text
stringlengths
44
187k
timestamp
timestamp[us]
url
stringlengths
16
3.37k
dup_ids
list
Droo ya robo fainali za UEFA Europa | Bahari News Home Sports Droo ya robo fainali za UEFA Europa Droo ya robo fainali za ligi ya UEFA Europa Baada ya michuano ya kuwania kombe la Europa awamu ya kumi na sita bora kukamilika, sasa droo ya timu nane zilizojikatia tiketi ya kucheza robo fainali imetoka. Timu za Chelsea na Arsenal kutoka Uingereza zitamenyana na Slavia Prague kutoka Czech na Napoli ya Italia mtawalia. Robo fainali hizi zitachezwa tarehe 11 na 18 mwezi Aprili, nusu fainali zisakatwe tarehe 2 na 9 mwezi Mei na kisha fainali zichezewe huko Baku Mei 29. DROO YA ROBO FAINALI ZA LIGI YA EUROPA Napoli (Italia) vs Arsenal (Uingereza) Villarreal (Uhispania) vs Valencia (Uhispania) Benfica (Ureno) vs Eintracht Frankfurt (Ujerumani) Slavia Prague (Jamhuri ya Czech ) vs Chelsea (Uingereza) Previous articleDroo ya robo fainali za Ligi ya Mabingwa barani Ulaya yatoka Next articleMgomo wa wahudumu wa matatu, Kathiani kaunti ya Machakos President Uhuru Kenyatta FULL State of the Nation Address at Parliament “Respect President Kenyatta and our People my friend,” DP Ruto told by Jubilee women Rep Those who have registered for Huduma Namba are severely suffering, a man claims as...
2020-05-30T09:03:25
https://www.bahari.co.ke/droo-ya-robo-fainali-za-uefa-europa/
[ -1 ]
LIPUMBA AISHIWA PUMZI MAHAKAMANI; - Mzalendo.net LIPUMBA AISHIWA PUMZI MAHAKAMANI; TAARIFA KUTOKA MAHAKAMA KUU- (CUF-CHAMA CHA WANANCHI) TAREHE 7 SEPTEMBER, 2018  Wakili wake Mashaka Ngole akacha kufika mahakamani kama mbinu ya kuchelewesha maamuzi ya mahakama kwa hofu ya kupata kipigo cha kisheria.  Asingizia kuwa mgonjwa, mahakama yataka kujua hospitali alikolazwa na kuamuru awe amepatikana ifikapo saa 8.00 mchana. Yagundulika kuwa amejificha Arusha na kuzima siku yake ya mkononi.  Mahakama yatupilia mbali mapingamizi yake. SHAURI KUHUSU WABUNGE VITI MAALUMU KUAMULIWA TAREHE 5 OKTOBA, 2018 Alkhamis Tarehe 6/8/2018 yaliitwa mashauri matatu yafuatayo; 1) Shauri Na. 248/2018 (Joran Bashange/Nassoro Mazrui dhidi ya Lipumba na wenzake 15) 2) Shauri Na. 84/2018 (Joran Bashange/Nassoro Mazrui dhidi ya Lipumba na wenzake 15) 3) Shauri la Wabunge wa CUF (Abdallah Mtolea na wenzake 19 dhidi ya Lipumba na wenzake) Mashauri Na.248/2018 na Na. 84/2018 yaliitwa mbele ya Mheshimiwa Jaji Magoiga wakati shauri la Wabunge 19 liliitwa mbele ya Mheshimiwa Jaji Arufani. 1) Shauri Na.248/2018 ni shauri dogo linalotokana na shauri la msingi Na. 84/2018 (linaloomba zuio la kuitishwa Mkutano Mkuu wa Taifa feki wa Lipumba) shauri hili lilikuja kwa ajili ya kusikiliza hoja za awali za pingamizi (Points of Preliminary Objection) zilizowasilishwa na Mashaka Ngole (mshitakiwa Na. 2) akipinga kusikilizwa kwa shauri hilo na kuiomba mahakama ilitupilie mbali. Amri ya kusikilizwa hoja za awali ilitolewa na mahakama tarehe 27/8/2018 kufuatia ombi la Mashaka Ngole mwenyewe. Katika hali ya kushangaza Mashaka Ngole hakufika mahakamani akituma taarifa ya kuuguliwa. Mahakama iliamuru apigiwe simu kutaka kufahamu lini anaweza kupatikana ili kupanga tarehe nyingine ya kusikiliza hoja zake za awali, lakini simu yake ilikuwa imezimwa. Mahakama imepanga kusikilza hoja za awali tarehe 3/10/2018. 2) Shauri Na. 84/2018 litaitwa tena kwa kutajwa tarehe 3/10/2018. 3) Shauri la Wabunge wa majimbo 19 la mwaka 2017 linahusu ombi la kupata kibali (leave) kuomba marejeo Mahakama ya Rufaa kutokana na uamuzi wa Mahakama Kuu katika shauri Na.21/2017 la wabunge wa majimbo 19. Hoja za awali zilizokuwa zimewasilishwa na Mashaka Ngole ZIMETUPILIWA MBALI kutokana na Mashaka Ngole kuikimbia kesi kwa kutofika mahakamani bila sababu za msingi kwa mara kadhaa. Uamuzi huo ulitolewa na mahakama baada ya jitihada zote za kumpata kushindikana hata baada ya kuhairisha shauri mpaka saa 8.00 mchana. Katika hali ya kustaajabisha, wakati katika shauri Na. 248/2018 ilitolewa taarifa kuwa amesafiri kwenda Arusha kwa matatizo ya kifamilia, hapa mtoa taarifa alisema Mashaka Ngole ni mgonjwa tangu mwezi Julai, 2018 na alikuwa amelazwa. Mahakama ilipotaka kufahamu anatibiwa hospitali gani ndipo, mtoa taarifa alipobabaika hali ilyodhihirisha kuwa hakuwa anatoa taarifa sahihi mbele ya Mahakama. Washitakiwa katika mashauri Na. 248/2018 na Na. 84/2018 ni hawa wafuatao; Prof. Ibrahim Haruna Lipumba, Mashaka Ngole (Mwenyekiti Kamati ya Nidhamu na Maadili ya Mungiki kinyume na Katiba ya CUF Ibara ya 92(1)(c), Magdalena Sakaya, Abdul Juma Kambaya, Jafari Mneke, Thomas D.C.Malima, Omar Muhina Masoud, Salma Masoud, Haroub Mohamed Shamsi, Khalifa Suleiman Khalifa, Mohamed Habib Mnyaa, Nassoro Seif Amour, Thiney Juma Mohamed, Rukia Kassim Ahmed, Kapasha H. Kapasha, Na Maftaha Nachuma. Hoja za awali za mashaka Ngole kupinga shauri Na. 248/2018 a) Shauri Na. 248/2018 lisisikilizwe kwa kuwa linapingana na kifungu Na. 21 cha sheria ya vyama vya siasa sura 258 ikisomwa kwa pamoja na ibara ya 98(4) ya Katiba ya CUF-Chama cha Wananchi. b) Shauri Na. 248/2018 lisisikilizwe kwa kutomuunganisha mdaawa mahsusi. c) Waleta maombi hawana mamlaka (locus stand) kuleta shauri Na. 248/2018 mahakamani dhidi ya wajibu maombi. Ratiba ya mashauri mengine italetwa kwa kadri Majaji watakapokuwa wakipangwa. +255 715 062 577 / +255 767 062 577 Oman kuendelea kuisaidia Z’bar – Dk. Hamed YANAYOJIRI MSIKITI WA MBUYUNI HIVI SASA By zenj Breaking News:SMZ yapiga Marufuku Maalim Seif Kuzungumza Msikitini chatumpevu chatumpevu 8 Septemba, 2018 at 06:07 Jibu Nionavyo uendeshaji wa kesi unacheleweshwa kwa makusudi kutokana na collusion iliyopangwa kati ya msajili wa vyama vyama vya siasa, serikali za CCM znz na T/ Bara na kundi la haramia Lipumba. Haingii akilini kuwa kila siku wakili wa Lipumba anakuwa na dharura inapoendeshwa kes hii. Huo ni mpango maalum unaoratibiwa vzr na waovu hao niliowataja na siajabu itakapotajwa tena tutaambiwa wakili yuko masomoni ulaya. Pima na upime tena kwa nin yuel jaji wa mwanzo Dyansobera aliyekuwa akiindesha kesi hii alihamishiwa Mtwara? ni kwa sababu alikuwa akiiendesha kesi hii kwa kuzingatia sheria inavyotakana ; na ukweli kuwa kesi hii ilionekana kuwa imemkalia vibaya panya huyu Lipumba. Mpango uliop hapa ni delaying techniques iliifike mwaka 2020 ambao kisheria kama kesi haijapatiwa jibu itaibua masuala mengi yatakayotumika kuwekea pingamizi CUF ya maalim. Namuomba Allah awape lana zilizopita mipaka wale wte wanaohusika kuharibu kesi hizi zilizofunguliwa na CUF ya maalim. Vuai 9 Septemba, 2018 at 05:09 Jibu Hii episode ya ngapi? Huu sasa umekuwa ni mchezo, case utafikiri ya mauwaji? Wakati ushahidi upo, watuhumiwa wapo, none sense chatumpevu chatumpevu 9 Septemba, 2018 at 12:09 Jibu Ndg yangu ngoma hii itapelekwa mpka mwaka 2020. Kesi hii haitatolewa maamuzi na inawekwa kama ni mtego wa kunguru na huku wakitafuta namna bora ya kutumia vipengekele na argument za kisheria zisizo na mashiko za kuumiza upande wa maalim seif. Si vyenginevyo. Hakukuwa na sababu yakumhamishia Mtwara jaji Dyansobera na huyo mlevi aliyeletwa kuchukua nafasi ya Dyansobera ameshalishwa mkakati wote wa uendeshaji wa kesi hii. Namuomba Mungu awape upofu na kila aina ya ubaya wale wote wanaiodhulumu CUF .
2018-09-20T08:58:03
https://www.mzalendo.net/habari/lipumba-aishiwa-pumzi-mahakamani.html
[ -1 ]
HABARI MSETO BLOG: WAPENDANAO WA TATU MZUKA WAZIDI KUJIZOELEA MAMILIONI WAPENDANAO WA TATU MZUKA WAZIDI KUJIZOELEA MAMILIONI Msanii wa muziki wa kizazi kipya atambulikae kwa jina la Aslay akimhoji mmoja wa wapendanao Mwanaidi Msangi ambaye alikuwa ni mmoja kati ya Washindi na Mpenzi wake Kelvini Gibson pichani kulia.Wakazi hao wa Buguruni malapa walijinyakuliwa milioni kumi na kugawana kila mmoja milioni tano,kulia ni msanii wa muziki wa kizazi kipya atambulikae kwa jina la kisanii Nandy Kulia ni msanii wa muziki wa kizazi kipya atambulikae kwa jina la kisanii Nandy akimhoji mmoja wa wapenda nao Kelvini Gibson,wakazi wa Buguruni malapa waliojinyakuliwa milioni tano tano kwa kila mmoja mwishoni mwa wiki,katika kushiriki kampeni ya Wapendanao ilionzishwa na mchezo huo wa kubahatisha wa Tatu Mzuka,uliobeba kauli mbiu iliyojulikana kwa jina la 'Ukishinda na umpendae anashinda' ,kushoto ni Msanii wa muziki wa kizazi kipya atambulikae kwa jina Aslay Wawili wapenda nao Mwanaidi Msangi pamoja na Kelvin Gibson wakiwa sambamba katika picha ya pamoja huku wakiwa wameshika mfano wa hundi ya shilingi milioni Kumi waliojishindia kwenye muendelezo wa kampeni ya Wapendanao ilioanzishwa na Tatu Mzuka, Kulia ni msanii wa muziki wa kizazi kipya atambulikae kwa jina la kisanii Nandy pamoja na Msanii wa muziki wa kizazi kipya atambulikae kwa jina la Aslay,ambao kwa pamoja wanatarajiwa kutumbuiza jumamosi hii katika ufukwe wa kiota cha maraha cha Escape One,Mikocheni jijini Dar. Imewekwa na: Francis Dande Tarehe: 13.2.18 RC MONGELA AELEZA NAMNA WANANCHI WALIVYOFANIKIWA KUOKOA WATU 40 WAKIWA HAI
2018-09-23T12:17:51
http://francisdande.blogspot.com/2018/02/wapendanao-wa-tatu-mzuka-wazidi.html
[ -1 ]
1 Wafalme 15 | Biblia Kwenye Mtandao | Tafsiri ya Ulimwengu Mpya Kitabu cha Kwanza cha Wafalme 15:1-34 Abiyamu, mfalme wa Yuda (1-8) Asa, mfalme wa Yuda (9-24) Nadabu, mfalme wa Israeli (25-32) Baasha, mfalme wa Israeli (33, 34) 15 Katika mwaka wa 18 wa utawala wa Mfalme Yeroboamu+ mwana wa Nebati, Abiyamu akawa mfalme wa Yuda.+ 2 Alitawala kwa miaka mitatu huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Maaka,+ mjukuu wa Abishalomu. 3 Aliendelea kutembea katika dhambi zote ambazo baba yake alitenda kabla yake, na moyo wake haukuwa kamili kwa* Yehova Mungu wake kama moyo wa Daudi babu yake. 4 Hata hivyo, kwa sababu ya Daudi,+ Yehova Mungu wake alimpa taa huko Yerusalemu+ kwa kumwinua mwana wake atawale baada yake na kufanya jiji la Yerusalemu lidumu. 5 Kwa maana Daudi alitenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, naye hakugeuka na kuacha jambo lolote ambalo Yeye alikuwa amemwamuru sikuzote za maisha yake, isipokuwa kuhusiana na kisa cha Uria, Mhiti.+ 6 Na kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu sikuzote za maisha yake.+ 7 Na mambo mengine katika historia ya Abiyamu, mambo yote aliyofanya, je, hayajaandikwa katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Yuda?+ Kulikuwa pia na vita kati ya Abiyamu na Yeroboamu.+ 8 Kisha Abiyamu akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi; na Asa mwanawe+ akawa mfalme baada yake.+ 9 Katika mwaka wa 20 wa Mfalme Yeroboamu wa Israeli, Asa alianza kutawala Yuda. 10 Alitawala Yerusalemu kwa miaka 41. Nyanya yake aliitwa Maaka,+ mjukuu wa Abishalomu. 11 Asa alitenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova,+ kama Daudi babu yake. 12 Aliwafukuza wanaume makahaba wa hekaluni kutoka nchini+ na kuondoa sanamu zote zenye kuchukiza* ambazo mababu zake walikuwa wametengeneza.+ 13 Hata alimwondoa Maaka+ nyanya yake kutoka katika cheo chake cha mama malkia, kwa sababu alikuwa ametengeneza sanamu chafu sana* kwa ajili ya ibada ya mti mtakatifu.* Asa akaikatakata sanamu hiyo chafu sana+ na kuiteketeza katika Bonde la Kidroni.+ 14 Lakini mahali pa juu hapakuondolewa.+ Hata hivyo, moyo wa Asa ulikuwa kamili kwa* Yehova maisha yake yote.* 15 Naye alileta katika nyumba ya Yehova vitu ambavyo yeye na baba yake walikuwa wamevifanya kuwa vitakatifu—fedha, dhahabu, na vyombo mbalimbali.+ 16 Kulikuwa na vita daima kati ya Asa na Baasha+ mfalme wa Israeli. 17 Basi Mfalme Baasha wa Israeli alikuja kushambulia Yuda, akaanza kujenga* Rama+ ili kumzuia mtu yeyote asitoke wala kuingia kwa* Mfalme Asa wa Yuda.+ 18 Ndipo Asa akachukua fedha yote na dhahabu iliyokuwa imebaki katika hazina za nyumba ya Yehova na hazina za nyumba ya* mfalme na kuwapa watumishi wake. Kisha Mfalme Asa akawatuma kwa Ben-hadadi mwana wa Tabrimoni mwana wa Hezioni, mfalme wa Siria,+ aliyekuwa akiishi Damasko, akamwambia: 19 “Kuna mkataba* kati yangu na wewe na kati ya baba yangu na baba yako. Ninakutumia zawadi ya fedha na dhahabu. Njoo, vunja mkataba wako* na Mfalme Baasha wa Israeli, ili aondoke kwangu.” 20 Ben-hadadi akamsikiliza Mfalme Asa, akawatuma wakuu wa majeshi yake kushambulia majiji ya Israeli, wakashinda Iyoni,+ Dani,+ Abel-beth-maaka, eneo lote la Kinerethi, na nchi yote ya Naftali. 21 Baasha aliposikia habari hizo, mara moja akaacha kujenga* Rama, akaendelea kuishi Tirsa.+ 22 Kisha Mfalme Asa akawaita watu wote wa Yuda—hakuna aliyeachwa—nao wakabeba mawe na mbao zilizokuwa zikitumiwa na Baasha kujenga Rama, Mfalme Asa akazitumia kujenga* Geba+ kule Benjamini, na pia Mispa.+ 23 Na mambo mengine katika historia ya Asa, ukuu wake wote na mambo yote aliyofanya na majiji aliyojenga,* je, hayajaandikwa katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Yuda? Lakini alipozeeka alishikwa na ugonjwa miguuni.+ 24 Kisha Asa akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi babu yake; na Yehoshafati+ mwanawe akawa mfalme baada yake. 25 Nadabu+ mwana wa Yeroboamu akawa mfalme wa Israeli katika mwaka wa pili wa Mfalme Asa wa Yuda, naye alitawala Israeli kwa miaka miwili. 26 Aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova na kufuata njia ya baba yake+ na dhambi yake aliyosababisha Waisraeli kutenda.+ 27 Baasha mwana wa Ahiya wa nyumba ya Isakari akapanga njama dhidi yake, na Baasha akamuua kule Gibethoni,+ jiji la Wafilisti, wakati Nadabu na Waisraeli wote walipokuwa wakilizingira Gibethoni. 28 Kwa hiyo Baasha akamuua katika mwaka wa tatu wa Mfalme Asa wa Yuda, akawa mfalme baada yake. 29 Mara tu alipokuwa mfalme, aliiangamiza nyumba yote ya Yeroboamu. Hakumwacha mtu yeyote wa Yeroboamu akipumua; aliagiza waangamizwe kama Yehova alivyokuwa amesema kupitia Ahiya, mtumishi wake kutoka Shilo.+ 30 Alifanya hivyo kwa sababu ya dhambi ambazo Yeroboamu alikuwa ametenda na kusababisha Waisraeli wazitende na kwa sababu alikuwa amemkasirisha sana Yehova Mungu wa Israeli. 31 Na mambo mengine katika historia ya Nadabu, mambo yote aliyofanya, je, hayajaandikwa katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Israeli? 32 Na kulikuwa na vita daima kati ya Asa na Mfalme Baasha wa Israeli.+ 33 Katika mwaka wa tatu wa Mfalme Asa wa Yuda, Baasha mwana wa Ahiya akawa mfalme wa Waisraeli wote kule Tirsa, alitawala kwa miaka 24.+ 34 Lakini aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova,+ akafuata njia ya Yeroboamu na dhambi yake ambayo alisababisha Waisraeli kutenda.+ ^ Au “haukumtumikia kikamili.” ^ Yaani, kingono. ^ Au “ulimtumikia kikamili.” ^ Au “kuimarisha; kujenga upya.” ^ Au “asiondoke wala kuingia katika eneo la.” ^ Au “agano.” ^ Au “agano lako.” ^ Au “aliyoimarisha; aliyojenga upya.” 1 Wafalme 15
2017-12-12T15:22:21
https://www.jw.org/sw/machapisho/biblia/nwt/vitabu/1-wafalme/15/
[ -1 ]
Make your own zanpakuto! - anime ya Bleach - fanpop | Page 94 8,930,380 viewers kuwa shabiki zaidi ya mwaka mmoja uliopita ddarksonic675 said… zaidi ya mwaka mmoja uliopita Pysen123 said… zaidi ya mwaka mmoja uliopita onix11 said… zaidi ya mwaka mmoja uliopita Ichigosuke said… zaidi ya mwaka mmoja uliopita ichigo131 said… zaidi ya mwaka mmoja uliopita goflytwokites said… zaidi ya mwaka mmoja uliopita Des-Sed said… zaidi ya mwaka mmoja uliopita wagakagami said… zaidi ya mwaka mmoja uliopita roganator123 said… zaidi ya mwaka mmoja uliopita Kypher8 said… zaidi ya mwaka mmoja uliopita K0VIP3R said… zaidi ya mwaka mmoja uliopita Ankakalle64 said…
2019-12-12T21:41:11
http://sw.fanpop.com/clubs/bleach-anime/forum/post/25410/94/make-own-zanpakuto
[ -1 ]
Amkeni na Kumchezea Mungu | Kanisa la Mwenyezi Mungu Tumesikia sauti ya Mungu na kuinuliwa mbele Yake ili kuhudhuria karamu. Tunakula na kunywa maneno ya Mungu na kuomba Kwake, kuishi mbele Yake ni furaha kubwa. Tulipomwamini Bwana ndani ya dini, mioyo yetu ilikuwa ya giza na hatukuwa na njia. Sasa tunakula na kunywa maneno ya Mungu, tunashiriki kuhusu ukweli. Kufurahia kazi ya Roho Mtakatifu ni furaha sana. Ndugu na dada, simameni na mcheze! Toeni densi mpya kumsifu Mungu! Tumetoroka minyororo ya kaida za dini, tumeelewa ukweli na roho zetu zimefunguliwa. Maneno yote ya Mungu ni ukweli, yanatuonyesha njia katika maisha. Hatutawahi tena kufanya hila kwa ajili yetu, tutatii utawala wa Mungu na mipangilio kabisa. Tumepitia hukumu ya maneno ya Mungu, upotovu wetu umetakaswa na kubadilishwa. Tunaishi kama watoto wasio na hatia, na tunamwabudu Mungu kwa roho na ukweli. Maneno ya Mungu yakituongoza, tunakanyaga ukandamizaji wote na shida chini ya visigino vyetu. Haijalishi anavyotuzuia Shetani, tutamfuata Kristo na kuwa waaminifu hadi mwisho. Ndugu, amkeni na mcheze! Toeni densi mpya kumsifu Mungu! Kumfuata Kristo ni furaha ya kweli, njia inang’aa zaidi na zaidi. Kwa kujua haki na utakatifu wa Mungu, moyo wangu unataka tu kumsifu. Kumtukuza Mungu ni furaha, Yeye kuwa pamoja nasi ni furaha ya kweli. Kumshuhudia Mungu ni utukufu wa kweli, roho yangu ni huru sana. Msifu Mungu kwa kumshinda Shetani, Amepata utukufu wote. Inayofuata:Msifu Mwenyezi Mungu
2020-04-03T01:04:59
https://sw.godfootsteps.org/get-up-and-dance-for-God-lyrics.html
[ -1 ]
Tunauza Mabati bora ya kisasa yasiyopauka toka Kampuni za ALAF, SUN SHARE, na AFRINA kwa Bei ya Kiwandani. Tuna Mabati ya Msouth IT 4 na IT 5 kwanzia 9,600/= hadi 17,200/= kwa mita 1Tuna Mabati ya Vigae(versatile) kwanzia 16,500/= hadi 17,500/= kwa mita 1 *Tuna Mabati ya kawaida migongo midogo ya rangi na meupe kwanzia 20,000/= hadi 29,000/= kwa bati moja la mita 3 Tunayo Misumari ya Bati ya rangi, Kofia na Valley. Tunapatika Buguruni Chama 23 Mabati na Vigae
2019-08-22T06:59:59
https://www.zoomtanzania.com/sw/nyenzo-na-vifaa-vya-ujenzi?p=2
[ -1 ]
Wanajeshi 45 wahukumiwa kifo – Dar24 1 month ago Comments Off on Wanajeshi 45 wahukumiwa kifo Mahakama nchini Libya imewahukumu kifo wanajeshi 45 baada ya kuwatia hatiani kwa makosa ya kuwaua watu kwa kuwafyatulia risasi mwaka 2011 wakati wa harakati za kumuondoa Madarakani aliyekuwa rais wa nchi hiyo Muammar Gaddafi. Taarifa kutoka wizara ya sheria ya nchi hiyo imesema kuwa waliohukumiwa vifo hivyo ni wanajeshi ambao walikuwa watiifu kwa Gadafi na mauaji hayo yalifanyika katika wilaya ya Abu Slim kwenye mji mkuu wa nchi hiyo Tripoli. Aidha, licha ya wanajeshi hao 45 kuhukumiwa kifo wengine 54 wamehukumiwa vifungo mbalimbali 22 wakiachiliwa huru na wengine watatu wakifa kabla ya hukumu kutolewa. Hata hivyo, nchi Libya imekuwa na hali tete ya amani tangu Rais wa zamani wa nchi hiyo Muamar Gadafi apinduliwe na baadaye kuuawa ambapo kumekuwa na vikundi kadhaa vya waasi vimekuwa vikizipinga Serikali zinazokuwa madarakani. Habari 6 hours ago Comments Off on Breaking News: Madereva 50 wa Uber wanyang’anywa magari
2018-09-20T19:13:23
http://dar24.com/wanajeshi-45-wahukumiwa-kifo/
[ -1 ]
Watakaokwiba fedha za mapato ya gesi miaka 30 jela, kufilisiwa - JamiiForums Watakaokwiba fedha za mapato ya gesi miaka 30 jela, kufilisiwa Thread starter Daniel Mbega 331 165 60 VIONGOZI na watumishi wa umma watakaoiba ama kutumia vibaya mapato yanayotokana na gesi na mafuta watafungwa miaka 30 jela pamoja na kufilisiwa. Hayo yamefafanuliwa katika Sehemu ya VII ya Sheria ya Usimamizi wa Mapato ya Gesi ya mwaka 2015, Ibara ya 21 (1) na (2) ambayo inabainisha pia kwamba ofisa huyo atatozwa faini ya kiwango sawa na fedha alizozifisidi ama atakabiliwa na faini pamoja na kifungo kwa pamoja. Soma zaidi hapa=> Watakaokwiba fedha za mapato ya gesi miaka 30 jela, kufilisiwa | Fikra Pevu Likes: MOTOCHINI, mikeimani and Mgagaa na Upwa mkulukunde 312 194 60 Watakaokwiba sehemu nyingine ruksa au? Likes: mikeimani, lost id and MKWEPA KODI 2,682 1,200 280 Mwanzo mzuri kuweka nidhamu kwa watumishi wa uma sheria hii isiishie kwenye gesi na mafuta tu bali iende kwenye sekta nyingine pia. kika atakayeajiriwa ajulishwe kuhusu sheria hiyo. ikiwezekana waiimbe kama wimbo wa taifa kila wanapowasili kazini asubuhi. Kuna chama kinachofananishwa na familia ya panya. Hapo kuiba kama kazi. Subiri uone 22,715 49,551 280 Ccm wataumia sana kwa sheria hii 12,900 3,449 280 Uvujaji mkubwa wa pato upo kwenye mikataba mibovu. Kipaumbele ilikuwa ni kupitia upya mikataba sekta ya gesi. Likes: Babu JP, jobless tycoon and UNIVERSE Ccm gani, hv umesikia kuhusu lugumi! mkulukunde said: Sijasikia mkuu nilikuwa kwenye ban, yaani ban zimeniandama utafikiri nina ugomvi na mods wa JF 2,418 2,882 280 Kuwafunga viongozi mafisadi 30 years? No...hiyo ni hadaa tu. Angalia sheria inatoa nafasi aliyeiba arudishe alichoiba. Hapo mafisadi watatumia mwanya huo wakijua watalipa walichoiba. See? Vipi sheria ya wahalifu illicit drugs? Cocaine, heroine, black tar, meth? Nao si 30 years au faini au vyote? Swali nani amefungwa 30 years kwa makosa haya? Well, mtu anaweza argue.....we have new government and JPM won't tolerate criminals lazima wafungwe. Siamini hivyo...serikali inatengeneza "hali ya woga" tu kujaribu kupambana na tatizo sugu la wizi/ufisadi. Likes: Babu JP 403 222 60 Pongeza hata kidogo basi ndugu halafu ndio upigirie msumari kwenye hayo mengine 77 69 25 Na mikataba hiyo inakuwa ya muda mrefu mno, sidhani kama wanaweka muda wa ku review. Mkataba ukiisha wameshachimba gesi yote. Kilichonishangaza zaidi matangazo kuwa gesi ya Helium imegundulika Tanzania yalitangaziwa wanahabari Japan, na katika mahojiano afisa wa Tanzania aliyehojiwa alisema hakuweza kuelezea chochote kwa wakati ule kwa sababu hakuwa na habari kamili. Nimebaki najiuliza gesi imepatikana Tanzania iweje hao wataalamu wasitangazie dunia wakiwa hapa Tanzania wakaenda kutangazia japan? Na waliwezaje kutangaza kabla wahusika sisi watanzania hatujajua kinachoendelea? http://www.bbc.com/swahili/habari/2016/06/160628_helium_gas_find_Tanzania "Katika taarifa kwa wanahabri huko Japan, watafiti hao wanasema kuwa uhaba wa gesi hiyo kote duniani ulikuwa umesababisha taharuki haswa kwa madaktari ambao wanatumia gesi hiyo adimu kuendesha mashine za utabibu zijulikanazo kama MRI scanners, mbali na kutumika katika mitambo ya kinyuklia miongoni mwa sekta zingine nyingi za kawi na teknolojia." 590 848 180 Gesi tu.... Dah shikamoo lugumi... Naibu sipika naagiza!! Mungu wangu hii tz sijawahi ona.. 436 111 60 Masafa Marefu said: JPM mbona alisha tweet hii kitu mkuu. 6,316 1,990 280 Ndiyo lakini watang'olewa pumbu bila ganzi. 3,709 2,216 280 Mwelewa said: Hata Mtogo aliyehukumiwa na Mahakama Kuu Moshi mwezi uliopita hukuisikia? 903 545 180 Duhh!! Kama ni ke inakuwaje? Sheria inatungwa bila kuangalia jinsia. Nawe ni GT kweli? Uwe na adabu, usilete maneno ya vijiweni hapa. Yap, hasa wale walioimba, 'tuna imani na ......' imekula kwao. Hii ccm inayokuja chini ya JPM si mchezo. Utatu said: Gesi inayowindwa na dunia nzima inatangaziwa Japan na Raisi wa Jamuhuri ya Tanzania ana tweet! hiyo tweet mimi sijaiona. Alitakiwa kusema tena akijiamini Helium imeapatikana Tanzania na ni ya watanzania, Kama yeye hakuwa na nafasi hata waziri angefaa, itangazwe na mtanzania wakiwa hapa Tanzania. Ccm watajifunga wenyewe. Labda kama wanamaanisha kufungwa magoli Jane Lowassa said: Hv ni wasahaulifu sna nyinyi Watu, sheria ngapi zimetungwa na zinakiukwa na hao hao ccm. Lugumi yuko wapi? Threads 1,235,480 Posts 29,223,906
2018-12-10T18:52:14
https://www.jamiiforums.com/threads/watakaokwiba-fedha-za-mapato-ya-gesi-miaka-30-jela-kufilisiwa.1073748/
[ -1 ]
Rais Magufuli, Lowassa Washiriki Ibada ya Kuuaga Mwili Aliyekuwa Mke wa Mengi | UDAKU SPECIAL BLOG Rais Magufuli, Lowassa Washiriki Ibada ya Kuuaga Mwili Aliyekuwa Mke wa Mengi November 08, 2018 Tanzia No comments
2019-01-23T16:13:13
https://www.udakuspecially.com/2018/11/rais-magufuli-lowassa-washiriki-ibada.html
[ -1 ]
Misala 19 | Biblia na Internet | Libongoli ya Mokili ya Sika Misala 19:1-41 19 Na nsima, wana Apolosi+ azalaki na Korinti, Paulo akatisaki na nzela oyo eleki na kati ya mokili mpe akitaki na Efese,+ mpe akutaki bayekoli mosusu; 2 mpe alobaki na bango ete: “Bozwaki elimo santu+ ntango bokómaki bandimi?” Bango balobaki na ye ete: “Kutu, naino toyoká te ete elimo santu ezalaka.”+ 3 Mpe alobaki ete: “Bongo, bobatisamaki na nini?” Balobaki ete: “Na batisimo ya Yoane.”+ 4 Paulo alobaki ete: “Yoane abatisaki na batisimo oyo ezali elembo ya kobongola motema,+ azalaki koyebisa bato ete bándimela moto oyo azalaki koya nsima na ye,+ elingi koloba, kondimela Yesu.” 5 Ntango bayokaki bongo, babatisamaki na nkombo ya Nkolo Yesu.+ 6 Mpe ntango Paulo atyelaki bango mabɔkɔ,+ elimo santu ekitelaki bango, mpe babandaki koloba na minɔkɔ mosusu mpe kosakola.+ 7 Bango nyonso, bazalaki mibali soki zomi na mibale. 8 Ntango akɔtaki na sinagoga,+ alobaki na mpiko na boumeli ya sanza misato, azalaki kosala masukulu mpe kosalela mayele ya kondimisa na oyo etali bokonzi+ ya Nzambe. 9 Kasi lokola bamosusu bazalaki kaka kokómisa mitema na bango makasi mpe bazalaki kondima te,+ na ndenge bazalaki koloba mabe mpo na Nzela+ liboso ya ebele wana ya bato, alongwaki epai na bango+ mpe akabolaki bango na bayekoli,+ azalaki kosala masukulu mokolo na mokolo na ndako ya eteyelo ya Tiranusi. 10 Asalaki bongo mbula mibale,+ mpe baoyo nyonso bazalaki kofanda na etúká ya Azia+ bayokaki liloba ya Nkolo, Bayuda ná Bagrɛki. 11 Mpe Nzambe akobaki kosala misala minene ya nguya na mabɔkɔ ya Paulo,+ 12 bongo bazalaki kozwa ata biteni ya bilamba mpe bilamba ya mosala na nzoto na ye mpe bazalaki komemela yango bato oyo bazalaki kobɛla,+ mpe bamaladi na bango ezalaki kosila, mpe bilimo mabe bazalaki kobima.+ 13 Kasi bamosusu na Bayuda oyo bazalaki kotambolatambola, oyo bazalaki kosala mosala ya kobimisa bademo,+ bamekaki mpe kotánga nkombo ya Nkolo Yesu+ epai ya baoyo bazalaki na bilimo mabe, balobi: “Nazali mpenza kopesa bino mitindo+ na nzela ya Yesu oyo Paulo azali kosakola.” 14 Nzokande, bana mibali nsambo ya moto moko nkombo na ye Sekeva, nganga-nzambe mokonzi Moyuda, bazalaki kosala bongo. 15 Kasi elimo mabe azongiselaki bango ete: “Nayebi Yesu+ mpe nayebaka Paulo;+ kasi bino banani?” 16 Na yango, moto oyo azalaki na elimo wana ya mabe apumbwelaki bango,+ anyataki mokomoko na bango, mpe alongaki bango, bongo bakimaki na ndako wana, bolumbu mpe bazokizoki bampota. 17 Likambo yango eyebanaki na bato nyonso, Bayuda mpe Bagrɛki oyo bazalaki kofanda na Efese; mpe kobanga+ ekwelaki bango nyonso, mpe nkombo ya Nkolo Yesu ekobaki kokumisama.+ 18 Mpe mingi na kati ya baoyo bakómaki bandimi bazalaki koya koyambola+ mpe koyebisa misala na bango polelepolele. 19 Kutu, ebele ya baoyo bazalaki kosala misala ya maji+ basangisaki babuku na bango esika moko mpe batumbaki yango na miso ya bato nyonso. Mpe batángaki ntalo na yango nyonso mpe bamonaki ete ekokanaki na motuya ya mbongo ya bibende ya palata nkóto ntuku mitano (50 000). 20 Na yango, na ndenge moko ya nguya, liloba ya Yehova ekobaki kokola mpe kolonga.+ 21 Nzokande ntango makambo wana esukaki, Paulo akanaki na elimo na ye ete: nsima ya kokatisa Masedonia+ mpe Akaya, akokende na Yerusaleme;+ alobaki: “Nsima ya kokóma kuna nasengeli mpe komona Roma.”+ 22 Bongo atindaki na Masedonia bato mibale kati na baoyo bazalaki kosalela ye, Timote+ ná Eraste,+ kasi ye moko atikalaki mwa moke na etúká ya Azia. 23 Na ntango wana mpenza, mobulu monene+ ebimaki mpo na Nzela.+ 24 Mpo moto moko nkombo na ye Demetriusi, mosali ya biloko ya palata, na mosala na ye ya kosala bandako mike ya losambo ya Artemisi, azalaki kokɔtisela bato ya misala ya mabɔkɔ mosolo mingi;+ 25 mpe ayanganisaki bango mpe baoyo bazalaki kosala na biloko ya ndenge wana+ mpe alobaki ete: “Mibali, boyebi malamu ete bomɛngo na biso ezali kouta na mosala oyo.+ 26 Lisusu, bozali komona mpe koyoka ndenge Paulo wana, na Efese+ kaka te kasi mpe na bisika pene na nyonso ya etúká ya Azia, andimisi ebele mpenza ya bato mpe atindi bango bándima likanisi mosusu, alobi: banzambe oyo basalemi na mabɔkɔ+ bazali banzambe te. 27 Lisusu, likama esuki kaka te na likambo oyo ete mosala oyo ya biso ekosila lokumu, kasi lisusu ete tempelo ya nzambe-mwasi monene Artemisi+ ekotángama eloko mpamba mpe, ata bonene na ye oyo etúká mobimba ya Azia mpe mabele oyo bato bafandi esambelaka, etikali moke ekóma mpamba.” 28 Ntango bayokaki bongo mpe lokola batondaki na nkanda, bato yango babandaki koganga, balobi: “Artemisi ya Baefese azali Monene!” 29 Bongo engumba etondaki na yikiyiki, mpe bango nyonso basopanaki na esika ya masano, bamemaki na makasi elongo na bango Gayusi mpe Aristarke,+ Bamasedonia, baninga ya Paulo na mobembo. 30 Nde Paulo alingaki kokende na kati epai ya bato wana, kasi bayekoli bapesaki ye nzela te. 31 Ata mpe bakambi mosusu ya bafɛti mpe ya masano, oyo bazalaki kosepela na ye, batindelaki ye bato mpe babandaki kobondela ye ete atya bomoi na ye na likama te na esika ya masano. 32 Ya solo, bamosusu bazalaki koganga likambo mosusu mpe bamosusu likambo mosusu;+ mpo liyangani ezalaki na yikiyiki, mpe mingi na kati na bango bayebaki te ntina nini bayanganaki. 33 Bongo bango nyonso bazwaki Alezandre na kati ya ebele yango ya bato, mpe Bayuda bapusaki ye liboso; mpe Alezandre asalaki elembo na lobɔkɔ na ye mpe azalaki kolinga kosamba mpo na ye moko liboso ya bato yango. 34 Kasi ntango bayaki koyeba ete azali Moyuda, bango nyonso bagangaki mongongo se moko, pene ya ngonga mibale ete: “Artemisi ya Baefese azali Monene!”+ 35 Na nsuka, ntango mo-komi-makambo ya engumba afandisaki ebele yango ya bato nyɛɛ,+ alobaki ete: “Mibali ya Efese, nani mpenza na kati ya bato ayebi te ete engumba ya Baefese ezali mokɛngɛli ya tempelo ya Artemisi monene mpe ya ekeko oyo ekweaki longwa na likoló? 36 Na bongo lokola makambo yango ekoki kotyelama ntembe te, ebongi ete bókitisa mitema mpe bósala makambo mbangumbangu te.+ 37 Mpo bomemi bato oyo bazali miyibi na batempelo te mpe bazali te bato oyo bazali kofinga nzambe na biso ya mwasi. 38 Na yango soki Demetriusi+ ná bato ya misala ya mabɔkɔ oyo bazali elongo na ye bazali na likambo na moto moko boye, mikolo ya kosambisa+ ezali mpe baprokonsule+ bazali; báya kofundana. 39 Nzokande, soki bozali koluka nde eloko mosusu koleka oyo wana, yango esengeli kokatama na liyangani lokola na momeseno. 40 Mpo tozali mpenza na likama ya kofundama ete tozali batomboki na likambo oyo ya lelo, lokola ezali ata na eloko moko te oyo ekoki kopesa biso nzela ya komonisa ntina ya etuluku oyo ya mobulu.” 41 Mpe ntango asilisaki koloba makambo wana,+ asɛngaki liyangani epanzana.+ Misala 19
2017-10-22T21:41:03
https://www.jw.org/ln/mikanda/biblia/bi12/mikanda/misala/19/
[ -1 ]
Radio Maisha | Swazuri ajitetea kuhusu utata wa ardhi ya Ruaraka Mwenyekiti wa Tume ya Kitaifa ya Ardhi, NLC, Mohamed Swazuri ameiondolea lawama ofisi yake kutokana na madai kwamba ililipa kima cha shilingi bilioni 3.2 kwa ardhi ya Ruaraka ambayo inamilikiwa na serikali wala si mtu binafsi. Akiwahutubia wanahabari, Swazuri amesema ardhi hiyo ambayo Shule ya Msingi ya Drive Inn na Shule ya Upili ya Ruaraka zimejengwa, ilikuwa mali ya mtu binafsi ndiposa serikali ikalazimika kuilipia baada ya kuitwaa. Swazuri aidha amesisitiza kwamba umiliki wa ardhi hiyo tayari ulithibitishwa na kamati moja ya bunge mwaka 2012 vilevile kuthibitishwa na mahakama kwamba ni ardhi ya mtu binafsi. Swazuri ambaye tayari amehojiwa na Maafisa wa Tume ya Maadili na Kukabili Ufisadi, EACC kuhusu umiliki wa ardhi hiyo, amesema yu tayari kuitetea tume yake kwani ilizingatia sheria katika kumlipa mmiliki wa ardhi hiyo fedha. RELATED TOPICS: SwazuriRuaraka
2018-09-23T19:35:53
https://www.standardmedia.co.ke/radiomaisha/news/2001283707/swazuri-ajitetea-kuhusu-utata-wa-ardhi-ya-ruaraka
[ -1 ]
Namna Gani Biblia Iliokoka Hata Kama Kulikuwa Upinzani? SOMA KATIKA Afrikaans Batak (Karo) Batak (toba) Biak Cakchiquel (du centre) Chibemba Drehu Hmong blanc Karen sgaw Kiacholi Kiajemi Kialbania Kiamharike Kiarabu Kiarmenia Kiaukan Kiaymara Kiazebaijani Kiazebaijani cha Kisirili Kibashkir Kibaule Kibikole Kibislama Kibulgaria Kichayao Kicheki Kichichewa Kichinois mandarin (simplifié) Kichinois mandarin (traditionnel) Kichitonga Kichitonga (Malawi) Kichitumbuka Kichokwe Kichua (Imbabura) Kichuvache Kidanishi Kiebrania Kiefik Kiestonia Kiewe Kifaransa Kifiji Kifini Kifon Kiga Kigiriki Kigreenland Kiguarani Kihausa Kihiligaynon Kihispania Kiholanzi Kihungaria Kiiban Kiigbo Kiiloko Kiindonesia Kiingereza Kiiselandi Kiisoko Kiitaliano Kijapani Kijava Kijeorjia Kijerumani Kijolabal Kikabiye Kikamba Kikaonde Kikatalan Kikazath Kikechua (Ancash) Kikechua (Ayakucho) Kikechua (Bolivia) Kikechua (Cuzco) Kikiribati Kikirigizi Kikisi Kikol Kikongo Kikorasia Kikorea Kikrio Kikrioli cha Haiti Kikrioli cha Morisi Kikrioli cha Shelisheli Kikurde cha Kisirili Kikurde kurmanji (Caucase) Kikuyu Kikwangali Kikwanyama Kilamba Kilatvia Kilitwania Kiluba Kilunda Kiluo Kiluvale Kimabwe-Lungu Kimalagasi Kimalta Kimamu Kimasedonia Kimaya Kimazateke cha Huautla Kimbunda Kimbundu Kimizo Kimoore Kimyama Kinahuatl (Guerrero) Kinahuatl (Huasteca) Kinahuatl (Puebla ya Kaskazini) Kindebele Kindebele (Zimbabwe) Kindonga Kinia Kinorwe Kinyaneka Kinyanja Kinyarwanda Kinzema Kioromo Kiosete Kipangasinan Kipapiamento (Aruba) Kipapiamento (Kurasao) Kipijin cha Visiwa vya Solomon Kipolandi Kireno Kiromania Kirundi Kirunyankore Kirusi Kisamoa Kisango Kisaramakan Kisebuano Kisepedi Kiserbia Kiserbia (Kiroma) Kisetswana Kishona Kisidama Kisilozi Kisinghale Kislovakia Kislovenia Kisonge Kisranan tongo Kiswahili Kiswahili (Congo) Kiswati Kiswedi Kitagalog Kitahiti Kitai Kitatar Kitigrinya Kitirke Kitiv Kitok pisin Kitsonga Kituvalu Kitwi Kitzeltal Kiukraini Kiumbundu Kiurhobo Kivenda Kivietinamu Kiwalis Kiwayuunaiki Kixhosa Kiyoruba Kizotzil Kizulu Kongo Lhukonzo Lingala Luganda Ngangela Otetela Pidgin camerounais Sesotho (Lesotho) Tshiluba Tétoum Dili Uruund Zande Biblia Iliokoka Hata Kama Kulikuwa Upinzani HATARI: Viongozi wengi wa politike na wa dini walikuwa na mipango yenye kupingana na ujumbe wa Biblia. Mara nyingi walitumia mamlaka yao ili kukataza watu kuwa na Biblia, kuichapisha, ao kuitafsiri. Tuone mifano mbili: Mwaka wa 167 hivi mbele ya kuzaliwa kwa Yesu: Mufalme Antioko Epifane wa jamaa ya Seleuko, alitafuta kukaza Wayahudi wafuate dini ya Wagiriki. Kwa hiyo, alitoa amri ya kuharibu kopi zote za Maandiko ya Kiebrania. Mwanahistoria mwenye kuitwa Heinrich Graetz aliandika kwamba wakubwa katika utawala wa Antioko Epifane “walipasua na kuchoma vitabu vya kukunjwa vya Sheria kila wakati walivipata, na waliua wale wote wenye walikuwa wanatafuta nguvu na kitulizo kupitia usomaji wa vitabu hivyo.” Katika kipindi cha 476-1500 hivi: Viongozi fulani wa dini ya Kikatoliki hawakufurahi kwa sababu waamini walihubiri mafundisho ya Biblia kuliko kuhubiri mafundisho ya dini ya Kikatoliki. Waliona kuwa mwasi-imani kila mwamini mwenye alikuwa na vitabu vya Biblia isipokuwa tu kitabu cha Zaburi katika luga ya Kilatini. Baraza fulani la kanisa lilitoa amri kwa kulazimisha watu wao “waendelee kutafuta waasi-imani kwa bidii na kwa uaminifu. . . kwa kuchunguza nyumba zote na vyumba vya chini ya udongo vya watu wenye waliwaziwa kuwa na vitabu vya Biblia. . . . Kila nyumba mwenye mwasi-imani atapatikana itabomolewa.” Kama maadui wa Biblia wangeweza kuiharibu, ujumbe wake ungepotea. Tafsiri ya Biblia ya Kiingereza ya William Tyndale iliokoka hata kama kopi za Biblia hiyo zilichomwa, zilikatazwa kutumiwa, na hata kama Tyndale aliuawa katika mwaka wa 1536 NAMNA BIBLIA ILIOKOKA: Mufalme Antioko alikuwa na mupango mubaya juu ya inchi ya Israeli, lakini Wayahudi walikuwa tayari wanaishi katika inchi zingine nyingi. Watu wenye elimu wanafikiri kwamba kwa kila Wayahudi 100, zaidi ya 60 walikuwa tayari wanaishi inje ya Israeli kati ya mwaka wa 1 na 100 kisha kuzaliwa kwa Yesu. Wayahudi waliweka kopi za Maandiko katika masinagogi yao, na kopi hizo zilitumiwa pia na vizazi vyenye kufuata, hata Wakristo.—Matendo 15:21. Katika kipindi cha 476-1500 hivi, watu wenye walipenda Biblia hawakuogopa kuteswa na waliendelea kutafsiri na kufanya kopi za Maandiko. Inawezekana sehemu mbalimbali za Biblia zilipatikana katika luga 33 hivi katikati ya mwaka wa 1401 na 1500, mbele ya kutokea kwa mashini ya kuchapisha! Kwa hiyo, Biblia ilitafsiriwa na kuchapishwa sana kuliko zamani. MATOKEO: Wafalme wenye nguvu na viongozi wabaya wa dini walitaka kuharibu Biblia. Lakini, Biblia inaendelea kugawanywa na kutafsiriwa kuliko vitabu vyote katika historia. Biblia imekuwa na matokeo fulani juu ya sheria na luga za inchi nyingi, na juu ya maisha ya watu wengi.
2018-01-16T10:01:25
https://www.jw.org/swc/vichapo/magazeti/munara-wa-mulinzi-na4-2016-mwezi-wa-7/biblia-iliokoka-hata-kama-kulikuwa-upinzani/
[ -1 ]
Dondoo ya Filamu ya Bwana Wangu Ni Nani – Kristo ndiye Chanzo cha Uhai na Vile Vile Bwana wa Biblia | INJILI YA KUSHUKA KWA UFALME Dondoo ya Filamu ya Bwana Wangu Ni Nani – Kristo ndiye Chanzo cha Uhai na Vile Vile Bwana wa Biblia Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (8) - Jinsi ya Kupata Njia ya Uzima wa Milele Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (6) - Tofauti Kati ya Njia ya Toba na Njia ya Uzima wa Milele Swahili Gospel Movie Clip "Kutoka kwa Enzi Hububujika Maji ya Uzima" (5) - Ni Nani Anayempa Mwanadamu Njia ya Uzima wa Milele? Dondoo ya Filamu ya Bwana Wangu Ni Nani – Kristo ndiye Chanzo cha Uhai na Vile Vile Bwana wa Biblia Dondoo za Filamu 126 Biblia imejaa maneno ya Mungu na vile vile uzoefu na ushuhuda kutoka kwa mwanadamu ambao unaweza kutupa uhai na ni yenye manufaa sana kwetu. Bwana Yesu alisema, "Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima: Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, bado ataishi: Na yeyote aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele." (Yohana 11:25-26). Lakini kwa nini, baada ya miaka 2,000, hakuna kati ya wale walio na imani katika Bwana ambao wamesoma Biblia wamewahi kupata uzima wa milele? Inaweza kuwa kwamba Biblia haina njia ya uzima wa milele? Inaweza kuwa kwamba wakati Bwana Yesu alitekeleza kazi Yake ya ukombozi kwamba Hakuwapa binadamu njia ya uzima wa milele? Tunapaswa kufanya nini ili kuweza kupata njia ya uzima wa milele? Video za Kikristo "Kuamka Kutoka kwa Ndoto" | Kufichua Fumbo la Kuingia katika Ufalme wa Mbinguni Best Christian Music "Yule Anayeshikilia Ukuu Juu ya Kila Kitu" (Swahili Musical Documentary) | Power of God
2018-08-15T21:16:03
https://sw.kingdomsalvation.org/videos/movie-the-bible-and-god-5.html
[ -1 ]
Igunga Ni Kielelezo Cha Uwendawazimu Wetu! ( Makala, Mwananchi Jumapili) | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Igunga Ni Kielelezo Cha Uwendawazimu Wetu! ( Makala, Mwananchi Jumapili) Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by maggid, Sep 25, 2011. Ndugu zangu, Wahehe wana msemo unasema: ‘Isenga imbofu na isenga indenyeefu'. Maana yake, ng'ombe kipofu ni sawa tu na ng'ombe aliyevunjika mguu. Wote watakufa njaa. Ng'ombe kipofu hawezi kuyaona majani, na yule aliyevunjika mguu naye hawezi kujikokota kwenda kutafuta nyasi za kula. Ndugu zangu, Kuna uchaguzi mdogo wa kiti cha ubunge utafanyika jimbo la Igunga. Kuna mengi yanatokea kule Igunga. Tafsiri yangu ; Igunga ni kielelezo cha uendawazimu wetu. Maana, haijapata kutokea katika historia ya nchi hii kwa kiti kimoja cha ubunge kikalifanya taifa zima lizizime. Leo njia zote zinaelekea Igunga. Msomaji wangu mwuza samaki katika soko la Igunga ananiambia kuwa, Igunga sasa imevamiwa na wageni wengi na biashara yake ya samaki haijapata kuwa nzuri kama ilivyo sasa. Lakini anajua, kuwa baada ya Oktoba 3 biashara yake ya samaki itarudi kuwa ya kusuasua kama zamani. Na ajabu ya Igunga ni hii; kuwa chanzo chake ni falsafa ya kujivua gamba. Rostam Aziz anasemwa kuwa ni mmoja wa magamba ndani ya chama chake. Akajiuzulu. Kiti cha ubunge kikawa wazi. Na Rostam ' gamba' akarudi Igunga kumwombea kura mgombea wa chama chake. Kioja. Rostam Aziz ametusaidia kutupambanulia zaidi tukajua; kuwa kama taifa tuna gamba tunalopaswa kujivua. Ona kule Igunga, kiti kile cha ubunge kimekuwa chanzo cha kupandikiza chuki zaidi miongoni mwetu Watanzania. Tunaona kule Igunga; viongozi wa dini wanashiriki siasa za vyama huku wakijua kuwa waumini wao wana tofauti za kiitikadi. Tunaona watendaji wa Serikali wakishiriki kampeni huku wakijua wanaamsha manung'uniko kwa wafuasi wa vyama. Tunaona vitendo vya kujichukulia sheria mikononi na hata kuwapiga raia, viongozi wa vyama na watendaji wa Serikali vikifanywa na wafuasi wa vyama. Tumeona jinsi uchaguzi wa Igunga ulivyovigawa vyombo vya habari na wanahabari. Tumeona hata kiongozi wa kisiasa akisimama jukwaani akiomba kura akiwa na bastola kiunoni. Tulipofikia ni pabaya sana. Tumeona, kuwa mabilioni ya shilingi yanatumika kwenye kampeni na huku rushwa ya kuhonga wapiga kura na hata kununua shahada za kupigia kura ikifanyika. Yote haya ni katika kuwania kiti kimoja cha ubunge wa jimbo moja kati ya majimbo zaidi ya mia mbili ya nchi hii. Huu ni uendawazimu. Na ajabu ni kuwa uchaguzi wa Igunga ulikuja na sura ya kupambana na ufisadi. Tunachokiona Igunga sasa ni zaidi ya ufisadi. Ni janga. Tuna lazima ya kutafuta namna nyingine ya kuendesha mambo yetu kistaarabu na kulinda hadhi na maslahi ya taifa. Tuna lazima ya kukaa chini kama taifa na kutafakari mustakabali wetu. Nchi yetu haijaishiwa watu wenye hekima na busara. Maana Inahusu ufisadi uliotamalaki. Na juzi hapa nilimsikia Jaji Mkuu Mstaafu Barnabas Samatta kwenye kipindi hicho cha ' Enzi Hizo' kwenye TBC. Jaji Mkuu Mstaafu Samatta aliongea jambo la hekima sana. Alisema; " Kamwe, umma usikubali kelele dhidi ya rushwa zififie, bali ziongezeke". Vita inayopiganwa sasa Igunga huenda haina maana yeyote kwetu. Maana, kuna cha kujifunza kutoka kwenye ngano ya mazungumzo baina ya Mfalme Pyrrhic na mpambe wake Cineas. Miaka mingi iliyopita alitokea Mfalme wa Epilus aliyeitwa Pyrrhic. Mfalme huyu aliamua kuingia vitani kulikabili jeshi kubwa na lenye nguvu nyingi, ni jeshi la Warumi. Lakini kabla ya Mfalme kuingia baharini na vikosi vyake kuitafuta Italia ya Warumi, msaidizi wake wa karibu, Cineas, aliomba mazungumzo ya faragha na Mfalme. Alitaka kumwuliza maswali na kumshauri. Cineas alimtamkia Mfalme; " E bwana Mfalme, Warumi wanasadikika kuwa na jeshi kubwa , lenye nguvu na lenye mashujaa wengi. Ndio maana wameteka nchi nyingi. Je, Mungu akitusaidia, tukaja kuwashinda Warumi, tutafanya nini na ushindi wetu? Mfalme akajibu: " Mbona hilo ni swali jepesi sana. Mara tutakapowashinda Warumi, hakutatokea jeshi kutoka mji wowote wa Italia litakaloweza kupambana nasi." Cineas alitulia kidogo, kisha akamwuliza Mfalme: " Tukishaikamata Italia ya Warumi, kipi kitafuatia?" Mfalme akajibu: Sicily ni kisiwa chenye hazina za thamani kubwa, itakuwa rahisi sana kukiteka kisiwa hicho." Cineas aliendelea kuuliza: " Bwana Mfalme unaongea juu ya mambo ya kusadikika, lakini una maana kukitwaa kisiwa cha Sicily kutakuwa na maana ya kukoma kwa vita?" Mfalme akajibu: " Hapo tutakuwa tumeikaribia Afrika. Na tukishaikamata Afrika ni nani hapa duniani atathubutu kutukabili kivita?" " Hakuna" Alijibu Cineas, kisha akauliza; " Na baada ya hapo tutafanya nini?" Mpaka hapo Mfalme hakujua Cineas alikuwa anampeleka wapi kwa lojiki ya kifikra. Mfalme akajibu: " Baada ya hapo, tutapumzika, tutakula raha. Tutakula na kunywa . Tutabaki tukichekeshana na kucheka, siku nzima." Kama ni hivyo, alisema Cineas; " Ni kitu gani kinachotuzuia kufanya hayo yote sasa bila kwenda vitani? Mfalme hakuielewa mantiki ya Cineas. Akakaidi ushauri. Akavipeleka vikosi vyake kupambana na Warumi. Baada ya vita ngumu, jeshi la mfalme liliwashinda Warumi. Hata hivyo lilipata hasara kubwa ya kupoteza watu na kuwa na majeruhi wengi. Jeshi lake likadhohofika sana. Likajaribu kuitwaa Sparta, likashindwa vibaya sana. Mfalme aliwindwa na hatimaye akakakamatwa na kuuawa kwa kupigwa mawe kwenye mitaa ya Argos. "Isenga imbofu na isenga indenyeefu." Ng'ombe kipofu ni sawa tu na ng'ombe aliyevunjika mguu, wote watakufa njaa. Nahitimisha. 0712 95 61 31 / 0788 111 765/ 0754 678 252 maggid, Nchi hii ina maajabu mengi sio hayo tu baba. Ni kwasababu nchi hii hatujawahi pata uhuru wa kufikiri siku zote tumekuwa tukifikiriwa na watu wengine tu na hata tukijaribu kufikiri tuliambiwa nyamaza kufikiri ama watiwa kizuizini kwa hiyo hayo ndiyo matokeo yake. Wakoloni wetu kifikra leo wana haha kisa eti watu wameanza kufikiri wenyewe watajua mengi yaliyofunikwa itakuwa tabu wanajaribu sasa kufunika funika ili yamkini watu waache kufikiri. But time is out there is no way..... Uchaguzi wa Igunga ni kielelezo cha demokrasia iliyoshindikana. Tumeiga demokrasia pasipo kuwa na itikadi pinzani zaidi ya kubadilisha vichwa vya watawala wetu..Lakini kuna tofauti kubwa sana sasa hivi na miaka ya nyuma kwa sababu angalau leo wananchi wamechoka na udhalilishaji wa CCM. Wananchi wana mwamko zaidi ktk kudai maisha bora na hivyo msingi wa kutaka mabadiliko haya unatokana na siasa mbaya za CCM ambazo zinawanyima fursa na mambo ya msingi kabisa ktk maisha yao. Tofauti na huyo Cineas wananchi leo wanataka kumwondoa Mfalme mwenyewe hivyo matokeo ya vita (kama yatakuwepo) ni kutokana na mfalme kukataa kuachia kiti kikubwa. mkuu maggid, acha ubahili changia jf mkono mtupu haulambwi, being a member for 5 yrs is not a joke! MM Mwanakijiji, You have spoken. Uliyosema yote ni sawasawa kabisa. Hakika kinachofanyika Igunga kwa sasa ni zaidi ya WENDAWAZIMU. Tanzania imefikia pabaya, Nasikia harufu ya damu. Tunachokishuhudia Igunga kwa sasa si KAMPENI tena baali ni UHUNI,USHENZI.UPUMBAFU NA UJUHA WA CHAMA CHA MAGAMBA-CCM!!! Kama hawatapatikana WATU wenye BUSARA NA KUINGILIA KATI kwa kipindi hiki cha wiki 1 iliyobaki kabla ya tarehe 2/1o/2011 ni dhahiri kwamba tunaenda KUSHUHUDIA YALE YALIYOTOKEA MWAKA 2007 KWENYE UCHAGUZI WA KENYA! Kwamba kuna watu WATAUAWA(Wana-Igunga na wasio) KWA AIDHA KUCHINJWA,KUCHOMEWA NYUMBA ZAO KWA MOTO AU KUPIGWA RISASI ZA MOTO. Hili ndugu zanguni Watanzania liko wazi kabisa na CCM ndiyo wana andaa MAZINGIRA YA HALI HIYO YA KUTISHA. Kwamba JESHI LA POLISI KWA KUTUMIWA NA CCM LINAWEKA MKAKATI WA MAKUSUDI WA KUANDAA MAZINGIRA HAYO. Mikakati iko wazi kabisa na kila mtu anaweza kushuhudia. Kwa uchache tu labda nitoe highlights zangu: Wabunge na Vioingozi wa CCM kwa MAKUSUDI KABISA WAMERUHUSIWA NA JESHI LA POLISI KWENDA NA SILAHA ZA MOTO KWENYE MIKUTANO YA KAMPENI ZA UCHAGUZI kinyume kabisa na sheria za Uchaguzi. Polisi imewaona lakini imewafumbia macho maana inajua the mortive behind. Maneno ya Katibu Mkuu wa CCM- W.Mukama kuwa CDM wameingiza MAKOMANDOO 33 trained kutoka Afghanistan sijui na Libya na kwamba wako Igunga kwa kazi ya kufanya vurugu na kuzuia watu wasipige kura. If you read between the lines maneno ya MUKAMA yana maana kubwa sana. Kwamba Mukama alisema makusudi kuandaa mazingira ya UHALIFU HUO UTAKAOFANYWA NA CCM WENYEWE(Makomandoo) HALAFU LAWAMA ZIENDE CHADEMA. Live example wa Comando hao ni ADEN RAGE(MB-CCM Tabora mjini),ESTHER BULAYA(MB-CCM Kuteuliwa),AESHI HILALI(MB-CCM Sumbawanga mjini). Nyumba KUCHOMWA MOTO na KUTEKEKETEA KABISA lakini KARATASI yenye maneno ya CHADEMA HAIKUWEZA KUUNGUA!!!Maajabu ya 9 ya Dunia. DC IGUNGA, Bi FATUMA JOHN KIMARIO kutumiwa na CCM kuvuruga kampeni za CDM na baadaye kusingizia kuwa ALIDHALILISHWA KWA KUVULIWA HIJAB na wafuasi wa CDM ilhali yeye NI MKRISTO ANAYEVAA MTANDIO NA MLA NGURUWE. Baada ya hapo tumesikia WAISLAMU NA BAKWATA yao wakinasa mtego wa CCM kwa kukubali na kulaani kitendo bandia kilichotengenzwa na CCM kuwarubuni Waislamu hatimaye kuwa amuru wafuasi wa dini ya KIISLAMU wasipigie kura CDM maana inaendekeza UKRISTO! Kwa highlights hizi,mtu makini ANAWEZA KUBAINI KABISA KUWA CCM wameshashindwa Uchaguzi wa Igunga na wanachofanya kwa sasa ni kutaka KUVURUGA UCHAGUZI HUO USIFANYIKE AU KUTUMIA KILA MBINU HARAMU NA HALALI ILI KUJIHAKIKISHIA USHINDI! Laiti kama ningeliweza KUJIPENYEZA KWENYE MIOYO YA WANA IGUNGA WAKAWEZA KUONA KILE KINACHOFANYIKA NYUMA YA PAZIA. Kwamba ROSTAM AZIZ AMEODOLEWA KWA SHINIKIZO NA CCM YENYEWE KWAMBA NI GAMBA. WANA IGUNGA WAKAMLILIA MB WAO NA WENGINE WAKAZIRAI. GAMBA HILO HILO KWENYE UCHAGUZI LIKAITWA KUOMBA KURA KWA AJILI YA CCM!!!!!HUU KAMA SIYO USANII NA KUCHEZA NA AKILI ZA WATU NI KITU GANI???? DAWA NI MOJA TU,KUWANYIMA KURA CCM kwa uhuni wanaowafanyia watu wa Igunga. WAKTI WA CCM KUWAFANYA WA-TZ NI MAZUZU WASIOWEZA KUFIKIRI UMEKWISHA. SHIME SHIME WANA IGUNGA HEBU FANYENI KAMA NDUGU ZETU WA ZAMBIA WALIO DHIHIRISHA JUZI KWENYE UCHAGUZI MKUU WA ZAMBIA KUWA HAKI YAWEZA PATIKANA KWENYE SANDUKU LA KURA. Wazambia juzi walikipigia chama cha UPINZANI CHA BWANA MICHAEL SATTA na hivyo kumbwaga chini RUPIA BANDA WA CHAMA KILICHOKUWA KINATAWALA ZAMBIA CHA MMD. Nimalize kwa kusema kwamba WANA IGUNGA,PLAY YOUR PART IT CAN BE DONE AND THAT FREEDOM IS COMING TOMORROW. God Bless Igunga,God Bless Tanzania, God Bless all Voters in Igunga. Kwakweli bwana magidd umeongea vitu vya msingi sana lakini ukweli upo wazi wanaotaka kuvuruga amani na uchaguzi wa igunga ni ccm na polic kwakushindwa kusimamia haki na ukweli wamebaki kuwa watumwa wa ccm. Hali imekuwa mbaya kwa ccm na wao wanaliona hilo sera ya kuvuana magamba waliona ni rahisi sana lakini sio rahisi kama walivyokuwa wanafikiria mambo yameanza kuwaendea kombo wanachotaka kufanya ni kuvuruga uchaguzi hata kwa damu kumwagika. Lakini inapaswa kuwaachia wana igunga waamue ni kiongozi yupi wana mtaka bila kutumia propaganda za kishenzi ambazo zinatumika kwasasa za udini na makomandoo. Kuna kiongozi wa ccm ametangaza kuwa kama ubunge utachukuliwa na cdm atajiua siasa kama hizi zinabaka demokrasia ya kweli na ndomana wanahaha usiku na mchaka kuleta vurugu nili yote kupata chance ya kuiba kura na kuvuruga uchaguzi. Historia itaandikwa igunga ccm watake au wasitake. Mungu ibariki Tanzania Uchaguzi wa Igunga ni kielelezo cha demokrasia iliyoshindikana. Tumeiga demokrasia pasipo kuwa na itikadi pinzani zaidi ya kubadilisha vichwa vya watawala wetu..Lakini kuna tofauti kubwa sana sasa hivi na miaka ya nyuma kwa sababu angalau leo wananchi wamechoka na udhalilishaji wa CCM. Wananchi wana mwamko zaidi ktk kudai maisha bora na hivyo msingi wa kutaka mabadiliko haya unatokana na siasa mbaya za CCM ambazo zinawanyima fursa na mambo ya msingi kabisa ktk maisha yao. Tofauti na huyo Cineas wananchi leo wanataka kumwondoa Mfalme mwenyewe hivyo matokeo ya vita (kama yatakuwepo) ni kutokana na mfalme kukataa kuachia kiti kikubwa.Click to expand... Mkuu, mi naona tatizo letu kubwa kabisa kama taifa ni ushabiki kwenye mambo yanayotakiwa tafakari ya kina. Sasa hivi utaona watu wanataka mabadiliko. Ni kweli kila mtanzania atakwambia anataka mabadiliko. Ila mabadiliko gani? Je ni mabadiliko ya sura za viongozi? Je ni mabadiliko ya majina ya vyama vinavyotawala? au mabadiliko ya mfumo mzima wa utawala utakaotoa fursa kwa wote bila ubaguzi, na kwamba kutakua na proper checks and balances ya mihimili mikuu mitatu ya utawala. Sasa utagundua kelele nyingi za KATIBA MPYA ni kama zimebakia kama ni distant echo. Hii ni kwa sababu upepo sasa hivi unaelekea kubaya kwa chama tawala na unavuma kusukuma mageuzi kwenye uchaguzi mkuu ujao 2015. Je, tukibadili sura na chama, lakini tukaacha KATIBA ya kibabe ileile, inayominya na kumpa mkuu wa nchi mamlaka ya mungu mtu, je tutakua tumetatua matatizo yetu? Huu ushabiki kwenye mambo serious unani unsettle kwa kweli, kama tunataka mageuzi ya ukweli basi suala la katiba mpya lazima liwe ni la paramount importance kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015. Ila kwa mwendo ulivyo hope zangu zinazidi kufifia. Tutapiga kura, tutachagua sura na chama, halafu baadae tutakuja kugundua tumetengeza wakoloni wapya weusi.
2017-01-17T13:16:44
https://www.jamiiforums.com/threads/igunga-ni-kielelezo-cha-uwendawazimu-wetu-makala-mwananchi-jumapili.176055/
[ -1 ]
Mashindano ya kuania kiti cha rais wa Marekani | Magazetini | DW | 06.03.2008 Mashindano ya kuania kiti cha rais wa Marekani Kishindo kwa chama cha Democrats kinazidi wakati warepublican wameshamchagua mgombea wao Hillary Clinton mgombea mmojawapo wa chama cha Democrats Wahariri wa magazeti ya Ujerumani hii leo wamemulika kwa mapana na marefu mashindano ya kuania tikiti ya vyama vya Republican na Democrats kugombea wadhifa wa rais uchaguzi utakapoitishwa Marekani November mwaka huu.Wahariri wengi wanahisi kwa upande wa chama cha Democrats kinyang'anyiro kati ya wagombea wawili kinazidi kusisimua.Senator Hillary Clinton amezuwia ushindi mfululizo wa mpinzani wake chamani Barak Obama alipoibuka na ushindi Texas,Ohio na Rhode Island.Gazeti la DRESDNER NEUESTEN NACHRICHTEN linachambua: "Anastahiki kuvuliwa kofia:Bibi huyo shupavu,senetor wa New-York amedhihirisha anaweza.Mageuzi yanayopigiwa upatu na Obama hayajawababaisha watu jumanne hii.Mambo yamebakia kama yalivyokua Clinton anashinda katika miji mikubwa na Obama miji midogo.Obama kamtia munda Clinton lakini hakumuangusha. "Wote waliofikiria Hillary Clinton yake yamekwisha,amejidanganya.Na kusema kweli lingekua kosa kuamini kwamba senetor huyo wa New-York kweli kapigwa kumbo.Ikulu ya Marekani ni ukumbi wake Hillary Clinton,na sio kama mke wa rais,bali kama rais hasa. Kwa maoni ya STUTTGARTER ZEITUNG mashindano ya wagombea hao wawili yanaweza kuwa na hatari kwa chama cha Democrats.Gazeti linaendelea kuandika: "Wagombea hawa wawili wanaijongela njia ya sirata.Hakuna ajuaye kama wataweza kudhibiti mkondo wa hujuma wanazotupiana.Hasimu yao wa chama cha Republican John McCain ameshajikwamua . Kuna mada kadhaa zinazohitaji kushughulikiwa kuanzia Irak hadi kufikia sera za kiuchumi.McCain anawakati wa kutosha hivi sasa kuzungumzia mada hizo.Na kusema kweli yeye ndie mshindi wa kweli wa mashindano ya jumanne iliyopita -ameshajikingia sauti za wajumbe wote wanaohitajika ili aweze kuteuliwa kugombea wadhifa wa rais wa Marekani." Maoni sawa na hayo yametolewa pia na mhariri wa gazeti la DIE TAGESZEITUNG anaeandika: "March nne mwaka 2008 ni tarehe inayoweza kuingia katika madaftari ya historia ya Marekani,kama siku iliyoshuhudia kuchaguliwa John McCain kua rais wa 44 wa Marekani.Katika wakati ambapo McCain amejipatia thibitisho timamu la kuwa amgombea wa chama cha Republican,wademocrats wameitupa fursa ya mwisho ya kumteuwa mtu anaeweza kupigania nafasi ya kuingia ikulu ya Marekani bila ya kutanguliza mbele hujuma.Hillary Clinton amethibitisha ushindi wake katika miji mitatu,ni matokeo ya hujuma zake dhidi ya Barack Obama.Kwa hivyo ataendelea na mkondo huo huo.Lakini kwa kuendelea kumhujumu Obama,anachanagia pia kuwafanya wapiga kura wakike na wakiume ambao hawampendi,wazidi kumchukia.Na wakati huo huo anafanya kazi ambayo kimsingi iliokua ya John McCain na chama chake cha Republican. Gazeti la FRANKFURTER RUNDSCHAU linazungumzia pendekezo la bibi Clinton la kutaka kushirikiana na Obama.Gazeti linaendelea kuandika: "Sio tuu kwa wagombea,shinikizo linawakaba pia wapiga kura kutaka iamuliwe haraka.Wengi wa wafuasi wa chama cha Democrats wanataka kuona ushirika naiwe kati ya Clinton na Obama au Obama na Clinton.Linapohusika suala la madaraka nchini Marekani anaejulikana ni mshindi na aliyeshindwa tuu.Hakuna atakaeridhika na cheo cha makamo wa rais kwa wakati wote ule ambao nafasi ya kuingia ikulu ya white House ipo,hata kama Hillary Clinton ameshagusia uwezekano huo.Kwa hivyo mapambano yanaendelea.Hakuna lakini Mdemocrats yeyote anaetaka kuona chama chao kikila hasara kwa kuibuka wagombea wawili wa kihistoria-mmarekani mweusi au mmarekani wa jinsia ya kike. Mwandishi Lausch, Walter Kiungo https://p.dw.com/p/DJLt
2018-12-12T03:30:51
https://www.dw.com/sw/mashindano-ya-kuania-kiti-cha-rais-wa-marekani/a-3172657
[ -1 ]
Jihadul Islami: Iran inahimili vikwazo vya kila namna kwa ajili ya kuihami Palestina - Pars Today Jihadul Islami: Iran inahimili vikwazo vya kila namna kwa ajili ya kuihami Palestina Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya harakati ya Jihadul Islami ya Palestina amegusia maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds yaliyofanyika jana Ijumaa kote duniani na kukumbusha kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imejikubalisha kuhimili na kuvumilia mashinikizo na vikwazo vya kila namna vya mabeberu kwa ajili ya kuhami malengo matukufu ya Palestina. Nafiz Izam alisema hayo jana na kuongeza kuwa, ujumbe wa Siku ya Kimataifa ya Quds ni kuwatangazia watu wote duniani kwamba malengo matukufu ya Palestina yako hai mbele ya umma wa Kiislamu na kamwe hayawezi kufa. Amesema, licha ya kuweko njama nyingi sana za kuangamiza malengo matukufu ya Palesina, lakini katika Siku ya Quds, Waislamu kote ulimwenguni huwatangazia walimwengu wote kwamba wameshikamana vilivyo na Kibla chao cha Kwanza yaani Msikiti wa al Aqsa na mji mtakatifu wa Baytul Muqaddas na malengo yote matukufu ya Palestina. Nembo ya harakati ya Jihadul Islami ya Palestina Mjumbe huyo mwandamizi wa harakati ya Jihadul Islami ya Palestina vile vile amegusia jinsi Wazayuni wanavyofanya njama za kufuta kabisa athari za Kiislamu katika mji wa Quds na kusema, Quds ndio mhimili wa mapambano kwani Wazayuni hawajasita hata mara moja kufanya njama za kuuyahudisha mji huo mtukufu, kuwafukuza wenyeji wake, kuwabana Waislamu na kuwapora mali na ardhi zao. Hata hivyo amesema, njama na ukatili wote huo umefeli kwani Quds imekita mizizi katika nyoyo za Wapalestina na kwenye nyoyo za wananchi wa nchi za Kiarabu na wa ulimwengu mzima wa Kiislamu. Miongo minne iliyopita, Imam Khomeini MA, mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran aliitangaza Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani kuwa Siku ya Kimataifa ya Quds. Mwaka huu siku hiyo muhimu iliadhimishwa jana Ijumaa tarehe 22 Mei 2020 kote ulimwenguni.
2020-05-26T23:10:36
https://parstoday.com/sw/news/middle_east-i61148-jihadul_islami_iran_inahimili_vikwazo_vya_kila_namna_kwa_ajili_ya_kuihami_palestina
[ -1 ]
Mbelwa nusura avunje pua Namibia - Mwanaspoti | PressTZ - Your Number 1 Source of Aggregated Online Content Mbelwa nusura avunje pua Namibia UMEWAHI kusikia bondia wa uzito wa juu (heavy weight) anazichapa na yule wa uzani wa kati (middle weight)?, hiyo ilimkuta bondia wa Bongo, Said Mbelwa ambaye anakwambia nusura anyofolewe pua na konde lililomzidi uzito kisa kucheza pambano lisilomhusu.
2019-01-21T09:26:52
http://presstz.net/mbelwa-nusura-avunje-pua-namibia-45602008
[ -1 ]
Waziri Maselle Mbunge wa SHY hatakiwi kukanyaga SHY, Madini yapo SHY atakwenda wapi | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Waziri Maselle Mbunge wa SHY hatakiwi kukanyaga SHY, Madini yapo SHY atakwenda wapi Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Makollo, May 8, 2012. Makollo Mi napata shida kwa mbunge wa shinyanga mjini aliyeteuliwa naibu waziri nishati na madini atafanya kazi kwa aman kweli ambapo toka uchaguzi wa 2010 hajakanyaga shinyanga na ukitizama migodi muhimu tz ipo shinyanga mi naomba angeachia tu huo uwaziri. kwani alishawahi kwenda akasumbuliwa? Jimbo lake lipo Magogoni Makollo said: Mi napata shida kwa mbunge wa shinyanga mjini aliyeteuliwa naibu waziri nishati na madini atafanya kazi kwa aman kweli ambapo toka uchaguzi wa 2010 hajakanyaga shinyanga na ukitizama migodi muhimu tz ipo shinyanga mi naomba angeachia tu huo uwaziri.Click to expand... Unajua watu wana hasira nae bado pale shinyanga,siku ya kutangaza matokeo alitangazwa kuwa mbunge kwa kumzidi kura moja tu mpinzani wake toka CDM,na hilo lilisababisha vurugu ambazo zilipelekea kuchomwa moto jengo la halmashauri lililotumika kuhesabia kura na wananchi wa shinyanga Na yeye aliondoka kwa msaada wa polisi na tangia hapo haijulikani kama huwa anarudi kwao shy au la! Na kibaya zaidi yule mpinzani wake wakati akiwa anasudiri kuanza kwa kesi ya kupinga matokeo mahakamani yaliyompa massele ubunge naye akafariki katika mazingira tata na tete pia.jambo ambalo limeongezea petroli kwenye moto. * Sasa yeye anakuwa waziri pekee mwenye rekodi ya kihistoria ya ushindi wa kura moja tu. * pia ankuwa mbunge pekee ambaye anawakilisha watu ambao anawaogopa sijui anajuje , shida zao. * Huyu naye ameingia kwenye orodha ya wabunge wa vodafasta! Yaani asubuhi mbunge,saa nane waziri bila hata kuapa kuwa mbunge skalulu Huyu kwetu Shy hatujui kama yeye ni Mbunge, leo tena ni waziri? Hata kama ameshinda kesi hiyo kihuni, lakini akae anajuwa kwamba alitenda DHAMBI kubwa mbele za Watu waliomchagua Mbunge wao Mpenwa Marehemu Philipo Magadula Shelembi, na ametenda DHAMBI kubwa mbele za Mwenyezi Mungu. But kamwe HATARUDI 2015 hiyo ndo nitolee tena. Na wamwangalie sana asije akawa kama hawa Mawaziri walio tiririshwa, atapiga hela fasta fasta akiwa anajuwa kabisa hatarudi.Mmenitonesha kabisa hapa wakati huyu alikuwa ameachwa mbali sana kwenye Kura, na dola walihusika kupoteza kumbumbu kwa maksudi. Unajua watu wana hasira nae bado pale shinyanga,siku ya kutangaza matokeo alitangazwa kuwa mbunge kwa kumzidi kura moja tu mpinzani wake Kumbe, sijutiii kujiunga JF, hapa unafahamu mengi !!!!! Mtu akashinda kwa kura moja tu !!!!! Halafu Mpinzani wake akafariki. Kama nguvu hizi zinazowekezwa kuutafuta ufalme wa dunia hii, zingetumika hivyo kulinda nchi, tungekuwa mbali.Click to expand... Masele is my opponent in 2015 election, who won't dare killing me eithea as spread rumorz of killing otherz. Just hold on, more storiz to come. Am nw organizing myself. I was born in Shy, raised in Shy and stay in Shy! True, no one needs Masele in Shy. And I dnt thnk if he ever comeback to Shy, may be secretly! Huyu alishinda kwa kura moja,nasikia ni mchawi sana shinyanga anakuja daily kwa ungo kammaliza kanumba, alimmaliza selembi Huyu alishinda kwa kura moja,nasikia ni mchawi sana shinyanga anakuja daily kwa ungoClick to expand... sure kabisa, ana bibi yake matata kwa ulozi si wa kucheka naye hata kidogo. Sasa atakja kwa helicopter badala ya ungo! Sheshejr said: sure kabisa, ana bibi yake matata kwa ulozi si wa kucheka naye hata kidogo.Click to expand... MAKUBWAAAA.....inaonekana bibi yake alisinzia siku hiyo aliposhtuka aliokoa hio kura MOJA! Dead or alive-masele must go. kwani alishawahi kwenda akasumbuliwa?Click to expand... mwezi wa kwanza alikuja akafanya mkutano stand ya zamani na hakufanyiwa vurugu mm ninaushahidi
2016-12-06T18:06:16
http://www.jamiiforums.com/threads/waziri-maselle-mbunge-wa-shy-hatakiwi-kukanyaga-shy-madini-yapo-shy-atakwenda-wapi.263750/
[ -1 ]
MHE. AHMED M. SHABIBY: Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante na mimi kuwa mmoja wa wachangiaji katika hotuba ya Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano. Napenda kumpongeza Mheshimiwa Waziiri pamoja na timu yake yote katika Wizara hii. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, cha pili ni kuhusu barabara zangu za jimbo la Gairo ambayo ni ahadi ya aliyekuwa Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli, ambayo aliitoa tarehe 26 Juni, 2014 tarehe 26. Kwanza ni shukuru, maana usiposhukuru na kidogo basi ujue wewe shukrani huna tu hata ukienda mbinguni huko ni hivyo. Ukiangalia hata kwenye youtube ukiandika tu Magufuli Gairo au Magufuli aitwa jembe Gairo utaona hotuba yake inakuja pale. Alitoa ahadi ya barabara ya kutoka Gairo kwenda Chakwale kwenda Kilindi kwa kiwango cha lami. Alitoa ahadi ya kuweka Mji wa Gairo kilometa 5 za lami Gairo Mjini. Alitoa ahadi ya Gairo - Nongwe kilometa 76 kuchukuliwa au kukasimiwa na TANROADS. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, lakini nasema hivyo kwanza na mpongeza Mheshimiwa Rais, na ninamshukuru Mheshimiwa Rais na ninamshukuru Waziri wa ujenzi kwamba; nikiangalia katika hotuba ya kitabu cha Waziri wa Ujenzi ukurasa wa 339 naiona barabara ya Nongwe imetengewa zaidi ya milioni 900 na kwa bahati nzuri mkandarasi wa kuweka lami Gairo Mjini tayari yupo kazini pale na anaendelea kazi ya kuweka zile kilometa tatu za lami. Nilikuwa namuomba Mheshimiwa Waziri, kwamba katika ahadi ya Mheshimiwa Rais ya kilomita 5 zimebakia kilometa mbili, na wakati Mheshimiwa Waziri wa Ujenzi anatupa ahadi ya unjezi wa kilometa tano alikuwa anaelewa matatizo yaliyopo pale. Kwa hiyo, tumepewa kilometa tatu lakini tunaomba hizi kilometa mbili zimaliziwe haraka, kwa sababu mwaka huu sijaziona kwenye bajeti. Mheshimiwa Naibu Spika, kwa sababu ukiacha hizi kilometa tatu peke yake ni sawa sawa na mtu kumvalisha koti la suti halafu chini umemvalisha kaptula. Kwa hiyo naomba tumalize hizi kilometa mbili. Vilevile nikiangalia ile barabara ya kutoka Gairo kwenda Kilindi kwa ndugu yangu Kigua, ambayo ingesaidia hata watu wanaotoka Iringa kupitia Dodoma, Zambia wapi kwenda bandari ya Tanga kwa sababu pale ni karibu sana kutoka Gairo mpaka Kilindi ni kilometa 100 tu nayo haimo kwenye bajeti. Kwa hiyo na washauri na najua hii Wizara ni sikivu mtaweka. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, cha zaidi ambacho nilitaka kukiongea kwa leo ni kuhusu habari ya mashirika ya umma. Watu wengi wamepongeza sana mashirika yote ya umma ambayo yako chini ya Wizara hii ya Ujenzi. Wizara hii ya Ujenzi ni moyo wa nchi, Wizara hii ina taasisi 37, na moja ya hizo Taasisi kubwa nizitaje chache kuna TTCL, Posta, Bandari, ATC, TRA, hizo nikutajie tano ambazo zote ni kubwa kabisa. Nataka niseme kwamba namshukuru Mheshimiwa Rais, nimpongeze pamoja na Mheshimiwa Wazari na Mheshimiwa Naibu Waziri na Makatibu wa Wizara hii wote kwa kupata Bodi ambazo zinaongozwa na watu ambao wana weledi, wajumbe wenye weledi na ma-CEO. Ukichukua taasisi zote nilizozitaja ma-CEO ni vijana na ni wazuri kabisa. Mheshimiwa Naibu Spika, wasiwasi wangu uko wapi? Haya mashirika ambayo yako kwenye hii Wizara ukiangalia sana ya natakiwa yaendee kibiashara. Shirika la Reli lazima liende kibiashara, TTCL lazima iende kibiashara, ATCL lazima iende kibiashara, Posta lazima iendee kibiashara, bandari lazima iendee kibiashara hata Mheshimiwa Rais wakati ananua ndege alijua kabisa. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika hakuna watu wanafiki kama baadhi ya sisi Wabunge. Miaka ya juma tunapiga kelele tunafananishwa na Rwanda. Rwanda wana ndege sisi hata kimoja hichi kibovu bovu, leo ndege zimekuja mnaanza kusema ndege sio kipaumbele cha kwanza. Mimi nasema vyote ni vipaumbele, lakini viongozwe kwa mujibu wa sheria za kibiashara, hicho ndio cha msingi. Kwa mfano, unaunda Bodi, zina madaktari, zina maprofesa zina wajumbe safi halafu baadaye tena hapo hapo yanatoka maagizo, matamko kutoka huku ya naingilia kwenye ile Bodi. Sasa kuna faida gani ya kuweka Bodi mpya? Acheni watu wafanye kwa kutumia utaalamu wao. Kama mmeweka Bodi basi acheni Bodi pamoja na ma-CEO wao na Menejimenti zifanye kazi yake; lakini kutakuwa na faida gani ya kuweka bodi mpya halafu mnaziingilia ingilia? Hii ni biashara jamani. Mheshimiwa Naibu Spika, mimi ni wapeni mfano mmoja hili shirika letu la TTCL; hili ni shirika ambalo lingekuwa linachangia uchumi wa Taifa. Tuchukue mfano wa shirika la simu la Ethopia, kwa mwaka wanatengeneza dola bilioni 3.3, ukitoa kodi wanabaki na dola bilioni 1.5. Kwenye mfuko wa Serikali wanachangia karibu dola milioni 300, hiyo ni sawa sawa na bilioni zaidi ya 700 za Tanzania. Sasa haya sio tunawategemea TRA lazima tuwe na mashirika ambayo yataingiza hela kwenye Serikali. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, ukiangalia uwekezaji wa TTCL, ili ifike Tanzania nzima itachukua zaidi ya miaka, na ikimaliza kufika huko vijijini na sehemu nyingine hawa Vodacom na kampuni zingine kama Tigo, watakuwa tayari wana mitandao mipya. Wakati huko huko Serikali tena ina asilimia 40 kwenye Shirika la Airtel, kama Wabunge hawafahamu. Asilimia 40 ya Airtel ni hela ya Serikali ya Tanzania, lakini toka hizo asilimia 40 ziwekwe kwenye Airtel kila siku Airtel wanapata hasara hawaleti faida hata shilingi moja kwenye Serikali. Sasa kwa nini hizo hisa za kwo 60 zilizobakia tusizinunue ziwe za Serikali (TTCL) halafu tutakuwa tayari tumeshajigawanya, tumeshachukua mitambo ya Airtel tunakuwa tayari tuko Tanzania nzima na tunaingia kwenye compentintion? Kuliko kuacha asilimia 40 wakati ilie asilimia 40 kila siku hawapati faida. Kwa hiyo, hela ya Serikali imekaa tu Airtel. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, tukija kwenye shirika la ndege; uwekezaji wa ndege si mchezo. Ukiwa bilionea ukitaka kuwa milionea ingia kwenye biashara ya ndege. Inataka lazima muwe na mtaji na lazima uweke mtaji. AHMED M. SHABIBY: Mheshimiwa Naibu Spika, ila hilo shirika linatakiwa lipewe hela lijiendeshe, TTCL.
2020-01-27T17:54:51
http://www.parliament.go.tz/polis/index.php/contributions/5040
[ -1 ]
MICHUZI BLOG: MAADHIMISHO YA SIKU YA MTOTO WA KIKE DUNIANI: BARAZA LA WOTOTO MKOANI MWANZA LATAKA MTOTO WA KIKE KUPEWA FURSA SAWA KATIKA JAMII '; if(img.length>=1) { imgtag = '
2017-09-24T22:57:12
https://issamichuzi.blogspot.com/2016/10/maadhimisho-ya-siku-ya-mtoto-wa-kike.html
[ -1 ]
"TUMEWEKA MBELE MASLAHI YA WANACHAMA WETU" - Mkurugenzi Mkuu NHIF - Wizara ya Afya Tanzania "TUMEWEKA MBELE MASLAHI YA WANACHAMA WETU" - Mkurugenzi Mkuu NHIF Mkurugenzi Mtendaji Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Bw. Bernard Konga akisema jambo wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Pili la Wafanyakazi wa Mfuko huo Jijini Dodoma. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt Binilith Mahenge akisema jambo wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Pili la Wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya. Na NHIF - Dodoma 0 on: ""TUMEWEKA MBELE MASLAHI YA WANACHAMA WETU" - Mkurugenzi Mkuu NHIF"
2020-07-02T23:22:06
https://afyablog.moh.go.tz/2019/02/tumeweka-mbele-maslahi-ya-wanachama.html
[ -1 ]
Msijitie Kiwewe Zanzibar ina wenyewe | Wasiliana nasi kupitia [email protected] | Page 2 March 3, 2016 in Habari. Jeshi la Polisi limeendelea na kamatakamata ya wapinzani wa vyama vinavyounda Ukawa katika maeneo mbalimbali likieleza sababu tofauti za kijinai zinazohusishwa na masuala ya kisiasa. Source: Polisi, Ukawa jino kwa jino Maalim Seif atetewa Zanzibar Chama cha Wanasheria Zanzibar (ZLS), kimesema Mkurugenzi wa Mashitaka Zanzibar (DPP), Ibrahim Mzee Ibrahim, aachwe afanyekazi yake bila ya kuingiliwa na wanasiasa kuhusu kukamatwa na kufunguliwa ma… Source: Maalim Seif atetewa Zanzibar Katika siku za karibuni, Jeshi la Polisi Zanzibar mara kwa mara limekuwa likitoa tahadhari kwa wananchi kujiepusha na vitendo vinavyoweza kusababisha kuchafuka kwa amani visiwani. Source: Mazombi wanataka kuizuishia balaa Zanzibar February 24, 2016 in Habari. Source: CUF yataka Eddy Riyami aachiliwe haraka
2017-08-20T05:40:52
https://zenjibarza.wordpress.com/page/2/
[ -1 ]
Nyaruguru: Bahawe amafaranga miliyoni 25 yo kurwanya imirire mibi n’igwingira :: RDN Nyaruguru: Bahawe amafaranga miliyoni 25 yo kurwanya imirire mibi n’igwingira Yanditswe na RUKUNDO Emmanuel Kuwa 29/06/2019, Saa 18:01:40 Yasuwe inshuro 178 Ikigo cy’itumanaho mu Rwanda cya MTN, kuri uyu wa 29 Kamena 2019 ccyashyikirije Akarere ka Nyaruguru sheki iriho miliyoni 25 z’amafaranga y’u Rwanda, agamije gufasha abaturage b’amikoro macye kurwanya imirire mibi n’igwingira. Ni igikorwa cyakorewe mu muganda rusange usoza ukwezi kwa Kamena 2019, wabereye mu murenge wa Kibeho, Akagari ka Mubuga, Umudugudu wa Nyarwumba. Umuyobozi wa MTN Foundation Mukarubega Zulfat, yavuze ko mu bikorwa bakora bagena buri mwaka 1% cy’ibyo bungutse, kikunganira Leta mu gukemura ibibazo bibangamiye imibereho myiza y’abaturage. Yagize ati:” MTN Foundation yabayeho kubera ikigo cya MTN muzi, buri mwaka dukora ibikorwa bitandukanye, tugamije kuzamura imibereho myiza y’abaturage." Iyi nkunga yatanzwe izafasha mu gushyigikira ibikorwa by’amarerero agera kuri 996 ari mu midudugudu yose y’Akarere ka Nyaruguru. Amarerero agamije kugaburira abana indyo yuzuye, kurwanya igwingira, no gukangura ubwonko bw’abana. Ubuyobozi bw’Akarere ka Nyaruguru buvuga ko, ikibazo cy’imirire mibi n’igwimgira bumaze kukirwanya gusa ngo abaturage nti bakwiye kwirara. Umuyobozi wa MTN Foundation Mukarubega Zulfat Umuyobozi w’Akarere Habitegeko Francois yagize ati:" Igwingira n’imirire mibi tugeze kure tubirwanya, ubu nta muturage wacu utazi gutegura indyo yuzuye. Gusa na none nta kwirara, turakangurira ababyeyi gukomeza gushyigikira gahunda y’igikoni cy’umudugudu no kujyana abana mu Marerero." Uyu muyobozi akomeza avuga mu karere ka Nyaruguru bashyize ingufu mu gukangurira imiryango guhinga imboga z’amoko atandukanye, gutegura indyo yusuye, gutanga amatungo magufi nk’inkoko n’ihene, ndtse na gahunda ya shishakibondo, n’amarerero yo mungo aho bafite 3 muri buri mudugudu. Akarere ka Nyaruguru, igwingira n’imirire mibi biri ku kigereranyo cya 41,7% mugihe mu gihugu hose biri ku kigereranyo cya 38%. Umuyobozi w’Akarere Habitegeko Francois Yasuwe inshuro 929
2019-11-12T04:34:27
http://rwandadailynews.com/amakuru/mu-rwanda/article/nyaruguru-bahawe-amafaranga-miliyoni-25-yo-kurwanya-imirire-mibi-n-igwingira
[ -1 ]
Nauza contacts za watu na majina yao | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Nauza contacts za watu na majina yao Discussion in 'Matangazo madogo' started by kwelakenya, Aug 9, 2012. Wadau, kuna promotion/sampling ya kampuni moja tulifanya na tukakusanya majina pamoja na namba zao za simu.Kwa yule anaehitaji nimuuzie tuwasiliane.Ni contacts kama 3,000 za watu wa Dar. kwelakenya said: Wadau, kuna promotion/sampling ya kampuni moja tulifanya na tukakusanya majina pamoja na namba zao za simu.Kwa yule anaehitaji nimuuzie tuwasiliane.Ni contacts kama 3,000 za watu wa Dar.Click to expand... Fafanua kidogo, nikishanunua mimi nafanyia nini? unauza kiasi gani? Nina hakika gani kama hizo number za simu bado wanatumia? Je ulikusanya sample ya watu wa aina gani? hawa wadau unaotaka kutuuzia namba zao wanajihusisha na nini? Kwa hiyo wewe ni mwizi, unaiibia hiyo kampuni kinyume na utaratibu wao. Ndo maana wakati flani watu huwa hawatoi ushirikiano kwenye studies mbalimbali kwa sababu ya watu wa namna yako, yaani contacts na jina la mtu unalifanyia biashara pasipo ridhaa yake du, hii dunia kuna biashara, sasa mleta maada, hizo contact mtu ananunua ili afanyie nini hasa? Je afanyie biashara? au za kutongozea means atafute zenye majina ya ke/me aanze kupiga sound, make hivi hivi inakua ngumu Namba ya simu ya Robert Mugabe unauza bei gani? Labda anamaanisha kuwa kwa wale wanaohitaji contacts kwaajili ya kazi!! Msimshangae na kuuliza huwa ni za nini! Huwa ni kwa ajili ya database ambayo kwa kampuni zinazojishughulisha na SMS marketing wanahitaji sana hizo number ndo msingi wenyewe wa hiyo biashara...kumbukeni kipindi cha kampeni mlikuwa mnatumiwa message za ajabu ajabu ndo mtindo wa kukusanya number zetu uliotumika, Njaa mbaya wajameni...what the hell is this? tutajionea mengi duniani hapa kabla ya kurudi kwa Baba. Aisee...At this information age you still thinking you can make such easy money. By the way clean people do not hide their profile and hence their information. Hizo unazotaka kuuza labda ni za watu wanaotafutwa na polisi. Isaidie nchi yako ... peleka tu hizo information polisi. Namba ya simu ya Robert Mugabe unauza bei gani?Click to expand... Kwanini nisitumie vile vitabu vinavyotolewa na kampuni ya simu ya ttcl! Naona unalikaribia geti la Segerea! Dunia haiishi vituko. Jamaa kakaanga mbuyu kawaachia wenye meno watafune! Kwa nini mtu asitumie telephone directory na anunue kwako? Kwa nini mtu asitumie telephone directory na anunue kwako?Click to expand... swali la kipuuzi.................. Ha..ha..ha Kweli wabongo tunaelekea pazuri.Tatizo lako sasa ni kwenye kuzifanyia pricing hizo contacts,najua utakosea tu. Give me a cut & i'll put a price tag to those numbers.
2016-10-28T00:55:40
http://www.jamiiforums.com/threads/nauza-contacts-za-watu-na-majina-yao.305288/
[ -1 ]
WATU WAFARIKI KATIKA MATUKIO MAWILI TOFAUTI MKOANI MBEYA LIKIWEMO LA MTOTO MDOGO KUTUMBUKIOA CHOONI | CHIMBUKO LETU Home » »Unlabelled » WATU WAFARIKI KATIKA MATUKIO MAWILI TOFAUTI MKOANI MBEYA LIKIWEMO LA MTOTO MDOGO KUTUMBUKIOA CHOONI WATU WAFARIKI KATIKA MATUKIO MAWILI TOFAUTI MKOANI MBEYA LIKIWEMO LA MTOTO MDOGO KUTUMBUKIOA CHOONI Watu wawili wamefariki dunia katika matukio mawili tofauti mkoani Mbeya likiwemo tukio la kwanza lililotokea, mtaa wa Ilolo Igoma "A" kata ya Isanga jijini Mbeya ambapo mtoto aitwaye Ivon Mwakyusa (3) amekutwa amekufa katika shimo la choo. Tukio hilo la mtoto kufariki limetokea katika choo kinachomilikiwa na Bwana Robert Edson Mwambegere (29) ambapo ni umbali wa mita 50 kutoka anyumbani alipokuwa akiishi na wazazi wake. Mzazi wa mtoto huyo Bwana Upendo Mwakyusa amesema mwanae alitoweka nyumbani majira ya saa 8 mchana, Novemba 20 mwka huu na mara baada ya kupotea kwa mtoto huyo taarifa ilitolewa sehemu mbalimbali vikiwemo vituo vya Redio lakini bila mafanikio hadi majira ya saa mbili alipokutwa amefariki katika shimo hilo la choo. Mwenyekiti wa mtaa huo Bwana Juma Kahawa alitoa taarifa Kituo cha Polisi ambapo Polisi walifika na kuuchukua mwili wa marehemu hadi Hospitali ya Rufaa jijini hapa kwa uchunguzi zaidi. Hili ni tukio la pi9li kutokea kwa mawaka huu katika mtaa huo wa Igoma A, ambapo mwezi Mei mtoto mwingine alikutwa amefariki katika kisima cha maji kinachomilikiwa na Bwna Juma Kahawa ambaye ni mwenyekiti wa mtaa huo. Kutokana na kukerwa na matukio hayo wananchi wa mtaa huo waliamua kufanya mkutano wa hadhara kulaani vikali vitendo hivi vimavyohusishwa na imani za kishirikina na kuamua kuendesha zoezi la upigaji kura za maoni ambapo jumla ya kura 150 zilipigwa, na kura 9 ziliharibika, huku kura 1 ili mtaja mama mmoja, Kura 20 zilimdondokea Mganga wa tiba ya jadi na kura 120 zilimtaja kiongozi mmoja wa kijijini hapo. Hata hivyo walioweza kupigiwa kura hawakuwepo katika mkutano na Damian Matipa na azimio la wananchi hao ni kuwa watu hao hawatakiwi kuwepo kijijini hapo kutokana na kujihusisha na mambo ya kishirikina, ndipo wananchi waliamua kuandama kwenda Kituo cha Polisi Mwanjelwa jijini hapa kushikiza watuhumiwa hao kuhamaeneo hilo. Aidha katika kijiji cha Igoma "I" wilayani Mbeya vijini mwanaume asiyefahamika jila wala makazi, na umri unaokadiliwa kati ya 30 hadi 40 ameuwawa kwa kupingwa vitu butu kichwani na mwananchi wenye hasira kali majira ya saa 7 mchana ndani ya nyumba ya Selina Sanga (28). Chanzo cha kifo hicho ni kutokana na wivu wa kimapenzi kwani marehemu alikwenda kumsalimia mpenzi wake Selina na kumkuta mwanaume mwingine ndani ndipo Selina alipiga kelele za kuvamiwa ndipo kundi la wananachi wenye hasira kali kumshambulia hadi kufa mwanaume huyo. Selina Sanga ambaye ni mfanyabiashara na mkazi wa Igoma amekamatwa na Jeshi la polisi mkoani hapa kwa mahojiano zaidi na mwili wa marehemu umehifadhiwa katika Hospitali ya rufaa jijini hapa. Kwa upande wake Kamanda wa Polisi mkoani hapa Advocate Nyombi amethibitisha kutokea kwa mauaji hayo na kwamba jeshi la polisi linafanya uchunguzi wake.
2018-02-25T21:13:33
http://www.chimbukoletu.com/2011/11/watu-wafariki-katika-matukio-mawili.html
[ -1 ]
Sauti ya raia: Haya ndiyo yaliyosemwa na Marjaa Dini mkuu tarehe (16/12/2011m). Mara nyingi na kabla ya kupangwa bajeti yeyote ya taifa, Marjaa Dini mkuu alikua anahusia kupewa kipaombele huduma za kijamii na kupambana na ukosefu wa ajira, akatoa maelekezo mazuri na akashauri kuacha kutegemea mafuta kama pato pekee la taifa, kwa ajili ya maendeleo ya uchumi wa taifa. Tunataja aliyosema Marjaa Dini katika khutuba ya pili ya swala ya Ijumaa iliyo swaliwa ndani ya haram tukufu ya Imamu Hussein (a.s) (20 Muharam 1433h) sawa na (16/12/2019m) iliyo tolewa na Mheshimiwa Shekh Abdulmahadi Karbalai. Kuhusu bajeti ya mwaka (2012m) iliyokua inawasilishwa bungeni wakati huo, alihusia umuhimu wa kuwepo kwa mazungumzo kati ya kamati ya mali bungeni pamoja na baraza la mawaziri, kuhusu umuhimu wa kuendeleza sekta ya viwanda, kilimo na utalii wa kidini, wala wasiendelee kutegemea mafuta kama pato pekee la taifa, kwa sababu zifuatazo: 1- Pato la mafuta linategemea huruma ya soko la mafuta la dunia, bie yake hubadilika mara kwa mara kutokana na mabadiliko ya uchumi wa dunia jambo linalosababisha kutokua na uchumi tulivu hivyo kuathiri maendeleo ya taifa. 2- Kushughulikia tatizo la ukosefu wa ajira kwa kuboresha sekta ya viwanda, kilimo na utalii. 3- Kutumia wasomi na wabunifu wazalendo. 4- Kujenga uchumi wa kujitegemea na kuepuka uchumi tegemezi.
2020-06-03T13:58:04
https://alkafeel.net/news/index?id=9581&lang=sw
[ -1 ]
Mpenzi wangu akinisaliti siwezi kumvumilia – Uwoya afunguka – Global Radio Mpenzi wangu akinisaliti siwezi kumvumilia – Uwoya afunguka December 10, 2019 Burudani STAA wa BongoMovie, Irene Uwoya, amesema atakuwa hana noma akimuona mpenzi wake anam ‘kiss, mwanamke mwingine au kumuita majina ya kimahaba, ila kitu atakachokishindwa ni kuona mwenza wake akimsaliti. Irene Uwoya, amesema hayo baada ya watu kujaji urafiki wa Wema Sepetu na Aunty Ezekiel, kupeana mabusu hadharani jambo ambalo si la kawaida kwa wanawake kufanya hivyo. “Mimi naona ni kawaida tu ni watu ambao wana urafiki wa muda mrefu, ku-kiss ni vitu vya kawaida tu hakuna kikubwa hapo haimanishi chochote hata kumwita mtu darling ni sawa tu, hata mimi mtu yeyote naweza kumuita hivyo” amesema Irene Uwoya. Aidha akizungumzia kuhusu mpenzi wake, kufanya kitendo cha kum ‘kiss’ mwanamke mwingine Irene Uwoya amesema. “Kwangu mimi mwanaume wangu akimkiss mwanamke itategemea, unajua kuna kiss zinatofautiana ukifanya hivyo katika hali ya urafiki inaonekana na ukifanya katika hali ya mapenzi inaonekana pia, mimi nitachukulia kitu cha kawaida cha urafiki hakuna tatizo ila akinisaliti siwezi kuvumilia” ameongeza.
2020-01-17T21:55:37
https://globalradio.co.tz/2019/12/10/mpenzi-wangu-akinisaliti-siwezi-kuvumilia-uwoya-afunguka/
[ -1 ]
KULIKONI UGHAIBUNI-79 ~ Kulikoni Ughaibuni KULIKONI UGHAIBUNI-79 BUSH, CCM, POLISI, RUSHWA, SCOTLAND Joji W.Bush anafahamika kama rais wa taifa lenye nguvu zaidi ulimwenguni.Lakini Bush ni maarufu pia kwa “kuchapia” maneno.Juzijuzi alimshangaza Malkia Elizabeth alipomshukuru kwa ziara yake ya “mwaka 1776”! kabla hajajikosoa yeye mwenyewe baada ya kugundua kwamba ameboronga.Wiki iliyopita alirudia tena “mchemsho wake” huko Australia.Kwanza alimshukuru John Howard,waziri mkuu wa Australia,pamoja na nchi yake kwa mchango wa jeshi la “Austria” huko Iraki (ni kweli majina ya nchi mbili hizo yanachanganya lakini si vigumu kubaini kwamba moja iko bara la Ulaya na nyingine iko Oceania).Na hakuishia hapo.Alianza hotuba yake moja kwa kumshukuru Howard kwa ukarimu wake na kuwa mwenyeji mzuri wa kikao cha OPEC (ilhali ukweli ni kwamba Australia ilikuwa mwenyeji wa kikao cha APEC).Lakini “machale” yalimcheza na kurekebisha haraka “blunder” hiyo.OPEC ni “Organization of Petroleum Exporting Countries” (ambapo Australia haijawahi kuwa mwanachama) wakati APEC ni kifupi cha “Asia Pacific Economic Co-operation”.Ukidhani ngoma iliishia hapo basi umekosea kwani Bush alijikuta akijiumauma kwenye kutamka jina la kikundi kimoja cha kigaidi cha Jemmiah Islamia.Na katika hotuba yake hiyo alimwacha kiongozi mmoja kutoka ukanda wa Pacific akitabasamu baada ya “kulichapia” jina lake.Huyo ndio Joji Bush!!! Tukiwa bado kwenye anga hizo,majuzi Osama bin Laden alitoa hotuba yake ya “kuadhimisha” mashambulizi ya kigaidi ya September 11,2001 huko Marekani ambapo takriban watu 3000 walipoteza maisha.Katika hotuba hiyo Osama alikuwa akiongea kama mwanasiasa flani ambapo pamoja na mambo mengine aliwataka Wamarekani kujiunga na Uislam,alizungumzia pia “upinzani” wa baadhi ya wanasiasa wa Marekani katika suala la “global warming” na kugusia baadhi ya matatizo ya ndani ya uchumi wa nchi hiyo.Ikumbukwe kwamba Osama hajawahi kusikika hewani tangu mwaka 2004,na kujitokeza kwake kumezua maswali zaidi kuliko majibu.Nilikuwa naangalia kipindi cha “Late Edition” cha Wolf Blitzer wa CNN ambapo alimdadisi msaidizi mmoja wa White House kwamba je haoni kwamba kwa miaka sita tangu Osama na Al-Qaeda yake wafanye mashambulizi yao huko Marekani bado gaidi huyo sio tu kuwa yuko hai bali pia anajaribu ku-“influence” siasa za Marekani (mfano kwa kuwahubiria kuhusu “madhambi” ya viongozi wao).Wapo wanaodhani kwamba “kosa” la msingi katika msako dhidi ya Osama na kuiteketeza Al-Qaeda lilikuwa katika kuelekeza nguvu nyingi dhidi ya Saddam Hussein (ambaye madai kwamba anashirikiana na Al-Qaeda yalikuja kubainika kuwa sio sahihi) badala ya kukazania kwenye jitihada dhidi ya “adui halisi” Osama na wafuasi wake.Taarifa kutoka huko Afghanistan hazitoi picha nzuri kwani inaelekea kwamba washirika wakuu wa Al-Qaeda,kikundi cha Taliban,wamekuwa wakijiimarisha vizuri na huenda wakawa na nguvu kama walizokuwa nao kabla ya uvamizi dhidi ya Afghanistan uliiongozwa na Marekani.Na moja ya mambo yanayowaumiza vichwa watengeneza sera wa nchi mbalimbali ni hofu ya uwezekano wa Osama,Al-Qaeda,Taliban na vikundi vingine vya kigaidi kupata silaha za maangamizi ya halaiki (kwa mfano za kikemikali au kibaiolojia).Hofu hiyo inachochewa zaidi na ukweli kwamba mbio (kama zile za zama za Vita Baridi ) za kutengeneza na kuongeza uzalishaji wa silaha za nyukilia zimekuwa zikiongezeka kwa kasi. Ukiachia Mataifa “yenye ruhusa” ya kumiliki nguvu za nyuklia (kwa mfano Marekani na Israel) mataifa mengine yaliyolazimisha “haki hiyo” (kwa mfano Pakistan na India) yanaendeleza kasi ya uzalishaji huku nchi kama Iran ikilazimisha kwa nguvu kujiunga na “klabu hiyo ya nyuklia.” Wajuzi wa mambo wanabashiri kwamba kuna uwezekano mkubwa wa nchi kama Misri na Saudi Arabia nazo kujikuta zinalazimika kuingia kwenye harakati hizo (inaaminika kuwa Saudi Arabia iko mbioni kununua silaha za nyuklia iwapo tishio inaloliona kutoka Iran halitadhibitiwa).Lakini hofu hiyo inaongezeka pia kutokana na taarifa zinazodai kwamba Russia imekuwa ikizidisha uzalishaji wa silaha hizo,na kutokana na mazingira ya kihistoria na sababu za kiuchumi,nchi hiyo inaweza kuuza teknolojia na silaha za nyuklia kwa “mikono isiyostahili” (wrong hands).Je kuna uwezekano kwa nchi kama Iran,China au Russia kuuza uwezo wa kinyuklia kwa kikundi kama Al-Qaeda?Jibu langu ni hapana.Kwanini?Kwa vile naamini nchi hizo zina busara ya kutosha ya kutofanya kosa la aina hiyo ambalo pia linaweza kuwagharimu hata wao.Je kuna uwezekano wa vita vya kinyuklia kati ya taifa moja na jingine?Sidhani kama uwezekano huo ni mkubwa sana japo upo kwa mbali.Je kuna uwezekano wa shambulizi la kikemikali au kibaiolojia litakalofanywa na kikundi cha kigaidi?Jibu la kutisha ni kwamba uwezekano huo upo kwani malengo ya mashambulizi yanayofanywa na vikundi hivyo yamekuwa ni kusababisha vifo vingi,na silaha gani ni bora zaidi katika kuleta madhara ya juu kabisa zaidi ya silaha hizo.Na inajulikana kwamba vikundi vya kigaidi vimekuwa vikihangaika sana kupata teknolojia na silaha za aina hiyo.Hiyo ndio dunia tunayoishi sasa. Tuangalie mambo yalivyo huko nyumbani.Habari zinazovuma kwa sasa ni madai ya rushwa kwenye mchakato kuelekea kwenye uchaguzi ndani ya CCM.Naamini kuwa wanaofuatilia makala zangu wanafahamu bayana msimamo wangu dhidi ya rushwa na wala rushwa.Lakini niseme bayana kwamba madai ya rushwa kwenye uchaguzi huo hayanishangazi hata kidogo.Nadhani tatizo liko kwenye mkanganyiko wa suala zima la matumizi ya fedha katika harakati za kisiasa.Sidhani kama niko peke yangu katika kuamini kwamba nchi yetu inaimba wimbo wa Ujamaa ilhali staili ya kucheza wimbo huo ni ya Ubepari.Na ukiangalia kwa mfano namna mbio za kuelekea Ikulu ya Marekani hapo mwakani utabaini kwamba matumizi ya fedha ni makubwa sana.Tofauti yao na sisi ni kwamba kuna utaratibu maalumu uliowekwa katika namna gani mtu anaweza kuchangisha fedha,kutoa misaada au zawadi au hata namna ya kutoa fedha kwa ajili ya kujiimarisha kisiasa.Mantiki nyepesi ni hii: ukiwa unahitaji nafasi flani basi yayumkinika kusema kwamba utatumia kila nyenzo uliyonayo kuhakikisha unapata nafasi hiyo.Kinachodhibiti matumizi mabaya ya nyenzo hiyo ni sheria zinazotekelezeka na kufuatiliwa kwa makini.Wanachofanya watoa rushwa katika mchakato huo wa uchaguzi wa CCM ni kutumia “nyenzo” (fedha) walizonazo.Wanaofanya hivyo wanajua bayana kwamba kutumia uwezo sio kosa alimradi kama wanazingatia sheria zinazotawala zoezi zima.Lakini hawajali sana kuhusu kuvunja sheria kwa vile kwa namna flani mazingira yanawapa nafasi ya kufanya hivyo.Rushwa ni kama mmea,unastawi pale tu kwenye ardhi yenye rutuba.Inahitajika busara ya namna flani kuelewa nachomaanisha hapa vinginevyo unaweza kunishangaa kwa kudhani natetea matumizi ya rushwa kwenye jamii yetu. Mwisho ni habari mbili za kusikitisha zilizojiri mwishoni mwa wiki.Ya kwanza ni matokeo mabaya ya Taifa Stars.Katika hilo naweza kuwafariji Watanzania wenzangu kwamba hata hapa Scotland,ambapo wana kila nyenzo wanayohitaji,timu yao ya taifa imehangaika kweli kufika ilipo sasa.Mafanikio ya Taifa Stars hayawezi kupatikana “overnight.” Tujifunze kwa hawa wenzetu ambao kwao matokeo mabaya ni changamoto ya kujipanga vyema kwa ajili ya mashindano yajayo.Hilo linawezekana kama kutakuwa na subira,uvumilivu na mipango bora.Kutambua ugonjwa,kupata dawa ya ugonjwa huo na kuitumia dawa husika ni hatua tu ya kuelekea kupona,haimaanishi kuwa ugonjwa utaondoka dakika hiyohiyo.Inaweza kufikia wakati ikalazimu kubadili dawa.Tuwe na subira,tutafika.Habari ya pili ni vifo vya Watanzania wenzetu katika ajali huko Mbeya.Hivi maisha ya wenzetu yataendelea kupotea hadi lini?Mbunge Shabbiby aliongea bungeni kuhusu “usanii” unaofanywa na baadhi ya wamiliki wa mabasi ambapo wanapandikiza bodi mpya za mabasi hayo kwenye chasis za zamani au za malori.Simaanishi kuwa basi lililopata ajali ni miongoni mwa yaliyofanyiwa usanii huo lakini kinachosikitisha ni kwamba mamlaka husika bado hazijaanza kufanyia kazi ushauri wa Mbunge huyo.Lakini eneo jingine linalopaswa kurekebishwa kwa haraka ni sheria za usalama barabarani.Semina lukuki na maadhimisho ya kila mwaka ya wiki ya “nenda kwa usalama barabarani” hayawezi kuepusha ajali zinazopoteza maisha takriban kila wiki pasipo kuzisimamia kwa makini sheria zilizopo.Yule “mzalendo” aliyekuja na wazo la “spidi gavana” alikuwa na busara sana lakini sijui mkakati huo umefia wapi!!!Tukiendelea kuamini kuwa spidi gavana bora ni madereva na askari wa trafiki basi, “unfortunately”,habari za kuhudhunisha kuhusu ajali zitaendelea kutusumbua kwa muda mrefu.
2020-05-31T19:22:50
https://www.chahali.com/2007/09/kulikoni-ughaibuni-79.html
[ -1 ]
CHAMA CHA TAMA KUADHIMISHA SIKU YA WAKUNGA KATIKA WIKI YA UNYONYESHAJI - Dar es salaam Yetu Home » » CHAMA CHA TAMA KUADHIMISHA SIKU YA WAKUNGA KATIKA WIKI YA UNYONYESHAJI CHAMA CHA TAMA KUADHIMISHA SIKU YA WAKUNGA KATIKA WIKI YA UNYONYESHAJI Chama cha Wakunga Tanzania (TAMA) Tawi la Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kushirikiana na Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), wanawakaribisha wananchi wote wa Mkoa wa Dar es Salaam na Watanzania wote kwa ujumla, kushiriki kwenye maadhimisho ya siku ya wakunga Duniani yanayotarajiwa kufanyika leo asubuhi Ambayo Kitaifa huadhimishwa tarehe 5, Mei ya kila mwaka, TAMA Tawi la Muhimbili imepanga kuadhimisha siku ya 4 Agosti, 2017, ambayo ni wiki ya unyonyeshaji. Chama kinapenda kuwajulisha katika maadhimisho hayo, Chama kitatoa huduma za upimaji wa Afya kwa wananchi bure kuanzia saa 2, asubuhi mpaka saa 11.00 jioni katika eneo la maegesho ya magari (OPD) karibu na lango kuu la kutokea nje ya Hospitali hiyo. Huduma zitakazo tolewa ni pamoja na: a. Upimaji wa saratani ya shingo ya kizazi na matiti b. Upimaji wa shinikizola damu, sukari, uzito na urefu c. Upimaji wa virusi vya ukimwi (VVU) kwa hiari d. Ushauri kuhusu lishe bora e. Ushauri kuhusu uzazi wa mpango f. Elimu juu ya unyonyeshaji sahihi kwa watoto chini ya umuri wa miaka mwili g. Elimu juu ya afya ya kinywa na meno Aidha TAMA Muhimbili itakuwa na kongamano la Kisyansi la wakunga tarehe 7, Agosti 2017 saa tatu asubuhi katika ukumbi wa namba 60 uliyopo eneo la jengo la OPD ya Hospitali ya Taifa Muhimbili ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mkurugenzi wa Huduma za Uuguzi, Ukunga na Mazingira ya ndani ya Hospitali hiyo, Agnes Mtawa. Maadhimisho ya siku ya mkunga duniani mwaka huu wa 2017, yanabebwa na kauli mbiu isemayo " WAKUNGA, WANAWAKEN FAMILIA NI WASHIRIKA WA KUDUMU"
2018-03-21T14:46:16
https://daresalaam-yetu.blogspot.com/2017/08/chama-cha-tama-kuadhimisha-siku-ya.html
[ -1 ]
SuperD Boxing Coach: NGUMI KUPIGWA CHALINZE Kampuni inayoandaa mapambano kwa ajili ya kunyanyua vipaji vya mabondia machipukizi ya Bigright Promotion, imaeandaa pambano hilo litakalofanyika mei 20 ili kutanua wigo wa michezo nchini kwa kuanzia kutembelea wilaya zinazohamasika kimchezo ikiwemo chalinze. Tumeamua kufanya chalinze kwa sababu tunataka chalinze iwe ndio mfano kwa kuandaa pambano hili ambalo litawakutanisha chipukizi wakali wa dar na wakali wa chalinze,pia kutakuwepo na mapambano mengine yenye ushindani wa hali ya juu na vituko kama vile la Pius puto atakaezipiga na iddi mkatatiketi -hawa ni mbabe wa sokoni na mbabe wa stendi watazipiga kumaliza ubishi wao uliotanda kwa muda mrefu. ukiondoa pambano hilo Minyusi abdala atazipiga na shaban kaoneka, Baraka nuhu"chalinze hamjambo" atazipiga na goodluck suleiman, alex kdo atazipiga na herman shekivuli, iddi Mkwera atazipiga na ramadhan misugwa na mapambano mengineyo mengi likiwemo la ustadh mwenye msimamo mkali ustadh Kurasheni aliyeahidi kuchinja kama anachinja kondoo ulingoni atakaezipiga na makali wa bodaboda mzee kachacha.mgeni rasmi wa pambano hilo atakuwa ni diwani wa Chalinze bwilingu bw Nasser Karama ambaye muda wote amekuwa mstari wa mbele kuhamasisha vijana kushiriki michezo na ametoa basi kubwa kwa ajili ya mashabikitoka dar es salaam kwenda kushangilia na kurudi. huo zenye mapambano makubwa ya ma bondia wa ndani na nje ya nchi. +255 754 501991 Posted by Superd Boxing Coach at 1:00 PM
2017-08-16T15:18:15
http://superdboxingcoach.blogspot.com/2013/04/ngumi-kupigwa-chalinze_18.html
[ -1 ]
Wabunge na Waziri wanamnadi Mtulia | Page 3 | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Wabunge na Waziri wanamnadi Mtulia Discussion in 'Uchaguzi Tanzania' started by Hivi punde, Feb 11, 2018. Hivi punde JF-Expert Member Likes Received: 3,010 Wabunge na mawaziri kutoka CCM wamejitokeza katika mkutano wa hadhara wa kampeni kumnadi mgombea ubunge wa Kinondoni, Maulid Mtulia. Waliohudhuria mkutano huo uliofanyika leo Februari 11,2018 katika mtaa wa Idrisa, Magomeni ni Naibu Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson; Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako; na Naibu Waziri wa Afya, Dk Faustine Ndugulile. Wabunge waliohudhuria ni Hussein Bashe wa Nzega Mjini, Azzan Zungu (Ilala), Livingstone Lusinde 'Kibajaji’ (Mtera), Halima Bulembo (Viti Maalumu) na Oliver Semuguruka (Viti Maalumu). Wengine ni Sixtus Mapumba (Mbinga Mjini), Steven Ngonyani 'Profesa Majimarefu' (Korogwe), Joseph Musukuma (Geita Vijijini) na Rita Kabati (Viti Maalumu). Kabla ya viongozi hao kupanda jukwaani, burudani ilitolewa na vikundi vya ushereheshaji huku waliohudhuria mkutano huo wakisimama kucheza na kuwatuza waliokuwa wakiburudisha. Halima amesema mwanzoni Mtulia alikuwa mbunge wa upinzani na katika baraza la madiwani hakuweza kushauriana na meya lakini sasa yuko CCM hivyo kuwaomba wananchi wamchague. Mapunda amesema wananchi wa Kinondoni hawakuwa na tatizo na mchezaji bali timu anayochezea. “Mchezaji mzuri akitoa pasi inaharibika na ndiyo maana Mtulia ni mchezaji mzuri na sasa amekuja timu bora ya CCM mleteni tumalize mchezo mapema,” amesema. Mbunge Zungu amesema wabunge wa CCM hawana ujanja bali ni ilani ambayo imejenga kuwajali wananchi. Dk Ndugulile ambaye pia ni mbunge wa Kigamboni amesema, “Mtulia nitampa ushirikiano katika kutatua matatizo ya afya, wazee na maendeleo ya jamii yatapatiwa ufumbuzi kwa kumchagua Mtulia.” chikundi JF-Expert Member Messages: 8,218 Likes Received: 2,252 Pharm D said: ↑ Tutakua tunaelekea walipofika wenzetu waDRC na sudan kusin na nina uhakika tutafika either sooner or later Utafika peke yako kupitia kuzimu. Pharm D JF-Expert Member chikundi said: ↑ Bas sawa mangatara said: ↑ Nakubali ila Makonda katufungulia mlango wa petition. Intimidation of voters. Ati mkiichagua chama dola, hamtavunjiwa tena vibanda vyenu. Mahakama pia zao(maagizo kutoka juu) Niko viunga vya kinondoni kila napopita nasikia mtulia ,mtulia hakika huyu kijana anakubalika sana Nimtakie heri ya ushindi Sijijui JF-Expert Member Aje asije mtulia anaingia bungeni kwa sababu tayari mtangzaji wa matokeo ni wa kwao. Sasa muda na Pesa vinavyopotezwa kwenye kampeni,vinapotezwa kwa faida ya nani? Messages: 6,436 Hivi punde said: ↑ Kauli ya ndugulile ni ya hovyo. Inatosha kubatilisha matokeo ccm wakishinda. Ilitokea miaka ya nyuma bunda warioba alipogombea na mkondya. ccm wakishinda lazima watapoteza mahakamani. mbwrama Member ccm lazima tushinde asubuhi namapema,yaliofanywa na magufuli hadi sasa nkiashiria tosha kupata kura za kishindoo gemmanuel265 JF-Expert Member Messages: 5,005 Likes Received: 8,742 Ccm maji yako puani Kinondoni Sijijui said: ↑ Kwa faida ya trump. kankalamaster Member Watanzania bhana sisi ni watu wa ajabu sana inamana mtu hawezi kuletewa maendeleo akiwa upinzani ndo matokeo yake mtu anakuja na hoja dhaifu eti kwa kuwa alikuwa upinzani ndo mana hakuweza kuwatumikia kwa ufanisi wananchi huo ni ujinga mkubwa tena kwa mtu mwenye hakiri timamu kama mimi huwezi kunidanganya na hoja za kitoto kama hizo na ndo mana trump anaposema viongozi wa Africa hawawezi kujitegemea hata kimawazo mtu anachukia lakini nashindwa kuelewa unachukia nini kwa nini usijichunguze sasa kama mtu anahama kwa hoja ya kipumbavu namna hyo huyo anafaa kuwa kiingizi kweli? Maarifa JF-Expert Member Je walitumian magari ya serikali au binafsi? josephat manyenye JF-Expert Member Jamani mbona kuna majimbo ya maccm tangu uhuru yako hoi kabisa kimaendeleo ,nenda misungwi barabara mbovu ajabu, nenda kwimba, sengerema,sumve na sehemu zingine nyingi tu. Kabembe JF-Expert Member CCM Maji ya shingo Kinondoni , Tegemeo kubwa ni Kailima . Kailima hana tofauti na Ezra wa #IEBC ya kenya..yuko pale #Nec kwa special task. Messages: 8,424 Likes Received: 7,174 Kasongo said: ↑ Asante kwa taarifa.Kampeni za Chadema zimesimama?Siwasikii siku hizi Haya mafuriko ya leo hayo vegas JF-Expert Member Utawasikia wapi kama media zimedhibitiwa kureport habari za cchadema. Ukitaka kuwasikia nenda kwenye kampeni chabusalu JF-Expert Member Messages: 6,215 Likes Received: 3,585 Maboso said: ↑ Matokeo yakitoka hamchelewi kusema mmeibiwa kura nyie wazee wa kupinga marudio ya chaguzi kuokoa pesa huku ninyi wenyewe mkishiriki chaguzi hizo hizo zinazotumia pesa nyingi. Ulitaka kuandika kitu gani? josephat manyenye said: ↑ Ndio nashangaa ssa hilo jimbo la kinondoni miaka zaidi ya 50 lilikuwa chini ya CCM hawakutekeleza hayo eti leo ndio wanaahidi watayafanya ndani ya miaka 2?? Cjui watatumia miujiza gani !!! owomkyalo JF-Expert Member Messages: 1,689 Nafikili hata akishandinda Mtulia ...itakuwa ndo mwisho wabunge kujiuzuru...maana Mtulia sasa hivi anapumulia machine ICU alidhani atapata ubunge kirahis ...kumbe kazi sio rahisi. Messages: 23,177 Likes Received: 14,385 Tukundane said: ↑ Chombo kinakwenda mrama nini ndo maana Lumumba watakuwa wamejazana kujaribu kukiokoa. Hawa waliitwa kufanyanje? Topics 1,170,226 Members 441,384 Posts 26,917,997
2018-05-24T12:03:41
https://www.jamiiforums.com/threads/wabunge-na-waziri-wanamnadi-mtulia.1397178/page-3
[ -1 ]
Rushwa chaguzi za CCM; JK aache kulalamika, aonyeshe uongozi. | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Rushwa chaguzi za CCM; JK aache kulalamika, aonyeshe uongozi. Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Wimana, Oct 24, 2012. "Kisaidieni sana Chama chetu..., tunasemwa sana na jamii, kuwa uongozi (CCM) unananunuliwa..." JK, akifungua Mkutano Mkuu UVCCM jana. JK ameonekana kutahayari sana na rushwa kutamalaki chaguzi za Jumuiya za CCM. Akifunga Mkutano Mkuu wa UWT-CCM, pia alizungumzia suala la rushwa na kushangaa hata kwa Wanawake kuna rushwa. JK asipoangalia, CCM itamfia mkononi, . Najiuliza; JK hana nguvu ya kufuta matokeo ya chaguzi hizo zilizojaa ukiukwaji wa kanuni? Ni wakati wake kuonyesha uwezo wa kiuongozi. Ha ha ha ha J.k. Yaani hajui basi na yeye ni wale wale. Ile EPA ilimunufaisha nani? yeye mwenyewe kaingia madarakani kwa rushwa sasa anawezaje kuanza kuwawajibisha wanaotoa rushwa... Malingumu JF-Expert Member He has no final say in matters that require single word to make the situation stable. Msinitenge said: ↑ Do you wanna say JJ Mnyika was absolutely right? Msinitenge, you are damnly right; his single word to make the situation stable! JK hana sababu ya kulalamika, anapaswa kufanya maamuzi magumu na umma wa Watanzania utarejesha imani kwake na chama chake cha CCM. Shibuda aliwahi kumuonya kuwa ccm lazima imfie mikononi, leo migogoro kila kona na rushwa nje nje Hivi hasikii nukuu za baba wa Taifa katika tv na vitabu vyake kuhusu Rushwa wakatiwa awamu ya kwanza? Huyu jamaa wakati anaingia alijigamba kulelewa na Mwalimu lakini nadhani katiak kulelewa kwake sidhani kama alipata hata 20% ya ulezi wa Mwalimu Nyerere. Oooh maskini mie naihurumia Nchi yangu chini ya Uongozi huu Dhaifu! Nilitarajia kama Kikwete anachukia rushwa kweli kweli wote waliotoa na kupokea rushwa wangekamatwa. JK alishindwaje kumuagiza mkuu wa TISS kuwashughulikia. Hivi hmfahamu Sofia Simba na wapambe wake, na wengine wa jamii ya ss. Kwani anahitaji tochi ngapi na za mwanga kiasi gani kuwaona na kuwajua watoa rushwa. Hakika JK anatuzuga. Badala ya kulalamika alitakiwa kujiuzulu. Siyo kutupotea muda. Nimemuona Rais wangu Jakaya Mrisho Kikwete, akiongea katika mikutano miwili ya uchaguzi wa UWT na huu wa Vijana kupitia Luninga..... kwa kweli niseme kuwa ninamuonea huruma kwa haya yanayotokea na yanayoendelea kutokea.... inaonekana jitihada zake zinafifishwa na baadhi ya watu ambao system inawafahamu..... lakini inapuuzia na inamdharau Mh. Rais....... ni aibu tena aibu ilioje TAKUKURU wapo kazini, usalama wa Taifa wapo kazini, Jeshi la polisi wapo kazini.... nashtuka kuona Mh. Rais analalamika kwamba rushwa imeota mizizi ndani ya CCM, nafahamu kuwa analifahamu hilo siku nyingi lakini wasaidizi wake wanamuangusha..... sasa yeye afanye nini/ ningekuwa mimi ningeshinikiza chaguzi zote za CCM za UWT na VIJANA zingefutwa na mchakato uanze upya..... lakini sio hao tu CCM wameingia katika hali ya sintofahamu katika rushwa kwa chaguzi kuanzia ngazi ya chini ............ matawi na kata...... JK anafahamu na wasidizi wake kwa makusudi wanamwangusga..... Mh. Raisi kama kuwaadhibu viongozi waliochaguliwa kwa rushwa ndani ya CCM ni vigumu....... basi fukuza viongozi wote wa TAKUKURU mabao kwa makusudi kabisa wanafanya mambo ya ajabu katika nchi hiii Pilau, JK ataingia kwenye vitabu vya historia kuwa ndiye Mwenyekiti aliyechangia kushuka umaarufu kwa CCM. Nadhani JK anaona kuwa CCM kuendelea kutawala baada yake itakuwa janga kwa Taifa letu, hivyo anakiachia kijifie chenyewe. Hata hivyo naamini kabisa kuwa akiamua kuwatosa wote walioingia kwa rushwa CCM itarejea kuwa imara. huko uvccm ridhiwan yeye kafikaje hapo alipo? tuone huo uchaguzi tena huko ndio hela zitapita nje nje Ni upepo tu, unapita. Masikini too late....kilichobaki ni ama ajipendekeze au akabidhi nchi kwa amani kwetu CDM..Hakuna jinsi atazuia kuwa victim kwasababu kote kote kwake ni moto....angekuwa na washauri wazuri wangemsaidia mapema lakini hana tena command na chama ndiyo hivyo kimemkimbia mchana kweupe! Mbaya zaidi kule kwenye dark side Ame amewasha mwanga macho yao yote yamepofuka hawaoni kitu zaidi ya maruwe ruwe...Mtasoma namba mwaka huu! Kwa hili la rushwa na hata ufisadi mtu yeyote asikudanganye JK hana uwezo zaidi ya kulalamika!
2018-01-19T16:11:58
https://www.jamiiforums.com/threads/rushwa-chaguzi-za-ccm-jk-aache-kulalamika-aonyeshe-uongozi.343643/
[ -1 ]
Msaada kuhusu ukokotoaji wa ushuru wa gari TRA | JamiiForums Msaada kuhusu ukokotoaji wa ushuru wa gari TRA gari msaada tra ushuru Habari wandugu! Naomba niende moja kwa moja kwenye swali langu. Nimekuwa nikisikia kuwa ukinunua gari ambalo lina miaka zaidi ya kumi kuuoka nje. Kunakuwa na kodi ya uchakavu (Excise duty due to age). Lakini nimefuatilia kwenye kikokotoo cha kodi TRA kuhusu kodi hiyo ya uchakavu nimeona kuwa gari ambayo ni mpya au ni miaka ya karibuni inakuwa na kodi kubwa ya uchakavu kuliko gari la zamani. Mfano escudo ya 2009 lenye specification sawa na la mwaka 2014 kodi ya uchakavu kwa gari la 2014 ni kubwa kuliko la 2009. Naomba kufahamishwa hapa imekaaje Kwa sababu hiyo Escudo ya 2014 ina CIF kubwa kuliko iyo ya 2009. Kwahiyo inajikuta inakodi kubwa zaidi ata kama wametoa ile ya uchakavu. Lakini mkuu ukiangalia kwenye chart ya kodi TRA baada ya kuingia details za gari husika unakuta kwenye kodi ya uchakavu gari mpya inachajiwa pesa nyingi kuliko ya zamani. Ngoja nikupe mifano mkuu Screenshot_20200523-094227_Samsung Internet.jpg Screenshot_20200523-094135_Samsung Internet.jpg Inawezekana percentage ni ndogo kwa gari mpya kuliko ya zamani ila kwa sababu excise duty inapigwa kwenye thamani ya gari, gari yenye thamani kubwa sana inaweza kuwa na excise duty kubwa. Inawezekana formula ya kikokotoo imezingatia percentage pekee kwenye kukokotoa hiyo duty Hizo zote zinapigwa kodi ya uchakavu ambayo ni asilimia fulani ya bei ya gari, sasa kama la 2009 bei yake ni kubwa basi hata kama wakipunguza asilimia za uchakavu bado itakuja hela kubwa . Jaribu la kuanzia 2013 au 2014, kodi ya uchakavu ni 0. Hio imekaa kitapeli ila wacha tuwaachie wenye mamlaka wafanye watakavyo. We hakikisha una hela tu ili ikifika bandarini itoke kabla ya week. Nimekusoma mkuu. Ni kama vile tumebanwa tusinunue magari mapya. Mkuu hii bado haijakaa sawa. Nimeang. alia gari ya mwaka 2015, 2016, 2017 na 2018. Hizi zote ni escudo. Jinsi gari linavyokuwa jipys (current years) na kodi ya uchakavu ni kubwa. Ndio nimeshindwa kuelewa hapo Reactions: mwarobaini_ and Extrovert Ndio hasa lengo lao mkuu, gari za kuagiza wataendesha wenye uwezo tu. Sie makapuku acha tuuziane ya kidongo chekundu na lumumba yale. Mkuu we nunua ukiichoka utaniuzia hizo bei duuuh Jibu ni simple gari la 2014 ni latest so kodi yake ni kubwa kingine wanapiga kodi kubwa kwasababu wanahofu kua unaweza kua unafanya biashara ya magari beny jr said: Kwaio hawataki mtu afanye biashara ya magari? D Msaada kuhusu oil kuchanganyikana kwenye clutch assembly katika Trekta JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri) 0 Apr 17, 2020 N Msaada: Nifanyaje kuhusu matatizo haya ya gari? JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri) 155 Apr 13, 2020 Noamba ushauri kuhusu suala hili la oil ya gari yangu JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri) 10 Apr 9, 2020 K Msaada kuhusu kuagiza gari nje ya nchi (Japan) JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri) 0 Jan 13, 2020 Ndugu zangu naombeni msaada wenu wa kimawazo kuhusu leseni ya gari za kubeba abiria JF Garage (Magari na Vyombo vya Usafiri) 16 Dec 11, 2019 Msaada kuhusu oil kuchanganyikana kwenye clutch assembly katika Trekta Msaada: Nifanyaje kuhusu matatizo haya ya gari? Noamba ushauri kuhusu suala hili la oil ya gari yangu Msaada kuhusu kuagiza gari nje ya nchi (Japan) Ndugu zangu naombeni msaada wenu wa kimawazo kuhusu leseni ya gari za kubeba abiria
2020-05-30T06:17:39
https://www.jamiiforums.com/threads/msaada-kuhusu-ukokotoaji-wa-ushuru-wa-gari-tra.1732363/
[ -1 ]
Maoni: Merkel ataufuata mpango wa Macron? | Matukio ya Kisiasa | DW | 19.04.2018 Maoni: Merkel ataufuata mpango wa Macron? Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron tayari ameshaweka wazi mipango yake kuhusiana na Ulaya wakati alipozungumza katika bunge la Strasbourg hapo Jumanne. Alhamis anakutana na Kansela Angela Merkel mjini Berlin, mahala ambako mapendekezo yake tayari yamezusha mjadala mkali. Kawaida haijawa hivi. Muda mfupi baada ya kuchaguliwa kwa Macron nia yake ya kuifanyia mageuzi Ulaya ilipokelewa vizuri sana nchini Ujerumani. Lakini miezi michache baadae baada ya uchaguzi wa Ujerumani, kuliibuka chama cha siasa za mrengo wa kulia cha AfD na kuingia bungeni. Chama hicho kilianzishwa kwa misingi ya kuipinga Ulaya. Baada ya hapo ukaja ule mkwamo wa kisiasa uliopelekea Ujerumani kukaa kwa miezi bila serikali muda ambao Macron alikuwa anataka kuutumia ili awe na mwelekeo mmoja na Merkel katika mpango wake wa mageuzi ya Ulaya. Lazima mapendekezo ya Macron yaangaliwe iwapo yanaizingatia Ujerumani Lakini Merkel ana sababu nyengine za kujitenga na mpango huo. Mawazo ya Macron yanahusu kupangwa upya kwa muungano wa kifedha ikiwemo kuwepo kwa bajeti ya Ulaya na kubuniwe afisi ya Waziri wa Fedha wa umoja huo. Lakini Merkel anapata shinikizo kutoka kwa Wahafidhina bungeni asikubali mageuzi yoyote ambayo yatawabebesha mzigo mkubwa zaidi walipakodi wa Ujerumani. Mwanasiasa wa Kamati ya Kiuchumu wa CDu Joachim Pfeiffer Mwanasiasa wa kamati ya kiuchumi ya CDU Joachim Pfeiffer amesema, "kwanza kabisa ni sharti tuangalie iwapo mapendekezo ya Macron yanaizingatia Ujerumani pia." Naye mwansiasa wa chama cha CSU Alexander Dobrindt amekataa wazo la Waziri wa Fedha wa Ulaya akisema hilo si suala la kujadiliwa sasa. Msemaji wa mambo ya nje wa CDU Norbert Röttgen amesema vyama vya kihafidhina vya CDU na CSU havitomuwekea mipaka Merkel katika mazungumzo yake na rais huyo wa Ufaransa. Kusita sita kwa vyama vya CDU na CSU hakukifurahishi chama cha SPD ambacho kiko kwenye serikali ya muungano na Wahafidhina hao. Waziri wa mambo ya Nje wa Ujerumani Heiko Maas amesema, "tunaishi wakati ambapo tunaihitaji sana Ulaya." Chama cha Kijani hakiridhishwi na mgawanyiko wa serikali kuhusu suala hilo la Macron Lakini Maas anawafahamu wakosoaji wa Macron katika kambi yake pia wakiongozwa na Waziri wa Fedha Olaf Scholz ambaye hajaonesha kuridhishwa na mapendekezo ya mabadiliko ya kifedha ya rais huyo wa Ufaransa. Mwanasiasa wa SPD Heiko Maas Wakati huo huo mgawanyiko wa serikali ya muungano ya Ujerumani mbele ya mipango ya Macron kuhusu Ulaya ni jambo lililowaghadhabisha wapinzani wa chama cha Kijani. Anton Hofreiter ni kiongozi wa chama hicho na ametoa wito kwa Kansela Merkel na viongozi wa vyama vya CDU na CSU pamoja na SPD wampe Macron ahadi muhimu wiki hii. Hofreiter ameongeza kwa kusema mradi wa kihistoria wa Ulaya haustahili kufeli kwasababu ya ubinafsi wa serikali na mambo madogo madogo ya kisiasa ya vyama. Mradi wa Macron hautokwenda mbali bila uungaji mkono wa Ujerumani lakini Rais wa Halmashauri Kuu la Ulaya Jean-Claude Juncker alimuonya Macron kwamba Ulaya si Ufaransa na Ujerumani pekee. Mwandishi: Maximiliane Koschyk Tafsiri: Jacob Safari/Tableau/Reuters Maneno muhimu Angela Merkel, Emmanuel Macron, Olaf Scholz, Norbert Röttgen, Ulaya Kiungo https://p.dw.com/p/2wJ5X
2018-12-16T06:07:07
https://www.dw.com/sw/maoni-merkel-ataufuata-mpango-wa-macron/a-43449075
[ -1 ]
1 Timoti 5 YBY - Iloho makomidana ga mako lo mituwe - Bible Search 1 Timoti 4 1 Timoti 6 Monoka eli-minabo wewenasida nasahili obetatudawo ga. 1Iloho makomidana ga mako lo mituwe loko maya auha meko lamo. Ahone loko ilime you loko lo mitaniyo. Ito we owahasidaya unane lokoko yamidana mamidana obeto-loko woko minataniyo. 2Menakipa ilohosida maya done loko ujapa obeto-loko woko yamidana mamidana nesa lolo obetoko minatane. Ito menakipa owahasida maya nemo nanele lokoko atama-atama kamoko ujapa lalo nesa obeto-loko woko mino. 3Ito eto menakipasida maya edimonipo meusa dokepa dokepa iki minadeko maya dilipe dowa letane. 4Ohuda mena makomidana oluho ouvamelasiya omutiki edimonipo numudanipouya aya menamidanaya monoka yowanu litiki ilimi wati itae. Sakiya donipole ahonipolekiya soto ujapa ibitabotoya, aya lihimaya pasiki elekele itatae. Sa-iki sa-itabo nesalimoya Omaiya umu helekaka noiye. 5Ohuda mena watiyasiya edimonipogo miniki Omaimidanamu eli elewole ikadanaki muki yupeka nekewa ludaka Omaitoka wako wako ladanaki ubolo minikaka niae. 6Ito ohuda mena makolimo anulo nesae loko minokadeko maya, emokumuya sa-loko letane: Omudaki ne liki lamilo. Sa-etiboya weunaya aloya helekaiye. 7Ga maya lo hukoko lo bekadeko ohuda menakipa maya lihimanipo minametibo minadeko maloka wewenasiya edimokumu lamitae. 8Wewena mako edimo wewenanipole yuha ito menakipa oluhonipolesida ujapa lalo ibitiki nasahili ibitamitabo wewenaya monoka hulikiki lina hetoka wewenasitokati limiki minae. 9Ohuda mena makolimo meleke 60 netiboya monoka yowanu lasolasima nolideko, nodenesa lasolama le soto moloko natiye loko uliwa maya pepau luhuwa je molokadeko netiye. 10Emokahoya oko moloko iyoko muki wewenasiya eli lalo abo netihe, ito oluhola etokoko dowa loko ujapa obetoko nasahili obetoko netihe, ito emotoka wenoka wewena niseboya nasahili obetoko dilipe molaibo netihe, ito emolaya lemeko nedanaki Omaimidana wewenala yuha malokasidaya nasahili obetaibo nehe, ito wewena miluma eleyoko dilipe wati ihe, ito wewenasida nasahili obetoko yamidana lalo nesa lolo obetaihe, monawanipomu loka etadawoya sako ne liki lidekoma, duliya aya pepalo netiye. 11Ohuda mena ohatamaya lulite pepalo jitane liki likadekoma, demega lokoko jametane. Welo aku witabo nesamo dumu helekadeko, omutiki Kalaestitoka wiki kolabo ga maya hulikiki aku wili jiki we makotoka wetune liki elikaka niae. 12Sa-ikadanaki, edimonipo api iki monokamu le emesalo molatune liki li hukabo aya eli hulikayoko lihimanipo obe-loko minokaiye. 13Sa-ikadanaki numuku numukuya yowigi limigi iki aha aya liki minikaka niae. Ito yagoya minamiye. Edimonipoya ga kohilili monedanaki lahelamibo ga opaya liwa liwa adanaki maloka wewenasida yowanugu awa-kawa iki monikaka niae. 14Yamuya nemoya sa-loko noloe: Mena eto ohatamaya akuya welo wikiki oluhonipo eti molikiki edimonipo numuku miniki iki moliki iki ujapa lalo ibitatae. Sa-iki minadeko, monoka ulatelo wesida depa ji li likadeko, lemokumuya lahelametibo gaya lamitae. 15Eto menakipa malokasiya enemane iki sima nikaka anulo wadanaki olohamidana emesalo moliki wikae. 16Ele elewole onetibo mena mako netibomidana yuhauti eto mena mako nitaboya emokaho nasahili obetatiye. Sa-noideko, monoka elebo wewenasiya muki nesanipouti lamideko, monoka elebo wewenasiya eto menasidaya edimonipogo minabolawasidago nasahili ibitatae. 17Monoka we loidawasiya yowanu lideko wehe lokadeko maya, meinawaya liki yowiki litae. Monoka li biki api-napi ibikaka yowanuya elewole iki litabo wesiya yamidana iki litae. 18+ Meinawa litabomu monoka bukuguya luhuwa sa-liki ji-minaboma ne: Bulumakamoya yowanu le-loko nowidanaki nodenesa natuwe loko noidekoma epalo nala jamilo. Aha natiyo. Ito ga makoya sa-liki luhuwa ji-minabo ne: Maloka wewenasitoka yowanu litibo welimoya aya wewenasitoti meinawa litiye. 19+ Wewena makolimoya monoka we loidawa makomidana obilo ilime molatuwe loko nolidekoma, ele mamo. Wewena lowehe ito loweki makokisiya sa-ibo we liki likadeko elekoko obi yowanuwaya letatane. 20We makolimoya lihima lekadeko maya, maloka wewenasi elikiki domoda wetiye loko muki wewenasida domudaloya auha mitane. 21Nemoya Omaimidana ito Jisesi Kalaestida omudalalo Omaimo dilipe eto okaiyoko, amaitoka okananipoki we minabosida domudaloya sa-loko lo nohukoetoe: Monoka yowanu litabo wewenasidamu lo hukoko ga lo noemoboya ele lekoko ujapa okadeko lemeko udamideyo. Wehena menakipahenasida ganipoya letuwe loko, maloka wewenamuya eliyoko yoweko lemeko ibomuye loko yamidana mamidana lolo oetamo. Monoka yowanu litabo wesidaya dilipe eto okaka ga. 22We makolikaya enemane oko monoka yowanu litae loko makuya enemane oko bamo. Edimo lihimanipolimoya emo upakalo oloto molokatiyo. Emo obohaka ito upakakiya ujapa ideko ukulo loko netiye. 23Ito Timotiyo, emoya mulukau okohu oka ito eloka wokaka noibo nesamuya nogoya namoko, waeni no lasolamaki natane loko noloe. 24Ito maloka wewenasida lahelamibo nesanipomidana lihimala maya Omailimo oijo bitibo onawa alili amiyoko omutoko soto pekaka noiye. Ito malokawasida lihimanipo maya halukuka halukoko mino-loko woko minamekolaiye, alikaya soto pekolaiye. 25Ayamidana oko maloka wewenasida nasahili yowanunipoya soto pekaka noiye. Ito malokawaya sametiboya halukuka mino-loko woko minamekolaiye, alikaya soto pekolaibo nenako, yamuya monoka yowanu litabo wesidaya enemane oko dilipe eto amo loko noloe.
2018-09-22T03:22:31
http://bibles.org/yby-YBY/1Tim/5
[ -1 ]
Ball Kuzaa X006043 X103013 China Manufacturers & Suppliers & Factory Ball Kuzaa X006043 X103013 - mtengenezaji, kiwanda, muuzaji kutoka China (Jumla ya 19 Bidhaa kwa Ball Kuzaa X006043 X103013) Ball Kuzaa X006043 X103013 BALL KUZAA X006043 X103013 Sehemu ya Panasonic X00H06011 Panasonic AI X00H06011 AI BRACKET 104132103401 AI CHUCK HALI X02P3200301 Sehemu ya Panasonic X01A4120401 Panasonic AI X01A36001
2020-08-12T12:07:48
https://www.aismtks.com/sw/dp-ball-kuzaa-x006043-x103013.html
[ -1 ]
Je Yesu (Mtume Isa) (a.s.) amekufa? Je utafafanua suala hili kwa mtazamo wa Kiisilamu? | Maswali juuyau islamu Je Yesu (Mtume Isa) (a.s.) amekufa? Je utafafanua suala hili kwa mtazamo wa Kiisilamu? Submitted by Editor (svahili) on Sat, 18/08/2018 - 11:04
2019-04-26T02:19:17
http://maswalijuuyauislamu.com/question/je-yesu-mtume-isa-amekufa-je-utafafanua-suala-hili-kwa-mtazamo-wa-kiisilamu
[ -1 ]
Hili jukwaa linapoteza maana kwa kuvamia na watu wasio madaktari - JamiiForums Hili jukwaa linapoteza maana kwa kuvamia na watu wasio madaktari 893 870 180 Habarini humu, Nadhani lengo la jukwa hili ni kuwapa nafasi wale wenye matatizo ya kiafya kupata suluhisho la matatizo yao, lakini muda mrefu nimekuwa nafuatilia humu, mtu anaweza kuleta tatizo lake lakini bahati mbaya sana wengi hutoa majibu ya kupotosha kabisa, mtu anaweza kutoa maelezo au akatoa ''shule'' ya uwongo kabisa na inaweza isimpe suluhisho yule mwenye kutaka msaada. Ushauri wangu, tuwape nafasi madaktari wetu watusaidie kupitia jukwaa hili sisi wengine ambao tupo kwenye taaluma zingine tuwe wauliza maswali, sio kuja kutoa kitu ulichosimuliwa au kugoogle, jua tu malaria ni ile ile ila sio wagonjwa wote wa malaria watapona kwa ALU, kuna factor nyingine nyingi za kuangalia, so sio kwasababu wewe ulipona malaria kwa coartem ndo umshauri mwingine atumie, sio always hivyo. Likes: Python Newbie, MziziMkavu and tramadol 1,296 1,531 280 3,863 6,204 280 wengine ni ma profesa na dr.manyau nyau mkuu kama tiba ya hosp. inazingua sie tunatoa mawazo ya kitaa (dawa) na zinatibu kweli. kuwa mvumilivu. mambo ya ukijikata, huduma ya kwanza ni kujikojolea kwenye jeraha hatari san. 6,714 4,470 280 Joseverest unalala sana Joseverest jukwaa la cerebrites Kweli kuna umuhimu. Maanake kuna mkuu anasema Azuma inatibu HIV..... teh teh teh Likes: Python Newbie, definition, chilonge and 1 other person Kabisa mkuu... Kuna siku nilikuwa naona mada kuhusu UTI nilichoka kabisa na huku mtaani wengi sana wanadanganywa hivyo hivyo. Maana UTI imekuwa biashara kubwa siku hizi. Likes: Dr. Wansegamila Watu wanaamini katika"google" na kuamini walichokisoma kimewatosha na kujiona "madaktari". Likes: Python Newbie and kombaME Wachangiaji wengi wao wanatoka katika jukwaa la Chitchat sasa na hili jukwaa wamelifanya kama vile jukwaa la pili la chitchat kungelikuwa na Moderator wa kuliongoza hili jukwaa na kuondosha baadhi ya Comment za chit chat kidogo jukwaa lingekuwa zuri lakini wapi? tuende hivyo hivyo tutafika tunapokwenda mkuu. 6,486 2,347 280 ndio maana kuna hospitali, humu saizi ni kama chitchat 467 385 80 Mimi nikiumwa ninajitibu kwa google labda iwe serious sana Threads 1,215,754 Posts 28,558,480
2018-10-22T16:12:44
https://www.jamiiforums.com/threads/hili-jukwaa-linapoteza-maana-kwa-kuvamia-na-watu-wasio-madaktari.1347071/
[ -1 ]
Ali Kiba Aachia Video Mpya Siku Ya Birthday Yake - Tanzania - Burudani/Entertainment | Hivisasa Blog Home › Burudani/Entertainment › Ali Kiba aachia video mpya siku ya Birthday yake Ali Kiba aachia video mpya siku ya Birthday yake Tarehe November 30, 2017 Mwanamuziki Alikiba ameachia video ya wimbo wake wa zamani ambao ulivuja kama zawadi kwa mashabiki wake katika siku yake ya kuzaliwa. Tazama hapa video hiyo. Zitto kabwe aitaka tanzania kuchukua maamuzi magumu dhidi ya libya
2017-12-13T21:24:29
http://hivisasa.co.tz/burudani/ali-kiba-aachia-video-mpya-siku-ya-birthday-yake
[ -1 ]
Jai the Albino Cow: Jai Ng’Ombe Zeruzeru – Trailer | LITERARY TITAN ← Very Gifted Stories of the Mother Bear – Trailer → Jai the Albino Cow: Jai Ng’Ombe Zeruzeru – Trailer Can an albino cow possess abilities to be admired by other cows? Anjait (Jai) is Ankole cow who lived with her family in Kole Hills. Jai suffers from albinism. Other cows thought she was cursed. One day, Jai shocked other cows for doing something that no other cow did before. She also surprised them with a magical skill. What is it that Jai did as the first ever cow? Will her actions and skill help bring love and respect to albino cows? Get your copy now to find out the answers and reveal to your children the importance of showing kindness and respect to everyone, even if they look different. Je, ngombe zeruzeru anaweza kuwa na uwezo wa kustaajabiwa na ngombe wengine? Anjait (Jai) alikuwa ni ngombe wa kitutsi anayeishi na familia yake kwenye vilima vya Kole. Jai alikuwa ni zeruzeru. Ngombe wengine walifikiri ana laana. Siku moja aliwashangaza ngombe wenzie kwa kufanya kitu kwa mara ya kwanza. Aliwapa mshangao zaidi kwa uwezo wake wa kimiujiza. Ni kitu gani alifanya Jai kama ngombe wa kwanza? Je matendo na uwezo wake yanaweza leta upendo na heshima kwa ngombe zeruzeru? Jipatie nakala yako ili kupata majibu na uwafundishe watoto wako umuhimu wa kuonyesha upendo na heshima kwa kila mtu, hata kama mwonekano wao ni tofauti. Posted on February 17, 2019, in book trailer and tagged albinism, albino, alibris, amazon, art, author, author life, authors, barnes and noble, book, book club, book geek, book lover, book trailer, bookaholic, bookbaby, bookblogger, bookbub, bookhaul, bookhub, bookish, bookreads, books of instagram, booksbooksbooks, bookshelf, bookstagram, bookstagramer, bookwitty, bookworks, bookworm, children, cow, ebook, education, Gloria D. Gonsalves, goodreads, illustration, ilovebooks, indiebooks, Jai Ng’Ombe Zeruzeru, Jai the Albino Cow, kids, kindle, kobo, literature, magic, Nikki Ng'ombe, nook, novel, parent, picture book, publishing, read, reader, reading, shelfari, smashwords, story, teacher, trailer, write, writer, writer community, writing. Bookmark the permalink. Leave a comment.
2019-05-20T04:24:19
https://literarytitan.com/2019/02/17/jai-the-albino-cow-jai-ngombe-zeruzeru-trailer/
[ -1 ]
RATIBA KOMBE LA KAGAME HADHARANI, ZAWADI ZAONGEZWA HATIMAYE DROO ya makundi kwa timu zitakzoshiriki michuano ya soka Afrika mashariki na kati maarufu kama Kombe la kagame imefanyika mchana wa leo, ambapo mabingwa wa ligi kuu soka Tanzania Bara, yanga Sc wakipangwa kundi c, huku wawakilishi wengine wa tanzania, Simba sc wakipangwa kundi A. Michuano hiyo inayotarajiwa kuanza kuanza kutimua vumbi juni 18 hadi julai 2 mwaka huu huko , sudan ambapo timu 13 zitakazoshiriki zimepangwa katika makundi matatu ya A, B na c. Timu zitakazo shiriki mashindano hayo na nchi zinazotokea kwenye mabano ni : Al-Hillal, El-Merreikh na Al Ahli Shandy (Sudan), Al Nasri (Sudan Kusini), Yanga & Simba (Tanzania), Express (Uganda), Tusker (Kenya), APR (Rwanda), Vitaloo (Burundi), Ports (Djbouti), Elman (Somalia) na Falcon (Zanzibar) katibu Mkuu wa Baraza la vyama vya soka Afrika mashariki na Kati (CECAFA) Nicholaus musonye amesema zawadi za mwaka huu zimeongezka kutoka dola 60,000 hadi 80,000 ambapo kamati ya utendaji ndiyo itapanga zawadi kwa washindi. KUNDI A: El-Merrekh -(Sudan), APR (Rwanda), Simba SC (Tanzania), Elman (Somalia). KUNDI B: Al-Hillal (Sudan), Tusker (Kenya), Al Nasri (Sudan Kusini), Falcon (Zanzibar), Al Shandy (Sudan). KUNDI C: Yanga SC (Tanzania), Express (Uganda), Ports (Djibout), Vitaloo (Burundi).
2017-04-24T20:51:11
http://dinaismail.blogspot.com/2013/05/ratiba-kombe-la-kagame-hadharani-zawadi.html
[ -1 ]
Daily Mitikasi Blog: ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM KINANA KATIKA JIMBO LA MWANGA ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM KINANA KATIKA JIMBO LA MWANGA Mbunge wa Jimbo la Mwanga ,Waziri wa Maji Profesa Jumanne Maghembe (katikati) akimpa maelezo ya mradi Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana (kushoto) wakati alipotembelea skimu ya umagiliaji Kivulini ,mwingine pichani ni Katibu wa CCM Tawi la Kivulini Ndugu Nuru Juma Mwanga. Skimu hii ya Umwagiliaji Kivulini hulimwa mpunga, mahindi,maharagwe na mboga mboga za majani. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Kivulini wilaya ya Mwanga na kuwaambia wajitahidi kutafuta masoko nje zaidi ya mkaa maalumu unaotengenezwa pumba ya mchele pamoja na majani ya makuruwila. Mkaa huo unatengenezwa na kikundi cha Mkombozi Kivulini Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiendesha gari maalumu la kuvunia mpunga Wajumbe wa kikao cha Halmashauri Kuu ya Wilaya ya Mwanga wakimsikiliza kwa makini Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana . Katibu Mkuu yupo kwenye ziara ya kuimarisha na kukijenga chama mkoa wa Kilimanjaro Mbunge wa Jimbo la Mwanga Profesa Jumanne Maghembe akisalimiana na Ndugu Wildad Msuya mara baada ya kuwali kwenye kijiji cha Kifula. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiingia kwenye uwanja wa mikutano Vuchama akiongozana na kikundi cha ngoma ya asili ya mjungu
2018-07-22T16:45:41
http://johnbadi.blogspot.com/2015/03/ziara-ya-katibu-mkuu-wa-ccm-kinana.html
[ -1 ]
MAKAVULIVE: Please mdau help KILOSA bado wanahitaji msaada!! Please mdau help KILOSA bado wanahitaji msaada!! Mdau, saidia maafa ya mafuriko yaliyowakuba ndugu zetu wa Kilosa na Dodoma hivi karibuni kwa kuchangia japo kidogo tu, ni rahisi sana tuma neno maafa kwa simu ya mkononi kwenda namba 15599 ni Tshs. 250 tu, fanya mara nyingi kuchangia tena na tena, huduma hii inaendeshwa na kampuni ya simu ya Vodacom! pia zipo njia zingine za kuchangia km M-pesa au unaweza fatilia kituo cha redio Clouds Fm iliyopo Mikocheni na ukawasilisha mchango wako! Tayari wadau mbalimbali wameshajitokeza ktk harambee hii hasa kupitia redio Clouds fm, wasanii kibao na wadau wa makampuni kibao wametoa michango yao. BAADHI YA MATUKIO YA MAFURIKO KILOSA KTK PICHA sehemu kubwa zimefunikwa na maji/tope baadhi ya kambi za wananchi waliopoteza kabisa makazi yao wengi wanaishi ktk vyumba vya madarasa na shule zimefungwa hali ni mbaya, watoto lazima wasaidie baiskeli zinabebwa ili uweze kupita mafuriko yakiwa yameangusha miti na kubomoa nyumba kwa hali ilivyo magojwa kutokana na mkusanyiko wa maji yanaweza kutokea
2018-03-20T13:32:38
http://makavulive.blogspot.com/2010/01/please-mdau-help-kilosa-bado-wanahitaji.html
[ -1 ]
MAHAKAMA YAMWACHIA HURU BAADA YA KUONEKANA HANA KESI YA KUJIBU | Moto Moto News MAHAKAMA YAMWACHIA HURU BAADA YA KUONEKANA HANA KESI YA KUJIBU Mtuhumiwa Adolph Msafiri aliyekuwa akishtakiwa kwa kosa la kutoa lugha ya kuudhi dhidi ya Jeshi la Polisi ameachiwa huru na mahakama ya Mwanzo huko mkoani Mtwara baada ya kuonekana hana kesi ya kujibu. Mtuhumiwa huyo alikamatwa kwa kuweka ktk ukurasa wake wa Facebook, picha ya Askari Polisi wakishambulia raia siku ya maandamano ya Chadema February 16, mwaka huu na kuandika "KUNA TOFAUTI KATI YA POLISI NA TAKATAKA" Hakimu Lawrence Nyoni aliyesikiliza kesi hiyo amesema anamuachia huru Adolph kwa sababu mashtaka dhidi yake hayana msingi wowote kisheria. Awali Mtuhumiwa alipokua akijitetea alimhoji askari wa upelelezi aliyekuwa mahakamani hapo kuwa "wewe ni polisi?" Akajibu "ndio" akamuiliza tena "unafanana na takataka?" Akajibu "hapana", mtuhumiwa akasema "kwahiyo unakubaliana na mimi kwamba kuna tofauti kati ya polisi na takataka sio?". Askari huyo hakujibu. Adolph ni mwanafunzi wa sheria, Chuo Kikuu Huria kampasi ya Dar es Salaam.!
2019-03-19T19:52:03
http://www.motomotonews.com/2018/02/mahakama-yamwachia-huru-baada-ya.html
[ -1 ]
Forces Spéciales Française :: Tahakiki Ya Kiswahili Pdf 29 Posté le: Lun 26 Fév - 05:38 (2018) Sujet du message: Tahakiki Ya Kiswahili Pdf 29 Tahakiki Ya Kiswahili Pdf Download form Ranch sectores Gran football.. Tahakiki Ya Kiswahili Pdf Download ->>->>->> Assim . Kwa upande wa wataalamu wa fasihi ya kiswahili pia wapo baadhi ya wataalamu wanaokubaliana na akina .. (29 ) .. TAHAKIKI TAMTHILIYA YA KILIO CHETU . TAHAKIKI TAMTHILIYA YA KILIO CHETU KIDATO CHA 3&4 .. Mgogoro kati ya ukale na usasa, huu ni mgogoro mwingine unaojitokeza katika tamthiliya, .. 29 na 35.. (a . Kwa mpenzi yeyote wa Kiswahili ni sharti azingatie stadi nne za lugha hiyo.. Yaani kuzungumza, kusoma kuandika na kuelewa lugha ya Kiswahili.. Hata hivyo baadhi ya . Ushairi wa Kiswahili: Nadharia, Mwongozo kwa Walimu wa . Kitabu hiki kinautalii ushairi wa Kiswahili.. Kinaanza kuchambua masuala mbalimbali ya kidhana, kinadharia na kiuchambuzi na kasha kutoa mwongozo kwa walimu wa Kiswahili. Read swahilisekundaerliteratur.pdf Readbag users suggest that swahilisekundaerliteratur.pdf .. Dar es Salaam: East African Swahili Committee.. 29 .. Sanka, S.M.. 1998.. ,,Tahakiki: Fungate ya . READ: SEMANTIKI YA KISWAHILI PDF - SiloOO.cOm Semantiki Ya Kiswahili Pdf semantiki-ya .. Kiswahili Ya Equally you may have made a second hand purchase tahakiki ya kiswahili ya Download .. May 29, 2015.. POPULAR . KISWAHILI KIDATO SITA Hussein Mussa - Academia.edu pdf.. KISWAHILI KIDATO SITA.. 136 Pages.. KISWAHILI KIDATO SITA.. Uploaded by.. Hussein Mussa.. connect to download.. Get pdf.. KISWAHILI KIDATO SITA. Tahakiki Ya Kiswahili Pdf Download.Pdf - thebookee.net Free PDF ebooks (user's guide, manuals, sheets) about Tahakiki ya kiswahili pdf download ready for download JIVUNIE KISWAHILI : UHAKIKI WA DIWANI ZA KISWAHILI. chuo kikuu cha arusha kitivo cha fani na sayansi za jamii muhtasari wa somo la sarufi ya kiswahili na sintaksia msimbo wa so. 006b59bca7 3ds max 2012 architectural tutorials 14lahu ke do rang film songs mp3 2216 Digit Serial Number For Battle Vs 164final fantasy 7 remake pc serial 52vaayai moodi pesavum mp4 movie 12pammal k sambandam full movie free 13akai mpc renaissance software 20manusmriti in telugu pdf free 687download hancock full movie in 42download film comic 8 full movie mp4 35
2018-03-25T05:29:27
http://forcespecialfrancaise.xooit.fr/t131-Tahakiki-Ya-Kiswahili-Pdf-29.htm
[ -1 ]
UDADISI: January 2008 Posted by Chambi Chachage at 4:15 PM 0 comments Maji ya Kumwaga Umeme Kiduchu! Sijui haya nayo ni maporomoko ya kudumu au la ila hapa ni Rusumo, kwenye mpaka wetu na Rwanda. Huo ni mto Kagera. Naona hayo maji ni ya nguvu na yanaweza kuzalisha umeme. Je, wataalamu wetu wanajua kwa nini hatuyatumii kuongezea umeme kwenye gridi ya taifa ambayo haitoshelezi mahitaji yetu? Je, maji haya hayatumiki kwa kuwa hatuna uwezo wa kujenga mitambo?Au hayatumiki kwa sababu hayana nguvukasi ya kutosha kutoa kiwango cha kutosha cha umeme? 'Kwa nini?' Kuna umuhimu wa kuendelea kudadisi maana bei ya umeme inazidi kupanda. Nasikia mwezi huu imepanda kwa zaidi ya 20% japokuwa nishati hii inafikia takribani 10% tu ya wananchi!Umeme ni bidhaa adimu Tanzania, Afrika Kusini, Zambia, Zimbabwe n.k, kwa nini hatuuzalishi kwa wingi? Posted by Chambi Chachage at 12:02 PM 1 comments Is South Africa's Blackout Confirming TIA? TIA is a stereotypical acronym that is being (re)popularized in the movie 'Blood Diamond.' It stands for 'This is Africa.' It carries a negative connotation because it is used to refer to something that is 'abnormal' in our contintent according to the standards of the West/North. I say it is re-popularized because TIA is part and parcel of the long history of demonizing Africa which reached its peak during slavery and colonialism. It was TIA that was at play when the champions of 'Orientalism' referred to Africa as the 'Dark Continent'. When Hegel referred to Africa as not being part of history; as being "enveloped in the dark mantle of the night" he was applying TIA. So was Conrad when he penned 'Heart of Darkness.' The argument that Africa cannot govern itself without the enlightened guardianship of Euro-America is all about TIA. Yes, the pro-Apartheid and recolonization theses have to do with TIA! Now as post-Apartheid South Africa (SA), the so-called economic powerhouse of 'Renaissanced Africa', grapples with its worst power cuts crisis TIA is at play again. No wonder http://www.iol.co.za/ has posted 'Investment gloom as SA enter the dark ages.' The choice of the phrase 'dark ages' is typically TIA. This is particular so given that Apartheid SA was/is seen as a pocket of enlightenment/whiteness in Africa; the so-called bastion of western 'modernity' in a continent rigidly steeped in 'tradition'. Even satellite pictures, of a dark continent at night with pockets of lights in the south especially in the glittering city of Egoli, would be used to confirm this. This conventional South Africa 'exceptionalism', heavily criticized by Professor Mahmood Mamdani in his texts on African Studies, remains debatable. However, one get the feel that the terms of the debate are still enshrouded in the TIA mantle. That is how I feel when I hear these kind of phrase from SA's emerging crop of great thinkers: "The SA honeymoon is over, after all we are just another African country. How sad, how sad!" (http://pitsotsibs.blogspot.com/). How saddening the TIA discourse is! Posted by Chambi Chachage at 10:59 AM 2 comments Je, Ahadi za JK nazo ni Deni? Hivi ndivyo hali ya ujenzi wa barabara ya 'central' ilivyokuwa inaendelea mwishoni mwaka 2007 nikiwa safarini Kigali. Hali hii ilinikumbusha ahadi kedekede zilizotolewa na JK wakati wa kampeni za uchaguzi wa urais mwaka 2005. Baadhi ya ahadi hizo, kama hiyo hapo chini, zinapatikana hapa: http://www.hakielimu.org/Government_Promies.pdf “I will make sure that the project to link Mtwara and Mwanza with a tarmac road is completed by December next year. Rich people driving saloon cars would be able to drive from Mtwara to Mwanza on a smooth road [Tafsiri: Nitahakikisha kuwa mradi wa kujenga barabara ya lami itakayounganisha Mtwara na Mwanza inakamilika Disemba mwaka ujao. Matajiri watakaokuwa wanaendesha magari madogo wataweza kuendesha kutoka Mtwara mpaka Mwanza kwenye barabara nzuri]" - JK Posted by Chambi Chachage at 12:50 PM 1 comments Above: A mass grave at the Kigali Memorial Centre (For inspirational survivor stories visit http://www.kigalimemorialcentre.org/) Below: Ruhande Memorial Site at the National University of Rwanda in Butare (Read http://www.rwandagateway.org/article.php3?id_article=319) "Those who forget the past", declared George Santayana, "are condemned to repeat it". It seems Rwanda is applying this 'philosophy of history' for virtually the whole country is full of memorials of the genocide. 'Lest we Forget' seems to be the solemn message. A close examination of the history of the genocide reveals that in a significant way historical amnesia, if not historical apathy, lead to the 1994 genocide. It proves that we cannot triviliaze history even when it provides signs of history repeating itself in a relatively minute scale. What lessons do we learn from Rwanda when dealing with 'historical deadlocks' in Kenya, Zanzibar, Zimbabwe, South Africa and other places in our beloved continent of Africa? Do we simply wish these deadlocks away? Or do we frankly tackle them head on? Posted by Chambi Chachage at 12:25 PM 0 comments Kigali: Tidy City/Jiji Safi! Hali ya usafi jijini Kigali ilisababisha baadhi ya wabongo tuliozoea kutupa takataka hovyo tujione tuko kifungoni. Sijui nini siri ya usafi huu - je, ni utamaduni wa usafi au hali ya utii wa sheria? The cleanliness around Kigali caused some of us from Tanzania, who are so used to littering, feel we are in jail. What is Kigali's secret- is it culture or the rule of law? Posted by Chambi Chachage at 12:15 PM 1 comments MBUNGE WA JIMBO LA NZEGA VIJIJINI DKT KIGWANGALLA AKABIDHI PIKI PIKI 19 MBELE YA KATIBU MKUU WA CCM DNUGU KINANA KWA WATENDAJI NA VIONGOZI WA KATA WA JIMBO HILO - *Mbunge wa jimbo la Nzega Vijijini ambaye pia ni Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt Hamisi Kigwangalla amekabidhi piki piki 19 kwa Viongozi na Watendaji...
2017-12-14T09:53:32
http://udadisi.blogspot.co.uk/2008/01/
[ -1 ]
Kampuni ya Samsung Yatangaza Kuachana na Simu za Galaxy J Sasa simu za Galaxy J zitakuwa zinatoka kwa majina ya Galaxy A Amani Joseph April 9, 2019, 1:08 pm 281 Views Kama wewe ni mfuatiliaji wa maswala ya simu hasa za Samsung basi utakuwa unakua kuwa Samsung haijazindua simu yoyote mpya ya Galaxy J mwaka huu, lakini pia kama uko makini utakuwa umegundua hadi sasa mwaka huu samsung imezindua simu nyingi za Galaxy A. Pengine hiyo ilikuwa ni moja ya ishara ya kuonyesha Samsung imeamua kuweka macho yake zaidi kwenye simu za Galaxy A na kuamua kuachana na matoleo ya simu za Galaxy J. Kupitia video ambayo imetoleo kwa ajili ya simu ya Galaxy A50, Samsung inaonekana kutangaza kuachana na simu za Galaxy J na sasa simu hizo zitakuwa kwa majina ya Galaxy A. Simu zote mpya za Galaxy A zinakuja zikiwa zimeboreshwa zaidi huku zikiwa zinakuja na kamera mbili kwa nyuma pamoja na vioo vikubwa, mbali na hayo pia simu hizo zinapatikana kwa bei nafuu. Hata hivyo simu za Galaxy A zinakuja na sifa bora zaidi huku zikiwa na muonekano bora kuliko simu za zamani za Galaxy J. Samsung Galaxy Note 10 Kuachana na Tundu la Kuchomeka Headphone Kwa sasa tunasubiri simu mpya ya Galaxy A90 au Galaxy A80 ambayo inasemekana kuja na kamera bora ambayo itakuwa ni ya ku-slide pamoja na muonekano wa kisasa. Simu hii pia inasemekana kuzinduliwa rasmi siku ya kesho kwenye mkutano maalum wa uzinduzi wa simu mpya za Galaxy A, ambapo tunategemea kuona simu nyingi mpya za daraja la kati kutoka Samsung. Kujua yote kuhusu simu hizi mpya za Galaxy A, endelea kutembelea tovuti ya Tanzania Tech kwani tutakuwa mubashara kabisa kwenye uzinduzi wa simu hizo mpya za Galaxy A hapo siku ya kesho. Makala iliyopita Jinsi ya Kubadilisha Simu Yoyote ya Android Kuwa Kama Galaxy S10 Makala inayofuata Hizi Hapa Apps Nzuri za Android Kwa ajili ya Kulinda Afya Yako
2019-09-22T07:50:25
https://tanzaniatech.one/2019/04/samsung-kuachana-na-galaxy-j/
[ -1 ]
TBS Yatoa Elimu kwa Wananchi zaidi ya 8000 | Full Shangwe Blog Home Biashara TBS Yatoa Elimu kwa Wananchi zaidi ya 8000 TBS Yatoa Elimu kwa Wananchi zaidi ya 8000 SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limemaliza Kampeni yake ya kutoa elimu kwa umma katika wilaya za Mpanda, Rungwe na Ludewa kuhusiana na usajili wa majengo ya chakula na vipodozi, umuhimu wa kusoma taarifa zilizopo kwenye vifungashio vya bidhaa ikiwamo muda wa mwisho wa matumizi wa bidhaa. Kupitia kampeni hiyo maofisa wa shirika hilo walielimisha jamii kuhusu umuhimu wa kununua bidhaa zilizothibitishwa ubora na TBS. Kampeni hiyo ya elimu kwa umma imefanyika katika wilaya hizo kuanzia mwanzoni mwa wiki iliyopita ikihusisha wanafunzi wa shule za msingi na sekondari na wananchi kwa ujumla. Pia kampeni hiyo iliendeshwa kwenye masoko, stendi, minadani na maeneo mengine ya wazi ambapo wananchi walijitokeza kwa wingi kupata elimu hiyo pamoja na ufahamu wa masuala mbalimbali yahusuyo ubora wa bidhaa. Akizungumza wakati wa kampeni hiyo Mkaguzi wa TBS,Ernest Simon, aliwahimiza wananchi kujenga utamaduni wa kununua bidhaa zilizothibitishwa ubora wake na TBS ili kuepuka hasara kwa kupoteza fedha kununua bidhaa ambazo hazina ubora na kuwa hatarini kupata athari za kiafya. Aliwakumbusha wananchi kwamba vita ya bidhaa hafifu sio ya TBS pekee, bali ni ya Taifa kwa ujumla. “Kampeni hii imeweza kuwafikia walengwa zaidi ya 8,000 kati yao wajasiriamali wakiwa ni 64, wanafunzi wa shule za msingi na sekondari 4,381 na wananchi 3,658,” alisema Simon. Aliwasisitizia wafanyabiashara kuhusiana na umuhimu wa kusajili majengo yao kupitia mfumo unaopatikana kwenye tovuti ya shirika hilo na wananchi waendelee kutoa taarifa kupitia mawasiliano waliyopewa pale wanapogundua uwepo wa bidhaa hafifu katika soko. Wakati wa kampeni hiyo maofisa wa shirika hilo walipata fursa ya kuhamasisha wajasiriamali wanaojihusisha na uzalishaji wa bidhaa mbalimbali zikiwemo za nafaka, sabuni,mikate, maziwa, pilipili,siagi ya karanga,mvinyo,mafuta ya kula,asali na unga lishe kuhusu utaratibu wa kupata leseni ya kutumia alama ya ubora ya TBS bure. Kampeni hiyo ni endelevu na itaendelea katika Wilaya za Rombo Lushoto na Hanang Previous articleWANANCHI KATAVI WATAHADHARISHWA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA Next articleVodacom Tanzania Yaahidi kuendelea kusaidia Wabunifu Nchini JAMBO YAKABIDHI ZAWADI YA JAVIDA MSHINDI SHINDANO LA INSTAGRAM Vodacom yasaidia jamii kupambana na Covid-19 WAFANYABIASHARA WA SOKO LA SAMAKI FERI JIJINI DAR ES SALAAM WAJIZATITI KUJIKINGA NA MAAMBUKIZI YA VIRUSI VYA CORONA
2020-03-29T03:10:39
https://fullshangweblog.co.tz/2020/03/14/tbs-yatoa-elimu-kwa-wananchi-zaidi-ya-8000/
[ -1 ]
Zimbabwe yafukuta | Matukio ya Afrika | DW | 20.01.2011 Waziri Mkuu wa Zimbabwe, Morgan Tsvangirai akizungumza na maafisa wa chama cha ZANU PF Mwanasheria mkuu wa serikali alisema kuwa wanaoshiriki kwenye timu hiyo watabaki kuwa siri, ili kuleta kiwango cha juu cha ufuatiliaji kulingana na tuhuma hizo. Pia aliongeza kuwa hatojali kuhusu uwezekano wa kumchunguza Waziri Mkuu Morgan Tsvangirai kama inaweza kuleta mpasuko kwenye serikali ya muungano ya Zimbabwe. Zimbabwe imezishutumu nchi za Magharibi kwa kuendeleza ubaguzi kutokana na shinikizo zao za kumtaka Rais Omar El-Bashir wa Sudan akamatwe kwa makosa ya uhalifu wa kivita. (01.12.2010) China na Afrika ya Kusini zaigombania Zimbabwe Huku upande mmoja China na Afrika Kusini zikiimarisha uhusiano wao, kwa upande mwengine ziko kwenye kinyang'anyiro cha kuidhibiti Zimbabwe kwa mtazamo wa kunufaika zaidi na maliasili za nchi hiyo, yakiwemo madini (22.11.2010) Vikwazo dhidi ya Zimbabwe vyamuumiza nani? Neno vikwazo lilikuwa miongoni mwa maneno yaliyotajwa na balozi mpya wa Umoja wa Ulaya nchini Zimbabwe, Aldo Dell Ariccia, mara tu alipowasili nchini humo na kukutana na viongozi wa serikali miezi michache iliyopita (22.11.2010) Mikutano 13 ya hadhara ya kukusanya maoni ya umma kuhusu katiba mpya imeahirishwa katika mji mkuu Harare kufuatia machafuko hayo (29.09.2010) Kiungo https://p.dw.com/p/1002R
2018-07-23T02:55:44
https://www.dw.com/sw/zimbabwe-yafukuta/a-14776487
[ -1 ]
Nyakarungu: Nimeripoti polisi kwa usalama wangu - JamiiForums Nyakarungu: Nimeripoti polisi kwa usalama wangu Thread starter Nyakarungu 448 74 45 This is for my life and safety....!! Nimetoa taarifa kwa jeshi la polisi katika kituo kikuu cha Mkoa Mkoani Morogoro, Juu ya taarifa niliyopewa ya kuwa Katibu Mkuu wa chama changu Chadema Amemwagiza Mkurugenzi wa ulinzi na usalama anishughulikie kwa mitandao wa red briged. Ameagiza wanifuatilie!! Hii ni kufuatia tamko langu na agizo la kuondoa uharamia wa demokrasia unaofanywa na wahafidhina na watiifu wao ndani ya chama. Tutaanza kutekeleza maazimio yetu kuanzia tarehe 03/12/2013 kwa mbinu mpya tutakayoitangaza hadharani wala hatutakoma harakati hii wala hatutaki tena kufungwa kwa mjadala kienyeji kiasi hiki. Nimetoa taarifa hii ikafunguliwa file number MOR/RB/12999/13 Na. Grayson M. Nyakarungu Likes: CHAMVIGA, THE BIG SHOW, The Fixer and 8 others Dr Slaa ni janga la taifa. Hata Idd Amin alianza hivi hivi.... Likes: ZeMarcopolo, Pompiduu Sengiyumva, FaizaFoxy and 1 other person Kwa hiyo, tujipange mstari? Likes: monaco, Sikonge, Asprin and 2 others Mtu mzima kama wewe unapowaandama wanasiasa individuals daily badala ya kuandama chama chao ................. ptuuuuuuuuuuuuuuu! Likes: jackline, HHHK and dafity Wewe ni adui wa Demokrasia, acha kuropoka,kama umeamua kupambana kwa nini unaogopa kufa? Likes: BAK, newbie, HHHK and 1 other person Kaka hakuna kucheka nao make wameonekana siyo watu wakileta ujinga waletee upumbavu kwa nini uhuru wa kuongea ukosekane wewe umetoa tamko kama anaona baya kwa nini asiende kutoa la kwake akipinge kwa hoja kuliko kukutishia maisha. Walizoea sana kutisha watu lakini kaeni mkijua kizazi cha leo siyo cha kutisha hata kidogo lazima uwazi na ukweli kwenye vyama uwepo wala siyo nguvu tena. Likes: FaizaFoxy, THE BIG SHOW and The Fixer CHADEMA now kama movie la ki Nigeria mara part on,mara two ,three mara four,five...haliishi... Likes: THE BIG SHOW, Nicas Mtei, Pompiduu Sengiyumva and 1 other person 30,152 12,342 280 wewe silaa akibahatisha urais lazima ule kitanzi. Likes: Pompiduu Sengiyumva, HHHK and Chris Lukosi Onenge said: Wewe ni adui wa Demokrasia,acha kuropoka,kama umeamua kupambana kwa nini unaogopa kufa? Hakuna sehemu imeandikwa kuwa mpambanaji lazima afe kumbe zenu ni kuuwa watu nadhani mlioua wanatosha hamtapata mwingine tena 40zenu zimefika mlidhani zitto ni mwepesi kiasi hicho mtakimbiana tu. hivi we m.j.u.s.i upo umepona kuliwa kwenu nyuma ya nyumba na wazungu. hii sasa imekua ni deal....ni njia rahisi ya kutafuta popularity....mnafanya muonekane kama VICHAA sasa hata kama mlikua na point....this is too much sasa...hata zito mnamfanya aonkane alikua akishirikiana na watu HAMNAZO(if at all alikua anashirikiana na vilaza kama wewe)......its too much Likes: Sikonge, Mzizi wa Mbuyu, newbie and 7 others 6,398 2,726 280 Huyu mkunga anatafuta umaalufu wa kijinga ila niwalaumu wanao coment thread ya huyu mkunga, 248 76 45 mkuu harakati hizo ni muhimu kwa ustawi wa demokrasia ndani ya taifa letu.wala usikatishwe tamaa na waoga hao.tuko pamoja sana ktk hili na tunasubiri kwa hamu kubwa harakati hizi.hatuwezi kukaa kimya kinyonge na kuwaachia wachache taasisi hii wakati watu wamepoteza ajira zao kwa ajili ya chadema,watu wamepoteza maisha na kuacha familia zao kwa ajili ya chadema.chadema tumeijenga sote na ikibidi kuibomoa pia tutashirikiana kiroho safi kabisa ili iwe fundisho kwa wachaga wengine wenye tamaa za madaraka. huyu babu slaa sio mzima hata kidogo,Hawajapata "inji" wanatishiana maisha,wakipata je! si kutuua kama kuku? Likes: FaizaFoxy and THE BIG SHOW Mjnga 2 ww huna lolote,CDM bado iko imara sn,kamtafute Mwigulu akupe Namba, heti brigedia! Tatizo vijana wana ndoto za haraka sana wakati uwezo zero, huyu nae anatafuta umaharufu mpaka anajipeleka polisi, Brigedia? Please people nimeamua kufanya hivi kwa sababu za usalama wangu tu, Najua kesi za wanasiasa kesho nitang'olewa meno watajitokeza na kusema ni ccm wametumia mwanya wa mgogoro uliopo ili wachafue viongozi wa cdm, sasa it is better kusema ili likitokea liwe na pa kuanzia. 3,111 68 145 Askari mwoga wewe tlia na uwe makini na porojn unazoandika,maisha hayana photocopy Hapo ndo akil yk ilpofkia,pole sn, Hizi siasa za kishamba zitawamaliza. Halafu unaitaja Red Brigade kama vile ni kikundi kisichokua rasmi.Hiki ni kikundi cha ulinzi na usalama wa mali na usalama wa viongozi wa chama na kipo.kikatiba.Sasa kama umefanya au kutangaza jambo ambalo linaathiri mali za chama Red Brigade ni lazima wachukue hatua Madhara unayoweza kuleta kwa chama labda ni kushambulia ofisi na kuvunja vioo kwa mawe au magari tu ila kwa hoja huna madhara Usijitafutie umaarufu kwa kujifanya eti Katibu Mkuu amekufuatilia kwa Red Brigade Hizi mbinu za kishamba za mabosi wenu mtashindwa Likes: Albedo, Dr.Mo, Mashy and 11 others
2019-01-24T03:58:23
https://www.jamiiforums.com/threads/nyakarungu-nimeripoti-polisi-kwa-usalama-wangu.561363/
[ -1 ]
Wasioswali wanatakiwa kushtakiwa | Firqatu Nnajia Wasioswali wanatakiwa kushtakiwa Swali: Kuna watu wanafikisha miaka 24 na 25 lakini hata hivyo hawaswali. Jibu: Hawa wanatakiwa kwenda kushtakiwa kwa watawala au mahakamani. Ikithibiti kweli kwamba hawaswali basi wanatakiwa kuambiwa watubie na vinginevyo wauawe. Tunamuomba Allaah afya. Akiacha kuswali na huku anakanusha kuiacha anakuwa kafiri na murtadi. Ama ikiwa ni mtu anayechukulia wepesi na wakati huohuo anaamini kuwa ni wajibu hapa ndipo wanachuoni wametofautiana. Maoni ya sawa ni kwamba anakufuru vilevile. Akiacha kuswali, ijapokuwa atakuwa ni mwenye kuacha uwajibu wake, ni kafiri. Haya ndio yamenukuliwa kutoka kwa Maswahabah ambao wameafikiana juu ya ukafiri wake. ´Abdullaah bin Shaqiyq al-´Uqayliy, Ishaaq bin Raahuuyah, Ibn Hazm na wengineo wamenukuu hivo. Baadhi ya wanachuoni waliokuja nyuma wanaonelea kuwa ni kufuru ndogo. Maoni ya sawa ni kwamba ni kufuru kubwa. Wasioswali wanatakiwa kushtakiwa Swali: Kuna watu wanafikisha miaka 24 na 25 lakini hata hivyo hawaswali. Jibu: Hawa wanatakiwa kwenda kushtakiwa kwa watawala au mahakamani. Ikithibiti kweli kwamba hawaswali basi wanatakiwa kuambiwa watubie na vinginevyo wauawe. Tunamuomba Allaah afya. Akiacha kuswali na huku anakanusha kuiacha anakuwa kafiri na murtadi. Ama ikiwa ni mtu anayechukulia wepesi na wakati huohuo anaamini kuwa ni wajibu hapa ndipo wanachuoni wametofautiana. Maoni ya sawa ni kwamba anakufuru vilevile. Akiacha kuswali, ijapokuwa atakuwa ni mwenye kuacha uwajibu wake, ni kafiri. Haya ndio yamenukuliwa kutoka kwa Maswahabah ambao wameafikiana juu ya ukafiri wake. ´Abdullaah bin Shaqiyq al-´Uqayliy, Ishaaq bin Raahuuyah, Ibn Hazm na wengineo wamenukuu hivo. Baadhi ya wanachuoni waliokuja nyuma wanaonelea kuwa ni kufuru ndogo. Maoni ya sawa ni kwamba ni kufuru kubwa. Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy Mfasiri: Firqatunnajia.com Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (03) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/430/430.mp3 Imechapishwa: 21/04/2018 http://firqatunnajia.com/wasioswali-wanatakiwa-kushtakiwa/ Thu 10 Muharram 1440AH 20-9-2018AD
2018-09-26T00:39:10
http://firqatunnajia.com/wasioswali-wanatakiwa-kushtakiwa/
[ -1 ]
Ilikuwa saa tano tulipofika New Afrika baada ya kumchukua Sherriff kutoka kwa daktari akiwa anajisikia vizuri kabisa. Veronika ndiye nilikuwa nimewahi kumchukua kabla ya Sherriff. "Kavae upesi, twende zetu Komredi", nilimwambia Sherriff aliyetaka. Ilikuwa saa tano na dakika kumi na tano tulipoondoka kuelekea Ofisi za PLF. Njiani tulimweleza yote yaliyokuwa yametupata jioni ile tukibakiza tu ile habari ya kwenda kwetu pamoja kulala nyumbani kwangu. Ofisi za PLF zilikuwa mtaa wa Makunganya karibu na Achells Limited hivyo haikutuchukua muda kufika pale kutokea New Afrika.Tulitokea barabara ya Azikiwe, tukaingia mtaa wa Independence pale kwenye mzunguko wa sanamu ya Askari halafu tukakata kulia pale kwenye taa za usalama barabarani za mtaa wa Independence na Postway, na kuingia Postway. Tukatelemka kidogo mpaka kwenye mtaa wa makunganya moja kwa moja kwenye ofisi za PLF. Tuliegesha gari pale pale mbele ya ofisi tukatelemka na kuingia mapokezi. tulimkuta kijana mmoja akiwa mapokezi. "Habari zako ndugu", nilimsalimu. "Salama, sijui niwasaidie nini?". "Tunaomba kumwona ndugu Cecil Chimalamo". "Mna miadi naye?'. "Hapana, lakini ukimweleza kuwa kuna waandishi wa habari toka gazeti la Afrika natumaini anaweza kutuona". "Subirini hapa kwenye viti". Tulikaa kwenye makochi mazuri sana. Cecil Chimalamo nilikuwa ninamfahamu kwa sura na vile vile mambo yake kwani nilikuwa nimeshasoma faili lake mara nyingi ofisini. Kwa kifupi wanasiasa wengi walimpenda kwa sababu ya imani zake za kisiasa ambazo mara nyingi zilikuwa na msimamo. Alitambulikana kama kiongozi mmojawapo mashuhuri mpinga ubaguzi na mpenda serikali ya wengi katika Afrika ya Kusini, makaburu walimchukia sana. Punde yule kijana alirudi akayakatisha mawazo yangu juu ya Chimalamo. "Mnaweza kumwona chumba namba tatu". "Asante', nilishukuru kwa niaba ya wenzangu. Tulikwenda moja kwa moja mpaka chumba namba tatu tukabisha hodi. "Karibu". Nilifungua mlango tukaingia ndani tukajikuta katika ofisi. "Karibuni", alitukaribisha huku akisimama. "Nyinyi ndio mmetoka kwenye ofisi za gazeti la Afrika". "Twendeni mzee anawasubiri". Alifungua mlango, tukaingia ndani na kumkuta ndugu Chimalamo amekaa anavuta sigara. Alipotuona alisimama. "Karibuni, ketini chini". Kabla hatujakaa nilichukua mwanya huu kujijulisha mimi pamoja na wenzangu kwake. "Mimi naitwa Willy Gamba na ni Meneja Mkuu wa Kampuni iitwayo Afrika Internation Agencies (AIA), na hawa ni waandishi wa gazeti la Afrika. Huyu anaitwa Veronika Amadu na huyu ni Ahmed Sherriff. Wote ni wananchi wa Sierra Leone", tulishikana mikono na kusabahiana halafu tukaketi chini. "Imekuwaje wewe uwe pamoja nao?", aliuliza. "Kampuni yangu ndiyo wakala wa gazeti la Afrika hapa Tanzania kwa hivyo haja zao zote naziwakilisha mimi. "Aisii, nafikiri tumeshaonana mara nyingi. Wewe si mgeni kabisa kwangu ", aliniambia na kuniangalia kwa macho ya kudadisi. "Bila shaka tumeonana mara nyingi hasa katika tafrija za vyama hivi ingawaje hatujawahi kujulishwa moja kwa moja". "Ehe gazeti la Afrika linataka nini?", Nilishangaa sana maana hata hakuuliza vitambulisho. Mara moja nikajua mtu huyu aliweza kuwasoma watu na kujua ni watu wa namna gani. Alikuwa mtu mwenye busara nami nikaondokea kumpenda. "Sisi tumekuja hapa mjini baada ya kupata habari za tukio lililokikabiri chama chako na serikali ya Tanzania kwa ujumla. Jumuia ya Ulimwengu mpaka sasa imegawanyika katika pande mbili. Moja inalaumu Serikali ya Tanzania kuwa ndiyo inahusika na wizi wa silaha hizi ambazo ni za kisasa kabisa, upande wa pili unaamini kuwa hizi ni njama za mabeberu zinazopiga vita harakati za ukombozi wa Afrika Kusini. Kwa hiyo gazeti la Afrika likiwa kila siku linafuatilia kwa makini harakati za ukombozi Kusini mwa Afrika na kuweza kusaidia inapowezekana, linahitaji hasa ukweli wa tukio hili. Hii ndio sababu tuko hapa. Tumeshawaona wakuu wengine katika OAU na katika Serikali ya Tanzania na tumeona hatuwezi kufika mbali bila kujua mawazo yako wewe ambaye ndiye hasa uliyehusika na mali iliyopotea", Sherriff alieleza kwa kinagaubaga. "Kwa hiyo mnataka kujua mimi niko upande gani katika mawazo hayo mawili ya Jumuia ya Ulimwengu?". "Hilo ndilo swali letu la kwanza", Sherriff alijibu. "Mimi nawaunga mkono wanaoamini kuwa hizi ni njama za mabeberu. Wale wanaosema Tanzania inahusika wanajaribu kuongeza petrol kwenye moto huku wakijua kuwa Tanzania ni nchi pekee katika Afrika ambayo haiwezi kufanya jambo hili. Nakuhakikishia kwamba tangu nikae hapa nina miaka sita na sijaona Serikali ya kimapinduzi kama hii. La hasha, Tanzania haiwezi kabisa kufanya jambo hilo ila hizo ni mbinu za mabeberu za kutugonganisha sisi na wenyeji wetu ili mambo yaharibike kabisa. Mimi sitakubali washenzi hao watugonganishe. nafikiri umenielewa. "Nimekuelewa sana. Sasa unafikiri silaha hizi zimepotea poteaje?. Hapa nataka mawazo yako binafsi". "Hata mimi sijui. Ni njama ya hali ya juu iliyofanyika, hivyo nimeachia shauri hilo Serikali ya Tanzania ambayo imeniahidi itafanya juu chini kufichua njama hizi". "Na isipowezekana?", Veronika aliuliza. "Tutajua la kufanya wakati huo. "Ilibainikaje kama wewe umekwenda Urusi kutafuta silaha za kisasa na hali naamini jambo hili lilifanywa kwa siri?", Sherriff aliuliza. "Siku hizi hakuna kitu cha siri. Nafikiri hata kabla sijaondoka hapa Dar es Salaam kwenda Moscow ilikuwa imeshajulikana nini nafuata. Ulimwengu huu wa teknolojia hakuna kitu cha siri. Hata mkutano uliofanyika huko camp Davis Marekani, kati ya Marais wa Israel, Misri na Marekani na kuweka hali ya uficho wa hali ya juu, bado watu walijua kabla mazungumzo hayo ya kisiri ya hali ya pekee hayajatangazwa rasmi. ili kujibu swali lako hata sisi hatukutegemea tutajulikana. "Watu wanafikiri kuwa, silaha hizo zimefanyiwa njama za kuibiwa kwa sababu ni silaha za kisasa kabisa na za hali ya juu. Ndio sababu watu wanasema Tanzania isingeweza kuziona zinakwenda hivi hivi. Sasa swali langu ni kwamba kwa nini uliamua kuomba silaha za kisasa za jinsi hii wakati vita havijafikia hali ya juu sana kuhitaji silaha za namna hiyo. "Ahaa, swali lako zuri sana. Ili mwelewe kwa nini nilichukua hatua hiyo ni lazima niwape maelezo kamili, juu ya hali ya silaha alizonazo adui tunayepigana naye", alinyamaza kidogo akaegemeza mikono yake mezani. "Maana mtu hawezi kupigana kwa rungu dhidi ya mtu mwenye bunduki. Kwa hiyo hamtajali naona nikiwaeleza kwa kirefu jinsi wapinzani wetu walivyojidhatiti kijeshi na ndipo tu mnaweza kuona kwa nini niliagiza silaha za kisasa". "Sisi tutafurahi sana kupata fursa ya kusikia maelezo hayo", nilijibu kwa niaba ya wenzangu. "Katika miaka 15 iliyopita", alieleza Chimalamo. "Makampuni ya kimataifa yamezidisha rasilimali zao ili kuimalisha uchumi wa Afrika Kusini. Makampuni makubwa ya Marekani na Ujerumani Magharibi yamepanua rasilimali zao katika sehemu muhimu za utawala wa Makaburu. Na makampuni haya yana ushirikiano mzuri sana na utawala wa Makaburu. "Miaka michache iliyopita mabenki ya kigeni yameikopesha afrika Kusini mamilioni ya fedha ili kuwezesha kukabili migogoro ya kiuchumi iliyosababishwa na kulegalega kwa uchumi wa nchi za magharibi na kuendelea kukua kwa mapambano ya wazalendo wanaokandamizwa na utawala wa Makaburu. "Mabenki ya kigeni yametoa mtaji mkubwa kwa utawala wa Makaburu kwa mahitaji ya fedha kwa ajili ya mambo ya kijeshi na kiuchumi, katika miaka michache iliyopita deni la kigeni la Afrika Kusini limeongezeka haraka kufidia gharama za mafuta yake, kupanua ununuzi wa silaha na gharama za mipango ya kuuwezesha utawala huo dhalimu ujitegemee. Kwa taarifa yenu mpaka kufikia mwishoni mwa mwaka 1976 utawala wa Makaburu ulikuwa na deni lipatalo Shs.72 bilion, lakini idadi inaweza kuwa kubwa kuzidi hapo maana mikopo kwa Afrika Kusini ni siri. Sijui mnanielewa?". "Tunakuelewa sana", tulijibu kwa pamoja, huku Veronika akiwa anaandika maelezo hayo. "Kuna ukweli unaoonysha jinsi biashara ya makampuni ya kigeni na rasilimali zao zilivyosaidia kuimarisha viwanda vya kijeshi vya Afrika Kusini hata kuuwezesha utawala wa Makaburu kuwa na kiburi na kupuuza maoni ya dunia na kuendelea kudumisha udhalimu wake na kuwakandamiza wananchi walio wengi wa Afrika Kusini. Makampuni ya kigeni yamejihusisha moja kwa moja katika kuimarisha kijeshi Afrika Kusini. Kumbukumbu za kampuni moja inayoshughulika na utengenezaji wa silaha katika nchi zinazoendelea zinaonyesha kuwa makampuni ya kigeni yametoa liseni kwa makampuni ya Afrika Kusini kutengeneza zana za kijeshi za aina mbali mbali, pamoja na ndege za kijeshi, mabomu, risasi na bunduki. Vile vile kuna makampuni yanayotengeneza vipuri na vifaa vingine kwa madhumuni ya kijeshi. Shirika la Baruti na madawa la Afrika Kusini 'AECI' linatajwa kuwa linamiliki viwanda vitatu vinavyotengeneza silaha na linashirikiana na kampuni moja ya viwanda vya madawa ya Uingereza. "Imperial Chemical Industries", Kampuni hiyo ya Uingereza., imetoa utaalamu na vifaa vinavyotumiwa na Shirika la AECI la Afrika Kusini. Na wakati huo huo kampuni ya Darman Long ya Afrika Kusini iliyounda manowari moja yenye uzito wa tani 220 inashirikiana na Shirika la vyuma linalomilikiwa na serikali ya Uingereza katika shughuli za utengenezaji silaha". Alinyamaza kidogo, akachukua sigara akaiwasha kisha akavuta mara tatu hivi halafu akaendelea. "Kutokana na misaada hii toka nchi za Magharibi, Afrika Kusini imejiimarisha sana kijeshi. Utaona kuwa miaka ya sitini, matumizi ya kijeshi ya Afrika Kusini yameongezeka mara sita kutoka Shg 520 milioni hadi mwaka 1977/78 matumizi ya kijeshi yalikuwa yameongezeka tena na kufikia kiasi cha Shg 16,450/- milioni kwa mwaka. Nimetoa maelezo hayo pamoja na tarakimu ili kuwaonyesha kimsingi kuwa Afrika Kusini ina uwezo kifedha kutengeneza au kununua silaha za kisasa kabisa. Alitua tena ili kuvuta sigara yake kisha akaendelea huku sisi tukimsikiliza kwa makini kama wanafunzi wanavyomsikiliza mwalimu katika somo wanalolipenda. "Vijana lazima mtu ujue nguvu za adui yako kabla hujamkabili, la sivyo, utakuwa unafanya mapambano yasiyo ya kimsingi. Ili kuwapa ukweli hasa uliopo, jeshi la Afrika Kusini limekuwa likitumia zana za kisasa zilizoko duniani tangu mwaka 1970. Matumizi ya kijeshi kwa ajili ya kununulia silaha na vifaa maalumu vya kisasa vya kijeshi badala ya vya zamani yaliongezeka kwa asilimia 32 mwaka 1971 kufikia asilimia 53 mwaka 1973. Kati ya mwaka 1970 na 1979 Shg 2,240 milioni zilitumika kwa mambo ya ndege za kijeshi, shs 1,000/- milioni kwa ajili ya kununua radio, mitambo ya kutazama ndege angani (radar) na vifaa vingine vya kisasa. Kama nilivyokwisha kuwaeleza hapo awali, wakati huo huo utawala wa Afrika Kusini umekuwa ukichukua hatua kuimarisha utengenezaji wa zana humo humo nchini kadiri vipuli na vifaa vya mahitaji yake ya kijeshi yanavyozidi kuongenzeka. "Kwa mjibu wa toleo moja la kijeshi la Marekani, tangu tangu mapema mwaka 1971 makaburu walikuwa wanaweza kutengeneza mabumu na baruti kiasi cha kujitosheleza na wanaweza kuuza nchi za nje. Juu ya risasi Afrika Kusini inatengeneza aina 100 za risasi. Kwa bunduki inajitosheleza kabisa. Kwa silaha za jeshi la nchi kavu, ama imejitosheleza ama imefikia hatua za utoaji, na itajitosheleza hivi karibuni kwa zana za jeshi la maji na sasa inatoa zana zote za moto inazohitaji. Bunduki za kisasa kama vile Rifle na Machine-gun vile vile zinatengenezwa. Hivi utengenezaji wa mizinga unaanza, na kuna huduma ya kuweza kutengeneza karibu kila aina ya magari ya kijeshi. Radio za ndege, vifaa vya kutegulia mabomu na vifaa vingine vya kisasa vya kijeshi vinabuniwa na kutengenezwa huko huko Afrika Kusini. Alinyamaza na kuwasha sigara nyingine na kwa nguvu zile zile akaendelea kueleza. "Hivi karibuni ilidokezwa kuwa Afrika Kusini inaunda aina fulani za bunduki, mabomu ya kudondoshwa na ndege yenye uzito wa kufikia ratili 1,000 kila moja na inaendelea na utengenezaji wa makombora ya kuangusha ndege. Mabomu hayo inasemekana yalifanyiwa majaribio mwezi Septemba 1977 kwa kutumia ndege za aina ya 'Mirage'. ndege hizi za mirage zilianza kuundwa huko Afrika Kusini chini ya liseni ya kampuni ya ufaransa ya Sessoult mnamo mwaka 1974. Kama hatua ya mwanzo. Afrika Kusini ilinunua vipande 50 vya ndege za aina hiyo na kuunda yenyewe ndege za mirage". "Wakati huo vile vile ilikuwa tayari imeanza kuunda ndege za kijeshi aina ya Impala za muundo wa Italia-Armachi MB-326, magari ya kijeshi aina nyingi ya silaha ndogo ndogo pamoja na bunduki za aina ya rifle muundo wa Ubelgiji. Na kwa mjibu wa Waziri wa Uliniz wa Makaburu. Afrika Kusini ilitegemewa ianze kutengeneza vifaru vyake. Vile vile Afrika Kusini inasemekana imeanza kuendeleza utengenezaji wa mizinga ya kutungulia ndege aina ya CAC-TUS, ikisaidiwa na kampuni moja ya Ufaransa". Alipofika hapa aliinua simu na kumwamru mwandishi wake mahsusi atuletee vinywaji baridi na sambusa kisha akaendelea. "Naona nitawachosha lakini kwa sababu nyie wenyewe mmeuliza mimi nitawapa hali halisi ilivyo na mkiwa kama waandishi wa habari ni vizuri kujua hali ya kijeshi ya huyu adui wetu mkubwa katika Afrika. Kwa kutumia gazeti lenu mnaweza kujulisha jumuia ya ulimwengu ukweli wa nguvu za adui yetu huyu zilivyo, hivyo msitahimili karibu nitamaliza. Mwandishi wake alileta vinywaji barudi na sambusa. "Habari unazotueleza ni za kusisimua mno kwani kwetu sisi wengine ni habari mpya, hivyo hata ukiendelea mpaka usiku tutakuwa tayari kabisa kukusikiliza", nilimhakikishia. "Kama hivyo basi nitaendelea. Magari ni muhimu sana katika mambo ya kijeshi. Kuna makampuni kadha wa kadha ya kigeni ambayo yamekuwa yakiisaidia Afrika Kusini kijeshi katika mambo ya magari. Makampuni hayo ni pamoja na kampuni ya Marekani ya General MOtors (GM), kampuni kubwa duniani inayotoa magari kwa wingi baada ya Vita Kuu ya kwanza. Hivi sasa ina mtambo wa kuunganisha na kuunda magari huko Port Elizabeth, na mtambo wa kutengeneza injini za magari nje kidogo ya mji huo. "Kampuni nyingine ya magari ni ile ya Ujerumani inayotengeneza magari ya aina ya 'Benz'. Magari ya kijeshi ya aina hii ndiyo yanatumiwa sana na majeshi ya Afrika Kusini. Msemaji mmoja wa kampuni ya magari ya Benz na BMW, alijigamba hivi karibuni kwamba kampuni yake inatengeneza magari hayo Ujerumani kwenyewe na Afrika Kusini na inakusudia kutumia Afrika Kusini kama kituo cha kuuzia magari hayo kwa nchi za nje zilizoko Kusini kwa Ikweta. Hii inaonyesha dhahiri kuwa Afrika Kusini inayo magari haya zaidi ya mahitaji yake ya kijeshi". Alinyamaza tena akachukua glasi yake iliyojaa Coca-cola akainywa kwa mara moja kisha akainua macho yake na sura yake ikageuka kuwa nzito kisha akaendelea. "Na mwisho napenda kuwaeleza jambo la mwisho lakini muhimu si kwa sisi wapigania uhuru tu bali kwa Afrika nzima. Katika mwaka 1974 Shirika la Nyuklia la Marekani lililoko Oak Ridge lilipeleka kilo 45 za madini ya 'Uranium' kwa mtambo wa utafiti wa nyuklia uliopo Palandaba huko Afrika Kusini baada ya Tume ya Nyuklia, chombo pekee cha Marekani kinachotoa liseni za usafirishaji nje vifaa vya nyuklia kukubaliana na Afrika Kusini kwamba haitaruhusu madini hayo yapelekwe pengine au kutumiwa vinginevyo. Marekani vile vile mwaka 1975 na 1976 iliipa Afrika Kusini madini hayo yanayotumiwa kutengeneza zana za nyuklia na kuahidi kuuza zaidi madini hayo kwa mtambo wa pamoja na nguvu za nyuklia wa Marekani na Ufarasa unaotazamiwa kujengwa Afrika Kusini mwaka 1984. Kwa jumla Marekani imeiuzia au imeahidi kuiuzia Afrika Kusini ratili 300 za madini hayo kwa ajili ya mtambo wa utafiti wa nyuklia uliopo Palandaba. Kwa taarifa yenu ratili 300 za Uranium zinawza kutengeneza mabomu 15 ya Atomiki". Kila mmoja alipiga mluzi wa mshangao. "Nafikiri ndugu Willy nimejibu swali lako kwa kirefu, kwa hiyo utaona sisi wapigania uhuru hatuna budi kuomba silaha za kisasa zinazoweza kukabili nguvu hizi kubwa ya kijeshi za adui yetu. Kwa hiyo tukio hili lililotokea linaonyesha dhahiri kuwa hawa makaburu wameona hatari inayowajia hivyo kuiba silaha hizi ni mbinu moja ya kujihami. Na mimi nimeapa sitarudi nyuma nitaondoka tena karibuni kwenda kutafuta silaha za kisasa na kali toka nchi rafiki ambazo naamini zitaamini kuwa tukio hili ni njama za mabeberu. Hivyo njama zao zinazidisha tu moto katika wapigania uhuru na ndugu zao wanaowasaidia. Huu si mwisho wa mapambano. Ila ni matayarisho tu ya mapambano - historia itanihukumu. Mna swali zaidi?". Tuliangalia na kukawa hakuna mtu mwenye swali kwani risala yake ilituchoma mioyoni kama miali ya moto wa umeme. "Asante, tumetosheka", nilijibu kwa niaba ya wenzangu. "Oke mnakaribishwa tena siku yoyote kwani katika kuzungumza nanyi ndipo tunapoweza kujua hali halisi ya Kusini mwa Afrika. Asante sana vijana wa Afrika kuja kunitembelea". Alitupa mkono wa kuagana. "Asante sana", tulijibu na kuondoka ofisini mwake kimya kimya. Tulipofika kwenye gari langu niliona ni saa saba u-nusu, kweli tulikuwa tumekaa sana ndani. Tuliingia ndani ya gari. "Sasa twende tukaonane na Ray Sikazwe. Rais wa Chama za SANP Imechapishwa na Maseypr kwa 6:31 AM
2017-10-21T14:07:53
http://nyakasagani.blogspot.com/2013/01/njama_30.html
[ -1 ]
Ubaguzi wa rangi katika Kampuni ya Uchina inayosimamia reli ya SGR | Tovuti ya Kiswahili ya ukweli wa Afrika. Home Siasa Ubaguzi wa rangi katika Kampuni ya Uchina inayosimamia reli ya SGR Ubaguzi wa rangi katika Kampuni ya Uchina inayosimamia reli ya SGR Kampuni hiyo ya Uchina inayosimamia reli ya SGR iliangaziwa kwa kuwa na ubaguzi wa rangi. Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo waliviambia vyombo vya habari kuwa walikuwa wakidhulumiwa na mabosi wao raia wa Uchina Utata umezidi kuizingira kampuni ya kusimamia reli nchini, CRBC hasa baada ya wafanyakazi wake kufichua dhuluma wanayopitia chini ya usimamizi wa mabosi wao raia wa Uchina. Wafanyakazi hao waliwaambia wanahabari hao kuwa wasimamizi wa kampuni hiyo ya China Road and Bridge Corporation (CRBC) walikuwa wanawafanyia vitendo vya dhuluma kwa jina la kuwafanyia mafunzo ya kitaaluma. Wafanyakazi wa SGR wawekewa vikwazo wasitoe siri nje baada ya ripoti kwamba wanateswa na Wachina kuibuka. Imefahamu kuwa baada ya kuripotiwa kwa kisa hicho, kampuni hiyo imewataka wafanyakazi wake kutotoa siri zozote nje kuhusu jinsi wanavyofanyishwa mazoezi kati ya masuala mengineyo. Kulingana na barua hiyo ambayo ilikuwa na nembo ya SGR, wafanyakazi hao walifaa kuongea tu mambo bora kuhusu kampuni hiyo, wasitete kuhusu lolote. Amri hiyo iliwekwa ili kuwazuia wafanyakazi hao kuchukua video, picha au kuandika maneno yoyote ya kulipaka tope kampuni hiyo. Kampuni ya reli Previous articlePakistan: Mlipuko mjini Peshawar wasababisha kifo na majeruhi 20 Next articleSafari ya Donald Trump mjini London Mazungumzo ya amani ya Wayemeni nchini Sweden Kenya: KSh 2.7 bilioni za umma hazijulikani zimetumika vipi Moto wateketeza bweni la Kamusinga Boys huku ghasia za wanafunzi Aliyedai kuwa mtoto wa Lowassa akamatwa na Jeshi la Polisi
2018-12-11T20:29:29
https://aftruth.com/swa/siasa/ubaguzi-wa-rangi-katika-kampuni-ya-uchina-inayosimamia-reli-ya-sgr/
[ -1 ]
Jiwa Halus (Fine Heart): WAKE UP LA!! Be careful with compulsive bitching disoder. Wake up la oiii!! Posted by Hasnul J Saidon @ Kebun Jiwa Halus at 07:17
2017-11-18T02:29:46
http://hasnulsaidon.blogspot.com/2015/11/wake-up-la.html
[ -1 ]
Ina maana gani kwamba Mungu ni Mwenye nguvu? Swali: "Ina maana gani kwamba Mungu ni Mwenye nguvu?" Jibu: Neno lolote linatokana na maana ya "yote" na maana ya nguvu "nguvu." Kama ilivyo na sifa za ujuzi na uzima, ifuatavyo kwamba, ikiwa Mungu hana mwisho, na kama Yeye ni huru, ambayo tunajua Yeye ni, basi lazima awe mwenye nguvu kabisa. Ana nguvu zote juu ya vitu wakati wote na kwa njia zote. Ayubu alizungumzia nguvu za Mungu katika Ayubu 42: 2: "Najua ya kuwa waweza kufanya mambo yote, naya kuwa makusudi yako hayawezi kuzuilika." Ayubu alikuwa akikubali uweza wa Mungu katika kutekeleza mipango Yake. Musa, pia, alikumbushwa na Mungu kwamba alikuwa na nguvu zote za kukamilisha madhumuni Yake juu ya Waisraeli: "BWANA akamjibu Musa, Je, mkono wa Bwana ni mfupi sana? Sasa utaona ikiwa ninachosema kwako litakuwa la ukweli au la. '" Hakuna mahali ambapo uweza wa Mungu huonekana wazi zaidi kuliko uumbaji. Mungu akasema, "Hebu kuwa na ..." na ilikuwa hivyo (Mwanzo 1: 3, 6, 9, nk). Mtu anahitaji vifaa vya kuunda; Mungu alinena tu, na kwa nguvu ya neno lake, kila kitu kiliumbwa kutoka kwa hakuna kitu. "Kwa neno la BWANA mbingu zilifanyika, na jeshi lake lote kwa pumzi ya kinywa chake." (Zaburi 33: 6). Nguvu ya Mungu inaonekana pia katika kulinda uumbaji Wake. Maisha yote duniani yangepotea sio kwa ajili ya utoaji wa Mungu wa kila kitu tunachohitaji kwa chakula, mavazi na makao, yote kutoka kwa rasilimali zinazoweza kuendelezwa na nguvu zake kama mtunzaji wa mwanadamu na mnyama (Zaburi 36: 6). Bahari ambazo hufunika dunia nyingi, na juu ya ambayo hatuna nguvu, ingeweza kutudhuru ikiwa Mungu hakuweka mipaka yao (Ayubu 38: 8-11). Nguvu zote za Mungu huwa na serikali na viongozi (Danieli 2:21), kama anavyozuia au kuwaacha kwenda njia zao kulingana na mipango na madhumuni Yake. Nguvu zake hazina ukomo juu ya Shetani na pepo zake. Mashambulizi ya Shetani juu ya Ayubu yalikuwa na matendo fulani tu. Alizuiliwa na nguvu isiyo na ukomo wa Mungu (Ayubu 1:12, 2: 6). Yesu alimkumbusha Pilato kuwa hakuwa na mamlaka juu yake isipokuwa kama alipewa na Mungu wa nguvu zote (Yohana 19:11). Kuwa mwenye nguvu, Mungu anaweza kufanya chochote. Hata hivyo, hiyo haimaanishi Mungu amepoteza nguvu zake zote wakati Biblia inasema kuwa hawezi kufanya mambo fulani. Kwa mfano, Waebrania 6:18 inasema kwamba hawezi kusema uongo. Hiyo haina maana Yeye hawana uwezo wa kusema uongo, bali Mungu huchagua kutosaana na ukamilifu wake wa maadili. Kwa njia hiyo hiyo, licha ya kuwa Mwenye nguvu na kuchukia uovu, Anaruhusu uovu kutokea, kulingana na kusudi lake njema., Anatumia matukio mabaya ya kuruhusu madhumuni Yake kufunguliwa, kama vile wakati mabaya yote yaliyotokea — Kuua ya kondoo mkamilifu, mtakatifu, asiye na hatia ya Mungu kwa ajili ya ukombozi wa wanadamu. Kama Mungu anavyoingia ndani, Yesu Kristo ni mwenye nguvu. Nguvu zake zinaonekana katika miujiza aliyoifanya-Kuponya kwake nyingi, kulisha watu elfu tano (Marko 6: 30-44), kutuliza dhoruba (Marko 4: 37-41), na kuonyesha mwisho wa nguvu, kumfufua Lazaro Na binti wa Yairo kutoka kwa wafu (Yohana 11: 38-44, Marko 5: 35-43), mfano wa udhibiti wake juu ya maisha na kifo. Kifo ni sababu kuu ambayo Yesu alikuja-kuiharibu (1 Wakorintho 15:22, Waebrania 2:14) na kuwaleta wenye dhambi katika uhusiano mzuri na Mungu. Bwana Yesu alisema waziwazi kuwa alikuwa na uwezo wa kuweka maisha yake na nguvu ya kuichukua tena, ukweli kwamba Yeye alitoa madai wakati akizungumzia juu ya hekalu (Yohana 2:19). Alikuwa na uwezo wa kumwita malaika kumi na wawili wa malaika kumwokoa wakati wa majaribio yake, ikiwa inahitajika (Mathayo 26:53), hata hivyo alijitoa mwenyewe kwa unyenyekevu badala ya wengine (Wafilipi 2: 1-11). Siri kubwa ni kwamba nguvu hii inaweza kugawanywa na waumini ambao wameungana na Mungu katika Yesu Kristo. Paulo anasema, "Kwa hiyo nitajisifu zaidi juu ya udhaifu wangu, ili nguvu za Kristo ziweke juu yangu" (2 Wakorintho 12: 9b). Nguvu ya Mungu imetukuzwa sana wakati udhaifu wetu ni mkubwa kwa sababu Yeye "anaweza kufanya zaidi ya yote tunayoomba au kufikiria, kulingana na nguvu zake zinazofanya kazi ndani yetu" (Waefeso 3:20). Ni nguvu ya Mungu inayoendelea kutuweka katika hali ya neema licha ya dhambi zetu (2 Timotheo 1:12), na kwa nguvu Yake tunachukuliwa kutoka kuanguka (Yuda 24). Nguvu zake zitatangazwa na jeshi lote la mbinguni kwa milele (Ufunuo 19: 1). Hiyo kuwa sala yetu isiyo na mwisho!
2018-03-22T19:34:53
https://www.gotquestions.org/Kiswahili/Mungu-mwenye-nguvu.html
[ -1 ]
Davido And Rio Paul Are Rocking The It Accessory Dior's Saddle Bag For Men | AfroSwagga Dior Saddle bag imeonekana kupenda na watu maarufu mbalimbali, akiwepo mwanamuziki Rihanna. Bag hii ilionyeshwa mara ya kwanza katika run way miaka ya tisini na toka miaka hio imekuwa ikifanyiwa marekebisho na kurudishwa sokoni mara kwa mara, Dior saddle bag ni iconic bag ya luxury brand hii kutoka France. Miaka hio Dior saddle bag ilikuwa inavaliwa na wanawake tunadhani miaka hii, Luxury French Brand hii iliona umuhimu wa kuja na Dior Saddle Bag For Men, na imeonekana kupokelewa kwa mikono miwili na wanaume, tumemuona mwanamuziki kutoka Nigeria Davido akiwa amebeba bag hii huku stylist Rio Paul kutoka Tanzania nae akitutoa kimaso maso. Davido yeye alivaa bag hii na neon outfit Wakati stylist kutoka Tanzania Rio Paul yeye alikuwa in more casual outfit white pull neck, blue jeans na white sneakers. Inavyosemekana bag hii inaanzia kuuzwa kuanzia USD 1,900 mpaka $35,000 yaani kuanzia pesa za ki-Tanzania 4,374,940 mpaka 80,591,000/-. Sote tunazile siku ambazo we don't feel like dressing up, au labda una enda sehemu… Wanasema linapokuja swala la fashion expect anything, wabunifu kila siku wanakuja na jambo jipya, mwaka… Ni jumatatu nyingine tena ambayo huwa tunawaletea weekly highlights za nani amevaa nini na je… Namna Ambavyo Media Personalities Wanaweza Kuleta Ushawishi Katika Mitindo
2019-05-21T15:31:38
http://afroswagga.com/urembo/davido-and-rio-paul-are-rocking-the-it-accessory-diors-saddle-bag-for-men/
[ -1 ]
Idara ya mikakati na shughuli za utunzaji inafanya semina ya viongozi wa hazina ya Atabatu Askariyya tukufu… Idara ya mikakati na shughuli za utunzaji chini ya kitengo cha hazina (utunzaji) katika Atabatu Abbasiyya tukufu inafanya semina ya (kujenga uwezo kwa watumishi wa utunzaji) wa hazina za Atabatu Askariyya, semina hii ni sehemu ya kukamilisha mafunzo waliyopewa siku za nyuma. Semina ilianza siku ya Jumapili (2 Dhulhijja 1440h) sawa na (4 Agoat 2019m) itaendelea hadi Alkhamisi wiki hii, katika semina hii wanafundishwa namna ya kutunza vifaa kale na umuhimu wake pamoja na majukumu ya kiongozi wa hazina ikiwa ni pamoja na kubaini kifaa kale na namna ya kukiingiza katika orodha ya vitu vilivyopo katika hazina ya makumbusho. Fahamu kua kitengo cha hazina katika Atabatu Abbasiyya tukufu kila baada ya kipindi fulani huandaa semina za aina hii, pia huandaa vifaa kale na kuviingiza katika hazina ya makumbusho, kimekua kitengo muhimu kinacho kusanya kila kitu katika Ataba tukufu, kinatunza vifaa kale vya aina mbalimbali kwa kutumia mbinu za kisasa zinazo tumika na hazina za kimataifa.
2019-12-15T00:49:13
https://alkafeel.net/news/index?id=8980&lang=sw
[ -1 ]
Ripoti Maalum mambo yote yaliyojiri uwasilishwaji wa Kamati ya Pili ya Mchanga wa madini - HABARI24 Home / HABARI MPYA / Ripoti Maalum mambo yote yaliyojiri uwasilishwaji wa Kamati ya Pili ya Mchanga wa madini Ripoti Maalum mambo yote yaliyojiri uwasilishwaji wa Kamati ya Pili ya Mchanga wa madini HABARI24 TV 7:34:00 AM HABARI MPYA Leo Kamati ya Pili ya Mchanga wa Madini Inawasilisha Ripoti Yake kwa Rais John Pombe Magufuli. Msikilize hapo chini rais akizungumza baada ya kupokea ripoti hiyo. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt John Pombe Magufuli leo Jumatatu June 12 amepokea ripoti ya kamati ya pili ya uchunguzi wa mchanga wa madini. 1.Kamati ya wanasheria na wachumi ya kuchunguza mchanga wa madini iliteuliwa Aprili 10 ikiongozwa na Prof. Nehemiah Osoro. 3.Kamati pia ilitakiwa kuchunguza kama Tanzania inauwezo wa kutengeneza 'smelter' nchini, gharama zake na muda utakaotumika. 4.Kamati ilitakiwa kuchunguza tofauti ya mapato ambayo Tanzania ilipata na ambayo ilitakiwa kuyapata tangu mwaka 1998. 5.ACACIA inayojinasibu kama mmiliki wa migodi ya Bulyanhulu na Buzwagi haijawahi kuwasilisha nyaraka za umiliki huo. 6. Kamati imebani kwa mujibu wa nyaraka kuwa kampuni ya ACACIA PLC haikusajiliwa nchini 7.Kamati imebaini kuwa wamiliki wa makampuni ya madini nchini wametenda makosa mbalimbali ya jinai. 8.Kamati imeridhia baadhi ya watumishi wa serikali, makampuni ya usafirishaji na TMAA wameliingiza Taifa hasara kwa makusud. 9.Makampuni ya Pangea na Bulyahulu yamepatikana na hatia ya kuliingizia Taifa hasara kwa kutokutoa taarifa sahihi juu ya uzito wa makinikia:. 9.Idadi na uzito wa makontena ya mchanga ulionekana kuwa mkubwa kwenye meli tofauti na kwenye nyaraka za bandarini. 10.Baadhi ya makampuni ya wakala wa meli ziliwasilisha nyaraka za uongo za usafirishaji wa madini kati ya 1998 na 2017. 11.Makontena 30 ya futi 20 yenye makinikia yalionekana kwenye nyaraka yamesafirishwa, lakini ukweli yalisafirishwa 33. 12.Kupitia hati ya usafirishaji wa makontena melini, idadi kubwa ya makontena yalikuwa yakisafirishwa bila kuorodheshwa. 13.Migodi ya Bulyanhulu na Pangea imekuwa ikipata faida lakini faida halisi haikuwa ikionyeshwa. 14.Kamati imebaini makontena 44,277 kwa kiwango cha chini yalisafirishwa nje ya nchi kati ya 1998 na 2017. 15.Viwango vya dhahabu kwa kila kontena ni 28kg, kwa miaka yote ni tani 1,240 kwa kiwango cha chini, thamani yake Tsh 108tril 16.Jumla ya thamani ya madini yaliyosafirishwa nje ya nchi kati ya 1998 hadi 2017 ni trilioni 132.56 kwa kiwango cha chini. 17.Jumla ya thamani ya madini yaliyosafirishwa nje ya nchi kati ya 1998 hadi 2017 ni trilioni 229.9 kwa kiwango cha juu. 18.Jumla ya thamani ya madini yaliyosafirishwa nje ya nchi kati ya 1998 hadi 2017 kwa Kiwango cha wastani ni trilioni 188.58 19.Kodi ya Mapato ambayo Tanzania imepoteza tangu 1998 hadi Machi 2017 ni trilioni 55 katika usafirishaji wa makinikia. 20.Kodi ya Zuio ambayo Tanzania imepoteza tangu 1998 hadi Machi 2017 ni bilioni 94 katika usafirishaji wa makinikia. 21.Mh Rais jumla ya Kodi tulizopoteza ni Sawa na makadirio ya bajeti ya serikali kwa kiwango cha Mwaka 2017/18 kwa miaka 2. 22.Taarifa ambazo zimekuwa sikiwasilishwa TMAA kuhusu uchenjuaji wa makinikia hazina ukweli wowote. 23.Mh Rais kamati imepata mikataba ya mauzo ya uuzwaji Wa makinikia nje ya nchi kuwa serikali haihusiki kabisa. 24.Mikataba hiyo Mh Rais haina Masharti kuwa Serikali inapaswa kupewa taarifa ya uuzwaji wa Makinikia kutoka ktk migodi. 25.Mh Rais katika uchunguzi wetu Serikali ina hisa asilimia 15 ikauza 5 na kila mwaka kamishna au Waziri wa Fedha hupokea dola laki 1. 26.Pangea Gold mine ina mikataba miwili ilisainiwa na Mh Daniel Yona baadaye Mh Nazir Karamagi serikali haina hisa Yoyote. 27.Mh Rais Mkataba wa North Mara ulisainiwa na Waziri Daniel Yona Mwaka 1999 baadaye Nazir Karamagi Mwaka 2017 28.Mh Rais katika Mkataba wa Geita Gold Mine ulisainiwa na Mh Abdallah Kigoda na serikali haina Hisa hata moja. 29.Kamati imebaini kuwa kumekuwa na uongezaji wa muda wa leseni na maeneo uchimbaji kinyume na sheria. 30.Mh Rais kamati imebaini kuwa Mh William Ngeleja na Sospeter Muhongo walitoa mikataba mipya bila kufuata sheria za nchi 31.Mh Rais Mkataba wa North Mara ulisainiwa na Waziri Daniel Yona Mwaka 1999 baadaye Nazir Karamagi Mwaka 2007 32.Mh Rais mwanasheria mkuu wa serikali pamoja na makamishina wa madini Mh Andrew Chenge na Dalali kafumu walihusika ktk mikataba ya madini. 33.Makampuni ya uchimbaji yakilipwa fedha haziwekwi kwenye mabenki ya ndani badala yake huwekwa kwenye mabenki ya nje. 34.Uwekaji wa fedha kwenye mabenki ya nje badala ya mabenki ya ndani, umechochea utoroshaji mkubwa wa fedha. 35. Makapuni mengi yamekuwa hayaajiri wazawa, na mgodi mmoja ulitaka kuleta walinzi kutoka nje ya nchi. 36.Hakuna mfumo uliowekwa na serikali wa kuhakikisha kunakuwa na ufuatiliaji wa ajira zinazotolewa katika migodi nchini. 37.Sheria ya madini inatoa uhuru wa madaraka kwa Waziri wa Madini katika kuingia kwenye mikataba ya madini. 38.Mh Rais Kamati inatoa mapendekezo kuwa mikataba yote ya madini ipelekwe bungeni kujadiliwa na kisha kupitishwa kwa maslahi ya Taifa. 39.Kamati imeona hakuna haja ya kupelekwa migogoro nje ya nchi,badala yake migogoro isikilizwe hapa nchini. 40.Kamati imeona kuwa kuna uwezo wa kujenga 'smelter' hapa nchini kwa kupitia vyanzo mbalimbali vya fedha kama mikopo.. 41.Licha ya kuwapo taasisi nyingi zenye dhamana ya kusimamia sekta ya madini, Tanzania imekuwa ikipata hasara kila mara. 42.Tanzania imekuwa ikipata hasara bandarini kutokana na kutokuwa na wakala wa meli. 1.Kamati inapendekeza serikali kupitia msajili wa makampuni iichukulie hatua kampuni ya Acacia kwa kufanyakazi kinyume na sheria. 2. Serikali izuie usafirishaji wa makinikia nje ya nchi, hadi hapo wadaiwa watakapolipa madeni yao. 3.Serikali iwachukulie hatua waliokuwa Mawaziri, Wanasheria Wakuu wa Serikali, Manaibu na watumishi wote waliohusika. 4. Serikali ijenge smelter hapa nchini ili kuokoa fedha zinazopotea kutokana na usafirishaji wa makinikia. 5. Serikali ichunguze mwenendo wa watumishi wa Mabaraza ya Kodi kwa kuchukua muda mrefu kutoa maamuzi ya mashauri ya kodi. 6. Sheria iongeze kiwango cha adhabu kilichoanishwa katika ukiukwaji wa sheria ya madini nchini. 7. Sheria iweke kiwango maalumu cha hisa ambacho zitamilikiwa na serikali na kuiwezesha serikali kununua hisa. 8.Sheria itamke bayana kuwa madini ni mali ya Watanzania na yamewekwe chini ya ofisi ya rais. 9. Mikataba ya madini isiwe ya siri ni lazima iridhiwe na bunge 10. Sheria iondoe mamlaka aliyonayo Waziri wa Madini na Kamishna wa Madini katika sekta ya madini. 11. Serikali ifute au kubadili sheria ya kodi ya madini ili kuondoa vifungu ambavyo havina manufaa kwa mataifa. 12. Serikali itoe elimu kwa watumishi wake kuhusu sekta ya madini. ==>Rais Magufuli anazungumza. 1.Muda mwingine ni vigumu sana huwa uzungumze nini mara baada ya ripoti hii yenye kutia uchungu sana. 2.Nisije kusahau nawapongeza kamati mmefanya kazi kubwa kwa ajili ya Watanzania wapo waliotaka kukatisha maisha yenu. 3.Nisije kusahau nawapongeza kamati mmefanya kazi kubwa kwa ajili ya Watanzania wapo waliotaka kukatisha maisha yenu. 4.Ndugu zangu watanzania Mungu alitupenda katuweka katika nchi ya Tanzania akatupatia Maliasili nyingi. 5.Nina Uhakika huko alipo shetani anatucheka nina imani shetani huyohuyo anatumia viongozi kuifanya Tanzania kuwa maskini. 6.Wakati mwingine tunapewa mikopo kwa Masharti ya ajabu ajabu huku mali tunazo sisi wenyewe jamani. 7.Kampuni inafanya biashara ya Trilioni of money lakini hata haijasajiliwa nchini mara ngapi tunawaumiza wamamchinga wasio na leseni. 8.Mali ni yangu mimi nakulinda wewe unanitisha kuwa tutashitakiwa kwa kisingizio cha ajira tuko hapa kulinda maslahi ya watanzania 9.Hawa watu muda mwingine hawana hata huruma wamechukua madini na mchanga wote huo lakini hata kodi hawakulipa. 10.Watanzania hapa Mawaziri na Wataalamu wote mioyo yao haiwaruhusu hata kwenda kukagua smelter nje ya nchi. 11.Makampuni ya kujenga smelter ya dhahabu hayaruhusiwi lakini chuma, Cement na Tiles mnaweza hili ni soko la ajabu. 12.Tulikuwa tunashare ya 15% lakini mtu akaona apunguze hii aweke asilimia 5 baadaye akaenda kuiondoa yote hiyo. 13.Yupo mpiga Kelele mmoja ambaye anapiga Kelele kila siku tulipomchunguza huko nyuma anapiga simu kwa Mwanyika anaomba data. 14.Sio kwamba mimi sina Damu ila Mungu alifawanyanyua mkaona mimi ndiyo ninafaa siwezi kuwasaliti hata kidogo. 15.Mtu kama Dkt Kafumu alikwenda kufanya forgery yupo daktari mmoja pale Muhimbili naye tulimshika hata hausiki alileta ukabila 16.Wahusika wote waliotajwa ndani ya Ripoti hii mimi nimeyakubali mapendekezo haya yote ntayasapoti kwa asilimia 100. 17.Waziri Kabudi uwe na timu ya wanasheria waaminifu, rekebisheni hizi sheria tuzipeleke bungeni zifanyiwe mabadiliko 18.Wakikiri na kuomba msamaha tutakubali kuwasajili lakini kwa sasa hakuna kuwasajili na hakuna mchanga kutoka nje 19.Wizara zote zinazohusika wawaite Acacia wawadai fedha zetu zote na wakiri walituibia. Wakikubali tutaendelea 20.Tunahitaji wawekezaji, lakini katika uwekezaji ambao utatunufaisha wote, na si wawekezaji wezi. Muhtasari wa Ripoti ya kamati ya Rais Magufuli kama ilivyowasilishwa na Mwenyekiti wake Prof Nehemia Osoro!. 1.Kamati iliandaa mwongozo kazi,kukusanya mikataba,sheria na sera za kodi 2.Kuchambua mfumo mzima wa biashara ya makinikia!. 3,Kutembelea na kupata taarifa kutoka migodini,mamlaka ya bandari,TRA,ofisi ya takwimu,Stamico,Soko la hisa na mitaji,wizara ya nishati na madini!. 4.Kufanya mahojiano na watu kutoka serikalini na watu binafsi!. 5.Kujifunza kutoka nje ya nchi!. 6.Kufanya uchambuzi yakinifu kuhusu biashara ya makinikia tangu mwaka 1998. 7.Kufanya uchunguzi kama kuna uwezekano wa kujenga mtambo wankuchenjua makinikia!. 1.Acacia haijasajiliwa na inafanya biashara isiyo halali 2.Acacia haijawahi wasilisha ripoti yoyote ya kuonesha kuwa wao ni wamiliki wa migodi!. 3.Kamati imebaini Acacia wanafanya biashara kinyume na sheria ya nchi,Acacia hawajulikani kisheria. 4.Kamati imebaini Pangea na Bulyanhulu ndiyo wasafirishaji wa makinikia kutoka Tanzania na hupelekwa China,Japan na Ujerumani yakiwa kwenye makontena ya futi 20 yakiwa tayari yameshauzwa,mauzo hayo hufanya kwa mujibu wa sheria kupitia ofisi ya uhasibu iliyopo Afrika Kusini!. 5.Kamati imebaini kuwa kifungu cha 51 cha sheria ya madini kinamtaka mchimbaji apate kibali kutoka mamlaka,kamati imebaini hakuna utaratibu maalum,kifungu hiki kinataka mwekezaji kutoa taarifa sahihi!. Kamati imebaini baadhi ya watumishi wa serikali,makampuni ya madini yametenda makosa ya jinai kwa kulisababishi taifa hasara! Kamati pia imeridhika kuwa baadhi ya watumishi wa serikali na wawekezaji wamelitia aibu taifa kwa kutoa taarifa za uongo!. Kamati imebaini katika kufanya biashara ya makinikia,makampuni haya yamekuwa yanafanya undanganyifu wa biashara,kutoa taarifa za uongo kuhusu idadi ya makontena na thamani yake!. 6.Makampuni ya makala ya meli yaliwasilisha taarifa za uongo kuhusu biashara ya makinikia!. Waliruhusu biashara hii ya magendo kwa kutoa taarifa za uongo kuhusu idadi ya makontena !. 7.Kamati imebaini mauzo ya makinikia hayakufanyika kwa ushindani,makinikia yaliuzwa kwa wafanyabiashara wale wale wenye mahusiano ya wawekezaji!. Kilichouzwa hakikuwa makinikia hasa,ilikuwa ni madini hasa!. 8.Uchunguzi wa kisayansi kupitia mifumo ya kompyuta ilisababisha gharama za uendeshaji kuonekana kubwa wakati zilikuwa chini na kusabisha wawekezaji kutolipa kodi!. 9.Kamati imebaini kuwa Bulyanhulu na Pangea hawakuonesha faida wanayopata kwenye biashara!. 10.Kamati imebaini faida iliyooneshwa imekuwa ikirudishwa kwenye makampuni kama mikopo kwa kutumia riba!. 11.Kamati imebaini makinikia yaliyosafirishwa tangu mwaka 1998 kuwa makontena 44,227-61,320 sawa na shilingi Trilioni 108 za kitanzania kwa kiwango cha chini huku kiwango cha juu ikiwa ni Trilioni 180!. Thamani ya silver toka mwaka 1998 ni shilingi bilioni 366.66,Copper ni Trilioni 2.86,surphure ni Trilioni Bilioni 277.393,Chuma ni shilingi Bilioni 368.2.,Zinc bilioni 8.42,Nicol trilion 13.22,uradium trilioni 17.19,metal Trilion 1.9. Kifupi tangu mwaka 1998,nchi imepoteza kiasi cha Shilingi Trilion 132.56 kwa kiwango cha chini na Trilioni 200.9 kwa kiwango cha juu!. Upande wa Makinikia serikalinimepoteza Trilion 149-253.8 Silver ni Trilion 5,Copper trilion 3.9,Surpher,Bilioni 411, Thamani ya madini yote kati ya mwaka 1998 hadi sasa ni shilingi Trilion 188.59-380.99 Kiwango cha mapato kilichopotea,ni Trilion 55(kodi ya mapato,Bilioni 94(Withholding tax),Mrahaba(Trilion 11) Gharama za meli Trilion (1.6) Pesa zilizopotea zingeweza hudumia bajeti ya miaka mitatu ama kujenga reli ya standard kutoka Dsm mpaka Mwanza! KUHUSU Makinikia 1.Kamati imebaini serikali siyo sehemu ya mkataba wa biashara ya makinikia!. 2.Mikataba haina sehemu ya masharti ya kuwataka wawekezaji kutoa taarifa za uuzwaji wa makinikia,serikali imekuwa haipati taarifa halisi Kuhusu Mikataba ya madini 1.Kamati imebaini serikali iliingia mkataba na mwekezaji wa mgodi wa Kahama,lakini hakuna sehemu inayoonesha serikali kupata pesa za kutosha,serikali ilifikia hatua ya kupunguza hisa zake kutoka 15 mpaka 5 na kujikuta ikipata dola laki moja tu,mabadiliko haya yalifanywa na Dr Kigoda! 2.Mkataba kati ya Pangea ulisainia na Daniel Yona na Karamagi na serikami haijawahi pata chochote kutokana na kukosa hisa!. 3.Mkataba kati ya serikali ya North Mara ukiosainiwa na Daniel Yona,serikali haina hisa hata moja,mwaka 2007,serikali ilijifutia hisa zote!. 4. Mkataba kati ya GGM na serikali ulisainiwana Daniel Yona,hapa napo serikali haina hisa hata moja!. 5.Kamati imebaini kuwa kumekuwa na uongezwaji wa mikataba inayofanywa na serikali,waliohusika ni Willium Ngereja,Prof Muhongo,wanasheria wa serikali!. 6.Kamati imebaini kuwa sheria haizuii serikali kubadili sheria na sera! 7.Kamati imebaini mikataba inaweza kurekebishwa kwa maslahi ya taifa/nchi!. 8.Kuhusu misamaha ya kodi,kamati imebaini misamaha inayosababisha hasara!. 9.Kamati imebaini kuwa makampuni haya yamekuwa hayaweki fedha kwenye mabenki ndani!. 10.Kamati imebaini makampuni haya kuajiri wazawa kwenye maeneo yenye wataalam,kamati imebaini kuwa hakuna utaratibu madhubuti uliowekwa na serikali kuhakikisha kigezo hiki kinatekelezwa!. 11.Kamati imebaini kuwa makampuni yamekuwa yakichangia kiasi kidogo kwenye shughuli za maendeleo ya jamii!. 12.Kamati imeona kuwa waziri amekuwa na madaraka makubwa,kamati imebaini kuwa bunge lipewe nguvu na siyo waziri pekee!. 13.Kamati imependeleza sheria ya madini ifanyiwe mapitio!. 14.Kamati imebaini kuwa nchini inaweza kujenga mtambo wa kuchenjua makinikia hapa nchini!. 14.Kamati imebaini kuwa nchi haina taasisi zinazosimamia biashara ya madini,tangu serikali iivunje Nasaco makampuni ya usafirishaji yamekuwa yakifanya kazinya Nasaco(yanajikagua yenyewe). 1.Hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya Acacia 2.Serikali idai kodi na makampuni yote yaliyokwepa kodi!. 3.Usafirishaji wa makinikia usitishwe mpaka kodi ilipwe 4,Mtambo wa kuchenjua makinikia ujengwe!. 5.Waliohusika wote katika kuingia mikataba wachukuliwe hatua za kisheria!. 6.Utaratibu wa malipo ya mrahaba ufutwe!. 7.Serikali ifanye uchunguzi kuhusu mwenendo wa watumishi wa mabaraza ya kodi!. 8.BOT ifuatilie malipo ya mrahaba 9.Serikali ianzishe utaratibu wa ulinzi kwenye migodi 10.Adhabu za waliokiuka sheria ziongezwe!. 11.Mikataba yote ya madini ipitiwe upya!. 12.Sheria iweke kiwango maaluma cha hisa!. 13.Serikali iunde chombo cha kusimamia ustawishaji wa biashara!. 14.Sheria iseme madini ni malinya watanzania chini ya udhamini wa rais 15. Mikataba yote iwe wazi 16.Madaraka ya waziri na kamishna yapunguzwe!. 17.Suala la ajira na mafunzo kwa wazawa izingatiwe!. 18.Fedha za mauzo ya madini ziwekwe kwenye mabenki!. 19.Serikali ifute ama izifanyie marekebisho kwenye sheria za kodi na madini!. 20.Serikali itoe mafunzo ya mara kwa mara kwa watumishi wake!. 21.Serikali iwe inafanya ukaguzi wa mara kwa mara! Ripoti Maalum mambo yote yaliyojiri uwasilishwaji wa Kamati ya Pili ya Mchanga wa madini Reviewed by HABARI24 TV on 7:34:00 AM Rating: 5
2018-07-20T10:25:36
http://habari24.blogspot.com/2017/06/ripoti-maalum-mambo-yote-yaliyojiri.html
[ -1 ]
Ministre ya Santé Dr. Eteni Longondo, Kinshasa, 16 mai 2020. (Facebook/Ambassade des Etats-Unis) Ministre ya Bokolongo bwa nzoto, Dr. Eteni Longondo alobi ete moto moko te azali kosomba nzoto ya bawei mpo na kovimbisa motango mwa bakoni ba COVID19 lokola ezali kolobama na Kinshasa mpe bisika misusu. Dr. Eteni alimboli yango nsima na basali ba bokolongo kobeta mpe kongama na commune ya Kimbaseke, na Kinshasa, na bavandi baye bafundi basali baye na koluka kosomba nzoto ya ndeko na bango akufaki. "Wuto mposo misato, natindaki misala mya inspection ya bokolongono kino sik’oyo, tokangi ata moto te. Eloko moko te elakisi ete makambo mazali kolobama mazali ya solo. Bolukukiluki bozali kokoba," elobi Dr. Eteni na koyanola na motuna motali sango elobi ete basali ya bokolongono bazali kosomba nzoto ya bawei. Mnistre ya Santé akitaki na esika ya likama lya elongo basali baye babetamaki kasi n,a basali, na libota, moto moko te andimaki ete balobaki likambo lya kosomba nzoto ya mowei. Mikolo mibale mileki, libota lya elenge mobali moko, Yannick Sambi, ebengaki bato ya quartier babeta mpe bakanga basali baye ya bokolongono nsima basali baye kokoma na esika yango mpo na kopesa bango ba résultats ya test IRNB eye elobi ete ndeko na bango akufaki na COVID19. Biso moko tozali kofutama nanu te, ndenge nini tokondima kofuta 5.000$ mpo na kosomba ebembe mpe kokosa mpo na COVID19," elobaki na esika yango moko na basali ya bokolongono. Libota lyango lisilikaki ntango liyoki ete mbulamatari nde ekozwa mokumba ya kokunda mowei, Yannick Sambi. Mpo na bango, yango elingaki koloba kosomba ebembe. Libota liye mpe bato ya quartier babongalaki maloba ya basali baye koloba ete balingaki kopesa bango misolo mpo kosomba ebembe. Président Félix Tshisekedi asengaki, na likita ya mbulamatari, ete bolukiluki bosalama mpo sango ezali kolobama ete basali bakolongono bazali kosmba bibembe. Bato mingi bazali kotia ntembe mpo etali COVID19 na RDC. Motango ya baot bayebani kozwama na COVID19 mokomi 1.731 na RDC wuto le 10 mars, kolanda cellule technique ya bitumba na COVID19. Etats-Unis ebakisi 23,4 millions $ ya lisungi mpo na bitumba na Ebola USA epesi lisungi na lipotalo 5 na Kinshasa mpe esengi Tshisekedi kokoba bitumba na kaniaka FECOCA ekati championnat, Mazembe, V.Club, Maniema Union na DCMP nde bakobeta compétions africaines Ba Chinois na Kinshasa mpo na kosunga na bitumba na COVID-19 ntango bakoni baki 1.102 Etats-Unis epesaki 2,8 millions $ ya bisaleli na lopitalo motoba ya RDC
2020-05-26T09:14:18
https://www.voalingala.com/a/ministre-ya-sant%C3%A9-atelemeli-sango-elobi-baiike-bazali-kosomba-nzoto-ya-bawei-mpo-na-covid19/5428482.html
[ -1 ]
Boss Ngasa Official Website : Kauli ya Mwisho ya Samwel Sitta Baada ya Daktari Kumueleza Kuwa Asingeweza Kupona Kufuatia kifo cha aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanza nia (2005-2010), Samuel Sitta, mwanae wa kiume ameweka wazi maneno matatu ya mwisho aliyoyatamka, yenye maana nzito katika maisha. Alitangaza kustaafu siasa muda mfupi baada ya kukamilika kwa kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka jana, ambapo yeye alikuwa mmoja kati ya waliokuwa msitari wa mbele kumnadi mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi, Dkt. John Magufuli aliyeshinda uchaguzi huo. Benjamini alieleza kuwa marehemu atazikwa Urambo Mkoani Tabora na kwamba ratiba ya mazishi itatolewa na Ofisi ya Bunge ambayo ndiyo inayoratibu mazishi
2017-02-24T05:50:07
http://www.bossngasatz.com/2016/11/kauli-ya-mwisho-ya-samwel-sitta-baada.html
[ -1 ]
Kweli maendeleo lakini hii ya Dr Karume ni mpya. | JamiiForums Kweli maendeleo lakini hii ya Dr Karume ni mpya. Karume ahutubia kupitia mkanda wa video 2008-06-25 10:26:48 Rais wa Zanzibar, Amani Abeid Karume, jana aliwashangaza wanahabari, baada ya kuwaita kwenye mkutano lakini hakuzungumza nao moja kwa moja na badala yake mkanda wa video uliokuwa umerekodi hotuba yake ndiyo uliofunguliwa ili waisikilize. Katika mkutano huo uliofanyika Ikulu, wapiga picha za magazeti hawakuambulia chochote, huku waandishi wakishindwa kuuliza maswali. Waandishi walioshiriki mkutano huo walisema walifika kwenye viwanja vya Ikulu na kusubiri kuingia ndani kwa ajili ya kukutana na Rais Karume lakini wakati huo wakiwa nje Rais alikuwa anaongea na maelezo yake kurekodiwa. \"Kutokana na sababu zisizoepukika hamtamuona Rais,\" alisema Msaidizi wa Rais, Bw. Haroub Said na kuwaacha wakiangalia video ya Rais inayoelezea kile alichokuwa amewaitia. Katika mkanda huo, Rais alizungumzia ma suala ya umeme Zanzibar, kuwa serikali iko mbioni kununua majenereta ya kuzalisha umeme wa dharura iwapo kutatokea hitilafu katika gridi ya taifa ya umeme wa Bara. Alisema serikali yake imeagiza vipuri kwa ajili ya kukarabati majenereta yaliyoko Unguja ambavyo baadhi ya vipuri vyake vilipelekwa Pemba kutengeneza mashine za kufua umeme zilizoharibika. Rais Karume alisema tatizo la umeme litatatuliwa kwa kuwa na ufumbuzi wa kudumu na kwa sasa Marekani kupitia Akaunti ya Changamoto za Milenia (MCC) inaisaidia Zanzibar kutandaza waya mpya wa umeme wa chini ya bahari. Akizungumzia kauli za watu waliosema serikali yake haitamaliza tatizo la umeme, aliwaambia waliotoa vijembe hivyo sasa watimize yale waliyotamka. ``Kuna watu waliosema kama umeme huu utarudi ndani ya mwezi mmoja watanyoa ndevu zao, tunataka sasa wanyoe kama hawana viwembe tutawapatia,`` alisema katika hotuba yake iliyorekodiwa. he he heeee akutukanaye hakuchagulii tusi, kunakutia akili hapo. Nafikiri amejitahidi sasa angalau anaanza kufikiri kuwa na mitambo ya Umeme wa dharura lakini mukumbushe asilete IPTL au Richmond zanzibar. Lakini ya kuwawekea video ilikuwa kali. Ndiyo jeuri ya ukubwa hiyo!! Ya nini ukutane na waandishi wa habari wakati unaweza kurekodi mkanda na kuwawekea wasikilize? Nao wafanye jeuri ya kutoandika au kutangaza chochote kilichomo ndani ya mkanda huo. Kwani alikuwepo hapo Ikulu? labda alikuwa nje ya nchi. Nina wasi wasi alikuwa amekwisha uchapa ulabu au ame over doze ,sababu zisizoweza kuzuilika. Hio ni dharau kubwa sana. Ni kaazi kweli kweli! alikuwa mtoto wa kijiweni saana tena .... kwa mkojo wa firauni humwambii kitu ... sijui kama hawachafulii CCM maana kipindi chake kinayoyoma .... na kila kukicha anazidisha nyodo na kusema hovyo Hivi ni kweli Mbeya inanyimwa maendeleo sababu ya CHADEMA au kuna jambo limejificha? Jukwaa la Siasa 37 Jun 17, 2020 Wanaoshabikia maendeleo anayofanya Rais Magufuli na kudhihaki Marais waliopita, Je wana akili timamu kweli? Jukwaa la Siasa 28 Oct 29, 2019 Tanzania tusahau kuhusu maendeleo ya kweli kama haya yataendelea Jukwaa la Siasa 1 Sep 10, 2019 Kama Magufuli asema kweli maendeleo hayana vyama, basi ampandishe cheo askari wa polisi aliyemkatalia kiongozi wa CCM alipoamriwa kutoa salamu ya CCM Jukwaa la Siasa 14 Aug 15, 2019 J Siku CCM itakapowaacha wabunge wake wawatumikie wananchi kwa Uhuru ndio utakuwa mwanzi wa maendeleo ya kweli Jukwaa la Siasa 7 Jun 3, 2019 Hivi ni kweli Mbeya inanyimwa maendeleo sababu ya CHADEMA au kuna jambo limejificha? Wanaoshabikia maendeleo anayofanya Rais Magufuli na kudhihaki Marais waliopita, Je wana akili timamu kweli? Tanzania tusahau kuhusu maendeleo ya kweli kama haya yataendelea Kama Magufuli asema kweli maendeleo hayana vyama, basi ampandishe cheo askari wa polisi aliyemkatalia kiongozi wa CCM alipoamriwa kutoa salamu ya CCM Siku CCM itakapowaacha wabunge wake wawatumikie wananchi kwa Uhuru ndio utakuwa mwanzi wa maendeleo ya kweli
2020-07-06T22:40:34
https://www.jamiiforums.com/threads/kweli-maendeleo-lakini-hii-ya-dr-karume-ni-mpya.14905/
[ -1 ]
Nahitaji Mtaalamu wa Ujenzi | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Nahitaji Mtaalamu wa Ujenzi Discussion in 'Matangazo madogo' started by Uswe, May 9, 2012. Nataka kufanya marekebisho flani kwenye nyumba, tayari architect amekwishafanya michoro sasa ninatafuta mtu anayeweza kufanya kazi ya ujenzi, site ipo salasala. mtu anayeweza au mwenye interest aniPM ili kama vipi jumapili twende tukaangalie kazi na nipate makadirio yake tukielewana kazi itaanza mapema kuna fundi namfahamu ni fundi mzuri na ni mwaminifu. Alinisaidia kurekebisha ya kwangu. Yeye kusema kweli siyo msomi kama unatafuta mwenye degree basi huyu hakufai. Ila mimi namjua ni fundi makini na mwaminifu. Namba zake ni 0784-822978 tukielewana kazi itaanza mapemaClick to expand... nitakucheck on that unatafuta mtaalam wa ujenzi kwa maana ya "contractor" au Fundi mwashi? be specific Nami naungana na aliyetaja ana fundi asiye na degree. Nami ninaye ambaye alinijengea nyumba yangu na kurekebisha banda langu Ni mzuri lakini hana degree. Sifa yake kubwa ni UAMINIFU haibi kitu chochote. No yake ni 065 39 64 211 - Anaitwa Kidevu No yake ni 065 39 64 211 - Anaitwa KidevuClick to expand... asante mvumilivu wangu Mkuu hakuna fundi asiyepiga panga!hata fundi akiwa muaminifu vipi,vibarua wake watakupiga cement tuu!cha muhimu uwe na msimamizi asiyechoka!manake jua kali saa 8 msimamiz akienda kula ndio hapo unapigwa bao!kila la heri mkubwa Jaribu na huyu mwenye no 0712519797 yeye anaitwa Thomas,ni fundi mzuri sana na ndio anayenijengea nyumba yangu na ni mtu muaminifu. Kwa haraka haraka mafundi wote waliopendekezwa hapa ni waaminifu...sasa ni nani wanaoibia wajenzi? ni vibarua? au inawezekana kabisa watu hawaibiwi ila wasi wasi tu.. mi nadhani huwa hamuibiwi acheni woga, mafundi wote ni waaminifu, haswa hawa wasio na madegree!!:israel::israel: Kama unahitj. vifaa vya ujenzi.. umipigie huyu jamaa. Anayo vitu za ujenzi za kisasa, na pia ana fiti. 0655 768 786. Pia Anafanya Wood Flooring (leminated)m ... Kwa haraka haraka mafundi wote waliopendekezwa hapa ni waaminifu...sasa ni nani wanaoibia wajenzi? ni vibarua? au inawezekana kabisa watu hawaibiwi ila wasi wasi tu.. mi nadhani huwa hamuibiwi acheni woga, mafundi wote ni waaminifu, haswa hawa wasio na madegree!!:israel::israel:Click to expand... Kwa mtazamo huo naona mafundi wenye degree ndio wezi basi!,
2017-01-16T11:23:43
https://www.jamiiforums.com/threads/nahitaji-mtaalamu-wa-ujenzi.264761/
[ -1 ]
Roho mbaya! - JamiiForums Roho mbaya! ...ni KWANINI baada ya kuachana na mtu "wengi" hutamani 'mtaliki wake' apate mkong'oto wa maisha ajute kwanini aliachana na yeye? kuna raha gani aliyekuwa kipenzi chako akiliona joto la jiwe kwa msongo wa mawazo, mapenzi na 'kufulia' ki maisha? Ukiona hivyo basi ujue huyo mwenye ki grudge bado hajamsahau (get over) huyo mwenzake....kwa sababu kama umeshasonga mbele na maisha yako hutakaa utamani jambo baya limtokee huyo aliyekuwa mwenzako. Kwanza hutamfikiria kabisa... ...aha ha.... halafu kuna wale ambao hufanya kila wawezalo kukupa message '(showing off)' eti wamekuwa wabora tangu waachane 'nawe!' Ni hasira tu na uchungu...... Oh yeah...hiyo ndio huniacha hoi kabisa. Wenyewe eti huiita "upgrading".... Sio katika mahusiano tu... Hata boss akimfukuza kazi mfanyakazi wake, hapendi kuona anafanikiwa. Its a kind of 'i was the best you could get'! Wenye tabia kama hizi watakuwa ni wenye roho za kimaskini na roho mbaya pia. Kwanini umuombee mtu wako akutane na mabalaa ya maisha ili wewe ufurahike!? Huwezi kujua labda mambo yamkinyookea siku moja anaweza hata kukupa msaada mkubwa tu wa namna moja au nyingine. Watu huwa wanaundergo healing processes in stages. Its not pure sour grapes. Its the same with losing a loved one through death. Haina maana we loved or cared for them less but we heal in different ways. Inaanza na denial, hate and contempt, self-blame na baadaye you reach level of indifference. Then you can even say that you wish them the best. That is self-actualization...lkn it takes great character to reach that level. Haina maana ni roho mbaya, we are just not all the same to face breakups, loses, failures and even successes we react in different ways. huo ni ushamba mtu mkiachana acha kila kitu mambo ya kupigana ni kizamani yamepitwa na wakati inategemea kama alikutenda au ulikuwa unamweleza lkn hakuelewi mpaka mkaachana wakati mwingine unajisikia raha moyoni kwa yale aliyokutenda.Kiubinadamu inatia huruma mie xbf wangu kwa kweli huwa nafurahi akiwa na mafanikio na akipata tatizo huwa roho inaumia sema tu nafurahia akilalamika kuwa girlfriend wake mpya hayuko kama mimi!! ...haya sasa... Inategemea mmeachanaje! Kama mmeachana kwa ugomvi basi yule ambaye amelazimika kumwacha mwenzie huwa na hiyo kitu but kama mmekubaliana kuwa maisha hayaendi so bora kuseparate huwa mnabakia marafiki sana tu! Mamii umesema ukweli kabisa hakuna mwanamke/ hata mwanaume nadhani ambaye angependa kusikia mpenzi wa aliyekuwa mpenzi wake ni bora kuliko alivyokuwa yeye. Mimi huwaga analalamika kwa rafiki zake kuwa alifanya makosa sana kunipoteza na anatamani kunirudisha kwenye himaya yake!! Nikizipata salamu hizi huwa nasikia raha. Hahahahahaaaaaa tena ukiangalia mwingine anafikiria mali ulizonunua anataka azichukuwe hivi kuna wanawake wanapenda kuwa na mali Bado hawajakua kiakili hao ndo maana whats the point of showing off kwa mwingine???? Mnapoanza mapenzi mnakualiana, intokea mara chache sana wakati wa kuachana mkakubaliana kuachana. kwa ajili hiyo, alieachwa hakubali yanazuka yote hayo mabaya.Ukimwacha mwenzio mwache kiistarabu...hazusha ugomvi na usimwacheghafla. Once again I'm beaten by your wisdom! Lakini tukubaliane its not healthy kubakia kwenye grudges mimi nachukulia hiyo ni sign ya immaturity na kwa kiasi kikubwa hii hutokea kwa aliyesababisha hiyo break up; ex gf wangu aliniletea ujumbe kuwa anajiandaa kunywa sumu; nikamjibu kuwa awapo tayari anitaarifu nimpeleke kabisa sumu yenyewe! Ilhali yeye ndiye alinidump ! Mimi huwaga analalamika kwa rafiki zake kuwa alifanya makosa sana kunipoteza na anatamani kunirudisha kwenye himaya yake!! Nikizipata salamu hizi huwa nasikia raha. Hahahahahaaaaaa Nadhani chukua wasaa wa kumwombea ikiwezekana waombe hao watuma salamu wamshauri! Usikae kufurahia matatizo ya binadamu mwenzio! Kuna watu wengine huwa wanaachana wakiwa bado wanapendana sana. Lakini Kwahiyo kiroho huwa kinauma wakikutana alafu kila mtu akawa mambo super wivu hapo ndio unapoanzia, yaani mtu anaanza kujiuliza, ... yaani huyu ndio kafikia hapa? N.k Na baada ya kuagana ndio dua mbaya ama kuombeana mabaya kunapoanza! Ni vijiroho vibaya na vya chuki tulivyonavyo!
2018-09-21T11:26:54
https://www.jamiiforums.com/threads/roho-mbaya.54959/
[ -1 ]
SHIRIKA LA WOTESAWA LATAMBULISHA AWAMU YA PILI YA MRADI WA KUWALINDA WATOTO WAFANYAKAZI WA NYUMBANI - KIJUKUU CHA BIBI K | Habari na Matukio Uncategories SHIRIKA LA WOTESAWA LATAMBULISHA AWAMU YA PILI YA MRADI WA KUWALINDA WATOTO WAFANYAKAZI WA NYUMBANI Mkurugenzi wa Shirika la Kutetea Haki za Watoto Wafanyakazi wa Nyumbani WOTESAWA, Angel Benedicto, akitoa mrejesho wa awamu ya kwanza ya mradi wa kulinda na kutetea haki na maslahi ya watoto wafanyakazi wa nyumbani uliokuwa ukiendeshwa kwenye Kata nne Jijini Mwanza kwa muda wa miezi sita. Awamu ya kwanza ya mradi huo ilitekelezwa vyema na hivyo kufungua milango ya mwendelezo wa mradi wa awamu ya pili utakaodumu kwa miaka miwili kwenye Kata sita Jijini Mwanza. Shirika la Kutetea Haki na Maslahi ya Watoto Wafanyakazi wa Nyumbani WOTESAWA lenye makazi yake Jijini Mwanza, limetambulisha awamu ya pili ya mradi wa kuzuia ukatili kwa watoto hao na kulinda haki na maslahi yao. Kabla ya kutambulishwa kwa mradi huo, shirika hilo lilitoa mrejesho wa mradi wa aina hiyo awamu ya kwanza uliokuwa ukiendeshwa kwenye Kata nne Jijini Mwanza, uliodumu kwa kipindi cha miezi sita kuanzia mwezi Oktoba mwaka jana hadi mwezi Aprili mwaka huu. Akiwasilisha mrejesho huo hii leo Jijini Mwanza, Mkurugenzi wa shirika la WOTESAWA, Angel Benadicto amesema awamu ya kwanza ya mradi huo ilifanikiwa vyema na hivyo kuwezesha upatikanaji wa awamu ya pili ya mradi wa aina hiyo kutoka kwa wafadhiri ambao ni shirika la The Foundation For Civil Society. “Wao wanasema ni muda mwafaka wa kutokomeza ukatili kwa watoto wafanyakazi wa nyumbani ambapo sasa tutakuwa kwenye Kata sita Jijini Mwanza”,amesema Benedicto. Aidha elimu ya aina hiyo imesambaa zaidi katika jamii kupitia vipindi 15 vilivyorushwa redioni, vipindi saba vilivyorushwa kwenye luninga pamoja na machapicho mbalimbali ambapo wajiri na waajiriwa wao 25 walisaini mikataba ya ajira. Mratibu wa Shirika la Kutetea Haki za Wafanyakazi wa Nyumbani (Wotesawa) Elisha Daudi, amesema matarajio ya mradi huo ni kuhakikisha ukatili dhidi ya watoto wafanyakazi wa nyumbani unatokomezwa katika jamii na pia kutoa fursa kwa watoto kupata haki zao za msingi ikiwemo elimu. Mmoja wa washiriki akitoa pongezi kwa Shirika la WOTESAWA kwa kazi nzuri ya kutetea haki na maslahi ya watoto wafanyakazi wa nyumbani na pia kuuliza maswali na kuchangia mada kwenye semina hiyo. Baadhi ya washiriki wa semina hiyo iliyowahusiusha Maafisa Kazi, Ustawi wa Jamii, madiwani, jeshi la polisi kitengo cha dawati la jinsia, wenyeviti wa serikali za Mitaa pamoja na Waandishi wa Habari. Baadhi wa washiriki wa semina ya utambulishi wa mradi wa kuwalinda na kuwatetea watoto wafanyakazi wa nyumbani iliyofanyika hii leo Jijini Mwanza, chini ya Shirika la WOTESAWA. Baadhi ya washiriki wa semina hiyo iliyowahusiusha Maafisa Kazi, Ustawi wa Jamii, madiwani, jeshi la polisi kitengo cha dawati la jinsia, wenyeviti wa serikali za Mitaa pamoja na Waandishi wa Habari. Mratibu wa Shirika la Kutetea Haki za Wafanyakazi wa Nyumbani (Wotesawa), Elisha Daudi, akifuatilia kwa umakini mrejesho kuhusu awamu ya kwanza ya mradi wa kuwalinda na kutetea haki na maslahi ya watoto wafanyakazi wa nyumbani Jijini Mwanza, uliowasilishwa na Mkurugenzi wa Shirika hilo, Angel Benedicto. Baadhi ya washiriki Baadhi ya washiriki wa semina hiyo iliyofanyika leo Jijini Mwanza. Baadhi ya washiriki wa semina hiyo iliyowahusiusha maafisa kazi, ustawi wa jamii, madiwani, jeshi la polisi kitengo cha dawati la jinsia, wenyeviti wa serikali za Mitaa pamoja na Waandishi wa Habari ambapo Shirika la WOTESAWA limetoa mrejesho wa awamu ya kwanza ya mradi wa kulinda na kutetea haki na maslahi ya watoto wafanyakazi wa nyumbani uliokuwa ukiendeshwa kwenye Kata nne Jijini Mwanza kwa kipindi cha miezi sita. Mradi huo ulitekelezwa vyema na hivyo kufungua milango ya awamu ya pili ya mradi wa aina hiyo utakaotekelezwa kwenye Kata sita Jijini Mwanza kwa kipindi cha miaka miwili.
2018-01-23T23:47:47
http://www.kijukuu.com/2017/08/shirika-la-wotesawa-latambulisha-awamu.html
[ -1 ]
Naomba uanachama wa CCM | Gazeti la MwanaHalisi Naomba uanachama wa CCM Na Nyaronyo Kicheere - Imechapwa 18 July 2012 Kwa Wilson Mukama, Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Makao Makuu Rasmi ya Chama, Mtaa wa Lumumba, Dar es Salaam. Ndugu Katibu Mkuu, Salaam sana, ama baada ya salaam, nakuarifu kwamba mimi, mke wangu Martina na wanangu hatujambo, hofu na mashaka ni juu yako wewe na viongozi wenzako makao makuu rasmi ya chama, hapo mtaa wa Lumumba Dar es Salaam. Ndugu Katibu Mkuu, nimeamua kuleta barua hii moja kwa moja ofisi ndogo ya makao makuu ya CCM, kwa sababu nafahamu na hata wewe unafahamu kwamba ndiyo makao makuu rasmi ya CCM, na kwamba ile kutaja kwenye katiba ya CCM kwamba makao makuu ni Dodoma ni geresha tu. Kama unavyofahamu chama chetu bila posho hakiendi. Lazima kwanza zitafutwe mbinu za kulipana posho ili watu wawe na uhakika wa maisha na watoto wao waweze kubadilisha mboga. Hata serikalini posho ni mtindo unaoeleweka. Ndugu Katibu Mkuu, usishangae ninaposema posho serikalini ni mtindo mmoja kwa sababu watu wote wanajua na hata wewe unajua kwamba tunatamba kuwa Dodoma ndio makao makuu ya nchi ili wafanyakazi, mashushu na viongozi wa nchi hii waweze kupata posho Dar es Salaam au Dodoma. Watumishi wanachagua, kama makazi yao rasmi yawe Dar es Salaam au Idodomya (Dodoma). Bila makao makuu kuwa Dodoma mambo yote yakafanyika Dar es Salaam watu hawatatuelewa, kwani posho zitapatikanaje, na sisi chama chetu sera yetu kuu ni posho? Si unaona yule mbunge wetu mpenda posho aliyehamia CHADEMA anavyohangaishana na wenzake huko? Jina simtaji lakini anajulikana na hata wewe unamfahamu. Mwenzetu yule akahamia chama cha njaa kali, “no posho;” naye ananga’ang’ania sera za CCM za posho ugenini, taabu kwelikweli. Najua unashangaa sana mie kusema CCM chama changu au chama chetu. Huna haja ya kushangaa na uwe na amani tu. Kwa taarifa yako na wenzako wote hapo makao makuu ya CCM, chama tawala, mie nimeamua kuritadi. Kuritadi ni kukana dini yako rasmi. Ndugu Katibu Mkuu, nimeamua kuritadi na kuhama kambi kutoka ushabiki wa upinzani na kuanza rasmi kushabikia Chama cha Mapinduzi, na yote haya kwa siri moja na sababu kadhaa. Nitazitaja. Kwanza kabla hatujaenda mbali, nikumbumbushe kwamba wewe na mimi tunatoka kanda moja, mkoa mmoja, na hata kabila moja. Kwani wewe kabila gani? Ukiwa Mwikizu, Mngoreme, Mtimbaru, Mnyabasi, Mkwaya, Mnata, Mwikoma, Msweta, Mnyamongo na hata Mjita, Mkabwa au Mruri, kwa vile wote tunatoka Mara basi wote ni Wakurya tu tusiangushane. Usitoe siri yangu kwa wanoko kama akina Nape Nnauye. Unapaswa kutukumbuka sisi tunaotoka kanda moja na mkoa mmoja, si unaona wengine wanavyopendeleana kikanda siku hizi. Unaona siku hizi barabara ya Mugumu – Loliondo inazungumzwa? Sababu ni kwamba wahusika wengi hawatoki huko. Sasa siri yenyewe ni hii. Nimegundua kwamba mtu ukiwa CCM unapata manufaa mengi ambayo watu wa vyama vya upinzani hawayapati. Sasa wewe ndugu yangu utapenda niendelee kukosa manufaa yoyote nchini? Mura weito naomba kadi ya CCM kabla ya mambo mengine yote. Mtu unapokuwa CCM hata ukipatwa na zahama au makosa ya dhahiri unashughulikiwa na vyombo vya dola kwa nidhamu na utaratibu unaotakiwa kisheria na kikatiba unafuatwa. Na si lazima upate adhabu yoyote kwa mujibu wa sheria. Si umeona yaliyowapata watuhumiwa na washutumiwa wa kashafa ya rada. Ndugu Mukama, si unafahamu kwamba watuhumiwa wa rada hawajawahi kuguswa na serikali kwa kujua kwamba ni wana-CCM safi ? Jamhuri haikuwahi hata kujaribu kuwachunguza. Hata wale waliojitokeza hadharani na kudai kuwa mabilioni yaliyopo kwenye akaunti zao za Ughaibuni ni VIJISENTI TU hawakuguswa. Hata wale watuhumiwa wa kashfa ya EPA nao hawakuwahi kufanywa chochote badala yake waliitwa, sielewi wapi; wambea wanadai waliitwa Sheraton, Kilimanjaro au Holiday Inn, kuzungumizia namna ya kurudisha pesa walizokwapua au kwa lugha nyepesi walizokwiba. Wewe uliona wapi mwizi anakaribishwa mbele ya viongozi wa nchi na kuhojiwa kwa ulaini kabisa kama “utarejesha lini mali uliyopora?” Hayo ndiyo manufaa ya CCM ninayotafuta. Halafu, mtu ukiwa mwanachama wa CCM tena msomi na mwandishi mzuri kama mimi, si ajabu siku moja nikasikia redioni jina langu linatangazwa kuwa nimeteuliwa ujumbe wa Tume ya Katiba au Tume ya madawa ya Kulevya au Tume ya madini au Tume ya mali asili kwenye posho kibao, kikao kimoja milioni moja safi. Na mimi najiunga CCM nikijua kuwa Mlenchoka mwenzangu upo hapo makao makuu tena una cheo kikubwa, nitafaulu tu malengo yangu. Mbona waandishi wenzangu wanaojua kucheza vema tayari wamekuwa wakuu wa mikoa, wilaya na hata mawaziri na marais, sembuse mie! Au wewe huwajui? Ndugu katibu Mkuu, ni bahati mbaya sana kuwa nilipotoshwa na akina Wilbroad Slaa, Philemon Ndesamburo, Freeman Mbowe na ha hata Mabere Marando tangu enzi za NCCR. Wenzangu walioshituka mapema mbona wamewini. Akina Akwilombe, Amaan Kaborou na hata Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu. Sasa wa poti, bora kuchelewa kuliko kutofika kabisa. Mie nimechelewa lakini ni afadhali kuliko nikibakia huku kukavu, hakuna kitu na wabunge wake hawataki posho na vilevile kuna hatari ya kubambwa kwenye maandamano. Sie tutakula maandamano? Naomba kadi ya CCM nitulie nisubiri cheo labda Mheshimwa atanikumbuka. Pia mambo yaliyofanyika pale msitu wa Pande karibu mara mbili hivi katika utawala wa awamu ya nne yanatisha. Ndugu katibu Mkuu, nani atahimili kuendelea katika upinzani huku akijua siku atakapopatikana ataishia msitu wa Pande ambako nasikia meno yanang’olewa na kucha zinanyofolewa bila ganzi? Ni afadhali niwe kama yule rafiki yangu Mhaya kutoka Bara ambaye “alidaiwa kuwa na matongotongo” lakini mwenye akili sana. Anaitwa Dk Lutta Nelson, sasa usiniuze kama ni daktari wa meno, vidonda au dakitari wa kusomea. Alipogombea kwa tiketi ya CHADEMA kwanza aliibiwa kura pili, akanyang’anywa tenda serikalini. Alichokifanya Dk. Luta ni kukiri makosa akarejea CCM na akapiga marufuku siasa katika maeneo yake ya biashara na kuanza kulipia michango ya mwenge, afya, mshikamano na kadhalika. Kilichofuata Dk Lutta alirejeshewa tenda yake ya ‘kusaplai’ vifaa vya sayansi katika maabara za shule za sekondari na sasa katulia kimya anafaidi matunda ya CCM. Kwa sababu hizo na nyingine ambazo sikuziandika hapa, tafadhali ndugu yangu nifanyie mipango ya kadi ya CCM na unifanyie mipango ya kunikutanisha na watu muhimu chamani wanaoweza kunitoa kama vile Mwenyekiti wa Taifa (safari za nje), wanachama mashuhuri kama Rostamu (mitaji ya biashara) na mawaziri nipate angalau wanangu kuajiriwa Benki Kuu au mashirika ya pensheni. Nduguyo Mwanamara mwenzako, Nyaronyo. TLS, Wabunge mfukoni mwa Barrick Makamba Sitta Rostam Kikwete Chenge CUF CCM Richmond Uchaguzi CHADEMA Mkapa Dowans Slaa Pinda Lowassa
2018-05-21T22:26:17
http://www.mwanahalisi.co.tz/naomba_uanachama_wa_ccm
[ -1 ]
Viongozi wa kidini wameamua kujifunga kibwebwe kupambana na utumwa mamboleo duniani! 2014-12-02 15:23:19 Baba Mtakatifu Francisko ni kati ya viongozi wakuu wa dini kutoka sehemu mbali mbali za dunia, ambao siku ya Jumatatu tarehe 2 Desemba 2014 wametia sahihi kwenye Tamko la pamoja la kupambana na utumwa mamboleo unaojionesha kwa namna ya pekee katika biashara haramu ya binadamu, kazi za suluba, ukahaba, biashara haramu za viungo vya binadamu pamoja na mambo yote ambayo yanashindwa kuheshimu na kuthamini utu wa mwanadamu hayana budi kutamkwa kwamba ni uhalifu dhidi ya ubinadamu. Viongozi wa kidini wameamua kulivalia njuga tatizo hili kwa kuwasaidia watu kwa mawazo na matendo, ili kwa kushirikiana na watu wote wenye mapenzi mema, waweze kukomesha utumwa mamboleo, kwani kila binadamu ameumbwa kwa sura na mfano wa Mungu ana haki ya kupewa heshima na udugu. Kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia, kuna uwezekano mkubwa wa kufuta kabisa utumwa mamboleo kutoka katika uso wa dunia na kwamba, huu ni wajibu wa viongozi wa dini kimaadili. Baba Mtakatifu katika hotuba yake kwa viongozi wa kidini pamoja na umati mkubwa wa watu uliokuwa umekusanyika mjini Roma kushuhudia tukio hili la kihistoria anasema kwamba, utumwa mamboleo unaendelea kunyanyasa na kudhulumu, utu na heshima ya binadamu, changamoto kwa viongozi wa kidini kushirikiana katika mapambano dhidi ya utumwa mamboleo. Hawa ni watu wanaonyanyasika: kimwili, kiuchumi, kingono na kisaikolojia. Baba Mtakatifu anakumbusha kwamba, Mungu ni upendo na chimbuko la uhuru kamili, unaofungamanisha mahusiano ya kijamii, kwa ajili ya mafao ya wengine katika hali ya usawa na udugu. Watu wote ni sawa mbele ya Mwenyezi Mungu na wanapaswa kutambulikana kutokana na utu wao. Viongozi wa kidini anasema Baba Mtakatifu wameamua kujifunga kibwebwe ili kupambana na mfumo mzima wa utumwa mamboleo, unaowaathiri zaidi maskini, kiasi cha kuuzwa kama bidhaa. Wanyonge hawa ndio wanaopaswa kulindwa na kutetewa dhidi ya biashara haramu ya binadamu, ngono na viungo; matumizi haramu ya dawa za kulevya pamoja na kazi za suluba wanazofanyishwa watoto, kiasi cha kuathiri malezi na makuzi yao. Utumwa huu unafanyika kila sehemu ya maisha ya mwanadamu na kwamba, tatizo hili linazidi kukua na kuongezeka mwaka hadi mwaka, changamoto kwa viongozi na watu wote wenye mapenzi mema kushikamana kwa dhati dhidi ya utumwa mamboleo, kwa kufanya kwanza toba na wongofu wa ndani, ili kila mtu aweze kuheshimiwa na kuthaminiwa utu wake.
2019-08-20T09:31:04
http://www.archivioradiovaticana.va/storico/2014/12/02/viongozi_wa_kidini_wameamua_kujifunga_kibwebwe_kupambana_na_utumwa/kws-839037
[ -1 ]
DROGBA MWAFRIKA MWENYE MAGOLI MENGI ZAIDI LIGI KUU YA UINGEREZA. - lilOmmy.com Home Sports DROGBA MWAFRIKA MWENYE MAGOLI MENGI ZAIDI LIGI KUU YA UINGEREZA. DROGBA MWAFRIKA MWENYE MAGOLI MENGI ZAIDI LIGI KUU YA UINGEREZA. Benedict Anthony / 10:03 Wachezaji wa kiafrika waliowahi kucheza ligi kuu ya uingereza na kuacha historia kubwa ya ufungaji magoli, wapo wengi, ila Didier Drogba ndiye aliyeweza kufunga magoli mengi zaidi kwa wakati wote. Amefunga magoli 104 akiwa na Chelsea Fc. Ni legend pale darajani, ni mfalme pale Ivory Coast, ni miongoni mwa wachezaji ambao Afrika kwa ujumla tutaendelea kujivunia waliwahi kucheza ligi kuu ya uingereza, Drogba aliletwa Uingereza na kocha Jose Mourinho mwaka 2004, akitokea klabu ya ufaransa Marseille kwa dau la Paundi 24 Millioni. Tokea kipindi hiko amekuwa mchezaji tegemeo pale chelsea na aliwapa taji hilo mara 4, misimu ya 2004/05, 2005/06, 2009/10, 2014,15. Chelsea fc Football. Ivory Coast MICHEZO Sports
2018-04-20T05:04:48
http://www.lilommy.com/2017/09/drogba-mwafrika-mwenye-magoli-mengi.html
[ -1 ]
MATUKIO-MICHUZI: GLOBAL PEACE FOUNDATION TANZANIA WATOA ELIMU JUU YA KUDUMISHA AMANI KATIKA FAMILIA , JUKWAA LA VIJANA JIJINI DAR
2016-10-25T12:10:57
http://michuzi-matukio.blogspot.com/2016/10/global-peace-foundation-tanzania-watoa.html
[ -1 ]
Wakati Arumeru wakitafuta mbunge, kata saba nchini zilikuwa zinatafuta madiwani. Katika kata hizo, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangazwa kushinda katika kata tatu tu. CHADEMA wameshinda katika kata tatu na Chama cha Wananchi (CUF) wameshinda katika kata moja. Hata hivyo, kwa aliyekuwa anafuatilia kampeni za chaguzi hizi kwa makini, alikuwa anatarajia anguko la chama hiki kinachozeekea madarakani. Katika siku 30 za kampeni, CCM imeshindwa kunadi sera zake. Imeshindwa kueleza mipango yake ya sasa na ile ya baadaye. Imeshindwa kuonyesha kwa vitendo kuwa hiki ndicho chama kinachoongoza serikali. Badala yake, CCM ilitumia siku za kampeni kuporomosha matusi, uwongo, ghiliba, vitisho na kufadhiri makundi ya wahuni kushambulia wafuasi wa upinzani. Ni CCM iliyomtuma rais mstaafu Benjamin Mkapa kuvurumisha matusi na kumwaga ahadi ambazo alishindwa kutekeleza akiwa rais. Ni Mkapa huyuhuyu ambaye, badala ya kueleza sera za chama chake na kile ambacho chama chake kimefanya katika miaka 50 ya utawala, alianza kuvurumisha kejeli na matusi kwa viongozi wa upinzani na wafuasi wao. Mkapa alikuwa amepata fursa nzuri ya kujibu tuhuma za ufisadi; tuhuma za kuuza raslimali za taifa kama karanga na kwa “bei ya bure” na kuongeza umasikini; na tuhuma za kuuza nyumba za serikali kwa “bei ya sigara.” Atakuwa amejuta. Kwanza, kwa chama chake kushindwa; lakini pili, kwa kutwishwa tuhuma nzito kuhusiana na kifo cha kipenzi cha wananchi, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Vitendo vya Mkapa katika kampeni vilifanya aonekane mtu wa shari na aliyekwenda Arumeru kufanya ulaghai. Wananchi wamemwadhibu – yeye na mwenyekiti wake wa CCM aliyemtuma. Chaguo la CCM lina walakini. Watapelekaje kwenye kampeni Mkapa na Steven Wassira? Ni Wasira aliyepatikana na hatia ya kushiriki vitendo vya rushwa hadi akafungiwa kugombea ubunge kwa miaka mitano jimbo la Bunda. Wasira, badala ya kujitafakari na kutazama alikotoka, aliamua kuporomosha matusi, kama moshi mchafu wa treni, kwa yeyote anayeunga mkono upinzani au kuushabikia. Naye Livingstone Lusinde ambaye, kama alivyo Wassira, tayari amemaliza vyama – akitoka huku na kwenda kule, alijiingiza katika matusi. Hata kile anachoita sera za CCM, chama alichodandia juzijuzi tu hazifahamu; akaishia kuwa kinara mkuu wa mporomosho wa matusi kwenye majukwaa. Lakini funga mwaka ni pale Edward Lowassa, naye alipojitokeza jukwaani kumnadi mgobea wa chama chake, Sioi Sumari – mkwe wake. Nani hajasikia jina la Lowassa? Yule anayetuhumiwa kushiriki kutoa, kwa upendeleo, mkataba wa kufua umeme kwa kampuni ya Richmond Development Company. Ni yuleyule Lowassa ambaye alilazimika kujiuzulu nafasi ya waziri mkuu, kutokana na mkataba wa Richmond. Ni mkataba wa Richmond uliozaa kampuni nyingine ya kufua umeme ya Dowans; kampuni iliyoingia kinyemela na inayoendelea kutesa wananchi kwa madai ya fidia na gharama kubwa za umeme. Ni Lowassa wa historia hiyo, aliyejiuzulu lakini anatajwa kuwa alistaafu – na yeye hataki kusahihisha upogo huo kwa kuwa unamnufaisha kimaslahi – aliyesimama jukwaani kumnadi mgombea wa CCM. Akihutubia mkutano, katika eneo la Patandi, Lowassa pamoja na lundo la tuhuma zinazomkabili, alijifanya hamnazo na kusema, “Mimi ni mtu wa vitendo, sitaki porojo.” Hata kama ingetokea kwa bahati mbaya ikawa kweli, kwamba yeye ni mtu wa vitendo; aliyekuwa anaombewa kura Arumeru hakuwa Lowassa. Alikuwa Sioi. Je, alitaka kueleza kuwa mkwe wake akichaguliwa, basi ataendesha jimbo hilo kwa maelekezo ya Lowassa? Akasema wananchi wa Arumeru Mashariki wakimchagua Sioi, watakuwa wamemaliza “mjadala wa matizo ya ardhi, maji na umeme kwa sababu CCM imetambua na kusikia matatizo yao katika uchaguzi huu mdogo.” Lowassa anajua kuwa tatizo la ardhi, maji na umeme limekuwapo Arumeru kabla ya Tanganyika kupata uhuru. Anajua kuwa huu ni uchaguzi wa 20 tangu uhuru; na uchaguzi wa tano tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini. Lakini anasema CCM imetambua tatizo hili na kulisikia kutokana na uchaguzi huu! Na huyu amekuwa waziri wa maji kwa miaka mitano; waziri wa ardhi kwa miaka mitatu na waziri mkuu. Hakuna alichofanya. Kama alichukua maji Arumeru na kuyapeleka Monduli, kwa nini hakusambaza kwanza maji hayo Arumeru? Kwa kauli zake, Lowassa alikuwa anawaomba wananchi wakazi wa Arumeru, wasikichague chama chake – CCM, kwa kuwa kimeshindwa kutatua matatizo hayo kwa miaka 50 ya uhuru. Lakini Lowassa anapata wapi ujasiri wa kupanda jukwaani na kuwaomba wananchi wamchague mgombea wa CCM? Leo hii, Tanesco wanahaha kutafuta fedha za kununulia mafuta ya majeneta ya umeme wa dharula; kulipa wanasheria wa kupambana na makampuni ya swahiba wake mkuu, Rostam Aziz. Badala ya Tanesco kutumia fedha inayopata kuboresha maisha ya wafanyakazi wake na miundombinu yake ya umeme, inalazimika kuingia kwenye mikataba mingine ya kinyonyaji kwa kuwa mradi wa Lowassa ulioitwa wa “umeme wa dharula,” umekuwa mradi wa kudumu wa kulinyonya taifa. Inawezekana Lowassa amesahau haya. Chama chake kimesahau. Rais wake, Jakaya Kikwete kasahau pia. Lakini wananchi wengi, wakiwamo wa Arumeru, bado wanakumbuka. Wanakumbuka jinsi Lowassa alivyopindisha maamuzi halali ya bodi ya zabuni ya Tanesco na kuamuru kuipa kazi kampuni ya Richmond ambayo haikuwa na ofisi, sifa, fedha wala ujuzi wa kufanya kazi iliyoomba. Hivyo basi, ukiangalia kwa makini jinsi CCM ilivyoshindwa vibaya katika chaguzi hizi, utaona kushindwa kwake, pamoja na mengine mengi kama dharau, kutotimiza ahadi, mchoko, kunatokana na watu ambao kiliwabeba ili wakakisemee. Wengi waliotumwa hawakuwa wasafi. Wachache waliosalia, ama hawapewi nafasi au wakipewa wanazitumia nafasi hizo kujijenga binafsi. Huku ni kuishiwa na kutafuta ujana uzeeni. Ndiyo maana CCM sasa, kwa kuwa imeishiwa sera, imeamua kuendeshwa kwa kushabikia matusi, ufisadi, vitisho, hujuma, vurugu na umwagaji damu. Hoja za kukitetea zinajengwa kwa poropaganda chafu – uwongo, hila, wizi na uzushi. Hii ni kwa sababu, kukirejesha chama hiki katika misingi yake ya asili – ‘rushwa adui wa haki, ni mwiko kutoa au kupokea rushwa; cheo ni dhamana; na nitasema kweli daima’ – ni jambo ambalo haliwezekani tena. Yote haya wananchi wanayaona. Wanayaelewa hasa pale wanapokuwa wamepata msaada wa kufafanuliwa jukwaani au katika mijadala mbalimbali. Arumeru ni mfano. Kwa mwendo huu, CCM ijiandae kuaga, angalau kwa miaka mitano au kumi, kukaa pembeni na kujifunza jinsi nchi inavyoweza kutawaliwa kidemokrasi. CCM CHADEMA Mkapa Richmond Makamba Sitta Dowans Slaa Lowassa Uchaguzi Chenge Rostam Pinda CUF Kikwete
2019-04-20T13:06:35
http://mwanahalisi.co.tz/ccm_sasa_wamevuna_walichopanda
[ -1 ]
RAY THE GREATEST: SAMSUNG Posted by raythegreatest2006 at 7:25 AM nc kaka yangu RAY UMEPUNGUA SASA NUNUA NGUO ZA KUENDANA NA MWILI ILO SHATI HAPO NA HATA SUTI ULOVAA RWANDA ZINAONEKANA KUBWA. PIGA VITU MATATA VINAVOENDANA NA MWILI MPYA KUPUNGUA SI KAZI NDOGO LAZIMA UJIDAI Nguo ulizovaa ndizo ulizovaa kwenye mwaliko kule kigali huoni vibaya kauka nikivae? Au ndio haujui kuwa kwenye blog uliweka nini? Halafu huyo Mboni kazeeka au macho yangu? Mbona havutii kwenye picha? Kawa chweeeee na miwani yake kama mpima vinyesi Ray mashati yamimeremeto yanini? hubadiliki? kwani wewe mkongo? hivi unaangaliaga channel za kongo nini? acha ushamba bwana mpaka tumeyapa majina bongo movie shirts hayo mashati zamani tuliyaita ray na kanumba. duuh unakera na mkorogo uache. waachie kina aunt mudy. JB ananifurahisha sana sijawai kumuona kavaa haya masharti yake waka singo mtambalike hao ndio wajanja wa bongo movie.
2017-09-20T18:11:28
http://raythegreatest.blogspot.com/2013/03/samsung.html
[ -1 ]
Makala ya wiki iliyoichefua ikulu ikatishia kufunga gazeti | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Makala ya wiki iliyoichefua ikulu ikatishia kufunga gazeti Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by mpayukaji, Mar 15, 2012. Nilichojifunza kutoka mgomo wa madaktari Siandiki kujisifu bali kuchochea hasira na welewa wa ndugu zangu Watanzania. Sitaki nieleze hali ya afya hapa Canada ikoje kwa vile kila mtu anajua kuwa kuna mfumo mzuri kuliko hata jirani zetu kusini, yaani Marekani. Ukimwambia Mcanada kuwa afya si haki ya binadamu anaweza kukushauri ukapimwe akili. Hayo tuyaache. Hebu jiulize. Rais anaandamana na watu 40 kwenye ziara ya kutanua huku akiacha umma unateketea. Anapata wapi hiyo pesa ya kufanya hivyo kama si kutojali? Cha msingi cha kuzingatia ni kwamba ni hao hao wadharauliwa na wapuuziwa wanaokatwa pesa itokanayo na kazi na jasho lao kumlipia rais na wapendwa wake kwenda kutanua wakati punda hao hao wanaomwezesha wakipukutika kama wadudu yeye asihangaike hata kutumia akili ya kawaida achia mbali elimu. Kitu kingine ni kwamba Tanzania ina ombwe kubwa la uongozi kuliko ambavyo imewahi kutokea. Kiongozi wetu huyu ni ajali ya kihistoria kutokana na ukosefu wa upendo na heshima kwa wananchi, amembebesha zigo waziri mkuu kiasi cha kuonekana mbaya wakati mbaya si yeye. Nimesoma kwa makini makala hii,nimetokwa na machozi kwa kuililia nchi yangu Tanzania na watu wake wanavyoteseka na kuteketea kutokana na utawala usiowajali wananchi waliowaweka madarakani. Kulia haitasaidia kitu maana hawasikii vilio vyetu,tuamke watanzania tufanye maamuzi pale tutakapopata fursa na kuuondoa utawala usiojali wananchi wake. Mungu ibariki Tanzania. Hakika mkweere ni janga la taifa. Sijui Dr. Slaa alijuaje alipotutahadharisha wakati wa uchaguzi! Mod Kama inawezekana wapige ban wote wanao itetea hii serikali ya magamba "Kuendelea kuichagua ccm ni maafa" Dr Slaa 2010. Hii makala imetulia sana,naamini Jakaya anajua yote hayo ila ubishi, ushost kny utendaji na ukaidi ndiyo vinafanya wananchi wazidi kuteka Haya maafa yalianza kwenye sekta ya elimu pale Serikali ilipoamua kupuuza madai ya walimu na sasa inasambaa kwenye sekta ya afya na kwenye usalama wa raia kwa ujumla (angalia suala la milipuko ya mabomu mbagala na gongolamboto, mauaji ya albino, polisi kuua raia hovyo pasipo sababu yoyote na mengineyo mengi). Mambo yote haya yameibuka kwenye kipindi cha utawala wa awamu ya nne ambapo kwa ujumla watanzania wamekosa pa kuegemea na pale linapotokea tatizo hakuna wa kuwatetea ama pa kukimbilia. Absolutely one sided makala, inafaa kwa upande ulee! [h=3]Nilichojifunza kutoka mgomo wa madaktari[/h] hawana shida jk na wateule wake hawana shida wanasambaza umasikini ikifika 2015 watanunua kura na kusonga mbele kwa hari zaidi sana na kasi zaidi sana na kusambaza umasikini sana Rais tulie nae ana ugonjwa wa kushindwa kufanya jambo zaidi ya moja kwa wakati mmoja. Nchi kama nchi huaga ina mambo mengi ya kutolea maamuzi yanayojitokeza kwa wakati mmoja hivyo hayatashughulikiwa mpaka ile ratiba ya rais iishe kwa kufanya maamuzi ya jambo moja kwa kila siku yake na ndio maana unaona makubwa yakijitokeza nchini na rais kutoyatolea ufumbuzi bali siku zote amekuwa akijitokeza baada ya madhara na wakati mwingine yashapitwa na wakati, na kuanza kuwahutubia watanzania kuwaeleza kuwa mchawi ni fulani na wala mimi sihusiki. Mtoa makala amegusia kuwa Tz tumepata janga la kihistoria. Kimsingi kwa kuzingatia kanuni za kimaumbile inatupasa kuvumilia tu hili janga litapita. 2015 sii mbali sana lakini tukiwa na rais kama tulie nae sasa inaonekana kama ni miaka 30. Tuombe Mungu tu atupatie nguvu za kuvumilia maumivu na kwa kuwa tuliyataka wenyewe, hili tatizo linatuhusu sisi na wala sii Mungu. Uvumilivu ndio utakaotupeleka katika wakatimwingine tutakapopewa mfumo mpya wa utawala Tanzania. Mwandishi wa Makala hii ni mtu mwenye uchungu na nchi yetu, tena ajabu anaishi nje lakini ana uchungu. Sisi tulio ndani na tunaoumia na mambo yote haya tupo kimya tena tunapiga makofi kushangilia hotuba feki za kuturaghai. Eti kwa sababu tunaweka itikadi za chama mbele ya masilahi na uhai wa mtu. Ni aibu kwa Wazee wa liojiita wa DSM kushangilia wakati utumbo unatamkwa, ni aibu na shamefull kwa wanaojiita wanaharakati wa kujitegemea eti kutaka kufungua kesi ya kuwashitaki madakitari waliogoma. Wanashindwa kuelewa kuwa muuaji ni nani kama siyo serikali iliyokosa usikivu na kuwajali wananchi wake. Aliyosema mwandishi wa makala ni sahihi kabisa haiwezekani wewe nyumbani kwa ko kuna msiba eti unaenda kwenye harusi ya rafiki yako, unaacha msiba wa mwanao ndani!!!!! PTYUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU!!!!!!!!! KICHEFUCHEFU KABISA YAANI!!!!!!!!!!!!!! Hatua zishaanza kuchukuliwa: mf. Madaktari waliosababisha vifo vya wagonjwa 300 WATASHTAKIWA KARIBUNI kwa kusababisha vifo vya wagonjwa. mkipunguni Member Kikwete ni Tatizo kuliko Malaria, CCM na wateule wake ni Cancer ya NCHI NA WATANZANIA.... INAUMA SANA tena SANA Inabidi kuanza na Watendaji na Viongozi wa Serikali ambao waliruhusu kwa uzembe mgomo ufanyike. Kwani wangelipungukiwa nini mwilini mwao kama wangeongea na madakitari mapema kama walivyofanya mwishoni baada ya maafa. (Mfano. maongezi ya pinda na madakitari ambayo yalizuia mgomo wa kwanza; na maongezi ya JK na madakitari yaliyozima mgomo wa pili) Kwa nini mnakuwa kama kikosi cha Zima moto kinachosubiri nyumba iwake moto kisha wanakutaja na magari yao kuzima too late!!!!!!! CHUKUA TAHADHARIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII KUZUIA MAJANGA!!!!!!!!!!!!!!! YANAYOZUILIKA!!!!!!!!!! ACHA KUTAFUTA SABABU ZA KISIASA!!!!!! Unamaanisha dr jk,mponda na nkya{triplets}. nitalisema tena hili, nimewahi kulisema kabla. Kikwete hajali yanayowatokea watanzania kwa kuwa ktk uchaguzi uliopita watanzania hawakumchagua. Alirudishwa madarakani na hao wateule wake kwenye taasis za usalama. ndio maana kwake Kikwete ni bora kuwajali na kuwalinda hao wasaidizi wake kuliko kuwajali watanzania ambao hawakumpigia kura anyway. mbona hili liko wazi kabisa kimazingira... Uzalendo ndo huu. Kutetea nchi pasipo uoga! Naungana na Mchangiaji mmoja wa hapo juu, atakayepinga Hii Mada apigwe ban. Yes, Makala ni one sided but very true expression on the Zimwi litujualo na linalotumaliza. Wewe Avanti unaweza kuandika makala uonyeshe the other side. big up Mpayukaji Tumia fact kuutetea upande unao hisi unaonewa. Nafili ulipaswa kusema MOD tafadhali wapige ban wote wanaotoa maoni kinyume na sera za JF
2018-01-19T16:21:26
https://www.jamiiforums.com/threads/makala-ya-wiki-iliyoichefua-ikulu-ikatishia-kufunga-gazeti.233818/
[ -1 ]
20 | November | 2017 | Blogu Rasmi ya Ofisi ya Rais MWENYEKITI WA CCM TAIFA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM JIJINI DAR ES SALAAM NOVEMBA 20,2017. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein akiwa kaongozana na Katibu Mkuu wa chama hicho Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasili kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM jijini Dar es salaam Novemba 20, 2017 Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli akiwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasili kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya CCM jijini Dar es salaam Novemba 20, 2017 Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Abdulrahman Kinana akithibitisha kutimia kwa akidi kabla ya kuanza kwa kikao cha Kamati Kuu ya CCM jijini Dar es salaam kinachoongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho Rais Dkt. John Pombe Magufuli Novemba 20, 2017 Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt John Pombe Magufuli akiweka sawa makabrasha kabla ya kuanza kwa kikao cha Kamati Kuu ya CCM jijini Dar es salaam 20, 2017. This entry was posted in Top Stories on November 20, 2017 by Ikulu Ikulu.
2019-02-16T18:26:13
http://blog.ikulu.go.tz/?m=20171120
[ -1 ]
May 2017 – Page 13 – Zanzibar Daima May 6, 2017 Zanzibar Daima 0 Hii ndiyo hotuba kamili ya Mbunge Joseph Mbilinyi ambayo ilizua tafrani kwenye Bunge hapo jana kiasi cha Mwenyekiti wa Bunge hilo, Mbunge Mussa Zungu, kulazimisha kuwa kurasa 17 za hotuba hiyo zifutwe, zisisomwe na zisiwe Endelea May 2, 2017 Zanzibar Daima 0 Bibi Suad Al Lamki, ambaye kwa sasa anaishi Oman, alikuwa jaji wa pili tu mwanamke kwenye Mahakama ya Tanzania baada ya uhuru. Mazungumzo yangu naye, ambayo yapo hapo kwenye vidio hii yanaibua mengi ambayo yumkini Endelea
2019-09-22T18:13:05
https://zanzibardaima.net/2017/05/page/13/
[ -1 ]
Kazi yetu - Demokrasia Katika Mazoezi Kazi yetu miradi ya sasa Kwa sasa tuko katika mwaka wa nne wa miradi shule. Kuna sisi ni reinventing serikali ya wanafunzi, kuchanganya dhamira yetu ya majaribio ya kidemokrasia kwa lengo ziada kwa kutoa watoto, wasichana na fursa vijana elimu kulingana na demokrasia na ubunifu. chini, miradi hii na kufanya na kupitisha zaidi ya umoja na mwakilishi mbinu ya kuchukua nafasi ya uchaguzi wa serikali ya wanafunzi kwa kupiga kura na uchaguzi kwa kura na mzunguko. Hii ni tofauti na serikali mwanafunzi (Wao pia ni kuitwa "vituo vya mwanafunzi") Kawaida katika ambayo - kama serikali ya watu wazima - baadhi ya aina ya wanafunzi (kawaida maarufu, kijamii na kabambe) pande fomu, Wao kufanya kampeni short, na baada ya kupiga kura wengi wa wanafunzi ni kutengwa na kushiriki zaidi katika siasa za wanafunzi. Ingawa mdogo zaidi kuliko wenzao wazima, kwa wananchi wengi mwanafunzi serikali ni kukutana kwanza na demokrasia na ni sehemu ya hatua ya ukuaji katika maisha yao. aina ya kipekee ya serikali ya wanafunzi kuruhusu tu wanafunzi wachache waliohusika na kijamii uzoefu wa maendeleo na uongozi kwamba unaambatana ushiriki huu kazi. fomu hizo pia normalizes kukatwa kati ya watu wa kawaida na siasa zinaonekana na kila mtu nje ya shule. Kupitia majaribio kwa mazoea kama vile uteuzi kwa kura na mzunguko, kubwa na mwakilishi zaidi sehemu ya wanafunzi wanaohusika moja kwa moja, na sisi kuwahamasisha kufikiri kwa kina na kwa ubunifu kuhusu njia bora ya kupata kushiriki katika jumuiya zao katika maamuzi yanayowahusu. Aidha sisi kuwapa uwezo wa kushughulikia masuala wao kutambua - mwanafunzi serikali ambaye sisi kazi kuwa imara maktaba, kadi Mwanafunzi ID wamefanya kwa gharama za usafiri kupunguza, Wao kuwa na alikutana na Meya na wamepanga shamba safari kwa ajili ya shule yako yote. Majaribio ya Kidemokrasia Mwanafunzi Shule za kutoa mazingira mazuri kwa ajili ya majaribio. sifa ya kipekee ya serikali mwanafunzi - kawaida yao ndogo, ujumla ukosefu wa maslahi binafsi, mazingira na hatari kidogo - kuruhusu mawazo mengi, ubunifu na uvumbuzi. Unaweza kabisa reinvent serikali ya wanafunzi na hivyo kuona uwezekano na matatizo ya uwezo wa mazoea kuchanganya kama vile uteuzi kwa kura katika serikali ya kila siku hali. Kwa kweli, mwendelezo wa serikali ya wanafunzi hufanya miradi hii ni ya kipekee katika majaribio na uteuzi kwa kura, ambapo mipango kama vile Wananchi juries ni kawaida ya muda mfupi, wametengwa na kulenga mada moja preselected. hata sasa, miradi hii wamekuwa kutekelezwa katika vitengo vinne elimu katika idara ya Cochabamba, Bolivia. Kujua zaidi kuhusu kila mradi chini na kutembelea sehemu yetu “maswali yanayoulizwa mara kwa mara” kusoma kwa sababu sisi ni kufanya kazi katika Bolivia na kuona mipango yetu ya baadaye. “Uzoefu nzuri zaidi ni urafiki, heshima, kufanya kazi kwa watu, kuwa na subira… uzoefu kwamba kila mtu anatakiwa kujisikia ni kupigana kwa ajili ya nini hawawezi. Pamoja na uzoefu huu ni anayajua maisha ni.” -Hamu, Mwanafunzi Serikali mwanachama Quintanilla “Mfumo huu wa uchaguzi kwa kura wengi wetu walionekana isiyo ya kawaida walimu! Wakati mwingine bahati ina mtoto ambaye ni aibu, si tayari. Ni tu kile kilichotokea hapa. Mwanafunzi ambaye hakuna mawazo itakuwa mwakilishi umefika. Lakini katika wakati huo yeye kutekelezwa sisi kweli kushangazwa kwetu – Yeye imeanza kuzungumza, kuzungumza, kupoteza aibu… Amekuwa kweli kuboreshwa katika mitazamo yote.” -Profesa EPIFANIO, Valley High School “Nimekuwa mafunzo kwa kweli, kwamba kuamka, uongozi ambao wasiwasi watu ambao hawajawahi walidhani! Na nadhani kwamba ni mazuri sana.” -Alex Argandoña, Mkurugenzi wa zamani wa Chuo katika Quintanilla chuo R. V. katika Cochabamba Usiku katika shule Quintanilla Shule ya msingi katika Upper Valley High School katika Pocona
2017-07-24T16:36:11
https://democraciaenpractica.org/sw/trabajo/
[ -1 ]
MBUNGE WA JIMBO LA TANGA AENDELEA KUTATUA KERO ZA WANANCHI JIMBONI KWAKE,AKABIDHI BAISKELI KWA MLEMAVU ~ K-VIS BLOG '; if(img.length>=1) { imgtag = '
2017-10-24T03:55:18
http://khalfansaid.blogspot.com/2017/03/mbunge-wa-jimbo-la-tanga-aendelea.html
[ -1 ]
Life is a Journey!: MAONYESHO YA KILIMO NANE NANE NYANDA ZA JUU KUSINI YAFANA MBEYA To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: [email protected] To Advertise on this Blog please Call: +255 (0)656 56 13 14 or Email: [email protected] Tuesday, 9 August 2011 Waziri Wizara yaMaendeleo ya Mifungo - Dk. Mathayo David Mathayo akifunga maonyesho ya kilimo nyanda za juu Kusini jijini Mbeya kwenye kiwanja John Mwakangale Waziri David Mathayo akipokea maandamano wa kwanza kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Mbeya Maandamano yakiwa yanaingia viwanja vya nane nane Waziri akipata maelezo toka kwa mkuu wa wilaya Mbeya Evance Balama alipotembelea bada la halmashauri ya wilaya ya Mbeya Umati mkubwa wa wananchi waliohudhuria maonyesho ya kilimo nane nane nyanda za juu kusini Mbeya Baadhi ya watumishi wa wakishurahia na kupokea vyeti vyao vya ushindi katika mabanda Bora katika maonesho hayo ya Nane Nane Baadhi ya wateja wakipata maelezo katika banda la Vodacom Mzee kyando wa kikundi cha huzuni cha baba wa taifa alikuwepo Kama kawaida wachina hawakukosa eneo hili kuchemkia biashara ya mauaPicha na mbeya yetu
2017-02-27T02:38:59
http://mkandawilejr.blogspot.com/2011/08/maonyesho-ya-kilimo-nane-nane-nyanda-za_09.html
[ -1 ]
UKUMBI WA MIKUTANO WA UMOJA WA AFRIKA WAKATI WA MKUTANO WA MAADHIMISHO YA MIAKA 50 YA UMOJA HUO LEO JIJINI ADDIS ABABA
2013-05-26T01:19:05
http://zamaradimketema.blogspot.com/2011/07/hatuna-cha-kuficha-sababu-mapenzi-yetu.html?showComment=1310898218837
[ -1 ]
KINYAIYA'S ENTERTAINMENT:: BREAKING NEWZZ, ABUU SEMHANDO HATUNAE TENA... BREAKING NEWZZ, ABUU SEMHANDO HATUNAE TENA... Mkongwe wa muziki nchini ambaye pia ni Katibu wa Bendi ya TWANGA PEPETA ABUU SEMHANDO el maarufu kama BABA DIANA, pichani kulia, amefariki dunia sasaivi maeneo ya Mbezi kwenye ajali ya Pikipiki aliyokuwa akiiendesha wakati anatoka kazini kwenye onyesho la Bendi hiyo aliyokuwa ikitumbuiza maeneo ya Mbezi usiku huu! Amefariki sasaivi kwa kugongwa na gari aina ya Marcedec Benz lenye namba za usajili T855BLG ambayo baada ya kumgonga na kumjeruhi vibaya kichwani na kumponda dereva wake alikimbia na kuiacha Benz iyo barabarani na maiti bado ipo baabarani mpaka sasa ikizungukwa na wanamuziki woote wa Twanga Pepeta wakisubiri hatua za kuchukuliwa kupelekwa Hospital ya Lugalo. Ni jana tu nilikuwa napiga nae story kwenye viwanja vya Biafra wakati tukiaga mwili wa Dokta REMMY ONGALLA na mada yetu ya mwisho tuliokuwa tukiiongea ni jinsi ule wimbo wa Remmy uitwao kifo ambako kuna kipande Remmy aliimba kwamba 'kwanini kifo hutoi taarifa, maana tungeacha urithi alafu tukufate popote ulipo na wala hatutakulaumu tena kifo weee'! Kwenye picha hii Semhando anaonekana akiwa na ASHA BARAKA na kiongozi mwa Twanga LUIZA MBUTU, mungu ailaze Roho ya marehemu mahali pema peponi, AMEIN. Mwaka unaisha vibaya huu, kwenye kuwakumbuka marehemu leaders alikufa mtu baada ya shughuli kwisha tena kwa ajali, haya Dk Remmy kazikwa kesho yake BaBa Diana kamfuata kwa ajali ile ile Mungu awaweke mahali pema peponi. Kwa kweli ya kwetu hatuyajui ila tujiweke tayari kwa maombi.
2017-09-23T20:02:57
http://kinyaiyas.blogspot.com/2010/12/breaking-newzz-abuu-semhando-hatunae.html
[ -1 ]
NEWS: BOMOABOMOA KUISAFISHA DAR. - TIM HEAVEN | NEWS: BOMOABOMOA KUISAFISHA DAR. NEWS: BOMOABOMOA KUISAFISHA DAR. Chief Hope | 7:13:00 PM | NEWS Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi leo inaanza kubomoa nyumba zilizojengwa bila kufuata utaratibu kwenye maeneo ya wazi na hifadhi za barabara katika Manispaa ya Kinondoni kuanzia kesho. Hatua hiyo pia itakuwa ni utekelezaji wa kilio cha muda mrefu cha Rais John Magufuli tangu akiwa Waziri wa Ujenzi cha kutaka watu wafuate sheria katika ujenzi. Dk Magufuli kwa muda mrefu, amekuwa akisema kama mtu amejenga kwenye hifadhi ya barabara au mahali pengine panapokiuka sheria, dawa yake ni moja tu, “kubomolewa na kudaiwa gharama za utekelezaji wa sheria hiyo.” Katika uongozi wake kwenye wizara hiyo bomoabomoa ilifanyika katika maeneo mengi nchini ili kupisha hifadhi ya barabara na kuwezesha ujenzi wa mtandao wa barabara nyingi zinazoonekana sasa. Kamishna wa Ardhi wa wizara hiyo, Dk Moses Kusirika alisema nyumba zilizojengwa katika maeneo yaliyotengwa mijini kwa matumizi ya umma, zitabomolewa ili kuhakikisha maeneo hayo yanatumika kwa shughuli zilizokusudiwa. Dk Kusiruka alisema maeneo yanayokusudiwa ni pamoja na yale ya wazi na njia za miundombinu na huduma za umma ambazo mara kwa mara huvamiwa na waendelezaji binafsi na kukosesha umma manufaa yaliyokusudiwa. Alisema ubomoaji huo utahusisha nyumba zote zilizojengwa bila kibali cha ujenzi, bila kufuata michoro ya mipango miji wala kufuata matumizi ya ardhi, hasa kwa maeneo ya wazi. Kwa mujibu wa Dk Kusiruka, maeneo ambayo yatahusika na operesheni hiyo ni Mbezi, Tegeta, Bunju, Mwenge na Kinondoni Biafra. “Kazi ya ubomoaji inatarajiwa kufanyika kwa siku tatu kuanzia kesho (leo) na itaendeshwa na Manispaa ya Kinondoni kwa kushirikiana na Wizara ya Ardhi ambayo itasimamia kuhakikisha sera za ardhi na taratibu za uendelezaji zinafuatwa,” alisema Dk Kusiruka. Kamishna huyo alisema shughuli hiyo itaendelea kwenye manispaa za Ilala na Temeke na baadaye nchi nzima. Alisema mpango huo ni utekelezaji wa tamko namba 6.6 la Sera ya Taifa ya Ardhi ya mwaka 1995 linalosema kuwa “Serikali itahakikisha kwamba maeneo yote mijini yaliyotengwa kwa shughuli za umma yanatumika kwa shughuli zilizokusudiwa na yalindwa ili yasivamiwe.” Kamishna huyo pia alinukuu tamko namba 8.2.1 la Sera ya Taifa ya Ardhi ya mwaka 1995 linalosema, “Serikali za mitaa zitawajibika kushirikiana na Wizara ya Ardhi kuhakikisha usimamizi mzuri wa ardhi katika maeneo yao.” Mhandisi wa Manispaa ya Kinondoni, Baraka Mkuya aliwataka wananchi wajenge kwa ajili ya maendeleo kwa kufuata sheria za ardhi zinavyoonyesha. Mkuya aliwashauri waende kwenye halmashauri ya manispaa hiyo kwa ajili ya kupewa vibali vya ujenzi na siyo kujichukulia mamlaka ya kujenga kiholela bila mpangilio. “Kila mwezi tunatoa vibali vya ujenzi, hivyo tunawakaribisha wananchi wote kwenye ofisi zetu wapewe vibali, waachane na ujenzi holela,” alisema Mkuya. Alisema manispaa hiyo ilishatoa taarifa kwa watu waliovamia maeneo ya umma na kujenga nyumba zao ikiwataka wahame mara moja kabla ya ubomoaji huo. Juzi, Halmashauri ya Temeke ilibomoa nyumba 45 kati ya 161 baada ya kutoa tangazo la kuwataka wananchi kuhama ili kupisha shughuli za maendeleo. Kurasini kweupe Siku ya pili ya utekelezaji wa bomobomoa ya nyumba kupisha uwekezaji, eneo la Kurasini wilayani Temeke, limebaki jeupe huku nyumba chache zenye kesi mahakamani zikinusurika. Mwenyekiti wa Mtaa Kurasini, Rajabu Nkumilwa alisema Serikali inatakiwa kuunda timu kuchunguza kama kuna ufisadi Manispaa ya Temeke katika kuliwapa wananchi fidia ya uhamisho wa makazi. “Watu zaidi 108 walipeleka malalamiko juu ya malipo yaliyotolewa, tathmini ilifanyika kwa watu 78, kati yao 34 hadi jana hawakuwa wanajua hatima yao, huku fedha zikiwa zimelipwa tofauti na tathmini ya mali zao,” alisema. Mwenyekiti huyo alidai kuwa kuna madai uchakachuaji kupitia vitabu vya malipo ya wananchi vilivyosainiwa na watu wawili tofauti. Nkumilwa alisema kuwa baadhi ya wakazi wa eneo hilo hawana pa kuishi huku wengine wakishindwa kuhama kutokana na kutolipwa baadhi ya fedha zilizotolewa na mwekezaji kwa ajili ya usafirishaji mali.
2016-10-28T23:36:40
http://www.timheaven.com/2015/11/bomoabomoa.html
[ -1 ]
WANANCHI KIJIJI CHA MKONGOGULIONI WANUFAIKA NA UJENZI WA MRADI WA MAJI WA RUWASA - MTAA KWA MTAA BLOG Home HABARI WANANCHI KIJIJI CHA MKONGOGULIONI WANUFAIKA NA UJENZI WA MRADI WA MAJI WA RUWASA WANANCHI KIJIJI CHA MKONGOGULIONI WANUFAIKA NA UJENZI WA MRADI WA MAJI WA RUWASA Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme kushoto,akimtiwisha ndoo ya maji mkazi wa kijiji cha Mkongo Idna Ngonyani mara baada ya Mkuu wa mkoa kufungua moja kati ya vituo vya kuchotea maji katika kijiji hicho ikiwa ni utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maji inayojengwa na wakala wa maji vijijini Ruwasa wilayani Namtumbo. Mkuu wa mkoa wa RUvuma Christina Mndeme kulia akicheza kwa furaha na baadhi ya wanawake wa kijiji cha Mkongo wilayani Namtumbo mara baada ya kufungua kituo cha kuchotea maji kijijini hapo kilichojengwa na wakala wa maji vijijini Ruwasa wilaya ya Namtumbo,Mkuu wa mkoa yupo katika ziara ya kukagua nakutembelea miradi mbalimbali ya maji katika wilaya zote tano za mkoa huo. Picha na Mpiga Picha Wetu Na Mwandishi Wetu,RUVUMA WANANCHI wa Kijiji cha Mkongogulioni wilaya ya Namtumbo mkoani Ruvuma, wameanza kunufaika na matunda ya Serikali yao ya awamu ya tano baada ya wakala wa maji vijijini Ruwasa kukamilisha ujenzi wa mradi mkubwa wa maji. Wakizungumza mbele ya Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme baadhi ya wananchi hao walisema, kijiji chao hakijawahi kupata maji ya bomba kwa muda mrefu,lakini Serikali ya awamu ya tano imefanikiwa kupeleka maji ya bomba baada ya miaka 59. Hidna Ngonyani(43) Hassan Makalani walisema,kukamilika kwa mradi wa maji ni faraja kubwa hususani wanawake ambao walikuwa wanaangaika na kutembea umbali mrefu kwenda kutafuta maji kwenye mito na madimbwi ambayo maji yake sio safi na salama. Hidna Nyongani, ameishukuru serikali kwa kukamlisha mradi huo ambao hawakufikiria kama utakamilika haraka kutokana na mkandarasi wake Kipera Contractors Co Ltd kusua sua huku wakazi hao wakiendelea kukabiliwa na kero kubwa ya maji safi na salama kwa ajili ya matumizi ya kila siku. Aidha alisema,kupatikana kwa huduma ya maji katika kijiji chao inakwenda kuimarisha ndoa ambazo ziliyumba kutokana na waume zao kukosa imani pale wanawake wanapochelewa kurudi nyumbani kutoka kutafuta maji kwa ajili ya matumizi ya familia. “tunamshukuru sana Serikali yetu ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais wetu John Magufuri kwa kutujali sisi wananchi wake,tunakuomba Mkuu wa mkoa tufikishie shukurani zetu za upendo kwake,tunahaidi kutumia maji haya kuharakisha maendeleo katika kijiji chetu”alisema Ngonyani. Kwa upande wake Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme ameipongeza Ruwasa wilaya na mkoa kwa kusimamia vizuri mradi huo na kuwataka wananchi wa Mkongogulioni kutunza miundombinu yake na kutumia maji hayo kujiletea maendeleo. Mndeme alisema, mradi wa maji Mkongogulioni ni kati ya miradi mikubwa inayotekelezwa na Serikali ya awamu ya tano,kwa hiyo wananchi wa kijiji hicho hawana budi kumshukuru Rais Dkt John Magufuri kwa upendo wake mkubwa na kukubali kutoa fedha ambazo zimekamilisha mradi huo. Alisema, Serikali itaendelea kuboresha huduma mbalimbali za kijamii ikiwemo barabara,elimu,afya na maji ili kurahisisha upatikanaji wa huduma hizo na wananchi wapate muda mwingi wa kufanya shughuli zao za kujiletea maendeleo na kujikwamua na umaskini. Kwa mujibu wa Mndeme,Serikali imeipatia wilaya ya Namtumbo kiasi cha shilingi bilioni 13 ambazo zinakwenda kukarabati,kujenga na kuimarisha huduma ya maji kwa wananchi wa wilaya hiyo. Mndeme, amempa mwezi mmoja meneja wa Ruwasa wilaya ya Namtumbo kuhakikisha vituo vyote 30 vya kuchotea maji viwe vinatoa huduma hiyo badala ya vituo 17 vya sasa ili kutosheleza mahitaji ya maji katika kijiji hicho ambacho kina idadi kubwa ya watu. Naye meneja wa Ruwasa wilaya ya Namtumbo David Mkondya alisema,mradi wa maji katika kijiji cha Mkongogulioni Nahimba unatekelezwa chini ya usimamizi wa program ya maendeleo ya Sekta ya maji ya maji(WSDP)kupitia program ndogo ya maji na usafi wa mazingira vijijini(RWSSP). Alisema, mradi huo ulisainiwa kwa mara ya kwanza mwaka 2013 na utekelezaji wake ulianza mwaka 2017 na ulitarajiwa kukamilika mwezi Februari 2020 chini ya mkandarasi Kipera Contractors& General Supplies Co Ltd ya Songea. Alimweleza Mkuu wa mkoa kuwa, mradi wa maji Mkongogulioni Nahimba unakusudiwa kuhudumia wananchi wapatao 8007 katika vijiji vya Mkongogulioni, na Nahimba kwa gharama ya shilingi bilioni 2,069,975.521 ambapo hadi sasa fedha zilizotumika kutekeleza mradi huo ni shilingi bilioni 1,387,965,270.40. Mkondya alisema,mradi huo unatekelezwa kwa awamu moja ambapo kazi zilizopangwa kufanyika ni ujenzi wa tanki la lita 25,000 katika kijiji cha Nahimba na ukarabati wa matenki mawili yenye ujazo wa lita 150,000 kijiji cha Mkongo na lita 25,Kijiji cha Nahimba. Alitaja kazi nyingine zilizotarajiwa kufanyika ni pamoja na kujenga chanzo kimoja cha kukusanya maji(Intake),ununuzi wa mabomba ya laini kuu na laini ya usambazaji maji,kuchimba mtaro na kulaza mabomba km 15 na laini ya usambazaji maji km17.84. ujenzi wa vituo 46 vya kuchotea maji. Kwa mujibu wake,hadi sasa kazi zilizofanyika ni uchimbaji wa mtaro na ulazaji wa bomba za kusambaza maji kijiji cha Nahimba,ujenzi wa matenki ya kuhifadhia maji,ujenzi wa chanzo,ulazaji wa bomba kuu na vituo 46 vya kuchotea maji.
2020-08-09T08:20:16
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2020/07/wananchi-kijiji-cha-mkongogulioni.html
[ -1 ]
Waziri Angela Kairuki amesema serikali inaendelea kuboresha mazingira ya Uwekezaji kwa Wawekezaji na Wafanyabishara wa ndani na nje ya nchi. - Channel Ten Waziri Angela Kairuki amesema serikali inaendelea kuboresha mazingira ya Uwekezaji kwa Wawekezaji na Wafanyabishara wa ndani na nje ya nchi. Posted on February 12, 2019 February 12, 2019 by clement Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji Angela Kairuki amesema serikali inaendelea kuboresha mazingira ya Uwekezaji kwa Wawekezaji na Wafanyabishara wa ndani na nje ya nchi pamoja na kuhakikisha vikwazo vilivyokuwa vinawakabili ikiwemo urasimu katika utoaji vibali na upatikanaji wa ardhi vinatokomezwa. Waziri Kariuki pia ametoa rai kwa Watanzania wenye maeneo makubwa ya ardhi kuyatoa maeneo hayo kwa ajili ya wawekezaji wenye uhitaji wa kukodi ama kununua ili kuyaendeleza kwa shughuli za uchumi. Akizungumza na waandishi wa habari alipokutana an ujumbe wa Kundi la Wafanyabishara kutoka Hongkong China walioko nchini kwa ajili ya kutafiti maeneo ya Uwekezaji Waziri Kairuki amesema kuwa kwa sasa Tanzania imekuwa ikipokea makundi mbalimbali ya wawekezaji kutoka nje wenye nia ya kuwekeza nchini katika sekta na maeneo mbalimbali hivyo Serikali iko katika kasi ya kuboresha na kuweka mazingira rafiki yatakayovutia zaidi wawekezaji hao huku akizitaka Taasisi nyingine za serikali kuhakikisha zinahudumia wawekezaji hao kwa kasi na weledi Aidha akizungumzia ujumbe huo wa Hongkong Waziri Kairuki amesema kuwa wafanyabishara hao wanatafuta maeneo ya Uwekezaji kwa ajili ya ujenzi wa Kiwanda cha dawa za binadamu pamoja na vifaa tiba, ununuzi wa Ufuta na majani yake kwa ajili ya kuuza nje ya nchi pamoja na Uchakataji korosho ambapo tayari wameshatembezwa maeneo kadhaa na kuridhishwa na mazingira. Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) amesema kituo hicho kitazidi kuimarisha mahusinao ya Kibiashara na HongKong ambapo mpaka sasa wamekwishafanya mazungumzo na Mamlaka ya Biashara na Uwekezaji ya Hongkok kuhusiana na makubaliano ya kuhakikisha wafanyabishara na wawekezaji toka Hongkong wanatumia fursa za uwekezaji za nchini Tanzania pamoja na wenzao kutokana hapa nchini kwenda Hongkong kufanya uwekezaji. ← Katika kuelekea uchumi wa kati mwaka 2025, Shirika la viwango Tanzania (TBS), limeanza kutoa elimu ya uanzishaji wa viwanda vidogo na uboreshaji wa bidhaa, ili kuwawezesha wajasiriamali nchini kuhimili ushindani wa kibiashara. Balozi wa Sweden pamoja na Balozi wa Algeria nchi Tanzania wameelezea kuridhishwa na mwenendo wa serikali ya Tanzania katika mapambano dhidi ya rushwa na Ufisadi. →
2019-05-22T14:59:18
http://www.channelten.co.tz/wazkairuki/
[ -1 ]
Dodge Viper - Wikipedia, kamusi elezo huru Mfano wa gari la kampuni ya Dodge Viper Dodge Viper ni gari la michezo linaloundwa na Dodge (SRT ya 2013 na 2014), mgawanyiko wa FCA US LLC kutoka 1992 hadi 2017 baada ya kuchukua mabadilioko mafupi kutoka 2010-2013. Uzalishaji wa magari ya michezo ya viti viwili ulianza Mkutano Mpya wa Mack mwaka 1991 na kuhamia Bunge la Conner Avenue mnamo Oktoba 1995. Ijapokuwa Chrysler alifikiria kukomesha uzalishaji kwa sababu ya matatizo makubwa ya kifedha, Septemba 14, 2010, mtendaji mkuu Sergio Marchionne alitangaza na kuonyesha mfano mpya wa Viper kwa mwaka 2012.Mwaka wa 2014, Viper iliitwa jina la namba 10 kwenye orodha ya "Magari mazuri ya Amerika", maana 75% au zaidi ya sehemu zake zinazalishwa nchini U.S.Viper awali alikuwa mwishoni mwa 1988 katika Chrysler's Advanced Design Studios. Februari ifuatayo, rais wa kampuni dodge Chrysler Bob Lutz alipendekeza Tom Gale katika Chrysler Design kwamba kampuni hiyo inapaswa kufikiria kuzalisha Cobra ya kisasa, na mfano wa udongo uliwasilishwa kwa Lutz miezi michache baadaye. Iliyotengenezwa katika chuma cha karatasi na Metalcrafters, [5] gari lilionekana kama dhana kwenye Kituo cha Kimataifa cha Magari ya Amerika ya Kaskazini ya mwaka 1989. Masikio ya umma yalikuwa ya shauku kwamba mhandisi mkuu Roy Sjoberg alielekezwa kuendeleza kama gari la uzalishaji wa kawaida. Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Dodge_Viper&oldid=1012187" Last edited on 22 Septemba 2017, at 14:27
2019-09-18T05:19:55
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Dodge_Viper
[ -1 ]
Mmiliki wa Liverpool Aibuka Tena Kuuza Klabu - Boss Ngasa Official Website Home Unlabelled Mmiliki wa Liverpool Aibuka Tena Kuuza Klabu Mmiliki wa Liverpool Aibuka Tena Kuuza Klabu Mmiliki wa klabu ya Liverpool John W. Henry amehusishwa na ripoti za kutaka kuiuza klabu hiyo kimya kimya huku taarifa zikisema kwamba yuko tayari kusikiliza ofa za matajiri mbalimbali wanaotaka kuimiliki klabu hiyo. Bilionea Henry, aliinunua Liverpool kutoka kwa Wamarekani wenzake Tom Hicks na George Gillett mwaka 2010 kwa dola 477 millioni ambazo ni sawa na sh. 1.09 trilioni za kitanzania. Uwekezaji wake umekuwa mkubwa katika kikosi hicho, kikifanikiwa kufika fainali ya klabu bingwa Ulaya mwezi Mei mwaka huu, pia ikiendelea kutoa changamoto kubwa katika kampeni ya kuusaka ubingwa wa EPL msimu huu. Lakini inaonekana sasa tajiri huyo yuko tayari kuondoa hisa za kampuni yake ya 'Fenway Sports Group' katika klabu hiyo endapo mnunuzi mwenye dau kubwa atapatikana. Kulingana na ripoti ya mtandao wa 'New York Post', Henry amezindua mchakato wa mauzo. Hiyo ina maana kwamba yeye hajatafuta mnunuzi kikamilifu, hata hivyo inasemekana kuwa 'anatoa ofa kwa faragha' katika kile kinachoelezwa kama kufanya mambo hayo kutokuwa rasmi. Bei ya kuiuza klabu hiyo inasemekana kuwa ni dola 2 bilioni. Liverpool tayari imehusishwa kutaka kununuliwa na matajiri mbalimbali kutoka Abu Dhabi hasa, Sheikh Khaled Bin Zayed Al Nahayan, binamu wa mmiliki wa Manchester City Sheikh Mansour pamoja na wawekezaji wa China. Uvumi wa kuuzwa ka klabu hiyo kwa £ 2bn kutoka kwa Sheikh Khaled ulienea hivi karibuni mwezi Agosti, ambapo taarifa hiyo ilikanushwa na uongozi unaomiliki klabu hiyo ukisema kwamba haukuwa na nia yoyote ya kuuza, bali ilifungua milango ya uwekezaji wa nje. Mmiliki wa Liverpool Aibuka Tena Kuuza Klabu Reviewed by jaqueline victorv on Friday, November 09, 2018 Rating: 5
2018-12-15T05:26:03
http://www.bossngasatz.com/2018/11/mmiliki-wa-liverpool-aibuka-tena-kuuza.html
[ -1 ]
Hasimu wa Bashe akana jina mahakamani; atimuliwa na wazee wa Nzega | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Hasimu wa Bashe akana jina mahakamani; atimuliwa na wazee wa Nzega mgombea wa ccm upande wa nzega mimbizi wetu dk kigangwalla ameenda kukana jina lake mahakamani jana ..habari zaidi zinasema dk alienda kukaana baada ya kushauriwa na baadhi ya waanasheria ...je hili litamsaidia kumuizinisha kugombea kama mkimbizi Wakati hayo yakiendelea mgombea huyo alikuwa na kikao na wazee wa ccm wilaya ya nzega kuandaa jinsi gani ya kumsaidia kumkapenia..kijana huyo alipofika akumuamkia hata mtu mmoja na habari zaidi zinasema hilo liliwawakasirisha baadhi ya wazee na kumuuliza mbona hana heshima akasema sio lazima kumuamkia mtu..wazee wakiwa wanaanza kumfundisha akapigiwa simu akapokea alipomaliza akarudi ndani na kuulizwa kijana mbona huna heshima akajibu nina heshima tatizo lenu nini??akawaambia hii ni simu ya wakubwa toka juu siwezi kuacha kupookea na hakuna mwenye mamlaka kunizuia kupokea simu zangu ndipo mwenyekiti na wengine wakasema kikao kimekufa na kila mtu achukue ustaarabu wake mzee mmoja alipoulizwa akaasema huyu kijana atujui anahisi huko juu ndio watampa ubunge haya sasa hiyo kampeni ataifanya mwenyewe na tuone ataishia wapi nishawaambia wenzangu nisisikie kikao cha kumhusu huyu muhuni alilamama mzee mmoja Hayay huyu ndie MBUNGE WETU WA CCM KUPITIA MAKAMBA/RAIS KIKWETE KAZI TUNAYO Mbona mwandishi mwenyewe unaonekana umepitia shule tuu?!Nachelea kusema wewe ndiye mwandishi ninayemfahamu Samson Mfalila wa magazeti ya michezo!Kama si mwenyewe tafadhari badilisha hilo jina tusije tukamhukumu Mfalila aliye smart! Kila kitu kina taratibu zake. Kama yeye alijua kuwa kupitishwa kuwa mgombea ubunge ni kuwa juu ya taratibu hizo, imekula kwake! Hayay huyu ndie MBUNGE WETU WA CCM KUPITIA MAKAMBA/RAIS KIKWETE KAZI TUNAYOClick to expand... Akikana jina lake ndio inakuwaje na kwa nini alikane? mkuu amekana jina lake la sasa au la zamani?????????/ Bado ndio kwanza tuko kwenye mazoezi mechi haijaanza bado si mchezo yaani kazi ipo na si ndogo Pure umbeya. How can I/we trust you? Pure umbeya. How can I/we trust you?Click to expand... Habari hii imeandikwa na Mwananchi: Kigwangalla azua kizaazaa wilayani Nzega Thursday, 19 August 2010 09:29 Mwandishi Wetu, Nzega KAMATI ya Siasa ya CCM Wilaya ya Nzega, imevunjika baada ya mgombea ubunge wa jimbo hilo Dk Hamis Kigwangalla kudaiwa kuonyesha utovu wa nidhamu katika kikao hicho. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Nzega, Dk Kigwangalla alikuwa hatii anachoelezwa na mwenyekiti wa kamati hiyo hivyo kusababisha mwenyekiti kuvunja kamati hiyo. "Ni kweli kamati imevunjika leo (jana) wakati tukijadili ajenda ya mwisho, lakini sisi kama chama lazima tutamsaidia ili aweze kushinda,"kilieleza chanzo hicho. Taarifa zilisema kwamba mgombea huyo aliingia katika kikao hicho ambacho lengo lake lilikuwa ni kupanga mkakati wa kumsaidia kushinda, lakini hakuwasalimia wajumbe. Kufuatia hatua hiyo, mwenyekiti wa kikao akamuliza kwanini hajasalimia wajumbe, lakini kabla ya Kigwangalla kujibu, simu yake ikaita. "Alipoanza kupokea simu kabla ya kujibu swali, mwenyekiti akamwamuru azime simu, yeye akamjibu kwamba hawezi kwamba hawezi kuacha kupokea kwa kuwa inatoka kwa wakubwa," alisema mjumbe mmoja aliyekuwako katika kikao hicho. Kutokana na kitendo hicho, wajumbe waliamua kuvunja kikao bila ya ajenda ya kupanga mkakati wa ushindi kujadiliwa. Hata hivyo, Dk Kigwangalla alipopigiwa simu ili aeleze kuhusu taarifa hizo simu yake ilikuwa ikiita bila kupokelewa. Katika hatua nyingine, taarifa kutoka Nzega zinadai kuwa maaofisa wa Idara ya Uhamiaji wamelazimika kumhoji mama yake, Dk Kigwangala ili waweze kupata ukweli wa uraia wake. Mkuu Kichuguu naona umemuweka jamaa panapostahili. mkuu amekana jina lake la sasa au la zamani?????????/Click to expand... la zzamani we hata mzazi wako unaweza usiamni ndie aliekuzaa kwa style hiyo lohhh wenzako wanauliza kwanza chanzo unajibiwa... CCM achana na huyo Dr Kigwangwalla,kwa vile issue ya Bashe imekwisha mrudisheni kwenye mbio za kusaka kiti cha jimbo hilo. Dr Kigwangwalla atakuyumbisheni sana mpaka mtajuta kumfafamu Hii Nzega ilikuwa apewe Bashe, lakini ugomvi wake yeye na Ridhiwani ndani ya UVCCM inapelekea hata kumchomea (uongo) ili tu mambo yake yakwame. Hapo JK an JK juniour ROHO KWATU kabisa. Namsikitikia kibaraka Ma-rope hapo atakapo kuja kukaa upande wetu, mwambieni aangalie historia ya makatibu wa CCM wote (Gama, yule wa Iringa, Kolimba (RIP) ukiondoa Rashid (RIP). Walitolewa na kunuka kama kinyesi. ma rope atakuja kujuta siku akiondolewa ukatibu mkuu, and it is very soon. Hii Nzega ilikuwa apewe Bashe, lakini ugomvi wake yeye na Ridhiwani ndani ya UVCCM inapelekea hata kumchomea (uongo) ili tu mambo yake yakwame. Hapo JK an JK juniour ROHO KWATU kabisa. Namsikitikia kibaraka Ma-rope hapo atakapo kuja kukaa upande wetu, mwambieni aangalie historia ya makatibu wa CCM wote (Gama, yule wa Iringa, Kolimba (RIP) ukiondoa Rashid (RIP). Walitolewa na kunuka kama kinyesi.Click to expand... Eti Kikwete amekana Ridhiwani hahusiki na kuondolewa kwa Bashe! Mbona mwandishi mwenyewe unaonekana umepitia shule tuu?!Nachelea kusema wewe ndiye mwandishi ninayemfahamu Samson Mfalila wa magazeti ya michezo!Kama si mwenyewe tafadhari badilisha hilo jina tusije tukamhukumu Mfalila aliye smart!Click to expand... Huyu kweli hawezi kuwa Sam Mfalila! Mheshimiwa badili hilo jina haraka! Unashusha hadhi za watu! Samson Mfalila katika nchi ya watu milioni 40 wanaweza kuwa zaidi ya wawili.Huyo mnayemjua nyinyi wengine huenda hawamjui pia!
2016-12-05T04:50:55
http://www.jamiiforums.com/threads/hasimu-wa-bashe-akana-jina-mahakamani-atimuliwa-na-wazee-wa-nzega.70300/
[ -1 ]
Arangije icyiciro cya kabiri cya kaminuza yandikisha amano | IMIRASIRE.com Ahabanza >> Amakuru Yose >> Hirya no Hino >> Mu Rwanda >> Arangije icyiciro cya kabiri cya kaminuza yandikisha amano Yanditswe: 30/08/2016 10:25 Yasuwe incuro: 17367 Umugabo ufite ubumuga bwo kutagira amaboko washoboye kwiga yandikisha amano arangije icyiciro cya kaminuza cya Masters. Uwo ni Jean Twagirimana wo mu Rwanda. Avuga ko abafite ubumuga barushijeho gufashwa bashobora kuba bahangana mu buzima busanzwe n’abadafite ubumuga. Twagirimana atuye mu murenge wa Mayange mu Karere ka Bugesera. Twagirimana Jean kuba afite ubumuga ntibimubuza kugira ibyo akora bimugirira akamaro Umusore w’imyaka 31 yavukanye ubumuga bw’amaboko yombi adashobora kugira icyo ayakoresha, habe no gufata ikaramu. "Nyuma yo kubona ko mfite ubumuga bw’amaboko ababyeyi bitabaje abahanga mu byiciro bitandukanye bababwira ko ubwo amaboko adashobora gukora ariko izindi ngingo zishobora gukora. Banyigisha kwandika nkoresheje amano. ni muri ubwo buryo bantoje gufata ikaramu mu mano. Ntangira kwiga ndanatsinda, kugeza kuri uru rwego ndacyakoresha amano." Twagirimana Jean ni umuhanga mu gukirigita mudasobwa Akoresheje amano, abasha guhindaguranya impapuro z’ikaye, akanayakoresha mu kwandika. "Amasomo nari nagiye gukurikirana ni amasomo y’uburezi budaheza; uburezi bw’abantu bafite ubumuga. Nahisemo kuba nakurikira aya masomo kubera ko nabonaga ko hari byinshi nkeneye kumenya naba ntarabonye ndetse maze kubona ko na barumuna banjye nyuma bagifite ibibazo nk’ibyo bashobora kuzanyura muri aya masomo." Si byose akoresha amano. Hari ibyo ashobora kwikorera birimo kuba yakoza mu kanwa akoresheje uburoso bw’amenyo, kwambara inkweto cyangwa kuzikuramo ndetse no kurya ariko byo ngo yakwirisha iyo ari mu rugo iwe gusa. Iyo yandikisha amano agaragaza umukono mwiza nk’uwandikisha intoki zisanzwe Avuga ko nta vangura yigeze ahura na ryo ko ariko hagombye kubaho ubuvugizi bukomeye bwakorerwa ababana n’ubumuga mu buryo bwo kubafasha ku isoko ry’umurimo. "Haracyarimo imbogamizi kuko kenshi usanga dukeneye ibikoresho bitandukanye n’ibyo abandi baba bafite mu kazi mu buzima busanwe.Ubwo bufasha ntibuba buhari. Haracyari imbogamizi kuba abantu batari baramenya ibikoresho abantu bafite ubumuga bakeneye kugira ngo babashe kwinjira mu kazi." Jean Twagirimana avuga ko abafite ubumuga bashoboye gufashwa mu myigire yabo bashobora guhangana mu nzego zitandukanye bikabarinda gusabiriza. Samuel Tuyishime - 1/09/2016 saa 03:52 " Lord, the God of Israel, there is no God like you in heaven above or on earth below you who you keep your covenant of love with your servants who continue wholeheartedly in your way "(1 kings 8:23). Amen Mar - 31/08/2016 saa 12:41 UYU RWAGIRIMANA JYE NDAMUZI NEZA TWARIGANYE MURI GS APPEGA GAHENGERI muri Lettres. Ni Umuhanga kuburyo budasubirwaho. Yandika neza kandi akoresheje amano ye. Courage John!. IMONE - 31/08/2016 saa 11:13 uyumugabo ndamuzi yiga GS RILIMA NUMUHANGA NAKOMEREZE AHO Samuel Tuyishime - 1/09/2016 saa 03:55 Mana komeza umurinde umube hafi cyane - 31/08/2016 saa 06:49 Dore icyemezo ko umuntu yifitemo ubushobozi buhambaye rero. Ni byo dukwiye gutoza abato kuruta ibya Yesu ashimwe n'amaturo bavandi. Biratudindiza cyane. mugi - 30/08/2016 saa 11:50 Imana imugirireneza. IMONE - 31/08/2016 saa 11:15 uyumugabo ndamuzi kera yiga GS RIRIMA numuhanga ndamuzipe Muton - 31/08/2016 saa 16:07 Imana imube hafi kdi akomerezaho azafasha nabandi
2016-12-02T22:18:15
http://imirasire.com/amakuru-yose/hirya-no-hino/mu-rwanda/article/arangije-icyiciro-cya-kabiri-cya-kaminuza-yandikisha-amano
[ -1 ]
MAISHA: Mawaziri wa Umoja wa Ulaya waijadili Ureno Mawaziri wa Umoja wa Ulaya waijadili Ureno Mawaziri wa fedha wa nchi zinazotumia sarafu ya Euro wanaupambanua mpango wa kuikwamua Ureno kutokana na mzozo wa fedha katika mkutano wao wa siku mbili nchini Hungary. Kamisha wa masuala ya Uchumi wa Umoja wa Ulaya Olli Rehn amesema leo kuwa kiasi cha mkopo kinachofikiriwa kukidhi matakwa ya Ureno ni euro bilioni 80. Waziri wa Fedha wa Ureno, Fernando Teixeire dos Santos hivi sasa anatakiwa kuzishawishi nchi zinazotumia sarafu ya Euro kwamba serikali yake ina mamlaka ya kutekeleza mageuzi yanayonuiwa kuirejesha Ureno katika mkondo mzuri wa kuichumi. Mwenyekiti wa kundi la nchi zinazotumia sarafu ya Euro, Jean-Claude Juncker amesema zipo fedha za kutosha, lakini tatizo halisi ni la kisiasa kutokana na kuanguka kwa serikali ya Ureno wiki iliyopita. Waziri wa Fedha wa Finland Jyrk Katainen ameonya kwamba msaada wa Ureno sharti uambatane na masharti magumu. Ureno lazima ichukue hatua kali ya kubana matumizi katika bajeti yake. Mawaziri wa Italia na Ufaransa wakutana Waziri wa Mambo ya Ndani wa Italia, Robert Maroni amekutana na mwenzake wa Ufaransa Claude Gueant mjini Milan hii leo kuutafutia ufumbuzi mzozo juu ya mipango ya Italia ya kuwapa visa za kusafiria maelfu ya wakimbizi wengi wao kutoka Tunisia kusafriki katika eneo la Umoja wa Ulaya ambalo halihitaji visa la Schengen. Maroni ametoa wito wa ushirikiano wa pamoja katika suala la kuwasaidia wakimbizi, lakini awali aliishutumu Ufaransa kwa kitendo cha kuwazuia wakimbizi hao wasiingie katika nchi hiyo. Zaidi ya Watunisia elfu 20 wameingia katika ardhi ya Italia tangu walipomuondoa madarakani rais wao Januari mwaka huu. Kwa mujibu wa maafisa wa Italia wengi wa wakimbizi hao wana matumaini ya kuungana na ndugu zao waliopo Ufaransa. Rais Saleh akaidi kujiuzulu Rais Alli Abdullah Saleh wa Yemeni ameukataa mpango wa mataifa ya eneo la Ghuba wa kumtaka aondoke nchini humo kwa lengo la kumaliza umwagikaji wa damu wakati huu ambapo polisi nchini humo wameuwa waandamanaji wawili na kujeruhi wengine kadhaa. Walioshuhudia wanasema watu hao wamepigwa risasi katika mji wa Taez uliopo upande wa kusini mwa mji mkuu wa Sanaa. Rais Saleh amewaambia wafuasi wake nguvu zao zimetokana na ai ya umm wa Yemen na wala sio kutoka kwa Qatar, wala mtu mwingine yeyote. Kauli hiyo ameitoa siku moja baada ya Waziri Mkuu wa Qatar, Sheikh Hamad bin Jassem al-Thani kusema nchi wanachama wa Baraza la Ushirikiano la nchi za Ghuba zina matumaini ya kufikia makubaliano na rais Saleh ajiuzulu. NATO imekiri kuwauwa waasi nchini Libya Jumuiya ya Kujihami wa NATO imekiri kuwa mashambulizi yake ya angani huenda yaliwaua waasi kadhaa nchini Libya wakati ilipovishambulia kimakosa vifaru vya waasi nje ya mji wa Brega nchini Libya. Pamoja na kusikitishwa na tukio hilo lililosababisha vifo vya watu wanne na wengine sita kutojulikana walipo, NATO imesema haikujua kwamba waasi nao wanatumia vifaru katika operesheni yao dhidi ya Gadhafi. Msemaji wa NATO, Russ Harding amesema hali ilivyo katika uwanja wa mapambano nchini LIbya inatatanisha. Wakati huo huo, Uturuki nchi mwanachama wa NATO, inajaribu kutafuta suluhu nchini Libya. Waziri Mkuu wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan amesema anafanya mazungumzo na pande zote mbili, na anataka kuanzisha njia za kupitishia misaada ya kibinadamu na kutekeleza mageuzi ya kidemokrasia. Lakini msemaji wa upinzani amekataa mazungumzo ya aina yoyote na Gadhafi na kumtaka aondoke madarakani. Uhuru Kenyata na wenzake wamepanda kizimbani ICC Mahakama ya Kimatiafa ya ICC imesema itaamua ikiwa Naibu Waziri Mkuu wa Kenya, Uhuru Kenyata na Wanasiasa wengine wawili wana kesi ya kujibu ama la ifikapo septemba 21 mwaka huu.Watatu hao walipanda kizimbani leo kusikiliza mashitaka yanayowakabili kuhusiano na machafuko ya baada ya uchaguzi mkuu wa 2007 nchini Kenya. Awali Ekaterina Trendafilova, Rais wa Mahakama hiyo aliwakaribisha wanasiasa hao akiwemo Mshirika wa Karibu wa Rais Kibaki Francis Muthaura pamoja na Mkuu wa zamani wa Jeshi la Polisi Mohamed Hussein Ali. Mapema jana Waziri wa zamani wa Elimu ya Juu, William Ruto, Waziri wa Zamani wa Viwanda, Henry Kosegey na Mtangazaji wa Radio, Joshua Arap Sang walifika kwenye ukumbi huo wa mahakama na kuarifiwa mashitaka yao. Hata hivyo mahakama ya ICC iliamuru uamuzi iwapo kuna kesi ya kujibu au la dhidi ya Wanasiasa hao wanaotuhumiwa kuhusika na ghasia zilizozuka baada ya uchaguzi mkuu wa 2007, utolewe Septemba mosi. Ouattara ahutubia taifa Rais wa Cote d'Ivoire anayetambuliwa kimataifa Alassane Ouattara Rais anayetambuliwa kimataifa nchini Cote d'Ivoire, Alassane Ouattara ameagiza kuwekwa vizuizi katika makaazi ya Rais anayeng'ang'ania madarakani Laurent Gbagbo ambako bado amejificha. Akizungumza jana usiku kupitia televisheni ya nchi hiyo, Ouattara ameyatolea wito pia majeshi yake kudumisha utaratibu katika mji mkuu wa nchi hiyo Abidjan, ambako wanamgambo wanaorandaranda katika siku za hivi karibuni wamekuwa wakijihusisha na vitendo vya wizi na kufanya mashambulio yasiyo na mpangilio maalumu. Katika hatua nyingine katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa ban Ki Moon amemtaka Rais Gbagbo kuachia madaraka mapema kabla ya kuchelewa. Amesema hiyo ni fursa ya mwisho kwa gbagbo kuondoka vizuri katika nafasi hiyo na kumkabidhi madaraka Ouattara. Wanajeshi wa Ouattara wakiimarisha ulinzi kwa kuwakamata watu wanaohisiwa kuwa ni wapiganaji. Wakati huohuo, ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Cote d'Ivoire umesema utamkamata gbagbo akiwa hai na kumfungulia mashtaka. Ouattara amekuwa akisisitiza juu ya Gbagbo kukamatwa akiwa hai, licha ya kwamba majeshi yake yamekuwa yakitoa upinzani mkali. Miili zaidi yapatikana Ivory Coast Umoja wa Mataifa umesema, zaidi ya miili 100 ilipatikana nchini Ivory Coast, huku ghasia zikiwa zinaendelea baina ya wapinzani wenye nyadhifa za Urais. Umoja huo umesema miili hiyo ilipatikana magharibi mwa nchi hiyo, kwa kinachodhaniwa kuwa mauaji ya kikabila. Rais anayetambulika kimataifa Alassane Ouattara amekuwa akipambana na aliye madarakani Laurent Gbagbo, aliyopo kwenye handaki mjini Abidjan. Wakati huo huo, Umoja wa Ulaya umesema huenda ukapunguza makali kwa upande wa vikwazo baada ya ombi lililotolewa na Bw Ouattara. Umoja huo ulimtambua Bw Ouattara kama mshindi wa uchaguzi wa mwezi Novemba kuwa ndiye Rais lakini Bw Gbagbo amekataa kukabdhi madaraka. Majeshi ya Bw Ouattara yamesogea toka kaskazini katika kipindi cha miaka miwili iliyopita lakini eneo kubwa la mji mkuu wa Abidjan limeshikiliwa na wafuasi wa Gbagbo na siku kadhaa za mapigano imeisababishai nchi hiyo kuingia kwenye mgogor. Mauaji ya kimbari ya Rwanda yakumbukwa Mafanikio ya Rwanda Rwanda inaweza kuitwa mfano wa kuigwa linapokuja suala la kiuchumi. Kwa mfano, mwaka 2010 iliweza kupandisha ukuwaji wake wa kiuchumi kwa asilimia 8 kutokana na mageuzi makubwa. Julia Viebach anasema kwamba katika eneo hili, Rwanda iko kwenye njia sahihi hadi sasa. "Unapozungumzia suala la taratibu za uwekezaji kwamba zimelegezwa, kwamba ni rahisi kufungua kampuni, kwamba ufisadi unapigwa vita sana, kwamba hata shirika la Transparency International limethibitisha hilo. Hayo ndiyo kimsingi anayojisifia Kagame." Anasema Viebach. Vile vile kwenye vita dhidi ya Malaria, kwa kiasi kikubwa serikali ya Kigali imepiga hatua kubwa. Asilimia 90 ya Wanyarwanda wana bima ya afya. Kufeli kwa Rwanda Mikono yenye damu, ishara ya utawala wa Kagame katika maandamano mjini Madrid, Hispania, 2010Lakini je, Rwanda ni kigezo pia cha mafanikio ya kisiasa au inaselelea kwenye mikono ya kidikteta? Julia Viebach anasema hawezi kuiweka Rwanda miongoni mwa mataifa yenye uhuru. "Hali ilivyo ni kuwa, uhuru wa habari na maoni unakandamizwa sana. Zipo jumuiya za kiraia, lakini hakuna jumuiya huru. Zilizopo ni zile zinazoegemea upande wa serikali, hakuna kinyume chake. Hili limejidhihirisha kwenye uchaguzi wa mwisho ambao Kagame alishinda kwa asilimia 90. Wakati wa uchaguzi, kila chama cha upinzani kikashika njia yake. Huwezi kusema kuwa nchi hii itajiendeleza kidemokrasia." Anasema Viebach. Mwezi Februari, Mahakama Kuu ya Rwanda ilimuhukumu kiongozi wa upinzani nchini humo kifungo cha miaka minne na nusu kwa kuhatarisha usalama wa taifa. Shirika la Kutetea Haki za Binaadamu la Human Rights Watch wanaiona hukumu hii kuwa ni pigo kwa uhuru wa maoni na demokrasia. Karibu na uchaguzi, kiongozi wa chama cha upinzani cha Kijani, Andre Kagwa Rwisereka, aliuawa katika mauaji ambayo polisi wanasema yalitokana na jaribio la wizi. Wataalamu wa nje na watetezi wa haki za binaadamu wanayaona kuwa mauaji ya kisiasa. Human Rights Watch waliitisha uchunguzi huru wa mkasa huu, lakini hadi sasa hakuna mafanikio. Habyarimana killed by his own forces The truth revealed in Habyarimana’s death KIGALI - A probe report on the downing of former President Juvenal Habyarimana’s plane has concluded that the ex-President was killed by his own henchmen who were against the idea of sharing power with the Rwandan Patriotic Front (RPF). The report says that the extremists, among them diehards of the Hutu power, were bitter to learn that Habyarimana was finally agreeing to a power sharing deal that would bring on board the RPF and other opposition groups. This group was led by the key Genocide masterminds; Colonel Theoneste Bagosora, Anatole Nsengiyumva, Mathieu Ngirumpatse and Joseph Nzirorera. “These men were not simply opposed to a reconciliation process; they were committed to the wholesome extermination of the Tutsis. By the spring of 1994, they had the means, and opportunity to act…and they did,” the report compiled by a seven-man committee headed by veteran jurist, Jean Mutsinzi reads. The assassination plot had been hatched over a long period of time, including a plan to acquire surface-to-air- missiles and also train an elite group of soldiers under Bagosora’s command on using the weapons. To achieve his objective, the report says that Bagosora who was intimately familiar with Habyarimana’s travel schedule, changed the composition of the Rwandan delegation to the Arusha talks and ensured that Army Chief of Staff General Deogratias Nsabimana, a man opposed to Bagosora’s Genocidal plans, would be on the ill-fated plane. “In violation of established procedure, Nsabimana received his orders to accompany the President via an unofficial channel—a telephone call from of all people, Theoneste Bagosora—the night before the trip, the report says. “According to members of his security detail, even President Habyarimana was taken aback when Gen. Nsabimana boarded the Falcon-50 on the morning of April 6th.” The Mutsinzi reports further explains that using a parallel military radio network, Bagosora was in direct contact with elements of the Presidential guard, the Para-commando battalion, and most importantly the Anti-Aircraft Battalion (LAA). Direction of rocket fire Despite reports that plane was downed by RPF soldiers, the report which has findings consistent with those of the United Nations Assistance Mission for Rwanda (UNAMIR), demonstrates that the ill-fated plane was hit by at least two surface-to-air missiles from the direction of Kanombe Military Camp, an area controlled by Habyarimana’s own Presidential guard. The report quotes Sean Moorhouse, a British Army Captain of the UNAMIR (II) team as saying that; “the Rwandan President’s airplane has been shot down by three whites with the help of the Presidential Guard and that the shots from the weapons which brought down the airplane were fired from the Kanombe military Camp.” But contrary to existing allegations that the weapons used to shoot down the plane were Surface to Air Missiles (SAM) 18, ballistics experts from the UK commissioned by the commission of inquiry ruled that out. Government’s call Foreign Affairs Minster Louise Mushikwabo called on Rwandans and people outside the country to thoroughly read the Mutsinzi report and desist from making un informed opinions on circumstances that led to the downing of the Falcon 50 aircraft. “The Government of Rwanda urges Rwandan citizens and the public at large to note and reject manipulation of truth and lies propagated on the plane crash since 1994.” “Government urges the public to familiarize themselves with the report and to look for responses to questions they might have with particular attention to witness testimonies.” Mushikiwabo, who is also the government spokesperson said. Karugarama said that the Mutsinzi report is not a judicial document, but that it is one that was made by experts with clear evidence on what happened. WHO KILLED JUVENAL HABYARIMANA ON 1994 ?-6 On the evening of 6 April 1994, just as it was approaching Kigali, a plane carrying Rwandan President Juvenal Habyarimana home from Tanzania was shot down by missiles fired from the ground. Also on the flight was the president of Burundi, Cyprian Ntaryamira, as well as several high-level Rwandan political and military officials. But from the first movement there was no doubt that the target was Habyarimana. What was in doubt was the culprit, and on this the debate has raged furiously for the past almost 16 years. To most of those who have studied the genocide, commonsense always pointed to Hutu extremists in the Rwandan government and military. They passionately opposed the agreement that had been reached at Arusha, Tanzania, in mid-1993, for power to be shared among Habyarimana's followers, other political parties, and the Tutsi-led rebels of the Rwanda Patriotic Front (RPF). To prevent this betrayal, the extremists had decided on a final solution – the extermination of the entire Tutsi minority in Rwanda, between 10 and 15 per cent of the population. When Habyarimana was about to capitulate to international pressure and implement these power-sharing arrangements, they murdered him and implemented their carefully-planned genocidal conspiracy. This analysis seemed logical enough in all respects, but there has never been an official investigation of the crash or evidence beyond the circumstantial. In fact, from the first there was an alternative interpretation. It has always been quite counter-intuitive and based on dubious foundations, and yet has been embraced not only among those who deny the genocide entirely, but also, quite surprisingly, among those who are hostile for whatever reasons to the RPF and particularly its long-time leader and now Rwanda president, Paul Kagame. A soldier inspecting remains of presidential plane of Rwanda From the moment the plane crashed, Hutu extremist propagandists, directed by hate-radio station RTLM and echoed by officials of the government of France, pointed the finger directly at the RPF. From time to time, Belgium was implicated by France, as was Uganda. Uganda's only known connection to the crash was that it was an English-speaking country where the RPF had originally formed. But for France, speaking English is evidence enough of culpability when it comes to Africa. French investigators examine the wreckage of Juvenal Habyarimana's Dassault Falcon 50 plane that was shot down 16 years ago, killing the former Rwandan president and triggering genocide in the central African country, September 18, 2010. After patching up relations late last year, a team of French investigators is now in Rwanda re-examining a dozen eyewitness testimonies to work out where two missiles were fired from -- and, hopefully, determine final responsibility. It's never been entirely clear what motive Kagame could have had for murdering Habyarimana at the very moment when the president intended to implement the Arusha Accords. The RPF had been the huge winner at Arusha, about to receive substantial political and military power. Conversely, Habyarimana's officials were the great losers, about to surrender the monopoly on power and resources they had cherished for the previous two decades. How could the RPF benefit from the chaos, anarchy and lust for vengeance that was sure to follow Habyarimana's assassination? The on-and-off again low-intensity civil war since 1990 had bogged down in a stalemate; why assume the hot war that was sure to follow the plane crash would lead to an RPF victory rather than an RPF rout, especially if France came in behind Habyarimana's forces? But if attributing the missile attack to the RPF didn't make much sense, it was extremely functional to the Hutu extremists. If the RPF was guilty, it meant the attack on the plane was not the first step in the genocide plan. The killings of the subsequent 100 days could simply be put down to mass Hutu fury at the murder of their beloved president, and no genocide would have taken place. This spin has been the motive driving many of those who have busily spent the past decade and a half devising a multiplicity of ‘proofs’ to pin the evil deed on Kagame and his forces. THE NEW REPORT Now along comes a new document prepared by an ‘Independent Committee of Experts’ appointed by the government of Rwanda, with the explicit title Report of the Investigation into the Causes and Circumstances of and Responsibility for the Attack of 06/04/1994 against the Falcon 50 Rwandan Presidential Aeroplane [sic], Registration Number 9xR-NN. The head of the 7-person committee was Dr Jean Mutsinzi, former Justice of the Supreme Court of Rwanda, now a judge of the African Court on Human and Peoples' Rights. The other members are apparently lawyers or authorities on aircraft matters, but an annex offering their resumes is not unfortunately part of the commission's report (which is easily available online at mutsinzireport.com). In my view, the Commission's report is largely persuasive. But you can immediately see how much more credible it would be if the members hadn't all been Rwandans appointed by the Kagame government. I am confident that an independent commission appointed, say, by the African Union, would have delivered the same conclusions but with far more credibility. An obvious precedent was the OAU-appointed independent International Panel of Eminent Personalities (IPEP) whose report, Rwanda: The Preventable Genocide[ PDF], has achieved a certain authority. But I readily acknowledge that genocide deniers, Hutu extremists and Kagame-haters will reject any and all conclusions that give Kagame the benefit of the doubt, and the evidence be damned Perhaps that's why his government consistently acts on its own, without waiting for external validation. It did the same with the report on the role of France in the genocide, delivered by a panel of Rwandans also appointed by the government and headed by well-known RPF militant. In my view its report was overwhelmingly accurate and appropriately damning for France. But I wished they had asked outside experts like Linda Melvern to undertake that project, to give it real international credibility. But that is not the way the Kagame government does things. We are left, then, to judge the report on the plane crash on its merits, and in this respect it seems to me to have made a major contribution to settling the great question of who was responsible. In a word, the ‘Committee of Experts’ documents the logic most of us have accepted since the start. They pin the blame directly and fully on a group of Hutu extremists who were simply not prepared to accept the power-sharing provisions of the Arusha Accords. In this sense, they prove a terrible point: The very agreement that was to bring harmony to Rwanda led directly to the genocide. This is a staggering truth for all those involved in conflict resolution and peace-making to conjure with. The committee took two years to complete its report, which contains 169 pages plus many appendixes with countless documents, plus a ballistics report from staff at the Defence Academy of the United Kingdom based at Cranfield University. Its members heard 557 witnesses, including former officials of the UN military mission to Rwanda at the time (UNAMIR ), former members of the Rwandan army and Presidential Guard under Habyarimana; and they perused post-genocide reports by Belgium, France and the United Nations, plus the work of western authors who have studied the genocide, plus the book written by UNAMIR's head, General Romeo Dallaire, based on his experiences at the time. While all the authorities they consulted won't be happy with the way their work has been used, an overwhelming consensus emerges from the Committee's research and interviews. Let me try to summarise briefly the main points of what is often lengthy, highly technical, and geography-specific material. 1. For months before Habyarimana's assassination on 6 April 1994, rumours abounded that senior government and military officials in his own government were determined the Arusha Accords would never be implemented. These stories included specific suggestions that the President would be murdered if he dared to put their power-sharing arrangements into practice. For years we have known that radio station RTLM and Kangura, a small publication that functioned as the voice of Hutu extremism, had publicly stated that something dramatic was going to happen to Habyarimana in late March or early April. In its cover story of December 1993, for example, Kangura declared that Habyarimana would be assassinated the following March. General Dallaire and others have cited the threat uttered at a social occasion on 4 April by Colonel Theoneste Bagosora, a leader of the extremists widely considered the mastermind of the genocide. ‘The only plausible solution for Rwanda,’ Bagosora said to a small group that included Dallaire's senior Belgian aide, ‘appears to be the extermination of the Tutsi.’ Madame Agathe Habyarimana What the new report adds to our knowledge is how widespread these stories were. Dozens of witnesses had heard them beginning late in 1993 and escalating through the early months of 1994. There was even a specific rumour that Habyarimana's plane would be shot down. The President himself had heard such stories, it appears, as had the French crew that came with the Falcon 50 that President Mitterrand had gifted to Habyarimana (apparently that's how a socialist president of France rewarded his favourite African presidents). On 6 April Habyarimana flew to Dar es Salaam, Tanzania, for a summit with fellow regional presidents. (The Burundian president, who had no luxury jet, made the fatal mistake of later hitching a ride home with Habyarimana via Kigali.) That summit is usually described as focusing on Rwanda. In fact, the new report informs us, it was about the unstable situations in both Rwanda and Burundi. Habyarimana began the meeting by telling his peers that he was implementing Arusha two days later, and the rest of the day was spent discussing Burundi's extremely turbulent political crisis. But if Habyarimana was aware of threats against his plane, why did Habyarimana agree to fly to Dar es Salaam that day? He could simply have told them by phone or through an emissary of his intentions to introduce the Arusha arrangements. Why did his pilots agree to fly him there? Why did some of the leading plotters against him, like his brother-in-law Colonel Elie Sagatwa, an extremist Hutu ironically in charge of the president's personal security, agree to accompany him? All went down to their fiery deaths on 6 April, yet all apparently were aware of the risk. It is a glaring omission in the report that it never asks this obvious question, let alone attempts in any way to answer it. Still, the fact remains that Hutu extremists were known to be furious at Habyarimana and were determined to stop the implementation of the Arusha Accords. Since the President announced explicitly on 2 April that he intended to swear in a new broadly-based coalition government on 8 April, it has always been logical to assume that attacking the plane on 6 April was the execution of their plan. 2. The RPF couldn't have infiltrated anti-aircraft missiles and missile launchers into Kigali. It could not have smuggled them into Parliament, where an RPF contingent was temporarily billeted, as agreed by the Arusha Accords. It could not have then snuck them to the area where those who blame the RPF claim the missiles were fired. The committee establishes persuasively that both UNAMIR (United Nations Assistance Mission for Rwanda) and above all the Rwandan army maintained very close surveillance of the RPF troops holed up in the parliament building, and these monitors could not possibly have missed the activity required to bring the missiles in, set them up and fire them. The committee also shows that the alleged firing area was constantly patrolled by Rwandan troops and no RPF soldiers carrying missiles and launchers could have infiltrated the area without being spotted. 3. The missiles could only have been fired from an area near the Kanombe military camp, the President's home, and the main Kigali airport, and this entire area was completely controlled by the Rwandan army. This is the area where Rwandan soldiers suddenly refused UNAMIR to enter during the day on 6 April. This key conclusion by the committee is based on a large number of eyewitnesses and what it calls ear witnesses, including pre-genocide Rwandan soldiers, employees of the adjacent airport where the plane was to land, and soldiers from UNAMIR and the Belgian Military Technical Cooperation. Perhaps most significantly, it's also the conclusion of the report prepared for the committee by Mike Warden and Alan McClue of the Department of Applied Science, Security and Resilience, Cranfield University, Defence Academy of the UK. The online documentation of the committee's work includes the formal contract that the committee signed with the two researchers, so that every part of it is transparent. In turn, the two presented a 109-page paper, often extremely technical, which concludes that the missiles must have been fired from the Kanombe area. Beyond dispute, this area was wholly controlled by Rwandan government forces. So the missiles were not fired from the area where those who blame the RPF say they came from, and they were fired from the area where only government soldiers (and French soldiers) could go. It is hard to imagine staff at the Defence Academy of the UK exaggerating or falsifying their conclusions. It therefore seems to me that this independent ballistics report adds great credibility to the findings of the Committee of Experts, with which it of course concurs. 4. The committee shows that the Rwandan army possessed the kind of surface-to-air missiles that might have shot down the Focus 50, even though earlier reports, especially from France, claimed they did not. Conversely, it shows that the repeated assertion by those who blame the RPF – that Kagame's rebels received the missiles from Uganda (who got them from Russia) – is wrong and based on a deliberate deception at the time by Rwandan government soldiers, which enemies of the RPF have been only too happy to swallow. Hon Paul Kagame Cyprien Kayumba Nyamwasa 6. Colonel Theoneste Bagosora is named as the instigator both of the attack on Habyarimana's plane and the genocide that it triggered, as planned. This corroborates the widespread view of Bagosora's role by everyone from General Dallaire to many of the historians of the genocide to the justices at the International Criminal Tribunal for Rwanda in Arusha, who found Bagosora guilty of genocide and sentenced him to life imprisonment. 5. In the process of their report, the committee does a useful job of discrediting the hatchet job performed on the RPF by French Judge Jean-Louis Bruguiere in his own 2006 report on the plane crash. Bruguiere, following completely the script long favoured by the French establishment, baldy accused Kagame and the RPF of shooting down the plane in order, somehow, to take power in Rwanda. Bruguiere's research was always problematic, to say the least. He relied on alleged eyewitness who were dissident Tutsi RPF members, with plenty of motive to malign the RPF. Some of these have since recanted their accusations against Kagame and the RPF or claim they never said what Bruguiere claims they said. And while the judge, remarkably, never went to Rwanda to investigate the crash site or to interview anyone in the RPF government or army whom he indicted, he did go to Arusha to interview men being held by the ICTR for their alleged role in the genocide. This included Colonel Bagosora himself, who even before his formal conviction was almost universally believed to have been a leader of the genocide. At one stage Bruguiere writes of a particular matter: ‘The real nature of the message…was also confirmed by the evidence in Arusha from former FAR soldiers [Habyarimana's army].’ He names four of these soldiers, including Colonel Theoneste Bagosora. This would be akin to asking P. W. Botha about apartheid and not asking Nelson Mandela. Judge Bruguiere 6. France's cynical hand is felt throughout the committee's report, as indeed it must be in any recounting of the genocide. French soldiers were allowed in to the Kanombe military base on 6 April, while Belgian UNAMIR soldiers were not. French soldiers were at the plane wreck within moments, going through the debris and looking for the black box, which they removed. French officials scrupulously followed the original extremist Hutu line of blaming the Belgians, along with the RPF, for the missile attack. When the accusation against the Belgians had lost any credibility, President Mitterrand's senior Africa advisor, his chief of staff and the French ambassador to Rwanda all accused the RPF of responsibility. During the French parliamentary inquiry into the France's role in the genocide, French officials were anxious to implicate the Ugandan government in the plane attack. Never did they suggest that their close allies among the Hutu extremists, many of whom have long been hiding in France, may have had the slightest involvement. As one former western diploma has put it, ‘In an ideal world, France would apologise to Rwanda, put 20 former senior French officials in the dock, and extradite 15 or 20 genocidaires living in France.’ We will see whether the recent France-Rwanda rapprochement will usher in a more ideal world. CONCLUSIONS The report of the Committee of Experts could have been better (although I dare say this is true of every report ever written). The organisation and the writing are sometimes confusing. Loose ends are left hanging, not least obscure references to three ‘whites’ who somehow might have been involved in the attack on Habyarimana's plane. At times it seems the plot to assassinate the president was hatched in late 1993, elsewhere that it all happened in the first few days of April 1994. It fails to analyse why Habyarimana agreed to fly to Dar es Salaam on 6 April even in the face of explicit death threats. Despite an obvious attempt to be objective, its biases occasionally slip out. The committee asserts that ‘the practice of genocide against the Tutsi’ was initiated by the first Hutu-dominated government in the early 1960s, and that 1994 was ‘the final stage of genocide’. This is bad, partisan history that is accepted by no reputable historians of whom I'm aware. The fact is the massacres launched against the Tutsi after 1959 stopped after Habyarimana's coup in 1973 and didn't begin again until 17 years later, with the RPF invasion of Rwanda. Those early killings were terrible, but they were just that – massacres, pogroms, not the first stage in a 45-year plan exterminate all Tutsi. The final genocidal plot only began some time after the 1990 RPF invasion. These flaws reduce the authoritativeness of this report. They will be jumped all over by those who will never accept any conclusion that fails to blame Kagame and the RPF for Habyarimana's murder. So there's no point whatever in trying to prove anything else to these deniers and extremists. They have no interest in the truth. But for those genuinely searching for the most convincing answer to this great political murder mystery, the strengths of the committee's report overwhelmingly outweigh its few unfortunate flaws. Of course it would still be best to have the definitive report by a truly independent group of international experts. But until we do, the conclusions of this report should stand. And if there ever were an independent external study, I'm confident its conclusions would echo those of this Rwandan committee of experts: ‘We know who shot Habyarimana's plane down. We know why they did it. We know how they did it. And we know that they came within an inch of success in their diabolical plan. Before they were defeated, the Hutu extremists who assassinated President Habyarimana wiped out thousands of decent Hutu who wouldn't go along with their fiendish plot and three-quarters of their country's Tutsi. The attack on the president's plane was the opening shot in one of the purest genocides of the past 100 years, launched for no better reason than the greed of a few power-hungry Hutu fanatics. It was one of the greatest man-made tragedies of our time.’ MUNGU ALIUMBA MBINGU NA ARTH KISHA AKAUMBA VIUMBE WENGI WENYE KUISHI KATIKA MFUMO WA UHAI. KILA KIUMBE KINAHAKI YA KUISHI NDANI YA DUNIA HII. BINADAMU AMEPEWA SIFA KUBWA YA KUONGOZA, MATUMIZI, KUMILIKI, KUOA,UNDUGU, UJAMA ……NA…..VYOTE VILIVYOMO DUNIANI. UHARIBIFU WA UBORA WA DUNIA UNATEGEMEANA NA MATUMIZI YA BINADAMU JUU YA VIUMBE (WATU, ARDHI, MIMEA, MADINI, MAJI, MAFUTA, NDEGE, WADUDU……..N.K). MFANO 1: VITA: KWASASA BINADAMU WENGI WANAISHI KATIKA WAKATI WA VITA. VITA VIPO AINA NYINGI SANA, MOJAWAPO NI: VITA VYA KUFIKIRI. KUFIKIRI UNACHOKIWEZA NIVYEMA ZAIDI. UKITUMIA FIKIRA YENYE UPUNGUFU AU UKOSEFU WA UKWELI, UTAJIKUTA KATIKA HALI NGUMU YA MSONGAMANO WA MAWAZO. JITAHIDI KUTAFAKARI, UMUHIMU, FAIDA NA HASARA YA KILE UKIANACHO, UKISIKIACHO, UAMBIWACHO, UKILACHO, UKITUMIACHO, UKIPENDACHO AU UAMBIWACHO NA YULE MPENZI WAKO AU MSHAURI WAKO MAISHANI. UMUHIMU, FAIDA NA HASARA JUU YAKILE UKIONACHO, UKISIKIACHO, LADHA AU HARUFU, NI MKUBWA NA NI MUONGOZO WA NAFSI YAKO MAISHANI.KINYUME CHAKE NI MAUMIVU NA KUSEMA”NINGELIJUA”SIO TIBA. VITA VYA DAMU: DAMU NI KIUNGO CHENYE KUENDESHA UHAI WA MAISHA YA WANYAMA, NDEGE……BILA KUMSAHAU BINADAMU. UPUNGUFU WA DAMU MWILINI, KUNAPUNGUZA UTENDAJI WA KAZI WA SELI ZA MWILI. SELI ZA MWILI NDIO MSINGI WA MAISHA YA BINADAMU. INAMANA ULINZI WA SELI NI MWILI KUWA NA DAMU SAFI NAYENYE KUKIDHI MAHITAJI. MFANO 2: HOSIPITALI WANAHITAJI DAMU YA KUONGEZEA WAGONJWA WENYE UPUNGUFU WA DAMU. KUMBUKA KWAMBA HAKUNA KIWANDA, SHAMBA, MTO AU UZALISHAJI WA AINA YEYOTE YA DAMU. KINACHOFANYIKA NI KUMTAFUTA MTU MWENYE UHUSIANO (BLOODGROUP) WA DAMU NA KISHA KUTOLEWA(DAMU) KIASI FULANI CHA DAMU NA KUMPA (KUMUONGEZEA MGONJWA) MHUSIKA. VITA VYA VIFO: KILA KIFO KINAWAKATI WAKE, LAKINI KUNA VIFO VINGINE, HULETA MASHAKA NDANI YA NYOYO ZA BINADAMU. KUNA AINA NYINGI ZA VIFO, MOJAWAPO NI: KUUMWA: KUNA VIFO VYENYE SABABU YA MWILI KUUMWA (NJAA, KIU, TIBI, SHINDIKIZO LA DAMU, UKIMWI, AU UTAPIA MLO). NA KUNA VIFO VINGINE VINAVYOTOKANA NA MASHAMBULIZI YA UHASAMA BAINA YA BINADAMU. KWASASA BINADAMU WANAUWANA KATIKA MFUMO WA PESA, MALI, MAPENZI, UDINI, MADINI, MAFUTA, MASHAMBA. KUTOKANA NA VITA KUENDELEA , KUANZIA DANI YA FAMILIA NA KOO NYINGI ZA BINADAMU, TUMEJIKUTA (BINADAMU) KATIKA MFUMO WA KUONA KIFO NI HAKI YETU, BILAKUJALI KUONEWA AU KUONEANA. MFANO 3: VITA VYA KIFAMILIA VINAENDELEA KUWA NA NAFASI KUBWA MAISHANI. TUNASIKIA BABA, MAMA, MTOTO, NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI, WANAUWANA! HILI NIJAMBO LAKUSIKITISHA NA NI ISHARA YA KUISHA KWA AMANI DUNIANI. VITA VYA KIKABILA: TUNAMIFANO KUANZIA NCHI YA RWANDA. RWANDA INA MAKABILA MATATU(WATUSI,WATWA NA WAHUTU), LAKINI YANASIFIKA KWA MAKABILA MAWILI(WAHUTU NA WATUSI) TU. KWA NINI YASIKIKE MAKABILA HAYO MAWILITU? NI KWASABABU YA UHASAMA ULIPO BAINA YA WATUSI NA WAHUTU. WATUSI NA WAHUTU KILA MMOJA ANASIFA YAKE NA ANA UPUNGUFU WAKE. WANASIASA WASOMI WALIJENGA MFUMO WAKUWATAWALA WANYARWANDA KATIKA MFUMO WA KIKABILA NAKUWAPELEKEA KUINGIA KATIKA JANGA LA MAUWAJI YENYE MIAKA 1959 NA 1994. MIAKA HII ILIWEZA KUWAUWA WANYARWANDA ZAIDI YA MILIONI MBILI(VIFO VYA WATU 2,000,000). KENYA NA VITA YA UKABILA KENYA NA UKABILA: KWASASA KENYA WANAJIKUTA WAKITAABIKA KUTOKANA NA MFUMO WA WASOMI, WA KUWASABABISHIA UHASAMA WA KIKABILA NA VIFO VYENYE MSONGAMANO. KWASASA BAADHI VIONGOZI WA KENYA NA RWANDA BILA KUISAHAU LAIBELIA WAKO KATIKA MAHAKAMA YA UMOJA WA MATAIFA. DRC: UKABILA UMETAWALA NCHI YA KONGO NA KUISABABISHIA HASARA YA VIFO ZAIDI YA WATU MILIONI 4, (VIFO VYA WATU 4,000,000). LIBYA KATIKA VITA VYA KIKABILA LIBYA: KWASASA TUNASHUHUDIA VITA VYA KIKABILA BAINA YA UKOO WA WAASI NA BAINA YA UKOO WA GHADAFI. ZAIDI YA WATU ELFU MBILI WAMEISHA KUFA ( 2,000 WAMESHA KUFA). VITA NI VINGI SANA VYENYE KUNGAMIZA. VITA VYA KIDINI: UKITAKA KUJUA VITA VYA KIDINI, TUNA MFANO NDANI YA NIGERIA, PALESTINA NA ISRAEL, SPAIN, CHINA, INDIA, IRAQ, IRAN, BAHRAIN, CHECHENIA, BOSNIA, IVORY COST……………….WATU ZAIDI WANAENDELEA KUFA. VITA VYA MALI: KWASASA NCHI TAJIRI ZINAHITAJI KUJIIMARISHA KIUCHUMI KUPITIA MIGONGO YA NCHI ZENYE RASILI MALI(MADINI, MAFUTA, PAMBA, KOKOA, ALIMASI, CHUMA, KOPA……N.K). MATAIFA HAYO NDIO YENYE MICHONGO NA UJANJA WA KUMILIKI UCHUMI KUPITIA NJIA YA MAELEWANO. MAELEWANO YANATOKANA NA MASHARITI YENYE KULINDA MASLAHI YA KILA UPANDE, NA UNAPOKWENDA KINYUME UTAJIKUTA UKIPEWA SABABU YA KUACHIA NGAZI YA MADARAKA AU KUPEWA ADHABU YA KIFO. SADAMU HUSEIN VIUNGOZI WENGI DUNIANI WANAONDOKA MADARAKANI KWA KASHFA YA DHULMA, UFISADI NA MARANYINGI ADHABU YA KIFO.
2017-06-24T06:52:15
http://maishani.blogspot.com/2011/04/muelekeo-wa-dunia-maishani.html
[ -1 ]
MITANDAO YA KIJAMII INAVYOWEZA KUNUFAISHA BIASHARA YAKO - MTAZAMO NEWS Sio lazima utumiapo mitandao ya kijamii uzione faida zote hizo zilizoorodheshwa hapo juu. Lakini kwa mujibu wa tafiti mbalimbali ukiyazingatia matumizi sahihi na kwa umakini hutoona haja ya njia nyinginezo. Jumia Travel inaamini kwamba haujachelewa kuitangaza biashara yako mtandaoni na kama ulishafanya hivyo basi pitia upya na uone kama unayazingatia yaliyoandikwa kwenye makala haya. SHARE THIS
2017-06-26T22:32:28
http://www.mtazamonews.com/2017/05/mitandao-ya-kijamii-inavyoweza.html
[ -1 ]
Ethiopia yaongoza barani Afrika kwa kuhifadhi idadi kubwa ya wakimbizi | Habari za UN Ethiopia yaongoza barani Afrika kwa kuhifadhi idadi kubwa ya wakimbizi Wakimbizi waSudan Kusini wanoishi katika makazi ya muda wakisubiri mahema kutoka UNHCR.Ethipoia inawahifadhi zaidi ya wakimbizi 600,000.Picha© UNHCR/P.Wiggers Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UNHCR limesema hivi sasa Ethiopia inaongoza barani Afrika kwa kuhifadhi idadi kubwa ya wakimbizi, nafasi ambayo awali ilikuwa inashikiliwa na Kenya. Kwa sasa Ethiopia inahifadhi wakimbizi karibu 630,000 ikiwa ni takwimu za hadi mwezi uliopita ilhali Kenya inahifadhi zaidi ya wakimbizi 575,000 waliosajiliwa na wasaka hifadhi. Mizozo nchini Sudan Kusini imechochea ongezeko la wakimbizi Ethiopia, wakiwemo pia wasomali na waeritrea. Kwa sasa UNHCR imesema inatoa misaada ya hifadhi kwenye kambi 23 na vituo vitano vya muda nchini Ethiopia vinavyohudumia wakimbizi kama anavyosema Adrian Edwards, msemaji wa shirika hilo Geneva. “Kambi tatu kati ya hizo 23 ni mpya pamoja na vituo hivyo vya muda na vilifunguliwa mwanzoni mwa mwaka huu kufuatia kumiminika kwa wakimbizi wanaotoka Sudan Kusini. Kambi hizo tatu zimejaa na UNHCR inatengeneza nyingine mbili. Wakati wakimbizi wanasubiri kuhamishiwa kambi mpya, zaidi ya wakimbizi 18,000 wamehifadhiwa kwenye vituo hivyo vitatu vya muda vilivyoko eneo la magharibi la Gambella. Hata hivyo wiki za karibuni mvua kubwa zimesababisha kufurika maeneo haya kwani yako ukanda wa chini na kambi ya Leitchuor ambako hali ni mbaya. Takribani wakimbizi 10,000 zaidi ya moja ya tano ya wakimbizi 47,600 kwenye kambi hiyo ya Leitchuor wamekumbwa na mafuriko. Mahema mengi na makazi yamefunikwa kwa maji halikadhalika vyoo vimebomoka. Hii inatia wasiwasi sana suala la afya na inatishia mafanikio yaliyopatikana katika kudhibiti mkurupuko wa magonjwa yanayoenezwa na maji machafu. Wakimbizi wamejenga mahema kwenye maeneo ya juu.” Hadi kufikia katikati ya mwezi huu, raia Milioni Moja nukta Nane wa Sudan Kusini wamelazimika kukimbia makazi yao ambapo kati yao Milioni 1.3 ni wakimbizi wa ndani na zaidi ya 575,000 wamekimbilia nchi jirani. Africa|Hapa na pale|Humanitarian aid|Law, crime|Peace and security|Taarifa maalumu|Women, children, population Wakunga Sudan Kusini waitikia wito kuokoa wajawazito: UNFPA Waasi wa FDLR wakataa kambi ya mpito ya Kisangani
2018-03-17T05:16:14
https://news.un.org/sw/story/2014/08/388512-ethiopia-yaongoza-barani-afrika-kwa-kuhifadhi-idadi-kubwa-ya-wakimbizi
[ -1 ]
Jb filamu yampeleka kwa Sokoine - BONGOUNIT Jb filamu yampeleka kwa Sokoine Gomesa Tv 5:07 AM Mwigizaji wa filamu nchini Jacob Stephan, ametuma ujumbe huu baada ya kufanya vizuri kwa filamu yake ya Kalambati Lobo; Ndugu zangu nimefarijika sana kwa jinsi mlivyoipokea kalambati lobo...asanteni sana..sana..najisikia raha sana kwani naelekea kumaliza kwa rekodi nzuri...sasa mnanidai filamu moja tu..niko monduli juu kijiji kinaitwa Enguiki karibu kabisa na nyumbani kwa marehemu sokoine(waziri mkuu wetu)...Ambae bado hajaona filamu hii naomba ainunue..Mungu ndie anajua ninavyo wapenda na nilivyo furahi kwa jinsi mlivyo niunga mkono.....Mungu awabariki..Atshibe naleng'...enjooemayanu indai olaitoriani.
2017-11-24T15:05:55
http://bongounit.blogspot.com/2016/10/jb-filamu-yampeleka-kwa-sokoine.html
[ -1 ]
Kwa Nini Mungu Alifanya Kazi Kupitia Roho katika Enzi ya Sheria? | INJILI YA KUSHUKA KWA UFALME 2019-09-30 19:34:10 8 Kazi ya awali ya hatua tatu za kazi ya Mungu ilifanywa moja kwa moja na Roho, na wala si mwili. Hata hivyo, kazi ya mwisho ya hatua tatu za kazi ya Mungu, inafanywa na Mungu mwenye mwili, na wala haifanywi moja kwa moja na Roho. Kazi ya ukombozi ya hatua ya katikati pia imefanywa na Mungu mwenye mwili. Katika kazi yote ya usimamizi, kazi muhimu sana ni wokovu kutoka katika ushawishi wa Shetani. Kazi muhimu ni kumshinda kabisa mwanadamu aliyepotoka, na hivyo kurejesha heshima ya awali ya Mungu katika moyo wa mwanadamu, na kumruhusu kufikia maisha ya kawaida, ni sawa na kusema, maisha ya kawaida ya kiumbe wa Mungu. Kazi hii ni muhimu, na ni kiini cha kazi ya usimamizi. Katika hatua tatu za kazi ya wokovu, hatua ya kwanza ya kazi ya Enzi ya Sheria inatofautiana sana na kiini cha kazi ya usimamizi; ilikuwa tu ina kuonekana kwa mbali kwa kazi ya wokovu, na haikuwa mwanzo wa kazi ya Mungu ya kumwokoa mwanadamu kutoka katika utawala wa Shetani. Hatua ya kwanza ya kazi ilifanywa na Roho kwa sababu, chini ya sheria, mwanadamu alijua tu kuzishika sheria, na hakuwa na ukweli zaidi, na kwa sababu kazi katika Enzi ya Sheria haikujihusisha na kubadilisha tabia ya mwanadamu, sembuse haikuwa inajihusisha na kazi ya jinsi ya kumwokoa mwanadamu kutoka katika utawala wa Shetani. Roho wa Mungu alikamilisha hatua hii rahisi ya kazi ambayo haikujihusisha na tabia iliyopotoka ya mwanadamu. Hatua hii ya kazi ilikuwa na uhusiano mdogo na kiini cha usimamizi na haikuwa na uhusiano mkubwa na kazi rasmi ya wokovu wa mwanadamu, na kwa hivyo haikumhitaji Mungu ili aweze kuifanya kazi Yake. kutoka katika “Mwanadamu Aliyepotoka Anahitaji Zaidi Wokovu wa Mungu Mwenye Mwili” Katika Enzi ya Sheria Mungu alikuwa Asiyeonekana wala kuguswa na mwanadamu. Alikuwa tu Anawaongoza wanadamu waliokuwa mwanzo wamepotoshwa na Shetani, na Alikuwepo kuwaagiza na kuwaongoza wanadamu, kwa hivyo maneno yote Aliyoyanena yalikuwa ya kisheria, amri na maarifa ya kawaida ya kuishi maisha kama mwanadamu, na wala sio kuhusu ukweli unaomruzuku mwanadamu. Waisraeli chini ya uongozi Wake hawakuwa wale waliopotoshwa zaidi na Shetani. Kazi Yake ya sheria ilikuwa tu hatua ya kwanza kabisa katika kazi ya ukombozi, mwanzo hasa wa kazi ya wokovu, na haikuwa inahusiana kamwe na mabadiliko katika tabia za kimaisha za mwanadamu. Kwa hivyo, mwanzoni mwa kazi ya ukombozi hapakuwa na haja Kwake kuwa katika mwili kwa ajili ya kazi Yake katika Israeli. Ndiyo maana Alihitaji kiungo, yaani, chombo ambacho kwacho Angemfikia mwanadamu. Kwa hivyo kukazuka miongoni mwa viumbe waliozungumza na kufanya kazi kwa niaba ya Yehova, na hivi ndivyo wana wa wanadamu na manabii walikuja kufanya kazi miongoni mwa wanadamu. Wana wa Adamu walifanya kazi miongoni mwa wanadamu kwa niaba ya Yehova. Ili waitwe na Yeye inamaanisha kuwa hao watu walipanga sheria kwa niaba ya Yehova na walikuwa miongoni mwa watu wa Israeli; na watu kama hao walikuwa makasisi walioangaliwa na kulindwa na Yehova, na Roho wa Yehova alifanya kazi ndani yao; walikuwa viongozi miongoni mwa wanadamu na wahudumu wa Yehova wa moja kwa moja. Manabii kwa upande mwingine ndio waliokuwa na jukumu la kunena na mataifa na makabila yote kwa niaba ya Yehova. Ndio vilevile waliotoa unabii kuhusu kazi ya Yehova. Wawe wanadamu au manabii, wote waliinuliwa na Roho wa Yehova Mwenyewe na walikuwa na kazi ya Yehova ndani yao. Miongoni mwa wanadamu, walikuwa ndio wale waliomwakilisha Yehova moja kwa moja; walifanya kazi tu kwa kuwa waliinuliwa na Yehova wala si kwa kuwa walikuwa miili ambamo Roho mtakatifu Mwenyewe alikuwa kapata mwili. Kwa hivyo, ingawa wao walifanya kazi na kuongea kwa niaba ya Mungu, hao wana wa mwanadamu na manabii wa Enzi ya Sheria hawakuwa mwili wa Mungu mwenye mwili. kutoka katika “Tofauti Kati ya Huduma ya Mungu Mwenye Mwili na Wajibu wa Mwanadamu” Wakati wa Enzi ya Sheria ya Agano la Kale, idadi kubwa ya manabii iliinuliwa na Yehova, walizungumza unabii kwa niaba Yake, walitoa maelekezo kwa makabila mbalimbali na mataifa, na wakatoa unabii juu ya kazi ambayo Yehova angefanya. Watu hawa ambao wameinuliwa wote walipewa na Yehova Roho ya unabii: Waliweza kutazama njozi kutoka kwa Yehova, na kusikia sauti Yake, na hivyo walivuviwa Naye na wakaandika unabii. Kazi waliyoifanya ilikuwa udhihirisho wa sauti ya Yehova, ilikuwa ni kazi ya unabii ambayo waliifanya kwa niaba ya Yehova, na kazi ya Yehova wakati huo ilikuwa ni kuwaongoza watu kwa njia ya Roho Mtakatifu; Hakufanyika mwili, na watu hawakuona uso Wake. Hivyo, aliwainua manabii wengi kufanya kazi Yake, na akawapatia mashauri ambayo waliyapelekea katika kila kabila na ukoo wa Israeli. Kazi yao ilikuwa ni kusema unabii, na baadhi yao waliandika maelekezo ya Yehova kwa ajili yao ili kuwaonesha wengine. Yehova aliwainua watu hawa kuzungumza unabii, kutoa unabii wa kazi ya wakati ujao au kazi ambayo ilikuwa bado haijafanyika wakati huo, ili kwamba watu wangeweza kutazama maajabu na hekima ya Yehova. kutoka katika “Kuhusu Biblia (1)” Katika Enzi ya Sheria Yehova alifanya sehemu ya kazi ya Mungu, ambapo baadaye alinena baadhi ya maneno na kufanya baadhi ya kazi kupitia kwa manabii. Hiyo ni kwa sababu mwanadamu angemwakilisha Yehova katika kazi yake, na waonaji wangeweza kutabiri mambo na kutafsiri baadhi ya ndoto kwa niaba Yake. Kazi iliyofanyika hapo mwanzo haikuwa kazi ya kubadilisha tabia ya mwanadamu moja kwa moja, na ilikuwa bila uhusiano na dhambi ya mwanadamu, na mwanadamu alitakiwa tu atii sheria. Kwa hivyo, Yehova hakuwa wa kuwa na mwili na kujifichua Mwenyewe kwa mwanadamu; badala yake Yeye aliongea moja kwa moja na Musa na wengine, akawafanya wao kusema na kufanya kazi kwa niaba yake, na kusababisha wao wafanye kazi moja kwa moja miongoni mwa wanadamu. Awamu ya kwanza ya kazi ya Mungu ilikuwa uongozi wa mwanadamu. Ilikuwa ndio mwanzo wa vita dhidi ya Shetani, lakini vita hivi vilikuwa bado kuanza rasmi. Vita rasmi dhidi ya Shetani vilianza na kupata mwili kwa Mungu kwa mara ya kwanza, na vimeendelea hadi leo. Tukio la kwanza la vita hivi ni wakati Mungu aliyepata mwili alisulubishwa msalabani. Kusulubiwa kwa Mungu aliyekuwa mwili kulimshinda Shetani, na ilikuwa mafanikio ya awamu ya kwanza katika vita. Wakati Mungu mwenye mwili huanza kufanya kazi kwa mwanadamu moja kwa moja, huu ni mwanzo rasmi wa kazi ya kumrejesha mwanadamu, na kwa sababu hii ni kazi ya kubadilisha tabia ya zamani ya mwanadamu, ni kazi ya kufanya vita na Shetani. Awamu ya kazi iliyofanywa na Yehova hapo mwanzo ilikuwa tu ya uongozi wa maisha ya mwanadamu duniani. Ilikuwa ndio mwanzo wa kazi ya Mungu, na hata ingawa ilikuwa bado haijashirikisha vita vyovyote, au kazi kuu yeyote, ilikuwa imeweka msingi kwa ajili ya kazi ya vita vijavyo. kutoka katika “Kurejesha Maisha ya Kawaida ya Mwanadamu na Kumpeleka Kwenye Hatima ya Ajabu” Iliyotangulia: Enzi ya Neema: Lengo na Umuhimu wa Kazi ya Mungu Inayofuata: Kwa Nini Mungu Alifanya Kazi huko Israeli katika Enzi ya Sheria? Baada ya kuyasoma maneno kuhusu umuhimu wa Kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho, iwapo unaweza kuyatafakari kwa moyo, hakika utaweza kupata … Mazungumzo ya Mungu ya Hatua tatu za kazi Yake yanatosha kikamilifu kwetu kuona wazi kuwa zimejengwa Hatua kwa Hatua, na kila Hatua inahusiana kwa k… Yesu Anawakilisha kazi yote ya Enzi ya Neema; Alipata mwili na kusulubiwa, na pia Akazindua Enzi ya Neema. Alisulubiwa ili kukamilisha kazi ya ukomboz… Maneno Husika ya Mungu: Mpango Wangu mzima wa usimamizi, mpango ambao una urefu wa miaka elfu sita, unashirikisha hatua tatu, au enzi tatu: Enzi ya…
2020-07-04T21:46:43
https://sw.kingdomsalvation.org/gospel/why-work-through-the-Spirit.html
[ -1 ]
Unaweza usiamini lakini ukweli ni kwamba bosi mkuu wa kundi la 'TMK Wanaume Family' Said Fella, anaandika historia kwa kuamua kupanda jukwaani akishika ‘Mic’, ili kuinadi albamu yake ya muziki wa Taarab.hahaha Fella ambaye anasema albam hiyo ambayo bado hajaipa jina,tayari amekwisha rekodi nyimbo 5 na anaanza rasmi kuinadi huku tayari akiwa ameshajipanga kuandaa maonyesho ambayo ataimba akiwa na bendi yake mpya ya Mkubwa na Wanawe, aliyoianzisha hivi karibuni. “Mkubwa kuanzia sasa nimeamua kushika mic na ninaanza kuimba kuzinadi nyimbo za albamu yangu ya taarab, nitaandaa maonyesho na pia nitashiriki kwenye maonyesho ya makundi mengine ya taarab na pia kama mtu atanihitaji katika onyesho lake, tutajadili mambo ya maslahi, nikiridhika nitaimba,” alisema Fella. Katika albamu yake hiyo, Fella amewashirikisha wakali wa mipasho wakiwemo Hassan Kumbi, Maua Tego, Isha Ramadhani ‘Isha Mashauzi’ na malkia wa mipasho nchini Khadija Omari Kopa.
2019-06-16T06:47:29
http://wahapahapa.com/index.php?option=com_k2&view=item&id=243:fella-atumbukia-kwenye-taarab&Itemid=181
[ -1 ]
Msaada MySQL | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Msaada MySQL Discussion in 'Tech, Gadgets & Science Forum' started by MkamaP, Sep 10, 2009. nimejaribu kuandika kitu hiki WHERE EXISTS ( SELECT adres nimejaribu kubadili sana lakini wapi na tatizo mie sioni ,naomba msaada haswa wa kutumia exists. code hiyo hapo juu napata ERROR hii: #1064 - Something is wrong in your syntax obok 'exists (select adres from klienci where id = '1') LIMIT 0, 30' w linii 1 Mwenye kuona tatizo nisaidie ama kuna namna ya kutumia EXIST? Mkubwa nadhani hiyo kitu huwa inaumiza sana kichwa....Kama una file la hiyo kitu basi mimi naona delete then install again hapo ndio utajua tatizo litakuwa wapi ila kusolve hivyo kama unavyotaka wewe nadhani inabidi ucheze sana na database na sio rahisi!! MySql ya mwaka upi unatumia, na front end unatumia ipi? coz wakati mwingine inategemeana na version ipi unatumia ya MySql vs front end. tukija kwenye jinsi ya kutumia EXISTS: SELECT * FROM klienci WHERE EXISTS ( SELECT adres kwanza kabisa hii query itaanza kua executed kwenye mabano: ( SELECT adres then baada ya kuona kwamba query inareturn rows ndio itakwenda kwenye EXISTS condition. kwamfano ikiwa query hii ikakupa result, then EXISTS condition itakua executed na itareturn rows zote kutoka kwenye table ya klienci. kwamahesabu ya haraka haraka nadhani utakua umekosea kwenye datatype. naitilia mashaka hiyo column ya id, inaweza ikawa umedeclare as integer lakini hapa umeandika as 'varchar' cheki hapa: WHERE id = '1' hebu jaribu kutumia hizi data hapa chini kwenye mysql yako kisha unijuze kama umepata result ama vipi, nimejaribu kutumia simple query inayofanana na yako. ukipata result then jaribu kucompare na query yako uone tatizo likwapi. JUST COPY AND PASTE INTO QUERY ANALZER AND RUN IT. Copyright varchar(10) INSERT INTO Books VALUES (12786, 'Java',1934) INSERT INTO Books VALUES (13331, 'MySQL',1919) INSERT INTO Books VALUES (14356, 'PHP',1966) INSERT INTO Books VALUES (15729, 'PERL',1932) INSERT INTO Books VALUES (16284, 'Oracle',1996) INSERT INTO Books VALUES (17695, 'Pl/SQL',1980) INSERT INTO Books VALUES (19264, 'JavaScript',1992) INSERT INTO Books VALUES (19354, 'Vb.NET', 1993) RKisha malizia kwa run hii query hapa chini WHERE bookid = 12786 coming to you soon with a solution.Click to expand... Nafikiri version ni 3.13.58 kitu ka hicho maana saizi sipo home nikirudi nitacheck sawa.Lakini nafikiri ni hiyo. Nafikiri version ni 3.13.58 kitu ka hicho maana saizi sipo home nikirudi nitacheck sawa.Lakini nafikiri ni hiyo.Click to expand... EXIST haiko suported na version za MySQL < 4.1 . Jaribu ku-upgrade utumia latest MySQL version. Sina uhakika unajaribu kufanya nini, lakini pengine hii inaweza kufanya unachotaka kufanya hapo: SELECT a.* FROM klienci as a LEFT JOIN klienci as b WHERE b.id='1' AND b.id IS NOT NULL Pia sub-queries hasipo supported kwenye MySQL < 4.1 Kwa hiyo kama unataka kutafuta "klienci" zenye same address, kwa mfano, huwezi kufanya kitu kama hichi pia: FROM klienci as a LEFT JOIN (SELECT * FROM klienci) as b on(a.adres=b.adres) WHERE a.id<>b.id Mkuu bado tatizo liko pale pale WHERE b.id='1' AND b.id IS NOT NULLClick to expand... Mkuu asante nafikiri pia tatizo ni version. Nachotaka kufanya ni ,mfano kunakuwa na table la data za mteja na table la oder za mteja,hivyo sitaki kuingiza redandati data za mteja,hivyo nachotaka kufanya ni inacheck kama huyo mteja ana exist basi i update order table tu na kama ha exists i update table zote.ktk shema Nachotaka kufanya ni ,mfano kunakuwa na table la data za mteja na table la oder za mteja,hivyo sitaki kuingiza redandati data za mteja,hivyo nachotaka kufanya ni inacheck kama huyo mteja ana exist basi i update order table tu na kama ha exists i update table zote.ktk shemaClick to expand... Nime data structure ya table yako na kile unachotaka kufanya na nitafanya simulation sasa hivi. Nadhani solution nzuri ni kufanya hili nje ya MySQL. Kabla huja insert new order, check kama client yupo tayari. Kama yupo, perform a query kupata id ya client huyo, e.g. select client_id from client where client_name='Client name kutoka kwenye form'. Kama hayupo, insert client kwanza na tumia mysql_insert_id kupata id ya huyo client mpya. Baada ya kuwa na id ya client, unaweza sasa ku insert hiyo order yako, ukiwa umeweka client_id field ya order hiyo sawasawa. Unatumia programming language gani? Nime data structure ya table yako na kile unachotaka kufanya na nitafanya simulation sasa hivi.Click to expand... Mkuu nasubiri hiyo kitu Unatumia programming language gani?Click to expand... Mkuu nashukuru kwa maelekezo yako murua,nilitoka kidogo . Nina swali jingine hapa. mfano ktk table yangu na attribute hizi- ,type _of_product,vendor_name, model.Sasa hapa nataka quel ambayo itatoa bidhaa zote(type_of_product) kutoka kwa ma vendor wote.na kila product iwe na attribute yani ,type _of_product,vendor_name, model, na product zijipange kutokana na type_of_product according to vendor_name. Mkuu natumia PHP Mkuu nasubiri hiyo kituClick to expand... Kutokana na posti yako ya kwanza, database parser ime-respond kuwa kuna syntax error. Syntax error inaonyesha kuwa umekosea kuandika query yenyewe. Hivyo inawezekana sio tatizo la version. Sasa tuje kwenye uchambuzi wa SQL statement. Kumbuka kuwa database table ni set. Na queries ni instanties za table. Statement hii SELECT * FROM klienci ni query inayorudisha instant au temporary table yenye data structure sawa na table klient. Statement SELECT adres FROM klienci ni query yenye kurudisha instant au temporary table yenye data structure tofauti na table klient. Hii ni new table yenye column moja tu inayoitwa adres. Hivyo kuna uwezekano mkubwa kuwa database engine inashindwa kulinganisha table klienci na temporary table yenye column moja tu. Hivyo ningeomba ujaribu: Select statement iliyo ndani ya mabano ina data structure sawa na table klienci iliyopo nje. Sijuhi kama hii itasaidia. Select statement iliyo ndani ya mabano ina data structure sawa na table klienci iliyopo nje. Sijuhi kama hii itasaidia.Click to expand... Mkuu wangu angalia majibu kitu hakitaki SQL-query: SELECT * FROM klienci LIMIT 0 , 30 MySQL said: #1064 - Something is wrong in your syntax obok 'EXISTS ( ) LIMIT 0, 30' w linii 4 Inabidi ni-backtrack niliyosema mwanzo. Katika ku-execute Exists mySQL uwa ina-ignore colums za select zilizopo after Exists. Hivyo select zilizokuwepo chini zinatakiwa kufanya kazi sawa kweny query yako. SELECT * FROM klienci WHERE id = '1' SELECT adres FROM where klienci id = '1' SELECT 1 FROM klienci WHERE id = '1' However, Exists imeanza kutumika baada ya version 4.1. Hii hapa ni respond niliyopata kutoka mySQL: EXISTS is supported from 4.1 on. Earlier versions of MySQL can try rewriting the query using a LEFT JOIN. Hivyo base angalia version ya server yako kama ilivyoagizwa na wachangiaji wengine. Pamoja na hayo EXISTS ni technology specific command. Lakini problem unayotaka ku-solve inaweza kuwa solved standard database commands. Mkuu natumia PHPClick to expand... Du! Sina uhakika kama nimekuelewa. Ku select data kutoka kwenye table inayoitwa "product" yenye columns type _of_product,vendor_name, model ni kama ifuatavyo: SELECT type _of_product,vendor_name, model Ukitaka zijiange kuenda na type_of_product ongezea ORDER BY type_of_product, kama hivi: SELECT type_of_product,vendor_name, model ORDER BY type_of_product Na ukitaka zijipange kuendana na vendor_name: Na ukitaka zijipange kuendana na type_of_product , na pale type_of_product zinapofanana zijipange kuendana na vendor_name ORDER BY type_of_product, vendor_name Jifunze kidogo basics za SQL, http://www.w3schools.com/sql/default.asp Error 1064 = Version mismatch!!! download mysql mpya, tena angalia version ya PHP inayoendana na Mysql otherwise utashinda nalo usiku kucha. Nimewahi kupata tatizo kama lako, tulikuwa na project shule kutumia PHP - scripting, Apache = Server, Mysql = Database, Phpmyadmin. Nilipokuwa na download Apache kumbe nimechukua ile isiyoendana na Mysql jasho likanitoka. Nawashukuruni nyote
2017-07-25T01:25:24
https://www.jamiiforums.com/threads/msaada-mysql.38339/
[ -1 ]
Posted on: August 16th, 2017 Halmashauri ya wilaya ya Kilolo imejipanga kuongeza fedha kwa ajili ya maandalizi ya Nanenane ili kuhamasisha matumizi ya teknolojia kwa lengo la kuonesha matumizi ya teknolojia katika kilimo na ufuga... HALMASHAURI NYANDA ZA JUU KUSINI ZATAKIWA KUPELEKA HUDUMA ZA UPIMAJI AFYA KATANI Posted on: August 16th, 2017 Mamlaka za serikali za mitaa mikoa ya nyanda za juu kusini zimetakiwa kuweka utaratibu wa kupima afya katika Kata ili wananchi wengi wanufaike na huduma za afya na kukabiliana na magonjwa. Kauli hi... VYAMA VYA USHIRIKA NYANDA ZA JUU KUSINI VYATAKIWA KUSHIKAMANA KUKUZA MTAJI Posted on: August 16th, 2017 Vyama vya ushirika katika mikoa ya nyanda za juu kusini vimetakiwa kushikamana katika kukuza ushirikiano na mtaji. Kauli hiyo ilitolewa na mkuu wa mkoa wa Iringa, Amina Masenza alipotembelea banda ...
2020-08-04T17:50:28
http://iringa.go.tz/news/60
[ -1 ]
Chadema: Tutamalizia kwa Dk. Magufuli - TUANGAZE BONGO Home BONGO FLEVA BONGO MOVIES BURUDANI ELIMU HABARI MAPENZI SIASA SKENDO Chadema: Tutamalizia kwa Dk. Magufuli by TUANGAZE BONGO 11:17 Mbowe na Lowassa Wakiteta Jambo SIKU moja baada ya Rais John Magufuli kuonya mikutano ya kisiasa ya hadhara, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeahidi kumalizia mikutano yake nyumbani kwake Chato, Geita, anaandika Moses Mseti. Chadema: Tutamalizia kwa Dk. Magufuli Reviewed by TUANGAZE BONGO on 11:17 Rating: 5
2017-12-14T10:15:17
http://www.tuangazebongo.com/2016/07/chadema-tutamalizia-kwa-dk-magufuli.html
[ -1 ]
TIC YAWAFUNDA WABUNGE KAMATI ZA UWEKEZAJI, KATIBA NA SHERIA JIJINI DODOMA - HABARI NA MATUKIO Home HABARI HABARI NA MATUKIO HABARI ZA BIASHARA TIC YAWAFUNDA WABUNGE KAMATI ZA UWEKEZAJI, KATIBA NA SHERIA JIJINI DODOMA TIC YAWAFUNDA WABUNGE KAMATI ZA UWEKEZAJI, KATIBA NA SHERIA JIJINI DODOMA Kajunason at November 07, 2019 HABARI, HABARI NA MATUKIO, HABARI ZA BIASHARA, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu –Uwekezaji, Mhe. Angellah Kairuki akizungumza wakati wa semina ya kuwajengea uwezo wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge za Uwekezaji na Katiba na Sheria iliyofanyika katika ukumbi wa Msekwa Bunge jijini Dodoma leo tarehe 07/11/2019. Semina hiyo imeandaliwa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kwa lengo la kuwajengea uelewa kuhusu masuala ya uwekezaji nchini. Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji, Dkt. Raphael Chegeni akichangia mada wakati wa semina ya kuwajengea uwezo wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge za Uwekezaji na Katiba na Sheria iliyofanyika katika ukumbi wa Msekwa Bunge jijini Dodoma leo tarehe 07/11/2019. Semina hiyo imeandaliwa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kwa lengo la kuwajengea uelewa kuhusu masuala ya uwekezaji nchini. Kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu –Uwekezaji, Mhe. Angellah Kairuki na kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheria, Mhe. Najma Giga. Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Prof. Longinus Rutasira akitoa maelezo wakati wa semina ya kuwajengea uwezo wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge za Uwekezaji na Katiba na Sheria iliyofanyika katika ukumbi wa Msekwa Bunge jijini Dodoma leo tarehe 07/11/2019. Semina hiyo imeandaliwa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kwa lengo la kuwajengea uelewa kuhusu masuala ya uwekezaji nchini. Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Bw. Geofrey Mwambe akiwasilisha mada wakati wa semina ya kuwajengea uwezo wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge za Uwekezaji na Katiba na Sheria iliyofanyika katika ukumbi wa Msekwa Bunge jijini Dodoma leo tarehe 07/11/2019. Semina hiyo imeandaliwa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kwa lengo la kuwajengea uelewa kuhusu masuala ya uwekezaji nchini. Baadhi ya Wabunge wakifuatilia mada wakati wa semina ya kuwajengea uwezo wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge za Uwekezaji, na Katiba na Sheria iliyofanyika katika ukumbi wa Msekwa Bunge jijini Dodoma leo tarehe 07/11/2019. Semina hiyo imeandaliwa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kwa lengo la kuwajengea uelewa kuhusu masuala ya uwekezaji nchini. (Picha na Idara ya Habari –MAELEZO).
2020-08-07T23:41:56
http://www.kajunason.co.tz/2019/11/tic-yawafunda-wabunge-kamati-za.html
[ -1 ]
Majimaji yashuka, Ndanda yabaki ligi kuu Home/ MICHEZO/Majimaji yashuka, Ndanda yabaki ligi kuu Dar es Salaam. Ama kweli Ng’ombe wa masikini hazai, ndivyo unavyoweza kusema, baada ya Majimaji kushuka daraja rasmi na sasa wataungana na Njombe Mji kucheza Ligi Daraja la Kwanza msimu ujao wakati Ndanda ikisalia Ligi uu . Majimaji imeshuka baada ya kumaliza kwa sare ya 1-1 dhidi ya Simba wakati Ndanda imebaki baada ya kuichapa Stand United mabao 3-1 kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara. Mshambuliaji chipukizi wa Majimaji, Marcel Kaheza ambaye tayari amemalizana na Simba kwa makubaliano ya mkataba wa awali, alipambana kuhakikisha timu yake ya Majimaji inabaki Ligi Kuu pale alipoipatia bao la kuongoza dakika ya 6, lakini kwa sababu bahati haikuwa yao, Simba ilisawazisha dakika ya 45 kwa mkwaju wa penalti iliyopigwa na Haruna Niyonzima. Kutokana na matokeo hayo, Ndanda imebaki Ligi Kuu baada ya kufikisha pointi 29 na kuicha Majimaji chini ikiwa na pointi 25. Hata hivyo, katika mchezo mwingine uliokuwa na ushindani, Tanzania Prisons imeng'ang'ania kwenye nafasi ya nne baada ya kuifunga Singida United bao 1-0, mchezo uliopigwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Matokeo ya mechi nyingine Lipuli imeshindwa kutamba nyumbani kwao baada ya kufungwa mabao 2-1 na Kagera Sugar, Mtibwa Sugar imetoka suruhu na Mbeya City, Njombe Mji imepoteza kwa Mwadui FC imechapwa mabao 2-0 na Mbao FC ikitoka sare ya 1-1 na Ruvu Shooting 'Wazee wa Kupapasa.Credit: Mwanaspoti
2019-08-19T05:47:38
https://www.spoti.co.tz/2018/05/majimaji-yashuka-ndanda-yabaki-ligi-kuu.html
[ -1 ]
MCHORO WA BALSAMU (WALLER): PICHA ZA MIMEA YA NYASI ZA NDANI, SHERIA ZA UTUNZAJI NA KUPANDA KATIKA ARDHI YA WAZI NA NYUMBANI, MATATIZO YA KUKUA MAUA - NYUMBA, GHOROFA Ni aina gani ya mmea wa Balsam ya Waller? Viwango vya kukua maua ndani ya nyumba na bustani Balsamu - mmea mzuri wa mapambo ambayo yanafaa kukua wote nyumbani na bustani. Kuna aina nyingi za maua haya, hivyo mtunza bustani daima ana uchaguzi. Bustani hasa ya Balsam au Waller. Katika miaka ya hivi karibuni, kutokana na kuibuka kwa viungo vyake vya sugu, aina hii imekuwa imara kama mimea ya bustani, isiyojali na yenye kupendeza na rangi zake. Makala hii itakuambia nini balsamu ya Wall, ni jinsi ya kuitunza, shida gani unaweza kukutana na kukua, na magonjwa na wadudu huweza kutishia maua. Maelezo ya Kibaniki na historia Balsamines hutoka kutoka misitu ya Asia na Afrika. Hizi ni mimea ya kupenda joto ambayo hupenda unyevu. Ukuta wa Balsam (Impatiens walleriana) kwa muda mrefu umepandwa kama kupanda. Watu wanamwita Vanka mvua (kuna matone madogo ya unyevu kwenye vidokezo vya majani) na Impatiens (wakati kuguswa, yeye "hutawanya" mbegu). Kwa ujumla, balsams ya Waller ni classic, tu wale kukua juu ya sills dirisha, na mseto, yanafaa kwa vitanda maua. Kipande cha pili (sentimita 15-30), kikiwa na rangi na maua mengi zaidi. Wanasimama mabadiliko ya joto na unyevu, wanaweza kuvumilia joto katika bustani ya maua. Wanaweza pia kukua nyumbani, kwenye kiangaza cha dirisha kilichoaza hata wakati wa majira ya baridi. Msaada! Mahuluti yanaweza kununuliwa katika maduka ya bustani, yanaonekana vizuri katika sufuria za kunyongwa. Maelezo ya kuonekana na vipengele Hii ni milele (katika mikoa ya joto) mimea ya kichaka yenye urefu wa sentimita 20 hadi 60. Yeye ana sifa za juicy, yenye matawi mengi. Majani ni pana, kubwa, mviringo katika sura, yalisema mwishoni, na miji ya jagged na rangi ya kijani. Urefu wao ni kuhusu sentimita 10. Maua 4 sentimita ya kipenyo, ama moja au yaliyokusanywa katika inflorescences zilizopungua. Pedicels kwa muda mrefu. Wenyewe maua inaweza kuwa rahisi au terry na vivuli tofauti (kawaida nyekundu au nyekundu). Mchanganyiko ni ndogo kwa urefu - kutoka sentimita 15 hadi 30, matawi yenye nguvu, kutoa rangi zaidi, vivuli mbalimbali vya gamma. Inakua kwa haraka, inakua mapema na inapamba bustani kila majira ya joto. Badala ya kujitegemea, inaweza kukua katika kivuli kivuli. Picha ya maua ya ndani - Vanya mvua Kisha unaweza kuona jinsi Balsamu ya Waller inaonekana kama picha. Maua haya mazuri ni maarufu sana kwa wakulima wa maua. Ikiwa unaamua kukua mmea wa muda mrefu na usio na heshima, basi unaweza kuwa na nia ya kujifunza zaidi kuhusu hilo. Kwenye tovuti yetu utapata habari nyingi kuhusu aina na aina hizo za mmea huu: Wild, Iron-or-Iron au Ferruginous, Novogvine na Tom Samb. Pia tulizungumza juu ya aina ya mabelamu ya ampelous. Kuongezeka kwa matatizo Aina hii ina matatizo fulani. Matatizo ya kawaida ya balsamu ya Waller yameorodheshwa hapa chini.. Ndogo, majani ya rangi. inatokana. Ukosefu wa virutubisho, sufuria ndogo, joto la juu, ukosefu wa taa. Majani ya kuanguka, kupotosha, mabua kuoza. Uchafuvu, joto la chini. Majani kavu na kuanguka. Hewa kavu, joto la juu. Kupoteza rangi ya jani. Ukosefu wa taa. Uovu maua au ukosefu wake. Ukosefu wa taa, virutubisho au mbolea mbolea, hasa nitrojeni. Maua ya maua. Frost, baridi, overdrying ya udongo, sufuria kubwa sana, bila uamuzi kuchaguliwa muda wa kupanda. Kwa shida hizi zote unaweza kukabiliana na unapozingatia hali ya mmea kwa wakati na kuchukua hatua. Kanuni na vidokezo juu ya hali ya kutua Inaaminika kwamba Bahari ya balsamu vigumu kukua kutoka kwa mbegu. Hakika, wanapaswa kupandwa Januari au katikati ya Machi, ikiwa wanajiamini kwa ubora, mchanga au mchanganyiko wa peat, chini ya taa ya ziada ya lazima. Aidha, mbegu ziko kwenye uso wa udongo, zimefungwa kidogo, na juu ya sufuria inapaswa kufunikwa na filamu kwa ajili ya kuota vizuri. Kutoa kwa moto ni muhimu kuitingisha, ili wasiwe na magonjwa ya vimelea. Joto lazima liwe katika joto la kawaida, kuhusu digrii 25. Mchakato wa risasi unachukua siku 7 hadi 14, wakati ambapo ni muhimu kudhibiti uvuli na hewa miche. Ili wasiweke, unahitaji kupunguza joto hadi digrii 17. Katika miche ya wazi ya mimea ya balsamu Waller ilihamishwa Juniwakati uwezekano wa baridi kwa mimea ya majani hupotea. Msaada! Unaweza pia kukua kutoka kwa vipandikizi, kukatwa katika kuanguka. Wao ni mzima katika sufuria kama mimea ya ndani, na katika spring inaweza kupandwa au kushoto kama taka nyumbani. Mahitaji ya udongo na hali ni sawa. Kukua vizuri katika penumbra na katika maeneo yaliyopungua. Kweli, kwa jua moja kwa moja, ambapo mmea unaweza kuchoma majani, ni bora si kupanda. Thermophilic, haiwezi kuvumilia joto chini ya nyuzi 5. Njia bora ya kutua ni kwenye mteremko ambapo jua huchelewa kwa masaa kadhaa kwa siku, si zaidi. Ikiwa balsamu ya Waller inakua nyumbani, kisha chagua mwelekeo wowote wa dirisha, isipokuwa moja ya kusini. Joto haipaswi kuanguka chini ya digrii 22-25. Anapenda mwanga, udongo wenye rutuba.. Haiwezi kuvumilia unyevu mwingi, kwa hiyo ni muhimu kuchunguza kiasi. Ni vizuri kumwagilia jioni ili usipate majani. Wakati mzima nyumbani, mtu hapaswi kusahau juu ya mbolea mbolea na mbolea, lakini kwa kiwango cha wastani na si mara nyingi. Home na huduma ya nje Mchoro wa Balsamu badala ya kujitetea, hauhitaji huduma ya kuongezeka. Udongo lazima uwe na mvua, lakini sio nyingi. Katika majira ya baridi, kwa misitu ya kupikwa, kumwagilia ni kupunguzwa, huzalishwa baada ya ardhi kulia. Majani yanaweza kupunjwa, jambo kuu - si wakati wa hit moja kwa moja ya jua. Fertilize kuanzia Machi hadi Septemba kila baada ya wiki mbili, ikiwa maua hupandwa katika ardhi ya wazi. Ni muhimu kumbuka kwamba shina na majani ni tete sana kutokana na kueneza kwa unyevu., kwa hiyo, wanapaswa kukua karibu na kila mmoja, kama msaada kutoka kwa upepo, au katika maeneo yasiyo na upepo wa bustani. Ni bora kuondoa faded buds ili kuhifadhi muonekano mzuri na kutoa mpya mpya maua bure. Katika vuli, kabla ya baridi, balsams ya bustani ya aina hii ni kufunikwa, na sufuria huwekwa katika chumba cha joto. Siofaa kupandikiza kutoka kwenye bustani hadi kwenye chombo, ni bora kuimarisha vipandikizi vya kukua baadaye. Ikiwa unazingatia masharti yote, Ukuta wa Balsam hautaumiza. Hata hivyo, ikiwa unakivunja, matatizo fulani hutokea kwa majani, mizizi au maua. Kati ya wadudu hasa aphid maarufu, buibui mite na whitefly. Ya pili inaonekana mara nyingi zaidi katika hali ya hewa kavu. Bafu ya sabuni na suluhisho la acaricide kumsaidia. Kutoka kwa hofu na nyeupe hupunguza madawa ya kulevya Aktara, Aktellik, Konfidor, Bi-58. Mti huu hupandwa kwa mbegu.. Chukua mbegu mpya, za ubora. Haitumiwi kutoka kwa mahuluti, kwani hawatatoa mali ya wazazi. Pia huenezwa na vipandikizi ambavyo vilizimika wiki moja hadi mbili. Hairuhusiwi kuwa na maudhui ya chumvi ya juu kwenye udongo na kudumisha unyevu mzuri na mwanga kwa aina mbalimbali. Kutoka kwa vipandikizi unaweza kukua msitu wa nyumbani bila matatizo yoyote. Njia hii inafaa kwa wakulima waanzia kwa sababu ya unyenyekevu zaidi. Balsamu ya Waller - mmea mzuri na wa muda mrefu ambao unaweza kupamba bustani au nyumbani. Utulivu wake na urahisi wa huduma ya urahisi ulimruhusu kuwa maarufu sana kwa wakulima. Balsamu ya aina hii itatoa hisia tu nzuri na itakuwa dhahiri kuwa moja ya vipendwa kati ya mimea mingine. Tunakualika kutazama video kuhusu uenezi wa balsamu ya Waller kutoka kwa mbegu:
2019-11-19T17:54:20
https://sw.lezgka.ru/9070-what-kind-of-plant-is-wallers-balsam-the-nuances-of-g.html
[ -1 ]
BARABARA YA MWENDOKASI YATUMIWA NA DALADALA, BODABODA - KIJUKUU CHA BIBI K | Habari na Matukio Uncategories BARABARA YA MWENDOKASI YATUMIWA NA DALADALA, BODABODA BARABARA YA MWENDOKASI YATUMIWA NA DALADALA, BODABODA Dar es Salaam. Baada ya Mradi wa Mabasi yaendayo haraka (Dart) kusitisha huduma za usafiri wa mwendokasi leo, baadhi ya magari madogo, daladala na bodaboda wametumia fursa hiyo kupitisha magari yao katika barabara zinazotumika na magari hayo. Dereva wa daladala linalofanya safari zake Mbagala Rangitatu - Simu 2000 Jafari Himid amesema kutokana na foleni iliyopo katika barabara hiyo, wameamua kutumia barabara za mwendokasi ili kuokoa muda. "Bila kufanya hivi hatuwezi kuwahisha abiria na hizi barabara leo hazina matumizi, hata trafiki wanatuachia hawajatukamata," amesema Jafari. Hata hivyo barabara ya Morogoro Road ina foleni kubwa inayosababishwa na kipande cha barabara ya jangwani kujaa top
2018-08-18T08:43:24
http://www.kijukuu.com/2018/03/barabara-ya-mwendokasi-yatumiwa-na.html
[ -1 ]
Wema Sepetu na Diva waingia kwenye orodha ya kusaidia wasiojiweza | Home Albino Fulani afikiria kuwafanyisha tour MwanaFA na Fid Q TAARIFA KWA MADAKTARI WALIOPO KWENYE MAFUNZO YA VITENDO(INTERNS). Wema Sepetu na Diva waingia kwenye orodha ya kusaidia wasiojiweza July 4, 2012 differentsourcestz Latest news 14th july, anime, arts, charity event, entertainment, gaming, hapa, humo, huu, jay dee, jaydee, katika, kuanza, lady jay, lady jaydee, miss tanzania, msaada, naye, pamoja, shule, travel, vacation, video, vya, watu, wema sepetu, zaidi Leave a comment Ray Kigosi akitoa msaada Lady Jay Dee akitoa msaada Muigizaji wa filamu nchini na Miss Tanzania wa zamani (2006),Wema Sepetu anatarajiwa kwenda jijini Arusha mwezi huu na kushiriki uoashaji wa magari ili kukusanya fedha za kusaidia watu wasiojiweza jijini humo. “On 14th July I will be in Arusha with manager kushiriki uoshaji wa magari ili kuchangia fedha za kusaidia wasiojiweza in Arusha,” alitweet jana. Mwingine aliyeamua kujitolea nguvu na mali kuchangisha fedha kwaajili ya kuwasaidia watoto yatima ni mtangazaji wa Clouds Fm, Loveness aka Diva. Kupitia website yake, Diva amesema, “So nimeamua kwa muda mrefu sana kutoa for charity and right now am too busy organizing this charity event inayoitwa Diva giving for charity. Aim is raising much needed funds to support orphans. June na July imekuwa miezi iliyotumiwa zaidi na mastaa wa hapa nchini kusaidia vituo vya watoto yatima. June 30, mwanamuziki Lady Jaydee pamoja na familia yake walikitembelea kituo cha watoto yatima cha Maunga Centre kilichopo Kinondoni jijini Dar es Salaam na kutoa misaada mbalimbali ikiwa pamoja na kushiriki chakula cha mchana na watoto hao. Katika hotuba yake, kituo hicho kilisema kinakabiliwa na changamoto mbalimbali ambazo ni pamoja na kukosa fedha za kuwalipa wahudumu, Kukosa eneo kubwa la kujenga kituo, Kukosa wafadhili, watoto kutokuwa na sare za shule na kukosa gharama za kuwasomesha (michango ya shule). Lady Jaydee aliwaahidi kuwatafutia kiwanja kikubwa kwaajili ya kujenga kituo kingine na kusema kuwa iwapo akitokea mtu wa kuwasaidia kiwanja, watachangisha fedha za kuanza ujenzi huo. Naye muigizaji wa filamu mwenye mafanikio makubwa nchini Raymond Kigosi aka Ray The Greatest, weekend iliyopita alikitembelea kituo hicho cha Maungo na kutoa msaada sambamba na uzinduzi wa filamu yake mpya ya Sobbing Sound. Kupitia blog yake Ray alisema: “Hili ni jukumu la watanzania wote kuanza kuguswa katika hili maana hapa duniani sisi ni wapangaji tu makazi yetu ni kwa Mungu Baba, sasa unapopata kidogo jaribu kuwafikiria na wale waliokuwa na maisha magumu, yaani tugawane umasikini.” Albino Fulani afikiria kuwafanyisha tour MwanaFA na Fid Q TAARIFA KWA MADAKTARI WALIOPO KWENYE MAFUNZO YA VITENDO(INTERNS). Month Viewers 695,450 hits Top Posts & Pages Hawa ndio Top 15 mastaa wa majuu wenye Makalio Makubwa ndani ya Hollywood TOP 10 YA MAGARI YA GHARAMA KUBWA KULIKO DUNIANI MWAKA 2012 Magari wanayo endesha matajiri wakubwa duniani. Picha 22 za Maisha Kim Kardashian kabla hajawa Maarufu na Baada ya kuwa Maarufu pamoja na Baadhi ya boyfriend wake Hii ndio limousine ndefu kuliko zote duniani yenye urefu wa Futi 100 Hawa Ndio Top 10 ya matajiri Africa. 2012 Picha za MAD ICE & MIIKKA MWAMBA wakipiga kazi studio, Nchini Finland HIZI NDIO PICHA ZA MAANDAMANO YA JOSE CHAMELEONE KUDAI PASSPORT YAKE KWA ERIC SHIGONGO. Hollywood’s Hottest Dads 2012 HUYU NDIYE MTOTO WA MAAJABU ALIYEZALIWA KATIKA HOSPITALI YA MKOA WA SINGIDA. Recent Posts Happy Birthday, Antonio Banderas, Today, August 10, You Are 52 Years Old
2017-04-24T01:31:24
https://infosourcestz.wordpress.com/2012/07/04/wema-sepetu-na-diva-waingia-kwenye-orodha-ya-kusaidia-wasiojiweza/
[ -1 ]