url
stringlengths
22
161
text
stringlengths
23
18.2k
https://nation.africa/africa?utm_source=menu&utm_medium=drop_down
South African former finance minister Tito Mboweni dies at 65 Tito is a pivotal figure in the nation’s transition to democracy and a champion for labour rights. PRIME East Africa corporate deals dip 18pc on low Kenya activity Deals data compiled by advisory firm I&M Burbidge Capital shows that the count fell to 73 between January and July from 89 in 2023. Uganda selects Turkish firm for Malaba-Kampala SGR In 2013, Uganda, Kenya, Tanzania, South Sudan and Rwanda broke ground on the construction of the SGR to connect member states. When DRC was self-sufficient as a cultural state How 1970s bid to free the people from colonial legacy defines the identity of DR Congo to date. The untold story of Nanyuki’s Mt Kenya Safari Club It’s membership was uber-exclusive; then the FBI started investigations after learning Mafiosi members. On land, Mugabe walked path other African leaders would not But he and his cronies abused the reform process by taking some of the choice parcels for themselves
https://nation.africa/kenya?utm_source=menu&utm_medium=drop_down
PREMIUM Gachagua's ouster: Kenya's 2027 power shift? The fall of a kingpin or the rise of new alliances? PREMIUM AUC chairman: Why this could be Africa’s most important election The African Union should elect a visionary leader capable of transformative change and dramatically reducing poverty. The making of a TikTok sensation: Maureen Kibui's rise as Mama Morin How did a university student's imitation of her mother become a cultural phenomenon? PREMIUM What Kericho governor faces in Senate trial Governor Erick Mutai's fate hangs in the balance as the Senate prepares for a crucial impeachment hearing. PREMIUM How KDF's Somalia incursion changed face of the military Major improvements in training and equipment since October 2011 have boosted the troops' ability to defend the nation from external aggression. PREMIUM Exposed: Kenya’s underworld of gemstone smuggling where foreigners call shots Foreign nationals, some only holding tourist visas, have infiltrated the gemstone market. Is the stock market still a way to make money? Disenfranchised and battered by a decade of disappointing returns, little to no listings and falling share prices, many investors have lost faith in the Nairobi Securities Exchange EXPLAINED: Depression and anxiety—Not what you think You may appear happy yet are depressed. Dr Muthoni Karanja, takes host, Sheryl Blessing on how to identify triggers to help combat depression and anxiety. To sue your doctor or hospital? Health lawyer, Margaret Nyambura takes us through medical negligence from a legal perspective PREMIUM Western Sahara issue threatens Morocco’s business deals The Western Sahara region was initially a colony of Spain but after the colonialists departed, it was administered by Mauritania and Morocco before Morocco claimed its territory. PREMIUM Mutua: Why Gachagua was impeached Mr Gachagua did himself no favours by appearing arrogant and dismissive of his boss President Ruto and MPs. Bureaucrat banned from travelling to South African for lavish Birthday A top government official's extravagant birthday plans in South Africa come crashing down. PREMIUM Kenyan female wine tasters shine at World Tasting Championship Kenyan wine tasters have outperformed traditional wine powerhouses at the Wine Olympics. The making of a TikTok sensation: Maureen Kibui's rise as Mama Morin How did a university student's imitation of her mother become a cultural phenomenon? A weekend in the life of a taxi driver Business begins to peak on Thursdays when those that patronise bars begin to unwind and ease into the weekend. Barry Otieno announces bid for FKF presidency He said his campaign will be anchored on implementing four pillars.
https://www.monitor.co.ug/uganda?utm_source=menu&utm_medium=drop_down
PRIME Atiak Sugar Factory: Billions spent, no production When machines at the factory first started roaring over a decade ago, its senior management pledged to turn the venture into “an engine for development to support the livelihoods of vulnerable... PRIME How wooden houses can transform Uganda's housing crisis Wooden houses can position Uganda for a sustainable future by addressing the housing crisis through cost-effective, eco-friendly construction, reducing carbon emissions, and promoting responsible... Take children to schools you can afford, Nabbanja tells parents Highlighting the government’s commitment to ensuring every child has access to quality education, the Prime Minister emphasised the vital role education plays in shaping the nation’s future Tayebwa lures Manchester United to visit Uganda On September 10, the Indomitable Lions played out a goalless draw with ‘hosts’ Zimbabwe in Namboole and fans chaotically swarmed Onana outside the stadium after the match. Mr President, don’t stop at KCCA. Fire them all Gloria Bugie is the most recent nude video released but while this has evoked public outrage, it seems entirely business as normal at the Ministry of Ethics and Integrity PRIME Museveni wants easy way to buy big chunks of land for industrialists A crowd at a DP rally at the Constitutional Square in Kampala in the 2000s. It was renamed at the launch of the 1995 Constitution 29 years ago. PHOTO/FILE PRIME Uganda's Balagadde builds cargo business in US Mr Anthony Balagadde says Crane Cargo’s biggest advert is word of mouth by happy clients African music platform to pay $1m in royalties By localising content, Mdundo adds incremental value to its advertising clients, who benefit from targeted reach, and to artistes, who gain increased exposure in their communities PRIME Uganda's activists face increasing digital violence Ms Namata says online attacks have a spilling effect on the physical and emotional wellness of online activists Zari leads celebrity cast for hubby’s show at Lugogo Linda couldn’t stop admiring her idol, occasionally stealing shots of Zari smiling, or fanning herself with her veil or piece of paper.
http://www.mwananchi.co.tz/mw?utm_source=menu&utm_medium=drop_down
TAARIFA KWA UMMA Tunasikitika kuwaarifu wasomaji wetu wapendwa kuwa tunalazimika kusitisha uchapishaji wa maudhui mtandaoni kuanzia sasa kufuatia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kusitisha leseni zetu za... Mfanyabiashara wa madini auawa mlima wa maombi, wauaji watuma meseji… Mwili wa mfanyabiashara wa madini ya ujenzi, David Mollel mkazi wa Kata ya Moivaro, umekutwa ukining’inia kwenye mti juu ya Mlima Oldonyowas, jirani na eneo linalotumika kwa maombi. Diwani CCM mbaroni, Bashe acharuka Masasi Fedha hizo ni malipo yaliyopaswa kufanywa kwa wakulima wa korosho wanachama wa Chama cha Msingi cha Ushirika cha Nanyindwa Amcos katika msimu wa 2016/17. Wananchi kushirikishwa mchakato wa kumng’oa Gachagua Spika wa Bunge la Kitaifa la Kenya, Moses Wetang’ula ametangaza ushiriki wa umma katika hoja ya kumng’oa madarakani Naibu Rais, Rigathi Gachagua Ijumaa, Oktoba 4, 2024. Sababu ongezeko wagonjwa wa vifua, mafua Wizara ya Afya imesema kuna ongezeko la virusi wanaosababisha homa kali ya mafua inayoambukiza maarufu influenza, waliyotaja kusababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa. Sita washikiliwa Polisi madai ya mauaji mkaguzi wa ndani Korogwe Mkaguzi wa Ndani wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Jonais Shao, mwanawe na mtumishi wa kazi za ndani waliuawa kwa kuchomwa moto. Benki ya CRDB yasaini mkataba wa Dola 320 milioni na DFC, Citi kusaidia wajasiriamali Tanzania na Burundi Strategis insurance yaungana na Vitality Health International kuhamasisha mtindo bora wa maisha kiafya TAARIFA KWA UMMA Tunasikitika kuwaarifu wasomaji wetu wapendwa kuwa tunalazimika kusitisha uchapishaji wa maudhui mtandaoni kuanzia sasa kufuatia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kusitisha leseni zetu za... Ajali yaua wawili Pemba Kaimu kamanda wa Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba, Mussa Mwakasula amethibitisha kutokea ajali hiyo ya gari ya kampuni ya ujenzi wa barabara IRIS baada ya kuacha njia na kuwafuata watu waliokuwa... Fahamu vyama vilivyotoa marais Marekani nje ya Republican, Democrats Marekani inatarajia kufanya uchaguzi mkuu Novemba 5, mwaka huu huku kampeni za uchaguzi zikitawaliwa na vyama viwili vya Republican na Democrats, ambavyo ndivyo vimetoa marais wengi nchini humo... Sekta binafsi, wachumi waeleza ulipo mkwamo ongezeko vituo vya gesi asilia Mkurugenzi wa Mkondo wa Chini wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Emanuel Gilbert wapo mbioni kumaliza kero ya madereva kutumia muda mwingi kusubiri huduma ya gesi. Yanga Princess yaivua Simba ubingwa Ngao ya Jamii, ikitinga fainali Yanga Princess imetinga hatua ya fainali ya Ngao ya Jamii ya Ligi ya Wanawake baada ya kuifunga Simba Queens kwa mikwaju ya penalti 4-3 kwenye nusu fainali ya pili ya mashindano hayo iliyochezwa... Mambo matatu kwa Mondi akiwa na miaka 35 Ikiwa leo Oktoba 2, mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Naseeb Abdul 'Diamond' anasheherekea siku yake ya kuzaliwa akitimiza miaka 35, ndani ya miaka hiyo msanii huyo tayari amefanya makubwa katika... Ruto anavyomchinja Gachagua kwa kisu alichokificha kwenye tabasamu Wakanda ni dola ya kufikirika Afrika Mashariki, ndani ya mfululizo wa vitabu vya Fantastic Four. Shujaa Black Panther ambaye jina lake halisi ni T'Challa, anafanya kila kitu kuhakikisha anailinda... Pre-Form One na msimu wa shule binafsi ‘kupiga fedha’ Baada ya kumalizika kwa mitihani ya kuhitimu darasa la saba, wazazi kote nchini Tanzania wanapata furaha isiyo kifani kuona watoto wao wamevuka hatua hiyo muhimu katika safari ya elimu.
http://www.mwananchi.co.tz/mw
TAARIFA KWA UMMA Tunasikitika kuwaarifu wasomaji wetu wapendwa kuwa tunalazimika kusitisha uchapishaji wa maudhui mtandaoni kuanzia sasa kufuatia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kusitisha leseni zetu za... Mfanyabiashara wa madini auawa mlima wa maombi, wauaji watuma meseji… Mwili wa mfanyabiashara wa madini ya ujenzi, David Mollel mkazi wa Kata ya Moivaro, umekutwa ukining’inia kwenye mti juu ya Mlima Oldonyowas, jirani na eneo linalotumika kwa maombi. Diwani CCM mbaroni, Bashe acharuka Masasi Fedha hizo ni malipo yaliyopaswa kufanywa kwa wakulima wa korosho wanachama wa Chama cha Msingi cha Ushirika cha Nanyindwa Amcos katika msimu wa 2016/17. Wananchi kushirikishwa mchakato wa kumng’oa Gachagua Spika wa Bunge la Kitaifa la Kenya, Moses Wetang’ula ametangaza ushiriki wa umma katika hoja ya kumng’oa madarakani Naibu Rais, Rigathi Gachagua Ijumaa, Oktoba 4, 2024. Sababu ongezeko wagonjwa wa vifua, mafua Wizara ya Afya imesema kuna ongezeko la virusi wanaosababisha homa kali ya mafua inayoambukiza maarufu influenza, waliyotaja kusababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa. Sita washikiliwa Polisi madai ya mauaji mkaguzi wa ndani Korogwe Mkaguzi wa Ndani wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, Jonais Shao, mwanawe na mtumishi wa kazi za ndani waliuawa kwa kuchomwa moto. Benki ya CRDB yasaini mkataba wa Dola 320 milioni na DFC, Citi kusaidia wajasiriamali Tanzania na Burundi Strategis insurance yaungana na Vitality Health International kuhamasisha mtindo bora wa maisha kiafya TAARIFA KWA UMMA Tunasikitika kuwaarifu wasomaji wetu wapendwa kuwa tunalazimika kusitisha uchapishaji wa maudhui mtandaoni kuanzia sasa kufuatia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kusitisha leseni zetu za... Ajali yaua wawili Pemba Kaimu kamanda wa Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba, Mussa Mwakasula amethibitisha kutokea ajali hiyo ya gari ya kampuni ya ujenzi wa barabara IRIS baada ya kuacha njia na kuwafuata watu waliokuwa... Fahamu vyama vilivyotoa marais Marekani nje ya Republican, Democrats Marekani inatarajia kufanya uchaguzi mkuu Novemba 5, mwaka huu huku kampeni za uchaguzi zikitawaliwa na vyama viwili vya Republican na Democrats, ambavyo ndivyo vimetoa marais wengi nchini humo... Sekta binafsi, wachumi waeleza ulipo mkwamo ongezeko vituo vya gesi asilia Mkurugenzi wa Mkondo wa Chini wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Emanuel Gilbert wapo mbioni kumaliza kero ya madereva kutumia muda mwingi kusubiri huduma ya gesi. Yanga Princess yaivua Simba ubingwa Ngao ya Jamii, ikitinga fainali Yanga Princess imetinga hatua ya fainali ya Ngao ya Jamii ya Ligi ya Wanawake baada ya kuifunga Simba Queens kwa mikwaju ya penalti 4-3 kwenye nusu fainali ya pili ya mashindano hayo iliyochezwa... Mambo matatu kwa Mondi akiwa na miaka 35 Ikiwa leo Oktoba 2, mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Naseeb Abdul 'Diamond' anasheherekea siku yake ya kuzaliwa akitimiza miaka 35, ndani ya miaka hiyo msanii huyo tayari amefanya makubwa katika... Ruto anavyomchinja Gachagua kwa kisu alichokificha kwenye tabasamu Wakanda ni dola ya kufikirika Afrika Mashariki, ndani ya mfululizo wa vitabu vya Fantastic Four. Shujaa Black Panther ambaye jina lake halisi ni T'Challa, anafanya kila kitu kuhakikisha anailinda... Pre-Form One na msimu wa shule binafsi ‘kupiga fedha’ Baada ya kumalizika kwa mitihani ya kuhitimu darasa la saba, wazazi kote nchini Tanzania wanapata furaha isiyo kifani kuona watoto wao wamevuka hatua hiyo muhimu katika safari ya elimu.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/search
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Subscribe for a month to get full access
http://www.mwananchi.co.tz/mw/account
Dhibiti akaunti yako Maelezo ya kibinafsi Badilisha neno la siri Uliyonunua Imesasishwa kwa mafanikio. Name Jina linahitajika Surname Email address Barua pepe inahitajika Tafadhali tumia barua pepe halali Phone Number Tafadhali tumia namba sahihi ya simu I would like NMG to notify me about news, events and promotion Sasisha Current Password NenoLasiri linahitajika Neno Nenosiri lazima liwe na angalau herufi 6 New Password Nenolasiri linahitajika Nenosiri lazima liwe na angalau herufi 6 Confirm Password Maneno ya siri hayalingani Badilisha neno la siri Hakuna ununuzi Tafadhali Ingia
http://www.mwananchi.co.tz/mw/account#maelezo-ya-kibinafsi
Dhibiti akaunti yako Maelezo ya kibinafsi Badilisha neno la siri Uliyonunua Imesasishwa kwa mafanikio. Name Jina linahitajika Surname Email address Barua pepe inahitajika Tafadhali tumia barua pepe halali Phone Number Tafadhali tumia namba sahihi ya simu I would like NMG to notify me about news, events and promotion Sasisha Current Password NenoLasiri linahitajika Neno Nenosiri lazima liwe na angalau herufi 6 New Password Nenolasiri linahitajika Nenosiri lazima liwe na angalau herufi 6 Confirm Password Maneno ya siri hayalingani Badilisha neno la siri Hakuna ununuzi Tafadhali Ingia
http://www.mwananchi.co.tz/mw/account#badilisha-neno-la-siri
Dhibiti akaunti yako Maelezo ya kibinafsi Badilisha neno la siri Uliyonunua Imesasishwa kwa mafanikio. Name Jina linahitajika Surname Email address Barua pepe inahitajika Tafadhali tumia barua pepe halali Phone Number Tafadhali tumia namba sahihi ya simu I would like NMG to notify me about news, events and promotion Sasisha Current Password NenoLasiri linahitajika Neno Nenosiri lazima liwe na angalau herufi 6 New Password Nenolasiri linahitajika Nenosiri lazima liwe na angalau herufi 6 Confirm Password Maneno ya siri hayalingani Badilisha neno la siri Hakuna ununuzi Tafadhali Ingia
http://www.mwananchi.co.tz/mw/account#uliyonunua
Dhibiti akaunti yako Maelezo ya kibinafsi Badilisha neno la siri Uliyonunua Imesasishwa kwa mafanikio. Name Jina linahitajika Surname Email address Barua pepe inahitajika Tafadhali tumia barua pepe halali Phone Number Tafadhali tumia namba sahihi ya simu I would like NMG to notify me about news, events and promotion Sasisha Current Password NenoLasiri linahitajika Neno Nenosiri lazima liwe na angalau herufi 6 New Password Nenolasiri linahitajika Nenosiri lazima liwe na angalau herufi 6 Confirm Password Maneno ya siri hayalingani Badilisha neno la siri Hakuna ununuzi Tafadhali Ingia
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari
TAARIFA KWA UMMA Tunasikitika kuwaarifu wasomaji wetu wapendwa kuwa tunalazimika kusitisha uchapishaji wa maudhui mtandaoni kuanzia sasa kufuatia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kusitisha leseni zetu za... TAARIFA KWA UMMA Tunasikitika kuwaarifu wasomaji wetu wapendwa kuwa tunalazimika kusitisha uchapishaji wa maudhui mtandaoni kuanzia sasa kufuatia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kusitisha leseni zetu za... Mashambulizi ya Iran yapandisha bei ya mafuta Bei ya mafuta ya Marekani imepanda kwa asilimia 3 na kufikia zaidi ya Dola 70 za Marekani (Sh190,750) kwa pipa, huku mafuta ghafi aina ya Brent yakiuzwa kwa Dola 73 za Marekanio (Sh 198,925) kwa...
http://www.mwananchi.co.tz/mw/michezo
### Yanga Princess yaivua Simba ubingwa Ngao ya Jamii, ikitinga fainali Yanga Princess imetinga hatua ya fainali ya Ngao ya Jamii ya Ligi ya Wanawake baada ya kuifunga Simba Queens kwa mikwaju ya penalti 4-3 kwenye nusu fainali ya pili ya mashindano hayo iliyochezwa...
http://www.mwananchi.co.tz/mw/kolamu
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Subscribe for a month to get full access
http://www.mwananchi.co.tz/mw/picha
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Subscribe for a month to get full access
http://www.mwananchi.co.tz/mw/video
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Subscribe for a month to get full access
http://www.mwananchi.co.tz/mw/toleo-maalum
### Mikakati ya GBT katika mapambano dhidi ya mashine haramu za sloti ‘Dubwi’ Michezo ya kubahatisha inajumuisha michezo ya aina mbalimbali ikiwemo Bahati Nasibu ya Taifa, kasino, michezo ya kubashiri matokeo (sports betting), michezo inayotumia jumbe fupi (SMS Lottery) na...
http://www.mwananchi.co.tz/mw/zanzibar
### Tume kuandika wapigakura wapya 14,878 Z’bar, ACT-Wazalendo watoa neno Wakati maboresho ya daftari la mpigakura yakitarajia kuanza Oktoba 7 hadi 13, 2024, wapiga kura wapya 14,878 wanatarajiwa kuandikishwa kisiwani humo ambao watakuwa na fursa ya kupiga kura moja tu...
http://www.mwananchi.co.tz/mw/ajira
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Subscribe for a month to get full access
http://www.mwananchi.co.tz/mw/notisi
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Subscribe for a month to get full access
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa
TAARIFA KWA UMMA Tunasikitika kuwaarifu wasomaji wetu wapendwa kuwa tunalazimika kusitisha uchapishaji wa maudhui mtandaoni kuanzia sasa kufuatia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kusitisha leseni zetu za... TAARIFA KWA UMMA Tunasikitika kuwaarifu wasomaji wetu wapendwa kuwa tunalazimika kusitisha uchapishaji wa maudhui mtandaoni kuanzia sasa kufuatia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kusitisha leseni zetu za... Mashambulizi ya Iran yapandisha bei ya mafuta Bei ya mafuta ya Marekani imepanda kwa asilimia 3 na kufikia zaidi ya Dola 70 za Marekani (Sh190,750) kwa pipa, huku mafuta ghafi aina ya Brent yakiuzwa kwa Dola 73 za Marekanio (Sh 198,925) kwa...
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kimataifa
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Subscribe for a month to get full access
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/biashara
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Subscribe for a month to get full access
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/makala
Pre-Form One na msimu wa shule binafsi ‘kupiga fedha’ Baada ya kumalizika kwa mitihani ya kuhitimu darasa la saba, wazazi kote nchini Tanzania wanapata furaha isiyo kifani kuona watoto wao wamevuka hatua hiyo muhimu katika safari ya elimu. Yafahamu anayopitia mtoto asiyemjua baba Majuzi nilikutana na Salome (si jina lake halisi) akinielezea masikitiko yake ya kutokumfahamu baba yake. Salome (23), mwanafunzi wa chuo kikuu, ana maumivu makali ya kutafuta kumfahamu baba yake... Hekaya za mlevi: Kijana elimu haijakufunza kuajiriwa Kuna wakati kila kijana alitamani kuwa msanii. Hii inatokea baada ya akili ya kijana kumwonesha mjomba wake akisota na shahada zake bila kupata kazi. Lakini pia masikio ya kijana yaliwanasa wale... Fahamu msongo unavyochangia magonjwa yasiyoambukiza Msongo wa mawazo ‘stress’ ni hali ya shinikizo la kiakili au la kihisia linalotokana na mahitaji yanayofikiriwa. Pombe, energy ni balaa kwa ogani “Nimeshazoea, kwa sasa siwezi kufurahia kunywa pombe kali bila kuchanganya na energy drink (kinywaji cha kuongeza nguvu), pasipo kufanya hivyo ninahisi kama kinywaji changu kinapungua ladha,”... Miwani mpya inayotarajiwa kuleta mapinduzi duniani Kampuni ya Meta ipo mbioni kuja na miwani mpya yenye teknolojia ya hali ya juu ambayo inatajwa kuwa na uwezo wa kuunganisha ulimwengu wa kidigitali na ulimwengu wa kweli. Upungufu watalaamu wa dawa ngazi ya msingi watajwa kufikia asilimia 81 Tanzania inakabiliwa na upungufu wa wataalamu wa kada ya famasia na wateknolojia dawa kwa asilimia 81 katika ngazi ya msingi, hali inayotajwa na wataalamu kuchangia wagonjwa kutopata huduma... Tahadhari yatolewa matumizi vidonge vya P2 Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu (UNFPA), limeeleza matumizi ya vidonge vya P2 sio njia ya uzazi wa mpango, bali hutumika kwa dharura. ‘Wanaume washirikishwe kikamilifu uzazi wa mpango’ Imeelezwa ushiriki wa wanaume katika masuala ya uzazi wa mpango ni muhimu na utakuwa na manufaa zaidi ukionekana. Kama unadhani ni mate ya nyoka, unajidanganya Ni kawaida kuona povu linalofanana na mate kwenye mimea hasa asubuhi au kipindi cha masika. Povu hilo wengi huamini ni mate ya nyoka na kusababisha kuogopa kuyashika Walimu kufeli mitihani ya wanafunzi, shida walimu au mfumo? Katika hali isiyo ya kawaida, walimu wanaweza kufeli mitihani ileile waliyowatahini wanafunzi wao? Michepuko janga lingine kwa wanandoa Umedumu kwa muda gani kwenye ndoa au uhusiano wako? Katika maisha yote umewahi kuchepuka? Nini kilisababisha ufanye hivyo? HEKAYA ZA MLEVI: Kiswahili cha waswahili changamoto Hivi haikushangazi kuona asilimia kubwa ya wanafunzi wanafaulu masomo ya kigeni kuliko somo la Kiswahili, lugha waliyozaliwa kwao na wanayoitumia wakati wote? Kiswahili ni kigumu sana PRIME Huyu ndiye Prof Manji, bingwa aliyeokoa maelfu ya watoto wachanga Profesa Karim Manji (65) wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), amechaguliwa kuwa mmoja wa washindi wa tuzo ya Mhitimu Bora wa Chuo Kikuu cha Harvard. Atolewa uvimbe kwenye kizazi uliomtesa kwa miaka 10 Jopo la madaktari bingwa wa upasuaji, wamefanikiwa kutoa uvimbe wenye uzito wa gramu 800 kwenye kizazi cha mwanamke mwenye umri wa miaka 49 alioishi nao kwa miaka 10, katika Hospitali ya Rufaa ya... Wadau kutoa mapendekezo ya kisera afya ya utengamao Mchango wa huduma za utengamao ni kuimarisha mifumo ya afya Fahamu mambo ya kuzingatia, kuepuka unapokuwa mgonjwa Wataalamu wa afya wameeleza mambo anayopaswa kufanya mgonjwa na yasiyopaswa ili kuimarisha usalama wake hospitalini na nyumbani PRIME Mikoa hii balaa kwa kuwa na mbumbumbu wengi Chini ya mti wa mwembe amekaa Rose Daniel akiwa ameshika simu ya mkononi, akiangalia ujumbe mfupi wa maneno aliotumiwa na mwalimu wa mwanawe. Kijana unafanya mazoezi au unasubiri ‘Six Pack’ baa? Ingawa kwa baadhi yetu mazoezi ni jambo la kila siku, wale wenzangu na mie angalau ifanye leo iwe siku itakayouchangamsha mwili wako kwani ndiyo maalumu kwa ajili ya mazoezi. PRIME Madhara wanayopata wanaokaa karibu na wavuta shisha, sigara Tafiti za kisayansi zinaonyesha moshi wa sigara una kemikali zaidi ya 400 zenye athari kubwa kwa afya ya binadamu
http://www.mwananchi.co.tz/mw/notisi/zabuni
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Subscribe for a month to get full access
https://nation.africa/africa
South African former finance minister Tito Mboweni dies at 65 Tito is a pivotal figure in the nation’s transition to democracy and a champion for labour rights. PRIME East Africa corporate deals dip 18pc on low Kenya activity Deals data compiled by advisory firm I&M Burbidge Capital shows that the count fell to 73 between January and July from 89 in 2023. Uganda selects Turkish firm for Malaba-Kampala SGR In 2013, Uganda, Kenya, Tanzania, South Sudan and Rwanda broke ground on the construction of the SGR to connect member states. When DRC was self-sufficient as a cultural state How 1970s bid to free the people from colonial legacy defines the identity of DR Congo to date. The untold story of Nanyuki’s Mt Kenya Safari Club It’s membership was uber-exclusive; then the FBI started investigations after learning Mafiosi members. On land, Mugabe walked path other African leaders would not But he and his cronies abused the reform process by taking some of the choice parcels for themselves
https://nation.africa/kenya
PREMIUM Gachagua's ouster: Kenya's 2027 power shift? The fall of a kingpin or the rise of new alliances? PREMIUM AUC chairman: Why this could be Africa’s most important election The African Union should elect a visionary leader capable of transformative change and dramatically reducing poverty. The making of a TikTok sensation: Maureen Kibui's rise as Mama Morin How did a university student's imitation of her mother become a cultural phenomenon? PREMIUM What Kericho governor faces in Senate trial Governor Erick Mutai's fate hangs in the balance as the Senate prepares for a crucial impeachment hearing. PREMIUM How KDF's Somalia incursion changed face of the military Major improvements in training and equipment since October 2011 have boosted the troops' ability to defend the nation from external aggression. PREMIUM Exposed: Kenya’s underworld of gemstone smuggling where foreigners call shots Foreign nationals, some only holding tourist visas, have infiltrated the gemstone market. Is the stock market still a way to make money? Disenfranchised and battered by a decade of disappointing returns, little to no listings and falling share prices, many investors have lost faith in the Nairobi Securities Exchange EXPLAINED: Depression and anxiety—Not what you think You may appear happy yet are depressed. Dr Muthoni Karanja, takes host, Sheryl Blessing on how to identify triggers to help combat depression and anxiety. To sue your doctor or hospital? Health lawyer, Margaret Nyambura takes us through medical negligence from a legal perspective PREMIUM Western Sahara issue threatens Morocco’s business deals The Western Sahara region was initially a colony of Spain but after the colonialists departed, it was administered by Mauritania and Morocco before Morocco claimed its territory. PREMIUM Mutua: Why Gachagua was impeached Mr Gachagua did himself no favours by appearing arrogant and dismissive of his boss President Ruto and MPs. Bureaucrat banned from travelling to South African for lavish Birthday A top government official's extravagant birthday plans in South Africa come crashing down. PREMIUM Kenyan female wine tasters shine at World Tasting Championship Kenyan wine tasters have outperformed traditional wine powerhouses at the Wine Olympics. The making of a TikTok sensation: Maureen Kibui's rise as Mama Morin How did a university student's imitation of her mother become a cultural phenomenon? A weekend in the life of a taxi driver Business begins to peak on Thursdays when those that patronise bars begin to unwind and ease into the weekend. Barry Otieno announces bid for FKF presidency He said his campaign will be anchored on implementing four pillars.
https://www.monitor.co.ug/uganda
PRIME Atiak Sugar Factory: Billions spent, no production When machines at the factory first started roaring over a decade ago, its senior management pledged to turn the venture into “an engine for development to support the livelihoods of vulnerable... PRIME How wooden houses can transform Uganda's housing crisis Wooden houses can position Uganda for a sustainable future by addressing the housing crisis through cost-effective, eco-friendly construction, reducing carbon emissions, and promoting responsible... Take children to schools you can afford, Nabbanja tells parents Highlighting the government’s commitment to ensuring every child has access to quality education, the Prime Minister emphasised the vital role education plays in shaping the nation’s future Tayebwa lures Manchester United to visit Uganda On September 10, the Indomitable Lions played out a goalless draw with ‘hosts’ Zimbabwe in Namboole and fans chaotically swarmed Onana outside the stadium after the match. Mr President, don’t stop at KCCA. Fire them all Gloria Bugie is the most recent nude video released but while this has evoked public outrage, it seems entirely business as normal at the Ministry of Ethics and Integrity PRIME Museveni wants easy way to buy big chunks of land for industrialists A crowd at a DP rally at the Constitutional Square in Kampala in the 2000s. It was renamed at the launch of the 1995 Constitution 29 years ago. PHOTO/FILE PRIME Uganda's Balagadde builds cargo business in US Mr Anthony Balagadde says Crane Cargo’s biggest advert is word of mouth by happy clients African music platform to pay $1m in royalties By localising content, Mdundo adds incremental value to its advertising clients, who benefit from targeted reach, and to artistes, who gain increased exposure in their communities PRIME Uganda's activists face increasing digital violence Ms Namata says online attacks have a spilling effect on the physical and emotional wellness of online activists Zari leads celebrity cast for hubby’s show at Lugogo Linda couldn’t stop admiring her idol, occasionally stealing shots of Zari smiling, or fanning herself with her veil or piece of paper.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/account/subscribe
### Account Subscribe # Subscribe Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Hello Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. ## Nation.Africa For corporate packages please contact us directly. Call +254(0)20-328-8033 # Forgot your password? Please fill in your email address. ### You can also pay using **Lipa na MPESA** by using the following instructions: 1. Go to the M-PESA menu 2. Select Lipa na M-PESA 3. Select the **Paybill** option 4. Enter business number: 5. Enter your account number: 6. Enter the amount: 7. Enter PIN and press OK to send 8. You will receive a confirmation SMS with your payment ## Kwa nini ujisajili? Asante kwa kujiunga nasi! Dhamira yetu Mwananchi ni kukuwezesha msomaji wetu kupitia uandishi huru wa kina unaoakisi dunia yako. Unapoendelea kutuamini, unatuwezesha kutekeleza dhima yetu ya Kuwezesha Taifa. Tupo kwa ajili yako! Kwa taarifa ama msaada zaidi, wasiliana nasi kupitia [email protected] ama +255 754 780 647. ## That's it. You are all set! Thank you for becoming part of our journey. You will be redirected back to the article in ** seconds ** ### We have noticed that the amount you paid is less than the expected total amount. Your payment has been received, but there is an outstanding balance. Please follow the following instructions to clear the balance. 1. Go to the M-PESA menu 2. Select Lipa na M-PESA 3. Select the **Paybill** option 4. Enter business number: 5. Enter your account number: 6. Enter the amount: 7. Enter PIN and press OK to send 8. You will receive a confirmation SMS with your payment
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/taarifa-kwa-umma-4784382
# TAARIFA KWA UMMA Tunasikitika kuwaarifu wasomaji wetu wapendwa kuwa tunalazimika kusitisha uchapishaji wa maudhui mtandaoni kuanzia sasa kufuatia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kusitisha leseni zetu za utoaji wa huduma ya maudhui mtandaoni kwa siku 30 kutokana na kuchapisha maudhui yaliyozuiwa yanayokiuka Kanuni za Maudhui ya Mtandaoni za 2020. Mwananchi Communications Limited (MCL) inaahidi kuwaletea wateja na wasomaji wetu habari, taarifa na maudhui bora yanayowezesha taifa kupitia magazeti yetu, na huduma zetu nyingine zisizo za mtandaoni wakati tukiendelea kuzungumza na mamlaka husika ili kupata muafaka. Tunawashukuru sana kwa kuendelea kuwa nasi. Imetolewa na *Victor A. Mushi Kaimu Mkurugenzi Mtendaji na Mhariri Mtendaji Mkuu* *Mpoki Thomson Mhariri Mkuu Mtendaji Msaidizi na Mhariri Mtendaji, The Citizen*
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/uchaguzi-chadema-boni-yai-kushinda-akiwa-gerezani--4783260
# Uchaguzi Chadema: Boni Yai kushinda akiwa gerezani? ## Muktasari: **Jumamosi ya Oktoba 5, 2024, Kanda ya Pwani ya Chadema yenye mikoa ya Dar es Salaam na Pwani itafanya uchaguzi wa viongozi wake huku mmoja wa wagombea nafasi ya uenyekiti, Boniface Jacob, maarufu Boni Yai atakuwa gerezani.** **Dar es Salaam**. Meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob, maarufu Boni Yai atalazimika kupigiwa kura ya nafasi ya uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kanda ya Pwani akiwa gereza la Segerea jijini Dar es Salaam. Endapo atashinda uchaguzi huo uliopangwa kufanyika Jumamosi Oktoba 5, 2024 Kibaha mkoani Pwani, atakuwa kada wa pili wa Chadema kushinda akiwa gerezani baada ya Ameri Nkulu kushinda udiwani mwaka 2015 huko Sumbawanga akiwa gerezani. Ingawa chaguzi zinatofautiana, lakini Nkulu aliyekuwa akiwania udiwani katika Kata ya Lusaka, Oktoba 23, 2015 alihukumiwa kwenda jela miezi sita ikiwa ni siku mbili kabla ya uchaguzi mkuu, lakini wananchi wakaamua kumchagua. Boni Yai yuko katika Gereza la Segerea kutokana na dhamana yake kusubiri hatima ya dhamana yake ambayo imepangwa kutolewa Jumatatu Oktoba 7, 2024 na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, baada ya kusogezwa hadi tarehe hiyo. Hata hivyo, taratibu za Chadema zinaruhusu kupigiwa kura kwa staili hiyo. Boni Yai ambaye ni mfanyabiashara, mwanaharakati na mwanasiasa wa upinzani anakabiliwa na kesi ya kuchapisha taarifa za uongo mitandao ambapo upelelezi wake bado haujakamilika. Awali, uchaguzi huo ulipangwa kufanyika Septemba 29, 2024 wilayani Bagamoyo, lakini ulisogezwa mbele na waratibu wa uchaguzi huo wakisikiliza uamuzi wa mahakama wa kumpa dhamana Boni Yai ambaye ni mgombea anayechuana na Gervas Lyenda. Septemba 27, 2024, Katibu wa Chadema Kanda ya Pwani, Jerry Kerenge aliliambia Mwananchi: "Ngoja tuone siku hiyo (Oktoba Mosi) kutakuwa na ishu gani kuhusu mgombea huyu. Kufanya uchaguzi halafu mgombea mmoja yupo ndani (mahabusu), inawezekana hatumtendei haki, tumeamua tujipe muda kidogo.” “Hizi ni siasa wakati mwingine unaweza ukafanya jambo kwa faida, lakini likatengeneza ugumu, tusubiri tarehe moja,” alisema Kerenge. Hata hivyo, Jumanne Oktoba Mosi baada ya uamuzi wa mahakama kuhusu dhamana ya Boni Yai, uongozi wa Chadema Kanda ya Pwani umeamua kuendelea na uchaguzi kama ilivyopangwa ukitarajiwa kufanyika Njuwen Hoteli Kibaha badala ya Chuo cha Sanaa Bagamoyo (Tasuba). "Inatulazima tuendelea na mchakato kama ilivyopangwa maana hatuwezi kujua uamuzi wa mahakama utakuaje, Boni Yai atakosa fursa ya kujinadi na kuomba kura tu, kazi ambayo itafanywa na watu wake wa kampeni," alisema mratibu huyo. Mmoja wa wajumbe wa kamati kuu aliyezungumza na Mwananchi akiomba hifadhi ya jina amesema: “Tunalazimika kuendelea na uchaguzi kwa sababu tukiacha kuufanya unavuruga ratiba za chaguzi. Lakini kama mgombea anakubalika anakubalika tu, wapiga kura wataamua wenyewe kwani wanawajua wagombea wao wote.” “Kitu ambacho Boni atakikosa labda ni kuulizwa maswali tu pale lakini mambo mengine yatakuwa sawa na hii kwetu si mara ya kwanza uchaguzi kufanyika na mgombea kutokuwapo, imewahi kujitokeza huko nyuma na chaguzi ziliendelea.” Hata hivyo, si mara kwa wagombea wa nafasi mbalimbali Chadema kuombewa kura pasipo wenyewe kuwepo ndani ya ukumbi kama ilivyotokea kwa Chacha Heche aliyeibuka kidedea katika uchaguzi wa uenyekiti wa chama hicho, mkoa wa Mara, ingawa hakuwepo kwa kuwa alikuwa nje ya nchi kwa dharura. Siyo huyo tu bali hata mbunge wa zamani wa Mikumi, Joseph Haule, maarufu Profesa Jay amefanikiwa kutetea kiti chake cha uenyekiti wa wilaya hiyo, wiki iliyopita baada ya kuchaguliwa tena hata hivyo hakuwepo katika ukumbi wakati mchakato huo ukiendelea kutokana na changamoto anazozipitia za kiafya. **Meneja kampeni 'Boni Yai' ** Wakati hayo yakijiri, Meneja Kampeni wa Boni Yai, Ernest Mgawe ambaye pia ni mwenyekiti wa Chadema Jimbo la Kibamba amesema hawana wasiwasi hata mgombea asipokuwepo watamwakilisha vema katika kiny'anganyiro hicho. "Tuendelea na maandalizi, hatuna wasiwasi hata kama chama kikiamua kuitisha uchaguzi leo, kesho tutashiriki na kumpigia kura mgombea wetu Boni Yai aliyepo gerezani. "Tunaendelea kunadi vipaumbele vyake tangu alivyopitishwa na chama kuwania nafasi hii, tuna uhakika ataibuka kidedea katika uchaguzi huu," amesema Mgawe aliyewahi kuwania ubunge wa Kibamba katika uchaguzi wa mwaka 2020. **Lyenda atamba ** Wakati Mgawe akieleza hayo Lyenda amesema: "Maandalizi ya kumaliza kampeni yanakwenda vizuri kwa sababu timu yangu ya kampeni inafanya kazi nzuri tangu mwanzo, kama ambavyo timu ya Boni Yai inavyofanya." "Hizi kampeni zetu zinaongozwa na timu, maana hali ya siasa ya Tanzania wagombea hamuwezi kuwa mbele bali tunatanguliza timu," amesema. Lyenda amesema timu yake na Boni Yai zimesambaa mtaani kusaka kura kwa wajumbe wanaowaunga mkono, akisema kitendo cha mpinzani wake kusalia mahabusu hakuathiri chochote ndani ya timu yake. "Tunamwomba Mungu tumalize salama viongozi wapatikane ili tukijenge chama kwa ajili ya maandalizi ya chaguzi zijazo za serikali za mitaa na uchaguzi mkuu 2025," amesema Lyenda ambaye ni Ofisa Habari wa Chadema kanda ya Pwani. Uchaguzi huo utahusisha kumpata makamu mwenyekiti ambapo mchuano upo kati ya Sheikh Ally Mohamed ‘Kadogoo’ na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Kisarawe. Pia, wajumbe wa kanda hiyo watawachagua viongozi wa mabaraza ya wazee (Baraza la Wazee la Chadema- Bazecha), Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha) pamoja na mhazini wa kanda. Kwa miaka minne, Kanda ya Pwani yenye mikoa ya Pwani na Dar es Salaam, imekuwa chini ya Kaimu Mwenyekiti, Baraka Mwago, baada ya Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye aliyekuwa mwanachama wa Chadema kabla ya kurejea CCM kushindwa katika uchaguzi uliofanyika Novemba 19, 2019. Katika uchaguzi huo, Sumaye mbunge wa zamani wa Hanang' na Waziri Mkuu 1995 hadi 2005 alikuwa mgombea pekee lakini akapigiwa kura ya hapana 48 na ndio 28 huku moja ikiharibika. Katika hatua nyingine, Aden Mayala amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa Kanda ya Kusini yenye mikoa ya Mtwara, Ruvuma na Lindi, huku Belle Ponera akiibuka makamu mwenyekiti katika uchaguzi uliofanyika Septemba 29, 2024.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/siasa/simulizi-ya-saa-24-kabla-ya-kifo-cha-sokoine-4783080
Prime # Simulizi ya saa 24 kabla ya kifo cha Sokoine Imepita miaka 40 tangu aliyekuwa Waziri Mkuu, hayati Edward Sokoine alipofariki kwa ajali ya gari mkoani Morogoro wakati akitoka mkoani Dodoma kuelekea Dar es Salaam. Sokoine alifariki Aprili 12, 1984 baada ya gari lake kugongwa na gari lingine katika eneo la Dakawa, Wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro. Sokoine anatajwa kuwa miongoni mwa viongozi walioonyesha uwezo wa hali ya juu kwa kutatua kero za wananchi na kutafuta suluhu kwa mambo magumu yaliyoikabili nchi. Mapema wiki hii, kitabu cha “Edward Moringe Sokoine, Maisha na Uongozi Wake” kilizinduliwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Kitabu hicho cha tawasifu ya maisha yake, kimeandikwa na Taasisi ya Uongozi kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (Sua). Makala haya yanachambua maisha ya kiongozi huyu kama yalivyosimuliwa kwenye kitabu hiki, ikiwemo uongozi wake, haiba yake, uamuzi alioufanya na hata kifo chake kilivyotokea na kusababisha majonzi kwa Watanzania. **Kifo chake** Kitabu hicho kinaeleza mazingira ya kifo cha Sokoine siku moja kabla ya ajali aliyoipata, kikisema alikataa usafiri wa ndege aliokuwa anaupendelea. “Aprili 11, 1984, siku moja kabla ya kifo chake, mlinzi na mpambe wake Sokoine, Amaan Abihudi Luila, alimweleza Waziri Mkuu kuwa ilikuwapo ndege ya kumrudisha Dar es Salaam kama alikuwa anapendelea usafiri huo. “Sokoine, baada ya kuelezwa kuwa ndege hiyo ilikuwa na uwezo wa kubeba watu saba, aliuliza kama angepanda ndege hiyo, wasaidizi wake ambao alikuwa amekwenda nao Dodoma wangerudi vipi Dar es Salaam? “Alisisitiza kuwa angetaka timu yake irudi pamoja Dar es Salaam kama ilivyokuwa imekwenda Dodoma. Ilikuwa kawaida ya Sokoine kuwatetea wasaidizi wake na siku hiyo utetezi ulihusu maofisa wake wengine watano ambao alisafiri nao kwa njia ya barabara kwenda Dodoma kutoka Dar es Salaam, Aprili 8, 1984.” Kitabu hicho kinaeleza kuwa ilikuwa Aprili na ilikuwa nyakati za masika, hivyo mvua ilinyesha usiku kucha Dodoma, kuanzia saa 4 usiku, ikiwa imeambatana na ngurumo za radi, kama ilivyokuwa kwa nchi nzima. “Mvua ile ilikuwa bado inaendelea kunyesha wakati safari ya Waziri Mkuu inaelekea Dar es Salaam. Sokoine hakujali hayo. Pamoja na mvua hiyo kubwa, saa 2 kamili za asubuhi, msafara wake uliingia kwenye lango kuu la nyuma la ofisi yake mjini Dodoma.” Kitabu hicho kinaeleza kuwa pamoja na mvua iliyokuwa ikinyesha, Sokoine alikwenda ofisini katika jengo la Old Boma, eneo la Uzunguni, karibu na Dodoma Hotel, kama ofisi yake. Kitabu hicho kinasimulia kwamba kama ilivyokuwa kawaida yake, baada ya kuingia ofisini kwake, alikagua majalada na kufanya mashauriano na wasaidizi wake. Saa 4:30 asubuhi, alitoka nje ya jengo la ofisi yake na kumkuta mmoja wa wasaidizi wake, Horace Kolimba (sasa marehemu), kwa masihara, alimkaribisha aingie kwenye gari lake ili wasafiri kwa pamoja kurudi Dar es Salaam. “Kwa heshima, Kolimba akamjibu Sokoine kuwa yeye angesafiri baadaye jioni kwa ndege. Hayo ndiyo yalikuwa maneno ya mwisho ya Sokoine kwa msaidizi wake yeyote, kwa sababu baada ya hapo msafara ulitimka kuelekea Dar es Salaam. “Lakini kabla ya kuanza safari yake kuelekea Dar es Salaam, Sokoine alikutana pia na Mawaziri wa Nchi (watatu) katika Ofisi ya Waziri Mkuu - Paul Kimiti, Gertrude Mongella na Anne Makinda. Alifanya kikao cha mapitio ya kazi za Serikali na Bunge kwa siku nne alizokuwa Dodoma. Sokoine aliwapitisha mawaziri hao kwenye muhtasari wa mambo muhimu aliyotaka yafanyike baada ya Bunge.” Pia, alikutana na watu mbalimbali, ikiwa pamoja na kufanya karamu na wabunge mkoani humo. Ufafanuzi wa Mwanga kuhusu yaliyotokea katika safari ya kwenda Da es Salaam hautofautiani na ule wa Chiledi, ambaye kama alivyo Mwanga alikuwa ni mtu wa lazima kuwapo katika kila msafara wa safari za Wazi Mkuu. **Safari yaishia Wami** Kwa mujibu wa aliyekuwa mwandishi wa Soikoine, Accadoga Chiledi, mwendo wa magari yaliyoandamana katika msafara wa kiongozi huyo ulikuwa wa kawaida, kati ya kilomita 110 na 130 kwa saa kwa sehemu zilizonyooka. “Chiledi alikaa katika gari lake la kawaida mbele ya lile la Waziri Mkuu. Gari lililotangulia, la kusafisha njia, lilikuwa la Jeshi la Polisi, aina ya Peugeot 504, likifuatiwa na gari la maofi wa usalama, na la tatu lilikuwa ni la Waziri Mkuu, Mercedes Benz. Baada ya gari la Waziri Mkuu likafuata gari jingine la maofisa wa usalama, baadaye gari la wasaidizi wengine, akiwamo Mwanga. Chiledi anaongeza, “Hata hivyo, dakika tano baada ya kuvuka Mto Wami, kiasi cha kama kilomita 40 hivi kutoka Morogoro, nilisikia kishindo kikubwa kikitokea nyuma yetu, kishindo cha mgongano wa vyuma. “Gari la Waziri Mkuu lilikuwa limegongana na gari aina ya Toyota Landcruiser la kubeba mizigo. Sokoine hakuchukua muda. “Alipoteza maisha muda mfupi tu baadaye kutokana na majeraha makubwa ambayo alikuwa ameyapata ya kichwani na kifuani.” **Aanza na Katiba mpya** Sokoine aliteuliwa kuwa Waziri Mkuu siku nane tu baada ya vyama vya TANU na ASP kuunganishwa na kuunda Chama cha Mapinduzi (CCM). Aliteuliwa kuwa Waziri Mkuu kwa mara ya kwanza mwaka 1977 na alidumu hadi mwaka 1980, akajiuzulu na baadaye aliteuliwa tena mwaka 1983 hadi alipofariki mwaka 1984. Kuunganishwa kwa vyama hivyo kulienda sambamba na mabadiliko ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano ambayo ndiyo inaendelea kutumika nchini hadi sasa. Katiba hiyo iliyopitishwa Aprili 26, 1977, siku ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, pia ilichukua nafasi ya Katiba ya Muda ya Tanzania ya mwaka 1965. Kitabu hicho kinaeleza kuwa uongozi wa Sokoine ulijitokeza katika usimamizi wake wa kupitishwa kwa Katiba hiyo. “Katiba hiyo kimsingi ndiyo iliyoimarisha kwa vitendo mfumo na nadharia ya Chama Kushika Hatamu za Uongozi wa nchi, na nafasi ya CCM katika maisha ya Watanzania. “Katiba hiyo ya 1977 pia ndiyo iliyoondoa utata wa kuwapo kwa vyama viwili vya siasa. Kwa mara ya kwanza tangu Muungano, nchi sasa ilikuwa kweli na chama kimoja cha siasa kufuatia kuungana kwa vyama vya TANU na ASP miezi miwili kabla ya kupitishwa kwa Katiba mpya ya mwaka 1977. Aidha, hatua ya kuunganisha vyama hivyo iliimarisha Muungano,” kinaeleza kitabu hicho. **Vita vya Idd Amin** Mafanikio mengine ya Sokoine yanayotajwa katika kitabu hicho ni uongozi na usimamizi wake wa vita dhidi ya Idi Amin vya kukomboa sehemu ya Tanzania iliyovamiwa na mtawala huyo wa Uganda. “Sokoine alikuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Vita wakati huo. Vita vinahitaji mchango wa watu wengi na hakuna shaka kuwa watu wengi nchini walichangia mafanikio ya Tanzania katika ushindi huo. “Hata hivyo, ushindi huo usingepatikana bila uongozi thabiti wa Sokoine katika vita hivyo. Nyerere alitambua mchango wa Sokoine katika barua ambayo alimwandikia Waziri Mkuu akimkubalia ajiuzulu Uwaziri Mkuu mwishoni mwa mwaka 1980. “Baada ya kummiminia sifa nyingi za uongozi, Nyerere alimwambia Sokoine, ‘Ni lazima nitaje, kwa namna ya pekee, kazi uliyoifanya katika kuendesha na kuratibu juhudi za taifa letu wakati tulipolazimishwa kuingia vitani; binafsi ulitoa mchango mkubwa katika ushindi wetu wa mwisho na mchango wako ni lazima utambuliwe hadharani’.” **Vita dhidi ya uhujumu uchumi** Sokoine pia aliingia madarakani kwa nyakati zote mbili wakati Tanzania inapitia kipindi kigumu kiuchumi. Baada ya kupitishwa Sheria ya Uhujumu uchumi, ukamataji ulianza hata kama ilikuwa katika mazingira ya siri. Kamatakamata ilikwenda kwa kasi sana na Hamad Rashid ananukuliwa kwenye kitabu hicho akisema katika kipindi kifupi, watu wapatao 3,000 walikuwa wametiwa ndani, mali nyingi za mamilioni ya fedha zilikamatwa na vyombo vya Serikali na nyingine hata kupotea katika mazingira ya kutatanisha. Akimwelezea Sokoine katika mkutano wa uzinduzi wa kitabu chake Septemba 30, 2024, Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba anasema Sokoine alisimamia uanzishwaji na utekelezaji wa Sheria ya Uhujumu uchumi ambayo kwa maoni yake aliona kuwa inaweza kuleta shida. “Alisema kesi za uhujumu ya uchumi zisikilizwe katika Mahakama maalumu, halafu ushahidi wa kusikia uchukuliwe, kesi zisikilizwe faragha na kusiwe na dhamana,” anasema. Hata hivyo, Jaji Warioba anasema alipinga sheria hiyo akisema inakiuka utawala bora na haki za binadamu. “Nikamwambia, mimi kwa kuwa ni Waziri wa Sheria na Mwanasheria Mkuu, siwezi kusimamia sheria ambayo siiamini. Kwa hiyo nikamwambia Mheshimiwa Waziri Mkuu, mimi nitakaa pembeni,” anasema. Hata hivyo, alisema Sokoine hakupenda msimamo wake. “Akaniambia wewe umekuwa mstari wa mbele kupambana na rushwa, unataka kuacha kazi kwa jambo dogo hili? “Nikamwambia hapana, sheria zozote zinazotekelezwa kwa operesheni zinakuja kuleta madhara makubwa baadaye na kwa sheria hii, italeta madhara na inavunja utawala bora na inaingilia haki za binadamu,” anasema Jaji Warioba. Anaendelea kusimulia kuwa Sokoine alimchukua hadi Msasani kwa Mwalimu Julius Nyerere kutaka ushauri. “Mwalimu akaamua nusunusu, akasema nendeni mkaondoe hiyo ya kesi kusikilizwa faragha na hiyo ya hearsay evidence (ushahidi wa kusikia), lakini utaratibu maalumu ubaki na dhamana isiruhusiwe na akasema hakuna mtu ku-resign (kujiuzulu) hapa,” anasema. Anasema sheria hiyo ilipitishwa Aprili 1983 na Nyerere aliisaini haraka haraka. “Yaleyale niliyokuwa naogopa yakaanza kutokea, kwa sababu utekelezaji wake ulikuwa na vurugu kubwa. Watu walianza kukamatwa kwa taratibu mbaya, mali za watu zilichukuliwa na malalamiko ya wananchi yalikuwa mengi sana,” anasema. Hata hivyo, kwa mujibu wa Jaji Warioba, baadhi ya watendaji wa Serikali waliosimamia operesheni ya uhujumu uchumi walikwenda kinyume na maelekezo, jambo lililomsikitisha Sokoine. Kwa mujibu wa kitabu hicho, Sokoine hakuwa na ugomvi na ubepari na mabepari kwa sababu aliweka tofauti kati ya mabepari “waaminifu” ambao kazi yao ilikuwa kushiriki katika uzalishaji na shughuli halali, na walanguzi na wahujumu uchumi waliojipatia mali kwa njia za ulanguzi na uhujumu uchumi. “Wakati ule wa vita dhidi ya uhujumu uchumi, Sokoine alitamka hadharani kuwa chama na Serikali havikuwachukia matajiri, bali kuwa kilichotakiwa ni watu kutajirika kwa njia halali za uzalishaji mali. Katika moja ya kauli zake, Sokoine alitoa changamoto za matatizo akisema: “Watuambie nani katika Tanzania amenyang'anywa ardhi yake, mifugo yake na kadhalika.” Ilikuwa vigumu kwa Sokoine, kwa hakika, kutokuamini katika miliki binafsi ya mali kwa kuzingatia kuwa, licha ya kukadiriwa kuwa na ng'ombe kati ya 500 na 600, pia alimiliki maeneo makubwa ya ardhi. Katika kitabu hicho, Profesa wa Sheria, Issa Shivji, mmoja wa wasomi na wachambuzi hodari wa mambo nchini, anasema kuwa Sokoine hakuwa na ugomvi kuhusu ubepari kwa maana ya ubepari au kuhusu mabepari kama tabaka ndani ya jamii.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mfanyabiashara-wa-madini-auawa-mlima-wa-maombi-wauaji-watuma-meseji--4783428
# Mfanyabiashara wa madini auawa mlima wa maombi, wauaji watuma meseji… ## Muktasari: **Inadaiwa alinyongwa kwa mkanda wa suruali, usoni alifungwa kitambaa chekundu** **Arusha.** Mwili wa mfanyabiashara wa madini ya ujenzi, David Mollel mkazi wa Kata ya Moivaro, umekutwa ukining’inia kwenye mti juu ya Mlima Oldonyowas, jirani na eneo linalotumika kwa maombi. Inadaiwa Mollel mwenye umri wa kati ya miaka 50 na 55, aliuawa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia Jumanne, Oktoba Mosi, 2024 kwa kunyongwa na mkanda wa suruali. Mwili wake ulifunikwa kitambaa chekundu usoni. Taarifa za awali zinaashiria mgogoro wa kugombea eneo la uchimbaji madini ya ujenzi aina ya moramu ni chanzo cha mauaji hayo. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justine Masejo amethibitisha tukio hilo akisema uchunguzi umeanza kwa kushirikiana na vyombo vingine vya usalama. Masejo amesema bado chanzo cha mauaji hayo hakijafahamika na wameanza uchunguzi kujua kiini cha tukio hilo kwa kushirikiana na taasisi zingine za usalama mkoani Arusha. Mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya Mount Meru. Jeshi la Polisi limesema linaendelea na uchunguzi ikiwa ni pamoja na ujumbe wa vitisho uliotumwa kwa familia yake. “Uchunguzi zaidi unafanyika kwa kushirikisha taasisi nyingine za kiuchunguzi kutokana na ujumbe wenye utata uliotumwa kwa ndugu zake watatu Septemba 30, 2024 kabla ya kugundulika kwa mwili wake katika Mlima Oldonyowas,” amesema leo Oktoba 2, 2024 alipozungumza na Mwananchi. Wakati huohuo, jirani na rafiki wa karibu wa mke wa marehemu, Rehema John, amesema Mollel alionekana mara ya mwisho asubuhi ya Septemba 30, 2024. Amesema alimuona saa tatu asubuhi alipokwenda kunywa chai nyumbani kwake na baadaye aliondoka. “Jioni saa 12, rafiki yangu aliniambia anakwenda polisi kutoa taarifa maana anasikia mume wake ametekwa na watu wasiofahamika, hivyo tukaenda kutoa taarifa na kutakiwa kukaa saa 24 ndipo turudi tena,” amesema. “Baadaye saa mbili usiku shemeji yake akampigia simu kumwambia kuna watu wametuma ujumbe kuwa wanaenda kumuua mume wake kwa sababu amekataa kuachia Mlima wa Moramu,” amesema. Amesema familia ilianza msako na asubuhi uligundulika mwili wake katika msitu wa Mlima Oldonyowas. Mjomba wa marehemu aliyejitambulisha kwa jina moja la Mollel amesema alitumiwa ujumbe kabla ya kupigiwa simu na watu hao saa mbili kasoro usiku na kuambiwa wamepewa kazi ya kumuua ndugu yao na watu wanaogombea nao mlima na ndiyo wanaenda kutekeleza. Ujumbe huo ambao Mwananchi umeuona unasomeka: “Unarijua hiri rijamaa renye simu hii, tunaritundika kwenye mti kakataa kuachia mgodi sio madai tu, pesa kitu gani na hiro rimoram aache, tumepewa kazi ya kumuua na watu watatu wababe akiwemo…” “Mimi ni mmoja wa watu watatu niliotumiwa ujumbe usiku saa mbili, nikasoma nikashtuka sana maana hatujawahi kusikia ndugu yetu akiwa na ugomvi na mtu, hivyo nilimtumia kaka yangu naye asome,” amesema. “Wakati huo nikaamua kupiga hiyo namba iliyotuma ujumbe akapokea akasema wako watatu na wamepewa pesa nyingi za kuhakikisha wanamuua ndugu yetu hivyo wanakwenda kumtundika juu ya mti,” amesema Mollel. Steven Joram, jirani mwingine wa Mollel amesema mauaji hayo yana viashiria vya mgogoro wa eneo la uchimbaji moramu ambalo alikuwa akilimiliki. “Alikuwa mtu wa watu sana, sijui hata huo mgodi wahusika wakiupata wataufanyia nini wakati wamedhulumu maisha ya mtu huyu aliyeacha watoto,” amesema.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/diwani-ccm-mbaroni-bashe-acharuka-masasi-4783914
# Diwani CCM mbaroni, Bashe acharuka Masasi ## Muktasari: **Bashe alifahamishwa kuwa wakulima kadhaa hawakulipwa kiasi cha Sh139 milioni katika msimu wa 2016/17 hatua iliyosababisha mali za Amcos hiyo ikiwemo trekta na lori kupigwa mnada kwa amri ya mahakama.** **Masasi.** Diwani wa Chiwale (CCM), wilayani Masasi, Yusuph Mataula amejikuta mikononi mwa vyombo vya dola akitakiwa kusaidia uchunguzi katika sakata la ubadhirifu wa Sh139 milioni. Fedha hizo ni malipo yaliyopaswa kufanywa kwa wakulima wa korosho wanachama wa Chama cha Msingi cha Ushirika cha Nanyindwa Amcos katika msimu wa 2016/17. Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ametoa maagizo hayo leo Jumatano, Oktoba 2, 2024, alipohutubia mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Chiwale wilayani Masasi, Mtwara, baada ya kusikiliza kero mbalimbali zinazoathiri maendeleo ya kilimo katika kijiji hicho. Katika mkutano huo, Bashe alifahamishwa kuwa wakulima kadhaa hawakulipwa kiasi cha Sh139 milioni katika msimu wa 2016/17 hatua iliyosababisha mali za Amcos hiyo ikiwemo trekta na lori kupigwa mnada kwa amri ya mahakama. "Katika kulipatia ufumbuzi suala hilo, uongozi mpya wa Nanyindwa Amcos, uliamua kulipa Sh10 milioni kila msimu ili kupunguza deni hilo," mwananchama mmoja wa Amcos hiyo amesema mkutanoni hapo. Alipotakiwa kuelezea sakata hilo, Mwenyekiti wa Chama cha Ushirika Nanyindwa, Anania Kamaghe amesema alikuta taarifa za ubadhirifu huo baada ya kuchaguliwa mwaka huu. Amesema jitihada za kuokoa mali za chama ziligonga mwamba baada ya kuelezwa uamuzi wa mali kupigwa mnada ulitolewa na mahakama hivyo hakuwa na uwezo kupinga maamuzi ya kisheria. Alipotakiwa na Waziri Bashe awataje wahusika wa ubadhirifu huo, Kamaghe amesema, "Bodi nzima ya Nanyindwa Amcos, katibu mstaafu wa chama hicho ambaye sasa ni mheshimiwa (diwani) na viongozi wengine 12." Diwani huyo alipotakiwa kueleza upotevu wa fedha hizo, amekiri uongozi wake kuhusika na sakata hilo na kubainisha kuwa wajumbe 13 katika uongozi wake walitakiwa kulipa Sh7.4 milioni kufidia fedha hizo za malipo kwa wakulima. "Siwezi kujua endapo wenzangu wamemaliza kulipa kwa sababu kila mmoja alitakiwa kufanya malipo baada ya kupewa namba ya akaunti. Binafsi, nikipewa muda hadi Jumatatu nitakuwa nimemaliza kulipa sehemu yangu," amesema. Baada ya kusikiliza kwa makini, Bashe ameamuru vyombo vya ulinzi na usalama vimchukue ili kusaidia uchunguzi utakaofanikisha kupatikana kwa fedha hizo na wahusika wote wa ubadhirifu huo. "Fedha zote zipatikane ndani ya wiki na wahusika wajulikane walipo," amesema, akihimiza madiwani kusimamia Amcos badala ya wenyewe kuwa sehemu ya dhulma. Katika hatua nyingine, Waziri Bashe ameamuru kukamatwa kwa Afisa Mtendaji wa kijiji mstaafu Hashimu Pahala anayetuhumiwa kushiriki katika kumtapeli shamba la ekari 30, Fatuma Namkumbo licha ya kulipia Sh1.5 milioni na kupatiwa risiti. Pia, amekiagiza Chama Kikuu cha Ushirika cha Masasi na Mtwara (Mamcu), Bodi ya Korosho Tanzania (CBT), Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania (TCDC), na ofisi ya mkuu wa wilaya ya Masasi kuchunguza ubadhirifu unaohusisha mamilioni ya shilingi katika Chama cha Msingi cha Lipumbulu (Amcos). Katika ubadhirifu huo, taarifa zinaonyesha wakati baadhi ya wakulima hawajalipwa fedha zao baada ya kuuza bidhaa kupitia chama hicho, wengine wamelipwa mara mbili.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/kabendera-atangaza-kukata-rufaa-dhidi-ya-vodacom-4783800
# Kabendera atangaza kukata rufaa dhidi ya Vodacom ## Muktasari: **Uamuzi wa kukata rufaa dhidi ya Kampuni ya Vodacom Tanzania Ltd, ndiyo unaoonekana kama hatua iunayofuata kwa Mwanahabari Erick Kabendera, baada ya kesi yake kupingwa na kushindwa kuendelea.** **Dar es Salaam**. Mwanahabari, Erick Kabendera ametangaza uamuzi wa kukata rufaa dhidi ya pingamizi lililozuia kuendelea kwa kesi yake anayokabiliana na Kampuni ya mtandao wa simu ya Vodacom Tanzania Ltd. Kabendera aliifungua kesi hiyo, Julai 2024, akiituhumu kampuni hiyo kuhusika na utoaji wa taarifa za mahali alipo hadi kukamatwa kwake Julai, 2019 nyumbani kwake Mbweni jijini Dar es Salaam. Baada ya kufungua kesi hiyo namba (12799/2024), iliwekewa pingamizi lililosababisha Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam kuifuta. Kabendera alitangaza uamuzi wa kukata rufaa jana Jumanne, Oktoba 1, 2024 alipozungumza na waandishi wa habari kwa njia ya mtandao, akidokeza anafanya hivyo baada ya kushauriana na mawakili wake. Alisema anatarajia kukata rufaa kwenye Mahakama ya Rufaa dhidi za pingamizi lililowekwa kwa kuwa wanaamini kesi hiyo ina mashiko na inastahili kusikilizwa ili wawasilishe ushahidi. “Kutokana na ushahidi tulioukusanya baada ya miaka mitatu ya uchunguzi, tumeona ushahidi ni mkubwa kiasi kwamba unatosha kuishitaki Vodacom Tanzania na kampuni zake tanzu nchini Afrika ya Kusini na Uingereza,” alisema. Sambamba na uamuzi huo, Kabendera alisema wanasheria wake kutoka Uingereza na Afrika ya Kusini wanakamilisha utaratibu wa kufungua kesi dhidi ya Vodacom Group South Africa na Vodafone Group PLC yenye makao yake makuu nchini Uingereza haraka iwezekanavyo. Kabendera anaibuka kutangaza uamuzi huo takribani siku 20 zimepita tangu Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam kuifuta kesi yake aliyokuwa ameifungulia kampuni ya huduma za mawasiliano ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania Public Limited. Uamuzi huo wa kuifuata kesi hiyo utolewa Jumanne, Septemba 10, 2024 na Naibu Msajili wa Mahakama hiyo, Livin Lyakinana kwa niaba ya Jaji Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Salma Maghimbi aliyesikiliza kesi hiyo, kufuatia pingamizi la awali lililowekwa na Vodacom. Katika kesi hiyo ya madai namba 12799/2024, Kabendera aliyewakilishwa na Wakili Peter Madeleka alikuwa anaituhumu Vodacom kufanikisha kukamatwa kwake na namna hiyo anayoiita kutekwa na hatimaye kufunguliwa kesi hiyo ya uhujumu uchumi. Alikuwa anadai kutokana na tukio hilo amepata madhara mbalimbali yakiwamo ya kiuchumi na yasiyo ya kiuchumi, ya kijamii, maumivu ya kiakili na kimaono, ya kutokufurahia maisha, ya maendeleo binafsi na hadhi yake katika jamii na kutokuaminiwa kitaaluma. Hivyo, alikuwa anaitaka kampuni hiyo imlipe Dola 10 milioni za Marekani (takribani Sh28 bilioni) kama fidia ya hasara halisi na riba kwa kiwango cha Mahakama (asilimia) kuanzia tarehe ya hukumu mpaka kumaliza malipo yote. Pia, alikuwa anaiomba Mahakama iamuru Vodacom imlipe fidia ya hasara ya jumla kadri Mahakama itakavyotathmini, gharama za kesi na nafuu nyingine kadri mahakama itakavyona inafaa. Hata hivyo, Vodacom kupitia wakili wake Gaspar Nyika, Julai 9, 2024 kufuatia wito wa Mahakama uliyoitaka kufika mahakamani na kuwasilisha utetezi wake wa maandishi, iliwasilisha mahakamani maelezo yake ya utetezi wa maandishi. Katika maelezo hayo ya utetezi ambayo Mwananchi iliyaona nakala yake, kampuni hiyo ilikana tuhuma zote zilizoelekezwa kwake na mwanahabari huyo kuhusu ushiriki wake kufanikisha hicho alichokiita kutekwa kwake na ikamtaka mwanahabari huyo kuthibitisha tuhuma hizo. Sambamba na maelezo hayo ya utetezi pia kampuni hiyo iliibua pingamizi la awali dhidi ya kesi hiyo ikiiomba Mahakama isiisikilize. Katika pingamizi lake, kampuni hiyo iliiomba Mahakama hiyo iitupilie mbali kesi hiyo bila kuisikiliza ikidai haina mamlaka ya kuisikiliza kwa madai imefunguliwa nje ya muda uliowekwa kisheria. Katika uamuzi huo, Jaji Maghimbi amekubaliana na hoja ya pingamizi la Vodacom kuwa kesi hiyo iko mahakamani isivyo halali kwa kuwa imefunguliwa nje ya muda uliowekwa katika sheria. Jaji Maghimbi amesema sheria inaelekeza kesi za aina hiyo zinapaswa kufunguliwa mahakamani ndani ya muda wa miaka mitatu tangu kutokea kwa jambo linalolalamikiwa, lakini Kabendera alifungua kesi hiyo baada ya muda huo kupitia. **Alivyotiwa mbaroni** Kabendera alitiwa mbaroni na askari polisi nyumbani kwake, Mbweni jijini Dar es Salaam Julai 29, 2019 na kushikiliwa kwa siku kadhaa, kisha akafunguliwa kesi ya uhujumu uchumi. Kesi hiyo ilimalizika kwa utaratibu wa majadiliano na makubaliano ya kukiri makosa baina yake na Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) unaojulikana kisheria kama plea bargaining. Aliachiliwa huru Februari 24, 2020 baada ya kulipa fidia ya hasara aliyodaiwa kusababisha kwa kukwepa kodi zaidi ya Sh173 milioni na faini aliyoamuriwa na Mahakama baada ya kumtia hatiani kwa kukiri makosa yake kulingana na majadiliano na makubaliano hayo na DPP. Mwaka 2024, katikati, ikiwa ni miaka mitano baada ya kukamatwa na miaka minne baada ya kesi yake hiyo ya uhujumu uchumi kumalizika, ndipo Kabendera akafungau kesi hiyo ya madai ya fidia dhidi ya Vodacom. Simulizi ya kutekwa, msingi wa madai Kwa mujibu wa hati ya madai katika kesi hiyo Kabendera ameeleza matukio yaliyojiri katika simu yake kabla ya tukio la kukamatwa kwake, kuwa ilianza kupoteza mawasiliano na kumfanya ashindwe kupata huduma ya mawasiliano. Pia, Kabendera ameelezea juhudi alizofanya kujua chanzo cha hali hiyo kwa kufanya mawasiliano na mwakilishi wa huduma kwa wateja na hata kutembelea ofisi za kampuni hiyo lakini hakupata ufumbuzi wa tatizo hilo. Kwa mujibu wa hati hiyo ya madai, hali hiyo ilianza Julai 27, 2019, saa 9:00 alasiri alipoiwasha simu yake ambayo alikuwa ameizima tangu jana yake usiku na kwamba ndipo alipobaini kuwa haikuwa na mtandao. Hivyo, aliazima simu nyingine akampigia mtoa huduma kwa mteja kujua mazingira yaliyosababisha kumkatia huduma katika simu yake bila kumjulisha kwanza. Mwakilishi wa huduma kwa wateja wa Vodacom alimweleza kuwa namba yake ya simu ya Vodacom (+255767456796) ilikuwa na changamoto za kiufundi ambayo ilimhitaji kutoa taarifa katika kituo cha huduma kwa wateja cha karibu kilichopo Tegeta. Kabendera alimtaka mwakilishi huyo kuelezea tatizo ni nini kabla ya kwenda huko kituoni, lakini mwakilishi huyo alikataa akidai ni suala nyeti ambalo linamtaka aende binafsi kituoni hapo. "Hata hivyo (Kabendera alisita kwenda huko kituo cha huduma kwa wateja) kwa kuwa kulikuwa kina matukio kadhaa ya watu kutekwa ama kutiwa mbaroni walipokuwa wakitembelea kituo cha huduma kwa wateja tangu mwaka 2016," inasomeka sehemu nyingine ya hati hiyo ya hiyo na kuongeza: Inaendelea kueleza Jumatatu, Julai 29, 2019 saa 4:00 asubuhi Kabendera alipiga tena simu ya huduma kwa wateja akimlalamikia kuwa alikuwa akihitaji kutoa pesa kwenye simu yake hiyo kwa ajili ya kumnunulia dawa mama yake aliyekuwa mgonjwa. Mwakilishi wa Vodacom aliyemhudumia alimweleza kuwa asubiri kidogo ili amuulize meneja wake na alirejea dakika chache baadaye na kumweleza kuwa kesi yake ilikuwa nyeti na kwamba ilikuwa juu ya uwezo wao kuitatua. Badala yake walimshauri atembelee ofisi zao zilizoko Mliman City asubuhi hiyo. Hata hivyo saa 9:00 alasiri siku hiyohiyo ya Julai 29, ghafla tu simu yake ilianza kufanya kazi, kisha alipoigiwa simu na mwakilishi wa Vodacom ambaye alimtaka (Kabendera) amwelezee tatizo lake na baada ya Kabendera kumuelezea kwa takribani dakika tatu, alikata simu akiahidi kumpigia baadaye kidogo. Baada ya takribani dakika tatu Kabendera alipokea simu iliyopigwa kutoka huduma kwa wateja Vodacom ambayo aliipokea akabaini kuwa ilikuwa ni sauti ya mwanamume, ambaye alimtaka Kabendera aeleze mahali alikokuwa na kwamba simu hiyo ilikuwa ikihanikiza na kukwaruza kama vile ilikuwa inarekodiwa. “Kabla ya simu hiyo kukatwa mteja wetu alimsikia huyo aliyempigia simu hiyo akinong'ona kuwa alikuwa nyumbani kwake na kuongeza kuwa sogea karibu na nyumba yake,” inasomeka sehemu nyingine ya hati hiyo ya madai. Kwa mujibu wa hati hiyo, maelezo hayo yalimstua Kabendera, akakimbia sehemu ya juu ya nyumba yake ambako aliweza kuona magari kadhaa ambayo hakuyafahamu, karibu ya nyumba yake. Kisha lilitokea gari lingine aina ya Toyota Alphard lililoegeshwa mbele ya magari hayo upande wa kulia mwa nyumba yake, halafu wakashuka watu wanne ambao walijitambulisha kuwa maofisa wa polisi lakini walikataa kutoa utambulisho. Walimpiga pingu kumshikilia kizuizini kwa siku mbili. Hati hiyo inaendelea kueleza wakati wa mahojiano, maofisa wa polisi walifika katika chumba cha mahojiano wakiwa na karatasi zilizochapishwa kutoka katika kompyuta za akaunti za pesa ya simu na za namba simu alizokuwa amezipiga kwa mwaka mzima. Hivyo, walimhoji lengo la kila muamala alioufanya kwa mwaka mzima nyuma yake na pia walimhoji uhusiano wake na watu aliokuwa amewasiliana nao miaka kadhaa. Kabendera analalamika polisi na Serikali walitoa taarifa kadhaa zenye mgogoro kwa umma kuhusiana na ‘kutekwa’ kwake na kwamba walimtuhumu kwa kutokuwa raia na kumkashfu Rais (wa wakati huo) John Magufuli. “Hatimaye alishtakiwa mahakamani kwa makosa ya utakatishaji fedha, uhujumu uchumi na ukwepaji kodi na matokeo yake walimuweka chini ya ulinzi mkali katika mahabusu ya Gereza la Segerea,” inasomeka hati hiyo ya madai.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kimataifa/wananchi-kushirikishwa-mchakato-wa-kumng-oa-gachagua-4783456
# Wananchi kushirikishwa mchakato wa kumng’oa Gachagua ## Muktasari: **Bunge la Kenya limeanza mchakato wa kumng’oa Naibu Rais, Rigathi Gachagua kutokana na tuhuma za matumizi mabaya ya Ofisi. Oktoba 8, 2024 atapaswa kujitetea kwa muda wa saa mbili (sawa na dakika 120).** **Nairobi**. Spika wa Bunge la Kitaifa la Kenya, Moses Wetang’ula ametangaza ushiriki wa umma katika hoja ya kumng’oa madarakani Naibu Rais, Rigathi Gachagua Ijumaa, Oktoba 4, 2024. Kwa mujibu wa tovuti ya The Standard, mchakato huo utafanyika katika kaunti zote 47 na Katibu wa Bunge atatoa taarifa kamili kupitia matangazo ya vyombo vya habari kuanzia leo Jumatano Oktoba 2, 2024. Wetang'ula amebainisha kuwa shughuli zote za Bunge kuanzia Alhamisi, Oktoba 3, 2024 hadi Jumatatu Oktoba 7, 2024 zitasitishwa ili kupokea maoni ya umma. Kamati ya Shughuli za Bunge itaweka azimio la kuahirisha kikao cha Bunge kesho Alhamisi na kufanya kikao cha asubuhi Jumanne, Oktoba 8, 2024 kujadili hoja hiyo. Gachagua anaweza kujitokeza ana kwa ana au kupitia uwakilishi wa kisheria. Hatua hiyo inafuatia baada ya Mbunge wa Kibwezi Magharibi, Mwengi Mutuse kuwasilisha rasmi hoja ya kumtimua Gashagua, akisema hoja za kufikia uamuzi huo ni sahihi na zinajitosha kumwondoa ofisini. Wetang'ula alisoma hoja hiyo Jumanne Oktoba Mosi, 2024 na kuthibitisha kuwa wabunge 291 waliiunga mkono hoja hiyo, na kuvuka idadi ya wabunge 117 wanaohitajika ili kuunga mkono hoja hiyo. Mutuse alitoa waraka wa kurasa 100 za ushahidi zinazoelezea sababu zake za kutaka kiongozi huyo atimuliwe. “Ibara ya 145 (1) ya Katiba inatamka kwamba mjumbe wa Bunge akiungwa mkono na angalau theluthi moja ya wabunge wote, anaweza kutoa hoja ya kushitakiwa kwa Rais au naibu wake kwa sababu ya ukiukwaji wa Katiba,” amesema Wetang'ula.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/sababu-ongezeko-wagonjwa-wa-vifua-mafua-4783394
# Sababu ongezeko wagonjwa wa vifua, mafua ## Muktasari: **Wizara ya Afya imetaja sababu ya ongezeko la wagonjwa wanaougua vifua na mafua kuwa ni uwepo wa virusi wapya wa mafua na influenza, wanaotokana na mabadiliko ya hali ya hewa.** **Dar es Salaam**. Wizara ya Afya imesema kuna ongezeko la virusi wanaosababisha homa kali ya mafua inayoambukiza maarufu influenza, waliyotaja kusababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa. Homa hiyo ambayo husababisha ugonjwa wa vifua inaongezeka katika baadhi ya maeneo nchini, huku wataalamu wa afya wakitoa angalizo kuacha kutumia kiholela antibaotiki na badala yake wakiwashauri wagonjwa kuhudhuria vituo vya afya na kunywa maji mengi. Akizungumza na Mwananchi jana Jumanne, Oktoba 1, 2024, Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Tumaini Nagu amesema magonjwa ya vifua huongezeka na kupungua kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa. Amesema ikiangaliwa mwenendo wa mwaka jana na mwaka huu hakuna tofauti, lakini mara nyingi ni maambukizi ya virusi na wamekuwa wakifuatilia Uviko19 kote nchini kupitia maeneo ya ufuatiliaji zaidi ya 20 nchi nzima, kupitia sampuli za wagonjwa wanafika vituo vya afya kwa matatizo ya vifua. “Ikiwa mgonjwa ana changamoto za homa na kifua labda kukohoa sanasana maabara hatuoni Uviko19 ni wachache sana na pengine wiki nzima tusipate mgonjwa kama wiki iliyopita. “Lakini kuna virusi tofauti, kwa mfano tumegundua virusi wa mafua na influenza na virusi wengine tofauti tofauti na hii inaendana na mabadiliko ya hali ya hewa, lakini hakuna tofauti ukiangalia mwaka jana na mwaka huu katika magonjwa kama haya,” amesema Profesa Nagu. **Madaktari watoa angalizo** Wakati changamoto hizo zikiwakumba watoto na watu wazima, wataalamu wa afya wameshauri ni vyema tiba ikazingatia ushauri wa daktari na si vinginevyo. Daktari bingwa wa magonjwa ya mfumo wa upumuaji, Elisha Osati amesema mara nyingi magonjwa hayo virusi wake husambaa kulingana na hali ya mazingira kutoka kwenye baridi kwenda hali ya joto ambapo wadudu pia hubadilika. “Wanapobadilika husumbua mwili ni mabadiliko ya hali ya hewa, influenza hii hutokea hali inavyobadilika mfano tumetoka kwenye baridi tunaenda kwenye joto, wadudu wanaathiri njia ya hewa wanaweza kusababisha kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Dk Osati ambaye pia ni Mtaalamu na mshauri wa masuala ya afya amesema ni vema kupima afya kabla ya kufanya maamuzi ya kununua dawa na kumeza. “Wengi wanaenda kwenye famasi wanakunywa antibiotiki kwa ugonjwa usiohitaji nguvu hiyo ya dawa matokeo yake ugonjwa unazidi, tunashauri ni mpaka aende apimwe na mtaalamu wa afya apewe dawa inayohusika ili kuzuia usugu wa dawa. “Virusi hivi husababisha maambukizi kwenye njia ya hewa, tunashauri mara nyingi unywe maji ya kutosha, inasaidia na dawa za kikohozi na hutakiwi kutumia antibiotiki,” amesema Dk Osati. Daktari bingwa wa magonjwa ya mfumo wa upumuaji Hospitali ya Aga Khan, Alex Masao amesema virusi hao huleta kero na homa kwa wagonjwa lakini hawana madhara makubwa. “Bahati nzuri virusi hawaendi kwenye mapafu, huu ni msimu wa mafua ni vyema mgonjwa kumsikiliza mtaalamu wa afya amshauri nini cha kufanya. “Kunywa dawa bila kumuona mtaalamu siyo sawa, tunatumia antibaotiki holela, ukipata mafua ukiitumia haisaidii mpaka pale utakapopona. Watu wajifunze, siyo kila unachoumwa unakimbilia kutumia antibiotiki unatengeneza usugu,” amesema Dk Masao.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/sita-washikiliwa-polisi-madai-ya-mauaji-mkaguzi-wa-ndani-korogwe-4783816
# Sita washikiliwa Polisi madai ya mauaji mkaguzi wa ndani Korogwe ## Muktasari: **Septemba 23, 2024, saa 3 usiku, watu watatu walikutwa wamechomwa moto katika msitu wa Hifadhi ya Korogwe Fuel, kijiji na kata ya Sindeni, Wilaya ya Handeni mkoani Tanga ambapo gari ndogo lilikutwa likiteketea huku pembeni yake kukiwa na watu hao waliokuwa wakiungua.** **Tanga**. Siku tisa tangu yalipotokea mauaji ya Jonais Shao, aliyekuwa Mkaguzi wa Ndani wa Halmashauri ya Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga, pamoja na mwanawe na msichana wake wa kazi za ndani, Jeshi la Polisi limesema linawashilikia watuhumiwa sita. Tukio hilo la mauaji ya Jonais (46), mwanawe Dedan Shao (8), mwanafunzi wa darasa la tatu na Salha Hassan (18), msichana wake wa kazi waliochomwa moto yalitokea Septemba 23, 2024 ndani ya msitu wa Hifadhi ya Korogwe, uliopo Kijiji cha Sindeni wilayani Handeni. Jonais na mwanawe Dedan walizikwa Septemba 28, 2024 katika Kijiji cha Maring’a Kondiki, Mwika wilayani Moshi, Kilimanjaro. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano Oktoba 2, 2024 amesema uchunguzi na msako wa jeshi hilo umewezesha kuwakamata watuhumiwa hao sita. Amewataja kuwa ni wakulima Bernard Kizughuto (31), mkazi wa Msambiazi Korogwe, Marko Jambia maarufu Rajabu Mhilu (28) wa Lushoto, Peter Jambia au jina lingine Johson (31) wa Msambiazi Korogwe, na Hassan Kitombo ‘Jombi’ (53) mkazi wa Kwamaraha Handeni. Wengine ni James Mkama maarufu Teacher (42), mfanyabiashara na mkazi wa Mtonga Korogwe na Omary Salehe ‘Mwiba’ (20), ambaye ni mkulima na mkazi wa Kwamaraha Handeni. “Upelelezi wa shauri hili unaendelea, ili hatua nyingine za kisheria zifuate. Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga linalaani vikali vitendo vyote vya kihalifu na halitamuonea muhali wala halitasita kumchukulia au kuwachukulia hatua za kisheria yeyote au kikundi cha watu wanaojihusisha na vitendo vya kihalifu,” amesema Mchunguzi. Ametoa wito kwa wananchi kushirikiana na Polisi katika kubaini na kuzuia uhalifu, ili kuendelea kuuweka mkoa huo kuwa salama. Ilivyokuwa Septemba 24, 2024 akizungumzia tukio hilo, Kamanda Mchunguzi alisema lilitokea Septemba 23, saa tatu usiku. Alisema Polisi lilipokea taarifa kuwa ndani ya msitu wa Hifadhi Korogwe kuna gari aina ya Toyota IST lenye namba za usajili T 305 EAL linaungua moto na pembeni yake kuna watu wawili wakiungua. Mchunguzi alisema askari walifika eneo hilo na kukuta kuna gari ndogo likiungua na pembeni yake kukiwa na watu wawili walioungua kwa moto na kufariki dunia wakiwa pembeni ya gari hilo. Alisema baada ya uchunguzi wa awali ilibainika miili iliyokuwa nje ya gari ni ya jinsia ya kike na ndani ya gari kiti cha nyuma ulionekana mwili mwingine ambao nao umeungua moto hadi kupoteza sura na haukubainika ni wa jinsia gani. Akizungumza na Mwananchi wakati huo, Lameck Shao, mume wa marehemu Jonais alisema alikuwa akiwasiliana na mkewe hadi Septemba 23 saa tatu usiku kabla ya mawasiliano kukatika. “Tuliwasiliana vizuri hadi saa tatu usiku kwamba amefika nyumbani baada ya hapo akawa hapatikani, nilijaribu kutafuta namna ya kupata mawasiliano hadi asubuhi ya leo (Septemba 24) nilipomtuma kijana wa shamba aende pale nyumbani. “Baada ya kufika pale, yule kijana hakukuta mtu na alipozungumza na majirani walibaini milango iko wazi. Tulianza kufuatilia ndipo mchana tuliposikia taarifa kwamba kuna watu wameungua kwenye gari,” alisema. Wito wa familia Wakati wa maziko ya Jonais na wanawe Dedan, wito ulitolewa kwa Jeshi la Polisi kuhakikisha watuhumiwa wanapatikana na sheria ichukue mkondo wake. Dainess Shao, mama mzazi wa Jonais alisema alikuwa ndiye tegemeo lake baada ya baba yake mzazi, Edward Shao kufariki dunia miaka michache iliyopita. Aliviomba vyombo vya dola vichunguze tukio hilo, ili mwanaye na mjukuu wake wapate haki zao. Akisoma historia ya marehemu, Mchungaji Jesse Shao, ambaye ni mwanafamilia alidai kina Jonais walivamiwa nyumbani kwao na watu wasiojulikana na kisha kuondoka nao zaidi ya kilomita 50 ambako walichomwa moto msituni. Akihubiri wakati wa ibada ya mazishi, Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Barikiel Panga alilaani tukio hilo la mauaji, akisema hakuna kabila lolote wala dini inayoruhusu mtu kutolewa uhai. Aliitaka jamii kukemea na kuwaombea wote wenye tabia za kinyama wakutane na neema ya Mungu, ili waache maovu na kuwakatili wenzao.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/biashara/sekta-binafsi-wachumi-waeleza-ulipo-mkwamo-ongezeko-vituo-vya-gesi-asilia-4784242
# Sekta binafsi, wachumi waeleza ulipo mkwamo ongezeko vituo vya gesi asilia ## Muktasari: **Kumekuwa na misururu ya vyombo vya moto kwenye vituo vya huduma ya kujaza gesi asilia jijini Dar es Salaam.** **Dar es Salaam. **Wadau wa sekta binafsi na wachumi wametaja mambo yanayokwamisha kujenga vituo vya kujaza gesi asilia kwenye vyombo vya moto, ni kutokuwepo sera na sheria ya kuisukuma sekta hiyo kufanya uwekezaji huo. Wamesema sekta binafsi huitaji kuwekeza eneo lenye kuipatia faida, hivyo vipo vikwazo vya kikodi ya uingizaji wa vifaa vya kubadili mifumo ya vyombo vya moto kutumia gesi asilia. Pamoja na hayo, wamesema hakuna miundombinu rafiki kwa vituo vya mafuta kuanzisha maeneo ya kujaza gesi kwenye magari. Kauli hizo zimetolewa wakati ambao madereva wanaotumia vyombo vya moto vitumiavyo gesi wakilalamika foleni kubwa kusubiri kupata huduma hiyo. Solomon Albert, dereva wa bajaji anayetumia gesi amesema Oktoba Mosi, 2024 alitumia zaidi ya saa sita kusubiri nishati hiyo kutokana na foleni. “Tatizo vituo ni vichache tulikuwa na vituo vitatu, kituo cha TAQA Dalbin kimepata hitilafu, sasa tuna vituo viwili vimebaki ambavyo navyo vimelemewa, ni muhimu Serikali ikaangalia namna ya kutengeneza mazingira kuvutia sekta binafsi kuwekeza kwenye ujenzi wa vituo, kutuepushia adha hii ya kupoteza muda,” amesema. Amesema bajaji yake ameichukua kwa mkopo na anapaswa kurejesha Sh40,000 kila siku lakini imekuwa vigumu kutokana na muda anaoupoteza kusubiri kujaza gesi. **Wanachosema wadau** Mchambuzi wa Sera wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Khadija Ally amesema sababu ya sekta binafsi kutokimbilia kuwekeza kwenye gesi asilia, ni kukosekana msukumo wa kisera na kisheria wa kuifanya sekta binafsi wanapoanzisha vituo vya mafuta miongoni mwa vigezo viwe ni mifumo ya kujaza gesi. “Ukiangalia miundombinu bado si rafiki kwa vituo vya mafuta kupata hiyo gesi, pia hakuna sera au sheria inayoipa sekta binafsi nafasi ya kuwekeza kwenye gesi asilia. “Sekta binafsi inavyowekeza fedha inategemea kupata faida, sasa ni kwa namna gani itapata bado hakuna mwelekeo unaoonyesha kama kutakuwa na faida,” amesema. Khadija amesema kodi kwenye vifaa vinavyotumika kubadili mifumo kwenye magari zinatatiza soko la uhitaji wa gesi kuendelea kupanuka, akisisitiza magari yenye uhitaji yanapokuwa mengi ndiyo wawekezaji huvutiwa kuwekeza. Amesema hata kampuni zilizojitokeza kubadili mifumo ya mafuta kwenda kwenye gesi nazo zinakwama kutokana na kodi ya vifaa wanavyoingiza kutoka nje. “Wananchi wanahitaji huduma lakini gharama ya kubadili mifumo ni kubwa,” amesema. Profesa Anna Sikira wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (Sua) uwekezaji ni mdogo kwenye matumizi ya gesi asilia kutokana na wenye mamlaka kutoamua kutenda yale wanayosema kuhusu sekta ya gesi. “Gesi kama nishati ni muhimu hasa tukiangalia mabadiliko ya tabianchi tunapoelekea ni kubaya zaidi, nchi yetu ina maeneo mengi yaliyoonekana jangwa, watu wanaendelea kutumia kuni na mkaa kama nishati, tungeimarisha gesi kama nishati ingetusaidia,” amesema. Amesema endapo Serikali ingetekeleza mipango kama inavyopanga kungekuwa na hatua katika matumizi na uwekezaji katika gesi asilia. “Serikali itende kama inavyosema kwenye suala la gesi tuone mambo yakifanyika, tupo hapa kwa sababu yale yanayosemwa hayafanyiki,” amesema. Mtaalamu wa masuala ya mazingira, Dk Aidan Msafiri amesema matumizi ya gesi asilia kwenye vyombo vya moto ni muhimu kutokana na kuwa rafiki kwa mazingira. “Kinachotukwamisha kwenye uwekezaji ni Serikali haikuwa imejipanga vya kutosa kisera, kiutawala au kuwezesha upatikanaji wa rasilimali za watu kuwekeza, kutumia gesi asilia ni jambo zuri lakini tulikurupuka,” amesema. Dk Msafiri amesema Serikali na wadau hawakufanya utafiti wa kutosha kuangalia idadi ya vyombo vya moto vitakavyotumia gesi ndipo kuwaita wadau kuingia kuwekeza kwenye gesi. Amesema takwimu za idadi ya vyombo vya moto vilivyopo na vitakavyoingia nchini itatoa taswira ya aina ya uwekezaji unaohitajika kwenye sekta ya gesi. “Tunapaswa kupunguza vigingi vinavyozuia watu kukimbia eneo la gesi kufanya uwekezaji, kwa sababu ni eneo changa tuondoe kodi ambazo zinaweza kuwarudisha nyuma wawekezaji,” amesema. Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu Huruia Tanzania (OUT), Dk Yohana Lawi amesema uwekezaji katika sekta ya gesi ni suala la kisera. “Kama Taifa na Serikali, sera yetu katika matumizi ya gesi asilia inatoa kipaumbele kiasi gani na maelekezo gani kwenye matumizi ya gesi asilia, suala la kupata wawekezaji na kupata vituo ni jambo dogo kwa sababu ili wafungue vituo wanahitaji wateja lakini tuna sera gani?” amehoji. Amesema endapo kuna sera inayoelekeza magari na mitambo viwandani kufikia miaka ijayo ziwe zinatumia gesi asilia kungesaidia kuvutia wawekezaji katika nishati hiyo. Dk Lawi ametoa mfano wa baadhi ya mataifa yaliyoweka sera ya kuachana na magari yanayotumia petroli na dizeli, badala yake watajikita katika matumizi magari yanayotumia gesi. Amesema uwepo wa sera inayoelekeza kuhamisha matumizi kutoka kwenye mafuta kwenda kwenye gesi unavutia sekta binafsi kukimbilia kufanya uwekezaji. “Sekta ya gesi ni eneo linalopaswa kupewa kipaumbele kwani ina uwezo wa kubadili uchumi kwa kiwango kikubwa ndani ya muda mfupi,” amesema. Amesema uchumi wa gesi ni mkubwa na unakwenda kubadilisha mfumo wa nishati hasa kupunguza gharama za uzalishaji na usafirishaji wa bidhaa na kupunguza utegemezi wa Dola ya Marekani. “Matumizi ya gesi ni nafuu kuliko petroli na dizeli na matumizi yake yakiwa makubwa yatakwenda kushusha gharama za matumizi viwandani, usafirishaji wa watu na bidhaa, hivyo watu watakwenda kupata bidhaa kwa gharama nafuu,” amesema. Dk Lawi amesema sababu ya gharama ya bidhaa kuwa kubwa ni kutokana na gharama za usafirishaji na uendeshaji kuwa kubwa, hivyo gesi ikipewa kipaumbele itakwenda kuonyesha mabadiliko kwenye uchumi. **Kauli ya TPDC** Mkurugenzi wa Mkondo wa Chini wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC), Emanuel Gilbert akizungumza na Mwananchi amesema mkakati wa kumaliza kero ya madereva kutumia muda mwingi kusubiri huduma hiyo ni kukamilishwa kituo kingine cha kujaza gesi eneo la Sam Nujoma mwishoni mwa mwaka huu. “Pia kuna wawekezaji binafsi ambao wanaendelea na hatua za awali za kuanza ujenzi wa vituo zaidi. TPDC itaingiza vituo jongefu ifikapo Juni 2025, kwa ujumla tunataraji kuongeza vituo 13 kufikia mwisho wa mwaka huu wa fedha,” amesema. Kaimu Mkurugenzi wa TPDC, Francis Mwakapalila katika taarifa ya Septemba, 2024 akizungumzia ukuzaji wa matumizi ya gesi asilia nchini alisema hadi sasa wameruhusu kampuni binafsi zaidi ya 30 kujenga vituo vya gesi asilia iliyogandamizwa nchini (CNG) ili kuwezesha matumizi katika maeneo mbalimbali.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/hifadhi-ya-jamii-itakavyonufaisha-wasiokuwa-kwenye-ajira-rasmi-4783982
# Hifadhi ya jamii itakavyonufaisha wasiokuwa kwenye ajira rasmi ## Muktasari: **Uhakika huo wanaupata kupitia skimu maalumu inayotolewa na NSSF, watu hao watapata mafao kama vile pensheni ya uzeeni, bima ya afya na fidia ya ulemavu.** **Dar es Salaam.** Kilio cha muda mrefu cha Watanzania waliojiajiri wenyewe kukosa huduma za matibabu na kinga ya kipato baada ya nguvu kupungua, kimesikika. Uhakika huo wanaupata kupitia skimu maalumu inayotolewa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), watu hao watapata mafao kama vile pensheni ya uzeeni, bima ya afya na fidia ya ulemavu. Skimu hiyo kwa watu wa sekta isiyo rasmi, inalenga kuwapatia ulinzi wa kijamii wale ambao hawapo kwenye ajira rasmi, kama wafanyabiashara wadogo, wakulima, wasanii hata watumishi wa ndani. Akizungumza jana Jumanne Oktoba mosi 2024 wakati akitambulisha huduma hiyo kwa wahariri wa vyombo vya habari nchini, Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF, Omari Msiya amesema skimu hiyo inamlenga mwananchi yeyote aliyejiajiri katika sekta isiyo rasmi kama katika kilimo, ufugaji, uvuvi, uchimbaji mdogo wa madini, sanaa, biashara ndogo ndogo, mama lishe/baba lishe, bodaboda, machinga na wanahabari wa kujitegemea. Amesema lengo la skimu hiyo ni kuimarisha ustawi wa jamii kwa kuweka mifumo inayowakinga dhidi ya majanga kama uzee, ulemavu, urithi, ugonjwa, gharama za matibabu, kuumia kazini, uzazi, ukosefu wa ajira na ukubwa wa familia. Msiya amesema mtazamo na malengo ya hifadhi ya jamii katika umri wa kufanya kazi (miaka 18 hadi 60) ni kwamba kila anayejiunga anajiwekea akiba ya uzeeni, hivyo baada ya kustaafu anapata kinga dhidi ya kushuka kwa kipato. “Hali ya maisha baada ya kustaafu itategemea na jinsi ulivyojiandaa wakati ukiwa kwenye ajira. Maandalizi endelevu na ya uhakika ni kuwa kwenye mpango wa hifadhi ya jamii,” amesema Msiya. **Mafao kwa mnufaika** Skimu hiyo inatoa mafao ya muda mfupi na ya muda mrefu ambayo ni pensheni ya uzee, urithi na mafao ya ulemavu. Mafao ya muda mfupi ni ya uzazi, matibabu, mafao ya kujitoa (sehemu ya michango isiyozidi asilimia 50 au malipo ya mkupuo wa michango yote) na msaada wa mazishi ambayo hapo awali hayakuwahi kutolewa kwa sekta isiyo rasmi. Akizungumzia pensheni ya uzee ambayo awali ilitolewa tu kwa waajirwa wa sekta rasmi, Msiya amesema kwa mwanachama aliyetimiza umri wa miaka 55-59 (umri wa kustaafu kwa hiari) au miaka 60 (umri wa kustaafu kisheria) na aliyechangia mfuko kwa kipindi kisichopungua miezi 180, atapata malipo ya mkupuo wa awali na pensheni ya kila mwezi kama wastaafu wengine. Kuhusu pensheni ya ulemavu, alisema mwanachama anatakiwa awe amepoteza angalau theluthi mbili (2/3) ya uwezo wake wa kufanya kazi kutokana na ulemavu wa kimwili au kiakili na ulemavu huo usiwe umetokana na kazi yake. “Mwanachama huyu anatakiwa asiwe amefikia umri wa kustaafu na awe amechangia katika mfuko si chini ya michango ya miezi 36 (miaka mitatu) na katika michango hiyo, kuwe na michango 12 iliyolipwa ndani ya kipindi alichopata ulemavu.” **Pensheni ya urithi** Akizungumzia pensheni ya urithi, Msiya amesema hiyo hulipwa kwa wategemezi wa mwanachama aliyefariki ambao ni mke/mume na watoto walio na umri usiozidi miaka 18 au 21 ikiwa wanasoma. “Iwapo warithi hao hawapo, mafao yatalipwa kwa wazazi wa mwanachama aliyefariki,” amesema na kufafanua kuwa mwanachama atakayepata pensheni hiyo, lazima awe amechangia michango isiyopungua miezi 180 (miaka 15) kabla ya kufikwa na umauti. Alisema kwa michango chini ya miezi 180, wategemezi husika watalipwa mkupuo maalumu. Kwa mujibu wa Msiya, mgawanyo wa pensheni ya urithi huwa kwa watoto ambao hupata asilimia 60 ya pensheni na mjane au mgane hupata asilimia 40. Eneo jingine la mafao ni kwenye msaada wa mazishi, ambapo wategemezi wa mwanachama hulipwa kwa kiwango kati ya Sh150,000 na Sh600,000 kulingana na kiwango cha mchango wa mwezi cha marehemu. Vigezo vya fao hilo ni kuwa mwanachama anatakiwa awe amechangia walau mara moja na awe amefariki akiwa kazini. “Madai ya fao la mazishi yanatakiwa yafanyike ndani ya siku 60 baada ya kifo cha mwanachama,” amesema. Tofauti na kwenye ajira rasmi, skimu hii inaruhusu fao la kujitoa, ambapo mwanachama ili aruhusiwe anatakiwa awe amechangia kuanzia miezi 12 na kwamba anaweza kutoa asilimia 50 ya michango yake au kutoa michango yake yote. Yapo pia mafao ya uzazi, ambayo ni asilimia 100 ya wastani wa mapato ya siku ya mwanachama kwa kipindi cha miezi sita, kabla ya wiki ya 20 ya ujauzito na hulipwa kwa muda wa wiki 12, hii ni sawa na wastani wa mishahara ya miezi mitatu. “Malipo hufanyika kwa awamu mbili, yaani 1/3 hulipwa mwezi mmoja kabla ya kujifungua na 2/3 baada ya kujifungua. Mwanachama anaweza kuamua kulipwa kwa wiki zote 12 baada ya kujifungua. “Mwanachama awe amechangia miezi 36 (miaka mitatu) na michango 12 iwe imewasilishwa kabla ya wiki ya 36 ya ujauzito. Mafao haya yatalipwa kila baada ya miaka mitatu,” alisema. Akiuliza maswali, Mhariri mkongwe Salim Said Salim, amehoji iwapo mwanachama atajifungua watoto pacha, mfuko unamsaidiaje? Akijibu swali hilo, Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Masha Mshomba amesema mwanachama atalipa asilimia 300 ya mshahara wake au kipato chake, hivyo fao hilo linaangalia zaidi uzazi na si idadi ya watoto waliozaliwa. **Mafao ya matibabu** Kwa upande wa mafao ya matibabu, Msiya amesema hayo hutolewa kwa mwanachama na wategemezi wake ambao ni mume/mke na watoto wasiozidi wanne, wenye umri usiozidi miaka 18 na ikiwa wapo shule wasizidi miaka 21. “Mwanachama akichangia Sh30,000 kwa mwezi atatibiwa peke yake na akichangia Sh52,200 atatibiwa yeye, mke/mume na watoto wasiozidi wanne. Mwanachama huyu anatakiwa awe amechangia angalau michango ya miezi mitatu mfululizo karibu na kupata huduma ya matibabu,” amesema. Amesema mwanachama atapata huduma katika hospitali moja atakayochagua kutoka miongoni mwa zilizoorodheshwa na mfuko huo. Ibrahim Yamola, mmoja wa wahariri alihoji iwapo mwanachama atapata changamoto ya kiafya akiwa nje ya mkoa aliosajili hospitali, matibabu yatakuwaje? Akijibu hilo, Mshomba ameeleza kuna utaratibu wa kuchukua kuponi maalumu katika ofisi za NSSF ambako mwanachama amejiandikisha au atakapopata changamoto kwenye mkoa mwingine anapaswa kwenda ofisi za NSSF eneo husika na kupatiwa kuponi hizo kisha kwenda hospitali kupatiwa matibabu. **Vigezo vya kujiunga** Vigezo vya kujiunga ni lazima uwe Mtanzania mwenye umri kuanzia miaka 15 hadi 70, usiwe mnufaika wa mafao ya pensheni kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii nchini. Pia, awe na namba ya NIDA au kitambulisho chochote kinachomtambua (leseni ya udereva/mpigakura) pamoja na picha ndogo moja (passport size).
http://www.mwananchi.co.tz/mw/toleo-maalum/benki-ya-crdb-yasaini-mkataba-wa-dola-320-milioni-na-dfc-citi-kusaidia-wajasiriamali-tanzania-na-burundi-4781930
# Benki ya CRDB yasaini mkataba wa Dola 320 milioni na DFC, Citi kusaidia wajasiriamali Tanzania na Burundi Benki ya CRDB imengia makubaliano ya mkopo wenye thamani ya Dola za Marekani Milioni 320 na Shirika la Fedha la Kimataifa la Marekani (DFC) na Citibank ili kuimarisha uwezo wake wa kutoa mikopo kwa ajili ya biashara ndogo, hususan zile zinazomilikiwa na kuongozwa na wanawake na vijana. Utiaji saini wa makubaliano hayo ulifanyika kwenye Makao Makuu ya Citibank yaliyopo jijini New York, kando ya Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa, na kuhudhuriwa na Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa, Waziri wa Uwekezaji na Mipango, Profesa Kitila Mkumbo, na ujumbe wa viongozi waandamizi kutoka Tanzania. Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela, alisema katika hafla hiyo, "*Mkopo huu wa Dola za Marekani milioni 320 utaongeza upatikanaji wa fedha kwa ajili ya ufadhili wa biashara ndogo na za kati zinaozoongozwa na wanawake na vijana nchini Tanzania na Burundi, na kuwawezesha wajasiriamali kuwa wabunifu na hatimaye kuchochea ukuaji endelevu. * *Tuna imani kwamba fedha hizi hazitachochea tu uwezeshaji wa wajasiriamali nchini lakini pia kukuza usawa wa kijinsia, zikiwapa wajasiriamali wanawake msaada wanaouhitaji ili kustawi na kuchangia katika maendeleo ya kiuchumi*.” Mbali na hayo, fedha kutoka DFC na Citibank zitaimarisha juhudi za Benki ya CRDB za kuchechemua ukuaji wa uchumi jumuishi katika ukanda wa Afrika Mashariki, ikiwa ni sehemu ya mpango mkakati wake wa miaka mitano unaolenga kusaidia kundi la wajasiriamali. Nsekela alibainisha kuwa, pamoja na na kuwa na bidhaa za kifedha bunifu, benki hiyo kupitia taasisi yake tanzu ya CRDB Bank Foundation, imeweka msisitizo mkubwa katika kuwajengea uwezo wajasiriamali vijana na wanawake kupitia mafunzo ya elimu ya fedha na ujasiriamali. "*Ushirikiano huu na DFC na Citibank utachochea zaidi juhudi hizi*," Nsekela aliongeza. Mradi huo utasaidia zaidi ya biashara ndogo 4,500 nchini, zikitajwa kuwa miongoni mwa masoko yenye nguvu barani Afrika. Dola za Marekani Milioni 60 zitasaidia biashara ndogo za Kitanzania zinazomilikiwa au kuoongozwa na wanawake ambazo zimekidhi masharti ya Mpango wa DFC wa 2X wa uwezeshaji wanawake, zitakazosaidia kutatua changamoto mbalimbali za kiuchumi ambazo wanawake wanakabiliana nazo duniani kote. Inaelezwa pia kiasi cha Dola za Marekani Milioni 25 zitaenda kusaidia biashara ndogo ndogo nchini Burundi. Nsekela alitoa shukurani kwa wadau wote waliohusika, akipongeza kazi kubwa ililofanywa na Serikali za Tanzania na Burundi katika kuweka mazingira wezeshi kwa ushirikiano huo. "*Sera na mifumo wezeshi iliyowekwa na Serikali zetu imekuwa muhimu katika kuvutia uwekezaji wa kimataifa, ambao ni muhimu katika kuendeleza ajenda yetu ya maendeleo*," Nsekela alibainisha. Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa DFC, Nisha Biswal alisisitiza dhamira ya dhati ya shirika hilo, akisema, "*DFC imejidhatiti kukuza uchumi wa Tanzania, kwa kuzingatia uwekezaji ambao unaleta athari chanya kwa jamii. Mkopo huu utasaidia maelfu ya wafanyabiashara wadogo ambao ni mhimili wa maendeleo ya kiuchumi*." Mkopo huo unaakisi dhamira ya DFC ya kupanua uhusiano wake nchini ili kuimarisha ushirikiano wake uliopo na kutafuta fursa mpya za ushirikiano, kuendeleza usalama wa kiuchumi katika ukanda wa Afrika Mashariki na kote barani Afrika. Mkopo huu ni matunda ya kazi kubwa iliyowahi kufanyika hapo awali kati ya DFC, Benki ya CRDB pamoja na USAID/Tanzania kusaidia wafanyabiashara wadogo wa Kitanzania, ikijumuisha dhamana ya Dola za Marekani milioni 20 kusaidia utoaji mikopo kwa wafanyabiashara wadogo kwa lengo la kutoa huduma za elimu na kuzifikia sekta zisizo rasmi huku Dola za Marekani milioni 4 zikijikita kuongeza upatikanaji wa fedha kwa wanawake na vijana wanaokopa katika sekta ya afya. Afrika ndiyo eneo la kipaumbele la uwekezaji wa DFC duniani kote. Kwa sasa shirika hilo lina zaidi ya Dola za Marekani bilioni 11 zilizoenda katika miradi ya uwezeshaji fedha kwa wajasiriamali barani Afrika, uwiano mkubwa zaidi wa fedha za uwekezaji duniani. Kwa upande wake, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Citi Tanzania na Mkuu wa Huduma za Benki, Geofrey Mchangila alisema kuwa: *"Kama Citi, tunaendelea kupambana kutekeleza ajenda yetu ya uwezeshaji fedha kwa makundi mbalimbali ya kijamii kupitia ushirikiano wenye ubunifu kama huu*. Lengo letu ni kusaidia kujenga thamani halisi ya kiuchumi nchini Tanzania kusaidia malengo ya ujumuishi wa kifedha kupitia uwezeshaji wa wafanyabiashara wadogo kwa kukata kiu ya huduma za kifedha ambayo ilikuwa haijapatiwa ufumbuzi. Makubaliano haya ni sehemu ya ahadi yetu ya uchangiaji Dola za Marekani trilioni 1 kwenye miradi endelevu ya kifedha ifikapo 2030, inayolenga kuongeza upatikanaji wa ajira, fedha, miundombinu ya msingi na huduma kwa jamii zenye kipato cha chini katika masoko yanayokua kwa kasi. Kwa kutambua kuwa kesho iliyobora inategemea uwezeshaji wa wanawake na vijana, Benki ya CRDB imekuwa mstari wa mbele katika uwezeshaji kundi hili nchini Tanzania, ikitengeneza fursa zinazochochea ukuaji wa uchumi wa nchi. Kama taasisi ya fedha inayoongoza nchini, imekuwa nguzo muhimu katika kuzishika mkono Biashara Ndogo Ndogo na za Kati, hususan zinazomilikiwa na wanawake na vijana, kuwezesha kustawi na kuwa vichocheo muhimu vya uimarishaji wa uchumi wa Tanzania. Ikiwa na kampuni zake tanzu nchini Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Benki hiyo pia inawaweka wafanyabiashara wadogo wadogo, wadogo na wa kati wa Kitanzania kutumia fursa mpya za kikanda kupitia Eneo Huru la Biashara barani Afrika (AfCFTA). Kwa kuunganisha biashara za Kitanzania na soko la zaidi ya wateja bilioni 1.3 barani Afrika, Benki ya CRDB inafungua fursa kubwa za kiuchumi kwa wajasiriamali wa Tanzania, ili watimize ndoto zao za kutambulika kama wafanyabiashara wakubwa barani Afrika. Katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, Benki ya CRDB imetoa zaidi ya Sh 4 trilioni kuwawezesha wafanyabiashara wadogo wadogo, wadogo na wa kati katika sekta mbalimbali, huku kipaumbele kikienda kwenye biashara zinazomilikiwa na wanawake kupitia huduma yake ya CRDB Malkia. Hatua hii sio tu imeongeza upatikanaji wa mitaji kwa wajasiriamali wanawake lakini pia imewawezesha kukuza biashara zao na kuchangia katika maendeleo ya uchumi wa Tanzania.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/toleo-maalum/ggml-yatoa-sh200-milioni-kudhamini-maonyesho-ya-saba-ya-teknolojia-ya-madini-mkoani-geita-4781440
# GGML yatoa Sh200 milioni kudhamini Maonyesho ya Saba ya Teknolojia ya Madini mkoani Geita Geita Gold Mining Limited (GGML), kampuni tanzu ya AngloGold Ashanti, imeendelea kuonyesha dhamira yake ya kuleta maendeleo ya kiuchumi na kijamii nchini Tanzania kwa mara nyingine tena, kwa kudhamini Maonyesho ya Saba ya Teknolojia ya Madini Geita kwa kutoa mchango wa Sh 200 milioni. Maonyesho haya yanatarajiwa kufanyika kuanzia Oktoba 2 hadi 13, 2024, na yatatoa fursa kwa GGML kuonyesha uvumbuzi wake wa kiteknolojia, uzingatiaji wa maudhui ya ndani, na uwekezaji wake wa kijamii kupitia miradi mbalimbali ya Uwajibikaji kwa Jamii wa Kampuni (CSR). Aidha, maonyesho haya yatafunguliwa rasmi Oktoba 5, 2024 na Dk Doto Mashaka Biteko (Mb), Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, ambaye ameonyesha uongozi imara katika sekta ya madini nchini. Hafla ya kufunga maonyesho hayo itafanyika Oktoba 13, 2024, ambapo Dk Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi. Maonyesho haya ya kila mwaka yanayoandaliwa kwa ushirikiano wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Geita na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE), yanatazamiwa kuwa jukwaa muhimu la kibiashara linalokutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya madini na sekta nyingine zinazohusiana. Washiriki wa maonyesho haya wanapata fursa ya kujadili changamoto, uvumbuzi, na fursa za kiuchumi zinazojitokeza, huku pia wakishuhudia jinsi kampuni kama GGML inavyochangia maendeleo endelevu ya Taifa kupitia teknolojia na uwekezaji wa ndani. Gilbert Mworia, Meneja Mwandamizi wa Uendelevu wa GGML, alisema, "*GGML imekuwa mdau muhimu katika maonyesho haya ya Teknolojia ya Madini kwa miaka saba mfululizo, na tuna furaha kubwa kushiriki tena mwaka huu. * *Mchango wetu kwenye maonyesho haya sio tu msaada wa kifedha, bali pia tunalenga kuimarisha mahusiano yetu na wadau wakuu kama vile Serikali za mitaa, wachimbaji wadogo, na biashara za ndani. Tunaamini kuwa teknolojia bora na ushirikiano wa kweli vinaweza kuleta mageuzi makubwa katika sekta ya madini*." Kupitia mpango wake wa urudishaji kwa jamii, GGML inatekeleza miradi mbalimbali inayoimarisha jamii za Geita na maeneo jirani. Mradi wa ujenzi wa viwanja vya Maonyesho ya EPZA huko Geita ni mojawapo ya miradi mikubwa iliyofadhiliwa na GGML ambao unalenga kubuni miundombinu inayochochea ukuaji wa kiuchumi katika sekta mbalimbali. Maeneo hayo yatatumika kwa shughuli za kibiashara na teknolojia kwa miaka mingi ijayo, huku yakifungua milango kwa wawekezaji na wabunifu wapya. Kwa mujibu wa dira yake ya muda mrefu, GGML inaunga mkono kikamilifu jitihada za Serikali ya Tanzania za kukuza uchumi wa madini. Hii ni sambamba na lengo la Serikali la kuhakikisha sekta ya madini inachangia angalau asilimia 10 ya Pato la Taifa ifikapo mwaka 2025. Ushiriki wa GGML katika maonesho haya ni ishara ya wazi ya azma yake ya kusaidia kufanikisha lengo hili kwa kutumia teknolojia za kisasa na kutoa fursa za ajira na mafunzo kwa Watanzania. Tangu kuanzishwa kwake mwaka 2000, GGML imeendelea kuwa mshirika muhimu katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi ya jamii inayozunguka mgodi wa Geita. Kupitia miradi mbalimbali ya CSR, GGML imewekeza katika sekta za afya, elimu, miundombinu, na ujasiriamali, huku ikilenga kuboresha maisha ya Watanzania na kuleta mabadiliko endelevu. Hii inaonyesha kuwa kampuni hiyo inabaki kuwa kielelezo bora cha uwajibikaji wa kampuni na mshirika wa kweli wa maendeleo kwa Tanzania.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/toleo-maalum/sababu-10-1xbet-kuwa-chaguo-bora-kwa-watanzania-4780758
# Sababu 10 1xBet kuwa chaguo bora kwa Watanzania **Dar es Salaam.** Michezo ya Kubashiri nchini Tanzania inazidi kuwa maarufu, na ni muhimu kwa wachezaji kuchagua mtandao unaotoa masharti bora zaidi. 1xBet ni kampuni maarufu ya kimataifa ya Michezo ya Kubashiri inayozingatia usawa wa wateja na inafanya kila juhudi kutoa mchezo kwa masharti bora zaidi. sababu 10 zinazofanya 1xBet kuwa chaguo bora kwa maelfu ya Watanzania. **1. Kampuni ya kimataifa inayoendana na mahitaji ya watanzania** 1xBet ni kampuni ya kimataifa inayotoa huduma duniani kote, ikiwemo Tanzania. Kampuni hii in website inayopatikana kwa lugha zote mbili Kiswahili na Kiingereza, hivyo kufanya kuwa rahisi kwa watumiaji wetu. inatumia shilingi ya Kitanzania kuweza kubashiri, hivyo hutahitaji kubadilisha fedha na kupoteza kwenye kiwango cha ubadilishaji. Ukiwa na 1xBet, huna haja ya kuwa na wasiwasi — hakuna matata! **2. Bonasi ya amana ya kwanza hadi shilingi 600,000** Mchezaji mpya wa 1xBet hapati tu mtandao wenye urahisi bali pia ofa za faida. Bonasi ya amana ya kwanza ni 200% na inaweza kufikia shilingi 500,000, na kwa kutumia “promo code”, kiasi hiki kinaweza kuongezeka hadi Zaidi ya shilingi 600,000 Kwa mteja, hii ni fursa nzuri ya kupata faida ya ziada na kuongeza mtaji wa kuanzia. **3. Usajili wa haraka na rahisi kwa dakika chache** 1xBet inatoa njia kadhaa za usajili, kwa kubofya mara moja, kwa nambari ya simu, kupitia barua pepe, au mitandao ya kijamii. Unaweza pia kujisajili kwa kutumia VPN au moja kwa moja kwenye App. Haijalishi chaguo lako, mchakato huu utachukua dakika chache tu, jambo ambalo ni muhimu hasa kwa wale wanaotaka kuanza kubashiri haraka iwezekanavyo. **4. Aina mbalimbali za michezo ya kubashiri na michezo ya mtandaoni** Wachezaji kutoka Tanzania wanaweza kutabiri michezo maarufu, ikiwemo mpira wa miguu, mpira wa kikapu, au tenisi ya meza, na kufurahia michezo ya gemu kwenye sehemu ya 1xGames. Zaidi ya hayo, 1xBet inatoa nafasi za kubashiri kwenye michezo ya kielektroniki, burudani za kipindi, utabiri wa hali ya hewa, na mengine mengi. **5. Viwango vya juu vya kubashiri vinakupa nafasi ya kushinda kiasi kikubwa zaidi** 1xBet inatoa viwango bora vya kubashiri kwenye matukio makubwa ya michezo. kabla ya mechi na live. Hii inatoa fursa kubwa kwa wale wanaoamini katika bahati yao na wako tayari kuijaribu. **6. Njia za kuaminika za kuweka na kutoa fedha** Kwa Watanzania, kuweka fedha kwenye akaunti na kutoa ushindi lazima iwe njia ya kuaminika na ya haraka. 1xBet inatoa njia rahisi za kuweka amana kwa kutumia mifumo ya malipo ya hapa nchini. Wachezaji pia wanaweza kubashiri kwa kutumia shilingi ya Kitanzania, jambo linalorahisisha na kuharakisha miamala ya kifedha. Huna haja ya kuwa na wasiwasi— 1xBet itakufanyia kila kitu. **7. Fursa mbalimbali na promosheni za ndani** 1xBet haitoi tu matukio mengi ya michezo bali pia hushikilia promosheni maalum. Miongoni mwa promosheni maarufu ni “No Risk Bet” ambapo watumiaji wanaweza kupata faida kwenye mechi kubwa za mpira wa miguu kwa kutoa utabiri sahihi wa matokeo. Machaguo mengine ni promosheni za kawaida kama “Hyper Bonus” hadi 250%, “Goaless Football” n.k. Unaweza kupata orodha kamili kwenye sehemu ya “Promo”. **8. App ya simu ya mkononi yenye urahisi** Watanzania wanathamini urahisi wa kubashiri wakati wowote. Programu ya 1xBet ya simu haihitaji kumbukumbu kubwa, hivyo inawawezesha wachezaji kutoa utabiri, kuweka na kutoa fedha kwa haraka. Programu ya iOS ni rahisi kupatikana kwenye App Store, wakati programu ya Android inaweza kupakuliwa kutoka kwenye tovuti rasmi ya kampuni ya kubashiri. **9. Matangazo ya mechi moja kwa moja na uchambuzi** 1xBet inakupa sio tu nafasi ya kuweka bashiri bali pia kuangalia mechi moja kwa moja kwenye tovuti au programu. Matangazo ya moja kwa moja yanakuruhusu kufuatilia matukio kwa muda halisi (Live) bila kukosa nyakati muhimu. Kampuni ya kubashiri pia inatoa ufikiaji wa data za uchambuzi, jambo linalowasaidia wateja wake kufanya maamuzi bora zaidi ya kubashiri. Hii inatoa thamani ya ziada kwa wale ambao hawataki tu kujaribu bahati bali pia kuboresha ujuzi wao wa uchambuzi wa michezo. **10. Ubora wa 1xBet unathibitishwa na tuzo za kimataifa** 1xBet ni Kampuni ya kimataifa inayounga mkono vilabu na ligi maarufu duniani. Kampuni ya kubashiri ni mshirika rasmi wa FC Barcelona, Paris Saint-Germain, LOSC Lille, Serie A, na Shirikisho la Soka la Afrika (CAF). Mtazamo wa kampuni hii kwenye soko la Afrika umethibitishwa na hadhi ya kifahari ya “Best Sportsbook Operator in Africa” iliyotolewa katika Tuzo za SiGMA Africa 2024. 1xBet siyo tu kubashiri, bali pia ni fursa nyingi za kufurahia na kupata faida. Jaribu mwenyewe na uone kwamba kucheza na 1xBet ni kufurahisha, rahisi, na kunalipa.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/toleo-maalum/strategis-insurance-yaungana-na-vitality-health-international-kuhamasisha-mtindo-bora-wa-maisha-kiafya-4777446
# Strategis insurance yaungana na Vitality Health International kuhamasisha mtindo bora wa maisha kiafya **Dar es Salaam**. Kampuni ya Strategis Insurance imeingia makubaliano na Vitality Health International ya kutoa bidhaa bora ya bima nchini. Ushirikiano huo unalenga kuboresha afya na ustawi wa Watanzania. Bidhaa hiyo ya afya yenye upekee nchini imebuniwa mahsusi kusaidia kampuni na taasisi mbalimbali kuimarisha afya za wafanyakazi wao kupitia sera zao za bima. Pia, utoaji wa huduma za bima ya afya chini ya ushirikiano huo ni wa hadhi ya juu kwa kuwa umejikita kuleta matokeo bora ya afya za watu huku ukiendelea kuboresha na kulinda maisha yao. **Vitality health international ni nani?** Vitality Health International inamilikiwa na kampuni ya bima ya Afrika Kusini iliyoshinda tuzo nyingi, Discovery, ambayo ilianzisha mfumo wa huduma za bima wa ubia huko Afrika Kusini, ambao umeleta mageuzi katika sekta ya bima ambapo umejengwa katika utaratibu wa kuwapa zawadi watu wanaotunza afya zao kwa mtindo wa maisha yenye afya, na kujenga ushirikiano wenye mafanikio duniani kote na kampuni kubwa za bima. Leo, Kampuni ya Discovery inaendesha shughuli zake katika masoko zaidi ya 40, na kubadili maisha ya zaidi ya watu milioni 35 duniani kote. Tangu k u a n z i s h w a kwake Januari 2022, Vitality Health International imeendelea kujijengea heshima kwa kuleta bidhaa zabima ya afya ambazo ni chachu ya k u i m a r i s h a afya za vikundi vya waajiriwa barani Afrika. Mbali na Tanzania, kampuni hiyo ya bima ya afya tayari imetanua wigo wake kufikia katika nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Ghana, Kenya, Msumbiji, Nigeria na Zambia. Strategis ni mshirika wa bima ya afya nchini wa Vitality Health International, ambaye amekua kinara wa kutoa huduma bora ya bima ya afya kwa waTanzania. Vitality Health International inalenga kutoa bima bora ya afya nchini wakati huo huo ikiendelea na ufikishaji huduma kama hizo katika nchi nyingine barani Afrika. Ikijengwa katika misingi ya ubora, kujitoa na uwajibikaji, Strategis Insurance inatoa huduma zake katika mikoa yote nchini Tanzania, na pia huduma zake zinayafikia mataifa mbalimbali. Kwa pamoja, Vitality Health International na Strategis wamejitolea kuimarisha ubora wa maisha ya watu barani Afrika na kuufanya ushirikiano uliopo uwe na faida kwa pande zote mbili. Mkurugenzi Mtendaji wa Strategis Insurance (upande wa bima ya afya), Dk Malav Manek, anasema: ‘ Tunaamini ushirikiano huu utaleta mabadiliko makubwa kupitia mfumo wake unaotumia teknolojia na kutoa rejesho au zawadi kwa wale wateja ambao watakua wameonesha kiwango kizuri cha mtindo wa Maisha kinachowaepusha na maradhi yasiyo ya kuambukizwa .” Mfumo wa bima ya afya ya pamoja wa Vitality Health International umejikita kwenye mpango wa kisayansi wa kubadilisha tabia ambao umethibitishwa kupitia utafiti huru kuweza kuleta matokeo bora ya afya. Mpango huo tayari umejumuishwa katika mfumo wa bima ya afya wa Vitality Health International. Mpango huu mahiri wa kubadilisha tabia unachanganya chambuzi za data, zawadi na motisha, ambazo huwahimiza watu moja kwa moja kufanya machaguo bora zaidi. Mfumo huo wa bima ya afya ya pamoja huwezesha wafanyakazi, waajiri na kampuni ya Vitality Health International kugawana kwa pamoja thamani na faida za mtindo wa maisha unaozingatia afya kwa kupunguza gharama za huduma za afya kwa waajiri na wafanyakazi, huku ikipunguza hatari za madai ya bima kwa Vitality Health International. Waajiri hurudishiwa hadi asilimia 10 ya fedha zao kwa kuwahimiza wafanyakazi wao kufanya mazoezi na kuishi mtindo mzuri wa maisha, ambao huanza kazi pale wanachama wanapokamilisha Tathmini ya Afya ya Vitality, hatua hiyo inaongeza mafao ya waajiriwa ambao ni wagonjwa wasiolazwa nchini kufikia hadi Dola za Marekani 100, kutegemeana na ukamilifu wa tathmini ya afya ya Vitality na ushirikiano chanya utakaotolewa katika programu za Vitality. Wafanyakazi wa kampuni mbalimbali wanaweza kushinda zawadi kabambe za kila wiki kwa kukamilisha malengo yao ya kila wiki (ikiwa ni pamoja na malengo yao binafsi, yale ya kiakili, siha na mtindo wa maisha), wafanyakazi watajinyakulia zawadi au wanaweza kutumia kiasi cha zawadi walichopata kama mchango wa chanjo za magonjwa kwa wenye uhitaji.. Mkurugenzi Mtendaji wa Vitality Health International, Emma Knox, anasema: “Msingi wa Mfumo wa Bima ya Afya ya Pamoja wa Vitality upo katika kuwatuza watu kwa mtindo bora wa maisha unaozingatia afya zaidi, ambao unaboresha ustawi wao wa kimwili na kiakili, unaokuza uzalishaji na kupunguza hatari za bima ya afya kwa waajiri. Kupitia mfumo huu, Vitality Health International inachangia katika kujenga jamii yenye afya bora kwa kuhakikisha kampuni mbalimbali na wafanyakazi wao wanabaki na mtindo wa maisha unao fanya wawe na afya njema.” Programu ya Vitality pia huwezesha Vitality Health International kuendesha semina mbalimbali kwa waajiri.Wigo mpana wa mafao ya bima za afyaIkijengwa kwa msingi wa mahitaji ya kipekee ya kila soko inakofanyia kazi, Vitality Health International imebuni wigo mpana wa mafao ya bima za afya inayoanzia hapa nchini, barani Afrika na duniani kote (ukiondoa Marekani), iliyopangwa kulingana na mahitaji na bajeti ya kila mwajiri. Vitality Health International inayo machaguo matano ya bima ya afya, yenye vipengele mbalimbali kwa mafao yote. Waajiri wanaweza kuchagua wafanyakazi wao kujumuishwa ndani ya Programu ya Vitality inayowafaa Zaidi. "Kupitia program hii , sio kwamba tumedhamiria kuongeza na kukuza upatikanaji wa bima peke yake bali tunahamasisha mtindo mzuri wa maisha kwa wateja wetu ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono jitihada za serikali katika kupunguza na kuzuia uongezekaji wa magonjwa yasiyoambukiza’’ anahitimisha Dk Manek Malav
http://www.mwananchi.co.tz/mw/toleo-maalum/dmg-na-mkakati-wa-kuleta-mapinduzi-katika-sekta-ya-bahari-nchini-4776592
# DMG na mkakati wa kuleta mapinduzi katika sekta ya bahari nchini Bahari ni rasilimali muhimu katika kukuza uchumi, husasni kwa nchi zilizo na mwambao. Kuna sekta nyingi zinazotegemea bahari moja kwa moja au kwa njia isiyo ya moja kwa moja kama vile uvuvi, uchukuzi, utalii na nishati ya baharini. Rasilimali hiyo ina mchango mkubwa katika ukuaji wa uchumi wa dunia, hususani kwa nchi zenye mwambao. Eneo hili la maji lina fursa nyingi za kiuchumi ambazo zinachangia maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa kiwango kikubwa. Uvuvi ni mojawapo ya sekta muhimu zaidi zinazotegemea bahari. Bahari hutoa samaki na viumbe wengine wa baharini ambao ni chanzo cha chakula kwa mamilioni ya watu duniani kote. Hii inachangia kupunguza njaa na kutoa ajira kwa watu wengi, hususani katika nchi zinazoendelea. Bahari ni njia kuu ya usafirishaji wa bidhaa duniani. Karibu asilimia 90 ya biashara ya kimataifa inategemea bahari, ambapo meli zinatumika kusafirisha bidhaa mbalimbali kama mafuta, magari, vifaa vya umeme na bidhaa za kilimo. Utalii wa baharini ni chanzo kingine kikubwa cha mapato kwa nchi nyingi. Miji ya kitalii inayopatikana kando ya bahari huvutia watalii kutoka sehemu mbalimbali za dunia. Vivutio kama fukwe nzuri, michezo ya maji, na maeneo ya kupiga mbizi huvutia watu na kuleta fedha za kigeni. Tanzania ni miongoni mwa mataifa yanayojivunia kuwa na rasilimali hii muhimu ambayo imekuwa mhimili mkubwa katika kuchangia ukuaji wa uchumi. Hii ni kutokana na uwekezaji uliofanyika katika sekta ya bahari. Dar es Salaam Merchant Group (DMG) ni miongoni mwa wadau muhimu katika sekta ya bahari ambapo wamejipambanua kama moja ya kampuni za kizawa zinazofanya vizuri katika sekta hiyo hususan kwenye maeneo ya uvuvi na shughuli za uchukuzi. Ikiongozwa na misingi ya kuanzishwa kwake ambayo ni kuongeza thamani kwa jamii, kuweka malengo ya muda mrefu pamoja na kuwepo kwa manufaa ya pande mbili kwa kila eneo wanalofanya biashara. Mkurugenzi Mtendaji wa DMG, Rayton Kwembe anasema kampuni hiyo ya kitanzania iliyoanzishwa miaka tisa iliyopita inajihusisha na ufanyaji biashara (kununua na kuuza bidhaa), ushauri elekezi katika sekta mbalimbali hususani sekta ya bahari (marine) pamoja na shughuli za bahari (marine activities). Kwembe anasema katika utekelezaji wa majukumu haya wamekuwa wakishirikiana na wadau mbalimbali ikiwemo Serikali ambayo imekuwa mdau wake mkubwa. “Tumefanya kazi na taasisi mbalimbali ikiwemo za Serikali kama vile; Ofisi ya Waziri Mkuu, Mamlaka ya Uvuvi wa Bahari Kuu, Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Shirika la Huduma za Meli, Mamlaka ya Bandari, Wizara ya Uchumi wa Bluu Zanzibar na wadau wengine wa sekta binafsi “ anasema Kwembe. **Ubunifu, ujenzi na ukarabati wa meli ** Kwembe anasema mwaka 2017 DMG ilianzisha kitengo cha shughuli za bahari (Marine section) ambacho kilipewa jukumu la kufanya ubunifu, kutengeneza pamoja na kufanya ukarabati wa meli. “Sababu ya kuanzisha kitengo hichi ni kutokana na fursa tulizoziona katika sekta ya bahari kwani ni sekta yenye fursa nyingi za kusaidia ukuaji wa uchumi ambazo hazijaweza kutumiwa ipasavyo, lakini mkakati na juhudi za Serikali za kuamua kuipa jicho la kipekee sekta hii ikiwemo kufufua shirika la meli pamoja na kutekeleza miradi ya ujenzi wa meli ni sababu kuu zilizotushawishi kuingia katika sekta hii,” anasema Kwembe. DMG ni kampuni ya pili ya kitanzania kupewa leseni ya kufanya shughuli za ukandarasi wa bahari (marine contractor) nchini. Kwembe anasema kuna mataifa makubwa duniani ambayo uchumi wake umekuwa kutokana na kuwekeza katika shughuli za bahari ikiwemo Korea Kusini. Juhudi za Serikali katika kuhakikisha sekta hii inakua na kuongeza tija katika uchumi iliwasukuma DMG kutafuta wadau mbalimbali wa kufanya nao kazi wenye teknolojia za kisasa na utaalamu wa masuala ya meli na kuingia nao makubaliano ya ushirikiano jambo lililowawezesha kwenda na kasi ya Serikali. Kwembe anasema hatua hiyo iliwawezesha kuwa kampuni ya kitanzania iliyoaminiwa na Serikali kwa kuweza kushiriki katika miradi mbalimbali ya ujenzi na ukarabati wa meli. “Mradi wa kwanza tulioahiriki ulikua wa ujenzi wa meli ya MV Mwanza Hapa Kazi tu ambapo tulipewa kazi na Mkandarasi Mkuu kutoa huduma kwenye mradi ikiwepo kuajili wataalamu wa kizawa, kusimamia masuala ya kiutawala kwenye mradi hasa yanayohisisha maudhui ya ndani (local content). Huu ndio mradi ambao ulitifungulia njia na kuanza kufahamika na wadau wengine,” anasema Kwembe. Anasema wakati wanaingia mwaka 2017 walijewekea lengo la kuhakikisha wanakuwa kampuni namba moja ya kitanzania katika sekta hiyo lakini pia kuliteka soko la Afrika lengo ambalo anaamini wameanza kulifikia kwa kiasi kikubwa. “Katika kipindi cha miaka minne tumeweza kufanya kazi na taasisi zote za Serikali ambazo zinamiliki meli ikiwa ni pamoja na Kampuni ya Huduma za Meli ambayo kwa sasa ni wateja wetu wakubwa. Kampuni hiyo kwa sasa tunatekeleza nayo miradi mitatu ambayo ni; mradi wa kimkakati wa kufufua meli ya MV Liemba mradi huu ni wa kihistoria lakini Serikali imetuamini na kutukabidhi. Kwa sasa mradi umeshaanza na fedha za awali tushalipwa,” anasema Kwembe. Anasema mradi mwengine ni ukarabati wa meli kubwa ya mafuta iliyopo jijini Mwanza pamoja na ukarabati wa tugboat moja kazi ambazo mikataba yake imeshasainiwa na malipo ya awali yameshalipwa hivyo kwa upande wa ukarabati tuna kazi tatu ambazo tunafanya na Kampuni hiyo. Kwa upande wa kazi za usimamizi kampuni hiyo pia imetupa kazi mbili katika miradi ya ujenzi wa meli mbili za mizigo katika ziwa Victoria na Tanganyika ambayo inatekelezwa na Kampuni za Uturuki. Kwembe anasema mbali na kampuni hiyo pia wamefanya kazi na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) katika utekelezaji wa miradi mitano. “TPA tumetekeleza miradi ya ukarabati wa boti ndogo ya kubeba wafanyakazi wa meli (MV Aida Kondo) katika bandari ya Tanga pamoja na kuingia makubaliano ya kuuza boti za fiber, uuzaji wa vipuri vya boti za Mtwara na Tanga, pia tumefanya kazi ya ukarabati wa vivuko vya Temesa ikiwemo kivuko cha MV Tanga, MV Kitunda kilichopo Lindi, MV Kilambo kikichopo Mtwara pamoja na kuanza ujenzi wa meli mpya ya kwenda Mafia na Nyamisati,” anasema Kwembe. Kuhusu uwekezaji katika teknolojia za kisasa za ujenzi wa meli anasema kwa sasa wanashirikiana na Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) pamoja na Chuo cha Bahari (DMI) kwa ajili ya kuchukua wahitimu na kuwakutanisha na wataalamu kutoka Korea kwa ajili ya kupata uzoefu. “Kwa sasa tuna wataalamu watano kutoka kwenye vyuo hivi ambao wanapata mafunzo kutoka kwa mtaalamu kutoka kwa washirika wetu wa Korea ili kuhakikisha tunakuwa na rasilimali yenye uwezo wa kutumia teknolojia hizo. Lakini pia kwa sasa tuna maeneo yetu wenyewe ya kufanyia kazi (facilities) ambayo moja iko Kimbiji na nyingine iko Zanzibar eneo la Mangapwani,” anasema Kwembe. **Uvuvi wa Bahari Kuu ** DMG ni kampuni ambayo ilifanya utafiti kuhusu changamoto zinazowakabili wavuvi wengi nchini kwenda kuvua katika bahari kuu na kugundua kuwa sababu kubwa ni ukosefu wa vyombo ambavyo vinawawezesha kufika bahari kuu pamoja na ukosefu wa taarifa sahihi kuhusu bahari kuu. Katika kuhakikisha inapunguza changamoto hiyo, DMG iliingia makubaliano na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) ambapo benki hiyo imetoa kiasi cha Sh 1 bilioni kwa DMG kwa ajili ya kuanza ujenzi wa kisasa wa boti za kufanyia uvuvi wa bahari kuu. “Baada ya kufanya utafiti na kugundua changamoto hizo tulienda kufanya mazungumzo na TADB ma wakakubali kutufadhili Sh 1 bilioni kwa ajili ya kujenga meli nne za uvuvi za kisasa ambapo kati ya hizo meli moja imekamilika na inatarajiwa kuanza kazi hivi karibuni, ya pili inatarajiwa kuanza kazi Desemba mwaka huu ya tatu Aprili mwaka 2025 na ya nne Oktoba, 2025 ,” anasema Kwembe. Tunaamini boti hizi zitaenda kuleta mageuzi makubwa katika uvuvi wa Bahari kuu. **Maadhimisho ya Siku ya Bahari Duniani ** Kama mdau muhimu wa sekta ya bahari, DMG wamejiandaa kuadhimisha siku ya bahari duniani mwaka huu kwa kufanya matukio mawili makubwa. “Tunatarajia kufanya uzinduzi wa boti zetu za kisasa za uvuvi na kufanya safari ya kwanza kwenda bahari kuu lakini pia tutafanya usafi katika maeneo ya bahari tunayofanyia kazi,” anasema Kwembe.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mchengerwa-aagiza-mchakato-uanze-kuipandisha-hadhi-wilaya-ya-arusha-4783988
# Mchengerwa aagiza mchakato uanze kuipandisha hadhi Wilaya ya Arusha ## Muktasari: **Waziri huyo ametoa maagizo hayo baada ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda kuwasilisha ombi la halmashauri hiyo iliyopo wilayani Arumeru kuomba kupandishwa hadhi.** **Arusha**. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa ameuagiza uongozi wa Mkoa wa Arusha kuanza mchakato wa kuomba kuipandishwa hadhi Halmashauri ya Wilaya ya Arusha kuwa Halmashauri ya Mji wa Arusha. Mchengerwa ameyasema hayo leo Jumatano Oktoba 2, 2024 wakati akizungumza kwenye ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo baada ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda kuwasilisha ombi la halmashauri hiyo kupandishwa hadhi. Mchengerwa amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha, Missaile Mussa kwa kushirikiana na uongozi wa wilaya, kuanza mchakato kuanzia ngazi ya wilaya, mkoa na wakijiridhisha wapeleke Tamisemi kwa ajili ya kupelekwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan. “Nawaagiza Katibu Tawala wa Mkoa na Wilaya, mchakato huo uanzie kwenye wilaya uende kwenye RCC halafu mkoa utatuletea Tamisemi na tukijiridhisha vigezo vimetimia, tutapeleka kwa Rais ipandishwe hadhi na kuwa Halmashauri ya Mji,” amesema. “Anzeni mchakato ili vigezo vilivyowekwa kisheria kama mmekidhi tupeleke kwa Rais. Dhamira ya Rais ni miji ambayo imeshakua kuikuza zaidi kuimarisha mamlaka ya utawala katika miji ili wananchi wasogezewe huduma,” ameongeza. Kuhusu barabara, amesema atawasiliana na Wakala wa Huduma wa Barabara za Vijijini na Mijini (Tarura) ili barabara zinazohitaji udharura zifanyiwe marekebisho, zipitike msimu wote wa mwaka. “Tutapita huko kujionea na kwa kuwa Tarura tutazingalia kwa sababu fedha za dharura zipo na kwa kuwa bajeti kutoka Sh250 bilioni hadi Sh1.5 trilioni,” amesema. Awali, Makonda aliwasilisha maombi mawili ambapo la kwanza alieleza kuwa Wilaya ya Arumeru ni moja ya wilaya zenye barabara mbovu. “Moja ya wilaya ambayo inahitaji msaada na jicho la kipekee upande wa barabara ni wilaya hii ambayo ina halmashauri mbili na kwa namna ya kipekee barabara hizi ziko ambazo zinaenda kwenye kuchochea maendeleo ya wananchi na zikijengwa zitaongeza uchumi,” amesema. Makonda amesema walifanya ziara na timu ya mkoa na miongoni mwa malalamiko waliyopokea ni pamoja na ya migogoro ya ardhi kuibuka katika mamlaka ya mji mdogo. “Halmashauri ya Wilaya ya Arusha wanatamani kama Arusha tuna Jiji, basi na wao wapandishwe hadhi kuwa manispaa,” amesema Makonda.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/tanzania-marekani-kupambana-kichaa-cha-mbwa-watoto-watajwa-kuwa-hatarini-4783996
# Tanzania, Marekani kupambana kichaa cha mbwa, watoto watajwa kuwa hatarini ## Muktasari: **Kichaa cha mbwa bado ni tishio la afya ya umma nchini Tanzania hasa katika jamii zenye uelewa mdogo na upatikanaji hafifu wa huduma za mifugo.** **Mwanza. **Wakati ugonjwa wa kichaa cha mbwa ukitajwa kusababisha vifo vya zaidi ya watu 59,000 duniani kila mwaka, Serikali ya Tanzania na Marekani zimeamua kuungana ili kupambana nao ikiwemo kuelimisha umma juu ya ugonjwa huo. Hatua hiyo inakuja ikiwa kichaa cha mbwa bado ni tishio kubwa la afya ya umma nchini Tanzania hasa katika jamii zenye uelewa mdogo na upatikanaji hafifu wa huduma za mifugo. Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID), kupitia Mradi wa Breakthrough Action kwa kushirikiana Ofisi ya Waziri Mkuu sehemu ya Afya Moja, Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Wizara ya Afya, na Ofisi ya Rais (Tamisemi), wametumia fursa ya maadhimisho ya Siku ya Kichaa cha Mbwa kama sehemu ya juhudi za kimataifa za kupambana na ugonjwa huo. Kupitia kampeni ya kitaifa ya "Holela-Holela Itakukosti," yenye lengo la kuiwezesha jamii kupambana na ugonjwa huo, Usaid na Serikali ya Tanzania inawakumbusha wananchi kuwajibika na kuondoa vikwazo ili kushinda vita dhidi ya hatari ya ugonjwa huo. Awali, wakati wa maadhimisho ya Siku ya Kichaa cha Mbwa, ambayo hufanyika kila mwaka Septemba, 28 kampeni ya "Holela-Holela Itakukosti," ambayo tafsiri yake ni uzembe ni gharama, ilichukua nafasi kubwa katika kuongeza uelewa kuhusu kichaa cha mbwa, ugonjwa unaosababisha vifo vya zaidi ya watu 59,000 duniani kila mwaka. Tukio hilo la kitaifa liliongozwa na Abdul Mhinte, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi, ambaye amesisitiza umuhimu wa elimu kwa jamii na mikakati ya chanjo katika kupambana na ugonjwa. Aidha amehimiza kuimarishwa kwa ushirikiano kati ya maofisa wa afya ya umma na jamii za mitaa ili kuimarisha mwitikio wa pamoja. “Kichaa cha mbwa kinaweza kuzuilika. Lengo letu ni kuhakikisha kila mbwa nchini Tanzania anapatiwa chanjo, na kila mwananchi anajua cha kufanya endapo atang’atwa na mbwa. Kila jamii inapaswa kuchukua jukumu lake katika vita hivi.” Msisitizo wake juu ya elimu na ushirikiano ulipeleka ujumbe wa matumaini kwa waliohudhuria. Kampeni hiyo inalenga jamii kwa kutoa ujumbe muhimu kuhusu kichaa cha mbwa, kuwachanja na kutafuta huduma za afya mara baada ya tukio la kung’atwa na mbwa. Watoto, ambao ni miongoni mwa walio hatarini zaidi kuathiriwa na kichaa cha mbwa, wanapewa elimu juu ya kuepuka mwingiliano kama kuwachokoza mbwa hasa wasiowafahamu na wanyama wenye uwezekano wa kuwa na maambukizi. Shuhuda kadhaa zinaonensha umuhimu wa kampeni hii. Revina, mama wa watoto watatu kutoka Mwanza:"Kabla ya kampeni, sikuwa najua hatari ya kichaa cha mbwa. Tulipojifunza kuwa mbwa wetu wanapaswa kuchanjwa, tulichukua hatua mara moja. Sasa, nina amani kuwaacha watoto wangu kucheza nje." Kampeni ya Holela-Holela pia inalenga kupambana na sababu zote zinazochangia kuwepo kwa ugonjwa wa kichaa cha mbwa kama vile uelewa mdogo, juhudi hafifu za chanjo, na usimamizi usio salama wa wanyama.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/simbachawe-ataja-umuhimu-wapinzani-kukosoa-atoa-angalizo-4784020
# Simbachawe ataja umuhimu wapinzani kukosoa, atoa angalizo ## Muktasari: **Waziri Simbachawene amebainisha kwamba wapinzani wanapokosoa wanatimiza matakwa ya kikatiba, hata hivyo amewataka wazingatie sheria katika kutekeleza wajibu wao.** **Rorya**. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amesema hakuna sababu ya viongozi wa Serikali na wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kukasirika pale vyama vya upinzani vinapowakosoa kwani kwa kufanya hivyo, vyama hivyo vinatimiza takwa la kikatiba. Simbachawene ameyasema hayo leo Jumatano, Oktoba 2, 2024 kwenye mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Utegi wilayani Rorya ambapo vyama vya upinzani vimetengezwa na CCM ili kukupinga hatua ambayo inachochea chama hicho cha CCM kutekeleza wajibu wake ipasavyo. “Katika kutupinga wanatimiza wajibu wa kikatiba, lazima tuwasikilize, lazima tuvilee vyama vya upinzani na wanapotupinga tuwasikikilize na tutekeleze yale Watanzania wanayoyataka na kamwe hawawezi kututoa madarakani,” amesema. Amebainisha kuwa wapinzani siyo watu wabaya, isipokuwa wanawakumbusha kutekeleza yale wanayopaswa kufanya na kwamba pale wanapoyatekeleza kwa ufasaha, wananchi wanazidi kuwaunga mkono, hivyo Serikali inakuwa na uhakika wa kuendelea kushika madaraka huku akiongeza kuwa bila CCM hakuna mpinzani. Hata hivyo, Simbachawene amesema pamoja na uhuru wa kukosa na kupinga, ni vema vyama vya upinzani vikazingatia misingi ikiwemo masuala ya amani, umoja, mshikamano na utulivu na kwamba Watanzania kamwe wasidanganyike na mtu ambaye anataka kuvunja misingi hiyo. “Huwezi kuwa na nchi ya kidemokrasia kama Tanzania bila kuwa na upinzani lakini kazi ya upinzani sio kuvuruga nchi, kwa hiyo niwakumbushe wapinzani kuzingatia misingi ya nchi na mjue uwepo wenu unategea CCM,” amesema. Amesema nchi ya Tanzania ni ya muhimu kuliko vyama vya siasa kwani madaraka na vyeo ni utaratibu tu, hivyo vyama vya siasa havitakiwi kuathiri misingi ya nchi. Katika hatua nyingine, Simbachawene ameuagiza uongozi wa Mkoa wa Mara kufanya uchunguzi kuhusu ujenzi wa jengo la ukumbi katika Halmashauri ya Wilaya ya Rorya baada ya kutoridhishwa na thamani ya fedha katika mradi huo. “Mimi sio mhandisi lakini kwa macho ya kawaida kiasi cha fedha kilichotumika na jengo lenyewe ni vitu viwili tofauti, niuagize uongozi wa mkoa kufanya uchunguzi kujiridhisha kuhusu thamani ya fedha na kazi iliyofanyika hapa kabla ya uzinduzi wa jengo,” amesema. Ametolea mfano wa Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Musoma ambayo hadi sasa imegharimu takriban Sh1.5 bilioni huku kukiwa na majengo zaidi ya 16 ambayo mengi yamekamilika ikilinganishwa na ukumbi huo wenye thamani ya Sh1.25 bilioni. “Hapa kuna jengo moja hata tukisema tulimege, tutapata majengo madogo manne, kule kuna majengo zaidi ya 16, tena makubwa yenye gharama sawa zilizotumika kwenye hii miradi miwili, ni sawa lakini kwa macho ya kawaida thamani ya fedha hailingani,” amesema. Amesema fedha za utekelezaji wa miradi ya maendeleo inapatikana kwa jitihada nyingi, hivyo ni vyema miradi inayotekelezwa iakisi hali halisi na kwamba suala la ubora wa miradi pia ni la kupewa kipaumbele. Awali, akitoa taarifa juu ya mradi huo, mhandisi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rorya, Ramadhani Mcharo amesema ukumbi huo wa kisasa hadi kukamilika unatarajiwa kugharimu Sh1.25 bilioni. Amesema hadi sasa ujenzi umegharimu kiaisi cha Sh750 milioni ambapo umefikia asilimia 95 ya utekelezaji wake na kwamba jengo hilo likikamilika litatumika kwenye mikutano yote ya halmashauri hiyo ikowepo mikutano ya baraza la madiwani. “Tumepokea Sh750 milioni ambazo ndizo tumepokea na ujenzi huu ulianza Januari 2022 kwa mfumo wa force akaunti, ukumbi ukikamilika mbali na kutumika kwenye mikutano lakini pia utakuwa chanzo cha mapato kwani utakuwa ukikodoshwa kwa shughuli mbalimbali kwa wananchi,” amesema. Mkuu wa Mkoa wa Mara, Evans Mtambi amekumbusha wananchi kuwa tayari kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa, Novemba 27, 2024. “Ili kupiga kura au kupigiwa kura kwenye uchaguzi huu, ni lazima uwe umejiandikisha kwenye daftari la mkazi, niwaombe sote kwa pamoja itakapofika Oktoba 11, 2024 tukajiandikishe tayari kutimiza wajibu wetu wa kidemokrasia na kikatiba ifikapo Novemba,” amesema. Mtambi amesema uchaguzi huo ni wa muhimu katika maendeleo ya nchi, hivyo kila Mtanzania mwenye sifa anapaswa kushiriki kikamilifu.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/wadau-wa-haki-jinai-wabainisha-tishio-la-uhalifu-wa-mtandao-4783884
# Wadau wa haki jinai wabainisha tishio la uhalifu wa mtandao ## Muktasari: **Jumla ya washiriki 60 kutoka taasisi mbalimbali zinazohusika na mfumo wa haki jinai wanahudhuria mafunzo maalumu kuhusiana na tatizo la uhalifu wa kimtandao huku wadau wakionesha unavyogharimu matrilioni ya fedha duniani, Afrika.** **Dar es Salaam**. Wadau wa haki jinai kutoka taasisi mbalimbali nchini Tanzania wamenolewa kwa kupewa mafunzo ya namna ya kukabiliana na tatizo la uhalifu wa kimtandao huku wawezeshaji wa mafunzo wakibainisha hali ya uhalifu huo ilivyo nchini na duniani. Mafunzo hayo ya siku tatu yanayofanyika jijini Dar es Salaam, yamefunguliwa leo Jumatano, Septemba 2, 2024 na Jaji wa Mahakama ya Rufani, Augustine Mwarija kwa niaba ya Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma. Mafunzo hayo yameandaliwa na Chuo cha Uongozi wa Mahakama, Lushoto (IJA) kwa kushirikiana na Sekretarieti ya Jumuia ya Madola kwa ufadhili wa Serikali ya Uingireza. Mkuu wa Utawala wa Sheria wa Sekretarieti ya Jumuiya ya Madola, Dk Elizabeth Macharia, amesema Afrika inapoteza Dola za Marekani milioni 4 ambazo ni karibu na asilimia 10 ya pato lake, kwa mwaka kutokana na uhalifu wa kimtandao. Macharia amesema duniani gharama za uhalifu wa kimtandao zinatarajiwa kufikia Dola 23.84 trilioni kufikia mwaka 2027 kutoka Dola za Marekani 8.44 trilioni mwaka 2022. Akifungua mafunzo hayo, Jaji Mwarija amesema mafunzo hayo yanaakisi juhudi za Sekretarieti ya Jumuiya ya Madola katika kupunguza kiwango na athari za uhalifu wa mitandaoni katika nchi za Jumuiya ya Madola. Jaji Mwarija amesema uhalifu wa kimtandao unaleta changamoto ambayo inaendelea kukua kutokana na kasi ya ukuaji wa teknolojia na kwamba mafunzo hayo yatawawezesha washiriki kubadilishana maarifa, uzoefu, na namna bora ya ushughulikiaji makosa hayo. Amesema mafunzo hayo yataimarisha maarifa na ujuzi wa majaji, waendesha mashtaka na wapelelezi kuhusiana na maendeleo ya hivi karibuni katika sheria za uhalifu wa kimtandao na namna ya kushughulikia ushahidi wa kielektroniki. Pia, amesema watapanua uelewa wao wa sheria zinazosimamia makosa ya uhalifu wa kimtandao na kujadili changamoto wanazokabiliana nazo katika upelelezi, kuendesha mashtaka na kuamua kesi hizo. Jaji Mwarija amesema ukusanyaji, uhifadhi na upokewaji wa ushahidi wa kielektroniki ni mambo muhimu kuhakikisha mafanikio katika kuendesha kesi na uamuzi wa haki. “Kama mlinzi wa haki, mahakama ina jukumu la msingi kuhakikisha kuwa kesi za uhalifu wa kimtandao zinaamuriwa kwa haki na kwa ufanisi wakati ikizingatia utawala wa sheria na kulinda haki za binadamu,” amesema Jaji Mwarija. Jaji Mwarija amesema wapelelezi wana jukumu la kukusanya na kuchanganua na kuhifadhi ushahidi na waendesha mashtaka wana jukumu la kuhakikisha kuwa wahalifu wa kimtandao wanafikishwa mbele ya sheria. Hivyo amesema wanapaswa kuwa ufahamu sheria za makosa ya kimtandao na uwezo wa kuwasilisha ushahidi tata wa kielektroniki wa kwa namna inayoeleweka kwa mahakama. “Kwa kufanya kazi kwa karibu na wapelelezi, waendesha mashtaka wanafanya jukumu la msingi katika kuhakikisha kuwa kesi za uhalifu wa kimtandao zinaendeshwa kwa ufanisi na kwa haki,” amesema Jaji Mwarija. Kwa upande wake, Naibu Balozi wa Uingereza Nchini, Sally Hedley amesema kuwa kuwa tatizo la uhalifu wa kimtandao halina mipaka na kwmaba ni tatizo kubwa linalohitaji unyumbulifu kutoka vyombo vya utekelezaji sheria vya ndani kikanda na kimataifa. “Uzoefu wetu binafsi nchini Uingereza unaonesha kwamba tishio linalosababishwa na uhalifu wa kimtandao linaendelea kukua na kuleta changamoto mpya za kiusalama”, amesema Hedley. Akizungumzia tatizo hilo katika mataifa ya Afrika, amesema taarifa za Shirika la Polisi wa Kimataifa Interpol) zinaonesha linaendelea kukua kwa asilimia 25 kila mwaka na kwamba hakuna taasisi au mtu binafsi aliye salama. Awali, Mkuu wa Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA) kilichoandaa mafunzo hayo, Jaji wa Mahakama ya Rufani, Dk Paul Kihwelo amesema mafunzo yanawashikirikisha majaji 15 akiwemo mmoja kutoka Mahakama ya Zanzibar. Amewataja washiriki wengine ni manaibu wasajili wanne, mahakimu wakazi wa mkoa 10, mahakimu wakazi wa wilaya watano na mahakimu wengine wa kawaida, wapelelezi sana na waendesha mashtaka wanane kutoka mikoa mbalimbali. “Tumewaleta hawa wote watatu (wapelelezi, waendesha mashtaka na majaji na mahakaimu) ili wewe na uelewa wa pamoja wa namna ya kushughulikia makosa ya namna hiyo”, amesema Jaji Kihwelo na kuongeza: “Na hi inatokana na kwamba sasa hivi uhalifu kwa kiasi kikubwa zaidi unafanyika katika mtandao kuliko uhalifu unaofanyika kwa njia ya kawaida.” Akitoa mfano wa uhalifu wa wizi wa fedha duniani na bila kutoa takwimu, Jaji Kihwelo amedokeza kuwa kwa duniani fedha zinazoibiwa kwa njia ya mtandao ni nyingi zaidi kuliko kiasi cha fedha zinazoibiwa kwa njia za kawaida. Amesema mbali na wawezeshaji wawili wa ndani, wawezeshaji wengi wa mafunzo hayo wametoka nchi za nje kama Uingereza, Dubai na nchi nyingine za Jumuiya ya Madola ambao watachambua sheria zilizopo nchini tayari. Wakizungumzia mafunzo hayo, washiriki wa mafunzo hayo, Wakili wa Serikali Mwandamiz, Ellen Masululi na Hakimu Mkazi Mkuu Mfawidhi wa Mahakama ya Mkoa wa Iringa, Honorious wamesema kuwa mafunzo hayo yatawaongezea ujuzi na maarifa katika kutekeleza majukumu yao. Wakili Masululi mafunzo hayo yatawasaidia katika hatua mbalimbali za utekelezaji wa majukumu yao kama vile kuamua kama kesi ifunguliwe au isifunguliwe baada ya kusoma majalada ya upelelezi kutoka polisi na uendeshaji mashauri mahakamani. “Kwa hiyo sasa ufahamu huo tutakaoupata kupitia semina hii, utatusaidia kujua kama ushahidi nilionao wa makosa ya kimtandao na ushahidi wa Kielektroniki unatosha kwenda mahakamani au la,” amesema Masululi na kuongeza: “Lakini pia yatawasaidia kuongoza upelelezi kwani sisi mawakili wa Serikali tuna nafasi ya kuongoza wapelelezi na kuwashauri namna ya kufanya katika kesi husika na tutakuwa kwenye nafasi nzuri ya kutoa ushauri kuishauri ofisi.” Hakimu Kando amesema kuwa anatarajia kuwa mafunzo hayo yatawajengea uwezo wa kutoa kuamua kesi wanazokumbana nazo hasa katika kipindi hiki ambacho kuna uhalifu mwingi wa kimtandao na makosa mengi yamekuwa yakifanyika kwa njia ya mitandao. Amesema kuwa kumekuwa na mabadiliko ya sheria ambapo kwa Sasa ushahidi wa kielektroniki unapokewa mahakamani na kwamba kwa kukizingatia kwamba makosa haya ni mapya na Sheria pia ni mpya, mafunzo hayo sasa yatawajengea uwezo namna kuamua kesi bila kukosea hasa. Amesema kuwa uzoefu unaonesha makosa ya mtandao yanatokea ni mengi na sheria bado ni mpya na ufahamu bado ni mdogo kwa watu wengi na kwamba baada ya mafunzo hayo watakuwa wamejengewa uwezo wa pamoja. “Tunategemea wapelelezi watapeleleza kesi zao vizuri kwa mujibu wa Sheria na itamrahisishia pia mwendesha mashtaka kuendesha kesi yake vizuri mahakamani na tunategemea Mahakama itatenda haki kwa mujibu wa mnyororo mzima wa haki jinai Kwa maana ya upelelezi, uendeshaji mashtaka na uamuzi,” amesema.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/jinsia-na-afya
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Subscribe for a month to get full access
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/ongezeko-la-maji-ziwa-tanganyika-maumivu-kwa-wananchi-kigoma-ujiji-4717012
# Ongezeko la maji Ziwa Tanganyika, maumivu kwa wananchi Kigoma Ujiji ## Muktasari: **Baadhi ya wakazi wa eneo hilo wamehama na waliobaki wanaishi kwa hofu kwa kuwa maji bado yanaongezeka.** **Kigoma**. Si ajabu Ziwa Tanganyika kuongezeka kina cha maji kutokana na sababu mbalimbali ikiwamo mvua, lakini hali ni tofauti kwa mwaka huu. Kwa mujibu wa takwimu za mamlaka ya Bonde la Ziwa Tanganyika, mvua zilizonyesha Mkoa wa Kigoma, kiwango cha maji ziwani kiliongezeka kutoka usawa wa bahari hadi mita 777.17 Aprili mwaka huu ikilinganiswa na mita 776.35 Mei 2023 na mita 776.27 Mei 2022. Kuongezeka kwa kina cha maji kulichangiwa kwa kuongezeka kwa kiwango cha mvua kwa wastani wa asilimia 28 hadi kufikia milimita 1,071.9 mwaka 2023/24 ikilinganishwa na milimita 836.8 miaka miwili iliyopita. Kutokana na ongezeko hilo la mvua, maji yalijaa maeneo mengi mkoani Kigoma. Hata hivyo, awali mamlaka husika zilieleza maji yangeweza kufika katika maeneo yaliyo karibu na ziwa hilo, hivyo kuleta athari kwa wananchi. Miongoni mwa maeneo hayo, ni Mtaa wa Mgumile uliopo Kata ya Kagera, Manispaa ya Kigoma Ujiji, uliokumbwa na mafuriko na kusababisha makazi na mashamba ya watu kusombwa. Kata hiyo inayokadiriwa kuwa na wakazi 9,916 kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, robo ya wakazi wake, maeneo yao yalizingirwa na maji. Baadhi ya wakazi wa eneo hilo wamehama na waliobaki wanaishi kwa hofu kwa kuwa maji bado yanaongezeka. Malilo Zaidi, aliyekaa Mtaa wa Mgumile tangu mwaka 1983 anasema, “hali hii haijawahi kutokea kwa zaidi ya miaka 40, Serikali inapaswa kuangalia suala hili kwa undani na kutupatia maeneo mengine ya makazi na kilimo.” Mwaka huu yameshuhudiwa mafuriko yaliyoharibu makanisa, hospitali, shule, barabara, masoko, hoteli na maeneo ya fukwe huku baadhi ya wananchi kukosa makazi. Jalala Shabani, mama wa watoto tisa anayeishi kwenye nyumba ya nne sasa kwa kuhama mara kadhaa, baada ya kukimbia maji yanayoongezeka. Hali hii imemlazimu kupika kwa jirani na kuwabeba watoto wake kwenda kulala usiku huko. “Ninaishi na mume wangu na watoto, maji yalianza kwenye nyumba ya kwanza tukasogea kukimbia maji tukahama lakini kila tukisogea na kuhama maji nayo yanasogea,”anasema Jalala. Anasema maji yameharibu nyumba zao, vifaa vya ndani na mashamba ya mchikichi, mahindi na maharagwe. Jalala anasema kwa sasa anategemea vibarua kuendesha maisha, hali ambayo imerudisha nyuma maendeleo yake. “Kukosa huduma za kijamii kama shule, hospitali na makanisa, kumetuathiri sana na baadhi ya watoto wangu hawajakwenda shule kwa miezi minne sasa. “Ninaiomba Serikali msaada wa makazi na huduma za kijamii ili kukabiliana na hali hii ngumu,” Jalala. Mjumbe wa Mtaa wa Mgumile, Ukiwa Sadi ameathirika na mafuriko yaliyoharibu biashara yake ya chakula maarufu kama mamantilie. Sadi aliyekuwa na kibanda akiuza chakula nyumbani kwake, maji yaliingia na kuharibu mali na bidhaa zake zote za biashara. “Hii ilinilazimu kuhama na kuendeleza maisha sehemu nyingine. Ingawa nimejaribu kujipanga upya na kuanza kupika tena, hali ya kibiashara ni mbaya kutokana na ukosefu wa wateja,” anasema Sadi. Anasema mtaji wake umepungua kwa kuwa amekuwa akinunua mchele kilo tano hadi kumi na kuuza, ikilinganishwa na kilo 100 za awali. **Afya na usalama** Zainabu Sabuni anasema maisha yao yamekuwa hatarini kwa kutumia maji ya visima ambayo si salama. Anasema wamekuwa wakihofia magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu na homa za matumbo. Zainabu anasema wamekuwa wakitumia maji hayo kwa kunywa na matumizi mengine, huku wakihofia magonjwa ya ngozi na minyoo. Anasema visima hivyo, vimechimbwa baada ya kukosa maji kwa muda mrefu. Baadhi ya wakazi wananunua majisafi kwa Sh1,500 kwa ndoo, lakini wengine wanatumia maji ya visima kwa kukosa uwezo wa kununua. Zena Haruna, anasema usalama wao unatishiwa na wanyama wakali kama viboko kuvamia makazi, kujeruhi watu na kuua mifugo. “Tunaishi kwa wasiwasi na kuhofia usalama wetu kutokana na wanyama wanaokuja hasa nyakati za usiku kutafuta chakula na kufanya uharibifu,”anasema Zena. Diwani wa Kagera, Gregory Kebelezo anasema Mtaa wa Mgumile umekumbwa na mafuriko makubwa, yakiathiri kaya 60 kati ya 306 na kusababisha wakazi kuhama. Vitu vilivyoathiriwa anasema ni mashamba ya michikichi, mpunga, mahindi na maharagwe. “Shule pia zimejaa maji, watoto wameshindwa kusoma. Ofisi ya mkurugenzi wa manispaa imepanga eneo lingine kwa ajili ya ujenzi wa shule. Hakuna vifo vilivyotokea, lakini mali na makazi yameharibiwa na wakazi wameathirika kiuchumi,”anasema Kebelezo. Pia, huduma ya majisafi imeathirika kutokana na kujaa kwa Mto Luiche na uharibifu wa miundombinu, inayosubiri kurekebishwa na wataalamu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kigoma (Kuwasa). **Uvuvi na biashara** Suala la usafirishaji na biashara katika Bandari Ndogo ya Kibirizi, mkoani Kigoma limeathiriwa na ujazo wa kina cha maji katika Ziwa Tanganyika. Licha ya Serikali kuwahamishia wafanyabiashara wa samaki na dagaa kwenye eneo jipya, lakini wamepoteza wateja na biashara zao kuyumba. Zabibu Hussein, mfanyabiashara wa dagaa anasema pamoja na kuhamia soko jipya mauzo yameshuka. “Tumepoteza wateja, soko hili watu hawajalizoea. Tunapata mawazo kwa kuwa fedha za mitaji zenyewe tulikopa,”anasema Zabibu. Selina Jeremia anasema licha ya kwamba hakuna wateja kwenye soko hilo, anaoimba Serikali isiwahamishe tena kwa kuwa kuhamahama imekuwa kero kwa biashara zao. “Eneo hili lipo kwenye mwinuko, tunaiomba Serikali ituache hapa wateja watazoea,” anasema Selina. Kata ya Katubuka, Manispaa ya Kigoma Ujiji, pia ni moja ya eneo ambalo maji yamejaa na kusababisha mafuriko katika makazi ya watu na vibanda vya biashara. Mfanyabiashara Harrison Kinoni anasema mabucha ya nyama ya nguruwe yameathirika na wateja wamepungua. “Tumehamia upande wa pili wa barabara, lakini biashara imekuwa ngumu, awali tuliuza hadi nyama ya nguruwe watatu kwa siku lakini sasa hata nguruwe mmoja haishi,”anasema Kinoni. Diwani wa Katubuka, Moshi Mayengo anasema nyumba zaidi ya 60 zimezungukwa na maji, hali iliyowahi kutokea mwaka 1989/90. Mayengo anasema Serikali ya mkoa ipo kimya, licha ya jitihada zake za kuwasiliana na Wakala ya Barabara za *Vijijini*na Mijini (Tarura), hakuna hatua zilizochukuliwa. **Kauli ya Bonde la Ziwa Tanganyika** Mhandisi Odemba Kornel kutoka Bonde la Ziwa Tanganyika, anasema mwaka 2024, kipimo cha maji ziwani kimefikia mita 777.22 kutoka usawa wa bahari, kikilinganishwa na mita 747 mwaka 2018, kutokana na mvua kubwa. “Mabadiliko ya tabianchi yanasababisha maji kujaa na kupungua, historia inaonesha hali kama hii ilitokea miaka ya 1960. Tunashauri wananchi kuepuka uwekezaji au shughuli za kimaendeleo karibu na ziwa ili kuepuka hasara,”anasema Kornel. Anasema wawekezaji na wadau wanashauriwa kuchukua takwimu za maji kutoka ofisi za bonde kabla ya kuanza miradi. Kornel anasema Bonde la Ziwa Tanganyika limeweka alama kuonesha maeneo hatarishi na wataendelea kufanya hivyo. Anasema wana mpango wa kuzunguka tena katika mwambao mwa Ziwa Tanganyika baada ya maji kuongezeka zaidi kuliko awali ili kuweka alama na kuwapa tahadhari wananchi. Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye anasema Wilaya ya Kakonko nyumba za mitaa 20 ziliharibika kutokana na mvua kubwa. “Serikali ilitoa misaada ya kibinadamu. Pia katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, eneo la Kata ya Katubuka limezungukwa na maji na wataalamu bado wanachunguza chanzo cha mafuriko hayo,” anasema Andengenye. Bandari Ndogo ya Kibirizi, Soko la Mwalo wa Kibirizi na Chuo cha Maendeleo ya Uvuvi (Feta) vimeathirika na kuongezeka kwa maji ya Ziwa Tanganyika. Wilaya ya Uvinza pia imeathirika, Kivuko cha Ilagala kimesimama kutokana na mafuriko ya Mto Malagarasi. Andengenye anasema Serikali haina nia ya kupoka maeneo ya wananchi, lakini inawashauri kuepuka kujenga makazi katika maeneo hatarishi. Pia, anawataka wazazi kuwapeleka watoto shule katika maeneo salama wakati Serikali ikiendelea kutafuta suluhisho ili wananchi waendelee na maisha yao kwa usalama. Kama una maoni kuhusu habari hii, tuandikie ujumbe kupitia WhatsApp: 0765864917. **Habari hii imedhaminiwa na Bill & Melinda Gates Foundation**
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mafuriko-yalivyowaacha-hoi-wajasiriamali-moro-4715556
# Mafuriko yalivyowaacha ‘hoi’ wajasiriamali Moro ## Muktasari: **Machi 12, 2024 usiku kulinyesha mvua kubwa mkoani Morogoro na kusababisha maji kwenye Mto Furuwa kufurika** **Morogoro.** “Nilikuwa nimelala nikasikia upepo mkali, kuweka mkono kwenye neti pembeni ya kitanda, kumbe maji yalikuwa yameshajaa ndani.” Hivyo ndivyo anavyoanza kusimulia Oktavina Komba, mama wa watoto wawili kuhusu mafuriko yaliyotokea eneo analoishi Kitongoji cha Kilolelo, Kata ya Msegese wilayani Malinyi Mkoa wa Morogoro. Machi 12, 2024 usiku kulinyesha mvua kubwa mkoani Morogoro na kusababisha maji kwenye Mto Furuwa kufurika. Baadhi ya barabara zilifungwa kutokana na maji kujaa huku nyumba kadhaa zikibomoka na watu kukosa makazi. Miongoni mwa maeneo yaliyoathiriwa miundombinu na mali nyingine za wananchi zikiwamo nyumba ni Malinyi Mjini, Lugala na Misegese. Hata hivyo, Oktavina alishuhudia mafuriko yakiingia ghafla nyumbani kwake wakati akiwa amelala, hivyo alishtuka na kulazimika kutoka nje haraka ili kuwaokoa watoto wake huku maji yakiwa yamejaa ndani. Kabla ya mafuriko hayo, Oktavina alikuwa mjasiriamali akiuza kuku, lakini sasa hana uwezo wa kuendelea na biashara hiyo. “Nilikuwa nikiuza kuku watatu hadi sita kwa siku, kuku mmoja nilipata hadi Sh7,000 kipato kilichotosha kukidhi mahitaji ya familia yangu kwa siku,” anasimulia Oktavina wakati akifanya mahojiano maalumu na Mwananchi. “Lakini kwa sasa, sina tena uwezo wa kuzalisha baada ya mafuriko kuondoka na kila kitu,” anasema Oktavina. Mkazi mwingine wa Kitongoji cha Kilolelo, Mariam Khalfan ambaye ni mama wa watoto wanne, anasema alikumbwa na hali ngumu kwa kuhama makazi yake baada ya mafuriko. Mariam aliyekuwa akiuza uji kabla ya mafuriko kutokea, anasema amelazimika kusitisha biashara yake kutokana na hali hiyo. Veronica Simbeye, mfanyabiashara wa duka la vifaa vya ujenzi, alikumbwa na changamoto za kusafirisha bidhaa kutokana na barabara kukatika, hivyo kusababisha biashara yake kusimama. “Nilipata shida sana baada ya mafuriko. Usafirishaji wa bidhaa ulikwama, barabara zikakatika na bidhaa dukani zikaisha,” anasema Veronica aliyeshindwa kuongeza bidhaa dukani kwake. Mwenyekiti wa Serikali ya Kitongoji cha Kilolelo, Kata ya Msegese, Baptisti Mandimula anasema: “Mafuriko yalianza Machi mwaka huu, yakawa makubwa zaidi Aprili na kusababisha uharibifu zikiwamo nyumba 10 kubomoka. “Wakazi wengi walipoteza mashamba, vyombo na vyakula. Tunaiomba Serikali kuwasaidia mbegu za muda mfupi ili waweze kulima na kupata chakula.” Asha Khatibu, mkazi wa Ifakara anasema soko la jirani na Mto Lumemo walilokuwa wanalitegemea lilijaa maji hali iliyosababisha kinamama wafanyabiashara kusitisha biashara na wengine waliamua kutembeza bidhaa mitaani. “Mitaji iliyumba na wengine wamefilisika kutokana na maji kujaa,” anasema Khatibu. Mfanyabiashara ndogondogo na mwenyekiti wa Kitongoji cha Mguha, Alfred Alloyce anasema walishindwa kutimiza wajibu wao kutokana na maji kujaa maeneo mengi, mashamba yalisombwa na maji, huku wananchi wachache wakiokoa mali zao. **Huduma za afya, vifo** Katika Wilaya ya Kilombero, mkazi wa Igombati, Kata ya Lumemo, Selecia Madunda alipata majanga baada ya mvua kubwa kunyesha na ukuta kumwangukia. “Maji yalivyokuwa mengi, kufika hospitali ilikuwa changamoto maana ilibidi wanitafutie mtumbwi ndio wakanivusha kufika ilipo barabara kuu kisha nikakimbizwa Hospitali ya ST Francis” anasema Selecia. **Kwa upande wake, **Oktaviana anasema wakati wa mafuriko wanawake kwenye kitongoji hicho walipata changamoto ya ukosefu wa huduma za afya na vifaa tiba. “Ukisema uende hospitali yetu ya wilaya huwezi kufika njia yote ni maji tu, hadi ilipo hospitali badala yake tulikuwa tunanunua dawa tunapohisi maumivu, tunameza na maisha yanakwenda,” anasema Oktaviana. Mkazi wa Ifakara, Asha Khatibu anasema, “hospitali tunayotegemea hapa ni hii ya St. Francis, sasa wanawake wengi hususan wajawazito walikuwa wanashindwa kufika, maana wengine walikuwa wanatoka maeneo ambayo hayapitiki kutokana na maji kuwa mengi, wanawake wengi walilazimika kupanda mitumbwi ili kuwahi matibabu.” Mkazi mwingine wa Ifakara, Zainabu Hassan anasema kipindi cha mafuriko suala la usafi halikuwepo. “Kipindi cha mafuriko maji yalizingira eneo kubwa, sasa uchafu ukawa mwingi vyoo vikajaa na vingine kuzibuka, lakini pamoja na yote hayo hakukutokea magonjwa ya mlipuko,” anasema Zainabu. Familia ya Khatib Makoti kutoka Ifakara, imepata pigo baada ya wajukuu zake watatu kuzama walipokuwa wakivushwa kwa mtumbwi, huku mtoto wa miezi minne akiokolewa. Makoti anasema siku nne baadaye walipata mwili wa mmoja na mwingine bado haujapatikana. **Kauli za viongozi** Alfred Aloyce, Mwenyekiti wa Kitongoji cha Mguha anasema mafuriko yalisababisha vifo vya watu wawili na kuangusha nyumba sita kwenye kitongoji chake. “Wanafunzi walishindwa kwenda shule kwa siku saba hadi 14 kutokana na maji mengi.” Hata hivyo, Kijiji cha Igombati kiliathirika zaidi na familia saba ziliyakimbia makazi yao, huku nyumba 22 zikibomoka. Andrea Elias, Mwenyekiti wa Kijiji cha Igombani anaiomba Serikali kuweka kingo kwenye Mto Lumemo. Anasema mafuriko yalisababisha kaya 255 kupoteza mashamba kijijini hapo. Mshamu Bimbumbi (80) ni mzee wa Makamo mwenyeji wa Malinyi anasema, “mafuriko kama haya yamewahi kutokea mwaka 1974, lakini ya mwaka huu yamekuwa makubwa mno, kuna Mto Fulua ambao uko jirani na hapa, inabidi usafishwe ili tusipate mafuriko maana ule mto ndio unapokea maji mengi ya kuyaleta kwenye makazi ya watu.” Mkuu wa Wilaya ya Malinyi, Sebastian Waryuba anasema barabara zilikatika, madaraja yalisombwa na makazi ya watu yaliharibika. Anasema hadi sasa katika wilaya yake hakuna tathimini ya kina ambayo imeshafanyika kuonyesha ni hasara kiasi gani imesababishwa na mafuriko lakini uharibifu mkubwa umetokea. “Zaidi ya watu 3,000 walilazimika kuondoka makwao, nyumba 1,000 zilibomoka. Uharibifu huo ulisababisha vifo vya zaidi ya watu 30. Serikali imeanza kurejesha miundombinu ya mawasiliano kama madaraja ili kuimarisha upitaji wa maeneo mbalimbali na kuzuia uharibifu zaidi,”anasema Waryuba. Kuhusu elimu anasema, “shule zilizoathirika kwa kiasi kikubwa ni shule za msingi Madibila, Kiwale na Lugala. Shule hizi ziko maeneo ya Tambarare, madarasa yalijaa maji hadi futi nne, hatukuweza kuruhusu wanafunzi waingie na hilo limesaidia kutopata madhara kwa watoto wa shule.” Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Dunstan Kyobya anasema mvua kubwa kuanzia Aprili mosi mwaka huu, zilisababisha mafuriko, ziliharibu maduka, zilisomba mashamba zaidi ya eka 2000 na watu 10 walifariki dunia. Pia, anasema kulitokea maporomoko ya udongo yaliyochangia uharibifu wa reli uliosababisha treni ya Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (Tazara) kukwama na abiria 544 kuokolewa kwa helkopita ya kijeshi. Kyobya anasema Serikali ilitoa tani 189 za mbegu kwa wananchi ili kuzuia njaa baada ya mafuriko. “Barabara nyingi ziliharibika, na bajeti ya ukarabati ipo tayari. Serikali ilitoa zaidi ya Sh400 milioni kwa ajili ya ukarabati wa Mto Lumemo ili kuzuia mafuriko,” anasema. Kiongozi huyo anasema mashamba ya miwa yalisimamisha uzalishaji kwa zaidi ya mwezi mmoja, lakini uzalishaji umeanza tena baada ya maji kupungua. Hata hivyo, anasema shule na hospitali hazikuathiriwa sana kwa kuwa ziko kwenye miinuko. Anasema Serikali inafanya mipango ya kuweka mazingira wezeshi ili mafuriko yakitokea tena yasilete madhara makubwa. Kyobya anasema, “uchumi wa wananchi ulisimama kwa kuwa barabara kubwa ya Ifakara mpaka Mlimba ilikatika na mpaka sasa haijakamilika. “Ifakara ni kama Kariakoo kwa halmashauri za Mlimba, Ulanga na Malinyi, hivyo kitendo cha barabara kukatika uchumi wa halmashauri hiyo ulisimama, lakini kwa ukarabati wa miundombinu tunaamini hali ya kiuchumi kwa wananchi wetu itaendelea kurekebishika kila hatua.” **Kama una maoni kuhusu habari hii, tuandikie ujumbe kupitia WhatsApp: 0765864917.** *Habari hii imedhaminiwa na Bill & Melinda Gates Foundation.* ** **
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/matarajio-ya-harusi-yalivyogeuka-msiba-rufiji-4714542
# Matarajio ya harusi yalivyogeuka msiba Rufiji ## Muktasari: **Mkazi wa Rufiji mkoani Pwani, Jamal Kwangaya asimulia mkasa ulioondoa uhai wa mwanawe na wengine watatu.** **Dar es Salaam**. Waswahili husema, “kisicho riziki hakiliki,” methali hiyo imeakisi uhalisia katika familia ya Jamal Kwangaya iliyopo wilayani Rufiji mkoani Pwani. Familia hiyo iliyokuwa katika matarajio ya harusi, ghafla mpango huo uligeuka huzuni, baada ya aliyetarajiwa kuolewa kupoteza maisha. Bibi harusi mtarajiwa Hanifah Kwangaya ni mmoja kati ya ndugu wanne wa familia moja walipoteza maisha katika mafuriko yaliyotokea mwanzoni mwa Mei mwaka huu na kufuatiwa na Kimbunga Hidaya. Mzizi wa mafuriko hayo ni mfululizo wa mvua kubwa zilizonyesha maeneo mbalimbali nchini kuanzia Oktoba 2023 kama zilivyotabiriwa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA). **Ilivyotokea** Akisimulia mkasa ulioondoa uhai wa Hanifah na wengine watatu, Kwangaya ambaye ni baba mdogo, anasema mwanawe alikuwa akiishi Kijiji cha Mope, eneo lililokuwa maalumu kwa shughuli za kilimo. Ingawa kijiji hicho ni hatari kwa maisha ya binadamu hasa nyakati za mvua, Kwangaya anasema walilazimika kuendelea kubaki huko kwa kuwa ilikuwa vigumu kupata mtumbwi wa kuwahamisha. Anasema mafuriko yalikiathiri kijiji hicho, hivyo walilazimika kuhamia ng'ambo katika Kijiji cha Kongoniongo. "Kipindi cha maafa mtumbwi ulikuwa vigumu kupatikana, wale (ndugu) wakakwama kule katika maeneo yaliyopaswa kuhama," anasema Kwangaya. Anasema waliishi eneo hilo hadi mahitaji muhimu ya binadamu yalipokwisha; kwa kuwa walitumiwa fedha kwa njia ya simu, walitakiwa kwenda kuzitoa ili kununua mahitaji hayo. Hawakuwa na namna nyingine zaidi ya kutafuta mtumbwi wa kuwawezesha kufika Ikwiriri, kwa kuwa katika kijiji hicho hakukuwa na huduma za kifedha. "Mahitaji yalishaisha, sasa wakawa wanalazimika waje huku (Kata ya Ikwiriri) wapate mahitaji," anasema Kwangaya. Anasema katika harakati za kwenda Ikwiriri walifanikiwa kupata mtumbwi na walipanda watu wanane wakiwamo sita wa familia moja. "Walipanda hadi walipofika darajani mmoja wao wa kiume, alitaka kushushwa lakini dereva wa mtumbwi aliwataka wote washuke darajani hapo, wakakataa kwa kuwa hawakuwa na fedha ya kutokea eneo hilo hadi Ikwiriri, hivyo waliomba kuendelea na safari ya mtumbwi hadi eneo la jirani na Ikwiriri," anasema Kwangaya. Safari na mtumbwi wenye abiria saba iliendelea hadi walipolifikia Daraja la Rufiji; na hapo ndipo mzizi wa ajali ulipoanza. "Yule dereva hakuwa anajua kama pale kwenye daraja kuna maji ya mzunguko kwa hiyo yakawa yanamvuta, alionekana yamemshinda. "Akawa anashauriwa kupita chini ya daraja naye akatekeleza hilo na alivyofika mbele mzunguko wa maji ulizidi na kusababisha mtumbwi kupinduka," anasema Kwangaya. Baada ya mtumbwi kupinduka, anasema waliozama ni mwanawe na wajukuu zake wanne, lakini mmoja aliokolewa. Anasema baada ya hatua hiyo, hatua za kutafuta miili ya waliozama ziliendelea kwa siku tatu bila mafanikio. Kwangaya anasema siku ya nne kwa kushirikiana na Serikali, ndipo walifanikiwa kupata miili miwili; na siku iliyofuata ulionekana mwili mwingine, lakini uliobaki majini haukupatikana hadi sasa. "Hiyo maiti ya mdogo hatukubahatika kuiona hadi hivi sasa, kwa hiyo tunashukuru kwa Serikali kutusaidia na kushirikiana na wananchi katika yote," anasema Kwangaya. Mbali na kupoteza wapenda wao, anasema mazao mbalimbali ikiwamo ufuta katika mashamba yote yamesombwa na mafuriko. **Kuhusu harusi** Kwangaya anasema hadi mwanawe Hanifah anafariki dunia hakuwa na mume, isipokuwa kulikuwa na matarajio ya ndoa. Anasema kabla ya kufariki dunia, Hanifah alishamwambia kuwa, siku chache zijazo angempa taarifa rasmi juu ya mchumba wake. "Kipindi alichokuwa anakuja huku kulikuwa na taarifa ya ndoa na kwa sababu wakati wake umefika ndoa imeishia hapo. Kwa hiyo hilo tulilijua kwamba kulikuwa na mchumba anayehitaji kumuoa," anasema Kwangaya. **Maisha baada ya msiba** Anasema maisha ya familia nzima yameendelea kuwa magumu kwa kuwa mazao yote waliyotarajia kwa ajili ya chakula pia, yamepotea kwa mafuriko. Hali inakuwa mbaya zaidi kwa kile alichoeleza, hata mahindi waliyoyapanda baada ya mafuriko hayo, yamesombwa tena na maji. "Tulijaribu tena kwenda kupanda mahindi, kwa taarifa niliyonayo ni kwamba kuna maji yameyapitia nusu. Tunaiomba sana Serikali jicho lake liangalie Rufiji hasa Ikwiriri," anasema. **Shangazi wa marehemu** Mtumwa Mbonde, shangazi wa marehemu anasema alipokea taarifa ya msiba kwa simu kwamba ndugu zake hao wamezama majini. Baada ya taarifa hiyo, anasema walitafutwa askari wa zimamoto kwa ajili ya uokoaji ndipo walipofanikiwa kuiona miili ya wawili na baadaye mmoja na mwingine hadi sasa haujapatikana. Anaeleza kuwa, binti aliyefariki dunia alikuwa mkulima na kwamba kifo chake kimeacha majonzi kwa kuwa ni vigumu kusahau. "Ni msiba mzito hatutausahau kwa sababu ni pigo kubwa," anasema Mbonde. **Historia ya mafuriko Rufiji** Ingawa mafuriko yaliyoshuhudiwa mwaka huu yalikuwa na athari kubwa, historia inaonyesha hii si mara ya kwanza kwa Wilaya ya Rufiji kukumbwa na mafuriko. Inaelezwa kuwa, Rufiji imekuwa katika hatari ya kuathiriwa na mafuriko katika nyakati tofauti kama inavyoelezwa na Faraji Maloa, mkazi wa wilaya hiyo kwa miaka 40 sasa. "Nafahamu historia hizi za mafuriko, mara ya kwanza mwaka 1936 kulikuwa na mafuriko makali yaliitwa Lilale na ndiyo yaliyotengeneza mito mbalimbali. "Kwa mfano madaraja ya Ngayonga, Mtanga, Tingetingeni, Ruwoyi yote hayo ni zao la mafuriko hayo," anasema Maloa. Anaelezea historia hiyo kuwa, mafuriko hayo ya mwaka 1936 ndiyo yaliyotengeneza Ziwa la Umwe na mito Lingola, Urungu, Poka na Kingola. Anasema mito na mifereji yote, imekuwa vyanzo vya mafuriko mvua kubwa inaponyesha. Pamoja na eneo hilo kuwa hatari kwa mafuriko, anasema watu wanalazimika kuishi kwa kile alichoeleza, wanafuata rasilimali ardhi yenye rutuba. "Unajua bonde ni ardhi yenye rutuba sana kwa hiyo mtu hawezi kuiepuka hiyo, lazima atakwenda kwenye ardhi yenye rutuba huwezi kwenda kulima kwenye ukame," anasema Maloa. Tangu mvua zilivyoanza Oktoba mwaka jana, anasema hakuna aliyetilia maanani hadi pale Serikali ilipotoa taarifa ya tahadhari. Maloa anasema kuanzia Aprili mwaka huu, tahadhari hiyo ya Serikali ikawa katika uhalisia, wananchi walianza kushuhudia mafuriko huku mashamba na makazi yakisombwa na maji. "Mimi nilikuwa na ekari 12 zote zilijaa mpunga, zimesombwa na mimi ndiyo nilikuwa nategemea hizo tu kwamba nikivuna nitakuwa na fedha na chakula cha kutosha," anasema Maloa. Anaeleza kuwa, hata kama wanahitaji msaada, lakini ni vigumu kupata utakaowatosheleza kwa kuwa idadi ya wanaoishi eneo hilo ni wengi. Maloa anasisitiza umuhimu wa taarifa kutolewa mapema ili wananchi wajipange na hilo lisifanywe na mkuu wa wilaya pekee, bali kila ngazi. "Tumeambiwa tuondoke kule bondeni kwa kuwa limefunikwa kabisa na maji, lakini yanakuja (maji) kwa sababu bwawa la Mwalimu Nyerere limejaa kupita kiasi," anasema Maloa. **Mkuu wa Wilaya ya Rufiji** Akizungumzia vifo hivyo, Mkuu wa Wilaya ya Rufiji, Meja Edward Gowele anasema jumla ya watu tisa wamepoteza maisha. Anasema kabla ya Kimbunga Hidaya walifariki dunia watu wawili akiwamo mwanamke mwenye umri wa miaka 20 na mtoto wa miezi miwili. Vifo hivyo, anasema vilifuatiwa na vingine vinne vya familia moja. "Kwa jumla tulikuwa na vifo tisa vilivyotokana na wananchi kutumia mitumbwi ilhali Serikali ilishakataza, lakini kwa maji kuzingira nyumba hakuna mtu aliyepoteza maisha," anasema Gowele. Hata hivyo, anasema iwapo wananchi wagezingatia miongozo waliyopewa na Serikali ya kuacha kutumia mitumbwi pengine wangeokolewa. Meja Gowele anasema watu 89,000 wameathirika wanaojumuisha kaya 23,360. Anasema nyumba 628 zimeathirika katika kata 12 kati ya 13 zinazopatikana wilayani humo, akisisitiza hiyo ni kabla ya Kimbunga Hidaya. Ili kuepuka janga kama hilo, anasema Serikali iliomba ekari 150 katika msitu wa hifadhi kuanzisha makazi na baadhi ya wananchi wameanza kuingia eneo hilo ili kuepuka athari za mafuriko. Anasema katika Kijiji cha Tungi, viwanja vinaendelea kutolewa kwa wananchi ili wakaishi salama. Kuhusu misaada, anasema Serikali ilipeleka mahema 12, chakula zaidi ya tani 200 kwa ajili ya kuhudumia watu waliopo kwenye kambi na wale waliopo kwa ndugu jamaa na marafiki. Mbali na Serikali, anasema misaada mingine ilipelekwa na mbunge wa Rufiji, Mohamed Mchengerwa, hivyo kutosheleza wakazi wa eneo hilo. "Hivi juzi, ameleta misaada ya mbegu zenye thamani ya Sh40 milioni kutoka kwenye mfuko wake mwenyewe na ametafuta wahisani CRDB (benki) wametuletea mbegu za Sh40 milioni," anasema Meja Gowele. Anaeleza bado usambazaji unaendelea kuhakikisha mbegu zinatosheleza mahitaji. **Kama una maoni kuhusu habari hii, tuandikie ujumbe kupitia WhatsApp: 0765864917. ** **Habari hii imedhaminiwa na Bill & Melinda Gates Foundation**
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/hali-tete-maisha-ya-wakazi-kilwa-baada-ya-mafuriko-4713698
# Hali tete, maisha ya wakazi Kilwa baada ya mafuriko ## Muktasari: **Mei 4 mwaka huu Wilaya ya Kilwa mkoani Lindi ilikumbwa na mafuriko yaliyoambatana na Kimbunga Hidaya, yaliyosomba mashamba, vyombo, nyumba na vyakula vya wakazi hao.** **Lindi**. Mafuriko yaliyotokea nchini kati ya Oktoba 2023 hadi Mei mwaka huu, yameendelea kusababisha maumivu kwa wakazi wa maeneo yaliyoathirika na janga hilo, hasa katika Kijiji cha Myumbu wilayani Kilwa Mkoa wa Lindi. Mei 4 mwaka huu wilaya hiyo ilikumbwa na mafuriko yaliyoambatana na Kimbunga Hidaya, yaliyosomba mashamba, vyombo, nyumba na vyakula vya wakazi hao. Jumla ya kaya 207 kati ya 776 zilizopo Kijiji cha Myumbu zimeathirika, huku matumaini ya kula mara mbili kwa siku au tatu kwa kaya 80 yakiwa yameyeyuka. Mjane Darlin Ngalamba (83) anayeishi na wajukuu zake wanne katika nyumba ya udongo kando ya Mto Wenza, mazao yake yote ikiwamo mihogo na migomba katika shamba la ekari tano, yalisombwa na mafuriko. Darlin anayetegemea kilimo na ufugaji, kuku wake pia walisombwa na mafuriko na kubaki wawili tu, kati ya 30. “Baada ya hapo ndiyo tunaangalia utaratibu wa kununua kuku wengine,"anasema mjane huyo ambaye kwa sasa hawezi tena kulima na anategemea misaada ya wasamaria wema kutokana na umri wake mkubwa pamoja na kusumbuliwa na maumivu ya miguu. Akisimulia ilivyotokea, Darlin anasema: "Tuliamka na mvua ilianza kunyesha kidogo kidogo, mvua iliendelea hadi saa tatu asubuhi maji yakaanza kufurika. Wajukuu zangu wakanambia kuna maji." Kutokana na umri wake, ilikuwa vigumu kwa Darlin kutembea mwenyewe kuyakimbia maji hadi maeneo yaliyokuwa salama. Darlin anasema katika hali hiyo, walitokea wasamaria wema waliosaidiana na mjukuu wake mkubwa kumbeba hadi katika eneo lisilokuwa na maji. Miongoni mwa wajukuu zake, mkubwa ana umri wa miaka 25 anayefanya vibarua ili kupata fedha za kusaidia familia ingawa hazitoshi. Darlin anasema baada ya kupata msaada wa kubebwa hadi eneo lisilokuwa na maji, ilimchukua wiki moja kuishi nje ya nyumba yake, akisubiri maji yaondoke na baadaye alirejea. "Kurudi hapa (nyumbani kwake) vitu vyote hamna; mabeseni na sufuria naletewa na watu kama msaada," anasema Darlin. Mjane huyo anasema anatamani kupata msaada haraka kutoka serikalini hasa wa chakula kwa kuwa ndicho kitu muhimu katika uhai. Mbali na Darlin, mkazi mwingine aliyepoteza kila kitu baada ya mafuriko kusomba nyumba, chakula, vyombo na mifugo yake, ni Abdulrahman Kingoma. Mkazi huyo wa Kijiji cha Myumbu amebaki bila chakula na mavazi huku akitegemea msaada wa majirani. Kingoma aliyenusurika kwa sababu mafuriko yalitokea mchana, anasema ingekuwa usiku huenda asingekuwa hai. "Nilikuwa na ghala la kuhifadhi mahindi na mtama na lilikuwa na mtama gunia moja na nusu limeondoka, banda la kuku limeondoka yaani sina chochote," anasema Kingoma. ** ** **Misaada haitoshi ** Kwa sasa Darlin na Kingoma mategemeo yao ni msaada wa Serikali, lakini ule waliopewa awali kipindi cha mafuriko (Mei mwaka huu) ulitosha kwa mlo mmoja wa siku. Rabii Mbonde, mjumbe wa Kamati ya Maafa, anasema hali hiyo ya uchache wa chakula imesababisha malalamiko kutoka kwa wananchi, wakihisi viongozi wameficha misaada. Mwenyekiti wa Kijiji cha Myumbu, Hamidu Mnola anasema walipokea kilo 100 za unga, maharagwe kilo 400, mablanketi 100, vyandarua 130, ndoo za maji na magodoro sita, ingawa kaya zilizoathirika ni 207. **Elimu na changamoto za mafuriko** Khadija Makalani, mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Myumbu, wilayani Kilwa, anakabiliwa na changamoto ya kuhitimu elimu ya msingi kutokana na ukosefu wa Sh10,000 za kununua sare za shule baada ya alizokuwa akivaa kusombwa na mafuriko. Familia ya mwanafunzi huyo anayeishi na bibi yake Mariam Gumba, ilipoteza mali na kuishi katika hali ngumu. Khadija alikatisha masomo kwa takriban wiki nne tangu sare zake ziliposombwa na maji, na sketi aliyopata kwa msaada ilichanika haraka. **Hali ya familia ya Khadija** Mariam Gumba, bibi wa Khadija, anaeleza jinsi familia yake ya watu saba ilivyopoteza mali nyingi kutokana na mafuriko. Anasema hali hiyo iliwalazimu kulala nje kwa siku tano kabla ya kupata hifadhi kwa muda hadi Oktoba 5 mwaka huu. Hadi sasa, Mariam hajui wapi watakwenda baada ya kumaliza muda huo itakapofika Oktoba kwa kuwa, familia yake inakabiliwa na ugumu wa maisha. Mariam mwenye watoto tisa ambao hawana uwezo wa kumsaidia, anategemea kilimo ambacho pia kimeathiriwa na mafuriko. Mazao yao yote, ikiwamo mpunga na mihogo, yamesombwa na maji, hali hiyo iliyobadili ratiba ya mlo wao kutoka mara mbili kwa siku hadi moja. Hassan Kingoma, jirani aliyewahifadhi Mariam na wajukuu zake, anasema aliwasaidia kuokoa baadhi ya vyombo vyao huku maji yakiwa yamejaa hadi kiunoni. Hata hivyo, athari za mafuriko zimepoteza matumaini ya wakazi hao kupata mazao kutokana na kilimo, kwa kuwa maeneo mengi yameingiliwa na mchanga na hayafai tena kwa uzalishaji. Zubery Utondwe, Ofisa Kilimo wa Kijiji cha Myumbu, anapendekeza Serikali itoe msaada wa mbegu za muda mfupi ili kusaidia wakazi kuotesha mazao na kukabiliana na baa la njaa wanalohisi linalokuja. **Msimamo wa Serikali ** Katibu Tawala wa Wilaya ya Kilwa, Yusuph Mwinyi, anasema wataalamu wa mazingira wamekwenda kutoa ushauri wa aina ya mbegu zinazohitajika. “Serikali imeanza kuleta mbegu, lakini bado wilaya inahitaji msaada zaidi kutoka kwa wadau,”anasema. Mwinyi anasema uongozi wa wilaya unaomba msaada zaidi wa mbegu za maboga, mahindi na kunde kutoka kwa wadau mbalimbali. Katika Wilaya ya Kilwa, mafuriko hayo yameathiri kata 14 na kaya 1,020 zenye wanafamilia 4,080 na kusababisha vifo vya watu watano. Jumla ya nyumba 525 zimeharibika na nyingine 495 zikihitaji kujengwa upya, huku wananchi wengi wakiwa kwenye kambi tofauti za wilaya. Hata hivyo, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Julai mwaka jana ilitabiri uwepo wa mvua za El-Nino kuanzia Oktoba 2023. Mvua hizo kwa mujibu wa TMA, zingesababisha athari katika maeneo mbalimbali nchini, yakiwamo mafuriko na uharibifu wa miundombinu. Baada ya utabiri huo, Oktoba mwaka jana, mvua hizo zilianza kunyesha na athari katika mikoa mbalimbali zilijitokeza. Kilwa, Pwani, Morogoro, Mbeya na Dar es Salaam ni miongoni mwa mikoa mingi iliyokumbwa na athari za mvua hizo. **Kama una maoni kuhusu habari hii, tuandikie ujumbe kupitia WhatsApp: 0765864917. ****Habari hii imedhaminiwa na Bill & Melinda Gates Foundation**
http://www.mwananchi.co.tz/mw/zanzibar/ajali-yaua-wawili-pemba-4783932
# Ajali yaua wawili Pemba ## Muktasari: **Mwalimu, fundi ujenzi wafariki kwa kugongwa na gari** **Pemba.** Watu wawili akiwemo mwalimu wa Shule ya Msingi Finya wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa kutokana na ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Kinazini Wingwi Wilaya ya Micheweni Mkoa wa Kaskazini Pemba. Daktari wa Hospitali ya Micheweni, Hamad Mbwana Shoka ameieleza Mwananchi Digital leo Oktoba 2, 2024 kwamba wamepokea watu saba ambapo kati ya hao, wawili walikuwa wameshafariki dunia. Amewataja waliofariki dunia ni Mohina Egland Nundu (38) mkazi wa Tanga ambaye ni fundi ujenzi katika Skuli ya Simai Micheweni na mwingine Safia Mohamed Yusuf (45) Mwalimu wa skuli ya Finya ambao wote pamoja na majeruhi waligongwa na gari baada ya kukosa mwelekeo barabarani. ‘’Tulipokea watu hao saa 7:00 mchana huku wawili hao wakiwa wamefariki dunia na katika uchunguzi wetu tulibaini waliumia sehemu za kichwani na wengine sehemu za miili yao,” amesema daktari huyo. Kaimu kamanda wa Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba, Mussa Mwakasula amethibitisha kutokea ajali hiyo ya gari ya kampuni ya ujenzi wa barabara IRIS baada ya kuacha njia na kuwafuata watu waliokuwa kando ya barabara wakisubiri usafiri. Amesema Jeshi la Polisi linachunguza chanzo cha ajali hiyo huku akiwataka madereva kufuata sheria za barabarani ili kuepusha ajali zisizo za lazima. ‘’Nikweli watu wawili wamefariki dunia na wengine wamejeruhiwa kwenye ajali hiyo baada ya gari ya Kampuni ya IRIS kuacha njia na kupoteza maisha ya watu hao na wengine kujeruhiwa,’’ amesema. Ofisa Mdhamini Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Pemba, Mohamed Nasor Salum amesema wizara imeguswa na kifo cha mtendaji wao na kueleza kuwa ameacha pengo kubwa kutokana na juhudi alizokuwa nazo katika kuiletea matokeo mazuri skuli hiyo. ‘’Tumeguswa na kifo cha mtendaji wetu Safia Mohamed na fundi wa ujenzi wa skuli hiyo anatokea Tanga, Mwalimu huyo ameacha pengo kubwa kutokana na matokeo mazuri yanayopatikana katika skuli yake," amesema. Ameitaka familia ya marehemu kuwa na subira katika kipindi hichi kigumu cha msiba kwani yote hayo ni mipango ya Mwenyezi Mungu.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/zanzibar/anayedaiwa-kuchukuliwa-na-askari-kwa-mahojiano-akutwa-ameuawa-zanzibar-4783832
# Anayedaiwa kuchukuliwa na askari kwa mahojiano akutwa ameuawa Zanzibar ## Muktasari: **Familia ya Ramadhan anayedaiwa kutekwa, kuuawa kikatili yamlilia Rais Mwinyi. Mama yake asema ana hofu na usalama wake.** “Mwanangu ameuawa, kifo cha kikatili naomba haki itendeke waliofanya hivi wachunguzwe, ni kweli kifo kipo lakini sio cha namna hii…” Hii ni kauli ya Saada Ramadhan Mwendwa mama mzazi wa Ramadhan Idd Shaaban (48) akianza kusimulia jinsi mwanaye alivyochukuliwa na watu waliojitambulisha ni askari wakidai wanakwenda kufanya mahojiano naye lakini aliokotwa akiwa amefariki dunia eneo la Mbuzini Kijichi Unguja. Kwa kipindi cha hivi karibuni matukio ya watu kutekwa, kupigwa, kuumizwa na kuuawa yameshika kasi. Kwa tukio la karibuni zaidi ni lile la Mjumbe wa Sekretarieti ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Ali Kibao ambaye alichukuliwa kwenye gari Septemba 6, 2024 akitoka Dar es Salaam kwenda Tanga na mwili wake uliokotwa Ununio uso wake ukiwa umeharibika kiasi cha kutotambulika. Akisumulia mama huyo huku akitokwa na machozi, Saada ametumia fursa hiyo kumuomba Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi kupitia vyombo vyake vya ulinzi na usalama kuchunguza tukio hilo na waliofanya hivyo wachukuliwe hatua. Akisimulia mkasa huo nyumbani kwake Chumbuni Oktoba 2, 2024 Saada amesema mwanaye alichukuliwa Septemba 24, 2024 saa 12:00 jioni lakini mwili wake uliokotwa kesho yake Septemba 25 ukiwa umeunguzwa, jicho moja limetobolewa na ulimi umetoka nje ambapo uchunguzi wa polisi ulieleza kuwa ameuawa. “Siku hiyo mwanangu alikwenda kutembea jioni eneo la Amani Baa, saa 12:00 za jioni walikuja vijana watano wakamfuata alipokuwa amekaa na kumuita kwa jina wakasema wana shida naye waende nje wakazungumze wakidai wao ni askari na wana RB wanamtafuta,. “Walipanda naye kwenye gari wakamwambia wanampeleka polisi Mwanakwerekwe lakini walipofika walipitiliza. Saada anasema mwanaye alikuwa na rafiki yake ambaye aliongozana naye kwenda kituo cha polisi ila baada ya kupitiliza alipohoji mbona wamepita walimshusha. “Walichokifanya ndio hicho kilichotokea, wamempiga mwanangu wamemuunguza moto kwa shoti za umeme na kumtoboa jicho moja la kulia," amesimulia akieleza kifo cha mwanaye wa kwanza ambaye ameacha mjane na watoto wanne. Anasema usiku wa siku hiyo mke wake Shaaban alipiga simu baada ya kuona mumewe hajarejea lakini kuna mtu alipokea simu hiyo akasema asiwe na wasiwasi bado anahojiwa na askari akimaliza atarejea nyumbani. Baada ya kuambiwa hivyo, alitulia lakini kadri muda ilivyoendelea akawa anaingiwa zaidi na wasiwawasi ndipo alinipigia mimi simu akisema kuna muda alimpigia askari wakasema bado wapo naye lakini mpaka sasa hajarejea. “Baadaye mimi nilipiga simu ikawa haipatikani nikaanza kumtumia meseji, mwanangu upo wapi mbona hujarudi baba, simu haipatikani nikajua ujumbe unaingia kumbe matokeo yake wameshampiga na kumfanyia ukatili huo,” amesema. Amesema walipoamka asubuhi Septemba 25 walienda kutoa taarifa katika vituo vitatu vya polisi. Hata hivyo, amesema anashukuru polisi kwani walionesha jitihada za kupiga simu katika vituo vingi kuulizia iwapo kuna mtu wa namna hiyo lakini majibu yalikuwa hapana. Akiendelea kusimulia, Saada amesema ulipofika mchana alipigiwa simu na mwanawe mkubwa kuwa kuna maiti imeokotwa katika njia ya Mbuzini Kijichi akiwa na vitambulisho na limeonekana kuna jina la Ramadhani Iddi na walipokwenda katika chumba cha kuhifadhia maiti Hospitali ya Mnazi Mmoja wakakuta ni yeye. “Mdomo ulikuwa wazi, jicho limetumbuliwa na mwili wote umechomwa chomwa, ila niliwaambia wanangu tufanye utaratibu kuchukua maiti,” amesema. “Kwa kweli kilichotokea kwa mwanangu naomba sana, serikali yangu ni sikivu ya Zanzibar na inatupenda wananchi wanyonge, kwa hili nataka isikie kilio changu waliofanya ukatili huu aliyefanya ukatili huu wapatikane haki itendeke,” amesema na kuongeza. “Mwanagu kaonewa…, kapata mateso ndani ya nafsi yake, kwasababu unapotiwa moto kila mtu anajua, kama ni kifo kila mtu atakufa lakini sio kwa kifo kile, naomba serikali ichukue hatua haina uonevu watu wote ni watu wake, tumeumia familia hatuna pa kulilia serikai ina mkono mrefu itawapata waliofanya kitendo hiki sheria ni kwa watu wote,” amesisitiza. Saada amesema ameshakuwa na woga hata kwa watoto wake wengine kwasababu hajui kilichofanywa mwanaye kuuawa. “Sasa sijui kama litaishia kwa Ramadhan au mimi mwenyewe au watoto wangu wengine hadi wajukuu zangu wangu kwakweli tunakosa amani.” Mama mdogo wa marehemu, Yunes Kitarao amesema jambo hilo lnawasikitisha na kuwaumiza kwanini auawe kwa ukatili wa namna ile. “Kwanini mtu atekwe, anaambiwa anachukuliwa na askari na wanasema yupo katika mikono salama watamrudisha na kwanini hakurudishwa akiwa mzima, dhamira hiyo imeniumiza sana, mtoto wa dada yangu, sijawahi kusikia amegombana wala kutukana na mtu,” amesema Yunes. Amesema mambo hayo yamekuwa yakitendeka maeneo mengine sasa na Zanzibar yameanza. “Haya yanayotukuta ni makubwa, tunachokiomba hawa watu wakamatwe mbona majambazi yanakamatwa, liwe fundisho, bila kufanya hivyo hili jambo litaendelea hata kama sio kwa familia hii lakini kwa wananchi wengine,” amesema huku akipeleka kilio hicho kwa viongozi wakuu wa nchi. Mjomba wa marehemu ambaye hakutaka jina lake litajwe, amesema kinachowasikitisha zaidi watu hao kujitambulisha wametoka kwenye vikosi na simu ilipopigwa wakajibiwa yupo kwenye mikono salama halafu wakaokota maiti. Akizungumza na Mwananchi kuhusu tukio hilo, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Richard Mchomvu bila kufafanua zaidi amesema wanaendelea na upelelezi wa tukio hilo na ukikamilika zitatolewa taarifa zaidi. “Tukio hilo lipo uchunguzi bado unaendelea, tukikamilisha tutaeleza zaidi,” amesema Mchomvu.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/zanzibar/kwa-nini-zra-imevuka-lengo-la-makusanyo--4783624
# Kwa nini ZRA imevuka lengo la makusanyo ## Muktasari: **Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) imetosa sababu saba kwa nini makusanyo yameongezeka robo ya kwanza yam waka wa fedha 2024/25.** **Unguja.** Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA), imevuka lengo la ukusanyaji mapato kwa kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2024/25, kuimarika na kuongezeka kwa shughuli za kiuchumi kati ya Zanzibar na Tanzania Bara vikitajwa kuwa miongoni mwa sababu. Ongezeko hilo pia limeelezwa kuchangiwa na kuimarishwa mifumo na uhusiano mzuri na walipakodi, ikiwamo kusaidia kurahisisha biashara zao na kuwafikia kusikiliza changamoto na kuzitafutia ufumbuzi. Akizungumza na waandishi wa habari leo Oktoba 2, 2024 ofisini kwake, Kaimu Kamishana wa ZRA, Said Ali Mohamed amesema katika kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2024/25, ilikadiriwa kukusanya Sh194.031 bilioni na zimekusanywa Sh200.934 bilioni ambao ni ufanisi wa asilimia 103.56 wa makusanyo ya mapato yaliyotarajiwa. “Kwa kulinganisha na makusanyo halisi ya robo ya kwanza ya mwaka uliopita wa 2023/2024, yalikuwa Sh161.831 bilioni, ambayo yakilinganishwa na makusanyo halisi ya robo ya kwanza ya mwaka huu wa fedha wa 2024/25, yanaonyesha ukuaji wa makusanyo halisi wa asilimia 24.16,” amesema. Said amesema kwa Septemba 2024, ZRA imezidi lengo kwani ilikadiriwa kukusanya Sh74.049 bilioni na imekusanya Sh76.497 bilioni, ambao ni ufanisi wa asilimia 103.31 wa makusanyo ya mapato yaliyotarajiwa. Makusanyo halisi ya Septemba ya mwaka uliopita wa 2023/24, yalikuwa Sh61.694 bilioni, ambayo yakilinganishwa na makusanyo halisi ya Septemba mwaka huu wa fedha wa 2024/225, yanaonyesha ukuaji wa makusanyo halisi wa asilimia 23.99. Said amesema kuimarika kwa matumizi sahihi ya mifumo katika usimamizi wa kodi, ikiwemo matumizi ya mfumo wa risiti za kielektroniki, mfumo wa ukusanyaji wa mapato wa Zidras sambamba na kuongezeka kwa utoaji wa elimu ya kodi kupitia njia mbalimbali kumechangia ufanisi. Amesema mbinu nyingine inayosaidia kufikia makusanyo ni kuzungumza na wadau wa kodi kwa makundi ambayo wamekuwa wakikutana nayo kisha kuzipatia ufumbuzi kero zinazoibuliwa. Utekelezaji wa marekebisho ya Sheria za Kodi kwa mwaka wa fedha 2024/2025, amesema ni hatua iliyosababisha kuimarika kwa ukusanyaji katika vyanzo vya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), ushuru wa bidhaa, ada za bandari na kodi ya miundombinu. Katika kuimarisha ukusanyaji wa mapato ya kodi kwa robo ya pili ya mwaka wa fedha wa 2024/25 (Oktoba hadi Desemba 2024), ZRA itaendelea kufanya ziara kukutana na walipakodi kusikiliza na kutatua changamoto zao. “Kushirikiana na jumuiya za wafanyabiashara katika kusimamia walipakodi, kuunganisha mifumo yao ya kibiashara na mfumo wa kutolea risiti za kielektroniki (VFMS) ili kurahisisha upatikanaji wa taarifa sahihi za walipakodi,” amesema. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Jumuiya ya Waongoza Watalii Zanzibar (Zato), Hassan Burhan amesema hatua ya kukutana na ZRA kusikiliza kero zao imesaidia watu kuhamasika katika ulipaji kodi. “Mfumo huu umesaidia na utasaidia kwa sababu kuna kero nyingi ambazo zinashughulikiwa kwa hiyo watu wanakuwa wepesi kulipa kodi kwani wanaona mazingira yamekuwa rafiki,” amesema.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/zanzibar/tume-kuandika-wapigakura-wapya-14-878-z-bar-act-wazalendo-watoa-neno-4783370
# Tume kuandika wapigakura wapya 14,878 Z’bar, ACT-Wazalendo watoa neno ## Muktasari: **Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imepanga kutumia siku saba kuanzia Oktoba 7-13, 2024 kuandikisha wapigakura wapya 14,878 visiwani Zanzibar ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa 2025.** **Unguja.** Wakati maboresho ya daftari la mpigakura yakitarajia kuanza Oktoba 7 hadi 13, 2024, wapiga kura wapya 14,878 wanatarajiwa kuandikishwa kisiwani humo ambao watakuwa na fursa ya kupiga kura moja tu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kutokana na shughuli hiyo, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetumia siku tatu kuanzia Septemba 29 hadi leo Jumatano, Oktoba 2, 2024 kutoa mafunzo kwa wadau wa uchaguzi na watendaji ngazi ya mkoa namna bora ya shughuli hiyo itakavyoendeshwa. Katika mafunzo hayo, Mjumbe wa INEC, Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Asina Omari amewataka wasimamizi hao kuzingatia taratibu na miongozo kuhakikisha kila anayestahili kupata fursa hiyo haikosi huku akisema wanatarajia upata ushirikiano kutoka kwa wadau. “Twende tukasimamie sheria taratibu na miongozo ili kila anayestahili kuandikishwa asikose huduma hii,” amesema. Mkurugenzi wa INEC, Ramadhan Kailima amesema kwa kipindi cha siku hizo wanatarajia kuandikisha wapigakura 14,878 ikiwa ni ongezeko la asilimia 18 ya wapiga kura 83,197 waliopo kwenye daftari la wapigakura. “Inatarajiwa baada ya uandikishaji itakuwa na wapiga kura 98,075 watakaopiga kura moja tu ya kumpigia Rais wa Jamhuri wa Mungano wa Tanzania,” amesema. Nao baadhi wadau wa vyama vya siasa wamesema ni kama wameshtukizwa katika hatua hiyo kwani walitakiwa kupewa taarifa muda mrefu kwa ajili ya kuwaandaa wananchi na wafuasi wao. Ofisa Uchaguzi wa ACT Wazalendo, Muhene Rashid amesema taarifa hizo zimekuja kwa muda mfupi hivyo inaweza kuathiri wananchi wasipate taarifa mapema. "Hili jambo lilikuwa limepangwa mapema, ila muda umeshakwenda tunatakiwa tujipange na tuhamasishe wananchi lakini kwakuwa muda umeisha inaweza kuathiri na watu wasihamasike zaidi," amesema. Hata hivyo, Kailima amesema ni vyema wakatumia muda uliopangwa kupitia majukwaa halali kuhamasisha wananchi wajitokeze kwa wingi badala ya kuona kama muda hautoshi. Ofisa mwandikishaji Unguja, Amina Saleh amesema:“Tumepata miongozo na sisi tutahakikisha tunasimamia na kuendesha shughuli hii kama ilivyopangwa na malengo ya serikali yafikiwe.”
http://www.mwananchi.co.tz/mw/zanzibar/rais-samia-ataka-ushirikiano-serikali-sekta-binafsi-kuboresha-huduma-za-afya-4782836
# Rais Samia ataka ushirikiano Serikali, sekta binafsi kuboresha huduma za afya ## Muktasari: **Uhaba wa wafanyakazi wenye ujuzi, upungufu wa vifaatiba na uchakavu kwa baadhi ya miundombinu ni changamoto zinazoikabili sekta ya afya** **Unguja.** Rais Samia Suluhu Hassan amesema licha ya jitihada zinazochukuliwa na Serikali kuboresha huduma za afya kwa wananchi bado kuna changamoto ya utoaji huduma, hivyo ushirikiano wa sekta binafsi utasaidia kuziimarisha. Ametaja changamoto hizo kuwa ni uhaba wa wafanyakazi wenye ujuzi, upungufu wa vifaatiba na uchakavu kwa baadhi ya miundombinu. Rais Samia ametoa kauli hiyo leo Jumanne Oktoba mosi, 2024 kupitia hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla wakati wa ufunguzi wa Kongamano la 11 la Afya Tanzania (THS) lililofanyika Fumba, wilayani Magharibi B, Unguja. Kongamano hilo limewakutanisha wataalamu zaidi ya 1,500. “Ni vyema mkafahamu pamoja na hatua zinazofikiwa bado kuna changamoto katika utoaji wa huduma, hivyo Serikali itaendelea kushirikisha sekta binafsi katika kutoa huduma kwa wananchi ambao ushirikiano huo unakusudia kuimarisha huduma bora za afya nchini,” amesema Rais Samia. Amesema Serikali itaendelea kuboresha elimu kwa wataalamu wa afya kwa kutoa kipaumbele na kuongeza ufadhili kwa mafunzo ya ubingwa na ubingwa bobezi katika taaluma za kimkakati. Kuna umuhimu wa kushirikiana na sekta binafsi katika kutoa huduma bora kwa wananchi. Rais Samia amesema Serikali zote mbili zinaendelea kuimarisha matumizi ya mifumo ya utoaji wa taarifa ili iweze kusomana kutoka kituo kimoja cha afya kwenda kingine katika ngazi zote za utoaji wa huduma kwa lengo la kurahisisha upatikanaji wa taarifa za wagonjwa, zikiwamo vipimo na matibabu. Pia, kutoa fursa ya kupata matibabu zaidi katika maeneo yote ya nchi. “Serikali zote (SMT na SMZ) zinaendelea kuchukua hatua za kuimarisha huduma za kinga, kuwekeza katika miundombinu ya afya kwa kujenga na kukarabati hospitali zote na vituo vya afya ili ziweze kutoa huduma bora na za kisasa kwa wananchi wa pande zote mbili za Muungano,” amesema Rais Samia. Ametoa wito kwa taasisi za Serikali na binafsi kushirikiana na THS kuongeza nguvu ya majadiliano katika sekta ya afya na kuboresha utoaji huduma za afya mijini na vijijini. Awali, akitoa taarifa ya kitaalamu kwa niaba ya bodi ya THS, Dk Grace Magembe amesema imekuwa ni chachu ya kuleta mabadiliko endelevu katika sekta ya afya hasa katika kuhamasisha utoaji huduma kwa mifumo ya kidijitali ili kuendana na wakati. Dk Grace amesema THS imewawezesha vijana kupitia programu ya kuwajengea uwezo kwa kuwapatia mafunzo, kuwaendeleza kitaaluma na kuwaunganisha watumishi wa afya na fursa zilizopo nje ya nchi. “THS ina jukumu kubwa la kuendelea kushirikiana na Wizara ya Afya katika kuboresha na kuimarisha sekta hasa katika eneo la kutoa elimu ya afya kwa jamii,” amesema Dk Grace. Waziri wa Afya, Jenista Mhagama amezikaribisha sekta binafsi kushirikiana na Serikali katika kujenga huduma za kibingwa ili kuifanya Tanzania kuwa kituo cha utalii wa tiba. Amesema bado Serikali inahitaji ushirikiano na sekta binafsi katika maeneo mbalimbali. Kuhusu bima ya afya kwa wote, Jenista amesema Serikali inapokwenda katika utekelezaji, sekta binafsi inapaswa kushirikiana nayo kwa kuhakikisha huduma bora na rahisi zinapatikana. “Pamoja na uwekezaji mkubwa uliofanywa na Serikali lazima kuhakikisha sekta binafsi inaimarishwa ili kulinda usalama wa wananchi,” amesema. Waziri wa Afya Zanzibar, Ahmed Mazrui amesema ubia wa sekta binafsi umekuwa na mafanikio makubwa katika uboreshaji wa miundombinu ya vifaatiba vya kisasa. Amesema hospitali binafsi zimewekeza na kuhakikisha zinatoa huduma bora kwa wananchi. Waziri Mazrui amesema changamoto zilizopo zinaendelea kushughulikiwa hatua kwa hatua hivyo zinazidi kupungua. Amesema wameimarisha vituo vya afya ya msingi 52 na kujenga vipya 96 ili kufikia mwakani huduma za afya ziwe bora zaidi kwa wananchi.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/wananchi-wataja-wanayotarajia-kwa-rais-akihitimisha-mbio-za-mwenge-4782506
# Wananchi wataja wanayotarajia kwa Rais akihitimisha mbio za Mwenge ## Muktasari: **Kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka huu kinatarajiwa kufanyika mkoani Mwanza Oktoba 14 katika Uwanja wa CCM Kirumba** **Mwanza. **Wakati Rais Samia Suluhu Hassan akitarajiwa kuhitimisha mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka 2024 mkoani Mwanza, baadhi ya wananchi wametaja wanayotamani ayazungumzie, kutolea maagizo, ufafanuzi na kuyatatua. Kilele cha mbio hizo mwaka huu kinatarajiwa kufanyika mkoani Mwanza Oktoba 14 katika Uwanja wa CCM Kirumba. Wakizungumza na Mwananchi, baadhi ya wakazi wa jiji wamesema shauku yao ni kusikia Rais Samia akitatua changamoto ya maji, akisisitiza uwajibikaji kwa viongozi na watumishi wa Serikali, ubovu wa miundombinu ya barabara, ugumu wa maisha, suala la ajira, kauli chafu kwa baadhi ya viongozi, mikopo na migogoro ya ardhi. Mkazi wa Isamilo, Dua Nyauko akizungumzia uwajibikaji kwa watumishi na viongozi wa Serikali amedai kuwa, sasa hivi utaratibu wa kuwaona umekuwa mgumu kiasi cha kushindwa kupeleka kero zao. "Kwa mwananchi wa kawaida ukienda kwenye taasisi za Serikali kumuona bosi wa idara ni ngumu mpaka unajiuliza, je sisi hatustahili? Wakati wewe unaambiwa bosi ana vikao ila wengine wanaingia na kuongea naye na kuondoka," amesema. Hata hivyo, Nyauko ametaja changamoto ya ugumu wa maisha kuwa ni moja ya maeneo ambayo wananchi wanashauku ya kusikia Rais akitoa kauli ya matumaini kwa Watanzania. Mkazi wa Kata ya Kiseke, Mary Msisi amesema, "nitakuwepo na natamani kumuona Rais Samia akiwa kama mlezi wetu, atujali sisi wajane kwa kutupatia mikopo ili tuendeleze maisha yetu, pia aboreshe elimu ya shule ya msingi maana watoto wetu wanasoma lakini tunatoa gharama kubwa sana ya michango midogo midogo mfano watoto wa darasa la nne wana michango mingi sana," amesema Mary. Mkazi wa Buhongwa, Stephano Francis amesema anatamani kusikia kauli ya Rais Samia kuhusu changamoto ya uhaba wa maji na ubovu wa miundombinu katika baadhi ya maeneo jijini Mwanza kuwa inatatuliwa. Ester Eliabu amemuomba Rais Samia kushughulikia changamoto ya ukosefu wa ajira nchini na migogoro ya ardhi kwa kuwa imekuwa tatizo kubwa. Awali, akizungumza leo Oktoba mosi 2024 na waandishi wa habari, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda amesema mwenge huo baada ya kupokewa Oktoba 6, utakimbizwa kilomita 627 katika halmashauri nane za mkoa huo na kilele chake kitahitimishwa na Rais Samia. "Mwenge wa uhuru unaingia Mwanza Oktoba 6 mwaka huu, tunatarajia kuupokea katika Kijiji cha Nyamadoke Halmashauri ya Buchosa wilayani Sengerema ukitokea Geita, kwa hiyo kuanzia siku hiyo mpaka Oktoba 13 utakimbizwa katika halmashauri zote nane za mkoa huu," amesema.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/mwanafunzi-mbaroni-akidaiwa-kumjeruhi-mwenzake-na-bisibisi--4782190
# Mwanafunzi mbaroni akidaiwa kumjeruhi mwenzake na bisibisi ## Muktasari: **Chanzo cha tukio hilo inadaiwa kuwa, mtuhumiwa alimwomba mwenzake Amos Obiero amwongezee fedha kwa ajili ya kunyolea baada ya kukataliwa, alimvizia Amos akiwa njiani na kumjeruhi kwa bisibisi.** **Musoma. **Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Tarime Rorya linamshikilia mwanafunzi wa kidato cha nne wa Shule ya Sekondari ya Sirari iliyopo wilayani Tarime, Denis Mwita kwa tuhuma za kumchoma bisibisi ya sikioni mwanafunzi mwenzake wa kidato cha tatu, Amos Obiero (17) na kumsababishia ulemavu wa sikio la kushoto. Uchunguzi wa kitabibu umebaini kuwa bisibisi hiyo iliingilia sikio la kushoto na kutoboa ngoma ya siku hadi kugusa sehemu ya uti wa mgongo kwenye kisogo. Akizungumza na Mwananchi Digital leo Oktoba Mosi, 2024, Kamanda wa Polisi wa mkoa huo, Mark Njera amesema chanzo cha tukio hilo ni mtuhumiwa kumuomba majeruhi amwongeze fedha kwa ajili ya kunyolea, baada ya kukataliwa, mtuhumiwa huyo alimvizia majeruhi akiwa njiani kurudi nyumbani na kumjeruhi na bisibisi. "Huyu Amos hata alipovamiwa na mwenzie hakuwa na wasiwasi kwani wao ni marafiki wa siku nyingi hata wazazi wao pia ni marafiki wakubwa tu, tumemkamata mtuhumiwa leo asubuhi na atafikishwa mahakamani baada ya taratibu kukamilika," amesema Kamanda Njera. Kufuatia tukio hilo mwanafunzi huyo, amepoteza uwezo wa kusikia kwa upande wa sikio lake la kushoto baada ya ngoma ya sikio kutobolewa. Akizungumza leo Oktoba Mosi, 2024, hospitalini hapo mwanafunzi huyo mkazi wa Kijiji cha Kanisani wilayani Tarime, amesema Septemba 29, 2024 jioni akiwa saluni ananyoa rafiki yake aitwaye Denis Mwita alifika saluni hapo na kumuomba amuongezee Sh100 ili anyoe, kwani alikuwa na Sh400 tu. "Nilimwambia sina hiyo hela akaanza kunitania eti nanuka mdomo na mimi nikamtania ananuka jasho sikujua kama amekasirika nilipomaliza kunyoa nikaondoka akanifuata kwa nyuma, kisha kunipiga ngumi na kunichoma na kitu sikioni,” amesema. Akieleza chanzo cha tukio hilo, mama wa mwanafunzi huyo, Eufracia Obiero amedai ni kutokana na deni la Sh350, 000 ambalo mwanaye anamdai mtuhumiwa huyo. Amesema mwanaye alimpa mtuhumiwa huyo fedha hizo ili amuagizie kompyuta mpakato (laptop) kutoka Mwanza, lakini hakuileta wala kurejesha fedha. Amesema kutokana na deni hilo, mwanaye aliamua kumshtaki mwenzie kituo cha Polisi Sirari, ambapo askari wa kituo hicho waliwaita wazazi wa pande zote kwa ajili ya hatua zaidi. "Waliona hawa ni watoto ikabidi watushirikishe wazazi na tulipofika pale kwa vile hawa watoto ni marafiki wa siku nyingi sisi wazazi tuliamua kesi hiyo tutaimaliza wenyewe, ambapo wazazi wa Denis waliahidi kulipa pesa hizo. "Nadhani ni Agosti, baada ya mwanangu kuona halipwi pesa zake wala kupewa alichoagiza na makubaliano ya wazazi hayatimizwi, ndipo alipoamua kwenda Polisi," amesema. Baba wa mwanafunzi huyo, Paskali Obiero amesema siku ya tukio akiwa anaangalia mpira alipigiwa simu na mke wake ambaye pia hakuwepo nyumbani kwa muda huo, akimtaarifu juu ya kijana wao kujeruhiwa. Amesema baada ya kupokea taarifa hizo alikwenda nyumbani na kumuwahisha kijana wake katika kituo cha afya binafsi kilichopo Sirari, ambapo hata hivyo aliambiwa hakina uwezo wa kumtibu na kutakiwa kumpeleka katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime kwa matibabu zaidi na ya haraka. "Ilikuwa saa 2 usiku ikabidi tupitie kituo cha Polisi kuchukua PF3 baada ya hapo tukaenda moja kwa moja Tarime ambapo baada ya kupokelewa walisema inabidi mgonjwa apewe rufaa kuja hospitali ya mkoa na tuliondoka usiku huohuo kuja hapa,” amesema. Daktari bingwa wa upasuaji katika Hospitali ya Rufaa ya Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Dk Lesso Mwinyimkuu amesema mgonjwa huyo alipokelea hospitalini hapo saa 7 usiku wa kuamkia jana. "Baada ya kumpokea tulimfanyia uchunguzi ikiwa ni pamoja na kumfanyia vipimo vya CT – Scan, lakini bahati nzuri pamoja na kujeruhiwa vibaya, lakini bado alikuwa na uwezo wa kutembea na mikono yake pia ilikuwa inafanya kazi. Amesema baada ya uchunguzi walibaini kuwa bisibisi hiyo imeingilia sikio la kushoto na kutoboa ngoma ya siku hadi kugusa sehemu ya uti wa mgongo kwenye kisogo. "Alifika hapa akiwa bado ana bisibisi ambayo iliingia kama inchi saba hivi na tulifanikiwa kuitoa vizuri baada ya kumfanyia upasuaji na sasa anaendelea vizuri ingawa awali alivuja damu nyingi, lakini tulifanikiwa kuzuia damu isitoke zaidi na sasa anaendelea vizuri," amesema Dk Mwinyimkuu. Amesema kutokana na majeraha aliyoyapata mwanafunzi huyo amepoteza uwezo wa kusikia kwa sikio lake la kushoto na ili lisikie tena atahitajika kufanyiwa upasuaji mara ya pili, ambapo upasuaji huo unaweza kufanyika baada ya kupona kabisa majeraha ya sasa.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/wawili-wafariki-dunia-ziwa-victoria-wakitokea-kwa-mganga-wa-kienyeji-4782126
# Wawili wafariki dunia Ziwa Victoria wakitokea kwa mganga wa kienyeji ## Muktasari: **Chanzo cha ajali hiyo ni mtumbwi kupigwa na dhoruba kisha kushindwa kuhimili mawimbi hayo na kuzama.** **Musoma**. Watu wawili wamefariki dunia baada ya mtumbwi waliokuwa wakisafiria kuzama kwenye Ziwa Victoria katika Kijiji cha Burere wilayani Rorya Mkoa wa Mara, huku wengine wawili wakiokolewa. Tukio hilo limetokea Septemba 29, 2024 saa 11 jioni watu hao wakiwa wanatoka katika Kijiji cha Busanga walikokuwa wamekwenda kutibiwa kwa mganga wa kienyeji wakielekea kijiji cha Busimbiti wilayani Rorya. Akizungumzia tukio hilo jana Jumatatu Septemba 30, 2024 mjini Musoma, Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mara, Agostino Magere amesema baada ya mtumbwi huo kuzama watu wawili waliokolewa hai muda mfupi baada ya tukio, huku miili ya watu wawili ikiopolewa leo Oktoba Mosi, 2024 Amewataja waliofariki katika tukio hilo kuwa ni Neema Maswi (18) mkazi wa Kijiji cha Baraki na Arena Akeng'o (41) mkazi wa Kijiji cha Busanga wilayani Rorya. "Katika ajali hiyo ambayo chanzo chake ni mtumbwi kupigwa na dhoruba kisha kushindwa kuhimili na kuzama waliokolewa wanaume wawili ambao ni Majeshi Mariba (40) na Wandiba Kisare (45) wote wakazi wa Kijiji cha Burere wilayani Rorya," amesema Hata hivyo, amesema mtumbwi huo uliotumiwa na watu hao kusafiria haukuwa kwa ajili ya kusafirisha abiria, bali ni kwa shughuli za uvuvi. Tukio hilo limetokea ikiwa ni siku 14 tangu kuzama kwa mtumbwi mwingine katika Kijiji cha Igundu wilayani Bunda na kusababisha vifo vya watu sita, huku 14 wakiokolewa. Baadhi ya wakazi wa Manispaa ya Musoma wamesema ipo haja ya mamlaka husika kuchukua hatua za haraka kuwanusuru watu wanaotumia usafiri wa majini hasa ndani ya Ziwa Victoria, kwa madai kuwa hatua zisipochukuliwa mapema kuna uwezekano wa watu wengi zaidi kuendelea kupoteza maisha. "Majuzi tu hapa walisema mtumbwi umeua watu huko Bunda na mtumbwi huo ulikuwa ni kwa ajili ya shughuli za uvuvi leo pia mtumbwi wa uvuvi umeua watu, hii inaonyesha kuwa huko ziwani taratibu hazifuatwi," amesema Yohana Jumanne. Jumanne amesema mamlaka zinazohusika zikitimiza wajibu wao wamiliki wa vyombo vya usafiri ndani ya Ziwa Victoria hasa maeneo ya vijijini watafanya shughuli zao kwa kuzingatia sheria, taratibu na kanuni za usalama wa usafiri majini. Naye Loyce Manjebe amesema, "Ukiangalia matukio yote yamesababishwa na vyanzo vya kufanana, hapa ina maana kuna sehemu pana tatizo, wahusika wawajibike kabla hali haijawa mbaya na yawezekana wengi wanakufa katika mazingira ya hivyo ila taarifa hazitolewi.” Tukio hili limetokea ikiwa ni siku nne tu tangu kuhitimishwa kwa maadhimisho ya siku ya usalama wa usafiri majini ambapo kitaifa yalifanyika katika Manispaa ya Musoma mkoani Mara. Katika tukio jingine mtu mmoja ambaye jina lake halijapatikana amenusurika kufariki dunia baada ya kuzama ndani ya Ziwa Victoria katika Manispaa ya Musoma. Mtu huyo anayedaiwa kuwa ni bodaboda inadaiwa alizama baada kushindwa kumudu pikipiki aliyokuwa akiendesha hali iliyosababisha kupaishwa na kurushwa ndani ya ziwa mita chache kutoka katika barabara ya Nyerere. "Alikuwa anaendesha kutokea Nyakato sasa alipofika hapa akiwa anataka kukata kona pikipiki ikamshinda ikanyooka moja kwa moja kuelekea ziwani kabla ya kupaa na kutumbukia ndani ya ziwa," amesema Omari Ramadhani shuhuda wa tukio hilo. Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mara, Agostino Magere amethibitisha tukio hilo, akisema mtu huyo ameokolewa akiwa amepoteza fahamu hivyo amewahishwa hospitalini kwa matibabu.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/miili-zaidi-yaopolewa-ziwa-victoria-ajali-ya-kuzama-mtumbwi-4779178
# Miili zaidi yaopolewa Ziwa Victoria ajali ya kuzama mtumbwi ## Muktasari: **Mtumbwi huo ulizama Septemba 25, 2024 ukiwa umebeba abiria wanaodaiwa kufikia 31.** **Mwanza**. Miili mingine minane imeopolewa Ziwa Victoria baada ya mtumbwi wa mizigo uliobeba abiria wanaodaiwa kufikia 31 kuzama Septemba 25, 2024. Awali, Jeshi la Polisi lilisema lilikuwa likiendelea kutafuta mwili mmoja lakini imeopolewa minane, hivyo kuacha maswali kuhusu idadi ya waliokuwa kwenye mtumbwi huo. Ajali hiyo ilitokea saa 11.00 jioni katika mwalo wa Bwiru wilayani Ilemela ikihusisha mtumbwi wenye namba za usajili TMZ 012212 (Mv Sea Falcon) unaomilikiwa na Amon Rutabanzibwa uliokuwa ukitokea mwalo wa Kirumba kwenda Kisiwa cha Goziba kilichopo Wilaya ya Muleba, Mkoa wa Kagera. Ajali ilitokea baada ya mtumbwi huo kugonga mwamba, hivyo ulipinduka na kuzama. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa akitoa taarifa ya hali ya uokoaji amesema jana Septemba 27, saa 12.00 jioni mwili mmoja uliopolewa na leo Septemba 28, imeopolewa saba. Jumla ya miili iliyoopolewa imefikia tisa. Amesema kazi ya uopoaji imefanywa na Jeshi la Polisi kwa kushirikiana na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji na wananchi wilayani Ilemela. "Tulitoa taarifa kwamba watu 29 waliokolewa huku mtu mmoja akifariki dunia lakini tuliwapa orodha ya waathirika ambao walikuwa wanatibiwa hospitalini ambao hali zao zinaendelea vizuri na tayari wameruhusiwa," amesema. Akijibu swali kuhusu idadi ya abiria waliokuwamo kwenye mtumbwi, Kamanda Mutafungwa amesema ni dhahiri walikuwa zaidi ya 31 kama walivyoelezwa na nahodha wa mtumbwi huo na abiria waliokuwamo. Mutafungwa amesema miili minne imetambuliwa na kwamba uongozi wa Mkoa wa Mwanza umetoa majeneza, fedha na usafiri kwa ajili ya mazishi. Ametoa wito kwa wananchi kufika katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mwanza ya Sekou Toure kutambua miili. Ametaja miili iliyotambuliwa kuwa ni ya Furaha Bundele (17), mkazi wa Luhemeja Sengerema, Kelvin Salvatory (20), mkazi wa Migombani Sengerema, Rashid Juma (33) mvuvi mkazi wa Kirumba, na Benene Boaz (57) mvuvi mkazi wa Buhongwa. Amesema miili iliyotambuliwa imechukuliwa na ndugu kwa ajili ya maziko. Mkazi wa Bwiru, Clement Masonyi ameiomba Serikali kuwapatia boti kwa ajili ya abiria katika Ziwa Victoria ili kupunguza ajali.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/siasa
### Fahamu vyama vilivyotoa marais Marekani nje ya Republican, Democrats Marekani inatarajia kufanya uchaguzi mkuu Novemba 5, mwaka huu huku kampeni za uchaguzi zikitawaliwa na vyama viwili vya Republican na Democrats, ambavyo ndivyo vimetoa marais wengi nchini humo...
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/siasa/fahamu-vyama-vilivyotoa-marais-marekani-nje-ya-republican-democrats-4783106
# Fahamu vyama vilivyotoa marais Marekani nje ya Republican, Democrats Katika kipindi hicho, Marekani imetawaliwa na marais wa aina tofauti, ambao walipatikana kupitia sanduku la kura na kuliongoza taifa hilo na kulijenga hadi kuwa taifa lenye nguvu duniani kiuchumi, kijeshi na kiteknolojia. Tangu mwaka 1789 alipoapishwa Rais wa kwanza, Marekani imeongozwa na marais 45, lakini inatambulika kwamba kumekuwa na marais 46, kwa sababu Rais Grover Cleveland alihudumu mihula miwili isiyofuatana, hivyo anahesabiwa mara mbili, kama Rais wa 22 na 24. Marais wanne walifariki kawaida wakiwa mamlakani, ambao ni William Henry Harrison, Zachary Taylor, Warren G. Harding, na Franklin D. Roosevelt. Rais mmoja alijiuzulu, huyu ni Richard Nixon. Vilevile, marais wanne waliuawa wakiwa madarakani, hawa ni Abraham Lincoln, James Garfield, William McKinley na John F. Kennedy). Rais wa kwanza wa Marekani alikuwa George Washington, aliyeapishwa mwaka 1789 baada ya kupigiwa kura na wajumbe wote katika kongamano. William Harrison alihudumu kwa muda mfupi wa siku 31 pekee, mwaka 1841 na Franklin Roosevelt ndiye Rais aliyehudumu kwa muda mrefu zaidi kuliko wote, miaka 12. Rais wa sasa ni Joe Biden, aliyeapishwa Januari 20, 2021. Yeye ameamua kujiondoa kwenye kinyang’anyiro cha uchaguzi akiwa ameongoza kwa muhula mmoja wa miaka minne, sasa mchuano mkali upo kati ya Rais wa 45, Donald Trump (Republican) na Kamala Harris (Democrats). Katika uhai wa takribani karne mbili na nusu wa Taifa la Marekani, siasa za nchi hiyo zimetawaliwa na vyama viwili vya Democrats na Republican ambavyo ndiyo vimetoa marais wengi ambapo Republican kimekuwa na marais 19 wakati Democrats kikiwa na marais 17. Hata hivyo, walikuwepo marais wengine ambao hawakutokana na vyama hivyo, bali walitokana na vyama vingine ambavyo kwa sasa havipo tena kwenye siasa nchini humo kutokana na ukubwa wa vyama hivyo viwili ambavyo vimekuwa vikibadilishana. **Rais asiye na chama** Rais pekee wa Marekani ambaye hakutokana na chama cha siasa nchini Marekani alikuwa George Washington, mwasisi wa taifa hilo na Rais wa kwanza wa nchi hiyo aliyeongoza kati ya 1789 – 1797. Baada ya kuondoka kwake madarakani, Washington hakujiunga na chama chochote cha siasa kati ya vile vilivyokuwa vimeanzishwa, bali aliendelea na shughuli zake binafsi huku akiunga mkono mipango na sera za vyama zilizomvutia. Washington alifariki miaka miwili baada ya kuondoka madarakani ambapo inasemekana kwamba katika wosia wake, alielekeza kwamba akifariki dunia, watumwa wake, takribani 390 wapewe uhuru. **Federalist** Chama cha Federalist ndiyo cha kwanza cha siasa nchini Marekani na kilimtoa Rais wa pili taifa la Marekani, John Adams ambaye aliongoza kati ya mwaka 1798 – 1801. Chama kilianzishwa kati ya 1789 na 1790 kama muungano wa kitaifa wa mabenki na wafanyabiashara katika kuunga mkono sera za fedha za Alexander Hamilton. Walifanya kazi katika kila jimbo ili kujenga chama kilichopangwa kilichojitolea kuunda serikali itakayozingatia masuala ya kifedha na ya kitaifa. Rais pekee wa chama hiki alikuwa John Adams. George Washington aliunga mkono mipango ya Federalist, lakini alibaki kutofungamana na chama chochote wakati wa urais wake wote. Chama cha Federalist kiliongoza serikali ya kitaifa hadi mwaka 1801 ilipozidiwa nguvu na chama cha upinzani cha Democratic-Republican kilichoongozwa na Rais Thomas Jefferson. **Chama cha Whig** Chama cha Whig kilikuwa chama cha kisiasa katikati ya karne ya 19 nchini Marekani. Sambamba na ya chama cha Democrats, kilikuwa mojawapo ya vyama viwili vikuu kati ya mwishoni mwa miaka ya 1830 na mwanzoni mwa miaka ya 1850. Marais wanne waliotokana na chama cha Whig ni pamoja na William Harrison (1841), John Tyler (1841 - 1845), Zachary Taylor (1849 - 1850) na Millard Fillmore (1850 - 1853). Watu wengine mashuhuri kwenye chama hicho ni Henry Clay, Daniel Webster, Rufus Choate, William Seward, John Crittenden na John Adams. Chama cha Whig kilikuwa kinapata uungwaji mkono kutoka kwa wafanyabiashara, wataalamu, Waprotestanti (hasa wainjilisti) na tabaka la kati la mijini. Hakikupata uungwaji mkono mkubwa kutoka kwa wakulima maskini na wafanyakazi wasio na ujuzi. **Republican (Jeffersonian)** Rais wa tatu wa Marekani, Thomas Jefferson aliingia madarakani mwaka 1801 – 1809 kupitia chama cha Republican kilichokuwa na mtazamo tofauti (Jeffersonian), tofauti na chama cha Republican cha sasa. Alikuwa mwandishi wa Katiba ya Marekani na aliyetumia nadharia ya mwanafalsafa John Locke ya “Mkataba wa Jamii” na kupanga hoja za kupinga Marekani kuendelea kuwa kwenye mfumo wa utawala wa kifalme chini ya Uingereza. Mbali na Jefferson mwenyewe, marais wengine walioongoza kwa sera za Jefferson ni pamoja na James Madison (1809 - 1817), James Monroe (1817 – 1825). Baada ya Monroe, John Quincy Adams aliingia madaraka na kuongoza kati ya 1825 – 1829 kupitia chama cha National Republican.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/siasa/tambo-za-fyatu-mfyatuzi-kwa-watekaji-4783110
# Tambo za Fyatu Mfyatuzi kwa watekaji Nikiwa kwenye basi naelekea zangu home, si zikaja njemba saba hivi zikiwa na defender uchwara yenye nambari fiche. Bila hili wala lile, si zikaniamuru nishuke ziniteke. Weee! Nilijiinua kwenye siti na kupiga samasoti za ki-Bruce Lee na kupaa hewani usiambiwe. Bila kufanya ajizi, nilichomoa pingu zangu na kusema “mnarekodiwa na kurushwa mtandaoni live.” Kabla ya kutafakari, nilikunja ngumi na kujiweka tayari kana kwamba niko kwenye goju ryu session. Nilifanya Banguazhang, Choy Li Fut, Hua Quan, Wudang, Wing Chun, na mitindo kama ishirini hivi kwa kasi ya umeme. Njemba hazikuamini macho yao. Kuona na kusikia hivi, njemba zilianza kuonyesha kugwaya waziwazi, huku zikitazamana na kuishiwa maneno zisiamini kuwa mie ni fyatu asiyefanyiwa masihara hata na siafu. Nami bila kungoja, nilipiga tena samasoti na kusimama yowe tayari kufanya maangamizi. Nilisema ‘hatekwi fyatu hapa. Mie ni bwanga la mjini kwa Kisambaa’. Kabla ya kuendelea, nilitoa cha moto na kuweka kidole kwenye usalama tayari kufanya maangamizi, maana siku hizi tunaruhusiwa kuwa nacho. Sikupindisha maneno. Nilisema “nikienda home nitaangalia sura zenu halafu nami na mafyatu tuwatafute tuwateke na kuwapeleka kwenye runinga ya mafyatu ili mafyatu wote wawaone.” Nilipiga tena samasoti, kutunisha misuli huku nikinguruma kama chui alindaye vichanga vyake, na kuzoza “tuheshimiane. Mjue tutawanyaka na kuwataabisha kabla ya kuwapoteza. Tutawateka bila kuwapoteza kabla hamjatwambia nani aliwatuma na kwa nini mlitaka kunifyatua msijue mie ndo mwenyewe Fyatu Mfyatuzi aliyefyatuka na afyatuaye bila kuogopa lolote wala chochote.” Njemba kuona na kusikia hivyo, zilitoka harakaharaka na kuingia kwenye defender yenye namba za kutia shaka na kutokomea. Mafyatu waliokuwapo walianza kuzoza kuwa huyu si bure. Ima ni mwenzao au ni komandoo. Mie nilichuna. Kwa taarifa ya watekaji, mimi natembea na kamera fiche inayorekodi kila ninapokwenda isipokuwa nikichepuka, huwa naizima ili bi mkubwa asinifyatue. Kutekana, kwangu, ni mambo ya kizamani na kinyama. Ni ushamba na ukumbaff ambao sasa nimeamua kuukomesha haraka ili tuishi kwa amani na ustawi. Hivyo, nashauri mafyatu wote, kuanzia leo, wajichue kwenye madojo ili wawe fit kupambana na watekaji na ikibidi nao wawateke ili waonje joto ya jiwe ka jusi. Pia, nawashauri mafyatu wote kuanza kutembea na kamera fiche ili kuwafichua hawa watekaji waliojificha. Pia, nina mpango wa kuiomba sirkal ituruhusu njemba zilizomanya makung Fu na magujulyo kama sisi kumiliki na kutembea na pingu ili tuisaidie kuondoa aibu na kadhia hii ya kishamba. Kama nyie mnateka mafyatu wasio na hatia si muende mukawateke mafisadi. Kumbaff zetu kubwa. Unapomteka fyatu na kumnyotoa roho, unaumiza familia yake na jamii. Unamnyotoa mlipakodi na mpikakura ya kula ya wanene. Mnataka wanene wasichaguliwe na kunenepa siyo? Mshindwe na mlegee. Nawachukieni sana nyie wanahizaya. Mnafanya mafyatu wachukie ndata na sirkal bure tokana na ujuha wenu. Sisi ni mafyatu wa amani hata kama ni ya imani. Hatutaki utekaji. Sasa nawaamba msikie na muelewe. Nasi waathirika tutaanza kuwateka ili mjue raha ya kutekana ilivyo. Haiwezekani njemba kama mimi niliyesomea Uchinani na Ujepu mambo ya karate, Kung Fu na madude mengine ya kutisha ninyamaze wakati mafyatu wangu wanateketea kwa kutekwa na kunyotolewa roho. Si utani wala mkwara. Nitakula nanyi chungu kimoja tuone. Mkizidi kujito akili, najitoa ufahamu. Hatuwezi kugeuka kaya ya watekaji utadhani wote woga. Ili kuepuka kuwateka bi mkubwa na vitegemezi vyangu, kuanzia juzi, nimeanza kuwafundisha madude yangu ili nao wasaidie kupambana na kansa hii ya kishenzi. Shenzi kabisa na mkome na kukomaa kabla hamjakomolewa na hao mnaodhani na nyanya kuteka na kupoteza. Nasema, tena kwa herufi kubwa. Hatekwi fyatu hapa. Ukiteka tunateka, ukipoteza tunapoteza ili tuone. Kama mbaya mbaya. Loh! Mna habari mie ndiye nilikomesha komando yoso na panyaroad? Kama hamjui, mtajua hamjui. Dawa ya fire ni fire au siyo? Sasa msiseme sikusema. Nasema tena kwa kujimwambafy. Ukija kuniteka, jua nitakuteka kabla hujaniteka. Ukija kunipoteza, utapotea na kupotezwa ukijiona. Nataka nianzishe chuo cha makarate na makung fu ili nitoe mafunzo bure ili kuhami na kulinda mafyatu wangu. Hawakunichagua niwe mzigo kwao. Nitawakomboa liwalo na liwe. Hivyo, natangaza hadharani, kuanzia leo, watekaji wajue. Ukija kuniteka, nakuteka. Ukija kunipoteza, nakupoteza. Ukija kunifanya kitu mbaya, nakufanyia mara mia. Mie sina mchezo wala utani na maisha. Kwanza, tunaishi mara moja. Pili, msidhani wote ni wachovu wa kutenza kichovu na kijinga. Kwa wasionijua. Mie ni komandoo aliyesomea vyuo vyote vya kikomandoo duniani. Nina mikanda kama sabini hivi ya Karate na Kung Fu. Na kuanzia leo, mjue, nina cha moto, pingu, vitoa machozi, pilipili washa, na zana nyingine ambazo ni top secret. Cha mno, mjue nawajua watekaji na mafyatu wasiojulikana. Nitawaambia mafyatu nyinyi ni nani pale nitakapowateka kabla ya kuwapoteza. Ngoja. Hii defender inataka nini? Ngoja nitoke nduki wasije wakaniteka nikawateka na kuwapoteza bure. Tuonane wiki ijayo jamanini.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/siasa/viongozi-wajifunze-kuchunga-midomo-yao-4783108
# Viongozi wajifunze kuchunga midomo yao Huku maofisini tuna watu wa kila aina. Wapo wenye makuzi ya kimjinimjini na wanaoyaishi mafunzo ya wazazi wao toka kijijini. Kuna wahuni, wastaarabu, wenye hasira na wapole. Pia, tunao wachapakazi, wavivu, wakweli na wenye husda. Mtu huonekana vizuri jinsi alivyo anapochanganya tabia zilizo kwenye makundi hayo kutegemeana na mtu alipotoka, elimu yake, uzoefu wa kazi na tabia yake kiujumla. Kwa mfano utampenda yule mchapakazi na mkweli. Kwa bahati mbaya tunao waliokimbia umande halafu wasio wakweli, na usiombe wachanganye na uvivu. Ni rahisi kwao kuanzisha migogoro na taharuki kazini, hujifanya kujua na kuweza kila jambo. Hawaheshimu wakubwa wala sheria za kazi. Uvivu wao huwashurutisha kuiga ubosi, na mara nyingi wanapofanya makosa na kuadhibiwa huleta jeuri na ubabe. Wana mazoea ya kuwasema mabosi wao: “Nimempokea mwenyewe hapa akiwa hana lolote!” Hata kama ni kweli alimsaidia kufika hapo, jambo hilo lina maana gani kwenye timu inayofanya kazi pamoja? Tangu lini kidole kimoja kikajitegemea kuvunja chawa. Chukua mfano wa timu ya Taifa iliyopata ushindi; je, mlinda mlango atajigamba kuwa bila yeye wasingeshinda? Kadhalika mlinzi, kiungo na mshambuliaji gani anayeweza kusema hivyo? Kama ndivyo, kwa nini asicheze peke yake? Serikali ni taasisi kiongozi ndani ya jamii. Ni dola yenye mamlaka ya kutawala na kufanya maazimio kwa wote. Inatunza na kutekeleza sheria, kanuni na miongozo na kuendesha shughuli muhimu za umma. Hivyo ni chombo kinachostahili kuheshimiwa na wote kutoka katika kila kundi la kijamii. Hii ni kwa sababu shabaha kuu ya serikali ni kutunza amani na usalama wa raia wote katika jamii. Vilevile, ni timu inayoundwa kutokana na kiongozi mmoja mmoja na makundi yanayotoka kwenye jamii. Wote wanapaswa kufanya kazi pamoja kulingana na kanuni zilizowekwa kama kuheshimu wasemaji wa Serikali badala ya kila mmoja kujisemea anavyotaka, na kuwa wanyenyekevu kwa wananchi, maana hao ndio wanaowaweka hapo. Inapotokea mmoja wao akakengeuka huivuruga Serikali nzima. Ule usemi wa “Samaki mmoja akioza…” unaihusu sana Serikali hii. Hivi sasa tabia za ajabu zimezuka na kuchukua nafasi kwenye chama tawala na Serikali yetu. Viongozi wamekuwa wakiwakejeli viongozi wenzao hadharani, na kuropoka hisia zao kwa kisingizia Serikali. Kiongozi anadiriki kubwata mbele ya kadamnasi kuwa kiongozi mwenzake asingekuwapo bila msaada wake. Kuna mmoja amediriki kusema ati madiwani na wabunge hawakuwa na ulazima wa kufanya kampeni, kwani walitengenezewa nafasi na Serikali. Huku mtaani kwetu, walikuwapo wazee wa mjini waliokosa elimu, lakini waliojawa na tambo za kuwajua matajiri wote tangu wakiwa makapuku. Wanadai kuwa na uswahiba na watu wote maarufu, lakini pia viongozi wote wa juu wa Serikali tangu awamu ya kwanza tangu wakiwa chekechea. Wanasema viongozi hawakohoi mbele zao kwani wanazo siri zote. Hii ni kefule mbaya sana inayorithiwa na vizazi, ndiyo maana tunayaona haya yakijitokeza leo. Mimi sijawahi kuwa kiongozi hata wa darasa. Lakini nahisi hata kwenye uongozi kuna makundi kama yale niliyoyataja pale mwanzoni, hasa ya nongwa na husda, uvivu na uongo. Badala ya kuwekeza kwenye ubunifu wa mambo yatakayoleta tija kwa wananchi, viongozi wanakalia kuchokonoa wenzao. Viongozi wasio na sera wala maono yenye kuleta tija, bali wanaoendekeza ubabe kwenye masuala ya kisera. Hivi karibuni kumejitokeza sintofahamu kwa wananchi kuhusiana na haki zao kidemokrasia. Hayo ni baada ya kauli za makada wa CCM ambao baadhi yao ni viongozi wakubwa Serikalini kudai kwamba hakuna muujiza unaoweza kuwang’oa madarakani. Wamekwenda mbali zaidi kwa kusema kuwa hawana haja ya kutegemea masanduku ya kura, wananchi wapige kura au wasipige kwao siyo ishu, kwani wamejiandaa kwa ushindi hata wa kutokana na “magoli ya mikono”. Kauli hizi zimekuwa zikiwavunja mioyo vijana wengi wenye nia ya kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu na Uchaguzi Mkuu hapo mwakani. Vijana wanafifishwa mioyo kiasi cha kuondoa imani juu ya Serikali yao. Hawana nguvu tena kusimamia haki yao ya kuchagua na kuchaguliwa iliyopo kikatiba, na sasa wimbo wa “uwike usiwike kutakucha” unajirudia masikioni mwao. Kitendo cha Serikali kuhusishwa kwa upande fulani kwenye mizozo ya vyama vya siasa ni kosa na aibu kubwa. Ni ukiukwaji wa viapo vya uaminifu vilivyoshuhudiwa na Katiba na misahafu ya dini kulingana na imani ya kiongozi, hivyo ni kumkosea Mwenyezi Mungu waziwazi. Hivyo mtu yeyote anayetangaza kuwa Serikali ilimkingia kifua kwenye uchaguzi anafanya makosa makubwa zaidi ya uhaini. Hili si jambo jipya kutokea hapa nchini. Tangu tulipokuwa kwenye awamu za awali za Serikali, viongozi kadhaa wameshawahi kuchukuliwa hatua kwa vitendo vya aina hiyo. Lakini kwa vile linajirudia, Serikali haina budi kuangalia njia bora zaidi katika uteuzi wa viongozi, huku wanaohusika wakiwajibishwa hadharani. Vinginevyo tutaendelea kutenda dhambi ya kuurithisha uchafu huu kwa vizazi vinavyokuja. Kila mgombea alikuja kuomba ridhaa mbele ya wananchi akiwa mguu sawa, mikono nyuma na kichwa chini.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/siasa/jaji-warioba-alivyotofautiana-na-sokoine-agizo-la-nyerere-4781434
# Jaji Warioba alivyotofautiana na Sokoine agizo la Nyerere ## Muktasari: **Agizo hilo lilihusu Sheria ya Uhujumu Uchumi iliyokuwa na vipengele vilivyokiuka haki za binadamu, alishauri viondolewe, lakini havikuondolewa.** **Dar es Salaam**. Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba amesimulia mambo aliyoyasimamia pasina kuyumba, ikiwemo la kukataa kutekeleza agizo la mkuu wa nchi, Mwalimu Julius Nyerere. Mambo hayo yalitokea wakati Warioba akiwa Waziri wa Sheria na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Waziri Mkuu akiwa Edward Sokoine. Nyerere alikuwa Rais. Ni simulizi aliyoitoa leo Jumatatu, Septemba 30, 2024 jijini Dar es Salaam katika uzinduzi wa kitabu cha Edward Moringe Sokoine (Maisha na Uongozi Wake), hafla iliyohudhuliwa na viongozi mbalimbali, akiwemo Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan. Sokoine alikuwa Waziri Mkuu wa tatu wa Tanzania. Alikuwa Waziri Mkuu mara mbili, tangu Februari 13, 1977 hadi Novemba 7, 1980 na mara ya pili kuanzia Februari 24, 1983 hadi Aprili 12, 1984 alipofariki dunia kwa ajali ya gari. Ajali hiyo ya gari ilitokea eneo la Wami-Dakawa, Wilaya ya Mvomero, Mkoa wa Morogoro akiwa njiani kurejea jijini Dar es Salaam akitokea mjini Dodoma alikokuwa akishiriki vikao vya Bunge. Katika maelezo yake, Jaji Warioba amesema agizo hilo lilihusu Sheria ya Uhujumu Uchumi iliyokuwa na vipengele vilivyokiuka haki za binadamu na alishauri viondolewe, lakini havikuondolewa. Vipengele hivyo ni pamoja na kesi kusikilizwa kwa siri, watu kunyimwa dhamana, matumizi ya ushahidi wa kusikia na kuwa na mahakama maalum za ufisadi. Jaji Warioba amesema mara baada ya Sokoine kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu kwa mara ya pili mwaka 1983, alisimamia uanzishwaji wa sheria hiyo. "Alisema kesi za uhujumu uchumi zisikilizwe katika mahakama maalumu, halafu ushahidi wa kusikia uchukuliwe, kesi zisikilizwe faragha na kusiwe na dhamana," amesema. Hata hivyo, Jaji Warioba amesema alipinga sheria hiyo, akisema inakiuka utawala bora na haki za binadamu. "Nikamwambia, mimi kwa kuwa ni Waziri wa Sheria na Mwanasheria mkuu siwezi kusimamia sheria ambayo siiamini. Kwa hiyo nikamwambia Mheshimiwa waziri Mkuu mimi nitakaa pembeni,” amesema. Hata hivyo, amesema Sokoine hakupenda msimamo wake. “Akaniambia wewe umekuwa mstari wa mbele kupambana na rushwa unataka kuacha kazi kwa jambo dogo hili? "Nikamwambia hapana, sheria zozote zinazotekelezwa kwa operesheni zinakuja kuleta madhara makubwa baadaye na kwa sheria hii italeta madhara na inavunja utawala bora na inaingilia haki za binadamu," amesema Jaji Warioba. Ameendelea kusimulia huku washiriki wa hafla hiyo wakimsikilzia kwa makini kuwa Sokoine alimchukua hadi Msasani kwa Mwalimu Nyerere kutaka ushauri. "Mwalimu akaamua nusunusu, akasema nendeni mkaondoe hiyo ya kesi kusikilizwa faragha na hiyo ya hearsay evidence (ushahidi wa kusikia), lakini utaratibu maalum ubaki na dhamana isiruhusiwe na akasema hakuna mtu ku resign (kujiuzulu) hapa," amesema. Amesema sheria hiyo ilipitishwa Aprili 1983 na Nyerere aliisaini haraka haraka. "Yaleyale niliyokuwa naogopa yakaanza kutokea, kwa sababu utekelezaji wake ulikuwa na vurugu kubwa. Watu walianza kukamatwa kwa taratibu mbaya, mali za watu zilichukuliwa na malalamiko ya wananchi yalikuwa mengi sana," amesema. Katika hilo amesimulia tukio la pili la aliyewahi kuwa kiongozi wa TANU kanda ya Ziwa aliyekamatwa na wenzake walipolalamika, Mwalimu Nyerere aliagiza apewe dhamana. "Kulikuwa na wazee kutoka Mkoa wa Mwanza walikuja Dar es Salaam kumuona Mwalimu kwa sababu mmoja wao alikuwa amekamatwa na aliwahi kuwa Mwenyekiti wa TANU Kanda ya Ziwa. "Wakamwambia Mwalimu wewe unajua umefanya naye kazi, huyo sio fisadi, hata akienda mahakamani watasema sio fisadi, tunaomba umpe dhamana. "Mwalimu akakubali, akaandika katika minutes sheet (karatasi ya kumbukumbu) akisema, PM (Waziri Mkuu) apewe dhamana. "Ikafika kwa PM naye akaandika minutes sheet ya pili akasema AG (Mwanasheria Mkuu), tekeleza. "Ikafika kwangu, nikamwandikia PM kwamba, Haiwezekani, sheria inakataa,” amesema. Baada ya kumkatalia Sokoine, Jaji Warioba amesema aliitwa na kiongozi huyo ofisini kwake. "Alipiga simu yeye mwenyewe akaniita ofisini kwake. Nilipoingia hata kabla ya salamu akaniuliza, Joseph wewe ni mtu wa aina gani? Rais anatoa agizo unasema haiwezekani? "Mimi kwa kuwa tulikuwa tunataniana nikamwambia wewe si uliniburuza kwenda Msasani? Ulisikia mkubwa amesema nini, kwamba dhamana isitolewe? Wakati wote alituambia msivunje sheria hata pale mtakapoona ni mbaya, mnaweza kuibadili, sasa unasema nitekeleze? Si maagizo yake?" Hata hivyo, Sokoine alimshauri Warioba kutekeleza maagizo ya Nyerere na baadaye marekebisho ya sheria. "Sheria imetungwa Aprili, imeanza kutekelezwa Mei, imebadilishwa Juni," amesema. Akiizungumzia sheria hiyo na msimamo wa Jaji Warioba, Profesa wa Sheria, Issa Shivji amesema sheria hiyo ilizua taharuki. “Hata mimi niliipinga hiyo sheria na tulimwita Jaji (Yona) Mwakasendo akaja chuoni akakubaliana nasi. Kulikuwa na mahakama za mfano za kufundishia pale shuleni, kwa hiyo kukawa na mjadala mkali kuhusu hiyo sheria,” amesema. Alipoulizwa kuhusu msimamo wa Jaji Warioba na viongozi wa sasa, Profesa Shivji amesema, “Kwa sasa hiyo haipo.” Agosti 28, 2024, Rais Samia aliposhiriki mkutano wa wakuu wa taasisi za mashirika ya umma, aliwataka kumwambia ukweli kuhusu uwekezaji ili kuepusha hasara kuwa kama wanaona jambo haliwezekani na yeye amewaeleza wamweleze ukweli. **‘Alikuwa mtulivu’** Akizungumza katika uzinduzi wa kitabu hicho, Rais Samia aliwataka viongozi wa kisiasa, watendaji wakuu na vijana wa vyama vyote vya siasa kusoma kitabu hicho ili wapate mafunzo ya uaminifu, nidhamu na uchapakazi. Amesema kitabu hicho kina funzo kubwa kiuongozi na kwake alichojifunza kikubwa kutoka kwa Sokoine, aliyekuwa na uaminifu, nidhamu na uchapakazi. “Mimi pamoja na vijana wa leo, sote tunatakiwa kujifunza kutoka kwake, sifa ambazo ningependa kusisitiza kwa viongozi wa sasa na baadaye ni uaminifu, nidhamu na uchapakazi. “Sokoine alikuwa mtulivu kwa mamlaka za uteuzi na alikasimiwa majukumu mengi na makubwa, hata kufikia hatua ya kuwa Waziri Mkuu katika umri wake mdogo hii inatuambia kwamba hatupaswi kukimbizana na vyeo, bali vyeo vitakufuata ulipo,” amesema Rais Samia. Amesema Sokoine alikuwa na uongozi ulioacha alama katika kila sekta aliyopita, alisimamia ujenzi wa reli ya Tazara pia aliridhia wanawake waanze kuandikishwa jeshini wakati ule nafasi ya mwanamke ilikuwa chini. Amesema hatua hiyo imeleta manufaa makubwa mpaka leo kuna majenerali wanawake na vyeo vyao wanavipata kwa uwezo na si sababu ni wanawake. “Kitabu hiki kinatupa funzo la kujitathmini tulipotoka na tulipo sasa na hatua tulizopiga. Yapo mafunzo mengi kwa viongozi wa sasa na wanaochipukia. “Kupitia kitabu hiki tunapata kujua maisha yake tangu alipozaliwa, kushika nafasi za uongozi, alikumbatia mila na desturi, lakini hakukubali kukumbatia mila zinazorudisha nyuma jamii yake, hivyo tunamsoma Sokoine akihimiza watoto wa Kimaisai kutimiza fursa za elimu,” amesema. Rais Samia amesema Sokoine alikuwa baba wa mfano kwani pamoja na jukumu la uongozi hakuacha jukumu la kulea, alilipa umuhimu mkubwa. Amesema kwa kipindi chote alichohudumu kwa weledi na uadilifu mkubwa katika nafasi zote za uongozi, ilichangiwa na uchapakazi na alitekeleza wajibu wake kikamilifu kama msimamizi wa shughuli za Serikali katika kipindi kigumu. Pia, Rais Samia amemhamasisha Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete kumaliza kitabu chake, akimweleza kuwa amemuongezea nguvu, ili kuhakikisha anakimaliza na kizinduliwe. Pamoja na hayo, amesema Serikali imeandaa kituo mahususi cha historia na kumbukumbu za viongozi makumbusho ya marais, eneo la Mtumba na kwamba fedha zimeshatengewa fedha. “Tumetenga Sh34 bilioni kwa ajili ya mradi huo na tumeanza kutenga Sh1 bilioni kwa mwaka huu na eneo lina ukubwa wa ekari 50 pale Dodoma,” amesema Rais Samia. **Ilichokisema Familia** Katika hafla hiyo, mtoto wa marehemu, Balozi Joseph Sokoine ameelezea panda shuka ya safari ya miaka 40 katika kutimiza ndoto yake ya kuweka maisha ya kiongozi huyo katika maandishi. Amesema familia ilijitahidi kufanikisha hilo kwa miaka kadhaa, kabla ya Machi 2021 kupokea simu kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais, ikiwataka kuwasilisha taarifa walizonazo kuhusu hayati Sokoine. Katika maelezo yake, Balozi Sokoine amesema: “Miaka 40 ya kusoma kitabu cha maisha na mmoja wa viongozi wa Tanzania imetimia kwa msaada wako Rais Samia Suluhu Hassan. Nakumbuka Machi 2021 nilipokea simu kutoka kwa msaidizi wa Makamu wa Rais akihitaji kupitia taarifa za mzee. “Nilimweleza nina kitabu cha hotuba aliyoitoa Machi 1983 na nikamweleza kuna hotuba nyingine aliyoitoa Oktoba 1982 kwenye mkutano mkuu wa chama na kwamba hotuba nyingine za mzee zinaweza kupatikana kwenye hansard, nilimuahidi kumtumia kitabu hicho na nilifanya hivyo,” alisimulia. Balozi Sokoine amesema baada ya muda mfupi alipokea simu nyingine kutoka Makamu wa Rais akiuliza kama kuna kitu kingine cha ziada ambacho Sokoine aliandika. “Nikamweleza kipo pia kitabu cha mwaka 1984 na 1985 kilichoeleza juu ya maisha ya mzee kidogo na hotuba zake na hakikuwa na uchambuzi wa kina. “Nilimweleza juhudi za familia kwa zaidi ya miaka 30 ya kutaka kuandika kitabu, baada ya maelezo yale alinieleza kuhusu umuhimu wa kuandika kitabu cha watu mashuhuri, ili tusipoteze urithi na sehemu ya historia ya nchi yetu. Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango aliniambia nimwachie suala hilo na ataona cha kufanya atawasilisha na kwamba angeliwasilisha kwako Rais,” amesema. Balozi Sokoine amesema baada ya mazungumzo hayo, Makamu wa Rais, Dk Mpango alifikisha jambo hilo kwa Rais Samia Suluhu Hassan na muda mfupi alilitolea maelekezo kwamba Uongozi Institute watakuwa waratibu wa kitabu hicho pamoja na Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA).
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/biashara/tra-yavuka-malengo-ukusanyaji-kodi-robo-ya-kwanza-4782816
# TRA yavuka malengo ukusanyaji kodi robo ya kwanza ## Muktasari: **Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza ongezeko la ufanisi katika ukusanyaji wa mapato kwa asilimia 15 katika kipindi cha Julai hadi Septemba mwaka huu ambapo makusanyo yamefikia Sh7.79 trilioni** **Dar es Salaam**. Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza ongezeko la makusanyo ya kodi kwa asilimia 15 kati ya Julai na Septemba 2024 ikilinganishwa na mwaka uliotangulia. Pamoja na hilo, imewaita wanaofanya biashara vyumbani kujisajili ili walipe kodi kabla hatua hazijaanza kuchukuliwa. Kwa mujibu wa TRA, makusanyo ya Julai hadi Septemba mwaka huu ilikiwa na lengo la kukusanya Sh7.42 trilioni lakini imekusanya Sh7.79 trilioni ikiwa ni ongezeko la asimilia 104.9. Katika kipindi kama hicho mwaka jana, TRA ilikusanya Sh6.57 trilioni. Akizungumza na waandishi wa habari Oktoba mosi, 2024, Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph Mwenda amesema alipoapishwa na Rais Samia Suluhu Hassan moja ya maagizo aliyopewa ni kuhakikisha anaziba mianya ya ukwepaji kodi na kukusanya kodi inayotakiwa kutumika nchini. “TRA imefanikiwa kila mwezi kuvuka lengo walilojiwekea ndani ya kipindi hiki ambapo tulikuwa na ufanisi wa asilimia 104, Agosti ufanisi wa asilimia 104 na Septemba ufanisi uliongezeka hadi kufikia asilimia 105,” amesema Mwenda. Mwenda amesema katika miezi hiyo mitatu, makusanyo ya Septemba mwaka huu yalikuwa Sh3.18 trilioni, kiwango ambacho hakijawahi kukusanywa tangu TRA ianzishwe licha ya kuwapo mwezi mkubwa wa Desemba ambao uliwahi kuiingizia Serikali Sh3 trilioni. Amesema vitu vingine vilivyochochea ufanisi huo ni Sera nzuri za uwekezaji na maagizo ya Rais Samia ambayo amekuwa akiyatoa huku akitaka yatekelezwe kupitia kuwafanya walipakodi kuwa wabia na si kuwa madui. Amewahakikishia walipa kodi kuwa wataendelea kuwasikiliza na kuwafuata walipo na kupitia siku maalumu ya Alhamisi ambayo imetengwa changamoto zao zitaendelea kutatuliwa kwa wakati ili kusaidia biashara ziendelee kuongeza, walipa kodi waongezeke, biashara zisifungwe ila ziongezeke nyingine. ‘Niwahakikishie Tutaweka mazingira sawa ya kufanya biashara kwa kutowapendelea wachache wasilipe kodi wanazostahili kulipa na kutowaonea wanaostahili kulipa kodi, kodi ndiyo zinachangia maendeleo ya nchi yetu,” amesema Mwenda. Mwenda amesema wapo wengi wanaolipa kodi zao vyema na wapo ambao wamekuwa wakikwamisha jitihada hizo huku akiwataka kuwaunga mkono wenzao katika ulipaji kodi ya Serikali ili kuweka mazingira sawa ya biashara. Akitolea mfano kwa watu ambao mauzo yao ya mwaka hayazidi Sh11 milioni amesema makadirio yao ya kodi ni Sh250,000 kwa mwaka kiasi ambacho ni kidogo huku akisema kufanya hivi kunaweza kufanya nchi kuwa na uwezo wa kukusanya Sh4 trilioni kwa mwezi. Kuhusu mnyumbulisho wa makusanyo hayo Kamshina wa walipakodi wakubwa, Michael Muhoja amesema karibu asilimia 43 ya makusanyo ya TRA inatoka kwao. “Nipende kuwashukuru walipakodi wakubwa wote kwa namna ambayo tumeshirikiana nao kuanzia Julai hadi Septemba, tumefanya kazi kwa pamoja na nawashukuru kwa kuhakikisha kuwa wametoa mchango wao kwa mujibu wa Sheria,” amesema Mboja.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/biashara/madereva-wasota-kujaza-gesi-kwenye-vyombo-vya-moto-4782584
# Madereva wasota kujaza gesi kwenye vyombo vya moto ## Muktasari: **Madereva wa vyombo vya moto jijini Dar es Salaam wamekumbwa na kero ya kukesha vituoni kusubiri gesi asilia kutokana na hitilafu ya umeme katika kituo cha TAQA Dalbin.** **Dar es Salaam. **Wakati watumiaji wa gesi asilia kwenye vyombo vya moto wakieleza kukesha kwenye vituo vya kujaza gesi kusubiri huduma, Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeeleza mkakati wa kukabiliana na hali hiyo. TPDC imesema itaingiza nchini vituo jongefu vya kujaza gesi kwenye magari (mobile CNG station). Changamoto iliyojitokeza jana kwenye vituo vya Ubungo na Tazara imeelezwa inatokana na Kituo cha TAQA Dalbin, kilichopo Barabara ya Nyerere kupata hitilafu ya umeme kwenye mfumo hivyo kuathiri uendeshaji wa kituo hicho. Kwenye kituo cha Tazara jijini Dar es Salaam, kulikuwa na msururu wa magari na bajaji kuanzia kituoni hadi kuelekea kwenye mataa ya Tazara (umbali wa mita 400). Baadhi ya madereva waliokuwa wakisubiri kujaziwa gesi leo Oktoba Mosi, 2024 wamesema walikesha kituoni hapo. “Nipo hapa tangu saa tisa alasiri ya jana (Septemba 30), mpaka sasa sina uhakika wa kupata huduma kwani mbele yangu kuna bajaji zaidi ya 50,” amesema mmoja wa madereva hao. Katika kituo cha Ubungo baadhi ya madereva wa bajaji walieleza kadhia ya kukwama kurejesha mikopo kwa ajili ya vyombo hivyo kwa kuwa wameshindwa kufanya kazi. Wanadai kutumia mafuta ni gharama kwani gesi asilia gharama yake ni Sh6,500 kwa kilo nne ambayo hujaza mara mbili tofauti na mafuta ambayo kwa siku hupaswa kulipia Sh30,000. Mkurugenzi wa Mkondo wa Chini wa TPDC, Emanuel Gilbert amesema taarifa waliyonayo ni kuwa kituo cha TAQA Dalbin kilipata hitilafu lakini wataalamu wa kituo hicho na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) wanalifanyia kazi. Amesema ili kundokana na kero ya madereva kutumia muda mwingi kusubiri huduma hiyo, wanakamilisha kituo kingine cha kujaza gesi eneo la Sam Nujoma mwishoni mwa mwaka huu. “Pia kuna wawekezaji binafsi ambao wanaendelea na hatua za awali za kuanza ujenzi wa vituo zaidi, TPDC itaingiza vituo jongefu ifikapo Juni 2025, kwa ujumla tunataraji kuongeza vituo 13 kufikia mwisho wa mwaka wa fedha,” amesema. **Kilio cha madereva** Dereva wa bajaji Sadat Shabani amesema pampu za kujaza gesi ni chache wakati idadi ya watumiaji ni wengi. “Nimekuja saa tisa usiku nikaondoka baada ya kuona foleni ni kubwa, nimerudi saa mbili hadi sasa ni saa sita bado sijapata gesi maana yake nitatumia siku nzima kupata gesi,” amesema. Dereva Pamphily Germanus mkazi wa Gongo la Mboto amesema kwa zaidi ya saa sita amekaa kituo cha Ubungo kusubiri gesi. “Kwa siku za kawaida tunatumia saa nne kujaza gesi kwenye bajaji mara mbili kwa siku kila unapokuja unapoteza saa mbili ni muhimu tukawa na watu wengi zaidi wanaotoa huduma hii,” amesema.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/biashara/mbuzi-walivyovumbua-kahawa-4782112
# Mbuzi walivyovumbua kahawa **Dar es Salaam.** Kwa wanaokunywa kahawa leo ni siku yao maalumu ya kujipongeza kwani dunia inaadhimisha Siku ya Kahawa. Kila mwaka ifikapo Oktoba mosi dunia huadhimisha Siku ya Kahawa Duniani. Kahawa inayotoka Afrika imekuwa ikisafirishwa hadi kwenye vikombe vya chai za asubuhi za kaya zote duniani kwa zaidi ya miaka 600 sasa. Mchakato wa kuandaa kahawa kwa matumizi mbalimbali ni mfano mzuri wa mabadiliko makubwa. Wanadamu wamekuwa wakitayarisha kahawa ili kuitumia katika namna mbalimbali: kama kinywaji, kiburudisho, dawa. Haijalishi unakunywa vipi, kahawa inaweza kukupa nguvu, kukufariji, kuku refreshing, kukuweka macho na hata kukupatanisha na wapendwa wako. **Historia ya siku hii** Kulingana na rekodi za kihistoria, asili ya kahawa ni Ethiopia, na uvumbuzi wake barani Afrika unakuja na hadithi yenye kuvutia. Karibu na mwaka 700 kabla ya Kristo, kundi la mbuzi lilianza kuonyesha tabia za ajabu ukiwatazama ni kama wana furaha hivi. Aliyekuwa akiwatunza Kaldi, aligundua kwamba walikua wakila aina fulani ya mbegu nyekundu na alihitimisha kuwa hiyo ilikuwa sababu ya tabia yao. Kaldi aliamua kushiriki uvumbuzi wake na Monk, aliyekuwa alihitaji kitu kitakachomsaidia kubaki macho usiku mzima wakati wa maombi yake. Simulizi hiyo inaeleza kuwa Kaldi alimpa Monk mbegu walizokuwa wakila mbuzi wake na kuwa na furaha na uchangamfu, lakini Monk alizikataa na kuzitupa kwenye moto, hapa ndiyo utamu wa kahawa ulipoanzia, kwani harufu ilitoka hapo baada ya zile mbegu kuungua ilikuwa ya kuvutia. Kuanzia hapo kahawa ilianza kusafiri kaskazini hadi Yemen katika karne ya 15 ambapo mbegu hizo zilikuwa zikijulikana kama "Mocha." Baadaye kahawa ikawa kinywaji maarufu nchini Misri, Uajemi na Uturuki ikijulikana kwa jina la ‘divai ya Araby’ na migahawa mikubwa ya kuuza kahawa zikaanza kufunguliwa zikijulikana kama ‘Shule ya wenye busara’. Baadaye, kwenye nchi za kiarabu kukawa mlango wa kuingia kwa kahawa, na mbegu hizi zikaanzisha kilimo kikubwa cha kahawa nchini India Kusini. Mnamo mwaka 1560, kahawa ilianza kusafiri hadi Ulaya na harakaharaka ikawa maarufu, mpaka Papa Clement VIII alisema kwamba kinywaji hicho lazima kiwe cha kishetani. Alipofanyiwa uchunguzi, alikubali sifa za kinywaji hicho kwa ubatizo na kukitangaza kuwa kinywaji cha Kikristo. Kadiri karne ya 1600 ilivyokuwa ikikamilika na nyumba za kahawa zikianza kuibuka kila mahali barani Ulaya, mbegu hizo ziliandika historia. Hatimaye, baada ya muda mrefu mwaka 2014, Shirika la Kahawa Duniani lilitangaza Oktoba mosi kuwa Siku ya Kahawa Duniani, tukio la kuadhimisha kahawa kama kinywaji na kuleta mwamko kuhusu matatizo yanayowakabili wakulima wa kahawa. **Dhana kahawa kuwa na kilevi** Pamoja na mafanikio hayo, jijini Makka nchini Saudi Arabia, kinywaji hicho kilipigwa marufuku ikidhani kuwa kinalewesha na kusababisha uvivu miongoni mwa wanaoitumia. **Guiness yakitaja kikombe kikubwa cha kahawa duniani** Kwenye kitabu Rekodi za Guinness za Dunia za mwaka 2012, kikombe kikubwa zaidi cha kahawa kilikuwa na ujazo wa galoni 3,487 sawa na mapipa takriban 83 yenye ujazo wa lita 159 kila moja. **Mauzo ya kahawa Tanzania** Takwimu za Msingi Tanzania zinazotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imeonyesha, mauzo ya zao la kahawa nje ya nchi yameongezeka kutoka Sh349.4 bilioni mwaka 2019 hadi Sh542.6 bilioni mwaka 2023. **Aina ya kahawa inayozalishwa Tanzania** Tanzania inazalisha aina mbili za kahawa, Arabika ambayo inachangia wastani wa asilimia 60.9 na Robusta inayochangia asilimia 39.1. Tanzania inashika nafasi ya nne kati ya nchi 25 zinazozalisha kahawa barani Afrika. Maeneo ya kilimo cha Arabika nchini Tanzania ni pamoja na Kilimanjaro, Arusha, Tanga, Iringa, Mbeya, Kigoma, Manyara, Mwanza, Katavi, Mara, Njombe, Songwe, Rukwa, Geita na Ruvuma wakati Robusta inalimwa katika mikoa ya Kagera na Morogoro. Tanzania ni moja ya nchi tatu duniani ambazo zinazalisha Arabika ya Kolumbiani laini. Colombia na Kenya ni wazalishaji wengine wawili wa kahawa ya ubora huu maalumu, ambao unachangia asilimia 9 ya uzalishaji wa kahawa duniani. Takriban asilimia 90 ya uzalishaji wa kahawa Tanzania unatoka kwa wakulima wadogo wa kahawa takriban 320,000 wenye wastani wa miti 200 ya kahawa na ukubwa wa shamba wa ekari 0.5 - 2. Asilimia iliyobaki ya kahawa inazalishwa kwenye mashamba makubwa ya kahawa 101 yaliyosajiliwa. *Imeandikwa na Kalunde Jamal kwa msaada wa mtandao*
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/biashara/wafunga-maduka-wakigoma-kuuza-dhahabu-benki-kuu-4781304
# Wafunga maduka wakigoma kuuza dhahabu Benki Kuu **Geita.** Wafanyabiashara wa madini katika Soko Kuu la Dhahabu Geita wamefunga maduka wakipinga uamuzi wa kutenga angalau asilimia 20 ya dhahabu inayozalishwa na kuiuzia Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Katika soko hilo, kuna zaidi ya wafanyabiashara 50 wanaonunua dhahabu, ambao wamesema hawakuhusishwa kwenye uamuzi huo wakisema kwa aina ya biashara wanayofanya inawawia vigumu kutekeleza sheria hiyo iliyopitishwa na Bunge la Bajeti Juni mwaka huu. Mgomo huu wa wafanyabiashara umeanza baada ya Tume ya Madini kutoa tangazo la kuanza kutekelezwa kwa sheria hiyo kuanzia leo, ikiwataka wafanyabiashara kutenga asilimia 20 ya dhahabu inayozalishwa na kupeleka viwandani kwa ajili ya kusafishwa, ikiwemo Eyes of Africa Limited (Dodoma) na Mwanza Precious Metals Refinery Limited (Mwanza). Mwenyekiti wa wafanyabiashara wa soko kuu la madini Geita, Dotto Ludeha, amependekeza kuwa BoT inapaswa kufungua duka lake la kununua dhahabu badala ya kuwalazimisha wanunuzi kuiuzia. Amesema: “Sisi ni wanunuzi na wauzaji wa dhahabu, lakini fedha si zetu, sisi tunawasiliana na matajiri walioko nje wanaotupa pesa tunanunua mzigo. Sasa mkisema kwenye dhahabu inayozalishwa tutenge asilimia 20 haiwezekani, mwenye pesa anataka mzigo wake.” Firoz Khan, Mkurugenzi wa Kampuni ya Kilosa Kwetu Gold Limited, akizungumzia agizo la Serikali, amesema dhamira hiyo ni nzuri lakini inahitaji kuwa rafiki kwa mwekezaji. Ameeleza kuwa kampuni yake hupokea Dola za Marekani 5milioni (Sh13.6 bilioni) kila wiki kutoka kwa wawekezaji wa nje, na fedha hizo hutumika kununua dhahabu kwa makubaliano maalumu na wawekezaji hao. Khan aliongeza: “Leo ukisema asilimia 20 ya dhahabu niliyokusanya iende BoT, huyu aliyetoa fedha napata wapi fedha ya kurudisha wakati bei ya hapa na ya nje ni tofauti?” Kutokana na malalamiko hayo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini, Yahaya Samamba, alisema Wizara itakutana na wafanyabiashara hao ndani ya wiki hii ili kutafuta suluhu ya pamoja. Samamba aliongeza: “Tutakutana nao ili kuona changamoto wanayoihisi ni ipi. Pengine wengine hawakuwepo wakati wa mchakato wa kutungwa kwa sheria hiyo au hawakufikiwa, tutawaeleza lengo na madhumuni pamoja na manufaa kwa nchi.” **Sheria Yenyewe** Sheria iliyopitishwa na Bunge inawataka wamiliki wa leseni za uchimbaji wa madini na wafanyabiashara kutenga kiasi cha madini kwa ajili ya kuchakatwa, kusafishwa, na kuuzwa nchini. Kiwango cha asilimia 20 kinachoanza kutekelezwa leo kinatakiwa kutengwa na wafanyabiashara wa madini. Hata hivyo, hatua hii haikuhusisha kampuni za uchimbaji wa madini zilizoingia mikataba na Serikali, ili kuheshimu makubaliano hayo. Waziri wa Fedha alieleza kuwa hatua hii inalenga pia kukuza viwanda vya kusafisha madini, kupata ithibati za kimataifa, na kuongeza akiba ya fedha za kigeni nchini. Serikali pia imeweka vivutio kwa wafanyabiashara, ikiwa ni pamoja na kutoza Kodi ya Ongezeko la Thamani kwa kiwango cha asilimia 0 kwa dhahabu inayouzwa kwa BoT, na kupunguza mrabaha kutoka asilimia 6 hadi 4 kwa dhahabu itakayonunuliwa na benki hiyo. **Dondoo** Hadi Aprili 2024, Benki Kuu ya Tanzania ilikuwa imenunua dhahabu yenye thamani ya dola za Marekani 26 milioni (Sh70.9 bilioni) na malengo ya Serikali ni kununua tani sita za dhahabu yenye thamani ya dola za Marekani 400 milioni (SH1.1 trilioni).
http://www.mwananchi.co.tz/mw/michezo/yanga-princess-yaivua-simba-ubingwa-ngao-ya-jamii-ikitinga-fainali-4784052
# Yanga Princess yaivua Simba ubingwa Ngao ya Jamii, ikitinga fainali ## Muktasari: **Msimu uliopita, Yanga Princess ilipoteza mechi mbili za Ligi Kuu ya wanawake dhidi ya Simba Queens pamoja na mechi moja ya nusu fainali ya Ngao ya Jamii.** **Dar es Salaam. **Yanga Princess imetinga hatua ya fainali ya Ngao ya Jamii ya Ligi ya Wanawake baada ya kuifunga Simba Queens kwa mikwaju ya penalti 4-3 kwenye nusu fainali ya pili ya mashindano hayo iliyochezwa katika Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam. Matokeo hayo sio tu yameifanya Yanga Princess itinge fainali bali pia yameivua Simba Queens ubingwa ambao ilikuwa inaushikilia wa mashindano hayo. Dakika 90 za mechi hiyo zilimalizika kwa sare ya bao 1-1 na hivyo refa wa mechi hiyo Amina Kyando kuamuru mikwaju ya penalti itumike kusaka mshindi wa mchezo huo. Yanga Princess ndio ilikuwa ya kwanza kupata bao la mapema dakika ya kwanza kupitia kwa Agnes Pallangyo aliyeunganisha kwa kichwa mpira wa krosi wa Adebisi Ameerat ambao ulianzia kwenye kona fupi ambayo ilianzishwa na wachezaji wake. Bao hilo lilidumu hadi katika dakika za lala salama za mchezo huo ambapo Simba ilisawazisha kupitia kwa Jentrix Shikangwa akimalizia mpira uliookolewa vibaya kwa kichwa na Danai Bobo wa Yanga. Baada ya filimbi ya mwisho kupulizwa na refa Kyando, shujaa wa Yanga alikuwa ni kipa Rita Akarekor aliyeokoa penalti tatu za Simba Queens na kuifanya timu yake iibuke na ushindi kwenye mechi hiyo. Katika nusu fainali ya kwanza, JKT Queens iliibamiza bila huruma Ceasiaa Queens baada ya kuifunga mabao 7-0. Aliyeiongoza JKT Queens kutembeza dozi hiyo alikuwa ni mshambuliaji Stumai Abdallah ambaye akipachika mabao manne yeye mwenyewe (hat trick) katika dakika za 45, 46 na 65 huku mabao mengine matatu yakifungwa na Winfrida Gerard, Janet Matulanga, Yasinta Mitoga na Anastazia Katunzi. Winfrida Gerard alianza kuipatia JKT Queens, bao la kwanza katika dakika ya 20 na Mitoga akafunga katika dakika ya 44, Katunzi akifunga katika dakika za nyongeza za kipindi cha kwanza na Janet Matulanga ndiye aliyehitimisha ushindi huo mnono wa timu yake akipachika bao katika dakika ya 87. Hii ni mara ya pili kwa mashindano ya ngao ya jamii kwa wanawake kufanyika nchini ambapo mara ya kwanza ilikuwa ni msimu uliopita ambapo Simba Queens ilitwaa ubingwa kwa kuifunga JKT Queens kwa mikwaju ya penalti 5-4 baada ya timu hizo kutoka sare ya bao 1-1 katika dakika 90 za muda wa kawaida. Fainali ya Ngao ya Jamii kwa wanawake imepangwa kuchezwa Jumamosi, Oktoba 5 katika Uwanja huohuo wa KMC Complex ambapo itatanguliwa na mechi ya kuwania mshindi wa tatu.A
http://www.mwananchi.co.tz/mw/michezo/jkt-queens-yatangulia-fainali-ngao-jamii-wanawake-kitemi-4783730
# JKT Queens yatangulia fainali ngao jamii wanawake kitemi ## Muktasari: **JKT Queens ilimaliza katika nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya wanawake msimu uliopita huku Simba Queens ikitwaa ubingwa****Nevumba Abubakar** Nusu fainali ya kwanza ya ngao ya jamii kwa wanawake imetamatika leo Oktoba 2 huku JKT Queens ikitangulia fainali baada ya kuichakaza Ceasiaa Queens mabao 7-0 Uwanja wa KMC Complex. JKT Queens ilianza kupata bao dakika ya 20 ya mchezo likifungwa na Winifrida Gerald, Yasinta Mitoga dakika ya 44, Anastazia Katunzi 45 na hat-trick ya Stumai Abdallah aliyefunga 45, 46 na 65 na 87 Janet Matulanga yaliyozamisha matumaini ya Ceasiaa Queens kusonga hatua ya fainali. Ni mara ya pili kwa JKT kama isemavyo kauli mbiu yao ya Kichapo cha Kizalendo kugawa dozi ya mabao mengi kwani msimu uliopita ilikutana na Fountain Gate Princess ambayo msimu huu imemaliza nafasi ya tano ikapata ushindi wa mabao 5-0. Matokeo hayo yanawafanya Wanajeshi hao wa kike kutangulia fainali ambayo inatarajiwa kuchezwa Oktoba 05 uwanjani hapo. Hii ni mara ya pili kwa Shirikisho la Soka nchini (TFF) kuleta michuano hiyo kwa wanawake tangu ilipochezwa msimu uliopita na Simba Queens ikichukua ubingwa kwa kuitoa JKT kwa mikwaju ya penati 5-4 dakika 90 zikitamatika kwa sare ya 1-1.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/michezo/muhimu-ushindi-sio-mabao-gamondi-4783652
# Muhimu ushindi sio mabao- Gamondi ## Muktasari: **Yanga katika mechi tatu za mwanzo ilizocheza kwenye Ligi Kuu msimu huu, imefunga mabao manne huku ikiwa haijaruhusu bao.** Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi amesema hawezi kutoa ahadi ya timu yake kufunga idadi kubwa ya mabao katika mechi ya ligi kuu dhidi ya Pamba Jiji kesho Alhamisi, Oktoba 3 kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam ingawa kipaumbele chake ni kupata ushindi. Gamondi amesema kuwa jambo la muhimu katika mchezo wa soka ni kupata ushindi pasipo kuangalia idadi ya mabao kwa vile siku hazifanani. “Siwezi kuahidi zaidi ya kujitolea, kucheza mpira mzuri na kutoa kila tulichonacho kwa ajili ya wananchi. Kufunga mabao ni jambo zuri na kitu kizuri zaidi katika mpira wa miguu ni bao lakini wakati mwingine unaweza usifunge au kufunga bao moja inatosha. “Mimi kwangu kwa sasa tunacheza ligi, mechi 30. Tumecheza mechi tatu, pointi tisa nikona furaha sana kwa vile lengo la kwanza ni kufunga bao. Kwangu mimi hakuna kitu cha muhimu zaidi ya kushinda mechi,” alisema Gamondi. Kocha huyo alisema anategemea kukutana na kibarua kigumu mbele ya Pamba ambayo bado haijaonja ushindi kwenye Ligi Kuu msimu huu. “Nimeichambua nikabaini ni timu ambayo imejipanga vyema kwenye ulinzi lakini wanahitaji njia nyingi kufunga mabao. Tunatakiwa kucheza kwa tahadhari na kugeuza kila nafasi tunayoipata kuufungua mchezo. “Tuko tayari tukitegemea mechi ngumu kama ilivyo kwa mechi zote lakini jambo la msingi ni kwamba timu iko sawa kiakili kuhakikisha inapata ushindi. Kila timu inapocheza na Yanga inakuwa na hamasa na inataka kuhakikisha inapata ushindi,” alisema Gamondi. Katika hatua nyingine, kocha huyo alisema kuwa anafurahishwa na viwango vya viungo wake Khalid Aucho na Stephane Aziz Ki. “Kwangu mimi wanacheza vizuri. Labda unaweza kuwaona hawajacheza kwa ubora mara zote lakini kwangu mimi ni jambo la kawaida. Unaweza kuona wachezaji kama Lewandowski, Mbappe na Haaland hawawezi kuwa bora kila wakati. “Aziz Ki na Aucho hawawezi kucheza kwa asilimia mia lakini ukiwa umecheza mpira utafahamu kwamba kuna wakati unapungua kidogo lakini ni wachezaji wenye mchango mkubwa kwa timu,” alisema Gamondi.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/michezo/mrithi-wa-ten-hag-aanza-kutajwa-old-trafford-4783098
# Mrithi wa Ten Hag aanza kutajwa Old Trafford ## Muktasari: **Huenda hilo likatokea baada ya mechi ya Jumapili, Man United itakapokwenda Villa Park kukipiga na Aston Villa. Hivyo ni Oktoba hii hii.** **MANCHESTER, ENGLAND**: Sehemu ya kwanza ya sinema ya Manchester United Erik ten Hag lazima aondoke na hana muda mrefu ataondoka. Huenda hilo likatokea baada ya mechi ya Jumapili, Man United itakapokwenda Villa Park kukipiga na Aston Villa. Hivyo ni Oktoba hii hii. Kipigo kizito cha nyumbani Old Trafford kutoka kwa Tottenham Hotspur kilikuwa cha 10 kwa Man United kupoteza kwa mabao matatu au zaidi katika kipindi cha miaka miwili wakati timu hiyo ikiwa chini ya kocha huyo Mdachi, Ten Hag. Man United ya Ten Hag si tu inapoteza mfululizo, bali inachapika mfululizo. Crystal Palace, Bournemouth, Brighton na Brentford ni miongoni mwa timu zilizopata matokeo ya ushindi mbele ya Man United. Kucheza na Man United kwa sasa hivi haitishi tena, kitu ambacho huko nyuma wapinzani walikuwa wakihaha wakisikia kuna mechi ya Man United. Lakini, kwa sasa hivi, ratiba ya kucheza na Man United kila mtu anaitaka timu hiyo imekuwa nyepesi mno kuikabili. Imekuwa kawaida kwenye kipindi cha miaka 11 tangu alipoondoka Sir Alex Ferguson. Man United imebadili makocha sita ndani ya miaka 11, lakini Old Trafford pamekuwa mahali pepesiii kwenda kuchukua pointi. Man United ilipokumbana na kipigo Jumapili, Gary Neville na Roy Keane walitoa maneno makali, huku kila mmoja alianza kuzungumzia hatima ya kocha Ten Hag ilipofika Jumatatu. Chini ya Ten Hag ambaye uwezo wake wa kuongoza ni mdogo siku mbaya zimeongezeka zaidi Man United. Yalikuwa makosa makubwa kwa Sir Jim Ratcliffe na wasaidizi wake kutoka kampuni ya Ineos kuweka imani na kocha huyo wa zamani Ajax baada ya kushinda Kombe la FA msimu uliopita. Kisha ikaendelea kusajili kwa gharama kubwa wachezaji wengine wa Kiafrika. Ratcliffe atakuwa ameshaelewa kwa sasa, hivyo haitachukua muda mrefu, Ten Hag atafunguliwa mlango uliandikwa ‘exit’. Lakini, sehemu ya pili ya sinema hiyo, ambayo ni ngumu zaidi. Nani atakuja kuchukua mikoba? Kwa hali ilivyo, nani atataka kwenda kuinoa Man United? Unai Emery hawezi kukubali kibarua cha kuinoa Man United - hawezi kujiripua. Man United ya sasa imekuwa timu ya nafasi za katikati kwenye msimamo. Ina wachezaji wengi wasiohitajika na imewasajili kwa pesa nyingi. Na bilionea Ratcliffe anachotaka kwa sasa ni kupunguza matumizi, hivyo hatamlipa pesa nyingi kocha ajaye. Kama hii klabu isingeitwa ‘Manchester United’, bilionea huyo bila shaka asingekubali kuwekeza. Habari njema kwa Man United ni mkurugenzi wao mpya wa michezo, Dan Ashworth, yupo vizuri kwenye uchaguzi wa makocha. Amefanya vizuri kwenye uteuzi wa makocha mara tatu alizofanya huko nyuma — kumteua Gareth Southgate kwenye kikosi cha England, Graham Potter kwenye kikosi cha Brighton na Eddie Howe katika kikosi cha Newcastle United. Anaweza kuamua vizuri juu ya kocha mpya wa Man United. Kinachovutia ni Ashworth chaguo lake la kwanza alipokuwa Newcastle United alikuwa Unai Emery, ambaye alikataa na kubaki zake Villarreal, lakini imeonyesha alikuwa sahihi kutokana na kile anachofanya huko Aston Villa tangu alipotua Villa Park. Na sasa Emery anaweza kuhitimisha maisha ya Ten Hag huko Man United, Jumapili — hasa ukizingatia miamba hiyo ya Old Trafford haitakuwa na huduma ya nahodha wao Bruno Fernandes mwenye kati nyekundu na huenda isiwe na Kobbie Mainoo kutokana na kuumia. Na kama atafanikiwa kuichapa Man United — kutakuwa na nafasi finyu kwake kuachana na Aston Villa, ambayo ipo kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya kwenda kukubali kibarua cha huko Old Trafford, kwa kipindi hiki, litakuwa anguko kwake. Howe linaweza kuwa chaguo jingine zuri kumrithi Ten Hag, lakini shida Waarabu wa Saudi Arabia wanaweza wasiruhusu Ratcliffe amchukue na Howe pia baada ya kumchukua bosi wao Ashworth. Potter anapatikana kirahisi, lakini kwa kile alichofanya Chelsea na namna anavyoshindwa kufanya maamuzi magumu kwenye mechi ngumu, hilo litamnyima nafasi ya kupata kazi Old Trafford. Kitu ambacho kitamfanya Southgate apate kazi Man United ni ukaribu wake na Ashworth, lakini kingine ni uwezo wake wa kuongoza na ndiyo Man United ilipigania nafasi ya kumchukua mwishoni mwa msimu uliopita. Mauricio Pochettino, ambaye alihusishwa na Man United mara kadhaa, ameondoka kwenye mpango baada ya kuchukua kibarua cha kuinoa Marekani. Thomas Tuchel linaweza kuwa chaguo maarufu, lakini licha ya ubora wake kama kocha, anatazamwa kama amepoteza makali. Kuna Roberto De Zerbi, yupo Marseille kwa sasa baada ya kufanya vizuri Brighton. Kieran McKenna — kocha wa zamani wa Man United yupo Ipswich Town — amafaa, lakini si kwa sasa. Marco Silva, hapewi nafasi kubwa akiwa anainoa Fulham, aliwahi kuwekwa kwenye rada za Man United, lakini kwa sasa hajadiliwi. Kocha wa Sporting Lisbon, Ruben Amorim, alikuwa gumzo msimu uliopita, alikoswa na West Ham na Liverpool, hivyo si mtu unayeweza kumpata kirahisi. Zinedine Zidane, ni kocha mzuri, lakini si aina ya watu ambao Ashworth anawataka. Ruud van Nistelrooy, mtambo wa mabao wa zamani wa Man United yupo kwenye benchi la Ten Hag akimsaidia kocha huyo na kama mabadiliko yatafanyika, basi anaweza kuwa kocha wa kipindi cha mpito. Kwa machaguo yaliyopo kwa sasa na mwenendo wa Man United ulivyo, ishu ya kumfuta Ten Hag si kitu kigumu kabisa kukifanya kwa kipindi hiki. Kwa bilionea Ratcliffe, Ashworth na mabosi wengine kwenye kikosi cha Man United, sehemu ngumu zaidi kwenye sinema yao ni nini kitakachofuata? Chochote kitakachoamriwa, wanahitaji kukitafakari kwa umakini mkubwa.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/michezo/tshabalala-bado-niponipo-sana-tu-4783094
# Tshabalala: Bado niponipo sana tu ## Muktasari: **Tshabalala amejibu swali aliloulizwa na Mwanaspoti kutokana na kucheza kwa kiwango bora ndani ya misimu 10 katika kikosi cha Simba hawazi kustaafu?** Kama ulikuwa unawaza nahodha wa Simba, Mohamed Hussein 'Tshabalala' anaweza akatundiga daruga hivi karibuni, basi sikia majibu yake. Tshabalala amejibu swali aliloulizwa na Mwananchi kutokana na kucheza kwa kiwango bora ndani ya misimu 10 katika kikosi cha Simba hawazi kustaafu? Na haya ndiyo majibu yake: "Sina wazo kabisa la kustaafu kwa sasa. Kikubwa nina nguvu ya kuisaidia timu, basi ninaweza nikacheza miaka mingi, labda itokee nimepata changamoto ya kuniweka nje." Tshabalala amesema kinachomfanya asishuke kiwango ni kuzingatia mazoezi, kujituma, usikivu na kuyafanyia kazi yale ambayo anaelekezwa na makocha, lakini kubwa zaidi ni kwamba halewi sifa. "Siyo kazi rahisi, lakini natambua soka ndio linaloendesha maisha yangu lazima nijitume na kujitunza. Pia siyo mvivu wa kufanya mazoezi kwa bidii," amesema. Nje na soka, Tshabalala amesema anapenda sana kufanya kazi ya U-DJ. "Ndio maana nimuumini wa kuwaangalia DJ's mbalimbali, kwani nisingefanikiwa katika mpira wa miguu, basi ningefanya kazi hiyo," akasema.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/michezo/kibu-kwa-mpanzu-patachimbika-4783092
Prime # Kibu: Kwa Mpanzu patachimbika ## Muktasari: **Kibu ambaye ni miongoni mwa washambuliaji wanaotegemea na Taifa Stars amezungumzia pia ujio wa winga mpya ambaye Simba imemtambulisha ,Ellie Mpanzu alipoulizwa juu na namna itakavyokuwa mara baada ya dirisha dogo lijalo la Desemba 2024-Januari 2025 kufunguliwa na usajili wa mchezaji huyo mpya Msimbazi kuthibitishwa na mamlaka za soka nchini.** Staa wa Simba, Kibu Denis amefanya mahojiano maalum na Mwanaspoti Jijini Dar es Salaam na kufafanua mambo kadhaa ikiwemo mwenendo wake pamoja na klabu yake msimu huu. Kibu ambaye ni miongoni mwa washambuliaji wanaotegemea na Taifa Stars amezungumzia pia ujio wa winga mpya ambaye Simba imemtambulisha ,Ellie Mpanzu alipoulizwa juu na namna itakavyokuwa mara baada ya dirisha dogo lijalo la Desemba 2024-Januari 2025 kufunguliwa na usajili wa mchezaji huyo mpya Msimbazi kuthibitishwa na mamlaka za soka nchini. Kibu anasema kusajiliwa kwa Mpanzu kunamuongezea morali ya kujituma na kupigania namba katika kikosi cha kwanza. “Napenda ushindani utafanya niongezee bidii ya mazoezi ili kumshawishi kocha kuendelea kuniamini kunipa nafasi ya kucheza,” anasema mchezaji huyo. “Hata ningeletewa Cristiano Ronaldo wa Al Nassr, bado ningefurahia kucheza naye, kwani ubora wake ungenifanya kutamani kujifunza vitu vya kunifanya kocha aone umuhimu wangu kikosini.” Kibu ambaye msimu uliopita alifunga bao moja katika Ligi Kuu Bara, anasema nje na Mpanzu ndani ya kikosi hicho kuna ushindani kila eneo na ni juu ya mchezaji mwenyewe kujituma na kumpa urahisi kocha Davids Fadlu kujua nani amtumie kulingana na mechi husika. “Mtazamo unaweza ukafanya mchezaji afanye vizuri ama afeli ndio maana nasisitiza napenda ushindani, unanifanya nijitume kwa bidii, kuliko kubweteka na kuona nimemaliza kazi,” alisema Kibu ambaye aliifungia bao moja Simba katika mchezo wa pili wa kufuzu hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika ikishinda 3-1 dhidi ya Al Ahli Tripoli ya Libya. **KUTOKA NGARA ** Kibu anasema amepambana sana katika maisha yake ya soka na haikuwa rahisi kufika hapo alipo kwani lengo lilikuwa kuhakikisha kwamba anatimiza ndoto zake, “Jambo la msingi ni kujituma kwa bidii bila kukata tamaa, nje na hapo itaishia kuwa ndoto isiyogeuka halisi. Haikuwa rahisi hadi jina langu kujulikana nilianzia Ngara huko na sasa nipo Simba,” anasema. Anasema ukubwa wa jila lake katika soka ulikuja baada ya kujiunga na Simba 2021 akitokea Mbeya City, ukamfanya kuongeza umakini wa kuwaza kufanya makubwa zaidi kila anapopata nafasi ya kucheza. Tangu ajiunge na timu hiyo anataja baadhi ya mechi ambazo hatazisahau katika maisha yake kuwa ni dhidi ya Raja Casablanca iliyowafunga mabao 6-0 na Al Ahly ya Misri msimu wa 2022/23. “Ingawa matokeo hayakuwa mazuri upande wetu, lakini ilikuwa ni mechi ya viwango vya juu kwa wachezaji wa timu zote. Hizo ni baadhi ya mechi, (ila) zipo nyingi. Naamini (msimu huu) kadri muda unavyokwenda matunda yataonekana,” anasema Kibu. **ILIKUWAJE HAKUWEPO** Akizungumzia kambi ya Simba msimu huu iliyokuwa Misri ambapo hakuwapo, Kibu anasema kuchelewa kujiunga na timu haikuwa ishu kubwa kivile kama ambavyo ilionekana kujadiliwa sana na watu mitandaoni, kwani alikuwa na ruhusa ya kocha. “Mimi ni mchezaji. Nafahamu ni namna gani ya kulinda kiwango changu, muda wote nakuwa tayari kwa ajili ya kucheza,” anasema. Anasema aliwasiliana na kocha Fadlu Davids ambaye alimpa maelekezo ya kitu gani alipaswa kufanya kwa ajili ya kuimarisha kiwango chake, alizingatia na sasa anaendelea na majukumu yake kama kawaida. Anapoulizwa vipi safari yake ya nje ya nchi aliyodaiwa kwenda Klabu ya Kristiansund BK ya Norway kufanya majaribio, nyota huyo anajibu,”safari gani, mimi sikuwa na safari yoyote.” Jibu lake fupi liliashiria kwamba hakutaka suala hilo kulizungumzia mbele ya Mwanaspoti. Mwanaspoti linafahamu Kibu alikwenda kufanya majaribio katika klabu hiyo, lakini dili lake lilikwama kutokana na Simba kuhitaji mkwanja mrefu. Hata hivyo, anachokiona msimu huu ni kwamba Simba inakwenda kufanya mambo makubwa ikiwemo kuchukua ubingwa katika michuano mbalimbali inayoshiriki. “Mashabiki watuamini, tushirikiane kufanikisha malengo yetu. Wachezaji wapya waliokuja wana uwezo mkubwa, kikosi ni kipana mfano katika nafasi yangu nisipokuwepo anaweza akacheza Edwin Balua, Saleh Karabaka, Ladack Chasambi na wengine, hivyo wachezaji wao tupo tayari kupambana kwa jasho na damu,” anasema. **ANAKIPIGA BEKI** Mwanaspoti linapomuuliza Kibu ikitokea beki akaumia kama anaweza kuziba pengo? Anajibu: “Nina uwezo wa kucheza kama beki wa kulia. Ndivyo ilivyo kwenye soka la kisasa na winga yoyote anaweza akafanya jukumu hilo, ndio maana unaona naweza kushambulia na kuisaidia timu kukaba.” Je, unataka kufahamu nani anampa moyo pindi anapokuwa anapitia katika nyakati ngumu, jibu lake ni hili: “Mama na mke wangu wananiambia ninapopitia changamoto yoyote napaswa kumshukuru Mungu na kuchukulia maisha ndivyo yalivyo. Lazima yaendelee kwa namna yoyote ile.” Fadlu anamzungumzia Kibu? “Ni mchezaji mzuri, napenda anavyoshambulia na kuisaidia timu kukaba, ila wachezaji wote wanahitaji muda ili kuwa sawa. Ndio kwanza ligi imeanza naamini tutafanya vizuri.”
http://www.mwananchi.co.tz/mw/michezo/aucho-yanga-kuna-jambo-4783088
Prime # Aucho, Yanga kuna jambo ## Muktasari: **Simba na Yanga zinavaana kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu Bara Oktoba 19 ikiwa ni mechi ambayo inasubiriwa kwa hamu kubwa baada ya timu hizo kukutana kwenye mchezo wa nusu fainali wa Ngao ya Jamii na Simba kupoteza kwa bao 1-0, Agosti mwaka huu.** Presha imeanza kupanda kuelekea dabi ya Kariakoo itakayopigwa Oktoba 19. Kambini Yanga, Kocha Miguel Gamondi kuna jambo linamfanya akune kichwa, lakini hana namna. Simba na Yanga zinavaana kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu Bara Oktoba 19 ikiwa ni mechi ambayo inasubiriwa kwa hamu kubwa baada ya timu hizo kukutana kwenye mchezo wa nusu fainali wa Ngao ya Jamii na Simba kupoteza kwa bao 1-0, Agosti mwaka huu. Simba ambayo kwa sasa ina mabadiliko makubwa kiuchezaji imepania kufanya kitu kwenye mchezo huo kwani tambo za watani wao zimekuwa zikiwakera mitaani. Hata hivyo, Gamondi anajiuliza mara mbili kuhusiana kumtumia kiungo wake mahiri Khalid Aucho kwenye mchezo huu kwa kuwa kwa sasa ana kadi mbili za njano na hivyo italazimika aidha kumweka benchi kwenye mchezo wa kesho dhidi ya Pamba au acheze lakini kwa tahadhari kubwa kwa kuwa akipewa kadi ya tatu aikose dabi. Kadi mbili za Aucho ambaye amekuwa mchezaji mahiri kwenye kikosi cha kwanza cha Yanga kwa misimu ya hivi karibuni, moja alipewa kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi ya Simba na nyingine alipewa kwenye mchezo wa ligi uliopita dhidi ya KMC. Kwa mujibu wa wachambuzi wa Mwanaspoti, pamoja na umahiri wa kiungo huyo, lakini kukosekana kwake kwenye dabi huenda lisiwe pigo kubwa kwa Yanga kwa kuwa tayari ameshakosa michezo kadhaa na kikosi hicho cha kocha Miguel Gamondi kikafanikiwa kutoboa kutokana na upana wa timu hiyo kwasasa sambamba na uzoefu wa mastaa waliopo. Kiungo huyo mkabaji anayeichezea timu ya Taifa ya Uganda alikosa michezo miwili ya Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya robo fainali dhidi ya Mamelodi Sundowns msimu uliopita na nafasi yake alichukua Jonas Mkude ambaye alionyesha uwezo wa juu ingawa baadhi ya wachambuzi wamedai kuwa uzito wa dabi ni tofauti na mechi zingine. Hata hivyo, Mganda huyo msimu huu pia ameshakosa mchezo wa pili wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya CBE ya Ethiopia, mechi ambayo timu yake iliibuka na ushindi wa mabao 6-0. "Nafikiri Aucho atapumzishwa kwenye mchezo dhidi ya Pamba sidhani kama tunaweza kucheza kamari kwa mchezaji mahiri kama huyu, lakini pia Mudathir Yahaya naye mechi hii dhidi ya Pamba hachezi kwa kuwa tayari ana kadi tatu za njano kwa hiyo kaeni tayari kuwaona wachezaji wengine wakicheza," kilisema chanzo kutoka Yanga ingawa Gamondi amekuwa akisisitiza wachezaji wote ni sawa. Yanga inaweza kuwatumia Mkude ambaye licha ya kutopata nafasi ya kucheza mara kwa mara lakini anaweza kuwa mtu sahihi kuziba nafasi ya Mganda huyo, wengine ni Aziz Adambwile na Salum Abubakar 'Sure boy' ambao wanaweza kucheza nafasi hiyo. Mudathir alipata kadi ya tatu kwenye mchezo dhidi ya KMC lakini mashabiki wa Yanga watashangilia kwani kiungo huyo atauwahi mchezo dhidi ya Simba. **Simba wao freshi** Wekundu wa Msimbazi kwao mambo yanaonekana kuwa safi kwa kuwa wachezaji wake Edwin Balua,Shomari Kapombe na Che Malone Fondoh, kila mmoja ana kadi moja tu ya njano hivyo bado wanaweza kuwatumia wachezaji wao kwenye mchezo ujao dhidi ya Coastal Union bila hofu yoyote.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/michezo/morocco-amuita-samatta-hamza-stars-4782160
# Morocco amuita Samatta, Hamza Stars ## Muktasari: **Katika uchaguzi wake, kocha Morocco pamoja na jopo lake la ufundi, ameeleza kikosi kimechaguliwa kwa umakini mkubwa kwa kuzingatia mahitaji ya kiufundi na mbinu za mchezo zinazohitajika ili kukabiliana na DR Congo, timu yenye uzoefu mkubwa kwenye mashindano ya kimataifa.** Kaimu kocha mkuu wa timu ya Taifa Stars, Hemed Morocco ametangaza kikosi cha wachezaji 23 watakaoshiriki katika maandalizi ya michezo miwili ya kuwania nafasi ya kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon 2025) dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DR Congo), huku Adulrazack Hamza akiwa gumzo. Tanzania ambayo ipo kundi H, ikiwa na pointi nne baada ya kutoka suluhu dhidi ya Ethiopia kisha kuwafunga Guinea, itakuwa na kibarua kizito katika michezo hiyo inayotarajiwa kuchezwa Oktoba 10 na 15 dhidi DR Congo wanaoongoza msimamo wa kundi hilo na pointi sita. Hata hivyo, mashabiki wa soka kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo ile ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), wameonekana kufurahia zaidi kitendo Hamza ambaye ameonyesha kiwango cha juu kwenye kikosi cha Simba kwenye michuano ya Ligi Kuu Bara pamoja na Kombe la Shirikisho Afrika ambayo amecheza kutokana na uwezo wa juu alioonyesha uwanjani akiwa na Che Malone Fondoh kama mabeki wa kati. Katika uchaguzi wake, kocha Morocco pamoja na jopo lake la ufundi, ameeleza kikosi kimechaguliwa kwa umakini mkubwa kwa kuzingatia mahitaji ya kiufundi na mbinu za mchezo zinazohitajika ili kukabiliana na DR Congo, timu yenye uzoefu mkubwa kwenye mashindano ya kimataifa na mashabiki wanatakiwa kuendelea kuiombea ili ifanye vizuri. "Tumezingatia uwezo wa kila mchezaji na jinsi wanavyoweza kuchangia kwenye mbinu zetu kwa ajili ya michezo hii. Ni muhimu tukafanikisha lengo letu la kufuzu na tunaamini kikosi hiki kitafanya vizuri kwa kuwa kina wazoefu na vijana wenye uchu," amesema Morocco. Morocco amechagua wachezaji ambao ni mchanganyiko wa wazoefu na vijana wenye vipaji vinavyochipukia. Lengo la kuchanganya makundi haya amesema ni kuhakikisha timu ina nguvu kwenye kila safu kuanzia ulinzi, kiungo hadi safu ya ushambuliaji. Wachezaji wazoefu akiwemo nahodha wa kikosi hicho, Mbwana Samatta aliyekosekana dhidi ya Ethiopa na Guinea wanaaminika ataleta uzoefu na utulivu kwenye timu, huku vijana chipukizi wakitarajiwa kuleta nguvu mpya na kasi itakayowasumbua wapinzani. Katika mchezo wa kwanza, Taifa Stars itakutana na DR Congo ugenini na mchezo wa pili utafanyika nyumbani Tanzania. Michezo yote miwili ni fursa ya Taifa Stars kuonyesha uwezo wao na kuwania nafasi ya kushiriki michuano mikubwa ya soka barani Afrika. DR Congo ni timu ngumu na yenye historia nzuri katika soka la Afrika, lakini Kocha Morocco anaamini kikosi chake kina uwezo wa kuleta ushindani mkali na kufuzu kwa michuano hiyo. Aboutwalib Mshery ambaye amekuwa akiitwa mara kwa mara kwenye kikosi hiki ameachwa kwa sasa na nafasi yake inaonekana kuchukuliwa na Zuberi Foba wa Azam ambaye amefanya vizuri kwenye michezo kadhaa ya mwanzoni ya ligi. KIKOSI KAMILI Makipa; Ally Salim (Simba), Zuberi Foba (Azam FC) na Yona Amos (Pamba) Mabeki; Mohammed Hussein (Simba), Lusajo Mwaikenda (Azam), Pascal Masindo (Azam), Ibrahim Hamad (Yanga), Dickson Job (Yanga), Bakari Mwamnyeto (Yanga), Abdulrazack Hamza (Simba) na Haji Mnoga (Salford City, England). Viungo; Adolf Mtasingwa (Azam), Habib Khalid (Singida Black Stars), Himid Mao (Talaal El Geish, Misri), Mudathir Yahya (Yanga), Feisal Salum (Yanga), Seleman Mwalim (Fountain Gate), Kibu Denis (Simba), Nasoro Saadun (Azam) na Abdullah Said (KMC). Fowadi; Cyprian Kachwele (Vancouver Whitecaps, Canada), Celement Mzize (Yanga), Mbwana Samatta (PAOK, Ugiriki).
http://www.mwananchi.co.tz/mw/michezo/sababu-za-dembele-kuikosa-arsenal-leo-4782024
# Sababu za Dembele kuikosa Arsenal leo ## Muktasari: **Dembele amekuwa kwenye kiwango cha juu kwenye timu hiyo msimu huu kwenye michezo yote aliyoshiriki.** **London, England. **Staa wa PSG Ousmane Dembele, ataukosa mchezo wa leo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Arsenal baada ya kukorofishana na kocha wa timu hiyo Luis Enrique. PSG inatarajiwa kuvaana na Arsenal kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya ukiwa ni mchezo wa pili wa michuano hiyo msimu huu baada ya Arsenal kucheza dhidi ya Atalanta kwenye mchezo wa awali na kutoka suluhu, huku PSG ikiibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Girona. Dembele amekuwa kwenye kiwango cha juu kwenye timu hiyo msimu huu kwenye michezo yote aliyoshiriki. Staa huyo mwenye miaka 27, alijibishana na kocha wake kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Ufaransa dhidi ya Rennes baada ya kutolewa uwanjani kabla mchezo huo haujamalizika. Dembele amekuwa akitajwa kuwa ndiye mbadala sahihi wa Kylian Mbappe ambaye tangu ameondoka na kujiunga na Real Madrid Juni mwaka huu, amefanikiwa kufunga mabao manne kwenye michezo sita ya timu hiyo ya Ufaransa. Mbappe msimu wake wa mwisho na PSG alifanikiwa kufunga mabao 44 kwenye michezo 48 akiwa ndiye alikuwa mchezaji mahiri zaidi kwenye timu hiyo kwa kipindi chote alichokaa hapo. Akizungumzia kwanini Dembele hayupo kwenye msafara wa PSG, Enrique alisema: "Kama mtu hawezi kuwa na heshima na kufuata maagizo wakati wa maandalizi ya timu ina maana kuwa hayupo tayari kucheza. "Mechi yetu ni muhimu sana na nataka kuona kila mchezaji anatakiwa tayari, hivyo nimemuacha Dembele kwa sababu hizo, nataka kuona kila mchezaji anaonyesha kiwango kizuri kwenye timu hii. "Ninaungwa mkono na rais wa klabu pamoja na Mkurugenzi wa Ufundi. Nipo hapa kwa ajili ya kutengeneza timu bora Dembele akiwemo, kwa uhalisia mimi sina shida binafsi naye," alisema kocha huyo wa zamani wa Barcelona. Hata hivyo, baada ya kukosekana kwa staa huyo, sasa majukumu ya timu kwenye eneo la ushambuliaji yanabaki kwa Bradley Barcola, ambaye amefanikiwa kuonyesha uwezo mzuri kwenye michezo iliyopita, huyu ni mchezaji mahiri akiwa amefunga mabao sita kwenye michezo sita ya Ligue 1 msimu huu, mawili akiwa amefunga dhidi ya Rennes. Staa huyo mwenye miaka 22 anatajwa kuwa mmoja kati ya mastaa wakubwa wajao kwenye Ligi Kuu ya Ufaransa, Ligue 1. **Mechi nyingine za Uefa leo** Dortmund vs Cetic Slovan vs Man City RB Sazburgvs Brest Barcelona vs Young Boys VfB Stuttgart vs Sparta Praha Inter vs Crvena
http://www.mwananchi.co.tz/mw/michezo/ulinzi-umegeuka-nguzo-muhimu-simba-yanga-4781902
# Ulinzi umegeuka nguzo muhimu Simba, Yanga ## Muktasari: **Tofauti na mechi za mwanzo za msimu uliopita, safari hii kila timu inaonekana kuwa imara zaidi katika eneo hilo na hilo linathibitishwa na takwimu za ulinzi kwa michezo ambayo kila moja imecheza hadi sasa** Uimara wa safu za ulinzi ulioonyeshwa na Simba na Yanga katika mechi za mwanzo za msimu unaashiria ushindani mkubwa ambao utakuwepo baina ya timu hizo mbili katika mashindano mbalimbali ambayo zinashiriki. Tofauti na mechi za mwanzo za msimu uliopita, safari hii kila timu inaonekana kuwa imara zaidi katika eneo hilo na hilo linathibitishwa na takwimu za ulinzi kwa michezo ambayo kila moja imecheza hadi sasa. Yanga imeongeza kidogo uimara iliokuwa nao msimu uliopita ambapo hadi sasa imeruhusu bao moja tu katika mechi zote tisa za mashindano ambazo imecheza, mbili katika ngao ya jamii, nne katika Ligi ya Mabingwa Afrika na tatu katika Ligi Kuu. Msimu uliopita katika mechi tisa za mwanzo, Yanga iliruhusu nyavu zake kutikiswa mara moja ambapo ilikuwa ni dhidi ya Zalan FC katika Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo ilipata ushindi wa mabao 5-1. Mabadiliko makubwa zaidi kwa safu ya ulinzi yanaonekana kuwa upande wa Simba ambayo katika mechi nane ilizocheza hadi sasa, imeruhusu mabao machache kulinganisha na mechi nane za mwanzo msimu uliopita. Katika msimu huo, Yanga ilimaliza ikiwa imefungwa mabao 14 katika Ligi Kuu na ilimaliza kwa kutwaa ubingwa wa ligi na pia kutwaa taji la Shirikisho la CRDB. Kuna badiliko moja katika safu ya ulinzi ya Yanga ambalo linahusu nafasi ya beki wa kushoto ambapo kwa sasa anacheza Chadrack Boka tofauti na msimu uliopita ambapo alikuwa anacheza Joyce Lomalisa. Wachezaji wengine wanne waliounda safu ya ulinzi ya Yanga hawajabadilika ambao ni Djigui Diarra, Dickson Job, Ibrahim Bacca na Yao Attohoula. Hadi sasa, Simba imeruhusu nyavu zake kutikiswa mara mbili tu ambapo ilifungwa bao moja katika Ngao ya Jamii na lingine kwenye Kombe la Shirikisho Afrika. Msimu uliopita, katika mechi nane za mwanzo za mashindano tofauti, Simba ilifungwa mabao sita ambapo yote ilikuwa ni katika Ligi Kuu Tanzania Bara. Ni msimu ambao haukuwa mzuri kwa Simba kwani ilimaliza ikiwa imeruhusu idadi kubwa ya mabao katika Ligi Kuu ambapo nyavu zake zilitikiswa mara 25. Wachezaji wawili wapya wameingia katika safu ya ulinzi ya Simba msimu huu ambao ni beki Abdulrazack Hamza na kipa Moussa Camara ambao msimu uliopita walikuwa wakicheza Henock Inonga na Aisha Manula. Eneo la ushambuliaji linaonekana kuendeleza kile ambacho kila timu ilianza nacho msimu uliopita. Yanga hadi sasa imefunga mabao 26 katika mechi tisa wakati msimu uliopita ilifunga mabao 23. Simba hadi sasa imepachika mabao 14 katika mechi nane msimu huu wakati msimu uliopita katika mechi nane ilifumania nyavu mara 11. Kocha wa Simba, Fadlu Davids alisema anafurahishwa na ubora wa safu yake ya ulinzi msimu huu na anaamini inachangia kuipa timu mwenendo mzuri. “Napenda kuona kinachofanywa na safu yangu ya ulinzi lakini timu kiujumla. Tunahitaji kuwa na muendelezo mzuri wa hiki ambacho inakifanya na naamini kuna mambo mazuri zaidi yanakuja,” alisema Davids. Beki wa Yanga, Dickson Job alisema kuwa kufanya kwao vizuri ni zao la juhudi za timu nzima. “Siku hizi mpira umebadilika na jukumu la kuzuia na kushambulia ni la timu nzima. Timu yetu inacheza katika namna ambayo kila mmoja anawajibika katika nyakati hizo mbili na ndio maana tunafanya vizuri,” alisema Job.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/burudani
Mambo matatu kwa Mondi akiwa na miaka 35 Ikiwa leo Oktoba 2, mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Naseeb Abdul 'Diamond' anasheherekea siku yake ya kuzaliwa akitimiza miaka 35, ndani ya miaka hiyo msanii huyo tayari amefanya makubwa katika...
http://www.mwananchi.co.tz/mw/burudani/mambo-matatu-kwa-mondi-akiwa-na-miaka-35-4783426
# Mambo matatu kwa Mondi akiwa na miaka 35 ## Muktasari: **Diamond ambaye ndiye Mtanzania mwenye wafuasi wengi zaidi kwenye mitandao ya kijamii, akiwa na 'views' zaidi ya bilioni 2.6 na wafuasi milioni 9.2 kwenye mtandao wa YouTube,kati ya mafanikio ambayo amekuwa akijivunia ni wimbo wake ‘Komasava remix’ aliyomshirikisha Jason Derulo, Khalil Harisson na Chley** **Dar es Salaam,** Ikiwa leo Oktoba 2, mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini Naseeb Abdul 'Diamond' anasheherekea siku yake ya kuzaliwa akitimiza miaka 35, ndani ya miaka hiyo msanii huyo tayari amefanya makubwa katika tasnia ya muziki nchini. Yaani unaweza kusema Diamond wa sasa siyo yule wa miaka mitano iliyopita. Matamanio na mafanikio ya Diamond **Nyimbo/wimbo wake kupigwa na mataifa zaidi ya 20** Diamond ambaye ndiye Mtanzania mwenye wafuasi wengi zaidi kwenye mitandao ya kijamii, akiwa na 'views' zaidi ya bilioni 2.6 na wafuasi milioni 9.2 kwenye mtandao wa YouTube,kati ya mafanikio ambayo amekuwa akijivunia ni wimbo wake ‘Komasava remix’ aliyomshirikisha Jason Derulo, Khalil Harisson na Chley. Wimbo huo ambao uliachiwa rasmi miezi miwili iliyopita hadi sasa umetazamwa zaidi ya mara milioni 21 katika mtandao wa YouTube huku challenge yake ikichezwa na mastaa mbalimbali duniani akiwemo Chris Brown. Mbali na wimbo huo kuwakosha wadau wa muziki, siku chache baada ya kuachiwa kwake ulifanikiwa kuingia katika chati za Billboard na kushika nafasi ya 39 katika Kipengele cha Afrobeats Songs Top 50. **Kunyakua tuzo kubwa duniani** Msanii huyo amewahi kupata tuzo kubwa duniani kama vile MTV barani Ulaya (MTV EMA), MTV, AFRIMMA na nyinginezo huku kwa sasa lengo lake likiwa kushinda tuzo kubwa za muziki kutoka Marekani ‘Grammy’. **Kuwa tajiri namba moja duniani** Mbali na hayo msanii huyo hivi karibuni alieleza kuhusiana na ndoto yake ya kuzifikia ‘levo’ za watu matajiri zaidi duniani akiwemo; Elon Musk, Bernard Arnault, Bill Gates, Aliko Dangote na Jeff Bezos. “Ndoto yangu kubwa katika maisha ni kuwa tajiri namba moja duniani, ndiyo ndoto yangu na ninakuthibitishia kwamba nitakuwa tajiri namba moja duniani. Kwa sababu kwangu mimi naamini kila kitu kinawezekana, na ninawahakikishia kuwa Mtanzania nitakayewakilisha taifa kwa kuwa tajiri namba moja duniani," alisema Diamond mwezi mmoja uliyopita Nasibu Abdul Juma ‘Diamond Platnumz’ alizaliwa Oktoba 2, 1989 mkoani Kigoma na ameipeperusha bendera ya Tanzania kupitia ngoma zake kama ‘Komasava’, ‘Shu’, ‘My Number one’, Marry You’, ‘African Beauty’ na nyinginezo.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/burudani/watu-120-waorodhesha-kesi-mpya-dhidi-ya-diddy-apambana-kujinasua-4783168
# Watu 120 waorodhesha kesi mpya dhidi ya Diddy, apambana kujinasua ## Muktasari: **Akiongea na waandishi wa habari jana Oktoba Mosi, wakili Tony Buzbee kutoka Texas ameweka wazi kuwa watu 120 wamewasilisha madai ya unyanyasaji wa kingono unaodaiwa kufanyika miaka 20 (miongo miwili) iliyopita huku akisema kuwa ana ushahidi wa picha na video** **Marekani,** Mkali wa Hip-Hop wa Marekani, Sean “Diddy” Combs anatuhumiwa kuhusishwa katika kesi mpya 120 za unyanyasaji wa kingono zinazotarajiwa kuwasilishwa mahakamani siku 30 zijazo kabla ya kesi zake za awali kuanza kusikilizwa. Akiongea na waandishi wa habari jana Oktoba Mosi, wakili Tony Buzbee kutoka Texas ameweka wazi kuwa watu 120 wamewasilisha madai ya unyanyasaji wa kingono unaodaiwa kufanyika miaka 20 (miongo miwili) iliyopita huku akisema kuwa ana ushahidi wa picha na video. “Tutawafichua wale waliowezesha mwenendo huu kwa siri. Tutafuatilia jambo hili bila kujali ushahidi utamhusisha nani, watu wengi wenye nguvu, siri nyingi chafu, timu yangu imekusanya picha, video, na ujumbe wa maandishi. “Orodha ni ndefu tayari, lakini kwa sababu ya asili ya kesi hii, tutahakikisha kabisa kuwa tuko sahihi kabla ya kufanya hivyo majina haya yatakushangaza,” Buzbee alisema wakati akiwa kwenye mkutano wa waandishi wa habari. Aidha wakili huyo alimtaja mhusika mmoja kuwa ni mtoto mwenye umri wa miaka tisa ambapo Diddy na wengine walimnyanyasa kingono katika studio za Bad Boy Records huko New York City. Buzbee anadai Diddy alimshawishi mvulana huyo wa miaka 9 kwenda kwenye usaili kwa ahadi ya kumpa mkataba wa muziki, na kisha akamnyanyasa kingono. Hata hivyo kwa mujibu wa wakili huyo baadhi ya watu maarufu watajumuishwa kwenye kesi hizo huku akidai kuwa atawashitaki kwa kuhusika au kuujua ukweli na kuukalia kimya. Hata hivyo mkali huyo anapambana kujinasua kutoka kwenye mikono ya sheria baada ya kukusanya wanasheria mashuhuri kuhakikisha wanamtetea na kupata dhamana ya kutoka mahabusu zikiwa zimepita wiki mbili tangu alipotiwa nguvuni. Ripoti zinafichua Diddy ameandaa jopo la wanasheria mahiri kuhakikisha wanamtetea kwa kuwasilisha hoja zenye nguvu kisheria ili kumtoa mahabusu kwa dhamana, hilo likiwa ni jaribio la tatu baada ya kugomewa dhamana mara mbili. Chanzo kinafichua rapa huyo mwimbaji wa wimbo wa I Need a Girl, kilifichua Diddy ameongeza mawakili wawili kwenye timu yake ya wanasheria, Anthony Ricco na Alexandra Shapiro ili kuifanya timu hiyo kuwa na nguvu katika kutimiza lengo la kumtetea kwenye kesi ya jinai inayomkabili. Imeelezwa Ricco ni moja ya wanasheria mahiri kabisa huko Marekani na Alexandra ndiye mwanasheria msomi anayetamba kwa sasa. Mambo yalivyo ni kwamba Diddy ni kama anaunda timu yake kabambe kabisa ya wanasheria ili kuhakikisha anashinda yanayomkabili. Diddy alikamatwa huko Midtown Manhattan kwenye hoteli ya Park Hyatt New York, Septemba 16 na kufikishwa mahakamani siku iliyofuatia, alipofunguliwa mashtaka ya uhalifu wa kingono na unyanyasaji wa kijinsia. Kukamatwa kwa Diddy kumekuja miezi sita tangu polisi walipovamia kwenye makazi yake huko Los Angeles na Miami katika uchunguzi wao wa masuala ya uhalifu wa kingono. Rapa huyo alijitangaza kuwa hana hatia kwa mashtaka hayo na mwanasheria wake, Marc Agnifilo, alisema mtayarishaji huyo wa muzuki hana hatia na hakuna cha kuficha. Diddy aligomewa dhamana licha ya wanasheria wake mahiri kabisa kuweka bondi ya Dola 50 milioni na kuomba zuio la wageni wa kike kwenye nyumbani kwake huko Miami kwa kipindi chote cha kesi yake. Hata hivyo, baada ya malumbano makubwa ya kisheria kati ya wanasheria upande wa mashtaka na watetezi na ndiyo jaji wa Andrew Carter alipokataa kumpa dhamana Diddy kwa sababu za kiusalama za mshtakiwa huyo. Akiwa katika gereza hilo, awali Diddy aligoma kula kwa hofu ya kuwekewa sumu na hasa kwa sababu amekutana na watu aliwahi kuwa na rekodi nao mbaya alipokuwa uraiani.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/burudani/mwenye-miaka-80-ashiriki-miss-universe-4782502
# Mwenye miaka 80 ashiriki Miss Universe ## Muktasari: **Kwa mujibu wa tovuti mbalimbali bibi huyo wa wajukuu watatu ametajwa kuwa mmoja wa washiriki 32 wanaowania taji hilo kugombania nafasi ya kuiwakilisha Korea mwezi Novemba mwaka huu** **Korea**, Mwanamitindo kutoka Korea Choi Soon-hwa mwenye miaka 80 ameripotiwa kushiriki katika mashindano ya Miss Universe 2024, huku akitajwa kuwa mshiriki mwenye umri mkubwa zaidi katika mashindano hayo. Kwa mujibu wa tovuti mbalimbali bibi huyo wa wajukuu watatu ametajwa kuwa mmoja wa washiriki 32 wanaowania taji hilo kugombania nafasi ya kuiwakilisha Korea mwezi Novemba mwaka huu. Choi ameingia kwenye mashindano hayo baada ya kuondolewa kwa sharti la ukomo wa umri pamoja na la kuwa mzazi (mtu mwenye mtoto), ambapo anakuwa mshiriki wa pili mwenye umri mkubwa kwa mwaka 2024, mwingine ni kutokea Singapore akiwa na umri wa miaka 62, huku mshindi wa kwanza nchini humo akiwa ni mama wa mtoto mmoja. Ndoto ya Choi kutaka kuwa mwanamitindo ilianza akiwa kwenye kituo cha kulea wazee mwaka 2014, baada ya mmoja wa wazee kumwambia anaweza kufanya vizuri katika mambo ya mitindo ndipo akiwa na miaka 71 alianza shule kujifunza mambo hayo. Miaka minne baadaye 2018, akiwa na miaka 75 alianza rasmi kazi za mitindo na alitembea katika maonyesho ya mavazi ya wiki ya Fashion huko Seoul, na toka muda huo ameweza kutokea katika majarida mbalimbali kama Harper Bazaar na Elle.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/burudani/basata-yalaani-tukio-la-zuchu-kurushiwa-vitu-jukwaani--4782396
# BASATA yalaani tukio la Zuchu kurushiwa vitu jukwaani ## Muktasari: **Kupitia taarifa iliyotolewa na BASATA leo Oktoba Mosi, imewataka wadau wa sanaa na wasanii kuheshimu misingi ya kiungwana ili kuepusha migongano isiyo na tija.** **Dar es Salaam**, Baraza la Sanaa la Taifa 'BASATA' limelaani vikali tukio lililotokea Septemba 28, mkoani Mbeya la mwanamuziki Zuhura Othman Soud 'Zuchu' kurushiwa vitu jukwaani wakati akitumbuiza. Kupitia taarifa iliyotolewa na BASATA leo Oktoba Mosi, imewataka wadau wa sanaa na wasanii kuheshimu misingi ya kiungwana ili kuepusha migongano isiyo na tija. Pamoja na hayo, waandaaji wa matukio wametakiwa kuzingatia uwepo wa mazingira salama kwa wasani na wadau wake wakiwa katika majukumu yao. "Kwa mujibu wa Kanuni ya 50 (1) ya Kanuni za Baraza la Sanaa la Taifa za Mwaka 2018 inatoa mamlaka kwa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kuwa mratibu wa matukio yote shughuli za sanaa chini yakizingatia misingi ya kizalendo, kiungwana, utu na mshikamano. "Kutokana na hilo, Baraza la Sanaa la Taifa linalaani tukio lililovuruga utumbuizaji kwa mwanamuziki Zuhura Othman Soud (Zuchu) baada ya kutupiwa vitu jukwaani na mashabiki wasiokuwa waaminifu katika tamasha la Wasafi Festival, tarehe 28 Septemba 2024, lililofanyika Mkoani Mbeya,"imeeleza taarifa hiyo. Ikumbukwe kuwa baada ya Zuchu kurushiwa vitu hivyo alilazimika kususia shoo na kushuka jukwaani kabla ya kumaliza kutumbuiza
http://www.mwananchi.co.tz/mw/burudani/wema-sepetu-hajarudia-makosa-4782376
# Wema Sepetu hajarudia makosa ## Muktasari: **Septemba 28, ilikuwa siku ya kumbukizi ya kuzaliwa kwa nyota huyo, akitimiza miaka 38, katika siku hiyo aliripotiwa kufanya sherehe na watu wake wa karibu jambo ambalo halijazoeleka.** **Dar es Salaam**, Mwigizaji mkongwe na mfanyabiashara Wema Sepetu ni kama amejifunza kutokana na yaliyotokea mwaka 2023 katika kumbukizi ya siku ya kuzaliwa kwake, kwani mwaka huu amefanya sherehe ya siri na watu wake wa karibu. Septemba 28, ilikuwa siku ya kumbukizi ya kuzaliwa kwa nyota huyo, akitimiza miaka 38, katika siku hiyo aliripotiwa kufanya sherehe na watu wake wa karibu jambo ambalo halijazoeleka. Utakumbuka katika siku ya kuzaliwa ya mwigizaji huyo 2023, alifanya sherehe iliyohudhuriwa na mastaa wengi, lakini iliingia doa baada ya mama yake mzazi kutoa maneno ambayo hayakumpendeza Wema mbele ya wageni waalikwa. Chanzo cha karibu cha mwigizaji huyo kiliiambia Mwananchi Scoop kuwa Wema alifanya sherehe ambayo alialika watu wake wa karibu akiwemo mpenzi wake Whozu, mwanamitindo Martin Kadinda, msanii Lulu Diva, Zuu 'Mama Steve' mzazi mwenzake Barnaba na wengine wachache. Hii ni tofauti kwa Wema kwani amezoeleka kufanya sherehe kubwa na kuwaalika watu mbalimbali maarufu huku akijipongeza kwa zawadi za gharama ili kunogesha sherehe zake.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/kolamu/ruto-anavyomchinja-gachagua-kwa-kisu-alichokificha-kwenye-tabasamu-4783072
# Ruto anavyomchinja Gachagua kwa kisu alichokificha kwenye tabasamu Wakanda ni dola ya kufikirika Afrika Mashariki, ndani ya mfululizo wa vitabu vya Fantastic Four. Shujaa Black Panther ambaye jina lake halisi ni T'Challa, anafanya kila kitu kuhakikisha anailinda dola yake, The Kingdom of Wakanda. Inawezekana Wakanda ni Kenya. Mchuano mkali ni kiti cha Black Panther. Kutoka Uhuru Kenyatta na William Ruto, sasa Ikulu ya Kenya inawaka moto baina Ruto na naibu wake, Rigathi Gachagua. Kila mmoja anajipambanua kuwa ndiye T’Challa, mtetezi halisi wa Kenya. Uhuru alipokuwa Rais wa Kenya, alitofautiana na naibu wake, Ruto, namna ya kufikiri kuhusu kesho ya Kenya. Ukaibuka uhasama baina yao. Uhuru akatamba yeye ndiye T’Challa, mtetezi wa Kenya, vivyo hivyo kwa Ruto. Uhuru akasema Ruto ni hatari kwa Kenya, Ruto akasiliba kwamba Uhuru ni msaliti wa Kenya. Kisha, Kenya ilifanya Uchaguzi Mkuu Agosti 9, 2022. Ruto na Gachagua, walikuwa wagombea jozi. Wakichangia sauti moja. Chuki dhidi ya Uhuru ilikuwa wazi kwenye nyuso na katika matamshi yao. Uhuru akataka T’Challa mpya Kenya baada yake, awe Raila Odinga. Haikuwezekana, Ruto alishinda urais, Gachagua, Naibu Rais. Kutoka Septemba 13, 2022, Ruto na Gachagua, walipokula kiapo kuiongoza Kenya, ni miaka miwili imetimia, jina la Gachagua lipo kwenye mchakato wa kibunge, wenye hatima ya kumpigia kura ya kutokuwa na imani naye. Swali siyo wamefikaje huku, bali je, Gachagua ataponyoka? Kambi ya wabunge wengi Kenya (majority caucus), ndiyo inampitisha Gachagua kwenye machinjio. Wabunge na maseneta wa kambi ya Ruto, wanamwona Gachagua ni kikwazo na hatoshi kuendelea kuwa msaidizi mkuu wa Ruto. Wamedhamiria kumwondoa. Chokochoko ilianza kama piga nikupige langoni, katika mchezo wa soka. Gachagua alionya wabunge kubaki maeneo yao ya uwakilishi, badala ya kuzuru na kufanya siasa kwenye majimbo mengine. Ruto akawatetea wabunge, wazunguke popote Kenya ili kufanya kazi yao. Halafu, maandamano makubwa ya vijana, kundi rika la Generation Z, yakazidi kumimina petroli kwenye moto ulioanza kuwaka. Gachagua akakimbilia kwa Uhuru, akasema ni “mtoto wa nyumbani” Mlima Kenya. Ruto akajisalimisha kwa Raila. Gachagua akarusha mashambulizi kwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa Kenya, Noordin Haji, Ruto akamtetea. Kwa mujibu wa mashitaka dhidi ya Gachagua bungeni, kwanza anatuhumiwa kukiuka ibara ya 10 ya Katiba ya Kenya, inayoelekeza katika ibara ndogo ya pili, kuhusu uzalendo, mshikamano wa kitaifa, uadilifu na mengineyo. Gachagua anashutumiwa kwa kufanya siasa za kimaeneo, akiegemea nyumbani kwao, Mlima Kenya. Gachagua anatuhumiwa na wabunge kwa kukiuka misingi ya kitaifa na utawala, ambayo ndiyo mwongozo wa ibara ya 10 ya Katiba ya Kenya, kwa kuwashambulia viongozi wenzake hadharani, Mkurugenzi wa Usalama (Haji) na Jaji wa Mahakama ya Juu Kenya, Esther Maina. Kuhusu Haji, Gachagua alisema mkuu huyo wa Idara ya Usalama, amekuwa akimpotosha Rais Ruto, na kushindwa kumpa ushauri mzuri, hasa katika sakata la Generation Z. Upande wa Jaji Maina, alimshambulia kwa kutoa uamuzi dhidi yake kabla hajawa Naibu Rais, kwamba alijipatia Sh200 milioni za Kenya (Sh4.2 bilioni za Tanzania), kifisadi. Makosa mengine ambayo yamewasilishwa bungeni ni rushwa na kujipatia mali kifisadi. Gachagua anadaiwa kununua hoteli za Treetops na Outspan, zilizopo kwenye Hifadhi ya Taifa ya Aberdare. Nyingine ni hoteli za Olive Gardens na Vipingo Beach Resort, zilizopo Kilifi. Zipo mali nyingine ambazo Gachagua anadaiwa kuzinunua miezi ya karibuni, kinyume na kipato chake. Hoja ya kutokuwa na imani na Gachagua, imewasilishwa bungeni kwa mujibu wa ibara ya 150 (1) (b) na (2), inayotaka mtoa hoja ya kumwondoa Naibu Rais, lazima athibitishe sababu za msingi kuwa kiongozi huyo anakuwa amevunja sheria za ndani au za kimataifa. Wabunge wanamtuhumu Gachagua kwa kukiuka sheria mbalimbali za nchi; Sheria ya Mshikamano na Ushirikiano, Sheria ya Mwendelezo wa Uhalifu na Mapambano dhidi ya Utakatishaji Fedha Haramu, Sheria ya Kanuni ya Adhabu, Sheria ya Uongozi na Uadilifu, Sheria ya Kukabiliana na Rushwa pamoja na Uhalifu wa Kiuchumi. Spika wa Bunge, Moses Wetangula, ameripotiwa kuunga mkono hoja hiyo dhidi ya Gachagua. Kiongozi wa wabunge wengi, Kimani Ichungwah, ameviambia vyombo vya habari kuwa hoja ya kumng’oa Gachagua ni nzito na inajitosheleza. Wabunge na maseneta kutoka Mlima Kenya, wameungana kutaka Gachagua aondoke, kisha nafasi yake ichukuliwe na Kithure Kindiki, ambaye ni Waziri wa Mambo ya Ndani na Utawala wa Kitaifa. Kabla ya Uchaguzi Mkuu Kenya 2022, wabunge na maseneta wa Mlima, walimpendekeza Kindiki kuwa mgombea mwenza wa Ruto, ambaye aliamua kusimama na Gachagua. Dhahiri, wabunge na maseneta wengi wa Mlima, hawapo na Gachagua, ambaye karata yake ni kwao, Mlima ili kumtisha Ruto. Ilivyo wazi, Gachagua hakukubalika tangu mwanzo Mlima Kenya, ila Ruto alimteua kuwa mgombea mwenza wake, kwa imani kuwa angemtii. Ni kipindi hiki, Uhuru yupo zake kimya, pengine akicheka kwa kufunika kinywa ili asionekane. Ni kama anasema “kiko wapi”, vishindo vya Ruto na Gachagua, kumshughulikia na familia yake, wameishia kushughulikiana wenyewe. Timu ya Raila na wapinzani wengine dhidi ya Ruto na naibu wake, Gachagua, wao wanasema “chickens come home to roost” – “ubaya unarejea ulipotoka”. Ushirikiano wa Ruto na Gachagua, haukuundwa kwa misingi ya uongozi wala kwa ajili ya kesho njema ya Kenya, bali manufaa binafsi na masilahi ya ukabila. Hiyo ndiyo gharama. Wanaona matokeo ya sasa ya Ruto na Gachagua, ni sawa na ilivyotokea kwa Uhuru na Ruto, waliungana kwa sababu wote walikuwa washitakiwa wa kesi ya uhalifu wa kibinadamu, Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC). Hawakupatana kiuongozi wala tamaa ya kuijenga Kenya iliyo bora. Gachagua amekuwa akiamini kuwa Ruto hatapitisha uamuzi wa yeye kuondolewa kwenye kiti cha Naibu Rais. Anasema, uhusiano wake na Ruto ni wenye afya kabisa, isipokuwa bosi wake huyo amekuwa akipotoshwa na watu wanaomzunguka. Wakati huohuo, Gachagua analalamika kuondolewa kwenye shajara (diary) ya Rais Ruto, ambayo aliunganishwa kupitia kundi la kimtandao la WhatsApp. Gachagua anaeleza kuwa yeye na wasaidizi wake wa karibu, wameondolewa kwenye kundi hilo la WhatsApp, ambalo ndilo huwekwa ratiba na mipango ya kikazi ya Rais Ruto. Asichojua Gachagua ni kuwa anachinjwa na Ruto kwa kisu kilichofichwa kwenye tabasamu. Ni kanuni ya Jenerali Wang Jingze, aliyoandika katika sura ya pili ya kitabu “Thirty-Six Stratagems.” Unamkenulia adui, adanganyike kuwa kila kitu kipo sawa, halafu akizubaa, unamchinja.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/kolamu/tuhakikishe-shule-zinakuwa-mahala-salama-4781892
# Tuhakikishe shule zinakuwa mahala salama Septemba 30 katika gazeti la Mwananchi ilichapishwa taarifa iliyobebwa na kichwa cha habari ‘Shule zageuzwa gesti bubu’. Habari hiyo ni matokeo ya uchunguzi uliofanywa katika shule kadhaa ndani ya jiji la Dar es Salaam na kubaini mazingira yake si salama kwa watoto. Kulingana na habari hiyo shule hizo hazina uzio, madirisha, milango, ulinzi hivyo kufanya mtu yeyote anaweza kuingia wakati wowote na kuathiri usalama wa wanafunzi. Kwangu naona haliishii hapo, kwa mazingira hayo ni rahisi sana kwa watoto kujifunza mambo ya ovyo au hata kutozingatia kile kinachofundishwa darasani. Nafahamu katika hili wengi tutainyooshea kidole Serikali kwanini inashindwa kusimamia shule na kuhakikisha zina mazingira mazuri na salama kwa wanafunzi. Hata kama shule sio za Serikali bado ina dhamana ya kuhakikisha usalama wa wanafunzi. Mwongozo unaelekeza kabisa ili shule ianze kupokea wanafunzi inapaswa kuwa na miundombinu ya aina gani kuhakikisha usalama wa watoto, hapa ndipo Serikali inapaswa kuwajibika kwanini mambo yanakwenda ndivyo sivyo hali. Baada ya kuinyooshea kidole Serikali hebu turudi kwetu sisi wazazi na wanajamii kwa ujumla tujiulize tumefanya nini kunusuru hali hiyo. Ninachoamini yakitokea madhara tutakaoumia ni sisi na si hiyo Serikali ambayo tunaamini inabeba mzigo mkubwa. Najiuliza hivi inawezekana vipi kwa shule iliyo katika Jiji la Dar es Salaam inakosa taa kiasi kwamba watu wasio na nia njema wanatumia mwanya huo wa giza kuingia na kufanya vitu vya hovyo kama ambavyo imeelezwa kwenye habari hiyo. Shule ambayo ipo ndani ya jiji linaloongoza kwa shughuli za kibiashara inakosaje milango, madirisha au hata mlinzi anayelinda usalama wa watoto na vifaa vinavyopatikana hapo shuleni. Huu ni uzembe wa hali ya juu na kwa tafsiri nyingine ni kwamba jamii imeshindwa kuwajibika. Kwa ninavyofahamu kila shule ya msingi ina kamati na shule za sekondari zina bodi ambazo zinafanya kazi kwa ukaribu na uongozi wa shule, wazazi na Serikali. Kupitia kamati hizi ni rahisi kuonesha changamoto ilipo na ikafanyiwa kazi kulingana na uzito wake kwa kuwashirikisha wazazi au hata jamii kwa ujumla ya eneo husika ambapo shule ipo. Sasa najiuliza kamati za shule zinafanya nini kuhakikisha zinatatua changamoto zinazohatarisha usalama wa wanafunzi katika shule wanazozisimamia. Nikitolea mfano taa, ni ajabu kusikia kwamba shule ina umeme lakini inakuwa giza kwa sababu hakuna taa. Haya ni mambo ya ajabu na ninarudi kule kule jamii imeshindwa kuwajibika. Hebu jiulize wewe mzazi unaweza kuruhusu nyumbani kwako kukae giza kwa sababu taa imeungua au kwa sababu yoyote ile hakuna taa? Jibu ni hapana utapambana kwa kadri ya uwezo wako kuhakikisha kunawaka, sasa kama hivyo ndivyo kwanini tunashindwa kuunganisha nguvu kuwezesha taa kupatikana katika shule wanazosoma watoto wetu. Mtu ukiwambia hivi atasema shule ni ya Serikali sasa hebu jiulize hiyo Serikali inasimamia shule ngapi na inafanya vitu vingapi hadi ikumbuke kwamba shule yenu haina taa. Unakuta wazazi wanavutana kulipa mshahara wa mlinzi matokeo yake shule inabaki bila ulinzi, hapo sasa ndio utasikia watu wanaingia usiku na kugeuza gesti bubu. Kuna mambo mengine wanajamii tunapaswa kuwajibika na wala tusiumizwe na uwajibikaji huo kwa sababu ni sisi ndio tutakopata matunda au maumivu yake. Kama hatutaimairisha ulinzi na usalama katika wa shule watakaokuwa shakani ni watoto wetu na sio Serikali. Kutokana na uhalisia huo hatuna budi kuwa na mipango madhubuti ya kuhakikisha watoto wetu wanasoma katika mazingira yenye usalama. Mazingira ya kujifunzia yanapokuwa mazuri yana mchango mkubwa katika kiwango cha taaluma na kinyume chake ni hatari. Wito wangu kwa wazazi tusione uchungu kuchangia vitu ambavyo viko ndani ya uwezo wetu, kama unaumia kutoa fedha basi peleka taa shuleni. Mkiona kulipa mshahara wa mlinzi ni gharama basi jipangieni zamu za kwenda kulinda shuleni ili kuhakikisha ulinzi na usalama unaimarishwa wakati wote watoto wasome katika mazingira mazuri. Katika hili viongozi wa mitaa na vijiji nao wanapaswa kuwajibika kuhakikisha shule zilizo kwenye maeneo yao ziko salama. Kusubiri Serikali kuu ilete taa, illipe mlinzi, ijenge ukuta inaweza kuchukua muda mrefu lakini hayo yote yanaweza kufanywa na wazazi na wanajamii wa eneo husika. Elizabeth Edward ni mwandishi mwandamizi wa Mwananchi.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/kolamu/mwalimu-wazawa-watupe-muendelezo-4780532
# Mwalimu, wazawa watupe muendelezo Msimu wa Ligi Kuu 2024/2025 umeanza vizuri kwa mshambuliaji wa Fountain Gate, Selemani Mwalimu kutokana na kasi ya kufumania nyavu ambayo amekuwa akiionyesha. Mchezaji huyo katika mechi sita alizoichezea timu yake hadi sasa, tayari ameshaifungia mabao manne ambayo yanamfanya aongoze chati ya kufumania nyavu hadi sasa. Makali hayo ya kufumania nyavu ambayo Mwalimu ameanza kuyaonyesha, yanafanya wengi wakumbuke kile alichokifanya msimu uliopita katika Ligi Kuu ya Zanzibar ambapo alimaliza akiwa mfungaji bora kwa kuifungia timu yake ya KVZ idadi ya mabao 20 katika michezo 27 ambayo alicheza. Kana kwamba haitoshi, Mwalimu pia katika msimu huo uliopita alimaliza akiwa amepiga pasi saba za mwisho kwenye ligi hiyo ya Zanzibar. Namba alizoanza nazo ndani ya kikosi cha Fountain Gate zinathibitisha kuwa haikukosea kumsajili kwani angalau amekuwa akihusika na bao moja katika kila mchezo, jambo ambalo ni zuri na linalotakiwa kufanywa na mchezaji wa nafasi ya ushambuliaji. Mwanzo huo mzuri wa kufumania nyavu haujawa kwa Mwalimu pekee bali pia kuna wachezaji wengine wazawa ambao katika chati ya wanaowania tuzo ya ufungaji bora msimu huu wanaonekana kuwa na namba nzuri. Pale Fountain Gate mbali na Mwalimu, yupo Edgar William aliyefumania nyavu mara tatu na anaonekana kuunda safu tishio ya ushambuliaji na mwenzake. Wazawa wengine ambao wameonekana kuanza kwa kuchanga vyema karata zao kwa kufunga mabao ni Valentino Mashaka, Clement Mzize, Crispin Ngushi, Nassor Saadun, Salum Kihimbwqa, Paul Peter na David Ulomi. Hili ni jambo lenye faida sana kwa nchi yetu kwa vile wazawa hao wanaonyesha uwezo wa kufumania nyavu katika kipindi ambacho Taifa lilianza kuwa na uhaba wa washambuliaji wazawa kwa ajili ya kuitumikia timu ya taifa ‘Taifa Stars’. Kama wachezaji hao watakuwa na muendelezo mzuri wa hicho wanachokifanya maana yake benchi la ufundi la Taifa Stars litakuwa na wigo mpana katika uteuzi wa kikosi cha timu hiyo siku za usoni tofauti na sasa ambapo haina machaguo mengi kwa wachezaji wa nafasi za ushambuliaji. Jambo lingine la kuvutia ni kwamba wachezaji hao wote wana umri mdogo hivyo wana nafasi ya kutumikia timu yetu ya taifa kwa muda mrefu na hata kusogea mbali zaidi kwa kufuata malisho ya kijani katika ligi kubwa za ndani na nje ya Afrika. Ukiondoa hao washambuliaji, kuna makipa pia ambao mechi za mwanzo wameonyesha viwango bora ambavyo vimechangia kwa kiasi kikubwa kuweka salama milango ya timu zao kwa kutoruhusu mabao katika baadhi ya mechi za ligi. Majina ya mfano katika nafasi ya kipa ambayo yameanza vizuri msimu ni Musa Mbisa wa Tanzania Prisons, Yona Amos wa Pamba, Fikirini Bakari wa Fountain Gate Denis Richard wa JKT Tanzania na Zubery Foba wa Azam FC. Fikirini Bakari kwa mfano pale ndani ya Fountain Gate amefanikiwa kulishawishi benchi la ufundi kutompa nafasi kipa wa zamani wa timu ya taifa ya Nigeria, John Noble na badala yake kumuamini yeye katika kikosi cha kwanza. Wachezaji hao wazawa walioanza vizuri wengi ni wale wanaocheza katika nafasi ambazo kwa muda mrefu nchi yetu imekuwa na uhaba na mahitaji ya wachezaji wa kuzicheza. Kwa wanachokifanya sasa wanastahili kupongezwa lakini jambo la msingi ambalo wanatakiwa kulifanya ni kuhakikisha kunakuwa na muendelezo wake badala ya kuishia njiani na baadaye wakatoa fursa kwa wachezaji wa kigeni kutawala. Ni jambo lililo wazi kwamba vipaji vya soka havijawahi kuwa changamoto hapa nchini na mara kwa mara wachezaji wetu wamekuwa na mwanzo mzuri kwenye ligi au mashindano mengine mbalimbali ambayo wamekuwa wakishiriki lakini ambacho kimekuwa kikiwaangusha mara kwa mara ni kukosekana kwa muendelezo wa kufanya vizuri kwa muda mrefu. Kile ambacho wanakitoa kimekuwa kama homa za vipindi kwamba kuna wakati wanaibuka na kufanya vizuri na wakati mwingine makali yao huwa hayaonekani jambo ambalo huchangia thamani zao kuwa chini. Iko mifano mingi ya wachezaji wazawa ambao kwa nyakati tofauti, mwanzoni mwa msimu walionyesha kuwa wangemaliza kwa mafanikio makubwa lakini mambo yakawa kinyume hapo baadaye. Mfano mzuri ni mshambuliaji wa Dodoma Jiji ambaye aliwahi kuzichezea pia Yanga na Namungo FC, Reliants Lusajo ambaye katika msimu wa 2021/2023 alianza vyema kwa kuifungia Namungo FC mabao sita katika mechi 10 za mwanzo na licha ya wengi kuamini kwamba angemaliza akiwa kinara wa kufumania nyavu au hata kupachika idadi kubwa ya mabao, mambo hayakwenda kama yalivyotegemewa kwani aliishia kufunga mabao 10 tu kwa msimu huo. Wachezaji wetu wazawa ambao wameanza msimu kibabe, wanapaswa kufahamu kwamba kwa sasa wao bado ni wa daraja la kawaida na fursa ya kutambulika kama bora ipo ila ni hadi kile wanachokifanya wataendelea nacho hadi mwishoni mwa msimu na baada ya hapo wakifanye katika msimu unaofuata au zaidi. Wapo wachezaji wachache ambao kwa nyakati tofauti walifanikiwa kuwa na muendelezo wa ubora wao na ndio maana vitabu vya historia vinawataja kama bora miongoni mwa waliowahi kuitumikia ligi yetu. Kuna mfano wa wachezaji kama Mohammed Hussein 'Mmachinga', John Bocco, Abeid Mziba, Abdallah Kibadeni, Sunday Manara na Juma Mgunda ambao hawakuishia kutamba katika mechi za mwanzo za msimu au kwa msimu mmoja tu.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/kolamu/ongea-na-aunt-bettie-nimepata-mpenzi-mpya-anataka-niache-kazi-4779414
# ONGEA NA AUNT BETTIE: Nimepata mpenzi mpya anataka niache kazi **Swali**: Nimepata mpenzi mwekezaji, kwa kweli ananipenda na kunitimizia mahitaji yangu na ya familia. Ila kuna jambo amenishirikisha huu sasa ni mwezi, nashindwa kufanya uamuzi. Nimeajiriwa serikalini kwenye ajira zenye mshahara wa kawaida, hivyo ananiambia niache kazi akaniajiri kwenye moja ya kampuni zake zilizopo mkoani Mtwara. Amenionyesha hadi mshahara nitakaolipwa, ni mara mbili ya huu wa sasa na marupurupu kibao. Kwa kweli ameahidi kubadili maisha yangu kabisa akishaniajiri. Nimewashirikisha ndugu zangu wote wamenikatisha tamaa, nachanganyikiwa hata sijui nifanyeje. Naomba nishauri. **Jibu:** Pole kwa kuchanganyikiwa, ila nami naungana na ndugu zako kuwa usikurupuke kuacha kazi. Huyu anakuajiri kwa sababu ya mapenzi na umesema ni mwekezaji, huna uhakika huo mradi au miradi itadumu kwa muda gani na je, mapenzi yakiisha utaendelea kuwa mfanyakazi wake? Najua utashangaa kusema mapenzi yakiisha. Narudia tena mapenzi huwa yanaisha kabisa, tena mengine huisha vibaya kwa visasi na kununiana, hapo ndiyo itakuwa shida. Kwa kuwa ameonyesha nia ya kukusaidia uachane na masuala ya kuajiriwa mwambie akufungulie biashara kubwa ambayo utaiendesha ukiwa kazini, ikisimama unaweza kuamua vinginevyo kwa sababu utakuwa na uhakika na biashara ni yako hata mapenzi yakiisha utaendelea kuiendesha. Zingatia, kumbuka usije kufanya maamuzi yanayoletwa kwako kwa nguvu ya mapenzi, hata kama ni mumeo kuna vitu unapaswa kuviamua kwa umakini sana, kwani hata ndoa huvunjika. Kipimo cha utu ni kazi na kazi ndiyo msingi wa maisha, ukiacha halafu ukaachwa utakuwa mgeni wa nani. Siombei uachwe ila hutokea watu wakaachana. **Swali:** Nimejitahidi kila njia lakini mwenza wangu ni kama simridhishi faragha, kiasi imefikia hata mimi naona haniridhishi.Kila nikifikiria ninakosea au tulikosea wapi ninashindwa kupata jibu la moja kwa moja. Nimefikia mwafaka sitaki kuumiza kichwa sana, nataka nianze upya kuhakikisha kila kitu kinakuwa sawa. Lakini sina mbinu tena kama nilipokuwa kijana, naomba nishauri nifanye nini kuhakikisha mimi na mwenza wangu niliyeishi naye miaka mingi tunaridhishana faraghani. **Jibu:** Kabla sijasahau muhimu muwe na mawasiliano mazuri, uelewa na kila mmoja kujali hisia za mwenzake. Zungumza naye kwa uwazi kuhusu azma yako hii ukilenga kueleza matamanio yako, yaani unachotamani kitokee kuhusu kuridhishana mkiwa faragha. Mkizungumza usijikite tu kwenye nini unataka, bali pia elewa nini mpenzi wako anataka. Mkijadili kwa pamoja utapata mwanga wapi pa kuanzia, ikiwamo kukubaliana nini kitawafanya mjisikie vizuri mkiwa faraghani na hatimaye kufurahia kupata mlichokikosa muda mrefu. Inawezekana kuna vitu kila mmoja wenu anavifanya mkiwa faragha havimfurahishi mwingine, lakini mnashindwa kuambiana, hapa ndipo mahali pa kuvisema, pia mnaweza kushirikisha wataalamu wa mahusiano au kujamiiana kwa ujuzi zaidi. Mjiruhusu kuonyeshana ujuzi wa tendo la ndoa, kama unaona inaweza kuleta shida, mshirikishe kuwa unataka kumuonyesha manjonjo mapya. Hii itamfanya kuwa na hamu na hayo manjonjo na mwili, akili na roho vitakuwa tayari kushiriki vikijua kuna mazuri yanakuja. Hii isiwe ya kupita, bali ya kudumu, kila mara ukijifunza kitu kipya unampa mshawasha wa kukijua na yeye pia halikadhalika. Si vibaya siku moja moja mkibadilisha mazingira ya kufanyia tendo, simaanishi yawe ya gharama kubwa, ila nasisitiza jitahidini kubadili eneo mnalofanyia mambo yenu kwa kadiri mtakavyojaaliwa. Muombe maoni siku utakayohisi amefurahia zaidi ujue ulifanya nini hadi kufikia hali hiyo, nawe pia siku ukifurahi zaidi mweleze ashikilie hapo hapo, kwani amekukuna mtima. Usijipunje, hili suala halitakiwi kusinyaa, linatakiwa kuchanua siku zote, jifunze, tafuta mbinu. Watu wanapojadili masuala hayo hakikisha unakuwa msikilizaji ili ujifunze vitu vipya. Usisahau kumpa nyama ya ulimi, ukimkemea hata ukiwa na mbinu mpya milioni moja, hatofurahia tendo na asipofurahi nawe hutopata unachokitaka kutoka kwake.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/kolamu/mkeo-siyo-ngoma-upige-utakavyo-4779408
# Mkeo siyo ngoma upige utakavyo Mkeo ni mwenzi. Umtunze akutunze, umpende akupende, na ukimtesa utateseka. Hata hivyo, kuna imani potofu za baadhi ya makabila ambazo hatujui kama ni za kweli kuwa bila mume kumtandika mkewe inaonyesha hampendi vilivyo. Kadhalika, kwa baadhi ya makabila na karibu yote, dhana hii inashangaza na kufanya hata kuwa vigumu kuielewa, achia mbali kuikubali. Gereza ni gereza, hata liwekewe vyakula safi na kila anasa. Na kipigo ni kipigo na hakuna kipigo kizuri, kinachokubalika au kuzoeleka. Kabla hujaamua kumpiga au kumdhulumu mwenzako, jiulize. Je, ningekuwa yeye ningependa nitendewe au nitenzwe vipi? Tunarudia. Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu. Sie waandishi siyo malaika. Pia, siyo mashetani. Tuna udhaifu wetu kama binadamu wengine. Ila tuna ubora ambao tunaweza kusema wengi hawana au unaoweza kuwafunza wengine vitu vya maana kutokana na uzoefu wetu katika taasisi hii adhimu na ngumu. Pamoja na kukaa kwenye taasisi hii yenye kila aina ya changamoto na maadui, hatujawahi kupigana au kuitana majina mabaya hata siku moja. Tumewahi kununiana. Hili ni jambo la kawaida kwa binadamu. Hatujawahi kutukanana hata siku moja. Hatuandiki haya kinadharia, kujifurahisha, au kumfurahisha yeyote, bali kufunza na kushare uzoefu wetu. Tumeyaishi na kujua kuwa yanawezekana. Kama yamewezekana kwetu, kwa nini yasiwezekane kwa wengine? Amani, furaha na ufanisi katika ndoa ni suala la uamuzi ila ni muhimu. Hata mafarakano, huzuni na maanguko katika ndoa ni masuala ya kupima na kuamua. Tutoe mfano wa mwanandoa anayemdhulumu au kumuumiza mwenzie. Je, ni haki kwa mwanandoa huyu kutegemea kutendewa kinyume na atendavyo? Wahenga walisema kuwa dawa ya moto ni moto. Japo wanawake, mara nyingi, hawatumii fujo kama wanaume inapotokea ndoa ikawa na dhuluma na unyanyasaji, wana namna yao ya kulipiza kisasi, hata kama wapo pia wanaosamehe, kuamua kuachana, au kuvumilia hata kuachika. Kumpiga mkeo, licha ya kumuumiza na kumdhalilisha, ni kumuonea na kumdhulumu. Ni dhuluma kama dhuluma nyingine. Kuna rafiki wa familia ambaye alikuwa na tabia ya kumtukana na kumpiga mkewe tena mbele ya watoto wake wachanga bila kujua kuwa angewaambukiza watoto uhovyo na ukatili huu. Siku moja akiwa kazini, mtoto wake mmoja alimuomba mama yake ampe ice cream (hatuna Kiswahili chake). Mama alimpa ice cream. Hata hivyo, mtoto hakutosheka, pamoja na kupewa ice cream nyingi tu tena jioni, jambo ambalo humsababishia kukosa usingizi na si jema kiafya. Mtoto aliomba tena apewe ice cream. Safari hii, mama alimkatalia. Bila hili wala lile, yule mtoto mdogo alimrushia kibao mama yake huku akifoka kama afanyavyo baba yake. Kujua tatizo vilivyo, mama hakumrudishia kibao zaidi ya kumuonya asirudie. Mtoto naye hakukubali, badala ya kumpiga tena, alimwambia “kwa nini nisikupige?” Mama alimjibu mtoto “kwa nini unipige, kosa langu nini?” Mtoto alijibu “mbona baba huwa anakupiga na haelezi ni kwa nini?” Mama alimdanganya mtoto kwa kumshauri asome kitabu na mtoto alisahau lakini bila kujutia. Je, wewe baba unayempiga mkeo, ungekuwa wewe ungefanya nini? Ungemfanya nini yule mtoto? Si rahisi kujibu. Na kama ukijibu, majibu yatakuwa mengi na tofauti. Kwa ufupi ni kwamba, kama walivyosema wahenga, kazimbi si mchezo mwema. Watoto wetu ni sisi wa jana na kesho. Hivyo, tunapofanya mambo, tusijiangalie au kuwaangalia tu wale tunaowaonea au kuwadhulumu. Dhuluma kwa mama ni dhuluma kwa mtoto. Hivyo, iwe ni mila au imani, kumpiga mkeo si jambo jema. Kunajenga chuki ya chinichini na madhara yake yanaweza kuwa makubwa na ya muda mrefu kuliko unavyoweza kudhani. Mtoto wa nyoka ni nyoka. Hivyo, ni vizuri ukajua kuwa kupigana ni udhalilishaji na ukatili. Je, hakuna njia nyingine za kuonyeshana mapenzi au kutatua ugomvi? Kisa kingine, kuna jamaa mmoja alizoea kumpiga mkewe mara kwa mara. Mama alichukia na kumwekea kisasi. Alipougua akawa hana uwezo wa kujisaidia, alihitaji mkewe amsaidie. Mkewe alimjibu “sitakusaidia ili upone uendelee kunipiga. Nawe, acha ugonjwa ukupige uonje uchungu wa kuumizwa.” Tumalizie. Mkeo siyo ngoma upige. Ni binadamu mwenye kuumia, anayehitaji heshima na mapenzi na si mateso na udhalilishaji. Je, unapata faida gani kumuumiza mwenzio uliyeahidi kumpenda, kumlinda na kumtunza ili naye akutunze hivyo?
http://www.mwananchi.co.tz/mw/kipanya
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Subscribe for a month to get full access
http://www.mwananchi.co.tz/mw/kipanya/4783454-4783454
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Subscribe for a month to get full access Photo: 1/1 View caption
http://www.mwananchi.co.tz/mw/kipanya/4782128-4782128
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Subscribe for a month to get full access Photo: 1/1 View caption
http://www.mwananchi.co.tz/mw/kipanya/4780608-4780608
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features. Reclaim your full access. Click below to renew. Subscribe for a month to get full access Photo: 1/1 View caption
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/makala/elimu/-pre-form-one-na-msimu-wa-shule-binafsi-kupiga-fedha--4781896
# Pre-Form One na msimu wa shule binafsi ‘kupiga fedha’ Baada ya kumalizika kwa mitihani ya kuhitimu darasa la saba, wazazi kote nchini Tanzania wanapata furaha isiyo kifani kuona watoto wao wamevuka hatua hiyo muhimu katika safari ya elimu. Picha za pongezi zimejaa kwenye mitandao ya kijamii, zikionesha furaha, matumaini, na fahari ya wazazi wanaojiandaa kupeleka watoto wao kwenye ngazi ya sekondari. Miaka saba ya elimu ya msingi, ambayo imejaa changamoto za kila aina, sasa imehitimishwa, na familia nyingi zinaamini kuwa ndoto za watoto wao zinaanza kutimia. Lakini nyuma ya shamrashamra hizo, swali muhimu linajitokeza: je, mipango ikoje kuhakikisha kila mwanafunzi anayehitimu anapata elimu bora kwenye ngazi ya sekondari? Tanzania inajivunia kutoa elimu ya msingi bila malipo, lakini bado shule za binafsi zinaonekana kuvutia wazazi wengi ambao wana shaka kuhusu ubora wa elimu inayotolewa na shule za umma. Hii inadhihirisha kwamba elimu ya msingi bila malipo haijapata imani kamili kutoka kwa baadhi ya wazazi. Shule binafsi nchini, hasa zile zinazojulikana kwa kutoa matokeo mazuri kila mwaka, hazina haja ya kujitangaza. Wazazi wanazikimbilia wenyewe, licha ya gharama kubwa zinazohusishwa kujiunga na shule hizo. Wakati shule nyingi za binafsi zikihaha kutafuta wanafunzi, shule zilizo na historia nzuri ya matokeo mazuri huchuja wanafunzi kwa umakini na kuweka viwango vya juu vya kujiunga. Mbinu hii ya mchujo inawakatisha tamaa wazazi wengi, lakini inaonekana kuwa ndiyo njia pekee ya kuhakikisha shule hizi zinaendelea kutoa matokeo bora. Katika mchakato huu wa kuandikisha wanafunzi wapya kwa kidato cha kwanza, baadhi ya shule binafsi zimeanzisha utaratibu wa Pre-Form One, ambapo wanafunzi hulazimika kusoma masomo ya awali kwa kipindi cha miezi miwili hadi sita kabla ya kuanza kidato cha kwanza rasmi. Ingawa utaratibu huu hautambuliki rasmi na Serikali, umeonekana kuwa maarufu katika shule nyingi binafsi. Wazazi wanaamini kuwa kusoma Pre-Form One ni njia bora ya kumwandaa mwanafunzi kwa masomo ya kidato cha kwanza na hivyo hawasiti kulipia gharama kubwa zinazohusishwa na mpango huu. Gharama za Pre-Form One zimekuwa changamoto kwa wazazi wengi, kwani ada zinaweza kufikia hadi Sh1 milioni. Wakati mwingine, shule zinafanya utaratibu huu kuwa wa lazima kwa kila mwanafunzi anayetaka kujiunga. Wale ambao hawataki kulipa gharama hizo, wanakosa nafasi ya kujiunga na shule hizo. Hii inawafanya wazazi walio na uwezo mdogo wa kifedha kujikuta wakiangalia shule za umma kama chaguo la mwisho, hata kama hawana imani kamili na ubora wa elimu inayotolewa huko. **Kasoro za mpango huu** Mpango wa Pre-Form One hauna mtalaa maalumu unaotambuliwa na Serikali, na masomo yanayofundishwa wakati huu ni yale yale ambayo wanafunzi watakutana nayo kwenye kidato cha kwanza. Ingawa wazazi wengi hawakubaliani na utaratibu huu, bado wanashurutishwa kuufuata ili watoto wao wapate nafasi katika shule hizo maarufu. Vilevile, utaratibu huu umeleta changamoto kwa walimu, hasa wale wanaofundisha masomo ya Kiingereza na sayansi. Walimu hawa wanalazimika kufundisha kipindi cha Pre-Form One wakati ambao wangeweza kupumzika, hasa likizo ya Septemba. Walimu hawa, ingawa wanabeba mzigo mkubwa wa kuwafundisha wanafunzi hawa, wanalipwa malipo duni, kama chakula cha mchana na nauli pekee. Kwa upande wa wamiliki wa shule binafsi, mpango wa Pre-Form One umekuwa chanzo cha faida kubwa. Mmoja wa wamiliki wa shule binafsi nchini, ambaye hakutaka kutajwa jina, alikiri kwamba kupitia mpango huu, shule yake inapata zaidi ya Sh18 milioni kila mwaka. Fedha hizi hazitumiki zote kwa malipo ya walimu au gharama nyingine za uendeshaji, badala yake zinasaidia kuimarisha miundombinu ya shule na kulipa mishahara ya walimu. Walimu wanaofundisha wanafunzi wa Pre-Form One wanapewa marupurupu madogo kama chakula cha mchana na nauli, huku wamiliki wa shule wakibaki na sehemu kubwa ya mapato haya. Soko huria katika sekta ya elimu nchini limeifanya iwe vigumu kwa wazazi kulalamikia taratibu hizi ngumu, hasa kwa kuwa Serikali ina mpango wa kutoa elimu bila malipo kwa shule za umma. Wazazi wanajikuta wakiwajibika kufuata taratibu hizi ngumu kwa sababu hawana imani na mfumo wa elimu ya umma. **Fursa nyingine kwa shule** Ukiondo mpango wa Pre form One, baadhi ya wazazi wamekuwa wakilalamikia ada kubwa zinazotozwa na shule binafsi kwa ajili ya mitihani ya usaili wa kujiunga na kidato cha kwanza. Ada hizi zinaanzia Sh25,000 hadi 50,000 kwa mwanafunzi, lakini wazazi wanadai kuwa mitihani hiyo ni migumu mno, hali inayowafanya watoto wengi kushindwa kufaulu. Mzazi mmoja alieleza kuwa baada ya kumpeleka mtoto wake kufanya usaili katika zaidi ya shule sita za binafsi, hakupata nafasi hata moja. Mzazi huyo alisema kuwa licha ya mwanawe kufanya vizuri katika shule ya msingi, ameshindwa kufaulu mitihani ya usaili kwa sababu ya ugumu wa maswali. Wakati huo huo, mzazi huyo alikiri kuwa ameshatumia zaidi ya Sh400,000 kwa ajili ya mitihani hiyo ya usaili, hali inayomweka kwenye sintofahamu kuhusu wapi atampeleka mwanawe kusoma. “Nimelipia zaidi ya Sh400,000 mwanangu amefanya usaili shule (anazitaja shule hizo), lakini hakupata nafasi nahangaika na siwezi kumpeleka shule ya umma, nawaza niende shule gani, alilalamika mzazi huyo kwa uchungu. Mmiliki wa shule moja maarufu jijini Arusha anasema kuwa shule yake hukusanya zaidi ya Sh100 milioni kila mwaka kutoka kwenye mauzo ya fomu za usajili wa wanafunzi wa kidato cha kwanza. Wazazi wanalazimika kulipia gharama za fomu, na baada ya kufanya usaili, ni wachache sana wanaofaulu. Shule yake inachukua wanafunzi 300 pekee kwa kidato cha kwanza, huku wanafunzi wengine 600 wakishindwa kupata nafasi baada ya usaili. Mmiliki huyo alikiri kuwa kiasi kikubwa cha fedha zinazokusanywa hutumika kuboresha miundombinu ya shule na kulipa mishahara ya walimu, lakini bado shule inapata faida kubwa. Wamiliki wa shule binafsi wanasema kuwa gharama za uendeshaji wa shule ni kubwa, na kwa sababu hiyo wanalazimika kuongeza ada na kutoza gharama za usaili ili kufidia gharama hizo. Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, Dk. Benson Bagonza, alilalamikia mzigo wa kodi unaowakumba wamiliki wa shule binafsi. Alisema kuwa serikali inawatoza kodi nyingi, hali inayowafanya wamiliki wa shule kuongeza ada kwa wanafunzi ili kufidia gharama hizo. Dk. Bagonza alisema kuwa shule nyingi za binafsi zinazomilikiwa na makanisa au taasisi za dini zina lengo la kutoa huduma bora kwa jamii, lakini zinakwamishwa na kodi kubwa zinazotozwa na Serikali. Kwa ujumla, mfumo wa elimu nchini Tanzania unakabiliwa na changamoto nyingi, hasa kwenye shule za binafsi. Wazazi wanahangaika kuhakikisha watoto wao wanapata elimu bora, huku gharama kubwa na taratibu ngumu za kujiunga na shule hizo zikiwakatisha tamaa. Serikali inahitaji kuchukua hatua madhubuti kuboresha elimu ya umma ili iweze kushindana na elimu ya binafsi na kuwapa wanafunzi wote fursa sawa ya kupata elimu bora bila kujali hali yao ya kifedha.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/makala/johari/yafahamu-anayopitia-mtoto-asiyemjua-baba-4779394
# Yafahamu anayopitia mtoto asiyemjua baba Majuzi nilikutana na Salome (si jina lake halisi) akinielezea masikitiko yake ya kutokumfahamu baba yake. Salome (23), mwanafunzi wa chuo kikuu, ana maumivu makali ya kutafuta kumfahamu baba yake kwa miaka mingi bila mafanikio. Nilitaka kuyaelewa vizuri maumivu yake. Salome anaeleza, “Najiona kama mtu mwenye bahati mbaya sana maishani. Ninajisikia kupungukiwa kitu cha muhimu kwenye maisha yangu. Kuishi bila kumfahamu baba yangu ni pigo kubwa na linanitesa na kuniumiza.” Je, Salome amefanya juhudi gani kumfahamu baba yake? “Nimeongea na mama mara nyingi kuhusu hili na hakunipa majibu yanayoeleweka. Mwanzoni nikiwa mdogo aliniambia baba yangu alifariki nikiwa mchanga bado. Baadaye nilikuja kubaini alinidanganya. “Siku moja (miaka mitano iliyopita) nilisikia mazungumzo yake na bibi (ambaye ni mama yake) kuwa angetamani siku anakufa asikie ugomvi wa mama yangu na mume wake (baba yangu) uwe umeisha.” Salome anasema wakati huo bibi alikuwa mgonjwa sana na ilikuwa kama anaacha wosia kwa mama yake. Wote wawili hawakujua alikuwa anasikia mazungumzo yao. “Siku hiyo sikulala usingizi. Nilifikiri mambo mengi yaliyoniumiza sana. Kwa nini nimefichwa baba yangu? Sikuwa na ujasiri wa kumwambia bibi wala mama, lakini angalau nikawa nimefahamu kuwa baba yangu yupo. Kuanzia wakati huo nilianza rasmi kufuatilia taarifa za baba yangu alipo. Niliuliza ndugu wengi ninaowafahamu na halikuwa jambo rahisi kumfahamu baba yangu.” Salome bado hajafanikiwa kukutana na baba yake. Hata hivyo, amefahamu kuwa wakati anazaliwa palikuwa na mgogoro mkubwa kati ya mama na baba yake. Mgogoro huo ulimfanya aamue kumuondoa baba yake katika historia ya maisha yake. **Madhara ya kumkosa baba** Tunajua watu wengi tu wameishi bila baba na maisha yanaendelea. Wengine wamefiwa na baba zao, wengine wamegombana nao na hivyo hawataki mawasiliano ya aina yoyote. Kipi ni tofauti kwa Salome asiyejua baba yake ni nani? Tunazungumza na Salome kufahamu mengi zaidi. Salome anazungumza kwa uchungu mkubwa. “Najua kuna ile unajua baba yako ni marehemu au basi hujawahi kumwona, lakini unajua ametoka kwenye ukoo upi unaoweza kujitambulisha nao. Ukitaka kuelewa uchungu wangu fikiria unapotafakari historia yako inakuwa kama inatazama filamu inayokatika katika na unashindwa kuunganisha baadhi ya vipande. Inaumiza sana. “Kuna wakati najiona kama mtu asiyekamilika, asiyejulikana vizuri ametokea wapi. Najiona nimepungukiwa kitu. Najiona kama bado sijielewi vizuri kama watu wengine. Ni sawa na mtu anayejua ana mkono wake mahali lakini anaishi bila mkono huo.” **Maisha yake yamekuwaje bila baba? ** Salome anafuta uso wake kwa viganja vyake. Lindi la majonzi halifichiki. “Kuna wakati natamani niwe na mwanamume ninayemwamini na ninayejua hawezi kuwa na malengo mengine na mimi ninayeweza kumwambia mambo yangu ya ndani akanisikiliza kama mwanaye. Kuna mambo mengi nayatazama kwa jicho lililopungua na naamini baba yangu angenisaidia kuyatazama kwa upana zaidi.” Kisaikolojia, sauti ya baba ni muhimu kwenye maisha ya mtoto. Ingawa miaka ya mwanzo ya mtoto mama ndiye anayehitajika zaidi kumhakikishia mtoto msalama wake, kuanzia miaka mitatu na kuendelea, mtoto huhitaji zaidi sauti ya mamlaka ya baba. Baba huleta msawazo mzuri kimalezi unaopandikiza vizuri zaidi dhana ya mamlaka ya mzazi kwenye maisha. Baba, kadhalika, ndiye anayebeba jukumu la kumfanya mtoto aone matokeo ya tabia zake na kuthibitisha kile anachojifunza kwingineko. Ingawa kazi hii inaweza kufanywa na mama, changamoto ni uwezekano wa kumchanganya mtoto anayeamini kuwa mama ndiye usalama wake wa kisaikolojia. Bruce D Perry, gwiji wa sayansi ya tabia, mwandishi mwenza wa kitabu cha “What happened to you? Conversations on Trauma, Resilience and Healing,” analieleza hili kwa lugha rahisi: “Mama ni faraja ya mtoto. Tunamtegemea mama kutufanya tujisikie salama na hilo linatupa ujasiri kama watoto. Mama anapogeuka kuwa mamlaka inayoadhibu na kuonya mara kwa mara mtoto anaweza kuchanganyikiwa. Mtu ambaye niliamini ndiye usalama wangu anapogeuka na kuwa mbwekaji, mkorofi anayenisema muda wote hilo linaweza kuleta tahayaruki.” Perry anaendelea, “Hakuna mtu huwa anawafundisha wazazi, lakini ukiangalia unaweza kuona namna baba anavyochukua nafasi yake kumwelekeza mtoto wakati mwingine kwa ukali na mama anabaki na wajibu wake wa kumjengea mtoto hali ya kujiona yuko salama.” Hii inaweza kuwa moja ya sababu inayowafanya watoto wengi waendelee kuwa karibu zaidi na mama zao hata wanapokuwa watu wazima kuliko wanavyokuwa na baba zao. Baba alisimama kwenye nafasi ya kujenga mamlaka inayoelekeza na kuadhibu, wakati mama mara nyingi huchukua nafasi ya kuwa faraja ya mtoto. Ingawa wapo akina mama wakali wanaoonekana kuchukua nafasi hii ya baba kimamlaka, bado tafiti huwa zinaonesha kuwa ukali huu wa mama unaongeza uwezekano wa changamoto nyingi za kitabia kwa watoto. Msikilize Gordon Neufeld, mwanasaikolojia mahiri wa ki-Marekani, “Mtoto anapokosa mahali pa kukimbilia kwenye ngazi ya familia, unamwongezea uwezekano wa kuwa na tabia zitakazomsumbua baadaye. Usalama wetu uko kwa mama, ndiye huwa kimbilio kwa wengi wetu, lakini mamlaka yanayojenga hofu ya kukosea na kwenda kiyume na matarajio ya jamii inajengwa na baba.” **Sauti ya Baba katika malezi** Tafiti kadhaa zilizofanyika katika nchi zilizoendelea zinaonesha kuwa watoto waliokua bila baba wana nafasi mara dufu ya kuwa wakorofi, wababe na kujiingiza kwenye tabia za kihalifu ukilinganisha na wenzao waliolelewa na wazazi wote wawili. Hivi karibu Sara McLenahan na wenzake, kwa kutumia mbinu ya kufuatilia maendeleo ya watoto kwa muda mrefu, walibaini tofauti ya wazi kwenye eneo la afya ya akili. Sara, kwenye andiko lake, “The Causal Effects of Father Absence” anasema: “Madhara ya kukosekana kwa baba kwenye maisha ya mtoto yamekuwa yakijadiliwa kwa ukosoaji mkubwa. Wakosoaji wengi huhoji matumizi ya takwimu zisizowafuatilia watu kwa muda mrefu. Kwenye utafiti wetu tumetumia mbinu ya kuwafuatilia walengwa kwa muda mrefu. Matokeo yanaonesha kuwa ukilelewa bila baba unakuwa na changamoto nyingi kwenye mahusiano yako na watu na namna unavyomudu hisia zako. Suala la afya ya akili linahusishwa kwa karibu sana na kukosekana kwa malezi ya baba kwenye maisha ya mtoto.” Simulizi ya Salome inaweza kuwa mfano wa madhara haya yanayoelezwa na Sara McLenahan. **Sheria inasemaje** Sheria ya Mtoto Na 21 ya 2009 inatambua haki ya mtoto kuwa na utambulisho. Sura ya II ya sheria hiyo inayozungumzia haki na ustawi wa mtoto, kifungu cha 6(2) kinasema, “Mtu (yeyote) hatamnyima mtoto haki ya kuwa na jina, utaifa na kuwafahamu wazazi wake waliomzaa na ndugu wengine wa familia tandaa kwa kutegemea matakwa ya sheria nyingine zilizoandikwa (tafsiri isiyo rasmi).” Sheria hii inazingatia ukweli kuwa utambulisho wa mtu haukamiliki bila kuelewa mizizi yake ya kifamilia. Mtu asiyemfahamu baba yake, kwa mukhtadha huu, anakuwa na utambulisho nusu nusu unaoweza kumpa usumbufu mwingi wa kisaikolojia. Ingawa sheria inawataka wazazi kumpa mtoto haki hiyo, baadhi ya wazazi, wakiwemo wazazi wa Salome, kwa sababu mbalimbali huwanyima watoto haki hiyo ya msingi. Kwa mujibu wa sheria hii, uamuzi wa mtu kumficha mtoto baba yake ni kosa. **Utatuzi chanya wa migogoro** Tunatambua, kwa hakika, yapo mengi yanayoweza kuvuruga mahusiano ya wapenzi wawili kiasi cha mmoja kuona suluhu ya uhakika ni kumuadhibu mtoto kwa kumnyima haki ya kumjua mzazi wake. Kwa mfano, yanaweza kuwepo mazingira ambayo baba anakuwa tatizo la kwelikweli linalozorotesha afya ya akili ya mwanamke aliyezaa naye. Katika hali kama hii, ni rahisi mwanamke kuamua kumtumia mtoto kama silaha ya kupambana na matatizo yake ya kimapenzi. Ingawa uamuzi kama huu unaweza kuonekana ni sawa kwa haraka, lakini madhara yake yanaweza kuwa makubwa kwa mtoto kama tulivyokwisha kuona. Kwa nini tutengeneze mduara wa athari mbaya kwa jamii kwa kutokujifunza namna bora ya kutatua changamoto zetu bila kumnyima mtoto haki ya kuwa na utambulisho uliokamilika? **Ushauri** Pamoja na hasira, uchungu na kisasi, bado tunaweza kutafuta namna chanya ya kuponya nafsi zetu bila kuwanyima watoto haki yao ya msingi ya kuhusiana na baba zao kama anavyoeleza Dafroza Hemedi (35) mkazi wa Dodoma, “Niligombana sana na mwanaume niliyezaa naye mtoto wangu wa pekee. Nilishindwa kabisa kuishi na ukatili uliopitiliza alionifanyia kwa muda mrefu nikiwa mjamzito. Ukiacha kunifanya nikose elimu kwa kukatisha masomo wakati huo, wazazi wangu walinikataa na kunifukuza.” “Hatukumaliza tofauti zetu mpaka sasa. Lakini namshukuru Mungu nilipata msaada wa kuelewa umuhimu wa mtoto kumfahamu baba yake. Ilikuwa ngumu sana, lakini nilifanya uamuzi mgumu wa kulinda haki ya mwanangu kuwa na baba yake mzazi.” Dafroza bado ana mgogoro mkubwa na baba wa mwanaye. Hawazungumzi wala kusalimiana. Hata hivyo, mtoto wake ana uhusiano mzuri na baba yake. “Huwa natamani nimuadhibu mwanamume yule kwa kumnyima mtoto. Nina kisasi kikali sana kwa mengi aliyonifanyia. Lakini natambua kuwa ninaweza kuwa na njia nyingine ya kupambana na mwanamume huyu bila kuathiri hitaji la mwanangu kumfahamu baba yake. Ingawa ni kweli tunaweza kuumizwa na wazazi wenzetu, ni muhimu kukumbushana kuwa matatizo yetu sisi watu wazima yanaweza kuharibu kabisa utoto wa watoto wetu. Tunaweza kutunza utoto wa watoto wetu kwa kuwaepusha na migogoro ya kiutu uzima isiyowahusu.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/makala/hekaya-za-mlevi-kijana-elimu-haijakufunza-kuajiriwa-4777572
# Hekaya za mlevi: Kijana elimu haijakufunza kuajiriwa ## Muktasari: **Kwa upande wa pili kijana aliwaona na kuwasikia vijana wasanii wakijigamba na majumba na magari ya kifahari. Wakiyaponda maisha hadi kusahau kuwa kufa kwaja.** **Dar es Salaam, **Kuna wakati kila kijana alitamani kuwa msanii. Hii inatokea baada ya akili ya kijana kumwonesha mjomba wake akisota na shahada zake bila kupata kazi. Lakini pia masikio ya kijana yaliwanasa wale waliopata kazi wakalalamikia hali ngumu ya maisha. Kwa upande wa pili kijana aliwaona na kuwasikia vijana wasanii wakijigamba na majumba na magari ya kifahari. Wakiyaponda maisha hadi kusahau kuwa kufa kwaja. Wengi wa vijana hawa walikuwa wakifeli kila walipojaribu kuingia kwenye sanaa. Mtu anaamini kabisa kuwa ana uwezo hasa baada ya kusifiwa na wenzake. Lakini kila akienda kujaribu bahati yake anaangukia pua baada ya kuonekana hana uwezo. Anabaki akilaumu kwamba kila penye sanaa hapakosi fitna. Mwisho anaamini kuwa mafanikio anayoyaona kwa wasanii hayawezekani bila kujulikana, milungula au ndumba. Lakini vijana wachache waliobahatika kuingia kwenye ulingo wa sanaa waligundua mambo tofauti kabisa. Sanaa ni kazi sawa na kazi zingine kadiri unavyojibidiisha ndivyo unavyokula. Huko hakuna kulala, saa nane za usiku wakati wenzio wanakoroma wewe unapiga kazi. Mchana badala ya kupumzika unatakiwa kufanya mazoezi. Ukilala utakula ugali kwa picha ya samaki, yaani utajiposti mbele ya Range Rover wakati unakopa hela ya kurikwesti usafiri. Kosa la vijana wetu ni kuyaona mafanikio kabla ya kuijua kazi yenyewe. Na hili naliona kwa wale wanaozurura na vyeti wakilalamika ukosefu wa ajira. Mtu anamaliza vyuo bila kujua namna ya kutengeneza ajira. Na akipata mwanya wa ajira, anaweza kusaini mkataba bila kuusoma ili akalalamike tena.Wanadhani ukubwa wa shahada zao ndiyo tiketi ya mafanikio. Wakati fulani kila mmoja wetu aliamini kuwa watu waliokosa uwezo darasani ndio waliopelekwa vyuo vya ualimu. Lakini kumbe mtu aliweza kufanya vizuri kwenye masomo yake, ila akafeli kuchagua muunganiko wa masomo ambayo yangempeleka chuoni. Hii inatosha kumwonesha kijana wa sasa kuwa hakuna kazi isiyohitaji elimu. Hata wakulima, wawindaji na wavuvi wasiojua darasa wana elimu ya mapokeo kutoka kwa mababu. Ukitaka kuamini rejea mifano ya sanaa ya pale mwanzo. Vijana wanapotaka mafanikio kama ya msanii fulani, ni lazima waelewe kuwa huyo asingelikuwa vile bila ya mafundi wanaomfanya awe vile aonekanavyo. Nyuma ya msanii kuna waandishi wa kazi za sanaa, wahariri, waongozaji, wapiga picha, wazalishaji, watangazaji na wasambazaji. Hao ndio wasanii. Kiujumla elimu ni ujuzi wa kutumia vipawa kama fursa. Mtu aliyezaliwa mashambani atajua kulima, atajifunza kuugeuza utamaduni wake kuwa shughuli ya kumpatia kipato. Kwa mfano mkulima atauza sehemu ya mazao yake ili kujipatia mahitaji mengine muhimu kama mavazi, dawa n.k. Kadhalika yule aliyekulia mwituni atakuwa mwindaji, aliyeishi kando ya ziwa naye atarithi utamaduni wa wavuvi. Lakini kwa kuwa utamaduni ni jambo mtambuka, mtu huyohuyo anaweza kuwa mhunzi. Anaweza kufua majembe, mapanga, nyengo na mishale akawauzia wakulima na wawindaji. Kumbe hata anayeishi ziwani anaweza kuwa msuka nyavu na madema, au kuwa muuza samaki badala ya kuwa mvuvi. Hata akina Neil Amstrong wasingeliweza kuweka historia ya kukanyaga mwezini bila wataalamu wa anga na wajenzi wa Apollo 11. Mawazo ya kupata kitonga baada ya kusoma sana ni ya kizamani sana. Wakati ule baada ya uhuru walihitajika sana vijana wa kuchukua nafasi zilizoachwa na wakoloni. Kwa kuwa wakoloni waliwanyima elimu wazalendo kwa makusudi, baada ya uhuru hakukuwa na dira madhubuti miongoni mwa wazawa. Ni wachache sana waliobahatika kusoma katika shule za wakoloni. Hivyo Serikali ilikuwa tayari kuwasomesha vijana wake ili waje kuisaidia nchi. Walipohitimu, vijana hao waliajiriwa na kuwekewa mazingira mazuri kama nyumba za kuishi, usafiri, matibabu yao pamoja na familia na kadhalika. Japokuwa mishahara yao haikuwa mikubwa kivile, lakini walizila mbivu. Ajabu kijana wa kileo anaota maisha yanayofanana na hayo ati kwa kulinganisha shahada zake na za wazee wale pengine hawaelewi au wanajizima data kwa makusudi. Ulimwengu wa sasa ni tofauti na wa kale. Wakati ule mtu aliyeishia darasa la pili angeweza kuwa tarishi kwenye ofisi ya Serikali. Hivi sasa baada ya mapinduzi ya teknolojia, hakuna tena nafasi ya mesenja kwani barua hutumwa kielektroniki na vifurushi huletwa na kampuni zilizosajiliwa. Wafanyakazi wanapunguzwa kupisha mitambo ili kupunguza gharama na kupata ufanisi wa hali ya juu kazini. Hizi ngonjera za kuingiza wahitimu zaidi ya laki sita kwenye nafasi elfu hamsini za ajira zinafaa kukomeshwa mara moja. Watoto wafundishwe masomo watakayoingia nayo mtaani badala ya kuzurura na vyeti. Waambiwe wazi kuwa tatizo la ajira ni la kidunia, hivyo wafute ndoto za kuajiriwa nje. Huko wanakokuwazia tayari kumeshaingia hapa nchini kutafuta hicho wanachokitafuta kwao.Ni muhimu kijana ajue anasoma ili awe nani, au asomee nini ili awe mtu wa ndoto zake. Nawafagilia wale wanaojigundua na kuifanya elimu kama nyenzo ya kujipata.
http://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/makala/afya/fahamu-msongo-unavyochangia-magonjwa-yasiyoambukiza-4777234
# Fahamu msongo unavyochangia magonjwa yasiyoambukiza **Dar es Salaam**. Msongo wa mawazo ‘stress’ ni hali ya shinikizo la kiakili au la kihisia linalotokana na mahitaji yanayofikiriwa. Hali hii huleta mfadhaiko wa akili anaoupata mtu kutokana na shida, tabu, dhiki, matatizo au changamoto zinazomkabili katika maisha ya kila siku. Katika jamii nyingi, hasa za Kiafrika tumekuwa na mitazamo tofauti kwa mtu mwenye msongo wa mawazo, kati ya mitazamo hiyo, asilimia kubwa huja na hitimisho lisilothibitika kitabibu kuwa madhara ya hali hiyo ni pamoja na kupungua uzito na kukonda. Msongo hutokea pale unapoona uwezo, maarifa au ujuzi wako umefikia mwisho na hauendani na jambo lililopo mbele yako. Ijapokuwa unapokuwa na hali hii haina maana ni tatizo, kuna msongo unaokusaidia kuchochea na kuboresha utendaji wako wa kazi. Lakini hali hii inapozidi, husababisha kupata wasiwasi na hatimaye sonona, unapofikia hatua hii ndipo tatizo hilo huanza kuleta matokea hasi katika mwili. Baadhi ya matokeo hasi yatokanayo na msongo na sonona ni pamoja na uchochezi wa magonjwa yasiyoambukiza kama vile moyo, changamoto ya afya ya akili, sukari, shinikizo la damu, saratani na kiharusi. Tafiti mbalimbali, ikiwemo ile ya mwaka 2005 kutoka Pubmade Central iliyosimamiwa na National Center for Biotecnology Information (NCBI) ya nchini Marekani, ilithibitisha kuwa kutokana na matokeo mengi hasi ya msongo, asilimia kubwa huwapata wale waliopitia hali ngumu ya kimaisha, talaka, kufiwa na wazazi au watoto, kuongezeka uzito kupita kiasi na kukosa ajira. Utafiti uliothibitisha haya ni ule uliofanyika nchini Denmark ambao wagonjwa 13,006 nchini humo, walilazwa kwa mara ya kwanza na kuthibitika kuwa wanaopata magonjwa yasiyoambukiza na kujiua ni wale wenye msongo uliopita kiasi, ambao huchochea magonjwa mbalimbali mwilini. Pia, uchunguzi mwingine ni ule wa meta ambao uligundua asilimia 24 ya wagonjwa wa saratani, hugunduliwa kwa watu wenye sonona ambapo utengenezwaji wa seli za saratani (abnormal cells) ambayo hugeuka saratani, huanza pale unapokuwa na msongo unaotokana na sababu mbalimbali za kimaisha. Aidha kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), watu takribani milioni 350 duniani wameathiriwa na tatizo la magonjwa yasiyoambukiza, ambayo chanzo hasa ni msongo wa mawazo. Vilevile asilimia 75 ya watu wanaokabiliwa na tatizo hili katika nchi zinazoendelea hawapati matibabu, tatizo hili pia linatajwa kuwa chanzo namba moja duniani kwa vifo vya vijana wenye umri kati ya miaka 19 hadi 29. Utafiti mwingine uliothibitisha kuwa msongo ni chanzo cha magonjwa mbalimbali yasiyoambukiza ni ule wa Wizara ya Afya, ulioeleza namna msongo unavyochochea na kusababisha magonjwa yasiyoambukiza. Kupitia chapisho hilo, magonjwa kama kisukari huchochewa zaidi na hasira, kutozingatia mlo, kuudhika haraka, kitu ambacho husababisha kupanda au kushuka kwa sukari. Yote haya chanzo chake ni msongo na sonona, kusahau pia huingia kwenye magonjwa yasiyoambukiza yanayohusisha afya ya akili. Msongo pia huchochea unywaji wa pombe, utumiaji wa tumbaku na dawa za kulevya, matumizi ya vitu hivi husababisha magonjwa ya ini, figo, saratani ya mapafu lakini pia uraibu wa dawa za kulevya, yote haya ni magonjwa yasiyoambukiza ambayo sehemu ya chanzo chake ni msongo wa mawazo. Aidha, mtaalamu wa afya, Dk John Magesa kutoka kituo cha Azania Polyclinic anasema mtu mwenye msongo aina yake ya maisha hubadilika kwa kiasi fulani, hasa upande wa vyakula ambapo kwa namna moja au nyingine huwa chanzo hasa cha magonjwa. “Wengi tunapokuwa na msongo tunakula chakula chochote kile bila kuzingatia mlo unaotakiwa, aina hiyo ya ulaji wengi tunajikuta tunakula vyakula vilevile ili kushiba. Madhara ya hili ni mtu kuchochea sukari na baadhi ya viungo katika mwili kushindwa kufanya kazi kama inavyotakiwa na kusababisha magonjwa yasiyoambukiza,” anasema Magesa. Anasema msongo huchochea kutanua mishipa ya moyo au kubana mishipa ya moyo na kushindwa kufanya kazi yake inavyotakiwa, hivyo kusababisha kupata magonjwa ya moyo. Ameongeza kuwa shinikizo la damu mara nyingi hutokea baada ya chembechembe nyekundu za damu kushindwa kufanya kazi, kazi kubwa ya chembe hizo ni kubeba hewa safi inayopatikana kupitia mzunguko mzuri wa damu kwenye mapafu na moyo. “Unapokuwa na shinikizo la damu, insulini inashindwa kufanya kazi yake ya kuweka uwiano mzuri wa sukari inayoingia mwilini, hivyo sukari hiyo huingia kwa kiasi kikubwa bila kuchujwa na kuweka uwiano unaotakiwa kuingia mwilini na kusababisha kisukari,” anasema. Mwanasaikolojia Happy Haule anasema ‘stress’ zinaweza kumfanya mtu anenepe kwa sababu ya kuvurugwa kwa mfumo mzima wa mwili na akili, ambapo mtu hujaribu kujitafutia furaha kupitia kula vyakula bila kujali vina faida au madhara kwa afya yake. “Mwili kuongezeka au kupungua itategemeana na aina ya mapokeo ya tatizo husika yatakayo sababisha kupata hamu ya kula kupita kiasi au kukosa kabisa hamu na hatimaye kupata vidonda vya tumbo. “Kuongezeka au kupungua kwa namna moja au nyingine huchochea kisukari, matumizi ya dawa za kulevya kutafuta ahueni ya msongo na mwishowe husababisha uraibu wa dawa za kulevya,” anasema Kalungu. Anasema mwili wa binadamu huwa una mifumo ya kujitetea ijulikanayo kama (Defensive Mechanism), ambapo mifumo hii hufanya kazi kwa kushirikiana na ubongo na huweza kumuathiri mtu kulingana na mapokeo ya kifikra aliyonayo kuhusu tukio au jambo fulani na ili “stress” iwepo lazima kuwepo na kichocheo au chanzo. “Ubongo huwa una kemikali mbalimbali ambazo huufanya mfumo wa akili kuitikia katika matukio fulani, ambapo mwitikio huu ukiwa endelevu, unaweza kumfanya mtu apate mabadiliko fulani ya kimwili au kiakili kama asipotafuta ufumbuzi mapema,” anaeleza. Anaendelea kufafanua kuwa mabadiliko ya kemikali na vichocheo mbalimbali mwilini unaosababishwa na msongo wa mawazo husababisha uzalishaji wa protini na kuchochea baadhi ya magonjwa. Ameongezea kuwa, moja ya sababu zinazochangia kwa kiasi kikubwa kuzorota kwa afya na kusababisha vifo vingi ni msongo wa mawazo, ambao mwishowe huibua na kuchochea ongezeko la magonjwa yasiyoambukiza. “Msongo wa mawazo una athari nyingi, kama kusababisha mtu kujiingiza kwenye ulevi uliopindukia, kuvurugika kwa homoni katika mwili, macho kupunguza uwezo wa kuona, baadaye husababisha kifo,” anasema. Aidha, shirika hilo limeonya kuhusu ongezeko la watu wenye unene uliopitiliza, huku wakitaja hiyo kama sababu kuu ya kuwapo kwa watu wengi wenye maradhi ya moyo, kisukari na ini. Naye, Mtaalamu wa Lishe kutoka Shirika la World Vision, Dk Daudi Gambo anasema katika kipindi ambacho mtu anakuwa na msongo mkubwa wa mawazo, mwili hutumia kiasi kikubwa cha sukari, hasa katika ubongo kutokana na nguvu kubwa inayotumika katika kufikiria mambo yanayomsibu. “Hivyo mtu kuhitaji kwa kiwango kikubwa vyakula vyenye ladha nzuri mdomoni na vyenye wingi wa sukari, chumvi pamoja na mafuta kama vile chipsi, soda au bia ambapo matumizi ya muda mrefu ya vyakula hivyo yanaweza kusababisha unene kupindukia na kupata baadhi ya magonjwa yasiyoambukiza,” anasema. Anaeleza vilevile mtu anaweza kukonda kutokana na kutokula chakula kama inavyohitajika, ikumbukwe katika kipindi hicho mwili wa binadamu huhitaji kwa kiasi kikubwa vyakula vinavyoongeza nguvu na sukari. “Asilimia kubwa ya watu wakipata msongo wa mawazo hushindwa kula na wengine hujifungia ndani bila kufanya shughuli yoyote na kipindi hicho mwili huhitaji kwa kiasi kikubwa vyakula vinavyoongeza nguvu pamoja na sukari, hivyo kutokula husababisha mwili kupungua na kutozingatia mlo unaotakiwa kutokana na hali yake ya kiafya huchochea maradhi hayo,” anasema Dk Gambo.