text
stringlengths
44
187k
timestamp
timestamp[us]
url
stringlengths
16
3.37k
dup_ids
list
WAVAMIZI WA HIFADHI YA MISITU WILAYANI YA GAIRO WAONDOLEWA | MTAA KWA MTAA BLOG WAVAMIZI WA HIFADHI YA MISITU WILAYANI YA GAIRO WAONDOLEWA Kajunason Sunday, December 24, 2017
2018-04-23T09:46:32
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2017/12/wavamizi-wa-hifadhi-ya-misitu-wilayani.html
[ -1 ]
Able2extract key | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Discussion in 'Tech, Gadgets & Science Forum' started by mang'ang'a, Oct 27, 2011. br znu wakuu, hiyo hapo juu ni sofware nzuri sana ya ku convert hata scanned doc to word, Exel, Publisher etc kwa anaeweza ku crack key yake afanye msaada. ni matumaini yang hapa hakishindikani ki2, hii hapa chini ni link yake Download Able2Extract Professional with crack 6- Enjoy all the features of Able2Extract version 6 - SPIDERSOFT::Fast downloads of the latest free software-free softwares-opensource-freeware-recovery softwares-free windows utilities-windows 7-xp-serve niPM mkuu nitakupatia ver6 au 7 pro niPM mkuu nitakupatia ver6 au 7 proClick to expand... USHAMBA SIKU YA KWENDA UKIRUDI UNAJUA NJIA, KU pm NDIO NAFANYEJE? USHAMBA SIKU YA KWENDA UKIRUDI UNAJUA NJIA, KU pm NDIO NAFANYEJE?Click to expand... Kutuma Private Message! Download Able2Extract Professional with crack 6- Enjoy all the features of Able2Extract version 6 - SPIDERSOFT::Fast downloads of the latest free software-free softwares-opensource-freeware-recovery softwares-free windows utilities-windows 7-xp-serveClick to expand... Hapo kwenye red highlighted umeudanganya umma!
2017-04-26T00:33:19
https://www.jamiiforums.com/threads/able2extract-key.186394/
[ -1 ]
Umoja wa Ulaya waitaka Tanzania ijitathmini mapambano dhidi ya Rushwa | FikraPevu Yasema dawa ya rushwa ni uwazi na uwajibikaji Kuzijengea uwezo Asasi ya Kiraia kukuza Demokrasia nchini Umoja wa Ulaya (EU) umeitaka serikali ya Tanzania kuimarisha taasisi za uwajibikaji na uwazi kwa kupanua wigo wa Asasi za Kiraia kufanya kazi na jamii ili ifanikiwe katika mapambano dhidi ya rushwa na kuwaletea wananchi maendeleo. Tamko hilo la EU linakuja siku chache baada ya serikali kuiondoa Tanzania kwenye Mpango wa Uendeshaji wa Shughuli za Serikali kwa (OGP) na kuziagiza Halmashauri za miji kutoshirikiana na Asasi za kiraia mpaka zipate idhini ya Wizara Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI). Wito huo umetolewa leo jijini Dar es Salaam na Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Balozi Roeland van de Geer wakati akizindua Mradi wa Kutete Haki ya Demokrasia, Uwazi na Uwajibikaji katika jamii, amesema changamoto kubwa inayoikabili Tanzania ni rushwa ambayo imedhoofisha juhudi za serikali kuwaletea wananchi maendeleo. “Rushwa inaharibu rasilimali za wananchi na jamii, zaidi kuvunja haki zao za msingi na uhuru. Gharama za kiuchumi ni kubwa lakini gharama za rasilimali watu na jamii ni kubwa zaidi”, amesema Balozi Geer na kuongeza kuwa, “Rushwa ni adui wa maendeleo na mafanikio. Ni chanzo kikubwa cha umaskini na kikwazo kuushinda. Dawa ni uwazi”. Ili kuhakikisha rushwa inatokomezwa katika jamii, ameshauri kuundwa kwa taasisi imara zinazojiendesha kwa uwazi na kuwajibika kwa wananchi ambao ndio wadau muhimu wa shughuli za maendeleo. “Kupambana na rushwa ni mapambano yanayohitaji taasisi imara na wananchi makini katika ngazi zote. Lakini rushwa haitokei Tanzania peke yake. Rushwa ipo kila sehemu lakini tofauti ni kwamba taasisi zao zina uwezo na utashi wa kupambana nayo”, amesema Balozi Geer. "Ugonjwa mkubwa ni RUSHWA. Chanjo ni UWAZI"– Bono Vox. Ameongeza kuwa rushwa bado ni changamoto katika Umoja wa Ulaya ambapo kila mwaka inaigharimu Euros bilioni 120 kwa mwaka. Wataendelea kushirikiana na Tanzania katika kuzijengea uwezo Asasi za Kiraia na wananchi hasa kwenye masula ya demokrasia, uwazi na uwajibikaji wa viongozi katika jamii ili kujenga jamii inayoheshimu misingi ya demokrasia. Uwazi na Uwajibikaji katika Serikali za Mitaa Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Mradi wa ‘Tuungane Kutete Haki’, Daniel El-Noshokaty amesema ili mapambano ya rushwa yafanikiwe inahitajika nguvu ya pamoja katika ngazi ya serikali ya mitaa ambako uwakilishi wa wananchi unapatikana. “Rushwa ni kikwazo katika njia ya maendeleo ambayo Tanzania inapita; mapambano yake yanatakiwa kuanzia kwenye mizizi ya taifa. Kwa kufanya hivyo, nchi itakuwa na nafasi nzuri ya kutokomeza rushwa katika ngazi ya juu. Kwa Pamoja Tanzania inaweza ikasimama na kupambana na rushwa”, amesema El-Noshokaty. Kulingana na Shirika la Transparency International (2016) inaiweka Tanzania katika nafasi ya 116 katika ya nchi 176 zenye viwango kikubwa cha rushwa duniani. Na sababu kubwa ni kutokuwa na mifumo imara ya kitaasisi inayofanya kazi kwa uhuru na uwazi. Licha ya serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na rais John Magufuli kupiga hatua katika mapambano dhidi ya rushwa, bado rushwa inajitokeza kwa sura tofauti na kuathiri kwa sehemu kubwa upatikanaji wa huduma za kijamii, kudhoofisha mfumo wa utawala na kuzuia mazingira mazuri ya kufanya biashara. Ufunguzi huo wa Mradi wa ‘Tuungane Kutetea Haki” ulihudhuriwa na wadau mbalimbalimbali kutoka Asasi za kiraia na viongozi wa serikali, ambapo wote wamesisitiza uwepo wa uwazi katika shughuli za maendeleo na viongozi kuwa tayari kuwajibika kwa wananchi ili kujenga jamii inayoheshimu misingi ya demokrasia. (Kutoka kushoto-Kulia) Meneja Programu EU: Kitengo cha Uchumi na Utawala, Vania Bonalberti, Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) , Roeland van de Geer akiwa na Meneja Miradi wa KAS. Maria Kayombo na Mkurugenzi wa Miradi-KAS, Daniel El-Noshokaty wakati wa uzinduzi jijini Dar es Salaam. Mabadiliko ya Sera na Sheria kuchochea Uwazi Hata hivyo, Mkurugenzi Mtendaji wa InterStar Consults, Lawrence Kilimwiko amesema Serikali za Mitaa zinaongozwa kwa msukumo wa kisiasa na utashi wa baadhi ya viongozi toka Serikali Kuu ambao wanatumia rasilimali za nchi kwa manufaa binafsi. Ameitaka jamii kupaza sauti na kudai uwajibikaji na uwazi kwa kupigania mabadiliko ya kisheria na sera ambazo zimekuwa kikwazo kwa maendeleo ya nchi. Mradi wa ‘Tuungane Kutetea Haki’ unafadhiliwa na Umoja wa Ulaya, Konrad-Adenauer-Stiftung (KAS) kwa kushirikiana na taasisi za Actions for Democracy and Local Governance (ADLG) na Civic Education Teachers Association (CETA) ambao utagharimu bilioni 2.5 katika miaka miwili ya utkelezaji wake. Mradi huo una lengo kupunguza mianya ya rushwa kwa kukuza ushirikiano baina ya Asasi za Kiraia (AZAKI) na Serikali za Mitaa kwa kupanua wigo wa siasa, kuongeza uwazi na uwajibikaji katika ngazi ya Halmashauri. Unatekelezwa katika mikoa ya Geita, Simiyu, Ruvuma, Lindi, Mara, Kagera na Pwani ambaopo utafanya kazi sambamba na vyombo vya habari zikiwemo redio za kijamii katika maeneo husika.
2020-08-07T04:10:47
https://fikrapevu.com/umoja-wa-ulaya-waitaka-tanzania-kujitathmini-mapambano-dhidi-ya-rushwa/
[ -1 ]
(showing articles 21961 to 21980 of 37921) 01/11/17--03:37: _Benki ya KCB yatoa ... 01/11/17--03:41: _KAMANDA WA POLISI K... 01/11/17--03:49: _RAIS DKT. MAGUFULI ... 01/11/17--03:59: _UTEUZI WA MKURUGENZ... 01/11/17--04:06: _TEA Yatoa Milioni 4... 01/11/17--05:36: _NAIBU WAZIRI JAFO A... 01/11/17--05:41: _TANZIA 01/11/17--05:43: _VODACOM TANZANIA FO... 01/11/17--05:45: _SERIKALI KUFANYA MA... 01/11/17--05:54: _MABULA: SERIKALI YA... 01/11/17--06:01: _WAKAZI WA MIJINI WA... 01/11/17--06:13: _MAKAMU WA RAIS MHE.... 01/11/17--06:25: _MUFTI AWATAKA WAISL... 01/11/17--06:27: _Enjoy ‘Travel Wedne... 01/11/17--06:45: _RAIS DKT. MAGUFULI ... 01/11/17--06:55: _RAIS DK. SHEIN AFAN... 01/11/17--07:21: _KAMATI YA BUNGE YA ... 01/11/17--07:23: _TTCL YAZINDUA HUDUM... 01/11/17--07:49: _TEA Yatoa Milioni 4... 01/11/17--07:53: _MAJALIWA AZINDUA BA... older | 1 | .... | 1097 | 1098 | (Page 1099) | 1100 | 1101 | .... | 1897 | newer 01/11/17--03:37: Benki ya KCB yatoa mafunzo kwa ajili ya wanawake wajasiriamali nchini inayoitwa “2jiajiri”. Benki ya KCB Tanzania yatoa mafunzo kwa ajili ya wanawake wajasiriamali inayoitwa 2JIAJIRI. Programu hii inalenga kumkomboa mwanamke mjasiriamali kutoka katika matatizo yanayosababisha biashara yake ishindwe kuendelea. Programu hii itaongeza ajira nchini kwa wanawake na hivyo biashara zao zitapanuka na kuwa na uwezo wa kuajiri wengine. Mafunzo haya yataendeshwa na wataalamu kutoka Tanzania Entrepreneurship and Competitiveness Center -TECC waliobobea katika masuala ya kijasiriamali, kifedha na ushindani wa biashara “Mpango huu ni endelevu na tumepanga kufundisha wajasiriamali 315 nchi nzima. Leo tunafundisha wajasiriamali 100 katika makundi mawili tofauti. Mafunzo haya ni bure kabisa, KCB Bank itagharimia gharama zote. Tunachokihitaji kutoka kwao ni mahudhurio ya siku zote tatu na usikivu wa hali ya juu.” Alisema Godfrey Ndalahwa, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya KCB. Bw. Ndalahwa aliendelea kwa kusema kuwa mafunzo hayo yatafanyika mikoa yote ambako benki ya KCB ina matawi, Dar Es salaam, Mwanza, Morogoro, Arusha, Moshi na pia Zanzibar. Na tunalenga wanawake wajasiriamali wadogo na wa kati ambao tayari wanaendesha biashara lakini wanataka kuziimarisha zaidi. Lengo ni kuwawezesha kudhibiti vipengele vya uzalishaji na mgawanyo wa mapato na faida {control over factors of production and distribution of income and benefits) lakini zaidi ni kuwawezesha kuyatawala maisha yao kiuchumi na kijamii. “Matatizo tunayotarajia kutatua kutoka kwa wanawake wajasiriamali ni elimu ya kifedha, kufikia huduma za kifedha, Ukosefu wa dhamana, kutokujua vizuri masuala ya kisheria, uelewa finyu wa sera za serikali na kiuchumi, njia hafifu za kuendesha biashara endelevu, ukosefu wa mtaji na utaalamu wa kuanzisha biashara kubwa” alisema. Mkurugenzi aliongeza kwamba baada ya mafunzo hayo benki itawapatia wanawake wajasiriamali hao maafisa watatu watakaotembelea bishara zao na hii ni kwa wale tu ambao watahudhuria mafunzo ya siku tatu yote na kuonyesha nia ya kubadilika/kuendelea kibiashara). Maafisa hao watakua ni afisa fedha, afisa sheria na afisa masoko. Alimaliza kwa kuwaambia wanawake wajasiriamali “JIULIZE KWANINI uhangaike wakati benki ya KCB tupo!” Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya KCB Tanzania Godfrey Ndalahwa akizungumza na baadhi ya wanawake waliohudhuria mafunzo ya ujasiriamali yaliyotolewa na benki hyo mkoani Dar es salaam. Baadhi ya wanawake wajasiriamali waliohudhuria mafunzo ya ujasiriamali yalitolewa na Benki ya KCB mkoani Dar es salaam. 01/11/17--03:41: KAMANDA WA POLISI KILIMANJARO,SACP MUTAFUNGWA AKAGUA UJENZI WA KITUO CHA POLISI URU Kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro akikagua ujenzi wa kituo cha polisi kinachojengwa kwa nguvu za wananchi eneo la Uru Kimanganoni kati. Kushoto ni askari mstaafu,mkazi eneo hilo Philipo mushi akimpokea Mutafungwa .Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii ,Kanda ya Kaskazini. 01/11/17--03:49: RAIS DKT. MAGUFULI AWASALIMIA WAKAZI WA KISESA, MAGU, NA BUSEGA MKOANI SIMIYU 01/11/17--03:59: UTEUZI WA MKURUGENZI WA MAENDELEO YA MICHEZO 01/11/17--04:06: TEA Yatoa Milioni 496 Kujenga Uzio wa Hosteli Mpya za UDSM. TEA tayari imefadhili miradi mbalimbali Chuo Kikuu cha UDSM ikiwemio ujenzi wa vyumba vya mihadhara, ununuzu wa vitabu vya kiada, vifaa kwa ajili ya wanafunzi kwenye mahitaji maalum, ufadhili wa kozi za "Pre Entry" kwa wanafunzi wa like katika masomo ya sayansi, ununuzi wa mitambo na vifaa vya Tehama 01/11/17--05:36: NAIBU WAZIRI JAFO AHAIDI KULIVALIA NJUGA SUALA LA WANANCHI WA MAFIA KUKOSA HUDUMA YA X-RAY NA VICTOR MASANGU, MAFIA WAKATI serikali ya awamu ya tano ikiwa ni mpango wa kuhakiisha inajenga zahanati katika kila kijiji katika nchi nzima wananchi katika baadhi ya maeneo mengine wanakabiliwa na changamoto mbali mbali ikiwemo ukosefu wa vifaa tiba, madawa, wauguzi, madaktari pamoja na huduma ya upatikanaji wa mashine ya X-Ray hali inayopelekea wagonjwa kushindwa kupatiwa matibabu kwa wakati unaotakiwa. Changamoto hizo zimebainika baada ya Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na serikali za mitaa(TAMISEMI) Seleman Jafo wakati wa ziara yake ya kikazi katika Wilaya ya Mafia iliyopo Mkoani Pwani kwa ajili ya kuweza kukagua shughuli mbali mbali za miradi ya kimaendeleo ikiwa pamoja na kuweza kubaini changamoto na matatizo yanayokakabili wananchi. Naibu Waziri Jafo mara baada ya kuhitimisha ziara yake ya siku moja ameweza kuzungumza na watumishi na kusema kwamba amesikitishwa sana na hali inayowakabili wananchi wa Mafia hususan katika sekta ya afya kwani kwa sasa wapo katika wakati mgumu kutoka na na kukosa huduma ya mashine ya X-Ray kwa kipindi cha miezi sita sasa hivyo kuwalazimu baadhi ya wagonjwa kwenda kupatiwa matibabu Jijini Dar es Salaam kwa kutumia usafiri wa boti au ndege. “Kwa kweli mimi kama kiongozi wenu hili jambo la wananchi wa Wilaya ya Mafia kutokuwa na huduma ya X-Ray sio sahii kabisa hata kidogo yani wataalamu ndani ya miezi mitatu mmeshindwa kulitafutia ufumbuzi wakati wananchi wanaendelea kupata tabu na ukizingatia mtu akiumwa wakati yupo huku mafia inakuwa ni vigumu sana kumsafirisha kwenda Dar es Salaam kutibiwa, na ukizingatia gharama yenyewe ni kubwa”alisema Jafo kwa masikitiko. Jafo alisema kwamba kutokana na kuwepo kwa changamoto hiyo ya ukosefu wa huduma ya X-ray aliahidi kulishughulikia kwa hali na mali ili kuweza kuwasaidia wananchi wa Mafia waweze kupatiwa matibabu yanayostaili na sio kupata tabu wakati serikali yao ipo kwa ajili ya kuweza kuzitatua changamoto walizonazo. Kwa upande wake Mganga mkuu wa Wilaya ya Mafia Joseph Mzimbe amekiri kuwepo kwa tatizo hilo la kutokuwa kwa huduma ya X-Ray na kudai kwa sasa wagonjwa wengine pindi wanapohitaji huduma hiyo wanashindwa kufanyiwa vipimo kutoka na gharama ya usafiri kutoka Mafia hadi kupelekwa katika hospitali zilizopo Dar es Salaam ni kubwa Naye mmoja wa wananchi aliyejitambulisha kwa jina la Hamisi Mshilazi akizungumza kwa niaba ya wenzake,amesema kuwa mashine hiyo ya X-ray kwa upande ni tatizo sugu kutokana na kuharibika mara kwa mara hivyo kuzolotesha utoaji wa huduma kwa wagonjwa na kubainisha gharama ya usafiri wa boti na ndege ni kubwa hivyo wanajikuta baadhi yao wenye kipato cha chini wanashindwa kwenda kupelekwa kwa ajili ya kupatiwa matibabu zaidi katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Riziki Mngwari yeye ni Mbunge wa viti maalumu ambaye anaiwakilisha Wilaya ya Mafia Mkoa wa Pwani kupitia (CUF) ambaye alikuwepo katika ziara hiyo hakusita kutoka kilio chake kwa serikali ya awamu ya tano katika kuwaboreshea huduma ya afya wananchi eneo hilo kwani wanateseka sana katika kupatiwa matibabu yanayostahili. WANANCHI wa Wilayani ya Mafia Mkoa Pwani kwa sasa hawana huduma yoyote ya mashine ya X-ray hivyo kuwalazimu baadhi ya wagonjwa kutumia gharama kubwa kwa ajili ya kwenda kupatiwa matibabu zaidi katika hopsitali zilizipo Jijini Dar es Salaam kwa kutumia usafiri wa ndege au kwa boti ambayo kutokana na gharama yake kuwa ni kubwa wanashindwa kuimudu hivyo kunahitajika juhudi za makusudi kutoka serikalini ili kuweza kuboresha sekta ya afya. Naibu Waziri ofisi ya Rais Tamisemi Seleman Jafo akiwasili katika uwanja wa ndege wa Mafia Mkoani Pwani kwa ajii ya ziara yake ya kikazi kukagua miradi mbali mbali ya maendeleo na kuweza kubaini changamoto za wananchi zinazowakabili. Naibu Waziri Ofisi ya Rais Seleman Jafo akisaliamina na baadhi ya viongozi na watumishi wa halmashauri ya Wilaya ya Mafia Mkoani Pwani mara baada ya kuwasali kwa ajili ya kuendelea na ziara yake ya kikazi ya kukagua miradi mbali mbali ya maendeleo Naibu Waziri akizungumza na baadhi ya watumishi wa halmashauri ya Wilaya ya Mafia wakiwemo walimu wa sekondari hawapo pichani wakati wa ziara yake ya kukagua miradi mbali mbali ya maendeleo Wilayani humo,(PICHA NA VICTOR MASANGU) 01/11/17--05:41: TANZIA 01/11/17--05:43: VODACOM TANZANIA FOUNDATION YAWAKUMBUKA WATOTO WA SHULE MAALUMU MKOANI NJOMBE Mtoto mwenye ulemavu wa ngozi wa shule maalumu ya msingi ya Mundindi wilayani Ludewa Mkoani Njombe, Yohana Mwaifuge(katikati) akipokea moja ya msaada toka kwa Meneja wa Vodacom Tanzania wa Mkoa huo, Benedict Kitogwa aliyekabidhi msaada huo jana kwa niaba ya Vodacom Tanzania Foundation.Msaada huo wenye thamani ya shilingi Milioni 15/- ni Vyakula,Sabuni, Magodoro pamoja na mablanketi. Meneja wa Vodacom Tanzania Mkoa wa Njombe, Benedict Kitogwa(kushoto) akimsalimia mtoto mwenye ulemavu wa macho wa shule maalumu ya Mundindi wilayani Ludewa Mkoani humo, Robert Lwaizala wakati alipotembelea shule hiyo jana kukabidhi msaada wa vitu mbalimbali wenye thamani ya shilingi Milioni 15/- kwa niaba ya Vodacom Tanzania Foundation. Baadhi ya watoto wanaosoma katika shule maalumu ya Mundindi wilayani Ludewa Mkoani Njombe, wakila chakula cha mchana na Meneja wa Vodacom Tanzania wa mkoa huo, Benedict Kitogwa(katikati)baada ya kukabidhi msaada wa vitu mbalimbali jana kwa niaba ya Vodacom Tanzania Foundation wenye thamani ya shilingi Milioni 15/- kama vile Vyakula, Sabuni, Magodoro pamoja na mablanketi. 01/11/17--05:45: SERIKALI KUFANYA MAPITIO YA SHERIA YA SEKTA YA SANAA NA BURUDANI –WAZIRI NAPE 01/11/17--05:54: MABULA: SERIKALI YA AWAMU YA TANO IMEDHAMILIA KUMALIZA MIGOGORO YA ARDHI NCHINI Aidha, amemtaka Mkurugenzi mtendaji wa Mji wa Mafinga kuhakikisha anarasimisha makazi ya wakazi wa kata ya Kinyanambo iliyopo mjini Mafinga kwa kuhakikisha kuwa makazi yao yanapimwa na wanapatiwa hati ili wamiliki maeneo yao kisheria jambo ambalo litawafanya waishi kwa kujiamini katika maeneo yao lakini pia waweze kuzitumia hati hizo kama dhamana katika taasisi za kifedha. Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula akiongea na wananchi katika ukumbi wa CCM mjini Mafinga kabla hajaanza kusikiliza kero zao. Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula akikagua mfumo wa kielektroniki wa wamiliki wa ardhi alipotembelea ofisi za ardhi Wilayani Mufindi. Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula akiwa ameongozana na Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Jamhuri William mara baada ya kukagua mfumo unaohifadhi takwimu za wamiliki wa ardhi Wilayani Mufindi. 01/11/17--06:01: WAKAZI WA MIJINI WAHIMIZWA KUJIKTA KWENYE BUSTANI ZA MAKOPO NA MIFUKO 01/11/17--06:13: MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA MRADI WA UJENZI WA NYUMBA 252 ZA MAKAZI MBWENI ZANZIBAR 01/11/17--06:25: MUFTI AWATAKA WAISLAMU KUOMBA NCHI IPATE MVUA IONDOKANE NA UKAME NA BAA LA NJAA aijaalie nchi yetu na nchi jirani zetu kupata mvua za kheri zitakazotusaidia kutuepushia ukame na madhara yake ikiwemo baa la njaa" alisema Sheikh Mataka.Katika hatua nyingine Mufti wa Tanzania amewateua Mwenyekiti wa Halmshauri Kuu Bakwata Taifa, Sheikh Khamis Said Mataka na Mkurugenzi wa Daa'wa na Tabligh Bakwata Makao Makuu Sheikh Hassan Said Chizenga kuwa wasemaji rasmi wa Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (Bakwata) uteuzi ambao umeaanza mara moja.Akizungumzia matumizi ya wadhifa wa Sheikh Mkuu alisema kumekuwa na matumizi yasiyosahihi kwa baadhi ya masheikh wa mikoa na wilaya kujiita masheikh wakuu wa maeneo hayo. Katika mkutano huo aliyekuwa Katibu Mkuu wa Bakwata Sheikh Suleiman Lolila alitumia fursa hiyo kutangaza rasmi kustaafu kutokana na kutumikia nafasi hiyo kwa muda mrefu na kuwa na umri mkubwa.Nafasi hiyo hivi sasa itashikiliwa kwa muda na Ustadhi Salm Ahmed. 01/11/17--06:27: Enjoy ‘Travel Wednesday’ offers from Jumia Travel Every Wednesdays Jumia Travel (www.travel.jumia.com) presents ‘Dream Deals’ offers to its customers from different hotels in Tanzania which last until Fridays. These offers enable customers to book their dream hotels at huge discounted prices unlike normal days. The aim for these offers are to make sure everybody enjoys beautiful places across the country at affordable rates. As we are in the middle of the second week of the New Year 2017, the following luxury hotels have offered their best dream deals as follows: This hotel is situated in Uroa, Tanzania just an hour’s drive from the Stone Town facing the attracting view of the Indian ocean. The resort has free WiFi internet, a restaurant, a fully stocked bar, sea foods, board games, table tennis, gym equipments and snooker table. Conference facility, a lounge and a mini supermarket are also available among others. Probably this could be a wonderful place to visit during the start of this year. Nashera is a luxury hotel situated in Morogoro region whereby it overlooks the Uluguru mountains. Your perfect stay at this hotel will be complemented by exceptional amenities such as a restaurant that serves several Tanzanian and foreign dishes, a telephone, tea making facilities, a lounge, hair dryers as well as security guards to mention a few. New Kwetu Hotel is located in a peaceful area in Kisosora, Tanga region surrounded by beautiful tropical gardens. This place guarantees you with Swahili inspired menus and other intercontinental delicacies, a restaurant that serves both alcohol and soft drinks, laundry, airport on-site shuttle, and parking. Apart from the above hotels also, Jangwani Sea Breeze Resort, Golden Tulip Hotel, and Skippers Haven situated in Dar es Salaam as well as Paradise Beach Resort and Golden Tulip Zanzibar Boutique Hotel both located in Zanzibar Island; have offered their customers the dream deals starting this Wednesday, 11th January. For more information on how the Travel Wednesdays’ dream deals work, a customer can visit Jumia Travel (www.travel.jumia.com) to see options available at his/her disposal. 01/11/17--06:45: RAIS DKT. MAGUFULI AWASILI BARIADI MKOANI SIMIYU, AWEKA JIWE LA MSINGI HOSPITALI YA RUFAA YA SIMIYU PIA AFUNGUA BARABARA YA BARIADI-LAMADI (KM 71.8) 01/11/17--06:55: RAIS DK. SHEIN AFANYA UZINDUZI WA SKULI YA SEKONDARI KWARARA 2 01/11/17--07:21: KAMATI YA BUNGE YA PIC YATEMBELEA EPZA Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Ukanda wa Uwekezaji (EPZA) Bw. Lamau Mpolo akizungumza mbele ya Kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) wakati Kamati hiyo ilipotembelea eneo hilo mapema leo. Mkurugenzi wa Raslimali Watu wa Kiwanda cha Tanzania Tooku Garments kilichopo eneo la EPZA Bw. Bakanga Paul akizungumza mbele ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) wakati Kamati hiyo ilipotembelea Kiwanda hicho. Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji wa Umma (PIC) wakiangalia shughuli za uzalishaji nguo zinafofanyika Kiwandani hapo. Msajili wa Hazina (kulia) Dkt Oswald Mashidano pamoja na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) Mhe Albert Obama (katikati) wakiangalia jinsi shughuli za ushonaji nguo zinavyofanyika Kiwandani hapo.(Picha na Ofisi ya Bunge). 01/11/17--07:23: TTCL YAZINDUA HUDUMA YA 4G ZANZIBAR Na Khadija Khamis, MAELEZO Zanzibar. 01/11/17--07:49: TEA Yatoa Milioni 496 Kujenga Uzio wa Hosteli Mpya za UDSM. 01/11/17--07:53: MAJALIWA AZINDUA BARABARA YA MWANAKWEREKWE HADI FUONI- ZANZIBAR
2019-12-06T19:28:42
http://jiachie1.rssing.com/chan-7007640/all_p1099.html
[ -1 ]
Martin Kadinda's Official Fashion Blog: Nick Minaj Apigwa ngumi ya Mdomo na mchizi asiyefahamika Nick Minaj Apigwa ngumi ya Mdomo na mchizi asiyefahamika Msanii wa kike anayefanya mziki wa HipHop Nick Minaj amekutana na kash kash jana usiku baada ya kutokuwa na maelewano mazuri na mwanaume aliyekuwa katika hotel ya Dallas, katika maelezo yake kwa polisi alisema kuwa mwanaume huyo walianza majibizano toka wakiwa katika bwawa la kuogelea na yaliendelea mpaka chumbani ambapo ndio alitandikwa ngumi ya mdomoni. vyanzo vingine vya habari vimesema kuwa Nick Minaj hakuwa tayari kumuelezea kwa undani mwanaume huyo ni nani!
2018-03-18T09:55:20
http://mvutokwanza.blogspot.com/2011/07/nick-minaj-apigwa-ngumi-ya-mdomo-na.html
[ -1 ]
Mtayarishaji: ONYO LA KUTISHA..!! Jumanne, Septemba 04, 2012 ONYO LA KUTISHA..!! Onyo la kutisha mno la adhabu linaloweza kupatikana mahali po pote katika Biblia limo katika Ufunuo 14:9,10: "Na mwingine, malaika wa tatu, akawafuata, akisema kwa sauti kuu, Mtu awaye yote akimsujudu huyo mnyama na sanamu yake, na kuipokea chapa [alama] katika kipaji cha uso wake, au katika mkono wake, yeye naye ATAKUNYWA katika mvinyo ya GHADHABU YA MUNGU iliyotengenezwa, pasipo kuchanganywa na maji, katika kikombe cha hasira yake; naye atateswa kwa moto na kiberiti mbele ya malaika watakatifu, na mbele za Mwana-Kondoo." Maelezo haya yanaogofya mno na hayafanani kabisa na mafungu mengine yanayoielezea tabia ya Mungu ilivyo, hata tunajikunja kwa hofu. Lakini yanaonyesha wazi kipindi kile ambacho rehema ya Mungu itakapoondolewa kwa wale ambao wanaendelea daima kuikataa mamlaka ya mbinguni. Litakuwa ni tendo lisilo na kifani kwa upande wa Mungu katika uhusiano wake na jamii ya kibinadamu. Kwa karibu miaka 6000 hukumu zake za adhabu juu ya watu walio waovu sana zimechanganywa na rehema Yake. Lakini sasa uovu unafikia kiwango ambacho kinafanya iwe lazima kwa Mungu kuingilia kati, na kukidhihirisha kiwango cha usaliti wa mwanadamu dhidi ya Serikali ya Mungu. Hapa ndipo tunataka kujua habari zaidi juu ya dhambi ile inayomfanya Mungu kutenda tendo hilo la ajabu [geni] la kuwaadhibu [waovu] kwa moto. Angalia kwamba jambo hili la mwisho linahusu utii wa uongo kwa mamlaka ile ya Mnyama, ambayo mara nyingi inatajwa katika unabii wa Biblia. Hatimaye dunia hii itasimama ikiwa imegawanyika katika makambi mawili: 01. Wale wanaomsujudu Mungu wa kweli na 02. Wale wanaomsujudu Mnyama yule wa Ufunuo 13. Lakini ni jambo gani linaloleta mgawanyo huo mkubwa wa watu wa dunia hii? Baada ya kueleza ajali itakayowapata waabudu hao wa uongo katika Ufunuo 14:9-11, Yohana analo hili la kusema katika fungu lile linalofuata: "HAPA NDIPO PENYE SUBIRA YA WATAKATIFU, HAO WAZISHIKAO AMRI ZA MUNGU, NA IMANI YA YESU." Hapa tunaona tofauti ya kushangaza kati ya wale wanaomfuata yule Mnyama na wale wanaomfuata Mwana-Kondoo. Angalia, tafadhali, ya kwamba suala linalohusika linazunguka juu ya kuzishika amri za Mungu. Wale ambao hawana alama ya Mnyama wanasemwa ya kuwa wanazitii amri hizo [za Mungu], na wale waliobaki wanateseka kwa ghadhabu ya Mungu. Jambo hili linakubaliana kabisa na usemi wa Paulo katika Warumi 16:16, "Hamjui ya kuwa kwake yeye ambaye mnajitoa nafsi zenu kuwa watumwa wake katika kumtii, mmekuwa watumwa wake yule mnayemtii, kwamba ni utumishi wa dhambi uletao mauti, au kwamba ni utumishi wa utii uletao haki." Wajibu wa hali ya juu unahesabika kwa tendo hili la UTII. Mwishowe, sehemu kubwa ya wakazi wa dunia hii wataikubali mamlaka hii ya bandia ya serikali ya Mpinga Kristo, kwa KUZIASI AMRI ZILE KUU KUMI za Mungu. Rafiki zangu, kila mtu mmoja mmoja atakuwa upande mmoja au mwingine. Biblia inaeleza kwa wazi sana ya kwamba UZIMA au MAUTI utategemea UAMUZI WA MWISHO kuhusu Mnyama huyu wa Ufunuo 13. Ni ajabu kwamba wanathiolojia wa siku hizi wamepuuzia kabisa UJUMBE HUU WA ONYO wa Ufunuo 14, unaohusu ile Alama ya Mnyama. Shauku ya watu wengi imeharibiwa na mvuto wa WACHUNGAJI ambao hawakutaka kuyachukulia maneno haya ya unabii wa Yohana kwa uzito wake. Mara nyingi wanautupilia mbali [unabii huu] kana kwamba ni waraka wenye utata, usiokuwa na maana, ambao ulilihusu tatizo la mahali pale katika kanisa lile la mwanzo. Kwa sababu fulani kitabu hiki kinachoitwa Ufunuo kinahesabika kama vile ni kitabu kilichofungwa [kisichoweza kueleweka], badala ya ukweli wake wa wazi uliofunuliwa [unaoeleweka] kama jina lake linavyomaanisha. Lakini tafadhali zingatia ya kwamba ahadi imetolewa kwa wale wanaoitafuta kweli iliyomo ndani ya kitabu hiki cha ajabu: "Heri asomaye na wao wayasikiao maneno ya unabii huu, na kuyashika yaliyoandikwa humo; kwa maana wakati u karibu." Ufunuo 1:3. Kabla ya kukichunguza sana kisa hiki kilicho wazi cha Yohana kuhusu pambano lile la mwisho kati ya Kristo na Shetani, hebu na tutumie muda fulani kuwachambua hao wanaopambana katika vita hii. Ni lini na kwa jinsi gani [pambano hili] lilianza, na kwa jinsi gani litafikia mwisho wake?
2017-07-24T18:33:02
https://mtayarishaji.blogspot.com/2012/09/onyo-la-kutisha.html
[ -1 ]
mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica Videos - Watch Any Format Videos Posted 2 year ago by Joe Vyankero mwanamke matako ona haya dah mwafica mwanamke matako ona haya dah mwafica Video watch and learn with MP4,3GP format.You can watch online mwanamke matako ona haya dah mwafica video to free learn Subscribe kupata mengi mazuri. Posted 4 month ago by dazzle muddy Acheza uchi (big booty) matako htr. Video watch and learn with MP4,3GP format.You can watch online Acheza uchi (big booty) matako htr. video to free learn Subscribe my channel. -~-~~-~~~-~~-~- Please watch: "white booty twerk, #clapping_ass " https://www.youtube.com/watch?v=esXBZlNjfOI -~-~~-~~~-~~-~- Posted 2 month ago by Silver Racca Mwanamke mwenye Shape na Matako Makubwa ... Mwanamke mwenye Shape na Matako Makubwa kuliko wote TANZANIA Video watch and learn with MP4,3GP format.You can watch online Mwanamke mwenye Shape na Matako Makubwa kuliko wote TANZANIA video to free learn Poshyqueen. Posted 2 year ago by Issa Mohamed Ona Anavyo chezesha Matako Video watch and learn with MP4,3GP format.You can watch online Ona Anavyo chezesha Matako video to free learn Posted 3 month ago by Kalole TV Aise kuna matako!! Duuuu! Aise kuna matako!! Duuuu! Video watch and learn with MP4,3GP format.You can watch online Aise kuna matako!! Duuuu! video to free learn Posted 3 month ago by 1_ MO ONA MATAKO HAYO CHUMA MCHICHA ANAUGULIA ... ONA MATAKO HAYO CHUMA MCHICHA ANAUGULIA // KISINGELI DANCE#chumamboga#mavituzi#mojazaidi Video watch and learn with MP4,3GP format.You can watch online ONA MATAKO HAYO CHUMA MCHICHA ANAUGULIA // KISINGELI DANCE#chumamboga#mavituzi#mojazaidi video to free learn inye#simchezo#mojazaidi. Posted 1 year ago by Akobo Baikoko CHANNEL ------Chanel Cocofitness! ------Chanel Cocofitness! Video watch and learn with MP4,3GP format.You can watch online ------Chanel Cocofitness! video to free learn Posted 3 month ago by Cheka na Zephiline UKIACHANA NA MAKALIO YA HUYU MDADA, NANI... UKIACHANA NA MAKALIO YA HUYU MDADA, NANI KAMKOMESHA MWENZAKE? | CnZ #29 Video watch and learn with MP4,3GP format.You can watch online UKIACHANA NA MAKALIO YA HUYU MDADA, NANI KAMKOMESHA MWENZAKE? | CnZ #29 video to free learn Wengine naamini macho yenu yapo kwenye matako tu 🤣 🤣 Sapoti kazi zangu kwa kusambaza link kwa rafiki tafadhali SUBSCRIBE CHANNEL YETU KWA ... Posted 7 month ago by Tanga Raha Tv Nauza nyumba kwa matako haya Nauza nyumba kwa matako haya Video watch and learn with MP4,3GP format.You can watch online Nauza nyumba kwa matako haya video to free learn Posted 2 year ago by Ndegedon1 Online Haya matako au Video watch and learn with MP4,3GP format.You can watch online Haya matako au video to free learn Mamb mazur hayo utam utam. Posted 6 day ago by TAMUTAMU TV MKUND-U WA HOUSEGIRL WAMVUTIA BOSI WAKE MKUND-U WA HOUSEGIRL WAMVUTIA BOSI WAKE Video watch and learn with MP4,3GP format.You can watch online MKUND-U WA HOUSEGIRL WAMVUTIA BOSI WAKE video to free learn Hiki ni kichekesho ama filamu fupi iliyoigizwa na mrembo Glory, Rachel pamoja na Fish-boy na Zungu. Ni kisa kinachoonesha wivu wa mapenzi unaoibuka ... Posted 1 month ago by Abdul Msafi Wazungu hawana matako, kwa sababu hawatu... Wazungu hawana matako, kwa sababu hawatumie blue band.😅😁 Video watch and learn with MP4,3GP format.You can watch online Wazungu hawana matako, kwa sababu hawatumie blue band.😅😁 video to free learn mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica This paragraph mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica is totally about mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica. Related Videos for mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica - You have look for videos mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica especially. Most relevant thousands videos Results according to your search mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica videos are available on these pages. Perfect Results of mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica Videos and Clips.Convert MP3 audio ,MP4 video mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica Free with AnyFormat convertor. View and Download mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica with HD format Video. repeat a paragraph again please read carefully mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica real topic. Related Videos for mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica - You have look for videos mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica especially. Most relevant thousands videos Results according to your search mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica videos are available on these pages. Perfect Results of mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica Videos and Clips.Convert MP3 audio ,MP4 video mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica Free with AnyFormat convertor. View and Download mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica with HD format Video. Many of people search Related Videos for mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica - You have look for videos mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica especially. Most relevant thousands videos Results according to your search mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica videos are available on these pages. Perfect Results of mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica Videos and Clips.Convert MP3 audio ,MP4 video mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica Free with AnyFormat convertor. View and Download mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica with HD format Video. videos, some internet user want to listien music related Related Videos for mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica - You have look for videos mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica especially. Most relevant thousands videos Results according to your search mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica videos are available on these pages. Perfect Results of mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica Videos and Clips.Convert MP3 audio ,MP4 video mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica Free with AnyFormat convertor. View and Download mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica with HD format Video.,other people want to download videos about Related Videos for mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica - You have look for videos mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica especially. Most relevant thousands videos Results according to your search mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica videos are available on these pages. Perfect Results of mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica Videos and Clips.Convert MP3 audio ,MP4 video mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica Free with AnyFormat convertor. View and Download mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica with HD format Video.. You can listen Related Videos for mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica - You have look for videos mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica especially. Most relevant thousands videos Results according to your search mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica videos are available on these pages. Perfect Results of mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica Videos and Clips.Convert MP3 audio ,MP4 video mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica Free with AnyFormat convertor. View and Download mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica with HD format Video. music, download Related Videos for mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica - You have look for videos mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica especially. Most relevant thousands videos Results according to your search mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica videos are available on these pages. Perfect Results of mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica Videos and Clips.Convert MP3 audio ,MP4 video mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica Free with AnyFormat convertor. View and Download mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica with HD format Video. videos and conver Related Videos for mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica - You have look for videos mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica especially. Most relevant thousands videos Results according to your search mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica videos are available on these pages. Perfect Results of mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica Videos and Clips.Convert MP3 audio ,MP4 video mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica Free with AnyFormat convertor. View and Download mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica with HD format Video. video to mp3 on anyformat.net. Related Videos for mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica - You have look for videos mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica especially. Most relevant thousands videos Results according to your search mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica videos are available on these pages. Perfect Results of mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica Videos and Clips.Convert MP3 audio ,MP4 video mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica Free with AnyFormat convertor. View and Download mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica with HD format Video.
2019-04-21T20:24:02
http://www.anyformat.net/videos/mwanamke-matako-ona-haya-dah-mwafica/
[ -1 ]
Mwakyembe aishukia benki ya NMB | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Mwakyembe aishukia benki ya NMB Discussion in 'Biashara, Uchumi na Ujasiriamali' started by MziziMkavu, Jun 22, 2010. Mbunge wa Kyela, Dk Harrison Mwakyembe Kizito Noya, DodomaMBUNGE wa Kyela, Dk Harrison Mwakyembe amedai bungeni kuwa benki ya NMB imemtapeli Rais Jakaya Kikwete kwa kutoa ahadi hewa ya Sh20 milioni mbele yake kwa Chama cha Kuweka na Kukopa cha Kimbaru (Sacco) miaka mitatu iliyopita, lakini haijatimizwa hadi leo. Mbunge huyo, maarufu katika vita dhidi ya ufisadi, alitoa tuhuma hizo wakati akichangia hotuba ya makadirio ya matumizi ya ya Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika. Mwakyembe Alisema Oktoba 11 mwaka 2008, Rais Jakaya Kikwete alitembelea wilaya ya Kyela ambako alizindua jengo la maktaba na pia jengo la kisasa la Saccos hiyo. “Kabla ya ujio huo wa rais, Saccos hiyo ilikuwa imeanza kuprocess (mchakato wa) mkopo kutoka NMB, lakini ulikuwa bado haujaiva,” alisema Dk Mwakyembe. “Lakini siku ambayo rais alifika, ikaletwa check (hundi) kuubwa ya Sh20 milioni na akakabidhiwa rais. Walisema kwamba fedha hizo tayari zimepatikana, kilichobaki ni kuchukuliwa tu. “Rais aliuliza hii hela ni mkopo au msaada? Wakajibu ni mkopo. Akaishika hundi hiyo na kuinyanyua juu kuwaonyesha wana-Saccos hao," alisema Dk Mwakyembe. “Cha ajabu, tangu tarehe hiyo 11 mwezi Oktoba mwaka 2008 hadi ninavyozungumza hapa, ile hela haijapatikana na kila wakienda benki wanaambiwa masharti ambayo hayatekelezeki.” Dk Mwakyembe alisema: “Hii ni aibu kwa benki na taifa kumdanganya rais. Ni kumfanya rais wetu aonekane mwongo mbele ya wananchi wake. Kama suala ni dhamana, tayari yeye amekuwa dhamana kwa kuishika hundi hiyo hivyo hela hiyo ni bora ikatolewa kuondoa aibu hiyo kwa rais.” Awali kabla ya kutoa maelezo hayo ya hundi, Dk Mwakyembe aliishukuru serikali kwa kupeleka mbolea ya ruzuku wilayani humo mwaka jana akisema imeongeza kiwango cha mavuno kwa kiasi kikubwa. “Naomba sasa nichukua fursa hiyo kuiomba serikali iongeze kiasi cha mbolea hiyo isiwe ya kuwatosha wakulima 25,000 tu bali iongezeke ili iwafae wakulima wengi zaidi,” alisema Dk Mwakyemba. “Naomba mtuongezea mgawo wa mbolea ya ruzuku na msihofu mbolea kudokolewa Kyela. Mbolea haidokolewi labda aje mbunge mdebwedo kwa propaganda za mafisadi.” Chanzo Mwakyembe aishukia benki ya NMB Mwakyembe waambie ukweli Wabunge hao wenzako nakupongeza. MziziMkavu acha kutuchanganya maana avatar yako ya kuzimu while signature yako ya maneno ya Mungu aliye hai, wewe wa wapi? MziziMkavu acha kutuchanganya maana avatar yako ya kuzimu while signature yako ya maneno ya Mungu aliye hai, wewe wa wapi?Click to expand... Mkuu unanifurahisha Mkuu wangu N-handsome Usijali na Avatar yangu mimi ni mtu wa mungu nampenda Mwenyeezi mungu. Hiyo Avatar nimeipenda haina maana yoyte usiniogope sasa hiyo Avatar unataka niitowe?Huipendi kwani?
2016-12-10T09:12:42
http://www.jamiiforums.com/threads/mwakyembe-aishukia-benki-ya-nmb.65302/
[ -1 ]
ROCKERSPORTS: ADHABU YA SUAREZ NI ZAIDI YA KAWAIDA HARUHUSIWI HATA KUIHAMA LIVERPOOL ADHABU YA SUAREZ NI ZAIDI YA KAWAIDA HARUHUSIWI HATA KUIHAMA LIVERPOOL Luis Suarez, katika picha saa kadhaa kabla ya kutangaziwa kifungo chake akielekea katika mazoezi ya timu ya taifa ya Uruguay Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Uruguay Luis Suarez amefungiwa mechi tisa na shirikisho la kandanda duniani Fifa baada ya kupatikana na hatia ya kumng'ta mlinzi wa timu ya Italia Giorgio Chiellini kwenye mechi yao ya kombe la dunia nchni Brazil. Suarez pia amefungiwa kutojihusisha na shughuli yoyote ya kandanda kwa miezi minne na kutozwa faini ya dola elfu mia moja. Kutokana na adhabu hiyo Suarez sasa hatashiriki tena kwenye mechi zilizosalia za kombe la dunia. Kutokana na adhabu hiyo iliyochukuliwa na kamati ya nidhamu ya Fifa Suarez sasa hatashiriki kwenye mechi ya raundi ya pili kati ya Uruguay na Columbia Juni tarehe 28. Adhabu hiyo pia inamaanisha Suarez hatashiriki kwenye mechi za Uruguay zijazo za kombe la dunia endapo timu itazidi kusonga mbele na zile zijazo za kufuzu kwa mashindano ya kombe la dunia. Kamati hiyo ya nidhamu ya Fifa imesema Suarez hatakiwi kuingia kwenye uwanja wowote Uruguay inapocheza wakati wa adhabu hiyo ya kutocheza mechi tisa za kimataifa. Mwenyekiti wa kamati ya nidhamu ya Fifa Claudio Sulser amesema:"Hatuwezi kuruhusu tabia duni kama hii uwanjani hasa wakati wa kombe la dunia kwani mamillioni ya mashabiki kote duniani wanafuatilia mashindano haya. Kamati ya Fifa imetilia maanani kila kitu kwenye kitendo hicho kabla ya uamuzi huo.Tayari tumemjulisha mchezaji huyo na shirikisho la kandanda la Uruguay.'' Mashabiki wengi duniani wamemshutumu vikali Suarez kwa kumng'ata mchezaji huyo wa Italia kwani hii ni mara ya tatu anapatikana na hatia hiyo. Lakini mashabiki, waandishi wa habari wa Uruguay na shirikisho la kandanda nchini humo wamemtetea mchezaji wao,wakisema hizo ni njama za kumuangamiza Suarez ambaye huichezea Liverpool ya England Suarez akiinamisha kichwa chini na hii ni mara ya tatu anakumbana na adhabu ya kumng'ata mchezaji wa timu pinzani Hoteli iliyoko kambi ya Uruguay mjini Natal ilizingirwa na wanajeshi wataki wa tangazo la kufungiwa na FIFA Mwenyekiti wa kamati ya nidhamu ya Fifa Claudio Sulser akifungua vifungu katika kitabu cha kanuni na maadili cha 'Fair Play' Luis Suarez akionekana dhahiri akimng'ata Giorgio Chiellini wakati wa mchezo wa ushindi wa Uruguay wa bao 1-0. LIVERPOOL GAMES SUAREZ MISSES Aug 16: Liverpool v Southampton Aug 23: Manchester City v Liverpool Aug 30: Tottenham Hotspur v Liverpool Sep 13: Liverpool v Aston Villa Sep 16: Champions League matchday 1 Sep 20: West Ham United v Liverpool Sep 27: Liverpool v Everton Sep 30: Champions League matchday 2 Oct 4: Liverpool v West Bromwich Albion Oct 18: Queens Park Rangers v Liverpool Oct 21: Champions League matchday 3 Oct 25: Liverpool v Hull City Rais wa chama cha soka cha Uruguay Wilmar Valdez amethibtisha tangazo la adhabu hiyo dhidi ya Luis Suarez. Wadhamini wa mchezaji huyo kampuni ya Adidas wameitisha kikao cha dharura kufuatia tangazo hilo. Uruguay wanahakikisha kuwa watawasilisha rufaa yao juu ya adhabu hiyo lakini ni wazi kuwa Suarez ataukosa mchezo wa kesho wa hatua ya mtoano ya 16 dhidi ya Columbia katika dimba la Maracana. Kwa mujibu wa hukumu hiyo ya kisoka kwa Suarez ni kuwa hataruhusiwa kuingia katika uwanja wowote wa mpira ambao timu ya taifa ya Uruguay itakapo kuwa ikicheza katika kipindi chote cha adhabu hiyo wala kujihusisha kwa vyovyote vile na mambo ya kisoka. Hiyo pia ina mzuia Suarez kufanya uhamisho kutoka katika klabu yake ya Liverpool mpaka mwishoni mwa mwezi October. MORE THAN A FULL SEASON... Luis Suarez's bans for various bites now total 39 games. Ajax – 7 matches for bite on PSV’s Otman Bakkal (Ajax score first) Nov 28, 2010: VVV Venlo (a) 2-0 Dec 4, 2010: NEC Nijmegen (h) 1-1 Dec 12, 2010: Vitesse Arnhem (a) 1-0 Jan 19, 2010: Feyenoord (h) 2-0 Jan 23, 2011: FC Utrecht (a) 0-3 Jan 30, 2011: NAC Breda (a) 3-0 4 Feb, 2011: De Graafschap (h) 2-0 Liverpool – 10 matches for bite on Chelsea’s Branislav Ivanovic (Liverpool score first) Apr 27, 2013: Newcastle (a) 6-0 May 5, 2013: Everton (h) 0-0 May 12, 2013: Fulham (a) 3-1 May 19, 2013: QPR (h) 1-0 Aug 17, 2013: Stoke (h) 1-0 Aug 24, 2013: Aston Villa (a) 1-0 Aug 27, 2013: Notts County (h) 4-2 – League Cup Sep 1, 2013: Man Utd (h) 1-0 Sep 16, 2013: Swansea (a) 2-2 Sep 21, 2013: Southampton (h) 0-1 Liverpool – Four months (13 matches) for bite on Italy’s Giorgio Chiellini Sep 23: Capital One Cup Third Round
2018-02-25T09:35:26
http://rockersports.blogspot.com/2014/06/adhabu-ya-suarez-ni-zaidi-ya-kawaida.html
[ -1 ]
Makala: Polisi wamefanya aibu ya mwaka Arusha | Politiksi Kurunzini Home HABARI POLITIKSI utawala Makala: Polisi wamefanya aibu ya mwaka Arusha Makala: Polisi wamefanya aibu ya mwaka Arusha SeriaJr Wednesday, May 01, 2013 HABARI , POLITIKSI , utawala Edit RAFIKI yangu Kalasinga wa kule Njiro, Mrenyii wa kituo cha mabasi na Mrema wa pale kituo cha Vifodi Arusha ndio walionituma leo niulize kama askari walisoma kanuni za maadili za Jeshi la Polisi ukutani kabla ya kwenda kumkamata Godbless Lema? Kanuni hizi zipo kila kituo cha polisi, kama kuna wengine hawazisomi huko naomba wasome hapa. Kanuni za maadili za Jeshi la Polisi Kamanda wa Polisi wa Arusha anazijua, Mkuu wa Polisi wa wilaya anazijua, na Mkuu wa Upepelezi ambaye kwa namna ya pekee alinikasirikia nisihojiane naye bila shaka naye anazijua. Haya si maneno yangu, ni ya baadhi ya wakazi wa Arusha, pamoja na hao ambao nimewataja hapo juu. Wanahoji utendaji wa Jeshi la Polisi jijini Arusha lilivyojiaibisha. Lilivyotumika kisiasa bila kutumia akili yake. Sisi askari wa upande wa polisi jamii wenye nia na mapenzi mema kwa nchi yetu turudie kuzisoma kanuni hizi na maadili yao. Kanuni hizi zinasema: “Nikiwa ofisa wa polisi nina wajibu wa kutekeleza sheria, wajibu wangu ni kuwahudumia watu, kulinda maisha na mali. “Kuwalinda wasio na hatia dhidi ya udanganyifu, dhaifu dhidi ya ugandamizaji au vitisho na utulivu dhidi ya vurugu au fujo, kuheshimu haki za kikatiba za raia wote katika uhuru usawa na haki. “Nitatunza heshima yangu binafsi kama mfano kwa wote, kuwa jasiri wakai wa utulivu na wakati wa hatari. Sitakuwa na dharau au dhihaka, kuwa na uvumilivu na kujali ustawi wa wengine. “Nitakuwa mwaminifu kimawazo na kimatendo katika maisha yangu binafsi na ya kijamii. Nitaonyesha mfano wa kufuata sheria za nchi na kanuni ya idara yangu. Chochote nitakachoona au kusikia ambacho ni siri au ambacho nimeaminiwa kutokana na wadhifa wangu kitakuwa siri isipokuwa tu pale itakapobidi kufichuliwa katika kutekeleza wajibu wangu. “Sitaingilia au kuruhusu hisia binafsi, chuki, uhasama au urafiki viathiri uamuzi wangu, sitakubaliana na uhalifu. Nitatekeleza sheria kwa heshima na inavyopasa bila woga au upendeleo, uovu au nia mbaya. “Sitatumia kamwe nguvu za ziada bila sababu, ninatambua kuwa beji yangu ni ishara ya uaminifu wangu kwa umma, nitakuwa mwadilifu kwa umma na kwa maadili ya kazi za polisi. Nitajitahidi muda wote kufikia malengo hayo na kujitoa kikamilifu kwa Mungu, kwa chaguo la kazi ya kutekeleza sheria.” Polisi ambao hadi leo sijapata jibu kama wamemkamata aliyeua mwanachuo kuile Arusha, ndio walioamua kutokulala, kwenda kukesha nyumbani kwa Mbunge wa Arusha mjini, Lema kwa bunduki, mabomu, mbwa na kuwekeza kila aina ya mbinu eti kumkamata. Nimeombwa niulize huyu Lema alifanya kosa gani kubwa ambalo angesubiriwa kesho yake asingeonekana? Je, mbunge huyu angeweza kutoroka kwa sababu ya kauli ya kumwambia Mkuu wa Mkoa kuwa anakuja kama anaenda kwenye “Send Off”? Kama mbunge anakamatwa kwa vitisho hivi, hizo kanuni tunazotaja hapo juu zilizingatiwa? Maneno haya kwamba: “Sitaingilia au kuruhusu hisia binafsi, chuki, uhasama au urafiki viathiri uamuzi wangu, sitakubaliana na uhalifu. “Nitatekeleza sheria kwa heshima na inavyopasa bila woga au upendeleo, uovu au nia mbaya. Sitatumia kamwe nguvu za ziada bila sababu” nimetumwa niwaulize nguvu waliyotumia kumkamata Lema kweli ilihitajika? Je, hapa kulikuwepo na chuki au uhasama katika maamuzi yaliyofikiwa katika kumkamata mbunge huyo? Kwanini jeshi letu litumike kwa mambo ya aibu hivi? Jeshi letu linazidi kushuka hadhi siku hadi siku sio kwa kuwa kanuni zao ni mbovu, kanuni zao ni nzuri isipokuwa hazifuatwi, na viongozi wakubwa wa jeshi ndio viongozi wa kuvunja kanuni hizi. Nimeombwa niulize hivi polisi hawakujua suala hili? Kama Lema alikosea sana wakati akiwa Chuo cha Uhasibu kwanini Kamanda wa Polisi wa Mkoa (RPC) na Mkuu wa Polisi wa Wilaya (OCD) na makachero wote hawakumkamata pale pale? Alifanya kosa hilo baada ya kuondoka? Kama alifanya vile kwanini aliachwa ili aende na kuja kutafutwa baadaye? Maneno ya Lema yalionekana kuwa kosa baadaye wakati wanafunzi wametawanyika na mbunge huyo akaenda zake? Hakuna uwezekano wowote kukubali kuwa jeshi letu halitumiki vibaya. Kila tendo lina gharama zake, hili la kumkamata Lema limegharimu heshima ya Jeshi la Polisi. Huo ndio ujumbe niliotumwa niwaambie. Si maneno yangu, mtapima kama mpo tayari kubadilika au la.
2017-12-15T00:32:12
https://arusha255.blogspot.com/2013/05/makala-polisi-wamefanya-aibu-ya-mwaka.html
[ -1 ]
Mzee wa Upako ataja siri ya mafanikio yake - 2jiachie - Official Site Safari hii safu hii imeangukia kwa Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) lenye makao yake makuu UbungoKibangu jijini Dar, Lusekelo Antony (wengi wamezoea kumuita Antony Lusekelo) ambaye amejipatia umaarufu mkubwa kwa kuhubiri neno la Mungu kiasi cha kumfanya kiongozi wa nchi, Rais Dk. John Magufuli kwenda kwenye ibada na kukiri kwamba mchungaji huyo anajua kazi yake ya kuhubiri, zawadi kubwa aliyotoa kwa mchungaji na wakazi wanaomzunguka ni kujenga barabara ya lami Ubungo Kibangu ambayo mwandishi wa makala haya alishuhudia ikiendelea kujengwa. Kutokana na uhodari wake huo, mchungaji huyu amepachikwa majina mengi ambayo naye anayakubali, unaweza kumuita Mzee wa Upako, Katapila au Transfoma. Ungana na Mhariri Wetu Elvan Stambuli katika safu hii inayobeba maswali na majibu yake ili uelimike na kumjua mchungaji huyo wa roho za watu anayejibu maswali ya kijamii na kisiasa: HISTORIA YAKE Swali: Unaweza kuwaeleza wasomaji wetu historia yako ya uchungaji kwa kifupi? Jibu: Mimi nimezaliwa Mkoa wa Iringa miaka zaidi ya 40 iliyopita. Nimekulia Iringa. Nimesomea Iringa. Mambo haya ya uchungaji nimeanzia Iringa. Kipindi hicho naanza huduma ya kumtumikia Mungu, wakati huo pale Iringa kulikuwa na makanisa mawili ya Kipentekoste. Moja lilikuwa pale Mwembetogwa la Askofu Mstaafu Amulike Mboya na lingine la TAG (Tanzania Assembles of God) pale Kwa-Mkane. Nimesali pale na mmoja wa watu wanaojua historia ya maisha yangu bila kuficha ni Mchungaji Mboya. Swali: Mzee Mboya ndiye aliyekufanya uokoke? Jibu: Mboya ni mzee wa siku nyingi sana pale Iringa. Mzee Mboya alifika Iringa tangu miaka ya 1960, hakunifahamu tu baada ya kuokoka lakini mzee huyo alikuwa family friend (rafiki wa familia). Anaijua vizuri historia ya familia yangu pamoja na baba yangu. Hata watoto wake, tulisoma wote. Wakati mimi naokoka, Kanisa la TAG lilikuwa na mgogoro mkubwa pale Iringa kati ya miaka ya 1970 na 1980. BAADA YA KUOKOKA Swali: Baada ya kuokoka nini kilifuata? Jibu: Nilipopata wito wa kumtumikia Mungu, mimi nikaangukia upande wa Askofu Moses Kulola (sasa ni marehemu). Unajua pale Iringa kulikuwa na upande wa Askofu Lazaro na Askofu Kulola hivyo mimi nikaangukia kwa Kulola. Mchungaji wangu alikuwa ni Elia Ngobito. Elia Ngobito ndiye alikuwa katibu mkuu wa kwanza wa kanisa letu la Assembles. Tangu hapo nikawa mchungaji hadi leo nimekuwa nikiendelea na uchungaji. Swali: Wewe asili yako ni wapi, Iringa au Mbeya? Maana kuna watu wanasema wewe siyo mwenyeji wa Iringa. Jibu: Asili yetu, mimi na baba yangu ni Wanyakyusa wa Mbeya-Mwakaleli huko (wilayani Rungwe). Baba yangu alihamia Iringa mwaka 1958. Wazazi wangu walihama M w a k a l e l i , Mbeya. Nafahamu kuongea Kihehe. Lakini nilipapenda zaidi Iringa maana nimezaliwa pale, nimekulia pale na nimesoma pale. Hata baba yangu wakati anahama Iringa tena kurudi nyumbani Mbeya mimi nilikataa. Nikabaki Iringa. Swali: Una familia ya watu wangapi? Jibu: Mimi nimeoa na nina watoto wanne, Mode, Salome, Mishael na Elishadai. Swali: Ulifika Dar mwaka gani na kufanya uchungaji? Jibu: Baada ya kutoka Iringa nilifika hapa Ubungo (Kibangu) mwaka 1992. Ndiyo nilianza kuwa mchungaji hapa tangu mwaka huo. Kwa hiyo, sasa nina miaka zaidi ya 20 hapa. Swali: Ulipofika hapa mwaka huo ulikuwa na waumini wangapi? Jibu: Wakati huo kanisa lilikuwa changa, nilikuwa na waumini kama 35. Siri ya mafanikio haya ni kwamba Mungu alinipa maono haya ya maombezi, miujiza na ishara, nikaanza kutumia vyombo vya habari, TV, redio na magazeti kuwahubiria watu neno la Mungu ndiyo maana huduma imekuwa kubwa kiasi hiki. MTAZAMO WAKE KUHUSU MAKANISA MENGINE Swali: Nini mtazamo wako kuhusu makanisa mengine ya Kikristo? Jibu: Ukiniuliza nini mtazamo wangu kuhusu makanisa mengine nitakuambia kuwa nayaheshimu sana. Hakuna kanisa ambalo halina mchango kwenye Ukristo. Kwa mfano, Kanisa Katoliki wana mchango mkubwa sana kwenye Ukristo. Makanisa kama haya ya kwetu (ya kiroho ya hapa nchini), kule Kongo (DR) yalishaanza miaka mingi. Kenya walishaanza miaka mingi zaidi ya sisi. Marekani kule walishaanza. Lakini sisi ndiyo kwanza tunaanza moto wa Injili. Kwa hiyo tunapata changamoto nyingi ambazo zinatokana na uelewa mdogo wa jamii yetu. Swali: Kwa nini unasema hivyo? Jibu: Wanasema makanisa mapya, imani zimekuwa nyingi. Mbona makampuni ya simu sasa yapo mengi? Zamani tulikuwa na kampuni moja tu ya TTCL. Leo yapo zaidi ya matatu. Tulikuwa na redio moja tu, Redio Tanzania Dar es Salaam (RTD). Leo maredio kibao. Tulikuwa na chama kimoja tu cha CCM (Chama Cha Mapinduzi). Leo vipo vyama vingi. Kwa hiyo wingi wa jambo si tatizo. Hata baa zilikuwa chache, leo zipo nyingi. Hata bendi zilikuwa chache leo bendi ni nyingi kila mtaa kwa sababu dunia inakua. Kwa sababu kuna baa nyingi na makanisa nayo ni mengi. Ni vizuri sasa tufungue makanisa mengi zaidi kuliko kufungua baa nyingi zaidi. Swali: Nini changamoto zenu viongozi wa dini? Jibu: Changamoto ni nyingi lakini huwa nasema ukishakuwa bondia inabidi usiogope. Mimi changamoto hizo zote naona ni kelele za mlango tu. Watu wanasema nabii wa uongo, mara najiinua lakini kwangu ni kelele za mlango tu. JE, YEYE NI TAJIRI? Swali: Watu wanasema wewe ni tajiri sana, unaweza kufafanua kuhusu hili? Jibu: Kuhusu suala la kwamba mimi ni tajiri sana, nimezungukwa na watu wengi wasiojiweza, kwanza mimi nasema basi sisi ni maskini sana kama hata Lusekelo leo naonekana ni tajiri wa kutisha basi kweli sisi Watanzania ni maskini wa kupitiliza. Mimi naamini katika watu wanaoishi maisha ya kawaida, ninalala vizuri, ninavaa vizuri, ni maisha ambayo kila mtu anataka kuwa nayo. Mimi ni miongoni mwao. Ninaishi maisha ya kawaida sana tena sana. Lakini sina fedha ya ziada. Lakini kwenye kauli hizi wanasema mwenye chongo kwenye vipofu anaona. Kwamba, mimi nina utajiri mkubwa wa kutisha? Sidhani. Mimi ndiyo miongoni mwa Watanzania wa kawaida sana, tena sana. Sisemi kuhusu wahubiri wengine maana wapo. Nasema Watanzania kwa ujumla wao au wenye hela, mimi simo. Najua kuna Watanzania wana maghorofa, wana majumba, wana maakaunti mazito benki, wana maakaunti mpaka nje ya nchi. Kusema leo mimi ni miongoni mwa matajiri wa kutisha ni kunionea. Kama vile miaka michache iliyopita tulikuwa tunasalia darasani, hata kujenga jengo tulikuwa hatuwezi, tulikuwa tunaazima majengo ya serikali, tunaitwa hawa walokole maskini hawa, ona maskini hawa. Yale mambo Mungu alikuwa anaona, ameamua kulipa kisasi, ameamua kutubariki. Itaendelea wiki ijayo. Item Reviewed: Mzee wa Upako ataja siri ya mafanikio yake
2017-02-22T15:18:58
http://www.2jiachie.com/2016/10/mzee-wa-upako-ataja-siri-ya-mafanikio.html
[ -1 ]
Video: Chadema yatoa tamko zito, TRA yamkana Ngeleja Escrow – Dar24 Magazeti Video: Chadema yatoa tamko zito, TRA yamkana Ngeleja Escrow Comments Off on Video: Chadema yatoa tamko zito, TRA yamkana Ngeleja Escrow Chadema yatoa tamko zito, waitaka jumuiya ya kimataifa kuinyima Tanzania misaada ya kiuchumi, TRA yamkana Ngeleja Escrow, Watoto wanne wafariki joto wakicheza garini, CCM: Tunamsubiri Lowassa ulingoni uchaguzi 2020…, Hizo ni moja ya habari kubwa zilizopewa kipaumbele katika magazeti ya Tanzania leo Julai 18, 2017. Tazama video hapa Apandisha mapepo na kuua waumini wawili kwenye ubatizo Video: Maimamu watoa neno kwa JPM kuhusu Masheikh wa Uamsho Hawa wa Diamond hoi kwa gongo, atamani angekuwa Zari Video: Lissu afyatuka tena, anena mazito kuhusu JPM Lowassa autaka tena urais mwaka 2020 Mke wa Waziri Mwakyembe afariki dunia Ulemavu sio mwisho wa kutimiza ndoto, mapacha walioungana watusua kielimu Haji Manara Na Wenzake Waachiwa Huru JPM ashiriki ibada na kuendesha harambee ujenzi wa Kanisa Chato KingKiba amvutia Nuhu Rockstar4000 Subscribe to Dar24 Jina la kwanza
2017-07-21T18:52:57
http://dar24.com/video-chadema-yatoa-tamko-zito-tra-yamkana-ngeleja-escrow/
[ -1 ]
Machi 2019 - Wizara ya Afya Tanzania Ijumaa, Machi 29, 2019 - Hakuna maoni Alhamisi, Machi 28, 2019 - Hakuna maoni Jumatano, Machi 27, 2019 - Hakuna maoni Jumamosi, Machi 23, 2019 - Hakuna maoni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akikata utepe kuashiria ufunguzi wa jengo la wagonjwa wa kulipia hospitali ya CCBRT Jijini Dar es salaam.Kushoto kwake ni Mkurugenzi wa CCBRT Brenda Msangi Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akihoji kupata ufafanuzi wa kina kutoka kwa mtaalamu wa Maabara ya macho CCBRT wakati wa ufunguzi wa jengo la jengo la wagonjwa wa kulipia hospitali ya CCBRT Jijini Dar es salaam. Baadhi ya wageni waliohudhuria hafla ya ufunguzi wa jengo la wagonjwa wa kulipia hospitali ya CCBRT Jijini Dar es salaam, ambapo mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu (Hayupo kwenye picha) Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akisisitiza jambo wakati wa ufunguzi wa jengo la jengo la wagonjwa wa kulipia hospitali ya CCBRT Jijini Dar es salaam. Picha ya pamoja ikiongozwa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu pamoja na Viongozi wa CCBRT na wajumbe wa bodi ya CCBRT baada ya ufunguzi wa jengo la wagonjwa wa kulipia hospitali ya CCBRT Jijini Dar es salaam. SERIKALI kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kwa kushirikiana na Wadau wa masuala ya Afya imefanikiwa kupunguza Vifo vya wamama wajawazito kwa zaidi ya 40% , hali inayotokana na uboreshwaji wa huduma za Afya kwa wananchi. Hayo yamesemwa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu leo wakati wa ufunguzi wa jengo la wagonjwa wa kulipia hospitali ya CCBRT Jijini Dar es salaam. Waziri Ummy amesema kuwa Serikali imejenga na kuboresha zaidi ya vituo vya kutolea huduma za afya zaidi ya 350 ambavyo vinatoa huduma za dharura ikiwemo huduma ya upasuaji wa kumtoa mtoto tumboni. "Tumepunguza vifo vyakina mama wajawazito kwa zaidi ya 40% ndani ya miaka sita (2012-2018), na kazi hii haijafanywa na Serikali tu, kwahiyo hongereni sana CCBRT " alisema Mhe. Ummy Mwalimu. Pia, Waziri Ummy amesema kuwa sote tunatambua umuhimu wa mtu kuwa na afya njema ili kuweza kumudu kushiriki katika shughuli za kijamii na kiuchumi kuanzia ngazi ya kaya hadi taifa, hivyo hatuwezi kuendelea kutegemea watu wengine kushughulikia afya za Watanzania. Aidha, Waziri Ummy alisema kuwa Serikali imekuwa ikitoa huduma za matibabu kwa gharama nafuu sana au bila malipo kwa baadhi ya magonjwa kama Fistula, Mdomo Wazi na watoto chini ya miaka mitano. Mbali na hayo, Waziri Ummy amesema kuwa katika miaka ya hivi karibuni uchumi wa dunia umeyumba na kupelekea kupungua kwa wafadhali. Kujengwa kwa kliniki hii ambayo itasaidia kuziba pengo la kiasi kinachopungua kutoka kwa wafadhili ambao ni jambo la msingi na la kuigwa. Aidha, Waziri Ummy amesema kuwa Serikali kwa kushirikiana na wadau kama CCBRT imeendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwenye Sekta ya Afya yenye lengo la kuboresha utoaji wa huduma za afya na kuimarisha afya za wananchi. Alhamisi, Machi 21, 2019 - Hakuna maoni Jumanne, 19 Machi 2019 TANZANIA YATOA MSAADA KWA MSUMBIJI, ZIMBABWE NA MALAWI Jumanne, Machi 19, 2019 - Hakuna maoni Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa Kimataifa Prof. Palamagamba Kabudi akimkabidhi boksi la dawa Balozi wa Malawi nchini Tanzania Mhe. Glad Chembe Munthali (Wakwanza kushoto), Watatu kushoto ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akiwa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Zainab Chaula wakati wakikabidhi msaada wa vyakula na madawa kwa nchi za Msumbiji, Malawi na Zimbabwe zilizopata janga la mafuriko. Tukio limefanyika leo katika uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es salaam. Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu (Wakwanza kulia) akionesha maboksi ya Dawa zinazotaraji kupelekwa katika nchi za Msumbiji, Malawi na Zimbabwe zilizopata janga la mafuriko. Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa Kimataifa Prof. Palamagamba Kabudi akiongozana na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu wakiwa ndani ya ndege itayotumika kubeba dawa vyakula kwaajili ya msaada kwa nchi za Msumbiji, Malawi na Zimbabwe zilizopata janga la mafuriko. Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu (wa kulia) akiongozana na Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt Zainab Chaula baada yakujionea dawa zilizoingizwa ndani ya ndege yakijeshi itayopeleka misaada hiyo. Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa Kimataifa Prof. Palamagamba Kabudi (Wakwanza kushoto) akiongozana na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu (wapili kutoka kushoto) wakati wakikabidhi msaada wa vyakula na madawa kwa nchi za Msumbiji, Malawi na Zimbabwe zilizopata janga la mafuriko. Tukio limefanyika leo katika uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere Jijini Dar es salaam. Shughuli yakupakia Dawa na Vyakula katika ndege ikiwa tayari kuelekea katika nchi zilizopata majanga ya mafuriko (Zimbabwe,Malawi na Msumbiji). Nchi ya Tanzania kupitia Rais wake Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli imedhihirisha ule msemo wa "undugu ni kufaana na si kufanana" baada kujitolea msaada wa vyakula na madawa ili kuwasaidia wananchi walioathirika na mafuriko ikiwa ni sehemu ya kudumisha umoja na ushirikiano baina ya nchi hizi. Hayo yamejiri leo baada ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Prof. Palamagamba Kabudi kwa kushirikiana na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu kutoa msaada wa vyakula na madawa kwa nchi za Msumbiji na Malawi baada yakupata janga la mafuriko. "Hawa ni ndugu zetu, jirani zetu, tupo pamoja katika jumuia ya Maendeleo ya kusini mwa Afrika (SADC), kwahiyo Tanzania imeona ni vyema katika undugu wetu, umoja wetu na ujirani wetu tuweze kuwapelekea nchi hizi msaada wa madawa na chakula ikiwa ni sehemu ya kuwapa pole kwa maafa haya" alisema Prof. Kabudi. Prof. Kabudi amesema kuwa Kimbunga hicho cha Idai kimepelekea mafuriko ambayo yameleta maafa makubwa sana, huku nchi ya Msumbiji jumla ya watu 221 wamepoteza maisha, huku watu 88 kutoka Beira, watu 68 Manika, watu 51 Zambezi, na watu 19 kutoka Tete, huku zaidi ya watu 1000 hawana mahali pa kuishi. Prof. Kabudi aliendelea kusema kuwa, kwa upande wa Zimbabwe watu 98 kutoka mji wa Manipaland wamefariki, huku watu 122 wakiwa wamefariki katika nchi ya Malawi, huku wengine wakiachwa katika hali ngumu. Aidha, Prof. Kabudi amewaasa Wafanya biashara na wananchi wengine walioguswa na maafa haya wasisite kutoa msaada kwa nchi jirani ambazo zimepata majanga Hayo kadiri ya uwezo wao. Pia, Prof. Kabudi aliendelea kuyaasa mashirika, makampuni na watu binafsi ambao wameguswa na hali ambayo imezikuta nchi za Msumbiji, Malawi na Zimbabwe waweze kuchanga na kuvikabidhisha vitu hivyo katika Ofisi ya Waziri Mkuu na Wizara ya Afya ili viweze kupelekwa mahala husika. Kwa upande wake Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu amesema kuwa Wizara ya Afya imeandaa tani 24, ambazo ni sawa na tani (8) kwa kila nchi ambazo zitasaidia wananchi waliopata janga hilo kukabiliana dhidi magonjwa. Mbali na hayo, Waziri Ummy amesema kuwa kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa Mawaziri wa Afya kutoka nchi za Zimbabwe na Malawi dawa kubwa zinazohitajika ni dawa za kuzuia maambukizi ya bakteria (antibiotics) na dawa kwa ajili ya magonjwa ya matumbo, (ORS) na dripu. "tumeweka takribani aina tano za dawa za kuzuia maambukizi ya bakteria, tumeweka dawa kwa ajili ya magonjwa ya matumbo, Kama vile kuhara (ORS), tumeweka dawa kwa ajili ya kutibu kwa kutumia maji (dripu), pia mashuka, magodoro, vyandarua, blanket na dawa za maumivu " alisema Waziri Ummy. Hata hivyo, Waziri Ummy amesema kuwa kila nchi itapata tani saba (7) za mchele kwa ajili ya Msumbiji na Zimbabwe na Malawi watapata tani 200 za mahindi ambayo yatatoka katika mkoa wa Mbeya ambayo upo karibu na nchi hiyo. Kwa upande wa Balozi wa Malawi nchini Tanzania Mhe. Glad Chembe Munthali ameishukuru nchi ya Tanzania kwa upendo na msaada waliouonesha kwa Malawi na kuahidi kufikisha salam hizo za upendo kwa rais wa Malawi huku akisisitiza kuwa Serikali ya Tanzania na ya Malawi zitaendelea kuwa marafiki milele.
2020-07-02T21:14:05
https://afyablog.moh.go.tz/2019/03/
[ -1 ]
WAUGUZI HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI WASHEHEREHEKEA GET TOGETHER PARTY 2017 ~ K-VIS BLOG '; if(img.length>=1) { imgtag = ' Posted by KHALFAN SAID on 21:43 Mkurugenzi wa Uuguzi, wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, (MNH), Bi. Agnes Mtawa (mwenye kidani cheupe) akiongoza wauguzi wenzake kusakata kwaito wakati wa kusheherehekea "Get Together Party 2017" iliyofanyika Dar es Salaam jana April 22, katika Ukumbi wa Navy Beach Kigamboni, jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa Uuguzi Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Agnes Mtawa (wa tano kushoto) katika picha ya pamoja na baadhi ya wauguzi wa hospitali hiyo Dae es Salaam. Mkurugenzi wa Uuguzi Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH, Agnes Mtawa akizungumza na wauguzi hao wakati wa kusheherehekea "Get Together Party 2017" iliyofanyika Dar es Salaam jana April 22, katika Ukumbi wa Navy Beach Kigamboni ambapo alipata nafasi ya kuanza kutowa salamu kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali hiyo, Profesa Lawrence Museru kwakutofika, Mkurugenzi wa Uuguzi, wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, (MNH), Bi. Agnes Mtawa (mwenye kidani cheupe) akiongoza wauguzi wenzake kusakata kwaito wakati wa kusheherehekea "Get Together Party 2017" iliyofanyika Dar es Salaam jana April 22, katika Ukumbi wa Navy Beach Kigamboni (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA: UJIJI RAHA BLOG)
2018-07-16T01:11:12
http://khalfansaid.blogspot.com/2017/04/wauguzi-hospitali-ya-taifa-muhimbili.html
[ -1 ]
KAMWE USIOMBE AMA KULAZISHA ABAKI NA WEWE KWENYE MAISHA YAKO, KUMUACHA AENDE KUNA FAIDA HIZI . | EDUSPORTSTZ Home MAHUSIANO KAMWE USIOMBE AMA KULAZISHA ABAKI NA WEWE KWENYE MAISHA YAKO, KUMUACHA AENDE KUNA FAIDA HIZI . mafekeche On Tuesday, April 07, 2020
2020-08-08T12:45:57
https://www.edusportstz.com/2020/04/kamwe-usiombe-ama-kulazisha-abaki-na.html
[ -1 ]
Buyoya apinga waranti wa kukamatwa - Tanzania Broadcasting Corporation Home Kimataifa Buyoya apinga waranti wa kukamatwa Buyoya apinga waranti wa kukamatwa Rais wa zamani wa Burundi, -Pierre Buyoya amepinga waranti wa kukamatwa kwake uliotolewa na serikali ya nchi hiyo kwa madai ya kuhusika katika mauaji ya rais wa kwanza wa nchi hiyo aliyechaguliwa kidemokrasia, – Melchior Ndadaye na kusema kuwa hizo ni sababu za kisiasa. Mwishoni mwa wiki iliyopita, Burundi ilitoa waranti wa kimataifa wa kukamatwa kwa Buyoya, maafisa wengine 11 wa zamani wa nchi hiyo na raia watano waliokuwa karibu naye kwa madai hayo ya kuhusika na mauaji ya Ndadaye mwaka 1993. Katika taarifa yake, Rais huyo wa zamani wa Burundi, – Pierre Buyoya amesema kuwa ushahidi unaonyesha siasa ndizo zilizotumika katika kutoa waranti hiyo ili kuuficha mgogoro wa kisiasa unaoendelea nchini humo kwa sasa. Kwa sasa Buyoya ni mwakilishi wa Umoja wa Afrika nchini Mali na ni mtu anayeheshimika sana Barani Afrika pamoja na nchi nyingine nje ya bara hilo. Buyoya anayetokea kabila la Watutsi aliingia madarakani mwaka 1987 kwa kusaidiwa na jeshi la Burundi na aliachia wadhifa huo baada ya Ndadaye ambaye ni Mhutu kuchukua madaraka mwaka 1993. Hata hivyo, Ndadaye aliuawa miezi minne baadae katika jaribio la mapinduzi lililofanywa na Wanajeshi wa Kitutsi wenye itikadi kali. Previous articleUbelgiji wataka ulinzi zaidi wa mazingira Next articleBuhari ajitokeza, asema atawania tena Urais
2018-12-15T08:40:19
http://tbc.go.tz/kimataifa/buyoya-apinga-waranti-wa-kukamatwa/
[ -1 ]
Neno La Leo: Kipande Cha Sabuni Ya Punda! | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Neno La Leo: Kipande Cha Sabuni Ya Punda! Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by maggid, Sep 25, 2010. Nikiwa kijijini kwetu Nyeregete kuna nilichojifunza pale nilipomwomba mmoja wa wenyeji zangu anionyeshe ulipo msala. Nilitaka kwenda haja ndogo. Hatua 20 kutoka tulipokaa tukiongea ndipo ulipokuwa msala. Nikaonyeshwa, nikaenda. Kama wengi wetu tulioishi vijijini tunavyojua; mlango wa kuingia msalani ni wa gunia. Huku nyuma nikamsikia mwenyeji wangu anavyohangaika kuyatafuta maji. Akayapata akaniletea haraka. Akanijulisha kuwa maji ameyaweka nje, na kipande cha sabuni pia. Kwenye kisahani cha chai. Nikamaliza haja yangu, nikatoka nje. Nikayakuta maji nusu galoni. Pembeni kisahani cha chai na kipande kidogo kabisa cha sabuni ya punda. Hakika, sabuni ile ilikuwa imetumika ikabaki kipisi sawa na bazoka iliyotafunwa na kubaki. Nikanawa mikono yangu na kipande kile cha sabuni ya punda. Hata povu lake kulipata ni kwa tabu. Kwa haraka unaweza kuingiwa na mawazo ya kukitupa baada ya kumaliza kunawa. Hapana, niko kijijini, ni lazima nifikiri mara mbili. Nikakirudisha kipande cha sabuni ya punda kisahanini. Nilipoanza kuondoka kutoka msalani, haraka mwenyeji wangu akaja kukichukua kipande kile cha sabuni punda na kukirudisha ndani. Kwenda kukihifadhi. Mwenyeji wangu yule alikuwa mkarimu sana. Aliniandalia chakula na hata chai. Alinishangaa sana nilipomwambia chai yangu asiniwekee sukari, kuwa situmii sukari. Nilihofia alidhani kuwa sikufikiri kama ana sukari ya kutosha. Nilipoaga na kuondoka mahali hapo nilifikiri sana kuhusu kipande kile cha sabuni ya punda. Kwamba sisi tuliotoka kwenye mazingira ya wazazi masikini tuna lazima ya kurudi kwa wananchi, kurudi vijijini na kukaa na wananchi japo kwa siku moja, mara moja kwa mwaka. Si kurudi kuwahutubia, bali kuingia katika maisha yao. Ndipo hapo tutakapoelewa maana ya umasikini. Ndipo tutakapoelewa hali ya watu wetu kwa kuanzia na ‘kipande cha sabuni ya punda'. Na hilo ni Neno La Leo. neno limetoka kwa mnenaji Wee mtani wangu wee, hebu kula tano kwa huo ujumbe. Kumbe sisi Sikonge kweli tuna nafuu. Huo umasikini kwa kweli haupo kwa kiasi kile. Kama huamini, basi njoo na rafiki yako Lugusha sijui (ulimkaribisha kwenu na akakalia kiti cha miguu 3 na ukaweka kwenye blog). Nawashangaa kuwa hata mabadiliko hamtaki na umasikini wote huo. Nyie wa Iringa, kweli inabidi Yesu azaliwe kwenu ili Awaokowe na huu umasikini. Tukiacha utani, hii ni hali ya kawaida sana Tanzania. Nilishawahi kwenda kumtembelea kaka yangu mmoja kwenye familia. Nilishangaa kuwa aliniachia kitanda na kitandani kuna khanga tu katandika. Watoto wanalala kwenye mkeka na kujifunika khanga pia. Mbu walikuwa wanauma kishenzi na joto kali sana na nikashindwa kulala usiku mzima. Yeye alikaa kwenye kiti usiku mzima karibu na moto (ndani hamna kibatari). Nilitamani tubadilishane ila nikawa naogopa kujenga sura kuwa mie ninajifanta TAJIRI. Kwa sababu ilikuwa ni kipindi naenda shule basi maada ya miezi sita, nilirudi nyumbani na kuwaambia Baba na Mama kuwa hongereni sana kwa kuwa na mji kama ule maana kwa kweli najisikia kuwa natoka familia Tajiri. Ukweli ni kuwa pamoja na mabadiliko makubwa katika maisha, bado najiona masikini. Sasa leo hii nikienda na kumkuta akiwa na maisha yale bado, sijui ntamuonaje? Mtani sitaki hata kufikiri. Kweli inatisha na ngumu sana. Ila ni heri umesema maana nikienda basi lazima niwe nimejiandaa na vitu kama hivyo na kugawa kama zawadi. Kwa kijijini haya ni maisha ya kawaida. Na bahati mbaya watu wanaona kama ni haki kuishi maisha hayo na katu hawawezi kuachana nayo. Hivi ulimwuliza mwaka huu kura atampagia nani? Cha kujiuliza zaidi ya hapo ni hatua gani umechukua kuondoa matatizo ya ndani ya jamii. serikali iliyopo imeonekana kufeli kabisa katika kumkwamua mwananchi wake. Nafikiri ni wakati wa wale waliokwamuka kidogo kuchukua hatua kusaidia wale walioko katika hali duni. Umechukua hatua gani? Cha kujiuliza zaidi ya hapo ni hatua gani umechukua kuondoa matatizo ya ndani ya jamii. serikali iliyopo imeonekana kufeli kabisa katika kumkwamua mwananchi wake. Nafikiri ni wakati wa wale waliokwamuka kidogo kuchukua hatua kusaidia wale walioko katika hali duni. Umechukua hatua gani?Click to expand... Teacher, ndo maana wengine tunauliza, amemuuliza kama amejiandikisha kupiga kura? Na atampigia nani? Majibu ya maswali hayo ni muhimu kabla hata ya kuangalia jinsi ya kumsaidia. Ila nina hakika huyo bwana atakuwa alikuwa ametinga t-shirt ya kijani na kofia ya njano. Na kama hatuwezi kuwasaidia watu wetu kwenye mambo kama hayo basi itakuwa vingumu kuwavuta hatua hata moja kuelekea kwenye uhuru wa kweli. "Enyi wagalatia ni nani aliyewaloga?" Namnukuu mtume Paulo. Naamini siku ya kura watawapigia wale wale waliowafanya hali yao iwe vile. WATU HAWA WAMELOGWA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Hapo kumuelimisha kuhusu haki na wapi apige kura yangu ni mwanzo tu. Tunahitaji kujenga tabia za 'kujitolea' Wengi ukiwauliza wamesaidiaje taifa lao, majibu ni kuwa hanawa pesa, hawawezi kutoa misaada, wanasahau kuwa msaada unaweza kuwa katika mfumo wa ujuzi walionao, nguvu au hata mawazo. Hatua gani umechukua? hii ndo hali halisi, ya mtanzania
2016-12-06T20:13:05
http://www.jamiiforums.com/threads/neno-la-leo-kipande-cha-sabuni-ya-punda.75275/
[ -1 ]
Kucheza Kati Back SSG - kucheza Kati kutoka SSGs Back - Soka Drills & Soka Drills - Professional soka Coaching jamii: Kucheza Kati kutoka SSGs Nyuma Kipindi: AO.117 Muda: masaa 25 Vyeo: 2,3,4,5,6,8 Wachezaji: 16 Eneo: 44x40 yrds Kocha kucheza kutoka Nyuma. Kocha kupita katikati. Kocha ya kocha ya kocha. CBN ya 2 imewekwa kila mwisho wa eneo la kucheza. 5vs5 katika gridi ya kati ya kucheza (ambayo inaweza kupangwa kwa mafunzo maalum ikiwa inahitajika). Kandanda zinaweza kuchezwa kutoka kwa kocha hadi ama ya CB ili kuanza kucheza. CB inachezea timu ya kushambulia (Timu nyekundu kwenye mchoro) na kujaribu kujaribu mpira wa miguu kwa njia ya kupinga ya CB. Soka Ndogo SIDED Game kwa kucheza nje nyuma. Piga gridi ya gridi ya 40x44 ikiwezekana katika nafasi kati ya mstari wa nusu na sanduku la 18. (Masaa 20) Wachezaji wa 16 (5vs5 katika eneo la kati la kucheza, CBNUMX CB kila mwisho, 2 nje ya migongo. Wachezaji wanapaswa kuwekwa katika nafasi zao za kawaida. Ni wazi, 2 CB, nk. Kiwanja cha kati kinaweza pia kupangwa kupambanua malezi maalum ya kucheza. Wakati wa kuongeza nje ya migongo watakuwa nje ya miguu au wing wachezaji. Vipimo vya gridi ni takriban 44 yrds (upana wa sanduku la 18) x 40 yrds. Kocha anachunguza mchezo kutoka kwenye sideline au kwenye shamba na hutoa mpira wa miguu (ikiwa inahitajika). Wachezaji wa 5 vs 5 katika eneo la kati la kucheza. Timu zinaweza kuanzisha katika muundo tofauti ikiwa zinahitajika kufanya mazoezi dhidi ya mpinzani maalum. Maelekezo / Kanuni Timu za 2 zinashindana kudumisha milki kwa kutumia CBs zisizo na upande (njano) kuchanganya na wakati zinamiliki. Mpira wa soka unapaswa kuwepo kupitishwa na kocha ili kufanya kucheza kuendelea. Timu zote mbili zinajaribu kucheza kutoka nyuma na katikati na kisha kwenye CBs mbali. Wachezaji hawawezi kushinikiza CBs (hadi hatua za baadaye). Wakati kupita unafanywa kuwa CB, mpira unapaswa kupitishwa kwa mshirika CB (yaani RCB kwa LCB) angalau mara moja kabla ya kuchezwa katikati. Kucheza kwa masaa 10 kisha uvunja kipindi cha kupumzika kwa dakika ya 1 kati ya michezo. Kupitisha mpira njia yote kutoka CBs hadi CBs kinyume na nyuma = uhakika 1. Soka linapaswa kupitishwa kupitia wachezaji wa katikati. Mabadiliko ya haraka. Kushambulia mpito na kutetea mpito. Mwendo wa kujenga pembe za kusaidia. Kushinda (Kukata njia za kupitisha, shinikizo la haraka kwa mtoa mpira). Sura nzuri (iliyopigwa) kati ya migongo. Kusoma kucheza ili kuona chaguo. Limited kumgusa na haraka mpira mzunguko. Mfululizo wa Progressions kwa zoezi hili nionyeshwa hapa chini: Mchoro 2. CBs inaendelea mbele (Progression 1) Programu inaweza kuwa na hatua ya CB (dribble) kwenye eneo la kati la kucheza. Wangeweza kuangalia kufanya hivyo wakati wapiganaji wapinzani wanaacha. Mchoro 3. Uongeze wa Backs Back (Progression 2) Nyuma ya nyuma huongezwa kwa kila upande wa eneo la kucheza linalochanganya na watetezi wa kati na wenyeji wa kati. Migongo ya nje mara moja kupokea kupita inahitaji kucheza nyuma ya CB au katikati. Mchoro 4. Center Forward & Gate Goals (Progression 3) Mwisho wa mwisho wa CB unachukuliwa kama kituo cha lengo mbele. Timu ya kushambulia inaonekana kucheza katikati na kupokea kupitishwa kwa alama kwenye malengo ya lango. Mchoro 5. Bonyeza Vyombo vya Msaada wa Kituo (Progression 4) Hitilafu katikati wakati unaoweza sasa inaweza kushinikizwa na kukabiliana na wapinzani wao. Jenga kucheza 23-03-2018 Hits: 21866 Kucheza Kati kutoka SSGs Nyuma Darren Pitfield 27-12-2015 Hits: 22788 Kucheza Kati kutoka SSGs Nyuma Darren Pitfield 19-02-2015 Hits: 22512 Kucheza Kati kutoka SSGs Nyuma Darren Pitfield 13-03-2014 Hits: 23346 Kutetea 11vs11 Darren Pitfield 05-03-2014 Hits: 29702 Kutetea Drills Kazi Darren Pitfield 10-02-2014 Hits: 20822 Compact Kutetea Michezo Alexander Trukan 05-12-2013 Hits: 18579 Kutetea Drills Kazi Alexander Trukan 29-11-2012 Hits: 22230 Compact Kutetea Michezo Darren Pitfield 14-12-2011 Hits: 24228 Kutetea 11vs11 Heinz Fractz 10-12-2011 Hits: 39090 Kutetea Drills Kazi Darren Pitfield 02-12-2011 Hits: 29504 Kutetea Drills Kazi TonyDeers 02-12-2011 Hits: 27199 Compact Kutetea Michezo Heinz Fractz 01-12-2011 Hits: 15368 Kubwa SSGs Darren Pitfield 16-08-2011 Hits: 27158 Vikundi vidogo vinavyotetea - Kiwango cha 2 Heinz Fractz 17-07-2011 Hits: 22969 Vikundi vidogo vinavyotetea - Kiwango cha 2 Heinz Fractz 29-06-2011 Hits: 44026 Kutetea Drills Kazi Darren Pitfield 10-05-2011 Hits: 22948 1vs1 Kutetea - Ngazi 2 Ray Power 29-04-2011 Hits: 34757 Kubwa SSGs Darren Pitfield 31-03-2011 Hits: 34341 Kutetea Drills Kazi Darren Pitfield 26-03-2011 Hits: 31189 Kucheza Kati kutoka SSGs Nyuma Darren Pitfield 10-11-2010 Hits: 34276 Kutetea Drills Kazi Darren Pitfield 10-08-2010 Hits: 21107 1vs1 Kutetea - Ngazi 2 Darren Pitfield 19-03-2010 Hits: 50308 Kutetea Drills Kazi Darren Pitfield 16-12-2008 Hits: 29067 Compact Kutetea Michezo Darren Pitfield 16-12-2008 Hits: 30755 Compact Kutetea Michezo Darren Pitfield 29-09-2008 Hits: 43913 Kutetea Drills Kazi Darren Pitfield 24-09-2008 Hits: 54292 Kutetea Drills Kazi Darren Pitfield Wajibu wa wachezaji wakati wa kucheza nyuma. Wajibu wa wachezaji wa katikati wakati mlinzi wa kati yuko katika ...
2019-09-21T00:47:37
https://sw.professionalsoccercoaching.com/playing-out-from-the-back-ssgs/playing-out-the-back-ssg
[ -1 ]
Hivi kupenda ndo kukoje?I think i have never loved.. | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Hivi kupenda ndo kukoje?I think i have never loved.. Discussion in 'Mahusiano, mapenzi, urafiki' started by The Dude, Jun 11, 2012. Nimekuwa nkijiuliza whether i am emotional insensitive ama kuna watu waliumbwa kutokupenda.. Naomba nsieleweke vibaya but sijawahi kupenda nadhani. I‘ve had girlfriends from as long ago as when i felt i needed to have sex. I have a girlfriend for three years now but i think the only reason i‘m with her is because everyone else has a partner so it‘d be odd..and because i need someone to have sex with. Kuna mmoja kati ya ex-girlfriends aliwahi kuniambia "you are emotionaly insensitive creature". Mwingine alisema "you don‘t know what it is to love somebody, you never have loved anyone and you never will". Huyu wa sasa kasema "i knw you are with me out of convenience".. Naona watu wengi ni washairi kuhusu mapenzi ooh ukipenda u become crazy, mara love is that special feeling etc mimi sijawahi kuwa crazy na sioni tafauti other than the fact girls can meet my sexual needs.. Na huwa sifeel chochote hata kumuwaza huyo binti simuwazi mpaka nkiskia namuhitaji kitandani..at some point, hata aki-act weird mi i don‘t react anyhow..na huwa naulizwa are u never jealous or angry no matter what i do? Is this normal jamani? huwezi jilazimisha hadi upende, hauuamuru moyo. Siku ukiona unaanza kutetea tu kwa msichana ujue ushapenda. Pole lakini, maana kupenda raha kama unamiliki nusu ya dunia na vilivyomo lol Pole lakini, maana kupenda raha kama unamiliki nusu ya dunia na vilivyomo lolClick to expand... Hiyo raha ndo ikoje?Mbona mi siipati?What does it take kuipata? Mr.loves inakuja automatically,na kufanya SEX cyo kumpenda mtu,unaweza ukafanya sex kupunguza hisia tu.au kuburudisha mwili.Jiulize wadada wanaojiuza,mtu akija kumnunua ni kwamba anampenda?.la hasha.bali anatafuta pesa,na kijana mnunuzi anatafuta wa kupunguzia hamu. HERE IT KAMS:WHEN YOU LOVE SOMEONE,IN A REAL CONDITION: 1.listern to your heart,do u realy feel her?Unampenda au kakupenda?.very important question.Unajiforce kumuonea huruma ama?. 2.Do you real Miss her wen she iz far away,or a moment after charting with her all the time?. 3.Do you wish her to be your wife?.VERY IMPORTANT QUESTION. 4.Do you love her willingly,not by force that ur friend has girlfnd,and u shuld have too,not becoz u have not found da one. 5.Is she always in your mind?.. 6.Is she the only gal you fil to be with,evn if u see other gals,wen u compare her & da rest u find tht ur gal is the best in al sectors?. 7.Do you real enjoy wen ur in bed with her?. Ask this,u wil know,wat love is! Huwezi kuwa a senseless creature,lazima kutakuwa na sababu behind hayo yoote...kuna kitu fulan umeshawah kuki experience aidha kwa kukisikia au kwakuona ndicho kinachopelekea kuwa hivyo. Otherwise,kupenda na kupendwa kote raaahaaa..saanaa! ngoja waje philosophers wanaojua kuelezea. Hiyo raha ndo ikoje?Mbona mi siipati?What does it take kuipata?Click to expand... Siyo normal, yumkini unahitaji ushauri nasaha! kama huna uwezo wa kupenda poa tu na komaa hivyohivyo..... mapenzi yenyewe yameshabaki usanii mtupu It is not normal, ila nakutamani! I wish ningekuwa kama wewe; kupenda ni mateso lkn, basi tu! Kumuhitaji mtu ambaye huna uhakika kama naye anakuhitaji! Kumuwazia mtu ambaye huna uhakika kama anakufikiria. Ila kama feelings ni mutual, love is the most beautiful thing in the world! So kwa upande huu una miss a lot! Siyo normal, yumkini unahitaji ushauri nasaha!Click to expand... Ndo unipe sasa.. Nenda hospitali kapime kitu kinaitwa Neurotrophins level (NTS)- ambayo inajumuisha plasma levels (NGF, BDNF, NT-3 and NT-4). Inasadikika ndio kemikali za romantic love [Emanuele et al. 2005]. Halafu utupe majibu. Ila kama feelings ni mutual, love is the most beautiful thing in the world! So kwa upande huu una miss a lot!Click to expand... Dah poor me!! Nenda hospitali kapime kitu kinaitwa Neurotrophins level (NTS)- ambayo inajumuisha plasma levels (NGF, BDNF, NT-3 and NT-4). Inasadikika ndio kemikali za romantic love [Emanuele et al. 2005]. Halafu utupe majibu.Click to expand... Duuhh hospitali gani wanapima hivyo?Na nkikuta sina ndo napewa tiba gani? Ask this,u wil know,wat love is!Click to expand... Kama nlivosema nadhani maswali yote siwezi kuyajibu in affirmative..hasa ilo swali la kuwa mke wangu,hata sjawahi kufkiria kuoa,achilia mbali hata kufkiria kama ntamwoa yeye.. huyo msichana uliyenae akikuacha utajua maana ya kupenda.... Duuhh hospitali gani wanapima hivyo?Na nkikuta sina ndo napewa tiba gani?Click to expand... Mkuu sina utaalam wa tiba lakini ukienda muhimbili kuulizia utapata chochote kitu. Ila kama mwenza anakuelewa mkuu ya nini uhangaike? Labda kacheki tu ujue kama ndio sababu au la. Hata kama demu wangu akiiona hi reply poa tuu but mm nami ni sehemu ya watu ambao hatujui kabisa maana ya kupenda.sikuwahi kupenda,frankly speaking huyo msichana uliyenae akikuacha utajua maana ya kupenda....Click to expand... Wameniacha wengine lakini sikuona chochote Hata kama demu wangu akiiona hi reply poa tuu but mm nami ni sehemu ya watu ambao hatujui kabisa maana ya kupenda.sikuwahi kupenda,frankly speakingClick to expand... Hhehe pole,inaoneka tuna share problem..so we umefanyaje kujitibu?
2016-12-10T12:50:08
http://www.jamiiforums.com/threads/hivi-kupenda-ndo-kukoje-i-think-i-have-never-loved.277492/
[ -1 ]
Kongamano la kupinga mauaji ya albino Geita ukwelimtupu-blogspot-com Kongamano la kupinga mauaji ya albino Geita Kufuatia kukithiri kwa vitendo vya kikatili vya mauaji ya ndugu zetu walemavu wa ngozi, wadau wa haki za bindamu mkoani Geita wamepanga kufanya kongamano kubwa kulaani vitendo hivyo mnamo tarehe 6, april 2015. Mmoja kati ya waratibu wa kongamano hilo ambaye pia ni mkurugenzi wa Acts Counsillor Tanzania amesema, "Ni zamu ya wakazi wa Geita kuonesha hisia za kuguswa na kadhia hii.Ni aibu kwa taifa letu linalojinasibu kuwa kisiwa cha amani kukiuka haki za binadamu waziwazi". Naye mhamasishaji wa mabadiliko kwa vijana (YOUTH FOR CHAMGE)maarufu kwa jina la Boniphace amesema kongamano hilo litashirikisha viongozi wa dini, waumini,wanasiasa,wazee kwa vijana pamoja na viongozi wa serikali. Kongamano hilo limepangwa kufanyika katika ukumbi wa Gold Belt Geita, karibu na stendi mpya ya Geita. UKWELI MTUPU BLOSPOT INAWATAKIA KILA LA KHERI. Kongamano la kupinga mauaji ya albino Geita Get Your Blog © Wallinside
2017-06-24T07:37:49
http://wallinside.com/post-29096-kongamano-la-kupinga-mauaji-ya-albino-geita.html
[ -1 ]
Kivumbi cha Kibra ‘chumbani kwa Raila’ pigo kwa Ruto? - Mtanzania Home Kimataifa Kivumbi cha Kibra ‘chumbani kwa Raila’ pigo kwa Ruto? Kivumbi cha Kibra ‘chumbani kwa Raila’ pigo kwa Ruto? Makamu wa Rais nchini Kenya, William Ruto akiwa amemshika mkono kumnadi mgombea wa Jubilee McDonald Mariga wakati wa kampeni Kibra. MATOKEO ya uchaguzi mdogo katika jimbo la Kibra yaliyompa ushindi mgombea wa Orange Democratic Movement (ODM), Imran Bernard Okoth ni kama yamezidi kupandisha homa ya uchaguzi wa 2022 nchini Kenya hasa kwa upande wa Makamu wa Rais, William Ruto anayetizamwa kuwania nafasi ya urais katika uchaguzi huo. Uchaguzi huo ambao ulikuwa umetajwa kama kinyang’anyiro kati ya mwanasiasa wa upinzani Raila Odinga na Ruto kuonyesha ubabe wa kisiasa. Pamoja na kwamba Kibra ni ngome ya ODM ya kigogo wa siasa za upinzani, Raila Odinga ambaye ‘shaking hand’ yake na Rais wa nchi hiyo, Uhuru Kenyatta amekuwa akiitumia kumtisha Ruto, matokeo yake yalikuwa yakiaminika kutoa mwelekeo wa uchaguzi ujao. Okoth wa ODM akibebwa kwenye kampeni na Raila alitangazwa mshindi kwa kura 24, 636 akifuatiwa na mgombea wa Jubilee McDonald Mariga aliyeshikwa mkono na Ruto akipata kura 11, 230 huku yule wa Amani Nation Congress (ANC) akichukua nafasi ya tatu kwa kura 5, 275. Jana gazeti la Daily Nation la nchini Kenya liliandika kuwa; Ruto amewashutumu kimya kimya ‘maluteni’ (timu yake ya mkakati) wake wa karibu baada ya kupoteza jimbo la Kibra. ‘Maluteni’ hao walimuahidi ushindi katika jimbo hilo au kama wakishindwa basi kwa kura chache mno. Kutokana na kukatishwa tamaa na askari wake wa miguu, chanzo kilicho karibu na makamu huyo wa Rais kililidokeza gazeti hilo kuwa Ruto alifuta mkutano uliopangwa kufanyika Alhamis jioni katika makazi yake ya Karen. Kikosi hicho kinachoongoza kampeni ambacho kilikuwa ardhini kilikuwa njiani kwenda kukutana na Ruto wakati alipofuta mkutano huo. Mtu wa karibu na Ruto ambaye alizungumza na Daily Nation alisema makamu huyo wa rais alikasirishwa baada ya kutumia muda mwingi, nguvu na rasilimali nyingi katika kampeni ambazo mgombea wa Jubilee McDonald Mariga ameambulia kura 11,280 dhidi ya zile za Okoth 24,636. “Bosi alibadilsha uamuzi, alipiga simu na kusema hatapokea mgeni yeyote …alikuwa katika hali ya hasira,” kilisema chanzo hicho. “Alikuwa mkarimu mno, wakati tulipokuwa tunakwenda kwake, alikuwa anatupa chakula na fedha,”alisema James Onkundi, ambaye ni mwendesha boda-boda katika jimbo la Kibra. Licha ya jumbe kali alizotuma kupitia mtandao wa Twitter akidai kuwa kushindwa huko kulionekana kama ushindi kwake, Ruto pia alionekana kukerwa na baadhi ya maofisa wa Jubilee ambao walishindwa kusapoti kampeni za Mariga. Katibu Mkuu wa Jubilee, Raphael Tuju na maofisa wengine walioungana na Rais Uhuru Kenyatta walishindwa kuingia kwenye kampeni wakati viongozi wa upande wa pili kama wao waliingia kumuunga mkono Okoth. Wakati hayo yakiendelea kimyakimya Ruto alimpongeza Okoth lakini ameitangazia ODM kivumbi cha siasa katika siku zijazo. Makamu huyo wa rais anayejipanga kumrithi Kenyatta alisema kuwa chama cha Jubilee kimepata umaarufu katika eneo la Kibra na kujitengenezea barabara ya kisiasa kwa kupata uungwaji mkono na wakazi. Alisema kuwa chama cha Jubilee kimepenyeza katika ‘chumba chao cha kulala’ na kupata uungwaji mkono kutoka kwa wakazi. Kikosi cha Jubilee kinasema kimejipenyeza katika chumba cha kulala, kutokana na kujinyakulia asilimia 26 kutoka ya awali ya 12 katika uchaguzi wa 2017. “Wapinzani wetu walishuka kutoka asilimia 78 (2047) hadi 52. Walipata kiti lakini tumewapa notisi,” alionya. Awali kabla ya ushindi huo wa ODM, Ruto alikuwa mwingi wa ujasiri na kusema kuwa Mariga atapata ushindi mkubwa katika eneo hilo. Alipuuzilia mbali usemi kwamba Kibra ni kama chumba cha kulala cha Raila na kudokeza kuwa ataingia huko na kumfurusha mwenyeji. Hata hivyo, ndoto yake ya kupata ushindi ilididimia baada ya mgombea wa ODM kuanza kuashiria kupata ushindi pindi tu kura zilipanza kuhesabiwa. Baada ya matokeo hayo wapambe wa Raila walionekana kusambaza vichwa vya habari kwenye mitandao ya kijamii vinavyosomeka; ‘William Ruto apokea kichapo kwa kuingia chumba cha Raila cha kulala’ SIRI YA ODM Wakati huo huo, viongozi wa ODM, wamefichua kuwa walitumia mbinu ili kuhakikisha kuwa mgombea wake ameibuka mshindi. Wakizungumza baada ya Okoth kutangazwa mbunge mteule wa eneo hilo, viongozi hao walisema hawakutaka kumuaibisha kiongozi wa chama chao Odinga ambaye alitangaza eneo hilo kuwa chumba chake cha kulala kisiasa. “Mara hii tulijipanga na kulinda kura zetu kwa njia zote. Lakini kando na hilo, mpinzani wa Jubilee hakuwa chochote akilinganishwa na Imran Okoth. Huwezi kuchokoza Odinga Kibra na utarajie kwamba utashinda huku wafuasi wake wakiwa wamenyamaza tu,”alisema Mwenyekiti wa chama hicho, John Mbadi na kuongeza; “Sisi hatukutumia ghasia dhidi yao jinsi wanavyodai bali mara hii raia ndio walijitokeza kukomesha ufidhuli wao wa kumtusi Odinga kila walipofanya mikutano maeneo mengine ya nchi.” Mbadi alisema walikuwa na kituo chao cha kujumuisha matokeo katika ofisi za wakfu wa Jaramogi Oginga Odinga na matokeo waliyopata yalitofautiana kidogo tu na yale yaliyotolewa na Tume ya Uchaguzi (IEBC). Mkurugenzi wa uchaguzi wa ODM aliye kiranja wa wachache katika bunge la kitaifa na mbunge wa Suna Mashariki, Junet Mohamed, alisema hawangeruhusu Ruto na wabunge wa Jubilee kuteka eneobunge hilo kisiasa. “Huwezi kuja Kibra na upimane nguvu na baba. Sasa tuna ufunguo wa chumba cha kulala na tumewaonyesha kivumbi kwa kupata ushindi mkubwa. Wao ni waoga na sasa wametawanyika wote,” alisema Mohamed katika kituo cha kujumuisha kura cha Chuo cha Mafunzo cha Nairobi City Inspectorate. Katika uchaguzi huo ambao ulikuwa na wagombea 24, Okoth sasa atarithi kiti hicho kilichosalia wazi baada ya kifo cha nduguye, marehemu Ken Okoth aliyeaga dunia kutokana na ugonjwa wa saratani mnamo Julai 2019. “Ninawashukuru sana wapigakura wa Kibra kwa kunipigia kura na kuonyesha kwamba fedha haziwezi kununua uongozi. Namshukuru sana kiongozi wa chama chetu Raila Odinga na viongozi wote wa ‘handshake’ walionifanyia kampeni. Naomba wapinzani wangu tushirikiane kujenga Kibra,” alisema. Previous articleKinondoni waongoza ukaidi uvaaji helmet Next articleGERSON FRAGA VIERA Mbrazil anayefanya kazi ya Kante Simba
2020-08-09T20:36:06
https://mtanzania.co.tz/kivumbi-cha-kibra-chumbani-kwa-raila-pigo-kwa-ruto/
[ -1 ]
DIOCESE D'INONGO: MOKANDA MWA PASIKA 2015 ONA BANDEKO BAKRISTU BA DIOCESE YA INONGO “Kobanga te. Ngai moto wa yambo mpe ya nsuka”; Nazali na bomoi( Boy.1, 17-18). Tobunda etumba ya bomoi, na nkombo ya Yezu Kristu. Na bobangi te mpe na bosolo. Alleluya. Kristu asekwi. Kristu alongi liwa…Boboto na bino mpe eyenga elamu ya nsekwa ya Mokonzi na bino banso! Yezu Kristu oyo azali na bomoi akomisa biso “bato ba bomoi”; bato bazwi mpe bakobikela bomoi bwa Ye mpe bakopesa yango na baninga mpe na mokili. Na nguya inso, na bobangi eloko moko te, na bosolo. Soko totali bomoi ya Yezu, ndenge ekomami na Nsango Elamu, tokoki koloba ‘te Yezu alingi makasi bomoi mpo ya bato banso. Alobi : « Nayei mpo bato bazwa bomoi mpe bazwa yango mingi »(Jn 10, 10). Yezu amibwaki na etumba ya kobikisa bato ya bokono ndenge na ndenge, bato babwakama, banyatami, batiami pembeni(Lc 19, 10) .Mpo ya Ye, bomoi ya moto bozali likolo ya mobeko ya sabato(Mc 3, 1-6). Bafarizeo, bateyi ba mobeko na bakolo ba mboka basusu bakani koboma Yezu mpo alingi komonisa polele ‘te bomoi ya moto yonso, penza penza ya mobola, bozali likolo ya mibeko. Ata bongo, Yezu abangi te, akobi nzela oyo Elimo ya Tata alakisi ye’te alanda(Lc 4, 30). Mokolo mosusu Yezu apaleli makasi bayekoli ba Ye babale, Jacques na Jean awa basengaki’te nkake ekweya likolo ya mboka moko ya SAmaria oyo baboyaki koyamba Ye(Lc 9, 54-56). Yezu alingi liwa te, liwa ata ya monguna te. Alingi bobele bomoi. Azali mopesi bomoi na banso lokola Tata Nzambe, Nkolo ya bomoi oyo abimisaka moi mpe anoyisaka mbula mpo ya bato banso (Mt5, 45.48). Soko otangi malamu Nsango Elamu, okomona ‘te Yezu azali mbala mingi na nzela, na mobembo, azali « moleki nzela », Alingi kokende liboso epai esusu, epai ya baye basengeli na bomoi koleka(Mc 1, 38). Bobele bongo, akokokisa etinda azwi epai ya Tata : « Tata oyo atindi Ngai, alingi ‘te wa baye apesi Ngai, nabungisa moto moko te, kasi nasekwisa bango o mokolo mwa nsuka » (Jn 6, 39). Yango wana Yezu aboyi ezaleli ya baye banso bamibengami « bakengeli mpata », kasi bazali « bayibi mpe babomi » : bayebi bobele koyiba, koboma, kobebisa : bazali « bapesi liwa »(Jn 10,10). Yezu aboyi mpe ezaleli ya bakengeli baye bazali koluka bobele mbongo to bomengo ya bango moko, bazali ba « mercenaires », bazali bakengeli ya solo te ; soko bamoni likama, batiki mpata yango moko, mpo bomoi ya mpata etali bango te(Jn 10, 12-13). Kasi Yezu azali Mokengeli mpata ya solo, oyo ayei kopesa bato bomoi ; asali yango awa akabi bomoi bwa Ye moko(Jn 15, 13). Sekele ya mposa makasi ya Yezu ya kopesa bato bomoi, penza penza baye batiami pembeni, sekele yango ezali na kati ya bolingo oyo Nzambe alingi Ye mpe bolingo oyo Ye alingi Nzambe. Nzambe asangani na Ye lokola Tata na Mwana. Lokola Tata azali Nzambe ya bomoi, Ye mpe atondi na nguya ya bomoi ya Tata mpo ya bato (Jn 17, 21). Kopesa na banso bomoi bwa Tata ezali lotomo azwi mpe alingi kokokisa yango ;ezali lokola bilei asengeli kolia mpo abika (Jn 4, 34). Liboso ya liwa ya Ye ya nsomo, Yezu alobi polele na banso : « moto moko te akobotolo ngai bomoi, ngai moko nakokaba bwango »(Jn 10,18). Andimi liwa ya Ye lokola libonza ya bomoi bwa Ye mpo ya biso, mpo ya kolongola biso na boumbu bwa bokabwani na Nzambe, lisumu. Andimi liwa ya kuruse. Andimi kokamata esika ya nsuka mpo’te moto moko te na nse azanga bomoi, ata mabe nini asalaki (Lc 22, 42-43). Awa Yezu amonisi solo bolingo ya nsuka te na liwa ya kuruse, Tata ya bomoi asekwisi Ye o bawa. Akomisi Ye Mokonzi mpo ‘te banso awa bayoki nkombo ya Yezu bafukama o nta likolo, o nse mpe omboka ya bawa ; mpe banso basakola ‘te Yezu Kristu azali Mokonzi, mpo ya nkembo ya Nzambe Tata (Phil.2, 10-11). Bandeko babolingo, Kosepela eyenga ya Pasika mpo ya biso, bayekoli ba Yezu ezali kondima Yezu Kristu lokola Mwana Nzambe oyo andimi kokoma moto, oyo andimi koleka na liwa mpo alongisa biso liwa, mpo biso bato tozwa bomoi ya sika, bomoi bwa Ye… Tobanga lisusu nini ? Azali na biso mikolo minso kin’o nsuka ya molongo(Mt 28, 20). Kosepela eyenga ya Pasika ezali kondima kokoma « mobundi etumba » ya bomoi mpo ya baninga mpe mpo ya mokili moye. Totindami lokola Yezu, kokaba bomoi na baninga bato, liboso liboso na baye batiami pembeni mpe banyokwami : « lokola Tata atindi ngai, ngai mpe nakotinda bino. Nsima ya maloba mana, apemeli bango mpema mpe alobi : bozwa Elimo Santu… » (Jn 20, 21-22). Kobimisa baninga na bobangi mpe na molili ya lokuta, yango nde mosala mpe tozwi, awa tondimi’te Kristu akomisi biso bato ba sika na nguya ya Elimo ya Ye. Biso banso tolingi bomoi. Kasi lelo epai ya biso na mboka ya biso mpe ekolo ya biso,, bato ebele bakomi lokola bana bitike, moto akotala bango te. Lelo bato ebele banyokwami, basusu bazali konyata bango, bazali kokosa bango, komema bango na nzela ya lokuta mpe ya liwa. Na nkombo ya Mokonzi oyo azali na bomoi, nasengi bino, banganga-Nzambe, nasengi bino, bamibonza(consacrés), nasengi bino, bamama, batata, bilenge basi na babali, bobima na malita ya bobangi mpe ya lokuta. Botika koluka liboso bolamu ya bino moko, tango basusu bazangi bomoi, bakomi lokola bawa! Tobima, tokende epai ya baye banso bazali lokola mpata izangi mokengeli, mpo ngolu ya Nzambe epesa bomoi na banso.Oyo etinda ya Papa François mpe boleli ya ye mpo ya Ekklezia lelo. Indifférence mpo ya baninga eleki mingi na mokili ya lelo. Eyenga Elamu ya Pasika! Tosekwa solo mpe tosekwisa baninga balembi, tosekwisa mokili ya biso. O nkombo ya Yezu Kristu oyo azali na bomoi, Nzambe apambola mpe abenisa bino banso. Amen! Inongo, mwa le 04/04/2015
2018-07-19T23:07:20
https://evecheinongo.blogspot.com/2015/04/mokanda-mwa-pasika-2015.html
[ -1 ]
Mkondo wa Ghuba ni mkondo wa bahari unaopita katika Atlantiki kuelekea kaskazini. Unanaza katika ghuba ya Meksiko unapita katika mlango wa bahari wa Florida kufuata pwani la mashariki ya Marekani halafu unavuka Atlantiki kuelekea Ulaya. Kabla ya kufika visiwa vya Britania unajigawa na mkono wa kusini unapita pwani za Hispania / Ureno hadi Afrika ya Magharibi. Mkono wa kaskazini unapita funguvisiwa vya Britania (Ueire, Britania) na Bahari ya Kaskazini hadi Skandinavia. Mkono huu wa kaskazini huitwa "Mkondo wa Atlantiki ya Kaskazini". Mkondo wa ghuba ni sehemu ya utaratibu wa mikondo ya bari inayozunguka dunia yote. Mkondo ya Ghuba husukuma katika kila sekondi milioni 30 - 80 m³ za maji - ni mara mia jumla ya mikondo ya mito yote duniani. Mkondo una upana wa 80–150 km na kina cha 800–1200 m. Mwendo wake ni hadi 2 m/s. Mkondo wa Ghuba husukuma maji ya vuguvugu kaskazini hivyo ni kama jiko kwa ajili ya tabianchi ya Ulaya ya Kaskazini. Kwa njia hi tabianchi ya Ulaya ya kaskazini na magharibi si baridi jinsi ilivyo katika Amerika kwenye latitudo ileile. Kwa mfano latitudo ya Norwei inalingana na sehemu za kaskazini za Kanada lakini tabianchi ni ya kupoa hakuna baridi kali hivi Norwei jinsi ilivyo Kanada ya kaskazini. Maji ya mkondo wa ghuba husababisha mabandari ya Ulaya ya Kazkazini hadi Murmansk kuwa bila barafu hata wakati wa baridi. Tabianchi ya Ulaya inaruhusu kustawi kwa mazao ya kutosha ya kulisha watu wengi - wakati huohuo maeneo ya Kanada katika latitud
2015-10-10T05:22:32
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mkondo_wa_Ghuba
[ -1 ]
Mchezo kuruka nguruwe Online. Kucheza kwa huru Mchezo kuruka nguruwe Unachezwa: 6281 Kucheza mchezo kuruka nguruwe Online: Maelezo ya mchezo kuruka nguruwe Kwa nini si nguruwe kuruka? Kutumia potion kwamba ingekuwa alifanya hivyo nguruwe kwa bao lake bora kabisa. . Kucheza mchezo kuruka nguruwe online. Kiufundi na tabia ya mchezo kuruka nguruwe Mchezo kuruka nguruwe aliongeza: 10.11.2011 mchezo unachezwa: 6281 mara Mchezo Rating: 3.5 nje 5 (28 makadirio) Michezo kama mchezo kuruka nguruwe Download mchezo kuruka nguruwe Embed mchezo kuruka nguruwe katika tovuti yako: kuruka nguruwe Kuingiza mchezo kuruka nguruwe kwenye tovuti yako, nakala ya kanuni na kuweka katika kanuni html ya tovuti yako. Pia, kama wewe kama mchezo kuruka nguruwe, nakala na kutuma kiungo kwa rafiki au rafiki yako yote, kushiriki mchezo na dunia! Pamoja na mchezo kuruka nguruwe, pia alicheza katika mchezo:
2019-01-16T13:27:09
http://sw.itsmygame.org/999968952/pig-can-fly_online-game.html
[ -1 ]
SERIKALI YAPOKEA MSAADA WA SHILINGI BILIONI 14.9 - Wizara ya Afya Tanzania Jumatatu, 27 Aprili 2020 Wizara ya Afya Jumatatu, Aprili 27, 2020 Serikali imepokea msaada wa shilingi bilioni 14.9 kutoka Global Fund, Airtel Tanzania, Rotary Club Tanzania ambazo sehemu kubwa zitatumika kununua vifaa kinga kwa watumishi wa afya na vifaa tiba kwa ajili ya kuwahudumia wagonjwa wenye maambukizi ya COVID-19. Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu ameyasema hayo leo wakati akipokea msaada wa fedha na lita 1,250 za vitakasa mikono ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za Serikali za kupambana na maambukizi ya virusi vya Corona. Waziri Ummy amefafanua kwamba Global Fund imetoa shilingi bilioni 14, Airtel Tanzania shilingi milioni 700 na Rotary Club Tanzania shilingi milioni 250. “Tumepokea shilingi bilioni 14 kutoka Global Fund, shilingi bilioni 9.6 tumezitoa kwa ajili ya kununua vifaa kinga kwa ajili ya watumishi wa Afya, lakini pia fedha zilizotolewa na Airtel na Rotary Club Tanzania tutazielekeza huko. Kipaumbele chetu ni kuwalinda watumishi wa afya,” amesema Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu. “Natumia fursa hii kuwashukuru watumishi wa afya ambao wamekuwa wakijitoa usiku na mchana katika kutoa huduma kwa watu waliopata maambukizi ya virusi vya Corona (Covid-19) pamoja na wale wahisiwa. "Kipaumbele cha Serikali ni kuwalinda watumishi wa Afya kwa kununua vifaa kinga kwani fedha tulizozipata hapa tutazielekeza kwenye ununuzi wa vifaa kinga. Niendelee kuwaisistiza Watumishi wa Afya wazingatie miongozo ya magonjwa ya kuambukiza,” Amesema Waziri Ummy . Amesema watumishi wa afya ambao wamepatiwa mafunzo katika vituo vya kutoa huduma kwa wenyr maambukizi ya ugonjwa huo, hakuna aliyepata maambukizi kwa kuwa wanazingatia miongozo ya Serikali ya kutoa matibabu kwa wagonjwa wa Covid-19 pamoja na miongozo ya magonjwa ya kuambukiza. Waziri amesema ushiriki wa kila mdau katika mapambano dhidi ya maambikizi ya virusi vya Corona ni muhimu na kwamba msaada uliotolewa na kampuni hizo ni mkubwa katika mapambano ya maambukizi ya ugonjwa wa Corona. “Napenda kurudia tena kwa niaba Mhe. Rais Dkt. John Magufuli, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, nawashukuru Airtel Tanzania, Serengenti Breweries na Rotary Club kwa hiki mlichotupatia. Asanteni sana,” amesema Waziri Ummy. Naye Mwenyekiti wa Bodi ya Kampuni ya Airtel Tanzania, Bw. Gabriel Malata amesema Airtel Tanzania imetoa shilingi milioni 700 ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono juhudi za Serikali za kupambana na janga la Corona. “Sisi bodi ya wakurugenzi wa Airtel na kwa niaba ya Airtel Tanzania, tunatambua juhudi za Serikali katika kupambana na ugonjwa wa Corona, lakini pia tumejitathimini na kutambua kuwa sisi kama Airtel hatuwezi kuendelea bila kuwepo watu wanaotumia huduma zetu. Watu hawa ndio mtaji wa Kampuni,” amesema Bw. Gabriel. Mkurugenzi wa Uhusiano wa Kampuni ya Bia ya Serengenti, Bw. John Wanyancha amesema kuwa kampuni hiyo imetoa lita 1,250 ya vitakasa mikono nyenye thamani ya shilingi milioni 15 kwa ajili ya kuunga mkono juhudi za Serikali za kupambana na maambukiza ya virusi. Mwenyekiti wa Rotary Club, Bi. Agnes Batenga amesema Rotary imetoa shilingi milioni 250 kwa ajili ya kupambana na ugonjwa wa homa ya mapafu (COVID-19). “Shilingi milioni 183 zitatumika kutoa msaada wa vifaa vya kujikinga (PPE), vifaa vya maji safi ambavyo vitasambazwa katika vituo maalumu vya kuhudumia wagonjwa wa Corona jijini Dar es Salaam, Hospitali ya Amana, Zanzibar, Hospitali ya Mawenzi na Hospitali ya Mount Meru,” amesema Bi. Agnes. Amesema shilingi milioni 67 zitatumika katika kutekeleza miradi ya kudhibiti ugonjwa wa Corona nchini kupitia Club za Rotary. 0 on: "SERIKALI YAPOKEA MSAADA WA SHILINGI BILIONI 14.9"
2020-08-13T14:40:51
https://afyablog.moh.go.tz/2020/04/serikali-yapokea-msaada-wa-shilingi.html
[ -1 ]
MATUKIO @ MICHUZI BLOG: Mwakilishi wa Jimbo la Tungu Mhe Simai Mohammed na Mbunge wa Jimbo Hilo Mhe Khalifa Salum Washiriki Ujenzi wa Soko la Samaki Katika Kijiji cha Tindini na Kukabidhi Mabati ya Ujenzi wa Soko Hilo Mwakilishi wa Jimbo la Tungu Mhe Simai Mohammed na Mbunge wa Jimbo Hilo Mhe Khalifa Salum Washiriki Ujenzi wa Soko la Samaki Katika Kijiji cha Tindini na Kukabidhi Mabati ya Ujenzi wa Soko Hilo Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said akiwa na Mbunge wa Jimbo hilo Mhe Khalafa Salum Suleima wakishiriki katika ujenzi wa Taifa wa kujenga Soko la Samaki katika ufukwe wa pwani ya Kijiji cha Tindini Unguja Ukuu Zanzibar Wilaya ya Kati Unguja, wakikata majengo ya kuezekea bati katika soko hilo. Pia wamekabidhi mabati kwa ajili ya ujenzi huo ili kutowa mazingira mazuri ya Soko hilo wakati wa kufanya mnada wa samaki kwa wavuvi wanaporudi baharini kuvua. Wananchi wa Kijiji cha Tindini Unguja Ukuu wakishirikiana na Mbunge wao na Mwakilishi katika ujenzi wa Taifa wa Soko la Samaki katika ufukwe wa Bahari ya Unguja Ukuu Zanzibar. Mbunge nas Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said ma Mhe Khalifa Salum Suleiman wakikabidhi mabati kwa Katibu Mkuu wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja Bi. Sauda Ramadhani, hafla hiyo ya makabidhiano ya Mabati hayo na miti yamefanyika katika viwanja vya Soko hilo Kijiji cha Tindini Unguja Ukuu Wilaya ya Kati Unguja Mkoa wa Kusini. Wananchi wa Kijiji cha Tindini wakishiriki katika ujenzi wa Soko la Samaki Tindini likiwa katika hatua ya kuezeka.na kuhudumiwa wananchi wavuvi wa kijiji hicho kuuzia samaki wao.. Wananchi wa Kijiji cha Tindini wakishiriki katika ujenzi wa Soko la Samaki Tindini likiwa katika hatua ya kuezeka.na kuhudumiwa wananchi wavuvi wa kijiji hicho kuuzia samaki wao Kiongozi wa Kijiji cha Tindini akitowa maelezo ya ujenzi wa Soko hilo la Samaki katika ufukwe wa bahari yao litakalotowa huduma ya kuuzia samaki kwa wavuvi katika soko la mnada. Mwakilishi wa Jimbo las Tunguu Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa vya ujenzi kwa ajili ya kumalizia ujenzi wa Soko la Samaki katika kijiji cha Tindini Unguja Ukuu Wilaya ya Kati Unguja na kuwataka wananchi wa maeneo hayo kulitumia soko hilo kwa shughuli zao za biashara ya samaki na minada kwa wavuvi wanaorudi bahari kuvua. Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu Zanzibar akisisitiza jambo wakati wa hafla hiyo kwa Wananchi wa Jimbo lake. Katibu wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini Unguja Bi Sauda Ramadhani akizungumza wakati wa hafla hiyo ujenzi wa taifa na kukabidhi mabati na vifaa vya ujenzi wa Soko la Samaki katika Kijiji cha Tindini Unguja Ukuu Wilaya ya Kati Unguja. Wananchi na wavuvi wa kijiji cha Tindini Unguja Ukuu wakimsikiliza mgeni rasmin wakati wa hafla hiyo ya ujenzi wa Taifa na kukabidhi mabati kwa ajili ya kumalizia ujenzi wa Soko hilo. Katibu wa CCM Mkoa wa Kusini Unguja akiwa katika picha ya pamoja na Mbunge na Mwakilishi na Wananchi wa Kijiji cha Tindini Unguja Ukuu baada yas hafla hiyo. Imetayarishwa na Othman Mapara.Blogspots.com Zanzinewes.com. [email protected]
2017-08-22T09:00:03
https://michuzi-matukio.blogspot.com/2017/07/mwakilishi-wa-jimbo-la-tungu-mhe-simai.html
[ -1 ]
Waziri Mhe.Jenista Aaza Ziara Kutembelea Vitega Uchumi Vya PSSSF Jijini Dar es Saklaam. - ZanziNews Home HABARI MATUKIO Waziri Mhe.Jenista Aaza Ziara Kutembelea Vitega Uchumi Vya PSSSF Jijini Dar es Saklaam. Waziri Mhe.Jenista Aaza Ziara Kutembelea Vitega Uchumi Vya PSSSF Jijini Dar es Saklaam. Mkurugenzi Mkuu, Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), Bw. Hosea Kashimba akifafaua jambo
2020-05-28T19:27:25
http://www.zanzinews.com/2019/11/waziri-jenista-aanza-ziara-ya.html
[ -1 ]
Mapenzi Ya Mshuma - The Kangee Brothers - Mapenzi Ya Mshuma I An I Know - King Fari Band - Roots Again, Charlotte Mea Thrailkill - Outrage - Outrage, Olemea - Street Musicians Of Marrakech Join Abdul & Brahim - Trek To Marrakech, Little Jack Horner - Unknown Artist - Favorite Nursery Songs (Volume 2), The Love Of A Woman - Frankie Laine - High Noon 14.11.2019 Kajilar mp3 6 Comments 6 thoughts on “ Mapenzi Ya Mshuma - The Kangee Brothers - Mapenzi Ya Mshuma ” 17.11.2019 at 21:00 Jul 14, · Kutana na Nyambura binti anayemwingiza Joshua katika Mji Tulivu wa mapenzi. Joshua bila kujua azma ya Nyambura anazama mzima mzima na hatimaye kupata Ugonjwa wa Milele. Fuatilia kuanzia sehemu ya. 20.11.2019 at 13:55 Read about Sumu ya mapenzi - Twanga by Twanga Pepeta and see the artwork, lyrics and similar artists. Read about Sumu ya mapenzi - Twanga by Twanga Pepeta and see the artwork, lyrics and similar artists. Playing via Spotify Playing via YouTube. Playback options. 22.11.2019 at 08:48 Mapenzi ya gharama Madagascar 鸞. Unaweza kujaribu hili? Jump to. Sections of this page. Accessibility Help. Press alt + / to open this menu. Facebook. Email or Phone: Password: Forgot account? Sign Up. See more of BBC Swahili on Facebook. Log In. or. Create New Account. See more of BBC Swahili on Facebook. Log In. Forgot account? or. Explore releases and tracks from The Kangee Brothers at Discogs. Shop for Vinyl, CDs and more from The Kangee Brothers at the Discogs Marketplace. Le Tenor Mawa & Kangee Brothers* - Maendeleo Ya Afrika / Rafiki Ndie Audi Yako ‎ (7") Sell This Version: PEA - The Kangee Brothers: Mapenzi Ya Mshuma. Feb 08, · NGUVU YA MAOMBI Kwa Mfano wa Nabii Eliya Yakobo ‐18;Eliya alikuwa binadamu tu kama sisi, Eliya alikuwa binadamu tu kama sisilakini aliomba kwa bidii, ili kuifunga, f g mvua, na Mungu alimsikia, na mbingu zikafungika na mvua (ya ki‐ bi ik f ik (ki mwilini) haikunyesha juu ya nchi,) y j y, kwa muda wa miaka 3 na nusu. View credits, reviews, tracks and shop for the Vinyl release of Mapenzi Ya Mshuma on Discogs. Label: His Master's Voice - PEA - 39 • Format: Vinyl 7 The Kangee Brothers - Mapenzi Ya Mshuma (Vinyl) | Discogs5/5(1). Vigis on Mapenzi Ya Mshuma - The Kangee Brothers - Mapenzi Ya Mshuma
2020-03-31T22:02:00
https://tygojaskazizilzushura.info/mp3/mapenzi-ya-mshuma-the-kangee-brothers-mapenzi-ya-mshuma.php
[ -1 ]
Viziada lugha (paralanguage) - Home - swahilihub.com http://www.swahilihub.com/image/view/-/4344458/medRes/1909598/-/aq7ajhz/-/zozana.jpg Viziada lugha (paralanguage) Uchungu wa mapenzi hakuna asiyejua. Picha/HISANI Imepakiwa - Friday, November 2 2018 at 09:59 Viziada lugha (paralanguage) ni vipengele vya mawasiliano kwa ishara ambavyo huhusisha ubora wa sauti, hisia na mitindo ya kuzungumza, ikiwa pamoja na sifa za kiarudhi kama vile mdundo, lafudhi na msisitizo. Isitoshe, matini zilizoandikwa zina vipengele vya mawasiliano kwa ishara kama vile mtindo wa kuandika, mpangilio wa maneno au matumizi ya hisia. Aina nyingine za mawasiliano ya viziada lugha ni kama vile telegrafia ambapo ishara hupitishwa kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine kwa njia tofauti. Ishara hizi zinaweza kuwa viwakilishi vya maneno, vifaa au makadirio tu. Mtaalamu GW Porter anagawanya mawasiliano ya kutumia ishara katika makundi manne jinsi ifuatavyo: Kimwili. Hii ni aina ya mawasiliano ya binafsi. Mawasiliano hayo yanahusisha ishara za uso, toni ya sauti, kugusa, kunusa, na miondoko ya mwili. Ujumi. Hii ni aina ya mawasiliano ambayo hufanyika kupitia njia za ubunifu:mathalan kucheza ala ya muziki, densi, uchoraji na uchongaji. Ishara. Hii ni aina ya mawasiliano, ambayo inajumuisha matumizi ya bendera za ishara, milio 21 ya bunduki, pembe, ving’ora na kengele. Namna ya kujiwasilisha. Watu wanaweza kujiwasilisha kwa njia mbalimbali: uso kwa uso, ubavu ubavu, au hata wakifuatana. Kwa mfano, watu walio na ushirikiano kuna uwezekano watakaa ubavu kwa ubavu na washindani wakati mwingi hutazamana. Namna ya kukaa. Kwa kawaida mtu anaweza kuwa amelala chini, ameketi, au amesimama. Hivi si vipengele vya mkao vinavyowasilisha ujumbe. Mgusano wa kimwili. Kusalimiana kwa mikono, kugusana, kushikana, kukumbatiana, kusukumana, au kupiga kofi mgongoni haya yote huwasilisha ujumbe. Huwa yanaashiria urafiki au hisia za (au ukosefu wa) mvuto.
2019-03-25T11:36:01
http://www.swahilihub.com/viziada-lugha--paralanguage-/1306882-4833410-ess5jaz/index.html
[ -1 ]
Exo 26 | Neno | STEP | “Tengeneza Hema kwa mapazia kumi ya kitani iliyosokotwa vizuri na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu, naye fundi stadi atatarizi makerubi kwenye mapazia hayo. 1 “Tengeneza Hema kwa mapazia kumi ya kitani iliyosokotwa vizuri na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu, naye fundi stadi atatarizi makerubi kwenye mapazia hayo. 2 Mapazia yote yatakuwa na ukubwa mmoja: kila moja litakuwa na urefu wa dhiraa ishirini na nane ▼ ▼ 26.2 Dhiraa 28 ni sawa na mita 13 ▼ 26.2 Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8 . 3 Unganisha mapazia matano kuwa kipande kimoja; fanya vivyo hivyo kwa hayo mengine matano. 4 Tengeneza vitanzi vya kitambaa cha buluu kwenye ukingo wa pazia la mwisho la kipande cha kwanza, pia kipande cha mwisho cha pazia la pili ufanye vivyo hivyo. 5 Fanya vitanzi hamsini katika pazia la mwisho la kipande cha kwanza na vitanzi hamsini vingine kwenye pazia la mwisho la kipande cha pili, vitanzi vyote vielekeane. 6 Kisha tengeneza kulabu hamsini za dhahabu ili kukaza mapazia pamoja kufanya Hema liwe moja. 7 “Tengeneza mapazia kumi na moja ya singa za mbuzi kwa ajili ya kufunika Hema. 8 Mapazia hayo kumi na moja yatakuwa na kipimo cha aina moja. Kila pazia litakuwa na urefu wa dhiraa thelathini na tatu ▼ ▼ 26.8 Dhiraa 33 ni sawa na mita 15.3 na upana wa dhiraa nne. 9 Unganisha hayo mapazia matano pamoja na hayo mengine sita pamoja. Kunja hilo pazia la sita mara mbili mbele ya Hema. 10 Tengeneza vitanzi hamsini ukingoni mwa pazia la mwisho la kipande cha kwanza, na vitanzi hamsini ukingoni mwa pazia la mwisho la kipande cha pili. 11 Kisha tengeneza kulabu hamsini za shaba, uziingize katika vile vitanzi hamsini ili kukaza Hema kuwa kitu kimoja. 12 Kuhusu kile kipande cha ziada cha pazia la Hema, nusu ya hilo pazia lililobaki litaning'inizwa upande wa nyuma wa Hema. 13 Mapazia ya hema yatakuwa na urefu wa dhiraa moja zaidi pande zote, sehemu itakayobaki itaning'inia pande zote za Hema ili kuifunika. 14 Tengeneza kifuniko cha Hema kwa ngozi za kondoo waume zilizotiwa rangi nyekundu, juu ya kifuniko hicho ufunike ngozi laini za wanyama. 15 “Tengeneza mihimili ya mti wa mshita kwa ajili ya Hema. 16 Kila mhimili uwe na urefu wa dhiraa kumi ▼ ▼ 26.16 Dhiraa 10 ni sawa na mita 4.5 na upana wake dhiraa moja na nusu, 17 ikiwa na ndimi mbili zilizo sambamba. Tengeneza mihimili yote ya Hema jinsi hii. 18 Tengeneza mihimili ishirini ya upande wa kusini wa Hema, 19 kisha tengeneza vitako arobaini vya fedha vya kuweka chini ya hiyo mihimili, vitako viwili kwa kila mhimili, moja chini ya kila ulimi. 20 Kuhusu upande mwingine, yaani upande wa kaskazini wa Hema, tengeneza mihimili ishirini 21 na vitako arobaini vya fedha, viwili chini ya kila mhimili. 22 Kisha tengeneza mihimili sita kwa kila mwisho, yaani, upande wa magharibi wa Hema, 23 pia utengeneze mihimili miwili ya pembe za mwishoni. 24 Katika pembe hizi mbili ni lazima mihimili iwe miwili kuanzia chini mpaka juu na kushikizwa kwenye pete moja, yote miwili itafanana. 25 Kwa hiyo itakuwepo mihimili minane na vitako kumi na sita vya fedha, viwili chini ya kila mhimili. 26 “Pia tengeneza fito za mti wa mshita: tano kwa ajili ya mihimili ya upande mmoja wa Hema, 27 tano kwa ajili ya mihimili ya upande mwingine, na tano kwa ajili ya mihimili ya upande wa magharibi, mwishoni kabisa mwa Hema. 28 Ufito wa katikati utapenya toka mwisho huu hadi mwisho mwingine katikati ya mihimili. 29 Funika hiyo mihimili kwa dhahabu, kisha tengeneza pete za dhahabu ambazo zitashikilia hizo fito. Pia funika fito hizo kwa dhahabu. 30 “Simamisha Hema sawasawa na ramani uliyoonyeshwa kule juu mlimani. 31 “Tengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa vizuri, naye fundi stadi atarizi makerubi kwenye hayo mapazia. 32 Litundike kwa kulabu za dhahabu kwenye nguzo nne za mti wa mshita ambazo zimefunikwa kwa dhahabu, zikiwa zimesimamishwa kwenye vitako vinne vya fedha. 33 Ning'iniza pazia hilo kwenye vifungo, kisha weka Sanduku la Ushuhuda nyuma ya pazia. Pazia litatenganisha Patakatifu na Patakatifu pa Patakatifu. 34 Weka kifuniko cha kiti cha rehema juu ya Sanduku la Ushuhuda ndani ya mahali Patakatifu pa Patakatifu. 35 Weka meza nje ya pazia upande wa kaskazini wa Hema, kisha weka kinara cha taa upande wa kusini wa Hema. 36 “Kwa ajili ya lango la hema, tengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa vizuri, ambayo ni kazi ya mtarizi. 37 Tengeneza kulabu za dhahabu kwa ajili ya hilo pazia na nguzo tano za mshita zilizofunikwa kwa dhahabu. Kisha mimina vitako vitano vya shaba kwa ajili yake.
2018-03-18T21:45:56
https://www.stepbible.org/?q=version=Neno%7Creference=Exo.26
[ -1 ]
New Music: Chidy Yobo - Nalia | ZNZ_Zenji255 Home Music New Music: Chidy Yobo – Nalia Msanii wa muziki Chidy Yobo ameachia wimbo wake mpya “Nalia”. Wimbo umetayarishwa katika studio za Smart Music na producer Flavour Noma.
2019-04-25T00:07:38
http://www.zenji255.com/new-music-chidy-yobo-nalia/
[ -1 ]
Wanawake, ukitaka kujijua wewe ni mchafu, jiangalie hizi tabia unazo - JamiiForums Wanawake, ukitaka kujijua wewe ni mchafu, jiangalie hizi tabia unazo Wanawake bwana barabaran wote wazuri hamna mbaya njiani,mnanukia mnapendeza,mna mashauzi yani Full kujiamini ila kumbe Huko nyumbani kwenu mambo ni 1+1-2 1.Dressing Table yako : Wengi wenu huwa mkiwa mnatoka hamjuagi kupanga dressing table zenu baada ya kumaliza kuji podoa yani perfume,spray,poda yani full vagarant madai yenu mtasafisha mkirudi mshachelewa (uchafu huo) 2.Kabatini : yani wakati wakuvaa wanawake mnajua kupangua kabati zima,kila nguo mtest nyie Sawa hamna shida ila wengi wenu mkishapata nguo ya kuvaa kabati mnakuja kupanga mkirudi (uchafu huo) 3.Kitandani : mkiamka madai haraka nyingi,utaamka utavuta shuka huku na kule eti ndio umetandika kitanda unasepa (uchafu huo) 4.Soap dish : bafuni ina sabuni pembeni juu chini yani hadi ukienda ukiishika soap dish na yenyewe imegeuka sabuni kwa jinsi ilivyogandia gandia sabuni (uchafu huo) na soap Dish ya vyombo nayo Chafu hata haieleweki (uchafu huo) 5.Kioo chako cha dressing : wengi husafisha pale anapoweka vikorombwezo tu ila kufuta kiooo hamjui,hata mkifuta mtaacha kioo kina ramani kibao (uchafu huo) 6.Pants zenu : Madai yenu mnapenda rangi nyeupe ila tukianza kukagua sasa hivi mlio na pants nyeupe katika 10 ntawapata wawili,wengi wenu mmevaa rangi za maziwa maana zilikua nyeupe ila saivi ni za Kijivu (uchafu huo) 7.JIKI : Kama huna jiki kwako wewe ni Mchafu,ndio mana vi pants vyenu vina GINA....Mwanamke msafi Jiki hakosi. 8.Dustbin : Kama huna hii kitu ndani kwako/chumbani wewe ni Mchafu. 9.SUFURIA : ukimaliza kupika pilau,ugali,wali au chakula chochote chakushika sufuria halafu ukapakua chakula kikaisha then ukaosha vyombo vyote ila sufuria ya pilau/ugali/wali ukailoweka hivyo hivyo huo ni UCHAFU...Osha sufuria zote hadi yenye ukoko kisha isuuze then iloweke ikae na maji masafi hadi ukoko wa ndani ya maji uloshika sufuria unauona (huyo ndio mwanamke msafi)..ila kama unaloeka sufuria na mimaji michafu,au unaloeka sufuria ukiweka maji Ukoko hauonekani (huo uchafu) 10.Tissue : Kama hauna hizi jitambue tu kua wewe ni Mchafu,usitudanganye kila chakula wewe ukila unanawa mikono. 11.Mswaki : huo ulioswakia leo asubuhi kama unao tangu MARCH jua (uchafu huo) 12.Huna steel wire ndani ukitaka kuosha vyombo mpaka ukanunue (uchafu huo) 13.Shuka ulotandika leo kitandani ni la tangu J3 (UCHAFU HUO) 14.Ukibisha haya niliyoandika (uchafu huo) Reactions: Bulaya001, farkhina, Prishaz and 5 others Ukweli mtupu, waje hapa kusoma Reactions: patricl, Perimeter and Honey bila uchafu usafi utatoka wapi ? ni vyema kwa kuwakumbusha. Namba 1 na namba 2 ndiyo uchafu wangu. Sawa nitabadilika. Reactions: Shadeeya, Ninaweza, ArIeN and 2 others Umechukulia mambo kijumla jumla sana kwahapa umelizungumzia tabaka dogo sana la wanawake wanaoishi maisha fulani ya kumiliki jiko,choo,dressing table nk. vipi kuhusu wengineo wanaoshi nje ya maisha hayo? Thread yako haina uhalisia kwa maisha ya kawaida ya watanzania waliowengi. Reactions: Da Lu, kengele maziwa, Shadeeya and 13 others Ni kawaida mazoea ujenga tabia..Kubadili tabia ni sawa na kubadili rangi ya ngozi Mi nimekuja kusoma comment maana wameambiwa wasome ni wanawake. Siku nyingine tuite wote. ukibadilika unambie nije kuhakikisha kama ni kweli..niundE tume Nimejaribu kubadilika ila wapi, naweza nikatumia masaa 2 kupanga nguo kabatini ila nikavuruga zote ndani ya dakika moja. Hata kama nilishaandaa nguo ya kuvaa nikaiweka pembeni asubuhi lazima mabadiliko yafanyike. Reactions: Kulupura, Mamy K, ArIeN and 2 others hamna mwanamke asie na choo kwao hata kama ni public ila unakitumia wewe kila siku..ni CHOO CHAKO HICHO,hamna mwanamke asiemiliki jiko kwake/kwao na pia hamna mwanamke asie na dressing table sio lazima iwe kama hyo unayoifikiria anaweza akawa anaweka vikorombwezo vyake hata juu ya BEGI au hata Ndani..Hamna mtu anaeishi nnje ya maisha haya. Hyo namba 9 utatupata wengi Reactions: Mtoto halali na hela and Perimeter acha nikuweke ktk maombi Duuh mimi kumbe mchafu kiasi hiki Kwakua unaanza kukaza mishipa ya shingo ili tubishane ngoja tu nikuache. Reactions: kisikiji aki hatuchekani sawa, japo sipo ktk mabishano ila kuanzia leo si mtabadilika si et eeh? so nikuongeze ktk list ya watu wanaohitaji Maombi,maana mnaonekana mmeshindikana! Threads 1,303,529 Posts 31,484,747
2019-06-16T03:21:24
https://www.jamiiforums.com/threads/wanawake-ukitaka-kujijua-wewe-ni-mchafu-jiangalie-hizi-tabia-unazo.1582447/
[ -1 ]
Aliyekuwa katibu wa CHADEMA Mara ajiunga CCM | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Aliyekuwa katibu wa CHADEMA Mara ajiunga CCM Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by GHOST RYDER, Jun 11, 2011. Katibu wa CHADEMA wa Mara Nyanza Sibitari amerejesha kadi rasmi jioni hii katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa na aliyekuwa mbunge wa Musoma Mjini Vedasto Manyinyi. Sibitari aliyeongozana na vijana wengine 126 na bendera na Kadi za CHADEMA anadai kuwa kajiengua CHADEMA kwa sababu zifuatazo: CHADEMA Kuendeshwa kama Taasisi na si chama Kushamiri kwa makundi ndani ya Chama hicho Mgogoro ulioanza toka nyakati za uteuzi wa viti maalumu hadi Ubunge Anadai alipotea na sasa karudi nyumbani More UP DATE to follow Eti Chadema inaendeshwa kama taasisi na si chama. ...KARUMEKENGE KATIKA RANGI ZAKE ! Anastahili kutoka Cdm kama hajui kuwa Chama ni taasisi. . ! Kakimbia makundi Cdm, kwakua ccm haina kundi ! Hahaah akili zake ziko rojo, anastahili kuungana na vilaza wenzake Ccm. Anadai alipotea njia na sasa yuko nyumbani. . . . . Upupu dot com ! Ccm kweli inamfaa kwakua anafanana nao hata kwa mtazamo. Anaahidi kuanza kufanya mikutano ya Hadhara kuanzi kesho akizunguka kata zote za Musoma Mjini akiambatana na hao vijana kusambaza sumu kaali kuhusu mambo ya ndani ya CDM, Huyu ni hatari kama ukoma maana katika kipindi hiki ambacho aliyekuwa mbunge wa Musoma kaahidi kuahakikisha bei ya sembe inashuka kwa chini ya shilingi mia nane watafanikiwa kudhoofisha nguvu ya Chama mkoani. Anadai alipotea njia na sasa yuko nyumbani. . . . . Upupu dot com ! Ccm kweli inamfaa kwakua anafanana nao hata kwa mtazamo.Click to expand... Kama ni mtu wa kupoteapotea hivi haishangazi wiki ijayo akiibukia Jahazi Asili Uhuru una maana nyingi sana.......leteni updates Waondoke mapema, waende kwa majambazi wenzao. Eti Chadema inaendeshwa kama taasisi na si chama. ...KARUMEKENGE KATIKA RANGI ZAKE !Anastahili kutoka Cdm kama hajui kuwa Chama ni taasisi. . !Viva CdmClick to expand... Kama kampuni ndivyo alivyosema huyu muandishi ni mshabiki wa kampuni yenu. nipo kwenye daladala hapa nacheeka Breaking News: PIGO CHADEMA MARA Angalia alijiunga lini? na Nape yuko busy na vijanawake kwenye mitandao ya jamii Katibu wa CHADEMA wa Mara Nyanza Sibitari amerejesha kadi rasmi jioni hii katika mkutano wa hadhara ulioandaliwa na aliyekuwa mbunge wa Musoma Mjini Vedasto Manyinyi. Sibitari aliyeongozana na vijana wengine 126 na bendera na Kadi za CHADEMA anadai kuwa kajiengua CHADEMA kwa sababu zifuatazo: CHADEMA Kuendeshwa kama Taasisi na si chama Anadai alipotea na sasa karudi nyumbani More UP DATE to followClick to expand... Kakimbia makundi Cdm, kwakua ccm haina kundi ! Hahaah akili zake ziko rojo, anastahili kuungana na vilaza wenzake Ccm.Click to expand... CCM hakuna makundi ila kuna vyama mabalimbali vikiongozwa na kile kikubwa cha ufisadi. Kweli hafai cdm Anahaki ya kujiunga na chama chochote ila sasa ndiyo kapotea kabisa, tangu lini kipofu akaona mwanga ameamua kurudi kwenye giza lake Hajui asemalo... Kama kampuni ndivyo alivyosema huyu muandishi ni mshabiki wa kampuni yenu.Click to expand... hilo la kampuni umesema wewe ! Mleta thread kasema , Jamaa anasema Cdm inaongozwa kama taasisi ! Usidandie train. Soma kwa umakini Mkuu Hongera mwanangu wee hongera nasi tuhongeree wee hongera! Jama lina uma mno wee! Walikuwepo akina Tambwe Hiza, walikula viapo vizito vya kinafki lakini baadae akasaliti upinzani. Uhuru una maana nyingi sana.......leteni updatesClick to expand... Mkutano umekwisha Licha ya kupitiza muda kama kawiada sijaona rabsha kama zile za Singida hivi majuzi. Walahi hii nchi!!!! sikia hii sasa ya kufungia mkutano....anakwambia ubunge wa Vincent Kiboko Nyerere ni sawa na umekuatana na gari la kulipa mshahara wakati wewe hukufanya kazi na unapewa pesa, lazima utachukua ndio kilichotokea kwa Musoma Mjini. Sasa hapa hii kidogo inatia mashaka na ukomavu wa kisiasa wa ndg sibitari na ilikuwaje akakwaa mamlaka ya juu kiasi hiki katika Mkoa???????
2017-07-20T13:22:40
https://www.jamiiforums.com/threads/aliyekuwa-katibu-wa-chadema-mara-ajiunga-ccm.144687/
[ -1 ]
sala islamic | Namna ya kuswali Home /swala /Namna ya kuswali Kuelekea Kibla na Takbiri ya kufungia Swala Dua ya kufungulia Swala na kusoma Fatiha Aisha alipokewa kwamba alisema: (Mtume ﷺ alikuwa akifungua Swala kwa Takbiri na kisomo cha “Alhamdu lillaahi Rabbil ‘aalamiin”, na alikuwa akirukuu hakiinamishi kichwa chake na wala hakisimamishi sawa, bali alikikiweka baina ya hali hizo mbili. Na alikuwa akiinua kichwa chake kutoka kwenye rukuu, hasujudu mpaka alingane katika kusimama. Na alikuwa akisoma Atahiyatu katika kila rakaa mbili, na alikuwa akikalia mguu wake wa kushoto na akiusimamisha mguu wake wa kulia. Na alikuwa akikataza mkao wa Shetani (kukaa kama shetani) na alikikataza mtu kuiweka chini mikono yake katika kukaa kama vile mnyama wa kuwinda, na alikuwa akihitimisha Swala yake kwa kupiga Salamu) [ Imepokewa na Muslim.].
2018-07-17T07:36:06
https://www.al-feqh.com/sw/amp/Namna-ya-kuswali
[ -1 ]
Reta ya Kiyisilamu Igabisha Kwica Abakirisitu Amakuru Reta ya Kiyisilamu Igabisha Kwica Abakirisitu Ibyahinduwe nyuma Kanama 02, 2016 Umuhari wa Reta ya Kiyisilamu uhamagarira abanywanyi bawo bari m’Ubufaransa no k’umugabane wa Bulayi kugaba ibitero ku bayoboke b’idini ry’igikirisitu. N’inyuma y’aho uwo muhari wiciye umupadiri w’umufaransa w’imyaka 85 umuciye izosi mugihe yariko ahimbaza inkuka y’imisa m’Ubufaransa. Ubwicanyi abategesti b’Ubufaransa bafise ubwoba ko ar’uburyo uwo muhari utanguye bwo gucanishamwo abakiristu n’Abayisilamu. Abandi baronderwa kwicwa n’uwo muhari ni Papa Fransinsiko, hamwe n’abategetsi b’ishengero ry’aba Orthodoxe. Papa yagirizwa ko yiyamiriza ubwicanyi bwakozwe mu gisagara ca Orlando hano muri Amerika bwahitanye abantu 49 bari mu nzu y’ubutambiro. Umurwanyi Abu Sa'd yahoze mw’idini ry’abakristu mu gihugu ca Trinidad Tobago asaba abanywanyi b’uwo muhari mu bihugu vya bulayi kugira iterabwoba ku bakiristu babasanze mu mazu yabo no gusesa amaraso menshi. Abategetsi b’Ubufaransa bamenyesha ko bari bamaze kwumva ayo makuru ko umuhari wa Reta ya Kiyisilamu ugamije gutanguza intambara yo gucanishamwo imiryango ifatiye kumadini. Bamenyesha ko bagiye gukora ibishoboka kugira barinde ayo macakubiri hagati y’Abakristu n’aba Isilamu.
2017-06-24T10:15:30
https://www.radiyoyacuvoa.com/a/3445189.html
[ -1 ]
Scholarship za China: Majina yamechakachuliwa | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Scholarship za China: Majina yamechakachuliwa Discussion in 'Jukwaa la Elimu (Education Forum)' started by Lambardi, Aug 12, 2012. Wana JF naomba msaada wenu mwenye kujua utaratibu wa kupata scholarship za china kupitia wizara ya elimu. Maana nimepata official email toka China kuwa nimepata nijiandae kwa safari document zitakuja soon; Nimeenda wizarani wanasema jina langu halikurudi. Nashangaa niko njia panda naomba msaada! Wanataka kukuchakachua hao ebu waforwadie email uliyopata kutoka china,kama wakikataa itisha press conference uwaumbue hao mabazazi washenzi sana hao mie mwenyewe walinichakachua scholarship za china wakamchukua mtu ana div 2 ya 10. Khaaaa wakati mie nina one ya 3 na kulikua hakuna mtihani wanaangalia max tu! Hiyo mbona kawaida sana. Ilibidi utumike kupitia vyeti vyako na kuandika concept note ili nafasi ipatikane. pole sana ndugu yangu...mie walitaka kunifanyia umafia nikawazidi akili kwani nilikua na jamaa alikua huko akanifowardia list nzima tuliochaguliwa, niliprocess visa na kupata e tikect masaa 5 kabla ya ndege kuondoka. Hata wachina wameshtukia kuwa watz wanachakachua majina. kujuana,ubinafsi na rushwa kunasababisha vijana wakose haki zao ambazo walistahili nakusihi endelea kufuatilia ndugu! Mh! China? simu feki, redio feki,TV Feki, magari feki, mataili feki, piki piki feki, vipi kuhusu elimu nayo si f...i? kama wamekuchakachua achana nao apply nchi nyingine wanaotoa elimu bora. China wanatoa elimu feki kwani miongoni mwa madr pale Moi waliofanya operation kichwa badala ya mguu na mguu badala ya kichwa walisoma China na baada ya kutimuliwa hapo Moi wapo huku mawilayani na kwenyewe ni bure kabisa achana na China kama unataka elimu bora na sio bora elimu. wana jf naomba msaada wenu mwenye kujua utaratibu wa kupata scholarship za china kupitia wizara ya elimu: Maana nimepata official email toka china kuwa nimepata nijiandae kwa safari document zitakuja soon:nimeenda wizarani wanasema jina langu halikurudi:nashangaa niko njia panda naomba msaada:Click to expand... samahani mkuu! Ww uliomba lini? Wewe check sirname za watakaofanikiwa kupata ndo utajua kama walichakachua ama hawatachakachua, majina yetu ya akina Kapufi, Mwanakatwe, Saanane, Nkalandu hutayakuta utakuta yale mengine ya akina ---- malizia mi sitaki kwenda Mabwepande kutoa series nyingine na magazeti mengine yafungiwe Wajulishe wachina wenyewe kwa maandishi ukinukishe kama noma na iwe noma Mh! China? simu feki, redio feki,TV Feki, magari feki, mataili feki, piki piki feki, vipi kuhusu elimu nayo si f...i? kama wamekuchakachua achana nao apply nchi nyingine wanaotoa elimu bora.Click to expand... Ukiendelea na kukurupuka bila ya kutafakari, utakosa mengi yenye tija kwako. Soma thread tena. Wasiliana na hao waliokutumia email haraka iwezekanavyo, wakupatie documents zote e.g. admission, scholarship grant letter, then nenda ubalozi wa China nchini uka-state kesi yako (naungana na anayesema ueleze vyote ikiwemo harufu ya kuchakachuliwa-liwalo na liwe)...wakati huo huo huko ubalozi ikiwezekana uanze process za kupata study permit...ukizubaa ndo hivyo atapewa mtu mwingine!Nchi ishauzwa, ukizubaa ndio wanapewa nafasi yako watu wengine, watoto wa kina fulani, na wakienda huko wengi wao wanaboronga tu! Mimi mwenyewe ilinitokea mwaka jana hawa akina mama kibaya hawa jamani cjui kwa nini wanafanya hivi? Lakini saa hizi nimeghairi sitaki tena kuusikia ujinga wa gov scholarship ni bora nigoogle tu. Asante sana kwa ushauri inatia hasira sana jamani;ngoja nijaribu kufuatilia kuanzia chuoni na ubalozini nione inakatisha tamaa ndugu zanguni! pigana mjomba,magamba ndo stahili zao hzo kubebana hata kama ni ******,fuata ushauri wa wachangiaji,utafanikiwa,uzuri wake wenyewe china wanakutambua,sasa kuna nn hapo
2016-10-21T22:17:55
http://www.jamiiforums.com/threads/scholarship-za-china-majina-yamechakachuliwa.306675/
[ -1 ]
Kilimanjaro Official Blog: ANAYEDAIWA KUMUUA KWA RISASI KAMANDA BARLOW AKAMATWA..! ANAYEDAIWA KUMUUA KWA RISASI KAMANDA BARLOW AKAMATWA..! MTU mmoja anayeshukiwa kuwa ndiye aliyehusika kumpiga risasi na kumuua aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Liberatus Barlow (53), amekamatwa na polisi mkoani Mwanza. Kamanda Barlow aliuawa kwa kupigwa risasi shingoni usiku wa manane wakati akimsindikiza mwanamke mmoja baada ya kuhudhuria kikao cha harusi ya ndugu yake. Akitoa taarifa ya mauaji kwa waandishi wa habari jana, Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) Robert Manumba alisema watu 10 wanashikiliwa kwa mauaji hayo huku akitaja sababu za mauaji hayo kuwa ni kisasi cha mapenzi na ujambazi. Manumba ambaye aliambatana na Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Said Mwema alisema baada ya kupatikana simu ya Mwalimu Dorothy Moses aliyekuwa na marehemu kamanda huyo usiku wa tukio, walifanikiwa kukamatwa watuhumiwa watano jijini Dar es Salaam ambao wameonekana kuwa na rekodi ya kuhusika na matukio kadhaa ya ujambazi Mwanza na maeneo mengine nchini. “Watu hawa ni majambazi, na kabla ya kumuua kamanda Mwanza inaonekana walihusika na matukio kadhaa ya ujambazi, na hata baada ya kukimbilia Dar es Salaam nako walihusika na matukio kadhaa na kufanikiwa kukamatwa ambapo wamekiri kuhusika na kutuwezesha kukamata silaha aina ya Shotgun pamoja na silaha nyingine aina ya Pumpaction,” alieleza DCI Manumba. Kutokana na rekodi ya ujambazi na mmojawao kubainika kuwa alitoka jela miezi minne kabla ya tukio hilo, Jeshi la Polisi limedai kuwa sababu ya mauaji inaweza kuwa inatokana na ujambazi. DCI Manumba alisema katika idadi hiyo ya watuhumiwa 10 bado jeshi lake linaendelea kuwasaka watu wengine wawili ambao wametajwa kuhusika na tukio hilo. Posted by King Jofa at 1:39 PM
2018-05-22T00:45:10
http://kingjofa.blogspot.com/2012/10/anayedaiwa-kumuua-barlow-akamatwa.html
[ -1 ]
Coronavirus: Dkt Anthony Fauci atahadharisha kuwa Marekani itakuwa na visa 100,000 kwa siku – RSWAHILI Coronavirus: Dkt Anthony Fauci atahadharisha kuwa Marekani itakuwa na visa 100,000 kwa siku Fauci: ”Sitashangazwa iwapo tutakuwa na visa hadi 100,000 kwa siku” Mtafiti mkuu wa magonjwa Dkt Anthony Fauci ameliambia bunge la seneti nchini Marekani kuwa ”hatashangazwa” ikiwa maambukizi mapya kwa siku yatafikia 100,000 kwa siku. ”Ni wazi hatujaudhibiti kwa sasa,” alikiri, akitoa tahadhari kuwa haitoshi kwa Wamarekani kuvaa barakoa na kutochangamana Katika hotuba yake, alisema kuwa karibu nusu ya watu wote wapya walioambukizwa wanatoka katika majimbo manne. Awali, Gavana wa New York alisema karibu nusu ya Wamarekani wote lazima wajiweke karantini ikiwa watatembelea jimbo hilo. Siku ya Jumanne, idadi ya watu walioambukizwa iliongezeka kwa zaidi ya 40,000 kwa siku moja kwa mara ya nne katika kipindi cha siku tano. Ongezeko- ambalo limekuwa kubwa katika majimbo ya Kusini na Magharibi limelazimu majimbo karibu 16 kusitisha na kutazama upya mipango yao ya kuyafungulia majimbo hayo, kwa mujibu wa shirika la habari la CNN. Florida, Arizona,Texas na California ni majimbo manne yaliyotolewa mfano na Dkt Fauci kuwa majimbo yaliyoathiriwa zaidi na virusi vya corona kwa sasa. Kwa baadhi hatua mpya zimekuja katika kipindi cha mwezi mmoja baada ya kufungua tena shughuli za kiuchumi Dkt Fauci (kushoto) na Dkt Redfield wakiongea kabla ya kikao Pia siku ya Jumanne , Gavana wa New York Andrew Cuomo iliongeza idadi ya Wamarekani ambao wanatakiwa kujiweka karantini kwa siku 14 ikiwa watatembelea jimbo hilo. Kwa sasa kuna majimbo 16 kwenye orodha. Majimbo mapya yaliyo kwenye orodha ni pamoja na California, Georgia, Iowa,Idaho, Lousiana, Mississippi, Nevada na Tennessee. Yanaungana na Alabama, Arkansas, Arizona, Florida, North Carolina, South Carolina, Texas na Utah. Yote kwa pamoja, yanagusa 48% ya wakazi wote wa Marekani kwa mujibu wa wataalamu. Akizungumza mbele ya kamati ya bunge la seneti katika jitihada za kufungua tena shule na biashara, Mkurugenzi wa taasisi ya kitaifa ya uzio na magonjwa ya kuambukiza alikosoa majimbo hayo kwa ”kupuuza” taratibu zinazohitajika kufuatwa wakati wa mchakato wa kufungua tena shughuli, na matokeo yake maambukizi yataongezeka. ”Siwezi kukisia , lakini hali itakuwa ya kutamausha, ninaweza kuwahakikishia hilo,” alimwambia seneta Elizabeth Warren. ”Kwasababu ikiwa una mlipuko wa ugonjwa katika sehemu moja ya nchi hata kama maeneo mengine ya nchi yanafanya vyema, pia wanakuwa hatarini.””Hatuwezi kuzingatia tu maeneo ambayo yana maambukizi ya hali ya juu. Inaweka nchi nzima katika hatari,” aliongeza. Dkt Fauci ameitaka serkali ya Marekani kuzalisha barakoa na kuzisambaza bure kwa Wamarekani wote, na kukemea baadhi ya watu ambao hawazingatii kanuni za kutochangamana. Wakazi wa Florida wamepuuzilia mbali agizo jipya la kuvaa barakoa Robert Redfield, Mkurugenzi wa Kituo cha kudhibiti na kuzuia magonjwa (CDC) ambaye pia alitoa maelezo yake siku ya Jumanne, aliwaambia wabunge kuwa majimbo 12 yameshuhudia idadi ya wagonjwa wanaolazwa hospitali ikiongezeka na jimbo la Arizona limerekodi ongezeko la idadi ya watu wanaofariki. Kabla ya kumsikiliza Dkt Fauci, Seneta wa chama cha Republican Lamar Alexander, anayeongoza kamati hiyo, alitoa wito kwa Rais Donald Trump kuvaa barakoa- kitendo ambacho hakifanyi anapokuwa kwenye shughuli zinazokusanya Umma. ”Inasikitisha hatua rahisi ya kuokoa maisha imekuwa sehemu ya mjadala wa kisiasa,” alisema mshirika wa Trump. ”Kama unamuunga mkono Trump huvai barakoa, kama haumuungi mkono unavaa,” aliendelea, akisema kuwa ”rais huvaa barakoa mara chache”. ”Rais ana watu wengi wanaompenda ambao wanafuata mfano wake,” alisema. ‘Tuna maambukizi makubwa sana ya virusi’ Taarifa zaidi kuhusu virusi vya corona: Siku ya Jumatatu, Dkt Anne Schuchat, Naibu Mkurugeni wa CDC alitahadharisha kuwa Marekani haichukui hatua kama nchi nyingine ambazo zimeonesha kupiga hatua kudhibiti virusi vya corona, na imeruhusu kusambaa sana kwa virusi na kwa kasi kubwa. ”Si kama hali ilivyo New Zealand au Singapore au Korea ambako mtu mmoja anapoambukizwa hutambulika na kufanya ufuatiliaji wa watu aliochangamana nao na watu wanatengwa na watu walioambukizwa huwekwa karantini na wanaweza kudhibiti hali hii,” alisema Dkt Schuchat katika mahojiano na jarida la shirika la kitabibu la Marekani. ”Tuna maambukizi mengi sana ya virusi nchini na kwa hili sasa , linavunja moyo sana.” New Zealand ilitangaza kuwa haina maambukizi tarehe 8 mwezi Juni, na tangu wakati huo ilikuwa ikishughulika na watu wachache walioambukizwa ambao ni wasafiri waliokuwa wameingia nchini humo kutoka nje. Korea Kusini imeajiri wataalamu wa kufuatilia watu waliochangamana na watu waliopata maambukizi , na tangu tarehe 1 mwezi Aprili nchi hiyo imerekodi maambukizi ya watu chini ya 100 kwa siku. Mlipuko nchi Singapore uliongezeka katikati ya Aprili baada ya watu wapya 1,400 kuripotiwa kupata maambukizi kwa siku moja. Marekani imerekodi maambukizi ya watu 2,682,897 mpaka siku ya Jumanne, kwa mujibu wa Chuo cha John Hop ← Picha milioni 425 za jua zilizonaswa katika kipindi cha miaka 10 na kwa sekunde 0.75 Macron: Ulaya itaendeleza mapambano ya ugaidi eneo la Sahel →
2020-07-02T15:03:01
http://rswahili.com/coronavirus-dkt-anthony-fauci-atahadharisha-kuwa-marekani-itakuwa-na-visa-100000-kwa-siku/
[ -1 ]
MJJ - Michael Jackson picha (16640072) - fanpop This Michael Jackson picha might contain kufanya kiini, holding cell, kufanya seli, taasisi ya adhabu, adhabu kituo, taasisi ya kuurekebisha, kituo kuurekebisha, kiini, jela, kiini gerezani, seli, and seli ya gereza. Juhcy sorriso fofo e meigo!!! Neverland shoot!
2019-09-21T09:20:31
http://sw.fanpop.com/clubs/michael-jackson/images/16640072/title/mjj-photo
[ -1 ]
Utendaji kazi wa Lowassa Vs wa Sumaye kama Waziri mkuu | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Utendaji kazi wa Lowassa Vs wa Sumaye kama Waziri mkuu Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Lastname, Feb 29, 2012. Ukiniuliza sasa hivi nitakwambia bora Lowasa maana nina vitu ambavyo naweza tumia kumtetea: 1. Alianzisha bara bara tatu - kwa kiongozi ni muhimu kujaribu different alternatives failure & success ni vitu vingine 2. Shule za kata - '' 3. Discipline kazini - ilikuwa juu kwa wakuu wa mikoa na wilaya 4. Aliikataa Richmond Kikwete akaing'ang'ania Ebu nisaidieni aliyoyafanya Sumaye? Maaana hawa watu wawili wana hamu sana ya kuongoza taifa hili kama marais, japo nina uhakika rais atatoka uinzani kwa sababu kura yangu sitowapa CCM. nashy JF-Expert Member sijakuelewa kabisa, maana inaonenekana tayari umekwisha mpigia chapuo lowasa, nawe umetumwa na magamba Hakuna hata Mmoja anafaa hapo.. Wote ni mafisadi tu.... DOMA JF-Expert Member Mungu awaepushie mbali hakuna anayefaa hata mmoja wote noma kwa upapa Ivi Summaye si ndo alikuwa na kama 1 tril kwa account yake! Ivi ile ilikuwa jungu au kweli? To me as long as wote wako Magamba,wote discarded RUTARE Senior Member 1.alisema hataki kuona mchicha wa kijani 2.alitumia 500m kwenda u.s.a 3.alitumia 50m kwenda Nairobi Shembago JF-Expert Member Fedrick Tulway Sumaye1. Amekaa madarakani kama waziri mkuu kwa miaka 10 pasipo kubadlishwa inaonyesha jinsi gani alivyokuwa makini2.Amekuwa naibu waziri mojakwa moja mpaka PM3.Alikopa Mil 500 NSSF kwa mambao yake!4..... Lowasa anakunywa bia heineken Sumaye anakunywa safari lager Shembago said: ↑ 1. Mkapa alikwepa kuliongezea taifa gharama za kuhudumia mawaziri wakuu wastaafu -Kwa kuwa pinda atakuwa waziri mkuu kwa miaka minane bila kubadilishwa ni effective leader kuliko Lowasa? think critically! 2. unajua criteria zinazotumika kuteua hao viongozi ni pamoja na kujuana Kikwete alimteua Saidi Mwema Shemeji yake,pia Chagonja akawaacha maafisa waliokuwa juu yao na wenye elimu kubwa kuliko wao na watendaji wazuri tu Kwa hiyo hapa Tanzania kwa sasa ukiona uteuzi fuatilia sooner or later utagundua kuna some sort of nepotism,friendship n.k siyo kama zamani watu walipewa post by their merits Ha..ha..wale wazee wa ''pwembe' watakuelewa tuu Nteko Vano JF-Expert Member Lowasa na Sumaye ni watu wawili tofauti kabisaaaaaaaa Katika maamuzi sio mkurupukaji, habari za ndani zinasema aliweza kufuatilia shughuli za serikali mpaka ngazi za wilaya kwa kuwaita na kuwakanya watendaji wabovu na wakajirekebisha kimyakimya, aliweza kusimamia ukusanyaji wa mapato ya nchi na uchumi ukawa unaimalika, kipindi chake madaraja, barabara hata hiyo sera ya shule za kata ilianza. Hakuutafuta uwaziri mkuu kivile kama EL alivyofanya mpaka wakapelekea sakata la EPA, hivyo hakuwa na deni la kulipa kwa wafanyabiashara na wadhamini mbalimbali kama EL, wafanyakazi na wafanyabiashara walikuwa wanaheshimiana sana kutokana na kurejesha heshima kwa wafanyakazi. Tusisahau, uwanja wa taifa...... Hata hivyo alikuwa na mapungufu yake kama vile kujilimbikizia mali, kushindwa kumshauri Ben juu ya ununuzi wa rada, ndege ya rais, kufanya biashara wakiwa ikulu, nyumba za serikali... Mkurupukaji kwenye maamuzi, hakuweza kusimamia utendaji vizuri bali kutishia tu kupitia vyombo vya habari,au mikutano yao. Hakuwa na mbinu mbadala za kukusanya fedha/mapato bali kutumia tu walizoacha wenzao, bajeti zao za mwaka zilikuwa changa la macho hazitekelezeki tofauti na kipindi cha Sumaye.... Kashfa kubwa kubwa kama za EPA, Richmond na nyinginezo. Alitafuta uwaziri kwa nguvu zote hivyo alikuwa na wakuwalipa akiwa madarakani.... Hata hivyo alijitahidi kama ilivyosemwa hapo juu japo barabara 3 kwa hela walizokusanya wenzao... Kwa kipindi kijacho hawa hawatufai maana hawana jipya....na sera za chama cha wakujikuna zimeoza hazitekelezeki...hasa huyu EL mzee wa misumu na kukurupuka. Nadhani, Chadema kwa kasi waliyonayo wanaweza kurekebisha hayo yote hapo juu. Lowasa: Zimekuwa disastrous kwa kusababisha ajali - amzao bima hawalipi. Zenye walimu wa Voda fasta - matokeo yake tunayaona I don't agree, theft and corruption were worse during his premiership. Richmond scam was a well planned theft we ever witnessed. It was EL an AR whom planed this from the beginning by bringing those Arabs knowing they'll never deliver. It was just a timed process putting Dowans on standby. Umesahau Lowasa alishataka kuleta mvua za kutengeneza ili mtera ijae? AKILI KICHWANI MWAKO huitaji kuwa na akili nyingi kwamba huu ulikuwa mpango wa wizi. Mwarabu kule jangwani ana mapesa kemkem ameshindwa kutengeneza mvua itakuwa wewe maskini hoe hae? Jamaa alikuwa anatafuta mwanya wa kuchuma. EL mwizi. luckman JF-Expert Member Nikimskia mtu anamtaja el natamani nimtemee mate usoni! Jambazi kama hili ni shida sana ndani ya nchi hii!mwizi mkubwa na muuaji mkubwa huyu!kazi kukimbilia makanisa kutafuta sympath ya wananchi! Nonsense ! Mtamsafisha sana el, lakini mtashindwa Nteko Vano said: ↑ luckman said: ↑ He tried ..... Wambandwa said: ↑ Bagumako Yoweli Member 4,Sumayealifanya nikae kwenye dawati shule. Andy1 Senior Member Hakuna rais hapo labda kama tunataka tengeneza janga lingine la kitaifa kwa miaka kumi
2018-01-19T21:46:52
https://www.jamiiforums.com/threads/utendaji-kazi-wa-lowassa-vs-wa-sumaye-kama-waziri-mkuu.228627/
[ -1 ]
Bure Michezo spongebob mraba suruali Spongebob piramidi hatari Spongebob ya Adventures Spongebob ya Cafe Spongebob na chakula Skeeve Spongebob Halloween Siku Spongebob Сave ya Тreasure Sponge Bob kuokoa princess Spongebob Rukia 3 Mapenzi Online Michezo spongebob mraba suruali kuwafahamisha kwa wakazi wa mji chini ya maji ya Bikini Bottom na kupendekeza kwa kucheza na Bob na rafiki zake katika aina ya muziki. Zaidi ya miaka kumi iliyopita, tulikutana na lovely sifongo bahari ambaye alikuwa amevaa suruali za mraba, na jina lake lilikuwa spongebob. mhusika mkuu daima wanajulikana kutotulia na bahatisho. Sasa Bob badala ya marafiki wa zamani Patrick starfish, octopus Squidward, Mheshimiwa Krabs mmiliki mgahawa na protini Sandy, daima kuna mpya. Kasi kabisa kubomolewa vichwa vyao, na wao wote waliopotea hofu. Roho ya Krismasi ni katika hewa na anga mvua zawadi. Lakini aligeuka katika mji kuna baadhi ya wahusika ambao wanaendelea na huzuni. ngazi ya kifungu kuchukua maisha ya tatu tu, na wao si bora kutupa. Hasa annoying robot-laughing kuwa mara kwa mara inaonekana katika umati wa watu. Hivyo furaha yake juu, itakuwa kazi ngumu sana. jikoni pia imedhihirisha vita nzima. Kama kuharibu yake, utakuwa kuondoa sehemu ya pointi chuma. Wote ni njaa na hawana nia ya kusubiri kwa muda mrefu kwa mlo wako. Jaribu tu kuchukua amri yao, kuwaletea chakula na kuchukua malipo. Pia wakati wa spongebob michezo online inatoa matukio ya michezo, mapigano, risasi, racing, majaribio hatari wa kisayansi juu ya Patrick Star, shirika la maonyesho ya kuwasilisha katika mji na mkutano wa Halloween na matokeo yake yote. Wao ni wanachama hai wa jamii yao na kamwe kupoteza moyo.
2018-08-20T10:44:58
http://sw.itsmygame.org/spongebob-square-pants-game_tag.html
[ -1 ]
Waziri avunja sheria ya haki za mtoto | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Waziri avunja sheria ya haki za mtoto Discussion in 'Habari na Hoja mchanganyiko' started by Madikizela, Jan 29, 2012. Waziri mdogo wa elimu Ndg. Mulugo amevunja sheria ya mtoto inayotamka wazi kuwa elimu ya shule za msingi ni bure! HEBU SOMA HAPA: [TD="class: contentheading, width: 100%"]Waziri abariki michango shule za msingi [/TD] [TD="class: createdate"] Saturday, 28 January 2012 09:14 [/TD] Ibrahim Yamola SERIKALI imeridhia kurudisha michango kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari jijini Dar es Salaam na kufuta malipo wanayotozwa kwa ajili ya masomo ya ziada.Tamko hilo lilitolewa jana na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Philipo Mulugo alipokuwa akizungumza na wakuu wa shule za msingi na sekondari jijini Dar es Salaam. "Lakini michango hii yote ihakikishwe inatolewa kwa risiti ili nitakapokuja kutembelea, ama mzazi akitaka kujua matumizi, aonyeshwe kihalali na sio kuchukua fedha hizo na kuzitumia mnavyojua,” alionya naibu waziri huyo. Alitaja michango inayoruhusiwa na viwango vyake kwenye mabano kuwa ni tahadhari (Sh5,000), taaluma (Sh15,000), vitambulisho (Sh5,000), nembo ya shule (Sh2,000) na madawati (Sh15,000) . Alisema fedha hizo zinapaswa kutolewa kabla wanafunzi hawajaanza masomo. Alisema pamoja na michango hiyo, bado sehemu kubwa ya fedha hizo itaendelea kutolewa na Serikali. “Jumla ya gharama ya fedha za madawati ni Sh70,000 lakini mwanafunzi anapochangia Sh15,000 kiasi kingine cha Sh55,000 kinatolewa na Serikali hivyo kwa kuwa elimu yetu ni ya kuchangia, ndio maana inatulazimu wazazi kushirikiana katika hili,” alisema Mulugo. Hata hivyo naibu waziri huyo ameagiza kuwa michango hiyo yote, lazima ipate baraka za kamati na bodi za shule. Alieleza kuwa uamuzi huo wa Serikali umefikiwa baada ya mvutano mkali kati yake, wazazi na walimu. Alifafanua kuwa mvutano huo umetokana na tofauti ya michango hiyo kutoka shule moja hadi nyingine, hivyo Serikali kuamua kuja na uwiano ili kuondoa tofauti hizo. "Wizara kwa kushirikiana na walimu wakuu, tumekubaliana kuendeela kutolewa michango kwa masharti ya kuhusisha kwanza bodi za shule na wazazi kabla ya kuanza kutolewa,” alisema Mulugo. Alifafanua kwamba zoezi hili la michango kwa shule za msingi na sekondari, litaanzia jijini Dar es Salaam na baadaye kusambaa nchi nzima. Kuhusu tuisheni Katika mkutano huo, Mulugo aliagiza kukoma mara moja utaratibu wa kuwalazimisha wanafunzi kulipia tuisheni ambazo zimekuwa zikifundishwa katika shule mbalimbali, wakati wa vipindi vya masomo, hususani muda wa asubuhi. “Hizo fedha mnazowatoza watoto kwa ajili ya kulipia tuisheni wakati wa asubuhi, iwe mwanzo na mwisho, labda kwa muda wa jioni, kwani kufanya hivyo ni kukiuka maadili. Atakayebainika kupuuza agizo hii atachukuliwa hatua kali,” alionya Mulugo. Alitaka pia michango ya Sh200 kwa ajili ya mitihani inayotozwa kwa baadhi ya shule, ikome badala yake wanafunzi wafanye mitihani hiyo bure. “Mwalimu anayetaka wanafunzi wake kufanya vizuri ni lazima awape mazoezi mengi na moja ya hayo, ni kuwafanyisha mitihani, hivyo hakuna haja ya kuwatoza gharama hizo na kuanzia sasa itakuwa ni bure,” alisema Mulugo. Hatua hiyo ya Mulugo kuwaita wakuu wa shule kujadili kuhusu michango hiyo, imekuja baada ya ziara ya siku mbili jijini Dar es Salaam ambapo alibaini kuwepo michango mingi batili. Katika hatua nyingine, naibu waziri huyo amepiga marufuku shule yoyote kusajili wanafunzi kabla haijapata usajili na kuzitaka shule zinazopokea wanafunzi kutoka shule zisizosajiliwa, kuacha jambo hilo mara moja. "Pia ni marufuku (shule zisizokuwa na usajili) kudahili wanafunzi kabla hujasajiliwa na wale waliosajiliwa, marufuku kupokea wanafunzi wanaotoka kwenye shule zisizosajiliwa," alisema. Katika siku za karibuni wananchi katika maeneo mengi nchini, wamekuwa wakilalamikia viwango vya michango vinavyotozwa katika shule mbalimbali kwa sasa kwamba havieleweki.Baadhi ya wazazi na walezi hao, wamekwenda mbali zaidi na kueleza kuwa , hivi sasa wanalipa pesa nyingi tofauti na kipindi ambacho Serikali ilikuwa haijatangazwa kufutwa kwa ada shule za msingi na kupunguzwa kwa zile za sekondari. Wananchi hao wamekuwa wakiitaka Serikali kubainisha viwango maalumu vinavyopaswa kuchangiwa kwenye shule hizo ili kuondoa mkanganyiko wa michango mingi isiyoeleweka. Achana na Mulugo Kuna siku nilimsikia akisema serikali itatoa mtihani mwingine kupima wanafunzi waliochagulia kuingia kidato cha kwanza ili kubaini waliopenya ki mtindo.Naona hadi sasa kimya na madogo wanakata shule kama kawaida!Nadhani atakuwa amesahau.Nahofia hata hilo tamko lake hapo juu haliwezi tekelezeka. Zestach Sina ugomvi na michango ya mashuleni,lakn angetoa sababu za msingi kwa ajili ya hyo michango.Sidhani km hyo michango ina uhusiano wa moja kwa moja na ubora wa elimu inayotolewa.Ningependekeza nchi iwe na sera ya elimu ambayo haitaweza kuchezewa na wana siasa,maana nakumbuka enzi ya Mungai walifuta michezo na masomo ya kilimo na biashara mashuleni.Sasa huyu naye na ya kwakwe,labda kabla ya kuwalaumu hawa viongoz wetu juu ya maamuz wanyofanya na kuvigharimu vizaz na vzaz,ningependa kwanza tuwe na katiba itakayofanya any appoitment ya president ipitiwe na bunge na cv zao zjulikane waz,naamini wengi wao wasingeweza kuwa na nafasi hizo na tungepata watu makni wenye utash wa kuona Tz inasonga mbele.sidhani km ni lazma wazr wa afya awe mwanasiasa,hata elimu,fedha na uchumi,tukiwa na katba safi na ikasimamiwa na watu saf hapo tutaweza kuona mabadliko ktk maisha yetu. 952,495 19,084,338
2017-01-17T02:55:40
https://www.jamiiforums.com/threads/waziri-avunja-sheria-ya-haki-za-mtoto.217481/
[ -1 ]
KOCHA wa Rayon Sports Janvier Martinez Espinosa amewataka wachezaji wake kusahau matokeo yaliyopita dhidi ya Gasogi United na kufanya kweli katika mchezo wa leo wa uzinduzi wa Ligi Kuu ya Ewanda. Rayon Sports Jumamosi ililazimishwa suluhu dhidi ya Gasogi United na hivyo inataka matokeo katia mchezo wa leo. Mabingwa hao watacheza dhidi ya AS Kigali ambayo iliwafunga hivi karibuni katia mchezo wa Super Cup, ukiwa ni uzinduzi wa Ligi Kuu, ambao watafungua nao dimba dhidi ya mabingwa wa Kombe la Amani. Espinosa anahitaji ushindi dhidi ya AS Kigali lro katika mchezo wa pili wa ligi ini kukwepa kuwa katika presha kubwa na mashabiki wa timu hiyo inayojulikana kama the Bues. “Ingawala tulilazimishwa suluhu na Gasogi, kuna kitu cha kufanya ili kuhakikisha tunashinda mchezo huo. Mchezo dhidi ya AS Kigali utakuwa mgumu lakini nina imani na timu yangum itashinda mchezo huo, “alisema Espinosa. AS Kigali, ambayo ni miongoni mwa timu inayopewa nafasi kubwa ya kushinda ligi msimu huu, iliwabana APR kwa sare ya bao 1-1 katika mchezo uliopigwa Jumamozi. Kwingineko, Bugesera itakuwa mwenyeji wa APR katika mchezo utakaofanyika kwenye Uwanja wa Nyamata. Bugesera ilianza vizuri msimu mpya wa ligi ikiifunga Heroes FC 2-0. Mabao yote nawili yamlifungwa na Jimmy Mbaraga.
2020-05-29T16:55:36
https://habarileo.co.tz/habari/2019-10-155da564053ca09.aspx
[ -1 ]
Ukihisi dalili hizi huenda damu imepungua – TIF Home/4. Jamii/2. Afya/Ukihisi dalili hizi huenda damu imepungua Ukihisi dalili hizi huenda damu imepungua Dr.ALLY ALLY June 29, 2019 Huenda una upungufu wa damu bila kujijua kutokana na kutokuwa na elimu ya kutosha ya suala hili. Kwa lugha rahisi, upungufu wa damu hutokea chembe chembe nyekundu za damu zinapokuwa chache kiasi cha kushindwa kukidhi mahitaji ya mwili. Mpendwa msomaji, fuatana nami katika makala ya leo ili kuzitambua sababu, dalili na dondoo za kufuata ili kuepukana na tatizo la upungufu wa damu. Undani wa damu kwa ufupi Katika mwili wa binadamu, mfumo wa damu umejengwa na moyo, mishipa ya damu na damu yenyewe. Tukiiangalia damu kiundani, tutaona kuwa, damu imejengwa na vitu viwili ambavyo ni maji yenye chumvi chumvi (plasma) na chembe chembe hai ambazo ni chembe nyekundu, chembe nyeupe na chembe za kugandisha damu. Katika chembe zote hizi, upungufu wa chembe nyekundu ndiyo husababisha upungufu wa damu kwani dalili zote za upungufu wa damu hutokea endapo tu kiwango cha chembe hizi kitapungua. Sababu za kupungua damu Zipo sababu nyingi zinazoweza kupelekea upungufu wa damu. Upungufu huu pia, aghlabu, hutokea taratibu hadi mtu kuanza kupata dalili. Kwa asilimia kubwa upungufu wa damu husababishwa na upungufu wa madini ya chuma na huwatokea zaidi wanawake wajawazito. Pia upungufu wa madini ya chuma huwapata zaidi wanawake wanaotoka damu nyingi wakati wa siku zao. Mbali na upungufu wa madini ya chuma, upungufu wa damu pia unaweza kusababishwa na upungufu wa vitamini hasa vitamini B 12 ambayo inafanya kazi kubwa ya kuzalisha seli nyekundu za damu. Upungufu wa damu pia husababishwa na uwepo wa maradhi ya kudumu kama vile ukimwi au maradhi mengine ya muda mrefu kama vile figo na baadhi ya saratani. Upungufu wa damu huweza kusababishwa na maradhi ya mifupa na magonjwa mengine ya kurithi kama vile ugonjwa wa seli mundu (sickle cell). Tatizo la kupungua damu ni la kawaida kabisa kwa wanawake ambao wanapata siku zao kila mwezi, ila upungufu huu huitwa upungufu wa kawaida kwani hauleti dalili yoyote. Hali huwa tofauti ikiwa damu hii itapungua kwa kiasi cha kushindwa kuhudumia mwili ambapo dalili mbali mbali huanza kujitokeza kulingana na kiasi cha damu kilichopungua. Miongoni mwa dalili za awali ambazo hujitokeza ikiwa damu itapungua ni pamoja na kizunguzungu, udhaifu na uchovu usio na sababu, maumivu ya kichwa, mapigo ya moyo kuenda mbio, maumivu ya kifua, mwili kuwa wabaridi hasa mikono na miguu, kukosa pumzi pamoja na ngozi kuwa na rangi ya njano au nyeupe. Fanya haya kuongeza kiwango cha damu Katika kipengele hiki tutaangazia zaidi kutibu maradhi ya kupungua damu ikiwa chanzo chake ni ukosefu wa madini ya chuma au vitamini. Upungufu huu unaweza kutibiwa kwa kuongeza matumizi ya vyakula vyenye virutubisho hivi kwa wingi. Vyakula vyenye kiwango kikubwa cha madini ya chuma ni pamoja na nyama, maini, maharage na dengu na vile vyenye vitamini kwa wingi ni pamoja na mbogamboga, matunda, samaki na vyengine mfano wa hivyo. Dr.ALLY ALLY NAMA yaingia makubaliano na Taasisi 14, shule 21 Tawheed yawafunda mahujaji watarajiwa
2019-09-19T08:17:00
https://islamicftz.org/jamii-na-malezi/afya-yako/ukihisi-dalili-hizi-huenda-damu-imepungua/
[ -1 ]
DKT. SHEIN AWAFARIJI WANANCHI WA JIMBO LA PANGAWE, UNGUJA ~ K-VIS BLOG '; if(img.length>=1) { imgtag = ' DKT. SHEIN AWAFARIJI WANANCHI WA JIMBO LA PANGAWE, UNGUJA Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) alipokuwa akisalimiana na Nd,Abdalla Ali Mohamed Mwananchi wa Makondeko Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja wakati alipofika Nyumbani kwake akiwa ni miongoni mwa Wananchi waliopatwa na maafa ya Nyumba zao kungoka Mapaa kutokana na Upepo Mkali uliotokea jana,Rais alifika katika shehia hiyo leo Mei 16, 2017 wakati alipofanya ziara maalum ya kuwafariji Wananchi, na kutoa mkono wa pole,(katikati) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe,Ayoub Mohamed Mahmoud.(PICHA NA IKULU YA ZANZIBAR) Wataoto wa maeneo ya Nyarugusu Wilaya ya Mjini,Unguja wakimuangalia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani ) wakati alipofika katika shehia ya Nyarugusu, Jimbo la Pangawe kuwafariji na kutoa pole kwa wananchi walioathirika na Nyumba zao zilizobomoka kutokana na Upepo mkali uliotokea jana katika maeneo yao na kupelekea uharibifu kwa kung'oka mapaa ya Nyumba wanazoishi, wakati alipofanya ziara maalum leo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akifuatana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe,Ayoub Mohamed Mahmoud (mbele) wakati alipofika katika shehia ya Nyarugusu, Jimbo la Pangawe leo alipofanya ziara maalum ya kuwafariji wananchi ambao Nyumba zao zimepata athari ya kun'goka kwa mapaa kutokana na Upepo mkali uliosabisha na uharibifu huo jana, ambao umepelekea kukosa pahala pa kuishi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (wa pili kulia) alipokuwa akizungumza Waandishi wa Habari baada ya kuwafariji na kutoa pole kwa Wananchi wa Shehia ya Nyarugusu Jimbo la Pangawe waliopatwa na maafa ya Nyumba zao kung'oka Mapaa kutokana na Upepo Mkali uliotokea jana, wakati alipofanya ziara maalum leo akiwa na Viongozi mbali mbali wa Jimbo hilo
2018-05-21T00:58:58
http://khalfansaid.blogspot.com/2017/05/dkt-shein-awafariji-wananchi-wa-jimbo.html
[ -1 ]
Kutoga masikio-Vijana wa kiume | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Kutoga masikio-Vijana wa kiume Discussion in 'Habari na Hoja mchanganyiko' started by Sipo, Nov 27, 2009. Kasi ya vijana wadogo wa kiume, miaka 15 - 25 kutoga masikio imeogezeka sana sio mijini tu bali na vijijini sasa tabia hii imeshika kasi. Sababu ni nini? Nawaomba waache Kasi ya vijana wadogo wa kiume, miaka 15 - 25 kutoga masikio imeogezeka sana sio mijini tu bali na vijijini sasa tabia hii imeshika kasi. Sababu ni nini? Nawaomba waacheClick to expand... Hahaha! Mpwa bana. Wanaanzaga na masikio, then wanasuka nywele, kisha suruali inashushwa mpaka makalioni. Baada ya hapo wananunua line ya TiGo! Hahaha! Mpwa bana. Wanaanzaga na masikio, then wanasuka nywele, kisha suruali inashushwa mpaka makalioni. Baada ya hapo wananunua line ya TiGo!Click to expand... Hahahaha!! Na hatimaye wanakuwa ''mtoto si riziki" Wee Mpwa wacha tu. Juzi nilipoenda kijijini nilishangaa madogo waliomaliza darasa la saba mwaka huu wametoga masikio, iliniudhi sana, nilipowauliza sababu wakabaki kuguna guna. Washenzi sana hawa watoto Hahahaha!! Na hatimaye wanakuwa ''mtoto si riziki"Click to expand... Wakija huku mijini si ndio wanaanza kushangiliwa kama penalti. Wapumbavu sana hawa vijana wenye tabia hii. Wee Mpwa wacha tu. Juzi nilipoenda kijijini nilishangaa madogo waliomaliza darasa la saba mwaka huu wametoga masikio, iliniudhi sana, nilipowauliza sababu wakabaki kuguna guna. Washenzi sana hawa watotoClick to expand... tandika mikwaju wote kabla hawajaanza kutoa hizo products za tiGo zinazochefua....sijue jirushe sijui nini sikio, tatoo, kusuka bado wakuvalie suruali kama wanavua vile, ma boxer yao yapo nje nje....tabia mbaya sana. sikio, tatoo, kusuka bado wakuvalie suruali kama wanavua vile, ma boxer yao yapo nje nje....tabia mbaya sana.Click to expand... hawaangalii hata wako wapi. Cha ajabu siku hizi hata kwenye nyumba za ibada wanakuja hivi. Tabu kweli, hii nchi kwisheni kabisa, kila laana tumeibeba Ukithubutu kumuambi matendo yako si mazuri umetangaza vita, sijui kwanini hawaoni madhara yake hapo baadae, shame on you boys who do that. Ukithubutu kumuambi matendo yako si mazuri umetangaza vita, sijui kwanini hawaoni madhara yake hapo baadae, shame on you boys who do that.Click to expand... Thubutu kumwambia uone cha moto, si unajua siku hizi kuna uhuru wa kuzungumza LF Na wengine siku hiz wameanza kuvaa skin tight. LOL! Vijana wana tabu hawa jamani Serikali itoe tamko kwamba hakuna kuweka tattoo ,kutoga masikio, kuvaa Kata-K, Vimini. Enzi zile wakati wa Mzee wa Vita Mfaume Kawawa ilikuwa ukikutwa na nguo ya kubana tu kwa wakina dada ni kuchaniwa hadharani. Inawezekana ikaonekana kama Udikteta lakini inalinda maadili ya mtu. Kuna nchi ukienda tena zilizoendelea masuala kama hayo ni mwiko. Nenda Saudia halafu uvae namna hiyo kama hujachapwa bakora hamsa siku ya Ijumaa mbele za watu. Serikali itoe tamko kwamba hakuna kuweka tattoo ,kutoga masikio, kuvaa Kata-K, Vimini. Enzi zile wakati wa Mzee wa Vita Mfaume Kawawa ilikuwa ukikutwa na nguo ya kubana tu kwa wakina dada ni kuchaniwa hadharani. Inawezekana ikaonekana kama Udikteta lakini inalinda maadili ya mtu. Kuna nchi ukienda tena zilizoendelea masuala kama hayo ni mwiko. Nenda Saudia halafu uvae namna hiyo kama hujachapwa bakora hamsa siku ya Ijumaa mbele za watu.Click to expand... Yah! Tunahitaji kitu kama hiki Wakichelewa tutajitungia wenyewe, ni kichapo tu Au nakosea wadau? Si inakera na kuchefua? Tatizo ni malezi Hapa kuna ignorance na hypocrisy ya kutisha. 1.Mimi si mshabiki wa kutoboa masikio, sijawahi kutoboa masikio ingawa society niliyopo inaruhusu mpaka leading TV achors kutoboa masikio.Nilishaamua tangu zamani sitavuta sigara wala kutoboa sikio wala kusuka nywele, kwa sababu ki old school tulivyokuzwa mambo hayo yalikuwa ni ya watu fulani waliozibuka na mimi sikujiona hivyo. 2.Having said that, ulimwengu unabadilika na uhuru wa kujieleza unaongezeka.Kama hatuna sababu nzuri zaidi ya tradition tu kuwashoot down hawa vijana kelele hizi zitakuwa ni bias tu.Kwa mfano, kati ya kijana asiyeheshimu watu ambaye hajatoboa masikio na kusuka nywele na yule anayeheshimu watu lakini katoboa masikio, nani ana tatizo? Tuangalie core issues badaa ya kuangalia hizi superficial cosmetics. As much as I would personally like to see kids not wearing earrings, that is a personal preference. If I go to a bank, I would rather be served by a tattooed, earring wearing breaded guy who is professional in conduct than a suited cleancut guy who is not attentive. Ni bora kijana anayefanya vizuri shuleni huku ana vihereni kuliko anayechemsha huku anafuata traditions. Halafu hata kama hawa vijana wa vijijini wanachemsha, they are moreof victims of trying to be hip than people to be condemned.When you look at the information gap, as one of the contributors alluded to their lack of understanding of what is the sense of them doing that, you may end up pitying them than condemning them. Let's not blame the victims.Most of these kids lack proper education and self awareness.When you condemn them you are sinking lower than them. It's like beating a baby with no unerstanding for not understanding, inhumanly unfair. Tatizo ni maleziClick to expand... hata wangelelewa kwenye kapu, vijana wanapenda kuiga sana mzazi atajitahidi kulea lakini wakitoka na macho yao yaliyo uchi wanabamba kila kitu pasipo kuchagua. Stupid sana nyie watoto Hapa kuna ignorance na hypocrisy ya kutisha.Click to expand... kumbe kuna suppoters wao. Sikujua hata kidogo halafu Bluray wakati wa kuchangia mada epuka kutukana wachangiaji wenzako. I hate this and may be i hate ......... too Duuh yaani kama umeisoma akili yangu. Mwanaume kisa mkasa kufanya mambo kinyume na utaratibu? Kweli unaweza kuanza suka kama masihala baadae ukajikuta umeshiriki mbio za wanawake kumbe ni mwanaume Samahanini mimi nilidanganywa na kaka zangu nikatoboa je nifanyeje? Samahanini mimi nilidanganywa na kaka zangu nikatoboa je nifanyeje?Click to expand... ziba nguli....by the way ulikua na umri gani wakati unadanganywa? ziba nguli....by the way ulikua na umri gani wakati unadanganywa?Click to expand...
2017-04-28T02:55:55
https://www.jamiiforums.com/threads/kutoga-masikio-vijana-wa-kiume.45287/
[ -1 ]
Tipisalema 103 | Bibele Eka Web Site Leyi | Vuhundzuluxeri Bya Misava Leyintshwa Pisalema 103:1-22 Ya Davhida. 103 Dzunisa Yehovha, Wena moya-xiviri+ wamina,Ni hinkwaswo leswi nga endzeni ka mina, a swi dzunise vito rakwe ro kwetsima.+ 2 Dzunisa Yehovha, Wena moya-xiviri wa mina,U nga swi rivali swiendlo swakwe hinkwaswo,+ 3 Yena la ku rivalelaka xidyoho+ xa wena hinkwaxo,La horisaka mavabyi ya wena hinkwawo,+ 4 La kutsulaka vutomi bya wena emugodini,+La ku tlhandlekaka harhi ya musa wa rirhandzu ni tintswalo,+ 5 La enerisaka nkarhi wa ku hanya ka wena hi leswinene;+Vuntshwa bya wena byi tshamela ku tipfuxeta ku fana ni bya gama.+ 6 Yehovha u endla swiendlo swa ku lulama+Ni swiboho swa vuavanyisi eka hinkwavo lava dyeleriwaka.+ 7 U tivise tindlela takwe eka Muxe,+Ntirhisano wakwe eka vana va Israyele.+ 8 Yehovha u ni tintswalo ni nsovo,+U hlwela ku hlundzuka naswona u ni musa wa rirhandzu wo tala.+ 9 A nge tshameli ku kuma xihoxo nkarhi hinkwawo,+Hambi ku ri ku tshama a karihile.+ 10 A nga hi khomanga hi ku ya hi swidyoho swa hina;+Naswona a nga hi tiselanga leswi swi hi faneleke hi ku ya hi swihoxo swa hina.+ 11 Hikuva tanihi leswi matilo ma tlakukeke ku tlula misava,+Musa wakwe wa rirhandzu wu tlakukile ehenhla ka lava va n’wi chavaka.+ 12 Kukota leswi vuhuma-dyambu byi nga ekule ni vupela-dyambu,+Hi ndlela leyi fanaka, ku tlula ka hina milawu u ku veke ekule na hina.+ 13 Kukota loko tatana a kombisa tintswalo eka vana vakwe,+Yehovha u kombise tintswalo eka lava va n’wi chavaka.+ 14 Hikuva yena u ku tiva kahle ku vumbeka ka hina,+Wa tsundzuka leswaku hi ntshuri.+ 15 Loko ku ri munhu wa nyama, masiku yakwe ma fana ni ya byanyi bya rihlaza;+U rhumbuka ku fana ni ku rhumbuka ka nhova.+ 16 Hikuva loko mheho yinene yi hunga ehenhla ka byona, a bya ha ri kona;+Naswona ndhawu ya byona a yi nge he vi na mhaka na byona.+ 17 Kambe musa wa rirhandzu wa Yehovha wu sukela laha ku nga riki na makumu ku ya enkarhini lowu nga riki na makumu+Eka lava va n’wi chavaka,+Ni ku lulama kakwe eka vana va vana va vona,+ 18 Eka lava va hlayisaka ntwanano+ wakweNi lava va tsundzukaka swileriso swakwe leswaku va swi hetisisa.+ 19 Yehovha u simeke xiluvelo xakwe xi tiya ematilweni;+Naswona vuhosi byakwe byi fuma swilo hinkwaswo.+ 20 Dzunisani Yehovha, N’wina tintsumi+ takwe leti nga ni matimba lamakulu, leti hetisisaka rito rakwe,+Hi ku yingisa mpfumawulo wa rito rakwe.+ 21 Dzunisani Yehovha, n’wina mavuthu yakwe hinkwawo,+N’wina vatirheli vakwe, lava endlaka ku rhandza kakwe.+ 22 Dzunisani Yehovha, n’wina mintirho yakwe hinkwayo,+Etindhawini takwe hinkwato leti a ti fumaka.+Dzunisa Yehovha, Wena moya-xiviri wa mina.+ Tipisalema 103
2018-01-17T23:19:33
https://www.jw.org/ts/minkandziyiso/bibele/bi12/tibuku/tipisalema/103/
[ -1 ]
LHRC | Wanaharakati, wanahabari kudumisha utetezi wa haki za kiraia na kisiasa Wanaharakati, wanahabari kudumisha utetezi wa haki za kiraia na kisiasa Wadau wa vyombo vya habari na wanaharakati wa haki za binadamu wamekutana Februari 14, 2018 katika ofisi za Makao Makuu ya Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kujadili namna bora ya kutatua ongezeko la ukandamizwaji wa uhuru wa kujieleza na uhuru wa kukusanyika ili kuongeza ushiriki wa wananchi katika masuala ya haki za kiraia na kisiasa. Mkutano huo umewakutanisha wawakilishi kutoka asasi mbalimbali ikiwemo Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), TWAWEZA, Mfuko wa Wanawake Tanzania, Policy Forum, WiLDAF, Umoja wa Vyama vya Siasa (TCD), Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Tanzania (CHRAGG), TGNP, pamoja na wadau wa vyombo vya habari kutoka Baraza la Habari Tanzania (MCT) na Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF. Washiriki wamekubaliana kudumisha ushirikiano katika kushawishi Serikali kufanya maboresho kisheria na kiutendaji ili kulinda uhuru wa kujieleza na uhuru wa kukusanyika kwa lengo la kudumisha ushiriki wa wananchi katika ujenzi wa taifa. Kupitia kikao hicho, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kimetambulisha mradi mpya ambao unalenga kuongeza uelewa wa wananchi juu ya sheria zinazosimamia masuala ya habari na mawasiliano sambamba na kuongeza ushiriki wa wananchi katika masuala ya kiraia na kisiasa. Civic Space Freedom of expression Freedom of assembly Tanzania Human Rights CIVIL AND POLITICAL RIGHTS
2018-02-23T04:26:07
http://www.humanrights.or.tz/posts/b/News/wanaharakati-wanahabari-kudumisha-utetezi-wa-haki-za-kiraia-na-kisiasa
[ -1 ]
Ufufuo na uzima mp3 =download& Year - 2019 Ufufuo na uzima mp3 2019-11 2019-04-02 20:04:45 expressvu 3100 manual pdf. For your search query Saa Ya Ufufuo Na Uzima Duniani Intro Ya Mkutano Wa Kilombero Na ufufuo na uzima mp3 Mch Josephat Gwajima MP3 we have foundsongs ufufuo na uzima mp3 matching your query but showing only top 10 results. Download MP3 & MP4 : Mfalme Wa Mataifa ufufuo na uzima mp3 Download Mfalme Wa Mataifa ( 6. wow rogue pvp guide 5 0 4. We have ufufuo na uzima mp3 about 29 mp3 files ready to play and download. english song sawan aaya hai lyrics. tengo tres ovejas mp3. 1 MB) you can download free at YukLagu. tp listen mp4 video to download, play music Mfalme Wa ufufuo na uzima mp3 Mataifa click one of format mp3 happy listening lagu Mfalme Wa Mataifa. Ufufuo na Uzima Tanzania. Download Boni Mwaitege Mp3 with high ufufuo na uzima mp3 quality Song Mp3 at rsymedias. Today at 1: 49 AM " Kwenye maisha Kufanikiwa ni rahisi kuliko kufeli. totaline air conditioner manual. soni pabla tareef mp3. Free YESU NI BWANA COSMAS CHIDUMULE UFUFUO ufufuo na uzima mp3 NA UZIMA BISHOP GWAJIMA mp3 Play. Tabibu wa kweli judethadeus mbeya choir This video and mp3 song of Tabibu wa kweli judethadeus mbeya choir is published by THOMAS SINGAILE on. HOTSONG: John Lisu - Wewe ni Mungu - Bishop Dr Gwajima Ufufuo na Uzima Download HOTSONG: John Lisu ufufuo na uzima mp3 - Wewe ni Mungu - Bishop Dr Gwajima Ufufuo na Uzima Mp3. Dr Josephat Gwajima is the Senior Pastor of one of the ufufuo na uzima mp3 Largest Churches in East Africa. ufufuo na uzima mp3 gwajima – ufufuo na uzima by eduardo. Bishop Dr Gwajima Ufufuo na Uzima Mp3 PublishFiletype. beethoven para elisa descargar mp3. mp3 To listen songs just click on play button and wait for ufufuo na uzima mp3 player to appear. Christina Shusho ni ufufuo na uzima mp3 mmoja wao. graco duodiner 3 in 1 highchair manual. ufufuo na uzima mp3 com, Ariana Grande - Side To Side ft. un principe tutto mio 3 streaming gratis. live: sunday service 28/ 05/ – bishop dr j. Free Tunakushukuru Bwana Kwa Kuwa Umwema. Hotsong Bony Mwaitege ufufuo na uzima mp3 - Sisi Sote - Bishop Dr ufufuo na uzima mp3 Gwajima Ufufuo Na Uzima. Play Listen dr josephat gwajima is the senior pastor of one of the largest churches in east africa he is also the archbishop founder of ufufuo na uzima churches Ukweli kuhusu freemasonry ufufuo na uzima mp3 episode 4/ 5 Mp3. To start this download Lagu you need to click ufufuo na uzima mp3 on [ Download] Button. Christina Shusho ft Br Joshua, Upendo Kilahiro- Thamani ya wokovu Live. Sisi Sote Terbaru Free Music Downloader heartattackkids. He is also ufufuo na uzima mp3 the ArchBishop and founder of Ufufuo na Uzima Churches worldwide. hell in a cell 2014 theme song lyrics. vathapi ganapathim violin mp3 free. For your search query John Lisu Asifiwe Bwana MP3 we have foundsongs matching your query ufufuo na uzima mp3 but showing only top 10 ufufuo na uzima mp3 ufufuo na uzima mp3 results. dj satish new song. bohemia new song school di kitaab lyrics. homeland security virus manual removal windows vista. HOTSONG: Bony Mwaitege - Sisi ufufuo na uzima mp3 Sote - Bishop ufufuo na uzima mp3 Dr Gwajima Ufufuo na Uzima→ Download View free HOTSONG: Bony Mwaitege - Sisi Sote - Bishop Dr Gwajima Ufufuo ufufuo na uzima mp3 na Uzima MP3, Video , Lyrics Rose Muhando, Listen , Bony mwaitege Upendo Nkone na waimbaji wengine wakimwimbia Mwigulu Nchemba →. emptiness song mp3 song. We ufufuo na uzima mp3 recommend the first song titled Dunia Dunia Bony Mwaitege. LIVE: Sunday Worship 09/ 04/ BISHOP DR JOSEPHAT GWAJIMA WATCH BELOW. Now we recommend you to Download first result ufufuo na uzima mp3 HOTSONG Bony Mwaitege Sisi Sote Bishop Dr Gwajima ufufuo na uzima mp3 Ufufuo Na Uzima MP3. Download Josephat Gwajima RudishaTv mp3 ufufuo na uzima mp3 songs free. Yesu Ni Bwana by Cosmas ufufuo na uzima mp3 Chidumule [ Ufufuo na uzima] mp3 Quality : Good Download. rem losing my religion mp3 indir. ufufuo na uzima mp3 Ibada ya shukurani kwenye ufufuo na uzima mp3 kanisa la Ufufuo na Uzima ilikusanya watu wengi tarehe 3 Agosti. DDC Mlimani Park - Usitumie Pesa Kama Fimbo mp3. round ufufuo na uzima mp3 trip movie online. Chidumule ufufuo na uzima mp3 furaha yangu mp3. czerwonych korali sznur mp3. vipkhan mp3 song bollywood. microsoft dynamics nav 2016 licensing guide. Play and ufufuo na uzima mp3 download UFUFUO mp3 songs Video from multiple sources at mp3lions. Free Ee Bwana Tunakushukuru Password Ya Mbinguni Album Final Video mp3 Play. ( Ufufuo Na Uzima - Arusha) Play Mp3 Download. gwajima wakimshukuru ufufuo na uzima mp3 mungu kwa ununuzi wa IBADA YA SHUKURANI UFUFUO NA UZIMA ROSE uzima MUHANDO AKIIMBA Mp3. Free Cosmas Chidumule Kwa Damu Ya Yesu mp3 Play. IBADA YA SHUKURANI UFUFUO NA ufufuo na uzima mp3 UZIMA ROSE MUHANDO AKIIMBA. Play and Download ibada ya shukurani kwenye kanisa la ufufuo na uzima ufufuo na uzima mp3 ilikusanya watu ufufuo na uzima mp3 wengi tarehe 3 agosti christina shusho ni ufufuo mmoja wao Christina Shusho - Thamani ya wokovu ufufuo na uzima mp3 wangu ufufuo na uzima mp3 Mp3 PublishFiletype : Mp3 - Bitrate: 192 ufufuo na uzima mp3 Kbps. Fla ) HOT ufufuo na uzima mp3 : Bony Mwaitege - ufufuo na uzima mp3 Sisi ufufuo Sote - Bishop Dr Gwajima Ufufuo na Uzima, Sisi sote, Sisi Sote, Namsifu Elisa - Sisi sote ( Official ), Sisi Sote by Andy Beck, Sisi Sote | Bony Mwaitege | Official Audio All ufufuo na uzima mp3 State Sisi Sote. Nicki Minaj Sisi ufufuo na uzima mp3 Sote Darkside & ufufuo na uzima mp3 Ignite ( MASHUP cover by J. " Bishop Dr Josephat Gwajima # saayaufufuonauzimaduniani. ufufuo na uzima mp3 This video and mp3 song of Hotsong bony mwaitege sisi sote ufufuo na uzima mp3 bishop dr gwajima ufufuo na uzima is published by Josephat Gwajima RudishaTv on. Ibada ufufuo na uzima mp3 ya shukurani kwenye kanisa la Ufufuo na Uzima ufufuo na uzima mp3 ilikusanya watu wengi tarehe 3 Agosti. Free ufufuo na uzima mp3 download Dunia Dunia Bony Mwaitege Mp3. ufufuo na uzima mp3 Free MP3 Download. Remember that by downloading this song you accept our terms and conditions. free live ibada ya jumatanobishop dr j gwajima ufufuo na uzima bonyeza subscribe mp3. Kaliyuga kaleta upanna mp3 free - Sa music s free mp3
2019-11-18T22:42:34
https://mm.chadlive.info/viewtopic.php?t=1981
[ -1 ]
Kumbukumbu za dini - Mwandishi wa EU: Mwandishi wa EU #GreekOrdodoxKanisa kuamua swali la #Ukraine Wagiriki watawasaliti kanisa la Orthodox kwa Tsipras na Idara ya Serikali ya Marekani, anauliza Michael Panagopoulos? Idara ya Jimbo la Marekani na Phanar yamefanya kampeni ya kazi ya kuwatia shinikizo serikali ya Ugiriki na uongozi wa Kanisa la Orthodox la Wagiriki. Ndiyo sababu kuzingatia [...]
2019-07-24T08:46:56
https://sw.eureporter.co/lifestyle/religion/
[ -1 ]
Kosa lile lile?......................why | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Kosa lile lile?......................why Discussion in 'Mahusiano, mapenzi, urafiki' started by MwanajamiiOne, Dec 10, 2010. [FONT= ]Wadau habarini?.........[/FONT]​​[FONT= ][/FONT] ​​[FONT= ][/FONT] ​​[FONT= ]Kuna usemi wa kingereza usemao “The more mistakes one makes in life, the smarter one gets in life” ------ I ask if it s applicablle in mapenzi na mahusiano..............[/FONT]​​[FONT= ]Source: The Hill of Wealth[/FONT]​​[FONT= ][/FONT] ​​[FONT= ][/FONT][FONT= ]Kwenye mapenzi na mahusiano makosa mengi huendelea kujirudia kila leo, wapo wanawake/wanaume ambao tumejikuta kila tunapotafuta wapenzi huangukia kwa wanaume/wanawake ambao huishia kututesa na kutuumiza kwa style ile ile. [/FONT]​​[FONT= ] ​​[FONT= ]Mbaya zaidi ni pale ambapo tumeona wanandoa ambao wametoka familia zenye tatizo (wazazi kupigana, kuachana nk) nao wamejikuta kuwa na ndoa za aina hiyo hiyo. [/FONT]​​[FONT= ][/FONT] ​​[FONT= ]Ingawa we[/FONT][/FONT][FONT= ]ngi tunaamini kwamba mahusiano yanapoenda vibaya yanaweza kusaidia kufungua macho ya muhusika ili siku akimpata mpenzi mpya aweze kujifunza na kutorudia kosa lilelile. Au kama ni mtoto atokaye katika familia yenye majeraha basi atatoka na mafunzo flani ambayo yatamfanya naye ayaepuke katika familia yake mpya. [/FONT]​​[FONT= ][/FONT]​​[FONT= ][/FONT]​​[FONT= ][/FONT] ​​[FONT= ]Swali : Ni kwa nini inakuwa hivi?[/FONT]​​[FONT= ]Je ni kutokuwa makini? au kudanganyika na kitu mapenzi au ni nini hasa....................naombeni msaada wenu[/FONT]​​[FONT= ][/FONT] ​​[FONT= ][/FONT] ​​ mmh ngoja nkapate gahawa kwanza!!!!!! Naja!!:A S-alert1: Before I drop my two cents in the piggy bank, MwanajamiiOne, do you have any big plans for the weekend? It's the freakin weekend, you know. And I'm about to have me some fun.... Now back to the topic at hand.....(U still interested in the life coaching sessions) Now back to the topic at hand.....(U still interested in the life coaching sessions)Click to expand... Uhn nothing on my plate yet...........whats yours? hahahah bana life coaching sessions .....lets share it hapa bana.....will pay Naja!!:A S-alert1:Click to expand... Kibweka ........................nakusubiri ujue Babu................umeguswa?? Afu Signature yako.........mbona? Afu signature yako.........mbona?Click to expand... utanisamehe mjukuu hii thread inaniwia vigumu sana kuchangia maana naweza andika gazeti zima hapa btw hii signature imeanzia mbali sana utanisamehe mjukuu hii thread inaniwia vigumu sana kuchangia maana naweza andika gazeti zima hapa btw hii signature imeanzia mbali sanaClick to expand... Pole Babu naomba tushee please.......usiweke gazeti weka pieces wadau habarini?.........​ kuna usemi wa kingereza usemao "the more mistakes one makes in life, the smarter one gets in life" ------ i ask if it s applicablle in mapenzi na mahusiano..............​ [font= [COLOR=red]]kwenye mapenzi na mahusiano makosa mengi huendelea kujirudia kila leo, wapo wanawake/wanaume ambao tumejikuta kila tunapotafuta wapenzi huangukia kwa wanaume/wanawake ambao huishia kututesa na kutuumiza kwa style ile ile.[/COLOR] [/font]​ mbaya zaidi ni pale ambapo tumeona wanandoa ambao wametoka familia zenye tatizo (wazazi kupigana, kuachana nk) nao wamejikuta kuwa na ndoa za aina hiyo hiyo. ​ ingawa we​ ngi tunaamini kwamba mahusiano yanapoenda vibaya yanaweza kusaidia kufungua macho ya muhusika ili siku akimpata mpenzi mpya aweze kujifunza na kutorudia kosa lilelile. Au kama ni mtoto atokaye katika familia yenye majeraha basi atatoka na mafunzo flani ambayo yatamfanya naye ayaepuke katika familia yake mpya.​ swali : Ni kwa nini inakuwa hivi?​ je ni kutokuwa makini? Au kudanganyika na kitu mapenzi au ni nini hasa....................naombeni msaada wenu​Click to expand... Hapo kwenye red wengi wetu huwa hatujifunzi from the past hata hivyo wengine hutumia nafasi ya kuumiza wenzao kwa vile na wao kwa namna moja au nyingine waliishaumizwa huko nyuma basi nae anatoa ngoja afanye hivyo bila kujali mwenzako amejitoa kwako namna gani Kwenye bluu mara nyingi makuzi ya familia fulani na yenyewe huchangia kwa mwanaume /mwanamke naye kuhisi labda na yeye mbeleni itakuwa hivyo na ndio maana unaweza kukutaka mwanaume mwingine ni mgomvi sana ukiuliza unaambiwa amerithi kwa baba yake kwa kuwa naye alikuwa mgomvi Hapo kwenye nyeusi mahusiano mpya huwa ni mazuri siku zote lakini wengi wetu huwa hatuendi na kuangalia yale makosa tuliyoyafanya kwenye mahusiano yetu ya nyuma yatasaidia vipi kuboresha mahusiano mapya unajikuta wengi tunaingia na tabia zile zile tulizokuwa nazo kwenye mahusiano yaliyopita. Wengi wetu hatuwi makini na kuchunguza hasa yale makosa tunayofanya mara kwa mara tunayarekebisha vipi na wengine waamini kuwa uhusiano mpya utasaidia bila kuangalia huko nyuma ulikotoka kuna makosa gani ambayo unaweza kuyasahihisha ili usije ukarudi hatua mbili nyuma badala ya kwenda mbele Hapo kwenye red wengi wetu huwa hatujifunzi from the past hata hivyo wengine hutumia nafasi ya kuumiza wenzao kwa vile na wao kwa namna moja au nyingine waliishaumizwa huko nyuma basi nae anatoa ngoja afanye hivyo bila kujali mwenzako amejitoa kwako namna ganiClick to expand... Babu hapa nakubaliana na wewe lakini unadhani choices zetu nazo zinachangia?? Yaani kama mtu anapenda type flani za wenza mf. Ma yoo men, watoto wa town au mpenzi ambaye ni maarufu je hii haiwezichangia kujikuta anaumizwa kwa staili inayofanana? Wengi wetu hatuwi makini na kuchunguza hasa yale makosa tunayofanya mara kwa mara tunayarekebisha vipi na wengine waamini kuwa uhusiano mpya utasaidia bila kuangalia huko nyuma ulikotoka kuna makosa gani ambayo unaweza kuyasahihisha ili usije ukarudi hatua mbili nyuma badala ya kwenda mbeleClick to expand... Good topicClick to expand... Asa Saima mpenzi wangu mbona hujachangia?? Asa Saima mpenzi wangu mbona hujachangia??Click to expand... Ngoja nizipange vizuri pointi zangu halafu nitarudi kushare Aksante.Click to expand... Hapo nakubaliana na wewe unaweza kukuta mwanaume/mwanamke anapenda type fulani kumbe tabia za huyo mtu ni za ajabu kuliko maelezo tena hasa hawa wanaojiita watoto wa mjini ni vizuri zaidi kujiangalia na kuangalia yule ambaye utadeal vinginevyo unaweza kujikuta badala ya kuwa na furaha kwenye mahusiano yako kumbe ndio unazidisha kilio Nionavyo mimi mapenzi ni kama bahati kwani hayana mjanja, si proffessa wala Askofu, Shehe wote wanakumbwa na misukusuko ya mapezi. Cha msingi baada ya kuvunjika uhusiano usikurupuke kuingia kwenye uhusiano mpya kwani yakikukuta yaleyale utaumia sana, pata muda and tafakali watu hufanya makosa yale yale kutokana na kitu kinaitwa subcouncious...... kipo deep,wengi hatujui..... halafu atraction huja yenyewe,huwezi kui control.... unachotakiwa kufanya ni kujua weakness zako kwanza halafu ndo uanze kutafuta mtu mpya. Nionavyo mimi mapenzi ni kama bahati kwani hayana mjanja, si proffessa wala Askofu, Shehe wote wanakumbwa na misukusuko ya mapezi. Cha msingi baada ya kuvunjika uhusiano usikurupuke kuingia kwenye uhusiano mpya kwani yakikukuta yaleyale utaumia sana, pata muda and tafakaliClick to expand... kasoro mapadri na masista tu. Misukosuko yao ni michache mana wanaibia ibia kumeganana huko mitaani. Wengine wengi tunapata misukosuko mingi tu. Na hatujifunzi kupitia past mistakes. Smart people learn through other people's mistakes. Ila kwenye swala la mapenzi sijuhi kama hii misemo ya learning ni relevant nadhani ni more relevant kwenye issues nyingine. Ukiwa very careful, a no mistake man/lady unaweza usipende kabisa maishani. Ndio maana kuna watu ambao wanataka ku apply hizi theory tunawaona wanaishi maisha yao yote bila commitment.
2016-10-27T05:08:26
http://www.jamiiforums.com/threads/kosa-lile-lile-why.94453/
[ -1 ]
"The Way You See The Problem Is The Problem": Mahojiano ya SwahiliVilla na Omar Ally. Mwenyekiti wa Zanzibar Diaspora Association Mahojiano ya SwahiliVilla na Omar Ally. Mwenyekiti wa Zanzibar Diaspora Association Posted by Mzee wa Changamoto at 3:27 PM
2018-02-20T15:31:28
http://changamotoyetu.blogspot.com/2015/02/mahojiano-ya-swahilivilla-na-omar-ally.html
[ -1 ]
MKWASA AITA WACHEZAJI 24 KUIVAA ETHIOPIA OKTOBA 8 ADDIS - BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE MKWASA AITA WACHEZAJI 24 KUIVAA ETHIOPIA OKTOBA 8 ADDIS - BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE Mwanzo > TAIFA STARS > MKWASA AITA WACHEZAJI 24 KUIVAA ETHIOPIA OKTOBA 8 ADDIS MKWASA AITA WACHEZAJI 24 KUIVAA ETHIOPIA OKTOBA 8 ADDIS KOCHA Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Charles Boniface Mkwasa ametaja majina ya nyota 24 watakaounda kikosi ambacho kitasafiri mwishoni mwa wiki ijayo kwenda Addis Ababa, Ethiopia kucheza na wenyeji wetu kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa utakaofanyika Oktoba 8, mwaka huu. Kocha wa Taifa Stars, Charles Boniface Mkwasa ameita wachezaji 24 kwa ajili ya mchezo dhidi ya Ethiopia Oktoba 8, mwaka huu mjini Addis Ababa Nyota wa Stars walioitwa na Mkwasa ni Makipa; Deogratius Munishi 'Dida' (Yanga SC), Said Kipao (JKT Ruvu) na Aishi Manula (Azam FC). Item Reviewed: MKWASA AITA WACHEZAJI 24 KUIVAA ETHIOPIA OKTOBA 8 ADDIS Rating: 5 Reviewed By: BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
2017-10-20T14:26:32
http://www.binzubeiry.co.tz/2016/09/mkwasa-aita-wachezaji-24-kuivaa.html
[ -1 ]
(showing articles 2901 to 2920 of 37959) 08/22/13--01:48: _WANANCHI KILOMBERO ... 08/22/13--04:20: _FURSA NDANI YA CHUO... 08/22/13--09:43: _bilioni 1.4 zinatar... 08/22/13--09:47: _ UTEUZI WA NAIBU MA... 08/22/13--09:59: _WASHINDI WA DROO YA... 08/22/13--10:12: _ ZOEZI LA UTAMBUZI... 08/22/13--10:14: _KAMATI KUU YA CCM K... 08/22/13--10:20: _mama kairuki atoa m... 08/22/13--10:33: _FILAMU YA “FOOLISH ... 08/22/13--10:46: _TAASISI YA WAZANZIB... 08/23/13--00:14: _RAIS ROBERT MUGABE ... 08/23/13--01:44: _Mkutano Mkuu wa Wan... 08/23/13--03:46: _WENGI WAJITOKEZA KW... 08/23/13--03:49: _BREAKING NEWS: SWAH... 08/23/13--03:50: _MPANGO MZIMA NI DAR... 08/23/13--03:51: _RAIS KIKWETE NA MAM... 08/23/13--03:53: _"OMMY DIMPOZ" WASHI... 08/23/13--04:03: _Diamonda afunguka l... 08/23/13--08:31: _CONFERENCE REGISTRA... 08/23/13--08:34: _Miss Tanzania Brigi... older | 1 | .... | 144 | 145 | (Page 146) | 147 | 148 | .... | 1898 | newer 08/22/13--01:48: WANANCHI KILOMBERO WANUFAIKA NA MRADI WA MAJI YA VISIMA Akina mama wa Kilombero wakiandaa mlo kwa ajili ya timu za Help for Underserved Communities (HUC) na Lifetime Wells for Ghana Inc., wakati wa ufungaji pampu katika moja ya visima Wilaya ya Kilombero, Morogoro, uliofanyika hivi karibuni. Zaidi kuhusu mradi huu bofya; www.facebook.com/pages/Help-for-Underserved-Communities-HUC-USA. (Picha zote na Nathan Mpangala wa HUC). Mtoto toka Kilombero, akifuatilia ufungaji pampu katika moja ya visima 59 uliofanywa na timu za Help for Underserved Communities (HUC) na Lifetime Wells for Ghana Inc., Wilaya ya Kilombero, Morogoro, hivi karibuni. Haya twende! Timu ya Help for Underserved Communities (HUC) ikishirikiana na Lifetime Wells for Ghana Inc., wakichimba moja ya visima 59 Wilaya ya Kilombero, Morogoro, huku wakiangaliwa kwa shauku na watoto hivi karibuni. HUC ni asasi isiyokuwa ya kiserikali yenye makao yake Marekani, inayochimba visima kwa kushirikiana na jamii kusaidia upatikanaji wa maji ya kunywa safi na salama mashuleni, vijijini na jamii kwa ujumla. Zaidi, bofya; www.facebook.com/pages/Help-for-Underserved-Communities-HUC-USA. Timu ya Help for Underserved Communities (HUC), ikishirikiana na Lifetime Wells for Ghana Inc., wakifunga pampu katika moja ya visima 59 Wilaya ya Kilombero, Morogoro, Tanzania huku wakifuatiliwa kwa shauku na watoto hivi karibuni. Wachimba visima toka Help for Underserved Communities (HUC) na Lifetime Wells for Ghana Inc., kama walivyokutwa na kamera yetu Wilaya ya Kilombero, Morogoro, wakati wa uchimbaji visima vya msaada uliotolewa na taasisi hizo hivi karibuni. Zaidi bofya; www.facebook.com/pages/Help-for-Underserved-Communities-HUC-USA Wakaazi wa Kilombero wakichota maji toka katika moja ya visima 59 vilivyochimbwa na Help for Underserved Communities (HUC)/Lifetime Wells for Ghana Inc., Wilaya ya Kilombero, Morogoro, Tanzania, hivi karibuni. Wakazi wa Kilombero wakiangalia kisima kilichochimbwa na Help for Underserved Communities (HUC) kwa ushirikiano na Lifetime Wells for Ghana Inc., Wilaya ya Kilombero, Morogoro, hivi karibuni. Zaidi kuhusu HUC,www.facebook.com/pages/Help-for-Underserved-Communities-HUC-USA. 08/22/13--04:20: FURSA NDANI YA CHUO CHA UTUMISHI WA UMMA MAPEMA LEO MKOANI TABORA. Msanii wa Muziki wa kughani Mashairi, Mrisho Mpoto,akibadilishana mawazo na baadhi ya wafanyakazi wa Clouds Media Group muda mfupi baada ya kumaliza kutoa soma la Kamata Fursa Twenzetu ndani ya ukumbi wa Chuo cha fursa ya chuo cha utumishi wa umma mkoani Tabora mapema leo. "Mnanionaaaa.."! Mpoto akiwa amembeba mmoja wa wanafunzi wa Chuo hicho mara baada ya kumuomba apige naye picha ya kumbukumbu. Baadhi ya wanafunzi wa chuo hicho wakiwa wamejitokeza kwa wingi wakitaka kupiga picha na Mrisho Mpoto mapema leo. Wanafunzi hao pia walipata fursa ya kupiga picha na Mpoto. Baadhi ya wanafunzi wakisikiliza mafunzo ya Kamata Fursa Twenzetu katika chuo hicho. Mpoto akitoa somo kwa wanafunzi hao mapema leo katika ukumbi wa Chuo hicho. Somo la Mpoto liliambatana na mifano hai ambayo ilikuwa ikiwasisimua vilivyo Wanafunzi hao. Mtangazaji wa Clouds FM kupitia kipindi cha Power Break fast Gerald Hando naye alipata wasaa wa kuzungumza na wanafunzi hao kuhusiana na mpango mzima wa tamasha la Serengeti Fiesta 2013 linalotarajiwa kufanyika kesho jioni kwenye uwanja wa Al-Hassan Mwinyi,aidha pia alibadilishana nao mawazo na namna ya kutumia fursa mbalimbali wazipatazo katika masoma yao. 08/22/13--09:43: bilioni 1.4 zinatarajiwa kutumika kukamilisha zoezi la utambuzi na usajili wa ardhi zanzibar. Na Amina Abeid-ZJMMC . Jumla ya Shilingi Bilion 1.4 za Kitanzania zinatarajiwa kutumika kukamilisha zoezi la Kitaifa la Utambuzi na Usajili wa Ardhi ambalo limeanza rasmi katika Visiwa vya Unguja na Pemba. Zoezi hilo linagharamiwa kwa pamoja baina ya Serikali ya Finland iliyochangia Shl. Bilion 1 na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar iliyochangia Million 400 chini ya Mradi wa Usimamizi endelevu wa Ardhi na Mazingira Awamu ya Pili (SMOLE 11) Akizungumza katika Mkutano na Waandishi wa Habari leo Kikwajuni Mkurugenzi wa Ardhi na Usajili Zanzibar Januari Fusi amesema Usajili wa Ardhi hauhitaji malipo yoyote bali kinachohitajika ni Vielelezo muhimu katika zoezi hilo. Amevitaja vielelezo hivyo kuwa ni Kitambusho cha Mzanzibari au Pasi ya kusafiria pamoja na Cheti cha kuzaliwa kwa Mmiliki wa eneo linalohitaji kutambuliwa kisheria. Amefahamisha kuwa Mradi wa Smole 2 ulikuwa ni Mradi wa Miaka 4 ulioanza Mwaka 2010 na kutegemewa kumalizika mwaka 2013 lakini kutokana na kutokukamilika Serikali ya Zanzibar na Finland zimekubaliana kuongeza mwaka mmoja hadi Disemba 2014. Amesema lengo kuu la kuongeza mwaka ni kuhakikisha Utambuzi na Usajili wa Ardhi katika maeneo yote unafanyika ili kuondoa migogoro ya Ardhi iliyodumu kwa muda mrefu Zanzibar. Ameongeza kuwa Zoezi hilo litaongozwa na Ofisi mbili zilizopo chini ya Idara ya Ardhi na Usajili ambazo ni Ofisi za utambuzi wa Ardhi Unguja na Pemba na Ofisi ya Mrajisi wa Ardhi Zanzibar. Ameyataja maeneo ambayo zoezi la Utambuzi limeanza kuwa ni pamoja na Nungwi, Jendele, kwa Ali Nathoo na Paje kwa upande wa Unguja ambapo kwa Pemba zoezi hili litaanza kwa Shehia za Selem, Wara na Uweleni. Kwa upende wake Afisa Mtambuzi na Msajili wa Ardhi Shawana Sudi Khamis amewataka Wananchi watoe mashirikiano ya kutosha katika maeneo yao ili kulifanya zoezi hilo liweze kufanikiwa kama lilivyopangwa. Ametaja baadhi ya faida zinazopatikana kwa kupitia zoezi hilo kuwa ni pamoja na kumuwezesha Mmiliki wa Ardhi kuwa na Ardhi Salama iliyothibitishwa na mamlaka rasmi za Serikali. Itakumbukwa kuwa zoezi la Usajili na Utambuzi lilizinduliwa Rasmi Machi 28, 2013 ns Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Barazala Mapinduzi Dkt ALI Mohamed Shein ambapo alipokea hati ya kwanza ya usajili wa Ikulu ya Zanzibar katika sherehe iliyofanyika Viwanja vya Viktoria Garden. Utambuzi na usajili wa Ardhi ni hatua moja wapo ya kutekeleza Mkakati wa kupunguza umasikini Zanzibar awamu ya pili ambao umeweka lengo la kusajili asilimia 50% ya ardhi ya Zanzibar ifikapo mwaka 2015. IMETOLEWA NA MAELEZO ZANZIBAR . 08/22/13--09:47: UTEUZI WA NAIBU MAKATIBU WAKUU WAPYA NA UHAMISHO WA BAADHI YAO HUU HAPA. Katibu Mkuu Kiongozi, Ikulu, Balozi Ombeni Sefue, kwa niaba ya Rais Jakaya Kikwete, Agosti 21, 2013, alitangaza orodha ya Makatibu Wakuu wapya. Ifuatayo ni orodha ya makatibu hao, kama ilivyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu. UTEUZI WA NAIBU MAKATIBU WAKUU WAPYA NA UHAMISHO WA BAADHI YAO 1. Bibi Angelina Madete, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira. 2. Bibi Regina L. Kikuli, Ofisi ya Waziri Mkuu. 3. Bw. Zuberi M. Samataba, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Elimu). 4. Bw. Edwin K. Kiliba, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) 5. Bw. Deodatua Mtasiwa, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Afya). 6. Dkt. Yamungu Kayandabila, Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika. 7. Prof. Adolf F. Mkenda, Wizara ya Fedha (Sera). 8. Bibi Dorothy S. Mwanyika, Wizara ya Fedha (Fedha za Nje na Madeni) 9. Bibi Rose M. Shelukindo, Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa. 10. Dkt. Selassie D. Mayunga, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. 11. Bibi Monica L. Mwamunyange, Wizara ya Uchukuzi. 12. Bibi Consolata P.M. Mgimba, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi. 13. Prof. Elisante ole Gabriel Laizer, Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo. 14. Bw. Armantius C. Msole, Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki. 1. Bw. John T. J. Mngodo anatoka Wizara ya Uchukuzi kwenda Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia. 2. Bw. Selestine Gesimba anatoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kwenda Wizara ya Maliasili na Utalii. 3. Eng.Ngosi C. X. Mwihava anatoka Ofisi ya Makamu wa Rais na kuhamia Wizara ya Nishati na Madini. 4. Bibi Maria H. Bilia anatoka Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na kuhamia Wizara ya Viwanda na Biashara. 5. Bibi Nuru H. M. Milao anatoka Wizara ya Maliasili na Utalii na kuhamia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. 08/22/13--09:59: WASHINDI WA DROO YA 3 YA MAISHA BOMBA NA BARCLAYS GOLDEN BRIEFCASE WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO Kaimu Mkurugenzi wa Benki ya Barclays kitengo cha wateja binafsi Bw.Musa Kitoi akitoa maelekezo kwa washindi wa droo ya tatu ya maisha bomba na Barclays Golden Briefcase katika halfa ya kuwakabidhi zawadi washindi hao iliyofanyika katika tawi la Kinondoni leo jiji Dar es salaam . Dkt.Kunda John akichagua mojawapo ya Golden Briefricase katika droo ya tatu ya Maisha bomba na Barclays ambapo aliibuka na ushindi wa Vocha yenye thamani ya sh 200,000 kwa ajili ya kufanya manunuzi ya vitu mbalimbali katika duka la Game. Nabil Khan mmojawapo wa wateja wa Benki ya Barclays aliyeshinda Ipad3 katika droo ya tatu ya maisha bomba na Barclays leo jijini Dar es Salaam. Martha Hewison akionyesha karatasi ya ushindi wa mashine ya kufulia nguo katika droo ya maisha bomba na Barclays. Kaimu Mkurugenzi wa Benki ya Barclays kitengo cha wateja binafsi Bw.Musa Kitoi wa kwanza kulia akiwa katika picha ya pamoja na washindi wa droo ya tatu ya maisha bomba na Barclays Martha Hewison wa kwanza kushoto aliyeshinda mashine ya kufulia nguo ,Nabil Khan aliyeshinda Ipad3 ,Darvish Bhatt na Kunda John waliojishindia vocha ya manunuzi katika duka la Game,leo jijini Dar es Salaam. Eliuteri Mangi akichagua jina la mshindi wa bahati nasibu ya maisha bomba na Barclays iliyofanyika katika Benki hiyo tawi la Kinondoni leo jijini Dar es Salaam.(Picha zote na Lorietha Laurence) 08/22/13--10:12: ZOEZI LA UTAMBUZI NA USAJILI WA ARDHI KUANZA MAENEO YOTE YA ZANZIBAR. Baadhi ya Waandishi wa habari waliokuwepo katika Ukumbi wa Wizara ya Habari Kikwajuni mjini Zanzibar Wakimsikiliza Mkurugenzi wa Adhi na Usajili Zanzibar Januari Fusi(hayupo pichani) kuhusu kuanza kwa Zoezi la Kitaifa la utambuzi na usajili wa ardhi katika maeneo yote ya Zanzibar Chini ya Mradi wa SMOLE 2. Picha zote na Makame Mshenga-Maelezo ZANZIBAR. 08/22/13--10:14: KAMATI KUU YA CCM KUKUTANA KESHO Kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC) kinatarajiwa kufanyika kwa siku mbili Agosti 24 na 25, 2013 mjini Dodoma Chini ya Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete. Kikao hicho kitatanguliwa na kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kitakachofanyika Agosti 23,2013 mjini Dodoma. 08/22/13--10:20: mama kairuki atoa msaada baiskeli kwa watoto wenye ulemavu NAIBU Waziri wa Katiba na Sheria, Angellah Kairuki ametoa msaada wa basikeli maalum kwa watoto wenye ulemavu kupitia shirikisho la Vyama vya Watu Wenye Ulemavu nchini (SHIVYAWATA). Angellah amekabidhi viti hivyo mapema leo, vyenye thamani ya zaidi ya sh. milioni 12, kwa baadhi ya watoto hao, na baadaye kuwafikia watoto wote wenye mahitaji. Akizungumza wakati wa kukabidhi, alisema viti hivyo ni maalum kwa watoto wenye miaka kuanzia sifuri hadi tisa, na ametoa kutokana na kuguswa na matatizo ya wenye ulemavu na pale anapopata nafasi anawakumbuka. "Nimekuwa nikifanya kazi zaidi na watoto wenye ulemavu wa kusikia (Viziwi), lakini pia nikaona kuna kundi lina mahitaji zaidi, hivyo kwa kidogo nilichopata nikawambuka, nafanya kazi kwa kushirikisha familia yangu, sitaishia hapa nitawasaidia zaidi kwa kadri nitakavyojaaliwa,"aliongeza kiongozi huyo aliyekuwa ameambatana na wanaye wawili. Akishukuru kwa msaada huo, Katibu wa SHIVYAWATA, Felician Mkudem alisema kuwa wanafarijika sana kuona watu muhimu kama Angellah, wanakumbuka na kuwajali. "Kiongozi wa serikali ndiye jicho na sauti za watu wenye ulemavu, hivyo kwa kutusaidia vifaa saidizi kwa wtaoto wenye ulemavu ni faraja kubwa sana, kwani mambo hayo ni miongoni mwa tunayoyapigania,"alisema. Mkude alitumia fursa hiyi kukamabidhi nyaraka mbalimbali, ikiwemo mpango mkakati wa ukondaishaji wa watu wenye ulemavu na sheria mbalimbali zinazowahusu. Mwenyekiti wa Chama cha Watu wenye Ulemavu wa Viungo, (CHAWATA), Shida Salum aliishukuru serikali ya Rais Kikwete kuwakumbuka watu wenye ulemavu na kuwafanyia mengi kwa ajili ya ustawi wao. Wazazi wa watoto hao walishukuru kwa msaada huo na kwamba utawasaidia watoto wanaosoma waliokuwa wanabebwa kwenda na kurudi shule, na wengine waliokuwa hawajaanza masomo kutokana na hali ngumu ya kuwafikisha shuleni. Viti hivyo vipatavyo 29, viligawiwa kwa watoto watano, wengine wawili wakiwa wanapata huduma katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na vingine vilivyobaki watatafutwa wenye mahitaji na kukabidhiwa. 08/22/13--10:33: FILAMU YA “FOOLISH AGE” YAIKUTANISHA LULU NA BODI YA FILAMU. Msanii wa filamu Elizabeth Michael (Lulu) akieleza jambo mbele ya Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu Tanzania Bi. Joyce Fissoo wakati kampuni yake ya Proin Promotions ikiwasilisha filamu yake ya “Foolish Age” kwa ajili ya ukaguzi. Jengo jipya la kisasa la Kampuni ya Proin Promotions ambalo linatarajiwa kuzinduliwa rasmi hivi karibuni likionekana kwa nje. PICHA ZOTE NA BENEDICT LIWENGA-MAELEZO. ========= ======= ===== KAMPUNI ya Proin Promotions imewasilisha filamu yake iliyopewa jina la “Foolish Age” Bodi ya Filamu Tanzania kwa ajili ya ukaguzi ambapo baada ya kufanyiwa marekebisho filamu hiyo inaweza kuruhusiwa katika uzinduzi wa Kampuni hiyo hivi karibuni. Kwa upande wake Mwanasheria wa Kampuni ya Proin Promotions Bi. Gift Msuya alikubaliana na ushauri uliotolewa na Bodi ya Filamu na aliiomba Bodi itoe muda kwao kwa ajili ya kufanyia marekebisho katika filamu hiyo. Naye msanii Elizabeth Michael (Lulu) aliieleza Bodi ya Filamu kuwa Filamu hiyo aliitengeneza muda mrefu na kwa sasa atazingatia maelekezo ya sheria, Kanuni na taratibu hususani katika eneo la maadili. Aidha alikiri kuwa ni kweli maeneo yaliyobainishwa kweli yanahitaji marekebisho. 08/22/13--10:46: TAASISI YA WAZANZIBARI WANAOSHI CANADA WASAIDIA SARE KWA WAUGUZI NA MADAKTARI ZANZIBAR. Meneja wa tasisi ya Wazanzibari wanaoshi Canada (ZANCANA) Bishara Al-masroor wakati alievaa mtandio mweupe akiwa na wakilishi wenziwe wakimkabidhi msaada wa sare za wauguzi,(wamwanzo kulia) Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Dkt. Sira Ubwa Mamboya, huko Wizara ya Afya Mnazi Mmoja Mjini Zanzibar. Naibu Waziri wa Afya Zanzibar Dkt. Sira Ubwa Mamboya, akiwa na Wazanzibar wanaoshi Canada katika picha ya pamoja mara baada ya kukabidhi sare za wauguzi, huko Wizara ya Afya Mnazi Mmoja Mjini Zanzibar. (Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar). 08/23/13--00:14: RAIS ROBERT MUGABE ALA KIAPO Rais wa Zimbabwe Robert Gabriel Mugabe akishukuru wananchi baada ya kula kiapo cha kuongoza nchi hiyo kwa miaka mitano ijayo katika sherehe zilizofana sana katika Uwanja wa Taifa wa Michezo wa Harare Agosti 22, 2013. 08/23/13--01:44: Mkutano Mkuu wa Wana-Weruweru Jumapili Tarehe 25,Waahirishwa Please be advised that due to unforeseen circumstances, the Alumni Meeting earlier scheduled to be held on Sunday, August 25th 2013 at Cine Club, Mikocheni B, is postponed and will now be held on Sunday, September 1st, 2013 at 3:00pm at the same venue. 08/23/13--03:46: WENGI WAJITOKEZA KWENYE SEMINA YA FURSA KWA VIJANA MKOANI TABORA LEO. 08/23/13--03:49: BREAKING NEWS: SWAHILI RADIO YAZINDUA APP YA ANDROID PHONES, IPHONE, IPAD,IPOD NA BLACKBERRY 08/23/13--03:50: MPANGO MZIMA NI DAR LIVE KESHO.. 08/23/13--03:51: RAIS KIKWETE NA MAMA SALAMA KIKWETE WALIVYOPOKEWA KWA SHANGWE HARARE, ZIMBABWE 08/23/13--03:53: "OMMY DIMPOZ" WASHINGTON DC TICKETS SASA ZINAPATIKANA-NUNUA YAKO KABLA HAZIJAPAMDA ! 08/23/13--04:03: Diamonda afunguka live semina ya fursa kwa vijana mkoani tabora leo. 08/23/13--08:31: CONFERENCE REGISTRATION 08/23/13--08:34: Miss Tanzania Brigitte aanza ujenzi wa bweni la wanafunzi Albino Shinyanga
2019-12-15T17:09:32
http://jiachie1.rssing.com/chan-7007640/all_p146.html
[ -1 ]
Jakaya Kikwete 'alivyododa' Butiama | Gazeti la MwanaHalisi Jakaya Kikwete 'alivyododa' Butiama Na Saed Kubenea - Imechapwa 08 April 2008 PAMOJA na madaraka makubwa aliyonayo ndani na nje ya chama chake, Rais Jakaya Kikwete ameshindwa kupitisha kile alichokiamini, alichoombea misaada na ambacho serikali yake imeshiriki kugharimia kwa kipindi cha miezi 14. Tarehe 30 Desemba 2005, wakati akifungua kikao cha Bunge mjini Dodoma, Rais Kikwete alisema anataka kumaliza kile alichokiita, "mpasuko wa kisiasa Zanzibar." Lakini hali haikuwa hivyo Butiama. Huko Kikwete alihojiwa. Alikaripiwa. Alidhalilishwa na alifedheheshwa kwelikweli. Hakudhalilishwa na wafuasi wa vyama vya upinzani. Mara hii alidhalilishwa na wale waliomchagua. Wale walioapa kumlinda na kumtetea. Ni hao ndio walimueleza, tena bila hata kumuangalia usoni, wakisema, "ondoka na ajenda yako. Hakuna serikali ya mseto wala shirikishi Zanzibar." Hakika, kikao cha Butiama hakikuwa kikao cha kujadili Mwafaka, au mambo mengine yenye maslahi kwa chama na taifa, bali kilikuwa kikao kilichoitwa na wengi kuwa cha "kuonyeshana ubabe." Kila mmoja anajua kwamba Kikwete alielemewa. Na hili linathibitishwa hata na hotuba yake aliyoitoa kwa wanachama wake mara baada ya kurejea kutoka Butiama. Kikwete aliwaambia wana-CCM waliokusanyika katika ukumbi wa Diamond Jublee, jijini Dar es Salaam, kwamba kikao cha Butiama ndicho kilikuwa cha kwanza kwa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) kupewa taarifa ya maendeleo ya mazungumzo ya Mwafaka. Ni wazi kwamba Rais Kikwete, anaficha ukweli. Hasemi kwamba wajumbe wa Kamati Kuu na NEC ya CCM walikuwa wanajua kila kitu. Taarifa ya CCM iliyowasilishwa kwa wajumbe wa NEC, ambayo chama hicho kimeiita siri inasema wazi kwamba NEC ilikuwa inajulishwa hatua kwa hatua juu ya mazungumzo hayo. Ukurasa wa tatu wa taarifa hiyo unasema: "Kamati ya mazungumzo na CUF imekuwa na utaratibu wa kutoa taarifa ya maendeleo ya mazungumzo na CUF kwenye Kamati Kuu ya Taifa mara kwa mara. "Kamati Kuu, baada ya kuitafakari taarifa, imekuwa ikitoa maelekezo stahiki kwa maendeleo bora ya mazungumzo. Taarifa za maendeleo ya mazungumzo ya mwafaka zimekuwa zikifikishwa pia Halmashauri Kuu ya Taifa kwa madhumuni hayohayo." Hii ina maana kwamba NEC ilikuwa inajua kuwa Kamati ya mazungumzo inataka iwepo serikali shirikishi Zanzibar. Hivyo basi, upinzani uliotokea umesababishwa na mambo matatu makubwa. Kwanza, udhaifu wa Kikwete katika kusimamia kile anachokiamini. Pili, wajumbe wengi, hasa kutoka Zanzibar, walitawaliwa na ubinafsi kuliko maslahi ya taifa. Tatu, walikuwapo wajumbe wengi walioshindwa kuchanganua mambo kwa haraka. Kwa mfano, baadhi ya wajumbe walikuwa wanang'ang'ania kutokuwapo kwa serikali shirikishi Zanzibar, kwa hoja kwamba Zanzibar kuna Serikali ya Mapinduzi, na kwamba kuleta serikali shirikishi kutaifanya ile ya mapinduzi ifutike. Ni kauli hii inayodhihirisha ufahamu mdogo wa wajumbe katika mambo ya msingi. "Zanzibar kuna serikali ya Mapinduzi. Sasa mnataka kuleta serikali shirikishi, mtaitaje hii iliyokuwapo? Mtaita Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Shirikishi?" alihoji mjumbe mmoja wa NEC, akidhihirisha kwamba ameshindwa kupambanua kilichoelezwa. Baadhi yao hawajui kwamba kinachobadilishwa si jina, bali ni mfumo wa uongozi; kwamba kwa sasa, chama kinachounda serikali ni kile kinachoshinda urais hata kama hakina wawakilishi wengi katika Baraza la Wawakilishi. Kinachotakiwa ni kuwa na serikali ya pamoja kati ya wale walioshinda uchaguzi na wale walioshindwa lakini kwa karibu sana. Hiyo ndiyo serikali shirikishi inayotakiwa, jambo ambalo haliathiri kabisa jina la Serikali ya Mapinduzi Zanzibar. Jina haliwezi kuondoka kwa kuunda serikali ya ushirikiano bila kuwapo makubaliano mengine ya kubadilisha jina hilo. Lakini kwa umbumbu wa wajumbe, suala hilo likawa hoja kuu hadi Kikwete akatokomea. Lakini jambo hili Kikwete analijua vema. Anajua kuwa baadhi ya wajumbe wa vikao vyake hawana sifa ya kushika nafasi walizonazo. Hili tumeliandika sana huko nyuma. Tumesema kwamba kutokana na CCM inavyoendesha uchaguzi wake ndani ya chama, uwezekano wa watu wasio na sifa, hadhi wala heshima ya kuwa viongozi, kupata uongozi ni mkubwa sana. Hii ni kutokana na ukweli kwamba chaguzi za sasa ndani ya CCM zimetawaliwa na hila, hadaa na ghiliba. Wanachama na viongozi wa chama hiki wanakiri kuwa si chaguzi tena, bali ushindani katika ununuzi wa kura. Ukichukua tatizo hilo, ukachanganya na makundi yanayokitafuna chama, pamoja na udhaifu wa kibinadamu au wa kuendekeza wa mwenyekiti na watendaji wake, ni dhahiri kuwa huwezi kuwa na chama makini cha siasa. Hapo patakuwa kijiwe cha watu waliojikusanya kwa lengo la kumkomoa huyu na kumkwamisha yule; maana kila mwenye akili timamu na anayefikiri vema, anajua kuwa Zanzibar kuna mpasuko wa kisiasa uliodumu kwa miaka mingi sasa. Na wajumbe wa NEC na CC wanalijua vema jambo hili. Wanajua kwamba njia pekee ya kumaliza mpasuko huo ni kuwapo kwa serikali shirikishi. Je, wanataka kutuambia kuwa hawajui kwamba hatua yao ya kumgomea mwenyekiti wao kupitisha hoja yake, imemshushia hadhi na heshima mbele ya jumuiya ya kimataifa? Viongozi wengi makini wa CCM wanajua kuwa chama chao hakishindi uchaguzi Zanzibar, bali huwa kinatangazwa kuwa kimeshinda. Hakiendi kwa matakwa ya wananchi. Lakini unapokuwa na chama ambacho watendaji wake wanakuwa wa kwanza kukana yale wanayoyasimamia, unatarajia nini? Tayari Katibu Mkuu wa CCM, Yusuph Makamba, amekana yale aliyotumwa. Anasema maamuzi ya jambo hili yalikuwa makubwa, hivyo hayawezi yakafanywa na yeye na Seif Shariff Hamad (Katibu Mkuu wa CUF) peke yao. Je, Makamba anataka kusema kwamba awali hakujua kuwa hili ni jukumu zito? Au anataka kuthibitisha madai ya siku nyingi ya wapinzani wake kuwa hana uwezo wa kushika nafasi aliyopewa? Kama nchi hii ingekuwa na utaratibu wa watu kuwajibika kutokana na kushindwa kazi, basi Makamba angekuwa wa kwanza kuondoka. Angesema mbele ya NEC, 'siwezi kubakia katika nafasi hii. Mmeniabisha mimi na yule aliyenituma.' Angekubali kuwa hawezi kubaki kwa sababu alichotumwa kukipigania usiku na mchana, wakati wa jua na mvua, kimekataliwa, tena bila hoja bali kwa ushabiki na uhafidhihina. Angalau hiyo ingejenga heshima kwake na kwa mwenyekiti wake. Lakini kwa kuendelea kung'ang'ania madaraka, Makamba anamdhalilisha mwenyekiti wake, anamdhoofisha zaidi. Katikla hali hii inaweza kufikia wakati wanachama wakaachana na kusita; wakatamka mara moja ba bila aibu wala woga, kwamba kwa udhaifu huu, Kikwete na makamba waondoke! Si wajumbe wa NEC na CC tu waliokuwa wanalifahamu jambo hili la kuundwa kwa serikali shirikishi Zanzibar kwa mapana na marefu. Rais Amani Abeid Karume, ambaye wajumbe wa NEC na CC wanasema ndiye aliyeongoza uhafidhina katika kikao cha CC, alikuwa analifahamu kwa mapana na marefu. Taarifa ya Kamati ya Mazungumzo ya CCM inathibitisha hili katika ukurasa wa tatu: Inasema: "?ujumbe wa CCM katika mazungumzo na CUF, pamoja na kutumia busara na ubunifu wake, ulifanya mashauriano na viongozi wakuu wa chama na serikali ili kuendeleza mazungumzo haya. "Ujumbe ulifaidika sana kila ulipokutana na mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Jakaya Kikwete na vilevile ulipokutana na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar, Ndugu Amani Abeid Karume, kutokana na ushauri, maelekezo na mawazo mapana na ya kina waliyoyapata. Mazungumzo yamefika hapa yalipofika kutokana na michango yao hiyo," imesema sehemu ya taarifa hiyo. Hii ina maana kwamba Kikwete na Karume walikuwa wanajua kinachoendelea, bali tangu mwanzo hawakutaka suala la serikali shirikishi. Walisubiri kikao cha Butiama kuonyesha rangi zao halisi. Walikuwa na uwezo wa kushauriana mapema na Kamati ya Mwafaka kwamba suala hilo litekelezwe baada ya uchaguzi wa 2010. Lakini kutokana na hila waliyokuwa nayo moyoni, walisubiri vikao vya Butiama ili wawaburuze wajumbe na kuwafanya ndio wameamua suala hilo. Hapo ndipo Karume alilia na kusaga meno akisema Mwafaka huu unataka kufuta historia iliyojengwa na "baba yake." Lakini yote haya yametokana na Kikwete kukubali kutishwa na wajumbe wa Zanzibar waliofikia hata hatua ya kutaka kujitoa katika Muungano. Huo ukawa ushindi wa kwanza kwa wapinzani wake, hasa wale waliokuwa wakihoji uwezo wake, si katika kuongoza chama tu, bali hata nchi pia. Mwenyekiti wa CUF. Ibrahim Lipumba aliwahi kusema, mwaka 2005 kwamba Kikwete ana uwezo wa kuongoza wasanii, si kuongoza taifa. Alisema: "Kikwete si mtu makini katika kusimamia mambo ya msingi yanayoweza kulikabili taifa." Nje ya CCM, wapo waliokuwa na mashaka juu ya uwezo wa Kikwete wa kukabiliana na mambo mazito, ingawa wengi pia walikuwa na matumani. Wengine walimfananisha na Mwalimu Nyerere lakini leo hii, kwa udhaifu uliojitokeza, Kikwete amewadhihirishia mwenyewe kwamba hana uwezo. Alilobakia nalo ni turufu moja tu - kuwaachia Zanzibar kufanya uchaguzi huru na wa haki bila kuingiliwa na vyombo ya ulinzi na usalama ambavyo ni mali ya Serikali ya Muungano. Sharti kazi ya vyombo vya ulinzi ithaminiwe. Lakini kulinda chama kimoja – CCM – siyo kazi ya majeshi. Kazi yake ni kulinda raia na mali zao. Nani asiyejua kuwa bila wizi wa kura, ghiliba, vitisho na hata kutumia majeshi kuonyesha ubabe wa watawala, CCM isingekuwa madarakani Zanzibar? Kikwete Chenge Makamba CCM Slaa CHADEMA Mkapa Pinda Richmond Lowassa Rostam Uchaguzi CUF Dowans Sitta Usiri hatari migodini (23) Visa, vituko na filamu ya ziara ya Al-Adawi (22) Kama ungekuwa mwana Igunga kura yako ungempa nani? (22) Aliyemteka Ulimboka huyu hapa (110,702) Unyama wa polisi Arusha na maigizo kwenye TV (35,088) Lowassa, Rostam kumzima Kikwete (34,530)
2020-07-11T18:22:52
http://mwanahalisi.co.tz/jakaya_kikwete_alivyododa_butiama
[ -1 ]
ANUSURIKA KIFO BAADA YA KUJIRUSHA KUTOKA KWENYE MNARA WA SIMU JIJINI MWANZA. - Maganga One Blog Home »Unlabelled » ANUSURIKA KIFO BAADA YA KUJIRUSHA KUTOKA KWENYE MNARA WA SIMU JIJINI MWANZA. ANUSURIKA KIFO BAADA YA KUJIRUSHA KUTOKA KWENYE MNARA WA SIMU JIJINI MWANZA. Kijana Mmoja (picha) Jijini Mwanza amenusurika kifo baada ya kujirusha kutoka katikati ya mnara wa simu.
2017-11-21T06:21:06
https://magangaone.blogspot.com/2016/05/anusurika-kifo-baada-ya-kujirusha.html
[ -1 ]
Niuongo na uzushi kusema wanajeshi wanaunga mkono serikali hebu tuangalie facebook page zao | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Niuongo na uzushi kusema wanajeshi wanaunga mkono serikali hebu tuangalie facebook page zao Discussion in 'Habari na Hoja mchanganyiko' started by Mwanaharakatihuru, Jul 30, 2012. Kwa utafiti mdogo nilio ufanya kwa rafiki zangu na timeline za wanajeshi takribani 20 wakubwa ninaowajua nimekuta wakiizodoa serikali pasipo kificho. Nadhani Facebook inatupa nguvu wananchi kujua kwamba tunasupport kubwa ya mabadiliko ambayo tunaweza kutumia kwa manufaa ya nchi yetu. Je rafiki zako wanajeshi kwenye facebook wana huu uthubutu?? na je umeplay role yako kuwahamasisha katika safari ya mabadiliko chanya?? Timiza wajibu wako tumikia taifa lako. Amani sio ujinga Amani ni uwajibikaji. Amani sio ujinga Amani ni uwajibikaji.Click to expand... Kijana nafikiri una matatizo ya akili, uanajeshi siyo ajira tu bali kujitolea kwa harufu ya damu. Hayo si maneno yangu bali ya marehemu Edward Sokoine. Kama uthubutu huo unaouongelea unao, wtaje majina yao hapa jamvini. tofautisha mgambo wa kwenye makampuni ya ulinzi na makamanda. Chezea wanajeshi weye Nenda angalau JKT maana JW huwezi ndio utajua unachokisema km kuna ujinga wa facebook huko, acheni kukwepa / kujongo maana hata harufu ya baruti huielewi.Mimi ningekushauri mapori yapo mengi unaweza tangulia hata kwa manati uone km kuna mtu atakufuata lakini humu kwenye mitandao utapata support kibao Tatizo lenu mnakaa kipashukunaku hata kufanya utafiti wa moja na mbili Je unarafiki mwanajeshi facebook?? Mwenye elimu zaidi ya form six?? angalia FB page yake kwani huongo? wanajeshi kibao hawaridhiki na mfumo mbovu wa utawala wa nchi kwa sasa. NyimamadogookumangaClick to expand... We hilo neno linamaanisha nini!!?maana kona kibao umelitumia! mara ngapi tunasikia ulaya wanajeshi wako against baadhi ya government policies wapo wengi na hata hapa kwetu sema bongo kuongea hadharani against serikali lazima wakufanyizie lakini mimi ninaamini wapo sana...Nenda kaangalie maisha ya wanajeshi wanayoishi, mishahara wanayolipwa ndio utajua kama wanaisupport serikali au vipi..of coz wao ni wanajeshi so wakipewa amri na mkuu wa majeshi au amiri jeshi mkuu watafanya but hiyo haimaanishi wanawaunga mkono Gaudays chiborie said: kwani huongo? Mwandiko mchafu!Click to expand... kwani huongo? wanajeshi kibao hawaridhiki na mfumo mbovu wa utawala wa nchi kwa sasa.Click to expand... Kwa hiyo unafikiri utatuzi wa matatizo hayo ni facebook!! I thought kuna njia nzuri zaidi ya hiyo, Mazungumzo siyo kulalama kwenye social media. mara ngapi tunasikia ulaya wanajeshi wako against baadhi ya government policies wapo wengi na hata hapa kwetu sema bongo kuongea hadharani against serikali lazima wakufanyizie lakini mimi ninaamini wapo sana...nenda kaangalie maisha ya wanajeshi wanayoishi, mishahara wanayolipwa ndio utajua kama wanaisupport serikali au vipi..of coz wao ni wanajeshi so wakipewa amri na mkuu wa majeshi au amiri jeshi mkuu watafanya but hiyo haimaanishi wanawaunga mkonoClick to expand... unataka wanajeshi waishi maisha mazuri kuliko watu wengine . Umesahau pia jeshi ni kazi kama kazi zingine . Je wamesoma ? Au kwa sababu tu ni mwanajeshi hata kama ni darasa la saba au form 4 fail basi aishi vizuri kisa mwanajeshi. Basi kila mtu angekuwa mwanajeshi Umesahau kumalizia “nheeee“ (in a nasal sound)
2017-07-28T13:04:31
https://www.jamiiforums.com/threads/niuongo-na-uzushi-kusema-wanajeshi-wanaunga-mkono-serikali-hebu-tuangalie-facebook-page-zao.300264/
[ -1 ]
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka watalii kutoka Israeli wakawe mabalozi wazuri wa kuitangaza Tanzania pindi wakirudi kwao. Ametoa wito huo leo mchana (Jumamosi, Aprili 27, 2019) kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) wakati akiwaaga watalii 274 walioondoka nchini leo mchana kurejea kwao. Watalii hao ni miongoni mwa watalii 1,000 waliowasili nchini tangu Aprili 20, mwaka huu na wametembelea maeneo kadhaa ya vivutio kwenye ukanda wa Kaskazini. Waziri Mkuu amewaomba watalii hao wapange muda wao na watafute fursa nyingine ya kuja Tanzania kutembelea mbuga nyingine za ukanda wa Kusini pamoja fukwe za Zanzibar. "Tumefarijika sana na ujio wenu na tunaamini mtaenda kutangaza mazuri mliyoyaona kwa wengine. Tunazo mbuga nyingine za Rubondo, Katavi, Ngorongoro, Ruaha, Selous, fukwe nzuri za Zanzibar na mlima Kilimanjaro. Pangeni muda mje tena kuona vivutio hivi," amesema. Pia amewashukuru mawakala wa utalii nchini pamoja na Mkurugenzi wa kampuni wakala wa utalii ya Another World kutoka Israeli, Bw. Shlomo Carmel kwa kuamua kuitangaza Tanzania kama kivutio namba moja cha utalii barani Afrika. Kwa upande wake, Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla aliwashukuru watalii hao kwa kuamua kuitembelea Tanzania licha ya kuwa wangeweza kwenda maeneo mengine yenye vivutio yaliyo jirani na Israel. "Natambua uchovu mlionao sababu ya umbali uliopo kutoka Israeli hadi hapa, lakini nawashukuru kwa uamuzi wenu wa kuja Tanzania katika kipindi hiki ambacho tunafanya maboresho kwenye sekta ya utalii ili tuweze kutoa huduma bora zaidi," alisema. Alisema Tanzania ina vivutio vingi vya utalii na hii imewezekana kwa sababu Serikali iliamua kutenga zaidi ya robo ya ardhi yake kwa ajili ya mbuga na hifadhi za taifa za wanyama. Pia alizishukuru kampuni za utalii za Tanzania na Israeli kwa kushirikiana kuleta watalii wengi kiasi hicho. Alizitaja kampuni hizo kuwa ni Excellent Guides, Mauly Tours and Safaris, Matembezi, Leopard Tours and Safaris, African Queen Adventures na TAWISA zote za kutoka Tanzania. Kampuni za kutoka Israeli ni Another World, My Trip, Camel na Safari Company. Kwa upande wao, baadhi ya watalii kutoka Israeli wamesema wamevutiwa na waliyaona hapa nchini na wameahidi kurudi tena ili watembelee vivutio vingine zaidi. "Tunaondoka na neno moja kubwa nalo ni kwamba hatutaisahau Tanzania (Tanzania is Unforgettable) na tutarudi tena hivi karibuni. Watu wenu ni wazuri na wakarimu sana," alisema Dana Peer Moscovich ambaye ni dada yake Lihi.
2019-11-15T08:35:50
http://pmo.go.tz/index.php/news/pmnews/225-waziri-mkuu-awaaga-watalii-1-000-kutoka-israel
[ -1 ]
Download mtakatifu .MP4 & 3GP || Skycoded.Com Download mtakatifu play in 3GP MP4 FLV MP3 available in 240p, 360p, 720p, 1080p video formats Frank - Mtakatifu (Official Video) Worship skiza - 7187810 Frank Mtakatifu Tv Mtakatifu - 24 ELDERS (Official video) 24 ELDERS MUSIC MTAKATIFU by Vyizigiro Jackson Vyizigiro Jackson Sarah K - Ewe Mtakatifu (Official Video) Mtakatifu - Gillian Jared ft. Henrick Mruma (Lyric Video) gillian jared UMETUKUKA BY ISRAEL EZEKIA (OFFICIAL VIDEO) israel ezekia 4,156,215 Timam - Mtakatifu (Official Music Video) SKIZA-7753932 Timam Evans Mtakatifu by Solomon Mkubwa Official Music Video 2017 Mungu Mtakatifu Reuben Kigame - Topic MTAKATIFU - Misa Upendo | St. Paul's Students Choir University of Nairobi | J C Shomaly Sauti Tamu MTAKATIFU - MISA YA MT. ANNA - FR G. KAYETTA |TANZANIA ORGANISTS SOCIETY (TOS) Jugo Media Mtakatifu - NURU BUTIMBA CHOIR Nuru Butimba choir Sipati Picha - Kwaya ya Moyo Mtakatifu wa Yesu - Parokia ya Sanu, Jimbo Katoliki la Mbulu. NZENGO Media Pro. Leonard Shumbu. MTAKATIFU BWANA MUNGU - MISA YA MT ANNA BY FR. G KAYETTA - PAROKIA YA ROHO MTAKATIFU, MAJENGO KAHAMA Pastor Anthony Musembi Niumbie Moyo Safi Na Roho Mtakatifu NYIMBO ZA ROHO MTAKATIFU KWAYA YA MTAKATIFU SECILIA MBURAHATI | JOHN MAJA John Maja Sitaabudu miungu mingine & Elohim, Adonai Worship mix live by Frank Mtakatifu at Egerton University Egerton CU NGUVU ZA ROHO MTAKATIFU Prophet BILLIONAIRE J. MKEU Uje Roho Mtakatifu uje ee mfariji Ewodiusz carlos Uje Roho Mtakatifu. Edwine Born KUABUDU - Roho Mtakatifu Shuka Anna Simon DHAMBI YA KUMKUFURU ROHO MTAKATIFU. Maombi ya Ujazo wa Roho Mtakatifu by Innocent Morris Frank - Una Nguvu (Official Lyric Video) Skiza - 5357918 To 811 Sikia Mungu RC kwaya Mtakatifu Kizito Makuburi Sing and Praise_Nifty Media NASONGA MBELE - Adam Bukuku Kwaya ya Malaika Gabriel Parokia ya Roho Mtakatifu Segerea Dar Es Salaam The Galaxy Pro Janet Otieno | Roho Mtakatifu SALAMU MAMA MTAKATIFU WA MUNGU Kwaya ya Familia Takatifu St. Joseph Cathedral DSM
2020-07-09T04:53:04
http://dl.skycoded.com/search/mtakatifu.html
[ -1 ]
LIFESTYLE | FASHION | ENTERTAINMENT: BREAKING NEWZ-KWETU FASHION DESIGN SASA YAUCHINJA....YAPATA MKATABA MNONO NA DUKA KUBWA LA NGUO LENYE MADUKA WASHINGTON,MARYLAND,CARIFORNIA NA NEW YORK ! JE WALIKUMBUKA GAUNI HILI ????????????????????????????????????????? MADIRISHANI NA MILANGONI NI NGUO ZA KWETU FASHION NDIO ZIMEWEKWA ZIVUTIE WATEJA CEO MWENYEWE WA KWETU FASHION "FORMER MISS TEMEKE " NDANI YA LIMITED EDITION ! KWA WALE WAKAZI WA DC,MD,VA TEMBELEA DUKA HILI LILILOPO DOWNTOWN SILVER SPRING,LINAITWA "DIANE'S BOUTIQUE" 801 WAYNE AVENUE,MD,20910
2017-08-17T08:01:55
http://dmk411.blogspot.com/2013/05/breaking-newz-kwetu-fashion-design-sasa.html
[ -1 ]
©FAO/Laure-Sophie Schiettecatte Uendelevu wa uhakika wa chakula wamulikwa, Uganda Ukosefu wa uhakika wa chakula na lishe hutokea wakati watu wanakosa fursa ya kuchagua, wanakuwa na wasiwasi kuhusu kuishiwa na chakula na wanalazimika kubadilisha ratiba ya kupata mlo kwa sababu za kiuchumi. IOM/A. Deng 2018 Lugha ya kityaba iko hatarini kupotea nchini Uganda Wakati dunia ikiadhimisha siku ya lugha ya mama hii leo Umoja wa Mataifa umesema lugha na utofauti wake wa utambulisho, kuwasiliana, kushirikiana kijamii, elimu na maendeleo ni muhimu kwa ajili ya binadamu na sayari dunia.
2020-08-07T15:30:26
https://news.un.org/sw/tags/uganda/date/2019/date/2019-02
[ -1 ]
Ñalelwa Yetuna​—Muutwe Temuso, Muipilise! Tawala ya Mulibeleli | No. 2 2016 MUBALE MWA Acholi Afrikaans Albanian Amharic Arabic Armenian Armenian (West) Aymara Azerbaijani Azerbaijani (Cyrillic) Baoule Bassa (Cameroon) Batak (Toba) Bengali Bicol Boulou Bulgarian Catalan Cebuano Chin (Hakha) Chinese (Cantonese) Chinese (Simplified) Chinese (Traditional) Chinese Cantonese (Simplified) Chitonga (Malawi) Chiyao Chuvash Croatian Czech Dangme Danish Dutch Efik Estonian Ewe Fijian Finnish Ga Garifuna Georgian Greenlandic Guarani Gujarati Gun Haitian Creole Hausa Hiligaynon Hindi Hiri Motu Hungarian Iban Icelandic Igbo Iloko Indonesian Isoko Italian Japanese Kannada Karen (S'gaw) Kazakh Kikamba Kikongo Kikuyu Kimbundu Kinyarwanda Kirghiz Kiribati Kirundi Korean Kurdish Kurmanji (Caucasus) Kurdish Kurmanji (Cyrillic) Kwangali Kwanyama Lhukonzo Lingala Lithuanian Luo Macedonian Macua Malagasy Malayalam Maltese Mam Marathi Mauritian Creole Maya Mixe Mizo Myanmar Nahuatl (Central) Nahuatl (Northern Puebla) Ndau Ndonga Ngabere Norwegian Nyaneka Nyungwe Nzema Oromo Ossetian Otetela Pangasinan Papiamento (Aruba) Papiamento (Curaçao) Persian Pidgin (Cameroon) Polish Punjabi Quechua (Ancash) Quechua (Ayacucho) Quechua (Bolivia) Quechua (Cuzco) Rarotongan Romanian Runyankore Russian Samoan Sango Sena Serbian Serbian (Roman) Sesotho (Lesotho) Seychelles Creole Sibemba Sichewa Sifura Sigerike Siheberu Sijelemani Sikaonde Sikosa Sikuwa Silozi Silubale Silunda Simambwe-Lungu Sindebele Sindebele (Zimbabwe) Sinhala Sinyanja Sipeli Siputukisi Sishona Siswahili Siswahili (Congo) Siswana Sitonga Situmbuka Sizulu Slovak Slovenian Solomon Islands Pidgin Spanish Sranantongo Swati Swedish Tagalog Tahitian Tamil Tatar Telugu Tetun Dili Thai Tigrinya Tiv Tojolabal Tok Pisin Totonac Tshiluba Tshwa Tsonga Turkish Tuvaluan Twi Tzotzil Ukrainian Umbundu Urdu Venda Vietnamese Waray-Waray Yoruba Zande Zapotec (Isthmus) KA LA 26 December, 2004, nekubile ni zikinyeho yetuna hahulu ya lifasi fa sioli sa Simeulue, sesi kwa mutulo-wiko wa likamba leli kwa Sumatra, kwa Indonesia. Batu kaufela bane bali fa likamba nebabuha zeneezahala mwa liwate. Mezi mwa liwate naanzaa kala. Honafo, batu kaufela bakala kumatela fa malundu, inze bahuwa bali, “Smong! Smong!” lona linzwi lelitalusa ñuli, lebaitusisanga batu babapila kwa sibaka seo. Mwa mizuzu feela ye 30, kwataha mandinda amaata, mi akalisa kunata fa likamba, ni kusinya mandu ni minzi yemiñata. Sioli sa Simeulue ki sona sibaka sapili sene sisinyizwe ki ñuli yetuna yeo. Niteñi, kwa batu ba 78,000 babapila mwa sibaka seo, nekushwile feela ba 7. Ki kabakalañi hane kushwile feela batu babanyinyani cwalo? * Batu ba mwa sioli seo babulelanga cwana: ‘Haiba kuezahala zikinyeho yetuna mi liwate likala, mumatele kwa malundu, kakuli mezi a liwate atuha amilatelela fa likamba.’ Batu ba mwa Simeulue baboni liñuli zeñata haliezahala, mi bafitile fa kulemuha kuli mezi a mwa liwate asakala feela, kipeto ñuli ifakaufi. Kumamela litemuso neku bapilisize. Bibele ibulela za kozi yetuha iezahala, yona “ñalelwa ye tuna ye si ka bonwa kale ku zwa kwa simuluho ya lifasi ku tisa cwale, mi ha i na ku bonwa ni kamuta hape.” (Mateu 24:21) Kono hakutalusi kuli Lifasi lelupila ku lona likafeliswa ki lika zebaeza batu ba lisinyi kamba kuli likafeliswa ki kozi yeñwi yekaikezahalela feela, kakuli Mulimu ubata kuli lifasi libeteñi kamita. (Muekelesia 1:4) Kono Mulimu ki yena yakatisa ñalelwa yetaha yeo kuli ‘ayundise babasinya lifasi.’ Mi hasamulaho bumaswe ni manyando likafeliswa. (Sinulo 11:18; Liproverbia 2:22) Yeo ikaba nako yetabisa luli! Mi hape ñalelwa yetaha yona, haina kubulaya batu babasina mulatu inge mokuezahalelanga hakunani liñuli, lizikinyeho za lifasi kamba malundu atunyisa sileze sesicisa. Bibele ibulela kuli “Mulimu ki lilato,” mi Mulimu, yena wa libizo la Jehova, usepisa kuli “ba ba na ni niti ba ka yola sanda sa naha, ni ku yaha mwateñi ku ya ku ile.” (1 Joani 4:8; Samu 37:29) Kono cwale, ki sikamañi semuswanela kueza kuli mupiliswe ka nako ya ñalelwa yetuna ni kuikola limbuyoti zesepisizwe? Semuswanela kueza ki se: Mumamele litemuso! MUTONE NI KULEMUHA LICINCEHO ZEEZAHALA MWA LIFASI Halukoni kuziba nako luli yebuka fela bumaswe kaufela ni manyando, kakuli Jesu naaize: “Haili lizazi ni nako yeo, ha ku na ya li ziba, ibe mangeloi a kwa lihalimu kamba Mwana konji Ndate a li nosi.” Nihakulicwalo, Jesu naalususuelize kuli ‘luzwelepili kutona.’ (Mateu 24:36; 25:13) Kabakalañi? Bibele ilutaluseza zekaezahala mwa lifasi, Mulimu asika tahisa kale mafelelezo. Sina feela batu ba mwa Simeulue hane balemuhile kuli ñuli neili fakaufi ka kubona lika zeneezahala mwa liwate, licinceho zesweli kuezahala mwa lifasi, lilutusa kulemuha kuli mafelelezo a fakaufi. Mbokisi ye mwa taba ye, ibonisa licinceho zeñwi zebulezwi mwa Bibele zekaezahala. Ki niti kuli zeñwi za likezahalo kamba lika zebonisizwe mwa mbokisi likile zaezahala kwamulaho. Kono Jesu naabulezi kuli haluka bona “lika zeo kaufela,” luzibe kuli mafelelezo a fakaufi. (Mateu 24:33) Muipuze kuli, ‘Ki lili foo lika zeo kaufela zetalusizwe (1) neliezahalile mwa lifasi kaufela, (2) neliezahezi ka nako yeswana, ni (3) nelitotobezi hahulu?’ Bupaki bubonisa kuli lupila mwa nako yecwalo. LITEMUSO LIBONISA KULI MULIMU WALULATA Yomuñwi yanaabanga mueteleli wa naha ya America naabulezi kuli: “Litemuso haiba lifiwa ka bunako . . . batu babañata bakona kupila.” Hamulaho wa ñuli yeneezahezi ka 2004, nekulukisizwe mukwa wa kulemusa ka ona batu babafumaneha mwa libaka mone kuezahezi ñuli yeo, ilikuli kwapili kusike kwaba ni batu babashwa kabakala likozi zecwalo. Ka mukwa oswana, Mulimu ulukisize nzila ya kulemusa ka yona batu mafelelezo asika taha kale. Bibele neipolofitile kuli: “Taba ye nde ye ya Mubuso i ka kutazwa mwa lifasi kaufela kuli ibe bupaki kwa macaba kamukana, kihona ku ka taha mafelelezo.”—Mateu 24:14. Mwa silimo feela sesifelile, Lipaki za Jehova nebatandile lihola zefitelela 1.9 bilioni inze bakutaza taba ye nde mwa linaha ze 240 ni mwa lipuo zefitelela 700. Taba yeo yesweli kuezahala mwa linako zaluna ibonisa hande kuli mafelelezo a fakaufi. Bakeñisa kuli Lipaki za Jehova balata batu babañwi, basweli baitakaza kulemusa batu za lizazi la Mulimu la katulo lelisweli kusutelela. (Mateu 22:39) Jehova wamilata, mi ki lona libaka hamifile litaba ze kuli limituse. Muhupule kuli “[Mulimu] ha tabeli kuli mutu ufi kamba ufi a timezwe kono u tabela kuli batu kaufela ba fite fa ku baka.” (2 Pitrosi 3:9) Kana mwaitebuha lilato lamibonisa Mulimu ni kumamela litemuso zamifa? MUSABELE KWA LIBAKA ZELUMBILE KULI MUSILELEZWE! Muhupule kuli batu bane bapila mwa minzi ye kwa likamba la Simeulue nebasabezi kwa libaka zelumbile kuli basilelezwe, basabona feela liwate halikala; nebasika libelela kuli mezi a liwate aekezehe hape. Muhato one baangile ka bubebe wo neuba pilisize. Kuli muto piliswa ka nako ya ñalelwa yetaha, ni mina ka mubulelelo omuñwi, mutokwa kusabela kwa libaka zelumbile, nako isika fela kale. Mukona kueza cwañi cwalo? Ka susumezo ya moya wa Mulimu, mupolofita Isaya naañozi ka za musebezi wa kumema batu one uka ezwa mwa “mazazi a kwapili,” ili yona nako yelupila ku yona ye. Naaize: “A mu te, lu kambamele fa lilundu la Muñaa Bupilo . . . U ka lu luta linzila za hae, lu zamaye mwa makululu a hae.”—Isaya 2:2, 3. Hamukambamela fa lilundu, mukona kubona lika zeinzi fafasi mi hape ki sibaka fomukona kusilelezwa. Ka nzila yeswana, batu babañata-ñata mwa lifasi kaufela kacenu basweli baituta linzila za Mulimu ka kubala Bibele mi batusiwa kueza licinceho zebatusa mwa bupilo bwabona. (2 Timotea 3:16, 17) Ka kueza cwalo, bakalisa ‘kuzamaya mwa makululu a Mulimu,’ mi wabashemuba ni kubasileleza. Kana mukaamuhela memo yeo, kuli Mulimu ka lilato lahae, amisileleze mwa mazazi ataata a? Lumisusueza kunyakisisa ka tokomelo bupaki bwa mwa Bibele bobubonisa kuli lupila mwa “mazazi a maungulelo,” bobubonisizwe mwa mbokisi ye mwa taba ye. Lipaki za Jehova ba mwa silalanda samina bakatabela kumitusa kuli muutwisise hande Bibele ni kuziba mwakuitusiseza yona. Kamba mwakona kufumana likalabo kwa lipuzo zamina ka kuya fa webusaiti yaluna, ya www.jw.org/loz. Mubone mwa Sikuwa mwatasaa BIBLE TEACHINGS > BIBLE QUESTIONS ANSWERED. ^ par. 3 Ñuli yeo yeneezahezi ka 2004, neibulaile batu babafitelela 220,000, mi ki yeñwi ya liñuli zetahisize sinyeho yetuna hahulu mwa lifasi. LIKEZAHALO ZA LIFASI ZEBONISA KULI MAFELELEZO A FAKAUFI LINDWA MWA LIFASI KAUFELA NI KUEKEZEHA KWA MIFILIFILI “Mu ka utwa lindwa ni lipiho za lindwa; mu bone teñi kuli ha mu sabi. Kakuli lika zeo li tamehile ku ezahala, kono mafelelezo haa si ka fita kale. Mi sicaba si ka lwanisa sicaba se siñwi, ni mubuso u lwanise mubuso o muñwi . . . Lika zeo kaufela ki makalelo a manyando, sina mo bu kalelanga butuku bwa lupepo.”—Mateu 24:6-8. MATUKU NI TALA MWA LIFASI KAUFELA “Matuku a yambukela ni matala mwa sibaka se siñwi ku ya ku se siñwi.”—Luka 21:11. KUATA KWA BUMASWE NI KUKELUSWA MWA LITABA ZA BULAPELI “Bapolofita ba buhata ba bañata ba ka taha mi ba ka kelusa ba bañata, mi kabakala ku ekezeha kwa bumaswe, lilato la ba bañata li ka fola.”—Mateu 24:11, 12. KUTOTOBELA KWA MUZAMAO WA BATU NI KUSAPILISANA HANDE KOKUSIKA BONWA KALE “Mwa mazazi a maungulelo ku ka taha linako ze taata, ze ziyeza. Kakuli batu ba ka ba baitati, ba ba lata masheleñi, . . . ba ba sa sepahali, ba ba si na lilato la taho, liñañeli, masawana, ba ba si na buiswalo, ba ba buhali, ba ba sa lati bunde, babeteki, ba muñañatoho, ba ba itundumuna ka buikuhumuso.”—2 Timotea 3:1-4. TABA YENDE YA MUBUSO IKUTAZWA MWA LIFASI KAUFELA “Taba ye nde ye ya Mubuso i ka kutazwa mwa lifasi kaufela kuli ibe bupaki kwa macaba kamukana, kihona ku ka taha mafelelezo.”—Mateu 24:14. BALWANISI BAHANA KULI MAFELELEZO A FAKAUFI “Mwa mazazi a maungulelo ku ka taha basheununi ni busheununi bwa bona, . . . ba nze ba li: ‘I kai sepiso ya ku ba teñi kwa hae? Hanili ku zwa fo ba itobalela bo kukwaa luna ka lifu, lika kaufela li itulezi feela honacwalo sina mo ne li inezi kwa makalelo ha li eziwa.’”—2 Pitrosi 3:3, 4. TOHO YA TABA Kana Jesu Naashwile Luli ni Kuzuha Kwa Bafu? TOHO YA TABA Ki Kabakalañi Jesu Hanaanyandile ni Kushwa? Text Mukete mufuta omubata kuikungela TAWALA YA MULIBELELI Ki Kabakalañi Jesu Hanaanyandile ni Kushwa? TAWALA YA MULIBELELI Ki Kabakalañi Jesu Hanaanyandile ni Kushwa? https://assetsnffrgf-a.akamaihd.net/assets/a/wp/SK/201603/wpub/wp_SK_201603_lg.jpg
2020-01-20T10:06:35
https://www.jw.org/loz/sifalana/limagazini/tawala-ya-no-2-ya-march-2016/%C3%B1alelwa-yetuna-temuso/
[ -1 ]
KUTOKA KWENYE MAGAZETI YA HARDNEWS JUMATANO JUNI 14/ 2017 YAKIWA NA VICHWA VIKUU VYA HABARI | MTANDA BLOG Home / magazeti / slider / KUTOKA KWENYE MAGAZETI YA HARDNEWS JUMATANO JUNI 14/ 2017 YAKIWA NA VICHWA VIKUU VYA HABARI KUTOKA KWENYE MAGAZETI YA HARDNEWS JUMATANO JUNI 14/ 2017 YAKIWA NA VICHWA VIKUU VYA HABARI Juma Mtanda 8:28 AM magazeti , slider Edit
2018-07-19T16:59:08
http://jumamtanda.blogspot.com/2017/06/kutoka-kwenye-magazeti-ya-hardnews_14.html
[ -1 ]
Kuxelwi nkomo 00000000.041.025.r05.051.003.mp3 00000000.041.025.r05.058.007.mp3 Kwa dukatole 00000000.041.025.r05.046.004.mp3 Kwa gaza iz mqambi 00000000.041.025.r05.009.004.mp3 Kwa kade inhliziyo yami 00000000.041.025.r05.001.004.mp3 Kwanyankana zogana 00000000.041.025.r05.048.002.mp3 Composer: Mameyigudi and His Dancers | 0000-00-00 | Mameyigudi, UKZN | Recorded from 78 RPM record Kwasatana (legend) 00000000.041.025.r05.005.004.mp3 00000000.041.025.r05.017.002.mp3 Composer: Abonwabisi Party | 0000-00-00 | Abonwabisi Party, UKZN | Recorded from 78 RPM record Lahleka i qeksi 00000000.041.025.r05.014.002.mp3 Composer: Bekwa, Elianor | 0000-00-00 | Bekwa,Elianor, UKZN | Recorded from 78 RPM record 00000000.041.025.r05.018.003.mp3 Composer: Plaatjie, Sol T. | 0000-00-00 | Plaatjie,Sol T., UKZN | Recorded from 78 RPM record
2020-08-09T21:32:54
http://samap.ukzn.ac.za/audio-collection/ukzn?page=9
[ -1 ]
NANI MWINGINE WA KULIANDIKIA TAIFA HILI HISTORIA? | Jukwaa Huru Home Count down to 2010 habari habari motomoto michezo siasa NANI MWINGINE WA KULIANDIKIA TAIFA HILI HISTORIA? NANI MWINGINE WA KULIANDIKIA TAIFA HILI HISTORIA? Rama Msangi Tuesday, August 18, 2009 Count down to 2010 , habari , habari motomoto , michezo , siasa Edit Baada ya hayati Mwl. Nyerere, aliyeuhangaikia uhuru wa nchi yetu (japo ni wa bendera) na hatimae mzee Mwinyi, aliye-reintroduce mfumo wa vyama vingi japo ni chini ya robo ya Watanzania tuliokuwa tumeukubali, ni kama nchi hivi sasa imekosa watu wa kuiandikia historia upya. Matarajio makubwa ya Watanzania yalikuwa kwa rais wa sasa, Jakaya Kikwete. Lakini wakati miaka yake mitano, ikielekea magharibi hivi sasa, hakuna hata dalili ya yeye japo kuongeza tu kurasa mpya, achilia mbali kuiandika upya. Huyu alikuwa mtu aliyebeba imani kubwa sana ya Watanzania ambao tulitaraji kwanza kabisa angehakikisha mchakato wa kubadili/kuboresha katiba unaenda kasi ili waliotutafuna katika awamu za nyuma wanawajibishwa (maana hawawezi kujiwajibisha). Huyu alikuwa mtu ambaye Watanzania wengi walitaraji atende katika matamshi yake, na si kutenda kinyume na kauli zake. Huyu alikuwa mtu ambaye tulitarajia hivi sasa awe amenuniana na wanyonyaji wanaojiita wawekezaji, awe amewatimua kama si kuwawajibisha kwa kuwaibia Watanzania. Tulitarajia kuwa awe ametekeleza ahadi yake ya kuhakikisha waisilamu hawageuki kuwa mjadala wa Bungeni hivi sasa. Tulimtaraji awe mfano wa watakaomfuata katika kuitekeleza sheria kwa kuwawajibisha watendaji ambao wamewahujumu Watanzania kwa kutumia fedha zao kupata elimu ambayo wameiweka mifukoni mwao na kujaza tamaa vichwani mwao. Tulimtarajia kwa mengi kwakweli, lakini inavyoonekana ni kuwa ameukosa ujasiri huo. Amekosa muda wa kupambanua tofauti baina ya Watanzania wenzake wanaomuamini dhidi ya ile ya marafiki. Matokeo yake, hali ndio kama ilivyo. Maisha bora kwa kila Mtanzania, umekuwa wimbo ambao hauchezeki hivi sasa. Hapa ndipo wasiwasi mkuu unapokuja na tukaanza kujiuliza. Je, hofu hii aliyonayo JK, inatokana na nini hasa? Kipi kinamshinda au wapi anakwama katika kutengua maamuzi ambayo yalifanywa awali lakini anajua wazi yanawagharimu Watanzania? Ni kwakuwa alikuwa sehemu ya maamuzi hayo au? Na hata kama ni hivyo, je, suluhisho ni kusahihisha makosa kwa kutenda makosa zaidi? Kama JK, anashindwa, na ndio dalili zilizopo, nani wa kuandika upya historia ya ukombozi wa Mtanzania? James wa Matukio said... kiiukweli ni kwamba hakuna serikali hii sanasana inaweza kujiandikia historia ya kuwa serikali pekee ambayo iliingia madarakani kwa mbwembwe nyingi sana huku ikiwa imebeba kila tumaini la Watanzania, lakini ikawaangusha....hapana, ikawachinjia baharini kama si kwenye mto wenye maji yaendayo kasi sana Wednesday, August 19, 2009 at 6:36:00 PM GMT+3
2017-12-15T23:48:16
http://uchambuzi.blogspot.com/2009/08/nani-mwingine-wa-kuliandikia-taifa-hili.html
[ -1 ]
Sendeka akana kutoa lugha mbaya dhidi ya Bunge - Mtembezi Home Habari Sendeka akana kutoa lugha mbaya dhidi ya Bunge Sendeka akana kutoa lugha mbaya dhidi ya Bunge Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Christopher Ole Sendeka amesema taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa ametoa lugha mbaya dhidi ya Bunge na Serikali ni za uzushi zenye lengo la kumchonganisha na vyombo hivyo vya Dola. Akizungumza jana, katika mkutano wa kampeni za uchaguzi mdogo wa ubunge jimbo la Longido, Sendeka amesema taarifa hiyo iliyoanza kusambaa tangu juzi inapaswa kupuuzwa. “… umahiri na heshima niliyoipata nchini na kwenye Bunge ni kubwa. Nilikwenda bungeni kutimiza wajibu kama mtuhumishi makini, sikwenda bungeni kuongeza idadi ya wabunge, nilikuwa mwakilishi nyinyi mnajua na Tanzania inajua”alisema. “Habari hizi mzipuuze kwa kiwango kinachostahili, wananchi wa Longido wekeni fikra zenu katika uchaguzi wa jumapili,” amesema. Wakati Ole Sendeka akieleza hayo, Spika wa Bunge, Job Ndugai jana aliiagiza Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kumhoji mkuu huyo wa mkoa kuhusu kauli anayodaiwa kuitoa. Sendeka aliyewahi kuwa mbunge wa Simanjiro anadaiwa kutoa kauli zilizoashiria kejeli kwa chombo hicho cha kutunga sheria ikiwa ni siku chache baada ya kusambaa kwa kipande cha sauti inayodaiwa kuwa ni yake, akieleza jinsi Bunge lisivyokuwa mathubuti. Previous articleWananchi wa Liwale na Nachingwea walilia Barabara Next articleUhuru, Ruto wakana kutofautiana JPM akataa kuongezewa muda wa kutawala..adai anaheshimu katiba Mtembezi Reporter - August 8, 2017
2018-01-19T11:17:36
http://mtembezi.co.tz/2018/01/11/sendeka-akana-kutoa-lugha-mbaya-dhidi-ya-bunge/
[ -1 ]
Katika picha hiyo ni barabara inayoingia wilayani Nanyumbu kutoka Mkoa wa Ruvuma Nanyumbu ni miongoni mwa Wilaya chache sana nchini Tanzania zenye maeneo adimu ya kihistoria pamoja na vivutio vya kipekee vya utalii. Wilaya hii iliyopo mkoani Mtwara ipo Kilomita 54 kutoka Masasi katika barabara ya Mtwara - Songea. Aidha, inapakana na Wilaya ya Nachingwea kwa upande wa Kaskazini, Wilaya ya Masasi kwa upande wa Mashariki, Jamhuri ya watu wa Msumbiji kwa upande wa kusini na Wilaya ya Tunduru kwa upande wa Magharibi. Pango la Habiba ni miongoni mwa vivutio vya kihistoria vilivyovuta hisia za watu wengi ndani na nje ya Wilaya ya Nanyumbu. Pango hili lipo ndani ya Hifadhi ya Wanyamapori ya Lukwika Lumesule. Ili kulitembelea pango hili ni vizuri ukifahamu baadhi ya Mambo ya kihistoria. Ikumbukwe kuwa Hifadhi hii ya wanyamapori (Lukwika Lumesule game reserve) inapakana na Kata ya Lumesule ambako ndiko lilikopiganwa pigano la mwisho la vita vya majimaji. Zipo baadhi ya kumbukumbu katika Mlima Makong'ondera ikiwepo mifupa ya kale pamoja na mafuvu katika mapango yanayosadikiwa kuwa huenda ni wapiganaji wa vita vya majimaji vilivyoongozwa na Kinjekitile Ngwale (1905-1907) Hifadhi ya Lukwika Lumesule hutenganishwa na Mto Ruvuma ambao hugawa hifadhi hii upande wa Tanzania na Msumbiji. Serikali ya Tanzania kupitia mapato yake ya ndani ikishirikiana na Jamhuri ya watu wa Msumbiji ilifanikiwa kujenga Daraja la kisasa la Umoja huko Mtambaswala ambalo ni kivutio kikubwa cha Utalii katika Wilaya ya Nanyumbu. Ofisi ya Habari Nanyumbu wakati ikienda kulitembelea pango la Habiba ilipata bahati ya kufika daraja la Mtambaswala na kupokelewa na Ndg. Salum Lihame Mwamba (Afisa mahusiano) na kubahatika kukutana na simulizi za Mtambaswala. Salum Lihame Mwamba ambaye ni mtunza kumbukumbu za historia ya daraja la Umoja Mtambaswala anasimulia namna wajerumani walivyofika Mtambaswala wakati wa vita kuu ya kwanza ya Dunia (1914-1918) na namna vita ilivyopiganwa wakati wajerumani wakitafuta njia ya kuvuka kwenda Msumbiji wakitokea Tanganyika. Ukifika Mtambaswala utaoneshwa maeneo hayo ya kivita, lakini pia utafanikiwa kuifahamu vizuri historia ya Utumwa na namna soko la Mkunazini Zanzibar lilivyofungwa na baadhi ya raia walioachwa huru walivyofika Mtambaswala. Ukiwa Mtambaswala utafanikiwa pia Kuliona Daraja linalotembea pamoja na kuiona mbuga nzuri ya Lukwika Lumesule ambayo ndio Hifadhi pekee ambayo tembo mkubwa kuliko wote Afrika Mashariki na kati alipatikana humo. Safari ya Kuelekea pango la Habiba huwafurahisha wengi kwani ukiwa njiani utapita kijiji cha Nakopi kwenye Mlima Majeja ambao juu yake kuna tumbaku ya ajabu na mtu yeyote anaruhusiwa kuvuta akiwa kule mlimani kwa masharti ya kutoondoka nayo kwani ukiondoka nayo lazima utapotea. Mlima huu hufanana sana na ule wa Chitowe ambao una pipa lisilofikika na pipa hili lilikuwepo tangu kipindi cha Ukoloni wa kijerumani. Miongoni mwa vivutio vilivyopo Nanyumbu ni pamoja na Chemchem ya maji moto katika Mto Ruvuma kitongoji cha Nangale kijiji cha Lukula. Maji haya ni ya moto yenye uwezo wa kuivisha hata mahindi. Aidha, ipo ardhi inayotikisika katika kijiji cha Namatumbusi. Pango la Habiba hili ni pango maarufu sana katika Hifadhi ya wanyamapori ya Lukwika Lumesule. Pango hili pamoja na mwonekano wake wa kipekee lakini pia huwa msaada mkubwa kwa binadamu na wanyama pindi wapatapo matatizo. Yupo Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Habiba alipata msaada wa pango hilo wakati akiwakimbia watu waovu na akatoka salama mikononi mwao. Hii ndio asili ya Jina Pango la Habiba. Tukutane Nanyumbu, Kumenoga
2018-11-14T05:28:11
http://nanyumbudc.go.tz/new/maajabu-ya-pango-la-habiba-kuvuta-watalii-nanyumbu
[ -1 ]
Kigwangalla: Fedha za Mlima Kilimanjaro Kutokomeza UKIMWI - Global Publishers Kigwangalla: Fedha za Mlima Kilimanjaro Kutokomeza UKIMWI Waziri wa Maliasili na Utalii. Dk. Hamis Kigwangalla (wa pili kushoto) akiwa na baadhi ya viongozi na washiriki wa kampeni ya kupanda mlima Kilimanjaro kwa lengo la kukusanya fedha za kutomomeza VVU nchini. Kampeni hiyo iliyodumu kwa miaka 17 sasa imeratibiwa na Mgodi wa Dhahabu Geita (GGM) na Tume ye Kudhibiti Ukimwi nchini (TACAIDS). WAZIRI wa Maliasili na Utalii Dk. Khamis Kigwangala amesema anatarajia kuandaa utaratibu wa makundi ya watu mbalimbali wakiwamo viongozi mashuhuri na wasanii kupanda Mlima Kilimanjaro ili kuchangisha fedha za kuendeleza mapambano dhidi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) na Ukimwi. Kigwangala ametoa kauli hivi karibuni mkoani Kilimanjaro wakati akizindua zoezi la upandaji Mlima Kilimanjaro lililoshirikisha zaidi ya watu 80 kutoka nchi mbalimbali kwa lengo la kuchangisha fedha za mapambano dhidi ya Ukimwi kupitia kampeni ya ‘Geita Gold Mining Kilimanjaro Challenge 2019’. Kampeni hiyo iliyoratibiwa na GGM kwa kushirikiana na TACAIDS pia imelenga kutunisha mfuko wa Udhamini wa Kudhibiti Ukimwi (ATF). Alisema wizara ya maliasili na utalii itaandaa utaratibu wa kuhamasisha makundi ya watu mbalimbali wakiwemo wasanii na watu mashuhuri duniani kupanda Mlima Kilimanjaro ili kuchangisha fedha za mapambano dhidi ya Ukimwi kwani mapambano ya virusi hivyo ni ya watu wote na si ya serikali pekee. Dk. Kigwangalla (kulia) akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa GGM, Richard Jordinson. wakati wa uzinduzi wa zoezi la kupanda Mlima Kilimanjaro kwa lengo la kukusanya fedha za kutokomeza maambukizi ya VVU nchini. Zaidi wa wapandaji 80 wameshiriki kampeni hiyo. “Hali ya maambukizi mapya ya VVU inatisha, ni lazima sisi kama vijana tuwe msitari wa mbele kupambana na hali hii, nimepanga kupanda mlima huu na watu mashuhuri wakiwemo wanasiasa na wasanii ili kuchangisha fedha kwa ajili ya kudhibiti ugonjwa huu. Naye Mkurugenzi Mtendaji wa GGM, Richard Jordinson, amesema kampeni hiyo imewezesha ukusanyaji wa zaidi ya Sh bilioni 13 tangu ilipoanzishwa miaka 17 iliyopita. Baadhi ya washiriki wa kampeni ya kupanda Mlima Kilimanjaro ‘Kili challenge 2019’ inayoratibiwa na GGM na TACAIDS. Alisema katika kampeni ya mwaka huu zaidi ya watu 80 wameshiriki ambapo kati yao 32 watapanda mlima, 28 watauzunguka kwa kutumia baiskeli na watu 17 kutoka nchi mbalimbali wameshiriki kampeni hiyo ya kupanda mlima Kilimanjaro. “Upandaji huo utachukua siku saba ambapo wameanza kupanda Juni 15 na watashuka Juni 22 mwaka huu,” alisema. Aliongeza kuwa tangu kuanzishwa kwa kampeni hiyo miaka 17 iliyopita zaidi ya taasisi binafsi na mashirika 50 yanayotoa misaada na elimu ya Ukimwi nchini yamenufaika na kampeni hiyo.
2019-10-15T21:01:12
https://globalpublishers.co.tz/kigwangalla-fedha-za-mlima-kilimanjaro-kutokomeza-ukimwi/
[ -1 ]
MSANII WA BONGO MOVIE ‘LUCY KOMBA’ AFUNGA NDOA NA MZUNGU WAKE | larrybway91 MSANII WA BONGO MOVIE ‘LUCY KOMBA’ AFUNGA NDOA NA MZUNGU WAKE larrybway91 / September 10, 2014 Hayawi hayawi sasa yamekuwa, Msanii nyota wa kike wa kiwanda cha filamu Bongo, Lucy Komba amefunga pingu za maisha na laaziz wake Raia wa Denmark aliyefahamika kwa jina moja la Stanley. Wawili hao waliodumu kwenye uchumba kwa kipindi kirefu, walisherekea siku yao hiyo muhimu katika kisiwa cha Bongoyo kilichopo Bahari ya Hindi jijini Dar es salaam na baadae kujumuika katika pati fupi iliyoandaliwa na familia. Lucy Komba, Mumewe na Mzee Chilo katika picha ya pamoja Lucy Komba na Mumewe katika pozi kisiwani Bongoyo Lucy na Mumewe wakisakata lumba September 10, 2014 in Entertainment. Tags: ''Bongoyo'', ''lucy komba afunga ndoa na mzungu wake'', ''Msanii wa Bongo Movie Lucy Komba afunga ndoa'', 'Lucy Komba', 'Mzee Chilo', 'Stanley', Bahari ya Hindi, Dar es salaam ← KICHUPA KIPYA : DULLY SYKES – TOGOLA [Official Video] TYGA AKANUSHA VIKALI KUTOKA KIMAPENZI NA MDOGO WAKE KIM KARDASHIAN → One thought on “MSANII WA BONGO MOVIE ‘LUCY KOMBA’ AFUNGA NDOA NA MZUNGU WAKE” mmependeza cna
2018-03-21T21:55:51
https://larrybway91.wordpress.com/2014/09/10/msanii-wa-bongo-movie-lucy-komba-afunga-ndoa-na-mzungu-wake/
[ -1 ]
Hotels Flights Anniversary Deals!! Kwa malazi mazuri bonyeza hapa Pakua bure app ya Pata punguzo la asilimia 20 kwa uhifadhi wako wa kwanza utakaofanya kwa kutumia app ya Na alama ya siri APP10 Maeneo bora 1848 Mahoteli Hifadhi hoteli ndani ya Lagos 432 Mahoteli Hifadhi hoteli ndani ya Nairobi 470 Mahoteli Hifadhi hoteli ndani ya Abuja 280 Mahoteli Hifadhi hoteli ndani ya Zanzibar 342 Mahoteli Hifadhi hoteli ndani ya Abidjan 258 Mahoteli Hifadhi hoteli ndani ya Dakar 278 Mahoteli Hifadhi hoteli ndani ya Addis Ababa 69 Mahoteli Hifadhi hoteli ndani ya Oran Tazama maeneo yote Gundua dili zetu kabambe Unahitaji kujua kuhusu madili na ofa zetu? Jiunge na kijarida chetu kujua yanayojiri ndani ya Jumia Travel! Azeez Banks Bali na kuishi mbali na nyumbani. Moyo wangu hubaki Naijeria kila siku. Sijawahi kuwa na wasiwasi na mahali pa kulala ninapofikiria kurudi nyumbani. Jumia Travel imerahisisha uhifadhi wangu wa hoteli. Isah E. Sule Jumia Travel wamenirahisishia Usafiri sababu ninapata hoteli kwa urahisi na kwa bei nafuu. Kila ninapowaza kusafiri, Nawaza Travel.jumia.com. Segun Abiona Huduma bora sana, Nilihifadhi na nilipata uthibitisho mara moja kazi nzuri Jumia Travel! Tafuta na uhifadhi chumba na Travel.jumia.com tovuti ya kuhifadhi vyumba vya hoteli mtandaoni - Huna uhakika ni kipi cha kuchagua au una wasi wasi wa kupata mahali pa kupumzika ukiwa safarini? Tuna zaidi ya hotel 200,000 kote duniani unazoweza kuchagua! Travel.jumia.com inakupa chaguo bora kote katika bara la Afrika na la Asia sawia na mahitaji yako kwa safari ya kibiashara au ya mapumziko. Tunakuhakikishia bei nafuu kwa hoteli zote! Hakuna gharama ya uhifadhi! Ni Rahisi Kuhifadhi Chumba - Unashangaa jinsi ya kupata hoteli za bei nafuu kupitia mtandao? Kwenye mtandao wa kuhifadhi hotel wa Jumia Travel unatakiwa kujaza eneo la nchi/bara unapotaka kwenda, na utaona orodha ya hoteli zilizopo kwenye eneo husika. Tafuta hotel maarufu, hoteli inayaokupendeza, angalia dili bomba na uhifadhi mtandaoni! Je unahitaji hoteli yenye nyota 5 Nigeria pekee? Je unahitaji hoteli au hosteli za bajeti ya chini au nyumba ya kulala wageni Pakistani? Au kambi za kifahari Kenya? Usijali, unaweza tumia machungio yetu kupata hoteli kulingana na bei au upimo wa nyota. Bonyeza hoteli za bei nafuu halafu nenda moja kwa moja kwenye ukurasa wa maelezo ya kina kuhusu hoteli husika, tazama ofa zinazotolewa, angalia picha za hoteli, halafu uhifadhi. Na ufurahie kisha ulipe utakapofika. Bei nafuu, uhifadhi wa dakika za mwisho madili na mapunguzo - Unahitaji hoteli usiku wa leo? Hata ukifanya uamuzi wa kuhifadhi chumba katika dakika za mwisho, chagua aina ya chumba unachokitaka na ubonyeze hifadhi sasa. Unapohifadhi hoteli kupitia Jumia Travel unapata bei nzuri na mapunguzo mbalimbali. Tuna timu kubwa katika nchi mbalimbali na wanazifahamu hoteli zote zilizopo Jumia Travel. Hivyo unachokiona ndicho kilichopo! Wataalam wetu wa huduma kwa wateja wako tayari kukusaidia pale utakapohitaji taarifa au uhakika wa taarifa kuhusu hoteli fulani, huduma au uhifadhi wako. Hifadhi Kisha Lipa Baadae - Hifadhi hoteli leo na uchague kulipa moja kwa moja mtandaoni au baadaye utakapowasili hotelini. Furahia uhuru wa kulipa sasa au baadaye kwenye hoteli nyingi za kiafrika na kiasia hata bila ya kadi ya benki. Usilipe kama hujapumzika hotelini! Lipa utakapokua ukitoka hotelini, kwa sarafu ya nchi husika. Iwapo unataka kuhifadhi likizo yako wewe na mpenzio, kwa uhakika Jumia Travel itakupa hoteli ya kifahari popote Afrika. Vilevile, Jumia Travel ina hoteli za kawaida za kupumzika baada ya safari za kibiashara. Kwa uhakika maoni yako baada ya maakazi hotelini yatapokelewa na kushughulikiwa; iwapo pana hitilafu yoyote tuko tayari kurekebisha. Ongeza Hoteli YakoHospitality ReportWashirika Wetu
2017-08-21T19:46:11
https://travel.jumia.com/sw-tz?redirect=1
[ -1 ]
Jinsi ya kubadilisha AVI kwa FLV juu ya Mac/kushinda (Windows 8 pamoja) t > Rasilimali > Geuza > jinsi ya kubadilisha AVI kwa FLV katika Mac/kushinda (Windows 10 pamoja) Kama una matatizo katika kupakia video yako AVI tovuti baadhi video gawize, unaweza kutaka kubadilisha AVI ya faili FLV kabla. Sio tu YouTube ambayo ni sifa mbaya kwa ajili ya umbizo yake uploading, lakini ni kiwango sawa katika maeneo mengine pia. Sababu kuu ni kutokana ni uwepo wa Adobe Flash Player katika vivinjari wavuti kubwa. Licha ya kwamba, katika umbizo faili ya video ya FLV ni ndogo katika suala la ukubwa wa faili ikilinganishwa na AVI na na hivyo, itakuwa si kuchukua mengi ya kuhifadhi nafasi. Sehemu ya 1: Jinsi ya kubadilisha AVI na kwa FLV Sehemu ya 2: AVI bure kwa FLV Converter Sehemu ya 3: AVI mtandaoni kwa FLV Converter Sehemu ya 4: Knowlege kupanuliwa kwa AVI na FLV Sehemu ya 1: Bora AVI kwa FLV Video Converter FLV bora mkono kwa maeneo ya kugawiza mtandaoni kama vile ya YouTube. Utakuwa na hasara hakuna ubora katika uongofu. Kubinafsisha video na madhara kabla ya kupakia au kushiriki. Unda DVD au ISO faili taswira kwa ajili ya ukusanyaji. Jinsi ya kubadilisha AVI na kwa FLV Makala hii huzingatia AVI kwa FLV umbizo uongofu. Ni mafunzo hatua kwa hatua ili kusaidia juu yako mchakato wa uongofu. Toleo la kesi ni bure kupakua na unaweza kwa urahisi isakinishe katika kompyuta yako ili kushuhudia mwenyewe katika jinsi rahisi na haraka ni utakuwa na uwezo wa kugeuza video ya AVI FVL. 1. faili ya Buruta na Achia Baada ya usakinishaji, bofya Ongeza faili na kupakia video ambayo unataka kubadilisha. Ni kuruhusiwa Leta faili zaidi ya moja kwa wakati kutokana na msaada wa awamu uongofu. Zaidi ya kugeuza faili ya video ya AVI, kuna mbalimbali ya Maumbizo mengine ingizi ni mkono kama vile MOV, MKV, WMV na mengi zaidi. 2. Hariri video papo hapo Kigeuzi hiki hutoa watumiaji na video baadhi nguvu kuhariri kazi. Unaweza mimea, clip, Ongeza taswira fifi au vichwa vidogo kwenye video, kama vile Unakilishi na Baidisha video kama unahitaji. Mabadiliko yanaweza pia kuangaliwa papo hapo. 3. Geuza faili zako Bofya Umbizo la towekunjuzi orodha na utaona aina nyingi ya format pato mkono. Unaweza kuteua FLV au umbizo jingine kama wewe kama. Kama unataka kugeuza FLV video AVI ya kuchezwa kwenye kifaa BlackBerry au kwa kupakia kwenye YouTube kwa ajili ya kushiriki, unaweza kuchagua zilizotayarishwa awali optimized kwa kifaa na tovuti moja kwa moja. Bofya Geuza wakati kila kitu ni kuweka, na AVI kwa FLV uongofu utakamilika otomatiki. Faili waongofu unaweza ilianzishwa kwa kubofya Fungua kabrasha. ya # 1. Bure Video Converter: Wondershare huru AVI kwa FLV Converter Unaweza kutumia kigeuzi video bure hata kupakua video kutoka YouTube na Geuza kisha umbizo la faili FLV kwa Maumbizo mengine ya kuchezwa kwenye kifaa yako unayopendelea. Pro: Bure kabisa! 1. kuhariri vipengele hazipatikani. 2. tu inasaidia uongofu kwa maarufu au zilizotumiwa umbizo la faili. 3. Huwezi kufanya au kuchoma DVD mwenyewe. Sehemu ya 4: Elimu ya kupanuliwa kwa AVI na umbizo FLV AVI ni chombo anuwai ambayo ina data ya sauti na video. Inaruhusu uchezeshaji sikizi na video Uvingirizi. AVI faili msaada anuwai kufululiza sikizi na video FLV, sawa na conta wengineiners, ni pia kutumika kuhifadhi data ya video na audio. Njia ni iliyosimbikwa ni sawa sana na umbizo la faili SWF. Jinsi ya kubadilisha AVI kwa MPEG-2
2018-01-17T22:10:50
http://sw.wondershare.com/avi/avi-to-flv-converter.html
[ -1 ]
MAMA KANUMBA AKUMBANA NA CHANGAMOTO ZA UMAARUFU | PRO-24 MAMA KANUMBA AKUMBANA NA CHANGAMOTO ZA UMAARUFU Flora Mtegoa mama mzazi wa msanii nyota marehemu Kanumba ameanza kuonja adha ya umaarufu na kukiri kuwa kuwa kumbe mwanaye alikuwa ana kazi kubwa kwa wanajamii kutokana na umaarufu aliokuwa nao, kwani hali hiyo imeanza kumtesa baada ya kushiriki katika filamu kadhaa. “Mwanangu nakwambia umaarufu ni shida kubwa, zamani nikirudi nyumbani Bukoba nilikuwa nina amani kwani hakuna hata aliyeniona kama ni mtu maarufu, lakini baada ya kifo cha Kanumba na mimi kuingia kuigiza na watu kunijua ni shida,”anasema Mama Kanumba. Mama Kanumba anasema kuwa hivi karibuni alifiwa na kwenda msibani Bukoba, alijikuta katika wakati mgumu kwani kila kitu alikuwa akisakiziwa yeye kwa sababu tu ameonekana katika filamu na wanaamini kuwa anapesa nyingi, hivyo inapofikia suala kutoa fedha au kununua chochote anaangaliwa yeye...
2017-08-17T15:21:47
http://pro-24.blogspot.com/2015/01/mama-kanumba-akumbana-na-changamoto-za.html
[ -1 ]
Author Mwangi Muraguri | All Articles on Tuko.co.ke Afya yako: Panzi wanaoliwa Afrika Mashariki na manufaa yao mwilini Mwangi Muraguri Huyu ndiye binti aliyempagawisha Naymar na kumfanya amsahau mpenzi wake wa zaman... 10 months ago 3913 views Akothee aahidi kumtafutia kazi kijana aliyefuzu na 'Master's' akiwa na umri mdog... 10 months ago 31348 views Huyu ndiye kijana aliyefuzu na shahada ya 'Masters' akiwa na umri mdogo zaidi Ke... 11 months ago 101734 views 11 months ago 34578 views Huyu ndiye mwanamke anayelipwa mshahara mkubwa zaidi ulimwenguni? a year ago 74444 views Kisa cha ng'ombe mkubwa zaidi Australia na jinsi alivyoponea kuchinjwa a year ago 25729 views Kutana na bintiye marehemu Lucky Dube aliyeshuhudia mauaji ya babake 2007 Kinyume na babake aliyepata umaarufu kwa kuimba nyimbo zilizosheheni jumbe nzito za kuikomboa Afrika Kusini kutoka minyororo ya Ukoloni, Nkulee amejenga jina kwa kuimba kuhusu mada nyingine kama vile matumizi ya dawa za kulevya. Binti mrembo ashangaza wengi baada ya kutangaza anaishi na virusi vya HIV Binti huyo ambaye ni mama wa mtoto mmoja ni thibitisho kuwa watu wanaoishi na virusi vya HIV wanaweza kuishi maisha ya kawaida na kutimiza malengo yao. Wengi walitoa maoni wakimpa motisha wakimsifia kama aliyeshinda unyanyapaa. Shida zinazotokana na ukosefu wa maji ya kutosha mwilini ni wazi na zinajulikana. Hata hivyo sasa wataalam wanaonya kuwa unywaji wa maji kupita kiasi huenda ukamsababishia mtu matatizo ya kiafya na hata kusababisha kifo. Usitegemee makuu kutoka kwa mpenzi wako. Mahusiano mengi huvunjika kwa sababu ya wapenzi kutarajia kufanyiwa makuu na wapenzi wao. La muhimu na la msingi ni mtu awe anakuheshimu na anakupenda. Mengine mnaweza kutengeneza pamoja. Mapema Aprili 2018, huzuni iligubika kijiji cha Nyabohanse, kaunti ya Migori, baada ya mvulana wa miaka minane kufariki baada ya kula muhogo. Mamake alieleza kuwa alikuwa ametoa muhogo uliomuuwa mwanawe kutoka kwa jirani yake. Mazoezi haya yananuia kunyoosha uti wako wa mgongo na hivyo kuufanya laini na mwepesi wa kurefuka. Mazoezi haya ni muhimu katika kusaidia kukuza cartillage kati ya viungo na hivyo kusababisha kuongezeka kwa urefu.
2019-12-09T16:52:28
https://kiswahili.tuko.co.ke/author/riziki-mambo.html
[ -1 ]
Rais Uhuru Kenyatta akihutubia sherehe za Jamhuri Day 2016. Aliahidi kupambana na maafisa wafisadi nchini kwenye serikali yake kati ya mambo mengine. Huku serikali ya Kenya kwa mara nyingine ikionekana kuandamwa na zimwi la ufisadi hususan kwenye taasisi ya taifa ya huduma kwa vijana, NYS, ambako takriban Shilingi bilioni tisa zimeripotiwa kufujwa, waziri wa Masuala ya umma, vijana na jinsia Margaret Kobia Jumatatu aliwapa likizo ya lazima maafisa kadhaa wa shirika hilo. Kati ya waliaogizwa kufanya hivyo ni wasimamizi wa idara za ununuzi na uagizaji, fedha na uhasibu. Haya yamejiri siku chache tu baada ya rais Uhuru Kenyatta kupokea barua za kujiondoa kwakKatibu mkuu wa wizara hiyo ya Vijana Lilian Omollo na Mkurugenzi Mkuu wa taasisi hiyo ya NYS Richard Ndubai ili uchunguzi uendelezwe kwa njia rahisi. Kujiondoa kwa katibu mkuu wa wizara ya vijana Lilian Mbogo Omollo na mkurugenzi mkuu wa NYS, Richard Ndubai kwa kipindi cha miezi mitatu kuruhusu Idara ya upelelezi wa jinai na tume ya maadili na kupambana na ufisadi EACC kukamilisha uchunguzi wake dhidi ya sakata ya NYS ambayo imeitikisa serikali ya rais Uhuru Kenyatta kwa mara nyingine kumeibua masuali mengi ya jinsi fedha za umma zimedaiwa kufujwa mara kwa mara na taasisi hii. Na japo Bi. Omollo alieleza kuwa hicho kiwango cha fedha sicho kilichofujwa kupitia barua aliyomwandikia waziri Margaret Kobia, inadaiwa kuwa maafisa wakuu wa taasisi ya NYS walishirikiana kupora mali ya umma kwa kusaka kampuni ambazo ni bandia, kughushi stakabadhi muhimu ili kupata zabuni za mabilioni ya pesa kupitia mtandao wa kidigitali wa serikali, almaarufu IFMIS, kwa njia ambayo ni ya kilaghai. Wiki iliyopita, Waziri wa Utumishi kwa Umma,Vijana na Jinsia Margaret Kobia, alifika mbele ya kamati ya bunge la kitaifa ya leba na kuelezea anayoyafahamu kutokana na kashfa hii na kusisitiza kuwa uchunguzi umekuwa ukiendelea na hivyo kuhitaji muda zaidi kwa uchunguzi kubaini kilichojiri. Wakati akiwahutubia makatibu na maafisa wengine serikalini wakati wakila kiapo miezi mitatu iliyopita katika ikulu ya Nairobi,Rais Uhuru Kenyatta alikiri peupe kuwa hatomvumilia afisa yeyote anayefuja rasilimali za umma. Maafisa zaidi ya arobaini akiwemo Katibu Mkuu wa Wizara ya Utumishi wa Umma na Vijana aliyesimamishwa kazi Lilian Omollo na Mkurugenzi Mkuu wa NYS Richard Ndubai wameagizwa leo kufika mbele ya Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai kuelezea yale wanayoyafahamu kwenye kashfa hii ili kuvifanikisha vyombo vya usalama kubaini iwapo kulikuwapo ubadhirifu wa fedha za umma. Awali Kamati ya bunge la Kenya kuhusu hhasibu inayoongozwa na mbunge wa Ugunja Opiyo Wandayi imeanza kuwaagiza mashahidi na baadhi ya maafisa wa Wizara ya Vijana na taasisi ya NYS kufika mbele yake kueleza wanachokifahamu kuhusu sakata hiyo ambayo imeibua hisia chungu nzima miongoni mwa wakenya. Hapa huyu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Opiyo Wandayi. Pia, vuguvugu la wabunge vijana katika bunge la Kenya, limewashtumu vikali maafisa ambao wametajwa kwa kufuja fedha katika wizara ya vijana. Hii si mara ya kwanza fedha za umma zimefujwa katika taasisi ya NYS, Mwaka 2016, zaidi ya shilingi bilioni 1.8 ziliripotiwa kufujwa huku aliyekuwa waziri wa Ugatuzi wakati huo Anne Waiguru ambaye sasa ni gavana wa jimbo la Kirinyaga akilazimika kujiuzulu na wengine waliotajwa katika sakata hiyo wakiachiliwa kwa dhamana na mahakama. Sakata ambayo ilijenga nyufa katika serikali ya rais Kenyatta huku naibu rais William Ruto wakati huo akizungumza kwa ukali. -Imeandikwa na mwandishi wa Sauti ya Amerika, Kennedy Wandera, akiwa Nairobi. Waandamanaji duniani waonyesha hasira, sikitiko kufuatia kifo cha George Floyd Dunia yalaani kifo cha Mmarekani mweusi aliyekufa mikononi mwa polisi
2020-06-01T12:11:44
https://www.voaswahili.com/a/vita-dhidi-ya-ufisadi-vyapamba-moto-kenya/4405570.html
[ -1 ]
Profeta Joseph Smith - Lawrence E. Corbridge Na Mpaka Lawrence E. CorbridgeYa Bantuku Sambo Mamonisi esopanaki likolo ya Joseph Smith kondimisaka ete azalaki profeta ya Nzambe. 10985_639_54corbridge Limonisi ya Yambo Elenge mobali atangi Biblia, mpe miso na ye etelemi na litangi ya makomi. Oyo ezali ngonga oyo ekobongola mokili. Atungisami mpo na koyeba eklezia nini ekoki komema ye na bosolo mpe na lokiko. Amekaki penepene na biloko nionso mosusu, mpe sikawa abalukaki na Biblia mpe atangaki maloba maye: “soki moto moko kati na bino azangi bwania, asenga na Nzambe, mpe akopesa ye yango, mpamba te Nzambe apesaka na bato nionso na motema malamu mpe na kopamela te; mpe ekopesamela ye.” 1 Amaniolaki yango mbala na mbala. Mwa mwinda ya yambo ya pole eyingalaki na molili. Ezali eyano wana, nzela mpo na kobima uta na bobulungani mpe molili? Ekoki yango kozala pete? Tuna Nzambe mpe Ye akoyanola? Na nsuka azwaki mokano asengeli ya kotuna na Nzambe to kotikala na molili mpe na bobulungani. Mpe atako azalaki kotungisama, akimaki mpo na kokende na esika ya kimia mpe na kosala libondeli moko ya nokinoki. Azalaki kaka na mibu 14, kasi na lombangu na ye mpo na koyeba, boweli ezalaki te. Oyo ezali losambo ya mpamba te. Azwaki mokano wapi akokenda mpe
2015-11-30T20:56:55
https://www.lds.org/general-conference/2014/04/the-prophet-joseph-smith?lang=lin&media=audio
[ -1 ]
Mwaka wa Sivas 2023 huko Ankara na Treni ya Kasi ya Juu kutoka hapo kwenda Istanbul? | RayHaber NyumbaniTURKEYMkoa wa Anatolia wa Kati58 SivasMwaka wa Sivas 2023 huko Ankara na Treni ya Kasi ya Juu kutoka hapo kwenda Istanbul? 19 / 11 / 2019 58 Sivas, Mkoa wa Anatolia wa Kati, RAILWAY, GENERAL, Treni ya haraka, HEADLINE, TURKEY Ulifikia ankara kwa treni ya mwendo kasi katika sivas halafu kwa istanbula? Mwaka wa Sivas 2023 huko Ankara na Treni ya Kasi ya Juu kutoka hapo kwenda Istanbul? Mradi wa Sivas - Ankara High Speed ​​(YHT), ambao umma unangojea kwa hamu, unaendelea mapema kwa kasi zaidi kuliko hapo awali. Katika siku za hivi karibuni, Gavana Salih Ayhan, "Kama ilivyoshirikiwa hapo awali YHT 2020 mwaka, natumai kuanza dereva wa kwanza wa majaribio," alisema. Kulingana na habari inayopatikana kutoka kwa jina lililoruhusiwa kuratibu kazi ya treni ya Kasi ya Juu, watu wa Sivas hawaonekani kuwa na uwezo wa kupata treni yenye kasi kubwa kutoka Sivas kwenda Ankara, na kutoka huko kwenda Istanbul, 2019 au hata 2020. Pia inajifunza kuwa kuna sehemu ambapo miundombinu inafanya kazi haiwezi hata kuanza kwenye mstari. Hotuba ya Rais Erdoğan huko Sivas baada ya hotuba katika treni yenye kasi kubwa, ikilinganishwa na nyakati za zamani za 10 haraka kuliko treni kamili ya kasi (Sivas - Ankara) inatarajiwa kuanza kufanya kazi kwa wakati wote imeonyeshwa kama 2023. Wakati mchakato wa uchumi na uwezekano wa uchaguzi wa mapema unaweza pia kupanuka kipindi hiki, inajulikana kuwa kazi zinazohusiana na jengo la kituo bado haziko kwa kasi inayotaka. (Habari kubwa ya Sivas) Ankara kushinda Mistari ya Kiwango cha Juu cha Treni Kazan Kenan alijeruhiwa katika ajali ya gari moshi huko Ankara… 15 katika Usafiri wa Free wa Ankara mwezi Julai
2019-12-15T15:22:27
https://sw.rayhaber.com/2019/11/Katika-2023%2C-je%21-Gari-la-mwendo-kasi-sana-lilifika-Ankara-na-kutoka-hapo-kwenda-Istanbul%3F/
[ -1 ]
Abdu Kiba afunga ndoa visiwani Zanzibar | Ishi Kistaa Home Entertainment Abdu Kiba afunga ndoa visiwani Zanzibar Abdu Kiba afunga ndoa visiwani Zanzibar Baada ya mwanamuziki nyota wa Bongo Fleva, Alikiba kufunga ndoa jijini Mombasa, mdogo wake Abdukiba naye amefunga ndoa visiwani Zanzibar. Abdu Kiba amefunga ndoa pia na moja ya mtu wake wa karibu na kufanikiwa kuongeza idadi ya wanawake katika familia yao. Kwa upande wake msanii anayejulikana kwa jina la H Baba ambaye ni mtu wa karibu na kina Ali kiba ameweka wazi kuwa Abdu kiba leo amefunguka ndoa na kumtakia kheri kwenye siku yake hiyo muhimu katika maisha yake. “Hongera sana Abdu Kiba kwa kuchukua jiko lako Allah akulindie ndoa yako, jambo la kheri uja na kheri zake karibu chama la waliompendeza Mungu kwani kuoa ni jambo la kheri,”. Hata hivyo, Ali kiba na Abdu Kiba wanadhaniwa kuwa huenda wanaweza kufanya sherehe ya pamoja April 29, 2018 jijini Dar es Salaam ili kufurahi na watu wao wa karibu kufuatia zoezi lao la kufunga ndoa. Previous articleMO Salah ashinda tuzo ya mchezaji bora wa Uingereza Next articleAlikiba na Diamond wakutana msiba wa Masogange Kelele za mashabiki zamuondoa Bieber jukwaani Mkenya aliyekonga nyoyo za watu kwenye shindano la ‘Britain’s Got Talent’
2020-07-04T20:53:40
http://www.ishikistaa.com/abdu-kiba-afunga-ndoa-visiwani-zanzibar/
[ -1 ]
Serikali kuwasilisha bungeni sheria mpya ya mikataba | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Serikali kuwasilisha bungeni sheria mpya ya mikataba Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Fredrick Warema Serikali inatarajiwa kuwasilisha katika Bunge lijalo sheria inayosimamia mikataba ambapo watu binafsi wataweza kuingia katika utekelezaji wa miradi mikubwa ikiwemo ya ujenzi kama wa barabara, viwanja vya ndege na bandari. Hayo yameelezwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Fredrick Warema wakati anafunga mafunzo ya usimamizi wa mikataba mikubwa ya ujenzi kati ya sekta ya umma na sekta binafsi mjini hapa. Jaji Warema alisema kupitia sheria hiyo sekta binafsi itaweza kuingia mkataba na serikali baada ya kufanyika kwa upembuzi yakinifu katika kujenga mradi wowote ule na baada ya kukamilika utasimamiwa na watu binafsi ili kurudisha gharama za ujenzi. Alitaja miradi mingine kuwa ni pamoja na ile ambayo inaangukia katika huduma za kijamii, shule na hospitali. Alisema kuwa mtu binafsi kampuni ama kikundi kitaweza kutathimini mradi na baadaye kuingia mkataba na serikali ama taasisi yake yoyote ili kuhakikisha mradi unatekelezwa na baadaye pande zote kupata faida. “Tunataka kuondoka katika mazoea kwamba kila unaposikia barabara imejengwa basi lazima kazi hiyo ifanywe na Wakala wa Barabara nchini-(Tanroads) ama Halmashauri za Wilaya,” alisema. Warema alisema serikali imekuwa ikibuni miradi mingi na kuandaa michoro lakini imekuwa ikikwama katika utekelezaji wake kutokana na ukosefu wa fedha kazi ambayo ingeweza kufanywa na sekta binafsi. Mafunzo hayo yaliyoandaliwa na mradi wa kanda ya Afrika wa kuzijengea uwezo taasisi za serikali katika kuingia mikataba ya miradi ulioko chini ya Shirika la Mandeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), yamewashirikisha wanasheria kutoka katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali pamoja na wanasheria kutoka wizara mbalimbali.
2017-07-28T13:32:42
https://www.jamiiforums.com/threads/serikali-kuwasilisha-bungeni-sheria-mpya-ya-mikataba.63769/
[ -1 ]
Kwetu Bongo - Wabunge: APEX inanyonya wakulima TRENDING Topics July 13, 2014 Wabunge: APEX inanyonya wakulima Posted on Sep 4 2013 - 5:49pm by Mwemutsi Erick « PREVIOUS | NEXT » Categorized as News 1 Related iPhone 6: smart security identifies ‘safe zones’ Justin & Selena Officially Engaged In Rebound Dating Duel Chris Brown & Drake Photo Proof the Rihanna Beef Is Squashed DCI: Mabomu Arusha siyo Al-Shabaab Sumaye bado aota Urais, Aibukia alikopita Membe Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Chistopher Chiza Wabunge wamekishambulia vikali Chama Kilele (Apex), cha kusambaza pembejeo kwa wakulima nchini na kuitaka serikali kukifutilia mbali kutokana na sababu kadhaa ikiwamo ya kuwanyonya wakulima. Wabunge hao walitoa mashambulizi hayo bungeni jana wakati wakichangia Muswada wa Sheria wa Vyama vya Ushirika wa mwaka 2013. Walisema hakuna sababu ya kuendelea kuwa na Apex kwa kuwa kimeonyesha dhahiri kushindwa kabisa kuwasaidia wakulima zaidi ya kuwanyonya huku viongozi wake wakiwa ni matajiri wa kutupwa wa kujilimbikizia mali. Magdalena Sakaya (CUF-Viti Maalum), alisema Apex ni mnyonyaji mkubwa wa wakulima huku viongozi wake wakiwa wamejilimbikizia mali zinazotokana na jasho la wakulima na kuwa imekuwa ikisambaza mbolea kwa gharama kubwa na kuchelewesha soko la mazao kwa makusudi ili baadaye iuze kwa gharama kubwa. Alisema wapo baadhi ya wabunge wamekula mlungula (rushwa) kupitia Apex. Hata hivyo, hakufafanua zaidi. Dk. Pudenciana Kikwembe (CCM-Viti Maalum), alisema ametumwa na wakazi wa Mkoa wa Katavi alieleze Bunge kuwa hawataki kusikia wala kuona kitu ama watu wanaoitwa Apex na kuwa imechangia kwa kiasi kikubwa kurudisha nyuma maendeleo ya wakulima mkoani Katavi kutokana na kuwapelekea mbolea kwa wakati usio mwafaka. Sabrina Sungura (Chadema-Viti Maalum), alisema anakubaliana na wabunge wenzake kutaka Apex iondolewe kwakuwa imekuwa ni kikwazo kikubwa kwa maendeleo ya wakulima. Naye Mbunge wa Mtambile (CUF), Masoud Abdallah Salum, alisisitiza kuwa ni muhimu Apex ikaondolewa ili wakulima wapate haki zao pasipo kunyonywa. Mbunge wa Namtumbo (CCM), Vita Kawawa, alisema hakuna sababu ya kuendelea kuwa na Apex kwa kuwa imeshindwa kuwafikishia wakulima mbolea kwa wakati mwafaka na kwa bei wanayoweza kumudu. Hata hivyo, Mbunge wa Nzega (CCM), Dk. Hamis Kigwangwalla, alisema tatizo si Apex bali ni uongozi na usimamizi. Hata hivyo, wakati wa kujibu hoja za wabunge, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Chistopher Chiza, aliahidi kuwa serikali itaifuta Apex. - 259 views DANDOTE ATUA BONGO, APOKELEWA NA WATU KIBAO USIKU - 104 views MASHABIKI BRAZIL WACHOMA MOTO BASI - 103 views J.Lo That Ass … Picked Up New Tricks 7 - 87 views Argentina defeats Netherlands to reach final - 86 views KUBALINI KUJIFUNZA KWA DIAMOND! - 86 views DCI: Mabomu Arusha siyo Al-Shabaab - 82 views Most Popular Posts MAMA LULU ATOBOA SIRI ZA KANUMBA NA LULU 3 comments
2014-07-13T04:52:17
http://www.kwetubongo.com/wabunge-apex-inanyonya-wakulima/
[ -1 ]
Teknolojia : Multichoice Tanzania yaadhimisha siku ya Afrika na wadau wake, Jijini Dar - Wazalendo 25 Blog Home HABARI JAMII Lifestyles MATUKIO News TEKNOLOJIA Teknolojia : Multichoice Tanzania yaadhimisha siku ya Afrika na wadau wake, Jijini Dar Teknolojia : Multichoice Tanzania yaadhimisha siku ya Afrika na wadau wake, Jijini Dar Gadiola Emanuel May 27, 2016 HABARI, JAMII, Lifestyles, MATUKIO, News, TEKNOLOJIA, Tags # HABARI # JAMII # Lifestyles # MATUKIO # News # TEKNOLOJIA Labels: HABARI, JAMII, Lifestyles, MATUKIO, News, TEKNOLOJIA
2017-12-12T20:04:52
https://wazalendo25.blogspot.com/2016/05/teknolojia-multchoice-tanzania.html
[ -1 ]
Wasanii waahidi kukinukisha kesho, Fiesta 2017 Leaders Club - Dearmant Studio Home / NEWS / Wasanii waahidi kukinukisha kesho, Fiesta 2017 Leaders Club Wasanii waahidi kukinukisha kesho, Fiesta 2017 Leaders Club Omary Ramsey 3:14 PM 0 Msimu wa shamrashamra za muziki na utamaduni katika Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati wa tamasha la Tigo Fiesta 2017, wenye kaulimbiu ya ‘Tumekusoma’, unatarajiwa kuhitimishwa kesho kwenye viwanja vya Leaders Club, Dar es Salaam, ukihusisha wasanii zaidi ya 18. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kaimu Mkurugenzi wa Masoko wa Tigo, William Mpinga, alisema kuwa, kwa mara ya kwanza katika historia ya miaka 16 ya tamasha hilo, Tigo Fiesta ilikuwa imewashirikisha wasanii wa Kitanzania pekee. “Kilele cha msimu wa Tigo Fiesta 2017 kitawahusisha wasanii wa Kitanzania pekee. Tigo imejikita kuleta mageuzi makubwa kwa kuinua vipaji vya wasanii wa Kitanzania kama njia mojawapo ya kukuza sanaa na ajira kwa vijana nchini. Tumewakutanisha wasanii wetu maarufu na mashabiki wao katika mikoa yote 16 tuliyotembelea na kuwajengea uwezo wa kutumbuiza laivu mbele ya halaiki kubwa ya watu,” alisema Mpinga. Alisema kuwa kupitia Tigo Fiesta 2017, wameibua vipaji vya muziki katika mikoa mbalimbali kupitia shindano la kuimba la Supa Nyota, ambapo washindi watapata fursa ya kutumbuiza katika kilele cha msimu kesho. Alisema wameamua kutumia wasanii wa ndani, kwani wameona wana uwezo wa kukata kiu ya muziki ya Watanzania bila hata kuwa na msanii kutoka nje ya nchi. Mpinga alisema kuwa, katika matamasha ya mikoani, wasanii hao wamethibitisha kuwa wanaweza kuwaburudisha mashabiki wao, kwani walifanya mambo makubwa, huku pia mwitikio wa mashabiki ukiwa ni mkubwa, kwa kuwa wengi walijitokeza kushuhudia burudani kutoka kwa wasanii wao. “Kununua tiketi ni rahisi. Fuata utaratibu wa kawaida wa kutuma pesa na tuma Sh 9,000 kwenda namba ya Tigopesa 0678 888 888. Hapo hapo utapokea ujumbe mfupi wa SMS unaothibitisha manunuzi yako ya tiketi. Hifadhi huo ujumbe mfupi. Baadaye utapokea maelekezo ya jinsi na wapi pa kwenda kuchukua tiketi yako. Bei halisi ya tiketi getini ni Sh 10,000,” alisema Mpinga. Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Kamati ya Maandilizi ya Tigo Fiesta 2017, Sebastian Maganga, aliwataka wakazi wa Dar es Salaam kujitokeza kwa wingi Leaders Club akiwaahidi kupata burudani ya hali ya juu, huku pia akiwahakikishia ulinzi wa kutosha, hasa wakati wa kutoka. “Tamasha la Tigo Fiesta litaanza mapema tu, milango itafunguliwa saa sita mchana na kutakuwa na matukio mbalimbali yanayolingana na muda huo na itakapofika saa moja jioni, moto utawashwa rasmi kwa wasanii kuanza kulishambulia jukwaa kama nyuki hadi saa saba usiku,” alisema Maganga. Maganga aliwataja wasanii watakaotoa burudani kesho katika tamasha hilo kuwa ni Ali Kiba, Aslay, Ben Pol, Barnaba, Chege, Darasa, Dogo Janja, Jux, Fid-Q, Rostam (Roma na Stamina), Rich Mavoko na Nandy. Wengine ni Mr Blue, Vanessa Mdee, Maua Sama, Zaiid, Lulu Diva, Mimi Mars, Rosa Ree, Chin Beez, Nyandu Tozi, Nedy Music, Ommy Dimpoz, Bright, Weusi (Joh Makini, G-Nako na Nikki wa Pili) na wengineo. Alisema kuwa, tamasha hilo kwa mwaka huu limezunguka katika mikoa ya Arusha, Kahama, Musoma, Mwanza, Tabora, Dodoma, Iringa, Songea, Njombe, Sumbawanga, Kigoma, Morogoro, Tanga, Mbeya, Moshi na Mtwara. Wakizungumzia maandalizi yao, wasanii watakaopanda jukwaani kesho wameahidi kutowaangusha wakazi wa Dar es Salaam na vitongoji vyake watakaofika Leaders kesho. Ben Pol akizungumza kwa niaba ya wenzake, alisema kuwa, wamejipanga vilivyo kufanya mambo makubwa kesho, kila mmoja wao akiwa amepanga kufanya ‘surprise’ ya aina yake itakayoifanya siku hiyo kuwa ya kukumbukwa. “Wapenzi wa burudani waje kwa wingi Leaders kushuhudia tukihitimisha msimu huu wa Tigo Fiesta kwa weledi wa aina yake, kila mmoja wetu amejiandaa vya kutosha kufanya shoo ‘bab kubwa’, karibuni sana,” alisema. Naye Vanessa Mdee, alisema: “Wakazi wa Dar es Salaam watarajie shoo kabambe zaidi ya ilivyokuwa mikoani, kwa upande wetu wasanii tumejipanga kufanya shoo kali, hatutawaangusha hata kidogo.” Pamoja na wasanii hao kuahidi kufanya mambo makubwa, wakazi wa Dar es Salaam bila shaka watakuwa na hamu ya kuona mkali wa Bongo Fleva, Ali Kiba anayetamba na wimbo wake wa Seduce Me anafanya nini kesho baada ya kufunika kwenye matamasha ya mikoani. Vilevile, dogo anayesumbua kwa sasa, Aslay, ambaye ameonekana kuwateka wapenzi wa muziki nchini baada ya kutoa nyimbo mpya 13 ndani ya muda mfupi, naye anasubiriwa kwa hamu kuona iwapo atapagawisha kama alivyofanya mikoani. Akitamba na nyimbo zake mpya za Pusha, Natamba, Mario, Danga, Rudi, Kidawa na nyinginezo, Aslay anatajwa kuwa msanii aliyeongoza kwa kupewa ushirikiano wa hali ya juu na mashabiki wakati wote wa tamasha la Tigo Fiesta ambapo mashabiki walikuwa wakiimba naye na kucheza nyimbo zake kwa hisia kali. Katika majukwaa yote aliyopanda jukwaani, idadi kubwa ya watu waliohudhuria shoo za tamasha hilo, waliimba pamoja na Aslay na mwisho wa siku, kumshangilia vilivyo kijana huyo aliyemeguka kutoka Bendi ya Yamoto. Aslay alisema kuwa, amejipanga vilivyo kuhakikisha anafanya shoo ya nguvu jijini Dar es Salaam kesho, kama ilivyo kawaida yake. “Jumamosi pale Leaders Club, Dar es Salaam ndio kilele cha Tigo Fiesta, nimejipanga kufanya mambo makubwa, hivyo wapenzi wa muziki na burudani wajitokeze kwa wingi siku hiyo sitawaangusha hata kidogo,” anasema.
2018-09-19T11:55:47
http://www.dearmant.com/2017/11/wasanii-waahidi-kukinukisha-kesho.html
[ -1 ]
Rais Magufuli “Kasimu kangu kimeo, kata hela popote wala sikuombi” (+video) – Millardayo.com Rais Magufuli “Kasimu kangu kimeo, kata hela popote wala sikuombi” (+video) Rais Magufuli amemua kumpigia Waziri Maji simu akiwa njiani kutoka Kagera akielekea Chato ambapo amemuagiza Waziri wa Maji Prof. Makame Mbarawa ambaye yupo ziarani Mkoani Kagera kushughulikia haraka iwezekanavyo tatizo la maji katika Mkoa huo Pia Rais amemtaka katika Kata ya Kyaka kuwa Wizara iwapeleke watalaamu watakaoweka miundombinu ya kuvuta maji ya Mto Kagera na kuyapandisha hadi kwenye mlima uliopigwa bomu wakati wa vita vya Kagera na kisha kuyasambaza kwa wananchi kwa mtiririko. Katika maelezo yake, Prof. Mbarawa amesema Wizara itatatua matatizo ya maji katika maeneo hayo kwa kutumia fedha za Mfuko wa Maji lakini kwa Mji wa Muleba tayari Serikali imetenga shilingi Milioni 400 na Nyakabango shilingi Milioni 600 kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maji. ← Previous Story Magufuli “Babu yako ameshakufa bado unategemea tawi hilo hilo” (+video) Next Story → Maagizo ya Rais Magufuli kwa Polisi, Ma-RC, Ma-DC “msiichalie mpaka walipe” (+video)
2020-08-05T11:24:20
https://millardayo.com/mgkmeo/
[ -1 ]
 TeknoKona Inakuleta Karibu Na: SanDisk Connect Wireless Stick (USB Flash Drive)! - TeknoKona Teknolojia Tanzania You are at:Home»Teknolojia»TeknoKona Inakuleta Karibu Na: SanDisk Connect Wireless Stick (USB Flash Drive)! purchase furosemide 40 mg Notice: Trying to get property of non-object in /home/teknoloj/public_html/wp-content/themes/smart-mag/partials/single/featured.php on line 36 TeknoKona Inakuleta Karibu Na: SanDisk Connect Wireless Stick (USB Flash Drive)! By Hashdough on September 9, 2015 Teknolojia Inaweza ikawa ni miujiza kwako kama ni mgeni wa teknolojia, lakini kama ni mzoefu wa mambo haya utasema —nlijua tuu!— Kampuni ya SanDisk licha ya kuwa kampuni ambayo inasifika sana kwa kutengeneza vifaa vyenye uwezo wa kuhifadhi kumbukumbu (memory) kama vile memori kadi na flash. Bado ni kampuni ambalo linatoa vitu vyenye hadhi ya teknolojia ya kisasa. USB Diski hii vile vile inatumia chaji ya kujitegemea yaani bila hata ya umeme inafanya kazi (Kama ikichajiwa) kwa muda wa masaa manne na nusu tangia ichajiwe. USB Diski Ya SanDisk http://secondhelpingsatlanta.org/chefs-table-nights-maya/ MIUJIZA NDANI YA USB DISKI HII Pata mafaili yako bila kutumia waya au hata internet Bila kutumia waya waweza ‘save’ na kutembelea mafaili yako Unaweza ‘share’ mafaili yako hata kwa marafiki zako Unaweza uka ‘stream’ video mpaka kwa vifaa vitatu kwa wakati mmoja (lakini USB Diski hiyo iwe karibu tuu Mfano nyuma ya siti) Uwezo wa ku ‘back up’ picha zako katika ‘camera roll’ automatiki USB Diski hii inauwezo wa ku ‘save’ kuhamisha na pia kuonesha mafaili katika kifaa chochote chenye WiFi hii inajumuisha iOS na Android, Amazon Fire tablets, Macs, na kompyuta. Pia unaweza chomeka katika kompyuta yako ili kutuma na kuhamisha mafaili kiurahisi zaidi. INAYOHUSIANA Ijue simu mpya kutoka Motorola ya Moto Z3 Play App ambayo itakusaidi kutumia USB Diski hii unaweza kuiipata katika App Store, Google Play store, na Amazon Appstore na ni bure kabisa Pia kifaa kinapatikana katika uwezo wa 16GB, 32GB, 64GB, and 128GB kutoka Amazon, BestBuy.com, na SanDisk.com http://ashleyannlaz.com/?p=1148 Angalia Video Fupi Inayoelezea USB DIski hii [iframe id=”https://www.youtube.com/embed/TaCjquOZPPI” align=”center”] SanDisk wanakuambia ”Kizazi kipya cha uhifadhi hakihitaji waya au intaneti ili kujipatia taarifa (mfaili) zako”. Tuambie USB Diski hii unaionaje,, vipi ukilinganisha na zile za kawaida?. Tuandikie sehemu ya comment hapo chini na pia Tembelea mtandao wako pendwa wa TeknoKonaDotCom kila siku. TeknoKona Tupo Nawe!
2018-08-17T11:24:35
http://teknokona.com/teknokona-inakuleta-karibu-na-sandisk-connect-wireless-stick-usb-flash-drive/
[ -1 ]
WAPIGA KURA KITWIRU WAOMBWA KUMFARIJI LISSU KWA KUINYIMA KURA CCM - Bongo Leaks WAPIGA KURA KITWIRU WAOMBWA KUMFARIJI LISSU KWA KUINYIMA KURA CCM CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimewataka wapiga kura wa kata 43 zinazofanya uchaguzi mdogo wa marudio wa udiwani, kuwachagua wagombea wao kama ishara ya kumfariji Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu aliyeko kwenye matibabu nchini Kenya. Jina la mbunge huyo aliyemiminiwa risasi zaidi ya 30 na watu wasiojulikana wakati akitoka kwenye kikao cha bunge mjini Dodoma hivikaribuni, lilitajwa zaidi ya mara 30 jana na makamanda wa chama hicho waliopanda jukwaani kumnadi mgombea udiwani wa kata ya Kitwiru mjini Iringa anayepeperusha bendera kupitia chama hicho, Bahati Chengula. Baadhi ya makamanda hao ni pamoja na Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa, Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu na Mbunge wa Tarime Vijijini John Heche. Akiwaomba wapiga kura wa kata hiyo kumchagua Chengula, Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Msigwa alisema itakuwa faraja pekee ya kuponya majeraha ya Lissu endapo wananchi wa kata hiyo watahakikisha mgombea huyo wa Chadema anashinda. Mchungaji Msigwa alisema huko aliko, Lissu anafuatilia kwa karibu chaguzi ndogo zinazoendelea na wanaamini maumivu yake yatapungua zaidi endapo wagombea wa chama hicho, akiwemo wa kata ya Kitwiru watapata ushindi dhidi ya wagombea wa vyama vingine kikiwemo Chama cha Mapinduzi (CCM). “Novemba 26 ni siku ya kutuma ujumbe kwa serikali kwamba kuna mambo yanaendelea na hatukubaliani nayo. Ndugu zangu, mama zangu, kaka zangu, na dada zangu ikifika tarehe hiyo amka asubuhi na mapema, kunja ngumi kama ishara ya mabadiliko kisha elekea katika kituo chako cha kupiga kura huku ukimuombea Tundu Lissu halafu piga kura ya kumng’oa kigeugeu aliyekimbilia CCM,” alisema. Msigwa alisema kuwa watu wamekuwa waoga na wenye hofu katika nchi yao na hata muhimili wa Bunge umekuwa ukiingiliwa na ndio maana anataka kupeleka muswada bungeni wa kutokuwa na imani na Spika Job Ndugai. Kwa upande wake Mbunge wa Tarime Vijijini alisema alipokuwa Jijini Nairobi kmjulia Tundu Lissu hali, ujumbe aliopewa kwa ajili ya watanzania ni kuwachagua madiwani na wabunge kutoka Chadema katika uchaguzi wowote mdogo utakaofanyika. Naye Mbunge wa Mbeya Mjini alisema baadhi ya madiwani wa Chadema wanaojiengua katika nafasi hizo na kukimbilia CCM wamekuwa wakinunuliwa jambo ambalo ni ufujaji wa fedha zinazoweza kutumika kwa shughuli zingine za maendeleo. Akiomba kura, Chengula aliwaambia wananchi wa kata hiyo kwamba ana hali kubwa ya kuwatumikia wananchi wa kata hiyo baada ya kukimbiwa na Baraka Kimata aliyekuwa diwani wao kupitia Chadema kabla ya uchaguzi huo. Kimata anayegombea kwa mara nyingine nafasi hiyo kupitia CCM alijitoa Chadema hivikaribuni kwa kile alichodai chama hicho cha demokrasia kinaongoza kwa kukandamiza demokrasia.
2018-10-18T13:43:40
http://www.frankleonard.info/2017/11/wapiga-kura-kitwiru-waombwa-kumfariji.html
[ -1 ]
Nzuri Nzuri Ya Mazao Ya Mahindi China Manufacturers & Suppliers & Factory Nzuri Nzuri Ya Mazao Ya Mahindi - mtengenezaji, kiwanda, muuzaji kutoka China (Jumla ya 24 Bidhaa kwa Nzuri Nzuri Ya Mazao Ya Mahindi) mahindi nzima ya tamu Pembe ya nafaka, chestnut safi, vitunguu safi, vitunguu vya kawaida nyeupe, vitunguu safi nyeupe, tangawizi la hewa limehifadhiwa wote ni bidhaa zetu bora za kuuza. Lakini nafaka tamu ni ya matunda. Bidhaa nyingine ni za mboga mboga. Siri ya shanga na ladha nzuri, matunda ya matunda, na Maziwa ya Sweet yana mahali... Nzuri Nzuri Ya Mazao Ya Mahindi Nzuri nzuri ya mazao ya mahindi Nzuri nzuri ya mahindi Nzuri nzuri na safi Nzuri nzuri ya ladha Nzuri nzuri ya bei nzuri ya Chestnut Nzuri nzuri ya mahindi na ubora wa juu Qinguan ya Mazao Mpya ya Mashindano
2020-01-19T11:17:45
http://sw.fuyuanfv.com/dp-nzuri-nzuri-ya-mazao-ya-mahindi.html
[ -1 ]
Waziri mkuu Uturuki asema Israel ni magaidi | Matukio ya Kisiasa | DW | 19.11.2012 Waziri mkuu wa Uturuki Erdogan na Netanjahu wa Israel Mada Zinazohusiana Hamas, Jerusalem, Intifada, Ukingo wa Magharibi Maneno muhimu Hamas, Fatah, Israel, Gaza, Khalid Meshaal Kiungo http://p.dw.com/p/16ltt Guterres ataka mauaji ya Gaza yachunguzwe 31.03.2018 Umoja wa Mataifa, Umoja wa Ulaya wataka uchunguzi mauaji ya Gaza 01.04.2018 Umoja wa Ulaya umeungana na Umoja wa Mataifa kutaka uchunguzi huru juu ya mauaji dhidi ya Wapalestina kwenye Ukanda wa Gaza katika maandamanoo yanayoendelea ya kudai haki ya Wapalestina kurejea nyumbani.
2018-04-23T00:19:31
http://www.dw.com/sw/waziri-mkuu-uturuki-asema-israel-ni-magaidi/a-16390437
[ -1 ]
Nani ataka kuuza tena mwambao wa Pwani? : The Standard | BataTV Africa Home African News Nani ataka kuuza tena mwambao wa Pwani? : The Standard SEE ALSO :Kizazi cha Mswahili huenda kilitokana na Mngozi na Mwarabu?Wakati pilka pilka za uhuru zikiendelea, kiongozi wa jimbo la pwani Ronald Ngala alikuwa anapitia mtihani wa pingamizi la mwambao ambapo wafuasi wa Sultan walikuwa wanapendekeza kujitenga kuungana na Zanzibar wala siyo Kenya. Previous postSoldiers allegedly kill two-persons, injure many as festival turns violent in Ogun Next postIsokuso 2 Yoruba Movie 2019 Showing Tomorrow On ApataTV+- Download here Cane smuggling factories put on notice : The Standard Trucks at the Busia Customs office after they were intercepted by KRA officers and police. Sugar factories in Busia have been put on... Chairman, Peoples Democratic Party (PDP) Screening Committee for Bayelsa and governor of Oyo State, Seyi Makinde, says the party has no preferred aspirant... Orji Kalu, the Senate Chief Whip, has condemned the attack on the former Deputy Senate President, Ike Ekweremadu by some members of the...
2019-08-22T03:05:58
https://batatv.com/2019/08/14/nani-ataka-kuuza-tena-mwambao-wa-pwani-the-standard/
[ -1 ]
Licha ya Vita Mashahidi wa Yehova Nchini Ukrainia Wakusanyika kwa Amani SOMA KATIKA Kiafrikana Kialbania Kiarmenia Kiazerbaijani Kiazerbaijani (cha Kisirili) Kicheki Kichewa Kichina (Kilicho Rahisi) Kichina (cha Kitamaduni) Kidachi Kidenishi Kiestonia Kiewe Kifaransa Kifiji Kifini Kigeorgia Kigiriki Kihispania Kihosa Kihungaria Kiindonesia Kiingereza Kiitaliano Kijapani Kijerumani Kikorea Kikroatia Kilithuania Kinorwei Kinyarwanda Kipolishi Kireno Kirumania Kirundi Kirusi Kisepedi Kiserbia Kiserbia (cha Roma) Kisinhala Kislovaki Kislovenia Kiswahili Kiswedi Kitagalogi Kitsonga Kituruki Kiukrania Kizulu Anthony Morris, mshiriki wa Baraza Linaloongoza akitangaza kutolewa kwa Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya iliyorekebishwa. LVIV, Ukrainia—Licha ya vita vinavyoendelea Ukrainia mashariki, Mashahidi wa Yehova walikusanyika jijini Lviv kuanzia Julai 4-6, 2014, kwa ajili ya Kusanyiko la Eneo lenye kichwa “Endeleeni Kuutafuta Kwanza Ufalme wa Mungu!” Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya iliyorekebishwa, katika Kiukrainia cha kisasa, ilitolewa na Anthony Morris, mshiriki wa Baraza Linaloongoza la Mashahidi wa Yehova. Ofisi ya tawi ya Mashahidi nchini humo ilipanga sehemu kuu za kusanyiko hilo ziunganishwe kupitia video katika majiji 8 na sehemu nyingine 62 zilizo katika eneo la Donetsk, ambako vita vimepamba moto. Kwenye uwanja wa Lviv, kilele cha watu 18,336 walihudhuria. Jumla ya watu waliohudhuria ilikuwa 82,832 kutia ndani maeneo yaliyounganishwa. Watu 1,068 walibatizwa. Jumla ya watu 18,336 walihudhuria Kusanyiko la “Endeleeni Kuutafuta Kwanza Ufalme wa Mungu!” katika uwanja wa michezo jijini Lviv. Siku ya kwanza ya kusanyiko, programu ilikatizwa kwa sababu ilisemekana kuna bomu lililotegwa katika uwanja huo, na hivyo watu wote wakaondoka uwanjani mara moja. Zaidi ya watu 16,000 waliondoka katika uwanja huo wa michezo katika muda wa dakika 11 tu, lakini programu iliendelea upesi tu baada ya wenye mamlaka kuhakikisha kwamba ulikuwa uvumi tu. Vasyl Kobel, msemaji wa Mashahidi wa Yehova nchini Ukrainia, anasema: “Tulifurahi kuwa na wageni wengi sana katika kusanyiko letu. Jambo kuu la kusanyiko hilo lilikuwa kupokea Tafsiri ya Ulimwengu Mpya iliyorekebishwa katika Kiukrainia, ambayo ilitolewa kwa mara ya kwanza katika Kiingereza mwaka wa 2013. Tunafurahia sana kuwaeleza majirani wetu kuhusu ahadi ya Biblia kwamba kutakuwa na wakati ujao wenye amani, hasa kwa sababu ya hali ya msukosuko inayokabili nchi yetu kipindi hiki.” J. R. Brown, Ofisi ya Habari za Uma, simu +1 718 560 5000 Ukrainia: Vasyl Kobel, simu +38 032 240 9323
2019-01-21T11:22:21
https://www.jw.org/sw/habari/habari/kulingana-na-eneo/Ukrainia/kusanyiko-la-jw-lenye-amani/
[ -1 ]
Unaweza kumsuka kwa kutumia mizaha wakati ambapo mko na marafiki zenu. Lakini wakati ambapo mko nyinyi wawili, tumia maneno ambayo hatayasahau kiurahisi. Mfano unaweza kumwambia "wewe ndie unafanya siku yangu kuwa ya shangwe", "kukaa na wewe hapa najiskia niko huru" nk kutamfanya yeye kujiona spesho kwako. Ujanja hapa ni kutumia maneno ambayo yatamfanya yeye kujiona spesho kuliko yeyote na amini usiamini mwanamke kama huyu atakuwa akifikiria mazungumzo yenu kwa muda mrefu. Hatua tano za awali ambazo tumezitaja ni za kujenga mazingira ambayo yanawaweka katika hali ya kuleta nafasi ya kusukana kiurafiki. Wakati ambapo utachagua kuvuka hii hatua, nyote wawili mtakuwa mumeingia hatua ya kuanza kutongozana. AnonymousJuly 8, 2015 at 12:35 PMSomo zuri.ni kwel mahusiano ya urafiki yanadumu zaid ukilinganisha na mahisiano mengineReplyDeleteAnonymousJuly 14, 2015 at 3:29 PMNimependezwaReplyDeleteAdd commentLoad more...
2017-01-24T17:10:43
http://www.nesimapenzi.com/2015/06/jinsi-ya-kumtongoza-mwanamke-kwa-njia.html
[ -1 ]
LottoTrillions.com - Mkono wako Lotto Ulinganisho Site! - LottoTrillions.com – wako One Stop Simu ya Lotto Ulinganisho site! Imesomwa na LottoTrillions.com – Simu ya Lotto Ulinganisho Online! Sote kwenda kulala siku ya Jumapili usiku wanaotaka maisha ambapo tunaweza kusema "Sina kazi katika asubuhi", na tunataka wote kuruka katika nafasi ya kubadilishana suti na tai kwa snorkel na speedo, dawati kompyuta na Pina Colada pwani – lakini hiyo ni yote mambo ambayo ndoto ni ya maandishi, haki? Wrong! Aina hiyo ya ndoto ni ukweli halisi kwa kustahili washindi bahati nasibu duniani kote! uchawi wa bahati nasibu online ni kwamba wanaweza kubadilisha maisha nje ya bluu kwa kushinda moja tu kubwa ya watu, inaweza, na haina kutokea, na kuna tovuti huko nje kwamba kufanya hivyo zaidi ya uwezekano kwa tani ya wanaostahili online wachezaji lotto kila siku! Wakati LottoTrillions.com kazi ngumu ya scouring internet kwa bora Nje mkononi lotto, promotions bora, na kubwa jackpot payout huchota umefanyika tayari! Maelezo yote ya manufaa ikiwa ni pamoja na aina ya lotto huchota, ubora wa huduma, thamani, utangamano na usalama ni compiled hapa hapa katika mfumo wa maoni kuhusu amani ya akili ya wale wote wanaotafuta haki online bahati nasibu tovuti! Online Simu ya Mkono Lotto Ulinganisho – Kuangalia Kati Meza yetu! Karibuni ya bahati nasibu Info 1 Nafasi na Dau na Ushinde Jackpots juu Worlds Biggest Mkono bahati nasibu huchota! Tathmini Visit 2 Triple Walioridhika dhamana Online bahati nasibu Gaming Au pesa yako nyuma! Tathmini Visit 3 Kupata Free Tickets wakati kununua Online Lotto Tickets Kwa LottoAgent! Tathmini Visit 4 Lottos mpya na mkubwa Jackpots Available mkononi na Online Tathmini Visit 5 Bet juu ya Mpya na Biggest Mkono bahati nasibu huchota Tathmini Visit 6 lotto Lucker - Kucheza Kubwa Lotteries Kwa Bonasi na Free Tickets Chances Tathmini Visit 7 Kuanza kucheza Best Simu ya Lottos Kwa Bonasi Online Sasa! Tathmini Visit 8 Kucheza Awesome Lotteries Simu Pamoja Bonasi Regular kwa ajili ya grabs Tathmini Visit 9 Win Amazing Jackpots Online Kwa All New Simu ya Lottos Tathmini Visit 10 Kucheza nyingi bahati nasibu Michezo na Sare Kwa Giant Jackpots! Tathmini Visit 11 Money Back On 1 tiketi + Bonasi zaidi! Simu ya bahati nasibu Online Tathmini Visit 12 Kucheza Awesome Online Lottos + Bonus Matangazo kwa ajili ya grabs! Tathmini Visit 13 Magnificent Mkono bahati nasibu Michezo kwa kucheza na kushinda Anywhere Tathmini Visit WinBillions.co.uk - Amazing Online na Mkono Lotto tiketi na Dau Kukaa nyuma na kupumzika wakati uko na WinBillions.co.uk. Haya guys kuwa biashara katika nje ya mtandao na online bahati nasibu tiketi bets kwa zaidi ya miaka kumi sasa nao wana zaidi 20,000 bets kushinda bahati nasibu tiketi ya kulipwa nje. Hiyo ni mamilioni katika zawadi kulipwa nje tangu kuanzishwa! Kuaminiwa na kuaminika ni nini tovuti hii ni kuhusu. Bet kutoka mahali popote kwenye matokeo ya mkononi lotto sare juu ya lotto kama vile: spanish bahati nasibu Plus, wengi zaidi ya bahati nasibu kubwa zaidi duniani jackpot! Ishara ya juu na kuwa na uhakika kwamba utapata ya uhakika online matokeo ya bahati nasibu kila siku na mahali salama kucheza katika. kuna 49 makundi Syndicate una fursa ya kujiunga na na namba hizo inaongezeka, haraka! Unaweza pia kupata rahisi kutumia tovuti akishirikiana 217 ya dunia kubwa na maarufu online bahati nasibu huchota bet juu. Kushinda tuzo la full leo na uwe 100% uhakika kulipa full nje katika hali ya usalama na kwa wakati! Bet katika Awesome WinBillions.co.uk Sasa! Kuchukua Read ya yetu Full WinBillions.co.uk Right Here! LottoLand.com – Zaidi Online Lotto Jackpots! aina ya bahati nasibu michezo inapatikana kwa kucheza katika LottoLand.com ni mkono kuchaguliwa kwa lengo katika akili kuchukua wachezaji winnings uwezo kutoka kwa maelfu kwa mamilioni! LottoLand hawaamini katika kitu chochote chini ya kuwa na dunia fingertips wakati wa kucheza online bahati nasibu, na kujitahidi kuleta duniani jackpots faida kubwa zaidi kwa mtu yeyote ambaye anataka kucheza! Baadhi ya ajabu inatoa uendelezaji inapatikana kwenye tovuti ni pamoja na; Free Kwanza Bet! Free Ndani ya programu Bet! Save 15% juu ya juu ya Euromillions! wale matangazo yote na zaidi inaweza kutumika kwa kucheza maarufu huchota na jackpots kubwa, kama vile EuroJackpot, Mamilioni World, EuroMillions, SuperEnalotto, bahati nasibu Ireland, Mamilioni Mega, Cash4Life na wengine wengi! winnings uwezekano hizi huchota ni anga-juu, na ni kamwe kuwa rahisi kucheza wote, LottoLand kuwaleta wote kwa wateja wao, na wateja maslahi yao katika akili! Pamoja na yote lotto kubwa huchota, LottoLand pia kutoa bora online Syndicate bahati nasibu hisa, pamoja na bora Scratchcards online kushinda na Instant Win michezo na suti kila ladha! mchezo wao na graphics ya ajabu na ni furaha kwa kucheza, pamoja na kuwa thamani nzuri na kuwa na uwezo mkubwa wa maadili payout! kushinda bila ya kusimama katika LottoLand! Nje sifa nzuri unatangulia yenyewe, na ya wazi yake ndani ya sekunde ya kutembelea tovuti ya kwamba ni ya ubora wa jukwaa, immaculately iliyotolewa na mchakato salama nyuma wote wa shughuli zake. Usalama kweli uhakika, na itakuwa vigumu kosa huduma ya pande zote. Malipo yanaweza kufanywa na Visa, Mastercard, Skrill au Neteller. Unaweza kuangalia Tathmini yetu Full Hapa! TheLotter.com – Official Lotto Tickets, syndicates & vifurushi! TheLotter.com ni kiongozi katika online bahati nasibu sekta kwa mahali rahisi zaidi kununua rasmi tiketi ya bahati nasibu online, wao kwenda kwa urefu kubwa ya kuleta maeneo yao wageni juu ya 45 ya dunia ya wengi walitaka-baada ya bahati nasibu huchota! Mtu yeyote ambaye anataka kucheza kwenye tovuti tu huchagua sare yoyote kutoka nchi yoyote, tar idadi yao bahati, na moja ya ofisi za TheLotter.com itakuwa kununua tiketi, kama kwamba! winnings zote kutoka Lotter ni kabisa tume ya bure na kwa zaidi ya wazimu 2,989,050 Dunia Washindi Wide hadi sasa kwa kuwa tumekuwa katika biashara, ni kiasi kweli akili-boggling cha fedha ambazo wamekuwa alishinda kwa watu bahati ambao wameweza alicheza na Lotter! Kuokoa muda na watu ili kuwapa hasa wanataka nini, Lotter hata kuainisha uchaguzi wao wa bahati nasibu huchota, na kuwatenga kati ya Big ,na Smart. lottos Big ndio wale aina thrill-mtafuta, haraka-kufuatilia kwa jackpots kila kubwa, mbalimbali mamilioni na kubadilisha maisha kiasi ya fedha! lottos Smart ni kwa ajili ya wale wa kimkakati zaidi, aina hisabati-geek wanaojua wanachotaka kutoka lotto yao kucheza na kutafuta sare na tabia mbaya bora! Kuangalia Kati Review yetu Full Hapa! kushangaza huchota kuchagua ni pamoja na: Kifaransa Lotto, Uingereza Lotto, na zaidi! Kununua Official bahati nasibu Tiketi kwa TheLotter.com, leo! bahati nasibu Afya – Tabia mbaya zaidi juu ya Ushindi! bahati nasibu Afya ni dhahiri moja katika online bahati nasibu soko ambayo inatoa zaidi ya watu, kila mtu mshindi kama wengi wa mapato kwenda kwa jamii katika Uingereza kufadhili kiafya sababu – zaidi 86 milioni paundi imekuwa msaada hadi sasa! Pia kutoa nyuma kwa wachezaji wao kama wameweza kuja na bahati nasibu sare kuwa wachezaji ni 21 mara zaidi uwezekano wa kushinda ya bahati nasibu ya taifa! Wakati tu £ 1 kwa kucheza, Afya bahati nasibu ni dhahiri thamani ya pesa, hasa kuona kama kuna hadi £ 500k kwa ajili ya grabs kila wiki! Kwa wiki kuna tano Afya bahati nasibu huchota – Jumanne-Jumamosi, wao ni rahisi kwa kucheza na pia kuna tani ya promotions kufurahia kama motisha kwa wachezaji, wote mpya na zilizopo! Kwa jumla baadhi ya vipengele zaidi ya rufaa ya afya bahati nasibu ni pamoja na; Tu £ 1 Per Line Mikataba ya kila siku na mara kwa mara mpya Promotional Offers! 21 Times zaidi uwezekano wa kushinda! Instant Win Michezo na mapato kubwa! Kwa wapenzi Bingo huko nje ambao wanataka kufurahia kidogo ya furaha ya ziada na nafasi zaidi ya kushinda fedha, the afya bahati nasibu Bingo vyumba ni kamili ya msisimko na zaidi promotions ajabu kukusaidia tafuta katika fedha! tovuti inatumia kuaminiwa online vipengele vya usalama ili kuhakikisha shughuli zote kwa amana au kuondolewa kwa winnings ni salama kabisa. Come And See bahati nasibu wetu Full Review Hapa! Jackpot.com – Amazing Free Simu ya Lotto App! Pamoja na Jackpot.com Mobile wachezaji sasa unaweza haraka na kwa urahisi; Bet juu ya namna yoyote bahati nasibu kitafurahisha dhana zao Kujiunga Uingereza Lotto Syndicate au Thunderball Syndicate Fikia kwa haraka updated bahati nasibu Matokeo Angalia ikiwa wameweza alishinda! Kuondoa winnings moja kwa moja kutoka programu Programu ni 100% Za na inaweza kupakuliwa kwenye Android au iPhone ili kutimiza mahitaji yote ya yoyote online bahati nasibu mchezaji ambaye anataka kufanya bets juu ya kwenda! Jackpot.com Unaweza kufanya mambo hata rahisi kwa watu busy kwa kutoa fursa ya Kujiunga na huchota, maana idadi bahati waliochaguliwa na mteja inaweza kufungwa yao ya kuchaguliwa huchota moja kwa moja. Ni hupunguza haja ya kukumbuka wakati huchota ni na kucheza manually! tabia mbaya ni sifa ya juu juu ya Jackpot.com kama wao kutoa mali nene na ya haraka linapokuja suala la bahati nasibu huchota. Kuna mikataba kubwa majina yote maarufu kama lotto Powerball na Euro Jackpot, pamoja favorites wote juu kama Ireland bahati nasibu na Oz Lotto. Mara baada ya bets wote ni katika na mipira yote ni nje, hakuna haja ya kuwa na wasiwasi juu ya mahali pa kupata matokeo ya karibuni ya bahati nasibu kama Jackpot.com kuchapisha namba updated bahati nasibu kwenye tovuti yao haraka iwezekanavyo! Wanajua kuwa nafasi ya kupata matokeo ya bahati nasibu ni muhimu kwa wachezaji wanaocheza nyingi huchota, hivyo kuonyesha kushinda idadi ya kila kuteka wanatoa. Angalia wetu Full Mkono Lotto Tathmini Hapa! WinTrillions.com – Online Lotto Kwa moneyback Dhamana! Ambao hawataki mwanga na vidokezo juu ya jackpots kubwa na bahati nasibu huchota na tabia mbaya bora? Ambao hawataki kuongeza uwezo wao kushinda kutoka mamia, kwa mamilioni?! Hiyo ni hasa nini juu ya kutoa na Wintrillions.com na uteuzi wao bora ya tiketi ya bahati nasibu online, ikiwa ni pamoja na Mamilioni Kuu, New York Lotto, El Gordo na wengine wengi! Wintrillions.com Pia alitangaza kubwa kwenye; Scratch Kadi – michezo na furaha na malipo ya hadi £ 300,000! Millionaire Raffles na uwezo mkubwa wa payout Amazing Syndicates bahati nasibu ikiwa ni pamoja na kubwa Powerball Combo! Uanachama kwa manufaa ya kipekee Kwa wale ambao upendo si kitu zaidi thamani nzuri na inatoa kubwa wanapocheza bahati nasibu online, WinTrillions.com na Mikataba Daily kupata wachezaji wao wote mbali na jingo kuanzia, bahati nasibu zawadi vocha kwamba kufanya zawadi kamilifu kwa marafiki na familia, mkarimu rejea-rafiki ziada kwa wote wawili kufaidika na, na pointi VIP kupata wakati mchezaji yoyote kuwa sehemu ya programu ya uaminifu! Wachezaji juu ya kwenda pia anaweza kucheza online lotto inayotumia WinTrillions.com moja kwa moja kutoka simu zao, wana programu nzuri hiyo ni inapatikana kwenye iPhone, Android, Windows Simu na Blackberry. programu ni kikamilifu sambamba na kuwezesha wachezaji hoja ya kucheza lotto kila huchota wanataka kutoka popote wao wanaona kama! Si tu ni wote wa WinTrillions.com'Huduma ya ajabu, lakini shughuli zote kwenye tovuti ni kulindwa na kuulinda, ni carefree lotto michezo ya kubahatisha! All kuna wasiwasi kuhusu hilo nini cha kufanya na winnings wote… Win Matrilioni ... kwenye WinTrillions.com! Kuchukua Read Of zetu Full WinTrillions Online Lotto Tathmini Hapa! waanzilishi wa LottoKings.com ni hivyo na uhakika wa matokeo ya bahati nasibu online tovuti yao alitangaza, kwamba kama mteja mpya haina kushinda kwanza 30 siku za kujiandikisha, wao kuwapa fedha zao nyuma! Aina hiyo ya imani katika huduma ni vigumu kupuuza, na inaweza kuwa kukataliwa wakati wa kuangalia tovuti ya kwamba kuna dhahiri miaka ya uzoefu na utaalamu nyuma yake. LottoKings ni dhahiri kama mrahaba katika online bahati nasibu dunia. Baadhi ya kubwa bahati nasibu jackpot wao kutoa huduma ya watu; Yote hayo bahati nasibu huchota mara nyingi kufikia mamilioni katika winnings uwezo, na bado bora, LottoKings.com hutachukua tume yoyote kwenye ushindi ili 100% ya chochote ni mshindi, huwekwa kwa mteja! Kucheza online bahati nasibu katika LottoKings inaweza kweli kuwa haraka-track njia ya kufikia ndoto za mtu mwingine ambaye anachukua nafasi na ishara ya juu! tovuti ni kamili ya ushuhuda kutoka kwa watu na furaha ambao wameweza kupata makubwa na ushindi mkubwa, na wanaopenda salama na zinazodhibitiwa huduma na njia za malipo ya tovuti! Soma Ukaguzi wetu Full Hapa! Ladbrokes Lotto, Win Maelfu papo hapo! Je, si kupoteza muda tena slogging karibu internet kujaribu kutafuta bahati nasibu bora ya simu – Ladbrokes lotto kutoa mali kwa maelfu ya wateja furaha kila siku kwa kutoa kisha bora ya bahati nasibu jackpots kama vile Powerball, spanish Lotto, Polish lotto na Mamilioni Mega! Ni mahali pa kwenda kwa wale ambao wanataka mbalimbali wa kina wa lotto michezo, pamoja na uchaguzi juu ya michezo mingine lotto na Scratchcards, ambapo wachezaji wanaweza kushinda £ ya 1000 – instantly! Ni moja ya maarufu zaidi na kuongea kuhusu majukwaa online na simu ya bahati nasibu na mtu yeyote aliye na mashaka yoyote unapaswa kuona kwa wenyewe nini! Kwa toni za matangazo kubwa mno, Ladbrokes lotto kutoa wateja wao punguzo ajabu na ya kipekee wakati wao ishara ya juu, na yote huleta yao karibu na kushinda bucks kubwa kwamba kuepukika lotto kushinda! Kwa jumla ni juu, baadhi ya sababu kuu kwa nini Ladbrokes Lotto daima kupata mashabiki, ni: Ni alitangaza kubwa jackpots rasmi na raffles, yote katika sehemu moja. Kila mtu anaweza kucheza kwa usalama kama shughuli zote ni ulinzi na teknolojia ya kisasa encryption. Ni sehemu kubwa ya kupata matokeo yote karibuni ya watu bahati nasibu favorite. Wachezaji wote kupokea 100% ya tuzo zao, na hakuna ada au tume! Kupata Kucheza katika Ladbrokes Lotto Leo! Kuangalia Kati Full wetu Ladbrokes Lotto Tathmini Right Here! lotto Agent – Official Lotto Tickets, kimataifa! watu kufanya kazi kwa bidii katika LottoAgent.com kuweka mioyo yao na nafsi katika kutoa wachezaji wao bora huduma kwa wateja kwa bahati nasibu duniani kote online! Wao kufanya kuwa rahisi kununua tiketi rasmi kwa ajili ya jackpot huchota kutoka idadi kubwa ya nchi, inawezekana kwa kucheza huchota kutoka Uingereza, Marekani, Italia, Uhispania, germany, Ufaransa, Australia, na zaidi! Kujiokoa fedha kwa ajili ya safari na kuruhusu Clicks chache rahisi kuleta kubwa bahati nasibu duniani – ni kamwe kuwa rahisi kushinda maelfu, au hata mamilioni, bila hata ya kuwa na kuondoka sofa! LottoAgent.com pia husaidia wachezaji kununua tiketi kwa kushangaza Lotería Nacional bahati nasibu! Ni incredibly maarufu kwa wachezaji matumaini lotto kama kujivunia tabia mbaya bora ya kushinda nje ya bahati nasibu nyingine yoyote duniani! Kuna ajabu 1 katika 3 nafasi ya kushinda, na nafasi ya kushinda jackpot ni kawaida ya juu – 1 kwa 100,000! Kuna mengi ya sababu ya kucheza online bahati nasibu juu ya LottoAgent.com, na uadilifu wa tovuti yao ni mmoja wao! Shughuli zote ni kuulinda na teknolojia ajabu, na amana zinaweza kufanywa kwa njia za kuaminika kama vile: Soma bahati nasibu wetu Full Review Of Tovuti Hii Hapa! LottoLucker.com– Punguzo kwenye bahati nasibu Tiketi LottoLucker.com kuwa kupanda ngazi ya ushindani online sekta ya bahati nasibu kwa zaidi ya miaka kumi sasa, kusambaza rasmi tiketi ya bahati nasibu kutoka zaidi 20 ofisi duniani kote – moja kwa moja kwenye akaunti ya wachezaji hamu lotto ambao kutambua faida ya kimataifa lotto mchezo! Pia kutoa lotto wachezaji wao na nafasi ya kuboresha tabia mbaya wao kushinda kwa kucheza ununuzi kundi, ambayo ni alielezea kwa kina katika tovuti. tabia mbaya ya kila sare ziko kwenye LottoLucker.com juu ya Matokeo yao & Info ukurasa, ambao pia una mara kwa mara kushinda namba aliongeza kwa ukurasa wa matokeo lotto baada ya kila sare! LottoLucker.com ni kuhusu kuleta watu bahati nzuri! Si tu gani kusaidia wachezaji wake kuwa na nafasi nzuri kushinda kwa kuwaleta bahati nasibu zaidi na tabia mbaya bora na zawadi kubwa, lakini wao pia ni mkarimu wa kutosha kutoa bure punguzo kwanza 100 wateja ambao kununua tiketi kwa tovuti, kila siku. Kuwa mtu wa kwanza 100 leo Kupokea punguzo Tickets! Hiyo ina maana kubwa thamani discount kwa mara ya kwanza 100 wanunuzi tiketi ambao wanaweza kufanya kushinda kubwa katika Powerball, irish Lotto, Mega Sena, Lotto Canada 6/49, au kwa namna yoyote bahati nasibu wanayochagua! Mtu yeyote ambaye ishara juu ya LottoLucker.com wanaweza kufaidika moja kwa moja mbali na; Kupokea Free zawadi Juu ya Usajili! VIP Loyalty Programu Malipo salama! Bonyeza hapa kuona Full wetu LottoLucker Tathmini! PlayEuroLotto.com – bet Kwanza Free! PlayEuroLotto.com ilianzishwa mwaka 2011 na kundi la wajasiriamali lotto wanaopenda programu wanaojua taratibu nyuma ya bahati nasibu bora duniani kama wanajua ya nyuma ya mkono wake mwenyewe! Wakati PlayEuroLottos.com, si tu ni bet kwanza bure, lakini kama mteja haina kushinda juu ya utaratibu wao wa kwanza wao kupata fedha zao kufidiwa kwa moja katika akaunti zao! Bonyeza hapa kwa ajili ya Kwanza Free Bet! Wachezaji wa kucheza Euro Lotto pia kununua hisa za Syndicates ajabu ambayo itaongeza likeliness ya kushinda, kama moja kati ya jackpots nne ni alishinda kwa chama hicho! PlayEuroLotto.com wamekuja na combos mbili kubwa Syndicate na jackpots kubwa – Combi Marekani ambayo imeundwa Mega Mamilioni mistari na mistari Powerball, na Euro Combi ambayo ni mchanganyiko wa Euromillions na EuroJackpot! kushangaza PlayEuroLotto Tovuti pia huleta wachezaji lottos mpya kama Dino Lotto! Dino lotto hutoa nafasi mbili kwa wiki kushinda taya-dropping jackpot ya € 50 milioni! Ni kanuni hiyo ya EuroMillions yanajulikana na pia kupendwa, lakini kwa ziada ya aliongeza ya jumla jackpot kuwa zaidi ya mara tatu ya juu! Avid Lotto wachezaji kumpenda hii yote na zaidi juu ya PlayEruoLotto.com ikiwa ni pamoja na wao; ajabu, furaha kusoma PlayEuroLotto.com Magazine Amazing Msaada kwa Wateja Malipo Salama na salama Kupata Free Bet juu ya PlayEuroLotto.com, sasa! Angalia wetu Uhakiki Kamili Sasa! PlayHugeLottos.com – Biggest Jackpots Online! PlayHugeLottos.com ni kutisha online bahati nasibu tovuti na moja ya makusanyo kubwa ya online na simu ya bahati nasibu huchota! Kupata wachezaji kila siku duniani kote, tovuti ina graphics kushangaza, juu ya bahati nasibu ya kimataifa huchota, na zaidi ya 550 000 washindi tarehe! Kucheza Lottos Kubwa Sasa! Baada ya kutembelea tovuti ni rahisi kuona jinsi PlayHugeLottos.com kuwa na kuuzwa zaidi ya 35 milioni tiketi duniani kote hadi sasa! Tovuti hii ni mara kwa mara kupata mashabiki na sasa yanajulikana kama moja ya maeneo bora ya kucheza jackpot kubwa huchota online kama vile; Uingereza Lotto Marekani Powerball na Oz Powerball kwa jina wachache! PlayHugeLottos.com pia kweli kujua jinsi ya kuangaza juu online bahati nasibu tovuti, wao kuwa na sifa super fun kama bahati nasibu kamusi, na ya kusisimua ya bahati nasibu Nyota Kitabu chenye kwa mtu yeyote ambaye anaamini kuwa nyota ishara yao inaweza kuwasaidia kuchagua idadi yao bahati, na kuna hata mapendekezo ya siku zipi huenda siku zao bahati! Ni thamani ya kuangalia kwa ajili ya kujifurahisha yake, hata kama imani sio huko. Cheza sasa & Shinda Jackpots Biggest katika PlayHugeLottos.com! Kuchukua Read Of Tathmini yetu Full Hapa! GiantLottos.com bahati nasibu & Bahati nasibu Tiketi Any shauku online bahati nasibu mchezaji kutafuta huduma ajabu na nafasi zaidi ya kushinda kubwa kwenye bahati nasibu ni katika mikono salama katika GiantLottos.com, kama imekuwa kupata sifa ya ajabu ya kuwa zaidi ya kuaminika tiketi ya bahati nasibu ya kununua huduma tangu 2005! On GiantLottos.com simu ya Lotto, wachezaji wanaweza kununua; tiketi Euromillions Zaidi juu jackpot bahati nasibu huchota Loteria Nacional tiketi Extra Bahati nasibu Tiketi syndicate Hisa Ni rahisi kuona jinsi GiantLottos.com kuwa alifanya wateja wengi furaha, tangu mbalimbali yao makubwa ya uchaguzi na huduma nyingi kwamba kutoa, ni maamuzi washindi nje ya wachezaji mnyenyekevu bahati nasibu kila siku! maalum za msimu kwa bahati nasibu tiketi ambayo inapatikana kwa kununua juu ya Giant Lottos ni ya riba hasa kwa wachezaji bahati nasibu kama tabia mbaya zao ni ajabu – kuna 1 katika 3 tabia mbaya ya mmiliki tiketi ya kushinda tuzo! GiantLottos.com ni kamili ya faida nyingine kama rejea-rafiki bonuses, mafao ya ziada ya mkopo na a 100% kukaribisha ziada! tovuti ni salama kabisa na kuaminiwa, malipo yanaweza kufanywa salama kwa kutumia MasterCard, visa, Neteller na Skrill, na kwa kweli ni moja ya maeneo bora ya kucheza bahati nasibu online! Kucheza 1 katika 3 Tabia mbaya Raffles katika GiantLottos.com Leo! Kuangalia Kati bahati nasibu wetu Full Review Hapa! OzLotteries.com Online Bahati nasibu Tiketi na Matokeo Kwa kucheza online bahati nasibu huchota katika OzLotteries.com? Vizuri, kwa starters, wao ahadi zote za wao Wateja; Hiyo ni kuaminiwa, kikamilifu leseni mkononi lotto jukwaa malipo salama ni uhakika Wachezaji kamwe kupoteza tiketi zao! Ni sehemu kubwa kupata matokeo ya bahati nasibu. Wao kuwasiliana washindi wote, hivyo wachezaji hawana na wasiwasi Zawadi wanalipwa moja kwa moja kwenye akaunti za watumiaji OzLotteries.com! OzLotteries.com Pia ina uhusiano nyingi na misaada mbalimbali duniani Australia, hivyo mapato yatokanayo na mengi ya kucheza mchezo kwenda kwa msaada wa sababu nzuri na mfuko wa walio na uhitaji! Ni bahati nasibu ya michezo ya kubahatisha kwa dhamiri njema – kila mtu ni kweli mshindi! Siyo tu ni oz Lotteries mahali ajabu ili kukidhi mahitaji yote ya msingi ya wale ambao wanataka kuangalia matokeo yao ya bahati nasibu online, pia kuna ajabu, Takwimu za kina bahati nasibu ya simu kwenye tovuti hiyo kuwaambia wachezaji muhimu taarifa kuhusu ni idadi ni mara nyingi zaidi au angalau mara kwa mara ilichukua, ambapo idadi ni ya faida kubwa zaidi, na zaidi! Ni njia kushangaza kuongeza kidogo ya mkakati wa namba kukusanya na online bahati nasibu kucheza mchezo! Pick Lucky Hesabu wako katika OzLotteries.com! Washindi hadithi wote wa tovuti ya kuongeza imani katika watu wangapi kweli kushinda na kuwa na ndoto zao kweli kwa OzLotteries.com juu ya huchota kama Oz Powerball! Kuna wateja wengi furaha ambao ni furaha kubwa na huduma kutoka OzLotteries, hivyo ni jambo la kushangaza kwamba tovuti ina afya 4 nje ya 5 nyota TrustPilot. Angalia Oz Lotteries Full Lotto Tathmini Hapa! Betfred Lotto – Online Simu ya Mkono Lotto Matangazo Kila Siku! Betfred.com/Lotto ni juu ya meza ya ligi linapokuja suala la mikataba kubwa, inatoa ajabu, na faida kubwa mchezaji motisha ya kuhakikisha kushinda Streaks ya watu kote mtandao! wachezaji katika Betfred Lotto unaweza kufurahia – mkubwa £ 25 kuendana bet 49'S lotto huchota kila siku Holiday Zawadi Bonus mpira Bonanza ya Betfred Mkono lotto pia kuwapa wachezaji wao uhuru wa kutumia Lotto Bima, ambayo ina maana kwamba wakati wowote mchezaji mechi tatu kati ya mipira minne, wanapata betting yao hatarini nyuma, moja kwa moja kwenye akaunti yake! Ni ajabu mkarimu ziada ambayo kwenda njia ndefu ya kuridhisha wengi zaidi online bahati nasibu gamers ambao kuchagua Betfred Lotto. Bonus mpira Bonanzas kwa tovuti inaweza kuwa na bahati online lotto wachezaji kushinda hadi 1 paundi milioni wakati! Ni rahisi kama kuokota ziada mpira, kuokota hisa, na kuokota sare, na kama mechi inafaa, wins mchezaji! Kuna usaidizi wa moja, msaada kwa wateja, Maswali ya na kurasa msaada duniani tovuti ya kujenga kabisa user-kirafiki mazingira kwa mtu yeyote mpya au uzoefu ambaye anataka kucheza lotto online saa Betfred. tovuti ni jina kubwa katika mchezo na sifa kubwa na historia ya kuwa salama, lakini wachezaji wanaweza kuona sifa kwa wenyewe katika mfumo wa vyeti uaminifu na usalama chini ya ukurasa yoyote kwenye Betfred.com/Lotto. Kucheza Betfred Mkono Lotto Leo Kwa £ 25 Free Bet! Angalia Betfred ya Full bahati nasibu Tathmini Hapa! 1 Win Mabilioni € / £ Visit Copyright © 2019. Haki zote zimehifadhiwa. | Design by Flytonic.com Themes.
2020-05-28T00:03:31
https://www.lottotrillions.com/sw/
[ -1 ]
Tanzania AsiliaLive: MGOGORO WA UCHINJAJI NYAMA BAINA YA WAKRISTOB NA WAISLAM HUKO GEITA WAPATA SULUHISHO MGOGORO WA UCHINJAJI NYAMA BAINA YA WAKRISTOB NA WAISLAM HUKO GEITA WAPATA SULUHISHO Baadhi ya viongozi wa Dini ya Kiislam na Kikristo kutoka Geita wamekaa pamoja na kuondoa tofauti zao hususan katika suala la uchinjaji wa nyama kwa ajili ya kitoweo, miongoni mwa makubaliano waliyofikia ni nyama yoyote inayochinjwa kwa ajili ya biashara wachinje waislamu lakini kwenye sherehe zinazowahusu waislam wachinje waislamu na sherehe zinazowahusu wakristo wachinje wakristo wenyewe. Hivyo sherehe zozote za kidini wasiingiliane kwenye taratibu za kidini kwa kila mmoja. Shehe Ismail Ibrahim na Mchungaji Isaya Ikiri Mhamasishaji katika mapatano hayo alikuwa ni Mkurugenzi mtendaji wa magazeti ya Global publisher bwana Erick Shigongo pamoja na Mhariri wa gazeti la Championi, katika mapatano hayo wakristo na waislamu walikumbatiana kuonesha wamemaliza tofauti zao na kisha kwa pamoja wakaungana na kwenda kwenye mechi ya fainali kati ya Buseresere na Katoro, ambapo Katoro walitwaa kombe. Kabla ya kukabidhi kombe, masheikh na wachungaji walizungumza na kusisitiza sana suala la amani pia wakazungumzia mapatano yao baada ya kikao na mashabiki waliokuwa uwanjani hapo wakashangilia. Mmoja wa viongozi wa serikali aliyehudhuria ni mbunge, Gaudencia Bukwimba CCM Ikumbukwe hivi karibuni kulikuwa na machafuko huko Geita na kusababisha kifo cha mchungaji wa PAGT Mathayo Kachira. ambapo Waziri Stephen Wasira na Waziri mkuu Mizengo Pinda walijaribu kusuluhisha mgogoro huo bila ya mafanikio Posted by faulisa at 3:09 AM
2017-11-18T02:42:21
http://asilialive.blogspot.com/2013/03/mgogoro-wa-uchinjaji-nyama-baina-ya.html
[ -1 ]
MKUU WA WILAYA AWAONGOZA WANANCHI KUCHIMBA MSINGI. Mkuu wa wilaya ya Karatu Mhe. Theresia Mahongo aliwaongoza jana wananchi wa tarafa ya Endabash na watumishi wa Halmashauri kuchimba msingi wa majengo ya kituo cha afya tayari kwa kuanza ujenzi wa majengo mapya ya wodi ya watoto, wodi ya kinamama, wodi ya wanaume na jengo la upasuaji Katika zoezi hilo aliungana na Mhe, Mbunge Willy Qambalo Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe Gerson Mnyenye, Katibu tawala wa Wilaya, Ndg Abbas Kayanda, Mkurugenzi Mtendaji,Ndg, Waziri .A. Mourice na Wakuu wa idara na vitengo kutoka Halmashauri ambao walishirikiana na wananchi waliojitokeza kuchimba msingi wa majengo hayo ya afya. Kituo hicho cha afya kimepewa million mia nne kutoka serikali kuu kwa ajili ya ukarabati wa majengo ya zamani na ujenzi wa majengo mapya. Mganga Mkuu wa Wilaya Dkt. Mustafa Waziri amesema majengo mapya yanayotarajiwa kujengwa ni pamoja na Jengo la upasuaji (Theater), Nyumba moja ya mtumishi, Jengo la kufulia (Laundry) Maabara,Wodi ya watoto, na Tanuru la kuchomea taka. Majengo yatakayofanyiwa ukarabati ni wodi ya wanawake, wodi ya wanaume, jengo la mama na mtoto (RCH) na ukarabati wa jengo la wagonjwa wa nje ( O P D) na kuweka mfumo wa maji. Wananchi wamejitolea kubeba mchanga Lori arobaini na nane, mawe Lori mia arobaini na saba, kokoto Lori themanini na sita, na kuchimba msingi wa majengo hayo na serikali wametoa mafuta lita Elfu mbili na nyundo za kupasulia Mawe. WADAU WAASWA KUSIMAMIA HAKI ZA WATOTO LUGOLA, BODABODA MNAPASWA KUFUATA SHERIA WATENDAJI: AINISHENI NYUMBA ZOTE ZILIZOPO MAENEO YENU
2019-02-23T05:28:59
http://karatudc.go.tz/new/mkuu-wa-wilaya-awaongoza-wananchi-kuchimba-msingi
[ -1 ]
KINYAIYA'S ENTERTAINMENT:: MMMH HII NAYO IMEKAA VIBAYA SANAA SASA DUUUH... MMMH HII NAYO IMEKAA VIBAYA SANAA SASA DUUUH... WAZIRI wa Nishati na Madini, William Ngeleja amesema kwamba hawezi kujiuzulu kwa tatizo la bajeti yake kukwama bungeni akisema tatizo la umeme si lake peke yake, bali Serikali nzima. Ngeleja alisema jana mara baada ya kuahirishwa kwa Bunge juzi jioni kwamba: "Hilo sidhani kama ni muhimu. Muhimu hapa ni kutekeleza maagizo na ushauri wa wabunge kwa Serikali. Wabunge wamesema wanataka umeme na jinsi Serikali inavyoweza kuja na mpango wa dharura wa kuondokana na giza." Alipoelezwa kuwa miongoni mwa mapendekezo ya wabunge ni kumtaka ajiuzulu ili kupisha watu wengine wenye uwezo wa kuongoza wizara hiyo, alisema hilo kwa sasa siyo kipaumbele na kwamba kujiuzulu kwake hakuwezi kusaidia kuondoa tatizo lililopo."Tunakwenda kujipanga upya na baada ya wiki tatu tutarudi na majibu mazuri kwani tatizo ni fedha kidogo ambazo zilitengwa kwa ajili ya wizara yangu, sasa si mmemsikia Waziri Mkuu, (Mizengo Pinda) ameshasema nyie tupeni nafasi tunakwenda kutekeleza hayo," alisema Ngeleja na kuongeza: "Bajeti ni ya Serikali si ya wizara ya nishati pekee, hivyo mimi si kwamba ndiye niliyetenga fedha hizo zinazosemwa kwamba hazitoshelezi, lakini hayo si muhimu kwa sasa, muhimu ni kwamba tumepewa fursa nyingine tunakwenda kukaa ili kuona jinsi tunavyoweza kutoka hapa." Shinikizo la kumtaka Ngeleja aachie ngazi lilitokana na kikao cha wabunge wa CCM ambao walikutana juzi mchana na kudai kwamba waziri huyo amewatia aibu kwa kushindwa kutekeleza wajibu wake kiasi cha kuilazimisha Serikali kuondoa bajeti yake bungeni. Juzi, Pinda aliondoa hoja ya Waziri wa Nishati na Madini Bungeni akisema hatua hiyo inatokana na hoja nzito zilizotolewa na wabunge wakitaka Serikali kuwasilisha bungeni mpango unaotekelezeka wa kuliondoa taifa gizani kutokana na mgawo wa umeme unaondelea.Mkulo atema cheche Akizungumzia suala hilo la kujipanga upya na kuja na bajeti bora zaidi itakayokuwa na majibu juu ya tatizo la nishati, Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo alisema jana kwamba: "Waziri Mkuu hakusema kwamba tutaongeza bajeti kwa ajili ya kupatikana kwa umeme, bali alisema tutatafuta njia za kuondokana na tatizo la umeme nchini. Njia za kutatua mgawo wa umeme uliopo ni nyingi siyo lazima uongeze fedha za uwekezaji mpya."Mkulo alisema anaishangaa Wizara ya Nishati na Madini kwa kushindwa kuweka katika bajeti yao njia zisizohitaji fedha za umma kuwekeza ambazo zinaruhusu uwekezaji wa sekta binafsi katika sekta hiyo. "Tulipitisha hapa bungeni Sheria ya PPP, yaani Public Private Patnership (Ushirikiano wa Sekta za Umma na Binafsi), hii inaruhusu sekta binafsi kuwekeza katika miradi ya umeme," alisema Mkulo na kuongeza:"Ngoja nikwambie, mimi nilikuwa China siku chache zilizopita, pale kuna makampuni manne yako tayari kuja Tanzania kuwekeza bila hata Serikali kutoa senti tano halafu wauze umeme wao Tanesco, sasa hapo si lazima Serikali itoe fedha za mtaji". Mkulo alisema uwekezaji wa Serikali katika uzalishaji wa umeme unaongeza mzigo kwa watumiaji wa nishati hiyo na kwamba ingekuwa vyema Wizara ya Nishati ikatumia mfumo wa kuruhusu wawekezaji ambao wanakuja na mitaji yao. "Tukitumia njia hii, suala la umeme tunaweza kuondokana nalo katika muda mfupi tu usiozidi miezi minne,"alisemaMkulo. Mgogoro wa KanuniKuondolewa bungeni kwa Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini kunaashiria mgogoro wa kikanuni baada ya Kamati ya Uongozi ya Bunge iliyokutana juzi jioni chini ya Uenyekiti wa Spika wa Bunge, Anne Makinda kushindwa kukubaliana jinsi ambavyo hoja hiyo itarejeshwa bungeni baada ya kuondolewa chini ya Kanuni ya 69 (1) na 69(2). Kwa mujibu wa marekebisho ya tatu ya ratiba ya Bunge la Bajeti yaliyofanywa juzi jioni na ratiba mpya kutolewa jana, hoja ya Wizara ya Nishati na Madini iliyoondolewa juzi, sasa itajadiliwa Jumamosi, Agosti 13, 2011.Habari kutoka katika kikao hicho kilichofanyika mara tu baada ya Bunge kuahirishwa juzi jioni, suala la jinsi ya kuwasilisha upya hoja hiyo liliibuliwa na baadhi ya wajumbe na kwamba Spika alisema hoja hiyo itaanza kwa mawaziri husika kuwasilisha maelezo ya mpango wa dharura wa kukabiliana na uhaba wa umeme. Kwa mujibu wa taarifa hizo, baada ya waziri kuwasilisha mpango huo, ataendelea kujibu baadhi ya hoja za wabunge na baadaye Bunge litakaa kama kamati ili kupitisha bajeti hiyo. Hata hivyo, baadhi ya wajumbe waliozungumza kwa masharti ya kutotajwa majina walitofautina na msimamo huo wa Spika. "Spika alisema hivyo ingawa mimi sikubaliani naye, hapa kuna mgogoro wa kikanuni kwani kanuni hazisemi kitu jinsi ya kurejeshwa kwa hoja iliyoondolewa bungeni," alisema mmoja wa wajumbe wa Kamati ya Uongozi.Spika Makinda hakupatikana jana kutoa ufafanuzi wa suala hilo kwani alikwenda Kongwa kuhudhuria mazishi ya bibi mlezi wa Naibu Spika, Job Ndugai. Kutokana na utata huo wa kikanuni hueda Spika akafuata utaratibu uliotumiwa na mtangulizi wake, Samuel Sitta, Julai 2009 wakati Serikali ilipolazimika kuondoa bungeni Bajeti ya Wizara ya Miundombinu wakati huo baada ya wabunge kuikataa.Mgogoro wa 2009 Julai 2, 2009 aliyekuwa, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), Phillip Marmo alilazimika kuondoa bungeni hoja ya Wizara ya Miundombinu baada ya aliyekuwa Mbunge wa Ilemela, Anthony Diallo kuwasilisha mapendekezo ya kufanya marekebisho makubwa. Waziri wa Miundombinu wakati huo, Dk Shukuru Kawambwa alikuwa amewasilisha makadirio ya matumizi ya wizara yake lakini wabunge wakiongozwa na Diallo waliikataa wakidai kwamba rafu ilikuwa imechezwa katika mgawo wa fedha za ujenzi wa barabara nchini.Kama ilivyokuwa katika Wizara ya Nishati na Madini juzi, wabunge wengi hawakuunga mkono hotuba ya Dk Kawambwa na kushinikiza yafanyike mabadiliko makubwa ambayo yaliifanya Serikali kuondoa hoja yake na kwenda kujipanga upya. Hoja ya Diallo ilikuwa ikisababisha kuwepo kwa mabadiliko ya matumizi ya kiasi kikubwa cha fedha, hivyo Spika Sitta aliielekeza Serikali kukutana na Kamati ya Miundombinu ambayo wakati huo ilikuwa chini ya Mohamed Missanga ili kufikia mwafaka. Bajeti hiyo ilipitishwa Julai 4, 2009 siku ya Jumamosi na ikipata wakati mgumu kutokana na maoni mengi yaliyoibuliwa na wabunge wakati Bunge lilipokaa kama Kamati ya Matumizi, chini ya Mwenyekiti Sitta.Kabla ya Bunge kukaa kama Kamati ya Matumizi, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu, Missanga, alisoma taarifa ya kamati yake kuhusu hoja ya Diallo ya kufanya mabadiliko katika matumizi ya fedha za miradi ya maendeleo kwa mwaka wa fedha 2009/10.Katika mchakato huo, Diallo alipewa nafasi ya kutosha mbele ya Kamati na baadaye Waziri Kawambwa kutoa maelezo ambayo yaliwezesha Bunge na Serikali kukubaliana jinsi ya kutatua mgogoro uliokuwepo wakati huo. Kutokana na uzoefu huo, upo uwezekano mkubwa kwa Spika Makinda kuamua kuipa nafasi Kamati ya Bunge ili itoe maoni kuhusu mpango mpya wa Serikali katika kukabiliana na tatizo la umeme kabla ya Bunge kukaa kama kamati na kupitia bajeti hiyo kwa vifungu.Kadhalika, upungufu wa kanuni unaojiokeza sasa unaashiria kuwapo kwa umuhimu wa kanuni hizo kupitiwa upya, ili kukidhi matakwa ya kimatukio yanayojitokeza sasa hivyo kumpa nafasi kubwa Spika kuamua jambo "kadri anavyoona inafaa". Posted by
2017-07-26T20:46:49
http://kinyaiyas.blogspot.com/2011/07/mmmh-hii-nayo-imekaa-vibaya-sanaa-sasa.html
[ -1 ]
SuperD Boxing Coach: BABU WA MIAKA 63 AMPIGA KO RAUNDI YA PILI 'DOGO' WA MIAKA 33 BABU WA MIAKA 63 AMPIGA KO RAUNDI YA PILI 'DOGO' WA MIAKA 33 KAMA ingekuwa sinema ya Hollywood, ingekuwa bomba sana. Lakini Mickey Rourke hakuwa anaigiza jana wakati alipopanda ulingoni baada ya miaka 20 ya kuachana na ndiondi na kumpa mtu kichapo. Mzee huyo mwenye umri wa miaka 62 alizipiga na Elliot Seymour, mwenye umri wa miaka 33, katika pambano la raundi tano Moscow, Urusi. Rourke alihitaji randi mbili tu kumsimamisha mpinzani wake ambaye alianguka chini baada ya kupewa 'mkono mkali' wa mtu mzima huyo. Baada ya mapambano 30 katika ngumi za Ridhaa, miaka ya 1960 hadi 70, ambayo alipoteza matatu tu, Rourke alihamia kwenye kucheza filamu Hollywood, kabla ya kurejea kwenye mchezo kama bondia wa kulipwa miaka ya 90, ambayo ilimsababisha athari usoni mwake na kulazimika kufanyiwa upasuaji uliobadilisha mwonekano wa sura yake. Alishinda pambano moja tu kati ya tisa ya kulipwa. Nyota wa Hollywood, Mickey Rourke akiinuliwa mkono kutangazwa mshindi baada ya kumkalisha Elliot Seymour raundi ya pili PICHA ZAIDI NENDA: http://www.dailymail.co.uk/sport/boxing/article-2853572/Hollywood-star-Mickey-Rourke-makes-victorious-return-ring-beating-Elliot-Seymour-two-rounds.html#ixzz3KTEUZX8U Posted by
2017-06-27T02:04:05
http://superdboxingcoach.blogspot.com/2014/11/babu-wa-miaka-63-ampiga-ko-raundi-ya.html
[ -1 ]
WAZIRI NAPE ATOA WITO KWA WADAU KUTOA MAONI ILI KUUBORESHA MUSWADA WA SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI WA MWAKA 2016. - JIACHIE WAZIRI NAPE ATOA WITO KWA WADAU KUTOA MAONI ILI KUUBORESHA MUSWADA WA SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI WA MWAKA 2016. - JIACHIE Home > TAARIFA MBALIMBALI > WAZIRI NAPE ATOA WITO KWA WADAU KUTOA MAONI ILI KUUBORESHA MUSWADA WA SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI WA MWAKA 2016. Item Reviewed: WAZIRI NAPE ATOA WITO KWA WADAU KUTOA MAONI ILI KUUBORESHA MUSWADA WA SHERIA YA HUDUMA ZA HABARI WA MWAKA 2016. Rating: 5 Reviewed By: Ahmad Michuzi
2018-02-24T07:42:53
http://michuzijr.blogspot.com/2016/09/waziri-nape-atoa-wito-kwa-wadau-kutoa.html
[ -1 ]
UKIONA MWENZIO ANANYOLEWA........... Kuna msemo wa kiswahili unaosema;Ukiona mwenzio ananyolewa na wewe tia maji.Maana yake ni kwamba na wewe jiandae kwa zamu yako.Wingu la siasa la nchi jirani na Tanzania ya Kenya,mshirika wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki,limejaa moshi wa rushwa.Ni kashfa ya rushwa ambayo ni tishio la kisiasa,kijamii na vile vile kiuchumi kwa nchi ya Kenya ambayo katika miaka fulani ilikuwa ndio Afrika Kusini ya leo hususani suala la uchumi wa Afrika linapotajwa.Kama umewahi kuona zile sinema za Al Pacino za GodFather,unaweza kuwa na wakati mgumu kuitofautisha "dossier" ya bwana John Githongo (pichani kulia) ambaye ndiye alikuwa mpuliza kipyenga mkuu wa serikali ya Mwai Kibaki(pichani kushoto) kabla hajajiuzulu akiwa tayari keshakimbilia nchini Uingereza kuepusha roho yake ambayo inaaminika tayari ilikuwa na dau kubwa.Isome dossier nzima hapa. Nina uhakika kabisa watengeneza sinema wa Hollywood watakuwa washaanza kuandika "script" yake ili kufyatua kashfa hiyo kwenye sinema.Ukiisoma "dossier" hiyo unaweza kujiuliza je Githongo wa Tanzania ataibuka lini?Kuna tofauti kati ya jinsi serikali ya Kenya inavyofanya" biziness" na jinsi Tanzania inavyofanya hivi leo?Nani anashughulika na deal za silaha kwa jeshi letu?Kuna kampuni ngapi hewa nchini Tanzania ambazo zinanyonya uchumi wa serikali huku kina fulani na fulani wanajua kinachoendelea?Je Githongo angeamua kuwa kunguru na kuchukua "kilicho chake" mambo haya yangeendelea mpaka lini na wapi?Je huu ni mwisho?Tutie maji huku tukiomba Githongo wetu ajitokeze mapema iwezekanavyo. Muandishi: Jeff Msangi |Tarehe: 6:56 PM | Permalink | Maoni: 2 Tarehe: 5:30:00 AM, Mtoa Maoni:- mark msaki Kaka Jeff. nimemsoma huyu bwana. githong'o ni mwanamme. alipata appointment akiwa 37 years old! nadhani hapo utanielewa ninaposema ukombozi uko kwa wale vijana waliokuwa pale cafe wanachezea kompyuta na sio wazee! sina maana kuwa hawapo, walikuwapo ila hawakupata support - unadhani mashirika yetu yalikufaje? unadhani mikataba hii haikuwepo? tofauti ya Kenya na tanzania ni kwamba umafia wa tanzania ni mkali zaidi. ona mpaka leo hakuna gazeti linalomjadili mtu..tofauti na Kenya ambapo jamii iko macho, na vyombo vya habari vinafanya kazi inavyotakiwa, pia kuna vyama vingi. tanzania walikuwapo, Moringe hakuchukua raundi tangu atangaze kuwa anaibua kimbembe akirudi DAr, Mrema alijikuta anafutika kazi kwa kutokubali kufacilitate rushwa ya serekali ya Cleopa Msuya! kwa kutofuata collective responsibility !! nilisikia fununu kuwa Jen. Kombe naye alitolewa muhanga kwa ajili ya skando ya mil. 900...cha ajabu Tanzania ni kuwa utaposimama na kujaribu kusema umma utakuzomea na kukuita mpinzani....kwani unadhani kwanini Omari Mahita hajaguswa mpaka leo? watanzania kweli tumelogwa!!...na asubuhi ni mnazi badala ya chai!!wanachosema kinachoifanya Kenya kuonekana kuna rushwa zaidi ni uhuru zaidi walionao kuliko sisi, lakini inawezekana kabisa kuwa iko kubwa zaidi kwetu!la pili ni hili la kung'ang'ania madaraka? je unahitaji hizo hela ili upate madaraka? dunia nayo inakwenda kasi...naona watatulazimisha tuombe wazee wafe haraka haraka (kama tusipotangulia sisi) ili uhuni huu uishe!siasa za afrika ni uhuni. kabaki mchovu mmoja anaitwa Mugabe! mtu kazeeka anajifanya bado wamo. hakuna lolote pale! mashamba amenyang'aya wazungu kawapa wajomba zake na watu wa karibu, wamefukua mabomba, wamechinja mg'ombe za maziwa wakala nyama, wakaenda bar na matrekta! naye nasikia anaumwa umwa namuombea aishie haraka - kama sitatangulia mimi!Wakenya kama wanajua cha kufanya, wamuite Githongo wampe nchi. nasikia Kibaki hapati tena, labda Nyachae wanamfikiria..tatizo la Afrika huja pale ambapo wanataka waone una mvi za kutosha kabla ya kukupa nchi! ukishafika hapo unafikiria benefiti za uzeeni tu!umenifanya niandike makala mida hii maana sikuwa kwenye mudi. kila la kheri! Tarehe: 2:54:00 PM, Mtoa Maoni:- John Mwaipopo U-Githogo wataka moyo. Lazima mtu ajikane na awe jasiri na juu ya yote aipendayo nchi kwa dhati na si kwa muonekano.Pengine Githogo alipata ujasiri kwa kujua kuko kwa kukimbilia, Uingereza.Kwa Tanzania suala hili ni time-Bomb maana watanzania wengi hatujui ama tunaogopa kuanzisha suala fulani, mpaka lianzishwe kwingine alakini laonekana li-njiani.Wakenya hawa hawa walianzisha muunganiko wa vyama NARC. Wapinzani wa Bongo nao wakataka kuigiza kitu kama hicho.Kwa lugha nyingine, sisi ni waigilizaji. Ila iwapo atatokeza Githogo wa Tanzania hili litakuwa jambo la kheri. Hofu yangu ni njaa na tamaa tulizonazo za mali na fedha. Wakina Sokoine na Mrema siku hizi ni haba, pengine wapo lakini wanalambishwa asali kwanza."Yana mwisho haya" (Shafi A. Shafi-Kuli)
2017-05-25T19:56:46
http://harakati.blogspot.com/2006/02/ukiona-mwenzio-ananyolewa.html
[ -1 ]
Deus Bugaywa Maandiko 33 ya Deus Bugaywa yanapatikana kwenye tovuti. Kardinali Rugambwa ‘mwislamu’ aliyebatizwa Habari Toleo na 262 Wasomaji 3,806 Maoni 4 Pengo kutoshiriki maziko ya Kardinali Rugambwa Habari Toleo na 261 Wasomaji 3,714 Maoni 1 Waziri Sitta, Zitto wapimana ubavu Kirumba jijini Mwanza Makala Toleo na 230 Wasomaji 3,629 Maoni 3 Migogoro yatishia uhai wa CHADEMA Habari Toleo na 260 Wasomaji 3,516 Maoni 3 CHADEMA yatikisa mashabiki wake Habari Toleo na 258 Wasomaji 3,275 Maoni 2 Utajiri wa Gachuma, Airo watumika kushawishi wapiga kura Kirumba Makala Toleo na 232 Wasomaji 2,975 Maoni 2 CHADEMA yalilia kura za CUF kutwaa umeya Habari Toleo na 259 Wasomaji 2,490 Maoni 0 Meya Matata azua matata Mwanza Habari Toleo na 268 Wasomaji 2,366 Maoni 4 Mkakati wa CCM kwa vijana waingia shubiri Makala Toleo na 242 Wasomaji 2,359 Maoni 0 Mhadhiri amvaa Magufuli Habari Toleo na 270 Wasomaji 2,186 Maoni 1 CCM, CHADEMA wavutana umeya Mwanza Habari Toleo na 252 Wasomaji 2,144 Maoni 0 CHADEMA ni mpango wa Mungu - Mbowe Habari Toleo na 283 Wasomaji 1,965 Maoni 0 Ripoti ya CAG yazua mtafaruku CCM Mwanza Habari Toleo na 250 Wasomaji 1,941 Maoni 0 Utajiri wa dhahabu wageuka laana Geita Habari Toleo na 237 Wasomaji 1,917 Maoni 0 Wenje awasuluhisha CCM, CHADEMA Habari Toleo na 234 Wasomaji 1,834 Maoni 0 Rafu za CCM, CHADEMA zaivuruga Mwanza Habari Toleo na 273 Wasomaji 1,831 Maoni 1 Wavuvi wagomea bei za samaki Habari Toleo na 244 Wasomaji 1,413 Maoni 0 Saanane Island kukuza utalii Mwanza Habari Toleo na 238 Wasomaji 1,369 Maoni 0 600 waliofeli waandikishwa kusoma sekondari za serikali Habari Toleo na 251 Wasomaji 1,183 Maoni 0 CCM yawatuhumu wanaohamia CHADEMA Makala Toleo na 239 Wasomaji 1,167 Maoni 1 Pages1
2013-05-25T18:27:18
http://www.raiamwema.co.tz/?q=mwandishi/deus-bugaywa
[ -1 ]
Mgonjwa aliyelazwa kwenye koma (ICU) na Ramadhaan | Firqatu Nnajia Mgonjwa aliyelazwa kwenye koma (ICU) na Ramadhaan Swali: Kuna mwanamke alilazwa kwenye koma mwanzoni mwa Ramadhaan mpaka sasa bado yuko kwenye koma. Ni wajibu kumlishizia au swawm kwake imeanguka au tufanye nini? Jibu: Mwanamke huyu ambaye amelazwa kwenye koma ikiwa kuna matarajio na yeye kuamka basi kusubiriwe mpaka aamke. Ama ikiwa hakuna matarajio ya yeye kuamka basi alishiziwe kwa kila siku moja masikini mmoja. Ikiwa hakuna matarajio ya yeye kuamka anaingia katika jumla ya wagonjwa na anakuwa ni mwenye maradhi ambayo hayatarajiwi kwake kupona. Mgonjwa mwenye maradhi yasiyotarajiwa kupona anatolewa chakula kwa kila siku moja masikini. Lakini ikiwa kuna matarajio ya yeye kuamka na kupata afya basi wasubiri mpaka aamke. Tunamuomba Allaah afya. Marejeo: al-Liqaa' ash-Shahriy (41) http://binothaimeen.net/content/1598 Imechapishwa: 30/05/2018 Mgonjwa aliyelazwa kwenye koma (ICU) na Ramadhaan Swali: Kuna mwanamke alilazwa kwenye koma mwanzoni mwa Ramadhaan mpaka sasa bado yuko kwenye koma. Ni wajibu kumlishizia au swawm kwake imeanguka au tufanye nini? Jibu: Mwanamke huyu ambaye amelazwa kwenye koma ikiwa kuna matarajio na yeye kuamka basi kusubiriwe mpaka aamke. Ama ikiwa hakuna matarajio ya yeye kuamka basi alishiziwe kwa kila siku moja masikini mmoja. Ikiwa hakuna matarajio ya yeye kuamka anaingia katika jumla ya wagonjwa na anakuwa ni mwenye maradhi ambayo hayatarajiwi kwake kupona. Mgonjwa mwenye maradhi yasiyotarajiwa kupona anatolewa chakula kwa kila siku moja masikini. Lakini ikiwa kuna matarajio ya yeye kuamka na kupata afya basi wasubiri mpaka aamke. Tunamuomba Allaah afya. Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn Mfasiri: Firqatunnajia.com Marejeo: al-Liqaa' ash-Shahriy (41) http://binothaimeen.net/content/1598 Imechapishwa: 30/05/2018 http://firqatunnajia.com/mgonjwa-aliyelazwa-kwenye-koma-icu-na-ramadhaan/ Ibn ´Uthaymiyn mgonjwa wa pumu kutumia sprei mchana wa Ramadhaan Fatwa juu ya mambo yanayoharibu swawm na mengineyo (57) Madhambi katika Ramadhaan (10) Mgonjwa katika Ramadhaan (35)
2018-06-25T18:03:47
http://firqatunnajia.com/mgonjwa-aliyelazwa-kwenye-koma-icu-na-ramadhaan/
[ -1 ]
RAIS NA MWENYEKITI WA CCM TAIFA DKT. MAGUFULI AKUTANA NA VIONGOZI WAPYA WA CHAMA | Lukwangule Entertainment RAIS NA MWENYEKITI WA CCM TAIFA DKT. MAGUFULI AKUTANA NA VIONGOZI WAPYA WA CHAMA lukwangule Taifa Rais Dk John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mteule Mhe. Kisare Makori akishuhudiwa na viongozi wapya wa CCM aliowateua hivi karibuni. Kutoka kulia ni Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Humphrey Polepole, Katibu NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Ngemela Eslom Lubinga na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Ndg. Rodrick Mpogolo walipoenda kujitambulisha Ikulu jijini Dar es salaam leo Desemba 20, 2016. Taifa Rais Dkt John Pombe Magufuli akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mteule Mhe. Kisare Makori (kushoto) pamoja na viongozi wapya wa CCM aliowateua hivi karibuni. Kutoka kulia ni Katibu wa Itikadi na Ubungo Mteule Mhe. Kisare Makori (kushoto) akibadilishana mawasiliano na na viongozi wapya wa CCM walioteuliwa hivi karibuni. Kutoka kulia ni Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Humphrey Polepole, Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Ndg. Rodrick Mpogolo na Katibu NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Kanali Ngemela Eslom Lubinga walipoenda kujitambulisha kwa Mwenyekiti wa CCM Rais Dkt John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam leo Desemba 20, 2016.
2017-07-26T10:41:52
http://lukwangule.blogspot.com/2016/12/rais-na-mwenyekiti-wa-ccm-taifa-dkt.html
[ -1 ]
BENKI KUU YA TANZANIA (BoT) YACHUKUA USIMAMIZI WA BENKI YA TWIGA BAADA YA KUFILISIKA - SUFIANIMAFOTO Kesho Jumamosi ya March 25 2017 timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars itacheza mchezo wake wa kirafiki katika uwanja wa Taifa Dar es Salaam dhidi ya timu... Wazalendo 25 Blog , is a Social Media which gives our Audience current News, Entertainment and Advertisements. 16 hours ago
2017-03-24T21:54:10
http://www.sufianimafoto.com/2016/10/benki-kuu-ya-tanzania-bot-yachukua.html
[ -1 ]