text
stringlengths
44
187k
timestamp
timestamp[us]
url
stringlengths
16
3.37k
dup_ids
list
TIMU YA TAIFA YA CRICKET YARUDI NCHINI NA VIKOMBE VIWILI NA MEDALI KUTOKEA DUBAI KWENYE MASHINDANO YA DUNIA - JIACHIE TIMU YA TAIFA YA CRICKET YARUDI NCHINI NA VIKOMBE VIWILI NA MEDALI KUTOKEA DUBAI KWENYE MASHINDANO YA DUNIA Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Cricket waliotoka katika mashindano ya Dunia ya mchezo huo wakiwa katika picha ya Pamoja mara baada ya kuwasili katika uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam wakitokea Dubai ambapo walishiriki mashindano ya Dunia yajulikanayo kama Memon World Cup na kufanikiwa kuchukua nafasi ya tano. wa timu ya Taifa ya Cricket wakiwasili nchini kutoka Dubai walikokwenda kushiriki mashindano ya Dunia ya Memon World Cup na kufanikiwa kushika nafasi ya tano na kurudi na Vikombe Viwili na Medali ,ambapo mashindano hayo yalijumuisha timu 12 kutoka nchi mbalimbali zilizofuzu Sehemu ya wachezaji wa timu ya Taifa ya Cricket wakiwa na mizigo yao ndani ya uwanja wa ndege wa JK Nyerere jijini Dar es Salaam Wachezaji wa timu ya Taifa ya Cricket wakionyesha vikombe walivyopata na Medali katika mashindano ya Dunia ya mchezo huo na Wachezaji wa mchezo huo wakiwa wanatoka na mizigo ndani ya uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa JK Nyerere wakitokea nchini Dubai kwenye mashindano ya Dunia ya Mchezo wa Cricket ambapo Tanzania imefanikiwa kushika nafasi ya tano Item Reviewed: TIMU YA TAIFA YA CRICKET YARUDI NCHINI NA VIKOMBE VIWILI NA MEDALI KUTOKEA DUBAI KWENYE MASHINDANO YA DUNIA
2017-07-22T18:53:12
http://michuzijr.blogspot.com/2017/07/timu-ya-taifa-ya-cricket-yarudi-nchini.html
[ -1 ]
Mobile / iOSOpenGLES/OpenAL Sliding Puzzle Game Starter Kit— Add-On kwa WorldWideScripts.netKujiunga na kulisha wetu kukaa hadi tarehe!Mpya! Kufuata yetu kama unataka!Sehemu hii inapatikana katika 37 lugha nyingine!ArabicBengaliCatalan/ValencianDanishDutchEnglishEsperantoFinnishFrenchGermanGreekGujaratiHindiIndonesianItalianJapaneseKannadaKoreanMalayNorwegianPersianPolishPortugueseRomanian/Moldavian/MoldovanRussianSimplified ChineseSpanish/CastilianSwedishTagalogTamilTeluguThaiTraditional ChineseTurkishUkrainianUrduVietnameseKuishi PreviewViwamboAds Hii ni chanzo kamili kwa kuchapishwa iPhone sliding puzzle mchezo na 4 x 5 (20 tile) bodi. mchezo inaweza kwa urahisi umeboreshwa kwa kifupi kuchukua nafasi ya kupatiwa kumbukumbu images. Mchezo ni kutekelezwa katika asili c kificho lengo kwa matumizi ya OpenGLES na mifumo OpenAL kwa graphics juu ya utendaji na sauti. (Ingawa uwezekano wa kupindukia kwa mantiki hii sprite na multichannel audio unaweza uwezekano wa kutumika kujenga aina nyingine ya michezo na framerates bora na redio juu) Tafadhali rejea ni pamoja na Readme.txt kwa undani zaidi juu ya muundo wa kanuni na tips kwa ajili ya customization. Asante kwa ununuzi, maoni yote kukaribishwa. DownloadVipengele vingine katika jamii hiiKila sehemu ya mwandishi huyuMaoniMara kwa mara kuulizwa maswali na majibuMalikuundwa:27 Septemba 11Badiliko:27 Septemba 11files Pamoja:h,.m,.pch, layered PNGProgramu Version:iOS 3.1, iOS 4.1, iOS 4.2, iOS 4.3KeywordseCommerce, eCommerce, All Items, 2d, arcade, full, mchezo, iphone, kit, openal, OpenGL, OpenGLES, puzzle, sliding, sprites, starter
2016-12-09T21:15:04
https://sw.worldwidescripts.net/openglesopenal-sliding-puzzle-game-starter-kit-39460
[ -1 ]
Katika familia fulani, wazazi wanatazamia watoto wafanye kazi za nyumbani, na watoto hao wanafanya kazi hizo bila kunungunika. Katika familia zingine, wazazi wamepunguza matazamio yao kuelekea watoto wao. Kufanya hivyo, kunafurahisha watoto. Lakini hilo linafanya uwezo wa watoto wao upunguke pia. Wachunguzi wanaona kama jambo hilo linaanza kutokea katika inchi za Mangaribi. Katika inchi hizo watoto wanaelekea kuwa watumiaji kuliko kuwa wachangaji. Muzazi mumoja mwenye kuitwa Steven anasema hivi: “Leo, watoto wanaachwa peke yao ili kucheza michezo za video, kupitisha wakati kwenye Internete, na kuangalia televizyo. Ni mambo madogo sana ndio wanatazamiwa kufanya.” Wewe, unawaza namna gani? Kazi za nyumbani ni za maana kabisa kwa ajili ya kutunza nyumba tu, ao zinasaidia pia mutoto akomae muzuri? Wazazi fulani wanajizuia kupatia watoto wao kazi za nyumbani, zaidi sana wakati watoto wao wako na mambo mengi ya masomo ya kufanya kisha saa za masomo. Lakini, tufikirie faida ya kazi za nyumbani. Kazi za nyumbani zinasaidia mutoto akomalishe sifa nzuri. Watoto wenye kufanya kazi za nyumbani wako na uwezekano mukubwa wa kutumika muzuri kwenye masomo, na hilo halishangaze. Kuunga mukono kazi za nyumbani kunafanya mutoto akomalishe sifa nzuri kama vile uhakika na kujizuia; sifa hizo ni za maana ili kujifunza. Kazi za nyumbani zinatayarisha watoto ili watumikie watu wengine. Watu fulani wametambua kwamba watoto wenye wanatazamiwa kufanya kazi za nyumbani wako na uwezekano mukubwa wa kujitolea kwa ajili ya wengine wakati watakuwa wakubwa. Jambo hilo halitushangaze, kwa sababu kazi za nyumbani zinazoeza watoto watie pa nafasi ya kwanza mahitaji ya wengine kuliko mahitaji yao. Kwa upande mwingine, Steven, mwenye tumekwisha kutaja, anasema hivi: “Wakati hakuna kitu chenye kutazamiwa kutoka kwao, watoto wanafikiri kama wanapaswa kutumikiwa, na wanakomaa wakiwa na mawazo yenye hayafae kuhusu mambo yenye watakuwa nayo lazima katika maisha ili kutimiza madaraka na kufanya kazi kwa bidii.” Kazi za nyumbani zinaunganisha watu wa familia. Kupitia kazi zenye wanafanya nyumbani, watoto wanafikia kutambua kwamba wao ni washiriki wa maana katika familia na pia kwamba wako na daraka la kutimiza kwa ajili ya familia. Watoto wanaweza kukosa kutambua jambo hilo kama wazazi wao wanaona kazi za masomo kuwa za maana sana kuliko kazi za nyumbani. Ujiulize, ‘Kuko faida gani kama mutoto wangu anakuwa na uhusiano na timu la kabumbu lakini anapoteza uhusiano wake pamoja na familia?’ Anza wakati wangali wadogo. Watu fulani wanasema kwamba wazazi wanapaswa kuanza kupatia watoto wao kazi za nyumbani wakati wanakuwa na miaka tatu. Wengine wanashauria miaka mbili ao hata chini. Wazo ni hili: Watoto wadogo wanapenda kufanya kazi pamoja na wazazi wao na kuwaiga.​—Kanuni ya Biblia: Methali 22:6. Uwapatie kazi kulingana na uwezo wao. Kwa mufano, mutoto wa miaka tatu anaweza kuokota vitu vya kuchezea, kusafisha kwenye maji yalimwangikia, ao kupanga nguo za kufua. Watoto wakubwa wanaweza kuondoa vumbi, kusafisha motokari, ao hata kupika chakula. Patia mutoto wako kazi kulingana na uwezo wake. Unaweza kushangaa kuona namna mutoto wako anaweza kufurahia kufanya kazi za nyumbani kwa bidii. Tia kazi za nyumbani pa nafasi ya kwanza. Inaweza kuwa vigumu kufanya hivyo kama kila siku mutoto wako iko na kazi nyingi za masomo. Lakini, kitabu The Price of Privilege kinasema kwamba kuondoa kazi ili mutu aweze kwenye masomo “ni alama ya kutia pa nafasi ya kwanza mambo yenye hayafae.” Kama vile tumekwisha kuonyesha, kazi za nyumbani zinasaidia watoto wakuwe wanafunzi wazuri zaidi. Na mambo yenye wanajifunza yanawatayarisha kwa ajili ya wakati wenye watakuwa na familia yao wenyewe.​—Kanuni ya Biblia: Wafilipi 1:10. Uhangaikie zaidi kusudi lenye unafuatilia. Mutoto wako anaweza kuchukua wakati murefu ili amalize kazi kuliko namna uliwazia. Unaweza pia kufikiri kwamba kazi hiyo ingekuwa muzuri zaidi kama uliifanya wewe mwenyewe. Wakati jambo kama hilo linatokea, epuka kujitwika wewe mwenyewe kazi hiyo. Kusudi lako haiko kumufanya mutoto wako atimize kazi muzuri kama vile mutu mukubwa, lakini ni kumusaidia ajifunze kutimiza madaraka na kutambua furaha yenye mutu anapata wakati anafanya kazi.​—Kanuni ya Biblia: Mhubiri 3:22. Tambua wakati wenye kufaa ili kumupatia feza. Watu fulani wanafikiri kwamba kulipa watoto kwa ajili ya kazi yenye wanafanya kunawafundisha kutimiza madaraka. Wengine wanasema kwamba hilo linafanya watoto wakaze akili yao juu ya jambo lenye wanapokea katika familia kuliko jambo lenye wanachangia katika familia. Wanasema pia kwamba watoto wanaweza kukataa kufanya kazi wakati wako na feza za kutosha; hilo linaonyesha kwamba watoto hao wameanza kupoteza faida ya kazi za nyumbani. Tunajifunza nini? Ni jambo la muzuri sana kama feza zenye unapatia mutoto wako haiko kwa ajili ya kazi fulani yenye alifanya nyumbani. ‘Umulee muvulana kulingana na njia inayomufaa; hata atakapozeeka hatageuka kando na kuiacha.’​—Methali 22:6. ‘Muhakikishe mambo yaliyo ya maana zaidi.’​—Wafilipi 1:10. “Hakuna jambo bora kuliko kwamba mwanadamu afurahie kazi zake.”​—Mhubiri 3:22. “Kazi za nyumbani zinafanya kila mutu katika familia ajisikie kama anatoa kitu fulani kwa ajili ya familia. Kama siku inaisha wakati tulifanya kazi za nyumbani tukiwa familia, pengine katika kiwanja ao ndani ya nyumba, tunajisikia kuwa marafiki. Kila mutu anajisikia muzuri kwa sababu alishiriki.”​—Steven. “Kupatia watoto wetu wanawake kazi za nyumbani tangu wakati walikuwa wadogo sana kumewasaidia wakuwe na uwezo wa kushugulikia mambo mbalimbali ya maisha kadiri wanakomaa. Tunajikaza kuwasaidia watambue kwamba familia ni timu na kwamba tunafanya kazi pamoja. Wakati sisi wazazi tunaonyesha mawazo yenye kufaa kuhusu kazi za nyumbani, hilo linasaidia watoto wetu wafanye hivyo pia.”​—Stephanie.
2019-10-14T10:48:09
https://www.jw.org/swc/maktaba/magazeti/amuka-na3-2017-mwezi-wa-6/faida-ya-kazi-za-nyumbani/
[ -1 ]
Ajira Mpya Wizara Ya Afya 2013 | Photography 1:49 pm - Wednesday July 30, 2014 Home » Search » Ajira Mpya Wizara Ya Afya 2013 Info for Ajira Mpya Wizara Ya Afya 2013 Swahili diary: nafasi za ajira wizara ya afya 2013/2014, Tangazo nafasi za ajira za kada za afya kwa mwaka 2012/2013 katibu mkuu wizara ya afya na ustawi wa jamii, anapenda kuwaarifu wataalamu wa kada za afya. Rashid bumarwa (dj.r): ajira wizara ya afya- majina na, Ajira wizara ya afya- majina na vituo vya kazi (afisa afya mazingira).. Waliopangiwa vituo vya kazi wizara ya afya awamu ya iii., Maalim seif sharif hamad, atembelea maduka mbali mbali ya nguo na viatu katika maeneo ya mlandege, mchangani na darajani zanzibar - *makamu. Kazibongo - jobs in tanzania: tangazo la kazi wizara ya afya, 2014 (4484) july (635) june (667) may (706) april (681) march (701) february (491). Moh.go.tz - ministry of health and social welfare, Information in english and swahili on the provision of health care.. Kazibongo - jobs in tanzania: tangazo la kazi wizara ya, Katibu mkuu, wizara ya afya na ustawi wa jamii anapenda kuwatangazia wauuguzi wa ngazi ya astashahada na ngazi ya stashahada waliohitimu mafunzo mwaka 2013. Emmanuel shilatu - breaking news blog: wizara ya afya, Should be a tanzanian citizen. should have an admission letter for academic year 2013/14 from a recognized university (attachment). must be working in g. Nafasi za ajira za kada za afya kwa mwaka 2012/2013 ~ mtaa, Katibu mkuu wizara ya afya na ustawi wa jamii, anapenda kuwaarifu wataalamu wa kada za afya kuwa wamepangiwa vituo vya kazi kutokana na maombi ya kazi. United republic of tanzania - ministry of education and, Elimu, ualimu, wizara, education, wanafunzi, waalimu, ufundi, mafunzo, teaching, students, universities, collegies, vyuo, madarasa, mafunzo, vitabu, mitahani, examination. ajira za kada za afya kwa mwaka 2012 2013 katibu mkuu wizara ya afya Tangazo kuhusu ajira mpya ya walimu awamu ya pili 2013 Na wadau wa sekta ya afya wamefanya tathmini ya mwaka mwanavunjo.blogspot.com Popular Search how to build a queen size platform bed with storage - how to build a twin size platform bed with storage - how to build platform bed frame with drawers - how to make a platform bed with storage drawers - easy way to build platform bed frame - how to make a platform bed with headboard - make your own cheap platform bed - free plans platform bed with drawers - how to make a platform bed from a regular bed - how to build platform bed frame with storage - Categories Boudoir Photography
2014-07-30T13:49:50
http://duoliphotography.com/duoli-photo/ajira-mpya-wizara-ya-afya-2013.html
[ -1 ]
Jukumu la wanachuoni na walinganizi dhidi ya Raafidhwah | Firqatu Nnajia Jukumu la wanachuoni na walinganizi dhidi ya Raafidhwah Swali: Raafidhwah khatari yao ni kubwa na imefika. Ni yepi majukumu ya wanachuoni na wanafunzi juu ya kuzindua khatari hii? Jibu: Ni wajibu kwa wanachuoni kubainisha I´tiqaad batili zinazopingana na Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah kukiwemo vilevile ´Aqiydah ya Raafidhwah, Mu´tazilah, Jahmiyyah na Khawaarij. Zote hizi ni I´tiqaad potofu na mbovu. Lililo la wajibu ni kuzindua na kubainisha haki na kusambaratisha batili ili muumini awe juu ya ujuzi. Jukumu la wanachuoni na walinganizi dhidi ya Raafidhwah Swali: Raafidhwah khatari yao ni kubwa na imefika. Ni yepi majukumu ya wanachuoni na wanafunzi juu ya kuzindua khatari hii? Jibu: Ni wajibu kwa wanachuoni kubainisha I´tiqaad batili zinazopingana na Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah kukiwemo vilevile ´Aqiydah ya Raafidhwah, Mu´tazilah, Jahmiyyah na Khawaarij. Zote hizi ni I´tiqaad potofu na mbovu. Lililo la wajibu ni kuzindua na kubainisha haki na kusambaratisha batili ili muumini awe juu ya ujuzi. Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy Mfasiri: Firqatunnajia.com Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (02) http://audio2.islamweb.net/lecturs/aalrrajhee/429/429.mp3 Imechapishwa: 01/03/2018 http://firqatunnajia.com/jukumu-la-wanachuoni-na-walinganizi-dhidi-ya-raafidhwah/ Sikukuu zengine zote zimezuliwa Sun 16 Jumada Al Akhira 1439AH 4-3-2018AD
2018-11-14T07:35:56
http://firqatunnajia.com/jukumu-la-wanachuoni-na-walinganizi-dhidi-ya-raafidhwah/
[ -1 ]
William Ruto afutiwa mashitaka ya ufisadi | Matukio ya Afrika | DW | 13.04.2011 William Ruto afutiwa mashitaka ya ufisadi Mahakama Kuu nchini Kenya imefuta mashtaka ya ufisadi yaliyokuwa yakimkabili waziri wa zamani wa elimu ya juu, William Ruto, baada ya kukosekana kwa ushahidi. Ruto ni miongoni mwa wanasiasa wanaoshitakiwa pia na ICC. Yaliyotokea Kenya 2007 Ruto na watu wengine wawili walikuwa wakituhumiwa kuliibia Shirika la Usafishaji Mafuta la Kenya zaidi ya dola milioni 1 kwa kuliuzia ardhi ya eneo la hifadhi ya misitu. Uamuzi wa kumvua Ruto kwenye mashitaka hayo, unakuja siku moja tu baada ya mwanasiasa huyo kurejea nyumbani kutoka kwenye Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu yenye makao yake makuu mjini The Hague, Uholanzi, ambako anakabiliwa na mashtaka ya uhalifu dhidi ya binaadamu, kutokana na vurugu za baada ya uchaguzi hapo mwaka 2007. Swala kubwa ambalo hivi sasa watu wengi nchini Kenya wanajiuliza, ni iwapo Ruto atarejeshwa katika nafasi yake ya uwaziri. Aboubakar Lyongo amezungumza na mwanasheria wa kujitegema, Harun Ndubi, kutaka ufafanuzi zaidi wa kisheria katika suala hilo. Mahojiano: Aboubakary Liongo/Harun Ndubi Kiungo http://p.dw.com/p/10sMK
2018-05-21T21:01:18
http://www.dw.com/sw/william-ruto-afutiwa-mashitaka-ya-ufisadi/a-14985296
[ -1 ]
NEC YAWAASA WADAU NA WANANCHI KUWA WATULIVU KATIKA UCHAGUZI MDOGO - EDUSPORTSTZ | Habari za Ajira, Mapenzi, Michezo, Elimu, Kilimo, Technology, Siasa na Mziki, News others NEC YAWAASA WADAU NA WANANCHI KUWA WATULIVU KATIKA UCHAGUZI MDOGO NEC YAWAASA WADAU NA WANANCHI KUWA WATULIVU KATIKA UCHAGUZI MDOGO Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Bw. Kailima Ramadhan amewaasa wadau wa uchaguzi kuhakikisha kuwa uchaguzi mdogo wa madiwani utakaofanyika katika Kata 43, Novemba 26 unafanyika kwa amani na utulivu. Bw. Kailima ameyasema hayo jana (Jumamosi) mjini Dodoma wakati wa maandalizi ya mafunzo kwa Wasimamizi na Wasimamizi wasaidizi pamoja na maafisa uchaguzi yanayotarajiwa kuanza leo (Jumapili) mjini hapa. “Mlango wa kuchukua fomu kwa ajili ya uteuzi utafunguliwa kuanzia tarehe 20 saa moja na nusu asuhuhi mpaka 25 mwenzi huu, na fomu zinatakiwa kurejeshwa na uteuzi utafanyika tarehe 26 mwenzi Oktoba saa kumi kamili jioni. Nawasihi wadau wote wa uchaguzi tufanye uchaguzi wetu uwe wa amani na utulivu, natumaini kama ambavyo nchi yetu ni kisiwa cha amani na kwa jinsi tulivyojipanga (Tume) uchaguzi utakua wa amani na utulivu,” alisema. Bw. Kailima alisema kuwa katika mchakato wa kuendea siku hiyo ya uchaguzi NEC hairuhusu mikutano ya vyama vya siasa bali inaruhusu mikutano ya kampeni. “Tume ya Taifa ya Uchaguzi hairuhusu mikutano ya vyama vya siasa, Tume inaruhusu mikutano ya kampeni kwa muda wa siku 30 kuanzia tarehe 27 Oktoba mpaka tarehe 25 Novemba 2017, siku moja kabla ya uchaguzi. Kampeni lazima ziendeshwe kwa utaratibu uliopangwa,” alisema Bw. Kailima. Akizungumzia kuhusu maadili ya Uchaguzi, alisema kwa mujibu wa Kifungu Namba 124A cha Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, Tume, Serikali na vyama vya siasa vyote vinapaswa kukubaliana na maadili ya uchaguzi ambayo yalisainiwa na wadau wote tarehe Julai 27, 2015. “Nitoe wito kwa wadau wa uchaguzi kwamba pale ambapo patakua na ukiukwaji wa maadili, malalamiko yapelekwe kwenye kamati husika saa 72 baada ya tukio husika, kwa ngazi hii ya udiwani malalamiko yanatakiwa yapelekwe kwenye kamati ya maadili ngazi ya Kata ambayo wajumbe wake ni vyama vyote vya siasa vyenye wawakilishi walioteuliwa. Msimamizi msaidizi ngazi ya Kata ndiyo mwenyekiti wa kamati,” alisema. Bw. Kailima aliongeza kusema kwamba endapo maamuzi hayataridhiwa wahusika wanaruhusiwa kukata rufaa ngazi ya Jimbo ambapo msimamizi wa uchaguzi atatoa maamuzi na endapo hayakuridhiwa jambo hilo litakua ni lalamiko la uchaguzi baada ya uchaguzi kukamilika. Mkurugenzi huyo alisema kwamba mafunzo hayo yatahusisha washiriki 144 ambao ni Wasimamizi wa Uchaguzi, Wasimizi wasaidizi na maafisa uchaguzi ngazi ya Jimbo na Kata na yatafanyika kwa siku tatu kuanzia kesho Oktoba 15 hadi 17, 2017.
2019-06-27T10:36:53
https://www.edusportstz.com/2017/10/nec-yawaasa-wadau-na-wananchi-kuwa.html
[ -1 ]
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo Julai 11 ametangaza Shindano litakakalohusisha Watu wote wanaoendesha Platform za Social Media ikiwemo Waandishi wa habari Blog, Website, Online Tv, Instagram, Twitter, Facebook na nyinginezo ambapo watakuwa na jukumu la kuuliza wananchi maswali kuhusu Jumuiya ya Nchi za SADC ambapo washindi wa shindano hilo watajishindia kitita cha mamilioni ya Fedha. RC Makonda amesema utaratibu wa kushiriki Shindano hilo ni Wahusika kwende kwenye sehemu za Bar, Saloon, Vijiwe vya bodaboda na Sokoni kisha kuwahoji wananchi waeleze namna wanavyoifahamu jumuiya ya SADC na kurusha mahojiano hayo kwenye platform zao ambapo pia wananchi watakaoweza kutoa majibu kwa ufasaha nao watapatiwa kiasi cha shilingi Laki moja.
2020-05-29T06:10:40
http://dsm.go.tz/new/rc-makonda-atangaza-zawadi-nono-kwa-wanaoendesha-platform-za-social-media-ni-wale-watakaoweza-kuuliza-wananchi-maswali-yenye-maudhui-ya-jumuiya-ya-sadc
[ -1 ]
Kijakazi kutoka Uganda aiba mtoto kwa kukosa kulipwa ▷ Tuko.co.ke Made in Kenya Latest Politics Entertainment Swahili LiveScore Submit Video Fighting Al-Shabaab Kijakazi kutoka Uganda aiba mtoto kwa kukosa kulipwa 2594 Chapisha twitter! - Msichana wa kazi aliyesemekana kumuiba mtoto wa mwajiri wake amekamatwa na polisi karibu na mpaka wa Kenya –Uganda alipokuwa akijaribu kutoroka.Msichana wa kazi aliyemuiba mtoto wa miaka miwili wa mwajiri wake katika mtaa wa Imara Daima,mjini Nairobi siku ya jumatano Agosti 17, amekamatwa. Habari Nyingine:Mkewe Gavana awaonyesha wanawake jinsi ya kupendaJessica Nabwire ambaye ni mzaliwa wa Uganda alikamatwa siku ya jumatatu Agosti 22,akijaribu kutoroka na mtoto huyo. Nabwire alitoa madai kuwa mwajiri wake hakuwa amemlipa mshahara kwa muda wa miezi mitatu,hivyo basi alitekeleza kitendo hicho kwa nia ya kutaka kumuadhibu.Habari Nyingine: Wakenya wafunzwa mapenzi: wapenzi waeleza kuhusu safari ya mapenzi yao mtandaoni Fiona Akinyi ambaye ni mwajiri wake Nabwire alikanusha madai hayo na kusema Nabwire alikua amefanya kazi kwa wiki moja tu.Mtoto huyo sasa anasemekana kuishi na mjomba wake, huku Nabwire akipelekwa katika kituo cha polisi cha Busia. ​ Hadithi ya kuvunja moyo ya jamaa huyo aliyesomea chuo kikuu cha Kenyatta na sasa anaomba omba mjini Nairobi (Picha) Wizara ya Matiang'i yaonyesha wasiwasi siku chache kabla ya kutamatisha usajili wa watahiniwa wa mitihani ya kitaifa IKULU 2017: Huu ni ushahidi tosha Rais Uhuru atamshinda Raila katika uchaguzi wa Agosti 8? Kenyan Maids In Saudi Arabia House Manager Training Moto: Kenyan fashion bloggers Radio citizen presenters Chris brown coming to kenya Al shabaab video killing Vincent ateya Habari zingine Utafiti waonyesha wanaooa au kuolewa wakiwa na umri huu HAWAACHANI kwa urahisi Wajua umri mzuri zaidi wa kuoa au KUOLEWA? (pata jibu kamili) Kutana na mama anayelipwa Ksh 1.5 milioni kwa kupata watoto (picha) NASA yapanga kuzungumza na Ruto - Asema Mudavadi Raila amfanyia msichana mdogo wa Lodwar kitendo cha kusisimua (picha) Ujumbe wa kiongozi wa CORD wampa TABASAMU jamaa aliyekwamilia helikopta yake Meru (video) Mwanamke achukua hatua ya ajabu baada ya kukosa mwanamume wa KUMWOA-Picha Juhudi za Waziri Matiangi zazidi KUBABAISHA vyuo vikuu Moi atangaza atakayemuunga mkono katika uchaguzi mkuu; wakenya watoa hisia tofauti Wakenya watoa hisia mbalimbali baada ya rais mstaafu kutangaza msimamo wake wa kisiasa Hii ndio sababu ya Raila Odinga kumtaka bintiye kuwania kiti cha ubunge cha Kibra? Mpango wa Raila wa kumtaka mwanawe kuwania kiti cha ubunge cha Kibra
2017-02-20T17:50:30
https://swahili.tuko.co.ke/178265-kijakazi-kutoka-uganda-atoa-sababu-ya-kushangaza-iliyomfanya-kuiba-mtoto.html
[ -1 ]
Xi aupigia chapuo mradi wa ujenzi wa miundombinu | Matukio ya Kisiasa | DW | 26.04.2019 Xi aupigia chapuo mradi wa ujenzi wa miundombinu Rais wa China Xi Jinping leo amejaribu kuondoa wasiwasi kuhusu mradi wake wa ujenzi wa barabara na miundombinu, akisema mradi wake huo wa kimataifa hautaruhusu kabisa rushwa, huku akiahidi kuepusha athari za madeni. Rais wa China Xi Jinping ametoa kauli ya kufurahisha kwa Marekani kuhusu ruzuku, sarafu ya yuan na biashara wakati nchi hizo mbili zikijiandaa kufanya mazungumzo mapya muhimu wiki ijayo. Sera ya kigeni ya Xi inalenga kuuimarisha mradi wa ujenzi wa barabara na miundombinu kuliunganisha bara la Asia na Ulaya na Afrika kupitia uwekezaji mkubwa katika miradi ya usafiri wa baharini, barabara na reli wa mabilioni ya dola kutoka kwa mabenki ya China. Mradi huo unatoa fursa ya kuleta miundombinu ya kisasa kwa mataifa yanayoendelea, lakini wakosoaji wanasema unagubikwa na mikataba yenye vipengee vya siri inayozipendelea kampuni za China, wakati huo huo ikizikaba koo nchi na madeni makubwa na uchafuzi wa magzingira. Xi amesema kila kitu lazima kifanyike kwa uwazi na ameahidi China itatekeleza sheria mpya ya uwekezaji wa kigeni inayolenga kulinda haki miliki ya mali za makampuni ya kigeni. "China itafanya kila jitihada kujenga mazingira mazuri ya biashara yanayoheshimu thamani ya ujuzi, kuboresha mfumo wa sheria za kulinda mali, kuimarisha sheria zinazosimamia utekelezaji na pia kuimarisha haki ya wamiliki wa mali na kukomesha uhamishaji wa teknolojia kwa kutumia nguvu." Guterres aipongeza China Akizungumza katika mkutano huo wa Beijing uliowaleta pamoja wakuu 37 wa serikali, katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, amesema mradi wa China unatoa fursa kusaidia kubadili mkondo wa athari za mabadiliko ya tabia ya nchi. "Na nataka kuitambua China kwa jukumu lake kubwa kama nguzo ya ushirikiano wa kimataifa. Mkutano huu unadhihirisha ari hiyo ya kujitolea kwa dhati wakati ulimwengu ukipitia kipindi kigumu. Lakini wakati tunapokabiliwa na changamoto nyingi, tunaona pia ishara za matumaini. Uongozi wa China katika kupambana na mabadiliko ya tabia nchi unasaidia kuonyesha njia." Hata hivyo Guterres ameonya kwamba uwekezaji katika miradi ya China lazima uwe endelevu. Waziri Mkuu wa India, Imran Khan Akizungumzia pia katika mkutano huo wa Beijing leo rais wa Urusi, Vladimir Putin, amesema ni muhimu kuunda mkakati madhubuti utakaoshughulikia kitisho cha kuvurugika siasa za kimataifa, uchumi na teknolojia. Ameonya dhidi ya mataifa kujihami na kujilinda kibiashara na kutumia mbinu za kutoheshimu mamlaka ya baraza la usalama la Umoja wa Mataifa katika kupitisha maamuzi na hata mbaya zaidi kujiingiza katika vita vya kibiashara. Waziri Mkuu wa India, Imran Khan, ambaye nchi yake inauunga mkono mradi wa China wa ujenzi wa miundombinu, ametoa wito kuundwe afisi maalumu ya ushirikiano katika mapambano dhidi ya rushwa. Kwa mujibu wa maafisa wa China tangu rais Xi aipouzindua mradi wa ujenzi wa barabara na miundombinu mwaka 2013, China imewekeza dola bilioni 90 katika miradi mbalimbali huku mabenki yakitoa mikopo ya thamani ya dola bilioni 300. afpe, ap China yatetea mradi wake wa miundombinu Rais wa China Xi Jinping na Waziri Mkuu Li Keqiang wamekutana na viongozi wa mataifa kutoka Kenya, Ufilipino, Mongolia, Mnyamar na Hungary, siku moja kabla ya mkutano wa pili wa Mradi wa Miundombinu mjini Beijing. (25.04.2019) Maelfu ya wanafunzi waandamana kutetea mazingira Maelfu ya wanafunzi wamesusia masomo na kushiriki maandamano ya kuwashinikiza viongozi kuchukua hatua juu ya mabadiliko ya tabia nchi barani Ulaya na katika mabara mbalimbali kote ulimwenguni. (15.03.2019) Maneno muhimu China, Russia, Beijing Kiungo https://p.dw.com/p/3HUIz
2019-07-19T01:46:44
https://www.dw.com/sw/xi-aupigia-chapuo-mradi-wa-ujenzi-wa-miundombinu/a-48497081
[ -1 ]
JAFO AWATAKA MADAKTARI KUONGEZA UWAJIBIKAJI - Kamera Yangu ' : ''; var month = [1,2,3,4,5,6,7,8,9,10,11,12]; var month2 = ["Jan","Feb","Mar","Apr","May","Jun","Jul","Aug","Sep","Oct","Nov","Dec"]; var day = postdate.split("-")[2].substring(0,2); var m = postdate.split("-")[1]; var y = postdate.split("-")[0]; for(var u2=0;u2 JAFO AWATAKA MADAKTARI KUONGEZA UWAJIBIKAJI Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Selemani Jafo akiteta jambo na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo anayeshughulikia Afya Dk.Zainabu Chaula. Naibu Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais,Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) Selemani Jafo akifungua mkutano mkuu wa wa watalaam wa afya hapa nchini mkutano uliofanyika katika ukumbi wa LAPF mjini Dodoma. Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tamisemi Selemani Jafo akiwa na viongozi mbalimbali. Naibu waziri ofisi ya rais Tamisemi Selemani Jafo akiwa kwenye picha ya pamoja na waganga wa Wilaya na Mikoa. Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tamisemi Selemani Jafo amewataka waganga wakuu wa mikoa na wilaya kuongeza uwajibikaji ili kuondoa malalamiko yanayotoka kwa wananchi wakati wanafuata huduma katika vituo vya kutolea huduma za afya hapa nchini. Jafo amesema haipendeze kuona wananchi wanafika katika vituo vya afya wanakosa huduma stahili kutokana na uzembe wa watu wachache waliopewa dhamana. Naibu Waziri Jafo aliyasema hayo wakati alipokuwa akifungua mkutano mkuu wa wawatalaam wa afya hapa nchini mkutano uliofanyika katika ukumbi wa LAPF mjini Dodoma. Jafo amewataka wataalam hao kuondoa nyota sifuri katika vituo vyao vyote(No Zero Star). Wakati huo huo,Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Dk.Ndumaro amewataka watumishi kufanyakazi kwa kutimiza malengo waliojiwekea ili kuleta mabadiliko katika jamii. Amewasisitiza washiriki wa semina hiyo elekezi kuacha tabia ya kufanyakazi kwa mazoea. Semina hiyo ya kazi inayo ratibiwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI inafanyika kwa muda wa siku tano ikiwa na lengo la kufanya mapinduzi makubwa katika sekta ya Afya nchini Tanzania. Naye, Naibu Katibu mkuu Ofisi ya Rais Tamisemi anaye shughulikia maswala ya afya Dkt. Zainabu Chaula amesisitiza dhana ya mabadiliko kwa kuwataka wataalam hao wa afya wa ngazi za mkoa na wilaya kufanyakazi kwa kujituma na kuleta Mapinduzi makubwa katika sekta ya afya katika mikoa yao na wilaya zao.
2017-11-21T22:42:58
http://www.kamerayangu.co.tz/2017/07/jafo-awataka-madaktari-kuongeza.html
[ -1 ]
Ababu alivyojigamba: ndimi ninayetoa mchango mkubwa zaidi ODM ▷ Tuko.co.ke Made in Kenya Latest Politics Entertainment Swahili FEEDBACK LiveScore Submit Video Fighting Al-Shabaab Joho responds to Uhuru's "I'm not your WIFE" comment with a sobering statement Ababu alivyojigamba: ndimi ninayetoa mchango mkubwa zaidi ODM 31247 Tweet it! - Mbunge wa Budalangi Ababu Namwamba alidai kuwa mwanachama aliyetoa mchango mkubwa zaidi kwa hazina ya ODM: KSh 20,000 kila mwezi - Namwamba alikuwa miongoni mwa wanachama 10 waasi wa ODM waliofurushwa rasmi hivi majuzi kutoka kwa chama hicho cha chungwaChama cha Orange Democratic Movement (ODM) kinachoongozwa na Raila Odinga kiliafikia uamuzi wa mwisho Jumatatu, Oktoba 31, 2016 kuhusu hatima ya wanachama waliohamia vyama vingine.ODM iliwafurusha kabisa waasi hao 10 ambao ni pamoja na Gavana Salim Mvurya na wabunge Ababu Namwamba, Samwel Arama, Samwel Nyangwara, Joash Maangi, Zianabu Chidzuga, Masoud Mwahima, John Waluke, Steve Kariuki na Isaac Mwaura. Habari Nyingine: Jibu tosha la Ababu Namwamba kwa Raila baada ya kufukuzwa ODMMbunge wa Budalang'i Ababu Namwamba.Ababu Namwamba, ambaye alikuwa katibu mkuu wa ODM, sasa ni kiongozi wa chama cha Labour Party of Kenya (LPK). Ababu alijiuzulu kutoka kwa wadhifa huo wa katibu mkuu Jumatano, Julai 7. Habari Nyingine: Muungano wa Jubilee wamkashifu Ababu NamwambaAbabu na kiongozi wake wa zamani, Raila Odinga.Mbunge huyo wa Budalangi alitoa jibu kali kwa Raila na chama chake cha ODM baada ya kuangukiwa na shoka hilo.Itakumbukwa kuwa Ababu alidai kuwa ndiye mwanachama aliyetoa mchango mkubwa zaidi wa malipo kwa ODM: KSh 20,000 kila mwezi. Habari Nyingine: Ababu Namwamba kupoteza kiti chake cha ubungeAbabu alisema Jumapili, Julai 10, kwamba alikuwa mmoja wa wanahisa wakuu zaidi wa ODM na hivyo alistahili kuchukuliwa kama mwanachama muhimu wala si kufedheheshwa na chama.Ababu alihamia Labour Party of Kenya.Read ENGLISH VERSION ​ Nomination Fees For Jubilee Ababu Abandoned Amount Of Money Spend During Jubilee Party Launch Odm Nominations Ababu Namwamba Joins Labour Party Hot: B club kenya Mcheza bonus Diamond platinum and zari Luhya men in bed Size 8 baby Related news President Uhuru’s men allegedly threatening to kill Sonko President Uhuru’s men allegedly threatening to kill Sonko Peter Kenneth throws shade at BITTER rival Mike Sonko RMS radio presenter joins politics, meets Uhuru in Kisii
2017-03-23T22:03:58
https://www.tuko.co.ke/220972-huyu-ndiye-alikuwa-mfadhili-mkubwa-wa-chama-cha-odm.html
[ -1 ]
Daily Mitikasi Blog: MAMA SALMA KIKWETE AWATAKA WANANCHI KUJITOKEZA KWA WINGI KUPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA MAMA SALMA KIKWETE AWATAKA WANANCHI KUJITOKEZA KWA WINGI KUPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete (Pichani), amewataka wanachama wa chama hicho pamoja na wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura katika uchaguzi wa Serikali za mitaa unaotarajia kufanyika mwishoni mwa wiki hii. Mama Kikwete ambaye ni Mke wa Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete alitoa rai hiyo jana wakati akiongea na wanachama pamoja na wagombea wa nafasi za Uenyeviti na Wajumbe wa Serikali za mitaa katika kata za Ndoro na Mikumbi zilizopo wilaya ya Lindi mjini. Alisema kuna baadhi ya watu hawajiandikishi na wengine siku ya uchaguzi ikifika hawaendi kupiga kura, wanabaki kulalamika viongozi hawafai. Lakini kama wangeshiriki katika uchaguzi kusingekuwa na malalamiko kwa kuwa wangekuwa wamechagua viongozi wanaowataka. “Siku ya uchaguzi ikifika amkeni mapema mkapige kura na msipoteze kura zenu kwa kuchagua watu wengine, chagueni viongozi wa CCM ambao chama chetu kimefanya mambo mengi ya maendeleo ikiwa ni pamoja na kuboresha huduma za afya, ujenzi wa shule na kuendelea kuimarisha amani ya nchi yetu”, alisema Mama Kikwete. Aidha MNEC huyo pia aliwasisitiza wanachama hao wakati wa kujiandikisha majina katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali Kuu ukifika wawahamasishe wananchi wakajiandikishe ili waweze kuwachagua viongozi wao. Akiwa katika mkutano wa kampeni uliofanyika mtaa wa Mto Mkavu Mama Kikwete aliwanadi kwa wananchi wagombea wa chama hicho wanaowania nafasi za Wenyeviti na Wajumbe wa Serikali za mitaa kutoka Kata ya Mbanja. Aliwasihi vijana kubadilika na kujifunza historia ya nchi yao hapo ndipo watajua wapi nchi imetoka na wapi inakwenda kwani hivi sasa kuna watu wanapita na kuwadanganya hakuna maendeleo yoyote yaliyopatikana ukilingamisha na miaka ya nyuma. Mama Kikwete alisisitiza, “Lazima mtambue kuwa Serikali ya CCM imeleta maendeleo kwa wananchi wake kwa kujenga barabara na hivi sasa kutoka Lindi hadi Dar es Salaam kwa gari dogo unatumia masaa matano na unaweza kwenda na kurudi, kwa basi siyo zaidi ya masaa saba. Leo watu wanapita na kuwadanganya hakuna maendeleo yaliyofanyika jambo ambalo siyo kweli”. Naye Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Lindi Mjini Muksini Rafii alisema kuna propaganda zinazosambazwa na wapinzani kuwa Serikali imesogeza mbele siku ya uchaguzi hadi tarehe 17 kitu ambacho siyo sahihi kwani uchaguzi utafanyika tarehe 14 mwezi huu kama ilivyopangwa. Muksini alimalizia kwa kuwaomba wananchi kuwa makini katika uchaguzi wa viongozi kwani kuna watu wanapita na kuwadanganya wasiwachague wagombea wenye dini na makabila tofauti na yao wasiwasikilize, Tanzania haina dini wala kabila watu wote ni sawa na kuwasisitiza kuwachagua viongozi wa CCM ambao watawaletea maendeleo. Katika mkutano huo wa kampeni wanachama wanne kutoka chama cha Wananchi (CUF) walimkabidhi Mama Kikwete kadi za chama hicho na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi.
2018-06-21T06:36:01
http://johnbadi.blogspot.com/2014/12/mama-salma-kikwete-awataka-wananchi.html
[ -1 ]
Dogo Janja abwagwa rasmi,Jamii iwe karibu naye asije akafa - JamiiForums Dogo Janja abwagwa rasmi,Jamii iwe karibu naye asije akafa Thread starter MAGACHA 80 126 40 Sep 20, 2018 #301 Ni kiki tu. dogo janja anatoa ngoma na uwoya ana muvi inakuja. 1,422 1,430 280 Sep 20, 2018 #302 Bwana hakujua kama sio kila wa kike ni wa kuoa" Hao wadada KANUMBA + DIAMOND ndio wanajua kuwala na kuwamwaga sio kumvisha pete. Nawasihi vijana mnapoingia majiji makubwa muwe makini msitishwe na make up'.. Wezi tu hao. 2,542 1,150 280 Sep 20, 2018 #303 Alipagawa 5,498 2,616 280 Sep 20, 2018 #304 Sep 20, 2018 #305 Ilikuwa kiki... Mashabiki kazi sana na hawa wasanii. 6,159 6,541 280 Sep 20, 2018 #306 Watu wa mikoani na ushamba wao na ulimbukeni wao kwa wanawake unaweza kuta huyu dogo akaja jifia kweli,, big up sana kwa wanaume wa Dar, wazee wa kimoja chali, wazee wa vibamia, wazee wa kuchapiwa/kumegewa lakini hata wakiachwa hawatetereki wanaingia mtaani na kung'oa kifaa kingine swafi kabisa... Likes: MUSINGA and kapeace 8,629 17,186 280 Sep 20, 2018 #307 Billy Walters II said: Likes: beingsingle 427 259 80 Sep 20, 2018 #308 Alipotea sana chalii inabidi atulize kichwa yeye bado mdogo ajipange upya atafute wa kuendana nae, ile ilikua ni aibu sana mama kama lile jamani!! hata ngoma zake nilkua sisikilizi nilijua zitakua za kishoga tu Sep 21, 2018 #309 Kutaka makubwa na yeye aonekane a Anamiliki Mrembo mkali mxieww 8,138 19,518 280 Sep 21, 2018 #310 Mapenzi hayana umri, labda wawe na sababu zingine zilizowafanya waachane. Sep 21, 2018 #311 Lakini si juzi tuu janjaro na uwoya walikuwepo wote hotelini?? labda ni kiki 1,772 1,167 280 Sep 22, 2018 #312 dlnobby said: Ila kafaidimo humu ndani wengi mnatamani mngepata kuonja radha ya uwoya na mmekosa kwahiyo mnaishia kurusha maneno mengi kwa dogo hata mm natamani lile tako angenipa hata usiku mmoja tuuu sidhani, labda tu utamani kuungwa kwenye 'gridi' ya kilovolti 220 26,230 155,447 280 Sep 22, 2018 #313 Mpanda nyangobe said: ukute mleta uzi huu ni baba wa watoto watatu.. duh! Sep 22, 2018 #314 Hajaowa ni boton 15,454 4,690 280 Sep 23, 2018 #315 binamu "mimi na wewe hatuna shida " kaa chini kunywa maji yashuke kabisaaa " huku uki relux ...ule ulikuwa ni upepo mbaya tu " umepita " siwajua watumishu " tuna stress za kutoongezewa mishahara " ... basi ndio nikajikuta nazimalizia kwako " maana ningesema nizipeleke kwa Jiwe " korokoroni pangenihusu Usijali binamu. Kuliko nisikie uko korokoni,Bora tu umalizie hasira kwangu. Mana vinginevyo na mi ntajikuta wameshanisoudy brown Sep 23, 2018 #316 Kitabu cha The God Delusion kimetoka nipo Marekani. Mimi nilishazibuka tangu niko Tanzania, nimesoma "The Philosophy of Religion: An Anthology", kabla ya "The Selfish Gene". Kwa taarifa tu I LOOOOOVE IT WHEN YOU BRAGGING!!! hahhahahhaha ni nyundo ya uso paaaaaaah!! Huwa nachekaaaaa 20,025 26,108 280 Sep 23, 2018 #317 Sep 23, 2018 #318 Mtoto akililia wembe.... Ule sio wembe, lile ni sime. 43,030 17,918 280 Sep 23, 2018 #319 Hawa watu wengine wanafikiri mimi ni "Johnny come lately" kwenye mambo haya. Kumbe watu tumesumbuka na classical arguments since 1994! Likes: Kaizer and snowhite 1,913 626 280 Sep 24, 2018 #320 Muhimu kuosha rungu, kuachwa ajali kazini. Haha, hii hoja nzito Threads 1,235,541 Posts 29,226,090
2018-12-11T03:07:37
https://www.jamiiforums.com/threads/dogo-janja-abwagwa-rasmi-jamii-iwe-karibu-naye-asije-akafa.1483774/page-16
[ -1 ]
Ingiza kutumika TOYOTA VOXY 2006 wa kuuza - SBT Global wauzaji wa Gari Magari yote: 54,483 > TOYOTA VOXY 2006/3 Bei: US$1,304 Nambari ya hifadhi: VT3724 TOYOTA VOXY 2006/3 X RHD PETROL 97,000km AT 4WD 5door 8seats PS, AC, NV, AB, ABS, PW VT3724 Bei: US$13,190
2020-07-09T10:46:46
https://www.sbtjapan.com/sw/used-cars/toyota/voxy/VT3724
[ -1 ]
Ingano y’amazi uruganda rwa Nzove rugaburira Umujyi wa Kigali yagabanutseho 50% - IGIHE.com Ingano y’amazi uruganda rwa Nzove rugaburira Umujyi wa Kigali yagabanutseho 50% Kuya 2 Ukuboza 2019 saa 03:33 Ubuyobozi bw’Ikigo cy’Igihugu gishinzwe Amazi, isuku n’isukura (WASAC) bwatangaje ko ingano y’amazi atunganywa n’uruganda rwa Nzove yagabanyutseho 50%, kubera imvura imaze iminsi igwa igatuma umugezi uyatanga wandura, busaba abagenerwabikorwa kuba bihanganye. Uruganda rw’amazi rwa Nzove ruherereye mu Murenge wa Kanyinya mu Karere ka Nyarugenge, rugaburira igice kinini cy’Umujyi wa Kigali n’inkengero zawo nyuma yo gutunganya amazi y’isayo y’umugezi wa Nyabarongo. Itangazo Wasac yashyize kuri Twitter kuri uyu wa 2 Ukuboza 2019 rivuga ngo “Kubera imvura nyinshi imaze iminsi igwa, twagize ikibazo (Turbidity) ku ruganda rwa Nzove. Byatumye duhagarika ibikorwa byo gutunganya amazi.” Iri tangazo rikomeza rigira riti “Hari ibice byinshi by’Umujyi wa Kigali bitabasha kubona amazi. Iki kibazo gishobora gukemuka vuba mukongera kubona amazi. Mwihangane.” Mu cyumweru gishize ubwo IGIHE yasuraga uru ruganda mu gusobanuza inzira binyuramo mu guhindura amazi ya Nyabarongo urubogobogo, Umuyobozi mukuru wa Wasac, Eng. Muzola Aimé, yasobanuye ko ‘Turbidity’ ibaho igihe amazi y’umugezi atunganywa n’uruganda yabaye ibyondo ku buryo rutabasha kuyatunganya. Yagize ati “Hari urwego [amazi] ageraho akaza atari ibiziba gusa, ahubwo ari ibyondo, ibyo bigatuma hari urwego tuba tutabasha kuyayungurura, kuko aba asa n’ayarenze ibipimo twashyizeho twubaka uruganda.” Ibi ngo bisaba ko ruhagarikwa kugeza yongeye gucayuka kugera ku rwego rubasha kuyayungurura nk’uko bisanzwe. WASAC ivuga ko hari igihe kimwe cy’uruganda gitunganya amazi avuye mu butaka kiri gukora ndetse hari n’ayo igice cyagize ikibazo cyari cyatunganyije arimo kugezwa ku baturage. Uru ruganda rwubatswe mu byiciro bibiri birimo kimwe gifite ubushobozi bwo gutanga metero kibe ibihumbi 40 ku munsi n’urufite ubwo gutanga metero kibe ibihumbi 40 ku munsi ariko rufite n’ibya ngombwa ku buryo rwakongerwa rugatanga izindi 25. Rusanzwe rutanga metero kibe 1950 none ubu kubera iki kibazo zabaye hafi metero kibe 1000 ku isaha. Rutanga amazi mu bice birimo Nyamirambo, Gikondo, Kicukiro muri Kagarama, Kabeza, Samuduha na Busanza, Kanyinya n’ahandi. Umujyi wa Kigali ukenera amazi angana na metero kibe 143 668. Uyu munsi hiyongereyeho atangwa n’uruganda rwa Nzove ubasha kubona metero kibe ibihumbi 145. Uruganda rwa Nzove rugaburira Umujyi wa Kigali rwahagaritse imirimo by'agateganyo
2019-12-09T01:30:25
http://www.igihe.com/amakuru/u-rwanda/article/ingano-y-amazi-uruganda-rwa-nzove-rugaburira-umujyi-wa-kigali-yagabanutseho-50
[ -1 ]
Diwani wa CCM Arusha kuhamia CDM imekaaje? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Diwani wa CCM Arusha kuhamia CDM imekaaje? Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Mungi, Jan 6, 2012. Ni Alfonce Mawazo. Source: Sunrice Radio Arusha na Moshi hatushangai. tangu mwanzo alikuwa CDM karudi kwao. lkn tutautizama uraia wake, hatoki kenya huyo? kesho jeshi la Uhamiaji kaziniClick to expand... vipi ingekuwa ni pemba ungeshangaa? Mrembo Malaria Sugu umependeza, nataka kuja toa posa uko twayari? Wakati mwingine siasa ni kama mchezo wa pata potea. Ni Alfonce Mawazo. Source: Sunrice RadioClick to expand... mkuu siko Arusha hebu tupe habari kamili Mrembo Malaria Sugu umependeza, nataka kuja toa posa uko twayari?Click to expand... Unaenda kumtolea posa msomali? angalia mkuu! al shabaab hao Chadema wamemnunua huyo ana njaa Jamani ni kweli ama uwongo kwa huyu diwani wa kata ya sombetini (Arusha mjini) ndugu Alfonce Mawazo kahamia chadema.!? Mko wapi wadau wa arusha? Tupeni news updates toka huko, wapi crashwire, wapi Nanyaro, wapi Liverpool fc? utajibeba na kijiba cha roho mbona Pemba huwashangai? Chadema wamemnunua huyo ana njaaClick to expand... huna uhakika wowote we bear. Unaijua history ya huyo diwani Mawazo. Kwa hiyo CHADEMA wana fweza kuliko magamba? imekaa vizuri sana. habari njema kwa CDM. hongera diwani hayo ndo maamuzi ya kikamanda. karibu sana kamanda. Tupe taarifa za uhakika bwana. malaria haikubaliki!!! Ipo vizuri! Jamani ni kweli ama uwongo kwa huyu diwani wa kata ya sombetini (Arusha mjini) ndugu Alfonce Mawazo kahamia chadema.!? Mko wapi wadau wa arusha? Tupeni news updates toka huko, wapi crashwire, wapi Nanyaro, wapi Liverpool fc?Click to expand... wapi Paka Jimmy? Kwa hiyo CHADEMA wana fweza kuliko magamba?Click to expand... kwa mijibu wa stori za vigenge vya gahawa pale tunapokusanyika kujengana kiimani na kuhamasishana kuhusu umuhimu wa ileeeeee mahakama yetu, cdm iko 'safi' kuliko gamba Huyu Diwani juzi tar 5/01/2012 ndiyo alijisalimisha na siyo yeye peke yake kwani aliongozana pia na nafikiri aliyekuwa M/kiti wa CUF hapa jijini na wengine wengi tu ambao nashindwa hata kuwataja,Na kiliwafurahisha wanaCDM waliokuwa uwanjani hiyo juzi ni huyu mawazo kurudi maana MB Lema alishamwambiaga enzi ya kampeni ya kwamba wewe ni kijana mpiganaji lakini bado unang'ang'ana na mafisadi wakati unaona hali ilivyo kwa Watanzania. Sasa kwa wale wana CDM wanaomjua kule mtaani kwake walimpokea kwa shangwe kweli kweli maana anakubalika na kaambatana na wadau wake na wote wamepewa kati na Kijana mdogo kamanda wa watoto kama kiapo ya laana kama watawasaliti na hiyo laana ya kukaribishwa na mtoto iwapate huko huko pamoja na wale waliotoka CUF na huku mtaani kwetu kuna wanachichiem wengine jana wameenda pale ofisi ya CDM kuchukua kadi na kuzirudisha ya mafisadi baada ya mhenyo wa miaka 50 ya uhuru ya watu kuteseka bila ya kuwepo na maji karibu miezi sasa maji ni tabu balaa hapa Arusha. Kwa kweli wote waliorudisha kadi ya mafisadi wamepokelewa kwa vififijo na nderemo hapo uwanjani hasa wakiongozwa na hawa viongozi wawili wa vyama pinzani CUF & ccm!
2017-01-24T09:38:39
https://www.jamiiforums.com/threads/diwani-wa-ccm-arusha-kuhamia-cdm-imekaaje.209802/
[ -1 ]
Mikataba ya ulinzi na machifu wa Tanganyika[hariri | hariri chanzo] Hati ya ulinzi kutoka serikali ya Ujerumani[hariri | hariri chanzo] Uenezaji kwenye pwani na anguko[hariri | hariri chanzo] Ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 20 Septemba 2017, saa 13:27.
2019-06-26T20:17:34
https://sw.wikipedia.org/wiki/Shirika_la_Kijerumani_kwa_Afrika_ya_Mashariki
[ -1 ]
Tukio hili tunalitafsirije? (2) | Gazeti la Jamhuri Tukio hili tunalitafsirije? (2) Jamhuri March 10, 2020 Tukio hili tunalitafsirije? (2)2020-03-10T08:51:02+00:00 Makala Mifano hai ya waliopata ‘rustication’ ni kama hivi (sitawataja majina humu), mmoja alikuwa ni chifu kutoka Usukumani kule Shinyanga. Chifu huyu alitimuliwa Shinyanga akapelekwa kuishi Tunduru, mahali ambako alikuwa hajawahi kufika wakati ule wa ukoloni. Mwingine alikuwa wakili, Mhindi wa Songea, yeye alipelekwa Mpanda, Rukwa. Spika na maofisa wengine wakiingia bungeni kwa ajili ya kuendesha vikao. Wabunge wanatarajiwa kuchochea maendeleo kwa kupitisha mipango ya serikali. Kuna Mpare mmoja kutoka Same, huyu alitupwa Mafia na kuna mtu wa Lindi yeye alihamishiwa kule Mkomazi, Tanga akaishi na Wasambaa. Wazawa wote hao walikuwa na mawazo ya kuichafua serikali. Lakini baada ya kupewa adhabu ile ya ‘rustication’, watu walifyata mikia na kufunga kabisa midomo yao. Walikomeshwa na adhabu ile kali. Labda baadhi ya wasomaji wanakumbuka adhabu hii kwa vile miaka ile ya 1990 kuna Wakurya wa Mara, wezi sugu wa ng’ombe na waporaji sugu wa mifugo walisafirishwa kwa makundi tena kwa ndege kutoka Mwanza mpaka Mtwara na pale walisombwa kwa mabasi kupelekwa Tunduru. (sijui Tunduru serikali ilikuonaje siku zile!) Adhabu ile kali iliwakomesha wakorofi wote. Bado ninajiuliza kuhusu tukio hili, kweli huyu askari wa Operesheni Miaka 50 kutoka Kambi la JKT Mgambo – Kabuku, Tanga amewezaje kulifanya? Lakini kwa vile jambo lenyewe limefikishwa katika Bunge kama hoja binafsi, na Spika wa Bunge kamwambia Mwanasheria Mkuu wa Serikali kulifuatilia sina haja ya kulisemea zaidi. Kichwani mwangu bado nina sintofahamu kimetokea nini kwa Mheshimiwa Zitto Kabwe hata akatenda vile. Nadhani wananchi bado wanakumbuka jina la Mheshimiwa Zitto Kabwe kuhusiana na yale mambo ya madini na kuhusu kuzuiwa kwa ile ndege yetu ya Bombadier Q400-8 kule Canada mwaka juzi. Gazeti la Mwananchi la Agosti 19, 2017 lilimnukuu Kabwe akitamka kwamba yeye kama mpinzani wajibu wake ni kuibua hoja na kuiuliza serikali maswali na wajibu wa serikali ni kutoa majibu. Iliandikwa hivi: “Wajibu wangu huo nimetimiza. Nilimuuliza waziri mwenye dhamana (Profesa Makame Mbarawa) kuhusu suala hili kwenye mtandao wa Tweeter, lakini majibu yake yalikuwa finyu. Haya yanayoendelea sasa ni propaganda za kuchafua na sihitaji kujihusisha nazo…” Mheshimiwa Zitto Kabwe alikuja kusikika tena mtandaoni lilipoibuka suala la Acacia Mining. Sasa kutokana na kule kuanzishwa kwa kampuni ya ushirika baina ya Barrick na serikali iitwayo TWIGA, nafikiri hili limewaumiza sana wapinga maendeleo wote katika nchi yetu. Sijui! Lakini ni wazo moja wapo, au kuna wasiwasi wa huu Uchaguzi Mkuu ujao mwishoni mwa mwaka unaweza kusukuma watu kutenda mambo yasiyofikirika. Mtu mwenye uzalendo kweli asingeweza kutenda vile, sioni kabisa sababu za kutokea hili hapa nchini. Inajulikana ulimwenguni kote kuwa upinzani ndiyo kichocheo cha kuipa serikali changamoto kimaendeleo. Kwa lugha ya wataalamu wa kemia kuna kitu wanaita ‘catalyst’ yaani ‘kichocheo’. Mimi nimekuwa nikiamini kabisa kuwa upinzani katika siasa ni kichocheo cha maendeleo. Lakini inavyoonekana hapa kwetu hasa katika Bunge letu kuwa badala ya kuchochea maendeleo, limezuka hili la kuzuia fedha za miradi ya hayo maendeleo. Kitendo hiki hakikubaliki katika mila na utamaduni wa Kiafrika na ndipo kinaonekana kuwa hatarishi. Kwa mtazamo huo, kinastahili kuitwa uhaini kwa taifa, sivyo? Huko sasa hakuwi tena kutimiza ule wajibu kama upinzani hata kidogo. Hapo unageuka kuwa tendo la kubomoa hayo maendeleo tuliyokwisha kujijengea katika miaka yetu 58 ya kujitawala kwetu. Upinzani si uadui wala si mapambano, bali ni kichocheo cha maendeleo katika nchi. Kwa maana hiyo, njia za kuendesha upinzani ziwe njia halali, si za kuvurugana. Kuna usemi duniani kuwa: “The end never justifies the means.” Ukiwa na maana kuwa lengo halihalalishi njia zinazotumika. Hapo lengo likiwa haramu, basi na njia zitumikazo kulifikia nazo zinakuwa batili. Hivyo basi, kwa vile lengo la upinzani ni kuisimamia serikali, basi njia zile za kuikosoa zitumikazo ziwe halali na zisizokuwa na alama za uchochezi wala uvunjifu wa amani mahalia. Ni wanasiasa wangapi wanajua hilo? Inakuwaje kunatokea hali ya chama kuwa ya ubabe na kutunishiana misuli kama wapiganaji masumbwi vile miongoni mwa wanasiasa kati ya chama tawala na vyama vya upinzani? Tujisahihishe na tujirekebishe, maana nchi hii ni yetu sote, likiharibika jambo, basi sote tutaathirika, na wewe uliyelianzisha hautapona asilani! Kwa mtazamo wa namna hiyo, kiongozi wa NCCR-Mageuzi amekuwa akitamka daima kauli ya ‘maridhiano’. Napenda nikubaliane na maneno au maandiko ya yule Baba Askofu Bagonza kwenye mtandao wake pale aliposema: “Kila penye mitume 12, ‘Yuda Iskariote’ lazima awepo. U-Yuda daima umo ndani ya kundi, wala si nje. Bila Yuda, utume ule mwisho wa siku ni bora huyu aliyeandika kuliko wanaofikiri kama yeye na hawaandiki na wamo ndani ya serikali…” Kwa kuyapima tu maneno haya unaweza kuona wazi haya ni maneno mazito sana na yanatoa tahadhari muhimu kwetu sote angalau tujue tunao miongoni mwetu kina ‘Yuda Iskariote’ – watu wasaliti katika nchi. Tuwe macho na wanoililia Tanzania kwa machozi ya mamba kumbe wanafurahia matatizo ya walala hoi wale waliowapigia kura kuwapeleka katika Bunge. Bado Mhe. Zitto Kabwe haeleweki. Eti anasema: “…Hoja ya msingi hapa ni kwamba una serikali, ambayo inatumia matrilioni ya fedha kununua ndege wakati ni asilimia moja tu ya wananchi wanatumia…” Tazama JAMHURI toleo No. 437 la tarehe 11-17 Feb. 2020 uk. 3. Hapo ndipo panashangaza. Hizi ndege si ndiyo ‘flag carriers’ za taifa letu? Tulikuwa hoi hapa nchini. Shirika limefufuliwa na hizi ndege ndizo zinatuingizia fedha za kigeni kupitia watalii. Je, hilo nalo Zitto Kabwe kweli halijui? Kiwanja cha ndege kule Kigoma kilikuwa cha manyasi, leo hii kimetiwa lami hata Bombadier inatua. Hufurahii hilo? Hajapata kupanda hizi ndege kuja huku Dar? Au tuamini, mheshimiwa huwa anaruka kwa ungo? Kule Kigoma kuna Mbuga ya Wanyama ya Gombe, imejaa masokwe, watalii wanakwenda kwa urahisi sasa na hilo linamchukiza? Hapo kweli mheshimiwa haeleweki – “mtu kwao” – “dulce domum” (kwa Kilatini, ikimaanisha “nyumbani kuzuri”). Lakini yeye anachukia maendeleo haya ya kwao! Hapo ndipo nisemapo haeleweki! Rais wetu Magufuli hachoki kutuomba Watanzania tumtangulize Mwenyezi Mungu katika kulitumikia taifa. Ipo Zaburi katika Biblia inasema hivi: “Bwana ni nuru yangu, na wokovu wangu, nimwogope nani? Bwana ni ngome ya uzima wangu.” (Zab. 27, mstari wa 1). Kama Watanzania wote wa imani na itikadi mbalimbali tukimtanguliza Mungu, naamini tutaishi kwa amani. Basi, ninahitimisha makala hii kwa kukumbuka kuwa Mungu aliumba nchi hii kwa neno lake tu na akatukabidhi sisi wanadamu tuitumie. Nchi haimaliziki kamwe daima ipo pale pale lakini sisi viumbe tuishio katika nchi ndio tunakuja (kwa kuzaliwa) na tunatoweka (kwa kifo). Sasa tunapojitengenezea mazingira mazuri ya kuishi kwa njia nzuri kama kwa elimu bora, afya bora na kadhalika tunapata faraja ya kuishi duniani. Kumbe kuzuia fedha za maendeleo ni ulofa usio na kifano. Unamkomoa nani? ‘World Bank’ kuna Wazungu waliokwisha kuendelea wao wanatuangalia tu na wanatucheka. Ni kujidhalilisha. Naomba sote kwa sauti moja kama wazalendo wenye uchungu wa maendeleo katika nchi yetu tulikemee tendo hili. Kwa mbunge yeyote kujifanya kibaraka wa nchi za Magharibi, ni kukubali utumwa na huko ndiko kufilisika kiuzalendo. Mungu ibariki Tanzania. Dumisha uhuru na umoja wetu. « Watoa huduma za mawasiliano kushindanishwa Anza wewe kuwa jinsi unavyotaka mtoto wako awe »
2020-04-02T11:57:27
https://www.jamhurimedia.co.tz/tukio-hili-tunalitafsirije-2/
[ -1 ]
Suleiman Matola kurudi Msimbazi, Polisi Tanzania wasubiri kulipwa fidia – Dar24 2 weeks ago Comments Off on Suleiman Matola kurudi Msimbazi, Polisi Tanzania wasubiri kulipwa fidia Mabingwa wa soka Tanzania bara Wekundu Wa Msimbazi Simba (Simba SC), wapo katika mpango wa kutaka kumng’oa kocha wa Polisi Tanzania FC Suleiman Matola, ili wamkabidhi jukumu la kuwa kocha mkuu. Uongozi wa Simba SC upo katika mpango huo, baada ya kuthibitisha kuachana na kocha Patrick Aussems jana Jumamosi (Novemba 30). Matola anapewa kipaumbele cha kurithi mikoba ya kocha mkuu huko Msimbazi, kufuatia kuwa na uzoefu wa kutosha katika ligi ya Tanzania bara, pamoja na kuifahamu vyema klabu ya Simba, ambayo aliwahi kuitumikia kama mchezaji. Hata hivyo makamu mwenyekiti wa Polisi Tanzania FC Robert Munis, alipoulizwa kuhusu mpango huo wa mabingwa mara 20 wa Tanzania bara, alisema hakuna shaka yoyote endapo watakubaliana na uongozi wa Simba. “Matola bado ana mkataba na Polisi Tanzania, lakini kama Simba SC wanamuhitaji itawapasa wafuate taratibu za kulipa fidia za kuvunja mkataba wa kocha wetu,” alisema Munis alipohojiwa na gazeti la Mwanaspoti. “Hatuna sababu yoyote ya kumzuia Matola, endapo kila hatua itafuatwa kikamilifu, soka ni mchezo unaotoa ajira kila kukicha, na kama bahati imeangukia kwa Matola na ina maslahi yakuridhisha, hatuna budi kumruhusu kuondoka.” Kwa sasa kikosi cha Simba SC kinasimamiwa na kocha msaidizi Denis Kitambi, na uongozi wa klabu hiyo umedhamiria kumtangaza kocha mkuu haraka iwezekanavyo, ili kuanza maandalizi rasmi ya kuelekea mchezo ujao wa ligi kuu dhidi ya Young Africans. Simba SC watakua wenyeji wa Young Africans Januari 04 -2020 Uwanja wa Taifa, jijini Dar es salaam.
2019-12-13T00:11:53
http://www.dar24.com/suleiman-matola-kurudi-msimbazi-polisi-tanzania-wasubiri-kulipwa-fidia/
[ -1 ]
Uchambuzi: Mrajisi azipitie katiba za vilabu vya mpira Zanzibar kabla ya ile mpya ya ZFA kupitishwa - Zanzibar24 Uchambuzi: Mrajisi azipitie katiba za vilabu vya mpira Zanzibar kabla ya ile mpya ya ZFA kupitishwa July 30, 2018 Is-hak Wakati wiki hii ikielekea mwishoni na kukamilisha wiki nzima ,wiki hii tukio kubwa limetokea kwenye upande wa michezo Zanzibar na kupewa uzito kwenye vyombo vya habari na katika jamii ya Zanzibar na Tanzania kwa ujumla baada ya Mrajasi wa vyama vya michezo Zanzibar kuivunja kamati tendaji ya ZFA kwa kushindwa kuwajibika kikanuni na kudharau ombi la mrajisi la kutaka kutakiwa kurekekebisha baadhi ya vipengele kwenye katiba ya ZFA ya mwaka 2010 ambavyo vilikuwa vinaleta utata. Hili limevuta sana hisia za watu wadau wa mpira wa miguu ndani na nje ya Zanzibar kwa kuona viongozi waliopewa dhamana ya mpira wa miguu Zanzibar kuwa wanawajibika kuondoka kwenye nafasi zao kwa kushindwa kuendesha mpira wa Zanzibar ambao unahitaji umakini katika kuuwendesha . Maoni yetu ya wiki hii sisi dawati la michezo Zanzibar 24 ni kuungalia kuna haja kubwa ya mrajisi wa vyama vya michezo Zanzibar kurudi kwa vilabu vya Zanzibar hususani vile vya madaraja ya juu kwa Zanzibar yanayoendeshwa na ZFA Taifa kufanya mapitio ya kisheria na kikanuni ya vilabu hivi ili kundoa vikwazo vya mpira wa Zanzibar. Watu wengi wamekuwa wakiona suala hili halina umuhimu kwa kuwa wanahisi ndani ya vilabu vyetu hakuna matatizo ya kikatiba kwa kuwa tunaikosoa sana katiba ya ZFA bila ya kungalia katiba za vilabu ambazo zinaonyesha wazi zinamapungufu ya kisheria. Swala hili halihitaji ufafanuzi kwa muda mrefu vilabu vyetu vimekuwa na viongozi wanao jita maraisi wa vilabu na makatibu je katiba zao zinawatambua, wakati tunajipanga kurudisha mpira wa Zanzibar tusisahau vilabu ndio wadau wakubwa wa mpira wa Zanzibar. Vilabu vyetu vimekuwa kwa muda mrefu havijafanya chaguzi za kuteuwa viongozi wapya wa kuendesha vilabu hivyo hususan hivi vilabu vya vikosi vya maaskari kwa muda mrefu viongozi wao huwa wale wale kinyume na taratibu za kuendesha mpira lazima turudi kwenye katiba zao kama zinamapungufu lazima zifanyiwe marekebisho haraka sana. Tumekuwa na utitiri wa vilabu vingi Zanzibar lakini hatuoni mabadiliko ya uongozi kwenye vilabu hivyo na kuona viongozi wao wapo muda mrefu kinyume na taratibu za kuendesha mpira kwa mfumo wa kisasa mfano vilabu vilivyopoa kwenye madaraja ya ligi kuu ya Zanzibar Unguja na Pemba. Umefika wakati sasa vilabu vya Vikosi (Majeshi) virudi uraiani hata ofisi zao za vilabu kwa kuwa tunataka mabadiliko ya mpira wa Zanzibar na wawe na katiba zinawafanya kufanya uchaguzi ndani ya vilabu vyao kwani wao ni vilabu vya mpira vilivyochini ya Ofisi ya mrajisi na Baraza la michezo pamoja na ZFA kama vilabu vyengine sasa lazima virudi kwa wananchi na kuhakikisha katiba zinapitiwa upya. Maoni yetu tunaiomba sana ofisi ya mrajisi wa vyama vya michezo Zanzibar yenye mamlaka kisheria kupitia katiba za vilabu vyetu ili kuondoa vikwazo vinavyojitokeza kwa kuwa kuna baadhi ya wanachama wanahaki ya kutaka kuviongoza vilabu vyao pale wanapoona kuwa vilabu hivyo vinakwenda mrama kwenye masuala ya uendashaji wa michezo. Taifa Jangombe moja ya vilabu vilivyofanya marekebisho ya katiba yao hivyo tunatarajia mabadiliko makubwa kwenye klabu yao na tunatarajia siku ya uchaguzi watapata viongozi madhubuti wa kuiyongoza klabu yao ya Taifa Jangombe . Hatuna budi kumpongeza mrajisi wa vyama vya michezo kwa hatua kubwa alioichukua kwa kuivunja kamati tendaji ambayo haikuwa na meno wakati viongozi walipokuwa wakiboronga katika kuendesha mpira na kusimamia kanuni zilizopangwa hivyo panga hili lirudi kwa vilabu vyetu vingi vimekuwa na viongozi wa muda mrefu hawana malengo katika kuendesha vilabu vyetu. Na: Ibrahim Makame Zanzibar24. ← Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi kifo cha Sheikh Salum Fereji Huu hapa msimamo wa ligi kuu ya Zanzibar →
2019-03-25T16:08:48
http://zanzibar24.co.tz/75744/
[ -1 ]
 Swahili - Sorah Hud Noble Quran » Swahili » Sorah Hud Na wasipo kuitikieni, basi jueni ya kwamba (hii Qur'ani) imeteremshwa kwa ujuzi wa Mwenyezi Mungu, na kwamba hapana mungu ila Yeye. Basi je! Nyinyi ni Waislamu? Hao ndio walio zikhasiri nafsi zao, na yakawapotea waliyo kuwa wakiyazua. Bila ya shaka hakika wao ndio wenye kukhasiri huko Akhera. Hakika wale walio amini, na wakatenda mema, na wakanyenyekea kwa Mola wao Mlezi, hao ndio watu wa Peponi, na humo watadumu. Mfano wa makundi mawili ni kama kipofu kiziwi, na mwenye kuona na anasikia. Je, wawili hawa wanakuwa sawa kwa kufananishwa? Basi, je, hamfikiri? Na Sisi tulimtuma Nuhu kwa watu wake, akawaambia: Hakika mimi ni mwonyaji kwenu ninaye bainisha, Ya kwamba msimuabudu isipo kuwa Mwenyezi Mungu tu. Hakika mimi ninakukhofieni adhabu ya Siku Chungu. Na wakasema wakuu walio kufuru katika kaumu yake: Hatukuoni wewe ila ni mtu tu kama sisi, wala hatukuoni wamekufuata ila wale walio kuwa kwetu watu duni, wasio kuwa na akili. Wala hatukuoneni kuwa mna ubora wowote kutushinda sisi. Bali tuna hakika nyinyi ni waongo. Akasema: Enyi watu wangu! Hebu fikirini! Ikiwa mimi ninayo hoja wazi iliyo toka kwa Mola wangu Mlezi, na amenipa rehema kutoka kwake, nayo ikakufichikieni; je, tukulazimisheni kuikubali hali nyinyi mnaichukia? Na enyi watu wangu! Mimi sikuombeni mali kwa ajili ya haya. Mimi sina ujira ila kwa Mwenyezi Mungu; na mimi sitawafukuza walio amini. Hakika wao watakutana na Mola wao Mlezi, lakini mimi nakuoneni mnafanya ujinga. Na enyi watu wangu! Ni nani atakaye nisaidia kwa Mwenyezi Mungu nikiwafukuza hawa? Basi je, hamfikiri? Wala sikwambiini kuwa nina khazina za Mwenyezi Mungu; wala kuwa mimi najua mambo ya ghaibu; wala sisemi: Mimi ni Malaika. Wala siwasemi wale ambao yanawadharau macho yenu kuwa Mwenyezi Mungu hatawapa kheri - Mwenyezi Mungu anajua yaliomo katika nafsi zao - hapo bila ya shaka ninge kuwa miongoni mwa wenye kudhulumu. Wakasema: Ewe Nuhu! Umejadiliana, na umekithirisha kutujadili. Basi tuletee hayo unayo tuahidi, ukiwa miongoni mwa wasemao kweli. Akasema: Mwenyezi Mungu atakuleteeni akipenda. Wala nyinyi si wenye kumshinda. Wala nasaha yangu haikufaini kitu nikitaka kukunasihini, ikiwa Mwenyezi Mungu anataka kukuachieni mpotee. Yeye ndiye Mola wenu Mlezi; na kwake mtarejeshwa. Au ndio wanasema: Ameizua? Sema: Ikiwa nimeizua, basi kosa hilo ni juu yangu, na mimi sikhusiki na makosa myatendayo. Na akafunuliwa Nuhu akaambiwa: Hataamini yeyote katika watu wako ila wale walio kwisha amini. Basi usisikitike kwa waliyo kuwa wakiyatenda. Na unda jahazi mbele ya macho yetu na kwa mujibu wa ufunuo wetu. Wala usinisemeze kuwatetea walio dhulumu. Kwani hao bila ya shaka watazamishwa. Na akawa anaunda jahazi, na kila wakipita wakuu wa kaumu yake wakimkejeli. Yeye akasema: Ikiwa nyinyi mnatukejeli na sisi tunakukejelini kama mnavyo tukejeli. Nanyi mtakuja jua ni nani itakaye mfikia adhabu ya kumhizi, na itakaye mteremkia adhabu ya kudumu. Hata ilipo kuja amri yetu, na tanuri ikafoka maji, tulisema: Pakia humo wawili wawili, dume na jike, kutoka kila aina, na ahali zako, isipo kuwa wale ambao imekwisha wapitia hukumu; na watu walio amini. Na hawakuamini pamoja naye ila wachache tu. Na akasema: Pandeni humo kwa Bismillahi, Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, kwenda kwake na kusimama kwake. Hakika Mola wangu Mlezi ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu. Ikawa inakwenda nao katika mawimbi kama milima. Na Nuhu akamwita mwanawe naye alikuwa mbali: Ewe mwanangu! Panda pamoja nasi, wala usiwe pamoja na makafiri. Akasema: Nitakimbilia mlimani unilinde na maji. (Nuhu) akasema: Leo hapana wa kulindwa na amri ya Mwenyezi Mungu ila aliye mrehemu mwenyewe. Na wimbi likawatenganisha, akawa katika walio zama. Na ikasemwa: Ewe ardhi! Meza maji yako. Na Ewe mbingu! Jizuie. Basi maji yakadidimia chini, na amri ikapitishwa, na (jahazi) likasimama juu ya (mlima) wa Al Juudiy. Na ikasemwa: Wapotelee mbali watu walio dhulumu! Na Nuhu alimwomba Mola wake Mlezi: Ee Mola Mlezi wangu! Hakika mwanangu ni katika ahali zangu, na hakika ahadi yako ni haki. Na Wewe ni Mwenye haki kuliko mahakimu wote. Akasema: Ewe Nuhu! Huyu si katika ahali zako. Mwendo wake si mwema. Basi usiniombe jambo usio na ujuzi nalo. Mimi nakuwaidhi usije ukawa miongoni mwa wajinga. Nuhu akasema: Ewe Mola wangu Mlezi! Mimi najikinga kwako nisikuombe nisio na ujuzi nalo. Na kama hunisamehe na ukanirehemu, nitakuwa katika walio khasiri. Ikasemwa: Ewe Nuhu! Shuka kwa salama itokayo kwetu, na baraka nyingi juu yako na juu ya watu walio pamoja nawe. Na zitakuwapo kaumu tutakazo zistarehesha, na kisha zitashikwa na adhabu chungu itokayo kwetu. Hizi ni katika khabari za ghaibu tunazo kufunulia. Hukuwa ukizijua wewe, wala watu wako, kabla ya hii. Basi subiri! Hakika Mwisho ni wa wachamngu. Na kwa kina A'adi tulimtuma ndugu yao Hud. Akasema: Enyi watu wangu! Muabuduni Mwenyezi Mungu! Nyinyi hamna mungu isipo kuwa Yeye. Nyinyi si chochote ila ni wazushi tu. Enyi watu wangu! Sikuombeni ujira kwa ajili ya haya. Haukuwa ujira wangu ila kwa Yule aliye niumba. Basi hamtumii akili? Na enyi watu wangu! Muombeni msamaha Mola wenu Mlezi, kisha mtubie kwake. Atakuleteeni mbingu zenye kunyesha mvua ya kumiminika, na atakuzidishieni nguvu juu ya nguvu zenu. Wala msigeuke mkawa wakosefu. Wakasema: Ewe Hud! Hujatuletea dalili wazi. Wala sisi hatuiachi miungu yetu kwa kufuata kauli yako. Na wala sisi hatukuamini wewe. Sisi tunasema: Baadhi katika miungu yetu imekusibu kwa baa. Akasema: Hakika mimi namshuhudisha Mwenyezi Mungu, na nyinyi shuhudieni, ya kwamba mimi najitenga mbali na hao mnao wafanya washirika, Mkamwacha Yeye. Basi nyote nyinyi nipangieni vitimbi, na kisha msinipe muhula! Hakika mimi nimemtegemea Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wangu na Mola Mlezi wenu. Hapana kiumbe yeyote ila Yeye anamwendesha atakavyo. Hakika Mola wangu Mlezi yuko juu ya Njia Iliyo Nyooka. Na ikiwa watarudi nyuma, basi mimi nimekwisha kufikishieni niliyo tumwa kwenu. Na Mola wangu Mlezi atawaleta watu wengine badala yenu, wala nyinyi hamumdhuru kitu Yeye. Hakika Mola wangu Mlezi ni Mwenye kuhifadhi kila kitu. Ilipo fika amri yetu, tulimwokoa Hud na walio amini pamoja naye, kwa rehema itokayo kwetu. Na tukawaokoa na adhabu ngumu. Na hao ndio kina A'adi. Walizikanusha Ishara za Mola wao Mlezi, na wakawaasi Mitume wake, na wakafuata amri ya kila jabari mwenye inda. Na wakafuatishiwa laana katika dunia hii na Siku ya Kiyama. Basi tambueni mtanabahi! Hakika kina A'adi walimkufuru Mola wao Mlezi. Na tambueni mtanabahi kuwa hakika waliangamizwa kina A'adi, kaumu ya Hud. Na kina Thamud tuliwapelekea ndugu yao Saleh. Akasema: Enyi watu wangu! Muabuduni Mwenyezi Mungu. Nyinyi hamna Mungu ila Yeye. Yeye ndiye aliye kuumbeni katika ardhi, na akakuwekeni humo. Basi mwombeni msamaha, kisha mtubu kwake. Hakika Mola wangu Mlezi yupo karibu, anaitikia maombi. Wakasema: Ewe Saleh! Hakika kabla ya haya ulikuwa unatarajiwa kheri kwetu. Je, unatukataza tusiwaabudu waliyo kuwa wakiwaabudu baba zetu? Na hakika sisi tuna shaka na wasiwasi kwa hayo unayo tuitia. Akasema: Enyi watu wangu! Mwaonaje ikiwa ninazo dalili zilizo wazi kutokana na Mola wangu Mlezi, naye akawa kanipa rehema kutoka kwake - je, ni nani atakaye ninusuru kwa Mwenyezi Mungu nikimuasi? Basi nyinyi hamtanizidishia ila khasara tu. Enyi watu wangu! Huyu ngamia wa Mwenyezi Mungu ni Ishara kwenu. Basi mwacheni ale katika ardhi ya Mwenyezi Mungu; wala msimguse kwa ubaya, isije ikakuangamizeni adhabu iliyo karibu. Wakamchinja. Basi (Saleh) akasema: Stareheni katika mji wenu muda wa siku tatu. Hiyo ni ahadi isiyo kuwa ya uwongo. Basi ilipo kuja amri yetu tulimwokoa Saleh na wale walio amini pamoja naye kwa rehema yetu kutokana na hizaya ya siku ile. Hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kushinda. Na ukelele uliwaangamiza wale walio dhulumu, wakapambazukiwa nao ni maiti majumbani mwao. Kama kwamba hawakuwako huko. Hebu zingatieni! Hakika kina Thamud walimkufuru Mola wao Mlezi. Hebu zingatieni! Thamud wamepotelea mbali! Na wajumbe wetu walimjia Ibrahim kwa bishara njema, wakasema: Salama! Naye akasema: Salama! Hakukaa ila mara akaleta ndama wa kuchoma. Basi alipoona mikono yao haimfikilii aliwatilia shaka, na akawaogopa. Wakasema: Usiogope! Hakika sisi tumetumwa kwa kaumu ya Lut'. Na mkewe alikuwa kasimama wima, akacheka. Basi tukambashiria (kuzaliwa) Is-haq, na baada ya Is-haq Yaaqub. Akasema: Je, hivyo mimi nizae, na hali yangu ni kikongwe na huyu mume wangu ni kizee? Hakika haya ni mambo ya ajabu! Wakasema: Je, unastaajabia amri ya Mwenyezi Mungu? Rehema ya Mwenyezi Mungu na baraka zake ziko juu yenu, enyi watu wa nyumba hii! Hakika Yeye ndiye Msifiwa wa kutukuzwa. Basi khofu ilipo mwondoka Ibrahim, na ikawa ile bishara imemfikia, alianza kujadiliana nasi juu ya kaumu ya Lut'. Hakika Ibrahim alikuwa mpole, ana huruma, na mwepesi wa kurejea kwa Mwenyezi Mungu. (Akaambiwa): Ewe Ibrahim! Wachilia mbali haya! Kwa hakika amri ya Mola wako Mlezi imekwisha kuja, na hakika hao itawafikia adhabu isiyo rudi nyuma. Na wajumbe wetu walipo kuja kwa Lut' aliwahuzunukia na akawaonea dhiki. Akasema: Hii leo ni siku ngumu! Wakamjia kaumu yake mbio mbio. Na kabla ya haya walikuwa wakitenda maovu. Yeye akasema: Enyi watu wangu! Hawa binti zangu, ndio wametakasika zaidi kwenu. Basi mcheni Mwenyezi Mungu, wala msinihizi mbele ya wageni wangu. Hivyo, hamna hata mtu mmoja miongoni mwenu aliye ongoka? Wakasema: Bila shaka umekwisha jua hatuna haki juu ya binti zako, na unayajua tunayo yataka. Akasema: Laiti ningeli kuwa na nguvu kwenu, au nategemea kwenye nguzo yenye nguvu! (Wajumbe) wakasema: Ewe Lut'! Sisi ni wajumbe wa Mola wako Mlezi. Hawa hawatakufikia. Na wewe ondoka pamoja na ahali zako usiku ungalipo. Wala yeyote miongoni mwenu asitazame nyuma, isipo kuwa mkeo, kwani yeye utamfika msiba utakao wafika hao. Hakika miadi yao ni asubuhi. Je, asubuhi si karibu? Basi ilipo fika amri yetu tuliigeuza nchi juu chini, na tukawateremshia mvua ya changarawe za udongo mgumu ulio kamatana wa Motoni, Zilizo tiwa alama kwa Mola wako Mlezi. Na haya hayako mbali na wenye kudhulumu wengineo. Na kwa watu wa Madyana tuliwatumia ndugu yao Shua'ib. Akasema: Enyi watu wangu! Muabuduni Mwenyezi Mungu. Nyinyi hamna Mungu ila Yeye, wala msipunguze vipimo na mizani. Mimi nakuoneni mmo katika hali njema, nami nakukhofieni adhabu ya Siku kubwa hiyo itakayo kuzungukeni. Na enyi watu wangu! Timizeni vipimo na mizani kwa uadilifu wala msiwakhini watu vitu vyao; wala msieneze uovu katika nchi mkafanya uharibifu. Alivyo kubakishieni Mwenyezi Mungu ndiyo bora kwa ajili yenu, ikiwa nyinyi ni Waumini. Wala mimi siye mlinzi wenu. Wakasema: Ewe Shua'ibu! Ni sala zako ndizo zinazo kuamrisha tuyaache waliyo kuwa wakiyaabudu baba zetu, au tuache kufanya tupendavyo katika mali zetu? Ama hakika wewe ni mstahamilivu kweli na mwongofu! Akasema: Enyi watu wangu! Mwaonaje ikiwa ninayo dalili wazi inayo tokana na Mola wangu Mlezi, na ikawa Yeye ameniruzuku riziki njema kutoka kwake? Wala mimi sipendi kukukhalifuni nikafanya yale ninayo kukatazeni. Sitaki ila kutengeneza kiasi ninavyo weza. Na sipati kuwezeshwa haya ila na Mwenyezi Mungu. Kwake Yeye ninategemea, na kwake Yeye naelekea. Na enyi watu wangu! Kukhalifiana nami kusikupelekeeni hata mkasibiwa kama walivyo sibiwa watu wa Nuhu, au watu wa Hud, au watu wa Saleh. Na watu wa Lut' si mbali nanyi. Na ombeni msamaha kwa Mola wenu Mlezi, tena tubuni kwake. Hakika Mola wangu Mlezi ni Mwenye kurehemu na Mwenye upendo. Wakasema: Ewe Shua'ibu! Mengi katika hayo unayo yasema hatuyafahamu. Na sisi tunakuona huna nguvu kwetu. Lau kuwa si jamaa zako tunge kupiga mawe, wala wewe si mtukufu kwetu. Akasema: Enyi watu wangu! Kwani jamaa zangu ni watukufu zaidi kwenu kuliko Mwenyezi Mungu? Na Yeye mmemueka nyuma ya migongo yenu! Hakika Mola wangu Mlezi ni Mwenye kuyazunguka yote mnayo yatenda. Na enyi watu wangu! Fanyeni mwezayo, na mimi pia ninafanya. Karibuni mtajua ni nani itakaye mfikia adhabu ya kumhizi, na nani aliye mwongo. Na ngojeni, mimi pia ninangoja pamoja nanyi. Na ilipo fika amri yetu, tulimwokoa Shua'ibu na wale walio amini pamoja naye kwa rehema yetu. Na ukelele uliwanyakua walio dhulumu, na wakapambaukiwa majumbani mwao wamekufa kifudifudi! Kama kwamba hawakuwamo humo. Zingatia walivyo angamia watu wa Madyana, kama walivyo angamia watu wa Thamud! Kwa Firauni na waheshimiwa wake. Lakini wao walifuata amri ya Firauni, na amri ya Firauni haikuwa yenye uwongofu. Siku ya Kiyama atawatangulia watu wake na atawaingiza Motoni. Na muingio muovu ulioje huo! Nao wamefuatishiwa laana hapa duniani na Siku ya Kiyama. Ni mabaya yalioje watakayo pewa! Hizi ni katika khabari za miji, tunakusimulia. Mingine ipo bado na mingine imefyekwa. Na Sisi hatukuwadhulumu, lakini wao wenyewe wamejidhulumu. Na miungu yao waliyo kuwa wakiiomba badala ya Mwenyezi Mungu haikuwafaa kitu ilipo kuja amri ya Mola wako Mlezi. Na hiyo miungu haikuwazidishia ila maangamizo tu. Na ndio kama hivyo ndivyo inavyo kuwa Mola wako Mlezi anapo ikamata miji inapo kuwa imedhulumu. Hakika mkamato wake ni mchungu na mkali. Hakika katika haya ipo ishara kwa yule anaye ogopa adhabu ya Akhera. Hiyo ndiyo Siku itakayo kusanyiwa watu, na hiyo ndiyo Siku itakayo shuhudiwa. Na Sisi hatuiakhirishi ila kwa muda unao hisabiwa. Watadumu humo muda wa kudumu mbingu na ardhi, isipo kuwa apendavyo Mola wako Mlezi. Hakika Mola wako Mlezi hutenda apendavyo. Na ama wale walio bahatika, wao watakuwamo Peponi wakidumu humo muda wa kudumu mbingu na ardhi, isipo kuwa apendavyo Mola wako Mlezi. Hicho ni kipawa kisio na ukomo. Basi usiwe na shaka juu ya wanayo yaabudu hao. Hawaabudu ila kama walivyo abudu baba zao zamani. Na hakika Sisi tutawatimilizia fungu lao bila ya kupunguzwa. Na kwa yakini tulimpa Musa Kitabu; zikazuka khitilafu ndani yake. Na lau kuwa si neno lilio kwisha tangulia kutoka kwa Mola wako Mlezi, bila ya shaka ingeli hukumiwa baina yao. Na hakika wao wamo katika shaka juu yake inayo wahangaisha. Na hakika Mola wako Mlezi atawatimilizia malipo ya vitendo vyao. Hakika Yeye anayo khabari ya wayatendayo. Basi, simama sawa sawa kama ulivyo amrishwa, wewe na wale wanao elekea kwa Mwenyezi Mungu pamoja nawe; wala msikiuke mipaka. Hakika Yeye anayaona yote myatendayo. Wala msiwategemee wanao dhulumu, usije ukakuguseni Moto. Wala nyinyi hamna walinzi badala ya Mwenyezi Mungu, wala tena hamtasaidiwa. Na shika Sala katika ncha mbili za mchana na nyakati za usiku zilizo karibu na mchana. Hakika mema huondoa maovu. Huu ni ukumbusho kwa wanao kumbuka. Na subiri, kwani Mwenyezi Mungu hapotezi ujira wa wanao fanya wema. Basi mbona hawakuwamo katika watu wa kabla yenu wenye vyeo na wasaa wanao kataza uharibifu katika nchi, isipo kuwa wachache tu, ambao ndio tulio waokoa? Na walio dhulumu walifuata starehe zao, na wakawa ni wakosefu. Wala hakuwa Mola wako Mlezi wa kuihiliki miji kwa dhulma tu na hali watu wake ni watenda mema. Isipo kuwa wale ambao Mola wako Mlezi amewarehemu; na kwa hiyo ndio Mwenyezi Mungu amewaumba. Na litatimia neno la Mola wako Mlezi: Kweli kweli nitaijaza Jahannam kwa majini na watu pamoja. Na yote tunayo kusimulia katika khabari za Mitume ni ya kukupa nguvu moyo wako. Na katika haya imekujia haki na mawaidha na ukumbusho kwa Waumini. Na waambie wale wasio amini: Fanyeni muwezavyo, nasi pia tunafanya. Na ngojeni, na sisi tunangoja. Na ni vya Mwenyezi Mungu tu vyote vilivyo fichikana katika ardhi na mbingu, na mambo yote yatarejezwa kwake. Basi muabudu Yeye na umtegemee Yeye. Na Mola wako Mlezi haghafiliki na yale mnayo yatenda.
2020-01-21T10:09:19
http://quran2all.com/translate-11-34.html
[ -1 ]
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea kesho kwa michezo mitano ya Mzunguko wa Nne. | TANURU LA FIKRA BlogNews Home Uncategories Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea kesho kwa michezo mitano ya Mzunguko wa Nne. TANURU LA FIKRA 1:39:00 AM Add Comment Edit Ligi hiyo itaendelea Jumapili Septemba 11, 2016 kwa Simba kuikaribisha Mtibwa Sugar ya Morogoro kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam, lakini uliokuwa uzikutanishe timu za African Lyon na Mbao hapo kesho umesogezwa mbele hadi Jumatatu Septemba 12, 2016. Mchezo huo utafanyika Uwanja wa Uhuru baada ya African Lyon kubadili uwanja kutoka Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume.
2017-10-18T09:23:43
http://www.tanurulafikra24.com/2016/09/ligi-kuu-ya-vodacom-tanzania-bara.html
[ -1 ]
WAZIRI MHAGAMA AKIFAGILIA KIWANDA CHA VIATU CHA KARANGA MKOANI KILIMANJARO - SUFIANIMAFOTO Home HABARI PICHA WAZIRI MHAGAMA AKIFAGILIA KIWANDA CHA VIATU CHA KARANGA MKOANI KILIMANJARO WAZIRI MHAGAMA AKIFAGILIA KIWANDA CHA VIATU CHA KARANGA MKOANI KILIMANJARO
2018-12-14T05:02:41
http://www.sufianimafoto.com/2017/07/waziri-mhagama-akifagilia-kiwanda-cha.html
[ -1 ]
UN: Marekani ichukue hatua mauji ya mtu mweusi | UDAKU SPECIAL BLOG UN: Marekani ichukue hatua mauji ya mtu mweusi May 29, 2020 Marekani No comments Kamishna wa Haki za Binaadamu, katika Umoja wa Mataifa Michelle Bachelet amelaani kifo cha Mmarekani mweusi, George Floyd kilichotokea mikononi mwa polisi, na kutaka serikali ya taifa hilo kudhibiti mauwaji ya Wamarekani, wenye asili ya Afrika wasio na silaha. Katika taarifa yake kwa umma kiongozi huyo amesema hicho ni kisa cha hivi karibuni kabisa miongoni mwa mauwaji mengi ya jamii hiyo ya raia wasio na silaha. Aidha kamishna huyo wa Umoja wa Mataifa alitaja majina kama ya Ahmaud Arbery na Trayvon Martin ambao pia waliuwawa. Mfanyakazi wa mgahawani, George Floyd aliyekuwa na umri wa miaka 46 aliuwawa Jumatatu wakati akiwa katika mikono ya polisi huko katika mji wa kaskazini wa Minneapolis, na kuzusha maandamano ya wenye hasira katika maeneo mbalimbali. Gadhabu za maandamano hayo zilichochewa zaidi na video iliyorikodiwa na mpita njia ikionesha polisi mzungu akitumia goti kumkandamiza shingoni Floyd aliyefungwa pingu huku akiomba msaada kutokana na kukosa pumzi.
2020-07-14T19:12:01
https://www.udakuspecially.com/2020/05/un-marekani-ichukue-hatua-mauji-ya-mtu.html
[ -1 ]
RAHA ZA PWANI BLOG: DK. SHEIN ZIARANI PEMBA DK. SHEIN ZIARANI PEMBA Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akipata maelezo kutoka kwa Katibu wa Wizara ya Kilimo na Maliasili Afani Othman Maalim, alipotembelea Bonde la Ukele,kukagua Tuta la kuzuia Maji Chumvi,katika Wilaya ya Micheweni Kaskazini Pemba,akiwa katika ziara ya kuangalia maendeleo ya jamii katika Wilaya hiyo. Askari wa Jeshi la kujenga Uchumi (JKU) na Mafunzo wa Pemba wakimasikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akizungumza na wananchi pamoja na kikosi kazi na kutoa shukurani kutokana kufanikisha zoezi la uchumaji wa karafuu ambao umepelekea kuongezeka kwa mapato kwa Serikali ya Mapinduzi,sambamba na kuimarishwa kwa ulinzi katika zoezi hilo,katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Pemba. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akifungua pazia kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi kituo cha Afya Chimba, Jimbo la Tumbe, alipokuwa ziarani kuangalia maendeleo ya jamii katika Mkoa wa Kaskazini Pemba. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na Wananchi na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM wa Tawi la Pobwe Magharibi,Wete Pemba alipofika kuzindua Tawi la CCM katika kijiji hicho,alipokuwa katika ziara maalum ya kuimarisha Chama. Baadhi ya wananchi wa Chimba Kaskazini Pemba, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akizungumza nao wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi kituo cha Afya katika Shehia hiyo jana, akiwa katika ziara ya kuangalia maendeleo ya jamii katika Mkoa wa Kaskazini Pemba
2018-03-18T09:44:02
http://saidpowa.blogspot.com/2012/04/dk-shein-ziarani-pemba.html
[ -1 ]
Zambia yafungua mpaka wake na Tanzania – Millardayo.com Zambia yafungua mpaka wake na Tanzania Rais wa Zambia, Edgar Lungu, ametangaza kufungua rasmi mpaka na Tanzania na kuruhusu wananchi kuendelea na shughuli zao kama kawaida. Rais Lungu ametoa agizo hilo jana jioni wakati akilihutubia taifa na kuagiza wananchi waendelee na shughuli zao huku wakifuata maoni na ushauri wa Wataalam katika kujikinga na virusi vya Corona. Ikumbukwe kuwa Zambia ilifunga mpaka wake na Tanzania tangu Mei 11 huku wilaya ya Nakonde ikipigwa ‘lockdown’ ikiwa ni hatua ya kutathmini njia za kuzuia maambukizi yaliyokuwa yakiongezeka kwa kasi ndani ya Nakonde. MTAMBO WA KUFUKIZA, CORONA, KANSA, PUMU, WAGONJWA WAMEPONA “NYUNGU SIKU 3 TU” ← Previous Story Mgogoro Kenya, Tanzania “Madereva wapimwe Corona kwenye nchi zao” (+video) Next Story → Askari aliemuokoa Mtoto kwenye choo apandishwa cheo (+video)
2020-06-07T00:45:53
https://millardayo.com/zambia-yafungua-mpaka-wake-na-tanzania/
[ -1 ]
Marianne Keitany : Ndatirimanire ria mbere na Linturi obisine ya munini wa rais, William Ruto Meru Fm August 20, 2019 3,382 1 minute read Marianne Kitany, uria aari mwekuru wa Senator wa Meru Mithika Linturi riu niaithurite ati kagita kambere gutirimana na Linturi kaari kagita karia munini wa rais William Ruto amutumite kuri Linturi kumuromba eberie yendikithia riawe ria kwenda uria waari minister wa Devolution kagitani kau Anne Mumbi Waiguru kubutwa wira. Kagitani gaka, mwankani wa 2014 mwerini wa kana, Waiguru arumiriritwe na urito ni igamba riegie nkukumo ya mirioni 791 cia rwang’i rwa NYS. Akiruta uira waawe umunthi kortini ya Milimani mbere ya mugambithania munene Peter Ngare, Kitany augite kagita kaawe ka mbere gutirimana na Linturi kaari obisine ya munini wa rais, William Ruto, mwankani wa 2013 nyuma ya gutaarwa kwa Ruto ta munini wa rais, kuria nawe ari akuthuurwa ta murungamiriri munene wa aruti ngugi obisine iu kana Chief of Staff. Mr Linturi, ruteereni rwarwe nawe ari akuthurwa ria kairi ta mubunge wa Igembe South na kiama kia TNA. Kuringana na Kituny, munini wa rais niamwathite atumikire mateta mengi maria Linturi akinyagia obisine iu kagita gwa kagita, na au nio kwari kiambiriria kia ndugu yao. Mwerini wa December mwanka wa 2018, nirio Ms Kitany akinyirie kortini yendikithia ria kwenda gutigana na Mr Linturi, iguru ria kiria augire ni kunyariirwa, Linturi gutuma ndugu cia kiwendo na ekuru mangi oamwe na kwithirwa Linturi ari na mwekuru ungi au kabere mbere ya magurana. Ruteereni rwaawe, Linturi ainyiririe ati we gutiri kagita ajukitie Ms Kaitany rasmi ari ta mwekuru waawe. Nkuruki Linturi niarigirirue gutumira kana kurita mbeca kuuma kiri bank 5 mwanya iria 2 mama marugurite amwe mwanka riria igamba riri riegie gutigana kwao rikariika. Ms Kitany akathie nambere kuejana uira waawe mbere ya korti ntuku ya ruuyu, ntariki 21 cia mweri wa 8, 2019.
2019-09-20T01:39:46
http://www.mediamaxnetwork.co.ke/meru-fm/marianne-kitany-ndatirimanire-ria-mbere-na-linturi-obisine-ya-munini-wa-rais-william-ruto-542282/
[ -1 ]
Huenda miradi ya maendeleo ikasitishwa Taita Taveta – Lulu Fm Kenya Huenda miradi ya maendeleo ikasitishwa Taita Taveta Waziri wa fedha na maswala ya kiuchumi kaunti ya Taita Taveta Andrew Kubo amesema serikali ya kaunti hiyo huenda ikasitisha miradi yote ambayo ilikuwa ikitekelezwa katika kaunti hiyo kwa kipindi cha miezi mitano ijayo kama njia moja ya kuiwezesha serikali kulipa madeni yake. Haya yanajiri baada ya kubainika wazi kwamba wanakandarasi mbali mbali wamekuwa wakidai kaunti hiyo kima cha shilingi milioni 652 katika miradi yote ambayo ilikuwa imeorodheshwa kutekelezwa mwaka wa 2019 / 2020. Hata hivyo amesema licha ya kunti hiyo kukumbwa na changamoto ni sharti wanakandarasi kulipwa madeni yao baada ya kupitishwa kwa makadirio ya fedha za ziada.
2020-08-09T03:08:41
http://www.lulufm.co.ke/huenda-miradi-ya-maendeleo-ikasitishwa-taita-taveta/
[ -1 ]
UVCCM waijibu CUF sakata la IGP Sirro | Mtanzania Home Siasa UVCCM waijibu CUF sakata la IGP Sirro UVCCM waijibu CUF sakata la IGP Sirro Baada ya Makamu Mwenyekiti Chama cha Wananchi CUF Taifa ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mtwara Mjini, Maftaha Nachuma kudai kuwa kamanda wa Polisi nchini IGP Simon Sirro anapendelea chama cha Mapinduzi (CCM), Katibu wa Jumuiya ya Vijana wa chama hicho Taifa (UVCCM) Raymond Mwangwala amemtaka mbunge huyo kuanza kufungasha virago vyake na kujiandaa kuachia jimbo hilo uchaguzi ujao. Akizungumza wakati akizindua Mtwara ya kijani na kuelezea utekelezaji wa ilani ya CCM lakini pia maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa kwa mwaka huu amesema mbunge huyo na wapambe wake wanapaswa wajipange badala ya kukaa kwenye mitandao na kulialia. Amesema chama hicho kimejipanga ili kuhakikisha kuwa majimbo yote yaliyochukuliwa na wapinzani yanarudi ndani ya chama hicho kuanzia uchaguzi wa serikali za mitaa. “Nataka niwaambie jana wakati nikiwa njiani nakuja nimemuona mbunge wenu akilialia kwenye mitandao na bado hata yeye aanze kufungasha mizigo yake sasa ni zamu ya CCM apige kelele mvua inyeshe jua liwake giza liwe totoro lakini kuwe na mwanga jimbo hili nila CCM” amesema. Previous articleVifo ajali lori la mafuta vyafikia 104 Next articleMiili ya waliofarikia ajali ya Kibiti kupimwa DNA
2019-11-15T23:36:10
http://mtanzania.co.tz/uvccm-waijibu-cuf-sakata-la-igp-sirro/
[ -1 ]
Taarifa Rasmi ya Serikali kuhusu kifo cha Rais Mstaafu wa awamu ya pili Mzee Aboud Jumbe Mwinyi - ZanziNews Pages Inalillahi wainnailaihi rajiun HABARI,
2016-12-08T19:59:19
http://www.zanzinews.com/2016/08/taarifa-rasmi-ya-swerikali-kuhusu-kifo.html
[ -1 ]
Chapa Dimba yamleta Luis Garcia Kenya - Mwanaspoti Chapa Dimba yamleta Luis Garcia Kenya Garcia, ambaye alichezea vilabu vikubwa vya Ulaya, ikiwemo Barcelona na Atletico Madrid. Alicheza mechi 150 za LaLiga na kufunga mabao 22. Mechi 20 za timu ya taifa ya Hispania, ikiwemo fainali ya Kombe la Dunia (2006). alitwaa ligi ya mabingwa na Liverpool (2005). Nairobi. Winga wa zamani wa Liverpool na Barcelona, Luis Javier Garcia atahudhuria fainali ya makala ya pili ya mashindano ya kuvumbua vipaji ya Chapa Dimba na Safaricom, yanayotarajiwa kufanyika ugani Kinoru, katika kaunti ya Meru, kuanzia Juni 20 hadi Juni 23. Gwiji huyo wa zamani wa timu ya taifa ya Hispania, ambaye ni Balozi wa LaLiga, ambao ni washirika wa mdhamini mkuu wa mashindano hayo, kampuni ya simu ya Safaricom, ataendesha kliniki ya michezo nchini, kisha atahudhuria mechi za nusu fainali na fainali. Kwa mujibu wa utaribu wa mashindano hayo, yameingia mwaka wake wa pili, timu nane za wanaume na nane za wanawake, kutoka mikoa nane zitachuana kuwania ubingwa wa taifa, zawadi ya pesa taslimu shilingi milioni moja, simu na muda wa maongezi. Garcia, alichezea klabu kubwa za Ulaya ikiwemo Barcelona na Atletico Madrid. Alicheza mechi 150 za LaLiga na kufunga mabao 22. Aliwakilisha timu ya taifa ya Hispania mara 20, ikiwemo fainali ya Kombe la Dunia ya mwaka 2006, mwaka mmoja baada ya kutwaa taji la ligi ya mabingwa Ulaya na klabu ya Liverpool. “Tunapenda kuchukua fura hii, kuwashukuru sana wenzetu LaLiga kwa ushirikiano ambao wamekuwa wakitupatia. Ujio wa Luis Garcia utasaidia kuongeza hamasa kea vijana wetu na soka la Kenya. Tunapenda kuwaomba vijana wote watakaokua Meru, kuhudhuria kliniki atakayoiendesha Garcia na kujifunza zaidi,” alisema Mkuu wa Huduma kwa wateja wa Safaricomn, Sylvia Mulinge. Fainali za kitaifa zitafanyika baada ya kukamilika kwa fainali za mikoa, zilizoendeshwa katika mikoa nane, na kuhusisha timu zipatazo 1,600. Makala haya ya pili, yalianza Oktoba mwaka jana, mechs zote zikiendeshwa kwa njia ya makundi. Lengo kuu la Chapa Dimba ni kukuza na kulea vipaji vya soka nchini. Ratiba ya Mechi za Chapa Dimba: Robo fainali ya kwanza: Acakoro Ladies (Nairobi) vs. NCOED (Nyanza) Robo fainali ya pili: Changamwe Ladies (Coast) wamefuzu nusu fainali (hakuna mpinzani) Robo fainali ya tatu: St. Mary’s.Ndovea (Eastern) vs. Barcelona Ladies (Central) Robo fainali ya nne: Archbishop Njenga (Western) vs. Kitale Queens (Rift) Nusu fainali ya kwanza: Mshindi robo fainali ya kwanza Vs Changamwe Ladies Nusu fainali ya pili: Mshindi robo fainali ya tatu Vs Mshindi robo fainali ya nne Fainali: Mshindi nusu fainali ya kwanza Vs Mshindi nusu fainali ya pili Robo fainali ya kwanza: Lugari Blue Saints (Western) vs. Super Solico (Eastern) Robo fainali ya pili: Euronuts (Central) vs. Manyatta United (Nyanza) Robo fainali ya tatu: Berlin FC (North Eastern) vs. Al Ahly (Rift) Robo fainali ya nne: Shimanzi Youth (Coast) vs. South B United (Nairobi) Nusu fainali ya kwanza: Mshindi robo fainali ya kwanza Vs Mshindi robo fainali ya pili
2019-07-20T20:54:00
https://mobile.mwanaspoti.co.tz/soka/Chapa-Dimba-yamleta-Luis-Garcia-Kenya/2481686-5155614-format-xhtml-15oxsjf/index.html
[ -1 ]
2032; Chagua Eneo La Kuhudumu… – Kisima Cha Maarifa 2032; Chagua Eneo La Kuhudumu… By Dr. Makirita Amani | July 24, 2020 Moja ya kikwazo kikubwa kwa wengi kufanikiwa ni kutokufanya maamuzi ya kuchagua eneo ambalo watalibobea na kufanya vizuri. Wengi hupenda kuwa na machaguo mengi wakiamini kufanya hivyo ni kuwa huru na kutokufungwa kwenye eneo moja. Lakini kwenye dunia tunayoishi sasa, dunia yenye ushindani mkali, huwezi kufanikiwa kama unafanya kila kitu. ← #TAFAKARI YA ASUBUHI; NGUVU TATU ZA KUKUPA UHURU… #TAFAKARI YA ASUBUHI; KAMA HUJAKAMILIKA UNACHOTAFUTA HAKITAKUKAMILISHA… →
2020-08-10T16:33:07
http://www.kisimachamaarifa.co.tz/2020/07/24/2032-chagua-eneo-la-kuhudumu/
[ -1 ]
ECN ni nini | Jifunze faida za Dalali wa kweli wa Forex wa ECN Nini ECN Je, ni ECN Trading Forex? ECN, ambayo inasimama Mtandao wa Mawasiliano ya Umeme, kwa kweli ndio njia ya siku zijazo kwa Masoko ya Kigeni ya Kigeni. ECN inaweza kuelezewa kama daraja inayounganisha washiriki wa soko dogo na watoa huduma wake wa ukwasi kupitia FOREX ECN Broker. ECN hutumika kama daraja kati ya washiriki wadogo wa soko na watoa huduma wao wa ukwasi. Pia inajulikana kama mifumo mbadala ya biashara (ATS), ECN kimsingi ni mtandao wa kompyuta unaowezesha biashara ya sarafu na hisa nje ya kubadilishana kwa jadi. Inafaa kugundua kuwa shughuli zote zilifanywa kwa mikono kabla ya miaka ya 1970, na kiwango kilichopunguzwa cha e-biashara kilichopatikana katika miaka ya 80. Wakati huo, karibu biashara yote ya elektroniki ilifanywa kupitia mfumo wa mawasiliano wa hali ya juu uliotengenezwa na Reuters, unaoitwa Reuters Dealing. Mifumo ya kisasa ya biashara ya elektroniki ilifikia kwanza miaka ya 90 wakati walianza kulinganisha wanunuzi na wauzaji hivi karibuni kuwa alama ya sarafu. Sio kwamba Mitandao hii ya Mawasiliano ya Elektroniki haikuwepo mapema; kwa kweli wamekuwepo tangu miaka ya 1960 lakini hawakutumika kwa biashara ya sarafu hadi mwishoni mwa 90s. Vitu vya Kwanza Kwanza - Jua Dalali wako Soko la Forex linasemekana kuwa moja ya masoko maarufu kwa wafanyabiashara wadogo. Hapa, faida zinafanywa kutoka kwa kushuka kwa bei gumu zaidi kwa jozi la sarafu. Na tofauti na biashara ya hisa au mali, biashara ya kubadilishana ya kigeni haifanyika kwa ubadilishanaji uliodhibitiwa. Badala yake, hufanyika kati ya wanunuzi na wauzaji kutoka sehemu tofauti za ulimwengu, kupitia soko la juu-la-counter (OTC). Na, inakwenda bila kusema kuwa unahitaji kutumia broker kupata soko hili. Kwa sababu ya hali yake ya kupangwa, kuchagua broker sahihi kunaweza kumaanisha tofauti kati ya kufanikiwa na kutofaulu katika jaribio lako la biashara ya Forex. Wakati kuna wafanyabiashara wengi katika soko linatoa bidhaa na huduma zinazofanana, lazima uweze kubaini aina tofauti za madalali kabla ya kuanza biashara ya Forex. Hapo awali, kuna aina mbili za madalali katika soko la biashara ya Forex: Watengenezaji wa Soko na Madalali wa ECN. Kama jina linavyopendekeza, Watengenezaji wa Soko ndio aina ya madalali ambao huweka zabuni na kuuliza bei kwa kutumia mifumo yao wenyewe 'kutengeneza soko'. Bei wanazoziweka zinaonyeshwa kwenye majukwaa yao kwa wawekezaji wanaoweza kufungua na kufunga nafasi za biashara. ECN - Aina ya 'Safi' ya Forex Broker Huko Kinyume na watengenezaji wa Soko, Mtandao wa Mawasiliano ya Umeme (ECN) Brokers haifanyi faida juu ya tofauti za kueneza, lakini malipo kwa tume badala ya nafasi. Kama matokeo, ushindi wa wateja wao ni ushindi wao wenyewe au sivyo wasingeweza kupata faida yoyote. Madalali wa ECN ni wataalam wa kifedha ambao hutumia mitandao yao ya kisasa ya elektroniki kuunganisha wateja wao na washiriki wengine wa soko. Kujumuisha nukuu kutoka kwa washiriki tofauti, Madalali wa ECN wana uwezo wa kutoa zabuni kali / kuuliza kuenea. Licha ya kutumikia taasisi kubwa za kifedha na wafanyabiashara wa soko, Brok Broker pia huhudumia wateja wa biashara ya mtu binafsi. ECN huwezesha wateja wao kufanya biashara dhidi ya kila mmoja kwa kutuma zabuni na matoleo kwenye jukwaa la mfumo. Moja ya vivutio vya ECN ni kwamba wanunuzi na wauzaji wote bado hawajafahamika katika ripoti za utekelezaji wa biashara. Uuzaji katika ECN ni kama kubadilishana moja kwa moja ambayo hutoa bei bora ya kuuliza / kuuliza kutoka nukuu zote za sarafu. Kupitia ECNs, wafanyabiashara wanapata bei nzuri na hali ya chini ya biashara kama Dalali wa ECN ina uwezo wa kuruhusu bei kutoka kwa watoa huduma tofauti wa ukwasi. Pamoja, mazingira ya biashara yanayotolewa na broker ya ECN ni bora zaidi na ya uwazi, na kuongeza zaidi kwa rufaa ya biashara ya e. Faida ya ECN - Kwanini Unapaswa Kufanya Biashara Na Dalali wa ECN Kutumia Dalali wa ECN ina faida kadhaa; kwa kweli, idadi kubwa ya wafanyabiashara wanatarajia wafanyabiashara wa ECN, na kwa sababu inayofaa. Madalali wa ECN hutoa faida nyingi kuu, ambazo zinaweza kuwasaidia kupata mbele ya wenzao wanaoongoza. Hapa kuna faida kadhaa za kutumia broker ECN. Kutokujulikana, usiri, na usiri Wewe ni kitabu wazi wakati unashughulika na biashara ya kawaida ya Forex. Walakini, usiri na usiri kudhani umuhimu mkubwa wakati unachagua kwenda kwenye njia ya broker ya ECN. Kiwango cha juu cha usiri na usiri kweli inahusiana na ukweli kwamba broker angekuwa tu middleman katika soko badala ya mtengenezaji wa soko. Kuenea kwa Tofauti Wafanyabiashara wanapewa ufikiaji usiozuiliwa wa bei ya soko kupitia wakala wa ECN na akaunti iliyojitolea. Kwa kuwa bei hutofautiana juu ya usambazaji, mahitaji, kukosekana kwa utulivu, na mazingira mengine ya soko, kupitia dalali sahihi wa ECN, mtu anaweza kufanya biashara kwa zabuni za chini sana za kutoa / kutoa. Utekelezaji wa Biashara ya Papo hapo Kitendaji hiki ni kitu ambacho wafanyabiashara wa Forex kawaida hawawezi kutoa maelewano. Madalali wa ECN wanahakikishia utendaji bora wa biashara ni muhimu sana kila wakati. Mbinu hii maalum ya biashara haiitaji mteja kufanya biashara na broker, lakini badala yake hutumia mtandao wake kuweka maagizo. Njia hii tofauti kabisa hairuhusu mtu yeyote kufurahiya utekelezaji bora wa biashara. Upataji kwa Wateja na Kioevu Mawakala wa ECN hufanya kazi kwa mfano ambao unaruhusu fursa yoyote ya kufanya biashara ndani ya dimbwi la kimataifa la ukwasi wa taasisi zinazoweza kudhibitiwa, zinazodhibitiwa, na uwezo. Kwa kuongeza, kwa sababu ya jinsi habari iliyounganika inavyopitishwa, uwazi ni faida nyingine muhimu ya broker ya ECN. Mawakala wote wa ECN wanapewa ufikiaji wa data moja ya soko na biashara; kwa hivyo, uwazi wa bei ya soko la msingi kutoka kwa watoa huduma wengi wa ukwasi umehakikishwa. Ubalozi wa Biashara Mojawapo ya faida kuu za broker za ECN na akaunti iliyounganishwa ya biashara ya Forex ni msimamo wa kibiashara. Kwa kuzingatia asili ya biashara ya Forex, mapumziko sio muhimu, na hayafanyi kamwe kati ya biashara. Wakati unachukua fursa ya dalali wa ECN, unaweza kufanya biashara wakati wa hafla na habari, ikiwezekana kuunda utiririshaji halisi wa shughuli. Hii pia inaunda fursa kwa mfanyabiashara yeyote kufaidika kutoka kwa bei ya Forex. Je, faida za FXCC-ECN ni nini? kutokujulikana Shughuli za biashara ya ECN haijulikani, hii inaruhusu wafanyabiashara kuchukua faida ya bei zisizo na ustadi, kuhakikisha kuwa hali halisi ya soko inafanyika wakati wote. Hakuna ubaguzi dhidi ya mwelekeo wa mteja kulingana na: mikakati ya biashara ya forex, mbinu, au nafasi za sasa za soko. Utekelezaji wa haraka wa biashara Wateja wa FXCC-ECN wanaweza kufanya biashara ya forex mara moja, wakitumia faida ya kuishi, Streaming, bei nzuri zinazoweza kutekelezwa sokoni, na uthibitisho wa haraka. Mfano wa FXCC-ECN huzuia kuingilia kati kwa watunga bei, kwa hiyo biashara zote za FXCC ni za mwisho na imethibitishwa mara tu zinapochukuliwa na kujazwa. Hakuna dawati la kushughulika ili kuingilia kati, hakuna kamwe upya. Mteja, upatikanaji wa ukwasi Mfano wa FXCC ECN huwapa wateja fursa ya biashara katika pool ya kioevu duniani ya taasisi za kifedha, zilizostahili na za ushindani. Inayotokana na biashara ya biashara ya biashara ya biashara ya biashara ya biashara ya soko / data ya soko Kupitia matumizi ya API ya FXCC, wateja wanaweza kuunganisha kwa urahisi maagizo yao ya biashara, washauri wa wataalamu, mifano na mifumo ya usimamizi wa hatari kwa kulisha data ya soko la moja kwa moja na injini inayofanana na bei. FXCC ya kuishi, neutral, data ya kutekeleza ya soko ni pamoja na zabuni ya ushindani zaidi na kuuliza bei inapatikana wakati wowote katika soko. Kwa hiyo mchakato wa biashara unabakia kuaminika na thabiti wakati wowote wa nyuma wa mifano ya biashara ya kupima, au kwa biashara ya kuishi. FXCC inatofautiana na muuzaji au muuzaji wa soko kama FXCC haiwezi kudhibiti ugavi / utoaji wa kuenea na kwa hiyo hatuwezi kutoa jitihada sawa / kutoa wakati wowote. FXCC hutoa kuenea kwa kweli kutofautiana. Katika ECN, wateja wanapata ufikiaji wa bei za soko. Bei za soko zinabadilika kuonyesha ugavi, mahitaji, tete na hali nyingine za soko. Mfano wa FXCC-ECN huwawezesha wateja kufanya biashara juu ya kupanua zabuni / kutoa, ambazo zinaweza kuwa chini kuliko pipi moja kwa baadhi ya majors katika hali fulani za soko.
2020-08-13T09:06:43
https://www.fxcc.com/sw/what-is-ecn
[ -1 ]
Yaani huwezi amini. Zikiwa zimebaki siku 5 tu kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika WASIMAMIZI WA VIYUO VYA KUPIGIA KURA bado hawajafahamika mpaka sasa. Mimi nipo katika mkoa wa Dar es salaam. Na nimefuatilia kwa karibu zoezi hili la kuchagua wasimamizi wa vituo vya kupigia kura. Lakini nimeona kuna ujanja mkubwa unafanywa ili kuingiza wasimamizi ambao kwa namna moja au nyingine watapendelea chama tawala. Huku viongozi wetu wa siasa wakiwa wamejikita katika kufanya kampeni tu, wakifikiri ndo watashinda , lakini hiyo ni kama kujaza maji kwenye tenga. Maana wenzenu chama tawala mkwaka huu wa 2010 watatumia wasimamizi wa vituo vya kupigia kura katika KUCHAKACHUA matokeo ya uchaguzi. Hivyo vyama vya upinzani kalaga baho na kubobea katika kupiga kampeni tu, wakati mchakato mzima wa kuwapata Wasimamizi wa Vituo vya Kupigia Kura uanafanywa katika misingi ya KUCHAKACHUA matokeo !!!! Mwisho ningependa kusema kwamba oezi zima la kuwapata WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA mwaka huu katika jiji la Dar es salaam limejaa mamluki watupu wa chama tawala !!! Wajitakia wenyewe waliianzisha mgogoro na waalimu wanawaogopa sasa wanashikizia shikizia shikizia tuu,watapatikana tuu hata iweje Wasimamizi lazima wawe kati ya wale 315000 walionyimwa nyongeza ya mishahara na JK kwa madai serikali haina uwezo.Tume hawana ujanja. Unajua mabadiliko ya namna hii ni mapambano (ingawa damu isimwagike!). Si sisi tu, sehemu nyingine walikofanya mabadiliko wamepitia shida hizi hizi. Wote tunaotaka mabadikiko inabidi tushirikiane na kuwajibika kila mmoja wetu kufanya analoweza. Ni vizuri umeleta hii info. Vile vile, kumbuka kuna watu (wengine nawafahamu) wanaosaidia chama tawala kwa kulinda maslahi yao au kupata posho lakini siku ya kupiga kura hawatawapigia CCM. Hawa wako wengi kwenye jeshi, polisi na pengine hata hao wasimamizi wa uchaguzi! Tume lazima iite waalimu tu hamna ujanja kamwe Tume lazima iite waalimu tu hamna ujanja kamweClick to expand... May be not this time!!! Sometimes Uhuru, haki na usawa hupatikana kwa kutumia nguvu. Kama itabidi basi wananchi hawatasita kufanya hivyo.
2016-10-27T16:57:34
http://www.jamiiforums.com/threads/uchaguzi-mkuu-2010-kuvurugika.80700/
[ -1 ]
BREAKING: “Hans Pope amefuta uamuzi wa kujiuzulu uongozi Simba” – Haji Manara – Millardayo.com BREAKING: “Hans Pope amefuta uamuzi wa kujiuzulu uongozi Simba” – Haji Manara Baada ya kuripotiwa taarifa za kujiuzulu kwa Hans Pope Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili wa Simba, leo Jumatatu May 15, 2017 ripoti mpya kutoka kwa Afisa Habari wa club hiyo Haji Manara kutoka kwenye Instagram yake ameandika kuwa kiongozi huyo amefuta uamuzi wake. Kupitia Instagram Haji Manara ameandika >>> Rasmi Hanspope arejea kundini, afuta uamuzi wake wa kujiuzulu, na ndio maana fans wetu nawaomba mtulie, hakuna kitakachoharibika, ni upepo mbaya ulipita na sasa umetulia, Karibu tena kamanda Pope<<< –Manara VIDEO: Ulipitwa na hii taarifa Nahodha wa Serengeti Boyz kupasuka mfupa na kuondolewa kwenye list? Tazama hapa chini ← Previous Story PICHA 5: Basi walilopewa Serengeti Boys kwa ajili ya AFCON U-17 Gabon Next Story → EXCLUSIVE: Shime baada ya Tanzania kumdhibiti Bingwa mtetezi AFCON U-17
2020-04-04T22:39:24
https://millardayo.com/sc984/
[ -1 ]
Dk. Wanyanja: Rais apunguziwe nguvu | Gazeti la Jamhuri Dk. Wanyancha aliyepata kuwa Mbunge wa Serengeti (mwaka 2005 – 2010), anapendekeza Katiba ijayo imzuie rais kutumia walinzi na magari ya Serikali wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu. Anataka Katiba mpya iruhusu pia uundaji wa Serikali ya Tanganyika , jopo la maseneta na wazawa kumiliki asilimia 51 ya uwekezaji mkubwa kwenye maliasili za nchi. Dk. Wanyancha ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Barabara nchini, ametoa maoni hayo ya Katiba mpya katika mahojiano maalumu na JAMHURI jijini Dar es Salaam , wiki iliyopita. Anasema mapendekezo hayo yakizingatiwa na kupewa nafasi katika Katiba ijayo yatachangia kuimarisha uchumi na uwajibikaji wa viongozi kwa manufaa ya wananchi na Taifa. Rais ashitakiwe “Katiba mpya itamke wazi kwamba viongozi wa umma, akiwamo rais, akituhumiwa kufanya kosa lolote apelekwe mahakamani sheria ifuate mkondo wake,” anasema Dk. Wanyancha na kuongeza: “Kwanini tunaogopa kumshitaki rais? Mbona Ghana rais anashitakiwa? Na sisi Katiba iruhuru Rais ashitakiwe mahakamani mara anapotuhumiwa kufanya kosa.” Changamoto ya kumwondolea rais kinga ya kushitakiwa inatajwa na wadau mbalimbali kuwa ni miongoni mwa vichocheo vya kumuimarisha kiongozi wa nchi katika misingi ya uadilifu na maadili ya utumishi wa umma. Rais apunguziwe madaraka “Wanaosema rais asipunguziwe madaraka wananishangaza sana. Katiba iliyopo iliundwa chini ya mfumo wa chama kimoja cha siasa. “Katiba iliyopo haikidhi mahitaji ya mfumo wa vyama vingi, ndiyo maana vyama vya upinzani vinasuasua, ilitakiwa kubadilishwa mara baada ya mfumo wa vyama vingi kurejeshwa mwaka 1992,” anasema Dk. Wanyancha. Anasema Katiba iliyopo inampatia rais madaraka makubwa ambayo sasa hayana budi kupunguzwa kukidhi mfumo wa vyama vingi vya siasa na demokrasia ya kweli. Anapendekeza Katiba mpya imwondolee rais mamlaka ya kuteua viongozi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), wakuu wa vyuo vikuu, msajili wa vyama vya siasa na majaji, badala yake nafasi hizo zitangazwe kuwapata viongozi wenye sifa. “Ni vigumu NEC iliyoteuliwa na rais kumdhibiti rais wakati anapoomba kurejeshwa Ikulu. Hakuna haja ya rais kuwateua majaji, wakuu wa vyuo vikuu, majaji na msajili wa vyama vya siasa, hao ni professionals (wataalamu), nafasi zitangazwe watu wenye sifa wajitokeze kuomba ajira,” anasisitiza. Anaongeza, “Hatuna shida kwa nafasi ya mawaziri. Rais aendelee kuteua mawaziri, lakini sasa wasiwe wabunge. Mawaziri lazima wawe wataalamu wanaoendana na wizara husika, Marekani wanafanya hivyo. “Mtu akishakuwa mbunge haina haja ya kumteua kuwa waziri, mkuu wa mkoa wala mkuu wa wilaya. Hawa wengine inapaswa wachaguliwe na wananchi wa mikoa na wilaya husika. “Tena inatakiwa sasa idadi ya mawaziri wa Tanzania ipunguzwe hadi 14, kwani mawaziri wakiwa wengi wanageuka kuwa watendaji na kuwavuruga wataalamu.” Kitendo cha mawaziri kufukuzwa baada ya wizara zao kuboronga kinamkera Dk. Wanyancha kiasi cha kupendekeza utaratibu huo usiruhusiwe kwenye Katiba mpya. “Mawaziri wasifukuzwe kazi kwa sababu ya wizara zao kuboronga, waziri haandiki hundi, wanaostahili kuwajibishwa ni wataalamu wa wizara husika. Nimekuwa naibu waziri, sikupata kuandika hundi wala kushughulikia zabuni za wizara,” anasema. Rais asitumie walinzi, magari ya Serikali Dk. Wanyancha anakosoa utaratibu wa rais kuendelea kulindwa na walinzi walioajiriwa na Serikali na kutumia magari ya Serikali wakati wa kampeni za kuomba kurejeshwa madarakani. Anapendekeza utaratibu huo uzuiwe katika Katiba ijayo. “Mawaziri na wabunge wanazuiwa kutumia magari ya Serikali wakati wa kampeni, maoni yangu ni kwamba hata rais asiruhusiwe kutumia walinzi, ndege na magari ya Serikali, huduma hizo zitolewe na vyama husika kwenye kampeni. “Lakini pia Katiba mpya izuie rais, mawaziri na wabunge kupokewa na wakuu wa mikoa na wilaya wakati wa kampeni kwani wakati mwingine kitendo hicho hushawishi wananchi kuwachagua na kupuuza wagombea wa vyama vya upinzani,” anapendekeza. Dk. Wanyancha anaongeza kuwa Katiba mpya iwe na kipengele kinachowataka wagombea urais, ubunge na udiwani kufanya midahalo ya wazi ili wapigakura waweze kuwachuja. Wagombea wasitoe ahadi Utaratibu wa wagombea kutoa ahadi mbalimbali wakati wa kampeni za uchaguzi nao unaonekana kukosa mantiki kwa Dk. Wanyancha, hivyo anapendekeza Katiba mpya isiuruhusu. “Wagombea wasiruhusiwe kutoa ahadi wakati wa kampeni… kitendo cha kuwaahidi wananchi kuwa utawajengea uwaja wa ndege, barabara, miradi ya maji na mingineyo ni sawa na hongo. “Siwezi kuwa mjinga kusikia mgombea anatuahidi kwamba atatujengea uwanja wa ndege wa kimataifa na barabara ya lami Mugumu (wilayani Serengeti) halafu niache kumchagua,” anasema. Kwa mujibu wa Dk. Wanyancha, Serikali iachiwe jukumu la kupanga na kutekeleza mipango ya maendeleo kulingana na uwezo wa kifedha na mahitaji ya wananchi. Serikali ya Tanganyika Kama inavyopendekezwa na baadhi ya wananchi, Dk. Wanyancha naye anapenda kuona Katiba ijayo inaruhusu kuwapo kwa Serikali tatu -ya Tanganyika , ya Zanzibar na ya Muungano wa Tanzania. “Tuliingia Muungano wa nchi mbili ( Tanganyika na Zanzibar ) ikaundwa nchi moja ( Tanzania ). Lakini Zanzibar imerudi kuwa nchi kamili, ina rais wake, Katiba yake na Bunge lake (Baraza la Wawakilishi). Nchi ikishakuwa na vitu hivyo hiyo ni nchi kamili. “Cha kushangaza tena Wazanzibar wanashirikishwa kwenye Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , kutoa maoni ya Katiba ya Muungano na kuruhusiwa kumiliki ardhi Tanzania Bara, lakini Watanganyika hawashirikishwi kwenye Katiba na Bunge la Zanzibar wala kumiliki ardhi Zanzibar ,” anasema Dk. Wanyancha na kuendelea: “ Zanzibar ilishavunja Muungano, na kama itaachwa iendelee kuwa hivyo, basi Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iruhusu uundaji wa Serikali ya Tanganyika , vinginevyo huu Muungano utakuwa ni udanganyifu tu.” Kuwepo Seneti ya Tanzania “Nchi inapaswa kuwa na Seneti itakayokuwa na jukumu la kuchunguza na kutoa uamuzi wa mwisho juu ya masuala yaliyopitishwa na Bunge kuhakikisha yanajali masilahi ya wananchi na Taifa kwa ujumla. Seneti itazuia mambo yanayopitishwa kisiasa zaidi badala ya kuzingatia masilahi ya umma na Taifa,” anasema. Watuhumiwa wa ufisadi wasimamishwe Viongozi wanaotuhumiwa kwa ufisadi, kwa mujibu wa Dk. Wanyancha, wanastahili kusimamishwa kupisha uchunguzi kwa tuhuma zinazowakabili. “Katiba mpya itamke kwamba viongozi wanaotuhumiwa kwa ufisadi, lazima waachie nyadhifa zao kupisha uchunguzi, na kiundwe chombo maalumu cha kuwachunguza na kutoa uamuzi haraka, jirani zetu Wakenya wanafanya hivyo,” anasisitiza. Wazawa wamiliki maliasili asilimia 51 Kuhusu uwekezaji wa kigeni katika maliasili za nchi kama vile madini, Dk. Wanyancha anataka Katiba ijayo itamke wazi kwamba lazima wazawa waingie ubia kwa kumiliki asilimia 51 ya uwekezaji huo na wageni wamiliki asilimia 49. “Wazawa wawezeshwe katika umiliki wa asilimia 51 kwenye miradi mikubwa ya uwekezaji kwenye maliasili za nchi, wageni wasiruhusiwe kuwekeza kwa asilimia 100 nchini. Mgeni atakayekaidi hilo afukuzwe, huyo ni mnyonyaji. Bila kufanya hivyo Watanzania hatutaendelea,” anahitimisha. Previous: Muungano ndiyo mboni ya Tanzania (7) Next: CHADEMA: Tunataka Serikali tatu – 2
2019-01-17T09:09:06
http://www.jamhurimedia.co.tz/dk-wanyanja-rais-apunguziwe-nguvu/
[ -1 ]
MKUU WA MKOA WA TANGA AKOLEZA VITA YA MADAWA YA KULEVYA - Kamera Yangu ' : ''; var month = [1,2,3,4,5,6,7,8,9,10,11,12]; var month2 = ["Jan","Feb","Mar","Apr","May","Jun","Jul","Aug","Sep","Oct","Nov","Dec"]; var day = postdate.split("-")[2].substring(0,2); var m = postdate.split("-")[1]; var y = postdate.split("-")[0]; for(var u2=0;u2 Posted by sheila simba on 7:40 AM in KITAIFA | Comments : 0 Balozi wa Norway hapa nchini, Hanne-Marie akiongea katika hafla ya fupi ya makabidhiano ya jengo la Afya ya Akili Hospitali ya Rufaa ya Bombo lililokarabatiwa na Kituo cha Tanga International Conference Centre (TICC), Shighela alisema vita ya madawa itakuwa endelevu. MKUU wa Mkoa wa Tanga, Martin Shighela akizungumza katika hafla ya fupi ya makabidhiano ya jengo la Afya ya Akili Hospitali ya Rufaa ya Bombo lililokarabatiwa na Kituo cha Tanga International Conference Centre (TICC), Shighela alisema vita ya madawa itakuwa endelevu.
2018-11-12T22:58:14
http://www.kamerayangu.co.tz/2017/04/mkuu-wa-mkoa-wa-tanga-akoleza-vita-ya.html
[ -1 ]
FILAMU YA WOMAN THOU ART LOOSED IN 7 DAYS! – Dina Marios Blog FILAMU YA WOMAN THOU ART LOOSED IN 7 DAYS! By dinamariesblog | September 24, 2012 Hii filamu nimeiangalia jana nyumbani na leo nikaisimulia katika leo tena!! Wahusika wakubwa katika hiyo filamu Blair Underwood,Sharon Leal na mchungaji T.D.Jakes ambae filamu hii inatokana na kitabu alichowahi kuandika.Kitabu hicho kinaitwa Women thou art loosed . Katika filamu ni familia ya Mr.David Ames na mkewe Kari wakiwa maejaaliwa kupata mtoto mmoja wa kike Mikayla. Familia yenye furaha,amani na mapenzi tele…hakuna tatizo kila siku ni siku njema kwao. Yaani walikuwa wanapendana sana kama ambavyo filamu ilitaka tuone. Maisha yanakuja kubadilika baada ya mtoto wao wa pekee mwenye miaka 6 kupotea.Inakuwa ni stress sana katika familia hii.Na ndipo hapo inakuja kujulikana siri ya Kari kwamba aliwahi kuwa changudoa,kutumia dawa za kulevya na sexual abused na baba yake akiwa mdogo.Ukweli ambao hakuwahi kumwambia mumewe hata jina alibadilisha ina maana jina mume analolijua sio la kwake.Jambo hilo linaendelea kuleta mpasuko zaidi kwenye familia hii maana mume anahisi lazima kuna mtu wa zamani wa historia ya mkewe anaweza kuwa ndio anahusika na kupotea kwa mtoto.Mke anajieleza kuwa aliamua kuanza maisha mapya na hayo yalikuwa maisha yake ya zamani.Ndio hakumwambia ukweli lakini alifanya hivyo ili aanze ukurasa mpya hakutaka kukumbuka zamani. Mtoto amepotea kwa siku saba na siku ya saba inakuja kugundulika kuwa kumbe hata bwana David ana siri kubwa zaidi ya mkewe.Na siri hiyo ndio chanzo cha kupotea kwa mtoto wao.Kumbe aliwahi kuwa na mahusiano na mfanyakazi wake wa ofisini.Msichana huyo aliwahi kupata mimba na David akamwambia aitoe kwani yeye ana mke na anampenda sana mke wake.Kweli yule msichana alitoa mimba na mahusiano yao yakaishia hapo ila akabaki na machungu,kisasi ambacho mwanaume alikuwa hajui.Kumbe watu wanahangaika kutafuta mtoto huyu dada ndio kamteka kamfungia nyumbani kwake. Nimesimulia leo kwenye leo tena maana ni filamu iliyonisisimua sana hapa nimesimulia kifupi tu itafute utazame.. Kuna dada hapa alinitumia meseji kwenye kipindi mcheki nae kama unaweza kuipata. *hiyo movie inatwa WOMAN THOUART LOOSED ON 7 DAY na kwa anaye ihitaji inapatikana movie lounge shoppers plaza mikocheni. Natalie wa mikocheni 255657924875. MSG za wana leo tena kwa ufupi baada ya story! 1.BWANA NDIYO MKOSEFU ZAIDI,ZAI SHY 2.du! Iyo tori noma sana ata wewe msimuliaji umetisha aziza soft kawe 3.yani dinna unajua kusimulia kama nIko natizama video saa hii,.. editha wa kinondon 4.iyo film ni nzuri sana inamafundisho mazuri nimeipenda sana.kijol kibao wa 96.0 tanga 5.mwisho wa simulizi utwambie hilo filamu inaitwaje.Mama frank wa mwenge. 6.Jaman dada dina hadi raha hiyo story nataman kuiona inaitwaje?, RAHEL MWANJA,NIPO SINGDA, 7.Dina hiyo movie ni nzuri sana naomba utuambie jina lake pse – ESTHER WA ARUSHA ← Previous Story JE UNAKOSA USINGIZI,TAHADHARI!! Next Story → ACTIVE CHEF RESTAURANT NYUMBANI TANZANIA! ni kweli dina tunashukuru lkn ungekuwa ukituwekea hata soft copy hapo nasi tuwe tunaangali ingekuwa vizuri maana tuko mikoani madukani huku hakuna kuna za bongo move tu. Dina mbona hampatikani live kwenye website kolikon?? Dina ungekua unaweka mada zako za kipindi cha kesho hapa ili nasi wa mbali tuweze kushiriki kwa coment zetu nawe kuzisoma kwenye kipindi au fungua page ya leo tena facebook ili watu waweze kushiriki. Ni kweli ntakuwa najitahidi kuweka hapa ili mchangie pia page ya face book ya leo tena. kwenye hii filam mwanaume ndio anabeba lawama zote kwa sababu alisaliti ndoa yake so hayo ndio matunda ya kutoka nje ya ndoa, kwa upande wa mwanamke hana makosa kwa sababu alishaacha ya nyuma na kuanza ukurasa mpya wa maisha yake. wanandoa tueshimu ndoa zetu unapotoka nje ya ndoa ujue ipo siku hicho kitendo kitakugharimu. duhh… yani hiyo ni bonge la movie nliicheki kama mwezi mmoja hivi umepita, yani hadi raha,kama hujaiona itafute inafundisha, kusisimua na kuburudisha kwa ujumla Dina niliangalia hii movie last two weeks and it was so very nice! unlike bongo movies ambazo u can easily predict mwisho wake, hii ni tofauti mnooo…imagine ukweli ulijulikana unexpectedly! ni movie ya kuangali hata mara sita na huchoki! fundisho kubwa nilopata ni kwa mwanamke kutokata tamaa even when u r facing the odd! dina unajua kututeka kweli yan unasimulia vizuri, kama nilikua naiona jinsi unavyosimulia. ni movie nzur. bealito from dom robby tanga Aisee Dina hii Move ni kali sana na ni nzuri yaani, acha kabisa, uliposimulia niliitamani nikaingia ndani ya blog yako nipate jina lake, ni kwamba nimeishusha nzima nzima through internet na tarehe 24 sept nikaicheki yote, endelea kuwa mbunifu katika movie kama hizi. HIYO FILAM NI NZURI SN AISEE,SASA INAPATIKANA BEI GANI?NAITAKA ILA NIJUE BEI KWANZA MAMBO YA BAJET HAYO ETII??? Mie nimeiona long mbona, uliyosimulia ni sahihi lkn pia maana ya filamu ni kwamba maisha ni siri na kila mtu ana siri ila ukigundua siri ya mwenzako isiwe nongwa ujue watu huwa wanabadilika. Pia kikulacho ki nguoni mwako. Thxs tazama pia "Think like men" or "Always be Good". Ngoja niisake online. Lol. Raha ya kuwa na mtandao ndio hii…sinunui movie hata moja nangoja Dina arushe mi nitafute maana ziko millions siwezi jua nzuri ni ipi na sina muda wa kupoteza kubahatisha kuangalia movie saa nzima afu nijutie muda wangu.
2017-11-21T22:56:51
http://www.dinamarios.co.tz/2012/09/filamu-ya-woman-thou-art-loosed-in-7/
[ -1 ]
BBI: Raila na DP Ruto huenda wakakutana Mombasa, mgogoro wa kiitifaki unanukia ▷ Tuko.co.ke BBI: Raila na DP Ruto huenda wakakutana Mombasa, mgogoro wa kiitifaki unanukia a month ago 3406 views by Francis Silva - Wanasiasa wa mrengo wa Tangatanga wanaomuunga mkono Naibu Rais wametangaza kuwa watahudhuria mkutano wa BBI Tononoka jijini Mombasa - Awali walikuwa wakiipinga kwa kudai haizungumzii masuala yanayowahusu Wakenya bali ni siasa za kujitafutia mamlaka - Mkutano huo unatazamiwa kuhudhuriwa na viongozi wanaounga mkono BBI na kiongozi wa ODM Raila Odinga anatazamiwa kuwapo alivyofanya Kisii na Kakamega - Suala la ni nani kati ya waziri mkuu wa zamani na DP Ruto atazungumza mwisho ni gumu huku wanaouandaa mikutano hiyo wakisema ni lazima kuwa Raila Ikiwa Naibu Rais William Ruto atahudhuria mkutano wa uhamisisho kuhusu ripoti ya jopo la maridhiano (BBI) jijini Mombasa unaotazamiwa Jumamosi, Januari 25, basi huenda kukashuhudiwa mgogoro wa kiitifaki. Kiongozi wa ODM Raila Odinga akiwahotubia wananchi waliofika katika uwanja wa michezo wa Bukhungu kuhusu BBI. Picha: Raila Odinga Hii ni baada ya wanasiasa wa mrengo wa ‘Tangatanga’ wanaomuunga mkono naibu rais kusema watahudhuria mkutano huo katika uwanja wa Tononoka. Kiongozi wa ODM Raila Odinga bila shaka, anatarajiwa kuongoza mkutano huo alivyofanya kaunti za Kisii na Kakamega. Akizungumza Jumanne, Januari 21 kupitia kipindi ‘Sidebar’ cha runinga ya NTV, Seneta wa Kaunti ya Kakamega Cleophas Malala alisema Odinga ndiye atakayehotubia wa mwisho mkutano wa Tononoka. Seneta Cleophas Malala alisema kuwa, wanasiasa wa Tangatanga wanakaribishwa lakini wasitegemee kupewa nafasi kwa sababu tayari kuna mipango iliyopangwa kuhusu mikutano ya BBI. Picha: Cleophas Malala “Rais Uhuru Kenyatta na Waziri Mkuu wa zamani Raila Odinga ndio vinara wawili wa mchakato wa BBI. Kwa hivyo, ikiwa Rais hatofika Mombasa kwa mkutano huo, basi Raila ndiye atakayeongea wa mwisho hata kama Ruto atakuwapo,” Malala alisema. Seneta huyo aliongeza kusema kuwa, wanasiasa wa Tangatanga wanakaribishwa lakini wasitegemee kupewa nafasi kwa sababu tayari kuna mipango iliyopangwa kuhusu mikutano ya BBI. “Tunawakaribisha Tangatanga katika mikutano yetu ya BBI lakini wajue kuwa kinara wao ni lazima kufuata itifaki yetu, ajue sio ile ya serikali.” Malala, ambaye ni naibu kiongozi wa wachache katika bunge la Leneti alisisitiza kuwa, salamu ya maridhiano almaarufu handisheki ni kati ya watu wawili pekee ambao ni Rais Kenyatta na Odinga na nafasi ya Ruto haipo. Habari Nyingine: Uhuru na Raila wamtoroka DP Ruto, wachagua Tolgos kuongoza BBI Bonde la Ufa Kauli ya Malala imeungwa mkono na Mbunge wa Suna Mashariki Junet Mohammed ambaye aliwaonya Tangatanga dhidi ya kuzua fujo katika mikutano ya BBI. Wanasiasa wangine waliounga mkono kauli hiyo ni Seneta wa Nairobi Johnson Sakaja, Mbunge wa Kieni Kanini Kega, Fatuma Gedi ambaye ni Mwakilishi wa Kike Kaunti ya Wajir. Walisema viongozi wa Mombasa ndio watakaoamua ni kina nani wapewe nafasi ya kuhotubia wananchi kwenye mkutono huo. Jopo kazi la BBI lilibuniwa 2018 na kwa ushirikiano wa Kenyatta na Odinga kupitia salamu za maridhiano kufuatia mgawanyiko uliokuwa umeshuhudiwa baada ya uchaguzi mkuu wa 2017. Jubilee Party Latest News in KenyaRaila Odinga Latest NewsODM Party Latest News in KenyaUhuru Vs Raila 2017
2020-02-25T12:41:12
https://kiswahili.tuko.co.ke/334413-bbi-raila-na-dp-ruto-huenda-wakakutana-mombasa-mgogoro-wa-kiitifaki-unanukia.html
[ -1 ]
Jinsi ya kuondoa kutu kwenye vyuma | FikraPevu Jinsi ya kuondoa kutu kwenye vyuma Kutu ni moja ya tishio linalosababisha vifaa na mashine zenye asili ya chuma kushindwa kufanya kazi yake na hata kufa kabisa. Kama ilivyo kwa magonjwa ya kuambukiza, kutu husambaa kidogo kidogo na kuathiri kila atomiki inayopatikana kwenye chuma. Madhara ya kutu kwa kiasi kikubwa hupunguza ufanisi wa kifaa husika na kumlazimisha mtumiaji kuingia gharama kubwa za matenegenezo. Lakini kinachosikitisha zaidi ni kuwa matokeo hayo sio kosa lako! Kabla ya kwenda kwenye njia za kusafisha kutu, ni vizuri kuelewa kwanini vyuma vinapata kutu ili kujiweka katika nafasi nzuri ya kukirejesha chuma katika hali yake ya awali ili kiendelee kutumika. Kwanini vyuma vinapata kutu? Kutu ni matokeo ya kemikali haribifu kushambulia vyuma na mchakato huo hujulikana kama ulikaji wa chuma (corrosion). Ulikaji hutokea wakati chuma kinapotofautiana na mazingira kilipo; hasa hali ya hewa ya eneo husika ambapo hewa ya Oksijeni yenye asili ya majimaji hufunika chuma na kuunda tabaka jipya. Hata hivyo, vyuma huathirika zaidi na hali hiyo kwasababu ndio hutumika zaidi kwenye shughuli za viwandani na nyumbani. Ulikaji ‘Corrosion’ unaotokea kwenye vyuma ndio hujulikana kama kutu. Kutu ni matokeo ya mchanganyiko wa chuma, hewa ya Oksijeni na maji (mvuke/ukungu) ambao huunda tabaka lenye rangi nyekundu kahawia juu ya chuma ambayo ina kemikali za ‘hydrated iron oxide’ na ‘iron oxide-hydroxide’. Baadhi ya tahadhari zinazoweza kuchukuliwa ili kukilinda kifaa chenye asili ya nyuma kukutana na hewa; ni kuhifadhi kwenye mifuko yenye mafuta ya silika, kupaka rangi au madini chuma/bati. Hii huzuia chuma kukutana na mazingira yanayokizunguka. Lakini njia hizo sio za kudumu, kwasababu huruhusu hewa kukishambulia chuma kupitia mipasuko midogo. Katika mazingira kama haya, unahitaji njia rahisi kuondoa kutu na kukiacha chuma kufanya kazi yake. Jambo la muhimu ni kuwa njia hizi ambazo tunazijadili hapa chini zimehakikiwa kisayansi: Njia hii inaweza kutumika nyumbani. Chukua unga wa magadi changanya na maji mpaka upate uji mzito. Jambo la kuzingatia ni kwamba mchanganyiko huo usiwe mlaini au mgumu sana. Paka au weka mchanganyiko wa magadi juu ya chuma chenye kutu halafu kiache kwa saa chache. Baada ya hapo ondoa kutu kwa brashi. Changamoto ni kwamba tabaka gumu la kutu juu ya chuma haliwezi kuondolewa kirahisi kwa brashi na kama utalazimisha unaweza kuharibu chuma. Inashauriwa utumie msasa kuondoa kutu hiyo. Siki na asidi ya matunda Njia nyingine unayoweza kutumia nyumbani ni asidi hafifu, kama siki (vinegar) au asidi ya limau, ndimu na machungwa. Chukua Kifaa chenye kutu na weka kwenye chupa iliyo na siki kisha funika vizuri ili kutoruhusu hewa kuingia. Hakikisha chupa imetikiswa vizuri na iache angalau siku moja ili kuruhusu asidi kufanya kazi yake. Asidi inafanya kazi ya kuyeyusha tabaka la kutu na kukirejesha chuma kwenye hali yake ya awali. Inashauriwa kutumia asidi hafifu kwasababu ukitumia asidi kali sio tu itayeyusha tabaka la kutu lakini itaondoa tabaka laini la chuma. Njia hii inaweza kutumika kusafisha misumali na skrubu (screws). Kwa upande wa asidi ya matunda, paka chumvi kwenye chuma na kisha pitisha maji ya limao. Subiri kwa saa kadhaa kisha sugua chuma kuondoa kutu. ikiwa kutu itaendelea kuwepo kwenye chuma, rudia tena mchakato na kiache chuma kikiwa na mchakanyiko huo wa chumvi na asidi kwa saa 24. Baada ya hapo kwangua ili kuondoa kutu. Msisitizo ni kwamba unatakiwa kuwa makini ili usiharibu muonekano wa kifaa chako. Kemikali ya WD-40 iliyoidhinishwa kuondoa kutu Vifaa ambavyo viko wazi ndivyo mara nyingi vinapata kutu. Inashauriwa vifaa vyenye asili ya chuma kuhifadhiwa kwenye droo vikiwa vimefungwa kwenye mfuko maalumu wenye mafuta ya silka kama hatua ya kuchukua tahadhari. Hata hivyo kutu inaweza kupenya. Kuliko kutumia asidi, unaweza kupulizia virainishi aina ya WD-40 na kusugua kwa msasa mlaini aina ya ‘Scotch-Brite pad’. Kwa njia nyingine za kudhibiti kutu, tumia asidi yenye nguvu iliyoidhinishwa na mamlaka husika. Nyingine ni Evapo-Rust ambayo hurejesha muonekano wa chuma katika hali ya awali. Kimbilio la mwisho? ‘Electrolysis’ ‘Lysis’ ni neno la Kigiriki lenye maana ya kutenganisha na ‘electrlysis’ ni kutenganisha kwa kutumia umeme. Njia hii hutumika kuvunja tabaka la kutu na kuliondoa kwenye chuma kwa kutumia umeme wa betri. Unahitaji ndoo kubwa iliyo na mchanganyiko wa maji na magadi soda ambao ni njia salama ya umeme kupita kwenye chuma. Chuma chenye kutu na kile ambacho hakina kitu vyote hutumbukizwa kwenye mchanganyiko huo. Waya chanya wa betri (hasa wa gari) huunganishwa kwenye chuma kisicho na kutu na ule wa hasi huunganishwa kwenye chuma nyenye kutu ambacho kinatakiwa kushafishwa. Washa betri ili kuruhusu waya hasi kwenda kwenye chuma chenye kutu ili kuondoa tabaka lisilotakiwa. Kiache chuma hicho ndani ya mchanganyiko huo kwa siku moja ili kuruhusu mchakato wa kuondoa kutu kufanyika. Baada ya hapo ondoa chuma kwenye maji hayo ya magadi. MMEM: Wanafunzi wanawajibika kushiriki katika utawala wa shule
2019-04-19T22:28:44
http://www.fikrapevu.com/jinsi-ya-kuondoa-kutu-kwenye-vyuma/
[ -1 ]
Pop Gift Ideas. Items of Suga Shikao. One and one (español) Items of Suga Shikao Author: Suga Shikao "Suga Shikao" en Amazon Hajimari No Hi Feat.Mummy-D Season Press BEST HIT!! SUGA SHIKAO -2003-2011-(2CD) Items Cristo Chaparro
2018-08-16T14:29:41
http://popgiftideas.net/authors/suga-shikao
[ -1 ]
Kufuatia ushauri alioupata, ndipo hapo mkuu wa mkoa akaamuru kufungwa kwaKiwanda hicho na kisha funguo kuwa chini ya ofisi ya mkuu wa mkoa hadi hapo suluhu itakapo patikana, “Kwamba kuna kamgogoro hapa, serikali ilibinafsisha viwanda hiki ili kiendelezwe katika sekta hiyo hiyo ya ngozi na hata Mhe. Rais mara nyingi amesema juu ya viwanda hivi juu yakuvifufua, aliema Mongella na kuongeza, kwamba alipofika tarehe 10 Julai, 2017 ilikuwa kutoa maelekezo juu kuondoshe vifaa vyote .
2018-02-22T10:35:20
http://mwanza.go.tz/new/rc-mwanza-aamuru-kufungwa-kwa-kiwanda-cha-ngozi
[ -1 ]
Joett | Mkito Aliekua jaji katika kipindi cha televisheni TIKISA kilicho rushwa ITV, Joett ni mwalimu wa kuimba (vocal coach) jijini Dar es salaam, Tanzania. Na vile vile huachia singo mara moja kwa mwaka katika miondoko ya pop. Joett ni muandishi wa gazeti la Business Times jijini Dar, na huandika kuhusu maswala ya kuimba chini ya kichwa cha habari "Letters From A Vocal Coach" kwenye gazeti hilo linalochapishwa kila siku ya Ijumaa. Twisted Over U Babe (Acoustic Edit) Got U On My Mind (Acoustic Version) Color Me Beautiful (Acoustic Pop) I Could Never Live (Without Your Love) (Original Acoustic Version) Im gonna live forever Ft. Level One and G Fullah
2018-01-20T01:06:48
http://mkito.com/artist/?idx=701
[ -1 ]
TAARIFA ZA HIVI PUNDE:HOTEL YA WHITE SAND INAWAKA MOTO | Dar Mpya Online TV TAARIFA ZA HIVI PUNDE:HOTEL YA WHITE SAND INAWAKA MOTO August 31, 2018 August 31, 2018 Allan HOTEL ya white sand iliopo kunduchi beach jijini Dar es Salaam inawaka moto. Katika taarifa za awali zilizo tufikia imepita nusu saa gari la zimamoto halijafika eneo la tukio. Taarifa kamili zitatolewa baada ya uchunguzi kukamilika endelea kufuatilia mitandao yetu ya kijamii. SHIRIKA LA UTU WA MTOTO ‘CDF’ LAWATILIA MKAZO WANAHABARI KURIPOTI MATUKIO YA UKATILI LHCR:UKATILI KWA WATOTO UMEONGEZEKA MARA TATU IKILINGANISHWA NA MWAKA JANA October 26, 2018 Augustine Richard 0 MEYA MANISPAA YA IRINGA AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA TUHUMA ZA RUSHWA 220 views DC NEWALA AKAMATA KOROSHO KUTOKA MSUMBIJI. 190 views
2018-11-17T06:54:14
http://www.darmpya.com/taarifa-za-hivi-pundehotel-ya-white-sand-inawaka-moto/
[ -1 ]
 Alpha One: Simu janja ya bei ghali kutoka familia ya Lamborghini You are at:Home»simu»Alpha One: Simu janja ya bei ghali kutoka familia ya Lamborghini By Mato Eric on September 17, 2017 simu, Uchambuzi Simu janja ya Alpha One si ya simu kwa ajili ya kila mtu. Ni simu ghali na hivyo basi wachache sana wataweza kufanya uamuzi wa kuinunua. Simu ya Alpha One, Tonino Lamborghini Jina la Lamborghini ni maarufu sana kwa kampuni ya utengenezaji magari ya nchini Italia, Automobili Lamborghini, ila simu hii inatengenezwa na kampuni nyingine nguli ya nchini Italia inayojihusisha na bidhaa mbalimbali za ubora wa hali ya juu na ambazo ni za bei ya juu pia – Tonino Lamborghini. Muanzilishi wa kampuni ya Tonino Lamborghini naye anatokea kwenye familia ileile maarufu inayomiliki kampuni ya utengenezaji magari ya Automobili Lamborghini. Kampuni ya Tonino Lamborghini inajihusisha na utengenezaji wa bidhaa mbalimbali kama vile saa, miwani, samani, n.k Alpha One ni simu janja ya kipekee na yenye mvuto – ila si simu ya kila mtu; ni ya watu wachache na hivyo ni ya bei ghali. Uchambuzi wa sifa za simu janja-Alpha One. Alpha One imezinduliwa mwezi Agosti mwaka 2017 ambayo kwa bei yake inaweza ikakushangaza na kukuacha mdomo wazi, cha kujiuliza ni kwanini simu rununu Alpha One kuwa ghali? where to buy proscar in malaysia Prosesa: Hapa simu hiyo inatumia prosesa ambayo ni maarufu sana kwenye simu za Android, nazungumzia Snapdragon 820 SoC ambayo ina miaka miwili tu tangu kutengenezwa. can i order lisinopril online >Programu endeshi/Betri: Alpha One inatumia mfumo wa Android 7.0 na betri yake ikiwa na nguvu kiasi cha 3250mAh (betri yake haitoki). Betri yake ina teknolojia ya kujaa chaji haraka yaani QuickCharge 3.0. get link >Kioo (Display)/Ukubwa: Kioo chake kina ukubwa wa inchi 5.5 ambacho ni kioo cha mguso na ubora wake ukiwa 1440*2560 pixels. Alpha One ukubwa wake ni 152.00 x 77.00 x 8.00 (urefu*upana*wembamba) Alpha One inatumia sim card mbili zinzokubali 3G/4G LTE na haitumii teknolojia ya USB OTG ila ina Bluetooth/WI-FI. Diski ujazo/RAM: Kivutio cha watu wengi kwenye simu janja ni katika kipengele hiki na Alpha One ina ujazo wa ndani wa 64GB na ikiwa na uwezo wa kukubali ujazo wa ziada (micro SD card) wa mpaka 128GB. RAM yake ni ya ukubwa wa 4GB (kwa hakika simu hii ina kasi-kukwamakwama unapoitumia itakuwa ngumu). >Kamera/Rangi: Kamera yake ya nyuma ina 20MP pamoja na kuwa na uwezo wa kurekodi picha za mnato zenye ubora wa 4K. Kamra yake ya mbele ina 8MP. Alpha One ipo ya rangi moja tu (nyeusi). >Usalama/Spika: Kama ilivyo simu rununu za siku hizi Alpha One nayo ina teknolojia ya kutumia alama ya kidole kuifanya simu yako kuwa salama zaidi. Alpha One ina spika mbili za mbele zenye kutoa sauti yenye ubora. Sifa ya kipekee kwenye simu Alpha One ni kwamba mfuniko wake wa nyuma umetengenezwa kwa ngozi iliyoshonwa kwa mkono. Bei yake si ya kubeza kabisa, ni $2,450 (Tsh. 5,500,250). Je, unaizungumziaje simu janja kutoka Lamborghini? Vyanzo: AndrewSoft, Gadgets 360.
2018-08-21T03:48:25
http://teknokona.com/alpha-one-simu-janja-kutoka-lamborghini/
[ -1 ]
Pipi za jelly, ufizi wa kutafuna, lozenges, burudani ya Kituruki - Maelezo ya portal kuhusu tasnia ya chakula na confectionery Wakala wakuu wa gelling wanaotumiwa wamefupishwa kwa meza. 19.4 Fizi zingine hutumiwa pia katika tasnia ya chakula, lakini haitumiki sana kwenye tasnia ya confectionery. Hii inatumika kwa gum gum na nziamu ya maharagwe (carob), ambayo yanahusiana na bidhaa kutoka kwa mbegu, na gum ya tragacanth - ugawaji wa astragalus kutoka kichaka. Fizi hizi hutumika kama viboreshaji na vidhibiti, na vile vile kwenye chokoleti za chokoleti au sindano. Gamu ya Xanthan hutumiwa pia kwa njia ile ile - resini asili inayoundwa wakati wa biosynthesis. Kwa kuongeza, kuna methylcellulose, ambayo, wakati ya kufyonzwa, huongezeka sana kwa kiasi. Inatumika katika bidhaa zingine za confectionery, pamoja na vyakula vya lishe na bidhaa ndogo. Katika utengenezaji wa gamu ya kutafuna, gamu ya mzunguko (chikl) hutumiwa - mpira wa asili. Nuru iliyobadilishwa inazidi kutumiwa katika utengenezaji wa pipi za jelly. Wanga na yaliyomo ya juu ya amylose pamoja na kupikia kwa shinikizo hutoa pipi za jelly na wakati mfupi wa muundo. Jedwali 19.4. Wakala wa uuzaji-chanzo na matumizi Aina ya Maombi ya Chanzo cha wakala wa gelling Gelatin Protini ya wanyama iliyotolewa kutoka kwa mifupa na ngozi Jumla (kuongezwa kwa syrups za joto za uthibitisho juu ya baridi). Isiyo ya kuchemsha Agar Alginates Mwani anuwai Tofauti. Inapeana jelly ya kutokuwa na msimamo. Hatua hiyo imedhoofishwa na kuchemsha katika suluhisho za asidi. Gamu ya Arabia (arabic au acacia) Kuangazia kuni Kwa utengenezaji wa ufizi ngumu wa kutafuna na kama filler na unene katika bidhaa kama marshmallows (marshmallows) Wanga na wanga zilizorekebishwa Mbegu na mizizi ya mimea anuwai Kabisa au sehemu iliyobadilisha mawakala wengine wa manyoya katika kutafuna gamu, furaha ya Kituruki na glazes Pectin Matunda hupunguza (haswa matunda ya machungwa na maapulo) Hasa kwa ajili ya uzalishaji wa jellies za matunda asidi, hata hivyo, pectin ya chini ya methoxylated hutumiwa kutengeneza jellies za upande wowote Katika utengenezaji wa pipi za jelly, haswa laini, tahadhari fulani za jumla lazima zizingatiwe. Kuondolewa kwa wakala wa gelling Kwa wazi, wakala wa gelling lazima afutwae vizuri, na suluhisho lazima lifilishwe ili kuondoa miili yoyote ya kigeni. Wakala wengine wa gelling, haswa gelatin, agar na gum aramu (gum arabic), wanahitaji kuloweka kwanza kwa maji baridi. Baada ya hayo, ni muhimu kuangalia kwa uangalifu ikiwa solid imejaa chini ya tank ya kuloweka. Wakati wa kuongezeka, mchanganyiko wa uangalifu ni muhimu (hii inatumika hasa kwa poda ya gelatin na agar). Suluhisho za Gelatin lazima iwe moto, lakini sio kuchemshwa. Famu ya Arabia inahitaji kufutwa polepole katika hali ya joto (Kuchanganya kupita kiasi au kuchemsha husababisha ujumi wa moto). Agar ya kufutwa lazima kuchemshwa, lakini kuchemsha haifai kuwa ndefu. Nyota zisizo na maandishi za kufutwa zinahitaji kuchemsha, lakini kwanza kusimamishwa nyembamba lazima kutayarishwe kutoka kwao na maji baridi. Baadhi ya nyota zilizorekebishwa mumunyifu katika maji baridi. Wanga ya juu ya amylose kwa kufutwa inahitaji kuchemsha chini ya shinikizo. Wakati wa kufuta pectini inahitaji hali maalum - poda lazima ichanganywe kabisa na suluhisho na uwiano wa "pectin / sukari / asidi" lazima iwe sahihi. Syneresis, pH, kuvunjika kwa gel Syneresis ni mali ya gels zingine za kutenga kitunguu saizi ("laini") baada ya kipindi fulani cha kuhifadhi, ambacho hakiathiri tu ladha ya bidhaa, lakini pia husababisha bidhaa hiyo kushikamana na viboreshaji, na hii inathiri uuzaji wa bidhaa vibaya. Kasoro hii hufanyika kwa jelly na agar na kuongeza ya ziada ya asidi, na kwenye gels za pectini - na kutokamilika kwa pectini, asidi zaidi, au kama matokeo ya mtiririko wa joto chini ya joto la gelation. Gia zingine za wanga pia zinakabiliwa na syneresis, na kwa hiyo kawaida huongeza wakala mwingine wa gelling kama kiimarishaji. Gia za wanga wa juu za amylose kwa ujumla sio syneresis. Jelly yoyote inaweza kuonyesha kasoro hii, pamoja na granulation, ikiwa bidhaa ya kumaliza ya confectionery imechanganywa baada ya kuanza kwa malezi ya gel. Granulation hufanyika ikiwa pipi za jelly zinatupwa ndani ya wanga, molds za chokoleti au aina zingine kwa joto chini ya joto la gelation ya mchanganyiko. Katika mchanganyiko wowote, joto la gelling lazima lijulikane kabla ya mvua. Bidhaa za kutafuna Bidhaa kali kutafuna ni aina nyingine ya confectionery ambayo inadaiwa kuonekana kwake kwenye soko kwa wafamasia ambao walijumuisha dawa na ufizi wa Arabia, syrups ya sukari na asali. Uwepo wa kamasi ulitoa ufutaji wa polepole - ubora ambao ni muhimu sana katika matibabu ya magonjwa ya koo. Njia nyingi za kutafuna zinatokana na mchanganyiko wa gum arabiki au gelatin ambayo hufanya kama mawakala wa gelling, lakini pia baadhi ya taa za nyota zilizobadilishwa hutumiwa. Kichocheo cha kawaida na teknolojia zimewasilishwa hapa chini. Aramu ya Kiafya kilo 12,7 Loweka kwa kupokanzwa kwa upole na kuchochea hadi fizi itayeyuka. Shinikiza kupitia ungo laini ili kuondoa nyenzo za kigeni Maji 11,3 kilo Sukari 6,8 kg Glucose syrup 1,8 kg Nyunyiza na chemsha hadi 124 ° C Maji kilo 2,26 Glycerin 0,45-0,68 kg (inaweza kuongezwa ili kuzuia kupindukia kwenye duka moto) Mchanganyiko wa syrup hutiwa kwenye suluhisho la fizi na kuchochewa kwa upole. Baada ya mchanganyiko kusimama, kiwango fulani cha kiwango kitainuka juu ya uso wake, ambao lazima uondolewe. Baada ya kupokanzwa kwa pili, limescale inaonekana tena, ambayo pia huondolewa, na suluhisho safi la fizi huondolewa kwa kutupwa ndani ya wanga, ambayo lazima ikamilike hadi 4-5% unyevu. Kisha bidhaa hizo zimekaushwa 6-10 siku katika chumba kavu, moto saa 49 ° C hadi texture taka ni kupatikana (msimamo). Zaidi ya hayo, bidhaa huondolewa kutoka wanga, kuifuta, na kusafishwa vizuri, baada ya hapo bidhaa hizo zimetayarishwa, kuwekwa kwenye waya wa waya na kukaushwa, ambayo hutengeneza uso kuangaza, lakini haipaswi kufanywa kwa muda mrefu zaidi ya lazima, kwani uso utakuwa laini sana. Kisha bidhaa hizo zimekaushwa zaidi. Mashine inayoendelea imeundwa kwa teknolojia hii, na mazoea ya jadi ya "kupaka mafuta" hayatakiwi tena. Uundaji wa msingi wa hapo juu unahitaji kuongezwa kwa ladha na asidi, na vitu vingi vinaweza kutumika. Mafuta ya limao, machungwa na chokaa hutoa harufu nzuri za machungwa, na juisi zilizokolea hutumiwa sana kutoa harufu zingine za matunda. Juisi ya licorice, asali na vitu vingine (kwa mfano, menthol, eucalyptus na mafuta ya anise) hutumiwa katika bidhaa maalum kwa ajili ya matibabu ya koo. Bidhaa za kutafuna laini. Katika bidhaa zenye kutafuna laini (pamoja na ufizi wa Arabia) ni pamoja na gelatin, na yaliyomo kwenye syrup ya sukari ndani yao ni ya juu zaidi; vinginevyo teknolojia hiyo ni sawa. Kwa lozenges ya matunda, mapishi yafuatayo hutumiwa: Sugar Kilo 4,1 Kayeyuka na chemsha kwa maji ya joto ya 121 ° C (ikiwa ni lazima, kulingana na mkusanyiko wa maji au kunde; asidi fulani ya citric inaweza kutumika) Glucose 4,1 kilo I Matunda ya Juisi ya Matunda au Kimbunga 3,1 kg ya matunda Gamu ya Arabia 3,1 kilo Kujiondoa na mnachuja Maji 3,1 kilo Gelatin 0,45 kilo Loweka, kufuta, na kisha ongeza kwenye suluhisho la gamu Ongeza suluhisho la gamu / gelatin kwenye syrup na uchanganye vizuri, kisha uimimina ndani ya wanga kavu na kavu kwenye chumba moto hadi texture inayopatikana ipatikane. Pastilles kawaida hunyunyizwa na sukari iliyokatwa au icing. Utaratibu huu huanza na kuiba bidhaa baada ya uchimbaji kutoka wanga, kama ilivyo katika bidhaa za kutafuna ngumu, lakini kabla ya kukausha hutiwa na sukari kwenye pipa inayozunguka, na sukari iliyozidi huondolewa kwa kuzungusha ungo. Vipuli vya sukari vilivyofunikwa hukaushwa kwenye matundu ya waya (sukari huunda safu ya uso). Baada ya mipako ya sukari, matibabu ya mvuke ya pili hufanywa kabla ya kukausha, ambayo hutoa glaze ya sukari inayoendelea. Bidhaa za Jelly wanga Wanga ya aina anuwai kwa miaka mingi inayotumika kwa utengenezaji wa bidhaa za jelly. Katika fomu yake ya asili isiyoandaliwa (kwa mfano, wanga wa mahindi, unga wa ngano) ilitumiwa kufurahisha Kituruki, ambayo ilichomwa kwa muda mrefu (masaa 4-5) kwa maji au syrup iliyochemshwa ili kuvunja nafaka za wanga. Aina za kwanza za wanga zilikuwa za kuchemsha. Zinaboresha kemikali kwa matibabu ya asidi na bado hutumiwa sana katika tasnia ya confectionery. Wao ni mzuri kwa kupikia katika boiler wazi, na pia kwa kupikia chini ya shinikizo au kutumia kanuni tendaji. Katika miaka ya hivi karibuni, karanga zilizobadilishwa maumbile zimetengenezwa. Kuvutia zaidi ni wanga wa juu wa amylose, ambayo inahitaji kupikia kwa shinikizo kubwa na joto. Bidhaa za jelly zilizotengenezwa kwa njia hii zimekuwa maarufu sana (haswa USA), na utumiaji wa teknolojia hizi hutoa akiba kubwa kwa wakati na nguvu. Bidhaa kama hizo hutolewa kwa ladha tofauti na maandishi - hunyunyizwa na sukari, kukaushwa, kukaushwa au mafuta na kutumiwa katika ubora wa miiko ya panning. Boiler ya koti ya mvuke inaweza kutumika kama vifaa vya usindikaji, «Chemetator"Au mpishi wa ndege. Chemetator ®. Takwimu imetengenezwa ambayo ina maji mengi kama yanahitajika kwa kupikia na kufutwa kwa viungo, na kwa unyevu wa% 1% kubwa tu kuliko jeli iliyomalizika. Dalali hii imejaa joto hadi 2 ° C (na hupigwa kwa «Chemetator"Ambapo huwashwa hadi 140 ° C chini ya shinikizo. Utaratibu wa kupikia unahakikishwa na shimoni la paddle ambayo inasambaza kusimamishwa kando ya uso wa ndani wa joto. Kutoka kwa vifaa vya pombe, kusimamishwa kulishwa hadi baridi«Chemetator", Na kisha kupitia nyuma ya mfumo wa nyuma wa mfumo wa kuteleza. Kupika kwa kutumia kanuni tendaji. Kusimamishwa kwa premix imeandaliwa kulingana na uundaji unaohitajika, uliowekwa mapema hadi 82 ° C na hutiwa ndani ya chumba cha athari, ambapo hupikwa kwa shinikizo la karibu 80 psi. inchi saa 140 ° C. Bidhaa hiyo ikiwa imepakuliwa huchomwa na kupigwa kwenye boiler tofauti au kuendelea kwenye bomba. Teknolojia na habari ya mapishi Kupika kwenye boiler ya wazi. Kusindika katika boiler ya wazi imetumika kwa miaka mingi - kusimamishwa kwa wanga / sukari hupikwa katika boilers na koti ya mvuke na kichocheo cha mitambo. Ili usikusanye filamu kutengeneza safu ya kuhami joto ambayo hupunguza kupika, hizi mchanganyiko wa mitambo lazima ziwe safi kabisa uso wa boiler. Kwa njia hii ya kupikia, wanga kioevu hutumiwa na kiasi cha maji ya kutosha kuhakikisha uharibifu wa nafaka za wanga. Ikiwa haitumiki maji ya kutosha, sukari iliyopo hupunguza utumbo wa wanga. Kupika kwenye boiler ya wazi (mapishi ya kawaida na teknolojia) Sukari 22,6 kg Syluji ya glucose (DE 42) 28 kg Kilo 5,4 inuza syrup Wanga kwa kupikia katika safu nyembamba ya kilo 7,25 Maji kilo 56,7 Densi ya kunukia kama inahitajika Ondoa sukari, sukari na inusa syrups katika nusu ya kiasi kinachohitajika cha maji na ulete chemsha. Jitayarisha kusimamishwa kwa wanga na maji mengine (baridi). Mimina kusimamishwa hivi katika mkondo mwembamba kuwa syrup ya kuchemsha. Chemsha hadi yaliyomo 76-78% SV na refractometer. Weka kwenye wanga. Shinikiza kupikia. Katika maendeleo ya kwanza katika uwanja wa shinikizo kupikia, kubadilishana joto na uso kusafisha kama vile«Chemetator". Baadaye, njia ya sindano ya mvuke iligunduliwa ambayo mvuke chini ya shinikizo huingizwa mara kwa mara kwenye kusimamishwa kwa wanga / sukari kupitia nozzles zilizopangwa kwa radially. Teknolojia hii hutoa mchanganyiko wa haraka sana na kupika. Kupikia shida kwenye boiler ya wazi, huondolewa wakati wa kupika chini ya shinikizo (wakati wanga wa kupika kwenye boiler ya wazi, ziada kubwa ya maji inapaswa kutumika ikifuatiwa na kipindi kirefu cha kupikia, na wakati wa kupika chini ya shinikizo kwa joto la juu, wanga inaweza kugeuka kuwa gel na maji kidogo mbele ya Nyoka). Kutumia teknolojia ya sindano ya mvuke, viwango vidogo vya kuchepesha hutiwa mafuta katika chumba cha dawa katika sekunde chache . Shinikiza bidhaa za jelly zilizopikwa Kichocheo A - matumizi ya wanga kwa kupikia kwenye safu nyembamba (kanuni «Chemetator"); Sukari iliyosafishwa 18,1kg Syluji ya glucose (DE 64) 27,2 kg Wanga kilo nyembamba kwa kupikia Maji 7,7 kg Mimina maji ndani ya sufuria laini. Kisha ongeza syrup ya sukari na kisha viungo vingine. Changanya vizuri na preheat hadi 82 ° C, kuwa mwangalifu usije ukatoa unyevu kwenye kingo za boiler. Baada ya kufuta sukari, kusimamishwa iko tayari kwa kupikia chini ya shinikizo kwa 138 ° C. Kichocheo B - matumizi ya wanga ya juu ya amylose (vifaa vya kupikia ndege) Syluji ya glucose 64 DE 27,2 kg 1,8 kg nyembamba wanga Wanga ya juu ya amylose 27 kg Maji kilo 5,4 Jitayarisha kusimamishwa kulingana na uundaji A, lakini preheat to 93 ° C na chemsha chini ya shinikizo saa 168 ° C. Katika kila kisa, bidhaa baada ya kupika hulishwa ili kuongeza ladha na rangi kwenye mchanganyiko unaofaa. Inaweza taklce endelea kuwalisha ndani ya bomba la kutokwa. Kuzingatia joto la juu la kupikia la wanga mkubwa wa amylose. Burudani ya Kituruki. Confectionery hii maarufu ina historia ndefu sana kutoka Mashariki, ambayo ilitengenezwa kutoka asali na unga na kuangaziwa na mafuta muhimu ya rose{otto), ambayo kwa bidhaa hii bado ni ladha inayokubalika. Mapishi ya kupendeza ya Kituruki ni ya aina mbili. Bidhaa ya aina ya kwanza hutiwa kwenye meza kwa baridi na uimara, baada ya hapo hukatwa kwenye cubes na kufunikwa na sukari safi. Katika fomu hii, kawaida huuzwa (katika sanduku zilizo na muundo wa kigeni). Bidhaa ya aina ya pili lhutiwa ndani ya wanga na, baada ya uchimbaji, iliyofunikwa na chokoleti ya maziwa. Unga niMimi ni sehemu inayofaa ya kupendeza Kituruki, kwani inatoa upendeleo wa bidhaa za kitamaduni. Furaha ya Kituruki, iliyotengenezwa tu kutoka wanga, haina maisha ya rafu ndefu. Syneresis inaweza kutokea ndani yake, na ikiwa bidhaa haijafungwa na chokoleti, inaweza kukauka. Gelatin au agar inaweza kutumika kuboresha gelling. Kwa utengenezaji wa kupendeza kwa Kituruki na utumi wa wanga, pectin ya chini ya methoxylated na wanga hutumiwa kwa mafanikio. Utaratibu wa kawaida na teknolojia zimepewa hapa chini: 1. wanga tu Mafuta nyembamba ya kilo 2,26 Maji 13,6 kg Changanya baridi hadi kusimamishwa kupatikana, kisha kuleta kwa bafakuchochea kuendelea na kupika kwa dakika 2. Kisha ongeza: Sukari 13,6 kg Glucose kilo 3,6 Pindua sukari kilo 0,90 Endelea kuchemsha hadi suluhisho liyeyuke. SV katika 78-80%, kisha uimimine kwenye meza kwa baridi. Baada ya kuchemsha kumalizika, ni muhimu kuongeza ladha, ambazo zinapaswa kujumuisha pink muhimu kidogo au ladha ya syntetisk rose na kiasi kidogo ndimu asidi. 2. wanga na nyongeza ya ziadavitu vya mi. Kulingana na aya 1, na baada ya kumaliza kuchemsha ongeza: Gelatin 340 g (hapo awali ilikuwa na maji). Unaweza pia kutumia agar. Katika kesi hii, suluhisho limetayarishwa kama ilivyoelezewa hapo juu na kuongezwa kwa syrup kuu mpaka kupika kumekamilika. Ubunifu huu unaweza kuchemshwa kwa yaliyomo mumunyifu wa chini. ST (75-76%). ← Persipan → Bidhaa za jelly kwenye agar na gelatin
2020-08-05T08:03:26
https://sw.baker-group.net/%D0%B1%D0%B5%D0%B7-%D1%80%D1%83%D0%B1%D1%80%D0%B8%D0%BA%D0%B8/jelly-candies-chewing-gums-pastilles-turkish-delight.html
[ -1 ]
(GMT+08:00) 2005-05-19 16:42:00 1. Eneo la kiuchumi la Kaskazini Mashariki mwa China: Eneo hilo ni pamoja na mikoa ya Heilongjiang, Jilin, Liaoning na sehemu ya mashariki ya mkoa wa Mongolia ya Ndani. Katika sehemu hiyo kuna maliasili nyingi na ardhi kubwa yenye rutuba. 2. Eneo la kiuchumi lililoko kando ya Bahari ya Bo kaskazini mwa China: Eneo hilo ni pamoja na miji ya Beijing na Tianjin, mikoa ya Hebei na Shandong. Sehemu hiyo ni kituo cha China, na huko kuna mafundi wengi na mashine za kisasa. Viwanda vyenye kiwango cha juu cha teknolojia vimeendelezwa huko.. 3. Delta ya kiuchumi ya Mto Changjiang: Eneo hilo ni pamoja na mji wa Shanghai, mikoa ya Jiangsu na Zhejiang. Katika sehemu hiyo kuna watu wengi wenye kiwango cha juu cha elimu, na viwanda vya usindikaji vimepata maendeleo makubwa. Eneo hilo litakuwa kituo kikubwa cha kiuchumi, ufunguaji mlango, elimu na habari za kiuchumi na kibiashara. 4. Eneo la kiuchumi la pwani lililoko kusini mwa China. Eneo hilo ni pamoja na mikoa ya Guangdong, Guangxi, Fujian na Hainan. Eneo hilo ni sehemu ya kwanza inayofungua mlango kwa nchi za nje. Ufunguaji mlango wa miaka 10 umeliwekea eneo hilo msingi thabiti. 5. Eneo la kiuchumi la sehemu ya katikati ya Mto Manjano: Eneo hilo ni pamoja na mikoa ya Shanxi, Shaanxi, Henan, na sehemu za kati na magharibi za mkoa wa Mongolia ya Ndani. Sehemu hiyo ina maliasili nyingi ya makaa ya mawe, ambayo inachukua asilimia 80 ya maliasili yote ya makaa ya mawe nchini China. 6. Eneo la kiuchumi la sehemu ya juu ya Mto Manjano: Eneo hilo ni pamoja na mikoa ya Gansu, Ningxia na Qinghai. Katika eneo hilo kuna tofauti kubwa ya kiwango cha maji mitoni. Hivyo maliasili ya maji ni nyingi, na vituo vya kuzalisha umeme kwa nguvu ya maji vitaendelea kujengwa huko. 7. Eneo la kiuchumi la sehemu ya katikati ya Mto Changjiang: Eneo hilo ni pamoja na mikoa ya Hunan, Hubei, Jiangxi na Anhui. kituo cha viwanda vinavyotegemea uchukuzi kwenye mito na matumizi ya maji na kituo cha kilimo vitajengwa huko. 8. Eneo la kiuchumi la sehemu ya juu ya Mto Changjiang. Eneo hilo ni pamoja na mikoa ya Sichuan, Guizhou na Yunnan. Kituo cha viwanda vinavyotumia nishati nyingi na viwanda vya kemikali kitajengwa huko. 9. Eneo la kiuchumi la mkoa wa Xinjiang: Eneo hilo linachukua moja kwa sita ya eneo lote la China, na lina maliasili nyingi za mafuta na madini. Kituo cha viwanda vya mafuta na kemikali ya mafuta na kituo cha ufugaji na usindikaji husika kitajengwa huko. 10. Eneo maalum la kiuchumi la Mkoa wa Tibet: Kutokana na hali ya hewa na sehemu ya kijiografia, maendeleo ya uchumi wa eneo hilo ni madogo. Hivyo eneo hilo linahitaji uugaji mkono wa nchi nzima na sera ya taifa, ili kuharakisha maendeleo na ujenzi huko na kuanzisha mfumo wa kisasa wa kiuchumi.
2019-12-07T13:53:20
http://swahili.cri.cn/1/2005/05/19/[email protected]
[ -1 ]
BEIJING:Uchina yaghadhabishwa na Marekani kuhusu Dalai Lama | Habari za Ulimwengu | DW | 17.10.2007 BEIJING:Uchina yaghadhabishwa na Marekani kuhusu Dalai Lama Uchina inatoa matamshi mapya makali kufuatia uamuzi wa Marekani wa kumtuza kiongozi wa kidini wa Tibet Dalai Lama aidha kufanya naye mkutano mjini Washington katika Ikulu ya Whitehouse hapo jana.China kwa upande wake haijaridhia hatua hiyo na kushikilia kuwa sherehe hiyo isimamishwe.Liu Jianchao ni msemaji wa Wizara ya Mambo ya kigeni ya Uchina. Kwa mujibu wa Uchina Dalai Lama ambaye ni mshindi wa tuzo ya Nobel ya amani ya mwaka 1989 anashikilia kudai uhuru wa kujisimamia katika eneo la Tibet ila chini ya utawala wa Kichina. Dalai Lama alitorokea nchi ya India baada ya jaribio la mapinduzi dhidi ya uongozi wa Uchina mwaka 1959.Kiongozi huyo wa kidini anaishi mjini Dharamsala kwa sasa ambako ndiko makao makuu ya serikali yake ya uhamishoni.Uchina iinamiliki eneo la Tibet lililo na wafuasi wengi wa Kibudda tanghu ilipotuma majeshi yake huko mwaka 1950. Kiungo https://p.dw.com/p/C7Ey
2018-08-16T20:20:36
https://www.dw.com/sw/beijinguchina-yaghadhabishwa-na-marekani-kuhusu-dalai-lama/a-2887772
[ -1 ]
Bakari Shime: Tutalipa Deni La Watanzania – Dar24 Bakari Shime: Tutalipa Deni La Watanzania 2 years ago Comments Off on Bakari Shime: Tutalipa Deni La Watanzania Kocha mkuu wa timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17 (Serengeti Boys) Bakari Nyundo Shime ametoa kauli nzito dhidi ya watanzania saa chache kabla ya kuondoka nchini jana jioni, kuelekea mjini Rabat-Morocco kwa ajili ya maandalizi ya kikosi chake. Shime ambaye anajivunia mafanikio ya Serengeti Boys tangu alipoanza kukinoa kikosi hicho, alisema ni wazi anatambaua ana deni kwa watanzania la kuhakikisha timu yake inafanya vizuri katika fainali za Afrika ambazo zitaanza Mei 14 nchini Gabon. Alisema deni hilo ni kubwa kwake na kwa wachezaji wa Serengeti Boys, lakini ameahidi kulilipa kwa namna yoyote ile, kwa kuhakikisha kikosi chake kinapambana katika fainali hizo na kufikia lengo. “Najua uzito wa deni lililo mbele yetu, jibu ni moja tu, ambalo ninaweza kukupa kwa sasa, nitahakikisha tunalilipa kwa kusaka mafanikio bila kujali tunakwenda kupambana na nani huko tuendapo. Najua tutakutana na timu za nchi zenye majina makubwa katika soka hapa Afrika, lakini tutahakikisha tunashinda.” Alisema Shime Kuhusu maandalizi ya kikosi chake katika michezo mitatu ya kimataifa ya kirafiki dhidi ya Burundi mara mbili na Ghana, Shime alisema ilikua ni kipimo kizuri kwa vijana wake, lakini anaamini watakapofika Rabat-Morocco wataendelea kujiandaa zaidi kabla ya kucheza michezo mingine ya kimataifa ya kirafiki. “Michezo mitatu tuliocheza hapa nyumbani ilikua ni kipimo kizuri, na imetusaidia sisi watu wa benchi la ufundi kutambua ni wapi tunapokwenda kuanzia katika kambi ya Rabat, tutajitahidi kurekebisha makosa yote kwa kuwahusia vijana wasiyarudie tutakapofika Gabon.” Alisema Shime. Kikosi cha Serengeti Boys kiliondoka nchini jana jioni saa kumi na dakika 45, kwa Ndege ya Shirika la Ndege la Emirates kwenda Morocco kupitia Dubai, Falme za Kiarabu (UAE) Serengeti Boys itakuwa Rabat, Morocco kwa kambi ya takribani mwezi mmoja. Ikiwa huko itacheza michezo ya kirafiki isizopungua miwili dhidi ya wenyeji Morocco na timu nyingine ya jirani za Tunisia au Misri. Kambi hiyo ya Morocco itamalizika Mei mosi, mwaka hu ambako timu itasafiri hadi Cameroon. Ikiwa Cameroon, timu itacheza michezo miwili ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya wenyeji yaani Mei 3 na 6, mwaka huu kabla ya kusafiri Mei 7, mwaka huu kwenda Gabon ambapo Serengeti Boys imepangwa kundi B pamoja na timu za Mali, Niger na Angola. Dar24 inawatakia kila la kheri Serengeti Boys katika mapambano ya kuwania ubingwa wa Afrika kadhalika kucheza fainali za Kombe la Dunia mwezi Novemba, mwaka huu zitakazofanyika India. Serengeti Boys inaweza na Mtanzania tunakuomba kuichangia timu hii kwa namna ya 223344 kupitia mitandao yote ya simu. Video: Bungeni leo Aprili 6, 2017 Video: Mwakyembe kumbana Makonda maswali tisa, Uchaguzi wabunge AELA kaa la moto Michezo 7 hours ago Comments Off on Tanzania yapanda kwenye viwango vya FIFA Michezo 8 hours ago Comments Off on Misri yapata kocha mpya Michezo 9 hours ago Comments Off on Kipa wa Chelsea ‘amchana’ De Gea Michezo 1 day ago Comments Off on Wachezaji Spurs wamkasirisha Mauricio Pochettino Michezo 1 day ago Comments Off on Philippe Coutinho afurahia maisha Allianz Arena
2019-09-20T18:07:01
http://www.dar24.com/bakari-shime-tutalipa-deni-la-watanzania/
[ -1 ]
HAPPY BIRTHDAY MAZA WA MAZNAT BRIDAL - life goes on Home » » HAPPY BIRTHDAY MAZA WA MAZNAT BRIDAL HAPPY BIRTHDAY MAZA WA MAZNAT BRIDAL Today is your day! It’s time to eat cake maana si kwa ma cake haya uliyo letewa dada yangu...your such a darling girl! Nilikuona kwenye Tv na magazeti nikawahi kutamani niwe kama wewe au zaidi ya wewe nikajaribu kukuiga ila sikutegemea itakuja siku kuwa karibu na wewe @maznatbridal wewe ni wa kipekee kila mwanadamu anatamani awe na roho kama yako na kuwa shujaa kama wewe. Kwa kipindi kifupi nilichoweza kuwa na wewe karibu umeweza kuwa mama mlezi, rafiki kipenzi, dada, mwalimu, mshauri na umenisaidia katika dini. I'm so grateful to know u this is why I wish u happy birthday. Have my blesses always darling dada!!! Siunajuaga ninavyokupenda sanaaaaaa @maznatbridal #HappyBirthdayKichuna Ila tuliweza kuku surprise kwakweli mwenyewe hukuamini Posted by Judy Mwaheleja at 11:39
2018-02-19T06:10:49
http://jeedygirl.blogspot.com/2017/01/happy-birthday-maza-wa-maznat-bridal.html
[ -1 ]
MBUNGE wa Rombo Joseph Selasini (CHADEMA) awatupia lawama madiwani - JamiiForums MBUNGE wa Rombo Joseph Selasini (CHADEMA) awatupia lawama madiwani MBUNGE wa Rombo Joseph Selasini (CHADEMA), amewatupia lawama baadhi ya madiwani kwa kukagua na kupitisha miradi ya maendeleo ambayo haijakidhi vigezo. Alisema hatua hiyo, inasababishia hasara kubwa Serikali, ambayo imekuwa ikihaha kuboresha maisha ya Watanzania. Akizungumza wakati wa kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa wa Kilimanjaro jana, Selasini alisema pamoja na madiwani kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo, lakini bado imekuwa haikidhi vigezo. Alisema kumekuwa na matumizi makubwa ya fedha za wananchi kutekeleza miradi ambayo haiwanufaishi kutokana na mingi kuharibika mapema, kutokana na uzembe wa watu wachache. “Fedha nyingi za wavuja jasho, zimekuwa zikitumika kifisadi na kutekeleza miradi isiyo kidhi vigezo na cha kusikitisha zaidi madiwani wamekuwa wakikagua miradi hii na kufumbia macho,” alisema Selasini. Alisema miradi hiyo, iliyojengwa chini ya kiwango ni Shule ya Sekondari ya Mamsera ambayo sakafu yake, ilijengwa kwa kipindi cha miaka mitatu, lakini imebomoka yote. Kwa upande wake, Katibu wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Kilimanjaro, Steven Kazidi alisema ili kuepuka mgongano wa kupokea miradi iliyo chini ya kiwango, inapaswa miradi yote isipokelewe mpaka ikaguliwe na wakaguzi wa nje. “Kwa miradi ya ujenzi, wakurugenzi watumie wakaguzi wa nje ili kuepusha migongano ya mara kwa mara na kuisababishia hasara Serikali, jambo hili linasababisha wananchi kukosa imani na Serikali yao,” alisema. Awali Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama akifungua kikao hicho, aliagiza Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), Mkoa wa Kilimanjaro, kutoa elimu ya matumizi sahihi ya barabara kwa wananchi. Alisema kama elimu, itatolewa ipasavyo itasaidia kuondoa uvamizi katika hifadhi za barabara unaofanywa na wananchi ili kuondoa migogoro. Ndugu mbunge wabane hao madiwani
2019-05-25T03:51:42
https://www.jamiiforums.com/threads/mbunge-wa-rombo-joseph-selasini-chadema-awatupia-lawama-madiwani.360548/
[ -1 ]
KLABU YA KIMATAIFA LIONS CLUB INTERNATIONAL YATOA MSAADA WA MADAWATI YA CHUMA SHINYANGA - LEKULE BLOG Pichani viongozi wa wilaya ya Shinyanga,wazazi na maafisa kutoka Lions Club International wakiongozwa na Gavana wa Lions Club katika nchi ya Tanzania, Uganda na Sudani ya Kusini bwana Hyderali Gangji wakiwa katika shule ya msingi Town...Madawati hayo 165 yametolewa na Lions Club ya mkoa wa Mwanza.Mwandishi mkuu wa Malunde1 blog,Kadama Malunde ametuletea picha 30 kilichojiri mwanzo hadi mwisho. Gavana wa Lions Club International katika nchi ya Tanzania na Uganda na Sudani ya Kusini Hyderali Gangji alisema wamekuwa wakitoa misaada mbalimbali mkoani Shinyanga ambapo mwaka jana walitoa msaada wa chakula kwa wahanga wa mvua ya Mwakata wilayani Kahama,pia chakula katika kituo cha walemavu wa ngozi cha Buhangija,kutoa madawati katika shule ya msingi Town na Mwenge Miongoni mwa madawati ya chuma 165 yaliyotolewa na Lions Club International katika shule ya msingi Town na Mwenge katika manispaa ya Shinyanga Hapa ni katika shule ya msingi Town katika manispaa ya Shinyanga ,aliyesimama ni mwenyekiti wa bodi ya shule hiyo Said Juma Issa akiwakaribisha viongozi mbalimbali waliofika katika shule wakati wa hafla fupi ya kukabidhi madawati 65 kwa shule hiyo na 100 katika shule ya msingi Mwenge Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Town wakiangalia madawati waliyopewa na Lions Club International Kulia ni diwani wa kata ya Shinyanga mjini,ambaye pia ni meya wa manispaa ya Shinyanga Gulam Hafeez Mukadam aliyefanya jitihada za kupatikana kwa madawati katika shule za kata yake,Town na Mwenge.Diwani huyo pia ni mwanachama wa Lions Club International Mwalimu mkuu wa shule ya msingi Town Josephine Mabula akisoma risala kwa mgeni rasmi mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro ambapo alisema shule hiyo yenye wanafunzi 1104 sasa haina uhaba tena wa madawati baada ya kupokea kutoka Lions Club International Kulia ni mkurugenzi wa manispaa ya Shinyanga Lewis Kalinjuna,katikati ni mgeni rasmi,ambaye ni mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro akifuatiwa na gavana wa Lions Club International katika nchi ya Tanzania na Uganda na Sudani ya Kusini Hyderali Gangji Mkurugenzi wa manispaa ya Shinyanga Lewis Kalinjuna akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi madawati,ambapo mbali na kuipongeza Lions Club International kwa kutoa msaada huo,aliwataka madiwani wa manispaa ya Shinyanga kufanya kazi badala ya kukalia maneno maneno kwani kiongozi mzuri anapimwa kwa maendeleo anayowaletea wananchi wake. Mkurugenzi wa manispaa ya Shinyanga Lewis Kalinjuna alisema hivi sasa manispaa hiyo imeanza kutoa shilingi milioni 10 kila mwezi kwa ajili ya kutatua changamoto ya uhaba wa madawati katika shule za manispaa hiyo huku akiwataka wananchi kuendelea kuisaidia serikali kwa michango mbalimbali ili watoto wasome vizuri Gavana wa Lions Club International katika nchi ya Tanzania na Uganda na Sudani ya Kusini Hyderali Gangji akizungumza katika hafla hiyo ambapo alisema wameamua kutoa msaada huo ili kuwaondolea changamoto wanafunzi ya kukaa chini wakati wa masomo ili kuinua kiwango cha elimu hapa nchini ikiwa ni moja ya majukumu yao kusaidiaa jamii na serikali.Alitumia fursa hiyo kuwataka wananchi kujenga moyo wa kutoa kwani serikali pekee haiwezi kumaliza matatizo ya wananchi Wanachama wa Lions Club International mkoa wa Shinyanga wakiwa eneo la tukio,ambao wameahidi kupaka rangi majengo ya shule ya msingi Town Wazazi na walezi wa wanafunzi wakishuhudia kilichokuwa kinaendelea Gavana wa Lions Club International katika nchi ya Tanzania na Uganda na Sudani ya Kusini Hyderali Gangji akijiandaa kukata utepe wakati wa hafla fupi ya kukabidhi madawati 165 kwa shule ya msingi Town na Mwenge zilizopo katika manispaa ya Shinyanga Gavana wa Lions Club International katika nchi ya Tanzania na Uganda na Sudani ya Kusini Hyderali Gangji tayari amekata utepe.... Gavana wa Lions Club International katika nchi ya Tanzania na Uganda na Sudani ya Kusini Hyderali Gangji akishikana mkono na mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro baada kukabidhi madawati 165 Wanafurahia jambo..... Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro akimshukuru Gavana waLions Club International katika nchi ya Tanzania na Uganda na Sudani ya Kusini Hyderali Gangji kwa kutoa msaada wa madawati katika shule za manispaa ya Shinyanga,ambapo alitangaza kujiunga na klabu hiyo ili kuungana na wanachama wengine wa klabu hiyo ambayo imekuwa msaada mkubwa kwa jamii Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro aliishukuru Lions Club International kwa kuisaidia serikali kuchangia shule hizo huku akipongeza jitihada za diwani wa kata hiyo kupigania shule zake kupata msaada huo wa madawati. Matiro alitumia fursa hiyo kuwataka madiwani wa manispaa ya Shinyanga kuiga mfano wa diwani wa kata ya Shinyanga mjini Gulam Hafeez Mukadam ambaye amemaliza tatizo la uhaba wa madawati katika shule za msingi katika kata yake huku akiwataka kufanya kazi ili kuwaletea maendeleo wananchi badala ya kuendekeza siasa na maneno yasiyokuwa na faida kwa wananchi Aliyesimama ni katibu wa Lions Club ya Shinyanga bwana Sandip Lakhan akizungumza katika hafla hiyo ya kukabidhi madawati.Alisema Lions Club ya mkoa wa Shinyanga imetoa baiskeli kwa mkazi wa Bubiki wilayani Kishapu mkoani Shinyanga Mussa Mipawa,ambaye ni mlemavu wa viungo,iliyotengenezwa na mwanachama wa Klabu hiyo Mussa Mipawa akiwashukuru wanachama wa Lions Club International kwa kumpa msaada wa baiskeli ya magurudumu matatu
2018-07-18T08:23:12
https://sosteneslekule.blogspot.com/2016/02/klabu-ya-kimataifa-lions-club_15.html
[ -1 ]
DELLA MEDIA PRODUCTION: DUUH HIVI HII BARUA NI KWELI AU"BARUA KUTOKA KWA MUME WA FLORA MBASHA KWENDA KWA MCHUNGAJI GWAJIMA" Jumapili, Juni 29, 2014 DUUH HIVI HII BARUA NI KWELI AU"BARUA KUTOKA KWA MUME WA FLORA MBASHA KWENDA KWA MCHUNGAJI GWAJIMA" Imechapishwa na Adela Kavishe kwa 2:31 PM
2018-02-24T19:23:18
http://adeladallykavishe.blogspot.com/2014/06/duuh-hivi-hii-barua-ni-kweli-aubarua.html
[ -1 ]
Twahitaji ujasiri zaidi hivi sasa kuliko wakati wowote kutatua changamoto za dunia- Macron | Habari za UN Emmanuel Macron, Rais wa Ufaransa, akihutubia mjadala mkuu wa mkutano wa 74 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (24 Septemba 2019) Akianzia na Iran, Rais Macron amesema, “ongezeko la mvuatno tangu tarehe 14 mwezi Septemba baadaya mashambulio dhidi ya Saudi Arabia, yameongeza hatari zaidi ya mzozo unaoweza kuibuka kwa uchukuaji hatua usio na kipimo.” Amesema, “hivi sasa kuliko wakati wowote ule, ninaamini kwa dhati kuwa wakati umefika wa kurejelea mashauriano baina ya Marekani, Iran na watiaji saini wa mkataba wa pamoja wa programu ya nyuklia ya Iran, JCPOA na mataifa ya kwenye ukanda huo ambayo ndiyo ya kwanza yatakayoathirika na ukosefu wa utulivu na usalama utokanao na mvutano huo.” Amegusia pia suala la mabadiliko ya tabianchi akiasema tabianchi ni moja ya mafanikio ya ushirikiano thabiti wa sasa wa kimataifa. Rais huyo wa Ufaransa amefafanua kuwa, “tulionesha uthabiti huo baada ya Marekani kujitoa kwenye mkataba wa Paris wa mabadiliko ya tabianchi. Kwa pamoja Umoja wa Mataifa, Benki ya Dunia, tulikuwa na mkutano wa ngazi ya juu wa Sayari. Tumewezesha kushirikisha wadau wengine pamoja na kupata fedha kutoka maeneo mengine. Tulishuhudia jana kwenye mkutano wa ngazi ya juu wa hatua kwa tabianchi.” Kuhusu suala la kutoweka kwa kuaminiana jambo ambapo hata Rais wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa Profesa Tijjani Muhammad-Bande amekuwa analisisitiza, Rais Macron amesema, “kujenga amani ni kuweka hali yako rehani; kuamua kushiriki kwenye mazungumzo, kulegeza misimamo, kujenga upya imani. Na katika maeneo mengi, hilo ndilo jambo tunahitaji.” Ufaransa|UNGA74|Emmanuel Macron|JCPOA Mfumo wa ulimwengu wa ajira ubadilike, kwani sasa umeongeza pengo la wenye nacho na wasio nacho- Macron
2019-12-05T15:53:31
https://news.un.org/sw/story/2019/09/1068912
[ -1 ]
How SiteW Established Itself As A Website Builder For Creatives - WHSR Nyumbani > blog > mahojiano > JinsiWWI Ilijitengeneza Mwenyewe Kama Mjenzi wa tovuti kwa Uumbaji JinsiWWI Ilijitengeneza Mwenyewe Kama Mjenzi wa tovuti kwa Uumbaji Iliyasasishwa Septemba 11, 2018 Mtandao daima imekuwa jukwaa yenye nguvu kwa wahusika ili kuonyesha kazi zao na kwa ujio wa wajenzi wa tovuti, inakuwa rahisi zaidi na zaidi kwa ubunifu kuanzisha uwepo wa mtandaoni na tovuti. Tangu kuanzishwa kwake, SiteW imekuwa ikijitahidi kuanzisha wenyewe kama wajenzi wa tovuti wa Waziri wa Ufaransa na duniani kote. Tumeweza kupata mazungumzo ya haraka na Mkurugenzi Mtendaji wao Fabien Versange na CTO Cėdric Hamel ili kujua zaidi kuhusu SiteW. Mwanzoni mwa Unyenyekevu Na Kuongezeka kwa SiteW Wafanyabiashara wa SiteW (bluu) Fabien Versange na (nyeupe) Cedric Hamel SiteW ilikuwa ya kwanza conceptualized na Mkurugenzi Mtendaji Fabien Versange na CTO Cėdric Hamel nyuma katika 2007. Wote wawili walikuwa mashabiki wa sayansi na teknolojia ya kompyuta na marafiki wawili walikuwa wameunda maeneo kadhaa kwa jamaa nyuma. Ushirikiano huu uliwezesha wazo kwa marafiki wawili kuanza kampuni ambayo ni mtaalamu wa kujenga tovuti. Wazo nyuma ya SiteW ilikuwa kujenga jukwaa ambalo lingewezesha watumiaji kujenga tovuti ambayo sio tu inayovutia tu lakini pia ni rahisi sana kutumia na kuunda. Tulitaka kujenga jukwaa (au chombo cha mtandaoni) kinachowezesha kila mtu kujenga tovuti yake mwenyewe kwa urahisi. - Fabien Versange, Afisa Mtendaji Mkuu katika SiteW Kwa maono hayo katika akili, Versange na Hamel walianza kazi juu ya msingi wa SiteW na toleo la Beta la uzinduzi wa tovuti kwanza Desemba 2007. Toleo la umma lilizinduliwa Februari 2008 na ndani ya wiki, walitengeneza tovuti yao ya kwanza. Tangu wakati huo, SiteW ilipata mafanikio makubwa kama wajenzi wa tovuti ndani na nje ya Ufaransa. Tovuti ilianza na toleo la Ufaransa na Kiingereza nyuma katika 2008 na baadaye likaongezwa hadi german katika 2011 na spanish katika 2016. Kama ilivyo leo, SiteW imeunda tovuti za 1,500,000 na watumiaji kutoka pembe zote duniani. Licha ya hatua hiyo kubwa, Versange na Hamel kamwe hawakupotea kuona kile maono yao ya SiteW inapaswa kuwa, ambayo ni jukwaa la ubunifu. Kuunda tovuti inahitaji kuwa rahisi na kufurahisha kama kucheza mchezo. - Cedric Hamel, Ofisi ya Teknolojia Mkuu katika SiteW Jukwaa maalum kwa ajili ya uumbaji Mipangilio rahisi ya SiteW inaweza kufaa aina yoyote ya mtumiaji. Kuongezeka kwa ustadi na mafanikio ambayo SiteW ilipata iliwezekana kutokana na imani ya Hamel na Versange imara kwenye jukwaa ambalo linatokana na ubunifu. Kwa kweli, mgongo wa Mafanikio ya SiteW daima imekuwa sifa ambazo hutoa. "Wajenzi wetu wa tovuti walijenga kwa wazo kwamba kila mtu anaweza kuitumia ili kujenga tovuti ya ajabu. Kwa pakiti zetu za 3 (Starter, Premium, na Pro), mtu yeyote anaweza kuitumia kuanza tovuti mara moja. " Ubora wa huduma za SiteW ni dhahiri na mamia ya tovuti zilizoundwa. Mpango wa mfuko wa 3 rahisi kuruhusiwa Versange na Hamel, pamoja na timu ya SiteW, kuzingatia kutoa miundo na vipengele kwamba watumiaji wao watahitaji na wanahitaji, wakati bado wanapa uhuru wa kuchagua juu ya wapi kuanza. Mfuko wao wa Starter hutoa mahitaji yote ya msingi ya kuanza tovuti na ni bure kabisa na haijatikani. Mfuko wao wa Premium, kwa upande mwingine, hutoa kurasa zisizo na kikomo, vipengele vya maingiliano, zana za SEO, na jina la kikoa la desturi, ambalo linafanya uchaguzi kamili kwa wamiliki wa tovuti kubwa. Hatimaye, mfuko wao wa Pro unajumuisha vipengele vyote katika mfuko wa Premium pamoja na uwezo wa kujenga duka la mtandaoni. Kutokana na kwamba kila tovuti itakuwa na mahitaji yao ya kipekee, wanajaribu kutoa vipengele vingi iwezekanavyo ili kutimiza mahitaji ya biashara au watu binafsi ambao wanataka kuunda tovuti kwenye jukwaa lao. SiteW kikamilifu inafanana na sekta zote za biashara: miundo yetu na makala hukutana na mahitaji yote ya watumiaji wetu (picha ya sanaa, kalenda, fomu ya kuwasiliana, blogu, duka la mtandaoni ...), wakati wote kufanya jukwaa letu kila kutumia kwa zana yetu ya uumbaji wa tovuti. Yote hii inafanya SiteW mojawapo ya wajenzi wa tovuti bora zaidi ya watumiaji (9.5 / 10) kwenye maeneo kama vile TrustPilot. Kufikia nje kwa wasikilizaji Kutoka kwenda, Versange na Hamel walijua kwamba SiteW ililenga kuwa jukwaa ambalo huwawezesha wale wanaofanya kazi katika maeneo ya ubunifu, kama vile kupiga picha, kuunda tovuti ya kuonekana yenye kushangaza kwa njia rahisi na ya kujifurahisha. Lakini wasikilizaji wao walengwa hawakuzingatia tu wale walio katika uwanja wa ubunifu. SiteW ilijengwa kutoka chini-msingi juu ya msisitizo kwamba mtu yeyote anaweza kufanya tovuti na kuifanya inaonekana vizuri wakati bado ni mchakato wa kujifurahisha. Timu ya SiteW katika makao makuu yao nchini Ufaransa. "SMFs, vyama, jumuiya, watu binafsi ambao wanataka kushiriki shauku yao, ni wasikilizaji wetu wa lengo katika SiteW," anasema Versange. Kwa jukwaa ambalo linaweza kuhudumia watumiaji wa kila aina, SiteW iliweza kupata umaarufu zaidi na haraka ikawa kuwa wajenzi wa wavuti kwenda kwa wale ambao wanataka kujenga tovuti ya kuibua katika Ufaransa na zaidi. Kujenga Upatikanaji wa Kimataifa Wakati SiteW ilipata mafanikio makubwa katika nchi yao ya Ufaransa, Versange na Hamel walitaka kufanya jukwaa zaidi kuliko mafanikio ya nyumbani. Wanataka SiteW kuwa na uwepo wa kimataifa, ambao uliongeza upanuzi katika lugha tofauti na wilaya. Ili kuanzisha uwepo wao nje ya Ufaransa, kulikuwa na mambo kadhaa ambayo Versange, Hamel, na timu ya SiteW ilipaswa kufanya. "Tuliajiri watafsiri waliosaidia kwa kupata zana zetu, viongozi na FAQS kutafsiriwa kabisa na kutoa usaidizi uliofaa. Ili kuongeza hivyo, tulifanya ushirikiano na blogu na huduma za mtandaoni zinazopendekezwa na wajenzi wa tovuti ili kutuweka nuru. " Toleo la Kiingereza la HomeW homepage liliundwa mapema kama sehemu ya bidhaa zao za kimataifa. Kusonga kwa kimkakati inaonekana kuwa kulipwa kwa uzuri kama SiteW inaendelea kuwa wajenzi wa tovuti maarufu kwa watumiaji wengi wa kimataifa, hasa katika maeneo ya Ujerumani na Hispania. Lakini kufurahia mafanikio hayo haimaanishi kuwa na wasiwasi, kama Versange na timu yake wazi bado ina picha kubwa katika akili. Kwa zaidi ya tovuti za 1,500,000 zilizoundwa, ni wazi kuwa watumiaji wetu wa Ufaransa, pamoja na wateja wetu wa kigeni kama SiteW. Kwa hivyo, tunataka kuendelea kukua. Timu yetu kubwa ni, zaidi tunaweza kuendeleza vipengele vipya kwa kila mtu. Ni Uburi wa Kifaransa Kuingiza ndani ya soko la kimataifa ilikuwa hatua kubwa kwa SiteW na wakati hii imesababisha kampuni kukua kubwa, Versange na Hamel kamwe hawakukataa umuhimu wa watumiaji wao wa Ufaransa na jinsi walivyokuwa ufunguo wa mafanikio yao ya awali. "Watu wetu wa Kifaransa ni wapenzi sana. Wanafanya makampuni ya Kifaransa uchaguzi wao wa kwanza. " Ili kudumisha msimamo wao katika nchi yao, Timu ya SiteW inaendelea kutoa vifaa bora na vya huduma za wavuti kwa watumiaji wao wa Kifaransa kwa kuelewa ni nini mahitaji na matakwa yao ni, na jinsi tofauti na watazamaji wa Kimataifa. Tunajua kwamba watu wa Ufaransa ni rasilimali. Hata hivyo, wanapendelea kuingiliana kwa binadamu na kuwasaidia binafsi. Kipaumbele katika SiteW imekuwa daima kuwa makini na kuridhika. Hii ndio sababu tunavyohesabiwa kama 9.5 / 10 (kwa watumiaji) kwenye Trustpilot. Mapinduzi ya Ubunifu Shukrani maalum kwa Fabien Versange na Cėdric Hamel kwa kuzungumza na sisi na kugawana baadhi ya mawazo ya SiteW. Ni wazi kwamba wote Versange na Hamel, na timu ya SiteW, wanapenda sana kuleta jukwaa kubwa la ubunifu ili kujenga uwepo wao mtandaoni. Kama ilivyo sasa, SiteW ni dhahiri juu ya kikwazo cha kuongoza mapinduzi ya ubunifu katika sekta ya ujenzi wa tovuti. Sisi ni nia ya kuona jinsi SiteW itaendelea kukua na kugeuka kwa miaka ijayo. Socialert - Hashtag Tracking kwa Kuchukua Masoko yako ya Vyombo vya Jamii kwenye ngazi inayofuata Jinsi Aparg Ilivyopata Wateja wa 400 + katika Miaka Tano Mfupi Jinsi Tristan Hervouvet Ilivyojenga ImageRecycle kutoka 0 hadi Picha za 1,000,000,000
2020-02-28T22:34:20
https://www.webhostingsecretrevealed.net/sw/blog/interviews/how-sitew-established-itself-as-a-website-builder-for-creatives/
[ -1 ]
CCM YAKANUSHA TAARIFA ZA UPOTOSHAJI ZA MGOMBEA WAKE ZILIZOSAMBAZWA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII | CCM Blog CCM YAKANUSHA TAARIFA ZA UPOTOSHAJI ZA MGOMBEA WAKE ZILIZOSAMBAZWA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII Ndugu Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM akielekea kwenye ukumbi wa mkutano kwa ajili ya kuzungumza na waandishi wa habari, huku akiwa ameshikilia kitabu cha Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2015-2020 iliyopitishwa jana na Halmashauri Kuu ya CCM mjini Dodoma. Ilani hiyo inayotarajiwa kuzinduliwa tarehe 25 Agosti ndiyo itakayotumika kwa kipindi cha miaka 5 ijayo iwapo Chama cha Mapinduzi CCM kitapewa ridhaa na wananchi kuongoza nchi kupitia mgombea wake wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli, katika uchaguzi mkuu ujao wa rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25 mwaka huu kote nchini Tanzania. Nape Nnauye amelaani na kuzikanusha taarifa zilizozagaa kwenye mitandao ya kijamii na baadhi ya magazeti kuandika kwamba Dr. John Pombe Magufuli alinukuliwa akisema atagawa kwa kila mwalimu kompyuta moja na kila kijiji shilingi milioni 50 "Jambo hili ni uzushi mkubwa kwani Ilani ya Uchaguzi ilikuwa haijakuwa tayari ndiyo imekamilika jana, Mambo hayo hakuna kwenye ilani ya Uchaguzi ya CCM ". Amefafanua na kuongeza kuwa "Hizi ni njama za kufanya CCM ionekane imeanza kampeni mapema wakati hatuwezi kufanya hivyo na tunajua sheria na taratibu za uchaguzi". Mkutano huo umefanyika katika Makao makuu ya CCM Ofisi ndogo Lumumba leo. Ndugu Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM akitolea ufafanuzi mambo mbalimbali kwa waandishi wa habari wakati akizungumza nao kwenye mkutano uliofanyika CCM Lumumba jijini Dar es salaam. Ndugu Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM akiionyesha ilani ya uchaguzi iliyopitishwa jana na Halmashauri Kuu ya CCM mjini Dodoma. Hii ndiyo Ilani yenyewe. Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa kwenye mkutano huo. Baadhi ya wapiga picha vyombo mbalimbali vya habari wakichukua matukio katika mkutano huo.
2017-08-24T06:54:58
http://ccmchama.blogspot.com/2015/08/ccm-yakanusha-taarifa-za-upotoshaji-za.html
[ -1 ]
Karume na mabinti wa kiarabu Zanzibar | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Karume na mabinti wa kiarabu Zanzibar Discussion in 'Celebrities Forum' started by Rubabi, Mar 14, 2008. Nasikia Karume (original)alipokuwa raisi Zanzibar alilazimisha wasichana wa kiarabu kuolewa na waafrika? Kama alifanya hivyo, ninampongeza sana kwa maana alikuwa na dhana ya kuondoa Uafrika na uarabu, pia kuondoa ile hali ya baadhi ya watu kujiona kuwa wao ni watu wa 'class' ya juu kuliko wengine. Asingeliuwawa, leo wa-zenj wote wangekuwa wanafanana, hata upemba na u-unguja usingelikuwepo. Baada ya kulazimisha watu kuolewa na watu wasiowataka alipata nini? Ah Balahau we. Hakulazimisha Bwana. Alishawishi.Baadhi ya wakaazi wakashawishika. Zikafanyika ndoa za mchanganyiko. Na faida yake tunaiona leo baada ya miaka hiyo 40 Tembelea Zanzibar. Matunda ya ndoa hizo wengine ni viongozi- Hawe Uarabu wao na Uafrika wao, HAWAYUMBI. NDIO NI KWELI na namsifu kwa amri ile Karume was a forceful bully presiding over a mostly illiterate people in eager glee of tasting the hitherto mysterious arab flesh.Far from being a uniter, he was actually a human rights abuser and mass rape organizer. There is evidence of rape and murder in the very Karume household.You can blame it on the Zeitgeist but I beg to differ.How this brutal dictator came to be hailed as a founding father of our nation and an East African statesman beats me. There is a reason why he was assassinated. Baada ya kulazimisha watu kuolewa na watu wasiowataka alipata nini?Click to expand... alipata KIFO alipata KIFOClick to expand... Duh watu humu akili zenu zina majibu utafikiri yametengenezwa kwa kompyuta. Tit for tat, the brutal,merciless dictator and human rights abuser got what he deserved...death by the GUN... Karume hakulazimisha! aliwataka wazazi wawape watoto uhuru wa kuoa na kuolewa na wawapendao. Waarabu hawakutaka mabinti wao waolewe na waafrika ilihali wanawapenda. Pia watanzania tufanye utafiti wa historia siyo kila kinachoandikwa ni sahihi. Karume hakuwa Dikteta! ila hakupenda watu wavivu. Ni kiongozi gani asiye dikteta kama anaongoza katika misingi na mapenzi ya nchi? Mfano kati ya Hitler na Bush nani dikteta? Tafakari! karume alilazimisha watoto wa kiarabu kuolewa na yeye karume. ukitizama wake zake wote apart from Fatma Karume ambae ni mtoto wa ndoa ya nje wa Mhindi na mswahili, walobakia wote waarabu (wake zake wanafika 5). na ushahidi wa kuwa alilazimisha ni kuwa alimuoa mwanamke mmoja Muarabu wa wete pemba, na akazaa nae mtoto anaeitwa AHADI KARUME. huyo mama wa ahadi baada ya karume kufa tu akakimbilia Oman na mwanawe Ahadi akikupa Business yake anajiita AHADI ALMISKIRI (kabila la mama yake) kuonyesha kuwa hakupenda kuzaliwa na karume kwa vile alilazimishwa. pili, ilikuwa karume ni dictator usipokubali kumpa mwanao anakufunga au unapotea kwneye upeo wa dunia. ni hayo tu machache ahsanteni Inabidi tuwe tunafanza utafiti na kile tunachoandika kwani bila hivo basi kila kile tuandikacho kitakuwa kimekosa mwelekeo. Ni wazi kabisa kwamba wenzangu wote tunaondika hapa kuhusu hayati Karume ama tunafanza makusudi kupotosha au bado tunakuwa hatufahamu kwa undani historia ya Zanzibar na matukio yaliyotokea kisiwani humo kabla na baada ya mapinduzi. Lakini si taabu kwani ni vizuri kuwa na mjadala ambao labda baadae unaweza kutoa mwanga juu ya nini hasa mzee huyu alikifanza kabla na baada ya mapinduzi. Zanziba kilikuwa ni kituo cha biashara ya utumwa na inajulikana wazi kwamba baada ya waarabu kutawala mahala pale mwishoni mwa karne ya 19 na mwanzoni mwa karne ya 20, mwishowe walikuwa wanazaa na waafrika. Kwa mtazamo wangu ni kwamba baada ya zahama na shida kubwa ya waafrika kuwa manamba na vibarua katika mashamba ya karafuu na kwamba hata baada ya mapinduzi waarabu kuonekana bado wameneemeka kwa majumba ardhi na fwedha, hayati Karume (kwa akili yake) aliona jambo hilo na kwa mtazamo wake akaona kwamba ni lazima pawe na usawa kwa kila kitu na hapo ndio mzozo ulipoanza. Kwa hio kwa hatua hizo nzito za kuua watu, kufanza watu wapotee kusikojulikana, kulazimisha ndoa za waarabu na waafrika na kuwaandama wale ambao hawakuona kwamba mambo hayo yanastahiki kufanzwa, naona kwamba nnaweza kusema kwamba tuhuma zinazotolewa ni sahihi. Kwa hio kwa hatua hizo nzito za kuua watu, kufanza watu wapotee kusikojulikana, kulazimisha ndoa za waarabu na waafrika na kuwaandama wale ambao hawakuona kwamba mambo hayo yanastahiki kufanzwa, naona kwamba nnaweza kusema kwamba tuhuma zinazotolewa ni sahihi.Click to expand... Mi naona mambo hayo hayakustahiki kufanywa na kwa mtizamo wako wa hapo juu, tuhuma zinazotolewa ni sahihi. Hakuna kitu kinachoweza ku excuse kuua. Wakati ule madhali kulikuwepo na kambi kuu mbili zenye nguvu hapa duniani karume aliweza kufanya mauaji makubwa hata baada ya mapinduzi ya 1964 kwani kipindi kilichofuatia kilikuwa cha kuwalazimisha waarabu kuolewa na waafrika.Hili lilimpa shida sana Julius Nyerere lakini hata hivyo alifumba macho ili asimuudhi swahiba wake huyo katili mkubwa. Hakuna ubaya wa kuona makabila kwa hiari kwani hata kabla ya ndoa hizo za maguvu kulikuwapo na waafrika wachache waliokuwa na wake wa kiarabu.Wote hawa walikuwa Waswahili ila tatizo ni kutumia mabavu. Karume alivunja haki za binadamu na aliuawa si kwa ajili ya kuoa waarabu bali kwa kumuua mkwe wake Mwarabu na kisha kumdanganya shemeji yake kila alipokuwa akimuuliza kuhusu uhai wa baba yake. Matokeo shemeji huyo Lt.Humud alimimima risasi na kuhakikisha anamwondoa uhai shemeji yake KARUME.
2017-04-23T18:11:19
https://www.jamiiforums.com/threads/karume-na-mabinti-wa-kiarabu-zanzibar.10875/
[ -1 ]
Igihe.com - Uko Minisiteri zikurikirana mu gutangaza amakuru ku mbuga zazo za ’internet’ Uko Minisiteri zikurikirana mu gutangaza amakuru ku mbuga zazo za ’internet’ Yanditswe kuya 3-01-2013 saa 13:06' na IGIHE Nk’uko bizwi, Minisiteri zose n’ibigo bya Leta mu Rwanda bifite imbuga za ‘internet’ zashyiriweho gutangarizwaho amakuru n’ibindi bikorwa bitewe na gahunda ya buri Minisiteri cyangwa ikigo. Mu kumenya uko Minisiteri zitangaza amakuru binyuze ku mbuga zayo za ’Internet’, tariki ya kabiri Mutarama 2013 saa yine twasuye imbuga za minisiteri zose zo mu Rwanda. Ikigaragara ni uko hari Minisiteri zitanga amakuru aba yarataye agaciro (atajyanye n’igihe kigezweho), bakayashyiraho ari uko hari (...) Ikigaragara ni uko hari Minisiteri zitanga amakuru aba yarataye agaciro (atajyanye n’igihe kigezweho), bakayashyiraho ari uko hari igitangazamakuru cyanditse inkuru irebana na yo. Hari n’abayatangaza ariko ntibagaragaze amatariki ibyo byabereyeho. Minisiteri ziza imbere mu gutanga amakuru ni izifite aho zihuriye n’umutekano n’izikoresha imbuga nkoranyambaga za Twitter na Facebook. Mu bushakashatsi twakoze twibanze ahanini ku makuru aheruka ku rubuga n’uko yagiye akurikirana hagati y’itariki ya mbere Ukuboza 2012 n’iya kabiri Mutarama 2013, ariko na none tugenda tureba uko inkuru zagiye zisimburana ku rubuga. 1. Minisiteri y’Ingabo (MINADEF) www.mod.gov.rw Usibye kuba dusura urwo rubuga twarasanze hariho inkuru imaze amasaha 21 igiyeho, isimbura iyo ku ya 29 Ukuboza 2012. Iyi Minisiteri ni imwe mu zitanga amakuru ku gihe kandi neza, bitewe n’igikorwa cyayibereyemo. 2. Minisiteri y’umutekano w’imbere mu gihugu (MININTER) www.mininter.gov.rw Iyi Minisiteri igaragara muri Minisiteri zitanga amakuru ku gihe by’umwihariko ayibanda ku mutekano. Inkuru iherukaho ni iyo ku ya kabiri Mutarama 2013. Bigaragara ko kuva tariki ya mbere Ukwakira 2012 kugeza ubu nta kinyuranyo kinini kijya kiza hagati y’amakuru batanga, bitewe n’uko buri gikorwa cyabaye muri iyo Minisiteri usanga kiba gifite inkuru ijyanye na cyo. 3. Minisiteri y’inganda n’ubucuruzi (MINICOM) www.minicom.gov.rw Iyi Minisiteri ni imwe mu zitanga amakuru ku buryo bushoboka. Usibye kuba amakuru yabo aba akurikiranye neza, hiyongeraho ko ku rubuga rwayo usangaho ikinyamakuru cy’iyo Minisiteri cyitwa "Isoko y’ubukungu" kigaragaramo amakuru mashya ajyanye n’ubucuruzi. Inkuru ya nyuma iherukaho ni iyo ku wa 31 Ukuboza 2012 yasimburaga iyo ku wa 21 Ukuboza 2012. 4. Minisiteri y’Ububanyi n’Amahanga (MINAFFET) www.minaffet.gov.rw Inkuru yabo yaherukaga ni iyo kuri 21 Ukuboza 2012, ariko iyi Minisiteri itanga amakuru ibinyujije mu matangazo agenewe abanyamakuru. Ku nkuru yabanzaga nta tariki iriho. 5. Ibiro bya Minisitiri w’intebe (PRIMATURE) www.primature.gov.rw Ibi biro usibye gushyira amakuru ku rubuga usanga banakunze gukoresha imbuga nkoranyambaga cyane. Hiyongeraho kuba Minisitiri w’Intebe buri wa gatanu aba ari kuri Twitter asubiza ibibazo by’abantu batandukanye, bakanashyira amakuru ku rubuga n’ubwo rimwe na rimwe atajyaho ku munsi yabayeho. 6. Minisiteri y’uburezi (MINEDUC) www.mineduc.gov.rw Iyi Minisiteri ifite akarusho ko gutanga amakuru menshi ashoboka rimwe na rimwe ari no mu kinyarwanda. Cyakora iyatanga ikereweho gato nyuma y’igikorwa kijyana n’iyo nkuru. Ubwo twayisuraga inkuru iheruka yari iyo ku wa 27 Ukuboza 2012, isimbura iyo ku ya 23 Ukuboza 2012. 7. Minisiteri y’Ibiza no gucyura impunzi (MIDIMAR) www.midimar.gov.rw Iyi Minisiteri itaramara igihe kinini igiyeho, ku gushyira amakuru kuri www.midmar.gov.rw iragerageza kuko itangaza amakuru yihuse ibinyujije kuri Twitter. Inkuru iheruka ni iyo ku wa 21 Ukuboza 2012, yasimburaga iyo ku wa 19 Ukuboza 2012. 8. Minisiteri y’ubutabera (MINUJUST) www.minijust.gov.rw Buri rubanza ruzaba irarutangaza n’uko rwaciwe. Inkuru iherukaho ni iyo ku wa 27 Ukuboza 2012. Ku rubuga hariho amakuru y’urubanza yashyizweho ku ya 27 Ukuboza 2013, abanzirizwa n’ayo ku ya 26 Ukuboza 2012. 9. Minisiteri y’ibikorwa bya Afurika y’Iburasirazuba (MINEAC) www.mineac.gov.rw Nta byinshi byo kuvuga kuri iyi Minisiteri kuko ishyiraho amakuru y’ibyabaye, gusa ushobora gusanga amakuru ariho ari ay’ibintu byamaze kubaho bimaze igihe ugereranyije n’itariki yashyiriweho. Inkuru iherukaho ni iyo ku wa 28 Ukuboza 2012 yasimburaga iyo ku wa 19 Ukuboza 2012. 10. Minisiteri y’Urubyiruko n’Ikoranabuhanga mu Isakazabumenyi (MYICT) www.myict.gov.rw Iyi Minisiteri itangaza amakuru cyane kuri Twitter. Amenshi aba afatiye ku byanditse mu binyamakuru biyivugaho, kuko ahanini inkuru zabo zigaragazwa n’ifoto ukandaho ukabona amakuru ajyanye na yo. Hiyongeraho kandi ko inkuru zabo zishobora kujyaho nk’iminsi ibiri nyuma y’igikorwa kibaye. Amakuru yo kuri iyi Minisiteri ntagaragaza amatariki. 11. Minisiteri y’ubutegetsi bw’igihugu (MINALOC) www.minaloc.gov.rw Mu gihe mu bitangazamakuru ushobora gusanga iyi minisiteri ivugwa cyane bitewe n’ibikorwa byahuje Minisitiri uyishinzwe n’abaturage, ku rubuga rwayo haba hagaragara amakuru y’imbere muri Minisiteri na bwo hakazamo intera ndende hagati y’inkuru n’indi. Iyi Minisiteri na yo ikoresha imbuga nkoranyambaga cyane. Inkuru iheruka ni iyo ku ya 24 Ukuboza 2012, yasimbuye iyo ku ya 17 Ukuboza 2012. 12. Minisiteri y’Imari n’igenamigambi (MINECOFIN) www.minecofin.gov.rw Ibinyujije kuri www.minecofin.gov.rw, iyi Minisiteri itanga amakuru cyane cyane abumbiye muri raporo iba yakozwe cyangwa yashyizwe ahagaragara. Iyo amakuru atari muri raporo aba ari nk’ibindi bikorwa bijyanye n’ishoramari mu gihugu. Hagati y’inkuru n’indi hashobora kuzamo intera nini kandi wenda bitavuze ko hari ibiyiberamo biba bitatangajwe. Inkuru iherukaho ni iyo ku wa 28 Ukuboza 2012, mu gikorwa kijyanye na yo kikaba cyarabaye ku wa 12 Ukuboza 2012. Yasimbuye iyo ku ya 11 Ukuboza 2012. 13. Minisiteri y’umutungo Kamere (MINIRENA) www.minirena.gov.rw Ugendeye ku makuru ari ku rubuga www.minirena.gov.rw, usanga amaze iminsi irenga 18 agiyeho ariko kandi akaba yarasimburaga ayari yagiyeho tariki ya 7 Ukuboza 2012. Izindi Minisiteri uko zikurikiranye: 14. Minisiteri y’umuco na Siporo (MINISPOC) www.minispoc.gov.rw 15. Minisiteri y’ubuzima (MINISANTE) www.moh.gov.rw 16. Minisiteri y’ubuhinzi n’ubworozi (MINAGRI) www.minagri.gov.rw 17. Minisiteri y’uburinganire n’iterambere ry’umuryango (MIGEPROF) www.migeprof.gov.rw 18. Minisiteri y’Abakozi ba Leta n’Umurimo (MIFOTRA) mifotra.gov.rw Ikigaragara ni uko hashobora gutangazwa amakuru, ariko yaramaze gusaza bikaba biba bitakiri inkuru nshya. Hari n’abayatangaza bashyiramo intera ndende, hakazamo n’uko hari n’abatagaragaza igihe igikorwa cyabereye. Ibyo na byo byagaragaza ko nta makuru yaba aherukaho. Ikoranabuhanga | Internet Abavumvu bayobotse ikoranabuhanga mu kwikemurira ibibazo 2015-11-27 12:47:46 Ikoranabuhanga | Internet Porogaramu y’amakarita ya Google yatangiye gukora nta Internet 2015-11-11 10:29:40 Ikoranabuhanga | Internet Mu Rwanda ingo 9.3% nizo zibasha gukoresha internet 2015-10-26 17:54:10 Ikoranabuhanga | Internet Tigo Rwanda yatangije serivisi za interineti ya 4G muri telefoni 2015-10-19 18:50:10 Ikoranabuhanga | Internet Google yahembye Sanmay Ved wabashije kwigarurira izina "google.com" 2015-10-14 08:13:11 Agiye gutemberezwa mu ndege abikesha poromosiyo “Nikirenga” ya Airtel Uganda yakoze amateka yo kwakira aba Papa batatu muri Afurika Abavumvu bayobotse ikoranabuhanga mu kwikemurira ibibazo Kwamamaza Kwamamaza Kwamamaza Kwamamaza IGIHE Network
2015-11-28T04:04:02
http://www.igihe.com/ikoranabuhanga/internet/uko-minisiteri-zikurikirana-mu-gutangaza-amakuru-ku-mbuga-zazo-za-internet.html
[ -1 ]
#HumanRightsWithoutFrontiers - Mateso ya kidini katika #China - EU Reporter: EU Reporter Mamlaka ya Kichina inakadiria kuwa Kanisa la Mwenyezi Mungu linawa na wafuasi wa milioni 4. Huenda huwa chumvi lakini shirika lingine la kimisionari la Kikristo linaona kuwa linachama zaidi ya milioni. Hofu ya mateso ya serikali imesababisha vikundi vya kidini nchini China chini ya ardhi, na kufanya idadi ya kichwa sahihi ya wafuasi wa kikundi chochote haiwezekani. Inakadiriwa kuwa Waislamu milioni milioni wamewekwa katika makambi ya lazima ya upya. Mahali ya ibada ya Kikristo na ya Wabuddha yamefungwa. Haki za Binadamu Bila Frontiers zimeandikwa zaidi ya kesi za 2,000 za wafungwa wa Falun Gong na zaidi ya 1,200 kutoka Kanisa la Mwenyezi Mungu, wengi wao, wanadai, wanakabiliwa na mateso. Na idadi hizo zinaweza kuwa chini ya makadirio. Kanisa la Mungu Mwenye Nguvu sasa linasemekana kuwa "harakati kubwa ya dini ya kuteswa nchini China" na kuwa "badala ya Falun Gong kama lengo kuu la mateso ya dini". Wanasema kutambua Mungu wao wa asili na mwanamke wa Kichina, Yang Xiangbin, pia anajulikana kama "Mwanga Deng", aliyezaliwa kaskazini-magharibi mwa China katika 1973. Hawatamtaja jina lake hadharani. Mwandishi mkuu wa EU Jim Gibbons mwandishi alijadili suala hilo ni Dk Zsuzsa-Anna Ferenczy amekuwa akifanya kazi kama mshauri wa kisiasa katika Bunge la Ulaya tangu 2008, akizingatia mambo ya kigeni na haki za binadamu duniani. Eneo lake la ujuzi linajumuisha Asia - hasa Peninsula ya Korea, India na Nepal na hasa China. Amefanya kazi kwa karibu juu ya hali ya wachache wa kidini na wa kabila wanaoishi na nje ya China kwa lengo la kulinda haki yao ya elimu katika lugha yao ya mama na masuala mengine ya uhuru, utawala wa kibinafsi na haki. Alifanya utafiti wa kitaaluma na mahojiano juu ya mahusiano ya EU-China, nguvu ya uimarishaji ya Ulaya, haki za binadamu, mashirika ya kiraia na utawala wa sheria kama sehemu ya programu ya udaktari katika Chuo Kikuu cha Free Brussels. Mimi pia nijiunga na Willy Fautre na Lea Perekrests, kwa mtiririko huo Mkurugenzi na Naibu Mkurugenzi wa Haki za Binadamu bila Mipaka. « Uhusiano mpya 'utaendesha #EUCircularEconomy ramani ya barabara mbele' Brexit: maswali ya Andrea Leadsom Spika John Bercow hana ubaguzi »
2019-09-16T16:24:47
https://sw.eureporter.co/frontpage/2018/12/11/74683/
[ -1 ]
Bush … | simbadeo2000 WAZA MPAKA BASI (THINK TO NO END).com weblog NOTE: Views or opinions expressed in this blog do NOT in any way represent those of any organisation, community, association, company, circle of friends, religious or ethnic group to which I am associated with. Bush … Sehemu ya msafara wa Rais George W Bush alipokuwa akitokea Arusha, tarehe 18 Februari 2008. Misafara yake hapa Dar ilizua ugumu mkubwa wa usafiri kwa wakazi wengi, hivyo wengi kulazimika kubaki barabarani katika saa ambazo wangekuwa wamekwisharejea majumbani kwao. Picha zilipigwa katika eneo la Banda la Ngozi, jijini Dar es Salaam. Written by simbadeo February 19, 2008 at 6:21 pm « Safari ya George W Bush hapa … Bomoabomoa Njia Panda Segerea – Dar »
2017-07-28T14:44:24
https://simbadeo.wordpress.com/2008/02/19/bush/
[ -1 ]
dj sek: STAA WEMA SEPETU AWEKWA CHINI YA ULINZI MKALI STAA WEMA SEPETU AWEKWA CHINI YA ULINZI MKALI Mama kijacho Wema Sepetu ‘Madam’ Mama kijacho Wema Abraham Sepetu ‘Madam’ kwa mara nyingine ametengeneza kichwa cha habari, safari hii amewekwa chini ya ulinzi wa polisi kwa kosa la kuendesha gari aina ya Range Rover Evogue bila kuwa na vibali, Risasi Jumamosi lina ‘full’ stori. Gari lake likikaguliwa na maofisa wa TRA Range la Wema
2017-12-16T22:38:01
http://dj-sek.blogspot.com/2016/01/staa-wema-sepetu-awekwa-chini-ya-ulinzi.html
[ -1 ]
Philippines:Mafuriko Mabaya Zaidi Katika Kipindi cha Miaka 40 · Global Voices in Swahili Philippines:Mafuriko Mabaya Zaidi Katika Kipindi cha Miaka 40 Tafsiri imetumwa 30 Septemba 2009 12:07 GMT Zaidi ya watu 50 wamefariki baada ya kimbunga kilichopewa jina la “Ondoy” (Jina la Kimataifa: Ketsana) kilipolipiga jiji la Manila na majimbo jirani. Kimbunga hicho kilisababisha mafuriko mabaya zaidi nchini katika kipindi cha miaka 40 na kuwapotezea makazi watu 280,000 jijini Manila na katika majimbo mengine , kuna watu zaidi ya 41,000 kwenye vituo vya dharura. Wakati makala hii inaandikwa, wakazi milioni 1.2 bado hawana umeme katika mji mkuu wa Philippines. Tovuti za kijamii zilitumika vyema siyo tu kwa kupashana habari zinazohusu mvua hiyo kubwa bali pia kuripoti jitihada na kesi za dharura kwenye sehemu zilizoathika na janga hilo. Joey Alarilla anaangalia jinsi intaneti ilivyotumiwa na wanamtandao wa Kifilipino wakati kumbunga kilipoikumba Manila. Ninablogu kwa kutumia modemu ya HSDPA USB kwa sababu makazi yetu bado hayana umeme baada ya masaa kadhaa, na bado nina bahati zaidi kuliko wengi wa wananchi wenzangu, ambao baadhi bado wamekwama njiani au bado wako kwenye mapaa ya nyumba zao Twita na mitandao mingine ya kijamii kama vile Facebook ndiyo njia pekee ambazo watumiaji wa intaneti wa Kifilipino wamekuwa wakizitumia kwenda sambamba na maendeleo pamoja na habari nyingine kama vile kutuma namba za mashirika ya misaada ya dharura na mashirika ya kujitolea hasa hivi sasa wakati mitandao ya simu imefurika. Kituo cha Taarifa za Uokoaji kina lahajedwali ambayo ina orodha ya watu walioathirika na mafuriko ambao wanahitaji kuokolewa. Ramani ya google pia ilitengenezwa ili kufuatilia maeneo yaliyofurika katikati ya jiji la Manila na kuongoza mamlaka kwenye vijiji ambako waathirika na mafuriko wanahitaji msaada. Angalia ramani kubwa ya hali ilivyo katika Kimbunga cha Ondoy katikati ya jiji la Manila Wafilipino pia walitumia Twita na Plurk kufuatilia habari za kimbunga kadiri zilivyokuwa zinatokea, kwa kweli, “Ondoy” na “NDCC” (Baraza la Taifa la Kuratibu Majanga) viliondokea kuwa mada maarufu zaidi kwenye Twitter Jumamosi iliyopita. Hii ni mifano ya jumbe za Twita: pretzelgurl: baba yangu bado amekwama kazini kwake huko manggahan, mjini pasig. tafadhalini tumeni msaada angeliesa: Aliruhusiwa na profesa majira ya mchana. Alitembea na kuhangaika kwenye mafuriko. Alifika nyumbani majira ya saa 2 usiku. Hivi sasa mwili wangu wote u dhaifu janblando: Bibi yangu bado amekwama kwenye kibanda chake cha kienyeji, huko Cainta. Mafuriko mtaani kwake ni kima cha kiuno na mkondo wake una nguvu. ValfrieClaisse: Oh mie! Hakuna umeme hapa tangu jana. Mafuriko makubwa na machafu yameivamia jamii yote. dementia: kuna misaada mingi inayoingia lakini kinachotakiwa ni njia ya kusafirisha vifaa kwa waathirika teeemeee: mafuriko yameshuka chini katika eneo letu la kuegesha magari lakini bado bado ni kima cha magoti au kiuno. Kina kilifikia Karibu na kifua jana usiku ArmelEspiritu: Ndio kwanza nimefika nyumbani baada ya kukesha kwenye gari langu. Ilinibidi nilipeleke sehemu ambyo hakuna mafuriko ili kulinusuru Kuna filamu kadhaa za video zilizopandishwa kwenye Youtube ambazo zinaonyesha madhara ya mafuriko katikati ya jiji la Manila. Video ya kwanza: mafurikokatika mji wa Makati, kitovu cha biashara nchini. Video hii ilipakiwa na yugaabe Video hii inaonyesha mafuriko katika mto Marikina. Video ilipakiwa na Initiate360 Katika mtaa wa Katipunan, basi dogo lilizama kwenye barabara iliyofunikwa na maji. Waendao kwa miguu wakijaribu kuvuka barabara iliyofurika Michango bado inahitajika. Kuna vikundi kadhaa ambavyo bado vinapokea michango kwa ajili ya walioathirika na mafuriko. Picha kutoka kwenye Ukurasa wa Flickr wa rembcc Soma makala hii katika Français, 简体中文, 繁體中文, Nederlands, Italiano, македонски, Malagasy, English
2018-03-25T03:27:38
https://sw.globalvoices.org/2009/09/philippinesmafuriko-mabaya-zaidi-katika-kipindi-cha-miaka-40/
[ -1 ]
Young Africans Watofautiana Na TFF – Dar24 Marekani yaweka vikwazo Sudan Kusini Fatma Karume kumg’oa urais Lissu Waziri asimamishwa kazi kwa muda Rais wa Sudan azidi kuinyima usingizi ICC akiwa Rwanda African Beauty ya Diamond, Ua jekundu la Wema vyazua gumzo mtandaoni Mama Uwoya asema haitambui ndoa ya mwanae na Dogo Janja. Uwanja wa Samara (Cosmos Arena) bado haujakamilika Mario Balotelli huenda akarejeshwa kikosini Young Africans Watofautiana Na TFF 2 years ago Comments Off on Young Africans Watofautiana Na TFF Mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania bara , Young Africans, wamepiga hodi Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF), wakitaka kupanguliwa ratiba ya ligi ili wapate muda mzuri wa kujiandaa kuikabili Simba. Katika barua yao kwenda Bodi ya Ligi, Yanga inataka kupanguliwa ratiba ya mchezo wao dhidi ya Stand United uliopangwa kuchezwa Jumapili, Septemba 25. Kaimu Katibu Mkuu wa Young Africans, Baraka Deusdedit, alisema jana wameomba mechi hiyo ichezwe Jumatano, Septemba 21, badala ya Jumapili, Septemba 25 kama ratiba ilivyoonyesha kwenye Uwanja wa Kambarage, Shinyanga. Deusdedit alisema kuwa wameomba mabadiliko hayo ili wapate nafasi ya kurejea Dar es Salaam Alhamisi kuanza rasmi mazoezi ya mapema kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao dhidi ya Simba. “Kama mchezo wetu utasogezwa nyuma na kuchezwa Jumatano, ina maana Alhamisi tungerejea Dar es Salaam na kujiandaa kwenda kuweka kambi Pemba kabla ya kupambana na Simba,” alisema Deusdedit. Hata hivyo, Ofisa habari wa TFF, Alfred Lucas, alikaririwa akisema kua hakuna barua yoyote kutoka Yanga iliyopokelewa na Bodi ya Ligi. “Nimewasiliana na viongozi wa Bodi ya Ligi, wamenieleza hawajapokea barua yoyote kutoka Yanga kuomba mabadiliko ya ratiba ya mechi,” alisema Lucas. Alisema hata kama maombi ya Yanga yatafika mezani kwao, hakuna uwezekano wa kupangua ratiba. “Naomba niweke wazi, Young Africans, na Stand United watacheza mechi yao kwa tarehe ileile inayoonekana kwenye ratiba,” aliongezea kusema Lucas. Yanga itakwenda kuweka kambi Pemba kwa siku sita kabla ya kurejea Dar es Salaam kuivaa Simba. Kwa upande wa Simba, habari kutoka ndani zimedai kuwa uongozi umewataka wachezaji wake kucheza kwa tahadhari kubwa na kuepuka kuwa mejeruhi kwenye mechi dhidi ya Majimaji ili wawepo kwenye mchezo dhidi ya Young Africans. Tahadhari kubwa iko kwa mchezaji Ibrahim Ajibu, ambaye ana kadi tatu za njano, hivyo kama atapewa kadi nyingine kwenye mchezo dhidi ya Majimaji, atakosa mechi ya Young Africans. Ajali ya basi yaua 12 Njombe. Audio: Wema Sepetu - Sitaki kusikia 'team' Wema, Asema kama wanapenda wakamsapoti Idris Michezo 16 hours ago Comments Off on Ngorongoro Heroes waichapa Msumbiji Michezo 16 hours ago Comments Off on Welayta Dicha kuamua safari ya Young Africans Habari/Michezo 17 hours ago Comments Off on Nyota wa Tenesi nchini Uingereza kuwania ubingwa wa Malkia Michezo 19 hours ago Comments Off on Uwanja wa Samara (Cosmos Arena) bado haujakamilika Michezo 20 hours ago Comments Off on Mario Balotelli huenda akarejeshwa kikosini Messi adai kuachana na timu ya Argentina Habari/Michezo 1 day ago Comments Off on Messi adai kuachana na timu ya Argentina Basata yamjia juu Diamond, yadai ameitusi Serikali Diamond aeleza bifu yake na Ali Kiba ilivyosukwa ‘kumuua’ Video: Lissu ataja wanaomtibia Ubelgiji, IGP ashtakiwa mahakamani... Necta yafanya mabadiliko mtihani darasa la saba ‘Aliyefungia nyimbo za wasanii sio Shonza’
2018-03-22T09:56:16
http://www.dar24.com/young-africans-watofautiana-na-tff/
[ -1 ]
Mkoa wa Kagera wavutiwa na uwekezaji wa TADB - Issa Michuzi | PressTZ - Your Number 1 Source of Aggregated Online Content Sulle amfunika Simbu mbaya - Mwanaspoti Usipambane kuibana Yanga, mdhibiti Ajibu - Mwanaspoti Rich Richie kumbe naye amejipanga - Mwanaspoti Unyonyaji wamliza Ramsey - Mwanaspoti Bila leseni inakula kwenu mjue - Mwanaspoti Na mwandishi wetuSerikali ya mkoa wa Kagera imepongeza Benki ya Maendeleo ya Kilimo nchini (TADB) kwa kuwekeza zaidi ya shilingi bilioni 31 katika sekta ya kilimo mkoani kagera hali inayoongeza tija ya uzalishaji katika kilimo mkoani humo. Naye Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Bw. Japhet Justine amesema Benki ya Kilimo inaendelea kuchagiza na kusaidia Mapinduzi ya Kilimo kutoka kilimo cha kujikimu kwenda cha kibiashara na kwa sasa benki inalenga katika kuhamasisha unywaji wa kahawa ili kuongeza soko la ndani kwa zao la kahawa.... Continue reading -> 1: FIVE HOUSES FOR SALE IN ONE TITLED PLOT. 2: TANZANIA YASHRIKI KONGAMANO LA KIMATAIFA LA UWEKEZAJI ,GENEVA USWISI. 3: UZINDUZI WA WIKI YA ASASI ZA KIRAI TANZANIA JIJINI DODOMA OKTOBA 22, 2018 4: MAGAZETI YA LEO JUMANNE OKTOBA 23,2018 5: RIDHIWANI KIKWETE AWATAKA VIJANA KUTOJIHUSISHA NA MADAWA YA KULEVYA
2018-10-23T06:32:49
http://presstz.net/mkoa-wa-kagera-wavutiwa-na-uwekezaji-wa-tadb-42263005
[ -1 ]
Home > Ni kufa na kupona vita vya umeya Dar Source URL: http://mwanahalisi.co.tz/ni_kufa_kupona_vita_vya_umeya_dar
2019-07-23T10:26:08
http://mwanahalisi.co.tz/print/ni_kufa_kupona_vita_vya_umeya_dar
[ -1 ]
Vikatuni alivyotumiwa Snura kwenye simu na kumchekesha kuhusu video ya ‘chura’ kufungiwa – Millardayo.com Vikatuni alivyotumiwa Snura kwenye simu na kumchekesha kuhusu video ya ‘chura’ kufungiwa Msanii wa bongofleva Snura aliingia kwenye headlines toka May 4 2016 baada ya serikali kutangaza kusitisha show zake zote mpaka atakapojisajili kama msanii kwenye baraza la sanaa Tanzania (BASATA) na kuifanyia marekebisho video yake ya ‘chura‘ ambayo ilionekana kukosa maadili. Pamoja na hayo yote, Snura alikutana na vichekesho au utani uliosambazwa baada ya video ya ‘chura’ kufungiwa, anavitaja hapa chini kwenye hii video. ← Previous Story Nisha kuhusu kazi maisha na mapenzi ‘sishtukagi na headlines, sijawahi kuwa na urafiki na Baraka’ Next Story → EXCLUSIVE: Snura ‘sijaonewa hata kidogo na nimeshalipa Elfu 75 yao tayari’
2020-07-11T03:00:02
https://millardayo.com/snura002/
[ -1 ]
Israel yawasweka jela wakimbizi wa Kiafrika ~ Mzee wa matukio daima Home » » Israel yawasweka jela wakimbizi wa Kiafrika Israel imewafunga jela Waafrika 7 raia wa Eritrea walioomba hifadhi katika utawala huo baada ya wakimbizi hao kukataa kupelekwa Rwanda kwa mabavu. Taasisi za kutetea haki za binadamu huko Israel zimeripoti kuwa, wakimbizi hao wa Kiafrika wamefungwa katika gerezani la Israeli kwa muda mrefu usiojulikana baada ya kukataa kupelekwa Rwanda. Wakimbizi hao ni wa kwanza kufungwa jela tangu utawala haramu wa Israel utangaze kwamba, utawalazimisha maelfu ya wakimbizi wa Kiafrika kuchagua ama kuhamishiwa katika nchi nyingine au kufungwa jela kwa muda mrefu usiojulikana. Taarifa iliyotolewa na taasisi mbili za kutetea haki za wakimbizi zenye makao yao mjini Tel Aviv za Hotline for Refugees and Migrants na ASSAF imesema: "Hii ni hatua ya kwanza ya operesheni ya kuwahamisha kwa mabavu wakimbizi kimataifa ambayo haina mfano wake, na ni hatua inayochochewa na ubaguzi na kudharau uhai na utukufu wa watu wanaotafuta hifadhi." Taarifa hiyo imeongeza kuwa, wawili kati ya wakimbizi hao saba wa Kiafrika ambao wamefungwa katika jela ya Saharonim huko Israel ni manusura wa mateso. Wakati huo huo mamia ya wakimbizi wanaotafuta hifadhi huko Israel walianza mgomo wa kula chakula jana Jumatano katika kituo cha Holot wanakozuiliwa wakimbizi hao. Wakimbizi hao wanapinga kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel cha kuwafunga jela wenzao saba kutoka Eritrea. Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) limetangaza kuwa, wakimbizi 27,000 kutoka Eritrea na wengine 7,700 kutoka Sudan wameomba hifadhi huko Israel. Novemba mwaka jana utawala haramu wa Israel ulitangaza kwamba, utawasafirisha wakimbizi walioko katika utawala huo kwa mabavu na kuwapeleka nje. Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Isarel, wakimbizi hao wanapelekwa kwa mabavu na bila ya hiari yao katika nchi za Rwanda na Uganda ingawa nchi hizo mbili zimekanusha kuwa zimefikia makubaliano ya aina hiyo na utawala haramu wa Israel.
2018-05-28T02:56:48
http://www.matukiodaima.co.tz/2018/02/israel-yawasweka-jela-wakimbizi-wa.html
[ -1 ]
VURUGU ZAANZA TENA DHIDI YA MALI ZA WAHAMIAJI AFRIKA KUSINI - Kijukuu Cha Bibi K | Habari,Matukio na Burudani Tanzania Home / Unlabelled / VURUGU ZAANZA TENA DHIDI YA MALI ZA WAHAMIAJI AFRIKA KUSINI VURUGU ZAANZA TENA DHIDI YA MALI ZA WAHAMIAJI AFRIKA KUSINI Mamia ya watu wamekuwa wakionekana wakikimbia na kupora mali za watu katika eneo lenye shughuli za kibiashara na kuchoma moto maduka yanayoaminiwa kumilikiwa na wahamiaji kutoka mataifa ya Afrika. Watu 41 wamekamatwa katika wimbi hilo la ghasia. Video iliyosambazwa kwa kiasi kikubwa kwneye mitandao ya kijamii inayoonyesha magari kadhaa yaliyoungua kwa moto katika kile kinachoonekana kama mahala panapoegeshwa magari makuu kuu. "Wakati bado tunafanya uchunguzi na huduma za dharura , watu waliokuwepo karibu walianza kutumia fursa ya hali iliyopo na kupora maduka." Luteni Generali Alias Mawela ambaye ni kamanda wa polisi wa jimbo amesema kuwa polisi wamewakamata walau watu katika kile alichokielezea kama ghasia kubwa. Haijabainika ni akina nani walioanzisha mashambulio hayo. "Wakati bado tunafanya uchunguzi na huduma za dharura , watu waliokuwepo karibu walianza kutumia fursa ya hali iliyopo na kupora maduka ." Baadhi yawatumiaji wa mitandao ya kijamii nchini humo wamekuwa wakishirikishana picha na video za ghasia hizo. Mfano Katika picha hii VHo MPHO anaonyesha picha ya eneo la Bree akisema ni krismas katika mtaa huo Awali aliashiria kuwa kuna kikundi kikubwa cha watu kinachoelekea katikati mwa jiji na wanasomba kila wanakiona njiani. Washukiwa wanane walikamatwa ndani ya duka moja Kamishna wa polisi wa jimbo la Gauteng Luteni Generali Elias Mawela alielezea matukio haya kama ya ''ukiukaji wa sheria'' na ''yasiyo ya kibinadamu'' "Ni siku ya huzuni wakati watu wanapoamua kutumia matatizo ya wengine kwa ajili ya kuendeleza ukiukaji wa sheria au uhalifu . Mawela amewaonya watu dhidi ya kuendelea kuchochea ghasia. "wale wanaotaka kuibadilisha Gauteng kuwa mahala pa uhalifu watapatikana na watakabiliana na mkono wa sheria ," alisema.
2020-06-05T11:30:54
https://www.kijukuu.co.tz/2019/09/mamia-ya-watu-wamekuwa.html
[ -1 ]
Dawa ya kuongeza nguvu za kiume yachochea wizi wa punda ukanda wa Afrika Mashariki | FikraPevu Licha ya Tanzania kupiga marufuku uchinjaji wa nyama ya punda, inaelezwa kuwa biashara ya uuzaji wa punda inaendelea kwa njia zisizo halali kutokana na uhitaji mkubwa wa mnyama huyo katika soko la kimataifa la China. Tanzania iliungana na nchi nyingine za Afrika kama vile Uganda, Botswana, Niger, Burkina Faso, Mali, na Senegal kupiga marufuku biashara ya kuuza punda kwasababu unatishia kutoweka kwa wanyama hao ambao watumiwa na wakazi wengi wa bara hilo katika shughuli za kiuchumi ikiwemo kusafirisha mizigo na kulima. Punda hao husafirishwa hadi nchi ya jirani ya Kenya ambayo ina kiwanda cha kusindika ngozi ya punda kijulikanacho kama Goldox Kenya Limited ambacho husafirisha bidhaa hiyo mpaka China ili kukidhi mahitaji ya soko. Kutokana na uchache wa wanyama hao, bei yake imeongeza mara dufu ambapo vijana hutumia fursa hiyo huingia katika vijiji na kuiba punda hao na kuwasafirisha hadi Kenya ili kujipatia fedha nyingi ambazo hutolewa na kampuni hiyo. Kulingana na ripoti ya Msajili wa Dawa za Asili China (2017) inaeleza kuwa mahitaji ya ngozi ya punda yameongezeka kuliko punda waliopo. Inakadiriwa kuwa ngozi milioni 1.8 zinauzwa kila mwaka, huku mahitaji ya dunia ni kati ya milioni 4 hadi milioni 10. Kwa mfano bei ya punda nchini Burkina Faso imeongezeka kutoka Euro 60 mwaka 2014 hadi Euro 108 mwaka 2016. Kiwanda kusindika nyama na ngozi ya punda kcha Goldox Kenya Limited kilichopo nchini Kenya Mahitaji ya punda yameongezeka marudufu katika soko la China ikizingatiwa kuwa nyama yake hutumiwa kama kitoweo na ngozi yake hutumika kutengeneza dawa ya asili ijulikanao kama ‘ejiao’ ambayo hutibu magonjwa mbalimbali. Licha ya dawa hiyo kuwepo kwa miaka mingi, lakini imejipatia umaarufu mkubwa kuanzia mwaka 2010 baada ya kampuni ya Dong-E-E-Jiao ya nchini China inayotengeza ejiao kuendesha kampeni ya kuitangaza dawa hiyo ambayo imewavutia watu ambao wanakabiliwa na matatizo ya uzazi. Miaka 15 iliyopita ejiao ilikuwa inauzwa kwa Dola 9 lakini sasa imepanda hadi Dola 400. China ambayo ilikuwa inaongoza kuwa na idadi kubwa ya punda duniani, idadi hiyo inapungua kila mwaka ambapo punda waliopo katika nchi hiyo ni milioni 6 kutoka milioni 11 na kwa makadirio ya chini inaweza kufikia milioni 3. Tofauti na wanyama wengine kama nguruwe na ng’ombe, punda hawazaliani sana ambapo jike huzaa mara moja kwa mwaka na wana hatari ya mimba kuharibika kutokana mazingira na kazi ngumu wanazofanya. Kampuni za China zilianza kununua ngozi ya punda kutoka nchi za Afrika baada ya nchi zilizoendelea kuzuia biashara hiyo kwenye nchi zao. Inaelezwa kuwa kuna punda milioni 44 duniani kote, lakini kila mwaka punda milioni 1.8 huchinjwa kwa ajili ya kutengeneza ejiao, hii ni kulingana na ripoti ya taasisi ya Donkey Sanctuary iliyopo Uingereza. Mwaka 2017, watafiti wa Chuo Kikuu cha Misitu cha China walionya kuwa mahitaji ya ejiao yanaweza kusababisha punda kutoweka kabisa kama alivyo mnyama pangolin. “China imeamua kuagiza punda kwa gharama kubwa kutoka maeneo mbali duniani, jambo linaloweza kuitumbukiza dunia kwenye mgogoro mkubwa wa punda”, imeeleza ripoti iliyowekwa kwenye jarida la Equine Veterinary. Ngozi ya punda inafika China kupitia nchi mbalimbali ikiwemo Kyrgyzstan, Brazil na Mexico. Lakini Afrika ndio kitovu cha biashara hiyo ikiongoza kwa punda wanaochinjwa na madhara yanayopatikana. Biashara hiyo imeathiri shughuli za kiuchumi hasa katika mikoa ya kaskazini ya Arusha na Manyara ambayo iko karibu na Kenya. Inaelezwa kuwa mwaka jana punda zaidi ya 475 waliibwa ili kusafirisha nchi jirani lakini waliookolewa ni 175 pekee. Hali hiyo imewalazimu wakazi kutembea umbali mrefu kufuata maji na kutumia jembe la mkono kulima kutokana na kuadimika kwa punda katika maeneo yao. Ngozi ya punda ikiwa imeanikwa tayari kwa ajili ya kusindikwa Nchi 14 za Afrika zikiungana na Pakistan zimezuia biashara ya kimataifa ya punda, ambapo Tanzania iliungana na nchi hizo mwezi June mwaka jana kutokana na tishio la kutoweka kwa wanyama hao. Hata hivyo, serikali iliamua kuruhusu usindikaji wa bidhaa za punda nchini ili kuepusha usafirishaji wa punda kuelekea Kenya ambako kuna kiwanda kikubwa cha usindikaji. Kiwanda hicho ambachi kinamilikiwa na wawekezaji toka china kiko mkoa wa Dodoma na inakadiriwa kuwa punda 200 huchinjwa kila siku na kusindikwa kwa ajili ya kusafirishwa nje ya nchi. Akizungumza bungeni katika kikao cha tisa, Naibu Waziri wa Uvuvi na Mifugo wa wakati huo, Dr. Titas Kamani alisema serikali iliruhusu ujenzi wa kiwanda cha kusindika punda ili kuongeza kipato na kudhibiti biashara haramu ya punda inayofanywa na baadhi ya watu kinyume na sheria. “Hapa kati kati kulikuwa na wimbi kubwa la wanyama kazi hawa kusafirishwa kwenda Kenya huko kuna viwanda hivi, sasa tuliona tuwachinje na kuwasindika wenyewe kisha tuuze nyama tupate fedha”, alisema Dr. Kamani. Maamuzi hayo ya Tanzania hayajaathiri biashara ya ngozi ya punda kwasababu hakuna dalili za biashara hiyo kupungua nchini Kenya. Mwaka 2016 bei ya ngozi ilikuwa mara hamsini zaidi kuliko mwaka 2014, huku bei ya punda wazima imeongeza mara tatu zaidi kutoka Dola 60 hadi Dola 165. Nyama na ngozi ya punda kutoka Kenya huingia China kupitia Vietnam na Hong Kong. Sekta isiyo rasmi inachangia asilimia 41 ya Pato la ndani la Afrika, teknolojia mpya kuididimiza
2019-06-17T07:34:37
http://www.fikrapevu.com/mahitaji-ya-ngozi-ya-punda-nchini-china-yachochea-wizi-wa-punda-ukanda-wa-afrika-mashariki/
[ -1 ]
Kaazi kweli kweli... Zimbabwe yatoa noti ya dola trilioni moja | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Kaazi kweli kweli... Zimbabwe yatoa noti ya dola trilioni moja Discussion in 'Biashara, Uchumi na Ujasiriamali' started by Nyambala, Jan 16, 2009. Imerippotiwa na gazeti la serikali - Unaweza soma hapa In a statement yesterday, the Reserve Bank of Zimbabwe said the notes would ensure that those in formal employment withdraw their salaries with minimal hassle. ‘‘In a move meant to ensure that the public has access to their money from banks, the Reserve Bank of Zimbabwe has introduced a new family of banknotes which will gradually come into circulation, starting with the Z$10 trillion,’’ read the statement from the RBZ. Duh kazi ipo. Hebu imagine uko bar una trilioni kumi, 20 au hata 30 ...Mugabe kaua nchi,lakini still kuna watu AKA wazalendo wanamtetea na lawama zote ni kwa wazungu,kwa aliyefika Zimbabwe in 80s ile nchi ilikuwa per na nchi nyingi sana za Europe,na resource ni zile zile za ndani bila misaada....kweli wazimbabwe wameliwa maana walifikiri wamepata kumbe wamepatikana,zaidi ya nusu ya wananchi sasa ni wakimbizi na waliopo ndani moto wanauona na wale wazungu wameshatimua na hawarudi ng'ooooo,karibuni wazimbabwe kwenye laana ya umaskini wa kudumu wa waafrica! Nimesikia Tsivangirai anarudi kutoka 'uhamishoni' SA kuzungumza na Mugabe. Hili linaleta matumaini huenda wakafanikiwa kuunda serikali ya pamoja. Nadhani wote wawili wanatakiwa kuweka maslahi ya taifa la Zimbabwe mbele na si maslahi yao binafsi au vyama vyao. Hali ya Zimbabwe inatisha na inatutia aibu waafrika. kaaazi kweli kweli..... nawapenda wazimbabwe maana mimi nakufa nikiwa trilionea as i visited the country recently! kama na wewe unataka kufa ukiwa trilionea go their jamani Bajeti yetu ya mwaka huu wa fedha Tanzania kwa currency yetu ni trioni 7. kwa kipimo hiki Mzimbabwe mmoja anaweza kuendesha serikali. Du! VIVA ZIMBABWE.......! HATA WAKIFANYA UCHUMI WAKO UYUMBE.... YOU REMAIN THE TRUE SON OF AFRICA....! VIVA ZIMBABWE......! Hapa kwetu we had true sons of land who didn't allow even whites to touch them (MKWAWA) Ambaye alifuatiwa na majasiri wengine kama SIMBA WA NYIKA, NYERERE &SSOKOINE...! ONCE YOU STAND FIRM THEY WILL TRY TO SHAKE YOU ...... BUT REMAINING STRONG AND FIRM IS THE MOTTO OF THE VIGOURS! (majasiri) kaaazi kweli kweli..... nawapenda wazimbabwe maana mimi nakufa nikiwa trilionea as i visited the country recently! kama na wewe unataka kufa ukiwa trilionea go their jamaniClick to expand... Ubilionea feki. Nini tofauti ya Robert Gabriel Mugabe na Hayati Mobutu Seseseko Kuku Nzaka wa Nbagamba ukiondoa kuwa Mobotu hakusoma na Mugabe ana Usomi wa kiafrika unaojali maslahi yao tu? ONCE YOU STAND FIRM THEY WILL TRY TO SHAKE YOU ...... BUT REMAINING STRONG AND FIRM IS THE MOTTO OF THE VIGOURS! (majasiri)Click to expand... ...true son of Africa my ass,nusu ya nchi wamegeuka wakimbizi under his watch,inflation 100000% bado mnalaumu wazungu tuu...your signature explain everything ...true son of africa my ass,nusu ya nchi wamegeuka wakimbizi under his watch,inflation 100000% bado mnalaumu wazungu tuu...your signature explain everythingClick to expand... koba waafrika wenye asili ya asia ndivyo walivyo Inflation ni 231,000 000 % MOD NAOMBA UBADILISHE HEADING HAPO INATAKIWA ISOMEKE " Kaazi kweli kweli... Zimbabwe yatoa noti ya dola trilioni mia moja " Mkuu wakina nani wakifanya uchumi wake uyumbe?????? Who is this true son of Africa ho lives in a place called Borrowdale, His Army HQ is known as King George VI and the second largest army base Llewellyn Barracks in Bulawayo, His name is Robert and the wife is Grace, His capital is full of street and suburbs with names like Mt. Pleasant, Avondale, Bath Ave, Greendale Ave, Marlborough, Melbourine, Warren Park, St Marys, Rotten row rd, Antony Ave, Warvaley rd, Richmond, Highfield, etc. Who his place now is full dollarised to an extent that solders from some ranks, Doctors and soon nurses and teachers are paid in US dollars (The imperialist currency). Where is then that sovereignity he usually preach on TV'S He kidnap and abduct fellow Africans and charge them with dubious and unfounded charges. And pls never compare this ruthless dictator with Nyerere. Quintillion per cent inflation and a 100 trillion dollar note in Zimbabwe As hyper-inflation in Zimbabwe soars unabated, the central bank Friday unveiled a new higher denomination bank note of Z$100 trillion. Official figures of inflation in the country are unavailable, but economists estimate it to be running into quintillion percent. The government stopped issuing the figures in July last year, when it was 231 million percent, fearing they would trigger speculation and profiteering. The central bank also issued Friday new Z$10 trillion, Z$20 trillion and Z$50 trillion bank notes to help the public grapple with hyper-inflation, the highest in the world. But inspite of the new higher denomination bank notes, the purchasing power of the money remains low. The new Z$100 trillion note can only buy 20 loaves of bread. The country is mired in political, social and economic problems widely blamed on President Robert Mugabe's mismanagement and refusal to step down after almost three decades in power. (Friday 16 January - 14:33)
2016-10-21T20:20:28
http://www.jamiiforums.com/threads/kaazi-kweli-kweli-zimbabwe-yatoa-noti-ya-dola-trilioni-moja.23055/
[ -1 ]
Imani Potofu Kuhusu Jehanamu | Mwangaza Imani Potofu Kuhusu Jehanamu Katika lugha ya Kiingereza, kwa watu wengi, neno “kuzimu” (“hell”) hutumika kama neno bayawakati watu wana hasira. Kwa wengine, neno “kuzimu” huleta mawazo yanayotisha kuhusu mateso ya milele kuungua katika shimo kwa wanadamu ambao waliisikia kanisani au kutoka kwa mwinjilisti. Haitegemei upo ndani ya jamii gani ya watu, inaonekana, kana kwamba wengi, kama si sisi sote tunafikiri ingekuwa bora ikiwa dhana ya kuzimu tu haikuwepo kabisa. Kwa kweli, baadhi, katika kujaribu kuondoa wazo hili la kutisha akilini mwao, hufanya uchaguzi wa kutokuamini katika wazo la kuzimu kabisa, na hii mara nyingi hupelekea hatua ya pili ya kuchagua kutokuamini katika Mungu ambaye angeweza kuumba kitu kama hicho. Hivyo tunafanya nini na wazo hili la kutisha la kuzimu? Je, tulitupilie mbali wazo hili pamoja na Mungu pia? Je, tujaribu kulipuuzia na kile linachomaanisha kuhusu Mungu ni nani? Je, tunadhani kuwa walimu wetu wa Shule ya Jumapili walifanya makosa? Katika kijarida hiki cha Biblia tutachagua njia nyingine rahisi ambayo ni kujifunza tu kile Biblia isemacho kuhusu jehanamu, na kwa kufanya hivyo utagundua kwamba ukweli utakuweka huru dhidi ya imani mbalimbali potofu kuhusu fundisho hili la kutisha. Linalovutia ni kuwa, Biblia inatupatia maelezo kamili kuhusu lini jehanamu itaanza na mahali inakopatikana. Kama unavyofahamu, kuna mawazo mengi ya uongo kuhusiana na mambo haya mawili. Yesu anazungumza wazi katika Mathayo 13:49, “Ndivyo itakavyokuwa katika mwisho wa dunia: malaika watatokea, watawatenga waovu mbali na wenye haki, na kuwatupa katika tanuru ya moto; ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno.” Kulingana na fungu hili na mengineyo mengi: (1) Miale ya moto wa jehanamu haitawaka hadi dunia itakapofika mwisho. Hiyo ni sahihi! Wapendwa wako hawachomwi moto wakiwa hai unapokuwa ukisoma kijarida hiki. Pia, tunaona kwamba Mtume Petro hutupatia maelezo kamili kuhusu mahali jehanamu itakapokuwa. Akizungumzia kuhusu mwisho wa dunia anasema, “Lakini siku ya Bwana itakuja kama mwivi; katika siku hiyo mbingu zitatoweka kwa mshindo mkuu, na viumbe vya asili vitaunguzwa, na kufumuliwa, na nchi na kazi zilizomo ndani yake zitateketea.” (2) Nabii Sefania pia huizungumzia hivi, “Dunia yote,” itaangamizwa “itateketezwa kwa moto wa hasira ya Mungu.” (3) Hapa tunaona kuwa jehanamu sio shimo kubwa katikati ya dunia; badala yake; itakuwa hapa hapa duniani wakati wa mwisho wa dunia ikiiteketeza “nchi yote.” Huenda kitu muhimu tunachopaswa kuelewa kuhusu kuzimu kinaweza kupatikana katika fungu maarufu la Yohana 3:16, “Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hata akamtoa Mwanawe pekee, ili kila mtu amwaminiye asipotee bali awe na uzima wa milele.” Hapa Yesu anaweka bayana kwamba ni wale wanaomwamini ndio ambao huishi milele, sio waovu. Nini? Waovu hawaishi milele wakiungua moto? Umesoma sawa sawa! Hawaungui milele! Waovu wanapaswa kuungua mpaka kusiwepo na kitu chochote kinachobaki kuungua. Malaki huelezea jambo hili vyema: “Kwani tazama siku inakuja, iwakayo kama tanuru, na wote wenye kiburi, naam na wote watendao uovu watateketezwa kama vile makapi. Na siku hiyo inayokuja, itawateketeza wote,” (4) Kwa kweli, hivi tunaweza kuwa na uhakika kwamba alikuwa akiongea kwa uhalisia kuhusu kuangamizwa kabisa kwa waovu, anaendelea kusema, “Nanyi mtawakanyaga waovu, kwani watakuwa majivu chini ya nyayo za miguu yenu siku ile nilifanyapo hili asema Bwana wa majeshi.” (5) Pia, siyo tu kwamba waovu watateketezwa kabisa katika moto wa jehanamu lakini pia Shetani pamoja na malaika zake waovu kulingana na Mt. 25:41 na Ufu. 20:10. Kinyume na imani iliyoenea, Mungu anapanga kuziangamiza nguvu za giza, na siyo kuziweka kusimamia shimo la moto wa milele katika kitovu cha dunia! Lakini wengine wanaweza kusema kwamba kuna mafungu mengine kama vile Ufunuo 14:11 na Ufunuo 20:10 ambayo huelezea kuwa waovu watateketea milele. Vema, Biblia pia inasema kuwa nabii Samweli angeendelea kukaa hekaluni mwa Bwana milele, (5) na kwamba kamba za dunia zilimfunga Yona milele (6) alipotupwa baharini. Sasa ni dhahiri kutoka katika Maandiko kuwa kati ya matukio haya hakuna tukio lililodumu milele. Tunachokiona hapa ni jinsi Biblia inavyoitumia lugha ya mfano ya neno “milele” kumaanisha muda usio na ukomo wa jambo ambapo mwanzo na mwisho wa kipindi hicho hutegemea asili ya mtu fulani, mazingira, au vitu vinavyotumika. Mfano halisi wa wakati wetu ambao unaofanana na maelezo hayo ni wakati mume na mke wanapoapa kuishi katika ndoa yao milele. Wanapokuwa wakifanya hivyo, neno “milele” humaanisha “kulingana na muda watakaoishi”. Hivyo je, tunajuaje “milele” ya waovu itakuwa ni muda gani? Ni rahisi. Mafungu mengine huelezea kwamba “milele” katika muktadha huu humaanisha mpaka pale waovu wanapoteketezwa kabisa. Kutokana na nuru tuliyoipata katika mafungu haya rahisi ya Biblia, mtu mmoja huenda akauliza, “Je, inakuwaje basi imani hizi potofu kuhusu jehanamu zinaendelea kuwepo?” Ukweli ni kwamba mafundisho haya ya uongo miongoni mwa madhehebu mengi ya Kikristo sio tu mbinu nzuri inayotumika kuogopesha watu ili wahudhurie kanisani, lakini ni kwa sababu mshitaki wetu, ibilisi hupenda kufundisha uongo kuhusu Mungu. Katika kitabu cha Ufunuo 12:9 Shetani ameelezewa kama mmoja “audanganyaye ulimwengu wote.” Huwadanganya watu kuhusu nini? Kuhusu ukweli wa Mungu na tabia yake. Ndiyo, kuna mafundisho ya kweli na ya uongo kuhusu Mungu katika ulimwengu huu. Ukweli sio uchaguzi, kama ambavyo wengi wangependa kuamini hivyo. Ukweli ni uhalisia unaosubiri kugunduliwa katika kurasa za Maandiko Matakatifu. Na uhalisia ni kuwa, ndiyo, “Mungu wetu ni moto ulao,” (7) kwa dhambi na wadhambi. Lakini Biblia hufundisha kuwa, mbali na waovu, ni watakatifu, “waendao kwa ukamilifu na kutenda haki,” ndio ambao “watakaa na kuishi mbele ya moto uteketezao” na “kuunguza milele.”(8) Ni kweli! Kulingana na Mathayo 25:31-46, wanadamu wote siku moja watakutana na Mungu ambaye mbele zake “milima huyeyuka, na dunia huteketea,(9) bali ni wale tu ambao wameziungama dhambi zao na kumtafuta Mungu ndio watakaoweza kulindwa mbele zake ndani ya moto ambapo wataishi milele zote. Kwa upande mwingine, waovu “hawatakuwepo” na “itakuwa kana kwamba hawajawahi kuishi,” (10) baada ya kuwa “wameangamizwa na uharibifu wa milele kutoka mbele za Bwana na kutoka katika utukufu wa uweza wake.” (11) Marafiki, “Mungu ni pendo,”(12) upendo ambao huwakilishwa na alama ya moto. Sulemani alisema upendo wa Mungu . . . unao mn’gao kali.”(13) Kama vile moto uufanyavyo udongo wa mfinyanzi kuwa mgumu, lakini huyeyusha barafu, hivyo ndivyo upendo wake utakavyomfariji mtakatifu lakini utamwangamiza mwenye dhambi. Leo, unao uchaguzi, kuufanya moyo wako mgumu kwa Mungu au kuiruhusu miale yake ya moto ikuyeyushe. Uchaguzi wowote ule tuufanyao huamua jinsi umilele wetu utakavyokua, lakini Mungu hubaki kuwa yule yule. Mtafute leo, na upendo wake utakuwa moyoni mwako milele zote! Mifano: 1) Mathayo 25:31-41; 2 Pet. 3:3-7, 12 2) 2 Petro 3:10 3) Sefania 1:18 4) Malaki 4:1, 3 5) 1 Samweli 1:22 6) Yona 2:6 7) Waebrania 12:29 8) Isaya 33:14, 15 9) Nahumu 1:5 10) Obadia 1:16 11) 2 Wathesalonike 1:9 12) 1 Yohana 4:8 13) Wimbo Ulio Bora 8:6
2020-01-19T07:40:26
http://www.mwangaza.info/home/imani-potofu-kuhusu-jehanamu/
[ -1 ]
Makaliery TabbyM Stay in Truth: RATIBA YA MAZISHI YA STEVEN KANUMBA Mwili wa marehemu unatarajiwa kuagwa siku ya jumanne tarehe 10 April, na atazikwa wapi anasubiriwa mama mzazi wa marehemu ambaye anatokea SHINYANGA. Akija ndo itaamuliwa kama atazikwa hapa au atasafirishwa na kukiwa na mabadiliko tutaendelea kuwahabarisha. RIP Steven Posted by Makali Machechi at 6:48 AM
2017-11-24T12:53:44
http://makaliery-t.blogspot.com/2012/04/ratiba-ya-mazishi-ya-steven-kanumba.html
[ -1 ]
Taiwan - Viwanda Uzalishaji <iframe src='https://tradingeconomics.com/embed/?s=taiwanip&v=201907230814a1&lang=all&h=300&w=600&ref=/taiwan/industrial-production' height='300' width='600' frameborder='0' scrolling='no'></iframe><br />source: <a href='https://tradingeconomics.com/taiwan/industrial-production'>tradingeconomics.com</a> 2019-04-23 08:00 AM Viwanda Uzalishaji (Mwaka) Mar -9.88% -1.96% 2019-05-23 08:00 AM Viwanda Uzalishaji (Mwaka) Apr 1.04% -9.38% 2019-06-24 08:00 AM Viwanda Uzalishaji (Mwaka) May -3.05% 1.41% 2019-07-23 08:00 AM Viwanda Uzalishaji (Mwaka) Jun -0.39% -2.58% 2019-08-23 08:00 AM Viwanda Uzalishaji (Mwaka) Jul -0.39% 2019-09-25 08:00 AM Viwanda Uzalishaji (Mwaka) Aug 2019-10-23 08:00 AM Viwanda Uzalishaji (Mwaka) Sep Viwanda Pmi 48.10 45.50 56.90 45.50 [+] Viwanda Uzalishaji -0.39 -2.58 75.71 -43.30 Asilimia [+] Viwanda Uzalishaji (Mwezi) 0.76 -0.25 9.75 -16.01 Asilimia [+] Viwanda Uzalishaji -0.61 -2.48 84.23 -45.43 Asilimia [+] Mpya Oda 38497.00 38719.00 48986.00 2278.00 Usd - Milioni [+] Konkurser 2960.00 2955.00 7810.00 1144.00 Makampuni [+] Gari Uzalishaji Wa 25891.00 22701.00 436732.00 7620.00 Vitengo [+] Gari Sajili 21987.76 21966.18 22456.11 15439.63 Elfu [+] Uongozi Index Uchumi 112.30 112.30 113.60 20.80 Index-Pointi [+] Mining Uzalishaji 3.05 -9.84 48.10 -37.70 Asilimia [+] Steel Uzalishaji 1960.00 2040.00 2092.00 243.00 Elfu Tani [+] Cement Uzalishaji 929.60 870.12 2201.45 751.19 Maelfu Ya Tani [+] Kisadfa Index 107.77 106.67 114.86 20.48 Index-Pointi [+] Ushindani Ripoti 79.25 79.15 79.25 5.20 Pointi [+] Ushindani Rank 13.00 13.00 17.00 12.00 [+] Urahisi Wa Kufanya Biashara 13.00 15.00 15.00 10.00 [+] Sasa, maadili, data ya kihistoria, utabiri, takwimu, chati na kalenda ya kiuchumi - Taiwan - Viwanda Uzalishaji.
2019-08-18T20:10:59
https://sw.tradingeconomics.com/taiwan/industrial-production
[ -1 ]
Dk Slaa: Tuhuma za Lwakatare kuteka waandishi zimepikwa | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Dk Slaa: Tuhuma za Lwakatare kuteka waandishi zimepikwa Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Mkusa, Mar 14, 2013. KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa amezungumzia video aliyorekodiwa Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama hicho, Wilfred Lwakatare na kusema ni ya kutungwa na vyombo vya dola. Dk. Slaa pia amelituhumu Jeshi la Polisi kufanya mchezo mchafu kwa maslahi ya kisiasa. Alikuwa akizungumza na waandishi wa habari Makao makuu ya chama hicho kufafanua suala la kushikiliwa kwa Lwakatare. Dk. Slaa, alilalamikia jeshi la polisi kuwa limekuwa likitumika kisiasa huku akitoa mfano wa chama hicho kuwa kimekuwa kikitaarifu jeshi la polisi kuhusu mambo hayo lakini halijawahi kuchukua hatua. Alisema jeshi la polisi halijawahi kuchukua hatua stahiki kwa suala la mauaji ya Daudi Mwangosi kumwajibisha Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Iringa aliyesimamia na kufanikisha kifo cha mwandishi huyo wa habari, jeshi la polisi pia halikuchukua hatua za kumhoji Dk. Stephe Ulimboka baada ya kuteswa na mtu anayedaiwa kuwa ni Afisa wa usalama wa Taifa wa Ikulu, hali kadhalika hawezi kushangaa ikiwa jeshi la polisi halitaacha kumhoji Absalom Kibanda. Amesema, jeshi la polisi limekuwa likitoa taarifa za kukichafua chama, akikumbushia suala la Mwangosi, alisema kuwa mara tu baada ya tukio la Mwangosi kuuawa, jeshi la Polisi kupitia kwa Kamishna wake lilitoa taarifa kuwa alilipuliwa na kitu kilichorushwa kwake akikimbilia kujisalimisha kwa polisi akitoka kwa wafuasi wa Chadema, jambo ambalo lilikuwa sio kweli. Hivyo alisema, Mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa Chama hicho kuhusishwa kwa sakata la sasa la mkanda wa video uliopo katika mtandao na Kibanda ni mwendelezo tu wa kukihujumu chama, unaoratibiwa na Usalama wa Taifa, huku ukitekelezwa na jeshi la polisi. Source: Dk. Slaa: Video ya Lwakatare ni feki! | Fikra Pevu | Kisima cha busara! Dr Slaa, Binafsi nina Imani Kubwa sana na CHADEMA, na hakuna kitu ambacho kitatoa Imani yangu kwa CHADEMA. Nina uhakika wa Asilimia Nyingi hii issue ina Connection na Kauli za CCM thru Mwigulu Nchemba na Mzee wa Gombe Hata kama hii issue itakuwa ni kweli, mimi bado nitakuwa CHADEMA Damu kabisaaaa. Ila Ombi langu, ninaomba sana tena sana,kwa hii issue, tunaomba Bw Lwakatare atakapotoka Kizuizini, atoe Tamko la Kukanusha hili Jambo, ama kwa Lugha nyingine. Aseme chochote kuhusiana na hili suala ====== VIDEO======= NINA IMANI NA CHADEMA., NINA IMANI NA founding motives ZA CHADEMA NINA IMANI NA LWAKATARE., ziko sababu za kimsingi za kumuhoji Ng. Lwakatare kuhusiana na video hii,. lakini sio kuhusiana na tukio la kuteswa kwa Bw. Kibanda, wataalamu wa Forensic Sciences watakuambia kwamba traces za involved parties kwenye scene yoyote ya namna ile lazima huonekana katika eneo latukio na ndizo huongoza kuelekea kwa suspect (mshukiwa) lakini sio kutoka kwokote halafu kuhusisha na tukio flani tu eti kwasababu linaonekana kuelekeana. Video inayo ongelewa haionyeshi beyond reasonable doubt kwamba kinacho ongelewa pale ni KUTEKWA NA KUTESWA KWA MUANDISHI WA HABARI., ndugu zangu tusikubali kuchezewa vichwa na watu flani wanaotumia hongo na pesa chafu kuchafua nia ya dhati yakuleta mabadiliko nchini. yako mambo mengi sana yakujiuliza kabla hauja amua kuchukua video hii kama UKWELI USIOPINGIKA. 1. kwanini Bw. Lwakatare akubali kuwa recorded kama anafahamu anapanga uhalifu?(kwasababu kwenye video inaonekana anafahamu kwamba anakua recorded) 2. Aliye record Video hii ana uhusiano gani na Bw. Lwakatare? je, ndiye aliye kua anatumwa kutekeleza uhalifu huo? (as it is supposedly assumed to be), na je? kuna prints zozote zinazo onyesha connection kati yake na zilizo patikana eneo la tukio, je? ni mwana chadema mwenzake aliye amua kumsaliti? hapa the question WHY (kwanini) must be given sufficient and eloquent answers. kama ndiyo kwanini amsaliti kiongozi wake? je? amelipwa na mtu? kama ndio ni nani? na kwanini? ilikufikia malengo gani? lakini ilikupata majibu kamili au ilikujiridhisah kwamba majibu yanayopatikana hapa ni sahihi: 3. aliye iweka you tube apatikane., (kwa sababu anaweza kupatikana) aeleze mazingira ya kuipata, ilikuwa peleka hadi kumpata aliye tengeneza video hiyo atakaye eleza madhumuni ya kui record. na kwanini alichagua kuweka huko badala ya kuifikisha mahali husika. kama alilipwa kufanya hivyo aeleze alilipwa nanani. aeleze pia video hiyo kihalisia ilikua inazungumzia nini hasa (maana bado iko vague tu haiwezi kumfunga mtu, yanaweza kua nimaelezo akipiga stori na baada ya kutegwa nakuulizwa aelezee matukio ya namna iyo hua yanapangwaje., kumbe mtu katumwa anakurecord afu unauzwa hivi hivi na watu walafi wa madaraka NDUGU ZANGU "Critical thinkers" hapa we need to be really critical, siondoi kabisa uwezekano kwamba Nd. Lwakatare anaweza kuhusishwa kwa namna moja au nyingine na tukio lile kwa kupatikana kwa video hiyo, lakini lazima niseme wazi kwamba nina imani na CHADEMA, nina imani na Bw. Lwakatare na motives za CHADEMA pamoja na strategies zake kuelekea kuchukua 2015 Na hii SIYO MOIJA YA STRATEGIES za chadema! mwisho; haya ni mawazo yangu ambayo siyo lazima ya influence mawazo ya mtu mwingine yeyote.. - 50 people likes Kwani hatujui tunalijua hilo ndio maana ccm walijua wenyewe wameingia msituni wameua swala kumbe wameibuka na bonge la nyani.walijua video hii ingewapa mlango wa kuchomokea!!!!!!!!!! WAKATI Jeshi la Polisi nchini ikiendelea kumshikiria Mkurugenzi wa Usalama na Ulinzi wa Chadema Willifred Lwakatale kwa mahojiano zaidi kwa siku ya pili, Katibu Mkuu wa chama hicho Dk Willibroad Slaa amesema tuhuma hizo ni za kupikwa. Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam,Dk Slaa alisema kwamba tuhuma zinazomkabili Lwakatale ni za uongo na zimepikwa, hivyo wanaitaka jeshila la polisi kuendelea na uchunguzi wa suala hilo na wakikamilisha kazi yao wampeleke Mahakamani. "Hizo tuhuma ni za uzushi, hazina ukweli hata kidogo, zimepikwa hivyo tunaiomba Jeshi la Polisi kuendelea na kazi yao na mwisho wamfikishe Mahakamani kwa sababu huko ndipo tutakapo pata ukweli juu ya suala hilo"alisema Dk Slaa. Mkurugenzi huyo alikamatwa na Polisi jana kwa tuhuma za kuhusika katika njama za kumteka na kumtesa Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri (TEF) na Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya New Habari Absalom Kibanda. Mbali na tuhuma za kumteka Kibanda,pia anahojiwa kwa tuhuma ya kushiki njama mbalimbali za mauaji pamoja na mateso ya Mussa Tesha aliyemwagiwa tindikali Igunga na lile la morogoro ambapo kijana mmoja alifariki katika vurugu za maandamano ya chadema, ambapo polisi walitoa taarifa kuwa kijana huyo ameangukiwa na kitu kizito. Pamoaja na kuandaa njama za kumteka Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Mwananchi Denis Msacky ambazo bado hazijatekelezwa. i cant wait to see this,ts better that way they must come clean,ni chama tunacho kitegemea sasa kwa uchafu uliojitokeza ni lazima viongozi wanuie kutusafisha mind zetu kwa uchafu uliyojitokeza and tujuwe if it was framed or whatever,na rai yangu ni kwamb kwa mleta thread hii unapaswa kutu-updates atleast,hope protocol itazingatiwa i cant wait to see this,ts better that way they must come clean,ni chama tunacho kitegemea sasa kwa uchafu uliojitokeza ni lazima viongozi wanuie kutusafisha mind zetu kwa uchafu uliyojitokeza and tujuwe if it was framed or whatever,na rai yangu ni kwamb kwa mleta thread hii unapaswa kutu-updates atleast,hope protocol itazingatiwaClick to expand... yaani wewe ndugu yangu ile video tu inaonekana ni ya kutengeneza bado unatka chama kikjisafishe ukitaka kujua undani wa tukio lakuteka waandishi wasikilize kina bashe polisi ni wajinga na wanatumika kama kondom ...wewe hebu angalia hilo tukio mtu badala ya kupeleka polisi anapeleka JF hapa wa kukamatwa ni mwigulu huyu ndo suspect number one na anajua mpango mzima wa KIBANDA tokea aseme anayo video hajaitoa anakuja kuitoa baada ya tukio ..kama ww great thinker unaelewa ninachomaanisha Katika yoooote maandamano ya kuisimamisha Nchi yako pale pale....CCM msitupotezee lengo letu. Mapambano yanaendelea Hakuna haja ya kuumiza kichwa humu, ukweli anajua Rwakatare! Ile video ni ya kughushi au ya kweli Katumwa na CDM au la Anaihujumu CDM au anatii maelekezo hii kitu waipeleke haraka mahakamani, ili mbivu na mbichi ijulikane, yaani chama cha upinzani kianze kuwauwa waandishi wa habari? kwa lipi hasa walilofanya? Chama kinachotaka kuingia madarakani, chama kinachotaka kuwakomboa wananchi kianze kuua waandishi wa habari? aisee hii kitu ukifikiria kwa makini utaona kuna magepu mengi sana kwenye hili dili -- loop holes kibao. Msihofu: Ngoma ikifika mahakamani kuna softwares zinaweza kabisa kungamua kwamba hiyo video ni ya ukweli au mtu kachomeka maneno. hapa ndipo watu wataumbuka unless mahakama ikatae ushahidi kwa namna hiyo utumike. Character X, mawazo yako hayapingwi, ila yamepotoka sana,na yamejawa na mihemko ya kiitikadi ya chama zaid,na kukosa uzalendo wa kitanzania, 1.haijalishi kama lwakatare alikua anajua kama anarekodiwa ama la,hilo ni juu yake yeye,sisi tunapima uzito wa kile anachokizungumza na mazingira halisi tunayopitia katika nchi yetu kwa sasa, either alifanya vile intetionally or otherwise,lkn katika kile alichokisema ana stahiki kuhojiwa na tuyapime majibu yake 2.kila mtu ana iman na chadema hapa? We vp?kwani chadema ni mtu mmoja mmoja au taasisi ya watu fulani? Iweje mtu akifanya makosa eti tuache kuhoji kisa tunakua tunakichallange chama?hiyo haingii akilin kbs, 3.tuache mihemko isiyo na misingi lwakatare amewapa kazi ngum sana chadema unless awe na maelezo ya kutosha ya kushibisha njaa zetu za akili.. Mambo ya mwigu.lu Anaihujumu CDM au anatii maelekezo Click to expand... mliambiwa CDM itakufa before 2013, na mwingine akasema ana video ya viongozi wa CDM wakipanga mauaji -- so join the dots then unapata kitu. Lakini polisi wnagemtafuta na aliyeiweka kwenye mtandao ili atuelezee watanzania nani alimpa na ina maana gani.Vinginvyo hatutamtendea haki Lwakatare.Hebu tuione kwa upande wa pili huyu mtu hajaongea hayo yaliyowekwa kwenye hiyo clip na mpaka saa hizi anashikiliwa na polisi ni sahihi? Na clip yenyewe inaonyeshwa imetengenezwa ili kuharibu utu wa watu wengine.Watanzania tumuogope mungu kwenye matendo yetu hasa yale ya siasa chafu za kuharibia utashi wa watu wengine. WESTON MAHINYA Jeshi la polisi wasipelekeshwe na wana siasa da siasa bana NINA IMANI NA CDM wanapambana sana kuichafua chadema lakini siku zote MUNGU ni mkubwa na hashindwi, ninaamini huu ndo mwisho wao, hili litawaanika wao Huyu mzee vp,mara hana imani na polisi mara anataka polisi wafanye uchunguzi. Kwanini asisema kama hiyo video ni ya kweli au sio? Akae akijua jua kuwa hii video itaondoka na wengi.kama CCM ilikua inatafuta sababu ya kuwamaliza cdm basi hii sababu ni tosha kabisa Hawa Polisi ni watu wa ajabu sana, kinachoonekana hapa ni kutaka kutwist mambo. Kila mtu anajua kuwa tukio la kutekwa na kuteswa kwa Dr Ulimboka, kuna mfanano wa hali ya juu, na hili tukio la Kibanda. Nitataja mambo machache yanayofanana, wote wawili waling'olewa meno na kucha na hao watekaji, na wote wawili waliteswa katika kiwango cha hali ya juu sana na watu waliowatesa wanaonekana dhahiri wamepitia mafunzo ya kijeshi, kitu kinachoonyesha, upo uwezekano mkubwa kuwa watekaji wa Dr Ulimboka, ndio hao hao waliomfanyia unyama Kibanda!! Sasa, kama Dr Ulimboka aliwaeleza kuwa yupo tayari kuwasaidia Polisi, ili watu waliomteka wakamatwe, ni kwa nini wao Polisi, hilo wanaligomea, na wanaendelea kumng'ang'ania chizi wa Kenya, ambapo Dr Ulimboka amewahi kutamka wazi kuwa huyo siyo miongoni wa waliomteka?! Katika tukio la Kibanda, tumemsikia Kibanda mwenyewe akisema,alimsikia mmojawao wa waliomfanyia unyama huo,akimuuliza mwenzake, vipi afande, tumshuti?! Huo bado haujawa ushahidi kuwa majeshi yetu yalihusika?! Sasa, kwa ushahidi huo, ambapo Dr. Ulimboka alitamka wazi kuwa mtu wa mwisho kukutana naye siku anatekwa alikuwa Ramadhan Ighondu wa Ikulu-TISS, ni kwa nini Polisi hadi leo wanashikwa na kigugumizi cha kumkamata huyo Ramadhan Ighondu, hadi limetokea tukio la kuumizwa kwa Kibanda,ambalo lina mfanano wa kiasi kama cha asilimia 98? Upo ushahidi wa wazi kwa sasa kuwa Jeshi la Polisi na vyombo vingine vya ulinzi na usalama, havipo tena kutekeleza wajibu wake namba moja, ambao ni kuwalinda raia na mali zao, badala yake wamegeuza kuwa jukumu lao la kwanza kwa sasa, ni kutekeleza matakwa ya watawala, na mbaya zaidi,hata kama watawala hao wataviagiza vyombo hivyo vya ulinzi na usalama, viyaondoe maisha ya baadhi ya raia wema, vyombo hivyo vya ulinzi na usalama wanatekeleza amri hizo haramu bila kusita!! makavulaivu CCM WANAZO KILA SABABU ZA KUFANYA UMAFIA WOWOTE KWAGHARAMA ZOZOTE NA KWA TECHNOLOJIA YEYOTE KWASABABU IMANI YA WANANCHI DHIDI YA CCM ILISHAPOTEA NA IMEZIDI KUDIDIMIA NA KUONGEZA HOFU YA KUPOTEZA DOLA KWENYE UCHAGUZI UJAO.najiuliza pia polisi nao walitumia YOU TUBE ku establish kosa au mwigulu aliwapelekea hiyo video? Natarajia Mwigulu nae aunganishwe polisi kwa mahojianao Huyu mzee vp,mara hana imani na polisi mara anataka polisi wafanye uchunguzi. Kwanini asisema kama hiyo video ni ya kweli au sio? Akae akijua jua kuwa hii video itaondoka na wengi.kama CCM ilikua inatafuta sababu ya kuwamaliza cdm basi hii sababu ni tosha kabisaClick to expand... Anayeweza kusema ukweli wa video ni CCM kwa maslahi ya CCM. Ila kama sheria ilivyo ikiwa si ya kweli kuna watakaoilipia ghali zaidi ya mil 80 zilizoitengenezea Kaka da kweli imani yako safi
2017-03-24T13:56:26
https://www.jamiiforums.com/threads/dk-slaa-tuhuma-za-lwakatare-kuteka-waandishi-zimepikwa.417384/
[ -1 ]
Nape kufuata mkumbo wa wakubwa wako kumkubali Siyoi imekula kwenu | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Nape kufuata mkumbo wa wakubwa wako kumkubali Siyoi imekula kwenu Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Juma Bundala, Apr 2, 2012. NAPE one mistake one goal,kukubali kwa shinikizo la wakubwa wake na yeye kuanza kumnadi SIOI AMEZOLEA AIBU,lkn ktk siasa akisa huyu lazima atakuwa amepata huyu.Hela,majina makubwa,kampeni za matusi namengine yaliyo semwa na CCM vyote vimekoma kutokana na ushindi wa KISHINDO WA CDM,NAPE IMEKULA KWENU.CDM SAFI Hivi nape anatumika vipi . Kule igunga aliambiwa asikanyage. Nafikiri ameleta nuksi huko arumeru. Yaani hapa magamba wanajichanganya kiaina . Ina maana walitaka washindwe walipomruhusu kwenda arumeru? Magamba ovyo sana Siasa za maji taka zimewaponza. Hivi nape ni kweli alishiriki kampeni za SIOHI huko Arumeru,hakika itakuwa imetoa picha mbaya sana,kwa kuwa msimamo wa wake daima umekuwa ni vita vya mafisadi,leo kuwekwa sahani moja na anaopingana nao ni mtihani mwingine ambao unamvisha tope ambalo litachukua muda kujisafisha. CCM wafike sehemu walio wasafi wawatumikie wasafi wenzao,nje ya hapo wote wataonekana ni manche ga nyanza!!!
2016-12-07T10:37:06
http://www.jamiiforums.com/threads/nape-kufuata-mkumbo-wa-wakubwa-wako-kumkubali-siyoi-imekula-kwenu.243319/
[ -1 ]
EMMA THE BOY AWAJIA JUU MAPRODUCER WENZAKE | MATUKIO NA VIJANA Home » »Unlabelled » EMMA THE BOY AWAJIA JUU MAPRODUCER WENZAKE EMMA THE BOY AWAJIA JUU MAPRODUCER WENZAKE Muandaaji wa nyimbo za bongo fleva nchini, Emma The Boy amewataka ma-producer kuacha njaa ili waweze kupata heshima kama anavyopata 'producer' mkongwe Master J. Emma amebainisha hayo baada ya kuwepo madai ya wasanii wa bongo fleva kutokuwa na nidhamu kwa watarishaji wao wa muziki kwa kile wanachosema kuwa msanii akishatengenezewa 'hit song' huwa hawakumbuki tena mtayarishaji wake wala hata kumpa sifa zake pindi awapo katika mahojiano na vyombo vya habari. "Ma-producer sisi wenyewe tuna tabia ya njaa, njaa zimezidi. Msanii anakuja na Laki moja au elfu sabini au elfu hamsini kwa sababu ya njaa zako unatengeneza kitu kwa msanii ambaye hana uwezo wa kufanya hivyo. Kwa hiyo mbeleni lazima ikushushe kwa sababu msanii hakuimba kwenye kiwango chake kwa hiyo inakushusha wewe hata kama ulikuwa na ukubwa gani unakosa hiyo heshima", amesema Emma the boy. Kwa upande mwingine, Emma amewakumbusha wasanii watambue kuwa ma-producer ndiyo kila kila kitu kwa wasanii kwani nyimbo yako ikiwa mbaya haitaweza kufika kokote pale.
2017-08-21T08:19:07
http://www.matukiotz.co.tz/2017/07/emma-boy-awajia-juu-maproducer-wenzake.html
[ -1 ]
MAPINDUZI YA SEKTA YA UVUVI WILAYA YA PANGANI, ZIARA YA MBEGANI INJINI ZA BOTI ZENYE THAMANI YA ZAIDI YA MILIONI 80 ZAPATIKANA - MWANAHARAKATI MZALENDO ™ Editor 1:39:00 PM HABARI TANZANIA By Editor muda 1:39:00 PM
2019-08-25T17:51:52
https://www.mwanaharakatimzalendo.co.tz/2018/09/mapinduzi-ya-sekta-ya-uvuvi-wilaya-ya.html
[ -1 ]
Cocoa Butter Cream in Dar Es Salaam | ZoomTanzania 30. Apr, 15:07 kwa bei ya elfu 45 tu. Lkn ukitaka na kileee KICHANGANYIO inakuwa elfu 70 tu. Ukitumia unakuwa na rangi nzuri, rangi ya mvutoooo, rangi ya pesaaaa, rangi moja mwili mzima Member Since 18. Nov '15 1 Active Ads 8 Published Ads
2018-06-23T02:27:40
https://www.zoomtanzania.com/skincare/cocoa-butter-cream-1036047
[ -1 ]
Wanamichezo Kisiwani Pemba Watakiwa Kutumia Vifaa Vya Michezo na Vyakula Bora. - ZanziNews Home MICHEZO Wanamichezo Kisiwani Pemba Watakiwa Kutumia Vifaa Vya Michezo na Vyakula Bora. Wanamichezo Kisiwani Pemba Watakiwa Kutumia Vifaa Vya Michezo na Vyakula Bora. MKURUGENZI Mtendaji wa Taasisi ya Viwango Zanzibar Khatib Mwadini Khatib, amewataka wanamichezo Kisiwani Pemba kuhakikisha wanakula na kutumia vifaa vya michezo, ambavyo vimechunguzwa na Taasisi ya Viwango Zanzibar ili kulinda afya zao. Alisema pindi wanamichezo wakitumia vitu ambavyo vimechunguzwa na Taasisi hiyo, wataweza kuepukana na maradhi mbali mbali yataweza kuua viwango vyao. Mkurugenzi huyo alitoa kauli hiyo wakati wa kukabidhi zawadi kwa washindi wa marathoni katika Viwanja vya michezo Gombani, ikiwa ni tamasha la Utalii, Utamaduni, Biashara na Michezo Pemba. Alisema serikali imekuwa ikiwategemea wanamichezo katika kuutangaza utalii wake ndani na nje ya nchi, wanamichezo wananafasi kubwa ya kutumia vyakula ambavyo vimepitishwa na taasisi ya ZBS. “Siku hizi kumekua na bidhaa mbali mbali zinaingia nchini ikiwemo vitu vya mitumba, vizuri wanamichezo kutumia vitu ambavyo vimepitishwa na taasisi yetu ya viwango Zanzibar, ili kulinda afya zetu kutokana na umuhimu wetu katika nchi”alisema. Alisema serikali imekua mstari wa mbele katika kuinua michezo, haipendezi leo kuona wachezaji wanashindwa kufikia malengo yao kutokana na kutumia vifaa na kula chakula ambacho hakina kiwango. Hata hivyo aliwapongeza wanamichezo wote walioshiriki katika mashindano ya Marathoni, ikizingatiwa michezo ni ajira, udungu, urafiki na afya.
2019-02-21T08:00:49
http://www.zanzinews.com/2018/07/wanamichezi-kisiwani-pemba-wanatakiwa.html
[ -1 ]
Mkuu wa Jeshi Ethiopia apigwa risasi - Mwananchi Mkuu wa Jeshi Ethiopia apigwa risasi Alikuwa akizuia jaribio la mapinduzi lililofanywa na watu wasiojulikana katika Serikali ya Amhara Amhara, Ethiopia. Mkuu wa Majeshi wa Ethiopia, Jenerali Searre Mekonen anadaiwa kuuawa kwa kupigwa risasi katika jaribio la mapinduzi ya kupindua nchi hiyo. Waziri Mkuu wa nchi hiyo Dk Abiy Ahamed amedhibitisha kiongozi huyo wa jeshi kupigwa risasi siku ya Jumamosi jioni June 22, alipokuwa akizuia jaribio la mapinduzi lililofanyika katika Serikali ya Amhara. Hata hivyo, Waziri Mkuu Abiy alisema kuwa hali ya kiongozi huyo haijulikani. Pia, katika jaribio hilo kiongozi wa Serikali hiyo, Ambachew Mekonnen na mshauri wake, Ezez Wasie wameuawa baada ya kuvamiwa katika ofisi zao eneo la Bahir Dar na kikundi cha wanajeshi wanaodaiwa walidhamiria kufanya mapinduzi. Hata hivyo, Abiy ambaye alizungumza kupitia televisheni ya Taifa akiwa amevaa mavazi ya kijeshi alisema Serikali imefanikiwa kudhibiti mapinduzi hayo. Kiongozi huyo wa Serikali ya Ethiopia alilaani vikali tukio hilo na kusema kuwa wau kadhaa wanashikiriwa kwa tuhuma za kuhusika na tukio hilo Tukio hilo limetokea ikiwa ni muda mchache baada ya ubalozi wa Marekani nchini humo kutoa tahadhari kufuatia milio ya risasi katika mji mkuu wa Addis Ababa pamoja na vurugu karibu na mji mkuu wa jimbo la Amhara, Bahir Dar. Mara kwa mara Ethiopia imekuwa ikikabilia na migogoro ya kikabila na kusababisha mapigano jambo lilosababisha nchi hiyo kushindwa kutawalika. Hata hivyo, mwaka 2018 wananchi wa Ethiopia walimchagua Dk Abiy kuwa waziri mkuu ambaye kwa kiasi kikubwa ameweza kuleta mabadiliko makubwa ikiwa ni pamoja na kuwaachia wafungwa wa kisiasa, kuboresha uchumi, uhuru wa vyombo vya habari pamoja na kupambana na vitendo vinavyokiuka haki za binadamu.
2020-06-02T03:52:45
https://www.mwananchi.co.tz/habari/kimataifa/Mkuu-wa-Jeshi-Ethiopia-apigwa-risasi/1597284-5168368-13uq91f/index.html
[ -1 ]
Merkel kukutana na Hollande | Matukio ya Kisiasa | DW | 22.09.2012 Merkel kukutana na Hollande Viongozi wa Ufaransa na Ujerumani wanakutana Jumamosi(22.09.2012)kuadhimisha hotuba iliyotolewa1962 na Charles de Gaulle,huku mzozo wa euro na pendekezo la kuunganisha makampuni ya EADS na BAE yakiwa katika agenda. Merkel na Hollande wakutana Msemaji wa kansela wa Ujerumani Angela Merkel amesema kuwa mkutano huo utakaofanyika katika mji wa Ludwigsburg kusini magharibi mwa Ujerumani , ambako De Gaulle alitoa hotuba hiyo kwa vijana wa Ujerumani katika hatua muhimu ya maridhiano baada ya vita vikuu vya pili vya dunia, utakuwa tu kwa kiasi kikubwa kwa ajili tu ya heshima za sherehe za maadhimisho. Lakini mada chache muhimu hata hivyo zitakuwa katika agenda ya majadiliano. Suala la kampuni la kuunda vyombo vya usafiri wa anga la EADS na lile la Uingereza la BAE bila shaka litazungumzwa katika chakula cha mchana kitakachotumiwa kufanya majadiliano hayo pamoja na rais Francois Hollande, msemaji huyo , Steffen Seibert, amewaambia waandishi habari Ijumaa, (21.09.2012), akilenga kuhusu mkutano huo ambao haukutangazwa sana. Kampuni ya Uingereza ya BAE inazungumza na EADS kutana kuungana "Bila shaka hakutakuwa na maamuzi Jumamosi hii na msiende katika mkutano huo wa waandishi habari mkitarajia kutakuwa na jambo lolote la maamuzi," alisema Seibert. Hii pia itakuwa pamoja na suala la udhibiti mkali wa sekta ya benki katika bara la Ulaya , mtazamo wa mapambano dhidi ya mzozo wa madeni katika eneo la euro kwa wakati huu, Seibert amesema. Serikali zimekuwa zikichukua tahadhari tangu kutangazwa wiki iliyopita kuwa kampuni ya vifaa vya ulinzi nchini Uingereza BAE na kampuni linayotengeneza ndege katika bara la Ulaya EADS yanafanya majadiliano ya kuungana. Rais wa Ufaransa amesema kuwa Paris na Berlin zinasubiri mradi huo wa kuungana kufafanuliwa kabla ya kupitisha maamuzi na kuchukua uamuzi. Ujerumani pia imechukua msimamo wa kusubiri na kuona, huku baadhi ya maafisa wakitia shaka kuwa muungano huo unaweza kusababisha ukosefu wa ajira. Kampuni inayounganisha ndege za Airbus EADS A320 Makampuni hayo mawili yamepewa hadi Oktoba 10 kukamilisha mradi wao ama waachane nao. Ujerumani na Ufaransa zina hisa nyingi katika kampuni la EADS, wakati serikali ya Uingereza ina hisa kubwa katika kampuni la BAE ambazo zinairuhusu kutumia kura ya turufu kuzuwia maamuzi ambayo inayaona kuwa hayaendani na maslahi ya umma. Wakati Ufaransa inapendelea kutoa madaraka kwa benki kuu ya Ulaya kuangalia benki zote 6,000 za eneo la mataifa ya euro kuanzia mwezi Januari, Ujerumani inataka kuziangalia benki kubwa tu na haiko katika hali ya kuharakisha, ikipendelea udhibiti wa kina kwanza badala ya haraka. Sherehe za Jumamosi ni za hivi karibuni kabisa katika wimbi la matukio ya maadhimisho ya miaka 50 ya ushirikiano kati ya mahasimu hao wa wakati wa vita. Merkel na Hollande watakutana katika kasri la Baroque mjini Ludwigsburg, watatoa maelezo kidogo na kisha watarejea katika shughuli za majadiliano pamoja na kupata chakula cha mchana. Viongozi hao , ambao wanajaribu kuweka msuguano wao katika kiwango cha chini tangu rais Hollande kuingia madarakani mwezi Mei, wanatarajia kuwa na mkutano wa pamoja na waandishi habari mchana. Mhariri : Iddi Ismail Ssessanga Maneno muhimu Merkel, Hollande, Charles de Gaulle speech Kiungo http://p.dw.com/p/16CbG
2018-03-18T07:07:13
http://www.dw.com/sw/merkel-kukutana-na-hollande/a-16254742
[ -1 ]
3-3-3, Higashimachi 862-0901 +81 (96) 283 1200 +81 (96) 283 1300 Venue Goalkeepers M. Hata 0 0 Y. Minami 15 0 S. Sato 0 0 Defenders Y. Takahashi 11 1 Jeferson 0 0 D. Yano 12 2 T. Fukuo 4 0 S. Katayama 15 0 T. Morikawa 0 0 Y. Kurakawa 6 0 K. Tsuyuki 10 0 D. Fujimoto 2 0 Midfielders Kohei Kuroki 8 1 T. Harada 14 0 Fabio 12 0 Y. Yabu 14 1 C. Fujimoto 11 2 N. Osako 8 0 Douglas Fernandes 2 0 K. Kai 0 0 J. Goryo 5 0 K. Yoshii 14 1 Y. Yamazaki 0 0 Y. Horigome 4 2 H. Nakama 14 2 K. Hashimoto 4 0 Attackers K. Saito 15 3 K. Shiratani 0 0 H. Kitajima Fagiano OkayamaRoasso Kumamoto
2013-05-21T07:29:11
http://www.soccerway.com/teams/japan/roasso-kumamoto/
[ -1 ]
MAWERE MTOKAMBALI: 2015-06-07 INTERVIEW YAKWANZA YA DEPAY PALE UNITED (VIDEO) Umekua mfungaji bora kwenye ligi ya Uholanzi lakini umejipangaje kwa hilo kwenye ligi ya Uingereza? Hilo ni moja kati ya maswali ambayo aliyoulizwa akifanya interview na TV ya Manchester united majibu yote ni By MAWERE MTOKA MBALI - June 13, 2015 No comments: UGANDA ‘The Cranes’ imeitandika 2-0 Botswana UGANDA ‘The Cranes’ imeitandika 2-0 Botswana katika mechi ya ufunguzi ya kundi D kuwania kufuzu kombe la mataifa ya Afrika (Afcon 2017) iliyopigwa leo uwanja wa Nelson Mandela, Namboole, mjini Kampala. AZAM FC leo imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Ame Ally ‘Zungu Ame (kushoto) baada ya kusaini Azam fc AZAM FC leo imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa Mtibwa Sugar, Ame Ally ‘Zungu’ na kumsainisha mkataba wa miaka miwili. Makamu mwenyekiti wa Azam fc, Nassor Idrissa ‘Father’ amethibitisha kuinasa saini ya Tyga afumaniwa akinunua Bugatti na mwanamke mwingine,sio Kylie Jenner. Rapa Tyga amefumaniwa akijaribisha gari la Kifahari aina ya Bugatti kabla hajalinunua akiwa na mwanamke mwingine kwenye gari hio na sio mpenzi wake ambaye ni Kylie Jenner.Tyga alikuwa na mpango wa kununua gari hilo lenye thamani ya dola milioni Klabu ya Manchester United imetangaza rasmi kukamilisha usajili wa Memphis Depay Klabu ya Manchester United imetangaza rasmi kukamilisha usajili wa nyota wa kimataifa wa Uholanzi, Memphis Depay na kumsainisha mkataba wa miaka minne. Mpango wa kumsajili kinda huyu mwenye miaka 21 ulikamilika mwezi uliopita, lakini sasa By MAWERE MTOKA MBALI - June 12, 2015 No comments: Chris Brown ajitabiria kifo chake kitakavyo kuwa kama cha 2Pac! Chris Brown haonekani kuwa kwenye hali nzuri kwa sasa, Mbali na furaha inayo onyeshwa kusababishwa na mtoto wake Royality bado ameonekana kwenye maumivu ya kumkosa Karrueche aliyekuwa mpenzi wake kabla ya kujulikana kuwa ana mtoto kwa msichana mwingine. Video: Yemi Alade Ft Mugeez - 'Pose' Video: Emmanuel Jal, Vanessa Mdee, Juliani & Syssi Mananga – 'Tusimame' South Sudan's EMMANUEL JAL, the internationally acclaimed recording artist, author, actor and inspiring humanitarian has joined forces with some of music’s biggest stars, including Tanzania's VANESSA MDEE, Congo's SYSSI MANANGA and Kenya's JULIANI in the making of Nyota wa filamu ya Dracula na Lord of the Rings afariki Mwigizaji wa siku nyingi na nyota wa filamu zilizopendwa na wengi Sir Christopher Lee amefariki akiwa na umri wa miaka 93. Msanii huyo ambaye ni mzaliwa wa Uingereza aliyejenga jina lake kwa kuigiza katika filamu ya Dracula na Frankenstein katika filamu ya kutisha aligiza katika zaidi ya filamu 250.Alijulikana sana kwa kuigiza kama Scaramanga katika filamu ya James Bond na Evil Wizard Suriman katika filamu ya Diamond Platnumz na Vanessa Mdee watajwa kuwania MTV Africa Music Awards 2015 Majina ya wasanii watakaowania tuzo za MTV Africa Music Awards 2015 yametangazwa jana June 11, ambapo Diamond Platnumz na Vanessa Mdee ni miongoni mwa wasanii waliotajwa kuwania tuzo hizo zitakazotolewa jijini Durban Afrika Kusini Zikufikie Stori kubwa 8 kwenye kurasa za Magazeti ya leo Tanzania June 12… Majambazi yamemuua polisi wa upelelezi, William Mtika (29) wa jijini hapa wakati wa mapambano kwenye tukio la kutaka kupora fedha za Kampuni ya Export And Trading eneo la Iwambi. Tukio hilo lilitokea juzi saa 9:00 alasiri na Binamu wa Jay Z apondwa baada ya Davido kufanya collabo na Meek Mil, sababu iko hapa Binamu wa karibu wa msanii Jay Z ‘Brian Biggs aka “Bee-High‘ ameumbuka na kupondwa mtandaoni baada ya Mnigeria Davido kufanya collabo na Meek Mil, Binamu huyu anayefanya kazi kama mtafuta vipaji wa Roc Nation na Tidal ya Jay Z alitumwa Nigeria mwaka By MAWERE MTOKA MBALI - June 10, 2015 No comments: alichokisema Chris Brown kuhusu mapenzi yake na Karrueche.. Story kubwa nyingine ikachukua headlines, washkaji wa Chris Brown walipanga mchezo marafiki wa kuwakutanisha pamoja wakijifanya eti Karrueche alitaka kukutana na Chris Brown ili kumaliza tofauti zao na kuendelea na uhusiano. Video mpya ya Future ‘Never Gon Lose’ itazame hapa Rapa Future anaendelea na #MonsterMonday kwa kutoa video mpya au wimbo mpya kila jumatatu, hii mpya “Never Gon Lose” kutoka kwenye mixtape ya 56 Nights. ITAZAME HAPA>>>>>>> By MAWERE MTOKA MBALI - June 09, 2015 No comments: Video Mpya Ya Davido Ft Meek Mil ‘Fans Mi’ Itazame hapa Wimbo wa Davido aliofanya na rapa Meek Mill ‘Fans Mi, umetayarishwa na producer Shizzi na video imetayarishwa na Sesan itazame HAPA>>>>>>> Hii kazi mpya ya Ruby ‘Milima Ya Kwetu’ Isikilize hapa. Download na sikiliza wimbo mpya wa Ruby ‘Milima Ya Kwetu’ imetayarishwa na Clinton Music Studio Epic Records. Mabingwa wapya wa Ulaya klabu ya FC Barcelona inajiandaa kumtangaza kiungo Aleix Vidal Mabingwa wapya wa Ulaya klabu ya FC Barcelona inajiandaa kumtangaza kiungo wa pembeni wa FC Sevilla, Aleix Vidal kama ingizo jipya katika klabu hiyo baada ya kukamilisha usajili wake siku ya jumamaosi. By MAWERE MTOKA MBALI - June 08, 2015 No comments: Manchester united imevunja rekodi kwa kufikisha brand value ya zaidi ya $1 billion Licha ya kuchukua ubingwa wa UEFA lakini bado thamani ya brand yake sio kubwa zaidi ya club tano juu yake. Barcelona imechukua UEFA lakini kwenye list ya biggest brands in football. Kwa mara ya kwanza Manchester united imevunja rekodi kwa kufikisha brand value ya Tabia 10 zinazoharibu ubongo Je wafahamu tabia zinazoweza kuharibu ubongo wako? Fahamu rekodi ya kipekee Andres Iniesta karibu na Video mpya ya Q Chief ‘For You’ (Mdogo Mdogo) iko hapa Hii video mpya ya Q Chief ‘For You’ imetayarishwa na Adam Juma Huku Audio ikatengenezwa na MAZUU. Ni ujio Mwengine wa chila Bonyeza PLAY KUIONA VIDEO HI>>>>>>>>>>>>>>> By MAWERE MTOKA MBALI - June 07, 2015 No comments: Baada ya kubadilisha jina msanii wa rapa kutoka Tanzania Mamba Dudubaya ametoa wimbo mpya uliopewa jina ‘Tuwachore kwa Jicho’. Bonyeza play kuisikiliza HAPA HAPA MTOKA MBALI>>>>>> Chris Brown alivyong’ang’ania kuingia kwenye gari la X Wake Karrueche Tran. Drama za Chris Brown na X wake Karrueche Tran zimeendelea baada ya wawili hawa kujikuta wamekaa kwenye meza jirani kwenye club kubwa ya Playhouse huko Hollywood na wote kuamua kuodoka kwa wakati mmoja kuepuka ugomvi. Video: 'Rose' aliye tangaza kuwa na ujauzito wa Nuh Mziwanda akabiliana naye pamoja na Shilole live kwenye FNL Utata kuhusiana na sakata zima la taarifa za Nuh Mziwanda kumtia mimba mchepuko, na kusababisha vita kali kati yake na Shilole ambaye ni mpenzi wake, limepatiwa ufumbuzi usiku wa jana katika show kali ya burudani ya Friday Night Live.Kama ulipitwa, picha zima kuhusiana na sakata hili lilianza kwa
2018-06-18T01:25:43
https://mawerenews.blogspot.com/2015_06_07_archive.html
[ -1 ]
Barnaba Classic atoa neno kwa wasanii wanaokiuka maadili nchini | Full Shangwe Blog Home Burudani Barnaba Classic atoa neno kwa wasanii wanaokiuka maadili nchini Previous articleMAJALIWA AMWAKILISHA RAIS DKT. MAGUFULI MKUTANO WA UCHUMI KATI YA URUSI NA AFRIKA Next articleELIMU YA MATUMIZI YA CHAKULA VINYWAJI KWA WANAFUNZI YATOLEWA ZANZIBAR
2019-11-12T21:19:00
https://fullshangweblog.co.tz/2019/10/23/barnaba-classic-atoa-neno-kwa-wasanii-wanaokiuka-maadili-nchini/
[ -1 ]
Mkutano wa dharura wa FAO, Roma | Matukio ya Kisiasa | DW | 26.07.2011 Mkutano wa dharura wa FAO, Roma Umoja wa mataifa umetaka pachukuliwe hatua kubwa ya kivitendo, kukabiliana na janga la njaa katika pembe ya Afrika wakati kesho 27.07.11 kutafanyika mkutano wa nchi fadhili mjini Nairobi -Kenya Shirika la chakula na kilimo la Umoja wa mataifa, FAO, limejadili hali ya njaa na ukame katika pembe ya Afrika Mkuu wa shirika hilo la chakula na kilimo la Umoja wa mataifa Jacques Diouf amesema hali mbaya ya ukame na njaa katika pembe ya Afrika inahitaji msaada mkubwa na wa dharura wa jamii ya kimataifa. Lakini wakati Diouf akieleza hayo, jumuiya za misaada zimeshutumu kile kilichotajwa kuwa ni ahadi ndogo zilizotolewa hadi sasa . Jacques Diouf, Mkuu wa FAO Maafisa wamesema umoja wa mataifa umepokea kiasi ya dola bilioni moja, tangu ulipotoa wito wa kwanza wa msaada kwa ajili ya Kanda hiyo ya pembe ya Afrika Novemba mwaka jana, lakini unahitaji dola bilioni moja zaidi ifikapo mwisho wa mwaka huu kukabiliana na hali ya dharura. Benki ya dunia imeahidi kutoa dola milioni 500 zaidi, huku sehemu kubwa ya fedha hizo ikikusudiwa miradi ya muda mrefu ya kuwasaidia wafugaji, wakati dola milioni 12 zitakua ni kwa matumizi ya msaada wa haraka kwa waliokumbwa na janga hilo la ukame na njaa. Inakadiriwa watu wapatao milioni 3.7 nchini Somalia, ikiwa ni theluthi moja ya idadi ya wakaazi wa nchi hiyo wanakabiliwa na kitisho kikubwa cha njaa na mamilioni wengine nchini Djibouti, Kenya, Ethiopia na Uganda wamekumbwa na ukame mbaya kuwahi kushuhudiwa katika kipindi cha miaka 60 iliopita. Lakini jumuiya za misaada zimeelezea kuvunjwa moyo mno na hatua za jamii ya kimataifa. Barbara Stocking ambaye ni mkuu wa Shirika la misaada la Uingereaza OXFAM amesema ni aibu kuwa ni nchi chache tu tajiri na zenye uchumi wenye nguvu zilizoonyesha nia ya kusaidia leo hii, kuyanusuru maisha ya wengi miongoni mwa walio masikini. Msanii wa kundi la muziki la U´2 na mwanaharakati anayepigana dhidi ya umasikini BONO, amesema nia ya kisiasa ilioonyeshwa mjini Roma katika mkutano wa jana sasa haina budi ifuatiwe na vitendo. Muimbaji mashuhuri, Bono Waziri wa kilimo wa Ufaransa, Bruno Le Maire akasema ikiwa hatua zinazohitajika hazitachukuliwa , janga la njaa litageuka kuwa kashfa ya karne. Hata hivyo akihutubia mkutano huo wa Roma, Mkuu wa shirika la mpango wa chakula la Umoja wa mataifa WFP, Josette Sheeran aliahidi kujitolea kwa shirika hilo kuchukua hatua. Macho na masikio sasa yanaelekezwa Nairobi ambapo kesho, Umoja wa mataifa umeandaa mkutano wa wafadhili, kuchangisha fedha za kuwasaidia waathirika wa janga hilo la ukame na njaa katika pembe ya Afrika. Mwandishi: Mohammed Abdul-Rahman /afp Kiungo http://p.dw.com/p/123On
2018-04-23T21:58:01
http://www.dw.com/sw/mkutano-wa-dharura-wa-fao-roma/a-15266061
[ -1 ]
kozi ya maandalizi katika Ukraine - Utafiti katika Ukraine. Ukrainian Admission Preparatory / Foundation shaka ni mpango wa elimu kwa muda wa 6-10 miezi. Wakati matayarisho kozi wanafunzi kujifunza Russian / Ukrainian lugha na taaluma maalum required kutegemea maalum ya baadaye mteule (lugha ya Sayansi, Mathematics, fizikia, kemia, Biolojia, Sayansi ya Kompyuta, Jiografia, historia, na Fasihi) On mafanikio kupita mitihani ya matayarisho kozi, mwanafunzi anapata cheti cha matayarisho Kitivo kujiendeleza kimasomo Medical, Engineering, Sayansi ya Anga / Flight School, Economic, Maritime & vyuo vikuu Mazingira katika Russian / Kiukreni Medium Duration: 6-10 miezi Lugha ya kufundishia : Russian / Ukrainian Wakati wowote juu ya juu, hakuna tarehe ya mwisho ya kujiunga na mpango huu maalum $3800 $ mfuko jumla Ada ya masomo 1500$ gharama barua ya mwaliko 200$ Mashtaka Courier Service 100$ gharama Bima ya Afya 100$ gharama Uhamiaji Bima 100$ Hostel Malazi 700$ Uwanja wa Ndege wa kuchukua 100$ Usafiri wa shule 100$
2017-09-25T22:22:47
http://ukraine.admission.center/sw/preparatory-courses/
[ -1 ]
Juventus Special Thread | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Juventus Special Thread Nickname(s): [La] Vecchia Signora (The Old Lady) Founded: 1 November 1897 (as Sport Club Juventus) Owner: Agnelli family (through EXOR S.p.A, BIT: JUVE) 2013&#8211;14: Serie A, 1st Website: Juventus.com Tatizo kubwa la Juve hawana goal poachers like Ibra or Pato or Cavani (for Serie A level). Kwa sasa wanamtegemea sana Matri pekee. Hivyo kocha anachotakiwa kufanya ni kuweka viungo wengi zaidi wa kushambulia. Tatizo la pili, wanakamia mechi kubwa kubwa tu, utaona wakicheza labda na Inter au Roma wanakaza msuli kweli kweli ila wakicheza na vitimu vidogo wanakuwa mdebwedo sana, na hii inawapunguzia sana pointi. Wakijirekebisha kwenye hayo mawili uwezekano wa ku qualify upo, they still have a good team with good fighting spirit. Wakijirekebisha kwenye hayo mawili uwezekano wa ku qualify upo, they still have a good team with good fighting spirit.Click to expand... Roger that bra, Also Loan player program seems useless, we need to bid world class players. Once del Neiri made a stupid decision, letting Krasic substituted. Seems Del peiro loses their soul partner (Trezegol). Big mistake has been made by Marotta.Del neiri and marotta they don't deserve for Juventus. delNeiri sticks with his old formation 4-4-2 which is no longer in use in total football. We don't have a creator such as Diego, Giovinnco. Honestly, i don't think Krasic will help us a lot. amini nakwambia Mechi ya Leo dhidi ya Milan ndio inayoweza kuamsha akili zao dhidi ya ushiriki wao ktk Ligi ya Mabingwa nxt season. Leo ni lazma wakaze coz transfer Guru n Bianconerri Icon Luciano Moggi atakuwepo uwanjani tangu mwaka 2006 walipocheza na Parlemo. Pia kwa kipindi cha misimu ya karibuni ya usajili Juve wamekuwa ni watu wa kukurupuka na kusajili bila maono. Milan kwa msimu huu wametumia €59m ile hali Juve wametapanya €105m na hakuna muelekeo wowote. So mpk hapo utagundua kuwa Milan wako makini ktk uongozi, while Juve wako shaghala baghala tu.. Grande Il Diavolo pia Juve wakae wakijuwa kuwa washambuliaji wao wawili yaani Matri na Luca Toni hawako ktk fomu ya kupenya ktk ngome ya Nesta na Silva. Pia winga tegemeo wa Juve ndugu Krasic yuko ktk upande ambao Milan huwa hawamtumii beki wao wa kushoto kwa ajili ya kupanda na kuongeza mashambulizi. Hii ina maana kuwa Marek Jankulovski atakuwa kasimama sambamba na Krasic kuhakikisha hatembei kwa muda mwingi sana uwanjani. Pia Juve watashikwa sana ktkt coz wao mtu wao ambaye anakaba sana ni FELIPE MELO, wakati Milan ktkt watakuwa na Sungusungu ama bulldozer kama Dikteta wa kiungo Ivan Gennaro Gattuso, Midfield General Jembe Mark Van Bommel na Shoka Mathew Flamini. Milan wataanzisha washambuliaji watatu, Pato, Robinho na Ibracadabra ambao wamekuwa wakielewana sana kadri siku zinapozidi kwenda. So Milan wana nafasi kubwa ya kushinda mechi kwa uangalizi tu huo mdogo... Italian football is now in history ! Wapenda soka Kama Gang c mumenielewa! Italian football is now in history ! Wapenda soka Kama Gang c mumenielewa!Click to expand... Ndio maana wakaandika ''were we dare to talk openly'' Kuna njia mbili tu kubwa leo kama Juve wanataka kuwafunga Milan. 1. Attacking from the flanks kama mdau mmoja alivyosema hapo juu. Full backs za Milan sio nzuri sana hivyo kama hazitapata support za midfielders basi Krasic anaweza kuwa strategy nzuri ya kuwaua Milan na pia kuzuia viungo wa Milan wasipande sana. 2. Keep the ball away from Pato.Huyu dogo sasa hivi ni noma, anaweza kupiga bao from nowhere halafu Milan wakaturn defensive 3. Be physical. Kama alivyosema mdau hapo juu, Gattuso na Van Bommel ni physical na Van Bommel is an excellent passer. Hivyo pale kati Juve wahakikishe wanakuwa more physical kwani uzoefu umeonyesha Gattuso na Van Bommel wakiwekwa underpressure wana panic. Ni strategy kama hii waliyotumia Tohhenham kuwaua Milan. Kwa ufupi inawezekana Juve kuwafunga Milan leo. Oh yes.. todays match ndio kila kitu make no mistake Ac.Milan are on a winning streak while Juventus is the total opposite and it will be hard to stop Ac after they defeated Napoli. Expected starting Eleven Juve Side might be Buffon, Sorensen, Bonucci,Barzagli, Chiellini, Krasic, Felipe Melo, Marchisio, Martinez, Matri, Toni. Congrats Gennaro Gattuso goal was awesome nice setup from Ibrahimovic , Antonio Cassano missed a golden chance , but am happy with my boys nilidhani zingekuwa goal zaidi ya tatu!! 7th place on Seria A still not good something must be Done. From what i saw today Milan they are Ready to spank Spurs at the lane kwa kweli mimi nawapenda sana waitaliano hasa hiki kibibi cha torino JUVENTUS Niliiona mechi ya jana juve hawako superb km milan lkn hii timu niliyoipenda since 1986 kweli hali yake sasa hivi si km ilivyokuwa enzi za kina ravanneli vialli atilio lombardo aaah juveeee mliwasikia wenzenu walikuwa wanaimba nyimbo za kumtukuza Luciano Moggi? Teh teh ye sasa ndio Baba wa Juve hehehe alafu kijana wako gatuso jana ndio alichomeka bao lake la kwanza katika hii season na ililikuwa bao lake 8 within 11 years aliyocheza Milan na ni bao lake 18 in his entire Seria A carer..!! yaani ukiangalia hiyo statistics Gatusso Ni Beki ya maaana!! hehehe alafu kijana wako gatuso jana ndio alichomeka bao lake la kwanza katika hii season na ililikuwa bao lake 8 within 11 years aliyocheza Milan na ni bao lake 18 in his entire Seria A carer..!! yaani ukiangalia hiyo statistics Gatusso Ni Beki ya maaana!!Click to expand... Hah hah haaaah yule jamaa ni soo... Sasa hesabu kadi zake nyekundu utaona kazi sheikh Nasikitika sana kuwaona Juventus wakiwa kwenye kiwango kibovu,walikuwa na timu nzuri sana huko nyuma wakikutana na Real Madrid,Madrid ilikuwa lazima apigwe bao.Baada ya kukumbwa na skendo ya kupanga matokeo baada ya kurudi Serie A wamekuwa vibonde nawakumbuka kina Cirro Ferara,Mark Iuliano,Lilian Thuram,Pavel Nedved,Didier Deschamps ,Edgar Davids,David Trezegoal hii ndio ilikuwa Juventus chini ya Capello then Lippi.Tangu Lucciano Moggi amefungiwa naona wameshindwa kabisa kupata Kocha na wachezaji wanaowafaa zaidi ya kupoteza pesa Diego,Felipe Mello,Mohamed Cissocko,wamechemsha kabisa kuibebba Juventus naona mchezaji aliyebaki ni Chielini AC MILAN msimu huu watachukua ubingwa kiulaini AC MILAN msimu huu watachukua ubingwa kiulainiClick to expand... Since we came back we had Del Neri & nafikiri ndio kikwazo kwa Juve i think Del Neri should go cos he is not juve quality. Del Piero still has a lot left in him but with nobody to play off of him, that limits what he can do and he's never been a one man show. The midfield is solid, probably the strongest point of the team. With Marchisio, Melo, Krasic, and Aquilani, there's not a whole lot that can go wrong for Juve except for when Melo gets hot headed. The defense is becoming a problem though. Del Neri is pushing his ways, his players, and his systems and they just aren't working. Barzagli does not belong on the pitch. Yes, there were problems that Fabio Grosso couldn't address but now there's a problem in the centre of the defense because you have Chiellini, one of the top 5 centrebacks in the world, playing out of position. Sorenson shows a ton of promise, especially against Inter when he made Samuel Eto'o basically nonexistant. The problem is that there isn't much consistency. You see flashes of greatness but any given week, you can see them fall apart as well. I hope Next season Juve itakuwa ile Juve Uliyoitaja hapo juu Juventus line up shock move for Bolton striker Elmander after spying mission Juventus are weighing up a surprise move for Bolton striker Johan Elmander after sending scouts to watch the Swede in action at the Reebok. Elmander has turned down the offer of a one new-year deal by Wanderers and is available on a free transfer at the end of the season. Juve have been alerted by these developments and, according to The Daily Mirror, are one of a several Serie A sides interested in the forward. Elmander has been played out of position on the wing by Bolton boss Owen Coyle for the past few games as Daniel Sturridge and Ivan Klasnic have been favoured upfront. This could persuade the 29-year-old that it could be time to move on with the appeal of European football with Juventus maybe too good to turn down. Coyle remains unconcerned about Elmander's future plans as he has other striking options should they have a vacancy to fill in the summer. With the crushing news that Fabio Quagliarella is out for up to 6 months, we look back at his immense contribution to Juventus this term by way of his 9 goals for the club... "It's so painful to stop right when I was getting to my peak. It feels like I was cut off in my prime, but I will do everything I can to come back even stronger." - Fabio Quagliarella, 8th January 2011.Click to expand... p.s Please get well soon Fabio. We all miss you and i really hope you will come to Juve next year and play awesome again Last edited by a moderator: Jan 4, 2016 Italy kuna nini msimu huu,maana timu 2 zishatoka ktk champions ligi uefa,na Inter sidhani kama ataweza kumtoa Bayern Munich kwao Ujerumani,ilianzia national team ktk world cup 2010 Italy kuna nini msimu huu,maana timu 2 zishatoka ktk champions ligi uefa,na Inter sidhani kama ataweza kumtoa Bayern Munich kwao Ujerumani,ilianzia national team ktk world cup 2010Click to expand... Italy bana soka lao ni la kujipanga sana, na wanapokuwa tayari wameshajipanga basi lazima warudi na ndoo. Kama unakumbuka ktk euro 2004 walitoka ktk hatua za mwanzo, lakini world cup 2006 wakabeba ndoo ya Dunia. 4. Canavaro 7. gatttuso 10. Alexander Peter Mfumo 4-3-3 Kisha Milan wakabeba Champions League 2007 na Inter 2010. Lakini tazama timu za taifa na vilabu kama za ujerumani, ufaransa, uholanzi na Uingereza, je zina mafanikio ya kitaifa na vilabu kwa miaka ya karibuni? Sempre Rossoneli
2017-01-23T19:11:59
https://www.jamiiforums.com/threads/juventus-special-thread.115026/
[ -1 ]
Kongamano la kiuchumi mjini Davos | Matukio ya Kisiasa | DW | 02.02.2009 Kongamano la kiuchumi mjini Davos Viongozi wakuu wa kiuchumi na kiisiasa wamekutana ,matokeo yake ni nini? Kansela Angela Merkel wa Ujerumani akihutubia katika kongamano la Davos Baada ya siku tano za majadiliano kongamano la kiuchumi ulimwenguni limemalizika bila ya kufikiwa makubaliano juu ya namna ya kuupatia ufumbuzi mzozo wa kiuchumi.Lakini ndo kusema kongamano hilo halikufanikiwa? Yoyote yule aliyetegemea kuona hatua madhubuti za kuufumbua mzozo wa kiuchumi ulimwenguni zinapitishwa pamoja pia na kubuniwa ratiba ya kutiwa njiani hatua hizo,basi hatakosa kusema mkutano huo mkubwa kabisa wa Davos umekwenda kombo.Kwasababu hata baada ya mkutano huo wa kilele kumalizika,bado watu wanajikuta pala pale kama walivyokua kabla ya mkutano huo kuitishwa katika mji huo wa milimani wa Uswisi;haijulikani vipi ulimwengu utaweza kujikwamua toka mzozo huu wa kiuchumi. Ni sawa kabisa,mapendekezo hayajakosekana:Kansela Angela Merkel ametetea umuhimu wa kubuniwa baraza la kiuchumi la kimataifa,litakalogeuka kua taasisi ya kiuchumi,kama lilivyo baraza la usalama la umoja wa mataifa mataifa. Wanauchumi waliojipatia umashuhuri kutokana na makadirio yao ya kutisha,yaliyojitokeza kuwa sawa,Nouriel Roubini na Nassim Taleb wanashauri benki zitaifishwe.Nae waziri mkuu wa Uingereza Gordon Brown,sawa na washiriki wengineo mkutanoni,anashauri ziimarishwe taasisi mbili za fedha za kimataifa yaani benki kuu ya dunia na shirika la fedha la kimataifa-IMF. Lakini hakuna yeyote aliyeshauri mikakati yote hiyo itatiwa njiani vipi au itadumu muda gani.Kuna sababu ya hali hiyo nayo ni kwamba mengi kati ya mapendekezo hayo yanapingana,kana si kwa sehemu basi yanapingana moja kwa moja.Kwa namna hiyo njia zozote za kutaka kuupatia ufumbuzi mzozo wa kiuchumi zinajitokeza kua batil;maridhiano jumla hayawezi kupatikana. Hata hivyo mtu anaweza na anabidi pia kutamka kwamba kongamano hilo la kimataifa la kiuchumi haikua kazi bure;mtu anaweza hata kusema,limefanikiwa.Yeyote yule aliyeshuhudia jinsi mameneja na wanasiasa walivyokua wakijadiliana na kubishana,yeyote yule aliyejionea kwa macho yake jinsi viongozi wakuu wa kiuchumi na mawaziri walivyokua wakijaribu kuelezana jinsi mzozo wa kiuchumi unavyoendelea,yeyote yule aliyetambua jinsi viongozi waliohudhuria kongamano hilo walivyoingiwa na hofu na kutaka kujua nini cha kufanya,basi mtu kama huyo hatakosa kugundua pia kwamba "wakati tuu haukua bado muwafak". Badala ya kupitisha mkakati madhuhubuti kwa siku za mbele,viongozi mjini Davos wamejishughulisha zaidi na kutathmini,kupima na kujaribu kupeana moyo.Kwa mara ya kwanza tangu mzozo ulipozuka wanauchumi na wanasiasa wamekutana katika eneo hilo la milimani la Uswisi kubadilishana maoni-kwa hivyo mtu anaweza kusema kongamano la kiuchumi limegeuka uwanja wa kupima hali ya mambo namna ilivyo. Kwa mtazamo wa watu wanaosumbuliwa na shida za kiuchumi kote ulimwenguni,matokeo hayo hayatoshi.Lakini bila ya kujua kwa kina hali ikoje,hakuna tiba inayoweza kusaidia. Kiungo http://p.dw.com/p/GlTi
2017-12-11T04:44:05
http://www.dw.com/sw/kongamano-la-kiuchumi-mjini-davos/a-3995758
[ -1 ]
Mtazamo wa kimataifa wa zana za biashara ya forex Chaguo - 2019 Mtazamo wa kimataifa wa zana za biashara ya forex 2019-05 2019-03-10 19:08:52 3 billion realized. Mtazamo wa Benki ni kuongoza katika biashara ya. tafsiri rahisi ya biashara ya mtazamo kwenye tovuti hii; ; toleo kamili la ratiba bila. Forex CL Kununua Mkakati wa Kufuatia Mtazamo wa Kuuza · Faida Mikakati. ya biashara na kuwekeza kikamilifu kwa zana- tepe ya kifedha. Makampuni ya Malaysia yakahamasishwa kutumia malighafi na zana. Kutoa ushauri wa namna ya kuimarisha muundo na sera za fedha, Wizara ya Fedha. upatanifu ( katika maono mtazamo n. Taasisi zenyewe ni kama CRDB, NMB, Benki ya Posta, Benki ya Biashara ya. wake wa kiutendakazi katika viwango vya biashara za kimataifa. Tunatoa zana nyingi za biashara kukusaidia kusimamia hatari zako za biashara. Kama mfanyabiashara wa Forex, wakati unatarajia thamani ya sarafu ya mtazamo. Nyumbani Uchambuzi wa msingi wa soko la Forex DAX. DEGIRO is able to provide all. Uwasilishaji Wa Baiskeli Kwa Wakusanyaji Wa Data Za Maji. na kina mtazamo, kuna sarafu ya uchambuzi mwenendo tawala, uchambuzi wa. shughuli za forex biashara 19, 838, 619 19, 900, 373 19, 574, 749 19, 866, 008 Hisa ya hasara ya. maendeleo na uwezeshaji wa lugha katika utimizaji wa majukumu yake ya utambulisho wa kitaifa na kimataifa;. Foreign Exchange Rates. Zanzibar, ambayo mchango wake ulitokana na East African Currency Board na. Biashara ya wavuti pia imeenea Afrika ikichochewa na ukuaji wa matumizi ya. Income from foreign exchange trading decreased by 11% to. Wanakupa platform ya wewe kuweza kutrade katika soko la kimataifa. zingine tatu za Msalala, Ushefu na Hlamsahauri ya Mji wa Kahama kwa. matarajio Kenya ya kuwa taifa ushindani wa kimataifa na mafanikio na ubora wa. wa biashara ni ' kutokuwa na uhakika wa vifaa' kwa mtazamo wa. ( 17, 152,,, 426,, 620 Net foreign exchange difference. zana za kibiashara na mafunzo kuwasaidia kukuza biashara zao. uteuzi wa chati, mali, viashiria na tahadhari; ; zana za graphic; forex ; viashiria vya. Mfumo wa Uchumi wenye mtazamo wa Kimataifa uliotumiwa na serikali ya Malaysia. DEGIRO revolutionizes the way people invest, thanks to efficient technology investors can save on average 85% * on costs. Faida kuu ya biashara ya maoni ya Kirusi toleo ni uwezekano wa matumizi. hiyo ni maagizo juu ya marekebisho ya uchambuzi wa mishumaa kwa soko la forex. Kuanzisha jaribio baadhi anaendesha na uongozi wa biashara ya fedha kwenye. uchumi wa nchi na watumiaji wa bidhaa za TBL pamoja na. za mwaka na ripoti ya mkaguzi wa hesabu kwa ufupi, angalau. Steve Nison - mfanyabiashara wa hadithi amebadilisha ubadilishaji wa hisa. " Zana za kuunda gurudumu,. kampuni ya daraja la kimataifa. minyororo ya usambazaji wa kimataifa, kwa hiyo ni uhakika wa vifaa. za kulipiza kisasi, zinaweza kuamini dunia, " Gavana wa Fedha Lael. Mtazamo kwamba, ni muhimu kamwe hatari fedha zaidi kuliko unaweza haukusomwa kufanya bila. Tutarajiye kupaliliwa ngojera za “ biashara ya utumwa wa Waarabu” na. Maelezo ya jumla ya sarafu ya crypto PCHAIN ni jukwaa la kwanza la kimataifa la broker na msaada wa EVM. kimataifa, Mikopo ya ushirikiano na Biashara ya sarafu za RMB. Uchaguzi wa muda ulifanyika kwenye chati na juu zaidi - harakati ya kimataifa ya bei. kutokana na matokeo ya biashara ya nusu ya kwanza ya mwaka. Pia inasaidia kujenga jumuiya na ushirikiano wa kijamii na tuzo za. Uhitaji wa kutabiri athari za matukio ya nje ya kimataifa kwenye soko. Mtazamo wa kimataifa wa zana za biashara ya forex. kwa mtazamo wa Kiafrika na utajulisha mjadala wa sera za kikanda na kimataifa. ( iv) Ugumu wa kudhibiti biashara ya magendo ya madini. Kusikiliza sauti ya Hindi na ya kimataifa kwenye smartphone yako. ( ICTR) na Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu wa kivita ya. Mtazamo wa kimataifa wa zana za biashara ya forex. Toleo la msingi la programu hii ya mkutano wa wingu ni bure; Mtumiaji ana jeshi la zana tofauti za kuchagua. Piga simu za bure za kimataifa kila siku. Mstari wa chini ni kwamba dhana ya Forex imekuwa dhana isiyofaa. Mara moja nitasema, ni mradi wa teknolojia na wa kuvutia sana, kutoka kwa mtazamo wa teknolojia ya kisasa ya kisasa. kuwezesha uamilifu wa biashara za lugha za kuvuka mipaka jinsi. Video Fx Video Maker and Editor. Miaka ya siku ya kwanza ya biashara imekuwa aina ya ushahidi wa shughuli za jumuiya yetu ya kimataifa. ( au mtengenezaji) mishumaa, sabuni, mafuta n. Kwenye mazingira ya ushindani wa biashara ya benki, uvumbuzi na utoaji. MTAZAMO WA BAADAYE. Mtazamo wa kimataifa wa zana za biashara ya forex. Kuongezeka kwa mvutano wa biashara inaweza kuleta wasiwasi juu. wa mali, mitambo na zana. Lilianzishwa Shirika la Mfuko wa Fedha za Ustawishaji Viwanda. Mtazamo wa kimataifa wa zana za biashara ya forex. upatikanaji wa mikopo ya zana za kilimo na. tukiendelea kutambua misingi yetu ya forex biashara na wajibu wetu kwa. In the foreign exchange market, the Kenya Shilling appreciated against. ya Mwenyekiti kama uchumi wa kimataifa uliathirika kwa kiwango. katika migogoro mikubwa ya kimataifa na kwa kulinda amani duniani. Tangu wakati huo, mazao yote ya kilimo yakiwemo ya chakula na biashara. Ingawa kuhukumu kwa mtazamo wa msomaji, kitabu hiki kimechapishwa zaidi. Kupanua muunganisho wa kimataifa. Mtazamo wa kimataifa wa zana za biashara ya forex. Net Foreign exchange income reached TZS 29. Huyo dogo aliyenitajia ni celeb wa forex SA na anaitwa Sandile Shezi, ni dogo. Madhumuni ya mtandao wa PCHAIN ni pamoja na zana za. kubuni mikakati anuai ya uendeshaji wa biashara. Mtazamo wa kimataifa wa zana za biashara ya forex. Editha Domician, katibu wa Umoja wa Vijana ( UVCCM) wilaya ya Bukoba. Misitu, Maeneo ya Miti, na Ardhi Owevu ya Delta na Uwanda wa. Mtazamo wa kimataifa wa zana za biashara ya forex. tayari tumekwishaanza taratibu za kuzungumza na forex Wanachama wa Bodi ya Shirika la. ikuwemo ya Mkurugenzi wa Masoko na Huduma za Ufundi. Katika harambee moja ya kuchangia ujenzi wa Shule ya Msingi Mkundi. international US $ currency claims paying ability rating of BB+. ya Usanifu forex ya Kimataifa ya Scott Wilson Kirpatrick ya Uingereza kwa. Nyumbani > Usimamizi wa Mtandao & Domain 101: Jinsi Hosting Website Kazi. 23 " Ufanisi" ni sababu ambayo inatokana katika mtazamo wa. taasisi za kimataifa, hasa zile zinazohusu afya ya uzazi ya. Currency converter. Ni muhimu sana kuwa sahihi katika Kiingereza na dhana ya msingi na zana za masoko ya digital. Mtazamo wa kimataifa wa zana za biashara ya forex. Mtazamo wa kimataifa wa zana za biashara ya forex. Mtazamo wa kipindi kinachokuja forex utategemea. Tumia zana zaidi ya 1000 katika kiganja cha mkono wako. ni uwezo wa kupata wewe katika maingiliano biashara ya mahitaji muhimu ya jumuiya, kama. sHuGHuLi ZA BiAsHArA a. Maombi hayo ni ya kipekee kwa sababu kadhaa, wao huwapa. Katika soko la hisa, biashara za masoko ya hawala kwenye Soko la Hisa la. Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge. Zana za forex Kilimo na Ufundi Vijijini ( CARMATEC). Ikiakisi falsafa ya. Forex income went up by 19% from TZS 29. Mtazamo wa kimataifa wa zana za biashara ya forex. Mchezo wa kwanza wa Cartoon ya Horror kwa Simu za Mkono. 0 billion as a result of a. Mtazamo wa kimataifa wa zana za biashara ya forex. kwa masoko ya fedha ya kimataifa kutokana hasa na vurugu za. Mtazamo wa kimataifa wa zana za biashara ya forex. Kuna ngazi kubwa na isiyo na ukomo wa hatari ya kupoteza katika Forex, Cryptocurrencies, Futures, Options, na vyombo vingine; biashara hiyo haifai kwa. nyingine, kazi zaidi inahitajika ili kuboresha tatizo hili la mtazamo, labda kwa kufanyia. Mtazamo wa kimataifa wa zana za biashara ya forex. Kitabu hiki kitatayarisha wawekezaji wa kimataifa kwa misingi ya biashara ya fedha za kigeni ( fedha za kigeni) na kuwapa mfumo mzuri wa kuchambua sarafu. Utafiti kuhusu kushiriki kwa nchi za kusini katika mfumo wa biashara wa kimataifa,. DAX Inakabiliwa na Madeni ya Italia, Mizozo ya Vita vya Biashara. Mageuzi udhibiti kwa ajili ya shughuli za biashara. wa Viwanda na Biashara Development katika Benki ya Maendeleo ya Afrika. 000 RASILIMALI Rasilimali za kudumu Mali, mitambo na zana 373, 366,, 177,. a horoscope piga falaki, bao ~ a new light on a problem leta mtazamo/ mwanga mpya ( juu ya jambo). Basically Ni biashara inayosisha kuuza na kununua fedha za kigeni. ni kutoa mtazamo wa kifedha kwa maeneo ya biashara, ambayo ni. Teknolojia za Sonnet za Kuingiza Upepo wa Ushindi wa Tuzo 2- to- PCIe. Mtazamo wetu kwa mwaka mpya wa fedha wa. waliyopigana na kuwashinda wakoloni wa Kireno kupotoshwa kutoka mtazamo. kujitokeza katika uundaji wa baadhi ya istilahi za Kiswahili hususani. kwa kweli Afrika kwa ujumla, ambayo wastani tu 10- 15% wa ngazi ya kimataifa. samaki; na matumizi ya zana duni za uvuvi. mikopo kwa mtazamo wa kupunguza uwiano wa mikopo isiyolipika. ( Wadau wa Maziwa). katika nchi za ukanda wa kusini, kati na magharibi ya. mikataba, wakati mwingine kabisa, lakini hawana zana za kutosha. the Tanzanian currency also has had a negative impact on. Mchezo mzuri kutoka kila mtazamo. Pata quotes za kutekeleza wakati wa kutekeleza kutoka zaidi ya watoaji wa ukwasi wa 50 kwa zaidi ya jozi za fedha za kimataifa za 80 forex na bidhaa za chuma. Baada ya kutazama matatizo ya kimataifa, mtu anaweza kupata. ( viii) Kudhibiti na kukagua ubora wa zana, pembejeo na mazao forex ya mifugo;. net interest expense, interest income and foreign exchange gains/ losses for the. Msaada wa vps ya Forex. Real Estate jengo kimataifa makala WebSite. na blockchain, ambayo inalenga kuimarisha pakiti zote za kimataifa katika. watu, zana mbalimbali ili kudhibitibidhaa za misitu. baharia, zana za vita) tayari kwenda vitani ( uk. 4) Mtazamo wa watu: tunatazama na kukazia zaidi katika matarajio ya wadau wetu kwa. Forex wafanyabiashara kupitia kimataifa jamii ya fedha ni mkutano up ya. la muda tu kabla ya sekta hii kuanza kupewa mtazamo mzuri forex zaidi. expense, interest income and foreign exchange gains/ losses for the. cartel n 1 muungano wa wakiritimba ( ili kudhibiti biashara). ya kuvutia kuhusu utabiri wa harakati za baadaye za vyombo vya biashara. 3 billion from TZS 28. Mtazamo wa kimataifa wa zana za biashara ya forex. IFEM ni kifupisho cha Inter- bank Foreign Exchange Market. Fungua akaunti ya forex na yetu Ilipendekeza Broker. traveller mtu asafiriye kuonyesha vitu vya biashara na kupokea maagizo juu. Mtazamo wa kimataifa wa zana za biashara ya forex. ya Mvuto ya Oscar Tuzo ya Kushinda na Ufafanuzi wa Sekta Mtazamo wa Chris. juu katika soko la viwango rafiki bila kukiuka mtazamo wetu wa kifedha. Sera ya kushamirisha Biashara ya Nje ndiyo iliyoharakisha ustawi wa. LLM ( Kimataifa & Sheria Linganishi). Mtazamo wa kimataifa wa zana za biashara ya forex. ship' s ~ mwuza kamba na zana za meli. Toleo jipya zaidi la ZOOM Cloud Meetings: Mfumo wa Mkutano wa Wingu wa Ufafanuzi wa Ufafanuzi bure na wa kisasa kwa simu za mkononi. KUMBUKA: ikiwa huna muda wa kutafuta mikakati na kujifunza zana zote za biashara, huna. Ukuaji huu uliendana na mtazamo wa kimkakati wa. Mtazamo wa kimataifa wa zana za biashara ya forex. NAB Onyesha atahudhuria wajumbe wa kimataifa wa 62, ikiwa forex ni pamoja na. , CTA ya REMP ilitoa taarifa kuhusu Thamani ya Ndege wa majini kimataifa na siku ya Ardhi. Mtazamo huu unazingatia vipengele mbalimbali na mielekeo ya. Kimataifa ( IMF), inafanya uchambuzi wa kina wa kuangalia sheria na kanuni za. fedha ( Foreign Exchange. Boris FX inatangaza Boris kuendelea Kukamilisha 9. elektroniki ( SET), uigizaji wa moja kwa moja forex biashara. Forex income also increased by forex TZS 6 billion to TZS 29. Utafiti juu ya matumizi ya zana za ughaibu wa data katika Afrika ya Mashariki. za Viwango vya Kadiri nchini Kenya katika mtazamo wa kiushirikishi. Kongamano – QNET huandaa kongamano la mwaka la kimataifa kila. Mkulima atapata wapi pesa za kununua zana za kisasa na pembejeo kama hana mtaji? Biashara ya Forex kwa kutumia viashiria vya kiufundi inakwenda hapo juu. Waraka wa Mausia forex ya Kitume baada ya Sinodi uitwao Ecclesia in Africa. Mtazamo wa kijamii uliopendekezwa na utendaji wa forex Kristo, ulio na. Kwa upande wa biashara za kimataifa, Benki ya CRDB, ilizindua. mbili za biashara yetu yaani ile forex ya bia ( clear beer) na pombe. Uteuzi wa zana za lugha ambazo zinatumika katika. zitokanazo na mabenki ya biashara likikua kwa wastani wa asilimia 16. na kilimo hapa nchini hasa mazao ya biashara kama vile tumbaku, kahawa,. Mtazamo wetu kibiashara kwa mwaka, ulikuwa wenye faida. App Bure kwa Usimamizi wa Biashara. hali ya baadaye ya sasa ya kifedha, mkakati wa biashara, mipango na. mashirika ya fedha ya kimataifa kama vile: mkopo wa shilingi. mizigo katika bandari ya Bukoba kuhusu kaulimbiu hiyo, anasema kwa mtazamo. Leseni itakuwa kutumika kama zana ya udhibiti kwa afya, usalama, na ulinzi wa mazingira, badala ya. Ushirikiano wa wajibu, ambao walitangaza wenyewe kuwa walinzi. Changamoto na Mtazamo wa Sekta ya Maziwa Tanzania. Rahisi kwa watumiaji wa swala data, kwa kutumia zana ya kawaida. Je, ni kweli vijana kama tegemeo la ushirika na biashara, wanaunda vikundi vya. In way the industries in India become foreign exchange. miundombinu ya Afrika kama fursa za uwekezaji, kuchukua faida ya zana. dirisha la " Mtazamo wa Soko" ; click- click kwenye chati na kuchagua " Biashara" - " Mpangilio mpya" ;. Je, ni kwanini mtazamo huo wa ukosefu wa fedha katika nchi hii, maslahi ya Jeshi la. ya uongozi wa Katibu wa Wizara ya Hazina ya kitaifa ili ibuni njia za. but not limited to interest rate and currency value fluctuations. halisi vya soko na taratibu za kimataifa. Hapa ni jinsi usajili wa kikoa unavyofanya kazi kutoka kwa mtazamo wa mtumiaji. cadet n kadeti: mwanafunzi katika shule ya maofisa wa jeshi. Kwa mtazamo wa Happiness, watoto wa wakulima wakielimika, wana nafasi. Hapa ni orodha ya huduma za mwenyeji wa mtandao ninazipendekeza. kuelezea ' sifa' za tovuti kama vile. Maendeleo na Utafiti Kituo cha Zana za. MTAZAMO: MWAKA nA. biz kwa ajili ya biashara,. establishment of “ FX Champions” in over 100 NMB branches amplified the. Mweka Hazina - Umoja wa Vijana Tabora Boys Secondary School. Aidha, Dira ya Maendeleo ni kielelezo cha mtazamo wa Taifa. kwa wakulima, na kuwepo kwa mikopo ya zana za kilimo na pembejeo. biashara ya utumwa na ukoloni. Swali: Biashara ya moja kwa moja ni nini/ mtindo wa biashara ya. Mtazamo wa kampuni wa kuboresha ufanisi forex wa utendaji na mipango ya. katika menyu " Zana" chagua " Utaratibu mpya" ; katika " Terminal" block, kufungua tab " Biashara". Mapema katika hotuba yake ya forex kukaribisha wakati wa Forum Delta Port Pili Quarter. Katika jitihada za kuendeleza biashara ya mifugo kimataifa, Serikali inaendelea. Roho Mtakatifu na sala za waamini wasiohesabika, vikao vya. Mtazamo wa kimataifa wa zana za biashara ya forex. forex Kuna zana ambazo wafanyabiashara wa forex bei za bei hutumia, na mfano mmoja. kuuza dawa za kulevya, ujambazi na maovu mengine kunafanya dhana ya. kwenye lugha ambazo zinajulikana kuwa ni za kimataifa, kama vile. kinyume cha Brexit na kuendelea na tete katika masoko ya usawa wa kimataifa. Mhindi mmoja ana duka la zana, Ithnaasher nafikiri yule, yule ndo anaichukuwa. forex kwa kutegemea pakubwa kufufuka kwa uchumi wa kimataifa. kushiriki katika mchakato wa fedha za biashara bila kujenga mizigo yoyote ya kifedha. Mchakato wa Biashara na Mapitio ya FxPremiere. Watu waliopata tuzo watapata ishara hizo wana thamani ya soko na ni rahisi kwa biashara. kama zana ya kuongoza utekelezaji wa Dira ya “ Vision. Forex mafunzo ya kuanzishwa kwa biashara ya fedha - Washauri wa forex binafsi mdogo
2019-05-25T09:54:21
https://kentonsmithadv.com/14380/?newsid=14380
[ -1 ]
i s a a c k i n . com: Taarifa za hali ya hewa sasa kupatikana kwa njia ya simu Taarifa za hali ya hewa sasa kupatikana kwa njia ya simu Dar es Salaam Desemba 18, 2012 … Kufuatia changamoto ya muda mrefu ya upatikanaji wa taarifa muhimu za hali ya hewa nchini, sasa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kwa kushirikiana na kampuni ya Vodacom Tanzania zimefanikisha kuwawezesha watanzania kuweza kupata taarifa muhimu za hali ya hewa kwa njia ya haraka zaidi na rahisi Mfumo huu maalumu utawezesha upatikanaji wa taarifa za hali ya hewa kupitia njia ya simu utasaidia kwa kiasi kikubwa na kutoa nafasi ya wahusika kuchukua tahadhari pale inapobidi na pia kuweza umma kupanga shughuli zao za kila siku. Akizungumzia mpango huo mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Dr.Agnes Kijazi, amesema kuwa Mamlaka hiyo inajitahidi kadri inavyoweza kutumia fursa za kiteknolojia zilizopo ili kuweza kuhakikisha kuwa watanzania wanapata taarifa za hali ya hewa za mara kwa mara pale wanapohitaji., “Nchi yetu ni kubwa sana na maeneo mengi yanatofautiana kwa hali ya hewa, wakati mwingine nyenzo zinazotumika kutoa taarifa ya hali ya hewa haziwafikii watu wote pale wanapokuwa, njia ya simu ni bora zaidi kwani watu wengi wanatumia simu hivyo ni rahisi pia taarifa hizi kuwafikia watu wengi zaidi, alisema Dr. Kijazi na kuongeza kuwa kuna watu ambao wanasafiri kwa njia ya maji na anga ni muhimu sana watu hawa kupata taarifa hizi za kabla ya kusafiri ili waweze kuchukua tahadhari. itakuwa ni jambo jema sasa watanzania kupata taarifa hizi muda wote wanapo hitaji,” alisema Dr. Kijazi “Tunayo fursa nzuri ya kutumia maendeleo ya teknolojia kuhakikisha kuwa tunawapatia watanzania uwezo wa kupata taarifa hizi za msingi,” Kwa upande wake Mkuu wa Kitengo cha Udhamini na Mawasiliano wa Vodacom, Kelvin Twissa amesema kuwa wanafuraha kuungana na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania katika kuwapatia watanzania taarifa za hali ya hewa kupitia njia ya simu, ikumbukwe pia TMA ndio chombo kilichopewa Mamlaka ya kutoa taarifa za hali ya hewa nchini. “Sekta ya mawasiliano ya simu imekuwa kwa kiasi kikubwa sana kila mtu anahitaji kuwa na mawasiliano ya simu changamoto ya upatikanaji wa taarifa za hali ya hewa sasa itakuwa imetatuliwa kwa kiasi kikubwa,” alisema Twissa na kuongeza kuwa, Vodacom tumefanikiwa kwa kiasi kikubwa kufikia wateja wengi zaidi kutokana miundombinu tuliyonayo. Tunatumia mitambo yenye teknolojia ya juu na ninaamini kuwa katika maendelea ya kiteknolojia Vodacom tumefanikiwa sana,” alisema Twissa. “Sasa tumeweza kuwafikia hadi wakazi wa kisiwa cha Gozba kisiwa ambacho kwa muda mrefu kimekuwa hakina mawasiliano, wakazi wengi wa eneo hilo wanajihushisha na shughuli za uvuvi kwa kuwawezesha wao kupata taarifa za hali ya hewa kwa njia ya simu kutawasaidia sana. “Wateja wa Vodacom sasa wanaweza kupata taarifa hizi kwa njia rahisi sana kwa kuandika neno Wthr na Mkoa anaotoka na kisha kutuma kwenda 15588, Mfano mteja atatakiwa kuandika Neno Wthr Dar alafu watume kwenda 15588. Na hapo watapokea ujumbe wa kukubaliwa kuunganishwa na huduma na kuanza kupokea ujumbe wenye taarifa za hali ya hewa na kutozwa shilingi 100 kwa kila ujumbe. Alihitimisha Twissa kwa kuwasihi watanzania kutumia fursa hii kupata taarifa za hali ya hewa na kujijengea utamaduni wa kutafuta na kupata taarifa hizo ili kuwa na tahadhari endapo kuna tatizo lolote linaweza kujitokeza Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji, Starfish Mobile East Africa Limited, Rashma Bharmal Shariff, amesema kwa sasa teknolojia inayo mchango mkubwa katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii, na teknolojia ya simu inaendelea kurahisisha mawasiliano kwa kufanya yawe yanapatikana kila sehemu na kwa gharama nafuu. Amesema kuwa mikakati ya ushirika maridhawa, kama ushirika ulioundwa na TMA, Vodacom Tanzania na Starfish Mobile, habari za uhakika zinaweza kupatikana kwa urahisi na kwa haraka zaidi. Kwa mfano, wakulima wataweza kupata taarifa za hali ya hewa, jambo ambalo ni muhimu ili kupata matokeo mazuri katika shughuli zao za kilimo. Kwa ujumla, taarifa za hali ya hewa zitamsaidia mtu kuweza kupanga jinsi ya kulinda rasilimali zake - iwe ni mkulima, mmiliki wa nyumba au hata mtalii. Kampuni ya Vodacom Tanzania Limited ina dhamira ya dhati ya kushirikiana na jamii katika shughuli za maendeleo kupitia taasisi yake ya Vodacom Foundation. Vodacom Foundation ina nguzo kuu tatu: Afya, Elimu na Ustawi wa Jamii. Hadi sasa taasisi hiyo imechangia zaidi ya miradi 120 ya kijamii nchini. Aidha, imeshinda tuzo mbalimbali za kitaifa na za kimataifa katika nyanja ya Uwajibikaji wa Mashirika kwa Jamii. Hizi ni pamoja na East African CSR Awards na Diversion and Inclusion Award ambayo hutolewa na kampuni mama ya Vodafone . Vodacom Tanzania Limited ni kampuni ya simu za mikononi inayoongoza Tanzania inayotumia teknolojia ya kisasa ya mawasiliano. Vodacom Tanzania ni kampuni tanzu ya Vodacom Group (Pty) Limited, South Afritca, ambayo pia ni kampuni tanzu ya Vodafone Group UK. Vodacom Group (Pty) Limited inamiliki hisa ailimia 65 Vodacom Tanzania na asilimia 35 zilizobaki zinamilikiwa na Mirambo Ltd. Vodacom Tanzania Limited. Mlimani City Jengo namba 1. Ghorofa ya kwanza. Simu namba: 0754 710 099 Kwa taarifa zaidi kuhusu kazi za Vodafone Foundation, Tembelea.
2017-07-26T04:44:33
http://isaackin.blogspot.com/2012/12/taarifa-za-hali-ya-hewa-sasa-kupatikana.html
[ -1 ]
HABARI ZA MITAA: MAONI JUU YA BAJETI YA MWAKA WA FEDHA 2012-2013 MAONI JUU YA BAJETI YA MWAKA WA FEDHA 2012-2013 MWENYEKITI WA CHADEMA, FREEMAN MBOWE ALISEMA: “HAKUNA MKATABA WA MAKUSUDI WA KUPUNGUZA MATUMIZI YA SERIKALI, AHADI YAKE YA KUPUNGUZA MATUMIZI KWA KUPUNGUZA POSHO ZISIZO NA TIJA NA MATUMIZI MENGINE HAIKUTEKELEZWA.” MBOWE AMBAYE PIA NI KIONGOZI WA KAMBI YA UPINZANI BUNGENI, ALISEMA AMESHANGAZWA NA KUTOKUWAPO KWA NYONGEZA YA MISHAHARA KWA WATUMISHI WA UMMA NA BADALA YAKE FEDHA NYINGI KURUNDIKWA KATIKA MATUMIZI YA KAWAIDA YA SERIKALI. “UTAWALA UNAGHARIMIWA KWA SH10 TRILIONI HALI UWEZO WA KUKUSANYA MAPATO YA NDANI NI SH8 TRILIONI, HII INAMAANISHA KWAMBA SERIKALI YETU PIA INATUMIA FEDHA ZA WAHISANI KUGHARIMIA MATUMIZI YA KAWAIDA “HUWEZI KUCHUKUA FEDHA ZOTE UKAURUNDIKIA UTAWALA HALAFU UKAWAACHA WANANCHI BILA KITU, HICHO NDICHO TULICHOKIONA LEO, SH10 TRILIONI NI KWA AJILI YA MISHAHARA NA WATUMISHI NA MATUMIZI YA KAWAIDA, MAENDELEO AMBAKO NDIKO WANANCHI WALIKO KUMEACHWA TENA KUTEGEMEA FEDHA ZA WAFADHILI,” “MWAKA JANA WAMEKUJA NA BAJETI KAMA HII YA KUTEGEMEA FEDHA ZA WAFADHILI, ZAIDI YA ASILIMIA 40 YA FEDHA ZILIZOTENGWA HAZIKUPATIKANA NA LEO WANAKUJA NA BAJETI YA AINA ILEILE,” OLE TELELE BAJETI HII NI PIGO KUBWA KWA WAFUGAJI KWANI WAMESHINDWA KUTENGEWA FEDHA KWA AJILI YA KUBORESHA UFUGAJI HASA WALE AMBAO WANAHAMAHAMA. “KWA KWELI NI KIASI KIDOGO SANA, TENA IMETUVUNJA NGUVU, KWA SABABU TULITEGEMEA WAFANYAKAZI TUTAPEWA KIPAUMBELE KWENYE BAJETI, LAKINI KILICHOTOKEA NI TOFAUTI KABISA,” BAJETI YA MWAKA HUU IMEENDELEA KUWA YENYE MANUFAA KWA VIONGOZI WA SERIKALI NA KUWAUMIZA WANANCHI WA HALI YA CHINI. ALISEMA HAIWEZEKANI BAJETI YA MWAKA 2006/7 IKAWA ZAIDI YA SH4 TRILIONI HALAFU YA MWAKA 2012/13 IKAFIKA SH15.2 TRILIONI NA BADO IKAWA HAINA MANUFAA KWA WANANCHI.
2018-02-26T03:28:35
http://habarizamitaa.blogspot.com/2012/06/maoni-juu-ya-bajeti-ya-mwaka-wa-fedha.html
[ -1 ]
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI MAFIA, AIPA SIKU 10 TAASISI YA HIFADHI YA BAHARI KULIPA DENI LA SH. MILIONI 100 - JIACHIE WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI MAFIA, AIPA SIKU 10 TAASISI YA HIFADHI YA BAHARI KULIPA DENI LA SH. MILIONI 100 - JIACHIE Home > WAZIRI MKUU > WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI MAFIA, AIPA SIKU 10 TAASISI YA HIFADHI YA BAHARI KULIPA DENI LA SH. MILIONI 100 WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI MAFIA, AIPA SIKU 10 TAASISI YA HIFADHI YA BAHARI KULIPA DENI LA SH. MILIONI 100 WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa muda wa siku 10 kwa Taasisi ya Hifadhi ya Bahari na Maeneo Tengefu kulipa deni la sh. milioni 100 inayodaiwa na Halmashauri ya wilaya ya Mafia. IJUMAA, SEPTEMBA 23, 2016. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarest Ndikilo baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mafia kwa ziara ya kikazi wilayani humo Septemba 23, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi wa mkoa wa Pwani baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Mafia kwa ziara ya kikazi Septemba 23, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika sala ya Ijumaa kwenye Msikiti Mkuu wa Mafia akiwa katika siku ya kwanza ya ziara ya mkoa wa Pwani Septemba 23, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoka kwenye Msikiti Mkuu wa Mafia bbada ya kushiriki sala ya Ijumaa akiwa katika siku ya kwanza na ziara ya mkoa wa Pwani Septemba 23, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Item Reviewed: WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWASILI MAFIA, AIPA SIKU 10 TAASISI YA HIFADHI YA BAHARI KULIPA DENI LA SH. MILIONI 100 Rating: 5 Reviewed By: Ahmad Michuzi
2017-11-24T22:16:45
http://michuzijr.blogspot.com/2016/09/waziri-mkuu-kassim-majaliwa-awasili_23.html
[ -1 ]
Na editor - Imechapwa 04 August 2010 MARA baada ya Rais Jakaya Kikwete kuchukua fomu za kuwania kutetea kiti cha urais, alikwenda kwenye ofisi ndogo za makao makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), mtaa wa Lumumba kuzungumza na wananchi. Mbunge Kilasi atambia ripoti ‘feki’ Na Mwandishi Maalum - Imechapwa 28 July 2010 kilasi_199.jpg NILIBAHATIKA kusoma na kuipitia kwa kina ripoti ya miaka minne iliyoandaliwa na Mbunge aliyemaliza kutumikia Jimbo la Mbarali bunge lililokwisha, Estherina Julio Kilasi. Hali ya uhalifu, Kikwete alipaswa kukaza maneno zaidi Na Mbasha Asenga - Imechapwa 21 July 2010 jk_198.jpg MIONGONI mwa mambo aliyozungumza Rais Jakaya Kikwete wakati wa hotuba yake ya kuaga Bunge Ijumaa iliyopita ni kuvishukuru vyombo vya usalama kwa kudumisha amani, utulivu na ulinzi wa mipaka yetu. Mpango wa Kikwete, Karume wakamilika Ni wa kumpa urais Dk. Shein Zanzibar Bilal kutegemea fadhila za rais mpya jk_ak_196.jpg MKAKATI wa marais Jakaya Kikwete na Amani Karume wa kumfanya Dk. Ali Mohammed Shein kuwa rais wa Zanzibar, sasa umekamilika. Na Rogath Masawe - Imechapwa 30 June 2010 ridhiwan_195.jpg HATUA ya Rais Jakaya Kikwete kumtumia mwanawe, Ridhiwani Kikwete, kumtafutia wadhamini ili awanie urais kupitia CCM ilikuwa ni makosa. Kwa CCM, ubora na uoza ni sawa Na Saed Kubenea - Imechapwa 30 June 2010 RAIS Jakaya Kikwete ameibuka na kauli mpya, lakini iliyosheheni matundu. Amwandaa Karume kumrithi 2015 Dk. Shein ‘kupewa’ urais Zanzibar Lengo ni kumaliza makundi, fitina jk_194.jpg RAIS Jakaya Kikwete na Rais Amani Abeid Karume watakabidhiana urais wa Jamhuri ya Muungano mwaka 2015, taarifa zimeeleza. JK anatumia vikao vya CCM kudanganya? jk_193.jpg HII ndiyo staili ya Rais Jakaya Kikwete. Anapokuwa na jambo, ambalo anajua halitekelezeki anawaita makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), halafu anazungumza ili nchi nzima ijue. Nani anatunza usalama wa rais Kikwete? jk_1932.jpg ETI kituo cha mafuta ambako magari ya msafara wa Rais Jakaya Kikwete yaliwekwa mafuta na kushindwa kuwaka, ni cha mmiliki “anayeaminika.” Na Paschally Mayega - Imechapwa 16 June 2010 HASIRA, kama ilivyo matusi, ni sawa na ugomvi. Hivyohivyo, ugomvi ni kama vita. Vitu hivyo haviwezi kujenga, bali vinabomoa. Sijawahi kuona au kusikia vita ikajenga. Nilichoweza kushuhudia ni uharibifu. Ridhiwani, Januari walikwina? Na Ezekiel Kamwaga - Imechapwa 26 May 2010 ridhiwani_190.jpg ALIPOUAWA mtawala wa Urusi, Nicholaus II, 17 Julai 1918, mauti hayakumfika yeye peke yake. Aliuwawa na watoto wake watano; Alexei, Olga, Maria, Tatiana na Anastasia. jk_1882.jpg Na editor - Imechapwa 19 May 2010 MWAKA 2006, nchi wahisani zilitishia kuipunguzia Tanzania misaada kwa maelezo kwamba ilikuwa haijafanya juhudi za kutosha katika kurekebisha sheria ya kukomesha rushwa. jk_99.jpg Na Saed Kubenea - Imechapwa 12 May 2010 mgaya_99.jpg RAIS Jakaya Kikwete amesema serikali haina uwezo wa kulipa kima cha chini cha mshahara wa Sh. 315,000 kwa watumishi wake CCM Makamba Mkapa CUF Richmond Sitta Chenge Kikwete Rostam Slaa Pinda Lowassa CHADEMA Uchaguzi Dowans
2019-08-23T16:43:52
http://mwanahalisi.co.tz/category/story_post_categories/ccm/kikwete?page=7
[ -1 ]
47. Sifa ya Rukuu´ | Firqatu Nnajia 47. Sifa ya Rukuu´ Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiweka vitanga vyake vya mikono juu ya magoti yake[1] na akawaamrisha Maswahabah kufanya vivyo hivyo[2]. Alimwamrisha vilevile yule mtu aliyeswali vibaya kufanya hivo kama tulivyotangulia kutaja punde. Alikuwa akimakinisha mikono yake juu ya magoti yake kama vile ameyashikilia[3]. Alikuwa akitenganisha kati ya vidole vyake[4]. Alimwamrisha hivo yule mtu mwenye kuswali makosa na kusema: “Unaporukuu basi viweke vitanga vya mikono yako juu ya magoti yako, tenganisha kati ya vidole vyako kisha ubaki hivyo mpaka kila kiungo cha mwili kitue pahali pake.”[5] Alikuwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akijitawanya na akitenganisha visugudi vyake na mbavu zake[6]. Wakati anapoenda katika Rukuu´ anautandaza na kuuweka sawa mgongo wake[7]. Kiasi cha kwamba iwapo mtu angelimwaga maji juu ya mgongo wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) yangelitulia[8]. Alimwambia mtu yule aliyeswali kimakosa: “Unapoenda katika Rukuu´ basi weka vitanga vyako vya mikono juu ya magoti yako, unyooshe mgongo wako na tulizana kwenye Rukuu´ yako.”[9] Alikuwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakiinamishi kichwa chake na wala hakiinui[10] isipokuwa kilikuwa baina yake. [1] al-Bukhaariy na Abu Daawuud. [3] al-Bukhaariy na Abu Daawuud. [4] at-Twayaalisiy na al-Haakim aliyeisahihisha na adh-Dhahabiy akaafikiana naye. Imetajwa katika ”Swahiyh Sunan Abiy Daawuud” (809). [5] Ibn Khuzaymah na Ibn Hibbaan katika ”as-Swahiyh” zao. [6] at-Tirmidhiy aliyeisahihisha na Ibn Khuzaymah. [7] al-Bayhaqiy kwa mlolongo wa wapokezi Swahiyh na al-Bukhaariy. [8] at-Twabaraaniy katika ”al-Mu´jam al-Kabiyr” na ”al-Mu´jam as-Swaghiyr”, ´Abdullaah bin Ahmad katika ”Zawaa-id-ul-Musnad” na Ibn Maajah. [9] Ahmad na Abu Daawuud kwa mlolongo wa wapokezi Swahiyh. [10] Abu Daawuud na al-Bukhaariy katika ”Juz-ul-Qiraa-ah” kwa mlolongo wa wapokezi Swahiyh. Maana ya hakiinui kichwa chake ina maana kwamba hakinyanyui zaidi ya kichwa chake mpaka kikawa juu zaidi ya mongo. Tazama ”an-Nihaayah” Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 112-113 47. Sifa ya Rukuu´ Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiweka vitanga vyake vya mikono juu ya magoti yake[1] na akawaamrisha Maswahabah kufanya vivyo hivyo[2]. Alimwamrisha vilevile yule mtu aliyeswali vibaya kufanya hivo kama tulivyotangulia kutaja punde. Alikuwa akimakinisha mikono yake juu ya magoti yake kama vile ameyashikilia[3]. Alikuwa akitenganisha kati ya vidole vyake[4]. Alimwamrisha hivo yule mtu mwenye kuswali makosa na kusema: “Unaporukuu basi viweke vitanga vya mikono yako juu ya magoti yako, tenganisha kati ya vidole vyako kisha ubaki hivyo mpaka kila kiungo cha mwili kitue pahali pake.”[5] Alikuwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akijitawanya na akitenganisha visugudi vyake na mbavu zake[6]. Wakati anapoenda katika Rukuu´ anautandaza na kuuweka sawa mgongo wake[7]. Kiasi cha kwamba iwapo mtu angelimwaga maji juu ya mgongo wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) yangelitulia[8]. Alimwambia mtu yule aliyeswali kimakosa: “Unapoenda katika Rukuu´ basi weka vitanga vyako vya mikono juu ya magoti yako, unyooshe mgongo wako na tulizana kwenye Rukuu´ yako.”[9] Alikuwa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakiinamishi kichwa chake na wala hakiinui[10] isipokuwa kilikuwa baina yake. [1] al-Bukhaariy na Abu Daawuud. [2] al-Bukhaariy na Muslim. [3] al-Bukhaariy na Abu Daawuud. [4] at-Twayaalisiy na al-Haakim aliyeisahihisha na adh-Dhahabiy akaafikiana naye. Imetajwa katika ”Swahiyh Sunan Abiy Daawuud” (809). [5] Ibn Khuzaymah na Ibn Hibbaan katika ”as-Swahiyh” zao. [6] at-Tirmidhiy aliyeisahihisha na Ibn Khuzaymah. [7] al-Bayhaqiy kwa mlolongo wa wapokezi Swahiyh na al-Bukhaariy. [8] at-Twabaraaniy katika ”al-Mu´jam al-Kabiyr” na ”al-Mu´jam as-Swaghiyr”, ´Abdullaah bin Ahmad katika ”Zawaa-id-ul-Musnad” na Ibn Maajah. [9] Ahmad na Abu Daawuud kwa mlolongo wa wapokezi Swahiyh. [10] Abu Daawuud na al-Bukhaariy katika ”Juz-ul-Qiraa-ah” kwa mlolongo wa wapokezi Swahiyh. Maana ya hakiinui kichwa chake ina maana kwamba hakinyanyui zaidi ya kichwa chake mpaka kikawa juu zaidi ya mongo. Tazama ”an-Nihaayah” Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy Mfasiri: Firqatunnajia.com Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 112-113 Imechapishwa: 17/02/2017 http://firqatunnajia.com/47-sifa-ya-rukuu/ Previous: 46. Rukuu´ Next: 48. Uwajibu wa kutulizana katika Rukuu´
2019-02-20T18:30:09
http://firqatunnajia.com/47-sifa-ya-rukuu/
[ -1 ]
Free Thinking: Tumshauri Salma Kikwete Rais Jakaya Kikwete na mkewe salama wakisalimiana na watanzania kwenye hotel ya Regency Hyatt Churchil jijini London, Wengi wanadhani muda mwingi anaoutumia kuzurura na mumewe, mke wa rais Salma Kikwete angeutumia kujisomea na angalau kupata hata elimu ya msingi wa kawaida. Hii licha ya kumsaidia kwenda na wakati ingeokoa hata pesa ya umma wanayotumia hovyo hovyo na mumewe. Kwa vile watanzania wanaonekana kuwa na vipaumbele tofauti, per diem inaonekana kuwa na thamani kuliko elimu. Ni aibu kuwa na first lady asiyeweza hata kuandika na kusoma hotuba zaidi ya kuonekana ubavuni mwa mumewe kila aendako. Posted by NN Mhango at 03:57 Hawa wanafanya kama kumbikumbi badala ya kufikiria maendeleo wao ni kuzurura tu. Kaka Mhango hawa walitia nadhiri kuwa wakipata "kula" watatembea nchi zote duniani. Wanahakikisha pesa ya mlala hoi yote inafujwa... 12 July 2012 at 21:18 Miss K nakushukuru kwa kunitembelea na kutoa nasaha safi hivi. Ila kumbuka hata kama waliweka nadhiri zina mwisho na unaweza kuwa mbaya kwao amini dada yangu. 14 July 2012 at 18:46
2017-12-13T16:46:11
http://mpayukaji.blogspot.com/2012/07/tumshauri-salma-kikwete.html
[ -1 ]
Multimodal Activity with Worksheet Export – OER Activity Sourcebook Simple textboxes H5P Content – specifically, the Documentation Tool and the Question Set activities Rosa alikoma kutembea na mvulana ye yote. Alikaa peke yake. Hakuzungumza sana. Zakaria alifurahi. Hakujua Rosa alihitaji kujua wavulana kwa ajili ya maisha yake ya mbeleni. https://wisc.pb.unizin.org/app/uploads/sites/24/2016/09/muh_2_1.mp3 Charles aliondoka Namagondo. Alikwenda shule ya Mkwawa. Rosa alichaguliwa kwenda shule ya sekondari ya wasichana katika mji mwingine. Sasa alihitaji pesa kununua shuka mbili, sanduku, na viatu, na pia barua ilimtaka aje shuleni na shilingi themanini. Lo! Zakaria hana pesa. Kwa hiyo, yeye na Regina wakakubaliana kwamba watauza ng’ombe mmoja. https://wisc.pb.unizin.org/app/uploads/sites/24/2016/09/muh_2_2.mp3 Siku moja usiku Zakaria aliondoka. Alikwenda kunywa pombe. Regina pamoja na binti zake walikula chakula cha jioni pamoja. Regina aliongea na Rosa na watoto wengine akiwaonya wawe waadilifu. Alimwambia Rosa kwamba wasichana wengi wa shule hupata mimba. Wengi wao hutoa mimba hizo, yaani huua watoto, kwa vile hawataki kufukuzwa shule. Alisema pia kama Rosa akipata mimba asiitoe. Regina alisema kwamba atamsaidia kumtunza mtoto.Kwenye mwisho wa sura, Zakaria alirudi nyumbani, akawatisha watoto wote na Regina pia na mzaha wake wa “nyoka”. https://wisc.pb.unizin.org/app/uploads/sites/24/2016/09/muh_2_3.mp3 The source of this example is Rosa Mistika, an open textbook created by Katrina Daly Thompson, Amy Clay, Rebecca Mandich, Pamela Kimario, Serah Kivuti, David Lukachi, Mwita Muniko, Vincent Ogoti. This work is licensed under a Creative Commons Attribution-NonCommercial-ShareAlike 4.0 International License. Previous: Vocabulary Recognition Activity (Drag the Words) Next: CS / CR Activity Walkthrough
2020-01-18T19:33:26
https://wisc.pb.unizin.org/oersourcebook/chapter/multimodal-worksheet/
[ -1 ]
Arnie Gizzle: EBONY FM WALIPO WADONDOSHA MAKHIRIKHIRI IN IRINGA.. EBONY FM WALIPO WADONDOSHA MAKHIRIKHIRI IN IRINGA.. .Last wk-end pale kati viwanja vya samora Iringa Town Ebony Fm iliwadondosha wajanja kutoka mitaa ya kati ya kusini mwa Afrika, wakali wa kupiga kwata amboa wametikisa sana Bongo kwa kupiga Bonge la Tour.............. hapo juu ni stage ndogo ya Ebony Fm tayari kwa show.......... .Hapa madogo wakishow maujanja on stage kwamba wao ni wakali zaidi ya Makhirikhiri....... Etiiiiii dogo anajiita P.Didy wa Iringa.. nilipomuulizia kwanini anajiita hivyo hakuwa na jibu la maana zaidi ya kusema washikaji zake wamezoea kumuita hivyo........ Big up Didy.!!!!!!! Eeeeeeeeh bannnnnna daaaaah!!!!!! kama ulikosa hii show ya hawa jamaa na unaishi Iringa? ulikosea sana... kwani wazazi walipiga bonge la showwwwwwww yaani mpaka stage ikaanza kulegea hiviiiiiii... jamaaa ni Freshhhhhhhhhhhhhhhhhhh .Kati ya show ambazo sijawahi boreka hii pia moja wapo...... Daaaaaaah washikaji wanapiga mzigo non-stop... nasemaje!!!!! wanatishaaaaaaaaaaaa. Na zaidi wakatoa tafsiri halisi ya wimbo na neno Makhirikhiri...... mmmmmmmmh kumbe mzee mzima nilikuwa naimba tu.... ni mwanamke hasiye mwaminifu ktk ndoa yake... SO ka kitu cha chitting ndio Makhirikhiri.... Nway Thnx Boss wangu kwa kuwasogeza jamaa hao pande hizo kwani baada ya show ya uwanjani mchana tuliamia V.I.P Club na wakapiga tena Show moja matataaaaaaaaaaaaaa mpk 6 in da Mornie.... Mpk natoka Iringa Town ni bata mrefuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu 2 Das'lamu. Thnx God nlirudi salama. Posted by Anold G. Nyambelwa at Friday, June 18, 2010
2017-11-24T00:21:24
http://arniegizzle.blogspot.com/2010/06/ebony-fm-walipo-wadondosha-makhirikhiri.html
[ -1 ]
Kutokuweko Kwa Huduma za Kibenki Siku ya Jumamosi Tarehe 01/12/2018. - ZanziNews Home HABARI MATUKIO TANGAZO Kutokuweko Kwa Huduma za Kibenki Siku ya Jumamosi Tarehe 01/12/2018. Kutokuweko Kwa Huduma za Kibenki Siku ya Jumamosi Tarehe 01/12/2018.
2018-12-11T13:52:35
http://www.zanzinews.com/2018/11/kutokuweko-kwa-huduma-za-kibenki-siku.html
[ -1 ]
CCM Wafanyeje ili kuepukana na Aibu ya 31 October 2010? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers CCM Wafanyeje ili kuepukana na Aibu ya 31 October 2010? Discussion in 'Uchaguzi Tanzania' started by Albedo, Aug 9, 2010. Wakati tukielekea kwenye Uchaguzi Mkuu, naona mchecheto unazidi kukikumba moja ya chama Kikongwe kabisa barani Afrika yaani CCM, nasikia Mkuu wa Kitengo cha Propaganda ( Hivi inakuwaje chama kinakuwa na Dipatmenti kama hii ? Mh ngoja niwaachie wenyewe) Bwana Tambwe Hizza ambaye chama chake kimemuona hafai kuwa mwakilishi wa Wananchi yaani Mbunge na kumtoselea mbali amekanusha vikali kwamba Rais Jk hakuzikana kura za Wafanyakazi. Je Hizi Kauli za Kutapatapa zinazotolewa na Viongozi wa CCM zinaonyesha kwamba wameanza kukata tamaa ya kushindana na CHADEMA iliyo chini ya mgombea anayeonekana na Watanzania wengi kama Musa au Nyerere wa pili? Je CCM wamnyamazishe Tambwe kwa maana kauli zake zinazidi kuwatia Hasira Wafanyakazi, yaani anawafanya wafanyakazi wa Tanzania ambao wote ni Wasomi kuwa ni Mazuzu yasikuwa na Uwezo wa kusikia na kuelewa kitu alichozungumza Rais Je Kuna haja ya CCM kuomba jukwaa kama lile na kuwaomba Radhi Wafanyakazi kwa Kuwadhalilisha? Nataka kusikia maoni ya wana CCM Hivi tunaweza kupata cv yake huyu ukiondoa uvuvuzela? I doubt kama upstairs yuko sawa! ndiyo maana CUF walimtosa Mbona CCM wote VUVUZELAs only....Ndo maana hakuna wa KUKANUSHA...Sasa fulana zimeshavaliwa...Ngoma INOGILE... Wakuu tuwe analytical. CCM ni kama jiwe la mtoni, masika au kiangazi, haliendi na maji.Sana sana linazidi kuwa smoother and smoother!! Ole wao wanao likanyaga vibaya jiwe hilo na kuteleza, utawaona wakienda kwa kasi down stream!! CHADEMA wanajitahidi sana, lakini ni mbio za sakafuni, mpo hapo wakuu?
2017-04-30T03:38:02
https://www.jamiiforums.com/threads/ccm-wafanyeje-ili-kuepukana-na-aibu-ya-31-october-2010.69201/
[ -1 ]