text
stringlengths
44
187k
timestamp
timestamp[us]
url
stringlengths
16
3.37k
dup_ids
list
Tatizo siyo watu wanaoishi "mabondeni" bali ni wale wanaoishi "magogoni" | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Tatizo siyo watu wanaoishi "mabondeni" bali ni wale wanaoishi "magogoni" Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Mzee Mwanakijiji, Dec 23, 2011. Sentensi hiyo yaweza kuwa kweli au si kweli; kama unafikiri ina ukweli jadili kwanini na kama unafikiri si ya kweli ina walakini tuelezee kwanini. Clue: watu wa "mabondeni" ni wale wote ambao ambao wamejikuta wakiathirika na mafuriko haya moja kwa moja na watu wa "magogoni" ni watawala wetu. Tatzo ni la hawa waishio 'magogoni',kwasababu:- 1. Wanadai watu wanakatazwa kujenga mabondeni,mbona wanawapelekea huduma muhimu kama vile umeme kama kweli watu hawatakiwi kujenga mabondeni wasingewapa huduma hizo muhimu kuonesha kuwa hawatakiwi kuishi kule.. 2. Ukiona serikali imewafukuza watu mabondeni ujue wana maslahi na hicho kiwanja(kuna kigogo ana shida nacho/kuna mzungu kapewa kwa jina la uwekezaji).. serikali legelege haiwezi ikafanya maamuzi sahii/yenye msimamo.. Tatizo liko kwa wote,tena hasa wa mabondeni maana at the end of the time wanaokufa ni wao. Watu wa mabondeni wanaelewa kabisa kuwa mvua zikija hapo hapakaliki but still wanaendelea kuishi mabondeni, to me nawaona kama wamekubali liwalo na liwe. MAGOGONI- hawa wana uwezo kabisa wa kuhamisha watu kutoka mambondeni ila wanashindwa kutoa order. Mafuriko yakija wao labda ni kutumia pesa ili kuwahifadhi waathirika. Watu wa mabondeni wana matatizo maana wao ndo wanaoathirika directly. Kwa hiyo wanatakiwa wahame haraka iwezekanavyo Hadi wanamaliza kujenga na kuhamia, serikali yenye dola na vyombo/taasisi nyingine wanakuwa likizo ya miaka mingapi? Hizo nyumba hazikubebwa zikaletwa hapo, zilianza msingi na serikali ipo/ilikuwepo na haikukataza... Tatizo lipo magogoni, wameshindwa kusimamia wananchi wao. Watu wa mabondeni wana matatizo maana wao ndo wanaoathirika directly. Kwa hiyo wanatakiwa wahame haraka iwezekanavyoClick to expand... waende wapi? Tatizo ni la watu wa Magogoni kwa sababu zifuatazo:- 1. Wameshindwa kusimamia sheria za mipango miji mpaka wametufikisha hapa tulipo ambapo zaidi ya asilimia sabini ya makazi ya jiji hayajapimwa. 2. Wameshindwa kuweka miundombinu ya maji taka ambayo ingezuia mafuriko kwenye maeneo mengi ya jiji 3.Wameshindwa kuwahamisha wananchi waliojenga katika maeneo hatarishi na kuwapatia maeneo mbadala ya kuishi waende wap.?Click to expand... Kwani mwanzoni walikuwa wapi? Au wametokea wapi! kama hao wa mabondeni ndio waliowaweka madarakani hao wa Magogoni, hivi mwenye tatizo hapa ni nani? Watu wa Magogoni hawana kosa hata kigogo, wamepiga baragumu la kutosha kuhusu hatari za kuishi mabondeni, lakini watu wa mabondeni wameweka pamba masikioni. Isitoshe baadhi ya watu wa mabondeni wana nyumba za thamani sana na ni waeleewa ambao wangeonyesha mfano, lakini wanendelea tu kuweka pamba masikioni. Ni vigumu kuwalaumu watu waliojenga mabondeni. Nyumba haijengwi kwa siku moja, serikali ilikuwa wapi wakati wanajenga? Na huwezi kusema kuwa wamevunja sheria kwa kujenga mabondeni kwa sababu serikali ipo! Kama serikali inaweza kutabiri vurugu, na uwepo wa Al-shaabab wanashindwaji kusimamia ujenzi wa nyumba sehemu za mabondeni? Watu hawa wanapata huduma muhimu za jamii, i.e umeme, sasa leo wanawakana kwa vipi? Magogoni kwa maana ya watawala ndo tatizo kubwa! kama eneo halistahili wanakuwa wapi watu wanajenga mpaka kuingiziwa huduma kama umeme ndani ya nyumba zao? serikali legelege ya kitu kidogo! ukitoka nyumbani kwako ukaenda kulala barabarani kisha ukatafuta mtu kwa kulaumu eti kwa nini lori limekukanyaga lazima una matatizo Tulivyokuwa watoto tuliimba ''Mvua njoo Katarina usije''..........Katrina ikaja 2005......thirty years after I last sang the song.......a coincidence?......sorry for being out of the way Tanzania ina maeneo mengi sana,hawawezi kosa pa kwenda.Mimi nilishawahi wauliza baadhi yao,walinijibu kuwa wanapenda kuishi pale jangwani kwa sababu ni karibu na mjini,so wanakwenda kwa mguu tu.Hiyo siyo sababu ya kumfanya mtu ariski maisha yake. Waishio mabondeni hawana tofauti na waliovamia bara bara...... Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Dar ilivamia barabara, vivyo hivyo na watu wengine na taasisi za umma na binafsi........ Waishio mabondeni hawana tofauti na wezi wa EPA etc...... Waishio mabondeni hawana tofauti wasafishao wanyama pori hai........ Kimsingi ninasema makundi yote hayo yalianza / yanaendelea kufanya wafanyayo serikali inayojidai pofu kwa sababu mbali mbali ikiona....... Ila haichukui tahadhari mapema kuepusha madhara na hasara...... Yenyewe mara zote inajiandaa kulipa ili huenda na "wao" watoke ktk huo ulipaji. We have a very curative/reactive government....... Sasa hv wanasema japo JK anajua serikali yake haina hela amesema serikali imetoa hekari 2000 Kinondoni to relocate hao wahanga / waathirika wa mafuriko! Kimsingi anasema japo Idara ya Hali ya Hewa kuanzia mwezi wa tisa walitabiri hayo mafuriko, ila serikali yake isiyo tumia "processed info" for evidence-based decision making ilikaa kimya ikijiandaa kutoa hekari 2000 sasa hv na kuzika watu....... Tutaendelea poteza maisha ya Watanzania wenzetu na mali zao hadi lini? VIONGOZI LEGELEGE KILA KITU KWAO NI LEGELEGE.............. Tanzania ina maeneo mengi sana,hawawezi kosa pa kwenda.Mimi nilishawahi wauliza baadhi yao,walinijibu kuwa wanapenda kuishi pale jangwani kwa sababu ni karibu na mjini,so wanakwenda kwa mguu tu.Hiyo siyo sababu ya kumfanya mtu ariski maisha yake.Click to expand... Ni ajabu sana wakati tuna kama kilometa za mraba 945,083 za ardhi watu bado tunabana hapa Dar penye hardly kilometra 1,600 za mraba!​ Tatizo bado litabaki kwa wale waishio mabondeni, moja kwa moja au sio moja kwa moja! Watu wa magogoni ndio wana makosa!! Utajuaje kuwa eneo fulani si makazi kulingana na mpango mji? Ni lazima uende ardhi wakafanye survey na ikibidi wakupimie eneo lako. Juzijuzi tu nina kashamba kangu huko Bunju kabla sijaanza kuweka kanyumba kangu nikajaribu kufanya utaratibu wa kukapima, niliambiwa niandae Tsh 1'500'000/=. Nikaongezea Tsh 500'000/= ikawa mil. 2 nikanyanyua chumba sebule ndo nakokaa nikimuomba Mola lisitokee la kutokea! Gharama za upimaji viwanja ziko juu mno!
2016-10-26T00:43:33
http://www.jamiiforums.com/threads/tatizo-siyo-watu-wanaoishi-mabondeni-bali-ni-wale-wanaoishi-magogoni.205321/
[ -1 ]
JATU TALK NI NINI? KAA TAYARI, ENDELEA KUFUATILIA BLOG YETU KWA TAARIFA ZAIDI – JATU KILIMO JATU TALK NI NINI? KAA TAYARI, ENDELEA KUFUATILIA BLOG YETU KWA TAARIFA ZAIDI Posted on March 28, 2020 March 28, 2020 by jatukilimotz Vijana wengi wamekua wakibuni mawazo mbalimbali ambayo yanalenga kufungua fursa za uwekezaji ila wamekua wakikutana na changamoto mbalimbali hasa kukosa mitaji na kutokua na njia sahihi za kupata wawezeshaji ili kuyafanya mawazo yao kuzalisha fursa za kiuchumi na hatimae kuchochea kuanzishwa kwa makampuni imara. JATU Talk ni jukwaa la fursa ambalo linaunganisha wadau mbalimbali wa uwekezaji kwenye fursa za kilimo, viwanda, mikopo na masoko kisha kuwawezesha kuanzisha mada na mijadala ambayo italenga kukuza mawazo ya kibunifu na kuyawezesha kupata mitaji ili waweze kufungua makampuni. JATU Talk itawawezesha wadau kusajiri kampuni au mada ambayo itawakutanisha wabunifu wa mawazo na wawekezaji ambao watawawezesha kifedha ili mawazo hayo yafanyiwe utekelezaji huku mchakato mzima ukiratibiwa na JATU. JATU Talk imelenga kupunguza usumbufu ambao wabunifu mbalimbali wamekua wakiupata wanapohitaji kuwezeshwa mawazo yao ili kutoa fursa za kiuchumi, pia kufungua milango kwa wadau ambao wanatafuta fursa za kuwekeza kwenye mawazo ya kibunifu ila wanakosa njia sahihi ya kuwafikia. Kupitia JATU Talk tutaweza kutuma picha, video, document na ujumbe kwa kuchangia mada kutokana na wazo husika, wawekezaji pia wataweza kujiunga na wazo lolote ambalo wamependezwa nalo na kujadiliana na wabunifu wa wazo hilo ili kuliwezesha lifanikiwe. JATU Talk itakua kwenye mfumo wa application yaani JATU Talk App ambayo itapatikana kwenye playstore kwa watumiaji wa android au appstore kwa watumiaji wa iphone. Kuanzishwa kwa mfumo huu ni moja ya malengo ya JATU kuwawezesha vijana kupata mitaji kutokana na mawazo yao ya kibunifu ili waweze kuzalisha fursa za kiuchumi ambazo zitasaidia kwenye kutokomeza umasikini. JATU inaamini kwenye umoja na ubunifu kama moja ya misingi ambayo itatuwezesha kupambana na janga la umasikini na kuiwezesha nchi yetu kuinuka kiuchumi na kutimiza adhma ya serikali ya Tanzania ya viwanda. “JATU – Jenga Afya Tokomeza Umasikini” Previous Post SAFARI YA KILINDI IMEWADIA, UPO TAYARI? ENDELEA KUFUATILIA BLOG YETU KWA TAARIFA ZAIDI Next Post VACANCY ANNOUNCEMENT, SENIOR PROJECT OFFICER JATU PLC 2 thoughts on “JATU TALK NI NINI? KAA TAYARI, ENDELEA KUFUATILIA BLOG YETU KWA TAARIFA ZAIDI” Doris Nicas Mhenga says: Nimewapenda nataka kujiunga Karibu sana mkuu download application yetu ya Jatu App kujiunga kisha wasiliana nasi kwa namba 0658126324
2020-07-15T07:59:36
https://jatukilimo.com/2020/03/28/jatu-talk-ni-nini-kaa-tayari-endelea-kufuatilia-blog-yetu-kwa-taarifa-zaidi/
[ -1 ]
Dini katika mchakato wa ujenzi wa amani duniani! Imani ya Kikristo inawachangamotisha waamini kuongozwa na tunu msingi za maisha ya Kikristo zinazofumbatwa katika upendo, utu na heshima ya binadamu na kwamba, dini zina mchango mkubwa katika kukuza na kudumisha misingi ya haki, amani na maridhiano kati ya watu! Hii ni sehemu ya tamko lililotolewa na washiriki wa kongamano la kimataifa kuhusu “dini na ujenzi wa amani” huko Kadoma, nchini Zimbabwe. Kongamano hili liliandaliwa na Shirikisho la Makanisa ya Kiinjili ya Kiluteri Duniani kwa kushirikiana na Baraza la Makanisa nchini Zimbabwe. Washiriki wa kongamano hili la kiekumene walitoka katika Makanisa ya Afrika na Ulaya, kwa pamoja wakashikamana ili kujadili na kupembua kwa kina na mapana mchango wa dini katika kukuza na kudumisha misingi ya haki, amani, upendo na maridhiano kati ya watu, kama changamoto ya kukabiliana na vita, kinzani na mipasuko ya kijamii inayoongezeka kila kukicha! Wakristo wanatambua kwamba, wanayo dhamana kubwa mbele yao ya kuhakikisha kwamba, wanakuwa ni mashuhuda na vyombo vya amani duniani, dhamana inayowafungamanisha na Injili ya Kristo, kiini cha Habari Njema ya Wokovu! Wajumbe wanakaza kusema, mchakato wa ujenzi wa haki na amani hauna budi kuwa ni sehemu ya mchakato wa majadiliano ya kiekumene, ili kuwawezesha Wakristo kuwa ni vyombo na mashuhuda wa haki, amani na upatanisho. Makanisa hayana budi kuonesha msimamo wake kwa kulaani vita, kinzani na mipasuko ya kijamii inayoendelea kudhalilisha utu na heshima ya binadamu. Lakini, ikumbukwe kwamba, waathirika wakuu ni maskini, watoto na wanawake wasioweza kujitetea hata kidogo. Majadiliano ya kiekuemene katika ujenzi wa amani yalenge kwa namna ya pekee kuwajengea wanawake na vijana uwezo wa kusimamia na kudumisha misingi ya haki, amani na maridhiano kati ya watu! Kutokana na sababu msingi za kihistoria, kiuchumi, kijamii na kisiasa, wanawake kutokana na mfumo dume, walijikuta wakitengwa katika mchakato wa kupanga na kutekeleza maamuzi mbali mbali katika maisha ya kijamii pengine haya na kifamilia. Kumbe, wadau mbali mbali wanapaswa kushirikishwa katika mchakato wa majadiliano yanayopania kujenga na kudumisha amani duniani, lakini kwa namna ya pekee kabisa Barani Afrika anasema, Askofu Ambrose Moyo kutoka katika Kanisa la Kiinjili la Kiluteri, ambaye kwa miaka mingi amekuwa mstari wa mbele katika kukuza majadiliano ya kiekumene Barani Afrika. Wajumbe wamepata nafasi ya kushirikisha uelewa na mang’amuzi yao kuhusu mchakato wa ujenzi wa amani duniani. Zimbabwe katika kipindi cha miaka ya hivi karibuni imekuwa mstari wa mbele katika kukuza na kudumisha majadiliano ya kiekuemene katika huduma, sala na maisha ya kiroho. Makanisa yanaendelea kusimama kidete ili kulinda na kudumisha tunu msingi za maisha ya ndoa na familia; upatanisho na mafungamano ya kijamii hasa kutokana na changamoto za kisiasa, kiuchumi na kijamii zinazoendelea kuikumba Zimbabwe katika ujumla wake. Haya ni mambo msingi katika ujenzi wa amani duniani. Wajumbe pia wamepata nafasi ya kusikiliza shuhuda zilizotolewa na wajumbe kutoka Bosnia-Erzegovina katika kukuza majadiliano ya kiekumene yanayofumbatwa katika huduma makini. Lengo ni kuondokana na athari za vita baridi vinavyoendelea kuwatumbukiza watu wengi katika utumwa na ukoloni mamboleo. Wajumbe wa mkutano huu wa kiekumene kuhusu amani wameshutumu na kulaani vitendo vyote vya uvunjifu wa misingi ya haki na amani, Vitendo vya kigaidi pamoja na mambo yote yanayodhalilisha utu na heshima ya binadamu. Shirikisho la Makanisa ya Kiinjili ya Kiluteri Duniani limeanzisha mradi wa Uekumene wa huduma kwa wakimbizi na wahamiaji wanaotafuta ulinzi na usalama wa maisha yao nchini Cameroon. Hawa ni watu wanaokimbia vita, mashambulizi ya kigaidi na nyanyaso za kidini na kijinsia. Mkutano huu wa Kadoma, imekuwa ni nafasi nyingine tena ya kuendelea kuadhimisha Jubilei ya miaka 500 ya Mageuzi ya Kiluteri duniani kwa kuwa na mwelekeo mpya zaidi. Huu ni wakati wa kushirikiana ili kujenga na kudumisha Uekumene wa damu, maisha ya kiroho, sala na huduma makini kwa maskini na wale wote wanaosukumizwa pembezoni mwa jamii. Wakristo wanahamasishwa kuwa ni vyombo na mashuhuda wa Injili ya amani inayomwilishwa katika maisha yao ya kawaida!
2018-06-19T10:49:32
http://sw.radiovaticana.va/storico/2016/12/20/dini_katika_mchakato_wa_ujenzi_wa_amani_duniani!/sw-1280325
[ -1 ]
May | 2010 | Zanzibar Islamic News's Blog Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imeshauriwa kutafuta njia mbadala za kuingiza mapato ili kuondokana na mapato yatokanayo na kodi za makampuni ya siraga kutokana kuhatarishs afya za watumiaji. Akizungumza na Zenji fm radio juu ya siku ya kukataza uvutaji wa sigara duniani afisa wa elimu wa kitengo cha dawa za kulevya Zanzibar Dr. Kassi Ali Simai amesema hasara inayotokana na sumu ya sigara kwa afya ya mwadamu ni kubwa ikilinganishwa na mapato hayo. Amefahamisha licha ya serikali kukusanya mapato mengi kutoka makampuni ya sigara, lakini moshi wake una zaidi ya chemical 400 zinazohatarisha afya za watumiaji hivyo ni vyema kufikiria njia nyingine mbadala ya ukusanyaji wa mapato. Dr. Simai amesema vijana wengi wamekuwa wakiathirika na moshi wa sigara kwa kuugua homa ya ini na saratani Katika kuadhimisha siku ya uvutaji wa sigara duniani shirika la Afya la Umoja wa Mataifa WHO, limevilaumu viwanda vya sigara kwa kuwahamasisha wanawake katika nchi masikini kuvuta sigara. Mtaalamu wa shirika hilo la WHO, Douglas Bettcher amesema, utafiti umeonesha idadi ya wanawake na vijana wanaovuta sigara katika nchi masikini imekuwa ikiongezeka. May 31, 2010 skaska Leave a comment Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk Amani Abeid Karume akiwa katika ufunguzi wa mkutano wa WEF uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Sheraton mjini Doha, Qatar, kushoto ni Waziri wa Maendeleo wa Taifa wa Singapore MAHBOW-TAN kulia kwa Rais ni Mwana wa Mfalme na Mwenyekiti wa Viongozi wa Vijana Duniani Mhe. HAAKON RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Amani Abeid Karume ametowa wito wa kuwepo mabadiliko katika taasisi za kifedha za Kimataifa ili kuweza kutoa nafasi sawa katika mataifa yote makubwa na madogo ulimwenguni. Wanaume wapendanao waachiwa Malawi Wanaume wawili wanaofanya mapenzi ya jinsia moja nchini Malawi waliofungwa baada ya kufanya sherehe ya uchumba wamesamehewa na Rais Bingu Wa Mutharika. Bw Mutharika, akizungumza wakati katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa alipotembelea nchi yake, amesema ameamuru waachiliwe huru haraka iwezekanavyo. Steven Monjeza na Tiwonge Chimbalanga walihukumiwa kifungo cha miaka 14 jela mapema mwezi huu kwa kufanya vitendo kinyume cha maumbile na vitendo vya aibu. Kesi hiyo iliibua malalamiko kutoka nchi za kimataifa napia mjadala juu ya mapenzi ya jinsia moja ndani ya Malawi. Bw Ban ameusifu uamuzi wa Rais kuwa ni wa “kijasiri.” Amesema, “Sheria hii iliyopitwa na wakati irekebishwe popote ilipo.” ‘Utamaduni wa chuki’ Waandishi wanasema Malawi ni jamii yenye msimamo mkali sana ambapo viongozi wa dini huhusisha mapenzi ya jinsia moja na ushetani. Bw Mutharika amewaachia huru kwa misingi ya haki za binadamu. Baada ya kukutana na Bw Ban alisema, “Wanaume hawa wawili wametenda uhalifu dhidi ya mila zetu, dini zetu na sheria zetu.” “Hata hivyo, kama mkuu wa nchi nawasamehe na hivyo waachiwe haraka iwezekanavyo bila masharti yeyote.” Steven Monjeza, 26, na Tiwonge Chimbalanga, 20, walikuwa gerezani tangu walipokamatwa Desemba 2009 baada ya kufanya sherehe ya uchumba, kabla ya mipango ya kufunga ndoa mwaka 2010. Gift Trapence, kutoka kituo cha kutetea maendeleo ya watu, amefurahiswa na uamuzi huo. Amesema, “Tumefurahi sana na tunamsifu Rais kwa ukomavu wake, lakini bado tuna safari ndefu kumaliza mila hizi za chuki.” Sheria za kikoloni Mashirika ya kutoa misaada na haki za binadamu yamekuwa yakishinikiza serikali yake kuheshimu haki ya wachache. Wanaume hawa wawili wametenda uhalifu dhidi ya mila zetu, dini zetu na sheria zetu. Bingu Wa Mutharika, Rais wa Malawi Serikali ya Uingereza, mfadhili mkuu wa Malawi, ilisema ilishtushwa na hukumu hiyo, na Marekani iliuelezea kama hatua moja nyuma katika harakati za kupigania haki za binadamu. Siku ya Jumamosi, mwanamuziki wa miondoko ya Pop Sir Elton John aliandika barua ya wazi kwa Bw Mutharika kupitia gazeti la Uingereza la The Guardian akiomba waachiwe huru. Wanaume hao wawili wamehukumiwa kwa sheria ya zamani ya kikoloni wakati Malawi ilipokuwa ikitawaliwa na Uingereza. Makoloni mengi yaliyokuwa ya Uingereza yana sheria sawa na hiyo inayopinga mapenzi ya jinsia moja: India ilibadilisha sheria hiyo ya kuwapinga mwaka jana. May 29, 2010 skaska Leave a comment VITENDO VYA UHARAMIA VINAWEZA KUATHIRI UCHUMI WA Z’BAR-DR. MWINYIHAJI Eneo la bandari ya Zanzibar Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imesema kuwepo kwa vitendo vya uharamia kati ya visiwa vya Unguja na Pemba vinavyoripotiwa katika vyombo vya habari kunaweza kuathiri uchumi wa Zanzibar. Akizungumza na zenji fm radio juu ya athari za vitendo hivyo kwa uchumi wa Zanzibar waziri anaeshughulikia masuala ya fedha na uchumi Dr. Mwinyihaji Makame amesema licha ya kutopata uthibitisho wa vitendo hivyo, lakini Zanzibar ni sawa na nchi nyingine ziliomo katika ukanda wa bahari ya Hindi inaweza kuathirika kiuchumi kutokana na uharamia huo. Amesema iwapo meli za mizigo zinazotaka kuingia katika eneo la Afrika ya mashariki zinatishiwa na maharamia wa kisomali bila shaka hali ya uchumi wa Zanzibar itakuwa mbaya. Hata hivyo Dr. Makame amevipongeza vyombo vya ulinzi na usalama kwa kuendelea kufanya doria za kuwasaka maharamia hao walioripotiwa kuwepo katika kisiwa cha Pemba. …CLIPS…(SAVED-MWINYIHAJI) Kazi ya kuwasaka maharamia hao wa kisomali bado zinaendelea kwa ushirikiano wa jeshi la polisi, vikosi vya SMZ pamoja na jeshi la wananchi Tanzania JWTZ. …….2…..ZANZIBAR………… ZANZIBAR….2……. Akizungumza na Zenji Fm Radio juu ya msako huo kamanda wa kikosi cha kuzuia magendo KMKM kisiwani Pemba amesema kuwa kazi inaendelea vizuri na hadi sasa wananchi wanatoa ushirikiano mzuri……CLIPS….(SAVED-KMKM) Msako huo umekuja siku moja baada ya kuripotiwa watu wanaodaiwa maharamia waliotaka kuiteka nyara meli moja katika bahari ya Hindi upande wa Tanzania kukimbilia kisiwani Pemba. Maharamia hao wamekimbilia Pemba baada ya kushambuliwa na majeshi ya jumuiya ya umoja wa ulaya wanaofanya doria katika pwani ya Afrika ya mashariki wakitaka kuiteka meli kati kati ya bahari ya visiwa vya Unguja na Pemba May 28, 2010 skaska Leave a comment VIKOSI VYA ULINZI NA USALAMA TANZANIA WAWASAKA MAHARAMIA WA KISOMALI WALIOKIMBILIA PEMBA Vikosi vya ulinzi na usalama vimeripotiwa kuweko katika msako mkali wa kuwatafuta maharamia wa kisomali wanaodaiwa kukimbilia kisiwani Pemba baada ya kushindwa kuiteka meli katika bahari kuu ya Tanzania. Kamanda wa polisi wa mkoa kusini Pemba Hassan Nassir amesema msako huo unavishirikisha vikosi vya SMZ na wanajeshi wa jeshi la wananchi Tanzania JWTZ. Amesema taarifa za msako huo zitatolewa hapa baadae May 27, 2010 skaska 1 Comment WANAFUNZI WA CHUO KIKUU TUNGUU ZAIDI 300 WAMEFUKUZWA KWA KUSHINDWA KULIPA ADA MKOA WA KUSINI UNGUJA: Wanafunzi wa chuo kikuu cha Zanzibar, Tunguu mwaka wa pili, wameulalamikia uongozi wa chuo hicho kuwafukuza baada ya kukosa kusajiliwa kwa kile kilichoelezwa kushindwa kukamilisha malipo ya ada. Akizungumza na Zenji Fm radio mmoja wa wanafunzi hao amedai chuo hicho kimeongeza ada ya masomo kinyume na mkataba wao wa zamani hivyo wameshindwa kulipa ada hiyo na kulazimika kufukuzwa. Amedai kutokana na kufukuzwa chuo kinyume na sheria wanatarajia kufungua kesi mahakamani wiki ijayo kutokana na kufukuzwa kwa zaidi ya wanafunzi 300…….CLIPS….(SAVED-TUNGUU) Hata hivyo uongozi wa chuo hicho haukuweza kupatikana kuelezea juu ya madai hayo ya wanafunzi kufukuzwa chuoni hapo May 27, 2010 skaska Leave a comment ANGOZA KUFANYA TAMASHA LA JUMUIYA ZA KIRAIA ZANZIBAR Juma Abdala -Zenji Fm ZANZIBAR: Jumuiya ya taasisi za kiraia ANGOZA imeandaa tamasha la siku mbili la maonyesho la asasi za kiraia za Zanzibar litakaloanza leo katika viwanja vya hoteli ya Bwawani. Akizungumza na waandishi wa habari mkurugenzi mtendaji wa Jumuiya hiyo John Ulanga amesema lengo la tamasha hilo litakalofuatiwa na mijadala ni kuzijengea uwezo taasisi za kiraia. Amesema pamoja na kuandaliwa kwa matamasha jumuiya hiyo pia imekuwa ikitoa ruzuku kwa wananchama wake ili kuona zinatoa huduma nzuri kwa wananchi. Akizungumzia masuala ya uchaguzi na taasisi za kiraia Ulango amesema taasisi hizo pia zitahamasishwa juu ya majukumu yao katika shughuli za uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Octoba mwaka huu. Jumuia ya taasisisi za kiraia Tanzania hii ni mara yake ya kwanza kuendesha tamasha kwa wananchama wake hapa Zanzibar kati ya matamasha saba iliyoyafanya katika mikoa mbali mbali ya Tanzania bara. Hata hivyo Jumuiya hiyo imekuwa ikiwashirikisha wanachama wake katika maonyesho ya kila mwaka yanayofanyika katika viwanja vya baraza la wawakilishi yakiwa na lengo la kusogeza huduma zao zaidi kwa wananchi. 18 May 26, 2010 skaska Leave a comment
2017-12-14T07:53:22
https://zanzibarislamicnews.wordpress.com/2010/05/
[ -1 ]
Shirika la Wanyamapori la Wanyamapori la Kenya Wildlife 2017 / 2018 kwa Wakenya wadogo | Fursa Kwa Waafrika nyumbani Kenya Shirika la Wanyamapori la Kenya Wanyamapori 2017 / 2018 kwa Wakenya wadogo Shirika la Wanyamapori la Kenya Wanyamapori 2017 / 2018 kwa Wakenya wadogo Maombi Tarehe ya mwisho: 5pm Jumatatu mnamo mwezi wa Septemba 2017 Kenya Wildlife Trust inatangaza simu maombi ya usomi for the year 2017/2018. Details of eligible institutions and courses can be found in the Elimu ya Uhifadhi section of our website. A number of scholarships totalling KES 1,800,000 will be awarded to students pursuing wildlife and conservation related courses at institutions of higher learning in Kenya. Wito wa Jaji Moijo Ole Keiwua, Msimamizi na mwanzilishi wa Kenya WildlifeTrust, Jaji Ole Keiwua Wildlife Scholarship ilianzishwa kuwekeza katika kuendeleza viongozi wa hifadhi. Usomo huo unatambua, unasisitiza na kukuza uongozi kati ya wataalamu wa usimamizi wa wanyamapori wa baadaye kwa kusaidia wanyamapori na elimu ya msingi. Waombaji wanapaswa kuzingatia mojawapo ya vigezo vifuatavyo Well-performing student sasa walijiandikisha in a course relating to wildlife and/or conservation at an institution of high learning in Kenya Candidate holding an kutoa sadaka ya uingizaji usio na masharti for a course relating to wildlife and/or conservation from an institution of higher learning (for the relevant academic year) Kiasi tuzo Applicants are requested to fill in the Hati ya Maombi (including a Personal Statement) and submit it alongside the requested documentation to [email protected]. Applications will be considered until 5pm Jumatatu mnamo mwezi wa Septemba 2017. Applications received after this deadline will Kumbuka be considered. Successful candidates will be contacted that same week, in order to move onto a second selection process. Tembelea ukurasa wa Tovuti rasmi wa Kenya Wildlife Trust Scholarship 2017 / 2018 Makala zilizotanguliaMpango wa Umoja wa Uongozi wa Kituo cha Uongozi wa YALI 2017 kwa Waafrika Mashariki - Cohort 23,24 & 25 (Iliyopatiwa Kamili Nairobi, Kenya) Makala inayofuataUshindani wa Luis Valtueña Kimataifa ya Upigaji picha wa Kibinadamu 2017 (mradi wa mradi wa Euro 6,000)
2018-12-10T15:07:22
https://sw.opportunitiesforafricans.com/kenya-wildlife-trust-scholarship-20172018-for-young-kenyans/
[ -1 ]
DC KASESELA TUTAUFUNGA MGODI WA NYAKAVANGALA HALI IKIENDELEA HIVI | Sunday Shomari Home Habari DC KASESELA TUTAUFUNGA MGODI WA NYAKAVANGALA HALI IKIENDELEA HIVI “Inasemekana wachimbaji hao walikuwa wameingia kuiba kwani duara hilo ni kati ya maduara ambayo Mkuu Wa wilaya ya Iringa Mhe Richard Kasesela aliifungia ili ijengwe nguzo na ngao” alisema Kasesela “Hadi sasa tumefanikiwa kuokoa 3 mpaka sasa huyo mmoja hajaokolewa bado yupo ndani ya mgodi kutokana na changamoto za uokoaji ili Juhudi zinaendelea za kumuokoa huyo mmoja” alisema Kasesela “Naendelea kuwaonya wachimbaji wasiendelee na uchimbaji eneo la chini maarufu kama kwenye “vein” mpaka wajenge ngao ili wasihatarishe maisha yao. Wakiendelea na kiburi tutaamua tufunge mgodi” alisema Kasesela Previous articleUsain Bolt awaaga mashabiki wake kibabe Next articleIBADA YA MISA LUGHA YA KISWAHILI BALTIMORE MARYLAND. JUNE 18, 2017 (Father's Day). Habari njema: Michango ya wasamaria wema yafanikisha dada Joyce wa Mbeya... HARAMBE YA MZEE EDDIS MGAWE DMV JUMATANO.
2018-02-18T08:38:17
http://sundayshomari.com/dc-kasesela-tutaufunga-mgodi-wa-nyakavangala-hali-ikiendelea-hivi/
[ -1 ]
Fundi @officialcheed @kingsmusicrecords ni shidaaah tupuuu, ndo maana Kuna watu hawapati usingizi kisa nyinyi ,Mnajua kuimba balaaaaa 💥💥🏃🏃 @officialcheed ... #kingofbongofleva #supportedbykiba #KILAMTUASHINDEMECHIZAKE #kingsmusicrekords #kingsmusicrecords #kingofbongofleva #kingkiba #AliKiba #alikibaunforgettabletour #brazil #mofayabyalikiba #SeduceMe #dizzimupdates #diamondplatnumz #likeforlikes #followforfollowback #Tembo #TamkoRasmi #babakasema #babalao #mbosso #udakuspecial #swaili #swaggers #traceafrica #mtvbaseafrica #chibudangote #chrisbrown #Mchizi_wa_UK #mrblue #biashara Nenda fasta #youtube subscribe channel ya @officialkilly_tz kuna msiba unatoka mda wowote , cha kufanya fuata link kwenye bio yake #kingmusicrecords #supportedbykiba #zanzibar #efm #cloudsplus #cloudsmediagroup #udakuspecial #diamondplatnumz #dizzimupdates #dizzimonline #rayvanny #wcb4life #worldwide #music #wemasepetu #weusi #tanzania #goodmumusic #kilimanjaro #AfricanMusic #afrimma #traceafrica #mzikimzuri #mzikimnene ... #goat #kingkiba #justinbieber #holiday #alikiba 💥💥👑👑 Kwa habari na burudani subscribed channel ya Bongo habari kule YouTube. #wasafi #amkeni Kwenye Maringo manager wa @officialalikiba ndio humwambii kitu 😂😂😂😂..Anaringa Balaaa yaani anajua kucheza na Snap hatareeee 😅😅 . Haya FOLLOW . Follow @rumba_kiba Follow @rumba_kiba . #kingkiba 👑 #mofaya #alikiba #mchizi #mchiziwauk #keyaan #rockstar4life 🌠 #kingkiba 👑 #KingsMusic4Life #Alikiba #ommyDimpoz #sevenkiba #sherrycoco #Mshumaa #MchiziWaUk # Masozy 4 79 24 minutes ago Mwiite #youngking 👑 @tommyflavour #kkngsmusic4life 😂😂😂 Nimecheka kama fala 😂😂 HAMISI Alianza vizuri watu tukamkubali sana ila sasa huku anakoelekea atapoteza shabiki zake na wa kwanza Mimi amenipoteza kabisaa 😂😂😂😂 Ona anvyorukaruka kama anacheza Mieleka 🤣🤣🤣 ..Mwambieni Arudi kwenye Gitaaa haraka sana 😂😂😂 #MJiUnaMamboHuu The KING is here @officialalikiba #kingsmusicforever 3 198 48 minutes ago 2 373 49 minutes ago Wadogo zangu wa kitaa haooo 😂😂😂 Wanapiga Band ile Mbayaaa 🤣🤣 ....Hebu mniambie kwa Uwezo wao hawa Kids ungependa waende lebel gani ya Mzki hapa Tz 👇👇 #MJiUnaMambo mshumaaaa my favorite song #alikiba #diamondplatnumz #gigy_money_og #bdozen #ankozumo #irenewoya8 #vanyahargreevesedit #iamlavalava #ebitoke Tunakushukuru juma balinya Pale KITUGA @officialk_2ga #MchiziWaUK alipoamua kufanya Unyangadu kwenye #tigofiesta2019 mtoto wa nyoka tembo Kama tulivyokubaliana #kilamtuashindemechizake #hakikishazamwenzakohazikupistress Kuna Tatizo ?? #kingkiba Huyu ni Kocha kijana mwenye malengo yanayofanana na malengo ya klabu yetu. Huyu ameshashinda Ubingwa wa Afcon akiwa Assistant Coach wa Cameroon na ameshafundisha wachezaji Wakubwa, pia keshakuwa head coach wa Zambia.na alikuwepo kitwe mwaka jana tulipocheza na Nkana, anayajua malengo yetu na nn tunakitaka. Inshaallah Ijumaa ataongea na Wanahabari kuelezea mipango na matarajio yake kwa Machampioni wa taifa hili. ni Sven VanderBroeck @hajismanara @simbasctanzania .🥅⚽🦁🔴💪🔥 #mshumaa #alikiba #kingkiba #semereskibaorgy #kushotoKulia #thisissimba #SportPesaChallenge #Nandy #NguvuMoja #totalcafcl #uno #kondegang #jux #shericoco ni Sven VanderBroeck @hajismanara @simbasctanzania .🥅⚽🦁🔴💪🔥 Angalia hii video kwa makini utamwona Team coach mpya wa SIMBA SPORTS CLUB @simbasctanzania 🦁Sven Vanderbroeck Mbelgiji aliyewahi kufundisha timu ya Taifa ya Zambia ndio kocha mpya wa mabingwa wa soka wa taifa hili Simba SC. Klabu inaamini kocha Sven ataleta matokeo chanya kwetu na inaahidi kumpa kila ushirikiano ili kutimiza malengo ya klabu yetu. #NguvuMoja @simbasctanzania .🥅⚽🦁🔴💪🔥 Oyaaa mdogo wangu @tommyflavour kwani kunanii ongeza sauti @shery_coco_kebekebe ajakuskia 😂😂😂😂😂😂😂😂 mambo ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Me mgen bhn Mabalaaa yako kwa @shery_coco_kebekebe @shery_coco_kebekebe @shery_coco_kebekebe nisheeeedah #streetphotography #healthyfood #alikiba #alikibaunforgettabletour #sherycoco #wemasepetu atangaza ujio wa #ndoa FOLLOW account hii yetu ya Instagram ili ujipatie updates nyingi zaidi. Pia SUBSCRIBE YouTube Chanel yetu ya #HBTV , kwa kubonyeza link iliyopo kwenye BIO yetu hapo juu ili kuhabarishwa kwa undani zaidi. #hb_updates #hb_tv #hb_hasbillion #kondegang #wasafi #wcb_wasafi #wasafifestival #MARIOO #kusah #ruby #kingsmusicrecords #mlela #babalao #harmonize #diamond #alikiba #raspberries #wemasepetu #hamisamobetto #ebitoke #kushoto #kushotokulia #kushotokulia #EBIBONDIA #mlela #idrissultan #wemasepetu #idrissultansfw2016 #onefestafrica 🤷🤷Swali la wiki je Nani ni master hapa kwa #vibe ya mic #cokestudio unavyosikia nan mwanamziki hapa bila team be open, coment,,,,,,,,,,,,,,,A and D ::: A is for @officialalikiba and D is for @diamondplatnumz ,,,,,,,, tell use who is better nan mkali hapa kwa live,,,, #tigofiesta2019 #wasafifestival2019 #SizeYao @kingsmusicrecords #renmar_reee #uhuru #kingkiba #uno #unforgettable #unforgettabletour2019 #alikibaunforgettabletour #kingsmusic #KingsMusic4Life #rockstar4life 🌠 #RockStarAfrica #mshumaa #Mofayaenergydrinkbyalikiba #Alikiba #kebekebe #mchizi #udaku #wasafi #inama #uswahilini #diamond #cokestudio #voice #challange #cloudstv #kushotokulia 33 427 2 hours ago 😂😂 Jamani #Mchizi_Wa_Uk ❤️ New simba Manager @swahilisport 61 874 2 hours ago 30 1,112 2 hours ago Rasmi sasa Sven VanDer Broeck ndiye kocha mkuu wa Simba. SWIPE KUSHOTO kwa habari zaidi @happinessmassage Follow @rc9news #peterjosephmdee19 #peterjosephmdee #PJM19 #sokaonline #shaffihdaudawebsite #shaffihdauda #SimbaRaha #simbasc #millardayoupdates #millardayo #yangasc #wikiyamwanachi #simbasc #hainakufeli #diamondplatnumz #alikiba #DaimambeleNyumamwiko @peterjosephmdee19 #yangascbingwaupdates #PL #tanzaniapremierleague #sportpesa #tanzaniapremierleague 🇹🇿 #zamuyetuafcon2019 🇹🇿 #yangascbingwaupdates #Samagoal #Azamfc #fungakazikusanyakijiji #NguvuMoja #tanzania #lfc #salah Gattuso kocha mpya wa Napoli Nani huyu!! #kingkiba 13 663 3 hours ago Mwanaume wa Dar Achana na Al Kasusu kula ndizi mbivu kila siku utashangaa...Sio leo unaperform kesho ukimkosa Al Kasusu sababu haziishi😀😀kazi haiendi Good morning...💕. 31 1,740 10 December, 2019 😀😀😀😀😀😀😀 #mzeemwenzangu 🤔🤔 👉follow @viziwi_wawili2 18 2,622 9 December, 2019 8 1,008 10 December, 2019 😂😂😂Dora Leo hayuko Vizuri 6 1,911 8 December, 2019 14 1,555 14 hours ago 22 2,475 10 December, 2019
2019-12-11T20:58:16
https://www.imgrumsite.com/hashtag/alikiba
[ -1 ]
UWEKEZAJI LEO; Kwenye Uwekezaji Waepuke Watu Wa Aina Hii… – Kisima Cha Maarifa UWEKEZAJI LEO; Kwenye Uwekezaji Waepuke Watu Wa Aina Hii… Watu wengi wamekuwa wakipata hasara kwenye uwekezaji kwa sababu hawatumii akili zao kutafuta maarifa sahihi na kufanya maamuzi sahihi. Badala yake wamekuwa wakitegemea wengine wawafanyie hivyo. Wamekuwa wakisubiri wengine wawaambie nunua hisa hizi, utapata faida kubwa na kadhalika. Wengi wanabeba ushauri huo kama ulivyo, wananunua hisa fulani, au kuwekeza eneo ← UKURASA WA 1016; Fursa Yako Haipo Kwenye Kazi Au Biashara Fulani, Bali Ipo Hapa… #KURASA_KUMI ZA KITABU LEO; Fikiri Kwa Akili Yako… →
2018-02-21T01:09:32
https://www.kisimachamaarifa.co.tz/2017/10/12/uwekezaji-leo-kwenye-uwekezaji-waepuke-watu-wa-aina-hii/
[ -1 ]
Kosa limetokea. 1.- 20. matokeo kutokana na 36 Kosa limetokea. 36 matokeo Alte Elbtunnel: njia kongwe chini ya maji Ujerumani 05.12.2019 | 01:35 dakika. Alter Elb Tunnel ni njia kongwe ya chini ya maji mjini Hamburg. Iijengwa kuanzia mwaka 1907 na kumalizika mwaka 1911. Inaunganisha kitongoji maarufu cha St. Pauli na kitongoji kingine cha Steinwerder, huku ikikatisha katikati ya mto Elbe. Njia hii ina urefu wa mita 426.5. Usafiri wa boti kama njia ya utalii 28.11.2019 | 01:52 dakika. Hamburg inajulikana sana kwa shughuli za majini kutokana na uwepo wa bandari, mto elbe, na ziwa Alster.Ziwa Alster ni kitovu cha maisha ya mji wa Hamburg. Limegawanyika katika maeneo mawili yani Alster ya ndani na ile ya nje ambayo hutiririsha maji yake katika mto Elbe kusini mwa mji unaoiunga Hamburg na bahari ya kaskazini. Mabasi ya utalii ni kivutio kikubwa 28.11.2019 | 02:06 dakika. Hamburg ni jiji la pili kwa ukubwa nchini Ujerumani baada ya Berlin. Lina vivutio mbalimbali vya utalii kuanzia majengo ya kale yaliyosheheni historia, makumbusho za aina tofauti pamoja na majengo ya kisasa. Unapoitembelea Hamburg kwa mara ya kwanza, unaweza kutumia usafiri wa aina tofauti kujionea maeneo ya kitalii. Njia ya chini kwa chini ya Elb Tunnel 28.11.2019 | 01:35 dakika. Alter Elb Tunnel ni njia kongwe ya chini ya maji ambayo ilijengwa kuanzia mwaka 1907 na kumalizika mwaka 1911. Ni njia ya moja kwa moja inayounganisha kitongoji maarufu cha St. Pauli mjini Hamburg na kitongoji kingine cha Steinwerder ikikatisha katikati ya mto Elbe. Hamburg jiji la madaraja 28.11.2019 | 01:06 dakika. Je unafahamu kwamba hakuna mji mwingine duniani ulio na madaraja mengi kama mji wa Kaskazini mwa Ujerumani wa Hamburg?. Hamburg ina jumla ya madaraja 2500, na hivyo kuyapita madaraja yote kwa pamoja katika miji ya Venice, Amsterdam na hata London. Kwa ufupi, Hamburg huitwa mji wa madaraja. Dereva wa Ulaya anayebadilisha maisha ya watoto Afrika 21.11.2019 | 01:33 dakika. Ansu Yeboa ni Mjerumani mzaliwa wa Ghana anayefanya kazi ya kuendesha mabasi mjini Bonn. Tazama jinsi kazi yake inavyochangia kuyabadilisha watoto Afrika Bandari ya Hamburg ya tatu kwa ukubwa Ujerumani 24.10.2019 | 01:59 dakika. Mji wa Kale wa Frankfurt 21.10.2019 | 01:31 dakika. Mji wa Frankfurt ni mji ulio katikati ya Ujerumani katika mto wa Main. Ni makao makuu ya afisi nyingi za Ulaya na pia ni makao makuu ya benki chungunzima ikiwemo Benki Kuu ya Ulaya. Lakini katikati ya mji huu ulioendelea, kuna sehemu ambayo ni Mji wa Kale, iko tofauti kabisa unaweza kufikiri uko nje ya mji wa Frankfurt. Ujerumani na umaarufu katika kandanda 12.09.2019 | 02:47 dakika. Ujerumani inajulikana kwa umaarufu wake wa mchezo wa kandanda duniani. Najua unavijua viwanja vingi vya timu kubwa duniani kama Allianz Arena wa Bayern Munich au Camp Nou wa Barcelona. Lakini unaujua kwa kiasi gani uwanja wa Signal Iduna Park nyumbani kwa Borussia Dortmund? Unaujua umaarufu wake? Ungana na Lilian Mtono katika video hii kuelekea mechi ambayo Dortmund atamkaribisha Bayer Leverkusen. Utalii wa mabasi Hamburg 05.09.2019 | 02:06 dakika. Ungana naye Sylvia Mwehozi akikuzungusha katika jiji la Hamburg kwa kutumia mabasi maalumu kwa shughuli ya utalii Duka lisilotumia mifuko ya plastiki Ujerumani 29.08.2019 | 04:09 dakika. Kwa ajili ya kuhifadhi mazingira, kuna duka moja Ujerumani katika mji wa Berlin ambalo halitumii mifuko ya plastiki au plastiki ya aina yoyote ile katika kuhifadhi bidhaa zake na kwa mnunuzi anastahili kubeba chombo chake anapoingia katika duka hilo kwani bidhaa zote zimewekwa katika mabakuli makubwa. Tazama vidio. Duka lisilotumia mifuko ya plastiki Ujerumani 29.08.2019 | 04:04 dakika. Mtindo wa kukarabati nguo zilochakaa mjini Berlin 08.08.2019 | 03:47 dakika. Badala ya kutupa nguo zilizochakaa, duka moja mjini Berlin, Ujerumani linazitengeneza katika mitindo mipya ili ziweze kuvaliwa tena. Roboti anayeuza duka huko Berlin 01.08.2019 | 02:48 dakika. Katika Kurunzi Ujerumani leo tunakukutanisha na Roboti muuza duka huko Berlin. Ana uwezo wa kukuhudumia kwa muda wa masaa 24 mchana na usiku. Tizama vidio ifuatayo kutoka kwa Harrison Mwilima akihudumiwa na Roboti na kisha utupatie maoni yako. Fahamu kuhusu treni ya zamani Ujerumani 11.07.2019 | 01:34 dakika. Treni ya Drachenfelsbahn ndiyo treni ya zamani zaidi ambayo bado inatumika hadi leo nchini Ujerumani
2019-12-09T15:51:01
https://www.dw.com/sw/media-center/mada-zote/s-100902?type=18&programs=47022089
[ -1 ]
Malengo na mbinu za Wamagharibi katika kueneza chuki dhidi ya Iran na Uislamu Jumatano, 20 Aprili 2016 10:33 Baada ya kusambaratika mfumo wa ncha mbili wa kambi za Magharibi na Mashariki, jumuiya ya kimataifa ingali katika kipindi cha mpito. Katika kipindi hiki cha mpito, nchi za Magharibi zinazodai kuwa na utamaduni bora zinadai kuwa kufuatia kusambaratika mfumo wa Kikomunisti, hakuna tena chaguo jngine isipokuwa Demokrasia ya Kiliberali katika dunia. Makala itaangazia malengo na mbinu za Wamagharibi katika kueneza chuki dhidi ya Iran na Uislamu. Kwa msingi wa fikra hizo potofu za kisiasa, baadhi ya wananadharia wanaofuata mtazamo huo waliibua fikra kuwa baada ya Ukomunisti, hivi sasa ni Uislamu unaotoa changamoto kwa Demokrasia ya Uliberali. Hapa tunaweza kutaja nadharia ya Samuel Huntington ambaye aliwasilisha nadharia ya 'Makabiliano ya Staarabu.' Fikra hii ilikuwa mwanzo wa mkondo wa chuki dhidi ya Uislamu na chuki dhidi ya Iran nchi ambayo ni chimbuko la Mapinduzi ya Kiislamu. Fikra ya Chuki Dhidi ya Uislamu ilishika kasi kufuatia mashambulizi ya kigaidi yenye kutiliwa shaka huko Marekani Septemba mwaka 2001. Baada ya mashambulizi hayo, adui wa Wamagharibi sasa hakuwa tena kambi ya Mashariki iliyosambaratika bali Uislamu na Waislamu walitambuliwa kama maadui. Pamoja na hayo tunaweza kusema kuwa chuki dhidi ya Uislamu ni fikra ambayo ilikuwepo katika karne za nyuma hasa wakati wa makabiliano baina ya Waislamu na Wakristo maarufu kama Vita vya Msalaba. Katika zama zetu tulianza kushuhudia kiwango kikubwa cha chuki dhidi ya Uislamu katika muongo wa 1980. Fikra hiyo ilishika kasi baada ya hujuma za Septemba 11 2001 nchini Marekani. Taasisi ya Runnymede Trust ya Uingereza katika kubainisha maana ya istilahi ya Islamophobia au chuki dhidi ya Uislamu ilisema itikadi hiyo ina maana ya kuwa na hofu, wahka na woga kuhusu Uislamu na Waislamu na kwa msingi huo kuwabagua Waislamu kisiasa, kiuchumi na kijamii. Wenye itikadi hiyo huwatazama Waislamu kama tishio kwa ustaarabu wa Magharibi na pia huutazama Uislamu kama dini yenye kupenda vita na yenye kubakisha watu nyuma. Aidha huutazama Uislamu zaidi kama idiolojia ya kisiasa na wala si kama dini tukufu na kwamba Uislamu si ustaarabu. Kwa msingi wa fikra hiyo potovu, Wamagharibi huwatazama Waislamu kama tishio kwa thamani zao za kitaifa na kiutamaduni. Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika barua yake ya pili kwa vijana wa Magharibi aliashiria maudhui hii ya Wamagharibi kujaribu kuuonyesha Uislamu kama adui na kusema: "Katika muda wa miongo miwili sasa, yaani takribani muda wa baada ya kusambaratika Shirikisho la Sovieti, kumekuwepo na mikakati ya kuuonyesha Uislamu kama adui wa kutisha." Mbali na kuwepo chuki dhidi ya Uislamu pia kuna chuki dhidi ya nchi muhimu ya Kiislamu yaani Iran. Chuki dhidi ya Iran au Iranophobia, ni fikra ambayo iliibuka sehemu moja na ile ya chuki dhidi ya Uislamu katika nchi za Magharibi. Fikra hii ilijitokeza katika nchi za Magharibi baada ya Ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu mwaka 1979 na kufuatia kuongezeka nguvu na uwezo wa Iran katika eneo katika kipindi cha miaka ya hivi karibuni hasa baada ya uvamizi wa nchi za Magharibi Afghanistan mwaka 2001 na Iraq mwaka 2003 na matukio ya mwamko katika Ulimwengu wa Kiislamu kuanzia Desemba mwaka 2010. Fikra ya chuki dhidi ya Iran inaandamana na fikra nyingine potovu ya chuki dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Shia yaani Shiaphobia. Fikra hii ya chuki dhidi ya Mashia imekuwa ikienezwa na nchi za Magharibi na pia baadhi ya nchi za Kiarabu zinazopinga maendeleo ya kimapinduzi katika eneo. Kwa miaka kadhaa sasa baadhi ya waandishi na watawala wa tawala hizo za Kiarabu wamekuwa wakitumia istilahi ya 'Hilali ya Kishia'. Lengo la istilahi hiyo likiwa ni kuonyesha kuwa hatari harakati za Mashia katika uga wa kisiasa na kijamii katika ulimwengu wa Kiislamu. Kuna historia ndefu ya makabiliano ya Uislamu na Magharibi. Lakini kustawi kwa kasi Uislamu duniani sambamba na kujiri Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran ni nukta mbili ambazo zilihuisha upya tahamani za Kiislamu na kupelekea Utambulisho wa Kiislamu kupata nguvu mpya duniani. Kwa msingi huo dunia ikashuhudia mwamko mkubwa wa Kiislamu hasa katika nchi za Kiislamu. Kutokana na hali hiyo nchi za Magharibi zilihisi kuwa maslahi yao yatakuwa hatarini kutokana na kuwa Waislamu wameamka. Kwa msingi huo nchi za Magharibi zilianza kutumia nguvu za kijeshi, kipropaganda, kiutamaduni na kiuchumi kukabiliana na Uislamu ambapo Iran imekuwa mlengwa mkuu wa njama hizo. Iran inalengwa kwa sababu ni nchi ya Kiislamu, na pia kwa ajili ya kuwa wananchi wake wengi ni wafuasi wa madhehebu ya Shia. Kwa hivyo nchi hii inakumbwa na aina tatu ya chuki za Wamagharibi yaani chuki dhidi ya Uislamu, chuki dhidi ya Iran na chuki dhidi ya Ushia. Lengo la aina hizo tatu za chuki ni kuifanya nchi hii itengwe na kuwafanya walimwengu wawe na hofu nayo. Ukweli ni kuwa mfumo wa kibeberu wa nchi za Magharibi unatumia vyombo vya habari kukabiliana kwa njia mbali mbali na Uislamu pamoja na Waislamu. Nchi za Magharibi zinataka zidhibiti na kuwa na satwa katika eneo la Magharibi mwa Asia lenye umuhimu mkubwa kwa mtazamo wa jiografia ya kisiasa, kistratijia na kiuchumi. Lengo la satwa hiyo ni pamoja na kudhamini maslahi ya nchi za Magharibi na pia kulinda usalama wa baadhi ya waitifaki wao katika eneo hasa utawala wa Kizayuni wa Israel. Katika kufikia lengo lao la chuki dhidi ya Uislamu, Wamagharibi sasa wanatumia ugaidi na vitendo vya kigaidi. Marekani inachochea pia mazingira ya 'chuki dhidi ya Iran' katika eneo na inataka maudhui ya Iran iwe maudhui muhimu zaidi katika sera zake za kigeni sambamba na kuunda muungano mkubwa wa kieneo na kimataifa dhidi ya ustawi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika nyanya za sayansi kama vile mpango wa nyuklia wenye malengo ya amani. Kwa kueneza habari potovu kuhusu Iran Marekani inataka Jamhuri ya Kiislamu itengwa kimataifa. Katika sehemu nyingi tunashuhudia kuendeshwa kwa pamoja kampeni ya chuki dhidi ya Uislamu, chuki dhidi ya Iran na chuki dhidi ya Ushia. Aidha tunaona pia chuki dhidi ya Uislamu usio wa Kishia kama vile kutumia vitendo vilivyo dhidi ya ubinadamu na dhidi ya Uislamu vya magaidi wa Daesh au ISIS kueneza chuki dhidi ya Uislamu. Tunaweza kusema kuwa Wamagharibi wanafuatilia malengo kadhaa katika kueneza chuki dhidi ya Uislamu, Iran na Ushia. Moja ya sababu za kueneza chuki dhidi ya Uislamu ni kuzuia kuenea dini hii tukufu duniani hasa miongoni mwa watu wa ulimwengu wa Magharibi hususana vijana. Wakati vijana wengi wanapoukumbatia Uislamu, dini hii na ustaarabu wake unakuwa ni changamoto kubwa kwa ile fikra inayotawala Magharibi ya Demokrasia ya Kiliberali. Kwa kueneza chuki dhidi ya Iran na Ushia, Marekani na waitifaki wake wanapata mwanya wa kuleta majeshi yao vamizi katika eneo sambamba na kuvuruga mshikamano wa nchi za Kiislamu. Baadhi ya malengo ya chuki dhidi ya Iran na Ushia ni kuzuia Iran ya Kiislamu kuwa kigezo kwa nchi zingine katika eneo na ulimwengu mzima wa Kiislamu. Kwa hivyo Wamgharibi wanafanya kila wawezalo kuona Iran haipati ushawishi katika eneo sambamba na kujaribu kubadilisha muundo na mwenendo wa Jamhuri ya Kiislamu na pia kuzuia nchi hii kuwa mhusika katika mchakato wa kudhamini usalama wa eneo. Wamagharibi wanatumia kila fursa ya hujuma ya ugaidi kueneza chuki dhidi ya Uislamu sambamba na kushadidisha chuki dhidi ya Iran na Ushia. Magaidi wa Daesh na makundi mengine ya Waislamu wenye misimamo mikali husaidia kueneza chuki dhidi ya Uislamu hata kuliko Wamagharibi na maadui wengine wa Uislamu. Wananadharia wa kisiasa wa nchi za Magharibi wanaamini kuwa katika kila kipindi kunapaswa kuwepo nchi au staarabu yenye kuhesabiwa kama adui ili kufanikisha malengo ya Magharibi. Aidha kama tulivosema, hofu ya kuwa vijana wa nchi za Magharibi wanavutiwa na Uislamu na hivyo kuongeza idadi ya Waislamu nchi za Magharibi ni sababu nyingine ya kueneza chuki dhidi ya Uislamu. Kwa hivyo ili kufikia malengo yao Wamagharibi wanatekeleza sera ya kuonyesha Uislamu kuwa dini hatari na iliyo duni ikilinganishwa na dini zingine. Aidha katika kufikia malengo yao Wamagharibi wanahujumu kijeshi nchi za Kiislamu sambamba na kueneza hitilafu na mifarakano baina ya mataifa ya Waislamu. Wamagharibi wanataka kuwepo na hofu endelevu na isiyo na mantiki kuhusu Uislamu na Waislamu ili kuarifisha mitazamo ya kisiasa ya Uislamu na itikadi za Waislamu kuwa tishio kwa dunia. Pamoja na njama hizo za Wamagharibi lakini walimwengu nao wanazinduka hatua kwa hatua na wengi wanatambua hadaa zilizopo katika propaganda za nchi za Magharibi. Zaidi katika kategoria hii: « Watoto na wanawake wa Yemen na Nyoyo zilizojaa machungu
2018-02-17T19:35:47
http://kiswahili.irib.ir/vipindi/item/56499-malengo-na-mbinu-za-wamagharibi-katika-kueneza-chuki-dhidi-ya-iran-na-uislamu
[ -1 ]
Siri ya Uhifadhi wa Mtandao Imefunuliwa (WHSR): Mapitio ya Wasanii, Kulinganisha & Tips Unahitaji Usaidizi wa Usaidizi wa Tovuti? Mwongozo wetu wa mwenyeji na wavuti ni kama ramani - tu muhimu ikiwa unajua wapi. Jinsi ya kuhudumia akaunti zako za barua pepe Chombo cha kulinganisha Hosting ya WHSR Watoaji wa Uhifadhi wa Kuzingatia Makala ya hivi karibuni ya Uhifadhi wa Mtandao Internet carbon footprint Kiungo cha haraka Nini kivutio cha wavuti kijani Cheti ya Nishati ya Nishati (REC) Cheti ya Offset ya Carbon (VER) ya kila mwaka CO2 pato Ambayo majeshi ya wavuti yamekwenda ... Kuanzia Mradi Mpya Mpya? Kujenga tovuti - bila kujali kama ni blogu, duka la mtandaoni, au tovuti ya biashara, ni rahisi sana na zana za teknolojia ya mtandao za mtumiaji wa leo. Njia Tatu Rahisi za Kujenga Tovuti Kuanzia Mwanzo Mwongozo wa Maendeleo ya Mtandao wa hivi karibuni Kujifunza zaidi: Kutana na Timu WHSR . Blog ya WHSR
2019-05-20T16:22:30
http://cdn.webhostingsecretrevealed.net/sw/
[ -1 ]
Barua kwa Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kuhusiana na Paypal | LUKAZA BLOG Barua kwa Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kuhusiana na Paypal Kwanza kabisa napenda kuchukua nafasi hii kukupongeza kwa kazi nzito unayoendelea kuifanya ya kuhakikisha unaitengeneza Tanzania Mpya lak... http://www.josephatlukaza.com/2016/09/barua-kwa-mh-rais-wa-jamhuri-ya.html Kwanza kabisa napenda kuchukua nafasi hii kukupongeza kwa kazi nzito unayoendelea kuifanya ya kuhakikisha unaitengeneza Tanzania Mpya lakini pia nikupongeze sana kwa namna ambavyo umekuwa ukionyesha nia ya kutaka kuitengeneza nchi hii ambayo kiukweli kuna baadhi ya watanzania walikata tamaa ya kuishi. Mh Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh John Pombe Joseph Magufuli, Napenda kukufikisha ujumbe huu ambao najua kabisa kuwa wewe ni mmoja kati ya wasomaji wangu wazuri sana na wapenzi wakubwa wa blog hii na kama hukupitia blog hii leo basi naamini kuwa kuna watendaji wako wazuri watakufikishia ujumbe huu ambao una nia nzuri ya kuendana na Kasi yako na kauli mbiu yako ya HAPA KAZI TU. Mh Rais, Moja ya vitu unavyopambana navyo ni kuhakikisha vijana wanafanya kazi kwaajili ya kujiiingizia kipato lakini pia Taifa liweze kunufaika kupitia kazi wanazofanya. Moja ya Sehemu ya njia ya Serikali kunufaika ni kupitia kodi inayolipwa kupitia huduma na bishaa mbalimbali. Leo Nimekuja na Hii Kitu inaitwa PAYPAL, Mh Rais naamini kabisa kuwa unafahamu kitu hiki kinachoitwa PAYPAL au ushawahi kuisikia huduma ya PAYPAL. PAYPAL ni huduma ya malipo ya kidigitali (Electornic pay service) inayotolewa na Kampuni ya Kimarekani ambapo awali ilikua na ubia na kampuni ya Ebay ambapo sasa wamejitenga na kuwa kampuni inayojitegemea. Mh Rais huduma ya PAYPAL ni moja kati ya huduma nzuri sana hapa duniani kutokana na namna tu ya malipo yanavyofanyika kwani Kwa uzoefu wangu ni njia salama na yenye kuaminika sana katika malipo ya kimtandao na yenye kutumika nchi nyingi zaidi barani afrika na hata huko ulaya. Mfano wa nchi ya Afrika ambayo inatumia huduma hii ni Majirani zetu KENYA. Mh Rais, Huduma ya Paypal ni huduma ambayo mtu anakuwa na uwezo wa kupokea malipo kwa muda mfupi tu pindi anapotumiwa kutoka kwa mtumiaji mwingine wa paypal na pindi mtu anapotumiwa pesa basi huwwa kuna malipo kiasi yanakatwa kwa aliyetumiwa pesa na pindi anapowithdraw au kutoa pesa basi kuna malipo pia yanafanyika kwa hiyo kufanya bank husika kupokea kodi ya pesa inayotolewa na mteja husika hio ni faida kwa nchi kwasababu Kodi itakuja serikalini. Mh Rais, tuna vijana wengi sana hapa nchini ambao ni wajuzi wa Maswala ya IT, Uchoraji, Wauzaji wa bidhaa kama vinyago, na wengine ni wataalamu wa kuandika makala, Ushauri (Consultant) na vingine vingi tu. Mfano mzuri ni Mimi mwenyewe niliyekuandikia barua hii ni mmoja kati ya wajasiliamali wa mtandao ambapo kuna kazi nyingi sana tunaweza kuzifanya kupitia mitandao na kupata malipo na asilimia kubwa ya malipo hufanywa kwa njia ya PAYPAL ambayo Tanzania hatuna. Mh Rais, Huduma hii ikiruhusiwa kutumika nchini kama nchi nyingine zinavyotumia huduma hii basi na hizi ndio faida zake 1: Kutakuwa na watumiaji wengi wa banks ambapo huduma hii ikiruhusiwa kufanyika na Benki kuu ya Tanzania bank zitaweza kuingia ushirikiano na PAYPAL ambapo ukitumiwa pesa kuitoa ni lazima uende bank kwa hiyo watumiaji wa maswala ya kibenki wataongezeka na kuongeza mapato kwa serikali kutokana na kodi ya VAT kukusanywa kupitia utoaji wa pesa hizo kwenye bank husika. 2:Vijana wengi sana na mimi nikiwemo tutaweza kufanya kazi kimataifa kwa kukaa kwenye komputya zetu na hatimaye kuingiza kipato ambacho kitaongeza pato la mtu mmoja mmoja lakini pia Maisha kuboresheka kutokana na kiwango cha pesa tutakachoingiza 3:Watu wengi wataweza kupata kazi ya kufanya kutokana na fursa nyingi sana kupitia mitandao ambayo inaruhusu freelancer kufanya kazi na kulipwa huku watu wakiweza kujiingizia kipato cha ziada na kuboresha maisha yao. 4:Kutachangia kwa asilimia kubwa Matumizi sahihi ya mtandao ambapo watu wengi wataweza kutafuta kazi za kufanya kupitia mitandao na kujiingizia kipato ambacho kitaweza kuboresha maisha ya mmoja mmoja na hatimaye mabank kukusanya kodi pindi pesa zitolewazo na wateja husika. 5: Kutachangia maendeleo ya taifa na watu binafsi pia kutokana na kuwa na wigo mpana wa kuuza bidhaa zetu kupitia mtandao na kufanya kuongeza masoko ya bidhaa zetu kama Vinyago nk. Mh Rais, Nakuomba kwa nia yako njema uliyo nayo juu ya wananchi wako na mimi nikiwemo, nakuomba sana sana kuweza kuwapa taarifa hii watu husika ambao kwanza Ni Benki Kuu Ya Tanzania kuweza kulifanyia kazi Jambo hili kwa uharaka ili kuweza kuanza kufanya kazi na hatimaye watanzania kuweza kufurahia huduma hii ambayo itaongeza tija kwa taifa na wananchi wake. lakini pia Nakuomba Mh Rais, Kuwapa kazi Benki Kuu ya Tanzania kwanza kufuatilia kwa ukaribu swala hili kama unavyojua kuwa teknolojia inakimbia kwa spidi ya umeme na tusingependa kubakia nyuma sana Ushauri wangu ni kwamba Benki Kuu wanauwezo wa kukutana na wadau na kuweza kujadili hili na namna ambavyo linaweza kuwa na tija kwa Taifa. Mh Rais najua una majukumu mengi sana ya kutimiza ili kuijenga Tanzania mpya lakini naomba nisikuchoshe kwa barua ndefu huku lengo likiwa tayari limeshafika nipo tayari hata kutoa mawazo yangu pindi yatakapohitajika na wahusika pindi watakapokuwa tayari kulifanyia kazi swala hili. Na naamini wapo vijana wengi ambao tunaweza kushirikiana na Benki Kuu ya Tanzania katika kushauriana na kutoa mawazo chanya katika kufanikisha hili. Naomba Mh Rais kama hutopata nafasi ya kuisoma hii barua basi nawaomba watendaji wako waliopata nafasi ya kuisoma hii waweze kukufikisha japo upate kufahamu nini wananchi wako tunatamani huduma hii nzuri. Nikutakie Kazi Njema na yenye mafanikio huku masikio yetu yakiwa tayari kusikia mtazamo wa Benki Kuu ya Tanzania kuhusiana na huduma hii ya PAYPAL. Makala 7282466244358499590
2017-08-19T09:26:29
http://www.josephatlukaza.com/2016/09/barua-kwa-mh-rais-wa-jamhuri-ya.html
[ -1 ]
Matusi Yamkera Samatta | MPEKUZI Matusi Yamkera Samatta Mshambuliaji wa klabu ya Aston villa na timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars', Mbwana Samatta ameeleza masikitiko yake kufuatia maoni yasiyoridhisha ya Watanzania katika mitandaao ya kijamii. Samatta amesema hayo kufuatia Watanzania kutoa maoni yasiyoridhisha yakiwemo matusi katika kurasa za klabu ya Aston Villa na kurasa za wachezaji wa timu hiyo, wakidai kuwa mchezaji wao hapewi nafasi nyingi uwanjani. Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Samatta ameandika, "mashabiki wa soka Tanzania nafahamu kuwa mnanipenda kijana wenu na mnapenda nifanye vizuri katika timu yangu mpya, lakini nawaomba muache kutoa maneno ya kashfa au yenye mlengo mbaya katika kurasa za timu au wachezaji, binafsi sifurahishwi".
2020-02-29T07:46:59
http://www.mpekuzihuru.com/2020/02/matusi-yamkera-samatta.html
[ -1 ]
Rosti ya meatballs (kababu za nyama) – Jiko na Jane Rosti ya meatballs (kababu za nyama) Muda jumla; dakika 50 Kwa meatballs (kababu za nyama) Slesi 2 za mkate Pilipili kichaa 2 (zisizowasha) Vijiko 3 vya chakula majani ya kotimiri Vijiko 3 vya chakula majani ya mnanaa 1/4 kikombe maziwa ya uvuguvugu 1/2 kikombe unga wa ngano Kwa rosti ya nyanya Kijiko 1 cha chai kitunguu saumu na tangawizi Kikopo 1 nyanya (gram 70) Vijiko 2 vya chakula mafuta ya kupikia Kikombe 1 maji Majani ya kotimiri na jibini ya kunyinyizia kwa juu Andaa viungo vya sosi; weka nyanya na kitunguu kwenye mashine ya kusagia kutengeneza rojo; twanga kitunguu saumu na tangawizi; katakata majani ya kotimiri vipande vyembamba; weka pembeni Toa sehemu za pembeni kavu za mkate, katakata kipande cha katikati vipande vidogovidogo Andaa viungo vya meatballs (kababu za nyama); twanga kitunguu saumu na tangawizi; katakata pilipili kichaa, kitunguu maji, majani ya kotimiri na majani ya mnanaa vipande vidogovidogo Loweka mkate na maziwa kwenye bakuli, changanya mpaka ulainike kabisa Kwenye bakuli kubwa, weka nyama, yai, kitunguu saumu, tangawizi, pilipili kichaa, majani ya kotimiri, majani ya mnanaa, kitunguu maji,mchanganyiko wa maziwa na mkate, chumvi na pilipili manga, changanya vizuri kwa mkono Gawanga nyama kwenye madonge madogomadogo, chovya kwenye unga wa ngano kila upande mpaka nyama ifunikwe kabisa na unga wa ngano Kwenye sufuria au kikaangio kikubwa katika moto wa juu kiasi, chemsha vijiko 4 mafuta. Ongeza madonge ya nyama. Kaanga kwa dakika 1 hadi 2, au mpaka iwe ya kahawia kwa nje ila isiive kabisa. Pakua nyama kwenye sahani, weka pembeni Kwenye sufuria/ kikaangio weka vijiko 2 vya chakula mafuta, yakichemka ongeza mdalasinni, bay leaves, kitunguu saumu na tangawizi pika mpaka kitunguu saumu na tangawizi vilainike. Ongeza nyanya ya kopo na rojo ya nyanya na kitunguu. Pika mpaka nyanya ziive vizuri, ukigeuza inapobidi. Ongeza na chumvi na pilipili manga kwa kuonja Ongeza kikombe 1 cha maji, acha yachemke mpaka sosi ianze kutokota. Ongeza meatballs (kababu za nyama), funika sufuria, acha iive moto wa chini kabisa kwa dakika kama 20 au mpaka nyama iive vizuri na sosi iwe nzito; ukigeuza sosi mara moja moja… Ongeza majani ya giligilani, pakua tayari kwa kuliwa Pakua na chakula utakachopenda, Nyunyizia jibini (cheese) kwa juu wakati wa kupakua CategoriesMboga, Mchuzi, Nyama, Nyama ya ng´ombe Previous PostPrevious Rosti ya egg chops za nazi Next PostNext Icing sugar ya jibini (cream cheese) Keki ya limao Skonzi za limao Pancakes za limao jane on Keki ya limao Anonymous on Keki ya limao
2019-03-21T13:51:41
http://www.jikonajane.com/2018/03/28/rosti-ya-meatballs-kababu-za-nyama/
[ -1 ]
BOMU LINGINE KULIPULIWA BUNGENI,NI BAADA YA LILE LA ESCROW - HABARI24 Home / Uncategories / BOMU LINGINE KULIPULIWA BUNGENI,NI BAADA YA LILE LA ESCROW BOMU LINGINE KULIPULIWA BUNGENI,NI BAADA YA LILE LA ESCROW HABARI24 TV 2:25:00 AM Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) itawasha moto upya bungeni wakati itakaposoma ripoti maalumu ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ikitarajiwa kuibua kashfa tatu nzito ikiwamo ya misamaha ya kodi. Kashfa nyingine zinazotarajiwa kuibuliwa kesho ni, ufisadi katika gharama za ujenzi wa jengo la watu mashuhuri (VIP) katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) na uuzaji wa nyumba ya Bodi ya Korosho. Habari zilizolifikia gazeti hili jana na kuthibitishwa na Mwenyekiti wa PAC, Zitto Kabwe zilisema kuwa, tayari kamati hiyo imepokea ripoti ya ukaguzi huo ambayo inaonyesha ufisadi wa kutisha katika maeneo hayo matatu na mengineyo. Masuala hayo matatu pia yaliibuka wakati wa vikao vya kamati za Bunge vilivyomalizika Dar es Salaam wiki iliyopita, huku bodi ya korosho ikibanwa kuhusu nyumba yake aliyouziwa Mbunge wa Kibaha Mjini (CCM), Silvestry Koka. Kwa mujibu wa habari hizo, ripoti hiyo inayoonyesha jinsi ufisadi wa kutisha ulivyofanywa katika ujenzi wa jengo la (VIP Lounge) na Serikali inadai ilitumia Sh12 bilioni kulijenga, lakini mthamini wa majengo ya Serikali ameeleza kuwa jengo hilo lina thamani ya Sh3 bilioni. Katika suala la misamaha ya kodi, PAC imepokea taarifa kutoka kwa CAG ikionyesha kuwa misamaha hiyo iliyokuwa imefikia Sh1.5 trilioni mpaka Juni 2013, lakini baada ya mwaka moja misamaha hiyo imeongezeka hadi Sh1.8 trilioni mpaka Juni 2014. “Kwa mwaka moja tu, misamaha ya kodi imeongezeka kwa zaidi ya Sh300 bilioni. Kiasi hiki ni kama escrow fulani (Fedha za Akaunti ya Tegeta Escrow, Sh306 bilioni),” chanzo cha habari kilidokeza. Katika vikao vya kamati hiyo, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ilieleza kuwa misamaha ya kodi imepanda kutoka Sh1.4 trilioni mwaka 2012/13 hadi Sh1.8 trilioni mwaka 2013/14, chanzo kikiwa ni misamaha ya kodi katika miradi mikubwa. Ilisema kati ya misamaha hiyo, Sh676 bilioni zinatokana na misamaha ya kodi inayotokana na Ongezeko la Thamani (VAT) na kuwa hali hiyo itapungua iwapo nchi itaanza kutumia Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT). Pia, TRA ilifafanua kuwa mpaka sasa wafanyabiashara na kampuni kubwa zimefungua kesi katika mahakama ya rufaa wakipinga kulipa kodi ambayo inafikia Sh1.7 trilioni. Mvutano mwingine unaotarajiwa kuibuliwa katika ripoti hiyo ni uwasilishwaji wa utata wa uuzwaji wa nyumba ya Bodi ya Korosho. Awali, hati ya nyumba hiyo ilikuwa ya Taasisi ya Kilimo Tanzania ambayo ilifutwa mwaka 1963, kabla ya mtu mwingine kuibadilisha hati na kuiuza kwa Koka mwaka 2011. Makamu Mwenyekiti wa Bodi hiyo, Mudhihir Mudhihir alisema Koka aliuziwa nyumba na taasisi hiyo ambayo haikuwa mmiliki halali. Alisema nyumba hiyo iliuzwa kwa Sh300 milioni na katika juhudi za bodi kufuatilia taratibu za kuirudisha, ikagundulika kuwa hati imeshabadilishwa, kusisitiza kuwa uuzwaji wa nyumba hiyo ulifanyika kimakosa bila kufuata sheria na taratibu. Juzi Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue alikaririwa akiwataka wananchi kutoa taarifa kuhusu makusudio ya kuuza nyumba za Serikali na mashirika ya umma, kutokana na madeni mbalimbali ili ziweze kukombolewa kabla ya kuuzwa BOMU LINGINE KULIPULIWA BUNGENI,NI BAADA YA LILE LA ESCROW Reviewed by HABARI24 TV on 2:25:00 AM Rating: 5
2017-08-22T07:17:24
http://habari24.blogspot.com/2015/01/bomu-lingine-kulipuliwa-bungenini-baada.html
[ -1 ]
14.02 K (−259.12°C) 20.27 K (−252,88 °C) Hidrojeni ni elementi ya kikemia yenye namba atomia 1 na uzani wa atomi 1.00794. Alama yake ni H. Ni atomi nyepesi kati ya elementi zote hivyo ina nafasi ya kwanza katika mfumo radidia Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Hidrojeni&oldid=947777" Jamii: Mbegu za kemiaElementiSimetali Urambazaji
2015-06-30T19:46:43
https://sw.wikipedia.org/wiki/Hidrojeni
[ -1 ]
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi Akabidhi Vifaa Kwa Uongozi wa Timu ya Muembeladu "Kubwa Lijalo" - ZanziNews Home MATUKIO MICHEZO Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi Akabidhi Vifaa Kwa Uongozi wa Timu ya Muembeladu "Kubwa Lijalo" Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi Seif Ali Iddi Akabidhi Vifaa Kwa Uongozi wa Timu ya Muembeladu "Kubwa Lijalo" Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimkabidhi msaada wa seti za Jezi Mwenyekiti wa Timu ya Soka ya Muembe Ladu Omar Zubeir katika lengo la kuendeleza Michezo Nchini.Wa kwanza kutoka Kushoto ni Kocha wa Timu ya Soka ya Muembe Ladu Ramadhan Madundo na wa kwanza kutoka Kulia ni Katibu wa Timu hiyo Mohamed Mbarouk. Mwenyekiti wa Timu ya Soka ya Muembe Ladu Omar Zubeir akimshukuru Balozi Seif kwa msaada huo wa Jeziutakaoleta faraja kwa Uongozi wa Klabu hiyo pamoja na Wachezaji wenyewe. Balozi Seif Ali Iddi akisisitiza umuhimu wa kudumishwa nidhamu Michezoni ili wachezaji wajijengee heshima itakayowatanulia hatma njema kimichezo ikiwemo suala la ajira mara baada ya kukabidhi msaada wa Jezi. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema suala la nidhamu michezoni ni jambo la msingi linalomjengea sifa na mafanikio mazuri mchezaji katika maisha yake Kimichezo. Amesema mchezaji anapofikia hatua ya kutegemewa na Viongozi pamoja na walimu wake kutokana na kipaji alichojaaliwa analazimika kulinda heshima hiyo ili imfikishe daraja analokusudia kufikia hasa suala la ajira. Balozi Seif Ali Iddi alisema hayo Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar wakati akiukabidhi Msaada wa seti mbili za Jezi pamoja naahadi ya Mipira Minne kwa Timu ya Soka ya Muembe Ladu katika azma ya kuunga mkono jitihada za kuendeleza Sekta ya Michezo Nchini. Alisema nidhamu ndio silaha pekee inayomfikisha kwenye mafanikio Mchezaji au mtu yoyote katika malengo yake akatolea mfano baadhi ya Wachezaji wa Tanzania ambao kwa sasa wanacheza mpira wa kilipwa katika Timu za Mataifa mbali mbali Duniani. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar aliupongeza Uongozi wa Timu ya Soka ya Muembe Ladu kwa jitihada unazochukuwa wa kuwaendeleza Vijana wao Kimichezo na kuweka Historia ya Timu hiyo katika medani ya Soka. Akipokea Msaada huo Mwenyekiti wa Klabu ya Soka ya Muembe Ladu Omar Zubeir alimshukuru Balozi Seif kwa uamuzi wake wa kuisaidia Klabu hiyo msaada utakaoleta faraja kwao na hata wachezaji wenyewe. Omar Zubeir alisema Timu ya Soka ya Muembe Ladu na Ujamaa zina Historia ndefu ya kuwa Timu Moja kipindi cha nyuma isiyosahaulika kwa wapenda soka Nchini kitendo ambacho Kizazi cha sasa kinapaswa kuifuatilia Historia hiyo.
2020-06-05T02:13:01
http://www.zanzinews.com/2019/04/makamu-wa-pili-wa-rais-wa-zanzibar_23.html
[ -1 ]
DOGO JANJA KATOA POVU KWA YOUNG DEE | Zotekali Blog DOGO JANJA KATOA POVU KWA YOUNG DEE MSANII wa Hip Hop nchini Dogo Janja aliyekaa kimya juu ya kauli za Young Killer na Young Dee , sasa kafunguka na kusema Young Kille... Hawa ni vijana wanaofanya vizuri kwenye muziki wa Hip Hop nchini, ambako pia watu wanawafananisha kutokana na wote wanavyoimba kwa aina ya kurap ila kwa kila mmoja hapendi kufananishwa na mwenziye. Zotekali Blog: DOGO JANJA KATOA POVU KWA YOUNG DEE https://2.bp.blogspot.com/-ByemPmB7xvs/Wcl1eWpRNII/AAAAAAAAfSA/HbkDE3yoL-0k4Nzpv1YfPI8KKu0DyzWNACLcBGAs/s1600/Dogo-Janja-2.jpg https://2.bp.blogspot.com/-ByemPmB7xvs/Wcl1eWpRNII/AAAAAAAAfSA/HbkDE3yoL-0k4Nzpv1YfPI8KKu0DyzWNACLcBGAs/s72-c/Dogo-Janja-2.jpg http://www.zotekali.com/2017/09/dogo-janja-katoa-povu-kwa-young-dee.html
2017-10-20T15:50:56
http://www.zotekali.com/2017/09/dogo-janja-katoa-povu-kwa-young-dee.html
[ -1 ]
Mkuu wa wilaya ya manyoni amemtaka meneja wa ico general marketing company limited kuzingazia haki za wachimbaji wadogo wadogo wa madini ya jasi Tarehe ya Kuwekwa: August 17th, 2018 Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mh Rahabu Solomon Mwangisa Amemtaka Meneja wa ICO GENERAL MARKETING COMPANY LIMITED Kuzingatia haki za wachimbaji Wadogo wadogo wa Madini ya Jasi. Rahab ametoa maagizo hayo pale alipofanya Ziara ya kutembelea Maeneo ambayo Jasi inapatikana katika Halmshauri ya Wilaya ya Itigi na kukutana na Wachimbaji hao na kutoa Malalamiko yao ya kuwa haki zao zinaminywa ikiwa ni pamoja na kupewa ujira mdogo kulinganisha na kazi wanayofanya. Mawazo peter (33) Mchimbaji wa Madini ya Jasi katika kata ya Dototo kijiji cha kahomwee alimweleza Mkuu wa Wilaya kuwa Mazingira wanayofanyia kazi ni Magumu kwa Kuwa wanafanya kazi kwa kunyonywa na kufanya kazi bila kuwa vifaa vya kulinda usalama wa Afya zao kama Viatu Maalum nk Katika hatua nyingine Mkuu wa Wilaya alitembelea ukarabati wa kituo cha Afya Itigi ambacho Serikali imetoa Sh 400,000,000 na kumtaka Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Itigi Ndugu Pius Shija Luhende kuendelea kusimamia Majengo hayo kwa Kasi ili kuhakikisha Majengo hayo yanakamilika ili Wananchi waweze kupata Matibabu Hata ivo Mkuu wa Wilaya alitembelea Jengo la Utawala linajengwa na Mkandarasi TBA nakuona hatua ya ujenzi ilipofikiwa. Naye Rabbeca ambaye ni Msimamizi wa Ujenzi alimweleza Mkuu wa Wilaya Kuwa fedha zipo na Wao wanaendelea na Ujenzi ili kuhakikisha wanakamilisha ujenzi huo mapema Iwezekanavyo ili jengo hilo liweze kutumika Mkuu wa Wilaya na Manyoni Mh Rahabu Solomoni Mwangisa akiwa katika Eneo la Wachimbaji wadogo Wadogo na Kuangalia aina Mbali mbali za madini ya Jasi katika Eneo la Kahomwee katika kijiji cha Doroto Madini ya Jasi yaliwekwa kwenye Viroba tayari kwa Kusafirishwa na kupelekwa viwandani Wajumbe wa kamati ya Ulinzi na usalama waliembatana na Mkuu wa Wilaya katika kutembelea kituo cha Afya Itigi Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mh Rahab Solomoni Mwangisa (Aliyevalia nyekundu) pamoja na Mkurugenzi wa Halamshauri ya Wilaya ya Itigi wakitembelea Kituo cha Afya Itigi Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mh Rahab Solomoni Mwangisa akitoa Maelekezo kwa Mkandarasi wa Jengo la Utawala katika Halmashuri ya Wilaya ya Itigi Ujenzi wa Jengo la Utawala katika Halmashuri ya Wilaya ya Itigi
2018-10-20T19:24:59
http://itigidc.go.tz/new/mkuu-wa-wilaya-ya-manyoni-amemtaka-meneja-wa-ico-general-marketing-company-limited-kuzingazia-haki-za-wachimbaji-wadogo-wadogo-wa-madini-ya-jasi
[ -1 ]
EnglishKona Fluency Club - English Kona WhatsApp : 0767 329 643 Karibu Englishkona.com kujifunza lugha ya kiingereza. Leo tumekutana tena kupeana mawili matatu katika lugha ya kiingereza. Watu wengi ... EnglishKona Fluency Club UNATAKA KUONGEA KIINGEREZA KWA UFASAHA.... ? Unashindwa kuongea kiingereza kwa ufasaha ? Kama jibu lako ndiyo basi umefika mahala husika ambapo pata kutimizia ndoto yako ili uweze kuongea kiingereza kwa ufasaha . 👉Je unafanya makosa ya grammar kila mara unavyoongea kiingereza ? 👉Ni ngumu kwako kuwaelewa waingereza na wamarekani wanavyoongea kwa haraka ? 👉Unaweza kusoma magazeti au makala za kiingereza , lakini unashindwa kuwaelewa waingereza na wamerakni wanavyoongea ? 👉Au unaweza kukielewa kiingereza kilichoandikwa lakini unashindwa kukielewa kiingereza cha kuongea ? 👉Umesoma sana kiingereza shuleni lakini mpaka sasa unashindwa kukiongea kwa ufasaha ? 👉Ni ngumu kwako kuelewa movie za kiingereza na vipindi vya kiingereza ( hauelewi hadi kuwe na subtitle ndo unaelewa ) ? 👉Je unashindwa kuongea kiingereza kutokana na kutojua maneno mengi ya kiingereza ( yani una upungufu wa misamiati kichwani ) . Kama una upungufu wa misamiati basi uta : -Ongea kwa kusitasita na vituo vingi ( ushawahi kujiuliza kuwa kiingereza kina maneno zaidi ya 15,000 ?......Je utaanza wapi kujifunza hayo yote ? ) KWA KIFUPI UNASHINDWA KUONGEA KIINGEREZA KWENYE MAZUNGUMZO YA KAWAIDA AU YA KILA SIKU . Jifunze kuyaepuka makosa hayo na uweze kuongea kiingereza kwa ufasaha zaidi . Pata kazi unayoitaka .Faulu mitihani na interview . Safiri safari za kimataifa . Heshimika kila mara pale unapoongea kiingereza . SOMA MAELEZO YAFUATAYO UWEZE KUJIFUNZA KIINGEREZA KWA UFASAHA KWA KUTUMIA LISAA LIMOJA TU KWA SIKU . "KAMA UKITUMIA ANGALAU DAKIKA 15 KWA SIKU KWENYE MAFUNZO YETU YA KIINGEREZA , BASI UTAWEZA KUONGEA KIINGEREZA KWA UFASAHA NDANI YA MUDA MCHACHE . " Sasa English kona imekuandalia kozi ( EnglishKona Fluency Club ) ambayo itakusaidia uweze kuongea kiingereza kwa ufasaha zaidi na kwa haraka. Watu wengi wanatumia njia ambazo sio sahihi katika kujifunza kiingereza . Hivi unajua kwamba usomaji wa sheria za grammar sanaa unaumiza uwezo wako kiingereza ? Hivyo ndo maana tumeandaa mafunzo ya grammar kwa njia ya asili na simple kama anayotumia mtoto mdogo kujifunza lugha mama . Kozi yetu utajifunza english kama mtoto mdogo anavyojifunza lugha yake mama . Mtoto mdogo hajifunzi sheria za lugha pia hakariri maneno kichwani lakini bado anaweza kuongea lugha yake kwa ufasaha zaidi . Njia hii ndio tunatumia kukufundishia wewe kiingereza kwa ufasaha zaidi ndani ya wiki kumi na Kozi yetu imegawanyika katika makundi mawili : Kundi la kwanza : Hili ni kundi la watu ambao hawajui kiingereza kabisa au wanajua kidogo . Watu hawa watachukua miezi minne tu hadi kuwa fasaha kabisa na ada yao ni sh.10,000 tu kwa mwezi . Kundi la pili : Hili ni kundi la watu ambao kiingereza wanakijua sema wanashindwa kuongea na kuelewa kwa ufasaha . Watu hawa watachukua miezi miwili tu hadi kuwa fasaha na ada yao ni sh.15,000 tu kwa mwezi . Kozi zetu haijalishi kiwango cha elimu yako uliyofikia ( iwe umeishia darasa la saba , kidato cha nne au sita au upo chuo au unafanya kazi . ) Utaongea kiingereza automatically bila ya kutafsiri maneno kichwani . Mafunzo yetu utasoma kwa dakika 15 hadi 20 kwa siku, kuanzia muda wowote ule na mahali popote utakapojisikia . Hapa inategemegea muda gani utakuwa free kwa sababu ya watu wengi kwenda kazini na kuwa bize . Na pia haina haja ya kwenda tuition au kwenye vituo vya kufundisha kiingereza , hapa ni wewe tu na simu yako , hii ni kutokana na mafunzo yetu yanatolewa kwa njia ya WhatsApp . Pia utapata muda mwingi wa kufanya mazoezi na mwalimu . Mafunzo yanapatikana WhatsApp kwa shilingi 10,000 au 15,000 tu kwa mwezi ( inategemea na level yako ) . Utasoma kwa notes , voice notes na video . KUJIUNGA NASI KATIKA KOZI YETU , BOFYA HAPA 👉👉 BONYEZA HAPA AU WASILIANA NASI KWENYE NAMBA HII 0767329643 . Unknown 26 January 2019 at 06:30 Lets God keep your spirit of helping people for ever. God bless you guys Katika grammar ya kiingereza tuna possessive adjectives na possessives nouns. Possessive adjectives - Vivumishi vya umiliki. ( My ,... SIMPLE PAST TENSE ( WAKATI ULIOPITA ) . Tunatumia " Simple past tense " kuongelea vitu , vitendo au hali iliyotokea wakati... Welcome to English Kona Tafadhali Subscribe channel yetu ya YouTube kupata mafunzo ya lugha ya kiingereza. The present perfect tense ni moja wapo ya nyakati muhimu sana ambayo unatakiwa kuifahamu wakati unapoanza kujifunza lugha ya kiingerez... Archive June (3) May (3) April (1) March (2) February (5) January (16) PAST TENSE ( WAKATI ULIOPITA ) 2. PAST TENSE ( WAKATI ULIOPITA ) Past Tense imegawanyika katika sehemu kuu nne, ambazo ni : I. Simple past tense II. Past Continuous... Watu wengi wanaojifunza kiingereza huchanganya matumizi kati ya "I" na "Me" hasa hasa pale wanapoyatumia pamoja na maj... Tumeshasoma kuhusu simple present tense . Sasa hapa tunaangalie " the present continuous tense . " Vitenzi vya " the p... Call / WhatsApp: 0767 329 643
2020-01-20T07:47:06
https://www.englishkona.com/p/englishkona-fluency-club.html
[ -1 ]
Mfungwa aliyeachiwa kwa msamaha wa Rais Magufuli akamatwa kosa la wizi, adai tamaa ilimshika baada ya kuona hela - Kenya News Alerts Home Videos Mfungwa aliyeachiwa kwa msamaha wa Rais Magufuli akamatwa kosa la wizi, adai... Mmoja wa wafungwa walioachiwa kwa msamaha wa rais mkoani Njombe anashikiliwa na polisi mkoani hapa kwa kosa la kuvunja nyumba ya kulala wageni ya Nang’ano mjini Makambako ili kuiba fedha. Mussa Msolwa maarufu Hitler amedai alikwenda hapo kulala lakini tamaa ilimshika baada ya kuona fedha hizo. Jumatatu Desemba 9, 2019 Rais wa Tanzania John Magufuli alitoa msamaha kwa wafungwa 5,533 lakini mmoja wa wafungwa hao, Mussa Msola maarufu Hitler amekamatwa na polisi mkoani Njombe kwa tuhuma za kuvunja nyumba ya kulala wageni iliyopo mjini Makambako. Msola ambaye kabla ya kuondoka katika gereza la Njombe aliomba msamaha mbele ya viongozi wa Serikali na maofisa usalama huku akiwasihi wenzake kuwa wema waendapo uraiani, aliachiwa huru jana Jumanne Desemba 10, 2019 saa 8 mchana. Lakini saa nane baadaye alikamatwa na wananchi akiwa katika nyumba hiyo ya wageni ya Nang’ano iliyopo mtaa wa Mwembetogwa mjini Makambako akifanya uhalifu. Rais Magufuli alitoa msamaha huo katika maadhimisho ya miaka 58 ya Uhuru wa Tanganyika yaliyofanyika uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza. Akizungumzia tukio hilo leo Jumatano Desemba 11, 2019 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Hamisi Issa amesema, “ninaweza kusema msemo wa Kiswahili kuwa sikio la kufa halisikii dawa umetia leo Njombe baada ya mtuhumiwa mmoja Mussa Msola maarufu Hitler.” “Aliyepewa msamaha (na Rais) na kuondoka Njombe kuja Makambako jana mchana lakini baada ya saa nane tangu atoke gerezani alishawishika na kufanya tukio la uvunjaji na wa nyumba ya kulala wageni ya Nang’ano.” Issa amesema mtuhumiwa huyo ambaye kabla ya kutoa gerezani aliwasihi wenzake kuwa wema na kuomba msamaha kwa viongozi waliofika gerezani kushuhudia wafungwa wakiachiwa, alikamatwa na wananchi na kufikishwa kituo cha polisi. “Yupo polisi na tulipomhoji alisema tamaa zimemshika na akafanya hayo. Tunawataka wasirudie vitendo vya uhalifu watarudi jela. Maisha yake ameamua kuwa gerezani na atarudi gerezani,” amesema Issa. aliyeachiwa ilimshika Previous articleIsrael heads to its 3rd election in 1 year after failure to form coalition Next articleChildren to no longer bear with bitter ARVs Australia’s election in 11 charts
2020-01-28T13:14:59
https://kenya-news-alerts.com/mfungwa-aliyeachiwa-kwa-msamaha-wa-rais-magufuli-akamatwa-kosa-la-wizi-adai-tamaa-ilimshika-baada-ya-kuona-hela/
[ -1 ]
KALULUNGA BLOG: DIWANI CCM AZUIA MAITI YA MWANAE ISIZIKWE, MGOGORO WAINGIA SIKU YA 47 DIWANI CCM AZUIA MAITI YA MWANAE ISIZIKWE, MGOGORO WAINGIA SIKU YA 47 WINGU zito limetanda juu ya hatima ya mazishi ya Rosemary Marandu(38) aliyefariki dunia septemba 4 mwaka huu kutokana na kuwapo kwa sintofahamu ya nani hasa mwenye haki ya kuuzika mwili huo. Mwili huo ambao jana umerfikisha siku 46 ukiwa unaendelea kuhifadhiwa katika hospital ya rufaa ya KCMC,umekwama kuzikwa kutokana na kuwapo na mgororo wa kifamilia ukimhusisha baba mzazi wa marahemu,Flavian Marandu na familia yake akiwamo mkwewe,Sigfrid Mlingi. Mume huyo wa marehemu anamtuhumu baba mkwe wake kwamba ndiye aliyezuia mwili wa mkewe mpendwa usizikwe huku Marandu mwenyewe akikana tuhuma hizo. Akizungumza na mtandao wa www.kalulunga.blogspot.com mwishoni mwa wiki, Marandu ambaye ni diwani wa kata ya Mrao Keryo(CCM) wilayani Rombo, alikana tuhuma hizo akidai kuwa hawezi kuingilia mazishi na mke wa mtu. Marandu ambaye ni mfabiashara anayemiliki vitega uchumi kadhaa katika miji mbali mbali hapa nchini, vikiwamo viwanda vya kupasua mbao, amedai kuwa anachofahamu yeye ni kwamba mwanye marehemu Rosemary anaye mume wake hivyo isingekuwa busara yeye kuingilia taratibu za mazishi. Marandu amesisitiza kuwa,ametoa Baraka zote kwa ndugu na jamaa pamoja na mume wa maremhemu mwanaye wa kuchukua kibali cha mazishi na kwenda kuzika wanakoona panafaa lakini wanandugu wangali na hofu juu ya kauli hiyo. Wakati mfanyabiashara huyo akikana madai hayo,mume wa marehemu amesisitiza kuwa mwili wa mkewe umezuiliwa na baba mzazi wa marehemu huku akidai kuwa, yote anamwachia mungu. Mlingi amedai kuwa,baada ya kifo cha mkewe alikwenda nyumbani kwa baba mkwe wake katika kijiji cha Mrao Keryo ili kuweka sawa mipango ya mazishi lakini anadai kufukuzwa na kutolewa lugha isiyokuwa na staha. Alisema alimuuguza mkewe katika Hospital ya mkoa ya mawenzi hadi alipomfia mikononi mwake lakini akasikitishwa na kauli za kuuzi alizozipata kutoka kwa baba mkwe wake Mwili huo wa marehemu Rosemary Marandu umekuwa ukilipiwa sh,9,000 kila siku kama gharama za kuuhifadhi na jana olipofika siku ya 46 ulihitajika kulipiwa kiasi cha Tsh.414,000/= Kwa mujibu wa mume huyo wa marehemu,awali kulikuwapo na makubaliano ya kuuzika mwili wa maremhemu mkewe katika makaburi ya umma eneo la karanga mjini hapa septemba 9 lakini baba wa marehemu alibadili msimamo na kukataa. Mgogoro huu unaibuka siku chache baada ya mgogoro mwingine wa kugombea mwili wa marehemu Steven Laurent Assey, aliyefariki dunia septemba mosi katika Hospital ya taifa Muhimbili, kuhitimishwa septemba 30 na mahakama ya hakimu mkazi mjini moshi . Mgogoro huo ulihusisha wake wawili wa marehemu Assey,Lucy Assey na Fortunata Lyimo ambako mke wa kwanza wa marehemu,Lucy Assey alikuwa akipinga mke mwenzake kuzika mwili huo akidai hana haki hiyo. Lakini mahakama chini ya hakimu Munga Sabuni, ilihitimisha mgogoro huo septemba 30 baada ya kumpa haki mke mdogo wa maherehmu ya kuzika mwili huo baada ya ushahidi kubaini kuwa marehemu aliacha wosia wa mdogo kuwa akifariki azikwe Kilema chini eneo la Masaera nyumbani kwa mke mdogo. Akitoa umauzi huo ,hakimu Sabuni,alisema kuwa kwa mujibu wa sheria ya wosia wa mdomo ya mwaka 1963 kama ilivyotangazwa kwenye gazeti la serikali namba 436,marehemu Assey alitimiza matakwa ya sheria hiyo kwa kuita watu wanne na kuwapa wosia wa mdomo kuhusu eneo analotaka azikwe endapo atafariki.
2018-01-16T13:28:34
http://kalulunga.blogspot.com/2014/10/diwani-ccm-azuia-maiti-ya-mwanae.html
[ -1 ]
MBIU YA JAMII "Sauti Yetu": Nimeipenda hii,,,Waisilamu kulinda makanisa Kenya Habari NJEMA ya siku toka Afrika Mashariki. IT BRINGS GOD'S GRACE Kumbe inawezekana dini hizi mbili kubwa kuwa chanzo cha amani na mafanikio au chanzo cha vurugu na vita Kuna chombo kimoja cha habari hapa nchini, ntafurahi sana kama watapata nafasi ya kuisoma hii. VIONGOZI wa Kiislamu nchini Kenya wamekubaliana kuunda makundi ya kutoa ulinzi kulinda makanisa kutokana na mashambulizi kama yaliyotokea Kaskazini mwa Kenya siku ya Jumapili. Watu 15 waliuawa katika mashambulizi mawili dhidi ya makanisa mawili mjini Garissa karibu na mpaka wa Somalia. Eneo la mpakani mwa Kenya na Somalia limekumbwa na hali ya wasiwasi tangu Kenya ilipopeleka majeshi yake kupambana wanamgambo wa Al-Shabab. Mkuu wa baraza la waisilamu nchini Kenya, Adan Wachu, aliambia BBC kuwa kitendo cha Jumapili kilikuwa cha ugaidi. Waislamu wanahisi kuwa kwa sababu wakristo ni wachache katika sehemu hiyo hakuna budi kuwalinda. “Kuna watu huko nje wanaotaka kufanya kila wawezalo kufanya Kenya kama Nigeria.” Alisema bwana Wachu, ambaye pia ni mwenyekiti wa baraza la viongozi wa kidini nchini Kenya.” “Sisi hatutaruhusu kutokea ghasia za kidini nchini humu, yeyote aliye na nia ya kuchochea hali hiyo afahamu kuwa hatafaulu.” aliongeza Wachu. Alisema kuwa sasa ni juu ya viongozi waisilamu mjini Garissa kupanga namna ambavyo makanisa thelathini yaliyo Garissa yatalindwa. Watu wengi wanaoishi ndani na kando ya mji wa Garissa ni wasomali na ambao ni waisilamu. Mwezi Oktoba mwaka jana wanajeshi waliingia nchini kupambana dhidi ya al-Shabab wanaotuhumiwa kufanya vitendo kadhaa vya utekaji nyara na kutatanisha usalama kwenye eneo la mpakani. Lakini tangu hapo Al Shabaab limelaumiwa kwa kufanya msururu wa mashambulizi ya maguruneti katika baadhi ya sehemu za nchi hiyo. Viongozi wa kundi hilo, hawajajibu shutuma zozote za kufanya mashambulizi ya Garissa. CHANZO: BBC..http://www.thehabari.com/?p=19805 TOKA DAWATI LA OHAYODA UTOFAUTI WA DINI USITUFANYE TUDHARAULIANE, TUJIDHARAU, TUONE TUNAFURSA ZAIDI YA WENGINE, TUJIONE NDO WA MAANA KULIKO WENGINE, BALI KILA MTU AHESHIMU UTU WA MTU MWINGINE BILA YA KUJALI DINI YAKE. RAI KWA VIONGOZI WA DINI ZOTE.... TAFADHALI SANA, MSIRUHUSU WATANZANIA AU WANAAFRIKA MASHARIKI TUTENGANE KWA SABABU ZA UBINAFSI KATIKA DINI ZETU...SISI SOTE NI MALI YA MUNGU, MBIVU NA MBICHI ANAZIJUA YEYE...
2017-07-22T08:52:53
http://ohayoda.blogspot.com/2012/07/nimeipenda-hiiwaisilamu-kulinda.html
[ -1 ]
Mzee wa Mshitu: MAMA MAGUFULI ASHIRIKI KATIKA HAFLA YA KUMUAGA PAROKO WA KANISA LA MTAKATIFU PETRO FR. STEPHANO KAOMBWE ANAYEHAMIA CHANG'OMBE Posted by Yahya Charahani at Monday, April 03, 2017
2017-08-23T02:21:30
http://charaz.blogspot.com/2017/04/mama-magufuli-ashiriki-katika-hafla-ya.html
[ -1 ]
HAMU INAYOKUA YA KUWA MTAKATIFUN | World Challenge HAMU INAYOKUA YA KUWA MTAKATIFUN Maisha matakatifu, yaliyotengwa hayanahubiriwa tena kwa sababu tunaogopa yanaweza kukosea na kutokuwa rafiki. Lakini wakati Roho anapoanza kazi yake, tutakuwa na hamu mpya ya utakatifu na hamu ya umoja wa Kristo. “Kama watoto watiifu, msijifananishe tamaa mbaya mlizokuwa nazo wakati wa ujinga. Bali kama vile yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, vivyo hivyo kuwa mtakatifu katika yote mnayofanya; kwa maana imeandikwa; Iweni watakatifu, kwa sababu mimi ni mtakatifu” (1 Petro 1:14-16). Utakatifu kwa urimwengu unazungumza juu ya kujitenga na usafi. Lazima iwe ya muhimu kwa Mungu, kwa kuwa anatuambia kwamba "bila utakatifu hakuna mtu atakayeona Bwana" (Waebrania 12:14). Utakatifu sio orodha ya kinachostahili na kisiostahili; badala yake, ni Kristo. Roho anapofanya kazi, tutakuwa na hamu ya kuongezeka ya kuwa watakatifu kama Kristo. Je! Ni nini kingine ambacho Roho Mtakatifu angefanya isipokuwa kuingiza asili yake ndani ya maisha yetu? Mara tu tunapomwamini Kristo kwa wokovu, Mungu ataanza kutuunda na kutunowa. Wengi hupata mabadiliko makubwa wakati wanamjua Kristo kwanza, lakini baada ya muda vita kati ya mwili na Roho hufanyika. Mtume Paulo aliandika, "Kwa sababu mwili hutamani kile kilicho kinyume na Roho, na Roho kile kilicho kinyume na mwili; Zinapingana na kila mmoja, ili musifanye chochote munachotaka” (Wagalatia 5:17). Paulo alikuwa akiandikia watakatifu wa Galatia, lakini alikubali kwamba wao, kama yeye, walipaswa kushinda ahadi ya mwili kutoka ndani ambayo iliachana na madhumuni ya Roho. Paulo sio yeye tu aliyeonya juu ya mazoea ya dhambi katika maisha ya waumini. Yohana alitukumbusha juu ya ukweli huu: “Wanangu wapendwa, ninawaandikia hii ili kwamba msitende dhambi. Lakini mtu ye yote akitenda dhambi, tunaye Mwombezi kwa Baba – Yesu Kristo, mwenye haki” (1 Yohana 2:1). Kusudi la Yohana lilikuwa wazi - kuhamasisha watu wa Mungu wasifanye ukosefu wa uadilifu, bali waishi kama Kristo. Roho Mtakatifu huleta usikivu mpya na uthibitisho kwetu ikiwa kweli tunaishi chini ya udhibiti wake. Tabia, maneno, na mitazamo ambayo sio safi husababisha majibu kutoka kwa Roho, ambaye ni mtakatifu. Unapojitolea maisha yako kwa Kristo, Roho Mtakatifu atatuma kwa upendo tahadhari, maonyo, na arifu nyekundu kukufanya ufuata mfano wake.
2020-07-10T21:51:59
https://www.davidwilkerson.org/sw/devotion/hamu-inayokua-ya-kuwa-mtakatifun
[ -1 ]
Aventuroj de la brava soldato Ŝvejk / ucheshi / jukwaa - lernu.net ya StefKo, 22 Aprili 2020 StefKo (Wasifu wa mtumiaji) 22 Aprili 2020 10:33:02 asubuhi Ujumbe: 2858 nornen (Wasifu wa mtumiaji) 22 Aprili 2020 7:33:33 alasiri StefKo (Wasifu wa mtumiaji) 23 Aprili 2020 9:03:51 asubuhi StefKo (Wasifu wa mtumiaji) 23 Aprili 2020 9:10:09 asubuhi StefKo (Wasifu wa mtumiaji) 24 Aprili 2020 6:35:29 alasiri StefKo (Wasifu wa mtumiaji) 25 Aprili 2020 10:02:35 asubuhi StefKo (Wasifu wa mtumiaji) 26 Aprili 2020 12:32:05 alasiri StefKo (Wasifu wa mtumiaji) 28 Aprili 2020 10:39:32 asubuhi StefKo (Wasifu wa mtumiaji) 30 Aprili 2020 9:05:58 asubuhi StefKo (Wasifu wa mtumiaji) 30 Aprili 2020 7:09:39 alasiri
2020-08-04T05:18:04
https://lernu.net/sw/forumo/temo/27966
[ -1 ]
Ushindi wa Macron waviparaganyisha vyama vikubwa Ufaransa | Matukio ya Kisiasa | DW | 12.06.2017 Chama cha Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron kiko njiani kupata wingi mkubwa viti vya bunge, baada ya duru ya kwanza ya uchaguzi Jumapili kuviacha katika mparaganyiko vyama vikongwe. Matokeo rasmi ya uchaguzi nchini Ufaransa yamethibitisha kuwa chama cha mrengo wa wastani cha rais Emmanuel Macron kinaongoza katika duru ya kwanza ya uchaguzi wa bunge la taifa. Chama hicho cha Jamhuri Yasonga Mbele -LREM na washirika wake wa mrengo wa kati wameshinda asilimia 32.32 ya kura kwa mujibu wa matokeo yaliyotangazwa na wizara ya mambo ya ndani. Chama cha siasa za wastani za mrengo wa kulia cha Republican kiko katika nafasi ya pili kwa asilimia 21.56, kikifuatiwa na kile cha siasa kali za kizalendo za mrengo wa kulia cha National Front kinachoongozwa na Marine Le Pen kilichopata asilimia 13.2, huku chama cha mrengo mkali wa kushoto cha "Ufaransa Thabiti" chake Jean Luc Melenchon kikiwa na asilimia 11 ya kura. chama cha Kisashalisti na vyama vingine vya mrengo wa kushoto vinashika mkia kwa kugawana asilimia 9.5 kati yao. Rais Emmanuel Macron akisalimiana na wapigakura baada ya kupiga kura yake siku ya Jumapili. 'Ujumbe wa wapigakura uko wazi' Akitangaza ushindi wa chama cha LREM katika duru hiyo ya kwanza ya uchaguzi ambao unatazamiwa kupangua na kupanga upya siasa za Ufaransa, waziri mkuu Eduard Philippe alisema licha ya ushiriki mdogo wa asilimia 49 tu ya wapigakura, ujumbe wa watu wa Ufaransa ulikuwa wazi - kwamba wanaunga mkono mradi wa rais wa mwanzo mpya, umoja na ufufuaji, na hivyo wanahitaji bunge lenye sura mpya. "Kwa muda wa mwezi mmoja rais wa Jamhuri ameonyesha mfano mzuri wa kujiamini, nia na ujasiri nchini Ufaransa na pia kwenye ngazi ya kimataifa. Serikali kwa upande wake inaonyesha, kupitia wajumbe wake, muundo mpya kabisaa, na imedhamiria kuitumikia Ufaransa na kushughulikia matarajio ya Wafaransa," alisema waziri mkuu Philippe. Hofu ya kukosekana upinzani wa kweli Wachunguzi wa maoni ya wapigakura wamekadiria kwamba kambi ya Macron inaweza kupata hadi viti 450 kati ya jumla ya viti 577, na kwamba upinzani ndani ya bunge huenda ukawa mdogo na uliogawanyika. Uchaguzi huu umefanyika zaidi ya mwezi mmoja baada ya Macron mwenye umri wa miaka 39 kuchaguliwa kuwa rais mdogo zaidi wa Ufaransa, alipomshinda Marine Le Pen kwa asilimia 66 dhidi ya 34 katika duru ya pili ya uchaguzi. Chama cha Kisoshalisti kilichoshikilia madaraka katika bunge lililopita na washirika wake wamepigwa na mshangao, ambapo makadirio yanaonyesha wingi wao wa viti 314 unaweza kupungua na kubakiza hadi viti 20 na yumkini siyo zaidi ya 30 katika bunge jipya. Kiongozi wa chama cha Kisoshalisti Jean-Christophe Cambadelis ameonya kuwa chama cha Macron kinaweza kuishia kuongoza bila upinzani wowote wa maana Kiongozi wa chama cha Republican Francois Baroin akizungumza baada ya kutangazwa kwa matokeo ya duru ya kwanza ya uchaguzi wa Bunge ambapo chama chake pia kimekubwa na sunami ya Macron. Mrengo wa kulia nako ni vilio tu Kwa upande wa kulia, wahafidhina wa chama cha Republican walikuwa pia wanaugulia maumivu, wakitabiriwa kupata viti visivyozidi 110, na pengine vikawa vichache hadi 70, badala ya viti 215 walivyokuwa navyo katika bunge linalomaliza muda wake. Chama cha Le Pen cha National Front hakionekani kubadili nguvu yake katika uchaguzi wa rais kuwa chochote zaidi ya idadi ndogo tu ya viti bungeni, na bila shaka idadi isiyotosha kukifanya kuwa chama cha upinzani chenye nguvu. Hayo ndiyo yalikuwa matumaini ya Le Pen baada ya kuingia kwa mara ya kwanza katika duru ya pili ya uchaguzi wa rais dhidi ya Macron mwezi Mei. Le Pen alilalamika kwamba mfumo wa uchaguzi hauwakilishi kikamilifu matakwa ya wapigakura, kwa sababu chama chake kilishinda asilimia 14 ya kura lakini hakikuweza kuongeza kwenye idadi ya wabunge wawili kiliokuwa nao katika bunge lililopita. Maneno muhimu Ufaransa, Macron, Le Pen, Eduard Philippe, uchaguzi Kiungo http://p.dw.com/p/2eVRn
2018-04-25T04:08:00
http://www.dw.com/sw/ushindi-wa-macron-waviparaganyisha-vyama-vikubwa-ufaransa/a-39206679
[ -1 ]
Iran yaruhusu wanawake kuingia uwanjani kwa mara ya kwanza, wakishinda 14-0 - News Africa Now Home Tanzania Iran yaruhusu wanawake kuingia uwanjani kwa mara ya kwanza, wakishinda 14-0 MAELFU ya mashabiki wanawake wa mchezo wa soka huko Iran walipeperusha bendera wakishangilia na kupiga kelele kusherehekea baada ya kuruhusiwa kuingia uwanjani kushuhudia mechi kwa mara ya kwanza baada ya miongo kadhaa. Mashabiki hao wanawake waliruhusiwa kuingia uwanjani wakati timu yao ya taifa, Iran ilipomenyana na Cambodia katika mchezo wa kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2022 zitakazofanyika Qatar. Mechi hiyo ilifanyika kwenye Uwanja wa Azadi huko Tehran. Iran ilitenga tiketi 4,000 za mashabiki wa kike kuingia uwanjani katika mechi hiyo, ambayo Iran walishinda mabao 14-0, wakifunga mara saba hadi kufikia mapumziko. Shikirisho la kimataifa la vyama vya mchezo wa soka (Fifa) kwa muda mrefu limekuwa likiishinikiza Iran kuruhusu wanawake kuingia viwango kwenye mechi za soka ili kushangilia. Wanawake walikuwa wakipigwa marufuku kwenda viwanjani kwenye mechi za soka tangu mwaka 1979 baada ya mapinduzi ya kiislamu, lakini sasa Alhamisi zaidi ya mashabiki wa kike 3,500 waliingia uwanjani kushuhudia mechi ya soka iliyocheza kwenye uwanja wenye uwezo wa kuingiza watazamaji wanaoketi 78,000. Picha zilizopigwa uwanjani hapo ziliwaonyesha wanawake wakiwa kwenye furaha kubwa wakipeperusha bendera za Iran na kushangilia timu yao iliyotoka uwanjani na ushindi huo mnono wa mabao 14-0. “Tulifurahia kwa saa tano. Sote tulikuwa na furaha, tukicheka na wengine walilia kwa furaha,” aliandika mwanamke mmoja wa Kiiran kwenye ukurasa wake wa Twitter. “Hiki kitu tumechelewa sana kukifanya kwelie maisha yetu, lakini ninafuraha kwa sababu wasichana wadogo wamekuja uwanjani pia.” Ubaguzi wa kijinsia kuhusu wanawake kupigwa marufuku kwenye viwanja vya soka huko Iran iligusa hisia za wengi duniani baada ya mwezi uliopita, mwanamke mmoja aliyetambulika kwa jina la Sahar Khodayari, aliyefahamika kama ‘blue girl’ kutokana na timu ya soka aliyokuwa akishabikia, alijichoma moto nje ya mahakama alipokuwa akisubiri hukumu ya kuhusu kuhudhuria mechi za soka kama ilivyo kwa wanaume. Mwanamke huyo mwenye umri wa miaka 29 alifariki wiki moja baadaye. Fifa iliingilia kati na kuishinikiza Iran kuruhusu wanawake kwenye viwanja vya soka. Mwaka jana, Saudi Arabia ilitoa ruhusa ya wanawake kwa mara ya kwanza kwenda kuhudhuria mechi za soka za wanaume kitu ambacho huko nyuma kulikuwa kikizuiliwa. Previous articleKijana mbaroni kwa kuiba simu ya askari wa zamu kituoni Next articleWaziri mkuu Ethiopia ashinda tuzo ya amani ya Nobel
2019-10-16T20:13:25
http://newsafricanow.com/2019/10/11/iran-yaruhusu-wanawake-kuingia-uwanjani-kwa-mara-ya-kwanza-wakishinda-14-0/
[ -1 ]
Membe: Tutachagua mabalozi vijana | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Membe: Tutachagua mabalozi vijana na Lucy Ngowi​ [/TD] [TD]WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amesema kuwa, muda mfupi kuanzia sasa, kutakuwa na mabalozi vijana ambao wataiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali duniani, baada ya waliokuwapo kustaafu. Membe alitoa kauli hiyo jana, alipokuwa anagawa vyeti kwa maofisa wa wizara yake wanaofanya kazi hapa nchini na kwenye balozi mbalimbali nje ya nchi, baada ya kuhitimu mafunzo ya wiki tatu waliyoyapata katika Chuo cha Diplomasia, Dar es Salaam. Alisema kuanzia mwaka ujao kuna mabalozi mbalimbali wanaotarajiwa kustaafu, hivyo nafasi zao zitachukuliwa na maofisa vijana wanaofanya kazi ubalozini kwa kuwa wanazo sifa zinazotakiwa. Aliongeza kuwa mafunzo hayo ya wiki tatu waliyoyapata watumishi hao wa wizara yake, ni ya promosheni ya kuwatoa hapo walipo na kuwapandisha daraja jingine. Pia alisema mafunzo hayo yaliyotolewa ni muhimu kwa kuwa yanawawezesha wanadiplomasia hao kuielewa nchi yao na mambo yanayoendelea ulimwenguni hivi sasa. Naye Mkurugenzi wa Chuo cha Diplomasia, Dk. Mohamed Maundi, alisema kuwa madhumuni ya kozi hiyo iliyotolewa kwa maofisa hao ni kuwapatia njia mpya ya kuelewa shughuli zao kutokana na mabadiliko yanayotokea ndani na nje ya nchi. Alisema kwa kuwa wengi wao wapo nje ya nchi, mafunzo hayo yatawasaidia kuwapatia mbinu mpya ya kuboresha masuala ya kidiplomasia. Kwa upande wake, Ofisa Mwandamizi aliyeko nchini Uingereza, Amosi Msanjila, aliipongeza wizara yake na chuo hicho kwa kuwapatia mafunzo hayo, kwa kuwa hivi sasa wanastahili kupandishwa daraja kutoka hapo walipokuwa. “Kwa miaka 16 iliyopita mafunzo haya yalikuwa hayatolewi, hivyo kwa upande mwingine watu waliweza kupanda vyeo bila kupitia kozi hizi,” alisema Msanjila. Alisema wahitimu wote walipata fursa ya kuzungumza na watu kwenye taasisi mbalimbali ili kujua changamoto zilizoko kwenye maeneo muhimu ambazo Watanzania ama raia wa nchi nyingine wanazipata wanapotaka kuja Tanzania ama kwenda katika nchi nyingine. Kuna thread nimeona inasema kuwa wanaofanya kazi kwenye balozi zetu ni watoto wa vigogo. Ina maana Membe anatueleza kuwa tutachagua mabalozi ambao ni vijana wa vigogo kwa vile wao ndio wenye sifa zinazotakiwa? Its time tubadili sheria mabalozi wawe wanapitishwa na Bunge sio kama zawadi kwa marafiki wa vigogo. Nadhani anachosema Membe ni kuwa watoto wao (watoto wa vigogo) wamekuwa na sasa wanataka kuwafanya mabalozi. Foreign Affairs imejaa majina yale yale! Na ndio maana sasa hivi sifa ya Tanzania kimataifa inashuka maana hatuna wana-diplomasia tena, ila tuna genge la 'surnames' linawakilisha maslahi ya familia zao. I hope one day magezti ya Tanzania yataandika orodha ya maofisa walioko kwenye balozi zetu nje na hata hawa hapa Dar es Salaam. Jina moja baada ya jingine. Its time tubadili sheria mabalozi wawe wanapitishwa na Bunge sio kama zawadi kwa marafiki wa vigogo.Click to expand... Na Bunge liwekewe vigezo kwua watakaotakiwa kupitishwa ni wale tu ambao watawezaa kutekeleza sera yetu ya nje kwa ufanisi, umri isiwe kigezo kikubwa sana wataendelea kuchagua watoto wao hao. Hawana jipya, mtu wa kawaida mpaka uonekane na uchaguliwe balozi wa nje ni lazima uwe ushajikomba saaana. Binafsi nina wasiwasi na vetting inayofanyika kupeleka badhi ya watu nje, ila tuna baadhi ya vjana wazuri sana kwenye balozi zetu, wengine... Mungu dnio anajua Kuna thread nimeona inasema kuwa wanaofanya kazi kwenye balozi zetu ni watoto wa vigogo. Ina maana Membe anatueleza kuwa tutachagua mabalozi ambao ni vijana wa vigogo kwa vile wao ndio wenye sifa zinazotakiwa?Click to expand... Hivi wewe utakua lini. Habari zako zimekuwa ni za kuunga unga tu! Mnakaa mnajazana maneno halafu mnayakimbizia humu jamvini. Ni watoto gani hao unaowasema? Nadhani anachosema Membe ni kuwa watoto wao (watoto wa vigogo) wamekuwa na sasa wanataka kuwafanya mabalozi. Foreign Affairs imejaa majina yale yale! Na ndio maana sasa hivi sifa ya Tanzania kimataifa inashuka maana hatuna wana-diplomasia tena, ila tuna genge la 'surnames' linawakilisha maslahi ya familia zao. I hope one day magezti ya Tanzania yataandika orodha ya maofisa walioko kwenye balozi zetu nje na hata hawa hapa Dar es Salaam. Jina moja baada ya jingine.Click to expand... Kama unaamini katika unachokiandika kwa nini wewe usitaje hayo majina ya vigogo badala ya kusubiri yaandikwe na gazeti, sijui lini! Majungu hayatakupa mtaji wewe! Sitashangaa mabalozi hao vijana wakiwa watoto wa vigogo. utasikia majina ya sijui Kikwete, Msekwa, Kawawa, Mkapa, nk. itakuwa tabu tupu. Dawa nikuingia msituni! Hivi wewe utakua lini. Habari zako zimekuwa ni za kuunga unga tu! Mnakaa mnajazana maneno halafu mnayakimbizia humu jamvini. Ni watoto gani hao unaowasema?Click to expand... Don't take it personally kama zinakuuma. Hata kuuliza tuu swali inakuuma? Muhimu ni watu watao deliver siyo umri. Naona jamaa anaanza gawa vyeo kwa uvccm. Maana juzi tumemsikia Beno Malisa akidai kwamba kuna wanasiasa ndani ya CCM wanaotaka kugombea urais 2015 wanapita wakiwaahidi vijana ukuu wa wilaya pindi wakiingia IKulu. My take. Wakati tuna mjadala wa kama hivi vyeo vya ukuu wa mikoa na wilaya vina umuhimu wowote ktk mazingira ya sasa,kuna wanasiasa wa magamba wanaendelea wapromise vijana kupewa u-DC. ah ah ah waende zao uko hizi balozi zetu wamejazana watoto wa vigogo na kuna baadhi ya balozi ambazo nimeshakaa kwenye hizo inchi watoto wa vigogo wamejazana ni bora ipitishwe sheria bunge letu ndilo liwe linawapitisha mabalozi kwenye hii thread yako ipi ni point yako ya maana. Unaweza kusoma thread kama si kiwango chako unaweza kusepa, siyo kujaza upumbavu humu na wewe! Katika hafla mbalimbali nilizoona nje ya nchi zilizokutanisha mabalozi wa nchi nyingi sija bahatika kuona balozi yoyote kijana! usiwe mkali kiongozi, yanayosemwa yanawezekana yakawa na ukweli ndani yake: kwa vile na wewe umemaliza kwa kuuliza swali kwamba ''ni watoto gani hao.....?'' ina maana kwamba UJUI hivyo basi hunabudi kuchunguza kuchunguza kabla ujawapalamia wenzio kwa ukali, humu jamvini hatujazani maneno tu bwana. Mbopo mimi nawafahamu watoto/ndugu wa vigogo waliopo foreign affairs; however siwezi kudhibitisha walipatiwa hiyo nafasi kwa upendeleo kwasababu sifahamu candidates wengine walio-apply hizo nafasi wakashindwa. Pamoja na hayo ni ukweli kwamba sijawahi sikia nafasi za kufanya kazi "foreign affairs" zikitangazwa so hilo nalo linaongeza mashaka kwa watu wanaochaguliwa. Baadhi yao ni: Mindi Kasiga huyu ni mtoto wa mdogo wa Anna Mkapa (yeye ni Afisa Uhusiano wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa), Caroline Chipeta (UK foreign office) huyu ni ndugu na Jaji Chipeta (not sure kama bado ni jaji), Joseph Sokoine (Canada Foreign affairs)- huyu anafahamika, Kuna mwingine alikuwa ofisi ya DC nafikiri ni ndugu na Fatma Saidi Ali (anaweza kuwa amehamishiwa ofisi nyingine), Mke wa William Malecela nafikiri huyu bado yuko NY-office. January Makamba alishawahi kufanya foreign affairs huko nyuma kabla ya kuwa mbunge. Na wengine muwamalizie; Angalizo: Sisemi kama hawa wamechaguliwa kwa upendeleo kwasababu sifahamu kama kuna candidates walio-apply wakakosa; however sijawahi kuona nafasi za kazi foreign affairs zikitangazwa pia hili nalo nilakuliangalia. Nafahamu pia wengi wanaochaguliwa kuwa mabalozi ni kama "asante fulani" hivi mfano balozi Peter wa UK huyu alikuwa mfanyakazi wa kawaida kabisa Ikulu lakini alikuwa kijana "mwaminifu" a lot of "ndio mzee's etc" Balozi Maajar naye ni shukrani yakufanya kampeni kwa ushindi mkubwa- huyu ali-invest her own money kwenye kampeni kama vile Lowassa etc. Kuna wanajeshi wastaafu waliopewa ubalozi pia kama shukrani so I guess labda tuambiwe appart from "ujana" balozi au mfanyakazi wa foreign affairs anatakiwa kuwa na sifa gani hasa? kazi za tanzania sitaki mimi wapeane tu coz zote mpaka uwe na refa. Watoto wa vigogo wamekaba kama inchi yao peke yao. HARAMU
2017-01-23T08:48:43
https://www.jamiiforums.com/threads/membe-tutachagua-mabalozi-vijana.189738/
[ -1 ]
WAZIRI NAPE NNAUYE PAMOJA NA WAZIRI JANUARY MAKAMBA WAKUTANA NA WASANII BUNGENI DODOMA | JESTINA GEORGE Home / Showbiz / WAZIRI NAPE NNAUYE PAMOJA NA WAZIRI JANUARY MAKAMBA WAKUTANA NA WASANII BUNGENI DODOMA WAZIRI NAPE NNAUYE PAMOJA NA WAZIRI JANUARY MAKAMBA WAKUTANA NA WASANII BUNGENI DODOMA Mhe. Nape Nnauye (kushoto) pamoja na Mhe. January Makamba (kulia) na Mbunge mwingine (mwenye suti nyekundu) wakiwa katika picha ya pamoja na Wasanii Nasib Abdul (Diamond Platinumz) (katikati) pamoja na Mafikizolo Bungeni mjini Dodoma. (Picha zote na Benedict Liwenga, Dodoma)
2018-04-26T09:40:04
http://www.jestina-george.com/2016/05/waziri-nape-nnauye-pamoja-na-waziri.html
[ -1 ]
NAFASI 450 ZA KAZI KUTOKA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA - Jicho La Uswazi NAFASI 450 ZA KAZI KUTOKA OFISI YA TAKWIMU YA TAIFA By Habarikubwa On Jul 31, 2017 TANGAZO LA KAZI ZA WADADISI (NAFASI 450) Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) inawatangazia watanzania wenye sifa kuomba kazi ya muda ya udadisi au ukusanyaji wa takwimu nafasi 450 kwa ajili ya Utafiti wa Mapato na Matumizi ya Kaya Binafsi wa mwaka 2017/18 (Household Budget Survey) utakaofanyika katika mikoa yote ya Tanzania Bara. Utafiti huu unahitaji mwombaji atoke kwenye eneo ambalo utafiti unafanyika na awe tayari kufanya kazi kwa kipindi chote cha miezi 12. Sifa za mwombaji zinazohitajika pamoja na maeneo yaliyochaguliwa kwa ajili ya utafiti huu yameanishwa kwenye tangazo la kazi ambalo linapatikana kwenye kila Ofisi ya Mkoa ya Ofisi Taifa ya Takwimu. Barua ya maombi ya kazi itumwe kwenye Ofisi ya NBS ya Mkoa ambako unaishi. Maombi yanatakiwa yatumwe kabla ya tarehe 12 Agosti, 2017 i. Tangazo hili linapatikana kupitiawww.nbs.go.tz pamoja na www.eastc.ac.tz ii. Wale watakaochaguliwa kwa ajili ya usaili ndio watakaoitwa. NBS haitahusika na gharama za kuja kwenye usaili huu. FUATILIA KILA SIKU NAFASI ZA KAZI TEMBELEA HAPA,BOFYA DOWNLOAD APP YETU KUWA KARIBU NASI BOFYA HAPA “Sitazami Mtu Ananifanyia Nini Kitandani” – Nisha Job Opportunity at CVPeople Africa
2017-11-24T14:58:01
http://jicholauswazi.com/nafasi-450-za-kazi-kutoka-ofisi-ya-takwimu-ya-taifa/
[ -1 ]
Video: Harmorapa Ni Shida!! Leo kaja na hii mpya - SeeTheAfricanLink Home / Entertainment / Video: Harmorapa Ni Shida!! Leo kaja na hii mpya Video: Harmorapa Ni Shida!! Leo kaja na hii mpya Harmorapa ameonesha yeye sio mtu wa mchezo mchezo linapokuja suala zima la mtonyo, iko wazi hamorapa ni shida mjini. Ikumbukwe kuwa Harmorapa ndiye msanii pekee aliyeweza kupata publicity kubwa ndani ya muda mfupi. Nini hasa kinachomfanya atrend na awe kwenye midomo ya watu? Muziki wake? Hapana, I bet asilimia 80 ya watu wanaomshangilia hawajui hata wimbo wake unafananaje, sababu hadi sasa video yake ingekuwa na zaidi ya views milioni 1. Kwahiyo, nini hasa story yake? Kwanini anaongelewa sana? Umaarufu wake umezungukwa na dhihaka na utani mwingi. Na hata jina lake lina maana ya kuwa yeye ni Harmonize anayerap. Kwa muda mfupi watu wakaanza kumfuatilia na kwakuwa binadamu hupenda vitu kama hivi – mzaha, jina lake likasambaa haraka na focus ikahamia kwake, kuliko hata Harmonize mwenyewe. Naamini hadi sasa wapo watu wanaomfahamu zaidi yeye kuliko hata Harmonize. Leo kupitia ukurasa wake wa Instagram, Harmorapa ameamua kuonesha yeye ni mwamba kwa kupost clip fupi inayomuonesha akichezea dola.. Mbali na hilo msanii huyo Amekuja kupata kiki zaidi baada ya dancer wa Diamond, Mose Iyobo kumfananisha na nyani. Hapo, akaanza kupokea ‘public sympathy’ (huruma ya umma), ambayo inazidi kumpaisha zaidi. Enjoy hapa na Video hiyo..
2018-02-19T17:58:47
http://www.seetheafrica.com/2017/02/video-harmorapa-ni-shida-leo-kaja-na.html
[ -1 ]
Tofauti baina ya ubinafsishaji, utaifishaji na iqta’ (umilikishaji ardhi) Asalamu Alaikum WA Rahmatulah Wa BarakatuhNi ipi tofauti baina ya ubinafsishaji katika mfumo wa kirasilimali (Ubepari) na Iqta’ (umilikishaji ardhi) katika Uislam kama ilivyo elezwa katika kitabu Hazina katika Dola ya Khilafah Umiliki upo wa namna tatu. Umiliki wa ummah, umiliki wa dola na umiliki binafsi- ambao ni kila kisichokuwa katika imma umiliki wa dola au umiliki wa ummah. Mali ya ummah ni ile ambayo Muweka sharia ameitaja kuwa umiliki wake ni wa waislam wote, ambao ni umiliki wa pamoja. Mali hii Ameiharamisha kumilikiwa na mtu binafsi. Miongoni mwa mali hizi ni; Vinu vya kufulia umeme, Mitambo ya umeme kama bwawa , viwanda vya kuzalisha gesi, makaa ya mawe, na madini yanayo patikana kwa wingi na yasiyo koma. Yawe ima katika hali ya ugumu kama dhahabu na chuma au kimiminika kama mafuta na gesi. Na vingine vyote mfano wa hivi ni milki ya ummah wa kiislam, umiliki wa shirika, na mali hii ni chanzo pia cha hazina ya dola (Bait-ul maal ya waislam). Khalifah ndiye hugawanya kwa raia mali hii akizingatia hukmu za kisheria. Mali milki ya dola. Hii ni kila ardhi au jengo lenye mahusiano na haki za waislam wote; Hii ni tofauti kabisa na Mali milki ya ummah. Mali milki ya Dola ni pamoja na ardhi, mali inayo hamishika ambayo kihukmu za kisheria ina husianishwa moja kwa moja na haki za waislam jumla. Khalifah ana mamlaka ya kusimamia , kuratibu na kutolea maamuzi mali husika. Japokuwa Dola husimamia mali ambayo ni milki ya Ummah, na pia husimamia mali ambayo ni milki ya Dola, kuna utofauti wa kisheria katika umiliki huu. Mali milki yote iliyo chini ya Ummah kama vile mafuta, gesi , na madini mengi, bahari, mito, chem chem., mapori, mbuga za malisho na misikiti, sio ruhusa kwa Khalifah kuamua kuipatia umiliki kwa yeyote. , iwe ni mtu mmoja mmoja au kundi; kwa sababu ni milki ya waislam wote kwa jumla. Kwa ile inayoitwa mali ambayo ni milki ya Dola ikiwemo ardhi na majengo, hii ni ruhsa kwa Khalifah kumpatia umiliki mtu binafsi ambapo humiliki na manufaa, au manufaa pasi na umiliki kimsingi, au aweza kuamuru ifufuliwe na kumilikiwa, au pia anaweza kuitoa katika namna ambayo anaona ni maslahi kwa waislam. Khalifah ameruhusiwa kumpatia sehemu ya ardhi milki ya dola muislam yeyote ambaye hana ardhi ya kilimo. Mtuhuyu aweza kuilima na kuimiliki, hivyo mali sio tu kwamba itakuwa kwa matajiri bali hata masikini nao watakuwa nayo, yaani izunguke: “ili yasiwe(mali hayo) yakizunguka kati ya matajiri tu miongoni mwenu” Aidha Khalifah hana haki ya kuchukua kutoka katika mali ya millki binafsi pasi na sheria na kumpatia mwingine, ila anaweza kuchukua kutoka mali ambayo ni milki ya Dola na kuwagawia masikini na wala sio matajiri; kunakoitwa kumilikisha ardhi. Iqta’ (umilikishaji wa ardhi) ni ile ruhsa ya Khalifah kuweza kummilikisha sehemu ya ardhi muislam yeyote atakaye ona anahitaji, ardhi hii huchukuliwa kutoka katika mali ambayo ni milki ya Dola wala sio kutoka katika mali ambayo ni milki ya ummah. Hukmu ya kisheria imefafanua hali za mali hizi, hairuhusiwi kamwe kubadilisha ufafanuzi huu wa kimgawanyo. Hivyo mali ambayo ni milki ya ummah haiwezi kubadilishwa na kuwa mali ambayo ni milki ya binafsi, kama vile kubinafsisha uchimbaji mafuta na madini kwa kummilikisha mtu binafsi au kampumi binafsi. Kadhalika haifai katika hukmu za kisheria kutaifisha mali ambayo ni milki binafsi kuwa mali ambayo ni milki ya Dola, kama kutumia nguvu kuchukua duka la mtu na kulifanya ni mali ya Dola, ambao ndio utaifishaji. Kutokana na maelezo yaliyo tangulia, imekuwa wazi tofauti baina ya ubinafsishaji, utaifishaji na Iqta (umilikishaji kwa kubadili sifa ya mali milki). Ubinafsishaji ni kitendo cha kuuza mali ambayo ni milki ya ummaha kwa mtu au kampuni binafsi, kama kukabidhi uchimbaji madini, ufuaji umeme au uchimbaji mafuta kwa wamiliki binafsi, jambo hili ni haram. Sheria inataka mali ambayo ni milki ya ummah ibaki kuwa hivyo na isifanywe ni mali ambayo ni milki ya binafsi. Utaifishaji ni hali ya kubadilisha mali ambayo ni milki ya kibinafsi kuwa mali amabyo ni milki ya Dola au mali ambayo ni milki ya ummah. Mfano nikama kubadili duka la mtu binafsi na kulifanya kuwa ni mali milki ya ummah au mali ambayo ni milki ya Dola, hali hii pia ni haram kwani sheria inataka sifa ya umiliki wa mali iwe kwa mmiliki wa kiasili, na hakuna ruhusa ya kubadili haki hii akapewa asiye husika. Nakuhusu Iqta’ nipale Dola inapo gawa mali ambayo ni milki yake kwa mmiliki binafsi ili kuinua hali zao za kiuchumi na Dola haifai kuacha mali na utajiri ukizunguka tu kwa matajiri hali yakuwa watu walio wengi hawamiliki cha kuwatosha kuendesha maisha yao kwa amani na heshima, hivyo Dola huwapatia wale ambao hawana ardhi ya kulima, pia huwapatia pembejeo wakulima kutoka katika hazina yake na kuwasaidia ukulima. Kwahiyo, katika ufahamu wa kifiqhi ya kiislam Iqta’ ni tofauti kabisa na Utaifishaji na Ubinafsishaji. Ni Ndugu yenu, Imewekwa katika Kiswahili na More in this category: « Zaka ya deni Namna sita za riba »
2018-03-20T01:56:03
http://hizb.or.tz/index.php/analysis/ameer-q-a/item/496-tofauti-baina-ya-ubinafsishaji-utaifishaji-na-iqta-umilikishaji-ardhi
[ -1 ]
Nani huyu Angellah Jasmine Kairuki | Page 5 | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Discussion in 'Uchaguzi Tanzania' started by ngoshwe, Aug 17, 2010. Hoja yako wewe iko wapi? Umekuja hapa kutetea utumbo (kama kaandika yeye) ulioandikwa na huyo msichana. Ndio hoja hiyo? Get the hell up on outta here... Useless ni wewe unayetetea ujinga na useless ni huyo msichana anayedaiwa kasomea sheria na ataenda kuwa useless kwenye bunge useless. Get it boy? "Makuadi Hawana Hata Chembe ya Ujasiri mara Mambo yanapoharibika (Chachage, 2002)" Nadhani umeprove point yangu kwamba huna uwezo wa kudiscuss "Vitu" na ndio maana umeshindwa kuiona hoja yangu.. Huo utumbo unaosema ameuandika kwenye mtandao unakuhusu nini?? au unawahusu nini watanzania?? Useless Kuadi,,,, na hii ni messege kwenu nyie wote msiopenda kuangalia vitu na mmekalia kudiscuss watu.. Its time to change, na kama sisi tunaolilia change hatuta change, then we're wasting our time.. Ni ukweli mtupu mashambulizi yako (NYANI NGABU) sio kitu ambacho unaweza kukitumia kuwafundisha kizazi kijacho.. Na huwezi kutumia "pointless" ulizozitoa ili kuleta mabadiliko nchini kwetu.. Kubali kwamba leo umechemsha sio lazima ushinde kwenye mtandao huu,, Nenda kwa shigongo ndio size yako,, tena wameweka picha za uchi za wasanii wa kitanzania nadhani zitakufaa na zinaendana na mind yako.. Bwana Ngoshwe na wewe ningekuona unabusara zisizotosha flash disc endapo unge attach baadhi ya kazi (katika PDF) alizowahi kuzifanya (Bi Angella kairuki) kama watu walivyosema ameshiriki kuandika na kuandaa sheria mbalimbali. Badala ya ku attach piza za mume wake, mama yake, nadhani umekosa za watoto wake tu.... huu sio uungwana kabisa ndugu zanguni, Tunamengi ambayo tunaweza kuongelea kuhusu bi Angella hasa ambayo yatakua na tija kwetu, kuliko sasa hivi ooh mara mama yake alienda safari na mama kikwete,, ooh mara Rosta Aziz,, ooh mara Tughe hawamjui,,,,, what a crap man,, anyways tunatofautiana sana kimtazamo na kiupeo.. kwa hiyo endelea kugoogle picha zake na uziweke.. ila kumbuka kuna vijana wangeweza kujifunza mengi ya maana zaidi kupitia topic hii, Messages: 71,443 Likes Received: 30,500 Kama anaandika hivyo wakati yeye ni "learned sister" ni hatari. Nilitegemea zaidi ya hayo niliyoyasoma. Kwa utetezi wako nadhani wewe umefikia kikomo cha upeo wako na unasukumwa na hisia zaid. Unauliza alichoandika kinawahusu nini Watanzania? Really? Kama hujui inawahusu nini Watanzania basi hakuna haja ya kujadiliana na wewe shauri lolote lile. Na lazima tujadili watu kwa sababu vitu vyao na wao havitengamani. Wewe mbona upo hapa unanijadili na kunitaja kwa jina? Ni ukweli mtupu mashambulizi yako (NYANI NGABU) sio kitu ambacho unaweza kukitumia kuwafundisha kizazi kijacho.. Na huwezi kutumia "pointless" ulizozitoa ili kuleta mabadiliko nchini kwetu.. Ila utetezi wako wa ujinga ndio utaleta mabadiliko nchini kwetu sio? No wonder why we are in the state we are in.... Kubali kwamba leo umechemsha sio lazima ushinde kwenye mtandao huu,, Nenda kwa shigongo ndio size yako,, tena wameweka picha za uchi za wasanii wa kitanzania nadhani zitakufaa na zinaendana na mind yako.. Kwanza sijui Shigongo ni nani. Pili sijachemsha kitu. Usitake kulazimisha. Mchemfu ni huyo mwanasheria wenu aliyesomea UK na aende huko bungeni kwa wachemfu wenzake waendelee kuchemsha. ...How it should be done, I have no clue! as they say in Marcy, it's this kind of talk that make me think you probably ain't got no pudding Kwa nini usifanye hivyo wewe unayemtetea? Weka hapa hizo sheria unazosema au zinazosemwa alishiriki kuandika na uweke bayana mchango wake haswa ni upi ktk sheria hizo au kwa maneno mengine ni kipi alichoandika yeye mwenyewe kwa kutumia kichwa chake. salaama JF-Expert Member Mbona mjadala sasa unapoteza dira.....naona matusi sasa yanaporomoka na tambo zisizokuwa na maana yoyote. Hivi mtu kusoma UK ni tatizo? Mbona naona sasa hapa kuna aina ya ushindani, wivu, kejeli na chuki binafsi......LETS GROW UP, acheni UTOTO! salaama said: ↑ Hakuna wivu hapa. Wivu utoke wapi? Ana nini huyo msichana nisicho nacho mimi? Madudu yanayodaiwa ni yake yamewekwa hapa na watu tumeyajadili...wengine wanaingia na kuanza kurusha makombora. Sasa tubaki kimya tu? No way... Ila wivu hakuna hapa. Hana cha kuonewa wivu you cheering that? so you truly ain't had no point... hahahahhahaha Nafunga mjadala na wewe ambaye unaona "Spelling and grammar" ya mheshimiwa mtarajiwa ina impact kwenye nchi yetu na nikitu ambacho inabidi tukijadili,,,, ama kweli mungu ana maajabu yake... na ninakutakia kila la kheri.. Pia nikuambie inabidi ujue kutofautisha kumshambulia mtu na kushambulia hoja,,, naomba usiniite mjinga na wala usirudie kwa sababu unajitukana mwenyewe ambaye umeambiwa ukweli kwamba ulichoandika ni Ujinga mtupu,, mtu mwenye uelewa hawezi toa point siku nzima ambayo haina tija.. Pia umenikumbusha kwamba najadili na mtu ambaye hana upeo baada ya kuniambia eti "niweke hizo sheria ninazozisema Bi angella ameshiriki kuzitunga".. Hii ni challenge ambayo nimewapa nyie mnao mdiscuss bi angella, kwamba tuonyesheni kwamba kweli hana uwezo kwa kutuonyesha kazi alizowahi kuzifanya na tuzichambue then tuseme kweli hana uwezo.. Kuliko kutuletea "Spelling and Grammar" eti kitu gani alichonacho wewe hauna,,, wewe huna upeo na ndio maana unajadili kwa kujificha kwa sababu watu tungekujua basi tungesema,, oooh kumbe ndio yule, kweli anafanana na hoja anazotoa" Wanasema ficha upuuzi wako kwa kuonyesha busara ulizonazo Ni bora uondoke tu kwa sababu hata hueleweki. Nimepoteza muda wangu bure. Lol...nauna kweli umekunwa na nilichosema maana mipovu ilivyokujaa mdomoni utadhani umekula Omo... Anywho, tell 'ole girl to step her game up.... Chunkin' up the dueces....I'm out That laughter reminds me of............. ! Ni kweli umepoteza muda wako bure, maana umeshinda siku nzima ukiandika point zisizo na tija,,, Who is next to take on the heavy weight?? Wakuu , natanguliza salamu za pole kwa Msiba wa watoto wetu wa kule Arusha , halafu nafuatia na pole ya mvua kwa wale wote waliokumbwa na mafuriko . Kichwa cha habari chajieleza , nadhani ili kuonyesha kwamba anayoyatenda ndani ya wizara yake ni sahihi , basi ni vema mkuu huyu naye tukafahamu mle alimopitia hadi kufika hapo alipo , pili naomba kukiri kwamba mimi sina cheti feki na wala sijawahi kufanya kazi yoyote ya kuajiriwa na Serikali ya Tanzania . Nafahamu kuna watakaosema niangalie CV yake kwenye tovuti ya bunge , hilo nalifahamu lakini halitakidhi kiu ya ninachotaka kukifahamu , Natanguliza shukrani . Kwani yeye ni mbunge WA Jimbo gani? Maviyamende Member Ivi naomba kuuliza Waziri wa Ofisi ya Rais Menejiment na Utawala Bora Angela Kairuki alizaliwa mkoa gani na kwao kabisa ni wapi? UTENDE Senior Member UTENDE said: ↑ Mmh hilo sur name lake kama la Nchi jirani kaskazini ....Ikungulyabashashi hatushikiki Topics 1,067,132 Posts 23,303,540
2017-09-22T20:45:35
https://www.jamiiforums.com/threads/nani-huyu-angellah-jasmine-kairuki.70020/page-5
[ -1 ]
Chadema yataka Lissu ahakikishiwe usalama wake kabla ya kurejea Tanzania | Matukio ya Afrika | DW | 10.10.2019 Maneno muhimu Tundu Lissu, CHADEMA, Tanzania Kiungo https://p.dw.com/p/3R4DK
2019-12-09T18:09:16
https://www.dw.com/sw/chadema-yataka-lissu-ahakikishiwe-usalama-wake-kabla-ya-kurejea-tanzania/a-50780066
[ -1 ]
MTAMBO WA GONGO, MATUMLA KESHO TENA PTA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MTAMBO WA GONGO, MATUMLA KESHO TENA PTA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE Mwanzo > Untagged MTAMBO WA GONGO, MATUMLA KESHO TENA PTA Bondia Maneno Oswald 'Mtambo wa Gongo' akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake utakaofanyika katika ukumbi wa PTA, Sabasaba, Dar es Salaam kesho. Kushoto ni mpinzani wake Rashidi Matumla akishuhudia na kulia ni Katibu Mkuu wa Shirikisho la Ngumi (PST), Anthony Lutta akiongoza zoezi hilo leo. Item Reviewed: MTAMBO WA GONGO, MATUMLA KESHO TENA PTA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
2020-07-13T18:30:30
http://www.binzubeiry.co.tz/2012/02/mtambo-wa-gongo-matumla-kesho-tena-pta.html
[ -1 ]
RC Makalla Akutana Na Vikundi Vya Ufugaji Kuku Vinavyofadhiliwa Na Taasisi Ya BRAC - Mdimu's Blog Home / biashara / KITAIFA / RC Makalla Akutana Na Vikundi Vya Ufugaji Kuku Vinavyofadhiliwa Na Taasisi Ya BRAC RC Makalla Akutana Na Vikundi Vya Ufugaji Kuku Vinavyofadhiliwa Na Taasisi Ya BRAC Mkuu wa mkoa Wa Mbeya Mh.Amos Makalla akizungumza na baadhi ya akina mama wa jijini Mbeya wanao kopeshwa na Taasisi ya Mfuko wa Uwekezaji Mradi (BRAC) jijini Mbeya. RC Makalla ameipongeza taasisi hiyo kwa kuvikopesha vikundi hivyo vya ujasiliamali,dhamira kuu ikiwa ni vikundi hivyo kuongeza uzalishaji wa Mahindi na ufugaji wa kuku kwa wingi.Taasisi ya BRAC imevikopesha vikundi vipatavyo 20 kiasi cha shilingi milioni 770 kwa ajili kuendeleza miradi yao mbalimbali ikiwemo ya ufugaji kuku na kilimo RC Makalla pia amewaagiza maafisa Ugani kuwatembelea Wafugaji na wakulima mara mara ili kuwapa maelekezo namna ya kuiendeleza na kuisimamia vyema miradi yao mbalimbali,ambayo imekuwa ikiwapatia kipatao na kuendelea kujikwamua katika suala zima la kupambana na umaskini "nimefurahishwa sana na juhudi zenu za ujasiliamali,hakika ndio njia nyingine mbadala ya kujiingizia kipato na kuhakikisha suala la umaskini linakuwa historia miongoni mwenu,hivyo nawapongeza sana na msikate tamaa"alisisitiza RC Makalla huku akiongeza kwa kuwataka Wananchi kufanya kazi,kwani maendeleo hayaji kwa watu kukaa na kuyasubiri bila kufanya jitihada zozote. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya,Amosi Makalla akiwa katika picha ya pamoja ya viongozi wa Taasisi ya Mfuko wa Uwekezaji Mradi (BRAC) na baadhi ya Wajasiliamali kutoka katika vikundi vipatavyo 20 vya jijini Mbeya. Baadhi ya kuku wa kienyeji wanaofungwa na vikundi hivyo vya ujasiliamali mkoani Mbeya. Baadhi ya akina Mama Wajasiliamali wanaounda vikundi 20 wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Mbeya,Amos Makalla alipokuwa akizungumza nao mara baada ya kuwatembelea kwenye maeneo ya miradi yao wanayoiendeleza baada kukopeshwa fedha na taasisi ya BRAC
2017-08-24T08:54:48
http://mdimuz.blogspot.com/2017/02/rc-makalla-akutana-na-vikundi-vya.html
[ -1 ]
Habari kuhusu Honduras 5 Machi 2016 5 Machi 2016 Mwanaharakati wa Haki za Binadamu na Kiongozi wa Jamii za Wazawa Berta Cáceres Auawa nchini Honduras Imeandikwa na Renata Avila · Habari za Hivi Punde Baada ya miaka kadhaa ya uanaharakati wa masuala ya mazingira na kuzitetea jamii za wazawa, mtetezi nguli wa haki za binadamu Berta Caceres ameuawa nchini... 7 Julai 2015 Kwenye Jiji Lenye Machafuko Zaidi Duniani, Wasanii wa Uchoraji Kuta Watumia ‘Silaha zao’ Vizuri Imeandikwa na Public Radio International · Sanaa na Utamaduni San Pedro Sula, Honduras, limechorwa kuwa ni jiji ambalo limekuwa na machafuko kuliko jiji lingine lolote duniani kwa muda wa miaka minne mfululizo. Wasanii wa... 30 Julai 2014 Honduras Yazalisha Ajira kwa Kuhamasisha Shughuli za Jamii Imeandikwa na Gabriela Garcia Calderon Orbe · Muhtasari wa Habari · Mawazo 26 Juni 2014 Uhamaji wa Watoto Wachukuliwa kuwa ni Baa la Kibinadamu Imeandikwa na Gabriela Garcia Calderon Orbe · Muhtasari wa Habari · El Salvado 28 Februari 2014 Honduras Yazindua Kamusi ya Mtandaoni ya Lugha za Asili Imeandikwa na Silvia Vinas · Muhtasari wa Habari · Habari za wenyeji 29 Juni 2009
2016-09-28T05:07:00
https://sw.globalvoices.org/category/world/latin-america/honduras/
[ -1 ]
Guinea yashumbaliwa kuchezesha madume Sauzi. | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Guinea yashumbaliwa kuchezesha madume Sauzi. Discussion in 'Sports' started by Ehud, Nov 26, 2010. Friday, 26 November 2010 09:39 SHIRIKISHO la Soka la Nigeria (NFF) limetoa malalamiko rasmi kwa Shirikisho la Soka la Afrika (CAF) ikidai kuwa timu ya wanawake ya Equatorial Guinea ilikuwa na wanaume wawili katika timu yake ya soka wakati wa mashindano ya Afrika yaliyomalizika Afrika Kusini hivi karibuni. "Malalamiko bado yapo. Tulituma malalamiko yetu CAF.Tunasubiri majibu," Msemaji wa NFF, Robinson Okosun aliliambia Shirika la Habari la Associated Press jana. Afisa aliyekuwa CAF hakutaka kutoa ufafanuzi kuhusu suala hilo. Equatorial Guinea ilikanusha tuhuma dhidi ya mshambuliaji na nahodha wake Genoveva Anonma na mshambuliaji Salimata Simpore, ikisema kuwa malalamiko hayo yametokana na kujisikia unyonge kwa wapinzani wao kutokana na mafanikio ya timu yao. Anonma, ambaye anacheza soka katika klabu ya Ujerumani aliliambia Shirika la Utangazaji la Uingereza kuwa kwamba alishachunguzwa kuhusu jinsia yake, na anaona ni udhalilishaji. Equatorial Guinea imefunzu kucheza mashindano ya kombe la dunia kwa wanawake yatakayofanyika Ujerumaini mwakani baada ya kuwa mshindi wa pili katika mashindano ya Afrika yaliyofanyika Afrika Kusini na kufungwa na Nigeria mabao 4-2 katika fainali. Ghana na Cameroon pia zilikuwa na mashaka kuhusu jinsia ya wachezaji hao lakini Shirikisho la Soka la Cameroon liliiambia AP kuwa halijatuma malalamiko "Hapana hatujafikiria kufungua kesi dhidi ya Equatorial Guinea," msemaji wa shirikisho hilo, alisema Junior Binyam. Equatorial Guinea ilitwaa ubingwa wa Afrika mwaka 2008 baada ya kuitoa Nigeria katika nusu fainali na kuwa nchi nyingine mbali na Nigeria kutwaa ubingwa huo. Baada ya kutwaa ubingwa huo timu hiyo pia ilituhumiwa kuchezesha wanaume katika mashindano hayo. " Tuhuma kuhusu kuwepo wachezaji wa kiume kwa ujumla hakuna ukweli," Shirikisho la Soka Equatorial Guinea lilisema kwenye taarifa yake Jumanne. "Tunachukulia habari hiyo kama ni ushahidi wa kujisikia unyonge. CAF inatarajia kuchukua hatua kwa kuliweka sawa suala hilo ili malalamiko kama hayo yasitokee wakati wa fainali za Kombe la Dunia kwa wanawake. Malalamiko kama hayo, yaliikuta nchi ya Afrika Kusini baada ya mkimbiaji wake Caster Semenya kushinda mbio za meta 800. Semenya aliyetuhumiwa kuwa mwanaume, amekuwa akikimbia riadha na wanawake, alilalamika kufanyiwa uchunguzi wa jinsi yake na Shirikisho la Kimataifa la Riadha na Julai alisafishwa rasmi kutambulika kuwa ni mwanamke.
2016-12-09T00:23:48
http://www.jamiiforums.com/threads/guinea-yashumbaliwa-kuchezesha-madume-sauzi.91546/
[ -1 ]
KITWANGA AKABIDHI RASMI OFISI KWA WAZIRI MWIGULU NCHEMBA, JIJINI DAR ES SALAAM LEO - MZUKA BLOG Home »Unlabelled » KITWANGA AKABIDHI RASMI OFISI KWA WAZIRI MWIGULU NCHEMBA, JIJINI DAR ES SALAAM LEO Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu M.L Nchemba (kushoto) akimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Meja Jenerali Projest Rwegasira (wa pili kulia) alipokuwa anazungumza kabla ya aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo, Charles Kitwanga (wa tatu kulia) kukabidhi ofisi kwa Waziri Mwigulu. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu, Balozi Simba Yahya. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
2017-08-18T14:22:06
http://wwwmzukakamili-mzuka.blogspot.com/2016/06/kitwanga-akabidhi-rasmi-ofisi-kwa.html
[ -1 ]
KINGOTANZANIA:: HABARI, PICHA NA MATANGAZO: RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JAKAYA KIKWETE AWAONGOZA WATANZANIA KATIKA SHEREHE ZA UHURU MIAKA 53 UWANJA WA UHURU LEO RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA JAKAYA KIKWETE AWAONGOZA WATANZANIA KATIKA SHEREHE ZA UHURU MIAKA 53 UWANJA WA UHURU LEO Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mikono wananchi waliofurika katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam katika Maadhimisho ya sherehe za miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara akiwa katika Gari maalum liliozunguuka katika uwanja huo leo. [Picha na Ikulu.] Vikosi vya Ulinzi na Usalama vikitoa salamu ya heshma wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete alipowasili katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam leo katika sherehe za kilele cha maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara, [Picha na Ikulu.] Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikagua Gwaride la Vikosi vya Ulinzi na Usalama lilioandaliwa katika sherehe za kilele cha Maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara zilizofanyika leo katika katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam, [Picha na Ikulu.] Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Makamo wa Pili wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi katika Kilele cha Maadhimisho ya sherehe za miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara zilizofanyika leo katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam,[Picha na Ikulu.] Baadhi ya wananchi kutoka mitaa mbali mbali ya Jiji la Dar es Salaam na Mikoa jirani wakiwa katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dare Salaam katika sherehe za kilele cha maadhimisho ya miaka 53 ya Uhuru wa Tanzania Bara ambazo hufanyika kila mwaka,[Picha na Ikulu.] Rais Kikwete akiwa kwenye sherehe hizo. Rais mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara CCM, Philip Mangula.(P.T) Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, akisalimiana na Rais wa Zanzibar, Dk Mohamed Shein. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mecky Sadick, akisalimiana na waziri mkuu mstaafu, Frederick Sumaye. Baadhi ya viongozi wa nchi wakiwa jukwaa kuu. Askari wa majeshi ya ulinzi na usalama wakitoa heshima kwa Rais Kikwete. Haya ni maonyesho ya halaiki. Baadhi ya wananchi waliofika kwenye sherehe hizo. RAIS Kikwete leo ameongoza sherehe za kuadhimisha miaka 53 tangu Tanzania Bara ipate uhuru wake Desemba 9 1961. Hafla hiyo ilifanyika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali nchini na wawakilishi wa nchi za nje walioshuhudia burudani ya kwaya, gwaride, halaiki, ngoma za asili, sarakasi na michezo mingineyo kutoka mikoa mbalimbali ya Tanzania.
2018-07-17T11:54:56
http://kingotanzania.blogspot.com/2014/12/rais-wa-jamhuri-ya-muungani-wa-tanzania.html
[ -1 ]
UZINDUZI CHANJO YA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI Imetumwa: April 23rd, 2018 Mkuu wa mkoa wa Lindi Mhe. Godfrey W. Zambi, amezindua rasmi zoezi la utoaji wa chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi, leo hii, kwa mabinti wenye miaka 14 Katika sherehe iliyohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa mkoa wa Lindi. Miongoni wa waliohudhuria walikua ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Lindi, Mstahiki Meya wa Manispaa ya Lindi, Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Lindi, katibu tawala wa Wilaya pamoja na katibu tawala wa Mkoa. Wengine waliohudhuria ni watumishi mbali mbali na wanafunzi ambao pia walipatiwa chanjo katika uzinduzi huo. Wakizungumza katika nyakati tofauti tofauti katika uzinduzi huo Mstahiki Meya wa Manispaa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Lindi waliwaasa wanafunzi hao kuwa kupewa chanjo hii haina maana kuwa wamepewa ruhusa yakufanya yale ambayo wamekatazwa. Aidha mkuu wa mkoa katika kukazia hilo alisema kuwa hawapaswi kujihusisha na vitendo vya ngono maana madhara yake ni makubwa “madhara ya ngono ni makubwa, kuna ukimwi pamoja na mimba. Na chanjo hii ni kwa ajili ya saratani ya mlango wa kizazi na si hayo mengine” Pia wanafunzi wliohudhuria uzinduzi huo waliombwa kwenda kuwa mabolizi wazuri kwa wenzao juu ya zoezi hili linaloendelea. Zoezi hilo ambalo lilikuwa limeshaanza siku tano zilizopita, leo lilikuwa linazinduliwa rasmi. Zoezi hilo ambalo limefadhiliwa na WHO limewalenga mabinti wa kuanzia miaka 9 hadi 14, Japo chanjo imeanza kwa kutolewa kwa masichana wenye miaka 14 Mratibu wa zoezi hilo alisema “hii sio kampeni bali ni zoezi endelevu”. Saratani ya mlango wa kizazi ni ugonjwa hatari na unaouwa wanawake wengi hasa katika nchi zinazoendelea kama Tanzania. Ugonjwa huu unasababishwa na vijidudu vijulikanavyo kitaalamu kwa jina la Human papilloma virus (HPV) na huambukizwa kwa njia ya ngono kutoka kwa mtu mwenye virusi hivyo. Tafiti zinaonyesha kuwa katika kila wanawake wanne wanaoshiriki ngono watatu wanapata maambukizi ya HPV na kwa wasichana wenye umri mdogo uwezekano wa kupata maambukizi hayo ni mkubwa zaidi. TANGAZO LA KAZI, DATA MANAGER January 17, 2019 MATOKEO YA SEKONDARI YA MWAKA 2018 January 10, 2019 RASIMU YA SHERIA NDOGO December 19, 2018
2019-01-20T10:58:35
http://www.lindimc.go.tz/new/uzinduzi-chanjo-ya-saratani-ya-mlango-wa-kizazi
[ -1 ]
MBOWE: TUPO TAYARI KUTIMULIWA WOTE | EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG Home » Unlabelled » MBOWE: TUPO TAYARI KUTIMULIWA WOTE MBOWE: TUPO TAYARI KUTIMULIWA WOTE Naibu Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson sasa amesababisha makubwa zaidi; wabunge kutoka vyama vya upinzani wako radhi kutimuliwa wote iwapo kiongozi huyo ataongoza vikao vyote vilivyosalia na wao kuendelea na msimamo wao wa kumsusia. Jana, Dk Ackson aliingia kuongoza kipindi cha maswali na majibu na wabunge wote wa vyama vya upinzani wakatoka ndani ya ukumbi na alipomuachia mwenyekiti wa Bunge, Andrew Chenge kuendelea na shughuli zilizosalia, walirejea ukumbini. “Kama Naibu Spika atakuwepo kwenye kile kiti, hatatuona bungeni, hata kama ni leo, ni kesho hata Bunge lote. Tuko tayari kuchukua gharama hiyo,”alisema kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani, Freeman Mbowe akiwa nje ya ukumbi wa Bunge baada ya kuongoza wabunge wenzake kutoka ukumbini wakati wa kipindi cha maswali na majibu. Kauli hiyo ya Mbowe imekuja siku moja baada ya Dk Ackson kukataa Bunge kujadili sakata la wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) waliotimuliwa kwa maelezo kuwa hawafundishwi kwa muda mrefu kutokana na walimu wao kugoma wakidai malimbikizo yao. Kitendo cha Dk Ackson kukataa hoja hiyo ijadiliwe, kilisababisha vurugu bungeni kiasi cha kuita askari kuingia kuwatoa wabunge waliokuwa wakipiga kelele na baadaye kuwaamuru waliokataa kukaa waondoke ukumbini. Wakiwa nje, walifikia uamuzi wa kususia vikao vyote vitakavyoongozwa na Naibu Spika na wakaanza kutekeleza uamuzi huo jana asubuhi. Kauli ya Mbowe pia imekuja siku moja baada ya Kamati ya Maadili, Kinga na Haki za Bunge kuwasimamisha wabunge saba kutoka vyama vya upinzani kuhudhuria vikao vya kuanzia mkutano huu hadi ujao kwa maelezo kuwa walifanya fujo wakati wakipinga hoja ya Serikali ya kusimamisha matangazo ya moja kwa moja ya baadhi ya shughuli za Bunge. Jana, Mbowe alisema wako tayari kutimuliwa wote kama uamuzi huo utawapendeza viongozi wa Bunge kwa kuwa siasa inaweza kufanywa ndani na nje ya Bunge. Mbowe alisema kuwa hali ilishafika hatua nzuri ya kujenga demokrasia nchini na kwamba pamoja na matatizo yaliyokuwepo, hali ilikuwa ikienda vizuri. “Lakini tangu kuingia kwa Serikali ya Awamu ya Tano mnaweza kuona Bunge limegeuka kituko. Bunge limegeuka mahali pa kukomoana. Bunge limekuwa mahali pa kutishana,”alisema Mbowe. “Naibu Spika anaamua kusitisha mjadala wa maana ili apate muda wa kuwadhibiti na kuwafukuza wabunge bungeni na anaona sifa. Tunaacha kujadili hoja ya msingi kama mambo ya Udom. Watoto wadogo wanalala nje haoni ni muhimu, anaona muhimu ni kuwafukuza wabunge wa upinzani.” Mbowe, ambaye pia ni mbunge wa Hai, alisema hawezi kukaa, kumsikiliza na kumheshimu Dk Ackson, bali wapinzani wataheshimu anayewaheshimu bila kujali anatoka chama gani na hawatamuheshimu asiyewaheshimu bila kujali cheo chake. “Sasa leo (jana) tumekataa kushiriki kipindi cha maswali na majibu kwa sababu yeye (Dk Ackson) anasimamia kipindi hicho na akitoka tutarudi bungeni. Akija mwenyekiti, akija Spika mwenyewe tutarudi bungeni. Lakini kama Naibu Spika atakuwepo kwenye kile kiti hatatuona bungeni, hata kama ni leo, ni kesho hata Bunge lote. Tuko tayari kuchukua gharama hiyo,”alisema Mbowe.Dk Ackson alikuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuanzia Septemba mwaka 2015 hadi Novemba 2015 alipochukua fomu za kugombea uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano kwa tiketi ya CCM. Siku moja kabla ya CCM kuchagua mgombea wake, Dk Ackson alijitoa, hatua iliyoonekana ni kumpisha kada mwenye uzoefu zaidi, Job Ndugai. Wakati CCM wakisubiri uchaguzi wa mgombea wao, Rais John Magufuli alimteua Dk Ackson kuwa mbunge na baadaye akachukua fomu za kuwania unaibu spika, akiwa mgombea pekee wa chama hicho. Tangu aanze kuongoza Bunge, Dk Ackson amekuwa akikwaruzana na wabunge wa upinzani, ambao walishawahi kuhusisha kuteuliwa kwake na Rais kuwa mbunge ili apate mwanya wa kugombea unaibu spika, na mpango wa Serikali kutaka kulidhibiti Bunge. Akizungumzia mkakati wao jana, Mbowe alisema kwa kuwa siasa haifanywi bungeni tu, watakwenda kwa wananchi kuwashitaki viongozi wa Bunge. Alisema watafanya hivyo kwa kuwa kitendo cha kuwafungia wabunge wa upinzani kuwatetea wananchi ndani ya Bunge, kinaweza kufanywa pia nje ya chombo hicho. “Tutawaamsha wananchi nje ya Bunge kwa kuwa ni fursa hivyo tunakutana na wabunge wote waliotimuliwa na tutaungana wote bila kujali chama cha siasa kwa kuwa tumekubaliana kusimamia ajenda ya nchi na si ya chama chochote,” alisema Mbowe. LHRC yataka wabunge warudishwe Wakati wabunge saba wakianza kutumikia adhabu ya kufungiwa kuhudhuria vikao, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimelitaka Bunge kuwarejesha ili kuendelea na majukumu yao. Mkurugenzi mtendaji wa kituo hicho, Dk Helen Kijo Bisimba alisema hoja ya kuwafukuza wabunge hao kwa sababu ya kudai haki ya kurushwa bunge ‘live’ ni kuwapokonya haki Watanzania waliowachagua kwenda kuwawakilisha bungeni. “Wabunge hao wamechaguliwa na wananchi na wanatetea bunge hilo kurushwa ‘live’ kwa maslahi ya wananchi waliowatuma, halafu kiti cha Spika kinaamua kuwafukuza bungeni. "Endapo ningepewa nafasi ya kuwashauri wapiga kura, ningewaambia kwenda kushiriki vikao vya Bunge wenyewe kwa sababu wabunge wao wameondolewa bungeni, hata mimi mbunge wangu wa Kawe ameondolewa,”alisema.
2017-01-22T03:35:44
http://ndgshilatu.blogspot.com/2016/06/mbowe-tupo-tayari-kutimuliwa-wote.html
[ -1 ]
TOPBAND: SIWEZI KUSHIRIKI! SIWEZI KUSHIRIKI! Posted by TID at 9:16 PM NIKOMESHEE MANAGER! KAZI GANI!!!?? HIZI BATA JAMANI! ALIPOZI NA HAWA WAREMBO! HEMEDY AKA PHD"MOVIE STAR! JAMANI TOPBAND TUNAWAZIMIA! CHID MAPENZI! SHE CANT BELIEVE! CLUB AFRIQUE! ANAITWA OMMY DIMPOZ. KIFAA KIPYA! AFTER THA SHOW IS AFTA THA PARTY! HAPA HAWAINGII! NGOJA NIWAFUNIKE! LADY KIDAWA! NAE HAKUKUBALI! HUO MTENDE! DADA ZAKO! MAZOEZI KAMA MECHI! KOMAA KHALID...! MAZOEZI MAKES PERFECT SISI HAPA HAPA! BRAZAMEN DULLY SYKES! WANAONA GERE! MPANGO MZIMA! WA KITAA! MDUARA WA PLATINUM!
2018-08-20T22:20:53
http://topbandtz.blogspot.com/2010/03/siwezi-kushiriki.html
[ -1 ]
Sehemu Ya Pili: Uadilifu Wa Masahaba | Ukweli Wa Shia Ithna Ashariyyah | Al-Islam.org Maneno yamekuwa mengi kuhusu uadilifu wa Masahaba, na watu katika hilo wamekhitalafiana Ikhtilaf kubwa. Ahl as-Sunnah wanaona kuwa Masahaba wote ni waadilifu hawatuhumiwi wala haijuzu kwa yeyote kuwakosoa, au kushuku katika mapokezi yao katika Hadith za Mtume wa Allah (s.a.w.w.). Na anayefanya hivyo wanatoa Fatwa juu ya ufasiki wake na wanazingatia kuwa ni zandiki, na wao kwa hilo wanajilazimisha kwa kila alicho kipokea Sahaba, kwa mfano inatosha kwao kukubali Hadith iliyopokelewa kwa Sahaba yeyote yule, na Sahaba kwao ni kama alivyoeleza Al-Bukhari: “Ni ambaye alifuatana na Mtume Muhammad Mustafa (s.a.w.w.) au aliye mwona miongoni mwa Waislamu.” Na wala sioni katika hukumu yao hiyo katika ufasiki wa kila anaye mkosoa yeyote miongoni mwa Masahaba, isipokuwa ni israf katika kuamini na ni kupinga Kitabu cha Allah (s.w.t.), Sunnah za Nabii wake na tabia ya binadamu kama tutakavyo thibitisha hayo katika kurasa zinazofuata. Katika Masahaba kuna waumini walio wema, Allah (s.w.t.) amewasifu katika Qur’an tukufu kwa kauli yake: لَقَدْ رَضِيَ اللَّهُ عَنِ الْمُؤْمِنِينَ إِذْ يُبَايِعُونَكَ تَحْتَ الشَّجَرَةِ فَعَلِمَ مَا فِي قُلُوبِهِمْ فَأَنْزَلَ السَّكِينَةَ{18} Ayah haionyeshi zaidi ya kwamba Allah (s.w.t.) ameridhia Bai’a yao hii - yaani ameikubali kutoka kwao - na amewapa thawabu, ridhaa ya Allah (s.w.t.) juu ya watu wa Bai’a hii hailazimu ridhaa yake hii kuwa ni daima, na dalili katika hilo ni kauli ya Allah (s.w.t.) katika jambo lao Sa’ad amesema nimemsikia Mtume Muhammad Mustafa (s.a.w.w.) amesema: “Mimi nitawatangulia katika Hawdh atakaye nifikia atakunywa kwayo na atakaye kunywa hata pata kiu kamwe baada yake, watanijia watu na wajua na wananijua kisha kutawekwa kizuizi baina yangu na wao.” Akasema nilimsikia akiongezea: Akasema: “Hakika wao ni katika watu wangu, itasemwa: Hakika wewe hujui waliyo yabadilisha baada yako, basi nitasema, awe mbali aliye badilisha baada yangu.”1 “Na wanapoona biashara au upuuzi wanakimbilia huko na wanakuacha umesimama…” (Al-Juma’a 62:11) (Kutoka kwa Anas (r.a.) amesema: Alitoweka ami yangu Anasi bin Nadhir katika vita vya Badr akasema: Ewe Mtume wa Allah (s.a.w.w.): Nilighibu katika vita vya mwanzo ulivyowapiga washirikina, naapa kama Allah (s.w.t.) atanijaalia kupigana vita na washirikina basi Allah (s.w.t.) ataona nitakavyofanya. Siku ya Uhud ilipofika na Waislamu wakashindwa na kukimbia, akasema: “Ewe Allah mimi naomba samahani kwako kwa waliofanya hawa watu, yaani Masahaba wake.”7 Ayah hii imeteremka siku ya Badr, au baada yake katika kundi miongoni mwa masahaba. Nabii alikuwa amewataka ushauri ili kuona upeo wa kuwa kwao tayari kwa ajili ya vita-basi maoni yao yakawa ni kuteka ngamia na kilichobebwa na msafara wa Abu Sufian na wala wasipigane kama yanavyo dhihirika hayo katika Hadith ifuatayo ambapo inadhihiri ta’assub yao ya kikabila-na wao ni katika masahaba…hata mbele ya Mtume? ‘Amru amesema: “Nilimsikia Jaabir bin ‘Abdillah (r.a.) akisema: ‘Tulikuwa katika vita, Sufian akasema (maneno fulani) katika jeshi, basi mtu mmoja katika Muhajirin akampiga mtu (mwengine) miongoni mwa Ansar, yule mu-Ansar akasema: Enyi Ansar (wenzangu) na (yule mwengine katika) Muhajirin akasema: Enyi Muhajirin (wenzangu), Mtume wa Allah (s.a.w.w.) akasikia hayo akasema: Huu mwito wa kijahili ni wa nini.”8 Basi ikazuka fujo kati ya Aus na Khazraj mpaka wakataka kupigana na Mtume yuko juu ya mimbar, alishuka akawatuliza hadi wakanyamaza naye akanyamaza9 Na katika Masahaba kuna baadhi yao walikuwa wanamchukia Al-Imam ‘Ali ibn Abi Talib (a.s.), ambaye kumchukia ni alama ya unafiki kama ilivyoelezwa: Na katika Masahaba kuna aliowatoa Nabii katika majilisi yake walipomtuhumu kwa neno baya, naye yuko katika maradhi yake ya mwisho kabla ya kuyaaga maisha ya dunia. Sa’id bin Jubayr alimsikia Ibn ‘Abbas anasema siku ya Alhamisi, ni ipi siku ya Alhamisi, kisha akalia mpaka machozi yake yakaloanisha changarawe nikasema: “Ewe Ibn ‘‘Abbas ni ipi siku ya Alhamisi?” Akasema: “Mtume alizidiwa na maradhi yake akasema: ‘Nileteeni karatasi niwaandikie maandiko hamtapotea kamwe baada yake’, basi wakazozana na haifai kuzozana mbele ya Mtume, wakasema, ‘ana nini, anaweweseka? Muulizeni’, akasema: ‘Niacheni kwani niliyo nayo ni bora kuliko hayo mnayo niitia.” 12 Na katika Masahaba kuna waliogombania uongozi baada ya kufariki Mtume mpaka ikafikia kutaka kuchaguliwe viongozi wawili mmoja wa Muhajirin na mwingine wa Ansar. Kisha akasema; ‘amma ba’ad, sisi ni Ansar wa Allah (s.w.t.) na kikosi cha Kiislamu na nyinyi Muhajirin ni kundi na limenyemelea kundi katika kaumu yenu basi wakawa wanataka kututoa katika msingi wetu na kutupokonya uongozi.13 Msemaji wa Ansar akasema: Mimi ni shina lake lenye nguvu na tawi lake lenye matunda akasema: Mimi ni shina lake lenye nguvu na tawi lake lenye matunda kwetu kuwe na kiongozi na kwenu kuwe na kiongozi, enyi Maquraish. Basi ugomvi ukawa mkubwa na makelele yakawa mengi mpaka nikatoka na kuacha ikhtilafu.”14 Hakika kuwa rafiki wa Nabii sio sifa kubwa kuliko utukufu wa kuoa kwa Nabii. Amesema Allah (s.w.t.) kuhusu wanawake: Tazama Hadith zifuatazo zinazoweka wazi baadhi ya maana ya Ayah zilizotangulia: Kutoka kwa ‘Ubaid bin Hunain kutoka kwa Ibn ‘Abbas amesema: “Nilikaa mwaka na mimi nataka kumwuliza ‘Umar juu ya wanawake wawili ambao wamemuasi Mtume Muhammad Mustafa (s.a.w.w.) basi nikawa namwogopa siku moja aliteremka sehemu akaingia katika mti wa miiba alipotoka nikamwuliza, akasema: ‘Aisha na Hafsa, kisha akasema tulikuwa katika ujahili hatuwahesabu wanawake kuwa ni chochote, ulipokuja Uislamu na Allah (s.w.t.) akawataja tukaona kuwa wana haki kwetu bila ya kuwaingiza kwa chochote katika mambo yetu na kulikuwa na maneno baina yangu na mke wangu akanikasirikia, nikamwambia: hakika wewe uko huko, akasema unaniambia mimi hayo ilihali binti yako anamwudhi Mtume wa Allah (s.a.w.w.)? Basi nikamwendea Hafsa nikamwambia na kumtahadharisha juu ya kumuasi Allah (s.w.t.) na Mtume wake.19 Kutoka kwa ‘Aisha (r.a.) amesema: “nilikuwa nawaonea gherah wake ambao wametoa nafsi zao hiba kwa Mtume (s.a.w.w.) na nasema: ‘Mwanamke ametoa nafsi yake?’ Basi Allah (s.w.t.) alipoteremsha Ayah isemayo (umuahirishe umtakaye miongoni mwao na umsogeze umtakae. Na kama ukimtaka yule uliyemtenga basi si vibaya kwako) nikasema naona Mola wako anafanya haraka katika matamanio yako. “22 Na ambacho wanakitegemea wanaoitakidi uadilifu wa Masahaba wote ni madai yao kuwa Mtume wa Allah (s.a.w.w.) amesema: “Masahaba wangu ni kama nyota yeyote mtakaye mfuata mtaongoka” na katika Hadith nyingine: “Kwa yeyote utakayechukua kauli yake...”. Tukiachilia kuwa Hadith hii ni sahihi, na kwa kuchukulia Hadith zilizotangulia hiyo itamaanisha kuwa atakayemfuata aliyeondoka msikitini kwa ajili ya maslahi ya kidunia yenye kupita na Mtume (s.a.w.w.) amesimama akihutubia, basi atakuwa ameongoka na kwamba atakayewafuata walioacha sehemu zao ambazo Mtume aliwaamuru wasiziache kwa ajili ya kuchukua baadhi ya ngawira atakuwa ameongoka! Na miongoni mwa athari mbaya ambazo ni matokeo ya kuitakidi uadilifu wa Masahaba wote ni kupatikana idadi kubwa ya Hadith hizo potovu katika vitabu vya Hadith kama vile Israiliyyaat, Masihiyyaat *na nyinginezo katika upotovu ambazo ndiyo mianya ya tuhuma katika dini ya Kiislamu, hiyo ni kwa sababu Hadith zimechukuliwa na kuaminiwa kwa kuwa tu zimepokewa kutoka kwa Sahaba pamoja na kuwa kuna uwezekano wa kufanya ambayo tumeyabainisha katika Hadith zilizotangulia. *Tumeeleza mifano mingi miongoni mwa mifano ya Hadith hizi katika sehemu zilizotangulia. ‹ Orodha Ya Wapokezi Wa Uongo Wa... Sehemu Ya Tatu: Shi'a Na Qur'a... ›
2020-06-04T14:16:21
https://www.al-islam.org/sw/ukweli-wa-shia-ithna-ashariyyah/sehemu-ya-pili-uadilifu-wa-masahaba
[ -1 ]
SIMUTV: Idara ya uhamiaji mkoani Mara yaeleza kukamata wahamiaji haramu 435 kwa mwaka 2015. https://youtu.be/pQ87ZTFT1AQ SIMUTV: Wawekezaji wazawa katika sekta ya madini mkoani Geita waiomba serikali kuwaangalia kwa jicho la pekee kama inavyowaangalia wawekezaji kutoka nje ya nchi kwani wanaweza kuchangia pato la taifa. https://youtu.be/WbUTCTA6y6w SIMUTV: Mamlaka ya usafiri wa nchi kavu na majini SUMATRA yasema itaendelea kukusanya maoni ya nauli zinazopaswa kutumika katika mradi wa mabasi yaendayo haraka. https://youtu.be/1_cNGxtoXpw SIMUTV: Halmashauri ya jiji la Mbeya huenda ikashindwa kufikia malengo iliyojiwekea ya kukusanya mapato kupitia vyanzo vyake vya ndani kufuatia mwikitikio mdogo kutoka kwa wananchi. https://youtu.be/uccZ_Xxopyo SIMUTV: Rais wa Zanzibar Dr.Shein asisitiza kuwa yeye ni kiongozi halali wa Zanzibar licha ya kufutwa kwa uchaguzi uliofanyika October mwaka jana huku akiwataka wanaopinga uwepo wake kwenda mahakamani.https://youtu.be/_3SRg4CY7Uc SIMUTV: Wananchi walioathirika na mafuriko wilayani Kilosa mkoani Morogoro waanza kupata msaada wa chakula wakati huu wakihifadhiwa kwenye makazi ya dharura. https://youtu.be/kIPWSRrdNVE SIMUTV: Waziri wa elimu alitaka baraza la mitihani nchini kutoa sababu zilizopelekea kubadilishwa kwa viwango vya ufaulu;https://youtu.be/u0_Mk2og43Y SIMUTV: Madereva wa mabasi yanayofanya safari zake kati ya Mtwara na Dar es salaam wafanya mgomo kushinikiza madereva wenzao 3 waliokamatwa na polisi kuachiwa. https://youtu.be/X_F6_2hAY-Q SIMUTV: Wabunge na madiwani wa jimbo la Ukonga na Segerea kesho wanatarajia kufungua shauri katika mahakama kuu kuzuia zoezi la bomoa bomoa jimboni humo. https://youtu.be/GB-gBgZTvm4 SIMUTV: Zaidi ya wakazi 3,000 wanaoishi katika bonde la mto Msimbazi na maeneno mengine ya halmashauri ya Kinondoni wafurika mahakama kuu ya Tanzania kupinga zoezi la bomoa bomoa baada ya nyumba zao kuwekewa alama ya X. https://youtu.be/VA7K0aowr0w SIMUTV: Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Busolwa mkoani Geita wasimamisha msafara wa waziri wakimtaka asikilize kero zinazowakabili katika eneo lao ikiwemo kunywa maji yenye sumu. https://youtu.be/mohugB1-98o SIMUTV: Rais Magufuli akutana na kufanya mazungumzo na Rais mstaafu Benjamini Mkapa pamoja na waziri mkuu mstaafu Jaji Joseph Warioba ikulu jijini Dar es salaam. https://youtu.be/FpKeXdHMp8s SIMUTV: Serikali yasitisha safari za meli ya MV.Serengeti kwa muda wa siku 3 kupisha matengenezo kufuatia hitilafu iliyojitokeza siku kadhaa zilizopita;https://youtu.be/QGZi_ekgRGg SIMUTV: Wafanyakazi wa kiwanda cha Play and Panel cha mkoani Tanga wamemuomba mkuu wa mkoa huo kuingilia kati mgogoro uliopo baina ya wafanyakazi hao na uongozi wa kiwanda hicho;https://youtu.be/Cu_Run5zd0w SIMUTV: Mkuu wa jeshi la polisi nchini IGP Mangu aongoza mamia ya waombolezaji katika mazishi ya aliyekuwa msaidizi wake, Marehemu Gerald Ryoba aliyefariki katika ajali ya maji pamoja na familia yake mkoani Dodoma;https://youtu.be/qRvQtjZMdOQ SIMUTV: Wanajeshi wa jeshi la wananchi JWTZ wameelezwa kuwa na wajibu mkubwa wa kujenga na kulinda amani ya nchi; https://youtu.be/ayOBnK-qPVs SIMUTV: Shirika la viwango chini TBS latangaza kupambana na waingizaji na wasambaji wa mafuta ya petrol nchini yenye kiwango hafifu;https://youtu.be/EmcwPjdLxOw SIMUTV: inaelezwa kuwa mshambuliaji wa kimataifa toka Uganda anayekipiga katika ligi kuu ya nchini Denmark, Emanuel Okwi aanza kuzoea soka la Ulaya;https://youtu.be/6CG731L2bYI SIMUTV: Shirika la riadha duniani IAAF limefungia Papa Massata Diack kifungo cha maisha kutojihusisha na mchezo wa riadha;https://youtu.be/qRvQtjZMdOQ SIMUTV: Serikali imewataka wananchi wote nchini waliojenga jirani na vyanzo vya maji kuondoka mapema; http; https://youtu.be/G93QsggSO4k SIMUTV: Inaripotiwa kuwa zaidi ya nyumba elfu kumi na sita jijini Dar es salaam zimewekwa alama za kubomolewa toka zoezi hilo lilipoanza;https://youtu.be/lPIca9clDY0 SIMUTV: Rais John Magufuli akutana na kufanya mazungumzo na viongozi wastaafu Ikulu jijini Dar es salaam; https://youtu.be/IBPJSGZIM0k SIMUTV: Serikali ya Zanzibar yaweka mikakati kwa lengo la kuwasadia vijana kujiimarisha kiuchumi na kurejesha maadili kwa wananchi visiwani humo;https://youtu.be/tarpGrJgKIg SIMUTV: Serikali yaingiza kiasi cha fedha tasilimu za kitanzania jumla ya shilingi bilioni 18.77 katika akaunti za shule za msingi na sekondari nchini;https://youtu.be/u9jWqwTyUtg SIMUTV: Timu ya Azam ya jijini Dar es Salaam imeangukia pua kwa kutandikwa goli 2 kwa 1 na timu ya Mafunzo ya visiwani Zanzibar katika michuano ya Kombe la Mapinduzi visiwani Zanzibar; https://youtu.be/lcXuViGv3_4
2017-07-26T18:36:17
https://michuzi-matukio.blogspot.com/2016/01/simu-tv-habari-kutoka-televisheni_7.html
[ -1 ]
Shindano la Picha la Wikipedia - Wiki Loves Africa 2017 - Fahamu Hili Shindano la Picha la Wikipedia – Wiki Loves Africa 2017 October 14, 2017 October 14, 2017 by Kornel M. Kama Fahamuhili.com tulivyoahidi kwenye ukurasa wa kutuhusu, tutakuwa tukikufahamisha fursa mbalimbali ambazo zinaweza kuboresha uchumi na maisha yako kwa ujumla. Karibu tukufahamishe fursa ya shindano la picha linaloendeshwa na tovuti ya Wikipedia. Ikiwa wewe una uwezo wa kupiga picha, video au kurekodi sauti nzuri yenye ubora wa hali ya juu, basi unaweza kushiriki shindano hili. Wikipedia kwa kutambua nafasi na umuhimu wa Afrika, wameanzisha shindano ambalo washiriki watatakiwa kutuma picha, video au hata sauti za watu wakiwa kazini kutoka barani Afrika. Washindi wanaweza kujishindia fedha na zawadi nyingine kemkem. Ni lini shindano litafanyika? Shindano limeanza tarehe 1 Oktoba 2017 na litafungwa mnamo tarehe 30 Novemba 2017. Washindi watatangazwa mnamo wezi Februari 2018. Mshindi wa kwanza $600 Mshindi wa pili $400 Mshindi wa tatu $200 Mpangiliaji $200 Insha ya picha ya wanawake wakiwa kazini: $200 Insha ya picha ya mambo adimu, utamaduni na sanaa au watu wakiwa kazini: $200 Zawadi nyingine ni Wiki Loves Africa powerpack pamoja na Tisheti Kuna vigezo vinavyotakiwa kuzingatiwa ili kuwa mshindi. Picha zote ni lazima ziwe zimepigwa na mtu anayezituma. Zinaweza kupakiwa (uploaded) moja moja au zote kwa mkupuo. Upakiaji wa picha ni lazima ufanyike kati ya tarehe 1 Oktoba hadi 30 Novemba 2017. Picha zililzopigwa wakati wowote zinaweza kupakiwa; jambo la kuzingatia ni kuhakikisha mtumaji au mpakiaji ana umiliki kamili wa picha hizo. Picha hazitakiwi kuwa na maandishi, nembo au alama yoyote (watermarks). Picha zote zitakuwa chini ya leseni ya bure ya Creative Commons. Picha zote zitawekwa chini ya kategoria ya Wiki Loves Africa 2017. Hata hivyo mshiriki anaweza kupendekeza kategoria nyingine wakati wa upakiaji. Mshiriki ni lazima aruhusu au awezeshe barua pepe kwenye Wikimedia Commons ili Wikipedia waweze kuwasiliana naye. Ikumbukwe pia Wikipedia wanapokea video na sauti katika shindano hili. Hivyo unaweza kutuma mafaili ya aina hizi. Kutokana na sababu za haki miliki, Wikipedia hawatapokea aina (format) nyingine tofauti na hizi zilizoorodheshwa hapa. Mfano wa picha kama unazoweza kutuma: Unaweza kusoma maelezo zaidi ya shindano hili hapa. Je bado unasubiri nini? Ikiwa unauwezo wa kushiriki, shiriki sasa kwani inaweza kuwa ndiyo nafasi yako ya kushinda. Tafadhali tuandikie maoni yako hapo chini na usisahau kuwashirikisha wengine fursa hii. Unaweza pia kulike ukurasa wetu wa Facebook ili kufahamu mengi zaidi. Posted in Fursa
2019-02-21T14:40:28
https://www.fahamuhili.com/shindano-la-picha-la-wikipedia-wiki-loves-africa-2017/
[ -1 ]
Hivi ni lazima kujichanganya na watanzania USA? - JamiiForums Hivi ni lazima kujichanganya na watanzania USA? Faida na hasara Zake ni zipi? Hueleweki sijui kama unajielewa. Infact hata JF unaweza kujitenga na hatutakumiss Kabisa....... KAMA UKITAKA. Kama huna shughuli iliyokupeleka USA. Maana yake wewe ni straw away. Kwa mazingira yako tafuta watu wa aina yako wakupe mbinu za kuishi kwa Obama. Lakini kama umeenda kimasomo au kibiashara. Achana na umbeya. Fanya ulichoenda kufanya kwa mda uliopewa. Rudi Tanzania uje ujenge nchi. Nimeiliza hili swali kwa sababu kuna blog ilikuwa inazungumzia watu wasiojichanganya eti wanaringa .people are busy jamani Mkuu kwanini usingejibu hukohuko kwenye hiyo blog? Sasa ukijibia huku ujumbe wako wataupataje? Reactions: ITEGAMATWI, Adrian Stepp, Sikonge and 1 other person Jichagulie maisha unayotaka kuishi. Hujalazimishwa kuchanganyika na Watanganyika. Hujalazimishwa. Best way nikuwauliza hao wanaosisitiza kujichanganya sio sisi, tumeshajua kwamba uko USA so what?! As a food for thought, na ukifa, ujizike! Nyie ndo ambao maisha yakiwapiga mnaanza kuomba misaada kwa wenzenu... Think twice mtoto. Ivi sielewagi what does that mean kusema ukifa ujizike... I think its will sound more relevant ukasema ukiumwa, akipata economic crisis may be.. Sasa ukisema ukishakufa hiyo haimuhusu tena as far as amekufa..hakuna uhusiano wa kuzikwa either kifahari,kistarabu in whatever way tunauhifadhi mwili..kama hawatamzika manispaa itamzika. Tuguse vitu vitakavo exist while mtu still anaexist. Natalia tutumie kwanza ile dola ya sikukuu kabla ya kujichanganya wengine wana shida kuliko hata sisi wabongo wataanza kulia lia kwako then tutakosa mshiko wa thikukuuu. socialisation with people from home is a good thing, lakini si lazima, ni uamuzi wa mtu mwenyewe
2019-05-27T09:25:58
https://www.jamiiforums.com/threads/hivi-ni-lazima-kujichanganya-na-watanzania-usa.363521/
[ -1 ]
Juxtaposition Sanaa huhudhuria tukio la jamii | Mikopo ya Picha: Nancy Musinguzi Kuhakikisha kwamba Minnesota ni mahali ambapo wasanii wanachagua kuishi na kufanya kazi kuimarisha jamii zetu, tamaduni zetu, na uchumi wetu. Mfuko wa Foundation wa McKnight Foundation unalenga wasanii wa kazi na mashirika ambayo huwasaidia kuendeleza kisanii na kitaaluma. Msaada kwa ajili ya wasanii wa kufanya kazi imekuwa kipindi cha mpango wa Sanaa tangu kuanza. Mwaka 2010, baada ya tathmini kamili, bodi ya wakurugenzi wa McKnight iliamua kuzingatia athari kwenye chanzo: wasanii. Msaada wa sanaa wa McKnight ni mashirika yanayofuata: kipaumbele fidia kwa wasanii huwezesha fursa za kipekee za kisanii kuwezesha uhusiano mazuri kati ya wasanii na jamii zao kuonyesha ufahamu wa kina wa shamba lao kujibu mwenendo mzima kazi ili kuondokana na vikwazo vya kiutamaduni, kiuchumi, na kikabili Programu ya Sanaa ya McKnight inaunga mkono mashirika ya sanaa katika taaluma nyingi zinazotoa miundo ya msaada kwa wasanii wa kazi. Pia hutoa ushirika na wengine kutoa tena kwa wasanii wa kazi kupitia washirika muhimu. Mafuta ya kipekee ya mazoezi ya kisanii Tunasaidia mashirika, programu, na miradi ambayo hutoa miundo ya msaada kwa wasanii wa kazi ili kuendeleza na kushiriki kazi zao. Kwa mfano, hapa ni baadhi ya njia ambazo wafadhili wanapendekeza mkakati huu: kuendeleza, kuonyesha, kuchapisha, kuzalisha, au kukuza kazi mpya au ufafanuzi wa kulazimisha wa kazi zilizopo, na kuwezesha mazoea ya sanaa yaliyoingizwa na jamii Unganisha wasanii kwa fedha, nafasi ya kimwili, mitandao, na fursa nyingine kutoa msaada na vifaa vingine kwa wasanii kwa ajili ya maendeleo ya kitaalamu na msaada wa kiufundi kuwezesha majaribio na ushirikiano "Kiln Moto kwa Miundo ya Moto," kipande cha sanaa na Craig Edwards Kuongeza thamani ya kazi ya wasanii katika jumuiya zao Tunasaidia na kuimarisha ushirikiano wa ndani na wa kitaifa, mitandao, ujuzi, data, na sera zinazoongeza thamani ya wasanii ndani na nje ya sekta ya sanaa. Kwa mfano, wafadhili hufanya mkakati huu kwa njia mbalimbali: kuinua maoni ya wasanii kama madereva ya msingi ya sekta yetu ya sanaa na utamaduni kuwezesha maendeleo ya uwezo wa sekta kufanya utafiti unaozidi uwezo wa utetezi wa sanaa, uendelezaji wa shamba, na ubora wa usimamizi mashirika ya sanaa ya wasaidizi na wasanii kama washirika katika maendeleo ya jamii, ushirikiano wa ushirikiano kati ya maslahi ya kitamaduni, manispaa na maendeleo ya kiuchumi Msaada wetu unaongozwa na utafiti juu ya miundo ya msaada wa msanii, mfano wetu wa mantiki, na nadharia yetu ya mabadiliko. Mfumo wa Msaada wa Wasanii Takwimu zinazoendelea kazi yetu katika sanaa zinatoka ripoti ya kihistoria na Taasisi ya Mjini inayoitwa Kuwekeza katika Uumbaji: Utafiti wa Mfumo wa Msaada kwa Wasanii wa Marekani. Utafiti huo umebaini kwamba jamii haifai mchango wa wasanii kwa jamii. Ingawa asilimia 96 ya watu waliohojiwa walisema "walihamishwa sana na kuhamasishwa na aina mbalimbali za sanaa," asilimia 27 pekee walisema kuwa "wasanii huchangia mengi kwa manufaa ya jamii." Tunatumia muundo wa muundo wa msaada kama chombo cha kuongoza utoaji wa ruzuku, kutafuta mfuko wa mashirika ambayo hutoa aina nyingi za msaada huu: mafunzo na maendeleo ya kitaaluma: Mazoezi ya kawaida na ya kujifunza uthibitishaji: Usajili wa thamani kwa nini wasanii wanafanya masoko ya mahitaji: Masoko ambayo hutafsiri hamu ya jamii ya sanaa kuwa fidia ya kifedha kwa wasanii vifaa vya vifaa: Upatikanaji wa rasilimali za kifedha na kimwili ambazo wasanii wanahitaji kwa kazi zao: ajira, bima na faida sawa, tuzo, nafasi, vifaa, na vifaa mitandao na jamii: Uhusiano na wasanii wengine na watu katika sekta ya kitamaduni na uhusiano wa nje na jumuiya pana habari: Vyanzo vya data kuhusu wasanii na wasanii Mfano wetu wa mantiki ni ramani inayotokana na mikakati yetu miwili, kutekelezwa kupitia shughuli nyingi za mpango wetu, na hatimaye inaongozwa na matokeo tunayojitahidi kufikia. Kujitoa ni moja tu ya shughuli kadhaa za programu. Wengine ni mkutano, kazi ya sera, utafiti, na uhusiano wa kujenga. Programu yetu ya Sanaa Nadharia ya Mabadiliko imetokana na mzunguko wa manufaa: wasanii wanachangia kwa ujuzi, kijamii, kiutamaduni na kiuchumi kwa Minnesota inayoendelea, wakati jumuiya na serikali za mitaa huwapa fursa ya kufanya kazi kwa wasanii ili kustawi kwa ujuzi na kitaaluma. Pata maelezo zaidi juu ya mahitaji ya ustahiki, vigezo vya uteuzi, na muda uliowekwa juu yetu jinsi ya kutumia ukurasa.
2019-09-20T18:59:12
https://www.mcknight.org/sw/programs/arts/our-approach/
[ -1 ]
Sitaki tena watoto, asema mwimbaji Akothee ▷ Tuko.co.ke Made in Kenya Latest Politics Entertainment Swahili FEEDBACK LiveScore Submit Video Fighting Al-Shabaab Sitaki tena watoto, asema mwimbaji Akothee -Siku kadha baada ya mwimbaji Akothee, almaarufu Madam Boss, kuwakemea wakosoaji mtandaoni kutokana na vazi lake, mwanadada huyo alifichua maamuzi mapya kabla ya mwaka 2016 kukamilikaMaamuzi hayo mapya yanahusu uzazi na mavazi. Msanii Akothee.Habari Nyingine: Picha za Akothee zinazomwonyesha kama mama wa kipekee kwa watoto wakeHabari Nyingine: Walivyofanya mashabiki wa Akothee baada ya tishio lake la kupoteza ujauzito Akothee na watoto wake. Mwimbaji huyo ameamua kufunga kuzaa.Miezi michache iliyopita Akothee alipatwa na msiba baada ya kupoteza mimba ya pacha akiwa mjini Geneva, Uswizi. Mwimbaji huyo aliwaomba mashabiki wake kumpa nafasi wa kuomboleza na pia kumuombea.Ni tukio hilo linalosemekana kuchangia uamuzi wake wa kutozaa tena kuongezea kwa watoto wengi alionao kwa sasa. Habari Nyingine: Huu ndio ujumbe wa mwimbaji Amani kwa wanaosema kuwa ni mjamzito Mwimbaji huyo pia amekata shauri kubadilisha mavazi yake ingawa hatuna uhakika iwapo ataachana na ya awali yaliyomuonyesha uchi.Mjadala kuhusu nguo aliyovaa katika tamasha moja mjini Lodwar pia ulimfanya kutafakari tena kuhusu chaguo lake la mavazi.Yawezekana ataendelea kuvaa nguo zake za kushangaza ama zinazomuacha uchi, lakini jambo moja la wazi ni kwamba mitindo ya mavazi yake yatabadilika kabisa sio kama kawaida hapo nyuma. Alisema kuwa kabla mwaka kufikia tamati anataka kutalii ulimwengu. Habari Nyingine: Idadi ya wasichana wanaopachikwa mimba Budalangi inashangaza!Mwaka 2016 unapofikia tamati, Akothee pia amekata shauri kutimiza ajenda moja kuu: kutalii na kujionea ulimwengu, pengine akiandamana na watoto wake watano.Kwa raha zako Madam Boss!Read ENGLISH VERSION ​ Mwanamke huyu mrembo APIGWA MARUFUKU katika mtandao wa YouTube kwa kuwa na matiti kubwa (Picha) Akothee's Children Akothee Kenya Swiss Husband Akothee Honeymoon Akothee Loses Pregnancy Local Artists Moto: Mcheza bonus Sorence owiti opiyo Socialites in kenya Luhya men in bed Hassan joho Habari zingine Wanasiasa wa Jubilee kufichua SIRI hii kwa wakazi wa Nairobi Jubilee kutoa TANGAZO muhimu Nairobi wiki ijayo Magufuli azungumza baada ya kudaiwa KUMKATAZA mfanyabiashara wa Kenya kuingia Tanzania (picha)
2017-02-26T03:14:30
https://swahili.tuko.co.ke/213416-hatimaye-mwimbaji-akothee-aamua-kufunga-kuzaa-watoto-wametosha.html
[ -1 ]
MAHUSIANO YAKO YANAPASWA YAWE NAMNA HII - MWANAHARAKATI MZALENDO ™ Admin 9:07:00 PM MAHUSIANO, MAKALA By Admin muda 9:07:00 PM Labels: MAHUSIANO, MAKALA
2019-05-25T12:03:35
https://www.mwanaharakatimzalendo.co.tz/2019/04/mahusiano-yako-yanapaswa-yawe-namna-hii.html
[ -1 ]
MTAZAMO WANGU (MAC TEMBA Jr) -Editor Contact email is [email protected]: THE BREAKING NEWZ....NGASA ASAINI AZAM FC THE BREAKING NEWZ....NGASA ASAINI AZAM FC HABARI ZILIZOIFIKIA BLOG HII MIDA HII NI KUWA MSHAMBULIAJI MAHIRI WA KLAUU YA YANGA SC MRISHO KHALFAN NGASSA AMESAINI FOMU ZA MIKATABA ZA KUJIUNGA NA KLABU YA AZAM SC KWA MILIONI 56 UHAMISHO HUU UMEVUNJA REKODI ILE YA JUMA KASEJA ALIPOSAJILIWA NA YANGA MWAKA JUZI...HONGERA NGASSA NA KILA LA KHERI. HABARI KAMILI KESHO NITAWAJUZA..... Azzam United FC (Capacity: 60.000 seat) Azam United FC is a Tanzanian football club who playing in the Tanzanian Premier League. It's a team that got promotion into the Premier League for the first time ever on the last season 2008/2009. Posted by The Editor :Edwin Mac Temba at 8:49 AM
2017-08-18T10:58:42
http://mactemba.blogspot.com/2010/05/breaking-newzngasa-asaini-azam-fc.html
[ -1 ]
JOB OFFER!!! JOB OFFER!!! JOB OFFER!!! - Recently Jobs Home Opportunities JOB OFFER!!! JOB OFFER!!! JOB OFFER!!! JOB OFFER!!! JOB OFFER!!! JOB OFFER!!! DOWN HERE IN USA,WITH FREE VISA AND FLIGHT TICKET. DOMINO'S PIZZA . Declared Epic Enlist for Both Fresher and Experiences In Different positions For 45 Add With Multiple Jobs. Salary Package:$3500-$7000 Plus Free Accommodation. Don`t mind the roaming number because we work to different country Whats-App:+2349034354427 [email protected] And get More Jobs Alert for free everyday. nawapongeza kwa kazi nzuri mnayoifanya,hakika ni kazi ambayo inapendeza hata Mimi nimevutiwa nayo!Mimi ni mwanachuo ambayo nasomea ualimu ktk chuo Cha ualimu mandaka hivyo kwa taaluma Mimi ni mwalimu hivyo nilikuwa naomba kazi ya kufundisha au fani nyingine yoyote ile ili niweze kuleta mabadiliko na ufanisi zaidi katika utendaji kazi Unknown February 20, 2019 at 12:14 AM
2019-04-18T10:28:57
https://www.xpresstz.com/2018/06/job-offer-job-offer-job-offer.html
[ -1 ]
Search for "ng'osh" | Global Publishers Matokeo Darasa la Saba Yatangazwa, Yapo Hapa JPM Awatumbua DC na DED Nachingwea Muuguzi Asimamishwa Kazi Akituhumiwa Kubaka Hospitalini Nafasi 12 za Kazi East African Community (EAC) …Excellent speaking and writing in English Language, the working language of the EAC. Eligibility Only applicants from EAC Partner States are eligible to apply for the above positions. Terms and… capacity of providers teaching, training management competencies and new courses addressing the identified training needs of young people, women and young mothers Explore opportunities for peer-to-peer learning and exchanges between… Nafasi za Kazi 32 National Ranching Company Ltd (NARCO) accounting nature. Serving as the Company’s Public Relations Officer. Maintaining an adequate and efficient administrative and office services (housing, furniture & fittings, office space, office equipment and stationery). Being in… Nafasi 116 za Ajira Mpya TUME ya MADINI recording and packing of the samples in appropriate packages ready for sending to the laboratory for analysis; iv. To assist in verifying/calculating and recording the actual weight of chemical reagents… Nafasi za Kazi: Asilia Camps and Lodge, Assistant Camp Manager continuous training as and when required e.g. Lobster Ink, assessments passed per month / year · Work closely with The Training Department to ensure effective training, planning and reporting ·… Nafasi za Kazi 2 AIM Group Ltd Product Development Engineer (Electrical / Computer Engineering) Internship Application. Vacancy title: Product Development Engineer (Mechanical) [ Type: FULL TIME , Industry: Consulting , Category: Science & Engneering ] Jobs at:… BAADA YA MIAKA 6 MAMA AIBUA MAPYA KIFO CHA NGWEA tu, ninamshukuru Mungu ninaendelea vizuri. ANAMMISI NGWEA Risasi Mchanganyiko: Ni miaka sita tangu alipofariki dunia Ngwea, je, una neno lolote kwa wanamuziki wenzake? Mama Ngwea: Kwanza niseme tu ukweli kwamba… Nafasi za Kazi CRDB Bank Plc September, 2019 analysts (internal or outsourced) engaged in the various bank’s projects. Attributes: Strong analytical and problem-solving skills Report writing and presentation skills Good coaching and training skills Stakeholder Management Business… 1. Job Position: Electrical Technician – System Operator (30 Posts) Report To: Grid/Off-Grid Substation Engineer/Supervisors Working Station: Grid/Off-Grid Substations MINIMUM REQUIREMENTS:  Diploma in Electrical and Electronics Engineering, Electrical Engineering… NAFASI ZA KAZI 35 KUTOKA BRELA, MWISHO WA KUOMBA JUNI 18, 2019 recommendation, including, particulars of Owners, Agent; ii.Check correctness of specification of goods/ services and sending to IPAS from generating application number; iii.Classify goods sent to IPAS for generating application number;… Hotuba Nzima ya Bajeti 2019/2010 Ipo Hapa – Video uongozi wa Taifa hili unaomtanguliza Mungu katika kuwatumikia Watanzania wote na kujielekeza kutatua kero za wanyonge. 4. Mheshimiwa Spika, baada ya shukrani hizo kwa Mwenyezi Mungu, naomba nimpongeze kwa… Publishers is over 20 years old and during these years the company has become a leading one in publishing favourite newspapers in Tanzania. In the next 10 years, it hopes… Balaa la Maandamano ya Wananchi Hong Kong hiyo na kushiriki kwa wingi mitaani katikati ya Hong Kong licha ya mvua kali. “Ikiwa mbinu za Beijing na Hong Kong ni kuona vuguvugu letu linadhoofika, wamekosea, hatutachoka,” alisema Bonnie… Strategy for Growth and Reduction of Poverty (MKUZA); • To build on existing agro-financing activities through provision of short, medium and long-term facilities to the following: smallholder farmers’ groups, savings… UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME, WANAWAKE WADAIWA KUHUSIKA masuala ya kisaikolojia nchini Chris Mauki alisema: “Uchunguzi unaonesha kwamba kwa kiasi fulani wanawake wanachangia upungufu wa nguvu za kiume. “Msingi wa nguvu za kiume umejengwa kwenye hisia ambazo… BATA LA YOUNG DEE MAREKENI KWELI…BONGO BAHATI MBAYA Karibu Ulaya… N I mion-goni tu mwa mistari inayo-patikana katika Ngoma ya Bongo Bahati Mbaya (BBM) ya David Genz ‘Young Dee’ aliyoitoa miaka miwili iliyopita na kugeuka ngoma ya taifa…. Nafasi Ya Kazi Benki ya Mkombozi, Head Of ICT tuning and performance monitoring Perform application tuning and performance monitoring. Plan growth and changes (capacity planning). Provide 7><24 ICT support Performs any other duties as may be assigned by the… SULUHISHO LA UPUNGUVU WA NGUVU ZA KIUME la upungufu wa nguvu za kiume. Hofu katika uhusiano au hofu juu yako mwenyewe kwamba utadhurika au kuumia utakaposhiriki au huweza kukufanya uishiwe au upungukiwe na nguvu. Itaendelea wiki ijayo…. Lead the annual work planning process and contribute to planning meetings with the donor. Represent the project in all technical matters pertaining to the execution of project-related activities including interactions… Nafasi Ya Kazi: IT Officer – Database & Systems Development at Exim Bank supervision following standardized practices and/or methods; leading, guiding, and/or coordinating others; and operating within a defined budget. • Utilization of resources from other work units is often required to perform… Nafasi Ya Kazi: CAF Batch Plant Operators, Geita Gold Mining Ltd (GGML) adhered to at all times. Additional Requirements: OEM plant operation training and certification Working at heights training Confined space training Hazardous chemical awareness training Conveyor belt hazard training Mode of… …Technology ■ Chemistry ■ Mineral and Processing Engineering/Metallurgy ■ Chemical and Processing Engineering, ■ Mining Engineering ■ Geology ■ Or related field Computer knowledge and software applications including MS Office… SULUHUSHO LA UPUNGUVU WA NGUVU ZA KIUME-2 Wiki iliyopita niliianza mada hii ambayo inaonekana kugusa wengi juu ya tatizo la upungufu wa nguvu za kieme. SASA ENDELEA… TATIZO la upungufu wa nguvu za kiume na kutofurahia tendo… Solving Trigonometric Equations Using Identities, Multiple Angles, By Factoring, General Solution MBINU ZA KUKABILIANA NA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME-2 maumivu kisha kuondoa msongo wa mawazo. Kushiriki tendo la ndoa mara kwa mara au mara nyingi husaidia sana kuboresha nguvu za kiume na kupunguza maumivu ya mwili na msongo wa… Nafasi za Kazi 8 Chuo Cha Tumaini Dar es Salaam (TUDARCO) Tumaini University Dar es Salaam College (TUDARCO) is a centre for quality education, offering a diverse range of academic qualifications. The College offers a wide range of undergraduate and Postgraduates… Pretty Kind: Nguo ninazovaa ni gharama Shopping zako za nguo ni shilingi ngapi na unazifanyia wapi? Pretty Kind: Shopping zangu ni za gharama ndogo sana kwani napenda kuvaa nguo full ambapo inanigharimu kuanzia shilingi laki mbili… Zari Atinga Uganda Kumtambulisha King Bae tangu Zari alipodai kufunga ndoa ya siri na King Bae huko nchini Afrika Kusini. Zari na King Bae au Mr M wamekuwa kwenye mapenzi Februari 14, mwaka huu alipomtambulisha rasmi… CALISAH NAPENDA KUVAA MITUMBA, SIVAI NGUO ZA KARIAKOO vinapatikana sehemu ambazo watu wengi hawawezi kufikiria, kwa hiyo huwa sipendi sana kununua nguo ambazo kila mtu anazo kama nguo za Kariakoo. Nikitokea kuipenda sana nguo huwa nampa fundi ananishonea…. kazi nzito. Ndizi ina kimeng’enyo ambacho kinaongeza nguvu za kiume na ashki ya kufanya mapenzi. F) MAYAI Mayai ni mbadala wa uhakika katika kuongeza wingi wa mbegu pamoja na kuongeza… ngozi yako. Wahi hospitalini kwa uchunguzi na tiba. Kwa kuangalia maelezo haya, hakuna uhusiano wa kutoshiriki ngono na chunusi. Ni imani potofu kuamini hivyo kwamba ngono ni suluhisho la chunusi…. Mhadhiri Alivyonaswa Akidaiwa Kuomba Rushwa ya Ngono mlango ukigongwa na Victoria aliufungua na wakaingia maofisa wa Takukuru, mhudumu wa baa na mjumbe. Walikuta nguo zipo juu ya meza,” alidai. Mshtakiwa alikamatwa, na Januari 12, 2017 alienda… ZARI AKIRI KUVAA ‘NGUO ZA KARIAKOO’ ninavaa nguo za gharama flani ya juu, hapana, hata nguo za Kariakoo mimi navaa tu ili mradi ikikaa kwenye mwili wangu inanipendeza, si nguo tu hata nywele mimi navaa yoyote… Nafasi Ya Kazi Gaming Board of Tanzania, Information Technology Officer Supervises servicing and maintenance of computers and respective accessories Creates backup for business operations and ensures that contingency measures are up to date and functioning in accordance with Gaming Board… HATA ‘SINGLENDI’ NI NGUO YA NDANI suruali, mashati, fulana na sing’lendi anamwambia fua hizi huku akiacha ‘kufuli’ tu kwamba, atafua yeye mwenyewe. Kuna wengine nikisema singlendi nimewaacha kabisaaa hawaelewi hata ndiyo nini! Shoga hapa nazungumzia singlendi… tendo hili unapungua na hii yote ni endapo mwili wako hauna stamina au nguvu za kutosha. Kutokuwa na nguvu za kiume kunasababishwa na matatizo ya kiafya kwa hiyo upungufu huu… Anayedaiwa King Bae wa Zari Avunja Ukimya MIONGONI mwa watu wanaotafutwa (most searched) kwenye mitandao ya kijamii Kibongobongo ni pamoja na mtu anayetajwa kwa jina la King Bae ambaye mwanamama Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ amekuwa… Mtindo mpya wa Nywele Ulivyozinduliwa Dar Consumer Products Ltd iliingia makubaliano na Darling Group. Kwa kutumia uwezo wa pande zote mbili walijenga umaarufu wa bidhaa na kuongeza uwezo wa usambazaji. Kwa sasa, Darling inafanya kazi katika… Bilionea Jack Ma Aachia Ngazi Kampuni za Alibaba picha ambavyo kampuni ya Alibaba itakavyokuwa chini ya Daniel Zhang. Akiwa ni mhasibu na mwenye kuongea polepole, Zhang yuko tofauti na Ma ambaye uongozi wake wa kuvutia ulimfanya kuwa… Nafasi za Kazi Sita Coca Cola Mwanza – Nyanza Bottling Company Ltd in bottling & distributing Coca-Cola products in the Lake Zone of Tanzania, comprising Mwanza, Shinyanga, Mara, Kagera, Tabora Kigoma Geita & Kahama regions. Parent companies, Sumaria and CMG Group are…
2019-10-20T08:30:56
https://globalpublishers.co.tz/?s=ng'osh
[ -1 ]
Mimba mashuleni | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Mimba mashuleni Discussion in 'Mahusiano, mapenzi, urafiki' started by mjasiria, Sep 26, 2011. Nimekuwa nikilitafakari hili na kwa kweli kuna maswali huwa najiuliza ila leo nimeona niwaulize wana MMU. Kwanza kabisa napenda ieleweke kuwa nachukizwa sana ninapoona mtu mzima anamtongoza mtoto mdogo wa shule, yaani huwa inaniudhi sana ni vile tu saa nyingine unakuwa huna la kufanya maana unaweza kuingilia ukajikuta katika wakati mgumu sana. Pili kwenu wana MMU, hivi ni kweli ni sahihi pale mtoto wa shule anapopewa mimba kumchukulia kuwa hana kosa lolote na hivyo basi mzigo wote wa hatia inatakiwa ubebwe na mwanaume. Nasema hivi kwa sababu kwa namna moja au nyingine mimi naona kama utaratibu huu ni kurudisha nyuma jitihada za kumkomboa mwanamke, kutokana na ukweli kuwa kwa upande mmoja unakuta tunajitahidi kuwaeleza watoto wetu wa kike kuwa wako sawa na wanaume na wanatakiwa kujiamini lakini linapokuja suala la mimba ni kama vile tunawaambia hamna akili za kutosha kufikiri hivyo mimba hizi mnazobeba ni kwa sababu ya wanaume ambao ni wajanja sana na wana akili kuliko ninyi na ndiyo maana wanaweza kuwadanganya na kuwaharibia masomo na hivyo hamna kosa lolote mlilofanya. Ni maoni tu wadau naomba michango yenu. Mara nyingi watoto wa shule hupewa mimba na watu wazima. Watu hao tunatarajia wawe mstari wa mbele kuwaelekeza na kuwafundisha watoto na si kuwaharibia. Inapotokea mambo yameharibika ni lazma wawe wa kwanza kubebeshwa lawama. Nakubaliana na wewe kabisa mamaa Husninyo ila bado hujajibu swali langu ambalo ni hili, je ni sahihi kuwachukulia watoto wanaobebeshwa mimba kuwa hawana makosa kabisa (Kumbuka utaratibu wetu wa Tanzania unamchukulia msichana 100% innocent). Badala ya serikali kutafuta suluhu ya tatizo hili hasa kutokana na mazingira wanayokabiliana nayo watoto wanapokuwa wanakwenda mashuleni na kurudi majumbani kwao, au katika vijumba vyao wanavyopanga kwa wale wanaosoma shule za kata ili wawe karibu na shule, Kiongozi wetu mkuu kabisa na mwenyekiti wa chama tawala alishatamka kwamba "watoto wanapata mimba kutokana na kiherehere chao"!!! Mkuu vipi kuhusu swali nililouliza, wewe una maoni gani? mjasiria said: ↑ si sahihi labda kama alibakwa. ni sahihi... koz mimba zinasababishwa na mazingira, na sio mtoto wa kike Nini kifanyike basi? Itakuwa vizuri ukitoa maelezo zaidi hapa mkuu. duh! Hujaeleweka. adhabu itolewe kwa wote ili iwe fundisho. Kama tukianza mjadala wa mimba za wanafunzi kwangu mimi ambaye ni mwalimu kitaaluma naona ni dhana paana sana, nina mifano migumu ya kuwatetea watoto na wazazi kwa wakati mmoja hivyo kuifanya mada kuwa ngeni na tata; kwa upande wa kwanza ni dhahiri kuwa kama tunataka kuweka suala hili vizuri basi tungetenisha mimba za wanafunzi kutokana na mazingira halisi maana kwangu mimi mimba za wanafunzi wa Dar ni tofauti kabisa na mazingira ya mimba wanayopatia mimba wanafunzi wa Kijijini kwetu Rangwi-Lushoto yaani ( Rural Vs Urban) ukiangalia fasta fasta (nimekuwa mwalimu kwenye shule za dar) utagundua kuwa mimba nyingi ( sio wote) kwa mjini husababishwa na tamaa waliyonayo watoto wenyewe; Mfano: nikiwa mwalimu wa darasa wa form four kwene shule fulani nilipata kushuhudia wanafunzi wakisisitiza kuwa wanataka wapate wanaume watakaowapatia simu, pesa ya chipsi, vocha na nguo na hivyo wamewaweka kataka category tofauti kulingana na mahitaji yake; hali hii huwaweka katika mazingira hatarishi ya Ukimwi na mimba. Wakati wale wa vijijini huweza kupata mimba (sio wote) kutokana na mazingira magumu kule wanakoishi; Mfano shule moja ambayo iko kilometa zaidi ya 100 kutoka Lushoto mjini kuelekea Kwekanga haina umeme, miundo mbinu, makazi hafifu, haina walimu, hakuna nyumba (hostel) za wanafunzi hasa hao wa kike na hivyo kujikuta wanafunzi wengi wakipangishiwa vyumba kwenye makazi ya watu, kumbuka sana; wanapangishiwa vyumba na wazazi wao lakini wakati huo huo wazazi hawa hawana uwezo wa kuwatimizi mahitaji yao ya kila siku hivyo kuwaacha watoto hawa wajiweke kwenye mazingira hatarishi ya kuweza kuolewa wakiwa kwenye nyumba hizo za kupanga, na hii si Lushoto tu ni pamoja na shule za Mkoa wa pwani-Chanika, Lindi, Rufuji, Shinyanga-Bariadi. Kwa mfano; last year nikiwa Bariadi nilifikia guest (hotel) fulani ambapo niliishi hapo kwa muda wa wiki moja na hivyo kuzoena na baadhi ya wahudumu wa pale, jambo muhimu hapa ni mhudumu mmoja ambaye kwangu alionekana kuwa na uelewa zaidi ya mambo na hivyo kunivutia nihoji elimu yake, binti huyu kwa uchungu alisema alipata mimba akiwa kidato cha pili na kwamba haikuwa kusudi lake bali ni tokeo la sababu kama nilizoeleza hapo juu, hivyo kurudi nyumbani na kujifungua salama na baada ya hapo alitamani sana kurudi shuleni lakini tayari nafasi ya kusoma haikuwepo tena na shida zilipozidi nyumbani aliamua kuondoka kuja Bariadi kutafuta kazi na kuangukia kuwa mhudumu wa gesti. Mifano ninayo mingi inayoeleza maisha magumu ya wanafunzi wetu yanayopelekea kupata ujauzito lakini pia nisiache kugusia nafasi ya wazazi katika hili pia nalo ntalieleza kwa mfano; last year nikiwa mwalimu kwenye shule fulani hapa Dar, binti mmoja aliondoka nyumbani kwao na kwenda kukaa kwa mwanaume kwa zaidi ya wiki na kwa wale wanaokumbuka niliweka tangazo hapa jamvini na pia ITV walitoa tangazo kama hilo la binti kupotea nyumbani kwao, baada ya binti kurudi nyumbani na kuja kuripoti shuleni, shule ilitaka maelezo ya kina toka kwa wazazi na binti mwenyewe cha kushangaza wazazi hawakuonyesha ushirikiano na walimu na jivyo kuondoka na binti yao ) je katika mazingira kama haya utegemee nini?) lakini pia ushuhuda nilioupata toka kwa mwanafunzi wa kidato cha nne shuleni hapo 2010 katika mazungumzo yetu alikri kusema kuwa yeye ameachiwa na wazazi wake afanye anavyotaka kwa masharti kwamba akipata mimba asiipeleke nyumbani tu (so kinachofanyika badala yake ni arbotion) na kwa taarifa zaidi ni kwamba wanafunzi hawa ni mabingwa wa sehemu na aina za vidonge vya kutolea mimba! Vipi bado niendeleeee, ngoja nifanye kazi za watu kwanza, ila naona kuna haja ya kuwa na mdahalo wa wazazi na wanafunzi kuhusu future ya watoto na kwamba hii ifanywe collectively na sio upande mmoja tu, ukienda au kama utafuatilia habari za watoto hawa zinatisha saaaana; Habari ya mwisho ni hii; last month mwanafunzi mmoja wa kidato cha nne katika shule niliyokuwa nafundisha alitoroka kwao kwa lengo la kwenda kwa mwanamme wake lakini kabla ya kuanza safari yake ya kumfuata huyu jamaa mkoani; aliamua kupitia Sun Siro (sp) ili kujirusha na kesho asubuhi apande basi aondoke, akiwa ndani club akakutana na kijana na wakawa kampani, akapatiwa kinywaji na cha kushangaza alijikuta asubuhi akiwa gesti na akiwa ameshafanywa vya kutisha, just imagine form four last month, yaani ukifuatilia sana haya mambo utalia au utachanganyikiwa. Duh vidole vinauma ngoja nipumzike Waweza kuandika thesis kwa mambo haya tu, ni mengi mno na ya kutisha ndio maana sisi huwa tunajiuliza kauli kama eti wanapata mimba kwa kiherehere chao....huwa zinanipa shida sana ku-judge uwezo wa mtu anaetoa kauli kama hizo. Asante sana mwalimu Maadili nadhani ndo chanzo kikubwa Pande zote zimekosa staha na hofu ya Mungu Hakuna mtu anaona kuwa jambo hili ni dhambi Imechukuliwa kama ni kawaida tu Ahsante mwalimu elli. Wakati nipo secondary nilisoma na mwanafunzi mmoja ambaye alikuwa anajitegemea kila kitu halafu alikuwa amepanga chumba. Wazazi wake walikuwa mkoa na hawakuwa na kipato cha kueleweka. Kuna mazingira yanayosababisha haya matatizo na mwisho wa siku hatujui nani alaumiwe. Vipi wale watu wenye kipato na huduma zote wanapopata mimba mashuleni? mazingira si rafiki... -hakuna elimu ya kumuweka binti aware na hayo mambo -vishawishi toka kwa midume yenye uchu wa fisi -hali ngumu ya kimaisha waliyonayo wazazi/walezi wa mabinti -ubinafsi=achana naye koz si mwanangu vp, bado nadaiwa maelezo????? Asante Husninyo, kweli ningeamua kuandika yake yote yanayopelekea mimba za mabinti kwa mapana yake, baadhi yetu tungelia kwa sababu yanatisha jinsi vijana wanavyoishi kwenye risk ya hali ya juu...ntaaandaa makal theni ntaipost hapa na kwenye blog yangu japo itakuwa ndefu na wengi hatuna utamaduni wa kusoma vitu virefu bado namini yaweza kusaidia baadae Mkuu asante sana kwa inputs zako zenye akili. Wewe lete tu hizo habari ili sisi tusiojua tupate mwanga zaidi wa jinsi ya kudili na hizi ishu. Kwa mujibu wa maelezo yako, nadhani nitakuwa sahihi nikisema kuwa unakubali kuwa kuna mabinti wanastahili adhabu kwa kupata mimba mashuleni na hasa wale wanaoishi mijini nyumbani kwa wazazi wao na kuna wale ambao wanastahili kuhurumiwa kutokana na jinsi walivyoshika mimba hizo, na hapa ni kama vile unasema kuwa ni vyema basi hata kama hawa wenye hali ngumu wanahitaji kujikimu basi wafanye ngono ila wajitahidi kujiepusha na ngono zembe.........is right mkuu. shkamoo mwalim! elli!
2018-01-19T23:56:11
https://www.jamiiforums.com/threads/mimba-mashuleni.176198/
[ -1 ]
Donald Trump ziarani Bethlehem | Matukio ya Kisiasa | DW | 23.05.2017 Donald Trump ziarani Bethlehem Rais huyo wa Marekani amekaribishwa na Mahamoud Abbas katika kasri la rais mjini Bethlehem , baada ya mlolongo wa magari yaliyofuatana nae kupita katika njia unakokutikana ukuta uliojengwa na Israel pamoja pia na kivukio mashuhuhuri, kinachoamuru kufunguliwa njia ya kuingia Bethlehem. Kwa namna hiyo rais Trump amejionea mwenyewe ukweli wa hali ya mambo namna ulivyo katika mzozo mmojawapo mkongwe kabisa wa dunia. Katika mazungumzo pamoja na waandishi habari mwishoni mwa mazungumzo yake pamoja na kiongozi wa utawala wa ndani wa Palestina mjini Bethlehem, rais Trump ameahidi "kufanya kila liwezekanalo" kuwasaidia waisrael na wapalastina kufikia makubaliano ya amani. Rais Trump (kushoto) akizungumza na waziri mkuu wa Israel Netanyahu Wapalastina na Waisrael wako tayari kushirikiana na Trump kusaka amani "Amani ndio chaguo tunalobidi kuwa nalo kila siku na Marekani tuko tayari kusaidia kuifikia ndoto hiyo" amesema rais Trump mbele ya kiongozi wa utawala wa ndani wa Palestina, Mahmoud Abbas, aliyekutana nae ana kwa ana hapo awali. Ameongeza kusema, Mahmoud Abbas amemhakikishia utayarifu wake wa kushirikiana kwa dhati ili kulifikia lengo hilo na kwamba waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu pia amemhakikishia hayo hayo alipokutana nae jana. Rais Trump amesema "makubaliano ya amani pamoja na Israel yatafungua njia ya kupatikana amani katika eneo lote la mashariki ya kati."Rais wa Marekani ametilia mkazo umuhimu wa kuufufua uchumi wa wapalestina anaosema uko katika hali mbaya kupita kiasi. Trump ataelekea Vatikan baadae leo kwa mazungumzo na Papa Francis Baadae hii leo rais Trump atarejea Jerusalem atakakolizuru kumbusho la wahanga wa mauwaji ya halaiki yaliyofanywa na wanazi katika vita vikuu vya pili vya dunia Holocaust- Yad Vashem na kuhutubia. Baadaye rais Trump anapanga kuelekea Roma, ambako atakutana na kiongozi wa kanisa katoliki ulimwenguni Papa Francis huko Vatikan. Ziara ya rais wa Marekani mjini Bethlehem imegubikwa na shambulio la kigaidi la mjini Manchester ambalo viongozi wote wawili, Donald Trump na Mahmoud Abbas wamelilaani vikali. Mwandishi:Hamidou Oummilkheir/PA/AFP Maneno muhimu Mashariki ya Kati, Donald Trump, Marekani, Mazungumzo ya amani Kiungo https://p.dw.com/p/2dQb9
2018-10-15T18:39:35
https://www.dw.com/sw/donald-trump-ziarani-bethlehem/a-38949711
[ -1 ]
Mbwa amzuia mshambuliaji wa kujitoa mhanga Nigeria - BBC Swahili http://www.bbc.com/swahili/habari-39503657 Mbwa mmoja aliokoa maisha ya watu wengi wakati ya sherehe ya harusi mjini Maiduguri nchini Nigeria, kwa kushambulia mwanamke moja mshambuliaji wa kujitoa mhanga. Inaarifiwa kuwa mwanamke huyo alijaribu kuingia katika sherehe hiyo ya harusi, kwa mujibu wa kituo cha redio cha jeshi.Mbwa huyo pamoja na mshambuliaji wa kujitoa mhanga wote walikufa wakati msichana huyo alilipua bomu alipokuwa akimkimbia mbwa huyo. Washambuliaji wa kujitoa mhanga wawaua watu Nigeria Wasichana 2 washambuliaji wa kujitolea mhanga wauawa Nigeria Msichana wa miaka 10 ajilipua Nigeria Polisi wanasema kuwa mbwa huyo alimilikiwa na mwenyeji ambapo wa eneo mabapo sherehe hiyo ya harusi ilikuwa ikifanyika. Haki miliki ya picha
2017-07-25T18:03:31
http://www.bbc.com/swahili/habari-39503657
[ -1 ]
Bei ya mafuta Bara yapaa, Zanzibar walia na uhaba You are at:Home»Habari360»Bei ya mafuta Bara yapaa, Zanzibar walia na uhaba By Habari360 on November 8, 2018 Habari360 Dar/Zanzibar. Wakati petroli, dizeli na mafuta ya taa yakipanda bei upande wa Tanzania Bara, huko Zanzibar yameadimika. Ongezeko hilo la bei linatokana na kupanda kwa bei ya bidhaa hiyo katika soko la dunia na gharama za usafirishaji. Katika ongezeko lililotangazwa jana na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), bei ya rejareja ya mafuta yanayopita katika Bandari ya Dar es Salaam kwa dizeli imeongezeka kwa Sh81 kwa lita (sawa na asilimia 3.52) ikinganishwa na mwezi uliopita, Petroli imeongezeka kwa Sh29 (asilimia 1.22) na mafuta ya taa Sh34 (asilimia 1.5). Kwa mujibu wa taarifa ya Ewura, bei ya jumla ya bidhaa hiyo imeongezeka kwa asilimia 3.71 (sawa na Sh80.9) kwa dizeli na petroli kwa asilimia 1.28 (sawa na Sh28.74) na mafuta ya taa kwa asilimia 1.50 (sawa na Sh34) kwa lita moja. Septemba 5, mamlaka hiyo ilitangaza kushuka kwa bei za rejareja za petroli kwa Sh10, dizeli Sh19 na mafuta ya taa kwa Sh24 kwa lita moja. Hata hivyo, katika bei zilizotangazwa jana, mafuta yanayopita katika Bandari ya Tanga yamezidi kupaa kwa wanunuzi wa rejareja huku ikiendelea kuwa ileile kwa wanunuzi wa jumla kwa kuwa hakuna shehena mpya iliyoingia. Wanunuzi wa rejareja wa mikoa ya Kaskazini ambayo ndio hutumia mafuta yanayopita katika bandari hiyo, watakumbana na ongezeko la Sh87 kwa lita moja ya petroli na Sh111 kwa dizeli. Wakati hayo yakijiri Tanzania Bara, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati Zanzibar (Zura), Haji Kali alisema kuna upungufu mkubwa wa mafuta hayo visiwani humo. Kali aliliambia Mwananchi kuwa kutokana na hali hiyo, hatua za kurejesha upatikanaji wa mafuta zimeanza. Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Maji, Nyumba na Nishati, Ali Halil Mirza alisema meli ya kampuni ya Mafuta ya Zanzibar (ZP), imewasili visiwani na usambazaji umeshaanza. Alisema tatizo hilo litamalizika kabisa pindi meli ya Mv United Spirit inayosafirisha mafuta kwenda visiwani humo itakapotengamaa. Kwa sasa meli hiyo iko katika hatua za mwisho za matengenezo ikitarajiwa kutengemaa wiki mbili zijazo. Jijini Dar es Salaam, wananchi wameiomba Serikali kuweka ruzuku au kupunguza kodi katika mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa kutokana na kupaa kwa bei ya bidhaa hiyo. Mkazi wa Tabata, Sam Mshana anayefanya biashara ya duka, alisema mafuta ni bidhaa muhimu kwa maisha ya watu hususan katika usafirishaji wa vyakula, hivyo Serikali ingeangalia namna ya kupunguza kodi au kuweka ruzuku ili yasiathiri maisha ya watu. Alex Pascal anayeendesha gari la mizigo alisema, “Mafuta yanatugombanisha na mabosi wetu, hapa nimejaza ya Sh40,000 nimepata lita 16 tu, zamani zingefika 20.” Imeandikwa na Ephrahim Bahemu na Haji Mtumwa Previous ArticleTAARIFA KWA UMMA KUHUSU UTHIBITISHAJI WA NYARAKA Next Article Diamond akubali Wasafi Festival kudhaminiwa na Ali Kiba..Soma hapa Conte aishangaa Inter Milan kuchelewesha dili la Lukaku MUME AMTAFUNA MKEWE MDOMO NA SIKIO 'FACEAPP' MITANDAO INAVYODUKUA TAARIFA ZAKO HUKU UKICHEKELEA….'KIJANA ANAONEKANA MZEE' Video: Wanaodhani wanaweza kumzuia Rais Magufuli, wanapoteza muda wao- Nape Nnauye NAIBU WAZIRI KANYASU AAGIZA TANAPA KUONDOA SINGLE ENTRY MAENEO YANAYOLALAMIKIWA KUDUMAA KIUTALII Trump: Kwa sasa hatuna mapango wa kuiwekea vikwazo Uturuki IRAN YAKAMATA MELI YA MAFUTA YA UINGEREZA Waziri Mkuu Aagiza Same Sekondari Ipewe Gari
2019-07-20T09:34:48
https://habarimpya.com/featured-2/habari360/bei-ya-mafuta-bara-yapaa-zanzibar-walia-na-uhaba
[ -1 ]
Hadith Swahili 8 1. Imepokewa kutoka kwa Abu Musa Ash‘ari (ر ) kuwa imepokewa kutoka kwa Mtume (ص ) kuwa alisema, “Hakika Mwenyezi Mungu hukunjua mkono wake usiku ili aliyetenda maovu mchana apate kutubu na hukunjua mkono wake mchana ili aliyetenda maovu usiku apate kutubu. Na ataendelea kufanya hivyo hadi jua litakapochomozea upande wa maghribi” (yaani siku ya kiyama). (Muslim) 2. Imepokewa kutoka kwa Abu Hurairah (ر ) kuwa alisema, nilimsikia Mtume (ص ) akisema, “Naapa kwa Mwenyezi Mungu kuwa mimi humuomba Mungu maghfira na kumrudia kwa toba mara sabini kila siku”. (Bukhari) 3. Imepokewa kutoka kwa Abdallah Bin Masoud (ر ) kuwa Mtume (ص ) alikuwa akisema, “Ewe Mola nakuomba uongufu na uchaji (Mungu), na nitakase kutokana na yaliyoharamishwa; na (unipe) ukwasi”. (Muslim) 4. Imepokewa kutoka kwa Abu Hurairah (ر ) kuwa Mtume (ص ) amesema, “Hawakukaa watu katika kikao chochote wakakosa kumtaja Mungu aliyetukuka katika kikao hicho na vile vile wakawa watakosa kumswalia Mtume wao (ص ), isipokuwa watu hao watapata majuto. Basi Mungu akitaka atawaadhibu na akitaka atawasamehe”. (Tirmidhi) 5. Imepokewa kutoka kwa Bin Abbas (ر ) kuwa alisema, “Nilimsikia Mtume (ص ) akisema, “Hakuna mtu yeyote muislamu afae kisha watu arobaini wasiomshirikisha Mungu kabisa wakisimama nyuma ya jeneza yake (kwa ajili ya kumswalia) ila Mwenyezi Mungu huikubalia shifaa yao kwa huyo maiti”. (Muslim)
2019-02-22T07:55:30
http://madrasahidaya.net/HadithSwahili8.html
[ -1 ]
Afrika, 02 Machi 2017 Alhamisi 2 Machi 2017 Machi 02, 2017 TCU Yafafanua Sinto Fahamu Kati Yake na Vyuo Vikuu Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imesema kuwa tangazo lao la mwanzo halikusoma ama halikusema kama kuna wanafunzi wasio na sifa katika vyuo bali liliwataka baadhi ya wanafunzi ambao taarifa zao hazijakaa vizuri wakahakiki. Dkt Lucas Kagera wa shirika lisilo la kiserikali la utafiti REPOA, ambalo ni mdau mkubwa katika utafiti wa ndoa za utotoni, amesema inakidirwa watoto 36 kati ya mia moja huolewa kabla ya kufikisha miaka kumi na nane na wengine 27 kati ya mia hupata mimba kabla ya kufikisha umri wa miaka 18 Mwanasheria Mkuu : 'Wakati ukifika nitajiuzulu au kujiondosha' Sessions alimsaidia rais Donald Trump katika kinyang’anyiro cha urais na alikuwa ni mshauri wa kampeni yake wakati akitumikia Baraza la Seneti ya Marekani. Jeshi la Kenya laua magaidi 57 wa al-Shabaab Vikosi vya Jeshi la Kenya vimewaua wapiganaji wa al-Shabaab 57 katika mapambano karibu na Afmadow, Somalia Alhamisi. Wajumbe wa UN watembelea nchi nne Afrika Magharibi Mabalozi kutoka nchi 15 wanachama wa chombo hicho kilicho na nguvu Zaidi kwenye umoja wa mataifa, watatembelea nchi za Cameroon, Chad, Niger na Nigeria, katika ziara hiyo ya siku nne. Tajiri mkubwa na mashuhuri wa biashara ya mawasiliano wa Sudan, Mo Ibrahim ameshindwa kumpata mshindi wa tuzo ya dola milioni 5 ambayo hutolewa kwa kiongozi bora zaidi wa kisiasa barani Afrika, kwa mwaka wa pili mfululizo. Trump ataka mabadiliko kuijenga Marekani Rais Trump asema: “Wakati wa fikra ndogo umekwisha,” na “Wakati wa vita ndogo ndogo umepita.” Trump aeleza ajenda za utawala wake Trump alikiambia kikao hicho kwamba uhalifu na vitisho vya karibuni vilivyolenga vituo vya wayahudi na uvunjaji uliofanya kwenye makaburi ya wayahudi “unatukumbusha kwamba sisi ni nchi ambayo inasimama ikiwa imeungana pamoja na kulaani vikali aina zote za chuki.” Mmiliki wa Samsung Ashtakiwa Kwa Kosa la Ufisadi Milionea Lee mwenye umri wa miaka 48, ambaye anakabiliwa na kifungo cha miaka mingi, amekana kufanya kosa lolote, kama alivyo kataa Park na msiri wake, Choi Soon-Sil. Wastaafu 120 wa Jeshi Wasisitiza Umuhimu wa Diplomasia Katika barua Jumatatu kwa viongozi wa Republikan na Demokrat, maafisa wastaafu wameandika kwamba “ Kuendeleza na kuimarisha diplomasia na maendeleo sambamba na ulinzi wa taifa, ni muhimu katika kuifanya Marekani iendelee kuwa salama.” Hotuba ya Trump Kuibua Masuala ya Msingi, Ndani na Nje ya Nchi Maadmirali wastaafu 121 na majenerali wamesema katika tamko lao Jumatatu “ kuipa nguvu na kuinyanyua diplomasia na maendeleo sambamba na ulinzi ni muhimu katika kuifanya Marekani iwe salama.
2019-11-21T10:49:18
https://www.voaswahili.com/z/2774/2017/3/2
[ -1 ]
 Tomas Nahimana na Politiki ye y’ikinyoma – RUSHYASHYA You are at :Home»POLITIKI»Tomas Nahimana na Politiki ye y’ikinyoma Editorial 18 Jun 2016 POLITIKI Padiri Thomas NAHIMANA ni muntu ki ? yavutse taliki ya 26 Mutarama 1971, avukira mu Murenge wa NZAHAHA ,Akarere ka Rusizi(ahitwaga Komini ya Bugarama) ,mu Ntara y’Uburengerazuba( mu cyahoze ari Perefegitura ya Cyangugu). Amashuri abanza yayize kuri Nzahaha n’i Mushaka (1978-1986); ayisumbuye ayigira mu Seminari nto ya Mutagatifu Piyo wa 10 yo ku Nyundo(1986-1992); Seminari nkuru yayigiye i Rutongo, Kabgayi na Nyakibanda (1992-1999), ahabwa ubupadiri taliki ya 18 Nyakanga 1999. Ntiwaba umupadiri utabiherewe ububasha na Kiliziya ihagarariwe na Musenyeri muri diyoseze. Umupadiri ntiyajya no gukorera ahandi uw’aho ukomoka atabikwemereye. Ese ba nyiri urwo rubuga rw’urwango baracyari abapadiri? Hera i bumoso: Robert Rubayita, Fortunatus Rudakemwa, Thomas Nahimana . Bo ubwabo bize seminari nto ya Nyundo. Ku itariki ya 16 Gicurasi 2012, Myr Bimenyimana yandikiye, Thomas Nahimana ibaruwa yo “Kwihanangiriza”kubera ibikorwa bye kuri Le prophete. Iyo baruwa ifite Réf: EV.Cya/189/2012, yanamenyeshejwe Musenyeri Jean-Luc Brunin wa Diyosezi ya Le Havre. Muri iyo baruwa kandi Myr. Bimenyimana yanibukije ko ibi yari yarabimenyesheje n’uwahoze ayobora diyoseze ya Le Havre Myr Michel Guyard mu ibaruwa yo ku itariki 9 Werurwe 2011.
2019-02-20T18:16:47
http://rushyashya.net/2016/06/18/tomas-nahimana-na-politiki-ye-yikinyoma/
[ -1 ]
 KIWANGO CHA Bull - Çelikel Tarım Makinaları | Feed Mixer | Silage | Machine JE? NI KIKWAZO GANI KINACHOWEZA KUSIMAMA MBELE YA NG’OMBE? UCHUGUZI WAWATAALUM…. Ikiwa uko kwenye shamba kubwa huko Asia au katika kijiji kidogo huko Amerika Kusini, una nafasi ya kumuona Çelikel, kwani tuko katika nchi takriban mia moja ulimwenguni kote. Mashine yetu inaweza kuwa njiani kwenda nchi isiyojulikana ... Unaweza kusoma hadithi kutoka kwa baadhi ya watumiaji wetu kwenye orodha hapa chini. Ikiwa unataka, unaweza kuchagua nchi ya karibu kutoka kwenye menyu na ushuhudie jinsi watumiaji wameona Çelikel! Kila bidhaa ya Çelikel imeundwa kusuluhisha shida inayopatikana na mtumiaji. Kuna swali moja moja ambalo tunauliza juu ya utengenezaji wa mashine yetu: Je! Mashine hii itatatua shida gani? Katika sehemu hii, utakutana na shamba zenye viwango tofauti ambavyo vinatumia Çelikel na kusikia juu ya Çelikel kutoka kwa watumiaji. Hapo chini, utaona orodha ya mashamba yenye sifa kwenye wavuti hii. Ili kuona zaidi, chagua eneo. CHAGUA NCHI TURKEY Ujerumani CHAGUA MJI Konya Ankara Kayseri Nevsehir CHAGUA AINA YA BIDHAA Wavunaji wa Kughushi Mchanganyiko wa Kulisha Usimamizi wa Mbolea Mashine Ya Upakiaji Wa Bale Mifumo ya Kufunga CHAGUA AINA YA KUNDI Cattle Ovine CHAGUA NAMBARI YA KUNDI 0-50 50-100 100-200 200+ KITUFE CHA KUTAFUTA EROGLU FARM Nevsehir / TURKEY EROGLU FARM Nevsehir TURKEY Shamba la Eroğlu, ambalo lilianza kama biashara ya familia mnamo 2018, sasa lina takriban ng'ombe mia moja. Familia hii, ambayo imekumbatia biashara hiyo kwa mikono minne tangu siku ya kuanzishwa kwake, inapendelea Çelikel. Kabla ya kufungua shamba lake, İsa Eroğlu alinunua mashine sita za kuchakisha chaja cha m3, mashine kumi za m3 Crafter solid, mashine ya mbolea ya kioevu kumi m3 Cruiser, mfumo wa mbolea ya Scud, na Mashine ya kukusanya shehena wakati wa hafla ya Kilimo cha Konya. Bwana İsa anasema kwamba njia ya msingi zaidi ya kupunguza gharama kwenye shamba ni kupunguzwa kwa gharama za kazi. Anasema waliweza kuokoa kwa gharama ya kazi kutokana na bidhaa za Çelikel. Bwana İsa ameridhika na kazi ya mshono na ya haraka ya bidhaa za Çelikel, na unene wao wa ukuta na muundo thabiti. Bwana İsa anaelezea kuwa ni fursa nzuri kutumia mashine kubwa zilizo na trekta 80 hp tu na anasisitiza kwamba atachagua Çelikel katika siku zijazo.
2020-07-02T22:00:48
https://www.celikeltarim.com/club-sw.html
[ -1 ]
Breaking: Picha za Mwenyekiti wa Chadema Temeke aliepigwa na kutupwa Dar usiku kuamkia leo SHAKEEL INVESTMENT Breaking: Picha za Mwenyekiti wa Chadema Temeke aliepigwa na kutupwa Dar usiku kuamkia leo chanzo na millard ayo
2017-04-25T18:26:02
http://shabanishakeel.blogspot.com/2014/01/breaking-picha-za-mwenyekiti-wa-chadema.html
[ -1 ]
SUBIRA MGALU -WANAWAKE WAACHE MAJUNGU WACHAPE KAZI KUJIINUA KIUCHUMI - MTAZAMO NEWS Home BIASHARA SUBIRA MGALU -WANAWAKE WAACHE MAJUNGU WACHAPE KAZI KUJIINUA KIUCHUMI SUBIRA MGALU -WANAWAKE WAACHE MAJUNGU WACHAPE KAZI KUJIINUA KIUCHUMI Mbunge viti maalum mkoani Pwani, Subira Mgalu akizungumza wakati wa uzinduzi wa umoja wa kikundi cha Pwani Generation Queens, uliofanyika Triple J, Pichandege Kibaha. Mwenyekiti wa kikundi cha Pwani Generation Queens, Betty Msimbe wa Kwanzaa kushoto, akitoa taarifa ya kikundi kwa mgeni rasmi ,mbunge wa viti maalum mkoani Pwani Subira Mgalu kwenye uzinduzi wa kikundi hicho. Mbunge wa viti malum mkoani Pwani, Subira Mgalu mwenye kitambaa kichwani akitembelea bidhaa mbalimbali zaywajasiriamali kwenye uzinduzi wa umoja wa kikundi cha Pwani Generation Queens.
2017-08-18T18:09:58
http://www.mtazamonews.com/2017/05/subira-mgalu-wanawake-waache-majungu.html
[ -1 ]
Questions By: Hon. Issaay Zacharia Paulo MHE. ZACHARIA P. ISSAAY: Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante sana. Pamoja na majibu mazuri ya Mheshimiwa Naibu Waziri, nami naomba kuuliza maswali madogo mawili. Swali langu la kwanza kwa Mheshimiwa Naibu Waziri… MHE. ZACHARIA P. ISSAAY: Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante, nashukuru. Naomba kuuliza, ni kwa nini Wizara ya Ujenzi haijaweza kupitisha barabara mpya za Halmashauri ya Mji wa Mbulu na kwa kuwa mji wetu wa Mbulu ni mji mkongwe kuliko miji yote Tanzania? Naomba kauli ya Wizara kuhusu barabara hizi mpya kwa kuwa sasa magari yameongezeka sana katika Wilaya zetu. Ahsante. NAIBU WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO: Mheshimiwa Naibu Spika, tuna barabara ambayo ni ya lami kwa pale Mbulu Mjini. Vilevile Mheshimiwa Mbunge atakuwa anafahamu kwamba katika bajeti ambayo tunashukuru sana mliipitisha hapa Bungeni, kuna bajeti ya kutekeleza baadhi ya barabara ambazo ziko ndani ya Wilaya ya Mbulu; na ninamhakikishia kwamba tutatoa kipaumbele ili fedha zile zilizotengwa kwa ajili ya kujenga barabara za Wilaya ya Mbulu na Wilaya nyingine tutazitekeleza kwa kadri Mwenyezi Mungu atakavyotujalia nguvu za kifedha. Hon. Hassan Selemani Kaunje Lindi Mjini (CCM) Hon. Joseph Osmund Mbilinyi Mbeya Mjini (CHADEMA) Hon. Deo Kasenyenda Sanga Makambako (CCM) Supplementary Questions / Answers (23 / 0)
2018-04-26T03:49:47
http://parliament.go.tz/supplementary_questions/179/2196/read
[ -1 ]
Hifadhi ya Kutools kwa Outlook - mkusanyiko wa kuingiza wa Outlook unaofaa Bure shusha Kutools kwa Outlook 10.00 Hauna haja ujuzi wowote maalum, ila saa mbili kila siku. Kipengele kamili cha majaribio ya bure ya siku ya 60, hakuna kadi ya mkopo na haitashtakiwa. Inajumuisha vipengele na nguvu za 100 + za Microsoft Outlook 2010-2019 na matoleo ya baadaye. bure Download Easy ya kufunga Kwa Msimamizi wa Kampuni / Shirika: kupeleka programu hii katika shirika lako au biashara na kubadilisha mipangilio ya default kwa watumiaji wote, faili ya .msi (faili ya Microsoft Installer) inapendekezwa. Ofisi ya Usaidizi (32 / 64): Ofisi (au Outlook) 2010, 2013, 2016, 2019 na Ofisi 365.Sio Sambamba na toleo la Outlook Online! Mkataba wa Leseni ya Watumiaji wa Mwisho Jinsi ya Kufunga Na Kufuta
2019-01-22T17:00:17
https://www.extendoffice.com/sw/download/kutools-for-outlook.html
[ -1 ]
Kusudi la "Date" ni nini hasa na utaratibu uko vipi? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Kusudi la "Date" ni nini hasa na utaratibu uko vipi? Discussion in 'Mahusiano, mapenzi, urafiki' started by Mzee Mwanakijiji, Dec 2, 2011. Utamsikia mtu anasema "nina ki-date" au "they are dating" au "I'm not dating anyone". Ikumbukwe "date" kama ilivyo ni mojawapo ya mifumo ya mahusiano ambayo ni migeni katika jamii yetu. Je kudate ni kumtongoza mtu, ni kufukuzia, au ndio kutoka na mtu? Au kudate ni hatua tu kabla ya uchumba? Je watu wanaweza kudate bila kuwa na mahusiano ya kingono? Ni kwa muda gani wa kawaida mtu anatakiwa kudate kabla hajaamua kuhusiana kingongo (the first date rule?) Je, ni vipi vilivyo vizuri katika mazingira yetu katika kudate? Should girls ask guys out for date au wasubiri kuombwa? Je kudate basi ni sawasawa na "to ask somebody out" a.k.a 'kumtoa'. Je ni umri gani kwa watoto kuanza kuruhusiwa kudate (shule ya msingi, sekondari au baada ya 18)? Na kabla ya hapo wakiwa wanatoka pamoja tunasema nini ni "marafiki tu"? When should you bring your date home to meet your family? Should you even bring just any date? How many dates should you have before you move into courtship and possibly marriage? Je mtindo huu wa kudate ni mzuri kuliko mtindo ule wa zamani wa Kiafrika ambapo watu walikuwa wanatongozana, wanaanza kutoka taratibu na mambo yakiiva "posa" inaletwa nyumbani na ndipo mtu anatambulishwa kama rasmi? mpka mwisho mm sijajua nini maana ya kudate msaada please.. MzeeMwanakijiji achana na date, kuna dili kwa Mtambuzi, je ameku-pm, haya ya kudate tuwaachie akina feisbuku na wenzie. Ni mambo ya wazungu wabongo tukaiga bila kujua nini maana yake haya ya kudate tuwaachie akina feisbuku na wenzie.Click to expand... he! dili gani tena!? Nimeamua kupumzika siasa kidogo baada ya matukio ya hivi "karibuni." mpka mwisho mm sijajua nini maana ya kudate msaada please..Click to expand... Hujaelewa nini sasa? Kudate ni kutarehe! Tunadakia tu train kwa mbele maana hatujui exactly relative meaning ya kudate, wengine wanamaanisha just chating, kuhusiana kingono n.k! Je, ni vipi vilivyo vizuri katika mazingira yetu katika kudate? Should girls ask guys out for date au wasubiri kuombwa? Je kudate basi ni sawasawa na "to ask somebody out" a.k.a 'kumtoa'. Je ni umri gani kwa watoto kuanza kuruhusiwa kudate (shule ya msingi, sekondari au baada ya 18)? Na kabla ya hapo wakiwa wanatoka pamoja tunasema nini ni "marafiki tu"? When should you bring your date home to meet your family? Should you even bring just any date? How many dates should you have before you move into courtship and possibly marriage? Je mtindo huu wa kudate ni mzuri kuliko mtindo ule wa zamani wa Kiafrika ambapo watu walikuwa wanatongozana, wanaanza kutoka taratibu na mambo yakiiva "posa" inaletwa nyumbani na ndipo mtu anatambulishwa kama rasmi?Click to expand... Hapo pamenifikirisha.... Kwani "date" hiyo uliyoizungumzia hapo mwanzo na mtindo uliouita "wa kizamani", kuna tofauti? Date ni kutoka msichana na mvulana wanaopendana.Kiafrika kuna dhana ya kulinda heshima ya wazazi na ndio maana wanao date hawaweki uhusiano wao bayana kama watu wa magharibi.Miaka hii ya utandawazi watu wako wazi zaidi hata kama kiafrika haikubaliki bado.Kinachotokea kwenye date kinajulikana na hata tafiti zinaonyesha watoto na vijana huanza ngono mapema sana siku hizi. Mara nyingi watu tunapenda ku-conclude jambo especilly pale ambapo tunatumia maneno ambayo hatuna uhakika nayo "Dating" ni mwanzo wa kutengeneza mahusiano, kupeana ahadi mkutane wapi ili mpate nafasi ya kuongea, kufurahi na mara nyingi inakua katika hali ya kutongozana. Lakini sasa...wengine katika hizo "date" wanamalizana huko huko (kufanya mapenzi) ndio maana uhalisia na neno hilo unaisha na kuleta maana nyingine. kibongo pia yale yale, utasikia eti "anatembea nae" au "anatoka nae" [FONT=&amp]The Definition of Dating[/FONT] [FONT=&amp]A large number of the emails I receive from readers ask me to define what a "date" is. If the guy at work asked me to coffee, is it a date? We hang out almost every day, but haven't kissed yet - are we dating? Does having sex mean we're now a couple, or are we just dating?... and so forth. [/FONT] [FONT=&amp]A recent discussion in the forums (The Definition of Dating) also debated this same question recently. What on earth is a date? And does the definition of dating differ depending on the circumstances of the two people involved? (i.e. sexual orientation, age, culture) [/FONT] [FONT=&amp]In my opinion, a date refers to an activity two people share together with the intention of getting to know each other better on a potentially romantic level. This differs greatly from 'hooking up' which usually describes a casual get together between two people that may or may not be sexual in nature. Two people who are "dating" therefore, have shared several dates together and have made it clear to one another they are interested in more than just a friendship - even if so far the exchanges have been purely friendly in nature. Dating is, essentially, getting to know someone over an extended period of time to determine if a relationship is something worth pursuing. [/FONT] [FONT=&amp]Still, I am curious. I'd love to hear from the readers of this blog what their definition of dating is, and why.[/FONT] Hahahaaaaaaaaaa! Umenikumbusha jamaa yangu mmoja, yeye huenda mbali zaidi kwa kufananisha 'dating' sawa na EIA. Kila anapotoka na mchuchu anayemtaka basi utamsikia akisema kuwa anaenda kumfanyia demu EIA (environmental impact assessment'). Akiona hana vigezo basi atakwambia.........aisee ile EIA report imekuwa 'rejected'-akimaanisha kuwa amemtema......... Je, ni vipi vilivyo vizuri katika mazingira yetu katika kudate? Should girls ask guys out for date au wasubiri kuombwa?Click to expand... Hili limekaa vizuri Mwanakijiji napenda tuendako huko iwe hivyo wadada wawe wanaomba haki yao. mzeemwanakijiji achana na date,kuna dili kwa mtambuzi,je ameku-pm,haya ya kudate tuwaachie akina feisbuku na wenzie.Click to expand... ma mdogo jamani na mm nataka dili nitoke jamani! Date date ni wimbo wa taifa dili kusaka mahela!acha niku pm Mie naona ni vizuri itolewe elimu na hata maana ya date, Yani wengine wanaitumia kinyume,kwa mfano imenitokea hivi: Limtu tumekutana kwenye sherehe tukapiga story,na kwenye kuvunja kamati likaja likang'a ng'ania mpaka nikalipa no yangu tukawa tunawasiliana eti akaniomba mtoko nikakubali, siku ya siku tukaelewana nimkute mahali nikaenda mwenzenu nafika pale hata story bado ananambia keshachukua rum,hapo jiran kuna hotel, yani sijawahi kasirika gafla km siku hiyo nikamwambia ngoja nanunua vocha nakuja nikasepa mazima! Asa hii ndio date au mtu ukikubali kudate ndio na ulishakubali na kutobolewa jaman!!! Kudate ni kutoka na mtu mkawa mahali mkaongea na kufahamiana inatakiwa hata km uko na interesti hapo ndio unamchunguza mtu na kujua namna ya kumuingia na km na yy yuko na hisia hizo, then badae unaweza kujipanga kumtokea baada ya kudate naye kwa mda,hii ni kwa uelewa wangu. Nijuavyo ni miadi. he! dili gani tena!? Nimeamua kupumzika siasa kidogo baada ya matukio ya hivi "karibuni."Click to expand... dili la kutahiri mkuu, jaribu kum-pm. ma mdogo jamani na mm nataka dili nitoke jamani! Date date ni wimbo wa taifa dili kusaka mahela!acha niku pmClick to expand... hilo dili wewe huliwezi mrembo wangu, anza kufuga kucha kwanza ndo walau utaweza kufanya hiyo kazi. Kudate ni kutoka pamoja, as in spending time together katika harakati za kufahamiana zaidi na kuangalia kama kila mmoja anamvutia mwenzake kimapenzi. Kwahiyo "dating " inaanza rasmi pale mnapoamua kukutana/toka pamoja kwa nia ya kufahamiana na kutengeneza mahusiano iwapo mtapendezwa kufanya hivyo baada ya kufahamiana. Hivyo kufukuzia sio ku'date ila kutongoza (hapa namaanisha kumwaga sera za "navutiwa sana na wewe, hivyo ningependa tuwe wapenzi rasmi" yaweza kufanywa wakati wadating. Ndio ,dating yaweza kufanyika/endelea bila mahusiano ya kingono ila kwa vile siku hizi hiyo nayo ni nyanja ambayo watu wanapenda kufahamiana ili kujua kama chemistry inatiki na wako compatible basi imekua sehemu ya dating kwa wengi. Kuhusu wakati gani usubiri ,well hamna anaeweza kuamua zaidi ya wahusika. Wengine wanataka hata kiss chap chap waone kama hamna sparks and fire work achape zake mwendo. Nani aombe ,nani asiombe .. .yeyote yule mwenye ujasiri wa kumuanza mwenzake baada ya kuona kuna kitu kati yao/angependa kiwepo. Wakati mwingine unaweza kusubiria na kuambulia hola kumbe mwanaume alikua anakuogopa/hajiamini mbele yako. Mpaka hapo sioni tatizo la mdada kumwambia mkaka "wanna/lets meet up for a cup of coffee" na kusubiria akubali au akatae, na akikubali unasubiria kuona kama atakua interested na second date na kuendelea. Kidate unakipeleka nyumbani pale wote mnapoamua/ona/kubaliana kwamba mnataka kuwa na mahusiano yanayoweza kuwafikisha ndoani.Maana ukifanya kabla ya hapo unaweza kujikuta unatambulisha kila mara maana we unaweza kuwa umezama kwa mwenzako wakati he/she doesn't find you that much interesting na hana nia ya kuendeleza(persue) mahusiano ya kimapenzi na wewe. Baada ya muda gani itangazwe ndoani/uchumba , . . . I would suggest when you both feel like you KNOW one another, and I mean really really know one another. Usiache nafasi kubwa sana ya majuto. Kudate? Sina definition nzuri, ila nadhani ni kutoka na kufahamiana na mtu kwa nia ya kuunganisha miili yenu. Procedure/formula: be ur self from day one Lini mtu anaruhusiwa leta kidate home: haruhusiwi hadi atakapoleta mchumba rasmi kwa ajili ya kuoa au kuolewa mimi nijuavyo,huwa inaanza ku hang out,pale mnatoka mnabadilishana mawazo,na kumsoma mwenzio ki ahina,then baadae mnaanza kudatiana ukimdate mtu it means that mnabanjuana au mnavunja the sixth comandment.so kudate ni ku du nae.thats why mara nyingi tumesikia,they are not only hanging out,but they have gone too far to an extent of dating.ni mtazamo wangu tu wana jf.
2016-10-22T23:42:46
http://www.jamiiforums.com/threads/kusudi-la-date-ni-nini-hasa-na-utaratibu-uko-vipi.198922/
[ -1 ]
YANGA wamfuata Kipre Tchetche Ivory Coast - 2jiachie - Official Site YANGA wamfuata Kipre Tchetche Ivory Coast UONGOZI wa Yanga hivi karibuni ulikutana kwa lengo la kupitia ripoti ya kocha mkuu wa timu hiyo, Mholanzi, Hans van Der Pluijm iliyohusiana na mechi iliyopita ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Medeama ya Ghana na kukubaliana kumfuata Kipre Tchetche. Katika kikao hicho, pia viongozi hao walitumia nafasi hiyo kujadiliana ni namna gani watafanya ili waweze kuipata saini ya mshambuliaji huyo wa Azam FC, ambaye kwa sasa yupo kwao nchini Ivory Coast. Inadaiwa kuwa, Tchetche amegoma kurudi nchini kuendelea na majukumu yake ya kuitumikia timu hiyo. Habari za kuaminika kutoka ndani ya Yanga zimedai kuwa baada ya majadiliano hayo, uongozi ulikubaliana kumtuma mwakilishi nchini humo kwa ajili ya mazungumzo na mchezaji huyo ambaye wamekuwa wakimwinda kwa muda mrefu. “Ni kweli kabisa Tchetche tulimjadili na tupo kwenye harakati za kumtuma mtu ili akafanye naye mazungumzo ikiwa ni pamoja na kumtangazia ofa yetu tutakayompatia kwani tunataka tumsajili katika kipindi cha dirisha dogo. “Hatujakurupuka kufanya hivyo ila tumejiridhisha kabisa kuwa mchezaji huyo kwa sasa hayupo tayari kurudi Azam, kama tofauti na hivyo basi tusingefikia uamuzi huo wa kumtuma mtu ili akazungumze naye. “Tunataka kumsajili aje kuziba pengo la Donald Ngoma ambaye amekuwa akiomba kutaka kuondoka zake akacheze soka huko Afrika Kusini,” kilisema chanzo hicho cha habari. Alipoulizwa kuhusiana na suala hilo, Katibu Mkuu wa Yanga, Baraka Deusdedit alikanusha kuwepo kwa mpango huo: “ Hakuna kitu kama hicho kwani sisi tumeshamaliza usajili wa wachezaji wa kigeni na hatutarajii kusajili mchezaji mwingine tena.” Item Reviewed: YANGA wamfuata Kipre Tchetche Ivory Coast
2016-12-08T23:55:30
http://www.2jiachie.com/2016/08/yanga-wamfuata-kipre-tchetche-ivory.html
[ -1 ]
Jiwe la Marumaru la Uchina, Jiwe la Marumaru la kudumu, Mtoaji wa Jiwe la Marumaru Maelezo:Jiwe la Marumaru,Jiwe la Marumaru la kudumu,Jiwe lililo na Marumaru,Jiwe la Uchumi la Marumaru,,  HomeBidhaaJiwe la Marumaru Vipimo vya Jiwe Jiwe la Marumaru (Total 32 Products) Makundi ya bidhaa ya Jiwe la Marumaru , sisi ni wazalishaji maalumu kutoka China, Jiwe la Marumaru , Jiwe la Marumaru la kudumu wauzaji / kiwanda, jumla ya bidhaa za juu ya R & D Jiwe lililo na Marumaru na viwanda, tuna huduma kamili baada ya mauzo na msaada wa kiufundi. Anatarajia ushirikiano wako! Statuarietto Venato Marble White Jiwe Asili Jiwe la Jiwe la Kigeni la Arabescato Statuario Marble White Stone Marble kwa Mradi Jiwe la White Ariston Marumaru Volakas White Marble Jiwe la jumla Ubora wa hali ya juu wa Carrara White Marble Jiwe la Marumaru la Taiji Nyeupe kwa Mapambo Jiwe la Panda White Marble na Veins Nyeusi Antiskid Anion ya Udhibiti wa Marumaru sakafu ya ukuta na ukuta Bodi ya Kukata Nyeupe Jiwe Asili isiyo ya fimbo Kijani Bluu Travertine Marble Jiwe la kisasa la Marumaru la Grey kwa sakafu na ukuta Pazia ya Nafasi ya Juu Iliyowekwa Juu kwa Mapambo ya Nyumbani Dhahabu ya rangi ya dhahabu ya Peacock Jiwe Lauri la Cream Laini ya Elite Beige Uturuki Crema Carita Marble Slab sakafu Tile Uuzaji kijumla Statuarietto Venato Marble White Jiwe Asili Statuarietto Venato Marble White Jiwe Asili . Statuarietto Venato Marble ni aina ya marumaru nyeupe iliyochikwa nchini Italia. Jiwe hili ni nzuri sana kwa Exterior - Mambo ya ndani ya ukuta na matumizi ya... Jiwe la Jiwe la Kigeni la Arabescato Arabescato Venato Marble ni aina ya marumaru nyeupe iliyochikwa nchini Italia. Jiwe hili ni nzuri sana kwa Jiwe la Kuijenga, skauti, kuzama, makaburi, kuiga bwawa, sari, jiwe la mapambo, mambo ya ndani, nje,... Statuario Marble White Stone Marble kwa Mradi Statuario Marble White Stone Marble kwa Mradi. Statuario Marumaru ni aina ya marumaru nyeupe. Jiwe hili ni nzuri sana kwa Jiwe la Kuijenga, skauti, kuzama, makaburi, kuiga bwawa, sari, jiwe la mapambo,... Jiwe la White Ariston Marumaru Ariston Marumaru ni aina ya marumaru safi safi iliyochikwa Ugiriki. Jiwe hili ni nzuri sana kwa matumizi ya nje na ya ndani ya ukuta na matumizi ya sakafu, makaburi, countertops, mosaic, chemchemi, dimbwi na ukuta wa... Volakas White Marble Jiwe la jumla Volakas White Marble Jiwe la jumla. Volakas Marble ni aina ya marumaru nyeupe iliyochikwa Ugiriki. Jiwe hili ni nzuri sana kwa Jiwe la Kuijenga, skauti, kuzama, makaburi, kuiga bwawa, sari, jiwe la mapambo, mambo... Ubora wa hali ya juu wa Carrara White Marble Jiwe la Carrara White Marble . Mbegu zinapatikana kulingana na ombi lako. Kutumika sana kwa Wall facade, Bafuni, Sakafu, Line. Tunaweza kusambaza vipimo tofauti vya Jiwe la Marumaru, Jiwe la Granite, Jiwe... Jiwe la Marumaru la Taiji Nyeupe kwa Mapambo Jiwe la Marumaru la Taiji Nyeupe kwa Mapambo. Inapatikana katika laini zote mbili laini na zilizochomwa. Mbegu zinapatikana kulingana na ombi lako. Tunaweza kusambaza vipimo tofauti vya Jiwe la Marumaru,... Jiwe la Panda White Marble na Veins Nyeusi Jiwe la Panda White Marble na Veins Nyeusi. Nyeusi na nyeupe tofauti nzuri katika marumaru hii. Kuwasilisha na mandharinyani nyeupe na mawimbi ya kupigwa mweusi mweusi, marumaru ya kipekee hufanya taarifa... Uwezo wa Ugavi: 10000 Square Meter/Square Meters per Month 100% marumaru ya asili kwa jikoni, bafuni, kushawishi hoteli, nk. Inafaa kwa kila aina ya mitindo ya mapambo, ni moja ya vifaa maarufu vya mapambo. Inapatikana kwa bluu, nyeupe au kijivu. Tunaweza kusambaza vipimo tofauti vya Jiwe la Marumaru, Jiwe... Uwezo wa Ugavi: a large number of Tile ya sakafu inayotumiwa kwa mapambo imetengenezwa na marumaru ya kuteleza. Asili ni marumaru ya mwili wa mwili wa laini. Vipengele vya bidhaa hii ni: anti-skid, kupinga-kupinga na sugu ya doa Tunaweza kusambaza vipimo tofauti vya Jiwe la... Jiwe la Marumaru la Italia la Rock Rock Blue Jiwe la Marumaru ya mwamba kwa Rock mapambo. Mahali pa Asili ni Italia. Rock Blue Marble ni nzuri sana kwa Countertops, ukuta wa nje-mambo ya ndani na matumizi ya sakafu. Tunaweza kusambaza vipimo tofauti... Sicily Grey Marble Slab kwa Mapambo ya Jengo Sili kijivu ni jiwe nyeusi jiwe na laini nyeupe. Maarufu kwa kumaliza laini, tukufu, nk .Hutumiwa sana kwa facade ya Wall, Bafuni, Sakafu, Mstari na Jiwe la Shape isiyo ya kawaida. Tunaweza kusambaza... Marumaru ya asili ina unene mnene lakini ugumu wa chini, na ni rahisi kusindika, kuchonga na laini, kung'olewa na kadhalika. Jiwe la Marumaru la kudumu kwa bafuni, baa, cafe, sakafu ya kushawishi hoteli, uwanja wa ndege, mradi mkubwa nk Tunaweza... Marble ya asili ya Tra Traine ya Marble, Bluu ya Tra Traine ya Matambara ni nzuri sana kwa Countertops, ukuta wa nje wa mambo ya ndani na matumizi ya sakafu. Tunaweza kusambaza vipimo tofauti vya Jiwe la Marumaru, Jiwe la Granite, Jiwe la Musa, Jiwe... Kampuni hufanya vifaa vya ununuzi wa maduka makubwa, urekebishaji wa jiwe la ukuta wa nje, inaweza kuwa umeboreshwa kulingana na saizi maalum inayotakiwa na wateja, kuridhika kwa mteja ni ufuatiliaji mkubwa wa kampuni. Tunaweza kusambaza vipimo... Jiwe la Jiwe la Dior Grey kwa Bafuni ya Jiko Ubora wa kiwango cha juu cha Dior Grey. Mahali pa Asili ni Uturuki. Dior Grey Marble ni nzuri sana kwa Countertops, ukuta wa nje-mambo ya ndani na matumizi ya sakafu. Tunaweza kusambaza vipimo tofauti vya... Jiwe la kisasa la Marumaru la Grey kwa sakafu na ukuta Jiwe la kisasa la Marumaru la Grey kwa sakafu na ukuta . Mahali pa Asili ni Uturuki. Jiwe la kisasa la Marumaru ya Grey ni nzuri sana kwa Countertops, ukuta wa nje-mambo ya ndani na matumizi ya... Pazia ya Nafasi ya Juu Iliyowekwa Juu kwa Mapambo ya Nyumbani Ubora wa Nafasi ya Kijivu cha juu. Mahali pa Asili ni Italia. Nafaka Grey Marble ni nzuri sana kwa Countertops, ukuta wa nje-mambo ya ndani na matumizi ya sakafu. Tunaweza kusambaza... Dhahabu ya rangi ya dhahabu ya Peacock Mzani wa dhahabu wa Peacock ni aina ya marumaru ya rangi, na manjano ya dhahabu, kijani kibichi na theluji nyeupe muundo wa asili unapenda milima na mito. Futa rangi wazi na takwimu iliyopewa alama. Jiwe hili... Jiwe Lauri la Cream Laini ya Elite Beige Elite Beige ni aina ya marumaru yenye beige huko Uturuki. Rangi ya cream laini na takwimu wazi na neema. Jiwe hili ni nzuri sana kwa maombi ya uhandisi. Tunaweza kusambaza vipimo tofauti vya Jiwe la Marumaru,... Uturuki Crema Carita Marble Slab sakafu Tile Uuzaji kijumla Crema Carita Marumaru ni aina ya marumaru beige kufunikwa katika Uturuki.White ardhi na takwimu nyeupe, asili na nzuri. Jiwe hili ni nzuri sana kwa Jiwe la Kuijenga, skauti, kuzama,... China Jiwe la Marumaru Wauzaji Jiwe la Marumaru ni chaguo maarufu cha vifaa tofauti vya countertop. Marumaru ya asili ni ngumu sana, na kuifanya kuwa chaguo linalofaa. Marumaru huja katika rangi anuwai nyingi na zenye mpangilio tofauti na saizi. Jiwe la Marumaru ni moja ya mawe yetu maarufu kwa ubatili wa bafuni na maeneo mengine ya chini ya trafiki, kama vituo vya kunawa, sehemu za kununa na maeneo ya kuoka. Ikiwa unatafuta kuongeza mtazamo wa kisasa na wa kifahari nyumba yako au biashara, hakuna nyenzo nyingine ya kuhesabu uzuri wa marumaru. Jiwe la Kubwa la Grey-brown Mlipuko wa Bodi ya Moto Jiwe la Granite Changanya rangi ya marumaru Tile ya Musa Jiwe la Marumaru Jiwe la Marumaru la kudumu Jiwe lililo na Marumaru Jiwe la Uchumi la Marumaru Jiwe la Marumaru Beige
2020-02-26T10:01:17
https://www.gzjaderiver.com/sw/marble-slab/
[ -1 ]
WANANCHI IRINGA MJINI WAHOJI MWEKEZAJI BUSTANI YA MANISPAA KUUZA POMBE ~ Mzee wa matukio daima Home » » WANANCHI IRINGA MJINI WAHOJI MWEKEZAJI BUSTANI YA MANISPAA KUUZA POMBE WANANCHI IRINGA MJINI WAHOJI MWEKEZAJI BUSTANI YA MANISPAA KUUZA POMBE By mzee wa matukiodaima habari bila uoga3.11.16No comments Dc Iringa Baadhi ya wananchi wa Manispaa ya Iringa wameitaka serikali ya wilaya ya Iringa kuchunguza mkataba wa mwekezaji wa Bustani ya Manispaa ya Iringa ambae amekuwa akiuza pombe kali katika eneo hilo kinyume na mkabata wake. wakizungumza na mtandao huu wa matukiodaimaBlog wananchi hao wametaka kujua uhalali wa Manispaa ya Iringa kuruhusu mwekezaji huyo kufanya biashara ya pombe katika eneo hilo ambalo kimsingi si sahihi . Jitihada za kumtafuta mwekezaji na uongozi wa Manispaa ya Iringa zinaendelea
2017-11-23T12:52:37
http://www.matukiodaima.co.tz/2016/11/wananchi-iringa-mjini-wahoji-mwekezaji.html
[ -1 ]
Kinondoni yaanza kupuliza dawa maeneo ya makusanyiko kupambana na corona | MUUNGWANA BLOG Kinondoni yaanza kupuliza dawa maeneo ya makusanyiko kupambana na corona Halmashauri ya Manispa ya Kinondoni kwa kushirikiana na wataalamu wa Afya wa Halmashauri hiyo na mkoa wa Dar es Salaam wameendesha zoezi la upuliziaji dawa katika vituo vya mabasi yaendayo haraka pamoja na vituo vya daladala ikiwa ni katika mkakati wa kudhibiti maambukizi ya Vizuri vya Corona. Zoezi hilo limefanyika katika maeneo mbalimbali ikiwemo makazi ya wananchi , maeneo ya kutolea huduma mbalimbali ikiwemo masoko sambamba na kwenye mikusanyiko ya watu hususani Kanisani na Msikitini. Akizungumza na waandishi wa habari, Mstahiki Meya wa Halmashauri hiyo, Mhe. Benjamini Sitta amesema kuwa zoezi hilo linafanyika kwa lengo la kuuwa wadudu wanaosababisha maambukizi ya Vizuri vya Corona (COVID 19) na kwamba maeneo yote katika Halmashauri hiyo yatapuliziwa dawa. Meya Sitta amefafanua kuwa ugonjwa huo ambao umekuwa tishio kubwa duniani Halmashauri hiyo imejipanga kikamilifu katika kuukabili ugonjwa huo usisambae ikiwa ni pamoja na kusambaza wataalamu wa kupulizia dawa hiyo kwenye kata zote za Halmashauri hiyo. “Kwa ujumla tunashiriki ipasavyo katika kupambana na maambukizi ya virusi hivi, kwa pamoja tunaunganisha nguvu kutoka kwenye ngazi ya mkoa, Kinondoni ni Halmashauri moja wapo ambayo imeanza zoezi hili kwenye maeneo yote na leo tumeanzia Kata ya Msasani ambapo ndio kuna wataalii wengi” amesema Mhe. Meya Sitta. Mhe. Meya Sitta ameongeza kuwa “ ni jambo la muhimu kuchukua hatua kabla ya kupata madhara , nakinga ni muhimu kuliko tiba , Kinondoni hatujasubiri janga hili litufikie, tulianza kuchukua hatua mapema, tulijiandaa vizuri ndio mana hata sasa tunaendelea kuchukua hatua kwakupiga dawa kwenye maeneo ya wananchi wetu. Aidha Mhe. Meya Sitta amesisitiza kuwa Kinondoni imejipanga na hivyo kuishukuru Serikali ya awamu ya tano kwakudhibiti na kupambana dhidi ya kutokomeza ugonjwa huo sambamba na kuwaelimisha wananchi jambo ambalo limepokelewa kwa asilimia 100. Kwa upande wake Mratibu wa Malaria mkoa wa Dar es Salaam, Dokta Ford Chisongela amesema kuwa mkoa unashirikiana na Halmashauri katika kuhakikisha kuwa unatokomeza ugonjwa huo unaosababishwa na Vizuri vya COVID 19 ( Virusi vya Corona) kwa kupulizia dawa hizo katika maeneo yote ya mkoa huo. Amefafanua kuwa katika kuongeza nguvu ya kupulizia dawa hiyo, mkoa umeamua kutumia magari ya zimamoto pamoja na yale ya Polisi kikosi Cha kutuliza ghasia (FFU) kwa lengo la kuongeza nguvu katika zoezi hilo kwa kuwa magari hayo yanauwezo mkubwa wa kufanya kazi kwa haraka na hivyo kuwatoa hofu wananchi wasishtuke pindi watakapo yaona mitaani.
2020-04-07T03:58:53
http://www.muungwana.co.tz/2020/03/kinondoni-yaanza-kupuliza-dawa-maeneo.html
[ -1 ]
Contributions by Hon. Joseph Osmund Mbilinyi (11 total) MHE. JOSEPH O. MBILINYI: Mheshimiwa Spika, ahsante. Madiwani na Wabunge wa upande huu wanachangisha watu, isipokuwa wanachangisha kwa hiari siyo kwa kulazimisha na mgambo, naomba hii niliweke clear. (Makofi/Kicheko) Mheshimiwa Spika, nikushukuru kwa ku-recognize mawazo yangu kuhusiana na hili suala kwa sababu kuna watu wanachukulia kama tumewa-pre-empty au vitu kama hivyo lakini no. Tunachojaribu kufanya ni kuboresha kwa sababu hata kama Wizara ya Afya wana sera kwa maana ya mipango, huwezi kuwa na mipango halafu fedha anazo mtu mwingine. Unaweza ukampigia simu kwamba bwana njoo na hizo fedha tutekeleze ile mipango katikati akakabwa na zisifike kwa wewe mwenye mipango. (Makofi) Mheshimiwa Spika, kwa hiyo tuna confusion. Nafikiri labda kwa sababu sisi ndiyo Bunge labda ifike mahali sasa turudi tujadili upya kwamba hii system ya afya yote irudishwe kwenye mwamvuli mmoja kwa maana kwamba yote iwe chini ya Waziri wa Afya kwa sababu confusion ni kubwa sana. Ukiangalia hata kwenye ajira za madaktari, wengine wanaajiriwa na TAMISEMI, wengine wanaajiriwa na Wizara ya Afya, wengine wanajiona kwamba ndiyo madaktari wa kweli, wengine siyo madaktari wa kweli na hata linapokuja suala la kudai haki zao, wale walioajiriwa na Wizara ya Afya, Mheshimiwa Kigwangalla anajua, alikuwemo humo katika harakati za madaktari, wale walioajiriwa na Wizara ya Afya wakisema tusimame kidogo, tukaze uzi, Serikali isikilize madai yetu, wale wa TAMISEMI hawagomi. Kwa hiyo, tunaharibu hata umoja wa madaktari. Ili madaktari wawe pamoja inabidi wote wawe chini ya mwajiri mmoja, waongee lugha moja. (Makofi) Mheshimiwa Spika, nikirudi Mbeya kuna suala la Hospitali ya Rufaa ya Mbeya, mortuary. Nimepokea malalamiko kutoka kwa wafanyakazi wa mortuary Hospitali ya Mbeya kwamba wanafanya kazi kwenye mazingira magumu sana. Kuna friji 15 lakini kwa zaidi ya miaka miwili sasa friji tisa hazifanyi kazi, zinazofanya kazi ni sita tu kiasi kwamba kama ikitokea ajali na miili mingi ikapelekwa inabidi wana rotate (wanaweka mwili baada ya muda ukipoa wanatoa, wanabadilisha mwingine) that’s too bad for big hospital kama hospitali ya Rufaa ya Mbeya. Hata hivyo, pia hata wale wafanyakazi wanaofanya kazi mle katika mazingira magumu wana malalamiko sana kuhusiana na maslahi. (Makofi) Mheshimiwa Spika, wananiambia wanatakiwa walipwe 150,000 kwenye postmoterm kwa maana ya daktari mtaalam anaitwa pathologist doctor. Daktari mtaalam anachukua shilingi 100,000 wale wanachukua shilingi 50,000, lakini hata hiyo hela kuipata imekuwa kazi na wale wa hospitali ya Rufaa Mbeya kwa zaidi ya miezi tisa sasa hawapewi ile hela kwa namna mbalimbali, wanaambiwa sijui wamefoji PF3 (zile ripoti za polisi), inafikia mahali wanaambiwa ili kuthibitisha; ndugu wa marehemu wawepo pale waangalie. Sasa wenzetu labda wanaweza, lakini katika utamaduni wetu kukaa pale kuona ndugu yako anapasuliwa moyo, nini kinatolewa sidhani kama ni sahihi. Kwa hiyo, tuangalie utaratibu wa kuthibitisha malipo yao kwa sababu kazi wanayofanya ni muhimu na ngumu. Mheshimiwa Spika, lakini pia hawa wafanyakazi wa mortuary ifike mahali nao wapewe kozi, kama madaktari wanapewa kozi, manesi wanapewa kozi, na wafanyakazi. Isifike mahali unakwenda kuchukua mlevi tu kwa sababu hana sense, ndiyo umpeleke mortuary akafanye kazi kwa kutumia ile hali. Matokeo yake ndiyo unasikia mwili wa Kilimanjaro umepelekwa Mbeya na mwili wa Mbeya umepelekwa Songea, kunakuwa na mchanganyiko kwa sababu wale watu sio professionals wa ile kazi. Kwa kweli katika nchi za watu, mtu anayefanya kazi katika mazingira haya hata hela yake inakuwa ni nzuri sana kwa sababu tu watu wanatambua umuhimu wa zile kazi wanazofanya. (Makofi) Mheshimiwa Spika, tukienda Hospitali ya Rufaa kuna hili jengo la maabara ya kisasa, linaitwa jengo la mionzi. Jengo hili nimelisemea toka naingia Bunge hili, hiki ni kipindi cha pili sasa. Toka nimeingia Bunge hili ikifikia Wizara ya Afya, nikisimama nalisemea hili jengo. Nikauliza, hivi jengo hili limejengwa na Mzee wangu Mheshimiwa Mwakyusa akiwa Wizara ya Afya, mnataka mpaka tena atokee Waziri kutoka Mbeya ndiyo lile jengo limaliziwe? Hata hivyo, namshukuru Katibu Mkuu sasa hivi anatoka Mbeya labda anaweza akaweka mkazo kidogo kwa sababu haya mambo yapo, hatuwezi kuyakataa, haya mambo yapo. (Makofi) Mheshimiwa Spika, sasa naomba sasa, naona imetengwa shilingi bilioni tano, ninachoomba ni guarantee ya Waziri, Naibu Waziri na Katibu huko aliko mkimpelekea majibu yatakapokuja, naomba guarantee ya hii shilingi bilioni tano, ni fedha za ndani au za nje zile zilizokataliwa kwa sababu ya uchaguzi wa Zanzibar kuchakachuliwa. Naomba nipate guarantee kujua kwamba hizi fedha zinakuja ili lile jengo limalizike. Mheshimiwa Spika, naambiwa bilioni tatu ni kukamilisha jengo, shilingi bilioni mbili kwa ajili ya vifaa (CT Scan, MRI Scan), jengo lile likamilike ili sasa ile hospitali iongezeke hadhi na itapunguza hata influx ya wagonjwa kutoka eneo lile kuja Muhimbili na mtapunguza ile hekaheka ya kufunga ofisi, iwe wodi kwa sababu influx ya wagonjwa ni wengi, wengine wanaweza wakaishia huko huko ndugu zangu. (Makofi) Mheshimiwa Spika, kuna suala la Bima ya Afya, Hospitali ya Rufaa Mbeya sasa hivi wanakusanya takriban shilingi 500,000,000 kwa mwezi kutoka shilingi milioni 70 sijui 80 huko nyuma. Shukurani kwa Mkurugenzi aliyepita na aliyepo sasa. Sasa nataka nijue katika hii shilingi milioni 500, ni ngapi inabaki kwa Hospitali ya Rufaa Mbeya kwa ajili ya kuboresha maslahi mbalimbali ya wafanyakazi ikiwemo housing allowance za madaktari kama stahiki yao inavyotaka, ikiwemo on call allowance, daktari amekaa, amekuja kwa Mbunge labda mnaongea masuala mengine tu kama mwananchi wetu wa CHADEMA, lakini anapigiwa simu saa nne usiku kwamba unatakiwa hospitali kuna emergency, akienda kule hakuna malipo yoyote. Sasa nataka kujua hii shilingi milioni 500, ni ngapi inabaki hospitali ya Rufaa Mbeya na hata pia iende kwenye allowance kule mortuary ile ya Mbeya kwa wale wafanyakazi ambao wako frustrated kwa kweli. Mheshimiwa Spika, mmoja akaniambia, siku moja Waziri alienda pale akamwambia Waziri kwamba hivi ndivyo tunavyolaza wagonjwa kwenye mochwari na bahati mbaya upate ajali, ukifa, ukiletwa hapa ntakulaza chini na wewe ili uone uchungu kama utakuwa na sense zozote. Sasa kama mfanyakazi anafikia kusema hivyo, hizo ni kauli za mtu aliyekata tamaa na sio vizuri kuwa na wafanyakazi ambao Serikali imewaajiri, waliokata tamaa. Mheshimiwa Spika, mwisho niseme Waziri, Naibu Waziri, Katibu Mkuu tulieni, you are vibrant young ones, sister you know energetic, naomba sana tulieni, mshaurini Rais namna ya kutekeleza sekta ya afya iwe bora. Msihofu, msiende kwa mizuka, maana tukisema mnaenda kwa mizuka wengine wanabisha, lakini hivi vitu vipo. Kwa hiyo msihofu, tulieni. Mheshimiwa Spika, nilisikitika sana mimi binafsi kumwona Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya amebeba stuli, amebeba meza eti anahamisha wakati naamini kwamba huo muda anaofanya hivyo wangeweza kufanya vijana, wako vibarua pale Muhimbili, wangeweza kuhamisha stuli na droo wakati Waziri amekaa ofisini anapitia ripoti mbalimbali zikiwemo ripoti za mortuary ya Mbeya ambayo fridge tisa zimekufa, hazifanyi kazi. Angekuwa amekaa ofisini anafuatilia ripoti za nchi nzima badala ya kutumia muda huo muhimu wa mtu kama Katibu Mkuu msomi kubeba stuli. MHE. JOSEPH O. MBILINYI: Mheshimiwa Mwenyekiti, nashukuru kwa nafasi lakini nasikitika naenda kuchangia wakati Waziri mwenyewe hayupo; kwa sababu ilibidi hivi vitu avibebe Mheshimiwa Waziri yeye mwenyewe ndio tungeenda sawa zaidi, lakini sio mbaya. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza nianze na kuna Wabunge wapya humu wanashangaa suala la sisi kutoka Bungeni sijui tunasaini, sijui tunafanya nini; niwataarifu tu wanatakiwa kabla hujaingia kwenye kitu upate elimu kuhusu utendaji wa hicho chombo au taasisi. Kutoka Bungeni ni suala la kawaida kabisa kwa sababu hata tunavyotoka sio kwamba tunatoka tunakwenda nyumbani; kwa sababu kuna wakati ni heri uwe nje unatumia simu kuongea na watu Jimboni kuliko kukaa humu ndani kusikia watu wanavyo zomea zomea. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, na niwataarifu tu kwamba tutaendelea kutoka hatua hii mpaka pale kiti anapokaa Naibu Spika aache tendency za udikteta ndani ya Bunge kwa sababu tupo humu tunataka freedom kwa ajili ya masuala yanayohusu hili Taifa. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, suala la diplomasia, Wizara hii ni muhimu sana na imefika mahali tunatakiwa tuweke mbele diplomasia ya uchumi; naongea hivi nikiunga mkono hotuba ya Mheshimiwa Msigwa, Waziri Kivuli kwa sababu tunatakiwa tutoke sasa tuachane na diplomasia ya enzi za cold war. Diplomasia hiyo imepitwa na wakati, lakini unfortunately sisi ndio tunabaki nayo na afadhali hata zamani tulikuwa na misimamo. Sasa hivi hata misimamo hatuna, Wizara ya Mambo ya Nje kazi yake ni pamoja na kusimamia, kuwa MHE. JOSEPH O. MBILINYI: Mheshimiwa Mwenyekiti, nashukuru kwa nafasi lakini nasikitika naenda kuchangia wakati Waziri mwenyewe hayupo; kwa sababu ilibidi hivi vitu avibebe Mheshimiwa Waziri yeye mwenyewe ndio tungeenda sawa zaidi, lakini sio mbaya. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, suala la diplomasia, Wizara hii ni muhimu sana na imefika mahali tunatakiwa tuweke mbele diplomasia ya uchumi; naongea hivi nikiunga mkono hotuba ya Mheshimiwa Msigwa, Waziri Kivuli kwa sababu tunatakiwa tutoke sasa tuachane na diplomasia ya enzi za cold war. Diplomasia hiyo imepitwa na wakati, lakini unfortunately sisi ndio tunabaki nayo na afadhali hata zamani tulikuwa na misimamo. Sasa hivi hata misimamo hatuna, Wizara ya Mambo ya Nje kazi yake ni pamoja na kusimamia, kuwa Mheshimiwa Mwenyekiti, hiyo ndio diplomasia inayotakiwa kufanyika sasa hivi lakini hatuna rekodi; angalia kama Ethiopia wanavyojaribu kuwashirikisha diaspora yao katika masuala ya uchumi. Walianzisha mradi mkubwa sana wa umeme pale unaitwa Ethiopian Grand Millennium Dam kutokana na mgogoro wa chanzo Nile na support inayopata Egypt baadhi ya mataifa wakakataa kui-support Ethiopia kifedha kwenye ule mradi; walichofanya Serikali ya Ethiopia wakawahusisha watu wao wa diaspora Worldwide, wakawatengenezea bond maalum, wakawawekea utaratibu wale mabwana wanachangia sasa dola kwenye ule mfuko na Ethiopia sasa hivi ule mradi nilikuwa naangalia jana umefikia asilimia 70 ya kutengenezwa, wamebaki asilimia 30 tu kutengeneza bila fedha za nje kwa kutumia fedha za diaspora ya Ethiopia inayoishi North America na Uingereza ndugu zangu. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini sasa sisi tumekaa tu Ethiopia wanatumia diaspora wanakwenda kuwa na bwawa kubwa, wanaenda kutengeneza historia, wana bwawa kubwa la umeme kuliko yote Afrika kwa kutumia diaspora. Sisi diaspora hatuwashirikishi; huwezi kuwashirikisha watu kwenye uchumi; Watanzania hawa huwezi kuwashirikisha kwenye uchumi wakati hautaki kutambua uraia wao, uzalendo wao na utaifa wao. Hapa nazungumzia diaspora maana yake tunafika mahali tunachanganya mambo, ninyi mnachanganya kati ya utaifa na uraia. Utaifa ni kitu natural, uraia ni kitu cha documentation yaani paper work, kama mimi ningeamua kufanya paper work sasa hivi ningekuwa raia wa Marekani, lakini utaifa ni kitu by nature. Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hatuwezi kwenda mbele bila kuwashirikisha hawa watu; mnawadanganya watu mnaenda mnawaambia rudini nyumbani wakirudi nyumbani hawawezi kuacha mambo yao waliyoyatengeneza kule miaka yote eti aache uraia wa Marekani aje hapa akitaka kibali hichi corruption, akitaka hichi corruption na pia aje kama mgeni. Anatakiwa mnatambua mnawapa dual citizenship ili wanavyokuja hapa wanakuja kama Watanzania sio Mtanzania yupo Marekani mmemnyang‟anya utaifa wake kwa sababu ya makaratasi ya uraia halafu anakuja hapa mnamzuia kabisa mnataka awe mwekezaji kama mgeni na sio kama Mtanzania wa hapa, sasa hii ni mbaya. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, Serikali hii ya Chama cha Mapinduzi kwa nini mnaogopa sana diaspora, kwa nini mnaogopa sana dual citizenship mnajua ni hasara kiasi gani mnalipa hili Taifa kwa kutokujua tu remittances zinaingizwa nchini kiasi gani hiyo ni upungufu mkubwa sana na tunaitaka hii Serikali sasa hivi ifanye mkakati walete dual citizenship ili watanzania waliopo nje walete input na sio tu input ya kiuchumi exposure waliyoipata wale mabwana kule hata katika masuala ya utawala tukiwaleta na kuwaingiza katika mfumo wa uendeshaji nchi hivi vitu vidogo vidogo vya uzembe uzembe, rushwa rushwa ndogo ndogo hizi havitakuwepo kwa sababu good governance itaenda kutamalaki pale. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa sisi tumekaa, Serikali haiwajali diaspora wakiwa hai na hata wakiwa wamekufa; Watanzania wanauwawa huko kama niki-refer hotuba ya Waziri Kivuli, niende kwenye mauaji ya juzi juzi tu Watanzania wawili katika mwezi mmoja mwezi wa nne wamepigwa risasi hakuna tamko lolote mpaka tupige kelele Bungeni humu ndio Waziri atakuja baadaye atajifanya anatoa tamko wakati alitakiwa walishughulikie hili suala na naunga mkono petition ya Watanzania wanaoishi Marekani ambao wanataka Balozi wa Marekani Washington DC aondolewe mara moja arudishe nyumbani kwa sababu ameshindwa kuwatumikia Watanzania kule Marekani. Ameshindwa kutambua hata pole hajatoa kwenye misiba hii iliyotokea. Umetokea msiba wa Andrew Sanga, Afrika nzima imelia; Serikali haina habari. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, Andrew Sanga amepigwa risasi amekufa Serikali hii haina habari; Balozi wa Marekani anapigiwa simu kuna msiba Houston ameacha kwenda kwenye msiba Houston anasema nina udhuru, udhuru wenyewe yupo Dallas, Dallas na Houston ni kama Dar es salaam na Morogoro. Amekwenda Dallas kwenye party ameacha kwenda kwenye msiba ambao umetingisha Marekani nzima na yeye angeenda pale angeenda kuleta harmony kidogo na kuwatuliza wale watu. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa nataka Waziri atuambie na aliambie Bunge lako Tukufu Serikali hii imefikia wapi kufuatilia uchunguzi wa mauaji ya Andrew Sanga kwa sababu Marekani usipo-push na wao wana-relax kwa sababu wanajua… MWENYEKITI: Mheshimiwa Mbilinyi muda umemalizika naomba ukae. MHE. JOSEPH O. MBILINYI: Mheshimiwa Mwenyekiti, nashukuru kwa kunipa nafasi, happy new year Waheshimiwa Wabunge wote. Mheshimiwa Mwenyekiti, nami nitumie fursa hii kuwashukuru Wanambeya kwa kunirudisha tena mjengoni kwa kipindi cha pili na kunifanya niwe Mbunge niliyechaguliwa kwa kura nyingi kuliko wote humu ndani, the most voted MP kwenye election ya 2015. Kama Waziri Mkuu anatokana na Wabunge waliochaguliwa wangeangalia kura nyingi may be mimi ndiye ningekuwa Waziri Mkuu humu ndani . (Kicheko/Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, nataka niseme kitu kimoja, tunapanga Mpango wa Maendeleo humu ndani au tunajadili Mipango ya Maendeleo lakini wale wanayoipokea hii Mipango ya Maendeleo sidhani hata kama tayari wako cemented katika mazingira yao. Sina uhakika hata kama tayari mmeshapewa instrument ya kazi na Rais. Rais anapochagua Baraza la Mawaziri anawapa instrument ambayo ndiyo kama job description. Sasa nina wasiwasi kama hawa walishapewa na matokeo yake ndiyo maana wanaenda hovyoovyo tu kwa kufuata mizuka ya Rais. Rais akitumbua majibu huku wao wanatafuta kule kwenda kutumbua, kinachotakiwa siyo kutumbua majipu twende tutumbue mpaka viini. (Kicheko/Makofi) WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU (SERA, BUNGE, KAZI, AJIRA, VIJANA NA WALEMAVU): Mheshimiwa Mwenyekiti, kuhusu utaratibu. MWENYEKITI: Samahani Mheshimiwa Mbilinyi, Waziri wa Nchi. WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU (SERA, BUNGE, KAZI, AJIRA, VIJANA NA WALEMAVU): Mheshimiwa Mwenyekiti, kuhusu utaratibu, Kanuni ya 68 pamoja na Kanuni ya 64, mambo yasiyoruhusiwa Bungeni. Mheshimiwa Mwenyekiti, Mheshimiwa msemaji aliyekuwa anaongea kwanza ametumia maneno ya kuudhi lakini ametumia maneno ya dhihaka kwa kutaja jina la Rais kwa dhihaka. Kanuni ya 64(d) inasema hatatumia jina la Rais kwa dhihaka katika mjadala kwa madhumuni ya kutaka kulishawishi Bunge kuamua jambo lolote kwa namna fulani. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, hivi haya ni maneno kweli yanayostahili heshima ya Rais kusema kwamba anaongozwa kwa mzuka? Mzuka ni kitu gani? Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi nafikiri utusaidie kutupa mwongozo wako kama maneno hayo na Kanuni ile ya 64(d) yanaweza kweli kubeba maudhui ya kulitumia jina la Mheshimiwa Rais katika mazingira tuliyonayo hapa. Kwa nini asiyaondoe maneno haya halafu achangie tu hotuba yake kwa staha na watu wote waweze kumwelewa? (Makofi) MWENYEKITI: Mheshimiwa Joseph, kwa heshima kabisa mdogo wangu naomba ufute maneno hayo. MHE. JOSEPH O. MBILINYI: Mheshimiwa Mwenyekiti, hapa tunapambana na changamoto ya generation gap, ndiyo inayomkuta Mheshimiwa Waziri. Mizuka ni neno la Kiswahili lina maana ya hamasa yaani ile amshaamsha kwamba Rais anaamshaamsha na wao kwa sababu hawajapewa job description wanaiga, huyu yuko buchani anaangalia nyama, huyu anafunga mageti, huyu naye sijui anafanya nini, hiki ndiyo kitu wanachokifanya. (Kicheko/Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, mnaozomeazomea niwaonye, wengi wenu waliokuwa wanazomea hawajarudi hapa. Waliorudi ni wajanja kama Dkt. Mwinyi wako kimya tu. Wanaozomeazomea wengi hawajarudi, hamtaonja term ya pili, siyo mchezo, hiyo nawaambia wazi kabisa. (Kicheko/Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, turudi kwenye mchango… WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU (SERA, BUNGE, KAZI, AJIRA, VIJANA NA WALEMAVU): Mheshimiwa Mwenyekiti, bado niko pale pale kwenye Kanuni ile ile na naendelea kusisitiza, Mheshimiwa Rais wetu haongozi kwa mzuka, kwa hamasa, anaongoza kwa taratibu, Katiba na sheria, haongozi kwa mzuka au eti kwa hamasa. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, Rais ana Ilani, Katiba, sheria, na taratibu anazozitumia kuongoza. Kwa hiyo, huu uongozi wa kufuata generation eti Rais anaongoza kwa mzuka, kwa hamasa, haiwezi kukubalika. Haya ni maneno ambayo yanaudhi na yanataka kudhalilisha jina la Mheshimiwa Rais ndani ya Bunge. Mheshimiwa Mwenyekiti, kauli hiyo ifutwe. (Makofi) MWENYEKITI: Mheshimiwa Mbunge Mbilinyi! MHE. JOSEPH O. MBILINYI: Mheshimiwa Mwenyekiti, kuna tabia imeanza kujitokeza kutaka kufanya kama Rais sijui au huyu Rais wa Awamu ya Tano untouchable, haguswi kwa kauli wala nini, lazima tutasema. Sijasema Rais anaongoza kwa mizuka, nimesema hawa ambao hawajapewa job description ndiyo wanafuata mizuka ya Rais, wanafuata vigelegele, ninyi mnafuata vigelegele. (Kicheko/Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, naomba unipe nafasi niendelee kuchangia. MBUNGE FULANI: Mwongozo. MHE. JOSEPH O. MBILINYI: Utapokea Miongozo baadaye, naomba unipe nafasi ya kuchangia. President Magufuli siyo unatouchable ni mhimili mwingine na hili Bunge litajadili bila kumkashifu na bila kumtukana pale atakapokosea, kwamba anapotumbua majipu aende mpaka kwenye viini, anafukuza watu kazi, watu hawapewi nafasi ya kujitetea, halafu tunaongea humu mnataka kusema vitu gani? (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, hatuwezi kupata maendeleo bila demokrasia… MWENYEKITI: Samahani Mheshimiwa Joseph Mbilinyi, naomba unyamaze kimya kwanza. Hii hoja imetolewa na Waziri wa Nchi. Sasa naomba Mheshimiwa Waziri wa Nchi, uendelee. MBUNGE FULANI: Aendelee nini? WAZIRI WA NCHI OFISI YA WAZIRI MKUU (SERA, BUNGE, KAZI, AJIRA, VIJANA NA WALEMAVU): Mheshimiwa Mwenyekiti, unaongozwa na Kanuni, kama Mheshimiwa Mbilinyi hataki kufuta usemi wake na Kanuni zinaeleza wazi kama Mbunge anaamrishwa hataki kufuta usemi wake, kwa nini usitumie mamlaka yako kwa Kanuni ya 5 ili uweze kufanya maamuzi sahihi? (Makofi) MBUNGE FULANI: Unakifundisha kiti, eeeh! MBUNGE FULANI: Kwani mzuka maana yake nini? MWENYEKITI: Samahani, samahani, naomba tusikilizane. MWENYEKITI: Mheshimiwa Mbilinyi, naomba ufute kauli yako. MHE. JOSEPH O. MBILINYI: Mheshimiwa Mwenyekiti, unapoomba unatarajia kupata au kukosa. Katika hili nimekataa kufuta kauli kwa sababu anachokisema nimesema sicho nilichosema. Nenda kwenye Hansard utaona maneno niliyoyaongea kwa ufasaha wake kabisa. Mheshimiwa Mwenyekiti, kama ambavyo umeamua nyuma, usubiri uende kwenye Hansard utaangalia, kama yakiwa maneno aliyosema Mheshimiwa Mama Waziri… MWENYEKITI: Mheshimiwa Mbilinyi naomba utulie. MHE. JOSEPH O. MBILINYI: Ambaye yupo kwenye tatizo la generation gap basi ningefuta. MHE. JOSEPH O. MBILINYI: Naomba na muda wangu ulindwe lakini. MWENYEKITI: Sasa kwa sababu umekataa kufuta kauli, nasema tutakwenda kwenye Hansard kuangalia kimezungumzwa nini ili hatua ziweze kuchukuliwa. Tunaendelea, malizia dakika zako chache. MHE. JOSEPH O. MBILINYI: Mheshimiwa Mwenyekiti, siyo dakika chache, ni dakika nyingi tu kwa sababu mmenikata wakati nikiwa kwenye dakika moja au moja na nusu. Mheshimiwa Mwenyekiti, hatuwezi kujadili maendeleo bila demokrasia, bila ya utulivu wa kisiasa kwenye nchi. Rais anasema yeye ni Rais wa vyama vyote, alisema kwenye kampeni mpaka juzi yuko Arusha, naona anaongea na watu, anasema yeye ni Rais wa vyama vyote, lakini Waziri Mkuu wake yule pale anatukataza Wapinzani tusifanye mikutano ya vyama vyetu vya siasa. Demokrasia iko wapi? Mheshimiwa Mwenyekiti, hatuwezi kujadili maendeleo bila demokrasia, bila uhuru wa vyombo vya habari, wanafungia magazeti kiholela tu, wanakuja wanazuia wananchi wasiangalie Bunge kwenye TBC ambayo ni Televisheni ya Taifa halafu anakuja Nape anataka kufananisha sisi na Sri Lanka. Hivi toka lini sisi tumewahi kufanya mambo yanayoshabihiana na Sri Lanka? Kwa nini usiige Marekani ambako kuna TV inayoonesha Senate saa ishirini na nne inayoitwa C-Span, iko maalum kwa ajili hiyo, halafu unakwenda kuchagua Weakest link, unaenda Sri Lanka, unaenda Australia, ambako hatushabihiani wala hatushirikiani katika mambo yoyote. Ukifananisha na tunavyoshirikiana na Marekani na tunaweza kuwaiga vitu vizuri kama hivyo wana channel inayoitwa C-Span ambayo inaonesha Bunge la Marekani masaa yote ndugu zangu. Ndugu zangu katika suala la drugs hatuwezi kujadili maendeleo wakati nguvu kazi inazidi kuharibika. Sasa mimi najiuliza nguvu kazi inazidi kuharibika kwa dawa za kulevya, mmekomaa na ganja (bangi) kama alivyosema yule Mheshimiwa aliyepita, lakini mimi naomba…. MWENYEKITI: Samahani Mheshimiwa Mbilinyi. MHE. JOSEPH O. MBILINYI: Again? I can’t even speak eeh? MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI: Mheshimiwa Mwenyekiti, taarifa. MWENYEKITI: Mwanasheria Mkuu! MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa mujibu wa Kanuni ya 68(8), si kweli kwamba Mheshimiwa Waziri Mkuu amepiga marufuku vyama vya siasa visifanye shughuli zao za siasa na Mheshimiwa Waziri Mkuu aliifafanua vizuri hiyo hoja siku ya Alhamisi alipoulizwa swali na Kiongozi wa Upinzani hapa Bungeni. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, nilitaka kutoa taarifa hiyo. MWENYEKITI: Umeipokea taarifa Mheshimiwa? MHE. JOSEPH O. MBILINYI: Mheshimiwa Mwenyekiti, naikataa, Waziri Mkuu anatakiwa afute kauli yake kabisa na aseme vyama viko huru siyo kupindapinda, kwamba niliongea kama Mbunge, sijui niliongea kama nini, aseme kwamba ni ruksa kwa watu kufanya shughuli zao za kisiasa kama kawaida. Hicho ndicho anachotakiwa asema. Ingekuwa ni uongo angekanusha. Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa tunajaribu kusema, mnazungumzia dawa za kulevya, Rais Kikwete alimkabidhi Rais Magufuli ripoti ya kazi yake ya miaka kumi yenye kurasa 54. Miaka ya nyuma huko Kikwete alisema anayo majina, je, yale majina kwenye hii ripoti ya kurasa 54 hayakuwepo? Kama hayakuwepo kwenye hii ripoti ya kurasa 54 kulikuwa na nini basi labda wananchi tungeambiwa kwa faida ili tujue nchi inakwendaje. Mheshimiwa Mwenyekiti, tuje kwenye mipango ya maendeleo Kimataifa, safari za nje siyo tatizo. Kuna gharama nzuri na gharama mbaya. Gharama mbaya ni pale kama vile Kikwete alikuwa anaenda sijui anapokelewa sijui na Mkuu wa Shule, Mkuu wa Chuo, sijui anapokelewa na Meya, sijui anapokelewa na Mkuu wa Taasisi gani, lakini ni lazima ili tuende sambamba na dunia, sisi siyo kisiwa, lazima Rais Magufuli aende UN , lazima aende AU kwenye vikao vya Kimataifa. Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi kuna Mkutano Davos wa Kimataifa, dunia yote iko kule inazungumzia uchumi, wewe umekaa huku, unasemaje Mipango ya Maendeleo. Kwa hiyo, kuna gharama mbaya na gharama nzuri. Gharama nzuri unakwenda Davos, unakutana kule na dunia, kina Putin na akina nani, mnajadili dunia inavyokwenda masuala ya uchumi, unatangaza na visima vyetu vya gesi kule kwa deal nzuri na vitu vingine kama hivyo ndugu zangu. Kwa hiyo, gharama nzuri ni pamoja na kwenda Davos, kwenda UN, lakini pia kuangalia delegation iwe ndogo siyo kwenda na delegation ya watu 60, watu 70. Kwa hiyo, President Magufuli he has to go abroad akajifunze. Take a jet brother, he have to take a jet akajifunze dunia inafanya vipi, Marais wanafanya vipi, watu wapo Davos huko akina Putin, akina nani, yeye amekaa hapa. Apunguze delegation tu, aende na watu kama kumi na tano, 10 inatosha, aache kwenda na watu 60, 40. Mheshimiwa Mwenyekiti, rasilimali watu mnasema mnaboresha wakati wafanyakazi bado wananyanyaswa, wanafukuzwa hovyo. Hapa leo niko Bungeni, tayari huko Mbeya Cement kwangu, kuna wafanyakazi wanapunguzwa. Mtu kafanya kazi miaka nane, anakuja kupewa 180,000/= ndiyo kiinua mgongo huko. Mnaboresha vipi masuala ya wafanyakazi. Umeme, naona hata kazi kuchangia hivi vitu in details kwa sababu miaka mitano nimechangia na mpaka leo bado tuko vilevile, ndiyo maana unaamua kutupia tu kama hivi. (Kicheko) Mheshimiwa Mwenyekiti, suala la umeme, Profesa Muhongo, nimeangalia ukurasa wa 41 kwenye mpango wa umeme, nishati. Sijaona mpango wa umeme kutumia chanzo cha joto ardhi (geothermal), ambao dunia nzima inajua ndiyo umeme rahisi, kule Italy kuna kituo cha geothermal toka mwaka 1911 mpaka leo kinafanya kazi, wanabadilisha tu nyembe zile kwa sababau chanzo ni cha uhakika na cha maana zaidi. Katika hili, Serikali hii imeanzisha Kampuni, kuna meneja, kuna management wako kule Mbeya wamekaa hela hamuwapi wanahitaji dola milioni 25 kutuletea umeme huu nafuu, lakini ninyi mnakaa mme-mention hapa kila kitu mambo ya geothermal (joto ardhi) hamna, maana yake nini? Mtakwenda kesho mtawatembelea ofisini, mtasema hawafanyi kazi, mtawafukuza kazi, mnasema mmetumbua majipu wakati hela ya kufanyia kazi hamjawapa ndugu zangu. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, mwisho, nitoe angalizo kwa Mheshimiwa Waziri wa Fedha, nakufahamu siyo sana kwa kukufuatilia weledi wako, wewe ni technocrat, siyo mwanasiasa, usifuate hawa wanasiasa wanazomeazomea, tunaamini kwamba ukitulia, ukatumia nafasi yako kama technocrat ukacha cheap politics, populism, unaweza ukaisaidia nchi pengine na sisi tutaku-support ili twende vizuri. Ahsante sana. (Makofi) MHE. JOSEPH O. MBILINYI: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante sana, I am going to try to be polite today ili nichangie kuona nchi yetu inaenda namna gani. Nitajikita kwenye masuala ya biashara; kubwa, kati na ndogo ambayo yana-reflect kwenye masuala ya ajira kwa namna moja au nyingine. Nitaanza na tatizo lililopo bandarini sasa hivi kwenye suala la mizigo kupungua. Mheshimiwa Mwenyekiti, bandarini mizigo imepungua sana na nashukuru Mheshimiwa Waziri Mkuu amekuwa mfuatiliaji sana wa namna bandari ya Dar es Salaam inavyokwenda na naamini amebakiza trip mbili kwenda ataitwa Mr. Bandari. (Kicheko) Mheshimiwa Mwenyekiti, kuna tatizo bandarini ambalo nimelifanyia utafiti baada ya kuingiwa shaka na rafiki yangu mmoja dereva wa malori ya kwenda Congo. Huyu bwana alikuwa hana tatizo, anasafiri, anaishi maisha yake akifika Dar es Salaam ana gari yake, maisha yanaendelea kama kawaida hanisumbui, lakini eventually akaanza tabia ya mizinga. Haipiti siku mbili kaniomba 20,000 nikamwambia naomba tuonane, nikamwambia umefukuzwa kazi? Kasema sijafukuzwa kazi, lakini niko bench nina miezi mitatu toka Januari sijapata mzigo kwenda Congo. Ikabidi nifuatilie kwa namna zangu, nikagundua tatizo ni kitu ambacho kimekuwa introduced bandarini kinaitwa single custom territory hususan kwa mizigo ya Congo upande wa Katanga. Sasa hili limekuwa ni tatizo kwa sababu lina taswira ya siasa za ndani ya Congo. MWENYEKITI: Mheshimiwa Mbilinyi, unapokea taarifa hiyo? MHE. JOSEPH O. MBILINYI: Hapana. Niendelee Mheshimiwa Mwenyekiti? Mheshimiwa Mwenyekiti, sipokei taarifa yake kwa sababu naishauri Serikali hapa, Waziri Mkuu yupo pale, I am very serious kwa sababu suala lolote linaloleta impact kwenye masuala la ajira lina-affect mitaa na hii ni Serikali za Mitaa; siyo tu kuchagua tu kusimamia vyoo vya stand na kadhalika, masuala ya ajira pia TAMISEMI inahusika direct or indirect. Kwa hiyo, tunaposimama kuchangia hapa halafu mtu anasimama anataka kupata point kwa sababu Mbunge wa Mbeya Mjini anaongea, that is wrong and very bad for the development of our country. (Kicheko/Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, hii single custom territory inaonekana tuliingia kisiasa kwa kuingilia siasa za ndani ya Congo katika masuala ya kukomoana. Jana mmeniona nimekaa muda mrefu na AG pale, nilikuwa najaribu kumpa hii picha kama mshauri wa Serikali ili tuangalie kwamba tunafanyaje kuondoa hili. Kwa sababu kwa kuzuia mizigo ya upande mmoja wa Congo wakati sehemu nyingine ya Congo, Kinshasa na wapi hawajakuwa affected na hii single custom territory, maana yake wale wafanyabiashara wa upande ule wa Katanga wakiona hapa panabana, wanachofanya wanahama bandari. Wamehama bandari, wameenda Beira, wameenda Mombasa; sasa hii ina-affect kwenye ajira ambayo Serikali za Mitaa watu wapo mitaani. (Kicheko/Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, ina-affect namna gani? Kwa hawa wafanyabiashara kuhama na kwenda Bandari za Beira mpaka Soweto - South Africa, kinachofanyika ni kwamba hata Makampuni yetu ya clearing and forwarding ambayo yanaajiri watu around ten thousands nafikiri au kati ya 6,000 na 10,000 hawa wote ajira yao inakuwa shaken. Ajira yao inapata madhara na ndiyo sasa inakuja mpaka kwa madereva wa malori ambao wanaendesha magari ya mizigo kwenda katika maeneo hayo ya Congo. Wanapokosa mizigo ina maana wanakaa bench. Ni familia zile ambazo zinakuwa zimepata madhara kutokana na hiki kitu; halafu mtu anasimama anataka ku-interfere. Malori yakikosa kazi mama ntilie wanakosa kazi humo katika barabara zote. Watarudisha vipi hizo hela za TASAF mnazopeleka mnasema sijui VICOBA wakope; watarudisha vipi kama hizo ajira zao zinakuwa affected? Mheshimiwa Mwenyekiti, pia ukiacha zile direct impact kuna indirect. Mfanyabiashara wa Congo anapokuja kuchukua container zake kumi kutoka China anachofanya, kuna viwanda vyetu local hapa vinatengeneza mafuta ya kula; sisi wenyewe si tunakula mafuta sijui ya Malaysia siku hizi tunanunua supermarket; yale local yanayotengenezwa hapa na viwanda vyetu, akina Zakaria, wale Wacongo, akifuata container zake kumi anachukua na lita kadhaa za mafuta maelfu na maelfu ya mafuta kula anapeleka Congo na michele, viungo na viazi. Utasema utakavyosema. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, hawezi kwenda Beira au Mombasa kwenda kufuata container kumi halafu atoke tena kule aje Tanzania kununua mafuta ya kupikia au kuja kufuata viazi au kuja kufuata mchele. Kwa hiyo, haya mambo yana multiply effect kwa watu wetu katika masuala ya ajira. Kwa hiyo, tuangalie hii single custom territory, kwa sababu ninavyosikia katika uchunguzi wangu, ilikuwa ni katika kukomoana tu; siasa za ndani, utawala unataka kukomoa upande mwingine kwa siasa za Urais. Sisi hatutaki kuingia huko Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje unaweza ukalifuatilia hili ukaona unawashauri vipi katika maeneo hayo. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, viwanda vyetu vinadoda, lakini katika biashara nyingine ndogo na za kati pia nyingi zinakufa. Kwa hiyo, wakati tunashughulika huku na big sharks wakubwa wanaoishi kama malaika na wananchi waishi kama shetani. Hawa wanaoishi huku chini wanapata anguko kubwa sana kwa kadri biashara zinavyoanguka. Nitatoa mfano mmoja, juzi nilikuwa niko safarini nakuja Dodoma, nikalala pale Morogoro kwenye hoteli ninayolala. Nitangaze interest, na mimi najaribu kuingia kwenye biashara ya hoteli msije mkasema ndiyo maana. (Kicheko) Mheshimiwa Mwenyekiti, nimelala katika ile hoteli, ina vyumba zaidi ya 45; nafika mimi na dereva wangu, sioni porter, nikasema porter yuko wapi? Wanasema Mheshimiwa tuna hali ngumu, hapa mnapoingia ni ninyi tu ndiyo mnalala humu ndani. Mimi na dereva wangu, nikasema kulikoni? Akasema Morogoro nzima biashara ime-shut down huduma. Sasa Morogoro ilikuwa ni eneo linalotegemea viwanda; viwanda vyote sijui Moproco, Moro Shoes vimekufa, imebaki biashara ya huduma (hospitality) kama hoteli, huduma sijui ya vyakula (restaurant), sasa vile vyote vinakufa pale Morogoro; hata hoteli ya Mzee Makamba Katibu Mstaafu,, itafungwa very soon na watageuza hosteli. Sasa huwezi kugeuza hoteli zote hosteli kwa sababu zile hoteli pia wamechukua mikopo, wale hawajajenga kwa cash, wana mikopo benki. Kwa hiyo, utakwenda ku-affect hata mabenki katika system ya mikopo. Sisi wengine tunaoenda kuchukua mikopo tutapata taabu kupata mikopo. Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hii yote ni kwa ajili ya nini? Eti mmefuta semina, sijui mmefuta warsha; tatizo siyo semina na warsha. Tatizo ni pale Mheshimiwa Waziri unaposahau bahasha Dar es Salaam halafu unaagiza V8 (gari) liilete na dereva na wasaidizi wanakuja Dodoma wanakaa wiki; hilo ndiyo tatizo. Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa mnaposema hakuna warsha, hata zile zilizokuwa zinaandaliwa chini ya UNDP sijui na Mashirika mengine watu wanaogopa kuzi-implement; sasa madhara yake ni kwamba siyo tu majadiliano ya uendeshaji nchi hayafanyiki, lakini pia madhara yanakwenda kwenye huduma na moja kwa moja tunapata madhara kwenye ajira za watu wetu. Kama mfano niliotoa wa Morogoro, kwa hiyo, hili tuliangalie kidogo. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, suala la TBC halafu nawaona sana Team Lowassa wenzetu wengi tu wanavyojitahidi kunyanyuka nyanyuka, nasikia wameambiwa watashughulikiwa; sasa kila mtu akisimama anasimama na sisi, hatupumui ili kwamba ajisafishe. Kama ulibugi, umebugi tu utashughulikiwa. Maana yake kila mtu akisimama mnamtaja Lowassa leo humu. Aliwaambieni akimaliza siasa anakwenda kuchunga ng‟ombe, mnataka arudi au mnaogopa kivuli? (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi niseme tu suala la TBC; haya yote niliyoyasema matatizo ya ajira na kadhalika ndiyo kinachoendelea huko chini kama hamwambii Mheshimiwa Rais. Sasa mkiacha sisi humu tuonekane tunawaongelea, wananchi wanapata relief, wanapumua. Wakipumua wanajua hili suala linaongelewa litashughulikiwa hata mkipita miaka mitano tena bila kulishughulikia lakini angalau tunawasaidia, kuwatuliza wananchi kuliko kuwaacha katika sintofahamu; hawajui ndani humu mambo yao yanayojadiliwa ni yapi, matokeo yake huko nje kutakuja kulipuka ndugu zangu. Sitaki kuchafua hali hewa kama mnavyosema. (Makofi/Kicheko) MHE. JOSEPH O. MBILINYI: Mheshimiwa Mwenyekiti, Wakuu wa Mikoa aina ya Makonda ndiyo wanafanya nchi iyumbe kiasi kwamba mitaani sasa hivi watu wanasema nchi ina Marais wawili, wanakurupukia mambo. Tumeujenga muziki wa Bongo Fleva kwa zaidi ya miaka 25 mpaka leo unatoa ajira halafu mtu kwa kutaka sifa tu anasimama kwenye podium anavuruga kila kitu kwa muda wa dakika 20. Mheshimiwa Mwenyekiti, vitu kama hivi haviwezi kukubalika na ndiyo maana tunasisitiza umuhimu wa viongozi wote ambao ni presidential nominees wafanyiwe vetting na Bunge. Mtu kama Makonda angepita kwenye Bunge hili kufanyiwa vetting asingepita kwa sababu kwanza hana adabu alimpiga Mzee Warioba, wote tunakumbuka na picha ipo. Mtu aliyempiga Waziri Mkuu Mstaafu na Makamu wa Kwanza wa Rais chini ya Mwalimu Nyerere, anamkunja, leo hii unampa kazi nyeti kama Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ni makosa makubwa sana. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, anatuhumu watu, kama kutuhumu watu yeye Makonda anatuhumiwa kwamba ni mtoto na yeye tumwambie kwamba aende kwa Mganga Mkuu wa Serikali akapimwe marinda. Kwa sababu tufike mahali tuendeshe nchi kwa misingi. Waziri Mkuu upo, Waziri wa Mambo ya Ndani upo, Mawaziri mpo, Waziri wa Sheria upo, Serikali ipo, sasa hii nchi tunaipeleka vipi, tunaiyumbisha. (Makofi/Kicheko) Mheshimiwa Mwenyekiti, mwisho, tuliheshimu Bunge ndugu zangu. Bunge liheshimike sana, hatutajenga viwanda kwa kumkamata Mheshimiwa Lissu na kumfunga kila siku na kupata dhamana. Hatutajenga viwanda kwa kumweka Mheshimiwa Lema detention hata kama atakaa kule ndani miaka kumi iko siku atatoka kwa sababu Mandela alikaa kwa miaka 27 na akatoka. Ndugu zangu, hii nchi ni yetu sote, tunaipenda, tunaomba sana tusikilizane, kama walivyosema waliotangulia kwamba sasa mambo ya CHADEMA, CCM yakae mbali tuwatolee macho na tuwakaripie watu kama Makonda, wanakuja hapa wanavurugavuruga nchi wakati nchi ilikuwa inakwenda vizuri. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante sana. MHE. JOSEPH O. MBILINYI: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante kwa kunipa nafasi sasa ya kuchangia baada ya kususia hotuba kutokana na kubanwa. Mheshimiwa Mwenyekiti, nianze sijui na Mwenyekiti, sijui Katibu, ni Naibu Katibu, Kiongozi Mstaafu wa UVCCM anayesema kwamba tukiudharau mwenge tutapata taabu sana. Ninyi mmemdharau Mwalimu Nyerere na bado mna- survive, itakuwa sisi kuudharau mwenge! Mmedharau misingi mingi sana ya Mwalimu Nyerere ambayo aliiweka katika nchi hii. Mnalinda mwenge badala ya kulinda Azimio la Arusha ambalo lilikuwa na misingi mizuri kabisa kwa ajili ya kuwa na viongozi bora wa nchi hii. (Makofi/Kicheko) Mheshimiwa Mwenyekiti, hakuna mtu anayesimama kwenye Bunge hili, hata wewe uliyekuwa kiongozi wa UVCCM, sijawahi kusikia hata siku moja unamkumbuka Seth Benjamin, shahidi wa Azimio la Arusha. Mnatetea vitu vyepesi vyepesi tu, mnasimama humu ndani. Unasema lazima tukimbize mwenge kwa sababu upo kwenye ngao. Mheshimiwa Mwenyekiti, kwenye ile ngao kuna jembe na nyundo na pembe ya ndovu. Sasa tuvichengue vyote kuwe na route ya pembe, jembe na kuwe na route ya shoka nazo viwe na mbio zake kwa sababu tu zenyewe nazo zipo kwenye Ngao ya Taifa. (Kicheko/Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, alichokizungumza Mheshimiwa Lissu ni kitu cha msingi sana. Nembo za Taifa zinaeleweka na tunatakiwa tuziheshimu, tusipotoshe kama tulivyopotosha mambo mengine huko nyuma. (Makofi) Mhesimiwa Mwenyekiti, huu mwenge ndiyo maana hata sijauzungumzia kwenye hotuba yangu, hauna hata shughuli ya kufanya; wanavizia miradi. Mbeya Mjini mathalani toka uhuru kulikuwa hakujajengwa madaraja yanayounganisha Jiji la Mbeya na kata za pembezoni kuelekea Mbeya Vijijini, kunazunguka mto. Leo hii chini ya Meya wa CHADEMA, Mheshimiwa Mwashilindi katika kipindi kisichozidi miaka miwili, tumejenga zaidi ya madaraja kumi kuunganisha Jiji la Mbeya na pembezoni. Huko nyuma chini ya Meya wenu hamkujenga, sisi tumejenga halafu eti mnakuja kuleta mwenge kuzindua, ndiyo maana wananchi hawakwenda. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, sisi humu ndani pia tunawakilisha wananchi, hatuwezi kuja humu ndani kuzungumza kitu ambacho ni unpopular huko nje. Only people ambao wanaweza kufanya hivyo ni ninyi kwa sababu mnazozijua wenyewe. Mnajua kabisa hiki kitu hakitakiwi na wananchi, lakini mna-impose, mnalazimisha. That is you, sisi hatutafanya hivyo. (Makofi/Kicheko) Mheshimiwa Mwenyekiti, wasanii, ifike sehemu sasa sisi wasanii tuache kutumika. Unaangalia move kama ya hawa watu wa filamu ya hivi karibuni, wanaitwa na Bashite. Bashite kakataliwa na jamii zote, mpaka masela wa hip hop wamemkataa, washikaji zake ambao alikuwa nao anafanya naye gym huwaoni tena, wamemkimbia; ameenda kuchukua wanyonge wa bongo filamu, anawakumbatia, anatoa matamko ya ajabu baada ya kukataliwa na vyombo vya habari (media). Wasanii tunaachaje ku-support vyombo vya habari wakati ni wadau wetu? (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, vyombo vya habari ni wadau wetu. Bila wao sisi hatuwezi kufanya sanaa. Ukiona wapo katika movement fulani kudhibiti kitu fulani chenye manufaa kwa nchi, ni lazima sisi wasanii tuunge mkono wanahabari. Wanahabari wamemsusia Bashite, sisi tunaenda tu kukaa pale kwenye makochi ya Serikali kumsaidia kujisafisha na kumnasua. (Kicheko/Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, nasema wanasiasa tuache kutumia wasanii vibaya, tuache ku-abuse wasanii. Mpaka Wabunge, juzi anasimama humu Mheshimiwa Keissy, huwa na namwita mzee, lakini simwiti mzee, anasimama anasema Msanii Roma kamtukana Rais. Hamjui hata Roma, hajawahi kumwona. Kwanza yeye ni sala tano anavyotuambia, anajuaje mambo ya hip-hop? Hamjui Roma, hajawahi kumwona, anatoka anasema, Roma kamtukana Rais. Wapi? (Kicheko) Kwa hiyo, Mheshimiwa Mwakyembe ulienda kukaa na mtu aliyemtukana Rais wako pale kwenye press? Halafu watu mnapiga makofi, mnashangilia. (Kicheko/Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, nasema, mtu kama Mheshimiwa Keissy nampuuza. Kwanza Bunge lililopita miaka mitano yote alikuwa anatetea bangi humu ndani; nashangaa hajaulizwa. Miaka mitano yote alikuwa anatetea bangi. Alinifuata mimi, bwana tutetee hoja ya bangi; nikamwambia bwana, mimi hayo mambo siyajui, wala sijawahi kuyagusa. Utajijua mwenyewe huko. (Kicheko/ Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi namtaka Roma Mkatoliki, msanii wa muziki ambao nimeuasisi, atoke sasa aongee kwa uwazi, in details kilichomkuta ni nini? Public ikishajua, inaweza ikasaidia kujua ni nani waliomteka yeye na wenzake na walitumwa na nani, full stop. Vinginevyo tutaendelea kuwa na debate kama za Ben Saanane hapa. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, kuhusu ripoti ya Nape, naomba Mheshimiwa Waziri atakapokuja kujibu atuambie kabisa kiuweledi what made you deny ripoti ya Waziri aliyekutangulia Mheshimiwa Nape? Huyu mtu Bashite ameenda kuvamia kituo cha redio na tv mpaka studio na watu wana bunduki, machineries, polisi wamesema hawawajui wale watu. Mheshimiwa Mwenyekiti, ni nani wale watu walioenda kuvamia kituo cha Clouds fm? Kuna watu wananiambia, Sugu ulikuwa na bifu na Clouds miaka yote, sasa hivi unawatetea. Nilikuwa na bifu na Clouds kwa sababu ya haki. Haki ni haki, iwe dhidi yangu, iwe ni dhidi ya Clouds na mtu yeyote, nitatetea. Hata kama ninyi huko nikiona Waziri yeyote hatendewi haki, nitamtetea. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, huyu mtu ripoti imewekwa wazi kwamba amefanya makosa, kwa nini analindwa? Analindwa kwa maagizo ya nani Bashite? Maagizo ya nani yanafanya eti waseme hatuwezi kuchukua hatua kwa sababu Bashite hakusikilizwa? Hakusikilizwa wakati Tume imeenda imekaa ofisini kwake masaa matano, sita, saba, nane, akatokea mlango wa uani! Sasa yeye ni bingwa wa kuwaambia watu tukutane central police, tukutane mahakamani; yeye anaitwa kwenye vyombo halali vya sheria, chombo kilichoundwa na Waziri, anaingia mitini, he is a coward. Mheshimiwa Mwenyekiti, Bashite is a coward, ni jambazi, thug, ni criminal ni fraud. Bashite ni fraud kwa sababu ame-forge vyeti. Halafu Serikali inatoka inasema ooh, hatukuwagusa wanasiasa. Ma-RC na ma-DC siyo wawakilishi wa wananchi. Sisi hapa ndiyo tunaweza kuingia kwenye uongozi kwa kusoma na kuandika, lakini siyo RC wala DC. Wale wanatakiwa lazima wawe na level fulani ya elimu na hili suala linajulikana wazi. Mheshimiwa Mwenyekiti, zaidi, suala la Bashite siyo kwamba ana elimu gani? Suala ni ku-forge. He is a fraud! Amefanya forgery, anatakiwa kusimama mahakamani, ndipo sehemu anapotakiwa kusimama. Sasa kinachomfanya azuiwe asichukuliwe hatua hizo … MHE. JOSEPH O. MBILINYI: Mheshimiwa Mwenyekiti, nashukuru sasa Serikali kupitia Waziri wa TAMISEMI inaanza kutupa mwanga wa Bashite ni nani, kwa sababu inaleta mjadala sana katika Taifa hili. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, huyu mtu ni fraud. Tunaonea watu wadogo, watu wanalazwa, watu wanazimika, eti nchi hii wanasema dereva wa Mkuu wa Mkoa anatakiwa awe na cheti cha form four, lakini Mkuu wa Mkoa hata kama ameishia darasa la pili, akiweza kusoma na kuandika that is a big joke! Ilibidi mje na maelezo yanayonyooka. Tanzania hii nawaambia kila siku, watu wameamka, siyo kama Tanzania ile ya zamani unaamka tu unasema kwamba kiongozi fulani fikra zake zimeota; ameota au amefanya nini ndiyo maono sahihi kwa asilimia mia moja. Hata wakati huo, kulikuwa na mijadala. Mheshimiwa Mwenyekiti, Bunge la wakati ule mimi nikiwa mdogo, tulikuwa hatuoni kwenye tv, tunasikiliza kwenye redio, kuna watu walikuwa wanaitwa akina Tuntemeke Sanga na Mohamed Nandonde, huwaoni kwa sura lakini lazima usikilize Bunge ukisia kwamba anadai barabara ya Mtwara wakati ule. Halafu sasa hivi mnakuja mnasema tu tumefanya hivi, tumefanya hivi, mnasahau watu waliofanya kazi, mnamsahau Rashid Kawawa na Mwalimu Nyerere. Hata mtoto wa Kawawa juzi mmemnyima Ubunge hapa wa Afrika Mashariki, halafu mnajidai mnaenzi watu. Mtoto wa Nyerere pia mmemnyima Ubunge wa East Africa hapa, halafu mnasema mnaenzi. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, hii cybercrime naona imeanzishwa kwa ajili ya UKAWA tu. Wakati vijana wa UKAWA kutoka akina Mdude Nyagali kutoka Mbozi mpaka hao tunaozuiwa tusiwataje, akina Ben Saanane wanapata matatizo, wanakamatwa na kunyanyaswa kwa kutoa maoni yao kwenye mitandao, vijana wa CCM wanatukana Viongozi wa Upinzani mpaka matusi ya nguoni lakini hakuna mtu ambaye anawakamata wala kuwachukulia hatua. Mheshimiwa Mwenyekiti, vitu hivi mnaweza mkaona ni vitu vyepesi sana, lakini niwambieni mna… (Makofi) MHE. JOSEPH O. MBILINYI: Mheshimiwa Mwenyekiti, nakushukuru sana kwa kutuhakikishia juzi wakati unafungua tunaanza Bunge ulituhakikishia kuwa tusiwe na wasiwasi safari hii tuko salama tukiwa Dodoma. Sasa naiomba na excutive nao watuhakikishie usalama tunapokuwa kwenye maeneo mengine mbalimbali ya nchi kwa sababu ni uwazi dunia yote sasa inajua Wabunge wa Upinzani na watu wengine wenye mawazo mbadala hawako salama. Sasa hatuwezi kujadili mipango katika mazingira ambayo sio salama, so please don’t shoot me, natoa ushauri, mawazo maoni yangu kwa Serikali, tubishane hoja na sio bullets, mfano tunazungumzia mipango ya kubana matumizi, lakini ukiangalia Baraza la Mawaziri limeongezeka, Mawaziri wameongezeka Makatibu Wakuu wameongezeka. Viongozi wa kawaida wana ulinzi wa kupita kiasi, Naibu Spika ana walinzi wawili, wasaidizi ambao akisafiri nao nje wote wanalipiwa business class zile ni fedha ambazo zinakatwa tiketi. (Makofi) Mheshimiwa Menyekiti, nakumbuka Mheshimiwa Spika wakati ule ukiwa Naibu Spika nilikuwa nakuona unatembea na Katibu tu na gari moja. Lakini leo hii unakuta Naibu Spika ana motorcade ya magari kibao, Bashite ana motorcade, ana walinzi kuliko hata Waziri Mkuu. Sasa unajiuliza gharama zote hizi zinazotumuka kwa Bashite ulinzi motorcade kuliko Waziri Mkuu, ni majukumu gani aliyopewa ambayo yanalazimika apewe ulinzi wa gharama kiasi hicho? T A A R I F A .... MHE.JOSEPH O. MBILINYI: Hiyo sio taarifa hilo ni swali na hiki siyo kipindi cha maswali, kipindi cha maswali kimeshakwisha. (Makofi/Kicheko) Mheshimiwa Mwenyekiti, tunazungumzia mipango, lakini mipango bila utaratibu haiwezi kuwa mipango. Sasa watu wanawaka sana tukizungumza kuhusiana airport ya Chato, hamna mwenye tatizo na airport ya Chato, lakini tatizo ni namna ilivyokuja na bajeti yake na utaratibu wake ndiyo tatizo lililopo. Sasa ukiangalia kama project kama hizi inanikumbusha enzi ya Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu Wa Za Banga wa Zaire alikwenda kijijini kwake Gbadolite akajenga Ikulu ya ya vyumba zaidi ya 100. Akaja na project ya airport ya kimataifa, lakini leo vyote vile kwa sababu vilikuja/vilizuka bila mipango ya nchi vinakaliwa na popo na panya. Kwa sababu ndege gani itaenda kutua Chato Mheshimiwa Rais atakapomaliza muda wake, mnakosa muda wa kwenda Butiama kwa Baba wa Taifa mtaenda Chato? (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, tunachozungumza hapa its not personal ni principals, mipango. Tunajisifu kupanda kwa bei ya korosho zao moja tu ambalo mazingira yake wote tunajua ni kama mazingira yaliyopandisha kahawa enzi za Mrema, Mrema akawa anatafuta credit miaka yake yote kwa kupanda bei ya kahawa, kumbe tatizo lilikuwa kwamba kulitokea ugonjwa wa kahawa huko Brazil kahawa ikawa inahitajika. Kwa sababu kama korosho imepanda bei kwa mipango vipi mipango ya kupandisha bei ya kunde, choroko, mbaazi, tunasikia sasa hivi mbaazi bei imekuwa mpaka shilingi 100. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, kama suala ni mipango na mikakati ya kutafuta masoko ya mazao basi tutumie maarifa tuliyopandisha bei ya korosho kufika shilingi 4,000 na mbaazi nayo ifike hata shilingi 1,500 au 2,000 ili kuondoa kilio hiki cha wakulima wa mbaazi, tumbaku, choroko na kadhalika. Mheshimiwa Mwenyekiti, tunakwenda sasa hivi tuna zunguka kuzindua barabara, lakini barabara zote ni za Mzee Kikwete, flyovers za Mzee Kikwete, Daraja la Kigamboni Mzee Kikwete Awamu ya Tano barabara pekee tunayoijua ya approve ni ile kutoka Mwenge mpaka Morocco ambayo wali-divert fedha za sherehe ya uhuru ikaenda kujenga kile kipande cha barabara, lakini barabara zote tunazozindua sasa hivi ni za Mzee Kikwete mwana dipromasia aliyetukuka Mungu ampe maisha marefu sana. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba niwasihi Mawaziri hasa hawa wapya achene kushindana kwa matamko, mshaurini Rais maana yake kila siku matamko mara tunataka viwanda 100 kila Mkoa halafu ilo jukumu unampa Mkuu wa Mkoa ambaye hata allowances zile anazostahili kupelekewa azipelekwi hazitoshi kabisa. OC hamna, Halmashauri hamna fedha, leo unamwambia anajukumu la kusimamia ujenzi wa viwanda 100 huu sio upangaji wa mipango, huku ni kudanganyana. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, niwaombe sana Mawaziri wapya hasa vijana be humble, cool down, show your talent, will recognize and appriciate you, acheni misifa. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, kuna hili suala la makinikia naona hamna anayelizungumza hili ni suala nyeti ambalo kama Taifa tulikuwa tunalifuatilia sana, lakini kuna dillema nyingi sana katika taarifa. Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza tuliambiwa tuna tarajia kupata trilioni 400 plus kutoka kwa hawa mabwana waliokuwa wanatuibia kwamba kila Mtanzania angeweza kupata Noah moja na mafuta tungejua sisi wenyewe namna ya kupata, lakini kila mtanzania angeweza kupata noa moja. Lakini baadaye baada ya muda tunaambiwa kwamba wezi wamekubali kulipa bilioni 700 tu kutoka trilioni 400 plus na baadaye tunaanza kusikia tena jamaa wamegoma kwamba hawawezi hiyo kutoa. (Kicheko) Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo hamna taarifa we turned to be the wealth laughing stock, dunia nzima inatucheka International media zina tuandika vibaya, zinamwandika vibaya Rais wetu kutokana na vitu kama hivi. Huyu mtu kama msemaji wa Serikali badala ya kukaa kusemea mambo kama haya yeye amekalia tu kufungia magazeti kwa vifungu ambavyo ni wrong. Mtu anakuja anafunga gazeti kwa kutumia kifungu namba 54(1) cha sheria mpya ya habari ya mwaka 2016 wakati ile sheria straight and direct inasema adhabu ni kifungo au faini kwa mtu a person, sio gazeti lakini Msemaji Mkuu wa Serikali anatoka anafungia gazeti. Mheshimiwa Mwenyekiti, anafungia magazeti kwa kifungu ambacho ni wrong anafikiri watu ni wajinga, watu wanatafuta sheria hata kwenye mitandao wanaenda wanasoma kile kifungu ndiyo maana wanaharibu sifa ya Mtukufu Rais wa Awamu ya Tano mpaka watu wanamuita dikteta kwa sababu ya watu kama huyu Msemaji wa Serikali kwa sababu udiktekta ni ku-dictate, ni kulazimisha, unalazimisha sheria ambayo aihusiani kuchukua hatua ambayo haihusiani which is very wrong. Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa ni jukumu la hili Bunge sasa kuwaambia hawa Mawaziri mnapokaa kwenye Baraza la Mawaziri muangalie Rais usoni na mumshauri, yule ni binadamu kama nilivyosema alikuwa anakaa kiti cha pale mi nilikuwa nakaa kiti cha pale havipiti hata viti sita/saba kutoka nilipokuwa nakaa. Tulikuwa tunaandikiana nae vinoti humu tukiwa na ishu mbalimbali, ninyi mnashindwaje kumshauri kwamba this is wrong, this right. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa sababu inafika mahali sasa Watanzania hawaamini tena kauli za Serikali inakuwa flip-flop, Rais anasema hivi, Waziri anakuja nasema vile matokeo yake mnabaki kuwa defensive wakati mlikuwa kwenye position ya ku-offensive, tulivyoanza anza apa sisi Bunge hili kama Kambi ya Upinzani. Mheshimiwa Mwenyekiti, amekuja hapa Waziri wa Elimu, majukwaani mnasema Rais anaenda vizuri sasa hivi hakuna tena migomo wala maandamano ya wanafunzi, juzi tumeona mgomo, leo Waziri wa Elimu anakuja hapa anapiga longolongo, karatasi nyingi unamaliza miti tu, kutengeneza karatasi unaleta jangwa unamaliza miti, maelezo mengi. (Kicheko) Mheshimiwa Mwenyekiti, suala ni kwamba watoto wanaangaika mikopo juzi wameandamana na ninyi mlikuwa mnasema kwamba maandamano hakuna, mnatengaje fedha za wanafunzi 30,000 wakati projection ni wanafunzi 61,000 wanafunzi 31,000 wote waende wape waende mitaaani wakatukabe hii haiwezekani, kwa hiyo, lazima tuwe realistic kwenye mipango yetu. (Kicheko) Mheshimiwa Spika, tulivyofika hapa tulivyoanza hili Bunge mambo tukasema mpaka wapinzani ni ukweli tulikuwa tunasema dah, bwana sasa huyu jamaa aliyekuja tutakuwa na hoja gani mnaleka hoja wenyewe Rais hayumo humu ninyi ndo mnatakiwa mje na vitu ambavyo vita-reflect uongozi wa Awamu Tano sisi tukose hoja lakini mnaleta hoja wenyewe tukisema mnashindwa kujibu hoja, mnatusubiri tutoke nje ya geti wakati mnaingia kwenye nyumba zetu mtupige pyuu pyuu, that is wrong, that is very wrong. (Kicheko) Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya kusema hayo ulisema tusiulize tena… MWENYEKITI: Mheshimiwa Mbilinyi huo nao ni Mpango pia? (KIcheko) MHE. JOSEPH O. MBILINYI: ...za kata halafu ukiuliza unawauliza wahusika unawaambia kwamba aah, mmeanza mambo gani tena ya ku-shoot, wanakuambia aah, usijali we haumo, nani yumo? Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante sana. Nakushuru sana. MHE. JOSEPH O. MBILINYI: Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante. Kwanza naomba niwashukuru sana Wanambeya wenzangu kwa kusimama na mimi nilipofungwa kisiasa kwenye Gereza Kuu la Luanda, Mbeya, pia nawapa pole kwa wao kufungwa kisaikolojia. Nawashukuru pia Watanzania wote ndani na nje ya Tanzania kwa kulaani kufungwa kwangu kiholela. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, niwashukuru sana Wabunge wote hasa wa Upinzani, kwa support kubwa waliyotoa, lakini pia hata upande wa CCM, japo kuwa mliogopa kuja kuniangalia lakini salamu zenu nilizipata; na source ya hofu yenu wote tunaelewa, lakini nimshukuru mzee, Profesa Mark Mwandosya, aliwawakilisha upande wa CCM kwa kuja kunitembelea jela. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, naomba nami niwapongeze Mheshimiwa Stephen Masele na Mheshimiwa Mboni Mhita kwa nafasi walizochaguliwa kwenye Bunge la Afrika. Bunge letu limejiunga kwenye Vyama vya Kibunge vya kimataifa kama CPA, PAP, ACPEU, IPU na kadhalika, lakini wote tunafahamu ni kwamba hatushiriki vyema na tatizo sijajua ni nini. Hata hivyo, kama hatujui umuhimu mbona tunafurahia matunda ya ushindi wa Mheshimiwa Masele na Mheshimiwa Mboni Mhita wakati wote tunajua hata kwenda huko walijigharamia wenyewe? (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, niende kwenye hoja, na nitaanza na masuala ya sera za mambo ya nje (foreign policy). Mheshimiwa Waziri wakati anaanza kuchangia alisisitiza sana kwamba mwelekeo wetu wa foreign policy hatutakubali kuingiliwa wala kuchaguliwa marafiki. Naomba nimhakikishie na kumkumbusha Mheshimiwa Waziri, najua ana weledi katika nyanja za kimataifa, kwamba sisi kama Tanzania hatujawahi kuburuzwa wala kuchaguliwa marafiki tangu enzi ya Mwalimu Nyerere na ndiyo maana tulikuwa member wa nchi zisizofungamana na upande wowote. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, katika ile Non-Aligned Organization (movement) sisi tulikuwa ni member muhimu sana na tulitambulika kimataifa. Tanzania ilikuwa inaheshimika kimataifa kwa mambo kadhaa. Kwanza na muhimu tulikuwa na sera ya kutetea wanaokandamizwa duniani; mfano South Africa, Mozambique, tuliwasaidia sana mpaka kufikia kujiondoa katika makucha ya apartheid na wale Mozambique kupata uhuru wao kutoka kwa Wareno. Mheshimiwa Naibu Spika, sera hizo hizo tulizokuwa nazo dhidi ya South Afrika na Mozambique ndizo tulisimamia Sera yetu ya Mambo ya Nje kwa Palestina na Sahara ya Magharibi. Mwalimu Nyerere alifuta uhusiano wa kibalozi na Israel kwa ku-support struggle ya Wapalestina kudai uhuru. Sasa tujiulize leo hii tunaenda kufungua Ubalozi Israel, je, ile course ya Mwalimu ku-support uhuru wa Palestina imefikia wapi? Mheshimiwa Naibu Spika, nasema hivi kwa sababu ukiangalia ni kwamba hali imezidi kuwa mbaya Wapalestina ndani ya Gaza na maeneo mengine yanayokaliwa kimabavu wanazidi kuuawa kila siku kadri Israel inavyoongeza uwezo wake wa kijeshi. Mheshimiwa Naibu Spika, halikadhalika Mwalimu Nyerere na sisi kama Taifa tulifuta uhusiano na Morocco kwa ku-support kudai haki kwa Sahara ya Magharibi chini ya POLISARIO. Sasa leo tumeacha sera zetu dhidi ya Morocco kwa ahadi ya kujengewa uwanja wa mpira stadium, tunajivunjia heshima kwa ahadi ya kujengewa uwanja wa mpira ambao Mheshimiwa Mkapa amejenga pale Dar es Salam uwanja wa mpira kwa support ya Wachina bila kuuza nchi wala bila kukiuka misimamo yetu. Mheshimiwa Naibu Spika, nina uhakika Mheshimiwa Waziri na Bunge hili Mwalimu Nyerere Baba wa Taifa huko alikolala kaburini Mwitongo anageuka geuka kwa jinsi Taifa hili linavyokwenda sasa hivi katika sera ya mambo ya nchi za nje. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, diaspora; naomba sana Mheshimiwa Waziri tuache siasa kwenye maisha ya Watanzania wenzetu. Ni lini Serikali itatambua Watanzania wanaoishi nje ya nchi (diaspora)? tuache kutoa ahadi kila tena nasikia mwakilishi yuko hapa, I hope amekuja ile straight hakuja kisiasa kwa sababu wenzake anaowawakilisha wanalia sana kule, sisi tumekaa kule, tuna mawasiliano kule, tunajua kilio chao, hata hapa kwenye simu nina mawasiliano ya kutoka diaspora baada ya wao kujua kwamba leo kinaenda kuzungumzwa nini, wametoa nao changamoto zao wanataka tuzizungumze humu. Mheshimiwa Naibu Spika, wanachotaka watu wa diaspora ni kuruhusiwa uraia pacha, kama ambavyo uraia pacha uko katika nchi nyingine. Wapewe uraia pacha ili waweze kushiriki kujenga uchumi na si tu makongamano mara kuwaalika Zanzibar, mara kuwaalika wapi. Wakati umefika turuhusu sasa uraia pacha ili watu hawa waweze kushiriki katika uchumi wa nchi. Hawa watu wa diaspora sasa wanaanzisha kitu kinachoitwa Tanzania Global Diaspora Council (TGDC). Sasa tusije sisi na mawazo yetu tunataka kuwasaidia vipi sijui kuwashirikisha vipi, wale wana exposure wamefunguka, wanajua wanachokitaka. Mheshimiwa Naibu Spika, sasa itakiwa tutambue na Serikali iniambie imejipangaje kufanya kazi hiki chombo cha diaspora cha Tanzania Global Diaspora Council ambacho kinaenda kuanzishwa na hawa Watanzania wenzetu katika kusaidia kuji-integrate kwenye masuala ya nchi yao ambayo wanaipenda. Kwa sababu, otherwise mtu kama ameshapata uraia wa wapi anaweza akaamua kuendelea na maisha na kusaidia kuleta maendeleo kwenye yale maeneo wakati tungewapa fursa wangeweza kafanya hivyo katika nchi yetu. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, hatuna ajenda ya pamoja kwa diaspora. Mheshimiwa Mzee Kikwete alipokuwa anaenda nje aliwashawishi experts wa Tanzania huko nje warudi kujenga nchi yao; lakini utawala huu uliofuata ukawageuka na kuanza kuwanyanyasa mfano ni yule mama Julieth Kairuki wa TIC. Mheshimiwa Dkt. Kikwete alikwenda kumshawishi South Afrika ameacha kazi yake nzuri, ameacha kila kitu kilicho kizuri kinachoendana na weledi wake amekuja nyumbani kusaidia kujenga nchi, lakini leo unamwambia kwamba hatuwezi kukulipa huo mshahara mkubwa. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, hivi alikuja kwa makubaliano gani kutoka South Afrika anakuja hapa tunakuja tunawageuka? Wengine waliambiwa warudi kujenga nyumbani na kuwekeza wakaanza kurudi kwa wingi wakajenga majumba, wakafungua biashara. Leo hii Waziri wa Ardhi hawa si raia halali, kwa hiyo mali zao zitataifishwa tunawatia woga Watanzania wezetu hawa wakati walikuwa wangeweza kushiriki vizuri sana katika masuala yetu ya uchumi na kujenga nchi. MHE. JOSEPH. O MBILINYI: Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo ilifaa kabisa kubakisha ubalozi wetu pale Cairo, Egypt, kwa sababu ule ubalozi ulikuwa neutral na ulikuwa unaweza ku-harmonize pande zote yaani Palestina na Israel mpaka mambo yao yatakapokaa sawa. Mheshimiwa Naibu Spika, Mheshimiwa Rais ni top diplomat wa nchi, suala la kusafiri bado ni muhimu, labda kama ana tatizo la kiafya. Tena anapokwenda nje anaweza kutumia lugha ya Kiswahili kwa sababu Rais wa Xi Jinping wa China kila anakokwenda anaongea Kichina japokuwa ni msomi aliyesomea Marekani. Yeye amesomea chuo kikuu na elimu zake za juu Marekani anazungumza Kiingereza vizuri, lakini kila anapokwenda anazungumza lugha ya Kichina; kwa hiyo tena tutakuwa tunaitangaza na lugha yetu ya Kiswahili. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, na kama tatizo ni gharama mbona anatuma delegations? Mara Makamu wa Rais, mara Waziri Mkuu nao wanatumia gharama kwa sababu hawaendi kule kwa miguu. Mheshimiwa Naibu Spika, sasa hatuendi UN, hatuendi Davos, hatuendi Common Wealth. Common Wealth ni Mkutano wa Wakuu wa Nchi (Head of States), lakini sisi tunatuma wawakilishi wakati kule kuna fursa za kiuchumi na biashara. Rais Uhuru Kenyatta ametumia vizuri sana fursa za kiuchumi na kibiashara kwa nchi alipokwenda Common Wealth, hali kadhalika Rais Ramaphosa wa South Afrika pia alitumia huo kukutana na investors wa kutosha aka-archive miradi ya takribani Rand trilioni 1.2 kwa ajili ya nchi yake; ndizo faida ya majukwaa haya. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo Rais kusafiri haiepukiki, ni muhimu na kama alivyonukuliwa mzee Kikwete Rais aliyepita kwamba kusafiri kulimsaidia sana, mkaa bure si sawasawa na mtembea bure; hii alisema wazi. Kwa hiyo kusafiri ni muhimu sana, kwa sababu Mabalozi tunaowachagua huko hawatusaidii kwa sababu tunachagua Mabalozi wetu kisiasa bila kuangalia weledi. Aidha, tunawapa ubalozi watu kama zawadi au kuwa- control. Mheshimiwa Naibu Spika, Dkt. Slaa tumempa zawadi kwa kazi aliyoifanya 2015 katika uchaguzi, tumempa ubalozi, lakini Dkt. Emmanuel Nchimbi tumempa ubalozi Brazil kum- control ili awe mbali kudhibiti ushawishi wake ndani ya Chama cha Mapinduzi. Haya ni mambo ambayo yako wazi na yanaeleweka kabisa. Sasa hawa ni shida sana kusimamia diplomasia ya uchumi, watakuwa wanaleta siasa pekeyake na iko hivi… Mheshimiwa Naibu Spika, nilisimamishwa kidogo. Diplomasia ya uchumi bila stability ni shida. Tunawatisha wawekezaji, tunapiga risasi Wabunge, tunafunga ovyo Wabunge. Wawekezaji wa nje walifuatilia haya mambo. Wakifuatilia haya mambo inakuwa wanasita sasa kuja kuwekeza kwa sababu hakuna mwekezaji anayetaka kuweka kwenye nchi ambayo haiko stable, haina amani na usalama. MHE. JOSEPH O. MBILINYI: Mheshimiwa Mwenyekiti, tano, okay, ahsante. Mheshimiwa Mwenyekiti, cha kwanza kabisa na kwa umuhimu, nimetumwa na wafanyabiashara wa Mbeya kuja kuiambia Serikali kwamba wanaiomba Serikali kwa level ya Mheshimiwa Waziri waende Mbeya mkae nao kikao kwa ajili ya kujadili masuala ya ulipaji kodi. Kwa sababu kumekuwa na vikwazo vingi sana kiasi kwamba Mbeya tunashindwa kuzalisha wafanyabiashara mabilionea wa kutosha kama ilivyokuwa kwenye majiji mengine ikiwemo Dar es Salaam, Arusha na Mwanza kutokana na sintofahamu zinazotokana na TRA. Mheshimiwa Mwenyekiti, mathalani unakuta mtu ana-declear labda mapato mwaka huu shilingi milioni kumi, mwakani ana declear milioni kumi again, mwaka unaofuata watatu aki declear milioni 30 wana back date wanamlazimisha kwamba wewe ulidanganya itakuwa hata kwa miaka mitatu, minne yote ulikuwa unaingiza milioni 30. Kwa hiyo, wana impose kinguvu kodi tofauti na mapato ambayo yule mfanyabiashara ame-declear. Hili ni tatizo kubwa sana. Mheshimiwa Mwenyekiti, pia Mheshimiwa Waziri Dkt. Mpango mfanyabiashara wa Mbeya akijenga nyumba nzuri inakuwa na madhara kwa sababu wanaenda ku double kodi kwenye biashara yake kwamba ulipata wapi hizi hela za kujengea hii nyumba. Ndio maana Mbeya tumechelewa kuwa mansion na mpaka leo hatuana mansion yako machache machache ndio kwanza yanaanza ukifananisha na majiji mengine na hii haiwezekani kabisa. Mheshimiwa Mwenyekiti, hali hii inasababisha wafanyabiashara wakifikia lengo level fulani ya mtaji inabidi wahame Mbeya waende kwenye miji mingine ili waweze kupata ustawi wa kibishara, lakini wakikaa Mbeya inakuwa migogoro na watu wa TRA. Kwa hiyo, naomba Mheshimiwa Waziri kwa level ya Waziri wafanyabiashara wa jiji la Mbeya wamenituma kwamba wanataka wanahitaji uende mkakae ili mjadiliane na haya mambo kwa sababu yamekuwa hivi maiaka nenda miaka rudi. Mheshimiwa Mwenyekiti, kuhusu bajeti, naunga mkono maoni ya upinzani, kodi ikiwa kero inachotakiwa ni kuiondoa sio kuibadilisha kiujanja ujanja kama mlivyofanya kwenye masuala ya road licence kupeleka kwenye mafuta kiasi kwamba unawapa mzigo wananchi ambao wengine hawana magari kabisa. Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo ni sahihi kwa mujibu wa Kambi ya Upinzani fedha hii ipelekwe katika maeneo hii shilingi 40 kama inalazimika kuongeza shilingi 40 kwa kila lita basi twende tuipeleke kwenye maji. Tukimaliza maji twendwe kwenye miundombinu ya elimu; yaani tunafanya vitu kwa miaka kwa series, miaka mitano maji, miaka mitano tunakuja kwenye miundombinu ya elimu ikiwepo nyumba za walimu na hata vyoo. Mheshimiwa Mwenyekiti, hapa katika Bunge hili na Taifa hili viongozi wakubwa wa Serikali wanazungumzia masuala ya kununua nini hizi boeing mpya jetliner sijui ziende wapi, lakini wanafunzi wetu wa shule za msingi hawana vyoo, wanakunya nje. Kwa hiyo hivi vitu vidogo vidogo ndio tunatakiwa tuviangalie kwanza kabla hatujaangalia mambo mengine. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, kuhusu madini na mimi nasema mikataba iletwe si ya madini tu, madini, gesi mikataba ya kununua ndege bombardier, nyumba za Serikali zilizouzwa mikataba yote iletwe ndani ya Bunge hili ili tuipitie upya. Tukisema mnasema tunampinga Rais hatumpingi tuko tayari kumsaidia na kumshauri lakini kwa sharti moja kama mimi binfsi Mjumbe wa Kamati Kuu sitaki uteuzi. Sitaki u-DC, sitaki sijui Ukuu wa Mkoa, sitaki Uwaziri ninachotaka afanye Mheshimiwa Rais ni kufungua mijadala atuache atusikilize mawazo yetu na ayafanyie, kazi hicho ndio kitu kibwa tunachokifanya, yaani sisi tunaweza tukamsaidia vizuri Mheshimiwa Rais tukiwa huku kuliko kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kirimanjaro au kuwa Katibu Mkuu wa Wizara fulani. Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo tunamuomba sana Mheshimiwa Rais achie mijadala tujadili vyanzo vya matatizo kwa kina, asitubane, hata kama matatizo hayo yatakuwa yamesababishwa na watu ambao sasa hivi ni Marais wastaafu wacha tujadili, ambaye yuko clean atabaki kuwa clean ambaye ana mawaa basi Sheria itachukua mkondo wake ili tutengeneze presidence kama inavyotakiwa. Mheshimiwa Mwenyekiti, na mwisho katika hizi dakika tano ni chache nikupongeze Dkt. Mpango, Mwakajoka amekuchana kiutendaji kazi, lakini mimi kwa tabia una-smile kidogo sasa hivi. (Makofi/Kicheko) MHE. JOSEPH O. MBILINYI: Mheshimiwa Spika, ahsante sana nakushukuru kwa nafasi. Mheshimiwa Spika, wakati unaingia uliona kulikuwa na makelele kidogo ilitokana na Mheshimiwa Ali King kututukana na kutuita Mbwa. Sasa kiti kitaangalia namna ya kumrekebisha lakini kama rafiki yangu namsamehe kwa sababu ni rafiki yangu tunakunywa naye pombe na tunakula nae kitimoto Sheikh Ali King. (Makofi/Kicheko) Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, ni mtu wangu wa karibu nakula naye sana kitimoto. MHE. JOSEPH O. MBILINYI: Mheshimiwa Spika, nashukuru hajakanusha kwamba tunakula naye kitimoto ile yeye hapendi ya mafuta. (Kicheko) Mheshimiwa Spika, naomba sasa nijiekeleze kwenye kuchangia kwa mara nyingine niwashukuru sana wana Mbeya kwa namna walivyosimama na mimi nilipofungwa gerezani. Nawashukuru sana wana Mbeya na sitaacha kuwashukuru kwa sababu katika changamoto ile waliweza kunipa projection ya mbele tunaendaje na wanaendelea vipi na Mbunge wao. Wakati niko gerezani nilisoma na nilipata taarifa kwamba uliagiza Wabunge wa upinzani tupewa Ilani za CCM ili tuzisome. Sasa sina uhakika kama agizo lako lilitekelezwa, lakini naomba nikuhakikishie sio tu tuna Ilani ya Chama chenu lakini pia tuna list ya ahadi zenu za mwaka 2015. (Makofi) Mheshimiwa Spika, kwa sababu hatuwezi kukaa na kuongea mapungufu yenu wakati hatuwafuatilii kwa hiyo tunawafuatilia. Mfano wa list ya ahadi zenu ni laptop kwa kila mwalimu ni hewa, lakini kuna hili suala la shilingi milioni 50 kila kijiji na kila mtaa ni hewa, mmeng’ang’ana na suala la elimu bure lakini wote tunajua elimu bure ni disaster, ni kitu kizuri ambacho hakijapangwa. Kuna watu wanasema kwamba mlirukia ajenda ya CHADEMA kwenye suala la elimu bure kwa namna mnavyotekeleza inaonekana kama ni kweli hili suala mlilirukia tu. Kwa hiyo, tunachoomba kwa msisitizo kwa leo kwa Wizara hii ya Fedha Waziri Mpango atakaposimama au Naibu wake atuambie ni lini utekelezaji wa shilingi milioni 50 kila kijiji na kila mtaa zitaanza kupelekwa kule kwenye mitaa kwa sababu kuna mitaa 181 Jiji la Mbeya ambalo wanasubiri hizi shilingi milioni 50 kila mtaa tuna kazi ya kuzifanyia. (Makofi) Mheshimiwa Spika, kwa sababu hii ni nchi yetu wote tunapozungumza tuwe serious katika masuala kuna masuala tunaongea kiutani utani tu mfano ni ujenzi wa hosteli za Chuo Kikuu cha Da es Salaam maarufu kama Hosteli za Magufuli, Mheshimiwa Rais. Tunaambiwa mnasema na mnang’ang’ania kwamba ujenzi wa zile hosteli ni shilingi bilioni 10 tu majengo 10 ina maana kila jengo moja lenye ghorofa nne ni shilingi milioni 500. Kama ingekuwa kweli hivyo hata mimi ningejitolea kujenga majengo mawili pale. Lakini niko kwenye Kamati ya Maendeleo na Huduma ya Jamii ambayo masuala ya elimu yako chini yetu tumeshakwenda pale kutembelea ule ujenzi ukweli ni kwamba pale zimetumika shilingi bilioni 54 plus na sio shilingi biloni 10 zilizotumika. Lakini nashangaa sijaona ripoti ya CAG katika suala hili, sijui ni nini au ni nani au ni maagizo kutoka juu ndio yamezuia hili suala watu wanang’ang’ana shilingi bilioni 10 wakati kitu ni uwazi kabisa hesabu zinasema shilingi bilioni 54 plus ndio zimetumika kujenga ule ujenzi. (Makofi) Mheshimiwa Spika, sasa najiuliza hivi tunamdanganya nani hii nchi yetu sote tunamdanganya nani? Kama ni fedha, hizo fedha ni zetu sisi kama Taifa sio mali ya mtu binafsi. Sasa kwa nini tunapeleka mambo namna hii niliwahi kusema katika Bunge hili numbers don’t lie, women lie, men lie but numbers don’t lie na bahati mbaya tunapozungumza masuala ya fedha ni namba sio maneno maneno, fedha ni namba; shilingi bilioni 10 na shilingi bilioni 54 ni namba mbili tofauti. Tunakwenda masuala ya fedha hizi fedha ni zetu wote sio fedha za mtu binafsi. Tunahoji kuhusu shilingi trilioni 1.5 ambazo matumizi yake hayajulikani hatujasema kwamba mmeiba tunasema tunata kujua zimeenda wapi? (Makofi/Kicheko) Mheshimiwa Spika, hakuna sehemu sisi tumesema kwamba mmeiba hizi hela sasa nyinyi mnasimama mnasema fulani! Simama eti! Kweli hela zimeibiwa? Hazijaibiwa Mheshimiwa! Hakuna mtu aliyesema kwamba hizi fedha zimeibiwa ila tunahoji kwamba hizi fedha shilingi trilioni 1.5 ziko wapi please explain shilingi trilioni 1.5 zimekwenda wapi hiki ndio kitu ambacho tunahitaji sisi kwa sababu hii nchi ni yetu sote na nchi sio sebule ya familia kwamba tu tunapelekana tu. Hii nchi mambo madogo yanatushinda, hili ni Taifa ambalo linashindwa kushonea uniform hata askari wake magereza pamoja na wafungwa, hili ni Taifa ambalo linashindwa kulisha na kutibu wafungwa wake, watu wanakufa kiholela na ukitaka kupima umaskini wa Taifa chunguza magereza zake, ukiingia katika magereza zetu utakuta taswira halisi ya umaskini wa Tanzania kupitia maisha yanayoendelea mle ndani. Watu hawana chakula, watu hawana madawa, mtu kafungwa unamwambia alete bima ya afya wakati haruhusiwi hata kutembea na shilingi 1,000 mle ndani, bima ya afya ataitoa wapi? Tunashindwa na mambo madogo sana . (Makofi/Kicheko) Mheshimiwa Spika, nchi hii leo tumefika mahali eti kubeba ndoo ya samaki kutoka Mwanza kuja Dar es Salaam na maeneo mengine lazima uwe na kibali kweli mboga! Kitoweo! Na hii halafu mnasema mnakuza ajira. Kwa sababu unavyozuia ile biashara ya wale kina mama wengi wao wakiwa wajane pale Mwanza wanauza ndoo za samaki. Mheshimiwa Jenista wakati ule ukiwa Mwenyekiti wangu kwenye Kamati, tulikuwa tunakumbushana sana kubeba samaki tukitoka ziara Mwanza na Mara kubeba samaki kwenye ndoo. Lakini hii Serikali yako ambayo wewe ni Chief Whip inakataza inasema kwamba marufuku kubeba samaki hata watatu/wanne/watano ni lazima uwe na kibali kubeba Samaki wa Mboga kutoka Mwanza. Kweli Mheshimiwa tumefika hapo? (Makofi/Kicheko) Mheshimiwa Spika, kulipa kodi ni wajibu, nashauri TRA iwe rafiki wa walipa kodi, iache kufanya utafikiri yenyewe ni polisi. TRA inafanya kazi kama polisi na sometimes inatumika kisiasa. Angalia walichomfanyia Kakobe. Kakobe katoa mawazo yake kama raia, Mtanzania na kiongozi wa waumini. Mara wamemwita, mara wanahoji kodi, mara sijui wanahoji nini, matokeo yake wamekosa kile walichokuwa wanakitafuta kwa Askofu Kakobe, wanakuja wanasema ooh, hana tatizo lolote na yeye hana hela ila Kanisa lake lina shilingi bilioni nane. Who asked you? Nani amekuuliza Kanisa la Full Gospel lina kiasi gani benki? Wanaingilia na kutoa ripoti za fedha za taasisi za watu bila kuulizwa na bila utaratibu. Kwa sababu kanisa sio Kakobe, kwa nini kama ulitaka kumchunguza Kakobe na umekuta hana kitu, unaanza kutoa taarifa za Taasisi ya watu? Mheshimiwa Spika, sasa hayo mambo ya TRA yako mengi sana na tumeelezwa mengi sana. Mbeya Songwe… MHE. JOSEPH O. MBILINYI: Naomba dakika moja tu, wanakata sana dakika hao. Hii ni namba yangu ya mfungwa jela, ambayo nitaendelea kuivaa kadri nitakavyojisikia. Kuhusu suti wewe unanijua, ni kawaida yangu kupiga suti kali. Mheshimiwa Spika, mambo haya ya kuingiza siasa kwenye uchumi, TRA wanasababisha Mbeya na Songwe tumechoka. Sasa hivi tunapoongea, wafanyabiashara wa Tunduma wanahama, wanaenda kufanya biashara upande wa Zambia. Wanafanya biashara Zambia wanakuja kulala Tanzania. Hapa ndiyo tulipofikia na sisi yetu ni macho, lakini hii ngoma ishakwama inaonekana wazi kabisa.
2018-10-21T23:00:35
http://parliament.go.tz/polis/members/239/contributions
[ -1 ]
Kuna jamaa zangu wengi sana wanadai huwa siendi kanisani..sasa hapa nasoma neno la Mungu kanisani!! Nkwanga upo!! - Tanzania Sports Home / All Articles / Kuna jamaa zangu wengi sana wanadai huwa siendi kanisani..sasa hapa nasoma neno la Mungu kanisani!! Nkwanga upo!! 19th October 2017 Last update at 8:56 pm Kuna jamaa zangu wengi sana wanadai huwa siendi kanisani..sasa hapa nasoma neno la Mungu kanisani!! Nkwanga upo!!
2017-10-19T23:38:50
https://www.tanzaniasports.com/2009/08/20/kuna-jamaa-zangu-wengi-sana-wanadai-huwa-siendi-kanisani-sasa-hapa-nasoma-neno-la-mungu-kanisani-nkwanga-upo/
[ -1 ]
Mawaziri wa JK wapingana; ni hatua ya kuwakingia kifua wageni wanaofanya kazi kinyume na sheria | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Mawaziri wa JK wapingana; ni hatua ya kuwakingia kifua wageni wanaofanya kazi kinyume na sheria Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by nngu007, Aug 10, 2012. • NI KUHUSU WAGENI WANAOFANYA KAZI KINYUME NA SHERIA NCHINI “Mheshimiwa Mwenyekiti, kuhusiana na wageni wanaoishi nchini na kufanya kazi kinyume na sheria, sasa nimemwandikia waziri majina ya watu watatu raia wa India ambao wamekuwa wakiishi na kufanya kazi kwenye kampuni inayomiliki hoteli za Holes and Lodges Tanzania Ltd ya jijini Arusha, ambazo zamani zilikuwa zikimilikiwa na serikali. “…Na watu hawa wanafanya kazi za kawaida za ufundi na uhasibu, ambazo zinaweza kufanywa na Watanzania, kwa hiyo naomba waziri atuambie wageni hao wanaishi nchini kwa kufuata vibali gani kwa muda huo wa miaka mitano,” alisema Nassari. “Kwa maana hiyo katika kumsaidia mheshimiwa Nassari ili awe anapata data kamili na za kusaidia, namwelekeza kwa Afisa Uhamiaji Mkoa wa Arusha atoe ushirikiano kwa kumuelimisha azijue taratibu za uhamiaji,” alijibu Waziri Nchimbi, jambo ambalo halikumridhisha muuliza swali. “Mheshimiwa Mwenyekiti, kimsingi nakubaliana na mheshimiwa Nassari, na nikiri kwamba natambua kuwepo kwa watu ambao waliingia nchini bila kuwa na kibali chochote, nimefika kwenye hiyo hoteli na nikaagiza waondoke nchini haraka...naagiza tena kuwa tukimaliza kupitisha bajeti yetu hii wawe wameondoka,” alisema Mahanga. Ndiyo serikali ya Kikwete hiyo, unategemea nini? Hata coordination baina ya wizara hamna kabisa. Wameonyesha walivyo wababaishaji na vilaza wasiojua mipaka na dhima ya nyadhifa zao, Watakuwa makini saa ngapi wakati wengi ni matapeli kama huyo Makongoro aliyetuhumiwa kughushi shahada akatishia kwenda mahakamani akaishia kunywea ukiachia mbali kuchakachua kura za Segerea? Rais wao aliyewateua mwenyewe kundi moja-wasanii wasanii wasanii ad infinitum. wale wahuni wa mwabepande sijui hawayaoni hayo, afu utasikia chizi toka gamba anakwambia eti nchi hii kuna usalama wa taifa...matapeli tu. si wamtume mrema akawakamate
2017-04-30T05:43:27
https://www.jamiiforums.com/threads/mawaziri-wa-jk-wapingana-ni-hatua-ya-kuwakingia-kifua-wageni-wanaofanya-kazi-kinyume-na-sheria.305594/
[ -1 ]
Picha; Joel Lwaga Atua Kigali Rwanda. – John Pazia Mwimbaji Wa Nyimbo Za Injili Kutoka Hapa Nyumbani Tanzania Joel Lwaga Ametua Kigali Rwanda Leo Kwa Ajili Ya Huduma Atakayoifanya September 16 Katika Kanisa La Christian Life Assembly. Akionyesha Furaha Yake Alipotua Rwanda Joel Amesema; “Ninafuraha Kuwa Rwanda Kwa Mara Ya Kwanza Nchi Ambayo Nimesikia Mambo Mengi Mazuri Kuihusu. Kama Mkono Wa Mungu Ulivyofanya Ya Kushangaza Kwa Wengine Naamini Sasa Ni Muda Wa Rwanda. Sijaja Mikono Mitupu Au Na Moyo Mtupu, Nimekuja Na Zawadi Kwa Ajili Ya Watu Wa Rwanda, Na Jiandaeni Sitawadanganya. Kama Jinsi Moja Ya Nyimbo Nilizoandika Inavyosema Pia Baada Ya Kupokea Ile Zawadi Mungu Aliyoweka Ndani Ya Moyo Wangu Kwa Ajili Ya Watu Wa Rwanda, Hamtakuwa Vilevile Mlivyo. Tarajia Nguvu Za Mungu“. Victorious Live Concert Itakuwa Ni Live DVD Recording Msimu Wa Tatu Baada Ya Miaka Mitatu. Pia Inasemekana Kuwa Joel Lwaga Katika Safari Yake Hii Atafanya Kolabo Na Mwimbaji Wa Rwanda Aline Gahongayire. Kingdom fo God Ministries Ni Moja Kati Ya Huduma Ya Uimbaji Inayofanya Vizuri Rwanda Kwa Nyimbo Zinazowabariki Watu Na Shughuli Ambazo Wanazifanya. Baadhi Ya Nyimbo Zao Zinazopendwa Zaidi Ni Pamoja Na “NZAMUHIMBAZA”, “SINZAVA AHO URI” .
2019-06-24T23:23:17
http://johnpazia.com/2018/09/13/picha-joel-lwaga-atua-kigali-rwanda/
[ -1 ]
Wamalawi na ndoa za vibinti! | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Discussion in 'Habari na Hoja mchanganyiko' started by vukani, Apr 11, 2010. “Baba yangu wa kambo aliniamuru niache shule ili niolewe na mzee wa umri wa miaka 77, kwa madai kuwa umri wangu ni mkubwa ukilinganisha na darasa ninalosoma, kwani wakati huo ndio nilikuwa niko darasa la nne. Nilimkatalia na kumweleza wazi kuwa ningependa kuendelea na masomo”. Hivyo ndivyo alivyoanza simulizi yake binti huyu Balita Simpokolwe. lakini hata hivyo kukataa kwake hakukuweza kumsaidia. Kwani baba yake alianza kumtuma sokoni kuchukua fedha kwa mtu mmoja mzee hivi, ambaye alikuwa hamfahamu, ambapo alikuwa akipewa kiasi cha kati ya dola 5 mpaka 10, kiasi ambacho alitakiwa anunulie chakula na kiasi kinachobaki alikuwa kimpa baba yake huyo wa kambo. Balita anakiri kwamba hakuweza kuhisi jambo lolole kuhusiana na zile pesa alizokuwa akipewa na yule mzee kwa kuwa aliamini kuwa yule alikuwa ni rafiki wa karibu wa baba yake wa kambo. Lakini wiki tatu baadae tangu awe anakwenda kuchukua fedha kwa mzee yule, alishangaa kumuona akija nyumbani kwao na jembe dogo la kulimia bustani. ( kwa mila za watu waishio Malawi Kaskazini hususan katika wilaya ya Nsanje jembe dogo la kulimia bustani inatumika kama ishara ya mahari) “Nilishtuka sana, baada ya baba yangu wa kambo kunitaka nipokee jembe lile la bustani kutoka kwa yule mzee.(Kwa mila zao, binti kupokea jembe kutoka kwa mwanaume ni ishara kuwa amekubali kuolewa na mume huyo). Lakini huku nikiwa imechanganyikiwa, nilikataa kupokea jembe lile.” Hata hivo mama yake aliungana naye kupinga binti huyo kuolewa kwa kuwa bado alikuwa ni mdogo, “baba yangu wa kambo alikuja juu akidai kuwa atampa talaka mama yangu iwapo atapinga mimi kuolewa na mzee huyo, na cha kusikitisha zaidi alidai kuwa haiwezekani nisiolewe na mzee huyo kwa kuwa tumeshakula fedha zake.” Alisema bintin huyo kwa masikitiko. Hivyo alilazimishwa kuolewa na mzee huyo, lakini baada ya wiki mbili tangu aolewe kikundi kimoja cha kutetea unyanyasaji wa wanawake na watoto kiitwacho Chitipa Women’s Forum kilimuokoa kutoka katika ndoa hiyo baada ya kuwashwishi wazazi wa binti huyo wamrejeshe shuleni. Belita Simpokolwe, sasa anaishi na mmoja wa baba zake wadogo, amefurahi sana baada ya kurejea shule kuendelea na masomo yake. Tukio hili ambalo lilimpata Belita Disemba mwaka 2008 lilimuacha akiwa na amesathirika kisaikolojia. Kwa mujibu wa mwalimu anayemfundisha alikiri kuwa kuna wakati alikuwa anashindwa kuzingatia masomo yake pale kumbukumbu za tukio lile la kutolewa shuleni na kuozeshwa kwa nguvu linapomjia, lakini binti huyo ambaye alikuwa na miaka 13 wakati huo akiozeshwa, amemudu kuendelea na masomo yake ambapo anataka kutimiza ndoto zake za kuwa muuguzi hapo atakapomaliza masomo. “Kinachoniuma ni kwamba nimekuwa ni muathirika wa ndoa ya utotoni baada ya wale niliowaamini kuwa watanitunza na kunilinda kunitoa kafara kiasi cha kutaka nisitimize ndoto yangu” alisema binti huyo aliyekuwa akisoma shule ya msingi Kawale kaskazini mwa Malawi, akiwa yuko darasa la sita wakati huo. Belita ni mmoja kati yan mabinti walioathiriwa na mila marufu kama Kupimbira, ambapo mabinti hulazimishwa kuacha shule na kuozeshwa kwa wazee ili kujipatia mahari, na hii hufanyika bila hata ya binti kufahamishwa. Wakati mwingine wazazi hulazimika kuwaozesha mabinti zao ili kulipa madeni. Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa hivi karibuni na tasisi ya Chipita Women’s Forum inaonyesha kwamba ,taktibani asilimia 17 ya mabinti huachishwa shule na kuozeshwa kwa wazee, huku wengine wakilazimika kuacha shule wenyewe kutokana na unyanyasaji wa kijinsia unaofanywa na waalimu wa kiume na wanaume wakware wenye uchu wa kufanya mapenzi na vibinti. Akizungumzia mila zinazotumika kuwakandamiza watoto wa kike na kuwakatisha shule Mwenyekiti wa Chipita Women’s Forum, Bi Ruth Mbale alizitaja mila kama ‘Kupimbira’, ambapo mabinti hulazimishwa kuacha shule na kuozeshwa kwa wazee ili kujipatia mahari, ‘Nhlanzi’ ambapo familia ya mke huozesha binti mwingine kwa mume wa binti yao kama zawadi kutokana na kuitendea wema familia husika, ‘Kulowa kufa’ mwanamke aliyefiwa na mume kuingiliwa kimwili na mwanaume mwingine ili kuondoa mkosi wa vifo kijijini, kwa kawaida shughuli hiyo hufanywa na mwanamume maalum wa kufanya shughuli hiyo. Mila hii pia inasemekana inafanyika hapa nchini hususana wilayani Ukerewe ambapo hujulikana kama ‘Kusomboka’, hii kwa hapa nchini hufanywa na wanaume na wanawake. Bi Mbale pia aliitaja mila ya ‘Fisi’ ambapo mume ambaye hana nguvu za kiume anamkodisha mwanume wa nje ili amuingilie mkewe kwa ajili ya kumpa ujauzito, lengo kuu ni kujipatia watoto. Bi Mbale alikiri kupata ugumu katika kupiga vita mila hizi kutokana na usiri mkubwa uliokuwepo katika jamii hiyo ya watu waishio Kaskazini mwa Malawi. Akizungumzia idadi ya mabinti waliiokolewa na taasisi yao tangu walipoanza kampeni ya kuwaokoa wanafunzi walioozwa kabla ya kumaliza masomo, Bi Mbale alisema kuwa wamefanikiwa kuwaokoa mabinti 40 waliokuwa na umri kati ya miaka 7 hadi 16 ambapo walirejeshwa shule na kuendelea na masomo. Alisema kuwa, ingawa inakuwa ni vigumu kwa mabinti hao kurejea katika hali yao ya kawaida kabla hawajaolewa lakini huwapa ushauri nasaha hadi warejee kwenye hali zao za kawaida na kuendelea na masomo yao. Habari hii nimeitoa kutoka vyanzo mbalimbali vya habari ukiwemo mtandao wa inteneti ChildMarriage8..jpg Du si mchezo bongo ipo hiyo maeneo ya kwetu Kagera Nzuri sana mada hii!Nimejifunza mengi. Wanapenda sana chururuu watu wa Malawi!..huh! mmmh hatari
2016-10-26T00:38:39
http://www.jamiiforums.com/threads/wamalawi-na-ndoa-za-vibinti.58301/
[ -1 ]
"Hakukuwa na maandamano lakini kama kulivyokuwa kwa akina Ulimboka,"anasema Hildegarda Kiwasila. Kama hoja ni hiyo, kwani ni nani wana jukumu la kwanza la kulinda raia na mali zao ni raia wanaotetea haki za binadamu au askari? Hebu kwanza jibu hapa halafu tuendelee. 2016-09-30 10:57 GMT+03:00 'Hildegarda Kiwasila' via Wanabidii <[email protected]>: Hakukuwa na maandamano lakini kama inavyokuaga kwa raia kama akina Ulimboka, mapambano na wafanya biashara mababarani na askari kubondwa etc. Wakiandamana kama inavyokuwa kwa Raia akibondwa itaeleweka kwa wengi ambao hawasomi magazeti, tovuti etc. On Fri, 30/9/16, Ezekiel Massanja <[email protected]> wrote: Date: Friday, 30 September, 2016, 10:45 Elisa nakuambia huwa sikuelewi kwenye mambo mengi unayochangia kwa kupotosha ukweli, na unategemea sana tabia ya watanzania ya kutopenda kusoma kuwadanganya. Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamau kilitoa tamko pale askari wetu chapa kazi walipopata mkasa wa kuuliwa na majambazi. Na hili sio jambo la kutolea kebehi kama unavyofanya hapa, kwa vile askari polisi ni combo muhimu sana katika kulinda usalama wa raia na mali zao. Tukiruhusu watu wenye agenda zisizokuwa na mashiko kutumia kuuwawa kwa walinda amani wetu hawa ni kuruhusu ujinga usio kifani kututawala. Ni bora ukatafuta mada nyingine kupotezea muda wako. Nimeambatanisha hapa tamko lililotolewa ili usizidi kudanganya watu. Fuatilia mambo ya Haki za Binadamu yanayotokea nchi hii kwenye tovuti hii: www.humanrights.or.tz 2016-09-29 22:11 GMT+03:00 On Thu, 9/29/16, Telesphor Magobe <[email protected]> Ezekiel J. Massanja Tel: +255 22 2773038, Cel: +255 754 283593
2018-05-27T03:24:37
http://wanabidiiplace.blogspot.com/2016/09/re-wanabidii-wanaharakati-wa-haki-za_2.html
[ -1 ]
Mzee wa Mshitu: SBC YAPUNGUZA BEI YA VINYWAJI VYAKE KUTOKA SHILLINGI MIA SITA (600) HADI MIA TANO (500) SBC YAPUNGUZA BEI YA VINYWAJI VYAKE KUTOKA SHILLINGI MIA SITA (600) HADI MIA TANO (500) Hayo yamesemwa na Meneja Mafunzo na Uwezeshaji Bw.Rashid Chenja alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam na kuongeza kuwa lengo la kupunguza bei ni kutokana na hali ngumu ya uchumi iliyopo.
2018-02-22T14:46:04
http://charaz.blogspot.com/2015/11/sbc-yapunguza-bei-ya-vinywaji-vyake.html
[ -1 ]
Mvutano kuhusu mahala atakapozikwa Mugabe waendelea Zimbabwe - Afrika - RFI Imechapishwa 13-09-2019 • Imehaririwa 13-09-2019 Saa 06:49 Raia wa Zimbabwe wanatoa heshima zao za mwisho kwa kiongozi huyo wa zamani wa Zimbabwe. REUTERS/Philimon Bulawayo Siku moja baada ya familia ya rais wa zamani wa Zimbabwe Robert Gabriel Mugabe kutangaza kwamba kiongozi wao atazikwa mwanzoni mwa wiki ijayo kijiji kwake Kutama, serikali imesema kiongozi huyo wa zamani atazikwa kwenye makaburi ya kitaifa ya mashujaa jijini Harare. Kwa wakati huu raia wa Zimbabwe wanatoa heshima zao za mwisho kwa kiongozi huyo wa zamani wa Zimbabwe. Rais Emmerson Mnangagwa na maafisa wengine wa serikali walifika nyumbani kwa rais huyo jana Alhamisi. Mwili wa Mugabwe unaendelea kuonyeshwa kwenye maeneo mbalimbali ya kihistoria tangu Ahamidi wiki hii. Viongozi 10 kutoka Afrika wanatarajiwa kuhudhuria shughuli ya maziko ya Robert Gabriel Mugabe. Taarifa hii imetolewa na msemaji wa serikali Alhamisi wiki hii. Mwili wa kiongozi huyo wa vita vya msituni alieongoza mapambano ya kukomesha utawala wa wazungu wachache katika nchi hiyo iliyokuwa inaitwa Rhodesia, ulirudishwa Zimbabwe Jumatano ukitokea Singapore alikofariki. Miongoni mwa viongozi wa Afrika waliothibitisha kushiriki katika shughuli hiyo ni pamoja na rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa,Uhuru Kenyatta wa Kenya,na Filipe Nyusi wa Msumbiji. Marais wastaafu watakaoshiriki ni pamoja na Jacob Zuma wa Afrika Kusini,Kenneth Kaunda wa Zambia na Sam Nujoma wa Namibia. Serikali ya Zimbabwe imesema Mugabe atazikwa Jumapili katika makaburi ya mashujaa wa kitaifa mjini Harare lakini familia ya kiongozi huyo wa zamani inataka kumzika karibu na kaburi la mamayake kama alivyotaka mwenyewe,katika kijiji cha Kutama,kiasi kilomita 85 kutoka mji mkuu Harare. Msemaji wa familia ya Mugabe pia amesema maziko yatafanyika wiki ijayo jumatatu au Jumanne.
2019-10-22T18:43:58
http://m.sw.rfi.fr/afrika/20190913-mvutano-kuhusu-mahala-atakapozikwa-mugabe-waendelea-zimbabwe
[ -1 ]
Miongoni mwa alioambatana nao katika ziara hiyo ni pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Geita, Mhe. Herman C. Kapufi, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Geita pamoja na wawakilishi wa Mgodi wa Dhahabu Geita GGM
2018-11-20T05:50:20
http://www.geita.go.tz/new/rc-geita-atembelea-miradi-ya-huduma-za-jamii-ahimiza-ukamilishwaji-wake-kwa-wakati
[ -1 ]
za Mohamed Said katika Mwananchi: Miaka 50 ya Uhuru wa www.jamiiforums.com/makala za mohamed said Posted by
2017-06-23T08:48:18
http://watanzaniaoslo.blogspot.com/2011/10/makalaza-mohamed-said-katika-mwananchi.html
[ -1 ]
DANNY LYANGA AFUNGA AZAM FC YATOA SARE 1-1 NA EXPRESS UGANDA - Bin Zubery | PressTZ - Your Number 1 Source of Aggregated Online Content 1: BONGE LA MECHI REAL MADRID NA ATLETICO SUPER CUP YA UEFA 2: N'ZONZI 'WA ASRENAL' ATUA AS ROMA KWA PAUNI MILIONI 27 3: GWIJI WA KOMBE LA FA AFUNGWA MIAKA MIWILI KWA UTAPELI 4: TWIGA STARS KUSHIRIKI MICHEZO YA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI, MICHUANO KUANZA ALHAMISI BURUNDI 5: HIMID MAO ‘MOTO CHINI’ LIGI KUU YA MISRI, LAKINI PETROJET YATOA SARE 2-2
2018-08-15T11:33:01
http://presstz.net/danny-lyanga-afunga-azam-fc-yatoa-sare-1-1-na-express-uganda-40214970
[ -1 ]
Mnyika ametufungu macho ingawa tulikuwa tukijua. Tuliogopa kuonekana wachochezi. Sasa wanaitana machizi wenyewe sisi tuwaite nani? kutokana na mzee mzima kutoongea kwenye kikao kwa muda mrefu, leo nimelianzisha kwa kutaka kujua mawazo ya wana kijiwe kuhusiana na akili za waheshimiwa wao mjengoni. Swali langu lilianza hivi: Jamani, hivi hawa waheshimiwa wa chama kilichopo kwenye ulaji ni wazima kiakili? “Dk Mgosi Machungi anakuwa wa kwanza kula mic, “Kama titawaangaia kisaikoojia, hawa jamaa ni machizi kama aivyosema Joni Mnyika. Maana timeshuhudia wakipitisha vitu vya kipuuzi kuonyesha wasi wasima kiakii. Isitoshe kama wao wanaitana machizi unataka sisi tiwaiteje zaidi ya machizi fyatu?” “Du Dk Mgosi unachambua kama vile wewe ni daktari wa saikolojia!” Alichomekea Dk Mbwa Mwitu. Dk Mgosi kasifiwa anaamua kurejea, anasema, “Kwani saikoojia umeona ni somo kubwa kuiko yote? Kwa taifa yako timesoma haya mambo tena kue kue ushoto kama hujui ujue.” Kijiwe hakina mbavu kwa jinsi anavyosifia Lushoto utadhani Oxford. Tukiwa tunacheka, Dk Mipawa amepata upenyo kutongoa, “Huyu kijana Joni kwanza namfahamu sana. Alikuwa mwananfunzi wangu na isitoshe baba yake huwa tunakunywa wote bia sometimes niwapo na pesa. Alichosema kijana ni kweli hasa ikizingatiwa kuwa waheshimiwa wetu wengi hasa wa chama twawala wanawakilisha matumbo na si majimbo yao.” Kabla ya kuendelea Dk Kidevu anaingilia, “Hakuna mheshimiwa mdharauliwa na mpuuzi kama wangu. si mlisikia alivyokumbwa na kashfa ya kusafiri na zana za kivita utadhani alikuwa Somalia? Kama siyo mkwerere kumuokoa, angekuwa analia kama bosi wange Bill Ngereza.” Dk Maneno anachomekea haraka, “Unasema hicho kitoto kilichodandia kwenye umaarufu wa baba yake?” “Ndiyo. Siku hizi umekuwa ndiyo mtindo wa maisha. Riz kwenye mgongo wa Njaa, Sal kadhalika naye, kwanini hichi kizinzi kisitumie umaarufu wa dingi wake?” Dk Mpemba anachomekea, “Mie naona huyu kijana hata kama wa hovyo mwamuonea. Mbona wako wengi njengoni walioingia kwa umaarufu wa baba zao? Wategemea nini toka kwa watu waloingia njengoni kwa kutegemea umaarufu wa baba au mama zao, kuhonga, kughushi na kuchakachua?” Profesa Dk Msomi Mkatatamaa anaamua kula mic naye, “Ule mjengo ni wa machizi hasa ukiondoa waheshimiwa wa upingaji na wachache wasio watumwa wa ufisi. Hivi unategemea nini toka kwa watu kama LivingJiwe Lushindo, Annae Abudala, Sofia Lion hata huyo bosi wao ambaye juzi alinichekesha kudai eti waache matusi na kurejesha heshima ya mjengo wakati yeye ndiye chanzo kikuu cha aibu na uchizi wao?” Kabla ya kuendelea, Dk Mchunguliaji anachomekea, “Hamkumsikia Joni Ngereza akitapika mbele ya wenzake kwa hasira ya kunyang’anywa ulaji? Mie naona tungeondoa mjengo ili watu wachache waache kututumia. Maana zaidi ya kuwawakilisha wake zao, watoto zao na matumbo yao hawatuwakilishi zaidi ya kwenda kule kutuchuuza.” “Kama kuna chizi si mwingine bali kile kijimama shangingi na changu kinachosimamia hawa machizi. wajua nimaanishacho. Annae achezaye Makindamakida.” Aliingilia kati Dk Mipawa. “Mie naona hata mkuu angetimuliwa maana naye ni chanzo cha upuuzi wote huu. hivi wadanganyika hawaoni anavyowalostisha kwa matanuzi na kuruhus mamisab wake na kitegemezi ukiachia mbali waramba viatu kuiba njuluku zetu?” Alichomekea Dk Kidevu. Dk Mpemba hakujivunga; alikamata mic, “Mie naona heri tuwe hatuna lisirikali tokana na kutuumiza sana. maana watufanyia vitu vya ajabu ajabu.” Kabla ya kuendelea Dk Machungi alidandia mic, “Ami mbona hatikueewi. wanamifanyie vitu vya ajabu ajabu vipi au popo bawa?” Dk Mpemba, “Mambo ya popobawa waulize kina Lushindo na mkuu mwenyewe na Simbacheni waniojua kuchovya huku na kule. Mie simaanisha mambo ya Popobawa yakhe. Naamisha huu wizi wa fedha zetu. Ingawa twasema wao machizi nasi machizi maana twaibiwa nchana.” Kabla ya kuendelea Dk Mipawa anadakia, “Nkwingwa, kwanza lushindo kikwetu matusi makubwa tu. Je ni kweli Simbacheni amefumaniwa na mke wa askari au siasa za mitandao?” Dk Profesa Mkatatamaa baada ya kuona mambo ya popobawa na mafumanizi ya Kimchembachemba yanaanza kutawala anaamua kuvaa daruga kurejesha mada kwenye mstari. Anasema, “Mie mambo ya kufumaniana hayanihangaishi kama uchizi wa hawa jamaa ambao wanapitisha libajeti linaloumiza wale wanaowawakilisha.” Kabla ya kuendelea, Dk Machungi anaingilia, “Mgosi, usiseme eti wanawakiiisha watu. hawatiwakiishi bali matumbo yao. hivi ni mdhaauiwa gani anawakiisha yeyote zaidi ya mabwana zao, chama chao na matumbo yao.” “Unamaanisha hata makamanda wa magwanda wa upingaji nao nyanya?” Aliuliza Dk Mbwa Mwitu. “Hapa hatuongelei jamaa wa upingaji kama vile Mzito Kabwela, Mtuhuru Mboe, mchungaji Msigua, Hole Lissu, Joni Mnyikani na wengine machachari. Hawa si machizi ni machizani.” Alichomekea Dk Mchunguliaji. Nami profesa mzima kuona chansi nikaamua kuitumia na kusema: Mie naona wote machizi sema uchizi wao unatofautiana. Wale wa Chama Cha Mafisi fisadi (CCM) ni machizi wa kughushi, kujuana, kulindana, EPA, Richmond, usanii, ujambazi na madhambi yote wakati wa upinzani ni machizi wa Ukombozi.” “Du! Kweli wewe profesa kuliko hata yule profesa wa Kafu wa pumba. Nimekukubali kichaa wangu. Yaani kwa mtindo huu unaweza kusema na mkuu ni chizi wa usanii na dogodogoz au siyo?” Alidakia Dk Mchunguliaji. Dk Profesa Msomi anakatua mic na kuendelea, “Kwa taarifa yenu kaya hii kila mmoja ni chizi ndiyo maana kila mtu ana nafasi ya kufanya uchizi.” Kabla ya kuendelea Dk Machungi anaingilia, “Ami una maanisha hata sisi ni machizi tinaofanya mambo ya kichizi au una mpango wa kutitukana siyo?” Dk Profesa Msomi anakatua mic tena huku akimalizia kubwia kahawa, “Sasa kumbe. Bila kuwa machizi tungeruhusu vipi machizi walipane mishiko kuanzia ya matako sorry makalio hadi umbea bila kuingilia kati?” Dk Mgosi, “Kwani sisi tinakwenda kwenye mjengo?” Dk Profesa Mfilosofe Msomi, “Tunakwenda mjengoni kwa kukubali kuwakilishwa na machizi kama alivyosema dogo Joni Mnyika. Hakika huyu dogo jina Lake Limanfaa. Maana ni nabii aliye nyikani. Bila kuwa machizi tungekuwa tumeishaingia tahrir kuondoa uoza huu. You know what I mean.” Tukiwa tunaendelea kutongoa si daladala moja likaturushia maji machafu kiasi cha kwenda kumtia adabu dereva wake! Posted by
2013-06-20T10:05:01
http://mpayukaji.blogspot.jp/2012_06_01_archive.html
[ -1 ]
Community Support Adviser at UNAIDS Tanzania, January 2018 - Kijiwe Cha Wasomi Home Ajira Ajira 2018 Ajira Zetu International Kazi 2018 KaziBongo Nafasi za Kazi Tanzania Nafasi za Kazi Zanzibar Tayoa UNAIDS Vijana Jobs Zoom Tanzania Community Support Adviser at UNAIDS Tanzania, January 2018 Author Kijiwe Cha Wasomi Posted on January 22, 2018 NAFASI ZA KAZI / AJIRA UNAIDS TANZANIA
2018-05-25T18:41:14
https://www.kijiwe.co.tz/2018/01/community-support-adviser-at-unaids.html
[ -1 ]
Studio walioahidiwa wasanii wa bongo flavor yaotea mbawa THT Registered Members: 137,035 Current Users Online: 37015 Topic: Studio walioahidiwa wasanii wa bongo flavor yaotea mbawa THT 17th January 2011 06:39 Posts : 2,436 Rep Power : "Wadau wa muziki wa bongo flava wamepumua kwa shukrani baada ya JK kuahidi kuwatengezea studio kubwa na ya kimataifa ya muziki ili kuwasaidia kujikwamua kiuchumi na kisanii. JK ametoa ahadi hiyo kwenye hafla ya kutimiza miaka 3 kwa THT ambapo alikuwa mgeni rasmi kwenye hafla hiyo iliyoandaliwa na vodacom". Michuzi Blog. vijana wa bongo flavor walisweti kumsaidia kurudi madarakani wakitegemea kuwa watapatiwa studio ya kurekodi nyimbo zao, imefahamika kuwa vyombo hivyo vya kurekodiwa muziki (STUDIO HIYO) wamepewa THT kwa maombi maalum kwa JK. Hii ni kwa mujibu wa tamko la waziri wa Habari ambaye alisema studio hiyo ni ya THT kwa maombi maalum kwa rais. Yaani studio si ya wasanii wote wa bongo flavor bali ya Ruge M. na THT yake na msanii mwingine hana chake, atarekodi kwa bei kama ya studio nyingine na sio kwa bei ya neema aliyoahidi JK. JK nimemvulia kofia, heshima kwake, jamaa ni muongo hana mfano. Wasanii wetu nao wamezidi kujirahisi mno, wanatumika kila uchaguzi baada ya hapo wanamwaga, jifunzeni. No wonder hawa Jamaa wa Clouds wanajikomba sana kwa Jk mpaka kumwandalia birthday kumbe wananufaika na tujimisaada 17th January 2011 06:44 Re: Studio walioahidiwa wasanii wa bongo flavor yaotea mbawa tht Hao wasanii wa ubongo wa flavour wakome kwa kujikombakomba na kukubali kutumika ka TP. 17th January 2011 12:06 Saizi yao acha washike adabu...hapo msanii akikorofishana na clouds tu amekwisha hiyo studio ataisikia kwenye bomba! 17th January 2011 12:08 Serikali yetu imejaa ujinga. Mshahara wa mwezi ujao huenda usitoke kabisa kwa kuwa serikali haina hela. Hii ni aibu kubwa kabisa kwa mtanashati na handsome boy kama kikwete 17th January 2011 12:35 Location : Ikunguigazi Hao ni bongo SLAVE Aakulu taa siluka, aape taa tumbu(Time and the world moves on).[Ovambo proverb] 17th January 2011 14:41 Posts : 669 Rep Power : By nyandaigobeko dah,umeniacha hooiiiii.. 17th January 2011 15:00 Posts : 666 Rep Power : nyosha mkono kama ni mdau wa music unaefeel bila kikomo tuurudishe huu utawala maaana viongozi waliopo naona wote wamelala, tajiri kawanunua hata mahari pa kukemea naona wao wanachekela...kurupuka amka mtoto wa mkulima zinduka acha kupiga show za live kwa nguo za kukopa... 17th January 2011 15:13 Ila hawa clouds pamoja na huyo ruge,itafika kipindi wataua bongo fleva,maana wanakua watu wa ajabu sana,wao ni THT tu ndio wanao ipigia debe,na wanamuziki watanzania nao wanajirahisisha sana,kama marlaw kutwa kuimba nyimbo za ccm,haya ndio kama hivyo tena wametoswa na THT wanashika hatamu,wasitumiwe kama( Hao wasanii wa ubongo wa flavour wakome kwa kujikombakomba na kukubali kutumika ka TP.) 17th January 2011 16:24 Hahahahaaa, kucheka mjinga si kosa maana naona wamekutana katika fani yao ya usanii, hao wa ubongo wa fuleva na prezidaa wao, hakuna mbaya. nacheka tena Hahahahaaa. 21st January 2011 23:57 Location : Paediatrique ward tp?? Umeua kabisa ila jina lako nalizimia sana. 22nd January 2011 11:44 Likes Given4948 Wajanja wachache wanatumia vizuri mianya ambayo wasanii wa Bongo Flavour wanapigwa changa la macho Ha ha ha ha bongo slave Bongo movies subtitle JF Bongo Flavor duh! By Tripo9 in forum Entertainment Last Post: 22nd April 2010, 16:27 button za bongo flavor na zilipendwa ziko wapi???. By Freetown in forum Entertainment Last Post: 17th May 2008, 09:05
2013-06-19T09:25:29
http://www.jamiiforums.com/entertainment/103439-studio-walioahidiwa-wasanii-wa-bongo-flavor-yaotea-mbawa-tht.html
[ -1 ]
WAZIRI MUHONGO ATUA JIJINI DAR JIONI HII AKITOKEA NCHINI UGANDA KUKAMILISHA DILI LA BOMBA LA MAFUTA | BUKOBA WADAU Posted by Bukobawadau at 9:38 PM
2018-11-13T20:36:33
http://www.bukoba-wadau.com/2016/04/waziri-muhongo-atua-jijini-dar-jioni.html
[ -1 ]
Emmanuel Macron atangaza makubaliano kati ya China na EU kuhusu PGI - Ulaya - RFI Na RFI Imechapishwa 05-11-2019 Imehaririwa 05-11-2019 Saa 07:32 Rais wa Ufaransa azuru China Vurugu zimezuka jijini Paris baada ya …
2020-01-18T14:58:57
http://sw.rfi.fr/ulaya/20191105-emmanuel-macron-atangaza-makubaliano-kati-ya-china-na-eu-kuhusu-pgi
[ -1 ]
Mzazi Mvumilivu: Mbinu Zitakazo Yageuza Maisha Yako | Africaparent Mchakato wa kuwa mzazi mvumilivu ni mgumu, lakini ni muhimu na inawezekana. Jinsi ya kuwa mzazi mvumilivu: Mbinu za kubadilisha maisha Jiulize ‘kwanini’ Ni vigumu sana kuamini lakini watoto wengi ni wasumbufu. Sio kwa kuzaliwa vile ama kutoelewa vizuri ila, hivyo ndivyo walivyo, kwa sababu ya kitu fulani na tunapaswa kujiuliza kwanini. Kuwa mtazamo Siku ikiisha, jua kuwa unahusiana na watoto sio watu wazima. Akili za watoto wadogo bado zinakua na hazitakuwa zimekomaa hadi miaka 25. Kwa hivyo vitu zingine zitachukua muda, lakini kuna muda utakao fika ambapo mtoto ataweza kuelewa. Jikaze kiakili na kimwili Bob Marley hakuwa anatutania aliposema ’Binamu aliyenjaa ni aliyejawa na hasira’. Kwa hivyo kula au kunywa kitu kabla ya kushughulikia tabia za mtoto. Kutunza mwili wako na akili kabla ya kukabiliana na mtoto itakupa mhemko mzuri. Pia itakusaidia kuwa na mtazamo shwari kuhusu nidhamu, njia itakayo saidia na pia mbinu yenye ubunifu. Njia hii husaidia kabla ya wakati kufadhaika kuwasili. Ukiwa peke yako pahali ambapo pametulia bila kelele. Kuwa na taswira ya jinsi utakavyo shughulikia mtoto wako, akifanya jambo ambalo litakukasirisha. Utachukulia hali hiyo vipi? Utakaa aje? Utasema nini? Mtoto wako atafanya nini? Itasaidia vipi uhusiano wako na mtoto wako? Fikiria kuhusu vitu hivi, kuwa na taswira shwara ya hali hii, hivi ndivyo unakuwa mzazi mtulivu. Jinsi ya kuwa mzazi mvumilivu inahitaji ukweli wa kibinafsi Sio njia ya sawa kushughulikia tabia ya mtoto wako. Kama umekuwa na siku mbaya, chukua muda na ufanye jambo ambalo litafanya uskie vizuri; kama kutengeneza nywele, fanya mazoezi ama chukuwa muda na kuongea na marafiki. Kuchukua muda wa kupumzika ili kusaidia afya yako ya kiakili itasaidia itasaidia kutupa mtazamo mwema na kutupa uwezo wa kuwa wazazi ambao wana utulivu. Ukijipata katika hali ngumu, ongelesha daktari wa mtoto. Utafiti unaonyesha tiba ya tabia za watoto inaisaidia na inachangia pakubwa wakati mtoto angali mchanga. Kwa hivyo kama unahitaji usaidizi wa wataalam, utafute ili kubadilisha maisha yako na mtoto wako. Hesabu mpaka kumi Mbinu hii inasaidia sana. Ukiskia unakasirika, acha alafu pole pole hesabu kutoka moja hadi kumi. Ukimaliza hautapatwa na msukumo wa kukelesha mtoto wako. Ukihesabu kwa sauti hadi kumi,watoto wako watajifunza kwamba katika wakati huo wanapaswa kukuondokea. Hivi ndivyo unaanza kuwa mzazi mtulivu. Pumua kwa uzito Hii inasaidia sana pamoja na mbinu ya kuhesabu mpaka kumi, Pumzika kidogo, kisha urudie kupumua kwa nguvu. Ukifanya hivi unaskia hasira zikipungua. Sema ombi Usisahau kusema ombi kama unaamini kuwa maombi yanasaidia. Mwombe Mungu akupe uwezo wa kupenda, kusaidia na kuwa mzazi mtulivu na bila shaka maombi yako yatajibiwa. Wakati mwingine tunahitaji kujikumbusha hakuna mtu aliyesawa kikamili, tunapaswa kuwa tunafurahia muda huu pamoja na watoto wetu. Ni maisha inapaswa kuwa ya kufurahiwa-na ya kufurahisha. Cheka, kuwa na furaha. Haisaidii kila wakati lakini ni vyema kujikumbusha kila wakati. Badala ya kushughulikia watoto wako wakifanya jambo mbaya kwa hasira, jifunze kuwaonyesha upendo. Mtoto wako akimwaga kitu ama avunje kitu ambacho ulikithamini sana, akuongeleshe vibaya au afanye jambo mbaya shule. Lishughulikie jambo lile kwa upendo kwani ndio mbinu shwari Njia zingine unazopaswa kujaribu ni: Jiifanye ni kama kuna mtu mwingine anaye kuangalia Jiulize mama yako angefanya nini Jiulize au hasira ndio njia haswa ya kutatua shida ile Uzazi wenye furaha!
2020-01-28T09:21:57
https://www.africaparent.com/jinsi-ya-kuwa-mzazi-mvumilivu/want-to-become-a-more-patient-parent-heres-how-2
[ -1 ]
Nywele za kwapani,,,,! | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Nywele za kwapani,,,,! Discussion in 'Mahusiano, mapenzi, urafiki' started by MR.LEO, Aug 5, 2012. How are u ladies and gentlemen,,,,! Jamani mwenzenu nimetoka moro ninakoishi na kwenda kumsalimia ndugu yangu anayeishi singida mjini. Sasa leo j2 mida ya saa nne asubuhi nikiwa kwenye daladala kuelekea maeneo ya mwenge sekondari ndipo nikajikuta nimekaa siti ya pili ya daladala na huku abiria wengine wakiwa wamesimama. Miongomi mwa abiria hao waliosimama alikuwepo dada mmoja wa ukweli na mwanaume yeyote akimuona basi lazima atataka kumwangalia tena na tena ili kutoyanyima macho yake haki ya msingi ya kuona na kutizama. Dada ni mrefu,mwili wa wastan,kifua hakijapigwa jeki na vingine vingi. LAKINI BAADA YA YEYE KUINUA MKONO NA KUSHIKILIA BOMBA NDIPO NIKAONA MSITU WA NYWELE KWENYE KIKWAPA CHAKE NA NI NDEFU ZAIDI HATA YA NCHI TANO. Nilipomuuza mwenyeji wangu akaniambie eti ni 'FASHION' Sasa mi naomba nijue ukweli wa hili jambo. Nilipomuuza mwenyeji wangu akaniambie eti ni 'FASHION' Sasa mi naomba nijue ukweli wa hili jambo.Click to expand... Umeishapewa jibu na mwenyeji wako, so unataka kujua nini zaidi? Mh! Hii section ngumu subiri wenye kujua zaidi waje Inchi tano unaielewa kweli? Hizo ni sentimita 12.5...unasuka mkia bila ya wasi wasi wowote Umeishapewa jibu na mwenyeji wako, so unataka kujua nini zaidi?Click to expand... Nataka nijue kama hilo jibu nililopewa na mwenyeji wangu lina ukweli na uhalisia? Huyo dada mie namfahamu, ana ratiba ya kwenda salon kila baada ya majuma matatu....Ukionana naye next week, zitakuwa zimenyonyolewa zoooote Nataka nijue kama hilo jibu nililopewa na mwenyeji wangu lina ukweli na uhalisia?Click to expand... sasa kama haumwamini aneyfuga mwenywee, utamwamini vipi mtu mwingine ambaye hata kumuona huyo anayefuga kikwapa hajamuona! umepewa jibu halisia ila sio halisi Wengine nywele za kwapani na hata kule mahali wanazipenda hivyo huomba ziachwe badala ya kuweka kipara. Si ungemuuliza huyo mdada mh! Hyo noma jaman km nch 12.5 mh! Hyo noma jaman km ndo cm 12.5 fashion hiyo mimi siitaki.kuachia nywele huko,ni kujinukisha jasho tu. Hata mimi naona uchafu tu. Awe me au ke kufuga nywele sehemu ambayo hewa haizunguki ni uchafu. Huyo ungemsogelea angekuwa ananuka kikwapa na hili joto. Hata kama ana prerfume inakuwa na harufu ya kipekee; perfume+Jasho. fashion hiyo mimi siitaki.kuachia nywele huko,ni kujinukisha jasho tu.Click to expand... nywele ich tano 5? Hahaaa unatania mkuu Inch 5, mmmmmmmmmh Hii kama si story ya kutunga huo ni uchafu! Mwanamke hatakiwi kua na nywele sehemu yoyote zaidi ya kichwani. Hii style mbona ni ya kitambo 2, karibu mtaani kwetu ujionee. hata zikiwa nchi 20 kama ni safi haina shida Mwanamke hatakiwi kua na nywele sehemu yoyote zaidi ya kichwani.Click to expand... huo ni ubaguzi wa kijinsia nao wana haki zao za kuwa na nywele ndefu kwenye makwapa na kadhalika
2017-01-21T17:45:00
https://www.jamiiforums.com/threads/nywele-za-kwapani.303403/
[ -1 ]
Serikali yatetea mkataba wake na Tanzanite One, wabunge waupinga | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Serikali yatetea mkataba wake na Tanzanite One, wabunge waupinga Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by BAK, Oct 31, 2008. Date::10/30/2008 SERIKALI imesema madini ya Tanzanite hayawezi kuisha ifikapo 2012 hivyo hakuna sababu ya kufuta mikataba ya uwekezaji na na kampuni ya Tanzanite One inayochimba madini hayo huko Mererani kwa kuhofia kumalizika kwa madini hayo adimu duniani. Msimamo huo wa Serikali ulitolewa Bungeni juzi na waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja wakati akijibu michango ya wabunge waliotoa ushauri wao juu ya taarifa ya kamati ya Rais ya kuishauri Serikali kuhusu usimamizi wa Sekta ya madini. Kauli hiyo ya Waziri Ngeleja kuhusu kutovunjwa kwa mkataba huo ilionekana kujibu zaidi mchango wa Mbunge wa Same Mashariki,Anna Kilango Malecella aliyetaka Serikali ivunje mkataba na kampuni hiyo hata kabla ya kufikia mwaka 2012. Kilango ambaye ni mmoja wa Wabunge wanaozungumza kwa hisia kali alisema wachimbaji wadogo wanao uwezo wa kuchimba madini ya vito kwa kutumia mitambo midogo ikiwamo Tanzanite. “Nimefanya utafiti wangu na kugundua kuwa leseni yao (Tanzanite One) inamalizika mwaka 2012 mimi naona huko ni mbali ukilinganisha na hasara tutakayopata tusitishe leseni yao sasa”alisema Kilango. Kilango alisema uchimbaji wa madini ya vito kwa kutumia mitambo mikubwa sio endelevu na kuonya kuwa kiasi cha madini kinachochimbwa na kuhifadhiwa Afrika Kusini ni kikubwa huku Tanzania ikiachiwa mashimo. Alionya kwa vile kampuni hiyo sasa inafahamu uchimbaji wa madini ya Vito utafanywa na Watanzania kwa asilimia 100 wanaweza kuchimba kwa nguvu ili kufikia 2012 madini ya Tanzanite yawe yamekwisha. “siku zote kutoa maamuzi magumu ndio kuendelea na huu ni uamuzi mgumu lakini tumwambie Rais kuwa sisi Wabunge tunamuunga mkono na tuko tayari kuchangia fidia kusitisha mkataba huu”alisema. Hata hivyo akijibu michango ya Wabunge, Ngeleja upo muda wa kutosha kurekebisha kasoro zilizojitokeza na kusema hakuna sababu kwa sasa kuwanyang’anya wawekezaji hao migodi. “hatuwezi kuwanyang’anya bado hatujafika huko kwa sababu tumeingia nao mikataba tukawapa na leseni…hatujachelewa tutarekebisha hizo dosari’alisema Ngeleja. Waziri huyo alisema serikali itaifanyia kazi michango na ushauri wote uliotolewa na Serikali ikiwamo kufanya uchunguzi wa namna ilivyouza hisa zake kama ilivyopendekezwa na kamati ya kudumu ya Bunge la Madini na Nishati pamoja na Wabunge. Alisema serikali inakubaliana na mapendekezo ya wabunge ya kutaka madini ya vito yasafishwe hapa nchini na kutoa wito kwa wafanyabiashara wa Tanzania kuungana kwa ajili ya kuanzisha viwanda vya aina hiyo vitakavyotoa ajira kwa watanzania. Wakati akichangia ripoti hiyo juzi jioni, Mbunge wa Kwela,Chrisant Mzindakaya(CCM) maarufu kama mzee wa mabomu jana aliipasha serikali kwa kuwakumbatia wawekezaji na kuwafanya kama Mungu wa duniani. Mzindakaya alisema Tanzania inapaswa kuiga mfano wan chi ya Botswana ambayo imekuwa ikimiliki migodi nusu kwa nusu kati ya Serikali na makampuni yanayohitaji kuwekeza katika sekta hiyo. “Serikali isiogope kumiliki utajiri tulionao kwanini tunataka kila kitu raw material(malighafi)…madini tunauza ghafi,kahawa tunauza ghafi kila kitu tunauza ghafi huu ni ugonjwa mbaya sana”alisema. Mbunge huyo alitaka Shirika la madini nchini(STAMICO) liwezeshwe kusimamia uchimbaji madini na kusema Tanzania ina wataalamu wazuri wa madini bali kinachogomba ni vifaa. Mzindakaya alisema madini sio bidhaa inayoharibika hivyo hakuna haraka ya kutafuta wawekezaji kabla ya kuwa na mazingira yanayoiwezesha nchi kunufaika na rasilimali zake. “Botswana wao wanamiliki 50-50, na wanachokifanya ni kwamba wakishaingia mkataba wa namna hii wanakwenda kukopa Benki na hapo sasa ndio unaajiri wataalamu”alisema Mzindakaya. Kwa mujibu wa Mzindakaya,Tanzania ingeweza kuiga mfano huo na kumiliki migodi hii kwa ubia wa nusu kwa nusu badala ya kuwaachia wageni wamiliki migodi hiyo kwa asilimia 100. Mbunge wa Kibakwe, George Simbachawene(CCM) alisema watanzania wa leo hawajatofautiana na wale wa kabla ya uhuru ambao waliletewa shanga na wazungu na wao kutoa almasi. Alisema hivi sasa Watanzania wanadanganywa na Serikali kuwa imeamua kutafuta wawekezaji kwa sababu haifanyi biashara na kusema serikali zote duniani zinafanya biashara na kutoa mfano wa Dubai ambako Taxi zote zinamilikiwa na Serikali. “Hivi hii imani kwamba Serikali haifanyi biashara tunadanganywa na nani?...Tufike mahali Serikali yetu ikiri kuwa ilikosea halafu turudi nyuma kumiliki rasilimali zetu”alisisitiza. Botwana kupata fifty fifty ni uwezo wao wa kujadili kwa ufundi mkubwa mikataba na ni kigezo kuwa nasi tunaweza pata hiyo fifty na hata zaidi endapo tutaongeza uwezo wetu wa kujadiliana mikataba. Kuzira na kuacha madini ardhini nalo si jibu, serikali ya Chama Cha Mzindakaya -CCM wametawala miaka yote na waliayaacha hayo madini pamoja na vitu vingine (ardhi, mifugo, misitu, uvuvi nk)kwa muda mrefu sana bila kuendeleleza. Matokeo yake ni papara na kuishia na mikataba ya kupatiwa 3%. Mzindakaya anashindwa kuelewa kua IMF na WB si vyombo vya kiroho na waliishauri serikali kutofanya biashara kwa sababu tayari serikali ilikuwa imeshashindwa kufanya biashara. Chini ya serikali labda hata hayo mapato ya 3% tisingepata. Matunda ya serikali ya Dubai kufanya biashara si sawa na serikali ya Tanzanian kufanya biashara, kwani viwango vya uwajibikaji havipo sawa. Nijuavyo, serikali ya CCM haina kawaida ya uwajibikaji wa matendo yake. Kwa vyovyote vile wawekezaji ni muhimu na ni shule nzuri tu kwetu. Ni muhimu kula nao sahani moja. Matatizo makubwa ya wachimbaji wetu si vifaa bali maarifa na mbinu hafifu za kiuwekezaji, uchimbaji, utayarishaji, uuzaji, kukua kwa kampuni nk. Yote hayo tuna nafasi nzuri kujifunza toka kwa wawekezaji. Serikali ina wajibu wa kuwasaidia na kuwainua wachimbaji wetu ili waweze baadaye kushindana bega kwa bega ama kuwa joint venture na hao wawekezaji. Lazima tujifunze namna ya kuwatumia vizuri kwa faida yetu. Kabla ya kufikiria kuipa serikali umiliki wa makampuni ya kibiashara, Mzindakaya angegombania kuleta utaratibu mzuri wa kuiwajibisha serikali ya chama chake na kupunguza madaraka ya raisi. Mpaka sasa raisi ni fanal ktk mambo karibu yote. Mzindakaya atapayuka weeee, lakini raisi ana veto zote. Hata bunge asemeako, likileta ubishi, raisi ana nguvu ya kulivunja. Botswana mikataba yao ilifanywa miaka zaidi ya 40 iliyopita. Wakati huo ilikuwa na wasomi wananchi wasiozidi 50. Lakini walifanya kazi nzuri sana na walipenda nchi yao hawakuangalia mifuko yao. hapa tanzania inawezakana not in a million years. Wakuu, tatizo la Tz sio usomi..... ni njaa na ukiritimba wa kimawazo!! Jamani kuna makosa ambayo watu/wahusika wamekuwa wanayafanya ambapo mtu wa kawaida tu ukisoma/ukiona unajua kabisa kwamba ni madudu lakini watu wanapeta!!!! Mkuu wajin...., unajua mabadiliko yaliyotokea katika kipindi cha chini ya miaka miwili (especially after 2007 mwanzoni) ni mengi sana hasa katika swala zima la usiri, uchafu na madudu ya watendaji wetu....Nina imani kuwa ndani ya miaka mingine mitatu (kuweka 5 kamili) mambo yatakuwa mazuri sana au mabaya sana.... Lazima kuwe na extremities na sio otherwise.... Mungu bariki Tanzania na watu wake!! Hao wachimbaji wadogo wanachangia kiasi gani mfuko wa taifa? Si ndio hao ambao wakizipata wazitapanya tu? Si ndio hao ambao wako heri kuzipeleka kwa kupitia njia za panya kwa jirani zetu Kenya? Si ndio hao ambao hawataki kuwekeza katika usalama wa machimbo yao hadi kupelekea maafa yaliyowakuta hivi karibuni? Si ndiyo hao wanaoendekeza imani kuwa viungo vya albino ni dili na vinaweza kukuletea neema? Kuna ajabu gani Tanzanite kuuzwa kwa wingi Afrika Kusini? Mbona kitovu cha biashara ya almasi kiko ubelgiji Antwerp na si Afrika Kusini, Botswana au Namibia? Tusifumbie macho maovu na mapungufu ya watu wetu kwa sababu ya uzalendo feki! Swala lanjia zapanya ni uzembe serekali,kuusu albino nimesikia kwako, wachimbaji wadogo wanafaida kubwa sana,mzawa akipata madini atajenga,atanunua gari nk,kwaiyo kila atacho nunua serekali itanufaika kupitia vat nk.
2018-01-20T00:19:18
https://www.jamiiforums.com/threads/serikali-yatetea-mkataba-wake-na-tanzanite-one-wabunge-waupinga.19944/
[ -1 ]
HABARI NA MATUKIO: MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AZINDUA MPANGO MKAKATI WA WAFANYABIASHARA DUNIANI
2017-02-21T00:36:01
http://www.kajunason.com/2016/01/makamu-wa-rais-mhe-samia-suluhu-hassan.html
[ -1 ]
Homez Deco - Kreative Homez: Hii ilikua ni birthday ya Jaydan ametimiza miaka 2. Tarehe 8/2/2013...Ilifanyika Mary Brown ya masaki....siku ya jumapili tarehe 10/2/2013 AnonymousFebruary 12, 2013 at 4:25 PMHAPPY BDAY JAYDANReplyDeleteAnonymousFebruary 12, 2013 at 8:15 PMhongera sana kwa kukuza mwanao,,,happy birthday jaidan,,all the best mpenzi na mungu atakupa nguvu kila siku kama mama,,amena its me nuru the lightReplyDeleteAnonymousFebruary 13, 2013 at 10:36 AMSylvia bado nakushauri usichanganye biashara yako na maisha yako binafsi!! ReplyDeleteRepliesAnonymousFebruary 19, 2013 at 12:38 PMWE NAWE, WALA HAWEKI KILA SIKU, ONCE IN A WHILE KU SHARE NA FANS KUNA TATIZO GANI???????DeleteReplyAnonymousFebruary 13, 2013 at 6:29 PMhongera kwa kukuza.happy birthday baby boy,hii ni blog yake muache afanye anavyotaka.kama hupendi usiingie humuReplyDeleteAnonymousFebruary 15, 2013 at 2:04 PMhongera sana mama happy birthday Jaydan!umependeza sana gauni ila nywele ndio zimenikosha zaidi ni nywele gani hizo u so beautiful.Mama TReplyDeleteAnonymousFebruary 17, 2013 at 7:13 AMmbona umetaka kuniliza na mimi, nimekua touch kweli uliposema machozi yalitaka kukutoka wakati unamwimbia Jayden wimbo wa birthday na mimi hiyo hali huwa inanipata kwa watoto wangu ninao wawili na ilishanitokea kwa first born wangu siku ya kigraduation chake cha vidudu wakati wanamwita mbele ile kusikia jina lake simanzi fulani hivi ilinipata nashukuru umesema kwa sauti nilifikiri ni mimi tu niko crazy na watoto wangu ReplyDeleteveronica medukenyaFebruary 17, 2013 at 10:50 AMmy dear nimependa hiyo weaving...nitaipata waapi?!how much?!ReplyDeleteveronica medukenyaFebruary 17, 2013 at 10:51 AMmy dear nimependa hiyo weaving...nitaipata waapi?!how much?!ReplyDeleteAnonymousFebruary 17, 2013 at 8:37 PMwatu wengine bwana sasa maisha binafsi yako wapi hapo?? labda hujui blog zinazoandika maisha binafsi sema nikuambie... Happy BDAY baby boyReplyDeleteHomez Deco Kreative HomezFebruary 22, 2013 at 2:15 PMhi my fans...Asanteni sana kwa comments zenu...yaani ninafarijika.....Hii weaving inaitwa peruvian, ni inch 18 kwa urefu... nani dada yangu anazileta, nimenunua kwakwe....anaziuza tshs. 400,000/- kwa maswali zaidi wasilianeni nae 0715 - 350912. maana mie na fashion kidogo niko nyuma hhaahhaha, hahhhahha.......ReplyDeleteAdd commentLoad more... Homeze Deco tunayofuraha kuwajulisha kua... sasa tutakua tunawaletea vitanda vilivyo tayari...nikiwa na maana kua itakuchua siku 1 kupata...
2014-10-31T12:40:15
http://homezdeco.blogspot.com/2013/02/hii-ilikua-ni-birthday-ya-jaydan.html
[ -1 ]
Boss Ngasa Official Website : Mwimbaji Ray Vanny Adai Ilifika Wakati Akawa Anaichukia Sauti yake...Afunguka Haya Kuhusu Diamond Platnumz Mwimbaji Ray Vanny Adai Ilifika Wakati Akawa Anaichukia Sauti yake...Afunguka Haya Kuhusu Diamond Platnumz Mwimbaji Raymond Amefunguka ya moyoni kuhusu boss wake aliyemtoa Kimuziki Diamond Platnumz: Mengi yako Moyoni Mwangu.lakini kiukweli siamini hapa nilipo.nilikata tamaa,sikujiamini tena kama ntaweza kufika.kuna muda nilijiona sina bahati hadi nikaanza kuichukia sauti yangu.lakini wewe ulinishika mkono nakunionyesha njia mengi umenielekeza haukuishia hapo ukaona unipe nafasi tufanye kazi moja mimi na wewe #SALOME . Am so proud of you @diamondplatnumz
2016-12-09T11:30:38
http://www.bossngasatz.com/2016/09/mwimbaji-ray-vanny-adai-ilifika-wakati.html
[ -1 ]
Chini ya mkakati wa matangazo ya Rada ambayo kuvuta mauzo mchana kutwa! | Biashara habari kimataifa makala WebSite.WS | GVMG - Global virusi Masoko Group Biashara habari kimataifa makala WebSite.WS > Advert > Chini ya mkakati wa matangazo ya Rada ambayo kuvuta mauzo mchana kutwa! ‘ Mauzo yote siku”Napenda kukusikiliza yell ’ kuuza moja itakuwa kubwa! ‘ Chini ya mkakati wa utangazaji wa Rada ’…inaonekana kama kitu nje ya sinema nyota safari! Unaweza kuona katika ulimwengu wa utangazaji kama haraka kama unaweza kusema ‘ boriti mimi juu Scottie ’; Zana mpya daima zinaundwa ili kutofautisha kampuni moja kutoka kwa mwingine. Ubunifu haya kujaribu kadri iwezekanavyo, kuongeza rasilimali, kupunguza gharama za, na Boresha matokeo ya kampeni yoyote matangazo. Fedha kiasi huenda katika kuchangia mawazo kwa zana hizi mpya na ubunifu wangeweza kusafiri duniani kote kwenye chakula cha mchana mkutano gharama peke yake. Kama wewe ’ ve kazi katika dunia ya ushirika unaweza kujua hasa nini maana na kama wewe maeneo ’ t jihesabuni bahati sana kwa kweli. Biashara inaweza kuokoa wenyewe bahati ndogo juu ya kampeni ya matangazo kama inaonekana katika matangazo mikakati ya awali walioajiriwa na kuyarekebisha kukidhi mahitaji yao. Baadhi ya wengi sana kutumika mikakati ya matangazo na masoko mikakati iliyopo ni masoko viwango mbalimbali, matangazo ya sauti ya picha, utangazaji wa katalogi, matangazo ya simu, na hata usambazaji mikono kila wakati wa masoko zana. Moja, Hata hivyo, anasimama nje katika suala la uwezo na hata uwezo wa kutafsiri mikakati ya matangazo na mauzo yanayoonekana. Huyu rafiki yangu ni kile kinachojulikana kama advertorials. Inaonekana ni mpya kiisimu concoction, advertorials walikuwa kwa kweli kwanza mimba katika miaka ya 1960 mapema kama mchanganyiko wa maneno ya, utangazaji na mhariri. Hii zaidi ya kutosha inaeleza madhumuni ya ya advertorial. Na advertorial ni kimsingi mkakati wa utangazaji iliyoundwa kufanana na lengo ya wahariri. Hii ingekuwa mikopo kiwango cha kuaminika lengo kwako mtangazaji, kama vile kufanya utangazaji lami kuaminika zaidi hata kwa wasiwasi zaidi ya watumiaji wa. Jinsi hii lazima kujenga faida ya mauzo? Advertorials kawaida yameandikwa kama vipengele maalum ya uendelezaji na aina sawa na ile ya vyombo vya habari kuliko kama wahariri. Manufaa zaidi kulinganisha na tahariri nyingine ni ukweli kwamba mtangazaji ina udhibiti wa maudhui ambayo itaonekana kwenye ya advertorial. Kwanza, advertorials haya yameandikwa mara kwa mara ndani ya safuwima tayari imara au sehemu ya gazeti. Sehemu hizi, na yafuatayo ambayo wao tayari wana, Wahakikishie usomaji wa advertorials ya. Kuwekwa katika sehemu ambapo watu anavutiwa na kusoma makala karibu fomu ya advertorials, nguvu ya matangazo ya makala hii itakuwa si lazima akajikwaa au ostracize yoyote ya wasomaji. Soma hiyo tena”kuwekwa katika sehemu ambapo watu anavutiwa na kusoma makala karibu fomu ya advertorials”Hii ni chini ya Rada ufanisi kazi! Aidha, advertorials kumudu chaguo la kujadili sifa nguvu za bidhaa na huduma, na wakati huo huo uchapishaji maeneo mbalimbali na maelezo ya mawasiliano ya kampuni au majengo sadaka bidhaa au huduma. Hii ina maana kwamba wakati mlaji hupata wake au mwenyewe wanaamini ya uzuri wa bidhaa au huduma, Hakuna juhudi ISO lazima upande wao ni muhimu ili kupata mahali pa kupata ufikivu. Wao pia kuingiza faida nyingine kuunganisha mkakati wa matangazo kwa kuwa shuhuda mbalimbali kutoka baadhi awali kuvutiwa ununuzi wa huduma yako ya madini bidhaa. Muhimu zaidi, advertorials kuja na nguvu ya kuvutia ya kama wahariri, na masimulizi ya mamlaka na utaalamu zinazozalishwa katika makala. Watumiaji wanaweza kuwa uwezekano wa imani maudhui ya advertorial na aina hii ya njia na aina za mamlaka na utaalamu kuliko lami na utunzi inayotokana na mfuko wa kampuni. Lengo na taarifa taarifa zilizotayarishwa kama ukweli vizuri sana mafuta kampuni nzima ’ mauzo ya s! Njia nyingine ambayo advertorials inaweza kusaidia kuwahakikishia mauzo ya biashara ni ukweli kwamba maudhui yake huenda wanapimwa na kupitishwa na kampuni. Wakati ni uwezekano kwamba na advertorial kujadili udhaifu wa bidhaa au huduma, kiwango hiki cha udhibiti ni muhimu bado hasa wakati matumaini ya kuepuka aina yoyote ya Inamisha hatari au taarifa kukisia kwamba kuashiria udhaifu au kosa. Aidha, udhibiti wa maudhui ya makala kuwahakikishia ya advertorial kuwa katika mstari na lolote na masoko yote na mikakati ya matangazo ya kampuni kwa sasa zinaajiri. Hii inaweza wote kuimarisha na kuongeza kampeni pamoja na kuunda ujumbe thabiti ambao unaweza fimbo na fahamu ya matumizi. Mwishoni mwa siku ya, vipengele mbalimbali ya ya advertorial kusaidia kutoa kiwango cha Utakumbuka kwamba kutafsiri kwa mauzo ikitumika kwa usahihi. Aidha, Fomu yake sana bora kuongeza rufaa mikono kila wakati, hasa anapopata msomaji moja au matumizi yake au mwenyewe kunukuu na kurejelea advertorial kama fulani objectively imeandikwa kipande. Wakati inaweza kuwa haipendezi kwa makampuni mengi, uwezo wa ya advertorial ni faida sana na yanayoonekana kwa leo ’ kampuni ya s. Ni vizuri sana kuwa na wazo kwamba ubunifu ya mpya kwamba inahitajika ili kuongeza faida yako. Chini ya mkakati wa matangazo ya Rada ambayo kuvuta mauzo mchana kutwa! Jamii: Advert, Matangazo, Mkakati wa utangazaji, Wote, Makala, Sauti, Mauzo ya biashara, Kampeni, Kampuni, Kuunda, Sanifu, Usambazaji, E-biashara, Wazo, Ubunifu, MSTARI, Masoko, Masoko na matangazo, Zana ya masoko, MEETin, Mkutano, Sinema, NPO, Kutoa, Chapa, Bidhaa, Faida, Uendelezaji wa, Mauzo, SEM, Huduma Tags: tangazo, matangazo, advertising strategy, sanaa, makala, makala, sauti, biashara, mauzo ya biashara, kampeni, kampeni za, Paka, kampuni, matumizi, kampuni, kujenga, Sanifu, usambazaji, e-biashara, mtaalam, mwisho, wazo, ubunifu, sheria, mstari, soko, masoko, masoko na matangazo, chombo masoko, meetin, Mkutano, fedha, sinema, habari, gazeti, npo, kutoa, kama, ovation, Paris, watu, simu, Chapisha, uchapishaji, Bidhaa, faida, promot, uendelezaji wa, uendelezaji, msomaji, kodi, mauzo, kwamba, huduma, kusafiri, imani, kushinda, kazi, ulimwengu Kwa My Mapema Business Ventures Imeshindwa Taarifa juu ya kadi ya mikopo, na zaidi!! Maneno tofauti kwa watu tofauti katika biashara nyumbani 07 Trafiki pingamizi kizazi Internet masoko mikakati ya pesa kutoka studio binafsi haki za bidhaa Export na Import ya Inuit Eskimo Art Sculpture Ufufuzi wa mkasa zaidi hukutana jicho Kisheria muuguzi mshauri Jinsi ya kufanya mikutano ya wafanyakazi bora Mwongozo wa mtindo wa mavazi ya dhana miaka ya 1970 What You Je kujua Kuhusu MLM Online Kuchukua simu ya biashara nafasi Malipo rahisi maana wateja furaha Ukweli wa Online Ujasiriamali
2019-02-18T15:19:15
http://business.global-article.ws/sw/radar-advertising-strategy.html
[ -1 ]
Chakula: Kichocheo cha kuimarisha mahusiano mazuri ya familia | FikraPevu Wanafamilia wakipata chakula Hata hivyo, hizi baadhi ya njia za kuimarisha mahusiano katika familia, lakini kila familia ina taratibu za kuendesha mambo yake na kujenga mstakabali mzuri.
2020-08-11T21:22:13
https://fikrapevu.com/chakula-kichocheo-cha-kuimarisha-mahusiano-mazuri-ya-familia/
[ -1 ]
saveSave TAARIFA YA UFAFANUZI KUHUSU BARAZA LA MAASKOFU WA ... For Later Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: [email protected] press@ikulu. o.!" #a$: 255-22-211%425 PRESIDENTS OFFICE, THE STATE HOUSE, P.O. BOX 9120, DAR ES SALAAM. Tanzania. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI TAARIFA YA UFAFANUZI KUHUSU BARAZA LA MAASKOFU WA KIPENTEKOSTE TANZANIA (PENTECOSTAL COUNCIL OF TANZANIA) KUTOKUWA NA UWALIKILISHI KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA Uteuzi wa Wajumbe wa Bunge la Katiba unafanywa kwa mujibu wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura, 8 !The Const t!t on"# Re$ e% A&t' C"( )*". Sheria hii inaweka mamlaka ya uteuzi, ma#harti, taratibu, $igezo na mambo mengine yote yanayo%a#wa kuzingatiwa katika uteuzi wa Wajumbe wa Bunge la Katiba. Kwa mujibu wa Kifungu &ha '' !'(" na !'B" $igezo hi$i $inajumui#ha umri, jin#ia, uzoefu, #ifa na mahali ana%otoka mjumbe hu#ika. Sheria hii imeaini#ha aina tatu za Wajumbe wa Bunge la Katiba kama ifuata$yo) !i" !ii" Wabunge wote wa Bunge la *amhuri ya Muungano+ Wajumbe wa Baraza la Wawakili#hi la ,anzibar+ na Wajumbe +,- kwa mujibu wa Kifungu -a. ''!1&" &ha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ambayo inaonye#ha makundi mbalimbali 1. yanayohu#ika. Kwa mujibu wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, wajumbe '.1 wanatakiwa kuteuliwa kutoka katika makundi yafuatayo) !i" !ii" !iii" !i$" !$" !$i" !$ii" !i4" !4" /aa#i#i zi#izokuwa za Ki#erikali !'." /aa#i#i za Kidini !'." 0yama $yote $ya Sia#a $yenye U#ajili wa Kudumu !1'"+ /aa#i#i za 2limu !'."+ Watu wenye Ulema$u !'."+ 0yama $ya Wafanyakazi !13"+ 0yama $ina$yowakili#ha Wafugaji !1."+ 0yama $ya Wakulima !'."+ na 0ikundi $ya Watu wenye Malengo yanayofanana !'.". !$iii" 0yama $ina$yowakili#ha wa$u$i !1."+ M&hakato wa uteuzi ulianza kwa kutoa /angazo la Mwaliko katika 5azeti la Serikali, T"n."/o #" Se0 1"# N"2 33* #" t"0ehe -* 4ese56"' +,-* . /angazo hilo lilitolewa kwa lugha ya Ki#wahili na Kiingereza ili kuyaalika makundi yaliyotajwa ki#heria kuwa#ili#ha ma%endekezo ya majina kwa ajili ya uteuzi katika Bunge Maalum la Katiba. (idha, /angazo hilo lilitangazwa %ia katika magazeti mbalimbali yanayo#omwa ha%a n&hini. 6amoja na mambo mengine, /angazo hilo lilitamka ukomo wa muda wa taa#i#i na makundi kuwa#ili#ha ma%endekezo ya majina ya wajumbe kuwa ni tarehe ,+ 7"n!"0 +,-3. Ma%endekezo hayo yalitakiwa kuwa#ili#hwa kwa K"t 6! M1!! K on.o/ wa Serikali ya *amhuri ya Muungano wa /anzania au kwa K"t 6! M1!! K on.o/ wa Serikali ya Ma%induzi ,anzibar. Ma%endekezo hayo yalitakiwa kuwa#ili#hwa kwa njia ya 6"0!" 8" (ost" "! 6"0!" n"8o#et%" 1%" 51ono. Sheria haikutoa njia nyingine ya kuwa#ili#ha ma%endekezo. N n"9"h"5!' %en. ne %"n.e%e/" 1!t!5 " 6"0!" (e(e "! h"t" !:!56e 59!( %" 5"neno2 Sheria hai#emi hi$yo8 Kufuatia mwaliko huo, taa#i#i ;;3 kutoka /anzania Bara na -<) kutoka ,anzibar ziliwa#ili#ha ma%endekezo yao. Ma%endekezo hayo yalijumui#ha majina +'<=+ kwa u%ande wa /anzania Bara na kwa u%ande wa ,anzibar ma%endekezo hayo yalihu#i#ha watu )<3. :i$yo ba#i, taa#i#i na makundi mbalimbali yali%endekeza jumla ya majina *'=*=. (idha, watu --) waliji%endekeza wenyewe kinyume na matakwa ya ki#heria na kufanya idadi ya majina yaliyo%endekezwa kuwa *'<;3. Sheria ya Mabadiliko ya Katiba imeweka ma#harti katika uteuzi wa wajumbe +,- wa Bunge Maalum la Katiba. Ma#harti hayo, ni %amoja na wajumbe wa#io%ungua the#!th 5o:" wanatakiwa kutoka Z"n/ 6"0 na the#!th 56 # kutoka T"n/"n " B"0". Kwa #ababu hiyo, katika wajumbe +,-, wajumbe =< wanatakiwa kutoka ,anzibar na wajumbe -*3 wanatakiwa kutoka /anzania Bara. (idha, uteuzi huo unatakiwa kuzingatia >"> 8" %":!56e 1!to1" 1"t 1" 1 #" 1!n> 1"5" # $8o" n sh%" 1 she0 " . 0ile$ile, mgawanyo wa wajumbe wanawake na wanaume unatakiwa uwe n!s! 1%" n!s!. 6amoja na hayo, wajumbe hao wawakili#he #ura ya wanan&hi wa /anzania kwa ufua#i wa $yama $ya #ia#a, dini, umri, na maeneo wanayotoka. <ai# wa *amhuri ya Muungano wa /anzania aki#hirikiana na <ai# wa ,anzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Ma%induzi ,anzibar walikamili#ha uteuzi wa wajumbe +,- na majina ya walioteuliwa yalitangazwa tarehe < Fe60!"0 +,-3. Majina hayo yalitangazwa ku%itia taarifa kwa $8o56o $8" h"6"0 na %ia G"/et #" Se0 1"# kwa T"n."/o #" Se0 1"# N"2 +? la tarehe < Fe60!"0 +,-3. BARAZA LA MAASKOFU WA KIPENTEKOSTE TANZANIA 3. /arehe 11 =ebruari '.11, Baraza la Maa#kofu wa Ki%enteko#te /anzania lilitoa taarifa kwa $yombo $ya habari kuhu#u uteuzi wa Wabunge wa Bunge Maalum la Katiba. Baraza liliomba $yombo $ya habari lifiki#he ma#ikitiko ya Baraza kwa $iongozi na waamini wa Ki%enteko#te wote na jamii ya wa%enda haki ha%a n&hini, kutokana na kitendo &ha Serikali wanayoihe#himu, wanayoi%enda na kuiombea, kwa 1!# 6".!" na 1!# ten." Baraza li#ihu#ike na B!n.e M""#!5 #" K"t 6". 1.. Katika /aarifa yake kwa $yombo $ya habari, Baraza la Maa#kofu wa Ki%enteko#te /anzania limeeleza kuwa kwa >?utaratibu tuliojiwekea katika utawala wa Baraza letu, hakuna Kanisa moja, mchungaji binafsi, mwamini, anaweza kujitwalia heshima, kuchukuliwa au kupewa haki na chombo chochote cha Serikali katika nchi yetu kwa nia ya kuwakilisha wapentekoste, bila kupata idhini toka kikao halali cha Kamati Kuu ya Utendaji ya PC ! aifa?. 11. Kwa kuzingatia utaratibu huu @Kamati Kuu ya Utendaji ya PC ! aifa katika kikao chake cha tarehe "#$%#%&$' ilipendekeza kwa (heshimiwa )ais majina ya wajumbe wake iliowaona kuwa wanafaa kuchaguliwa katika Bunge (aalum la Katiba, lakini cha kusikitisha kati ya hao hakuna jina la mjumbe hata mmoja ambaye alichaguliwa na (heshimiwa )ais katika Bunge (aalum la Katiba?. 1'. /aarifa hiyo imeeleza %ia, *+ Serikali imeona hatufai na hatuna sifa za kuweza kuchaguliwa katika Bunge (aalum la Katiba, na badala yake ikaamua kuteua majina ya wajumbe toka katika taasisi nyingine za kidini zenye hadhi kama yetu za ,aislamu, ,akatoliki, ,aprotestanti na ,ajumbe wengine binafsi kwa ,apentekoste+. anzania Bara na -isiwani na kuwaacha UFAFANUZI WA SERIKALI 1 . Kwanza kabi#a, na%enda kuwahakiki#hia watanzania na ha#a wale waliolengwa na taarifa ya Baraza, kwamba Serikali haikuu%uzia kundi lolote lililoani#hwa kwa mujibu wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba kuwa#ili#ha ma%endekezo ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba. Serikali inalihe#himu Baraza na tunali#hukuru #ana katika juhudi inazozifanya kwa %amoja na Serikali katika kuwaendeleza wanan&hi wa /anzania. 11. Kutokana na umuhimu wa makundi mbalimbali, jumla ya 5"1!n> );, yaliwa#ili#ha ma%endekezo ya 5": n" *'=*=. Katika makundi haya 87., kulikuwa na ma%endekezo kutoka t""s s "! 5"1!n> 8" 1 > n <+ ambayo yali%endekeza jumla ya 5": n" 3+?. Kwa u%ande wa /anzania Bara, taa#i#i za 1 > n ;; ziliwa#ili#ha ma%endekezo yenye jumla ya 5": n" *33. (idha, Serikali ili%okea 5"(en>e1e/o --) kutoka kwa walioji%endekeza wenyewe8 :i$yo, #iyo kweli kuwa Serikali ili%uuza ma%endekezo kutoka kundi fulani ikiwa ni %amoja na Baraza la Maa#kofu wa Ki%enteko#te /anzania. Serikali hii ni kwa ajili ya watu na makundi yote. (idha, Katiba yetu haibagui watu au makundi ya watu kwa lengo la kuwanyima au kuwako#e#ha haki. 17. Kufuatia taarifa ya Baraza la Maa#kofu wa Ki%enteko#te /anzania kwa $yombo $ya habari kuwa ma%endekezo yao yame%uuzwa, kwa kuanzia Serikali imefuatilia kama kweli Baraza hilo liliwa#ili#ha ma%endekezo. Kwa kuwa ma%endekezo yote yaliyowa#ili#hwa yaliwekwa katika kanzi data ya m#ingi !primary data base/ kwa ajili ya u&hambuzi, utafutaji kwa kutumia kom%yuta 0computer search or find/ ulifanywa ili kubaini kama kulikuwa na ma%endekezo kutoka Baraza kati ya ma%endekezo 87. yaliyowa#ili#hwa. 19. Kwa kuwa hakukuwa na taarifa za majina ya walio%endekezwa, jina la taa#i#i na majina ya maa#kofu watano !7" walio#hiriki katika utoaji taarifa kwa $yombo $ya habari yalitumika katika kubaini kama wao %ia walikuwa miongoni mwa walio%endekezwa. Utafutaji wa huu haukubaini kuwa Baraza ilikuwa moja ya taa#i#i zilizowa#ili#ha maombi. (idha, ha%akuwa na jina hata moja la $iongozi wa Baraza walioiti#ha $yombo $ya habari kutoa taarifa. 1;. 6amoja na kwamba haikutarajiwa kuwa $iongozi wa taa#i#i hii kuji%endekeza wenyewe, na hi$yo kuwa 5 on.on 5%" %"t! --) walioji%endekeza wenyewe, juhudi za Serikali zilijielekeza kutafuta enda%o kulikuwa na ma%endekezo kundi hili. :ata hi$yo, utafutaji haukubaini majina ya $iongozi hawa kuwe%o katika orodha hiyo. 18. Kulikuwa na uwezekano %ia, Baraza liliwa#ili#ha ma%endekezo ambayo yalifika kwa Katibu Mkuu Kiongozi nje ya muda ulio%angwa ki#heria wa tarehe + 7"n!"0 +,-3. U&hambuzi wa 5"(en>e1e/o ;+ "56"8o 8"# %"s # sh%" n:e 8" 5!>" h"!1!6" n 1!%e(o 1%" 5"(en>e1e/o kutoka Baraza la Maa#kofu wa Ki%enteko#te /anzania. 13. :i$yo, juhudi za Serikali katika kufuatilia uwe%o wa ma%endekezo kutoka B"0"/" #" M""s1o9! %" K (ente1oste T"n/"n " hazikuweza kuthibiti#ha kuwa Baraza lilituma ma%endekezo yake kama ili$yokuwa imeagizwa na Sheria ya mabadiliko ya Katiba8 UWAKILISHI WA MA4HEHEBU YANAYOUN4A BARAZA LA MAASKOFU WA KIPENTEKOSTE TANZANIA '.. Kwa kufahamu umuhimu wa makundi mbalimbali ya kidini ikiwa ni %amoja na Baraza la Maa#kofu wa Ki%enteko#te /anzania unaoundwa na Maa#kofu Wakuu wa madhehebu ya ki%enteko#te ya%atayo ;7, uteuzi wa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba ulihakiki#ha kuwa makundi ya kidini yanawakili#hwa i%a#a$yo. '1. Mgawanyo wa idadi ya %":!56e +, kutokana na makundi ya kidini baina ya /anzania Bara na ,anzibar kwa kuzingatia uwiano wa moja ya tatu ya wajumbe kutoka ,anzibar ulimaani#ha kuwa katika kundi hili, %":!56e < wangekuwa wanatoka ,anzibar na %":!56e -* wangekuwa wanatoka /anzania Bara. Uteuzi wa wajumbe katika kundi hili umezingatia kigezo hiki. ''. Kufuatia uteuzi uliofanywa tarehe < Fe60!"0 +,-3, u&hambuzi wa majina ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba umebaini kuwa kati ya %":!56e -* kutoka taa#i#i za kidini wa /anzania Bara walioteuliwa, mjumbe mmoja !1" aitwaye B 6 Res(" M .!5" A>"5 ameteuliwa kutoka E$"n.e# st & Asse56# es o9 Go> T"n/"n " (EAGT)' 6atmo# 0i#ion, Kigamboni Ahur&h2 E$"n.e# st & Asse56# es o9 Go> T"n/"n " ni moja ya madhehebu ambayo maa#kofu wake wakuu wanaunda Baraza la Maa#kofu wa Ki%enteko#te /anzania. ' . :i$yo, tamko la Baraza la Maa#kofu wa Ki%enteko#te kuwa wanabaguliwa halina ukweli kwa kuwa u&hunguzi tulioufanya haujathibiti#ha kuwa Baraza lilileta ma%endekezo. -i $yema Baraza likafanyia kazi kwa nini kama kulikuwa na ma%endekezo, hayakufiki#hwa kwa Katibu Mkuu Kiongozi !Bar e# Salaam" au Katibu Mkuu Kiongozi !,anzibar". -inaamini kabi#a kama ma%endekezo hayo yangekuwa yamewa#ili#hwa, Mhe. <ai# ange&hagua mwakili#hi kutokana na ma%endekezo hayo. HITIMISHO '1.Uteuzi wa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba uliofanywa na Mhe. <ai# wa *amhuri ya Muungano wa /anzania kwa ku#hirikiana na Mhe. <ai# wa ,anzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Ma%induzi ,anzibar tarehe ; =ebruari '.11, 1%" n"5n" 8o8ote #e h"!1!%" n" n " 8" 1!# 6".!" B"0"/" #" M""s1o9! %" K (ente1oste T"n/"n ". '7. Kuna kila #ababu ya kuamini kuwa ma%endekezo ya Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kutoka Baraza la Maa#kofu wa Ki%enteko#te /anzania hayakuwa#ili#hwa kwa K"t 6! M1!! K on.o/ kama #heria ili$yohitaji. '9. 6amoja na kuwa Baraza la Maa#kofu wa Ki%enteko#te /anzania hawakuweza kuwa#ili#ha ma%endekezo yao kama ili$yotakiwa, tunaamini kuwa Baraza, kama ili$yo kwa wanan&hi wote, litawakili#hwa $yema na wajumbe walioteuliwa ambao wanajumui#ha mjumbe aliyeteuliwa kutoka moja ya madhehebu yanayounda Baraza la Maa#kofu wa Ki%enteko#te /anzania. I5eto#e%" n") Kurugenzi ya Mawa#iliano ya <ai#, I1!#!. Bar e# Salaam. -? Fe60!"0 +,-3 DR. CHRIS OKAFOR (THE SUPREME PROPHECY OF GOD) IN TANZANIA Tecno Dude Mkombozi Wa Watanzania
2019-08-18T00:19:46
https://www.scribd.com/document/207955344/TAARIFA-YA-UFAFANUZI-KUHUSU-BARAZA-LA-MAASKOFU-WA-KIPENTEKOSTE-TANZANIA-PENTECOSTAL-COUNCIL-OF-TANZANIA-KUTOKUWA-NA-UWALIKILISHI-KATIKA-BUNGE-MAALUM
[ -1 ]
DK MANDAI: Viungo vitatu vyenye uwezo wa kupunguza maumivu ya mwili Viungo vitatu vyenye uwezo wa kupunguza maumivu ya mwili Naamini unaweza kuwa wewe ni miongoni kati ya watu ambao kuna baadhi ya siku umeamka na kujikuta unamaumivu sehemu mbalimbali za mwili wako. Maumivu hayo ya viungo huweza kusababishwa na sababu mbalimbali, ikiwa ni pamoja na uchovu wa kazi, safari na wakati mwingine huwa ni moja ya dalili za magonjwa fulani fulani. Leo napenda tufahamu hivi viungo vya aina tatuvi ambavyo huweza kusaidia kupunguza tatizo hilo.
2017-10-18T23:58:17
http://www.dkmandai.com/2017/03/viungo-vitatu-vyenye-uwezo-wa-kupunguza.html
[ -1 ]
Uvira at Haki za wagonjwa wa kitshwa Katika jamii ya Kongo ya Kidemocrasia, kwa upekee katika mashariki mwa Kongo, wagojwa wa kitshwa wanaonekaka siku kwa siku kwenyi ma barabara. Kwa nini watu wana fikiya ku gonjwa kitshwa? namna gani hii magonjwa yanaweza tunzwa? Ku orozwa kwa watoto kwenyi serikali Kila mtoto ana haki ya ku orozeshwa kwenyi serkali. jambo hilo lime zarauliwa na wazazi wengi na kwa wengine, halijajulikana bado ijapokuwa ku orozwa ka mtoto mbele ya serikale ni jambo la muhimu kwa kujulikana kiraiya (Français) Allégeances incertaines de l’armée de la RDC suite aux élections (Français) D’anciens groupes armés intégrés à la force nationale continuent de suivre leurs propres agendas, menaçant les espoirs d’une stabilité à long terme. (Français) Retour sur les élections en RDC (Français) Près de deux mois après les élections présidentielles et législatives du 28 novembre 2011, l’actualité en République Démocratique du Congo est toujours dominée par la crise électorale. Retour sur les points marquants du processus électoral. Polisi na jeshi, tofauti gani? Kazi ya jeshi na polisi ina fananishwa na raiya mashariki mwa jamuhuri ya kidemocratia ya Kongo. Kipindi Face a la justice kina fasiriya ni nini kazi ya kila mmoja na kina fanya utafiti ku husu kutumika kinyume ya mamlaka ya wamoja na wengine. Kumaliza ubaguzi zidi ya zeruzeru (kasa) Kumaliza ubaguzi zidi ya zeruzeru (kasa) Mashariki mwa Kongo RDC pia katika inchi nyingi za kiafrika, zeruzeru ama kasa wanabaguliwa sababu ya rangi ya ngozi ya mwili yao. Ugonjwa huo yatokana na seli za mwili. kipindi Face à la Justice yapiganisha mawazo mabaya kuwa ni mashetani.
2013-06-19T16:25:32
http://uhakinews.net/sw/regions/uvira/
[ -1 ]
October 08, 2018 by John Stephen Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Mpoki Ulisubisya ameagiza Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kuendelea kutoa huduma za afya kwa njia ya mkoba katika hospitali za rufaa nchini na b ... October 07, 2018 by John Stephen Wataalamu wa afya kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) wamewasili leo Musoma, mkoani Mara kwa ajili ya kutoa huduma mbalimbali kwa wakazi wa mkoa huo kwa njia ya mkoba pamoja na kujenga uwezo kwa wataalamu wa hospitali za r ... September 26, 2018 by John Stephen Upasuaji huo ambao ulitumia saa tano ulifa ... September 18, 2018 by John Stephen September 17, 2018 by John Stephen
2020-08-03T15:45:47
http://www.mnh.or.tz/muhimbiliblog/index.php?page=25
[ -1 ]
Kama una saratani - Hesperian Health Guides Kama una saratani HealthWiki > Toleo Jipya: Mahali Pasipo na Daktari > Kama una saratani Sura: Saratani Saratani ni ugonjwa gani? Matibabu ya saratani Saratani na ukosefu wa usawa katika upatikanaji huduma Saratani za kawaida Saratani miongoni mwa watoto Wafanyakazi wa afya wanaweza kutoa msaada zaidi kwa watu wenye saratani Kupunguza maumivu makali ya saratani Saratani nyingi zinaweza kuzuilika Kugundua kuwa una saratani kawaida ni jambo la kushtua, kwa maelezo rahisi. Lakini kuna mambo kadhaa ambayo unaweza kufanya kupambana na saratani na kupata unafuu zaidi. Kama unafikiri una saratani, jaribu kutafuta daktari au kiliniki yenye uzoefu wa kushughulikia saratani. Unaweza kuhitaji zaidi ya kipimo 1 kupata uhakika. Kama utambiwa una saratani, muulize daktari juu ya ugonjwa huo. Mambo gani huwapata watu wengi ambao wana aina hii ya saratani? Unaweza kufanya nini ili kuishi maisha marefu zaidi au kunusurika na saratani? Tafuta matibabu haraka. Saratani nyingi zinaweza kutibiwa kwa mafanikio ikiwa zitabainishwa mapema. Kuna njia gani tofauti za matibabu? Njia hizi za matibabu zina madhara gani ya pembeni? Ongea na watu wengine wenye saratani. Kawaida wana ushauri muhimu na ni waelewa na wasikilizaji wazuri hasa kama wamekuwa na saratani kama ya kwako na sasa wanaendelea vizuri. Usiamini maneno ya kupotosha au hadithi zisizo za busara kutoka kwa marafiki na wanafamilia. Mara nyingi hazina ukweli. Kula chakula chenye virutubishi hukufanya uendelee kuwa na nguvu zaidi. Fanya mazoezi kila siku — hata matembezi mafupi. Tafuta njia ya kupumzika, kwa mfano yoga, taamuli (meditation), au kuamua tu kubaki peke yako kwa dakika chache. Tafuta watu ambao wanaweza kukusaidia. Saratani na matibabu yake yanaweza kusababisha uchovu, kichefuchefu, na maumivu. Saratani pia inaweza kulemaza na kufanya vigumu mtu kutembea hapa na pale au kufanya kazi. Mfanyakazi wa afya anaweza kufahamu miongozo, vitabu na machapisho mbalimbali vya kukusaidia. Juhudi za kuboresha afya na maisha ya mgonjwa lazima zipewe kipaumbele katika matibabu ya saratani. Kugundua kwamba una saratani, kutibiwa na kuukubali ugonjwa huu ni mambo magumu kisaikolojia. Fikra na hisia za kupoteza matumaini au kujawa na wasiwasi ni kawaida. Hivyo huduma ya kukabiliana na matatizo ya kisaikolojia (kiakili na kihisia) ina umuhimu sawa na huduma zingine za kitabibu. Kuna njia kadhaa za kupata huduma na misaada ya kisaikolojia. Pata muda wa kutosha kukaa na watu unaowapenda. Zungumzia hisia na wasiwasi wako na mtu unayemwamini. Omba au shiriki katika shughuli za kiroho na waumini wenzako. Endelea na shughuli ambazo huwa unafurahia. Pumzika na kustarehe kwa muziki, taamuli (meditation), na mazoezi ya kistaarabu. Kwa taarifa zaidi jinsi ya kusaidia kutuliza hisia za msongo au wasiwasi, angalia sura ya Afya ya akili (inaandaliwa). Rudishwa kutoka "http://sw.hesperian.org/w/index.php?title=New_Where_There_Is_No_Doctor:Kama_una_saratani&oldid=520" Lugha zingine বাংলা English Español Kreyòl ayisyen ລາວ नेपाली Português 中文
2019-12-15T05:37:52
https://sw.hesperian.org/hhg/New_Where_There_Is_No_Doctor:Kama_una_saratani
[ -1 ]