Story_ID
stringlengths 8
8
| context
stringlengths 445
11k
| question
stringlengths 12
113
| answers
dict |
---|---|---|---|
5212_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
“Mgeni wa heshima, mwalimu mkuu, naibu wa malimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu, hamjamboni? Nina furaha furifuri kwa kunipa fursa hii kuwahutubia kuhusu umuhimu wa elimu.
Bila kupoteza muda,ningependa kuwaeleza kuwa elimu ni kitu cha maana sana katika maisha ya binadamu kwani hutusaidia kwa njia tofauti tofauti.
Elimu hutuwezesha kujua mambo mengi sana duniani. Elimu hutupa maarifa kuhusu mambo tofauti tofuti na kutuwezesha kupata kazi tofauti tofauti.
Rais wetu wa nchi alisoma, hata walimu, na madaktari wote wameweza kupata elimu. Elimu ni kitu cha maana sana katika maisha yetu.
| Nani atawabariki | {
"text": [
"Mungu"
]
} |
5212_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
“Mgeni wa heshima, mwalimu mkuu, naibu wa malimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu, hamjamboni? Nina furaha furifuri kwa kunipa fursa hii kuwahutubia kuhusu umuhimu wa elimu.
Bila kupoteza muda,ningependa kuwaeleza kuwa elimu ni kitu cha maana sana katika maisha ya binadamu kwani hutusaidia kwa njia tofauti tofauti.
Elimu hutuwezesha kujua mambo mengi sana duniani. Elimu hutupa maarifa kuhusu mambo tofauti tofuti na kutuwezesha kupata kazi tofauti tofauti.
Rais wetu wa nchi alisoma, hata walimu, na madaktari wote wameweza kupata elimu. Elimu ni kitu cha maana sana katika maisha yetu.
| Mbona alipewa nafasi | {
"text": [
"ili awahutubie kuhusu umuhimu wa masomo"
]
} |
5213_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
"Mwalimu mkuu, Naibu wa mwalimu, mwalimu mwandamizi, wanafunzi wa darasa la nane, wanafunzi wa darasa la saba na wanafunzi wenzangu wote kwa jumla hamjambo? Nimechukua fursa kuwakaribisha na kuwaeleza ya kwamba siku hizi wanafunzi wameingiza katika vikundi vya watu wabaya na wengine hata kwa vikundi ya madawa ya kulevya.Mimi nitawaambia ya kwamba elimu ni funguo ya maisha yako.
Kupitia elimu wanafunzi wengi wamekuwa watu wakubwa maishani na wengine hata wameweza kujiajiri na kujitegemea.
Kuna wazazi wa watoto wengine ambao hawafurahi watoto wa wengine wakifaulu maishani. Hii ni kwa sababu watoto wao waliacha shule wakakosa kauelimika. Wengini huishia kwenda kwa waganga ili watoto wa wengine wasifaulu maishani.
Mimi nawaomba wanafunzi wenzangu msome kwa bidii. Mungu alisema atasaidia wale ambao wanajisaidia. Mnawaona watu waliosoma kwa bidii wanendesha magari yao wakiwa wamevaa nguo zinazometameta.
Ukiwa na elimu unaweza pata kazi yoyote kwa haraka sana. Kuna vitu vingi ambavyo wanafunzi wanafaa kusoma ili kuwasaidia wazazi wao katika maisha yao ya usoni. | Umealikwa kuhutubia nani | {
"text": [
"wanafunzi"
]
} |
5213_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
"Mwalimu mkuu, Naibu wa mwalimu, mwalimu mwandamizi, wanafunzi wa darasa la nane, wanafunzi wa darasa la saba na wanafunzi wenzangu wote kwa jumla hamjambo? Nimechukua fursa kuwakaribisha na kuwaeleza ya kwamba siku hizi wanafunzi wameingiza katika vikundi vya watu wabaya na wengine hata kwa vikundi ya madawa ya kulevya.Mimi nitawaambia ya kwamba elimu ni funguo ya maisha yako.
Kupitia elimu wanafunzi wengi wamekuwa watu wakubwa maishani na wengine hata wameweza kujiajiri na kujitegemea.
Kuna wazazi wa watoto wengine ambao hawafurahi watoto wa wengine wakifaulu maishani. Hii ni kwa sababu watoto wao waliacha shule wakakosa kauelimika. Wengini huishia kwenda kwa waganga ili watoto wa wengine wasifaulu maishani.
Mimi nawaomba wanafunzi wenzangu msome kwa bidii. Mungu alisema atasaidia wale ambao wanajisaidia. Mnawaona watu waliosoma kwa bidii wanendesha magari yao wakiwa wamevaa nguo zinazometameta.
Ukiwa na elimu unaweza pata kazi yoyote kwa haraka sana. Kuna vitu vingi ambavyo wanafunzi wanafaa kusoma ili kuwasaidia wazazi wao katika maisha yao ya usoni. | Siku hizi wanafunzi wamejiingiza katika vikundi vya watu gani | {
"text": [
"wabaya"
]
} |
5213_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
"Mwalimu mkuu, Naibu wa mwalimu, mwalimu mwandamizi, wanafunzi wa darasa la nane, wanafunzi wa darasa la saba na wanafunzi wenzangu wote kwa jumla hamjambo? Nimechukua fursa kuwakaribisha na kuwaeleza ya kwamba siku hizi wanafunzi wameingiza katika vikundi vya watu wabaya na wengine hata kwa vikundi ya madawa ya kulevya.Mimi nitawaambia ya kwamba elimu ni funguo ya maisha yako.
Kupitia elimu wanafunzi wengi wamekuwa watu wakubwa maishani na wengine hata wameweza kujiajiri na kujitegemea.
Kuna wazazi wa watoto wengine ambao hawafurahi watoto wa wengine wakifaulu maishani. Hii ni kwa sababu watoto wao waliacha shule wakakosa kauelimika. Wengini huishia kwenda kwa waganga ili watoto wa wengine wasifaulu maishani.
Mimi nawaomba wanafunzi wenzangu msome kwa bidii. Mungu alisema atasaidia wale ambao wanajisaidia. Mnawaona watu waliosoma kwa bidii wanendesha magari yao wakiwa wamevaa nguo zinazometameta.
Ukiwa na elimu unaweza pata kazi yoyote kwa haraka sana. Kuna vitu vingi ambavyo wanafunzi wanafaa kusoma ili kuwasaidia wazazi wao katika maisha yao ya usoni. | Wanafunzi wengi wamekuwa watu wakubwa kupitia nini | {
"text": [
"elimu"
]
} |
5213_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
"Mwalimu mkuu, Naibu wa mwalimu, mwalimu mwandamizi, wanafunzi wa darasa la nane, wanafunzi wa darasa la saba na wanafunzi wenzangu wote kwa jumla hamjambo? Nimechukua fursa kuwakaribisha na kuwaeleza ya kwamba siku hizi wanafunzi wameingiza katika vikundi vya watu wabaya na wengine hata kwa vikundi ya madawa ya kulevya.Mimi nitawaambia ya kwamba elimu ni funguo ya maisha yako.
Kupitia elimu wanafunzi wengi wamekuwa watu wakubwa maishani na wengine hata wameweza kujiajiri na kujitegemea.
Kuna wazazi wa watoto wengine ambao hawafurahi watoto wa wengine wakifaulu maishani. Hii ni kwa sababu watoto wao waliacha shule wakakosa kauelimika. Wengini huishia kwenda kwa waganga ili watoto wa wengine wasifaulu maishani.
Mimi nawaomba wanafunzi wenzangu msome kwa bidii. Mungu alisema atasaidia wale ambao wanajisaidia. Mnawaona watu waliosoma kwa bidii wanendesha magari yao wakiwa wamevaa nguo zinazometameta.
Ukiwa na elimu unaweza pata kazi yoyote kwa haraka sana. Kuna vitu vingi ambavyo wanafunzi wanafaa kusoma ili kuwasaidia wazazi wao katika maisha yao ya usoni. | Wengine huona wivu kwani watoto wao waliacha nini | {
"text": [
"shule"
]
} |
5213_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
"Mwalimu mkuu, Naibu wa mwalimu, mwalimu mwandamizi, wanafunzi wa darasa la nane, wanafunzi wa darasa la saba na wanafunzi wenzangu wote kwa jumla hamjambo? Nimechukua fursa kuwakaribisha na kuwaeleza ya kwamba siku hizi wanafunzi wameingiza katika vikundi vya watu wabaya na wengine hata kwa vikundi ya madawa ya kulevya.Mimi nitawaambia ya kwamba elimu ni funguo ya maisha yako.
Kupitia elimu wanafunzi wengi wamekuwa watu wakubwa maishani na wengine hata wameweza kujiajiri na kujitegemea.
Kuna wazazi wa watoto wengine ambao hawafurahi watoto wa wengine wakifaulu maishani. Hii ni kwa sababu watoto wao waliacha shule wakakosa kauelimika. Wengini huishia kwenda kwa waganga ili watoto wa wengine wasifaulu maishani.
Mimi nawaomba wanafunzi wenzangu msome kwa bidii. Mungu alisema atasaidia wale ambao wanajisaidia. Mnawaona watu waliosoma kwa bidii wanendesha magari yao wakiwa wamevaa nguo zinazometameta.
Ukiwa na elimu unaweza pata kazi yoyote kwa haraka sana. Kuna vitu vingi ambavyo wanafunzi wanafaa kusoma ili kuwasaidia wazazi wao katika maisha yao ya usoni. | Mbona wanafunzi wanafaa kusoma | {
"text": [
"ili kuwasaidia wazazi wao"
]
} |
5214_swa |
HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA ELIMU
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Ningependa kuchukua fursa hii kumushukuru mwalimu mkuu kwa kunipa fursa hii kuwa hutubia siku ya leo. Nimesimama mbele yenu kuzungumura kuhusu elimu. Elimu ni jambo muhimu kwa kila binadamu yoyote. Bila elimu, hatungeweza kua mahali hapa siku ya leo. Kama ilivyo kawaida, siku hizi mtu anafaa kuwa na chete cha kidato cha nne kwa kuwa mtu huonekana kuwa na ujuzi mwingi.
Naibu wa mwalimu mkuu alituambia kuwa ni lazima tuwe na nidhamu shuleni kwa maana pia nidhamu ni jambo la muhimu. Huwezi kuajiriwa kazi mahali popote ikiwa huna nidhamu. Hata uwe umesoma kuwongo gani, bila nidhamu huwezi kujiendeleza.
Wanafunzi wenzangu ningependa kuwaahidi kuwa kuna tuzo ya dhahabu kwa yule atakaye tia bidii zaidi katika masomo yake na pia awe mwenye nidhamu.” | Ningependa kuchukua fursa hii kumshukuru nani | {
"text": [
"Mwalimu mkuu"
]
} |
5214_swa |
HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA ELIMU
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Ningependa kuchukua fursa hii kumushukuru mwalimu mkuu kwa kunipa fursa hii kuwa hutubia siku ya leo. Nimesimama mbele yenu kuzungumura kuhusu elimu. Elimu ni jambo muhimu kwa kila binadamu yoyote. Bila elimu, hatungeweza kua mahali hapa siku ya leo. Kama ilivyo kawaida, siku hizi mtu anafaa kuwa na chete cha kidato cha nne kwa kuwa mtu huonekana kuwa na ujuzi mwingi.
Naibu wa mwalimu mkuu alituambia kuwa ni lazima tuwe na nidhamu shuleni kwa maana pia nidhamu ni jambo la muhimu. Huwezi kuajiriwa kazi mahali popote ikiwa huna nidhamu. Hata uwe umesoma kuwongo gani, bila nidhamu huwezi kujiendeleza.
Wanafunzi wenzangu ningependa kuwaahidi kuwa kuna tuzo ya dhahabu kwa yule atakaye tia bidii zaidi katika masomo yake na pia awe mwenye nidhamu.” | Nimesimama wapi | {
"text": [
"Mbele yenu"
]
} |
5214_swa |
HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA ELIMU
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Ningependa kuchukua fursa hii kumushukuru mwalimu mkuu kwa kunipa fursa hii kuwa hutubia siku ya leo. Nimesimama mbele yenu kuzungumura kuhusu elimu. Elimu ni jambo muhimu kwa kila binadamu yoyote. Bila elimu, hatungeweza kua mahali hapa siku ya leo. Kama ilivyo kawaida, siku hizi mtu anafaa kuwa na chete cha kidato cha nne kwa kuwa mtu huonekana kuwa na ujuzi mwingi.
Naibu wa mwalimu mkuu alituambia kuwa ni lazima tuwe na nidhamu shuleni kwa maana pia nidhamu ni jambo la muhimu. Huwezi kuajiriwa kazi mahali popote ikiwa huna nidhamu. Hata uwe umesoma kuwongo gani, bila nidhamu huwezi kujiendeleza.
Wanafunzi wenzangu ningependa kuwaahidi kuwa kuna tuzo ya dhahabu kwa yule atakaye tia bidii zaidi katika masomo yake na pia awe mwenye nidhamu.” | Bila elimu hatungeweza kuwa wapi | {
"text": [
"Mahali"
]
} |
5214_swa |
HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA ELIMU
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Ningependa kuchukua fursa hii kumushukuru mwalimu mkuu kwa kunipa fursa hii kuwa hutubia siku ya leo. Nimesimama mbele yenu kuzungumura kuhusu elimu. Elimu ni jambo muhimu kwa kila binadamu yoyote. Bila elimu, hatungeweza kua mahali hapa siku ya leo. Kama ilivyo kawaida, siku hizi mtu anafaa kuwa na chete cha kidato cha nne kwa kuwa mtu huonekana kuwa na ujuzi mwingi.
Naibu wa mwalimu mkuu alituambia kuwa ni lazima tuwe na nidhamu shuleni kwa maana pia nidhamu ni jambo la muhimu. Huwezi kuajiriwa kazi mahali popote ikiwa huna nidhamu. Hata uwe umesoma kuwongo gani, bila nidhamu huwezi kujiendeleza.
Wanafunzi wenzangu ningependa kuwaahidi kuwa kuna tuzo ya dhahabu kwa yule atakaye tia bidii zaidi katika masomo yake na pia awe mwenye nidhamu.” | Elimu ni jambo muhimu kwa nani | {
"text": [
"Kila binadamu"
]
} |
5214_swa |
HOTUBA KUHUSU UMUHIMU WA ELIMU
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi wenzangu, hamjambo? Ningependa kuchukua fursa hii kumushukuru mwalimu mkuu kwa kunipa fursa hii kuwa hutubia siku ya leo. Nimesimama mbele yenu kuzungumura kuhusu elimu. Elimu ni jambo muhimu kwa kila binadamu yoyote. Bila elimu, hatungeweza kua mahali hapa siku ya leo. Kama ilivyo kawaida, siku hizi mtu anafaa kuwa na chete cha kidato cha nne kwa kuwa mtu huonekana kuwa na ujuzi mwingi.
Naibu wa mwalimu mkuu alituambia kuwa ni lazima tuwe na nidhamu shuleni kwa maana pia nidhamu ni jambo la muhimu. Huwezi kuajiriwa kazi mahali popote ikiwa huna nidhamu. Hata uwe umesoma kuwongo gani, bila nidhamu huwezi kujiendeleza.
Wanafunzi wenzangu ningependa kuwaahidi kuwa kuna tuzo ya dhahabu kwa yule atakaye tia bidii zaidi katika masomo yake na pia awe mwenye nidhamu.” | Nani alituambia kuwa lazima tuwe na nidhamu shuleni | {
"text": [
"Naibu wa mwalimu mkuu"
]
} |
5215_swa |
UMUHIMU WA ELIMU.
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu walimu, viranja, na wanafunzi Haleluyah!
Namushukuru mwalimu mkuu kwa kunipa fursa niwahutubie kuhusu umuhimu wa masomo. Namshukuru naibu wa mwalimu mkuu kwa kunifundisha na kunipa maarifa. Nawashukuru walimu wote kwa kunisaidia pahali popote pale.
Bila kupoteza muda , wacha nizungumze kuhusu swala hili la elimu. Elimu ni kitu muhimu sana. Elimu inasaidia watu kwa njia tofauti tofauti. Raisi wenu pia alisoma, mwalimu wetu mkuu alisoma, walimu wote walisoma kwa kupitia kwa elimu.
Elimu huelimisha watu wengi zaidi. Imesaidia wanasiasa, profesa, wahandisi, wanasayansi, wanabashara, rubani, nahodha, dereva na watu wengi sana. Elimu pia ni ngao, bila elimu nchi haiwezi inaendelea. Wanafunzi wenzangu nawaomba msome kwa bidii. Mungu atakubariki na utafanikiwa maishani mwako. Tafadhali wenzangu tusisahau masomo.
Masomo ni lazima, bila masomo, hatuwezi kujiendeleza. | Anamshukuru nani kwa fursa | {
"text": [
"Mwalimu mkuu"
]
} |
5215_swa |
UMUHIMU WA ELIMU.
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu walimu, viranja, na wanafunzi Haleluyah!
Namushukuru mwalimu mkuu kwa kunipa fursa niwahutubie kuhusu umuhimu wa masomo. Namshukuru naibu wa mwalimu mkuu kwa kunifundisha na kunipa maarifa. Nawashukuru walimu wote kwa kunisaidia pahali popote pale.
Bila kupoteza muda , wacha nizungumze kuhusu swala hili la elimu. Elimu ni kitu muhimu sana. Elimu inasaidia watu kwa njia tofauti tofauti. Raisi wenu pia alisoma, mwalimu wetu mkuu alisoma, walimu wote walisoma kwa kupitia kwa elimu.
Elimu huelimisha watu wengi zaidi. Imesaidia wanasiasa, profesa, wahandisi, wanasayansi, wanabashara, rubani, nahodha, dereva na watu wengi sana. Elimu pia ni ngao, bila elimu nchi haiwezi inaendelea. Wanafunzi wenzangu nawaomba msome kwa bidii. Mungu atakubariki na utafanikiwa maishani mwako. Tafadhali wenzangu tusisahau masomo.
Masomo ni lazima, bila masomo, hatuwezi kujiendeleza. | Ni kitu gani cha umuhimu | {
"text": [
"Elimu"
]
} |
5215_swa |
UMUHIMU WA ELIMU.
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu walimu, viranja, na wanafunzi Haleluyah!
Namushukuru mwalimu mkuu kwa kunipa fursa niwahutubie kuhusu umuhimu wa masomo. Namshukuru naibu wa mwalimu mkuu kwa kunifundisha na kunipa maarifa. Nawashukuru walimu wote kwa kunisaidia pahali popote pale.
Bila kupoteza muda , wacha nizungumze kuhusu swala hili la elimu. Elimu ni kitu muhimu sana. Elimu inasaidia watu kwa njia tofauti tofauti. Raisi wenu pia alisoma, mwalimu wetu mkuu alisoma, walimu wote walisoma kwa kupitia kwa elimu.
Elimu huelimisha watu wengi zaidi. Imesaidia wanasiasa, profesa, wahandisi, wanasayansi, wanabashara, rubani, nahodha, dereva na watu wengi sana. Elimu pia ni ngao, bila elimu nchi haiwezi inaendelea. Wanafunzi wenzangu nawaomba msome kwa bidii. Mungu atakubariki na utafanikiwa maishani mwako. Tafadhali wenzangu tusisahau masomo.
Masomo ni lazima, bila masomo, hatuwezi kujiendeleza. | Ni ndio ngao | {
"text": [
"Elimu"
]
} |
5215_swa |
UMUHIMU WA ELIMU.
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu walimu, viranja, na wanafunzi Haleluyah!
Namushukuru mwalimu mkuu kwa kunipa fursa niwahutubie kuhusu umuhimu wa masomo. Namshukuru naibu wa mwalimu mkuu kwa kunifundisha na kunipa maarifa. Nawashukuru walimu wote kwa kunisaidia pahali popote pale.
Bila kupoteza muda , wacha nizungumze kuhusu swala hili la elimu. Elimu ni kitu muhimu sana. Elimu inasaidia watu kwa njia tofauti tofauti. Raisi wenu pia alisoma, mwalimu wetu mkuu alisoma, walimu wote walisoma kwa kupitia kwa elimu.
Elimu huelimisha watu wengi zaidi. Imesaidia wanasiasa, profesa, wahandisi, wanasayansi, wanabashara, rubani, nahodha, dereva na watu wengi sana. Elimu pia ni ngao, bila elimu nchi haiwezi inaendelea. Wanafunzi wenzangu nawaomba msome kwa bidii. Mungu atakubariki na utafanikiwa maishani mwako. Tafadhali wenzangu tusisahau masomo.
Masomo ni lazima, bila masomo, hatuwezi kujiendeleza. | Wanafunzi wanaombwa wasome kwa nini | {
"text": [
"Bidii"
]
} |
5215_swa |
UMUHIMU WA ELIMU.
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu walimu, viranja, na wanafunzi Haleluyah!
Namushukuru mwalimu mkuu kwa kunipa fursa niwahutubie kuhusu umuhimu wa masomo. Namshukuru naibu wa mwalimu mkuu kwa kunifundisha na kunipa maarifa. Nawashukuru walimu wote kwa kunisaidia pahali popote pale.
Bila kupoteza muda , wacha nizungumze kuhusu swala hili la elimu. Elimu ni kitu muhimu sana. Elimu inasaidia watu kwa njia tofauti tofauti. Raisi wenu pia alisoma, mwalimu wetu mkuu alisoma, walimu wote walisoma kwa kupitia kwa elimu.
Elimu huelimisha watu wengi zaidi. Imesaidia wanasiasa, profesa, wahandisi, wanasayansi, wanabashara, rubani, nahodha, dereva na watu wengi sana. Elimu pia ni ngao, bila elimu nchi haiwezi inaendelea. Wanafunzi wenzangu nawaomba msome kwa bidii. Mungu atakubariki na utafanikiwa maishani mwako. Tafadhali wenzangu tusisahau masomo.
Masomo ni lazima, bila masomo, hatuwezi kujiendeleza. | Kwa nini wasipoteze muda | {
"text": [
"Kwa vile ukipotea haurudi"
]
} |
5216_swa |
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wenzangu hamjambo? Kwa majina ni Susan Ryguru kutoka Gacharage.
Nachukua fursa hii kuwaelezea kuhusu umuhimu wa elimu. Natumai ya kwamba mtanisikiza kwa makini na myatilie maanani maneno ambayo nitawasimulia siku hii.
Wahenga na wahenguzi wakukosea waliponena kwamb anayechukia kurebishwa ni mjinga na natumai kuwa hapa hakuna mmoja wao. Elimu ni ngao ya maisha na pia ni mwangaza. Usiposoma maisha yako huwenda yakazoroteka mno.
Umuhimu wa elimu ni kuongezea mtu akili, adabu na kuwaheshimu wakubwa kwa wadogo kwani heshima si utumwa. Elimu pia huboresha maisha ya wanajamii, husaidia kujibu maswali, husaidia kusuluhisha shida za hesabu na kadhalika.
Nataka kuwarekebisha mapema kwani tusipozíba ufa tutajenga ukuta na iyo itakua imetumeshachelewa kitambo. Elimu pia husaidia kwa mtu kupata kazi kama vile ya ofisi, uwalimu, udaktari na nyinginyezo.
Jambo jingine ni kwamba wanafunzi wengi wakifika katika shule ya upili, wengi huona kama wanatoshana na walimu wao, wazazi wao, na hata vijana wa umri mmoja nao Ningewaomba tuungane kwani umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu na tupende elimu pamoja na sisi wenye tujipende pia.
Natumai kuwa mwenye masikio amesikia. Asanteni kwa wakati wenu na kunipa sikio.” | Susan Ruguru ametoka wapi | {
"text": [
"Gacharage"
]
} |
5216_swa |
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wenzangu hamjambo? Kwa majina ni Susan Ryguru kutoka Gacharage.
Nachukua fursa hii kuwaelezea kuhusu umuhimu wa elimu. Natumai ya kwamba mtanisikiza kwa makini na myatilie maanani maneno ambayo nitawasimulia siku hii.
Wahenga na wahenguzi wakukosea waliponena kwamb anayechukia kurebishwa ni mjinga na natumai kuwa hapa hakuna mmoja wao. Elimu ni ngao ya maisha na pia ni mwangaza. Usiposoma maisha yako huwenda yakazoroteka mno.
Umuhimu wa elimu ni kuongezea mtu akili, adabu na kuwaheshimu wakubwa kwa wadogo kwani heshima si utumwa. Elimu pia huboresha maisha ya wanajamii, husaidia kujibu maswali, husaidia kusuluhisha shida za hesabu na kadhalika.
Nataka kuwarekebisha mapema kwani tusipozíba ufa tutajenga ukuta na iyo itakua imetumeshachelewa kitambo. Elimu pia husaidia kwa mtu kupata kazi kama vile ya ofisi, uwalimu, udaktari na nyinginyezo.
Jambo jingine ni kwamba wanafunzi wengi wakifika katika shule ya upili, wengi huona kama wanatoshana na walimu wao, wazazi wao, na hata vijana wa umri mmoja nao Ningewaomba tuungane kwani umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu na tupende elimu pamoja na sisi wenye tujipende pia.
Natumai kuwa mwenye masikio amesikia. Asanteni kwa wakati wenu na kunipa sikio.” | Anaeleza kuhusu umuhimu wa nini | {
"text": [
"elimu"
]
} |
5216_swa |
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wenzangu hamjambo? Kwa majina ni Susan Ryguru kutoka Gacharage.
Nachukua fursa hii kuwaelezea kuhusu umuhimu wa elimu. Natumai ya kwamba mtanisikiza kwa makini na myatilie maanani maneno ambayo nitawasimulia siku hii.
Wahenga na wahenguzi wakukosea waliponena kwamb anayechukia kurebishwa ni mjinga na natumai kuwa hapa hakuna mmoja wao. Elimu ni ngao ya maisha na pia ni mwangaza. Usiposoma maisha yako huwenda yakazoroteka mno.
Umuhimu wa elimu ni kuongezea mtu akili, adabu na kuwaheshimu wakubwa kwa wadogo kwani heshima si utumwa. Elimu pia huboresha maisha ya wanajamii, husaidia kujibu maswali, husaidia kusuluhisha shida za hesabu na kadhalika.
Nataka kuwarekebisha mapema kwani tusipozíba ufa tutajenga ukuta na iyo itakua imetumeshachelewa kitambo. Elimu pia husaidia kwa mtu kupata kazi kama vile ya ofisi, uwalimu, udaktari na nyinginyezo.
Jambo jingine ni kwamba wanafunzi wengi wakifika katika shule ya upili, wengi huona kama wanatoshana na walimu wao, wazazi wao, na hata vijana wa umri mmoja nao Ningewaomba tuungane kwani umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu na tupende elimu pamoja na sisi wenye tujipende pia.
Natumai kuwa mwenye masikio amesikia. Asanteni kwa wakati wenu na kunipa sikio.” | Nani anachukia kurekebishwa | {
"text": [
"mjinga"
]
} |
5216_swa |
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wenzangu hamjambo? Kwa majina ni Susan Ryguru kutoka Gacharage.
Nachukua fursa hii kuwaelezea kuhusu umuhimu wa elimu. Natumai ya kwamba mtanisikiza kwa makini na myatilie maanani maneno ambayo nitawasimulia siku hii.
Wahenga na wahenguzi wakukosea waliponena kwamb anayechukia kurebishwa ni mjinga na natumai kuwa hapa hakuna mmoja wao. Elimu ni ngao ya maisha na pia ni mwangaza. Usiposoma maisha yako huwenda yakazoroteka mno.
Umuhimu wa elimu ni kuongezea mtu akili, adabu na kuwaheshimu wakubwa kwa wadogo kwani heshima si utumwa. Elimu pia huboresha maisha ya wanajamii, husaidia kujibu maswali, husaidia kusuluhisha shida za hesabu na kadhalika.
Nataka kuwarekebisha mapema kwani tusipozíba ufa tutajenga ukuta na iyo itakua imetumeshachelewa kitambo. Elimu pia husaidia kwa mtu kupata kazi kama vile ya ofisi, uwalimu, udaktari na nyinginyezo.
Jambo jingine ni kwamba wanafunzi wengi wakifika katika shule ya upili, wengi huona kama wanatoshana na walimu wao, wazazi wao, na hata vijana wa umri mmoja nao Ningewaomba tuungane kwani umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu na tupende elimu pamoja na sisi wenye tujipende pia.
Natumai kuwa mwenye masikio amesikia. Asanteni kwa wakati wenu na kunipa sikio.” | Aliwarekebisha lini | {
"text": [
"mapema"
]
} |
5216_swa |
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, viranja na wanafunzi wenzangu hamjambo? Kwa majina ni Susan Ryguru kutoka Gacharage.
Nachukua fursa hii kuwaelezea kuhusu umuhimu wa elimu. Natumai ya kwamba mtanisikiza kwa makini na myatilie maanani maneno ambayo nitawasimulia siku hii.
Wahenga na wahenguzi wakukosea waliponena kwamb anayechukia kurebishwa ni mjinga na natumai kuwa hapa hakuna mmoja wao. Elimu ni ngao ya maisha na pia ni mwangaza. Usiposoma maisha yako huwenda yakazoroteka mno.
Umuhimu wa elimu ni kuongezea mtu akili, adabu na kuwaheshimu wakubwa kwa wadogo kwani heshima si utumwa. Elimu pia huboresha maisha ya wanajamii, husaidia kujibu maswali, husaidia kusuluhisha shida za hesabu na kadhalika.
Nataka kuwarekebisha mapema kwani tusipozíba ufa tutajenga ukuta na iyo itakua imetumeshachelewa kitambo. Elimu pia husaidia kwa mtu kupata kazi kama vile ya ofisi, uwalimu, udaktari na nyinginyezo.
Jambo jingine ni kwamba wanafunzi wengi wakifika katika shule ya upili, wengi huona kama wanatoshana na walimu wao, wazazi wao, na hata vijana wa umri mmoja nao Ningewaomba tuungane kwani umoja ni nguvu, utengano ni udhaifu na tupende elimu pamoja na sisi wenye tujipende pia.
Natumai kuwa mwenye masikio amesikia. Asanteni kwa wakati wenu na kunipa sikio.” | Kwa nini aliwarekebisha mapema | {
"text": [
"kwani usipoziba ufa utajenga ukuta"
]
} |
5217_swa |
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjambo? Sina mengi ila tu kuwashukuru kwa kunipa fursa hii ili niwaeleze umuhimu wa elimu.
Kwanza kabisa, elimu ni ufunguo wa maisha mazuri. Tunapopata elimu, tunahakikishiwa kuwa watu wa maana katika maisha ya usoni kwani tutakua tumesoma hadi chuo kikuu. Mtu anaposoma chuo kikuu na kuhitimu, huweza kupata kazi kwa urahisi na hivyo kuweza kujimudu.
Elimu pia hutuwezesha kuwa na nidhamu na heshima wakati wote kwa watu wote. Kupitia elimu, tunafunzwa jinsi ya kuishi na kukaa na watu wengine bali na wale wa jamii zetu.
Elimu ni muhimu sana katika maisha yetu, kwa hivyo sote tujikakamue masomoni. Asanteni sana kwa kunisikiliza na Mungu awabariki.”
| Mbiu ya mgambo ikilia kuna nini | {
"text": [
"jambo"
]
} |
5217_swa |
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjambo? Sina mengi ila tu kuwashukuru kwa kunipa fursa hii ili niwaeleze umuhimu wa elimu.
Kwanza kabisa, elimu ni ufunguo wa maisha mazuri. Tunapopata elimu, tunahakikishiwa kuwa watu wa maana katika maisha ya usoni kwani tutakua tumesoma hadi chuo kikuu. Mtu anaposoma chuo kikuu na kuhitimu, huweza kupata kazi kwa urahisi na hivyo kuweza kujimudu.
Elimu pia hutuwezesha kuwa na nidhamu na heshima wakati wote kwa watu wote. Kupitia elimu, tunafunzwa jinsi ya kuishi na kukaa na watu wengine bali na wale wa jamii zetu.
Elimu ni muhimu sana katika maisha yetu, kwa hivyo sote tujikakamue masomoni. Asanteni sana kwa kunisikiliza na Mungu awabariki.”
| Mchagua jembe si nani | {
"text": [
"mkulima"
]
} |
5217_swa |
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjambo? Sina mengi ila tu kuwashukuru kwa kunipa fursa hii ili niwaeleze umuhimu wa elimu.
Kwanza kabisa, elimu ni ufunguo wa maisha mazuri. Tunapopata elimu, tunahakikishiwa kuwa watu wa maana katika maisha ya usoni kwani tutakua tumesoma hadi chuo kikuu. Mtu anaposoma chuo kikuu na kuhitimu, huweza kupata kazi kwa urahisi na hivyo kuweza kujimudu.
Elimu pia hutuwezesha kuwa na nidhamu na heshima wakati wote kwa watu wote. Kupitia elimu, tunafunzwa jinsi ya kuishi na kukaa na watu wengine bali na wale wa jamii zetu.
Elimu ni muhimu sana katika maisha yetu, kwa hivyo sote tujikakamue masomoni. Asanteni sana kwa kunisikiliza na Mungu awabariki.”
| Nini haina mwisho | {
"text": [
"masomo"
]
} |
5217_swa |
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjambo? Sina mengi ila tu kuwashukuru kwa kunipa fursa hii ili niwaeleze umuhimu wa elimu.
Kwanza kabisa, elimu ni ufunguo wa maisha mazuri. Tunapopata elimu, tunahakikishiwa kuwa watu wa maana katika maisha ya usoni kwani tutakua tumesoma hadi chuo kikuu. Mtu anaposoma chuo kikuu na kuhitimu, huweza kupata kazi kwa urahisi na hivyo kuweza kujimudu.
Elimu pia hutuwezesha kuwa na nidhamu na heshima wakati wote kwa watu wote. Kupitia elimu, tunafunzwa jinsi ya kuishi na kukaa na watu wengine bali na wale wa jamii zetu.
Elimu ni muhimu sana katika maisha yetu, kwa hivyo sote tujikakamue masomoni. Asanteni sana kwa kunisikiliza na Mungu awabariki.”
| Utafanya kazi gani bila Mungu | {
"text": [
"ya bure"
]
} |
5217_swa |
“Mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu na wanafunzi, hamjambo? Sina mengi ila tu kuwashukuru kwa kunipa fursa hii ili niwaeleze umuhimu wa elimu.
Kwanza kabisa, elimu ni ufunguo wa maisha mazuri. Tunapopata elimu, tunahakikishiwa kuwa watu wa maana katika maisha ya usoni kwani tutakua tumesoma hadi chuo kikuu. Mtu anaposoma chuo kikuu na kuhitimu, huweza kupata kazi kwa urahisi na hivyo kuweza kujimudu.
Elimu pia hutuwezesha kuwa na nidhamu na heshima wakati wote kwa watu wote. Kupitia elimu, tunafunzwa jinsi ya kuishi na kukaa na watu wengine bali na wale wa jamii zetu.
Elimu ni muhimu sana katika maisha yetu, kwa hivyo sote tujikakamue masomoni. Asanteni sana kwa kunisikiliza na Mungu awabariki.”
| Mbona mwanafunzi afanye kazi kwa bidii | {
"text": [
"ili apate anachotaka"
]
} |
5218_swa | UMUHIMU WA ELIMU
"Waziri wa elimu, mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, wazazi na wanafunzi wenzangu hamjambo? Nawashukuru nyote kwa kuja hapa na kujitoa kwa muda, wenu na kufika hapa leo.
Ningependa kuzungumzia kuhusu elimu. Wanafunzi wenzagu ningependa kuwaeleza kuwa mosumo ni muhimu kwa maisha ya binadamu hasa wanafunzi kama sisi.
Masomo yataweza kusaidia sana katika maisha ya sasa kwa njia nyingi kama kutoa wazazi wetu kwa umaskini. Mzazi anaweza kuwa maskini lakini wewe mtoto wake uwe na pesa kumshinda kwa kutumia masomo. Unaweza somo na ukapata kazi nzuri ambayo itakufanya uwainue wazazi wako.
Jambo ambalo tunapaswa kufanya ni kusoma kwa bidii kwa hali na mali kwani, mchumia juani hulia kivulini. Sisi wote tusome kwa bidii kama za mchwa.
Tusiposoma kwa bidii, tutaishi kwa maisha ya ufukara wa hali ya juu sana. Ni kweli kuwa umaskini ndio mwanzo wa shida kwa mtu yeyote.
Sisi sote tukisoma kwa bidii, tutafaulu katika maisha na kupata kazi mzuri za kutupa mapato makubwa na makubwa. Nawashukuru nyinyi wote kwa kufika hapa leo, asanteni sana." | Mnenaji anawashukuru kwa kuja wapi | {
"text": [
"Hapa"
]
} |
5218_swa | UMUHIMU WA ELIMU
"Waziri wa elimu, mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, wazazi na wanafunzi wenzangu hamjambo? Nawashukuru nyote kwa kuja hapa na kujitoa kwa muda, wenu na kufika hapa leo.
Ningependa kuzungumzia kuhusu elimu. Wanafunzi wenzagu ningependa kuwaeleza kuwa mosumo ni muhimu kwa maisha ya binadamu hasa wanafunzi kama sisi.
Masomo yataweza kusaidia sana katika maisha ya sasa kwa njia nyingi kama kutoa wazazi wetu kwa umaskini. Mzazi anaweza kuwa maskini lakini wewe mtoto wake uwe na pesa kumshinda kwa kutumia masomo. Unaweza somo na ukapata kazi nzuri ambayo itakufanya uwainue wazazi wako.
Jambo ambalo tunapaswa kufanya ni kusoma kwa bidii kwa hali na mali kwani, mchumia juani hulia kivulini. Sisi wote tusome kwa bidii kama za mchwa.
Tusiposoma kwa bidii, tutaishi kwa maisha ya ufukara wa hali ya juu sana. Ni kweli kuwa umaskini ndio mwanzo wa shida kwa mtu yeyote.
Sisi sote tukisoma kwa bidii, tutafaulu katika maisha na kupata kazi mzuri za kutupa mapato makubwa na makubwa. Nawashukuru nyinyi wote kwa kufika hapa leo, asanteni sana." | Masomo ni muhimu kwa maisha ya nani | {
"text": [
"Binadamu"
]
} |
5218_swa | UMUHIMU WA ELIMU
"Waziri wa elimu, mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, wazazi na wanafunzi wenzangu hamjambo? Nawashukuru nyote kwa kuja hapa na kujitoa kwa muda, wenu na kufika hapa leo.
Ningependa kuzungumzia kuhusu elimu. Wanafunzi wenzagu ningependa kuwaeleza kuwa mosumo ni muhimu kwa maisha ya binadamu hasa wanafunzi kama sisi.
Masomo yataweza kusaidia sana katika maisha ya sasa kwa njia nyingi kama kutoa wazazi wetu kwa umaskini. Mzazi anaweza kuwa maskini lakini wewe mtoto wake uwe na pesa kumshinda kwa kutumia masomo. Unaweza somo na ukapata kazi nzuri ambayo itakufanya uwainue wazazi wako.
Jambo ambalo tunapaswa kufanya ni kusoma kwa bidii kwa hali na mali kwani, mchumia juani hulia kivulini. Sisi wote tusome kwa bidii kama za mchwa.
Tusiposoma kwa bidii, tutaishi kwa maisha ya ufukara wa hali ya juu sana. Ni kweli kuwa umaskini ndio mwanzo wa shida kwa mtu yeyote.
Sisi sote tukisoma kwa bidii, tutafaulu katika maisha na kupata kazi mzuri za kutupa mapato makubwa na makubwa. Nawashukuru nyinyi wote kwa kufika hapa leo, asanteni sana." | Nini kinaweza kutusaidia katika maisha haya | {
"text": [
"Masomo"
]
} |
5218_swa | UMUHIMU WA ELIMU
"Waziri wa elimu, mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, wazazi na wanafunzi wenzangu hamjambo? Nawashukuru nyote kwa kuja hapa na kujitoa kwa muda, wenu na kufika hapa leo.
Ningependa kuzungumzia kuhusu elimu. Wanafunzi wenzagu ningependa kuwaeleza kuwa mosumo ni muhimu kwa maisha ya binadamu hasa wanafunzi kama sisi.
Masomo yataweza kusaidia sana katika maisha ya sasa kwa njia nyingi kama kutoa wazazi wetu kwa umaskini. Mzazi anaweza kuwa maskini lakini wewe mtoto wake uwe na pesa kumshinda kwa kutumia masomo. Unaweza somo na ukapata kazi nzuri ambayo itakufanya uwainue wazazi wako.
Jambo ambalo tunapaswa kufanya ni kusoma kwa bidii kwa hali na mali kwani, mchumia juani hulia kivulini. Sisi wote tusome kwa bidii kama za mchwa.
Tusiposoma kwa bidii, tutaishi kwa maisha ya ufukara wa hali ya juu sana. Ni kweli kuwa umaskini ndio mwanzo wa shida kwa mtu yeyote.
Sisi sote tukisoma kwa bidii, tutafaulu katika maisha na kupata kazi mzuri za kutupa mapato makubwa na makubwa. Nawashukuru nyinyi wote kwa kufika hapa leo, asanteni sana." | Nani anaweza kuwa maskini | {
"text": [
"Mzazi"
]
} |
5218_swa | UMUHIMU WA ELIMU
"Waziri wa elimu, mwalimu mkuu, naibu wa mwalimu mkuu, walimu, wazazi na wanafunzi wenzangu hamjambo? Nawashukuru nyote kwa kuja hapa na kujitoa kwa muda, wenu na kufika hapa leo.
Ningependa kuzungumzia kuhusu elimu. Wanafunzi wenzagu ningependa kuwaeleza kuwa mosumo ni muhimu kwa maisha ya binadamu hasa wanafunzi kama sisi.
Masomo yataweza kusaidia sana katika maisha ya sasa kwa njia nyingi kama kutoa wazazi wetu kwa umaskini. Mzazi anaweza kuwa maskini lakini wewe mtoto wake uwe na pesa kumshinda kwa kutumia masomo. Unaweza somo na ukapata kazi nzuri ambayo itakufanya uwainue wazazi wako.
Jambo ambalo tunapaswa kufanya ni kusoma kwa bidii kwa hali na mali kwani, mchumia juani hulia kivulini. Sisi wote tusome kwa bidii kama za mchwa.
Tusiposoma kwa bidii, tutaishi kwa maisha ya ufukara wa hali ya juu sana. Ni kweli kuwa umaskini ndio mwanzo wa shida kwa mtu yeyote.
Sisi sote tukisoma kwa bidii, tutafaulu katika maisha na kupata kazi mzuri za kutupa mapato makubwa na makubwa. Nawashukuru nyinyi wote kwa kufika hapa leo, asanteni sana." | Tusiposoma kwa bidii tutaishi maisha gani | {
"text": [
"Ya ufukara"
]
} |
5219_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Walimu wenzangu na wanafunzi, hamjambo? Natumai kuwa m buheri wa afya. Nachukua fursa hii kuwakaribisha katika mkutano huu. Shule yetu imekukua na tatizo la stima, hakujakuwa na stima kwa muda mrefu sasa. Ningependa kuomba mwalimu mkuu ashugulukie tatizo hili kwa kasi.
Walimu, elimu ni kitu cha maana sana kwa maisha ya binadamu.Watoto wote katika jamii wanafaa kupata elimu ili wawe watu wanaojielewa na wenye nidhamu. Elimu ni nguzo ya maisha mazuri, kwani mtu anahitajika kuelimika ili aweze kupata kazi za ofisi.
Elimu ina faida nyingi sana kwetu sisi. Hivyo basi, tunafaa kuienzi. Asanteni kwa kunisikiliza.
| Msemaji anatumai wana nini | {
"text": [
"Afya"
]
} |
5219_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Walimu wenzangu na wanafunzi, hamjambo? Natumai kuwa m buheri wa afya. Nachukua fursa hii kuwakaribisha katika mkutano huu. Shule yetu imekukua na tatizo la stima, hakujakuwa na stima kwa muda mrefu sasa. Ningependa kuomba mwalimu mkuu ashugulukie tatizo hili kwa kasi.
Walimu, elimu ni kitu cha maana sana kwa maisha ya binadamu.Watoto wote katika jamii wanafaa kupata elimu ili wawe watu wanaojielewa na wenye nidhamu. Elimu ni nguzo ya maisha mazuri, kwani mtu anahitajika kuelimika ili aweze kupata kazi za ofisi.
Elimu ina faida nyingi sana kwetu sisi. Hivyo basi, tunafaa kuienzi. Asanteni kwa kunisikiliza.
| Anachukua fursa kuwakaribisha wapi | {
"text": [
"Katika mkutano"
]
} |
5219_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Walimu wenzangu na wanafunzi, hamjambo? Natumai kuwa m buheri wa afya. Nachukua fursa hii kuwakaribisha katika mkutano huu. Shule yetu imekukua na tatizo la stima, hakujakuwa na stima kwa muda mrefu sasa. Ningependa kuomba mwalimu mkuu ashugulukie tatizo hili kwa kasi.
Walimu, elimu ni kitu cha maana sana kwa maisha ya binadamu.Watoto wote katika jamii wanafaa kupata elimu ili wawe watu wanaojielewa na wenye nidhamu. Elimu ni nguzo ya maisha mazuri, kwani mtu anahitajika kuelimika ili aweze kupata kazi za ofisi.
Elimu ina faida nyingi sana kwetu sisi. Hivyo basi, tunafaa kuienzi. Asanteni kwa kunisikiliza.
| Elimu ina nini | {
"text": [
"Mavuno mengi sana"
]
} |
5219_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Walimu wenzangu na wanafunzi, hamjambo? Natumai kuwa m buheri wa afya. Nachukua fursa hii kuwakaribisha katika mkutano huu. Shule yetu imekukua na tatizo la stima, hakujakuwa na stima kwa muda mrefu sasa. Ningependa kuomba mwalimu mkuu ashugulukie tatizo hili kwa kasi.
Walimu, elimu ni kitu cha maana sana kwa maisha ya binadamu.Watoto wote katika jamii wanafaa kupata elimu ili wawe watu wanaojielewa na wenye nidhamu. Elimu ni nguzo ya maisha mazuri, kwani mtu anahitajika kuelimika ili aweze kupata kazi za ofisi.
Elimu ina faida nyingi sana kwetu sisi. Hivyo basi, tunafaa kuienzi. Asanteni kwa kunisikiliza.
| Mtu anaposoma huona nini | {
"text": [
"Mazuri"
]
} |
5219_swa |
UMUHIMU WA ELIMU
Walimu wenzangu na wanafunzi, hamjambo? Natumai kuwa m buheri wa afya. Nachukua fursa hii kuwakaribisha katika mkutano huu. Shule yetu imekukua na tatizo la stima, hakujakuwa na stima kwa muda mrefu sasa. Ningependa kuomba mwalimu mkuu ashugulukie tatizo hili kwa kasi.
Walimu, elimu ni kitu cha maana sana kwa maisha ya binadamu.Watoto wote katika jamii wanafaa kupata elimu ili wawe watu wanaojielewa na wenye nidhamu. Elimu ni nguzo ya maisha mazuri, kwani mtu anahitajika kuelimika ili aweze kupata kazi za ofisi.
Elimu ina faida nyingi sana kwetu sisi. Hivyo basi, tunafaa kuienzi. Asanteni kwa kunisikiliza.
| Mtu asipopata elimu atapata nini | {
"text": [
"Shida"
]
} |
5220_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo kina faida nyingi sana hapa nchini. Kutokana na kilimo tunapata vyakula vya kila aina kama vile njungu, mahindi, maharagwe na mihogo.
Kilimo kimechangia katika kuilisha wananchi wa taifa hili letu. Mavuno ya kilimo cha mimea yameweza kusafirishwa hadi kwenye masoko na kuweza kuuziwa watu. Hivyo basi, kilimo kimehakikisha kuwa hakuna tena janga la njaa nchini.
Kilimo pia kimewawezesha watu wengi kuweza kupata ajira na hivyo basi kuweza kujimudu. Watu wengi wamepata kazi kwa sababu ya kilimo. Hali hii pia imepunguza kiasi cha uhalifu nchini kwani watu wengi wako na kazi.
Kilimo kina manufaa mengi sana hapa nchini na hivyo basi kinafaa kuzingatiwa na kuimarishwa.
| Watu hulima nini | {
"text": [
"Chakula kingi sana"
]
} |
5220_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo kina faida nyingi sana hapa nchini. Kutokana na kilimo tunapata vyakula vya kila aina kama vile njungu, mahindi, maharagwe na mihogo.
Kilimo kimechangia katika kuilisha wananchi wa taifa hili letu. Mavuno ya kilimo cha mimea yameweza kusafirishwa hadi kwenye masoko na kuweza kuuziwa watu. Hivyo basi, kilimo kimehakikisha kuwa hakuna tena janga la njaa nchini.
Kilimo pia kimewawezesha watu wengi kuweza kupata ajira na hivyo basi kuweza kujimudu. Watu wengi wamepata kazi kwa sababu ya kilimo. Hali hii pia imepunguza kiasi cha uhalifu nchini kwani watu wengi wako na kazi.
Kilimo kina manufaa mengi sana hapa nchini na hivyo basi kinafaa kuzingatiwa na kuimarishwa.
| Ni wakati gani watu hawakukosa chakula | {
"text": [
"Mwaka wa elfu mbili na kumi na saba"
]
} |
5220_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo kina faida nyingi sana hapa nchini. Kutokana na kilimo tunapata vyakula vya kila aina kama vile njungu, mahindi, maharagwe na mihogo.
Kilimo kimechangia katika kuilisha wananchi wa taifa hili letu. Mavuno ya kilimo cha mimea yameweza kusafirishwa hadi kwenye masoko na kuweza kuuziwa watu. Hivyo basi, kilimo kimehakikisha kuwa hakuna tena janga la njaa nchini.
Kilimo pia kimewawezesha watu wengi kuweza kupata ajira na hivyo basi kuweza kujimudu. Watu wengi wamepata kazi kwa sababu ya kilimo. Hali hii pia imepunguza kiasi cha uhalifu nchini kwani watu wengi wako na kazi.
Kilimo kina manufaa mengi sana hapa nchini na hivyo basi kinafaa kuzingatiwa na kuimarishwa.
| Watu walikula chakula chao vipi | {
"text": [
"Vizuri bila kutupa"
]
} |
5220_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo kina faida nyingi sana hapa nchini. Kutokana na kilimo tunapata vyakula vya kila aina kama vile njungu, mahindi, maharagwe na mihogo.
Kilimo kimechangia katika kuilisha wananchi wa taifa hili letu. Mavuno ya kilimo cha mimea yameweza kusafirishwa hadi kwenye masoko na kuweza kuuziwa watu. Hivyo basi, kilimo kimehakikisha kuwa hakuna tena janga la njaa nchini.
Kilimo pia kimewawezesha watu wengi kuweza kupata ajira na hivyo basi kuweza kujimudu. Watu wengi wamepata kazi kwa sababu ya kilimo. Hali hii pia imepunguza kiasi cha uhalifu nchini kwani watu wengi wako na kazi.
Kilimo kina manufaa mengi sana hapa nchini na hivyo basi kinafaa kuzingatiwa na kuimarishwa.
| Waziri aliwahimiza watu wasiharibu nini | {
"text": [
"Vyakula"
]
} |
5220_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo kina faida nyingi sana hapa nchini. Kutokana na kilimo tunapata vyakula vya kila aina kama vile njungu, mahindi, maharagwe na mihogo.
Kilimo kimechangia katika kuilisha wananchi wa taifa hili letu. Mavuno ya kilimo cha mimea yameweza kusafirishwa hadi kwenye masoko na kuweza kuuziwa watu. Hivyo basi, kilimo kimehakikisha kuwa hakuna tena janga la njaa nchini.
Kilimo pia kimewawezesha watu wengi kuweza kupata ajira na hivyo basi kuweza kujimudu. Watu wengi wamepata kazi kwa sababu ya kilimo. Hali hii pia imepunguza kiasi cha uhalifu nchini kwani watu wengi wako na kazi.
Kilimo kina manufaa mengi sana hapa nchini na hivyo basi kinafaa kuzingatiwa na kuimarishwa.
| Kwa nini kutunza vyakula | {
"text": [
"Ili viweze kusaidia"
]
} |
5221_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo ni kitu cha maana katika nchi ya Kenya. Kwanza, kilimo husaidia vijana wadogo kuweza kupata kazi. Vijana hawaa wakipata kazi, wataacha kutumia mihadarati na pia kuacha uhalifu.
Watu hupanda mimea mbalimbali katika mashamba yao ili kupata aina mingi ya vyakula. Wakulima pia hujihusisha pia katika kilimo cha kufuga wanyama.Mifugo hii huwapa maziwa na hata nyama amabayo huuzwa ili kupata pesa. Pesa hizi huwasaidia wakulima hawa kuweza kukimu mahitaji yao ya kila siku.
Mazao ya kilimo pia huweza kuuzwa katika nchi za ng’ambo. Soko hili la kimataifa huweza kuimarisha jina la nchi yetu na pia kutuwezesha kupata fedha za kigeni. Fedha hizi huweza kuimarisha uchumi wa taifa letu.
| Kilimo ni muhimu katika jamhuri ipi | {
"text": [
"Kenya"
]
} |
5221_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo ni kitu cha maana katika nchi ya Kenya. Kwanza, kilimo husaidia vijana wadogo kuweza kupata kazi. Vijana hawaa wakipata kazi, wataacha kutumia mihadarati na pia kuacha uhalifu.
Watu hupanda mimea mbalimbali katika mashamba yao ili kupata aina mingi ya vyakula. Wakulima pia hujihusisha pia katika kilimo cha kufuga wanyama.Mifugo hii huwapa maziwa na hata nyama amabayo huuzwa ili kupata pesa. Pesa hizi huwasaidia wakulima hawa kuweza kukimu mahitaji yao ya kila siku.
Mazao ya kilimo pia huweza kuuzwa katika nchi za ng’ambo. Soko hili la kimataifa huweza kuimarisha jina la nchi yetu na pia kutuwezesha kupata fedha za kigeni. Fedha hizi huweza kuimarisha uchumi wa taifa letu.
| Watu hupanda nini | {
"text": [
"Mimea"
]
} |
5221_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo ni kitu cha maana katika nchi ya Kenya. Kwanza, kilimo husaidia vijana wadogo kuweza kupata kazi. Vijana hawaa wakipata kazi, wataacha kutumia mihadarati na pia kuacha uhalifu.
Watu hupanda mimea mbalimbali katika mashamba yao ili kupata aina mingi ya vyakula. Wakulima pia hujihusisha pia katika kilimo cha kufuga wanyama.Mifugo hii huwapa maziwa na hata nyama amabayo huuzwa ili kupata pesa. Pesa hizi huwasaidia wakulima hawa kuweza kukimu mahitaji yao ya kila siku.
Mazao ya kilimo pia huweza kuuzwa katika nchi za ng’ambo. Soko hili la kimataifa huweza kuimarisha jina la nchi yetu na pia kutuwezesha kupata fedha za kigeni. Fedha hizi huweza kuimarisha uchumi wa taifa letu.
| Wakulima hupeleka maziwa wapi | {
"text": [
"viwandani"
]
} |
5221_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo ni kitu cha maana katika nchi ya Kenya. Kwanza, kilimo husaidia vijana wadogo kuweza kupata kazi. Vijana hawaa wakipata kazi, wataacha kutumia mihadarati na pia kuacha uhalifu.
Watu hupanda mimea mbalimbali katika mashamba yao ili kupata aina mingi ya vyakula. Wakulima pia hujihusisha pia katika kilimo cha kufuga wanyama.Mifugo hii huwapa maziwa na hata nyama amabayo huuzwa ili kupata pesa. Pesa hizi huwasaidia wakulima hawa kuweza kukimu mahitaji yao ya kila siku.
Mazao ya kilimo pia huweza kuuzwa katika nchi za ng’ambo. Soko hili la kimataifa huweza kuimarisha jina la nchi yetu na pia kutuwezesha kupata fedha za kigeni. Fedha hizi huweza kuimarisha uchumi wa taifa letu.
| Ukulima huleta nini | {
"text": [
"Pesa"
]
} |
5221_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo ni kitu cha maana katika nchi ya Kenya. Kwanza, kilimo husaidia vijana wadogo kuweza kupata kazi. Vijana hawaa wakipata kazi, wataacha kutumia mihadarati na pia kuacha uhalifu.
Watu hupanda mimea mbalimbali katika mashamba yao ili kupata aina mingi ya vyakula. Wakulima pia hujihusisha pia katika kilimo cha kufuga wanyama.Mifugo hii huwapa maziwa na hata nyama amabayo huuzwa ili kupata pesa. Pesa hizi huwasaidia wakulima hawa kuweza kukimu mahitaji yao ya kila siku.
Mazao ya kilimo pia huweza kuuzwa katika nchi za ng’ambo. Soko hili la kimataifa huweza kuimarisha jina la nchi yetu na pia kutuwezesha kupata fedha za kigeni. Fedha hizi huweza kuimarisha uchumi wa taifa letu.
| Ni vipi kilimo husaidia nchi kuwa na jina kubwa | {
"text": [
"Kwa kuuza mimea katika nchi za nje"
]
} |
5222_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Aslimia themanini ya watu nchini Kenya hutegemea kilimo. Kilimo ni muhimu sana kwa jamii. Kilimo huwezesha usambazaji wa vyakula katika vijijini mbali mbali. Usambazaji wa chakula husaidia watu katika jamii mbali mbali kuwa na afya nzuri.
Kukiwa na chakula cha kutosha nchini, hakutakuwa na haja ya kununua chakula kutoka nchi za nje. Pesa ambazo zitakuwa zimehifadhiwa huweza kutumiwa kuendeleza miradi mingi huku nchini kama ujenzi wa barabara na shule. Fedha hizi pia zinaweza kutumika kuimarisha kilimo nchini. Njia za kuimarisha kilimo hapa nchini ni kama vile kununua trakta za kisasa, mbolea na hata kununua dawa za kuwauwa wadudu wanaoharibu mimmea.
Viwanda vingi vimeweza kufunguliwa kwa sababu ya kilimo. Viwanda hivi ni kama vya kutengeneza unga, majani chai na hata maziwa. Viwanda hivi vikizidi kuongezeka, nafasi za ajira huweza kupatikana. Pia, viwanda hivi hulipa ushuru na hivyo basi kusaidia kuimarisha uchumi wa nchi.
| Asilimia ngapi nchini hutegemea kilimo | {
"text": [
"themanini"
]
} |
5222_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Aslimia themanini ya watu nchini Kenya hutegemea kilimo. Kilimo ni muhimu sana kwa jamii. Kilimo huwezesha usambazaji wa vyakula katika vijijini mbali mbali. Usambazaji wa chakula husaidia watu katika jamii mbali mbali kuwa na afya nzuri.
Kukiwa na chakula cha kutosha nchini, hakutakuwa na haja ya kununua chakula kutoka nchi za nje. Pesa ambazo zitakuwa zimehifadhiwa huweza kutumiwa kuendeleza miradi mingi huku nchini kama ujenzi wa barabara na shule. Fedha hizi pia zinaweza kutumika kuimarisha kilimo nchini. Njia za kuimarisha kilimo hapa nchini ni kama vile kununua trakta za kisasa, mbolea na hata kununua dawa za kuwauwa wadudu wanaoharibu mimmea.
Viwanda vingi vimeweza kufunguliwa kwa sababu ya kilimo. Viwanda hivi ni kama vya kutengeneza unga, majani chai na hata maziwa. Viwanda hivi vikizidi kuongezeka, nafasi za ajira huweza kupatikana. Pia, viwanda hivi hulipa ushuru na hivyo basi kusaidia kuimarisha uchumi wa nchi.
| Nini husambaza chakula jijini | {
"text": [
"kilimo"
]
} |
5222_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Aslimia themanini ya watu nchini Kenya hutegemea kilimo. Kilimo ni muhimu sana kwa jamii. Kilimo huwezesha usambazaji wa vyakula katika vijijini mbali mbali. Usambazaji wa chakula husaidia watu katika jamii mbali mbali kuwa na afya nzuri.
Kukiwa na chakula cha kutosha nchini, hakutakuwa na haja ya kununua chakula kutoka nchi za nje. Pesa ambazo zitakuwa zimehifadhiwa huweza kutumiwa kuendeleza miradi mingi huku nchini kama ujenzi wa barabara na shule. Fedha hizi pia zinaweza kutumika kuimarisha kilimo nchini. Njia za kuimarisha kilimo hapa nchini ni kama vile kununua trakta za kisasa, mbolea na hata kununua dawa za kuwauwa wadudu wanaoharibu mimmea.
Viwanda vingi vimeweza kufunguliwa kwa sababu ya kilimo. Viwanda hivi ni kama vya kutengeneza unga, majani chai na hata maziwa. Viwanda hivi vikizidi kuongezeka, nafasi za ajira huweza kupatikana. Pia, viwanda hivi hulipa ushuru na hivyo basi kusaidia kuimarisha uchumi wa nchi.
| Kuna upungufu wa kununua vifaa gani | {
"text": [
"vya kilimo"
]
} |
5222_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Aslimia themanini ya watu nchini Kenya hutegemea kilimo. Kilimo ni muhimu sana kwa jamii. Kilimo huwezesha usambazaji wa vyakula katika vijijini mbali mbali. Usambazaji wa chakula husaidia watu katika jamii mbali mbali kuwa na afya nzuri.
Kukiwa na chakula cha kutosha nchini, hakutakuwa na haja ya kununua chakula kutoka nchi za nje. Pesa ambazo zitakuwa zimehifadhiwa huweza kutumiwa kuendeleza miradi mingi huku nchini kama ujenzi wa barabara na shule. Fedha hizi pia zinaweza kutumika kuimarisha kilimo nchini. Njia za kuimarisha kilimo hapa nchini ni kama vile kununua trakta za kisasa, mbolea na hata kununua dawa za kuwauwa wadudu wanaoharibu mimmea.
Viwanda vingi vimeweza kufunguliwa kwa sababu ya kilimo. Viwanda hivi ni kama vya kutengeneza unga, majani chai na hata maziwa. Viwanda hivi vikizidi kuongezeka, nafasi za ajira huweza kupatikana. Pia, viwanda hivi hulipa ushuru na hivyo basi kusaidia kuimarisha uchumi wa nchi.
| Nani hupanda mti | {
"text": [
"mkulima"
]
} |
5222_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Aslimia themanini ya watu nchini Kenya hutegemea kilimo. Kilimo ni muhimu sana kwa jamii. Kilimo huwezesha usambazaji wa vyakula katika vijijini mbali mbali. Usambazaji wa chakula husaidia watu katika jamii mbali mbali kuwa na afya nzuri.
Kukiwa na chakula cha kutosha nchini, hakutakuwa na haja ya kununua chakula kutoka nchi za nje. Pesa ambazo zitakuwa zimehifadhiwa huweza kutumiwa kuendeleza miradi mingi huku nchini kama ujenzi wa barabara na shule. Fedha hizi pia zinaweza kutumika kuimarisha kilimo nchini. Njia za kuimarisha kilimo hapa nchini ni kama vile kununua trakta za kisasa, mbolea na hata kununua dawa za kuwauwa wadudu wanaoharibu mimmea.
Viwanda vingi vimeweza kufunguliwa kwa sababu ya kilimo. Viwanda hivi ni kama vya kutengeneza unga, majani chai na hata maziwa. Viwanda hivi vikizidi kuongezeka, nafasi za ajira huweza kupatikana. Pia, viwanda hivi hulipa ushuru na hivyo basi kusaidia kuimarisha uchumi wa nchi.
| Pesa zinazoletwa nchini na kilimo hutumikaje | {
"text": [
"kwa ujenzi wa barabara na kulipa deni"
]
} |
5223_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo husaidia sana hapa nchini. Mwanzo, vyakula vyote tunavyokula hutoka kwa kilimo. Kwa hivyo, kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi hii yetu.
Kilimo kimewawezesha watu wengi kupata kazi. Watu wengi wameweza kuajiriwa mashambani ili kusaidia katika shughuli za kilimo. Wengine wameweza kujiajiri kutokana na kilimo. Mfano ni mchuuzi wa matunda au hata wa mboga.
Pia, kilimo kimesaidia kwa kuimarisha uchumi wa nchi. Wakulima wanapouza bidhaa zao katika soko za hapa nchini au hata soko za kimataifa, wao hutozwa ushuru. Ushuru hutumika kuendeleza shuguli mbalimbali za kuendeleza nchi.
Viwanda vingi vimeweza kuzalishwa na kilimo. Viwanda hivi ni kama vile vya kutengeneza unga, maziwa,majani chai na hata kahawa. Viwanda hivi husaidia kuendeleza miji hapa nchini na pia kuchangia uimarishaji wa uchumi wa nchi.
Uhalifu umeweza kupungua nchini. Hii ni kwa sababu, vijana ambao walikuwa wanahusika na ualifu sasa wana kazi ambazo huwapa pesa za kukimu mahitaji yao.
Kilimo hapa nchini Kenya kinafaa kuzingatiwa na kuimarishwa kwani ni muhimu sana kwetu sote. | Chakula hutoka kwa nini | {
"text": [
"Kilimo"
]
} |
5223_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo husaidia sana hapa nchini. Mwanzo, vyakula vyote tunavyokula hutoka kwa kilimo. Kwa hivyo, kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi hii yetu.
Kilimo kimewawezesha watu wengi kupata kazi. Watu wengi wameweza kuajiriwa mashambani ili kusaidia katika shughuli za kilimo. Wengine wameweza kujiajiri kutokana na kilimo. Mfano ni mchuuzi wa matunda au hata wa mboga.
Pia, kilimo kimesaidia kwa kuimarisha uchumi wa nchi. Wakulima wanapouza bidhaa zao katika soko za hapa nchini au hata soko za kimataifa, wao hutozwa ushuru. Ushuru hutumika kuendeleza shuguli mbalimbali za kuendeleza nchi.
Viwanda vingi vimeweza kuzalishwa na kilimo. Viwanda hivi ni kama vile vya kutengeneza unga, maziwa,majani chai na hata kahawa. Viwanda hivi husaidia kuendeleza miji hapa nchini na pia kuchangia uimarishaji wa uchumi wa nchi.
Uhalifu umeweza kupungua nchini. Hii ni kwa sababu, vijana ambao walikuwa wanahusika na ualifu sasa wana kazi ambazo huwapa pesa za kukimu mahitaji yao.
Kilimo hapa nchini Kenya kinafaa kuzingatiwa na kuimarishwa kwani ni muhimu sana kwetu sote. | Wakulima hutoa nini wakienda kuuza | {
"text": [
"Ushuru"
]
} |
5223_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo husaidia sana hapa nchini. Mwanzo, vyakula vyote tunavyokula hutoka kwa kilimo. Kwa hivyo, kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi hii yetu.
Kilimo kimewawezesha watu wengi kupata kazi. Watu wengi wameweza kuajiriwa mashambani ili kusaidia katika shughuli za kilimo. Wengine wameweza kujiajiri kutokana na kilimo. Mfano ni mchuuzi wa matunda au hata wa mboga.
Pia, kilimo kimesaidia kwa kuimarisha uchumi wa nchi. Wakulima wanapouza bidhaa zao katika soko za hapa nchini au hata soko za kimataifa, wao hutozwa ushuru. Ushuru hutumika kuendeleza shuguli mbalimbali za kuendeleza nchi.
Viwanda vingi vimeweza kuzalishwa na kilimo. Viwanda hivi ni kama vile vya kutengeneza unga, maziwa,majani chai na hata kahawa. Viwanda hivi husaidia kuendeleza miji hapa nchini na pia kuchangia uimarishaji wa uchumi wa nchi.
Uhalifu umeweza kupungua nchini. Hii ni kwa sababu, vijana ambao walikuwa wanahusika na ualifu sasa wana kazi ambazo huwapa pesa za kukimu mahitaji yao.
Kilimo hapa nchini Kenya kinafaa kuzingatiwa na kuimarishwa kwani ni muhimu sana kwetu sote. | Asili mia kubwa ya wananchi hunywa nini | {
"text": [
"Chai"
]
} |
5223_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo husaidia sana hapa nchini. Mwanzo, vyakula vyote tunavyokula hutoka kwa kilimo. Kwa hivyo, kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi hii yetu.
Kilimo kimewawezesha watu wengi kupata kazi. Watu wengi wameweza kuajiriwa mashambani ili kusaidia katika shughuli za kilimo. Wengine wameweza kujiajiri kutokana na kilimo. Mfano ni mchuuzi wa matunda au hata wa mboga.
Pia, kilimo kimesaidia kwa kuimarisha uchumi wa nchi. Wakulima wanapouza bidhaa zao katika soko za hapa nchini au hata soko za kimataifa, wao hutozwa ushuru. Ushuru hutumika kuendeleza shuguli mbalimbali za kuendeleza nchi.
Viwanda vingi vimeweza kuzalishwa na kilimo. Viwanda hivi ni kama vile vya kutengeneza unga, maziwa,majani chai na hata kahawa. Viwanda hivi husaidia kuendeleza miji hapa nchini na pia kuchangia uimarishaji wa uchumi wa nchi.
Uhalifu umeweza kupungua nchini. Hii ni kwa sababu, vijana ambao walikuwa wanahusika na ualifu sasa wana kazi ambazo huwapa pesa za kukimu mahitaji yao.
Kilimo hapa nchini Kenya kinafaa kuzingatiwa na kuimarishwa kwani ni muhimu sana kwetu sote. | Kilimo hulisha nini | {
"text": [
"Familia"
]
} |
5223_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo husaidia sana hapa nchini. Mwanzo, vyakula vyote tunavyokula hutoka kwa kilimo. Kwa hivyo, kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi hii yetu.
Kilimo kimewawezesha watu wengi kupata kazi. Watu wengi wameweza kuajiriwa mashambani ili kusaidia katika shughuli za kilimo. Wengine wameweza kujiajiri kutokana na kilimo. Mfano ni mchuuzi wa matunda au hata wa mboga.
Pia, kilimo kimesaidia kwa kuimarisha uchumi wa nchi. Wakulima wanapouza bidhaa zao katika soko za hapa nchini au hata soko za kimataifa, wao hutozwa ushuru. Ushuru hutumika kuendeleza shuguli mbalimbali za kuendeleza nchi.
Viwanda vingi vimeweza kuzalishwa na kilimo. Viwanda hivi ni kama vile vya kutengeneza unga, maziwa,majani chai na hata kahawa. Viwanda hivi husaidia kuendeleza miji hapa nchini na pia kuchangia uimarishaji wa uchumi wa nchi.
Uhalifu umeweza kupungua nchini. Hii ni kwa sababu, vijana ambao walikuwa wanahusika na ualifu sasa wana kazi ambazo huwapa pesa za kukimu mahitaji yao.
Kilimo hapa nchini Kenya kinafaa kuzingatiwa na kuimarishwa kwani ni muhimu sana kwetu sote. | Kwa nini vijana hawapaswi kusema hakuna kazi | {
"text": [
"Kwa vile wanafaa kujishughulisha na kazi ya kilimo"
]
} |
5224_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI.
Kilimo ni sanaa au mtindo wa kiteknolojia unaoelezea ukulima na ufugaji wa mifugo. Kilimo kimeenea nchini na kuwapa wakulima faida kubwa. Wakulima wanafuga wanyama kama vile ngo'mbe, mbuzi, kondoo, kuku na wengi wengineo. Ngombe huwapa adinasi nyama, ngozi, maziwa na pembe zinazotumika kama ala za mziki. Kuku naye humfaidi insi na mayai, manyoga, na nyama. Ngozi ya kondoo hutumika kuundia nguo nzito na kumsaidia binadamu wakati wa baridi nyingi.
Wakulima hupanda mimea mingi inayompa faida kubwa mno. Wao hupanda mimea kama vile mahindi, maharagwe, michungwa, miembe, ndizi, pamba, mchele na mingi mingineyo. Wao huwauza mifugo na kuuza mazao baada ya kuvuna ili kupata ngwenje.
Hela hizi hutumika kwa mahitaji mengi hapo kiamboni kama vile kumlipia mwanafunzi karo shuleni. Hela ni kama kipaumbele cha kila adinasi nchini.
Wakulima wengi hujiajiri na wengine huajiriwa kwenye makampuni kama wafanyakazi. Makampuni haya ni kama vile ya pamba, ya sukari, ya vitabu na ya kutengeneza vitu vya mbao kama vile viti, meza na vitanda. Mazao kama vile kahawa, miwa, miti, huleta faida kubwa mno kwenye makampuni. Wakulimi hupanda mimea yao na baada ya kuvuna mazao, wao hupeleka kwenye makampuni na kupata fedha nyingi. Makampuni nayo hufaidika kwa kupata malighafi.
Mazao na mifugo ni kitu muhimu kwa maisha ya binadamu nchini, wao hupanda mazao mengi na kutumia kama chakula. Pia mifugo kama vile ng’ombe, mbuzi, kuku, ngamia, sungura na wengineo ni chakula cha binadamu. Wakulima nchini wamepata mboga nyingi na kuiuza kwenye masoko.
Kilimo ni kama mboni ya jicho kwa kila binadamu nchini. Wakulima wametajirika na kuwaelimisha wana wao. | Kilimo huhusisha ufugaji wa nini | {
"text": [
"mifugo"
]
} |
5224_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI.
Kilimo ni sanaa au mtindo wa kiteknolojia unaoelezea ukulima na ufugaji wa mifugo. Kilimo kimeenea nchini na kuwapa wakulima faida kubwa. Wakulima wanafuga wanyama kama vile ngo'mbe, mbuzi, kondoo, kuku na wengi wengineo. Ngombe huwapa adinasi nyama, ngozi, maziwa na pembe zinazotumika kama ala za mziki. Kuku naye humfaidi insi na mayai, manyoga, na nyama. Ngozi ya kondoo hutumika kuundia nguo nzito na kumsaidia binadamu wakati wa baridi nyingi.
Wakulima hupanda mimea mingi inayompa faida kubwa mno. Wao hupanda mimea kama vile mahindi, maharagwe, michungwa, miembe, ndizi, pamba, mchele na mingi mingineyo. Wao huwauza mifugo na kuuza mazao baada ya kuvuna ili kupata ngwenje.
Hela hizi hutumika kwa mahitaji mengi hapo kiamboni kama vile kumlipia mwanafunzi karo shuleni. Hela ni kama kipaumbele cha kila adinasi nchini.
Wakulima wengi hujiajiri na wengine huajiriwa kwenye makampuni kama wafanyakazi. Makampuni haya ni kama vile ya pamba, ya sukari, ya vitabu na ya kutengeneza vitu vya mbao kama vile viti, meza na vitanda. Mazao kama vile kahawa, miwa, miti, huleta faida kubwa mno kwenye makampuni. Wakulimi hupanda mimea yao na baada ya kuvuna mazao, wao hupeleka kwenye makampuni na kupata fedha nyingi. Makampuni nayo hufaidika kwa kupata malighafi.
Mazao na mifugo ni kitu muhimu kwa maisha ya binadamu nchini, wao hupanda mazao mengi na kutumia kama chakula. Pia mifugo kama vile ng’ombe, mbuzi, kuku, ngamia, sungura na wengineo ni chakula cha binadamu. Wakulima nchini wamepata mboga nyingi na kuiuza kwenye masoko.
Kilimo ni kama mboni ya jicho kwa kila binadamu nchini. Wakulima wametajirika na kuwaelimisha wana wao. | Kilimo kimeenea wapi | {
"text": [
"nchini"
]
} |
5224_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI.
Kilimo ni sanaa au mtindo wa kiteknolojia unaoelezea ukulima na ufugaji wa mifugo. Kilimo kimeenea nchini na kuwapa wakulima faida kubwa. Wakulima wanafuga wanyama kama vile ngo'mbe, mbuzi, kondoo, kuku na wengi wengineo. Ngombe huwapa adinasi nyama, ngozi, maziwa na pembe zinazotumika kama ala za mziki. Kuku naye humfaidi insi na mayai, manyoga, na nyama. Ngozi ya kondoo hutumika kuundia nguo nzito na kumsaidia binadamu wakati wa baridi nyingi.
Wakulima hupanda mimea mingi inayompa faida kubwa mno. Wao hupanda mimea kama vile mahindi, maharagwe, michungwa, miembe, ndizi, pamba, mchele na mingi mingineyo. Wao huwauza mifugo na kuuza mazao baada ya kuvuna ili kupata ngwenje.
Hela hizi hutumika kwa mahitaji mengi hapo kiamboni kama vile kumlipia mwanafunzi karo shuleni. Hela ni kama kipaumbele cha kila adinasi nchini.
Wakulima wengi hujiajiri na wengine huajiriwa kwenye makampuni kama wafanyakazi. Makampuni haya ni kama vile ya pamba, ya sukari, ya vitabu na ya kutengeneza vitu vya mbao kama vile viti, meza na vitanda. Mazao kama vile kahawa, miwa, miti, huleta faida kubwa mno kwenye makampuni. Wakulimi hupanda mimea yao na baada ya kuvuna mazao, wao hupeleka kwenye makampuni na kupata fedha nyingi. Makampuni nayo hufaidika kwa kupata malighafi.
Mazao na mifugo ni kitu muhimu kwa maisha ya binadamu nchini, wao hupanda mazao mengi na kutumia kama chakula. Pia mifugo kama vile ng’ombe, mbuzi, kuku, ngamia, sungura na wengineo ni chakula cha binadamu. Wakulima nchini wamepata mboga nyingi na kuiuza kwenye masoko.
Kilimo ni kama mboni ya jicho kwa kila binadamu nchini. Wakulima wametajirika na kuwaelimisha wana wao. | Kilimo kimewapa nani faida kubwa | {
"text": [
"wakulima"
]
} |
5224_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI.
Kilimo ni sanaa au mtindo wa kiteknolojia unaoelezea ukulima na ufugaji wa mifugo. Kilimo kimeenea nchini na kuwapa wakulima faida kubwa. Wakulima wanafuga wanyama kama vile ngo'mbe, mbuzi, kondoo, kuku na wengi wengineo. Ngombe huwapa adinasi nyama, ngozi, maziwa na pembe zinazotumika kama ala za mziki. Kuku naye humfaidi insi na mayai, manyoga, na nyama. Ngozi ya kondoo hutumika kuundia nguo nzito na kumsaidia binadamu wakati wa baridi nyingi.
Wakulima hupanda mimea mingi inayompa faida kubwa mno. Wao hupanda mimea kama vile mahindi, maharagwe, michungwa, miembe, ndizi, pamba, mchele na mingi mingineyo. Wao huwauza mifugo na kuuza mazao baada ya kuvuna ili kupata ngwenje.
Hela hizi hutumika kwa mahitaji mengi hapo kiamboni kama vile kumlipia mwanafunzi karo shuleni. Hela ni kama kipaumbele cha kila adinasi nchini.
Wakulima wengi hujiajiri na wengine huajiriwa kwenye makampuni kama wafanyakazi. Makampuni haya ni kama vile ya pamba, ya sukari, ya vitabu na ya kutengeneza vitu vya mbao kama vile viti, meza na vitanda. Mazao kama vile kahawa, miwa, miti, huleta faida kubwa mno kwenye makampuni. Wakulimi hupanda mimea yao na baada ya kuvuna mazao, wao hupeleka kwenye makampuni na kupata fedha nyingi. Makampuni nayo hufaidika kwa kupata malighafi.
Mazao na mifugo ni kitu muhimu kwa maisha ya binadamu nchini, wao hupanda mazao mengi na kutumia kama chakula. Pia mifugo kama vile ng’ombe, mbuzi, kuku, ngamia, sungura na wengineo ni chakula cha binadamu. Wakulima nchini wamepata mboga nyingi na kuiuza kwenye masoko.
Kilimo ni kama mboni ya jicho kwa kila binadamu nchini. Wakulima wametajirika na kuwaelimisha wana wao. | Mazao na mifugo ni muhimu kwa maisha ya nani | {
"text": [
"binadamu"
]
} |
5224_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI.
Kilimo ni sanaa au mtindo wa kiteknolojia unaoelezea ukulima na ufugaji wa mifugo. Kilimo kimeenea nchini na kuwapa wakulima faida kubwa. Wakulima wanafuga wanyama kama vile ngo'mbe, mbuzi, kondoo, kuku na wengi wengineo. Ngombe huwapa adinasi nyama, ngozi, maziwa na pembe zinazotumika kama ala za mziki. Kuku naye humfaidi insi na mayai, manyoga, na nyama. Ngozi ya kondoo hutumika kuundia nguo nzito na kumsaidia binadamu wakati wa baridi nyingi.
Wakulima hupanda mimea mingi inayompa faida kubwa mno. Wao hupanda mimea kama vile mahindi, maharagwe, michungwa, miembe, ndizi, pamba, mchele na mingi mingineyo. Wao huwauza mifugo na kuuza mazao baada ya kuvuna ili kupata ngwenje.
Hela hizi hutumika kwa mahitaji mengi hapo kiamboni kama vile kumlipia mwanafunzi karo shuleni. Hela ni kama kipaumbele cha kila adinasi nchini.
Wakulima wengi hujiajiri na wengine huajiriwa kwenye makampuni kama wafanyakazi. Makampuni haya ni kama vile ya pamba, ya sukari, ya vitabu na ya kutengeneza vitu vya mbao kama vile viti, meza na vitanda. Mazao kama vile kahawa, miwa, miti, huleta faida kubwa mno kwenye makampuni. Wakulimi hupanda mimea yao na baada ya kuvuna mazao, wao hupeleka kwenye makampuni na kupata fedha nyingi. Makampuni nayo hufaidika kwa kupata malighafi.
Mazao na mifugo ni kitu muhimu kwa maisha ya binadamu nchini, wao hupanda mazao mengi na kutumia kama chakula. Pia mifugo kama vile ng’ombe, mbuzi, kuku, ngamia, sungura na wengineo ni chakula cha binadamu. Wakulima nchini wamepata mboga nyingi na kuiuza kwenye masoko.
Kilimo ni kama mboni ya jicho kwa kila binadamu nchini. Wakulima wametajirika na kuwaelimisha wana wao. | Pembe hutumika vipi | {
"text": [
"kama ala za muziki"
]
} |
5225_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Nchi ya Kenya inategemea kilimo kwa mambo mbali mbali na kusaidia nchi yetu kwa njia mbali mbali. Kwanza, kilimo husaidia watu na kazi kwa sababu ili kuwezesha kilimo kufanyika, lazima mtu apate wafanya kazi ili wamsaidie na kwa njia hiyo watu wengi wameweza kuajiriwa.
Kilimo pia huwezesha nchi kupata pesa kutoka nchi zingine. Kwa mfano, serikali inapouza bidhaa kama chai, kahawa na maua katika soko la kimataifa, hupata pesa na kuwezesha serikali kukamilisha miradi yao, hivyo pia huwasaidia wakulima pia nao bídha zao zinapouzwa.
Kilimo husaidia nchi kwa kutupa chakula. Hatuwezi kuishi bila kula kwa siku nyingi kwa hivyo kama sio juhudi za wakulima, hatuwezi ishi kawa amani. Watu wengi wanaoishi mjini hutegemea wakulima ili waweze kulisha familia zao.
Kilimo pia ni njia mojawapo ya kupata rasilimali kama, pamba, ngozi zinazotumiwa kutengeneza nguo, miwa inayotumiwa kutengeneza sukari na maziwa yanayotumiwa kutengeneza maziwa yaligoganda na tindi.
Kilimo kimezalisha viwanda mbalimbali kama vile kiwanda cha kutengeneza kemikali zinazotumiwa kunyunyuzia mimea na mifugo. Kemikali zinazotumika katika kiwanda hiki hutoka kwa mmea wa pareto.
Kilimo kinasaidia serikali kupata pesa na kusaidia kukamilisha miradi ya serikali kama kujenga na shule, hospitali, viwanda na kadhalika. Kilimo imesaidia kuelimisha na tukitumia sayansi na teknolojia wakulima wameelimika na kuwezesha kupanua ukilima. | Nchi gani inategemea kilimo | {
"text": [
"Kenya"
]
} |
5225_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Nchi ya Kenya inategemea kilimo kwa mambo mbali mbali na kusaidia nchi yetu kwa njia mbali mbali. Kwanza, kilimo husaidia watu na kazi kwa sababu ili kuwezesha kilimo kufanyika, lazima mtu apate wafanya kazi ili wamsaidie na kwa njia hiyo watu wengi wameweza kuajiriwa.
Kilimo pia huwezesha nchi kupata pesa kutoka nchi zingine. Kwa mfano, serikali inapouza bidhaa kama chai, kahawa na maua katika soko la kimataifa, hupata pesa na kuwezesha serikali kukamilisha miradi yao, hivyo pia huwasaidia wakulima pia nao bídha zao zinapouzwa.
Kilimo husaidia nchi kwa kutupa chakula. Hatuwezi kuishi bila kula kwa siku nyingi kwa hivyo kama sio juhudi za wakulima, hatuwezi ishi kawa amani. Watu wengi wanaoishi mjini hutegemea wakulima ili waweze kulisha familia zao.
Kilimo pia ni njia mojawapo ya kupata rasilimali kama, pamba, ngozi zinazotumiwa kutengeneza nguo, miwa inayotumiwa kutengeneza sukari na maziwa yanayotumiwa kutengeneza maziwa yaligoganda na tindi.
Kilimo kimezalisha viwanda mbalimbali kama vile kiwanda cha kutengeneza kemikali zinazotumiwa kunyunyuzia mimea na mifugo. Kemikali zinazotumika katika kiwanda hiki hutoka kwa mmea wa pareto.
Kilimo kinasaidia serikali kupata pesa na kusaidia kukamilisha miradi ya serikali kama kujenga na shule, hospitali, viwanda na kadhalika. Kilimo imesaidia kuelimisha na tukitumia sayansi na teknolojia wakulima wameelimika na kuwezesha kupanua ukilima. | Kilimo huwezesha nchi kupata nini | {
"text": [
"Pesa"
]
} |
5225_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Nchi ya Kenya inategemea kilimo kwa mambo mbali mbali na kusaidia nchi yetu kwa njia mbali mbali. Kwanza, kilimo husaidia watu na kazi kwa sababu ili kuwezesha kilimo kufanyika, lazima mtu apate wafanya kazi ili wamsaidie na kwa njia hiyo watu wengi wameweza kuajiriwa.
Kilimo pia huwezesha nchi kupata pesa kutoka nchi zingine. Kwa mfano, serikali inapouza bidhaa kama chai, kahawa na maua katika soko la kimataifa, hupata pesa na kuwezesha serikali kukamilisha miradi yao, hivyo pia huwasaidia wakulima pia nao bídha zao zinapouzwa.
Kilimo husaidia nchi kwa kutupa chakula. Hatuwezi kuishi bila kula kwa siku nyingi kwa hivyo kama sio juhudi za wakulima, hatuwezi ishi kawa amani. Watu wengi wanaoishi mjini hutegemea wakulima ili waweze kulisha familia zao.
Kilimo pia ni njia mojawapo ya kupata rasilimali kama, pamba, ngozi zinazotumiwa kutengeneza nguo, miwa inayotumiwa kutengeneza sukari na maziwa yanayotumiwa kutengeneza maziwa yaligoganda na tindi.
Kilimo kimezalisha viwanda mbalimbali kama vile kiwanda cha kutengeneza kemikali zinazotumiwa kunyunyuzia mimea na mifugo. Kemikali zinazotumika katika kiwanda hiki hutoka kwa mmea wa pareto.
Kilimo kinasaidia serikali kupata pesa na kusaidia kukamilisha miradi ya serikali kama kujenga na shule, hospitali, viwanda na kadhalika. Kilimo imesaidia kuelimisha na tukitumia sayansi na teknolojia wakulima wameelimika na kuwezesha kupanua ukilima. | Kilimo husaidia nchi kwa kutupa nini | {
"text": [
"Chakula"
]
} |
5225_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Nchi ya Kenya inategemea kilimo kwa mambo mbali mbali na kusaidia nchi yetu kwa njia mbali mbali. Kwanza, kilimo husaidia watu na kazi kwa sababu ili kuwezesha kilimo kufanyika, lazima mtu apate wafanya kazi ili wamsaidie na kwa njia hiyo watu wengi wameweza kuajiriwa.
Kilimo pia huwezesha nchi kupata pesa kutoka nchi zingine. Kwa mfano, serikali inapouza bidhaa kama chai, kahawa na maua katika soko la kimataifa, hupata pesa na kuwezesha serikali kukamilisha miradi yao, hivyo pia huwasaidia wakulima pia nao bídha zao zinapouzwa.
Kilimo husaidia nchi kwa kutupa chakula. Hatuwezi kuishi bila kula kwa siku nyingi kwa hivyo kama sio juhudi za wakulima, hatuwezi ishi kawa amani. Watu wengi wanaoishi mjini hutegemea wakulima ili waweze kulisha familia zao.
Kilimo pia ni njia mojawapo ya kupata rasilimali kama, pamba, ngozi zinazotumiwa kutengeneza nguo, miwa inayotumiwa kutengeneza sukari na maziwa yanayotumiwa kutengeneza maziwa yaligoganda na tindi.
Kilimo kimezalisha viwanda mbalimbali kama vile kiwanda cha kutengeneza kemikali zinazotumiwa kunyunyuzia mimea na mifugo. Kemikali zinazotumika katika kiwanda hiki hutoka kwa mmea wa pareto.
Kilimo kinasaidia serikali kupata pesa na kusaidia kukamilisha miradi ya serikali kama kujenga na shule, hospitali, viwanda na kadhalika. Kilimo imesaidia kuelimisha na tukitumia sayansi na teknolojia wakulima wameelimika na kuwezesha kupanua ukilima. | Kilimo ni njia mojawapo ya kupata nini | {
"text": [
"Raslimali"
]
} |
5225_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Nchi ya Kenya inategemea kilimo kwa mambo mbali mbali na kusaidia nchi yetu kwa njia mbali mbali. Kwanza, kilimo husaidia watu na kazi kwa sababu ili kuwezesha kilimo kufanyika, lazima mtu apate wafanya kazi ili wamsaidie na kwa njia hiyo watu wengi wameweza kuajiriwa.
Kilimo pia huwezesha nchi kupata pesa kutoka nchi zingine. Kwa mfano, serikali inapouza bidhaa kama chai, kahawa na maua katika soko la kimataifa, hupata pesa na kuwezesha serikali kukamilisha miradi yao, hivyo pia huwasaidia wakulima pia nao bídha zao zinapouzwa.
Kilimo husaidia nchi kwa kutupa chakula. Hatuwezi kuishi bila kula kwa siku nyingi kwa hivyo kama sio juhudi za wakulima, hatuwezi ishi kawa amani. Watu wengi wanaoishi mjini hutegemea wakulima ili waweze kulisha familia zao.
Kilimo pia ni njia mojawapo ya kupata rasilimali kama, pamba, ngozi zinazotumiwa kutengeneza nguo, miwa inayotumiwa kutengeneza sukari na maziwa yanayotumiwa kutengeneza maziwa yaligoganda na tindi.
Kilimo kimezalisha viwanda mbalimbali kama vile kiwanda cha kutengeneza kemikali zinazotumiwa kunyunyuzia mimea na mifugo. Kemikali zinazotumika katika kiwanda hiki hutoka kwa mmea wa pareto.
Kilimo kinasaidia serikali kupata pesa na kusaidia kukamilisha miradi ya serikali kama kujenga na shule, hospitali, viwanda na kadhalika. Kilimo imesaidia kuelimisha na tukitumia sayansi na teknolojia wakulima wameelimika na kuwezesha kupanua ukilima. | Ni vipi kilimo hutumiwa katika viwanda | {
"text": [
"Kwa kutengeneza kemikali zinazotoka kwa maua"
]
} |
5226_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo ni jambo muhimu sana katika nchi yetu ya Kenya.Kilimo imetusaidia kufanya biashara nyingi kama vile kuuza matunda, mboga na kadhalika.
Imetusaidia pia kupata mapato ya kila siku. Haswa watu ambao wana mashamba yao kupanda mimea tofauti tofauti kama vile maharagwe, sukuma wiki, ndegu, matunda na mimea mingine. Mimea hii hutupa vyakula vya aina mbali mbali. Mbali na kutupa vyakula, pia huwapa watu fursa ya kufanya biashara kama vile ya kuuza matunda na mboga.
Kilimo cha mifugo pia kina manufaa yake hapa nchini. Wanyama wanaofugwa na wakulima ni kama vile kuku, ng’ombe,sungura, mbuzi, na kondoo. Wanyama hawa hutupa nyama.
| Ukulima ni nini katika nchi yetu | {
"text": [
"Jambo muhimu sana"
]
} |
5226_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo ni jambo muhimu sana katika nchi yetu ya Kenya.Kilimo imetusaidia kufanya biashara nyingi kama vile kuuza matunda, mboga na kadhalika.
Imetusaidia pia kupata mapato ya kila siku. Haswa watu ambao wana mashamba yao kupanda mimea tofauti tofauti kama vile maharagwe, sukuma wiki, ndegu, matunda na mimea mingine. Mimea hii hutupa vyakula vya aina mbali mbali. Mbali na kutupa vyakula, pia huwapa watu fursa ya kufanya biashara kama vile ya kuuza matunda na mboga.
Kilimo cha mifugo pia kina manufaa yake hapa nchini. Wanyama wanaofugwa na wakulima ni kama vile kuku, ng’ombe,sungura, mbuzi, na kondoo. Wanyama hawa hutupa nyama.
| Ukulima ni muhimu katika nchi gani | {
"text": [
"Nchi yetu Kenya"
]
} |
5226_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo ni jambo muhimu sana katika nchi yetu ya Kenya.Kilimo imetusaidia kufanya biashara nyingi kama vile kuuza matunda, mboga na kadhalika.
Imetusaidia pia kupata mapato ya kila siku. Haswa watu ambao wana mashamba yao kupanda mimea tofauti tofauti kama vile maharagwe, sukuma wiki, ndegu, matunda na mimea mingine. Mimea hii hutupa vyakula vya aina mbali mbali. Mbali na kutupa vyakula, pia huwapa watu fursa ya kufanya biashara kama vile ya kuuza matunda na mboga.
Kilimo cha mifugo pia kina manufaa yake hapa nchini. Wanyama wanaofugwa na wakulima ni kama vile kuku, ng’ombe,sungura, mbuzi, na kondoo. Wanyama hawa hutupa nyama.
| Ukulima umetusaidia kupata nini | {
"text": [
"Mapato"
]
} |
5226_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo ni jambo muhimu sana katika nchi yetu ya Kenya.Kilimo imetusaidia kufanya biashara nyingi kama vile kuuza matunda, mboga na kadhalika.
Imetusaidia pia kupata mapato ya kila siku. Haswa watu ambao wana mashamba yao kupanda mimea tofauti tofauti kama vile maharagwe, sukuma wiki, ndegu, matunda na mimea mingine. Mimea hii hutupa vyakula vya aina mbali mbali. Mbali na kutupa vyakula, pia huwapa watu fursa ya kufanya biashara kama vile ya kuuza matunda na mboga.
Kilimo cha mifugo pia kina manufaa yake hapa nchini. Wanyama wanaofugwa na wakulima ni kama vile kuku, ng’ombe,sungura, mbuzi, na kondoo. Wanyama hawa hutupa nyama.
| Ni nini kilichosaidia kupata lishe ya kila siku | {
"text": [
"Kilimo"
]
} |
5226_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo ni jambo muhimu sana katika nchi yetu ya Kenya.Kilimo imetusaidia kufanya biashara nyingi kama vile kuuza matunda, mboga na kadhalika.
Imetusaidia pia kupata mapato ya kila siku. Haswa watu ambao wana mashamba yao kupanda mimea tofauti tofauti kama vile maharagwe, sukuma wiki, ndegu, matunda na mimea mingine. Mimea hii hutupa vyakula vya aina mbali mbali. Mbali na kutupa vyakula, pia huwapa watu fursa ya kufanya biashara kama vile ya kuuza matunda na mboga.
Kilimo cha mifugo pia kina manufaa yake hapa nchini. Wanyama wanaofugwa na wakulima ni kama vile kuku, ng’ombe,sungura, mbuzi, na kondoo. Wanyama hawa hutupa nyama.
| Kuku husaidia kwa kitu gani | {
"text": [
"Mayai"
]
} |
5227_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI.
Kilimo ni kazi iliyokuwa tangu zamani za mababu zetu. Kilimo ni mojawapo ya sekta muhimu humu nchini. Maisha ya mwanadamu hutegemea mimea ili kupumua na kupata hewa safi. Kilimo kinaweza kufanywa na mtu wa umri wowote awe mtoto, mzee, kijana na hata wamama wana haki ya kufanya kilimo na kuimarisha maisha yao.
Mtu mwenye mawazo ya kijinga na kipumbavu anayefikiri kuwa kilimo ni cha watu wasio na masomo, basi amenoa na kujidanganya. Bila kilimo, hakuna chochote kinachoweza kuwa na uhai. Sisi binadamu tunategemea mimea ili kuvuta pumzi.
Mtu anaye mdharau mkulima na kumshusha hadhi, basi ni mpuzi. Bila mkulima, hakuna chakula wala maji, maana maji au mvua huvutwa na miti ambayo mkulima hupanda. Hata uwe tajiri kiasi kipi, lazima tu utamhitaji mkulima au kilimo. Sababu ni kuwa, unaweza kuwa na kiasi kikubwa cha pesa lakini bila mkulima hauwezi kufaulu maishani.
Pia tukifanya kilimo twaweza kufurahia matunda na kazi ya mikono yetu, maana hatuta kosa chakula na maji. Tutakuwa taifa linalotoa vyakula vya misaada na taifa ambalo lina watu wenye afya bora na wenye nguvu zaidi.
Kilimo ni utamaduni wa taifa hili. Tukiwacha tofauti zetu na kuziweka kando na kushikamana na kuanza ukulima, bila pingamizi tutakuwa taifa lenye amani, upendo na afya njema. | Kilimo ni kazi iliyokuweko tangu lini | {
"text": [
"Zamani"
]
} |
5227_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI.
Kilimo ni kazi iliyokuwa tangu zamani za mababu zetu. Kilimo ni mojawapo ya sekta muhimu humu nchini. Maisha ya mwanadamu hutegemea mimea ili kupumua na kupata hewa safi. Kilimo kinaweza kufanywa na mtu wa umri wowote awe mtoto, mzee, kijana na hata wamama wana haki ya kufanya kilimo na kuimarisha maisha yao.
Mtu mwenye mawazo ya kijinga na kipumbavu anayefikiri kuwa kilimo ni cha watu wasio na masomo, basi amenoa na kujidanganya. Bila kilimo, hakuna chochote kinachoweza kuwa na uhai. Sisi binadamu tunategemea mimea ili kuvuta pumzi.
Mtu anaye mdharau mkulima na kumshusha hadhi, basi ni mpuzi. Bila mkulima, hakuna chakula wala maji, maana maji au mvua huvutwa na miti ambayo mkulima hupanda. Hata uwe tajiri kiasi kipi, lazima tu utamhitaji mkulima au kilimo. Sababu ni kuwa, unaweza kuwa na kiasi kikubwa cha pesa lakini bila mkulima hauwezi kufaulu maishani.
Pia tukifanya kilimo twaweza kufurahia matunda na kazi ya mikono yetu, maana hatuta kosa chakula na maji. Tutakuwa taifa linalotoa vyakula vya misaada na taifa ambalo lina watu wenye afya bora na wenye nguvu zaidi.
Kilimo ni utamaduni wa taifa hili. Tukiwacha tofauti zetu na kuziweka kando na kushikamana na kuanza ukulima, bila pingamizi tutakuwa taifa lenye amani, upendo na afya njema. | Ni ipi mojawapo ya sekta muhimu | {
"text": [
"Kilimo"
]
} |
5227_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI.
Kilimo ni kazi iliyokuwa tangu zamani za mababu zetu. Kilimo ni mojawapo ya sekta muhimu humu nchini. Maisha ya mwanadamu hutegemea mimea ili kupumua na kupata hewa safi. Kilimo kinaweza kufanywa na mtu wa umri wowote awe mtoto, mzee, kijana na hata wamama wana haki ya kufanya kilimo na kuimarisha maisha yao.
Mtu mwenye mawazo ya kijinga na kipumbavu anayefikiri kuwa kilimo ni cha watu wasio na masomo, basi amenoa na kujidanganya. Bila kilimo, hakuna chochote kinachoweza kuwa na uhai. Sisi binadamu tunategemea mimea ili kuvuta pumzi.
Mtu anaye mdharau mkulima na kumshusha hadhi, basi ni mpuzi. Bila mkulima, hakuna chakula wala maji, maana maji au mvua huvutwa na miti ambayo mkulima hupanda. Hata uwe tajiri kiasi kipi, lazima tu utamhitaji mkulima au kilimo. Sababu ni kuwa, unaweza kuwa na kiasi kikubwa cha pesa lakini bila mkulima hauwezi kufaulu maishani.
Pia tukifanya kilimo twaweza kufurahia matunda na kazi ya mikono yetu, maana hatuta kosa chakula na maji. Tutakuwa taifa linalotoa vyakula vya misaada na taifa ambalo lina watu wenye afya bora na wenye nguvu zaidi.
Kilimo ni utamaduni wa taifa hili. Tukiwacha tofauti zetu na kuziweka kando na kushikamana na kuanza ukulima, bila pingamizi tutakuwa taifa lenye amani, upendo na afya njema. | Mtu mwenye mawazo ya kijinga na kipumbavu hufikiri kuwa kilimo ni cha kina nani | {
"text": [
"watu wasio na masomo"
]
} |
5227_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI.
Kilimo ni kazi iliyokuwa tangu zamani za mababu zetu. Kilimo ni mojawapo ya sekta muhimu humu nchini. Maisha ya mwanadamu hutegemea mimea ili kupumua na kupata hewa safi. Kilimo kinaweza kufanywa na mtu wa umri wowote awe mtoto, mzee, kijana na hata wamama wana haki ya kufanya kilimo na kuimarisha maisha yao.
Mtu mwenye mawazo ya kijinga na kipumbavu anayefikiri kuwa kilimo ni cha watu wasio na masomo, basi amenoa na kujidanganya. Bila kilimo, hakuna chochote kinachoweza kuwa na uhai. Sisi binadamu tunategemea mimea ili kuvuta pumzi.
Mtu anaye mdharau mkulima na kumshusha hadhi, basi ni mpuzi. Bila mkulima, hakuna chakula wala maji, maana maji au mvua huvutwa na miti ambayo mkulima hupanda. Hata uwe tajiri kiasi kipi, lazima tu utamhitaji mkulima au kilimo. Sababu ni kuwa, unaweza kuwa na kiasi kikubwa cha pesa lakini bila mkulima hauwezi kufaulu maishani.
Pia tukifanya kilimo twaweza kufurahia matunda na kazi ya mikono yetu, maana hatuta kosa chakula na maji. Tutakuwa taifa linalotoa vyakula vya misaada na taifa ambalo lina watu wenye afya bora na wenye nguvu zaidi.
Kilimo ni utamaduni wa taifa hili. Tukiwacha tofauti zetu na kuziweka kando na kushikamana na kuanza ukulima, bila pingamizi tutakuwa taifa lenye amani, upendo na afya njema. | Bila mkulima hakutakuwa na nini | {
"text": [
"Chakula"
]
} |
5227_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI.
Kilimo ni kazi iliyokuwa tangu zamani za mababu zetu. Kilimo ni mojawapo ya sekta muhimu humu nchini. Maisha ya mwanadamu hutegemea mimea ili kupumua na kupata hewa safi. Kilimo kinaweza kufanywa na mtu wa umri wowote awe mtoto, mzee, kijana na hata wamama wana haki ya kufanya kilimo na kuimarisha maisha yao.
Mtu mwenye mawazo ya kijinga na kipumbavu anayefikiri kuwa kilimo ni cha watu wasio na masomo, basi amenoa na kujidanganya. Bila kilimo, hakuna chochote kinachoweza kuwa na uhai. Sisi binadamu tunategemea mimea ili kuvuta pumzi.
Mtu anaye mdharau mkulima na kumshusha hadhi, basi ni mpuzi. Bila mkulima, hakuna chakula wala maji, maana maji au mvua huvutwa na miti ambayo mkulima hupanda. Hata uwe tajiri kiasi kipi, lazima tu utamhitaji mkulima au kilimo. Sababu ni kuwa, unaweza kuwa na kiasi kikubwa cha pesa lakini bila mkulima hauwezi kufaulu maishani.
Pia tukifanya kilimo twaweza kufurahia matunda na kazi ya mikono yetu, maana hatuta kosa chakula na maji. Tutakuwa taifa linalotoa vyakula vya misaada na taifa ambalo lina watu wenye afya bora na wenye nguvu zaidi.
Kilimo ni utamaduni wa taifa hili. Tukiwacha tofauti zetu na kuziweka kando na kushikamana na kuanza ukulima, bila pingamizi tutakuwa taifa lenye amani, upendo na afya njema. | Tukifanya kilimo tutaweza kufurahia matunda na nini | {
"text": [
"Kazi ya mikono yetu"
]
} |
5228_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo ni uzalishaji wa mazao kwenye mashamba. Kilimo kina maana pana inayojumuisha mifumo ya upanzi wa mimea, ufugaji wa wanyama na uvuvi wa samaki. Mara nyingi, kilimo cha mimea kinaenda sambamba na ufugaji wawanyama.
Watu hupanda mimea na kuitunza hadi wakati wa kuvuna. Huu ndio mchakato wa kuzalisha chakula binadamu na pia wanyama. Mavuno haya pia ndiyo mali ghafi inayotumiwa kuunda bidhaa mbali mbali.
Sekta hii ya kilimo ni mojawapo wa sekta ambazo huinua uchumi wa nchi kwa kiasi kikubwa sana. Ushuru unaotozwa bidhaa zinazotokana na kilimo husaidia kuimarisha uchumi wa taifa letu.
| Kilimo ni uzalishaji wa nini | {
"text": [
"Mazao"
]
} |
5228_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo ni uzalishaji wa mazao kwenye mashamba. Kilimo kina maana pana inayojumuisha mifumo ya upanzi wa mimea, ufugaji wa wanyama na uvuvi wa samaki. Mara nyingi, kilimo cha mimea kinaenda sambamba na ufugaji wawanyama.
Watu hupanda mimea na kuitunza hadi wakati wa kuvuna. Huu ndio mchakato wa kuzalisha chakula binadamu na pia wanyama. Mavuno haya pia ndiyo mali ghafi inayotumiwa kuunda bidhaa mbali mbali.
Sekta hii ya kilimo ni mojawapo wa sekta ambazo huinua uchumi wa nchi kwa kiasi kikubwa sana. Ushuru unaotozwa bidhaa zinazotokana na kilimo husaidia kuimarisha uchumi wa taifa letu.
| Watu hupanda nini | {
"text": [
"Mimea"
]
} |
5228_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo ni uzalishaji wa mazao kwenye mashamba. Kilimo kina maana pana inayojumuisha mifumo ya upanzi wa mimea, ufugaji wa wanyama na uvuvi wa samaki. Mara nyingi, kilimo cha mimea kinaenda sambamba na ufugaji wawanyama.
Watu hupanda mimea na kuitunza hadi wakati wa kuvuna. Huu ndio mchakato wa kuzalisha chakula binadamu na pia wanyama. Mavuno haya pia ndiyo mali ghafi inayotumiwa kuunda bidhaa mbali mbali.
Sekta hii ya kilimo ni mojawapo wa sekta ambazo huinua uchumi wa nchi kwa kiasi kikubwa sana. Ushuru unaotozwa bidhaa zinazotokana na kilimo husaidia kuimarisha uchumi wa taifa letu.
| Inatakiwa wakulima kupewa nini | {
"text": [
"Mikopo ya pesa"
]
} |
5228_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo ni uzalishaji wa mazao kwenye mashamba. Kilimo kina maana pana inayojumuisha mifumo ya upanzi wa mimea, ufugaji wa wanyama na uvuvi wa samaki. Mara nyingi, kilimo cha mimea kinaenda sambamba na ufugaji wawanyama.
Watu hupanda mimea na kuitunza hadi wakati wa kuvuna. Huu ndio mchakato wa kuzalisha chakula binadamu na pia wanyama. Mavuno haya pia ndiyo mali ghafi inayotumiwa kuunda bidhaa mbali mbali.
Sekta hii ya kilimo ni mojawapo wa sekta ambazo huinua uchumi wa nchi kwa kiasi kikubwa sana. Ushuru unaotozwa bidhaa zinazotokana na kilimo husaidia kuimarisha uchumi wa taifa letu.
| Watu hupanda mimea na kuifanyia nini | {
"text": [
"Kuitunza"
]
} |
5228_swa |
UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo ni uzalishaji wa mazao kwenye mashamba. Kilimo kina maana pana inayojumuisha mifumo ya upanzi wa mimea, ufugaji wa wanyama na uvuvi wa samaki. Mara nyingi, kilimo cha mimea kinaenda sambamba na ufugaji wawanyama.
Watu hupanda mimea na kuitunza hadi wakati wa kuvuna. Huu ndio mchakato wa kuzalisha chakula binadamu na pia wanyama. Mavuno haya pia ndiyo mali ghafi inayotumiwa kuunda bidhaa mbali mbali.
Sekta hii ya kilimo ni mojawapo wa sekta ambazo huinua uchumi wa nchi kwa kiasi kikubwa sana. Ushuru unaotozwa bidhaa zinazotokana na kilimo husaidia kuimarisha uchumi wa taifa letu.
| Serikali inatakiwa kuipa kipaumbele sekta gani | {
"text": [
"Ya kilimo"
]
} |
5229_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo ni shughuli ya kulima. Kilimo kimeleta maendeleo mengi nchini kama vile kupanda kwa miti na mengineyo. Kilimo pia ni ufugaji wa wanyama.
Kupandwa kwa miti kumeleta hewa nzuri nchini. Imefanya nchi kuwa kijani kibichi, ambayo huvutia watalii wengi. Miti pia ni makazi ya wanyama wa porini. Miti pia inaweza kupasuliwa na kutengeneza vifaa vya mbao ambavyo hupamba nyumba pia huweza kutengeneza nyumba za mbao ambazo husaidia wasio na uwezo wa kujenga nyumba za mawe.
Kilimo pia kimeleta vyakula vingi nchini ambavyo tunaweza kuuzia nchi zingine na kupata faida. Bila kilimo, hatungeweza kupata vyaküla. Vyakula ambavyo hutokana na kilimo ni kama vile mahindi, maharagwe, na mboga.
Kilimo kimepamba nchi yetu. Pia, kimesaidia wengi wasiokuwa na kazi kupata kazi. Kilimo kimesaidia kuimarisha uchumi nchini. Wapo wengi wanaofikiri kilimo ni tendo la kishamba ambalo hufanywa na watu wa kijijini tu.
Ni jambo la furaha kuona kilimo imekuwa moja ya masomo inayosomwa hapa nchini. Watu wajitokeze tuendelee kujenga nchi kupitia kilimo. Wakulima wanastahili heshima na kulipwa malipo yanayostahili kwa kazi njema ya kupamba nchi, kuwalinda wanyama na kupanda dawa za kiengeji zinazoponya magonjwa mbalimbali. | Kilimo ni nini | {
"text": [
"Shughuli ya kulima"
]
} |
5229_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo ni shughuli ya kulima. Kilimo kimeleta maendeleo mengi nchini kama vile kupanda kwa miti na mengineyo. Kilimo pia ni ufugaji wa wanyama.
Kupandwa kwa miti kumeleta hewa nzuri nchini. Imefanya nchi kuwa kijani kibichi, ambayo huvutia watalii wengi. Miti pia ni makazi ya wanyama wa porini. Miti pia inaweza kupasuliwa na kutengeneza vifaa vya mbao ambavyo hupamba nyumba pia huweza kutengeneza nyumba za mbao ambazo husaidia wasio na uwezo wa kujenga nyumba za mawe.
Kilimo pia kimeleta vyakula vingi nchini ambavyo tunaweza kuuzia nchi zingine na kupata faida. Bila kilimo, hatungeweza kupata vyaküla. Vyakula ambavyo hutokana na kilimo ni kama vile mahindi, maharagwe, na mboga.
Kilimo kimepamba nchi yetu. Pia, kimesaidia wengi wasiokuwa na kazi kupata kazi. Kilimo kimesaidia kuimarisha uchumi nchini. Wapo wengi wanaofikiri kilimo ni tendo la kishamba ambalo hufanywa na watu wa kijijini tu.
Ni jambo la furaha kuona kilimo imekuwa moja ya masomo inayosomwa hapa nchini. Watu wajitokeze tuendelee kujenga nchi kupitia kilimo. Wakulima wanastahili heshima na kulipwa malipo yanayostahili kwa kazi njema ya kupamba nchi, kuwalinda wanyama na kupanda dawa za kiengeji zinazoponya magonjwa mbalimbali. | Kilimo kimeleta nini | {
"text": [
"Maendeleo mengi"
]
} |
5229_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo ni shughuli ya kulima. Kilimo kimeleta maendeleo mengi nchini kama vile kupanda kwa miti na mengineyo. Kilimo pia ni ufugaji wa wanyama.
Kupandwa kwa miti kumeleta hewa nzuri nchini. Imefanya nchi kuwa kijani kibichi, ambayo huvutia watalii wengi. Miti pia ni makazi ya wanyama wa porini. Miti pia inaweza kupasuliwa na kutengeneza vifaa vya mbao ambavyo hupamba nyumba pia huweza kutengeneza nyumba za mbao ambazo husaidia wasio na uwezo wa kujenga nyumba za mawe.
Kilimo pia kimeleta vyakula vingi nchini ambavyo tunaweza kuuzia nchi zingine na kupata faida. Bila kilimo, hatungeweza kupata vyaküla. Vyakula ambavyo hutokana na kilimo ni kama vile mahindi, maharagwe, na mboga.
Kilimo kimepamba nchi yetu. Pia, kimesaidia wengi wasiokuwa na kazi kupata kazi. Kilimo kimesaidia kuimarisha uchumi nchini. Wapo wengi wanaofikiri kilimo ni tendo la kishamba ambalo hufanywa na watu wa kijijini tu.
Ni jambo la furaha kuona kilimo imekuwa moja ya masomo inayosomwa hapa nchini. Watu wajitokeze tuendelee kujenga nchi kupitia kilimo. Wakulima wanastahili heshima na kulipwa malipo yanayostahili kwa kazi njema ya kupamba nchi, kuwalinda wanyama na kupanda dawa za kiengeji zinazoponya magonjwa mbalimbali. | Kilimo pia ni ufugaji wa nini | {
"text": [
"Wanyama"
]
} |
5229_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo ni shughuli ya kulima. Kilimo kimeleta maendeleo mengi nchini kama vile kupanda kwa miti na mengineyo. Kilimo pia ni ufugaji wa wanyama.
Kupandwa kwa miti kumeleta hewa nzuri nchini. Imefanya nchi kuwa kijani kibichi, ambayo huvutia watalii wengi. Miti pia ni makazi ya wanyama wa porini. Miti pia inaweza kupasuliwa na kutengeneza vifaa vya mbao ambavyo hupamba nyumba pia huweza kutengeneza nyumba za mbao ambazo husaidia wasio na uwezo wa kujenga nyumba za mawe.
Kilimo pia kimeleta vyakula vingi nchini ambavyo tunaweza kuuzia nchi zingine na kupata faida. Bila kilimo, hatungeweza kupata vyaküla. Vyakula ambavyo hutokana na kilimo ni kama vile mahindi, maharagwe, na mboga.
Kilimo kimepamba nchi yetu. Pia, kimesaidia wengi wasiokuwa na kazi kupata kazi. Kilimo kimesaidia kuimarisha uchumi nchini. Wapo wengi wanaofikiri kilimo ni tendo la kishamba ambalo hufanywa na watu wa kijijini tu.
Ni jambo la furaha kuona kilimo imekuwa moja ya masomo inayosomwa hapa nchini. Watu wajitokeze tuendelee kujenga nchi kupitia kilimo. Wakulima wanastahili heshima na kulipwa malipo yanayostahili kwa kazi njema ya kupamba nchi, kuwalinda wanyama na kupanda dawa za kiengeji zinazoponya magonjwa mbalimbali. | Kilimo kimesaidia wasiokuwa na kazi kupata nini | {
"text": [
"Kazi"
]
} |
5229_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Kilimo ni shughuli ya kulima. Kilimo kimeleta maendeleo mengi nchini kama vile kupanda kwa miti na mengineyo. Kilimo pia ni ufugaji wa wanyama.
Kupandwa kwa miti kumeleta hewa nzuri nchini. Imefanya nchi kuwa kijani kibichi, ambayo huvutia watalii wengi. Miti pia ni makazi ya wanyama wa porini. Miti pia inaweza kupasuliwa na kutengeneza vifaa vya mbao ambavyo hupamba nyumba pia huweza kutengeneza nyumba za mbao ambazo husaidia wasio na uwezo wa kujenga nyumba za mawe.
Kilimo pia kimeleta vyakula vingi nchini ambavyo tunaweza kuuzia nchi zingine na kupata faida. Bila kilimo, hatungeweza kupata vyaküla. Vyakula ambavyo hutokana na kilimo ni kama vile mahindi, maharagwe, na mboga.
Kilimo kimepamba nchi yetu. Pia, kimesaidia wengi wasiokuwa na kazi kupata kazi. Kilimo kimesaidia kuimarisha uchumi nchini. Wapo wengi wanaofikiri kilimo ni tendo la kishamba ambalo hufanywa na watu wa kijijini tu.
Ni jambo la furaha kuona kilimo imekuwa moja ya masomo inayosomwa hapa nchini. Watu wajitokeze tuendelee kujenga nchi kupitia kilimo. Wakulima wanastahili heshima na kulipwa malipo yanayostahili kwa kazi njema ya kupamba nchi, kuwalinda wanyama na kupanda dawa za kiengeji zinazoponya magonjwa mbalimbali. | Wakulima wastahili heshima na nini | {
"text": [
"Kulipwa malipo yanayostahili"
]
} |
5231_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Naam, kilimo huwa na manufaa kadhaa nchini. Asilimia tisini ya watu nchini Kenya hutengemea kilimo ili kuinua uchumi wa nchi yetu.
Kilimo huwezesha nchi yetu kupata lishe ambayo hupatikana kwa kiwango cha juu sana. Kilimo pia huwezesha nchi yetu kupata ushuru.
Kilimo kimewapa ajira wakulima wadogo wadogo na vijana wasio na kazi.
Jambo hili hukuza mazingira ya nchi yetu. Pia huwavutia watalii kutoka humu nchini na nchi za kigeni. Mataifa mengi huvutiwa na kilimo cha nchi yetu kwa sababu, wakulima wengi kutoka humu nchini hupanda mboga, matunda na mimea mingineyo.
Kilimo huwapa lishe bora wananchi wa taifa letu kwa asilimia kubwa sana. Ni muhimu kuendeleza kilimo na kuunga mkono uendelezaji wa kilimo. Serikali ya taifa letu inafaa kuongeza pesa ya kilimo ili kusaidia wakulima kuendeleza kilimo.
Ni jambo la kufana kuona jinsi wananchi wanajaribu kuendeleza kilimo. Ningependa kuwauliza wananchi wote waunge mkono juhudi za wakulima katika kuimarisha kilimo ili tupige marufuku janga la ukame na uhaba wa chakula. | Ni asilimia gani hutegemea kilimo | {
"text": [
"90%"
]
} |
5231_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Naam, kilimo huwa na manufaa kadhaa nchini. Asilimia tisini ya watu nchini Kenya hutengemea kilimo ili kuinua uchumi wa nchi yetu.
Kilimo huwezesha nchi yetu kupata lishe ambayo hupatikana kwa kiwango cha juu sana. Kilimo pia huwezesha nchi yetu kupata ushuru.
Kilimo kimewapa ajira wakulima wadogo wadogo na vijana wasio na kazi.
Jambo hili hukuza mazingira ya nchi yetu. Pia huwavutia watalii kutoka humu nchini na nchi za kigeni. Mataifa mengi huvutiwa na kilimo cha nchi yetu kwa sababu, wakulima wengi kutoka humu nchini hupanda mboga, matunda na mimea mingineyo.
Kilimo huwapa lishe bora wananchi wa taifa letu kwa asilimia kubwa sana. Ni muhimu kuendeleza kilimo na kuunga mkono uendelezaji wa kilimo. Serikali ya taifa letu inafaa kuongeza pesa ya kilimo ili kusaidia wakulima kuendeleza kilimo.
Ni jambo la kufana kuona jinsi wananchi wanajaribu kuendeleza kilimo. Ningependa kuwauliza wananchi wote waunge mkono juhudi za wakulima katika kuimarisha kilimo ili tupige marufuku janga la ukame na uhaba wa chakula. | Kilimo huwezesha nchi yetu kupata nini | {
"text": [
"Lishe"
]
} |
5231_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Naam, kilimo huwa na manufaa kadhaa nchini. Asilimia tisini ya watu nchini Kenya hutengemea kilimo ili kuinua uchumi wa nchi yetu.
Kilimo huwezesha nchi yetu kupata lishe ambayo hupatikana kwa kiwango cha juu sana. Kilimo pia huwezesha nchi yetu kupata ushuru.
Kilimo kimewapa ajira wakulima wadogo wadogo na vijana wasio na kazi.
Jambo hili hukuza mazingira ya nchi yetu. Pia huwavutia watalii kutoka humu nchini na nchi za kigeni. Mataifa mengi huvutiwa na kilimo cha nchi yetu kwa sababu, wakulima wengi kutoka humu nchini hupanda mboga, matunda na mimea mingineyo.
Kilimo huwapa lishe bora wananchi wa taifa letu kwa asilimia kubwa sana. Ni muhimu kuendeleza kilimo na kuunga mkono uendelezaji wa kilimo. Serikali ya taifa letu inafaa kuongeza pesa ya kilimo ili kusaidia wakulima kuendeleza kilimo.
Ni jambo la kufana kuona jinsi wananchi wanajaribu kuendeleza kilimo. Ningependa kuwauliza wananchi wote waunge mkono juhudi za wakulima katika kuimarisha kilimo ili tupige marufuku janga la ukame na uhaba wa chakula. | Kilimo pia huwezesha nchi yetu kulipa nini | {
"text": [
"Ushuru"
]
} |
5231_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Naam, kilimo huwa na manufaa kadhaa nchini. Asilimia tisini ya watu nchini Kenya hutengemea kilimo ili kuinua uchumi wa nchi yetu.
Kilimo huwezesha nchi yetu kupata lishe ambayo hupatikana kwa kiwango cha juu sana. Kilimo pia huwezesha nchi yetu kupata ushuru.
Kilimo kimewapa ajira wakulima wadogo wadogo na vijana wasio na kazi.
Jambo hili hukuza mazingira ya nchi yetu. Pia huwavutia watalii kutoka humu nchini na nchi za kigeni. Mataifa mengi huvutiwa na kilimo cha nchi yetu kwa sababu, wakulima wengi kutoka humu nchini hupanda mboga, matunda na mimea mingineyo.
Kilimo huwapa lishe bora wananchi wa taifa letu kwa asilimia kubwa sana. Ni muhimu kuendeleza kilimo na kuunga mkono uendelezaji wa kilimo. Serikali ya taifa letu inafaa kuongeza pesa ya kilimo ili kusaidia wakulima kuendeleza kilimo.
Ni jambo la kufana kuona jinsi wananchi wanajaribu kuendeleza kilimo. Ningependa kuwauliza wananchi wote waunge mkono juhudi za wakulima katika kuimarisha kilimo ili tupige marufuku janga la ukame na uhaba wa chakula. | Nani aliye shujaa katika taifa letu | {
"text": [
"Profesa Wangari Maathai"
]
} |
5231_swa | UMUHIMU WA KILIMO NCHINI
Naam, kilimo huwa na manufaa kadhaa nchini. Asilimia tisini ya watu nchini Kenya hutengemea kilimo ili kuinua uchumi wa nchi yetu.
Kilimo huwezesha nchi yetu kupata lishe ambayo hupatikana kwa kiwango cha juu sana. Kilimo pia huwezesha nchi yetu kupata ushuru.
Kilimo kimewapa ajira wakulima wadogo wadogo na vijana wasio na kazi.
Jambo hili hukuza mazingira ya nchi yetu. Pia huwavutia watalii kutoka humu nchini na nchi za kigeni. Mataifa mengi huvutiwa na kilimo cha nchi yetu kwa sababu, wakulima wengi kutoka humu nchini hupanda mboga, matunda na mimea mingineyo.
Kilimo huwapa lishe bora wananchi wa taifa letu kwa asilimia kubwa sana. Ni muhimu kuendeleza kilimo na kuunga mkono uendelezaji wa kilimo. Serikali ya taifa letu inafaa kuongeza pesa ya kilimo ili kusaidia wakulima kuendeleza kilimo.
Ni jambo la kufana kuona jinsi wananchi wanajaribu kuendeleza kilimo. Ningependa kuwauliza wananchi wote waunge mkono juhudi za wakulima katika kuimarisha kilimo ili tupige marufuku janga la ukame na uhaba wa chakula. | Wangari Maathai alipanda nini | {
"text": [
"Miti mingi"
]
} |
5232_swa |
FAIDA ZA KILIMO.
Kilimo kina faida nyingi sana hapa nchini Kenya. Watu wengi wamejikita katika kilimo, hivyo basi tunaweza kusema kuwa kilimo ndio uti wa mgongo wa taifa letu. Wakulima huweza kupanda mimea mbalimbali kama vile mboga, parachichi, machungwa, ndimu, maembe, mahindi, na kadhalika.
Tukiwa shuleni, mwalimu wetu wa kiswahili alitueleza kuwa tutaenda kumtembelea mkulima mmoja mashuhuri. Tulisafiri kwa gari moshi ili kufika kwenye shamba la mkulima huyu. Shamba la mkulima huyu lilikuwa kubwa ajabu.
Kule shambani, mkulima huyu alikuwa ampenda kila aina ya mimea. Tulishangaa sana kuona jisi mkulima huyu alivyokuwa ametengeneza shamba lake vizuri. Lilikua linavutia sana.
Mkulima huyu alitueleza kuwa chakula chote walichokula nyumbani kwao kilitika pale shambani. Pia, aliuza chakula kingine katika soko lililokuwa karibu na pale. Kule shambani, alikuwa na wafanyikazi wengi waliomsaidia kazi.
| Nchini Kenya kuna faida nyingi za kitu gani | {
"text": [
"Kilimo"
]
} |
5232_swa |
FAIDA ZA KILIMO.
Kilimo kina faida nyingi sana hapa nchini Kenya. Watu wengi wamejikita katika kilimo, hivyo basi tunaweza kusema kuwa kilimo ndio uti wa mgongo wa taifa letu. Wakulima huweza kupanda mimea mbalimbali kama vile mboga, parachichi, machungwa, ndimu, maembe, mahindi, na kadhalika.
Tukiwa shuleni, mwalimu wetu wa kiswahili alitueleza kuwa tutaenda kumtembelea mkulima mmoja mashuhuri. Tulisafiri kwa gari moshi ili kufika kwenye shamba la mkulima huyu. Shamba la mkulima huyu lilikuwa kubwa ajabu.
Kule shambani, mkulima huyu alikuwa ampenda kila aina ya mimea. Tulishangaa sana kuona jisi mkulima huyu alivyokuwa ametengeneza shamba lake vizuri. Lilikua linavutia sana.
Mkulima huyu alitueleza kuwa chakula chote walichokula nyumbani kwao kilitika pale shambani. Pia, aliuza chakula kingine katika soko lililokuwa karibu na pale. Kule shambani, alikuwa na wafanyikazi wengi waliomsaidia kazi.
| Ni wapi kunapatikana faida nyingi za kilimo | {
"text": [
"Nchini Kenya"
]
} |
5232_swa |
FAIDA ZA KILIMO.
Kilimo kina faida nyingi sana hapa nchini Kenya. Watu wengi wamejikita katika kilimo, hivyo basi tunaweza kusema kuwa kilimo ndio uti wa mgongo wa taifa letu. Wakulima huweza kupanda mimea mbalimbali kama vile mboga, parachichi, machungwa, ndimu, maembe, mahindi, na kadhalika.
Tukiwa shuleni, mwalimu wetu wa kiswahili alitueleza kuwa tutaenda kumtembelea mkulima mmoja mashuhuri. Tulisafiri kwa gari moshi ili kufika kwenye shamba la mkulima huyu. Shamba la mkulima huyu lilikuwa kubwa ajabu.
Kule shambani, mkulima huyu alikuwa ampenda kila aina ya mimea. Tulishangaa sana kuona jisi mkulima huyu alivyokuwa ametengeneza shamba lake vizuri. Lilikua linavutia sana.
Mkulima huyu alitueleza kuwa chakula chote walichokula nyumbani kwao kilitika pale shambani. Pia, aliuza chakula kingine katika soko lililokuwa karibu na pale. Kule shambani, alikuwa na wafanyikazi wengi waliomsaidia kazi.
| Mwalimu wa kiswahili aliwaambia kuwa wangetembea wapi | {
"text": [
"Kwa mkulima mmoja"
]
} |
5232_swa |
FAIDA ZA KILIMO.
Kilimo kina faida nyingi sana hapa nchini Kenya. Watu wengi wamejikita katika kilimo, hivyo basi tunaweza kusema kuwa kilimo ndio uti wa mgongo wa taifa letu. Wakulima huweza kupanda mimea mbalimbali kama vile mboga, parachichi, machungwa, ndimu, maembe, mahindi, na kadhalika.
Tukiwa shuleni, mwalimu wetu wa kiswahili alitueleza kuwa tutaenda kumtembelea mkulima mmoja mashuhuri. Tulisafiri kwa gari moshi ili kufika kwenye shamba la mkulima huyu. Shamba la mkulima huyu lilikuwa kubwa ajabu.
Kule shambani, mkulima huyu alikuwa ampenda kila aina ya mimea. Tulishangaa sana kuona jisi mkulima huyu alivyokuwa ametengeneza shamba lake vizuri. Lilikua linavutia sana.
Mkulima huyu alitueleza kuwa chakula chote walichokula nyumbani kwao kilitika pale shambani. Pia, aliuza chakula kingine katika soko lililokuwa karibu na pale. Kule shambani, alikuwa na wafanyikazi wengi waliomsaidia kazi.
| Walisafiri kwa kitu gani | {
"text": [
"Gari moshi"
]
} |
5232_swa |
FAIDA ZA KILIMO.
Kilimo kina faida nyingi sana hapa nchini Kenya. Watu wengi wamejikita katika kilimo, hivyo basi tunaweza kusema kuwa kilimo ndio uti wa mgongo wa taifa letu. Wakulima huweza kupanda mimea mbalimbali kama vile mboga, parachichi, machungwa, ndimu, maembe, mahindi, na kadhalika.
Tukiwa shuleni, mwalimu wetu wa kiswahili alitueleza kuwa tutaenda kumtembelea mkulima mmoja mashuhuri. Tulisafiri kwa gari moshi ili kufika kwenye shamba la mkulima huyu. Shamba la mkulima huyu lilikuwa kubwa ajabu.
Kule shambani, mkulima huyu alikuwa ampenda kila aina ya mimea. Tulishangaa sana kuona jisi mkulima huyu alivyokuwa ametengeneza shamba lake vizuri. Lilikua linavutia sana.
Mkulima huyu alitueleza kuwa chakula chote walichokula nyumbani kwao kilitika pale shambani. Pia, aliuza chakula kingine katika soko lililokuwa karibu na pale. Kule shambani, alikuwa na wafanyikazi wengi waliomsaidia kazi.
| Mwenyewe aliwapeleka wapi | {
"text": [
"Kwa shamba lake"
]
} |
5233_swa |
FAIDA ZA KILIMO
Kilimo kina faida nyingi hapa nchini. Ile ya muhimu kabisa ni uzalishaji wa chakula. Chakula ni muhimu sana kwa maisha ya binadamu yeyote. Bila chakula hatuwezi kuishi kwa siku nyingi.
Wakulima hupanda mimea ya aina tofauti tofauti kama vile mahindi, maharagwe, sukuma wiki, matunda na hata mboga. Bidhaa hizi huweza kuchuuzwa sokoni na kusaidia adinasi wengi kulisha familia zao.
Aidha, wakulima huweza pia kuuza bidhaa zao katika masoko ya kimataifa na kupata fedha za kigeni. Fedha hizi huweza kutumika na serikali katika kuboresha miundo msingi katika nchi yetu.
Kilimo pia kimewawezesha watu wengi kupata ajira. Kunao wale ambao huajiriwa mashambani ili kusaidia kazi za kule. Pia, kuna wale ambao huanzisha biashara zinazohusiana na kilimo. Mfano ni mchuuzi wa matunda au mboga.
Kilimo ndio uti wa mgongo wa taifa letu la Kenya. Hivyo basi, tunafaa tuimarishe kilimo humu nchini.
| Ni faida za nini zimesambaa humu nchini | {
"text": [
"Kilimo"
]
} |
5233_swa |
FAIDA ZA KILIMO
Kilimo kina faida nyingi hapa nchini. Ile ya muhimu kabisa ni uzalishaji wa chakula. Chakula ni muhimu sana kwa maisha ya binadamu yeyote. Bila chakula hatuwezi kuishi kwa siku nyingi.
Wakulima hupanda mimea ya aina tofauti tofauti kama vile mahindi, maharagwe, sukuma wiki, matunda na hata mboga. Bidhaa hizi huweza kuchuuzwa sokoni na kusaidia adinasi wengi kulisha familia zao.
Aidha, wakulima huweza pia kuuza bidhaa zao katika masoko ya kimataifa na kupata fedha za kigeni. Fedha hizi huweza kutumika na serikali katika kuboresha miundo msingi katika nchi yetu.
Kilimo pia kimewawezesha watu wengi kupata ajira. Kunao wale ambao huajiriwa mashambani ili kusaidia kazi za kule. Pia, kuna wale ambao huanzisha biashara zinazohusiana na kilimo. Mfano ni mchuuzi wa matunda au mboga.
Kilimo ndio uti wa mgongo wa taifa letu la Kenya. Hivyo basi, tunafaa tuimarishe kilimo humu nchini.
| Mkulima hungojea nini | {
"text": [
"Mvua"
]
} |
5233_swa |
FAIDA ZA KILIMO
Kilimo kina faida nyingi hapa nchini. Ile ya muhimu kabisa ni uzalishaji wa chakula. Chakula ni muhimu sana kwa maisha ya binadamu yeyote. Bila chakula hatuwezi kuishi kwa siku nyingi.
Wakulima hupanda mimea ya aina tofauti tofauti kama vile mahindi, maharagwe, sukuma wiki, matunda na hata mboga. Bidhaa hizi huweza kuchuuzwa sokoni na kusaidia adinasi wengi kulisha familia zao.
Aidha, wakulima huweza pia kuuza bidhaa zao katika masoko ya kimataifa na kupata fedha za kigeni. Fedha hizi huweza kutumika na serikali katika kuboresha miundo msingi katika nchi yetu.
Kilimo pia kimewawezesha watu wengi kupata ajira. Kunao wale ambao huajiriwa mashambani ili kusaidia kazi za kule. Pia, kuna wale ambao huanzisha biashara zinazohusiana na kilimo. Mfano ni mchuuzi wa matunda au mboga.
Kilimo ndio uti wa mgongo wa taifa letu la Kenya. Hivyo basi, tunafaa tuimarishe kilimo humu nchini.
| Faida ya kilimo ni muhimu kwa nani | {
"text": [
"Binadamu"
]
} |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.