text
stringlengths 44
187k
| timestamp
timestamp[us] | url
stringlengths 16
3.37k
| dup_ids
list |
---|---|---|---|
Maximiliano Herrera's Human Rights Site - MHERRERA | Data and Statistics - Сан Марино - knoema.com
| 2019-10-17T18:11:03 |
https://knoema.ru/atlas/sources/MHERRERA?regionId=SM
|
[
-1
] |
129. NG’WANIKI MARIA | Sukuma Legacy Project
Olihoi ng’waniki umo ilina lwakwe, Maria, uyo olina miaka ikumi nitandatu. Agikala musi ya Misri. Umo wikaji bhokwe olina nhungwa mbi noi ya bhulamba. Agabhiza agubhalondejaga bhanajeshi bhuli kwene uko bhajaga.
Nhangala ninghi witanagwa nu Mulungu anshokele aliyo kulwa gutongelwa na wikumbwa bhokwe bhubhi agaduuma.
Lushugu lumo agaja kuliKelesiya lwa Yerusalemu mulikanisa lwa ng’wa ntakatifu Ana. Ahoogema hangi na hangi ugunshindeka umunanyango kulo nguzu aliyo hei! Yalihoi nguzu iyo yanemejaga ugwingila.
Aho obhona giki odumaga ugwingila umu likelesia, agaja kusanamu ya ng’wa Bikira Maria, iyo yalibihi nu wei. Utuja mazwi na gulomba wambilijiwe kugiki apandike gugalucha inhungwa jakwe ijabhubhi.
Agagaluka nghana. Agandya gulila kunguno ya shibhi jakwe. Gwandija lushiku lunulo, ugwigwa moto go bhutogwa bho ng’wa Yesu umugati yakwe.
Agajileka ishibhi jakwe, na agandamiila Yesu Kristo. Agaja mulibambasi gujiluhya na gusalila.
Agabhiza Ntakatifu na aginhiwa jipaji ja gubhatongela bhanhu higulya ya gwikala wikaji bhutakatifu. Bhamsenyele na bha Badri bhagaja gujumona na gundegeleka. Agang’wizuka Yesu.
Bhuli lushiku isala yakwe, yali Yesu! Yesu! Yesu! Niyabhiza bhuyegi ile duligwe Ililaka lwako.
KISWAHILI: MCHANA MARIA
Alikuwepo msichana mmoja jina lake Maria, mwenye umri wa miaka kumi na sita. Aliishi katika nchi ya Misri. Katika maisha yake alikuwa na tabia mbaya sana ya umalaya. Akawa anawafuata wanajeshi kila mahali wanapokwenda.
Mara nyingi aliitwa na Mungu kutubu na kumrudia, lakini kwa sababu ya kutawaliwa na tamaa mbaya alishindwa. Siku moja alikwenda Yerusalemu kwenye kanisa la Mtakatifu Anna.
Alipofika kwenye mlango wa kanisa hilo, alijaribu kuingia lakini alishindwa. Alijaribu tena na tena kuusukuma mlango kwa nguvu lakini wapi! Kulikuwepo na nguvu iliyomzuia kuingia. Alipoona ameshindwa kuingia kanisani, akaenda kwenye sanamu ya Bikira Maria, iliyokuwa karibu naye, akapiga magoti na kumwomba msaada ili apate kubadili tabia yake mbaya.
Alibadilika kweli, akaanza kulia kwa sababu ya dhambi zake. Tangu siku hiyo, aliusikia moto wa upendo wa Yesu ndani yake. Akaziacha dhambi zake, na akamng’ang’ania Yesu Kristo.
Akaenda jangwani kujitesa kwa kufunga na kusali. Akawa mtakatifu na akapewa kipaji cha kuwaongoza watu namna ya kuishi maisha ya Utakatifu. Maaskofu na mapadri walikwenda kumwona na kumsikiliza. Alimkumbuka Yesu. Kila siku sala yake ilikuwa Yesu! Yesu! Yesu! Ingekuwa heri leo tusikie sauti yako.
Posted in Sukuma Stories and tagged Folklore, heritage, proverbs, Riddles, sayings, Songs, stories, Sukuma, Tanzania on June 16, 2018 by sukumalegacy. Leave a comment
← 128. NAMHALA NGUGU
130. JIGANO JA NG’WA ZAKARIA →
| 2018-07-21T01:32:11 |
https://sukumalegacy.org/2018/06/16/ngwaniki-maria/
|
[
-1
] |
MICHARAZO MITUPU: Ronaldo, Messi hawashikiki kwa mkwanja mnene duniani
WANANUKA pesa. Labda ubishe tu, lakini imefichuliwa kuwa nyota wanaochuana kwa sasa duniani, Lionel Messi na Cristiano Ronaldo ndio wanamichezo wanaolipwa zaidi duniani.
Kwa mujibu wa Jarida maarufu la Forbes la Marekani limewataja nyota hao kuwa vinara duniani kwa kuvuta mkwanja wa maana wakiwazidi wanamichezo wengine.
Nyota wa Real Madrid, Ronaldo ndiye anayeongoza orodha hiyo kwa kukunja kitita cha Pauni Milioni 60.9 katika kipindi cha miezi 12 iliyopita, huku nyota wa Barcelona Messi akijikusanyia kiasi cha Pauni Milioni 56.3.
Mkali wa mchezo wa Gofu, Tiger Woods na bondia Floyd Mayweather ndio waliokuwa wakitawala orodha hizo kwa muongo mmoja uliopita, lakini Woods akiandamwa na majeruhi na kushuka kiwango na Mayweather akiwa amestaafu Ronaldo na Messi wamepanda na kuongoza orodha hiyo kilaini.
Ronaldo anakuwa mwanamichezo wa pili kutoka katika timu baada ya nguli wa mpira wa kikapu Michael Jordan kuongoza orodha hizo toka jarida hilo lilipoanza kukokotoa vipato vya nyota vya wanamichezo mbalimbali mwaka 1990.
Nyota wengine waliopo katika orodha hiyo ni nyota wa mpira wa kikapu Lebron James anayeshika nafasi ya tatu kwa kuingiza Pauni Milioni 53.4, nyota wa tenisi Roger Federer anashika nafasi ya nne akiingiza Pauni Milioni 46.9 na mkali mwingine wa Kikapu, Kevin Durant anakamilisha Tano Bora kwa kuingiza Pauni Milioni 38.6.
Mastraika matata kwa kufumania nyavu Neymar, Zlatan Ibrahimovic na Gareth Bale ndio wachezaji soka wengine pekee waliopo katika orodha hiyo wakiwa katika nafasi ya 21, 22 na 25 kwa kuingiza kiasi cha Pauni Milioni 25.8, 25.7 na 24.7.
| 2017-08-18T04:49:09 |
http://micharazomitupu.blogspot.com/2016/06/ronaldo-messi-hawashikiki-kwa-mkwanja.html
|
[
-1
] |
Umoja wa Ulaya - Urari wa Biashara ya
Sasa Akaunti Ya Pato La Taifa 1.30 1.30 1.30 -2.20 Asilimia [+]
Mauzo Ya Nje 173369.20 156656.50 179997.80 42243.20 Eur - Milioni [+]
Uagizaji 170429.10 158567.40 187876.90 52217.00 Eur - Milioni [+]
Urari Wa Biashara Ya 2940.00 -1910.80 21400.30 -34765.70 Eur - Milioni [+]
Sasa, maadili, data ya kihistoria, utabiri, takwimu, chati na kalenda ya kiuchumi - Umoja wa Ulaya - Urari wa Biashara ya.
| 2019-05-26T05:06:10 |
https://sw.tradingeconomics.com/european-union/balance-of-trade
|
[
-1
] |
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=UEFA&oldid=1000908"
Ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 22 Mei 2017, saa 07:22.
| 2018-04-21T17:04:29 |
https://sw.wikipedia.org/wiki/UEFA
|
[
-1
] |
Hiki kisasi ni kibokoooo!!!!! | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Hiki kisasi ni kibokoooo!!!!!
Discussion in 'Mahusiano, mapenzi, urafiki' started by Chipyopyo, Jun 5, 2010.
Muoneni huyu dada ambaye alianza kusema hivi:
Sikia Chip, wewe unanifamu long time na mahusiano yetu kwa kiwango kikubwa unayafahamu. Sijamkosea Josh wala kumfanyia hiyana yoyote ile, hata yeye mwenyewe hajanikosea hata siku moja.
Josh ananijua tangu sekondari na hata nilipomaliza shule na matokeo kuwa mabaya ni yeye alinipeleka chuo akisaidiana na wazazi wangu hadi nikamaliza ngazi ya cheti.
Pia diploma ni yeye ndiye aliyefanya kazi kubwa mpaka nikamaliza na akanishauri niende kusoma shahada kabla ya kuanza kazi nikaona ni jambo jema.
Nikaprocess chuo nikapata huku Dar na kwa kuwa nilibahatika kupata mkopo full niliona nisimsumbue kuhusu fedha na hasa kwakuwa alikuwa amekwisha introduce swala la ndoa, nikaona nimpe nafasi ya kujipanga vizuri.
Kinachoniuma hadi leo hii ni kuwa kilitokea kidudu mtu kikavunja penzi langu ghafla na wakafunga ndoa na mpenzi wangu Josh ambaye nilitaraji aje kuwa mume wangu mpendwa. Tukio hili sielewi lipangwa muda mrefu au limetokea ghafla mana tulikuwa bado tupo close sana mpaka nilipokuja ambiwa kuwa mwenzio anaoa sikuamini na sijaamini bado.
Sasa basi, kwa kuwa bado nampenda mpenzi wangu na najua na yeye bado ananipenda na isitoshe yeye ndiye aliyefanikisha kunifikisha hapa nilipo ambapo ndiyo ninamalizia degree yangu ya kwanza this June. Ni hivi nikitoka hapa (kumaliza chuo), nahakikisha naivunjiliako mbali ile ndoa na kisha naolewa mimi, Josh anajua kupenda, anajua kutunza, anajua kubembeleza, anajua kitandani unahitaji nini pia ni mwaminifu saana thus why naamini labda kashinikizwa kuoa haraka au kuna mchezo wa giza kachezewa. So! Nina sababu gani ya kumpoteza? Kama ni huruma kwa nini huyo mwanamke mwenzangu asingenionea mimi huruma kwani anatujua vizuri saaana.
Josh bado ananipenda thus why haishi kunijulia hali na pindi ninapokutana nae akiwa na huyo mkewe wa sasa huwa anshtuka na kufadhaika sana, zaidi ya yote anaonekana kuijutia hiyo ndoa ingawa anashindwa kuongea kwani amepungua sana na inaonekana hawaelewani vyema na mkewe.
Ni lazima Josh aje kuwa mume wangu, kanitoa usichana, sijamjua mwingine till now na sihitaji kumjua yeyote zaidi ya Josh
Tujaribu kumshauri jamani.
Oh hooo.... wajanja wamemuwahi??
Ajifanye 'Da Sophy' tu, atafaidi kiulaiiini. Duh! Ila namuonea hurumaa..... maskini. Lakini wanaume nini kinawaingia mpaka kuwatenda wenzenu kiasi hiki? GADEEEM! Ah!
Huyu dada ni m.pumbavu.
Yaani baada ya kumaliza chuo kufikiria utaishi vp na kuyakabili vp maisha ..ati anapanga kuvunja ndoa ya mwanamke mwenzake? Mhh..
Ngoja atolewe kilema cha maisha labda atatia akili.
utavunja ndoa hiyo, halafu uyo mwanamke atakupiga bom hilo litakalokufanya maisha yako na elimu yako yote usiifaidi, ulishawai kuwa kilema wewe.....we cheza na ndoa za watu tu...wivu wa ndoa una nguvu kama nyuklia dadangu...utajajilaumu sana.
...Tatizo tunaangalia sana hizi tamthiliya elfu kidogo zinazoonyeshwa na vituo vyetu vya runinga!
Kwa sababu mawasiliano kati yake na Josh bado yanaendelea suala la msingi akimaliza chuo aendelee na taratibu nyingine za kimaisha km kutafuta kazi au masomo zaidi. Iwapo kuna dili chafu ilichezwa na huyo mke wake wa sasa itajulikana tu na Josh atatambua ukweli na kurudisha penzi lake kwako. Iwapo Josh mwenyewe na huyo mke wake ndo wamecheza huo Mungu atamlipia na atapata mume mwema. Kumbuka ubaya haulipwi kwa ubaya. Thats the way it is!
Ndoa hailazimishwi, ndoa inapangwa na Mungu mwenyewe. Sikuzote likuepukalo halina kheri na wewe huenda kuwa hamjaowana na jamaa ikawa ni kheri yako, huwezi juwa kesho inakuwaje, kama ulivyokuwa hujuwi hatima yako na mwenzako ingekuwaje. Inawezekana ukitulia na kuwa na subira mkaowana bila kutarajia imekuwaje. Hakuna haja ya kufanya kisasi na bilisi mkaja kuumizana bure, hila hazifawi kwa wenye nia njema na busara, siku zote mpanda hila huvuna majanga.
Nadhani ni muhimu huyo binti akubali matokeo na ku-move on na maisha yake...;pia ni muhimu atambue kwamba life has got twists, bends, surprises etc which you are axpected to face one way or another...
Let her pull herself together and tread on...;it is not the end of the world after all... ainkiller:
Una kila sababu ya kuvunja hiyo ndoa, tena uwahi mapema kabla hajazaa nae, but think before you act, its fatal, ni dhambi!
Una kila sababu ya kuvunja hiyo ndoa, tena uwahi mapema kabla hajazaa nae, but think before you act, its fatal, ni dhambi!Click to expand...
Ngoja amwagiwe tindikali usoni tuone kama Josh ataendelea 'kumpenda' na 'kumjali'..he he he..
...........ukitaka kumfaidi Josh wako kwa muda mrefu,we mtafute muwe mnakula nae uroda...najua hawezi kukataaa!!!! ikibidi hata beba mimba yake kwa ukumbusho lakini usivunje ndoa yake!
Acha dada acha kabisa kulipiza kisasi kama hiki! Ndiyo tunajua kuwa wanaume ni wachache lkn naamini ukitulia Mungu atakupa aliyekuwa bora zaidi kuliko huyo Josh. Ifahamike pia mwanaume anaweza kuyajenga mapenzi ambayo hayakuwa moyoni hata baada ya kumuona tu mwanamke, hivo ucjidanganye kuwa hampendi huyo mkewe. Angalia upande wa pili wa shilingi ili usiyakose yote (Mume na elimu):target:
Mimi nilifikiri huyu dada atashukuru kuwa Josh alikuwa malaika aliyeletwa kwakwe ili amsomeshe na sio ili awe mume wake!
ushauri mwingine kama wa pepo vile!
Swali ni kwamba.... Alikuwa anampenda au alikuwa anamuonea huruma??
...Tatizo tunaangalia sana hizi tamthiliya elfu kidogo zinazoonyeshwa na vituo vyetu vya runinga!Click to expand...
umenifanya nicheke saana
Huyu dada sio "marriage material". bila shaka ni "simple sex material". Anaweza kuendelea kutoa huduma kwa jamaa, if he needs it anyway...
hivi wife material na asiye wife material inakuwaje???nini tofauti yake?
People mna mioyo nyinyi????
Sioni tatizo la huyu dada.....
All is fair in love and war............
Aaachane na mawazo ya kuvunja ndoa ya mwenzake, nae ajipange kimaisha na atapata mtu mwingine atakayempenda zaidi ya huyo Josh.
| 2017-04-30T17:25:26 |
https://www.jamiiforums.com/threads/hiki-kisasi-ni-kibokoooo.63673/
|
[
-1
] |
Kwa macho yao: Pamoja na uzee wake hajaacha yale aliyokua akiyafanya miaka ya nyuma…
Ni mpenzi wa kutembea kwenda kwa Hussein toka zamani, tangu ilipo kua njia ya Misimiyya ndio njia pekee ya kujikinga na unyanyasaji wa utawala uliopita, anapita katika njia inayo mkumbusha safari zake za zamani.
Anaenzi mwenendo unaofatwa na mazuwaru wa Sayyid Shuhadaa kwa kuingia katika njia za watembea kwa migii akiwa anajihakikishia pepo kwa kila hatua anayo piga, bibi (Sakina Abbasi) amesafiri kutoka kusini ya mto wa Furat na kuelekea katika mji wa Karbala, akikusudia kutekeleza ahadi aliyo weka kwa bibi Zaharaa (a.s) hakuwahi kuhalifu ahadi yake hata baada ya kufikisha umri wa zaidi ya miaka themanini.
Wala azma yake haija vunjika kutokana na watoto wake walio pata shahada (walio uwawa) katika njia ya Hussein, amani iwe ndani ya moyo wako ewe mama wa wairaq, ukiwa pamoja na mwanao unakwenda kufanya ziara ya Arubaini, amani ienee katika uzee wako mtukufu ewe bibi mwenye subira.
Kumbuka kua mradi wa (kwa macho yao) ni mradi wa kiutangazaji unaofanywa na kitengo cha habari na utamaduni cha Atabatu Abbasiyya tukufu, unalenga kukuletea picha halisi ya ziara ya Arubaini ya Imamu Hussein kupitia jopo la waandishi wa habari wa kiarabu na kiajemi kutoka vyombo tofauti vya habari.
| 2020-03-30T23:43:38 |
https://alkafeel.net/news/index?id=7401&lang=sw
|
[
-1
] |
Utakapojua Hujui Ndipo Utakapojua: Obama anatazama nini?
Posted by Ansbert Ngurumo at 10:09 pm
(wacha nijaribu) nadhani alikuwa akisubiri mkono wa dada aliyeko nyuma yake akawa hauoni akageuka kidogo kama kuupokea wakati huyo dada mwingine anapita basi ndo hata taswira ionekane kama vile anamtizama huyu mdada anayeelekea kule... sijui lakini alikuwa akitizama nini kwa hakika, yeye ndo ana ukweli rohoni mwake...
na huyo wa Ufaransa sijui alipatwa na butwaa ya kuona nini haswa, sijui kwa kweli hawa waitu...
Obama alikuwa akishuka na hiyo picha iliyoonekana kuzusha maswali mengi kuliko majibu kwa upande wa Obama imeeleweshwa na Video hii inayopatikana http://www.youtube.com/watch?v=-kKK66gpVLo ambapo yaonesha kuwa Obama hakuna na mpango na kile kinachoonekana kuangaliwa hapo, japo swali bado labaki kwa Rais wa Ufaransa.
Tazama hiyo Video kujibu swali hili muhimu.
hii picha imetengenezwa,that gal amewekwa hapo from other events,kuna kampeni kubwa inafanywa na wazungu wabaguzi wa marekani kumchafua Barack Obama, na kuonesha dunia kuwa black can not do it better like white .
and this and other photoz like this intend to do the same!
weusi tuamkeni kumekucha!
Duh, kweli watu mnafuatilia, sikufikilia kama itaweza kuwa imetengenezwa kama jamaa hapo juu alivodai. Mi nlihisi Mr President amemuangalia tu huyo mdada. Sasa na Srkozy nae mbona anacheka na kujishika kama asiye na kazi ? Amekaa ki'mea mbea sana hapo !
| 2017-12-17T02:22:42 |
http://ngurumo.blogspot.com/2009/07/obama-anatazama-nini.html
|
[
-1
] |
Marjaa Dini mkuu amelaani uvunjifu wa amani uliotokea katika mji wa Najafu na amesisitiza ulazima wa jeshi la serikali kubeba jukumu lake.
Marjaa Dini mkuu amelaani uvunjifu wa amani uliotokea Jumatano iliyopita katika mji wa Najafu, na ametoa pole kwa familia zilizo poteza wapenzi wao pamoja na kuwaombea majeruhi wapone haraka, amesisitiza ulazima wa jeshi la serikali kubeba jukumu la kulinda amani na utulivu, wala hakuna sababu za kutofanya hivyo.
Amesema hayo katika khutuba ya swala ya Ijumaa leo (12 Jamadal-Aakhar 1441h) sawa na (7 Februari 2020m) ndani ya ukumbi wa Imamu Hussein (a.s) iliyo tolewa na Mheshimiwa Sayyid Ahmadi Swafi.
(Wakati ambao Marjaa Dini anakemea uvunjifu wa amani wa kila aina, na kuzipa pole familia zilizo poteza wapenzi wao na kuwaombea majeruhi wapone haraka, anasisitiza aliyosema siku za nyuma kua hatuwezi kuacha kutegemea jeshi la serikali katika kuzuwia fujo na vurugu na kujitenga na serikali kwa ujumla, jeshi ndio lenye jukumu la kulinda amani na utulivu, pamoja na kuimarisha amani na utulivu kwenye viwanja vinavyo tumiwa na waandamanaji, waovu wanajipenyeza na kufanya uharibifu jambo hilo halikubaliki, kazi ya kuwazuwia waovu hao ni jukumu la jeshi, wanatakiwa walifanye kwa weledi mkubwa bila kuleta madhara kwa watu wanaofanya maandamano ya amani, pamoja na kuzuwia uharibifu wa mali za umma na binafsi kwa aina yeyote ile).
| 2020-05-28T12:01:35 |
https://alkafeel.net/news/index?id=9996&lang=sw
|
[
-1
] |
Lipumba Aipasua CUF.......Wajumbe Warushiana Viti na Kutukanana, Mkutano Wavunjika | MPEKUZI
Mkutano huo umeahirishwa hadi utakapotangazwa tena. Advertisement
| 2017-02-22T12:54:20 |
http://www.mpekuzihuru.com/2016/08/lipumba-aipasua-cufwajumbe-warushiana.html
|
[
-1
] |
Tumebinafsisha kila kitu ispokuwa wake zetu | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Tumebinafsisha kila kitu ispokuwa wake zetu
Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Kurunzi, Oct 18, 2011.
Namesikiliza kipindi kichokuwa hosted mwandishi mkonge Wakuhenga channel Ten. Wakuhenga ameongea kwa uchungu sana kuhusu ubinafsishaji amesema tumebinafsisha kila kitu isipokuwa wake zetu.
Mchangiaji mmoja mhadhiri wa chuo kikuu Bashiri naye amesema tunashindwa hata kugema pombe na kutengeneza ugolo mpaka tuwaite wawekezaji.
Naona Makwaia wa Kuhenga alipitiwa kidogo.
Huko Igunga kuna mke 'alibinafsishwa' pia kwa 'mwekezaji' ili kupata ushindi wa chama. Kwa hiyo ufisadi hata katika wake/waume upo.
Hao mnaowaita wake zunu nao si wenu tena washachukuliwa long, mmejaa kujifariji kuwa wote walioendelea waliuza wake zao!
Wake zenu pia wamejibinafsisha kwa mabwana wa nje bila ninyi waume kujua. Ndo maana kwa uchungu wengine wanasema bora nchi yote iuzwe kila mtu achukue chake.
hata hiyo inakuja.......... ni ubia tu kwa kwnda mbele, we angalia kwa sasa infidelity iko level gani, almost 60%
hata hiyo inakuja.......... ni ubia tu kwa kwnda mbele, we angalia kwa sasa infidelity iko level gani, almost 60%Click to expand...
Mbona unapunguza namba Mkuu? nasikia iko above 80%, lakini usiniulize research hii ilifanywa lini na ni nani aliyeifanya - 1 people likes
Mchangiaji mmoja mhadhiri wa chuo kikuu Bashiri naye amesema tunashindwa hata kugema pombe na kutengeneza ugolo mpaka tuwaite wawekezaji.Click to expand...
Hausiboi wako kesha jibinafsishia mkeo
Mbona unapunguza namba Mkuu? nasikia iko above 80%, lakini usiniulize research hii ilifanywa lini na ni nani aliyeifanya Click to expand...
yalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.... dah, sio balaa hilo sasa???
60% si mbaya, ikifika 80% sijui DNA failure itakua iko level gani
sasa haya matoi imetuwekea ili tuyapoeleke wapi?
Inasikitisha sana, mpaka machozi yanantoka, watoto wetu watakuta nini kama sisi ambao tumekuta rasimali za kutosha hatuna faida nazo kaka na hawa wake walishawachukua kitambo wakiwapa hizo ajira zao si mpaka wawape gemu, nalia kwa uchungu kukwambia kwamba na wao wamebinafsishwa tena kabla ya vitu vingine... hihihihihihhi!
Inasikitisha sana, mpaka machozi yanantoka, watoto wetu watakuta nini kama sisi ambao tumekuta rasimali za kutosha hatuna faida nazo kaka na hawa wake walishawachukua kitambo wakiwapa hizo ajira zao si mpaka wawape gemu, nalia kwa uchungu kukwambia kwamba na wao wamebinafsishwa tena kabla ya vitu vingine... hihihihihihhi!Click to expand...
Hapo ni kweli kabisa, katika ile misingi ambayo baba wa taifa alisisitiza ni kujitegemea sasa kwakuwa wenzetu walipuuza na kuvunja msingi huu ambao ni muhimu kwa mtu aliye huru hatuna ujanja, na jambo la kusikitisha tena tunawawekea mazingira mazuri ili wawachukue kiulaini hii ni hatari sana kwa mstakabali wa kizazi kijacho.
| 2017-01-18T10:09:56 |
https://www.jamiiforums.com/threads/tumebinafsisha-kila-kitu-ispokuwa-wake-zetu.183686/
|
[
-1
] |
Wamachinga kusajiliwa na vitambulisho juu - MTILAH BLOG
Home / KITAIFA / Wamachinga kusajiliwa na vitambulisho juu
Wamachinga kusajiliwa na vitambulisho juu
"Ni matumaini yangu kuwa, wafanyabiashara wengi wadogo wadogo mkoani hapa, mtatumia fursa hii kujisajili kwa sababu ninafahamu wengi wenu malengo yenu siyo kuwa wafanyabiashara wadogo muda wote, bali mtakuza biashara zenu na kuwa wafanyabiashara wakubwa na hii itawezesha kuchangia mapato ya Serikali," amesema Daqqaro.
Kwa upande wake Kamishna Msaidizi wa Kodi za Ndani kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Abdul Zuberi ameeleza kuwa, zoezi hili la kuwasajili na kuwapatia vitambulisho wafanyabiashara wadogo limetokana na juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli.
"Ni ukweli usiopingika kwamba, Rais wetu kwa nyakati tofauti amekuwa akiwapigania na kutaka wafanyabiashara wadogo wadogo kutambulika rasmi na kupatiwa vitambulisho ikiwa ni pamoja na kutafutiwa maeneo rafiki ya kufanyia biashara zao," amesema Zuberi.
| 2019-06-19T12:06:24 |
http://www.mtilah.com/2018/05/wamachinga-kusajiliwa-na-vitambulisho.html
|
[
-1
] |
RICH DAD; Somo La Tano, Matajiri Wanavumbua Fedha. – Kisima Cha Maarifa
← Faida Tano (5) Za Kulala(Kusinzia) Mchana. NILICHOJIFUNZA LEO; Sababu Za Kihistoria Kwa Nini Scotland Ilitaka Kujitenga Na Uingereza. →
| 2017-10-20T09:00:26 |
http://www.kisimachamaarifa.co.tz/2014/09/19/rich-dad-somo-la-tano-matajiri-wanavumbua-fedha/
|
[
-1
] |
WAZIRI MUHONGO AANZA ZIARA YA SIKU 6 MKOANI MARA KUTEMBELEA MIRADI YA UMEME ~ UVCCM BLOG ","thumbnails"===n.vars.controlNav&&!0===n.vars.thumbCaptions){var c=s.attr("data-thumbcaption");""!==c&&void 0!==c&&(a+=''+c+"")}n.controlNavScaffold.append("
Ijumaa, 26 Desemba 2014
Home » » WAZIRI MUHONGO AANZA ZIARA YA SIKU 6 MKOANI MARA KUTEMBELEA MIRADI YA UMEME
WAZIRI MUHONGO AANZA ZIARA YA SIKU 6 MKOANI MARA KUTEMBELEA MIRADI YA UMEME
Waziri wa Nishati na Madini akiulizia utekelezaji wa umeme katika kijiji cha Kamgendi katika siku yake ya kwanza ya siku 6 za ziara katika Wilaya zote za Mkoa wa Mara
Meneja wa TANESCO mkoani Mara, Henry Byabato (kulia) akifafanua usambazaji wa umeme vijijini katika mkoa huo
Wananchi wakimsikiliza
| 2017-12-12T12:19:07 |
https://uvccmtz.blogspot.com/2014/12/waziri-muhongo-aanza-ziara-ya-siku-6.html
|
[
-1
] |
Vodacom Tanzania Plc yakabidhi zawadi kwa mshindi wa Milioni 290 za Tusua Mapene. - MWANAHARAKATI MZALENDO ™
Vodacom Tanzania Plc yakabidhi zawadi kwa mshindi wa Milioni 290 za Tusua Mapene.
Krantz Mwantepele 1:57:00 PM BIASHARA
Mshindi mkuu wa awamu ya kwanza ya promosheni ya Tusua mapene, Jackson A. Mwankemwa (51) ambaye ni mkazi wa kijiji cha Msasani, Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, akikabidhiwa mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi 290,409,580 na mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania PLC, Jacquiline Materu (kulia) wakati wa hafla iliyofanyika makao makuu ya Vodacom jijini Dar es Salaam jana, katikati ni afisa kitengo cha Kidijitali na Huduma za ziada wa kampuni hiyo Furaha Limu.
:Mshindi mkuu wa awamu ya kwanza ya promosheni ya Tusua mapene, Jackson A. Mwankemwa (51) ambaye ni mkazi wa kijiji cha Msasani, Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, akikabidhiwa mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi 290,409,580 na Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania PLC, Jacquiline Materu (kulia) huku akishuhudiwa na familia yake (wa pili kutoka kulia) ni dada yake Rose Mwankemwa, Togile Sampegete na mtoto wake wa mwisho Erick Jackson wakati wa hafla iliyofanyika makao makuu ya Vodacom Tanzania Plc jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Afisa wa kitengo cha Kidijitali na Huduma za ziada wa kampuni hiyo, Furaha Limu.
Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Tanzania PLC, Jacquiline Materu (kulia) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, mara baada ya kumkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi 290,409,580 mshindi mkuu wa promosheni ya Tusua mapene awamu ya kwanza, Jackson A. Mwankemwa (51) ambaye ni mkazi wa kijiji cha Msasani, wilayani RNGWE mkoani Mbeya.
By Krantz Mwantepele muda 1:57:00 PM
| 2018-10-19T04:15:03 |
http://www.mwanaharakatimzalendo.co.tz/2018/07/vodacom-tanzania-plc-yakabidhi-zawadi.html
|
[
-1
] |
Kilimanjaro Official Blog: KAMPUNI YA MARENGA INVESTMENT YAWEZESHA MAANDALIZI YA SIKU YA WAANDISHI WA HABARI DUNIANI...!
KAMPUNI YA MARENGA INVESTMENT YAWEZESHA MAANDALIZI YA SIKU YA WAANDISHI WA HABARI DUNIANI...!
Kikosi cha timu ya Marenga investment.
Timu ya Marenga inverstment na Waandishi wa habari zikiwa tayari kwa ukaguzi kabla ya kuanza kwa mechi
IKIWA Kesho waandishi wa Habari kote Duniani wanaadhimisha siku yao, ndani ya Mkoa Kilimanjaro waandishi wa habari wamesheherekea Maandalizi ya siku hii kwa bonanza kubwa ambalo limedhaminiwa na Kampuni ya Marenga investment. Bonanza hilo lilizikutanisha timu ya mpira wa pete ya wanawake ya waandishi wa habari dhidi ya Timu ya Wafanyakazi wa Marenga Investanisha Timu ya mpira wa pete ya wanawake ya waandishi wa habari dhidi ya Timu ya Wafanyakazi wa Marenga Investment wakati katika Matokeo ya mchezo huo wa awali uliochezwa mnamo wa saa saa nane kamili na matokeo ikawa ni timu ya waandishi wa habari walishinda kwa vikapu na 35 Marenga vikapu 12.
Baada ya mchezo huo ulifuatiia mchezo wa mpira wa miguuuu ambapo timu ya wafanyakazi wa Marenga walichuana na timu ya wafanyakazi wa Marenga investment walichuana na timu ya waandishi wa habari waliibuka kidedea kwa ushindi wa bao 5 - 3 dhidi ya Marenga investment. Hataa hivyo mgeni rasmi alikua ni Katibu wa chama cha soka Kilimanjaro ndugu Mohamedy Mussa Alisema Alisema huu ni wakati wa Wafanyabiashara na wadau wa michezo kujitoa katika michezo na kufufua michezo ndani ya mkoa Kilimanjaro huku akitoa pongezi za dhati kwa Kampuni ya Marenga Investment iliyopo Kiboriloni mjini Moshi kwa kudhamini Bonanza hilo.
Kocha wa Timu ya Marenga investmentakiwa na Maginga mwenye jezi ya blue wakitoa maelezo kwa timu ya wanawake kabla ya kipindi cha pili.
Timu ya wanawake waandishi wa habari ikiwa tayari kabla ya mechi.
Posted by King Jofa at 7:23 PM
| 2018-03-23T22:45:30 |
http://kingjofa.blogspot.com/2013/04/kampuni-ya-marenga-investment-yawezesha.html
|
[
-1
] |
Emma Morano - Wikipedia, kamusi elezo huru
Emma Martina Luigia Morano aliyezaliwa (29 Novemba 1899 - 15 Aprili 2017) alikuwa mwanamke wa Italia ambaye, kwa kifo chake akiwa na umri wa miaka 117 na siku 137, alikuwa wa saba kati ya watu walioishi miaka mingi zaidi duniani ambao umri wao ulikuwa umehakikishiwa, na mtu aliyeishi wa mwisho amehakikishiwa kuwa amezaliwa katika miaka ya 1800.
Yeye anaendelea kuwa mtu wa kale wa Italia milele na mtu wa pili wa Ulaya nyuma ya mwanamke wa Ufaransa Jeanne Calment.
Rekodi za Dunia za Guinness ilithibitisha kwamba Emma Morano wa Verbania, Italia, sasa ni mtu aliyeishi zaidi kuliko mtu yeyote duniani akiwa na umri wa miaka 117 na siku 137 na kumfanya awe mtu pekee ambaye maisha yake yamegusa karne tatu.
Je, unajua kitu kuhusu Emma Morano kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Emma_Morano&oldid=1024490"
Last edited on 19 Februari 2018, at 14:25
| 2020-01-17T15:27:20 |
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Emma_Morano
|
[
-1
] |
UJIJI RAHAA: MADAI YASIYO NA MSINGI KWAMBA IRANI INAPELEKA SILAHA NCHINI YEMEN
Posted by khamisi musa at 4:38 AM
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Bahram Qassemi ameashiria mashambulio ya Saudi Arabia dhidi ya Yemen yaliyoanza Machi mwaka 2015 na kuendelea hadi sasa na kueleza kwamba Wayemeni wana silaha nyingi sana ambapo bila ya kuzingaia ukweli huo, Saudia ilidhani itaweza kuhatimisha vita hivyo kwa manufaa yake ndani ya kipindi kifupi mno.
Qassemi ameyaeleza hayo katika mahojiano na jarida la Al-Arabiyyul-Jadidah linalochapishwa London, Uingereza. Katika mahojiano hayo, msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Iran amekanusha uvumi kwamba Iran inaisaidia Yemen kwa silaha na kufafanua kwamba baadhi ya nchi zinaituhumu Iran kuwa inapeleka silaha kimagendo Yemen hali ya kuwa kwa upande mmoja, Tehran haijajiingiza kijeshi wala kifedha katika mgogoro wa nchi hiyo na kwa upande mwengine Wayemeni hawahitaji silaha za Iran.
Aidha amesisitiza kwamba Saudia inapaswa iache tuhuma na siasa zake za kiadui dhidi ya Iran na kwamba endapo itafanya hivyo Tehran iko tayari kufanya mazungumzo ya pande mbili na Riyadh.
Kutangazwa habari za kutumwa silaha kimagendo nchini Yemen kutokea Iran ni upatu unaopigwa na mashirika na vyombo vya habari vya eneo kila baada ya muda ili kupata kisingizio cha kuyakariri madai kwamba Jamhuri ya Kiislamu inaingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo. Hata hivyo madai hayo katu hayajaweza kuthibitishwa; na hata Umoja wa Mataifa pia umekiri kuwa hakuna silaha yoyote iliyotumwa kutoka Iran na kupelekewa makundi yanayopigana nchini Yemen. Hata hivyo tuhuma zinazotolewa dhidi ya Iran zinaweza kuwa na malengo mawili. Lengo la kwanza ni kujenga hisia kuwa Iran ina nafasi hatarishi katika eneo. Kwa kutumia kisingizio hicho, Saudia inataka kuonyesha kuwa vita vamizi ilivyoanzisha dhidi ya Yemen na mauaji ya kinyama inayoendelea kufanya kila siku dhidi ya raia wasio na hatia wa nchi hiyo ni vita vyenye uhalali wa kisheria. Ilhali ukweli ni kwamba uvamizi wa Saudia tokea mwanzo wake ulikuwa na sura ya kichokozi wala hakuna njia yoyote ya kuutetea na kuuhalalisha uvamizi huo.
Ndege za kivita za Saudia zinazofanya mauaji kila leo ya raia wa Yemen
Madai ya kupelekewa silaha harakati ya Ansarullah ambayo kwa kweli inatetea matakwa ya wananchi wa Yemen na kupambana na wavamizi yanatolewa na nchi kama Saudi Arabia na Uingereza. Nchi kama Uingereza inaipatia Saudia silaha zilizopigwa marufuku izitumie katika vita vya Yemen na kimsingi inapaswa kuwajibika kwa hatua yake hiyo. Lakini lengo la pili la kuzushwa madai ya utumaji silaha Yemen kutokea Iran ni kufifilisha kushindwa na kugonga mwamba njama ya Saudia ya kutaka kuidhibiti Yemen. Licha ya kupindukia muda wa miaka miwili tangu ilipoanzisha mashambulio na hujuma za mtawalia dhidi ya Yemen ambazo zimeteketeza miundombinu ya miji, barabara, madaraja na bandari, mbali na kumwaga damu na kuua maelfu ya watu, Saudi Arabia ingali imeshindwa kuidhibiti nchi hiyo huku yenyewe ikiendelea kupata kipigo kikali kutoka kwa muqawama wa wananchi wa Yemen.
Uharibifu unaofanywa na hujuma za Saudia dhidi ya Yemen
Kwa hivyo suala la Yemen linapaswa kuangaliwa kwa upande mwengine. Ni wazi kuwa katika kadhia hiyo umoja wa ardhi yote ya Yemen umevamiwa waziwazi, na lengo la utawala wa Aal Saud ni kuigawa na kuikalia kwa mabavu nchi hiyo masikini ya Kiarabu au kuyaunganisha baadhi ya maeneo yake na ardhi ya Saudia. Kitambo nyuma televisheni ya utawala wa Aal Saud ilionyesha ramani ya maeneo yaliyovamiwa na kukaliwa kwa mabavu nchini Yemen na kuyaelezea kuwa ni sehemu ya ardhi ya Saudi Arabia. Kwa hivyo kujitoa kimasomaso utawala wa Aal Saud hakuwezi kubadilisha ukweli halisi wa mambo.
Theresa May, Waziri Mkuu wa Uingereza (kulia) akiamkiana na Mfalme Salman wa Saudia
Lililo wazi ni kuwa vita vamizi na vya kichokozi vilivyoanzishwa na Saudia dhidi ya Yemen vimezidi kuvuruga amani katika eneo la Mashariki ya Kati. Mashambulio na hujuma za muungano vamizi unaoongozwa na Saudia vimeshamirisha ugaidi na kuwafanya mamia ya maelfu ya raia kupoteza makazi yao na kuwa wakimbizi. Pamoja na hayo ungangari na kusimama imara wananchi na viongozi wa Yemen katika kukabiliana na ugaidi na uvamizi haujatoa ruhusa kwa wavamizi kuzidi kusonga mbele ndani ya ardhi ya nchi hiyo. Inapasa kusema kuwa Iran, ambayo ni nchi yenye nguvu katika eneo hili na yenye kutoa mchango chanya na athirifu haina haja ya kuingilia masuala ya ndani ya nchi nyengine. Kama ambavyo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeunga mkono utatuzi wa kisiasa katika mgogoro wa Syria inaunga mkono pia njia za kisiasa kama suluhisho pekee la kuutatua mgogoro unaoendelea nchini Yemen.../
| 2018-04-20T06:51:18 |
http://ujijirahaa.blogspot.com/2017/05/madai-yasiyo-na-msingi-kwamba-irani.html
|
[
-1
] |
Read Immediately Pls | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Read Immediately Pls
Discussion in 'Tech, Gadgets & Science Forum' started by zomba, Apr 27, 2008.
Get this sent around to your contacts ASAP...we don't need this spreading around. PLEASE FORWARD THIS WARNING AMONG FRIENDS, FAMILY AND CONTACTS:
You should be alert during the next days: Do not open any message with an attached file called ' Invitation' regardless of who sent it, It is a virus that opens an Olympic Torch which 'burns' the whole hard disc C of your computer.
If you receive a mail called 'invitation' ,though sent by a friend , do not open it and shut down your computer immediately. This is the
worst virus announced by CNN, it has been classified byMicrosoft as the most destructive virus ever. This virus was discovered by McAfee yesterday, and there is no repair yet for this kind of virus. This virus simply destroys the Zero
Sector of the Hard Disc, where the vital information is keptSEND THIS E- MAIL TO EVERYONE YOU KNOW ,
COPY THIS E- MAIL AND SEND! IT TO YOUR FRIENDS
..dar,
..can you provide us with a link to the source of this info?
..nimeenda hapa http://www.mcafee.com/us/threat_center/default.asp hamna kitu kama hiyo.
hiyo ni forward watu wanatumiana katika emails zao
Kwanza Kabisa Virus haiwezi kufuta Hard drive yako kama ilivyotajwa hapo juu na hakuna chochote kinachoweza kufuta hiyo Harddrive bila wewe mwenyewe kufuta kwa kutumia programu maalumu zinazoitwa Eraser .
Hata kama ukifuta pia kuna programu maalumu za kuweza kurudisha programu na leseni zake pamoja na files au document zozote zile zilizowahi kuwekwa katika computer hiyo tangia wakati umenunua hiyo HDD .
Kwahiyo tusiwe na hofu sana tunaposikia kitu kinachoitwa Virus ( Mdudu ) hata kama virus huyo akafuta file zako , ki ukweli files huwa hazipotei huwa zinajihifadhi katika Temps ambazo ziko ndani ya computer yako , Kuna jinsi ya kuangalia katika hiyo temp na kupata files hizo zilizofutwa na Virus .
Cha zaidi kama una antivirus nzuri na iliyo bora basi itasaidia kugundua virus wowote utakaye mdownload kutoka katika mtandao , kama una firewall bora hiyo firewall itakupa warning kabla ya kufungua programu yoyote ujue virus ni program si ndio ? firewall nzuri itakuuliza ruhusa kwanza kabla ya yote .
Mwisho katika hizo antivirus kuna takiwa kuwe kuna kitu kinachoitwa Site Adviser , Katika internet explorer 7 iko hiyo plugin kila tovuti unayotembea au email hiyo adviser itakushauri nini ufanye kama kuna lolote baya .
Ni hayo tu kwa Usiku wa Leo
..nimeenda hapa http://www.mcafee.com/us/threat_center/default.asp hamna kitu kama hiyo.Click to expand...
Samahani sina link, mimi nilitumiwa na swahib yangu kwenye email na nikaona ni vyema niwajulishe (niwa alert) wanamtandao wengine.
Kwanza Kabisa Virus haiwezi kufuta Hard drive yako kama ilivyotajwa hapo juu na hakuna chochote kinachoweza kufuta hiyo Harddrive bila wewe mwenyewe kufuta kwa kutumia programu maalumu zinazoitwa Eraser .Click to expand...
buddy you have no idea what a virus can do.and may be u have never met one,in a simple explanation,a very destructive virus can do anything that your wildest imagination can go.
But for countries like TZ people have no incentive to use such viruses,so its only natural that you take viruses a simple one.
Hata kama ukifuta pia kuna programu maalumu za kuweza kurudisha programu na leseni zake pamoja na files au document zozote zile zilizowahi kuwekwa katika computer hiyo tangia wakati umenunua hiyo HDD .Click to expand...
data ambazo zimekuwa destroyed na viruses are very hard to retrieve,only good technicians can do that,those softwares are only for simple delete and send to recycle bin issues,or may be unplanned formatting.
Kwahiyo tusiwe na hofu sana tunaposikia kitu kinachoitwa Virus ( Mdudu ) hata kama virus huyo akafuta file zako , ki ukweli files huwa hazipotei huwa zinajihifadhi katika Temps ambazo ziko ndani ya computer yako , Kuna jinsi ya kuangalia katika hiyo temp na kupata files hizo zilizofutwa na Virus .Click to expand...
worst virus advice ever!!be very keen with anything named a virus,be it a simple one or unknown virus.
if you have always met with some simple viruses don't give people an advice to ignore viruses,better advice is to be careful.and to be protected.
simple advice kwa wale wanaopokea emails za aina hii ni ku-instal antispam,itakusaidia kufuta emails zenye suspectible content,
as per hiyo email,i classify it as a spam,main aim ni ku-collect email za watu wote watakaoi-foward,at the end of the day u will receive aggressive advertising like no other.
..pangu,
..ushauri mzuri kabisa!
..huonekani siku hizi ustaadh! kwema?
Ninakushauri wakati mwingi ukae kimya, kuliko kuandika andika kila wakati ili ujaze posts matokeo yake unachefua watu badala ya kuburudisha, kufundisha, kuonya au kuelimisha.
hiyo ni forward watu wanatumiana katika emails zaoClick to expand...
......very true Shy, I agree with you on the above, it is one of them same old circulars going around the net. Nevertheless, if the precaution from reading the article further goes to protect a computer user from same or other virus attacks; then it will have saved its purpose.
.......however with regard to your comment below, i would honestly say...
Ni hayo tu kwa Usiku wa LeoClick to expand...
.......it's rather crappy and slimy especially when issued by an IT savvy person or one claiming to be so!!
Pangupakavu ulitowekea wapi wewe?!!.... miezi ka'mitano sasa, nilifikiri umetupa jongoo na jiti lake.... duuuh,....jukwaa lako limekumiss.... karibu tena http://www.jamboforums.com/showpost.php?p=133503&postcount=1;)
Pangupakavu ulitowekea wapi wewe?!!.... miezi ka'mitano sasa, nilifikiri umetupa jongoo na jiti lake.... duuuh,....jukwaa lako limekumiss.... karibu tena http://www.jamboforums.com/showpost.php?p=133503&postcount=1;)Click to expand...
majukumu ndugu!!
sometimes my line of work gets very demanding and time consuming.
But JF will always have a place in my schedule!!
while building other people's nations,i always think about building mine too!!and the best place to contribute is JF.
glad am back.
| 2017-04-29T00:09:33 |
https://www.jamiiforums.com/threads/read-immediately-pls.12614/
|
[
-1
] |
OFISI YA MKUU WA MKOA RUKWA: November 2011
WAWEKEZAJI SIO LAZIMA WATOKE NJE, MIMI MWENYEWE NI MUWEKEZAJI, ASEMA WAZIRI MKUU PINDA
WAZIRI MKUU, Mhe. Mizengo Peter Pinda (MB) amesema suala la uwekezaji hapa nchini haliwalengi watu wa nje tu bali hata wa ndani wanaweza kuwekeza hata kama ni kwa kiwango kidogo.
Ametoa kauli hiyo siku ya Jumatatu, Novemba 29, 2011 wakati akizungumza na wakazi wa mikoa ya Rukwa, Ruvuma na mkoa tarajiwa wa Katavi katika chakula cha jioni ambacho aliwaandalia kwenye makazi ya Waziri Mkuu, Oysterbay jijini Dar es Salaam.
“Nilichukua mkopo mwingine benki ya NMB na kuamua kujenga vyumba 24 pale kijijini kwetu. Kama ningetaka ningechukua mafundi wazuri kutoka Kariakoo, (Dar es Salaam) lakini niliamua kutumia mafundi wa kijijini ili kutokana na zile fedha nao pia waweze kununua bati na kuezeka katika nyumba zao, jambo ambalo limewezekana,” alisema.
“Ujenzi wa vyumba 24 karibu unakamilika, … kiasi kingine cha fedha nililima shamba la mahindi na nikafanikiwa kuvuna magunia 380,” aliongeza.
“Nina mizinga 250 kule Dodoma na Kibaoni (kijijini kwao) nina mizinga 600, kila mzinga unauzwa sh. 50,000/- na kila mmoja una uwezo wa kutoa lita 10 za asali. Bei ya asali hapa mjini ni sh. 10,000/- kwa hiyo katika kila mzinga unaweza kupata sh. 100,000/-,” alisema.
Alisema suala la uwekezaji ni muhimu na haliepukiki na kumtaja Mbunge wa Mpanda Mjini, Bw. Said Arfi ambaye alikuwepo katika hafla hiyo kwamba ni miongoni mwa wawekezaji wadogo kwani ana ekari 200 za mahindi na Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga, Kanali Antonio Mzurikwao kuwa naye ana ekari 100 za mahindi. “Hawa nao ni wawekezaji lakini tunawaita wawekezaji wadogo,” alisema.
Akifafanua kuhusu uwekezaji, Waziri Mkuu alisema nchi zote zilizoendelea zilifaulu kufiki hatua hiyo kwa kupunguza idadi ya wakulima wadogo na kuongeza idadi wa wakulima wakubwa. “Mkiona wakulima wadogo ni wengi mjue kuwa bado hamjapunguza umaskini,” aliongeza.
Akitoa shukrani katika hafla hiyo, Mbunge wa Mpanda Mjini, Bw. Said Arfi aliwashukuru wajumbe wa Kamati za maandalizi katika mikoa ya Dar es Salaam na Rukwa kwa maandalizi mazuri hadi wakafanikisha tamasha la utamaduni wa mikoa hiyo miwili.
HAYA NDIYO YATOKANAYO NA TAMASHA LA UTAMADUNI WA MTANZANIA KWA JAMII ZA WANARUKWA NA KATAVI
Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda (MB) akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Eng. Stella Martin Manyanya (MB) wakati wa Tamasha la Utamaduni wa Mtanzania lililowasilishwa na Jamii za wanaRukwa na Katavi katika Kijiji cha Makumbusho Jijini Dar es Salaam.
Lilikuwa ni tamasha la aina yake lililodumu kwa muda wa siku tatu mfululizo kuanzia tarehe 25-27 Novemba 2011 katika Kijiji cha Makumbusho Kijitonyama Jijini Dar es Salaam. Tamasha la aina hii huandaliwa kila mwaka kwa ushirikiano wa Makumbusho ya Taifa na Jamii husika. Mwaka huu ilikuwa ni zamu ya jamii za wanaRukwa na Katavi.
Katika Tamasha hili la aina yake lilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wakuu Serikalini na wageni kutoka nje ya nchi tofauti na inavyokuwaga katika miaka mingine iliyopita. Katika maonesho hayo jamii za wanaRukwa na Katavi zilipata fursa pana ya kuonyesha tamaduni zao zikiwepo mila za jadi, vyakula vya asili, zana mbalimbali, ngoma, nyimbo, tiba asilia, na mambo mengine mbalimbali.
Akizungumza wakati wa kufunga Tamasha hilo Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda (MB) ambaye pia ni mwanaRukwa alisema kuwa, miogoni mwa mambo tuliyojifunza katika Tamasha hilo na ambayo tunatakiwa tuondoke nayokwenda kuyafanyia kazi ni pamoja na:-
ü Umuhimu wa kuenzi na kuendeleza mila zetu.
ü Umuhimu wa kuhifadhi mila na desturi zetu vizuri.
ü Kutenga maeneo maalum kwa ajili ya kuhifadhi tamaduni, mila na desturi zetu (Makumbusho).
ü Kuwa na siku maalum ya utamaduni wa mwanaRukwa na Katavi kwa ajili ya kudumisha tamaduni zetu .
ü Umuhimu wa kuhusisha masuala ya Utamaduni na Utalii.
ü Kuwepo na Kamati maalum itakayosaidia na kusimamia yaliyojifunzwa wakati wa Tamasha hilo.
Aidha katika hotuba yake ya kufunga Waziri Mkuu alimuomba Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Eng. Stella Martin Manyanya (MB) kuwa mstari wa mbele kusimamia hayo mambo katika utekelezaji wake. Kwa upande wa wanaRukwa waishio Dar es Salaam aliwomba na kuwapa jukumu la kuanzisha umoja wa wanaRukwa na Katavi (UMARUKA) kwa ajili ya kuimarisha umoja na mshikamano amabao umekuwa ukilegalega.
KATIBU TAWALA MKOA WA RUKWA NA MKUU WA WILAYA YA MPANDA KWA PAMOJA WALIWASILISHA TAARIFA YA FURSA ZA UWEKEZAJI ZINAZOPATIKANA MKOANI RUKWA WAKATI WA KILELE CHA TAMASHA HILO.
Fursa za uwekezaji katika Mkoa wa Rukwa zilinadiwa wakati wote wa Tamasha hilo. Katibu Tawala Mkoa wa Rukwa Alhaj Salum Mohammed Chima (kulia) na Dkt. Rajab Rutengwe wakifanya kazi hiyo wakati wa kilele cha Tamasha hilo.
Ze Orijino Komedi walikuwepo kutoa burudani motomoto.
Ubunifu ni Nguzo ya Tamaduni zetu. Hizo ni baadhi ya ngoma zilizokuwa zinatumika kuburudisha wakati wa tamasha hilo.
Posted by LUSUNGU HELELA at 12:52 PM 0 comments
KATIBU TAWALA MKOA WA RUKWA APATA AJALI MBAYA YA GARI, HAKUNA MAJERUHI, GARI NDIO LILILOUMIA
Wananchi wakiangalia gari lenye namba za usajili STK 5925 alilokuwa amepanda Katibu Tawala Mkoa wa Rukwa Alhaj Salum Mohammed Chima mara baada ya kupata ajali mbaya katika maeneo ya Kibamba CCM nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Ajali hiyo ililihusisha gari hilo na gari lingine lenye namba za usajili T 701 BWY ambalo ndilo lililogonga gari la Kiongozi huyo wa Serikali kwa nyuma na kulisukumia kwenye mtaro kama inavyoonekana pichani. Hakukuwepo na majeruhi yeyote katika ajali hiyo.
Posted by LUSUNGU HELELA at 9:05 AM 0 comments
Posted by LUSUNGU HELELA at 12:01 PM 1 comments
VODACOM YATOA FLANA 1000 KUFANIKISHA TAMASHA LA WANARUKWA NA KATAVI DAR ES SALAAM
Vodacom Miss Tanzania 2011 Salha Israel akifurahia jambo wakati akimkabidhi flana Mwenyekiti wa kamati ya Uratibu wa Tamasha la utamaduni wa watu wa Mkoa wa Rukwa na Mkoa tarajiwa wa Katavi Mwangaza Msongole. Katikati ni Meneja Mawasiliano wa Vodacom Bw. Salum Mwalim. Vodacom imekabidhi flana elfu moja zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni kumi na nne kusaidia hamasa ya tamasha hilo litakalofanyika kuanzia tarehe 15-17/11/2011 katika Kijiji cha Makumbusho.
Mwenyekiti wa Kamati ya Uratibu wa Tamasha la Utamaduni wa watu wa mkoa wa Rukwa na Mkoa tarajiwa wa Katavi Mwangaza Msongole kulia akiongea na waandishi wa habari kuhusiana na tamasha la utamaduni wa watu wa mkoa wa Rukwa na Mkoa tarajiwa wa katavi litakalofanyika ijumaa katika kijiji cha makumbusho. Katikati ni Vodacom Miss Tanzania 2011 Salha Israel na kushoto ni Meneja Mawasiliano wa Vodacom Salum Mwalim.
Posted by LUSUNGU HELELA at 6:30 AM 0 comments
MUSWADA WA SHERIA YA MABADILIKO YA KATIBA WA 2011 WAPITISHWA BUNGENI DODOMA LEO
Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Kayanza Pinda na Mbungewa Songea Mjini ambaye pia ni Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dr. Emmanuel Nchimbi wakitoka kwenye ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma, Novemba 18,2011.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Waziri wa Katiba na Sheria, Celiina Kombani (kushoto) na Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Abubakar Khamis Bakari (katikati) wakifurahia baada ya Bunge kupitisha Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba wa 2011 kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Novemba 18,2011.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Posted by LUSUNGU HELELA at 2:22 PM 0 comments
DEREVA WA BODABODA ANUSURIKA KUFA LEO BAADA YA KUGOGWA NA GARI NDOGO MAENEO YA CHANJI WILAYANI SUMBAWANGA
Ni ajali mbaya iliyohusisha gari ndogo aina ya Toyota Corola yenye namba za usajili T814 BUW na Pikipiki yenye namba za usajili T742 BQT. Inasemekana kuwa dereva aliyekuwa akiendesha Pikipiki ndiye aliyeumia na hali yake bado ni mbaya na alipelekwa katika hospitali ya Mkoa Rukwa kwa matibabu zaidi.
Chanzo cha ajali hiyo inasemakana kuwa ni mwendo kasi wa dereva wa gari hilo pamoja na dereva wa pikipiki kutokuonyesha ishara (Indicator) ya uelekeo aliokuwa akielekea na hivyo kupelekea kugogwa na kuburuzwa hadi pembeni ya barabara wakati akijaribu kukata kulia bila kuonyesha ishara yeyote. Hata hivo dereva wa gari hilo hakuumia kabisa.
Wananchi waliokuwepo katika eneo hilo walilamikia madereva wa pikipiki na kusema kuwa hawako makini jambo linalosababisha ajali za pikipiki kuongezeka mara kwa mara.
Baadhi ya mashuhuda wa ajali hiyo wakiwa katika eneo la tukio
Posted by LUSUNGU HELELA at 2:08 PM 0 comments
MIAKA 50 YA UHURU NA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MKOANI RUKWA 2011
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Col. Mst. Issa Machibya akikabidhi Mwenge wa Uhuru kwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Eng. Stella Martin Manyanya (MB) tayari kwa kwa Mwenge huo kuanza mbio zake Mkoani Rukwa tarehe 5-7/11/2011.
Wanafunzi waliupokea Mwenge kwa Mabango mbalimbali
Kiongozi wa mbio za mwenge mwaka huu kitaifa Ndg. Mtumwa Rashid Khalfan akizungumza na wananchi mkoani Rukwa.
Vikundi vya ngoma vilikuwepo kutoa burudani na kusindikiza Mwenge wa Uhuru
Mwenge wa Uhuru ulikimbizwa katika wilaya zote tatu za Mkoa wa Rukwa, hapo ukisubiriwa Wilayani Nkasi
Katibu Tawala Wilaya ya Mpanda Ndg.Lauten Canon akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Mhe. Joyce Mgana Mwenge wa Uhuru baada ya kumaliza mbio zake wilayani Mpanda tayari kwa kuanza mbio hizo wilayani Nkasi
Kiongozi wa mbio za mwenge mwaka huu kitaifa Ndg. Mtumwa Rashid Khalfan akiweka jiwe la msingi katika nyumba kumi za watumishi katika Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga tarehe 5/11/2011
Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Mhe. Joyce Mgana akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Col. John Antonyo Mzurikwao Mwenge wa Uhuru baada ya kumaliza mbio zake wilayani Nkasi.
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa na Mkuu wa Wilaya ya Nkasi wakifurahi kwa pamoja na kikundi cha Ngoma cha Kanondo wakati wa Mbio za Mwenge Wilayani Sumbawanga
Kikundi cha Chanji nacho hakikuwa nyuma kuhakikisha masuala ya burudani yanakwenda vizuri
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Eng. Stella Martin Manyanya (MB) akikabidhi Mwenge wa Uhuru kwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Abas Kandoro eneo la Makutano mpakani mwa Mbeya na Rukwa baada ya Mwenge huo kumaliza mbio zake Mkoani Rukwa tarehe 07/11/2011
Timu ilifanikisha mbio za Mwenge mkoani Rukwa ikiongozwa Ndg. Festo Chonya, Eng. Maulid Mbelwa, Alex Nkenyenge na SSP. Mutalemwa
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Eng. Stella Martin Manyanya (MB) akihutubia wananchi
Meya wa Manispaa ya Sumbawanga Mhe. Sabas Katepa akiwa sambamba na kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Ndg. Mtumwa Rashid Khalfan nyuma yake ni Mkurugenzi wa Manispaa hiyo Ndg. Silvia Siriwa
Afisa Tawala Sekretarieti ya Mkoa wa Rukwa Ndg. Festo Chonya akiushuhudia Mwenge wa Uhuru uso kwa uso
Posted by LUSUNGU HELELA at 2:38 AM 0 comments
UTEUZI WA WAKUU WA WILAYA NA MIKOA MIPYA KABLA YA DESEMBA MOSI MWAKA HUU ASEMA RAIS KIKWETE
Rais Jakaya Kikwete amesema kuwa uteuzi wa wakuu wa wilaya utafanyika hivi karibuni ambapo katika uteuzi huo utakwenda sanjari na uteuzi wa wakuu wa mikoa mipya na wilaya mpya na kuwa hadi desemba mosi uteuzi huo utakuwa umefanyika na wilaya Mpya zitaanza kazi Januari mwakani. Alisema kuwa hatateua wakuu wa mikoa pekee bali atateua na wasaidizi wake wa wilaya na mikoa na kusema kuwa lengo la serikali ni kuharakisha maendeleo yanasonga mbele na kuonya viongozi wa wilaya mpya ya Wanging'ombe kupendekeza mapeni makao makuu ya wilaya vinginevyo atateua yeye. Rais Kikwete amesema hayo leo mjini Njombe wakati akifungua mradi wa maji katika kata ya Mtwango katika wilaya ya Njombe. Picha kwa hisani ya Fullshangwe blog
Posted by LUSUNGU HELELA at 12:47 PM 0 comments
KAIMU MKUU WA MKOA WA RUKWA AZINDUA KAMPENI YA CHANJO YA SURUA, POLIO, MINYOO NA VITAMIN A KWA MKOA WA RUKWA
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Rukwa ambaye pia ni Mkuu wa wilaya ya Nkasi, Mhe. Joyce Mgana akimuweka alama mtoto Rajabu Wangoma, mwenye umri wa miaka mitatu na miezi minne mara baada ya kupata matone ya Vitamini A, wakati wa uzinduzi wa zoezi la Chanjo ya Surua, Polio, Minyoo na Vitamini A, uliofanyika katika kitongoji cha Mazwi mjini Sumbawanga.
Posted by LUSUNGU HELELA at 2:32 AM 0 comments
NAIBU WAZIRI VIWANDA NA BIASHARA AFUNGUA RASMI MAONESHO YA SIDO YA NYANDA ZA JUU KUSINI MKOANI RUKWA
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Lazaro Nyarandu (MB) akikata utepe kama ishara ya kufungua rasmi maonyesho ya 9 ya SIDO ya nyanda za juu kusini inayoshirikisha mikoa ya Rukwa, Iringa na Mbeya. Kulia kwake anayeshuhudia ni Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Joyce Mgana. Maonyesho hayo yanafanyika katika Uwanja wa Nelson Mandela Mkoani Rukwa kwa kushirikisha wajasiriamali kutoka zaidi ya mikoa 14 nchini na wengine kutoka nchi jirani za Kenya na Burundi.
Naibu Waziri akisalimiana na Meneja wa SIDO Mkoa wa Rukwa ambao ndio wenyeji Ndugu Martin Chang'a mara baada ya kuwaili katika uwanja wa Nelson Mandela Mkoani Rukwa kwa ajili ya kuzindua rasmi maonesho hayo. Kwa mujibu wa Meneja huyo wa SIDO maonyesho hayo yatadumu kwa mda wa siku 6 kuuanzi tarehe 9-14 ambapo ndio itakuwa kilele na atakefunga maonesho hayo atakuwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa.
Mkurugenzi Mkuu wa SIDO nchini Ndugu Mike Laizer akifafanua jambo kwa Naibu wa Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Lazaro Nyarandu kwenye banda la SIDO. Kulia kwa Naibu Waziri ni Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Joyce Mgana.
Naibu Waziri akisaini Kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Sumbawanga.
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Joyce Mgana akimpokea na kumkaribisha Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Lazaro Nyarandu mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Sumbawanga.
Wajasiriamali wa Rukwa wakinadi bidhaa zao za Asali na Nta. Asali inayopatikana Mkoani Rukwa ni asali yenye ubora mkubwa (Grade One), kwa wale watakaopata bahari ya kutembelea maonyesho haya wanaweza kujipatia bidhaa hiyo na nyinginezo nyingi.
Uhifadhi wa Mazingira nao umepewa kipaumbele Mkoani Rukwa, Mjasiriamali wa uhifadhi wa Mazingira wa kikundi cha REYO akinadi miti aina mbalimbali inayofaa kwa uhifadhi wa mazingira na matumizi mengineyo katika maonesho hayo.
Mjasiriamali Mama Grace Masawe kutoka Arusha anayejishughulisha na kazi za mikono akionyesha cheti alichozawadiwa kama Mjasiriamali mwenye banda bora katika maonesho hayo, alikabidhiwa Cheti hicho na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Lazaro Nyarandu. Mama Grace Mkurugenzi Mtendaji wa Masawe Curio and Crafts kutoka Arusha.
Maonyesho hayo yakiendelea
Tiba asilia pia zinapatikana katika maonyesho hayo
Kaimu Katibu wa Mkuu wa Mkoa Ndg. Frank Mateny kushoto, Makatibu Tawala Wasaidizi Ndugu Samson Mashalla Utawala, Ndugu Sebastian J. Mundia Menejimenti ya Serikali za Mitaa na Ndugu Willy Mzava Uchumi na Uwezeshaji wakisubiri kumuaga Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara katika Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga
Utamaduni wa Kimasai nao unapatikana katika maonesho hayo
Meneja wa SIDO Mkoa wa Rukwa kulia Ndugu Martin Augustino Chang'a pamoja Katibu wa Mkuu wa Mkoa Rukwa Ndugu Frank Mateny wakisubiri kumuaga Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara katika Uwanja wa Ndege wa Sumbawanga.
Haya mambo ya ajabu pia yapo, inadaiwa ni Mtu wa ajabu kutoka Burundi aliyezaliwa kichwa kitupu, ana uwezo wa kuzungumza lugha tofauti na wakati wa kumuhoji alidai kuwa chakula chake ni Sindano maalum. Katika akili ya kawaida haifikiriki na wengi wa watu waliomtembelea huyu bwana ikiwa ni pamoja na mimi walisema haya ni MAZINGAUBWE. Huyu bwana anapatikana kwenye banda moja na ili kuweza kumuona inatakiwa kulipia shillingi mia tano tu. Nilishuhudia baadhi ya watoto waliopata bahati ya kumuona wakilia kwa hofu na wengine wakiwa na mshangao mkubwa.
Vikundi vya ngoma vilikuwepo kutoa burudani
Mjasiriamali wa Rukwa anayejishughulisha na utengenezaji wa viatu kwa kutumia ngozi mbalimbali. Chipawas Leather Tunning wanapatikana maeneo ya Jangwani Wilayani Sumbawanga, wapo pia kwenye maonesho hayo.
Posted by LUSUNGU HELELA at 10:05 PM 1 comments
| 2019-10-14T21:06:46 |
https://rukwareview.blogspot.com/2011/11/
|
[
-1
] |
Uislamu ni nini, na nini Waislamu wanaamini?
Swali: "Uislamu ni nini, na nini Waislamu wanaamini?"
Jibu: Dini ya Uislamu ilikuwa imeanza mapema katika karne ya 7 A.D na mtu mmoja aitwaye Muhammad. Alidai kuwa alitembelewa na malaika Gabrieli. Katika kipindi hiki cha kutembelewa huku kwa kilaika, ambao uliendelea karibu miaka 23 hadi kifo cha Muhammad, malaika anasemekana kumfunulia wazi Muhammad maneno ya Mungu (yanayoitwa "Mwenyezi Mungu" kwa Kiarabu na kwa Waislamu). Aya huu ufunuo wa imla wajumlisha Qur'an kitabu takatifu cha Uislamu. Uislamu hufundisha kwamba Qur'an ni mamlaka ya mwisho na ufunuo wa mwisho wa Mwenyezi Mungu.
Waislamu, wafuasi wa Uislamu, wanaamini Qur'an kuwa neno kamilifu lilikueko la Mwenyezi Mungu. Zaidi ya hayo, Waislamu wengi hukataa matoleo mengine ya lugha zote za Qur'an. Tafsiri si toleo la halali ya Qur'an, ambayo ipo tu katika Kiarabu. Ingawa Qur'an ni kitabu kuu takatifu, Sunnah kinachukuliwa chanzo cha pili cha mafundisho ya dini. Sunnah iliandikwa na wenzake Muhammad kuhusu kile Muhammad alikisema, hivyo, na kuidhinishwa.
Imani muhimu ya Uislamu ni kwamba Mwenyezi Mungu ni Mungu wa pekee wa kweli na kwamba Muhammad alikuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu. Kwa kusema imani hizi, mtu anaweza kubadilisha kwa Uislamu. Neno "Uislamu" maana yake "anayetii Mwenyezi Mungu." Uislamu unadai kuwa dini moja ya kweli ambayo kwayo dini zote zinatoka (ikiwa ni pamoja na Wayahudi na Ukristo).
Waislamu msingi maisha yao juu ya nguzo tano:
1. Uushuhuda wa imani: "Hakuna mungu kweli ila tu Mungu (Mwenyezi Mungu), na Muhammad ni Mtume (Mtume) wa Mungu."
2. Maombi:. Sala tano lazima zifanywe kila siku.
3. Kutoa: mtu lazima atoe kwa ajili ya masikini, vile wote hutoka kwa Mwenyezi Mungu.
4. kufunga: kando ya kufunga kwa mara kwa mara, Waislamu wote lazima wafunge wakati wa maadhimisho ya Ramadhani (mwezi wa tisa wa kalenda ya Kiislamu).
5. Hija: Hija Makka (Makkah) lazima ifanywe angalau mara moja katika maisha ya mtu (wakati wa mwezi wa kumi na mbili katika kalenda ya Kiislamu).
Malengo yaha tano, mfumo wa utii kwa Waislamu, huchukuliwa kwa umakini na halisi. Kuingia kwa Muislamu katika peponi inatokana na utii kwa nguzo hizi tano.
Kwa uhusiano wake na Ukristo, Uislamu una yanayofanana kadhaa na tofauti kubwa. Kama Ukristo, Uislamu una Mungu mmoja, lakini unapinzani kwa Ukristo, Uislamu anakataa dhana ya Utatu. Uislamu anapokea sehemu fulani ya Biblia, kama vile Sheria na Injili, lakini unakataa wingi wake kama kashfa na usio na pumzi.
Uislamu unadai kwamba Yesu alikuwa nabii tu, si Mwana wa Mungu (ni Mwenyezi Mungu tu ni Mungu, Waislamu wanaamini, nani jinsi gani awe na Mwana?). Badala yake, Uislamu unadai kwamba Yesu, ingawa alizaliwa na bikira, aliumbwa tu kama Adamu, kutokana na udongo wa dunia. Waislamu wanaamini Yesu hakufa juu ya msalaba; hivyo, wao hukataa moja ya mafundisho kuu ya Ukristo.
Hatimaye, Uislamu hufundisha kwamba peponi ni hupatikana kwa njia ya matendo mema na kutii Qur'an. Biblia,ii tofauti, inaonyesha kwamba mtu hawezi kufikia utakatifu wa Mungu. Tu kwa sababu ya huruma na upendo wake mwenye dhambi anaweza kuokolewa kwa njia ya imani katika Kristo (Waefeso 2:8-9).
Kwa wazi, Uislamu na Ukristo hauwezi wote kuwa kweli. Aidha Yesu alikuwa nabii mkubwa, au Muhammad alikuwa. Aidha Biblia ni neno la Mungu, au Qur'an ni. Wokovu aidha unapatikana kwa kupokea Yesu Kristo kama Mwokozi au kwa kuangalia nguzo tano. Tena, dini zote mbili haziwezi kuwa kweli. Ukweli huu, mgawanyo wa dini zote mbili katika maeneo muhimu, una matokeo ya milele.
| 2018-09-24T23:01:15 |
https://www.gotquestions.org/Kiswahili/Uislamu-Waislamu.html
|
[
-1
] |
Mbaroni kwa mapenzi ya jinsia moja | HABARI ZA WALIMWENGU
Home » » Mbaroni kwa mapenzi ya jinsia moja
Mbaroni kwa mapenzi ya jinsia moja
Written By Bewith Jeddy on Tuesday, January 20, 2015 | 12:10 PM
Warembo, Maua Sadick (mwenye shati la draft) na Lucy Fred wakipozi kimahaba
DUNIA imekwisha! Wasichana wawili warembo, Maua Sadick (24), mkazi wa Stakishari, Ukonga wilayani Ilala na Lucy Fred (23), mkazi wa Karakata jijini Dar es Salaam, wanashikiliwa katika Kituo cha Polisi Stakishari, Ukonga, Dar kwa kesi yenye jalada STK/RB/463/2015 wakidaiwa kufanya mapenzi ya jinsia moja.
Warembo hao walikamatwa Januari 12, mwaka huu saa sita mchana, nyumbani kwa Maua wakidaiwa kufanya ngono kinyume cha sheria ya kujamiiana ambapo watu wa jinsia moja ni makosa kukutana kimwili.
NDUGU, MAJIRANI WAKERWA
Kwa mujibu wa habari za kipolisi, kukamatwa kwa Maua kulitokana na taarifa za baadhi ya
ndugu na majirani zilizopelekwa polisi kwamba, wasichana hao wanapokuwa kwenye tendo la ndoa wamekuwa wakipiga kelele za udhalilishaji kwa familia zao.
Wasichana hao wakiwa maeneo tofauti
WALISHAONYWA, HAWAKUSIKIA
Vyanzo makini kutoka jirani na makazi ya Maua vinadai kuwa, kutokana na hali hiyo, baadhi ya watu walijitolea kuwaonya wasichana hao kuwa na staha wawapo kwenye faragha yao lakini pia wao ni wanawake haiwezekani wacheze mchezo huo wenyewe kwa wenyewe lakini hawakutaka kusikia.
MAJIRANI WAFUNGULIA REDIO SAUTI YA JUU
“Ilifika mahali wakiingia chumbani kuanza mambo yao sisi majirani tunazidisha sauti za redio ili watoto wasisikie lakini na wao sauti zao zinakuwa juu kushinda za redio,” alisema jirani mmoja akiomba jina lake lifichwe ili kukwepa uhasama.
Alisema kutokana na hali hiyo waliamua kufikisha habari hizo polisi kwani ni kinyume cha sheria watu wa jinsia mmoja kukutana kimapenzi.
Mrembo Lucy Fred ambaye ni mpenzi wa Maua Sadick
HISTORIA YA LUCY
Wakizidi kuzungumza na Uwazi, majirani hao walisema, Lucy ambaye ndiye anaitwa mke na Maua amekuwa akitoka nyumbani kwa wazazi wake Karakata kwa lengo la kumfuata Maua.
Ilisemekana kuwa, siku ya tukio, majirani walipoanza kusikia ‘zile sauti zao’, waliwapa polisi namba ya simu ya mtu wa jirani na Maua kwa lengo la kusaidia kufika nyumbani hapo.
“Polisi walipofika waligonga mlango kwa muda mrefu bila kufunguliwa na kelele za mahaba zilizidi kusikika. Baadaye, nadhani wakati wanapumzika sasa, Maua alifungua mlango mkubwa na kukutana na macho ya polisi, wakambana na kumtaka waende wote alipo Lucy, wakaenda chumbani na kumkuta.
“Pia polisi walikuta kidude ambacho huwashwa kwa betri kilichodaiwa pia hutumika wakati wa tendo,” kilisema chanzo.
Warembo hao kama wanavyoonekana kwenye picha zao za instagram.
HISTORIA YA MAUA
Maua ni binti ambaye ni yatima, amekuwa akiishi mwenyewe kwenye nyumba hiyo kubwa ya familia hivyo kumwita Lucy mara kwa mara kwa madai ya kufanya ufuska huo kwa vile wana uhuru.
Inasemekana kuwa, Maua siku zote amekuwa akivaa mavazi ya kiume licha ya kwamba, ni mwanamke kamili.
POLISI WASHANGAA
Taarifa kutoka vyanzo vya ndani ya jeshi la polisi zinadai kwamba, hata wakiwa mahabusu ya kituo hicho, wawili hao wamekuwa wakioneshana mapenzi baina yao kitendo kilichowashangaza mahabusu wengine na polisi pia.
Uwazi lilifika nyumbani kwa Maua na kukutana na mdogo wake aitwaye Aziz ambaye alikiri kukamatwa kwa Maua na kwamba tangu akamatwe hajarudi na wala hajui kinachoendelea huku akisema asingependa kuzungumzia suala hilo kwa sababu ya kutupiwa lawama na wanandugu kwamba yeye ndiye aliyepeleka taarifa polisi.
Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Ilala, SACP Mary Nzuki.
“Mimi sikai hapa, nimefika hivi karibuni nikitokea mkoani. Ndugu wananituhumu mimi kuita polisi, sijui mtu aliyewapa askari namba yangu wakanipigia kama wageni wanaokuja nyumbani, nikawapa ramani na walipofika ndipo nikagundua ni askari,” alisema Aziz.
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa, George Mtambalike alipohojiwa na gazeti hili ofisini kwake alithibitisha kukamatwa kwa wasichana hao kwa madai ya kufanya mapenzi ya jinsia moja na aliwatembelea Kituo cha Polisi cha Stakishari.
Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Ilala, SACP Mary Nzuki alikiri kukamatwa kwao na akasema uchunguzi unaendelea.
| 2018-01-21T02:49:18 |
http://www.bewithjeddy.com/2015/01/mbaroni-kwa-mapenzi-ya-jinsia-moja.html
|
[
-1
] |
Kikwete amjulia hali Dkt. Kigwangalla kitengo cha mifupa MOI - ZanziNews
Home HABARI MATUKIO Kikwete amjulia hali Dkt. Kigwangalla kitengo cha mifupa MOI
Rais Mstaafu wa awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Andrew Chale ambaye ni Mwandishi wa Habari Maalum wa Waziri wa Maliasili na Utalii Dk Hamisi Kigwangalla. Kulia ni Dkt. Bayoum Awadhi Kigwangalla mke wa Waziri Dkt.Kigwangalla.
Rais Mstaafu wa awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete jioni ya tarehe 14,
Agosti 2018 amemtembelea na kumjulia hali Waziri wa
Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Hamisi Kigwangalla aliyelazwa
katika wodi maalum kitengo cha Taasisi ya mifupa
MOI, hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam.
Hii inakuwa ni mara ya pili kwa Kikwete kumtembelea Dk
Kigwangalla ambapo awali alimtembelea Agosti
8, alipokuwa amelazwa Wodi ya Mwaisela akipatiwa
Matibabu ya awali.
Kikwete amemtakia kila lakheri katika kipindi hiki kwa
kuuguza majeraha ya mkono na sehemu za mwili ikiwemo
mbavu ambazo kwa sasa hali yake inaendelea kuimarika kwa
majibu wa Madaktari wa kitengo hicho cha mifupa MOI.
Awali tokea kufanyiwa operesheni ya mkono ameweza
kufanya mazoezi taratibu ikiwemo kutembea mwenyewe
katika viunga hivyo vya Muhimbili.
Dkt. Kigwangalla alipata ajali ya gari mnamo Agosti 4, 2018
huko Manyara akiwa katika ziara ya kikazi ambapo katika
ajali hiyo iliyokuwa na watu 6, watano walijeruhiwa na
mmoja alifariki dunia ambaye alikuwa afisa habari
mwandamizi wa Wizara hiyo, Hamza Temba.
| 2019-01-24T13:46:13 |
http://www.zanzinews.com/2018/08/kikwete-amjulia-hali-dkt-kigwangalla.html
|
[
-1
] |
Sababu 10 Kwa Nini Unapaswa Kusoma Vitabu Kila Siku. – AMKA MTANZANIA
Sababu 10 Kwa Nini Unapaswa Kusoma Vitabu Kila Siku.
Date: March 8, 2020Author: Dr. Makirita Amani 0 Comments
Siyo siri kwamba usomaji wa vitabu umeshuka sana kwa walio wengi. Watu wanatumia muda mwingi kwenye simu zao, kwenye mitandao ya kijamii na kwenye kufuatilia habari kuliko kusoma. Na hili ndiyo chanzo kikuu cha matatizo na changamoto ambazo watu wengi wanazipitia kwenye maisha yao.
Ipo kauli kwamba hakuna kitu kipya chini ya jua, kila kinachotokea sasa, kilishatokea huko nyuma, ila kwa sasa kinaweza kuwa kinatokea kwa namna tofauti.
Hata matatizo na changamoto unazopitia sasa, siyo mpya na wala wewe siyo mtu wa kwanza kuzipitia. Wapo wengi ambao walishazipitia, na uzuri ni kwamba walizitatua na wakaweka suluhisho la changamoto hizo kwenye vitabu ambavyo unaweza kuvisoma na ukaondoka kwenye matatizo na changamoto unazopitia.
Lakini cha kushangaza ni kwamba umegoma kupata suluhisho la changamoto hizo, kwa sababu hutaki kusoma vitabu. Nasema hutaki kwa sababu ndiyo sababu pekee, sababu nyingine unazojipa kwamba huna muda au huna fedha za kununua vitabu unajidanganya tu. Huo muda unaopata na fedha za kununua data za kuperuzi mitandaoni siku nzima unatoa wapi?
Hapa tunakwenda kupata sababu kumi kwa nini tunapaswa kusoma vitabu kila siku, kama sababu hizi zitakupa msukumo wa kusoma vitabu, basi karibu tusome pamoja kupitia SOMA VITABU TANZANIA, kwa kufungua www.t.me/somavitabutanzania
Karibu upate sababu hizi 10 za kusoma vitabu kila siku na uanze kusoma ili uweze kuzifaidi.
UNAKUWA HURU MILELE.
Frederick Douglas alikuwa mtumwa ambaye alijifunza mwenyewe kusoma na kuandika, na baada ya kujua kusoma, hakubaki tena mtumwa na aliweza kupigania haki za watu na kukomesha utumwa.
Kuna utumwa wa aina nyingi unaendelea kwenye zama tunazoishi sasa, watu wasiosoma vitabu huwa wananasa kwenye utumwa huo na kushindwa kuishi maisha yao kwa uhuru.
Kuwa msomaji wa vitabu na utakuwa huru milele, hakuna anayeweza kukutishia kwa sababu unajua vizuri chochote unachopaswa kujua.
UNAKUWA KIONGOZI.
Hakuna kiongozi ambaye hasomi, na kama utapata nafasi ya uongozi kwa upendeleo bila ya kuwa msomaji, hutadumu nayo kwa muda mrefu, kwa sababu utafanya mambo yasiyo sahihi.
Uongozi haimaanishi wa kisiasa au kuchaguliwa, bali chochote unachofanya, unaweza kuwa kiongozi kama utakuwa msomaji. Kwa sababu kwenye kusoma utayajua mengi, utajua kwa kina kile unachofanya, utakifanya kwa ubora wa hali ya juu na wengine watakuwa wanakuangalia wewe kama mfano katika kufanya kwao, na hapo utakuwa kiongozi.
Soma vitabu na watu watakuwa tayari kukufuata hata kama hujawaambia wakufuate. Na ukishakuwa na wafuasi, basi wewe ni kiongozi, hata kama huna cheo.
KUNAKUPA UELEWA MPANA WA MAMBO.
Kuna watu huwa wanachekesha sana, wanaamini kusoma habari au makala au kufuatilia mijadala mbalimbali mitandaoni ni sawa na kusoma vitabu. Hiyo siyo kweli, unaposoma habari, makala au mijadala mbalimbali, unapata uelewa wa juu juu tu kwenye jambo husika.
Kama unataka kupata uelewa wa ndani wa jambo, ili kuweza kuchukua hatua sahihi, nenda kwenye vitabu. Vitabu vinakuwa na utafiti na uchambuzi wa kina wa jambo lililoandikwa kwenye kitabu hicho, hivyo unapata uelewa mpana kwenye jambo husika.
Soma vitabu, utajifunza mengi na kwa kina kuliko kufuatilia habari au kusoma makala.
KUNAKUFUNGULIA DUNIA.
Usomaji wa vitabu una nguvu ya kuifungua dunia nzima kwako. Kupitia usomaji unajifunza na kuelewa jinsi dunia inavyokwenda, lakini pia unaziona fursa mbalimbali za wewe kupiga hatua zaidi.
Mtu asiyesoma kuna vitu vingi anavikosa, anaenda maisha yake kama kipofu anayehangaika kutafuta kitu wakati kipo karibu yake.
Popote pale ulipo na kwa chochote ulichonacho, una fursa nyingi zaidi za kupiga hatua. Lakini huzioni fursa hizo na hivyo huzitumii. Unaposoma vitabu, fursa hizi zinaanza kuwa wazi mbele yako na hilo linakupa nafasi ya kupiga hatua zaidi.
Soma vitabu na dunia nzima itafunguka mbele yako.
UTAIENDESHA DUNIA.
Napoléon Bonaparte alikuwa mbabe wa kivita ambaye aliweza kushinda vita nyingi na kubwa. Aliweza hili siyo kwa sababu ya kuwa na nguvu sana, bali kwa kujua zaidi ya maadui zake.
Ndiyo maana anatuambia ukiona familia ya wasomaji, jua hapo kuwa watu watakaoiendesha dunia. Wanaoiendesha dunia siyo wanaoshinda instagram na facebook siku nzima, siyo wanaofuatilia kila aina ya habari na udaku.
Wanaoiendesha dunia ni wale wanaosoma vitabu, wanasoma tafiti, wanakuja na njia bora za kufanya vitu, ambazo zinawasaidia watu na wao zinawanufaisha sana.
Mmiliki wa mitandao ya kijamii ya Facebook, Instagram, Whatsapp na mingineyo, Mark Zuckerberg, ni msomaji mzuri sana. Kila mwaka huwa anasoma vitabu vingi vinavyompa maarifa ya jinsi ya kuiendesha dunia. Na hakuna ubishi kwamba mtu huyu mmoja, ana nguvu kubwa ya kuiendesha dunia kuliko hata raisi wa nchi yoyote duniani.
Soma vitabu na utaiendesha dunia, kwa namna yako.
NDIYO HAZINA ISIYOKAUKA.
Kama unataka kuiba na usikamatwe, kama unataka kuiba na unachoiba kidumu na wewe milele, basi soma vitabu.
Kwa nini? Kwa sababu unaposoma, unapata kwa urahisi kile ambacho kimemchukua mtu mwingine miaka mingi kukipata. Mfano mtu amejaribu biashara 10 zikashindwa, ila ya 11 ndiyo ikafanikiwa. Akaandika kitabu kinachoeleza makosa aliyofanya kwenye biashara 10 zilizoshindwa, na wewe ukakisoma, unakuwa umeiba, unakuwa umeepuka kurudia makosa yake na hivyo utapiga hatua kubwa.
Vitabu ndiyo hazina pekee isiyokauka, hazina ambayo ukiweza kuiiba hakuna atakayekukamata na hakuna anayeweza kukuibia na hazina ambayo inapatikana kwa urahisi popote pale ulipo.
UNAWAJUA MARAFIKI WA KWELI.
Watu huwa wanalalamika kwamba hakuna marafiki wa kweli au ni vigumu kuwajua marafiki wa kweli. Hii ni kwa sababu mtu anapokuwa na mafanikio anazungukwa na watu wengi, lakini akishindwa hawaoni tena wale marafiki aliokuwa nao.
Unapokuwa msomaji, ni rahisi sana kuwajua na kuwapata marafiki wa kweli, kwa sababu wanakuwa ni wale ambao wanakupa vitabu ambavyo hujasoma.
Kama una marafiki ambao ukiwaambia unasoma vitabu wanakushangaa na kukuambia unapoteza muda, jua hao siyo marafiki wa kweli, wako na wewe kwa sababu kuna kitu wanapata. Siku watakosa kitu hicho, hutowaona tena.
Kuwa msomaji na wafanye watu wajue wewe ni msomaji na hapo utaweza kuwajua marafiki wako wa kweli kwa vitabu watakavyokuwa wanakupa au wanakuambia usome.
UNASAFIRI BILA KUTOKA HAPO ULIPO.
Moja ya njia za kuijua vizuri dunia ni kusafiri sehemu mbalimbali duniani. Lakini siyo wote wenye uwezo au wanaopenda kusafiri. Kusoma ni njia rahisi ya wewe kusafiri bila kuondoka hapo ulipo sasa.
Unaposoma vitabu unajenga taswira mbalimbali, kama ni riwaya unatengeneza picha ya matukio kwenye akili yako. Kama ni historia ya mtu unapata picha ya maisha ambayo mtu huyo aliishi, ni kama unakuwa umeishi maisha hayo pamoja na yeye.
Unaposoma kitu chochote, akili yako haitabaki kama ilivyokuwa mwanzo, ambapo ni sawa na unaposafiri kwenda sehemu yoyote. Hivyo kuwa msomaji, utafika maeneo mengi bila hata ya kusafiri.
NI ZOEZI KWA AKILI YAKO.
Moja kati ya sheria za mageuzi inasema kwamba kitu kinapotumiwa kinakuwa imara na kisipotumiwa kinakuwa dhaifu.
Mfano mzuri ni mikono yako, kama huwa unatumia zaidi mkono wa kulia kufanya vitu, unakuwa na nguvu kuliko mkono wa kushoto. Kadhalika kama unatumia zaidi mkono wa kushoto.
Hivyo pia ndivyo ilivyo kwa akili yako, kama unaitumia inakuwa imara, kama huitumii inakuwa dhaifu. Njia pekee ya kuitumia akili, kuipa zoezi ni kusoma vitabu. Unaposoma vitabu unaipa akili yako kazi ya kufikiria na kutengeneza taswira mbalimbali na hilo linaifanya akili yako kuwa bora zaidi.
Unapokuwa msomaji, akili yako inakuwa imara na yenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu kwa urahisi, kwa sababu imeshazoea kufikri vitu vigumu na vikubwa.
Usikubali akili yako iwe dhaifu, ifanye kuwa imara kwa kuwa msomaji.
UNAJITOFAUTISHA NA WASIOJUA KUSOMA.
“The man who doesn’t read has no advantage over the man who can’t read.” — Unknown
Kama unajua kusoma lakini husomi kitabu, huna tofauti na mtu asiyejua kusoma. Wote mtasumbuka kwa jambo linalofanana wakati majibu ya jambo hilo yapo kwenye vitabu.
Kuwa msomaji na utaweza kujitofautisha sana na wengine ambao hawajui kusoma au hawataki kusoma.
Rafiki, hizo ndizo sababu 10 kwa nini unapaswa kusoma vitabu kila siku. Karibu twende pamoja kwenye safari hii ya usomaji, ambapo utapata vitabu vizuri pamoja na chambuzi zake, jiunge na channel ya SOMA VITABU TANZANIA kwa kufungua www.t.me/somavitabutanzania kisha bonyeza JOIN CHANNEL.
Previous Previous post: Taoism; Falsafa Ya Kale Ya China Inayokupa Nguvu Ya Kufanya Bila Kutenda.
Next Next post: USHAURI; Kama Umehitimu Shahada Na Huna Kazi Fanya Mambo Haya Matano.
| 2020-06-05T00:45:18 |
https://amkamtanzania.com/2020/03/08/sababu-10-kwa-nini-unapaswa-kusoma-vitabu-kila-siku/
|
[
-1
] |
Nadharia ya Kimakosa ya Uchumi wa Kirasilimali Ndicho Chanzo cha Umasikini Nchini Kenya na Ulimwengu Mzima kwa Ujumla
H. 5 Jumada I 1436 Na: 1436/08 H
M. Jumanne, 24 Februari 2015
Kenya imeorodheshwa nchi ya sita masikini zaidi barani humu. Matokeo kamili yanapatikana ndani ya ripoti tegemewa ya Taasisi ya Masomo ya Usalama (ISS). ISS imegundua kuwa Wakenya 18.4 milioni wanaishi katika umasikini zaidi. Kuhusiana na hili, sisi Hizb ut Tahrir Afrika Mashariki tungependa kufafanua yafuatayo:
Hizi sio takwimu halisi bali ni za wastani tu, ukweli ni kwamba nusu ya wakaazi wa Kenya wanaishi katika umasikini mbaya mno. Maelezo kutoka kwa baadhi ya mashirika ya kimataifa kama vile UNICEF yanasema kuwa asilimia 46 ya Wakenya wanaishi chini ya msitari wa umasikini. Cha kufedhehesha zaidi, huku takwimu hizi zikitolewa, Kenya ingali inajifakhiri kuwa uchumi mkubwa zaidi Afrika Mashariki na miongoni mwa nchi kumi za kwanza zenye uchumi wa juu Afrika. Ni wazi kuwa matatizo ya umasikini nchini yanasalia kuwa saratani. Hii ni ishara ya kushindwa kikamilifu kwa serikali iliyopo kama vile serikali zilizo tangulia katika kumaliza tatizo hili
Chanzo kikuu cha kushindwa kwa Serikali kukabiliana na tatizo hili ni kujifunga kwake na falsafa ya kimakosa ya uchumi wa kirasilimali. Ile inayoitwa nadharia ya udondoshaji chini au mkono usioonekana inayodai kuwa tatizo la kiuchumi hutatuliwa kupitia uzalishaji wa rasilimali na sio ugavi. Nadharia hii inadai zaidi kuwa kupitia uzalishaji ndio utakao wawezesha watu kushibisha mahitaji yao. Hii ndio sababu katika nchi nyingi za kirasilimali ambazo ni tajiri katika rasilimali asili raia wake wengi wangali ni masikini. Warasilimali hupima mafanikio ya kiuchumi ya nchi kwa msingi wa ongezeko la uzalishaji yaani utajiri jumla wa nchi (GDP) na sio utajiri wa mtu binafsi. Kwa upande mwingine, tabaka la wanasiasa wa kirasilimali ndio wafisadi wakubwa hivyo hawawezi kutatua tatizo la umasikini. Wao hukusanya mali kwa njia ovu kupitia ufujaji mabilioni ya pesa za umma, kuongeza marupurupu manene kwa lengo moja tu yaani kujitajirisha nafsi zao na sio mtu wa kawaida. Baya zaidi, wanasukuma ile wanayoiita miradi ya maendeleo kama njia ya kuhalalisha ufisadi wao.
Tungependa kusema waziwazi kuwa umasikini unaweza kutatuliwa pekee ikiwa nidhamu hii ya kiuchumi ya Kimagharibi itatupwa kwenye jaa la kihistoria na mahali pake kubadilishwa kwa nidhamu imara ya kiuchumi ya Kiislamu. Uislamu sio dini pekee bali ni mfumo ulio fungamanishwa na mpangilio kamili wa maisha unaoweza kutatua matatizo yote ya mwanadamu. Ama swali juu ya jinsi gani Uislamu hutatua matatizo haya, ni kwa sababu umefafanua kuwa chanzo kikuu cha matatizo haya kiko katika usambazaji wa rasilimali badala ya uzalishaji. Hili litamwezesha kila mtu kuwa huru kushibisha mahitaji yake msingi. Uislamu umesisitiza zaidi juu ya kadhia ya mizani ya usambazaji rasilimali kuliko tu juu ya fikra ya uzalishaji pekee. Mbali na kuharamisha ukiritimba wa rasilimali kuzunguka miongoni mwa matajiri pekee. Hili lamaanisha, tatizo linalo wakumba watu ulimwenguni haliko katika uhaba wa rasilimali kama warasilimali wanavyo jaribu kuonyesha, ukweli ni lau rasilimali zisambazwa kwa usawa, basi kadhia ya umasikini ingekuwa imetatuliwa. Ni kupitia nidhamu hii ya kiuchumi ambapo Uislamu chini ya usimamizi wa Dola ya Khilafah utaweza kuangamiza umasikini kwa raia wote Waislamu na wasiokuwa Waislamu vilevile. Mwenyezi Mungu akipenda pindi Dola ya Khilafah itakapo simamishwa tena, kadhia ya umasikini itazikwa katika kaburi la sahau.
Yaliyomo ndani ya kifungu hichi: « Mkakati wa Amerika Kujiimarisha Ndani ya Afrika Mashariki Mlipuko wa Virusi vya Korona: Janga Jengine Linalo Fichua Uovu wa Urasimali na Serikali Zake. »
| 2020-03-28T15:13:48 |
http://www.hizb-ut-tahrir.info/sw/index.php/taarifa-kwa-vyombo-vya-habari/kenya/615.html
|
[
-1
] |
Mabingwa watetezi wa Ndondo Cup wamechapwa Kinesi (+Picha) | ShaffihDauda
Home Kitaifa Mabingwa watetezi wa Ndondo Cup wamechapwa Kinesi (+Picha)
Previous articleVideo: Msuva amezungumza kuhusu Niyonzima kuondoka, kuvunja mkataba na tetesi za Ajib kusaini mkataba Yanga
Next articleVideo: Ujio wa Everton Tanzania na faida zake nje ya uwanja
| 2018-09-24T10:15:01 |
http://shaffihdauda.co.tz/2017/06/23/mabingwa-watetezi-wa-ndondo-cup-wamechapwa-kinesi/
|
[
-1
] |
Sekta Muhimu za Uchumi: Maliasili, Misitu na Mapori ya Asili |
Sekta Muhimu za Uchumi: Maliasili, Misitu na Mapori ya Asili
Tanzania ni nchi ambayo imejaaliwa misitu na mapori mengi ya asili yenye mchanganyiko mkubwa wa mimea. Pamoja na kwamba mimea hii imekuwa ikichangia uchumi wetu kwa kiasi fulani, bado mkazo wa kutosha haujawekwa kuhakikisha kwamba faida yote iliyomo kwenye mimea hii inapatikana. Mathalani, madawa asilia ambayo nchi nyingine, kwa mfano Costa Rica, ni sekta inayoingiza mabilioni ya Dola kwa mwaka, hapa kwetu haijaendelezwa. Hali kadhalika, uchumi wa mimea yetu ya asili kwa matumizi yasiyo ya kitiba nao haujaimarishwa. Mfano mzuri ni uvunaji wa Gum Arabica ambayo ni utomvi mgumu utumikao kuimarisha vinywaji vya aina mbalimbali. Mbali ya kwamba kuna soko kubwa la bidhaa hii ulimwenguni, na bidhaa yenyewe inapatikana kwa wingi nchini hasa katika mikoa ya Dodoma, Singida, Tabora, na Shinyanga mpaka sasa hakuna hatua madhubuti ambazo zimekwisha chukuliwa kukuza mauzo yake.
Hakuna juhudi za dhati za kuhakikisha kuwa uvunaji endelevu wa mali asili iliyoko katika misitu na mapori ya asili yaliyoko nchini unatumika kunyanyua pato la Taifa.
Hakuna taratibu zinazotabirika zinazosimamia uvunaji na uuzaji wa bidhaa zinazotokana na mali asili yetu. Matakwa binafsi ya viongozi wa serikali bado yanachukua sehemu kubwa ya maamuzi yanayofanywa kuhusiana na biashara ya mali asili. Mfano mzuri unahusu biashara ya magogo. Wafanya biashara ya magogo hivi karibuni walijikuta katika wakati mgumu baada ya serikali kupiga marufuku biashara ya magogo wakati baadhi yao magogo hayo waliyashayavuna na tayari yalikuwa bandarini kwa ajili ya kusafirishwa nje.
Serikali kwa kiasi kikubwa imezitelekeza taasisi zetu zinazoshughulika na tafiti zinazohusu mimea asilia, na hususan katika nyanja ya madawa. Matokeo yake ni kwamba taasisi hizi zinafanya kazi kikamilifu tu pale zinapopata wafadhili wa nje ambao huja kuhodhi matokeo na manufaa yanayotokana na tafiti hizo.
Kumekuwa na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu katika maeneo yote yanayozunguka hifadhi za Taifa. Wanavijiji wamekuwa hawana haki ya kulinda mazao yao dhidi ya wanyama waharibifu, na pale wanapochukua hatua dhidi ya uharibifu wowote wamekuwa wakinyanyaswa, kupigwa, na hata kubambikiziwa kesi na askari wa wanyama pori.
Ili kuhakikisha kuwa Taifa linanufaika kikamilifu kutokana na misitu na mapori yake, Serikali ya CUF itachukua hatua zifuatazo:
Kufanya tathmini ya mimea asilia inayopatikana nchini. Tathmini hii itafanyika kwa lengo la kujua aina, wingi, mahali inapopatikana na matumizi yake ya kijadi. Tathmini hii itafanywa na idara husika katika chuo chetu Kikuu cha Dar-es-Salaam kwa kusaidiwa na Wananchi mbali mbali wenye ujuzi mbali mbali wa kijadi. Aidha vitengo vya matumizi ya miti asilia katika Taasisi ya Madawa Asilia ya Chuo Kikuu kishiriki cha Tiba, na Idara ya Kemia ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam vitaimarishwa.
Kuanzisha benki maalum ya kuhifadhi viasili (Gene Bank). Kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali za kimataifa na idara zinazohusika katika vyuo vyetu vikuu vya Dar-es-Salaam na Sokoine, serikali itaanzisha benki maalum ya kuhifadhi kila aina ya mmea asili unaopatikana nchini, kama kinga endapo janga lolote laweza kusababisha aina yoyote ile ya mmea kutoweka.
Kuandaa sera ya kitaifa kuhusu uvunaji endelevu wa mimea asilia. Sera hii itasaidia sana katika kuweka taratibu za wazi na zinazotabirika za kusimamia uvunaji na biashara ya mimea asilia, hususan kwa ajili ya masoko ya nje.
Kutafuta masoko. Ili wananchi mbalimbali hususan wale ambao tayari wana ujuzi wa matumizi mbalimbali ya mimea ya asili waweze kunufaika kikamilifu na ujuzi wao, serikali itawatafutia masoko ya nje ya nchi na kuwaelimisha juu ya viwango vya ubora unaohitajika. Pamoja na mambo mengine serikali itafungua kituo katika mtandao wa internet ambapo wote wenye leseni ya kufanya biashara hii wanaweza kuorodhesha bidhaa zao na kuwasiliana na wateja.
Serikali ya CUF itahakikisha kuwa Wananchi wanalipwa fidia kwa mali na mazao yao yanayoharibiwa na wanyamapori wanaotoroka kutoka katika hifadhi za Taifa. Aidha elimu ya uraia itatolewa kwa watendaji wote wa hifadhi za Taifa ili waweze kuzingatia haki za binadamu.
← Sekta Muhimu za Uchumi: Uvuvi
Sekta Muhimu za Uchumi: Madini →
| 2017-10-19T14:22:55 |
https://hakinaumma.wordpress.com/2008/09/27/sekta-muhimu-za-uchumi-maliasili-misitu-na-mapori-ya-asili/
|
[
-1
] |
Katiba Yaitoa Jasho Kamati ya Chenge
Kamati ya Uandishi ya Bunge Maalum la Katiba hadi jana jioni ilishindwa kuwasilisha Rasimu ya tatu ya Katiba kwa Mwenyekiti wa Bunge hilo kama ilivyokuwa imepangwa.
Kwa mujibu wa ratiba ya vikao vya bunge hilo iliyotolewa na uongozi wa Bunge hilo mwishoni mwa wiki, jana Kamati ya Uandishi wa Rasimu ya Katiba ilitarajiwa kuwasilisha bungeni rasimu ya mwisho.
Habari zilizopatikana jana kutoka kwa baadhi ya maafisa wa Bunge hilo, zilieleza kuwa Kamati ya Uandishi jana haikuweza kukabidhi Rasimu ya mwisho ya Katiba kwa uongozi wa Bunge hilo kama ilivyokuwa imepangwa kutokana na kile kinachodaiwa kuwa ni kamati hiyo kutokamilisha kazi yake.
Ratiba iliyotolewa awali na uongozi wa Bunge hilo ilionyesha kuwa jana Kamati ya Undishi inayoongozwa na Mbunge Bariadi Mashariki, Andrew Chenge, ilipaswa kuwa imekamilisha kazi yake na kukabidhi Rasimu hiyo kwa Mwenyekiti wa Bunge.
Juzi asubuhi, Idara ya Habari ya Bunge hilo ilitoa taarifa kwa wandishi wa habari mjini Dodoma kuwa zoezi la kukabidhi Rasimu hiyo lingefanyika majira ya saa 8:00 mchana, lakini muda huo ulipowadia zoezi halikufanyika kwa maelezo kuwa bado kazi ya Kamati ya Uandishi haijakamilika.
Waandishi wa habari walitakiwa na maofisa habari wa Bunge Maalum la Katiba kuendelea na shughuli zao kwa ahadi kuwa wangeitwa wakati wowote baadaye ikiwa maandalizi ya kuikabidhi rasimu hiyo yangekamilika.
Maofisa hao habari wa Bunge waliwaeleza waandishi wa habari kuwa taratibu za kukamilisha zoezi la kukabidhi Rasimu zilikuwa hazijakamilika huku wakiwahimiza wandishi wa habari kusubiri taarifa zaidi kutoka kwa Katibu wa Bunge hilo, Yahaya Khamis Hamad, ambaye ndiye msemaji wa Bunge hilo.
Waandishi wa habari waliendelea kusubiri kwenye eneo la viwanja vya Bunge mpaka jioni bila mafanikio, kabla ya baadhi yao kukata tamaa na kuondoka.
Hadi gazeti hili linakwenda mitamboni kikao cha Kamati ya Uandishi kilikuwa kinaendelea na hapakuwapo na dalili zozote za Rasimu hiyo kukabidhiwa kwa mwenyekiti jana kama ratiba ilivyokuwa inaonyesha.
Taarifa za ndani zinadai kutokana na Kamati ya Uandishi kushindwa kukamilisha kazi yake kwa wakati uliopangwa, huwenda ratiba nzima ya mchakato wa katiba ndani ya MBK ikapanguliwa.
Hakuna kiongozi yeyote wa Bunge hilo aliyepatikana kuzungumzia suala hilo. Katibu wa Bunge, Yahaya Khamis Hamad, hadi tunakwenda mitamboni alikuwa kwenye kikao cha Kamati ya Uandishi.
RATIBA YA AWALI
Ratiba iliyotolewa awali na uongozi wa BMK inaonyesha kuwa Rasimu ya mwisho ya Katiba ilipaswa kuwasilishwa bungeni leo na wajumbe kupewa muda wa kuisoma na kutafakari kabla ya kuanza kupiga kura Septemba 29, hadi Oktoba 2, mwaka huu.
Wiki iliyopita, uongozi wa Bunge hilo ulieleza kuwa hatua hiyo itawapa wajumbe muda wa kutafakari, kuhakiki na kujadiliana kuhusu ibara za rasimu hiyo.
Uongozi huo ulisema baada ya wajumbe kutafakari na kujadiliana, Kamati ya Uandishi itafanya marekebisho ya mwisho ya Ibara za Rasimu ya mwisho ya Katiba Ijumaa wiki hii.
Ulieleza kuwa baada ya hapo Septemba 27, mwaka huu, Kamati hiyo itawasilisha kwa mara ya pili Rasimu ya mwisho ya Katiba bungeni na siku inayofuata kutakuwa na vikao vya Kamati za Bunge Maalum kujielimisha kuhusu Rasimu ya mwisho ya Katiba na taratibu za upigaji kura.
Mapema wiki iliyopita, bunge hilo lilimaliza kazi ya majadiliano ya taarifa za kamati ndani ya Bunge Maalum, Septemba 15, mwaka huu, hali ambayo iliwapa wajumbe hao muda wa siku mbili kuhudhuria semina maalum kwa ajili yao huku Sekretarieti ya Kamati ya Uandishi ikiendelea kukamilisha kazi ya kuandika Ibara za Rasimu ya Katiba.
Mzizi wa fitina kuhusu Katiba mpya utakatwa Jumatatu ya wiki ijayo Septemba 29, pale wajumbe wa Bunge Maalum la katiba watakapofanya mamuzi magumu ya kuipitisha Katiba inayopendekezwa ama kuikwamisha.
Tangu Aprili 16, mwaka huu, Bunge hilo liligawanyika baada ya wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umaoundwa na Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi kususia vikao kwa madai mbalimbali, yakiwamo ubaguzi na kuwekwa kando Rasimu iliyoandaliwa na iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba na kujadiliwa rasimu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Kutoka nje kwa wajumbe hao wa Ukawa kulielezwa kuwa kutaathiri upatikanaji wa Katiba mpya kwa kuwa wakati wa upigaji kura haitapatikana theluthi mbili kutoka pande zote za Muungano.
Uwezekano wa kukwama kunatokana na ugumu wa wajumbe kutoka Zanzibar kuikubali Katiba inayopendekezwa.
Baada ya malumbano baina ya Ukawa na wajumbe waliobakia ndani ya Bunge hilo wengi wakiwa ni wafuasi wa CCM, wiki hii wajumbe wataingia hatua ya lala salama kwa kazi kubwa ya upigaji kura kupitisha ibara za Rasimu ya mwisho ya Katiba inayopendekezwa.
Wajumbe hao wanatarajiwa kupiga kura hizo kwa muda wa siku nne kuanzia Septemba 29, mwaka huu.
Imeandikwa na Emmanuel Lengwa, Editha Majura na John Ngunge, Dodoma
| 2018-08-14T23:56:37 |
https://www.kijijini.com/2014/09/katiba-yaitoa-jasho-kamati-ya-chenge/
|
[
-1
] |
Salvo por todo el concepto de Eso que englobamos en los primeros 3 puntos de la teorÃa. Upendo wenye nguvu inaelezea kwa mpenzi kurudi yako kwa upande wako na upendo. Hata Calvin, katika A Wrinkle Muda, anasema kwamba ana mama ambaye kimwili anamtumia. Ya sé lo que piensan, "ESO" en la novela de King es un payaso llamado Pennywise, con globos y dientes feos.
Ni kuhusu kutafuta wrinkles katika wakati wa nafasi na kuvuka nafasi tupu wanayounda. El usuario declara que los datos que aquà se piden , son entregados de forma voluntaria con el único objetivo de ser utilizados para consulta. Hakuna shaka kwamba ulimwengu wa Stephen King ulijengwa karibu na ile ya kasoro kwa wakati. Haz estos poderosos rituales, sà los haces bien te proporcionarán éxito.
Kwa experience kupitia nafasi ya kupata baba wa watoto. Kutenda kama viongozi watatu kwa watoto. Kwa hiyo tu kurudi kwenye hatua hii ya kipindi baada ya kuisoma. Ambayo ingekuwa ina maana kwamba vyuo vikuu hivi viwili vinashiriki mechanics sawa. Mwishoni, miungu ilipaswa kuingilia kati ili apon na lydia hawakuweza, kwa hasira yao, kuharibu ulimwengu. Watoto wote wanapaswa kushughulika na kutoweka kwa baba yao.
Kiongozi wa kupigana wa klabu ya waliopotea, ambaye hupata nguvu ya kushindwa Pennywise kwa kuandika ulimi wake wa kujitolea. Y "ESO" no los puede tocar como resultado. Maombi kumbukumbu online video yako na alama umeona movie mpya ambayo imekuwa up-to-date, hivyo si kupoteza muda, na kufurahia njia rahisi ya Spell. "Kabla hechizos de amor ya kuanza, Nyota ya Kale na Mama Mzee walikuwa wamependa ndoa wapya.
A MatPat le faltan un par de tornillos para ser una máquina. Fikiria mwishoni mwa toleo la dos mil diecisiete la Hiyo, ambapo Bev aamsha kutoka hali yake ya paka wakati Ben anambusu. Este se harÃa efectivo en diez dÃas hábiles tras pactar una data de hacerse realidad el trabajo y no se hizo. Donde los pequeños vencen a "ESO" rehusándose a tener miedo. - Unaweza kutupa majibu juu ya maombi, sisi kuchunguza mapendekezo yote.
| 2019-06-16T01:33:57 |
http://amarres-de-amor-a-la-sant90964.blog2learn.com/15897511/h1-hechizos-de-amor-h1
|
[
-1
] |
Tanzania: Taifa linalotegemewa kuendelea likiwa n miundombinu yote mibovu na legelege | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Tanzania: Taifa linalotegemewa kuendelea likiwa n miundombinu yote mibovu na legelege
Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Kasheshe, Jan 18, 2009.
Baada ya kufuatia kwa ukaribu ziara ya Mh. Rais kwenye mashirika yalio chini ya wizara ya Miundo Mbinu nimeng'amua kwamba kelele zote tunazipiga siku zote, msingi wake mkuu uko kwenye mashirika ambayo mheshimiwa Rais ameyatembelea hivi karibuni na mengine machache lakini ya miundombinu (infrastructure)... mliotembelea mataifa mengi nitapenda baadaye munipe mfano wa Taifa lililoendelea bila kuwa na miundo mbinu imara.
Kama kawaida yangu, najinyooshea kidole mwenyewe na waTanzania wote sio Mh. Rais, Mh. Waziri au Mh. Waziri wa Miundo Mbinu mwenyewe...
Hivi tujiulize, unaweza kuendelea hali ya kuwa nchi yako ina:-
1. Bandari yako ina performance ya chini kabisa may be 20%, kumbuka hii ni dhahabu isiyo hitaji kuchimba, inahitaji umakini tu basi.
2. Shirika lako la Reli limekufa, huwezi kusafirisha mizigo mikubwa (bulk cargo) kwa gharama nafuu.
3. Barabara zako mbovu zikiwa pamoja na za Dar es Salaam, ambapo kila mtu anapoteza at least masaa mawili ya kufanya kazi barabarani.
4. Shirika lako la ndege (ATCL)limekufa, unaua utalii etc.
5. Shirika lako la umeme (TANESCO) linafanya kazi Mungu saidia...
6. Shirika lako la Telecommunication (BackBone) linasuasua yaani TTCL, wanajua ICT wanaelewa, mashirika mengine yote ni ya ugawaji huduma kwenda kwa mtumiaji wa mwisho... lakini shirika la mkongo mkuu (TTCL) liko mahututi.
7. TPDC; huwezi kuweka petrol ya akiba ya siku tano, ambayo ingeweza ku-cover ukosefu wa mafuta kwa sababu yoyote kama iliyotokea juzi juzi.
Wandugu hakuna chama, malaika au yeyote yule atakayekuja Tanzania akatuambia atafanya Tanzania uchumi ukue kama mashirika ya miundombinu yataendelea kuwa kwenye hali hiyo.
Binafsi sitamsikilikiliza mwanasiasa yeyote yule ikiwepo wanaopiga makelele ya EPA kwamba ni wazuri mpaka wanieleze ni lini mashirika hayo hapo juu ya miundo mbinu yatafanya kazi kwa ufanisi wa at least 60% and above.
Hayo mashirika yakifanya kazi kwa asilimia kubwa tutaweza kuamsha kilimo, tutaweza kujenga shule, zahanati, vyuo na huduma zote za Jamii.
Ndio utaweza kuzungumzia mdudu anaitwa utawala bora, demokrasia na... politics nyingi za kina Lipumba, Mrema, Mbatia etc.
Ukiniuliza sasa kwa nini Tanzania ni maskini?
Nitakuambia kwa kuwa miundombinu yote imekufa... kwenye mwili wa binadamu mshipa wa AOTA haupampu damu vizuri, yet unategemea uweze kukimbia marathoni...lazima uta-collapse: na kweli uchumi wa Taifa ume-collapse.
Vipaumbele: Kama yawezekana Bandari ingehakikishwa inafanya kazi hata kama italazimika kuweka JKT au JWTZ wafanye hiyo kazi.
NB: Naomba kuelezwa National Development Corporation (NDC) linafanya kazi gani?
Ahsante kwa kunisoma
Umesema kweli Kasheshe, tatizo letu ni maneno bila vitendo. Wakenya bandari yao japo nayo huwa inafurika ila wanajitahidi. Imefikia wakati hata waTZ wanaingizia mizigo yao bandari ya Mombasa badala ya Dar. Sasa hao ni wa TZ tu, acha nchi nyingine zisizo na bandari kama Uganda, Rwanda, Burundi nk. Tunajikosesha mapato (kodi) kwa uzembe wetu wenyewe.
Kwanini wasifanye bandari 24hrs with kitengo kidogo cha jeshi for security during those night shifts kama mwaka angalau while they restructure??? maoni tuu
Bandari, reli na shirika la ndege vitaimarika tukiacha kufanya siasa katika maeneo hayo. Tutafute watu competent wanaoweza ku-run vitu hivyo kibiashara
UramboTabora Member
MOJA ya habari zilizomo katika ukurasa wa tatu wa gazeti la Tanzania Daima ni agizo la Rais Jakaya Kikwete kwa viongozi wa Shirika la Ndege (ATCL), kuwataka kurejesha huduma baada ya kusimama kwa takriban mwezi mmoja sasa.
Rais Kikwete ameonyesha kukerwa na kutokuwapo kwa huduma hiyo kiasi cha kuweka bayana kuwa taifa linapoteza fedha nyingi kutokana na kutorusha ndege.
Tunaamini agizo hilo la Rais Kikwete litafanyiwa kazi muda si mrefu, kwani taifa linahitaji kuwa na miundombinu imara, hasa ya usafiri ili kuchochea ukuaji wa uchumi, sambamba na kuwavutia wawekezaji.
Agizo hilo la rais limekuja siku mbili baada ya kuagiza uongozi wa Shirika la Reli Tanzania (TRL) kuacha kufanya maamuzi mazito bila kuishirikisha serikali ambayo ina hisa ya asilimia 49.
Lakini kabla ya kukutana na viongozi wa TRL, Rais Kikwete alionana na viongozi wa Mamlaka ya Bandari (TPA) na Kampuni ya kuondoa makontena bandarini (TICTS), akiwataka waboreshe utendaji wao.
Tunaunga mkono ziara hizi za Rais Kikwete lakini ni lazima kuwepo na mabadiliko katika sekata husika badala ya maagizo ya rais kubakia kwenye makaratasi.
Ni aibu kwa taifa kwa kutokuwa na huduma bora bandarini, huduma za reli na ndege, ambazo zote kwa kiasi kikubwa ndiyo uti wa mgongo wa ukuaji wa uchumi.
Baadhi ya wafanyabiashara wamekwisha kuikimbia Bandari ya Dar es Salaam na kuitumia ya Mombasa, huku wengine nao wakizitumia ndege za kampuni binafsi kwa shughuli zao.
Lakini pamoja na maagizo hayo ya rais, ni vema serikali ikaangalia kwa makini sababu na vikwazo inavyokumbana navyo na ikiwezekana itoe msaada ili kuwakwamua.
Kama serikali haitawasaidia kimtaji na utaalamu, hata Rais Kikwete atoe maagizo makali kiasi gain, mambo hayatabadilika.
Tunaamini bado kuna nafasi nzuri ya kurekebisha makosa yote yaliyotokea kipindi cha nyuma na hatimaye kujenga taifa lenye mwelekeo mzuri wa kiuchumi.
Tunajua tulifanya makosa kwenye baadhi ya sekta kwa kuwapa wawekezaji wasio na mitaji ya kutosha na utaalamu, lakini ni vema tukawa wakali ili watuheshimu.
Ukali wa Rais Kikwete kwa wawekezaji, hasa wanaopenda kufanya mambo kinyume na mikataba yao, utasaidia kwa kiasi kikubwa kuwarejesha wawekezaji hao kwenye msitari unaotakiwa.
Huu si wakati wa kubabaishwa na wawekezaji na wala si wakati wa kurudia makosa yaliyofanyika huko nyuma.
Ndiyo maana tunaiomba serikali sasa iwe zamu ya vitendo zaidi kuliko maneno ili nchi iondokane na uchumi dhaifu na maisha magumu kwa wananchi.
Mwageni maoni yenu waungwana
TUTOE HOJA HAPA SERIKALI IFANYE NINI??????????????????
Hakuna nchi inaendelea bila miundo mbinu na viungo vyake, yaani NISHATI, MAJI NA USAFIRI (Barabara, bandari, anga na reli) bandari na reli ni njia muhimu za usafirishaji wa gharama nafuu, hasa za mizigo mikubwa, hivyo
- bila reli mizigo yote iendayo bara itakuwa bei ghali na mengine mengi.
- bila nishati kama umeme nafuu (sio majenereta ya mafuta au gesi ghali) bei ya bidhaa ni mbaya utashindana vipi na bidhaa toka nje?
- bila barabara nzuri usafirishaji wa mizigo na watu inakuwa kasheshe, ndio maana nauli ya basi toka dar mpaka morogoro (kilimeta 200) ni ndogo kuliko nauli toka mikumi mpaka ifakara kilomita 100 tu.
- bandari ya Rotterdam inasafirisha mizigo haraka na kwa urahisi, ndio maana gharama ya usafiri toka luanda kuja dar ni kubwa kuliko toka rotterdam kuja dar.
Hivyo maendeleo yatakuja haraka kama MIUNDO MBINU ITAKUZWA.
Umesahau kuwa hatuna barabara, kuanzia mjini hadi vijijini.
Kama inavyosemekana kuwa nchi yetu inategemea Kilimo kiuchumi (Ref John Mashaka), haya mazao yatafikaye kwenye masoko bila kuwa na barabara zua uhakika. Ndizi zitaozea pale Mbingu, nafaka zitanunuliwa kwa bei chei na walanguzi ambao wanasacrifice magari yao kwenda vijijini kupitia hizo barabara mbovu....list ni ndefu.
Pamoja na kufikiria kuwa na ndege, meli; umuhimu wa kuwa barabara za uhakika zinazopitika majira yote ya mwaka upewe kipaumbele. Ni muhimu kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja kuanzia wakulima vijijini hadi wachuuzi mijini na hatimaye kusababisha ukuaji wa uchumi wa nchi kwa ujumla.
Hii ipo kwenye thread ambayo nilishaanzisha... "Tanzania: taifa linalotegemea kuendelea wakati likiwa na miundo mbinu mibovu na legelege"
| 2018-01-22T13:12:00 |
https://www.jamiiforums.com/threads/tanzania-taifa-linalotegemewa-kuendelea-likiwa-n-miundombinu-yote-mibovu-na-legelege.23128/
|
[
-1
] |
Fujitsu Australia and New Zealand - Fujitsu Russia
Истории успеха>Fujitsu Australia and New Zealand
| 2017-04-30T22:47:16 |
http://www.fujitsu.com/ru/about/resources/case-studies/fs-fujitsu-australia-new-zealand.html
|
[
-1
] |
Umoja wa Vijana Chadema Wampa siku Tatu Rais Magufuli - LEKULE BLOG
KITAIFA NEWS Umoja wa Vijana Chadema Wampa siku Tatu Rais Magufuli
Umoja wa Vijana Chadema Wampa siku Tatu Rais Magufuli
BARAZA la Vijana wa Chadema (BAVICHA) kwa kushirikiana na Umoja wa wanafunzi wa vyuo vikuu Chadema (Chaso) wametoa siku tatu kwa Rais John Magufuli kufuta agizo la Shirika la utangazaji la Tanzania (TBC) kutokurusha moja kwa moja mikutano ya Bunge inayoendelea Dodoma.
“Tunajiuliza maswali mengi, ni vitu gani wanataka kuficha? Hadi wananchi wasivijue? Wakati Bunge linatakiwa kuwa masaa matano na dakika 45 sasa kwanini wanataka kurusha ndani ya saa moja? Haya masaa manne yanaenda wapi? Amehoji Simbeyi."
“Wanaiogopa mijala inayoendelea Bungeni, Serikali yoyote inayoogopa kukosolewa lazima itakuwa na mapungufu yake, tunachohitaji ni mikutano uoneshwe live kila mtu ajue kinachoendelea” amesema Simbeyi.
| 2017-08-22T13:09:48 |
http://sosteneslekule.blogspot.com/2016/01/umoja-wa-vijana-chadema-wampa-siku-tatu.html
|
[
-1
] |
Muziki | Mitego Sasa | Page 2
Home Muziki Page 2
Mwanamziki mashuhuri ambaye hamtambui Khaligraph Jones aka Yego ameamua kusema ukweli kuhusu hisia zake kwa msichana mmoja ambaye ni muigizaji wa filamu za vichekesho(upcoming artist). Msanii Mike Rollerwakuu afunguka...
Ni wasanii wawili wa kongwe kwenye game la muziki Kenya ambao wamefanya makuu. Jua Kali aka Baba Yao ameshirikiana na mkali wa dancehall Wyre Da Love Child na kukupakulia uhondo...
Msanii gwiji Eddy Kenzo kutokea Uganda ambaye ni mshindi wa tuzo kubwa ya muziki duniani ya BET. Msanii huyo 'Sitya Loss' ameachia kazi mpya kabisa inayotisha na kutesa anga kinoma. Ngoma...
Pallaso ameachia ngoma mpya collabo na Vivian baada yake kufanya vizuri kwenye ngoma zake kama 'Charm' yake na Jose Chameleone
Msanii mwanadada malkia wa WCB Wasafi Records ameachia ngoma mpya baada ya kusumbua media na wimbo 'Kijuso'. Queen Darleen alimpa shavu msanii mwenzake humo WCB, Rayvanny collabo hio ya mwanzoni na...
David Wonder baada ya kitusua na collabo yake pamoja na boss wake Bahati 'Ndogo Ndogo', ameachia ngoma mpya 'Mtindo'. Download
Mwanamziki Vivian ameachia kazi yake mpya baada ya kutangaza kufanya hivyo siku chache zilizopita. Msanii huyo mkali wa vocals alitangulia kutangaza mabaya aliyowahi kukumbana nayo wakati akiishi kwa Ex Boyfriend...
Baada ya kuweza kufanikisha cover song ya Msanii Rayvanny 'Kwetu', Madini Classic aliachia ngoma Nikaribishe, Tawire kisha ana ngoma mpya 'Parachichi'. Download video hapa.
Wahu Kagwi aachia wimbo mpya mtindo wa gospel baada ya mzazi mwenzake Nameless kuachia ngoma Ohh Why ya aina ya gospel.
| 2017-12-16T14:49:51 |
http://mitego.co.ke/category/muziki/page/2/
|
[
-1
] |
MSANII LINEX AMCHOKONOA RAPA NAY WA MITEGO | MATUKIO NA VIJANA
» MSANII LINEX AMCHOKONOA RAPA NAY WA MITEGO MSANII LINEX AMCHOKONOA RAPA NAY WA MITEGO A+
Msanii wa Bongo Flava, Linex ametoa kauli ambayo haijaeleweka mara moja iwapo imemlenga rapper Nay wa Mitego.
Muimbaji huyo alipoulizwa ni kwanini sasa hivi hakuna hit song kubwa ingawa wasanii kila siku wanatoa nyimbo, alijibu kwa sasa kuna vitu vingi vinavyowateka watu nje ya muziki.
“Matatizo ni mengi, kwa mfano miluzi imekuwa mingi kuna vitu vingi vya kufuatilia apart from music, msema ovyo alipatia aliposema siasa inafunika muziki, unajua eeh?. Ni msema ovyo mimi namuitaga, sasa unaona yuko sawa yule?,” alihoji na kuendelea.
“Yule ni mshikaji wangu ila najua ni msema ovyo, hajawahi kunisema wala nini ila kuna vitu anaongeaga unaona kama huyu mtoto anadata,” Linex ameiambia Twenzetu ya Times Fm.
Katika wimbo wa Nay wa Mitego ‘Wapo’, kuna mistari inasema, “siamini nchi inaendeshwa kwa kiki, siasa inafunika muziki, viongozi wanashindana kukiki, wanagombea front page wauze kwenye gazeti”.
| 2017-07-28T02:50:05 |
http://www.matukiotz.co.tz/2017/07/msanii-linex-amchokonoa-rapa-nay-wa.html
|
[
-1
] |
PAUL MASHAURI KUTOA MIKOPO KWA WAJASILIAMALI, LENGO KUZALISHA AJIRA MIL. 3 HADI 2020 | PAMOJA BLOG
» PAUL MASHAURI KUTOA MIKOPO KWA WAJASILIAMALI, LENGO KUZALISHA AJIRA MIL. 3 HADI 2020
Diwani wa Kawe, Ruta Rwakatare akimshukuru Mkurugenzi wa Kampuni ya HiTECH International, Paul Mashauri kwa jinsi ambavyo amejitoa kusaidia wajasiliamali ambao wanataka kufanya biashara kwa kuwapatia mashine kwa mkopo wa bei nafuu
Baadhi ya watu waliohudhuria semina hiyo wakitoa maoni na kuuliza maswali. Mkurugenzi wa Kampuni ya HiTECH International, Paul Mashauri akiwa katika picha ya pamoja na wakazi wa Kata ya Kawe waliohudhuria semina hiyo iliyoandaliwa na Kampuni ya HiTECH International. Labels :
| 2016-10-26T19:07:44 |
http://www.pamoja.co.tz/2016/09/paul-mashauri-kutoa-mikopo-kwa.html
|
[
-1
] |
swahilivilla: Raia wanne wauawa katika maeneo yanayozungumza Kiingereza nchini Cameroon
Mratibu wa jumuiya ya kutetea haki za binadamu nchini Cameroon ametangaza habari ya kuuawa watu wanne katika mji wa Mutengene wa kusini magharibi mwa nchi hiyo.
Aziz Moustapha ametangaza habari hiyo na kuongeza kuwa watu hao wanne wameuawa baada ya jeshi la Cameroon kushambulia nyumba zao katika eneo lenye wazungumzaji wengi wa Kiingereza la kusini magharibi mwa nchi hiyo.
Maximilienne Ngo Mbe, mkurugenzi mtendaji wa kanali ya kutetea haki za binadamu katika eneo la katikati mwa Afrika naye amesema katika mkutano uliofanyika Yaoundé, mji mkuu wa Cameroon kuwa, tangu miezi kadhaa nyuma kumewekwa amri ya kutotoka nje katika maeneo yenye wazungumzaji wengi wa Kiingereza nchini humo na jeshi la Cameroon linaingia katika nyumba moja baada ya nyingine kuua watu ambao hawana vitambulisho.
Eneo la kusini magharibi mwa linalopigania kujitenga na Cameroon
Machafuko yameongezeka sana kwenye miezi ya hivi karibuni katika maeneo yenye wazungumzaji wengi wa Kiingereza nchini Cameroon.
Wazungumzaji wa Kiingereza wanaunda karibu asilimia 20 ya wakazi wote milioni 20 wa Cameroon. Wazungumzaji hao wa Kiingereza wanalalamika kuwa wananyanyaswa na kutengwa na serikali kuu na wananyimwa haki zao kama raia wa Cameroon hivyo wanaona ni vyema wapiganie kujitenga.
Labels: Raia wanne wauawa katika maeneo yanayozungumza Kiingereza nchini Cameroon
| 2018-12-14T11:53:38 |
https://swahilivilla.blogspot.com/2018/10/raia-wanne-wauawa-katika-maeneo.html
|
[
-1
] |
Italia: Uchaguzi usiyo na mshindi | Matukio ya Kisiasa | DW | 26.02.2013
Italia inakabiliwa na mkwamo wa kisiasa, baada ya kutokuwepo na mshindi wa moja kwa moja katika uchaguzi uliyofanyika Jumapili na Jumatatu, na hivyo kuweka mashakani juhudi za kufufua uchumi wa taifa hilo.
Zoezi la kuhesabukura likianza baada ya siku mbili za uchaguzi
Ugumu wa maisha na rushwa
Kura nyingi za hasira zilizopigwa na raia waliochoshwa na hali ngumu ya kiuchumi na rushwa katika siasa, zimeliacha taifa hilo lenye uchumi wa tatu kwa ukubwa katika kanda inayotumia sarafu ya euro, likibaliwa na ombwe kubwa, baada ya kutotoa mshindi mwenye nguvu za kutosha kuunda serikali. Matokeo hayo ambayo yalivipa vyama vinavyoipinga sarafu ya euro zaidi ya asilimia 50 ya kura, na mafanikio ya kustaajabisha ya vuguvugu jipya lenye propaganda za umaarufu, vilitikisa masoko ya fedha duniani, na kusababisha hofu ya mgogoro mpya katika kanda inayotumia sarafu ya euro.
Pier Luigi Bersani, kiongozi wa muungano wa vyama vya mrengo wa kati-kushoto uliyoshinda katika baraza la chini la bunge.
Kufuatia matokeo hayo sarafu ya pamoja ya Ulaya ilishuka dhidi ya dola ya Marekani na Yen ya Japan, huku masoko ya hisa ya Marekani yakishuhudia anguko kubwa zaidi katika siku moja tangu Novemba mwaka jana. Wakati zaidi ya asilimia 99 ya kura zikiwa imekwisha hesabiwa, matokeo yalionyesha muungano wa vyama vya mrengo wa kati-kushoto ukiwa na ushindi mdogo wa karibu kura laki moja na thelathini katika baraza la chini la bunge, zinazotosha kuupa udhibiti wa baraza hilo.
Lakini hakuna chama au muungano uliyoshinda kura za kutosha kuunda wingi katika baraza la Seneti, na hivyo kupelekea bunge la mseto, kinyume na matokeo imara ambayo Italia ilikuwa inayahitaji ili kuweza kushughulikia mdororo mkubwa wa kiuchumi, ukosefu wa ajira na deni kubwa la taifa. Matokeo hayo yalichochea hofu ya mgogoro mpya wa fedha wa Ulaya. Alessandro Tentori, mkuu wa viwango vya kimataifa wa Citigroup, alisema matokeo hayondiyo mabaya zaidi kwa mtizamo wa masoko, na kuongeza kuwa kuna uwezekano mkubwa wa kufanyika kwa uchaguzi mpya.
Silvio Berlusconi akipiga kura yake. Muungano wake umeshika nafasi ya pili.
Beppe Grillo na mapinduzi ya kisiasa
Lakini matokeo hayo yalikuwa na mafanikio ya kipekee kwa mchekeshaji kutoka Genoa Beppe Grillo, kiongozi wa vuguvugu la nyota 5, aliezunguka nchi katika kampeni yake ya kwanza akiwakosoa wanasiasakwa kuifkikisha Italia katika hali iliyomo sasa. Mafanikio yake yametimiza utabiri wa baadhi ya wachambuzi kuwa uchaguzi huo usiyotabirika na uliyofuatiliwa kwa karibu zaidi katika miaka kadhaa unaweza kuleta mapindizi ya kisiasa.
"Tumefurahi sana kwa sababu hii ni kama tsunami. Inastajabisha kwenda kupiga kura ukiwa na tabasamu na ukafurahia zoezi hilo. Watu wengi ambao walikuwa hawapiga kura kwa muda mrefu walituambia wanarudi kupiga kura na hilo limesaidia viguvugu letu," alisema Allisandro Di Battista, mgombea wa vuguvugu hilo akiufananisha ushindi wao na tufani ya tsunami. Grillo alipata karibu robo ya kura, kutoka asilimia 1.8 aliyolipatia vuguvugu lake katika jaribio lakwanza mwaka 2010.
Kibao cha fedheha kwa Bersani
Matokeo hayo yalikuwa kibao cha fedheha usoni mwa kiongozi wa muungano wa vyama vya mrengo wa kati-kushoto Pier Luigi Bersani, ambaye alipoteza uongozi wa asilimia 10 ya kura za maoni chini ya miezi miwili iliyopita dhidi ya muungano wa vyama vya mrengo wa kati-kulia unaoongozwa na tajiri Silvio Berlusconi.
Bersani alishindwa kuhudhuria mkutano wa waandishi wa habari baada ya matokeo kujulikana bayana. Naibu wake Enrico Letta, pamoja na waziri mkuu anaemaliza muda wake Mario Monti, walisema pande zinazohusika zinapaswa kuunda serikali ili kuepusha uchaguzi mwingine. Lakini matokeo hayo yanazua masuali kama hilo linawezekana.
Kiongozi wa vuguvugu la nyota tano Beppe Grillo, aliyeshika nafasi ya tatu.
Tajiri Berlusconi mwenye umri wa miaka 76 ambaye anakabiliwa na kashfa za ngono na rushwa, alishika nafasi ya pili katika kinyanganyiro cha baraza la seneti akiwa na takribani viti 117. Kura zote zikiwa karibu zimekamilika, muungano wa kati-kushoto ulitarajiwa kushinda jumla ya viti 121 katika seneti, Grillo 54 na Monti akiambulia viti 22. Wingi katika baraza la seneti ni viti 158.
Hatari ya uchaguzi mwingine
Wawekezaji wanahofia kurudi kwa mgogoro wa madeni uliyoipeleka kanda ya euro karibu na maafa na kumleta madarakani msomi Monti, akichukua nafasi ya Berlusconi mwaka 2011. Matokeo yanaonyesha zaidi ya nusu ya wapiga kura waliyachagua majukwaa ambayo sera zake zinapingana na kanda ya euro, ya Berlusconi na Grillo.
Serikali ya mrengo wa kati-kushoto ikiongoza peke yake au kwa kushirikiana na Mario Monti ilikuwa inatizamiwa na wawekezaji kama uthibitisho bora wa hatua za kukabiliana na mdororo mkubwa na ukuaji uliyotwama nchini Italia, ambayo ni muhimu kwa utulivu wa sarafu ya muungano. Lakini kushindwa kwa Monti licha ya kuungwa mkonona wafanyabiashara, na mtokeo yasiyoridhisha ya muungano wa vyama vya mrengo wa kati-kushoto, kunamaanisha kuwa hawana maseneta wa kutosha kuunda serikali hiyo.
Waziri mkuu anayemaliza muda wake Mario Monti.
Monti aliisaidia Italia kutoka katika mgogoro wa madeni wakati ambapo gharama za ukopaji zilikuwa zinapanda kwa kiwango cha kutisha Novemba 2011, lakini watalia wachache sasa hivi wanaomuona kama muokozi wa taifa hilo, linalokabiliwa na mdororo wa muda mrefu zaidi katika kipindi cha miaka 20. Vuguvugula Grillo liliendesha kampeni ya kuwavuta wapiga kura wenye hasira dhidi ya programu ya kubana matumizi ya Monti, na mlolongo wa kashfa.
Berlusconi alitumia vizuri hasira za raia dhidi ya hatua za Monti za kubana matumizi, akimtuhumu kuwa kibaraka wa Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel, lakini katika maeneo mengi Grillo ndiye aliyenufaika zaidi kutokana na hasira za wananchi. Rais Giorgino Napolitano anatarajiwa kuwaita viongozi wa kisiasa kujadili namna ya kuunda serikali, lakini hili halitarajiwi hadi Machi 10 baada ya matokeo kuthibitishwa rasmi na kuitishwa bunge.
Mwandishi: Iddi Ismail Ssessanga/rtre, afpe, ape
Mada Zinazohusiana Uchaguzi Ujerumani 2017, Brexit, Kamisheni ya Ulaya, EPA, Angela Merkel, Umoja wa Ulaya - EU, Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya
Maneno muhimu Italy, elections, Silvio Berlusconi, Mario Monti, Grillo, Angela Merkel, EU
Kiungo http://p.dw.com/p/17llt
| 2017-12-12T18:14:20 |
http://www.dw.com/sw/italia-uchaguzi-usiyo-na-mshindi/a-16628269
|
[
-1
] |
Imechapishwa: 07/03/2016 - 18:51 Imehaririwa: 07/03/2016 - 19:39
Rais wa Tume ya Ulaya Jean-Claude Juncker, Waziri Mkuu wa Uturuki Ahmet Davutoglu, Rais wa Baraza la Ulaya Donald Tusk na Spika wa Bunge la Ulaya Martin Schulz, Brussels, Machi 7, 2016. THIERRY CHARLIER/POOL/AFP
Uturuki imeomba Umoja wa Ulaya Euro bilioni tatu za msaada wa ziada "ifikapo mwaka 2018", sawa na bilioni sita kwa jumla.
Pia Uturuki imeahidi kwa kiasi kikubwa kuongeza ushirikiano wake katika mgogoro wa wahamiaji ili kukabiliana na ongezeko la wahamiaji, Spika wa Bunge la Ulaya Martin Schulz amesema Jumatatu hii.
"Fedha hizi za ziada zitahitaji taratibu za bajeti za ziada. Bunge la Ulaya likotayari kuharakisha taratibu," Schulz amesemakatika mkutano wa kilele wa EU-Uturuki mjini Brussels, ambapo Ankara imeonekana tayari kukubali kurudi kwa wahamiaji wengi, ikiwa ni pamoja na wakimbizi wa Syria.
Umoja wa Ulaya tayari umekubali kuisaidia Uturuki hadi kitita cha Euro bilioni tatu kwa ajili ya miradi ya kukuza ushirikiano wa wakimbizi milioni 2.7 wa Syria katika ardhi ya Uturuki, kwa elimu ya watoto katika lugha ya Kiarabu au kuwapatishia ajira kwa mfano, kama sehemu ya mpango wa utekelezaji wa pamoja uliosainiwa mwishoni mwa mwezi Novemba mwaka 2015.
Lakini mpango ni mgumo kueleza iwapo utapelekea kushuka kwa kiasi kikubwa kwa kuwasili kwa wakimbizi kwenye pwani za Ugiriki wakitokea Uturuki. Jumapili hii jioni, Ankara imetoa mfululizo wa mapendekezo, ikiahidi kuwachukua, kuanzia tarehe 1 Juni, wahamiaji wa kiuchumi ambao iliwaacha waingiye Ulaya, ili iweze kuwarejesha katika nchi zao, lakini pia wakimbizi wa Syria.
Kwa upande wake, Umoja wa Ulaya imejikubalisha kuwezesha mifumo ya kisheria ya wakimbizi wa Syria katika umoja huo, moja kwa moja kutoka Uturuki, kwa idadi kubwa.
Uturuki inahitaji mambo mengine muhimu: pia inataka viza ya bure kwa raia wa Uturuki ianze kutekelezwa kabla ya mwisho wa mwezi Juni na inataka mazungumzo ya kujiunga na umoja wa Ulaya, yaliosimama kwa zaidi ya muongo mmoja, yaanzishwe upya haraka iwezekanavyo kutokana na ufunguzi wa sura mpya.
| 2020-08-03T13:16:24 |
https://www.rfi.fr/sw/ulaya/20160307-uhamiaji-uturuki-yaomba-eu-euro-bilioni-tatu-za-ziada
|
[
-1
] |
Imewekwa: Jul, 23 2018
Naibu Waziri Aweso Afunga Kongamano la Wadau wa Sekta ya Maji
Wadau wa Sekta ya Maji zaidi ya 200 wamehitimisha kongamano la siku mbili na kuazimia kujenga mazingira yatakayoleta mwelekeo mpya wa kufanikisha Sekta ya Maji nchini haraka iwezekanavyo, kwa Serikali kupanua wigo wa kuihusisha Sekta Binafsi nchini huku wakiongozwa na Sera ya Taifa Maji ya mwaka 2002 na Mpango wa Awamu ya Pili wa Maendeleo ya Sekta ya Maji (WSDP II).
Kongamano hilo lililoandaliwa na Wizara ya Maji na Umwagiliaji kwa kushirikiana na Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji lililowahusisha Wakandarasi, Wataalamu Washauri, Wawekezaji na Wadau wa Maendeleo nchini lililenga kuinua kiwango cha uhusiano kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi nchini chini ya wenyeviti wenza Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Jumaa Aweso na Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhandisi Stella Manyanya.
Kabla ya kuweka saini ya makubaliano ya azimio lililofikiwa wakati wa kufunga kongamano hilo, washiriki waliangalia maeneo kadhaa ya kujenga uhusiano baina ya Serikali na Sekta Binafsi, na kubaini changamoto kadhaa zikiwemo kuimarisha menejimenti ya ugavi serikalini. Pia, kuhakikisha manunuzi kutoka viwanda vilivyopo nchini vinapewa kipaumbele na kukutana mara kwa mara ili kuwa na mawasiliano ya karibu katika ngazi zote katika sekta. Azimio hilo linasisitiza uzalendo wa kuona umuhimu wa kuliendeleza Taifa.
Katika makubaliano hayo, yamo masuala ya kuimarisha mahusiano na wadau wa maendeleo katika meneo ya teknolojia na rasimali hususani kwenye majisafi na majitaka. Vilevile, kamati maalumu imeandaliwa kwa ajili ya kuandaa mwendelezo wa andiko la utekelezaji wa dhamira ya Serikali, ambayo ni kuongeza wigo wa wa ushirikiano wa Sekta Binafsi katika nyanja zote kama moja ya agenda muhimu katika Andiko la WSDP II.
Aidha, Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema Serikali ina wajibu wa kuhakikisha wananchi wanapata majisafi, salama na yenye kutosheleza bila kufikiria gharama, wakati mfanyabiashara unawaza faida. Kuna haja ya sote tuwe na uzalendo wa kitaifa kwa jamii yetu.
‘‘Ili kufanikisha mahusiano ya Sekta Binafsi na Serikali ni lazima sekta zote zijenge tabia ya kupeana taarifa sahihi kuhusu kila jambo. Mtaalam u mshauri anapoandaa pendekezo la mradi asifanye maamuzi ya ushauri holela ya kuwa bidhaa zinazozalishwa nchini hazifai, kwa kuwa manunuzi ni muhimu yaanzie toka viwanda vyetu na wawekezaji nchini wapewe kipaumbele na wizara italisimamia hilo ili wawekezaji wa ndani wawe na uhakika wa masoko.
Akifunga kongamano hilo Naibu wake Jumaa Aweso, amesisitiza kuna umuhimu kwa kila kundi katika sekta kwa maana ya wakandarasi, wataalamu washauri, wagavi na menejimenti za ufundi kutambua umuhimu wa kutimiza wajibu kwa weledi ili kila jambo linalopangwa litimie pasipo kukwama, huku akisisitiza kila mradi unaoanzishwa, uandaliwe kwa ufanisi na usikwame kwa visingizio vya makosa ya nyuma na ukamilike kwa wakati.
| 2019-03-24T03:30:14 |
http://maji.go.tz/news/naibu-waziri-aweso-afunga-kongamano-la-wadau-wa-sekta-ya-maji
|
[
-1
] |
RAIS DKT MAGUFULI AKUTANA NA RAIS WA ZANZIBAR DKT SHEIN IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO - JIACHIE
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein walipokutana Ikulu jijini Dar es salaam leo Machi 19, 2017 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein bwakiagana baada ya mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es salaam leo Machi 19, 2017 PICHA NA IKULU.
Item Reviewed: RAIS DKT MAGUFULI AKUTANA NA RAIS WA ZANZIBAR DKT SHEIN IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO
| 2017-04-29T07:18:35 |
http://michuzijr.blogspot.com/2017/03/rais-dkt-magufuli-akutana-na-rais-wa_19.html
|
[
-1
] |
HABARI NA MATUKIO: JK, WAZIRI LWENGE WAKAGUA MITAMBO YA MAJI WAMI, CHALINZE
JK, WAZIRI LWENGE WAKAGUA MITAMBO YA MAJI WAMI, CHALINZE
Rais mstaafu wa Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete akionesha kitu walipotembelea mitambo ya maji Wami.
| 2017-03-27T06:36:42 |
http://www.kajunason.com/2015/12/jk-waziri-lwenge-wakagua-mitambo-ya.html
|
[
-1
] |
Wale wanaotaka kupita kupitia mandela road | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Wale wanaotaka kupita kupitia mandela road
Discussion in 'Habari na Hoja mchanganyiko' started by CPA, Apr 6, 2011.
Mandela road ime jam, magari yamepigana pini buguruni sheli, trafic aliyekuwa anaongoza magar kala kona, kuna mvua kubwa. Kama unampango wakupita njia hii muda huu, plse tafuta njia nyingine mbadala.
Bongo tushazoea folen, hata mawingu yakionekana tu foleni inaanza.
Mandela road ime jam, magari yamepigana pini buguruni sheli, trafic aliyekuwa anaongoza magar kala kona, kuna mvua kubwa. Kama unampango wakupita njia hii muda huu, plse tafuta njia nyingine mbadala.Click to expand...
ur gudboy
tushazoea foleni dsm hasa wakati wa mvua. bongo tambarare hatuna haraka
kp t upClick to expand...
Usimkonyeze sasa, atasababisha jam!
Thanx bro... Tutaikwepa rodi!
hivi ipi ni njiua mbadala kwangu ambaye tayari nipo hapa buguruni ?
Usimkonyeze sasa, atasababisha jam!Click to expand...
sawa ntafumba macho bas
Asante sana kwa ujumbe....
Tanzania, hasa Dar es salaam, kunatakiwa kuwe na service ya Traffic info (RDS) kupitia radio stations zilizopo. Hii service ipo Ulaya na nchi zingine ambapo kama kuna habari yeyote ya traffic km. ajali, jam etc, matangazo ya kawaida yanakatika, na habari za traffic kuingilia kati.
Ndugu Watanzania nyie mbona sio wavumilivu tutawajengea fly overs hivyo msiwe na wasiwasi traffic jam haitakuwepo tena.
kama unatokea tabata bora upitie njia ya dampo unatokea kigogo
| 2017-07-27T07:06:04 |
https://www.jamiiforums.com/threads/wale-wanaotaka-kupita-kupitia-mandela-road.124317/
|
[
-1
] |
Brucela ninini! | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Brucela ninini!
Discussion in 'JF Doctor' started by KYALOSANGI, Jan 30, 2012.
Kijana wangu (YUPO MBALI NAMI) ameniambai anaumwa ugonjwa unaitwa bucela (sins uhskiks ns spelling zake)
Kwa kuwa nakaribia kunza mitihani ya semister ameshauriwa asianze dozi yake kwani itamleteamatatizo wakati huo;Naomba kujua huu ni ugonjwa gani na usababishwa na nini ,kuna tiba mbadala ! je maelekezo ya huyo daktari wake ni sahihi(mitihani wanaanza tarehe 13 hadi mwisho wa mwezi wa pili!
Google muzee.
Brucella ni bacteria wanaosababisha ugonjwa unaoitwa brucellosis.bacteria hawa hupatikana kwa wanyama kama ng`ombe,mbuzi,kondoo,nk.
Brucellosis ni ugonjwa unaosababishwa na kula nyama yenye brucella,au kunywa maziwa yenye brucella yanayopatikana kwa wanyama niliotaja hapo juu,au mtu anapokuwa na kidonda na kuwa na contact na wadudu hao kwenye kidonda mara nyingi wawindaji,mara chache sana kwa kuwavuta(inhalation).
homa,kutokwa jasho,kuumwa kichwa,kuumwa mgongo/shingo,mafua,joint kuumwa,uchovu.
kujibu swali lako kwamba DK.amemwambia asianze kutumia dawa ni sawa kabisa kutokana na ukweli kwamba dozi ya kutibu brucella inachukua muda mrefu,kumbuka mtu akiwa anatumia dawa mwingine zinaweza kumchosha ukiachana na side effects ndogondogo ambazo zinaweza kumaffect ukizingatia ni wakati wa mitihani.Hakuna mbadala wa kutibu brucellosis.
Matibabu yake ni antibiotics, kwa mtu mzima doxycycline 100mg mara mbili kwa siku+rifampicin 600mgx1(mara moja kwa siku) kwa wiki sita mfululizo,au streptomycine inj. i/m 1gm x1 kwa siku 14,au gentamycin 5mg/kg ,kama akitumia dox.peke yake 100mgx2 ni kwa siku 45.sasa itategemea dk.wake amemwandikia dawa gani.
kuchemsha maziwa vizuri kabula ya kunywa,kupika nyama ziive vya kutosha badala ya kukimbilia mkono kwenda kinywani tehe tehe!
| 2017-01-22T20:46:16 |
https://www.jamiiforums.com/threads/brucela-ninini.217949/
|
[
-1
] |
Ubora wa Juu kwa Ndoa Nyeupe Nyeupe China Manufacturer
Maelezo:Ubora wa juu wa vitunguu safi ya kawaida,Ubora wa juu wa kawaida wa vitunguu,High Quality Normal White Garlic
Ubora wa juu wa vitunguu safi ya kawaida
,Ubora wa juu wa kawaida wa vitunguu,High Quality Normal White Garlic
Home > Bidhaa > Vitunguu safi > Nyeupe ya kawaida ya vitunguu 6.0-6.5cm > Ubora wa Juu kwa Ndoa Nyeupe Nyeupe
Vitunguu ni ngozi nyekundu, kichwa kichwa kikubwa, ngozi nyembamba kama karatasi, safi na jade kama, spicy spicy, lishe tajiri.Kwa kawaida nyeupe vitunguu 6.0-6.5cm ni ukubwa mkubwa katika 2018 Fresh Garlic, Big ukubwa quality ni kubwa mwaka huu . sisi nje ya ukubwa Big kwa Soko Brazil. Wanahitaji 6.0-6.5cm, kuweka vitunguu ndani ya kadik 10kg, ufungashaji mzuri. chombo kimoja cha miguu 40 ikiwa ni pamoja na 2650cartons kwa Soko la Brazil. Soko la Brazil linahitaji ukubwa mkubwa, ubora bora. kuhusu nyaraka wanaohitaji cheti ya vimelea, Hati ya Afya, cheti cha Fumication, na wanahitaji kuonyesha mizigo ya bahari kwenye BL. Tunajua soko la Brazil. sisi kuuza bidhaa zaidi ya 100 kwa soko Brazil.
Ubora wa Juu ya vitunguu safi safi
Ubora bora wa vitunguu safi nyekundu
Ubora wa vitunguu safi
Ubora bora wa vitunguu ya njano
| 2019-03-24T17:52:41 |
http://sw.fuyuanfv.com/normal-white-garlic-6-0-6-5cm/55332074.html
|
[
-1
] |
TUME ZA UCHUNGUZI:MCHEZO WA KUJIFICHA?
Nakumbuka zamani,nyakati zile ninazoweza kuziita za utoto wangu tulikuwa na mchezo wa kujificha.Mnaanza kwa "tiyari,bado" wanaoenda machakani wanaitikia bado,bado,bado na kisha unasikia tiyariiii..halafu kimyaaa.Mwenzenu anaanza kuwatafuteni.Kama nyie ni mabingwa wa kujificha basi anatafuta mpaka anachoka kisha anasema "jitokezeeeeeni".Yaani ameshindwa kuwaona.Nimesahau adhabu ya kushindwa kuwapata,hivi ilikuwa mnarudia tena kujificha au inakuwaje?
Wakati nikitafakari na kuukumbuka mchezo ule ambao wengine walikuwa wakiutumia kuanzisha uchunguzi wao wa jinsia tofauti,nimeufananisha na mchezo wa kisiasa unaoitwa "uundaji wa tume za uchunguzi" kuhusu jambo moja au lingine.Nauita "mchezo" kwa sababu moja kubwa.Hivi zile tume huwa zinafanikisha malengo gani?Wanakusanyika,wanaenda vichakani,wanakaa kimya,tunawatafuta(tunataka majibu)hatuyapati,kisha baada ya kuchoka tunawaambia wajitokeze.Ndio tumeshasahau mantiki nzima ya tume.Kabla hatujakaa vizuri tunaundiwa tume nyingine.(Raundi nyingine ya kujificha)Mwendo mdundo.
Katika utawala wa miaka kumi wa bwana Mkapa tume kibao ziliundwa.Wewe unayesoma habari hii,ulipata kuona ripoti ngapi ya tume hizo??Hukumbuki hata ile ya jaji fulani ilivyopingwa na muunda tume mwenyewe kwa sababu tu iliendana kombo na matarajiwa au "maelekezo" ya mwenye nyumba??Zilifanikisha nini?
Hivi sasa nchini Tanzania suala la ujambazi linatisha.Makubwa yashatokea na tume imeundwa.Tume imeundwa kutafuta majibu ya unyama au "uhalali" wa kiutendaji na kuitikia agizo la waziri.Mashahidi chungu mbovu washajitokeza.Tume ilipewa siku ishirini na moja kumaliza uchunguzi wao.Kimsingi,tume inapoundwa lazima iwe na malengo au walengwa.Waliojificha vichakani.Nchini mwetu hali ni tofauti.Anayechunguzwa huwa hasimamishwi kazi yake.Anaendelea kushikilia bakora yake kiganjani.Utamchunguza vipi mtu ambaye ana madaraka makubwa pengine kukushinda hata wewe mwenyewe?
Hii ni tume ya kwanza ya Kikwete.Je tutaona "uwazi" ambao mwenzake aliyepita alibakia kuweka maneno pasipo na vitendo huku askari wake wa miamvuli wakiogopa kuchupa kutoka hewani?Wakabakia hewani kwa miaka kumi.Sijui tofauti kati ya askari na mwanafunzi wa uaskari ni ipi.Kujitokeza kwa mashahidi zaidi ya themanini ni ishara tosha kwamba wananchi sasa wamechoka na pengine wanaanza kurudisha imani zao kwa mkuu wa nchi na utawala wa sheria.Hapa Canada mashahidi kama hao huwa wanaitwa "whistle blower" sheria zinawalinda vizuri.Pengine na Tanzania imefikia hatua hizo.Nasubiri kuona matokeo.
Pili ni suala la njaa.Watu wanakufa kwa njaa jamani.Tume imeshaundwa?Ile idara ya maafa inafikiri maafa ni MV Bukoba peke yake?Hili naomba nilihifadhi kwa leo,nitaliundia tume huru ikiwezekana,tena mapema iwezekanavyo.
Muandishi: Jeff Msangi |Tarehe: 1:15 PM | Permalink |
Tarehe: 2:38:00 PM, Mtoa Maoni:- Anonymous
Halafu inaweza kuundwa tume kuchunguza tume iliyoundwa kuchunguza jambo nyeti.
Waziri wa Usalama wa Raia labda kasahau yaliyowakuta kina Rais Mstaafu Mwinyi, Waziri Mkuu Mstaafu Rashid Kawawa, Waziri Peter Siyovelwa, Ndugu Augustine Mrema, Ndugu Lee George Mdachi, Ndugu Ernest Said, na wengine waliokumbwa na kesi ya mauaji ya kina Twiga Nindwa na Mazengenuka Mwanankoboko yaliyotokea Shinyanga. Angekumbuka hili nadhani asingitoa hiyo amri au rai aliyoitoa.
Tarehe: 6:40:00 PM, Mtoa Maoni:- John Mwaipopo
Unajua nini. Mtu haonekani wa maana kwao. Ungalisema maneno haya Tanzania ungalionekana juha. Sasa umenena humu tandoni hata wakiona wataifanya hawaoni ilimradi kwao maisha mwendo mdundo.
Yule jamaa aliunda tume ile kwenye mabano kwa kuwasifia wanatume kuwa ni wabobezi katika fani yao. Walipotoa matokeo ambayo yaliendana na tafiti na utaalamu wao akasema sio wasomi na ni wajinga. Sasa swali nani mjinga aliyeunda au waliondwa katika tume.
Msululu wa tume ulimkera kila mwenye fikra thabiti, kwani hakuna lililofanyika baada ya uchunguzi. Mfano tume ya mlungula.
Sijui huhu jamaa aliyeingia Magogoni hivi punde atakuja na staili gani. Zima moto ya kuunda tume ili watu wakae kimya na kusahau au kuzifanyia kazi chunguzi na tafiti za tume hizo. Sasa tupo kwenye 'tyari bado?' ya ujambazi.
Tumpe nafasi tuone
Tarehe: 5:55:00 AM, Mtoa Maoni:- mark msaki
tayari bdo!! juzi mheshimiwa JK akiongea na waze DSM alisema tume ina kazi ya kujenga mahusiano mazuri kati ya polisi na raia...nadhani aliishaona presha inayowaka baina ya pande mbili...wananchi na polisi.....sasa sijui kama ataitoa hewani hata kama inaonyesha kuwa yai bovu liko nyumbani mwake?? au ataifumbia macho??
JK ameishasifika kuwa amekuwa mwenye kukiri udhaifu wa serekali yake na kupania kuupiga vita...tunachoomba mungu ni kuwa tume hii basi na iwekwe wazi, kwani itapreside matokeo ya tume zote zijazo...kwa mahusiano mema si tena ya polisi na umma bali ya serekali na wananchi.....
Tarehe: 11:16:00 AM, Mtoa Maoni:- Boniphace Makene
Jeff hapa katika suala la Tume hukukosea kabisa. Huu ni mchezo wa kujificha ama kuficha mambo. Kuna tume zinazoundwa wakati ripoti ilishachapishwa. Kazi ya tume hiyo inakuwa kukusanya geresha na kusubiri tarehe waliyopangiwa kutangaza ripoti kwa waanbdishi ambao nao huwa ahawana maswali badala ya kunakili kila kilichoandikwa na tume.
Tunasubiri katika tume hii lakini tujikumbushe mzee wa Tax Return (Mkapa) amefanya nini na sasa mbona hatumsemi kama alivyoanzisha Ulimwengu?
| 2017-09-20T09:11:41 |
http://harakati.blogspot.com/2006/02/tume-za-uchunguzimchezo-wa-kujificha.html
|
[
-1
] |
Taarifa ya Polisi kuhusu watu wanaojifanya kuwa maafisa wa Polisi | KAPINGAZ
Posted by Henry Oswald Kapinga at 12:58 PM
| 2018-03-19T16:49:03 |
http://kapingaz.blogspot.com/2017/08/taarifa-ya-polisi-kuhusu-watu.html
|
[
-1
] |
Imewekwa : February 4th, 2019
Mkoa wa Kagera waanza kuchukua hatua za dhati za usimamizi wa rasilimali madini zinazopatikana mkoani humo kwa kuweka mfumo thabiti wa kuhakikisha kila mdau aliyeko kwenye mnyororo wa thamani ya madini na kuwajibika ipasavyo ili madini hayo yawanufaishe wananchi na kuinua pato la mkoa na taifa kwa ujumla.
Hatua zinazoendelea kuchukuliwa ni pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco E. Gaguti kufanya ziara katika machimbo ya madini ya bati Nyaluzumbura Wilayani Kyerwa na kuzungumza na Wachimabaji Wadogo juu ya changamoto mbalimbali wanazokutana nazo katika uchimbaji na kufanya biashara ya madini.
Mkuu wa Mkoa Gaguti akieleza lengo la kutembelea machimbo hayo Februari 3, 2019 alisema kuwa baada ya kufanya kikao cha wadau wa madini cha Taifa chini ya Rais John Pombe Magufu Januari 22, 2019 Jijini Dar es Salaam iliazimiwa kuwa kila mkoa uhakikishe unasimamia kikamilifu rasilimali madini na kuondoa kero na vikwazo vyote vinavyopelekea madini kuuzwa kimagendo na nchi kukosa mapato.
Mkuu wa Mkoa Gaguti alitoa nafasi kwa Wachimbaji Wadogo wa Mdini ya Bati kumweleza changamoto mbalimbali wanazokumbana nazo katika uchimbaji na biashara ya madini ya Bati. Wachimbaji hao wadogo walimweleza Mkuu wa Mkoa kuwa changamoto kubwa ni bei ya madini ya bati kuwa ndogo, Utoroshaji wa madini hayo na kuuuzwa nchi jirani, Mitaji midogo ya kununulia vifaa vya kisasa vya uchimbaji.
Mara baada ya kusikiliza changamoto hizo Mkuu wa Mkoa aliyeongozana na Kamati ya Ulinzi na Usalaama ya Mkoa aliwaeleza Wachimabji Wadogo kuwa changamoto hizo tayari mkoa umezitafutia ufumbuzi ambao kama wao watatoa ushirikiano zitaisha kwa muda mfupi na wataanza kuneemeka na uchimbaji wa madini hayo lakini pia mkoa utakuza pato lake aidha na taifa kwa ujumla.
“Tofauti na ilivyo sasa sisi Serikali ya Mkoa tumeamua kuanzisha mfumo sahihi katika sekta ya madini, tumeamua kuweka mfumo wenye utaratibu mzuri wa uchimbaji, pili mfumo wa kuyatunza madini ghafi ya bati baada ya kuchimbwa kabla ya kuuzwa, na mwisho ni mfumo sahihi wa kuuza mdini hayo na soko lake yakiwa yameongezewa thamani ndani ya Wilaya ya Kyerwa.” Alifafanua Mkuu wa Mkoa Gaguti.
Ili kuhakikisha Madini ya Bati hayatoroshwi na kuuzwa nchi jirani tayari Serikali imewapata wawekezaji wa kuongeza thamani madini ya bati ambapo tayari mmoja amejenga kiwanda cha kuongeza thamani madini hayo naye ni TANZAPLUS na kiwanda chake kipo Wilayani Kyerwa. Wa pili ni Africa Top Minerals Limited (ATM) ambaye anaendelea na mazungumzo na Serikali ili kuanza kuongeza thamani Madini ya Bati.
Mkuu wa Mkoa Gaguti alimwagiza Afisa Madini wa Mkoa wa Kagera Mhandisi Lucas Mlekwa kuhakikisha anaanza utekelezaji wa kuanzisha maghara ya kuhifadhi madini ghafi mara baada ya kuchimbwa, pili kuwasimamia wachimbaji wadogo kujiunga katika vikundi ili watambuliwe na kupatiwa mikopo. Tatu ni kuhakikisha madini yote yatakayochimbwa Kyerwa yaongozewe thamani Wilayani hapo na soko lake liwe humo.
Maagizo hayo yanatakiwa kuwa yametekelezwa ifikapo mwishoni mwa mwezi Februari 2019 ili Waziri wa Madini aweze kualikwa mwanzoni mwa Mwezi Machi 2019 kuzindua mfumo rasmi wa uchimbaji, uongezaji thamani na uuzaji wa Madini ya Bati Mkoani Kagera ambao utakuwa unawanufaisha wadau wote waliopo kwenye mnyororo wa thamani ya madini hayo.
Madini ya Bati Nyaluzumbura Wilayani Kyerwa yalianza kuchimbwa tangu mwaka 1924 na katika machimbo hayo kwa sasa yanachimbwa Madini ya Bati kwa wastani wa nusu tani (Kilo 500) kila mwezi na idadi ya Wachimbaji Wadogo katika mgodi huo ni 1,350.
| 2020-02-27T11:10:01 |
http://www.kagera.go.tz/new/uongozi-wa-mkoa-wa-kagera-waweka-mikakati-ya-kuthibiti-utoroshwaji-wa-madini-ya-bati-wilayani-kyerwa-kuuzwa-nchi-jirani
|
[
-1
] |
WAZAZI WATAKIWA KUWAEPUSHA WATOTO NA MIMBA NA NDOA ZA UTOTONI. ~ K-VIS BLOG '; if(img.length>=1) { imgtag = '
Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali watu kutoka Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto (Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii) Bi.Deodatha Makani akiongea jambo na Mkurugenzi wa Ubora na Maendeleo wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya Save the Children Amy Schmiot mahafali ya 5 ya kidato cha sita katika shule ya Sekondari Mwendakulima iliyopo Halmashauri ya Mji wa Kahama.
| 2018-07-17T03:31:29 |
http://khalfansaid.blogspot.com/2017/05/style-definitions-table.html
|
[
-1
] |
BLOG YETU: WALIOMUUA FUNDIKIRA WAHUKUMIWA KIFO
WALIOMUUA FUNDIKIRA WAHUKUMIWA KIFO
Marehemu Swetu Fundikira enzi za uhai wake.
Wakiingizwa mahakamani
Watuhumiwa waliohukumiwa kifo kutokana na mauaji ya Fundikira.
WATUHUMIWA katika mauaji ya Swetu Fundikira, MTM 1900 Sajenti Roda Robert (42) wa kikosi cha JKT - Mbweni na MT 75854 Koplo Ally Ngumbe (37) wa JWTZ-Kunduchi leo wamehukumiwa kifo baada ya kupatikana na hatia na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam. Posted by
| 2017-06-23T13:58:02 |
http://mlauledj.blogspot.com/2012/11/marehemu-swetu-fundikira-enzi-za-uhai.html
|
[
-1
] |
Rahatupu.Blogspot.Com: Nancy - Rahatupu Tunaipata Vizuri Sana Hapa Kigali. Hapa Ilikuwa New Year na Huyu ni Rafiki Yetu Ambaye ni Mwanamuziki...More to Come. Happy New Year to Everyone !!!
Nancy - Rahatupu Tunaipata Vizuri Sana Hapa Kigali. Hapa Ilikuwa New Year na Huyu ni Rafiki Yetu Ambaye ni Mwanamuziki...More to Come. Happy New Year to Everyone !!!
Costantine Classic00:47Inaelekea ilikua simchezo!Ulirahatupika.ReplyDeletebig pumbu07:08Watusi hao! Mzigo nauonaReplyDeleteAdd commentLoad more...
100% Bongo Certified...Msiopenda Majimama Mnakosa Vingi Jamani (Sniper Upo) ? 100% Bongo Certified: Nancy; Huyu Binti Nilianza Kama Utani tu...Kuja Kushtuka Kumbe Kaamua Kunitunuku...Video Naona ni Kubwa Inakataa Kuja...Ikikubali tu Nitairusha...
| 2014-12-22T02:42:22 |
http://rahatupu.blogspot.com/2013/01/nancy-rahatupu-tunaipata-vizuri-sana.html
|
[
-1
] |
Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation: Sudan Kusini Mwanachama rasmi wa EAC baada ya kusaini mkataba
Sudan Kusini Mwanachama rasmi wa EAC baada ya kusaini mkataba
Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki akisaini Mkataba wa Kuiwezesha Sudan Kusini kuwa Mwanachama Kamili wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), tukio hilo la kihistoria limefanyika Ikulu jijini Dar es Salaam. Tukio hilo limeshuhudiwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndungai, Jaji Mkuu Mhe. Chande Othmani, Mwanasheria Mkuu, Mhe. George Masaju na Waziri wa Mambo ya Nje Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa Mhe. Balozi Augustine Mahiga
Rais wa Jamhuri ya Sudani Kusini Mhe. Salva Kiir Mayardit naye akiweka saini kwenye Mkataba wa Kuiwezesha nchi yake ya Sudan Kusini kuwa mwanachama kamili wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Sehemu ya Mabalozi waliohudhuria tukio hilo la kihistoria la Jamhuri ya Sudan Kusini kuwa mwanachama kamili wa Jamhuri ya Afrika Mashariki mara baada ya kusaini Mkataba wa kuwa Mwanachama wa Jumuhiya hiyo.
Sehemu nyingine ya Mabalozi wanazoziwakilisha nchi zao hapa nchini, wa kwanza kushoto ni Balozi wa Japan hapa nchini Mhe. Masaharu Yoshida, Balozi wa Misri nchini Mhe Mohamed Yasser Elshawaf (katikati)
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Susan Kolimba (Mb.), akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Sudan Kusini Mhe. Salva Kiir Mayardit.
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa Mhe. Ramadhan Muombwa Mwinyi naye akisalimiana na Rais Kiir.
Afisa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Kikanda na Kimataifa ,Bw. Hassan Mwamweta akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Sudan Kusini, Mhe. Salva Kiir alipokuwa akisalimiana na wageni waliohudhuria Tukio hilo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli (wa nne kutoka kulia) na Rais wa Jamhuri ya Sudan Kusini, Mhe. Salva Kiir Mayardit (wa nne kutoka kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na Viongozi Wakuu wa Tanzania na Jumuiya ya Afrika Mashariki
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli (wa nne kutoka kulia) na Rais wa Jamhuri ya Sudan Kusini Mhe. Salva Kiir Mayardit (wa nne kutoka kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na Mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao nchini.
Rais wa Jamhuri ya Sudani Kusini Mhe. Salva Kiir Mayardit (kulia), akipokea zawadi ya ua kutoka kwa mtoto Sharon Innocent Shiyo wakati wa mapokezi yake rasmi Ikulu.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli (kushoto) akimpokea rasmi Rais wa Jamhuri ya Sudan Kusini, Mhe. Salva Kiir Mayardit alipo wasili Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Sudan kusini Mhe. Salva Kiir Mayardit akiwa pamoja na Mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli wakati wakipigiwa nyimbo za mataifa yote mawili.
Kikosi cha Bendi ya Jeshi
Mhe. Salva Kiir akikagua Gwaride la Heshima lililokuwa limeandaliwa kwa ajili yake
Rais Magufuli na Rai Kiir wakifurahia jambo kwa pamoja alipokuwa akimtambulisha Waziri wa Mambo ya Nje Ushirikiano wa Afrika Mashariki Kikanda na Kimataifa Mhe. Balozi Augustine Mahiga
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akimtambulisha Naibu Waziri wa Mambo ya Nje Ushirikiano wa Afrika Mashariki Kikanda na Kimataifa Mhe. Susan Kolimba (Mb.) kwa Mhe. Rais Salva Kiir (katikati).
Salva Kiir akiwapungia mkono viongozi mbalimbali walijitokeza kumpokea
Waziri Mahiga akiagana na Rais Salva Kiir kabla hajaanza safari ya kurudi Sudan Kusini mara baada ya kukamilisha ziara yake ya siku moja iliyomwezesha kusaini mkataba wa kuingia rasmi kwenye Jumuiya ya Afrika Mashariki
Afisa Mambo ya Nje Bi. Olivia Maboko akiagana na Mhe. Rais wa Jamhuri ya Sudan Kusini Mhe. Salva Kiir alipokuwa akielekea kwenye ndege tayari kwa kuanza safari ya kurudi nchini kwake.
Rais Salva Kiiri akipunga mkono wa kwaheri.
Sudan Kusini yasaini rasmi Mkataba wa kujiunga Jumuiya ya Afrika Mashariki
Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa pamoja na Mhe. Salva Kiir Mayardit, Rais wa Jamhuri ya Sudan Kusini wamesaini Mkataba wa kuiwezesha Jamhuri ya Sudan Kusini kuwa Mwanachama kamili wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Tukio hilo la kihistoria limefanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 15 Aprili, 2016.
Akizungumza wakati wa haflya hiyo, Mhe. Dkt. Magufuli aliipongeza nchi hiyo na kusema kuwa anajivunia tukio hili la kihistoria kutokea wakati Tanzania ikiwa ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na kwamba ukurasa mpya wa ushirikiano na mahusiano na nchi hiyo umefunguliwa.
Aliongeza kuwa kihistoria Sudan Kusini, imekuwa na mahusiano ya karibu na nchi za Afrika Mashariki katika nyanja mbalimbali ikiwemo mwingiliano wa tamaduni, ushirikiano wa kibiashara na uchumi na ukaribu wa kijografia. Aidha, alieleza kuwa kujiunga kwa Sudan Kusini kwenye EAC kunaifanya Jumuiya hii kuwa na soko kubwa lenye takriban watu milioni 160.
Vile vile Mhe. Rais Magufuli alisema kuwa ili Jumuiya ya Afrika Mashariki iweze kuwa na maendeleo endelevu suala la kudumisha amani ni la msingi, hivyo aliwahimiza Sudan Kusini kuendeleza juhudi kwenye mazungumzo ya amani.
‘’Dhana ya Mtangamano ni kukuza biashara, uwekezaji na miundombinu ili kujiletea maendeleo endelevu katika Jumuiya yetu, hivyo nahimiza umuhimu wa nchi wanachama kudumisha amani ili kufikia malengo tuliyojiwekea ‘’ alisema Rais Magufuli.
Wakati huohuo, Rais Magufuli alimpongeza Rais Kiir kwa jitihada zake katika kuhakikisha nchi yake inajiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki haraka ambapo miezi minne baada ya nchi hiyo kupata uhuru iliwasilisha maombi ya kujiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki na miaka mitano imeweza kuwa mwanachama kamili wa Jumuiya hiyo.
Kwa upande wake, Rais Kiir alieleza kufurahishwa kwake na hatua iliyofikiwa na nchi yake ya kuwa mwanachama kamili wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Aidha, alimshukuru Rais Magufuli na Marais wa Nchi zote wanachama kwa kuiunga mkono nchi yake kwa kauli moja.
Mhe. Kiir aliongeza kuwa uamuzi wa nchi yake wa kujiunga na Jumuiya ni wa dhati na kwamba una nia ya kuimarisha ushirikiano kwa manufaa ya wananchi wa Afrika Mashariki kwa ujumla, ambapo nchi yake imeshaanza kufanyia mabadiliko mifumo mbalimbali kwenye Serikali yake ili kuweza kushiriki kikamilifu katika hatua mbalimbali za mtangamano ikiwemo kuunda Wizara inayoshughulikia masuala ya Afrika Mashariki.
‘’Hatimaye Sudan Kusini imerudi nyumbani. Jumuiya ya Afrika Mashariki ni sehemu sahihi kwa nchi yangu kwani Jumuiya ya Afrika Mashariki ni mtangamano unaoheshimika Afrika na Duniani kwa ujumla’’ alisisitiza Rais Kiir.
Pia, Rais Kiir alitangaza kufunguliwa rasmi kwa Ubalozi wa nchi yake hapa nchini na tayari amemteua Balozi Mariano Deng Ngor kuwa Balozi wa Sudan Kusini nchini Tanzania.
Awali akizungumza kabla ya kusainiwa kwa Mkataba huo, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa na Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga alisema kuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki itashirikiana kwa karibu na Jumuiya ya Kimataifa kuhakikisha wananchi wa Sudan Kusini waliothirika na migogoro na kuikimbia nchi yao wanarejea kwa ajili ya kuendeleza nchi yao.
Jamhuri ya Sudan Kusini ilipata uhuru wake tarehe 09 Julai, 2011 na iliwasilisha maombi rasmi ya kujiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki tarehe 10 Novemba, 2011. Aidha, Tangazo la kukubaliwa kuwa Mwanachama wa EAC lilitangazwa na Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa Mkutano wa 17 wa Wakuu wa Nchi wa EAC uliofanyika jijini Arusha mwezi Machi 2016.
Dar es Salaam, 15 Aprili, 2016
| 2017-08-22T16:43:43 |
http://foreigntanzania.blogspot.com/2016/04/sudan-kusini-mwanachama-rasmi-wa-eac.html
|
[
-1
] |
'UGONJWA' UNAOMTESA MWAMBA WA LUSAKA BONGO HUU HAPA - MWANAHARAKATI MZALENDO ™
'UGONJWA' UNAOMTESA MWAMBA WA LUSAKA BONGO HUU HAPA
Krantz Mwantepele 11:29:00 PM MICHEZO
KIUNGO mchezeshaji wa Simba mwenye madoido mengi akiwa Uwanjani, Claytous Chama 'Mwamba wa Lusaka' amesema kuwa anapenda chakula kinachopikwa Tanzania kutokana na kuwa na ladha ya kipekee.
Chama ambaye kwa sasa amekuwa ni msaada ndani ya Simba kutokana na uwezo wake wa kuipandisha timu kufanya mashabulizi ikiwa Uwanjani pamoja na yeye mwenyewe kufanya mashambulizi amesema anafurahia sapoti ya mashabiki pamoja na uwepo wake ndani ya Simba.
"Nafurahia maisha ambayo nayaishi nikiwa ndani ya Simba, tunashirikiana vizuri na tunapendana, kwa upande wa chakula napenda ugali ni chakula chenye ladha ya kipekee huo ndio ugonjwa wangu," alisema Chama.
Mwamba wa Lusaka amefanikiwa kufanya kazi yake kwa kushirikiana na Simba kutokana na kufunga bao lake muhimu lililoifanya Simba kutinga hatua ya makundi na mchezo wao wa kwanza watakuwa nyumbani dhidi ya JS Saoura ya Algeria Jumamosi.
KWA HISANI YA SALEHE JEMBE
By Krantz Mwantepele muda 11:29:00 PM
| 2019-01-22T14:11:52 |
http://www.mwanaharakatimzalendo.co.tz/2019/01/ugonjwa-unaomtesa-mwamba-wa-lusaka.html
|
[
-1
] |
Walimu wanaofunza Kaskazini Mashariki mwa Kenya wahofia usalama wao - E.A.C - RFI
Kenya Al Shabab Elimu
Na RFI Imechapishwa 15-01-2020 Imehaririwa 15-01-2020 Saa 07:00
Shambulio la kigaidi laua waalimu …
| 2020-02-25T15:56:00 |
http://sw.rfi.fr/eac/20200115-mashambulizi-ya-al-shabab-kenya-uoga-watanda-kwa-waalimu-kaskazini-mashariki
|
[
-1
] |
Chonde chonde kina dada | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Chonde chonde kina dada
Discussion in 'Mahusiano, mapenzi, urafiki' started by mdhama, Jun 21, 2011.
Jamani hiki kisa kimenifanya niwaze sana! Kuna bishost mmoja (tupo nae ofisi moja) yamemkuta makubwa! Bidada alikua na boyfriend hapa ofisini. Mambo yalionekana kuwa sawa baina yao mpaka majuzi mkaka alipopigiwa simu na mtu aliedai kuwa ni boyfriend wa mdada na amepata number yake ya simu toka kwenye simu ya mdada. Kwa hiyo nadhani kwenye mazungumzo wakakubaliana wakutane (Yaani hawa wanaume wawili).Basi walipokutana, of course huyu boyfriend wa hapa ofisini akawa haamini kama kweli binti alikua na mtu mwingine. Basi wakakubaliana wamtafute huyu bint ili wajue msimamo wake. Binti akakimbilia kwao, kina kaka hao wakaenda mpaka home kwa kina binti. Binti akagoma kabisa kutoka nje akidai anaumwa pressure! Sasa katika kukaa kaa pale yule jamaa ambaye alimpigia simu mwenzie akaanza kufunguka kwamba huyu bidada anawachanganya, na pia ana jamaa mwingine ambaye wamezaa nae na kamnunulia gari na kiwanja (kweli mdada ameanza ku drive sio siku nyingi)! Mara ghafla wakati wale kina kaka wanaendelea kumsubiri binti, akatoakea mshkaji mwingine ambaye ni wa ofisini pia na akadai kwamba yeye ni boy frend wa mdada muda mrefu! Basi kwa hasira hawa kina kaka watatu wakaamua kwenda zao baa ya karibu wakanywa pombe weee na kuendelea kushare story za binti! binti bila aibu akawa anawatumia msg kila mmoja kwa wakati wake! Chonde chonde kina dada na kina kaka, hii lifestyle ya kuchanganya wapenzi sio kabisa! mwisho wa siku ni kuumbuka tu sio ujanja wala nini!
Mh! Huyu dada ana tisha! Naona kila kaka hapo alikuwa na majukumu yake...lol
Anakaa sinza?
Jamani kuna watu hawana vinyaa na kidudu kawapangia ratiba pia pheewwwwww,ukitoka hapo una majasho na viporo hata ukioga hutakati.
hili hata jumvi la wageni lina nafuu
Zanga huyo
Inauma sana pale unapojiwekewa kichwa kizima halafu mwenzio amwapanga mpo kama kumi hivi...atleast wamejua mapema ili waanze mchakato wa kuendelea na maisha.
Haina shombo hiyo!!!!!
yalishanikuta kama haya miaka ya 2002 hivi, bahati nzuri jamaa mwenzangu alikuwa muelewa tukanawa mikono.
Kukimbilia maisha ya juu bila jasho.
Yani we acha tu nasikia kati ya hao wa kaka mmoja alikua ana do bila, kapata mawazo ile mbaya!
Haina shombo hiyo!!!!!Click to expand...
Kwwa hiyo ungekuwa mmoja kati ya hao wakaka ungeendelea kusema hivihivi?
mdhama said:
Yani we acha tu nasikia kati ya hao wa kaka mmoja alikua ana do bila, kapata mawazo ile mbaya!Click to expand...
Pole sio wewe kweli
Na hao wanaume wauni pia. Sasa walienda kumsuta, kumfanyizia au kumuonesha kama wamejuana? Ndio maana wameingizwa mjini. Kama umegundua mwanamke sio muaminifu unabwaga manyanga unaendelea na shughuli zako za muhim,
Nafikili kichwa kingekuwa chondechonde akina kaka maana ndio waliopatwa na mkasa dada kasepa home kimya na hamjui wangapi wengine anao!
Hivi vi dada vya siku hizi ni vilaghai sana! Na viko after money
Wadada wa siku hizi tamaa zinawaponza sana. Yaani kuna binti alitafutiwa kazi na boyfriend wake kwenye kampuni moja hivi. Aliporipoti hapo kazini, kwa kuwa ni mzuri watu wakaanza kumtongoza. Lakini kwa ustaraabu kwa kumuuliza kama ana commitments zozote kwenye mahusioano. Binti akasema yeye yuko single and searching. Just imagine, mtu unayempenda mpaka kumtafutia kazi anajitambulisha hivyo kwenye ofisi mpya.
Yaliyotokea hapo ni balaa, maana jamaa alikuja kugundua na wakamwagana na binti. Na mafisi kadhaa waliompitia pale ofisini nao wakammwaga vile vile! TAMAA mabinti wa siku hizi tamaa mbele. Asione mwanaume ana gari zuri, tayari chupi imelowa. Asione mwanaume ana vijisafarii vya nje mara kwa mara anaanza kujipendekeza kwa kuagiza vijizawadi kama designer perfumes na underwear! Yaani kwa kifupi mabinti wengi wa humu maofisini ukiwa mwanaume usiyepitwa na sketi mbele yako unaweza kujaza hata Scandinavia la kwenda Songea kwa idadi ya utaowatafuna!
Ha ha haaaaa du huyo dada kwenye logistics yupo juu,kuchanganya vichwa vitatu at a time na kuvipa job description inaonekana kichwa chake kipo safi kwenye upangaji na usimamiaji.Kingine hao mbuzi wake wameonyesha ukomavu wa kisiasa kukaa meza 1 na kunywa bia na uhakikia ingekuwa wakidada/mama hapo ni ngumi mtindo mmoja .......lol.
Mtu akitaka namba ya binti mwenye tabia hizo ani-pm nimpatie
Mtu akitaka namba ya binti mwenye tabia hizo ani-pm nimpatieClick to expand...
Au aende jolly club....for a bigger fish...
Wadada wa siku hizi tamaa zinawaponza sana. Yaani kuna binti alitafutiwa kazi na boyfriend wake kwenye kampuni moja hivi. Aliporipoti hapo kazini, kwa kuwa ni mzuri watu wakaanza kumtongoza. Lakini kwa ustaraabu kwa kumuuliza kama ana commitments zozote kwenye mahusioano. Binti akasema yeye yuko single and searching. Just imagine, mtu unayempenda mpaka kumtafutia kazi anajitambulisha hivyo kwenye ofisi mpya.Yaliyotokea hapo ni balaa, maana jamaa alikuja kugundua na wakamwagana na binti. Na mafisi kadhaa waliompitia pale ofisini nao wakammwaga vile vile! TAMAA mabinti wa siku hizi tamaa mbele. Asione mwanaume ana gari zuri, tayari chupi imelowa. Asione mwanaume ana vijisafarii vya nje mara kwa mara anaanza kujipendekeza kwa kuagiza vijizawadi kama designer perfumes na underwear! Yaani kwa kifupi mabinti wengi wa humu maofisini ukiwa mwanaume usiyepitwa na sketi mbele yako unaweza kujaza hata Scandinavia la kwenda Songea kwa idadi ya utaowatafuna!Click to expand...
na wengìne utawaombea lift kwenye ngorika.b careful ppo!
| 2017-04-26T12:05:52 |
https://www.jamiiforums.com/threads/chonde-chonde-kina-dada.147860/
|
[
-1
] |
Gospel news from all over the word: HALI NITETE NIGERIA MAKANISA MAWILI YALIPULIWA NA MABOMU JANA
HALI NITETE NIGERIA MAKANISA MAWILI YALIPULIWA NA MABOMU JANA
Nigeria ni nchi ambayo kwa sasa imefikia pabaya kwani karibu kila wiki wakristo wamekuwa wakiuliwa. wiki mbili zilizopita kuna makanisa yalilipuliwa na watu waliokuwa na mabomu. kabla hilo halijaisha zikatokea ajali mbili za ndege ikiwapo ndege ya abiria ambayo ilikuwa na abiria zaidi ya 150 na hakuna aliyesarimika kwenye ndege hivyo siku ya jumapili iliyopita. Watu wakiangalia mabaki ya gari lililokuwa limebeba bomu
jana tena kuna makanisa mawili yameshambuliwa na mabomu na kuua watu kadhaa. habiri kutoka Nigeria zinasema makanisa yaliyolipuliwa yanatoka katika sehemu za Jos na Borno. habari zaidi zinasema mtu mmoja alijilipua na bomu katika lango kuu la kuingilia kanisa la Christ Chosen Church of God lililoko Rukuba Road mlipuko huo pia uliathili kanisa la jirani la Evangelical Church of West Africa mtu huyo aliyekuja na gari aina ya Volkswagen alifika wakati 11:00 ambao huwa kuna mkusanyiko wa watu wengine wanaokuwa wanatoka ibada ya kwanza na wengine wanaingia ibada ya pili. gari hiyo ambayo ilikuwa inaelekea kanisa la St. Peter’s Catholic Church lakini kulikuwa na vizuizi vilivyowekwa na vijana kwaajili ya ukaguzi ndipo akaamua kwenda kwenye hilo kanisa la Christ Chosen Church na kabla hajaingia ndani ya jengo bomu hilo lililipuka na na kumuua mama mnoja hapo hapo lakini baadae ilipotiwa kwa watu zaidi ya 20 walikufa na watu kama 41 kujeruhiwa na kulazwa kwaajili ya matibu na sehemu ya jengo hilo lilibomoka. na kufanya vijana wa kanisa hilo kuweka ulinzi mkali. Kanisa la Jos lililolipuliwa
Na huko Borno yameripotiwa matukio mawili la Biu na Borno State watu watano wenye siraha walikuwa nje ya kanisa moja ambako walisubiri watu wanaanza kutoka ibadani wakaanza kuwamiminia risasi na kuingia hadi ndani ya kanisa na kuua baadhi ya washirika na kujeruhi watu wengi.
wakati huohuo kikundi cha kiislamu cha Maiduguri (AFP) – Islamist group Boko Haram kimekiri kuhusika na ulipuaji wa makanisa unaoendelea msemaji wa kikundi hicho aliwaambia waandishi wa habari kupitia simu, amesema wanafanya hivyo ili kuihakikishia serikali kuwa hakuwa ulinzi wowote wanao weza kuweka kuwazuia wao.
Askari wa kikundi cha kiislamu wakiwa na siraha nzito
| 2017-01-23T04:47:33 |
http://martmalecela.blogspot.com/2012/06/hali-si-swali-nigeria-makanisa-mawili.html
|
[
-1
] |
Ugonjwa wa Kipanda Uso - Afya Forums
Ugonjwa wa Kipanda Uso
Postby Moderator 1 » Tue Jan 17, 2017 12:22 pm
Kipanda uso cha macho ni maradhi yanayosababisha maumivu ya kichwa yakiambatana na matatizo ya macho. Maumivu haya huweza kutokea bila dalili zilizozoeleka za kipanda uso na mara nyingi husababisha kuona kwa shida au kutoona kabisa kwa kipindi kinachozidi saa moja.
Zipo sababu za ugonjwa huu. Wagonjwa tofauti wanaweza kuhisi moja ya kati ya nyingi zilizopo. Unaweza kutokana na kufinywa au kupungua kwa upenyo wa mishipa ya damu inayopeleka damu sehemu ya mbele ya ukuta wa jicho au au mabadiliko kwenye mshipa wa fahamu wa jicho (optic nerve).
Yaweza pia kutokana na maradhi yanayohusisha mfumo wa damu kama vile seli mundu au mwanga mkali unaomulika ghafla machoni. Pengine ikawa harufu kali ya marashi au sauti kubwa.
Msongo wa mawazo, wasiwasi na unywaji wa pombe kupita kiasi ni sababu nyingine. Hata unywaji wa kiasi kikubwa cha kahawa nayo husababisha bila kusahau mabadiliko ya hali ya hewa.
Ugonjwa huu unaweza kumpata yeyote lakini wenye historia ya kuugua wapo kwenye hatari zaidi. Tafiti za kisayansi zinaonyesha maradhi haya hurithiwa. Hii ina maana familia ambazo zina historia ya watu waliowahi kupata maradhi haya huwa kwenye hatari zaidi.
Kipanda uso cha macho kina uhusiano na homoni ya kike inaiitwayo Oestrogen hivyo kumaanisha huonekana zaidi kwa wanawake kuliko wanaume. Siyo tu huonekana zaidi kwa wanawake bali kwenye vipindi fulani kutokana na kuongezeka au kupungua kwa homoni hizo, mfano kipindi cha hedhi.
Kipanda uso cha macho huwa na dalili zinazofanana na kipandauso cha kawaida kama vile kichwa kuuma, kupata kizunguzungu, kusikia kichefu chefu na mara nyingine kutapika.
Ingawa dalili nilizotaja hapo juu huwa zinaonekana kabla au wakati wa maumivu makali ya kipanda uso si mara zote hutokea kwenye kipanda uso cha macho.
Kuumwa kichwa unapotazama mwanga mkali au kusikia sauti ya juu ni dalili nyingine ya ugonjwa huu. Lakini dalili kubwa ya kipanda uso cha macho ni kuona taswira ya vitu kama nyota au mwanga mkali wa mistari mistari.
Wengine huona giza muda mfupi kabla tatizo kutokea. Dalili ya kuona mwanga mkali wenye nyota nyingi ni dalili inayoripotiwa na wagonjwa wengi zaidi. Hali hii hudumu kwa kipindi kifupi kisichozidi dakika sitini au saa moja.
Tafiti zinabainisha dalili za maradhi haya mara nyingi hufanana na za maradhi mengine hivyo mgonjwa anatakuwa amuone daktari ili vipimo vitakavyothibitisha.
Historia ya maradhi na vipimo vikionyesha kuwa kweli tatizo la mgonjwa ni kipanda uso cha macho basi atapewa dawa za kutuliza maumivu ya kichwa na kuzuia kuongezeka kwa shinikizo la damu kwenye macho.
Yapo madhara ya kipanda uso cha macho ambacho mara nyingi husababisha maumivu makali ynayaomfanya mgonjwa kushindwa kufanya shughuli zake za kawaida ingawa huwa haudumu kwa muda mrefu.
Mara nyingi kipanda uso cha macho huwa ni ishara ya maradhi mengine makubwa na yenye matokeo mabaya zaidi. Ugonjwa huu unaweza kuambatana na majeraha au uvimbe kwenye ubongo.
Pengine waweza kuwa dalili ya kiharusi au kutanuka kwa mishipa ya damu kwenye ubongo (aneurysm) kama siyo maradhi ya mishipa ya damu inayosambaza damu kwenye ubongo.
Yaweza kuwa ishara ya maumivu ya mishipa ya fahamu au kichwa kikubwa (hydrocephalus) hasa kwa watoto. Wakati mwingine humaanisha upungufu katika maumbile ya fuvu la kichwa.
| 2017-09-25T14:55:24 |
http://afyaforums.com/viewtopic.php?f=8&p=8630&sid=a3cb5da5475367724144818227d0f343
|
[
-1
] |
Kikao cha Kim Jong-un na Rais Vladmir Putin wa Russia - Pars Today
Apr 25, 2019 07:11 UTC
Jumatano Kim Jong-un Kiongozi wa Korea Kaskazini aliwasili nchini Russia kwa lengo la kukutana na kufanya mazungumzo kwa mara ya kwanza na Rais Vladmir Putin wa nchi hiyo.
Baada ya kuwasili mji wa Vladivostok wa mashariki mwa Russia Jong-un amekutana na kufanya mazungumzo ya kufana na Rais Putin. Kabla ya kuanza safari hiyo Kim Jong-un alisema kuwa, alitaraji kwamba katika mazungumzo na rais huyo wa Russia wangeweza kujadili masuala muhimu kuhusiana na mgogoro wa Rasi ya Korea na kustawishwa mahusiano kati ya Moscow na Pyongyang. Ukweli ni kwamba safari ya kiongozi huyo wa Korea Kaskazini nchini Russia kwa ajili ya mazungumzo ya kistratijia na rais wa nchi hiyo, na ambayo imekuja baada ya kuvunjika kwa duru mbili za mazungumzo kati yake na Rais Donald Trump wa Marekani nchini Singapore na Vietnam na katika muda ulio chini ya mwaka mmoja uliopita, imetoa ujumbe kwa White House kwamba sasa Pyongyang inaelekea upande wa kustawisha uhusiano wake na Russia. Hii ni katika hali ambayo kwa kuingia katika mazungumzo na Korea Kaskazini, Trump alitaraji kwamba angeweza kuishawishi Pyongyang ifuate siasa na sera za Washington, jambo ambalo halikufanikiwa. Kutofikiwa mwafaka kwenye duru mbili za mazungumzo kati ya Rais Donald Trump na Kim Jong-un, kumeifanya Korea Kaskazini ifikie natija hii kwamba, Marekani ni nchi isiyoaminika na isiyo na itibari, ambayo licha ya Pyongyang kutekeleza makubaliano ya kusimamisha majaribio yake ya makombora na silaha za nyuklia, lakini haikuweza kutekeleza hata sehemu ndogo tu ya mapatano yao.
Baada ya Kiongozi wa Korea Kaskazini kuwasili mji wa Vladivostok wa mashariki mwa Russia hapo jana
Katika uwanja huo, siku chache zilizopita, Korea Kaskazini sambamba na kulifanyia majaribio kombora lake jipya, ilitoa tahadhari kwa Marekani kwamba itarejea haraka kwenye hali yake ya huko nyuma ya kabla ya kuanza mazungumzo ya pande mbili, jambo ambalo litawashangaza viongozi wa White House. Aidha ilisisitiza kwamba Pyongyang haipo tayari kuendelea na subira yake mkabala wa kupenda makubwa kwa Marekani wala kufanya mazungumzo yasiyo na natija. Hata hivyo Kim Jong-un mbali na kutoa amri ya kufanya majaribio ya kombora hilo alimpa Rais Donald Trump muhula wa hadi mwisho wa mwaka huu, kuhakikisha anabadilisha mwenendo wake mbovu katika mazungumzo na Korea Kaskazini, ili kwa njia hiyo aweze kuokoa mazungumzo ya nchi mbili na kuyafanya yasivunjike kabisa. Kiongozi huyo wa Korea Kaskazini anafahamu vyema kwamba Trump ambaye katika kipindi cha baada ya mazungumzo ya duru ya kwanza nchini Singapore na pia duru ya pili huko nchini Vietnam, aliiwekea vikwazo vingine vya mwaka mmoja serikali ya Pyongyang, hivyo hawezi kuwa tayari kuingia katika mazungumzo ambayo hayaishii kwenye mapatano ya ushindi wa pande mbili. Katika mazingira hayo, ni baada ya kuvunjika mazungumzo kati ya Korea Kaskazini na Marekani na baada ya Washington kushadidisha vikwazo dhidi ya nchi hiyo, ndipo Kim Jong-un akaamua kuimarisha uhusiano wake na Russia kwa ajili ya kupata msaada wake katika kipindi cha duru mpya ya vikwazo vya Washington.
Kim Jong-un ameonyesha kutokuwa na imani tena na Rais Donld Trump wa Marekani
Katika uwanja huo, Artyom Lukin, muhadhiri wa Chuo Kikuu cha Vladivostok nchini Russia anasema: "Alipokutana na Rais Vladmir Putin, Kim Jong-un aliomba msaada wa kiuchumi, ambapo hata hivyo ni suala lililo mbali kwamba Putin ataweza kutekeleza matakwa ya Pyongyang." Pamoja na hayo kwa kuzingatia kuwa siku chache zilizopita kiongozi huyo wa Korea Kaskazini alimuandikia barua Rais Putin ambayo ndani yake alielezea azma ya Pyongyang ya kutaka kuimarisha usalama katika eneo la Rasi ya Korea, hivyo kuna uwezekano kwamba kiongozi huyo kijana anakusudia katika safari yake nchini Russia kumshawishi Rais Putin aweze kusaidia katika utatuzi wa mzozo wa Rasi ya Korea. Inasemekana kwamba huenda Kim Jong-un amechukua msimamo huo kutokana na kufeli mazungumzo ya pande mbili na rais wa Marekani na pia kuktokuwepo kwa upande wa upatanishi kwa ajili ya kuweka mambo sawa, ili kuepusha uzoefu mwingine mbaya wa kufeli mazungumzo ya pande kadhaa za Russia, China na nchi nyingine za eneo. Tajiriba chungu iliyoshuhudiwa mwaka 2007 kupitia mazungumzo ya pande sita ya nyuklia kwa kushirikishwa Korea Kaskazini, Korea Kusini, Japan, China, Marekani na Russia na ambayo yalifeli kutokana na Marekani kutotekeleza ahadi zake mkabala wa hatua chanya zilizotekelezwa na Pyongyang ikiwemo ya kusimamisha miradi yake ya nyuklia.
| 2019-05-20T06:56:04 |
http://parstoday.com/sw/news/world-i53071-kikao_cha_kim_jong_un_na_rais_vladmir_putin_wa_russia
|
[
-1
] |
Siku ya Mwanamke Duniani, Nara Tupu au Hakika? - Pars Today
Siku ya Mwanamke Duniani, Nara Tupu au Hakika?
Tarehe 8 Machi kila mwaka iliainishwa na Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuwa ni Siku ya Mwanamke Duniani.
Siku hii kwa hakika inakumbusha historia ya mapambano ya muda mrefu ya kisiasa na kijamii ya wanawake na watetezi wa haki zao dhidi ya ubaguzi na kutaka kuwepo mazingira mazuri na bora zaidi ya sehemu hiyo ya jamii ya mwanadamu. Hata hivyo tunapochunguza hali ya mwanamke wa sasa tunakumbana na uhakika mwingine.
Pamoja na kwamba kwa makumi ya miaka sasa jumuiya na mashirika mbalimbali kote duniani yamekuwa yakifanya jitihada kubwa za kutetea na kulinda haki na utukufu wa kibinadamu wa wanawake, lakini bado kunashuhudiwa dhulma na ubaguzi mkubwa dhidi ya wanawake katika aghlabu ya nchi za dunia. Kwa mfano tu, tunaweza kuashiria hali ya kiwango cha elimu baina ya wanawake katika nchi mbalimbali za dunia. Takwimu za Umoja wa Mataifa zinaonesha kuwa, kiwango cha wanawake wasiojua kusoma wala kuandika kiko juu sana baina ya wanawake katika nchi mbalimbali za dunia na kwamba kuna ubaguzi mkubwa dhidi ya wanawake katika uwanja huo. Kwa mfano katika nchi ya Mali idadi ya wanawake wanaojua kusoma ni asilimia 25 tu na kiwango hicho ni asilimia 43 kati ya wanaume. Hali kama hiyo inashuhudiwa pia katika nchi ya Chad ambako wanawake wanaojua kusoma na kuandika ni asilimia 28 tu na wanaume ni 47. Katika nchi hiyo hiyo ya Chad asilimia 55 tu ya wasichana wanaomaliza shule za msingi ndio wanaosajiliwa kuendelea na masomo ya sekondari na kwa msingi huo Chad inatambuliwa kuwa nchi mbaya zaidi duniani katika uwanja huo. Baada ya Chad zinafuatia nchi za Ivory Coast, Pakistan na Yemen ambako kunashuhudiwa ufa na tofauti kubwa baina ya wasichana na wavulana wanaofanikiwa kuendelea na shule za sekondari baada ya kumaliza shule za msingi. Jambo la kushangaza zaidi ni kuwa, hata katika nchi zilizoendelea ambako inasemekana idadi ya wanawake waliopata elimu ya chuo kikuu ni kubwa zaidi kuliko ile ya wanaume, wanawake bado wanakabiliwa na ubaguzi mkubwa katika sekta ya ajira na kazi ikilinganishwa na wenzao wanaume.
Takwimu za Jukwaa la Uchumi Duniani zinaonesha kuwa, wanawake katika nchi nyingi duniani wananyimwa kazi katika idara mbalimbali licha ya kuwa na vyeti vya masomo na elimu sawa na wenzao wanaume. Katika nchi hizo asilimia 80 ya nafasi za wafanyakazi wa idara na taasisi mbalimbali zinashikwa na wanaume. Vilevile kunashuhudiwa tofauti kubwa sana baina ya wanawake na wanaume katika kiwango cha fusra za kiuchumi na kibiashara katika nchi ambazo hali ya usawa wa kijinsia si nzuri wala ya kuridhisha. Katika nchi hizo nguvu kazi unayojishughulisha na masuala ya uchumi na uzalishaji ya wanaume kwa uchache ni mara tatu zaidi ya wanawake. Zaidi ni kuwa katika nchi hizo aghlabu ya wanawake wanaofanya kazi hupata mishahara ya chini zaidi ikilinganishwa na ya wenzao wanaume.
Hali hii inazihusu nchi zote zikiwemo zile zilizostawi. Katika kitabu chake alichokipa jina la Vita dhidi ya Wanawake, mwandishi Marilyn French ametoa habari za kutiliwa maanani sana kuhusu hali ya kikazi na wanawake katika nchi za Magharibi. Anaandika kuwa: Nchini Marekani licha ya kwamba asilimia 55 ya wanawake wanapata mshahara kutokana na kufanyakazi lakini wote hao bado wanakabiliwa na ubaguzi.
Ruth Pearson ambaye ni mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Leeds nchini Uingereza anasema: Japokuwa wafanyakazi wa kike wanajihisi kuwa na uhuru wa mtu binafsi unaotokana na kuwa na pato na kwamba wanajitegemea kiuchumi lakini katika upande mwingine wote wanaelewa kuwa, mshahara wanaopewa ni mdogo sana ukilinganishwa na ule wanaopewa wanaume. Kwa msingi huo tunaweza kusema kuwa, bado kuna ufa na tofauti kubwa baina ya wanawake na wanaume katika soko la kazi na ajira. Takwimu za mwaka 2015 zinaonesha kuwa, asilimia 50 ya wanawake waliofikia umri wa kufanya kazi (miaka 15 na kuendelea) kote dunia wanafanya kazi, wakati upande wa wanaume kiwango hicho ni asilimia 77.
Ukosefu wa usawa katika mishahara baina ya wanawake na wanaume
Ubaguzi na ukosefu wa usawa wa kijinsia pia unashuhudiwa katika suala la uongozi. Matokeo ya uchunguzi wa kimataifa uliofanyika mwaka 2013 yanaonesha kuwa, asilimia 24 tu ya wanawake ndio wanaofanyakazi kama mudiri na na wakurugenzi duniani. Idadi hiyo katika nchi za kundi la G8 zilizostawi na tajri zaidi duniani ni silimia 16 tu! Katika nchi kama Brazil, Russia na India kiwango cha wanawake wenye nafasi za juu za uongozi ni asilimia 26. Huko Japan watu 93 kati ya kila 100 wanaofanyakazi kama wakurugenzi na viongozi wa vyeo na nafasi za juu ni wananaume na huko Marekani idadi hiyo inafikia watu 80. Nchini China pekee ndiko idadi ya wanawake wenye vyeo na nafasi za juu za uongozi inazidi ile ya wanaume. Nukta ya kustaajabisha ni kuwa, nchi kama Sweden na Norway ambazo zilipasisha sheria ya usawa wa kijinsia miaka mingi iliyopita zinashika nafasi ya 22 na 27 duniani katika uwanja huo.
Wanawake wanakabiliwa na ukatili wa kingono katika maeneo ya kazi
Wanawake wanaofanya kazi si tu kwamba wanakabiliwa na ubaguzi wa kijinsia katika mishahara ya kazi sawa na zile zinazofanywa na wanaume na katika kupandishwa vyeo na daraja makazini, vilevile wanasumbuliwa na ukatili wa kimwili na kinafsi katika maeneo ya kazi. Taarifa ya Shirika la Kazi Duniani (ILO) imetangaza kuwa, ukatili wa kingono ni miongoni mwa manyanyaso na ubaguzi wa kijinsia unaofanywa dhidi ya wanawake katika maeneo ya kazi. Ripoti za shirika hilo zinasema kuwa, asilimia 40 hadi 50 ya wanawake katika nchi za Umoja wa Ulaya wana historia ya kukumbwa na ukatili na manyanyaso ya kijinsia au mahusiano ya kingono bila ya ridhaa zao katika maeneo ya kazi. Vilevile kumeripotiwa visa na ukatili wa aina mbalimbali wa kijinsia kama manyanyaso ya maneno, ngono na kadhalika kati ya asilimia 30 hadi 40 kati ya wanawake wa Asia na Pasific.
Uchunguzi uliofanyika katika nchi 11 za Ulaya umeonesha kuwa, asilimia 30 hadi 50 ya wanawake wamekumbana na maudhi na manyanyaso ya aina mbalimbali katika mazingira na maeneo ya kazi. Kiwango hicho ni asilimia 10 upande wa wanaume. Manyanyaso ya wanawake katika maeneo ya kazi nchini Uingereza ni asilimia 54 na Marekani asilimia 44 kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Kazi Duniani (ILO).
Ukatili na manyanyaso dhidi ya wanawake hauishii katika mazingira ya kazi pekee bali hii leo manyanyaso na maudhi wanayokabiliana nayo wanawake majumbani ni miongoni mwa mambo yanayohatarisha usalama na amani ya wanawake katika maeneo mbalimbali ya dunia hususan katika nchi za Magharibi zinazodai kuwa mstari wa mbele kutetea haki za binadamu. Kwa mfano tu Ripoti iliyotolewa hivi karibuni barani Ulaya chini ya anwani ya Ukatili Sugu dhidi ya Wanawake wa Ulaya" imeashiria takwimu za kushtua kuhusu manyanyaso na ukatili mkubwa unaofanyika dhidi ya wanawakwe katika nchi wanachama kwenye Umoja wa Ulaya. Uchunguzi huo uliofanyika kwa kuwahoji wanawake 42,000 katika nchi 28 wanachama katika umoja huo umebaini kuwa, asilia 55 ya wanawake katika nchi hizo wanakumbwa na ukatili wa kijinsia, kimwili na kinafsi.
Ukatili dhidi ya wanawake unapaswa kukomeshwa
Nukta ya kutiliwa maanani ni kuwa ukatili dhidi ya wanawake katika nchi za ulimwengu wa tatu unashabihiana na ule unaofanyika katika nchi zilizoendelea. Matokeo ya uchunguzi 500 uliofanyika kuhusu ukatili unaofanywa dhidi ya wanawake katika pembe mbalimbali za dunia umeonesha kuwa, manyanyaso na ukatili dhidi ya wanawake nchini Marekani unafanana na ule unaofanyika dhidi ya wanawake katika nchi kama Zimbabwe na Cambodia.
Sambamba na matatizo hayo yote pia tunaweza kuashiria ongezeko kubwa la kiwango cha talaka, kudhoofika kwa taasisi ya familia, kuongezeka idadi ya familia zenye mzazi mmoja, kuavya na kutolea mimba baina ya wasichana na umaskini mkubwa wa tabaka la wanawake. Hivyo basi wka sasa dunia inasherehekea Siku ya Mwanamke Duniani huku idadi kubwa ya wanawake ikiendelea kutaabika na kusumbuliwa na matatizo mengi yanayopaswa kushughulikiwa ili kuboresha maisha si ya tabaka la wanawake pekee bali wanadamu wote kwa ujumla.
Mar 12, 2017 11:17 UTC
Polisi yashutumiwa kwa kuvamia ofisi za asasi zisizo za serikali Kenya
Iran yakadhibisha madai ya US kuwa inakandamiza uhuru wa kuabudu
Kiongozi wa upinzani wa Zambia aachiwa huru, afutiwa kesi ya uhaini
New York Times: Kuna uwezekano wa kutokea vita vya pili vya ndani Marekani hivi karibuni
UNSC yataka kutatuliwa changamoto za kiusalama katika eneo la Sahel Afrika
Madai ya Marekani dhidi ya Iran; harakati yenye malengo kadhaa
Iran na Iraq, sisitizo la kuimarisha ushirikiano katika kupambana na ugaidi
Saudi Arabia na papatupapatu za kujinasua kwenye kinamasi cha Yemen ilichokitengeneza yenyewe
Kim Jong-un alitaka jeshi la Korea Kaskazini kujiweka tayari kwa ajili ya kukishambulia kisiwa cha Guam
Bin Salman azidi kulegeza msimamo, ataka Saudia isimamishe vita dhidi ya Yemen
Rouhani: Marekani ikituwekea vikwazo vipya, tutatumia masaa kujiondoa JCPOA
Venezuela yajibu mapigo baada ya vitisho vya uingiliaji kijeshi wa Trump
Kusambaratika kundi la kigaidi la Daesh na hofu ya Israel
Odinga kutoa ushahidi wa wizi wa kura leo, kutangaza hatua atakayochukua
Uganda yakadhibisha kutuma wanajeshi wake huko Kenya
Mrithi mtarajiwa wa rais wa Zimbabwe alazwa hospitalini nchini Afrika Kusini
Mazungumzo ya Marais wa Iran na Russia; sisitizo juu ya ushirikiano wa kutatua matatizo ya Mashariki ya Kati
| 2017-08-16T15:12:23 |
http://parstoday.com/sw/radio/uncategorised-i26276-siku_ya_mwanamke_duniani_nara_tupu_au_hakika
|
[
-1
] |
Vatican yawawekea ngumu watalaka
MAKAO Makuu ya Kanisa Katoliki duniani mjini Vatican yamesema kanisa litaendelea na msimamo wake wa kutowapa sakramenti ya mkate waumini wake ambao wameoa au kuolewa na kuachana.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kanisa hilo mjini Vatican wiki hii wanaume walioacha wake zao na wanawake walioachwa wataruhusiwa kupata Sakramenti hiyo endapo itathibitika kuwa hawafanyi tena t tendo la ndoa.
Taarifa hiyo ya mwishoni mwa wiki imesema sheria za Kanisa Katoliki kamwe hazitavunjwa kutokana na malalamiko ambayo yamekuwa yakitolewa kwa muda mrefu sasa na watalaka kuwa wananyimwa haki.
Sheria ya Kanisa hilo hairuhusu watu walioona kuachana isipokuwa katika mazingira kwa wahusika.
Linatambua tu ndoa ya kwanza, hata kama imevunjika na wanandoa wakaoa au kuolewa tena.
Hata pale ambapo Kanisa linalazimika kubatilisha ndoa, hati za kufanya hivyo hupatikana kwa ugumu mkubwa.
Wakatoliki wengi ambao ndoa zao zimevunjika hususani nchi za Magharibi wamekuwa wakiomba kufikiriwa na kanisa ili waruhisiwe kuoa au kuolewa tena na ndoa zao zitambuliwe.
Wazungu Zimbabwe wakubali kuuza mashamba yao
CHAMA cha Wakulima wa Kizungu nchini Zimbabwe (Commercial Farmers Union) kimesema Wazungu nchini humo wako tayari kuuza mashamba yao yapatayo 400 kwa Serikali ya Zimbabwe ili yagawiwe kwa raia weusi.
Kwa mujibu wa Kiongozi mmoja wa chama hicho Bw. Jerry Grant, hakuna sababu ya Serikali kuendelea kuchukua mashamba yao kwa nguvu kwani wao wako tayari kuyauza.
Bw. Grant alisema mwishoni mwa wiki kwamba chama chake kinakubaliana na wazo la kuwepo uwianowa umiliki wa mashamba nchini humo kati ya Wazungu na Weusi.
Hivi karibuni Serikali ya Zimbabwe ilitoa notisi ya mwezi mmoja ambayo ilimalizika Julai 3 mwaka huu ikitaka Wazungu wajitetee kwanini mashamba yao yapatayo 804 yasitwaliswa na Serikali na kugaiwa kwa raia.
Wazungu hao walikata rufaa na bado wangali wanasubiri uamuzi wa rufaa hiyo.
Mvutano kati ya maveterani wa vita vya ukombozi nchini humo umedumu kwa miezi kadhaa sasa na watu kadhaa hususani Wazungu wamekuwa katika nyakati mbalimbali baada ya mashamba yao kuvamiwa.
Uingereza na Jumuiya ya Kimataifa zimekuwa zikimlaumu Rais Robert Mugabe wa nchi hiyo pamoja na Chama chake kinachotawala cha ZANU-PF kwa kushindwa kuheshimu utawala wa Sheria.
Mugabe amekuwa akituhumiwa kwamba anachochea uvamizi wa mashamba ya wazungu.
Kundi la Sankoh kuzibiwa ‘riziki’
BARAZA la Usalama la Umoja wa Mataifa, limepitisha azimio la kuzitaka nchi zote na wafanyabiashara wa kigeni kutonunua madini ya almasi kutoka nchini Sierra Leone kwani imebainika kuwa biashara hiyo ndiyo inayoshamirisha vita vya waasi wa RUF waliokuwa wakiongozwa na Bw. Fodau Sankoh.
Sambamba na hatua hiyo, serikali ya Sierra Leone imetakiwa kuhakikisha inawanyang’anya waasi hao machimbo yote ya dhahabu ambayo wamekuwa wakiyamiliki au kuyashikilia kwa nguvu.
Hata hivyo, katika hali ya kushangaza, hatua hiyo imepingwa mwishoni mwa wiki na Balozi wa nchi ya Mali katika Umoja wa Mataifa, Bw. Moctar Ouane, kwa maelezo kwamba inaingilia uchunguzi wa Tume ya mataifa ya Afrika ya Magharibi kuchunguza suala hilo.
Utajiri wa madini nchini Sierra Leone ndicho chanzo kikuu cha kutomalizika kwa vita kati ya serikali ya waasi wa Revolutionary United Front, ambao kiongozi wao mkuu Bw. Foday Sankoh alikamatwa Mei, mwaka huu.
Afrika ya Kusini yaogofya
SERIKALI ya Afrika Kusini imesema itawachukulia hatua kali wanaume wawili wanaotuhumiwa kuwabaka na kuwaua wanawake wapatao 32.
Wauaji hao ambao wanakabiliwa na kesi 53 zinazohusiana na makosa hayo pia waliwaua watoto 17 wenye umri kati ya miaka minane na kumi na moja.
Msemaji wa polisi nchini humo Henriette Bester, alikaririwa akisema mwishoni mwa wiki kuwa tayari watu hao waliokuwa wakisakwa vikali kwa mauaji hayo ya hivi karibuni wamekwishakamatwa.
Shirika la habari la Uingereza Reuters nalo lilikaririwa likisema Afrika Kusini hivi sasa inaelekea kuongoza kwa uhalifu wa mauaji duniani.
Lilisema wakati nchini Marekani watu sita tu kati ya laki moja huuawa kwa mwaka nchini Afrika Kusini. Watu 53.3 huuawa kati ya watu laki moja.
Mtu anayeongoza kwa uhalifu huo nchini Afrika Kusini ni Bw. Moses Sithole ambaye yeye peke yake amewahi kuua watu 38 na kuwabaka wanawake 40
| 2017-11-19T19:48:11 |
http://kiongozi.tripod.com/K2000/kimataifajulai2.htm
|
[
-1
] |
Sore nipples | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Discussion in 'JF Doctor' started by Aunty Lao, Oct 23, 2008.
Za leo ndugu wapendwa, jamani na shoga angu ametoka kujifungua j,pili hii iliyopita na ametokwa na michubuko kwenye chuchu zake mpaka anashindwa kunyonyesha mtoto kwa maumivu anayoyapata. Dr. mwenye kujua hili naomba anisaidie please.
anatakiwa anapomnyonyesha mtoto ahakikishe chuchu yote imeingia ndani ya mdomo, ma awe anamshikia nyonyo hii itapunguza maumivu na kuchubuka. Ila sifahamu kama kuna dawa ya kutumia kuondoa michubuko wakati ananyonyesha, labda wenye utaalam watakusaidia.
Siyo kwamba chuchu hizo zinakauka tu sana?!
(btw, mimi siyo daktari wa chuchu, ila nauliza tu kutokana na maelezo uliyotoa, ahsante)
(btw, mimi siyo daktari wa chuchu, ila nauliza tu kutokana na maelezo uliyotoa, ahsante)Click to expand...
Sio kwamba zimekauka, zina michubuko ya vidonda na zimeturn reddish.
Sio kwamba zimekauka, zina michubuko ya vidonda na zimeturn reddish.Click to expand...
Hadi zinakuwa nyekundu?...daaah, kwa kweli hilo tatizo laweza kuwa kubwa... ni bora tusubirie madaktari. Hata hivyo namtakia mgonjwa ahueni.
(btw, mimi siyo daktari wa chuchu, )Click to expand...
...ila ni daktari wa nini?
Nimewahi kusikia Vaseline huwa inasaidia, lakini akiwa anataka kunyonyesha inabidi ayasafishe matiti ili kuondoa hiyo Vaseline kabla ya kumnyonyesha mtoto.
...ila ni daktari wa nini?Click to expand...
....wa: chu-chu-chu-chu!!!!
to to toz!!! Lol
Kwanza nakupongeza kwa kumsapoti rafiki yako kwa hili, hii niliipata wanangu walipokuwa wachanga ,inasababisha maumivu makali wakati wa kunyonyesha kiasi kwamba watoto walikuwa wakianza wakitaka kunyonya mie mwili una anza kutetemeka nikifiria maumivu ntayopata
Mara nyingi tatizo ni kwamba mtoto anapopokea ziwa wakati wa kunyonya anashika chuchu tu
inatakiwa anyonye chuchu PAMOJA NA part kubwa ya sehemu nyeusi inayozunguka chuchu (areola). Ili kufanikisha hilo mtoto anapopokea breast inabidi afungue mdomo wake really wide. Baadhi ya watoto wanahitaji msaada ktk hilo..lactation consultant mmoja alinipa solution ambayo ilinisaidia sana kumaliza tatizo haraka
mtoto anapotaka kunyonya asimpe ziwa mara moja ila amguse guse kwanza na chuchu kwenye mdomo wa juu
mtoto atafungua mdomo zaidi ili kupata chuchu
atakapo fungua mdomo wake really wide amshike nyuma ya shingo/kichwa na kumsogeza kwenye ziwa a bit fast but gently and firmly..yaani mtoto afuate ziwa sio mama ampelekee mtoto ziwa mdomoni
wakati huo huo mkono mwingine wa mama ushike ziwa yaani kama analikamua hivi (breast sandwich) to make the areola longer and narrower and easier for baby to take into his mouth
maziwa ya mama pia yanasaidia sana ku soothe sore nipples, akachukue kidogo na kupaka kwenye chuchu baada ya kunyonyesha. Tatizo likiendelea aende hospitali kucheck couses nyinginezo kama candida infections etc
pia nenda kwenye discussion furum ya www.lalechelegue.net pale kuna kina mama wanaonyonyesha na breastfeeding experts toka kila kona ya dunia, nina uhakika utapata mchango mwingi tu toka kwa wenye experience kama hii
mwisho mwambie rafiki yako asiache kunyonyesha, hili tatizo litaisha tu na mwanae atakuwa feeding expert..
mwisho mwambie rafiki yako asiache kunyonyesha, hili tatizo litaisha tu na mwanae atakuwa feeding expert..Click to expand...
Jamani asanteni sana kwa maoni yenu nimefurahi sana. Yamenipa mwanga mzuri na nitakwenda kumuelimisha na shoga pia.
Helloz wandugu wapendwa,
Naendelea na hihi mada yangu, huyu bibi kapona tayari ila yaliomkuta baada kujifungua ni bilaa. Alitoboka utumbo kwa kunywa dawa fulani alizopewa kama antibiotic ikiwemo diclofenac, Sasa ilibidi apate operation wazibe tundu kwenye utumbo. Ila mpaka sasa hivi anaonekana bado hana hamu ya kula ambayo imemfanya maziwa yake yakauke kwa lishe ndogo. Nini sasa anaweza kutumia ili maziwa yaweze kuwastimulated tena! Pili kitovu cha mtoto hukauka baada ya siku ngapi! maana cha mwanae chaonekana kinyevunyevu bado, Je kuna something wrong hapo nako? asanteni tena kwa msaada wenu.
Anywe uji mwepesi,maziwa,supu na mtori,km bado atafute maziwa ya kopo ingawa ya mama ni nora zai,kuhusu kitovu ni hadi siku 40 wengine na kidogo ila anapoenda clinic awaoneshe hicho kitovu watajua chakufanya wenyewe kwani watoto wengine vinachomwa nasikia
| 2017-01-21T17:44:51 |
https://www.jamiiforums.com/threads/sore-nipples.19650/
|
[
-1
] |
African Books Collective: Wema Hawajazaliwa
Hadithi ya WEMA HAWAJAZALIWA inazungumzia juu ya rushwa. Mhusika mkuu ni mtu mwaminifu anayekataa kabisa vishawishi vya kila aina ya rushwa, lakini uaminifu wake haumletei jema lolote kwani anadharauliwa na kubezwa na kila mtu, hata wale wapenzi wake. Imeeleza kwa ujasiri mkubwa, ujasiri usiokua na huruma yoyote kwa wajinga na wale ambao udhaifu wao huwafanya wayang’ang’anie madaraka.
| 2017-05-22T17:24:27 |
http://www.africanbookscollective.com/books/wema-hawajazaliwa
|
[
-1
] |
Gossip Girl viungo | Stories, Reviews, and zaidi on fanpop | Page 407
onyesha viungo vya gossip girl (4061-4070 of 4329)
WATCH GOSSIP GIRL EPISODES ONLINE FREE.
imewasilishwa kwa jaokukao zaidi ya mwaka mmoja uliopita
Watch Gossip Girl Full Episode - The Serena Also Rises
Gossip Girl Episodes Online, Free.
| 2020-03-30T07:36:22 |
https://sw.fanpop.com/clubs/gossip-girl/show/filter/gossip+girl/407
|
[
-1
] |
KIBADENI AELEZEA NAMNA PRESHA ILIVYO KUBWA KWAKE NDANI YA JKT - SALEH JEMBE
» KIBADENI AELEZEA NAMNA PRESHA ILIVYO KUBWA KWAKE NDANI YA JKT
KIBADENI AELEZEA NAMNA PRESHA ILIVYO KUBWA KWAKE NDANI YA JKT
Kocha wa JKT Ruvu, Abdallah Kibadeni, ameweka wazi kuwa licha ya kuwa kwenye timu ndogo lakini anapata presha kubwa na hii yote kutokana na timu hiyo kuwa chini ya viongozi wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT).
Kibadeni ambaye pia ni mshauri wa benchi la ufundi la timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, aliichukua JKT Ruvu mwanzoni-mwanzoni mwa msimu huu kutoka kwa Fred Felix Minziro, aliyeachia ngazi kutokana na matokeo mabaya aliyokuwa akiyapata.
Kibadeni alisema kuwa kinachotia presha ni pale ukifikiria kuwa umepewa dhamana kubwa na wakuu wa jeshi la kuiokoa timu yao huku ukipiga hesabu unaona timu inazidi kuwa kwenye nafasi mbaya.
“Sitaki kuiharibu timu yao ndiyo maana napambana kuhakikisha nafanya kila niwezalo timu inabaki kwenye ligi kuu msimu ujao.
“Unajua timu inamilikiwa na wanajeshi shughuli zote za timu tunafanyia kambini kwao kama ukifanya vibaya lazima ujishtukie, kukutana na watu wenye vyeo halafu timu yao unaipeleka pabaya si mchezo lazima upate presha,” alisema Kibadeni.
| 2017-02-22T06:08:15 |
https://salehjembe.blogspot.com/2016/04/kibadeni-aelezea-namna-presha-ilivyo.html
|
[
-1
] |
“TUSICHANGANYE SIASA KWENYE MAENDELEO” – GAVANA SHILATU - Issa Michuzi | PressTZ - Your Number 1 Source of Aggregated Online Content
“TUSICHANGANYE SIASA KWENYE MAENDELEO” – GAVANA SHILATU
Mara nyingi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dk. John Pombe Magufuli amekuwa akisisitiza maendeleo hayana chama akiwa na maana kwenye suala la maendeleo tuweke pembeni itikadi za kisiasa na tuungane kuleta maendeleo.
Kauli inayofanana na hiyo imesemwa na Afisa Tarafa wa Mihambwe, Gavana Emmanuel Shilatu wakati alipotembelea mradi wa maji wa kijiji cha Mihambwe uliopo kata ya Mihambwe ambapo ameshangazwa na mradi mzuri wa maji kutokufanya kazi kutokana na misuguano ya kisiasa.
“Hii tabia ya kupangua pangua maamuzi halali ya vikao, tabia ya mivutano ya kisiasa isiyo na tija ni sehemu ya tatizo ya kusimama kwa mradi huu. Ulivyo simama mmepata faida gani? Wewe uliyesababisha hauathiriki na tatizo la ukosefu wa maji? Acheni hizi tabia, tushirikiane kwa pamoja tuhakikishe mradi huu wa maji ufanye kazi tena kama awali” alisema Gavana Shilatu wakati alipotembelea eneo lilipo mradi huo wa maji.
Wakizungumza mara baada ya ziara hiyo, Mjumbe wa S... Continue reading ->
| 2019-02-18T21:15:02 |
http://presstz.net/tusichanganye-siasa-kwenye-maendeleo-gavana-shilatu-42290610
|
[
-1
] |
Thailand - Pato-la-Taifa-kwa-mwananchi-PPP
<iframe src='https://tradingeconomics.com/embed/?s=thanygdppcapppcd&v=201807111558a1&lang=all&h=300&w=600&ref=/thailand/gdp-per-capita-ppp' height='300' width='600' frameborder='0' scrolling='no'></iframe><br />source: <a href='https://tradingeconomics.com/thailand/gdp-per-capita-ppp'>tradingeconomics.com</a>
Kiwango Cha Ukuaji Wa Pato La Taifa 1.00 0.90 9.40 -6.30 Asilimia [+]
Pato La Taifa Mwaka Kiwango Cha Ukuaji 2.80 3.60 15.50 -12.50 Asilimia [+]
Pato la Taifa 455.22 411.76 455.22 2.76 Usd - Bilioni [+]
Pato La Taifa Constant Bei 2713945.00 2686981.00 2713945.00 1043939.00 Thb - Milioni [+]
Jumla Ya Pato Zisizohamishika Ukuzaji Rasilimali 653075.00 647739.00 713853.00 258609.00 Thb - Milioni [+]
Pato-La-Taifa-Kwa-Mwananchi 6125.70 5910.50 6125.70 570.90 USD [+]
Pato-La-Taifa-Kwa-Mwananchi-Ppp 16277.70 15705.80 16277.70 6650.40 USD [+]
Pato La Taifa Kutoka Kilimo 168442.00 119237.00 168442.00 68261.00 Thb - Milioni [+]
Pato La Taifa Kutoka Ujenzi 74116.00 72869.00 103693.00 36619.00 Thb - Milioni [+]
Pato La Taifa Kutoka Viwanda 722461.00 736392.00 736392.00 267937.00 Thb - Milioni [+]
Pato La Taifa Kutoka Madini 57520.00 58841.00 63813.00 20063.00 Thb - Milioni [+]
Pato La Taifa Kutoka Utawala Wa Umma 130939.00 128955.00 130939.00 41767.00 Thb - Milioni [+]
Pato La Taifa Kutoka Uchukuzi 284022.00 277151.00 284022.00 64995.00 Thb - Milioni [+]
Pato La Taifa Kutoka Mamlaka Ya Udhibiti 88158.00 84733.00 88158.00 22202.00 Thb - Milioni [+]
Sasa, maadili, data ya kihistoria, utabiri, takwimu, chati na kalenda ya kiuchumi - Thailand - Pato-la-Taifa-kwa-mwananchi-PPP.
| 2019-06-19T20:57:56 |
https://sw.tradingeconomics.com/thailand/gdp-per-capita-ppp
|
[
-1
] |
Mipasho ya wabunge ni kuishiwa hoja au mbinu ya kisiasa? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Mipasho ya wabunge ni kuishiwa hoja au mbinu ya kisiasa?
Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Chigwiyemisi, Jun 22, 2011.
Habarini Great thinkers!
Naomba mnipokee jamvini!
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikifuatilia kwa karibu mwenendo wa bunge letu! Nashangazwa sana na tabia ya wabunge wetu inayozidi kujengeka ya mipasho na vijembe! Wabunge badala ya kujadili masuala yenye maslahi kwa taifa wao wamekuwa wakitumia muda mwingi kutupiana vijembe na lugha za dharau. Majuzi nilikuta mjadala usio rasmi mtaani na mchangiaji mmoja akawaeleza wenzake kuwa bunge la 2015 miongoni mwa wabunge wa CCM atakuwa ni mwimbaji wa taarabu Mzee Yusuph ili kukamilisha timu yao ya mipasho! Akaenda mbele zaidi kuwa hata kiranja mkuu wamemfundisha mipasho (akirejea kauli yake kuwa baadhi ya wabunge wa CDM 'wanamezea mate posho'). Naomba mnijuze je mipasho na vijembe vya wabunge wa CCM ni kuishiwa kwa hoja au ni mbinu za kisiasa kuwanyong'onyeza wapinzani wao?
Bunge la sasa linakera tena sana na halina ladha kuangalia wala kusikiliza,wabunge wengi wengi wa CCM wamekuwa ni mipasho tu kuliko kuchangia hoja.Wanashindwa kuelewa nini upinzani na mpinzani ni nani,kinachoniudhi ni pale anaposimama mbunge kabla ya yote na kusema kuwa anaunga bajeti kwa 100/=na ilhali akitoa kasoro nyingi huku akitaka marekebisho kadha wa kadha.Nimeshindwa kusikiliza hasa pale anapokuwa akiongea mbunge wa CCM,kwani hawana jipya zaidi ya mipasho.
C C M =Chama Cha Mipasho
Muongozo wa spika. Kanuni ya 71(1)
Nakunga Mkono uliyeanzisha hi hoja.
Mipasho inategemea ni aina gani. Kama Tundu lisu, anatoa data kisha anakupasha kuwa umefulia. Hoja zake nyingi hazijibiki kwa wa CCM ndiyo maana wao wanaanzisha mipasho ya taarabu kukwepa hoja. Hebu sema mwenyewe kama ulifuatilia bunge jana jioni, mipasho ya Lissu, Mnyika si ndiyo tunahitaji kwa sasa?
Taarifa MH,
Hakika si bunge la wenye udadisi wa kina na wapigania haki za Mtanzania, imefikia inatia aibu kutazama bunge letu. Dira imepotea
kulalamika bila kuchukua hatua hakuna zao kwan hayo ni lazima yatokee il tuamke toka gizan kufanya lifaalo,tuongeze bidii kulikomboa taifa kwa waharifu pia tuhamasishe vijana wajiandike na kupiga kura zaid ya hayo n maumivu tu.VIVA CHADEMA ALUTA CONTINUA.
Karibu, ila umekuja na speed kali najua una hasira sana kweli bunge limekosa mwelekeo wake.
Nimekuwa nikifuatilia hili bunge letu na nimeona kwa jinsi gani watanzani wenzetu tuliowapa nafasi ya kutuwakilisha mle mjengoni wanavyojiwakilisha wenyewe badala yetu, maslahi ya uma yamewekwa kando bali maslahi ya chama, hata wapo tayari kufa wakitetea posho isiondolewe kuliko kutetea mafuta ya taa kodi isipandishwe, hivi wanakumbuka walikotoka? ni wenzetu hawa au ni makaburu? tunakwenda wapi kama taifa? kuna amani gani kama hatuna imani tena na hawa waheshimiwa hewa? watanzania tufanye nini sasa maana njaa imezidi na hatujui kesho yetu itakuwaje.
Huyu ni wa ccm-jimbo la longido, anafananisha bunge kama kilabu cha walevi, amesifia bunge la sita. Amesema bunge la sasa ni kushutumian wenyewe kwa wenyewe.
mambo hayo! Mwaka huu kuna kazi!
du goin maana hapa hamna umeme wakubwa
aihame ccm
du go in maana hapa hamna umeme wakubwa
Watanzania nawakubali sana! Kukosekana kwa umeme limeshakuwa jambo la kawaida kwenye maisha yao!! Wanachekelea kabisa!!!
huo ni mtazamo wake lkn kwetu wasikilizaji tunapata burudani tosha kwenye bunge hili.
nilimshangaa hata makinda aliposema eti kuna mtu kamtumia msg anasema hawezi tena kuangalia bunge la sasa kutokana na vurugu zake.wakati kiukweli sasa hivi kila mtu anafuatilia bunge kwa kuwa limechangamka sana.
hatuhitaji walokole bungeni.
Huyu ni wa ccm-jimbo la longido, anafananisha bunge kama kilabu cha walevi, amesifia bunge la sita. Amesema bunge la sasa ni kushutumian wenyewe kwa wenyewe.Click to expand...
Mkuu bunge la sita?!
Mkuu bunge la sita?!Click to expand...
Hapo kwenye red. Bunge lililokuwa likiongozwa na Spika Sita au bunge la kikao cha sita? Kama 's' ni herufi dongo, bila shaka siyo jina hilo lakini kama ni herufi kubwa basi litakuwa jina.
ni herufi dongo,Click to expand...
Toa Boriti ndani ya jicho lako kwanza.
Nimemuangalia hajui kujenga hoja kama walivyo wabunge wengi wa CCM.............ni walewale............CCM ni ma-bogus kweli.....
| 2016-10-27T11:27:53 |
http://www.jamiiforums.com/threads/mipasho-ya-wabunge-ni-kuishiwa-hoja-au-mbinu-ya-kisiasa.148200/
|
[
-1
] |
Moyo apasua Jipu kwa wenye kujali maslahi yao Binafsi kuliko Uzalendo wa nchi. | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Moyo apasua Jipu kwa wenye kujali maslahi yao Binafsi kuliko Uzalendo wa nchi.
Discussion in 'Habari na Hoja mchanganyiko' started by abdulahsaf, Aug 2, 2012.
[h=3]Mwanasiasa Mkongwe Mzee Hassan Nassor Moyo azungumza na waandishi leo[/h]
-Mwandishi wa Habari Mwandamizi Salim Said Salim akimkaribisha Mwanasiasa Mkongwe Hassana Nassor Moyo kuzungumza na Waandishi mbalimbali kuhusiana na Mambo ya Muungano hapo katika Ukumbi wa Hoteli ya Rumaisa Bwawani Zanzibar
Baadhi ya Waandishi wa Habari mbalimbali waliohudhuria Katika Mkutano wa Mwanasisa Mkongwe Hassan Nassor Moyo akizungumzia mambo ya Muungano hapo katika Ukumbi wa Hoteli ya Rumaisa Bwawani Zanzibar.
Mwanasiasa Mkongwe Hassan Nassor Moyo Akionyesha hati za makubaliano ya mambo ya Muungano mbele ya Waandishi wa Habari mbalimbali waliohudhuria katika mkutano wake hapo katika Ukumbi wa Hoteli ya Rumaisa Bwawani Zanzibar.
Mwanasiasa Mkongwe Hassan Nassor Moyo akizungumza na Waandishi wa Habari mbalimbali kuhusiana na Mambo ya Muungano hapo katika Ukumbi wa Hoteli ya Rumaisa Bwawani Zanzibar
-Mwandishi wa Habari wa Gaazeti la Zanzibar leo Mwantanga Ame akimuuliza maswali Mwanasiasa Mkongwe Hassan Nassor Moyo hapo katika Ukumbi wa Hoteli ya Rumaisa Bwawani Zanzibar.
Picha zote na Yussuf Simai, Maelezo Bonyeza Sauti.
Sauti:Mzee Moyo aitolea uvivu CCM | Mzalendo.net
| 2016-10-25T03:33:30 |
http://www.jamiiforums.com/threads/moyo-apasua-jipu-kwa-wenye-kujali-maslahi-yao-binafsi-kuliko-uzalendo-wa-nchi.301924/
|
[
-1
] |
HICHI NDICHO WATOTO YATIMA WANAHITAJI KIPINDI CHA SIKUKUU - HABARI NA MATUKIO
Home HABARI NA MATUKIO HABARI ZA KIJAMII HICHI NDICHO WATOTO YATIMA WANAHITAJI KIPINDI CHA SIKUKUU
Kajunason at December 25, 2018 HABARI NA MATUKIO, HABARI ZA KIJAMII,
Imekuwa kawaida Kwa jamii ya kitanzania kushiriki na watoto wanaolelewa katika vituo vya watoto wenye uhitaji chakula na mahitaji mengine hususan katika msimu wa sikukuu.
“Mimi napenda sana mtu akipeleke kuogelea lakini, Sisi tunataka kutoka na kujumuika na watu wengine tucheze nao na tufurahi badala ya wao kuja kutuachia chakula tuu nakuondoka “ alisema Mudy Mbeki mtoto anayelelewa katika kituo cha Yatima Group Trust Fund chamazi ambaye alikuwa akisherehekea sikukuu ya krismass ikiwa ni maadhimisho ya wakisto ulimwenguni kote wakikumbuka kuzaliwa kwa mesihi Yesu Kristu.
“Tumekodi zaidi ya magari matano (5) kwenda kuwafata watoto katika vituo vyak Kurasini na Chamanzi ili wawalete watoto hapa Serena Hotel tufurahi nao sikukuu hii, na huu ni utamaduni wetu wa miaka mingi baada ya kugundua watoto wanatakq sana kutoka nje ya makazi yao waliozoea kipindi hiki cha sikukuu” alisema Sophia Mketo Meneja Rasilimali watu wa Hoteli ya Serena.
Amesema hapo awali walikuwa wakipika chakula na kupeleka vituoni lakini watoto hao ndio walioonesha hamu ya kutaka kutoka nje ya vituo ndipo walipoanza utamaduni wa kuwatoa outing na imeendelea hivyo kwa miaka 3 mfululizo sasa.
Mbali na chakula pamoja na mahitaji mengine muhimu kwa Watoto Njegeja amesema wapo wanajamii ambao hujitolea kupeleka michezo mbalimbali na kuburudika na watoto pamoja lakini kama jamii itajitokeza kufanya kama kilichofanywa na serena Hoteli ni dhahiri itabadili kwa kiasi kikubwa mtazamano wa watoto hao wanaolelewa katika vituo vya watoto yatima
| 2019-06-18T11:18:49 |
http://www.kajunason.com/2018/12/hichi-ndicho-watoto-yatima-wanahitaji.html
|
[
-1
] |
Yangzhou Xiangyu vazi Co, Ltd iko katika mji wa Yangzhou mkoa wa Jiangsu China na imeanzishwa mwaka 2001. Kutengeneza kila aina ya nguo za kujipamba kama nguo kwa nyumba (pajamas, nightdress, mavazi ya kazi ya kufanya kazi, sare za wafanyikazi, mavazi ya tamasha, na vifaa vya nyumbani kama nguo ya blindfold, mito maridadi, na viatu vya manyoya.
Tunayo semina za mita za mraba 4,000, na seti 80 za mashine za kushona na vifaa vingine vya wasaidizi, na wafanyikazi wenye ustadi 100. Kwa miaka mingi, sisi ni watengenezaji wa bidhaa maarufu kutoka Australia, Ufaransa, Uhispania, Italia, na USA nk Pia, tunasambaza duka la Idara ya Uhispania EL CORTE INGLES. Kampuni yetu sasa ina mistari 4 ya uzalishaji pamoja na Mistari miwili ya Bidhaa ya Autoflow na mashine za kushona za dijiti za hali ya juu, muundo wa kitaalam na wa hali ya juu kutengeneza njia ya kupata ubora wa premium.
Mauzo yetu ya kila mwaka ni zaidi ya milioni mavazi na huduma ya kuacha moja, ambayo ni: kutoka vitambaa kukuza-kuweka-kuchapa-kuchapa-embroidery-nguo-kumaliza-kufunga na kusafirisha. Kuanzia mwaka 2001 wakati kampuni yetu imeanzisha hadi sasa, tunawaheshimu kila wakati mkataba, ubora wa kwanza, utoaji wa haraka, na bei za ushindani na nzuri kukidhi wateja wetu.
Tunaheshimu pia haki za binadamu na wafanyikazi, kwa hivyo tumepata cheti cha uthibitisho cha kimataifa na cheti cha ubora cha ISO9001-2015.
uzalishaji wa nguo , mauzo ya nguo , uuzaji wa uzi wa pamba , uuzaji wa vitambaa vya nguo , uuzaji wa malighafi , vifaa vya kuuza juu ya nyumba na mavazi
Uhamishaji kupitia shirika
Simu ya rununu :
[email protected] Uchunguzi
Nchi / Mkoa :
Tovuti :
https://sw.yzxygarment.com
| 2020-08-12T12:45:56 |
https://sw.yzxygarment.com/aboutus.html
|
[
-1
] |
IDD MKWERA NA RAMADHANI SHAURI WASAINI KUZIPIGA MEI 5 UWANJA WA NDANI WA TAIFA - SUFIANIMAFOTO
Home Michezo IDD MKWERA NA RAMADHANI SHAURI WASAINI KUZIPIGA MEI 5 UWANJA WA NDANI WA TAIFA
IDD MKWERA NA RAMADHANI SHAURI WASAINI KUZIPIGA MEI 5 UWANJA WA NDANI WA TAIFA
Muhidin Sufiani Friday, April 13, 2018
Promota wa mchezo wa ngumi, Evalist Ernest (katikati) akiwatambulisha mabondia, Iddi Mkwera (kushoto) na Ramadhani Shauri baada ya kusaini mkataba wa kuzipiga Mei 5 mwaka huu katika ukumbi wa Uwanja wa ndani wa Taifa, pambano la raundi 10.
Mabondia Haidar Mchanjo (kushoto) na Amani Bariki 'Manny Chuga' wakitambulishwa
Bondia Said Chino (kushoto) akitambiana na Hamza Mchanjo
Bondia Karimu Ramadhani (kushoto) akitambiana na James Kibazange
DK. MABODI AKABIDHI TREKTA KIJIJI CHA BUMBWISUDI - *NA IS-HAKA OMAR, ZANZIBAR* *CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kinaendelea kuimarisha upatikanaji wa huduma bora za Pembejeo za kilimo katika maeneo mbali ...
Halmashauri Msitoze kodi Zilizofutwa kwenye Madini ya Chumvi- Nyongo - *Kutoka kushoto, Naibu Waziri wa Madini, Stanslaus Nyongo, Kaimu Afisa Madini Mkazi wa Mkoa wa Mtwara, Mhandisi Ephraim Mushi, Msai...
YOUNG BOYS WAMDUWAZA RONALDO, WAIPIGA JUVENTUS 2-1 - Mshambuliaji wa Juventus, Cristiano Ronaldo akisikitika baada ya kupoteza nafasi ya kufunga jana dhidi ya wenyeji, Young Boys Uwanja wa Suisse Wankdorf Be...
| 2018-12-13T13:06:25 |
http://www.sufianimafoto.com/2018/04/idd-mkwera-na-ramadhani-shauri-wasaini.html
|
[
-1
] |
umělá inteligence | Project Tags | Krkonoše, Jizerské hory, Český ráj
akili bandia
Bandia Intelligence (AI bandia akili English AI) ni tawi la sayansi kushughulika na viumbe wa mashine kuonyesha dalili ya tabia ya akili. ufafanuzi wa "tabia akili" bado ni chini ya majadiliano, kama zaidi ya kiwango inatumia sababu akili ya binadamu. Pamoja na dhana hii kwanza alikuja John McCarthy katika 1955. Bandia akili utafiti ni yenye kiufundi na maalumu, zaidi ya hayo, imegawanywa [...]
4K 4k video 2018 dji djs kwenda dji mavic dji mavic pro DJ Phantom DJI Phantom 4 drone drone Hrad Haje nad Jizerou Jablonec nad Jizerou Jizerky Milima ya giant milima kvadroptéra funicular litchi Lysa hora skiing mavic mavic pro mahali pa maegesho maegesho Paseky nad Jizerou phantom phantom 3 phantom 4 phantom juu Poland Rezek Rokytnice Ski Skipas hupita Ski resort wreckage Ubytování video tow baridi kutoka juu czech peponi
| 2018-05-28T05:25:45 |
https://sw.petrpikora.com/project-tag/umela-inteligence/
|
[
-1
] |
Mkongwe Dj Juice Afariki Dunia – DizzimOnline
DizzimOnline News Artists News Mkongwe Dj Juice Afariki Dunia
By D' Mike Oct 31, 2017 at 12:43:08 AM SHARE:
(Kulia) Dj Mackay akiwa na Dj Juice enzi za uhai wake
Dj wa muda marefu na mkongwe katika tasnia ya muziki na Burudani Tanzania, Hussein Juma a.k.a Dj Juice amefariki Dunia usiku wa kuamkia tarehe 31 katika hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es salaam.
Kupitia ukurasa wa Instagram wa rafiki yake wa karibu ambaye wameshiriki mara kadhaa katika kazi za pamoja, Dj Mackay alitoa taarifa za msiba huo kwa kutoa salamu za pole kwa familia ya ndugu jamaa na marafiki na kuongeza kuwa shughuli za mziko ya Dj Juice zitafanyika jioni ya siku ya jumanne(leo) mida ya saa 10 jioni katika Makaburi ya Ndungumbi, Magomeni Makuti jijini Dar es Salaam.
TAARIFA YA MSIBA WA DJ MWENZETU Hussein Aka Dj Juice Kwa Wanaomkumbuka Alishanya Kazi na Sisi Club Billicanas/Times Fm Na Sehemu Nyengine Nyingi Tu… Innah Lilahy Wainnah ilahy Rajwn Pole Kwa Familia… Maziko Jnne Hii Ya Leo Jioni Saa Kumi Magomeni…
A post shared by Dj Mackay (@dj_mackaytz) on Oct 30, 2017 at 4:53pm PDT
Taarifa za watu wa karibu wa Dj Juice hazibainishi hasa nini kilimsumbua Dj Juice mp zaidi ni kuwa aliugua na kuanza kupata matibabu ndani ya muda wa wiki moja kabla ya kukutwa umauti usiku wa kuamkia jumanne wa tarehe 31 ya mwezi huu wa Oktoba.
| 2017-11-23T09:36:53 |
http://dizzimonline.com/2017/10/31/mkongwe-dj-juice-afariki-dunia/
|
[
-1
] |
MBOWE ASHINIKIZA MAWAZIRI WA ELIMU WAJIUZULU,ADAI CHADEMA ITAANDAMANA NCHI NZIMA, POLISI WAJIANDAE KWA MABOMU | Mwanafasihi Mahiri
MBOWE ASHINIKIZA MAWAZIRI WA ELIMU WAJIUZULU,ADAI CHADEMA ITAANDAMANA NCHI NZIMA, POLISI WAJIANDAE KWA MABOMU
Rashid Mkwinda 1:56 PM A+ A- Print Email
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimesema kuwa kitalazimisha maandamano nchi nzima iwapo Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Naibu wake hawatakubali kujiuzulu kwa kusababisha anguko la elimu nchini.
Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliohudhuriwa na maelfu ya wakazi wa Jiji la Mbeya kwenye uzinduzi wa Baraza la Uongozi kanda ya Nyanda za Juu, Mwenyekiti wa Taifa wa Chama hicho Freeman Mbowe, amesema kuwa,watayalazimisha maandamano hayo hata kama jeshi la polisi na vyombo vingine vya usalama vitayazuia.
Bw. Mbowe amesema kuwa anajua wazi Jeshi la Polisi litatumia kuyadhibiti maandamano hayo na kueleza kuwa CHADEMA haitawaogopa polisi wala mabomu ya machozi na kwamba wamejiandaa kwa lolote litakalotokea.
Aidha Bw. Mbowe amesema kuwa katika kuthibitisha kuwa wanachokisema wamedhamiria aliwahamasisha wananchi kuchangia fedha kwa ajili ya kukabiliana na mabomu ya machozi na majeruhi watakaotokea baada ya kupigwa na polisi ambapo jumla ya sh. milioni 3.2 zilichangwa na wananchi kusaidia wahanga wa maandamano ya siku hiyo ambayo alisema ataitangaza rasmi.
Amewataka wananchi wa mikoa ya Iringa, Njombe, Ruvuma na Mbeya kujitokeza kwa wingi mkoani Mbeya ambako ndiko kwenye makao makuu ya kanda hiyo kufanya maandamano ambapo pia aliwataka wamachinga, wanafunzi askari polisi na watu wengine kujitokeza barabarani kwa ajili ya kuwashinikiza Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt. Shukuru Kawambwa na Naibu wake Philipo Mulugo kuachia ngazi.
Amesema kiwaaango cha elimu nchini kimeshuka kwa asilimia 94 na kusababisha idadi kubwa ya watoto kubaki mitaani hali ambayo amesema imesababishwa na serikali kutojali watoto wa masikini ambao kipato chao ni kidogo.
Katika Maandamano hayo ambayo yaliongozwa na Mbowe yaliyoanzia katika eneo la Uhasibu Mafiat hadi katika Uwanja wa Ruanda Nzovwe,Mbowe aitembea kwa mwendo wa kilomita tano ambapo makundi ya waendesha bodaboda, baiskeli na watembea kwa miguu walijitokeza kwa wingi kuunga mkono maandamano hayo.
| 2017-08-20T15:37:06 |
http://mkwinda.blogspot.com/2013/03/mbowe-ashinikiza-mawaziri-wa-elimu.html
|
[
-1
] |
Nataka kutumia 500k kwenye betting - JamiiForums
Nataka kutumia 500k kwenye betting
2,871 2,000
Jk12 said:
Ungekuwa serious leo ungekuwa na m 3View attachment 1179112
Mkuu nakutafuta weeknd hii
Reactions: lucky inc
Pamoja nitashare mapemaaaaa
Reactions: Champagnee
Please share kwny huu uzii tumesha subscribe tayar
vip jmn hapoo
malindo said:
View attachment 1179763View attachment 1179764View attachment 1179765 vip jmn hapoo
Mkuu web gan hii
Rwazi1 said:
mi nimemshauri bets za jackports mana unaliwa kidogo ukiwa na ndoto za pesa ndefu. mf. betpawa utafukuzia mil 200 au bonuses za chin ya hapo za mil20, mil3, lak 8, kwa sh 100 kila bet au mkeka 1 wa mech 17. au mil 10 kwa bet ya mechi 13 kila mkeka. au unafukuzia mil 150 au bonuses ukikosea kdogo mech 3 chin ya hizo 13, kwa bet ya sh 1000 mechi 13 kupitia m bet. Au sportpesa unafukuzia sh mil 780 kwa mkeka wa mech 13 na bonuses km umekosea mech 3 kupiga zote. hapa kila et 1 ni sh 2000. HII HALI INATIA MATUMAINI YA KUKWAMUKA KIMAISHA HATA UKIKOSA KULIKO MNAVYODHANIA. NI SAWA NA KUWA UNADAI KUMBE MDAIWA HANA MPANGO WA KUKULIPA.
sikubaliani na wewe kama hukuwahi kufanikwa kwa njia hii unayomueleza mwana , probability ya kubadili namba ni uzwazwa haina tofauti na tatu mzuka ,unabadilisha badiliaha namba ili ubahatishe kula.hii sio betting stratage mkuu
Dah,,watu mnabahati zenu kwenye multbet,,
Mm nikiweka team zikazidi nne ni maumivu tu,,napigwa sana na mdosi,,
Ila nikiweka 2 au 3 ni sherehe tu
sasa unakosea wapi? mbona tayari ushafahamu pesa ilipo
Okimangi said:
500,000 ×20odds ndio upate milioni kumi 10
Cheza perfect combo
Unganisha option mfano ashinde na 3+
Au score both halfs
Au more goals second halfs
Au chagua range ya magoli 2-4, 1-3 n.k
Goli la kwanza lipatikane kuanzi dakika ngapi ina odds.
parimatch wako poa au galsport.
Ila dont be greedy mzee. Kama 500k kwa mil10 nikucheza kamari kiroho mbaya akati yupo anayestake 10mil anapata 10mil yaani 2odds.
Gambling is a fast rich scheme pia, people becomes rich also.
Nimewapenda hao galsport
MACHONDELA
Jana nilikua na correct score moja na imetoa ungewahi ningeshare na wewe..
Odds ya 10
kaka ukipata tena nishtue nijilipue
MACHONDELA said:
ODDs ZA LEO
Wale wazee wa kubet nipeni ushaur hapa nataka kutumia 500k kwenye betting weeknd hii lengo nipige 10m najua inawezekana, Je ni betting( campun nzuri kwa kubetia??) na nitumie option zipi ambazo zinatoa kirahisiii
Weekend hii muhindi lazima aliwe!!
Link ya lile group letu la ushindi
Fenuchi said:
Linatoa odds ngap
Bet pawa wajanja tu
Leten mikeka maselaa
Pawabet nao wakko poa
Naomba kujuzwa na kampuni gani unaweza kuweka mkeka Wa timu 10 then ukawa ushapatia timu kama 8 na ukataka hizo mbili zilizobaki uzikate upewe hela ya hizo 8 tu. Ntashukuru wakubwa
playmaster bet.
Threads 1,326,441
Members 509,513
Posts 32,222,074
| 2019-08-24T08:08:38 |
https://www.jamiiforums.com/threads/nataka-kutumia-500k-kwenye-betting.1615700/page-3
|
[
-1
] |
Kilimo cha papai kisasa – Kilimo Smart
Kilimo, Mazao October 24, 2019 2 Comment
Papai ni moja ya tunda mashuhuli linatumika kwa kiasi kikubwa nchini Tanzania. Pia tunda hili linaweza kuwa na faida mbali na afya, katika kukuza uchumi wa mkulima wa zao hili. Pia linawezakuwa chanzo kikubwa cha pesa za kigeni kwa kuuza nje ya nchi
Katika uzalishaji wa miche ya mpapai kuna aina mbili za mbegu ambazo huweza kutumika: –
Hizi ni mbegu ambazo huweza kukusanywa toka katika mipapai ya kienyeji. Aina hii ya mbegu ni vigumu kujua kati ya mbegu ni ipi dume, jike ama yenye jinsia zote. Hivyo itakulazimu kung’oa baadhi ya mipapai dume pindi itakapo weka maua hivyo kuacha majike na yenye jinsia zote mbili. Mapapi yenye maua ya kiume uachwa kwa uwiano wa 1:50 ya mipapai yenye maua ya kike.
Zuia matumizi ya mbolea zenye chlorine maana mipapai uathiliwa na chlorine. Wiki moja baada ya kuhamisha miche yako weka mbole gramu 28 kwa kila mche. Tumia mbolea yenye phospate kwa kaisi kikubwa. Mfano; – 12:24:12. (NPK)
Kitalu – Wiki 1 – 6
Hatua ya ukuwaji wa haraka baada ya kuamishiwa shamba – wiki 7 -16
Maua na kuweka matunda – wiki 17 – 21
Kukua kwa matunda – 22 – 26
Mavuno ya kwanza – Wiki 37 nakuendelea
KILIMO CHA KUNDE, MAZAO YENYE FAIDA KUBWA LAKINI YAMESAHAULIKA
Mbegu bora za mahindi MERU HB 515 (Nyati)
2 comments on “Kilimo cha papai kisasa”
Arnold Mangi says:
hujaeleza kabisa kuhusu magonjwa na wadudu waharibifu katika mapapai na namna ya kutibu magonjwa na kuangamiza wadudu waharibifu
katika kila chapisho LA zao Fulani hakikisha unaweka Dawa husika zinazoweza kumsaidia mkulima awe smart kuprevent zaid na sio kusubiri ugonjwa uingie…
hivyo tengeneza mzunguko ambao mkulima akiufwata hawezi kupata magonjwa ktk zao husika kama mnavyofanya ktk kuweka mbolea mnaweka ratiba za kila baada ya wiki kadhaa weka mbolea hii…
Asante sana Ndugu Arnold Mangi, nimekuelewa vizuri nitafanyia kazi ushauri wako.
| 2019-12-14T04:54:16 |
https://www.kilimosmartapp.com/kilimo-cha-papai-kisasa/
|
[
-1
] |
Bowflex Ijumaa Ijumaa Julai 2015 Deals | Offer Discount
nyumbani » Bowflex » Bowflex Ijumaa Mwezi Julai Mipango ya 2015
Bowflex Ina 2 New Black Ijumaa katika Mipango ya Julai
1. $ 500 OFF + $ 20 Shipping juu ya Treadclimber TC10
Matumizi Promo Code: BFJULY15 (Halali 7 / 17 / 15 - 7 / 19 / 15)
Ijumaa nyeusi mwezi Julai: usafiri wa $ 500 OFF + $ 20 kwenye TC10 ya Treadclimber kwenye Bowflex.com! Kanuni: BFJULY15 (halali 7 / 17-7 / 19)
2. Pata Meli ya Msajili kwenye Mfuko wa Mwili wa Bowflex
Mifuko ni pamoja na Bodi ya Chokoleti, Siku Yote ya Nishati, Ufungashaji wa Siku ya 15 na Bottle ya Blender
Ijumaa nyeusi mwezi wa Julai: Meli ya bure kwenye kifungo cha Mwili wa Bowflex! Kanuni: BFJULY15 (halali 7 / 17-7 / 19) Kifungu ni pamoja na: Chocolate Boost, Siku zote Nishati, 15 Day Fitness Pack na Blender Bottle
| 2018-08-18T10:55:00 |
http://sw.fitnessrebates.com/bowflex-black-friday-in-july-2015-deals/
|
[
-1
] |
#bikemovement - Instagram photos and videos | WEBSTAGRAM
510 kiriman
#corsomtb
Un bel articoletto sul giornale Adige parla dei corsi fatti quest'estate a Lavis #top #school #corsomtb #bikeschool #bikemovement
#BikeMovement 📸 | @young_savage_625 #SeattleBmx #RideBmx #Bmx #PNW
📷:@trentonleejones #bikemovement
Looking for something fun to do in Saturday? Check out the Bike Kennett Rack It Up event from 1-4 pm at the Creamery! Learn about the bike movement in KSQ and how you can be involved! #lovelocal #bikemovement #ksq #kennettcreamery
Siku ya Jana nilibahatika kukutana ana kwa ana Na Mkongwe Mwendesha Baiskeli Mzee Saidi Kengele mwenyeji wa Lindi.Tunapozungumzia habari za Baiskeli Tanzania Anahusika kwa kiasi kikubwa kwa mchango wake muhimu na mkubwa kwenye Bicycle.Amekuwa Akifanya masafa mkubwa ndani ya Nchi.Mwaka 2010 amefanya matembezi ya baiskeli mikoa 15 ambayo ni zaidi ya 3000 K.M akihamasisha kudumisha Amani ya nchi kabla ya uchaguzi na Baada ya uchaguzi.
Amekuwa Akifanya safari hizi ndefu mara kadhaa akiwa na kauli mbiu tofauti tofauti.
Hakika wakati anafanya mambo yote haya aliwaona Wakuu Wa Mamlaka na Wahusika wa kila Idara maalum..
Sihayo tu bado Mzee Kengele amekuwa mstari mbele kuhamasisha Mchezo wa Baiskeli kitaifa kwa kuandaa mashindano maeneo kadhaa ikiwemo songea ,Lindi..
Amekuwa Kiongozi ndani ya Vyama cya Baiskeli kwa muda mrefu.Matendo yake binafsi yanafanya jina Lake kuwa kubwa Kitaifa.
Kilichonishangaza Zaidi 😢..Nikwamba mbali na kufanya yote hayo kwa maslahi ya Taifa Mzee Kengele Anaendesha BAISKELI ..............!😢😢😢
MKWECHE.
Helmet yake 😢😢😢 Imechoka😢😢😢.
Hivi kweli😢😢😢KWELI wale Wakuu wamamlaka na zile Idara husika Mlikosa hata macho ya kuona Yukoje😢😢..Mliziba vipi masikio yenu hata msisikie anachokisema😢😢😢.
Mlishindwaje hata kumtia moyo.😢😢
Jamani Mikoa 15 sio Mchezo kwa Baiskeli.Fikiria japo 1min.
Mimi natamani sana sana habari hizi zifike mahali husika.NAOMBA atakaesoma habari hii ikimgusa amtag Mh.Yoyote.
Mimi nimeanza na Mh
#Bikerevolution
#darbiking
246 22 80w ago Share Download
Beep Beep. #Bangkok #Easyrider #BikeMovement #Sukhumvit #Thailand
Gracias por su participación! Qué buena rodada dominguera, hubo leña, amigos, clima perfecto y muchos regalos ➡ @bikem.co - @bellainsellaco #bikeMood #bikeMovement #bikeMotion 🚲💙💜😊
929 1 33w ago Share Download
Trying New Things!!! @bikeam #BikeMovement
Amazing view, awesome shirt, good bloke! @josco323 getting his #movement in.
#MM #bikemovement #bodymovement #blackonblack
44 1 127w ago Share Download
Articoletto sul giornale Adige di oggi #ladige #corsodimtb #bikemovement #bikeschool
Alcune immagini dei nostri corsi di mtb a Lavis durante l estate 2017... stiamo già organizzando i nuovi corsi 2018
#bikeschool #bikemovement #bike #mtb #disiplina #corsomtb #imparare
Bike life #Bikelife #Sebikes #bigripper #socalflyer #blocksflyer #2017 #wheelie #onewaytakeover #blox #rrdblocks #onewayup #bikegang #brooklyn #newyork #bikemovement
Doing my part in reducing carbon footprint 👣 Been cycling everywhere for the past 6 months and it is becoming my favourite activity and best way to go from A to B in Singapore🇸🇬 ❤️You don't really need to own a bike when you have Mobikes 🚴 💪🏻 #Cycling #Bicycle #reducecarbonfootprint #Footwork #Exercise #Discover #Singapore #Exploresingapore #Mobike #Bikesharing #Bikemovement #Wander #Wanderer #Luxelife #Luxetravel #Traveldeeper #Travel #Travelbug #Twowheels #Bike #Bikelife #bikeofinstagram #Dametravel #travelblogger #Citylife #Workoutgear @mobikesgp
#nikontop #nikond3200 #nikon #nikonphotography #bikemovement #usulirintra
Last light games before winter ...
#light #photography #currently #currentlymagazine #bikemovement #bikelife #trails #mtb #nature #sports #landscape #mountainbike #explore #adventure #alps #graubuendenbike #mountains #outdoors #sport #engadin #stmoritz #graubünden #switzerland
Seriously? Glad the bike movement is happening here but bike etiquette not so much...
#parkyourbikeelsewhere #ofo #expatlife #bikemovement #noaccess
#repost @filipzuan
Autumn Magic 🍁✨🍂
#lightbyte #photography #autumnmagic #autumn #bike #bikelife #bikemovement #sports #nature #landscape #engadintostmoritz #engadine
#ivandega con #gierreproject
#shred #photography #currently #currentlymagazine #bikemovement #bikelife #trails #mtb #nature #sports #landscape #mountainbike #explore #adventure #alps #graubuendenbike #mountains #outdoors #sport #engadin #stmoritz #graubünden #switzerland
#aroundthecorner #light #photography #currently #currentlymagazine #bikemovement #bikelife #trails #mtb #nature #sports #landscape #mountainbike #explore #adventure #alps #graubuendenbike #mountains #outdoors #sport #engadin #stmoritz #graubünden #switzerland
#mtbtrentino
#bicigrillfaedo
Nel mini pump track del #bikebreak i bimbi si sono divertiti alla grande
I maestri di bike Movement school
#GeboMountain
Con questa gita al bike brek bici grill della Rotaliana si chiude la stagione mtb per i nostri bimbi del corso mtb di Lavis... ci vedevamo sicuramente nel 2018 con alcune novità magari😉🔝✌🚲 #corsomtb #scuoladimtb #bikeschool #bikemovement #divertimento #grandiemozioni #school #bike #mtb #mtblife #passionemtb #mtb_italia
L amicizia il divertimento e iniziare ad amare la bicicletta sono i nostri valori. Questo è il frutto del corso mtb di quest'anno
#corsomtb #bikeschool #ivandega #divertimento #amicizia #amoreperlabici #school #mtblove #mtb #ciclismo #grandiemozioni #emozione #bikemovement
| 2017-11-23T08:45:08 |
https://web.stagram.com/tag/bikemovement?locale=id
|
[
-1
] |
HARRY KANE AMEPONA? AKUTANA NA SOUTHGATE BILA MAGONGO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE HARRY KANE AMEPONA? AKUTANA NA SOUTHGATE BILA MAGONGO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
Mwanzo > HABARI ZA ULAYA > HARRY KANE AMEPONA? AKUTANA NA SOUTHGATE BILA MAGONGO
HARRY KANE AMEPONA? AKUTANA NA SOUTHGATE BILA MAGONGO
Kocha wa timu ya taifa ya England, Gareth Southgate akizungumza na mshambuliaji Harry Kane, ambaye yuko nje ya kikosi kwa sababu ya maumivu ya mguu. Lakini jana wakati anazungumza na Southgate kwenye mazoezi ya Three Lions jana viwanja vya Enfield, ikijiandaa na mechi ya kirafiki dhidi ya Italia kesho, Kane hakuwa na magongo ya kutembelea kuashiria amepata ahueni ya maumivu yake aliyoyapata mapema mwezi huu katika mchezo na Bournemouth na kutakiwa kuwa nje kwa wiki sita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Item Reviewed: HARRY KANE AMEPONA? AKUTANA NA SOUTHGATE BILA MAGONGO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
| 2019-09-19T23:35:45 |
http://www.binzubeiry.co.tz/2018/03/harry-kane-amepona-akutana-na-southgate.html
|
[
-1
] |
Furaha ya Kushukuru!
Usafirishaji wa Bure wa Amerika!
Tunasafirisha kwenda Nchi Yako!
Fedha Back
Kufuatilia Ili
kipawa Kadi ya
Kufuatilia ili yako Kufuatilia ili yako
Kapu lako ni tupu.
Faida ya Hifadhi Faida ya Hifadhi
Duka na ujasiri
Kufungiwa Zawadi
Zawadi za Kurudishiwa Pesa
Siku ya Kurudi kwa 30
Shop Sasa Shop Sasa
Duka By Jamii
Magari na Vyombo Magari na Vyombo
Uuzaji hadi 30% kwenye bidhaa zilizochaguliwa
Uzuri na Mtindo Uzuri na Mtindo
Elektroniki na Michezo Elektroniki na Michezo
Uuzaji hadi 10% kwenye bidhaa zilizochaguliwa
Afya na Kaya Afya na Kaya
Uuzaji hadi 25% kwenye bidhaa zilizochaguliwa
Mchezo na nje Mchezo na nje
Juu Kuuza Bidhaa Juu Kuuza Bidhaa
[Mfano] Collette, mavazi ya jungle ya florentine
Huduma za Kusafisha
Bidhaa Mpya Bidhaa Mpya
Matukio ya Bidhaa Matukio ya Bidhaa
Mapitio Maarufu Mapitio Maarufu
Huduma za mapambo
Chakula na Ukarimu
Chama na Matukio
Womens Off mabega kawaida kupinduliwa Sleeve Knit Pullover sweta Tunic tops Kubwa Womens Off mabega kawaida kupinduliwa Sleeve Knit Pullover sweta Tunic tops Kubwa
hakuna kitaalam
Tein Nzuri Tezi
Kamwe Usahau Mapenzi ya Muziki wa Retro ya Mapenzi ya Riwaya Kamwe Usahau Mapenzi ya Muziki wa Retro ya Mapenzi ya Riwaya
GERBER Baby Baby 2-Pack Blanket kulala, Upendo wa Pink, Miezi ya 0-3 GERBER Baby Baby 2-Pack Blanket kulala, Upendo wa Pink, Miezi ya 0-3
Mguu na Kofia ya Watoto Wangu wachanga, Printa ya Ivory, Mzaliwa mpya Mguu na Kofia ya Watoto Wangu wachanga, Printa ya Ivory, Mzaliwa mpya
Joules Mpya ya Wellibob ya wanawake Nyeupe Mvua Nyeusi Metallic Bei 7 Joules Mpya ya Wellibob ya wanawake Nyeupe Mvua Nyeusi Metallic Bei 7
MissShorthair Womens Harusi Jalada Jalada Shawl Glitter Metallic Ahadi ya sherehe ya sherehe na Fringe (Champagne Dhahabu) MissShorthair Womens Harusi Jalada Jalada Shawl Glitter Metallic Ahadi ya sherehe ya sherehe na Fringe (Champagne Dhahabu)
Disney Wanawake wa Disney wenye Leseni ya nguo za kulala watu wazima wa mavazi ya Mavazi ya Wanawake wa Disney Pajama (XS-3XL) Disney Wanawake wa Disney wenye Leseni ya nguo za kulala watu wazima wa mavazi ya Mavazi ya Wanawake wa Disney Pajama (XS-3XL)
FOCUSSEXY Wanawake Moto Majira ya Kiangazi ya Kijapani Bikini Chini Thong Swimwear Nyeusi L FOCUSSEXY Wanawake Moto Majira ya Kiangazi ya Kijapani Bikini Chini Thong Swimwear Nyeusi L
Mafunzo ya Boxer Performance Boxer ya Wanaume wa ExOfficio, 6 ", Jeshi, Kubwa Mafunzo ya Boxer Performance Boxer ya Wanaume wa ExOfficio, 6 ", Jeshi, Kubwa
Furaha ya Go Girl ya Kijana Kijana Sleeve Kifurushi cha chini cha Plaid Flannel (Nyekundu-Nyeusi, 7-8Years) Furaha ya Go Girl ya Kijana Kijana Sleeve Kifurushi cha chini cha Plaid Flannel (Nyekundu-Nyeusi, 7-8Years)
Huduma za Usalama na Afya
Taaluma za Biashara
Pata Mikataba ya Kila Siku
Checkout haraka
Ombi Maalum na Wengi
Kwa nini Jiandikishe? Kwa nini Jiandikishe?
Ufuatiliaji Sasisho
Kushuka kwa Bei
Nyuma Katika Hisa
Maswali ya blog Tafuta Advanced Wasiliana nasi
Hakimiliki © 2019 2pricetag.com
Idara rasmi ya IBO GroupPrice, LLC
upatikanaji upatikanaji
Bidhaa Aina Produkttyp
Muuzaji Verkäufer
Upeo wa Muda mfupi, Mwisho: Nur kurze Zeit Angebote, Mwisho kwa:
| 2020-02-21T08:14:53 |
https://sw.2pricetag.com/
|
[
-1
] |
KASYOME NI NANI?
Salam msomaji
Ni siku nyingi sana zimepita tangu nilipoandikia blog hii. Mizunguko ya kimaisha ya hapa na pale ilinifanya kuwa kimya sana. Nimekuja kuwatakia heri ya mwisho wa mwezi wa septemba na kuwatakia Baraka nyingi kwa mwezi oktoba. Oktoba ni mwezi muhimu sana kwa nchi yetu. Uchaguzi wa madiwani, wabunge, wawakilishi na rais. Litakuwa jambo jema kama tutawachagua viongizi bora watakaotuongiza pale walipoishia wengine. Nawataki heri na Baraka nyingi. Tukutane 25/10/2015.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 10:40 AM No comments:
Ramani mpya ya mji wa Kusulu
Hii ni ramani mpya ya mji wa Kasulu, mkoni Kigoma baada ya kuwa halmashauri ya mji.
Chanzo: Leonard Kilamuhama / Kigoma Networking Group
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 8:10 AM No comments:
Ladha mpya katika filamu Tanzania,,,
Pichani ni bbaadahi ya wasanii walioigiza Filamu ya THE STOLEN DREAM, iliyotengenezwa na kampuni ya THE ICON ENTERTIMENT chini ya producer ni FETTY KABOMA.
Baadhi ya mastar waliomo ni chuchu hans,jengua,danny kaboma (msanii wa zamani wa kundi la kidedea),anna msangi au siri (mama anaefanya vizuri sokoni akiwa na filamu kibao kama ndoa yangu ya kanumba aliyocheza kama mama wa jack worlper na nyingine nyingi),bi ndoza au bi farida anaecheza kwenye tamthia ya siri ya mtungi na wengine wengi.
Director wa filamu hiyo ni ABUBAKARI MTEGWA,,
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 1:35 AM No comments:
Swahili Abroad,
Blog kabambe na ya ukweli wa news za kijanja kuhusu pilikapilika za maisha ya ughaibuni wanayoishi ndugu zetu watokeao Afrika Mashariki, itakuwa hewani muda wowote kuanzia leo. Maudhui makuu ya blog hii ni kuwa daraja la habari za maisha halisi kati ya ughaibuni na Afrika Mashariki. Wanaafrika Mashariki wanaozungumza lugha ya Kiswahili walio ughaibuni, wanahusika pia. Hapa utapata makala zinazozungumzia maisha yao halisi, burudani, michezo, harakati za kimaisha, masomo, kazi, ubunifu, urembo pamoja na mengine mengi yanayowazunguka. Yeyote anayefanya mazuri kuhusu lugha hii, utamkuta hapa. Kwa lugha nyepesi tunaweza kusema, "hii ndio nyumba ya Kiswahili Ulimwenguni!" Jaribu leo kufungua www.swahiliabroad.blogspot.com
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 3:39 AM No comments:
Mwakilishi wa Tanzania, Big Brother Africa 2013 atajwa.
Mwakilishi wa Tanzania katika shindano la Big Brother Africa 2013, ni Mwanamuziki Feza Kessy (pichani) ambaye ni mwenyeji wa Arusha. Feza mwenye umri wa miaka 25 ana elimu ya Cheti katika Teknolojia ya Habari (IT).
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 11:48 PM No comments:
Obama afunga hotel, Dar
Wakati Rais wa Marekani, Barrack Obama akitarajiwa kuwasili na msafara wa watu 700, baadhi ya hoteli zenye hadhi ya nyota tano jijini Dar es Salaam zimeanza kusitisha kupokea wageni kutokana na ujio huo.
Taarifa iliyotolewa na Ubalozi wa Marekani ilisema Rais huyo, anatarajiwa kuwasili nchini Julai Mosi kwa ajili ya ziara ya siku tatu hadi Julai 3 mwaka huu ili kuimarisha uhusiano baina ya nchi hiyo pamoja na nchi za Afrika. Msafara huo utajumuisha watu mbalimbali wakiwamo wafanyabiashara.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 10:44 AM No comments:
"Nilimsaidia Kikwete uchaguzi wa 2010" Lipumba
Profesa Lipumba alitoboa siri hiyo katika Msikiti wa Idrissa, Kariakoo, jijini Dar es Salaam, alikokwenda kuswali swala ya Ijumaa.
Alipoulizwa kuhusu ziara yake msikitini na kauli aliyotoa, Profesa Lipumba alikiri kwamba alikwenda kuzungumzia hali ya kisiasa nchini.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 10:30 PM 2 comments:
Rama mla watu, yuko huru
Mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam imeamua kumuachia huru Ramadhani Selemani Mussa ambaye alikuwa akikabiliwa na kesi ya kukutwa na kichwa cha mtu. Rama, ambaye muda wote huo alikuwa rumande gereza la Segerea akisota kusubiri hukumu yake, alikamatwa hospitali ya Muhimbili mwaka 2008 ambapo pia alikiri kuwa alikuwa na tabia ya kula nyama za watu ambayo amefundishwa kichawi toka alipokuwa mdogo.
Mahakama imemuachia huru kwa sababu mtuhumiwa alitenda kosa hilo pasipo kuwa na akili timamu. Hata hivyo mahakama hiyo imetoa agizo la kuendelea kumuweka kijana huyo katika hospitali ya wagonjwa wenye matatizo ya akili, hospitali ya Isanga iliyopo Dodoma mpaka pale atakapopona ndipo aruhusiwe kurudi mtaaani.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 8:57 PM No comments:
M23 wamwogopa Ban Ki Moon!
Katibu mkuu wa UN BAN-KI-MOON akitemblea Mji wa Goma
huko mashariki mwa DRC akishindikizwa na kiongozi wa Benki ya Dunia.
Viongozi hao wametembelea Mji wa GOMA huku kukiwa na hali ya wasiwasi kufuatia mapigano yanayoendelea katika mji huo, huku waasi wa M23 wakitwangana na jeshi la serikali ya Congo FRDC. Lakini hata hivyo leo hakukusikika mlio wa risasi tangu asubuhi, Waasi wa M23 walisema viongozi hao wapaswa kuheshimiwa na kuwapa muda wakujua picha kamili ya hali ya mambo na chanzo cha mzozo mashariki mwa DRC.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 5:20 AM No comments:
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 5:01 AM 2 comments:
Polisi watumia vitisho kudai rushwa!
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 2:47 AM 2 comments:
Bunge laahirishwa tena leo
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 11:35 PM No comments:
Sheha Zanzibar, amwagiwa tindikali
Sheha wa Tumondo Mohamed Omary Said, amemwagiwa tindikali na mtu asiyejulikana na hivyo kupata maumivu makali sehemu yake ya kifua na jicho kuumia pia.
Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Mukhadam Khamis, amesema chombo kilichotumika kummwagia tindikali Sheha huyo kilipatikana eneo la tukio na kwamba polisi imekichukua kwa kukichunguza kitaalam ili kugundua aliyekuwa akikitumia kwa kuangalia alama za vidole.
Sheha wa Tumondo Mohamed Omary Said akiwa hospitali
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 10:36 PM No comments:
Mtazamo wangu kuhusu vurugu za Mtwara
Moja ya picha ikionesha moto mjini Mtwara, jana.(chini ni picha ya muasisi wa Taifa letu Hayati mwl. Julius Kambarage Nyerere, mzalendo wa kweli.)
Chanzo cha vurugu:
Athari zilizotokea:
Waandishi wa TBC walitishiwa uhai wa maisha na mali zao. Nyumba na gari la mwandishi, Kassimu Mikongoro, vikachomwa moto na kuteketea kabisa. Pia nyumba za Mbunge wa Mtwara Mjini (CCM), Hasnein Murji na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tamisemi) ambaye pia ni Mbunge wa Mtwara Vijijini, Hawa Ghasia zilichomwa moto.
Katika Mtaa wa Majengo, kundi la vijana lilivamia Ofisi ya CCM Kata na Ofisi ya Serikali ya Kata na kuanza kuzibomoa. Pia nyumba ya Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Mtwara-Mikindani, Ali Chinkawene ilirushiwa mawe.
Ofisi ya Mtendaji Mtaa wa Msikitini, Kata ya Reli na Ofisi ya CCM Chikongola nazo zimeteketezwa kwa moto. Wanafunzi wa Shule za Msingi Shangani na Majengo walirejeshwa nyumbani baada ya mabomu ya machozi kurindima kuanzia asubuhi hadi mchana.
Mashuhuda wanasema mtu mmoja anaaminika kufariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa huku askari wanne wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), nao pia wakipoteza maisha katika ajali wakitokea Nachingwea kwenda Mtwara ili kusaidia kutuliza vurugu hizo. Katika ajali hiyo, askari 20 walijeruhiwa, wengi wao vibaya na saba walinusurika.
Milio ya risasi na mabomu kama vitani:
Turejee mifano:Rwanda:
Wakoloni Wabelgiji, waliikatakata nchi ya Rwanda katika makundi mawili, kutokana na mfumo wao wa utawala ili kujinufaisha na madini yanayopatikana magharibi ya nchi hiyo. Mfumo huo uliwakandamiza kimakabila, kabila la Watusti wakakwezwa na Wahutu wakashushwa kubakia wafanyakazi hasa mashambani wakati Watusti walikuwa wafanyakzi maofisini. Watusi na Wahutu, ni makabila makubwa nchini Rwanda. Wabelgiji walipoondoka kurudi Ulaya, Wahutu, wakapata nafasi ya kujitetea. Njia waliyotumia kutafuta haki ikawa vita. Mwaka 1994, ikazuka vita mbaya kuwahi utokotokea hapa Afrika Mashariki. Watu zaidi ya milioni moja waliuawa katika vita hiyo.
Rwanda ya leo:
Kwa sasa nchi hiyo, iko katika ramani ya moja ya nchi zenye uchumi mzuri katika Afrika Mashariki, sharia ya kukomesha ubunafsi wa tabaka za ukabila, inasimamiwa vilivyo. Ni kosa la jinai, kutaja kabila la mhutu au mtusi kuonesha tofauti zao. Vitambulisho vya utaifa vimendikwa Mnyarwanda, na sio Mhutu, Mtutsi wala Mtwa.
Mtazamo na maoni yangu:
Napozitazama vurugu hizi, Napata mawazo ya mbali sana kuhusu matokeo ya vurugu! Najiuliza swali moja kuu, kwamba, matokeo ya vurugu nini? Kama chanzo ni gesi hii isisafirishwe kuja jijini Dar es salaam, je huo sio ubinafsi?
Bila shaka ubinafsi wa aina hii katika nchi yetu ukiachwa uendelee, utapoteza maana halisi ya umoja wa kitaifa. Nasema hivyo kwa kumaanisha kuwa, kila mkoa unaweza kudai mali asili inayopatikana katika mkoa wake, iwe ni mali ya mkoa husika, jambo ambalo haliwezekani kabisa katika nchi yenye umoja uliotokana na ujamaa.
Wanasisa na wanaojiita wanaharakati, wadhibitiwe na kuadhibiwa pale watakathibitika kuhusika kwa njia moja au nyingine.
Binafsi, nitaendelea kuwalalamikia pia wakoloni. Sasa wanajifanya wataalamu na watoa misaada. Hawa, ndio wanaoleta chokochoko hizi. Sisi tupigane kwa kuonana wabaya ili wanufaike wao. Imani yangu inanituma huko kwa kuwa nikirudi katika historia ya vita nyingi zinazotokea katika bara la Afrika na mashariki ya kati, wazungu hawa, wanakuwa mstari wa mbele kukimbilia kutoa misaada ya kibinadamu. Kutoa kwao misaada, sikatai, ila wanaingiza faida kubwa sana nyuma ya vita wanazozitengeneza wao.
Wanauza silaha, maana nchi hizi hazina uwezo kiviwanda kuzalisha silaha!
Wanapora rasilimali muhimu na kuondoka nazo makwao.
Vurugu hizi za Mtwara, zina mikono ya watu wenye pesa na tamaa ya kujinufaisha wenyewe na familia zao.
Chokochoko za uvunjifu wa amani ya nchi yetu, zimeanzia mbali hadi kufikia Mtwara. Udini unaosmabaa chini kwa chini pamoja na ukabila.
Kwa hili srikali ikae chini na wananchi wa Mtwara, kuwaelewesha upya faida watakazopata juu ya ugunduzi huu wa gesi na iwe wazi kwao.
Wananchi pia waiheshimu serikali na kuwapuuza wachochezi hawa wenye nia mbaya na amani ya nchi yetu.
Waandishi na vyombo vya habari, wawe mstari wa mbele kuripoti kwa uweledi wa kizalendo habari zote zinazohusu Mtwara na gesi. Zisiandikwe au kutangazwa habari zenye uchochezi au zeney kuleta sintofahamu yoyote.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 10:24 PM No comments:
Bandari ya Dar es Salaam,hasara kwa Taifa.
Ripoti ya Benki ya Dunia iliyotoka jana imesema Tanzania inapoteza ya dola za kimarekani bilioni 1.8 (Trilioni 2.9) kutokana na ukosefu wa ufanisi katika Bandari ya Dar-es-salaam.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 10:29 PM 2 comments:
Mamia waikimbia Congo.
Mamia wanatoroka maeneo ya vita Goma
kukimbilia usalama wao.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 11:10 AM No comments:
Fundisha Kiswahili Marekani.
You must meet the following minimum eligibility requirements in order to apply for this program for the 2013-2014 cycle (now open):
Earn a Bachelor’s degree by June 2012
Kama una vigezo hivyo, unaweza kuendelea kwa kugonga hapa.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 7:37 AM No comments:
Prof. Jay awa mwanachama wa Chadema, rasmi.
Prof. Jay akikabidhiwa kadi na Mbunge wa
Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi
Msanii maarufu wa muziki wa kizazi kipya nchini, Joseph Haule,"Prof. Jay), ametangaza rasmi kujiunga na chama kikubwa cha upinzani nchini, Chama Cha Deomokrasia na Maendeleo (CHADEMA.).
Alitoa kauli hiyo jana mjini Dodoma alipokwenda kuhudhuria moja ya vikao vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, vinavyoendela mjini humo.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 4:10 AM No comments:
Kamanda wa polisi atajwa, kifo cha kamanda Barlow, Mwanza.
Taarifa zilizozagaa hivi sasa katika mitandao zinadai kuwa
aliyekuwa kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza ameuawa na genge
ndani ya Polisi akiwemo Kamanda Polisi anayejulikana kwa jina la Muna.
Katika tovuti ya gazeti la Jamhuri, Deo Balile anaonekana kulalamikia gazeti hilo kununuliwa kwa jumla na watu wasiojulikana.
Kuvuja kwa siri hiyo kumetokana na mmoja wa jambazi sugu ajulikanaye kwa
jina la Edward Malele kujisalimisha ktk vyombo vya ulinzi na kutoa siri
Jambazi huyu aliombwa wa genge ndani ya polisi kushiriki katika mpango
wa kumwua kamanda Barlow. Akakataa kwa kuwa aliwahi kumfahamu kwa karibu
kamanda Barlow.
Baada ya kukataa kutekeleza agizo hilo baada ya siku chache alishtakiwa
kwa kosa la ujambazi na kuswekwa Rumande.
Akiwa huko ndani ya wiki moja alisikia habari za kifo cha kamanda
Barlow. Akajua akina na Muna aliowakatalia wamefanya kazi aliyoikataa
yeye. Na alijua yuko mahabusu kwa sababu ya kukataa mradi huo.
Baada ya kukaa huko muda mrefu bila shitaka kueleweka wala mshataki wake
huko Lupango walimua kumwaichia. Akagoma kutoka kwa sababu anajua kuwa,
kwa kuwa amepelekwa huko ili kuficha siri hivyo, akitoka lazima
atauawa. Baada ya muda akaamua kukubali kutoka lupango na kukimbilia
kituo cha JWTZ huko Mwanza.
Huko JWTZ Alijieleza vya kutosha na wanajeshi walimwonea huruma wakampa
Tsh 10,000/= ilie aende Bungeni huku wakiwa wamemkabidhi namba za simu
za wabunge 2 wa upinzani ili wamsaidie.
Kutokana na kutokuelewa kwake alipokuwa anashangaa shangaa katika eneo
la Bunge, alikamatwa na polisi wanalinda eneo hilo. Polisi hao wakapiga
simu Dodoma central na Mwanza. Haraka haraka mwanza wakataka arudishwe
mwanza kwa kuwa ni jambazi sugu.
Hata hivyo, kwa katika kurupushani hiyo taarifa zimeshameshamfikia Pinda
na Nchimbi ambapo gazeti linaripoti kuwa Pinda ameagiza kijana huyo
apewe ulinzi na asirudishwe mwanza.
Tarifa zaidi zinaema kuwa mpaka sasa amepelekwa kusiko julikana.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 3:10 AM 2 comments:
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 11:58 PM No comments:
Flaviana Matata na Fastjet katika kumbukumbu ya Mv Bukoba leo, Mwanza
Mwanamitindo wa kimataifa Flaviana Matata na fastjet watakuwa kwenye kumbukumbu ya waliofariki katika ajali ya MV Bukoba Mwanza, leo Jumanne tarehe 21 Mei.
Njoo ujumuike nasi katika kuwakumbuka wale waliopoteza maisha katika ajali hii, kukabiliana na changamoto na kubadilishana mawazo juu ya nini kifanyike katika kuhakikisha usalama wa usafiri wa majini.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 11:24 PM No comments:
Kumbukukumbu ya MV Bukoba
Tarehe kama ya leo (Mei 21) mwaka 1996 meli ya MV Bukoba ilizama katika Ziwa Victoria. Usiku wa kuamkia siku ya ajali, meli hiyo ilipakia abiria kati ya 750 na 800 pamoja na wafanyakazi 37. Kati ya hao, 114 waliokolewa wakiwa hai; wakati 391 waliopolewa wakiwa wamefariki na kuzikwa katika makaburi ya Igoma, nje kidogo ya Jiji la Mwanza.
Miili mingine ilichukuliwa na jamaa kuzikwa kwao. Jumla ya miili 332 haikupatikana. Kila mwaka, ifikapo Mei 21 tunawakumbuka waliopoteza maisha katika ajali hii. MV Bukoba ilijengwa na kampuni ya Kibelgiji na ilizinduliwa 27 Julai 1979. Mungu aendelee kuwalaza mahali pema peponi waliopoteza maisha na kuwafariji waliopotéza maràfiki na wanafamilia.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 10:06 PM No comments:
Rwanda imekuwa ikikana mara kwa mara tuhuma
kuwa inahusika na vita DRC
Rais wa Rwanda Paul Kagame alitoa mtazamo mkali wa ujumbe wa kulinda amani wa Umoja wa mataifa ulioko katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.
Kagame ameiambia BBC kwamba kikosi cha Umoja wa Mataifa cha askari elfu 20 kilichopelekwa miaka 14 iliyopita, hakijafanya lolote kutatua chanzo cha matatizo ya Congo na wakati mwingine kimeufanya mzozo huo kuwa mmbaya zaidi.
Amesema visa vya mapigano , ghasia, na watu kupoteza makaazi yao kulitishia usalama wa eneo zima.
Serikali ya rais Kagame imekana mara kwa mara tuhuma za Umoja wa mataifa na makundi ya kutetea haki za binadamu kwamba Rwanda inawasaidia wanamgambo mashariki mwa Congo.
Rais Kagame amesema kuwa kutumia nguvu kungesaidia ikiwa tu inekuwa inalenga kusaidia msimamo fulani wa kisiasa
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 11:59 AM No comments:
WAVAMIWA KWA KUMTANGAZA MUSEVENI
Polisi nchini Ugandan wamevamia ofisi za magazeti kufuatia taarifa kwamba Rais Yeweri Museveni anamuandaa mwanawe wa kiume kumrithi urais.
Vituo viwili vya Redio pia vamiwa na kuzimwa , hii ni kwa muujibu wa gazeti la serikali la New Vision.
Wiki iliyopita magazeti ya Uganda yalidai kuwa kuna njama za kuwaua wale watakao pinga mpango wa Rais Museveni kumuandaa mwanawe kuchukua madaraka ya Uganda.
Magazeti hayo yalidai kuwa mipango hiyo ya mauaji yalitolewa na Mkuu fulani wa jeshi la Uganda.
Bwana Museveni, ambaye amekuwa madarakani tangu 1986, anatarajiwa kung'atuka uongozini mwaka 2016.
Kwa muda mrefu kumekuwa na madai kwamba Museveni anamuandaa mwanawe Muhoozi Kainerugaba,ambaye ni brigadier jeshini kushikilia uongozi wa Uganda.
Lakini serikali ya Museveni imekanusha kwamba kuna mipango kama hiyo.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 11:34 AM No comments:
Mandhari ya Edo - Kawagoe nchini Japani.
Katika mfululizo wa makala za matembezi, leo tunatembelea nchini Japani.
Matembezi yanajikita katika mitaa ya mji wa Kawagoe inayodumisha mandhari ya Edo katika mkoa wa Saitama, ambapo unaweza kuona majengo mengi yaliyojengwa zaidi ya miaka 100 iliyopita.
Hili ni jengo la Osawa lililojengwa mwaka 1792.
Kwa miaka mingi lilitumika kama duka la viatu,
lakini siku hizi linatumika kuuza bidhaa za sanaa kwa ajili ya watalii.
Majengo mengi ya kuvutia ya mbao yenye ghorofa mbili yenye paa za vigae vyeusi, yamepangana katika mtaa ujulikanao kama Ichibangai-dori, unaoanzia kusini hadi kaskazini mwa mji.
Honmaru Goten, jengo kuu katikati mwa kasri la Kawagoe bado lipo.
Haya ni makazi ambayo mtawala wa eneo hilo alikuwa akifanya kazi na kuishi.
Mto huu ulikuwa ni njia muhimu ya usafiri wa majini kati ya Edo na Kawagoe.
Sehemu hii ilikuwa ni gati kubwa zaidi ya Kawagoe.
Viazi vitamu hulimwa Kawagoe, na kuna aina mbalimbali za viazi vitamu.
Imoyokan, au mgando wa rojo la viazi vitamu, hutengenezwa kwa kuchemsha viazi vitamu kwa mvuke, na baadaye kutengeneza mgando wa rojo hilo katika umbo la mche mstatili.
Makala yetu kwa leo inaishia hapa. Wiki ijayo tutaendelea kutembelea miji kadhaa ya Jani. Kama una maoni au lolote usisite kutuandikia. Pia unaweza kutuandikia ukiomba tutembelee wapi unapopenda wewe. Tukutane tena wiki ijayo,siku kama ya leo.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 8:17 AM No comments:
Jeshi la Congo lashambuliwa na M23, leo.
Jeshi la Congo DRC linasema kuwa leo limeshambuliwa na waasi wa M23 katika kijiji cha Muja na RUSAYO.
Msemaji wa jeshi la Congo Kivu kaskazini OLIVIER AMULI alisema kuwa hadi sasa mapigano yanaendelea katika Mbuga ya wanyama ya pori la Virunga kilometa 15 na Mji wa Goma.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 7:18 AM No comments:
GARI LA AFISA WA POLISI LAKUTWA NA MAGUNIA 18 YA BANGI MOSHI
Askari hao walikamatwa Mei 19 mwaka huu saa nne usiku eneo la Himo, Kilemapofu, Wilaya ya Moshi Vijijini wakiwa na magunia 18 ya bangi ambayo walikuwa wameyapakia kwenye gari la Mkuu wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) mkoani Arusha aina ya Toyota Land Cruiser lenye namba PT 2025.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 6:13 AM No comments:
"ME & MA FUTURE WIFE" - Diamond
Habari kutoka katika ukurasa wake wa facebook, mwanamuziki Nasseb Abdul maarufu kama Diamond Platnamz, zinassomeka kuwa huyo (pichani) ndiye mkewe mtarajiwa.
Hata hivyo maoni ya wasomaji wake wengi wameonekana kumkandia vilivyo kwa tabia yake ya kumtambulisha kila demu anayekuwa naye kuwa ndiye mkewe mtarajiwa! Watarajiwa wako wangapi?
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 5:28 AM No comments:
SOMA NORWAY!
fUngua University of Oslo
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 11:23 PM No comments:
"UDINI UNAOENDELEA NCHINI, UNA MKONO WA NJE! " -RAISI KIKWETE
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 6:57 AM No comments:
IRINGA HAPATOSHI NAKO!
Polisi wapiga mabomu ya machozi na kutawanya machinga.
Hii ni kufuatia machinga kurudi kwenye maeneo yaliyokatazwa kufanyia biashara.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 1:37 AM No comments:
USISEME KAVUMBAGU, SEMA....
Hadi dakika 90 zinamalizika Yanga ilikuwa inaongoza kwa holi 2 bil majibu kutoka kwa Yanga.
Dakika ya 63, Hamis Kiiza anaipatia Young Africans bao la pili - Young Africans 2 - Simba SC 0
Jamaa baada ya kumalizika kwa match hii, akakutwa analia maeneo ya Msimbazi..
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 7:08 AM 1 comment:
US PRESIDENT VISIT TO TANZANIA
President of Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete (left) shares
something with US President Barack Obama
Reports in the Nigerian press yesterday said President Obama would begin his second tour of Africa at the end of next month with visits to South Africa, Tanzania and Rwanda.
An information specialist in the embassy’s public affairs section, Ms Halima Mbaruku, said she was not aware of the visit. She said the embassy closes at 11am on Fridays.
“President Barack Obama of the United States is billed to begin his second tour of Africa at the end of June with visits to South Africa, Tanzania and Rwanda,” the influential News Day reported yesterday. “He will, however, make a stop-over in Nigeria, during which he will hold bilateral discussions with President Goodluck Jonathan and other top government officials.”
President Barack Obama’s trip to Africa next month may include Tanzania, but the government said yesterday that it has not been officially informed of the visit.
Foreign and International Cooperation minister Bernard Membe said they were aware of the US president’s tour but they had not been informed of his coming here.
“We are waiting for official confirmation on the visit,” he told The Citizen on Saturday in a text message.
In February 2008, Tanzania hosted his predecessor, Mr George W. Bush, who also visited Rwanda. Highlights of the successful state visit included signing of a $698 million grant under the Millennium Challenge Account arrangement.
Mid-last month, US Secretary of State John Kerry told a US congressional committee that President Barack Obama “will travel” to Africa. He offered no details regarding the timing and itinerary of the trip.
The visit comes amid growing concern in Washington about China’s role in sub-Saharan Africa, with pressure mounting for President Obama to pay more direct attention to the continent. As was the case in 2009, Mr Obama is unlikely to visit Kenya, where his father was born.
Africa specialists in the US say a visit to East Africa’s largest economy would not be possible as long as President Uhuru Kenyatta remains under indictment by the International Criminal Court.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 4:20 AM No comments:
MAAFA BAHARI YA HINDI
Watu watatu wakaazi wa Zanzibar wamepotea baharini baada ya boti yao waliokuwa wakitumia kwa ajili ya kazi ya kusafirisha mafuta ya magendo kupotea au kuzama katika bahari ya Hindi.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 9:32 AM No comments:
TAMKO LA JIDE WAKATI WA KESI YAKE NA JOE NA RUGE.
Nadhani baada ya hii, maswali yatapungua kama sio kuisha kabisa...Nafahamu kila mtu anasoma kwa wakati wake pengine hamkuona sababu nilizoelezea kwanini sijatoa waraka mwingine Tar 15 kama nilivyo ahidi.
Sababu ni kuwa mahakama imesema nisizungumzie hilo swala kwasasa, ambapo kesi bado iko mahakamani...Mpaka nitakapopewa ruhusa ya kuzungumza au kutozungumza tena
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 2:31 AM No comments:
NIGERIA BADO HALI SI SHWARI!
Vita vyashika kasi dhidi ya Boko Haram hali iliyoilazimu serikali kutoa amri ya kutotoka nje usiku katika jimbo la Adamawa nchini Nigeria.Jimbo hilo limeungana na mengine mawili ya kaskazini mashariki ya, Borno na Yobe, ambako serikali inasema kuwa wanajeshi wameanza oparesheni kubwa dhidi ya wapiganaji wa kiislamu wa kundi la Boko Haram .
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 1:59 AM No comments:
ALICHOANDIKA ZITTO KABWE KUHUSU USAFIRI WA RELI DAR
Ubinafsishaji wa usafiri wa reli Dar Es salaam - uk. 24 wa hotuba ya Waziri Mwakyembe " .... Wizara kupitia RAHCO itakamilisha mchakato wa kumpata mwekezaji na mwendeshaji wa huduma ya usafiri wa treni ya abiria katika jiji la Dar Es Salaam atakayetumia miundombinu ya reli iliyopo....."
Kwa nini serikali haikuanza Kwa kuwa na Shirika la Reli Dar Es Salaam kabla ya kwenda kwenye ubinafsishaji? Tumeshafanya tathmini ya ubinafsishaji wa awali wa usafiri wa reli nchini? Tumejifunza nini?
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 12:40 AM No comments:
TAZAMA HII!
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 11:36 AM No comments:
GESI YA TANZANIA
Serikali imeshauriwa kuongeza juhudi za utoaji wa taarifa za rasimali za gesi na nishati mbalimbali kwa wananchi, baada ya Tanzania kushika nafasi ya 27 kati ya nchi 58 za Africa katika usimamizi na utawala wa rasilimali hizo katika ripoti iliyotolewa na taasisi ya utafiti ya Revenue watch
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 9:52 AM No comments:
GHOROFA LAUA TENA DAR!
Gorofa linalojengwa katika eneo la Ilala Bungoni mtaa wa mafuriko jijini Dar es salaam bila kufuata sheria ya kuweka vizuizi kwa ajili ya usalama wa watu,imesababisha kifo cha mwanafunzi wa darasa la kwanza mwenye umri wa miaka 6 baada ya kupigwa na mbao yenye misumari iliyorushwa kutoka juu ya gorofa hilo na kufariki papo hapo.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 9:46 AM No comments:
AGNESS MASOGANGE:SIKWENDA SAUZI KUJIUZA!
VIDEO Queen wa Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’ (pichani) ameibuka na kusema kuwa hakwenda Afrika ya Kusini ‘Sauz’ kujiuza kama baadhi ya watu walivyompakazia
Akipiga stori na zaidi, Masogange ambaye iliwahi kuvuja video yake ya utupu mwaka jana, alifafanua kuwa picha mpya zinazodaiwa kuwa ni za nusu utupu zilizozagaa mtandaoni, zilisababishwa na ulevi na si kweli kwamba ni za kujiuza.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 8:01 AM No comments:
HATARIIIIIIIIII........NIGERIA!
Raisi wa Nigeria Goodluck Jonathan ametangaza hali ya hatari baada ya kutokea milipuko mitatu kwenye miji tofauti ya nchi hiyo.
Kwenye hoja yake anazilaumu jeshi haramu za kiislamu kwa milipuko hiyo ambayo imekuwa ikitokea kuanzia mwaka 2010.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 6:25 AM No comments:
DRC VITANI
Watu zaidi ya 33 wakiwemo wapiganaji Mayi Mayi 22 na askari tiifu kwa serikali 9 wamekufa katika mapigano makali yaliyo jitukiza huko Beni Kivu kaskazini ikiwa ni mashariki mwa Congo kilometa 80 na mpaka wa Uganda.
Tangu saa kumi za asubuhi wapiganaji Mayi Mayi waingia katika Mji wa Beni hasa kunako jeslo Moja la Mji huo la OZACAF na kuanza kupambana na jeshi la serikali ya Congo.
Mashiriki ya kiraia katika Muji huo imethibitisaha habari hizo nakusema kua kuna vile raia wengi walio pata majiraha ya risasi na kwa sasa wako hospitali.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 5:14 AM No comments:
JIDE VS KUSAGA...
MWANAMUZIKI Judith Wambura ‘Lady Jaydee’, juzi Jumatatu hatimaye yalimkuta baada ya kuibua simanzi nzito katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, Dar, alipofikishwa baada ya kufunguliwa kesi ya madai namba 29/2013 na mabosi wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba na Joseph Kusaga.
Hali katika mahakama hiyo iligubikwa na huzuni baada ya watu kumuona Lady Jaydee akiwasili eneo hilo sambamba na mumewe Gadner G Habash ambapo walifananishwa na wanandoa mastaa wa Marekani, Shawn Carter ‘Jay Z’ na Beyonce Giselle Knowles, walipotimba mishale ya saa 6:00 mchana.
Risasi Mchanganyiko liliwashuhudia mastaa hao wakiingia eneo hilo huku wakiwekewa ulinzi mkali kama ilivyo kawaida mahakamani kuhakikisha usalama wa watu.
Wawili hao waliongozana hadi chumba cha makarani ambapo walielezwa kesi inayomkabili mwanamuziki huyo na kupangiwa siku ya kesi ambayo ni Mei 27, mwaka huu.
Pia walitajiwa hakimu atakayeendesha kesi yao kuwa ni Athumani Nyamrani wa chumba namba 2 cha mahakama hiyo.
Baada ya kupewa utaratibu wa kesi hiyo walichomoka mahakamani na ndipo wakakutana na paparazi wetu aliyewasimamisha na kutaka kujua madai yaliyofunguliwa.
JAYDEE AAHIDI KUPAMBANA
Akizungumza na paparazi wetu, Lady Jaydee alisema: “Kesi inahusiana na masuala ya kimtandao, eti Ruge na Kusaga wanadai nimewachafua.
“Kwa leo sitaki kusema mengi, baada ya kupata fomu hizi sasa hivi tunampelekea mwanasheria wetu lakini kila kitu kitawekwa bayana Mei 27, kesi itakapotajwa mbele ya hakimu.
“Kama wameamua kupambana na mimi nitapambana kwa msaada wa Mungu.”
HOFU YA KUFILISIWA
Baadhi ya watu waliokuwa mahakamani hapo walionekana kumuonea huruma mwanamuziki huyo kwa jinsi alivyokuwa akihenya kwenye viunga vya mahakama hiyo huku akipishana na askari wenye silaha nzito.
Mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo alisikika akisema kesi hiyo inaweza kumpotezea muda mwingi na kumuathiri kisaikolojia kwani haijulikani hatima yake ni nini.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 2:44 AM No comments:
Born on 18 September 1994 in Zanzibar, Tanzania, Adam arrived at Chelsea as an Under-13 and can play either left-back or left-wing. It was the more defensive of those roles he filled as the FA Youth Cup was captured in 2012. He was joint-highest youth league appearance maker and played four games for the reserves in 2011/12, his first full-time season which led to a professional contract.
As a schoolboy he amassed 27 youth team appearances, and featured regularly during the 2011 FA Youth Cup run to the semi-final.
... Very quick, he bases his game on Ashley Cole, and enjoys taking players on.
In 2011/12, Nditi was a regular in the side as our youngsters lifted the FA Youth Cup.
This season, once again he's been heavily involved, playing regularly for the Under-21s, while also featuring in both the NextGen Series and FA Youth Cup campaigns.
His versatility means he can play either at left-back or in a more advanced position, which he has done this season, although he has only recently returned from injury.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 2:02 AM No comments:
SHOPS IN GERMANY...
Organic produce is a given in a lot of shops in Germany. But while demand is increasing, cultivation is lagging behind. Since Germany is failing to turn out enough organic products on its own, many of the products must be imported. Do you base your decision to buy food on whether it's organic or not? Or is the price more important? (csc) http://dw.de/p/18XPc
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 1:42 AM No comments:
ZITTO KABWE ON TALK.
"Waziri wa Viwanda na Biashara ameagiza mabadiliko ya kanuni katika Sheria ya Hakimiliki ili kuhakikisha kwamba Wasanii wa muziki hapa nchini wanapata mapato stahiki katika biashara ya #RBT . Mirahaba katika biashara ya miito ya simu na matangazo ya televisheni na radio Ni mapato muhimu sana Kwa wasanii. Angalau sasa tunaona Mwanga. Tutaendelea kuishinikiza serikali kulinda wasanii na Hakimiliki zao." amesam Zitto Kabwe katika ukurasa wake wa facebook, muda mfupi uliopita.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 1:28 AM No comments:
The Goodlyfe Crew Moze Radio na Weasel TV on BET tuzo 2013.
Wanakundi wa The Goodlyfe Crew Moze Radio na Weasel TV kutoka Uganda wamechaguliwa kuingia kwenye kinyang'anyiro cha tuzo ya "Best International Act-Africa" mwaka huu kwenye Black Entertainment Television (BET) Awards 2013. Tamasha la kutoa tuzo hizo litafanyika Nokia Theatre mji wa Los Angeles June 30, 2013.
Today, as part of our 4Afrika Initiative, we’re excited to announce another TV white spaces project – this time in Tanzania. We’re partnering with the Tanzania Commission for Science and Technology (COSTECH) and local internet service provider, UhuruOne, to provide affordable wireless broadband access to university students and faculty in Dar es Salaam.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 10:21 PM No comments:
M23 JISALIMISHENI...
SERIKALI YA CONGO IMEOMBA WAASI WA M23 KUJISALIMISHA KWA HARA KABLA HAWASHUGHULIKIWA NA JESHI LA UN MONUSCO HUKO DRC.
WAKATI HUOHUO MABALOZI 15 KUTOKA UMOJA WA AFRIKA UKIONGOZWA NA DR JORAM MUKAMA BISWARO UMETEMBELEA HUKO MASHARIKI MWADRC KUZITAZAMIA HALI HALISI YA KIUSALAMA.
Imewekwa na Justin Kasyome Saa 9:34 AM No comments:
Idadi ya wasomaji hadi sasa
KASYOME VS GOOGLE SEARCH
Watanzania nje ya Tanzania
BLOG NA MITANDAO MINGINE
MASAI NYOTA MBOFU
Global Idea Promotions (c) 2013
| 2017-12-17T07:44:26 |
http://kasyome.blogspot.com/
|
[
-1
] |
MAKAMU WA RAIS SAMIA AMUWAKILISHA RAIS MAGUFULI KUAGA MWILI WA KADUMA - MSUMBA NEWS BLOG
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na kuwapa pole Baadhi ya Wajukuu na Vitukuu vya Mwanasiasa Mkongwe Nchini Marehemu IBrahim Kaduma wakati wa shuhuli ya kuaga Mwili wa Mwanasiasa huyo leo Sept 03,2019 katika kanisa la KKKT Makongo Juu, Makamu wa Rais amemuwakilisha Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwenye Msiba huo
| 2019-11-17T10:13:05 |
http://www.msumbanews.co.tz/2019/09/makamu-wa-rais-samia-amuwakilisha-rais.html
|
[
-1
] |
NIKIFA DIAMOND ASISHIKE JENEZA LANGU- BABAAKE DIAMOND ~ Mzee wa matukio daima
Home » » NIKIFA DIAMOND ASISHIKE JENEZA LANGU- BABAAKE DIAMOND
NIKIFA DIAMOND ASISHIKE JENEZA LANGU- BABAAKE DIAMOND
DAR ES SALAAM: Siku chache baada ya msanii wa Bongo Fleva, Mwajuma Abdul ‘Queen Darleen’ kumchana baba yake mzazi ambaye pia ni baba wa msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Abdul Juma ‘Baba D’, mzee huyo ameibuka na kusema; “nikifa Queen Darleen asinizike na wala asiguse jeneza langu.”
Queen Darleen.
Stori: Erick Evarist, Amani
| 2018-06-22T19:09:15 |
http://www.matukiodaima.co.tz/2018/02/nikifa-diamond-asishike-jeneza-langu.html
|
[
-1
] |
JENIFFER KYAKA (ODAMA): J FIML 4 LIFE: MAZISHI YA MZEE EBBY SYKES KUFANYIKA LEO MAKABURI YA KISUTU, DAR
MAZISHI YA MZEE EBBY SYKES KUFANYIKA LEO MAKABURI YA KISUTU, DAR
Mwanamuziki Dully Sykes akihojiwa na wanahabari (hawapo pichani) huko msibani Kawe Beach jijini Dar.
Dully akilia kwa simanzi wakati akipewa pole na waombolezaji waliofika msibani Mbezi Beach, Dar leo mchana.
Dully akipewa pole na baadhi ya waombolezaji waliofika msibani leo.
Ebby Sykes enzi za uhai wake.
MAZISHI ya mwanamuziki mkongwe nchini ambaye ni baba mzazi wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Dully Sykes, Ebby Sykes yatafanyika leo saa 10 jioni katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam.
Mzee Sykes alifariki dunia jana mchana akiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa vidonda miguuni vilivyopelekea kueneza sumu katika mwili wake na kumsababishia mauti.
Kwa mujibu wa Dully, Mzee Sykes alikuwa akisumbuliwa na vidonda hivyo vilivyoshindwa kupona kutokana na kuvuta sigara. Lakini mbali na hilo hakuwa na tatizo lingine lolote.
Mzee Sykes amefariki akiwa na umri wa miaka 62 alizaliwa Februari 24, 1952. MWENYEZI MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MZEE SYKES MAHALI PEMA PEPONI.
Posted by JENNIFER KYAKA "ODAMA" at 2:28 PM
Tundu Lissu amepelekwa nyumbani kwake kupekuliwa - *Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu amepelekwa nyumbani kwake na Polisi kwa ajili ya kupekuliwa.* *Tundu Lissu anashi...
| 2017-08-23T09:51:47 |
http://odama1.blogspot.com/2015/02/mazishi-ya-mzee-ebby-sykes-kufanyika.html
|
[
-1
] |
MICHARAZO MITUPU: 02 July 2013
Paulinho atua Spurs, Adebayor akijiandaa kutoka
MSHAMBULIAJI Emmanuel Adebayor yupo mguu ndani mguu nje kuondoka katika klabu ya Tottenham Hotspur kuelekea timu ya Besiktas kupisha ujio wa kiungo toka Brazili, Paulinho kutoka Corinthians kutoa kwa klabu hiyo ya London ya Kaskazini.
Inaelezwa kuwa Spurs imemnasa Paulinho kwa kitita cha pauni Milioni 17 na kwa sasa inaelekeza nguvu zake zaidi kwa Roberto Soldado wa klabu ya Valencia ya Hispania, ili kumnasa huku ikiwa mbioni kumuuza strika toka Togo, Adebayor kwa timu ya Uturuki Besiktas.
Kocha wa Spurs Andre Villas Boas anamhitaji Soldado ili kusaidia na wakali wengine wa timu yake kabla ya kuanza kwa Ligi Kuu ya England mwezi ujao.
Inadaiwa kuwa Besiktas ipo tayari kutoa pauni Milioni 5 kumnyakua Adebayor mwenye miaka 29 ambaye alitua katika timu hiyo miaka miwili iliyopita na kulipwa mshahara wa pauni 80,000 kwa wiki kitu ambacho uongozi wa klabu hiyo unaona ni bora atimue zake kutokana na sheria mpya ya kodi nchini England.
Juu ya Soldado, Spurs imenukuliwa kuwa tayari kutoa kitita cha pauni milioni 15 wakati klabu hiyo ya Hispania imesisitiza kuwa bila pauni milioni 25 ambazo ni thamani ya mkali huyo inaweza kumkosa.
Rais wa Valencia, Amadeo Salvo Lillo alinukuloiwa akisema klabu yao inahitaji fedha kutatua matatizo kibao waliyonayo, lakini hawapo tayari kuwatoa wachezaji wao kwa bei chee.
Soldado, 28, amefunga jumla ya mabao 30 katika mechi 46 alizocheza kwa msimu uliopita na Spurs imejipanga kuhakikisha inamnyakua ili kuimarisha kikosi chao.
Sio kikapu tu hata soka najua! Obama akionyesha umahiri wake
IMEKUWA ikifahamika kuwa Rais wa Marekani Barack Obama ni mahiri katika mpira wa Kikapu na ndoto zake ilikuwa aje kucheza Ligi maarufu ya mchezao huo nchini mwake, NBA kabla ya upepo wa siasa haujamvuta na kumpeleka kuweka historia ya kuwa Rais wa kwanza mweusi nchini humo.
Hata hivyo kumbe sio kikapu tu hata soka analijua vyema kama pichani anavyoonekana akionyesha manjonjo yake mbele ya mwenyeji wake Rais Jakaye Kikwete ambaye naye ni mnazi mkubwa wa mchezop humo nchini na michezo kwa ujumla.
Rais Kikwete akimwangalia Obama wakati akipiga mpira danadana.OBAMA akionyesha uwezo wa kumiliki mpira kwa kupiga kichwa bila kutua chini wakati alipotembelea mitambo ya kufua umeme Ubungo jijini Dar es salaam muda mfupi kabla ya kuondoka nchini. Hapa akipiga danadana huku akishuhudiwa na Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete.
Mchungaji Mbeya afungwa miaka 30 kwa ubakaji
Vital'O ya Burundi yairithi Yanga taji la Kagame 2013
Mabingwa wapya wa Kagame Cup, Vital'o wakishangilia taji lao
TIMU ya soka ya Vital'o ya Burundi jana ilifanikiwa kutawazwa kuwa mabingwa wapya wa Kombe la Kagame wakiwarithi Yanga iliyokuwa bingwa mtetezi na kutokwenda kwenye michuano hiyo, baada ya kuilaza majirani zao APR ya Rwanda kwa mabao 2-0 katika mechi ya fainali.
Hilo ni taji la kwanza kwa timu hiyo katika historia ya michuano hiyo na ilifanikiwa kupata ushindi huo katika pambano kali lililochezwa kwenye uwanja wa El Fasher, Darfur nchini Sudan na kumaliza michuano hiyo bila kupoteza mechi yoyote.
Mabao ya washindi hao ambao waliing'oa timu nyingine ya Rwanda Rayon katika mechi ya nusu fainali yalitumbukizwa wavuni katika kipindi cha pili na Tambwe Amisi ambaye pia aliibuka mfungaji bora wa michuano hiyo kwa kufunga mabao 6 kabla ya dakika tatu baadaye Christian Mbirizi kuongeza la pili na kuzima ndoto za wapinzani wao waliokuwa wakiwania taji la nne.
Wawakilishi wa Tanzania Simba, Falcon ya Zanzibar na waliokuwa watetezi wa taji hilo, Yanga hawakwenda katika michuano hiyo kwa hofu ya kutokuwepo amani na kufanya michuano hiyo kukosa msisimko japo yalichezwa na kumalizika salama bila tukio lolote kama ilivyokuwa ikitangazwa na wanasiasa wa Tanzania.
Kaondoka Obama tumebaki na Bush
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais Mstaafu wa Marekani Mhe George W. Bush na Mkewe Laura na Mama Salma Kikwete wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wake wa marais wa Afrika Mashariki leo July 2, 2013 katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam. Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akifungua mkutano wa wake wa marais wa Afrika Mashariki leo July 2, 2013 katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam.
wakimsikiliza Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua mkutano wa wake wa marais wa Afrika Mashariki leo July 2, 2013 katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam. PICHA NA IKULU Posted by
Masoko Veterani yatangulia Fainali za Jimbo Cup- Kilwa
Kikosi cha Masoko Veterani kilichotangulia fainali za Jimbo Cup Kilwa Kusini
TIMU ya soka ya Masoko Veterani imefanikiwa kutinga fainali za michuano ya kuwania Ubingwa wa Jimbo la Kilwa Kusini 'Mbunge Cup' kwa kuidonyoa Kilwa Kisiwani kwa bao 1-0 katika mchezo wa nusu fainali uliochezwa jioni ya jana kwenye uwanja wa Shule ya Sekondari, Kilwa mkoani Lindi.
Bao hilo lililotimiza ahadi ya kocha wa Masoko Veterani, Abdallah Ahmad kwamba wangeilaza timu hiyo ya nyumbani kwao, lilitupiwa kimiani kwa kichwa na Said Mohammed aiyemalizia kazi nzuri iliyofanywa na Salum Teru.
Kocha huyo aliahidi mara baada ya timu yake kutinga hatua ya nusu fainali kwamba wangeinyuka Kisiwan anakotokea yeye na kutinga fainali ili kutimiza lengo la kuibuka mabingwa wa michuano hiyo iliyoandaliwa na kudhaminiwa na Mbunge wa Kilwa Kusini maarufu kama Bwege.
Katika pambano hilo la jana lililokuwa lenye upinzani na kosa kosa karibu muda wote, Masoko Veterani iliwakosa nyota wake kadhaa kama Shaaban Kassali na Yusuph Polisi waliopumzishwa na kocha wao ili kuwa tayari kwa mechi ya fainali itakayochezwa Jumamosi kati yao na mshindi wa mechi ya leo ya nusu fainali ya pili.
Nusu fainali hiyo ya pili itazikutanisha timu za Fresh Nigger dhidi ya Transpoters ambapo wadau wa soka wanaofuatilia michuano hiyo wametabiri litakuwa pambano kali zaidi ya lile la jana.
Akizungumza mara baada ya mchezo huo, kocha msaidizi wa Masoko, Cool Mudi, aliwaomba mashabiki wa timu yao kujitokeza kwa wingi kwenye mchezo wa fainali akiamini kwamba hakuna cha kuwazuia kutawazwa kuwa mabingwa wa michuano hiyo iliyoshirikia timu zaidi ya 10 kabla ya kufika hapo ilipo.
Obama amaliza ziara yake Bongo aacha gumzo
Barack Obama wa Marekani ameondoka nchini mchana huu kurudi nchini Marekani,baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili hapa nchini iliyoanza jana....
Rais Obama na mwenyezi wake Rais
Jakaka Kikwete,leo walifanya ziara ya kutembelea mitambo ya kuzalisha umeme ya Symbion iliopo Ubungo jijini Dar es Salaam na kuzindua rasmi mradi huo....
Tunapenda kuungana na Rais Jakaya Kikwete na watanzania wote wapenda amani katika kumshukuru Rais wa Marekani Barack Obama kwa kuichagua Tanzania...
Pia tunawapongeza watanzania wote kwa kuonyesha umoja wetu na hata kuzika itikadi zetu za kisiasa na hata kupelekea TV zaidi ya 1000 duniani na radio zaidi ya 3000 duniani kuitazama Tanzania. Posted by
Timu ya Kikapu ya UDSM ikijifua BAADHI ya wachezaji wa timu ya kikapu ya Chuo Kikuu UDSM wakijifua kwa mazoezi kwenye uwanja wao wa nyumbani wa Chuo Kikuu Mlimani-Dar es Salaam.
Njemba yaumbuka Sabasaba kwa kukwapua simu
KIBAKA ALIEIBA SIMU KATIKA BANDA LA VETA SIMU YA STAFFUWA VETA LEO
KIBAKA AMBAYE ALISHIRIKIANANA MWENZAKE KUIBA SIMULEO
KIBAKA ALIEIBA SIMU NAKUFANIKIWA KUKIMBIA LAKINI ALIBAMBWA LEO
AFISA WA NSSF AKITOA KITABUWATU MBALIMBALI WALIOTEMBELEABANDA HILOLEO
WASANIIWAKUNDI LA TOTI WAKIPOKEA VITABU KUTOKA KWA AFISA WA NSSF LEO
AKIONYESA BAADHI YUA VIKOMBE WALIVYOSHINDA AFISA WA NSSF WAKIWAFAHAMISHA WATU MBALIMBALI WALIOFIKAKWENYE BANDA HILO LEO
KIKUNDI CHA SACCOS WALIOPATA KUPITIA NSSF KIKUNDI CHA SACCOSICHA NSSF AMBAOWAMEFANIKIWA KUPAT MKOPO KUPITIA SACOSI WAKIWA NA DUKA LAO KIKUNDI CHA TOTI THEOPITA MICHAEL KUTOKA VETA HOTEL NA UTALII KUTOKANJIRO ARUSHA AKIMUONYESHA MKURUGENZIMKUU WA VETA ZEBADISH MOSH KULIA CHUPA YA WINE INAYOTENGENEZWA
NJIRO ARUSHA LEO
MKURUGENZI MKUU WA VETA ZEBADISH MOSH KUSHOTOAKIANGALI BAADHI NGUA ZINAZOTENGENEZWA PUGUKATIKA KIWANDA CHA TMBE KULIA NI ANGELA SAMUEL
Wanariadhaa Wa Dar wakijifua tayari kwa mashindano
Baadhi ya wanariadhaa wa jijini Dar es Salaam wakijifua kwenye viwanja vya Chuo Kikuu kujiandaa na mashindano mbalimbali.
Sio kikapu tu hata soka najua! Obama akionyesha um...
Vital'O ya Burundi yairithi Yanga taji la Kagame 2...
Masoko Veterani yatangulia Fainali za Jimbo Cup- K...
Timu ya Kikapu ya UDSM ikijifua
Wanariadhaa Wa Dar wakijifua tayari kwa mashindano...
Ubungo ipo hivi Obama akisubiriwa
Wakora wamkata binti mikono, kisa kinasikitisha
Julio kutupiwa virago Simba kama Kaseja
Mfalme Mswati aitimka zake kwao Swaziland
Arsenal yamnyakuwa kinda la kifaransa ni Yaya Sano...
Hivi ndivyo Rais Obama alivyopokelewa Tanzania
| 2017-03-29T17:16:00 |
http://micharazomitupu.blogspot.com/2013_07_02_archive.html
|
[
-1
] |
MHE. AIDA J. KHENANI: Mheshimiwa Mwenyekiti, kumekuwa na tafsiri na upotoshaji wa maana halisi ya viwanda vidogo. Tunaomba kupata tafsiri sahihi, maana ya viwanda na aina ya viwanda vinavyozungumziwa na Wizara husika ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji.
Mheshimiwa Mwenyekiti, kuna maeneo yana viwanda vingi na kuna maeneo ambayo hayana viwanda kabisa. Napenda kujua kigezo kinachotumika.
Mheshimiwa Mwenyekiti, suala la wawekezaji kukata tamaa ni vyema likaangaliwa upya kuhusiana na mazingira ya wawekezaji ili kukuza uchumi wetu. Aidha, ni vyema kama Taifa kuweka mazingira rafiki kwa wawekezaji wetu wanaotaka kuwekeza nchini.
Mheshimiwa Mwenyekiti, ni vyema umeme uwe na uhakika ili kuendesha viwanda na kuwapa wawekezaji nchini kuwa na uhakika na uwekezaji wao kwa kuwa kila mtu anawekeza ili apate faida, inapotokea changamoto ya umeme na maji wawekezaji wanaweza kukata tamaa.
Mheshimiwa Mwenyekiti, uanzishwaji wa kiwanda cha dawa ni muhimu sana kwani kukiwa na viwanda vingi vinavyozalisha dawa za binadamu kutasaidia Taifa na wananchi wa kawaida kwani bei itakuwa nafuu.
Mheshimiwa Mwenyekiti, nizungumzie kuhusu kuanzisha Kiwanda cha Mbolea. Mbolea inahitajika sana nchini lakini kumekuwa na changamoto.
Mheshimiwa Mwenyekiti, nashauri kutolewa semina elekezi kwa wafanyabiashara na TRA juu ya kulipa kodi badala ya hii hali ambayo inajitokeza sasa kwa kuonekana uadui mkubwa kati ya wafanyabiashara na TRA.
Mheshimiwa Mwenyekiti, hali ya sasa kiuchumi katika nchi yetu ni tete mno hasa kwa wananchi wa chini kabisa. Ni vyema kukawa na mazingira rafiki kwa wafanyabiashara wetu.
Mheshimiwa Mwenyekiti, suala la wafanyabiashara kuhama kutokana na changamoto wanazokutana nazo Serikali iweke utaratibu mpya utakaosaidia wafanyabiashara wetu.
| 2020-02-22T09:11:18 |
http://www.parliament.go.tz/polis/index.php/contributions/9029
|
[
-1
] |
DStv, Ngorongoro wafanikisha kupatikana timu ya taifa - MTAA KWA MTAA BLOG
Home MICHEZO DStv, Ngorongoro wafanikisha kupatikana timu ya taifa
Othman Michuzi February 17, 2019 MICHEZO,
Mashindano ya taifa ya Mbio za Nyika yaliyofanyika mwishoni mwa wiki mjini moshi kwa udhamini wa DStv na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, yamefanikisha uteuzi wa timu ya taifa itakayoshiriki mashindano ya dunia ya mbio za nyika yatakayofanika nchini Denmark mwishoni mwa mwezi Machi mwaka huu.
Akitangaza timu hiyo mara baada ya mashindano hayo ambayo yanaelezewa kuwa na washiriki wengi ukilinganisha na miaka ya nyuma, katibu mkuu wa shirikisho la riadha Tanzania Wilhelm Godabuday amesema mashindano ya mwaka huu yamekuwa na ufanisi mkubwa kwani yameshirikisha wanariadha wengi na pia kumekuwa na wanariadha wapya ambao wameonyesha uwezo mkubwa.
Timu hiyo ya taifa inajumuisha jumla ya wachezaji 28 katika Makundi manne ambapo kundi la kwanza ni wanaume wa umri wa zaidi ya miaka 18, la pili ni wanawake umri zaidi ya miaka 18, la tatu ni wavulana chini ya miaka 18 na la nne ni wasichana chini ya miaka 18
Wachezaji watakaokua katika kundi la wanaume weney umri wa zaidi ya miaka 18 ni Faraja Damas(Arusha), Joseph Panga(Arusha), Sylvester Marco (Arusha), Stephano Huche (Arusha), Deogratius Nade (Manyara), Yohane Elisante (Arusha) na Bazil Sule (Polisi)
Kwa upande wa wanawake katika kundi hilo ni Failuna abdi (Arusha), Magdalena Shauri (JKT)Anjelina Daniel (Arusha), Amina Mohamed (Arusha), Marselina Issa (Arusha) na Neema Msuad (Arusha).
Kundi la wavulana chini ya miaka 18 litakuwa na wachezaji saba ambao ni Michael Kishimba (Arusha), Daniel Sinda (Arusha) Emmanuel Joseph (Manyara) Francis Damiano (Mbulu), Saimon Francis (Arusha) na Nicodemo Joseph (Mbulu) wakati wasichana watakuwa ni Agnes Protus (Arusha), Anastazia Ndoromongo (Arusha) Aisha Luguna (Arusha) Sara Hiti (JKT) Gace Jackson (JKT) Noela Lemmy (Arusha na Catherine Philipo (Manyara).
Kambi hiyo itakuwa chini ya jopo la wataalamu nane wakiongozwa na Kocha wa riadha Meta Petro kutoka Klabu ya Riadha ya Rift Valley. wengine ni Anthony Mwingereza (JWTZ), Anrea Panga (JKT), Thomas Tlanka (Arusha) na Juma Jambau (Singida). Mwanariadha maarufu mstaafu Marcelina Gwandu ameteuliwa kua muangalizi (Matron) wa Kambi hiyo huku Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dr. Hamad Ndee akipewa jukumu la kuratibu mafunzo hayo
Akizungumza muda mfupi baada ya Mashindano hayo, Meneja Uhusiano wa MultiChoice Tanzania (DStv) Johnson Mshana, amesema kuwa DStv imekuwa ikishiriki kwa muda mrefu sasa katika kuinua mchezo wa riadha hapa nchini na kwamba ushiriki wao katika kufanikisha mashindano hayo ni katika mkakati wake endelevu wa kuhakikisha kuwa vipaji vya wanariadha wetu vinakuzwa na hatimaye kuweza kuliletea taifa medali katika mashindano ya kimataifa.
“Tuna mkakati kabambe wa ‘Ni Zamu Yetu’ ambao lengo lake kubwa ni kuhakikisha kuwa wimbo wetu wa taifa unapigwa katika michuano ya Olympic – hii ikimaanisha kuhakikisha kuwa nchi yetu inapata medali katika mashindano hayo makubwa “ alisema Mshana na kuongeza kuwa kwa kufanya hivyo pia kutaifanya riadha kuwa moja ya vyanzo vikubwa vya ajira na kipato kwa wanariadha na taifa kwa ujumla huku pia ukiwa ni ulingo mzuri wa kuitangaza nchi yetu kimataifa.
Timu hiyo ya taifa itaweka kambi jijini Arusha kwa ajili ya maandalizi ya mashindano ya dunia kambi ambayo inafadhiliwa na DStv na Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro.
Wanariadha wa kundi la wanaume wenye umri wa zaidi ya miaka 18 wakicuana vikali katika mashindano ya taifa yam bio za nyika yaliyofanyika Moshi mwishoni mwa wiki. Mashindano hayo yamezalisha timu itakayoliwakilisha taifa kwenye mashindano ya dunia ya mbio yatakayofanyia kwishoni mwa mwezi Machi nchini Denmark. Mashindano hayo yalidhaminiwa na DStv na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
Meneja Uhusiano wa MultiChoice Tanzania Johsnon Mshana (Kushoto) akizungumza wakati wa kutangazwa kwa timu ya taifa yam bio za nyika mjini Moshi. Timu hiyo imetangazwa baada ya mashindano ya taifa yam bio za nyika yaliyofanyika Moshi mwishoni mwa wiki. Mashindano hayo ndiyo yaliyozalisha timu itakayoliwakilisha taifa kwenye mashindano ya dunia ya mbio hizo yatakayofanyia kwishoni mwa mwezi Machi nchini Denmark. Mashindano hayo yalidhaminiwa na DStv na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
Wanariadha wa kundi la wavulana wenye umri wa chini ya miaka 18 wakikata mbuga wakati wa mashindano ya taifa ya mbio za nyika yaliyofanyika Moshi mwishoni mwa wiki. Mashindano hayo yamezalisha timu itakayoliwakilisha taifa kwenye mashindano ya dunia ya mbio hizo yatakayofanyia kwishoni mwa mwezi Machi nchini Denmark. Mashindano hayo yalidhaminiwa na DStv na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
Mwanariadha kinda ambaye pia ni balozi maalum wa DStv Francis Damiano damasi (mwenye namba 074) akiongoza katika kundi la wavulana wenye umri wa chini ya miaka 18 wakati wa mashindano ya taifa ya mbio za nyika yaliyofanyika Moshi mwishoni mwa wiki. Mashindano hayo yamezalisha timu itakayoliwakilisha taifa kwenye mashindano ya dunia ya mbio hizo yatakayofanyia kwishoni mwa mwezi Machi nchini Denmark. Mashindano hayo yalidhaminiwa na DStv na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro. Wengine ni Katibu mkuu wa shirikisho la riadha tanzania Wilhelm Gidabuday(kulia) na Makamu rais wa shirikisho la riadha Tanzania
DStv, Ngorongoro wafanikisha kupatikana timu ya taifa Mashindano ya taifa ya Mbio za Nyika yaliyofanyika mwishoni mwa wiki mjini moshi kwa udhamini wa DStv na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, yamefanikisha uteuzi wa timu ya taifa itakayoshiriki mashindano ya dunia ya mbio za nyika yatakayofanika nchini Denmark mwishoni mwa mwezi Machi mwaka huu. Akitangaza timu hiyo mara baada ya mashindano hayo ambayo yanaelezewa kuwa na washiriki wengi ukilinganisha na miaka ya nyuma, katibu mkuu wa shirikisho la riadha Tanzania Wilhelm Godabuday amesema mashindano ya mwaka huu yamekuwa na ufanisi mkubwa kwani yameshirikisha wanariadha wengi na pia kumekuwa na wanariadha wapya ambao wameonyesha uwezo mkubwa. Timu hiyo ya taifa inajumuisha jumla ya wachezaji 28 katika Makundi manne ambapo kundi la kwanza ni wanaume wa umri wa zaidi ya miaka 18, la pili ni wanawake umri zaidi ya miaka 18, la tatu ni wavulana chini ya miaka 18 na la nne ni wasichana chini ya miaka 18 Wachezaji watakaokua katika kundi la wanaume weney umri wa zaidi ya miaka 18 ni Faraja Damas(Arusha), Joseph Panga(Arusha), Sylvester Marco (Arusha), Stephano Huche (Arusha), Deogratius Nade (Manyara), Yohane Elisante (Arusha) na Bazil Sule (Polisi) Kwa upande wa wanawake katika kundi hilo ni Failuna abdi (Arusha), Magdalena Shauri (JKT)Anjelina Daniel (Arusha), Amina Mohamed (Arusha), Marselina Issa (Arusha) na Neema Msuad (Arusha). Kundi la wavulana chini ya miaka 18 litakuwa na wachezaji saba ambao ni Michael Kishimba (Arusha), Daniel Sinda (Arusha) Emmanuel Joseph (Manyara) Francis Damiano (Mbulu), Saimon Francis (Arusha) na Nicodemo Joseph (Mbulu) wakati wasichana watakuwa ni Agnes Protus (Arusha), Anastazia Ndoromongo (Arusha) Aisha Luguna (Arusha) Sara Hiti (JKT) Gace Jackson (JKT) Noela Lemmy (Arusha na Catherine Philipo (Manyara). Kambi hiyo itakuwa chini ya jopo la wataalamu nane wakiongozwa na Kocha wa riadha Meta Petro kutoka Klabu ya Riadha ya Rift Valley. wengine ni Anthony Mwingereza (JWTZ), Anrea Panga (JKT), Thomas Tlanka (Arusha) na Juma Jambau (Singida). Mwanariadha maarufu mstaafu Marcelina Gwandu ameteuliwa kua muangalizi (Matron) wa Kambi hiyo huku Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dr. Hamad Ndee akipewa jukumu la kuratibu mafunzo hayo Akizungumza muda mfupi baada ya Mashindano hayo, Meneja Uhusiano wa MultiChoice Tanzania (DStv) Johnson Mshana, amesema kuwa DStv imekuwa ikishiriki kwa muda mrefu sasa katika kuinua mchezo wa riadha hapa nchini na kwamba ushiriki wao katika kufanikisha mashindano hayo ni katika mkakati wake endelevu wa kuhakikisha kuwa vipaji vya wanariadha wetu vinakuzwa na hatimaye kuweza kuliletea taifa medali katika mashindano ya kimataifa. “Tuna mkakati kabambe wa ‘Ni Zamu Yetu’ ambao lengo lake kubwa ni kuhakikisha kuwa wimbo wetu wa taifa unapigwa katika michuano ya Olympic – hii ikimaanisha kuhakikisha kuwa nchi yetu inapata medali katika mashindano hayo makubwa “ alisema Mshana na kuongeza kuwa kwa kufanya hivyo pia kutaifanya riadha kuwa moja ya vyanzo vikubwa vya ajira na kipato kwa wanariadha na taifa kwa ujumla huku pia ukiwa ni ulingo mzuri wa kuitangaza nchi yetu kimataifa. Timu hiyo ya taifa itaweka kambi jijini Arusha kwa ajili ya maandalizi ya mashindano ya dunia kambi ambayo inafadhiliwa na DStv na Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro. Caption: Photo 1: Wanariadha wa kundi la wanaume wenye umri wa zaidi ya miaka 18 wakicuana vikali katika mashindano ya taifa yam bio za nyika yaliyofanyika Moshi mwishoni mwa wiki. Mashindano hayo yamezalisha timu itakayoliwakilisha taifa kwenye mashindano ya dunia ya mbio yatakayofanyia kwishoni mwa mwezi Machi nchini Denmark. Mashindano hayo yalidhaminiwa na DStv na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Caption: Photo 1.1: Meneja Uhusiano wa MultiChoice Tanzania Johsnon Mshana (Kushoto) akizungumza wakati wa kutangazwa kwa timu ya taifa yam bio za nyika mjini Moshi. Timu hiyo imetangazwa baada ya mashindano ya taifa yam bio za nyika yaliyofanyika Moshi mwishoni mwa wiki. Mashindano hayo ndiyo yaliyozalisha timu itakayoliwakilisha taifa kwenye mashindano ya dunia ya mbio hizo yatakayofanyia kwishoni mwa mwezi Machi nchini Denmark. Mashindano hayo yalidhaminiwa na DStv na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Caption: Photo 2: Wanariadha wa kundi la wavulana wenye umri wa chini ya miaka 18 wakikata mbuga wakati wa mashindano ya taifa ya mbio za nyika yaliyofanyika Moshi mwishoni mwa wiki. Mashindano hayo yamezalisha timu itakayoliwakilisha taifa kwenye mashindano ya dunia ya mbio hizo yatakayofanyia kwishoni mwa mwezi Machi nchini Denmark. Mashindano hayo yalidhaminiwa na DStv na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro Caption: Photo 3: Mwanariadha kinda ambaye pia ni balozi maalum wa DStv Francis Damiano damasi (mwenye namba 074) akiongoza katika kundi la wavulana wenye umri wa chini ya miaka 18 wakati wa mashindano ya taifa ya mbio za nyika yaliyofanyika Moshi mwishoni mwa wiki. Mashindano hayo yamezalisha timu itakayoliwakilisha taifa kwenye mashindano ya dunia ya mbio hizo yatakayofanyia kwishoni mwa mwezi Machi nchini Denmark. Mashindano hayo yalidhaminiwa na DStv na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro. Wengine ni Katibu mkuu wa shirikisho la riadha tanzania Wilhelm Gidabuday(kulia) na Makamu rais wa shirikisho la riadha Tanzania
| 2019-08-19T11:01:07 |
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2019/02/dstv-ngorongoro-wafanikisha-kupatikana.html
|
[
-1
] |
Upande wa nyumba unapangishwa sinza mori! | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Upande wa nyumba unapangishwa sinza mori!
Discussion in 'Matangazo madogo' started by NET JOBS, Aug 2, 2012.
Upande wa nyumba unapangishwa Sinza Mori, 1 bedroom, 1 sitting room, kitchen, bathroom/toilet na kabaraza kadogo ka kupumzikia. Inafaa pia kwa ofisi ndogo ndogo kama za NGOs nk.
Malipo ni elfu 30 (Tsh 30,000) kwa siku. Malipo kwa kila siku, wiki au Mwezi yanakubalika.
Inafaa kwa watu wenye kutaka mkataba wa muda mfupi kimakazi au kiofisi.
Maombi yote yatumwe kupitia email: [email protected]
Mh 30,000. per day kwa mwezi ni shs ........?
Mh 30,000. per day kwa mwezi ni shs ........?Click to expand...
Ni hesabu ya wazi kabisa, ndio maana inafaa wale wenye kipato cha uhakika kwa siku, wiki au mwezi! Upo sawa, ni elfu thelathini kwa siku moja.
dah...haya
Mkuu kwa mwezi ni laki tisa tu.
Kumbuka ipo Sinza. Huko ndipo alipokuwa anaishi kanumba.
laki tisa kwa mwezi,
nahic ntaendelea kubaki huku kijijin kwe2
Kumbuka ipo Sinza. Huko ndipo alipokuwa anaishi kanumba.Click to expand...
"anaishi kanumba"!! Najua mimi siwezi hzo gharama, ila hicho kigezo ulichotumia kwenye "theory" za uchumi hakipo. Ina maana angekuwa haishi kanumba bei ingekuwa tofauti?
"anaishi kanumba"!! Najua mimi siwezi hzo gharama, ila hicho kigezo ulichotumia kwenye "theory" za uchumi hakipo. Ina maana angekuwa haishi kanumba bei ingekuwa tofauti?Click to expand...
ukiishi uwe makini na brain konkasheni
wabongo sasa hii too much, kwa siku alfu 30 khaaaaaaaaaaaaaaaa
teh teh teh kaaaaaaaaaazi kweli kweli, Kuna haja ya kuanza kuwatoza hawa watoa matangazo
Mkuu kwa hiyo bei unauwa.... Me nna nyumba inapangishwa victoria.... Ipo kwenye eneo kubwa.... Inafaaa kwa ofice.... Ina vyumba vitatu viwili master. Sitting room. Dining room na jiko. Ipo kwenye eneo tulivu na salama.. Bei kwa mwezi milion 2!!!
sio siri hiyo bei ni kubwa, na ukubwa bei hiyo umesababishwa na kuitathimini kama sehemu ya biashara pia, naamini ingekuwa ni makazi tu, bei ingekuwa chini kidogo!
jamani ni sinza kumbukeni ... alafu maeneo ya mori... - 0 people likes
Dah...Na haka ka mshahara ka laki mbili na arobaini.. Ngoja nijifiche huku chochoroni!
Kama ina quality ya family suite sio mbaya, maana ukienda hoteli huezi pata kwa bei hiyo ukiwa na kakid kako na wife it still pays. kwa makazi ya muda mrefu nadhan hailipi.
mkuu hapa umeongea ugoro,
milioni 2 kwa mwezi!!!
Makumbusho said:
Mkuu kwa hiyo bei unauwa.... Me nna nyumba inapangishwa victoria.... Ipo kwenye eneo kubwa.... Inafaaa kwa ofice.... Ina vyumba vitatu viwili master. Sitting room. Dining room na jiko. Ipo kwenye eneo tulivu na salama.. Bei kwa mwezi milion 2!!!Click to expand...
sema nyumba upande inakodishwa sio kupangishwa,
Kama ni kwa bei ya kukodi ni sawa.
na kama ni kukodishwa , je ni apartment ? kwa maana ipo full furnished?
NET JOBS said:
ukiishi uwe makini na brain konkasheniClick to expand...
makubwa, nimecheka mwenyewe hadi wata wananishangaa huyu bwana vp anajichekea hovyo!
Hivi unakuwa unapanga nyumba yenye furniture au ndo kwanza ulete furniture zako? Kama haina furniture sahau kabisa kupata mtu wa kupanga hapo!
We unafikiria kwa mfano mtu anakuja ana nia ya kupanga for two weeks na ni wa mkoani yupo mjini kikazi ataishi vp ukizingatia hajaja na furniture wala hana mpango wa kununua.?usitamke laki tisa kirahsi hvyo huo ni mshahara wa walimu wawili wenye degree.
Kumbukeni ipo Sinza Mori...
| 2017-07-28T13:20:03 |
https://www.jamiiforums.com/threads/upande-wa-nyumba-unapangishwa-sinza-mori.301738/
|
[
-1
] |
MAFUNZO YA JINSIA KWA WAANDISHI WA HABARI KANDA YA ZIWA YAFIKIA YAFUNGWA MWANZA | MALUNDE 1 BLOG
Home » habari » MAFUNZO YA JINSIA KWA WAANDISHI WA HABARI KANDA YA ZIWA YAFIKIA YAFUNGWA MWANZA
MAFUNZO YA JINSIA KWA WAANDISHI WA HABARI KANDA YA ZIWA YAFIKIA YAFUNGWA MWANZA
Malunde Monday, May 20, 2019
Naye Maridhia Ngemela kutoka Radio Iqra FM ya jijini Mwanza aliyeshiriki kwenye mafunzo hayo alisema changamoto kubwa katika uandaaji wa habari na makala kwa kuzingatia jinsia ni baadhi ya wanawake kutokuwa tayari kutoa ushirikiano kama ilivyo kwa wanaume hivyo ni vyema elimu ikaendelea kutolewa ili kuondoa hali hiyo.
Baadhi ya washiriki wakisikiliza kwa umakini jambo kwenye mafunzo hayo
Imechapishwa na Malunde at Monday, May 20, 2019
| 2019-12-07T07:06:51 |
https://www.malunde.com/2019/05/jinsia-misa-tanzania.html
|
[
-1
] |
Reli za Tramu zifunguliwe katika Mtaa wa Duzce Istanbul - RayHaber
NyumbaniTURKEYMkoa wa Bahari ya Black81 Duzce UturukiTramu Reli Kwanza kuwa Dismantled katika Duzce Istanbul Street
08 / 10 / 2019 Levent Elmastaş 81 Duzce Uturuki, RAILWAY, GENERAL, Mkoa wa Bahari ya Black, KENTİÇİ Reli Systems, HEADLINE, TURKEY, tram 0
reli za tramu zitaletwa kwanza katika barabara ya duzce istanbul
Meya wa Düzce, aliyeandaa mradi wa Mtaa wa Istanbul. Faruk Özlü, alisukuma kifungo kwa utekelezaji wa mradi huo mpya. Mradi mpya wa barabara tatu barabarani kwanza utaondoa reli za tramu. Kwa hili, barabara itafungwa trafiki kutoka 8: 22: 00 hadi 10: 00: 00:
65. Waziri wa Sayansi ya Serikali, Teknolojia ya Viwanda na Meya wa Düzce Faruk Özlü alishinikiza kifungo kwa utekelezaji wa mradi ulioandaliwa kwa Mtaa wa İstanbul.
Manispaa ya Duzce inaanza kufanya kazi katika mradi huo mpya unaotekelezwa katika Mtaa wa Istanbul. Reli za tramu zitaondolewa kwanza kwa utekelezaji wa mradi mpya, ambao ni pamoja na trafiki ya gari, watembea kwa miguu na watumiaji wa baiskeli mitaani. Kaimu suala hilo katika hatua halisi ya Manispaa ya Düzce, Ofisi ya Polisi ya Idara ya Trafiki ya Idara ya Trafiki ya Düzce iliandika.
Reli za tramu zitaondolewa kwanza kwa utekelezaji wa mradi mpya wa njia tatu barabarani. Imeandikwa katika barua rasmi juu ya kazi inayopaswa kufanywa kwa njia ya baiskeli iliyopangwa kufanywa upande wa kushoto wa mtiririko wa barabara, taarifa zifuatazo zilipewa: "Kwa kuwa barabara hiyo itapangwa na kazi ya kukarabati barabara ya Düzce Merkez, Mtaa wa İstanbul na manispaa, barabara inaanza kutoka 08 / 10 / 2019 tarehe na wakati wa 22: 00 10 / 10 / 2019 tarehe na wakati 00: Tunaomba ifunge hadi 00 (09 / 10 / 2019 ifungwe siku nzima Jumatano na kufunguliwa kwa trafiki usiku 00: 00). "
Manispaa ya Düzce ilisema kuwa kazi mitaani itakamilika kati ya tarehe zilizoainishwa katika nakala hiyo, shukrani kwa wananchi ambao walikuwa nyeti wakati wa kazi.
Düzce Istanbul Street nostalgic tram zabuni 04 / 08 / 2017 Pedestrian Street katika Beyoglu, Istanbul Project, zabuni nostalgic tram itakuwa pigo hewa ulifanywa maarufu Istiklal Caddesi. Reli injini na zabuni kwa ajili ya gharama ya trams manispaa yatafanyika tofauti 1 700 milioni elfu. Düzce Meya Mehmet Keles, moja ya kazi ya mradi mwanafunzi ni kwenda kuwa pedestrianized mitaani katika Istanbul. kuwa waongofu katika kituo cha manunuzi wazi hewa itatoa uliopangwa hewa mitaani Istiklal Caddesi alikuwa zabuni nostalgic tram. lakini ndoto ya madiwani kutoka miaka takriban 20 uamuzi unimplemented ya kutekeleza mradi Duzce Meya Mehmet Keles, 'Jubilee mimi itakuwa kusema' 4 mitaani imefungwa kwa trafiki katika Julai. ...
Tani elfu za 25 za lami zitamwagwa kwenye barabara za Bornova 23 / 02 / 2015 Tani elfu za 25 za lami zitatumwa kwenye barabara za Bornova: Manispaa wa Bornova wa Izmir alichukua hatua ya upya barabara katika wilaya. Ili kurejesha barabara zilizopotea, manispaa alianza maandalizi ya tani elfu za 20 za kutengeneza zabuni ya lami ya moto na kurejesha barabara ya kilomita ya 15 kutoka juu hadi chini kama hali ya hewa inapata moto. Tani elfu za 5 katika zabuni tofauti na patches zitafanywa kwa pointi mbalimbali. Majambazi yatafikia kilomita 4. Manispaa ya Bornova, tani elfu za 25 za lami kama utafiti maalum huamua juu ya barabara ambazo zitatumika. Mbali na uamuzi uliofanywa na timu za manispaa, mahitaji ya wananchi na mahitaji ya muhtars yatachukuliwa kuzingatiwa. Mukhtars inahitajika kwenye somo ...
Katika Düzce, Istanbul Caddesi itahamishiwa kwenye mfumo wa reli 19 / 07 / 2012 Meya wa Düzce Ismail Bayram, Anwani ya Istanbul baada ya kufungwa kwa trafiki kwenye mfumo wa reli, alisema mabadiliko. Tutaenda hatua kwa hatua, Bayram alisema Bayram. İsmail Bayram tathmini ya kazi juu ya kufungwa kwa Anwani ya Istanbul na matumizi ya marufuku ya maegesho. Katika hotuba yake kuhusu mradi huo, Mwenyekiti alisema, eyi Mradi wetu ni kufunga barabara katika trafiki na kufunga mfumo wa reli. Ili kufikia hatua hii tumesema kwamba tutaenda hatua ya hatua. Tuliomba marufuku ya maegesho. Sasa tunafanya maandalizi mazuri ya programu moja ya strip. Bila shaka, wote wanahitaji uwekezaji mpya. Masomo ya baadaye ya masomo ya mfumo wa reli. Mpangilio huo ni afya O
Duzce Street ya Istanbul Ilifunguliwa kwenye Trafiki ya Gari 04 / 12 / 2018 Takribani miaka 1.5 iliyopita 'Mradi wa Pedestrianization' Anwani ya Istanbul imefungwa kwa njia ya magari asubuhi hii, trafiki ilifunguliwa tena ili kufungwa asubuhi hii. Dursun Ay, Meya wa Düzce, ambayo tulipokea habari kwa simu, alielezea kwamba barabara ilirejeshwa kwa uamuzi wa Tume ya Mkoa wa Traffic. Uamuzi huo umesisitiza kwamba mahitaji makubwa kutoka kwa umma kuelekea ufunguzi wa trafiki ni athari. Maendeleo yaliyotarajiwa kwa miezi akawa rasmi na uamuzi wa "Tume ya Mkoa wa Traffic". Kufunguliwa tena kwa trafiki-itaendelea kufunguliwa kwa miezi, majadiliano yanaendelea mwezi huu, Anwani ya Istanbul ilifunguliwa tena ili kupitisha gari. Maelezo kutoka kwa Rais Dursun Ay, Meya wa Düzce, ambaye tulipokea habari kwa simu, alisema,
Njia ya Baiskeli Kujengwa kwa Kuondoa Reli za Tram huko Düzce 07 / 08 / 2019 Manispaa ya Düzce, Mtaa wa Istanbul alitoa taarifa kuhusu mradi huo ulioandaliwa. Kwa hivyo, hatima ya muda mrefu ya barabara ikawa dhahiri. Katika wigo wa mradi huo, utafiti utafanywa ili kuhamasisha utumiaji wa baiskeli badala ya kuendesha gari katikati ya jiji. Waziri wa Sayansi, Viwanda, Teknolojia na Meya wa Düzce Katika siku ya kwanza ya kuteuliwa kwake, Faruk Özlü aliweka hatua za nidhamu za fedha na kutoa kipaumbele kwa udhibiti wa bajeti. Katika kipindi cha uchaguzi, Rais Özlü, ambaye aliweka mikono yake kwa miradi mingi ambayo aliongea, alisukuma kitufe cha kupanga upya Mtaa wa Istanbul katikati mwa jiji. Meya Özlü, ambaye aliwasiliana mara kwa mara na wafanyabiashara wa kikanda, raia na wawakilishi wa NGO, alisema,
Tani elfu za 25 za lami zitamwagwa kwenye barabara za Bornova
Duzce Street ya Istanbul Ilifunguliwa kwenye Trafiki ya Gari
Njia ya Baiskeli Kujengwa kwa Kuondoa Reli za Tram huko Düzce
Duzce Street Istiklal itapiga hewa
Anwani ya Bursa Tramway itaongezwa kwa Siteler na njia ya Tayyareci Mehmet Ali na Selçukbey
"Nyekundu" Chanzo cha Rangi za Nostalgic Tram kwenye Anwani ya Istiklal
Uendeshaji wa Mpangilio wa Tram ya Anwani ya Anwani ya Istanbul
| 2019-10-22T22:12:39 |
https://sw.rayhaber.com/2019/10/reli-za-tramu-zitaletwa-kwanza-katika-barabara-ya-duzce-istanbul/
|
[
-1
] |
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli Apokea Hati za Utambulisho Kutoka Kwa Mabalozi wa Nchi Tatu Ikulu Jijini Dar es Salaam leo 25/102017. - ZanziNews
Home KITAIFA MATUKIO Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli Apokea Hati za Utambulisho Kutoka Kwa Mabalozi wa Nchi Tatu Ikulu Jijini Dar es Salaam leo 25/102017.
Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli Apokea Hati za Utambulisho Kutoka Kwa Mabalozi wa Nchi Tatu Ikulu Jijini Dar es Salaam leo 25/102017.
| 2019-03-19T23:37:25 |
http://www.zanzinews.com/2017/10/rais-wa-jamuhuri-ya-muungano-wa_84.html
|
[
-1
] |
Serikali yataja sababu ya kufa kwa viwanda Zanzibar, yaahidi kuvifufua upya - Zanzibar24
Serikali yataja sababu ya kufa kwa viwanda Zanzibar, yaahidi kuvifufua upya
December 5, 2018 Wahida
Wajumbe wa baraza la Wawakilishi wameiomba Serikali ya Mapinduzi Zanzibar iwaruhusu wawekezaji wandani na nje ya nchi kuanzisha viwanda ili kuwapatia wananchi ajira pamoja na kuongeza pato la nchi.
Akijibu swali lililoulizwa na Mwakilishi wa Jimbo la Mfenesini Machana Othman Said Naibu Waziri wa Biashara na Viwanda Hassan Khamis Hafidh amesema Serikali ipo kwenye mpango Wa kuvifufua viwanda vilivyokufa na kuwapa wawekezaji kuekeza kwenye maeneo hayo ili kuweza kuzalisha bidhaa kwalengo la kuleta maendeleo.
Amesema zipo sababu nyingi zilizosababisha kufa kwa viwanda vilivyokuwepo hapo awali Zanzibar hivyo kwasasa Serikali imejipanga kuhakikisha ujio wa viwanda vipya na kukabiliana na changamoto zote zilizopelekea kufa kwa viwanda vya mwanzo.
Mapema akizitaja sababu hizo ni kukosekana umeme wa uhakika, usumbufu wa huduma za meli kutokana na kasoro za bandari na ufinyu wa biashara Zanzibar,Ugumu wa kupata maeneo muwafaka kwa ajili ya viwanda na ukosefu wa miundombinu katika maeneo huru pamoja na tija kwa vijana walioajiriwa katika miradi.
Hata hivyo Hassan amesema mchakato wa kurejesha maeneo yaliyotajwa Serikalini unaendelea kwa kuanzia kiwanda cha Cotex hivyo Wizara ya Biashara na Viwanda,Wizara ya Ardhi,Nyumba,Maji na Nishati pamoja na Wizara ya Fedha na Mipango walikaa pamoja kwa ajili ya kufanya tathmini ya kiwanda hicho.
← SMZ kuja na mpango wa ujenzi wa nyumba za kisasa Unguja na Pemba
Harmonize na Rayvany waamua kufunga mwaka kwa wimbo mpya →
| 2019-05-21T15:35:20 |
http://zanzibar24.co.tz/serikali-yataja-sababu-ya-kufa-kwa-viwanda-zanzibar-yaahidi-kuvifufua-upya/
|
[
-1
] |
Starehe Mita 1800 juu ya usawa wa Bahari | Spoti na Starehe
Starehe Mita 1800 juu ya usawa wa Bahari
Sehemu ya Genting kama inavyoonekana jioni, taa zinazoonekana kwa mbali ni mji wa Kuala Lumpur unavyoonekana toka Milima ya Genting.
Mwaka 2009 Malaysia iliingiza watalii 24,540,656 kwa mujibu wa takwimu zao ukilinganisha na watalii 840,000 walioingia Tanzania na kuuingizia Tanzania $1.35 billion huku tukiwa na kila aina ya vivutio vya watalii hawa. Kumbuka hawana Serengeti, Hawana Ngorongoro, Hawana Udzungwa wala Mlima Kilimanjaro. Kilichopo ni kwamba vivutio vichache vilivyopo vimetangazwa ile mbaya na kupewa nafasi.
Kutokana na takwimu za Wizara na Bodi ya Utalii ya Malaysia, Asilimia zaidi ya 45% ni watalii wa ndani huku watumiaji wa hoteli kwa takwimu ni watalii wa ndani zaidi.
Hapa Panaitwa Genting Highland, Ni umbali wa Kilomita 50 toka Kuala Lumpur mjini kuelekea Genting Highland, sehemu ya milima nchini Malaysia, Eneo hili lina jumla ya vyumba vya Hotel elfu 15,000 ambavyo ni vingi ukilinganisha na vyumba vyote vya hoteli zenye hadhi kwa nchi yetu ya Tanzania. kwa kawaida Malaysia ni nchi ya joto kama ilivyo Dar Es Salaam lakini tofauti ni kuwa joto la malaysia ni 30c to 36c na Fukuto ila kuna mvua mwaka mzima, wastani wa mvua kunyesha ni kila baada ya siku 2 hadi tatu. Hii hufanya mji huu kuwa wa kijani mwaka mzima lakini huwezi amini kuna sehemu ya Malaysia jotoridi lake ni 12c to 20c na wakati wa baridi hasa kunadondoka barafu, Huku ndio kunaitwa Gentini umbali wa Mita 1800 toka usawa wa bahari.
Huku hasa ni mji wa mapumziko, naita mji kwani panajitosheleza kwa kila kitu kuanzia mahoteli hadi Hospitali ambapo watu hupendelea kwenda kupumzika na kupata starehe mbali mbali kama Cable Car ambazo zina urefu wa Kilomita tatu na nusu, na inapita katikati ya misitu minene ya Tropiki na ubaridi mwanana pia utaona ndege na wanyama kama nyani wakiruka kwenye miti huku ukipita kwenye kijikombe kilichobebwa na mkanda (cable) ambacho kina tembea mwendo wa wastani wa kilomita 10 kwa saa, ni burudani tosha ambayo inahitaji ujasiri kwani kama hujazoea utatamani kushuka.
Safari ndio imeanza ndani ya “Cable Car”
Ndani ya Cable Car kule kwenye ukungu ndio tunakoelekea na ndio raha zote zilipo, kuzifikia sasa kasheshe.
Mara watu washafika
Siku yapili “vakesheni” inaendelea
Baadaye unafika Theme Park huku kuna michezo zaidi ya 60 ya kila aina ikiwa ni pamoja na Roller Coaster yenye urefu wa Kilometa moja, Train, Speed Car, Speed Boat, Mashua, Michezo ya Jukwaani, Maonyesho ya Wanyama mbali mbali, Muziki, Vyakula vya kila aina, utamaduni, Bustani ya Ndege, Bustani ya Mamba, Bustani ya Nyoka, kwa ujumla panakufanya ujione uko mahali tofauti.
Live Performances usiku ni sehemu ya starehe za Genting
Pia kuna ukumbi wa Concert mkubwa ambao una uwezo wa kuchukua watu zaidi ya 10,000 na ukumbi huu ni full kipupwe, ambapo wanamuziki maarufu wakija pia hutumbuiza huko.Usiku kuna burudani za aina mbali mbali ikianziwa na sarakasi toka kwa akina dada ambao nadhani hawana mifupa, ije ngoma na utamaduni wa Wamalay (kama taarab) hadi Vikundi vya Kizazi kipya na nyimbo za kimagharibi pia, Kwa ujumla ni raha yaani mpaka unaona unapewa zaidi kuliko gharama halisi.
Pia kuna uwanja wa Golf kwa wenye mchezo wao, ambao wengi ni wageni mahoteli zaidi ya 30 yaliyopo kwenye kijiji hiki cha maraha. Mbali na hiyo kuna Casino kubwa, hii ndio Licensed Casino kwa Malaysia na inakusanya wacheza kamali toka Singapore, Malaysia, Indonesia na Brunei ambao wote hufika kucheza kamali hapa.
This entry was posted on Thursday, December 15th, 2011 at 10:35 am and is filed under Michezo. You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0 feed. You can leave a response, or trackback from your own site.
| 2017-10-20T21:21:41 |
https://spotistarehe.wordpress.com/2011/12/15/starehe-mita-1800-juu-ya-usawa-wa-bahari-3/
|
[
-1
] |
Gundi, Adhesives, Waombaji - Mchanganyiko wa Vyombo vya elektroniki | Infinite-Electronic.hk
NyumbaniBidhaaTapes, Adhesives, VifaaGundi, Adhesives, Waombaji
Gundi, Adhesives, Waombaji
DP810-200ML 3M Maelezo:LOW ODOR ACRY ADH DP-810 200 ML
CA40H 1OZ 3M Maelezo:SCOTCH-WELD INSTANT ADHESIVE CA4
DP270-CLEAR-200ML 3M Maelezo:POTTING COMPOUND CLEAR 200ML
3792Q-5/8-8 3M Maelezo:3M 3792 SCOTCH-WELD HOT MELT ADH
9300-300ML MG Chemicals Maelezo:ONE-PART EPOXY GENERAL PURPOSE A
9310-300ML MG Chemicals Maelezo:ONE-PART EPOXY GENERAL PURPOSE A
9310-10ML MG Chemicals Maelezo:ONE-PART EPOXY GENERAL PURPOSE A
9200-50ML MG Chemicals Maelezo:STRUCTURAL EPOXY ADHESIVE
275447-1 Agastat Relays / TE Connectivity Maelezo:SEALING & DIELECTRIC COMPOUND
TE Kuunganishwa ALCOSWITCH, zamani Tyco Electronics ALCOSWITCH inatoa mbalimbali pana ya bidhaa za umeme sehemu ya sehemu. Tunatoa ufumbuzi kwa maombi ya OEM, matumizi / nishati, mitambo ya mitandao ya mimea na nje na zaidi. Bidhaa kutoka kwa majina ya jina maalumu hujumuisha viunganisho / mifumo ya...Maelezo
S1125-KIT-3 TE Connectivity Aerospace, Defense and Marine Maelezo:S1125-KIT-3
- Henkel Adhesive Electronics, mgawanyiko wa ubunifu wa vifaa vya kimataifa, Henkel Corporation, inalenga katika kuendeleza vifaa vya kizazi kijacho kwa ajili ya aina mbalimbali za maombi katika viwandani, viwandani, vifaa vya kuvaa, maonyesho na zinazojitokeza sekta za soko. Henkel ya bidhaa za el...Maelezo
135264 Henkel/Loctite Maelezo:SI 5140 METHOXY 85 GR TB/BN
- Fiber Optics Viwanda ni muuzaji wa opto-umeme na maeneo matatu ya lengo: Laser na Fiber optic mafunzo modules, vifaa, vifaa na vifaa kwa ajili ya darasa la 3 kupitia Chuo Kikuu; Vipengele vya plastiki fiber optic ikiwa ni pamoja na LEDs, photodetectors, cable, kamba kiraka, connectors, zana; Vipen...Maelezo
40 0005 Industrial Fiber Optics, Inc. Maelezo:EPOXY FIBER PMMA
1,092 related products
Maelezo: ONE-PART EPOXY GENERAL PURPOSE A
Katika hisa: 2155 pcs
Pakua: 9300-300ML.pdf
DP810-200ML
Maelezo: LOW ODOR ACRY ADH DP-810 200 ML
Katika hisa: 811 pcs
Pakua: DP810-200ML.pdf
Wazalishaji: Steinel
Maelezo: GLUE STICK 1/2" X 10" 1=18STICKS
9310-300ML
Katika hisa: 1648 pcs
Pakua: 9310-300ML.pdf
CA40H 1OZ
Maelezo: SCOTCH-WELD INSTANT ADHESIVE CA4
DP270-CLEAR-200ML
Maelezo: POTTING COMPOUND CLEAR 200ML
Katika hisa: 1358 pcs
Pakua: DP270-CLEAR-200ML.pdf
3792Q-5/8-8
Maelezo: 3M 3792 SCOTCH-WELD HOT MELT ADH
Katika hisa: 2143 pcs
Pakua: 3792Q-5/8-8.pdf
Maelezo: ADHESIVE SPRAY CLEAR 24OZ
Katika hisa: 4586 pcs
Pakua: 77-SUPER-24OZ.pdf
Maelezo: SCOTCH-WELD EPX HAND APPLICATOR
Pakua: 9740.pdf
Katika hisa: 5853 pcs
Pakua: 9310-10ML.pdf
DP620NS-BLACK
Maelezo: URETHANE ADH DP620NS BLK 48.5ML
Katika hisa: 4924 pcs
Pakua: DP620NS-BLACK.pdf
DP8010NS-BLUE-45ML
Maelezo: STRCTRL PLSTC ADH BLUE 45ML DUO
Katika hisa: 1876 pcs
Pakua: DP8010NS-BLUE-45ML.pdf
DP-100-CLEAR
Maelezo: CLEAR EPOXY ADH 2 OZ
Katika hisa: 3999 pcs
Pakua: DP-100-CLEAR.pdf
Maelezo: GRAY EPOXY ADHESIVE 1.7 FL.OZ.
Katika hisa: 3384 pcs
Pakua: DP-125-GRAY.pdf
9200-50ML
Maelezo: STRUCTURAL EPOXY ADHESIVE
Katika hisa: 4844 pcs
Pakua: 9200-50ML.pdf
DP100NS-TRANSLUCENT
Maelezo: EPOXY TRANSLUCENT 48.5ML
Pakua: DP100NS-TRANSLUCENT.pdf
9460-300ML
Maelezo: ONE-PART EPOXY THERMALLY CONDUCT
Katika hisa: 1784 pcs
Pakua: 9460-300ML.pdf
Maelezo: NS TRANSLUCENT EPOXY 1.7 FL OZ
Pakua: DP100NS.pdf
94-1/2PINT
Maelezo: 94 PRIMER 1/2 PINT BULK
Pakua: 94-1/2PINT.pdf
Katika hisa: 2802 pcs
Pakua: CA-4-1OZ.pdf
847-5OZ
Maelezo: NITRILE HI PERF RUBBER GASKET AD
Katika hisa: 4671 pcs
Pakua: 847-5OZ.pdf
Maelezo: APPLICATOR TC HOT MELT 5/8"X2"
Katika hisa: 477 pcs
Pakua: POLYGUN-TCW/.090"TIP.pdf
S1125-KIT-3
Wazalishaji: TE Connectivity Aerospace, Defense and Marine
Maelezo: S1125-KIT-3
Katika hisa: 751 pcs
Pakua: S1125-KIT-3.pdf
TL62 0.33OZ
Maelezo: SCOTCH-WELD THREADLOCKER TL62 0.
Pakua: TL62 0.33OZ.pdf
DP125-TRANSLUCENT
Maelezo: EPOXY ADH TRANSLUCENT 48.5ML
Katika hisa: 2997 pcs
Pakua: DP125-TRANSLUCENT.pdf
DP-110-GRAY
Maelezo: GRAY EPOXY ADHESIVE 50ML
Katika hisa: 3176 pcs
Pakua: DP-110-GRAY.pdf
TL42 BLU 50ML BTL
Maelezo: THREADLOCKER
Katika hisa: 2348 pcs
Pakua: TL42 BLU 50ML BTL.pdf
TL42 BLU 10ML BTL
Katika hisa: 5481 pcs
Pakua: TL42 BLU 10ML BTL.pdf
3750AE-TAN-1/2X10-25LB
Maelezo: HOT MELT ADHESIVE 3750 AE LIGHT
Pakua: 3750AE-TAN-1/2X10-25LB.pdf
8333-3G
Maelezo: SUPER GLUE LIQUID 0.1 OZ
Katika hisa: 26540 pcs
Pakua: 8333-3G.pdf
DP805-OFFWHT
Maelezo: ACRYLIC ADH DUO OFF WHT 48.5ML
Katika hisa: 2749 pcs
Pakua: DP805-OFFWHT.pdf
Maelezo: LO ODR ACRYLC ADH DP810 NS 1.7FL
Katika hisa: 2736 pcs
Pakua: DP810NS.pdf
Maelezo: SEALING & DIELECTRIC COMPOUND
Katika hisa: 1229 pcs
Pakua: 275447-1.pdf
832B-3L
Maelezo: POTTING COMPOUND BLACK 2.55L
Katika hisa: 832 pcs
Pakua: 832B-3L.pdf
Maelezo: THREADLOCKER, LOW STRENGTH, REMO
Katika hisa: 10098 pcs
Pakua: 8701-10ML.pdf
3747TC-5/8-2
Maelezo: 3M 3747TC SCOTCH-WELD HOT MELT A
Katika hisa: 2177 pcs
Pakua: 3747TC-5/8-2.pdf
Maelezo: MAINTENANCE ADHESIVE KIT W/OUT G
Pakua: TPA150.pdf
EPX APPLICATOR-400ML
Maelezo: APPLICATOR PNEUMATIC FOR 400ML
Katika hisa: 59 pcs
Pakua: EPX APPLICATOR-400ML.pdf
Wazalishaji: Henkel/Loctite
Maelezo: SI 5140 METHOXY 85 GR TB/BN
Katika hisa: 2775 pcs
Pakua: 135264.pdf
30N-NEUTRAL-1QT
Maelezo: FASTBOND CONTACT ADHESIVE 30
Katika hisa: 2090 pcs
Pakua: 30N-NEUTRAL-1QT.pdf
8DG-30-1
Maelezo: DISPENSING GUN ONE PART
Katika hisa: 1620 pcs
DP420-BLACK-200ML
Maelezo: EPOXY ADHESIVE BLACK 200ML
Katika hisa: 1016 pcs
Pakua: DP420-BLACK-200ML.pdf
RTV103-300ML
Maelezo: ADHESIVE SEALANT SIL BLACK PASTE
Pakua: RTV103-300ML.pdf
Maelezo: HOT MELT ADHESIVE Q 5/8"X8"
Katika hisa: 24225 pcs
Pakua: 3764-Q.pdf
8331S-50ML
Maelezo: SILVER CONDUCTIVE EPOXY, 4 HR PO
Pakua: 8331S-50ML.pdf
40 0005
Wazalishaji: Industrial Fiber Optics, Inc.
Maelezo: EPOXY FIBER PMMA
Katika hisa: 10207 pcs
Pakua: 40 0005.pdf
SCOTCHKOTE FD
Maelezo: ELECTRICAL COATING FD 15OZ CAN
Katika hisa: 2394 pcs
Pakua: SCOTCHKOTE FD.pdf
RTV103-85ML
Katika hisa: 5859 pcs
Pakua: RTV103-85ML.pdf
| 2019-11-17T19:42:57 |
https://tz.infinite-electronic.hk/Tapes,Adhesives,Materials/Glue,Adhesives,Applicators.aspx
|
[
-1
] |
Sophia Kessy ..Vitu Adim! la reine de la musique afrique: UCHAGUZI WA BRAZIL DILMA ROUSSEFF AAHIDI MAGEUZI BAADA YA KUSHINDA UCHAGUZI.
UCHAGUZI WA BRAZIL DILMA ROUSSEFF AAHIDI MAGEUZI BAADA YA KUSHINDA UCHAGUZI.
Rais Dilma Rousseff ameahidi kuiunganisha nchi ya Brazil baada ya kushinda kwa kuchaguliwa tena kwa awamu ya pili kwa asilimia 51.6% ya kura.
Licha ya upinzani wa karibu nusu ya wapiga kura nchini Brazil , rais Dilma Rousseff hatimae amechaguliwa tena kwa mhula wa pili wa kipindi kingine cha miaka minne, ukiwa pia ushindi wa nne wa chama chake cha wafanyakazi.
Bibi Rousseff mwenye umri wa miaka 69 na ambaye wakati wa ujana wake alikuwa mpiganaji wa chini kwa chini mfuasi wa nadharia ya Marx amemshinda mpinzani wake Aecio Neves kutoka chama cha Social Democrats kwa asili mia 51 dhidi ya 49 ya kura.
Bi Rousseff, ambaye amekuwa madarakani tangu mwaka 2010, bado maarufu Brazil kwa programu ya ustawi wa serikali yake,anakabiliwa na changamoto ya kuyatatua matatizo ya kiuchumi, huduma mbaya za umma na rushwa.
Posted by Sophia Kessy at 5:52 AM
| 2018-08-21T20:13:24 |
http://sophiakessy.blogspot.com/2014/10/uchaguzi-wa-brazil-dilma-rousseff.html
|
[
-1
] |
IMF yaonya dhidi ya sera ya Marekani Shirika la fedha ulimwenguni IMF, Shirika la Biashara duniani -WTO yameonya kuwa sera za Marekani za kujilinda kibiashara zinaweza kuwa na athari kwa uchumi wa dunia,kwenye mkutano uliofanyika mjini Berlin, Ujerumani. de en
Onyo hilo lilitolewa katika mkutano uliotishwa na Kansela wa Ujerumani Angela Merkel na viongozi wa mashirika kadhaa ya kimataifa. Merkel, ambaye alikuwa miongoni mwa viongozi wa nchi waliohudhuria mkutano wa nchi saba zilizostawi zaidi kiviwanda duniani G-7 nchini Canada wiki iliyopita, alisema....
deutschewelle-sw 12:24:00 PM CEST
Mkutano wa kihistoria kati ya Trump na Kim Ulimwengu unausubiri mkutano wa kihistoria kati ya rais wa Marekani na kiongozi wa Korea Kaskazini utakaofanyika Jumanne nchini Singapore.Viongozi wote wameshafika na maandalizi ya mkutano huo yanaendelea.Ni mara ya kwanza Trump atakutana uso kwa macho na kiongozi huyo wa Korea Kaskazini Kim Jong Un. Similarity: 0.42
Marekani, Mexico na Canada kuandaa kombe la Dunia 2026 Amerika Kaskazini ndiyo itakayokuwa mwenyeji wa fainali za kombe la kandanda la dunia 2026, baada ya kuchaguliwa na wapiga kura wa Shirikisho la kandanda la Kimataifa FIFA mjini Moscow leo. Marekani, Mexico na Canada zimejipatia nafasi hiyo baada ya kuishinda Morocco. Similarity: 0.37
Mzozo wa uhamiaji waitikisa serikali ya Merkel Washirika wa kansela Angela Merkel wa kihafidhina kutoka jimbo la Bavaria nchini Ujerumani wamekubali kumpatia muda wa wiki mbili wa kupumua, ili apate suluhisho katika Umoja wa Ulaya kuhusiana na mvutano wa uhamiaji. Similarity: 0.36
Eishockey: Eishockey-Stürmer Ehliz wechselt zu NHL-Team Calgary Flames Similarity: 0.30
Trudeau’s criticism will cost Canada ‘a lot of money’: Trump Similarity: 0.34
Canada Trudeau (1)
| 2019-02-16T03:04:38 |
http://emm.newsexplorer.eu/NewsExplorer/clusteredition/sw/20180612,deutschewelle-sw-3574fd602ae81b57dc95efbaec56a36b.html
|
[
-1
] |
Tofali (Block) Dar Es Salaam | ZoomTanzania
Saruji na Matofali
8. Jul, 09:40
Utambulisho wa Tangazo: 1269815
Tofali (Block)
Tunauza tofali (Blocks) zilizozalishwa kwa mtambo maalumu ambao ni automatiki. Ziko tofali ambazo ni Hollow ana Solid na kwa ratio tofauti kulingana na matumizi ya mteja. karibuni sana
Mwanachama tangu 8. Dis '18 8 Total Ads / 4 Active Ads
| 2019-08-24T21:54:19 |
https://www.zoomtanzania.com/sw/saruji-na-matofali/tofali-block-1269815
|
[
-1
] |
RIWAYA: Mwanafunzi Mchawi - (A Wizard Student) - Sehemu ya 22 & 23 | MPEKUZI
RIWAYA: Mwanafunzi Mchawi - (A Wizard Student) - Sehemu ya 22 & 23 MTUNZI: ENEA FAIDY
.....MR ALLOYCE alishtuka sana baada ya kusikia kishindo kalikali nyuma yake. Aliachia chupa ya konyagi kisha akageuka haraka kutazama nini kinaendelea nyuma yake. Hakuamini kumuona mwanaye akiwa amejibwaga chini kama gunia la viazi. Alikuwa anathema kupita maelezo.
"Eddy!" Mr Aloyce aliita kwa mshangao mkubwa. Lakini Eddy hakuitikia zaidi ya kuendelea kuhema kwa nguvu.Mr Alloyce alitupa chini vidonge alivyokuwa amevishika, akamwinamia Mwanaye na kumgusa kifuani ili kusikiliza mapigo ya moyo. Aligundua kuwa mwanaye ni mzima alimsgukuru Mungu. Killed home hang a za Mr Alloyce ni kwamba pindi anarudi sebuleni pale, hakukuta mtu yeyote na wala hakusikia mtu akifungua mlango. "Ba...ba..!" Aliita Eddy kwa shida sana.
"Sema mwanangu...Mimi hapa" aliitikia Mr Aloyce.
"Usife. .!"
"Sifi nani kasema Mimi nakufa? Vipi lakini uko sawa?" Aliuliza mr Alloyce akiwa na hofu sana, alihofia kumpoteza mwanaye kipenzi. Eddy aliitikia kwa kichwa tu akimhakikishia baba yake kuwa yuko sawa.
Mr Alloyce aliendelea kumkagua Mwanaye kila sehemu akidhani labda ana majeraha kwani damu alizozikuta chumbani kwa Eddy zilimtisha Sana. Lakini alipomtazama mwanaye akagundua hana jeraha lolote mwilini mwake, hivyo maswali mengi yalijitokeza akilini mwake. Alijihoji maswali mengi lakini hakuwa na majibu yake.
"Baba... Mama anateseka sana!" Eddy aliongea sauti ndogo ya kujivuta sana akiwa bado amelala pale sakafuni.
"Anateseka wapi?" Mr Alloyce alishtuka sana.
"Alikuja hapa.. Anateseka sana na yote kwa sababu yangu...!" Alisema Eddy kwa huzuni sana huku machozi yakimlengalenga machoni.
"Eddy! Upo sawa kweli?" Mr Alloyce alihisi Eddy hayupo sawa hivyo anaropoka tu anachojisikia.
"Nimefanya makosa sana.. Namtesa mama yangu..."
"Eddy usiseme hivyo.. Unamtesa na nini?"
"Alivyotaka kunipeleka kwa mganga wameamua kumuadhibu...!"
"Kina nani?"
"Wachawi...!"
"Oh My God.." Maneno Yale yalizidi kumchanganya Mr Alloyce, alishundwa afanyaje kwani ilikuwa ni Mara yake ya kwanza maishani mwake kukumbana na mauzauza ya namna ile. Mara nyingi alizoea kutazama kwenye luninga tu lakini hakujua kama inaweza kumtokea kweli. Maisha yake yalikuwa machungu ndani ya muda mfupi tu kwanu matatizo aliyokuwanayo yalikuwa mazito tena yanaumiza kama gunia la misumari.
"Baba.. Nakupenda..!"
"Nakupenda pia mwanangu!"
Mr Aloyce alijikuta anashusha mchozi tu kila anapomtazama mwanaye kwanu siku zote aliamini mwanaye atakuwa mtu mkubwa sana kutokana na uwezo wake darasani. Alikuwa na akili nyingi lakini Leo amekuwa mtu wa kuteseka tu. Aliwachukia wanadamu wenzake kwa ukatili wanaoufanya juu ya familia yake.
"Naam mwanangu.."
"Chukua hii." Eddy alimkabidhi baba yake kipande cha karatasi.Mr Aloyce alishtuka kidogo kisha akapokea karatasi like na kulikunjua ili alisome.Ujumbe uliokuwepo pale ulimshtua sana Mr Alloyce. Aliurudia tena"CHAGUA MOJA.
EDDY APONE TATIZO LAKE, MAMA YAKE APOTEE DAIMA. AU MAMA EDDY ARUDI, EDDY ABAKI NA TATIZO LAKE"
Mr Aloyce alibaki mdomo wazi kwa mshangao, kwani ule ulikuwa mtihani mgumu kwake."Karatasi limetoka wapi?" ==>Endelea Nayo <<Kwa Kubofya Hapa>> Advertisement
| 2016-10-27T16:43:55 |
http://www.mpekuzihuru.com/2016/07/riwaya-mwanafunzi-mchawi-wizard-student_31.html
|
[
-1
] |
Binti Wa Kiislamu: 2017
Aya za Leo - Ufunuo (Revelation)
Kwa Haki ya Qur'ani yenye hikima!
Kwenye Njia Iliyo Nyooka.
[Huu ni] Uteremsho wa Mwenye Nguvu, Mwenye Kurehemu.
Ili uwaonye watu ambao baba zao hawakuonywa, basi wao wamekuwa wenye kughafilika.
(Qur'an 36:2-6)
Happy Last Friday of the year everyone. May Allah bless us all and make 2018 a year filled with plenty of his blessings.
Posted by Binti Wa Kiislamu at 8:29 PM No comments:
Aya ya Leo - Talaka (Divorce)
And when you divorce women and they have [nearly] fulfilled their term, either retain them according to acceptable terms or release them according to acceptable terms, and do not keep them, intending harm, to transgress [against them]. And whoever does that has certainly wronged himself. And do not take the verses of Allah in jest. And remember the favor of Allah upon you and what has been revealed to you of the Book and wisdom by which He instructs you. And fear Allah and know that Allah is Knowing of all things. (Qur'an 2:231)
Ijumaa Njema Wandugu.
Send Salutations upon Him the Intercessor of the Muslim Nation - Sami Yusuf
Mwenyezi Mungu atujaalie wote In'Shaa'llah tuwe kwenye lile kundi atakaye tuombea siku ya kiyama.
These videos have subtitles, make sure yours is turned on if you want to see the translation.
Posted by Binti Wa Kiislamu at 8:22 PM No comments:
Ewe Mtume, kwa hakika tumekutuma kama shahidi na mleta habari njema pamoja na Onyo.
(Qur'an 33:45)
Jumaa Mubarak na Maulid Njema Wadau!
Happy Maulid - Ya Rasul Allah - Sami Yusuf
Tumsalie Mtume Jamani!
Posted by Binti Wa Kiislamu at 10:57 PM No comments:
Aya ya Leo - Mtihani (Test)
It is coming, and guess what its part of life. Allah anakuelekeza chakufanya.
Hakika mtapewa mitihani katika mali zenu na nafsi zenu, na bila ya shaka mtasikia udhia mwingi kutoka kwa walio pewa Kitabu kabla yenu na wale wanao mshirikisha Allah. Na ikiwa mtasubiri na mkamcha Mungu basi hakika hayo ni katika mambo ya kuazimia.
You will surely be tested in your possessions and in yourselves. And you will surely hear from those who were given the Scripture before you and from those who associate others with Allah much abuse. But if you are patient and fear Allah - indeed, that is of the matters [worthy] of determination.(Qur'an 3:186)
Hadithi ya Leo - Vitu Saba Kila Muislamu humpasa kufanya (Seven things every Muslim must do)
Je unaya tenda?
Imehadithiwa na Al-Bara' bin 'Azib:
Mtume wa Allah (ﷺ) alituamrisha kufanya vitu saba na alitukataza kufanya vitu saba vingine. Vitu alivyo amrisha ni:
1. Kufuata maandamano ya mazishi
2. Kumtembelea Mgonjwa
3. Kukubali mualiko
4. Kusaidia wanaoonewa
5. Kutimiza Ahadi
6. Kurudisha Salamu
7. Kumjibu anayo piga chafya ( kwakusema, " Mwenyezi Mungu awe na huruma na wewe, kama mpiga chafya atasema, "Sifa njema zote ni za Mwenyezi Mungu").
Na katukataza: Kutumia vijiko vya fedha, na vyombo vya fedha, kuvaa pete za dhahabu, kuvaa nguo za hariri, Dibaj( hariri tupu), Qissi na Istabrag (Aina zingine mbili za hariri).
Allah's Messenger (ﷺ) ordered us to do seven things and forbade us to do other seven.
He ordered us:
1. To follow the funeral procession.
2. To visit the sick.
3. To accept invitations.
4. To help the oppressed.
5. To fulfill the oaths.
6. To return the greeting.
7. To reply to the sneezer: (saying, "May Allah be merciful on you,"
provided the sneezer says, "All the praises are for Allah,").
He forbade us to use silver utensils and dishes and to wear golden rings, silk (clothes),
Dibaj (pure silk cloth), Qissi and Istabraq (two kinds of silk cloths).
(Sahih al-Bukhari Book 23, Hadith 3)
Aya ya Leo - Death (Kifo)
Tick Tock!⏰
Kila nafsi itaonja mauti. Na bila ya shaka mtapewa ujira wenu kamili Siku ya Kiyama. Na atakaye epushwa na Moto na akatiwa peponi basi huyo amefuzu. Na maisha ya dunia si kitu ila ni starehe ya udanganyifu.
Every soul will taste death, and you will only be given your [full] compensation on the Day of Resurrection. So he who is drawn away from the Fire and admitted to Paradise has attained [his desire].
And what is the life of this world except the enjoyment of delusion.(Qur'an 3:185)
Posted by Binti Wa Kiislamu at 8:10 PM No comments:
If Every Thing is Already Written, Then Why Test Us?
Kama kila kitu kimesha pangwa, kwanini bado tunapewa mitihani?
Posted by Binti Wa Kiislamu at 9:18 AM No comments:
Hadithi ya Leo - Nini Uislamu (What is Islam)
Ime hadithiwa na Abu Huraira kwamba Mtume wa Allah alisema:
Niulizeni vitu vinavyo husu dini, lakini wale(masahaba wa mtume) kwa kumhesimu Mtume walishindwa kuuliza maswali.
Akaja mtu wasiomjua na kukaa karibu na mtume akauliza, Mtume wa Allah, nini Uislamu?
Mtume Akamjibu, Hutakiwi kumshirikisha Allah na chochote, unatakiwa uswali, ulipe Zakat kwa maskini, na ufunge mwezi wa ramadhani. Yule Mtu akasema, umeongea ukweli.
Akauliza tena, Mtume wa Allah, nini Imani?
Mtume Akamjibu, Kumuani Allah, Malaika wake, vitabu vyake, kukutana naye, mitume wake, na kuamini siku ya kufufuka na Qadr(Amri zake). Yule Mtu akasema, umeongea ukweli.
Akauliza tena, Mtume wa Allah, nini ihsan?
Mtume Akajibu, Ihsan inamaanisha kwamba
unamuogopa Allah kama vile unamuona, japokuwa humuoni, lakini yeye anakuona. Yule Mtu akamjibu, umongea ukweli.
Akauliza tena, lini siku ya kiyama?
Mtume Akamajibu, Yule anayoulizwa hana huo ujuzi kuliko muulizaji. Lakini mimi nitahadithia baadhi ya ishara zake, nazo ni: ukimuona mtumwa akizaa mkuu wake, hiyo ni moja ya ishara zake, ukimwona mtu peku, bila nguo, kiziwi na bubu( yaani mtu Mjinga na mpumbavu) ndio anayoiongoza dunia, hiyo ni moja ya ishara zake. Ukiona wachungaji wa ngamia weusi wakifurahia majengo, hiyo ni moja ya ishara zake.
Kiyama ni moja ya vitu vitano vilivyo kwenye vitu visivyojulikana. Hamna anayeyajua isipokuwa Allah. Alafu mtume akasoma aya hii kutoka kwenye Qur'an.
Hakika Allah, ni yeye pekee anayejua kuhusu siku ya kiyama, na ni yeye mwenye kutuma mvua, na anajua yaliyoko kwenye matumbo. Na hakuna anayejua yatakayo mkuta kesho, na atakapofia. Ni Allah ndio anayejua na anayefahamu.
Abu Huraira akasema, Yule mtu akaamka na kuondoka zake. Mtume wa Allah, akasema mtafuteni, masahaba wakamtafuta lakini hawakumpata.
Hapo ndio mtume wa Allah akasema, yule alikuwa ni Jibril, alitaka kuwafundisha nyinyi vitu vya dini, mlivyoshindwa kuuliza wenyewe.
Ask me (about matters pertaining to religion), but they (the Companions of the Holy Prophet) were too much overawed out of profound respect for him to ask him (anything).
In the meanwhile a man came there, and sat near his knees and said: Messenger of Allah,
What al-lslam is?
-to which he (the Holy Prophet) replied: You must not associate anything with Allah, and establish prayer, pay the poor-rate (Zakat) and observe (the fasts) of Ramadan. He said: You (have) told the truth.
He (again) said: Messenger of Allah, What al-Iman (the faith) is?
He (again) said: Messenger of Allah, What al-Ihsan is?
Upon this he (the Holy Prophet) said: (Al-Ihsan implies) that you fear Allah as if you are seeing Him, and though you see Him not, verily He is seeing you. He (the inquirer) said: You (have) told the truth.
He (the inquirer) said: When there would be the hour (of Doom)?
(Upon this) he (the Holy Prophet said: The one who is being asked about it is no better informed than the inquirer himself. I, however, narrate some of its signs (and these are): when you see a slave (woman) giving birth to her master - that is one of the signs of (Doom) ; when you see barefooted, naked, deaf and dumb (ignorant and foolish persons) as the rulers of the earth - that is one of the signs of the Doom. And when you see the shepherds of black camels exult in buildings - that is one of the signs of Doom. The (Doom) is one of the five things (wrapped) in the unseen. No one knows them except Allah. Then (the Holy Prophet) recited (the following verse):
" Verily Allah! with Him alone is the knowledge of the hour and He it is Who sends down the rain and knows that which is in the wombs and no person knows whatsoever he shall earn on morrow and a person knows not in whatsoever land he shall die. Verily Allah is Knowing, Aware".
He (the narrator, Abu Huraira) said: Then the person stood up an (made his way). The Messenger of Allah (ﷺ) said: Bring him back to me. He was searched for, but they (the Companions of the Holy Prophet) could not find him. The Messenger of Allah (ﷺ) thereupon said: He was Gabriel and he wanted to teach you (things pertaining to religion) when you did not ask (them yourselves).
(Sahih Muslim Book 1 Hadith 7)
Posted by Binti Wa Kiislamu at 10:28 AM No comments:
Interesting interview with Pastor and Sheikh Omar Suleiman
Get comfortable, cause this is a long one.
Kwanini Hakujawai kuwa na Mtume Mweusi?
I nearly chocked on my water. I bet you didn't see that one coming.
Looks like I need to bring back the Monday Hadith series, we seem to be missing out.
Happy Monday everyone, have a wonderful and eventful week.
Aya ya Leo - Usimzulie Allah Msiyojajua (Don't Say about Allah what you don't know)
And when they commit an immorality, they say, "We found our fathers doing it, and Allah has ordered us to do it." Say, "Indeed, Allah does not order immorality. Do you say about Allah that which you do not know?" (Qur'an 7:28)
Mawaidha ya Leo (Muda) (Time) - Mufti Menk
Kweli Siku hizi kuna distractions nyingi. Siku inaisha unajikuta mtu umepoteza muda wako kwenye vitu visivyo na maana na wala havija kuongeza kifikra, kidini wala kimaendeleo.
Vitu vya Kutafakari!
Mwenyezi Mungu Tuepushe na Tuongoze.
Jumatatu Njema wadau, Mwenyezi Mungu akujaalie wiki yako iwe na maendeleo mema.
Aya ya Leo - Chunga Nafsi Yako (Guard Your Soul)
O you who have believed, upon you is [responsibility for] yourselves. Those who have gone astray will not harm you when you have been guided. To Allah is your return all together; then He will inform you of what you used to do. (Qur'an 5:105)
Miracle of Ayat AL-Kursi - Linguistic Miracle - Nouman Ali Khan - Animat...
AL-MAALIK - Mmiliki
AL-MALIK - Mfalme
Qur'an Recitation by Yaseen Rajab from Syria!
Lets start our week right.
God Gifted Talent of Syrian Kid ~ Amazing Quran Recitation, imitates Abd...
Mashaallah! May Allah bless him and his family with all of his heart's desire in this world and the next.
Posted by Binti Wa Kiislamu at 7:09 AM No comments:
Aya za Leo - Adabu (Manners)
Muabuduni Mwenyezi Mungu wala msimshirikishe na chochote. Na wafanyieni wema wazazi wawili na jamaa na mayatima na masikini na jirani wa karibu na jirani wa mbali, na rafiki wa ubavuni na mpita njia, na walio milikiwa na mikono yenu ya kulia. Hakika Mwenyezi Mungu hawapendi wenye kiburi wanao jifakhiri,Ambao wanafanya ubakhili na wanaamrisha watu ubakhili, na wanaficha fadhila alizo wapa Mwenyezi Mungu. Na tumewaandalia makafiri adhabu ya fedheha, Na ambao hutoa mali yao kwa kuonyesha watu, wala hawamuamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho; na yule ambaye Shet'ani amekuwa ndiye rafiki yake, basi ana rafiki mbaya mno.
Worship Allah and associate nothing with Him, and to parents do good, and to relatives, orphans, the needy, the near neighbor, the neighbor farther away, the companion at your side, the traveler, and those whom your right hands possess.
Indeed, Allah does not like those who are self-deluding and boastful.Who are stingy and enjoin upon [other] people stinginess and conceal what Allah has given them of His bounty - and We have prepared for the disbelievers a humiliating punishment,And [also] those who spend of their wealth to be seen by the people and believe not in Allah nor in the Last Day. And he to whom Satan is a companion - then evil is he as a companion. (Qur'an 4:36-38)
Finding Meaning In The World - Shaykh Hamza Yusuf
Posted by Binti Wa Kiislamu at 5:46 PM No comments:
Aya za Leo - Jibril na Mikail (Gabriel and Michael)
Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako kwa idhini ya Mwenyezi Mungu inayo thibitisha yaliyo kuwa kabla yake, na ni uwongofu na bishara njema kwa Waumini.
Say, "Whoever is an enemy to Gabriel - it is [none but] he who has brought the Qur'an down upon your heart, [O Muhammad], by permission of Allah, confirming that which was before it and as guidance and good tidings for the believers." (Qur'an 2:97)
Whoever is an enemy to Allah and His angels and His messengers and Gabriel and Michael - then indeed, Allah is an enemy to the disbelievers. (Qur'an 2:98)
Ashura this year(2017) will fall on Friday and Saturday.
Yeye ndiye aliye mtuma Mtume wake kwa uwongofu na Dini ya Haki ipate kushinda dini zote, ijapo kuwa washirikina watachukia.
It is He who has sent His Messenger with guidance and the religion of truth to manifest it over all religion, although they who associate others with Allah dislike it.(9:33)
Yeeeh! We made it, we are still here by the grace of Allah!
If you lost a loved one in the past year, May Allah grant them Janna.
If 1438 was a trial for you, May Allah make this year easier for you.
Lets not forget to pray for all our brothers and sisters facing trials and tribulations right now, May Allah Protect them.
Don't get tired of praying, Keep your faith Strong and May Allah guide and protect us this year and the many more years to come.
Posted by Binti Wa Kiislamu at 9:37 PM No comments:
Wanataka kuizima Nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinywa vyao, na Mwenyezi Mungu anakataa ila aitimize Nuru yake ijapo kuwa makafiri watachukia.
They want to extinguish the light of Allah with their mouths, but Allah refuses except to perfect His light, although the disbelievers dislike it.(9:32)
The mosques of Allah are only to be maintained by those who believe in Allah and
the Last Day and establish prayer and give zakah and do not fear except Allah,
for it is expected that those will be of the [rightly] guided.(9:18)
Posted by Binti Wa Kiislamu at 6:16 PM No comments:
Aya ya Leo - Nyumba ya Kwanza ya Ibada (The First House of Worship)
Kwakweli, nyumba ya kwanza (ya Ibada) iliyotengezwa kwajili ya walimwengu ni ule wa Makkah - wenye baraka na muongozo wa ulimwengu.
Indeed, the first House [of worship] established for mankind was that at Makkah - blessed and a guidance for the worlds. (Qur'an 3:96)
Posted by Binti Wa Kiislamu at 6:43 PM No comments:
The Facilities Management Team of Masjid Al-Haram
Appreciating their hard work. May Allah Reward them and bless their families.
No Laziness here, even the supervisors are out in the field.
May Allah guide and protect our brothers and sisters going for Hajj this year.
Mwenyezi Mungu awaongoze na awalinde ndugu zetu wanaokwenda Haji mwaka huu.
Aya ya Leo - Muda wa Umma (Term of Nations)
And for every nation is a [specified] term. So when their time has come, they will not remain behind an hour, nor will they precede [it].(Qur'an 7:33)
Fish with Artistic Skills!
And here we thought the human beings are the only artistic beings on earth. How little do we know of God's creation.
Posted by Binti Wa Kiislamu at 6:56 AM 2 comments:
Aya ya Leo Mzigo(Burden)
Na mbebaji mzigo hata beba mzigo wa mwingine. Na aliye zidiwa na mzigo wake aki muomba mwingine amsaidie, hauto punguzwa, ata kama ni ndugu yake wa karibu. Unaweza kuwaonya wale wanao mcha Mola wao Mlezi kwa ghaibu na wanashika Sala. Na anaye jitakasa, basi anajitakasa kwa ajili ya nafsi yake. Na marejeo ni kwa Mwenyezi Mungu.
And no bearer of burdens will bear the burden of another. And if a heavily laden soul calls [another] to [carry some of] its load, nothing of it will be carried, even if he should be a close relative. You can only warn those who fear their Lord unseen and have established prayer. And whoever purifies himself only purifies himself for [the benefit of] his soul. And to Allah is the [final] destination. (Qur'an 35:18)
Overcoming Pain and Worry
Your ability to stand up again and carry on, is your responsibility! Word!
Posted by Binti Wa Kiislamu at 9:02 PM No comments:
Posted by Binti Wa Kiislamu at 7:02 PM No comments:
CNN Heroes Tribute: Umra Omar
Send Salutations upon Him the Intercessor of the M...
Hadithi ya Leo - Vitu Saba Kila Muislamu humpasa k...
If Every Thing is Already Written, Then Why Test U...
Interesting interview with Pastor and Sheikh Omar ...
Aya ya Leo - Usimzulie Allah Msiyojajua (Don't Say...
Aya za Leo - Jibril na Mikail (Gabriel and Michael...
Aya ya Leo - Nyumba ya Kwanza ya Ibada (The First ...
| 2018-06-24T11:02:22 |
http://bintiwakiislamu.blogspot.com/2017/
|
[
-1
] |
Namna ya kutathimini penzi kabla ya kuvunja penzi! - EDUSPORTSTZ
MAHUSIANO Namna ya kutathimini penzi kabla ya kuvunja penzi!
Namna ya kutathimini penzi kabla ya kuvunja penzi!
bymafekecheon29 JuneinMAHUSIANO
NAOMBA nichukue nafasi hii kuwapa pole wale wote wanaokwazwa na wapenzi wao kwa namna moja au nyingine kwa sababu mbalimbali kama vile usaliti katika mapenzi, ulevi, ujeuri, kutojali, vipigo, ubabe na mengineyo mengi. Pia nafahamu wakati unajikuta katika wakati mgumu wa kuamua hatma ya uhusiano wako na mpenzio kwa kuwa unahisi unampenda sana na kwamba hauko tayari kumkosa maishani. Labda tubadilishane mawazo kwa kuangalia namna unavyoweza kulifanyia tathimini penzi lako la sasa kabla ya kuamua kuachia ngazi;
Kwanza; ni vizuri kabla hujaanza kulalamika kwa watu wa pembeni, hakikisha unamwambia ukweli mwenzi wako juu ya tabia yake na kumueleza ni jinsi gani unaumizwa mno na tabia hiyo. Lakini hakikisha unaongea naye katika hali ya upendo na sio kuporomosha lawama na kubwatuka hovyo, la sivyo atakugeuzia kibao na mtakosana zaidi.
Pili; kwa mpenzi anayeonesha angalau kubadilika ni heri kwako, lakini kwa wale sugu ambao wanaendeleza tabia zao hata mwaka mzima na kuwa hodari sana wa; ‘samahani honey, si unajua binadamu hukosea na kujisahau, nisamehe mpenzi.’ Hivi hii ni samahani gani wakati unarudia makosa yaleyale kila kukicha, mpenzi wako akueleweje kama sio kumdharau? Ukiwa na mtu wa namna hii, mtazame vizuri kisha uamue!
Tatu; kuna hili la tabia yake; kuna mambo mengine madogo madogo yanaweza kuvumilika kwa kuwa huenda sio ishu sana. Lakini kuna tabia nyingine huna haja ya kuzifumbia macho na kujiongopea kuzivumilia. Kwa mfano tabia ya vipigo kila siku, utavumilia mpaka utakapotolewa macho au unyofolewe na roho yenyewe kabisa au?
Mpenzi malaya, utamvumilia mpaka pale atakapokuletea Ukimwi uhangaike nao? Sidhani kama ni busara kuvumilia haya, usikubali kabisa kupelekwa pelekwa na hiyo hisia yako ya ‘lakini nampenda sana!’ Hebu jiangalie vizuri.
Nne; wakati mwingine ni vyema sana ukawaomba watu ushauri juu ya nini ufanye unapokabiliwa na msongo wa mawazo unaotokana na kero za mpenzi wako. Kwa wanandoa wanaweza kuwahusisha wazee na wakati mwingine hata vyombo vya sheria. Usikubali kunyamaza na kumezea matatizo uliyo nayo, utakufa kihoro buree! Waombe ushauri wale unaowaamini huenda wakakuonesha njia.
Tano: jifunze kwa wengine. Jiulize, hivi ni wangapi unaowafahamu na wengine kusikia habari zao, ambao waliwahi kupenda kama wewe lakini kutokana na manyanyaso na kutosikilizana wameachana na wapenzi waona sasa wanaishi maisha mengine matam na wapenzi wao wapya, kwa nini usiwe wewe?
Sita; Kumbuka kauli ya ‘siwezi kuishi bila yeye’ ni minyororo na kufuli nzito unayojifungia nayo katika jela yako wewe mwenyewe. Hebu jaribu kupigana kiume na mawazo haya na ujiweke huru. Hakuna anayeshikilia pumzi ya mwingine!
Saba; pamoja na yote, ukweli unabaki palepale kwamba kuamua, kummwaga mtu unayempenda si kazi ndogo, lakini inafikia mahali inakuwa haina jinsi inakubidi. Uwe jasiri ili uondokane na maisha ya roho juu juu kila siku! Potelea mbali ili mradi upate uhuru wa nafsi.
Nane; Amini kuwa huenda Mungu hakukupangia ufurahi maisha na huyo uliye naye sasa kwa kuwa yule wako original bado yu njiani na kusahau machungu yaliyopita Inshaallah!
By mafekechea la/s 29 June
| 2020-07-13T08:08:44 |
https://www.edusportstz.com/2020/06/namna-ya-kutathimini-penzi-kabla-ya.html
|
[
-1
] |
July 14, 2018 – Full Shangwe Blog
KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU KITAIFA 2018, AIASA JAMII KUWEKEZA KATIKA ELIMU
July 14, 2018 MCHANGANYIKO 0
Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa mwaka huu Charles Kabeho ,amezindua mradi wa pikipiki za vijana kata ya Bungu, wilaya ya Kibiti mkoani Pwani Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa mwaka huu Charles Kabeho,akizungumza na baadhi ya wananchi wa Mkuranga wakati mwenge huo ulipokuwa wilayani hapo ,wa katikati ni mkuu …
Wizara ya Madini,Suma JKT na Kampuni ya Y&P Wasaini Mikataba Utekelezaji wa Mradi wa SMMRP
Mkurugenzi wa Sheria Kutoka Wizara ya Madini Bw. Edwin Igenge (Kushoto) na Meneja wa Ujenzi Nyanda za Juu Kusini kutoka SUMA JKT Meja Juma Mvumbo wakitiliana saini ya kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Umahiri kwa kampuni ya SUMA JKT ikiwa ni utekelezaji wa Mradi …
KABEHO AKATAA KUZINDUA MRADI WA UPANUZI WA KITUO CHA AFYA IKWIRIRI
Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa ,Charles Kabeho akiongea na mkuu wa wilaya ya Rufiji Juma Njwayo ,wakati akikagua wodi ya watoto ikiwa ni sehemu ya majengo ya mradi wa kituo cha afya cha Ikwiriri ,Rufiji, mkoa wa Pwani. Picha na Mwamvua Mwinyi ………………. Na Mwamvua Mwinyi,Pwani KIONGOZI wa …
JESHI LA POLISI KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI KWA KUSHIRIKIANA NA RSA WAFANYA UKAGUZI WA MAGARI STENDI YA NANENANE JIJINI DODOMA
Na.Vero Ignatus .Dodoma. Taasisi ya RSA kwa kushirikiana na Jeshi la polisi kikosi cha usalama barabarani kimefanya ukaguzi wa magari yanayoingia na kutoka stendi kuu ya mabasi mkoani Dodoma nanenane. Ukaguzi huo umeenda sambaba pamoja na kutoa elimu kwa abiria namna ya kufunga mikanda awapo ndani ya gari,kuzifahamu …
UKAGUZI WA MAGARI, LESENI NA OPARESHENI YA KUKAMATA MAKOSA YA USALAMA BARABARANI JIJINI MBEYA.
DIWANI,DEREVA HALMASHAURI YA MEATU WAFARIKI KWA AJALI MKOANI SINGIDA
DIWANI wa Kata ya Manuzi, Elias Shukia, na dereva wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu, Haruna Ngata, wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wakisafiria kutoka Dodoma, kupasuka tairi na kupinduka mara tatu. Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Miraji Mtaturu, amesema ajali hiyo imetokea eneo la Mkiwa, wilayani Singida. Ameongeza kuwa …
UBELGIJI YATWAA NAFASI YA TATU KOMBE LA DUNIA BAADA YA KUIDUNGUA ENGLAND 2-0
July 14, 2018 MICHEZO 0
Eden Hazard akishangilia baada ya kuifungia Ubelgiji bao la pili dakika ya 82 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya England leo kwenye mchezo wa kusaka mshindi wa tatu Kombe la Dunia Uwanja wa Saint-Petersburg nchini Urusi. Bao la kwanza la Ubelgiji lilifungwa na Thomas Meunier PICHA ZAIDI SOMA HAPA
TANZANIA KITOVU CHA UTALII AFRIKA KIUNGO MKABAJI WA ATLETICO MADRID,KOKE NDANI YA NGORONGORO NA MPENZI WAKE
Kiungo nyota wa Atletico Madrid na timu ya taifa ya Hispania, Jorge Resurrección Merodio maarufu kama Koke, ameonyesha kushangazwa na Simba wa mbuga za wanyama za Ngorongoro. Koke na baby wake, wako nchini Tanzania wakila raha. Kiungo huyo anaonekana akiwa amepiga picha na Simba huyo ambaye amepumzika pembeni yake. Koke ameongozana …
NGASSA,KASEKE RASMI WAREJEA YANGA NA KUTAMBULISHWA MBELE YA WAANDISHI WA HABARI
Klabu ya Yanga imeendelea kuimarisha kikosi chake cha msimu ujao baada ya Leo kuwarejesha wachezaji wao wawili Mrisho Ngassa na Deus Kaseke ambao wote kwa pamoja wametambulishwa rasmi katika makao Makuu Jangwani Mbele ya Waandishi wa Habari Kaseke na Ngassa wote kwa pamoja wamesaini mikataba ya miaka miwili ya …
NA MWANDISHI WETU, SONGEA TAMASHA la Majimaji Selebuka 2018 limekata utepe jana mjini hapa kwa mbio za Marathon huku ikishuhudiwa Nestory Hudu kutoka Singida akiwatoa nishai Wakenya. Hudu aliibuka kidedea katika mbio za Kilomita 42 kwa wanaume akitumia saa 2:21:25 akifuatiwa na John Leonard wa Arusha saa 2.22:09 huku nafasi …
DKT. KALEMANI ATOA SIKU KWA TANESCO TABORA KUHAKIKISHA UMEME UNAWAKA KATIKA KIWANDA CHA PAMBA CHA MANONGA
Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri (mbele) akimwogoza na ,Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani(wa pili) kutembelea mitambo ya kiwanda cha pamba cha Manonga kilichopo Wilayani Igunga alipokwenda kujionea jinsi ukosefu wa umeme wa Tanesco unavyopunguza uzalishaji na kulazimika kuliagiza Shirika la TANESCO kupeleka haraka umeme. Waziri wa Nishati …
RAIS DKT. MAGUFULI AWAAPISHA KAMISHNA JENERALI WA JESHI LA MAGEREZA TANZANIA PAMOJA NA NAIBU KATIBU MKUU OFISI YA MAKAMU WA RAIS MUUNGANO NA MAZINGIRA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Phaustine Martin Kasike kuwa Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Tanzania, Ikulu jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimvalisha cheo Phaustine Martin Kasike kuwa Kamishna Jenerali wa Jeshi la …
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka (katikati) akishuhudia makabidhiano ya nyaraka za Ujenzi wa Kituo Mahiri cha Mkoa wa Simiyu kati ya Meneja wa SUMA JKT Kanda ya Ziwa Luteni Kanali Petro Ngata na Meneja na Mradi wa Usimamizi Endelevu wa Rasilimali Madini (SMMRP), Bw. Andrew Erio …
LIVE IKULU: Rais Akiwaapisha Kamshina Jenerali wa Magereza
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli, leo Julai 14, 2018 anamuapisha Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Martin Kasike. Tukio hilo linafanyika Ikulu jijini Dar es Salaam. Kabla ya kuteuliwa kushika nafasi hiyo ambayo awali ilikuwa ikishikiliwa na Dkt. Juma Alli Malewa, ambaye amestaafu Julai 06, …
CHELSEA YAPINDUA MEZA KIBABE KWA ‘JORGINHO’ ALIYEKUWA ANATAKIWA NA MAN CITY
Kiungo Jorge Luiz Frello Filho ‘Jorginho’ akiwa ameshika jezi ya Chelsea pamoja na kocha mpya wa timu hiyo, Maurizio Sarri kufuatia kukamilisha uhamisho wa Pauni 57 kutoka Napoli ya Italia. Jorginho alikuwa anatakiwa pia na Manchester City ambao wamelalamika Napoli kumlazimisha mchezaji huyo kuhamia Chelsea PICHA ZAIDI SOMA HAPA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wakati alipowasili kwenye uwanja wa Kituo cha Afya cha Tinde mkoani Shinyanga kuhutubia mkutano wa hadhara, Julai 14, 2918 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiufanyia majaribio upinde aliozawadiwa na wazee wa mila wa Kisukuma katika kijiji cha Tinde mkoani Shinyanga kabla ya kuhutubia mkutano wa hadhara …
PADRI AUGUSTINO RAMADHAN AONGOZA IBADA YA KUMBUKUMBU YA KIFO CHA MKE WA PROFESA SHABA
Padri wa Kanisa la Anglikana, Jaji Mkuu Mstaafu Augustino Ramadhan akiongoza ibada ya kumbukumbu ya marehemu Elizabeth Shaba mke wa Profesa James Shaba aliye patwa na mauti Julai Mosi mwaka huu na kuzikwa Julai 7, Chicago, Marekani. Ibada hiyo imefanyika leo kwenye Kanisa la St Albano Angilkana, jijini Dar es …
July 14, 2018 SIASA 0
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda akitoa tathimini ya utekelezaji wa ilani ya CCM kwa mkoa wa Dar es salaam tangu Serikali ya awamu ya tano ilipoingia madarakani katika mkutano uliofanyika kwenye ukumbi wa JICC jijini Dar es salaam leo. Mkuu wa Mkoa wa Dar es …
Mkurugenzi wa Uchaguzi Dkt. Athumani Kihamia Akabidhiwa Rasmi Ofisi Na Mtanguzi Wake
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt. Athumani Kihamia (kushoto) akisaini taarifa ya makabidhiano ya ofisini na mtangulizi wake Mhe. Kailima Ramadhani ambaye sasa ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kwenye ofisi za Tume jijini Dar es Salaam leo. Baadhi ya …
SIMBA YAIJIBU YANGA,YAMSAINISHA MIAKA MIWILI DILUNGA TOKA MTIBWA SUGAR
Kiungo aliyekuwa akiichezea Mtibwa Sugar ya Morogoro, Hassan Dilunga, amejiunga na mabingwa wapya wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2017/18 Simba SC kwa kusaini mkataba wa miaka miwili. Dilunga amezima ndoto za kuelekea Yanga kama ambavyo ilikuwa imeripotiwa awali akihusishwa kuelekea kwenye klabu hiyo yake ya zamani. Awali kulikuwa …
MAJALIWA ATEMBELEA KIWANDA CHA MAFUTA YA KULA CHA JIELONG CHA SHINYANGA NA KUKUTA SHEHENA KUBWA YA MAFUTA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama ndoo za mafuta ya kula yaliyokamuliwa kutokana na mbegu za pamba wakati alipotembelea kiwanda cha kukamua mafuta ya mbegu cha JIELONG nje kidogo ya mji wa Shinyanga Julai 14, 2018. Kushoto ni Meneja wa kiwanda hicho, Gemin Shao. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama mafuta ya kula yaliyotokana na mbegu za …
WASTAAFU POLISI WAPATIWA ELIMU YA MIKOPO
Mwenyekiti wa Chama cha Askari Polisi Wastafu(TAPOA) Kamishna mstaafu Suleiman Kova akizungumza katika ufunguzi wa semina ya wastaafu hao ambapo walipatiwa elimu ya kupata mikopo ya kustaafu na benki ya Azania Meneja wa huduma za mikopo kutoka benki ya Azania Thobias Samwel akizungumza na wanachama wa Chama cha Askari Polisi …
RAIS DKT.MAGUFULI AMETENGUA UTEUZI WA MKURUGENZI MKUU WA NSSF
MAJALIWA AZUNGUMZA NA WATUMISHI WA UMMA MJINI SHINYANGA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na watumishi wa Umma kwenye ukumbi wa Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi, Kituo cha Kizumbi mjini Shinyanga, Julai 14, 2018. Baadhi ya watumishi wa Umma wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipozungumza nao kwenye ukumbi wa Chuo cha Ushirika Moshi, Kituo cha Kizumbi mjini Shinyanga, Julai 14, …
Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani akiwasha umeme katika Kijiji cha Kisanga Kata ya Kisanga wilaya ya Sikonge tarehe 12 Julai, 2018. Wengine wanaoshuhudia ni Viongozi Waandamizi kutoka kwa Mkuu wa Wilaya Sikonge, REA, TANESCO, Wakandarasi pamoja na wananchi. NA RHODA JAMES – SIKONGE WAZIRI wa Nishati, Dkt. …
KANGI LUGOLA ATEMBELEA KIKUU CHA UZALISJHAJI VITAMBULISHO VYA TAIFA KIBAHA, MKOANI PWANI
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, akimuuliza swali, Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Uzalishaji Vitambulisho, Alphonce Malibiche (kushoto), wakati wa ziara ya kutembelea Kituo Kikuu cha Uzalishaji Vitambulisho vya Taifa, kilichopo Kibaha, Mkoani Pwani.Wapili kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), Andrew …
*Asisitiza wananchi wajiunge na Bima ya Afya WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wanaume wote wa wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga wakapime afya zao ili kubaini kama wameambukizwa virusi vya UKIMWI au la. Ametoa rai hiyo jana (Ijumaa, Julai 13, 2018) wakati akizungumza na mamia ya wananchi wa kijiji cha Mwangongo …
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama mbengu za pamba wakati alipotembelea kiwanda cha kuchambua pamba cha Gaki Investment kilichopo mjini Shinyanga Julai 13, 2018. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainab Telack na kulia kwa Waziri Mkuu ni Mkurugenzi mtendaji wa kiwanda hicho, Gaspar Kileo. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama …
VIDEO-WIZARA YA MADINI YAKABIDHI ENEO LA MRADI WA SMMRP KWA MKANDARASI, WILAYANI MPANDA
July 14, 2018 BIASHARA 0
Mkoani Morogoro. Pichani Mhandizi wa kanda ya Morogoro, kutoka Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Senzie Maeda, akiongea na waandishi wa habari katika skimu ya kilimo cha Umwagiliaji cha Dakawa, kilichopo katika Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro. Pichani, moja ya miundombinu inayopeleka maji katika skimu ya kilimo cha umwagiliaji cha Dakawa …
| 2019-03-23T22:41:13 |
https://fullshangweblog.com/home/2018/07/14/
|
[
-1
] |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.