text
stringlengths 43
182k
| timestamp
timestamp[s] | url
stringlengths 16
3.37k
|
---|---|---|
droo ya robo fainali za uefa europa | bahari news
home sports droo ya robo fainali za uefa europa
droo ya robo fainali za ligi ya uefa europa
baada ya michuano ya kuwania kombe la europa awamu ya kumi na sita bora kukamilika sasa droo ya timu nane zilizojikatia tiketi ya kucheza robo fainali imetoka timu za chelsea na arsenal kutoka uingereza zitamenyana na slavia prague kutoka czech na napoli ya italia mtawalia robo fainali hizi zitachezwa tarehe 11 na 18 mwezi aprili nusu fainali zisakatwe tarehe 2 na 9 mwezi mei na kisha fainali zichezewe huko baku mei 29
droo ya robo fainali za ligi ya europa
napoli (italia) vs arsenal (uingereza)
villarreal (uhispania) vs valencia (uhispania)
benfica (ureno) vs eintracht frankfurt (ujerumani)
slavia prague (jamhuri ya czech ) vs chelsea (uingereza)
previous articledroo ya robo fainali za ligi ya mabingwa barani ulaya yatoka
next articlemgomo wa wahudumu wa matatu kathiani kaunti ya machakos
president uhuru kenyatta full state of the nation address at parliament
respect president kenyatta and our people my friend dp ruto told by jubilee women rep
those who have registered for huduma namba are severely suffering a man claims as
| 2020-05-30T09:03:25 |
https://www.bahari.co.ke/droo-ya-robo-fainali-za-uefa-europa/
|
lipumba aishiwa pumzi mahakamani mzalendonet
lipumba aishiwa pumzi mahakamani
taarifa kutoka mahakama kuu
(cufchama cha wananchi)
tarehe 7 september 2018
wakili wake mashaka ngole akacha kufika mahakamani kama mbinu ya kuchelewesha maamuzi ya mahakama kwa hofu ya kupata kipigo cha kisheria
asingizia kuwa mgonjwa mahakama yataka kujua hospitali alikolazwa na kuamuru awe amepatikana ifikapo saa 800 mchana yagundulika kuwa amejificha arusha na kuzima siku yake ya mkononi
mahakama yatupilia mbali mapingamizi yake
shauri kuhusu wabunge viti maalumu kuamuliwa tarehe 5 oktoba 2018
alkhamis tarehe 6/8/2018 yaliitwa mashauri matatu yafuatayo
1) shauri na 248/2018 (joran bashange/nassoro mazrui dhidi ya lipumba na wenzake 15)
2) shauri na 84/2018 (joran bashange/nassoro mazrui dhidi ya lipumba na wenzake 15)
3) shauri la wabunge wa cuf (abdallah mtolea na wenzake 19 dhidi ya lipumba na wenzake)
mashauri na248/2018 na na 84/2018 yaliitwa mbele ya mheshimiwa jaji magoiga wakati shauri la wabunge 19 liliitwa mbele ya mheshimiwa jaji arufani
1) shauri na248/2018 ni shauri dogo linalotokana na shauri la msingi na 84/2018 (linaloomba zuio la kuitishwa mkutano mkuu wa taifa feki wa lipumba) shauri hili lilikuja kwa ajili ya kusikiliza hoja za awali za pingamizi (points of preliminary objection) zilizowasilishwa na mashaka ngole (mshitakiwa na 2) akipinga kusikilizwa kwa shauri hilo na kuiomba mahakama ilitupilie mbali amri ya kusikilizwa hoja za awali ilitolewa na mahakama tarehe 27/8/2018 kufuatia ombi la mashaka ngole mwenyewe katika hali ya kushangaza mashaka ngole hakufika mahakamani akituma taarifa ya kuuguliwa mahakama iliamuru apigiwe simu kutaka kufahamu lini anaweza kupatikana ili kupanga tarehe nyingine ya kusikiliza hoja zake za awali lakini simu yake ilikuwa imezimwa mahakama imepanga kusikilza hoja za awali tarehe 3/10/2018
2) shauri na 84/2018 litaitwa tena kwa kutajwa tarehe 3/10/2018
3) shauri la wabunge wa majimbo 19 la mwaka 2017 linahusu ombi la kupata kibali (leave) kuomba marejeo mahakama ya rufaa kutokana na uamuzi wa mahakama kuu katika shauri na21/2017 la wabunge wa majimbo 19 hoja za awali zilizokuwa zimewasilishwa na mashaka ngole zimetupiliwa mbali kutokana na mashaka ngole kuikimbia kesi kwa kutofika mahakamani bila sababu za msingi kwa mara kadhaa
uamuzi huo ulitolewa na mahakama baada ya jitihada zote za kumpata kushindikana hata baada ya kuhairisha shauri mpaka saa 800 mchana katika hali ya kustaajabisha wakati katika shauri na 248/2018 ilitolewa taarifa kuwa amesafiri kwenda arusha kwa matatizo ya kifamilia hapa mtoa taarifa alisema mashaka ngole ni mgonjwa tangu mwezi julai 2018 na alikuwa amelazwa mahakama ilipotaka kufahamu anatibiwa hospitali gani ndipo mtoa taarifa alipobabaika hali ilyodhihirisha kuwa hakuwa anatoa taarifa sahihi mbele ya mahakama
washitakiwa katika mashauri na 248/2018 na na 84/2018 ni hawa wafuatao
prof ibrahim haruna lipumba mashaka ngole (mwenyekiti kamati ya nidhamu na maadili ya mungiki kinyume na katiba ya cuf ibara ya 92(1)(c) magdalena sakaya abdul juma kambaya jafari mneke thomas dcmalima omar muhina masoud salma masoud haroub mohamed shamsi khalifa suleiman khalifa mohamed habib mnyaa nassoro seif amour thiney juma mohamed rukia kassim ahmed kapasha h kapasha na maftaha nachuma
hoja za awali za mashaka ngole kupinga shauri na 248/2018
a) shauri na 248/2018 lisisikilizwe kwa kuwa linapingana na kifungu na 21 cha sheria ya vyama vya siasa sura 258 ikisomwa kwa pamoja na ibara ya 98(4) ya katiba ya cufchama cha wananchi
b) shauri na 248/2018 lisisikilizwe kwa kutomuunganisha mdaawa mahsusi
c) waleta maombi hawana mamlaka (locus stand) kuleta shauri na 248/2018 mahakamani dhidi ya wajibu maombi
ratiba ya mashauri mengine italetwa kwa kadri majaji watakapokuwa wakipangwa
+255 715 062 577 / +255 767 062 577
oman kuendelea kuisaidia zbar dk hamed
yanayojiri msikiti wa mbuyuni hivi sasa
by zenj
breaking newssmz yapiga marufuku maalim seif kuzungumza msikitini
chatumpevu chatumpevu 8 septemba 2018 at 0607 jibu
nionavyo uendeshaji wa kesi unacheleweshwa kwa makusudi kutokana na collusion iliyopangwa kati ya msajili wa vyama vyama vya siasa serikali za ccm znz na t/ bara na kundi la haramia lipumba haingii akilini kuwa kila siku wakili wa lipumba anakuwa na dharura inapoendeshwa kes hii huo ni mpango maalum unaoratibiwa vzr na waovu hao niliowataja na siajabu itakapotajwa tena tutaambiwa wakili yuko masomoni ulaya
pima na upime tena kwa nin yuel jaji wa mwanzo dyansobera aliyekuwa akiindesha kesi hii alihamishiwa mtwara ni kwa sababu alikuwa akiiendesha kesi hii kwa kuzingatia sheria inavyotakana na ukweli kuwa kesi hii ilionekana kuwa imemkalia vibaya panya huyu lipumba
mpango uliop hapa ni delaying techniques iliifike mwaka 2020 ambao kisheria kama kesi haijapatiwa jibu itaibua masuala mengi yatakayotumika kuwekea pingamizi cuf ya maalim namuomba allah awape lana zilizopita mipaka wale wte wanaohusika kuharibu kesi hizi zilizofunguliwa na cuf ya maalim
vuai 9 septemba 2018 at 0509 jibu
hii episode ya ngapi huu sasa umekuwa ni mchezo case utafikiri ya mauwaji wakati ushahidi upo watuhumiwa wapo none sense
chatumpevu chatumpevu 9 septemba 2018 at 1209 jibu
ndg yangu ngoma hii itapelekwa mpka mwaka 2020 kesi hii haitatolewa maamuzi na inawekwa kama ni mtego wa kunguru na huku wakitafuta namna bora ya kutumia vipengekele na argument za kisheria zisizo na mashiko za kuumiza upande wa maalim seif si vyenginevyo hakukuwa na sababu yakumhamishia mtwara jaji dyansobera na huyo mlevi aliyeletwa kuchukua nafasi ya dyansobera ameshalishwa mkakati wote wa uendeshaji wa kesi hii
namuomba mungu awape upofu na kila aina ya ubaya wale wote wanaiodhulumu cuf
| 2018-09-20T08:58:03 |
https://www.mzalendo.net/habari/lipumba-aishiwa-pumzi-mahakamani.html
|
habari mseto blog wapendanao wa tatu mzuka wazidi kujizoelea mamilioni
wapendanao wa tatu mzuka wazidi kujizoelea mamilioni
msanii wa muziki wa kizazi kipya atambulikae kwa jina la aslay akimhoji mmoja wa wapendanao mwanaidi msangi ambaye alikuwa ni mmoja kati ya washindi na mpenzi wake kelvini gibson pichani kuliawakazi hao wa buguruni malapa walijinyakuliwa milioni kumi na kugawana kila mmoja milioni tanokulia ni msanii wa muziki wa kizazi kipya atambulikae kwa jina la kisanii nandy
kulia ni msanii wa muziki wa kizazi kipya atambulikae kwa jina la kisanii nandy akimhoji mmoja wa wapenda nao kelvini gibsonwakazi wa buguruni malapa waliojinyakuliwa milioni tano tano kwa kila mmoja mwishoni mwa wikikatika kushiriki kampeni ya wapendanao ilionzishwa na mchezo huo wa kubahatisha wa tatu mzukauliobeba kauli mbiu iliyojulikana kwa jina la 'ukishinda na umpendae anashinda' kushoto ni msanii wa muziki wa kizazi kipya atambulikae kwa jina aslay
wawili wapenda nao mwanaidi msangi pamoja na kelvin gibson wakiwa sambamba katika picha ya pamoja huku wakiwa wameshika mfano wa hundi ya shilingi milioni kumi waliojishindia kwenye muendelezo wa kampeni ya wapendanao ilioanzishwa na tatu mzuka kulia ni msanii wa muziki wa kizazi kipya atambulikae kwa jina la kisanii nandy pamoja na msanii wa muziki wa kizazi kipya atambulikae kwa jina la aslayambao kwa pamoja wanatarajiwa kutumbuiza jumamosi hii katika ufukwe wa kiota cha maraha cha escape onemikocheni jijini dar
imewekwa na francis dande tarehe 13218
rc mongela aeleza namna wananchi walivyofanikiwa kuokoa watu 40 wakiwa hai
| 2018-09-23T12:17:51 |
http://francisdande.blogspot.com/2018/02/wapendanao-wa-tatu-mzuka-wazidi.html
|
1 wafalme 15 | biblia kwenye mtandao | tafsiri ya ulimwengu mpya
kitabu cha kwanza cha wafalme 15134
abiyamu mfalme wa yuda (18)
asa mfalme wa yuda (924)
nadabu mfalme wa israeli (2532)
baasha mfalme wa israeli (33 34)
15 katika mwaka wa 18 wa utawala wa mfalme yeroboamu+ mwana wa nebati abiyamu akawa mfalme wa yuda+ 2 alitawala kwa miaka mitatu huko yerusalemu mama yake aliitwa maaka+ mjukuu wa abishalomu 3 aliendelea kutembea katika dhambi zote ambazo baba yake alitenda kabla yake na moyo wake haukuwa kamili kwa* yehova mungu wake kama moyo wa daudi babu yake 4 hata hivyo kwa sababu ya daudi+ yehova mungu wake alimpa taa huko yerusalemu+ kwa kumwinua mwana wake atawale baada yake na kufanya jiji la yerusalemu lidumu 5 kwa maana daudi alitenda yaliyokuwa sawa machoni pa yehova naye hakugeuka na kuacha jambo lolote ambalo yeye alikuwa amemwamuru sikuzote za maisha yake isipokuwa kuhusiana na kisa cha uria mhiti+ 6 na kulikuwa na vita kati ya rehoboamu na yeroboamu sikuzote za maisha yake+ 7 na mambo mengine katika historia ya abiyamu mambo yote aliyofanya je hayajaandikwa katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa yuda+ kulikuwa pia na vita kati ya abiyamu na yeroboamu+ 8 kisha abiyamu akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake katika jiji la daudi na asa mwanawe+ akawa mfalme baada yake+ 9 katika mwaka wa 20 wa mfalme yeroboamu wa israeli asa alianza kutawala yuda 10 alitawala yerusalemu kwa miaka 41 nyanya yake aliitwa maaka+ mjukuu wa abishalomu 11 asa alitenda yaliyokuwa sawa machoni pa yehova+ kama daudi babu yake 12 aliwafukuza wanaume makahaba wa hekaluni kutoka nchini+ na kuondoa sanamu zote zenye kuchukiza* ambazo mababu zake walikuwa wametengeneza+ 13 hata alimwondoa maaka+ nyanya yake kutoka katika cheo chake cha mama malkia kwa sababu alikuwa ametengeneza sanamu chafu sana* kwa ajili ya ibada ya mti mtakatifu* asa akaikatakata sanamu hiyo chafu sana+ na kuiteketeza katika bonde la kidroni+ 14 lakini mahali pa juu hapakuondolewa+ hata hivyo moyo wa asa ulikuwa kamili kwa* yehova maisha yake yote* 15 naye alileta katika nyumba ya yehova vitu ambavyo yeye na baba yake walikuwa wamevifanya kuwa vitakatifufedha dhahabu na vyombo mbalimbali+ 16 kulikuwa na vita daima kati ya asa na baasha+ mfalme wa israeli 17 basi mfalme baasha wa israeli alikuja kushambulia yuda akaanza kujenga* rama+ ili kumzuia mtu yeyote asitoke wala kuingia kwa* mfalme asa wa yuda+ 18 ndipo asa akachukua fedha yote na dhahabu iliyokuwa imebaki katika hazina za nyumba ya yehova na hazina za nyumba ya* mfalme na kuwapa watumishi wake kisha mfalme asa akawatuma kwa benhadadi mwana wa tabrimoni mwana wa hezioni mfalme wa siria+ aliyekuwa akiishi damasko akamwambia 19 kuna mkataba* kati yangu na wewe na kati ya baba yangu na baba yako ninakutumia zawadi ya fedha na dhahabu njoo vunja mkataba wako* na mfalme baasha wa israeli ili aondoke kwangu 20 benhadadi akamsikiliza mfalme asa akawatuma wakuu wa majeshi yake kushambulia majiji ya israeli wakashinda iyoni+ dani+ abelbethmaaka eneo lote la kinerethi na nchi yote ya naftali 21 baasha aliposikia habari hizo mara moja akaacha kujenga* rama akaendelea kuishi tirsa+ 22 kisha mfalme asa akawaita watu wote wa yudahakuna aliyeachwanao wakabeba mawe na mbao zilizokuwa zikitumiwa na baasha kujenga rama mfalme asa akazitumia kujenga* geba+ kule benjamini na pia mispa+ 23 na mambo mengine katika historia ya asa ukuu wake wote na mambo yote aliyofanya na majiji aliyojenga* je hayajaandikwa katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa yuda lakini alipozeeka alishikwa na ugonjwa miguuni+ 24 kisha asa akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake katika jiji la daudi babu yake na yehoshafati+ mwanawe akawa mfalme baada yake 25 nadabu+ mwana wa yeroboamu akawa mfalme wa israeli katika mwaka wa pili wa mfalme asa wa yuda naye alitawala israeli kwa miaka miwili 26 aliendelea kutenda maovu machoni pa yehova na kufuata njia ya baba yake+ na dhambi yake aliyosababisha waisraeli kutenda+ 27 baasha mwana wa ahiya wa nyumba ya isakari akapanga njama dhidi yake na baasha akamuua kule gibethoni+ jiji la wafilisti wakati nadabu na waisraeli wote walipokuwa wakilizingira gibethoni 28 kwa hiyo baasha akamuua katika mwaka wa tatu wa mfalme asa wa yuda akawa mfalme baada yake 29 mara tu alipokuwa mfalme aliiangamiza nyumba yote ya yeroboamu hakumwacha mtu yeyote wa yeroboamu akipumua aliagiza waangamizwe kama yehova alivyokuwa amesema kupitia ahiya mtumishi wake kutoka shilo+ 30 alifanya hivyo kwa sababu ya dhambi ambazo yeroboamu alikuwa ametenda na kusababisha waisraeli wazitende na kwa sababu alikuwa amemkasirisha sana yehova mungu wa israeli 31 na mambo mengine katika historia ya nadabu mambo yote aliyofanya je hayajaandikwa katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa israeli 32 na kulikuwa na vita daima kati ya asa na mfalme baasha wa israeli+ 33 katika mwaka wa tatu wa mfalme asa wa yuda baasha mwana wa ahiya akawa mfalme wa waisraeli wote kule tirsa alitawala kwa miaka 24+ 34 lakini aliendelea kutenda maovu machoni pa yehova+ akafuata njia ya yeroboamu na dhambi yake ambayo alisababisha waisraeli kutenda+
^ au haukumtumikia kikamili
^ yaani kingono
^ au ulimtumikia kikamili
^ au kuimarisha kujenga upya
^ au asiondoke wala kuingia katika eneo la
^ au agano
^ au agano lako
^ au aliyoimarisha aliyojenga upya
1 wafalme 15
| 2017-12-12T15:22:21 |
https://www.jw.org/sw/machapisho/biblia/nwt/vitabu/1-wafalme/15/
|
make your own zanpakuto anime ya bleach fanpop | page 94
8930380 viewers kuwa shabiki
zaidi ya mwaka mmoja uliopita ddarksonic675 said
zaidi ya mwaka mmoja uliopita pysen123 said
zaidi ya mwaka mmoja uliopita onix11 said
zaidi ya mwaka mmoja uliopita ichigosuke said
zaidi ya mwaka mmoja uliopita ichigo131 said
zaidi ya mwaka mmoja uliopita goflytwokites said
zaidi ya mwaka mmoja uliopita dessed said
zaidi ya mwaka mmoja uliopita wagakagami said
zaidi ya mwaka mmoja uliopita roganator123 said
zaidi ya mwaka mmoja uliopita kypher8 said
zaidi ya mwaka mmoja uliopita k0vip3r said
zaidi ya mwaka mmoja uliopita ankakalle64 said
| 2019-12-12T21:41:11 |
http://sw.fanpop.com/clubs/bleach-anime/forum/post/25410/94/make-own-zanpakuto
|
amkeni na kumchezea mungu | kanisa la mwenyezi mungu
tumesikia sauti ya mungu na kuinuliwa mbele yake ili kuhudhuria karamu
tunakula na kunywa maneno ya mungu na kuomba kwake kuishi mbele yake ni furaha kubwa
tulipomwamini bwana ndani ya dini mioyo yetu ilikuwa ya giza na hatukuwa na njia
sasa tunakula na kunywa maneno ya mungu tunashiriki kuhusu ukweli kufurahia kazi ya roho mtakatifu ni furaha sana
ndugu na dada simameni na mcheze toeni densi mpya kumsifu mungu
tumetoroka minyororo ya kaida za dini tumeelewa ukweli na roho zetu zimefunguliwa
maneno yote ya mungu ni ukweli yanatuonyesha njia katika maisha
hatutawahi tena kufanya hila kwa ajili yetu tutatii utawala wa mungu na mipangilio kabisa
tumepitia hukumu ya maneno ya mungu upotovu wetu umetakaswa na kubadilishwa
tunaishi kama watoto wasio na hatia na tunamwabudu mungu kwa roho na ukweli
maneno ya mungu yakituongoza tunakanyaga ukandamizaji wote na shida chini ya visigino vyetu
haijalishi anavyotuzuia shetani tutamfuata kristo na kuwa waaminifu hadi mwisho
ndugu amkeni na mcheze toeni densi mpya kumsifu mungu
kumfuata kristo ni furaha ya kweli njia inangaa zaidi na zaidi
kwa kujua haki na utakatifu wa mungu moyo wangu unataka tu kumsifu
kumtukuza mungu ni furaha yeye kuwa pamoja nasi ni furaha ya kweli
kumshuhudia mungu ni utukufu wa kweli roho yangu ni huru sana
msifu mungu kwa kumshinda shetani amepata utukufu wote
inayofuata:msifu mwenyezi mungu
| 2020-04-03T01:04:59 |
https://sw.godfootsteps.org/get-up-and-dance-for-God-lyrics.html
|
tunauza mabati bora ya kisasa yasiyopauka toka kampuni za alaf sun share na afrina kwa bei ya kiwandani tuna mabati ya msouth it 4 na it 5 kwanzia 9600/= hadi 17200/= kwa mita 1tuna mabati ya vigae(versatile) kwanzia 16500/= hadi 17500/= kwa mita 1 *tuna mabati ya kawaida migongo midogo ya rangi na meupe kwanzia 20000/= hadi 29000/= kwa bati moja la mita 3 tunayo misumari ya bati ya rangi kofia na valley tunapatika buguruni chama
23 mabati na vigae
| 2019-08-22T06:59:59 |
https://www.zoomtanzania.com/sw/nyenzo-na-vifaa-vya-ujenzi?p=2
|
wanajeshi 45 wahukumiwa kifo dar24
1 month ago comments off on wanajeshi 45 wahukumiwa kifo
mahakama nchini libya imewahukumu kifo wanajeshi 45 baada ya kuwatia hatiani kwa makosa ya kuwaua watu kwa kuwafyatulia risasi mwaka 2011 wakati wa harakati za kumuondoa madarakani aliyekuwa rais wa nchi hiyo muammar gaddafi
taarifa kutoka wizara ya sheria ya nchi hiyo imesema kuwa waliohukumiwa vifo hivyo ni wanajeshi ambao walikuwa watiifu kwa gadafi na mauaji hayo yalifanyika katika wilaya ya abu slim kwenye mji mkuu wa nchi hiyo tripoli
aidha licha ya wanajeshi hao 45 kuhukumiwa kifo wengine 54 wamehukumiwa vifungo mbalimbali 22 wakiachiliwa huru na wengine watatu wakifa kabla ya hukumu kutolewa
hata hivyo nchi libya imekuwa na hali tete ya amani tangu rais wa zamani wa nchi hiyo muamar gadafi apinduliwe na baadaye kuuawa ambapo kumekuwa na vikundi kadhaa vya waasi vimekuwa vikizipinga serikali zinazokuwa madarakani
habari 6 hours ago comments off on breaking news madereva 50 wa uber wanyanganywa magari
| 2018-09-20T19:13:23 |
http://dar24.com/wanajeshi-45-wahukumiwa-kifo/
|
watakaokwiba fedha za mapato ya gesi miaka 30 jela kufilisiwa jamiiforums
watakaokwiba fedha za mapato ya gesi miaka 30 jela kufilisiwa
thread starter daniel mbega
331 165 60
viongozi na watumishi wa umma watakaoiba ama kutumia vibaya mapato yanayotokana na gesi na mafuta watafungwa miaka 30 jela pamoja na kufilisiwa
hayo yamefafanuliwa katika sehemu ya vii ya sheria ya usimamizi wa mapato ya gesi ya mwaka 2015 ibara ya 21 (1) na (2) ambayo inabainisha pia kwamba ofisa huyo atatozwa faini ya kiwango sawa na fedha alizozifisidi ama atakabiliwa na faini pamoja na kifungo kwa pamoja
soma zaidi hapa=> watakaokwiba fedha za mapato ya gesi miaka 30 jela kufilisiwa | fikra pevu
likes motochini mikeimani and mgagaa na upwa
mkulukunde
312 194 60
watakaokwiba sehemu nyingine ruksa au
likes mikeimani lost id and mkwepa kodi
2682 1200 280
mwanzo mzuri kuweka nidhamu kwa watumishi wa uma sheria hii isiishie kwenye gesi na mafuta tu bali iende kwenye sekta nyingine pia
kika atakayeajiriwa ajulishwe kuhusu sheria hiyo ikiwezekana waiimbe kama wimbo wa taifa kila wanapowasili kazini asubuhi
kuna chama kinachofananishwa na familia ya panya hapo kuiba kama kazi
subiri uone
22715 49551 280
ccm wataumia sana kwa sheria hii
12900 3449 280
uvujaji mkubwa wa pato upo kwenye mikataba mibovu kipaumbele ilikuwa ni kupitia upya mikataba sekta ya gesi
likes babu jp jobless tycoon and universe
ccm gani hv umesikia kuhusu lugumi
mkulukunde said
sijasikia mkuu nilikuwa kwenye ban yaani ban zimeniandama utafikiri nina ugomvi na mods wa jf
2418 2882 280
kuwafunga viongozi mafisadi 30 years nohiyo ni hadaa tu angalia sheria inatoa nafasi aliyeiba arudishe alichoiba hapo mafisadi watatumia mwanya huo wakijua watalipa walichoiba see vipi sheria ya wahalifu illicit drugs cocaine heroine black tar meth nao si 30 years au faini au vyote swali nani amefungwa 30 years kwa makosa haya well mtu anaweza arguewe have new government and jpm won't tolerate criminals lazima wafungwe siamini hivyoserikali inatengeneza hali ya woga tu kujaribu kupambana na tatizo sugu la wizi/ufisadi
likes babu jp
403 222 60
pongeza hata kidogo basi ndugu halafu ndio upigirie msumari kwenye hayo mengine
77 69 25
na mikataba hiyo inakuwa ya muda mrefu mno sidhani kama wanaweka muda wa ku review mkataba ukiisha wameshachimba gesi yote
kilichonishangaza zaidi matangazo kuwa gesi ya helium imegundulika tanzania yalitangaziwa wanahabari japan na katika mahojiano afisa wa tanzania aliyehojiwa alisema hakuweza kuelezea chochote kwa wakati ule kwa sababu hakuwa na habari kamili nimebaki najiuliza gesi imepatikana tanzania iweje hao wataalamu wasitangazie dunia wakiwa hapa tanzania wakaenda kutangazia japan na waliwezaje kutangaza kabla wahusika sisi watanzania hatujajua kinachoendelea
http//wwwbbccom/swahili/habari/2016/06/160628_helium_gas_find_tanzania
katika taarifa kwa wanahabri huko japan watafiti hao wanasema kuwa uhaba wa gesi hiyo kote duniani ulikuwa umesababisha taharuki haswa kwa madaktari ambao wanatumia gesi hiyo adimu kuendesha mashine za utabibu zijulikanazo kama mri scanners mbali na kutumika katika mitambo ya kinyuklia miongoni mwa sekta zingine nyingi za kawi na teknolojia
590 848 180
gesi tu
dah shikamoo lugumi naibu sipika naagiza
mungu wangu hii tz sijawahi ona
436 111 60
masafa marefu said
jpm mbona alisha tweet hii kitu mkuu
6316 1990 280
ndiyo lakini watang'olewa pumbu bila ganzi
3709 2216 280
mwelewa said
hata mtogo aliyehukumiwa na mahakama kuu moshi mwezi uliopita hukuisikia
903 545 180
duhh kama ni ke inakuwaje sheria inatungwa bila kuangalia jinsia nawe ni gt kweli uwe na adabu usilete maneno ya vijiweni hapa
yap hasa wale walioimba 'tuna imani na ' imekula kwao hii ccm inayokuja chini ya jpm si mchezo
utatu said
gesi inayowindwa na dunia nzima inatangaziwa japan na raisi wa jamuhuri ya tanzania ana tweet hiyo tweet mimi sijaiona alitakiwa kusema tena akijiamini helium imeapatikana tanzania na ni ya watanzania kama yeye hakuwa na nafasi hata waziri angefaa itangazwe na mtanzania wakiwa hapa tanzania
ccm watajifunga wenyewe labda kama wanamaanisha kufungwa magoli
jane lowassa said
hv ni wasahaulifu sna nyinyi watu sheria ngapi zimetungwa na zinakiukwa na hao hao ccm lugumi yuko wapi
threads 1235480
posts 29223906
| 2018-12-10T18:52:14 |
https://www.jamiiforums.com/threads/watakaokwiba-fedha-za-mapato-ya-gesi-miaka-30-jela-kufilisiwa.1073748/
|
rais magufuli lowassa washiriki ibada ya kuuaga mwili aliyekuwa mke wa mengi | udaku special blog
rais magufuli lowassa washiriki ibada ya kuuaga mwili aliyekuwa mke wa mengi
november 08 2018 tanzia no comments
| 2019-01-23T16:13:13 |
https://www.udakuspecially.com/2018/11/rais-magufuli-lowassa-washiriki-ibada.html
|
misala 19 | biblia na internet | libongoli ya mokili ya sika
misala 19141
19 na nsima wana apolosi+ azalaki na korinti paulo akatisaki na nzela oyo eleki na kati ya mokili mpe akitaki na efese+ mpe akutaki bayekoli mosusu 2 mpe alobaki na bango ete bozwaki elimo santu+ ntango bokómaki bandimi bango balobaki na ye ete kutu naino toyoká te ete elimo santu ezalaka+ 3 mpe alobaki ete bongo bobatisamaki na nini balobaki ete na batisimo ya yoane+ 4 paulo alobaki ete yoane abatisaki na batisimo oyo ezali elembo ya kobongola motema+ azalaki koyebisa bato ete bándimela moto oyo azalaki koya nsima na ye+ elingi koloba kondimela yesu 5 ntango bayokaki bongo babatisamaki na nkombo ya nkolo yesu+ 6 mpe ntango paulo atyelaki bango mabɔkɔ+ elimo santu ekitelaki bango mpe babandaki koloba na minɔkɔ mosusu mpe kosakola+ 7 bango nyonso bazalaki mibali soki zomi na mibale 8 ntango akɔtaki na sinagoga+ alobaki na mpiko na boumeli ya sanza misato azalaki kosala masukulu mpe kosalela mayele ya kondimisa na oyo etali bokonzi+ ya nzambe 9 kasi lokola bamosusu bazalaki kaka kokómisa mitema na bango makasi mpe bazalaki kondima te+ na ndenge bazalaki koloba mabe mpo na nzela+ liboso ya ebele wana ya bato alongwaki epai na bango+ mpe akabolaki bango na bayekoli+ azalaki kosala masukulu mokolo na mokolo na ndako ya eteyelo ya tiranusi 10 asalaki bongo mbula mibale+ mpe baoyo nyonso bazalaki kofanda na etúká ya azia+ bayokaki liloba ya nkolo bayuda ná bagrɛki 11 mpe nzambe akobaki kosala misala minene ya nguya na mabɔkɔ ya paulo+ 12 bongo bazalaki kozwa ata biteni ya bilamba mpe bilamba ya mosala na nzoto na ye mpe bazalaki komemela yango bato oyo bazalaki kobɛla+ mpe bamaladi na bango ezalaki kosila mpe bilimo mabe bazalaki kobima+ 13 kasi bamosusu na bayuda oyo bazalaki kotambolatambola oyo bazalaki kosala mosala ya kobimisa bademo+ bamekaki mpe kotánga nkombo ya nkolo yesu+ epai ya baoyo bazalaki na bilimo mabe balobi nazali mpenza kopesa bino mitindo+ na nzela ya yesu oyo paulo azali kosakola 14 nzokande bana mibali nsambo ya moto moko nkombo na ye sekeva nganganzambe mokonzi moyuda bazalaki kosala bongo 15 kasi elimo mabe azongiselaki bango ete nayebi yesu+ mpe nayebaka paulo+ kasi bino banani 16 na yango moto oyo azalaki na elimo wana ya mabe apumbwelaki bango+ anyataki mokomoko na bango mpe alongaki bango bongo bakimaki na ndako wana bolumbu mpe bazokizoki bampota 17 likambo yango eyebanaki na bato nyonso bayuda mpe bagrɛki oyo bazalaki kofanda na efese mpe kobanga+ ekwelaki bango nyonso mpe nkombo ya nkolo yesu ekobaki kokumisama+ 18 mpe mingi na kati ya baoyo bakómaki bandimi bazalaki koya koyambola+ mpe koyebisa misala na bango polelepolele 19 kutu ebele ya baoyo bazalaki kosala misala ya maji+ basangisaki babuku na bango esika moko mpe batumbaki yango na miso ya bato nyonso mpe batángaki ntalo na yango nyonso mpe bamonaki ete ekokanaki na motuya ya mbongo ya bibende ya palata nkóto ntuku mitano (50 000) 20 na yango na ndenge moko ya nguya liloba ya yehova ekobaki kokola mpe kolonga+ 21 nzokande ntango makambo wana esukaki paulo akanaki na elimo na ye ete nsima ya kokatisa masedonia+ mpe akaya akokende na yerusaleme+ alobaki nsima ya kokóma kuna nasengeli mpe komona roma+ 22 bongo atindaki na masedonia bato mibale kati na baoyo bazalaki kosalela ye timote+ ná eraste+ kasi ye moko atikalaki mwa moke na etúká ya azia 23 na ntango wana mpenza mobulu monene+ ebimaki mpo na nzela+ 24 mpo moto moko nkombo na ye demetriusi mosali ya biloko ya palata na mosala na ye ya kosala bandako mike ya losambo ya artemisi azalaki kokɔtisela bato ya misala ya mabɔkɔ mosolo mingi+ 25 mpe ayanganisaki bango mpe baoyo bazalaki kosala na biloko ya ndenge wana+ mpe alobaki ete mibali boyebi malamu ete bomɛngo na biso ezali kouta na mosala oyo+ 26 lisusu bozali komona mpe koyoka ndenge paulo wana na efese+ kaka te kasi mpe na bisika pene na nyonso ya etúká ya azia andimisi ebele mpenza ya bato mpe atindi bango bándima likanisi mosusu alobi banzambe oyo basalemi na mabɔkɔ+ bazali banzambe te 27 lisusu likama esuki kaka te na likambo oyo ete mosala oyo ya biso ekosila lokumu kasi lisusu ete tempelo ya nzambemwasi monene artemisi+ ekotángama eloko mpamba mpe ata bonene na ye oyo etúká mobimba ya azia mpe mabele oyo bato bafandi esambelaka etikali moke ekóma mpamba 28 ntango bayokaki bongo mpe lokola batondaki na nkanda bato yango babandaki koganga balobi artemisi ya baefese azali monene 29 bongo engumba etondaki na yikiyiki mpe bango nyonso basopanaki na esika ya masano bamemaki na makasi elongo na bango gayusi mpe aristarke+ bamasedonia baninga ya paulo na mobembo 30 nde paulo alingaki kokende na kati epai ya bato wana kasi bayekoli bapesaki ye nzela te 31 ata mpe bakambi mosusu ya bafɛti mpe ya masano oyo bazalaki kosepela na ye batindelaki ye bato mpe babandaki kobondela ye ete atya bomoi na ye na likama te na esika ya masano 32 ya solo bamosusu bazalaki koganga likambo mosusu mpe bamosusu likambo mosusu+ mpo liyangani ezalaki na yikiyiki mpe mingi na kati na bango bayebaki te ntina nini bayanganaki 33 bongo bango nyonso bazwaki alezandre na kati ya ebele yango ya bato mpe bayuda bapusaki ye liboso mpe alezandre asalaki elembo na lobɔkɔ na ye mpe azalaki kolinga kosamba mpo na ye moko liboso ya bato yango 34 kasi ntango bayaki koyeba ete azali moyuda bango nyonso bagangaki mongongo se moko pene ya ngonga mibale ete artemisi ya baefese azali monene+ 35 na nsuka ntango mokomimakambo ya engumba afandisaki ebele yango ya bato nyɛɛ+ alobaki ete mibali ya efese nani mpenza na kati ya bato ayebi te ete engumba ya baefese ezali mokɛngɛli ya tempelo ya artemisi monene mpe ya ekeko oyo ekweaki longwa na likoló 36 na bongo lokola makambo yango ekoki kotyelama ntembe te ebongi ete bókitisa mitema mpe bósala makambo mbangumbangu te+ 37 mpo bomemi bato oyo bazali miyibi na batempelo te mpe bazali te bato oyo bazali kofinga nzambe na biso ya mwasi 38 na yango soki demetriusi+ ná bato ya misala ya mabɔkɔ oyo bazali elongo na ye bazali na likambo na moto moko boye mikolo ya kosambisa+ ezali mpe baprokonsule+ bazali báya kofundana 39 nzokande soki bozali koluka nde eloko mosusu koleka oyo wana yango esengeli kokatama na liyangani lokola na momeseno 40 mpo tozali mpenza na likama ya kofundama ete tozali batomboki na likambo oyo ya lelo lokola ezali ata na eloko moko te oyo ekoki kopesa biso nzela ya komonisa ntina ya etuluku oyo ya mobulu 41 mpe ntango asilisaki koloba makambo wana+ asɛngaki liyangani epanzana+
misala 19
| 2017-10-22T21:41:03 |
https://www.jw.org/ln/mikanda/biblia/bi12/mikanda/misala/19/
|
radio maisha | swazuri ajitetea kuhusu utata wa ardhi ya ruaraka
mwenyekiti wa tume ya kitaifa ya ardhi nlc mohamed swazuri ameiondolea lawama ofisi yake kutokana na madai kwamba ililipa kima cha shilingi bilioni 32 kwa ardhi ya ruaraka ambayo inamilikiwa na serikali wala si mtu binafsi akiwahutubia wanahabari swazuri amesema ardhi hiyo ambayo shule ya msingi ya drive inn na shule ya upili ya ruaraka zimejengwa ilikuwa mali ya mtu binafsi ndiposa serikali ikalazimika kuilipia baada ya kuitwaa
swazuri aidha amesisitiza kwamba umiliki wa ardhi hiyo tayari ulithibitishwa na kamati moja ya bunge mwaka 2012 vilevile kuthibitishwa na mahakama kwamba ni ardhi ya mtu binafsi
swazuri ambaye tayari amehojiwa na maafisa wa tume ya maadili na kukabili ufisadi eacc kuhusu umiliki wa ardhi hiyo amesema yu tayari kuitetea tume yake kwani ilizingatia sheria katika kumlipa mmiliki wa ardhi hiyo fedha
related topics swazuriruaraka
| 2018-09-23T19:35:53 |
https://www.standardmedia.co.ke/radiomaisha/news/2001283707/swazuri-ajitetea-kuhusu-utata-wa-ardhi-ya-ruaraka
|
namna gani biblia iliokoka hata kama kulikuwa upinzani
soma katika afrikaans batak (karo) batak (toba) biak cakchiquel (du centre) chibemba drehu hmong blanc karen sgaw kiacholi kiajemi kialbania kiamharike kiarabu kiarmenia kiaukan kiaymara kiazebaijani kiazebaijani cha kisirili kibashkir kibaule kibikole kibislama kibulgaria kichayao kicheki kichichewa kichinois mandarin (simplifié) kichinois mandarin (traditionnel) kichitonga kichitonga (malawi) kichitumbuka kichokwe kichua (imbabura) kichuvache kidanishi kiebrania kiefik kiestonia kiewe kifaransa kifiji kifini kifon kiga kigiriki kigreenland kiguarani kihausa kihiligaynon kihispania kiholanzi kihungaria kiiban kiigbo kiiloko kiindonesia kiingereza kiiselandi kiisoko kiitaliano kijapani kijava kijeorjia kijerumani kijolabal kikabiye kikamba kikaonde kikatalan kikazath kikechua (ancash) kikechua (ayakucho) kikechua (bolivia) kikechua (cuzco) kikiribati kikirigizi kikisi kikol kikongo kikorasia kikorea kikrio kikrioli cha haiti kikrioli cha morisi kikrioli cha shelisheli kikurde cha kisirili kikurde kurmanji (caucase) kikuyu kikwangali kikwanyama kilamba kilatvia kilitwania kiluba kilunda kiluo kiluvale kimabwelungu kimalagasi kimalta kimamu kimasedonia kimaya kimazateke cha huautla kimbunda kimbundu kimizo kimoore kimyama kinahuatl (guerrero) kinahuatl (huasteca) kinahuatl (puebla ya kaskazini) kindebele kindebele (zimbabwe) kindonga kinia kinorwe kinyaneka kinyanja kinyarwanda kinzema kioromo kiosete kipangasinan kipapiamento (aruba) kipapiamento (kurasao) kipijin cha visiwa vya solomon kipolandi kireno kiromania kirundi kirunyankore kirusi kisamoa kisango kisaramakan kisebuano kisepedi kiserbia kiserbia (kiroma) kisetswana kishona kisidama kisilozi kisinghale kislovakia kislovenia kisonge kisranan tongo kiswahili kiswahili (congo) kiswati kiswedi kitagalog kitahiti kitai kitatar kitigrinya kitirke kitiv kitok pisin kitsonga kituvalu kitwi kitzeltal kiukraini kiumbundu kiurhobo kivenda kivietinamu kiwalis kiwayuunaiki kixhosa kiyoruba kizotzil kizulu kongo lhukonzo lingala luganda ngangela otetela pidgin camerounais sesotho (lesotho) tshiluba tétoum dili uruund zande
biblia iliokoka hata kama kulikuwa upinzani
hatari viongozi wengi wa politike na wa dini walikuwa na mipango yenye kupingana na ujumbe wa biblia mara nyingi walitumia mamlaka yao ili kukataza watu kuwa na biblia kuichapisha ao kuitafsiri tuone mifano mbili
mwaka wa 167 hivi mbele ya kuzaliwa kwa yesu mufalme antioko epifane wa jamaa ya seleuko alitafuta kukaza wayahudi wafuate dini ya wagiriki kwa hiyo alitoa amri ya kuharibu kopi zote za maandiko ya kiebrania mwanahistoria mwenye kuitwa heinrich graetz aliandika kwamba wakubwa katika utawala wa antioko epifane walipasua na kuchoma vitabu vya kukunjwa vya sheria kila wakati walivipata na waliua wale wote wenye walikuwa wanatafuta nguvu na kitulizo kupitia usomaji wa vitabu hivyo
katika kipindi cha 4761500 hivi viongozi fulani wa dini ya kikatoliki hawakufurahi kwa sababu waamini walihubiri mafundisho ya biblia kuliko kuhubiri mafundisho ya dini ya kikatoliki waliona kuwa mwasiimani kila mwamini mwenye alikuwa na vitabu vya biblia isipokuwa tu kitabu cha zaburi katika luga ya kilatini baraza fulani la kanisa lilitoa amri kwa kulazimisha watu wao waendelee kutafuta waasiimani kwa bidii na kwa uaminifu kwa kuchunguza nyumba zote na vyumba vya chini ya udongo vya watu wenye waliwaziwa kuwa na vitabu vya biblia kila nyumba mwenye mwasiimani atapatikana itabomolewa
kama maadui wa biblia wangeweza kuiharibu ujumbe wake ungepotea
tafsiri ya biblia ya kiingereza ya william tyndale iliokoka hata kama kopi za biblia hiyo zilichomwa zilikatazwa kutumiwa na hata kama tyndale aliuawa katika mwaka wa 1536
namna biblia iliokoka mufalme antioko alikuwa na mupango mubaya juu ya inchi ya israeli lakini wayahudi walikuwa tayari wanaishi katika inchi zingine nyingi watu wenye elimu wanafikiri kwamba kwa kila wayahudi 100 zaidi ya 60 walikuwa tayari wanaishi inje ya israeli kati ya mwaka wa 1 na 100 kisha kuzaliwa kwa yesu wayahudi waliweka kopi za maandiko katika masinagogi yao na kopi hizo zilitumiwa pia na vizazi vyenye kufuata hata wakristomatendo 1521
katika kipindi cha 4761500 hivi watu wenye walipenda biblia hawakuogopa kuteswa na waliendelea kutafsiri na kufanya kopi za maandiko inawezekana sehemu mbalimbali za biblia zilipatikana katika luga 33 hivi katikati ya mwaka wa 1401 na 1500 mbele ya kutokea kwa mashini ya kuchapisha kwa hiyo biblia ilitafsiriwa na kuchapishwa sana kuliko zamani
matokeo wafalme wenye nguvu na viongozi wabaya wa dini walitaka kuharibu biblia lakini biblia inaendelea kugawanywa na kutafsiriwa kuliko vitabu vyote katika historia biblia imekuwa na matokeo fulani juu ya sheria na luga za inchi nyingi na juu ya maisha ya watu wengi
| 2018-01-16T10:01:25 |
https://www.jw.org/swc/vichapo/magazeti/munara-wa-mulinzi-na4-2016-mwezi-wa-7/biblia-iliokoka-hata-kama-kulikuwa-upinzani/
|
dondoo ya filamu ya bwana wangu ni nani kristo ndiye chanzo cha uhai na vile vile bwana wa biblia | injili ya kushuka kwa ufalme
dondoo ya filamu ya bwana wangu ni nani kristo ndiye chanzo cha uhai na vile vile bwana wa biblia
swahili gospel movie clip kutoka kwa enzi hububujika maji ya uzima (8) jinsi ya kupata njia ya uzima wa milele swahili gospel movie clip kutoka kwa enzi hububujika maji ya uzima (6) tofauti kati ya njia ya toba na njia ya uzima wa milele swahili gospel movie clip kutoka kwa enzi hububujika maji ya uzima (5) ni nani anayempa mwanadamu njia ya uzima wa milele dondoo ya filamu ya bwana wangu ni nani kristo ndiye chanzo cha uhai na vile vile bwana wa biblia
dondoo za filamu 126
biblia imejaa maneno ya mungu na vile vile uzoefu na ushuhuda kutoka kwa mwanadamu ambao unaweza kutupa uhai na ni yenye manufaa sana kwetu bwana yesu alisema mimi ndimi huo ufufuo na uzima yeye aniaminiye mimi ajapokufa bado ataishi na yeyote aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele (yohana 112526) lakini kwa nini baada ya miaka 2000 hakuna kati ya wale walio na imani katika bwana ambao wamesoma biblia wamewahi kupata uzima wa milele inaweza kuwa kwamba biblia haina njia ya uzima wa milele inaweza kuwa kwamba wakati bwana yesu alitekeleza kazi yake ya ukombozi kwamba hakuwapa binadamu njia ya uzima wa milele tunapaswa kufanya nini ili kuweza kupata njia ya uzima wa milele
video za kikristo kuamka kutoka kwa ndoto | kufichua fumbo la kuingia katika ufalme wa mbinguni
best christian music yule anayeshikilia ukuu juu ya kila kitu (swahili musical documentary) | power of god
| 2018-08-15T21:16:03 |
https://sw.kingdomsalvation.org/videos/movie-the-bible-and-god-5.html
|
igunga ni kielelezo cha uwendawazimu wetu ( makala mwananchi jumapili) | jamiiforums | the home of great thinkers
igunga ni kielelezo cha uwendawazimu wetu ( makala mwananchi jumapili)
discussion in 'jukwaa la siasa' started by maggid sep 25 2011
ndugu zangu wahehe wana msemo unasema ‘isenga imbofu na isenga indenyeefu' maana yake ng'ombe kipofu ni sawa tu na ng'ombe aliyevunjika mguu wote watakufa njaa ng'ombe kipofu hawezi kuyaona majani na yule aliyevunjika mguu naye hawezi kujikokota kwenda kutafuta nyasi za kula ndugu zangu kuna uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge utafanyika jimbo la igunga kuna mengi yanatokea kule igunga tafsiri yangu igunga ni kielelezo cha uendawazimu wetu maana haijapata kutokea katika historia ya nchi hii kwa kiti kimoja cha ubunge kikalifanya taifa zima lizizime leo njia zote zinaelekea igunga
msomaji wangu mwuza samaki katika soko la igunga ananiambia kuwa igunga sasa imevamiwa na wageni wengi na biashara yake ya samaki haijapata kuwa nzuri kama ilivyo sasa lakini anajua kuwa baada ya oktoba 3 biashara yake ya samaki itarudi kuwa ya kusuasua kama zamani na ajabu ya igunga ni hii kuwa chanzo chake ni falsafa ya kujivua gamba rostam aziz anasemwa kuwa ni mmoja wa magamba ndani ya chama chake akajiuzulu kiti cha ubunge kikawa wazi na rostam ' gamba' akarudi igunga kumwombea kura mgombea wa chama chake kioja rostam aziz ametusaidia kutupambanulia zaidi tukajua kuwa kama taifa tuna gamba tunalopaswa kujivua ona kule igunga kiti kile cha ubunge kimekuwa chanzo cha kupandikiza chuki zaidi miongoni mwetu watanzania tunaona kule igunga viongozi wa dini wanashiriki siasa za vyama huku wakijua kuwa waumini wao wana tofauti za kiitikadi tunaona watendaji wa serikali wakishiriki kampeni huku wakijua wanaamsha manung'uniko kwa wafuasi wa vyama
tunaona vitendo vya kujichukulia sheria mikononi na hata kuwapiga raia viongozi wa vyama na watendaji wa serikali vikifanywa na wafuasi wa vyama tumeona jinsi uchaguzi wa igunga ulivyovigawa vyombo vya habari na wanahabari tumeona hata kiongozi wa kisiasa akisimama jukwaani akiomba kura akiwa na bastola kiunoni tulipofikia ni pabaya sana
tumeona kuwa mabilioni ya shilingi yanatumika kwenye kampeni na huku rushwa ya kuhonga wapiga kura na hata kununua shahada za kupigia kura ikifanyika yote haya ni katika kuwania kiti kimoja cha ubunge wa jimbo moja kati ya majimbo zaidi ya mia mbili ya nchi hii huu ni
uendawazimu
na ajabu ni kuwa uchaguzi wa igunga ulikuja na sura ya kupambana na ufisadi tunachokiona igunga sasa ni zaidi ya ufisadi ni janga tuna lazima ya kutafuta namna nyingine ya kuendesha mambo yetu kistaarabu na kulinda hadhi na maslahi ya taifa
tuna lazima ya kukaa chini kama taifa na kutafakari mustakabali wetu nchi yetu haijaishiwa watu wenye hekima na busara maana inahusu ufisadi uliotamalaki na juzi hapa nilimsikia jaji mkuu mstaafu barnabas samatta kwenye kipindi hicho cha ' enzi hizo' kwenye tbc jaji mkuu mstaafu samatta aliongea jambo la hekima sana alisema kamwe umma usikubali kelele dhidi ya rushwa zififie bali ziongezeke
vita inayopiganwa sasa igunga huenda haina maana yeyote kwetu maana kuna cha kujifunza kutoka kwenye ngano ya mazungumzo baina ya mfalme pyrrhic na mpambe wake cineas miaka mingi iliyopita alitokea mfalme wa epilus aliyeitwa pyrrhic
mfalme huyu aliamua kuingia vitani kulikabili jeshi kubwa na lenye nguvu nyingi ni jeshi la warumi lakini kabla ya mfalme kuingia baharini na vikosi vyake kuitafuta italia ya warumi msaidizi wake wa karibu cineas aliomba mazungumzo ya faragha na mfalme alitaka kumwuliza maswali na kumshauri
cineas alimtamkia mfalme e bwana mfalme warumi wanasadikika kuwa na jeshi kubwa lenye nguvu na lenye mashujaa wengi ndio maana wameteka nchi nyingi je mungu akitusaidia tukaja kuwashinda warumi tutafanya nini na ushindi wetu mfalme akajibu mbona hilo ni swali jepesi sana mara tutakapowashinda warumi hakutatokea jeshi kutoka mji wowote wa italia litakaloweza kupambana nasi
cineas alitulia kidogo kisha akamwuliza mfalme tukishaikamata italia ya warumi kipi kitafuatia
mfalme akajibu sicily ni kisiwa chenye hazina za thamani kubwa itakuwa rahisi sana kukiteka kisiwa hicho
cineas aliendelea kuuliza bwana mfalme unaongea juu ya mambo ya kusadikika lakini una maana kukitwaa kisiwa cha sicily kutakuwa na maana ya kukoma kwa vita mfalme akajibu hapo tutakuwa tumeikaribia afrika na tukishaikamata afrika ni nani hapa duniani atathubutu kutukabili kivita
hakuna alijibu cineas kisha akauliza na baada ya hapo tutafanya nini
mpaka hapo mfalme hakujua cineas alikuwa anampeleka wapi kwa lojiki ya kifikra mfalme akajibu baada ya hapo tutapumzika tutakula raha tutakula na kunywa tutabaki tukichekeshana na kucheka siku nzima
kama ni hivyo alisema cineas ni kitu gani kinachotuzuia kufanya hayo yote sasa bila kwenda vitani
mfalme hakuielewa mantiki ya cineas akakaidi ushauri
akavipeleka vikosi vyake kupambana na warumi baada ya vita ngumu jeshi la mfalme liliwashinda warumi hata hivyo lilipata hasara kubwa ya kupoteza watu na kuwa na majeruhi wengi jeshi lake likadhohofika sana likajaribu kuitwaa sparta likashindwa vibaya sana mfalme aliwindwa na hatimaye akakakamatwa na kuuawa kwa kupigwa mawe kwenye mitaa ya argos isenga imbofu na isenga indenyeefu ng'ombe kipofu ni sawa tu na ng'ombe aliyevunjika mguu wote watakufa njaa nahitimisha
0712 95 61 31 / 0788 111 765/ 0754 678 252
maggid nchi hii ina maajabu mengi sio hayo tu baba ni kwasababu nchi hii hatujawahi pata uhuru wa kufikiri siku zote tumekuwa tukifikiriwa na watu wengine tu na hata tukijaribu kufikiri tuliambiwa nyamaza kufikiri ama watiwa kizuizini kwa hiyo hayo ndiyo matokeo yake wakoloni wetu kifikra leo wana haha kisa eti watu wameanza kufikiri wenyewe watajua mengi yaliyofunikwa itakuwa tabu wanajaribu sasa kufunika funika ili yamkini watu waache kufikiri but time is out there is no way
uchaguzi wa igunga ni kielelezo cha demokrasia iliyoshindikana tumeiga demokrasia pasipo kuwa na itikadi pinzani zaidi ya kubadilisha vichwa vya watawala wetulakini kuna tofauti kubwa sana sasa hivi na miaka ya nyuma kwa sababu angalau leo wananchi wamechoka na udhalilishaji wa ccm wananchi wana mwamko zaidi ktk kudai maisha bora na hivyo msingi wa kutaka mabadiliko haya unatokana na siasa mbaya za ccm ambazo zinawanyima fursa na mambo ya msingi kabisa ktk maisha yao tofauti na huyo cineas wananchi leo wanataka kumwondoa mfalme mwenyewe hivyo matokeo ya vita (kama yatakuwepo) ni kutokana na mfalme kukataa kuachia kiti kikubwa
mkuu maggid acha ubahili changia jf mkono mtupu haulambwi being a member for 5 yrs is not a joke
mm mwanakijiji
you have spoken uliyosema yote ni sawasawa kabisa
hakika kinachofanyika igunga kwa sasa ni zaidi ya wendawazimu tanzania imefikia pabaya nasikia harufu ya damu tunachokishuhudia igunga kwa sasa si kampeni tena baali ni uhuniushenziupumbafu na ujuha wa chama cha magambaccm
kama hawatapatikana watu wenye busara na kuingilia kati kwa kipindi hiki cha wiki 1 iliyobaki kabla ya tarehe 2/1o/2011 ni dhahiri kwamba tunaenda kushuhudia yale yaliyotokea mwaka 2007 kwenye uchaguzi wa kenya kwamba kuna watu watauawa(wanaigunga na wasio) kwa aidha kuchinjwakuchomewa nyumba zao kwa moto au kupigwa risasi za moto
hili ndugu zanguni watanzania liko wazi kabisa na ccm ndiyo wana andaa mazingira ya hali hiyo ya kutisha kwamba jeshi la polisi kwa kutumiwa na ccm linaweka mkakati wa makusudi wa kuandaa mazingira hayo mikakati iko wazi kabisa na kila mtu anaweza kushuhudia kwa uchache tu labda nitoe highlights zangu
wabunge na vioingozi wa ccm kwa makusudi kabisa wameruhusiwa na jeshi la polisi kwenda na silaha za moto kwenye mikutano ya kampeni za uchaguzi kinyume kabisa na sheria za uchaguzi polisi imewaona lakini imewafumbia macho maana inajua the mortive behind
maneno ya katibu mkuu wa ccm wmukama kuwa cdm wameingiza makomandoo 33 trained kutoka afghanistan sijui na libya na kwamba wako igunga kwa kazi ya kufanya vurugu na kuzuia watu wasipige kura if you read between the lines maneno ya mukama yana maana kubwa sana kwamba mukama alisema makusudi kuandaa mazingira ya uhalifu huo utakaofanywa na ccm wenyewe(makomandoo) halafu lawama ziende chadema live example wa comando hao ni aden rage(mbccm tabora mjini)esther bulaya(mbccm kuteuliwa)aeshi hilali(mbccm sumbawanga mjini)
nyumba kuchomwa moto na kutekeketea kabisa lakini karatasi yenye maneno ya chadema haikuweza kuunguamaajabu ya 9 ya dunia
dc igunga bi fatuma john kimario kutumiwa na ccm kuvuruga kampeni za cdm na baadaye kusingizia kuwa alidhalilishwa kwa kuvuliwa hijab na wafuasi wa cdm ilhali yeye ni mkristo anayevaa mtandio na mla nguruwe baada ya hapo tumesikia waislamu na bakwata yao wakinasa mtego wa ccm kwa kukubali na kulaani kitendo bandia kilichotengenzwa na ccm kuwarubuni waislamu hatimaye kuwa amuru wafuasi wa dini ya kiislamu wasipigie kura cdm maana inaendekeza ukristo
kwa highlights hizimtu makini anaweza kubaini kabisa kuwa ccm wameshashindwa uchaguzi wa igunga na wanachofanya kwa sasa ni kutaka kuvuruga uchaguzi huo usifanyike au kutumia kila mbinu haramu na halali ili kujihakikishia ushindi
laiti kama ningeliweza kujipenyeza kwenye mioyo ya wana igunga wakaweza kuona kile kinachofanyika nyuma ya pazia kwamba rostam aziz ameodolewa kwa shinikizo na ccm yenyewe kwamba ni gamba wana igunga wakamlilia mb wao na wengine wakazirai gamba hilo hilo kwenye uchaguzi likaitwa kuomba kura kwa ajili ya ccmhuu kama siyo usanii na kucheza na akili za watu ni kitu gani dawa ni moja tukuwanyima kura ccm kwa uhuni wanaowafanyia watu wa igunga wakti wa ccm kuwafanya watz ni mazuzu wasioweza kufikiri umekwisha shime shime wana igunga hebu fanyeni kama ndugu zetu wa zambia walio dhihirisha juzi kwenye uchaguzi mkuu wa zambia kuwa haki yaweza patikana kwenye sanduku la kura wazambia juzi walikipigia chama cha upinzani cha bwana michael satta na hivyo kumbwaga chini rupia banda wa chama kilichokuwa kinatawala zambia cha mmd
nimalize kwa kusema kwamba wana igungaplay your part it can be done and that freedom is coming tomorrow
god bless igungagod bless tanzania god bless all voters in igunga
kwakweli bwana magidd umeongea vitu vya msingi sana lakini ukweli upo wazi wanaotaka kuvuruga amani na uchaguzi wa igunga ni ccm na polic kwakushindwa kusimamia haki na ukweli wamebaki kuwa watumwa wa ccm
hali imekuwa mbaya kwa ccm na wao wanaliona hilo sera ya kuvuana magamba waliona ni rahisi sana lakini sio rahisi kama walivyokuwa wanafikiria mambo yameanza kuwaendea kombo wanachotaka kufanya ni kuvuruga uchaguzi hata kwa damu kumwagika
lakini inapaswa kuwaachia wana igunga waamue ni kiongozi yupi wana mtaka bila kutumia propaganda za kishenzi ambazo zinatumika kwasasa za udini na makomandoo
kuna kiongozi wa ccm ametangaza kuwa kama ubunge utachukuliwa na cdm atajiua siasa kama hizi zinabaka demokrasia ya kweli na ndomana wanahaha usiku na mchaka kuleta vurugu nili yote kupata chance ya kuiba kura na kuvuruga uchaguzi
historia itaandikwa igunga ccm watake au wasitake mungu ibariki tanzania
uchaguzi wa igunga ni kielelezo cha demokrasia iliyoshindikana tumeiga demokrasia pasipo kuwa na itikadi pinzani zaidi ya kubadilisha vichwa vya watawala wetulakini kuna tofauti kubwa sana sasa hivi na miaka ya nyuma kwa sababu angalau leo wananchi wamechoka na udhalilishaji wa ccm wananchi wana mwamko zaidi ktk kudai maisha bora na hivyo msingi wa kutaka mabadiliko haya unatokana na siasa mbaya za ccm ambazo zinawanyima fursa na mambo ya msingi kabisa ktk maisha yao tofauti na huyo cineas wananchi leo wanataka kumwondoa mfalme mwenyewe hivyo matokeo ya vita (kama yatakuwepo) ni kutokana na mfalme kukataa kuachia kiti kikubwaclick to expand
mkuu mi naona tatizo letu kubwa kabisa kama taifa ni ushabiki kwenye mambo yanayotakiwa tafakari ya kina
sasa hivi utaona watu wanataka mabadiliko ni kweli kila mtanzania atakwambia anataka mabadiliko ila mabadiliko gani
je ni mabadiliko ya sura za viongozi je ni mabadiliko ya majina ya vyama vinavyotawala au mabadiliko ya mfumo mzima wa utawala utakaotoa fursa kwa wote bila ubaguzi na kwamba kutakua na proper checks and balances ya mihimili mikuu mitatu ya utawala
sasa utagundua kelele nyingi za katiba mpya ni kama zimebakia kama ni distant echo hii ni kwa sababu upepo sasa hivi unaelekea kubaya kwa
chama tawala na unavuma kusukuma mageuzi kwenye uchaguzi mkuu ujao 2015
je tukibadili sura na chama lakini tukaacha katiba ya kibabe ileile inayominya na kumpa mkuu wa nchi mamlaka ya mungu mtu je tutakua
tumetatua matatizo yetu
huu ushabiki kwenye mambo serious unani unsettle kwa kweli kama tunataka mageuzi ya ukweli basi suala la katiba mpya lazima liwe ni la paramount importance kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015 ila kwa mwendo ulivyo hope zangu zinazidi kufifia
tutapiga kura tutachagua sura na chama halafu baadae tutakuja kugundua tumetengeza wakoloni wapya weusi
| 2017-01-17T13:16:44 |
https://www.jamiiforums.com/threads/igunga-ni-kielelezo-cha-uwendawazimu-wetu-makala-mwananchi-jumapili.176055/
|
mashindano ya kuania kiti cha rais wa marekani | magazetini | dw | 06032008
mashindano ya kuania kiti cha rais wa marekani
kishindo kwa chama cha democrats kinazidi wakati warepublican wameshamchagua mgombea wao
hillary clinton mgombea mmojawapo wa chama cha democrats
wahariri wa magazeti ya ujerumani hii leo wamemulika kwa mapana na marefu mashindano ya kuania tikiti ya vyama vya republican na democrats kugombea wadhifa wa rais uchaguzi utakapoitishwa marekani november mwaka huuwahariri wengi wanahisi kwa upande wa chama cha democrats kinyang'anyiro kati ya wagombea wawili kinazidi kusisimuasenator hillary clinton amezuwia ushindi mfululizo wa mpinzani wake chamani barak obama alipoibuka na ushindi texasohio na rhode islandgazeti la dresdner neuesten nachrichten linachambua
anastahiki kuvuliwa kofiabibi huyo shupavusenetor wa newyork amedhihirisha anawezamageuzi yanayopigiwa upatu na obama hayajawababaisha watu jumanne hiimambo yamebakia kama yalivyokua clinton anashinda katika miji mikubwa na obama miji midogoobama kamtia munda clinton lakini hakumuangusha
wote waliofikiria hillary clinton yake yamekwishaamejidanganyana kusema kweli lingekua kosa kuamini kwamba senetor huyo wa newyork kweli kapigwa kumboikulu ya marekani ni ukumbi wake hillary clintonna sio kama mke wa raisbali kama rais hasa kwa maoni ya stuttgarter zeitung mashindano ya wagombea hao wawili yanaweza kuwa na hatari kwa chama cha democratsgazeti linaendelea kuandika
wagombea hawa wawili wanaijongela njia ya siratahakuna ajuaye kama wataweza kudhibiti mkondo wa hujuma wanazotupianahasimu yao wa chama cha republican john mccain ameshajikwamua kuna mada kadhaa zinazohitaji kushughulikiwa kuanzia irak hadi kufikia sera za kiuchumimccain anawakati wa kutosha hivi sasa kuzungumzia mada hizona kusema kweli yeye ndie mshindi wa kweli wa mashindano ya jumanne iliyopita ameshajikingia sauti za wajumbe wote wanaohitajika ili aweze kuteuliwa kugombea wadhifa wa rais wa marekani
maoni sawa na hayo yametolewa pia na mhariri wa gazeti la die tageszeitung anaeandika
march nne mwaka 2008 ni tarehe inayoweza kuingia katika madaftari ya historia ya marekanikama siku iliyoshuhudia kuchaguliwa john mccain kua rais wa 44 wa marekanikatika wakati ambapo mccain amejipatia thibitisho timamu la kuwa amgombea wa chama cha republicanwademocrats wameitupa fursa ya mwisho ya kumteuwa mtu anaeweza kupigania nafasi ya kuingia ikulu ya marekani bila ya kutanguliza mbele hujumahillary clinton amethibitisha ushindi wake katika miji mitatuni matokeo ya hujuma zake dhidi ya barack obamakwa hivyo ataendelea na mkondo huo huolakini kwa kuendelea kumhujumu obamaanachanagia pia kuwafanya wapiga kura wakike na wakiume ambao hawampendiwazidi kumchukiana wakati huo huo anafanya kazi ambayo kimsingi iliokua ya john mccain na chama chake cha republican
gazeti la frankfurter rundschau linazungumzia pendekezo la bibi clinton la kutaka kushirikiana na obamagazeti linaendelea kuandika
sio tuu kwa wagombeashinikizo linawakaba pia wapiga kura kutaka iamuliwe harakawengi wa wafuasi wa chama cha democrats wanataka kuona ushirika naiwe kati ya clinton na obama au obama na clintonlinapohusika suala la madaraka nchini marekani anaejulikana ni mshindi na aliyeshindwa tuuhakuna atakaeridhika na cheo cha makamo wa rais kwa wakati wote ule ambao nafasi ya kuingia ikulu ya white house ipohata kama hillary clinton ameshagusia uwezekano huokwa hivyo mapambano yanaendeleahakuna lakini mdemocrats yeyote anaetaka kuona chama chao kikila hasara kwa kuibuka wagombea wawili wa kihistoriammarekani mweusi au mmarekani wa jinsia ya kike
mwandishi lausch walter
kiungo https//pdwcom/p/djlt
| 2018-12-12T03:30:51 |
https://www.dw.com/sw/mashindano-ya-kuania-kiti-cha-rais-wa-marekani/a-3172657
|
jihadul islami iran inahimili vikwazo vya kila namna kwa ajili ya kuihami palestina pars today
jihadul islami iran inahimili vikwazo vya kila namna kwa ajili ya kuihami palestina
mjumbe wa ofisi ya kisiasa ya harakati ya jihadul islami ya palestina amegusia maadhimisho ya siku ya kimataifa ya quds yaliyofanyika jana ijumaa kote duniani na kukumbusha kuwa jamhuri ya kiislamu ya iran imejikubalisha kuhimili na kuvumilia mashinikizo na vikwazo vya kila namna vya mabeberu kwa ajili ya kuhami malengo matukufu ya palestina
nafiz izam alisema hayo jana na kuongeza kuwa ujumbe wa siku ya kimataifa ya quds ni kuwatangazia watu wote duniani kwamba malengo matukufu ya palestina yako hai mbele ya umma wa kiislamu na kamwe hayawezi kufa
amesema licha ya kuweko njama nyingi sana za kuangamiza malengo matukufu ya palesina lakini katika siku ya quds waislamu kote ulimwenguni huwatangazia walimwengu wote kwamba wameshikamana vilivyo na kibla chao cha kwanza yaani msikiti wa al aqsa na mji mtakatifu wa baytul muqaddas na malengo yote matukufu ya palestina
nembo ya harakati ya jihadul islami ya palestina
mjumbe huyo mwandamizi wa harakati ya jihadul islami ya palestina vile vile amegusia jinsi wazayuni wanavyofanya njama za kufuta kabisa athari za kiislamu katika mji wa quds na kusema quds ndio mhimili wa mapambano kwani wazayuni hawajasita hata mara moja kufanya njama za kuuyahudisha mji huo mtukufu kuwafukuza wenyeji wake kuwabana waislamu na kuwapora mali na ardhi zao hata hivyo amesema njama na ukatili wote huo umefeli kwani quds imekita mizizi katika nyoyo za wapalestina na kwenye nyoyo za wananchi wa nchi za kiarabu na wa ulimwengu mzima wa kiislamu
miongo minne iliyopita imam khomeini ma mwasisi wa jamhuri ya kiislamu ya iran aliitangaza ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa ramadhani kuwa siku ya kimataifa ya quds mwaka huu siku hiyo muhimu iliadhimishwa jana ijumaa tarehe 22 mei 2020 kote ulimwenguni
| 2020-05-26T23:10:36 |
https://parstoday.com/sw/news/middle_east-i61148-jihadul_islami_iran_inahimili_vikwazo_vya_kila_namna_kwa_ajili_ya_kuihami_palestina
|
mbelwa nusura avunje pua namibia mwanaspoti | presstz your number 1 source of aggregated online content
mbelwa nusura avunje pua namibia
umewahi kusikia bondia wa uzito wa juu (heavy weight) anazichapa na yule wa uzani wa kati (middle weight) hiyo ilimkuta bondia wa bongo said mbelwa ambaye anakwambia nusura anyofolewe pua na konde lililomzidi uzito kisa kucheza pambano lisilomhusu
| 2019-01-21T09:26:52 |
http://presstz.net/mbelwa-nusura-avunje-pua-namibia-45602008
|
waziri maselle mbunge wa shy hatakiwi kukanyaga shy madini yapo shy atakwenda wapi | jamiiforums | the home of great thinkers
waziri maselle mbunge wa shy hatakiwi kukanyaga shy madini yapo shy atakwenda wapi
discussion in 'jukwaa la siasa' started by makollo may 8 2012
makollo
mi napata shida kwa mbunge wa shinyanga mjini aliyeteuliwa naibu waziri nishati na madini atafanya kazi kwa aman kweli ambapo toka uchaguzi wa 2010 hajakanyaga shinyanga na ukitizama migodi muhimu tz ipo shinyanga mi naomba angeachia tu huo uwaziri
kwani alishawahi kwenda akasumbuliwa
jimbo lake lipo magogoni
makollo said
mi napata shida kwa mbunge wa shinyanga mjini aliyeteuliwa naibu waziri nishati na madini atafanya kazi kwa aman kweli ambapo toka uchaguzi wa 2010 hajakanyaga shinyanga na ukitizama migodi muhimu tz ipo shinyanga mi naomba angeachia tu huo uwaziriclick to expand
unajua watu wana hasira nae bado pale shinyangasiku ya kutangaza matokeo alitangazwa kuwa mbunge kwa kumzidi kura moja tu mpinzani wake toka cdmna hilo lilisababisha vurugu ambazo zilipelekea kuchomwa moto jengo la halmashauri lililotumika kuhesabia kura na wananchi wa shinyanga
na yeye aliondoka kwa msaada wa polisi na tangia hapo haijulikani kama huwa anarudi kwao shy au la na kibaya zaidi yule mpinzani wake wakati akiwa anasudiri kuanza kwa kesi ya kupinga matokeo mahakamani yaliyompa massele ubunge naye akafariki katika mazingira tata na tete piajambo ambalo limeongezea petroli kwenye moto * sasa yeye anakuwa waziri pekee mwenye rekodi ya kihistoria ya ushindi wa kura moja tu
* pia ankuwa mbunge pekee ambaye anawakilisha watu ambao anawaogopa sijui anajuje shida zao
* huyu naye ameingia kwenye orodha ya wabunge wa vodafasta
yaani asubuhi mbungesaa nane waziri bila hata kuapa kuwa mbunge
skalulu
huyu kwetu shy hatujui kama yeye ni mbunge leo tena ni waziri hata kama ameshinda kesi hiyo kihuni lakini akae anajuwa kwamba alitenda dhambi kubwa mbele za watu waliomchagua mbunge wao mpenwa marehemu philipo magadula shelembi na ametenda dhambi kubwa mbele za mwenyezi mungu but kamwe hatarudi 2015 hiyo ndo nitolee tena na wamwangalie sana asije akawa kama hawa mawaziri walio tiririshwa atapiga hela fasta fasta akiwa anajuwa kabisa hatarudimmenitonesha kabisa hapa wakati huyu alikuwa ameachwa mbali sana kwenye kura na dola walihusika kupoteza kumbumbu kwa maksudi
unajua watu wana hasira nae bado pale shinyangasiku ya kutangaza matokeo alitangazwa kuwa mbunge kwa kumzidi kura moja tu mpinzani wake kumbe sijutiii kujiunga jf hapa unafahamu mengi mtu akashinda kwa kura moja tu halafu mpinzani wake akafariki kama nguvu hizi zinazowekezwa kuutafuta ufalme wa dunia hii zingetumika hivyo kulinda nchi tungekuwa mbaliclick to expand
masele is my opponent in 2015 election who won't dare killing me eithea as spread rumorz of killing otherz just hold on more storiz to come am nw organizing myself i was born in shy raised in shy and stay in shy
true no one needs masele in shy and i dnt thnk if he ever comeback to shy may be secretly
huyu alishinda kwa kura mojanasikia ni mchawi sana shinyanga anakuja daily kwa ungo
kammaliza kanumba alimmaliza selembi
huyu alishinda kwa kura mojanasikia ni mchawi sana shinyanga anakuja daily kwa ungoclick to expand
sure kabisa ana bibi yake matata kwa ulozi si wa kucheka naye hata kidogo
sasa atakja kwa helicopter badala ya ungo
sheshejr said
sure kabisa ana bibi yake matata kwa ulozi si wa kucheka naye hata kidogoclick to expand
makubwaaaainaonekana bibi yake alisinzia siku hiyo aliposhtuka aliokoa hio kura moja
dead or alivemasele must go
kwani alishawahi kwenda akasumbuliwaclick to expand
mwezi wa kwanza alikuja akafanya mkutano stand ya zamani na hakufanyiwa vurugu mm ninaushahidi
| 2016-12-06T18:06:16 |
http://www.jamiiforums.com/threads/waziri-maselle-mbunge-wa-shy-hatakiwi-kukanyaga-shy-madini-yapo-shy-atakwenda-wapi.263750/
|
mhe ahmed m shabiby mheshimiwa naibu spika ahsante na mimi kuwa mmoja wa wachangiaji katika hotuba ya mheshimiwa waziri wa ujenzi uchukuzi na mawasiliano napenda kumpongeza mheshimiwa waziiri pamoja na timu yake yote katika wizara hii (makofi)
mheshimiwa naibu spika cha pili ni kuhusu barabara zangu za jimbo la gairo ambayo ni ahadi ya aliyekuwa waziri wa ujenzi mheshimiwa dkt john pombe magufuli ambayo aliitoa tarehe 26 juni 2014 tarehe 26 kwanza ni shukuru maana usiposhukuru na kidogo basi ujue wewe shukrani huna tu hata ukienda mbinguni huko ni hivyo ukiangalia hata kwenye youtube ukiandika tu magufuli gairo au magufuli aitwa jembe gairo utaona hotuba yake inakuja pale alitoa ahadi ya barabara ya kutoka gairo kwenda chakwale kwenda kilindi kwa kiwango cha lami alitoa ahadi ya kuweka mji wa gairo kilometa 5 za lami gairo mjini alitoa ahadi ya gairo nongwe kilometa 76 kuchukuliwa au kukasimiwa na tanroads (makofi)
mheshimiwa naibu spika lakini nasema hivyo kwanza na mpongeza mheshimiwa rais na ninamshukuru mheshimiwa rais na ninamshukuru waziri wa ujenzi kwamba nikiangalia katika hotuba ya kitabu cha waziri wa ujenzi ukurasa wa 339 naiona barabara ya nongwe imetengewa zaidi ya milioni 900 na kwa bahati nzuri mkandarasi wa kuweka lami gairo mjini tayari yupo kazini pale na anaendelea kazi ya kuweka zile kilometa tatu za lami
nilikuwa namuomba mheshimiwa waziri kwamba katika ahadi ya mheshimiwa rais ya kilomita 5 zimebakia kilometa mbili na wakati mheshimiwa waziri wa ujenzi anatupa ahadi ya unjezi wa kilometa tano alikuwa anaelewa matatizo yaliyopo pale kwa hiyo tumepewa kilometa tatu lakini tunaomba hizi kilometa mbili zimaliziwe haraka kwa sababu mwaka huu sijaziona kwenye bajeti
mheshimiwa naibu spika kwa sababu ukiacha hizi kilometa tatu peke yake ni sawa sawa na mtu kumvalisha koti la suti halafu chini umemvalisha kaptula kwa hiyo naomba tumalize hizi kilometa mbili vilevile nikiangalia ile barabara ya kutoka gairo kwenda kilindi kwa ndugu yangu kigua ambayo ingesaidia hata watu wanaotoka iringa kupitia dodoma zambia wapi kwenda bandari ya tanga kwa sababu pale ni karibu sana kutoka gairo mpaka kilindi ni kilometa 100 tu nayo haimo kwenye bajeti kwa hiyo na washauri na najua hii wizara ni sikivu mtaweka (makofi)
mheshimiwa naibu spika cha zaidi ambacho nilitaka kukiongea kwa leo ni kuhusu habari ya mashirika ya umma watu wengi wamepongeza sana mashirika yote ya umma ambayo yako chini ya wizara hii ya ujenzi wizara hii ya ujenzi ni moyo wa nchi wizara hii ina taasisi 37 na moja ya hizo taasisi kubwa nizitaje chache kuna ttcl posta bandari atc tra hizo nikutajie tano ambazo zote ni kubwa kabisa nataka niseme kwamba namshukuru mheshimiwa rais nimpongeze pamoja na mheshimiwa wazari na mheshimiwa naibu waziri na makatibu wa wizara hii wote kwa kupata bodi ambazo zinaongozwa na watu ambao wana weledi wajumbe wenye weledi na maceo ukichukua taasisi zote nilizozitaja maceo ni vijana na ni wazuri kabisa
mheshimiwa naibu spika wasiwasi wangu uko wapi haya mashirika ambayo yako kwenye hii wizara ukiangalia sana ya natakiwa yaendee kibiashara shirika la reli lazima liende kibiashara ttcl lazima iende kibiashara atcl lazima iende kibiashara posta lazima iendee kibiashara bandari lazima iendee kibiashara hata mheshimiwa rais wakati ananua ndege alijua kabisa (makofi)
mheshimiwa naibu spika hakuna watu wanafiki kama baadhi ya sisi wabunge miaka ya juma tunapiga kelele tunafananishwa na rwanda rwanda wana ndege sisi hata kimoja hichi kibovu bovu leo ndege zimekuja mnaanza kusema ndege sio kipaumbele cha kwanza mimi nasema vyote ni vipaumbele lakini viongozwe kwa mujibu wa sheria za kibiashara hicho ndio cha msingi kwa mfano unaunda
bodi zina madaktari zina maprofesa zina wajumbe safi halafu baadaye tena hapo hapo yanatoka maagizo matamko kutoka huku ya naingilia kwenye ile bodi sasa kuna faida gani ya kuweka bodi mpya acheni watu wafanye kwa kutumia utaalamu wao kama mmeweka bodi basi acheni bodi pamoja na maceo wao na menejimenti zifanye kazi yake lakini kutakuwa na faida gani ya kuweka bodi mpya halafu mnaziingilia ingilia hii ni biashara jamani
mheshimiwa naibu spika mimi ni wapeni mfano mmoja hili shirika letu la ttcl hili ni shirika ambalo lingekuwa linachangia uchumi wa taifa tuchukue mfano wa shirika la simu la ethopia kwa mwaka wanatengeneza dola bilioni 33 ukitoa kodi wanabaki na dola bilioni 15 kwenye mfuko wa serikali wanachangia karibu dola milioni 300 hiyo ni sawa sawa na bilioni zaidi ya 700 za tanzania sasa haya sio tunawategemea tra lazima tuwe na mashirika ambayo yataingiza hela kwenye serikali (makofi)
mheshimiwa naibu spika ukiangalia uwekezaji wa ttcl ili ifike tanzania nzima itachukua zaidi ya miaka na ikimaliza kufika huko vijijini na sehemu nyingine hawa vodacom na kampuni zingine kama tigo watakuwa tayari wana mitandao mipya wakati huko huko serikali tena ina asilimia 40 kwenye shirika la airtel kama wabunge hawafahamu asilimia 40 ya airtel ni hela ya serikali ya tanzania lakini toka hizo asilimia 40 ziwekwe kwenye airtel kila siku airtel wanapata hasara hawaleti faida hata shilingi moja kwenye serikali sasa kwa nini hizo hisa za kwo 60 zilizobakia tusizinunue ziwe za serikali (ttcl) halafu tutakuwa tayari tumeshajigawanya tumeshachukua mitambo ya airtel tunakuwa tayari tuko tanzania nzima na tunaingia kwenye compentintion kuliko kuacha asilimia 40 wakati ilie asilimia 40 kila siku hawapati faida kwa hiyo hela ya serikali imekaa tu airtel (makofi)
mheshimiwa naibu spika tukija kwenye shirika la ndege uwekezaji wa ndege si mchezo ukiwa bilionea ukitaka kuwa milionea ingia kwenye biashara ya ndege inataka lazima muwe na mtaji na lazima uweke mtaji
ahmed m shabiby mheshimiwa naibu spika ila hilo shirika linatakiwa lipewe hela lijiendeshe ttcl
| 2020-01-27T17:54:51 |
http://www.parliament.go.tz/polis/index.php/contributions/5040
|
michuzi blog maadhimisho ya siku ya mtoto wa kike duniani baraza la wototo mkoani mwanza lataka mtoto wa kike kupewa fursa sawa katika jamii ' if(imglength>=1) { imgtag = '
| 2017-09-24T22:57:12 |
https://issamichuzi.blogspot.com/2016/10/maadhimisho-ya-siku-ya-mtoto-wa-kike.html
|
tumeweka mbele maslahi ya wanachama wetu mkurugenzi mkuu nhif wizara ya afya tanzania
tumeweka mbele maslahi ya wanachama wetu mkurugenzi mkuu nhif
mkurugenzi mtendaji mfuko wa taifa wa bima ya afya bw bernard konga akisema jambo wakati wa ufunguzi wa mkutano wa baraza la pili la wafanyakazi wa mfuko huo jijini dodoma
mkuu wa mkoa wa dodoma dkt binilith mahenge akisema jambo wakati wa ufunguzi wa mkutano wa baraza la pili la wafanyakazi wa mfuko wa taifa wa bima ya afya
na nhif dodoma
0 on tumeweka mbele maslahi ya wanachama wetu mkurugenzi mkuu nhif
| 2020-07-02T23:22:06 |
https://afyablog.moh.go.tz/2019/02/tumeweka-mbele-maslahi-ya-wanachama.html
|
msijitie kiwewe zanzibar ina wenyewe | wasiliana nasi kupitia zenjibarza@gmailcom | page 2
march 3 2016 in habari
jeshi la polisi limeendelea na kamatakamata ya wapinzani wa vyama vinavyounda ukawa katika maeneo mbalimbali likieleza sababu tofauti za kijinai zinazohusishwa na masuala ya kisiasa source polisi ukawa jino kwa jino
maalim seif atetewa zanzibar
chama cha wanasheria zanzibar (zls) kimesema mkurugenzi wa mashitaka zanzibar (dpp) ibrahim mzee ibrahim aachwe afanyekazi yake bila ya kuingiliwa na wanasiasa kuhusu kukamatwa na kufunguliwa ma source maalim seif atetewa zanzibar
katika siku za karibuni jeshi la polisi zanzibar mara kwa mara limekuwa likitoa tahadhari kwa wananchi kujiepusha na vitendo vinavyoweza kusababisha kuchafuka kwa amani visiwani source mazombi wanataka kuizuishia balaa zanzibar
february 24 2016 in habari
source cuf yataka eddy riyami aachiliwe haraka
| 2017-08-20T05:40:52 |
https://zenjibarza.wordpress.com/page/2/
|
nyaruguru bahawe amafaranga miliyoni 25 yo kurwanya imirire mibi nigwingira rdn
nyaruguru bahawe amafaranga miliyoni 25 yo kurwanya imirire mibi nigwingira
yanditswe na rukundo emmanuel kuwa 29/06/2019 saa 180140 yasuwe inshuro 178
ikigo cyitumanaho mu rwanda cya mtn kuri uyu wa 29 kamena 2019 ccyashyikirije akarere ka nyaruguru sheki iriho miliyoni 25 zamafaranga yu rwanda agamije gufasha abaturage bamikoro macye kurwanya imirire mibi nigwingira
ni igikorwa cyakorewe mu muganda rusange usoza ukwezi kwa kamena 2019 wabereye mu murenge wa kibeho akagari ka mubuga umudugudu wa nyarwumba
umuyobozi wa mtn foundation mukarubega zulfat yavuze ko mu bikorwa bakora bagena buri mwaka 1 cyibyo bungutse kikunganira leta mu gukemura ibibazo bibangamiye imibereho myiza yabaturage
yagize ati mtn foundation yabayeho kubera ikigo cya mtn muzi buri mwaka dukora ibikorwa bitandukanye tugamije kuzamura imibereho myiza yabaturage
iyi nkunga yatanzwe izafasha mu gushyigikira ibikorwa byamarerero agera kuri 996 ari mu midudugudu yose yakarere ka nyaruguru amarerero agamije kugaburira abana indyo yuzuye kurwanya igwingira no gukangura ubwonko bwabana
ubuyobozi bwakarere ka nyaruguru buvuga ko ikibazo cyimirire mibi nigwimgira bumaze kukirwanya gusa ngo abaturage nti bakwiye kwirara
umuyobozi wa mtn foundation mukarubega zulfat
umuyobozi wakarere habitegeko francois yagize ati igwingira nimirire mibi tugeze kure tubirwanya ubu nta muturage wacu utazi gutegura indyo yuzuye gusa na none nta kwirara turakangurira ababyeyi gukomeza gushyigikira gahunda yigikoni cyumudugudu no kujyana abana mu marerero
uyu muyobozi akomeza avuga mu karere ka nyaruguru bashyize ingufu mu gukangurira imiryango guhinga imboga zamoko atandukanye gutegura indyo yusuye gutanga amatungo magufi nkinkoko nihene ndtse na gahunda ya shishakibondo namarerero yo mungo aho bafite 3 muri buri mudugudu
akarere ka nyaruguru igwingira nimirire mibi biri ku kigereranyo cya 417 mugihe mu gihugu hose biri ku kigereranyo cya 38
umuyobozi wakarere habitegeko francois
yasuwe inshuro 929
| 2019-11-12T04:34:27 |
http://rwandadailynews.com/amakuru/mu-rwanda/article/nyaruguru-bahawe-amafaranga-miliyoni-25-yo-kurwanya-imirire-mibi-n-igwingira
|
nauza contacts za watu na majina yao | jamiiforums | the home of great thinkers
nauza contacts za watu na majina yao
discussion in 'matangazo madogo' started by kwelakenya aug 9 2012
wadau kuna promotion/sampling ya kampuni moja tulifanya na tukakusanya majina pamoja na namba zao za simukwa yule anaehitaji nimuuzie tuwasilianeni contacts kama 3000 za watu wa dar
kwelakenya said
wadau kuna promotion/sampling ya kampuni moja tulifanya na tukakusanya majina pamoja na namba zao za simukwa yule anaehitaji nimuuzie tuwasilianeni contacts kama 3000 za watu wa darclick to expand
fafanua kidogo nikishanunua mimi nafanyia nini
unauza kiasi gani nina hakika gani kama hizo number za simu bado wanatumia
je ulikusanya sample ya watu wa aina gani
hawa wadau unaotaka kutuuzia namba zao wanajihusisha na nini
kwa hiyo wewe ni mwizi unaiibia hiyo kampuni kinyume na utaratibu wao
ndo maana wakati flani watu huwa hawatoi ushirikiano kwenye studies mbalimbali kwa sababu ya watu wa namna yako yaani contacts na jina la mtu unalifanyia biashara pasipo ridhaa yake
du hii dunia kuna biashara sasa mleta maada hizo contact mtu ananunua ili afanyie nini hasa je afanyie biashara au za kutongozea means atafute zenye majina ya ke/me aanze kupiga sound make hivi hivi inakua ngumu
namba ya simu ya robert mugabe unauza bei gani
labda anamaanisha kuwa kwa wale wanaohitaji contacts kwaajili ya kazi
msimshangae na kuuliza huwa ni za nini huwa ni kwa ajili ya database ambayo kwa kampuni zinazojishughulisha na sms marketing wanahitaji sana hizo number ndo msingi wenyewe wa hiyo biasharakumbukeni kipindi cha kampeni mlikuwa mnatumiwa message za ajabu ajabu ndo mtindo wa kukusanya number zetu uliotumika
njaa mbaya wajameniwhat the hell is this
tutajionea mengi duniani hapa kabla ya kurudi kwa baba
aiseeat this information age you still thinking you can make such easy money by the way clean people do not hide their profile and hence their information hizo unazotaka kuuza labda ni za watu wanaotafutwa na polisi isaidie nchi yako peleka tu hizo information polisi
namba ya simu ya robert mugabe unauza bei ganiclick to expand
kwanini nisitumie vile vitabu vinavyotolewa na kampuni ya simu ya ttcl
naona unalikaribia geti la segerea
dunia haiishi vituko jamaa kakaanga mbuyu kawaachia wenye meno watafune
kwa nini mtu asitumie telephone directory na anunue kwako
kwa nini mtu asitumie telephone directory na anunue kwakoclick to expand
swali la kipuuzi
hahaha kweli wabongo tunaelekea pazuritatizo lako sasa ni kwenye kuzifanyia pricing hizo contactsnajua utakosea tu
give me a cut & i'll put a price tag to those numbers
| 2016-10-28T00:55:40 |
http://www.jamiiforums.com/threads/nauza-contacts-za-watu-na-majina-yao.305288/
|
watu wafariki katika matukio mawili tofauti mkoani mbeya likiwemo la mtoto mdogo kutumbukioa chooni | chimbuko letu
home » »unlabelled » watu wafariki katika matukio mawili tofauti mkoani mbeya likiwemo la mtoto mdogo kutumbukioa chooni
watu wafariki katika matukio mawili tofauti mkoani mbeya likiwemo la mtoto mdogo kutumbukioa chooni
watu wawili wamefariki dunia katika matukio mawili tofauti mkoani mbeya likiwemo tukio la kwanza lililotokea mtaa wa ilolo igoma a kata ya isanga jijini mbeya ambapo mtoto aitwaye ivon mwakyusa (3) amekutwa amekufa katika shimo la choo
tukio hilo la mtoto kufariki limetokea katika choo kinachomilikiwa na bwana robert edson mwambegere (29) ambapo ni umbali wa mita 50 kutoka anyumbani alipokuwa akiishi na wazazi wake
mzazi wa mtoto huyo bwana upendo mwakyusa amesema mwanae alitoweka nyumbani majira ya saa 8 mchana novemba 20 mwka huu na mara baada ya kupotea kwa mtoto huyo taarifa ilitolewa sehemu mbalimbali vikiwemo vituo vya redio lakini bila mafanikio hadi majira ya saa mbili alipokutwa amefariki katika shimo hilo la choo
mwenyekiti wa mtaa huo bwana juma kahawa alitoa taarifa kituo cha polisi ambapo polisi walifika na kuuchukua mwili wa marehemu hadi hospitali ya rufaa jijini hapa kwa uchunguzi zaidi
hili ni tukio la pi9li kutokea kwa mawaka huu katika mtaa huo wa igoma a ambapo mwezi mei mtoto mwingine alikutwa amefariki katika kisima cha maji kinachomilikiwa na bwna juma kahawa ambaye ni mwenyekiti wa mtaa huo
kutokana na kukerwa na matukio hayo wananchi wa mtaa huo waliamua kufanya mkutano wa hadhara kulaani vikali vitendo hivi vimavyohusishwa na imani za kishirikina na kuamua kuendesha zoezi la upigaji kura za maoni ambapo jumla ya kura 150 zilipigwa na kura 9 ziliharibika huku kura 1 ili mtaja mama mmoja kura 20 zilimdondokea mganga wa tiba ya jadi na kura 120 zilimtaja kiongozi mmoja wa kijijini hapo
hata hivyo walioweza kupigiwa kura hawakuwepo katika mkutano na damian matipa na azimio la wananchi hao ni kuwa watu hao hawatakiwi kuwepo kijijini hapo kutokana na kujihusisha na mambo ya kishirikina ndipo wananchi waliamua kuandama kwenda kituo cha polisi mwanjelwa jijini hapa kushikiza watuhumiwa hao kuhamaeneo hilo
aidha katika kijiji cha igoma i wilayani mbeya vijini mwanaume asiyefahamika jila wala makazi na umri unaokadiliwa kati ya 30 hadi 40 ameuwawa kwa kupingwa vitu butu kichwani na mwananchi wenye hasira kali majira ya saa 7 mchana ndani ya nyumba ya selina sanga (28)
chanzo cha kifo hicho ni kutokana na wivu wa kimapenzi kwani marehemu alikwenda kumsalimia mpenzi wake selina na kumkuta mwanaume mwingine ndani ndipo selina alipiga kelele za kuvamiwa ndipo kundi la wananachi wenye hasira kali kumshambulia hadi kufa mwanaume huyo
selina sanga ambaye ni mfanyabiashara na mkazi wa igoma amekamatwa na jeshi la polisi mkoani hapa kwa mahojiano zaidi na mwili wa marehemu umehifadhiwa katika hospitali ya rufaa jijini hapa
kwa upande wake kamanda wa polisi mkoani hapa advocate nyombi amethibitisha kutokea kwa mauaji hayo na kwamba jeshi la polisi linafanya uchunguzi wake
| 2018-02-25T21:13:33 |
http://www.chimbukoletu.com/2011/11/watu-wafariki-katika-matukio-mawili.html
|
sauti ya raia haya ndiyo yaliyosemwa na marjaa dini mkuu tarehe (16/12/2011m)
mara nyingi na kabla ya kupangwa bajeti yeyote ya taifa marjaa dini mkuu alikua anahusia kupewa kipaombele huduma za kijamii na kupambana na ukosefu wa ajira akatoa maelekezo mazuri na akashauri kuacha kutegemea mafuta kama pato pekee la taifa kwa ajili ya maendeleo ya uchumi wa taifa
tunataja aliyosema marjaa dini katika khutuba ya pili ya swala ya ijumaa iliyo swaliwa ndani ya haram tukufu ya imamu hussein (as) (20 muharam 1433h) sawa na (16/12/2019m) iliyo tolewa na mheshimiwa shekh abdulmahadi karbalai
kuhusu bajeti ya mwaka (2012m) iliyokua inawasilishwa bungeni wakati huo alihusia umuhimu wa kuwepo kwa mazungumzo kati ya kamati ya mali bungeni pamoja na baraza la mawaziri kuhusu umuhimu wa kuendeleza sekta ya viwanda kilimo na utalii wa kidini wala wasiendelee kutegemea mafuta kama pato pekee la taifa kwa sababu zifuatazo
1 pato la mafuta linategemea huruma ya soko la mafuta la dunia bie yake hubadilika mara kwa mara kutokana na mabadiliko ya uchumi wa dunia jambo linalosababisha kutokua na uchumi tulivu hivyo kuathiri maendeleo ya taifa
2 kushughulikia tatizo la ukosefu wa ajira kwa kuboresha sekta ya viwanda kilimo na utalii
3 kutumia wasomi na wabunifu wazalendo
4 kujenga uchumi wa kujitegemea na kuepuka uchumi tegemezi
| 2020-06-03T13:58:04 |
https://alkafeel.net/news/index?id=9581&lang=sw
|
mpenzi wangu akinisaliti siwezi kumvumilia uwoya afunguka global radio
mpenzi wangu akinisaliti siwezi kumvumilia uwoya afunguka
december 10 2019 burudani
staa wa bongomovie irene uwoya amesema atakuwa hana noma akimuona mpenzi wake anam kiss mwanamke mwingine au kumuita majina ya kimahaba ila kitu atakachokishindwa ni kuona mwenza wake akimsaliti
irene uwoya amesema hayo baada ya watu kujaji urafiki wa wema sepetu na aunty ezekiel kupeana mabusu hadharani jambo ambalo si la kawaida kwa wanawake kufanya hivyo
mimi naona ni kawaida tu ni watu ambao wana urafiki wa muda mrefu kukiss ni vitu vya kawaida tu hakuna kikubwa hapo haimanishi chochote hata kumwita mtu darling ni sawa tu hata mimi mtu yeyote naweza kumuita hivyo amesema irene uwoya
aidha akizungumzia kuhusu mpenzi wake kufanya kitendo cha kum kiss mwanamke mwingine irene uwoya amesema
kwangu mimi mwanaume wangu akimkiss mwanamke itategemea unajua kuna kiss zinatofautiana ukifanya hivyo katika hali ya urafiki inaonekana na ukifanya katika hali ya mapenzi inaonekana pia mimi nitachukulia kitu cha kawaida cha urafiki hakuna tatizo ila akinisaliti siwezi kuvumilia ameongeza
| 2020-01-17T21:55:37 |
https://globalradio.co.tz/2019/12/10/mpenzi-wangu-akinisaliti-siwezi-kuvumilia-uwoya-afunguka/
|
kulikoni ughaibuni79 ~ kulikoni ughaibuni
kulikoni ughaibuni79
bush ccm polisi rushwa scotland
joji wbush anafahamika kama rais wa taifa lenye nguvu zaidi ulimwengunilakini bush ni maarufu pia kwa kuchapia manenojuzijuzi alimshangaza malkia elizabeth alipomshukuru kwa ziara yake ya mwaka 1776 kabla hajajikosoa yeye mwenyewe baada ya kugundua kwamba ameborongawiki iliyopita alirudia tena mchemsho wake huko australiakwanza alimshukuru john howardwaziri mkuu wa australiapamoja na nchi yake kwa mchango wa jeshi la austria huko iraki (ni kweli majina ya nchi mbili hizo yanachanganya lakini si vigumu kubaini kwamba moja iko bara la ulaya na nyingine iko oceania)na hakuishia hapoalianza hotuba yake moja kwa kumshukuru howard kwa ukarimu wake na kuwa mwenyeji mzuri wa kikao cha opec (ilhali ukweli ni kwamba australia ilikuwa mwenyeji wa kikao cha apec)lakini machale yalimcheza na kurekebisha haraka blunder hiyoopec ni organization of petroleum exporting countries (ambapo australia haijawahi kuwa mwanachama) wakati apec ni kifupi cha asia pacific economic cooperationukidhani ngoma iliishia hapo basi umekosea kwani bush alijikuta akijiumauma kwenye kutamka jina la kikundi kimoja cha kigaidi cha jemmiah islamiana katika hotuba yake hiyo alimwacha kiongozi mmoja kutoka ukanda wa pacific akitabasamu baada ya kulichapia jina lakehuyo ndio joji bush
tukiwa bado kwenye anga hizomajuzi osama bin laden alitoa hotuba yake ya kuadhimisha mashambulizi ya kigaidi ya september 112001 huko marekani ambapo takriban watu 3000 walipoteza maishakatika hotuba hiyo osama alikuwa akiongea kama mwanasiasa flani ambapo pamoja na mambo mengine aliwataka wamarekani kujiunga na uislamalizungumzia pia upinzani wa baadhi ya wanasiasa wa marekani katika suala la global warming na kugusia baadhi ya matatizo ya ndani ya uchumi wa nchi hiyoikumbukwe kwamba osama hajawahi kusikika hewani tangu mwaka 2004na kujitokeza kwake kumezua maswali zaidi kuliko majibunilikuwa naangalia kipindi cha late edition cha wolf blitzer wa cnn ambapo alimdadisi msaidizi mmoja wa white house kwamba je haoni kwamba kwa miaka sita tangu osama na alqaeda yake wafanye mashambulizi yao huko marekani bado gaidi huyo sio tu kuwa yuko hai bali pia anajaribu kuinfluence siasa za marekani (mfano kwa kuwahubiria kuhusu madhambi ya viongozi wao)wapo wanaodhani kwamba kosa la msingi katika msako dhidi ya osama na kuiteketeza alqaeda lilikuwa katika kuelekeza nguvu nyingi dhidi ya saddam hussein (ambaye madai kwamba anashirikiana na alqaeda yalikuja kubainika kuwa sio sahihi) badala ya kukazania kwenye jitihada dhidi ya adui halisi osama na wafuasi waketaarifa kutoka huko afghanistan hazitoi picha nzuri kwani inaelekea kwamba washirika wakuu wa alqaedakikundi cha talibanwamekuwa wakijiimarisha vizuri na huenda wakawa na nguvu kama walizokuwa nao kabla ya uvamizi dhidi ya afghanistan uliiongozwa na marekanina moja ya mambo yanayowaumiza vichwa watengeneza sera wa nchi mbalimbali ni hofu ya uwezekano wa osamaalqaedataliban na vikundi vingine vya kigaidi kupata silaha za maangamizi ya halaiki (kwa mfano za kikemikali au kibaiolojia)hofu hiyo inachochewa zaidi na ukweli kwamba mbio (kama zile za zama za vita baridi ) za kutengeneza na kuongeza uzalishaji wa silaha za nyukilia zimekuwa zikiongezeka kwa kasi
ukiachia mataifa yenye ruhusa ya kumiliki nguvu za nyuklia (kwa mfano marekani na israel) mataifa mengine yaliyolazimisha haki hiyo (kwa mfano pakistan na india) yanaendeleza kasi ya uzalishaji huku nchi kama iran ikilazimisha kwa nguvu kujiunga na klabu hiyo ya nyuklia wajuzi wa mambo wanabashiri kwamba kuna uwezekano mkubwa wa nchi kama misri na saudi arabia nazo kujikuta zinalazimika kuingia kwenye harakati hizo (inaaminika kuwa saudi arabia iko mbioni kununua silaha za nyuklia iwapo tishio inaloliona kutoka iran halitadhibitiwa)lakini hofu hiyo inaongezeka pia kutokana na taarifa zinazodai kwamba russia imekuwa ikizidisha uzalishaji wa silaha hizona kutokana na mazingira ya kihistoria na sababu za kiuchuminchi hiyo inaweza kuuza teknolojia na silaha za nyuklia kwa mikono isiyostahili (wrong hands)je kuna uwezekano kwa nchi kama iranchina au russia kuuza uwezo wa kinyuklia kwa kikundi kama alqaedajibu langu ni hapanakwaninikwa vile naamini nchi hizo zina busara ya kutosha ya kutofanya kosa la aina hiyo ambalo pia linaweza kuwagharimu hata waoje kuna uwezekano wa vita vya kinyuklia kati ya taifa moja na jinginesidhani kama uwezekano huo ni mkubwa sana japo upo kwa mbalije kuna uwezekano wa shambulizi la kikemikali au kibaiolojia litakalofanywa na kikundi cha kigaidijibu la kutisha ni kwamba uwezekano huo upo kwani malengo ya mashambulizi yanayofanywa na vikundi hivyo yamekuwa ni kusababisha vifo vingina silaha gani ni bora zaidi katika kuleta madhara ya juu kabisa zaidi ya silaha hizona inajulikana kwamba vikundi vya kigaidi vimekuwa vikihangaika sana kupata teknolojia na silaha za aina hiyohiyo ndio dunia tunayoishi sasa
tuangalie mambo yalivyo huko nyumbanihabari zinazovuma kwa sasa ni madai ya rushwa kwenye mchakato kuelekea kwenye uchaguzi ndani ya ccmnaamini kuwa wanaofuatilia makala zangu wanafahamu bayana msimamo wangu dhidi ya rushwa na wala rushwalakini niseme bayana kwamba madai ya rushwa kwenye uchaguzi huo hayanishangazi hata kidogonadhani tatizo liko kwenye mkanganyiko wa suala zima la matumizi ya fedha katika harakati za kisiasasidhani kama niko peke yangu katika kuamini kwamba nchi yetu inaimba wimbo wa ujamaa ilhali staili ya kucheza wimbo huo ni ya ubeparina ukiangalia kwa mfano namna mbio za kuelekea ikulu ya marekani hapo mwakani utabaini kwamba matumizi ya fedha ni makubwa sanatofauti yao na sisi ni kwamba kuna utaratibu maalumu uliowekwa katika namna gani mtu anaweza kuchangisha fedhakutoa misaada au zawadi au hata namna ya kutoa fedha kwa ajili ya kujiimarisha kisiasamantiki nyepesi ni hii ukiwa unahitaji nafasi flani basi yayumkinika kusema kwamba utatumia kila nyenzo uliyonayo kuhakikisha unapata nafasi hiyokinachodhibiti matumizi mabaya ya nyenzo hiyo ni sheria zinazotekelezeka na kufuatiliwa kwa makiniwanachofanya watoa rushwa katika mchakato huo wa uchaguzi wa ccm ni kutumia nyenzo (fedha) walizonazowanaofanya hivyo wanajua bayana kwamba kutumia uwezo sio kosa alimradi kama wanazingatia sheria zinazotawala zoezi zimalakini hawajali sana kuhusu kuvunja sheria kwa vile kwa namna flani mazingira yanawapa nafasi ya kufanya hivyorushwa ni kama mmeaunastawi pale tu kwenye ardhi yenye rutubainahitajika busara ya namna flani kuelewa nachomaanisha hapa vinginevyo unaweza kunishangaa kwa kudhani natetea matumizi ya rushwa kwenye jamii yetu
mwisho ni habari mbili za kusikitisha zilizojiri mwishoni mwa wikiya kwanza ni matokeo mabaya ya taifa starskatika hilo naweza kuwafariji watanzania wenzangu kwamba hata hapa scotlandambapo wana kila nyenzo wanayohitajitimu yao ya taifa imehangaika kweli kufika ilipo sasamafanikio ya taifa stars hayawezi kupatikana overnight tujifunze kwa hawa wenzetu ambao kwao matokeo mabaya ni changamoto ya kujipanga vyema kwa ajili ya mashindano yajayohilo linawezekana kama kutakuwa na subirauvumilivu na mipango borakutambua ugonjwakupata dawa ya ugonjwa huo na kuitumia dawa husika ni hatua tu ya kuelekea kuponahaimaanishi kuwa ugonjwa utaondoka dakika hiyohiyoinaweza kufikia wakati ikalazimu kubadili dawatuwe na subiratutafikahabari ya pili ni vifo vya watanzania wenzetu katika ajali huko mbeyahivi maisha ya wenzetu yataendelea kupotea hadi linimbunge shabbiby aliongea bungeni kuhusu usanii unaofanywa na baadhi ya wamiliki wa mabasi ambapo wanapandikiza bodi mpya za mabasi hayo kwenye chasis za zamani au za malorisimaanishi kuwa basi lililopata ajali ni miongoni mwa yaliyofanyiwa usanii huo lakini kinachosikitisha ni kwamba mamlaka husika bado hazijaanza kufanyia kazi ushauri wa mbunge huyolakini eneo jingine linalopaswa kurekebishwa kwa haraka ni sheria za usalama barabaranisemina lukuki na maadhimisho ya kila mwaka ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani hayawezi kuepusha ajali zinazopoteza maisha takriban kila wiki pasipo kuzisimamia kwa makini sheria zilizopoyule mzalendo aliyekuja na wazo la spidi gavana alikuwa na busara sana lakini sijui mkakati huo umefia wapitukiendelea kuamini kuwa spidi gavana bora ni madereva na askari wa trafiki basi unfortunatelyhabari za kuhudhunisha kuhusu ajali zitaendelea kutusumbua kwa muda mrefu
| 2020-05-31T19:22:50 |
https://www.chahali.com/2007/09/kulikoni-ughaibuni-79.html
|
chama cha tama kuadhimisha siku ya wakunga katika wiki ya unyonyeshaji dar es salaam yetu
home » » chama cha tama kuadhimisha siku ya wakunga katika wiki ya unyonyeshaji
chama cha tama kuadhimisha siku ya wakunga katika wiki ya unyonyeshaji
chama cha wakunga tanzania (tama) tawi la hospitali ya taifa muhimbili kwa kushirikiana na hospitali ya taifa muhimbili (mnh) taasisi ya tiba ya mifupa muhimbili (moi) na taasisi ya moyo ya jakaya kikwete (jkci) wanawakaribisha wananchi wote wa mkoa wa dar es salaam na watanzania wote kwa ujumla kushiriki kwenye maadhimisho ya siku ya wakunga duniani yanayotarajiwa kufanyika leo asubuhi
ambayo kitaifa huadhimishwa tarehe 5 mei ya kila mwaka tama tawi la muhimbili imepanga kuadhimisha siku ya 4 agosti 2017 ambayo ni wiki ya unyonyeshaji
chama kinapenda kuwajulisha katika maadhimisho hayo chama kitatoa huduma za upimaji wa afya kwa wananchi bure kuanzia saa 2 asubuhi mpaka saa 1100 jioni katika eneo la maegesho ya magari (opd) karibu na lango kuu la kutokea nje ya hospitali hiyo
huduma zitakazo tolewa ni pamoja na
a upimaji wa saratani ya shingo ya kizazi na matiti
b upimaji wa shinikizola damu sukari uzito na urefu
c upimaji wa virusi vya ukimwi (vvu) kwa hiari
d ushauri kuhusu lishe bora
e ushauri kuhusu uzazi wa mpango
f elimu juu ya unyonyeshaji sahihi kwa watoto chini ya umuri wa miaka mwili
g elimu juu ya afya ya kinywa na meno
aidha tama muhimbili itakuwa na kongamano la kisyansi la wakunga tarehe 7 agosti 2017 saa tatu asubuhi katika ukumbi wa namba 60 uliyopo eneo la jengo la opd ya hospitali ya taifa muhimbili ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa mkurugenzi wa huduma za uuguzi ukunga na mazingira ya ndani ya hospitali hiyo agnes mtawa
maadhimisho ya siku ya mkunga duniani mwaka huu wa 2017 yanabebwa na kauli mbiu isemayo wakunga wanawaken familia ni washirika wa kudumu
| 2018-03-21T14:46:16 |
https://daresalaam-yetu.blogspot.com/2017/08/chama-cha-tama-kuadhimisha-siku-ya.html
|
superd boxing coach ngumi kupigwa chalinze
kampuni inayoandaa mapambano kwa ajili ya kunyanyua vipaji vya mabondia machipukizi ya bigright promotion imaeandaa pambano hilo litakalofanyika mei 20 ili kutanua wigo wa michezo nchini kwa kuanzia kutembelea wilaya zinazohamasika kimchezo ikiwemo chalinze
tumeamua kufanya chalinze kwa sababu tunataka chalinze iwe ndio mfano kwa kuandaa pambano hili ambalo litawakutanisha chipukizi wakali wa dar na wakali wa chalinzepia kutakuwepo na mapambano mengine yenye ushindani wa hali ya juu na vituko kama vile la pius puto atakaezipiga na iddi mkatatiketi hawa ni mbabe wa sokoni na mbabe wa stendi watazipiga kumaliza ubishi wao uliotanda kwa muda mrefu ukiondoa pambano hilo minyusi abdala atazipiga na shaban kaoneka baraka nuhuchalinze hamjambo atazipiga na goodluck suleiman alex kdo atazipiga na herman shekivuli iddi mkwera atazipiga na ramadhan misugwa na mapambano mengineyo mengi likiwemo la ustadh mwenye msimamo mkali ustadh kurasheni aliyeahidi kuchinja kama anachinja kondoo ulingoni atakaezipiga na makali wa bodaboda mzee kachachamgeni rasmi wa pambano hilo atakuwa ni diwani wa chalinze bwilingu bw nasser karama ambaye muda wote amekuwa mstari wa mbele kuhamasisha vijana kushiriki michezo na ametoa basi kubwa kwa ajili ya mashabikitoka dar es salaam kwenda kushangilia na kurudi
huo zenye mapambano makubwa ya ma bondia wa ndani na nje ya nchi
+255 754 501991
posted by superd boxing coach at 100 pm
| 2017-08-16T15:18:15 |
http://superdboxingcoach.blogspot.com/2013/04/ngumi-kupigwa-chalinze_18.html
|
wabunge na waziri wanamnadi mtulia | page 3 | jamiiforums | the home of great thinkers
wabunge na waziri wanamnadi mtulia
discussion in 'uchaguzi tanzania' started by hivi punde feb 11 2018
hivi punde jfexpert member
likes received 3010
wabunge na mawaziri kutoka ccm wamejitokeza katika mkutano wa hadhara wa kampeni kumnadi mgombea ubunge wa kinondoni maulid mtulia
waliohudhuria mkutano huo uliofanyika leo februari 112018 katika mtaa wa idrisa magomeni ni naibu spika wa bunge dk tulia ackson waziri wa elimu sayansi na teknolojia profesa joyce ndalichako na naibu waziri wa afya dk faustine ndugulile
wabunge waliohudhuria ni hussein bashe wa nzega mjini azzan zungu (ilala) livingstone lusinde 'kibajaji (mtera) halima bulembo (viti maalumu) na oliver semuguruka (viti maalumu)
wengine ni sixtus mapumba (mbinga mjini) steven ngonyani 'profesa majimarefu' (korogwe) joseph musukuma (geita vijijini) na rita kabati (viti maalumu)
kabla ya viongozi hao kupanda jukwaani burudani ilitolewa na vikundi vya ushereheshaji huku waliohudhuria mkutano huo wakisimama kucheza na kuwatuza waliokuwa wakiburudisha
halima amesema mwanzoni mtulia alikuwa mbunge wa upinzani na katika baraza la madiwani hakuweza kushauriana na meya lakini sasa yuko ccm hivyo kuwaomba wananchi wamchague
mapunda amesema wananchi wa kinondoni hawakuwa na tatizo na mchezaji bali timu anayochezea
mchezaji mzuri akitoa pasi inaharibika na ndiyo maana mtulia ni mchezaji mzuri na sasa amekuja timu bora ya ccm mleteni tumalize mchezo mapema amesema
mbunge zungu amesema wabunge wa ccm hawana ujanja bali ni ilani ambayo imejenga kuwajali wananchi
dk ndugulile ambaye pia ni mbunge wa kigamboni amesema mtulia nitampa ushirikiano katika kutatua matatizo ya afya wazee na maendeleo ya jamii yatapatiwa ufumbuzi kwa kumchagua mtulia
chikundi jfexpert member
messages 8218
likes received 2252
pharm d said ↑
tutakua tunaelekea walipofika wenzetu wadrc na sudan kusin na nina uhakika tutafika either sooner or later
utafika peke yako kupitia kuzimu
pharm d jfexpert member
chikundi said ↑
bas sawa
mangatara said ↑
nakubali ila makonda katufungulia mlango wa petition intimidation of voters ati mkiichagua chama dola hamtavunjiwa tena vibanda vyenu
mahakama pia zao(maagizo kutoka juu)
niko viunga vya kinondoni kila napopita nasikia mtulia mtulia hakika huyu kijana anakubalika sana
nimtakie heri ya ushindi
sijijui jfexpert member
aje asije mtulia anaingia bungeni kwa sababu tayari mtangzaji wa matokeo ni wa kwao
sasa muda na pesa vinavyopotezwa kwenye kampenivinapotezwa kwa faida ya nani
messages 6436
hivi punde said ↑
kauli ya ndugulile ni ya hovyo inatosha kubatilisha matokeo ccm wakishinda ilitokea miaka ya nyuma bunda warioba alipogombea na mkondya
ccm wakishinda lazima watapoteza mahakamani
mbwrama member
ccm lazima tushinde asubuhi namapemayaliofanywa na magufuli hadi sasa nkiashiria tosha kupata kura za kishindoo
gemmanuel265 jfexpert member
messages 5005
likes received 8742
ccm maji yako puani kinondoni
sijijui said ↑
kwa faida ya trump
kankalamaster member
watanzania bhana sisi ni watu wa ajabu sana inamana mtu hawezi kuletewa maendeleo akiwa upinzani ndo matokeo yake mtu anakuja na hoja dhaifu eti kwa kuwa alikuwa upinzani ndo mana hakuweza kuwatumikia kwa ufanisi wananchi huo ni ujinga mkubwa tena kwa mtu mwenye hakiri timamu kama mimi huwezi kunidanganya na hoja za kitoto kama hizo na ndo mana trump anaposema viongozi wa africa hawawezi kujitegemea hata kimawazo mtu anachukia lakini nashindwa kuelewa unachukia nini kwa nini usijichunguze sasa kama mtu anahama kwa hoja ya kipumbavu namna hyo huyo anafaa kuwa kiingizi kweli
maarifa jfexpert member
je walitumian magari ya serikali au binafsi
josephat manyenye jfexpert member
jamani mbona kuna majimbo ya maccm tangu uhuru yako hoi kabisa kimaendeleo nenda misungwi barabara mbovu ajabu nenda kwimba sengeremasumve na sehemu zingine nyingi tu
kabembe jfexpert member
ccm maji ya shingo kinondoni tegemeo kubwa ni kailima
kailima hana tofauti na ezra wa #iebc ya kenyayuko pale #nec kwa special task
messages 8424
likes received 7174
kasongo said ↑
asante kwa taarifakampeni za chadema zimesimamasiwasikii siku hizi
haya mafuriko ya leo hayo
vegas jfexpert member
utawasikia wapi kama media zimedhibitiwa kureport habari za cchadema ukitaka kuwasikia nenda kwenye kampeni
chabusalu jfexpert member
messages 6215
likes received 3585
maboso said ↑
matokeo yakitoka hamchelewi kusema mmeibiwa kura nyie wazee wa kupinga marudio ya chaguzi kuokoa pesa huku ninyi wenyewe mkishiriki chaguzi hizo hizo zinazotumia pesa nyingi
ulitaka kuandika kitu gani
josephat manyenye said ↑
ndio nashangaa ssa hilo jimbo la kinondoni miaka zaidi ya 50 lilikuwa chini ya ccm hawakutekeleza hayo eti leo ndio wanaahidi watayafanya ndani ya miaka 2 cjui watatumia miujiza gani
owomkyalo jfexpert member
messages 1689
nafikili hata akishandinda mtulia itakuwa ndo mwisho wabunge kujiuzurumaana mtulia sasa hivi anapumulia machine icu alidhani atapata ubunge kirahis kumbe kazi sio rahisi
messages 23177
likes received 14385
tukundane said ↑
chombo kinakwenda mrama nini ndo maana lumumba watakuwa wamejazana kujaribu kukiokoa
hawa waliitwa kufanyanje
topics 1170226
members 441384
posts 26917997
| 2018-05-24T12:03:41 |
https://www.jamiiforums.com/threads/wabunge-na-waziri-wanamnadi-mtulia.1397178/page-3
|
rushwa chaguzi za ccm jk aache kulalamika aonyeshe uongozi | jamiiforums | the home of great thinkers
rushwa chaguzi za ccm jk aache kulalamika aonyeshe uongozi
discussion in 'jukwaa la siasa' started by wimana oct 24 2012
kisaidieni sana chama chetu tunasemwa sana na jamii kuwa uongozi (ccm) unananunuliwa jk akifungua mkutano mkuu uvccm jana
jk ameonekana kutahayari sana na rushwa kutamalaki chaguzi za jumuiya za ccm
akifunga mkutano mkuu wa uwtccm pia alizungumzia suala la rushwa na kushangaa hata kwa wanawake kuna rushwa
jk asipoangalia ccm itamfia mkononi
najiuliza jk hana nguvu ya kufuta matokeo ya chaguzi hizo zilizojaa ukiukwaji wa kanuni ni wakati wake kuonyesha uwezo wa kiuongozi
ha ha ha ha jk yaani hajui basi na yeye ni wale wale ile epa ilimunufaisha nani
yeye mwenyewe kaingia madarakani kwa rushwa sasa anawezaje kuanza kuwawajibisha wanaotoa rushwa
malingumu jfexpert member
he has no final say in matters that require single word to make the situation stable
msinitenge said ↑
do you wanna say jj mnyika was absolutely right
msinitenge you are damnly right his single word to make the situation stable jk hana sababu ya kulalamika anapaswa kufanya maamuzi magumu na umma wa watanzania utarejesha imani kwake na chama chake cha ccm
shibuda aliwahi kumuonya kuwa ccm lazima imfie mikononi leo migogoro kila kona na rushwa nje nje
hivi hasikii nukuu za baba wa taifa katika tv na vitabu vyake kuhusu rushwa wakatiwa awamu ya kwanza huyu jamaa wakati anaingia alijigamba kulelewa na mwalimu lakini nadhani katiak kulelewa kwake sidhani kama alipata hata 20 ya ulezi wa mwalimu nyerere
oooh maskini mie naihurumia nchi yangu chini ya uongozi huu dhaifu
nilitarajia kama kikwete anachukia rushwa kweli kweli wote waliotoa na kupokea rushwa wangekamatwa jk alishindwaje kumuagiza mkuu wa tiss kuwashughulikia hivi hmfahamu sofia simba na wapambe wake na wengine wa jamii ya ss
kwani anahitaji tochi ngapi na za mwanga kiasi gani kuwaona na kuwajua watoa rushwa
hakika jk anatuzuga badala ya kulalamika alitakiwa kujiuzulu siyo kutupotea muda
nimemuona rais wangu jakaya mrisho kikwete akiongea katika mikutano miwili ya uchaguzi wa uwt na huu wa vijana kupitia luninga kwa kweli niseme kuwa ninamuonea huruma kwa haya yanayotokea na yanayoendelea kutokea inaonekana jitihada zake zinafifishwa na baadhi ya watu ambao system inawafahamu lakini inapuuzia na inamdharau mh rais ni aibu tena aibu ilioje takukuru wapo kazini usalama wa taifa wapo kazini jeshi la polisi wapo kazini nashtuka kuona mh rais analalamika kwamba rushwa imeota mizizi ndani ya ccm nafahamu kuwa analifahamu hilo siku nyingi lakini wasaidizi wake wanamuangusha sasa yeye afanye nini/ ningekuwa mimi ningeshinikiza chaguzi zote za ccm za uwt na vijana zingefutwa na mchakato uanze upya lakini sio hao tu ccm wameingia katika hali ya sintofahamu katika rushwa kwa chaguzi kuanzia ngazi ya chini matawi na kata jk anafahamu na wasidizi wake kwa makusudi wanamwangusga mh raisi kama kuwaadhibu viongozi waliochaguliwa kwa rushwa ndani ya ccm ni vigumu basi fukuza viongozi wote wa takukuru mabao kwa makusudi kabisa wanafanya mambo ya ajabu katika nchi hiii
pilau jk ataingia kwenye vitabu vya historia kuwa ndiye mwenyekiti aliyechangia kushuka umaarufu kwa ccm nadhani jk anaona kuwa ccm kuendelea kutawala baada yake itakuwa janga kwa taifa letu hivyo anakiachia kijifie chenyewe
hata hivyo naamini kabisa kuwa akiamua kuwatosa wote walioingia kwa rushwa ccm itarejea kuwa imara
huko uvccm ridhiwan yeye kafikaje hapo alipo tuone huo uchaguzi tena huko ndio hela zitapita nje nje
ni upepo tu unapita
masikini too latekilichobaki ni ama ajipendekeze au akabidhi nchi kwa amani kwetu cdmhakuna jinsi atazuia kuwa victim kwasababu kote kote kwake ni motoangekuwa na washauri wazuri wangemsaidia mapema lakini hana tena command na chama ndiyo hivyo kimemkimbia mchana kweupe mbaya zaidi kule kwenye dark side ame amewasha mwanga macho yao yote yamepofuka hawaoni kitu zaidi ya maruwe ruwemtasoma namba mwaka huu
kwa hili la rushwa na hata ufisadi mtu yeyote asikudanganye jk hana uwezo zaidi ya kulalamika
| 2018-01-19T16:11:58 |
https://www.jamiiforums.com/threads/rushwa-chaguzi-za-ccm-jk-aache-kulalamika-aonyeshe-uongozi.343643/
|
msaada kuhusu ukokotoaji wa ushuru wa gari tra | jamiiforums
msaada kuhusu ukokotoaji wa ushuru wa gari tra
gari msaada tra ushuru
habari wandugu
naomba niende moja kwa moja kwenye swali langu nimekuwa nikisikia kuwa ukinunua gari ambalo lina miaka zaidi ya kumi kuuoka nje kunakuwa na kodi ya uchakavu (excise duty due to age)
lakini nimefuatilia kwenye kikokotoo cha kodi tra kuhusu kodi hiyo ya uchakavu nimeona kuwa gari ambayo ni mpya au ni miaka ya karibuni inakuwa na kodi kubwa ya uchakavu kuliko gari la zamani
mfano escudo ya 2009 lenye specification sawa na la mwaka 2014 kodi ya uchakavu kwa gari la 2014 ni kubwa kuliko la 2009 naomba kufahamishwa hapa imekaaje
kwa sababu hiyo escudo ya 2014 ina cif kubwa kuliko iyo ya 2009
kwahiyo inajikuta inakodi kubwa zaidi ata kama wametoa ile ya uchakavu
lakini mkuu ukiangalia kwenye chart ya kodi tra baada ya kuingia details za gari husika unakuta kwenye kodi ya uchakavu gari mpya inachajiwa pesa nyingi kuliko ya zamani ngoja nikupe mifano mkuu
screenshot_20200523094227_samsung internetjpg
screenshot_20200523094135_samsung internetjpg
inawezekana percentage ni ndogo kwa gari mpya kuliko ya zamani ila kwa sababu excise duty inapigwa kwenye thamani ya gari gari yenye thamani kubwa sana inaweza kuwa na excise duty kubwa inawezekana formula ya kikokotoo imezingatia percentage pekee kwenye kukokotoa hiyo duty
hizo zote zinapigwa kodi ya uchakavu ambayo ni asilimia fulani ya bei ya gari sasa kama la 2009 bei yake ni kubwa basi hata kama wakipunguza asilimia za uchakavu bado itakuja hela kubwa jaribu la kuanzia 2013 au 2014 kodi ya uchakavu ni 0
hio imekaa kitapeli ila wacha tuwaachie wenye mamlaka wafanye watakavyo we hakikisha una hela tu ili ikifika bandarini itoke kabla ya week
nimekusoma mkuu ni kama vile tumebanwa tusinunue magari mapya
mkuu hii bado haijakaa sawa nimeang alia gari ya mwaka 2015 2016 2017 na 2018 hizi zote ni escudo jinsi gari linavyokuwa jipys (current years) na kodi ya uchakavu ni kubwa ndio nimeshindwa kuelewa hapo
reactions mwarobaini_ and extrovert
ndio hasa lengo lao mkuu gari za kuagiza wataendesha wenye uwezo tu sie makapuku acha tuuziane ya kidongo chekundu na lumumba yale
mkuu we nunua ukiichoka utaniuzia hizo bei duuuh
jibu ni simple gari la 2014 ni latest so kodi yake ni kubwa kingine wanapiga kodi kubwa kwasababu wanahofu kua unaweza kua unafanya biashara ya magari
beny jr said
kwaio hawataki mtu afanye biashara ya magari
d msaada kuhusu oil kuchanganyikana kwenye clutch assembly katika trekta jf garage (magari na vyombo vya usafiri) 0 apr 17 2020
n msaada nifanyaje kuhusu matatizo haya ya gari jf garage (magari na vyombo vya usafiri) 155 apr 13 2020
noamba ushauri kuhusu suala hili la oil ya gari yangu jf garage (magari na vyombo vya usafiri) 10 apr 9 2020
k msaada kuhusu kuagiza gari nje ya nchi (japan) jf garage (magari na vyombo vya usafiri) 0 jan 13 2020
ndugu zangu naombeni msaada wenu wa kimawazo kuhusu leseni ya gari za kubeba abiria jf garage (magari na vyombo vya usafiri) 16 dec 11 2019
msaada kuhusu oil kuchanganyikana kwenye clutch assembly katika trekta
msaada nifanyaje kuhusu matatizo haya ya gari
noamba ushauri kuhusu suala hili la oil ya gari yangu
msaada kuhusu kuagiza gari nje ya nchi (japan)
ndugu zangu naombeni msaada wenu wa kimawazo kuhusu leseni ya gari za kubeba abiria
| 2020-05-30T06:17:39 |
https://www.jamiiforums.com/threads/msaada-kuhusu-ukokotoaji-wa-ushuru-wa-gari-tra.1732363/
|
maoni merkel ataufuata mpango wa macron | matukio ya kisiasa | dw | 19042018
maoni merkel ataufuata mpango wa macron
rais wa ufaransa emmanuel macron tayari ameshaweka wazi mipango yake kuhusiana na ulaya wakati alipozungumza katika bunge la strasbourg hapo jumanne alhamis anakutana na kansela angela merkel mjini berlin mahala ambako mapendekezo yake tayari yamezusha mjadala mkali
kawaida haijawa hivi muda mfupi baada ya kuchaguliwa kwa macron nia yake ya kuifanyia mageuzi ulaya ilipokelewa vizuri sana nchini ujerumani lakini miezi michache baadae baada ya uchaguzi wa ujerumani kuliibuka chama cha siasa za mrengo wa kulia cha afd na kuingia bungeni chama hicho kilianzishwa kwa misingi ya kuipinga ulaya baada ya hapo ukaja ule mkwamo wa kisiasa uliopelekea ujerumani kukaa kwa miezi bila serikali muda ambao macron alikuwa anataka kuutumia ili awe na mwelekeo mmoja na merkel katika mpango wake wa mageuzi ya ulaya
lazima mapendekezo ya macron yaangaliwe iwapo yanaizingatia ujerumani
lakini merkel ana sababu nyengine za kujitenga na mpango huo mawazo ya macron yanahusu kupangwa upya kwa muungano wa kifedha ikiwemo kuwepo kwa bajeti ya ulaya na kubuniwe afisi ya waziri wa fedha wa umoja huo lakini merkel anapata shinikizo kutoka kwa wahafidhina bungeni asikubali mageuzi yoyote ambayo yatawabebesha mzigo mkubwa zaidi walipakodi wa ujerumani
mwanasiasa wa kamati ya kiuchumu wa cdu joachim pfeiffer
mwanasiasa wa kamati ya kiuchumi ya cdu joachim pfeiffer amesema kwanza kabisa ni sharti tuangalie iwapo mapendekezo ya macron yanaizingatia ujerumani pia naye mwansiasa wa chama cha csu alexander dobrindt amekataa wazo la waziri wa fedha wa ulaya akisema hilo si suala la kujadiliwa sasa
msemaji wa mambo ya nje wa cdu norbert röttgen amesema vyama vya kihafidhina vya cdu na csu havitomuwekea mipaka merkel katika mazungumzo yake na rais huyo wa ufaransa
kusita sita kwa vyama vya cdu na csu hakukifurahishi chama cha spd ambacho kiko kwenye serikali ya muungano na wahafidhina hao waziri wa mambo ya nje wa ujerumani heiko maas amesema tunaishi wakati ambapo tunaihitaji sana ulaya
chama cha kijani hakiridhishwi na mgawanyiko wa serikali kuhusu suala hilo la macron
lakini maas anawafahamu wakosoaji wa macron katika kambi yake pia wakiongozwa na waziri wa fedha olaf scholz ambaye hajaonesha kuridhishwa na mapendekezo ya mabadiliko ya kifedha ya rais huyo wa ufaransa
mwanasiasa wa spd heiko maas
wakati huo huo mgawanyiko wa serikali ya muungano ya ujerumani mbele ya mipango ya macron kuhusu ulaya ni jambo lililowaghadhabisha wapinzani wa chama cha kijani anton hofreiter ni kiongozi wa chama hicho na ametoa wito kwa kansela merkel na viongozi wa vyama vya cdu na csu pamoja na spd wampe macron ahadi muhimu wiki hii hofreiter ameongeza kwa kusema mradi wa kihistoria wa ulaya haustahili kufeli kwasababu ya ubinafsi wa serikali na mambo madogo madogo ya kisiasa ya vyama
mradi wa macron hautokwenda mbali bila uungaji mkono wa ujerumani lakini rais wa halmashauri kuu la ulaya jeanclaude juncker alimuonya macron kwamba ulaya si ufaransa na ujerumani pekee
mwandishi maximiliane koschyk
tafsiri jacob safari/tableau/reuters
maneno muhimu angela merkel emmanuel macron olaf scholz norbert röttgen ulaya
kiungo https//pdwcom/p/2wj5x
| 2018-12-16T06:07:07 |
https://www.dw.com/sw/maoni-merkel-ataufuata-mpango-wa-macron/a-43449075
|
1 timoti 5 yby iloho makomidana ga mako lo mituwe bible search
1 timoti 4 1 timoti 6
monoka eliminabo wewenasida nasahili obetatudawo ga
1iloho makomidana ga mako lo mituwe loko maya auha meko lamo ahone loko ilime you loko lo mitaniyo ito we owahasidaya unane lokoko yamidana mamidana obetoloko woko minataniyo 2menakipa ilohosida maya done loko ujapa obetoloko woko yamidana mamidana nesa lolo obetoko minatane ito menakipa owahasida maya nemo nanele lokoko atamaatama kamoko ujapa lalo nesa obetoloko woko mino
3ito eto menakipasida maya edimonipo meusa dokepa dokepa iki minadeko maya dilipe dowa letane 4ohuda mena makomidana oluho ouvamelasiya omutiki edimonipo numudanipouya aya menamidanaya monoka yowanu litiki ilimi wati itae sakiya donipole ahonipolekiya soto ujapa ibitabotoya aya lihimaya pasiki elekele itatae saiki saitabo nesalimoya omaiya umu helekaka noiye 5ohuda mena watiyasiya edimonipogo miniki omaimidanamu eli elewole ikadanaki muki yupeka nekewa ludaka omaitoka wako wako ladanaki ubolo minikaka niae 6ito ohuda mena makolimo anulo nesae loko minokadeko maya emokumuya saloko letane omudaki ne liki lamilo saetiboya weunaya aloya helekaiye 7ga maya lo hukoko lo bekadeko ohuda menakipa maya lihimanipo minametibo minadeko maloka wewenasiya edimokumu lamitae 8wewena mako edimo wewenanipole yuha ito menakipa oluhonipolesida ujapa lalo ibitiki nasahili ibitamitabo wewenaya monoka hulikiki lina hetoka wewenasitokati limiki minae
9ohuda mena makolimo meleke 60 netiboya monoka yowanu lasolasima nolideko nodenesa lasolama le soto moloko natiye loko uliwa maya pepau luhuwa je molokadeko netiye 10emokahoya oko moloko iyoko muki wewenasiya eli lalo abo netihe ito oluhola etokoko dowa loko ujapa obetoko nasahili obetoko netihe ito emotoka wenoka wewena niseboya nasahili obetoko dilipe molaibo netihe ito emolaya lemeko nedanaki omaimidana wewenala yuha malokasidaya nasahili obetaibo nehe ito wewena miluma eleyoko dilipe wati ihe ito wewenasida nasahili obetoko yamidana lalo nesa lolo obetaihe monawanipomu loka etadawoya sako ne liki lidekoma duliya aya pepalo netiye 11ohuda mena ohatamaya lulite pepalo jitane liki likadekoma demega lokoko jametane welo aku witabo nesamo dumu helekadeko omutiki kalaestitoka wiki kolabo ga maya hulikiki aku wili jiki we makotoka wetune liki elikaka niae 12saikadanaki edimonipo api iki monokamu le emesalo molatune liki li hukabo aya eli hulikayoko lihimanipo obeloko minokaiye 13saikadanaki numuku numukuya yowigi limigi iki aha aya liki minikaka niae ito yagoya minamiye edimonipoya ga kohilili monedanaki lahelamibo ga opaya liwa liwa adanaki maloka wewenasida yowanugu awakawa iki monikaka niae 14yamuya nemoya saloko noloe mena eto ohatamaya akuya welo wikiki oluhonipo eti molikiki edimonipo numuku miniki iki moliki iki ujapa lalo ibitatae saiki minadeko monoka ulatelo wesida depa ji li likadeko lemokumuya lahelametibo gaya lamitae 15eto menakipa malokasiya enemane iki sima nikaka anulo wadanaki olohamidana emesalo moliki wikae 16ele elewole onetibo mena mako netibomidana yuhauti eto mena mako nitaboya emokaho nasahili obetatiye sanoideko monoka elebo wewenasiya muki nesanipouti lamideko monoka elebo wewenasiya eto menasidaya edimonipogo minabolawasidago nasahili ibitatae
17monoka we loidawasiya yowanu lideko wehe lokadeko maya meinawaya liki yowiki litae monoka li biki apinapi ibikaka yowanuya elewole iki litabo wesiya yamidana iki litae 18+ meinawa litabomu monoka bukuguya luhuwa saliki jiminaboma ne
bulumakamoya yowanu leloko nowidanaki nodenesa natuwe loko noidekoma epalo nala jamilo aha natiyo
ito ga makoya saliki luhuwa jiminabo ne
maloka wewenasitoka yowanu litibo welimoya aya wewenasitoti meinawa litiye
19+ wewena makolimoya monoka we loidawa makomidana obilo ilime molatuwe loko nolidekoma ele mamo wewena lowehe ito loweki makokisiya saibo we liki likadeko elekoko obi yowanuwaya letatane 20we makolimoya lihima lekadeko maya maloka wewenasi elikiki domoda wetiye loko muki wewenasida domudaloya auha mitane 21nemoya omaimidana ito jisesi kalaestida omudalalo omaimo dilipe eto okaiyoko amaitoka okananipoki we minabosida domudaloya saloko lo nohukoetoe monoka yowanu litabo wewenasidamu lo hukoko ga lo noemoboya ele lekoko ujapa okadeko lemeko udamideyo wehena menakipahenasida ganipoya letuwe loko maloka wewenamuya eliyoko yoweko lemeko ibomuye loko yamidana mamidana lolo oetamo
monoka yowanu litabo wesidaya dilipe eto okaka ga
22we makolikaya enemane oko monoka yowanu litae loko makuya enemane oko bamo edimo lihimanipolimoya emo upakalo oloto molokatiyo emo obohaka ito upakakiya ujapa ideko ukulo loko netiye
23ito timotiyo emoya mulukau okohu oka ito eloka wokaka noibo nesamuya nogoya namoko waeni no lasolamaki natane loko noloe
24ito maloka wewenasida lahelamibo nesanipomidana lihimala maya omailimo oijo bitibo onawa alili amiyoko omutoko soto pekaka noiye ito malokawasida lihimanipo maya halukuka halukoko minoloko woko minamekolaiye alikaya soto pekolaiye 25ayamidana oko maloka wewenasida nasahili yowanunipoya soto pekaka noiye ito malokawaya sametiboya halukuka minoloko woko minamekolaiye alikaya soto pekolaibo nenako yamuya monoka yowanu litabo wesidaya enemane oko dilipe eto amo loko noloe
| 2018-09-22T03:22:31 |
http://bibles.org/yby-YBY/1Tim/5
|
ball kuzaa x006043 x103013 china manufacturers & suppliers & factory
ball kuzaa x006043 x103013 mtengenezaji kiwanda muuzaji kutoka china
(jumla ya 19 bidhaa kwa ball kuzaa x006043 x103013)
ball kuzaa x006043 x103013 ball kuzaa x006043 x103013 sehemu ya panasonic x00h06011 panasonic ai x00h06011 ai bracket 104132103401 ai chuck hali x02p3200301 sehemu ya panasonic x01a4120401 panasonic ai x01a36001
| 2020-08-12T12:07:48 |
https://www.aismtks.com/sw/dp-ball-kuzaa-x006043-x103013.html
|
je yesu (mtume isa) (as) amekufa je utafafanua suala hili kwa mtazamo wa kiisilamu | maswali juuyau islamu
je yesu (mtume isa) (as) amekufa je utafafanua suala hili kwa mtazamo wa kiisilamu
submitted by editor (svahili) on sat 18/08/2018 1104
| 2019-04-26T02:19:17 |
http://maswalijuuyauislamu.com/question/je-yesu-mtume-isa-amekufa-je-utafafanua-suala-hili-kwa-mtazamo-wa-kiisilamu
|
hili jukwaa linapoteza maana kwa kuvamia na watu wasio madaktari jamiiforums
hili jukwaa linapoteza maana kwa kuvamia na watu wasio madaktari
893 870 180
habarini humu
nadhani lengo la jukwa hili ni kuwapa nafasi wale wenye matatizo ya kiafya kupata suluhisho la matatizo yao lakini muda mrefu nimekuwa nafuatilia humu mtu anaweza kuleta tatizo lake lakini bahati mbaya sana wengi hutoa majibu ya kupotosha kabisa mtu anaweza kutoa maelezo au akatoa ''shule'' ya uwongo kabisa na inaweza isimpe suluhisho yule mwenye kutaka msaada
ushauri wangu tuwape nafasi madaktari wetu watusaidie kupitia jukwaa hili sisi wengine ambao tupo kwenye taaluma zingine tuwe wauliza maswali sio kuja kutoa kitu ulichosimuliwa au kugoogle jua tu malaria ni ile ile ila sio wagonjwa wote wa malaria watapona kwa alu kuna factor nyingine nyingi za kuangalia so sio kwasababu wewe ulipona malaria kwa coartem ndo umshauri mwingine atumie sio always hivyo
likes python newbie mzizimkavu and tramadol
1296 1531 280
3863 6204 280
wengine ni ma profesa na drmanyau nyau mkuu kama tiba ya hosp inazingua sie tunatoa mawazo ya kitaa (dawa) na zinatibu kweli kuwa mvumilivu
mambo ya ukijikata huduma ya kwanza ni kujikojolea kwenye jeraha hatari san
6714 4470 280
joseverest unalala sana
joseverest jukwaa la cerebrites
kweli kuna umuhimu maanake kuna mkuu anasema azuma inatibu hiv teh teh teh
likes python newbie definition chilonge and 1 other person
kabisa mkuu kuna siku nilikuwa naona mada kuhusu uti nilichoka kabisa na huku mtaani wengi sana wanadanganywa hivyo hivyo maana uti imekuwa biashara kubwa siku hizi
likes dr wansegamila
watu wanaamini katikagoogle na kuamini walichokisoma kimewatosha na kujiona madaktari
likes python newbie and kombame
wachangiaji wengi wao wanatoka katika jukwaa la chitchat sasa na hili jukwaa wamelifanya kama vile jukwaa la pili la chitchat kungelikuwa na moderator wa kuliongoza hili jukwaa na kuondosha baadhi ya comment za chit chat kidogo jukwaa lingekuwa zuri lakini wapi tuende hivyo hivyo tutafika tunapokwenda mkuu
6486 2347 280
ndio maana kuna hospitali humu saizi ni kama chitchat
467 385 80
mimi nikiumwa ninajitibu kwa google labda iwe serious sana
threads 1215754
posts 28558480
| 2018-10-22T16:12:44 |
https://www.jamiiforums.com/threads/hili-jukwaa-linapoteza-maana-kwa-kuvamia-na-watu-wasio-madaktari.1347071/
|
ali kiba aachia video mpya siku ya birthday yake tanzania burudani/entertainment | hivisasa blog
home › burudani/entertainment › ali kiba aachia video mpya siku ya birthday yake
ali kiba aachia video mpya siku ya birthday yake
tarehe november 30 2017
mwanamuziki alikiba ameachia video ya wimbo wake wa zamani ambao ulivuja kama zawadi kwa mashabiki wake katika siku yake ya kuzaliwa
tazama hapa video hiyo
zitto kabwe aitaka tanzania kuchukua maamuzi magumu dhidi ya libya
| 2017-12-13T21:24:29 |
http://hivisasa.co.tz/burudani/ali-kiba-aachia-video-mpya-siku-ya-birthday-yake
|
jai the albino cow jai ngombe zeruzeru trailer | literary titan
← very gifted
stories of the mother bear trailer →
jai the albino cow jai ngombe zeruzeru trailer
can an albino cow possess abilities to be admired by other cows
anjait (jai) is ankole cow who lived with her family in kole hills jai suffers from albinism other cows thought she was cursed one day jai shocked other cows for doing something that no other cow did before she also surprised them with a magical skill
what is it that jai did as the first ever cow will her actions and skill help bring love and respect to albino cows
get your copy now to find out the answers and reveal to your children the importance of showing kindness and respect to everyone even if they look different
je ngombe zeruzeru anaweza kuwa na uwezo wa kustaajabiwa na ngombe wengine
anjait (jai) alikuwa ni ngombe wa kitutsi anayeishi na familia yake kwenye vilima vya kole jai alikuwa ni zeruzeru ngombe wengine walifikiri ana laana siku moja aliwashangaza ngombe wenzie kwa kufanya kitu kwa mara ya kwanza aliwapa mshangao zaidi kwa uwezo wake wa kimiujiza
ni kitu gani alifanya jai kama ngombe wa kwanza je matendo na uwezo wake yanaweza leta upendo na heshima kwa ngombe zeruzeru
jipatie nakala yako ili kupata majibu na uwafundishe watoto wako umuhimu wa kuonyesha upendo na heshima kwa kila mtu hata kama mwonekano wao ni tofauti
posted on february 17 2019 in book trailer and tagged albinism albino alibris amazon art author author life authors barnes and noble book book club book geek book lover book trailer bookaholic bookbaby bookblogger bookbub bookhaul bookhub bookish bookreads books of instagram booksbooksbooks bookshelf bookstagram bookstagramer bookwitty bookworks bookworm children cow ebook education gloria d gonsalves goodreads illustration ilovebooks indiebooks jai ngombe zeruzeru jai the albino cow kids kindle kobo literature magic nikki ng'ombe nook novel parent picture book publishing read reader reading shelfari smashwords story teacher trailer write writer writer community writing bookmark the permalink leave a comment
| 2019-05-20T04:24:19 |
https://literarytitan.com/2019/02/17/jai-the-albino-cow-jai-ngombe-zeruzeru-trailer/
|
ratiba kombe la kagame hadharani zawadi zaongezwa
hatimaye droo ya makundi kwa timu zitakzoshiriki michuano ya soka afrika mashariki na kati maarufu kama kombe la kagame imefanyika mchana wa leo ambapo mabingwa wa ligi kuu soka tanzania bara yanga sc wakipangwa kundi c huku wawakilishi wengine wa tanzania simba sc wakipangwa kundi a
michuano hiyo inayotarajiwa kuanza kuanza kutimua vumbi juni 18 hadi julai 2 mwaka huu huko sudan ambapo timu 13 zitakazoshiriki zimepangwa katika makundi matatu ya a b na c
timu zitakazo shiriki mashindano hayo na nchi zinazotokea kwenye mabano ni alhillal elmerreikh na al ahli shandy (sudan) al nasri (sudan kusini) yanga & simba (tanzania) express (uganda) tusker (kenya) apr (rwanda) vitaloo (burundi) ports (djbouti) elman (somalia) na falcon (zanzibar)
katibu mkuu wa baraza la vyama vya soka afrika mashariki na kati (cecafa) nicholaus musonye amesema zawadi za mwaka huu zimeongezka kutoka dola 60000 hadi 80000 ambapo kamati ya utendaji ndiyo itapanga zawadi kwa washindi
kundi a elmerrekh (sudan) apr (rwanda) simba sc (tanzania) elman (somalia)
kundi b alhillal (sudan) tusker (kenya) al nasri (sudan kusini) falcon (zanzibar) al shandy (sudan)
kundi c yanga sc (tanzania) express (uganda) ports (djibout) vitaloo (burundi)
| 2017-04-24T20:51:11 |
http://dinaismail.blogspot.com/2013/05/ratiba-kombe-la-kagame-hadharani-zawadi.html
|
daily mitikasi blog ziara ya katibu mkuu wa ccm kinana katika jimbo la mwanga
ziara ya katibu mkuu wa ccm kinana katika jimbo la mwanga
mbunge wa jimbo la mwanga waziri wa maji profesa jumanne maghembe (katikati) akimpa maelezo ya mradi katibu mkuu wa ccm ndugu abdulrahman kinana (kushoto) wakati alipotembelea skimu ya umagiliaji kivulini mwingine pichani ni katibu wa ccm tawi la kivulini ndugu nuru juma mwanga
skimu hii ya umwagiliaji kivulini hulimwa mpunga mahindimaharagwe na mboga mboga za majani
katibu mkuu wa ccm ndugu abdulrahman kinana akihutubia wakazi wa kivulini wilaya ya mwanga na kuwaambia wajitahidi kutafuta masoko nje zaidi ya mkaa maalumu unaotengenezwa pumba ya mchele pamoja na majani ya makuruwila
mkaa huo unatengenezwa na kikundi cha mkombozi kivulini
katibu wa nec itikadi na uenezi nape nnauye akiendesha gari maalumu la kuvunia mpunga
wajumbe wa kikao cha halmashauri kuu ya wilaya ya mwanga wakimsikiliza kwa makini katibu mkuu wa ccm ndugu abdulrahman kinana
katibu mkuu yupo kwenye ziara ya kuimarisha na kukijenga chama mkoa wa kilimanjaro
mbunge wa jimbo la mwanga profesa jumanne maghembe akisalimiana na ndugu wildad msuya mara baada ya kuwali kwenye kijiji cha kifula
katibu mkuu wa ccm ndugu abdulrahman kinana akiingia kwenye uwanja wa mikutano vuchama akiongozana na kikundi cha ngoma ya asili ya mjungu
| 2018-07-22T16:45:41 |
http://johnbadi.blogspot.com/2015/03/ziara-ya-katibu-mkuu-wa-ccm-kinana.html
|
makavulive please mdau help kilosa bado wanahitaji msaada
please mdau help kilosa bado wanahitaji msaada
mdau saidia maafa ya mafuriko yaliyowakuba ndugu zetu wa kilosa na dodoma hivi karibuni kwa kuchangia japo kidogo tu ni rahisi sana tuma neno maafa kwa simu ya mkononi kwenda namba 15599 ni tshs 250 tu fanya mara nyingi kuchangia tena na tena huduma hii inaendeshwa na kampuni ya simu ya vodacom pia zipo njia zingine za kuchangia km mpesa au unaweza fatilia kituo cha redio clouds fm iliyopo mikocheni na ukawasilisha mchango wako
tayari wadau mbalimbali wameshajitokeza ktk harambee hii hasa kupitia redio clouds fm wasanii kibao na wadau wa makampuni kibao wametoa michango yao
baadhi ya matukio ya mafuriko kilosa ktk picha
sehemu kubwa zimefunikwa na maji/tope
baadhi ya kambi za wananchi waliopoteza kabisa makazi yao
wengi wanaishi ktk vyumba vya madarasa na shule zimefungwa
hali ni mbaya
watoto lazima wasaidie
baiskeli zinabebwa ili uweze kupita
mafuriko yakiwa yameangusha miti na kubomoa nyumba
kwa hali ilivyo magojwa kutokana na mkusanyiko wa maji yanaweza kutokea
| 2018-03-20T13:32:38 |
http://makavulive.blogspot.com/2010/01/please-mdau-help-kilosa-bado-wanahitaji.html
|
mahakama yamwachia huru baada ya kuonekana hana kesi ya kujibu | moto moto news
mahakama yamwachia huru baada ya kuonekana hana kesi ya kujibu
mtuhumiwa adolph msafiri aliyekuwa akishtakiwa kwa kosa la kutoa lugha ya kuudhi dhidi ya jeshi la polisi ameachiwa huru na mahakama ya mwanzo huko mkoani mtwara baada ya kuonekana hana kesi ya kujibu mtuhumiwa huyo alikamatwa kwa kuweka ktk ukurasa wake wa facebook picha ya askari polisi wakishambulia raia siku ya maandamano ya chadema february 16 mwaka huu na kuandika kuna tofauti kati ya polisi na takataka
hakimu lawrence nyoni aliyesikiliza kesi hiyo amesema anamuachia huru adolph kwa sababu mashtaka dhidi yake hayana msingi wowote kisheria
awali mtuhumiwa alipokua akijitetea alimhoji askari wa upelelezi aliyekuwa mahakamani hapo kuwa wewe ni polisi akajibu ndio akamuiliza tena unafanana na takataka akajibu hapana mtuhumiwa akasema kwahiyo unakubaliana na mimi kwamba kuna tofauti kati ya polisi na takataka sio askari huyo hakujibu
adolph ni mwanafunzi wa sheria chuo kikuu huria kampasi ya dar es salaam
| 2019-03-19T19:52:03 |
http://www.motomotonews.com/2018/02/mahakama-yamwachia-huru-baada-ya.html
|
forces spéciales française tahakiki ya kiswahili pdf 29
posté le lun 26 fév 0538 (2018) sujet du message tahakiki ya kiswahili pdf 29
tahakiki ya kiswahili pdf download form ranch sectores gran football tahakiki ya kiswahili pdf download >>>>>> assim
kwa upande wa wataalamu wa fasihi ya kiswahili pia wapo baadhi ya wataalamu wanaokubaliana na akina (29 ) tahakiki tamthiliya ya kilio chetu
tahakiki tamthiliya ya kilio chetu kidato cha 3&4 mgogoro kati ya ukale na usasa huu ni mgogoro mwingine unaojitokeza katika tamthiliya 29 na 35 (a
kwa mpenzi yeyote wa kiswahili ni sharti azingatie stadi nne za lugha hiyo yaani kuzungumza kusoma kuandika na kuelewa lugha ya kiswahili hata hivyo baadhi ya
ushairi wa kiswahili nadharia mwongozo kwa walimu wa
kitabu hiki kinautalii ushairi wa kiswahili kinaanza kuchambua masuala mbalimbali ya kidhana kinadharia na kiuchambuzi na kasha kutoa mwongozo kwa walimu wa kiswahili
read swahilisekundaerliteraturpdf
readbag users suggest that swahilisekundaerliteraturpdf dar es salaam east african swahili committee 29 sanka sm 1998 tahakiki fungate ya
read semantiki ya kiswahili pdf silooocom
semantiki ya kiswahili pdf semantikiya kiswahili ya equally you may have made a second hand purchase tahakiki ya kiswahili ya download may 29 2015 popular
kiswahili kidato sita hussein mussa academiaedu
pdf kiswahili kidato sita 136 pages kiswahili kidato sita uploaded by hussein mussa connect to download get pdf kiswahili kidato sita
tahakiki ya kiswahili pdf downloadpdf thebookeenet
free pdf ebooks (user's guide manuals sheets) about tahakiki ya kiswahili pdf download ready for download
jivunie kiswahili uhakiki wa diwani za kiswahili
chuo kikuu cha arusha kitivo cha fani na sayansi za jamii muhtasari wa somo la sarufi ya kiswahili na sintaksia msimbo wa so 006b59bca7
3ds max 2012 architectural tutorials 14lahu ke do rang film songs mp3 2216 digit serial number for battle vs 164final fantasy 7 remake pc serial 52vaayai moodi pesavum mp4 movie 12pammal k sambandam full movie free 13akai mpc renaissance software 20manusmriti in telugu pdf free 687download hancock full movie in 42download film comic 8 full movie mp4 35
| 2018-03-25T05:29:27 |
http://forcespecialfrancaise.xooit.fr/t131-Tahakiki-Ya-Kiswahili-Pdf-29.htm
|
udadisi january 2008
posted by chambi chachage at 415 pm 0 comments
maji ya kumwaga umeme kiduchu
sijui haya nayo ni maporomoko ya kudumu au la ila hapa ni rusumo kwenye mpaka wetu na rwanda huo ni mto kagera naona hayo maji ni ya nguvu na yanaweza kuzalisha umeme je wataalamu wetu wanajua kwa nini hatuyatumii kuongezea umeme kwenye gridi ya taifa ambayo haitoshelezi mahitaji yetu
je maji haya hayatumiki kwa kuwa hatuna uwezo wa kujenga mitamboau hayatumiki kwa sababu hayana nguvukasi ya kutosha kutoa kiwango cha kutosha cha umeme 'kwa nini'
kuna umuhimu wa kuendelea kudadisi maana bei ya umeme inazidi kupanda nasikia mwezi huu imepanda kwa zaidi ya 20 japokuwa nishati hii inafikia takribani 10 tu ya wananchiumeme ni bidhaa adimu tanzania afrika kusini zambia zimbabwe nk kwa nini hatuuzalishi kwa wingi
posted by chambi chachage at 1202 pm 1 comments
is south africa's blackout confirming tia
tia is a stereotypical acronym that is being (re)popularized in the movie 'blood diamond' it stands for 'this is africa' it carries a negative connotation because it is used to refer to something that is 'abnormal' in our contintent according to the standards of the west/north i say it is repopularized because tia is part and parcel of the long history of demonizing africa which reached its peak during slavery and colonialism
it was tia that was at play when the champions of 'orientalism' referred to africa as the 'dark continent' when hegel referred to africa as not being part of history as being enveloped in the dark mantle of the night he was applying tia so was conrad when he penned 'heart of darkness' the argument that africa cannot govern itself without the enlightened guardianship of euroamerica is all about tia yes the proapartheid and recolonization theses have to do with tia
now as postapartheid south africa (sa) the socalled economic powerhouse of 'renaissanced africa' grapples with its worst power cuts crisis tia is at play again no wonder http//wwwiolcoza/ has posted 'investment gloom as sa enter the dark ages' the choice of the phrase 'dark ages' is typically tia this is particular so given that apartheid sa was/is seen as a pocket of enlightenment/whiteness in africa the socalled bastion of western 'modernity' in a continent rigidly steeped in 'tradition' even satellite pictures of a dark continent at night with pockets of lights in the south especially in the glittering city of egoli would be used to confirm this
this conventional south africa 'exceptionalism' heavily criticized by professor mahmood mamdani in his texts on african studies remains debatable however one get the feel that the terms of the debate are still enshrouded in the tia mantle that is how i feel when i hear these kind of phrase from sa's emerging crop of great thinkers the sa honeymoon is over after all we are just another african country how sad how sad (http//pitsotsibsblogspotcom/) how saddening the tia discourse is
posted by chambi chachage at 1059 am 2 comments
je ahadi za jk nazo ni deni
hivi ndivyo hali ya ujenzi wa barabara ya 'central' ilivyokuwa inaendelea mwishoni mwaka 2007 nikiwa safarini kigali hali hii ilinikumbusha ahadi kedekede zilizotolewa na jk wakati wa kampeni za uchaguzi wa urais mwaka 2005 baadhi ya ahadi hizo kama hiyo hapo chini zinapatikana hapa http//wwwhakielimuorg/government_promiespdf
i will make sure that the project to link mtwara and mwanza with a tarmac road is completed by december next year rich people driving saloon cars would be able to drive from mtwara to mwanza on a smooth road [tafsiri nitahakikisha kuwa mradi wa kujenga barabara ya lami itakayounganisha mtwara na mwanza inakamilika disemba mwaka ujao matajiri watakaokuwa wanaendesha magari madogo wataweza kuendesha kutoka mtwara mpaka mwanza kwenye barabara nzuri] jk
posted by chambi chachage at 1250 pm 1 comments
above a mass grave at the kigali memorial centre (for inspirational survivor stories visit http//wwwkigalimemorialcentreorg/)
below ruhande memorial site at the national university of rwanda in butare
(read http//wwwrwandagatewayorg/articlephp3id_article=319)
those who forget the past declared george santayana are condemned to repeat it it seems rwanda is applying this 'philosophy of history' for virtually the whole country is full of memorials of the genocide 'lest we forget' seems to be the solemn message a close examination of the history of the genocide reveals that in a significant way historical amnesia if not historical apathy lead to the 1994 genocide it proves that we cannot triviliaze history even when it provides signs of history repeating itself in a relatively minute scale what lessons do we learn from rwanda when dealing with 'historical deadlocks' in kenya zanzibar zimbabwe south africa and other places in our beloved continent of africa do we simply wish these deadlocks away or do we frankly tackle them head on
posted by chambi chachage at 1225 pm 0 comments
kigali tidy city/jiji safi
hali ya usafi jijini kigali ilisababisha baadhi ya wabongo tuliozoea kutupa takataka hovyo tujione tuko kifungoni sijui nini siri ya usafi huu je ni utamaduni wa usafi au hali ya utii wa sheria
the cleanliness around kigali caused some of us from tanzania who are so used to littering feel we are in jail what is kigali's secret is it culture or the rule of law
posted by chambi chachage at 1215 pm 1 comments
mbunge wa jimbo la nzega vijijini dkt kigwangalla akabidhi piki piki 19 mbele ya katibu mkuu wa ccm dnugu kinana kwa watendaji na viongozi wa kata wa jimbo hilo *mbunge wa jimbo la nzega vijijini ambaye pia ni waziri wa maliasili na utalii dkt hamisi kigwangalla amekabidhi piki piki 19 kwa viongozi na watendaji
| 2017-12-14T09:53:32 |
http://udadisi.blogspot.co.uk/2008/01/
|
kampuni ya samsung yatangaza kuachana na simu za galaxy j
sasa simu za galaxy j zitakuwa zinatoka kwa majina ya galaxy a
amani joseph april 9 2019 108 pm 281 views
kama wewe ni mfuatiliaji wa maswala ya simu hasa za samsung basi utakuwa unakua kuwa samsung haijazindua simu yoyote mpya ya galaxy j mwaka huu lakini pia kama uko makini utakuwa umegundua hadi sasa mwaka huu samsung imezindua simu nyingi za galaxy a
pengine hiyo ilikuwa ni moja ya ishara ya kuonyesha samsung imeamua kuweka macho yake zaidi kwenye simu za galaxy a na kuamua kuachana na matoleo ya simu za galaxy j kupitia video ambayo imetoleo kwa ajili ya simu ya galaxy a50 samsung inaonekana kutangaza kuachana na simu za galaxy j na sasa simu hizo zitakuwa kwa majina ya galaxy a
simu zote mpya za galaxy a zinakuja zikiwa zimeboreshwa zaidi huku zikiwa zinakuja na kamera mbili kwa nyuma pamoja na vioo vikubwa mbali na hayo pia simu hizo zinapatikana kwa bei nafuu hata hivyo simu za galaxy a zinakuja na sifa bora zaidi huku zikiwa na muonekano bora kuliko simu za zamani za galaxy j
samsung galaxy note 10 kuachana na tundu la kuchomeka headphone
kwa sasa tunasubiri simu mpya ya galaxy a90 au galaxy a80 ambayo inasemekana kuja na kamera bora ambayo itakuwa ni ya kuslide pamoja na muonekano wa kisasa simu hii pia inasemekana kuzinduliwa rasmi siku ya kesho kwenye mkutano maalum wa uzinduzi wa simu mpya za galaxy a ambapo tunategemea kuona simu nyingi mpya za daraja la kati kutoka samsung
kujua yote kuhusu simu hizi mpya za galaxy a endelea kutembelea tovuti ya tanzania tech kwani tutakuwa mubashara kabisa kwenye uzinduzi wa simu hizo mpya za galaxy a hapo siku ya kesho
makala iliyopita jinsi ya kubadilisha simu yoyote ya android kuwa kama galaxy s10
makala inayofuata hizi hapa apps nzuri za android kwa ajili ya kulinda afya yako
| 2019-09-22T07:50:25 |
https://tanzaniatech.one/2019/04/samsung-kuachana-na-galaxy-j/
|
tbs yatoa elimu kwa wananchi zaidi ya 8000 | full shangwe blog
home biashara tbs yatoa elimu kwa wananchi zaidi ya 8000
tbs yatoa elimu kwa wananchi zaidi ya 8000
shirika la viwango tanzania (tbs) limemaliza kampeni yake ya kutoa elimu kwa umma katika wilaya za mpanda rungwe na ludewa kuhusiana na usajili wa majengo ya chakula na vipodozi umuhimu wa kusoma taarifa zilizopo kwenye vifungashio vya bidhaa ikiwamo muda wa mwisho wa matumizi wa bidhaa
kupitia kampeni hiyo maofisa wa shirika hilo walielimisha jamii kuhusu umuhimu wa kununua bidhaa zilizothibitishwa ubora na tbs
kampeni hiyo ya elimu kwa umma imefanyika katika wilaya hizo kuanzia mwanzoni mwa wiki iliyopita ikihusisha wanafunzi wa shule za msingi na sekondari na wananchi kwa ujumla
pia kampeni hiyo iliendeshwa kwenye masoko stendi minadani na maeneo mengine ya wazi ambapo wananchi walijitokeza kwa wingi kupata elimu hiyo pamoja na ufahamu wa masuala mbalimbali yahusuyo ubora wa bidhaa
akizungumza wakati wa kampeni hiyo mkaguzi wa tbsernest simon aliwahimiza wananchi kujenga utamaduni wa kununua bidhaa zilizothibitishwa ubora wake na tbs ili kuepuka hasara kwa kupoteza fedha kununua bidhaa ambazo hazina ubora na kuwa hatarini kupata athari za kiafya
aliwakumbusha wananchi kwamba vita ya bidhaa hafifu sio ya tbs pekee bali ni ya taifa kwa ujumla
kampeni hii imeweza kuwafikia walengwa zaidi ya 8000 kati yao wajasiriamali wakiwa ni 64 wanafunzi wa shule za msingi na sekondari 4381 na wananchi 3658 alisema simon
aliwasisitizia wafanyabiashara kuhusiana na umuhimu wa kusajili majengo yao kupitia mfumo unaopatikana kwenye tovuti ya shirika hilo na wananchi waendelee kutoa taarifa kupitia mawasiliano waliyopewa pale wanapogundua uwepo wa bidhaa hafifu katika soko
wakati wa kampeni hiyo maofisa wa shirika hilo walipata fursa ya kuhamasisha wajasiriamali wanaojihusisha na uzalishaji wa bidhaa mbalimbali zikiwemo za nafaka sabunimikate maziwa pilipilisiagi ya karangamvinyomafuta ya kulaasali na unga lishe kuhusu utaratibu wa kupata leseni ya kutumia alama ya ubora ya tbs bure
kampeni hiyo ni endelevu na itaendelea katika wilaya za rombo lushoto na hanang
previous articlewananchi katavi watahadharishwa na maambukizi ya virusi vya corona
next articlevodacom tanzania yaahidi kuendelea kusaidia wabunifu nchini
jambo yakabidhi zawadi ya javida mshindi shindano la instagram
vodacom yasaidia jamii kupambana na covid19
wafanyabiashara wa soko la samaki feri jijini dar es salaam wajizatiti kujikinga na maambukizi ya virusi vya corona
| 2020-03-29T03:10:39 |
https://fullshangweblog.co.tz/2020/03/14/tbs-yatoa-elimu-kwa-wananchi-zaidi-ya-8000/
|
zimbabwe yafukuta | matukio ya afrika | dw | 20012011
waziri mkuu wa zimbabwe morgan tsvangirai akizungumza na maafisa wa chama cha zanu pf
mwanasheria mkuu wa serikali alisema kuwa wanaoshiriki kwenye timu hiyo watabaki kuwa siri ili kuleta kiwango cha juu cha ufuatiliaji kulingana na tuhuma hizo pia aliongeza kuwa hatojali kuhusu uwezekano wa kumchunguza waziri mkuu morgan tsvangirai kama inaweza kuleta mpasuko kwenye serikali ya muungano ya zimbabwe
zimbabwe imezishutumu nchi za magharibi kwa kuendeleza ubaguzi kutokana na shinikizo zao za kumtaka rais omar elbashir wa sudan akamatwe kwa makosa ya uhalifu wa kivita (01122010)
china na afrika ya kusini zaigombania zimbabwe
huku upande mmoja china na afrika kusini zikiimarisha uhusiano wao kwa upande mwengine ziko kwenye kinyang'anyiro cha kuidhibiti zimbabwe kwa mtazamo wa kunufaika zaidi na maliasili za nchi hiyo yakiwemo madini (22112010)
vikwazo dhidi ya zimbabwe vyamuumiza nani
neno vikwazo lilikuwa miongoni mwa maneno yaliyotajwa na balozi mpya wa umoja wa ulaya nchini zimbabwe aldo dell ariccia mara tu alipowasili nchini humo na kukutana na viongozi wa serikali miezi michache iliyopita (22112010)
mikutano 13 ya hadhara ya kukusanya maoni ya umma kuhusu katiba mpya imeahirishwa katika mji mkuu harare kufuatia machafuko hayo (29092010)
kiungo https//pdwcom/p/1002r
| 2018-07-23T02:55:44 |
https://www.dw.com/sw/zimbabwe-yafukuta/a-14776487
|
nyakarungu nimeripoti polisi kwa usalama wangu jamiiforums
nyakarungu nimeripoti polisi kwa usalama wangu
thread starter nyakarungu
448 74 45
this is for my life and safety
nimetoa taarifa kwa jeshi la polisi katika kituo kikuu cha mkoa mkoani morogoro
juu ya taarifa niliyopewa ya kuwa katibu mkuu wa chama changu chadema amemwagiza mkurugenzi wa ulinzi na usalama anishughulikie kwa mitandao wa red briged ameagiza wanifuatilie
hii ni kufuatia tamko langu na agizo la kuondoa uharamia wa demokrasia unaofanywa na wahafidhina na watiifu wao ndani ya chama
tutaanza kutekeleza maazimio yetu kuanzia tarehe 03/12/2013 kwa mbinu mpya tutakayoitangaza hadharani wala hatutakoma harakati hii wala hatutaki tena kufungwa kwa mjadala kienyeji kiasi hiki
nimetoa taarifa hii ikafunguliwa file number mor/rb/12999/13
na grayson m nyakarungu
likes chamviga the big show the fixer and 8 others
dr slaa ni janga la taifa
hata idd amin alianza hivi hivi
likes zemarcopolo pompiduu sengiyumva faizafoxy and 1 other person
kwa hiyo tujipange mstari
likes monaco sikonge asprin and 2 others
mtu mzima kama wewe unapowaandama wanasiasa individuals daily badala ya kuandama chama chao ptuuuuuuuuuuuuuuu
likes jackline hhhk and dafity
wewe ni adui wa demokrasia acha kuropokakama umeamua kupambana kwa nini unaogopa kufa
likes bak newbie hhhk and 1 other person
kaka hakuna kucheka nao make wameonekana siyo watu wakileta ujinga waletee upumbavu kwa nini uhuru wa kuongea ukosekane wewe umetoa tamko kama anaona baya kwa nini asiende kutoa la kwake akipinge kwa hoja kuliko kukutishia maisha
walizoea sana kutisha watu lakini kaeni mkijua kizazi cha leo siyo cha kutisha hata kidogo lazima uwazi na ukweli kwenye vyama uwepo wala siyo nguvu tena
likes faizafoxy the big show and the fixer
chadema now kama movie la ki nigeria
mara part onmara two three mara fourfivehaliishi
likes the big show nicas mtei pompiduu sengiyumva and 1 other person
30152 12342 280
wewe silaa akibahatisha urais lazima ule kitanzi
likes pompiduu sengiyumva hhhk and chris lukosi
onenge said
wewe ni adui wa demokrasiaacha kuropokakama umeamua kupambana kwa nini unaogopa kufa
hakuna sehemu imeandikwa kuwa mpambanaji lazima afe kumbe zenu ni kuuwa watu nadhani mlioua wanatosha hamtapata mwingine tena 40zenu zimefika mlidhani zitto ni mwepesi kiasi hicho mtakimbiana tu
hivi we mjusi upo umepona kuliwa kwenu nyuma ya nyumba na wazungu
hii sasa imekua ni dealni njia rahisi ya kutafuta popularitymnafanya muonekane kama vichaa sasa hata kama mlikua na pointthis is too much sasahata zito mnamfanya aonkane alikua akishirikiana na watu hamnazo(if at all alikua anashirikiana na vilaza kama wewe)its too much
likes sikonge mzizi wa mbuyu newbie and 7 others
6398 2726 280
huyu mkunga anatafuta umaalufu wa kijinga ila niwalaumu wanao coment thread ya huyu mkunga
248 76 45
mkuu harakati hizo ni muhimu kwa ustawi wa demokrasia ndani ya taifa letuwala usikatishwe tamaa na waoga haotuko pamoja sana ktk hili na tunasubiri kwa hamu kubwa harakati hizihatuwezi kukaa kimya kinyonge na kuwaachia wachache taasisi hii wakati watu wamepoteza ajira zao kwa ajili ya chademawatu wamepoteza maisha na kuacha familia zao kwa ajili ya chademachadema tumeijenga sote na ikibidi kuibomoa pia tutashirikiana kiroho safi kabisa ili iwe fundisho kwa wachaga wengine wenye tamaa za madaraka
huyu babu slaa sio mzima hata kidogohawajapata inji wanatishiana maishawakipata je si kutuua kama kuku
likes faizafoxy and the big show
mjnga 2 ww huna lolotecdm bado iko imara snkamtafute mwigulu akupe namba
heti brigedia tatizo vijana wana ndoto za haraka sana wakati uwezo zero huyu nae anatafuta umaharufu mpaka anajipeleka polisi brigedia
please people nimeamua kufanya hivi kwa sababu za usalama wangu tu
najua kesi za wanasiasa kesho nitang'olewa meno watajitokeza na kusema ni ccm wametumia mwanya wa mgogoro uliopo ili wachafue viongozi wa cdm sasa it is better kusema ili likitokea liwe na pa kuanzia
3111 68 145
askari mwoga wewe tlia na uwe makini na porojn unazoandikamaisha hayana photocopy
hapo ndo akil yk ilpofkiapole sn
hizi siasa za kishamba zitawamaliza
halafu unaitaja red brigade kama vile ni kikundi kisichokua rasmihiki ni kikundi cha ulinzi na usalama wa mali na usalama wa viongozi wa chama na kipokikatibasasa kama umefanya au kutangaza jambo ambalo linaathiri mali za chama red brigade ni lazima wachukue hatua
madhara unayoweza kuleta kwa chama labda ni kushambulia ofisi na kuvunja vioo kwa mawe au magari tu ila kwa hoja huna madhara
usijitafutie umaarufu kwa kujifanya eti katibu mkuu amekufuatilia kwa red brigade
hizi mbinu za kishamba za mabosi wenu mtashindwa
likes albedo drmo mashy and 11 others
| 2019-01-24T03:58:23 |
https://www.jamiiforums.com/threads/nyakarungu-nimeripoti-polisi-kwa-usalama-wangu.561363/
|
wasioswali wanatakiwa kushtakiwa | firqatu nnajia
wasioswali wanatakiwa kushtakiwa
swali kuna watu wanafikisha miaka 24 na 25 lakini hata hivyo hawaswali
jibu hawa wanatakiwa kwenda kushtakiwa kwa watawala au mahakamani ikithibiti kweli kwamba hawaswali basi wanatakiwa kuambiwa watubie na vinginevyo wauawe tunamuomba allaah afya akiacha kuswali na huku anakanusha kuiacha anakuwa kafiri na murtadi ama ikiwa ni mtu anayechukulia wepesi na wakati huohuo anaamini kuwa ni wajibu hapa ndipo wanachuoni wametofautiana maoni ya sawa ni kwamba anakufuru vilevile akiacha kuswali ijapokuwa atakuwa ni mwenye kuacha uwajibu wake ni kafiri haya ndio yamenukuliwa kutoka kwa maswahabah ambao wameafikiana juu ya ukafiri wake ´abdullaah bin shaqiyq al´uqayliy ishaaq bin raahuuyah ibn hazm na wengineo wamenukuu hivo baadhi ya wanachuoni waliokuja nyuma wanaonelea kuwa ni kufuru ndogo maoni ya sawa ni kwamba ni kufuru kubwa
wasioswali wanatakiwa kushtakiwa swali kuna watu wanafikisha miaka 24 na 25 lakini hata hivyo hawaswali jibu hawa wanatakiwa kwenda kushtakiwa kwa watawala au mahakamani ikithibiti kweli kwamba hawaswali basi wanatakiwa kuambiwa watubie na vinginevyo wauawe tunamuomba allaah afya akiacha kuswali na huku anakanusha kuiacha anakuwa kafiri na murtadi ama ikiwa ni mtu anayechukulia wepesi na wakati huohuo anaamini kuwa ni wajibu hapa ndipo wanachuoni wametofautiana maoni ya sawa ni kwamba anakufuru vilevile akiacha kuswali ijapokuwa atakuwa ni mwenye kuacha uwajibu wake ni kafiri haya ndio yamenukuliwa kutoka kwa maswahabah ambao wameafikiana juu ya ukafiri wake ´abdullaah bin shaqiyq al´uqayliy ishaaq bin raahuuyah ibn hazm na wengineo wamenukuu hivo baadhi ya wanachuoni waliokuja nyuma wanaonelea kuwa ni kufuru ndogo maoni ya sawa ni kwamba ni kufuru kubwa mhusika ´allaamah ´abdul´aziyz bin ´abdillaah arraajihiy mfasiri firqatunnajiacom marejeo fataawaa mutanawwi´ah (03) http//audio2islamwebnet/lecturs/aalrrajhee/430/430mp3 imechapishwa 21/04/2018 http//firqatunnajiacom/wasioswaliwanatakiwakushtakiwa/
thu 10 muharram 1440ah 2092018ad
| 2018-09-26T00:39:10 |
http://firqatunnajia.com/wasioswali-wanatakiwa-kushtakiwa/
|
ilikuwa saa tano tulipofika new afrika baada ya kumchukua sherriff kutoka kwa daktari akiwa anajisikia vizuri kabisa veronika ndiye nilikuwa nimewahi kumchukua kabla ya sherriff
kavae upesi twende zetu komredi nilimwambia sherriff aliyetaka
ilikuwa saa tano na dakika kumi na tano tulipoondoka kuelekea ofisi za plf njiani tulimweleza yote yaliyokuwa yametupata jioni ile tukibakiza tu ile habari ya kwenda kwetu pamoja kulala nyumbani kwangu
ofisi za plf zilikuwa mtaa wa makunganya karibu na achells limited hivyo haikutuchukua muda kufika pale kutokea new afrikatulitokea barabara ya azikiwe tukaingia mtaa wa independence pale kwenye mzunguko wa sanamu ya askari halafu tukakata kulia pale kwenye taa za usalama barabarani za mtaa wa independence na postway na kuingia postway tukatelemka kidogo mpaka kwenye mtaa wa makunganya moja kwa moja kwenye ofisi za plf tuliegesha gari pale pale mbele ya ofisi tukatelemka na kuingia mapokezi tulimkuta kijana mmoja akiwa mapokezi
habari zako ndugu nilimsalimu
salama sijui niwasaidie nini
tunaomba kumwona ndugu cecil chimalamo
mna miadi naye'
hapana lakini ukimweleza kuwa kuna waandishi wa habari toka gazeti la afrika natumaini anaweza kutuona
subirini hapa kwenye viti
tulikaa kwenye makochi mazuri sana cecil chimalamo nilikuwa ninamfahamu kwa sura na vile vile mambo yake kwani nilikuwa nimeshasoma faili lake mara nyingi ofisini kwa kifupi wanasiasa wengi walimpenda kwa sababu ya imani zake za kisiasa ambazo mara nyingi zilikuwa na msimamo alitambulikana kama kiongozi mmojawapo mashuhuri mpinga ubaguzi na mpenda serikali ya wengi katika afrika ya kusini makaburu walimchukia sana
punde yule kijana alirudi akayakatisha mawazo yangu juu ya chimalamo
mnaweza kumwona chumba namba tatu
asante' nilishukuru kwa niaba ya wenzangu
tulikwenda moja kwa moja mpaka chumba namba tatu tukabisha hodi
karibu
nilifungua mlango tukaingia ndani tukajikuta katika ofisi
karibuni alitukaribisha huku akisimama
nyinyi ndio mmetoka kwenye ofisi za gazeti la afrika
twendeni mzee anawasubiri
alifungua mlango tukaingia ndani na kumkuta ndugu chimalamo amekaa anavuta sigara alipotuona alisimama
karibuni ketini chini
kabla hatujakaa nilichukua mwanya huu kujijulisha mimi pamoja na wenzangu kwake
mimi naitwa willy gamba na ni meneja mkuu wa kampuni iitwayo afrika internation agencies (aia) na hawa ni waandishi wa gazeti la afrika huyu anaitwa veronika amadu na huyu ni ahmed sherriff wote ni wananchi wa sierra leone tulishikana mikono na kusabahiana halafu tukaketi chini
imekuwaje wewe uwe pamoja nao aliuliza
kampuni yangu ndiyo wakala wa gazeti la afrika hapa tanzania kwa hivyo haja zao zote naziwakilisha mimi
aisii nafikiri tumeshaonana mara nyingi wewe si mgeni kabisa kwangu aliniambia na kuniangalia kwa macho ya kudadisi
bila shaka tumeonana mara nyingi hasa katika tafrija za vyama hivi ingawaje hatujawahi kujulishwa moja kwa moja
ehe gazeti la afrika linataka nini nilishangaa sana maana hata hakuuliza vitambulisho mara moja nikajua mtu huyu aliweza kuwasoma watu na kujua ni watu wa namna gani alikuwa mtu mwenye busara nami nikaondokea kumpenda
sisi tumekuja hapa mjini baada ya kupata habari za tukio lililokikabiri chama chako na serikali ya tanzania kwa ujumla jumuia ya ulimwengu mpaka sasa imegawanyika katika pande mbili moja inalaumu serikali ya tanzania kuwa ndiyo inahusika na wizi wa silaha hizi ambazo ni za kisasa kabisa upande wa pili unaamini kuwa hizi ni njama za mabeberu zinazopiga vita harakati za ukombozi wa afrika kusini kwa hiyo gazeti la afrika likiwa kila siku linafuatilia kwa makini harakati za ukombozi kusini mwa afrika na kuweza kusaidia inapowezekana linahitaji hasa ukweli wa tukio hili hii ndio sababu tuko hapa tumeshawaona wakuu wengine katika oau na katika serikali ya tanzania na tumeona hatuwezi kufika mbali bila kujua mawazo yako wewe ambaye ndiye hasa uliyehusika na mali iliyopotea sherriff alieleza kwa kinagaubaga
kwa hiyo mnataka kujua mimi niko upande gani katika mawazo hayo mawili ya jumuia ya ulimwengu
hilo ndilo swali letu la kwanza sherriff alijibu
mimi nawaunga mkono wanaoamini kuwa hizi ni njama za mabeberu wale wanaosema tanzania inahusika wanajaribu kuongeza petrol kwenye moto huku wakijua kuwa tanzania ni nchi pekee katika afrika ambayo haiwezi kufanya jambo hili nakuhakikishia kwamba tangu nikae hapa nina miaka sita na sijaona serikali ya kimapinduzi kama hii la hasha tanzania haiwezi kabisa kufanya jambo hilo ila hizo ni mbinu za mabeberu za kutugonganisha sisi na wenyeji wetu ili mambo yaharibike kabisa mimi sitakubali washenzi hao watugonganishe nafikiri umenielewa
nimekuelewa sana sasa unafikiri silaha hizi zimepotea poteaje hapa nataka mawazo yako binafsi
hata mimi sijui ni njama ya hali ya juu iliyofanyika hivyo nimeachia shauri hilo serikali ya tanzania ambayo imeniahidi itafanya juu chini kufichua njama hizi
na isipowezekana veronika aliuliza
tutajua la kufanya wakati huo
ilibainikaje kama wewe umekwenda urusi kutafuta silaha za kisasa na hali naamini jambo hili lilifanywa kwa siri sherriff aliuliza
siku hizi hakuna kitu cha siri nafikiri hata kabla sijaondoka hapa dar es salaam kwenda moscow ilikuwa imeshajulikana nini nafuata ulimwengu huu wa teknolojia hakuna kitu cha siri hata mkutano uliofanyika huko camp davis marekani kati ya marais wa israel misri na marekani na kuweka hali ya uficho wa hali ya juu bado watu walijua kabla mazungumzo hayo ya kisiri ya hali ya pekee hayajatangazwa rasmi ili kujibu swali lako hata sisi hatukutegemea tutajulikana
watu wanafikiri kuwa silaha hizo zimefanyiwa njama za kuibiwa kwa sababu ni silaha za kisasa kabisa na za hali ya juu ndio sababu watu wanasema tanzania isingeweza kuziona zinakwenda hivi hivi sasa swali langu ni kwamba kwa nini uliamua kuomba silaha za kisasa za jinsi hii wakati vita havijafikia hali ya juu sana kuhitaji silaha za namna hiyo
ahaa swali lako zuri sana ili mwelewe kwa nini nilichukua hatua hiyo ni lazima niwape maelezo kamili juu ya hali ya silaha alizonazo adui tunayepigana naye alinyamaza kidogo akaegemeza mikono yake mezani
maana mtu hawezi kupigana kwa rungu dhidi ya mtu mwenye bunduki kwa hiyo hamtajali naona nikiwaeleza kwa kirefu jinsi wapinzani wetu walivyojidhatiti kijeshi na ndipo tu mnaweza kuona kwa nini niliagiza silaha za kisasa
sisi tutafurahi sana kupata fursa ya kusikia maelezo hayo nilijibu kwa niaba ya wenzangu
katika miaka 15 iliyopita alieleza chimalamo makampuni ya kimataifa yamezidisha rasilimali zao ili kuimalisha uchumi wa afrika kusini makampuni makubwa ya marekani na ujerumani magharibi yamepanua rasilimali zao katika sehemu muhimu za utawala wa makaburu na makampuni haya yana ushirikiano mzuri sana na utawala wa makaburu
miaka michache iliyopita mabenki ya kigeni yameikopesha afrika kusini mamilioni ya fedha ili kuwezesha kukabili migogoro ya kiuchumi iliyosababishwa na kulegalega kwa uchumi wa nchi za magharibi na kuendelea kukua kwa mapambano ya wazalendo wanaokandamizwa na utawala wa makaburu
mabenki ya kigeni yametoa mtaji mkubwa kwa utawala wa makaburu kwa mahitaji ya fedha kwa ajili ya mambo ya kijeshi na kiuchumi katika miaka michache iliyopita deni la kigeni la afrika kusini limeongezeka haraka kufidia gharama za mafuta yake kupanua ununuzi wa silaha na gharama za mipango ya kuuwezesha utawala huo dhalimu ujitegemee kwa taarifa yenu mpaka kufikia mwishoni mwa mwaka 1976 utawala wa makaburu ulikuwa na deni lipatalo shs72 bilion lakini idadi inaweza kuwa kubwa kuzidi hapo maana mikopo kwa afrika kusini ni siri sijui mnanielewa
tunakuelewa sana tulijibu kwa pamoja huku veronika akiwa anaandika maelezo hayo
kuna ukweli unaoonysha jinsi biashara ya makampuni ya kigeni na rasilimali zao zilivyosaidia kuimarisha viwanda vya kijeshi vya afrika kusini hata kuuwezesha utawala wa makaburu kuwa na kiburi na kupuuza maoni ya dunia na kuendelea kudumisha udhalimu wake na kuwakandamiza wananchi walio wengi wa afrika kusini
makampuni ya kigeni yamejihusisha moja kwa moja katika kuimarisha kijeshi afrika kusini kumbukumbu za kampuni moja inayoshughulika na utengenezaji wa silaha katika nchi zinazoendelea zinaonyesha kuwa makampuni ya kigeni yametoa liseni kwa makampuni ya afrika kusini kutengeneza zana za kijeshi za aina mbali mbali pamoja na ndege za kijeshi mabomu risasi na bunduki vile vile kuna makampuni yanayotengeneza vipuri na vifaa vingine kwa madhumuni ya kijeshi shirika la baruti na madawa la afrika kusini 'aeci' linatajwa kuwa linamiliki viwanda vitatu vinavyotengeneza silaha na linashirikiana na kampuni moja ya viwanda vya madawa ya uingereza imperial chemical industries kampuni hiyo ya uingereza imetoa utaalamu na vifaa vinavyotumiwa na shirika la aeci la afrika kusini na wakati huo huo kampuni ya darman long ya afrika kusini iliyounda manowari moja yenye uzito wa tani 220 inashirikiana na shirika la vyuma linalomilikiwa na serikali ya uingereza katika shughuli za utengenezaji silaha
alinyamaza kidogo akachukua sigara akaiwasha kisha akavuta mara tatu hivi halafu akaendelea
kutokana na misaada hii toka nchi za magharibi afrika kusini imejiimarisha sana kijeshi utaona kuwa miaka ya sitini matumizi ya kijeshi ya afrika kusini yameongezeka mara sita kutoka shg 520 milioni hadi mwaka 1977/78 matumizi ya kijeshi yalikuwa yameongezeka tena na kufikia kiasi cha shg 16450/ milioni kwa mwaka nimetoa maelezo hayo pamoja na tarakimu ili kuwaonyesha kimsingi kuwa afrika kusini ina uwezo kifedha kutengeneza au kununua silaha za kisasa kabisa
alitua tena ili kuvuta sigara yake kisha akaendelea huku sisi tukimsikiliza kwa makini kama wanafunzi wanavyomsikiliza mwalimu katika somo wanalolipenda
vijana lazima mtu ujue nguvu za adui yako kabla hujamkabili la sivyo utakuwa unafanya mapambano yasiyo ya kimsingi ili kuwapa ukweli hasa uliopo jeshi la afrika kusini limekuwa likitumia zana za kisasa zilizoko duniani tangu mwaka 1970 matumizi ya kijeshi kwa ajili ya kununulia silaha na vifaa maalumu vya kisasa vya kijeshi badala ya vya zamani yaliongezeka kwa asilimia 32 mwaka 1971 kufikia asilimia 53 mwaka 1973 kati ya mwaka 1970 na 1979 shg 2240 milioni zilitumika kwa mambo ya ndege za kijeshi shs 1000/ milioni kwa ajili ya kununua radio mitambo ya kutazama ndege angani (radar) na vifaa vingine vya kisasa kama nilivyokwisha kuwaeleza hapo awali wakati huo huo utawala wa afrika kusini umekuwa ukichukua hatua kuimarisha utengenezaji wa zana humo humo nchini kadiri vipuli na vifaa vya mahitaji yake ya kijeshi yanavyozidi kuongenzeka
kwa mjibu wa toleo moja la kijeshi la marekani tangu tangu mapema mwaka 1971 makaburu walikuwa wanaweza kutengeneza mabumu na baruti kiasi cha kujitosheleza na wanaweza kuuza nchi za nje juu ya risasi afrika kusini inatengeneza aina 100 za risasi kwa bunduki inajitosheleza kabisa kwa silaha za jeshi la nchi kavu ama imejitosheleza ama imefikia hatua za utoaji na itajitosheleza hivi karibuni kwa zana za jeshi la maji na sasa inatoa zana zote za moto inazohitaji bunduki za kisasa kama vile rifle na machinegun vile vile zinatengenezwa hivi utengenezaji wa mizinga unaanza na kuna huduma ya kuweza kutengeneza karibu kila aina ya magari ya kijeshi radio za ndege vifaa vya kutegulia mabomu na vifaa vingine vya kisasa vya kijeshi vinabuniwa na kutengenezwa huko huko afrika kusini
alinyamaza na kuwasha sigara nyingine na kwa nguvu zile zile akaendelea kueleza
hivi karibuni ilidokezwa kuwa afrika kusini inaunda aina fulani za bunduki mabomu ya kudondoshwa na ndege yenye uzito wa kufikia ratili 1000 kila moja na inaendelea na utengenezaji wa makombora ya kuangusha ndege mabomu hayo inasemekana yalifanyiwa majaribio mwezi septemba 1977 kwa kutumia ndege za aina ya 'mirage' ndege hizi za mirage zilianza kuundwa huko afrika kusini chini ya liseni ya kampuni ya ufaransa ya sessoult mnamo mwaka 1974 kama hatua ya mwanzo afrika kusini ilinunua vipande 50 vya ndege za aina hiyo na kuunda yenyewe ndege za mirage
wakati huo vile vile ilikuwa tayari imeanza kuunda ndege za kijeshi aina ya impala za muundo wa italiaarmachi mb326 magari ya kijeshi aina nyingi ya silaha ndogo ndogo pamoja na bunduki za aina ya rifle muundo wa ubelgiji na kwa mjibu wa waziri wa uliniz wa makaburu afrika kusini ilitegemewa ianze kutengeneza vifaru vyake vile vile afrika kusini inasemekana imeanza kuendeleza utengenezaji wa mizinga ya kutungulia ndege aina ya cactus ikisaidiwa na kampuni moja ya ufaransa
alipofika hapa aliinua simu na kumwamru mwandishi wake mahsusi atuletee vinywaji baridi na sambusa kisha akaendelea
naona nitawachosha lakini kwa sababu nyie wenyewe mmeuliza mimi nitawapa hali halisi ilivyo na mkiwa kama waandishi wa habari ni vizuri kujua hali ya kijeshi ya huyu adui wetu mkubwa katika afrika kwa kutumia gazeti lenu mnaweza kujulisha jumuia ya ulimwengu ukweli wa nguvu za adui yetu huyu zilivyo hivyo msitahimili karibu nitamaliza
mwandishi wake alileta vinywaji barudi na sambusa
habari unazotueleza ni za kusisimua mno kwani kwetu sisi wengine ni habari mpya hivyo hata ukiendelea mpaka usiku tutakuwa tayari kabisa kukusikiliza nilimhakikishia
kama hivyo basi nitaendelea magari ni muhimu sana katika mambo ya kijeshi kuna makampuni kadha wa kadha ya kigeni ambayo yamekuwa yakiisaidia afrika kusini kijeshi katika mambo ya magari makampuni hayo ni pamoja na kampuni ya marekani ya general motors (gm) kampuni kubwa duniani inayotoa magari kwa wingi baada ya vita kuu ya kwanza hivi sasa ina mtambo wa kuunganisha na kuunda magari huko port elizabeth na mtambo wa kutengeneza injini za magari nje kidogo ya mji huo
kampuni nyingine ya magari ni ile ya ujerumani inayotengeneza magari ya aina ya 'benz' magari ya kijeshi ya aina hii ndiyo yanatumiwa sana na majeshi ya afrika kusini msemaji mmoja wa kampuni ya magari ya benz na bmw alijigamba hivi karibuni kwamba kampuni yake inatengeneza magari hayo ujerumani kwenyewe na afrika kusini na inakusudia kutumia afrika kusini kama kituo cha kuuzia magari hayo kwa nchi za nje zilizoko kusini kwa ikweta hii inaonyesha dhahiri kuwa afrika kusini inayo magari haya zaidi ya mahitaji yake ya kijeshi
alinyamaza tena akachukua glasi yake iliyojaa cocacola akainywa kwa mara moja kisha akainua macho yake na sura yake ikageuka kuwa nzito kisha akaendelea
na mwisho napenda kuwaeleza jambo la mwisho lakini muhimu si kwa sisi wapigania uhuru tu bali kwa afrika nzima katika mwaka 1974 shirika la nyuklia la marekani lililoko oak ridge lilipeleka kilo 45 za madini ya 'uranium' kwa mtambo wa utafiti wa nyuklia uliopo palandaba huko afrika kusini baada ya tume ya nyuklia chombo pekee cha marekani kinachotoa liseni za usafirishaji nje vifaa vya nyuklia kukubaliana na afrika kusini kwamba haitaruhusu madini hayo yapelekwe pengine au kutumiwa vinginevyo marekani vile vile mwaka 1975 na 1976 iliipa afrika kusini madini hayo yanayotumiwa kutengeneza zana za nyuklia na kuahidi kuuza zaidi madini hayo kwa mtambo wa pamoja na nguvu za nyuklia wa marekani na ufarasa unaotazamiwa kujengwa afrika kusini mwaka 1984 kwa jumla marekani imeiuzia au imeahidi kuiuzia afrika kusini ratili 300 za madini hayo kwa ajili ya mtambo wa utafiti wa nyuklia uliopo palandaba kwa taarifa yenu ratili 300 za uranium zinawza kutengeneza mabomu 15 ya atomiki
kila mmoja alipiga mluzi wa mshangao
nafikiri ndugu willy nimejibu swali lako kwa kirefu kwa hiyo utaona sisi wapigania uhuru hatuna budi kuomba silaha za kisasa zinazoweza kukabili nguvu hizi kubwa ya kijeshi za adui yetu kwa hiyo tukio hili lililotokea linaonyesha dhahiri kuwa hawa makaburu wameona hatari inayowajia hivyo kuiba silaha hizi ni mbinu moja ya kujihami na mimi nimeapa sitarudi nyuma nitaondoka tena karibuni kwenda kutafuta silaha za kisasa na kali toka nchi rafiki ambazo naamini zitaamini kuwa tukio hili ni njama za mabeberu hivyo njama zao zinazidisha tu moto katika wapigania uhuru na ndugu zao wanaowasaidia huu si mwisho wa mapambano ila ni matayarisho tu ya mapambano historia itanihukumu mna swali zaidi
tuliangalia na kukawa hakuna mtu mwenye swali kwani risala yake ilituchoma mioyoni kama miali ya moto wa umeme
asante tumetosheka nilijibu kwa niaba ya wenzangu
oke mnakaribishwa tena siku yoyote kwani katika kuzungumza nanyi ndipo tunapoweza kujua hali halisi ya kusini mwa afrika asante sana vijana wa afrika kuja kunitembelea alitupa mkono wa kuagana
asante sana tulijibu na kuondoka ofisini mwake kimya kimya
tulipofika kwenye gari langu niliona ni saa saba unusu kweli tulikuwa tumekaa sana ndani tuliingia ndani ya gari
sasa twende tukaonane na ray sikazwe rais wa chama za sanp
imechapishwa na maseypr kwa 631 am
| 2017-10-21T14:07:53 |
http://nyakasagani.blogspot.com/2013/01/njama_30.html
|
ubaguzi wa rangi katika kampuni ya uchina inayosimamia reli ya sgr | tovuti ya kiswahili ya ukweli wa afrika
home siasa ubaguzi wa rangi katika kampuni ya uchina inayosimamia reli ya sgr
ubaguzi wa rangi katika kampuni ya uchina inayosimamia reli ya sgr
kampuni hiyo ya uchina inayosimamia reli ya sgr iliangaziwa kwa kuwa na ubaguzi wa rangi
baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo waliviambia vyombo vya habari kuwa walikuwa wakidhulumiwa na mabosi wao raia wa uchina utata umezidi kuizingira kampuni ya kusimamia reli nchini crbc hasa baada ya wafanyakazi wake kufichua dhuluma wanayopitia chini ya usimamizi wa mabosi wao raia wa uchina
wafanyakazi hao waliwaambia wanahabari hao kuwa wasimamizi wa kampuni hiyo ya china road and bridge corporation (crbc) walikuwa wanawafanyia vitendo vya dhuluma kwa jina la kuwafanyia mafunzo ya kitaaluma
wafanyakazi wa sgr wawekewa vikwazo wasitoe siri nje baada ya ripoti kwamba wanateswa na wachina kuibuka
imefahamu kuwa baada ya kuripotiwa kwa kisa hicho kampuni hiyo imewataka wafanyakazi wake kutotoa siri zozote nje kuhusu jinsi wanavyofanyishwa mazoezi kati ya masuala mengineyo
kulingana na barua hiyo ambayo ilikuwa na nembo ya sgr wafanyakazi hao walifaa kuongea tu mambo bora kuhusu kampuni hiyo wasitete kuhusu lolote amri hiyo iliwekwa ili kuwazuia wafanyakazi hao kuchukua video picha au kuandika maneno yoyote ya kulipaka tope kampuni hiyo
kampuni ya reli
previous articlepakistan mlipuko mjini peshawar wasababisha kifo na majeruhi 20
next articlesafari ya donald trump mjini london
mazungumzo ya amani ya wayemeni nchini sweden
kenya ksh 27 bilioni za umma hazijulikani zimetumika vipi
moto wateketeza bweni la kamusinga boys huku ghasia za wanafunzi
aliyedai kuwa mtoto wa lowassa akamatwa na jeshi la polisi
| 2018-12-11T20:29:29 |
https://aftruth.com/swa/siasa/ubaguzi-wa-rangi-katika-kampuni-ya-uchina-inayosimamia-reli-ya-sgr/
|
jiwa halus (fine heart) wake up la
be careful with compulsive bitching disoder
wake up la oiii
posted by hasnul j saidon @ kebun jiwa halus at 0717
| 2017-11-18T02:29:46 |
http://hasnulsaidon.blogspot.com/2015/11/wake-up-la.html
|
ina maana gani kwamba mungu ni mwenye nguvu
swali ina maana gani kwamba mungu ni mwenye nguvu
jibu neno lolote linatokana na maana ya yote na maana ya nguvu nguvu kama ilivyo na sifa za ujuzi na uzima ifuatavyo kwamba ikiwa mungu hana mwisho na kama yeye ni huru ambayo tunajua yeye ni basi lazima awe mwenye nguvu kabisa ana nguvu zote juu ya vitu wakati wote na kwa njia zote
ayubu alizungumzia nguvu za mungu katika ayubu 42 2 najua ya kuwa waweza kufanya mambo yote naya kuwa makusudi yako hayawezi kuzuilika ayubu alikuwa akikubali uweza wa mungu katika kutekeleza mipango yake musa pia alikumbushwa na mungu kwamba alikuwa na nguvu zote za kukamilisha madhumuni yake juu ya waisraeli bwana akamjibu musa je mkono wa bwana ni mfupi sana sasa utaona ikiwa ninachosema kwako litakuwa la ukweli au la '
hakuna mahali ambapo uweza wa mungu huonekana wazi zaidi kuliko uumbaji mungu akasema hebu kuwa na na ilikuwa hivyo (mwanzo 1 3 6 9 nk) mtu anahitaji vifaa vya kuunda mungu alinena tu na kwa nguvu ya neno lake kila kitu kiliumbwa kutoka kwa hakuna kitu kwa neno la bwana mbingu zilifanyika na jeshi lake lote kwa pumzi ya kinywa chake (zaburi 33 6)
nguvu ya mungu inaonekana pia katika kulinda uumbaji wake maisha yote duniani yangepotea sio kwa ajili ya utoaji wa mungu wa kila kitu tunachohitaji kwa chakula mavazi na makao yote kutoka kwa rasilimali zinazoweza kuendelezwa na nguvu zake kama mtunzaji wa mwanadamu na mnyama (zaburi 36 6) bahari ambazo hufunika dunia nyingi na juu ya ambayo hatuna nguvu ingeweza kutudhuru ikiwa mungu hakuweka mipaka yao (ayubu 38 811)
nguvu zote za mungu huwa na serikali na viongozi (danieli 221) kama anavyozuia au kuwaacha kwenda njia zao kulingana na mipango na madhumuni yake nguvu zake hazina ukomo juu ya shetani na pepo zake mashambulizi ya shetani juu ya ayubu yalikuwa na matendo fulani tu alizuiliwa na nguvu isiyo na ukomo wa mungu (ayubu 112 2 6) yesu alimkumbusha pilato kuwa hakuwa na mamlaka juu yake isipokuwa kama alipewa na mungu wa nguvu zote (yohana 1911)
kuwa mwenye nguvu mungu anaweza kufanya chochote hata hivyo hiyo haimaanishi mungu amepoteza nguvu zake zote wakati biblia inasema kuwa hawezi kufanya mambo fulani kwa mfano waebrania 618 inasema kwamba hawezi kusema uongo hiyo haina maana yeye hawana uwezo wa kusema uongo bali mungu huchagua kutosaana na ukamilifu wake wa maadili kwa njia hiyo hiyo licha ya kuwa mwenye nguvu na kuchukia uovu anaruhusu uovu kutokea kulingana na kusudi lake njema anatumia matukio mabaya ya kuruhusu madhumuni yake kufunguliwa kama vile wakati mabaya yote yaliyotokea kuua ya kondoo mkamilifu mtakatifu asiye na hatia ya mungu kwa ajili ya ukombozi wa wanadamu
kama mungu anavyoingia ndani yesu kristo ni mwenye nguvu nguvu zake zinaonekana katika miujiza aliyoifanyakuponya kwake nyingi kulisha watu elfu tano (marko 6 3044) kutuliza dhoruba (marko 4 3741) na kuonyesha mwisho wa nguvu kumfufua lazaro na binti wa yairo kutoka kwa wafu (yohana 11 3844 marko 5 3543) mfano wa udhibiti wake juu ya maisha na kifo kifo ni sababu kuu ambayo yesu alikujakuiharibu (1 wakorintho 1522 waebrania 214) na kuwaleta wenye dhambi katika uhusiano mzuri na mungu bwana yesu alisema waziwazi kuwa alikuwa na uwezo wa kuweka maisha yake na nguvu ya kuichukua tena ukweli kwamba yeye alitoa madai wakati akizungumzia juu ya hekalu (yohana 219) alikuwa na uwezo wa kumwita malaika kumi na wawili wa malaika kumwokoa wakati wa majaribio yake ikiwa inahitajika (mathayo 2653) hata hivyo alijitoa mwenyewe kwa unyenyekevu badala ya wengine (wafilipi 2 111)
siri kubwa ni kwamba nguvu hii inaweza kugawanywa na waumini ambao wameungana na mungu katika yesu kristo paulo anasema kwa hiyo nitajisifu zaidi juu ya udhaifu wangu ili nguvu za kristo ziweke juu yangu (2 wakorintho 12 9b) nguvu ya mungu imetukuzwa sana wakati udhaifu wetu ni mkubwa kwa sababu yeye anaweza kufanya zaidi ya yote tunayoomba au kufikiria kulingana na nguvu zake zinazofanya kazi ndani yetu (waefeso 320) ni nguvu ya mungu inayoendelea kutuweka katika hali ya neema licha ya dhambi zetu (2 timotheo 112) na kwa nguvu yake tunachukuliwa kutoka kuanguka (yuda 24) nguvu zake zitatangazwa na jeshi lote la mbinguni kwa milele (ufunuo 19 1) hiyo kuwa sala yetu isiyo na mwisho
| 2018-03-22T19:34:53 |
https://www.gotquestions.org/Kiswahili/Mungu-mwenye-nguvu.html
|
davido and rio paul are rocking the it accessory dior's saddle bag for men | afroswagga
dior saddle bag imeonekana kupenda na watu maarufu mbalimbali akiwepo mwanamuziki rihanna bag hii ilionyeshwa mara ya kwanza katika run way miaka ya tisini na toka miaka hio imekuwa ikifanyiwa marekebisho na kurudishwa sokoni mara kwa mara dior saddle bag ni iconic bag ya luxury brand hii kutoka france
miaka hio dior saddle bag ilikuwa inavaliwa na wanawake tunadhani miaka hii luxury french brand hii iliona umuhimu wa kuja na dior saddle bag for men na imeonekana kupokelewa kwa mikono miwili na wanaume tumemuona mwanamuziki kutoka nigeria davido akiwa amebeba bag hii huku stylist rio paul kutoka tanzania nae akitutoa kimaso maso
davido yeye alivaa bag hii na neon outfit
wakati stylist kutoka tanzania rio paul yeye alikuwa in more casual outfit white pull neck blue jeans na white sneakers
inavyosemekana bag hii inaanzia kuuzwa kuanzia usd 1900 mpaka $35000 yaani kuanzia pesa za kitanzania 4374940 mpaka 80591000/
sote tunazile siku ambazo we don't feel like dressing up au labda una enda sehemu
wanasema linapokuja swala la fashion expect anything wabunifu kila siku wanakuja na jambo jipya mwaka
ni jumatatu nyingine tena ambayo huwa tunawaletea weekly highlights za nani amevaa nini na je
namna ambavyo media personalities wanaweza kuleta ushawishi katika mitindo
| 2019-05-21T15:31:38 |
http://afroswagga.com/urembo/davido-and-rio-paul-are-rocking-the-it-accessory-diors-saddle-bag-for-men/
|
idara ya mikakati na shughuli za utunzaji inafanya semina ya viongozi wa hazina ya atabatu askariyya tukufu
idara ya mikakati na shughuli za utunzaji chini ya kitengo cha hazina (utunzaji) katika atabatu abbasiyya tukufu inafanya semina ya (kujenga uwezo kwa watumishi wa utunzaji) wa hazina za atabatu askariyya semina hii ni sehemu ya kukamilisha mafunzo waliyopewa siku za nyuma
semina ilianza siku ya jumapili (2 dhulhijja 1440h) sawa na (4 agoat 2019m) itaendelea hadi alkhamisi wiki hii katika semina hii wanafundishwa namna ya kutunza vifaa kale na umuhimu wake pamoja na majukumu ya kiongozi wa hazina ikiwa ni pamoja na kubaini kifaa kale na namna ya kukiingiza katika orodha ya vitu vilivyopo katika hazina ya makumbusho
fahamu kua kitengo cha hazina katika atabatu abbasiyya tukufu kila baada ya kipindi fulani huandaa semina za aina hii pia huandaa vifaa kale na kuviingiza katika hazina ya makumbusho kimekua kitengo muhimu kinacho kusanya kila kitu katika ataba tukufu kinatunza vifaa kale vya aina mbalimbali kwa kutumia mbinu za kisasa zinazo tumika na hazina za kimataifa
| 2019-12-15T00:49:13 |
https://alkafeel.net/news/index?id=8980&lang=sw
|
ripoti maalum mambo yote yaliyojiri uwasilishwaji wa kamati ya pili ya mchanga wa madini habari24
home / habari mpya / ripoti maalum mambo yote yaliyojiri uwasilishwaji wa kamati ya pili ya mchanga wa madini
ripoti maalum mambo yote yaliyojiri uwasilishwaji wa kamati ya pili ya mchanga wa madini
habari24 tv 73400 am habari mpya
leo kamati ya pili ya mchanga wa madini inawasilisha ripoti yake kwa rais john pombe magufuli
msikilize hapo chini rais akizungumza baada ya kupokea ripoti hiyo
rais wa jamhuri ya muungano wa tanzaniadkt john pombe magufuli leo jumatatu june 12 amepokea ripoti ya kamati ya pili ya uchunguzi wa mchanga wa madini
1kamati ya wanasheria na wachumi ya kuchunguza mchanga wa madini iliteuliwa aprili 10 ikiongozwa na prof nehemiah osoro
3kamati pia ilitakiwa kuchunguza kama tanzania inauwezo wa kutengeneza 'smelter' nchini gharama zake na muda utakaotumika
4kamati ilitakiwa kuchunguza tofauti ya mapato ambayo tanzania ilipata na ambayo ilitakiwa kuyapata tangu mwaka 1998
5acacia inayojinasibu kama mmiliki wa migodi ya bulyanhulu na buzwagi haijawahi kuwasilisha nyaraka za umiliki huo
6 kamati imebani kwa mujibu wa nyaraka kuwa kampuni ya acacia plc haikusajiliwa nchini
7kamati imebaini kuwa wamiliki wa makampuni ya madini nchini wametenda makosa mbalimbali ya jinai
8kamati imeridhia baadhi ya watumishi wa serikali makampuni ya usafirishaji na tmaa wameliingiza taifa hasara kwa makusud
9makampuni ya pangea na bulyahulu yamepatikana na hatia ya kuliingizia taifa hasara kwa kutokutoa taarifa sahihi juu ya uzito wa makinikia
9idadi na uzito wa makontena ya mchanga ulionekana kuwa mkubwa kwenye meli tofauti na kwenye nyaraka za bandarini
10baadhi ya makampuni ya wakala wa meli ziliwasilisha nyaraka za uongo za usafirishaji wa madini kati ya 1998 na 2017
11makontena 30 ya futi 20 yenye makinikia yalionekana kwenye nyaraka yamesafirishwa lakini ukweli yalisafirishwa 33
12kupitia hati ya usafirishaji wa makontena melini idadi kubwa ya makontena yalikuwa yakisafirishwa bila kuorodheshwa
13migodi ya bulyanhulu na pangea imekuwa ikipata faida lakini faida halisi haikuwa ikionyeshwa
14kamati imebaini makontena 44277 kwa kiwango cha chini yalisafirishwa nje ya nchi kati ya 1998 na 2017
15viwango vya dhahabu kwa kila kontena ni 28kg kwa miaka yote ni tani 1240 kwa kiwango cha chini thamani yake tsh 108tril
16jumla ya thamani ya madini yaliyosafirishwa nje ya nchi kati ya 1998 hadi 2017 ni trilioni 13256 kwa kiwango cha chini
17jumla ya thamani ya madini yaliyosafirishwa nje ya nchi kati ya 1998 hadi 2017 ni trilioni 2299 kwa kiwango cha juu
18jumla ya thamani ya madini yaliyosafirishwa nje ya nchi kati ya 1998 hadi 2017 kwa kiwango cha wastani ni trilioni 18858
19kodi ya mapato ambayo tanzania imepoteza tangu 1998 hadi machi 2017 ni trilioni 55 katika usafirishaji wa makinikia
20kodi ya zuio ambayo tanzania imepoteza tangu 1998 hadi machi 2017 ni bilioni 94 katika usafirishaji wa makinikia
21mh rais jumla ya kodi tulizopoteza ni sawa na makadirio ya bajeti ya serikali kwa kiwango cha mwaka 2017/18 kwa miaka 2
22taarifa ambazo zimekuwa sikiwasilishwa tmaa kuhusu uchenjuaji wa makinikia hazina ukweli wowote
23mh rais kamati imepata mikataba ya mauzo ya uuzwaji wa makinikia nje ya nchi kuwa serikali haihusiki kabisa
24mikataba hiyo mh rais haina masharti kuwa serikali inapaswa kupewa taarifa ya uuzwaji wa makinikia kutoka ktk migodi
25mh rais katika uchunguzi wetu serikali ina hisa asilimia 15 ikauza 5 na kila mwaka kamishna au waziri wa fedha hupokea dola laki 1
26pangea gold mine ina mikataba miwili ilisainiwa na mh daniel yona baadaye mh nazir karamagi serikali haina hisa yoyote
27mh rais mkataba wa north mara ulisainiwa na waziri daniel yona mwaka 1999 baadaye nazir karamagi mwaka 2017
28mh rais katika mkataba wa geita gold mine ulisainiwa na mh abdallah kigoda na serikali haina hisa hata moja
29kamati imebaini kuwa kumekuwa na uongezaji wa muda wa leseni na maeneo uchimbaji kinyume na sheria
30mh rais kamati imebaini kuwa mh william ngeleja na sospeter muhongo walitoa mikataba mipya bila kufuata sheria za nchi
31mh rais mkataba wa north mara ulisainiwa na waziri daniel yona mwaka 1999 baadaye nazir karamagi mwaka 2007
32mh rais mwanasheria mkuu wa serikali pamoja na makamishina wa madini mh andrew chenge na dalali kafumu walihusika ktk mikataba ya madini
33makampuni ya uchimbaji yakilipwa fedha haziwekwi kwenye mabenki ya ndani badala yake huwekwa kwenye mabenki ya nje
34uwekaji wa fedha kwenye mabenki ya nje badala ya mabenki ya ndani umechochea utoroshaji mkubwa wa fedha
35 makapuni mengi yamekuwa hayaajiri wazawa na mgodi mmoja ulitaka kuleta walinzi kutoka nje ya nchi
36hakuna mfumo uliowekwa na serikali wa kuhakikisha kunakuwa na ufuatiliaji wa ajira zinazotolewa katika migodi nchini
37sheria ya madini inatoa uhuru wa madaraka kwa waziri wa madini katika kuingia kwenye mikataba ya madini
38mh rais kamati inatoa mapendekezo kuwa mikataba yote ya madini ipelekwe bungeni kujadiliwa na kisha kupitishwa kwa maslahi ya taifa
39kamati imeona hakuna haja ya kupelekwa migogoro nje ya nchibadala yake migogoro isikilizwe hapa nchini
40kamati imeona kuwa kuna uwezo wa kujenga 'smelter' hapa nchini kwa kupitia vyanzo mbalimbali vya fedha kama mikopo
41licha ya kuwapo taasisi nyingi zenye dhamana ya kusimamia sekta ya madini tanzania imekuwa ikipata hasara kila mara
42tanzania imekuwa ikipata hasara bandarini kutokana na kutokuwa na wakala wa meli
1kamati inapendekeza serikali kupitia msajili wa makampuni iichukulie hatua kampuni ya acacia kwa kufanyakazi kinyume na sheria
2 serikali izuie usafirishaji wa makinikia nje ya nchi hadi hapo wadaiwa watakapolipa madeni yao
3serikali iwachukulie hatua waliokuwa mawaziri wanasheria wakuu wa serikali manaibu na watumishi wote waliohusika
4 serikali ijenge smelter hapa nchini ili kuokoa fedha zinazopotea kutokana na usafirishaji wa makinikia
5 serikali ichunguze mwenendo wa watumishi wa mabaraza ya kodi kwa kuchukua muda mrefu kutoa maamuzi ya mashauri ya kodi
6 sheria iongeze kiwango cha adhabu kilichoanishwa katika ukiukwaji wa sheria ya madini nchini
7 sheria iweke kiwango maalumu cha hisa ambacho zitamilikiwa na serikali na kuiwezesha serikali kununua hisa
8sheria itamke bayana kuwa madini ni mali ya watanzania na yamewekwe chini ya ofisi ya rais
9 mikataba ya madini isiwe ya siri ni lazima iridhiwe na bunge
10 sheria iondoe mamlaka aliyonayo waziri wa madini na kamishna wa madini katika sekta ya madini
11 serikali ifute au kubadili sheria ya kodi ya madini ili kuondoa vifungu ambavyo havina manufaa kwa mataifa
12 serikali itoe elimu kwa watumishi wake kuhusu sekta ya madini
==>rais magufuli anazungumza
1muda mwingine ni vigumu sana huwa uzungumze nini mara baada ya ripoti hii yenye kutia uchungu sana
2nisije kusahau nawapongeza kamati mmefanya kazi kubwa kwa ajili ya watanzania wapo waliotaka kukatisha maisha yenu
3nisije kusahau nawapongeza kamati mmefanya kazi kubwa kwa ajili ya watanzania wapo waliotaka kukatisha maisha yenu
4ndugu zangu watanzania mungu alitupenda katuweka katika nchi ya tanzania akatupatia maliasili nyingi
5nina uhakika huko alipo shetani anatucheka nina imani shetani huyohuyo anatumia viongozi kuifanya tanzania kuwa maskini
6wakati mwingine tunapewa mikopo kwa masharti ya ajabu ajabu huku mali tunazo sisi wenyewe jamani
7kampuni inafanya biashara ya trilioni of money lakini hata haijasajiliwa nchini mara ngapi tunawaumiza wamamchinga wasio na leseni
8mali ni yangu mimi nakulinda wewe unanitisha kuwa tutashitakiwa kwa kisingizio cha ajira tuko hapa kulinda maslahi ya watanzania
9hawa watu muda mwingine hawana hata huruma wamechukua madini na mchanga wote huo lakini hata kodi hawakulipa
10watanzania hapa mawaziri na wataalamu wote mioyo yao haiwaruhusu hata kwenda kukagua smelter nje ya nchi
11makampuni ya kujenga smelter ya dhahabu hayaruhusiwi lakini chuma cement na tiles mnaweza hili ni soko la ajabu
12tulikuwa tunashare ya 15 lakini mtu akaona apunguze hii aweke asilimia 5 baadaye akaenda kuiondoa yote hiyo
13yupo mpiga kelele mmoja ambaye anapiga kelele kila siku tulipomchunguza huko nyuma anapiga simu kwa mwanyika anaomba data
14sio kwamba mimi sina damu ila mungu alifawanyanyua mkaona mimi ndiyo ninafaa siwezi kuwasaliti hata kidogo
15mtu kama dkt kafumu alikwenda kufanya forgery yupo daktari mmoja pale muhimbili naye tulimshika hata hausiki alileta ukabila
16wahusika wote waliotajwa ndani ya ripoti hii mimi nimeyakubali mapendekezo haya yote ntayasapoti kwa asilimia 100
17waziri kabudi uwe na timu ya wanasheria waaminifu rekebisheni hizi sheria tuzipeleke bungeni zifanyiwe mabadiliko
18wakikiri na kuomba msamaha tutakubali kuwasajili lakini kwa sasa hakuna kuwasajili na hakuna mchanga kutoka nje
19wizara zote zinazohusika wawaite acacia wawadai fedha zetu zote na wakiri walituibia wakikubali tutaendelea
20tunahitaji wawekezaji lakini katika uwekezaji ambao utatunufaisha wote na si wawekezaji wezi
muhtasari wa ripoti ya kamati ya rais magufuli kama ilivyowasilishwa na mwenyekiti wake prof nehemia osoro
1kamati iliandaa mwongozo kazikukusanya mikatabasheria na sera za kodi
2kuchambua mfumo mzima wa biashara ya makinikia
3kutembelea na kupata taarifa kutoka migodinimamlaka ya bandaritraofisi ya takwimustamicosoko la hisa na mitajiwizara ya nishati na madini
4kufanya mahojiano na watu kutoka serikalini na watu binafsi
5kujifunza kutoka nje ya nchi
6kufanya uchambuzi yakinifu kuhusu biashara ya makinikia tangu mwaka 1998
7kufanya uchunguzi kama kuna uwezekano wa kujenga mtambo wankuchenjua makinikia
1acacia haijasajiliwa na inafanya biashara isiyo halali
2acacia haijawahi wasilisha ripoti yoyote ya kuonesha kuwa wao ni wamiliki wa migodi
3kamati imebaini acacia wanafanya biashara kinyume na sheria ya nchiacacia hawajulikani kisheria
4kamati imebaini pangea na bulyanhulu ndiyo wasafirishaji wa makinikia kutoka tanzania na hupelekwa chinajapan na ujerumani yakiwa kwenye makontena ya futi 20 yakiwa tayari yameshauzwamauzo hayo hufanya kwa mujibu wa sheria kupitia ofisi ya uhasibu iliyopo afrika kusini
5kamati imebaini kuwa kifungu cha 51 cha sheria ya madini kinamtaka mchimbaji apate kibali kutoka mamlakakamati imebaini hakuna utaratibu maalumkifungu hiki kinataka mwekezaji kutoa taarifa sahihi
kamati imebaini baadhi ya watumishi wa serikalimakampuni ya madini yametenda makosa ya jinai kwa kulisababishi taifa hasara
kamati pia imeridhika kuwa baadhi ya watumishi wa serikali na wawekezaji wamelitia aibu taifa kwa kutoa taarifa za uongo
kamati imebaini katika kufanya biashara ya makinikiamakampuni haya yamekuwa yanafanya undanganyifu wa biasharakutoa taarifa za uongo kuhusu idadi ya makontena na thamani yake
6makampuni ya makala ya meli yaliwasilisha taarifa za uongo kuhusu biashara ya makinikia
waliruhusu biashara hii ya magendo kwa kutoa taarifa za uongo kuhusu idadi ya makontena
7kamati imebaini mauzo ya makinikia hayakufanyika kwa ushindanimakinikia yaliuzwa kwa wafanyabiashara wale wale wenye mahusiano ya wawekezaji
kilichouzwa hakikuwa makinikia hasailikuwa ni madini hasa
8uchunguzi wa kisayansi kupitia mifumo ya kompyuta ilisababisha gharama za uendeshaji kuonekana kubwa wakati zilikuwa chini na kusabisha wawekezaji kutolipa kodi
9kamati imebaini kuwa bulyanhulu na pangea hawakuonesha faida wanayopata kwenye biashara
10kamati imebaini faida iliyooneshwa imekuwa ikirudishwa kwenye makampuni kama mikopo kwa kutumia riba
11kamati imebaini makinikia yaliyosafirishwa tangu mwaka 1998 kuwa makontena 4422761320 sawa na shilingi trilioni 108 za kitanzania kwa kiwango cha chini huku kiwango cha juu ikiwa ni trilioni 180
thamani ya silver toka mwaka 1998 ni shilingi bilioni 36666copper ni trilioni 286surphure ni trilioni bilioni 277393chuma ni shilingi bilioni 3682zinc bilioni 842nicol trilion 1322uradium trilioni 1719metal trilion 19
kifupi tangu mwaka 1998nchi imepoteza kiasi cha shilingi trilion 13256 kwa kiwango cha chini na trilioni 2009 kwa kiwango cha juu
upande wa makinikia serikalinimepoteza trilion 1492538
silver ni trilion 5copper trilion 39surpherbilioni 411
thamani ya madini yote kati ya mwaka 1998 hadi sasa ni shilingi trilion 1885938099
kiwango cha mapato kilichopoteani trilion 55(kodi ya mapatobilioni 94(withholding tax)mrahaba(trilion 11) gharama za meli trilion (16)
pesa zilizopotea zingeweza hudumia bajeti ya miaka mitatu ama kujenga reli ya standard kutoka dsm mpaka mwanza
kuhusu makinikia
1kamati imebaini serikali siyo sehemu ya mkataba wa biashara ya makinikia
2mikataba haina sehemu ya masharti ya kuwataka wawekezaji kutoa taarifa za uuzwaji wa makinikiaserikali imekuwa haipati taarifa halisi
kuhusu mikataba ya madini
1kamati imebaini serikali iliingia mkataba na mwekezaji wa mgodi wa kahamalakini hakuna sehemu inayoonesha serikali kupata pesa za kutoshaserikali ilifikia hatua ya kupunguza hisa zake kutoka 15 mpaka 5 na kujikuta ikipata dola laki moja tumabadiliko haya yalifanywa na dr kigoda
2mkataba kati ya pangea ulisainia na daniel yona na karamagi na serikami haijawahi pata chochote kutokana na kukosa hisa
3mkataba kati ya serikali ya north mara ukiosainiwa na daniel yonaserikali haina hisa hata mojamwaka 2007serikali ilijifutia hisa zote
4 mkataba kati ya ggm na serikali ulisainiwana daniel yonahapa napo serikali haina hisa hata moja
5kamati imebaini kuwa kumekuwa na uongezwaji wa mikataba inayofanywa na serikaliwaliohusika ni willium ngerejaprof muhongowanasheria wa serikali
6kamati imebaini kuwa sheria haizuii serikali kubadili sheria na sera
7kamati imebaini mikataba inaweza kurekebishwa kwa maslahi ya taifa/nchi
8kuhusu misamaha ya kodikamati imebaini misamaha inayosababisha hasara
9kamati imebaini kuwa makampuni haya yamekuwa hayaweki fedha kwenye mabenki ndani
10kamati imebaini makampuni haya kuajiri wazawa kwenye maeneo yenye wataalamkamati imebaini kuwa hakuna utaratibu madhubuti uliowekwa na serikali kuhakikisha kigezo hiki kinatekelezwa
11kamati imebaini kuwa makampuni yamekuwa yakichangia kiasi kidogo kwenye shughuli za maendeleo ya jamii
12kamati imeona kuwa waziri amekuwa na madaraka makubwakamati imebaini kuwa bunge lipewe nguvu na siyo waziri pekee
13kamati imependeleza sheria ya madini ifanyiwe mapitio
14kamati imebaini kuwa nchini inaweza kujenga mtambo wa kuchenjua makinikia hapa nchini
14kamati imebaini kuwa nchi haina taasisi zinazosimamia biashara ya madinitangu serikali iivunje nasaco makampuni ya usafirishaji yamekuwa yakifanya kazinya nasaco(yanajikagua yenyewe)
1hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya acacia
2serikali idai kodi na makampuni yote yaliyokwepa kodi
3usafirishaji wa makinikia usitishwe mpaka kodi ilipwe
4mtambo wa kuchenjua makinikia ujengwe
5waliohusika wote katika kuingia mikataba wachukuliwe hatua za kisheria
6utaratibu wa malipo ya mrahaba ufutwe
7serikali ifanye uchunguzi kuhusu mwenendo wa watumishi wa mabaraza ya kodi
8bot ifuatilie malipo ya mrahaba
9serikali ianzishe utaratibu wa ulinzi kwenye migodi
10adhabu za waliokiuka sheria ziongezwe
11mikataba yote ya madini ipitiwe upya
12sheria iweke kiwango maaluma cha hisa
13serikali iunde chombo cha kusimamia ustawishaji wa biashara
14sheria iseme madini ni malinya watanzania chini ya udhamini wa rais
15 mikataba yote iwe wazi
16madaraka ya waziri na kamishna yapunguzwe
17suala la ajira na mafunzo kwa wazawa izingatiwe
18fedha za mauzo ya madini ziwekwe kwenye mabenki
19serikali ifute ama izifanyie marekebisho kwenye sheria za kodi na madini
20serikali itoe mafunzo ya mara kwa mara kwa watumishi wake
21serikali iwe inafanya ukaguzi wa mara kwa mara
ripoti maalum mambo yote yaliyojiri uwasilishwaji wa kamati ya pili ya mchanga wa madini reviewed by habari24 tv on 73400 am rating 5
| 2018-07-20T10:25:36 |
http://habari24.blogspot.com/2017/06/ripoti-maalum-mambo-yote-yaliyojiri.html
|
ministre ya santé dr eteni longondo kinshasa 16 mai 2020 (facebook/ambassade des etatsunis)
ministre ya bokolongo bwa nzoto dr eteni longondo alobi ete moto moko te azali kosomba nzoto ya bawei mpo na kovimbisa motango mwa bakoni ba covid19 lokola ezali kolobama na kinshasa mpe bisika misusu
dr eteni alimboli yango nsima na basali ba bokolongo kobeta mpe kongama na commune ya kimbaseke na kinshasa na bavandi baye bafundi basali baye na koluka kosomba nzoto ya ndeko na bango akufaki
wuto mposo misato natindaki misala mya inspection ya bokolongono kino sikoyo tokangi ata moto te eloko moko te elakisi ete makambo mazali kolobama mazali ya solo bolukukiluki bozali kokoba elobi dr eteni na koyanola na motuna motali sango elobi ete basali ya bokolongono bazali kosomba nzoto ya bawei
mnistre ya santé akitaki na esika ya likama lya elongo basali baye babetamaki kasi na basali na libota moto moko te andimaki ete balobaki likambo lya kosomba nzoto ya mowei
mikolo mibale mileki libota lya elenge mobali moko yannick sambi ebengaki bato ya quartier babeta mpe bakanga basali baye ya bokolongono nsima basali baye kokoma na esika yango mpo na kopesa bango ba résultats ya test irnb eye elobi ete ndeko na bango akufaki na covid19
biso moko tozali kofutama nanu te ndenge nini tokondima kofuta 5000$ mpo na kosomba ebembe mpe kokosa mpo na covid19 elobaki na esika yango moko na basali ya bokolongono
libota lyango lisilikaki ntango liyoki ete mbulamatari nde ekozwa mokumba ya kokunda mowei yannick sambi mpo na bango yango elingaki koloba kosomba ebembe
libota liye mpe bato ya quartier babongalaki maloba ya basali baye koloba ete balingaki kopesa bango misolo mpo kosomba ebembe
président félix tshisekedi asengaki na likita ya mbulamatari ete bolukiluki bosalama mpo sango ezali kolobama ete basali bakolongono bazali kosmba bibembe
bato mingi bazali kotia ntembe mpo etali covid19 na rdc
motango ya baot bayebani kozwama na covid19 mokomi 1731 na rdc wuto le 10 mars kolanda cellule technique ya bitumba na covid19
etatsunis ebakisi 234 millions $ ya lisungi mpo na bitumba na ebola
usa epesi lisungi na lipotalo 5 na kinshasa mpe esengi tshisekedi kokoba bitumba na kaniaka
fecoca ekati championnat mazembe vclub maniema union na dcmp nde bakobeta compétions africaines
ba chinois na kinshasa mpo na kosunga na bitumba na covid19 ntango bakoni baki 1102
etatsunis epesaki 28 millions $ ya bisaleli na lopitalo motoba ya rdc
| 2020-05-26T09:14:18 |
https://www.voalingala.com/a/ministre-ya-sant%C3%A9-atelemeli-sango-elobi-baiike-bazali-kosomba-nzoto-ya-bawei-mpo-na-covid19/5428482.html
|
boss ngasa official website kauli ya mwisho ya samwel sitta baada ya daktari kumueleza kuwa asingeweza kupona
kufuatia kifo cha aliyekuwa spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa tanza nia (20052010) samuel sitta mwanae wa kiume ameweka wazi maneno
matatu ya mwisho aliyoyatamka yenye maana nzito katika maisha
alitangaza kustaafu siasa muda mfupi baada ya kukamilika kwa kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka jana ambapo yeye alikuwa mmoja kati ya waliokuwa
msitari wa mbele kumnadi mgombea urais wa chama cha mapinduzi dkt john magufuli aliyeshinda uchaguzi huo
benjamini alieleza kuwa marehemu atazikwa urambo mkoani tabora na kwamba
ratiba ya mazishi itatolewa na ofisi ya bunge ambayo ndiyo inayoratibu mazishi
| 2017-02-24T05:50:07 |
http://www.bossngasatz.com/2016/11/kauli-ya-mwisho-ya-samwel-sitta-baada.html
|
kweli maendeleo lakini hii ya dr karume ni mpya | jamiiforums
kweli maendeleo lakini hii ya dr karume ni mpya
karume ahutubia kupitia mkanda wa video
20080625 102648
rais wa zanzibar amani abeid karume jana aliwashangaza wanahabari baada ya kuwaita kwenye mkutano lakini hakuzungumza nao moja kwa moja na badala yake mkanda wa video uliokuwa umerekodi hotuba yake ndiyo uliofunguliwa ili waisikilize
katika mkutano huo uliofanyika ikulu wapiga picha za magazeti hawakuambulia chochote huku waandishi wakishindwa kuuliza maswali
waandishi walioshiriki mkutano huo walisema walifika kwenye viwanja vya ikulu na kusubiri kuingia ndani kwa ajili ya kukutana na rais karume lakini wakati huo wakiwa nje rais alikuwa anaongea na maelezo yake kurekodiwa
\kutokana na sababu zisizoepukika hamtamuona rais\ alisema msaidizi wa rais bw haroub said na kuwaacha wakiangalia video ya rais inayoelezea kile alichokuwa amewaitia
katika mkanda huo rais alizungumzia ma suala ya umeme zanzibar kuwa serikali iko mbioni kununua majenereta ya kuzalisha umeme wa dharura iwapo kutatokea hitilafu katika gridi ya taifa ya umeme wa bara
alisema serikali yake imeagiza vipuri kwa ajili ya kukarabati majenereta yaliyoko unguja ambavyo baadhi ya vipuri vyake vilipelekwa pemba kutengeneza mashine za kufua umeme zilizoharibika
rais karume alisema tatizo la umeme litatatuliwa kwa kuwa na ufumbuzi wa kudumu na kwa sasa marekani kupitia akaunti ya changamoto za milenia (mcc) inaisaidia zanzibar kutandaza waya mpya wa umeme wa chini ya bahari
akizungumzia kauli za watu waliosema serikali yake haitamaliza tatizo la umeme aliwaambia waliotoa vijembe hivyo sasa watimize yale waliyotamka
``kuna watu waliosema kama umeme huu utarudi ndani ya mwezi mmoja watanyoa ndevu zao tunataka sasa wanyoe kama hawana viwembe tutawapatia`` alisema katika hotuba yake iliyorekodiwa
he he heeee akutukanaye hakuchagulii tusi kunakutia akili hapo
nafikiri amejitahidi sasa angalau anaanza kufikiri kuwa na mitambo ya umeme wa dharura lakini mukumbushe asilete iptl au richmond zanzibar
lakini ya kuwawekea video ilikuwa kali
ndiyo jeuri ya ukubwa hiyo ya nini ukutane na waandishi wa habari wakati unaweza kurekodi mkanda na kuwawekea wasikilize nao wafanye jeuri ya kutoandika au kutangaza chochote kilichomo ndani ya mkanda huo
kwani alikuwepo hapo ikulu labda alikuwa nje ya nchi
nina wasi wasi alikuwa amekwisha uchapa ulabu au ame over doze sababu zisizoweza kuzuilika
hio ni dharau kubwa sana
ni kaazi kweli kweli
alikuwa mtoto wa kijiweni saana tena kwa mkojo wa firauni humwambii kitu sijui kama hawachafulii ccm maana kipindi chake kinayoyoma na kila kukicha anazidisha nyodo na kusema hovyo
hivi ni kweli mbeya inanyimwa maendeleo sababu ya chadema au kuna jambo limejificha jukwaa la siasa 37 jun 17 2020
wanaoshabikia maendeleo anayofanya rais magufuli na kudhihaki marais waliopita je wana akili timamu kweli jukwaa la siasa 28 oct 29 2019
tanzania tusahau kuhusu maendeleo ya kweli kama haya yataendelea jukwaa la siasa 1 sep 10 2019
kama magufuli asema kweli maendeleo hayana vyama basi ampandishe cheo askari wa polisi aliyemkatalia kiongozi wa ccm alipoamriwa kutoa salamu ya ccm jukwaa la siasa 14 aug 15 2019
j siku ccm itakapowaacha wabunge wake wawatumikie wananchi kwa uhuru ndio utakuwa mwanzi wa maendeleo ya kweli jukwaa la siasa 7 jun 3 2019
hivi ni kweli mbeya inanyimwa maendeleo sababu ya chadema au kuna jambo limejificha
wanaoshabikia maendeleo anayofanya rais magufuli na kudhihaki marais waliopita je wana akili timamu kweli
tanzania tusahau kuhusu maendeleo ya kweli kama haya yataendelea
kama magufuli asema kweli maendeleo hayana vyama basi ampandishe cheo askari wa polisi aliyemkatalia kiongozi wa ccm alipoamriwa kutoa salamu ya ccm
siku ccm itakapowaacha wabunge wake wawatumikie wananchi kwa uhuru ndio utakuwa mwanzi wa maendeleo ya kweli
| 2020-07-06T22:40:34 |
https://www.jamiiforums.com/threads/kweli-maendeleo-lakini-hii-ya-dr-karume-ni-mpya.14905/
|
nahitaji mtaalamu wa ujenzi | jamiiforums | the home of great thinkers
nahitaji mtaalamu wa ujenzi
discussion in 'matangazo madogo' started by uswe may 9 2012
nataka kufanya marekebisho flani kwenye nyumba tayari architect amekwishafanya michoro sasa ninatafuta mtu anayeweza kufanya kazi ya ujenzi site ipo salasala
mtu anayeweza au mwenye interest anipm ili kama vipi jumapili twende tukaangalie kazi na nipate makadirio yake
tukielewana kazi itaanza mapema
kuna fundi namfahamu ni fundi mzuri na ni mwaminifu alinisaidia kurekebisha ya kwangu yeye kusema kweli siyo msomi kama unatafuta mwenye degree basi huyu hakufai ila mimi namjua ni fundi makini na mwaminifu namba zake ni 0784822978
tukielewana kazi itaanza mapemaclick to expand
nitakucheck on that
unatafuta mtaalam wa ujenzi kwa maana ya contractor au fundi mwashi be specific
nami naungana na aliyetaja ana fundi asiye na degree nami ninaye ambaye alinijengea nyumba yangu na kurekebisha banda langu
ni mzuri lakini hana degree sifa yake kubwa ni uaminifu haibi kitu chochote
no yake ni 065 39 64 211 anaitwa kidevu
no yake ni 065 39 64 211 anaitwa kidevuclick to expand
asante mvumilivu wangu
mkuu hakuna fundi asiyepiga pangahata fundi akiwa muaminifu vipivibarua wake watakupiga cement tuucha muhimu uwe na msimamizi asiyechokamanake jua kali saa 8 msimamiz akienda kula ndio hapo unapigwa baokila la heri mkubwa
jaribu na huyu mwenye no 0712519797 yeye anaitwa thomasni fundi mzuri sana na ndio anayenijengea nyumba yangu na ni mtu muaminifu
kwa haraka haraka mafundi wote waliopendekezwa hapa ni waaminifusasa ni nani wanaoibia wajenzi ni vibarua au inawezekana kabisa watu hawaibiwi ila wasi wasi tu mi nadhani huwa hamuibiwi acheni woga mafundi wote ni waaminifu haswa hawa wasio na madegreeisraelisrael
kama unahitj vifaa vya ujenzi umipigie huyu jamaa
anayo vitu za ujenzi za kisasa na pia ana fiti
0655 768 786
pia anafanya wood flooring (leminated)m
kwa haraka haraka mafundi wote waliopendekezwa hapa ni waaminifusasa ni nani wanaoibia wajenzi ni vibarua au inawezekana kabisa watu hawaibiwi ila wasi wasi tu mi nadhani huwa hamuibiwi acheni woga mafundi wote ni waaminifu haswa hawa wasio na madegreeisraelisraelclick to expand
kwa mtazamo huo naona mafundi wenye degree ndio wezi basi
| 2017-01-16T11:23:43 |
https://www.jamiiforums.com/threads/nahitaji-mtaalamu-wa-ujenzi.264761/
|
roho mbaya jamiiforums
roho mbaya
ni kwanini baada ya kuachana na mtu wengi hutamani 'mtaliki wake' apate mkong'oto wa maisha ajute kwanini aliachana na yeye
kuna raha gani aliyekuwa kipenzi chako akiliona joto la jiwe kwa msongo wa mawazo mapenzi na 'kufulia' ki maisha
ukiona hivyo basi ujue huyo mwenye ki grudge bado hajamsahau (get over) huyo mwenzakekwa sababu kama umeshasonga mbele na maisha yako hutakaa utamani jambo baya limtokee huyo aliyekuwa mwenzako kwanza hutamfikiria kabisa
aha ha
halafu kuna wale ambao hufanya kila wawezalo kukupa message '(showing off)' eti wamekuwa wabora tangu waachane 'nawe'
ni hasira tu na uchungu
oh yeahhiyo ndio huniacha hoi kabisa wenyewe eti huiita upgrading
sio katika mahusiano tu
hata boss akimfukuza kazi mfanyakazi wake hapendi kuona anafanikiwa
its a kind of 'i was the best you could get'
wenye tabia kama hizi watakuwa ni wenye roho za kimaskini na roho mbaya pia kwanini umuombee mtu wako akutane na mabalaa ya maisha ili wewe ufurahike huwezi kujua labda mambo yamkinyookea siku moja anaweza hata kukupa msaada mkubwa tu wa namna moja au nyingine
watu huwa wanaundergo healing processes in stages its not pure sour grapes its the same with losing a loved one through death haina maana we loved or cared for them less but we heal in different ways inaanza na denial hate and contempt selfblame na baadaye you reach level of indifference then you can even say that you wish them the best
that is selfactualizationlkn it takes great character to reach that level haina maana ni roho mbaya we are just not all the same to face breakups loses failures and even successes we react in different ways
huo ni ushamba mtu mkiachana acha kila kitu mambo ya kupigana ni kizamani yamepitwa na wakati
inategemea kama alikutenda au ulikuwa unamweleza lkn hakuelewi mpaka mkaachana wakati mwingine unajisikia raha moyoni kwa yale aliyokutendakiubinadamu inatia huruma
mie xbf wangu kwa kweli huwa nafurahi akiwa na mafanikio na akipata tatizo huwa roho inaumia sema tu nafurahia akilalamika kuwa girlfriend wake mpya hayuko kama mimi
haya sasa
inategemea mmeachanaje kama mmeachana kwa ugomvi basi yule ambaye amelazimika kumwacha mwenzie huwa na hiyo kitu but kama mmekubaliana kuwa maisha hayaendi so bora kuseparate huwa mnabakia marafiki sana tu
mamii umesema ukweli kabisa hakuna mwanamke/ hata mwanaume nadhani ambaye angependa kusikia mpenzi wa aliyekuwa mpenzi wake ni bora kuliko alivyokuwa yeye mimi huwaga analalamika kwa rafiki zake kuwa alifanya makosa sana kunipoteza na anatamani kunirudisha kwenye himaya yake nikizipata salamu hizi huwa nasikia raha hahahahahaaaaaa
tena ukiangalia mwingine anafikiria mali ulizonunua anataka azichukuwe hivi kuna wanawake wanapenda kuwa na mali
bado hawajakua kiakili hao ndo maana whats the point of showing off kwa mwingine
mnapoanza mapenzi mnakualiana intokea mara chache sana wakati wa kuachana mkakubaliana kuachana kwa ajili hiyo alieachwa hakubali yanazuka yote hayo mabayaukimwacha mwenzio mwache kiistarabuhazusha ugomvi na usimwacheghafla
once again i'm beaten by your wisdom
lakini tukubaliane its not healthy kubakia kwenye grudges mimi nachukulia hiyo ni sign ya immaturity na kwa kiasi kikubwa hii hutokea kwa aliyesababisha hiyo break up ex gf wangu aliniletea ujumbe kuwa anajiandaa kunywa sumu nikamjibu kuwa awapo tayari anitaarifu nimpeleke kabisa sumu yenyewe ilhali yeye ndiye alinidump
mimi huwaga analalamika kwa rafiki zake kuwa alifanya makosa sana kunipoteza na anatamani kunirudisha kwenye himaya yake nikizipata salamu hizi huwa nasikia raha hahahahahaaaaaa
nadhani chukua wasaa wa kumwombea ikiwezekana waombe hao watuma salamu wamshauri usikae kufurahia matatizo ya binadamu mwenzio
kuna watu wengine huwa wanaachana wakiwa bado wanapendana sana lakini kwahiyo kiroho huwa kinauma wakikutana alafu kila mtu akawa mambo super wivu hapo ndio unapoanzia yaani mtu anaanza kujiuliza yaani huyu ndio kafikia hapa nk na baada ya kuagana ndio dua mbaya ama kuombeana mabaya kunapoanza ni vijiroho vibaya na vya chuki tulivyonavyo
| 2018-09-21T11:26:54 |
https://www.jamiiforums.com/threads/roho-mbaya.54959/
|
shirika la wotesawa latambulisha awamu ya pili ya mradi wa kuwalinda watoto wafanyakazi wa nyumbani kijukuu cha bibi k | habari na matukio
uncategories shirika la wotesawa latambulisha awamu ya pili ya mradi wa kuwalinda watoto wafanyakazi wa nyumbani
mkurugenzi wa shirika la kutetea haki za watoto wafanyakazi wa nyumbani wotesawa angel benedicto akitoa mrejesho wa awamu ya kwanza ya mradi wa kulinda na kutetea haki na maslahi ya watoto wafanyakazi wa nyumbani uliokuwa ukiendeshwa kwenye kata nne jijini mwanza kwa muda wa miezi sita awamu ya kwanza ya mradi huo ilitekelezwa vyema na hivyo kufungua milango ya mwendelezo wa mradi wa awamu ya pili utakaodumu kwa miaka miwili kwenye kata sita jijini mwanza
shirika la kutetea haki na maslahi ya watoto wafanyakazi wa nyumbani wotesawa lenye makazi yake jijini mwanza limetambulisha awamu ya pili ya mradi wa kuzuia ukatili kwa watoto hao na kulinda haki na maslahi yao
kabla ya kutambulishwa kwa mradi huo shirika hilo lilitoa mrejesho wa mradi wa aina hiyo awamu ya kwanza uliokuwa ukiendeshwa kwenye kata nne jijini mwanza uliodumu kwa kipindi cha miezi sita kuanzia mwezi oktoba mwaka jana hadi mwezi aprili mwaka huu
akiwasilisha mrejesho huo hii leo jijini mwanza mkurugenzi wa shirika la wotesawa angel benadicto amesema awamu ya kwanza ya mradi huo ilifanikiwa vyema na hivyo kuwezesha upatikanaji wa awamu ya pili ya mradi wa aina hiyo kutoka kwa wafadhiri ambao ni shirika la the foundation for civil society
wao wanasema ni muda mwafaka wa kutokomeza ukatili kwa watoto wafanyakazi wa nyumbani ambapo sasa tutakuwa kwenye kata sita jijini mwanzaamesema benedicto
aidha elimu ya aina hiyo imesambaa zaidi katika jamii kupitia vipindi 15 vilivyorushwa redioni vipindi saba vilivyorushwa kwenye luninga pamoja na machapicho mbalimbali ambapo wajiri na waajiriwa wao 25 walisaini mikataba ya ajira
mratibu wa shirika la kutetea haki za wafanyakazi wa nyumbani (wotesawa) elisha daudi amesema matarajio ya mradi huo ni kuhakikisha ukatili dhidi ya watoto wafanyakazi wa nyumbani unatokomezwa katika jamii na pia kutoa fursa kwa watoto kupata haki zao za msingi ikiwemo elimu
mmoja wa washiriki akitoa pongezi kwa shirika la wotesawa kwa kazi nzuri ya kutetea haki na maslahi ya watoto wafanyakazi wa nyumbani na pia kuuliza maswali na kuchangia mada kwenye semina hiyo baadhi ya washiriki wa semina hiyo iliyowahusiusha maafisa kazi ustawi wa jamii madiwani jeshi la polisi kitengo cha dawati la jinsia wenyeviti wa serikali za mitaa pamoja na waandishi wa habari baadhi wa washiriki wa semina ya utambulishi wa mradi wa kuwalinda na kuwatetea watoto wafanyakazi wa nyumbani iliyofanyika hii leo jijini mwanza chini ya shirika la wotesawa baadhi ya washiriki wa semina hiyo iliyowahusiusha maafisa kazi ustawi wa jamii madiwani jeshi la polisi kitengo cha dawati la jinsia wenyeviti wa serikali za mitaa pamoja na waandishi wa habari mratibu wa shirika la kutetea haki za wafanyakazi wa nyumbani (wotesawa) elisha daudi akifuatilia kwa umakini mrejesho kuhusu awamu ya kwanza ya mradi wa kuwalinda na kutetea haki na maslahi ya watoto wafanyakazi wa nyumbani jijini mwanza uliowasilishwa na mkurugenzi wa shirika hilo angel benedicto baadhi ya washiriki baadhi ya washiriki wa semina hiyo iliyofanyika leo jijini mwanza baadhi ya washiriki wa semina hiyo iliyowahusiusha maafisa kazi ustawi wa jamii madiwani jeshi la polisi kitengo cha dawati la jinsia wenyeviti wa serikali za mitaa pamoja na waandishi wa habari ambapo shirika la wotesawa limetoa mrejesho wa awamu ya kwanza ya mradi wa kulinda na kutetea haki na maslahi ya watoto wafanyakazi wa nyumbani uliokuwa ukiendeshwa kwenye kata nne jijini mwanza kwa kipindi cha miezi sita mradi huo ulitekelezwa vyema na hivyo kufungua milango ya awamu ya pili ya mradi wa aina hiyo utakaotekelezwa kwenye kata sita jijini mwanza kwa kipindi cha miaka miwili
| 2018-01-23T23:47:47 |
http://www.kijukuu.com/2017/08/shirika-la-wotesawa-latambulisha-awamu.html
|
naomba uanachama wa ccm | gazeti la mwanahalisi
naomba uanachama wa ccm
na nyaronyo kicheere imechapwa 18 july 2012
kwa wilson mukama
katibu mkuu wa chama cha mapinduzi
makao makuu rasmi ya chama
mtaa wa lumumba dar es salaam
ndugu katibu mkuu salaam sana ama baada ya salaam nakuarifu kwamba mimi mke wangu martina na wanangu hatujambo hofu na mashaka ni juu yako wewe na viongozi wenzako makao makuu rasmi ya chama hapo mtaa wa lumumba dar es salaam
ndugu katibu mkuu nimeamua kuleta barua hii moja kwa moja ofisi ndogo ya makao makuu ya ccm kwa sababu nafahamu na hata wewe unafahamu kwamba ndiyo makao makuu rasmi ya ccm na kwamba ile kutaja kwenye katiba ya ccm kwamba makao makuu ni dodoma ni geresha tu
kama unavyofahamu chama chetu bila posho hakiendi lazima kwanza zitafutwe mbinu za kulipana posho ili watu wawe na uhakika wa maisha na watoto wao waweze kubadilisha mboga hata serikalini posho ni mtindo unaoeleweka
ndugu katibu mkuu usishangae ninaposema posho serikalini ni mtindo mmoja kwa sababu watu wote wanajua na hata wewe unajua kwamba tunatamba kuwa dodoma ndio makao makuu ya nchi ili wafanyakazi mashushu na viongozi wa nchi hii waweze kupata posho dar es salaam au dodoma
watumishi wanachagua kama makazi yao rasmi yawe dar es salaam au idodomya (dodoma) bila makao makuu kuwa dodoma mambo yote yakafanyika dar es salaam watu hawatatuelewa kwani posho zitapatikanaje na sisi chama chetu sera yetu kuu ni posho
si unaona yule mbunge wetu mpenda posho aliyehamia chadema anavyohangaishana na wenzake huko jina simtaji lakini anajulikana na hata wewe unamfahamu mwenzetu yule akahamia chama cha njaa kali no posho naye anangaangania sera za ccm za posho ugenini taabu kwelikweli
najua unashangaa sana mie kusema ccm chama changu au chama chetu huna haja ya kushangaa na uwe na amani tu kwa taarifa yako na wenzako wote hapo makao makuu ya ccm chama tawala mie nimeamua kuritadi kuritadi ni kukana dini yako rasmi
ndugu katibu mkuu nimeamua kuritadi na kuhama kambi kutoka ushabiki wa upinzani na kuanza rasmi kushabikia chama cha mapinduzi na yote haya kwa siri moja na sababu kadhaa nitazitaja
kwanza kabla hatujaenda mbali nikumbumbushe kwamba wewe na mimi tunatoka kanda moja mkoa mmoja na hata kabila moja kwani wewe kabila gani ukiwa mwikizu mngoreme mtimbaru mnyabasi mkwaya mnata mwikoma msweta mnyamongo na hata mjita mkabwa au mruri kwa vile wote tunatoka mara basi wote ni wakurya tu tusiangushane
usitoe siri yangu kwa wanoko kama akina nape nnauye unapaswa kutukumbuka sisi tunaotoka kanda moja na mkoa mmoja si unaona wengine wanavyopendeleana kikanda siku hizi unaona siku hizi barabara ya mugumu †loliondo inazungumzwa sababu ni kwamba wahusika wengi hawatoki huko
sasa siri yenyewe ni hii nimegundua kwamba mtu ukiwa ccm unapata manufaa mengi ambayo watu wa vyama vya upinzani hawayapati sasa wewe ndugu yangu utapenda niendelee kukosa manufaa yoyote nchini mura weito naomba kadi ya ccm kabla ya mambo mengine yote
mtu unapokuwa ccm hata ukipatwa na zahama au makosa ya dhahiri unashughulikiwa na vyombo vya dola kwa nidhamu na utaratibu unaotakiwa kisheria na kikatiba unafuatwa na si lazima upate adhabu yoyote kwa mujibu wa sheria si umeona yaliyowapata watuhumiwa na washutumiwa wa kashafa ya rada
ndugu mukama si unafahamu kwamba watuhumiwa wa rada hawajawahi kuguswa na serikali kwa kujua kwamba ni wanaccm safi jamhuri haikuwahi hata kujaribu kuwachunguza hata wale waliojitokeza hadharani na kudai kuwa mabilioni yaliyopo kwenye akaunti zao za ughaibuni ni vijisenti tu hawakuguswa
hata wale watuhumiwa wa kashfa ya epa nao hawakuwahi kufanywa chochote badala yake waliitwa sielewi wapi wambea wanadai waliitwa sheraton kilimanjaro au holiday inn kuzungumizia namna ya kurudisha pesa walizokwapua au kwa lugha nyepesi walizokwiba
wewe uliona wapi mwizi anakaribishwa mbele ya viongozi wa nchi na kuhojiwa kwa ulaini kabisa kama utarejesha lini mali uliyopora hayo ndiyo manufaa ya ccm ninayotafuta
halafu mtu ukiwa mwanachama wa ccm tena msomi na mwandishi mzuri kama mimi si ajabu siku moja nikasikia redioni jina langu linatangazwa kuwa nimeteuliwa ujumbe wa tume ya katiba au tume ya madawa ya kulevya au tume ya madini au tume ya mali asili kwenye posho kibao kikao kimoja milioni moja safi
na mimi najiunga ccm nikijua kuwa mlenchoka mwenzangu upo hapo makao makuu tena una cheo kikubwa nitafaulu tu malengo yangu mbona waandishi wenzangu wanaojua kucheza vema tayari wamekuwa wakuu wa mikoa wilaya na hata mawaziri na marais sembuse mie au wewe huwajui
ndugu katibu mkuu ni bahati mbaya sana kuwa nilipotoshwa na akina wilbroad slaa philemon ndesamburo freeman mbowe na ha hata mabere marando tangu enzi za nccr wenzangu walioshituka mapema mbona wamewini akina akwilombe amaan kaborou na hata mbunge wa temeke abbas mtemvu
sasa wa poti bora kuchelewa kuliko kutofika kabisa mie nimechelewa lakini ni afadhali kuliko nikibakia huku kukavu hakuna kitu na wabunge wake hawataki posho na vilevile kuna hatari ya kubambwa kwenye maandamano sie tutakula maandamano naomba kadi ya ccm nitulie nisubiri cheo labda mheshimwa atanikumbuka
pia mambo yaliyofanyika pale msitu wa pande karibu mara mbili hivi katika utawala wa awamu ya nne yanatisha ndugu katibu mkuu nani atahimili kuendelea katika upinzani huku akijua siku atakapopatikana ataishia msitu wa pande ambako nasikia meno yanangolewa na kucha zinanyofolewa bila ganzi
ni afadhali niwe kama yule rafiki yangu mhaya kutoka bara ambaye alidaiwa kuwa na matongotongo lakini mwenye akili sana anaitwa dk lutta nelson sasa usiniuze kama ni daktari wa meno vidonda au dakitari wa kusomea alipogombea kwa tiketi ya chadema kwanza aliibiwa kura pili akanyanganywa tenda serikalini
alichokifanya dk luta ni kukiri makosa akarejea ccm na akapiga marufuku siasa katika maeneo yake ya biashara na kuanza kulipia michango ya mwenge afya mshikamano na kadhalika kilichofuata dk lutta alirejeshewa tenda yake ya kusaplai vifaa vya sayansi katika maabara za shule za sekondari na sasa katulia kimya anafaidi matunda ya ccm
kwa sababu hizo na nyingine ambazo sikuziandika hapa tafadhali ndugu yangu nifanyie mipango ya kadi ya ccm na unifanyie mipango ya kunikutanisha na watu muhimu chamani wanaoweza kunitoa kama vile mwenyekiti wa taifa (safari za nje) wanachama mashuhuri kama rostamu (mitaji ya biashara) na mawaziri nipate angalau wanangu kuajiriwa benki kuu au mashirika ya pensheni
nduguyo mwanamara mwenzako nyaronyo
tls wabunge mfukoni mwa barrick
makamba sitta rostam kikwete chenge cuf ccm richmond uchaguzi chadema mkapa dowans slaa pinda lowassa
| 2018-05-21T22:26:17 |
http://www.mwanahalisi.co.tz/naomba_uanachama_wa_ccm
|
viongozi wa kidini wameamua kujifunga kibwebwe kupambana na utumwa mamboleo duniani
20141202 152319
baba mtakatifu francisko ni kati ya viongozi wakuu wa dini kutoka sehemu mbali mbali za dunia ambao siku ya jumatatu tarehe 2 desemba 2014 wametia sahihi kwenye tamko la pamoja la kupambana na utumwa mamboleo unaojionesha kwa namna ya pekee katika biashara haramu ya binadamu kazi za suluba ukahaba biashara haramu za viungo vya binadamu pamoja na mambo yote ambayo yanashindwa kuheshimu na kuthamini utu wa mwanadamu hayana budi kutamkwa kwamba ni uhalifu dhidi ya ubinadamu
viongozi wa kidini wameamua kulivalia njuga tatizo hili kwa kuwasaidia watu kwa mawazo na matendo ili kwa kushirikiana na watu wote wenye mapenzi mema waweze kukomesha utumwa mamboleo kwani kila binadamu ameumbwa kwa sura na mfano wa mungu ana haki ya kupewa heshima na udugu kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia kuna uwezekano mkubwa wa kufuta kabisa utumwa mamboleo kutoka katika uso wa dunia na kwamba huu ni wajibu wa viongozi wa dini kimaadili
baba mtakatifu katika hotuba yake kwa viongozi wa kidini pamoja na umati mkubwa wa watu uliokuwa umekusanyika mjini roma kushuhudia tukio hili la kihistoria anasema kwamba utumwa mamboleo unaendelea kunyanyasa na kudhulumu utu na heshima ya binadamu changamoto kwa viongozi wa kidini kushirikiana katika mapambano dhidi ya utumwa mamboleo hawa ni watu wanaonyanyasika kimwili kiuchumi kingono na kisaikolojia
baba mtakatifu anakumbusha kwamba mungu ni upendo na chimbuko la uhuru kamili unaofungamanisha mahusiano ya kijamii kwa ajili ya mafao ya wengine katika hali ya usawa na udugu watu wote ni sawa mbele ya mwenyezi mungu na wanapaswa kutambulikana kutokana na utu wao viongozi wa kidini anasema baba mtakatifu wameamua kujifunga kibwebwe ili kupambana na mfumo mzima wa utumwa mamboleo unaowaathiri zaidi maskini kiasi cha kuuzwa kama bidhaa
wanyonge hawa ndio wanaopaswa kulindwa na kutetewa dhidi ya biashara haramu ya binadamu ngono na viungo matumizi haramu ya dawa za kulevya pamoja na kazi za suluba wanazofanyishwa watoto kiasi cha kuathiri malezi na makuzi yao utumwa huu unafanyika kila sehemu ya maisha ya mwanadamu na kwamba tatizo hili linazidi kukua na kuongezeka mwaka hadi mwaka changamoto kwa viongozi na watu wote wenye mapenzi mema kushikamana kwa dhati dhidi ya utumwa mamboleo kwa kufanya kwanza toba na wongofu wa ndani ili kila mtu aweze kuheshimiwa na kuthaminiwa utu wake
| 2019-08-20T09:31:04 |
http://www.archivioradiovaticana.va/storico/2014/12/02/viongozi_wa_kidini_wameamua_kujifunga_kibwebwe_kupambana_na_utumwa/kws-839037
|
drogba mwafrika mwenye magoli mengi zaidi ligi kuu ya uingereza lilommycom
home sports drogba mwafrika mwenye magoli mengi zaidi ligi kuu ya uingereza
drogba mwafrika mwenye magoli mengi zaidi ligi kuu ya uingereza
benedict anthony / 1003
wachezaji wa kiafrika waliowahi kucheza ligi kuu ya uingereza na kuacha historia kubwa ya ufungaji magoli wapo wengi ila didier drogba ndiye aliyeweza kufunga magoli mengi zaidi kwa wakati wote amefunga magoli 104 akiwa na chelsea fc
ni legend pale darajani ni mfalme pale ivory coast ni miongoni mwa wachezaji ambao afrika kwa ujumla tutaendelea kujivunia waliwahi kucheza ligi kuu ya uingereza drogba aliletwa uingereza na kocha jose mourinho mwaka 2004 akitokea klabu ya ufaransa marseille kwa dau la paundi 24 millioni tokea kipindi hiko amekuwa mchezaji tegemeo pale chelsea na aliwapa taji hilo mara 4 misimu ya 2004/05 2005/06 2009/10 201415
chelsea fc football ivory coast michezo sports
| 2018-04-20T05:04:48 |
http://www.lilommy.com/2017/09/drogba-mwafrika-mwenye-magoli-mengi.html
|
matukiomichuzi global peace foundation tanzania watoa elimu juu ya kudumisha amani katika familia jukwaa la vijana jijini dar
| 2016-10-25T12:10:57 |
http://michuzi-matukio.blogspot.com/2016/10/global-peace-foundation-tanzania-watoa.html
|
wakati arumeru wakitafuta mbunge kata saba nchini zilikuwa zinatafuta madiwani katika kata hizo chama cha mapinduzi (ccm) kimetangazwa kushinda katika kata tatu tu
chadema wameshinda katika kata tatu na chama cha wananchi (cuf) wameshinda katika kata moja
hata hivyo kwa aliyekuwa anafuatilia kampeni za chaguzi hizi kwa makini alikuwa anatarajia anguko la chama hiki kinachozeekea madarakani
katika siku 30 za kampeni ccm imeshindwa kunadi sera zake imeshindwa kueleza mipango yake ya sasa na ile ya baadaye imeshindwa kuonyesha kwa vitendo kuwa hiki ndicho chama kinachoongoza serikali
badala yake ccm ilitumia siku za kampeni kuporomosha matusi uwongo ghiliba vitisho na kufadhiri makundi ya wahuni kushambulia wafuasi wa upinzani
ni ccm iliyomtuma rais mstaafu benjamin mkapa kuvurumisha matusi na kumwaga ahadi ambazo alishindwa kutekeleza akiwa rais
ni mkapa huyuhuyu ambaye badala ya kueleza sera za chama chake na kile ambacho chama chake kimefanya katika miaka 50 ya utawala alianza kuvurumisha kejeli na matusi kwa viongozi wa upinzani na wafuasi wao
mkapa alikuwa amepata fursa nzuri ya kujibu tuhuma za ufisadi tuhuma za kuuza raslimali za taifa kama karanga na kwa bei ya bure na kuongeza umasikini na tuhuma za kuuza nyumba za serikali kwa bei ya sigara
atakuwa amejuta kwanza kwa chama chake kushindwa lakini pili kwa kutwishwa tuhuma nzito kuhusiana na kifo cha kipenzi cha wananchi mwalimu julius kambarage nyerere
vitendo vya mkapa katika kampeni vilifanya aonekane mtu wa shari na aliyekwenda arumeru kufanya ulaghai wananchi wamemwadhibu †yeye na mwenyekiti wake wa ccm aliyemtuma
chaguo la ccm lina walakini watapelekaje kwenye kampeni mkapa na steven wassira ni wasira aliyepatikana na hatia ya kushiriki vitendo vya rushwa hadi akafungiwa kugombea ubunge kwa miaka mitano jimbo la bunda
wasira badala ya kujitafakari na kutazama alikotoka aliamua kuporomosha matusi kama moshi mchafu wa treni kwa yeyote anayeunga mkono upinzani au kuushabikia
naye livingstone lusinde ambaye kama alivyo wassira tayari amemaliza vyama †akitoka huku na kwenda kule alijiingiza katika matusi
hata kile anachoita sera za ccm chama alichodandia juzijuzi tu hazifahamu akaishia kuwa kinara mkuu wa mporomosho wa matusi kwenye majukwaa
lakini funga mwaka ni pale edward lowassa naye alipojitokeza jukwaani kumnadi mgobea wa chama chake sioi sumari †mkwe wake
nani hajasikia jina la lowassa yule anayetuhumiwa kushiriki kutoa kwa upendeleo mkataba wa kufua umeme kwa kampuni ya richmond development company
ni yuleyule lowassa ambaye alilazimika kujiuzulu nafasi ya waziri mkuu kutokana na mkataba wa richmond
ni mkataba wa richmond uliozaa kampuni nyingine ya kufua umeme ya dowans kampuni iliyoingia kinyemela na inayoendelea kutesa wananchi kwa madai ya fidia na gharama kubwa za umeme
ni lowassa wa historia hiyo aliyejiuzulu lakini anatajwa kuwa alistaafu †na yeye hataki kusahihisha upogo huo kwa kuwa unamnufaisha kimaslahi †aliyesimama jukwaani kumnadi mgombea wa ccm
akihutubia mkutano katika eneo la patandi lowassa pamoja na lundo la tuhuma zinazomkabili alijifanya hamnazo na kusema mimi ni mtu wa vitendo sitaki porojo
hata kama ingetokea kwa bahati mbaya ikawa kweli kwamba yeye ni mtu wa vitendo aliyekuwa anaombewa kura arumeru hakuwa lowassa alikuwa sioi je alitaka kueleza kuwa mkwe wake akichaguliwa basi ataendesha jimbo hilo kwa maelekezo ya lowassa
akasema wananchi wa arumeru mashariki wakimchagua sioi watakuwa wamemaliza mjadala wa matizo ya ardhi maji na umeme kwa sababu ccm imetambua na kusikia matatizo yao katika uchaguzi huu mdogo
lowassa anajua kuwa tatizo la ardhi maji na umeme limekuwapo arumeru kabla ya tanganyika kupata uhuru anajua kuwa huu ni uchaguzi wa 20 tangu uhuru na uchaguzi wa tano tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini
lakini anasema ccm imetambua tatizo hili na kulisikia kutokana na uchaguzi huu na huyu amekuwa waziri wa maji kwa miaka mitano waziri wa ardhi kwa miaka mitatu na waziri mkuu hakuna alichofanya
kama alichukua maji arumeru na kuyapeleka monduli kwa nini hakusambaza kwanza maji hayo arumeru
kwa kauli zake lowassa alikuwa anawaomba wananchi wakazi wa arumeru wasikichague chama chake †ccm kwa kuwa kimeshindwa kutatua matatizo hayo kwa miaka 50 ya uhuru
lakini lowassa anapata wapi ujasiri wa kupanda jukwaani na kuwaomba wananchi wamchague mgombea wa ccm
leo hii tanesco wanahaha kutafuta fedha za kununulia mafuta ya majeneta ya umeme wa dharula kulipa wanasheria wa kupambana na makampuni ya swahiba wake mkuu rostam aziz
badala ya tanesco kutumia fedha inayopata kuboresha maisha ya wafanyakazi wake na miundombinu yake ya umeme inalazimika kuingia kwenye mikataba mingine ya kinyonyaji kwa kuwa mradi wa lowassa ulioitwa wa umeme wa dharula umekuwa mradi wa kudumu wa kulinyonya taifa
inawezekana lowassa amesahau haya chama chake kimesahau rais wake jakaya kikwete kasahau pia lakini wananchi wengi wakiwamo wa arumeru bado wanakumbuka
wanakumbuka jinsi lowassa alivyopindisha maamuzi halali ya bodi ya zabuni ya tanesco na kuamuru kuipa kazi kampuni ya richmond ambayo haikuwa na ofisi sifa fedha wala ujuzi wa kufanya kazi iliyoomba
hivyo basi ukiangalia kwa makini jinsi ccm ilivyoshindwa vibaya katika chaguzi hizi utaona kushindwa kwake pamoja na mengine mengi kama dharau kutotimiza ahadi mchoko kunatokana na watu ambao kiliwabeba ili wakakisemee
wengi waliotumwa hawakuwa wasafi wachache waliosalia ama hawapewi nafasi au wakipewa wanazitumia nafasi hizo kujijenga binafsi huku ni kuishiwa na kutafuta ujana uzeeni
ndiyo maana ccm sasa kwa kuwa imeishiwa sera imeamua kuendeshwa kwa kushabikia matusi ufisadi vitisho hujuma vurugu na umwagaji damu hoja za kukitetea zinajengwa kwa poropaganda chafu †uwongo hila wizi na uzushi
hii ni kwa sababu kukirejesha chama hiki katika misingi yake ya asili †rushwa adui wa haki ni mwiko kutoa au kupokea rushwa cheo ni dhamana na nitasema kweli daima †ni jambo ambalo haliwezekani tena
yote haya wananchi wanayaona wanayaelewa hasa pale wanapokuwa wamepata msaada wa kufafanuliwa jukwaani au katika mijadala mbalimbali arumeru ni mfano
kwa mwendo huu ccm ijiandae kuaga angalau kwa miaka mitano au kumi kukaa pembeni na kujifunza jinsi nchi inavyoweza kutawaliwa kidemokrasi
ccm chadema mkapa richmond makamba sitta dowans slaa lowassa uchaguzi chenge rostam pinda cuf kikwete
| 2019-04-20T13:06:35 |
http://mwanahalisi.co.tz/ccm_sasa_wamevuna_walichopanda
|
ray the greatest samsung
posted by raythegreatest2006 at 725 am
nc kaka yangu
ray umepungua sasa nunua nguo za kuendana na mwili ilo shati hapo na hata suti ulovaa rwanda zinaonekana kubwa
piga vitu matata vinavoendana na mwili mpya kupungua si kazi ndogo lazima ujidai
nguo ulizovaa ndizo ulizovaa kwenye mwaliko kule kigali huoni vibaya kauka nikivae au ndio haujui kuwa kwenye blog uliweka nini halafu huyo mboni kazeeka au macho yangu mbona havutii kwenye picha kawa chweeeee na miwani yake kama mpima vinyesi
ray mashati yamimeremeto yanini hubadiliki kwani wewe mkongo hivi unaangaliaga channel za kongo nini acha ushamba bwana mpaka tumeyapa majina bongo movie shirts hayo mashati zamani tuliyaita ray na kanumba duuh unakera na mkorogo uache waachie kina aunt mudy jb ananifurahisha sana sijawai kumuona kavaa haya masharti yake waka singo mtambalike hao ndio wajanja wa bongo movie
| 2017-09-20T18:11:28 |
http://raythegreatest.blogspot.com/2013/03/samsung.html
|
makala ya wiki iliyoichefua ikulu ikatishia kufunga gazeti | jamiiforums | the home of great thinkers
makala ya wiki iliyoichefua ikulu ikatishia kufunga gazeti
discussion in 'jukwaa la siasa' started by mpayukaji mar 15 2012
nilichojifunza kutoka mgomo wa madaktari
siandiki kujisifu bali kuchochea hasira na welewa wa ndugu zangu watanzania sitaki nieleze hali ya afya hapa canada ikoje kwa vile kila mtu anajua kuwa kuna mfumo mzuri kuliko hata jirani zetu kusini yaani marekani
ukimwambia mcanada kuwa afya si haki ya binadamu anaweza kukushauri ukapimwe akili hayo tuyaache
hebu jiulize rais anaandamana na watu 40 kwenye ziara ya kutanua huku akiacha umma unateketea anapata wapi hiyo pesa ya kufanya hivyo kama si kutojali
cha msingi cha kuzingatia ni kwamba ni hao hao wadharauliwa na wapuuziwa wanaokatwa pesa itokanayo na kazi na jasho lao kumlipia rais na wapendwa wake kwenda kutanua wakati punda hao hao wanaomwezesha wakipukutika kama wadudu yeye asihangaike hata kutumia akili ya kawaida achia mbali elimu
kitu kingine ni kwamba tanzania ina ombwe kubwa la uongozi kuliko ambavyo imewahi kutokea kiongozi wetu huyu ni ajali ya kihistoria kutokana na ukosefu wa upendo na heshima kwa wananchi amembebesha zigo waziri mkuu kiasi cha kuonekana mbaya wakati mbaya si yeye
nimesoma kwa makini makala hiinimetokwa na machozi kwa kuililia nchi yangu tanzania na watu wake wanavyoteseka na kuteketea kutokana na utawala usiowajali wananchi waliowaweka madarakani kulia haitasaidia kitu maana hawasikii vilio vyetutuamke watanzania tufanye maamuzi pale tutakapopata fursa na kuuondoa utawala usiojali wananchi wake mungu ibariki tanzania
hakika mkweere ni janga la taifa sijui dr slaa alijuaje alipotutahadharisha wakati wa uchaguzi
mod kama inawezekana wapige ban wote wanao itetea hii serikali ya magamba
kuendelea kuichagua ccm ni maafa dr slaa 2010
hii makala imetulia sananaamini jakaya anajua yote hayo ila ubishi ushost kny utendaji na ukaidi ndiyo vinafanya wananchi wazidi kuteka
haya maafa yalianza kwenye sekta ya elimu pale serikali ilipoamua kupuuza madai ya walimu na sasa inasambaa kwenye sekta ya afya na kwenye usalama wa raia kwa ujumla (angalia suala la milipuko ya mabomu mbagala na gongolamboto mauaji ya albino polisi kuua raia hovyo pasipo sababu yoyote na mengineyo mengi) mambo yote haya yameibuka kwenye kipindi cha utawala wa awamu ya nne ambapo kwa ujumla watanzania wamekosa pa kuegemea na pale linapotokea tatizo hakuna wa kuwatetea ama pa kukimbilia
absolutely one sided makala inafaa kwa upande ulee
[h=3]nilichojifunza kutoka mgomo wa madaktari[/h]
hawana shida jk na wateule wake hawana shida wanasambaza umasikini ikifika 2015 watanunua kura na kusonga mbele kwa hari zaidi sana na kasi zaidi sana na kusambaza umasikini sana
rais tulie nae ana ugonjwa wa kushindwa kufanya jambo zaidi ya moja kwa wakati mmoja nchi kama nchi huaga ina mambo mengi ya kutolea maamuzi yanayojitokeza kwa wakati mmoja hivyo hayatashughulikiwa mpaka ile ratiba ya rais iishe kwa kufanya maamuzi ya jambo moja kwa kila siku yake na ndio maana unaona makubwa yakijitokeza nchini na rais kutoyatolea ufumbuzi bali siku zote amekuwa akijitokeza baada ya madhara na wakati mwingine yashapitwa na wakati na kuanza kuwahutubia watanzania kuwaeleza kuwa mchawi ni fulani na wala mimi sihusiki mtoa makala amegusia kuwa tz tumepata janga la kihistoria kimsingi kwa kuzingatia kanuni za kimaumbile inatupasa kuvumilia tu hili janga litapita 2015 sii mbali sana lakini tukiwa na rais kama tulie nae sasa inaonekana kama ni miaka 30 tuombe mungu tu atupatie nguvu za kuvumilia maumivu na kwa kuwa tuliyataka wenyewe hili tatizo linatuhusu sisi na wala sii mungu uvumilivu ndio utakaotupeleka katika wakatimwingine tutakapopewa mfumo mpya wa utawala tanzania
mwandishi wa makala hii ni mtu mwenye uchungu na nchi yetu tena ajabu anaishi nje lakini ana uchungu
sisi tulio ndani na tunaoumia na mambo yote haya tupo kimya tena tunapiga makofi kushangilia hotuba feki za kuturaghai eti kwa sababu tunaweka itikadi za chama mbele ya masilahi na uhai wa mtu ni aibu kwa wazee wa liojiita wa dsm kushangilia wakati utumbo unatamkwa ni aibu na shamefull kwa wanaojiita wanaharakati wa kujitegemea eti kutaka kufungua kesi ya kuwashitaki madakitari waliogoma
wanashindwa kuelewa kuwa muuaji ni nani kama siyo serikali iliyokosa usikivu na kuwajali wananchi wake aliyosema mwandishi wa makala ni sahihi kabisa haiwezekani wewe nyumbani kwa ko kuna msiba eti unaenda kwenye harusi ya rafiki yako unaacha msiba wa mwanao ndani ptyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu kichefuchefu kabisa yaani
hatua zishaanza kuchukuliwa
mf madaktari waliosababisha vifo vya wagonjwa 300 watashtakiwa karibuni kwa kusababisha vifo vya wagonjwa
mkipunguni member
kikwete ni tatizo kuliko malaria ccm na wateule wake ni cancer ya nchi na watanzania inauma sana tena sana
inabidi kuanza na watendaji na viongozi wa serikali ambao waliruhusu kwa uzembe mgomo ufanyike kwani wangelipungukiwa nini mwilini mwao kama wangeongea na madakitari mapema kama walivyofanya mwishoni baada ya maafa (mfano maongezi ya pinda na madakitari ambayo yalizuia mgomo wa kwanza na maongezi ya jk na madakitari yaliyozima mgomo wa pili)
kwa nini mnakuwa kama kikosi cha zima moto kinachosubiri nyumba iwake moto kisha wanakutaja na magari yao kuzima too late
chukua tahadhariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii kuzuia majanga yanayozuilika acha kutafuta sababu za kisiasa
unamaanisha dr jkmponda na nkya{triplets}
nitalisema tena hili nimewahi kulisema kabla kikwete hajali yanayowatokea watanzania kwa kuwa ktk uchaguzi uliopita watanzania hawakumchagua alirudishwa madarakani na hao wateule wake kwenye taasis za usalama ndio maana kwake kikwete ni bora kuwajali na kuwalinda hao wasaidizi wake kuliko kuwajali watanzania ambao hawakumpigia kura anyway mbona hili liko wazi kabisa kimazingira
uzalendo ndo huu kutetea nchi pasipo uoga naungana na mchangiaji mmoja wa hapo juu atakayepinga hii mada apigwe ban
yes makala ni one sided but very true expression on the zimwi litujualo na linalotumaliza wewe avanti unaweza kuandika makala uonyeshe the other side big up mpayukaji
tumia fact kuutetea upande unao hisi unaonewa
nafili ulipaswa kusema mod tafadhali wapige ban wote wanaotoa maoni kinyume na sera za jf
| 2018-01-19T16:21:26 |
https://www.jamiiforums.com/threads/makala-ya-wiki-iliyoichefua-ikulu-ikatishia-kufunga-gazeti.233818/
|
20 | november | 2017 | blogu rasmi ya ofisi ya rais
mwenyekiti wa ccm taifa rais wa jamhuri ya muungano wa tanzania dkt john pombe magufuli aongoza kikao cha kamati kuu ya ccm jijini dar es salaam novemba 202017
makamu mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (ccm) zanzibar na rais wa zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi dkt ali mohamed shein akiwa kaongozana na katibu mkuu wa chama hicho ndugu abdulrahman kinana akiwasili kuongoza kikao cha kamati kuu ya ccm jijini dar es salaam novemba 20 2017
mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (ccm) rais dkt john pombe magufuli akiwa na katibu mkuu wa ccm ndugu abdulrahman kinana akiwasili kuongoza kikao cha kamati kuu ya ccm jijini dar es salaam novemba 20 2017
katibu mkuu wa chama cha mapinduzi (ccm) ndugu abdulrahman kinana akithibitisha kutimia kwa akidi kabla ya kuanza kwa kikao cha kamati kuu ya ccm jijini dar es salaam kinachoongozwa na mwenyekiti wa chama hicho rais dkt john pombe magufuli novemba 20 2017
mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (ccm) rais dkt john pombe magufuli akiweka sawa makabrasha kabla ya kuanza kwa kikao cha kamati kuu ya ccm jijini dar es salaam 20 2017
this entry was posted in top stories on november 20 2017 by ikulu ikulu
| 2019-02-16T18:26:13 |
http://blog.ikulu.go.tz/?m=20171120
|
may 2017 page 13 zanzibar daima
may 6 2017 zanzibar daima 0
hii ndiyo hotuba kamili ya mbunge joseph mbilinyi ambayo ilizua tafrani kwenye bunge hapo jana kiasi cha mwenyekiti wa bunge hilo mbunge mussa zungu kulazimisha kuwa kurasa 17 za hotuba hiyo zifutwe zisisomwe na zisiwe endelea
may 2 2017 zanzibar daima 0
bibi suad al lamki ambaye kwa sasa anaishi oman alikuwa jaji wa pili tu mwanamke kwenye mahakama ya tanzania baada ya uhuru mazungumzo yangu naye ambayo yapo hapo kwenye vidio hii yanaibua mengi ambayo yumkini endelea
| 2019-09-22T18:13:05 |
https://zanzibardaima.net/2017/05/page/13/
|
kazi yetu demokrasia katika mazoezi
kazi yetu miradi ya sasa
kwa sasa tuko katika mwaka wa nne wa miradi shule kuna sisi ni reinventing serikali ya wanafunzi kuchanganya dhamira yetu ya majaribio ya kidemokrasia kwa lengo ziada kwa kutoa watoto wasichana na fursa vijana elimu kulingana na demokrasia na ubunifu chini miradi hii na kufanya na kupitisha zaidi ya umoja na mwakilishi mbinu ya kuchukua nafasi ya uchaguzi wa serikali ya wanafunzi kwa kupiga kura na uchaguzi kwa kura na mzunguko hii ni tofauti na serikali mwanafunzi (wao pia ni kuitwa vituo vya mwanafunzi) kawaida katika ambayo kama serikali ya watu wazima baadhi ya aina ya wanafunzi (kawaida maarufu kijamii na kabambe) pande fomu wao kufanya kampeni short na baada ya kupiga kura wengi wa wanafunzi ni kutengwa na kushiriki zaidi katika siasa za wanafunzi
ingawa mdogo zaidi kuliko wenzao wazima kwa wananchi wengi mwanafunzi serikali ni kukutana kwanza na demokrasia na ni sehemu ya hatua ya ukuaji katika maisha yao aina ya kipekee ya serikali ya wanafunzi kuruhusu tu wanafunzi wachache waliohusika na kijamii uzoefu wa maendeleo na uongozi kwamba unaambatana ushiriki huu kazi fomu hizo pia normalizes kukatwa kati ya watu wa kawaida na siasa zinaonekana na kila mtu nje ya shule kupitia majaribio kwa mazoea kama vile uteuzi kwa kura na mzunguko kubwa na mwakilishi zaidi sehemu ya wanafunzi wanaohusika moja kwa moja na sisi kuwahamasisha kufikiri kwa kina na kwa ubunifu kuhusu njia bora ya kupata kushiriki katika jumuiya zao katika maamuzi yanayowahusu aidha sisi kuwapa uwezo wa kushughulikia masuala wao kutambua mwanafunzi serikali ambaye sisi kazi kuwa imara maktaba kadi mwanafunzi id wamefanya kwa gharama za usafiri kupunguza wao kuwa na alikutana na meya na wamepanga shamba safari kwa ajili ya shule yako yote
majaribio ya kidemokrasia mwanafunzi
shule za kutoa mazingira mazuri kwa ajili ya majaribio sifa ya kipekee ya serikali mwanafunzi kawaida yao ndogo ujumla ukosefu wa maslahi binafsi mazingira na hatari kidogo kuruhusu mawazo mengi ubunifu na uvumbuzi unaweza kabisa reinvent serikali ya wanafunzi na hivyo kuona uwezekano na matatizo ya uwezo wa mazoea kuchanganya kama vile uteuzi kwa kura katika serikali ya kila siku hali kwa kweli mwendelezo wa serikali ya wanafunzi hufanya miradi hii ni ya kipekee katika majaribio na uteuzi kwa kura ambapo mipango kama vile wananchi juries ni kawaida ya muda mfupi wametengwa na kulenga mada moja preselected
hata sasa miradi hii wamekuwa kutekelezwa katika vitengo vinne elimu katika idara ya cochabamba bolivia kujua zaidi kuhusu kila mradi chini na kutembelea sehemu yetu maswali yanayoulizwa mara kwa mara kusoma kwa sababu sisi ni kufanya kazi katika bolivia na kuona mipango yetu ya baadaye
uzoefu nzuri zaidi ni urafiki heshima kufanya kazi kwa watu kuwa na subira uzoefu kwamba kila mtu anatakiwa kujisikia ni kupigana kwa ajili ya nini hawawezi pamoja na uzoefu huu ni anayajua maisha ni
hamu mwanafunzi serikali mwanachama quintanilla
mfumo huu wa uchaguzi kwa kura wengi wetu walionekana isiyo ya kawaida walimu wakati mwingine bahati ina mtoto ambaye ni aibu si tayari ni tu kile kilichotokea hapa mwanafunzi ambaye hakuna mawazo itakuwa mwakilishi umefika lakini katika wakati huo yeye kutekelezwa sisi kweli kushangazwa kwetu yeye imeanza kuzungumza kuzungumza kupoteza aibu amekuwa kweli kuboreshwa katika mitazamo yote
profesa epifanio valley high school
nimekuwa mafunzo kwa kweli kwamba kuamka uongozi ambao wasiwasi watu ambao hawajawahi walidhani na nadhani kwamba ni mazuri sana
alex argandoña mkurugenzi wa zamani wa chuo katika quintanilla
chuo r v katika cochabamba
usiku katika shule quintanilla
shule ya msingi katika upper valley
high school katika pocona
| 2017-07-24T16:36:11 |
https://democraciaenpractica.org/sw/trabajo/
|
mbunge wa jimbo la tanga aendelea kutatua kero za wananchi jimboni kwakeakabidhi baiskeli kwa mlemavu ~ kvis blog ' if(imglength>=1) { imgtag = '
| 2017-10-24T03:55:18 |
http://khalfansaid.blogspot.com/2017/03/mbunge-wa-jimbo-la-tanga-aendelea.html
|
life is a journey maonyesho ya kilimo nane nane nyanda za juu kusini yafana mbeya
to advertise on this blog please call +255 (0)656 56 13 14 or email maishablog@yahoocom to advertise on this blog please call +255 (0)656 56 13 14 or email maishablog@yahoocom tuesday 9 august 2011
waziri wizara yamaendeleo ya mifungo dk mathayo david mathayo akifunga maonyesho ya kilimo nyanda za juu kusini jijini mbeya kwenye kiwanja john mwakangale waziri david mathayo akipokea maandamano wa kwanza kushoto ni mkuu wa mkoa wa mbeya maandamano yakiwa yanaingia viwanja vya nane nane waziri akipata maelezo toka kwa mkuu wa wilaya mbeya evance balama alipotembelea bada la halmashauri ya wilaya ya mbeya umati mkubwa wa wananchi waliohudhuria maonyesho ya kilimo nane nane nyanda za juu kusini mbeya
baadhi ya watumishi wa wakishurahia na kupokea vyeti vyao vya ushindi katika mabanda bora katika maonesho hayo ya nane nane baadhi ya wateja wakipata maelezo katika banda la vodacom mzee kyando wa kikundi cha huzuni cha baba wa taifa alikuwepo
kama kawaida wachina hawakukosa eneo hili kuchemkia biashara ya mauapicha na mbeya yetu
| 2017-02-27T02:38:59 |
http://mkandawilejr.blogspot.com/2011/08/maonyesho-ya-kilimo-nane-nane-nyanda-za_09.html
|
ukumbi wa mikutano wa umoja wa afrika wakati wa mkutano wa maadhimisho ya miaka 50 ya umoja huo leo jijini addis ababa
| 2013-05-26T01:19:05 |
http://zamaradimketema.blogspot.com/2011/07/hatuna-cha-kuficha-sababu-mapenzi-yetu.html?showComment=1310898218837
|
kinyaiya's entertainment breaking newzz abuu semhando hatunae tena
breaking newzz abuu semhando hatunae tena
mkongwe wa muziki nchini ambaye pia ni katibu wa bendi ya twanga pepeta abuu semhando el maarufu kama baba diana pichani kulia amefariki dunia sasaivi maeneo ya mbezi kwenye ajali ya pikipiki aliyokuwa akiiendesha wakati anatoka kazini kwenye onyesho la bendi hiyo aliyokuwa ikitumbuiza maeneo ya mbezi usiku huu amefariki sasaivi kwa kugongwa na gari aina ya marcedec benz lenye namba za usajili t855blg ambayo baada ya kumgonga na kumjeruhi vibaya kichwani na kumponda dereva wake alikimbia na kuiacha benz iyo barabarani na maiti bado ipo baabarani mpaka sasa ikizungukwa na wanamuziki woote wa twanga pepeta wakisubiri hatua za kuchukuliwa kupelekwa hospital ya lugalo ni jana tu nilikuwa napiga nae story kwenye viwanja vya biafra wakati tukiaga mwili wa dokta remmy ongalla na mada yetu ya mwisho tuliokuwa tukiiongea ni jinsi ule wimbo wa remmy uitwao kifo ambako kuna kipande remmy aliimba kwamba 'kwanini kifo hutoi taarifa maana tungeacha urithi alafu tukufate popote ulipo na wala hatutakulaumu tena kifo weee' kwenye picha hii semhando anaonekana akiwa na asha baraka na kiongozi mwa twanga luiza mbutu mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi amein
mwaka unaisha vibaya huu kwenye kuwakumbuka marehemu leaders alikufa mtu baada ya shughuli kwisha tena kwa ajali haya dk remmy kazikwa kesho yake baba diana kamfuata kwa ajali ile ile mungu awaweke mahali pema peponi kwa kweli ya kwetu hatuyajui ila tujiweke tayari kwa maombi
| 2017-09-23T20:02:57 |
http://kinyaiyas.blogspot.com/2010/12/breaking-newzz-abuu-semhando-hatunae.html
|
news bomoabomoa kuisafisha dar tim heaven
| news bomoabomoa kuisafisha dar
news bomoabomoa kuisafisha dar
chief hope | 71300 pm | news
wizara ya ardhi nyumba na maendeleo ya makazi leo inaanza kubomoa nyumba zilizojengwa bila kufuata utaratibu kwenye maeneo ya wazi na hifadhi za barabara katika manispaa ya kinondoni kuanzia kesho
hatua hiyo pia itakuwa ni utekelezaji wa kilio cha muda mrefu cha rais john magufuli tangu akiwa waziri wa ujenzi cha kutaka watu wafuate sheria katika ujenzi
dk magufuli kwa muda mrefu amekuwa akisema kama mtu amejenga kwenye hifadhi ya barabara au mahali pengine panapokiuka sheria dawa yake ni moja tu kubomolewa na kudaiwa gharama za utekelezaji wa sheria hiyo
katika uongozi wake kwenye wizara hiyo bomoabomoa ilifanyika katika maeneo mengi nchini ili kupisha hifadhi ya barabara na kuwezesha ujenzi wa mtandao wa barabara nyingi zinazoonekana sasa
kamishna wa ardhi wa wizara hiyo dk moses kusirika alisema nyumba zilizojengwa katika maeneo yaliyotengwa mijini kwa matumizi ya umma zitabomolewa ili kuhakikisha maeneo hayo yanatumika kwa shughuli zilizokusudiwa dk kusiruka alisema maeneo yanayokusudiwa ni pamoja na yale ya wazi na njia za miundombinu na huduma za umma ambazo mara kwa mara huvamiwa na waendelezaji binafsi na kukosesha umma manufaa yaliyokusudiwa
alisema ubomoaji huo utahusisha nyumba zote zilizojengwa bila kibali cha ujenzi bila kufuata michoro ya mipango miji wala kufuata matumizi ya ardhi hasa kwa maeneo ya wazi kwa mujibu wa dk kusiruka maeneo ambayo yatahusika na operesheni hiyo ni mbezi tegeta bunju mwenge na kinondoni biafra
kazi ya ubomoaji inatarajiwa kufanyika kwa siku tatu kuanzia kesho (leo) na itaendeshwa na manispaa ya kinondoni kwa kushirikiana na wizara ya ardhi ambayo itasimamia kuhakikisha sera za ardhi na taratibu za uendelezaji zinafuatwa alisema dk kusiruka
kamishna huyo alisema shughuli hiyo itaendelea kwenye manispaa za ilala na temeke na baadaye nchi nzima alisema mpango huo ni utekelezaji wa tamko namba 66 la sera ya taifa ya ardhi ya mwaka 1995 linalosema kuwa serikali itahakikisha kwamba maeneo yote mijini yaliyotengwa kwa shughuli za umma yanatumika kwa shughuli zilizokusudiwa na yalindwa ili yasivamiwe
kamishna huyo pia alinukuu tamko namba 821 la sera ya taifa ya ardhi ya mwaka 1995 linalosema serikali za mitaa zitawajibika kushirikiana na wizara ya ardhi kuhakikisha usimamizi mzuri wa ardhi katika maeneo yao mhandisi wa manispaa ya kinondoni baraka mkuya aliwataka wananchi wajenge kwa ajili ya maendeleo kwa kufuata sheria za ardhi zinavyoonyesha mkuya aliwashauri waende kwenye halmashauri ya manispaa hiyo kwa ajili ya kupewa vibali vya ujenzi na siyo kujichukulia mamlaka ya kujenga kiholela bila mpangilio
kila mwezi tunatoa vibali vya ujenzi hivyo tunawakaribisha wananchi wote kwenye ofisi zetu wapewe vibali waachane na ujenzi holela alisema mkuya alisema manispaa hiyo ilishatoa taarifa kwa watu waliovamia maeneo ya umma na kujenga nyumba zao ikiwataka wahame mara moja kabla ya ubomoaji huo
juzi halmashauri ya temeke ilibomoa nyumba 45 kati ya 161 baada ya kutoa tangazo la kuwataka wananchi kuhama ili kupisha shughuli za maendeleo kurasini kweupe siku ya pili ya utekelezaji wa bomobomoa ya nyumba kupisha uwekezaji eneo la kurasini wilayani temeke limebaki jeupe huku nyumba chache zenye kesi mahakamani zikinusurika
mwenyekiti wa mtaa kurasini rajabu nkumilwa alisema serikali inatakiwa kuunda timu kuchunguza kama kuna ufisadi manispaa ya temeke katika kuliwapa wananchi fidia ya uhamisho wa makazi watu zaidi 108 walipeleka malalamiko juu ya malipo yaliyotolewa tathmini ilifanyika kwa watu 78 kati yao 34 hadi jana hawakuwa wanajua hatima yao huku fedha zikiwa zimelipwa tofauti na tathmini ya mali zao alisema
mwenyekiti huyo alidai kuwa kuna madai uchakachuaji kupitia vitabu vya malipo ya wananchi vilivyosainiwa na watu wawili tofauti nkumilwa alisema kuwa baadhi ya wakazi wa eneo hilo hawana pa kuishi huku wengine wakishindwa kuhama kutokana na kutolipwa baadhi ya fedha zilizotolewa na mwekezaji kwa ajili ya usafirishaji mali
| 2016-10-28T23:36:40 |
http://www.timheaven.com/2015/11/bomoabomoa.html
|
wananchi kijiji cha mkongogulioni wanufaika na ujenzi wa mradi wa maji wa ruwasa mtaa kwa mtaa blog
home habari wananchi kijiji cha mkongogulioni wanufaika na ujenzi wa mradi wa maji wa ruwasa
wananchi kijiji cha mkongogulioni wanufaika na ujenzi wa mradi wa maji wa ruwasa
mkuu wa mkoa wa ruvuma christina mndeme kushotoakimtiwisha ndoo ya maji mkazi wa kijiji cha mkongo idna ngonyani mara baada ya mkuu wa mkoa kufungua moja kati ya vituo vya kuchotea maji katika kijiji hicho ikiwa ni utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maji inayojengwa na wakala wa maji vijijini ruwasa wilayani namtumbo
mkuu wa mkoa wa ruvuma christina mndeme kulia akicheza kwa furaha na baadhi ya wanawake wa kijiji cha mkongo wilayani namtumbo mara baada ya kufungua kituo cha kuchotea maji kijijini hapo kilichojengwa na wakala wa maji vijijini ruwasa wilaya ya namtumbomkuu wa mkoa yupo katika ziara ya kukagua nakutembelea miradi mbalimbali ya maji katika wilaya zote tano za mkoa huo picha na mpiga picha wetu
na mwandishi weturuvuma
wananchi wa kijiji cha mkongogulioni wilaya ya namtumbo mkoani ruvuma wameanza kunufaika na matunda ya serikali yao ya awamu ya tano baada ya wakala wa maji vijijini ruwasa kukamilisha ujenzi wa mradi mkubwa wa maji
wakizungumza mbele ya mkuu wa mkoa wa ruvuma christina mndeme baadhi ya wananchi hao walisema kijiji chao hakijawahi kupata maji ya bomba kwa muda mrefulakini serikali ya awamu ya tano imefanikiwa kupeleka maji ya bomba baada ya miaka 59
hidna ngonyani(43) hassan makalani walisemakukamilika kwa mradi wa maji ni faraja kubwa hususani wanawake ambao walikuwa wanaangaika na kutembea umbali mrefu kwenda kutafuta maji kwenye mito na madimbwi ambayo maji yake sio safi na salama
hidna nyongani ameishukuru serikali kwa kukamlisha mradi huo ambao hawakufikiria kama utakamilika haraka kutokana na mkandarasi wake kipera contractors co ltd kusua sua huku wakazi hao wakiendelea kukabiliwa na kero kubwa ya maji safi na salama kwa ajili ya matumizi ya kila siku
aidha alisemakupatikana kwa huduma ya maji katika kijiji chao inakwenda kuimarisha ndoa ambazo ziliyumba kutokana na waume zao kukosa imani pale wanawake wanapochelewa kurudi nyumbani kutoka kutafuta maji kwa ajili ya matumizi ya familia
tunamshukuru sana serikali yetu ya awamu ya tano inayoongozwa na rais wetu john magufuri kwa kutujali sisi wananchi waketunakuomba mkuu wa mkoa tufikishie shukurani zetu za upendo kwaketunahaidi kutumia maji haya kuharakisha maendeleo katika kijiji chetualisema ngonyani
kwa upande wake mkuu wa mkoa wa ruvuma christina mndeme ameipongeza ruwasa wilaya na mkoa kwa kusimamia vizuri mradi huo na kuwataka wananchi wa mkongogulioni kutunza miundombinu yake na kutumia maji hayo kujiletea maendeleo
mndeme alisema mradi wa maji mkongogulioni ni kati ya miradi mikubwa inayotekelezwa na serikali ya awamu ya tanokwa hiyo wananchi wa kijiji hicho hawana budi kumshukuru rais dkt john magufuri kwa upendo wake mkubwa na kukubali kutoa fedha ambazo zimekamilisha mradi huo
alisema serikali itaendelea kuboresha huduma mbalimbali za kijamii ikiwemo barabaraelimuafya na maji ili kurahisisha upatikanaji wa huduma hizo na wananchi wapate muda mwingi wa kufanya shughuli zao za kujiletea maendeleo na kujikwamua na umaskini
kwa mujibu wa mndemeserikali imeipatia wilaya ya namtumbo kiasi cha shilingi bilioni 13 ambazo zinakwenda kukarabatikujenga na kuimarisha huduma ya maji kwa wananchi wa wilaya hiyo
mndeme amempa mwezi mmoja meneja wa ruwasa wilaya ya namtumbo kuhakikisha vituo vyote 30 vya kuchotea maji viwe vinatoa huduma hiyo badala ya vituo 17 vya sasa ili kutosheleza mahitaji ya maji katika kijiji hicho ambacho kina idadi kubwa ya watu
naye meneja wa ruwasa wilaya ya namtumbo david mkondya alisemamradi wa maji katika kijiji cha mkongogulioni nahimba unatekelezwa chini ya usimamizi wa program ya maendeleo ya sekta ya maji ya maji(wsdp)kupitia program ndogo ya maji na usafi wa mazingira vijijini(rwssp)
alisema mradi huo ulisainiwa kwa mara ya kwanza mwaka 2013 na utekelezaji wake ulianza mwaka 2017 na ulitarajiwa kukamilika mwezi februari 2020 chini ya mkandarasi kipera contractors& general supplies co ltd ya songea
alimweleza mkuu wa mkoa kuwa mradi wa maji mkongogulioni nahimba unakusudiwa kuhudumia wananchi wapatao 8007 katika vijiji vya mkongogulioni na nahimba kwa gharama ya shilingi bilioni 2069975521 ambapo hadi sasa fedha zilizotumika kutekeleza mradi huo ni shilingi bilioni 138796527040
mkondya alisemamradi huo unatekelezwa kwa awamu moja ambapo kazi zilizopangwa kufanyika ni ujenzi wa tanki la lita 25000 katika kijiji cha nahimba na ukarabati wa matenki mawili yenye ujazo wa lita 150000 kijiji cha mkongo na lita 25kijiji cha nahimba
alitaja kazi nyingine zilizotarajiwa kufanyika ni pamoja na kujenga chanzo kimoja cha kukusanya maji(intake)ununuzi wa mabomba ya laini kuu na laini ya usambazaji majikuchimba mtaro na kulaza mabomba km 15 na laini ya usambazaji maji km1784 ujenzi wa vituo 46 vya kuchotea maji
kwa mujibu wakehadi sasa kazi zilizofanyika ni uchimbaji wa mtaro na ulazaji wa bomba za kusambaza maji kijiji cha nahimbaujenzi wa matenki ya kuhifadhia majiujenzi wa chanzoulazaji wa bomba kuu na vituo 46 vya kuchotea maji
| 2020-08-09T08:20:16 |
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2020/07/wananchi-kijiji-cha-mkongogulioni.html
|
waziri angela kairuki amesema serikali inaendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji kwa wawekezaji na wafanyabishara wa ndani na nje ya nchi channel ten
waziri angela kairuki amesema serikali inaendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji kwa wawekezaji na wafanyabishara wa ndani na nje ya nchi
posted on february 12 2019 february 12 2019 by clement
waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu uwekezaji angela kairuki amesema serikali inaendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji kwa wawekezaji na wafanyabishara wa ndani na nje ya nchi pamoja na kuhakikisha vikwazo vilivyokuwa vinawakabili ikiwemo urasimu katika utoaji vibali na upatikanaji wa ardhi vinatokomezwa
waziri kariuki pia ametoa rai kwa watanzania wenye maeneo makubwa ya ardhi kuyatoa maeneo hayo kwa ajili ya wawekezaji wenye uhitaji wa kukodi ama kununua ili kuyaendeleza kwa shughuli za uchumi
akizungumza na waandishi wa habari alipokutana an ujumbe wa kundi la wafanyabishara kutoka hongkong china walioko nchini kwa ajili ya kutafiti maeneo ya uwekezaji waziri kairuki amesema kuwa kwa sasa tanzania imekuwa ikipokea makundi mbalimbali ya wawekezaji kutoka nje wenye nia ya kuwekeza nchini katika sekta na maeneo mbalimbali hivyo serikali iko katika kasi ya kuboresha na kuweka mazingira rafiki yatakayovutia zaidi wawekezaji hao huku akizitaka taasisi nyingine za serikali kuhakikisha zinahudumia wawekezaji hao kwa kasi na weledi
aidha akizungumzia ujumbe huo wa hongkong waziri kairuki amesema kuwa wafanyabishara hao wanatafuta maeneo ya uwekezaji kwa ajili ya ujenzi wa kiwanda cha dawa za binadamu pamoja na vifaa tiba ununuzi wa ufuta na majani yake kwa ajili ya kuuza nje ya nchi pamoja na uchakataji korosho ambapo tayari wameshatembezwa maeneo kadhaa na kuridhishwa na mazingira
mkurugenzi mkuu wa kituo cha uwekezaji tanzania (tic) amesema kituo hicho kitazidi kuimarisha mahusinao ya kibiashara na hongkong ambapo mpaka sasa wamekwishafanya mazungumzo na mamlaka ya biashara na uwekezaji ya hongkok kuhusiana na makubaliano ya kuhakikisha wafanyabishara na wawekezaji toka hongkong wanatumia fursa za uwekezaji za nchini tanzania pamoja na wenzao kutokana hapa nchini kwenda hongkong kufanya uwekezaji
← katika kuelekea uchumi wa kati mwaka 2025 shirika la viwango tanzania (tbs) limeanza kutoa elimu ya uanzishaji wa viwanda vidogo na uboreshaji wa bidhaa ili kuwawezesha wajasiriamali nchini kuhimili ushindani wa kibiashara
balozi wa sweden pamoja na balozi wa algeria nchi tanzania wameelezea kuridhishwa na mwenendo wa serikali ya tanzania katika mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi →
| 2019-05-22T14:59:18 |
http://www.channelten.co.tz/wazkairuki/
|
dodge viper wikipedia kamusi elezo huru
mfano wa gari la kampuni ya dodge viper
dodge viper ni gari la michezo linaloundwa na dodge (srt ya 2013 na 2014) mgawanyiko wa fca us llc kutoka 1992 hadi 2017 baada ya kuchukua mabadilioko mafupi kutoka 20102013 uzalishaji wa magari ya michezo ya viti viwili ulianza mkutano mpya wa mack mwaka 1991 na kuhamia bunge la conner avenue mnamo oktoba 1995
ijapokuwa chrysler alifikiria kukomesha uzalishaji kwa sababu ya matatizo makubwa ya kifedha septemba 14 2010 mtendaji mkuu sergio marchionne alitangaza na kuonyesha mfano mpya wa viper kwa mwaka 2012mwaka wa 2014 viper iliitwa jina la namba 10 kwenye orodha ya magari mazuri ya amerika maana 75 au zaidi ya sehemu zake zinazalishwa nchini usviper awali alikuwa mwishoni mwa 1988 katika chrysler's advanced design studios februari ifuatayo rais wa kampuni dodge chrysler bob lutz alipendekeza tom gale katika chrysler design kwamba kampuni hiyo inapaswa kufikiria kuzalisha cobra ya kisasa na mfano wa udongo uliwasilishwa kwa lutz miezi michache baadaye iliyotengenezwa katika chuma cha karatasi na metalcrafters [5] gari lilionekana kama dhana kwenye kituo cha kimataifa cha magari ya amerika ya kaskazini ya mwaka 1989 masikio ya umma yalikuwa ya shauku kwamba mhandisi mkuu roy sjoberg alielekezwa kuendeleza kama gari la uzalishaji wa kawaida
rudishwa kutoka https//swwikipediaorg/w/indexphptitle=dodge_viper&oldid=1012187
last edited on 22 septemba 2017 at 1427
| 2019-09-18T05:19:55 |
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Dodge_Viper
|
mmiliki wa liverpool aibuka tena kuuza klabu boss ngasa official website
home unlabelled mmiliki wa liverpool aibuka tena kuuza klabu
mmiliki wa liverpool aibuka tena kuuza klabu
mmiliki wa klabu ya liverpool john w henry amehusishwa na ripoti za kutaka kuiuza klabu hiyo kimya kimya huku taarifa zikisema kwamba yuko tayari kusikiliza ofa za matajiri mbalimbali wanaotaka kuimiliki klabu hiyo
bilionea henry aliinunua liverpool kutoka kwa wamarekani wenzake tom hicks na george gillett mwaka 2010 kwa dola 477 millioni ambazo ni sawa na sh 109 trilioni za kitanzania
uwekezaji wake umekuwa mkubwa katika kikosi hicho kikifanikiwa kufika fainali ya klabu bingwa ulaya mwezi mei mwaka huu pia ikiendelea kutoa changamoto kubwa katika kampeni ya kuusaka ubingwa wa epl msimu huu lakini inaonekana sasa tajiri huyo yuko tayari kuondoa hisa za kampuni yake ya 'fenway sports group' katika klabu hiyo endapo mnunuzi mwenye dau kubwa atapatikana
kulingana na ripoti ya mtandao wa 'new york post' henry amezindua mchakato wa mauzo hiyo ina maana kwamba yeye hajatafuta mnunuzi kikamilifu hata hivyo inasemekana kuwa 'anatoa ofa kwa faragha' katika kile kinachoelezwa kama kufanya mambo hayo kutokuwa rasmi bei ya kuiuza klabu hiyo inasemekana kuwa ni dola 2 bilioni
liverpool tayari imehusishwa kutaka kununuliwa na matajiri mbalimbali kutoka abu dhabi hasa sheikh khaled bin zayed al nahayan binamu wa mmiliki wa manchester city sheikh mansour pamoja na wawekezaji wa china
uvumi wa kuuzwa ka klabu hiyo kwa £ 2bn kutoka kwa sheikh khaled ulienea hivi karibuni mwezi agosti ambapo taarifa hiyo ilikanushwa na uongozi unaomiliki klabu hiyo ukisema kwamba haukuwa na nia yoyote ya kuuza bali ilifungua milango ya uwekezaji wa nje
mmiliki wa liverpool aibuka tena kuuza klabu reviewed by jaqueline victorv on friday november 09 2018 rating 5
| 2018-12-15T05:26:03 |
http://www.bossngasatz.com/2018/11/mmiliki-wa-liverpool-aibuka-tena-kuuza.html
|
hasimu wa bashe akana jina mahakamani atimuliwa na wazee wa nzega | jamiiforums | the home of great thinkers
hasimu wa bashe akana jina mahakamani atimuliwa na wazee wa nzega
mgombea wa ccm upande wa nzega mimbizi wetu dk kigangwalla ameenda kukana jina lake mahakamani jana habari zaidi zinasema dk alienda kukaana baada ya kushauriwa na baadhi ya waanasheria je hili litamsaidia kumuizinisha kugombea kama mkimbizi
wakati hayo yakiendelea mgombea huyo alikuwa na kikao na wazee wa ccm wilaya ya nzega kuandaa jinsi gani ya kumsaidia kumkapeniakijana huyo alipofika akumuamkia hata mtu mmoja na habari zaidi zinasema hilo liliwawakasirisha baadhi ya wazee na kumuuliza mbona hana heshima akasema sio lazima kumuamkia mtuwazee wakiwa wanaanza kumfundisha akapigiwa simu akapokea alipomaliza akarudi ndani na kuulizwa kijana mbona huna heshima akajibu nina heshima tatizo lenu niniakawaambia hii ni simu ya wakubwa toka juu siwezi kuacha kupookea na hakuna mwenye mamlaka kunizuia kupokea simu zangu ndipo mwenyekiti na wengine wakasema kikao kimekufa na kila mtu achukue ustaarabu wake
mzee mmoja alipoulizwa akaasema huyu kijana atujui anahisi huko juu ndio watampa ubunge haya sasa hiyo kampeni ataifanya mwenyewe na tuone ataishia wapi nishawaambia wenzangu nisisikie kikao cha kumhusu huyu muhuni alilamama mzee mmoja
hayay huyu ndie mbunge wetu wa ccm kupitia makamba/rais kikwete kazi tunayo
mbona mwandishi mwenyewe unaonekana umepitia shule tuunachelea kusema wewe ndiye mwandishi ninayemfahamu samson mfalila wa magazeti ya michezokama si mwenyewe tafadhari badilisha hilo jina tusije tukamhukumu mfalila aliye smart
kila kitu kina taratibu zake kama yeye alijua kuwa kupitishwa kuwa mgombea ubunge ni kuwa juu ya taratibu hizo imekula kwake
hayay huyu ndie mbunge wetu wa ccm kupitia makamba/rais kikwete kazi tunayoclick to expand
akikana jina lake ndio inakuwaje na kwa nini alikane
mkuu amekana jina lake la sasa au la zamani/
bado ndio kwanza tuko kwenye mazoezi mechi haijaanza bado si mchezo yaani kazi ipo na si ndogo
pure umbeya how can i/we trust you
pure umbeya how can i/we trust youclick to expand
habari hii imeandikwa na mwananchi
kigwangalla azua kizaazaa wilayani nzega thursday 19 august 2010 0929 mwandishi wetu nzega
kamati ya siasa ya ccm wilaya ya nzega imevunjika baada ya mgombea ubunge wa jimbo hilo dk hamis kigwangalla kudaiwa kuonyesha utovu wa nidhamu katika kikao hicho
kwa mujibu wa taarifa kutoka nzega dk kigwangalla alikuwa hatii anachoelezwa na mwenyekiti wa kamati hiyo hivyo kusababisha mwenyekiti kuvunja kamati hiyo
ni kweli kamati imevunjika leo (jana) wakati tukijadili ajenda ya mwisho lakini sisi kama chama lazima tutamsaidia ili aweze kushindakilieleza chanzo hicho
taarifa zilisema kwamba mgombea huyo aliingia katika kikao hicho ambacho lengo lake lilikuwa ni kupanga mkakati wa kumsaidia kushinda lakini hakuwasalimia wajumbe
kufuatia hatua hiyo mwenyekiti wa kikao akamuliza kwanini hajasalimia wajumbe lakini kabla ya kigwangalla kujibu simu yake ikaita
alipoanza kupokea simu kabla ya kujibu swali mwenyekiti akamwamuru azime simu yeye akamjibu kwamba hawezi kwamba hawezi kuacha kupokea kwa kuwa inatoka kwa wakubwa alisema mjumbe mmoja aliyekuwako katika kikao hicho
kutokana na kitendo hicho wajumbe waliamua kuvunja kikao bila ya ajenda ya kupanga mkakati wa ushindi kujadiliwa
hata hivyo dk kigwangalla alipopigiwa simu ili aeleze kuhusu taarifa hizo simu yake ilikuwa ikiita bila kupokelewa
katika hatua nyingine taarifa kutoka nzega zinadai kuwa maaofisa wa idara ya uhamiaji wamelazimika kumhoji mama yake dk kigwangala ili waweze kupata ukweli wa uraia wake
mkuu kichuguu naona umemuweka jamaa panapostahili
mkuu amekana jina lake la sasa au la zamani/click to expand
la zzamani
we hata mzazi wako unaweza usiamni ndie aliekuzaa kwa style hiyo lohhh
wenzako wanauliza kwanza chanzo unajibiwa
ccm achana na huyo dr kigwangwallakwa vile issue ya bashe imekwisha mrudisheni kwenye mbio za kusaka kiti cha jimbo hilo
dr kigwangwalla atakuyumbisheni sana mpaka mtajuta kumfafamu
hii nzega ilikuwa apewe bashe lakini ugomvi wake yeye na ridhiwani ndani ya uvccm inapelekea hata kumchomea (uongo) ili tu mambo yake yakwame hapo jk an jk juniour roho kwatu kabisa namsikitikia kibaraka marope hapo atakapo kuja kukaa upande wetu mwambieni aangalie historia ya makatibu wa ccm wote (gama yule wa iringa kolimba (rip) ukiondoa rashid (rip) walitolewa na kunuka kama kinyesi
ma rope atakuja kujuta siku akiondolewa ukatibu mkuu and it is very soon
hii nzega ilikuwa apewe bashe lakini ugomvi wake yeye na ridhiwani ndani ya uvccm inapelekea hata kumchomea (uongo) ili tu mambo yake yakwame hapo jk an jk juniour roho kwatu kabisa namsikitikia kibaraka marope hapo atakapo kuja kukaa upande wetu mwambieni aangalie historia ya makatibu wa ccm wote (gama yule wa iringa kolimba (rip) ukiondoa rashid (rip) walitolewa na kunuka kama kinyesiclick to expand
eti kikwete amekana ridhiwani hahusiki na kuondolewa kwa bashe
mbona mwandishi mwenyewe unaonekana umepitia shule tuunachelea kusema wewe ndiye mwandishi ninayemfahamu samson mfalila wa magazeti ya michezokama si mwenyewe tafadhari badilisha hilo jina tusije tukamhukumu mfalila aliye smartclick to expand
huyu kweli hawezi kuwa sam mfalila mheshimiwa badili hilo jina haraka unashusha hadhi za watu
samson mfalila katika nchi ya watu milioni 40 wanaweza kuwa zaidi ya wawilihuyo mnayemjua nyinyi wengine huenda hawamjui pia
| 2016-12-05T04:50:55 |
http://www.jamiiforums.com/threads/hasimu-wa-bashe-akana-jina-mahakamani-atimuliwa-na-wazee-wa-nzega.70300/
|
arangije icyiciro cya kabiri cya kaminuza yandikisha amano | imirasirecom
ahabanza >> amakuru yose >> hirya no hino >> mu rwanda >> arangije icyiciro cya kabiri cya kaminuza yandikisha amano yanditswe 30/08/2016 1025
yasuwe incuro 17367
umugabo ufite ubumuga bwo kutagira amaboko washoboye kwiga yandikisha amano arangije icyiciro cya kaminuza cya masters
uwo ni jean twagirimana wo mu rwanda avuga ko abafite ubumuga barushijeho gufashwa bashobora kuba bahangana mu buzima busanzwe nabadafite ubumuga
twagirimana atuye mu murenge wa mayange mu karere ka bugesera
twagirimana jean kuba afite ubumuga ntibimubuza kugira ibyo akora bimugirira akamaro umusore wimyaka 31 yavukanye ubumuga bwamaboko yombi adashobora kugira icyo ayakoresha habe no gufata ikaramu
nyuma yo kubona ko mfite ubumuga bwamaboko ababyeyi bitabaje abahanga mu byiciro bitandukanye bababwira ko ubwo amaboko adashobora gukora ariko izindi ngingo zishobora gukora banyigisha kwandika nkoresheje amano ni muri ubwo buryo bantoje gufata ikaramu mu mano ntangira kwiga ndanatsinda kugeza kuri uru rwego ndacyakoresha amano
twagirimana jean ni umuhanga mu gukirigita mudasobwa
akoresheje amano abasha guhindaguranya impapuro zikaye akanayakoresha mu kwandika
amasomo nari nagiye gukurikirana ni amasomo yuburezi budaheza uburezi bwabantu bafite ubumuga nahisemo kuba nakurikira aya masomo kubera ko nabonaga ko hari byinshi nkeneye kumenya naba ntarabonye ndetse maze kubona ko na barumuna banjye nyuma bagifite ibibazo nkibyo bashobora kuzanyura muri aya masomo
si byose akoresha amano hari ibyo ashobora kwikorera birimo kuba yakoza mu kanwa akoresheje uburoso bwamenyo kwambara inkweto cyangwa kuzikuramo ndetse no kurya ariko byo ngo yakwirisha iyo ari mu rugo iwe gusa
iyo yandikisha amano agaragaza umukono mwiza nkuwandikisha intoki zisanzwe
avuga ko nta vangura yigeze ahura na ryo ko ariko hagombye kubaho ubuvugizi bukomeye bwakorerwa ababana nubumuga mu buryo bwo kubafasha ku isoko ryumurimo
haracyarimo imbogamizi kuko kenshi usanga dukeneye ibikoresho bitandukanye nibyo abandi baba bafite mu kazi mu buzima busanweubwo bufasha ntibuba buhari haracyari imbogamizi kuba abantu batari baramenya ibikoresho abantu bafite ubumuga bakeneye kugira ngo babashe kwinjira mu kazi
jean twagirimana avuga ko abafite ubumuga bashoboye gufashwa mu myigire yabo bashobora guhangana mu nzego zitandukanye bikabarinda gusabiriza
samuel tuyishime 1/09/2016 saa 0352
lord the god of israel there is no god like you in heaven above or on earth below you who you keep your covenant of love with your servants who continue wholeheartedly in your way (1 kings 823) amen
mar 31/08/2016 saa 1241
uyu rwagirimana jye ndamuzi neza twariganye muri gs appega gahengeri muri lettres ni umuhanga kuburyo budasubirwaho yandika neza kandi akoresheje amano ye courage john
imone 31/08/2016 saa 1113
uyumugabo ndamuzi yiga gs rilima numuhanga nakomereze aho
samuel tuyishime 1/09/2016 saa 0355
mana komeza umurinde umube hafi
cyane 31/08/2016 saa 0649
dore icyemezo ko umuntu yifitemo ubushobozi buhambaye rero ni byo dukwiye gutoza abato kuruta ibya yesu ashimwe n'amaturo bavandi biratudindiza cyane
mugi 30/08/2016 saa 1150
imana imugirireneza
imone 31/08/2016 saa 1115
uyumugabo ndamuzi kera yiga gs ririma numuhanga ndamuzipe
muton 31/08/2016 saa 1607
imana imube hafi kdi akomerezaho azafasha nabandi
| 2016-12-02T22:18:15 |
http://imirasire.com/amakuru-yose/hirya-no-hino/mu-rwanda/article/arangije-icyiciro-cya-kabiri-cya-kaminuza-yandikisha-amano
|
maisha mawaziri wa umoja wa ulaya waijadili ureno
mawaziri wa umoja wa ulaya waijadili ureno
mawaziri wa fedha wa nchi zinazotumia sarafu ya euro wanaupambanua mpango wa kuikwamua ureno kutokana na mzozo wa fedha katika mkutano wao wa siku mbili nchini hungary kamisha wa masuala ya uchumi wa umoja wa ulaya olli rehn amesema leo kuwa kiasi cha mkopo kinachofikiriwa kukidhi matakwa ya ureno ni euro bilioni 80 waziri wa fedha wa ureno fernando teixeire dos santos hivi sasa anatakiwa kuzishawishi nchi zinazotumia sarafu ya euro kwamba serikali yake ina mamlaka ya kutekeleza mageuzi yanayonuiwa kuirejesha ureno katika mkondo mzuri wa kuichumi mwenyekiti wa kundi la nchi zinazotumia sarafu ya euro jeanclaude juncker amesema zipo fedha za kutosha lakini tatizo halisi ni la kisiasa kutokana na kuanguka kwa serikali ya ureno wiki iliyopita waziri wa fedha wa finland jyrk katainen ameonya kwamba msaada wa ureno sharti uambatane na masharti magumu ureno lazima ichukue hatua kali ya kubana matumizi katika bajeti yake
mawaziri wa italia na ufaransa wakutana waziri wa mambo ya ndani wa italia robert maroni amekutana na mwenzake wa ufaransa claude gueant mjini milan hii leo kuutafutia ufumbuzi mzozo juu ya mipango ya italia ya kuwapa visa za kusafiria maelfu ya wakimbizi wengi wao kutoka tunisia kusafriki katika eneo la umoja wa ulaya ambalo halihitaji visa la schengen maroni ametoa wito wa ushirikiano wa pamoja katika suala la kuwasaidia wakimbizi lakini awali aliishutumu ufaransa kwa kitendo cha kuwazuia wakimbizi hao wasiingie katika nchi hiyo zaidi ya watunisia elfu 20 wameingia katika ardhi ya italia tangu walipomuondoa madarakani rais wao januari mwaka huu kwa mujibu wa maafisa wa italia wengi wa wakimbizi hao wana matumaini ya kuungana na ndugu zao waliopo ufaransa
rais saleh akaidi kujiuzulu rais alli abdullah saleh wa yemeni ameukataa mpango wa mataifa ya eneo la ghuba wa kumtaka aondoke nchini humo kwa lengo la kumaliza umwagikaji wa damu wakati huu ambapo polisi nchini humo wameuwa waandamanaji wawili na kujeruhi wengine kadhaa walioshuhudia wanasema watu hao wamepigwa risasi katika mji wa taez uliopo upande wa kusini mwa mji mkuu wa sanaa rais saleh amewaambia wafuasi wake nguvu zao zimetokana na ai ya umm wa yemen na wala sio kutoka kwa qatar wala mtu mwingine yeyote kauli hiyo ameitoa siku moja baada ya waziri mkuu wa qatar sheikh hamad bin jassem althani kusema nchi wanachama wa baraza la ushirikiano la nchi za ghuba zina matumaini ya kufikia makubaliano na rais saleh ajiuzulu
nato imekiri kuwauwa waasi nchini libya jumuiya ya kujihami wa nato imekiri kuwa mashambulizi yake ya angani huenda yaliwaua waasi kadhaa nchini libya wakati ilipovishambulia kimakosa vifaru vya waasi nje ya mji wa brega nchini libya pamoja na kusikitishwa na tukio hilo lililosababisha vifo vya watu wanne na wengine sita kutojulikana walipo nato imesema haikujua kwamba waasi nao wanatumia vifaru katika operesheni yao dhidi ya gadhafi msemaji wa nato russ harding amesema hali ilivyo katika uwanja wa mapambano nchini libya inatatanisha wakati huo huo uturuki nchi mwanachama wa nato inajaribu kutafuta suluhu nchini libya waziri mkuu wa uturuki recep tayyip erdogan amesema anafanya mazungumzo na pande zote mbili na anataka kuanzisha njia za kupitishia misaada ya kibinadamu na kutekeleza mageuzi ya kidemokrasia lakini msemaji wa upinzani amekataa mazungumzo ya aina yoyote na gadhafi na kumtaka aondoke madarakani
uhuru kenyata na wenzake wamepanda kizimbani icc mahakama ya kimatiafa ya icc imesema itaamua ikiwa naibu waziri mkuu wa kenya uhuru kenyata na wanasiasa wengine wawili wana kesi ya kujibu ama la ifikapo septemba 21 mwaka huuwatatu hao walipanda kizimbani leo kusikiliza mashitaka yanayowakabili kuhusiano na machafuko ya baada ya uchaguzi mkuu wa 2007 nchini kenya awali ekaterina trendafilova rais wa mahakama hiyo aliwakaribisha wanasiasa hao akiwemo mshirika wa karibu wa rais kibaki francis muthaura pamoja na mkuu wa zamani wa jeshi la polisi mohamed hussein ali mapema jana waziri wa zamani wa elimu ya juu william ruto waziri wa zamani wa viwanda henry kosegey na mtangazaji wa radio joshua arap sang walifika kwenye ukumbi huo wa mahakama na kuarifiwa mashitaka yao hata hivyo mahakama ya icc iliamuru uamuzi iwapo kuna kesi ya kujibu au la dhidi ya wanasiasa hao wanaotuhumiwa kuhusika na ghasia zilizozuka baada ya uchaguzi mkuu wa 2007 utolewe septemba mosi
ouattara ahutubia taifa
rais wa cote d'ivoire anayetambuliwa kimataifa alassane ouattara
rais anayetambuliwa kimataifa nchini cote d'ivoire alassane ouattara ameagiza kuwekwa vizuizi katika makaazi ya rais anayeng'ang'ania madarakani laurent gbagbo ambako bado amejificha akizungumza jana usiku kupitia televisheni ya nchi hiyo ouattara ameyatolea wito pia majeshi yake kudumisha utaratibu katika mji mkuu wa nchi hiyo abidjan ambako wanamgambo wanaorandaranda katika siku za hivi karibuni wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya wizi na kufanya mashambulio yasiyo na mpangilio maalumu
katika hatua nyingine katibu mkuu wa umoja wa mataifa ban ki moon amemtaka rais gbagbo kuachia madaraka mapema kabla ya kuchelewa
amesema hiyo ni fursa ya mwisho kwa gbagbo kuondoka vizuri katika nafasi hiyo na kumkabidhi madaraka ouattara
wanajeshi wa ouattara wakiimarisha ulinzi kwa kuwakamata watu wanaohisiwa kuwa ni wapiganaji wakati huohuo ujumbe wa umoja wa mataifa nchini cote d'ivoire umesema utamkamata gbagbo akiwa hai na kumfungulia mashtaka
ouattara amekuwa akisisitiza juu ya gbagbo kukamatwa akiwa hai licha ya kwamba majeshi yake yamekuwa yakitoa upinzani mkali
miili zaidi yapatikana ivory coast
umoja wa mataifa umesema zaidi ya miili 100 ilipatikana nchini ivory coast huku ghasia zikiwa zinaendelea baina ya wapinzani wenye nyadhifa za urais umoja huo umesema miili hiyo ilipatikana magharibi mwa nchi hiyo kwa kinachodhaniwa kuwa mauaji ya kikabila
rais anayetambulika kimataifa alassane ouattara amekuwa akipambana na aliye madarakani laurent gbagbo aliyopo kwenye handaki mjini abidjan
wakati huo huo umoja wa ulaya umesema huenda ukapunguza makali kwa upande wa vikwazo baada ya ombi lililotolewa na bw ouattara
umoja huo ulimtambua bw ouattara kama mshindi wa uchaguzi wa mwezi novemba kuwa ndiye rais lakini bw gbagbo amekataa kukabdhi madaraka
majeshi ya bw ouattara yamesogea toka kaskazini katika kipindi cha miaka miwili iliyopita lakini eneo kubwa la mji mkuu wa abidjan limeshikiliwa na wafuasi wa gbagbo na siku kadhaa za mapigano imeisababishai nchi hiyo kuingia kwenye mgogor
mauaji ya kimbari ya rwanda yakumbukwa mafanikio ya rwanda
rwanda inaweza kuitwa mfano wa kuigwa linapokuja suala la kiuchumi kwa mfano mwaka 2010 iliweza kupandisha ukuwaji wake wa kiuchumi kwa asilimia 8 kutokana na mageuzi makubwa julia viebach anasema kwamba katika eneo hili rwanda iko kwenye njia sahihi hadi sasa
unapozungumzia suala la taratibu za uwekezaji kwamba zimelegezwa kwamba ni rahisi kufungua kampuni kwamba ufisadi unapigwa vita sana kwamba hata shirika la transparency international limethibitisha hilo hayo ndiyo kimsingi anayojisifia kagame anasema viebach
vile vile kwenye vita dhidi ya malaria kwa kiasi kikubwa serikali ya kigali imepiga hatua kubwa asilimia 90 ya wanyarwanda wana bima ya afya kufeli kwa rwanda
mikono yenye damu ishara ya utawala wa kagame katika maandamano mjini madrid hispania 2010lakini je rwanda ni kigezo pia cha mafanikio ya kisiasa au inaselelea kwenye mikono ya kidikteta julia viebach anasema hawezi kuiweka rwanda miongoni mwa mataifa yenye uhuru
hali ilivyo ni kuwa uhuru wa habari na maoni unakandamizwa sana zipo jumuiya za kiraia lakini hakuna jumuiya huru zilizopo ni zile zinazoegemea upande wa serikali hakuna kinyume chake hili limejidhihirisha kwenye uchaguzi wa mwisho ambao kagame alishinda kwa asilimia 90 wakati wa uchaguzi kila chama cha upinzani kikashika njia yake huwezi kusema kuwa nchi hii itajiendeleza kidemokrasia anasema viebach
mwezi februari mahakama kuu ya rwanda ilimuhukumu kiongozi wa upinzani nchini humo kifungo cha miaka minne na nusu kwa kuhatarisha usalama wa taifa shirika la kutetea haki za binaadamu la human rights watch wanaiona hukumu hii kuwa ni pigo kwa uhuru wa maoni na demokrasia
karibu na uchaguzi kiongozi wa chama cha upinzani cha kijani andre kagwa rwisereka aliuawa katika mauaji ambayo polisi wanasema yalitokana na jaribio la wizi wataalamu wa nje na watetezi wa haki za binaadamu wanayaona kuwa mauaji ya kisiasa human rights watch waliitisha uchunguzi huru wa mkasa huu lakini hadi sasa hakuna mafanikio
habyarimana killed by his own forces the truth revealed in habyarimanas death
kigali a probe report on the downing of former president juvenal habyarimanas plane has concluded that the expresident was killed by his own henchmen who were against the idea of sharing power with the rwandan patriotic front (rpf) the report says that the extremists among them diehards of the hutu power were bitter to learn that habyarimana was finally agreeing to a power sharing deal that would bring on board the rpf and other opposition groups
this group was led by the key genocide masterminds colonel theoneste bagosora anatole nsengiyumva mathieu ngirumpatse and joseph nzirorera these men were not simply opposed to a reconciliation process they were committed to the wholesome extermination of the tutsis by the spring of 1994 they had the means and opportunity to actand they did the report compiled by a sevenman committee headed by veteran jurist jean mutsinzi reads
the assassination plot had been hatched over a long period of time including a plan to acquire surfacetoair missiles and also train an elite group of soldiers under bagosoras command on using the weapons to achieve his objective the report says that bagosora who was intimately familiar with habyarimanas travel schedule changed the composition of the rwandan delegation to the arusha talks and ensured that army chief of staff general deogratias nsabimana a man opposed to bagosoras genocidal plans would be on the illfated plane in violation of established procedure nsabimana received his orders to accompany the president via an unofficial channela telephone call from of all people theoneste bagosorathe night before the trip the report says
according to members of his security detail even president habyarimana was taken aback when gen nsabimana boarded the falcon50 on the morning of april 6th the mutsinzi reports further explains that using a parallel military radio network bagosora was in direct contact with elements of the presidential guard the paracommando battalion and most importantly the antiaircraft battalion (laa)
direction of rocket fire despite reports that plane was downed by rpf soldiers the report which has findings consistent with those of the united nations assistance mission for rwanda (unamir) demonstrates that the illfated plane was hit by at least two surfacetoair missiles from the direction of kanombe military camp an area controlled by habyarimanas own presidential guard
the report quotes sean moorhouse a british army captain of the unamir (ii) team as saying that the rwandan presidents airplane has been shot down by three whites with the help of the presidential guard and that the shots from the weapons which brought down the airplane were fired from the kanombe military camp but contrary to existing allegations that the weapons used to shoot down the plane were surface to air missiles (sam) 18 ballistics experts from the uk commissioned by the commission of inquiry ruled that out
governments call foreign affairs minster louise mushikwabo called on rwandans and people outside the country to thoroughly read the mutsinzi report and desist from making un informed opinions on circumstances that led to the downing of the falcon 50 aircraft the government of rwanda urges rwandan citizens and the public at large to note and reject manipulation of truth and lies propagated on the plane crash since 1994
government urges the public to familiarize themselves with the report and to look for responses to questions they might have with particular attention to witness testimonies mushikiwabo who is also the government spokesperson said karugarama said that the mutsinzi report is not a judicial document but that it is one that was made by experts with clear evidence on what happened
who killed juvenal habyarimana on 1994 6
on the evening of 6 april 1994 just as it was approaching kigali a plane carrying rwandan president juvenal habyarimana home from tanzania was shot down by missiles fired from the ground also on the flight was the president of burundi cyprian ntaryamira as well as several highlevel rwandan political and military officials but from the first movement there was no doubt that the target was habyarimana what was in doubt was the culprit and on this the debate has raged furiously for the past almost 16 years
to most of those who have studied the genocide commonsense always pointed to hutu extremists in the rwandan government and military they passionately opposed the agreement that had been reached at arusha tanzania in mid1993 for power to be shared among habyarimana's followers other political parties and the tutsiled rebels of the rwanda patriotic front (rpf) to prevent this betrayal the extremists had decided on a final solution the extermination of the entire tutsi minority in rwanda between 10 and 15 per cent of the population when habyarimana was about to capitulate to international pressure and implement these powersharing arrangements they murdered him and implemented their carefullyplanned genocidal conspiracy
this analysis seemed logical enough in all respects but there has never been an official investigation of the crash or evidence beyond the circumstantial in fact from the first there was an alternative interpretation it has always been quite counterintuitive and based on dubious foundations and yet has been embraced not only among those who deny the genocide entirely but also quite surprisingly among those who are hostile for whatever reasons to the rpf and particularly its longtime leader and now rwanda president paul kagame
a soldier inspecting remains of presidential plane of rwanda
from the moment the plane crashed hutu extremist propagandists directed by hateradio station rtlm and echoed by officials of the government of france pointed the finger directly at the rpf from time to time belgium was implicated by france as was uganda uganda's only known connection to the crash was that it was an englishspeaking country where the rpf had originally formed but for france speaking english is evidence enough of culpability when it comes to africa french investigators examine the wreckage of juvenal habyarimana's dassault falcon 50 plane that was shot down 16 years ago killing the former rwandan president and triggering genocide in the central african country september 18 2010 after patching up relations late last year a team of french investigators is now in rwanda reexamining a dozen eyewitness testimonies to work out where two missiles were fired from and hopefully determine final responsibility it's never been entirely clear what motive kagame could have had for murdering habyarimana at the very moment when the president intended to implement the arusha accords the rpf had been the huge winner at arusha about to receive substantial political and military power conversely habyarimana's officials were the great losers about to surrender the monopoly on power and resources they had cherished for the previous two decades how could the rpf benefit from the chaos anarchy and lust for vengeance that was sure to follow habyarimana's assassination the onandoff again lowintensity civil war since 1990 had bogged down in a stalemate why assume the hot war that was sure to follow the plane crash would lead to an rpf victory rather than an rpf rout especially if france came in behind habyarimana's forces but if attributing the missile attack to the rpf didn't make much sense it was extremely functional to the hutu extremists if the rpf was guilty it meant the attack on the plane was not the first step in the genocide plan the killings of the subsequent 100 days could simply be put down to mass hutu fury at the murder of their beloved president and no genocide would have taken place this spin has been the motive driving many of those who have busily spent the past decade and a half devising a multiplicity of proofs to pin the evil deed on kagame and his forces the new report
now along comes a new document prepared by an independent committee of experts appointed by the government of rwanda with the explicit title report of the investigation into the causes and circumstances of and responsibility for the attack of 06/04/1994 against the falcon 50 rwandan presidential aeroplane [sic] registration number 9xrnn the head of the 7person committee was dr jean mutsinzi former justice of the supreme court of rwanda now a judge of the african court on human and peoples' rights the other members are apparently lawyers or authorities on aircraft matters but an annex offering their resumes is not unfortunately part of the commission's report (which is easily available online at mutsinzireportcom)
in my view the commission's report is largely persuasive but you can immediately see how much more credible it would be if the members hadn't all been rwandans appointed by the kagame government i am confident that an independent commission appointed say by the african union would have delivered the same conclusions but with far more credibility an obvious precedent was the oauappointed independent international panel of eminent personalities (ipep) whose report rwanda the preventable genocide[ pdf] has achieved a certain authority but i readily acknowledge that genocide deniers hutu extremists and kagamehaters will reject any and all conclusions that give kagame the benefit of the doubt and the evidence be damned
perhaps that's why his government consistently acts on its own without waiting for external validation it did the same with the report on the role of france in the genocide delivered by a panel of rwandans also appointed by the government and headed by wellknown rpf militant in my view its report was overwhelmingly accurate and appropriately damning for france but i wished they had asked outside experts like linda melvern to undertake that project to give it real international credibility but that is not the way the kagame government does things
we are left then to judge the report on the plane crash on its merits and in this respect it seems to me to have made a major contribution to settling the great question of who was responsible in a word the committee of experts documents the logic most of us have accepted since the start they pin the blame directly and fully on a group of hutu extremists who were simply not prepared to accept the powersharing provisions of the arusha accords in this sense they prove a terrible point the very agreement that was to bring harmony to rwanda led directly to the genocide this is a staggering truth for all those involved in conflict resolution and peacemaking to conjure with
the committee took two years to complete its report which contains 169 pages plus many appendixes with countless documents plus a ballistics report from staff at the defence academy of the united kingdom based at cranfield university its members heard 557 witnesses including former officials of the un military mission to rwanda at the time (unamir ) former members of the rwandan army and presidential guard under habyarimana and they perused postgenocide reports by belgium france and the united nations plus the work of western authors who have studied the genocide plus the book written by unamir's head general romeo dallaire based on his experiences at the time while all the authorities they consulted won't be happy with the way their work has been used an overwhelming consensus emerges from the committee's research and interviews let me try to summarise briefly the main points of what is often lengthy highly technical and geographyspecific material 1 for months before habyarimana's assassination on 6 april 1994 rumours abounded that senior government and military officials in his own government were determined the arusha accords would never be implemented these stories included specific suggestions that the president would be murdered if he dared to put their powersharing arrangements into practice for years we have known that radio station rtlm and kangura a small publication that functioned as the voice of hutu extremism had publicly stated that something dramatic was going to happen to habyarimana in late march or early april in its cover story of december 1993 for example kangura declared that habyarimana would be assassinated the following march general dallaire and others have cited the threat uttered at a social occasion on 4 april by colonel theoneste bagosora a leader of the extremists widely considered the mastermind of the genocide the only plausible solution for rwanda bagosora said to a small group that included dallaire's senior belgian aide appears to be the extermination of the tutsi madame agathe habyarimana
what the new report adds to our knowledge is how widespread these stories were dozens of witnesses had heard them beginning late in 1993 and escalating through the early months of 1994 there was even a specific rumour that habyarimana's plane would be shot down the president himself had heard such stories it appears as had the french crew that came with the falcon 50 that president mitterrand had gifted to habyarimana (apparently that's how a socialist president of france rewarded his favourite african presidents) on 6 april habyarimana flew to dar es salaam tanzania for a summit with fellow regional presidents (the burundian president who had no luxury jet made the fatal mistake of later hitching a ride home with habyarimana via kigali) that summit is usually described as focusing on rwanda in fact the new report informs us it was about the unstable situations in both rwanda and burundi habyarimana began the meeting by telling his peers that he was implementing arusha two days later and the rest of the day was spent discussing burundi's extremely turbulent political crisis but if habyarimana was aware of threats against his plane why did habyarimana agree to fly to dar es salaam that day he could simply have told them by phone or through an emissary of his intentions to introduce the arusha arrangements why did his pilots agree to fly him there why did some of the leading plotters against him like his brotherinlaw colonel elie sagatwa an extremist hutu ironically in charge of the president's personal security agree to accompany him all went down to their fiery deaths on 6 april yet all apparently were aware of the risk it is a glaring omission in the report that it never asks this obvious question let alone attempts in any way to answer it still the fact remains that hutu extremists were known to be furious at habyarimana and were determined to stop the implementation of the arusha accords since the president announced explicitly on 2 april that he intended to swear in a new broadlybased coalition government on 8 april it has always been logical to assume that attacking the plane on 6 april was the execution of their plan 2 the rpf couldn't have infiltrated antiaircraft missiles and missile launchers into kigali it could not have smuggled them into parliament where an rpf contingent was temporarily billeted as agreed by the arusha accords it could not have then snuck them to the area where those who blame the rpf claim the missiles were fired the committee establishes persuasively that both unamir (united nations assistance mission for rwanda) and above all the rwandan army maintained very close surveillance of the rpf troops holed up in the parliament building and these monitors could not possibly have missed the activity required to bring the missiles in set them up and fire them the committee also shows that the alleged firing area was constantly patrolled by rwandan troops and no rpf soldiers carrying missiles and launchers could have infiltrated the area without being spotted 3 the missiles could only have been fired from an area near the kanombe military camp the president's home and the main kigali airport and this entire area was completely controlled by the rwandan army this is the area where rwandan soldiers suddenly refused unamir to enter during the day on 6 april this key conclusion by the committee is based on a large number of eyewitnesses and what it calls ear witnesses including pregenocide rwandan soldiers employees of the adjacent airport where the plane was to land and soldiers from unamir and the belgian military technical cooperation perhaps most significantly it's also the conclusion of the report prepared for the committee by mike warden and alan mcclue of the department of applied science security and resilience cranfield university defence academy of the uk the online documentation of the committee's work includes the formal contract that the committee signed with the two researchers so that every part of it is transparent in turn the two presented a 109page paper often extremely technical which concludes that the missiles must have been fired from the kanombe area beyond dispute this area was wholly controlled by rwandan government forces so the missiles were not fired from the area where those who blame the rpf say they came from and they were fired from the area where only government soldiers (and french soldiers) could go it is hard to imagine staff at the defence academy of the uk exaggerating or falsifying their conclusions it therefore seems to me that this independent ballistics report adds great credibility to the findings of the committee of experts with which it of course concurs 4 the committee shows that the rwandan army possessed the kind of surfacetoair missiles that might have shot down the focus 50 even though earlier reports especially from france claimed they did not conversely it shows that the repeated assertion by those who blame the rpf that kagame's rebels received the missiles from uganda (who got them from russia) is wrong and based on a deliberate deception at the time by rwandan government soldiers which enemies of the rpf have been only too happy to swallow
hon paul kagame
cyprien kayumba nyamwasa
6 colonel theoneste bagosora is named as the instigator both of the attack on habyarimana's plane and the genocide that it triggered as planned this corroborates the widespread view of bagosora's role by everyone from general dallaire to many of the historians of the genocide to the justices at the international criminal tribunal for rwanda in arusha who found bagosora guilty of genocide and sentenced him to life imprisonment 5 in the process of their report the committee does a useful job of discrediting the hatchet job performed on the rpf by french judge jeanlouis bruguiere in his own 2006 report on the plane crash bruguiere following completely the script long favoured by the french establishment baldy accused kagame and the rpf of shooting down the plane in order somehow to take power in rwanda bruguiere's research was always problematic to say the least he relied on alleged eyewitness who were dissident tutsi rpf members with plenty of motive to malign the rpf some of these have since recanted their accusations against kagame and the rpf or claim they never said what bruguiere claims they said and while the judge remarkably never went to rwanda to investigate the crash site or to interview anyone in the rpf government or army whom he indicted he did go to arusha to interview men being held by the ictr for their alleged role in the genocide this included colonel bagosora himself who even before his formal conviction was almost universally believed to have been a leader of the genocide at one stage bruguiere writes of a particular matter the real nature of the messagewas also confirmed by the evidence in arusha from former far soldiers [habyarimana's army] he names four of these soldiers including colonel theoneste bagosora this would be akin to asking p w botha about apartheid and not asking nelson mandela
judge bruguiere
6 france's cynical hand is felt throughout the committee's report as indeed it must be in any recounting of the genocide french soldiers were allowed in to the kanombe military base on 6 april while belgian unamir soldiers were not french soldiers were at the plane wreck within moments going through the debris and looking for the black box which they removed french officials scrupulously followed the original extremist hutu line of blaming the belgians along with the rpf for the missile attack when the accusation against the belgians had lost any credibility president mitterrand's senior africa advisor his chief of staff and the french ambassador to rwanda all accused the rpf of responsibility during the french parliamentary inquiry into the france's role in the genocide french officials were anxious to implicate the ugandan government in the plane attack never did they suggest that their close allies among the hutu extremists many of whom have long been hiding in france may have had the slightest involvement
as one former western diploma has put it in an ideal world france would apologise to rwanda put 20 former senior french officials in the dock and extradite 15 or 20 genocidaires living in france we will see whether the recent francerwanda rapprochement will usher in a more ideal world conclusions
the report of the committee of experts could have been better (although i dare say this is true of every report ever written) the organisation and the writing are sometimes confusing loose ends are left hanging not least obscure references to three whites who somehow might have been involved in the attack on habyarimana's plane at times it seems the plot to assassinate the president was hatched in late 1993 elsewhere that it all happened in the first few days of april 1994 it fails to analyse why habyarimana agreed to fly to dar es salaam on 6 april even in the face of explicit death threats despite an obvious attempt to be objective its biases occasionally slip out the committee asserts that the practice of genocide against the tutsi was initiated by the first hutudominated government in the early 1960s and that 1994 was the final stage of genocide this is bad partisan history that is accepted by no reputable historians of whom i'm aware the fact is the massacres launched against the tutsi after 1959 stopped after habyarimana's coup in 1973 and didn't begin again until 17 years later with the rpf invasion of rwanda those early killings were terrible but they were just that massacres pogroms not the first stage in a 45year plan exterminate all tutsi the final genocidal plot only began some time after the 1990 rpf invasion these flaws reduce the authoritativeness of this report they will be jumped all over by those who will never accept any conclusion that fails to blame kagame and the rpf for habyarimana's murder so there's no point whatever in trying to prove anything else to these deniers and extremists they have no interest in the truth but for those genuinely searching for the most convincing answer to this great political murder mystery the strengths of the committee's report overwhelmingly outweigh its few unfortunate flaws of course it would still be best to have the definitive report by a truly independent group of international experts but until we do the conclusions of this report should stand and if there ever were an independent external study i'm confident its conclusions would echo those of this rwandan committee of experts we know who shot habyarimana's plane down we know why they did it we know how they did it and we know that they came within an inch of success in their diabolical plan before they were defeated the hutu extremists who assassinated president habyarimana wiped out thousands of decent hutu who wouldn't go along with their fiendish plot and threequarters of their country's tutsi the attack on the president's plane was the opening shot in one of the purest genocides of the past 100 years launched for no better reason than the greed of a few powerhungry hutu fanatics it was one of the greatest manmade tragedies of our time
mungu aliumba mbingu na arth kisha akaumba viumbe wengi wenye kuishi katika mfumo wa uhai kila kiumbe kinahaki ya kuishi ndani ya dunia hii binadamu amepewa sifa kubwa ya kuongoza matumizi kumiliki kuoaundugu ujama navyote vilivyomo duniani
uharibifu wa ubora wa dunia unategemeana na matumizi ya binadamu juu ya viumbe (watu ardhi mimea madini maji mafuta ndege wadudunk)
mfano 1 vita
kwasasa binadamu wengi wanaishi katika wakati wa vita vita vipo aina nyingi sana
mojawapo ni vita vya kufikiri
kufikiri unachokiweza nivyema zaidi ukitumia fikira yenye upungufu au ukosefu wa ukweli utajikuta katika hali ngumu ya msongamano wa mawazo jitahidi kutafakari umuhimu faida na hasara ya kile ukianacho ukisikiacho uambiwacho ukilacho ukitumiacho ukipendacho au uambiwacho na yule mpenzi wako au mshauri wako maishani
umuhimu faida na hasara juu yakile ukionacho ukisikiacho ladha au harufu ni mkubwa na ni muongozo wa nafsi yako maishanikinyume chake ni maumivu na kusemaningelijuasio tiba
vita vya damu
damu ni kiungo chenye kuendesha uhai wa maisha ya wanyama ndegebila kumsahau binadamu upungufu wa damu mwilini kunapunguza utendaji wa kazi wa seli za mwili seli za mwili ndio msingi wa maisha ya binadamu
inamana ulinzi wa seli ni mwili kuwa na damu safi nayenye kukidhi mahitaji mfano 2 hosipitali wanahitaji damu ya kuongezea wagonjwa wenye upungufu wa damu
kumbuka kwamba hakuna kiwanda shamba mto au uzalishaji wa aina yeyote ya damu
kinachofanyika ni kumtafuta mtu mwenye uhusiano (bloodgroup) wa damu na kisha kutolewa(damu) kiasi fulani cha damu na kumpa (kumuongezea mgonjwa) mhusika vita vya vifo
kila kifo kinawakati wake lakini kuna vifo vingine huleta mashaka ndani ya nyoyo za binadamu kuna aina nyingi za vifo mojawapo ni
kuumwa kuna vifo vyenye sababu ya mwili kuumwa (njaa kiu tibi shindikizo la damu ukimwi au utapia mlo)
na kuna vifo vingine vinavyotokana na mashambulizi ya uhasama baina ya binadamu kwasasa binadamu wanauwana katika mfumo wa pesa mali mapenzi udini madini mafuta mashamba
kutokana na vita kuendelea kuanzia dani ya familia na koo nyingi za binadamu tumejikuta (binadamu) katika mfumo wa kuona kifo ni haki yetu bilakujali kuonewa au kuoneana
mfano 3 vita vya kifamilia vinaendelea kuwa na nafasi kubwa maishani tunasikia baba mama mtoto ndugu jamaa na marafiki wanauwana hili nijambo lakusikitisha na ni ishara ya kuisha kwa amani duniani
vita vya kikabila
tunamifano kuanzia nchi ya rwanda rwanda ina makabila matatu(watusiwatwa na wahutu) lakini yanasifika kwa makabila mawili(wahutu na watusi) tu kwa nini yasikike makabila hayo mawilitu
ni kwasababu ya uhasama ulipo baina ya watusi na wahutu watusi na wahutu kila mmoja anasifa yake na ana upungufu wake wanasiasa wasomi walijenga mfumo wakuwatawala wanyarwanda katika mfumo wa kikabila nakuwapelekea kuingia katika janga la mauwaji yenye miaka 1959 na 1994 miaka hii iliweza kuwauwa wanyarwanda zaidi ya milioni mbili(vifo vya watu 2000000)
kenya na vita ya ukabila
kenya na ukabila kwasasa kenya wanajikuta wakitaabika kutokana na mfumo wa wasomi wa kuwasababishia uhasama wa kikabila na vifo vyenye msongamano
kwasasa baadhi viongozi wa kenya na rwanda bila kuisahau laibelia wako katika mahakama ya umoja wa mataifa
drc ukabila umetawala nchi ya kongo na kuisababishia hasara ya vifo zaidi ya watu milioni 4 (vifo vya watu 4000000)
libya katika vita vya kikabila
libya kwasasa tunashuhudia vita vya kikabila baina ya ukoo wa waasi na baina ya ukoo wa ghadafi zaidi ya watu elfu mbili wameisha kufa ( 2000 wamesha kufa)
vita ni vingi sana vyenye kungamiza
vita vya kidini ukitaka kujua vita vya kidini tuna mfano ndani ya nigeria palestina na israel spain china india iraq iran bahrain chechenia bosnia ivory costwatu zaidi wanaendelea kufa
vita vya mali
kwasasa nchi tajiri zinahitaji kujiimarisha kiuchumi kupitia migongo ya nchi zenye rasili mali(madini mafuta pamba kokoa alimasi chuma kopank) mataifa hayo ndio yenye michongo na ujanja wa kumiliki uchumi kupitia njia ya maelewano maelewano yanatokana na mashariti yenye kulinda maslahi ya kila upande na unapokwenda kinyume utajikuta ukipewa sababu ya kuachia ngazi ya madaraka au kupewa adhabu ya kifo
sadamu husein
viungozi wengi duniani wanaondoka madarakani kwa kashfa ya dhulma ufisadi na maranyingi adhabu ya kifo
| 2017-06-24T06:52:15 |
http://maishani.blogspot.com/2011/04/muelekeo-wa-dunia-maishani.html
|
mitandao ya kijamii inavyoweza kunufaisha biashara yako mtazamo news
sio lazima utumiapo mitandao ya kijamii uzione faida zote hizo zilizoorodheshwa hapo juu lakini kwa mujibu wa tafiti mbalimbali ukiyazingatia matumizi sahihi na kwa umakini hutoona haja ya njia nyinginezo jumia travel inaamini kwamba haujachelewa kuitangaza biashara yako mtandaoni na kama ulishafanya hivyo basi pitia upya na uone kama unayazingatia yaliyoandikwa kwenye makala haya share this
| 2017-06-26T22:32:28 |
http://www.mtazamonews.com/2017/05/mitandao-ya-kijamii-inavyoweza.html
|
ethiopia yaongoza barani afrika kwa kuhifadhi idadi kubwa ya wakimbizi | habari za un
ethiopia yaongoza barani afrika kwa kuhifadhi idadi kubwa ya wakimbizi
wakimbizi wasudan kusini wanoishi katika makazi ya muda wakisubiri mahema kutoka unhcrethipoia inawahifadhi zaidi ya wakimbizi 600000picha© unhcr/pwiggers
shirika la umoja wa mataifa la kuhudumia wakimbizi unhcr limesema hivi sasa ethiopia inaongoza barani afrika kwa kuhifadhi idadi kubwa ya wakimbizi nafasi ambayo awali ilikuwa inashikiliwa na kenya
kwa sasa ethiopia inahifadhi wakimbizi karibu 630000 ikiwa ni takwimu za hadi mwezi uliopita ilhali kenya inahifadhi zaidi ya wakimbizi 575000 waliosajiliwa na wasaka hifadhi
mizozo nchini sudan kusini imechochea ongezeko la wakimbizi ethiopia wakiwemo pia wasomali na waeritrea
kwa sasa unhcr imesema inatoa misaada ya hifadhi kwenye kambi 23 na vituo vitano vya muda nchini ethiopia vinavyohudumia wakimbizi kama anavyosema adrian edwards msemaji wa shirika hilo geneva
kambi tatu kati ya hizo 23 ni mpya pamoja na vituo hivyo vya muda na vilifunguliwa mwanzoni mwa mwaka huu kufuatia kumiminika kwa wakimbizi wanaotoka sudan kusini kambi hizo tatu zimejaa na unhcr inatengeneza nyingine mbili wakati wakimbizi wanasubiri kuhamishiwa kambi mpya zaidi ya wakimbizi 18000 wamehifadhiwa kwenye vituo hivyo vitatu vya muda vilivyoko eneo la magharibi la gambella hata hivyo wiki za karibuni mvua kubwa zimesababisha kufurika maeneo haya kwani yako ukanda wa chini na kambi ya leitchuor ambako hali ni mbaya takribani wakimbizi 10000 zaidi ya moja ya tano ya wakimbizi 47600 kwenye kambi hiyo ya leitchuor wamekumbwa na mafuriko mahema mengi na makazi yamefunikwa kwa maji halikadhalika vyoo vimebomoka hii inatia wasiwasi sana suala la afya na inatishia mafanikio yaliyopatikana katika kudhibiti mkurupuko wa magonjwa yanayoenezwa na maji machafu wakimbizi wamejenga mahema kwenye maeneo ya juu
hadi kufikia katikati ya mwezi huu raia milioni moja nukta nane wa sudan kusini wamelazimika kukimbia makazi yao ambapo kati yao milioni 13 ni wakimbizi wa ndani na zaidi ya 575000 wamekimbilia nchi jirani
africa|hapa na pale|humanitarian aid|law crime|peace and security|taarifa maalumu|women children population
wakunga sudan kusini waitikia wito kuokoa wajawazito unfpa
waasi wa fdlr wakataa kambi ya mpito ya kisangani
| 2018-03-17T05:16:14 |
https://news.un.org/sw/story/2014/08/388512-ethiopia-yaongoza-barani-afrika-kwa-kuhifadhi-idadi-kubwa-ya-wakimbizi
|
jb filamu yampeleka kwa sokoine bongounit
jb filamu yampeleka kwa sokoine
gomesa tv 507 am
mwigizaji wa filamu nchini jacob stephan ametuma ujumbe huu baada ya kufanya vizuri kwa filamu yake ya kalambati lobo
ndugu zangu nimefarijika sana kwa jinsi mlivyoipokea kalambati loboasanteni sanasananajisikia raha sana kwani naelekea kumaliza kwa rekodi nzurisasa mnanidai filamu moja tuniko monduli juu
kijiji kinaitwa enguiki karibu kabisa na nyumbani kwa marehemu sokoine(waziri mkuu wetu)ambae bado hajaona filamu hii naomba ainunuemungu ndie anajua ninavyo wapenda na nilivyo furahi kwa jinsi mlivyo niunga mkonomungu awabarikiatshibe naleng'enjooemayanu indai olaitoriani
| 2017-11-24T15:05:55 |
http://bongounit.blogspot.com/2016/10/jb-filamu-yampeleka-kwa-sokoine.html
|
kwa nini mungu alifanya kazi kupitia roho katika enzi ya sheria | injili ya kushuka kwa ufalme
20190930 193410 8
kazi ya awali ya hatua tatu za kazi ya mungu ilifanywa moja kwa moja na roho na wala si mwili hata hivyo kazi ya mwisho ya hatua tatu za kazi ya mungu inafanywa na mungu mwenye mwili na wala haifanywi moja kwa moja na roho kazi ya ukombozi ya hatua ya katikati pia imefanywa na mungu mwenye mwili katika kazi yote ya usimamizi kazi muhimu sana ni wokovu kutoka katika ushawishi wa shetani kazi muhimu ni kumshinda kabisa mwanadamu aliyepotoka na hivyo kurejesha heshima ya awali ya mungu katika moyo wa mwanadamu na kumruhusu kufikia maisha ya kawaida ni sawa na kusema maisha ya kawaida ya kiumbe wa mungu kazi hii ni muhimu na ni kiini cha kazi ya usimamizi katika hatua tatu za kazi ya wokovu hatua ya kwanza ya kazi ya enzi ya sheria inatofautiana sana na kiini cha kazi ya usimamizi ilikuwa tu ina kuonekana kwa mbali kwa kazi ya wokovu na haikuwa mwanzo wa kazi ya mungu ya kumwokoa mwanadamu kutoka katika utawala wa shetani hatua ya kwanza ya kazi ilifanywa na roho kwa sababu chini ya sheria mwanadamu alijua tu kuzishika sheria na hakuwa na ukweli zaidi na kwa sababu kazi katika enzi ya sheria haikujihusisha na kubadilisha tabia ya mwanadamu sembuse haikuwa inajihusisha na kazi ya jinsi ya kumwokoa mwanadamu kutoka katika utawala wa shetani roho wa mungu alikamilisha hatua hii rahisi ya kazi ambayo haikujihusisha na tabia iliyopotoka ya mwanadamu hatua hii ya kazi ilikuwa na uhusiano mdogo na kiini cha usimamizi na haikuwa na uhusiano mkubwa na kazi rasmi ya wokovu wa mwanadamu na kwa hivyo haikumhitaji mungu ili aweze kuifanya kazi yake
kutoka katika mwanadamu aliyepotoka anahitaji zaidi wokovu wa mungu mwenye mwili
katika enzi ya sheria mungu alikuwa asiyeonekana wala kuguswa na mwanadamu alikuwa tu anawaongoza wanadamu waliokuwa mwanzo wamepotoshwa na shetani na alikuwepo kuwaagiza na kuwaongoza wanadamu kwa hivyo maneno yote aliyoyanena yalikuwa ya kisheria amri na maarifa ya kawaida ya kuishi maisha kama mwanadamu na wala sio kuhusu ukweli unaomruzuku mwanadamu waisraeli chini ya uongozi wake hawakuwa wale waliopotoshwa zaidi na shetani kazi yake ya sheria ilikuwa tu hatua ya kwanza kabisa katika kazi ya ukombozi mwanzo hasa wa kazi ya wokovu na haikuwa inahusiana kamwe na mabadiliko katika tabia za kimaisha za mwanadamu kwa hivyo mwanzoni mwa kazi ya ukombozi hapakuwa na haja kwake kuwa katika mwili kwa ajili ya kazi yake katika israeli ndiyo maana alihitaji kiungo yaani chombo ambacho kwacho angemfikia mwanadamu kwa hivyo kukazuka miongoni mwa viumbe waliozungumza na kufanya kazi kwa niaba ya yehova na hivi ndivyo wana wa wanadamu na manabii walikuja kufanya kazi miongoni mwa wanadamu wana wa adamu walifanya kazi miongoni mwa wanadamu kwa niaba ya yehova ili waitwe na yeye inamaanisha kuwa hao watu walipanga sheria kwa niaba ya yehova na walikuwa miongoni mwa watu wa israeli na watu kama hao walikuwa makasisi walioangaliwa na kulindwa na yehova na roho wa yehova alifanya kazi ndani yao walikuwa viongozi miongoni mwa wanadamu na wahudumu wa yehova wa moja kwa moja manabii kwa upande mwingine ndio waliokuwa na jukumu la kunena na mataifa na makabila yote kwa niaba ya yehova ndio vilevile waliotoa unabii kuhusu kazi ya yehova wawe wanadamu au manabii wote waliinuliwa na roho wa yehova mwenyewe na walikuwa na kazi ya yehova ndani yao miongoni mwa wanadamu walikuwa ndio wale waliomwakilisha yehova moja kwa moja walifanya kazi tu kwa kuwa waliinuliwa na yehova wala si kwa kuwa walikuwa miili ambamo roho mtakatifu mwenyewe alikuwa kapata mwili kwa hivyo ingawa wao walifanya kazi na kuongea kwa niaba ya mungu hao wana wa mwanadamu na manabii wa enzi ya sheria hawakuwa mwili wa mungu mwenye mwili
kutoka katika tofauti kati ya huduma ya mungu mwenye mwili na wajibu wa mwanadamu
wakati wa enzi ya sheria ya agano la kale idadi kubwa ya manabii iliinuliwa na yehova walizungumza unabii kwa niaba yake walitoa maelekezo kwa makabila mbalimbali na mataifa na wakatoa unabii juu ya kazi ambayo yehova angefanya watu hawa ambao wameinuliwa wote walipewa na yehova roho ya unabii waliweza kutazama njozi kutoka kwa yehova na kusikia sauti yake na hivyo walivuviwa naye na wakaandika unabii kazi waliyoifanya ilikuwa udhihirisho wa sauti ya yehova ilikuwa ni kazi ya unabii ambayo waliifanya kwa niaba ya yehova na kazi ya yehova wakati huo ilikuwa ni kuwaongoza watu kwa njia ya roho mtakatifu hakufanyika mwili na watu hawakuona uso wake hivyo aliwainua manabii wengi kufanya kazi yake na akawapatia mashauri ambayo waliyapelekea katika kila kabila na ukoo wa israeli kazi yao ilikuwa ni kusema unabii na baadhi yao waliandika maelekezo ya yehova kwa ajili yao ili kuwaonesha wengine yehova aliwainua watu hawa kuzungumza unabii kutoa unabii wa kazi ya wakati ujao au kazi ambayo ilikuwa bado haijafanyika wakati huo ili kwamba watu wangeweza kutazama maajabu na hekima ya yehova
kutoka katika kuhusu biblia (1)
katika enzi ya sheria yehova alifanya sehemu ya kazi ya mungu ambapo baadaye alinena baadhi ya maneno na kufanya baadhi ya kazi kupitia kwa manabii hiyo ni kwa sababu mwanadamu angemwakilisha yehova katika kazi yake na waonaji wangeweza kutabiri mambo na kutafsiri baadhi ya ndoto kwa niaba yake kazi iliyofanyika hapo mwanzo haikuwa kazi ya kubadilisha tabia ya mwanadamu moja kwa moja na ilikuwa bila uhusiano na dhambi ya mwanadamu na mwanadamu alitakiwa tu atii sheria kwa hivyo yehova hakuwa wa kuwa na mwili na kujifichua mwenyewe kwa mwanadamu badala yake yeye aliongea moja kwa moja na musa na wengine akawafanya wao kusema na kufanya kazi kwa niaba yake na kusababisha wao wafanye kazi moja kwa moja miongoni mwa wanadamu awamu ya kwanza ya kazi ya mungu ilikuwa uongozi wa mwanadamu ilikuwa ndio mwanzo wa vita dhidi ya shetani lakini vita hivi vilikuwa bado kuanza rasmi vita rasmi dhidi ya shetani vilianza na kupata mwili kwa mungu kwa mara ya kwanza na vimeendelea hadi leo tukio la kwanza la vita hivi ni wakati mungu aliyepata mwili alisulubishwa msalabani kusulubiwa kwa mungu aliyekuwa mwili kulimshinda shetani na ilikuwa mafanikio ya awamu ya kwanza katika vita wakati mungu mwenye mwili huanza kufanya kazi kwa mwanadamu moja kwa moja huu ni mwanzo rasmi wa kazi ya kumrejesha mwanadamu na kwa sababu hii ni kazi ya kubadilisha tabia ya zamani ya mwanadamu ni kazi ya kufanya vita na shetani awamu ya kazi iliyofanywa na yehova hapo mwanzo ilikuwa tu ya uongozi wa maisha ya mwanadamu duniani ilikuwa ndio mwanzo wa kazi ya mungu na hata ingawa ilikuwa bado haijashirikisha vita vyovyote au kazi kuu yeyote ilikuwa imeweka msingi kwa ajili ya kazi ya vita vijavyo
kutoka katika kurejesha maisha ya kawaida ya mwanadamu na kumpeleka kwenye hatima ya ajabu
iliyotangulia: enzi ya neema lengo na umuhimu wa kazi ya mungu
inayofuata: kwa nini mungu alifanya kazi huko israeli katika enzi ya sheria
baada ya kuyasoma maneno kuhusu umuhimu wa kazi ya mwenyezi mungu katika siku za mwisho iwapo unaweza kuyatafakari kwa moyo hakika utaweza kupata
mazungumzo ya mungu ya hatua tatu za kazi yake yanatosha kikamilifu kwetu kuona wazi kuwa zimejengwa hatua kwa hatua na kila hatua inahusiana kwa k
yesu anawakilisha kazi yote ya enzi ya neema alipata mwili na kusulubiwa na pia akazindua enzi ya neema alisulubiwa ili kukamilisha kazi ya ukomboz
maneno husika ya mungu: mpango wangu mzima wa usimamizi mpango ambao una urefu wa miaka elfu sita unashirikisha hatua tatu au enzi tatu enzi ya
| 2020-07-04T21:46:43 |
https://sw.kingdomsalvation.org/gospel/why-work-through-the-Spirit.html
|
unaweza usiamini lakini ukweli ni kwamba bosi mkuu wa kundi la 'tmk wanaume family' said fella anaandika historia kwa kuamua kupanda jukwaani akishika mic ili kuinadi albamu yake ya muziki wa taarabhahaha
fella ambaye anasema albam hiyo ambayo bado hajaipa jinatayari amekwisha rekodi nyimbo 5 na anaanza rasmi kuinadi huku tayari akiwa ameshajipanga kuandaa maonyesho ambayo ataimba akiwa na bendi yake mpya ya mkubwa na wanawe aliyoianzisha hivi karibuni
mkubwa kuanzia sasa nimeamua kushika mic na ninaanza kuimba kuzinadi nyimbo za albamu yangu ya taarab nitaandaa maonyesho na pia nitashiriki kwenye maonyesho ya makundi mengine ya taarab na pia kama mtu atanihitaji katika onyesho lake tutajadili mambo ya maslahi nikiridhika nitaimba alisema fella
katika albamu yake hiyo fella amewashirikisha wakali wa mipasho wakiwemo hassan kumbi maua tego isha ramadhani isha mashauzi na malkia wa mipasho nchini khadija omari kopa
| 2019-06-16T06:47:29 |
http://wahapahapa.com/index.php?option=com_k2&view=item&id=243:fella-atumbukia-kwenye-taarab&Itemid=181
|
msaada mysql | jamiiforums | the home of great thinkers
msaada mysql
discussion in 'tech gadgets & science forum' started by mkamap sep 10 2009
nimejaribu kuandika kitu hiki
where exists ( select adres
nimejaribu kubadili sana lakini wapi na tatizo mie sioni naomba msaada haswa wa kutumia exists
code hiyo hapo juu napata error hii
#1064 something is wrong in your syntax obok 'exists (select adres from klienci where id = '1') limit 0 30' w linii 1
mwenye kuona tatizo nisaidie ama kuna namna ya kutumia exist
mkubwa nadhani hiyo kitu huwa inaumiza sana kichwakama una file la hiyo kitu basi mimi naona delete then install again hapo ndio utajua tatizo litakuwa wapi ila kusolve hivyo kama unavyotaka wewe nadhani inabidi ucheze sana na database na sio rahisi
mysql ya mwaka upi unatumia na front end unatumia ipi
coz wakati mwingine inategemeana na version ipi unatumia ya mysql vs front end
tukija kwenye jinsi ya kutumia exists
select * from klienci where exists ( select adres
kwanza kabisa hii query itaanza kua executed kwenye mabano
( select adres
then baada ya kuona kwamba query inareturn rows ndio itakwenda kwenye exists condition
kwamfano ikiwa query hii ikakupa result then exists condition itakua executed na itareturn rows zote kutoka kwenye table ya klienci
kwamahesabu ya haraka haraka nadhani utakua umekosea kwenye datatype naitilia mashaka hiyo column ya id inaweza ikawa umedeclare as integer lakini hapa umeandika as 'varchar' cheki hapa where id = '1'
hebu jaribu kutumia hizi data hapa chini kwenye mysql yako kisha unijuze kama umepata result ama vipi nimejaribu kutumia simple query inayofanana na yako
ukipata result then jaribu kucompare na query yako uone tatizo likwapi just copy and paste into query analzer and run it
copyright varchar(10)
insert into books values (12786 'java'1934)
insert into books values (13331 'mysql'1919)
insert into books values (14356 'php'1966)
insert into books values (15729 'perl'1932)
insert into books values (16284 'oracle'1996)
insert into books values (17695 'pl/sql'1980)
insert into books values (19264 'javascript'1992)
insert into books values (19354 'vbnet' 1993)
rkisha malizia kwa run hii query hapa chini
where bookid = 12786
coming to you soon with a solutionclick to expand
nafikiri version ni 31358 kitu ka hicho maana saizi sipo home nikirudi nitacheck sawalakini nafikiri ni hiyo
nafikiri version ni 31358 kitu ka hicho maana saizi sipo home nikirudi nitacheck sawalakini nafikiri ni hiyoclick to expand
exist haiko suported na version za mysql < 41 jaribu kuupgrade utumia latest mysql version
sina uhakika unajaribu kufanya nini lakini pengine hii inaweza kufanya unachotaka kufanya hapo
select a* from klienci as a
left join klienci as b
where bid='1' and bid is not null
pia subqueries hasipo supported kwenye mysql < 41 kwa hiyo kama unataka kutafuta klienci zenye same address kwa mfano huwezi kufanya kitu kama hichi pia
from klienci as a left join (select * from klienci) as b on(aadres=badres)
where aid<>bid
mkuu bado tatizo liko pale pale
where bid='1' and bid is not nullclick to expand
mkuu asante nafikiri pia tatizo ni version
nachotaka kufanya ni mfano kunakuwa na table la data za mteja na table la oder za mtejahivyo sitaki kuingiza redandati data za mtejahivyo nachotaka kufanya ni inacheck kama huyo mteja ana exist basi i update order table tu na kama ha exists i update table zotektk shema
nachotaka kufanya ni mfano kunakuwa na table la data za mteja na table la oder za mtejahivyo sitaki kuingiza redandati data za mtejahivyo nachotaka kufanya ni inacheck kama huyo mteja ana exist basi i update order table tu na kama ha exists i update table zotektk shemaclick to expand
nime data structure ya table yako na kile unachotaka kufanya na nitafanya simulation sasa hivi
nadhani solution nzuri ni kufanya hili nje ya mysql kabla huja insert new order check kama client yupo tayari kama yupo perform a query kupata id ya client huyo eg select client_id from client where client_name='client name kutoka kwenye form' kama hayupo insert client kwanza na tumia mysql_insert_id kupata id ya huyo client mpya
baada ya kuwa na id ya client unaweza sasa ku insert hiyo order yako ukiwa umeweka client_id field ya order hiyo sawasawa
unatumia programming language gani
nime data structure ya table yako na kile unachotaka kufanya na nitafanya simulation sasa hiviclick to expand
mkuu nasubiri hiyo kitu
unatumia programming language ganiclick to expand
mkuu nashukuru kwa maelekezo yako muruanilitoka kidogo
nina swali jingine hapa
mfano ktk table yangu na attribute hizi
type _of_productvendor_name modelsasa hapa nataka quel ambayo itatoa bidhaa zote(type_of_product) kutoka kwa ma vendor wotena kila product iwe na attribute yani type _of_productvendor_name model na product zijipange kutokana na type_of_product according to vendor_name
mkuu natumia php
mkuu nasubiri hiyo kituclick to expand
kutokana na posti yako ya kwanza database parser imerespond kuwa kuna syntax error syntax error inaonyesha kuwa umekosea kuandika query yenyewe hivyo inawezekana sio tatizo la version
sasa tuje kwenye uchambuzi wa sql statement kumbuka kuwa database table ni set na queries ni instanties za table
statement hii select * from klienci ni query inayorudisha instant au temporary table yenye data structure sawa na table klient
statement select adres from klienci ni query yenye kurudisha instant au temporary table yenye data structure tofauti na table klient hii ni new table yenye column moja tu inayoitwa adres hivyo kuna uwezekano mkubwa kuwa database engine inashindwa kulinganisha table klienci na temporary table yenye column moja tu
hivyo ningeomba ujaribu
select statement iliyo ndani ya mabano ina data structure sawa na table klienci iliyopo nje sijuhi kama hii itasaidia
select statement iliyo ndani ya mabano ina data structure sawa na table klienci iliyopo nje sijuhi kama hii itasaidiaclick to expand
mkuu wangu angalia majibu kitu hakitaki
sqlquery select * from klienci
limit 0 30 mysql said #1064 something is wrong in your syntax obok 'exists (
) limit 0 30' w linii 4
inabidi nibacktrack niliyosema mwanzo katika kuexecute exists mysql uwa inaignore colums za select zilizopo after exists hivyo select zilizokuwepo chini zinatakiwa kufanya kazi sawa kweny query yako
select * from klienci where id = '1'
select adres from where klienci id = '1'
select 1 from klienci where id = '1'
however exists imeanza kutumika baada ya version 41 hii hapa ni respond niliyopata kutoka mysql
exists is supported from 41 on earlier versions of mysql can try rewriting the query using a left join
hivyo base angalia version ya server yako kama ilivyoagizwa na wachangiaji wengine
pamoja na hayo exists ni technology specific command lakini problem unayotaka kusolve inaweza kuwa solved standard database commands
mkuu natumia phpclick to expand
du sina uhakika kama nimekuelewa
ku select data kutoka kwenye table inayoitwa product yenye columns type _of_productvendor_name model ni kama ifuatavyo
select type _of_productvendor_name model
ukitaka zijiange kuenda na type_of_product ongezea order by type_of_product kama hivi
select type_of_productvendor_name model
order by type_of_product
na ukitaka zijipange kuendana na vendor_name
na ukitaka zijipange kuendana na type_of_product na pale type_of_product zinapofanana zijipange kuendana na vendor_name
order by type_of_product vendor_name
jifunze kidogo basics za sql http//wwww3schoolscom/sql/defaultasp
error 1064 = version mismatch
download mysql mpya tena angalia version ya php inayoendana na mysql otherwise utashinda nalo usiku kucha nimewahi kupata tatizo kama lako tulikuwa na project shule kutumia php scripting apache = server mysql = database phpmyadmin nilipokuwa na download apache kumbe nimechukua ile isiyoendana na mysql jasho likanitoka
nawashukuruni nyote
| 2017-07-25T01:25:24 |
https://www.jamiiforums.com/threads/msaada-mysql.38339/
|
posted on august 16th 2017 halmashauri ya wilaya ya kilolo imejipanga kuongeza fedha kwa ajili ya maandalizi ya nanenane ili kuhamasisha matumizi ya teknolojia kwa lengo la kuonesha matumizi ya teknolojia katika kilimo na ufuga
halmashauri nyanda za juu kusini zatakiwa kupeleka huduma za upimaji afya katani
posted on august 16th 2017 mamlaka za serikali za mitaa mikoa ya nyanda za juu kusini zimetakiwa kuweka utaratibu wa kupima afya katika kata ili wananchi wengi wanufaike na huduma za afya na kukabiliana na magonjwa kauli hi
vyama vya ushirika nyanda za juu kusini vyatakiwa kushikamana kukuza mtaji
posted on august 16th 2017 vyama vya ushirika katika mikoa ya nyanda za juu kusini vimetakiwa kushikamana katika kukuza ushirikiano na mtaji kauli hiyo ilitolewa na mkuu wa mkoa wa iringa amina masenza alipotembelea banda
| 2020-08-04T17:50:28 |
http://iringa.go.tz/news/60
|
chadema tutamalizia kwa dk magufuli tuangaze bongo
home bongo fleva bongo movies burudani elimu habari mapenzi siasa skendo chadema tutamalizia kwa dk magufuli
by tuangaze bongo 1117
mbowe na lowassa wakiteta jambo
siku moja baada ya rais john magufuli kuonya mikutano ya kisiasa ya hadhara chama cha demokrasia na maendeleo (chadema) kimeahidi kumalizia mikutano yake nyumbani kwake chato geita anaandika moses mseti
chadema tutamalizia kwa dk magufuli reviewed by tuangaze bongo on 1117 rating 5
| 2017-12-14T10:15:17 |
http://www.tuangazebongo.com/2016/07/chadema-tutamalizia-kwa-dk-magufuli.html
|
tic yawafunda wabunge kamati za uwekezaji katiba na sheria jijini dodoma habari na matukio
home habari habari na matukio habari za biashara tic yawafunda wabunge kamati za uwekezaji katiba na sheria jijini dodoma
tic yawafunda wabunge kamati za uwekezaji katiba na sheria jijini dodoma
kajunason at november 07 2019 habari habari na matukio habari za biashara
waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu uwekezaji mhe angellah kairuki akizungumza wakati wa semina ya kuwajengea uwezo wajumbe wa kamati za kudumu za bunge za uwekezaji na katiba na sheria iliyofanyika katika ukumbi wa msekwa bunge jijini dodoma leo tarehe 07/11/2019 semina hiyo imeandaliwa na kituo cha uwekezaji tanzania (tic) kwa lengo la kuwajengea uelewa kuhusu masuala ya uwekezaji nchini
mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya uwekezaji dkt raphael chegeni akichangia mada wakati wa semina ya kuwajengea uwezo wajumbe wa kamati za kudumu za bunge za uwekezaji na katiba na sheria iliyofanyika katika ukumbi wa msekwa bunge jijini dodoma leo tarehe 07/11/2019 semina hiyo imeandaliwa na kituo cha uwekezaji tanzania (tic) kwa lengo la kuwajengea uelewa kuhusu masuala ya uwekezaji nchini kushoto ni waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu uwekezaji mhe angellah kairuki na kulia ni makamu mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya katiba na sheria mhe najma giga mwenyekiti wa bodi ya ushauri ya kituo cha uwekezaji tanzania (tic) prof longinus rutasira akitoa maelezo wakati wa semina ya kuwajengea uwezo wajumbe wa kamati za kudumu za bunge za uwekezaji na katiba na sheria iliyofanyika katika ukumbi wa msekwa bunge jijini dodoma leo tarehe 07/11/2019 semina hiyo imeandaliwa na kituo cha uwekezaji tanzania (tic) kwa lengo la kuwajengea uelewa kuhusu masuala ya uwekezaji nchini
mkurugenzi mtendaji wa kituo cha uwekezaji tanzania (tic) bw geofrey mwambe akiwasilisha mada wakati wa semina ya kuwajengea uwezo wajumbe wa kamati za kudumu za bunge za uwekezaji na katiba na sheria iliyofanyika katika ukumbi wa msekwa bunge jijini dodoma leo tarehe 07/11/2019 semina hiyo imeandaliwa na kituo cha uwekezaji tanzania (tic) kwa lengo la kuwajengea uelewa kuhusu masuala ya uwekezaji nchini
baadhi ya wabunge wakifuatilia mada wakati wa semina ya kuwajengea uwezo wajumbe wa kamati za kudumu za bunge za uwekezaji na katiba na sheria iliyofanyika katika ukumbi wa msekwa bunge jijini dodoma leo tarehe 07/11/2019 semina hiyo imeandaliwa na kituo cha uwekezaji tanzania (tic) kwa lengo la kuwajengea uelewa kuhusu masuala ya uwekezaji nchini (picha na idara ya habari maelezo)
| 2020-08-07T23:41:56 |
http://www.kajunason.co.tz/2019/11/tic-yawafunda-wabunge-kamati-za.html
|
majimaji yashuka ndanda yabaki ligi kuu
home/ michezo/majimaji yashuka ndanda yabaki ligi kuu
dar es salaam ama kweli ngombe wa masikini hazai ndivyo unavyoweza kusema baada ya majimaji kushuka daraja rasmi na sasa wataungana na njombe mji kucheza ligi daraja la kwanza msimu ujao wakati ndanda ikisalia ligi uu
majimaji imeshuka baada ya kumaliza kwa sare ya 11 dhidi ya simba wakati ndanda imebaki baada ya kuichapa stand united mabao 31 kwenye uwanja wa nangwanda sijaona mtwara
mshambuliaji chipukizi wa majimaji marcel kaheza ambaye tayari amemalizana na simba kwa makubaliano ya mkataba wa awali alipambana kuhakikisha timu yake ya majimaji inabaki ligi kuu pale alipoipatia bao la kuongoza dakika ya 6 lakini kwa sababu bahati haikuwa yao simba ilisawazisha dakika ya 45 kwa mkwaju wa penalti iliyopigwa na haruna niyonzima
kutokana na matokeo hayo ndanda imebaki ligi kuu baada ya kufikisha pointi 29 na kuicha majimaji chini ikiwa na pointi 25
hata hivyo katika mchezo mwingine uliokuwa na ushindani tanzania prisons imeng'ang'ania kwenye nafasi ya nne baada ya kuifunga singida united bao 10 mchezo uliopigwa uwanja wa sokoine mbeya
matokeo ya mechi nyingine lipuli imeshindwa kutamba nyumbani kwao baada ya kufungwa mabao 21 na kagera sugar mtibwa sugar imetoka suruhu na mbeya city njombe mji imepoteza kwa mwadui fc imechapwa mabao 20 na mbao fc ikitoka sare ya 11 na ruvu shooting 'wazee wa kupapasacredit mwanaspoti
| 2019-08-19T05:47:38 |
https://www.spoti.co.tz/2018/05/majimaji-yashuka-ndanda-yabaki-ligi-kuu.html
|
mchoro wa balsamu (waller) picha za mimea ya nyasi za ndani sheria za utunzaji na kupanda katika ardhi ya wazi na nyumbani matatizo ya kukua maua nyumba ghorofa
ni aina gani ya mmea wa balsam ya waller viwango vya kukua maua ndani ya nyumba na bustani
balsamu mmea mzuri wa mapambo ambayo yanafaa kukua wote nyumbani na bustani kuna aina nyingi za maua haya hivyo mtunza bustani daima ana uchaguzi bustani hasa ya balsam au waller katika miaka ya hivi karibuni kutokana na kuibuka kwa viungo vyake vya sugu aina hii imekuwa imara kama mimea ya bustani isiyojali na yenye kupendeza na rangi zake
makala hii itakuambia nini balsamu ya wall ni jinsi ya kuitunza shida gani unaweza kukutana na kukua na magonjwa na wadudu huweza kutishia maua
maelezo ya kibaniki na historia
balsamines hutoka kutoka misitu ya asia na afrika hizi ni mimea ya kupenda joto ambayo hupenda unyevu ukuta wa balsam (impatiens walleriana) kwa muda mrefu umepandwa kama kupanda watu wanamwita vanka mvua (kuna matone madogo ya unyevu kwenye vidokezo vya majani) na impatiens (wakati kuguswa yeye hutawanya mbegu)
kwa ujumla balsams ya waller ni classic tu wale kukua juu ya sills dirisha na mseto yanafaa kwa vitanda maua kipande cha pili (sentimita 1530) kikiwa na rangi na maua mengi zaidi wanasimama mabadiliko ya joto na unyevu wanaweza kuvumilia joto katika bustani ya maua wanaweza pia kukua nyumbani kwenye kiangaza cha dirisha kilichoaza hata wakati wa majira ya baridi
msaada mahuluti yanaweza kununuliwa katika maduka ya bustani yanaonekana vizuri katika sufuria za kunyongwa
maelezo ya kuonekana na vipengele
hii ni milele (katika mikoa ya joto) mimea ya kichaka yenye urefu wa sentimita 20 hadi 60 yeye ana sifa za juicy yenye matawi mengi majani ni pana kubwa mviringo katika sura yalisema mwishoni na miji ya jagged na rangi ya kijani
urefu wao ni kuhusu sentimita 10 maua 4 sentimita ya kipenyo ama moja au yaliyokusanywa katika inflorescences zilizopungua pedicels kwa muda mrefu wenyewe maua inaweza kuwa rahisi au terry na vivuli tofauti (kawaida nyekundu au nyekundu)
mchanganyiko ni ndogo kwa urefu kutoka sentimita 15 hadi 30 matawi yenye nguvu kutoa rangi zaidi vivuli mbalimbali vya gamma inakua kwa haraka inakua mapema na inapamba bustani kila majira ya joto badala ya kujitegemea inaweza kukua katika kivuli kivuli
picha ya maua ya ndani vanya mvua
kisha unaweza kuona jinsi balsamu ya waller inaonekana kama picha
maua haya mazuri ni maarufu sana kwa wakulima wa maua ikiwa unaamua kukua mmea wa muda mrefu na usio na heshima basi unaweza kuwa na nia ya kujifunza zaidi kuhusu hilo kwenye tovuti yetu utapata habari nyingi kuhusu aina na aina hizo za mmea huu wild ironoriron au ferruginous novogvine na tom samb pia tulizungumza juu ya aina ya mabelamu ya ampelous
kuongezeka kwa matatizo
aina hii ina matatizo fulani matatizo ya kawaida ya balsamu ya waller yameorodheshwa hapa chini
ndogo majani ya rangi inatokana ukosefu wa virutubisho sufuria ndogo joto la juu ukosefu wa taa
majani ya kuanguka kupotosha mabua kuoza uchafuvu joto la chini
majani kavu na kuanguka hewa kavu joto la juu
kupoteza rangi ya jani ukosefu wa taa
uovu maua au ukosefu wake ukosefu wa taa virutubisho au mbolea mbolea hasa nitrojeni
maua ya maua frost baridi overdrying ya udongo sufuria kubwa sana bila uamuzi kuchaguliwa muda wa kupanda
kwa shida hizi zote unaweza kukabiliana na unapozingatia hali ya mmea kwa wakati na kuchukua hatua
kanuni na vidokezo juu ya hali ya kutua
inaaminika kwamba bahari ya balsamu vigumu kukua kutoka kwa mbegu hakika wanapaswa kupandwa januari au katikati ya machi ikiwa wanajiamini kwa ubora mchanga au mchanganyiko wa peat chini ya taa ya ziada ya lazima aidha mbegu ziko kwenye uso wa udongo zimefungwa kidogo na juu ya sufuria inapaswa kufunikwa na filamu kwa ajili ya kuota vizuri
kutoa kwa moto ni muhimu kuitingisha ili wasiwe na magonjwa ya vimelea joto lazima liwe katika joto la kawaida kuhusu digrii 25 mchakato wa risasi unachukua siku 7 hadi 14 wakati ambapo ni muhimu kudhibiti uvuli na hewa miche ili wasiweke unahitaji kupunguza joto hadi digrii 17
katika miche ya wazi ya mimea ya balsamu waller ilihamishwa juniwakati uwezekano wa baridi kwa mimea ya majani hupotea
msaada unaweza pia kukua kutoka kwa vipandikizi kukatwa katika kuanguka wao ni mzima katika sufuria kama mimea ya ndani na katika spring inaweza kupandwa au kushoto kama taka nyumbani mahitaji ya udongo na hali ni sawa
kukua vizuri katika penumbra na katika maeneo yaliyopungua kweli kwa jua moja kwa moja ambapo mmea unaweza kuchoma majani ni bora si kupanda thermophilic haiwezi kuvumilia joto chini ya nyuzi 5 njia bora ya kutua ni kwenye mteremko ambapo jua huchelewa kwa masaa kadhaa kwa siku si zaidi ikiwa balsamu ya waller inakua nyumbani kisha chagua mwelekeo wowote wa dirisha isipokuwa moja ya kusini joto haipaswi kuanguka chini ya digrii 2225
anapenda mwanga udongo wenye rutuba haiwezi kuvumilia unyevu mwingi kwa hiyo ni muhimu kuchunguza kiasi ni vizuri kumwagilia jioni ili usipate majani wakati mzima nyumbani mtu hapaswi kusahau juu ya mbolea mbolea na mbolea lakini kwa kiwango cha wastani na si mara nyingi
home na huduma ya nje
mchoro wa balsamu badala ya kujitetea hauhitaji huduma ya kuongezeka udongo lazima uwe na mvua lakini sio nyingi katika majira ya baridi kwa misitu ya kupikwa kumwagilia ni kupunguzwa huzalishwa baada ya ardhi kulia majani yanaweza kupunjwa jambo kuu si wakati wa hit moja kwa moja ya jua fertilize kuanzia machi hadi septemba kila baada ya wiki mbili ikiwa maua hupandwa katika ardhi ya wazi
ni muhimu kumbuka kwamba shina na majani ni tete sana kutokana na kueneza kwa unyevu kwa hiyo wanapaswa kukua karibu na kila mmoja kama msaada kutoka kwa upepo au katika maeneo yasiyo na upepo wa bustani ni bora kuondoa faded buds ili kuhifadhi muonekano mzuri na kutoa mpya mpya maua bure
katika vuli kabla ya baridi balsams ya bustani ya aina hii ni kufunikwa na sufuria huwekwa katika chumba cha joto siofaa kupandikiza kutoka kwenye bustani hadi kwenye chombo ni bora kuimarisha vipandikizi vya kukua baadaye
ikiwa unazingatia masharti yote ukuta wa balsam hautaumiza hata hivyo ikiwa unakivunja matatizo fulani hutokea kwa majani mizizi au maua
kati ya wadudu hasa aphid maarufu buibui mite na whitefly ya pili inaonekana mara nyingi zaidi katika hali ya hewa kavu bafu ya sabuni na suluhisho la acaricide kumsaidia kutoka kwa hofu na nyeupe hupunguza madawa ya kulevya aktara aktellik konfidor bi58
mti huu hupandwa kwa mbegu chukua mbegu mpya za ubora haitumiwi kutoka kwa mahuluti kwani hawatatoa mali ya wazazi pia huenezwa na vipandikizi ambavyo vilizimika wiki moja hadi mbili
hairuhusiwi kuwa na maudhui ya chumvi ya juu kwenye udongo na kudumisha unyevu mzuri na mwanga kwa aina mbalimbali kutoka kwa vipandikizi unaweza kukua msitu wa nyumbani bila matatizo yoyote njia hii inafaa kwa wakulima waanzia kwa sababu ya unyenyekevu zaidi
balsamu ya waller mmea mzuri na wa muda mrefu ambao unaweza kupamba bustani au nyumbani utulivu wake na urahisi wa huduma ya urahisi ulimruhusu kuwa maarufu sana kwa wakulima balsamu ya aina hii itatoa hisia tu nzuri na itakuwa dhahiri kuwa moja ya vipendwa kati ya mimea mingine
tunakualika kutazama video kuhusu uenezi wa balsamu ya waller kutoka kwa mbegu
| 2019-11-19T17:54:20 |
https://sw.lezgka.ru/9070-what-kind-of-plant-is-wallers-balsam-the-nuances-of-g.html
|
barabara ya mwendokasi yatumiwa na daladala bodaboda kijukuu cha bibi k | habari na matukio
uncategories barabara ya mwendokasi yatumiwa na daladala bodaboda
barabara ya mwendokasi yatumiwa na daladala bodaboda
dar es salaam baada ya mradi wa mabasi yaendayo haraka (dart) kusitisha huduma za usafiri wa mwendokasi leo baadhi ya magari madogo daladala na bodaboda wametumia fursa hiyo kupitisha magari yao katika barabara zinazotumika na magari hayo
dereva wa daladala linalofanya safari zake mbagala rangitatu simu 2000 jafari himid amesema kutokana na foleni iliyopo katika barabara hiyo wameamua kutumia barabara za mwendokasi ili kuokoa muda
bila kufanya hivi hatuwezi kuwahisha abiria na hizi barabara leo hazina matumizi hata trafiki wanatuachia hawajatukamata amesema jafari
hata hivyo barabara ya morogoro road ina foleni kubwa inayosababishwa na kipande cha barabara ya jangwani kujaa top
| 2018-08-18T08:43:24 |
http://www.kijukuu.com/2018/03/barabara-ya-mwendokasi-yatumiwa-na.html
|
wema sepetu na diva waingia kwenye orodha ya kusaidia wasiojiweza | home
albino fulani afikiria kuwafanyisha tour mwanafa na fid q taarifa kwa madaktari waliopo kwenye mafunzo ya vitendo(interns) wema sepetu na diva waingia kwenye orodha ya kusaidia wasiojiweza july 4 2012 differentsourcestz latest news 14th july anime arts charity event entertainment gaming hapa humo huu jay dee jaydee katika kuanza lady jay lady jaydee miss tanzania msaada naye pamoja shule travel vacation video vya watu wema sepetu zaidi leave a comment ray kigosi akitoa msaada
lady jay dee akitoa msaada
muigizaji wa filamu nchini na miss tanzania wa zamani (2006)wema sepetu anatarajiwa kwenda jijini arusha mwezi huu na kushiriki uoashaji wa magari ili kukusanya fedha za kusaidia watu wasiojiweza jijini humo
on 14th july i will be in arusha with manager kushiriki uoshaji wa magari ili kuchangia fedha za kusaidia wasiojiweza in arusha alitweet jana
mwingine aliyeamua kujitolea nguvu na mali kuchangisha fedha kwaajili ya kuwasaidia watoto yatima ni mtangazaji wa clouds fm loveness aka diva
kupitia website yake diva amesema so nimeamua kwa muda mrefu sana kutoa for charity and right now am too busy organizing this charity event inayoitwa diva giving for charity aim is raising much needed funds to support orphans
june na july imekuwa miezi iliyotumiwa zaidi na mastaa wa hapa nchini kusaidia vituo vya watoto yatima
june 30 mwanamuziki lady jaydee pamoja na familia yake walikitembelea kituo cha watoto yatima cha maunga centre kilichopo kinondoni jijini dar es salaam na kutoa misaada mbalimbali ikiwa pamoja na kushiriki chakula cha mchana na watoto hao
katika hotuba yake kituo hicho kilisema kinakabiliwa na changamoto mbalimbali ambazo ni pamoja na kukosa fedha za kuwalipa wahudumu kukosa eneo kubwa la kujenga kituo kukosa wafadhili watoto kutokuwa na sare za shule na kukosa gharama za kuwasomesha (michango ya shule)
lady jaydee aliwaahidi kuwatafutia kiwanja kikubwa kwaajili ya kujenga kituo kingine na kusema kuwa iwapo akitokea mtu wa kuwasaidia kiwanja watachangisha fedha za kuanza ujenzi huo
naye muigizaji wa filamu mwenye mafanikio makubwa nchini raymond kigosi aka ray the greatest weekend iliyopita alikitembelea kituo hicho cha maungo na kutoa msaada sambamba na uzinduzi wa filamu yake mpya ya sobbing sound
kupitia blog yake ray alisema hili ni jukumu la watanzania wote kuanza kuguswa katika hili maana hapa duniani sisi ni wapangaji tu makazi yetu ni kwa mungu baba sasa unapopata kidogo jaribu kuwafikiria na wale waliokuwa na maisha magumu yaani tugawane umasikini
albino fulani afikiria kuwafanyisha tour mwanafa na fid q taarifa kwa madaktari waliopo kwenye mafunzo ya vitendo(interns) month viewers 695450 hits
top posts & pages hawa ndio top 15 mastaa wa majuu wenye makalio makubwa ndani ya hollywood top 10 ya magari ya gharama kubwa kuliko duniani mwaka 2012 magari wanayo endesha matajiri wakubwa duniani picha 22 za maisha kim kardashian kabla hajawa maarufu na baada ya kuwa maarufu pamoja na baadhi ya boyfriend wake hii ndio limousine ndefu kuliko zote duniani yenye urefu wa futi 100 hawa ndio top 10 ya matajiri africa 2012 picha za mad ice & miikka mwamba wakipiga kazi studio nchini finland hizi ndio picha za maandamano ya jose chameleone kudai passport yake kwa eric shigongo hollywoods hottest dads 2012 huyu ndiye mtoto wa maajabu aliyezaliwa katika hospitali ya mkoa wa singida recent posts happy birthday antonio banderas today august 10 you are 52 years old
| 2017-04-24T01:31:24 |
https://infosourcestz.wordpress.com/2012/07/04/wema-sepetu-na-diva-waingia-kwenye-orodha-ya-kusaidia-wasiojiweza/
|
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.