Kibongo zenye lengo la kutoa burudani na kutuelimisha mambo mbalimbali ya maisha ya kila siku.
Siku ya leo tunaiangalia filamu ya Uwoga inayowakutanisha wasanii mbalimbali wakiwemo Rehema Ally ‘Rihama’, Hashim Kambi ‘Mzee Kambi’ Mohamed Fungafunga ‘Mzee Jengua’ Abadallah Hamisi ‘Dulla’, David Justine na wengine wengi.
Filamu hiyo inaanza kwa kumwonyesha Munira ambaye ni mdogo wa Riyama akikimbizwa na watu waliotumwa na baba yake mdogo ‘Mzee Kambi’. Katika kutaka kujinasua anaingia kwenye chumba cha Dulla ambayo kilikuwa wazi.
Akiwa chumbani humo anatafuta sehemu ya kujificha, lakini mara anaingia Dulla na kushangaa kumwona binti akilia ndani kwake na anapojaribu kumuuliza anapewa majibu kuwa wanataka kumuua.
Dulla anakwenda kumuomba ushauri jirani yake ambaye naye anamtaka akatoe taarifa kwa mjumbe wa nyumba 10, lakini kwa bahati mbaya anaambiwa amesafiri lakini anamueleza mke wa mjumbe juu ya kile kilichomkuta kwa pamoja wanashauriana wamuache alale usiku huo na asubuhi ndio aondoke.
Dulla anakubaliana na ushauri huo lakini kwa bahati mbaya anapoamka asubuhi anamkuta Munira amefariki na hivyo anaingiwa na hali ya uoga kiasi cha kuchukua maamuzi ya kuuweka mwili wa Munira katika gunia kisha kwenda kumzika.
Baada ya siku mbili anaonekana Jengua akigombana na Kambi akimtaka arejeshe fedha zake alizompa kwani binti ambaye alipanga kumuoa (Munira) anatoroka.
Kambi anamuahidi kumtafuta Munira na anamlazimisha akubali kuolewa na ndipo Kambi anapompa taarifa Riyama juu ya kupotea kwa mdogo wake pamoja na harakati za kumtafuta zinavyoendelea. Riyama anasikitishwa na taarifa za mdogo wake amekimbia nyumbani baada ya kuwepo kwa suala la kulazimishwa kuolewa kwani kitu hiko ndicho kilichomkimbiza pia yeye kwa mjomba wake. Katika hangaika ya kumtafuta Munira, Riyama anakumbuka kuwa Dulla aliwahi kumwambia kuna msichana amekimbilia ndani kwake na hivyo kuwaeleza polisi juu ya jambo hilo na ndipo Dulla anapokamatwa kisha kukiri kufanya jambo hilo. Dulla anawapeleka polisi mahali alipoufukia mwili wa Munira na wanapoupeleka hospitali wanagudua Munira alifariki kwa presha na wala hakuuliwa kama ilivyokuwa ikidhaniwa na mwisho Dulla anaachwa huru.
...lakini kwa bahati mbaya anaambiwa amesafiri lakini anamueleza mke wa mjumbe juu ya kile kilichomkuta kwa pamoja wanashauriana wamuache alale usiku huo na asubuhi ndio aondoke.
| 2018-12-17T18:58:00 |
https://www.pressreader.com/tanzania/dimba/20181205/281805695003470
|
[
-1
] |
Tofauti kati ya marekesbisho "Morisi" - Wikipedia, kamusi elezo huru
Tofauti kati ya marekesbisho "Morisi"
Morisi (hariri)
Pitio la 10:50, 5 Novemba 2014
529 bytes added , miaka 5 iliyopita
Pitio la 06:14, 28 Oktoba 2014 (hariri)
(→Wakazi)
Pitio la 10:50, 5 Novemba 2014 (hariri) (tengua)
|areami²= 787<!-- Do not remove per [[WP:MOSNUM]] -->
|percent_water =0.05
|population_estimate =1,230261,602208 <!--cia-->
|population_estimate_rank = ya 155156
|population_estimate_year =Julai 20052014
|population_census = 1,259,838
|population_census_year = 12013
|population_density =603618
|population_densitymi² = 1,564<!-- Do not remove per [[WP:MOSNUM]] -->
|population_density_rank =ya 1119
[[Picha:Mauritius-CIA WFB Map.png|thumb|150px|left|Ramani ya kisiwa cha Morisi]]
'''Morisi''' inaitwani [[kisiwa]] karibu na [[Afrika]], pia ni [[nchi]] inayoitwa rasmi '''Jamhuri ya Morisi''' (Kiingereza: ''Republic of Mauritius'', [[Kifaransa]]: ''République de Maurice'') ni [[nchi ya visiwa]] katika [[Bahari Hindi]] takriban 900 km mashariki yakwa [[Madagaska]] na 4000 km kusini-magharibi yakwa [[Bara Hindi]]. Eneo la jamhuri ni pamoja na kisiwa cha Morisi yenyewe, kisiwa cha [[Rodrigues (kisiwa)|Rodrigues]], visiwa vidgo vya [[Cargados Carajos]] na [[Agalega]]. Hivi vyote ni sehemu ya [[funguvisiwa]] ya [[Maskarena]] pamoja na kisiwa cha kifaransa cha [[Réunion]]. Mji mkuu wa jamhuri ni [[Port Louis]].
Nchi ilipata [[uhuru]] tarehe [[12 Machi]] [[1968]], ikawa jamhuri tarehe hiyohiyo mwaka [[1992]].
Eneo la [[jamhuri]] ni pamoja na [[kisiwa]] cha Morisi yenyewe, kisiwa cha [[Rodrigues (kisiwa)|Rodrigues]], visiwa vidogo vya [[Cargados Carajos]] na [[Agalega]].
Hivi vyote ni sehemu ya [[funguvisiwa]] ya [[Maskarena]] pamoja na kisiwa cha Kifaransa cha [[Réunion]].
[[Mji mkuu]] wa jamhuri ni [[Port Louis]].
== Eneo la Jamhuri ya Morisi ==
Visiwa vya jamhuri vimesambaa katika [[eneo]] pana sana:
Kisiwa kikuu cha '''Morisi''' ni 1,865km² au 91 % za [[ardhi]] yote ya jamhuri. Karibu wote wa wakazi milioniwote (1.2,261,208) huishi hapo.
Kisiwa cha '''Rodrigues''' kipo 560 km mashariki yakwa Morisi yenyewe. Eneo lake ni 109 km²; kuna wakazi 4041,000.
[[Picha:Makarena.PNG|thumb|left|300px|Visiwa vya Makarena kati ya visiwa vya Kiafrika katika Bahari Hindi]]
Visiwa vya '''Cargados Carajos''' (vianitwavinaitwa pia '''Saint Brandon''') ni visiwa 16 vidogo sana, vyenye eneo la 1.3 km² pekee. Viko 300 km kaskazini yakwa MorosiMorisi. Kuna wakazi wachachemia chache [[wavuvi]].
'''Agalega''' ni visiwa viwili, yaani Kisiwa cha Kaskazini na Kisiwa cha Kusini, takriban 1,122 Km kaskazini yakwa Morisi yenyewe. Visiwa hivyo vina eneo la 70 km². Kuna vijiji vya Vingt Cinq na La Fourche kwenye kisiwa hacha kaskazini na [[kijiji]] cha Ste Rita kwenye kisiwa cha kusini. [[Wenyeji]] wanalima mazaoma[[zao]] ya [[mnazi]] pamoja na [[mboga]] wakwa [[matumizi]] waoyao wenyewe.
== Wakazi ==
Watu wa Morisi ni [[mchanganyiko]] mkubwa kutokana na [[historia]] ya visiwa hivi. Wakazi wa kwanza walikuwa Waholanzi hawakuacha dalili isipokuwa majina ya mahali kwa sababu waliacha visiwa na kuondoka mwaka 1710 baada ya kushindwa kiuchumi.
Baada ya Waarabu na Wareno kuvumbua Morisi, wakazi wa kwanza ([[1638]]) walikuwa [[Waholanzi]], lakini hawakuacha [[dalili]] isipokuwa majina ya mahali kwa sababu waliacha visiwa na kuondoka mwaka [[1710]] baada ya kushindwa ki[[uchumi]].
Wafaransa walitawala visiwa kati ya 1715 hadi 1810. Walianzisha miji na mashamba ya miwa. Nje ya walowezi Wafaransa walipeka pia watumwa kutoka Afrika. Mwaka 1767 walikuwepo Wafaransa 3,163 pamoja na watumwa Waafrika 15,000 pia Wahindi 587. ▼
▲[[Wafaransa]] walitawala visiwa kati ya [[1715]] hadi [[1810]]. Walianzisha miji na mashambama[[shamba]] ya [[miwa]]. Nje ya [[walowezi]], Wafaransa walipekawalipeleka pia [[watumwa]] kutoka [[bara]] la [[Afrika]]. Mwaka [[1767]] walikuwepo Wafaransa 3,163 pamoja na watumwa Waafrika 15,000, pia [[Wahindi]] 587.
[[Uingereza]] ulichukua utawala wa visiwa mwaka 1810 katika vita dhidi ya [[Napoleon Bonaparte|Napoleon]]. Tangu siku zile Kiingereza kilikuwa lugha rasmi ya serikali lakini wakazi waliendelea kutumia lahaja ya [[Kifaransa]]. Baada ya kuwapatia watumwa uhuru Waingereza walileta Wahindi wengi baadaye pia Wachina kama wafanyakazi kwenye mashamba ya sukari. Leo hii idadi kubwa ya wakazi ni wa asili ya Kihindi. ▼
▲[[Uingereza]] ulichukua [[utawala]] wa visiwa mwaka 1810 katika [[vita]] dhidi ya [[Napoleon Bonaparte|Napoleon]]. Tangu siku zile [[Kiingereza]] kilikuwa [[lugha rasmi]] ya [[serikali]], lakini wakazi waliendelea kutumia [[lahaja]] yaza [[Kifaransa]]. Baada ya kuwapatia watumwa uhuru Waingereza walileta Wahindi wengi baadaye pia Wachina kama wafanyakazi kwenye mashamba ya sukari. Leo hii idadi kubwa ya wakazi ni wa asili ya Kihindi.
Lakini 80% ya wananchi hutumia aina ya [[Kifaransa]] kama lugha ya kwanza (pamoja na [[krioli]] ya [[Kimorisyen]]. Asilimia 15 hutumia lugha za Kihindi kama vile [[Kiurdu]], [[Kitamil]] au [[Kibhojpuri]], wengine Kichina na [[Kiingereza]]. ▼
Baada ya kuwapatia watumwa [[uhuru]], Waingereza walileta Wahindi wengi, baadaye pia [[Wachina]] kama [[wafanyakazi]] kwenye mashamba ya [[sukari]]. Leo hii idadi kubwa ya wakazi ni wa asili ya Kihindi.
Karibu nusu ya wakazi hufuata dini ya Uhindu, 35% Ukristo (hasa Wakatoliki), 12% ni Waislamu Wasunni, 3% Washia, 1% Wabuddha.▼
▲Lakini 80% ya wananchi hutumia aina ya [[Kifaransa]] kama [[lugha ya kwanza]] (pamoja na [[krioli]] ya [[Kimorisyen]]. [[Asilimia]] 15 hutumia lugha za Kihindi kama vile [[KiurduKibhojpuri]], [[KitamilKiurdu]] au, [[KibhojpuriKitamil]], na wengine [[Kichina]] na [[Kiingereza]].
▲Karibu nusu (48.5%) ya wakazi hufuata [[dini]] ya [[Uhindu]], 3532.7% [[Ukristo]] (hasa [[Wakatoliki]]), 1217.3% ni [[Waislamu]] (hasa [[Wasunni]], 3%lakini pia [[Washia]]), 10.4% [[Wabuddha]].
Hadi leo [[kilimo]] cha miwa (sukari) ni mgongo[[uti wa utimgongo]] wa uchumi wa Morisi. Nchi iliendelea na serikali zilizochaguliwa bila kupinduliwa na hali hii ya utulivu ilisaidia kukua kwa uchumi. Hali ya maisha ni juu kuliko nchi nyingi za Afrika.
Nchi iliendelea na serikali zilizochaguliwa bila kupinduliwa: hali hii ya [[utulivu]] ilisaidia kukua kwa uchumi. Hali ya maisha ni ya juu kuliko nchi nyingi za Afrika.
* [[Utalii nchini Morisi]]
{{mbegu-jio-Afrika}}
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/wiki/Maalum:MobileDiff/935551"
| 2020-08-09T03:29:43 |
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Maalum:MobileDiff/935551
|
[
-1
] |
Mkurugenzi wa Masoko wa Serengeti Breweries Bw. Ephraim Mafuru akimkabidhi kadi ya gari mshindi wa gari wa shindano la Vumbua Hazina | Habari Tanzania
Mkurugenzi wa Masoko wa Serengeti Breweries Bw. Ephraim Mafuru akimkabidhi kadi ya gari mshindi wa gari wa shindano la Vumbua Hazina Mkurugenzi wa Masoko wa Serengeti Breweries Bw. Ephraim Mafuru akimkabidhi kadi ya gari mshindi wa gari wa shindano la Vumbua Hazina chini ya Kizibo Bw. Amin Joseph Maro kwenye hafla fupi iliyofanyika jioni ya leo kwenye bustani ya Nyerere Square mjini Dodoma. Wanaoshuhudia katikati yao ni Baba yake Mzee Augustine Tengia wakiwemo Wanahabari ndugu jamaa na marafiki.
Meneja wa kinywaji cha Serengeti Premium Lager Bwa. Allan Chonjo akifafanua jambo mbele ya Wanahabari kutoka vyombo mbalimbali na wadau wengine kutoka sehemu mbalimbali waliofika kulishuhudia tukio la kukabidhiwa kwa gari aina ya Ford Figo kwa mshindi wa shindano la Vumbua Hazina chini ya Kizibo Bw. Amin Joseph Maro kwenye hafla fupi iliyofanyika jioni ya leo ndani ya bustani ya Nyerere Square mjini Dodoma.Picha zaidi Bofya Hapa.
Mkurugenzi wa Masoko wa Serengeti Breweries Bw. Ephraim Mafuru akimkabidhi funguo ya gari lake mshindi wa shindano la Vumbua Hazina chini ya Kizibo Bw. Amin Joseph Maro kwenye hafla fupi iliyofanyika jioni ya leo kwenye bustani ya Nyerere Square mjini Dodoma. Wanaoshuhudia katikati yao ni Baba yake Mzee Augustine Tengia wakiwemo Wanahabari ndugu jamaa na marafiki.
Mshindi wa gari wa shindano la Vumbua Hzina chiniya Kizibo Bw. Amin Joseph Maro akiingia ndani ya gari yake aina ya Ford Figo baada ya kukabidhiwa na Mkurugenzi wa Masoko wa Serengeti Breweries Bw. Ephraim Mafuru, hafla hiyo imefanyika jioni ya leo kwenye bustani ya Nyerere Square mjini Dodoma. Wanaoshuhudia katikati yao ni Baba yake Mzee Augustine Tengia, wengine wanaoshuhudia tukio hilo ni Allan Chonjo, meneja wa bia ya Serengeti Premium Lager sambamba na Wanahabari Chanzo:Michuzijr.blogspot.com
| 2017-03-23T22:02:26 |
http://habaritanzania.blogspot.com/2012/08/mkurugenzi-wa-masoko-wa-serengeti.html
|
[
-1
] |
HAZINA YA MASWALI - >تجلی ذاتی - >توحیدشناسی - >اصول و مبانی - >Irfani kimtazamo - >عرفان و اخلاق - HAZINA YA MASWALI - islamquest
Nyumbani HAZINA YA MASWALI عرفان و اخلاق Irfani kimtazamo اصول و مبانی توحیدشناسی تجلی ذاتی
Jumanne, 18 Februari 2020
9043 Tabia kimatendo 2012/06/17
30818 Falsafa ya Dini 2012/05/23
6173 زیارت عاشورا و دیگر زیارات 2012/05/23
11924 اعتکاف 2012/05/23
16030 نگهداری و شکار حیوانات 2012/06/17
6598 زکات فطره 2012/05/23
8969 Sheria na hukumu 2012/05/23
13952 جنابت 2012/05/23
7507 نیکی به پدر و مادر 2012/05/23
5945 گوناگون 2012/06/17
21971 Tabia kimtazamo 2012/06/17
16030 Sheria na hukumu 2012/06/17
15961 Sheria na hukumu 2012/06/17
14151 Sheria na hukumu 2012/05/23
13952 Sheria na hukumu 2012/05/23
13608 Sheria na hukumu 2012/05/23
11924 Tabia kimtazamo 2012/05/23
11789 Tafsiri 2012/05/23
11237 Tabia kimtazamo 2012/05/23
| 2020-02-18T18:48:15 |
http://www.islamquest.net/sw/archive/category/1319
|
[
-1
] |
KALULUNGA BLOG: KAMANDA WA POLISI MBEYA, AHMED MSANGI, AWA MGENI RASMI MECHI YA PRISON NA AZAM SOKOINE MBEYA MUDA HUU.
KAMANDA WA POLISI MBEYA, AHMED MSANGI, AWA MGENI RASMI MECHI YA PRISON NA AZAM SOKOINE MBEYA MUDA HUU.
Baadhi ya wachezaji wa timu ya AZAM FC kutoka jijini Dar es Salaam, wakiwa uwanja wa sokoine Mbeya leo.
Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi, akikagua timu ya azam Fc na Tanzania Prison, jioni ya leo uwanja wa sokoine Mbeya.
Baadhi ya watangazaji wa radio ya Mbeya Highland ya Jijini Mbeya, wakiwa wanarusha matangazo ya mechi kati ya Tanzania Prison na Azam FC.
Baadhi ya mashabiki wakiwa uwanjani sokoine Mbeya, wakishuhudia mchezo wa Tanzania Prison na Azam FC.
Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi, akiwatakia kheri wachezaji wa Tanzania Prison na Azam Fc, huku akiwasisitiza kuwa ni vema kuwa na fear pray.
Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi, akiwa na Mwenyekiti wa Chama cha mpira wa miguu mkoa wa Mbeya(MREFA), Elias Mwanjala, wakitoa uwanjani kugagua timu za Tanzania Prison na Azam Fc, hapa uwanja wa sokoine Mbeya, jioni ya leo.
Baadhi ya watoto kati ya miaka mitatu mpaka mitano, wa kituo cha Mbeya Umoja Sports Academy ya Uyole Jijini Mbeya, chini ya Mkurugenzi wa kituo hicho Deus Nsheka, wakiwa katika jukwaa la Tanzania Prison, wakishuhudia mechi kati ya Tanzania Prison na Azam Fc, Katika uwanja wa sokoine Mbeya, jioni ya leo. Ambapo mpaka mapumziko timu hizo zilikuwa bado hazijafungana.
Kulia ni mpenzi wa michezo mkoani Mbeya, Ayas Yusuph, akiwa pamoja na Mkurugenzi wa kituo cha Mbeya Umoja sports Academy, Deus Nsheka, katika jukwaa la Tanzania Prison, wakati wa mechi ya timu hiyo na Azam Fc, jioni ya leo hapa uwanja wa Sokoine Mbeya.
Kamanda wa polisi mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi, akiwa na Mwenyekiti wa Chama cha mpira wa miguu mkoa wa Mbeya(MREFA), Elias Mwanjala, waiingia kukagua timu ya Tanzania Prison na Azam fc, wakati wa mechi ya timu hizo hapa uwanja wa sokoine Mbeya, jioni ya leo.
| 2018-03-24T02:13:30 |
http://kalulunga.blogspot.com/2014/10/kamanda-wa-polisi-mbeya-ahmed-msangi.html
|
[
-1
] |
Mkuu wa Majeshi Aongoza Kuwaaga Maofisa Majenerali 16 wa JWTZ Waliostaafu. - ZanziNews
Home Mkuu wa Majeshi Aongoza Kuwaaga Maofisa Majenerali 16 wa JWTZ Waliostaafu.
| 2017-11-24T01:45:11 |
http://www.zanzinews.com/2016/03/mkuu-wa-majeshi-aongoza-kuwaaga-maofisa.html
|
[
-1
] |
Mwalimu Rufiji ashinda pasaka mzuka jackpot ya milioni 260. - HABARI ZA JAMII
Home / Biashara / Mwalimu Rufiji ashinda pasaka mzuka jackpot ya milioni 260.
Dotto Mwaibale 3:17 AM Biashara
| 2019-03-23T04:59:02 |
http://www.habarizajamii.com/2018/04/mwalimu-rufiji-ashinda-pasaka-mzuka.html
|
[
-1
] |
Kuna nini kati ya KAYUNI na Kaseja??? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Kuna nini kati ya KAYUNI na Kaseja???
Discussion in 'Sports' started by MTWA, Nov 10, 2010.
Hivi juzi vioo ngozi wa TFFkupitia kwa S. Kayuni walitangaza kuwa Kaseja na mzungu wa Yanga wanafungiwa mechi tatu kwa kutosalimiana na mgeni rasmi- Mkuu wa mKOA wa Mwanza A. kandoro.
Lakini baada ya kufuatilia wamekuta kumbe Kaseja alisalimiana na mkuu wa mkoa huyo. Baada ya hayo wakasema kuwa hakusalimiana na wachezaji wa yanga. halafu adhabu ileile. sasa haieleweki mbona wao hawajiadhibu kwa kudanganya?
halafu umakini wao upoje, kama unaweza kumwadhibu mtu kabla ya kujua kosa halisi la mtu? au ni visa tu?
Mimi binafsi hainiingii akilini kuwa wanapata wapi taarifa hizi hadi wazichanganye hivi?
Na inalkuwaje makosa yanahama lakini adhabu inabaki?
Au walishapanga tu kumpa adhabu hii! Mimi nahisis hata Maximo hakuwa yeye ila ni hawa jamaa? au mnasemaje! mimi naingia hasira na hili soka la bongo mbona la fitina?
Au tuendelee kushabikia Arsenal, Real Madrid, na hizo Juve tu.
Kwani kutokusalimia mtu ni kuvunja sheria? mbona analeta mambo ya kijijini mjini?:A S angry:
Kayuni katika utawala wa michezo is a "dummy"!
Hakuna sheria ya kimichezo inayosema kuwa kutopeana mkono na opponent wako ni "KOSA". Handshaking is a sign of "sportmanship and respect" among players in the context of football/soccer.
Lakini mimi naona Kayuni hafai hata umonita, kwa sababu hata wajinga hawezi kuwaongoza, hawezi kubabaika namna hii halafu eti anakuwa na msimamo wa kuadhibu mtu
Ndio maana anavaa suspenders na mkanda wa suruali at the same time
Kwani kutokusalimia mtu ni kuvunja sheria? mbona analeta mambo ya kijijini mjini?:A S angry:Click to expand...
Kwani huyu mtu atangoka lini hapo TFF?maana anatupotezea muddy kabisa:bowl:!
Ndio maana anavaa suspenders na mkanda wa suruali at the same timeClick to expand...
basi inaonesha kuwa hana aibu halafu kuna kila dalili ya kuwa yeye ni KIHIYO, yaani nina wasiwasi sana na uongozi wake.
Na viongozi wenzake wapo wapi, Na simba si wakate rufaa?
Akiwa na mbaya orijino wa Kaseja....labda anaendeleza chuki
Akiwa na mbaya orijino wa Kaseja....labda anaendeleza chukiClick to expand...
Sasa inakuwaje mtu anafanya yasiyo ya kisoka kabisa, nauliza tena hana aibu maana leo hata wasiojua soka wamehoji adhabu ya aina hii
Anatuharibia
Nilipomwambia kuwa hatuvaagi mkanda na suspenders akavua mkanda....ni boreer kishenzi huyu jamaa
Alafu wamempendekeza afanyiwe usaili wa kuwa katibu mkuu wa TFF subirini viroja zaidi ya hivi kamati ile ya nithamu ilikua chini ya El - maamry ipo wapi, maana hizi kazi nyingine ni proffession za watu
Tenga(PAKACHA) ni kama JK tu
Kama alifanya hili asilokuwa na uhakika nalo, nina wasiwasi nahili nalo hajui ila anafanya fanya tu ilimradi aonekane yupo, Inabidi atimuliwe
Tenga(PAKACHA) ni kama JK tuClick to expand...
sasa kama hawa ndo viongozi wa taifa, mpira wetu unaelekea wapi?
halafu bado tunawinda viwango vya FIFa. Naona tulale tu
Ile picha hakuna uthibitisho kwamba ni ya kweli huenda ikawa imetengenezwa,KASEJA alikuwa wapi siku zote kupeleleka hiyo picha kama kielelezo?
Kayuni kateleza aliposema kaseja hakumsalimia kandoro, ila hili la kukwepa kusalimia wachezaji wa yanga ni lakweli, na hili litasaidia kuondoa haya maimani potofu ya kishirikina, kwa mujibu wa vyombo vingi vya habari , inasemekana huyu jamaa ndio mtindo wake kila wanapokutana na watani wao wa jadi, huu ni ujinga adhabu yake inafaa sana ila kayuni nae bonzo
Kwani huyu mtu atangoka lini hapo TFF?maana anatupotezea muddy kabisa:bowl:!Click to expand...
Atang'oka siku Tenga atakapokoma kuwa rais wa TFF.
Sina kumbukumbu,hivi Bridges alipewa adhabu yoyote baada ya kukataa kumpa mkono JT?
AnatuharibiaClick to expand...
Na FIFA nayo eti inataka aina hii ya "Vimeo"ndiyo iongoze soka,mkitimua Vimeo kama hivi mnafungiwa!!!
Hii inaonesha hata Maximo alikuwa akishinikizwa na watu wengine kusulubu Kaseja
Ile picha hakuna uthibitisho kwamba ni ya kweli huenda ikawa imetengenezwa,KASEJA alikuwa wapi siku zote kupeleleka hiyo picha kama kielelezo?Click to expand...
Siku zote lini? Simamia ukweli bwana,wewe ni mtu wa soka(au ni ile ya England pekee!!). Kandoro kasema alisalimiana na Kaseja je naye kauli yake imetengenezwa?
| 2016-12-04T12:30:37 |
http://www.jamiiforums.com/threads/kuna-nini-kati-ya-kayuni-na-kaseja.86505/
|
[
-1
] |
01. Fadhilah za mwezi wa Ramadhaan | Firqatu Nnajia
01. Fadhilah za mwezi wa Ramadhaan
Ndugu wapendwa! Tumefikiwa na mwezi mkarimu na msimu mtukufu. Allaah ndani yake huongeza thawabu zilizokuwa nyingi na pia ndani yake hufungua milango ya kheri kwa kila mwenye kutaka. Ni mwezi wa kheri na baraka tele. Ni mwezi wa ruzuku na zawadi:
“Mwezi wa Ramadhaan ambao imeteremshwa humo Qur-aan ili iwe mwongozo kwa watu na hoja bayana za mwongozo na pambanuo la batili.”[1]
Ni mwezi uliojaa rehema, msamaha, kuachwa huru na Moto ambao mwanzo wake ni rehema, katikati yake ni msamaha na mwisho wake ni kuachwa huru na Moto. Khabari zimetangaa juu ya fadhilah zake na kumepokelewa mapokezi mengi juu yake. al-Bukhaariy na Muslim wamepokea kupitia kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ambaye amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Inapofika Ramadhaan basi hufunguliwa milango ya Pepo, hufungwa milango ya Moto na mashaytwaan hufungwa minyororo.”
Milango ya Pepo hufungwa kutokana na wingi wa matendo mema na kuwavutia watendaji. Milango ya Moto hufungwa kutokana na uchache wa maasi kutoka kwa waumini. Mashaytwaan hufungwa wasiweze kuyafanya yale wanayoweza kuyafanya wakati mwingine. Imaam Ahmad amepokea kupitia kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ambaye amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Ummah wangu wamepewa mambo matano katika Ramadhaan ambayo hawakupewa Ummah wowote miongoni mwa nyumati kabla yake: harufu ya mfungaji ni nzuri zaidi kuliko harufu ya miski, Malaika wanamuombea msamaha mpaka afungue swawm yake, Allaah kila siku anaipamba Pepo yake na anasema ”Waja wangu wema wanakaribia kuondolewa matatizo na maudhi na kuja Kwangu”, mashaytwaan waasi hufungwa minyororo na wanashindwa kuyafanya yale waliokuwa wanaweza kuyafanya wakati mwingine na wanasamehewa katika usiku wa mwisho.” Kukasemwa: ”Ee Mtume wa Allaah! Ni ule usiku wa makadirio?” Akasema: ”Hapana, lakini si vyenginevyo mtendaji hulipwa ujira wake anapomaliza kazi yake.”[2]
Ndugu wapendwa! Mambo haya matano Allaah ameyahifadhi kwa ajili yenu, amewahusu nyinyi kwayo kati ya nyumati zengine na akakuneemesheni kwayo ili akukamilishieni neema. Ni neema ngapi na fadhilah alizonazo Allaah juu yenu!
“Mmekuwa Ummah bora kabisa ulioteuliwa kwa watu: mnaamrisha mema na mnakataza maovu na mnamwamini Allaah.”[3]
[2] Ameipokea at-Twabaraaniy na al-Bayhaqiy katika ”ath-Thawaab” na cheni ya wapokezi wake ni dhaifu sana. Lakini baadhi ya mambo yana shawahidi Swahiyh.
[3] 03:110
Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 08-09
01. Fadhilah za mwezi wa Ramadhaan Ndugu wapendwa! Tumefikiwa na mwezi mkarimu na msimu mtukufu. Allaah ndani yake huongeza thawabu zilizokuwa nyingi na pia ndani yake hufungua milango ya kheri kwa kila mwenye kutaka. Ni mwezi wa kheri na baraka tele. Ni mwezi wa ruzuku na zawadi: شَهْرُ رَمَضَانَ الَّذِي أُنزِلَ فِيهِ الْقُرْآنُ هُدًى لِّلنَّاسِ وَبَيِّنَاتٍ مِّنَ الْهُدَىٰ وَالْفُرْقَانِ "Mwezi wa Ramadhaan ambao imeteremshwa humo Qur-aan ili iwe mwongozo kwa watu na hoja bayana za mwongozo na pambanuo la batili.”[1] Ni mwezi uliojaa rehema, msamaha, kuachwa huru na Moto ambao mwanzo wake ni rehema, katikati yake ni msamaha na mwisho wake ni kuachwa huru na Moto. Khabari zimetangaa juu ya fadhilah zake na kumepokelewa mapokezi mengi juu yake. al-Bukhaariy na Muslim wamepokea kupitia kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ambaye amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema: ”Inapofika Ramadhaan basi hufunguliwa milango ya Pepo, hufungwa milango ya Moto na mashaytwaan hufungwa minyororo.” Milango ya Pepo hufungwa kutokana na wingi wa matendo mema na kuwavutia watendaji. Milango ya Moto hufungwa kutokana na uchache wa maasi kutoka kwa waumini. Mashaytwaan hufungwa wasiweze kuyafanya yale wanayoweza kuyafanya wakati mwingine. Imaam Ahmad amepokea kupitia kwa Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ambaye amesimulia kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema: ”Ummah wangu wamepewa mambo matano katika Ramadhaan ambayo hawakupewa Ummah wowote miongoni mwa nyumati kabla yake: harufu ya mfungaji ni nzuri zaidi kuliko harufu ya miski, Malaika wanamuombea msamaha mpaka afungue swawm yake, Allaah kila siku anaipamba Pepo yake na anasema ”Waja wangu wema wanakaribia kuondolewa matatizo na maudhi na kuja Kwangu”, mashaytwaan waasi hufungwa minyororo na wanashindwa kuyafanya yale waliokuwa wanaweza kuyafanya wakati mwingine na wanasamehewa katika usiku wa mwisho.” Kukasemwa: ”Ee Mtume wa Allaah! Ni ule usiku wa makadirio?” Akasema: ”Hapana, lakini si vyenginevyo mtendaji hulipwa ujira wake anapomaliza kazi yake.”[2] Ndugu wapendwa! Mambo haya matano Allaah ameyahifadhi kwa ajili yenu, amewahusu nyinyi kwayo kati ya nyumati zengine na akakuneemesheni kwayo ili akukamilishieni neema. Ni neema ngapi na fadhilah alizonazo Allaah juu yenu! كُنتُمْ خَيْرَ أُمَّةٍ أُخْرِجَتْ لِلنَّاسِ تَأْمُرُونَ بِالْمَعْرُوفِ وَتَنْهَوْنَ عَنِ الْمُنكَرِ وَتُؤْمِنُونَ بِاللَّـهِ “Mmekuwa Ummah bora kabisa ulioteuliwa kwa watu: mnaamrisha mema na mnakataza maovu na mnamwamini Allaah.”[3] [1] 02:185 [2] Ameipokea at-Twabaraaniy na al-Bayhaqiy katika ”ath-Thawaab” na cheni ya wapokezi wake ni dhaifu sana. Lakini baadhi ya mambo yana shawahidi Swahiyh. [3] 03:110 Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn Mfasiri: Firqatunnajia.com Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 08-09 Imechapishwa: 25/03/2020 http://firqatunnajia.com/01-fadhilah-za-mwezi-wa-ramadhaan/
Previous: Buluugh-ul-Maraam 25
Next: 02. Sifa ya kwanza nzuri kwa mfungaji
15. Hukumu ya kufunga Ramadhaan
14. Swawm itamuombea msamaha mfungaji
13. Furaha mbili alizonazo mfungaji
Majaalis Shahr Ramadhwaan - Ibn ´Uthaymiyn (15)
| 2020-04-09T23:27:02 |
http://firqatunnajia.com/01-fadhilah-za-mwezi-wa-ramadhaan/
|
[
-1
] |
Sijui,labda wewe. . . . . . | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Sijui,labda wewe. . . . . .
Discussion in 'Mahusiano, mapenzi, urafiki' started by Eiyer, Jul 18, 2012.
Nimezaliwa,nikafikisha umri wa kwenda shule,nikaenda.Nimesoma mpaka hukoooo nimemaliza,nimekuja sijui nimejiajiri au nimeajiriwa. . . . . . . . . . . . . . . . . . . Nimeoa na nimepata watoto nao nimewasomesha kisha nao wamejitegemea,nimezeeka,kisha huyooo nauona mwili unashindwa baadhi ya mambo.Kisha narudishwa mavumbini,nimekufa.Safari ya maisha imeishia hapo,nimeondoka duniani. . . . . . . . . . . . . . . , . . . . . . . Hivi hayo ndo yalisababisha nizaliwe au kuna kingine?Yani hivyo tu?Sidhani,sijui ni kwanini lakini nahisi kuna kitu kimepungua.Yaani nayaona hayo kama mambo madogo sana kusababisha mtu kuzaliwa.My be nimejipotosha,wewe je unaridhika?
dah! naogopa kukutana na jehanamu la moto...,..ngoja nikatubu faster...:flame:
tumeletwa duniani tule raha au tuteseke hata sielewi! halafu ukizembea unaweza ukaunguzwa huku jehanam
Nimezaliwa,nikafikisha umri wa kwenda shule,nikaenda.Nimesoma mpaka hukoooo nimemaliza,nimekuja sijui nimejiajiri au nimeajiriwa. . . . . . . . . . . . . . . . . . . Nimeoa na nimepata watoto nao nimewasomesha kisha nao wamejitegemea,nimezeeka,kisha huyooo nauona mwili unashindwa baadhi ya mambo.Kisha narudishwa mavumbini,nimekufa.Safari ya maisha imeishia hapo,nimeondoka duniani. . . . . . . . . . . . . . . , . . . . . . . Hivi hayo ndo yalisababisha nizaliwe au kuna kingine?Yani hivyo tu?Sidhani,sijui ni kwanini lakini nahisi kuna kitu kimepungua.Yaani nayaona hayo kama mambo madogo sana kusababisha mtu kuzaliwa.My be nimejipotosha,wewe je unaridhika?Click to expand...
tumeletwa duniani tule raha au tuteseke hata sielewi! halafu ikizembea unaweza ukaunguzwa huku jehanamClick to expand...
wadogo zangu wapenzi Eiyer na Excellent sis gf loves you so much.
Anyway sisi tumezaliwa kwa kusudi moja tu. nalo ni kuuthibitisha ukuu na uungu wa Mungu. Mungu aliposema na tufanye mtu kwa mfano wetu basi alikusudia awe mfano wake na ndio maana akamwambia akatawale vyote abavyo Mungu alivifanya. Kwangu mimi hili nndilo ksudi la Mungu kwetu ishu ni kwamba sisi ndio tunao haribu ule wema na uzuri wa Mungu kwetu katka maisha yetu ya kila siku.
nafkir mtakubaliana na mimi pasipo dhambi basi mauti isingekuwepo ila imeandikwa mshahara wa dhambi ni mauti so na mauti huanzia mbali kwenye upotevu wa mali na furaha hadi kwenye upotevu wa mwili. ngoja nitarudi baadae nawahudumia m uncles kwanza.
What are u trying to say?Click to expand...
Anamaanisha tupo duniani kwa sababu zipi?sababu alizotaja zinaonyesha haziridhishi ye kuja duniani
nafkir mtakubaliana na mimi pasipo dhambi basi mauti isingekuwepo ila imeandikwa mshahara wa dhambi ni mauti so na mauti huanzia mbali kwenye upotevu wa mali na furaha hadi kwenye upotevu wa mwili. ngoja nitarudi baadae nawahudumia m uncles kwanza.Click to expand...
tatizo tumeletwa halafu tutakufa,dah
Anamaanisha tupo duniani kwa sababu zipi?sababu alizotaja zinaonyesha haziridhishi ye kuja dunianiClick to expand...
Zipi ndio zingeridhisha?
tatizo tumeletwa halafu tutakufa,dahClick to expand...
haukua mpango wa Mungu tufe ila dhambi ndio iliyotusababishia. ila hapo najua utaniuliza tena sasa kama Mungu alijua hivyo kwanini alimruhusu shetani amdanganye eve? au pia utasema mbona Mungu hana huruma? manake kosa moja tu adhabu yake hadi leo?
:flypig: - 0 people likes
Zipi ndio zingeridhisha?Click to expand...
tungeishi tu forever bhana,kula kulala bila kutoa jasho
tumeletwa duniani tule raha au tuteseke hata sielewi! halafu ukizembea unaweza ukaunguzwa huku jehanamClick to expand...
Inachanganya,isn't it????
umeshasoma ninachowaza lol! ila no way labda ile second chance ya uzima wa milele tutapata
Inachanganya,isn't it????Click to expand...
yaani ukiwaza is like no enough reasons
What are u thinking hny??
hebu mridhishe huyu aone umuhimu wa dunia.
Tumekuja duniani ili kumtukuza Mungu, tumepoteza purpose mzima ndo maana hata mambo yenyewe sio, ghhrrr. Ila Adam itakuwa alikuwa mwana ccm
Wewe ni thinker mkubwa. Suala lako linatufanya tufikiri ni nini maana ya maisha? Maisha mazuri ni yapi? Baada ya maisha kuna nini? -utagundua kuwa maisha yetu wote, yamejaa worries, kama swali lako lilivyojaa hofu na linavyotia hofu. Tunaishi maisha yetu yote tukiitafuta furaha-yet hatujui furaha ni ipi, tunaipataje furaha, na furaha kuu ni ipi. Kuna jamaa yangu mganda alifapata ugonjwa wa pua, akafanyiwa upasuaji, lkn upasuaji, kwa maelezo yake, ulifanywa na ill-trained surgeon. Akapata complications, na hata ubongo ukaacha kufanya kazi. Inasemekana alikaa takriban wiki mbili akiwa hajitambui. Kwa mtizamo wake, anadhani ile hali ya kutokujitambua aliyokuwemo, yaani, kufa nusu, ndiyo hali ya amani kuliko zote alizowahi kuwemo- maana alikuwa hajijui. Kwa hivyo anaamini 'kifo' ndiyo furaha na uhuru unaoshinda vyote.
umeshasoma ninachowaza lol! ila no way labda ile second chance ya uzima wa milele tutapataClick to expand...
God is always good aisee, alishasema kwamba tutakapo vaa mwili ule wa kutokuharibika na takapo zikwa mwili ule wa asili na kufufuliwa mwili ule wa uzima na ndipo tutakaposema mauti imemezwa kwa kushindwa.ndipo ku wapi ewe mauti uchungu wako? na ahimidiwe Bwana Mungu wetu atupaye kushinda kwa Mwanaye Yesu kRISTO.
gfsonwin unanichanganya.Tumeumbwa ili tuuthibitishe uungu wa Mungu?So Mungu anahitaji tufanye hilo?Haya tunayofanya tunapoteza muda bure?
gfsonwin unanichanganya.Tumeumbwa ili tuuthibitishe uungu wa Mungu?So Mungu anahitaji tufanye hilo?Haya tunayofanya tunapoteza muda bure??!???
| 2017-05-01T00:47:32 |
https://www.jamiiforums.com/threads/sijui-labda-wewe.294284/
|
[
-1
] |
Jengo la manesi laungua muhimbili! | JamiiForums
Jengo la manesi laungua muhimbili!
inasemekana jengo la manesi muhimbili laungua. Chanzo times fm.
Hii nchi majanga kila kukicha
Dhambi zimezidi nini au?
Ni haki yake liungue (kama ni lile ninalolifahamu la manesi wanafunzi wanamoishi) lilikuwa limechakaa kinoma na kila miundombinu ilikuwa imechoka ile mbaya!
Bado tuna majonzi ya kuzama meli sasa hata hiyo sehemu ya kupokelea hao wajonjwa pia inaungua? Kweli hii ni LAANA na nimeamini kweli kuwa kumchagua Kikwete ni JANGA LA TAIFA. Dr Slaa aliona Mbali kama Nyerere alivyomkata Kikwete kuwa Rais wa hii Nchi. Sasa Kikwete ameigeuza nchi yetu kuwa kuwa nchi ya Banana.
Duuh, kote balaa
Mkuu kabla ya kutuabarisha hapa ungewafahamisha FAYA kwanza au!!?
[QUOTE=AirTanzania;2480826]Bado tuna majonzi ya kuzama meli sasa hata hiyo sehemu ya kupokelea hao wajonjwa pia inaungua? Kweli hii ni LAANA na nimeamini kweli kuwa kumchagua Kikwete ni JANGA LA TAIFA. Dr Slaa aliona Mbali kama Nyerere alivyomkata Kikwete kuwa Rais wa hii Nchi. Sasa Kikwete ameigeuza nchi yetu kuwa kuwa nchi ya Banana.[/QUOTE]
Hata hapo kwenye red ni utumbo tupu, CCM haijawahi kutoa
Rais bora ingawa ni ukweli tusiotaka kukubaliana nao, wote ni
walewale na mengi yanayotokea sasa hivi yanatokana na misingi
mibovu ambayo ilifunikwa kwa nyimbo na ngonjera za kuvutia.
chanzo cha moto ni nini hasa?....
Kuna moja, lile linalopakana na MOI liliungua kama si 2001 basi ni mapema 2002.
Majira haya si chuo kimefunga? Nini chanzo cha moto?
daah tragedy every where..............huh
tayari season imeanza. mana nakumbuka mwaka jana kila upande kulikuwa n a moto.
mh sisemi kama hii habari ya uongo ila siku ya jana jumapili yote nimeshinda pae garden nikisubiria kuingia mwaisela kumtazama mgonjwa ila sikuona hiii nimeondoka muhimbili saa 12.30 jioni...nilikaaa garden kuanzia saa mbili asubuhi mpaka sita na nusu nikapanda odini then nikawa tena garden kuanzia saa nane na nusu mpaka saa kumi na kwa anayeijua muhimbi jengo la mwaisela haliko mbali na hilo jengo( kama ndio linalozungumziwa) sasa mtoa taarifa hebu tupashe vizuri
TBA mnakwama wapi? Ni miaka sasa jengo la idara ya maji Mtwara hamjakamilisha Habari na Hoja mchanganyiko 10 Yesterday at 9:45 PM
Waziri Jafo awachana Mbinga Vijijini na kuwapongeza Mbinga Mji Habari na Hoja mchanganyiko 5 Dec 18, 2019
Jengo la mahakama ya Wilaya Chato Habari na Hoja mchanganyiko 101 Dec 17, 2019
Je, nasi tutafika walipo Uingereza kwa sasa? Jengo la kanisa kuwa ukumbi wa kampeni za uchaguzi! Habari na Hoja mchanganyiko 7 Dec 11, 2019
Misri wanatujengea bwawa na umeme lakini mjini Cairo wachina wanawajengea wamisri jengo lefu kuliko yote Afrika Habari na Hoja mchanganyiko 13 Dec 2, 2019
Waziri Jafo awachana Mbinga Vijijini na kuwapongeza Mbinga Mji
Jengo la mahakama ya Wilaya Chato
Misri wanatujengea bwawa na umeme lakini mjini Cairo wachina wanawajengea wamisri jengo lefu kuliko yote Afrika
| 2020-01-23T21:24:45 |
https://www.jamiiforums.com/threads/jengo-la-manesi-laungua-muhimbili.171596/
|
[
-1
] |
Geofemtz.: Mahafali UDOM ni moto wa kuotea mbali
Chuo kikuu cha Dodoma jana kilifanya mahafali ya pili tangu kuanzishwa ambayo ilikuwa yakufana sana
| 2017-02-21T02:52:19 |
http://geofemtz.blogspot.com/2011/11/mahafali-udom-ni-moto-wa-kuotea-mbali.html
|
[
-1
] |
Mchezo Februari suala la gazeti mtindo Online. Kucheza kwa huru
Mchezo Februari suala la gazeti mtindo
Kucheza mchezo Februari suala la gazeti mtindo Online:
Maelezo ya mchezo Februari suala la gazeti mtindo
Huwezi kujua nini kuvaa katika Februari? Kisha kufunua wengi maalumu fashion magazine Kosmoangel. Kuangalia kwa mwenyewe style yako binafsi, ya kipekee na picha. . Kucheza mchezo Februari suala la gazeti mtindo online.
Kiufundi na tabia ya mchezo Februari suala la gazeti mtindo
Mchezo Februari suala la gazeti mtindo aliongeza: 28.02.2012
Michezo kama mchezo Februari suala la gazeti mtindo
Download mchezo Februari suala la gazeti mtindo
Embed mchezo Februari suala la gazeti mtindo katika tovuti yako:
Februari suala la gazeti mtindo
Kuingiza mchezo Februari suala la gazeti mtindo kwenye tovuti yako, nakala ya kanuni na kuweka katika kanuni html ya tovuti yako. Pia, kama wewe kama mchezo Februari suala la gazeti mtindo, nakala na kutuma kiungo kwa rafiki au rafiki yako yote, kushiriki mchezo na dunia!
Pamoja na mchezo Februari suala la gazeti mtindo, pia alicheza katika mchezo:
| 2018-05-25T11:00:05 |
http://sw.itsmygame.org/999970353/fashion-editor-february_online-game.html
|
[
-1
] |
June 23, 2020 – MwanaHALISI Online
Regina Mkonde 20 days ago 2,227 Views
BERNARD Membe, aliyekuwa kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, atagombea urais. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea). Ametoa kauli hiyo leo ...
Jaji Warioba: JPM kugombea pekee, kuna sharti
Hamisi Mguta 20 days ago 3,903 Views
JAJI Mstaafu Joseph Warioba, amsema ni utamaduni kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuruhusu rais aliyepo madarakani kutetea kiti chake iwapo hajakiangusha chama. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea). Amesema, kama ...
Serikali yafuta leseni ya Gazeti la Tanzania Daima
Hamisi Mguta 20 days ago 747 Views
GAZETI la kila siku la Tanzania Daima, linalomilikiwa na Kampuni ya Free Media Limited, limeingia kifungoni kwa muda usiojulikana. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Leo Jumanne tarehe 23 Juni ...
Majaliwa: Milioni 700 kujenga shule ya wasichana Ruangwa
Hamisi Mguta 20 days ago 376 Views
WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali imedhamiria kuboresha elimu kwa watoto wa kike nchini kote ikiwemo wilaya ya Ruangwa ambayo imepewa Sh. 700 milioni kwa ajili ya kuanza ...
Takukuru yawashikilia Wafanyakazi 30 MSD
Mwandishi Wetu 20 days ago 641 Views
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) inawashikilia wafanyakazi 30 wa Bohari ya Dawa (MSD) Mkoa wa Mwanza kwa tuhuma za ubadhirifu wa dawa na vifaa tiba zenye thamani ...
Yanga kujiuliza kwa Namungo kesho
Kelvin Mwaipungu 20 days ago 251 Views
KIKOSI cha Yanga kesho inatarajia kuikabili Namungo FC, kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kutoka sare kwenye mchezo uliomalizika dhidi ya Azam FC, huku uongozi wa kikosi ...
Mwanamichezo ajitosa Urais Zanzibar
Mwandishi Wetu 20 days ago 339 Views
HASHIM Salum Hashim, Mjumbe wa Kamati Tendaji ya Chama cha Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFA), amejitosa katika kinyang’anyiro cha Urais wa Zanzibar, kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Mwandishi Wetu, ...
Mutharika atavuka? Malawi wapiga kura leo
Mwandishi Wetu 20 days ago 292 Views
SWALI kubwa linalogubika Malawi na sehemu ya Afrika, ni kwamba Rais Peter Mutharika atashinda kwenye uchaguzi unaofanyika leo Jumanne tarehe 23 Juni 2020 nchini Malawi? Mutharika anapambana ili kupata ridhaa ...
Trump aita corona ‘kung flu’
Mwandishi Wetu 20 days ago 351 Views
KAULI ya Donald Trump, Rais wa Marekani kuita virusi vya corona (COVID-19), ‘kung flu’ imetetewa na msemaji wa Ikulu nchini humo. Inaripoti mitandao ya kimataifa…(endelea). Akizungumza Tulsa, Oklahoma mwishoni mwa wiki, ...
Milioni 9 waambukizwa corona duniani
Mwandishi Wetu 20 days ago 277 Views
MAAMBUKIZO ya ugonjwa unaosababishwa na virusi vya corona (COVID-19) duniani, yamefikia milioni 9.19 huku waliopona wakiwa milioni 4.94. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Kwa mujibu wa mtandao wa ‘worldometer’ leo Jumanne tarehe ...
Faki Sosi 20 days ago 1,324 Views
ESHI la Polisi Wilaya ya Kilwa Mkoa wa Lindi, limemkamata Zitto Kabwe, Kiongozi wa Chama siasa cha ACT-Wazalendo. Anaripoti Faki Sosi, Kilwa…(endelea) Zitto amekamatwa leo Jumanne asubuhi tarehe 23 Juni ...
Mrisho Gambo alivyompongeza mrithi wake Arusha
Mwandishi Wetu 20 days ago 612 Views
MRISHO Gambo, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, ametoa pongezi kwa mrithi wake, Iddy Kimanta katika nafasi hiyo na kumwomba Mungu akamsimamie kwenye utumishi wake. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Gambo alitoa ...
Corona isiwe kigezo watoto kukosa chanjo
Hamisi Mguta 20 days ago 246 Views
SERIKALI ya Tanzania imeitaka jamii kutotumia kipindi hiki cha maambukizi ya virusi vya corona (Covid-19) kama kigezo cha kutopeleka watoto kwenye chanjo ili wapate kinga ya magonjwa mengine. Anaripoti Mwandishi ...
Zitto aeleza walivyojipanga uchaguzi mkuu, kugombea ubunge
Faki Sosi 20 days ago 1,515 Views
ZITTO Kabwe, Kiongozi wa Chama cha siasa cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, ameweka wazi msimamo wa chama hicho kuwa hakitasusia Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020. Anaripoti Faki Sosi, Rufiji … (endelea). ...
| 2020-07-13T10:53:48 |
http://mwanahalisionline.com/2020/06/23/
|
[
-1
] |
Mtaka amesema Serikali mkoani Simiyu imedhamiria kuhakikisha katika kipindi cha miaka mitatu ijayo Mkoautapunguza kasi ya uingizaji wa bidhaa kutoka nje na badala yake wananchi wake watazalisha na kutumia bidhaa zao wenyewe, hivyo ameomba Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kuona namna ya kuweka vituo vya kuuza zana za kilimo katika maeneo ya kanda ya Ziwa ili wananchi wapate zana bora za kisasa zitakazowasaidia kulima kisasa.
Kwa upande wake Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi , Jenerali Venance Mabeyo amewataka wananchi wa Busega kubadili mtazamo wao na kutumia maji ya ziwa Victoria kwa manufaa yao kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji ili wasikumbwe na tatizo la upungufu wa chakula kunapotokea ukame.
| 2020-01-21T08:48:58 |
http://simiyu.go.tz/new/serikali-mkoani-simiyu-yaomba-kikundi-cha-ulinzi-cha-kijeshi-kuimarisha-ulinzi-kuwezesha-ufugaji-wa-samaki-ziwani
|
[
-1
] |
Korea Kaskazini: Tunaweza kushambulia eneo lolote Marekani - BBC News Swahili
https://www.bbc.com/swahili/habari-42441645
Image caption Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un na mwenzake wa Marekani Donald Trump
Trump: Tutaisambaratisha Korea Kaskazini tukilazimishwa
Rais wa Marekani Donald Trump ameonya vitisho kutoka kwa mataifa Korea kaskazini na Iran katika hotuba yake katika umoja wa mataifa.
Katika hotuba yake ya kwanza katika mkutano wa umja huo mjini New York, ameonya kuwa Marekani itaangamiza Korea kaskazini iwapo italazimika kujitetea ama kuwalinda washirika wake.
Alimkejeli kiongozi wa Korea kaskazinmi Kim Jong un akisema: Yuko katika harakati za ''kujitoa muhanga''.
Korea kaskazini imefanya makombora yake kinyuklia majaribio na kukiuka maamuzi ya Umoja wa mataifa.
Iran, bwana Trump alisema ni nchi ya kifisadi na inayoongozwa kidikteta kwa lengo la kutaka kuyumbisha eneo la mashariki ya kati.
Ndege ya Marekani yawaonyesha ubabe Korea Kaskazini
Jeshi la Marekani limerusha ndege yake ya kuangusha mabomu aina ya B-1B katika anga ya Korea Kusini kama sehemu ya mazoezi ya pamoja ya angani katika hatua inayoonekana kama onyo kwa Korea Kaskazini.
Mazoezi hayo ya kijeshi yanafanyika wiki moja baada ya Korea Kaskazini kurusha kombora ililodai kuwa ni la masafa marefu ambalo linaloweza kushambulia nchini Marekani.
Marekani awali imerusha ndege hizo zenye uwezo wa juu kuonyesha ubabe baada ya majaribio ya makombora ya Korea Kaskazini au majaribio ya mabomu ya nyuklia.
Korea Kaskazini yarusha kombora 'lililoruka juu zaidi'
Taifa la Korea Kaskazini limefanyia majaribio kombora lake la masafa marefu lililoruka juu zaidi na kombora hilo tayari limeonekana kuhatarisha usalama duniani kulingana na waziri wa maswala ya ulinzi nchini Marekani James Mattis.
Jaribio hilo la kombora mapema siku ya Jumatano lilianguka katika maji ya Japan.
Liliruka kwa urefu wa kilomita 4,500 na kusafiri umbali wa kilomita 960 kulingana na jeshi la Korea Kusini.
Ni jaribio la hivi karibuni ambalo limezua hali ya wasiwasi.
Mara ya mwisho kwa taifa hilo kulifanyia jaribio kombora lake ni mwezi Septemba.
Wakati huo, kombora lake la mwisho lilikuwa la sita la nguvu za kinyuklia mwezi huo.
Rais wa Korea Kusini Moon Jae-In ameitaka Marekani kuacha kwa muda mazoezi yake ya kijeshi nchini humo mpaka kumalizika kwa michuano ya Olimpiki itakayofanyika mapema mwakani.
Anasema hii itasaidia pia kuifanya Korea Kaskazini kutotilia shaka uwepo wa wanamichezo wake kwenye michuano hiyo.
Korea Kusini itakua mwenyeji wa michezo hiyo itakayofanyika katika mji wa Pyeongchang mwezi Februari ikiwa ni kilomita 80 kutoka mpaka wake na Korea Kaskazini.
Mapema Canada na Marekani ziliapa kuendeleza mazoezi hayo ili kuisukuma Korea Kaskazini kuachana na mpango wake wa nyuklia.
Trump: Tutaiangamiza Korea Kaskazini iwapo vita vitazuka
Marekani imeyataka mataifa yote kukatiza uhusiano wa kidiplomasia na ule wa kibiashara na Korea Kaskazini baada ya taifa hilo kufanyia jaribio la kombora lake la masafa marefu.
Akizungumza katika baraza la usalama la umoja wa kimataifa ,mjumbe wa Marekani katika baraza hilo Nikki Haley amesema kuwa rais Trump amemtaka mwenzake wa China kukata usambazaji wa mafuta kwa Pyongyang.
Amesema kuwa Marekani haitaki mzozo lakini Korea Kaskazini itaangamizwa iwapo vita vitazuka.
Onyo hilo linajiri baada ya Pyonyang kufanyia majaribio kombora lake la kwanza katika kipindi cha miezi miwili.
Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergei Lavrov amedai Marekani ndiyo imekuwa ikiichokoza Korea Kaskazini na kuichochea kuongeza kasi mpango wake wa silaha za nyuklia.
Amepuuzilia mbali wito kutoka kwa balozi wa Marekani katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wa kuvunja uhusiano na Korea Kaskazini.
Hii ni baada ya Pyongyang kufanyia majaribio kombora jingine.
Urusi imekuwa ikisema kwamba vikwazo na hatua nyingine za kuiadhibu Korea Kaskazini haziwezi kufanikiwa. Badala yake imekuwa ikihimiza kuwepo mashauriano.
Marekani imetahadharisha kwamba serikali ya Korea Kaskazini "itaangamizwa kabisa" iwapo vita vitazuka.
Rais Trump ametangaza kwamba Marekani inaiorodhesha Korea Kaskazini kuwa taifa linalofadhili ugaidi miaka tisa baada ya kuondolewa katika orodha hiyo.
Katika mkutano wa baraza la mawaziri rais Trump amesema kuwa hatua hiyo itasababisha kuwekwa kwa vikwazo vikali dhidi ya taifa hilo vinavyotarajiwa kutangazwa siku ya Jumanne.
Lakini waziri wa maswala ya kigeni Rex Tillerson baadaye alikiri kwamba madhara yake hayatakuwa makubwa.
Bwana Trump amelaumu mpango wa kinyuklia wa taifa hilo na ufadhili wa kile amekitaja kuwa vitendo vya ugaidi wa kimataifa.
Akitoa uamuzi huo katika ikulu ya Whitehouse , Trump amesema kuwa hatua hiyo ingetekelezwa kitambo.
Mnamo mwezi Septemba , Marekani ilipendekeza idadi kadhaa ya vikwazo vya Umoja wa kimataifa dhidi ya Korea Kaskazini, ikiwemo marufuku ya mafuta mbali na kupigwa tanji kwa mali ya rais wa taifa hilo Kim Jong Un.
Korea Kaskazini: Trump anachafua amani duniani
Korea Kaskazini imemuelezea Rais Trump kuwa mchafuzi wa amani na utulivu wa dunia, ambaye anatamani vita vya nuklia vitokee.
Wizara ya mashauri ya nchi za nje ya Korea Kaskazini, imekariri nia ya taifa hilo kubaki na silaha zake za nuklia, ikisema silaha hizo zinalinda heshima na uhuru wa nchi.
Matamshi hayo yanasadifiana na mazoezi makubwa ya manuwari za majeshi ya wanamaji, baina ya Marekani na Korea Kusini.
Hii ni mara ya kwanza katika mwongo mzima, ambapo manuwari tatu za Marekani zinazobeba ndege, kuhusika katika mazoezi hayo.
Akiendelea na ziara yake katika bara la Asia, Rais Trump mara kadha, ameionya Korea Kaskazini, kwamba mradi wake wa silaha za nuklia, ni tishio ambalo halitovumiliwa.
Trump: Japan itayatungua makombora ya Korea Kaskazini
Rais wa Marekani Donald Trump, amesema kwamba Japan itatungua makombora ya Korea Kaskazini, kwa kutumia mitambo ya kijeshi iliyonunuliwa kutoka Marekani.
Wakati huo huo, waziri mkuu wa Japan Shinzo Abe, amesema kwamba, taifa lake litatungua makombora hayo kabla ya kutua ardhini, "ikiwa hilo litahitajika".
Viongozi hao wawili, walisema hayo walipozungumza na waandishi habari wakati wa kumalizika rasmi kwa ziara ya kwanza ya kitaifa ya Bwana Trump nchini Japan.
Katika miezi ya hivi karibuni, Korea Kaskazini imerusha makombora mawili hatari juu ya mipaka ya Japan.
Maafisa kutoka makao makuu ya ulinzi nchini Marekani, wanaamini kuwa uvamizi wa kutumia vikosi vya Marekani vya nchi kavu, itakua njia pekee ya kupata na kudhibiti maeneo ya nyuklia ya Korea Kaskazini.
Ripoti hiyo ilikuja kwenye barua iliyotolea na makao makuu ya ulinzi nchini Marekani, kujibu ombi la bunge la kutaka kufahamu kuhusu maafa yanayoweza kutokea ikiwa mzozo utalipuka na Korea Kaskazini.
Korea Kaskazini yaionya Australia kutoshirikiana na Marekani
Serikali ya Australia imesema kuwa imepokea stakhabadhi kutoka Korea Kaskazini ikiitaka Canbera kutojihusisha na utawala wa rais Trump.
Barua hiyo imeshutumu onyo la Marekani kwamba itaiangamiza Korea Kaskazini iwapo italazimika kujilinda.
Waziri mkuu wa Australia PM Malcolm Turnbull amesema kuwa barua hiyo pia ilimwa kwa mataifa mengine.
Amesema inaonyesha kuwa shinikizo za kidiplomasia dhidi ya Korea Kaskzini zimeanza kufanya kazi, licha ya barua hiyo kuwa na ufyozi na malalamishi ya kawaida ya taifa hilo.
Barua hiyo yenye ukurasa mmoja ilitumwa kupitia ubalozi wa Korea Kaskazini nchini Indonesia na inadaiwa kutoka kwa kamati ya maswala ya kigeni ya Korea Kaskazini.
Imezitaka serikali nyengine kujitenga na hatua zisizokuwa na heshima za rais Trump ikisisitiza kuwa Marekani inaweza kusababisha janga kubwa la kinyuklia.
Korea Kaskazini inakaribia kuwa hatari kwa Marekani
Mkurugenzi wa shirika la ujasusi la Marekani CIA Mike Pompeo ametahadharisha kwamba Korea Kaskazini inakaribia sana kuwa na uwezo wa kuishambulia Marekani kwa kombora la nyuklia.
Amesisitiza kwamba taifa hilo bado linapendeleza zaidi kutumia diplomasia na vikwazo lakini amesema kwamba bado wanatafakari uwezekano wa kutumia nguvu za kijeshi.
Korea Kaskazini imekuwa ikidai kwamba tayari ina uwezo wa kuishambulia Marekani.
China yaiwekea vikwazo Korea Kaskazini
Uchina imeimarisha vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini, ambapo imetangaza usitishaji wa ununuzi wa nguo kutoka Korea kaskazini mbali na uuzaji wa mafuta kwa taifa hilo kuanzia leo na baada ya muda fulani.
Hatua hiyo inaambatana na maagizo ya vikwazo yaliyowekwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa siku 11 zilizopita.
Wachanganuzi wanasema kuwa vikwazo hivyo vitaathiri sana raia wa Korea Kaskazini iwapo vitatekelezwa kwenye mpaka kati ya mataifa hayo ambao hauna doria ya kutosha.
| 2018-06-22T14:26:31 |
https://www.bbc.com/swahili/habari-42441645
|
[
-1
] |
UN ANNOUNCES COMMITMENT TO SUPPORT ANTI CORRUPTION EFFORTS TO TANZANIA...!!! | JESTINA GEORGE
UN ANNOUNCES COMMITMENT TO SUPPORT ANTI CORRUPTION EFFORTS TO TANZANIA...!!!
http://www.jestina-george.com/2012/09/un-announces-commitment-to-support-anti.html
Reactions: Anti Corruption,
6928065513694995788
ANGALIA PICHA MAHABUSU AVUA NGUO NA KUBAKI UCHI WA MNYAMA KISHA KUNG'ANG'ANIA BENDERA YA TAIFA ILI KESI YAKE ISIKILIZWE NEW TRACK: NUH MZIWANDA - MSONDO NGOMA [AUDIO].
KUTANA NA LEOMON MBWA ANAYEPIGA KAZI KAMA MTU.
photos. Abba Ndeze
| 2014-09-15T09:26:31 |
http://www.jestina-george.com/2012/09/un-announces-commitment-to-support-anti.html
|
[
-1
] |
Telepace: Tangazeni Injili ya amani, matumaini kwa watu wa Mataifa! - | Vatican News
Papa Francisko: Telepace: Tangazeni Injili ya imani, matumaini na mapendo kwa watu wa Mataifa! (Vatican Media)
Papa Francisko anakitaka Kituo cha Televisheni cha Telepace kiwe ni antena za maisha ya kiroho; kisaidie malezi na majiundo ya vijana katika shule ya Injili; kiwajengee watu shauku ya ujenzi wa ufalme wa Mungu kwa kutangaza Habari Njema ya Wokovu. Kiwe ni chombo hai cha tasaufi inayowapeleka watu kwa Mungu.
Kituo cha Televisheni cha Telepace kinaadhimisha kumbu kumbu ya Miaka 40 tangu kuanzishwa kwake. Kwa muda wote huu, chombo hiki ambacho ni zawadi kutoka kwa Mungu kimewaunganisha na kuwafanya watu kuwa karibu; kimelinda, kutetea, kuponya, kusindikiza na kuwasaidia watu kufurahia maisha. Ni kituo ambacho kimejipambanua kwa ajili ya huduma kwa Mungu na Kanisa na kamwe hakikutawaliwa na matangazo ya biashara tangu kuanzishwa kwake, daima kimejielekeza kutafuta na kujenga ufalme wa Mungu.
Hii ni sehemu ya hotuba iliyotolewa na Baba Mtakatifu Francisko, Alhamisi, tarehe 13 Desemba 2018 alipokutana na kuzungumza na viongozi pamoja na wafanyakazi wa Kituo cha Televisheni cha Telepace kinachorusha matangazo yake nchini Italia, ambacho kinaendelea kuwa kweli ni sauti kwa wale wasiokuwa na sauti katika jamii. Ni kituo ambacho kimeendelea kurusha maadhimisho mbali mbali yanayofanywa na Khalifa wa Mtakatifu Petro tangu mwaka 1990 kwa utashi wa Mtakatifu Yohane Paulo II.
Hiki ni kituo kinachoendelea kurusha Katekesi za Baba Mtakatifu kila Jumatano, Sala ya Malaika wa Bwana, kila Jumapili na katika Siku kuu zilizo amriwa, Rozari Takatifu, muhtasari wa historia ya ukombozi pamoja na maadhimisho mbali mbali yanayofanywa na Khalifa wa Mtakatifu Petro, kiasi cha kuwafikia watazamaji huko huko majumbani mwao! Kwa hakika kuna uhusiano mkubwa kati ya Kituo cha Televisheni cha Telepace, Vatican na Bikira Maria, Nyota ya Uinjilishaji.
Baba Mtakatifu katika hotuba yake amekazia mambo makuu matatu: kwanza kabisa kituo hiki kiwe ni antena za maisha ya kiroho; kisaidie malezi na majiundo ya vijana katika shule ya Injili; Telepace ijikite katika mambo msingi ya maisha pasi na kujikwaa katika habari nyepesi nyepesi! Baba Mtakatifu anaitaka Telepace iwe ni kituo kinachowajengea watu shauku ya ujenzi wa ufalme wa Mungu kwa kutangaza Habari Njema ya Wokovu. Kiwe ni chombo hai cha tasaufi inayowapeleka watu kwa Mungu, hasa kwa kuwashirikisha maskini, wanyonge na wale wanaotengwa na jamii kutokana na sababu mbali mbali. Telepace iwe karibu na wagonjwa, wafungwa na watu ambao wako kufani, ili waweze kufarijika kwa matangazo yake! Hii ndiyo tasauti ya upendo!
Pili, Telepace kiwe ni chombo cha kuwafunda na kuwaelimisha vijana, ili kujenga na kudumisha mahusiano na mafungamano na Kanisa kwa kutambua kwamba, vijana wanayo nafasi ya pekee kabisa mbele ya Mwenyezi Mungu. Vijana waonjeshwe upendo unaoshuhudiwa katika uhalisia wa maisha. Matangazo yaoneshe matatizo, changamoto na matumaini ya vijana wa kizazi kipya kama walivyokazia Mababa wa Sinodi ya Maaskofu kwa ajili ya Vijana iliyohitimishwa hivi karibuni hapa mjini Vatican. Furaha ya Injili inawaita vijana kujichotea maadili na utu wema kwa kuwafunda katika shule ya Injili, inayowataka wafanyakazi katika tasnia ya habari kuwa ni vyombo na mashuhuda wa Neno la Mungu linalookoa. Mawasiliano yao, yawe ni kiungo cha majadiliano yanayojenga usikivu kwa vijana, ili kufikia lengo hili Baba Mtakatifu anakaza kusema, kuna haja ya kuthubutu!
Tatu, Telepace kiwe ni kituo kinachojikita kutangaza mambo msingi katika maisha badala ya kukimbilia habari nyepesi nyepesi, kwa kutangaza habari zinazowatajirisha watazamaji wake. Habari za ovyo anasema Baba Mtakatifu Francisko ni chanzo cha chuki, uhasama na wivu usiokuwa na mvuto wala mashiko; uchu wa mali na madaraka, kiasi hata cha kuwafanya baadhi ya watu kutumbukia katika utamaduni wa kifo, na umbea ambao kamwe si mtaji! Waandishi wa habari wawe ni vyombo vya ujenzi wa amani duniani; sauti ya maskini na wanyonge, waoneshe matatizo na suluhu zake badala ya kuendekeza vita ya maneno ambayo kimsingi ni hatari sana kwa ustawi na mafungamano ya kijamii. Kamwe wafanyakazi wa Telepace, wasithubutu kusaliti jina lao la kutangaza na kushuhudia amani duniani; amani ambayo ni zawadi kutoka kwa Mwenyezi Mungu; wawe ni njiwa wa amani katika sala na Injili ya upendo.
Papa: Telepace
13 December 2018, 14:23
| 2019-05-23T19:44:41 |
https://www.vaticannews.va/sw/pope/news/2018-12/papa-francisko-telepace-injili-amani-matumaini-mapendo-umoja.html
|
[
-1
] |
MAISHA NA MAFANIKIO: HALI YA USAFIRI VIJIJINI:- HII HALI MPAKA LINI?
Kwa kweli nchi yetu Tz inahitaji viongozi wasio na tama ili kuweza kuiendeleza nchi badala ya wao kujilimbikizia. Hayo ndio maisha halisi ya mtanzania anayeishi kijijini! Mungu iponye Tz na watu wake. April 22, 2014 at 2:59 PM
kweli jamani tulikotoka ni mbali
Hapo ni afadhali kunapitika, hujafika maeneo mengine, huko msimu wa mvua ndio basi tena, kutembea kwa miguu...yah, maisha bora hayo April 23, 2014 at 7:03 AM
Hayo ndo maisha ya watu wa dunia ya tatu kwa maeneo ya vijijini. Lkni pia kuna maeneo mengine ya mijini yana tabu hyohyo. Yani kuzaliwa nchi hz imekuwa kama nia ajali ya kijiografiaBy shem wako mshana
| 2017-06-25T15:40:16 |
http://ruhuwiko.blogspot.com/2014/04/hali-ya-usafiri-vijijini-hii-hali-mpaka.html
|
[
-1
] |
Burudan Mwanzo - Mwisho: MBUNGE WA KIGAMBONI ATEMBELEA KITUO CHA AFYA KIGAMBONI KUANGALIA MAENDELEO YA TIBA YA KANSA YA KIZAZI KWA KINAMAMA
| 2018-03-23T08:50:14 |
http://burudan.blogspot.com/2014/04/mbunge-wa-kigamboni-atembelea-kituo-cha.html
|
[
-1
] |
Wananchi waua polisi Mwanza – MwanaHALISI Online
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Valentino Mlowola
Posted by: Masalu Erasto March 4, 2015 0 2,522 Views
MATUKIO ya wananchi kujichukulia sheria mikononi yanazidi kuchukua sura mpya baada ya askari Polisi PC Magesa kushambuliwa na kisha kuuwawa katika Mtaa wa Kanindo Kata ya Igoma Wilayani Nyamagana Mkoa wa Mwanza.
Taarifa zilizolifikia MwanahalisiOnline, zimedokeza kuwa, askari huyo aliuawa kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya wizi.
Tukio hilo la kinyama limetokea juzi usiku, ambapo marehemu anadaiwa kukutwa akifanya uhalifu pamoja na wenzake wawili pamoja na askari mgambo, ingawa watuhumiwa hao majina yao hayakufahamika mara moja.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Valentino Mlowola amethibitisha tukio hilo na kuahidi kutoa taarifa kamili kesho.
Previous: Kapteni Komba afa na deni la CRDB
Next: Kigogo wa Ikulu akiri kupokea fedha za ESCROW
| 2018-07-20T02:57:10 |
http://mwanahalisionline.com/wananchi-waua-polisi-mwanza-2/
|
[
-1
] |
SuperD Boxing Coach: NGUMI ZILIVYOPIGWA JUMAMOSI MANZESE
Bondia Hassana Mlutu akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Iddi Mustafa wakati wa mpamnano wao Mlutu alishinda kwa point mpambano huo picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Mzee kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Ismail Ndende wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita mpambano uho ulimalizika kwa droo ya kufungana point Picha www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Sako Mwaisege kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Hussein Gobiso wakati wa mchezo wao uliomalizika kwa droo ya kufungana kwa point picha na www.superdboxingcoach.blogsoit.com
Bondia Hassani Mandula kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Karim Migea wakati wa mpambano wao Mandula alishinda kwa k,o ya raundi ya pili picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Msanii wa muziki wa hipop Karama Masoud 'Kala Pina' akitumbuiza katika onesho lake lililofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita lililoandaliwa na kikosi cha mizinga entatainment
Mpambano wa masumbwi uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita ulioandaliwa na Kikosi cha Mizinga Entatainment ya jijini Dar es salaam
imeleta chachu kwa mabondia mbalimbali baada ya wengi wao kuikubali kampuni hiyo na kuiunga mkono kwa kila hali mmoja wa wasisi wa kampuni hi ambaye ni Msanii wa muziki wa hipop Karama Masoud 'Kala Pina' na Sempai Gola wame haidi kuwa bega kwa bega na mabondia mbalimbali kwa ajili ya kushiliki katika ngumi zitakazo pangwa tena hivi karibuni
Posted by Superd Boxing Coach at 4:25 PM
| 2017-10-22T11:50:27 |
http://superdboxingcoach.blogspot.com/2014/06/ngumi-zilivyopiggwa-jumamiosi-manzese.html
|
[
-1
] |
Mathayo 5 — Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Mathayo 5 Tafsiri ya Ulimwengu Mpya (bi12) Hakuna video yoyote kwa sasa.
Mathayo 5:1Fahirisi ya Machapisho
Mtu Mkuu, sura 35
Mathayo 5:3MarejeleoLu 6:20; 1Ko 2:14Yak 2:5Fahirisi ya Machapishow11 7/1 8; w10 8/1 16; w09 2/15 6; w08 5/1 19-20; g 11/08 9; g 4/06 3-5; w04 9/1 5; w04 11/1 8-9; w01 3/1 4-5; w01 10/15 20-21; w00 3/1 29-30; w99 9/1 19; w97 3/15 23
Mnara wa Mlinzi,4/1/2013, uku. 6
7/1/2011, uku. 8
8/1/2010, uku. 16
2/15/2009, uku. 6
5/1/2008, kur. 19-20
11/1/2004, kur. 8-9
9/1/2004, uku. 5
10/15/2001, kur. 20-21
3/1/2001, kur. 4-5
3/1/2000, kur. 29-30
Amkeni!,11/2008, uku. 9
4/2006, kur. 3, 4-5
Mathayo 5:4MarejeleoIsa 12:1; 61:3; Mt 11:28Fahirisi ya Machapishow09 2/15 6-7; w04 9/1 4-5; w04 11/1 9-10
Mnara wa Mlinzi,2/15/2009, kur. 6-7
11/1/2004, kur. 9-10
9/1/2004, kur. 4-5
Mathayo 5:5Marejeleo1Ti 6:11; Tit 3:2Zb 37:11Fahirisi ya Machapishow09 2/15 7; w09 3/15 11; w08 5/15 3; w06 8/15 3-7; w04 10/1 3-7; w04 11/1 10-11; w03 4/1 25; w97 10/1 19-20
Mnara wa Mlinzi,3/15/2009, uku. 11
2/15/2009, uku. 7
5/15/2008, uku. 3
8/15/2006, kur. 3, 4-7
11/1/2004, kur. 10-11
10/1/2004, kur. 3-7
4/1/2003, uku. 25
Mathayo 5:6MarejeleoIsa 55:1; Lu 6:21Yoh 6:35; Ufu 7:16Fahirisi ya Machapishow11 2/15 27; w09 2/15 7-8; w04 9/1 4-5; w04 11/1 11-12
Mnara wa Mlinzi,2/15/2011, uku. 27
2/15/2009, kur. 7-8
11/1/2004, kur. 11-12
Mathayo 5:7MarejeleoMt 6:14; 18:33; Yak 2:13Fahirisi ya Machapishow09 2/15 8; w08 5/15 4; w04 11/1 12
Mnara wa Mlinzi,4/1/2013, kur. 6-7
2/15/2009, uku. 8
5/15/2008, uku. 4
11/1/2004, uku. 12
Mathayo 5:8MarejeleoZb 24:4; 73:1; Met 22:11; Tit 1:151Yh 3:2Fahirisi ya Machapishow10 3/15 30; w09 2/15 9; w04 11/1 12-13; w01 6/15 18-19
Mnara wa Mlinzi,3/15/2010, uku. 30
2/15/2009, uku. 9
11/1/2004, kur. 12-13
6/15/2001, kur. 18-19
Mathayo 5:9MarejeleoRo 12:18; Ebr 12:14; Yak 3:18Gal 4:6Fahirisi ya Machapishow09 2/15 9; w08 5/15 4; g 5/06 28-29; w04 11/1 12-13; w01 9/1 8-9
Mnara wa Mlinzi,4/1/2013, uku. 7
9/1/2001, kur. 8-9
Amkeni!,5/2006, kur. 28-29
Mathayo 5:10MarejeleoMk 10:30; 1Pe 3:14Fahirisi ya Machapishow09 2/15 10; w04 9/1 5; w04 11/1 14
Mnara wa Mlinzi,2/15/2009, uku. 10
11/1/2004, uku. 14
Mathayo 5:11MarejeleoMt 10:22; Lu 6:22; Yak 1:2; 1Pe 4:14Yoh 15:20Fahirisi ya Machapishow04 9/1 5; w04 11/1 14-15; w01 5/1 15-17
Mnara wa Mlinzi,11/1/2004, kur. 14-15
5/1/2001, kur. 15-17
Mathayo 5:12MarejeleoHab 3:18; Lu 6:23; Mdo 5:41; Ro 5:3Ebr 11:62Nya 36:16; Mt 23:30; Lu 6:23; Mdo 7:52; 1Th 2:15; Ebr 11:37; Yak 5:10Fahirisi ya Machapishow04 11/1 15-18
Mnara wa Mlinzi,11/1/2004, kur. 15-18
Mathayo 5:13MarejeleoMk 9:50Lu 14:35Fahirisi ya Machapishow12 5/1 4, 8-9; w09 5/1 14; w99 8/15 32; w99 12/15 30
Mnara wa Mlinzi,12/1/2012, uku. 22
5/1/2012, kur. 4, 8-9
5/1/2009, uku. 14
Mtu Mkuu, sura 35, 84
Mathayo 5:14MarejeleoIsa 51:4; Yoh 3:19; 8:12; 9:5; 12:36; 2Ko 6:14; Flp 2:15Fahirisi ya Machapishow12 5/1 4, 8-9; w08 5/15 5; cf 121; w06 6/1 32; rs 343; w02 2/1 30-31; w97 6/1 14
Mnara wa Mlinzi,5/1/2012, kur. 4, 8-9
5/15/2008, uku. 5
6/1/2006, uku. 32
2/1/2002, kur. 30-31
‘Mfuasi Wangu,’ kur. 120-121
Kutoa Sababu, uku. 343
Mathayo 5:15MarejeleoMk 4:21; Lu 11:33Fahirisi ya Machapishow08 5/15 5; w97 6/1 14
Mnara wa Mlinzi,5/15/2008, uku. 5
Mathayo 5:16MarejeleoEfe 5:8; Flp 2:15; 1Pe 2:9Yoh 10:32; 15:8; Efe 5:91Pe 2:12Fahirisi ya Machapishow08 5/15 5-6; rs 343; w02 2/1 30-31; km 2/01 1; w97 6/1 14
Mnara wa Mlinzi,5/15/2008, kur. 5-6
Huduma Yetu ya Ufalme,2/2001, uku. 1
Mathayo 5:17MarejeleoRo 3:31Lu 4:21Fahirisi ya Machapishow10 2/1 13
Mnara wa Mlinzi,2/1/2010, uku. 13
Mathayo 5:18MarejeleoMt 24:35; Lu 16:17; 21:33Isa 40:8; 55:11Mathayo 5:19MarejeleoYak 2:10Lu 13:28Mt 28:20Mt 11:11Fahirisi ya Machapisho
Mathayo 5:20MarejeleoMt 15:9; 23:23; Lu 11:42Mt 18:3; Yoh 3:5Fahirisi ya Machapishow98 8/1 9
Mathayo 5:21MarejeleoMwa 9:6; Kut 20:13; Kum 5:17Law 24:17Kum 17:9Fahirisi ya Machapishow05 3/15 6
Mnara wa Mlinzi,3/15/2005, uku. 6
Mathayo 5:22Maelezo ya ChiniBonde la Hinomu. Tazama Nyongeza 2.
MarejeleoEfe 4:26; Kol 3:8; Yak 1:19; 5:61Yh 3:152Fa 23:10; Yer 7:31; Mt 10:28; Lu 12:5Fahirisi ya Machapishow11 4/1 31; w08 1/15 29; w06 2/15 31; w05 3/15 6
Mnara wa Mlinzi,4/1/2011, uku. 31
1/15/2008, uku. 29
2/15/2006, uku. 31
3/15/2005, uku. 6
Mathayo 5:23MarejeleoKum 16:16; Mt 23:19Law 19:17; Mk 11:25; Lu 17:3Fahirisi ya Machapishow09 2/15 10-11; w08 5/15 6; w02 3/15 5; w02 11/1 5-6; cl 222-223; w99 10/15 16; w96 7/15 18; g96 2/8 26-27
Mkaribie Yehova, kur. 222-223
Mnara wa Mlinzi,2/15/2009, kur. 10-11
5/15/2008, uku. 6
11/1/2002, kur. 5-6
3/15/2002, uku. 5
Mathayo 5:24MarejeleoMt 18:15; 1Pe 3:111Ti 2:8; 1Yh 4:20Fahirisi ya Machapishow09 2/15 10-11; w08 5/15 6; w02 3/15 5; w02 11/1 5-6; cl 222-223; w99 10/15 16; w96 7/15 18; g96 2/8 26-27
Mathayo 5:25MarejeleoLu 12:58; 18:3Fahirisi ya Machapishow08 5/15 6-7
Mnara wa Mlinzi,5/15/2008, kur. 6-7
Mathayo 5:26MarejeleoMt 18:34; Lu 12:59Mathayo 5:27MarejeleoKut 20:14; Kum 5:18; Lu 18:20; Ro 13:9Mathayo 5:28MarejeleoKum 5:21; 2Sa 11:2; Ayu 31:1; 2Pe 2:141Yh 2:16Mk 7:21, 23Fahirisi ya Machapishog 2/12 14; w11 2/15 30; w05 3/15 6; w01 10/15 24; g98 7/8 21-22
Amkeni!,3/2013, uku. 10
2/2012, uku. 14
Mnara wa Mlinzi,2/15/2011, uku. 30
10/15/2001, uku. 24
Mathayo 5:29Maelezo ya ChiniBonde la Hinomu. Tazama Nyongeza 2.
MarejeleoMt 18:8; Lu 11:34Mt 18:9; Mk 9:47Fahirisi ya Machapishog 2/12 14; w10 1/1 6-7; w09 2/15 11-12; w01 10/15 26
Amkeni!,2/2012, uku. 14
Mnara wa Mlinzi,1/1/2010, kur. 6-7
2/15/2009, kur. 11-12
10/15/2001, uku. 26
Mathayo 5:30Maelezo ya ChiniBonde la Hinomu. Tazama Nyongeza 2.
MarejeleoKol 3:5Fahirisi ya Machapishow09 2/15 11-12
Mnara wa Mlinzi,2/15/2009, kur. 11-12
Mathayo 5:31MarejeleoMt 19:3; Mk 10:2Kum 24:1; Mt 19:8; Mk 10:4Mathayo 5:32MarejeleoHes 14:33; Amu 19:2; Eze 23:11; Ho. 2:5; Mk 7:21; Mdo 5:29Mk 10:11; Lu 16:18; Ro 7:3Mt 19:9Fahirisi ya Machapishojv 177-178
Mathayo 5:33MarejeleoLaw 19:12; Hes 30:2Kum 23:21; Zb 50:14; Mhu 5:4Mathayo 5:34MarejeleoYak 5:12Mdo 7:49Mathayo 5:35MarejeleoIsa 66:1; Omb 2:1Zb 48:2Fahirisi ya Machapishow98 10/15 8-12
Mathayo 5:37Marejeleo2Ko 1:17; Yak 5:12Yoh 8:44Fahirisi ya Machapisho
Mnara wa Mlinzi,10/15/2012, kur. 27-31
Mathayo 5:38MarejeleoKut 21:24; Law 24:20; Kum 19:21Fahirisi ya Machapishog 9/10 10-11
Mnara wa Mlinzi,9/1/2014, kur. 8-9
Amkeni!,9/2010, kur. 10-11
Mathayo 5:39MarejeleoMet 24:29; Isa 50:6; Omb 3:30; Lu 6:29; Yoh 18:22; Ro 12:17; 1Pe 2:23Fahirisi ya Machapishog 9/10 10-11; lr 103-105; w98 12/15 24-25
Mwalimu, kur. 103-105
Mathayo 5:40MarejeleoLu 6:29; 1Ko 6:7Fahirisi ya Machapishow98 12/15 24-25
Mathayo 5:41MarejeleoMk 15:21Fahirisi ya Machapishow12 4/1 9; w05 2/15 23-26; w97 4/1 28; w96 5/1 12
Mnara wa Mlinzi,2/1/2015, uku. 6
4/1/2012, uku. 9
2/15/2005, kur. 23-26
Mathayo 5:42MarejeleoLaw 25:36; Kum 23:19Mathayo 5:43MarejeleoLaw 19:18; Mk 12:31Kut 23:4Fahirisi ya Machapishow08 5/15 7-8; cf 103-104
Mnara wa Mlinzi,5/15/2008, kur. 7-8
‘Mfuasi Wangu,’ kur. 103-104
Mathayo 5:44MarejeleoMet 25:21; Ro 12:20Lu 6:28; 23:34; Mdo 7:60; Ro 12:14Fahirisi ya Machapishog 11/09 10-11; w08 5/15 8; w05 12/15 23; w01 1/1 17; g01 8/8 8-10; g98 10/22 7
Mnara wa Mlinzi,6/15/2014, kur. 18-19
5/15/2008, uku. 8
12/15/2005, uku. 23
1/1/2001, uku. 17
Amkeni!,11/2009, kur. 10-11
8/8/2001, kur. 8-10
Mathayo 5:45MarejeleoMt 5:9; Efe 5:1Lu 6:35; Mdo 14:17Fahirisi ya Machapishow09 1/1 14; w08 5/15 8; cl 272-274
Mkaribie Yehova, kur. 272-274
Mnara wa Mlinzi,1/1/2009, uku. 14
Mathayo 5:46MarejeleoLu 6:32Fahirisi ya Machapishow08 5/15 8
Mnara wa Mlinzi,5/15/2008, uku. 8
Mathayo 5:47Fahirisi ya Machapishow08 5/15 8
Mathayo 5:48MarejeleoLaw 19:2; Kum 18:13; Lu 6:36; 1Pe 1:16Fahirisi ya Machapishow10 11/15 22; w08 1/15 29; w08 5/15 8-9; w08 12/15 4; g03 7/22 12; w96 10/1 10
Mnara wa Mlinzi,11/15/2010, uku. 22
12/15/2008, uku. 4
5/15/2008, kur. 8-9
Amkeni!,7/22/2003, uku. 12
MengineMt. 5:3Lu 6:20; 1Ko 2:14Mt. 5:3Yak 2:5Mt. 5:4Isa 12:1; 61:3; Mt 11:28Mt. 5:51Ti 6:11; Tit 3:2Mt. 5:5Zb 37:11Mt. 5:6Isa 55:1; Lu 6:21Mt. 5:6Yoh 6:35; Ufu 7:16Mt. 5:7Mt 6:14; 18:33; Yak 2:13Mt. 5:8Zb 24:4; 73:1; Met 22:11; Tit 1:15Mt. 5:81Yh 3:2Mt. 5:9Ro 12:18; Ebr 12:14; Yak 3:18Mt. 5:9Gal 4:6Mt. 5:10Mk 10:30; 1Pe 3:14Mt. 5:11Mt 10:22; Lu 6:22; Yak 1:2; 1Pe 4:14Mt. 5:11Yoh 15:20Mt. 5:12Hab 3:18; Lu 6:23; Mdo 5:41; Ro 5:3Mt. 5:12Ebr 11:6Mt. 5:122Nya 36:16; Mt 23:30; Lu 6:23; Mdo 7:52; 1Th 2:15; Ebr 11:37; Yak 5:10Mt. 5:13Mk 9:50Mt. 5:13Lu 14:35Mt. 5:14Isa 51:4; Yoh 3:19; 8:12; 9:5; 12:36; 2Ko 6:14; Flp 2:15Mt. 5:15Mk 4:21; Lu 11:33Mt. 5:16Efe 5:8; Flp 2:15; 1Pe 2:9Mt. 5:16Yoh 10:32; 15:8; Efe 5:9Mt. 5:161Pe 2:12Mt. 5:17Ro 3:31Mt. 5:17Lu 4:21Mt. 5:18Mt 24:35; Lu 16:17; 21:33Mt. 5:18Isa 40:8; 55:11Mt. 5:19Yak 2:10Mt. 5:19Lu 13:28Mt. 5:19Mt 28:20Mt. 5:19Mt 11:11Mt. 5:20Mt 15:9; 23:23; Lu 11:42Mt. 5:20Mt 18:3; Yoh 3:5Mt. 5:21Mwa 9:6; Kut 20:13; Kum 5:17Mt. 5:21Law 24:17Mt. 5:21Kum 17:9Mt. 5:22Efe 4:26; Kol 3:8; Yak 1:19; 5:6Mt. 5:221Yh 3:15Mt. 5:222Fa 23:10; Yer 7:31; Mt 10:28; Lu 12:5Mt. 5:23Kum 16:16; Mt 23:19Mt. 5:23Law 19:17; Mk 11:25; Lu 17:3Mt. 5:24Mt 18:15; 1Pe 3:11Mt. 5:241Ti 2:8; 1Yh 4:20Mt. 5:25Lu 12:58; 18:3Mt. 5:26Mt 18:34; Lu 12:59Mt. 5:27Kut 20:14; Kum 5:18; Lu 18:20; Ro 13:9Mt. 5:28Kum 5:21; 2Sa 11:2; Ayu 31:1; 2Pe 2:14Mt. 5:281Yh 2:16Mt. 5:28Mk 7:21, 23Mt. 5:29Mt 18:8; Lu 11:34Mt. 5:29Mt 18:9; Mk 9:47Mt. 5:30Kol 3:5Mt. 5:31Mt 19:3; Mk 10:2Mt. 5:31Kum 24:1; Mt 19:8; Mk 10:4Mt. 5:32Hes 14:33; Amu 19:2; Eze 23:11; Ho. 2:5; Mk 7:21; Mdo 5:29Mt. 5:32Mk 10:11; Lu 16:18; Ro 7:3Mt. 5:32Mt 19:9Mt. 5:33Law 19:12; Hes 30:2Mt. 5:33Kum 23:21; Zb 50:14; Mhu 5:4Mt. 5:34Yak 5:12Mt. 5:34Mdo 7:49Mt. 5:35Isa 66:1; Omb 2:1Mt. 5:35Zb 48:2Mt. 5:372Ko 1:17; Yak 5:12Mt. 5:37Yoh 8:44Mt. 5:38Kut 21:24; Law 24:20; Kum 19:21Mt. 5:39Met 24:29; Isa 50:6; Omb 3:30; Lu 6:29; Yoh 18:22; Ro 12:17; 1Pe 2:23Mt. 5:40Lu 6:29; 1Ko 6:7Mt. 5:41Mk 15:21Mt. 5:42Law 25:36; Kum 23:19Mt. 5:43Law 19:18; Mk 12:31Mt. 5:43Kut 23:4Mt. 5:44Met 25:21; Ro 12:20Mt. 5:44Lu 6:28; 23:34; Mdo 7:60; Ro 12:14Mt. 5:45Mt 5:9; Efe 5:1Mt. 5:45Lu 6:35; Mdo 14:17Mt. 5:46Lu 6:32Mt. 5:48Law 19:2; Kum 18:13; Lu 6:36; 1Pe 1:16 Tafsiri ya Ulimwengu Mpya (bi12) 123456789101112131415161718192021222324252627282930313233343536373839404142434445464748 Mathayo
5 Alipouona umati akapanda mlimani; na baada ya kuketi wanafunzi wake wakamjia; 2 naye akafungua kinywa chake na kuanza kuwafundisha, akisema:
3 “Wenye furaha ni wale wanaotambua uhitaji wao wa kiroho,+ kwa kuwa ufalme wa mbinguni ni wao.+
4 “Wenye furaha ni wale wanaoomboleza, kwa kuwa watafarijiwa.+
5 “Wenye furaha ni wale walio na tabia-pole,+ kwa kuwa watairithi dunia.+
6 “Wenye furaha ni wale walio na njaa na walio na kiu+ kwa ajili ya uadilifu, kwa kuwa watashibishwa.+
7 “Wenye furaha ni wale walio na rehema,+ kwa kuwa wataonyeshwa rehema.
8 “Wenye furaha ni wale walio safi moyoni,+ kwa kuwa watamwona Mungu.+
9 “Wenye furaha ni wale wanaofanya amani,+ kwa kuwa wataitwa ‘wana+ wa Mungu.’
10 “Wenye furaha ni wale ambao wameteswa+ kwa ajili ya uadilifu, kwa kuwa ufalme wa mbinguni ni wao.
11 “Wenye furaha ni ninyi wakati watu wanapowashutumu+ na kuwatesa+ na kusema kwa uwongo kila namna ya jambo baya juu yenu kwa ajili yangu. 12 Shangilieni na kuruka kwa shangwe,+ kwa kuwa thawabu+ yenu ni kubwa mbinguni; kwa maana hivyo ndivyo walivyowatesa manabii+ waliokuwa kabla yenu.
13 “Ninyi ndio chumvi+ ya dunia; lakini chumvi ikipoteza nguvu zake, ladha yake itarudishwaje? Haitumiki tena kwa kitu chochote bali ni ya kutupwa nje+ ili ikanyagwe-kanyagwe na watu.
14 “Ninyi ndio nuru ya ulimwengu.+ Jiji haliwezi kufichwa likiwa limesimama juu ya mlima. 15 Watu huwasha taa na kuiweka, si chini ya kikapu cha kupimia,+ bali juu ya kinara cha taa, nayo huangazia watu wote waliomo ndani ya nyumba. 16 Vivyo hivyo acheni nuru+ yenu iangaze mbele ya watu, ili wapate kuona matendo yenu mazuri+ na kumpa utukufu+ Baba yenu aliye mbinguni.
17 “Msifikiri nilikuja kuharibu Sheria+ au Manabii. Sikuja kuharibu, bali kutimiza;+ 18 kwa maana kwa kweli ninawaambia ninyi kwamba mbingu na dunia zingepitilia mbali+ upesi zaidi kuliko herufi moja ndogo zaidi au nukta moja ya herufi kupitilia mbali kutoka katika Sheria na mambo yote yasitukie.+ 19 Kwa hiyo, yeyote yule anayevunja+ moja ya amri hizi ndogo zaidi na kufundisha wanadamu hivyo, yeye ataitwa ‘mdogo zaidi’ kuhusiana na ufalme wa mbinguni.+ Kwa habari ya yeyote anayezifanya na kuzifundisha,+ huyo ataitwa ‘mkubwa’+ kuhusiana na ufalme wa mbinguni. 20 Kwa maana ninawaambia ninyi kwamba ikiwa uadilifu wenu hauzidi ule wa waandishi na Mafarisayo,+ hamtaingia+ kamwe katika ufalme wa mbinguni.
21 “Ninyi mlisikia kwamba watu wa kale waliambiwa, ‘Usiue;+ lakini yeyote yule anayeua+ atatoa hesabu mahakamani.’+ 22 Hata hivyo, ninawaambia ninyi kwamba kila mtu anayeendelea kuwa na ghadhabu+ na ndugu yake atatoa hesabu+ mahakamani; lakini yeyote yule anayemwambia ndugu yake neno la dharau lisilosemeka atatoa hesabu katika Mahakama Kuu Zaidi; na yeyote yule anayesema, ‘Wewe mpumbavu wa kudharauliwa!’ atastahili Gehena* ya moto.+
23 “Basi, ikiwa unaleta zawadi yako kwenye madhabahu+ na hapo ukumbuke kwamba ndugu yako ana jambo fulani juu yako,+ 24 acha zawadi yako hapo mbele ya madhabahu, na uende zako; kwanza fanya amani yako pamoja na ndugu yako,+ na ndipo, ukiisha kurudi, itoe zawadi yako.+
25 “Uwe tayari kusuluhisha mambo upesi pamoja na mtu anayekushtaki mahakamani, wakati unapokuwa pamoja naye njiani kwenda huko, ili kwa njia fulani mlalamikaji+ asikutie mikononi mwa hakimu, naye hakimu kwa mtumishi wa mahakama, nawe utupwe ndani ya gereza. 26 Nakuambia kwa kweli, Hakika wewe hutatoka humo mpaka uwe umemaliza kulipa sarafu ya mwisho iliyo ya thamani ndogo sana.+
27 “Ninyi mlisikia kwamba ilisemwa, ‘Usifanye uzinzi.’+ 28 Lakini mimi ninawaambia ninyi kwamba kila mtu ambaye anaendelea kumtazama mwanamke+ na kumtamani tayari amefanya uzinzi+ pamoja naye moyoni mwake.+ 29 Ikiwa, sasa, hilo jicho lako la kuume linakufanya ukwazike, ling’oe ulitupilie mbali nawe.+ Kwa maana kuna faida zaidi kwako kimoja cha viungo vyako kipotee kuliko mwili wako wote utupwe+ ndani ya Gehena.* 30 Pia, mkono wako wa kuume ukikufanya ukwazike, ukate na kuutupilia mbali nawe.+ Kwa maana kuna faida zaidi kwako kimoja cha viungo vyako kipotee kuliko mwili wako wote uanguke ndani ya Gehena.*
31 “Zaidi ya hayo ilisemwa, ‘Yeyote yule anayemtaliki+ mke wake, na ampe cheti cha talaka.’+ 32 Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi kwamba kila mtu anayemtaliki mke wake, isipokuwa kwa sababu ya uasherati,+ anamweka katika hali ya kuweza kufanya uzinzi,+ na yeyote yule anayemwoa mwanamke aliyetalikiwa anafanya uzinzi.+
33 “Tena mlisikia kwamba watu wa kale waliambiwa, ‘Usiape+ bila kutimiza, bali lazima umtimizie Yehova nadhiri zako.’+ 34 Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi: Msiape+ hata kidogo, wala kwa mbingu, kwa sababu hizo ni kiti cha ufalme cha Mungu;+ 35 wala kwa dunia, kwa sababu hiyo ni kiti cha miguu yake;+ wala kwa Yerusalemu, kwa sababu hilo ni jiji+ la yule Mfalme mkuu. 36 Wala usiape kwa kichwa chako, kwa sababu huwezi kugeuza unywele mmoja kuwa mweupe au mweusi. 37 Acheni tu neno lenu Ndiyo limaanishe Ndiyo, Siyo yenu, Siyo;+ kwa maana linalozidi hayo linatoka kwa yule mwovu.+
38 “Ninyi mlisikia kwamba ilisemwa, ‘Jicho kwa jicho na jino kwa jino.’+ 39 Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi: Msimpinge yeye aliye mwovu; bali yeyote anayekupiga kofi kwenye shavu+ lako la kuume, mgeuzie lile lingine pia. 40 Na ikiwa mtu anataka kwenda mahakamani pamoja nawe na kulichukua vazi lako la ndani, acha alichukue vazi lako la nje pia;+ 41 na mtu fulani aliye na mamlaka akikulazimisha uingie katika utumishi wa kilometa moja, nenda pamoja naye kilometa mbili.+ 42 Mpe yeye anayekuomba, wala usimpe kisogo yule anayetaka umkopeshe bila faida.+
43 “Ninyi mlisikia kwamba ilisemwa, ‘Mpende jirani+ yako na kumchukia adui yako.’+ 44 Hata hivyo, mimi ninawaambia ninyi: Endeleeni kuwapenda adui zenu+ na kusali kwa ajili ya wale wanaowatesa ninyi;+ 45 ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni,+ kwa kuwa yeye hulichomoza jua lake juu ya watu waovu na wema na hunyesha mvua juu ya watu waadilifu na wasio waadilifu.+ 46 Kwa maana mkiwapenda wale wanaowapenda ninyi, mna thawabu gani?+ Je, wakusanya-kodi pia hawafanyi jambo hilohilo? 47 Na mkiwasalimu ndugu zenu tu, mnafanya jambo gani linalozidi lile la kawaida? Je, watu wa mataifa pia hawafanyi jambo hilohilo? 48 Lazima ninyi basi muwe wakamilifu, kama Baba yenu wa mbinguni alivyo mkamilifu.+
| 2017-07-26T14:36:50 |
https://wol.jw.org/sw/wol/b/r13/lp-sw/bi12/SW/2003/40/5
|
[
-1
] |
UNHCR yaomba msaada kwa wakimbizi na jamii zinazowahifadhi nchini Sudan | Habari za UN
Binti wa miaka 7 akimpa maji ya kunywa baby yake kwenye kambi ya wakimbizi wa ndani Darfur nchini Sudan
Mpango huo wa wakimbizi uliozinduliwa mapema leo mjini Khartoum, unahusu huduma za kibinadamu zinazofanywa na UNHCR na zaidi ya washirika 30. Sudan ina historia ya kuwahifadhi wakimbizi na wale wanaotafuta hifadhi lakini huwa inakumbwa na changamoto za wakimbizi wa ndania, wakati inakbiliwa na mzozo wa kiuchumi. Wito huo unakuja wakati nchi hiyo inapitia mabadiliko ya kisiasa, huku ikiwa inahitaji usaidizi wa kupata amani.
Kundi kubwa zaidi la wakimbizi waliopo Sudan ni kutoka Sudan Kusini ambapo wakimbizi 840,000 wanatafuta hifadhi nchini humo tangu mwaka 2013. Misaada pia inahitajika kwa wakimbizi kutoka nchi tisa ambao wametafuta hifadhi wakikimbia ghasia na mateso.
Katika kipindi hiki Sudan pia inaendelea kuwapokea wakimbizi wapya. Huko Darfur kuingia kwa wakimbizi kutoka Jamhuri ya Afrika ya kati maeneo ya Kusini na kati kati mwa Sudan imechangia idadi kuongezeka kutoka wakimbizi 5,000 hadi 17,000 katika kipindi cha miezi mitatu tangu Septemba 2019. Babar Baloch ni msemaji wa UNHCR Geneva Uswis
Licha ya wakimbizi kunufaika na misaada kutoka kwa jamii zinazowahifadhi, mzozo wa kiuchumi unaoshuhudiwa sasa umechangia hali kuwa mbaya kutokana na uhaba ya mahitaji.
Miaka kadhaa ya mizozo pia imechangia kuhama zaidi ya watu 600,00 raia wa Sudan kama wakimbizi kwenda nchi majirani ikiwemo wakimbizi 300,000 kutoka Darfur, mashariki mwa Chad.
Tangu makubaliano yatiwe sahihi kati ya serikali ya Sudan, Chad na UNHCR mwezi Mei mwaka 2017, karibu wakimbizi 4000 kutoka Sudan wameamua kurudi nyumbani, zaidi wakitarajiwa kurudi mwaka huu.
Sudan|sudan kusini|Khartoum|wakimbizi|Darfur|chad
| 2020-05-28T17:51:28 |
https://news.un.org/sw/story/2020/01/1078872
|
[
-1
] |
Watuhumiwa wa Dawa za kulevya Wazidi Kubanwa | MPEKUZI
WAZIRI Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa, Kassim Majaliwa amemtaka Mkuu wa Magereza mkoa wa Lindi, kuhakikisha hakuna mtuhumiwa wa dawa za kulevya atakayetoweka katika gereza la mkoa huo.
Amesema kuna watuhumiwa wa dawa za kulevya ambao wanahifadhiwa katika gereza la mkoa wa Lindi hivyo ni vema akajiridhisha kama ulinzi na usalama wa watuhumiwa hao umeimarishwa.
Hata hivyo, Waziri Mkuu, Majaliwa amemtaka mkuu wa gereza hilo kuwa makini na baadhi ya zabuni wanazozitoa kutoka nje na kuhakikisha ulinzi unaimarisha wakati wote gerezani hapo.
Waziri Mkuu, Majaliwa aliyasema hayo jana (10 Aprili, 2016) wilayani Ruangwa wakati akipokea taarifa ya maendeleo ya mkoa wa Lindi iliyowasilishwa kwake na Mkuu wa mkoa huo, Godfrey Zambi.
“Mkuu wa Magereza wa mkoa atembee gereza ambalo wanashikiliwa watuhumiwa wa dawa za kulevya na aangalie mradi unaolenga kupeleka maji gerezani hapo kama ni kweli au njia…,” alisema Waziri Mkuu, Majaliwa.
Aidha, Waziri Mkuu, Majaliwa alimtaka mkuu huyo wa Magereza kujiridhisha kama ulinzi na usalama wao umeimarishwa na kuhakikisha hakuna mtuhumiwa anayetoweka.
Awali akisoma taarifa kwa Waziri Mkuu, mkuu wa mkoa wa Lindi, Zambi alisema matumizi ya dawa za kulevya hususan kwa vijana ni miongoni mwa changamoto zinazoukabili mkoa huu ambapo wilaya ya Kilwa inaongoza kwa kuwa na waathirika wengi.
Alisema matumizi ya dawa hizo yanasababisha kupunguza kwa nguvu kazi kwani watumiaji wengi ni vijana, hivyo alitoa wito kwa wananchi kushirikiana na serikali katika kupiga vita matumizi ya dawa hizo kwa kuwafichua wauzaji na watumiaji.
| 2018-02-19T12:00:34 |
http://www.mpekuzihuru.com/2016/04/watuhumiwa-wa-dawa-za-kulevya-wazidi.html
|
[
-1
] |
JK sasa abadilisha gia aona kheri awe "fotokopi" ya Dr. Slaa............. | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
JK sasa abadilisha gia aona kheri awe "fotokopi" ya Dr. Slaa.............
Pamoja na JK kuviita vyama vya upinzani ni "photocopy" ya CCM lakini nyendo zake zimenithibitishia ya kuwa yeye JK ndiyo "fotokopi" murua ya Dr. Slaa na huu ndiyo uthibitisho wake:-
a) Kila aliposikia Dr. Slaa amefunika kwenye mikutano yake JK amejibidiisha kwenda huko ili ajipime ubavu na Raisi mtarajiwa Dr. Slaa. Mifano ni Mwanza, Arusha, Moshi na jana Mwembeyanga.
JK anaona kujinusuru ni kheri azingatie usemi usemao ...."fuata nyuki ule asali..." na hapo amenithibitishia ya kuwa yeye ni fotokopi ya Dr. Slaa kwa sababu hawezi kufanya lolote mpaka Dr. Slaa kwanza awe amelifanya............yaani JK ni mwigizaji mzuri wa Dr. Slaa...
b) CCM na hususani JK wamekuwa wakiimba ngonjera za ya kuwa elimu na afya bure haviwezekani lakini baada ya Dr. Slaa kuchanganua takwimu kwa kutumia zana nzito za upembuzi yakinifu na za kitalaamu .........JK amemwagiza Waziri wa Elimu Profesa Jumanne Maghembe kukubaliana na Dr. Slaa na Ilani ya uchaguzi ya Chadema ya kuwa elimu bwerere pia ni sera ya CCM ila Maghembe hajafafanua ni kwa nini haimo kwenye Ilani ya Uchaguzi ya CCM au hata mipango yake ya miaka kumi ijayo............Hili lathibitisha ya kuwa JK ni fotokopi ya Dr. Slaa.
c) CCM walisema midahalo "nuksi" hawaitaki kwa sababu waliyoyafanya ni mengi na yanaonekana lakini baada ya Dr. Slaa kufanya mdahalo wake pale MOVENPICK Dar na kuwa na mafanikio makubwa kufikia hata makada wa CCM kupagawa na kudai watampigia kura kimyakimya Dr. Slaa..... JK naye akazinduka na kuja juu ya kuwa atafanya mdahalo wake kesho.............Hivi sasa ni nani kati ya JK na Dr. Slaa ni fotokopi wa mwenzie? Jibu lipo wazi JK amefilisika kisiasa na sasa hivi anasubiri rubani wetu Dr. Slaa amwonyeshe njia ya kupita........Na katika mazingira haya kumchagua kipofu JK inahitaji uwe mwehu kidogo vinginevyo huwezi kupoteza muda wako hata chembe kwa kiongozi haramu.
Fikiria CCM imewanyima wagombea wake wa ubunge na udiwani kutojinadi kwenye midahalo lakini kwa vile JK sasa anasoteshwa na Dr. Slaa sasa ameona..... "Kheri nusu ya shari kuliko shari kamili" ......pale alipojisalimisha kwenye mdahalo wa waandishi wa habari..........
d) Mwaka 2005 Chadema ndiyo walioanza kutumia helikopta na CCM iliwabeza kuwa wanapenda ufahari na ya kuwa Chadema watayajuaje matatizo ya wananchi wakiwa angani? JK na CCM yake mwaka 2010 imewaigiza Chadema kwa kuwa na helkopta tena siyo moja ila tatu...Hivi ni nani fotokopi wa mwenzie?
e) Baada ya kuona umaarufu wake unapimwa na mahudhurio kwenye kadamnasi za mikutano ya Dr. Slaa, JK na CCM wakaona ni kheri wachakachue mahudhurio kwa kuhamisha watu kwa malori na mabasi kutoka maeneo yasiyohusika lili mradi waweze kujilinganisha na mikutano ya Dr. Slaa kwa idadi ya mahudhurio..............Huu ni ushahidi mwingine ya kuwa JK na CCM ni fotokopi wa Dr. Slaa....
Upo ushahidi mwingi lakini kwa leo huu unatosha......ya kuwa JK ni fotokopi ya Dr. Slaa na aache kupotosha wananchi kuwa vyama vya upinzani ni fotokopi ya CCM wakati yeye mwenyewe amethibitika ni fotokopi ya Dr. Slaa na Chadema........
Sasa hivi wamenukuu kila sera ya upinzani, na wanaendelea kutoa ahadi kuzitekeleza, what a shame!
Hivi 'photocopy' kwa Kiswahili inaitwaje, ndio inaitwa 'NUKUSHI' nini?
Hana jipya mkuu!tumpige chini kwa kishindo!!
Usemi wa marehemu Kolimba unajidhihirisha taratibu, hiki chama kimepoteza dira
Ni vizuri kuwa na ushabiki lakini saa zingine ni tuu mach!!
CCM tangia mwanzo walisema elimu bure kwa shule za msingi ipo tangu 2002 (Tanzania imezawadiwa kufikia malengo ya milenia) na katika sekondari za serikali ada ilishushwa mpaka shilingi 20,000 kwa mwaka ili kupanua wigo wa wanaoweza kuchangia. Isitoshe, sekondari elimu ni ya bure kwa watoto na wazazi wasio na uwezo ambao hupitishwa na halmashauri za wilaya kila mwaka na hulipiwa ada zao kwa bajeti ya serikali kuu. Wizarani kuna maelfu ya watoto wanaolipiwa namna hii kila wilaya. Kwenye elimu ya juu, utaratibu wa mikopo umewekwa na watailipa mikopo hiyo wakianza kazi - mwanafunzi afaulu tuu mambo yatakuwa mswano! Sasa hizi ni sera kweli za CCM na sio za upinzani!
Hivi alicho fanya Slaa pale Movenpick ni "mdahalo"? Wagombea wengine walikuwa wapi? Midahalo ni ile TBC1 na sio meet the press ya Slaa Movenpick! Kuna sehemu humu JF nilidadisi kwelu kuwa CCM's strategy may be flawed, na hapo nakubaliana na wewe kuwa wao kutokuwa kwenye midahalo TBC1 may come to bite them in the butt. Hapo naona tupo pamoja lakini haya mengine.....mhhhh!!!!
Hivi nani alipanda au alileta helicopter kwanza ni kitu cha kufanya one candidate is better than the other? Mbona ni so trivial na haimake sense at all! Kwa hiyo watu wamchague Slaa kwa vile alianza kutumia helicopter kwanza! Say whaaat!! Kazi kweli kweli!!
Hivyo basi, ni vizuri kuwa na upinzani, afterall hiyo ni demokrasia. Lakini nadhani tujiepushe na trivial matters that make no sense. Lets deal with the issues
JK sasa amekuwa kama baiskeli ya miti,sasa amefika kwenye kilima kazi kwake, safari ya kuondoka magogoni hiyoooooooooooooooo!!!!!!
CCM tangia mwanzo walisema elimu bure kwa shule za msingi ipo tangu 2002 (Tanzania imezawadiwa kufikia malengo ya milenia) na katika sekondari za serikali ada ilishushwa mpaka shilingi 20,000 kwa mwaka ili kupanua wigo wa wanaoweza kuchangia. Isitoshe, sekondari elimu ni ya bure kwa watoto na wazazi wasio na uwezo ambao hupitishwa na halmashauri za wilaya kila mwaka na hulipiwa ada zao kwa bajeti ya serikali kuu. Wizarani kuna maelfu ya watoto wanaolipiwa namna hii kila wilaya. Kwenye elimu ya juu, utaratibu wa mikopo umewekwa na watailipa mikopo hiyo wakianza kazi - mwanafunzi afaulu tuu mambo yatakuwa mswano! Sasa hizi ni sera kweli za CCM na sio za upinzani!Click to expand...
Mkuu kabla sijajibu hoja yako, naomba kuuliza, kama elimu bure ilikuwa ni sera ya CCM kwanini JK mwenyewe kwa kinywa chake, pia Kinana na makada wengine wa CCM walikuwa wakikanusha kwamba elimu bure kwa wote inawezekana?
Maelezo yako hapo juu yako tofauti sana na sera ya elimu bure iliyo kwenye Ilani ya CHADEMA, naomba uisome Ilani ya CHADEMA ili uone kama inafanana na kile ulichokisema hapo juu.
Je, umemsikia alichosema Prof. Maghembe (Waziri wa Elimu)? Je, kinafanana na kile ulichokieleza hapo juu?
Kama kuna watoto wa masikini wanasomeshwa bure na Halmashauri za Wilaya kwa bajeti ya serikali, je ni kigezo gani kinatumika kuwajua hao watoto wa masikini? Kama bajeti hiyo ipo, Mheshimiwa Sitta angejitangaza kwamba kwa mwaka mmoja analipia ada watoto yatima 200 jimboni na ilihali kuna bajeti ya kuwalipia hao watoto? Zitto Kabwe angeanzisha mfuko wa elimu kwa ajili ya kusomesha watoto wa masikini jimboni mwake? WAMA ya Mama Kikwete ingefungua shule kusomesha watoto wa masikini na ilihali kuna bajeti ya serikali?
Nikija kwenye swala la mikopo ya elimu ya juu, kuna watoto wa mawaziri na makatibu wakuu wanapewa mikopo 100%, wakati watoto wa masikini/wakulima wanaambiwa wachangie 60%, hicho ndio utasema kuna usawa ama consideration kwa watoto wa masikini? Kwanini wasitoe flat rate kwa wote?
Sera ya elimu bure siyo ya CCM, bali ni ya upinzani. CCM wanachofanya ni kutoa elimu ya upendeleo kwa wachache. CHADEMA wamesema watafuta michango na ada kwa elimu ya chekechea mpaka F6.
CUF wamesema watatoa elimu bure kuanzia chekechea mpaka elimu ya juu. Hilo swala la elimu bure siyo sera ya CCM, na kama CCM itashinda na ikaja kutekeleza itakuwa ni kwa pressure ya Ilani za CHADEMA na CUF.
Mkuu nadhani nukushi ni fax au vipi?
Hivi 'photocopy' kwa Kiswahili inaitwaje, ndio inaitwa 'NUKUSHI' nini?Click to expand...
Hivyo basi, ni vizuri kuwa na upinzani, afterall hiyo ni demokrasia. Lakini nadhani tujiepushe na trivial matters that make no sense. Lets deal with the issuesClick to expand...
millenium goals ni mipango ya ccm?hahahaa
ivi iyo mibango yote mtailipia ushuru lini? na pesa yetu mliotumia kununua mtaturudishia lini?
Kudesa imo jamani kama waona kizuli kwa mwenzio unarhusiwa kufanya plagiarism or sorry kucopy and paste
Vidunda usiwe na denials za kukufisha wewe na nchi, elewa kwamba sera ya CHADEMA siyo ya kibaguzi bali elimu bure itakuwa nai haki ya kila mtoto wa tanzania bila kujali uwezo wa mzazi, uelezacho ni ushabiki tu kwa sababu hujielewi au umeziba masikio na macho wala huoni.
CCM WAMEFIKA MWISHO WA UBUNIFU WA MBINU MPYA ZA KUWASAIDIA WATANZANIA NA BADALA YAKE WANAIBA MCHAN KWEUPEE SERA ZA CHADEMA. BASI SI WAMWOMBE TU DK SLAA KUWA MSHAURI WAO, MBONA TU KUIBA KINYEMELA?
Kwanza shukrani kwa mh. KEIL, amekupiga shule vizuri sana, na sina haja ya kurudia alichokwambia. Kwa kuwa umesema lets deal with issues umesema vema, na sasa hebu tetea pia ISSUES zifuatazo na utuambie jinsi ZILIVYOSAIDIA KUINUA UCHUMI WA TANZANIA NA USTAWI WA WATU WAKE:
1. Richmond 2. EPA na KAGODA in particular. 3. Meremeta. 4.Deep green. 5. Kiwira Coal Mine. 6. Ukwapuaji nyumba za serikali. 7. Radar . 8.Mafisadi wenye kesi za kujibu kuitwa WATU SAFI NA WACHAPAKAZI.
1. Richmond 2. EPA na KAGODA in particular. 3. Meremeta. 4.Deep green. 5. Kiwira Coal Mine. 6. Ukwapuaji nyumba za serikali. 7. Radar . 8.Mafisadi wenye kesi za kujibu kuitwa WATU SAFI NA WACHAPAKAZI
Umesahau kuwa wameshaanza kuzungumzia kupunguza bei ya saruji na nondo
| 2016-10-28T04:52:02 |
http://www.jamiiforums.com/threads/jk-sasa-abadilisha-gia-aona-kheri-awe-fotokopi-ya-dr-slaa.81301/
|
[
-1
] |
Kikundi cha Boko Haram Chaendeleza Vitendo Vya Kigaidi Nchini Nigeria · Global Voices in Swahili
Tafsiri imetumwa 19 Aprili 2014 19:23 GMT
Majuma ya hivi karibuni, kundi la Boko Haram limeendeleza kampeni yake ya kutekeleza mauaji kwa kuwachinja raia wa Nigeria wasio na hatia. Juma lililopita, kundi hili liliua wanafunzi zaidi ya 12 waliokuwa wakisafiri kwenda kufanya mtihani wa awali kwa ajili ya kujiunga na elimu ya chuo kikuu katika jimbo la Borno. Kundi la Boko Haram pia linahusishwa na mlipuko wa bomu katika kituo cha mabasi uliotokea katika mji wa Nyanya uliopo katika jiji la Abuja, mlipuko uliopelekea zaidi ya watu 70 kupoteza maisha.
Siku chache zilizopita, kundi hili liliwateka nyara wasichana wanaokadiriwa kufikia 100 wa sekondari ya wasichana inayomilikiwa na serikali iliyopo Chibok, takribani kilometa 130 magharibi mwa Maiduguri kaskazini mashariki mwa Nigeria.
Nchi ya Nigeria inapambana na Boko Haram, kundi la kigaidi la kiislam linaloamini katika vita vya jihadi lililo na makazi yake kaskazini magharibi mwa Nigeria, kaskazini mwa Camerron na huko Niger, kundi lililokwishaua maelfu ya watu kwa kipindi cha miaka kadhaa iliyopita.
Wiki iliyopita, Boko Haram waliwafyatulia risasi wanafunzi katika chuo cha kilimo kilichopo katika jimbo la Yobe, waliwaua kwa risasi makumi mawili ya wanafunzi waliokuwa na umri wa kati ya miaka 18 na 22 waliokuwa wamelala katika bweni lao. A Mfululizo wa mauaji yaliyotekelezwa kuanzia mwaka 2012 umefafanuliwa vizuri katika makala haya.
— Aaliyah (@TalesMallory) April 16, 2014
— Malcolm O. Ifi, Esq. (@saymalcolm) April 16, 2014
Ashukuriwe ndugu Dasuki kwani mwezi uliopita alizindua mkakati mzuri kabisa wa kukabiliana na magaidi. Hii ni kama tu uwasilishaji wa mawazo yake ungeweza kuokoa maisha.| http://t.co/43eHCCBDwP
— tolu ogunlesi (@toluogunlesi) April 14, 2014
— Henry Bature Okelue (@4eyedmonk) April 14, 2014
— #Kayode (@Unkle_K) April 16, 2014
— Apollonian (@jvson_) April 16, 2014
— Alphayo Nyakundi (@AlphayoNyakundi) April 16, 2014
— ONI GABRIEL (@onigabby1) April 16, 2014
“@9ja_travel: Kuna utatuzi wa ugaidi wa Boko haram?”Kwa kweli hakuna suluhisho, kinachowezekana ni kupunguza mfululizo wa mashambulizi yao.
— kolawole olawole (@kholarr_ola) April 16, 2014
— MaXiNze (@LovBwise) April 16, 2014
— opinion_river (@opinion_river) April 16, 2014
— Mz. ‘Damie (@queensaldam) April 16, 2014
Wakati tunawaombea wale waliotekwa nyara na Boko Haram, mikakati lazima ipewe kipau mbele kutoka katika sehemu hiyo ya kusalia. #noxveritas
— Abdul Masih (@damilar3) April 16, 2014
— Noel Ihebuzor (@naitwt) April 15, 2014
Soma makala hii katika Malagasy, čeština , Español, English
| 2020-06-01T22:31:11 |
https://sw.globalvoices.org/2014/04/kikundi-cha-boko-haram-chaendeleza-vitendo-vya-kigaidi-nchini-nigeria/
|
[
-1
] |
‘Naapa CCM haitamjadili Mansour sasa’ | Gazeti la MwanaHalisi
‘Naapa CCM haitamjadili Mansour sasa’
Na Jabir Idrissa - Imechapwa 20 July 2011
Ni mwanasiasa kijana huyu ambaye amekuwa akiimarisha rekodi yake ya utendaji wa moyo wa kizalendo juu ya Zanzibar, nchi mama yake.
Hiki kilikuwa kitendawili kikubwa isivyo kawaida kwa Wazanzibari. Hakuna aliyegundua haraka mipango ile. Hata pale ilipotangazwa rasmi kuwa Karume alikutana na Maalim Seif Novemba 5, 2009 Ikulu kuu ya Zanzibar, watu bado walijiuliza nini hasa kinachopangwa.
Alikuwa kinara wa kuliambia Baraza kuwa serikali inataka kuweka mazingira ya kisiasa na kisheria kuwezesha kusimamia yenyewe utafiti na uvunaji wa raslimali hiyo ili Zanzibar inufaike moja kwa moja na raslimali hiyo iliyothibitishwa kuwepo katika ardhi ya Zanzibar.
Kwa hivyo basi, kwa muda wote huo Mansour akiwa serikalini – hapo kabla alikuwa katika sekta binafsi - amekuwa muwazi kusema kile anachokiamini.
Katika kauli iliyochangamsha baraza na kujikuta akishangiliwa na wajumbe wa CUF, Mansour alisema: “Hapa mpango wa serikali moja hatutaki kuusikia. Mfumo huu butu wa serikali mbili, sasa basi, (busara) twende kwa jambo ambalo kila mmoja wetu analizungumza la serikali tatu na mengineyo.”
Makada hao wanamwambia: “Wewe ni Mjumbe wa NEC-CCM; Mjumbe wa Kamati Maalum ya NEC Zanzibar; Mjumbe wa Sekretarieti ya Kamati Maalum ya NEC Zanzibar ukiongoza Idara ya Uchumi na Fedha, kwanini hukusema hayo katika vikao halali vya chama?” Wanamtuhumu kwa msimamo wake huo dhidi ya serikali mbili kwamba “anataka kuvuruga tena wana-CCM na kuzorotesha umoja wa kitaifa uliopo tangu kuasisiwa kwa Muungano mwaka 1964.”
Hakuna historia ya Polisi kushughulikia vipeperushi vya namna hii maana viliwahi kuwa vingi kuchapishwa na kuenezwa sehemu za mikusanyiko ya watu katika mji wa Zanzibar.
Dk. Shein kufukuza mawaziri
Richmond Kikwete Mkapa CCM Dowans Slaa Sitta CHADEMA Uchaguzi Pinda Makamba Lowassa Rostam Chenge CUF
Baada ya vikao vya bajeti kumalizika Dodoma wiki jana, Bunge letu, kwa ujumla, unalionaje? (63)
Usiri hatari migodini (58)
Kama ungekuwa mwana Igunga kura yako ungempa nani? (57)
Unyama wa polisi Arusha na maigizo kwenye TV (54)
Aliyemteka Ulimboka huyu hapa (110,163)
Bajeti kiinimacho (62,273)
Kikwete amtema rasmi Lowassa (44,228)
Siri za Zitto nje (41,715)
Rais Kikwete aumbuka (34,968)
Lowassa, Rostam kumzima Kikwete (34,496)
Unyama wa polisi Arusha na maigizo kwenye TV (34,418)
Kilichozimwa bungeni hiki hapa (31,602)
Sitta amtikisa Kikwete (30,752)
| 2020-07-04T02:57:55 |
http://mwanahalisi.co.tz/%E2%80%98naapa_ccm_haitamjadili_mansour_sasa%E2%80%99
|
[
-1
] |
Breaking News:BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU YATANGAZA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOKOSEA KUJAZA FORM ZA MIKOPO 2016/2017 - WANGOFIRA
Home TAARIFA Breaking News:BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU YATANGAZA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOKOSEA KUJAZA FORM ZA MIKOPO 2016/2017
Unknown 20:27:00 TAARIFA
Loan applicants who did not attach applicant’s photo, guarantor’s photo (to their application forms) or who attached uncertified photocopies of birth certificates, academic certificates, guarantor’s particulars such as photocopy of Passport or voter’s registration cards; should send the missing particulars with covering letters indicating their full names and form four index numbers with year of completion e.g. S0143.0012.2013via EMS through the following address:
KUONA MAJINA HAYO YA WALIOKOSEA KUJAZA FORM ZA MIKOPO <<BONYEZA HAPA>>
Breaking News:BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU YATANGAZA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOKOSEA KUJAZA FORM ZA MIKOPO 2016/2017 Reviewed by Unknown on 20:27:00 Rating: 5
MAGAZETI YA LEO JUMAPILI OCTOBER TAREHE 2.10.2016
Umoja wa Mataifa kuimarisha kikosi chake cha kusim...
Chadema yamtangazia vita Profesa Lipumba ............
Mpya!! ANGALIA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGU...
UPDATED:HII HAPA LIST YA VYUO VILIVYOTOA SELECTION...
MPYA:HAYA HAPA MAJINA YA WANAFUNZI 10,027 WALIOKOS...
| 2019-12-07T03:53:15 |
http://wangofira.blogspot.com/2016/10/breaking-newsbodi-ya-mikopo-ya-elimu-ya.html
|
[
-1
] |
Dc aliyewapiga viboko walimu, kikwete anasita kumpa barua ya kumvua madaraka | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Dc aliyewapiga viboko walimu, kikwete anasita kumpa barua ya kumvua madaraka
Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by mwenyewe, Feb 21, 2009.
Kutokana na info zilizonifikia, rais Jakaya Kikwete ameshangazwa na support aliyopiwa DC Albert Mnali kutoka kwa sehemu kubwa ya jamii kwa kitendo cha kuwatandika mboko walimu wazembe wilayani mwake. Mpaka leo hii, Rais Kikwete anakua anasita kumkabidhi barua rasmi ya kumvua madaraka mtumishi huyo wa umma. Inasemekana bado anajadili uamuzi wake wa kumvua madaraka kama ulikua wa busara au alikurupuka.
Shime bwana Mnali wengine 10 kama wewe, naamini tungekua waliopo nchi kama Malaysia, Singapore, Thailand, India hata China.
Inamaana Rais hajiamini kama raisi ila kwa wezi wa kuku na mabata,ndio maana yake.
Naona kwa kua tunaelekea kwenye election year, sasa rais anakua very careful na maamuzi yake......... anaweza akaoneka ni kikwazo kwa viongozi wenye uchungu na nchi na wasiotaka ujinga, uzembe na ubadhirifu kama ule wa wizara zake na mawaziri wake.
uamuzi wa busara anaopaswa kufanya ni kumpandisha cheo awe mkuu wa mkoa ili atandike ma dc manake matatizo mengi sana ya nchi yamejikita wilayani huko kwa hao miungu watu!
Naona kwa kua tunaelekea kwenye election year, sasa rais anakua very careful na maamuzi yake......... anaweza akaoneka ni kikwazo kwa viongozi wenye uchungu na nchi na wasiotaka ujinga, uzembe na ubadhirifu kama ule wa wizara zake na mawaziri wake.Click to expand...
Tatizo la wanasiasa kama JK all the time maamuzi yake yanategemea upepo wa kisiasa unavuma kuelekea wapi na sio kutoa maamuzi kulingana na leadership and professional ethics. Kusupport ujinga kwa sababu ya kuogopa wapigakura kukumwaga kwa maamuzi sahihi uliyo yatoa is rabish. A leader should be decisive and stand on his decision. Should be able to say yes, is me, I did this and that because of 1, 2, 3, etc. No single fool will not vote for him if he was right.
Naona ampe kazi kubwa zaidi kama kuongoza TAKURURU!
Shime bwana Mnali wengine 10 kama wewe, naamini tungekua waliopo nchi kama Malaysia, Singapore, Thailand, India hata China.Click to expand...
Yale yale aliyoyasema Kitine ya nchi kuendeshwa kienyeji!!! Anatangaza hadharani kwamba kamfukuza kazi halafu kuona Mnali anasupport kubwa ya Watanzania anaanza kugwaya!!!! Sasa kama huwa anaangalia support kubwa ya jamii kinamshinda nini kuwashughulikia mafisadi, kumchunguza Mkapa na kuipitia upya mikataba ya uchimbaji wa dhahabu!? Maana vyote hivi vinasupport kubwa toka kwa Watanzania walio wengi. Uongozi siyo lelemama!!!
Naona ampe kazi kubwa zaidi kama kuongoza TAKURURURU!Click to expand...
Naam huko kutamfaa sana Mnali maana atawachapa viboko mafisadi wote bila kujali wana uhusiano gani na Mkuu wake wa kazi.
Hakuna kitu kama hiki, Kikwete hajakosea na hajutii uamuzi aliofanya!!! wanaosupport wendawazimu wa namna hii aliofanya mnali ni wachache sana; wala kura zao hazina effect yoyote i kwenye uchaguzi kilinganishwa na mass ya walimu wote ambao ndio msingi wa ushindi wa ccm kwenye chaguzi zote!!
Kama mnali hawezi kukumbuka jambo dogo tu la kujua muundo halali wa kushughulikia masuala ya nidhamu na uwajibikaji kwa watumishi wa serikali, ni wapi anaaminiwa kusimamia mambo makubwa na nyeti kwa taifa??? alichofanya kinaonyesha dalili zote za wendawazimu!!!
Wanaomtetea watuambie ni lini mwendawazimu akaaminiwa kufanya kazi zenye maslahi kwa umma??
Wanaomtetea watuambie ni lini mwendawazimu akaaminiwa kufanya kazi zenye maslahi kwa umma??Click to expand...
Maslahi yepi hayo ya umma??
Hebu fafanua! Sii lazima walimu wachapwe fimbo..ila ktk large picture we need to overhauil mfumo wa utawala wa sheria!
Nachosema mafisadi, wezi wazembe wachapwe fimbo tena mbele ya wake zao..iwe fundisho!
Mambo gani makubwa hayo kwa taifa ktk kulinda uzembe, ifisadi na ubadhirifu?
Kwani tz ndo nchi ya kwanza kuwashughulikia watu kama hawa?
Ndo maana Hu alipokuja Tz watu walisema aombwe ile sheria yao ya kuwashughulia wazembe itumike tu kwa mda Tz!
Hivi enzi za Mwalimu Nyerere ni waziri gani alikula henzerani nakurudishwa kwao sijui Tabora vile? na baada ya hapo mawaziri wote walikuwa na adabu na Ikulu, nasikia enzi hizo mtu alikuwa akiitwa ikulu basi hupitia nyumbani kuongeza kaptura ndani ya suruali na kuwaambia anzeni kufungasha mambo si mazuri kabisa!
kama ni hivyo rais asiyekuwa na uhakika na maamuzi yake hafai
CCM imepoteza dira ,haina haja ya kumpa kichwa DC wala Kikwete wote hawafai ,Nakumbuka Kikwete aliruka na kusema kazi hiyo ya kufukuza inawahusu wakuu wa Mikoa au Waziri husika ,naikumbukia ile habari iliyotoka Ikulu ambayo ilikuwa imejifunga funga.
Kwa ufupi CCM imepoteza dira ya kuongoza Nchi ,na kila tunapopiga hatua kunazuka mepya ,kila mmoja ni mbabe. Ndipo walipotufikishia uongozi wa Nchi hii.
huyu DC, alitakiwa kuadhibiwa alipo tongoza/au kumnyanyasa kijinsia Mke wa Mtu kule Mwanza, kwa hili la Kagera kwa hali ilivyo Tz, unaweza ukampongeza kidogo, kwani watu/punda haendi sharti kiboko.
| 2017-04-30T09:08:52 |
https://www.jamiiforums.com/threads/dc-aliyewapiga-viboko-walimu-kikwete-anasita-kumpa-barua-ya-kumvua-madaraka.24691/
|
[
-1
] |
Tests and Testing Fuel control Pressure Michio Wakatabe Doshisha University Hajime Fujimoto Management and Organization Mitsuhide Nogami
| 2020-03-29T01:15:10 |
https://www.sae.org/search/?sort=relevance&display=list&affiliations=%28%22Doshisha+University%22%29&authors=%28%22Michio+Wakatabe%22+OR+%22Hajime+Fujimoto%22+OR+%22Mitsuhide+Nogami%22%29&taxonomy=%28%2250258%22+OR+%2250112%22+OR+%2250915%22+OR+%2250332%22%29
|
[
-1
] |
Iliyotangulia:Kujua madhumuni na Umuhimu wa Kila Moja ya Hatua Tatu za Kazi ya Mungu
Aya za Biblia za Kurejelea: “Watu hawa wananikaribia kwa vinywa vyao, na wananiheshimu kwa midomo yao; lakini moyo wao uko mbali nami. Lakini wanan…
Aya za Biblia za Kurejelea: “Yesu akawaambia, … Ninyi ni wa baba yenu ibilisi, na mtatimiliza tamaa za baba yenu. Alikuwa mwuaji tangu mwanzo, na h…
| 2019-10-24T05:13:36 |
https://sw.kingdomsalvation.org/three-stages-of-work-3.html
|
[
-1
] |
Abadoni/Apolioni ni nani au ni nini?
Swali: "Abadoni/Apolioni ni nani au ni nini?"
Jibu: Jina Abadoni au Apolioni linaonekana katika Ufunuo 9:11: "Na juu yao wanaye mfalme, naye ni malaika wa kuzimu, jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kiyunani analo jina lake Apolioni." Kwa Kiebrania, Abadoni inamaanisha "mahali pa uharibifu "; jina la Kiyunani ni "Apolioni" likimaanisha "Mwangamizi."
Katika Ufunuo 8-9, Yohana anaelezea kipindi cha wakati wa mwisho wakati malaika atapiga tarumbeta saba, akiashiria kuja kwa hukumu saba tofauti juu ya watu wa dunia. Wakati malaika wa tano anapiga tarumbeta yake, shimoni, shimo kubwa la moshi, litafunguliwa, na tamaa ya mapepo kama "nzige" yatatoka ndani yake (Ufunuo 9: 1-3). Viumbe hawa watapewa uwezo wa kumtesa mtu yeyote asiye na muhuri wa Mungu (mstari wa 4). Maumivu wanayoyatoa yatakuwa makali sana kwamba anayeteseka atatammani kufa, lakini kifo kitakataa (mstari wa 6). Abadoni / Apolioni ni mtawala wa shimoni na mfalme wa nzige hizi za pepo.
Abadoni / Apolioni mara nyingi hutumiwa kama jina lingine la Shetani. Hata hivyo, Maandiko yanaonekana kutofautisha Shetani kutoka Apolioni. Tunamwona Shetani baadaye katika Ufunuo, wakati amefungwa gerezani kwa miaka 1,000 (Ufunuo 20: 1-3). Halafu baadaye ataachiliwa huru ili aiharibu dunia (mistari ya 7-8) na hatimaye atapata adhabu yake ya mwisho, mstari wa 10. Abadoni / Apolioni ni uwezekano wa mojawapo ya viongozi wa Shetani, pepo waangamizi na mmoja wa "watawala," "mamlaka," na "nguvu" zilizotajwa katika Waefeso 6:12.
Mwongozo wa John Bunyan mwandishi wa hadidhi The Pilgrim Progress inajumuisha tukio lisilo sahaulika ambalo Mkristo anapigana na mnyama aina ya pepo aitwaye Apolioni. Kweli kwa jina lake, Apolioni karibu huharibu Mkristo. Mchungaji katika silaha zake anahimili mashambulizi na hutumia upanga wake ili kukomesha ibilisi. "Apolioni" ya Bunyan ni uwakilishi wa mfano wa adui yetu ya kiroho, lakini msukumo wa tabia ni halisi. Abadoni / Apolioni wa Ufunuo ni mtu halisi ambaye siku moja atasumbua watu wakati wa hukumu ya Mungu.
| 2018-11-21T08:32:32 |
https://www.gotquestions.org/Kiswahili/abadoni-apolioni.html
|
[
-1
] |
Igitero c'Indege y'Amerika Cishe aba Al Shabab 3 muri Somaliya
Ibyahinduwe nyuma 29-11-2018
Abasirikare ba Al Shabab muri Somaliya
Igisirikare ca Reta zunze ubumwe z’Amerika caragavye igitero c’indege muri Somaliya, cica abarwanyi batatu b’umuhari w’iterabwoba al-Shabab, nkuko amakuru ava mu burongozi bw’igisirikare c’Amerika ku mugabane wa Afrika (AFRICOM) abivuga.
Iki gitero gishasha cabereye ahitwa Qay Ad, hafi ya Dabad Shil, mu ntara ya Mudug, ku musi wa kabiri. Igisirikare c’Amerika carakoze ibitero muri iyo ntara nyene ku magenekerezo ya 19 na 20 y’ukwezi kwa cumi na kumwe, vyahitanye abarwanyi 50 ba al-Shabab.
Ababibonye, babwiye Ijwi ry’Amerika ko iki gitero gishasha cari gitumbereye imodoka za al-Shabab. Bavuga kandi ko izo modoka zari iz’umukomanda wa al-Shabab azwi kw’izina rya Abdishakur Mohamed Mire. Ariko nta cemeza ko yoba yari muri umwe muri yo.
Abasirikare b’Amerika ku mugabane wa Afrika bavuze ko ico gitero co ku musi wa kabiri ata munyagihugu cakomerekeje canke ngo cice.
Iki gitero cashikanye ibitero 36 abasirikare ba Reta zunze ubumwe z’Amerika bamaze gukora muri Somaliya muri uyu mwaka.
| 2019-02-17T01:35:03 |
https://www.radiyoyacuvoa.com/a/4679234.html
|
[
-1
] |
BREAKING: Mahakama imemuachia huru Adam Malima – Millardayo.com
BREAKING: Mahakama imemuachia huru Adam Malima
Ulipitwa na hii? UPDATES: Kesi ya mke wa bilionea Msuya, Jalada lafika kwa DCI
← Previous Story Baada ya kuondolewa Ukuu wa Mkoa “Nitakufa nae Rais Magufuli” – Rugimbana (video)
Next Story → MAHAKAMANI: “Wema Sepetu hakufanyiwa upekuzi kwenye maungo yake” – Hakimu
| 2020-06-03T15:06:31 |
https://millardayo.com/fvuih93/
|
[
-1
] |
Kimeumana... Kenya na Tanzania | Page 3 | KenyaTalk
So annoying..utaona Uhuru the public pu**y going to beg Megafool..
for what?? food...grain ...very embarrassing
Uhuru ajapiga weed bado?
Naona mnajitekenya na kucheka wenyewe
You should know that Tanzania and SADC have removed all bloc barriers in conducting business among countries.We dont need Kenya anymore to sell our crops...countries like Zimbabwe,Mozambique,Zambia etc are desperately need us.JPM is the current chairperson of SADC,secretary General is also a Tanzanian.Now connect dots
Tanzania in competition with South Africa?
Likes: Doc Oga and uwesmake
We dont need Kenya anymore to sell our crops...
Crops? Unatutisha na kitunguu? Kama ingekua electronics na magari made in Tanzania tungestuka kidogo.
Likes: Ben Dover, uwesmake and ziga
yes, not literally of course, put trade embargos etc, you retaliate, smartly, for long they've called kenyans bluff, they burnt chickens, they arrest fishermen, they denied entry to the safaricom lady. Mind you Zambia has totally banned tz drivers but they're silent on Zambians, also Rwandans but Kenyans, we're supposed to bend further for their benefits. the other day they were accusing all Kenyans to be thiefs yet we have them here in gikomba, and when jaguar tried to question the rational he was bashed by your kind, who takes diplomacy too seriously hata trump called all trade deals bluff until they favour them.
Too much of our food comes via TZ. And in any case escalating trade issues when UK stands to lose personally is not going to happen. How do poor folk get the energy to fight?!...anywho for me this is a storm in a teacup.
Why does Uhuru always suck up to TZ? Is it coz of Brookside business? Is it because of a few companies kina KCB and Equity being in TZ? Majamaa wanashika ngombe za Maasai grazing on their side wanapiga mnada and nothing happens. Their tour vans can access our parks but Kenyan tour vans must hand over tourists to their TZ counterparts at the border. Always hostile to anything Kenyan
uhuru akienda beg tz ntajua tuko na ng'ombe kama president.yani siku izi kenya imekua nchi kila mtu anakanyaga apa eastern africa..uganda walienda na migingo,tanzania ndio hawa wanaleta nyeff nyeff,ethiopia waliangusha ndege juzi,somalia wanataka bahari yetu and still hatusemi kitu,,,heri moi angekua prezzo tusingeona hii upuzi
Crops? Unatutisha na crops? Kama ingekua electronics na magari made in Tanzania tungestuka kidogo.
Pumbavu jinga kabisa mbwa wewe,unaona magari ni muhim kuliko food kwa meza.
Ktk basic needs za binadam gari lina umuhim gani msege baridi wewe.Kama unaona crops hazina umuhim mbona bado unanunua toka tz,si ungelima na ww.
Okay thats Magufuli we know,the bulldozer himself,Mnabishana na D.Cs and R.Cs,yeye yuko ushagoo mwezi wa pili sasa anakula upepo.
Tuna mpango wa k
Wafunge kabisa
Next, close Azam
Then those tized guys selling mtumba ngothas gikomba waende
Sisi tunaongeza vibali vya kufanya kazi kwa walimu wanatoka nje ya nchi kuwa dola 4000 kwa miezi 6 uone ndugu zako watakavyorudi kenya wakilia.
Okay thats Magufuli we know,the bulldozer himself,Mnabishana na D.Cs and R.Cs,yeye yuko ashagoo mwezi wa pili sasa anakula upepo.
Bongolala tulia. Naona umeshindwa na mjadala ukaanza matusi. Unafikiri hatupandi kitunguu Kenya? Unafikiri tusipokula kitunguu tutakufa? Kwani hizo vitunguu mlikuwa mnatupea bure? Tumia akili naniii. Danganyika mko na shida na sio kidogo. Leo tumerudisha 51 corona infected bongolala drivers. Kufeni polepole bila kutusumbua.
Likes: ChifuMbitika, Mbaawalia, vladamier and 5 others
Nikueleze tu mjinga wewe,Tuna soko kubwa ktkt nchi za SADC kwa sasa,Bidhaa zetu nying zinaenda kule
mhandisi said:
Fauci is very smart and has very deep knowledge. Has authored a lot of med school books... lakini he is an imperialist conman, big pharma puppet
Mimi sijui fauci ni vitu gani but I like your explanation
Likes: Mbaawalia and uwesmake
saadeque said:
Na nyie msitutishie kuwa bidhaa zetu tutapeleka wapi?
Basi kwendeni huko SADC bila kutusumbua na makelele. Have you seen us complain? Potelea mbali nanii
So you guys are not lazy as we are meant to know.Ama hicho chakula chote chatoka wapi.
Mhhhh WaChagga ambao ndio WaKikuyu wa kule TZ.
Kuna rafiki yangu mwalimu wa English huko,naona akitimuliwa soon.
Lakini I hope covid ikiisha nitaendelea kuja Dar kusaidia wavivu ku maintain Networks nikirarua kina Farida na Kamulegeya.Mabinti wazuri wakutoa uchovu nao wale
Likes: Ubongo, King Slayer and eddy mahelo
Huwezi kufikia soko la SADC bila kupitia Tanzania pia tambua Tanzania tuna uwanja mkubwa wa kufanya biashara SADC kuliko East Africa
Why on earth should you be lamenting over a very tiny market? Piss off to the bigger market
Mwaodinga
Kenya inaihitaji Tanzania kama ambavyo Tz inaihitaji Kenya.
Mwaodinga said:
Wa TZ wamesema hawatuhitaji lakini mwenzetu Konyagi ataenda kuwabembeleza watuhitaji tena
Mwakani ndo mtajua maana nasikia nzige wamepita huko mwenu
| 2020-08-04T14:50:51 |
https://kenyatalk.com/index.php?threads/kimeumana-kenya-na-tanzania.150680/page-3
|
[
-1
] |
Ibadhi Haki Kwa Dalili - YANAYORUHUSIWA WAKATI WA SALA
Yafuatayo ni yale yanayoruhusiwa kuyafanya wakati wa Salaa kufuatana na mahitajio na dharura ya wakati ule.
I. Kumkumbusha Imam katika Salaa.
Ikiwa Imam atakuwa amesahau kitu katika vitendo vya Salaa basi inaruhusiwa kumkumbusha kwa kusema, “SUBHAANA ALLAH.” Kasema Sahl Bin Said kasema, “Kasema Mtume S.A.W., [1]“
مَنْ نَابَهُ شَيْءٌ فِي صَلاتِهِ فَلْيَقُلْ سُبْحَانَ اللَّهِ.
Maana yake, “Atakayekumbusha chochote katika Salaa aseme “SUBHAANA ALLAH.”. Na anayeruhusiwa kukumbusha kwa kusema “SUBHAANA ALLAH.” ni mwanamume, na ikiwa ni mwanamke ndiye anayetaka kukumbusha basi atapiga makofi. Kasema Sahl bin Said kasema, “Kasema Mtume S.A.W.,[2] “
إِنَّمَا التَّصْفِيحُ لِلنِّسَاءِ وَالتَّسْبِيحُ لِلرِّجَالِ.
Maana yake, “Na kupiga makofi ni kwa wanawake na Tasbih (yaani kusema Subhaana Allah) ni kwa wanaume.”
[1] Ahmad 46/284 (21736), mfano wa Hadithi hii imetolewa na Abu Daawud 3/126 (805), Nnasaai 16/265 (5318), Bukhaari 4/425 (1142),
[2] Ahmad 46/284 (21736).
II. Kulia kwa ajili ya khofu ya akhera.
Inaruhusiwa kwa anayesali kulia kwa ajili ya khofu ya akhera, lakini bila ya kujiliza au kukusudia. Hadithi iliyo hadithiwa na Mutrafiin kasema,[1] “
أَتَيْتُ النَّبِيَّ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ وَهُوَ يُصَلِّي وَلِجَوْفِهِ أَزِيزٌ كَأَزِيزِ الْمِرْجَلِ يَعْنِي يَبْكِي.
Maana yake, “Nimemkuta Mtume S.A.W. nae anasali na ndani ya kifua chake kuna mvumo kwa ajili ya kulia kama mfano wa mvumo wa sufuria linalochemka yaani alikuwa akilia.” Lakini ikiwa mtu atajiliza au atajilazimisha alie basi Salaa yake inaharibika, kwani kulia katika Salaa sio katika kitendo cha Salaa.
[1] Nnasaai 4/457 (1199).
III. Kufanya kitendo kidogo kwa maslahi ya Salaa.
Anaruhusiwa mtu kufanya kitendo kidogo hafifu kilicho nje ya Salaa kwa manufaa ya Salaa. Mfano kuondoa uchafu mahala anapo sujudia. Kasema Muaqib, “Mtume S.A.W. alimuambia mtu mmoja aliyekuwa akiweka sawa sehemu anayo sujudia naye yuko katika Salaa, [1]“
إِنْ كُنْتَ فَاعِلا فَوَاحِدَةً.
Maana yake, “Ikiwa huna budi kufanya basi fanya mara moja”.
[1] Bukhaari 4/406 (1131), Muslim 3/160 (851).
IV. Inaruhusiwa kumeza mate.
Ikiwa makohozi au mate hayo ni mengi basi anaruhusiwa anaesali kuyameza kama yatakuwa yanamshugulisha na Salaa. Pia inajuzu kuyatoa makohozi na makamasi kwa kutumia kitambaa wakati wa Salaa, ikiwa yata mshughulisha na Salaa yake au akayetema pembeni ikiwa anasali nje peke yake. Kasema Abu Sa`id L-Khudryy R.A..A., “Mtume wa Mwenyezi Mungu S.A.W. aliona makohozi kwenye ukuta wa Kibla akayakwangua halafu akawaelekea watu akasema,[1] “
إِذَا كَانَ أَحَدُكُمْ يُصلِّي فَلاَ يَبْزُقْ قِبَلَ وَجْهِهِ فَإنَّ الله قِبَلَ وَجْهِهِ إِذَا صَلّى.
Maana yake, “Ikiwa mmoja wenu anasali basi asiteme mbele yake, kwani Mwenyezi Mungu yuko mbele yake wakati anaposali.” (makusudio kaelekea kibla kwa hivyo kamkusudia Mwenyezi Mungu Mtukufu kule aliko elekea).
[1] Al-Imamu Al-Rab`iu 1/109 (261), mfano wa Hadithi hii imetolewa ya makatazo ya kutema mbele na Abu Daawud 2/70 (404), Muslim 3/163 (853). Bukhaari 2/360 (500).
V. Kuua nyoka na nge wakati wa Salaa.
Inaruhusiwa kuua nge au nyoka na kila kile kinachodhuru kwa harakati kidogo na halafu aendelee na Salaa yake mahali alipofika. Kasema Abu Huraira R.AA., “Kasema Mtume S.A.W., [1]“
اقْتُلُوا الْأَسْوَدَيْنِ فِي الصَّلاةِ الْحَيَّةَ وَالْعَقْرَبَ.
Maana yake, “Viuweni viwili vyeusi katika Salaa; nyoka na nge.”
[1] Abu Daawud 3/103 (786).
VI. Kujisalimisha na madhara yoyote yale.
Inaruhusiwa kufanya vitendo vya kujisalimisha nafsi yake, au ya mtu mwingine, au mali yake, au mali ya mtu mwingine kutokana na madhara ya aina yoyote yale. Mfano kumwokoa mtu anaye taka kuzama, au kipofu au mtoto anayetaka kutumbukia kisimani na kadhalika. Halafu akaendelea na Salaa yake mahala alipofika ili mradi awe hakugeuza uso wake kutoka kibla na wala hakuzungumza. Na iwapo atageuza uso wake au atazungumza basi Salaa yake itakuwa imeharibika, na itabidi aianze kuisali kutoka mwanzo.
VII. Kumzuia mtu asimkatishe Salaa yake.
Inaruhusiwa kumzuia mtu asimkatishe Salaa yake, yaani kupita baina yake na baina ya sitra aliyoiweka au mahala anaposujudu. Kasema Abu Sa`id L-Khudryy R.A.A., “Kasema Mtume wa Mwenyezi Mungu S.A.W., [1]“
إن أَحَدُكُمْ إِذَا كَانَ في صَلاة فَلا يَدَعْ أَحَدًا يَمُرُّ بَيْنَ يَدَيْهِ وَلْيَدْرَأْهُ مَا اسْتَطَاعَ فَإِنْ أَبَى فَلْيُقَاتِلْهُ فَإِنَّمَا هُوَ شَيْطَانٌ.
Maana yake, “Iwapo mmoja wenu yumo ndani ya Salaa asimuachie mtu kupita mbele yake, amsukume kadri awezavyo, akikataa basi amsukume kwa nguvu kwani huyo ni Shetani.”
[1] Al-Imamu Al-Rab`iu 1/77 (243), mfano wa Hadithi hii imetolewa na Abu Daawud 2/352 (598), Ibn Maajah 3/215 (944), Ddaaramy 1/384 (1411), Nnasaai 15/23 (4779), Bukhaari 2/321 (479), Muslim 3/73 (782).
| 2019-10-22T15:08:15 |
https://ibadhi.com/sw/vipindi/jamii/465-yanayoruhusiwa-wakati-wa-sala
|
[
-1
] |
KASHFA YA ESCROW ISITUVURUGE - Fukuto la Jamii
Home Unlabelled KASHFA YA ESCROW ISITUVURUGE
by MS.HAPPINESS KATABAZI 11:44 PM
MIONGONI wa Wimbo unaotamba hapa nchini Homa ya Dengue na kile kinachoitwa eti ni vigogo wa serikali wanaotuhumiwa kuhusika Katika kashfa ya ufisadi wa Sh Bilioni 200 Katika Akaunti ya Baraza la Usuluhishi la Migogoro ya Kibiashara (ESCROW) ya Benki Kuu (BoT).
Makala yangu itazungumzia Wimbo huo wa pili wa kashfa ya ESCROW ambayo Mbunge wa Kigoma Kusini(NCCR-Mageuzi), David Kafulila amedai Kuwa ndiye yeye ameiibua kashfa hiyo ambapo aliwataja wahusika wakuu wa kashfa hiyo Kuwa ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospter Muhongo na Katibu Mkuu wake, Eliachim Maswi, Waziri wa Fedha Saada Mkuya, Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Profesa Benno Ndullu, Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji Frederick Werema na Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Mhandisi Felchesmi Mramba.
Kafulila alisema kuwa ufisadi huo ni lazima mbivu na mbichi zifahamike, na kwamba haungi mkono uamuzi wa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wa kuagiza Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuchunguza suala hili kwa kuwa linagusa mamlaka kubwa katika dola, badala yake iundwe Kamati Teule ya Bunge.
Muda mfupi baada ya Kafulila kutoa tuhuma hizo Bunge, hakukubaliana na ombi la Kafulila lililotaka iundwe Kamati Teule ya Bunge na badala yake akaiagiza TAKUKURU na OFISI ha CAG Ifanye uchunguzi wake ili kubaini ukweli wa tuhuma hizo.
Kwa jicho la Sheria tuhuma zilizotolewa na Kafulila zitabaki Kuwa tuhuma, na Kafulila atahesabika kwanza Kuwa yeye ni mtoa taarifa za tuhuma hizo.Hivyo kitendo Cha Kafulila kunukiliwa na Gazeti hili toleo la Jumatano ya wiki hii Kuwa uamuzi huo wa Pinda una Mashaka makubwa na kwamba tuhuma hizo zinahusu viongozi wakubwa wa dola hivyo eti ni Vyema Kamati ya Teule ya Bunge iundwe uchunguze siyoni Kama Ina mantiki.
Kwani TAKUKURU imeanzishwa chini ya Sheria ya Kuzuia na Kupambana Rushwa ya Mwaka 2007 Namba 11/2007.Na kifungu Cha 7 Cha Sheria hiyo kimeanisha Kazi za Takukuru na miongoni mwa Kazi za Takukuru ni kufanya uchunguzi makosa ya kula Njama Kutenda kosa, kuchunguza tuhuma za makosa ya rushwa yanayowahusu maofisa wa serikali.
Aidha Ofisi ya CAG nayoilianzishwa na inayo majukumu yake mengi tu ikiwemo ya kukagua mahesabu Katika Fedha za serikali na imekuwa Ikitimiza majukumu yake na kutoa taarifa zake kwa umma.
Na Taasisi hizo zimeanzishwa kwa mujibu wa Sheria zilizotungwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Kafulila ni miongoni mwa wa Bunge wa Bunge Hilo.
Sasa Inashangaza Kama siyo kutisha kumsikiliza mtunga Sheria Huyo Akisema uamuzi huo wa Pinda una Mashaka kwasababu yeye alikuwa akitaka Bunge iunde Kamati Teule.
Kama Kafulila alikuwa Hana Imani na Takukuru, CAG ni kwanini alitoa tuhuma hizo bungeni akitaka mbivu na mbichi sijulikane? Kumbe anaamini Takukuru, CAG ni wa chafu ni kwanini aliibua tuhuma hizo tena akitaka uchunguzi ufanyike? Hivi mwisho wa siku alifikiri Takukuru, CAG hazitausishwa Katika uchunguzi huo.
Tuhuma hizo zinahusu Fedha za serikali , Ofisi ya ya CAG lazima ilihusishwa mAana ipo pale kwa kutazama matumizi ya Fedha za serikali zimetumika Kama iliyokusudiwa?
Maana hata Kama Kamati Teuli ya Bunge ingeundwa Mwisho wa siku ripoti hiyo ya uchunguzi wa Kamati Teuli ya Bunge Ingepelekwa Takukuru au Polisi ili zichunguze kuona je kuna ushahidi wa kutosha wa kuweza kuwafungulia Mashitaka watuhumiwa? maana Polisi na Takukuru Ndio wenye majukumu hayo Kimsingi.
Pia Itakumbukwwa kashfa ya wizi Katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA), iliibuliwa Bungeni, Kamati ya Teule ya Bunge haikuundwa Matokeo yake Rais Jakaya Kikwete alitenda TIMU ya Uchunguzi wa tuhuma hizo ambayo ilishirikisha polisi, Wanasheria toka Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali na tasisi nyingine za serikali ambayo ilikuwa na Ofisi zake Mikocheni ambapo ili fanyakazi yake vizuri Mwisho wa siku Uchunguzi huo ulimfanya Mkurugenzi wa Mashitaka , Dk.Eliezer Felelshi Kufungua jumla ya Kesi 12 za EPA m Novemba 4 Mwaka 2008 ambapo hadi sasa jumla ya Kesi Nne zimetolewa hukumu na baadhi ya washitakiwa walipatikana na hatia za makosa waliyoshitakiwa na wengine waliachiwa Huru kwasababu ushahidi haukuwagusa.
Mfano mwingine ni tuhuma za mkataba wa kampuni ya Richmond Ambapo kelele zilipigwa na wabunge hadi Kamati Teuli ya Bunge ikaundwa Mwaka 2007 na Mwanzoni Mwaka 2008 Kamati Teuli ikabainika kilikuwa na ouzo Katika mkataba huo na kumtaka Aliyekuwa waziri makuu Edward Lowassa ajipime na Kamati hiyo ikaamuru Wamiliki wa kampuni hiyo Naeem Gire na Mohamed Gire na baadhi ya Maofisa wa serikali wawajibishwe Hali iliyosababisha Lowassa kuwajibika KWA kujiudhuru wadhifa huo ambao alidumu nao KWA Kipindi kifupi sana.
Baada ya ripoti ya Kamat hiyo kusomwa, baadhi ya wabunge kwasababu wanazozitoa wa Wakaanza kuishinikiuza Takukuru iwashitaki watu Hao Hali iliyosababisha Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru , Dk.Edward Hosea na baadhi ya wabunge kuingia Kwenye malumbano Kwani Hosea alikuwa akitaka Takukuru iachwe ifanyekazi yake kwa Uhuru na siyo kuingiliwa na wasiasa Hali iliyosababisha kila kukimbia wabunge Hao Kuwa wanashambulia Takukuru na Hosea kila kukicha Kumbe wabunge Hao walikuwa wananjama zao chafu za kuaribiana kisiasa.
Wananchi ambao walikuwa hawaelewi Njama hiyo waliwaunga mkono wabunge Hao wengine ambao walipachika jina la ' wabunge wanapambana na ufisadi", Leo hii wanasiasa 'Mgambo uchwara' hao wapo kimya utafikiri ufisadi ndani ya nchi hii umekwisha.Dhambi sana.
Mwisho wa siku Takukuru iliamua kumfungulia Kesi ya Madai ya Kutoa taarifa za uongo Kwenye Kikao Cha Tenda Cha Tanesco kuhusu uwezo wa kampuni ya Richmond, mshitakiwa alikuwa ni Neem Gire Mwaka 2012, Hakimu Mkazi wa Mahakama Ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, Waliarwande Lema alimuoa Gire Hana Kesi ya Kujibu na Mkurugenzi wa Mashitaka DPP- Dk.Feleshi hakulidhika na uamuzi huo anakimbilia Mahakama Kuu Ambapo Jaji Lawrence Kaduri alitengua uamuzi huo na akaamuru jarada la Kesi hiyo lirudishwe Mahakama ya Kisutu na Gire aanze kujitetea na Gire naye kupitia Wakili wake Alex Mgongolwa hawakubaliani na uamuzi wa Mahakama Kuu, wamekimbilia Mahakama ya Rufaa.
Kwa hiyo binafsi naweza Kusema Kuwa sikubali Kuwa tuhuma ni za kweli na sikatai Kuwa tuhuma hizo zilizoibuliwa na Kafulila Kuwa ni za uongo Katika Hatua hii ya awali.Nasubiri vyombo vyenye mamlaka ya kufanyia uchunguzi itakapokuja kuandika ripoti za uchunguzi wake.
Kwani tuna Mifano hai ambayo inafunza kupitia wanasiasa wetu ambao Walijifanya ni mabingwa wa kuibua kile wanachokiita ufisadi wakati Sheria zote za Tanzania ikiwemo Sheria ya Kanuni ya Adhabu ya Mwaka 2002 , haina kosa linaloitwa ufisadi. Sijui wenzetu hawa kosa la ufisadi wanaotaka watu washitakiwa nalo sijui wa alipata wapi Katika Kifungu kipi Cha Sheria.
Mbunge Zitto Kabwe aliuaminisha umma Kuwa Ana ushahidi kuhusu Majina na namba za Akaunti za watu walioficha Fedha nje ya nchi na baadhi ya watu waliomua mini, lakini siku zote njia ya muongo ni Fupi, Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji Werema aliliambia Bunge Kuwa Zitto ni muongo aliwashawahi kumuita Ofisini kwake akimtaka atoe ushahidi chini ya kiapo , Zitto akasema hana ushahidi, na hadi Leo kimya kabisa utafikiri Zitto siyo yeye aliyekuwa akisimama majukwaa akijinadi anaoushahidi wa watu walioficha Fedha nchini Uswiss.
Pia kuna wanasiasa wengine ambao Walijitapa ndani na nje ya Bunge Kuwa wanaushahidi wa Majina ya watu walioiba Fedha za EPA kupitia kampuni a Kagoda hadi Leo hawajaenda kutoa ushahidi thabiti Katika vyombo husika, Wanaishia kubwatuka majukwaani na kuwataka Ujinga huo baadhi ya waandishi wa Habari ambao hawajui kilichopo nyuma ya tuhuma zinazoibuliwaga na baadhi ya wanasiasa wa naandika Habari za kutoa hukumu za upande mmoja.
Wiki iliyopita Spika Anna Makinda Mara Tatu wakati akiendesha Bunge aliwataka baadhi ya wabunge waache kutumiwa na baadhi ya watu walionje ya Bunge Kuja bungeni Kusemea maslahi binafsi ya watu wakiwa tuma na kuwataka wabunge Hao watumie akili zao.
Ushauri huu ni mzito sana kutolewa na Spika Kwa wabunge na Hakuna Shaka Makinda alikuwa anasababu anayoifahamu ndiyo mAana Akaamua kutoa ushauri huo licha Spika Makinda hakutaja jina la Mbunge anayetumiwa.
Hivyo ushauri wangu kwanza kwa waandishi wa Habari wenzangu kuhusu tuhuma hiyo iliyoibuliwa na Kafulila tuwe makini na tusimame Katika Maadili ya taaluma yetu.Kafulila tumemsikia, serikali kupitia Pinda imeishachukua Hatua KWA kuanzia Pinda ameagiza Taasisi hizo mbili zifanyie Kazi tuhuma za Kafulila.
Hivyo ni vyema sasa tuziachie Taasisi hizo zifanyie kazi yake Kwa Uhuru na Mwisho wa siku zije zitoe ripoti yake.Tusikubali ama kutumiwa na wafanyabiashara, wanasiasa, Wanasheria kuwachafua watu wengine wanaotuhumiwa Katika tuhuma hizo na Kafulila isivyohalali Kwani Tayari naona kuna Dalili za wazi ambazo ni chafu za miongoni mwetu kuanzia kutumiwa na Makundi yanayoasimiana Katika kashfa hii.
Pili, Takukuru, CAG visikubali kuingiliwa kufanyakazi yake na Makundi yenye Hira Katika Sakata hili Kwani endapo watakubali kufanyakazi kwa shinikizo la wanasiasa Mwisho wa siku watajikuta wanaumbuka Mbele ya safari Kama serikali ilivyoumbuka Mara mbili Kwenye Kesi ya uhujumu uchumi iliyokuwa ikimkabili Aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia, Profesa Costa Ricky Mahalu na Grace Martin Kwani Chanzo kikubwa Cha Kesi hii kilianzia pale Bungeni Mwaka 2004 ambapo wanasiasa uchwara waliliaminisha Bunge na Takukuru Kuwa aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Italia, Costa Mahalu alitafuna Fedha za ujenzi wa Jengo la ubalozi Wa Tanzania nchini Italia kumbe ni uzushi na leo hii wale wanasiasa na baadhi ya wachunguzi wanaona haya.
Tatu , Kafulila kwa Kuwa Tayari umeishanukuliwa ukisema uamuzi wa Pinda una Mashaka nao , ni wazi hata vyombo hivyo va uchunguzi vikitoa Matokeo ya uchunguzi ambao wewe hutapendezewa nao, hutatakubaliana nao.
Basi minakushauri Kafulila tumia Kifungu Cha 99 Cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai ya Mwaka 2002, kuomba uwe mwendesha Mashitaka Binafsi(Private Prosecutor), ili uweze kuendesha Kesi hiyo mahakamani mAana Tayari umejinasibu Kuwa una ushahidi wa kutosha kuhusu tuhuma hizo.
Ni sisi wenyewe wananchi wa Tanzania Tulitaka nchi yetu iongozwe na Utawala wa Sheria, kwahiyo Takukuru, CAG, Cheo Cha Waziri wa Mkuu na Spika vimeanzishwa kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977, Hivyo tuheshimu wanapokuwa wanatimiza majukumu Yao na anayeona Hana Imani na vyombo Vya dola, aende kuishi nchi ambazo anaamini vyombo vyao Vya dola vinaaminika.
Na wananchi huko vijiweni Tusikubali kutoa hukumu Kuwa. Fulani n fisadi , hafai kuongoza, afukuzwe Kazi eti tu mwanasiasa Fulani kajitapa kuibua tuhuma za ufisadi.Kwani ni hawa hawa wanasiasa Ndio wamekuwa wakituingiza Kwenye ushabiki wa mambo ya kijinga Mwisho wa siku wanatoa na soremba.
Ni hawa hawa wanasiasa walijiapiza Kuwa kampuni ya Richmond ni ya Kitapeli na ni kampuni ya mfukoni .Wananchi tukaamini Kumbe walikuwa nalo jambo.
Mwisho wa siku kampuni hiyo ikabadilishwa jina ikaitwa Dowans, kelele zikazidi hadi kufikishana mahakamani na Mwisho wa siku Tanesco ikashindwa Kesi iliyoishitaki Dowans kule katika Baraza la Usulushi wa Migogoro ya Kibiashara ya Kimataifa (ICC), Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, na Mahakama ya Rufaa Tanzania.Na Tayari Serikali ya Tanzania imeishailipa fidia Dowans.
Kampuni ya Richmond tuliyoaminishwa na wasasiasa uchwara Kuwa ni kampuni ya mfukoni ilibadilishwa toka jina la Richmond Kuja Dowans, na Mwishoe HIvi sasa inaitwa Sympion Power Na inatoa huduma zake kama kawaida na huduma ha kampuni hiyo inatumika .
Na mwaka jana Rais wa Marekani Baraka Obama alivyokuja Tanzania aliizindua kampuni hiyo,na Hao wanasiasa waliotuaminisha uongo kuhusu uwezo wa kampuni hiyo Kuwa ni ya mfukoni nao walikuwepo Kwenye msafara wa ziara hiyo ya Obama kuzindua Sympion .Na leo wanasiasa hao, sanaharakati waliokuwa wakishabikia kuiponda kampuni hiyo leo wapo kimya utafikiri wamefariki Dunia.
Tujifunze kutokana makosa, tusiwe wepesi kuamini kila kitu kinachoibuliwa na baadhi ya wanasiasa wetu uchwara Kwani wengine ni Mavuvuzera wa wafanyabiashara, makampuni na wanasiasa,na makuadi wa Makundi yanayoasimiana Katika magomvi Yao ama ya Kugombea Tenda Fulani, Biashara , urais Mwaka 2014 na kulipizana visasi vitendo ambavyo havina maslahi ya taifa zaidi ya kutaka kuvuruga umoja wetu.Tusiwape nafasi wahuni hawa.
Chanzo: Gazeti la Tanzania Daima la Jumapili, Mei 18 mwaka 2014
www.katabazihappy.blospot.com
KASHFA YA ESCROW ISITUVURUGE Reviewed by MS.HAPPINESS KATABAZI on 11:44 PM Rating: 5
| 2017-11-22T01:40:43 |
https://katabazihappy.blogspot.com/2014/11/kashfa-ya-escrow-isituvuruge.html
|
[
-1
] |
TUMKUMBUKE ( LIKINGA REDO ) KIUNGO MUHIMU WA ORCHESTRA ZAIKO LANGA LANGA | Spoti na Starehe
TUMKUMBUKE ( LIKINGA REDO ) KIUNGO MUHIMU WA ORCHESTRA ZAIKO LANGA LANGA
LEO TUNAMKUMBUKA MAREHEMU LIKINGA REDO
Takriba mwaka mmoja sasa tokea palealipo fariki Mwanamuziki mwenye sauti ilionyororo ” LIKINGA REDO ” ambae kafa kutokana na Mustuko wa moyo Mjini REMS Inchini UFARANSA, akiwa na Umri wa Miaka 59.
LIKINGA REDO kaacha Watoto Watatu ambao kawazaa na Wanawake Watatu tofauti.
Kufwatana na Tukio hilo, Familia ya Marehemu wakiongozana pamoja na Mkewe ” CHARLIE LIKINGA “,Walienda kutembelea makaburi ya N’SELE pale JIJINI KINSHASA,alipozikwa LIKINGA REDO,Kutoa heshima na kuweka mauwa kwenye kaburi lake.
Katika Kazi yake ya Muziki, LIKINGA REDO kapata fursa ya kupitia kwenye GROUP kadhaa ya Muziki zikiwemo : MALOU, SENSATIONNEL, EMPIRE BAKUBA, ZAIKO LANGA LANGA, ZAIKO FAMILIA DEI, BOUM DES AS, na mwishowe kaja kuunda Group lake mwenyewe ” FUN MUS ” .
LIKINGA REDO anayo nafasi yaupekee kwenye Muziki wa CONGO hasa kutokana na Sauti yake ilionyororo na yakuvutia.
LIKINGA REDO atakumbukwa pia sio tuu kutokana Umahiri wake wa kuimba, bali hata kipaji chake cha Utunzi wa Nyimbo. Alikua Mmoja kati ya Watunzi wazuri kwenye Orchestra ” ZAIKO LANGA LANGA “, sikiliza Vibao kama : ” VIYA “, ” MOSELEBENDE “, ” BEL AMI “, ” MANZAKA EPENDE ” , ” ANTALIA ” , ” MON BEBE “. Utaupata uhondo kweli wa Muziki wa Rumba.
Sifa zake kwenye Muziki yaanza kumjia ” LIKINGA REDO ” paletuu alivyo jiunga na ORCHESTRA ” EMPIRE BAKUBA ” kwenye miaka ya 1971. Miaka 4 baadae, Palitokea Mzozo mkubwa kwenye Orchestra ZAIKO LANGA LANGA uliopelekea baadhi ya Wanamuziki kujiondoa akiwemo PAPA WEMBA, na kwenda kuunda Orchestra ISIFI LOKOLE. Kutokana nahayo, ZAIKO LANGA LANGA ikamwangukia LIKINGA REDO na kumtaka aungane nao ililipatwe kuzibwa pengu lililoachwa na PAPA WEMBA.
Bila kukawia, Msanii Kijana alivyokua LIKINGA,kapewa nafasi yakudhihirisha kipaji chake,Jumla ya Nyimbo zake zote zilipendwa sana na Wapenzi wa Muziki na kumfanya yeye awe Mwanamuziki Kipenzi kwa Mashabiki wa Group.
Kwenye Miaka ya 80 paliibuka na mzozo mwengine nakusababisha Group ZAIKO LANGA LANGA kugawanyika mara mbili,na ndipo liliundwa Group ” ZAIKO FAMILIA DEI ” ambalo LIKINGA REDO kaamua kushirikiana nalo.
Wala LIKINGA hajakaa sana kwenye Group ZAIKO FAMILIA DEI,kwakua Mda mchache baadae, kachukua uamuzi wakuondoka CONGO nakuhamia INCHINI UFARANSA (FRANCE) JIJINI PARIS ambako kaweka maskani yake, akiwa namatumaini yakujiendeleza kimuziki, kadhalika kufungua miradi mbalimbali ya Biashara.
Akiwa tayari JIJINI PARIS, kwa Bahati mbaya yule Mdhamini ambae alikua akimtegemea kwakiasi kikubwa kapatwa na matatizo na kufilisika. Hali yamaisha ya LIKINGA ikawa sio nzuri kabisa!!!
Tukiwa Kwenye Miaka ya 2002, Likaja kutokea sakata naTukio mbaya zaidi kwenye Maisha ya LIKINGA REDO .Nihasa pale MKEWE kawa naushirikiano wakaribu saana na Mwanaume Mmoja, na tetesi hizo kumfikia LIKINGA, Ndipo alivyounda njama ilisiku moja apate kulishuhudia mwenyewe tendo hilo. Basi ndivyo ilivyo tokea, siku ya siku LIKINGA karudi usiku Nyumbani kwake, kamkuta Jamaa yuko humo akiwa na Mkewe. LIKINGA Kapandwa na hasira, kamchukua jamaa yule na kumsukumizia dirishani.
Kitendo hichochakumsababishia Majiraha makubwa Bwana huyo, kikampelekea LIKINGA REDO Kufikishwa kizimbani, nakupelekwa Mahakamani aliko funguliwa mashitaka nakukatiwa kifungo cha miezi Mitatu kuswekwa Jela.
Baada yakutolewa Jela, LIKINGA kajikankamua kwakufanya kazi kwa bidii pale alipo shirikiana na Mwanamuziki mwenzie PAPY TEX, na wakafaanikiwa kutoa Album ” MON BEBE “. Kwabahati mbaya kwamaranyingine tena,matumaini yao yakaenda namaji, Album hiyo haijapokelewa vizuri kwenye Soko laMuziki. Matokeo ya Album ” MON BEBE ” kutokufanya vizuri ,ikapelekea hali ya Maisha ya LIKINGA REDO kuzidi kuzorota hadi kachanganyikiwa kiakili.
Ingawa kapata Msaada mkubwa kutoka kwa familia yake ilioendelea kumsapoti, LIKINGA REDO hali yake kiafya iliendeleakua mbaya zaidi hadi pale ilipogunduliwa kapatwa na magonjwa ya ” ALZHEIMER ” iliyomsababishia upotevu wa ufahamu.
Siku chache kabla ya Umaiti kumfikia,LIKINGA REDO kaenda kanisani na kuokoka, kawa mlokole,hadi hapo alipo fariki akiwa na Umri wa miaka 59 kwenye Mji wa REMS (FRANCE). Kaondoka wakati bado Familia, Ndugu, Marafiki, na hasa wanae walikua bado wakimuhitaji.
LIKINGA REDO kazaliwa Tarehe 15-03-1954 JIJINI KINSHASA. Sauti yake itatu miss daima, ila kazi zake kamwe zitakaa milele…
This entry was posted on Wednesday, September 17th, 2014 at 3:54 pm and is filed under Michezo. You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0 feed. You can leave a response, or trackback from your own site.
One Response to TUMKUMBUKE ( LIKINGA REDO ) KIUNGO MUHIMU WA ORCHESTRA ZAIKO LANGA LANGA
Ahsante kwa habari…..R.I.P LIKINGA
2,232,997 hits
@CloudsMediaLive Zilikuwa shule za Wanaume watupu ndio maana kulikuwa na kautemi fulani ingawa zilikuwa za vipaji f… twitter.com/i/web/status/9… 16 minutes ago
@AllyAlmafazy @jmkikwete Safi sana aisee 👏🏽 1 hour ago
@donrushs @azamtvtz @MagufuliJP Wanatuingiza kwenye unnecesary burden tuu nimependa mjadala wa @dbulendu leo na Panel yake makini sana sana. 12 hours ago
@donrushs @azamtvtz @MagufuliJP Bila kutoka angeishia lufukuzwa then ndio angeenda alipotaka kwenda 12 hours ago
@MwananchiNews Beauty with Brain, Dada amefikiria kuliko baadhi Madaktari walivyo na uwezo wa kufikiri. Hongera Peneza kwa kuliona hilo 12 hours ago
Maisha Plus: Kumi bora kujivinjari Mikumi
Man City lead Spurs 1-0 December 16, 2017
Ilkay Gudogan's 14th-minute header opened the scoring for the leaders. City will have a 14-point lead if they win. Earlier, Chelsea and Arsenal beat Southampton and Newcastle, respectively, 1-0. GameCast Live
LIVE: Real Madrid-Gremio, European scores December 16, 2017
LIVE: Latest Premier League standings December 16, 2017
Zinedine Zidane hints at interest in Liverpool star Mohamed Salah December 15, 2017
Narrow victories for Chelsea and Arsenal; Huddersfield hit four December 16, 2017
Chelsea went level on points with second-placed Manchester United after seeing off Southampton
Jose Mourinho on Man United winter transfers: 'Every player has a price' December 15, 2017
MANCHESTER -- Jose Mourinho insists he will not stand in the way of any player who wants to leave Manchester United in January as long as
Mkhitaryan's Man United future in doubt after Mourinho row - sources December 15, 2017
Henrikh Mkhitaryan is battling to save his Manchester United career after being dropped by Jose Mourinho following a row between the two men
Mesut Ozil wonder strike sees Arsenal edge past Newcastle United December 16, 2017
Jurgen Klopp: No early Liverpool move for RB Leipzig's Naby Keita December 16, 2017
It 'really hurt' Barcelona when Neymar left for Paris Saint-Germain - Pique December 16, 2017
Gerard Pique has
Bayern Munich go 11 clear as Thomas Muller strike sees off Stuttgart December 16, 2017
Sven Ulreich's penalty save in the fifth minute of added time helped earn Bayern Munich a 1-0 win at stubborn
Inter Milan lose first game of season as Udinese hammer Serie A leaders December 16, 2017
Udinese ended Inter Milan's unbeaten start to the Serie A season and left them vulnerable to surrendering top spot after winning 3-1 at San
Hermosa Marketing on Maisha Plus: Kumi bora kujivin…
Manhattan Beach SEO on Hali ilivyokuwa weekend hii ga…
Redondo Marketing on Marta anyakua tena zawadi ya M…
Redondo Beach SEO on Picha za Mwili wa Kanumba ukii…
Redondo Beach on “Nasema Nao”, Coll…
RT @jmkikwete: Nawapongeza Zanzibar Heroes kwa kututoa kimasomaso na kutinga fainali. Nawatakia kila la kheri katika mechi ya fainali waibu… 14 hours ago
Je una Coaster ya Kukodisha? Hivi unawezaje kujua gari imeelekea wapi na safari ilizofanya kama… instagram.com/p/Bcu8r4rFqhH/ 1 day ago
Pangani Logistics Fleet Managed by us!! Fuel Management, Driver Behaviour, Accident Analysis,… instagram.com/p/BctbbAElUOS/ 1 day ago
RT @HusseinBashe: I know how it feels unapo ambiwa AMA kuanza kujazishwa Fomu na kuhojiwa juu ya Uraia Wako its like kujazishwa fomu kuambi… 4 days ago
RT @businessinsider: You will be able to go for your morning jog on top of this apartment complex https://t.co/3eFE7FKuiO 5 days ago
youtube.com/watch?v=rRyVV…
millardayo.com/u-heard-ya…
youtube.com/watch?v=aVVwe…
nathankatuni.wordpress.co…
youtube.com/watch?v=auEWF…
| 2017-12-16T18:54:41 |
https://spotistarehe.wordpress.com/2014/09/17/tumkumbuke-likinga-redo-kiungo-muhimu-wa-orchestra-zaiko-langa-langa/
|
[
-1
] |
Tigo Tanzania na Tecno wajisogeza karibu kwa wateja wake - TeknoKona Teknolojia Tanzania
You are at:Home»Intaneti»Tigo Tanzania na Tecno wajisogeza karibu kwa wateja wake
By Mato Eric on May 1, 2018 Intaneti, simu, Tanzania, Tecno, Tigo
Tecno ni moja kati bidhaa (simu janja) zilizoenea barani Afrika kwa wingi na kufanya kuwa na soko zuri barani humo lakini halikadhalika Tigo Tanzania nao wamekuwa wakijidhatiti ili kuweza kuendelea kufanya vizuri katika soko lenye ushindani na hatimae wasipoteze wateja.
Sote tunafahamu jinsi gani Tigo Tanzania ilivyokuwa na wateja wengi na kuzidi kuendelea kuwavutia watu wengine kila siku. Hivi karibuni Tigo Tanzania na Tecno wamua kushirikiana kwa faida ya wao na wateja wa bidhaa zao.
Siunafahamu simu janja mpya ya Tecno Camon X? Basi Tecno na Tigo Tanzania wanasema kwa kila mteja atakayenunua simu hiyo atakuwa anapata GB 3 za kifurushi cha intaneti BURE kila mwezi kwa muda wa miezi sita.
Wawakilishi kutoka Tigo Tanzania na Tecno wakiongea na waandishi wa habari kueleza umma watakachokuwa wakifanya.
Ambacho pengine hukifahamu……
Tecno wameamua kufanya kazi na Tigo Tanzania kwa sababu ya Tigo kuwa na intaneti ya 4G katika maeneo mengi nchini humo (Tanzania) na isitoshe simu ya Tecno Camon X ina mfumo wa 4G hivyo kufanya wateja wake kufurahia intaneti yenye kasi kutoka Tigo Tanzania.
Simu janja ya Tecno Camon X
Tigo Tanzania ndio kampuni ya ya kwanza ya mawasiliano kuweza kuleta simu hizo katika maduka yake yote yaliyopo katika mikoa mbalimbali nchini Tanzania. Vilevile, see url mteja anaweza kununua simu janja ya Tecno Camon X kwa kulipa kidogo kidogo; unapiga *147*00# kisha utafuata maelekezo au kununua kupitia order avodart canada MTANDAONI.
Tecno Camon X inauzwa Tsh. 469,999 katika maduka yote ya Tigo ambapo simu hiyo itakuwa na kifurushi cha GB 3 za bure kila mwezi kwa siku 180. Bofya real Lamictal without prescription HAPA kujua sifa ya simu hiyo pamoja na mengineyo.
Chanzo: Tigo Tanzania
| 2018-08-14T22:51:57 |
http://teknokona.com/tigo-tanzania-na-tecno-wajisogeza-karibu-kwa-wateja-wake/
|
[
-1
] |
Utawala wa kibabe kwenye maofisi ya serikali | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Utawala wa kibabe kwenye maofisi ya serikali
Discussion in 'Habari na Hoja mchanganyiko' started by MARUKENI, Jul 27, 2012.
Inakuwaje umepewa nafasi ya ukurugenzi katika mojawapo ya ofisi ya serikali kabla ya hapo ulikuwa unashirikiana vizuri na wafanyakazi wenzako lakini baada ya kupewa hiyo nafasi unaanza kuwadharau wafanyakazi walio chini yako kwa kusema kila sehemu kwenye maofisi mengine kwamba hawa wafanyakazi wenzangu hawajui kazi yeyote ila mimi peke yangu.je huo ndo uongozi?
ingefaa kama ungemwambia live huyo jamaa.......
Ni udhaifu!
Of course ukipanda ama kuingia ofisi ya uandamizi zaidi u wll not be the same bana maana majukumu yanakuwa ni Planning, Organizing, controling etc, ambapo at some point utaonekana kutowapendeza watu wote ofisini!
Bandiko lako ninapolitazama limeandikwa kutokana na context ya surbodinate staff!...ni kawaida kwa junior staff kulaumu watu wa Management bila sababu za msingi, wakidhani kuwa wanaonewa constantly!
Mambo ya ofisini ndio umeamua uyalete hapa JF?
Nitakutesa mpaka uhame idara, nyambaffff
MARUKENI said:
Inakuwaje umepewa nafasi ya ukurugenzi katika mojawapo ya ofisi ya serikali kabla ya hapo ulikuwa unashirikiana vizuri na wafanyakazi wenzako lakini baada ya kupewa hiyo nafasi unaanza kuwadharau wafanyakazi walio chini yako kwa kusema kila sehemu kwenye maofisi mengine kwamba hawa wafanyakazi wenzangu hawajui kazi yeyote ila mimi peke yangu.je huo ndo uongozi?Click to expand...
| 2017-01-21T13:48:16 |
https://www.jamiiforums.com/threads/utawala-wa-kibabe-kwenye-maofisi-ya-serikali.298640/
|
[
-1
] |
SUGE KNIGHT AANGUKA MAHAKAMANI | PRO-24
SUGE KNIGHT AANGUKA MAHAKAMANI
Mahakama kuu imemuachilia kwa dhamana ya dola millioni 25 msanii wa muziki wa Rapper Suge Knight ,ambaye anatuhumiwa kwa kuwagonga wanaume wawili katika eneo la Campton nchini Marekani ,ili kutekeleza mauaji
Mda mfupi baada ya kusikizwa kwa kesi yake msanii huyo mwenye umri wa miaka 49 alianguka na kuzirai mahakamani ,ikiwa ni mara ya tatu kwa yeye kupelekwa hospitalini kufuatia kusikilizwa kwa kesi yake.
Wakili wake alisema kuwa macho ya mteja wake yalianza kucheza cheza kabla ya kuanza kutokwa na jesho na mwishowe kuanguka huku akigonga kichwa chake katika meza na kupoteza fahamu.
Knight anatarajiwa kurudi mahakamani mwezi Aprili 13 ambayo ni siku ya kusikilizwa kwa kesi yake.
Katika kusikizwa kwa ombi la kutaka kuwachiliwa kwa dhamana, Suge Knight alishtumiwa kuwa muhalifu asiyetubu.
| 2018-03-21T15:01:41 |
http://pro-24.blogspot.com/2015/03/suge-knight-aanguka-mahakamani.html
|
[
-1
] |
iPhone 2018 Uzinduzi: Nini cha kutarajia kutoka Apple - Habari Utawala
Kujisaidia
smart Speakers - Mnunuzi Guide
iPhone 2018 Uzinduzi: Nini cha kutarajia kutoka Apple
Company expected to launch new ‘iPhone XS’ smartphone, Apple Watch and iPad Pro this week, kwa mujibu wa ripoti
Makala hii yenye jina “iPhone 2018 launch: what to expect from Apple” iliandikwa na Samuel Gibbs, for theguardian.com on Monday 10th September 2018 10.37 UTC
The headline announcement is expected to be a new iteration of the iPhone X with a 5.8in screen, possibly called “iPhone XS” kwa mujibu wa ripoti. Since the “X” stands for 10, rather than the letter in Apple’s official naming, an XS would mirror similar “S” phones such as the iPhone 4S, 5S and 6S, rather than standing for iPhone “extra small” or “excess”.
In the past such “S” iPhones have typically had improved internal components, but maintained a similar design and feature set to the iPhone model they replaced. The iPhone 4S introduced Siri, the iPhone 5S introduced Touch ID and the iPhone 6s 3D touch.
The new iPhone X iteration is also expected to be joined by a larger version, possibly called the iPhone XS Max rather than “Plus”, “Pro” or other monikers as used in previous bigger versions such last year’s iPhone 8 Zaidi. The new larger iPhone X-like phone is expected to be more expensive than the starting price of £999 of 2017’s iPhone X, further stretching the expense of top-end smartphones.
Customers are seen under a picture of new Apple Watch Series 3 after it goes on sale at the Apple Store in Tokyo’s Omotesando shopping district, Japan, Septemba 2017. Picha: Issei Kato/Reuters
Alongside the new iPhones, Apple is also expected to launch a new iteration of its smartwatch. The new Apple Watch is expected to have a similar design to the current Apple Watch 3, but potentially with a slightly larger screen squeezed into the same size body, kwa mujibu wa ripoti.
guardian.co.uk © Guardian Habari & Media Limited 2010
iPhone 5 ya Fingerprint Scanner ni Tayari Ha ...
OnePlus 6: All Glass, kubwa Screen
Google lanserar Pixel 3 Smartphones and Pixel Slat...
Samsung Galaxy S5 tarehe ya kutolewa, bei, specs na f ...
2362 2
Baada urambazaji
← Amazon lanserar moto HD 8 Kompyuta kibao na New Echo-kama Dock Apple lanserar iPhone XS, XS Max na XR →
48.8k Friends
Imagination yako Nguvu
Kunywa kahawa Je hupunguza hatari ya kujiua!
5 Njia Ili Brighten Up Bedroom yako
Wolves’ Howls Je Kuwa ID'd na Kompyuta
Apple dhahabu iPhone 5S bado ni kuchora foleni katika London
New Utekelezaji wa madawa ya kulevya inachukua 10 Dakika ya kuua Marekani Muuwaji
Microsoft itatoa Windows 10 kwa ajili ya bure mwezi Julai
Saratani ya matiti Kukuza Uchumi Kiini Halted na Osteoporosis Dawa
Amazon Echo: Ya kwanza 13 Mambo ya Jaribu
Nintendo Switch: Nini Sisi ni Kutarajia From New Console
Google kioo – Kwanza Watu Akamatwa
Sitini wafu au kukosa katika Canada treni maafa.
Black & Decker LST136 High Utendaji String Trimmer Tathmini
Parrot Asteroid Smart Tathmini: Android In Dash gari yako ya?
10 Ajabu Faida Of Anti vioksidishaji Kwa Ngozi, Nywele And Wellness
8 Sababu ya kuwa Njia Circles Dark
OnePlus 6t Tathmini
28 Faida ya ajabu YA Mosambi (Sugary chakula Lime) kwa Ngozi, Nywele And Wellness
Jinsi gani unaweza Chagua Tumble Dryer
Novemba 4, 2018
iPhone XR Tathmini
Oktoba 31, 2018
Huawei Mate 20 Pro Ukaguzi
Google Pixel 3 XL Tathmini: Big ni Bado Beautiful
Oktoba 24, 2018
mji wa China mipango ya uzinduzi mwezi bandia kuchukua nafasi za mitaani’
Oktoba 20, 2018
| 2018-11-17T09:16:28 |
http://newsrule.com/sw/iphone-2018-launch-what-to-expect-from-apple/
|
[
-1
] |
Kenya:Wahasibu wote wa mashirika ya umma walazimishwa kwenda likizo - MTILAH BLOG
Home / KIMATAIFA / Kenya:Wahasibu wote wa mashirika ya umma walazimishwa kwenda likizo
Kenya:Wahasibu wote wa mashirika ya umma walazimishwa kwenda likizo
Serikali ya Kenya imewataka wakuu wa vitengo vya Manunuzi na Uhasibu katika Wizara, idara, Wakala na Mashirika yote ya Umma kwenda likizo ya lazima ya mwezi mmoja ili kupisha uchunguzi mpya dhidi ya ufisadi uliofanyika.
Maafisa hao wanatakiwa pia kuchunguzwa juu ya mtindo wa maisha yao ambapo wanatakiwa kupeleka taarifa zao katika ofisi ya mkuu wa utumishi wa Umma katika jumba la Harambee kuhusu mali wanayomiliki, madeni waliyo nayo na kazi walizozifanya awali, ifikapo Ijumaa, June 8, 2018.
Hili linafuatia agizo la Rais Uhuru Kenyatta aliyotoa katika maadhimisho ya Siku ya Madaraka kwamba taifa lazima lichukue hatua ya juu zaidi katika vita vyake dhidi ya ufisadi.
Watatakiwa pia kupimwa kwa kifaa ambacho ni cha kubaini iwapo mtu anasema ukweli au anahadaa(Polygraph or Lie detector). Watakaobainika wanasema uongo baada ya kutumiwa kwa kifaa hicho watafutwa kazi
Imeelezwa kuwa Maafisa hao wataendelea kupokea mishahara yao kama kawaida kipindi hicho cha likizo lakini kabla ya kwenda likizo hiyo ya lazima wanatakiwa kukabithi kazi kwa Manaibu wao
| 2019-02-22T05:21:49 |
http://www.mtilah.com/2018/06/kenyawahasibu-wote-wa-mashirika-ya-umma.html
|
[
-1
] |
Home/ UDAKU/Jina la ngoma mpya ya Roma Mkatoliki lazua gumzo, Mkewe ahofia kumpoteza
Saturday, March 31, 2018 UDAKU
| 2019-08-22T23:08:29 |
https://www.spoti.co.tz/2018/03/jina-la-ngoma-mpya-ya-roma-mkatoliki_87.html
|
[
-1
] |
Mungu msamehe Mtolea – MwanaHALISI Online
Posted by: Saed Kubenea November 22, 2018 0 4,943 Views
NIMELAZIMIKA kujitosa kwenye mjadala unaohusu kujiuzulu wadhifa wa ubunge kwa Abdallah Mtolea, aliyekuwa mbunge wa Chama cha Wananchi (CUF), katika jimbo la Temeke, jijini Dar es Salaam. Anaandika Saed Kubenea … (endelea).
Mtolea alitangaza kujiuzulu ubunge waliompa wananchi wa Temeke, tarehe 15 Novemba 2018. Ilikuwa katikati ya mjadala wa muswada wa uendeshaji wa taasisi ndogo za kifedha.
Mara baada ya kuitwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai, kuchangia muswada huo, Mtolea alisema, anachukua nafasi hiyo kumjulisha spika na umma kuwa ameamua kujiuzulu ubunge.
Muda mfupi baadaye, akaonekana ameongozana na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally na kutangaza kujiunga na chama hicho.
Kama walivyofanya wengine waliotoka upinzani na kujiunga na chama tawala, Mtolea alisema, “nimeamua kujiuzulu ubunge, ili kuunga mkono juhudi za Rais John Magufuli katika kuendesha nchi.”
Mtolea anakuwa mbunge wa tatu wa CUF kujiuzulu na wa pili jiji la Dar es Salaam.
Wabunge wengine wa chama hicho waliojiuzulu, ni pamoja na aliyekuwa mbunge wa Kinondoni, Maulid Mtulia na aliyekuwa mbunge wa Liwale, mkoani Lindi, Zuberi Kuchauka.
Nimeamua kumjadili Mtolea kwa sababu nyingi. Miongoni mwao, ni hizi zifuatazo:
Kwanza, alikuwa mmoja kati ya wabunge wa upinzani jijini Dar es Salaam, waliotangazwa kwa mbinde kuwa washindi katika uchaguzi mkuu wa 25 Oktoba 2015.
Msimamizi wa uchaguzi jimboni Temeke, alimtangaza Mtolea kuwa mbunge, baada ya kuona hatari ya damu kumwagika. Alimtangaza kuwa mbunge baada ya baadhi ya akina mama kukesha wakiwa wamebeba vichanga vyao mgongoni ili kulinda “kura zake.”
Alitangazwa baada ya mamia ya vijana na wazee, kusimama kidete kulinda ushindi wake. Alitangazwa baada ya jasho kumwagika na miguu ya wazee kuvimba.
Si hivyo tu: Baada ya njama za kupora ushindi wake kukwama, aliyekuwa mshindani wake, Abas Mtemvu (CCM), alikimbilia mahakamani kupinga ubunge wake.
Hatukumtupa. Tulimshika mkono kwa kuongozana naye mahakamani kila siku ya kesi. Tulichanga sehemu ya tulichokuwa nacho, ili kumsaidia kulipia sehemu ya gharama za mawakili wake. Tuliweka hata magari yetu mafuta ili kubeba baadhi ya wafuasi wake.
Pili, Mtolea alikuwa moja ya nguzo muhimu ya upinzani bungeni. Alikuwa kiungo mahiri kwa vyama vinavyounda jumuiko la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).
Ndani ya Bunge, alikuwa naibu kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani. Alikuwa pia kiongozi wa wabunge wa CUF.
Tatu, siku moja kabla ya kutangaza “kuunga mkono juhudi,” tulikutana na kuzungumza mengi. Miongoni mwa tuliyojadili, ni mustakabali wa kisiasa wa vyama vyetu na sisi wenyewe.
Hakuna kokote kwenye mazungumzo yetu ambako Mtolea alionyesha hofu ya kutetea ubunge wake. Hakuna alikoonyesha shauku ya kutaka kujiunga na CCM.
Tuliachana naye, majira ya saa tano usiku, katika eneo la Dodoma hoteli akionekana imara na jasiri. Tulikuwa tunatokea kwenye hafla ya uuzaji wa hisa za Benki ya Dar es Salaam Commercial Bank PLC (DCB).
Nikikumbuka jinsi nilivyokesha pale Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kulinda kura za wananchi wa Ubungo, hakika hatua ya Mtolea, imenitia simanzi sana.
Aidha, nikikumbuka jinsi wananchi wa Temeke na maeneo mengine ya Dar es Salaam, walivyotuunga mkono katika uchaguzi mkuu uliyopita, kitendo cha Mtolea, kimenitoa machozi.
Nikikumbuka jinsi wananchi walivyochanga sumuni sumuni zao kuhakikisha yeye na sisi wengine tunashinda uchaguzi huo, kujiuzulu kwake, kumenifedhesha na kumenihuzunisha sana.
Hii ni kwa sababu, kinyang’anyiro cha uchaguzi mkuu uliyopita, kilikuwa kigumu mno. Baadhi ya waliotangazwa, siyo walioshinda. Wale walioshinda– hasa kutoka upinza – siyo waliotangazwa.
Karibu katika maeneo mengi ya nchi, uchaguzi ulitawaliwa na hila na vitimbi, kutokana na chama kilichopo Ikulu kuonekana kinaelekea kushindwa.
Binafsi, nilitangazwa kwa mbinde kuwa mshindi wa kiti cha ubunge, dhidi ya aliyekuwa mshindani wangu mkuu, Didas Masaburi (CCM).
Kama ilivyokuwa kwa wengine wengi, ushindi wangu, ulipatikana baada ya wananchi kuweka shinikizo dhidi ya waliotaka kupora haki yao.
Nilitangazwa kabla ya Maulid Mtulia (Kinondoni); Halima James Mdee (Kawe) na John Mnyika (Mnyika).
Nikaona ushindi huo hauwezi kuwa wa maana, iwapo wenzangu hao, ambao wakati huo, tulikuwa tunatokea halmashauri moja ya Kinondoni, hawajatangazwa kushinda.
Nikaamua kutumia rasimali nilizokuwa nazo, hasa baadhi ya vijana wa bodaboda, kuhakikisha wenzangu hawa, wanatangazwa kuwa washindi.
Kweli walitangazwa, ingawa katikati ya mtutu wa bunduki. Walitangazwa katikati ya mabomu ya machozi na mifereji ya damu.
Nimezisikia sababu za Mtolea kujiondoa CUF. Nimesikia utetezi wake. Anadai kuwa haoni nuru huko alikokuwa. Anasema mgogoro ndani ya chama chake, umekidhoofisha sana na hivyo anaona njia pekee ni yeye kuukimbia.
Hakuna hata moja kati ya aliyosema, lenye chembe ya mashiko. Kwa ufahamu wangu, hata kama Mtolea angeamua – baada ya kumaliza ubunge wake mwaka 2020 – kujiunga na vyama vingine rafiki ndani ya UKAWA, bado angeweza kushinda uchaguzi unaokuja.
Badala yake, ameamua kuuza utu wake. Ameamua kuuza heshima ambayo wananchi wa Temeke walimpa. Ameamua kusaliti wananchi.
Ameungana na walioko madarakani, kunyonga haki za wananchi.
Wapo wanaoamini kuwa kujiuzulu kwa Mtolea kumesukumwa na hatua ya Rais Magufuli, kumteuwa aliyekuwa mbunge wa Chadema katika jimbo la Ukonga, Mwita Mwaikabe Waitara, kuwa naibu waziri.
Katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, Waitara alikuwa miongoni mwa wabunge sita wa upinzani jijini Dar es Salaam.
Nihitimishe kwa kusema, Mungu atamlipa kile anachostahili Mtolea.
NIMELAZIMIKA kujitosa kwenye mjadala unaohusu kujiuzulu wadhifa wa ubunge kwa Abdallah Mtolea, aliyekuwa mbunge wa Chama cha Wananchi (CUF), katika jimbo la Temeke, jijini Dar es Salaam. Anaandika Saed Kubenea ... (endelea). Mtolea alitangaza kujiuzulu ubunge waliompa wananchi wa Temeke, tarehe 15 Novemba 2018. Ilikuwa katikati ya mjadala wa muswada wa uendeshaji wa taasisi ndogo za kifedha. Mara baada ya kuitwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai, kuchangia muswada huo, Mtolea alisema, anachukua nafasi hiyo kumjulisha spika na umma kuwa ameamua kujiuzulu ubunge. Muda mfupi baadaye, akaonekana ameongozana na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ally na…
Previous: Watuhumiwa wa mauaji ya Dk. Mvungi waachiwa, wakamatwa
Next: Rais Magufuli amteua Mkurugenzi wa PBPA
| 2020-01-29T05:35:21 |
http://mwanahalisionline.com/mungu-msamehe-mtolea/
|
[
-1
] |
MISS RUVUMA MATATANI KWA KUMSHAMBULIA MWANDISHI WA HABARI WA 93.7 E-FM RADIO! Livingstone Mkoi kushoto akiwa kazini na wanahabari wenzake wakitimiza majukumu yao Bw. Livingstone Mkoi mwandishi wa habari wa 93.7 E-FM RADIO na mkurugenzi mtendaji wa Gazeti la Maskanibongo
Kalama na Isabela Mpanda ambae anatafutwa kwa tuhuma hizo
Na Salim Ramadhan
Miss zilipendwa 2007 toka Ruvuma Isabelah Mpanda ameingia anga mbaya baada ya kumtukana matusi mazito mwandishi wa habari wa kituo kipya cha radio cha E-fm 93.7, Bw Livingstone Mkoi. Miss Ruvuma huyo ambae kwa sasa ni mwanamuziki amedaiwa kutenda kosa hilo usiku wa tarehe 4 kuamikia tareh 5 mwezi huu baada ya kuandika ujumbe wa maneno ya kumkashfu mwandishi huyo pamoja na kumtukana matusi mazito bila kufahamika sababu za msingi. Hata hivyo kwa mujibu wa mwandishi huyo aliuambia mtandao huu kuwa siku ya Jumanne asubuhi wakati akijiandaa kuelekea kwenye majukumu yake ya ujenzi wa taifa alipokea simu toka kwa watu wake wa karibu wakimpatia pole huku yeye akishangaa kulikoni kwa pole hizo. Baada ya kuelezwa kulichotokea mwandishi huyo aliingia mtandaoni na kujionea udhalilishaji huo wa matusi ya nguoni huku pia mrembo huyo akiweka picha ya mwanahabari huyo ambae pia ni mkurugenzi mtendaji wa Gazeti la Maskani Bongo. Kufuatia mambo hayo mwanahabari huyo alienda kutuoa taarifa Polisi kituo kidogo cha Polisi kilichopo Kinondoni Moscow ambapo walimfungulia jalada KH/RB/1132/2014 KUDHALILISHA KUTUMIA MTANDAO/ MATUMIZI MABAYA YA MTANDAO na tayari jalada hilo limetua Oysterbay Polisi kwa ajili ya kufanyiwa kazi. Aidha mwandishi alipouulizwa kama ana ugomvi wowote na mrembo huyo alisema “ Hapana sikuwa kuwa na ugomvi nae namheshimu kama dadangu na huwa nashirikiana mambo mengi kiukweli sielewi imekuaje yani” Alisema Mkoi Mtandao huu ulimtafuta Mrembo huyo ili aelezee tuhuma hizlo lakini simu yake ya kiganjani iliita bila kupokelewa hadi news hii inaruka hewani kama hivi. Posted by
KUFURU YA KUFUNGA 2014. ANGALIA BILLIONE WA DODOMA ALIVYOTEKEZA 15 MILIONI KWA AJILI YA WATU KULA BATA USIKU 1 TU. ILIKUWA BALAA..!
Priscuss Alexandar Ambaye ni mfanya biashara maarufu mkoani Dodoma na pia ni mmiliki wa mabasi ya PAC akiwa na ndugu jamaa na marafiki wa kiribu kwenye tafrija fupi iliyofanyika nyumbani kwake maeneo yaAre c ya kufurahia binti yake Phainess Priscuss Malya kupokea kipaimara siku ya jana
MR Halfani & Erick Mshana
Msouth Cate & halfani
Posted by Hemed kavu at 11/03/2014 11:38:00 AM No comments: Posted by
MAAJABU YA KARNE: SHEKH SHARIF KHAMIS WA TANZANIA AENDESHA MELI BILA KUSOMEA URUDANI, TUKIO LIMETOKEA NCHINI KONGO WATU WASHIKWA NA HOFI KUBWA...!
Shekh Sharif Khamis hapa ndipo alipowaacha watu midomo wazi na mshangao baada ya kuendesha Meli wakati hajawahi kusomea urubani.
Shekh Sharif Khamis mwenye kiremba cha blue akiwa amezungukwa maustaadh wa nchini Kongo.
Maelfu ya wakazi wa mji wa Goma wakiwa kwenye muhadhara kumsikiliza miujiza ya uponyaji wa dua za Shekh Sharif Khamis.
Shekh Sharif Khamis ambae ametenda miujiza ya karne baada ya kuendesha Mell bila kuwahi kwenda chuo cha udereva
Na Sharifa Abdalah- Bukavu Kongo
Ukisikia hizi habari kwenye radio unaweza usiamini unaweza ukadhani ni kichekesho ama hadithi lakini ni kweli yametokea, kijana wa kitanzania Shekh Sharif Khamis ambae kadri anavyokuwa kiumri ndipo anazidi kufanya miujiza ya kipekee na ya kuogopesha.
Akiongea na Maskanibongotz mwandishi wetu aliyeko mji wa Bukavu Shekh Sharifu ambae kabla ya kutua nchini Kongo alikuwa nchi ya Uturki alikokuwa amepewa mwaliko na Serikali ya huko kwa ajili ya kwenda kufanya dua na huko nako alifanya maajabu. Hata hivyo kwenye tukio hilo la kuendesha meli ilikuwa wakati wakiwa ndani ya Meli wakitokea mji wa Goma kwenda Bukavu ndipo kijana huyo alipomwambia nahodha wa meli hiyo kuwa anaweza kuendesha mtambo huo huku mamia ya watu wakishuhudia palitokea mabishano makubwa huku manahodha mbalimbali wakimwambia hawezi kuendesha meli hiyo kwa vile kama hajawahi kusomea uderva hawezi kufanya kitu kama hicho.
Baada ya mabishano ya muda mrefu nahodha wa meli hiyo iliyofahamika kwa jina la MV Emmanul alipompa nafasi Shekh huyo na katika hali isiyokuwa ya kawaida kijana huyo alianza kusukuma mtambo huo huku kila mtu akipigwa na butwaa kwa tukio hilo na aliendesha kwa muda mrefu hadi kufika mji wa Bukavu na kutia nanga.
Kufuatia tukio hilo mamia ya watu walimuogopa Mungu kwa maajabu. hiyo huku manahodha wakisema huo ulikuwa ni maajabu. mkubwa na wengine wakishindwa kuamini kama kijana huyo ni binadamu wa kawaida ama ni maajabu.
Hata hivyo wananchi wa Kongo wamemuomba Shekh Sharif kuwafikishia shukrani zao kwa Mh Jakaya Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa kuwasaidia kwa kupeleka Majeshi nchini huko mwao. Posted by
MGANGA WA MASTAA NCHINI AZUSHA BALAA KUBWA KWA MASHABIKI WA WEMA SEOETU. ALLY KIBA AHUSISHWA..!
Na Sakina ShabaniYule Mganga aliyejipatia jina kubwa nchini Tanzani baada miti shamba zake kuwasaidia watu wengi sana huku vigogo wa Serikali na mastaa wakimtumia kuwekea sawa mambo yao ya mafanikio amezusha balaa kubwa kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuzungumzia mabalaa yanayomkuta mwanamuziki kipenzi cha watu Diamond
.Kwa mujibu wa mtandao wa mganga huyo ambae miti shamba zake zimepelekwa nchi zilizoathirika na ugonjwa wa Ebola kwa ajili ya majaribio alisema kuwa kuanza kuporomoka kwa mwanamuziki Diamond ni dalili za mwisho wa mwanamuziki huyo kimuziki na tayari nyota yake itachukuliwa na mwanamuziki chipukizi ambae hata hivyo hakumtaja jina.
Baada ya taarifa hizo shemeji zake ambao ni mafans wa Wema walianza kumshambulia mganga huyo ambae kwa sasa yupo Jijini Dar kwa ajili ya kuwahudumia wakazi wa Jiji la Dar huku wengi wakimtukana mganga huyo.
Hata hivyo mganga huyo alipotafutwa na gazeti kupitia namba yake ya simu 0788-8444902 alipatikana na kusema" Unajua Diamond na kijana wangu na tumeshiriki kumuinua lakini kwa hali inavyoonekana tayari mwisho wa ustaa wake umefika na dhahiri shahiri mtu mwingine anakuja kukalia kiti chake" Alisema mganga huyo
Aidha mganga huyo ambae amekuwa akitumiwa sana wafanyabishara pia kusafisha mambo yao kutumia miti shamba zake, huku viongozi wa vyama na siasa nao hawaishi nyumbani kwake kupata baraka zake.
Pia anatibu magonjwa mbalimbali yaliyoshindikana kama uzazi, ganzi miguuni na mikononi, kisukari, Ukimwi kupandisha CD4 kwa wiki moja tu, kumuona mchawi live bila king'amuzi nk. Na ametoa uwito kwa wananchi kuelendelea kuitumia nafasi hiyo kabla hajaondoka msimu huu wa mwisho wa mwaka
WAKATI BONGO MOVIE WAKIOMBOLEZA MSIBA WA MSANII MZEE MANETO, MSANII TINO MADHABU HALI YAKE NI MBAYA ANAHITAJI MSAADA KUNUSURU UHAI WAKE. DUDE ATUHUMIWA KULA HELA ZA MCHANGO..!
Posted by maskani bongo at 10:13 PM
MSANII TINO MADHAHABU AMBAE TANGU WIKI ILIYOPITA AMEZIDIWA KWA UGONJWA KUOTA NYAMA PUANI HUKU AKIKOSA MSAADA WA WASANII WENZAKE
Wakati mashabiki na wasanii wa Bongo Movie wakiomboleza msiba wa Mzee Manento amefariki dunia hapo juz. kuna taarifa kuwa msanii mwingine wa Bongo Movie Tino Madhahabu nae amelazwa huku akitelekezwa bila msaada huku msanii Dude akituhumiwa kula pesa za mchango wa kumuuguzia msanii huyo.
Kwa mujibu chanzo chetu kiliieleza Maskanibongotz kuwa msanii amekuwa akiugua zaidi ya miaka miliwi na hivi karibuni familia ya msanii huyo ilitoa taarifa kwenye vyombo vya habari kuhusu kuugua kwa msanii huyo huku wasanii wenzake kumtelekeza ambapo mtandao huu uliwasiliana na Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania Saimon Mwakifwamba ambae alikuwa amemuagiza Dude afike nyumbani kwa Tino kwa ajili ya kuangalia hali halisi harafu michango ianze kuchangwa kwa ajili ya kunusuru uhai wa msanii huyo.
Hata hivyo kwa mujibu wa Tino mwenyewe alisema kuwa Dude alipiga simu kwake na kumueleza kama amepata taarifa zake toka kwa Rais hivyo ataendesha harambe ya mchango kisha atafika kwake toka hapo hali leo hajawahi kupiga simu kuelezea hiyo harambe imefikia wapi hali inayotia shaka huenda labda amekula mchango huo.
Maskanibongotz ilimtafuta Dude kupitia simu yake ya kiganjani ili kueleza ukweli wa tuhuma hizo ambapo simu ya msanii huyo iliita tu bila kupokelewa.
CREDIT: MASKANIBONGOTZ
BANK YA NMB YAWAKUNA VIJANA DODOMA, MAELFU WAFURIKA KWENYE BONANZA UDOM, WANACHI WACHANGAMKIA FURSA..!
LEO NDIO KILELE CHA BONANZA HILO LILILOANDALIWA NA NMB TAWI LA UDOMA AMBAPO ITAKUWA NDIO FAINALI YA MPIRA WA MIGUU NA MIKONO SAMBAMBA YA YOTE HAYO PIA KUTAKUWA NA BURUDANI KUTOKA KWA WASANII MBALI MBALI AKIWEMO BARNABA BOY, BONANZA HILO LITAANZA SAA 8 MCHNA NA KUENDELEA NA HAKUNA KIINGILIO
PEPO MCHAFU AZIDI KUWAANDAMA WANAFUNZI DODOMA MWINGINE APIGA PICHA ZA UCHI MAKUSUDI NA KUZIRUSHA KWENYE MTANDAO ILI KUWATEGA WANAUME MAKUSUDI!
Na Mwandishi wa Xdeejayz Pepo mbaya amezidi kuwatesa wanafunzi wa vyuo nchini kwa kujipiga picha za aibu tena kwa makusudi kish...
KHA JAMANI EEH MUNGU TUNUSURU, MTOTO WA USTAADH MWENYE MAADIRI YA KIROHO APIGA PICHA UCHI MAKUSUDI NA KUZIWEKA MTANDAONI, FAMILIA YAMTENGA NA KUMUOMBEA DUA..!
Msichana ambae inadaiwa ni mtoto Ustaadh mmoja maarufu huko Kigogo Luhanga kiwa kwenye picha ya utupu. Na Mwandishi wa Xdeejayz Kigogo ...
BLOG YA XDEEJAYZ KUFUNGIWA MAISHA, YAKABIRIWA NA KESI MBAYA SANA, BONGO MOVIE WAFURAHIA KWA ADHABU HIYO!
Suzi na Fathiya wakipena maravidavi Suzi Magoti na Fathiya Alfan kwenye DVD ya kusagana ambayo imepelekea kuzusha bala...
| 2014-11-23T04:14:53 |
http://www.xdeejayz.blogspot.com/
|
[
-1
] |
MICHUZI BLOG: KULIKONI HAPA TENA???
KULIKONI HAPA TENA???
Katika pita pita za hapa na pale, Kamera ya Globu ya Jamii iliweza kuzinasa picha hizi katika Geti kuu la kuingia Karimjee Jijini Dar es salaam na kukua hali inayoonekana hapo, Haijafahamika ni kitu gani kimetokea mpaka kufikia hali hii.
| 2017-02-20T01:51:56 |
https://issamichuzi.blogspot.com/2016/09/kulikoni-hapa-tena.html
|
[
-1
] |
2013 Julai | Idhaa ya Redio ya UM Umoja wa Mataifa
Nyumbani » 31/07/2013
Entries posted on “Julai, 2013”
UNICEF yapania kutokomeza ukatili wa ngono Mali
Taifa la Mali limekuwa katika mzozo wa kisiasa muda mrefu ambapo mapigano kati ya waasi na vikosi vya serikali yamesababisha mateso kwa wananchi wa taifa hilo . Makala ifuatayo inaangazia moja ya kadhia ya ukatili wa kingono kwa wasichana nchini humo, jambo lililosukuma Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto , UNICEF na washirika [...]
31/07/2013 | Jamii: Mahojiano | Kusoma Zaidi »
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-Moon, amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na Mwakilishi Mkuu wa masuala ya nchi za nje wa Jumuiya ya Ulaya, EU, Catherine Ashton, kufuatia ziara yake nchini Misri. Bwana Ban ameelezea wasiwasi wake kuhusu mkondo ambao kipindi cha mpito nchini Misri kimefuata, na hasa kuhusu kutiwa kwa watu [...]
31/07/2013 | Jamii: Hapa na pale | Kusoma Zaidi »
Walinda amani 33 kutoka India wanao hudumu kwenye Brigedi ya kikosi cha MONUSCO huko Kivu Kaskazini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC wanapatiwa mafunzo ya kurejesha amani na utulivu.Mafunzo hayo yaliyoanza wiki hii yatamalizika tareheTisa mwezi Agosti ambapo lengo ni kuwapatia stadi za kuwawezesha kukabiliana na ghasia za mijini huku wakizingatia haki za binadamu na [...]
Ripoti mpya ya ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Afghanstan, UNAMA, kwa kipindi cha miezi sita ya kwanza ya mwaka huu inaonyesha kuwa idadi ya vifo vya raia imeongezeka ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka jana. Taarifa zaidi na Grace Kaneiya. (TAARIFA YA GRACE) Kwa muibu wa Mkurugenzi wa haki za binadamu wa UNAMA Georgette [...]
31/07/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Utumiaji wa kampuni za kibinafsi za kutoa huduma za kiusalama katika Umoja wa Mataifa umemulikwa leo katika mkutano wa jopo maalum lililowekwa na Baraza la Haki za Binadamu kufuatilia shughuli za mamluki katika huduma za Umoja wa Mataifa. Joshua Mmali amefuatilia mdahalo wa jopo hilo: TAARIFA YA JOSHUA MMALI Umoja wa Mataifa hivi sasa unatumia [...]
UNICEF yataka kuchukuliwa hatua za dharura kupambana na dhuluma dhidi ya watoto
Shirika la kuhudumia watoto la Umoja wa Mataifa linasema kuwa dhuluma kwa watoto mara nyingi hazitambuliwi wala kuripotiwa ambapo limetangaza mpango ambao unawataka wananchi wa kawaida, watunza sheria na serikali kuchukua hatua madhubuti kupambana na dhuluma za watoto.Jason Nyakundi na taarifa kamili. (Taarifa ya Jason) Mpango huu unajiri baada ya dhuluma ambazo zimetendewa watoto zikiwemo [...]
Uchaguzi nchini Mali wasaidia kuunganisha wananchi: UNDP
Wakati kazi ya kuhesabu kura kufuatia uchaguzi wa Rais nchini Mali ikiwa inaendelea, Umoja wa Mataifa umesema uchaguzi huo wa kwanza kufanyika tangu mapigano makali kuzuka Kaskazini mwa nchi hiyo mwaka jana, umesaidia kuunganisha raia.Mwakilishi Mkazi wa shirika la mpango wa maendeleo la Umoja wa Mataifa, UNDP nchini Mali Aurelien Agbenonci amesema hayo katika mahojiano [...]
Mtaalamu wa UM apongeza uchaguzi wa Cambodia
Mtaaalamu wa Umoja wa Mataifa juu ya haki za binadmu nchini Cambodia amesifu uchaguzi mkuu uliofanyika nchini humo mwishoni mwa juma na ametaka kuwepo kwa hali ya utulivu na ustahimlivu wa kisiasa.Surya Subedi amesema kuwa uchaguzi huo wa jumapili iliyopita ni kielelezo cha ukomavu wa kisiasa na kusema kwamba wananchi wake wametumia vyema fursa ya [...]
Mchele uliongezewa nguvu waanza kusambazwa kwa wanavijiji Bangladesh
Wanavijiji maskini nchini Bangladesh wameanza kupokea msaada wa mchele ulioongezewa nguvu za virutubisho ili kuwawezesha walaji kupata vitamin na madini. Msaada huo unafuatia juhudi za pamoja za Shirika la Umoja wa Mataifa la mpango wa chakula WFP, serikali ya Bangladesh na Serikali ya Uholanzi inayosaidiana na kampuni moja ya Sayansi ya DSM. George Njogopa na [...]
IOM yaongoza usajili wa waliopoteza makazi kwa vita Sudani Kusini na DRC
Kufuatia majadiliano ya kina ili kuruhusu kulifikia eneo lilioloathiriwa na vita jimboni Jonglei kusini kwa Sudan, mashirika ya misaada sasa yanaweza kufika eneo liitwalo Pibor ambapo mapigano kati ya jeshi la serikali na vikosi binafsi vyenye silaha, na mapigano ya kikabila yaliyozuka upya yameababisha wengi kukimbia miji na hivyo kusababisha maelfu ya kaya za wahamaji [...]
30/07/2013 | Jamii: Mahojiano | Kusoma Zaidi »
Pande nne katika mazungumzo ya amani Mashariki ya Kati zimetoa taarifa ya pamoja za kuunga mkono tangazo la Marekani kupitia Waziri wake wa Mambo ya Nje John Kerry ya kwamba mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Israelna Palestina yameanza jana mjini WashingtonDCkuelekea awamu ya mwisho ya mashauriano. Pande hizo ni Umoja wa Mataifa, Urusi, [...]
30/07/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Kitabu cha anuani kuhusu waathirika wa biashara ya binadamu kuzinduliwa Tanzania:IOM
Kitabu maalum cha anuani, ruznama ,za mashirika ya kusaidia kupinga biashara haramu ya usafirishajii wa binadamu kilichochapishwa na shirika la kimataifa la uhamiaji , IOM, kinazinduliwa August 5 mjini Dar es salaam.Ruznama hiyo inatoa maelezo na anuani za mashirika ya kinadamu ya serikali, asasi za kiraia, na mashirika ya kimataifa katika ukanda wa Tanzania ambayo [...]
30/07/2013 | Jamii: Taarifa maalumu | Kusoma Zaidi »
MONUSCO yatuma askari kuongeza ulinzi wa raia
Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kuweka utulivu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, MONUSCO, umewapa watu wenye silaha wasio askari wa jeshi la serikali ya DRC masaa 48 kusalimisha silaha zao au wapokonywe silaha hizo kwa nguvu ikiwa hawatafanya hivyo kufikia saa kumi alasiri Agosti mosi. Ujumbe wa MONUSCO umesema kuwa umepeleka askari zaidi [...]
30/07/2013 | Jamii: Hapa na pale | Kusoma Zaidi »
Baraza la Usalama laongeza muda wa ujumbe wake Côte d'Ivoire,Cyprus na Darfur
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limehitimisha kazi yake kwa mwezi Julai kwa kupiga kura ya kupitisha maazimio ya kuongeza muda wa huduma za ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Côted'Ivoire,Cyprus na eneo la Darfur, Sudan. Joshua Mmali na taarifa kamili(TAARIFA YA JOSHUA MMALI) Baraza hilo limepiga kura, na kwa kauli moja, kuazimia kuongeza [...]
30/07/2013 | Jamii: | Kusoma Zaidi »
Shirika la afya duniani, WHO limethibitisha hatua ya Colombia kutokomeza ugonjwa wa macho aina ya Usubi unaosababishwa na minyoo, na hivyo kuwa nchi ya kwanza duniani kufikia hatua hiyo. Barua rasmi ya Mkurugenzi Mkuu wa WHO Dkt. Margaret Chan, kwa serikali yaColombiaimetoa pongezi na kuitaka iendeleze ufuatiliaji thabiti ili kudhibiti mkurupuko wowote wa ugonjwa huo [...]
Shirikisho la Kimataifa la Msalaba Mwekundu na Halali Nyekundu, IFRC, pamoja na Shirika la Msalaba Mwekundu la Tanzania na kampeni ya Wakf wa Umoja wa Mataifa ya Hakuna kingine ila vyandarua, leo yamezindua mkakati wa pamoja wa kuhakikisha vyandarua vya kudumu vilivyotiwa dawa ya kuua mbu vinasambaziwa zaidi ya wakimbizi sitini na nane elfu kwenye [...]
Mapigano ya mara kwa mara katika jimbo la Kivu Kaskazini katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC yanawalazimu raia wengi zaidi kuhama makwao na kuwatia wanawake, wasichana na hata wanaume katika hatari ya kubakwa, kwa mujibu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi katika Umoja wa Mataifa, UNHCR. Joseph Msami na taarfia zaidi. (TAARIFA YA JOSEPH MSAMI) Uchunguzi [...]
Rafiki bora ni yule asiyeangalia maslahi yake pekee:Vijana Tanzania
Leo ni siku ya urafiki duniani ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amesema ni siku muhimu kwani urafiki baina ya nchi na nchi waweze kuepusha migogoro duniani. Mwenzetu George Njogopa kutoka Dar es salaam, Tanzania amefanya majadiliano na vijana watatu kuweza kufahamu mtazamo wao kuhusu siku hii. Ungana naye katika ripoti hii.
30/07/2013 | Jamii: Makala za wiki | Kusoma Zaidi »
WFP kulisha watu milioni tatu nchini Syria
Shirika la mpango wa chakula duniani WFP limepanga kulisha hadi watu milioni 3 nchini Syria. Hata hivyo hali ya usalama inazidi kuwa mbaya hususan kwenye maeneo ya Homs na vitongoji vya mji wa Damascus ambapo watu milioni 2.4 wamefikiwa na misaada mwezi huu wa Julai. WFP bado inahitaji zaidi ya dola milioni 763 hadi mwishoni [...]
UNHCR yakaribisha uamuzi wa mahakama kuu ya Kenya wa kuzuia kutimuliwa kwa wakimbizi mijini
Shirika la kuhudumia wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limekaribisha uamuzi wa mahakama kuu nchiniKenyaya kudumisha haki ya kuishi mijini kwa wakimbizi walio mijini. Uamuzi huu wa mahakama unatolewa kutokana na kesi iliyowasilishwa mahakamani ya kupinga amri iliyotolewa na serikali yaKenyamwezi Disemba ya kutaka wakimbizi wote walio mijini kuhamishiwa kwenye kambi za wakimbizi za Dadaab [...]
Ni nchi 37 tu duniani sawa na asilimia 19 tu ambazo zimepitisha sheria zinazoelekeza mapendekezo juu ya matumizi ya maziwa ya kopo kwa watoto wachanga kama mbadala wa maziwa ya mama, hiyo ni kwa mujibu wa shirika la afya duniani, WHO katika ripoti yake kuelekea kuanza kwa wiki ya unyonyeshaji duniani Agosti Mosi. Mtaalamu wa [...]
Madawa hatari ya kuulia wadudu yasitishwe kwenye nchi zinazoendelea:FAO
Shirika la chakula na kilimo FAO limesema madawa hatari ya kuulia wadudu imefika wakati yasitishwe katika nchi zinazoendelea . Ikitoa mfano FAO imesema tukio la Bihar India ambako watoto 23 wa shule wamefariki dunia kutokana na kula chakula shuleni kilichochanganyika na dawa ya monocrotophos, ni kumbusho muhimu la kuchapuza kuondoa madawa hayo hatari kutoka katika [...]
Tukikabiliana na migogoro tutakuza amani na maendeleo:Ban
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki Moon amezungumza katika kuadhimisha siku ya kimataifa ya urafiki na kusema ni muhimu kukabiliana na hali za kutoelewana ambazo zinasababisha mivutano na migogoro katika dunia ya leo.Katika ujumbe wake kwa siku hiyo Bwana Ban amekumbusha kwamba mshikamano wa kibinadamu ni muhimu katika kukuza amani ya kudumu na [...]
Syria yakubaliana na UM kuhusu kuendesha uchunguzi wa silaha za kemikali
Mwakilishi Mkuu wa masuala ya kupokonya silaha katika Umoja wa Mataifa, Angela Kane na Mkuu wa tume ya Umoja wa Mataifa ya uchunguzi katika madai ya matumizi ya silaha za kemikali nchini Syria Åke Sellström, wamekamilisha ziara ya siku mbili nchini humo. Wawakilishi hao wa Umoja wa Mataifa wamekuwa katika mji mkuu, Damascus mnamo Julai [...]
27/07/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-Moon, amelaani vikali ongezeko la machafuko nchini Misri ambayo yamesababisha vifo vya makumi ya watu na mamia yaw engine kujeruhiwa, kufuatia maandamano mnamo Ijumaa na Jumamosi. Kwa mujibu wa taarifa ilotolewa na msemaji wake, Bwana Ban ametuma risala za rambi rambi kwa familia za wahanga na kuwatakia walojeruhiwa [...]
Ukaguzi wa Umoja wa Mataifa umeimarisha stadi za wakaguzi kutoka Tanzania: Uttouh
Mapema wiki hii wajumbe wa bodi ya ukaguzi wa Umoja wa Mataifa walikutana mjini New York Marekani ambapo pamoja na mambo mengine walitia saini ripoti za ukaguzi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa kwa mwaka wa fedha 2012. miongoni mwa wajumbe hao ni Ludovick Uttouh, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za serikali yaTanzania. Katika [...]
25/07/2013 | Jamii: Mahojiano, Mawasiliano mbalimbali | Kusoma Zaidi »
Kamishina mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa Navi Pillay amelaani vikali mauaji ya leo Alhamisi ya mwanasiasa wa upinzani nchini Tunisia na kuwataka watu wan chi hiyo na wanasiasa kuungana kupinga majaribio ya kusambaratisha mchakato wa kipindi cha mpito cha kidemokrasia nchini humo. Mohamed Brahmi, mbunge, alipigwa risasi na kuuawa nje ya [...]
25/07/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Ujumbe wa UM ulioenda Syria wahimitisha ziara: Ban
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-Moon leo amekuwa na mazungumzo na Waziri wa Mambo ya nje wa Marekani, John Kerry kwenye makao makuu ya umoja huo mjini New York, ambapo amesema timu aliyoituma Syria kufanya mazunguzo na serikali imehitimisha kazi yake leo na atapatiwa taarifa kuhusu ziara hiyo baadaye. Bwana Ban amesema [...]
Mpango wa kuikwamua Somalia kutoka kwenye hali ya sasa wazinduliwa
Rais wa Somalia Hassan Sheikh Mohamoud amesema kuwa nchi yake imekaribisha mpango mpya kutoka kwa mataifa yaliyoathiriwa zaidi ya mizozo ya g7+ wa kuikwamua nchi hiyo kutoka kwenye hali iliyopo sasa. Rais Hassan Sheikh Mohamoud ameyasema haya alipokwa akitoa hotuba kwenye mkutano kuhusu mipango ya kisiasa ya hadi mwaka 2016 mjini Mogadishu.Mkutano huo uliwashirikisha maafisa [...]
25/07/2013 | Jamii: Taarifa maalumu | Kusoma Zaidi »
Pillay aitaka Israel kutupilia mbali sheria inayolenga kuhamisha watu wa jamii ya Bedoui
Mkuu wa haki za binadamu kwenye Umoja wa Mataifa Navi Pillay ameitaka serikali ya Israel kuufanyia mabadiliko msuada wa sheria ambao ikiwa utatekelezwa utasababisha kubomolewa kwa hadi vijiji 35 kwenye jangwa la Negev na kutwaliwa kwa ardhi ambapo huenda watu 30,000 hadi 40,000 kutoka jamii ya Bedouin wakatimuliwa kutoka kwa ardhi ya mababu zao. Jason [...]
Mvua kubwa za msimu huko Jamhuri ya kidemokrasia ya watu waKorea, DPRK zilizonyesha wiki mbili zilizopita zimesababisha mafuriko kwenye maeneo mengi nchini humo hususan maeneo ya kaskazini na kusini mwa mji mkuu Pyongyangna mamia hawana makazi. Ripoti ya Alice Kariuki inafafanua zaidi. (TAARIFA YA ALICE KARIUKI) Kumekuwa na taarifa zinazopishana kuhusiana na idadi ya watu waliojeruhiwa [...]
25/07/2013 | Jamii: Hapa na pale | Kusoma Zaidi »
Umoja wa Mataifa wamaliza malipo ya fidia kwa Kuwait
Tume ya kulipa fidia ya Umoja wa Mataifa imeipatia Kuwait zaidi ya dola Bilioni Moja ikiwa ni kiasi kilichokuwa kimebakia cha madai yake kufuatia uvamizi uliofanywa naIraq. George Njogopa anaripoti (RIPOTI YA GEORGE NJOGOPA) Hadi sasa kamishna hii tayari imeshatoa fidia kiasi cha dola za Marekani billion 42.3 ambazo ni kati ya dola bilioni 52.4 zilizotengwa [...]
Hezbollah kujumishwa kwenye orodha ya makundi ya kigaidi hakutoathiri UNIFIL:UM
Mratibu maalumu wa Umoja wa mataifa kwa ajili ya Lebanon Derek Plumbly amesema uamuzi wa Muungano wa Ulaya wa kulijumuisha Hezbollah kama kundi la kigaidi haitoathiri mpango wa Umoja wa Mataifa nchini Lebanon UNIFIL.Amesema Umoja wa Mataifa ni Umoja wa Mataifa ulioundwa na nchi zote na UNIFIL inajumuisha majeshi kutoka nchi zaidi ya 30. Hivyo [...]
Amani DRC na nchi za maziwa makuu yaangaziwa
Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa linakutana leo kujadili mustakabali wa amani katika ukanda wa nchi za maziwa makuu na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC.Taarifa zaidi na Flora Nducha (SAUTI YA FLORA NDUCHA) Mkutano huo wa leo unakuja takribani miezi mitano baada ya kusainiwa kwa mkataba wa amani, usalama na ushirikiano ambapo mkutano [...]
Ripoti za ukaguzi wa mahesabu ya Umoja wa Mataifa zatiwa saini
Bodi ya ukaguzi ya Umoja wa Mataifa imeridhia na kutia saini ripoti 15 za ukaguzi wa mahesabu ya Umoja wa Mataifa kwa mwaka wa fedha 2012. Hatua hiyo imefanyika wakati wa kikao cha bodi hiyo mjini New York, Marekani kinachojumuisha wadhibiti na wakaguzi wakuu wa mahesabu ya serikali kutoka Tanzania, Uingereza na China ambazo ndio [...]
Yalopita si ndwele, tugange yajayo: Rais Kikwete
Nchini Tanzania walinzi amani Saba waliouawa kwenye shambulio la kuvizia hukoDarfur, Sudan tarehe 13 mwezi huu wameagwa katika shughuli ya kitaifa ya maombolezo.Amiri jeshi Mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama, Rais Jakaya Kikwete aliongoza shughuli hiyo iliyohudhuriwa na mamia ya waombolezaji wakiwemo wawakilishi kutoka Umoja wa Mataifa, serikali ya Tanzania na mabalozi bila kusahau [...]
22/07/2013 | Jamii: Makala za wiki | Kusoma Zaidi »
Idadi kubwa ya wakazi wa nchi ambako ukeketaji wanawake na watoto wa kike hufanyika wanapinga kuendelea kufanyika kwa kitendo hicho na hiyo ni kwa mujibu wa ripoti mpya ya shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF iliyotolewa Jumatatu. Flora Nducha na maelezo zaidi. (RIPOTI YA FLORA NDUCHA) Matokeo ya ripoti hiyo yanatokana na [...]
22/07/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Licha ya shambulio kamwe hatutarudi nyuma: Rais Kikwete
Nchini Tanzania hii leo imefanyika shughuli ya kitaifa ya kuaga miili ya askari saba wa kitanzania waliouawa kwenye shambulio huko Darfur nchini Sudan tarehe 13 mwezi huu. Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete aliongoza mamia ya waombolezaji kwenye shughuli hiyo iliyofanyika jijini Dar Es salaam huku akiwasihi walinda amani wa Tanzania kamwe wasirudi nyuma na wakati [...]
TAARIFA YA JOSHUA MMALI Bwana Onanga-Anyanga, ambaye ni Mwakilishi Maalum wa Katibu Mkuu na mkuu wa ofisi ya Umoja wa Mataifa nchini Burundi, BNUB, ameliambia Baraza la Usalama kuwa ili kuandaa uchaguzi wa amani, uwazi na haki, mazungumzo yanatakiwa yafanyike kuhusu kuweka mazingira bora kwa ajili ya uchaguzi mwaka 2015. Bwana Anyanga amesema serikali na [...]
22/07/2013 | Jamii: | Kusoma Zaidi »
Shirika la chakula na kilimo FAO limepiga hatua katika miaka miwili iliyopita lakini bado kuna mengi ya kufanya, kwa mujibu wa ripoti mpya iliyotolewa na kuchapishwa na idara ya Uingereza ya maendeleo ya kimataifa DFID. Alice Kariuki na taarifa zaidi. (RIPOTI YA ALICE KARIUKI) Ripoti hiyo kuhusu FAO imekuja kukiwa kumepita miaka miwili tangu taaisi [...]
22/07/2013 | Jamii: Hapa na pale | Kusoma Zaidi »
Mkuu wa WFP asifu juhudi za maendeleo vijijini nchini Rwanda
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mpango wa Chakula Duniani, WFP, Ertharin Cousin, leo amehitimisha ziara ya siku tatu nchini Rwanda, ambayo imekuwa kituo cha mwisho cha ziara yake barani Afrika, ambayo iliangazia masuluhu ya vijijini kwa matatizo ya njaa na utapiamlo. Akiwa nchini Rwanda, Bi Cousin amekutana ana kwa ana na watu ambao wamekuwa wakipokea [...]
Mabadiliko ya sheria kuhusu haki maeneo ya kazi yaanza kutekelezwa nchini Bangladesh
Mabadiliko kwenye sheria ya kazi ya mwaka 2006 nchini Bangladesh iliyoanza kutekelezwa tarehe 15 mwezi huu ni moja wapo ya sehemu ya kutimiszwa kwa ahadi ya serikali ya kuheshimu haki ya uhuru wa kushauriana na kushughulia zaidi masula ya usalama kazini na afya. Jason Nyakundi na taarifa zaidi. (RIPOTI YA JASON NYAKUNDI) Mabadiliko hayo yaliyofanywa [...]
22/07/2013 | Jamii: Taarifa maalumu | Kusoma Zaidi »
Mjumbe wa UM nchini Iraq ashutumu mashambulizi ya hivi majuzi mjini Baghdad
Mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Iraq ameshutumu vikali misururu ya mashambulizi ya hivi majuzi na kutoa wito kwa pande zote kushirikiana kwa pamoja katika kupata amani ukiwa ndio ujumbe wake wa mwisho anapoondoka tangu achukue wadhifa huo mwaka 2011.Kupitia ujumbe huo mashambulizi yalifanyika kwenye mji mkuu Baghdad karibu watu 30 waliripotiwa kuuawa kupitia misusuru [...]
Maradhi ya moyo yasalia kuwa muuaji namba moja:WHO
Shirika la afya duniani WHO limesema maradhi ya moyo yanasalia kuwa chanzo namba moja cha vifo duniani ikiwa ni moja ya magonjwa yasiyo ya kuambukiza.Maradhi hayo yamekatili maisha ya watu karibu milioni 17 mwaka 2011 ikiwa ni sawa na watu 3 kati ya kila vifo 10. WHO inasema watu milioni 7 katiyaohufa na maradhi [...]
Matatizo ya chakula na utapia mlo yaendelea kuisakama Malawi:UM
Sera za karibuni za Malawi kuhusu usalama wa chakula zimeshindwa kuliondoa taifa hilo kwenye tatizo sugu la ukosefu wa chakula na utapia mlo kwa mujibu wa mtalaamu huru wa haki za binadamu na haki ya chakula wa Umoja wa Mataifa. Grace Kaneiya na taarifa zaidi (RIPOTI YA GRACE KANEIYA) Zaidi ya asilimia 50 ya wananchi wa [...]
Wakimbizi wa DRC nchini Tanzania kupatiwa vyandarua kujikinga na Malaria
Umoja wa Mataifa kwa kushirikiana na chama cha msalaba mwekundu nchini Tanzania umepanga kusambaza vyandarua kadhaa kwa wakimbizi kutoka Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo DRC waliko katika kambi ya Nyarugusu Mkoani Kigoma, kaskazini mwaTanzania. Mpango huo ambao pia unaungwa mkono na chama cha kimataifa cha msalaba mwekundu umelenga kukabiliana na tatizo la Malaria ambalo linatakwa [...]
Haki za binadamu ni muhimu katika mchakato wa amani Colombia:Pillay
Kuheshimu haki za binadamu itakuwa muhimu sana wakati Colombia ikipitia kipindi cha mpito kutoka vitani kuelekea kwenye amani, amesisitiza afisa wa haki za binadamu akiainisha kwamba hasa haki za waathirika lazima ziwe kitovu cha majadiliano baina ya serikali na makundi ya waasi. Bi Navi Pillay kamishna mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa [...]
20/07/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Amani imeimarika Côte d'Ivoire, sheria zitekelezwe: UM
Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa leo limekutana kujadili hali ya amani nchiniCôte d'Ivoire aambapo wajumbe wa baraza hilowameelezwa kwamba licha ya hatua kubwa ya usalama iliyopigwa na taifa hilo ambalo lilikumbwa na mzozo baada ya uchaguzi mkuu, hatua zaidi za utekelezaji wa haki za binadamu zinahitajika Akiongea na waandishi wa habari baada ya [...]
18/07/2013 | Jamii: | Kusoma Zaidi »
Mratibu wa Misaada ya Dharura wa Umoja wa Mataifa Valerie Amos ametangaza mgao wa ziada wa dola za Marekani1.5 kutoka Mfuko wa Dharura (Cerf) ili kukabiliana na kipindupindu nchini Haiti. fedha za nyongeza ziinakuja wakati muhimu, ambapo wagonjwa wa kipindupindu wanatarajiwa kuongezeka kwa ajili ya msimu wa mvua. Ugonjwa huu umepelekea watu 8100 kupoteza maisha [...]
18/07/2013 | Jamii: Taarifa maalumu | Kusoma Zaidi »
Mwakilshi Maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuhusu watoto na athari za kivita Leila Zerrougui amekamilisha ziara yake nchini Syria , Jordan, Iraq, Turkey, na Lebanon ambako ameshuhudia madhara ya mgogoro wa Syria kwa watoto waliko nchini humo na katika ukanda huo kwa ujumla. Akitoa tathimini ya ziara hiyo Bi Zerrougu amesema amekutana [...]
Uchumi wa Uchina unatarajiwa kukua kwa asilimia 7 na robo tatu kwa mwaka huu , ikiwa ni sawa na kiwango cha mwaka jana lakini hatari kidogo imejitokeza wamesema wachumi wa shirika la fedha duniani IMF. Katika ripoti yao kuhusu uchumi wa China wachumi hao wamesisitiza umuhimu wa mabadiliko ili kupata walaji zaidi na ukuaji endelevukatika [...]
ICC yakataa ombi la Libya la kusitisha kujisalimisha kwa Saif Al-Islam Gaddafi :
Kitengo cha rufaa cha mahakama ya kimataifa ya uhalifu ya ICC Alhamisi kimekataa ombi la uongozi wa Libya la kutaka kumsalimisha kwa mahakama hiyo Saif Al-Islam Gaddaffi na kukumbusha kwamba Libya ina wajibu wa kumsalimisha bwana Gadaffi kwenye mahakama hiyo. Serikali ya Libya iliwasilisha ombi Juni 7 mwaka huu ikitaka kusitishwa kumsalimisha mshukiwa wakati uamuzi [...]
Ban ashutumu dhuluma zinazoendeshwa na jeshi la DRC dhidi ya wanamgambo wa M23
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki moon amesikitishwa na ripoti kuhusu kudhulumiwa kwa wafungwa wa kundi la M23 na pia ripoti za kuchomwa kwa miili ya wanangambo hao vitendo vinavyondeshwa na wanajeshi wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo. Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini DRC MONUSCO umelitilia maanani zaidi suala hili ukilitaka jeshi [...]
Shirika la Umoja wa Mataifa la msaada kwa wakimbizi wa Kipalestina UNRWA limekuwa likifanya kazi kutoa msaada wa elimu na kisaikolojia kwa watoto wa wakimbizi wengi wa Kipalestina ambao wametawanywa na machafuko Syria. Sasa UNRWA inapigwa jeki na Muungano wa Ulaya katika suala hili. George Njogopa na taarifa kamili (TAARIFA YA GEORGE NJOGOPA) Msaada kutoka [...]
Walinda amani saba wa Kitanzania wa mpango wa Umoja wa Mataifa na Muungano wa Afrika wa kulinda amani Darfur UNAMID wameuawa na mtu asiyejulikana katika puruikshani mjini Darfur, Sudan, kwa mujibu wa taarifa ya msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon. Katibu Mkuu ameghadhabishwa baada ya kupokea taarifa ya shambulio hilo lililotokea [...]
14/07/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na Ukimwi , UNAIDS, limezindua mkakati mpya wa kuwafikiwa watu milioni kumi na tano duniani wanaotumia dawa za kurefusha maisha baada ya ifikapo mwaka 2015. Lengo hilo ambalo liliwekwa na nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa mwaka 2011 lilikusudia kuzipa nchi na washirika njia za vitendo na nadharia katika [...]
Wakimbizi wa Somalia walioko Kenya kurejeshwa makwao
Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Umoja wa matifa la wakimbizi UNHCR Antonio Guterres yuko nchini Kenya ambapo pamoja na mambo mengine amefanya mazungumzo na maafisa wa serikali ya nchi hiyo kuhusu namna ya kuwezesha kuwarejesha makwao kwa hiari wakimbizi wa Somalia walioko Kenya kufuatia kile alichosema kuimarika kwa amani nchini Somalia.Yafuatayo ni mahojioano kati ya [...]
10/07/2013 | Jamii: Mahojiano | Kusoma Zaidi »
Gaye awasili CAR, kuongoza BINUCA
Mwakilishi maalum wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Jamhuri ya Kati Babacar Gaye amewaasili nchini humo tayari kuanza kazi hiyo akiwa ni mkuu wa ujumbe wa Umoja wa Matifa wa kujenga amani nchini humo, BINUCA. Katika mkutano na waandishi wa habari mjini Bangui Bwana Gaye amethibitisha uteuzi uliofanywa na Katibu Mkuu wa Umoja [...]
10/07/2013 | Jamii: Taarifa maalumu | Kusoma Zaidi »
Kufuatia ushauriano na nchi wanachama, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-Moon, ametangaza leo kuteuliwa kwa Phumzile Mlambo-Ngcuka wa Afrika Kusini kama Mkurugenzi Mkuu wa kitengo cha Umoja wa Mataifa kinachohusika na kuendeleza usawa wa kijinsia na kuwawezesha wanawake, UN Women. Bi Mlambo-Ngcuka anachukuwa nafasi ya Bi Michelle Bachelet. Bwana Ban ameelezea shukrani zake [...]
10/07/2013 | Jamii: Hapa na pale | Kusoma Zaidi »
Baraza la Usalama lajadili Lebanon na hali Afrika Magharibi
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, leo limeyataka makundi yanayozozana nchini Syria kuheshimu sera ya taifa la Lebanon ya kutotaka kuhusika kwa vyovyote vile katika mzozo huo. Baraza hilo pia limepokea ripoti ya Katibu Mkuu kuhusu hali Afrika Magharibi. Joshua Mmali ana maelezo zaidi (RIPOTI YA JOSHUA MMALI)
10/07/2013 | Jamii: | Kusoma Zaidi »
Takriban mataifa 24 kote duniani yamepiga marufu matangazo ya bidhaa za tumbaku na ufadhili wake kwa mujibu wa Shirika la afya duniani WHO. Flora nducha na taarifa kamili. (PKG YA FLORA NDUCHA) Kubuniwa kwa maneo yasiyo na moshi wa sigara ni moja ya hatua zilizochukuliwa na nchi 32 kwa kupiga marufuku uvutaji wa sigara maeneo [...]
10/07/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
Marufuku ya matumizi ya virusi vya sotoka kwa ajili ya utafiti imeondolewa:FAO
Marufuku iliyowekwa dhidi ya matumizi ya virusi hai vya sotoka kwa ajili ya utafiti imetolewa na shirika la chakula na kilimo FAO,kamainavyobaini ripoti iliyoandaliwa na Jason Nyakundi. (Taarifa zaidi na Jaison Nyakundi) Amri hiyo ilitolewa kufuatia kutekelezwa kwa azimio mnamo tarehe mosi mwezi Mei mwaka 2011 na wanachama wa Shirika la linalohusika na afya ya [...]
Mkuu wa UNHCR yu ziarani nchini Kenya:
Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Umoja wa matifa la wakimbizi UNHCR Antonio Guterres yuko nchini Kenya ambapo pamoja na mambo mengine amefanya mazungumzo na maafisa wa serikali ya nchi hiyo kuhusu namna ya kuwezesha kuwarejesha makwao kwa hiari wakimbizi wa Somalia walioko Kenya kufuatia kile alichosema kuimarika kwa amani nchini Somalia.Emanuel Nyabera ni msemajiwa UNHCR [...]
Mtaalamu huru wa Umoja wa Mataifa Najat Maalla M'jid anatazamiwa kwenda nchini Madagascar kwa ajili ya kuendesha uchunguzi kuhusiana na ongezeko la biashara kuuza watoto na masuala ya kingono.Ziara hiyo imepangwa kuanza kufanyika Julai 15 hadi 26 mwaka huu. Hii itakuwa ni ziara ya kwanza kwa mtaalamu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na masuala ya [...]
Urusi yadai makundi ya upinzani Syria yalitumia silaha za kemikali
Mwakilishi wa kudumu wa Urusi kwenye Umoja wa Mataifa, Vitaly Churkin, amewaambia waandishi wa habari mjini New York kuwa anaamini makundi ya upinzani yalojihami nchini Syria yametumia silaha za kemikali Bwana Churkin amerejelea ripoti ya serikali ya Syria mapema mwaka huu iloyashutumu makundi ya upinzani kuwa yalirusha makombora yalojazwa gesi karibu na eneo la Khan [...]
Shirika la Umoja wa Mataifa la biashara na viwanda UNCTAD, leo limetangaza ripoti ya hali ya uwekezaji ya dunia kwa mwaka 2013, huku nchi za Afrika zikichomoza kwa kuvutia wawekezaji wengi, wakati nchi zilizoendelea zikiendelea kujikongoja kutokana na athari ya mtikisiko wa uchumi wa mwakan2009. Taarifa kamili na George Njogopa Ripoti hiyo ambayo hutolewa kila [...]
Juhudi za amani zawakutanisha viongozi wa vikosi mbali mbali
Umoja wa Mataifa unaendelea kujitahidi kuboresha huduma za ulinzi wa amani, ili kuhakikisha ulinzi bora wa raia katika maeneo yaloathirika na mizozo.Ni katika hali hiyo ndipo wakuu wa vikosi mbalimbali vya kulinda amani wamekutana kwenye makao makuu ya Umoja huo mjini New York, ili kubadilishana mawazo kuhusu shughuli za ulinzi wa amani. Mmoja wa makamanda [...]
04/07/2013 | Jamii: Habari za wiki | Kusoma Zaidi »
| 2014-07-30T17:33:04 |
http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/07/
|
[
-1
] |
#Ukraine inatia sheria ya kijeshi inayoelezea tishio la # uvamizi wa Urusi - Mwandishi wa EU: EU Reporter
Ukraine imetoa sheria ya kijeshi kwa muda wa siku 30 katika sehemu za nchi ambazo zimeathiriwa na mashambulizi kutoka Russia baada ya Rais Petro Poroshenko alionya ya tishio kubwa sana la uvamizi wa ardhi, kuandika Andrew Osborn na Natalia Zinets.
7 MIN Soma
Poroshenko alisema sheria ya kijeshi ilikuwa muhimu kuimarisha ulinzi wa Ukraine baada ya Urusi kukamata meli tatu za kivita vya Kiukreni na kuchukua mateka wa wafanyakazi mwishoni mwa wiki.
Rais wa Marekani Donald Trump alisema hakupenda kile kilichotokea kati ya Urusi na Ukraine na alikuwa akifanya kazi na viongozi wa Ulaya juu ya hali hiyo.
Katibu wa Jimbo la Marekani, Mike Pompeo, aliiita ushindi wa Urusi wa vyombo vya "Kiukreni hatari na ukiukwaji wa sheria ya kimataifa" na kuomba kuzuia kutoka nchi zote mbili.
Merkel ally anasema Ulaya inaweza haja ya kuinua vikwazo kwa Urusi juu ya Ukraine
Erdogan ya Uturuki inaita Urusi, Ukraine kutatua matatizo kupitia mazungumzo
Ujerumani kuendelea kusisitiza kwa kutuliza mgogoro wa Urusi-Ukraine
"Umoja wa Mataifa unashutumu hatua hii ya ukatili wa Kirusi. Tunatoa wito kwa Russia kurudi Ukraine vyombo vyake na wafanyakazi wa kizuizini, na kuheshimu uhuru wa Ukraine na uadilifu wa taifa, "alisema Pompeo.
Idara ya Serikali imesema Pompeo alizungumza kwa simu na Poroshenko na akasema msaada mkubwa wa Marekani kwa uhuru wa Ukraine na uadilifu wa taifa katika uso wa "ukatili" wa Kirusi.
Bunge la Kiukreni lilipitisha kuanzishwa kwa sheria ya kijeshi baada ya Poroshenko kuhakikishia wabunge wasiwasi kwamba haitatumiwa kuzuia uhuru wa kiraia au kuchelewa uchaguzi uliopangwa kufanyika mwaka ujao.
Ilikuja mwishoni mwa siku ambapo Ukraine na Urusi walifanya mashtaka juu ya msimamo wa Jumapili na washirika wa Kiev walijaribu kulaani tabia ya Moscow.
Pamoja na uhusiano bado unaojitokeza baada ya kuunganishwa kwa 2014 ya Crimea kutoka Ukraine na kuunga mkono uasi wa pro-Moscow mashariki mwa Ukraine, mgogoro ulihatarisha kusukuma nchi hizo mbili kuwa migogoro ya wazi.
"Urusi imekuwa ikifanya vita vya mseto dhidi ya nchi yetu kwa mwaka wa tano. Lakini kwa shambulio la boti la kijeshi la Kiukreni lilihamia hatua mpya ya ukatili, "Poroshenko alisema.
Katika simu na Poroshenko, Katibu Mkuu wa NATO Jens Stoltenberg alitoa ushirikiano wa "ushiriki kamili kwa uaminifu wa taifa wa Ukraine na uhuru." Ukraine si mwanachama wa NATO ingawa inatamani kuwa wajumbe.
Mjumbe wa Washington kwa Umoja wa Mataifa, Nikki Haley, alisema hatua za Urusi ilikuwa "ukiukwaji mkubwa wa eneo la Kiukreni huru" na vikwazo dhidi ya Urusi ingekuwa bado.
Umoja wa Ulaya, Uingereza, Ufaransa, Poland, Denmark, na Canada wote walihukumu kile walichokiita ukatili wa Kirusi. Chancellor wa Ujerumani Angela Merkel alisisitiza haja ya majadiliano.
Kusimama katika Bahari ya Azov kunaweza kuwaka zaidi sasa kuliko wakati wowote katika miaka minne iliyopita kama Ukraine inajenga upya majeshi yake, hapo awali katika upungufu, na ina kizazi kipya cha amri ambao wana ujasiri na wana uhakika wa kuthibitisha.
(Ramani ya daraja la Kerch Strait: tmsnrt.rs/2PRMbqh)
Wizara ya nje ya Urusi ililaumu Kiev kwa mgogoro huo.
"Ni dhahiri kwamba hii kusumbuliwa kwa makusudi kufikiri-kwa njia na iliyopangwa ilikuwa na lengo la kuacha chanzo kingine cha mvutano katika kanda ili kujenga kisingizio kuinua vikwazo dhidi ya Urusi," alisema katika taarifa.
Sera hiyo "ilikuwa na madhara makubwa," alisema, akiongeza kuwa Kiev alikuwa akifanya kazi katika uratibu na Marekani na Umoja wa Ulaya.
Russia iliita kidiplomasia wa cheo katika ubalozi wa Kiev huko Moscow juu ya tukio hilo, huduma ya kigeni alisema.
Katika Kiev, Poroshenko alisema data ya akili ilipendekeza kuna "tishio kubwa sana" la operesheni ya ardhi dhidi ya Ukraine na Russia.
"Nina hati ya akili katika mikono yangu ... Hapa kwenye kurasa kadhaa ni maelezo ya kina ya nguvu zote za adui ziko umbali wa kilomita kadhaa za kilomita kutoka mpaka wetu. Tayari wakati wowote kwa uvamizi wa haraka wa Ukraine, "alisema.
Sheria ya martial ingeweza kuruhusu Ukraine kujibu haraka kwa uvamizi wowote na kuhamasisha rasilimali haraka iwezekanavyo, alisema.
Alifukuza "udanganyifu chafu" na wakosoaji kwamba alitaka kutumia kipimo kilichopendekezwa kuchelewesha uchaguzi mwaka ujao, ambako anakabiliwa na kupigana kura kwa kupigia kura na uchaguzi wa maoni huonyesha kuwa anafuatilia wapinzani wake. Wabunge wa Kiukreni walifanya kura ya pili kuthibitisha uchaguzi utafanyika kama ilivyopangwa mwezi Machi 31.
Sarafu ya ruble ya Urusi imeshuka 1.4% dhidi ya dola huko Moscow Jumatatu, siku yake kubwa ya siku moja kuanguka tangu 9 Novemba, wakati dhamana za dola za Kirusi zilianguka.
Masoko ni nyeti sana kwa chochote ambacho kinaweza kusababisha vikwazo vidogo vya Magharibi, na hivyo kudhoofisha uchumi wa Kirusi. Kuanguka kwa bei ya mafuta - Chanzo kikubwa cha mapato ya Urusi - imesababisha uchumi wake kuwa hatari zaidi.
Mgogoro huo ulianza wakati boti za doria za mali za huduma za usalama wa FSB za Urusi zilipokamata vyombo viwili vya silaha vya silaha vya Kiukreni na mashua ya nguruwe baada ya kuzifungua moto na kuwapiga baharini watatu Jumapili.
Sheria ya kijeshi katika Ukraine kama hofu ya uvamizi Kirusi uvamizi
Vyombo vya Kiukreni vilikuwa vinajaribu kuingia Bahari ya Azov kutoka Bahari Nyeusi kupitia Kerch Strait nyembamba ambayo hutenganisha Crimea kutoka bara la Kirusi.
Shirikisho la habari la Interfax lilisimama kamishna wa haki za binadamu wa Urusi, Tatyana Moskalkova, akisema Jumatatu kuwa mabaharia ya 24 Kiukreni walikuwa wamefungwa. Wafanyabiashara watatu walijeruhiwa lakini hawakuwa katika hali mbaya na walikuwa wamepona katika hospitali.
FSB alisema meli za Kiukreni zilipuuza shots za onyo, na kulazimisha vyombo vya Kirusi kufungua moto kwa kweli, baada ya kuingia kinyume cha sheria kwa maji ya Urusi.
Rais wa Reuters katika Kerch, bandari ya Crimea, alisema vyombo vya tatu Kiukreni vilikuwa vikifanyika hapo Jumatatu.
Siasa za ndani huko Moscow pia zinaongeza kuwaka kwa hali hiyo.
Rais wa Urusi Vladimir Putin ameona kiwango chake cha kupitishwa kwa upungufu kwa sababu ya sera zisizopendwa za ndani. Katika siku za nyuma, hatua ya kijeshi iliyofanikiwa zaidi ya mipaka ya Urusi imesababisha umaarufu wake.
Mateso kwa muda mrefu wamekuwa wakicheza Bahari ya Azov. Crimea, katika pwani ya magharibi, sasa imedhibitiwa na Moscow, pwani ya mashariki ni eneo la Urusi, na pwani ya kaskazini inasimamiwa na Ukraine.
Tags: Taarifa ya ziada na Tom Balmforth na Polina Ivanova huko Moscow, na ofisi za Ulaya; Kuandika na Andrew Osborn, Christian Lowe na Matthias Williams; Kuhaririwa na Angus MacSwan na James Dalgleish, David Brunnstrom, eu, featured, full-picha, Jeff Mason, Joanna Plucinska huko Warsaw, Karin Strohecker huko London, Makini Brice na Doina Chiacu huko Washington; Michelle Stine Buch Jacobsen huko Copenhagen, Russia, Ukraine
jamii: Frontpage, Chechnya, Crimea, EU, Russia, Ukraine, US
« #May na #Corbyn wanakubaliana na mjadala wa televisheni juu ya #Brexit
Eleza: Chaos, au uendelee utulivu na uendelee? Nini kinatokea ikiwa Mei inapoteza kura ya #Brexit? »
| 2020-02-27T08:09:02 |
https://sw.eureporter.co/frontpage/2018/11/29/ukraine-introduces-martial-law-citing-threat-of-russia-invasion/
|
[
-1
] |
HANDENI KWETU: Kinana na msafara wake watoa kwenye msiba wa Jaji Luangisa
Kinana na msafara wake watoa kwenye msiba wa Jaji Luangisa
Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana akitia saini kwenye kitabu cha kumbukumbu ya maombolezo ya Marehemu Jaji Mstaafu Samuel Luangisa nyumbani kwake kwa marehemu Kitendagulo, mjini Bukoba mkoani Kagera. Marehemu Luangisa ni miongoni mwa Waasisi wa Taifa na katika vipindi tofauti tofauti alikuwa mkuu wa Mkoa wa Ziwa Magharibi (Kagera), Mbunge na Meya wa Manispaa ya Bukoba pamoja na nyadhifa nyingine.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akiweka shada la maua kwenye kaburi la Marehemu Jaji Mstaafu Samuel Luangisa mapema leo asubuhi nyumbani kwake kwa Kitendagulo, mjini Bukoba mkoani Kagera.
PICHA NA MICHUZI JR-BUKOBA. Mwandishi
| 2017-04-24T11:15:08 |
http://handenikwetu.blogspot.com/2015/06/kinana-na-msafara-wake-watoa-kwenye.html
|
[
-1
] |
CCM imekuwa ya hovyo zaidi chini ya JK na Makamba -- yes or no? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
CCM imekuwa ya hovyo zaidi chini ya JK na Makamba -- yes or no?
Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Zak Malang, Aug 7, 2010.
Tumeshuhudia sisi wenyewe kwamba tangu JK na Makamba washike uongozi wa chama hiki kikongwe nchini, mwenendo wa chama hicho umezidi kudhoofika na kuwa wa hovyo hovyo tu -- ni kama vile hakuna uongozi kabisa wa kuweza kukemea wale wanaosababisha uhovyo huo. Baadhi ya makada wa chama hicho wamefikia hadi kutishiana kuuwana kutokana na tamaa ya kufanya ulaji wa nchi (soma gazeti la Habari Leo la leo -- kuhusu waziri mmoja aliyeshindwa kura za maoni kutishiwa kuawawa).
Jee, hii si inamaananisha hitma ya CCM inakaribia?
hapana tena kubwa...CCM IMEJIIMARISHA ZAIDI NA ZAIDI......SI MIJINI TU KAMA CHADEMA BALI HATA VIJIJINI......! NCHI NZIMA CCM INARINDIMA NA IMEDHIHIRIKA KAULI YA NYERERE KUWA UPINZANI WA KWELI UTATOKA CCM BAADA YA WABUNGE ZAIDI YA 60 KUANGUSHWA KWENYE KURA ZA MAONI.........halafu wewe unasema imefanya vibaya zaidi kwa ushahidi wa habari ya gazeti?
ccm wakafie mbele huko nani anawahitaji?
CCM ya JK imejaa mizengwe kibao! Wakati wa kura wananchi siku hizi wanauita ni wakati wa "kuvuna!" Ni ufisadi kwa kwenda mbele!
Ni meli isiokuwa na nahodha mweledi na hatma yake haiko mbali.
CCM ya Jk imeweza kurudisha heshima iliyokuwa inataka kuondoka,imejiimarisha sana na hata demokrasia imepanuka kuliko wakati mwingine wowote katika historia yake.
Katika hali hii hata vyama vya upinzani navyo vimeweza kupumua kutoandamwa kama zile enzi za Mrema na mabomu,na kusema kweli demokrasia na uwazi uliomo ndania ya CCM sasa hivi umetanuka na kuingia hadi kwenye vyama vya upinzani.
ccm wakafie mbele huko nani anawahitaji?Click to expand...
Wanachama wa CCM pamoja na mimi tunawahitaji.Tuko wengi na tutakuonesha hivyo October!
na pia bila rushwa kura kwa wagombea hazipatikani!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Yeyote anayetetea CCM ni msaliti mkubwa! Hata hamuoni haya!!! Mafisadi wamejaa katika ngazi za juu za CCM, hata hakuna hatua zinazochukuliwa, bado tunaona wanapeta tu, na wengine kupatiwa majina kama 'kingmaker'. Hivi hamuoni wizi wa nje nje, ubinafsi na ujengaji wa 'dynasties' ulioibuka katika kipindi hiki cha utawala wa CCM? Nyie hamtaki mabadiliko uozo huo uondoke?
Kikulach ki nguoni mwako. Wakipigana sana zengwe, ndio wataweza kuona umuhimu wa kurudisha nidhamu na kufanya usafi ndani ya chama. Yote haya hayaji kwa bahati mbaya. Ni matokeo ya mambo yanayoendelea kufanyika hapa na pale
anayebisha kwamba CCM haijafanya mambo ya hovyo anahita kupelekwa Milembe.
Yeyote anayetetea CCM ni msaliti mkubwa! Hata hamuoni haya!!! Mafisadi wamejaa katika ngazi za juu za CCM, hata hakuna hatua zinazochukuliwa, bado tunaona wanapeta tu, na wengine kupatiwa majina kama 'kingmaker'. Hivi hamuoni wizi wa nje nje, ubinafsi na ujengaji wa 'dynasties' ulioibuka katika kipindi hiki cha utawala wa CCM? Nyie hamtaki mabadiliko uozo huo uondoke?Click to expand...
Inategemea usaliti dhidi ya Chadema au CUF??Au usaliti dhidi ya nchi?Mafisadi walikuwapo tangu enzi na wapo dunia nzima na serikali zinajitahidi kupambana na ufisadi kwa njia tofauti.Tatizo ni njia zipi za kuondoa ufisadi.Serikali ya JK imetumia njia tofauti na ile ya Mkapa.Si rahisi kupigana na ufisadi wa nchi inahitaji ushupavu wa akili na busara.
Hata huko vijijini ccm wanakofikiri kuna watu wasioelimika watakaowapa kura wataelimishwa mwaka huu. Vijana wa vyuo vikuu serikali ya ccm inayowaondoa vyuoni kila ifikapo uchaguzi ili waifanyie vurugu taaluma, wamejitolea kutoa somo la uraia. Ccm baada ya kuwa na viongozi king'ang'azi waliowasukumia mbali waasisi wa chama na kukumbatia mtandao ambao msingi wake ni ufisadi lazima chama kiwe cha hovyo hovyo. jK na makumba wamekuja kwa wakati muafaka wa kusudi kamilifu la Mungu kuizika ccm iliyofikiri itatawala milele.
Katika hali hii hata vyama vya upinzani navyo vimeweza kupumua kutoandamwa kama zile enzi za Mrema na mabomu,na kusema kweli demokrasia na uwazi uliomo ndania ya CCM sasa hivi umetanuka na kuingia hadi kwenye vyama vya upinzani.Click to expand...
Tatizo kubwa la watanzania sio "demokrasia" bali ni umaskini uliokithiri, ambapo CCM iliahidi kuleta Maisha Bora kwa kila mtz! Hebu tuambie demokrasia ya CCM imesaidiaje kuleta maisha bora iliyoyaahidi? Kusema ukweli CCM si tena "Chama cha Wakulima na Wafanyakazi" ndio maana JK anaweza kutamba kwamba hahitaji kura za Wafanyakazi kwa kuwa hawathamini tena! Ni Chama cha Wafanyabiashara na wenye fedha! Bila fedha siku hizi shahau uongozi ndani ya CCM! Hiyo ndiyo "Demokrasia" ndani ya CCM!
zamani wakati nakua CCM ilikuwa chama cha wakulima na wafanyakazi, leo hii CCM imepora na wafanyabiashara na mataijiri wachache. Ni chama kinachochezea uhai wa taifa. NATAMANI SIKU MOJA IFIKE AMBAPO WANACHAMA WA CCM WATASEMA TANZANIA KWANZA CHAMA BAADAE. UZALENDO UTAFUFUKA TOKA KTK MIOYO YA WATU. TODAY THERE IS NO NATION SPIRIT NI KILA MTU SHAURI YAKE. MCHAKATO ULIOFANYWA NA CCM KTK KURA ZA MAONI KILA MTU NI SHAHIDI SASA KUWA CCM INAMWAGA DAMU NA TAYARI IMEMWAGA DAMU WANACHAMA WAKE WAMEWAMEPIGANA LAITI INGEKUWA IMEFANYWA NA VYAMA VINGINE UNGESIKIA TULIWAAMBIA HAO NI WAGOMVI LAKINI LEO WAKO KIMYA NI AIBU KWA CCM, AMBAO WAMEKATAA KUMRUDISHIA MUNGU UTUKUFU KWA AMANI TULIYO NAYO WANADAI ETI WAO NDIO WAMELETA NA KUTUNZA AMANI TANZANIA, WAKATI AMANI YETU NI KWA UWEZA WA MUNGU, DAWA NI MOJA TU NDUGU ZANGU WATANZANIA LET US VOTE THEM OUT OF POWER. INAUMA SANA INAUMA SAAAANAAAAMMMM JAMANI AAAAAAAH:rant:
wasioamini ubovu wa huyu bwana ni ndugu zake tu na makamba ambo hakika wapo tayari hata kufa nae au kwa vyovyote vile wapiga debe na kumpaka manukato yalioyooza.........
Kura yako kwa nani mwaka huuu?????????
unatakiwa kuwa na moyo wa kichaa au mwenda wazimu kusapoti ccm...lakini ccm watuymia vizuri elimu ndogo ya watz wanaoishi vijijini.....eee Mungu tusaidie
Kama tunazungumzia CCM katika historia yake, naweza kusema ilikuwa mbaya zaidi wakati wa Mwinyi na Kolimba ambapo ilibidi hata Nyerere aingilie kati kuokoa chama 'chake'.
Kwa maoni yangu, CCM imekuwa na demokrasia zaidi kuliko wakati wote wa uhai wake... na hata rushwa zilizorepotiwa karibuni ni juhudi za CCM yenyewe kujisafisha... Wenye akili ni muhimu kuangalia mambo kwa mapana yake.
| 2016-12-10T05:17:35 |
http://www.jamiiforums.com/threads/ccm-imekuwa-ya-hovyo-zaidi-chini-ya-jk-na-makamba-yes-or-no.69079/
|
[
-1
] |
stephanomango.blogspot.com: WAHAMIAJI HARAMU 68 WAHUKUMIWA KWENDA JELA MIEZI SITA KILA MMOJA KWA KOSA LA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI
WAHAMIAJI HARAMU 68 WAHUKUMIWA KWENDA JELA MIEZI SITA KILA MMOJA KWA KOSA LA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI
Gideon Mwakanosya ,Songea
WAHAMIAJI haramu 68 kati ya 82 Raia wa Somalia waliokamatwa katika kijiji cha Lihuli wilayani Mbinga mkoa wa Ruvuma wamehukumiwa kwenda kutumikia kifungo cha miazi sita jela kila mmoja baada ya kukiri kosa la kuingia nchini kinyume na sheria za nchi.
Akizungumza na Waandishi wa habari jana ofisini kwake Afisa uhamiaji wa mkoa wa Ruvuma Koku Rwebandiza amesema kuwa wahamiaji haramu hao walikamatwa oktoba 8 mwaka huu majira ya saa moja jioni kwenye msitu wa miti uliopo katika kijiji hicho wakiwa safarini kuelekea Afika kusini kupitia Malawi.
Amesema,wahamiaji 14 kati ya hao 82 waliokamatwa ambao umri wao ni kati ya miaka 13-17 mahakama imeamuru Idara ya uhamiaji kufanya utaratibu wa kuhakikisha kuwa wanarudishwa Somaria kwa kupitia ubalozi wa nchi yao.
Amesema kuwa,ofisi yake ilipata taarifa toka kwa raia wema kuwa kuna kundi la watu wasihofahamika wanahofiwa kuwa ni wahamiaji haramu wako kwenye msitu na baada ya kupata taarifa hizo kikosi maalum cha maafisa wa uhamiaji walienda katika msitu huo na kufanikiwa kukamata kundi kubwa la wahamiaji haramu .
Ameeleza zaidi kuwa,wahamiaji haramu hao baada ya kuhojiwa walisema kuwa wametoka Somalia kupitia bahari ya hindi kwa njia ya maboti hadi tanga na baadaye walipata usafiri wa gari aina ya roli ambayo iliwafikisha njombe na baada ya hapo walipata usafiri mwingine hadi Ludewa ambapo walifanikiwa kupata boti hadi Lihuli ambapo ziwa lilichafuka kutokana na mawimbi kuwa makubwa hivyo walilazimika kupumzika hadi ziwa litakapo kaa sawa ili waendelee na safari hadi walipokamatwa na maafisa uhamiaji.
Aidha,ameongeza kuwa Idara ya uhamiaji kwa kushirikiana na Jeshi la polisi Mkoa wanaendelea kulisaka boti liliowasafirisha wahamiaji haramu hao kwani mara baada ya kukamatwa wahamiaji hao nahodha wa boti hiyo alikimbia pamoja na boti yake.
WAHAMIAJI HARAMU 68 WAHUKUMIWA KWENDA JELA MIEZI S...
| 2017-10-19T16:11:28 |
http://stephanomango.blogspot.com/2011/10/wahamiaji-haramu-68-wahukumiwa-kwenda.html
|
[
-1
] |
Ezra 8 | Bibele Eka Web Site Leyi | Vuhundzuluxeri Bya Misava Leyintshwa
8 Kutani hi lava varhangeri+ va tindlu ta vatatana ni ku tsarisiwa+ ka vona hi ku ya hi swivongo ka lava va nga ta tlhandluka na mina hi nkarhi wa ku fuma ka Atazekiseki+ lowa hosi, loko va huma eBabilona:
2 Eka vana va Finiyasi,+ Gerixomu; eka vana va Ithamara,+ Daniyele;+ eka vana va Davhida,+ Hatuxi;
3 eka vana va Xekaniya, eka vana va Paroxi,+ Zakariya, naswona a ku tsarisiwe vaxinuna va 150 eka yena;
4 eka vana va Pahata-mowabu,+ Eliyeho-enayi n’wana wa Zerahiya, yena a ri ni vaxinuna va 200;
5 eka vana va Zatu,+ Xekaniya n’wana wa Yahaziyele, a ri ni vaxinuna va 300;
6 eka vana va Adini,+ Ebedi n’wana wa Yonathani, a ri ni vaxinuna va 50;
7 eka vana va Elami,+ Yexaya n’wana wa Ataliya, a ri ni vaxinuna va 70;
8 eka vana va Xefatiya,+ Zebadiya n’wana wa Mikayele, a ri ni vaxinuna va 80;
9 eka vana va Yowabu, Obadiya n’wana wa Yehiyele, a ri ni vaxinuna va 218;
10 eka vana va Bani,+ Xelomiti n’wana wa Yosifiya, a ri ni vaxinuna va 160;
11 eka vana va Bebayi, Zakariya n’wana wa Bebayi,+ a ri ni vaxinuna va 28;
12 eka vana va Azigadi,+ Yohanani n’wana wa Hakatana, a ri ni vaxinuna va 110;
13 eka vana va Adonikamu,+ lavo hetelela, hi lawa mavito ya vona: Elifalete, Yehiyele na Xemaya, a va ri ni vaxinuna va 60;
14 eka vana va Bigivhayi,+ Utayi na Zabudi, a va ri ni vaxinuna va 70.
15 Kutani ndzi va hlengeleta enambyeni+ lowu taka eAhavha;+ hi dzima mixaxa kwalaho masiku manharhu, leswaku ndzi kambela vanhu+ ni vaprista,+ kambe a ndzi kumanga munhu eka vana va Levhi.+
16 Hiloko ndzi rhumela rito leswaku ku vitaniwa Eliyezere, Ariyele, Xemaya na Elinathani na Yaribi na Elinathani na Natani na Zakariya na Mexulama, varhangeri, na Yowaribi na Elinathani, valeteri.+
17 Ndzi va lerisa malunghana na Ido la nga murhangeri wa le ndhawini ya Kasifiya, ndzi va byela marito+ lawa va nga ta ma vula eka Ido ni vamakwavo Vanethinimi+ endhawini ya Kasifiya, leswaku va hi tisela lava va nga ta tirha+ endlwini ya Xikwembu xa hina.
18 Kutani va hi tisela hi ku ya hi voko lerinene+ ra Xikwembu xa hina leri ri nga eka hina, munhu wa vutlhari,+ a huma eka vana va Maheli+ ntukulu wa Levhi+ n’wana wa Israyele, ku nga Xerebiya+ ni vana vakwe ni vamakwavo, va ri 18;
19 Haxabiya a ri na Yexaya va huma eka vana va Merari,+ vamakwavo ni vana va vona, va ri 20.
20 Eka Vanethinimi, lava Davhida ni tihosana va va nyikeke ntirho wa Valevhi, a ku ri ni Vanethinimi va 220, lava hinkwavo ka vona va hlawuriweke hi mavito.
21 Kutani ndzi huwelela leswaku ku va ni ku titsona swakudya kwalaho enambyeni wa Ahavha, leswaku hi titsongahata+ emahlweni ka Xikwembu xa hina, leswaku hi kuma ndlela+ leyi yi hi lulameleke eka xona, ni ya vana+ va hina ni ya nhundzu ya hina.
22 Hikuva a ndzi nyuma ku kombela vandla ra nyimpi+ ni vagadi va tihanci+ va hosi leswaku va hi pfuna ku lwa ni nala endleleni, hikuva hi byele hosi hi ku: “Voko+ ra Xikwembu ri na hinkwavo lava xi lavaka leswaku xi va endlela leswinene,+ kambe ntamu wa xona ni ku hlundzuka+ ka xona swi le henhla ka hinkwavo lava va xi tshikaka.”+
23 Hikwalaho hi titsone swakudya+ hi tlhela hi kombela+ eka Xikwembu xa hina malunghana ni leswi, lerova xi pfumela leswaku hi kombela+ eka xona.
24 Hiloko ndzi hambanisa vaprista lava rhangelaka va 12, ku nga Xerebiya,+ Haxabiya,+ ni vamakwavo va khume.
25 Kutani ndzi va pimela silivhere ni nsuku ni swingolongondzwana,+ munyikelo wa yindlu ya Xikwembu xa hina lowu hosi+ ni vatsundzuxi+ va yona ni tihosana ta yona ni Vaisrayele+ hinkwavo lava a va ta kumeka va swi nyikeleke.
26 Hiloko ndzi va pimela evokweni ra vona titalenta ta silivhere+ ta 650 ni swingolongondzwana swa silivhere swa 100 leswi swi durhaka titalenta timbirhi ni nsuku ni titalenta ta 100,
27 ni minkambana ya nsuku ya 20 leyi durhaka tidarika ta 1 000 ni swingolongondzwana swimbirhi swa koporo leyinene, swa ku tshwuka loku vangamaka, ku fana ni nsuku lowu navelekaka.
28 Kutani ndzi va byela ndzi ku: “Mi nchumu lowu kwetsimaka+ eka Yehovha, ni swingolongondzwana+ i nchumu lowu kwetsimaka, ni silivhere ni nsuku i magandzelo ya ku tirhandzela lama yaka eka Yehovha Xikwembu xa vatata wa n’wina.
29 Tshamani mi xalamukile naswona mi rindzile ku fikela loko mi swi pima+ emahlweni ka vaprista lava rhangelaka ni Valevhi ni tihosana ta vatata wa Israyele eYerusalema, etiholweni to dyela+ eka tona ta yindlu ya Yehovha.”
30 Vaprista ni Valevhi va amukela ntiko wa silivhere ni nsuku ni swingolongondzwana, leswaku va swi tisa eYerusalema endlwini ya Xikwembu xa hina.+
31 Eku heteleleni hi suka enambyeni wa Ahavha+ hi siku ra vu-12 ra n’hweti+ yo sungula hi ya eYerusalema, kutani voko ra Xikwembu xa hina a ri ri na hina, lerova xi hi kutsula+ exandleni xa nala ni le ka lava va hi tumbeleleke endleleni.
32 Hiloko hi fika eYerusalema+ hi tshama kona masiku manharhu.
33 Kutani hi siku ra vumune, hi sungula ku pima silivhere ni nsuku+ ni swingolongondzwana+ endlwini ya Xikwembu xa hina hi swi nghenisa evokweni ra Meremoto+ n’wana wa Yuriya lowa muprista a ri na Eliyazara n’wana wa Finiyasi, va ri na Yozabadi+ n’wana wa Yexuwa na Nowadiya n’wana wa Binuyi,+ lava va nga Valevhi,
34 hi nhlayo ni ntikelo wa hinkwaswo, endzhaku ka sweswo ntiko hinkwawo wu tsariwe ehansi hi nkarhi wolowo.
35 Lava va humaka evukhumbini, lava a va ri evukhumbini+ eku sunguleni, va nyikela switlhavelo swo hisiwa+ eka Xikwembu xa Israyele, tinkunzi+ ta 12 ta tiko hinkwaro ra Israyele, makhuna+ ya 96, swinyimpfana swa xinuna swa 77, swiphongo+ swa 12 swi va magandzelo ya xidyoho, hinkwaswo swi ri gandzelo ro hisiwa eka Yehovha.
36 Hiloko milawu+ ya hosi hi yi nyika valanguteri+ ni tindhuna-nkulu+ leti nga entsungeni wa Nambu,+ kutani va pfuna vanhu+ ni yindlu ya Xikwembu xa ntiyiso.
https://www.jw.org/finder?docid=1011452&Book=15&Chapter=8&wtlocale=TS&srcid=share
mailto:?body=Hlaya Bibele Eka Internet%0a%0ahttps%3A%2F%2Fwww.jw.org%2Ffinder%3Fdocid%3D1011452%26Book%3D15%26Chapter%3D8%26wtlocale%3DTS%26srcid=share⊂ject=Hlaya Bibele Eka Internet
| 2017-01-22T13:11:43 |
https://www.jw.org/ts/minkandziyiso/bibele/bi12/tibuku/ezra/8/
|
[
-1
] |
Manchester United kuikabili Barcelona Leo | Bongo Exclusive
Home » NEWS » Manchester United kuikabili Barcelona Leo
Manchester United kuikabili Barcelona Leo
April 16, 2019 Jonstar Bongo Exclusive
Kocha wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer anaamini timu yake inaweza kupata matokeo mbele ya Barcelona kwenye mchezo wa marudiano wa Champions League hatua ya robo fainali hii leo.
Kwenye mechi ya awali iliyochezwa Uingereza, Barcelona iliibuka na ushindi wa bao 1 – 0 kwenye uwanja wa Old Trafford na hivyo kuufanya mchezo wa leo kuwa mgumu hasa kwa United lakini, Solskjaer anaamini anao mpango wa kumdhibiti mchezaji hari duniani Lionel Messi pamoja wenzake.
“Tunafahamu kama tutakuwa kwenye ubora tutaweza kuwachanganya Barcelona, kwasababu tuliweza kufanya hivyo hapo awali pia,” amesema
kocha wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer.
“Ndio mwishoni waliweza kuutawala mchezo, wakiwa na ‘possession’ lakini ukweli hawakuweza kuwa na madhara kwetu.”
“Nilipumzika wachache hapa kuwa tayari kwa Jumanne, lakini tuna mpango mzuri, natumaini. Natumaini ni nzuri. Ni mpango wowote. “
“Baadhi yao niliwapumzisha ili kuwa tayari kwaajili ya Jumanne, lakini tunampango na natumaini ni mzuri.”
| 2019-06-17T11:46:10 |
https://music.bongoex.com/2019/04/manchester-united-kuikabili-barcelona.html
|
[
-1
] |
"Njoo, watoto kwa Mlima Ergan" | RayHaber | raillynews
NyumbaniTURKEYMkoa wa Anatolia Mashariki24 Erzincan"Njoo, watoto wanakwenda mlima wa Ergan"
22 / 01 / 2019 24 Erzincan, Mkoa wa Anatolia Mashariki, GENERAL, TURKEY, TELPHER
Cocuklar Ergan Dagina
Manispaa ya Erzincan imefungua kozi za theluji na ski kwa watoto wa kikundi cha 10-17. Maombi yatafanywa kwa Jedwali Jipya la Manispaa ya Erzincan kati ya 21-23 Januari na kozi itaendelea wakati wa mapumziko ya muhula. Kozi zinazoanzia kiwango cha kuingia utapewa siku za wiki. Usafiri, mahitaji ya lishe na vifaa vya ski vya watoto utafikiwa na Manispaa ya Erzincan.
Meya wa Erzincan Cemalettin Başsoy alisema Snowboard Kuja, watoto Ergan Mlima; kwa kozi za theluji na ski, "Walimu Wapenzi, Wazazi Wapenzi, Wanafunzi Wapenzi; Tumemaliza mrengo wa kwanza wa mwaka wa masomo wa 2018-2019 ambao tulianza kwa msisimko mkubwa na matumaini.
Kama katika kila nyanja ya maisha yetu, tunapokea kadi zetu za ripoti kama matokeo ya juhudi na kujitolea tunavyojitolea. Walakini, ikumbukwe kwamba kadi ya ripoti imepokea; Huu ni tathmini ya jumla ya sio watoto wetu tu bali pia sote katika mchakato wa elimu. Katika shule zetu, sio tu wanafunzi lakini pia familia na sisi ambao huathiri na kuchangia wanafunzi wanapewa darasa. Wazazi wanapaswa kuzingatia maswala haya wakati wa kuzingatia maelezo yao ya ripoti.
Wanafunzi wa 41 elfu 35 katika mkoa wote kwa kuchukua kadi ya ripoti 4 Februari 2019 wataenda likizo hadi Jumatatu. Likizo hii ni fursa kwa wanafunzi wetu kupumzika na kwa waalimu kushinda mapungufu yao. Kwa kweli, wanafunzi wetu wataona mapungufu na makosa yao, 2. watakuja kwenye kipindi kilicho tayari zaidi na tayari na raha ya kupumzika. Nawaomba wazazi wetu wote waelekeze watoto wao kwenye kozi za ski zilizopewa katika Kituo cha Ergan Ski. "Njoo, watoto, tunasema Mlima Ergan". Tunahitaji kuongeza ushiriki wa watoto wetu katika michezo. Napenda kuwashukuru wasimamizi, walimu na wanafunzi kwa juhudi zao kwa sababu ya mwisho wa muhula wa kwanza na ninawatakia likizo njema. "
Leo katika Historia: 8 Desemba 1874 Agop Kampuni ya Azaria imekuwa imejengwa kwa Belova-Sofia line Tarih
Erzincan Ergan Mountain Chairlift Kituo cha 1. Imekamilishwa
Erzincan Ergan Mountain Chairlift Kituo cha 2. Imekamilishwa
Kituo cha Ski Ski ya Ergan Inafungua Mwishoni mwa Msimu
Mbuga ya Ski ya Mlima Ergan
Erzincan Ergan Mountain Ski Resort itakuja hai
Vifaa vya Ski Ski ya Ergan vilifunguliwa
Rafting msisimko katika Resort ya Ergan Mountain Ski
Gavana wa Erzincan Ergan Mountain Ski Vifaa 'mitihani zilizopatikana
Mlima wa Ergan Ski Vifaa vya Mkutano
Wauguzi wa Başsoy wanasubiri Mbuga ya Ski ya Mlima Ergan
Mbuga ya Ski ya Ergan
| 2020-01-18T16:42:52 |
https://sw.rayhaber.com/2019/01/Hebu-tuwafikie-watoto-wanaofikiri/
|
[
-1
] |
TAMASHA KUBWA LA UTALII KUFANYIKA ZANZIBAR, KUPAMBWA NA VIONGOZI WA KITAIFA NA TUZO KABAMBE - Issa Michuzi | PressTZ - Your Number 1 Source of Aggregated Online Content
Mahmod ameeleza kuwa tamasha hilo ni fursa na litawavutia wawekezaji, wamiliki wa hoteli na wamiliki wa kampuni za kitalii wazawa na wageni kwa kutangaza bidhaa zao za kitalii na amesema kuwa shughuli za kitalii zimechangia kwa asilimia kubw... Continue reading ->
| 2019-02-18T12:33:59 |
http://presstz.net/tamasha-kubwa-la-utalii-kufanyika-zanzibar-kupambwa-na-viongozi-wa-kitaifa-na-tuzo-kabam-42302240
|
[
-1
] |
HABARI MPYA KUHUSU HALI YA HAMISI KIIZA, JE ATACHEZA AU HATOCHEZA DHIDI YA COASTAL UNION? | ShaffihDauda
Home Kitaifa HABARI MPYA KUHUSU HALI YA HAMISI KIIZA, JE ATACHEZA AU HATOCHEZA DHIDI...
HABARI MPYA KUHUSU HALI YA HAMISI KIIZA, JE ATACHEZA AU HATOCHEZA DHIDI YA COASTAL UNION?
Hamisi Kiiza, mshambuliaji wa klabu ya Simba
Kikosi cha ‘wekundu wa Msimbazi’ Simba kikiwa katika maandalizi ya kuwavaa ‘wagosi wa kaya’ Coastal Union siku ya Jumatano, hali ya majeruhi Hamisi Kiiza imezidi kuimarika na yupo tayari kuongoza mashambulizi ya kikosi cha Dylan Kerr.
Mtandao huu umemtafuta daktari wa Simba SC Yasin Gembe ambaye amewatoa hofu mashabiki wa timu hiyo kwa kusema baada ya kupata matibabu, raia huyo wa Uganda yuko tayari kucheza mchezo dhidi ya Coastal Union.
“Kiiza sasa hivi yuko sawa, tangu alipopata ‘injury’ alikuwa anahitaji wiki tatu au zaidi lakini ndani ya wiki tatu ameonesha ‘recovery’ ya kutosha, ameshaanza mazoezi tangu wiki iliyopita kwahiyo mwalimu kama atamuhitaji anaweza kumtumia kwenye mechi ijayo”, amesema Gembe.
“Mbali na Kiiza wachezaji wengine wako vizuri isipokuwa kwa Faki ambaye alikuwa na maumivu ya goti kwa muda mrefu na ni mchezaji pekee ambaye hayupo kwenye kambi lakini wengine wote wapo kambini”.
Urejeo wa Hamisi Kiiza kwenye kikosi cha Simba ni habari njema kwa mashabiki wa Simba ambao walimkosa kwenye michezo mitatu iliyopita.
Previous articleBREAKING NEWS: KOCHA WA TOTO AFRICANS AJIUZULU
Next articleHII NI MAKALA YANGU KWENYE GAZETI LA CHAMPION WIKI HII
| 2018-09-20T16:14:18 |
http://shaffihdauda.co.tz/2015/10/26/habari-mpya-kuhusu-hali-ya-hamisi-kiiza-je-atacheza-au-hatocheza-dhidi-ya-coastal-union/
|
[
-1
] |
MABILIONEA wawili, Dk Viola na nduguye Vanessa, wanatafutwa kila kona ya dunia kwa mauaji ya watu wengi waliowaibia figo zao miilini na kuziuza kwa bei kubwa na mwisho wakaangusha ndege iliyokuwa imebeba abiria zaidi ya mia mbili, sitini na mbili wakiwa ni watoto yatima kutoka kwenye kituo cha watoto yatima kilichoanzishwa na Dk Viola.
Fidia yote ya watoto 62 ambayo ilikuwa ni dola milioni kumi kwa kila mtoto, ilikwenda mikononi mwa Dk Viola, kwani wiki mbili kabla ya ajali hiyo, aliwawekea watoto hao bima na kujitaja yeye kama mrithi wa mafao likitokea jambo lolote, kiasi hiki cha fedha kimewafanya wazidi kuwa matajiri kwa fedha haramu.
Uchunguzi ulipofanyika, ulibaini kuwa Vanessa ambaye alikuwa Mhandisi wa Ndege wa Shirika la Ndege la Brito Africa Airline iliyoanguka na kuua abiria hao wote, alitega vifaa vya mlipuko na kuviseti vilipuke ndege ikiwa imeruka kutoka Tanzania kurejea Uingereza, baada ya tukio hilo tu aliacha kazi na kurejea Afrika ambako yeye na ndugu yake wamepotea.
Inspekta Masala, mpelelezi maarufu duniani, amekabidhiwa jukumu la kuwatafuta Dk Viola na Vanessa popote duniani, amepewa pia jumla ya wapelelezi wanne wa kushirikiana naye lakini akiwa nchini Thailand katika Jiji la Bangkok, wapelelezi wote hao wameuawa katika mazingira ya utatanishi, si wao tu bali pia daktari aliyewafanyia Dk Viola na Vanessa upasuaji wa kuwabadili sura.
Picha inaonyesha wazi kuna mtu anafanya mauaji hayo na amembakiza Inspekta Masala peke yake ili amalize kazi, anachokihitaji kwa sasa hivi Inspekta Masala ni sura za Dk Viola na Vanessa baada ya kufanyiwa upasuaji, anazipata picha zao kwa mwanaume aliyebadilisha jinsia na kuwa mwanamke (Jen) ambaye hata hivyo amepigwa risasi Inspekta Masala akiwa bafuni.
Akiwa njiani kutoka nyumbani kwa Jen, Inspekta Masala anakuta barabara imezibwa kwa magari, akijua hiyo ni hatari alichomoa bastola yake na kujiweka tayari kwa mapambano, lakini kabla hajafanya lolote taa kali zilizokuwa zikimulika zilizimwa na kuanza kumulikwa kwa tochi akiwa bado yuko ndani ya gari.
Je, nini kitaendelea?SONGA NAYO…
“SHUKA!” ilikuwa ni sauti ya kukwaruza, Inspekta Masala akihisi mdomo wa bastola ukimgusa kwenye paji la uso.
“Ninyi ni akina nani?”
“Usiulize maswali!”
“Ni vizuri tufahamiane ndugu zangu.”
“Lete hiyo bastola, vinginevyo nakusambaratisha.”
Bila ubishi Inspekta Masala akielewa kabisa kanuni ya bastola kwamba mtu aliyesimama akiwa amekuonyesha bastola yake wewe uliyekaa, ya kwako hugeuka fimbo maana ukijaribu tu kuigusa kwa maana ya kutaka kushambulia, aliyesimama lazima atafyatua risasi na kukumaliza, akakabidhi bastola yake kwa mtu ambaye hata kwa sura alikuwa hawezi kumwona sababu ya mwanga mkali uliompiga usoni.
“Ishiii!” alitoa mlio huo baada ya kusikia kitu chenye ncha kali kama sindano kikizama mwilini mwake, akaelewa kabisa ilikuwa ni sindano, bila shaka ya kulevya ili alale usingizi, moyoni mwake akajua amekwisha.
Haukupita muda mrefu sana macho yake yakaanza kuingiwa na giza na baadaye kupoteza fahamu kabisa, hakujua tena kilichoendelea, jambo lililofanya iwe rahisi sana kwa watu waliomteka kumchukua na kumlaza kiti cha nyuma cha gari lake na mmoja wao akaketi kwenye usukani, safari kuelekea mahali walikofahamu wao ikaanza, Inspekta Masala akiwa usingizini.
“Tumemaliza…tunaelekea ufukweni kukamilisha kazi…amelala…valium siyo mchezo…tukimaliza tu kumtupa majini tutaelekea uwanja wa ndege moja kwa moja…ndiyo…ndiyo…kichwa lazima kiondolewe…sawa mkuu…” Alisikika akiongea kwa simu mwanaume mmoja aliyeketi kando ya dereva kwenye gari la Inspekta Masala, alionekana kuwa ndiye kiongozi wa zoezi hilo.
Simu ilipokatwa mwanaume huyo alitoa maelekezo kwa watu walioketi kiti cha nyuma akiwataka wakamilishe kazi aliyowapa ya kufanya kile alichokiita “Kuondoa ushahidi”, shughuli ikaanza kiti cha nyuma kwa muda wa karibu saa nzima ndipo walipompa taarifa kiongozi wao kwamba kila kitu kilikuwa sawa.
“Weka kwenye mfuko wenye jiwe, tutakitupa majini pamoja na mwili!”
“Huo mwili uwekeni kwenye mfuko wenye jiwe, ili iwe rahisi kuzama!”
Zoezi hilo liliendelea wakati safari ikienda kwa kasi nje kabisa ya Jiji la Bangkok katika kitongoji kiitwacho Patoyo, kilichoko ufukweni kabisa lakini eneo ambalo hakuna mwananchi yeyote aliyeishi. Saa saba na nusu usiku ndiyo waliegesha ufukweni, wote wakashuka na kuubeba mfuko ambao ndani yake kulikuwa na mwili wa binadamu na mtu mwingine akabeba mfuko uliokuwa na kichwa, vyote vikatupwa ndani ya maji na kuzama hadi chini.
“Awe chakula cha samaki,” aliongea kiongozi wao.
“Hakuna mtu atakayeelewa alielekea wapi.”
“Anatakiwa akome kufuatilia mambo ya watu.”
Walipoona kazi yao imekamilika, waliingia ndani ya gari lao, wakiliacha gari la Inspekta Masala ufukweni, safari kurejea mjini ambako waliwasili baada ya saa tatu ikaanza. Kitu cha kwanza walichokifanya baada ya kuingia kwenye nyumba yao ni kufanya usafi wa gari, kubadilisha nguo na kuchoma kabisa walizokuwa nazo ambazo zilitapakaa damu ili kupoteza ushahidi maana walifahamu ni lazima polisi wangefuatilia tukio hilo.
Wakiwa sebuleni simu ya kiongozi wa zoezi hilo ambaye vijana wote walimwita Tim, mwanaume mrefu mwenye mwili mpana na ndevu nyingi, iliita, akaipokea na kuanza kuongea na mtu ambaye watu wote ndani ya chumba hawakumfahamu, alionekana akipokea maelekezo ya wapi pa kupeleka mzigo aliokuwa nao kwenye gari.
“Fuata anuani niliyokupa!”
“Ukifika kila kitu kitakuwa tayari, ila hakikisheni yupo katika hali ileile!”
“Hilo linafanyika kwa uangalifu wa hali ya juu!”
“Basi bwana Juan Lee, anawasubiri nyumbani kwake na ndege ipo tayari kukuleta wewe na mzigo mpaka Marekani kwa kutumia ndege yake binafsi!” aliongea mtu upande wa pili wa simu.
Alichokifanya Tim baada ya simu hiyo kukatika ni kuwaamuru wenzake wanyanyuke na wote wakaanza kutembea hadi nje ambako waliingia kwenye gari, safari kuelekea nyumbani kwa Juan Lee ikaanza. Aliishi nje ya Jiji la Bangkok, sehemu iliyoitwa Tampo, palikuwa ni mashambani ambako matajiri wachache sana walioaminika kujihusisha na biashara nyingi haramu waliishi.
Nyumbani kwa Lee, lango lilifunguliwa, gari likaingizwa ndani na kuongozwa moja kwa moja hadi sehemu ya nyuma kulikokuwa na uwanja mkubwa wa ndege na hapo paliegeshwa ndege kubwa aina ya Gulfstream 550GS, mali ya bwana Lee ambaye pia alikuwepo kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa.
“Mzigo uko wapi?”
“Kwenye gari.”
“Shusheni.”
Gari ikafunguliwa kwa nyuma na akabebwa mtu aliyeonekana kuwa katika usingizi mzito na kupandishwa mpaka ndani ya ndege ambako bwana Lee aliamuru achomwe tena sindano nyingine ya usingizi kabla ndege haijaruka! Zoezi hilo lilipokamilika watu wote walishuka, akabaki Tim na wafanyakazi ndani ya ndege hiyo, ikaiacha ardhi ya Thailand kuelekea Washington, wakiwa wamepanga kutua Amsterdam kwa ajili ya kujaza mafuta.
Mita Govan alikuwa ni mvuvi wa siku nyingi sana nchini Thailand, aliendesha maisha yake kwa kazi hiyo na kufanikiwa kusomesha watoto wake mpaka chuo kikuu. Utaratibu wake ulikuwa ni kutega mitego yake usiku na kurejea nyumbani, lakini alfajiri ilikuwa ni lazima arejee tena ufukweni kuangalia kama alikuwa amefanikiwa kunasa samaki yoyote.
Alifika ufukweni saa kumi kamili na kushtuka alipoona gari jeupe likiwa limeegeshwa chini ya miti, moyo wake ukaenda mbio, haikuwa kawaida kuona gari katika maeneo hayo. Haraka akarudi kinyumenyume kisha kwenda kujificha nyuma ya kichaka akijaribu kuangalia kama kuna mtu yeyote angeshuka au kupanda, haikuwa hivyo.
Sababu ya woga alibaki eneo hilo mpaka saa kumi na mbili asubuhi, mwanga wa jua ulipojitokeza ndipo naye akatembea taratibu mpaka kwenye gari hilo na kukuta liko tupu! Alipoangalia ardhini aliona alama za viatu zikielekea kwenye ukingo wa maji karibu kabisa na mahali ambako hutega nyavu zake, akaamua kuzipuuza na kuendelea na kazi yake.
Taratibu akaanza kuvuta nyavu lakini siku hiyo tofauti na nyingine zote alishangazwa na uzito, moyoni akajawa na furaha kuwa huenda alinasa samaki wengi kupindukia! Nguvu zake zote za kuvuta mtego zilishindwa, akaamua kusubiri mpaka wavuvi wengine walipokuja ndiyo wakamsaidia, wote walishtuka walipotoa mtego majini, ndani yake kukiwa na kiwiwili cha mtu bila kichwa.
“Mungu wangu! Inabidi tupige simu polisi!”
“Kabisa, huyu mtu kauawa halafu wamemtupa humu.”
JE, nini kitafuata? Fuatilia kesho katika Gazeti la Championi Jumamosi.
| 2019-08-19T08:46:44 |
https://globalpublishers.co.tz/mabilionea-wasio-na-huruma-44/
|
[
-1
] |
FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI: HUTBA YA RAISI WA NCHI YA TANGANYIKA KUHUSU MATATIZO WALIYO NAYO NA EAC JE IMEWATOWA TAKA ZA MASHIKIO NA TONGO ZA MACHO WAHAFIDHINA NA VIBARAKA WA WATANGANYIKA MULIO ZANZIBAR AU NDIO KWANZA MELALA..??
| 2018-06-23T00:53:23 |
http://free-zanzibar.blogspot.com/2013/11/hutba-ya-raisi-wa-nchi-ya-tanganyika.html
|
[
-1
] |
Wana JF wakutana india | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Wana JF wakutana india
Discussion in 'International Forum' started by collezione, Jan 11, 2011.
Mimi ni mmoja wa wa-Tanzania naishi india.
Jana tarehe 10/01/11 GREAT THINKERS tulikutana jijini Bangarole,..
Katika kikao hicho, mambo makubwa yaliyoongelewa ni swala la katiba mpya, na mgogoro wa Arusha.
Kutokana na ufinyu wa muda, na majukumu tuliyo nayo. kikao hakikuisha, tutaendelea na kikao hicho juma lijalo. Baada ya kikao cha wiki ijayo, tutawaletea maoni yetu humu ndani ya JF. Tunawasihi sana watanzania wenzetu, mliopo uko nyumbani Tanzania myachukue na ku-represent kwa vyombo husika. Hatuwezi kwenda ubalozini kupeleka maoni yetu, ni wazi yatachakachuliwa. so njia sahihi ya kutoa maoni ni humu JF.
waTanzania wengi waliopo india wamehaidi kuhudhuria kikao hicho, kinacho-represent great thinkers wa india. kwa ku-sacrifies masomo na majukumu mengineyo, kwa kuhudhuria kikao hicho.
Tunawashukuru kwa nia na moyo wa utaifa wenu.
JF....The home of Great Thinkers...
Yes, go on kutumia haki muhimu ya kikatiba kpaza sauti zetu kwa mambo ya msingi yatakayojenga nchi yetu
Hongereni sana!!!!!!!
Hongereni sana Keep it Up
thats great, means u can contribute to your nation wherever u are.
pamoja we can....
Hongereni sana na tunasubiri maoni yenu!
Lakini sio nyie ambao JK akija huko kubembea anawafungulia matawi ya ccm?
Vitendo vyenu viendane na fikra zenu bana!..!
Jamani naombeni na wengine walioko Us, Sweden, Norway, Uingereza na kwengine kote mkutane na kujadili hatima ya Taifa na kubeba bendera ya vyama fulani tunataka maendeleo na sio hongo kazi za kimbea
Hongereni sana na tunasubiri maoni yenu!Click to expand...
tunashukuru kwa ushirikiano wenu, ndugu zetu
Vitendo vyenu viendane na fikra zenu bana!..!Click to expand...
Pengine wamebadilika
Pengine wamebadilikaClick to expand...
it is all about mutual determination and cooperation. keep it up people
Well well, well done wapendwa...
I wish to see the day nchi hii itakapopata uongozi unaostahili(unaojali wananchi) utakaowafanya ndugu zetu mliopo sehemu mbalimbali za dunia msukumwe kurudi nyumbani kuchangia katika maendeleo (+ve mabadiliko ya kiuchumi na kifikra) katika nchi yetu..
MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA.., IEPUSHE NA UDHALIMU HUU:Cry:
Hiyo ni hatua kubwa na muhimu sana katika kujenga nchi yetu. Muhimu ni kupata issues za ukweli na kuzi-present in various ways including wajapo kuwapa hi huko. Big-up sana! Tuko pamoja lakini ishu za kupapatikia kufunguliwa matawi na uongozi jina mvipige chini. First things first
inaweza kuwa habari njema kama wazo litaongozwa nia thabiti ya uzalendo kwanza! SHUKRANI KWA HATUA HIYO
| 2017-07-25T05:01:11 |
https://www.jamiiforums.com/threads/wana-jf-wakutana-india.101761/
|
[
-1
] |
New York. Korea ya kaskazini kuwekewa vikwazo. | Habari za Ulimwengu | DW | 14.10.2006
New York. Korea ya kaskazini kuwekewa vikwazo.
Baraza la usalama la umoja wa mataifa limekubaliana kuhusu maandishi ya azimio litakaloweka vikwazo dhidi ya Korea ya kaskazini kwa kufanya jaribio la silaha za kinuklia , na kura ya mwisho itafanyika leo Jumamosi.
Balozi wa Marekani katika umoja wa mataifa John Bolton , ametangaza azimio hilo katika kikao cha faragha cha baraza jana Ijumaa.
Muswada huo mpya haujumuishi tena vikwazo vya silaha lakini unasisitiza upekuzi wa anga na bahari katika mizigo inayoingia na kutoka katika taifa hilo la kikomunst.
Japan imekwisha anza utekelezaji wa hatua hizo dhidi ya Pyongyang, ikiwa ni pamoja na marufuku dhidi ya uagizaji kitu chochote kutoka Korea ya kaskazini na kuinyima nchi hiyo , meli zake kufunga gati katika bandari za Japan.
Wakati huo huo , ndege zenye vifaa maalum za Marekani zimegundua ushahidi wa mwanzo wa uwezekano wa miale ya kinuklia katika eneo la Korea, ambayo inaweza kuthibitisha madai ya Korea ya kaskazini kuwa imefanya jaribio la bomu la Atomic.
Kiungo http://p.dw.com/p/CD35
| 2018-04-23T11:59:16 |
http://www.dw.com/sw/new-york-korea-ya-kaskazini-kuwekewa-vikwazo/a-2910099
|
[
-1
] |
Pink Color Kutoka Katika Yunnan Grapes
Home > Bidhaa > Pink Color Kutoka Katika Yunnan Grapes (Jumla ya 24 Bidhaa kwa Pink Color Kutoka Katika Yunnan Grapes)
Vitunguu safi ( 166 )
Nusu ya kawaida ya vitunguu 5.0-5.5cm ( 33 )
Pink Color Kutoka Katika Yunnan Grapes - mtengenezaji, kiwanda, muuzaji kutoka China
Sisi ni maalumu Pink Color Kutoka Katika Yunnan Grapes wazalishaji na wasambazaji / kiwanda kutoka China. Ya jumla Pink Color Kutoka Katika Yunnan Grapes na ubora wa juu kama bei ya chini / bei nafuu, mojawapo ya Pink Color Kutoka Katika Yunnan Grapes bidhaa za kuongoza kutoka China, Jining Fuyuan Fruits And Vegetables Co., Ltd..
Tag: Bora ya Tangawizi , Tangawizi ya Bei ya Chini , Ginger Tangawizi ya Anqiu
Tangawizi ya hewa imetakiwa kuu ya 250g na juu, iliyojaa katika 5kg / 10kg, 12kg na 13.6lb / sanduku la plastiki, hii ya kawaida ya tangawizi kuu nje ya Uingereza, Afrika Kusini, Algeria soko.200g na tangawizi la hewa limehifadhiwa nje ya Holland,...
Tag: Baby Mandarin na Bei nzuri , Kiwanda cha Baby Mandarin , Fresh Baby Mandarin Friut
Kampuni yetu ni kutoka mji wa Jining, jimbo la Shandong, tuna nje ya friuts na mboga zaidi ya miaka kumi. Sasa, ni msimu sahihi kwa mandarin ya mtoto. Ukubwa wa Mandarin ya mtoto ni pamoja na: S: 35-40mm, M; 40-45mm, L: 45-50mm. XL: 50-55mm, XXL:...
Tag: Nyeupe safi ya vitunguu ya Ubora Bora , 2018 Mazao mapya safi ya vitunguu , Nzuri safi ya vitunguu
Tag: Baby Mandarin Friut , Maua ya Baby Mandarin safi , Mtoto Mandarin Mzuri
Mandarin ya mtoto sisi ni maarufu kwa rangi yake ya dhahabu, matunda ya juicy, ladha tamu, na harufu nzuri na safi, ladha itaendelea kuzunguka baada ya kula. Matunda yana aina nyingi za virutubisho kama vile sukari, asidi citric, vitamini C,...
Ya rangi kutoka kwa mazao mapya ya 2018
Tag: Safi na ladha , Pear mpya na Bei nzuri , Ubora wa Juu kwa Soko la Kimataifa
Ni msimu wa mwaka wa 2018 wa pear sasa hivi sasa. Mazao mapya kuwa tayari kwa soko la nje la kimataifa. Nyakati safi ya peari yenye bei nzuri na ubora wa juu. Ni bora kuagiza kuliko kutoka kwenye kuhifadhi ya baridi. Ya rangi ya maziwa ya njano na...
Kutoka 2018 mpya ya mazao safi ya pomelo
Tag: Asali na Safi , Kupunguza joto ndani kutoka Mwili , Kuwa Rich katika vitamini
Pomelo safi ni kutoka mji wa pinghe, jimbo la Fujian. pomelo inatoka msimu mpya wa 2018 mpya, na bei nzuri na inayowezekana. Pomelo safi ni nzuri kitamu, tamu na sour.and inajulikana sana kwa watu. tunaweza kutoa pomelo kutoka Septembe-r hadi mwaka...
Tag: Nyeupe safi ya vitunguu 4.5-5.0cm , Asili ya Garlic Bei Mpya Mzabibu , Vitunguu vinavyohifadhiwa katika bandari ya Qingdao
Mazao mapya ya vitunguu yalianza Juni. Bei mpya ya mazao ni nafuu sana. Mazao mapya ya vifaa ni kubwa mwaka huu. sisi tayari kuuza nje vitunguu Norway, Uingereza, Rotterdam, Iraq, Russia, dubai, Kuwait, Hispania, Israel, Turket, Brazil, Sengenal,...
Pink Color Kutoka Katika Yunnan Grapes jumla kutoka China, Direct Buy kutoka China wazalishaji wa kuongoza kwa bei nafuu kiwanda. Pata bidhaa Pink Color Kutoka Katika Yunnan Grapes jumla kwenye Jining Fuyuan Fruits And Vegetables Co., Ltd. na kupata ubora wa juu Pink Color Kutoka Katika Yunnan Grapes moja kwa moja kutoka kwa wauzaji wa jumla wa China Pink Color Kutoka Katika Yunnan Grapes na wasambazaji. Tuma mahitaji yako ya kununua & Pata majibu ya haraka.
| 2019-07-16T14:24:00 |
http://sw.fuyuanfv.com/dp-pink-color-kutoka-katika-yunnan-grapes.html
|
[
-1
] |
Sayari ya Mars iliwahi kushambuliwa na nguvu kubwa isiyojulikana - Kwetustar
Sayari ya Mars iliwahi kushambuliwa na nguvu kubwa isiyojulikana
Sayari ya Mars ni sayari kavu ambapo upepo wenye mchanga unavuma siku zote, lakini shahidi nyingi zimethibitisha kuwa katika miaka zaidi ya bilioni 3 iliyopita, ilikuwa na bahari kubwa. Lakini wakati huo iliwahi kushambuliwa na nguvu kubwa isiyojulikana ambayo ukubwa wa nguvu hii ni karibu sawa na mgongano wa sayari mbili ndogo, na kusababisha tsunami kubwa ambayo ni kubwa kuliko ile iliyotokea mwaka 2004 nchini Indonesia.
Picha zilizopigwa na satelaiti ya uchunguzi wa sayari ya Mars ya Odyssey iliyorushwa na NASA inaonesha kuwa baadhi ya sehemu za ukanda wa pwani wa bahari ya kale zimepotea, na hii hakika si hali ya awali ya bahari hiyo.
Mwanasayansi wa kituo cha fizikia ya anga cha Madrid, Hispania Bw. Alberto Fairen na kikundi chake wametafiti picha zilizopigwa na satilaiti za Odyssey na MRO za NASA, na kugundua kuwa hali ya hivi sasa ya ukanda wa pwani ni tokeo la tsunami kubwa.
Waligundua kuwa barafu na mawe viliwahi kwenda juu kwa kilomita mia kadhaa kutoka chini, hali hii huenda ilisababishwa na tsunami mbili, ambayo ya kwanza ilipeleka miamba yenye upana wa mita kadhaa katika sehemu ya juu, na ya pili iliyotokea katika siku ya baridi ilipeleka barafu juu.
Kompyuta imekadiria kuwa mgongano wa sayari ndogo unaweza kusababisha shimo lenye kipenyo cha 30, na mawimbi ya baharini yaliyosababishwa na mgongano huo yakifika pwani, urefu wake utafikia mita 50.
Sayari ya Mars iliwahi kushambuliwa na nguvu kubwa isiyojulikana Reviewed by Bill Bright Williams on 1:20:00 PM Rating: 5
| 2018-12-11T01:27:18 |
http://www.kwetustar.com/2016/08/sayari-ya-mars-iliwahi-kushambuliwa-na.html
|
[
-1
] |
1Coinega ya'ahwanoi 'oimiya ma mumugami wa'itayahi, bewa tuwa taugu deliya silagugauwa Badaina 'ina paihowa weyahina, ma 'omi Badaina 'ibwauwegomiya tauna 'ina paihowa weyahina, 'oinega 'ilobwainegomiya ma to'aha 'ina paihowaina 'ana lobwaina wamuliye, 2ma ma'imi nuwadobi, ta ma'imi 'ate tagwala, ta ma'imi 'alama'i'ita, ma mahetemiyao wahelau hilegomi, ma wa'atemuyamuya 'iyamiyao 'oidiya, 3ma wahetapewa waiwai, ma 'oinega Yaluyaluwa Tabuna 'i'uinigomi, ma ma'imi nuwadaumwala wamiya yaliyaya. 4Moisa, wahida 'aigeda, Yaluyaluwa Tabuna wete 'aigeda tuwamo, ma 'ibwauwegitama 'omi ma tauma, ma tanuwanuwatuhu 'ada lema 'aigeda tuwamo 'abwa taloba weyahina. 5Cida Bada wete 'aigeda tuwamo, 'ida hemisa 'aigeda tuwamo, 'ida babitaiso wete 'aigeda tuwamo. 6Tamada Yehoba 'aigeda tuwamo, ma ginaula baibaiwana tabwanidiya ma 'oidiya, ma wete 'oida 'imiyamiya. 7Ma Keliso 'ina wasawasa 'oinega 'ada heguheguyai 'i'ebwaegita. 8Bewa weyahina Buki He'asisi 'ina gwae 'igwaeya:
9Gwae bewa “Cihaneya tabwana.” 'ana sanapu bewa nugeta 'idobi hedada bale'u duduna. 10Ma tauna tosuluina 'ihaneya wete ta galewa 'ihanesineya, ma 'oinega tauna tupwa mabwaiyadi 'oidiya 'imiyamiya.
11Ta 'ina heguheguyai bewa gidemusa, 'abehega tomota tupwadi sihetohepwaila, ma tupwadi sihepalopita, ta tupwadi sihetologuguya, ma tupwadi sihetohanugeta, ma tupwadi sihetohe'ita. 12Ma mabwaiyada 'ida paihowa 'aigeda 'aigeda beno tohekalesiyao 'adi lema ma sihewaiwai, beno Keliso wahina 'ina sinasinabwa weyahina, 13ma 'ane mabwaiyada tahemisa mahemahetena, ta wete Yehoba Natuna tada sanapu, ma'ida mumuga matuhadi, gidemusa Keliso 'ina mumuga matuhana, ma bwebwe'ana mabwaiyana.
14Bewa 'oinega gwama mumugana 'oidega ta'ebesinedi, weyahina mwalo 'ida sanapu we'awe'ana 'oina he'ita hagadi ma hadagi si'abinihu nihuwegita, beno tupwadi to'abowao 'idi he'itao hotohotodi ma galadi 'oidiyega. 15Ma hesi 'ilobwainegita ma helauwega tagwaegwae moisa, eeta 'ida mumuga mabwaiyadi sida sinasinabwa debada Keliso 'ina mumuga gidemusa. 16Weyahina tauda Keliso wahina yahunao ma 'igihewaiwaiyegita gide wahinaina 'ana walowalowao, ma 'ana tubweyao mabwaiyadi 'idi paihowega sihelemalema ma helauwega simadomadou ta sihewaiwai.
17Bewa wete Bada saninega yaloguguya 'oimiya 'abehega mumuga tomiya ganamuli gidemusa walolagu, weyahina 'idi nuwatuhu besobeso 'oidiyega, 18'idi sinasinapu siguguyouwa, ma geya Yehoba yawasina 'oidiya 'imiyamiya, weyahina 'idi debapa'ala 'oinega siheyauyaule pwaiya. 19Coinega sigala moisa, eeta sitagwalediya mumuga sogala weyahina, ma mumuga galadi baibaiwadi nuwadi si'eweya.
20Ma 'omi Keliso mumugana wasanapu pwaiya 'abehega hagana, 21weyahina mwalo he'ita moisa Yesu weyahina wahesagoheya Kelisoina 'oinega.
22Coinega mumuga miyamiyana walogwahatedi, beno paihowaedi mwalo wapaipaihowadi tutaina nuwatuhu dahwana sigihe galegomiya, 23ma hesi 'imi nuwatuhuwao ma 'atemi si'ehau hila, 24ma 'oinega mumuga hauhauna wa'ewa Yehoba 'ina mumuga gide, weyahina tauna 'ateda mumuga bwebwe'ana ma 'ehauna 'ilaguya.
25Coinega 'abo walogwahate ma mabwaiyami wagwae moisa 'aigeda 'aigeda 'oimiya, weyahina mabwaiyada Keliso wahina yahunao. 26Ma 'eguma wagamwasowala, geya'abwa wamumuga galana, ma hesi watoho ma wanuwa daumwala mwayamwayau, 27ma geya'abwa Tomudulele 'ina tuta wa'ebwa'ebwae ma 'ihetoloina 'oimiya.
28Toyagaha 'ilobwainediya ma silolagu, ma hesi paihowa bwebwe'ana nimadiyega sida paihowadi ma paihowaina 'ana maisa 'oinega lema sida 'ebwa'ebwaya towewelohe 'oidiya.
29Sahena wete 'eta gwae galana wa'ina'inana, ma hesi gwae bwebwe'anamo tomota 'adi lema weyahina, to'aha tuta 'aigeda 'aigeda 'ana lobwaina weyahina wahegwaegwae, ma 'oinega taiyawedi taudi sihesagohegomi, 'imi gwaeyega nata lema siloba. 30Geya'abwa Yaluyaluwa Tabuna nuwana wagihegihegala, weyahina Yaluyaluwa Tabunaina gide 'ila'ilala 'oida, 'abehega 'abwa 'ada gihe'ehau taloba.
31Ma wete galaedi bewa gide walogwahatedi: he'ipi'ipi, gamwasowala, 'asona, 'ahwa galagala, ma wete gwae sinala, 32ma hesi wahelau hilegomi, 'atemuyemuyega 'iyamiyao 'idi pui wanuwasamudi 'aigeda 'aigeda 'oina, gidemusa Yehoba 'imi puiyao Keliso 'oinega 'inuwasamudiya.
| 2020-08-15T19:50:21 |
https://www.stepbible.org/?q=version=%60BDD%7Creference=Eph.4
|
[
-1
] |
Nyumba Vyumba Viwili at Tegeta in Other Location | ZoomTanzania
Nyumba Vyumba Viwili at Tegeta
989325
19. Mar, 16:36
Nyumba ipo Tegeta Mivumoni
Other District Other Location Nyumba ipo tegeta mivumoni,
Nyumba ina vyumba viwili vya kulala,
jiko, sitting room, maji 24/7
ina uzio wa umeme.
Member Since 18. Sep '12 1 Active Ads 3 Published Ads
+255715262538
| 2018-05-26T02:28:53 |
https://www.zoomtanzania.com/houses-for-rent/nyumba-inapangishwa-989325
|
[
-1
] |
Rais Donald Trump akielezea muswada wa dola trilioni 1.3
Rais Donald Trump amepitisha muswada wa matumizi ya dola za Kimarekani trilioni 1.3 Ijumaa kwa shigo upande, masaa kadhaa baada ya kutishia kuzuia hatua hiyo kwa sababu ilikuwa haiwatetei wahamiaji waliokuja Marekani wakiwa watoto wadogo na wala kutenga fedha za ujenzi wa ukuta mpakani.
Katika shughuli hiyo ya haraka iliyoandaliwa na Ikulu ya Marekani Ijumaa mchana, Trump aliwaambia kikundi cha waandishi wa habari kuwa alisaini fungu hilo kubwa la fedha “ kwa sababu za usalama wa taifa” japokuwa alikuwa “hajaridhishwa na vitu vingi sana” katika fungu hilo kubwa la fedha lililotengwa.
“Kamwe sitasaini muswada mwengine kama huu. Sitofanya jambo hili tena,” amesema. “Hakuna mtu aliyesoma muswada huu. Una saa chache tangia uletwe. Baadhi ya watu hata hawajui – dola trilioni 1.3, ni fungu kubwa la pili kuliko yote.”
Kusaini kwake kwa muswada huo kumeepusha serikali kuu kufungwa saa sita usiku Ijumaa.
Trump amewaambia kikundi cha waandishi alikuwa alikuwa “ametafakari sana kuzuia muswada huo” lakini akaamua kusaini kutokana “na manufaa yasiyokadirika” kwa jeshi la Marekani.
Hatua hiyo amesema itafanya jeshi liweze kujikimu na kutoa ongezo kubwa la malipo kwa wanajeshi wa Marekani kwa zaidi ya muongo mmoja.
Pia itaongeza matumizi ya ulinzi kwa zaidi ya dola bilioni 60 kutoka mwaka 2017. Ikiwa ni sehemu ya muswada huo, jumla ya matumizi ya ulinzi yataongezeka kufikia dola bilioni 700, ongezeko kubwa kuliko yote katika kipindi cha miaka 15.
Katika tukio hilo la kusaini muswada ambalo lilirushwa moja kwa moja na televisheni kutoka Chumba cha Diplomasia cha Ikulu ya Marekani, Rais anayetokana na chama cha Republikan aliwalaumu wa Demokrat kwa kushindwa kuwatetea vijana wa DACA walioingizwa Marekani na wazazi wao wakiwa watoto wadogo kwa kuingiza suala lao katika muswada huo.
“Wanufaika wa DACA wametendewa vibaya sana na Wademokrati. Tulitaka kuwaingiza katika muswada huu, watu 800,000 na pengine ni zaidi ya hao. Tulitaka kuwaingiza katika muswada huu. Wademokrati hawawezi kufanya hili,” Rais alisema.
Wanufaika wa DACA ni wahamiaji wasiosajiliwa walioletwa nchini Marekani wakiwa watoto. Walikuwa wamelindwa na programu ya DACA iliyokuwa imesimamisha kwa muda hatua ya kuwaondosha nchini watoto hao wanapowasili, iliokuwa imeanzishwa mwaka 2012.
Trump hata hivyo aliisitisha programu hiyo mwisho wa mwaka jana wakati akilipa bunge la Marekani miezi sita kuandaa mpango wa kudumu kwa wanufaika wa DACA.
Pamoja na juhudi yote iliyofanywa na Wademokrati, muswada huo haukutaja kabisa suala la kuwalinda watoto hao wenye ndoto ya maisha bora. Wademokrati walikuwa wametoa wito kwa viongozi wa Republikan kuleta mapendekezo mbalimbali kwenye Ukumbi wa Bunge kutafuta suluhu juu ya suala la DACA.
Wakati huohuo, majaji wa serikali kuu wametoa agizo kwa uongozi wa Trump kuendelea kuziacha baadhi ya vifungu vya programu ya DACA wakati changamoto mbalimbali za kisheria zikijadiliwa katika mifumo ya mahakama.
Trump yuko tayari kutoa ushahidi
| 2018-08-20T17:14:33 |
https://www.voaswahili.com/a/trump-aepusha-serikali-kufungwa-kwa-kupitisha-zaidi-ya-dola-trilioni-moja/4314321.html
|
[
-1
] |
F1: Vettel anguruma mbio za Brazil | Michezo | DW | 13.11.2017
Vettel alimpiku Bottas kwenye kona ya kwanza na akashikilia uongozi hadi mzunguko wa mwisho, ukiwa ni ushindi wa 47 wa taaluma yake, na wake wa tano msimu huu, na wake wa tatu nchini Brazil.
Ushindi huo uliimarisha udhibiti wa Vettel katika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ubingwa wa dunia msimu huu, baada ya Muingereza Lewis Hamilton kunyakua taji hilo wiki mbili zilizopita mjini Mexico City. Jana, Hamilton alimaliza wa nne licha ya kuwa alianza katika mstari wa nyuma. Bottas alimaliza wa pili huku Kimi Raikkonen wa Ferrari akimaliza wa tatu
Dereva wa Brazil Felipe Massa alimaliza katika nafasi ya saba, na yalikuwa mashindano yake ya mwisho nchini Brazil. Atastaafu mashindano ya F1 katika wiki mbili zijazo. Kuondoka kwake kuna maana kuwa Brazil sasa haitakuwa na dereva wa F1 kwa mara ya kwanza tangu mwaka wa 1969.
Maneno muhimu Idhaa ya Kiswahili, Ferrari, Sebastian Vettel, Formular One
Kiungo http://p.dw.com/p/2nX5e
| 2017-11-20T02:43:17 |
http://www.dw.com/sw/f1-vettel-anguruma-mbio-za-brazil/a-41357946
|
[
-1
] |
EVANS-P-K: MWANAMKE KURIDHIKA
MWANAMKE KUFIKA KILELENI HARAKA
Kama ambavyo wengi tunatambua kuwa sehemu kubwa (asilimia 99.5) ya kufurahia ngono ni Mapenzi ya kweli juu ya mpenzi wako ikisaidiwa na utundu wako wewe mwenyewe pale unapokua kitandani mwanamke na sio mwanaume japokuwa baadhi ya wanawake hutegemea wanaume wawafanyie kila kitu mpaka kuwafikisha kileleleni.
Wakati mwingine wanaume tuchoka kwa
vile kwa kawaida wanawake wanachukua muda mrefu zaidi kufikia mshindo ukilinganisha na sisi wanaume, kwamba mwanamke anafika ndani ya dakika 10-15 wakati mwanaume anafika ndani ya dakika 1-5 unless awe anajua kujizuia nahapo ndio atakwenda mpaka dakika 45 na baadhi huondoka zaidi ya hapo kutokana na kutosisimuliwa vilivyo (yaani akikupanda hamalizi mpaka uke unakauka na wewe mwanamke hamu inakuishia) hahahahaha usiombe ukutane na mwanaume wa namna hiyo coz utaona hakuna raha ya mapenzi!
JINSI YA MWANAMKE KUFIKA KILELENI KWA KUJISAIDIA WEWE MWENYEWE..
Mbinu ya kuita kilele sio ngumu kama wengi wanavyodhania coz kuna wengine hawajui hata kufika kileleni ndo nini, na ikiwa umebahatika kuwa na mwanaume mwenye uwezo wa kujizuia basi unaweza kupiga 3 ktk mzunguuko wa kwanza .
Unapokuwa ukifanya mapenzi hakikisha akili yako yote iko kwenye kufanya mapenzi, sio lazima umfikirie mpenzi wako bali unaweza kufikiria chochote kitakacho kufanya "unyegetuke" zaidi wakati "mzigo" uko ndani ya uke .
Mfano wee mwanamke unaweza kuwaza/kujisemea "natombwa sasa", unaweza kumuuliza mpenzi wako akuambie anafanya nini in rude way , au kama mwanaume wako anakujua vizuri basi anaweza akaanza kusifia Uke wako ulivyo, anavopenda kukufanya n.k (wengine nasikia huomba kutukaniwa wazazi wao.....hey it works 4 them so jaribu na wewe umwambie mpenzi wako akufanye vile utakavyoona utajisikia raha zaid)
Jinsi jamaa yako anavyokufanya wewe pia msaidie...... jisaidie na hakikisha unahangaika kupata "kipele" (mahali unaposikia raha zaidi pakiguswa), ukisha hisi dudu imekugusa pnapo utamu mwambie mwanaume wako atulie hapo hapo na wewe anza kufanya "makaratee" zunguusha kiuno chako ktk pembe zote (badilisha mirindimo) na wakati unafanya hivyo hakikisha unabana pumzi na kuiachia papo kwa hapo (hakikisha huiachii kwa muda mrefu yani in sec unabana na kuiachia).
Usikose kumalizia somo hili wiki ijayo kwenye gazeti hili uweze kutambua mbinu za kuweza kulimaliza tatizo hili kisaikolojia. Ushauri wa masuala ya kimaisha na matatizo yote yanayohuzunisha unatolewa,
Anachotakiwa kufanya ni kutumia zaidi ya dakika 20 kufanya maadalizi na mpenzi wake kabla ya kuanza tendo. Hii itasaidia kuufanya mhemko wake ushuke na kumuongezea muda wa kumaliza.
Aidha mbinu ya kuidanganya akili lazima itumike ili kuzima taarifa za juu za uzuri wa mwanamke, maumbile na raha ya starehe isipokelewe kwa nguvu kubwa mwilini. Hii ikiwa na maana kuwa kuna kipindi inabidi fikra za mwanume zisihamasike sana kwenye tendo badala yake iletwe mawazoni hali ya kawaida, si ile ya kuweweseka na kuhema hema hovyo. Yafuatayo ni maelekezo ya msingi ya kufanya, ili mtu asifike kileleni mapema:
Mume na mke wanapoingia katika uwanja wa mapenzi wakae kwanza kwa muda, huku wakiwa wamejiachia na mavazi mepesi. Pili wacheze michezo mingi kwa muda mrefu bila kuanza kazi yao. Wakiwa kwenye hamasa hizo wasiwe kimya bali wazungumze na kuulizana maswali ya kimahaba.
Baada ya hapo mbinu nyingine ya kuzuia mbegu za kiume zisitoke ni ile ya kujibana. Inashauriwa kuwa mwanaume akiona dalili za awali za kumaliza bila kujali ametumia muda gani anachotakiwa kufanya ni kukaza misuli ya miguu na kuzuia mbegu kwa mtindo atumiao kuzuia haja ndogo isitoke.
Kujibana huko kunatakiwa kuende sambamba na kuacha kucheza ‘shoo’. Pacha na hilo mwanaume anatakiwa kuidanganya akili kwa kuilazimisha iwaze jambo jingine hasa la kuhuzunisha ili kuharibu taarifa za raha zilizotumwa mwilini zisiendelee kufanyiwa kazi na hatimaye kumaliza tendo haraka.
Zoezi hili linaweza kuwa gumu katika hatua za kwanza kutokana na kukosea muda sahihi wa kujizuia, lakini mhusika akiendelea kujizoeza atajikuta anaweza na kupata uwezo wa kufanya mapenzi hata kwa saa nzima, hivyo kuondokana na tatizo hilo bila tiba wala madhara. Kwa ufafanuzi zaidi wa tatizo hili na upungufu wa nguvu za kiume nunua kitabu cha Saikolojia na Maisha. Wanawake wengi wanagombana na watu wao kwa sababu kama hizi, hawavutiwi kuwaona waume wao wakiwahi kufika kileleni, hivyo kushindwa kuwapa dozi inayotosheleza.
Posted by evans kisaye at 4:19 AM
| 2017-10-16T21:54:11 |
http://kisaye1.blogspot.com/2012/12/mwanamke-kuridhika.html
|
[
-1
] |
FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI: VIDEO- ATII JAJI MKUU WA NCHI YA ZANZIBAR OMAR OTHMAN MAKUNGU-SHEREHE SHEREHE SHEREHE!!!! YA UZINDUZI WA RIPOTI YA HAKI ZA BINADAMU JE WALE MASHEIKH WA UAMSHO WALIO KATIKA JELA YA MKOLONI MWEUSI TANGANYIKA SIO BINADAMU...???
SHEIKH (MSELEM) KAFANYIWA UDHALILISHAJI MKUBWA WA KUACHWA UCHI WA MNYAMA HUKU AMENINGINIZWA KWA PINGU. HUYU NI SHEIKH ANAYESOMA KITABU KITAKATIFU CHA MWENYEZI MUNGU,AKISIKIKA AKISOMA QURAN TUKUFU KATIKA REDIO NYINGI AFRIKA MASHARIKI, LAKINI ANAFANYIWA USHENZI KAMA HUO. Atii Jaji mkuu wa nchi ya Zanzibar, Omar Othman Makungu akionyesha vitabu vya Ripoti ya Haki za Binadamu Tanganyika kwa mwaka 2014 iliyofanyika kwenye uwanja wa Kituo cha Huduma za Sheria Mjini Migombani nchi Zanzibar jana pumbavu kabisa haki za binadamu gani jaji mzima wa nchi unafunguwa vitabu vya Mkoloni Mweusi Tanganyika ama kweli nyinyi mumewezwa.
TUNAIYOMBA MAHAKAMA KUJA KULE GEREZANI MJIONE HALI HALISI ILI HATUWA STAHIKI ZIWEZE KUCHUKULIWA, VINGENEVYO SUBIRINI KUPOKEA MAITI NA MUINGIE KATIKA HISTORIA YA ZANZIBAR ALISEMA SHEIKH FARID MAHAKANI HAPO BILA YA KUFAFANUA ZAIDI. TUNAIYOMBA MAHAKAMA KUJA KULE GEREZANI MJIONE HALI HALISI ILI HATUWA STAHIKI ZIWEZE KUCHUKULIWA, VINGENEVYO SUBIRINI KUPOKEA MAITI NA MUINGIE KATIKA HISTORIA YA ZANZIBAR ALISEMA SHEIKH FARID MAHAKANI HAPO BILA YA KUFAFANUA ZAIDI. HIKI NI KILIO CHAO CHA MUDA MREFU KUWA WANAHITAJI KUFANYIWA UCHUNGUZI WA AFYA ZAO KWA UJUMLA KUTOKANA NA MADHILA WALIYOYAPATA LAKINI HAKUNA ANAYEJALI, KWA SASA TUNAHITAJI KIBALI ((RUKSA)) YA UONGOZI WA MAGEREZA ILI TUMPATIE MATIBABU. ALISEMA UST. MBARUKU.
| 2017-02-21T18:53:41 |
http://free-zanzibar.blogspot.com/2015/05/video-atii-jaji-mkuu-wa-nchi-ya.html
|
[
-1
] |
Salewa-Calzado hombre-Casual Madrid Oferta Hasta 50% - Salewa-Calzado hombre-Casual Precios Asequibles
Salewa Alpine Road Casual Washed Denim / White Calzado hombre,salewa outlet...
Salewa Ramble Goretex Casual Truffle / Fluela Calzado hombre,salewa outlet...
Salewa Ramble Goretex Casual Earth / Indio Calzado hombre,salewa outlet,en...
Salewa Ramble Goretex Casual Chocolate / Gneiss Calzado hombre,salewa botas ws...
Salewa Alpine Road Casual Kamille / White Calzado hombre,Salewa hiking,venta
Salewa Ramble Goretex Casual Iceland / Macaw Green Calzado hombre,botas salewa...
| 2017-12-17T00:27:31 |
http://www.cde-mx.com/casual-c-5_167_169.html
|
[
-1
] |
HOSPITALI YA KAIRUKI YATOA HUDUMA ZA AFYA YA MACHO BURE | MTAA KWA MTAA BLOG
HOSPITALI YA KAIRUKI YATOA HUDUMA ZA AFYA YA MACHO BURE
Daktari Bingwa wa magonjwa ya macho Dk. Mustafa Yusufali akimpima macho, Alphonce Joseph mmoja wa wagonjwa waliofika katika Hospitali ya Kairuki Mikocheni jijini Dar es Salaam, ikiwa sehemu ya maadhimisho ya 18 ya Kumbukizi ya Hayati Prof. Hubert Kairuki, ambapo upimaji wa awali wa afya ya macho umefanyika kuanzia Februari 3-4 kwa gharama za hospitali hiyo pamoja na utoaji wa miwani ya kusomea na upasuaji mdogo bure.
Daktari Bingwa wa magonjwa ya macho Dk. Mustafa Yusufali akimpima macho, Alphonce Joseph mmoja wa wagonjwa waliofika katika Hospitali ya Kairuki Mikocheni jijini Dar es Salaam, ikiwa sehemu ya maadhimisho ya 18 ya Kumbukizi ya Hayati Prof. Hubert Kairuki.
Muuguzi wa Hospitali ya Kairuki Mikochezni jijini Dar es Salaam, Athuma Makolela akichukua maelezo ya mmoja wa wagonjwa wa macho waliofika hospitalini hapo kupata huduma zilizokuwa zikitolewa kwa gharama za hospitali hiyo.
Dk. Kenneth Munanu akimpima macho mgonjwa aliyefika katika hospitali ya Kairuki Mikocheni jijini Dar es Salaam.
Wananchi wakipata hudumza za matibabu ya Afya ya Macho katika hospitali ya Kiruki Mikocheni. Huduma hizo zimegharamiwa na hosptali hiyo.
Wagonjwa wakisubiri kupata huduma.
Mgonjwa akipima macho.
Regina Shadrack akipimwa macho.
wananchi wakisubiri kupata huduma.
| 2017-12-18T12:49:25 |
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2017/02/hospitali-ya-kairuki-yatoa-huduma-za.html
|
[
-1
] |
Muuguzi adaiwa kumtandika kibao mjamzito- Mbeya | UBUYU
Posted by Bigie at 2:03:00 PM
RIWAYA: Sorry Madam - Sehemu ya 51 & 52 (Riwaya inawafaa kuanzia miaka 18 na kuendelea )
| 2017-09-23T10:54:38 |
http://www.ubuyublog.com/2016/05/muuguzi-adaiwa-kumtandika-kibao.html
|
[
-1
] |
UVCCM MKOA KAGERA WATOA MSAADA WA KIJAMII KWA WANAFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU WA SHULE YA MSINGI KAIGARA WILAYANI MULEBA. | BUKOBA WADAU
UVCCM MKOA KAGERA WATOA MSAADA WA KIJAMII KWA WANAFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUMU WA SHULE YA MSINGI KAIGARA WILAYANI MULEBA.
Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa wa Kagera* leo Jumatatu Novemba 25,2019 Umetoa Mchango wa kijamii kwa kutoa Msaada wa Magodoro, Sabuni,taulo za kike, Kalamu na Karatasi za Mitihani kwa Shule ya Wanafunzi wenye Mahitaji Maalum ya Kaigara iliyopo Wilayani Muleba.
Viongozi wa Uvccm Mkoa wa kagera wametumia nafasi hiyo kuongea na Walimu na kuwafariji watoto hao wenye mahitaji maalumu kama anavyoonekana Mtoto Furaha pichani akiteta na Viongozi hao.
Uongozi wa Uvccm mkoa wa kagera Uliongozwa na mwenyekiti wake Ndugu Happiness Runyogote, Mjumbe wa kamati ya Utekelezaji Uvccm Taifa kutoka mkoa wa Kagera Ndugu Joanfaith Kataraia, Mjumbe wa baraza kuu Uvccm Taifa Fahami Matsawili, Katibu wa chipukizi na Hamasa Uvccm Mkoa Ndg Samidu kajumulo, Mwenyekiti wa Uvccm wilaya ya Muleba Mtwawafu, na katibu wa Uvccm wilaya ya Muleba.
Mjumbe Kamati ya Utekelezaji UVCCM Taifa, Joanfaith Kataraia katika picha ya pamoja na wanafunzi wenye mahitaji maalumu wa shule ya Msingi Kaigara iliyopo Wilayani Muleba siku ya jana Uongozi wa Uvccm Mkoa Kagera ulipotembelea shuleni hapo na kukabidhi msaada wa vitu mbalimbali.
Mwenyekiti wa Uvccm Mkoa Kagera Ndg. Happiness Runyogote akizungumza na Walimu na wanafunzi wenye mahitaji maalumu wa shule ya Msingi Kaigara kuhusiana na lengo la ziara yao shuleni hapo
"Ni jukumu la kila mmoja kuthamini mahitaji ya kielimu kwa watoto wenye ulemavu na mahitaji Maalumu";Mjumbe wa baraza kuu Uvccm Taifa Fahami Matsawili
Bango la Shule ya Msingi Kaigara iliyopo Wilayani Muleba
Kutowaacha nyuma watoto wenye ulemavu ni kutimza mahitaji.
Katika picha ya pamoja viongozi wa Uvccm na baadhi ya Walimu wa shule ya Msingi Kaigara
Mwalimu Jesse Tibaijuka Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kaigara pichani kulia, akiongozana na Viongozi hao kuelekea kwenye Mabwenu yanayotumiwa na Wanafunzi wenye uhitaji maalumu
Mwalimu Jesse Tibaijuka Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kaigara pichani katikati akiongozana na Viongozi hao kuelekea kwenye Mabwenu yanayotumiwa na Wanafunzi wenye uhitaji maalumu
Shule hii inajumla ya wanafunzi 60 wenye mahitaji maalum, Changamoto kubwa tuliyonayo ni Mabwenu kwa ajili ya wanafunzi hao amesema; Mwalimu Jesse Tibaijuka Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kaigara na kuishukuru Serikali kwa juhudi kubwa zinazoendelea kuchukuliwa katika kutambua changamoto zinazowakabili wanafunzi wenye mahitaji maalumu.
| 2020-08-13T00:42:39 |
https://www.bukoba-wadau.com/2019/11/uvccm-mkoa-kagera-watoa-msaada-wa.html
|
[
-1
] |
Utalii Wa Ndani Kwa Bei Nafuu | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Utalii Wa Ndani Kwa Bei Nafuu
Discussion in 'Habari na Hoja mchanganyiko' started by FOEL, Feb 25, 2012.
Wakuu nimeanzisha thread hii ili watu tujulishane ni kwa kiasi gani tunaweza kutembelea vivutio vyetu vya ndani vya utalii kwa bei nafuu au bei affordable, kwa mfano kama sehemu watu wanaweza ku drive badala ya kupanda ndege au badala ya watu kulala ndani ya vivutio basi walale kwenye hoteli zilizo nje ya vivutio kwa kuwa huwa zinakuwa za bei ya chini kidogo na hakuna gharama za park fee.
Hapa nataka tupeane options na ikiwezekana na gharama zake japo kwa makadilio tu, na ikiwezekana, travel agent wa kuwaona, mabasi gani ya kupanda na hotel gani za kufikia.
Hii iwe kama USHAURI WA SAFARI ZA NDANI
Hapa tuzungumzie maeneo kama;-
2. Pemba
4. Bagamoyo
6. Mikumi
8. Selous
9. Manyara
10. Ngorongoro
Unataka ushauri wa kuanzisha bishara ya utalii wa ndani au wewe mteja unaulizia package za bei nafuu?
Unataka ushauri wa kuanzisha bishara ya utalii wa ndani au wewe mteja unaulizia package za bei nafuu?Click to expand...
Nimegundua watu wengi tunashindwa kutembelea vivutio vyetu vya ndani kwa kuwa na uelewa mdogo, wa ni vipi tutavifikia vivutio hivyo na gharama zake.
Sasa hapa nimeanzisha hii thread kwa sababu hiyo, ili walio na uelewa wa gharama na jinsi ya kufikia vivutio vya utalii watujulishe na sisi wengine.
Safi sana hii, ngoja tusubiri wataalamu wa utalii wa ndani, lakini hapa ungejumuisha na cultural tourism.
Nilipata kwenda Mafia last year na ilikuwa kama ifuatavyo:-
1. Kama inavyojulikana hiki ni kisiwa na hakuna boat inayokwenda kula zaidi ya ndege, kama uko dar garama ya ndege ni dollar 140 return ticket.
2. Vyumba vya bei poa ni dollar 35 na vizuri, na hotel, lodges, beach resorts nyingi ziko south of Mafia, Utete.
3. Vitu vya kufanya kule zaidi ya kuogelea kwenye beach za Kanga zilizo north ya Mafia, unaweza kwenda fishing, kufanya diving na snorkeling.
4. Hakuna migahawa mingi kwa hiyo mara zote chakula utakula hotelini kwako, na fee ya Marine Park kwa kuwa takribani nusu ya Mafia ni Marine Park ni sh 2,000 tu kwa sisi wabongo, wageni 20 USD.
Its a beautiful place, kuko kimya and virgin.
Nitakupeni bagamoyo na Znz muda kidogo.
Bagamoyo: Kama unatokea Dar unaweza kwenda ukavinjari kwenye vivutio vya kitalii na kurudi Dar. Nauli ni shilingi 1500/= kwa kichwa. Kama utapenda kulala vyumba vizuri vinaanzia 30,0000/=. Utatembelea maeneo ya kihistoria na beaches kama vile Kaole, Caravan Serai, Ngome Kongwe, Mji Mkongwe, Makumbusho ya Kanisa Katolic n.k. Karibu sana.
Bagamoyo: Kama unatokea Dar unaweza kwenda ukavinjari kwenye vivutio vya kitalii na kurudi Dar. Nauli ni shilingi 1500/= kwa kichwa. Kama utapenda kulala vyumba vizuri vinaanzia 30,0000/=. Utatembelea maeneo ya kihistoria na beaches kama vile Kaole, Caravan Serai, Ngome Kongwe, Mji Mkongwe, Makumbusho ya Kanisa Katolic n.k. Karibu sana.Click to expand...
Mkuu asante kwa info, na je hakuna vivutio vingine vya baharini, kama diving na snorkeling na kuogelea na je gharama zake zikoje kama vitu hivi vipo huko Bagamoyo
Nilienda mikumi ilikua mwezi wa kumi mwaka jana nilikuwa na gari ndogo saloon lakini niliweza kwenda nayo mpaka ndani ya mbuga na kujionea wanyama na vivutio vingine kama sunset mida ya jioni kiingilio ni elfu 15 kama sikosei kwa gari na abilia wake, na baada ya hapo nilenda kulala mji mdogo wa mikumi ambapo pia kuna snake park. gharama ya kulala mji mdogo wa mikumi ni Tsh elfu 25 VETA hotel na kesho yake nikaludi dar. it was good
mkuu FAKE ID
nina eneo katika mpaka wa hifadhi ya taifa mikumi ipatayo eka nne, inakufaa kuwekeza campsites au Resorts kwa ajili ya idea yako hii, it is up for sale or Joint Venture
FAKE ID said:
Mkuu nakubaliana na idea yako. Pamoja kupata bei na kujua wapi pa kwenda kutalii, naamini hii ni fruksa nzuri ya kibiashara ya kupeleka watanzania kutalii. Kama uko kwenye hii fani tunaweza kutengeneza network ya wafanya bishara ya utalii na tubalishane idea mbili tatu.
Mkuu nakubaliana na idea yako. Pamoja kupata bei na kujua wapi pa kwenda kutalii, naamini hii ni fruksa nzuri ya kibiashara ya kupeleka watanzania kutalii. Kama uko kwenye hii fani tunaweza kutengeneza network ya wafanya bishara ya utalii na tubalishane idea mbili tatu.Click to expand...
Mkuu asante sana kwa mchango wako,
Hapa tunajaribu kupata ufahamu wa sehemu za vivutio vya kwenda, jinsi ya kwenda na gharama zake kwa unafuu.
Nadhani ni wakati mufaka kwa utalii wa ndani kuwa experienced na watu wengi zaidi.
Kwa hiyo kama unaufahamu tujulishe mkuu.
| 2016-12-09T15:39:12 |
http://www.jamiiforums.com/threads/utalii-wa-ndani-kwa-bei-nafuu.227439/
|
[
-1
] |
Imechapishwa: 27/11/2016 - 20:45
Donald Trump: Fidel Castro alikuwa dikteta katili
Mwanamapinduzi wa Cuba Fidel Castro afariki dunia
| 2020-08-04T00:17:26 |
https://www.rfi.fr/sw/amerika/20161127-majivu-ya-mwili-wa-fidel-castro-kuzikwa-desemba-4
|
[
-1
] |
Ndagano mp'ya kwa wanth'u wose WAKOLINSO 1
Baluwa ya kaidi kwa Wakolinso yawandikagwa ni mwigala ulosi Paulo, yagambigwa yadahika neiwandikwa mwo mwaka wa milongo mishano na mishano Kulawa aho Yesu eze elekwe 1:1. Ino ni baluwa ya kaidi mwe zibaluwa zimbili kinanazo izo Paulo aziwandikaga kwa fyo dya Wahuwila wa Kilisito wa uko Kolinso. Wamanyi wahuwila kugamba, Paulo uko kunyuma awandikaga baluwa ya kuwakanya Wakolinso. Hakina baluwa iyo enga ivo ilagiswe mwo 2:3-4. Baluwa ino ya kaidi ya Paulo kwa Wakolinso yaoneka yawandikagwa umwo andaga akekala Makedonia. 2:13
Baluwa ino ya kaidi kwa Wakolinso Paulo atambalisa kinyemi chakwe mwe mbuli zedi izo apatile kulawa kwa Tito mwe mbuli ye difyo dya wahuwila wa Kilisito dya Kolinso. Mwe baluwa ino chaona mahinizo yawandikwe vedi mwe mbuli yo kulava kuligana ne ndagano imp'ya, hadya hant'hu Paulo alagizaga kuduganya matundu no kwigalwa kwajili yo kuwambiza wahuwila wa Kilisito uko Yelusalamu 8-9. Yaoneka kugamba, wamwenga wa wegala Ulosi wa udant'hi kulawa kuse ye difyo dya wahuwila wa Kilisito, waguhaga luneka lwigalwe ni want'hu wandaga hawakuivana na Paulo kwajili yawe wenye. Wandaga wakalonga mbuli za kinyume mwe mbuli ya udahi wa Paulo, mbuli iyo niyo yamtendaga Paulo kulagisa kwa ludole, udahi wakwe enga mwigala ulosi wa Yesu Kilisito mwo kubindiliza ibaluwa ino ya kaidi kwa Wakolinso.
Paulo akonga baluwa yakwe kwa kuwalamsa want'hu wamhuwile Kilisito. 1:1-7
Akajika, Paulo alonga kuhitula mizungu ye nt'hambo yakwe na uhituzi wawe kwa yadya ayapatile mwe mbuli kulawa kwa Wakolinso. 1:8-7:16
Naho Paulo alangiliza mwe mbuli yo kuduganya matundu kwajili ya kuwambiza want'hu wakumhuwila Kilisito uko Yelusalemu.
Kwo uheelo Paulo augombela wigala ulosi wakwe na kuwagambila mwe mbuli ya yehe kuwatalamkila naho. 10:1-13:10.
1 Miye Paulo mwigala ulosi ywa Yesu Kilisito, nitangwe ni Mnungu mwenye. Nihamwenga na ndugu yangu Timoseo chawegailani baluwa mwo mkowa wa Akaya.
Chawegailani baluwa, want'hu wamhuwile Kilisito uko Kolinso, na want'hu wa Mnungu wose kila hant'hu uko kwo mkowa wa Akaya. 2 Chawalombezelani kwa Mnungu Tati yetu na Zumbe ywetu Yesu Kilisito awenk'heni uwedi no utondowazi.
Paulo amtogola Mnungu
3 Kimtogole Mnungu, Ise dya Zumbe ywetu Yesu Kilisito, Tate mta mbazi, Mnungu akukink'ha kusangaala kwose. 4 Akisangalaza suwe mwa makunt'ho yetu yose, vikukink'ha udahi wo kuwasangalaza want'hu watuhu mwe kila makunt'ho, kwo kuwagela ludole ukudya suwe wenye kiuhokele kulawa kwa Mnungu. 5 Suwe naswe niivo kikwingila mwa masulumizo ya Kilisito, iviyaiviya kombokela kwa Kilisito kusangalazwa kwetu kwanda kwingi. 6 Uneva suwe chakunt'ha, inde chakunt'ha vileke nyuwe msangalazwe naho mkombolwe. Uneva suwe kikasangalazwa, nyuwe nanywe mwasangalazwa no kwinkwa ludole lwo kufinyiliza makunt'ho naayadya suwe kikuyafinyiliza. 7 Naivo makawiilo yetu mwa nyuwe yatoga kwaviya kimanya kugamba mnanda hamwenga na suwe mwa makunt'ho yetu, nomnde hamwenga na suwe iviyaiviya mwe kusangalazwa kwetu.
8 Wandugu zetu chaunga umanye makunt'ho chapataga kudya kwo mkowa wa Asia. Makunt'ho nayanda makulu niyo chaona hakikudaha kufinyiliza, niyo chanda hakikukawiila kunda wagima, chamanyaga kugamba chabanika. 9 Nekiva mwe mioyo yetu kugamba, enga kisengelwa kubanika. Mna aya yalaila vileke kise kukehuwila suwe wenye, mna kimhuwile Mnungu akuwauyula wabanike. 10 Uyo akikombole mwo mtuso wo kubanika, naho nagendeele kukikombola, suwe kiika kukawiila kwetu mwakwe kugamba naakikombole naho. 11 Nanywe mkachambiza mwo kulombeza kwenyu. Naivo kulombeza kwenyu kwingi kwajili yetu nokuhitulwe, kwaivo want'hu wengi nawenule maizwi yawe kumtogola Mnungu.
Paulo ahitula int'hambo yakwe
12 Suwe chakeduvya kwaviya, mioyo yetu heiina kiyangayanga yalonga uwona kugamba, kikala mwe isi ino, vitendese kwa kunda hamwenga na nyuwe kwa ujalamu na moyo wedi kink'higwe ni Mnungu. Hakilongozwe na mzungu wa mnt'hu ila kwa mbazi za Mnungu. 13 Chawawandikilani yadya mkudaha kuyasoma na kuyakombaganya, nakawiila kugamba, nomkombaganye vedi, 14 hata uneva nommanye ludodo. Kimanya kugamba mwe dizuwa dya Zumbe Yesu, nomndahe kukefenyela suwe, enga naswe ivo kikukefenyela nyuwe.
15 Handa ne dikawiilo idyo, aho nk'hongo nehinda na mizungu kuwatalamkilani, vileke mhokele uwedi wa Mnungu kaidi. 16 Kwaviya mna mizungu ya kuwatalamkila umwo handa mwe utafi kuita kwo mkowa wa Makedonia, na mwo kuuya, vileke nipate wambizi kulawa kwenyu kwo utafi wangu wa Uyahudi. 17 Haluse, umwo handa mwo mzungu uwo, hinda enga mnt'hu mta mahitu hitu? Hegu mwaona nadamanya kwa fanyanyi za kimnt'hu kugamba, “Heiye” na aaho kwa aaho nagamba “Bule”! 18 Mnungu ni mhuwilwa, makawiilo yangu kwenyu hayandile, “Heiye” Aaho naho nigambe “Bule” 19 Kwaviya Yesu Kilisito mwana Mnungu, uyo andaga akabilikiza mwenyu, na kwa Siliwano, Timoseo na miye mwenye hiye ywo kugamba “Heiye” akajika naho, “Bule,” mna Yesu handile mnt'hu ywa “Heiye” na aaho aho ande mnt'hu ywa bule. Mna yehe mazuwa yose ni “Heiye” ya Mnungu. 20 Kwaviya yadya yose alagane Mnungu ni “Heiye”. Kwa ivo, chagamba “Taile” kwa kwombokela Kilisito kwa kumwink'ha ukulu Mnungu. 21 Ni Mnungu mwenye akukitenda suwe na nyuwe kukimala kitogile, mwo kulunganywa na Kilisito, naho niye akisagule, 22 yehe akigeile kiwalo chakwe kugamba suwe ki want'hu wakwe, naho niye akink'hile Muye ywakwe Akukile mwe mioyo yetu, inde kilagiso kugamba vint'hu vose akiikile ni kindedi.
23 Mna Mnungu niye muwona ywangu, yehe kaumanya umoyo wangu! Hizile naho Kolinso vileke niwageleni kinyulu. 24 Hakikugeza kuwakant'hamizani mwo mhuwi wenyu, kimanya kugamba mtoga mwo mhuwi, mna chadamanya ndima hamwenga na nyuwe kwa kinyemi chenyu.
| 2020-07-08T13:43:37 |
https://ebible.org/ngp/2CO01.htm
|
[
-1
] |
Napendekeza CCM ifutwe; sababu za kufuta CCM hizi hapa! | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Napendekeza CCM ifutwe; sababu za kufuta CCM hizi hapa!
Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Ghuhia shabani, Apr 24, 2011.
Ghuhia shabani
Kuna sababu Kadhaa za kupendekeza CCM Ifutwe kama ifuatavyo:
1. CCM imekubali kuwa imekumbatia mafisadi. CCM imewataja Lowasa, Rostam na Chenge kama vinara. Hawa ni wachache tu kutoka kwenye orodha ya Dr. Slaa. Je nani aliyebaki msafi ndani ya CCM?
2. CCM imeshindwa kusimamia falsafa yake ya Wakulima na Wafanyakazi.
Leo CCM imekumbatia wafanyabiashara. Je kama CCM kimeshindwa kusimamia
itikadi yake, CCM itaweza kusimamia nini?
3. Ukosefu wa maadili kwa viongozi wa CCM na serikali umetufikisha pabaya. Siri za CCM na Serikali
zinavuja kwa kiwago cha kutisha.
Viongozi wameunda mitandao na kambi za kiuhasama. Wanasemana majukwaani, wanachafuana na kuaibishana.
Baraza la mawaziri halipo. Kila waziri anasema lake.
Kwanini CCM isifutwe?
4. CCM imeshindwa kusimamia mali za umma. Mfano, Viwanda na mashirika ya umma yameuliwa. Madini, mbuga za wanyama, Misitu, nyumba za serikali N.k vimeuzwa. Kwanini CCM isifutwe?
5. Kiwango cha umaskini kimeongezeka. Maisha bora tuliyoahidiwa yamekuwa ndoto. Ahadi nyingine ndo kabisa hazitimiziki. Kwanini CCM isifutwe? Kwa sababu hizi, kwanini CCM isifutwe?
Mi nadhani kisifutwe maana kitakufa natural death mwaka 2015!
2. CCM imeshindwa kusimamia falsafa yake ya Wakulima na Wafanyakazi.Leo CCM imekumbatia wafanyabiashara.Je kama CCM kimeshindwa kusimamia itikadi yake, kitaweza kusimamia nini?
3. Ukosefu wa maadili kwa viongozi wa CCM na serikali umetufikisha pabaya. Siri za CCM na Serikali zinavuja kwa kiwago cha kutisha. viongozi wameunda mitandao na kambi za kiuhasama. Wanasemana majukwaani, wanachafuana na kuaibishana. Baraza la mawaziri halipo. Kila waziri anasema lake.Kwanini CCM isifutwe?
4. CCM imeshindwa kusimamia mali za umma. Mfano, Viwanda na mashirika ya umma wameuliwa. Madini, mbuga za wanyama
Misitu,nyumba za serikali N.k vimeuzwa. Kwanini CCM isifutwe?
5. Kiwango cha umaskini kimeongezeka. Maisha bora tuliyoahidiwa yamekuwa ndoto. Ahadi nyingine ndo kabisa hazitimiziki.Kwanini CCM isifutwe? Kwa sababu hizi, kwanini CCM isifutwe?
Ifutwe wapi? Kwenye daftari la majili wa vyama vya siasa au kwenye mioyo ya watanzania?
NDUGU WANA JF HAWA CCM WAMEKUWA WATAFUNAJI WA MALI ZA UMA KILA MAHALI ANGALIA KWENYE SECTOR YA BARABARA PESA ZINAZOTOLEWA HAZILINGANI NA UBORA WA BABARA YENYEWE WATANZANIA TUNAWALAUMU WACHINA WACHINA WANAFANYA VIZURI MONO TATIZO NI WASIMAMIZI WAWAOMBA SANA RUSHWA HIVYO HATA KIWANGO CHA BARABARA KINA SHUKA , HEBU ONA NIMEKUA KARIBU SANA NA HAYA MAKAMPUNI YA KICHINA YA UJENZI KWANZA KABLA KAMPUNI HAIJAPATA MRADI INATAKIWA IWAPATIE VIGOGO PALE TONROADS 2.5 -5% YA VALUE OF PROJECT, HIZO MREMA YULE ALIYETOKA AMEZILA SANA NA ALIKUA NA KAMPUNI ZAKE KAMA VILE CHICO, SINOHYDRO KAZIPA KAZI NYINGI KWA SABABU HIYO, SASA KWA HALI HIYO TUTAKUA NA BARABARA NZURI? CCM ITOKE VINGINEVYO MATESO YATAONGEZEKA ZAIDI YA HAPA KWA WALALAHOI 1. CCM imekubali kuwa imekumbatia mafisadi. CCM imewataja Lowasa, Rostam na Chenge kama vinara. Hawa ni wachache tu kutoka kwenye orodha ya Dr. Slaa. Je nani aliyebaki msafi ndani ya CCM?
zinavuja kwa kiwago cha kutisha. Viongozi wameunda mitandao na kambi za kiuhasama. Wanasemana
Majukwaani, wanachafuana na kuaibishana. Baraza la mawaziri halipo. Kila waziri anasema lake.
5. Kiwango cha umaskini kimeongezeka. Maisha bora tuliyoahidiwa yamekuwa ndoto. Ahadi nyingine ndo kabisa hazitimiziki. Kwanini CCM isifutwe? Kwa sababu hizi, kwanini CCM isifutwe?[/QUOTE]
Maoni yangu hii pia ni sababu ya kukifuta:-
Mfumo wa vyama vingi ulipoanzishwa kulitakiwa vyama vyote wilivyokuwepa vifutwe ili kuanza kwa pamoja. Na hii inaimarika kwa ukweli kwamba kuna kundi walitaka kuanzisha chama cha TANU na wakazuiwa kwa maelezo kuwa chama hicho kilikuwepo kabla ya kuanzisha mfumo wa vyama vingi. THEN WHY NOT CCM?
In long due sisiem imekuwa ni chama cha kuratabu mianya ya kuhujumu uchumi bila woga na huruma kwa wananchi na kupendelea wachache
vyama vyote vifutwe twende freestyle kila mtu na professional yake. Hakika tutapata maendeleo
The question is, nani wa kukifuta??.. Msajili wa vyama..( Ambaye ameteuliwa na raisi (Ambaye ni mwekiti wa chama kinachotakiwa kufutwa))?..
The question is, nani wa kukifuta??.. Msajili wa vyama..( Ambaye ameteuliwa na raisi (Ambaye ni mwekiti wa chama kinachotakiwa kufutwa))?..Click to expand...
nikifikilia system na shield waliojiwekea hawa jamaa ingekuwa kukata tamaa ni kosa kubwa ktk mapambano ningesha ridhika na hali. Ila tutapambana mpaka pumzi ikate. Hawa ccm ni zaidi ya mafia, Sumaye juzijuzi kasema yale Dr Slaa aliyokuwa analalamikia kuwa Dola inaingilia demokrasia lakini wote wamejifanya hawajamsikia kwakua aliye sema ni mmoja wao na anajua mchezo mzima unavyochezwa. Eti vijana wa ccm pwani bila simile wala aibu wanasema ni wakati wao kula wazee wamevimbiwa wakae kimya. Hivi hii nchi inamilikiwa na ccm si ya watanzania tena au wanamaanisha nini wanaposema zamu yao kula?
CCM ilibidi ifutwe wakati wa kuanzisha vyama vingi 1991, bado sijaelewa kwanini kilibaki kuwepo.
Ianze chadema kufutwa ambayo imesababisha mauaji ya raia wawili na mkenya mmoja! Chadema ifutwe!
Unaweza kutuelezea ni jinsi CDM ilivyosababisha mauaji ya Arusha?
Mimi nasema CCM ifutwe kwenye daftari na kwenye mioyo ya wa TZ.
Ianze chadema kufutwa ambayo imesababisha mauaji ya raia wawili na mkenya mmoja! Chadema ifutwe!Click to expand...
kweli wewe mlengo wa kati na kama ungejua maana ya ilo jina lako ulilojipachika
Hakuna kinacho futwa hapa, CCM itapita kiulaini 2015 na mtabaki mnalialia tu. CHADEMA hawana nguvu zaidi ya kelele za humu JF. Tanzania ilioamka ni ipi hiyo wakati mpaka leo usukumani wanajua rais ni nyerere na chama kinachotawala ni TANU. Hivi nyinyi hamuoni kama CCM inawafanya macartoon na itaendelea kufanya hivyo miaka nenda rudi, CHADEMA wamepiga kelele kuhusu ufisadi na CCM wamekubali kuwa wanao na wanawasafisha. Sasa hao CHADEMA hawana jipya tena.
Kuna vigezo vinavyopelekea chama kufutwa na msajili. Mambo yaliyoelezwa kwenye mada hii hayahusiki hata kidogo.
| 2016-12-10T15:00:23 |
http://www.jamiiforums.com/threads/napendekeza-ccm-ifutwe-sababu-za-kufuta-ccm-hizi-hapa.129575/
|
[
-1
] |
RAIS JAKAYA KIKWETE ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA, WASHINGTON, DC. | Politiksi Kurunzini
Home HABARI KIMATAIFA POLITIKSI RAIS JAKAYA KIKWETE ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA, WASHINGTON, DC.
RAIS JAKAYA KIKWETE ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA, WASHINGTON, DC.
SeriaJr Thursday, September 19, 2013 HABARI , KIMATAIFA , POLITIKSI Edit
Rais Dkt. Jakaya Kikwete akisaini kitabu cha wageni huku Mhe. Waziri Bernard Membe na Mhe. Balozi Liberata Mulamula wakishuhudia.
Rais Dkt Jakaya Kikwete akitembea kwa miguu kutoka hotelini kwake kuja kwenye Ubalozi wa Tanzania Marekani siku ya Jumatano Sept 18, 2013 na kukutana na Mabaozi wa Heshima ambao jana Jumatano wasaini mikataba ya kuwa rasmi Mabalozi wa heshima wataofanyakazi wakiiitangaza Tanzania nchini Marekani kwa ajili ya uwekezaji, Utalii na mambo mengine yatakayosaidia kuinua uchumi wa Tanzania.
Rais Dkat Jakaya Kikwete akisalimiana na Maafisa Ubalozi wakiwemo wafanyakazi mara tu alipoingia Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani uliopo barabra ya 22, Washington, DC
Rais Dkt Jakaya Kikwete akitia saidi kitabu cha wageni Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani.
Raus Dkt. Jakaya Kikwete akisalimiana na Mama William alipokua akiingia chumba cha mikutano cha Nyerere
Rais Dkt Jakaya Kikwete akisalimiana na mmoja wa Mabalozi wa Heshima
Rais Dkt Jakaya Kikwete akisalimiana na Balozi wa Heshima Hon. Kjell Bergh kutoka Minnesota
Rais Dkt Jakaya Kikwete akisalimiana na Balozi wa Heshima Hon Ahmed Issa kutoka California
Rais Dkt Jakaya Kikwete akisalimiana na Balozi wa Heshima Hon. Robert Samuel Shumake kutoka Michigan.
Rais Dkt Jakaya Kikwete akiongea machache kuwashukuru Mabalozi wa Heshima kwa kukubali kwao kuitangaza Tanzania nchini Marekani na kusema sio kazi rahisi lakini ana Imani nao na aliwatakia kila la kheri ya kuwa na nia thabiti ya kuitangaza Tanzania nchini Marekani.
Rais Dkt Jakaya Kikwete akipokea zawadi ya saa kutoka kwa Balozi wa Heshima Hon. Robert Samuel Shumake kutoka Michigan.
PICHA ZOTE NA: VIJIMAMBO BLOG
| 2017-10-20T06:57:26 |
https://arusha255.blogspot.com/2013/09/rais-jakaya-kikwete-atembelea-ubalozi.html
|
[
-1
] |
Ubomoaji makazi ya watu Dar, Waziri Wassira - Sijiuzulu | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Ubomoaji makazi ya watu Dar, Waziri Wassira - Sijiuzulu
Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Ngurudoto, Mar 24, 2008.
Mbunge wa Tarime-CHADEMA, Chacha Wangwe amekuwa ni mtu ambaye ana sifa ya kukurupuka na kuropokaropoka, ukiondoa thread ya kubwabwaja bbc kuhusu majeshi ya Tanzania kwenda Comoro, sasa anamtaka Waziri mpya wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Bwana Steven Wassira aka Tyson kujiuzulu wiki moja baada ya Kukabidhiwa rasmi ofisi ya mpya..
wiki moja iliyopita, iliripotiwa na Gazeti la Mwananchi kuwa Waziri Mkuu mpya, mhe Mizengo Kayanza Peter Pinda alimkabidhi rasmi Mhe Wassira ofisi ya TAMISEMI, Wizara ya Pinda kabla ya mabadiliko, mjini Dodoma, na baadae Gazeti la This day <http://www.thisday.co.tz/News/3693.html> kuripoti kuwa Wizara ya TAMISEMI imemwajibisha Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala Bwana John Lubuva aliyehusika moja kwa moja na Sakata la kuvunjwa nyumba za Tabata jijini Dar Es Salaam..
Mheshimiwa mbunge wa Tarime Wangwe, sasa anatoa wito wa huyu Waziri nae ajiuzulu kwa kumfukuza aliyehusika na uvunjaji au kwa kuwa ni mtindo kuwa kusema watu wote wajiuzulu tu pasipo utathimini wa kazi yao?
Jamani JF, naelewa upinzani wa Tanzania ni mchanga, lakini, wito/ushabiki wa kila kona na watu kuomba au kutakwa kila kiongozi ajiuzulu wa aina ya kina Chacha Wangwe hauwezi saidia Upinzani wa Tanzania wala ushindi wa uchaguzi kwa wananchi...
Inakuwa nayo kukurupuka, wananchi watachoka sasa..Nadhani sikosei kuwa Tyson ni kati wa mawaziri wachache credible (hawajahusishwa 1 kwa 1 na ufisadi uliokithiri) katika Serikali ya JK.
Na hivi, JF, huyu Chacha Wangwe ana elimu ya aina gani jamani? si mara ya kwanza kusikia kukurupuka na kutoa hoja nzito zenye pumba..
Mimi nafikiri "Tyson" hapa yuko sahihi kwani zimeshachukuliwa hatua za mapema na sahihi.
CV YA MH. WANGWE IWEKWE JAMVINI JF....!ITAKUWA NI JAMBO LA BUSARA KUPIMA HOJA YA MTU KUPITIA ELIMU (hii inajumuisha yote yaliyomo kwenye cv) ALIYONAYO NA SI UWEZO(wa kiuchumi) ALIONAO MTU.......!
Posted Date::3/24/2008 Ubomoaji makazi ya watu Dar,Waziri Wassira asema hawezi kujiuzulu Na Muhibu Said
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Stephen Wassira, amesema hawezi kujiuzulu wadhifa huo kutokana na kuvunjwa kiholela kwa nyumba 99 za wakazi wa Tabata Dampo, jijini Dar es Salaam, kwa vile hana sababu ya kufanya hivyo.
Kauli hiyo imetolewa na Wassira siku moja baada ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Chacha Wangwe, kumtaka ajiuzulu wadhifa huo kutokana na kuvunjwa kwa nyumba hizo kulikosababisha wakazi hao waendelee kuishi katika mahema kwa takriban mwezi sasa.
Wassira alisema anawashangaa Chadema kumshinikiza ajiuzulu wakati tayari kuna tume iliyoundwa kuchunguza na pia baadhi ya viongozi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala walishachukuliwa hatua za awali kutokana na kadhia hiyo.
Viongozi hao wa Halmashauri ya Manispaa ya Ilala, ni pamoja na Mkurugenzi, John Lubuva na Mhandisi, Iddi Kisisa, ambao wote walisimamishwa kazi kwa nyakati tofauti hivi karibuni.
Wassira alisema yeye kama waziri anayeshughulikia Serikali za Mitaa, ametimiza wajibu wake kama msimamizi wa serikali hizo kwa kuunda tume kuchunguza sakata hilo na anasubiri ripoti ya tume hiyo.
Alisema Serikali za Mitaa zina mfumo wake wa uongozi na uwajibikaji na kwamba kuna Halmashauri za Wilaya 133 na Manispaa 10 hivyo kama waziri atawajibika kwa kila kosa linalofanywa na halmashauri au manispaa, basi kutakuwa na rundo la mawaziri watakaojiuzulu kwa mtindo huo. "Waambie Chadema, ahsante sana nimewasikia. Lakini walie tu, hakuna mtu kujiuzulu. Kwanini nijiuzulu? Hakuna sababu ya mimi kujiuzulu. Kwani mimi nimebomoa nyumba ya nani?," alihoji Wassira alipozungumza na Mwananchi kwa njia ya simu kutoka wilayani Bunda, mkoani Mara, jana.
Aliibeza hoja ya Wangwe ya kumtaka ajiuzulu wadhifa huo kwa kumuiga Mbunge wa Monduli (CCM), Edward Lowassa aliyejiuzulu Uwaziri Mkuu kutokana na watendaji wake wa ngazi ya chini kuhusika katika kashfa ya Kampuni ya Kuzalisha Umeme wa Dharura ya Richmond.
Wassira alisema hawezi kuiga kujiuzulu kwa Lowassa na kuhoji kosa lililofanywa na Mbunge huyo wa Monduli.
"Lowassa alifanya nini?," alihoji Wassira alipokumbushwa na mwandishi kuhusu hoja ya Wangwe ya kumtaka ajiuzulu kama Lowassa alivyojiuzulu Uwaziri Mkuu, Februari 7, mwaka huu kutokana na makosa yaliyofanywa na watendaji wake wa ngazi ya chini. Wassira alisema anashangaa watu wanaombana yeye ajiuzulu wadhifa huo, huku wakiacha kutoa shinikizo hilo kwa viongozi wa mkoa na wilaya wa Dar es Salaam.
"Kwani mkuu wa mkoa hayupo, mkuu wa wilaya hayupo? Why me? (Kwanini mimi?)," alihoji Wassira na kuongeza: "Mimi naendelea vizuri, niko Bunda".
Baada ya mazungumzo hayo, mwandishi aliagana na Wassira, lakini dakika chache baadaye, Wassira alimpigia mwandishi simu na kusema: "Mwambie Wangwe naye ajiuzulu kwa kuhama jimbo lake, haonekani muda mrefu, amewatapeli wananchi, kwani hawamwoni jimboni".
Wangwe ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Tarime, mkoani Mara, alipoulizwa na mwandishi jana kuhusiana na madai hayo ya Wassira, alikanusha kuhama jimbo lake.
Alisema kinachomfanya awepo Dar es Salaam muda mrefu, ni majukumu yake ya chama ambayo alisema anatakiwa ayatekeleze kama Makamu Mwenyekiti wa Chadema.
Wangwe alisema sababu nyingine, inatokana na vyombo vya dola kumpiga marufuku kufanya mikutano jimboni mwake tangu Januari 10, mwaka huu ambapo kila alipojaribu kufanya mikutano ilisambaratishwa na askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) kwa mabomu ya machozi.
"Kila nikitaka kufanya mkutano jimboni mwangu, polisi wananiandikia barua kunizuia nisifanye wakisema kwamba, mpaka matatizo ya Kenya yaishe. Hata ukitaka nakala ya hizo barua naweza nikakuonyesha, kwani zote ninazo," alisema Wangwe.
Alisema wakati yeye akizuiwa kufanya mikutano jimboni mwake, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimekuwa kikiruhusiwa kufanya mikutano kama kawaida na kwamba, kuna wajumbe zaidi ya 88 wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) wamekwenda jimboni humo kuendesha kampeni kuanzia leo hadi Machi 29, mwaka huu, kwa nia ya kumdhoofisha kisiasa ili wachukue jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010.
Wangwe alidai CCM wameamua kumhujumu kisiasa jimboni mwake kutokana na kukerwa na utekelezaji wa azimio la madiwani wa Chadema wilayani Tarime la kutumia Sh250 milioni za kodi inayokusanywa kutoka Kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick, kusomesha bure watoto katika shule za sekondari wilayani humo. Alidai jambo lingine, linalowaudhi CCM na serikali yake, ni kuchaguliwa kwake kushika wadhifa wa juu katika Chadema ambapo alidai baada ya kuchaguliwa, wananchi wa Tarime waliandaa mapokezi makubwa, lakini hayakufanikiwa kutokana na kusambaratishwa na FFU.
"Kwa hiyo, hii ni vita ya kisiasa wanayofanya. Hata hivyo, nasubiri CCM wamalize, niende jimboni," alisema Wangwe.
Alisisitiza kumtaka Wassira ajiuzulu wadhifa huo akisema kwamba: "Kama kuna collective responsibility (Uwajibikaji wa Pamoja), basi tunamtaka Wassira ajiuzulu kama alivyofanya Lowassa aliyejiuzulu kutokana na makosa yaliyofanywa na watendaji wa chini yake".
Pamoja na msisitizo huo, Wangwe alisema kuanzia leo wataungana na wananchi wa Tabata Dampo kwenda kuishi nao katika eneo hilo kwa hali yoyote itakayokuwa hadi hapo watakapopata haki zao.
"Kama ni kulala katika mikeka au majamvi, basi tutalala kuanzia kesho (leo), ili tupate tabu wanayoipata wananchi wale, hadi hapo watakapopata haki zao," alisema Wangwe.
Jana gazeti hili lilimkariri Wangwe akimtaka Wassira kujiuzulu wadhifa huo kutokana na kadhia hiyo, pia alilitaka Baraza la Madiwani la Manispaa hiyo, kujiuzulu kwa kuwa ndilo linalotoa maamuzi ya kisiasa katika mambo mbalimbali, ikiwamo uvunjwaji wa nyumba hizo.
Wangwe alisema kuwasimamisha kazi Mkurugenzi na Mhandisi wa Manispaa, ni kuwaonea. Vilevile, alisema Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) linapaswa kujiuzulu kwa madai ya kuwaruhusu wakazi hao kugeuza eneo la Dampo kuwa sehemu ya makazi ya watu kwa vile kwa mujibu wa sheria, eneo kama hilo haliruhusiwi mtu kuishi hadi baada ya miaka 30 baada ya kukaguliwa na NEMC. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Kandoro alikaririwa hivi karibuni akisema kuwa, uvunjwaji wa nyumba hizo ulikiuka haki za binadamu, utawala bora, taratibu na sheria za nchi. Kutokana na hali hiyo, alishauri kufukuzwa kazi kwa viongozi wote wa manispaa hiyo watakaobainika kuhusika ama kuamuru au kubariki uvunjwaji wa nyumba hizo.
Alisema kadhia hiyo ilitokana na ama uzembe au kutowajibika kwao katika maamuzi yao, hivyo kusababisha uvunjaji wa haki za wakazi wa eneo hilo ambao nyumba zao zilivunjwa Februari 29, mwaka huu.
Alibainisha kuwa kitendo cha uongozi wa manispaa hiyo, kuwavunjia nyumba wakazi hao, siyo cha kiungwana kwa kuwa kimekiuka misingi ya haki za binadamu, utawala bora, taratibu na sheria.
Elimu si kigezo kizuri cha kupima uwezo wa mtu kutoa hoja au kuwa mtendaji mzuri. Na mifano ya kuthibitisha hili ipo mingi tu ndani na nje ya Tanzania. Tumemuona Ndulu pale BoT ambaye tuliambiwa ni kichwa kwa kuwa ana PhD lakini hajatoa hoja yoyote ya kuwaridhisha Watanzania kuhusiana na kupambana na ufisadi ndani BoT. Hata watendaji wa juu wa BoT waliosimamishwa kazi hajatwambia ni wangapi, walikuwa na nyadhifa zipi na majina yao ni yapi. Na huyu ni msomi ambaye maamuzi yake kisomi.
Posted Date::3/24/2008 "Mwambie Wangwe naye ajiuzulu kwa kuhama jimbo lake, haonekani muda mrefu, amewatapeli wananchi, kwani hawamwoni jimboni".
Hiyo statement ni TKO from Tyson...Chacha Wangwe inabidi awe Mdogo Tu, Kayatafuta mwenyewe na mtu mzima!!
Hizi ndio zile siasa za kuvizia matukio, kama hakuna tukio basi mtu hana la kusema au la kufanya, hana mpango wa kazi. Kama mechi mnacheza na timu nyingine halafu mnasubiri wenzenu wakosee ndio mpate nafasi, hali inakuwa ngumu sana wasipokosea, au refa asipoona! Kwa nini usiwe na mpango wako ambao hautegemei tu makosa ya mwenzio katika kutekeleza sera yake, bali upungufu wa sera yenyewe au ubora wa sera yako? Inanikumbusha kipidi nilipokuwa naandika thesis yangu ya M.A, nilikuwa na supervisor ambaye alikuwa hasomi hoja zangu kwenye proposal, yeye anaangalia usahihi wa lugha tu! Anasahihisha lugha (tena ni spelling, punctuation ambazo nyingi ni typo nk) lakini ananiachia hoja zilezile kama zilivyo, hatoi ushauri wowote! Nikawa najiuliza hivi nisipokosea lugha, huyu atasahihisha nini? Bahati mbaya akapata matatizo nikapewa mwingine, ambaye alinionesha njia vizuri kwa kutumia hoja zilizokuwako, hata nikaweza kupata nafasi ya kusonga mbele hadi hapa. Nawashauri kina Wangwe wasiishie tu katika level ya "proof reading", (ndio uviziaji huu!), waje na sera. Tatizo la kisera linahitaji suluhisho la kisera. Na aangalie vipaumbele pia. Katika kipindi hiki hao walioathirika na bomoabomoa wanachohitaji ni kupata haki yao kwa sasa, hayo malumbano yanaweza kusubiri. - 0 people likes
HII NINA MAANA KUWA KWENYE CV YA MTU KTK ZILE POSITIONS ALIZOWAHI KUSHIKA KUNA KUFANIKIWA AU KUTOKUFANIKIWA KUTOKANA NA MAAMUZI ALIYOWAHI KUYAFANYA.....Chukua mfano ktkaCV ya mtu "MWALIMU" amewahi kuwa discpline master katika shule 7 kati ya 10 alizowahi kufundisha.......!Shule tatu zilizobaki moja akiwa head of school na 2 akiwa mwalimu wa kawaida.....!
1.mwalimu wa kawaida
2-8 discpline master
9.head of school
10.mwalimu wa kawaida
TUKIANGALIA TREND HII... TUNAONA HUYU MWL. ALIANZA KUWA WA KAWAIDA BAADAYE AKAPANDA KUWA WA NIDHAMU, ALIPOFANYA VIZURI ZAIDI AKAWA MKUU.........ILA AKARUDI KUWA WA KAWAIDA(demotion).....NI NINI KILICHO M-DEMOTE?....KUPITIA CV TUNAWEZA READ BTN THE LINES.....! NIMEELEWEKA HAPO(sio elimu ni CV)/COLOR]
TUKIANGALIA TREND HII... TUNAONA HUYU MWL. ALIANZA KUWA WA KAWAIDA BAADAYE AKAPANDA KUWA WA NIDHAMU, ALIPOFANYA VIZURI ZAIDI AKAWA MKUU.........ILA AKARUDI KUWA WA KAWAIDA(demotion).....NI NINI KILICHO M-DEMOTE?....KUPITIA CV TUNAWEZA READ BTN THE LINES.....! NIMEELEWEKA HAPO(sio elimu ni CV)/COLOR]Click to expand...
Wasomi na experience zao (kina Balali na Mgonja) ndio wamekomba kila kitu kinachotegemewa kwa hiyo sijui hili la elimu lina msaada gani kwenye utendaji wa kawaida wa mtu.
Hata hivyo sidhani kama kuna kosa kwa Wangwe kuitisha Tyson ajiuzulu ili kuweka watu accountable kwa mambo wanayofanya huko bongo!
Hivi kweli miaka 47 baada ya kupata uhuru tunatetea raia wa nchi yetu kuishi dampo?
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya filauni.Chacha Wangwe hivi ni kweli umeyatamka maneno hayo yasiyokua na base?Hivi Wassira ajiuzulu kwa kosa gani.Au huo ndio utawala bora wa Chadema,mbona unakipaka matope chama chako au umelogwa ndio ukakurupuka kutamka huo upuuzi?Jamani hii ni kali kuliko,Hivi Mh.Zitto akiyakologa then Mbowe ajiuzulu ndio maana yake.Na kama ndio hivyo kwa kashifa ya umalaya wa Zitto Mbowe ajiuzulu.
Hili mimi haliniingii akilini hata kidogo.Where is the connection for Wassira to resigne jamani huu ukurupukaji utatufikisha pabaya na nivuzuri kama tunakua hatuna nyimbo tukakaa kimya.
| 2017-04-24T04:15:43 |
https://www.jamiiforums.com/threads/ubomoaji-makazi-ya-watu-dar-waziri-wassira-sijiuzulu.11227/
|
[
-1
] |
Mimba za utotoni huathiri afya, elimu na haki za watoto wa kike: UM | Idhaa ya Redio ya UM Umoja wa Mataifa
30/10/2013 Mimba za utotoni huathiri afya, elimu na haki za watoto wa kike: UM
Kila mwaka, watoto milioni 7.3 wa kike chini ya umri wa miaka 18 hushika na kujifungua mimba, imesema ripoti mpya kuhusu hali ya idadi ya watu mwaka 2013, ambayo imetolewa na Shirika la Mfuko wa Idadi ya Watu katika Umoja wa Mataifa, UNFPA. Taarifa kamili na Assumpta Massoi:
Ripoti hiyo imesema, milioni mbili kati ya watoto hao milioni 7.3, wana umri usozidi miaka 14, na kwamba watoto hao hukumbana na matatizo ya muda mrefu ya kiafya na kijamii kutokana na mimba hizo, yakiwemo vifo vinavyohusiana na uzazi.
Ripoti hiyo pia inatoa wito wa kubuni mbinu za kina za kukabiliana na changamoto za mimba za utotoni.
Inahimiza uwekezaji zaidi katika elimu ili kuhakikisha watoto wa kike wanaendelea kuwa shuleni, kutokomeza ndoa za utotoni, kubadilisha mitazamo kuhusu majukumu ya kijinsia na usawa wa kijinsia. Pia inapendekeza kuongeza ufikishaji wa huduma za afya ya uzazi kwa watoto walobalehe, zikiwemo kuzuia mimba na kuboresha usaidizi kwa wazazi wa utotoni.
Alanna Armitage ni Mkurugenzi wa afisi ya UNFPA mjini Geneva:
"Mimba za utotoni huathiri afya, elimu na haki za mtoto wa kike. Mtoto wa kike asiye na elimu atakuwa na ugumu kupata ajira na kujijengea maisha bora na familia yake. Msichana anayeshika mimba akiwa na umri wa miaka 14 au chini yake, haki zake zitakuwa zimekiukwa. Kuna wasichana milioni 580 duniani sasa. Ripoti ya mwaka huu inaonyesha kuwa kwa kuwekeza kwa watoto wa kike, kuwapa nguvu, na kulinda haki zao leo, tunaweza kuwasaidia kufikia ndoto zao."
Ripoti hiyo inatoa mtazamo mpya kuhusu mimba za utotoni, ikiangazia siyo tu tabia za watoto hao kama sababu za mimba hizo, bali pia vitendo vya familia zao, jamii na serikali.
Inasikitisha DPRK kurusha kombora kinyume na azimio la baraza la Usalama:Ban
Ban anakshi ujumbe kwenye daraja la Tomorrowland huko Ubelgiji
| 2016-02-08T00:07:33 |
http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/10/mimba-za-utotoni-huathiri-afya-elimu-na-haki-za-watoto-wa-kike-um/
|
[
-1
] |
Mweli atembelea shule ya Mfano ya Mtemi Mazengo, Jijini Dodoma | Full Shangwe Blog
Home Mchanganyiko Mweli atembelea shule ya Mfano ya Mtemi Mazengo, Jijini Dodoma
Mweli atembelea shule ya Mfano ya Mtemi Mazengo, Jijini Dodoma
Katika kukabiliana na ongezeko la wanafunzi wa shule za msingi ambayo ni mafanikio ya Elimu bure Serikali imeongeza uboreshaji wa miundombinu kwa kujenga shule za 243 kuanzia mwaka 2016.
Miongoni mwa shule hizo zipo shule Nnne za mfano ambazo zimejengwa katika Mikoa ya Dodoma, Geita, Kigoma na Mtwara.
Shule hizo za mfano zimejengwa maeneo yenye idadi kubwa ya watoto wanaoanza elimu ya awali sambamba na msingi na zina vyumba vya madarasa vipatavyo 17, jengo la utawala, ukumbi wa mikutano, bwalo la chakula, jengo la kujisomea(library) pamoja na viwanja vya michezo.
Kwa upande wa shule mpya ya mfano inayojengwa katika Mkoa wa Dodoma, Mweli amesema imejengwa ili kuondoa msongamano katika shule zilizodiwa na wanafunzi.
Amesema shule hiyo itakayojulikana kwa jina la Mtemi Mazengo itakuwa na uwezo wa kuchukuwa wanafunzi 705, ikiwa wanafunzi 75 watakuwa wa elimu ya awali ambao watakuwa kwenye mikondo mitatu na wanafunzi 630 watakuwa ni wanafunzi wa darasa la Kwanza hadi la saba.
“ Hii ni moja ya shule ambazo zinajengwa kukabiliana na msongamano wa wanafunzi ambao umetokana na uamuzi wa Serikali wa kutoa elimu bila malipo.”
Naye Mkuu wa Idara ya Elimu Msingi katika jiji la Dodoma, Joseph Mabeyo alisema ili kuwapata wanafunzi watakao soma katika shule hiyo, umetumika utaratibu wa kukagua kadi za maendeleo na matokeo ya mitihani ya ndani ya shule(mihula) ya wanafunzi husika na kujiridhisha na uwezo wa kielimu wa wanafunzi husika.
Alitaja shule ambazo wanafunzi wake wametoka na idadi ya wanafunzi kwenye mabano kuwa ni Shule ya msingi Ipagala (185), Ipagala B (355), Chadulu (70), Medeli (25, Mlimwa ‘C’ (70).
Kwa upande wa walimu, Mabeyo alisema jumla ya walimu 20 watahitajika kufundisha katika shule hii na kwamba walimu hao watahamishwa kutoka shule mbalimbali za jiji kwa kuzingatia uwezo, nidhamu na uwajibikajiili kuleta ubora wa elimu.
Katika mwaka wa fedha 2018/2019, halmashauri ya Jiji la Dodoma lilipokea kiasi cha Sh milioni 706.4 kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya ya mfano ya Mtemi Mazengo katika Kata ya Ipagala na ambayo imekamilika na itafunguliwa hivi karibuni.
Previous articleMHE.BASHUNGWA MGENI RASMI MASHINDANO YA NNE (4) YA KAIZEN KITAIFA
Next articleMuhimbili-Upanga yanyakua makombe 2, Mloganzila yajipatia 1
| 2020-02-20T11:05:20 |
https://fullshangweblog.co.tz/2020/02/15/mweli-atembelea-shule-ya-mfano-ya-mtemi-mazengo-jijini-dodoma/
|
[
-1
] |
Mambo sita usiyoyafahamu kuhusu Alikiba na Coastal: Mkataba, namba ya jezi, mchezo wake wakwanza na muziki (Video) - Bongo5 | PressTZ - Your Number 1 Source of Aggregated Online Content
Mambo sita usiyoyafahamu kuhusu Alikiba na Coastal: Mkataba, namba ya jezi, mchezo wake wakwanza na muziki (Video)
Wakati kwa sasa msanii na mcheza soka nchini, Alikiba akifanya mazoezi ya kujiandaa na kazi yake mpya ambayo ameamua kuitumikia kwa sasa tulipata nafasi ya kumtembelea uwanjani na kujionea ni kwakiasi gani anavyojifua huku tukizungumza na uongozi wa klabu yake ya Coastal Union kujua utaratibu waliyompangia na haya ndiyo mambo sita usiyoyafahamu.
Alikiba anatarajia kurikodi video yake mpya.
Wakati tulipomtembelea Alikiba kwenye mazoezi yake alitudokeza kuwa muda simrefu anatarajia kurikodi video mpya licha yakushindwa kutaja jina la wimbo wenyewe.
2. Jina la Alikiba limepelekwa kwenyeshirikisho la soka nchini Tanzania TFF tayari kwa kutumiwa na Coastal
Bongo5 imefanya mazungumzo na uongozi wa klabu ya Coastal Union kupitia kwa msemaji wake, Hafidh Athumani Kido ambaye amethibitisha kuwa jina la mchezaji wao mpya Alikiba limefikishwa TFF kwaajili ya kutumiwa kwenye ligi kuu soka Tanzania Bara.
3. Mkataba wa Alikiba ndani ya klabu ya Coastal Union
Uongozi wa Coastal Union umeshindwa kuweka hadharani mkataba wa mchezaji huyo ukidai kuwa swala hilo ni landani ya uongozi na meneja hivyo hawawezi kuliweka wazi. Kwamujibu wa vyanzo vyetu vya ndani msanii huyo ataitumikia klabu hiyo kwa msimu mmoja wa mwaka 2018/19 huku akiwa amejitolea kutokana kucheza bure kutokana na mapenzi yake katika soka.
4. Alikiba kuanza kucheza kwenye mchezo wakwanza wa ligi
Ofisa habari huyo wa Coastal, Kido amesema kuwa Alikiba atakuwa kwenye mchezo wao wa ufunguzi utakao pigwa tarehe 22 ya mwezi huu kwenye uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga.
5. Alikiba atacheza kwenye mechi za Simba na Yanga
”Alikiba lazima atacheza kwenye mechi za Simba na Yanga kwasababu wanaocheza nao ni binadamu,” amesema Hafidh Athumani Kido Ofisa habari wa Coastal.
6. Namba ya jezi atakayovaa Alikiba ndani ya Coastal Union
Kido amesema kuwa Alikiba hajawahi kucheza mpira kwenye ligi kuu na hivyo watu wasubiri kuona uwezo utakao onyeshwa na msanii huyo huku akitarajiwa kuvaa jezi namba 15 kutokana na mazungumzi baina yake na klabu.
Alikiba ataweza kuisaidia Coastal Union licha ya uchezaji ndani ya uwanja lakini pia ataweza kuibeba klabu hiyo kupitia umaarufu wa staa huyo wa muziki nchini na bara zima la Afrika.
Klabu ya Coastal Union imepanda rasmi ligi kuu mwaka huu baada ya kuiyaga michuano hiyo msimu wa mwaka 2015/16.
The post Mambo sita usiyoyafahamu kuhusu Alikiba na Coastal: Mkataba, namba ya jezi, mchezo wake wakwanza na muziki (Video) appeared first on Bongo5.com.
| 2018-08-17T05:36:58 |
http://presstz.net/mambo-sita-usiyoyafahamu-kuhusu-alikiba-na-coastal-mkataba-namba-ya-jezi-mchezo-wake-wak-40044973
|
[
-1
] |
WIMBO MPYA WA MOSES MVP FT K MARROW - JOGOO | Mutalemwa Blog
Home » WASANII » WIMBO MPYA WA MOSES MVP FT K MARROW - JOGOO
WIMBO MPYA WA MOSES MVP FT K MARROW - JOGOO
Sikiliza na kudownload wimbo mpya wa msanii Moses Mvp akiwa amemshirikisha msanii mwenzake ambaye kwajina anafahamika kama K Marrow, wimbo wake unakwenda kwa jina la Jogoo.
Bofya kwenye link ifuatayo hapo chini ili kuweza kusikiliza au kudownload wimbo huu.
[>> WIMBO MPYA <<]
Filed Under: WASANII on Monday, September 8, 2014
| 2018-01-21T10:43:19 |
http://mutalemwa-masgider.blogspot.com/2014/09/wimbo-mpya-wa-moses-mvp-ft-k-marrow.html
|
[
-1
] |
Kuna watu kibao humu JF walituasa kwamba Forex ni utapeli hilo kwanza napingana nalo kwa nguvu zote sababu sio kweli kwamba forex ni utapeli kabla sijafunguka mengine niwathibitishie nimejiridhisha bila hata lepe la mashaka kwamba Forex is real and its my future lifestyle na binafsi sijioni nikikoma kufanya Forex licha ya haya magumu ninayopitia bali mawazo yao ninayachukuliaga kama catalyst ya kutaka kuzidi kuijua hii biashara kwa mapana zaidi kujua weakness na strength zake na kujua potential scammer, wezi na matapeli wakoje maana wametawala hii biashara kwa kiasi kikubwa kutokana na kuwa na money liquidity kubwa kuliko soko lolote duniani..more than 6 trillion USD is traded daily on the Global financial exchange market..hiki ni kiasi kikubwa sana hivyo matapeli huwa wanazengea zengea kwenye magap Kama haya yenye mkwanja mrefu..my economic cake pie is in Forex that's why I wont quit it easily.
But changamoto kubwa ya Forex ni hawa brokers na trainers..ninaposema trainers nazungumzia mtu kama Ontario hawa waliochungulia fursa mapema na kuintroduce kwa watu nchini kwa kigezo cha kuitoa elimu kwa bei sawa na bure tusijue wana agenda yao ya siri na Wasauzi ya kutaka kuwaliza watanzania wenzao.
Ontario ni mtunzi mzuri wa story na ana kipawa cha kusimulia na kushawishi kwa ufasha na ni mtu mwenye uelewa mpana wa mambo but anakosa kitu muhimu sana katika maisha uwezo wa kusocialize na watu in harmony..he is not a leader he is a boss na ukiangalia there is a thin line between a leader and a Boss..Ontario ana dharau, kiburi, na kejeli mbaya sana bila kujalisha umri wa anaeongea nae. Hana attentive listening ukiongea nae anakuangalia kama Choo cha shimo na hajali lolote najua wengi waliokutana nae watakiri huu ukweli mchungu kwake ukiona mtu ana urafiki na Ontario ujue huyo mtu analazimika kujishusha sana kwa huyu dogo ili waende along. Huwa nashangaa ni rafiki sana na Bold. Pole sana Bold..I know what you going through.
Wahenga humu walituhasa kwamba ukiitwa kwenye fursa tafakari mara mbili yaweza kuwa wewe ndio fursa.anyways tulipoitwa kwenye fursa mwanzoni mambo yalienda vizuri na humu tulikuwa tunavurumusha screenshot za profit tu kwa maelekezo ya Ontario ili tuwakoge haters hadi haters wakafyata but kadri siku zilivyoenda mambo yakawa kimya ikawa ni loss daily tu watu wamechukua viinua mgongo vyote vikafyekwa sokoni. Hakyamungu!
Saga lilianza around mwezi wa kumi baada ya Ontario kula njama ya siri na broker awe anampa pips 2 kwa kila kichwa na zikiwa zinatoka calls kibao kombo kwa siku na zote zilikuwa sio accurate hivyo na watu kutengenezewa mazingira ya kutrade more often inamaanisha wakitrade watu 1000 wakafungua position 7 kila mmoja na idadi ya spreads pips anazopewa kutoka kwa broker kwa mtu mmoja ni 2..kimahesabu anapata 1000×7×2= 14,000 pips hizi ni dola kibao kwa siku ..wandugu wanojua mahesabu zaidi wanajua ni madola kiasi gani jamaa kavuta, hili suala alituficha but aliwahi kusema "Bob Marley you can fool some people for sometime but you can't fool all the people all the time"... Tukashtuka..tukamuuliza..akakubali ila akakiri alituficha na hayo mamilion yanayopatikana ni kwa ajili ya kuendeshea ofisi ya TMT co Ltd iliyoko pale Jangid plaza.. Watoto wa maskini tukakubali tu kwa shingo upande ila tukawa tumeghafilishwa na kusikitishwa sana na hizi njama zao..hili likapita na tukajilazimisha kulimeza maana ukipenda boga upende na ua lake.
Tamaa ni mbaya sana..licha ya kuchukua mamilion kutokana na hizo pips hawakuridhika..bado tena walikuwa wanachukua pesa kibao kwa siri kwa ajili ya IB link kwa affiliate program waliotuunga nayo siku tunamaliza mafunzo bila ridhaa yetu kutoka kwa broker kwa sisi tukipata loss sokoni wao wanapata chochote maana broker wao ni market marker. Hakyamungu! People are heartless.
Kama ilivyo asili ya watu wenye tamaa mbaya wakivurugana basi wao hukimbilia kutafuta sympathy ya Wateja..juzi wakavurugana broker na TMT kama ilivyo tabia ya wezi na matapeli kugeukana.. Majuzi wenyewe wanakuja na habari kwamba yule Broker ni market Maker na mwizi..kweli? Wakati wewe mentor umeishi South afrika na umekuwa Trader kwa miaka kibao bado hujui status ya broker unae trade nae? Na inakuwaje mrecomend broker mwenye walakini na competency na efficiency yake? Broker nae anajitetea kwa kutuma texts kwa Wateja privately akimtuhumu huyo mentor kuwa ni batili na mbabaishaji na kuwasihi watu wamuignore!? Blalifuli!
Tangu mwanzo mchakato uligubikwa na walakini mkubwa uliokuwa unaendelea..kwanza kumlazimisha mtu afungue real account baada ya siku tano tu za kumaliza mafunzo na aweke laki tano kuanza kutrade ilikuwa ni ishara ya wizi wa wazi sema tulikuwa na trust na maneno sukari ya Ontario, thus we were blinded and we had fear of missing out easy Money.. Hatukujua!
Kutoa calls zaidi ya 7 kwa siku ni ishara mbaya ya kuwafanya clients waovetrade then wao wapige hela. Wizi huu.
Kuwaambia watu waongeze position ilhali wako in deep red ilikuwa ishara ya wizi, kuwataka watu waburn account zao wao wanufaike.
Kudiscourage matumizi ya stop loss ilhali ndio silaha ya kukinga mtaji wako kwenye Forex ilikuwa ishara ya wizi.
Watu wapoteze zaidi ili mpate zaidi maana kila ijumaa ilikuwa tunapunwa hela yote ya wiki nzima.
Mungu sio Sholo Mwamba, Yule broker market maker aliekuwa anatupiga sisi kwa tamaa kapitiliza kawafanyia mtimanyongo hadi kampuni ya TMT kaipuna zaidi ya nusu billion mapema mwezi wa kwanza. Imagine kampuni hii Changa ya huyu dogo imewazaje kupata nusu billion kwa muda mfupi hivi? Ni mikwanja aliyotuibia sisi misukule wake. But in life! "easy come..easy go"..ukikipata kiwepesi..kitaondoka kiwepesi pia. Nusu billion gone in a single month. Kweli JP Market broker ni hayawani!
Nitoe Rai kwa Ontario...sio kwamba namchukia hapana Bali naamini biashara inayohusisha watu moja kwa moja haiwezi kutokana na tabia yake mbaya ya asili..biashara na dharau, kebehi, utapeli na matusi havichangamani milele. Ni vyema akaendela na kilimo apate mil 19 zake kwa siku. Ameharibu kitu muhimu sana katika maisha yake ya biashara "Brand" and trust ya watu wengi aliowavuta kwa maandishi matamu humu JF..Trust ya watu pekee ni mtaji mkubwa kuliko hata mtaji wa fedha.
Namshukuru kwa kutuletea fursa hii adhimu lakini isiwe sababu ya kutuibia, kututapeli na kutunyanyasa economically and emotionally.
Rai kwa traders waliopigwa za uso na ndugu yao.."if you want to be strong learn how to fight alone" kwa kuwekeza Kwenye skills and self learning tunaweza kuwa self consistency profitable traders..let's ignore TMT they are scammer and predators and I don't recommend anyone to trust them.
Oooooopsiiii! Finally misukule wa Ontario tuko huru but tuko nyang'anyang'a kiuchumi. But it feels good kuwa huru.
Forex sio utapeli, matapeli ni mawakala wake.
Ni bora walimkavu...kuliko walimwengu!
Freedom!.
Reactions: Ctr, Asprin, MANCNOO and 126 others
Na kweli mlipoitwa kwenye fursa mkakimbilia kuwa fursa Ontario akawatumia.
Poleni sana wazee wa kudownload pesa.
Reactions: gbefa, Cosmasjulius, Pianist and 25 others
Biko mshiko. Nje nje
Reactions: gbefa, Pianist, msabillah and 26 others
Reactions: DJ SEPETU, OS Cordis and Humble African
34,663 2,000
Daaah....poleni sana..
Reactions: blessings, DJ SEPETU, east36 and 2 others
Asante mkuu! Ndio ukubwa huu.
Reactions: Septem, DJ SEPETU, Bob Kawari and 2 others
Ndio maana tuliambiwa kua uyaone..!
Reactions: vunge, blessings, misasa and 3 others
Poleni sana mkuu kidogo na mimi nishawishike nakakituliza kwanza
Reactions: Tape measure, blessings, Malaika Mkuu and 5 others
Ushajifunza, songa mbele maisha yaendelee
Reactions: gbefa, dingimtoto, blessings and 8 others
poleni sana... ndo maana siku hizi majukwaa yamepoa sana kumbe mnaugulia maumivu
12,982 2,000
Mbona hayo yote uliyoyasema yalishaletwa na watu tofauti tofauti wakaweka hadi screenshot za malalamiko?
Sasa hivi watu wapo kwenye hatua ya lessons learned. Walishavuka hii stage kitambo sana. Kuna wakati ilikua hatupumui kwa nyuzi za Forex, mtifuano mithili ya ukanda wa gaza kama sio Syria Aleppo.
Reactions: makundushi, gbefa, Pianist and 28 others
dalaber said:
Nakuhakikishia Forex sio utapeli ukipata watu sahihi wa kukuguide..its the future. Mbaya upate watu wenye tamaa kama ya Ontario.
Umekwisha!
Reactions: keisangora, gbefa, Beef Lasagna and 14 others
Ndugu yangu! Wale waoga wamekaa kimya Mimi nimeona niseme hili ili at least kuokoa wale wanaotaka kuingia wazima.
Reactions: gbefa, Horseman, Pianist and 12 others
Hahaha mkuu poleni sana kwa yaliyowakuta , so tmt anafanya kazi na broker gani now ... ila kweli Mungu si sholo mwamba
Reactions: gbefa, Tmuller, rabo junior and 11 others
D9,forex nilizitilia shaka tangu mwanzo
Reactions: gbefa, Beef Lasagna, Killmonger and 6 others
D9 ni zengwe Forex haina shida kama nikivyoeleza tatizo ni kwa wale ma agents wake ndio wamejaa ukatili na tamaa mbaya.
Nakushauri jifunze Forex Sio mbaya...D9 kitaalamu inaitwa ponzi scheme huu ndio utapeli mkubwa.
Reactions: gbefa, Beef Lasagna, Horseman and 6 others
Siku zote muda ni msema kweli
Reactions: gbefa, Beef Lasagna, blessings and 7 others
17,385 2,000
Mkuu sio ya kucheka haya! Tafadhali tupe hata pole tu inatosha.
Reactions: blessings, mjambaji, Bujoro and 2 others
Pole haitasaidia kitu.mngetusikiliza tangu mwanzo.ndo ingesaidia.kama forex ni rahisi kwa nini alikuwa anahangaika na ada zenu.?si angetulia tu.apige mahela mwenyewe.hela NGUMU.
Reactions: jogi, Perimeter, gbefa and 14 others
| 2019-08-21T09:34:12 |
https://www.jamiiforums.com/threads/hivi-ndivyo-tulivyotapeliwa-na-ontario-wa-tmt-kwenye-forex.1425704/
|
[
-1
] |
CORONA: RFEF kuzisaidia klabu zenye hali mbaya kiuchumi – Dar24
1 week ago Comments Off on CORONA: RFEF kuzisaidia klabu zenye hali mbaya kiuchumi
Shirikisho la Soka nchini Hispania (RFEF) limetangaza kutoa Euro milioni 500 (zaidi ya shilingi trilion 1.2 za Kitanzania) kwa ajili ya kuzisaidia klabu zilivyo kwenye hali ngumu ya kifedha, kusadia mapambano dhidi ya janga la #Corona.
Fedha hizo zitatolewa kwa klabu ambazo zitashindwa kupata faida inayotokana na haki ya matangazo ya televisheni katika kipindi hiki ambacho ligi imesimama, na vitatakiwa kurejesha fedha hizo ndani ya miaka mitano ijayo.
Shirikisho hilo pia limesema litatoa paundi milioni 3.7 (zaidi ya shilingi bilioni 10) kwa timu zisizoshiriki ligi za kulipwa (non-professional men’s and women’s teams).
“Tutakaa na #Laliga kujadili tatizo hili la kifedha linaloweza kuzikumba baadhi ya klabu… Ujumbe wangu ni umoja, matumaini, nidhamu. Wadau wote wa soka katika ngazi zote, tunapaswa kusambaza ujumbe wa ushirikiano, kwa pamoja tutakidhibiti kirusi hiki”, kauli ya Rais wa RFEF, Luis Rubiales.
Rais huyo pia ameruhusu hoteli ya timu ya taifa ya Hispania pamoja na watumishi wake wote wakiwemo wataalamu wa saikolojia na viungo, kutumiwa na serikali katika huduma za afya kukabiliana na ugonjwa wa Covid_19.
Hadi kufikia jana Jumatano, idadi ya watu waliofariki kutokana na virusi vya Corona nchini Hispania imefikia 3,434, ikiipiku China kwa vifo 738 na hivyo kuwa taifa la pili kwa vifo vingi nyuma ya Italia.
Kenya: Serikali yapiga marufuku uuzaji wa Chloroquine
| 2020-04-05T01:05:45 |
http://www.dar24.com/corona-rfef-kuzisaidia-klabu-zenye-hali-mbaya-kiuchumi/
|
[
-1
] |
Wasifu Wa Brazil Na Uruguay Kabla Ya Michuano Ya Copa America Itakayorushwa Live Na Startimes | DUNIA KIGANJANI | Ifanye Dunia Kuwa Yako
Home » Michezo » Wasifu Wa Brazil Na Uruguay Kabla Ya Michuano Ya Copa America Itakayorushwa Live Na Startimes
May 18, 2016 Michezo
Wasifu Wa Brazil Na Uruguay Kabla Ya Michuano Ya Copa America Itakayorushwa Live Na Startimes
Brazil Ni taifa lenye kuongoza kwa rekodi nyingi katika historia ya Kombe la Dunia. Ndio taifa pekee lililoshiriki fainali za Kombe la Dunia bila kukosa tangu kuanzishwa kwake mwaka 1930.
Na ndio taifa lenye kushikilia rekodi ya kulitwaa kombe hilo mara tano Ni taifa lenye kuongoza katika marathoni ya rekodi ya kombe hilo, kwa kuongoza kwa kufunga mabao mengi zaidi kwenye mechi za Kombe la Dunia. Wanaongoza kwa kushinda mechi zaidi kuliko taifa lingine lolote kwenye fainali za Kombe la Dunia.
Kocha wa timu ya taifa ya Brazil Dunga tayari ameshatangaza kikosi cha wachezaji 23 watakaoshiriki michuano ya Copa America kwa mwaka 2016, likiwa jina la Neymar halipo katika list hiyo ya majina 23, Neymar anakosekana katika list hiyo kutokana na FC Barcelona kuomba asiitwe staa huyo kwa ajili ya michuano hiyo.
Hawa ndio watakaoshiriki kuchezea kombe hilo mwaka huu. Magoikipa: Alisson (Internacional), Diego Alves (Valencia) and Ederson (Benfica), Mabeki: Daniel Alves (Barcelona), Fabinho (Monaco), Filipe Luis (Atletico Madrid), Douglas Santos (Atletico Mineiro), Miranda (Inter Milan), Gil (Shandong Luneng), Marquinhos (Paris Saint-Germain), Rodrigo Caio (Sao Paulo) Viungo: Luiz Gustavo (Wolfsburg), Elias (Corinthians), Casemiro (Real Madrid), Rafinha (Barcelona), Renato Augusto (Beijing Guoan), Philippe Coutinho (Liverpool), Lucas Lima (Santos) na Willian (Chelsea). Washambuliaji: Douglas Costa (Bayern Munich), Hulk (Zenit), Ricardo Oliveira (Santos) na Gabriel (Santos)
#CopaAmericaOnStarTimes #Exclusive Ni taifa lenye kuongoza kwa rekodi nyingi katika historia ya Kombe la Dunia. Ndio taifa pekee lililoshiriki fainali za Kombe la Dunia bila kukosa tangu kuanzishwa kwake mwaka 1930. Na ndio taifa lenye kushikilia rekodi ya kulitwaa kombe hilo mara tano
Uruguay imekuwa moja kati ya timu za taifa ambazo zinatajwa kuwa bora zaidi duniani. Na historia yao ilijijenga baada ya kutwaa taji la kombe la dunia mara mbili kwa mtindo wa aina yake mwaka 1930 na mwaka 1950.
Baada ya kushindwa kufuzu kwenye michuano ya mwaka 1994 nchini Marekani na mwaka 1998 nchini Ufaransa timu ya taifa ya Uruguay “La Celeste” ilirejea kwenye michuano ya mwaka 2002 nchini Japan na Korea na kutolewa kwenye hatua ya makundi.
Tukiingia katika Copa America Uruguay naweza kusema ndio inaongoza katika ubingwa kwenye michuano hii, ilishinda kombe hili mara 15, na mara ya mwisho ilichukua mwaka 2011.
Pia walishinda medali mbili za dhahabu katika mashindano ya summer Olympics. Kabla ya kuundwa kwa kombe la dunia Uruguay walinyakua kombe la Mundialito mwaka 1980. Mpaka sasa Uruguay imeshinda vyeo 20 rasmi , kwa rekodi ya dunia kwa majina ya kimataifa uliofanyika kwa nchi zote Je katika michuano hii, itafanikiwa kuchukua ubingwa? #CopaAmericaOnStarTimes #Exclusive Download APP ya StarTimes sasa na uweze kujishindia zawadi kem kemwww.startimes.com
| 2018-05-24T02:21:45 |
http://www.duniakiganjani.com/2016/05/wasifu-wa-brazil-na-uruguay-kabla-ya.html
|
[
-1
] |
Mchaichai, jina la kisayansi | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Mchaichai, jina la kisayansi
Discussion in 'Jukwaa la Lugha' started by Aluta, May 20, 2009.
Naomba kama kuna mtu anafahamu jina halisi la mmea kisayansi) mchaichai, kwa wale ambao wamewahi kunywa chai ya mchaichai nadhani mtakuwa mmenielewa na maana gani.
Si maana nataka jina la majani ya chai yanatumika kutengeneza chai ya rangi, hapana bali jina la MCHAICHAI...majani fulani membamba na marefu hutumika kutengeneza chai pia.
Aluta said:
Wasalaam...naomba kama kuna mtu anafahamu jina halisi la mmea(kisayansi) mchaichai...kwa wale ambao wamewahi kunya chai ya mchaichai nadhani mtakuwa mmenielewa na maana gani (Si maana nataka jina la majani ya chai yanatumika kutengeneza chai ya rangi, hapana bali jina la MCHAICHAI...majani fulani membamba na marefu hutumika kutengeneza chai pia.Click to expand...
Kaka hii umenikumbusha mbali... Mambo ya mchai chai, zaidi ya radha yake muruwa pia ni mmea wenye uwezo mkubwa sana wa kuzuiya mbu na kuzuiya fungus.
Unachotakiwa kufanya ni kuoteza huu mmea kuzunguka nyumba yako, na mbu wote wataishia mita mia kutoka uswa wa nyumba. Mafuta yake (oil) utumika kama Antifungal.
Tukirudi kwenye swali lako, Jina la Kiingereza la mmea huu kiasi una majina mengi kidogo... unaitwa:
Lemongrassor lemon grass (Cymbopogon nardus). Pia unajulikana kama mosquito plant, barbed wire grass, silky heads, citronella grass, fever grass or Hierba Luisa.
Hata mimi ni mpenzi sana wa mchaichai yaani chai yake ni tamu sana halafu ukiipatia vitumbua na mchuzi mzito wa kuku unaweza ukatafuna vidole kwa utamu Swali kwako X-paster miaka yoye chai ya mchaichai niliyokunywa ilikuwa ni ya rangi. Je, huwezi kutengeneza chai ya maziwa ya mchaichai?
Hata mimi ni mpenzi sana wa mchaichai yaani chai yake ni tamu sana halafu ukiipatia vitumbua na mchuzi mzito wa kuku unaweza ukatafuna vidole kwa utamu Swali kwako X-paster miaka yoye chai ya mchaichai niliyokunywa ilikuwa ni ya rangi. Je, huwezi kutengeneza chai ya maziwa ya mchaichai?Click to expand...
Kaka haya mambo ya michuzi ya kuku (plus mbaazi za tui bubu la nazi) kwa vitumbua unatufanya wengine tuwakumbuke ma'bibi zetu M'Mungu (awarehemu).
Unajuwa bro hata mimi nashangaa sana ni mara chache sana niliwahi kunywa chai ya maziwa iliyochanganywa na mchai chai, tena kwa kulazimisha. Ila mara zote ni chai ya mkandaa. Sihelewi hikma yake hapa. Labda wazee wanataka wapate ile natural tea flavor, na hakika kabisa walijuwa kuwa chai ya mchai chai ili upate kuburudika na kuchangamsha mwili ni lazima inywewe bila kuchanganywa na maziwa.
Ahsante sana X-Paster. Niliutafuta sana mchaichai mara ya mwisho nilipokuwa bongo bila mafanikio yoyote. Naona kuna uwezekano ukapotea maana wengi sasa hivi hawaujui mchaichai. Hao bibi zetu Mungu aziweke roho zao mahali pema peponi~AMEN.
Ahsante sana X-Paster. Niliutafuta sana mchaichai mara ya mwisho nilipokuwa bongo bila mafanikio yoyote. Naona kuna uwezekano ukapotea maana wengi sasa hivi hawaujui mchaichai. Hao bibi zetu Mungu aziweke roho zao mahali pema peponi~AMEN.Click to expand...
Ukiutaka mchai chai unaweza kuagizia kule Ifakara Morogoro, kwenye mradi wa Mbu (Kama bado upo). Maeneo mengine labda Muheza Tanga.
Kweli mdau, mchaichai unatufanya tukumbuke mabibi zetu.
Jina la kisayansi bahati mbaya sijui ningekusaidia.
Jina la kisayansi bahati mbaya sijui ningekusaidia.Click to expand...
Wadau michaichai Bongo bado ipo,lazima uende pembezoni ya mji utaipata mingi,tatizo iko ktk viunga vya watu. Na bongo siku hizi kila kitu pesa.
Mmea huu kiasi una majina mengi kidogo... unaitwa:
Lemongrass or lemon grass (Cymbopogon nardus). Pia unajulikana kama mosquito plant, barbed wire grass, silky heads, citronella grass, fever grass or Hierba Luisa.
REOLASTON
Ila msiuzoee sana kwani unasababisha ugonjwa wa inni na mwishowe unaweza kupata kansa ya inni hii iliripotiwa na WHO
Asanteni sana wakuu...basi naona mbegu nilizonunua obviously ndio zitakuwa hizo...maana nilinunua kutokana na picha ya cover na si jina...Niliona picha inafanana na mchaichai hasa. Jina la packet linasomeka kama CITRONGRÄS; SITRUSHEINÄ, INTIAN (citroen grass which is the same as Lemon grass maybe).
Jamani mchaichai hata kwa chai ya maziwa ni mruua sana. Nakumbuka enzi zile bibi anakamua maziwa ya ng'ombe, na lita mbili zinapikia chai wajukuu wote tunajipanga kuzunguka jiko la mafiga kila mmoja ananyoosha kikombe kile cha uhuru (kilikuwa na plastic rangi ya kijani) unawekewa chai na kiporo kwani kila jioni chakula kikipikwa ni lazima kiachwe kingine kwa ajili ya kifungua kinywa asubuhi. Nilikuwa nikiamka tu kwa wazazi break ya kwanza ni kwa bibi na kikombe changu mkononi!!!!!
Ninafurahi bibi yangu yu hai ana zaidi ya miaka 95, ana nguvu, anatembea mwenyewe kwenda kanisani jirani na tunaongea kwenye simu akiwa na akili zake timamu na kuendelea kunitemea cheche za baraka!! Mungu aendelee kumweka hai aone hadi Vilembwekeze!!! Kwa babu yangu, pumzika kwa amani, tumekosa upendo wako kwa miaka 10 sasa.
Sasa basi, bibi yangu huyu ni mpenzi wa mchaimchai sana na hadi naongea hajawahi hata kuugua ugonjwa mkubwa zaidi ya homa za kawaida, hasa unaposema ukizoea kunywa mchaichai utapata ugonjwa wa ini. Pengine ugonjwa unaweza patikana kutokana na kuwa pengine ulipigwa dawa fulani, vinginevyo madaktari wa JF watuambie mmea huu una nini cha asili ambacho kinasababisha ugonjwa wa ini. Mimi nimeupanda kila piece of land I have na ninatumia!!!!
REOLASTON said:
Ila msiuzoee sana kwani unasababisha ugonjwa wa inni na mwishowe unaweza kupata kansa ya inni hii iliripotiwa na WHOClick to expand...
Hawa wanasayansi nao, kila kitu kina ubaya wake. Ukiwasikiliza sana hauli chochote. Kuna wakati nimetafuta sana mchaichai sikupata, nilitaka nipande hata katika beseni niweke katika ile corridor ya katikati ya nyumba yetu ya kupanga (hope hawataumwagia chai ya moto).
Mkuu ungetuma source ya hii. Sina hakika juu ya hili. Lakini ninachojua hata mama waja wqazito wakitumia ni mzuri sana mtoto anatoka akiwa VERY CLEAN.
mchaichai kisayansi ni mchaichai. kingeereza, kijerumani na kifaransa ndio sijui wanauitaje.
Mhhhh! Kuna mwanaJF yeyote anaweza kuthibitisha habari hii toka WHO kuhusiana na mchaichai!?
Mhhhh! Kuna mwanaJF yeyote anaweza kuthibitisha habari hii toka WHO kuhusiana na mchaichai!?Click to expand...
Complete Lemongrass information from Drugs.com
Kwa ujumla, ni vizuri kutumia mchaichai.
Nimeona mbwa koko wanapenda kukojolea mchaichai.
Hivyo kama inawezekana, zungushia uzio kuzuia mbwa wasikojolee na usipende tu kuchuma kila majani unayoyaona barabarani.
Dah! Hii kitu ya tangia mwaka 2009, May 20th
Jamani wanajamvi mmenijuza mengi sana juu ya mchaichai ahsanteni
..mchaichai ..napenda hiki kikombe cha kijani ni kile kilikuwa kimechorwa mwenge au ? unanikumbusha mbali
914,743
18,010,316
| 2016-10-28T12:07:29 |
http://www.jamiiforums.com/threads/mchaichai-jina-la-kisayansi.29421/
|
[
-1
] |
MR.BLUE KUWASHITAKI BARAKA DA PRINCE NA NAJ LAIVE(SOMA HAPA) ~ Blogu ya Wananchi
MR.BLUE KUWASHITAKI BARAKA DA PRINCE NA NAJ LAIVE(SOMA HAPA)
Msanii mkongwe wa rap ,Mr.Blue amedai kuwa atawafikisha atawachukulia hatua kali za kisheria Baraka da Prince na mpenzi Naj kama atabaini kuwa wapenzi hao wameshiriki kutengeneza skendo ambayo kwa namna moja au nyingine ilihatarisha uhai wa ndoa yake.
Hivi karibuni kulizuka tetesi kuwa Mr.Blue ambaye kwa sasa ameoa huwa anawasilana na mpenzi wake wa zamani,Naj ambaye kwa sasa ni mchumba wa Baraka da Prince,na inasadikiwa kuwa Baraka na Naj waliitengeneza skendo hiyo ili kupata Kiki ,kitu ambacho Mr.Blue anadai kilihatarisha uhai wa ndoa yake.
“Hatua za kisheria lazima zichukueliwe,unajua hivi vitu,sio vya kuharibiana,mimi sasa hivi nimeshakuwa mtu mzima siwezi kurudia matapishi eti nikampigia Najma niwe naye.Kama kweli nitagundua ni wao japokuwa Baraka amenithibitishia sio wao ,lazima nitatafuta njia ya kuwashikisha adabu tusije tukaharibiana vitu vidogo vidogo“,alisema Mr.Blue kwenye Enewz ya Eatv.
May 2017 (1493)
| 2017-05-28T00:57:57 |
http://www.williammalecela.com/2016/09/mrblue-kuwashitaki-baraka-da-prince-na.html
|
[
-1
] |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.