text
stringlengths 44
187k
| timestamp
timestamp[us] | url
stringlengths 16
3.37k
| dup_ids
list |
---|---|---|---|
Mama Tunu Pinda Mgeni rasmi katika Mkutano wa akina mama wa Kitanzania waishio Uingereza
Mgeni rasmi Mama Tunu Pinda akisalimiana na Mwenyekiti wa TAWA UK Bi Mariam Kilumanga , alipowasili katika Balozi zaTanzania Uingereza. Nyuma ya Mama Tunu ni Mwenyeji wake Mama Joyce Kallaghe na pembeni Afisa Mkuu Kiongozi wa Ubalozi Caroline Chipeta.
Mama Tunu Pinda akiweka sahihi kwenye kitabu cha wageni Ubalozini , huku mama Kalaghe akiangalia.
Mama Tunu kati akiwa na Mwenyeji wake kushoto Mama Joyce Kallaghe na kulia Mtoa Mada ya fursa na Uwekezaji aliyeambatana na mama Tunu Tanzania Women Chamber of Commerce Mama Anna Matinde.
Baadhi ay Wanawake waliohudhuria wakimkaribisha Mama Tunu na Mama Matinde.
Katibu wa Tanzania Women Association Uk (TAWA UK ) Bi Mariam Mungula akiongea machache kuwakaribisha wageni.
Mama Joyce Kallaghe , ambaye pia ni Mlezi wa TAWA UK , akifungua Mkutano rasmi na kuwatambulisha wageni wake.
Mama Anna Matinde akiongea na akina mama mambp mengi ya kusisimua na kuhamasisha aliyokuwa nayo kuhusu Uwekezaji nyumbani Tanzania.
Baadhi ya akina mama wenye shauku kubwa wakimsikiliza mama Matinde kwa makini.
Mama Tunu Pinda aliposimama kuongea na akina mama na kufunga Mkutano.
baadhi ya Wakina mama washiriki wakipata picha na wageni rasmi.
Maafisa wa Ubalozi wanawake katika Picha ya upendeleo na wageni wao.
Wageni na Uongozi wa TAWA UK walioandaa Mkutano huo.
Mama Tunu Pinda alikuwa Mgeni rasmi katika Mkutano cha akina mama wa Kitanzania waishio Uingereza , Kilichoandaliwa na Kikundi cha Umoja wa Wanawake kiitwacho Tanzania Women Association UK (TAWA UK).
Mama Tunu Pinda alihudhuria Mkutano huo kwa mualiko wa mwenyeji wake Mrs Joyce Kallaghe Mke wa Balozi wa Tanzania Uk, Peter Kallaghe.
Mtoa mada aliyeongozana na Mama Tunu , alikuwa ni Mama Anna Matinde , mwanamke Mjasiriamali mahiri na aliyebobea ambaye ana kofia mbalimbali za Uwakilishi wa Wanamke na kibiashara katika taasisi tofauti za sekta Binafsi ikiwemo na kuwa Mkurugenzi wa Tanzania Women Chamber of Commerce.
Mama Matinde licha ya kuwatia moyo akina mama na kuwahamasisha wajikite kwenye biashara Binafsi na kubadilishana Ujuzi kutoka Tanzania na Uingereza, vilevile aliwapa somo la Uwekezaji na pamoja na kuainisha Fursa nyingi za kuwekeza zilizopo nyumbani Tanzania. Baada ya kikao wanawake wengi walioyeshwa kuridhika na ushauri wa mama Matinde.
Mgeni rasmi Mama Tunu Pinda aliwahimiza akina mama vilevile wasisahau kuwekeza nyumbani hat kama wako nje ya Nchi, na kuwahakikishia kwamba sasa hivi mwanamke wa Kitanzania anaelekea kuwa na haki sawa za umiliki ardhi na mali kama ilivyoainishwa katika Katiba Iliyopendekezwa endapo itapita kwa wananchi, Hivyo aliwasihi akina mama hao wasiwe na woga wa kuwa na mali kutokana na baadhi ya mila kwani Katiba itawalinda.
Mkutano huu uliofana ulimalizika kwa ahadi ya Uongozi wa TAWA UK walioratibu Kikao hiki kuwa watafanya Mkutano Mkubwa Zaidi wa Uwekezaji na Fursa kwa Akina Mama Muda si mrefu.
| 2017-10-21T02:54:41 |
http://allyshams.blogspot.com/2014/10/mama-tunu-pinda-mgeni-rasmi-katika.html
|
[
-1
] |
MATUKIO @ MICHUZI BLOG: MKUU WA WILAYA YA UBUNGO AAGIZA KUANZA UJENZI WA MADARASA MANNE NA VYOO VYA SHULE YA SEKONDARI MBURAHATI
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori akizungumza wakati wa ziara yake ya kikazi katika shule ya Sekondari Mburahati iliyopo Katika Mtaa wa Barafu, Kata ya Mburahati Jijini Dar es salaam.Leo Jumatano, Mei 24, 2017
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuzuru shule ya Sekondari Mburahati .Leo Jumatano, Mei 24, 2017
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mhe Kisare Makori (Kulia) akimsikiliza Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Mburahati Ndg Bagaya Kashato akitoa maelezo kuhusu kukwama kwa ujenzi wa madara ya shule ya Sekondari Mburahati mara baada ya kuzuru shuleni hapo, Mwingine ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Ubungo Ndg James mkubo.Leo Jumatano, Mei 24, 2017
| 2018-02-25T11:35:45 |
https://michuzi-matukio.blogspot.com/2017/05/mkuu-wa-wilaya-ya-ubungo-aagiza-kuanza.html
|
[
-1
] |
WAMILIKI wa makampuni na watoa huduma mbalimbali wametakiwa kuchangamkia fursa zilizopo kwenye mradi wa Bomba la Mafuta ghafi linalotoka Hoima nchini Uganda mpaka Tanga nchini Tanzania.
Akizungumza na vyombo vya habari kwenye ukumbi wa mikutano wa Baraza Katibu Mtendaji wa Baraza la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Bibi Beng’i Issa amewahasa Watoa huduma kujisajili kwenye kanzidata iliyopo Ewura ili wanufaike na zabuni ambazo zitatokana na mradi huo mkubwa hapa nchini.
Bibi Bengi amesema kuwa kasi ya kujisajili imekuwa ndogo kwani mpaka hivi sasa Watanzania waliojisajili kwenye kanzidata hawazidi 350 hivyo amewataka kujitokeza kwa wingi kuchangamkia fursa hizo.
“Hii ni bahati kwa bomba la mafuta kukatiza hapa nchini hivyo nawaomba Watanzania wajitokeza kwa wingi kujisajili kwenye kanzidata iliyopo Ewura ili waweze kunufaika na zabuni zitakazotolewa’alisema Katibu Mtendaji.
Aprili mwaka jana Baraza kwa kushirikiana na wadau mbalimbali lilifanya Kongamano kubwa katika ukumbi wa Hazina jijini Dar es salaam na kualika makampuni ya ndani ili kueleza fursa zinazopatikana kwenye mradi huo wa bomba la mafuta.
Bomba hilo la mafuta lenye urefu wa 1450 nchini Tanzania litakatiza kwenye Mikoa ya Kagera,Singida, Geita, Shinyanga, Tabora, Tanga, Dodoma na Manyara katika jumla ya wilaya 24 kata 134 litagharimu kiasi cha shilingi Trilioni 8.
| 2019-05-22T13:35:06 |
http://uwezeshaji.go.tz/news/wamiliki-wa-makampuni-wahimizwa-kuchangamkia-bomba-la-mafuta
|
[
-1
] |
Bachelet ahutubia kwa mara ya kwanza Baraza la Haki za binadamu | Habari za UN
Michelle Bachelet ambaye amechukua wadhifa huo tarehe mosi mwezi huu wa Septemba amegusia suala la ukiukwaji wa haki za bindamu dhidi ya waislamu wa kabila la Rohingya nchini Myanmar akipendekeza utaratibu wa kimataifa wa kukusanya ushahidi wa uhalifu ikiwemo mauaji na mateso dhidi ya kabila hilo.
(Sauti ya Michelle Bachelet)
“Ni lazima nisistize umuhimu wa haki kwa Mynamar, nakaribisha hatua za mwanzo za mahakama ya makosa ya jinai ya kimataifa, ICC kuwa ina mamlaka ya kisheria juu ya madai ya kufukuzwa kwa warohingya kutoka Mynamar na uwezekano wa kuwepo kwa makosa megine ya jinai. Hii ni hatua muhimu kuelekea kukomesha watu kutochukuliwa hatua na pia kushughulikia suala la mateso ya waRohingya..”
Amezungumzia pia mgogoro unaoendelea huko Idlib nchini Syria akisema kuwa ..
“Nina wasiwasi na mgogoro unaonyemelea Idlib nchini Syria. Mateso ya watu wa Syria yamekuwa mabaya. Nayahimiza mataifa yote kuchukua hatua zote zifaazo kuona kama yanahakikisha ulinzi wa raia na pia kusaka haki dhidi ya ukikwaji wa haki za binadamu ambavyo wamepitia.”
Bachelet, ambaye ni rais wa zamani wa Chile, pia amesema ana nia ya kutuma ujumbe nchini Austria na Italia ili kutathmini ongezeko la ghasia na ubaguzi wa rangi vinavyoripotiwa kufanyika katika nchi hizo dhidi ya wahamiaji na kuona jinsi gani ya kulinda kundi hilo.
Halikadhalika ametoa onyo kuhusu visa vya chuki dhidi ya wahamiaji nchini Ujerumani vinavyooeneka kuchochewa na hotuba za chuki dhidi ya wageni.
ohchr|Kamishna Mkuu OHCHR|Michelle Bachelet
| 2020-08-15T02:57:07 |
https://news.un.org/sw/story/2018/09/1028862
|
[
-1
] |
Mchezo robot Repair Online. Kucheza kwa huru
Mchezo robot Repair
Unachezwa: 7515
Kucheza mchezo robot Repair Online:
Maelezo ya mchezo robot Repair
Msaada robots kutengeneza mashine mbalimbali na kuwaleta katika hatua. Robot kila ni mwenyewe gari, nisaidie kupata nini kwa nani. Kufanya hivyo! . Kucheza mchezo robot Repair online.
Kiufundi na tabia ya mchezo robot Repair
Mchezo robot Repair aliongeza: 23.04.2012
mchezo unachezwa: 7515 mara
Mchezo Rating: 3.83 nje 5 (29 makadirio)
Michezo kama mchezo robot Repair
Kukimbia na Rukia
Download mchezo robot Repair
Embed mchezo robot Repair katika tovuti yako:
Kuingiza mchezo robot Repair kwenye tovuti yako, nakala ya kanuni na kuweka katika kanuni html ya tovuti yako. Pia, kama wewe kama mchezo robot Repair, nakala na kutuma kiungo kwa rafiki au rafiki yako yote, kushiriki mchezo na dunia!
Pamoja na mchezo robot Repair, pia alicheza katika mchezo:
| 2019-01-17T22:12:17 |
http://sw.itsmygame.org/999971762/robot-repair_online-game.html
|
[
-1
] |
Kroatia - Ushindani Ripoti
Sasa, maadili, data ya kihistoria, utabiri, takwimu, chati na kalenda ya kiuchumi - Kroatia - Ushindani Ripoti.
Viwanda Uzalishaji -2.00 -5.50 15.10 -13.30 Asilimia [+]
Viwanda Uzalishaji (Mwezi) 1.00 0.60 8.70 -9.00 Asilimia [+]
Viwanda Uzalishaji -0.70 -4.80 15.00 -14.70 Asilimia [+]
Mabadiliko Katika Inventories 4112.93 -11900.10 10658.65 -11900.10 Hrk - Milioni [+]
Gari Sajili 3576.00 3709.00 9160.00 1462.00 [+]
Mining Uzalishaji -5.70 -12.10 37.10 -31.70 Asilimia [+]
Biashara Kujiamini -1.60 6.60 17.70 -28.60 Pointi [+]
| 2020-04-04T22:22:40 |
https://sw.tradingeconomics.com/croatia/competitiveness-index
|
[
-1
] |
4G Imetimiza Mwaka Je Kuna Mabadiliko Yoyote ya Internet ?
Je unadhani 4G imeleta mabadiliko yoyote kwenye mitandao yetu ya simu..?
Amani Joseph May 21, 2017, 11:48 am 241 Views
Habari za jumapili wapenzi wa teknolojia na wasomaji wa Tanzania Tech, leo ni jumapili ya tarehe 21 mwezi may na mwezi kama huu ndio mtandao wa 4G ulipo zinduliwa rasmi kwa hapa Tanzania na mpaka sasa mtandao huo ndio unatimiza rasmi mwaka mmoja.
Katika swala zima la maendeleo na maboresho ya internet nimejikuta nikijiuliza maswali mengi sana na moja ya maswali hayo ni hilo hapo juu kwenye kichwa cha habari. Nimejiuliza hivi kuanzia 4G imeanza mpaka sasa ni takribani mwaka na siku kadhaa hivi kuna mabadiliko yoyote kwenye upande wa speed ya internet.?, Kwa upande wangu nimejikuta nikikosa majibu kwa sababu mbalimbali na sababu hizo ndio zimefanya nilete swali hili kwenu ili muweze kunisaidia jinsi mnavyona kuhusu mfumo huo mpya wa 4G ulianza kutumia rasmi hapa tanzania mwaka 2016.
Nengependa kupata majibu ya ndio au hapana lakini pia ningependa kupata sababu za kwanini unasema ndio au hapana, unaweza kuandika sababu zako kupitia maoni hapo chini nasi tutayapitia moja kwa moja na pengine kuyasogeza maoni hayo kwa wahusika ili waweze kuboresha au kufanya marekebisho ya mambo mbalimbali yanayohusu mtandao wa 4G.
[totalpoll id=”10825″]
Kama unatumia programu ya simu ya Tanzania Tech unaweza kutumia link hii https://tanzaniatech.one/-fTJ kutoa maoni yako.
Makala iliyopita Je Wajua: Hii Hapa Ndio Historia Fupi ya (#) Hashtag Ilipotoka
Makala inayofuata Angalizo Kubwa kwa Watumiaji Wote wa Kompyuta Kote Duniani
| 2019-09-23T05:16:09 |
https://tanzaniatech.one/2017/05/4g-ina-mabadiliko-yoyote/
|
[
-1
] |
Tofauti kati ya marekesbisho "Golikipa" - Wikipedia, kamusi elezo huru
Tofauti kati ya marekesbisho "Golikipa"
Golikipa (hariri)
Pitio la 12:09, 15 Oktoba 2019
2 bytes added , miezi 9 iliyopita
Pitio la 11:31, 10 Oktoba 2019 (hariri)
Toleo la sasa la 12:09, 15 Oktoba 2019 (hariri) (tengua)
Innocent Massawe (Majadiliano | michango)
Nafasi hii ni mahususi katika michezo ya [[Soka]], bandy, rink bandy, camogie, Gaelic football, Mpira wa sakafu, mpira wa mikono, hockey, polo na michezo mingine mingi.
Katika michezo mingi inayohusisha kufanga katika wavu, shariasheria maalumu huwekwa kwa mlinda lango tofauti na wachezaji wengine. Sheria hizo hulenga kunlinda golikipa dhidi ya hatari na vitendo vyenye athari kwake.
Hii inaweza kuonekana sanasana katika mchezo wa hokey ambapo golikipa huvaa mavazi maalumu kama kofia ngumu ili kumlinda na vishindo kutokana na kugongwana vitu vigumu kama fimbo ya kuchezea na mpira.
===Mpira wa mikono ===
Katika mpira wa mikono, golikipa pekee ndie anayeruhusiwa kukaa eneo la mita 6 kuzunguka lango lake kwa kipindi chote cha mchezo. Golikipa anaruhusiwa kuzuia mpira kuitumiakutumia sehemu yoyote ya mwili iwe miguu, mikono hata kichwa ila tu akiwa eneo la mita sita ktokakutoka langoni kwake.
Mpira ukigusa chini eneo la mita sita wakati wa mchezo, golikipa tu ndie anayeruhusiwa kuucheza aidha kwa kuupiga au kuushika, mpira ukiwa eneo la mita sita lakini haujagusa chini, mchezaji yeyote anaruhusiwa kuucheza ila tu asiwe amegusa chini, anaweza fanya hivyo kwa kuruka na kupiga mpira akiwa hewani.
==Kipa kwenye sarafu na stampu==
[[File:2004 Austria 5 Euro 100 Years Football back.jpg|160px|thumb|sarafu za ukumbusho za dhahabu na fedha ya umoja wa ulaya (Austria)|miaka 100 ya soka|link=Special:FilePath/2004_Austria_5_Euro_100_Years_Football_back.jpg]]
Magolikipa wamekua wakitumika na baadhi ya wakusanyaji wa sarafu na medali, mfano sarafu ya euro 5 ya [[Austria]] ambayo ilichongwa 12 Mei 2004. Sarafu hiyo inaonesha shuti lililopigwa na mchezaji anayeonekana kwa mbali ambalo linampita golikipa (likiwa bado lipo hewani) kuelekea golini.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/wiki/Maalum:MobileDiff/1089314"
| 2020-08-08T01:54:34 |
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Maalum:MobileDiff/1089314
|
[
-1
] |
High Speed Internet in Arlington, Wa from CenturyLink | NPost.com
High Speed Internet Is Yours From CenturyLink in Arlington, Wa
Aberdeen Gardens, WA - 98520 Acme, WA - 98220 Alderton, WA - 98372 Alderwood Manor, WA - 98036 - Internet Service Alger, WA - 98229 Algona, WA - 98001 Allyn, WA - 98524 Amanda Park, WA - 98526 Ames Lake, WA - 98053 Anacortes, WA - 98221 - Internet Service Anderson Island, WA - 98303 Arlington Heights, WA - 98223 Artondale, WA - 98335 Bainbridge Island, WA - 98110 Bangor Base, WA - 98315 Baring, WA - 98224 - Internet Service Bay View, WA - 98273 Beaux Arts Village, WA - 98004 Belfair, WA - 98528 Bell Hill, WA - 98382 Bethel, WA - 98367 Big Lake, WA - 98274 - Internet Service Birch Bay, WA - 98230 Black Diamond, WA - 98010 Blaine, WA - 98230 Bonney Lake, WA - 98391 Bothell, WA - 98011 Bothell East, WA - 98021 - Internet Service Bothell West, WA - 98021 Boulevard Park, WA - 98168 Bremerton, WA - 98310 Brier, WA - 98036 Brinnon, WA - 98320 Browns Point, WA - 98422 - Internet Service Bryant, WA - 98223 Bryn Mawr-Skyway, WA - 98178 Buckley, WA - 98321 Bunk Foss, WA - 98205 Burien, WA - 98166
| 2020-08-06T01:21:04 |
http://www.npost.com/centurylink-in-arlington-wa
|
[
-1
] |
Hebreus 2 – Bíblia Online SWA
1 Kwa sababu hiyo tunapaswa kuzingatia kwa makini zaidi yote tuliyosikia, ili tusije tukapotoshwa.
2 Ujumbe ule waliopewa wazee wetu na malaika ulionyeshwa kuwa kweli, hata mtu yeyote ambaye hakuufuata au hakuutii aliadhibiwa kama alivyostahili.
3 Basi, sisi tutaokokaje kama hatuujali wokovu mkuu kama huu? Kwanza Bwana mwenyewe aliutangaza wokovu huu, na wale waliomsikia walituthibitishia kwamba ni kweli.
4 Mungu pia aliongeza hapo ushahidi wake kwa kufanya kila namna ya miujiza na maajabu, na kwa kuwagawia watu vipaji vya Roho Mtakatifu kadiri ya mapenzi yake.
5 Mungu hakuwaweka malaika wautawale ulimwengu ujao, yaani ulimwengu ule tunaoongea habari zake.
6 Tena yasemwa mahali fulani katika Maandiko: "Mtu ni nini ee Mungu, hata umfikirie; mwanaadamu ni nini hata umjali?
7 Ulimfanya kwa kitambo kidogo kuwa chini zaidi kuliko malaika; ukamvika taji ya utukufu na heshima,
8 ukaweka kila kitu chini ya miguu yake, avitawale." Yasemwa kwamba Mungu alimweka mtu kuwa mtawala wa vitu vyote yaani bila kuacha hata kimoja. Hata hivyo, hatuoni bado mtu akivitawala vitu vyote sasa.
9 Lakini twamwona Yesu ambaye alifanywa kwa kitambo kidogo kuwa chini zaidi kuliko malaika, ili kwa neema ya Mungu afe kwa ajili ya watu wote. Sasa tunamwona ametawazwa kwa utukufu na heshima kwa sababu ya kifo alichoteseka.
10 Ilikuwa haki tupu kwamba Mungu, ambaye huumba na kutegemeza vitu vyote, alimfanya Yesu kuwa mkamilifu kabisa kwa njia ya mateso, ili awalete watoto wengi waushiriki utukufu wake. Maana Yesu ndiye anayewaongoza kwenye wokovu.
11 Yeye anawatakasa watu dhambi zao, naye pamoja na wale waliotakaswa, wote wanaye Baba mmoja. Ndiyo maana Yesu haoni aibu kuwaita hao ndugu zake;
12 kama asemavyo: "Ee Mungu, nitawatangazia ndugu zangu matendo yako. Nitakusifu katika kusanyiko lao."
13 Tena asema: "Nitamwekea Mungu tumaini langu." Na tena: "Mimi niko hapa pamoja na watoto alionipa Mungu."
14 Basi, kwa vile watoto hao, kama awaitavyo, ni watu wenye mwili na damu, Yesu mwenyewe akawa kama wao na kushiriki ubinadamu wao. Alifanya hivyo ili kwa njia ya kifo chake amwangamize Ibilisi, ambaye ana mamlaka juu ya kifo,
15 na hivyo awaokoe wale waliokuwa watumwa maisha yao yote kwa sababu ya hofu yao ya kifo.
16 Maana ni wazi kwamba yeye hakuja kwa ajili ya kuwasaidia malaika, bali kama yasemavyo Maandiko; "Anawasaidia wazawa wa Abrahamu."
17 Ndiyo maana ilimbidi awe kama ndugu zake kwa kila namna, ili awe Kuhani Mkuu wao aliye mwaminifu na mwenye huruma katika kumtumikia Mungu, ili dhambi za watu ziondolewe.
18 Na, anaweza sasa kuwasaidia wale wanaojaribiwa na kuteswa.
| 2020-01-19T04:50:01 |
https://biblia.gospelprime.com.br/swa/hebreus/2/
|
[
-1
] |
Global Voices in Swahili » Palestina: Gaza yashambuliwa, watu 12 wauwawa na wengine wengi kujeruhiwa · Global Voices in Swahili » Print
Tafsiri imetumwa 24 Machi 2012 20:47 GMT 1 · Imeandikwa na Yasmeen El Khoudary Imetafsiriwa na Christian Bwaya
Mada za Habari: Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini, Israel, Palestina, Mahusiano ya Kimataifa, Siasa, Uandishi wa Habari za Kiraia, Vita na Migogoro
Usiku kucha wa Machi 9 hadi asubuhi ya Machi 10, 2012, ndege za kivita za Israeli zilifanya mashambulizi kwa kuchagua maeneo [1] kwenye Ukanda wa Gaza, na kuua takribani watu 12 na kuacha wengine 20 wakiwa majeruhi.
Mchana wa Machi 9, Zuheir al-Qaysi, katibu mkuu wa chama cha (PRC) Popular Resistance Committees [2] , aliuawa pamoja na msaidizi wake Abu Ahmad Hanani kutokana na mashambulizi hayo ya Israel kwenye Jiji la Gaza. Hanani alitokea Nablus kwa asili na alihamishiwa Gaza kama mmoja wa wafungwa walioachiwa huru katika mpango wa kubadilishana wafungwa [3] miezi michache iliyopita.
Katika kujibu mashambulizi, vikundi vya ulinzi vya ki-Palestina vilivyo kwenye Ukanda wa Gaza vililipua mabomu kuelekea Israel, bila kudhuru mtu yeyote. Israel ilijibu mapigo kwa mashambulizi makali ya angani yaliyoilenga Gaza na kuacha maiti wapatao kumi na wawili kwa mara moja. Majina yao yalitajwa na Shirika la Habari la Ma’an [4] kuwa ni pamoja na: Muhammad al-Ghamry, Fayiq Saad, Muatasim Hajjaj, Ubeid Gharabli, Muhammad Hararah, Hazim Qureiqi, Shadi Sayqali, Zuheir al-Qaysi, Mahmoud Hanani, Muhammad Maghari, Mahmoud Najim, na Ahmad Hajjaj. Ripoti nyingine zinataja kuwa [5] watu kumi na watano walipoteza maisha yao.
@MaathMusleh [7]: Watu 15 wameuawa mjini Gaza mpaka sasa, hakuna SHAKA watakuwa ni wa-Palestina!! #GazaUnderAttack
@ectomorfo [8]: Ombea watu wa Gaza. Hakuna umeme, kuna dawa kidogo, hakuna gesi. Na sasa wanapigwa mabomu kutokea pande zote na #Israel. #GazaUnderAttack
@Omar_Gaza [9]: Dakika 18 bila milipuko! Kimya cha tahadhari? Yamekwisha? Au niendelee kubana pumzi zangu kwa woga? #GazaMassacre #GazaUnderAttack
@najlashawa [10]:sijui nimewezaje kuendelea kuchapa maandishi haya. Sauti ilikuwa KUBWA! #GAzaUnderAttack
@imNadZ [11]: Karibu #Gaza. Ambapo mwanga wake unatokana na mabomu. Ndege zinazotumika ni aina ya F16.
Shambulio hili linakuja wakati wa kuhamisha ushirika wa kimaeneo na kisiasa. Juma lililopita, kwa kuongezeka kwa uwezekano wa vita ya Marekani na Israel dhidi ya Iran, maafisa wawili wa juu wa Hamas walitangaza [12] kwamba Hamasi haitajihusisha na itaiunga mkono Iran ikitokea Israel itashambulia. Hamas pia walitangaza kuwaunga mkono [13] watu wa Syria katika mapambano yao dhidi ya Assad.
URL to article: https://sw.globalvoices.org/2012/03/palestina-gaza-yashambuliwa-watu-12-wauwawa-na-wengine-wengi-kujeruhiwa/
[1] zilifanya mashambulizi kwa kuchagua maeneo : http://www.bbc.co.uk/news/world-middle-east-17319054
[2] Popular Resistance Committees: https://en.wikipedia.org/wiki/Popular_Resistance_Committees
[3] mpango wa kubadilishana wafungwa : http://www.aljazeera.com/news/middleeast/2011/10/2011101235736403417.html
[4] na Shirika la Habari la Ma’an : http://www.maannews.net/eng/ViewDetails.aspx?ID=466626
[5] zinataja kuwa: http://www.aljazeera.com/news/middleeast/2012/03/201239235251961119.html
[12] walitangaza : http://arabnews.com/middleeast/article584637.ece
[13] kuwaunga mkono: https://www.nytimes.com/2012/02/25/world/middleeast/hamas-leader-supports-syrian-opposition.html
| 2020-02-25T02:00:23 |
https://sw.globalvoices.org/2012/03/palestina-gaza-yashambuliwa-watu-12-wauwawa-na-wengine-wengi-kujeruhiwa/print/
|
[
-1
] |
Contributions by Hon. Pascal Yohana Haonga (38 total)
MHE. PASCAL Y. HAONGA: Mheshimiwa Mwenyekiti, nakushukuru sana. Naomba sasa na mimi niweze kuchangia Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2019/2020.
Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba nianze na suala la watumishi wa umma. Watumishi wa umma katika mpango huu naona kabisa kwamba wamesahaulika na kama si kipaumbele. Nimeangalia karibu kurasa nyingi sijaona mpango wa kuwaongeza watumishi wa umma mishahara.
Mheshimiwa Mwenyekiti, hili jambo kwa kweli limetengeneza vidonda vikubwa sana mioyoni mwa watumishi wa umma katika Taifa letu. Watumishi wanalalamika tangu Serikali hii ya Awamu ya Tano iingie madarakani haijawahi kuwaza wala kufikiria kuwapandishia watumishi wa umma mishahara. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, leo ukiangalia kwa mfano kwenye kitabu hiki cha utekelezaji wa miradi ya maendeleo, ukurasa wa 85 wanasema ujenzi wa nyumba za walimu katika shule za sekondari na ujenzi wa mabweni.
Pia ukienda kwenye kitabu hiki cha hotuba ya Mheshimiwa Waziri, wanazungumzia ujenzi wa nyumba za watumishi wa afya, nyumba takriban 306. Hata tukiwajengea maghorofa watumishi wa umma, kwa maana ya watumishi wa umma kwenye afya, idara ya elimu na kilimo, kama hawakuongezewa mishahara tutakuwa tunafanya kazi bure. Watumishi wengi wamekata tamaa, walimu wamekata tamaa na hali ni mbaya kwa sababu Serikali hii haijawahi hata mara moja kuwaongezea mishahara. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, nadhani inawezekana kuna tatizo aidha mmeshindwa kumshauri Rais afanye hivi au mnamuogopa. Sasa sijui, lakini kama mnamuogopa mtakuwa mmetenda dhambi sana kwa watumishi wa umma ambao tunawafanyisha kazi nzito lakini hali ni mbaya kuliko kawaida. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, jambo la pili, wapo watumishi waliostaafu wana miaka mingi hawajawahi kulipwa mafao yao lakini sioni kwenye mpango huu kama kuna jambo hilo ambalo limeeleza hawa watumishi wanalipwa lini. Watu wanastaafu na wengine wanafariki kwa sababu ya stress za maisha lakini mafao yao hawajalipwa. Nadhani sisi kama Taifa bila ya kujali itikadi za vyama vyetu kuna jambo sasa la kufikiria namna gani hawa watu wanaweza kulipwa ili mambo yaweze kwenda vizuri. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, suala la tatu ni kuhusu mazao yote ya wakulima. Nimesoma kwenye hii hotuba ya Waziri amezungumza kwenye zile changamoto za utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo wa Bajeti wa mwaka 2017/2018, ukisoma changamoto namba sita, anasema changamoto ya masoko na bei ndogo za mazao kwa wakulima. Hii imeelezwa kama changamoto lakini nimekuja kuangalia nikadhani kwamba unapoeleza kama changamoto lazima utuambie kwamba sasa suluhisho la masoko itakuwa ni ipi ili wakulima wetu waweze kupatiwa bei nzuri ya mazao yao. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, leo zao la kahawa hali ni mbaya bei ipo chini na mahindi hali ni mbaya. Wamezungumza baadhi ya Wabunge waliochangia humu ndani asubuhi, leo mkulima kwa mfano ukienda Mikoa ya Songwe, Mbeya, Ruvuma na Rukwa debe la mahindi linauzwa shilingi 2,500 na gunia moja linauzwa shilingi 15,000. Ili uweze kununua mfuko mmoja wa mbolea ya kupandia DAP ambao unauzwa shilingi 70,000 na ukisafirisha kutoka mjini kwenda kijijini kwenye mashamba ni shilingi 75,000, kwa hali kama hiyo unaona mkulima anauza bei ndogo mazao yake lakini wakati huo huo pembejeo zipo juu.
Sasa ndiyo hayo mambo ambayo Mheshimiwa Dkt. Mpango ulitakiwa utuambie namna gani mnaenda kushusha bei ya pembejeo kama mbolea lakini pia mnaenda kutafuta masoko ya mazao ya wakulima. Mazao yote nchi nzima, mahindi, kahawa, mbaazi ambayo ilikuwa shilingi 2,000 sasa hivi wanauza shilingi 80.
Mheshimiwa Mwenyekiti, korosho ambalo ndiyo tulisema ni zao pekee lililokuwa limebaki angalau lilikuwa linatuingizia fedha za kigeni nyingi sana katika Taifa letu, leo korosho hali ni mbaya, wakulima wanalia na viongozi wanakuja na matamko wanasema kesho Serikali inaenda kununua korosho kama hazikununuliwa na wafanyabiashara. Sisi tunaomba mkanunue kweli kwa sababu mmeshaahidi kwa wananchi kwenda kununua. Soko huwezi ukatumia mabavu, soko lina principle zake siyo suala la kutumia mabavu. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo niseme tu kwamba, kama alivyochangia ndugu yangu hapo, Mheshimiwa Kanyasu, leo asilimia zaidi ya 70 ya Watanzania ni wakulima, mazao yote bei iko chini tafsiri yake ni kwamba hawa wakulima hata uwezo wa kununua bidhaa utakuwa ni mdogo sana na bidhaa zote zimepanda bei.
Mheshimiwa Mwenyekiti, wamezungumza hapa kuhusu vifaa vya ujenzi; saruji, bati, mafuta, hali ni mbaya, lakini mazao ndiyo kama hivyo hali imekuwa hivyo. Sasa hapa haitakiwi Wabunge walalamike halafu na Mheshimiwa Dkt. Mpango ambaye aliaminiwa na Rais na yeye analalamika kwenye hotuba yake ule ukurasa wa 35, analamika changamoto ya masoko, bei ndogo za mazao kwa wakulima, anatakiwa atuambie kwamba atafanya nini kutafuta masoko kwa wakulima, siyo suala la kulalamika.
Mheshimiwa Mwenyekiti, maana yake kama Mheshimiwa Waziri analalamika anatakiwa apishe kiti hicho ampe mwingine mwenye uwezo wa kufanya kazi hiyo, mwenye uwezo wa kutafuta masoko ya wakulima. Kwa hiyo, nadhani hilo ndiyo jambo kubwa zaidi, atuambie kwamba utafanya nini.
Mheshimiwa Mwenyekiti, unapokuwa unalalamika kiongozi, Waziri, kwamba ni changamoto umeitaja, utuambie na way forward, utafanya nini kama changamoto ni soko, utatafutaje masoko sasa. Hapo hajatueleza vizuri, ameeleza changamoto page mbili lakini pale kwenye way forward, namna gani anakwenda kutatua hizo changamoto.
Mheshimiwa Mwenyekiti, changamoto inapojirudia mara kwa mara maana yake imeshindwa kutatuliwa, ni malalamiko tayari hayo, kwa hiyo niseme tu kwamba hili ni vizuri akalipokea akaangalia namna ya kulifanyia kazi. Sisi kazi yetu kama Bunge ni kuishauri na kuisimamia Serikali, ndiyo kazi yetu hiyo. Hayo masoko wakayatafute…
Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo mimi natoa suggestion wakatafute masoko ya mazao ya wakulima, hiyo ndiyo solution ninayotoa.
Mheshimiwa Mwenyekiti, jambo lingine naomba nizungumzie kidogo suala la kuhusu hizi changamoto zilizoelezwa hapa. Nadhani kuna changamoto moja kubwa sana imesahaulika na hii changamoto Mheshimiwa Dkt. Mpango naomba akafanye utafiti na Serikali hii ya Awamu ya Tano ikafanye utafiti na hii changamoto isipofanyiwa kazi itaenda kulimaliza Taifa; hili suala la kufanya chaguzi za marudio, pesa nyingi tunapeleka kwenye chaguzi za marudio, sasa hii lazima tuitafutie ufumbuzi. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, leo Mbunge alikuwa chama fulani anasema leo naamua kuhamia chama kingine na kuna mmoja nimemsikia asubuhi anazungumza anasema kwamba eti niliondoka huko sasa niko huru, niliondoka CHADEMA niko huru upande wa pili, lakini alizungumza kwamba mimi nimekimbia kwa sababu nilitaka nigombee Uenyekiti na Mbowe halafu nikaona Mbowe amekataa, sasa leo ameingia CCM, tuone kama atakwenda kugombea Uenyekiti na Rais Dkt. Magufuli, tuone, kama ninyi mnaruhusu namna hiyo. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa sababu tunahitaji kwamba viongozi ukichaguliwa na wananchi umalize miaka yako mitano, hizi fedha za uchaguzi wa marudio ni fedha nyingi sana. Ni sehemu ya changamoto, angeiweka, kutumia fedha za Watanzania, fedha za wavuja jasho kwenda kwenye chaguzi za marudio, hizi fedha tungeweza kuwasaidia wakulima wetu, tungeweza kulipa mishahara kwa watumishi, tungeweza kufanya mazingira mazuri sana.
Mheshimiwa Mwenyekiti, siku zote kama mtu ulikuwa kwenye chama ambacho watu walikuamini na wakakuchagua kwenye chama hicho ukahamia Chama cha Mapinduzi, lazima hata uwezo wako wa kufikiri huweza kupungua, ndiyo unachokiona, ndiyo madhara yake hayo. Kuna sentensi moja ya Kizungu inasema an empty stomach is not a good advisor, kwa hiyo, mimi niseme tu kwamba wakati mwingine tumbo likiwa wazi linaweza likakushauri vibaya, ngoja tuwaache tu mwisho wa siku…
MHE. PASCAL Y. HAONGA: Mheshimiwa Spika, nakushukuru sana kwa kunipa nafasi. Naomba kuchangia hizi Kamati mbili, lakini nitajikita zaidi kwenye Kamati ya Kilimo, Mifugo na Maji. Naomba nianze kwa kusema kwamba Sekta ya Kilimo imeajiri zaidi Watanzania kwa asilimia 70, lakini pia inachangia zaidi ya asilimia 30 ya GDP, lakini sekta hii pia inachangia chakula kwa nchi yetu kwa zaidi ya asilimia 100, lakini pia Sekta ya Kilimo inatoa malighafi za viwandani kwa zaidi ya asilimia 65.
Mheshimiwa Spika, pamoja na umuhimu wa Sekta ya Kilimo lakini imesahauliwa na Serikali hii ya Awamu ya Tano, leo hakuna masoko ya mazao ya wakulima. Leo Serikali inakwenda kununua kwa mfano, korosho. Badala ya kutafuta masoko ya mazao, kama masoko ya korosho, mahindi, pamba, mbaazi, tumbaku na kahawa, leo Serikali inakwenda kununua mazao. Haitaweza kununua mazao yote kwa sababu nchi hii tuna mazao mengi sana ambayo kwa kweli bei yake iko chini sana. (Makofi)
Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, niseme tu kwamba mimi naishauri Serikali ijikite kutafuta masoko ya mazao. Huu ndiyo utakuwa mwarobaini kuliko kwenda kununua mazao, haitaweza, zoezi hili ni gumu sana. (Makofi)
Mheshimiwa Spika, tunafahamu kwamba mahindi tuna miaka miwili sasa hali siyo nzuri, bei iko chini; tumbaku iko kwenye maghala kwa mura mrefu hainunuliwi; mbazi kutoka kilo shilingi 2,000/= tunafahamu kwamba shilingi 80/= hadi shilingi 100/= hali ni mbaya. Leo wakulima nchi nzima wanalia. Kwa hiyo, Serikali imejikita zaidi kwenda kutafuta masoko ya mazao kuliko kwenda kununua mazao kwa sababu haitaweza.
MHE. PASCAL Y. HAONGA: Mheshimiwa Spika, ngoja nimwache nisimjibu, kwa sababu wakati mwingine unaacha wafu wazikane wao wenyewe. Kwa hiyo, naomba nisimjibu. (Makofi)
Mheshimiwa Spika, nimekuja kuzungumzia maslahi ya Watanzania. Leo ninavyozungumza nawe kwa mfano kwenye zao la kahawa, nami nilileta hoja binafsi japokuwa haikupata kibali cha kuingia Bungeni, lakini nilileta hoja binafsi ya kuhusu zao la kahawa. Kinachoendelea kwenye kahawa, hali ni mbaya kuliko kawaida.
MHE. PASCAL Y. HAONGA: Mheshimiwa Spika, niseme tu kwamba kuna watu wengine hawafahamu misemo na methali na kadhalika. Kwa hiyo, naomba niendelee. Labda ni vizuri tu kwa sababu nafahamu yeye alikuwa ni Mtangazaji, nadhani vitu hivyo anavifahamu vizuri sana. Haitakiwi tupoteze muda mwingi sana kwenye hilo. (Makofi)
Mheshimiwa Spika, baada ya kungumza hivyo, naomba niendelee sasa kwa ruhusa yako.
SPIKA: Tuvumilie.
MHE. PASCAL Y. HAONGA: Naomba niendelee kwa sababu alikuwa wanatupiga, sisi hatuwapigi, tumeamua kuwasemehe.
SPIKA: Endelea, ila kuna neno moja umesema ulileta hoja binafsi.
MHE. PASCAL Y. HAONGA: Mheshimiwa Spika, ndiyo.
SPIKA: Halafu ikakataliwa. Nikuhakikishie mezani kwangu sijawahi kuona hoja binafsi kutoka kwako.
MHE. PASCAL Y. HAONGA: Mheshimiwa Spika, nita…
SPIKA: Endelea tu kuchangia, lakini sijawahi kuiona.
MHE. PASCAL Y. HAONGA: Ahsante. Nikimaliza nitakuletea zile nakala ambazo nilikuwa najibiwa kutoka kwenye Ofisi ya Katibu wa Bunge. Nitakuletea Ofisini kwako. (Makofi)
Mheshimiwa Spika, leo kwa mfano kwenye zao la kahawa, Serikali imeamua kuyakataza Makampuni yaliyokuwa yananunua kahawa yote, yamezuliwa, badala ya kuruhusu soko huria; kwa sababu tunaamini kwamba soko huria ndilo ambalo linaleta bei nzuri kwa wakulima. Tungeruhusu Makampuni yanunue, yashindane na hivyo Vyama vya Msingi vya Ushirika vilivyoanzishwa ili mwisho wa siku mkulima aweze kunufaika na bei nzuri ya kahawa.
Mheshimiwa Spika, kabla hatujawa na AMCOS (Vyama vya Msingi vya Ushirika) bei ya kahawa mwaka 2017 tuliuza shilingi 4,000/= na kitu, hadi shilingi 5,000/= kwa kilo moja, lakini baada ya kuanzisha, tumeuza kilo moja ya kahawa hadi shilingi 1,800/=. Kwa hiyo, nashauri, ni vizuri Serikali ikaruhusu soko huria kwenye zao la kahawa na wakati mwingine kwa sababu pembejeo ziko juu, mkulima analima kwa jasho sana, anapouza ndipo Serikali inapojitokeza inasema usipeleke kahawa yako Uganda, sijui usipeleke wapi. Nchi hii kuna matatizo makubwa sana ya kilimo. Naiomba Serikali kwa sababu tayari ndiyo inayoongoza, ijitahidi kutatua matatizo ya Watanzania. Kama haiwezi, basi iwaachie wengine ambao wako tayari kuongoza nchi hii. (Makofi)
Mheshimia Spika, jambo lingine, ili tuweze kuondokana na bei ndogo; badala ya Serikali kwenda kununua mazao ambayo haitaweza, ni vizuri Serikali ikatengeneza utaratibu wa kuweka ruzuku kwenye mazao ya mkakati yale ambayo yako matano. Mazao ya mkakati kuna kahawa, pamba, chai, tumbaku na mazao mengine yale matano ya mkakati, Serikali ingeweza kuweka utaratibu kwamba bei inaposhuka, Serikali iweze kuongeza kile kiasi ambacho inaamini kwamba itamparia faida mkulima na siyo kwenda kununua. Kununua, hawataweza kutoa fedha za namna hiyo, lakini kuweka ruzuku inawezekana kabisa. Baadhi ya nchi zimefanikiwa, Indonesia wamefanikiwa na maeneo mengine mbalimbali wamefanikiwa kwenye suala hili la kuweka ruzuku. (Makofi)
Mheshimiwa Spika, jambo lingine ni kuhusu kujenga viwanda vya mbolea. Nataka kuuliza, hii ilikuwa kwenye mpango mkakati wa viwanda wa 2025, lakini pia hata kwenye Ilani ya Chama cha Mapinduzi hili lipo. Ujenzi wa viwanda, kiwanda kile cha mbolea kule Kilwa Masoko tumefikia wapi? Pale hamna tofali hata moja. (Makofi)
Mheshimiwa Spika, nashauri, Serikali ambayo tunasema kwamba Watanzania asilimia 70 wanategemea kilimo, hawa watu wanahitaji kuwa na kiwanda. Sasa mpango wa Kiwanda cha Mbolea pale Kilwa Masoko tumefikia hatua gani? Mbolea tunayoagiza nje ya nchi ni zaidi ya asilimia 95.
Mheshimiwa Spika, Kiwanda cha Minjingu ameongea Mheshimiwa Jitu Soni pale. kinazalisha asilimia tano tu. Sasa Serikali iangalie namna ya kuweza kujenga kiwanda cha mbolea na mbolea itashuka bei na baada ya hapo mwisho wa siku tutazalisha chakula cha kutosha, tutazalisha mazao ya kutosha na wakulima wetu watakuwa na hali nzuri kuliko wakati mwingine wowote ule. Kwa hali jinsi ilivyo sasa, tukiendelea kuagiza mbolea, hatutafika popote pale.
Mheshimiwa Spika, jambo lingine, naomba nizungumzie suala la kupeleka fedha kidogo za miradi hasa kwenye miradi ya maji. Kuna fedha zilikuwa zimetengwa, shilingi bilioni 299.9 zilitakiwa zipelekwe kwenye miradi ya maji. Hadi sasa zimepelekwa shilingi bilioni 1.67 sawa na asilimia 0.6 kutoka Hazina kwenda kwenye miradi ya maji. (Makofi)
MBUNGE FULANI: Du!
MHE. PASCAL Y. HAONGA: Kutekeleza kwa asilimia 0.6 hili ni anguko kubwa sana kwa Serikali ya Chama cha Mapinduzi. Niseme tu kwamba, ni vizuri Serikali iangalie yale mambo ya muhimu, ione namna ya kuweza kupeleka fedha. Kwa mfano, kulikuwa na…
SPIKA: Mheshimiwa Pascal huwa ni vizuri sana ukitumia data ukaweka na reference yako, yaani umezitoa wapi. Itasaidia sana. Endelea tu kuchangia, lakini huwa ni vizuri ukisema reference yako.
MHE. PASCAL Y. HAONGA: Mheshimiwa Spika, ahsante sana.
MHE. PASCAL Y. HAONGA: Mheshimiwa Spika, ahsante sana. Hizi ni takwimu kutoka Kwenye Kamati ya Bajeti na zimetolewa Bungeni hapa na Wajumbe wa Kamati ya Bajeti wapo, nataka kwenye hilo nikuondolee hofu.
Mheshimiwa Spika, kwa hiyo, kwenye mambo ya muhimu kama haya, kama tunaweza kutenga shilingi bilioni 299.9 kulepeka shilingi bilioni 1.67 sawa na asilimia 0.6 huku ni kuwachezea Watanzania na mchezo huu wa kuwachezea Watanzania ni vizuri tukaacha. Kuna haja gani ya kuhangaika na SGR Watanzania hawana maji? Kuna haja gani ya kuhangaika na Stiegler’s Gorge Watanzania hawana maji?
Mheshimiwa Spika, ni vizuri tukaanza kugusa maisha ya Watanzania moja kwa moja kwa sababu kama mtu hana maji, huyo mtu leo unamwambia apande ndege inakuwa ni vigumu sana.
SPIKA: Ahsante sana Pascal, hiyo ni kengele ya pili.
MHE. PASCAL Y. HAONGA: Mheshimiwa Spika, naomba nimalizie dakika moja kwa sababu nimeingiliwa sana, naomba kwa hekima yako, kwa kiti chako…
SPIKA: Ni kengele ya pili Mheshimiwa, muda hauko upande wako tunashukuru. (Makofi)
MHE. PASCAL Y. HAONGA: Mheshimiwa Mwenyekiti, nakushukuru sana. Naomba sasa nami niweze kuchangia Mapendekezo ya Serikali kuhusu Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka 2018/2019.
Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba nianze na hoja ya kwanza ambayo wapo baadhi ya Waheshimiwa Wabunge wameigusia kidogo nami naomba nianze nayo hiyo, kuhusu hii bajeti ya mwaka 2018/2019 ambayo naona kwangu imepuuza sana maslahi ya watumishi wa umma.
Mheshimiwa Mwenyekiti, watumishi wa umma katika Taifa hili tangu Serikali hii ya Awamu ya Tano imeingia madarakani bajeti zake zote, kuanzia bajeti ya mwaka 2015/2016 ambayo ilikuwa bajeti ya kwanza, bajeti ya 2016/ 2017, bajeti ya 2017/2018 ambayo ndiyo inaisha siku chache zijazo, imepuuza maslahi ya watumishi wa umma. Hakuna nyongeza ya mishahara kwa watumishi wa umma. Mishahara ambayo watumishi wa umma wanapokea kwa mara ya mwisho iliongezwa mwaka 2014, ni mishahara ambayo Rais wa Awamu ya Nne, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete aliiacha hadi watumishi wa umma wanapokea mishahara hiyo, hapajawahi kuwa na nyongeza ya mishahara kwa watumishi wa umma.
Mheshimiwa Mwenyekiti, wote tunafahamu kwamba gharama za maisha zinazidi kupanda, zinazidi kuongezeka. Mwaka 2015 ukiuliza bei ya sukari ilikuwa shilingi ngapi ilikuwa bei ya chini Sh.2,000, lakini leo maeneo mengine hadi zaidi ya shilingi elfu tatu na kitu. Huku ni kuwakosea sana watumishi wa umma kwa sababu gharama za maisha zinaongezeka lakini mishahara yao ni ileile ambayo Awamu ya Nne iliiacha.
Mheshimiwa Mwenyekiti, bajeti haijapunguza kodi kwa watumishi wa umma. Tulitegemea kwamba bajeti hii ingekuwa ni msaada kwa watumishi wa umma ingeweza kupunguza kodi, haijazungumza lolote lile, huku ni kuwapuuza watumishi wa umma. Ikumbukwe kwamba wakati wa kampeni viongozi mbalimbali walikuwa wanaomba kura na Viongozi wa Serikali hii ya Awamu ya Tano na wengine walikuwa wanapiga push up majukwaani wakiomba kura, leo watumishi wa umma wamepuuzwa, wamesahaulika.
Mheshimiwa Mwenyekiti, juzi nasikia ilipokuwa siku ya Mei Mosi pale Iringa, Mheshimiwa Rais anasema hajawahi kuzungumzia popote pale kuhusu kuongeza mishahara kwa watumishi wa umma wakati mwaka jana Mei Mosi kule Moshi - Kilimanjaro alisema mwaka unaofuata kwa maana ya mwaka huu, angeweza kuongeza mishahara kwa watumishi wa umma lakini mwaka huu akiwa Mei Mosi amesema kwamba hakuwahi kuzungumza popote pale kuhusu kuongeza mishahara. Hii siyo sahihi, huku ni kuwapuuza watumishi wa umma...
MHE. PASCAL Y. HAONGA: Mheshimiwa Mwenyekiti, sitaki nibishane sana na Kiti chako, lakini ukweli unajulikana, Watanzania wanajua ukweli jinsi ulivyo au uko wapi.
Mheshimiwa Mwenyekiti, tarehe Mosi Februari, 2016, watumishi waliandikiwa barua za kupandishwa vyeo au kupandishwa madaraja, tarehe Mosi Februari, 2016. Tarehe Mosi Novemba, 2017 barua hizi zikafutwa, yaani mwaka moja baadaye barua za watumishi kupandishwa madaraja au vyeo zikafutwa. Hili jambo ni kuwaumiza watumishi kweli, hili jambo halikubaliki hata kidogo. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, mtumishi ameandikiwa barua ya kupandishwa cheo au kupandishwa daraja, mwaka mmoja baadaye barua inaandikwa nyingine ya kufuta cheo chake. Mwaka huo 2016 kuna watumishi walistaafu na waliondoka na barua ambayo imeshaandikwa mwaka huo na tunajua kabisa kwamba pensheni ya mtumishi wa umma wanai-calculate kulingana na mshahara wake wa mwisho au daraja lake la mwisho, leo huyo mtumishi ameshastaafu yuko nyumbani inakuja kuandikwa barua nyuma kwamba tumeshafuta. Hii siyo sahihi kabisa na haikubaliki kabisa kuwafanyia Watanzania ambao ni wazalendo katika Taifa hili na wanaofanya kazi ngumu sana katika mazingira magumu. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, wapo watumishi ambao wamestaafu tangu mwaka 2015 hawajalipwa mafao yao hadi leo tunavyozungumza. Mwaka 2015 hawajalipwa pensheni yao, mwaka 2016 hawajalipwa, mwaka 2017 hawajalipwa, hii ni 2018 bado sioni kwenye bajeti hii kama kuna matumaini kwa watumishi hawa ambao wamelitumikia Taifa hili kwa uzalendo na kwa uadilifu wa hali ya juu sana. Namshauri Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Dkt. Mpango, Watumishi wa Umma ni vizuri wale waliostaafu walipwe sasa mafao yao, walipwe fedha zao. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, jambo lingine ni kuhusu kilimo. Bajeti hii ni ndogo, lakini bajeti ya Wizara ya Kilimo imetengewa asilimia 0.52 ya bajeti yote. Tukumbuke Maputo Declaration na baadaye Malabo Declaration, viongozi wa Afrika wote walishauriwa kwamba angalau bajeti zao asilimia 10 iende kwenye bajeti ya kilimo, leo Bunge letu hili Serikali imekuja na 0.52 tunakwenda kwenye nchi ya viwanda ambayo naona haitawezekana kwa sababu bajeti ya kilimo imekuwa ni ndogo mno. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa mazingira haya hata kufikia nchi ya uchumi wa kati na nchi ya viwanda naona ni ndoto za Alinacha, ni ndoto za mchana kweupe. Hatutaweza kufikia kwa sababu siku njema inaonekana tangu asubuhi. Kama tumetenga asilimia 0.52 maana yake viwanda itakuwa ni ndoto, tunazungumza tusiyoweza kuyatenda.
Mheshimiwa Mwenyekiti, suala la masoko ya mazao, juzi nimesikia Serikali inasema sasa tumesharuhusu mazao yauzwe popote pale. Ukweli ni kwamba wananchi wetu wengi wanaolima mazao mbalimbali, kwa mfano wakulima wanaolima mahindi, Mkoa wa Songwe wananchi waliuza debe la mahindi mwaka mmoja na nusu Sh.20,000 kwa debe moja, leo wanauza Sh.3,500 na maeneo mengine na mikoa inayolima mahindi ni mingi sana.
Mheshimiwa Mwenyekiti, tulipata soko la mahindi nchini Kenya, baada ya kufunga mipaka kuzia mahindi yasipelekwe nje, Kenya wakaenda kununua mahindi Zambia, wameenda kununua Uganda, wananchi wetu wakakosa masoko ya mahindi. Wamenunua pembejeo kwa bei kubwa sana, hali ni mbaya kwelikweli, Serikali lazima ioneshe commitment kwamba masoko ya mazao trip hii hawatazuia tena.
Mheshimiwa Mwenyekiti, jambo lingine ni suala la Serikali ya Awamu hii ya Tano imetia fora kwa kuleta Bungeni bajeti isiyotekelezeka.
MHE. PASCAL Y. HAONGA: Mheshimiwa Naibu Spika, nakushukuru sana. Naomba na mimi niweze kuchangia kidogo, lakini naomba nianze na suala la vitambulisho vya ujasiliamali.
Mheshimiwa Naibu Spika, nataka labda nijue kwa sababu Serikali iko hapa, kwa sababu mchakato wa vitambulisho vya wajasiliamali halikuletwa Bungeni, tumeona Mkuu wa Nchi, Rais amewaita Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya Dar es Salaam amewapatia vitambulisho na kwenda kuvipeleka kwenye Mikoa au kwenye Wilaya ili waende kuuza shilingi 20,000/=. Sasa swali langu ambalo naomba Mheshimiwa Waziri atakapokuwa anahitimisha atuambie, kitambulisho kimoja kilitengenezwa kwa shilingi ngapi?
Mheshimiwa Naibu Spika, swali la pili ambalo nitaomba anijibu baadaye atakapokuwa anahitimisha, atuambie Mheshimiwa Rais alipokuwa anasema kuanzia wajasiliamali wa mtaji wa shilingi milioni nne kushuka chini, alikuwa anamaanisha kwamba kushuka chini hadi shilingi ngapi? Je, hata mwenye mtaji wa shilingi 500/= naye anahusika? Kwa sababu kuna akina mama ambao wanauza nyanya mafungu mawili; ana mtaji wa shilingi 1,000/= leo anaambiwa akalipe kitambulisho cha shilingi 20,000. (Makofi)
Mheshimiwa Naibu Spika, mama mwingine anauza nyanya chungu, ana mtaji wa shilingi 500 anaambiwa naye alipe kitambulisho cha shilingi 20,000/=. Sasa je, ilikuwa shilingi milioni nne hadi shilingi ngapi? Hapa Mheshimiwa Waziri atatuambia. (Makofi)
Mheshimiwa Naibu Spika, jambo la tatu ambalo naomba Mheshimiwa Waziri atuambie, je, tenda ilitangazwa ili kupata yule atakayetengeneza vitambulisho? Kama tenda hii ilitangazwa, ni nani aliyeshinda? Kama tenda haikutangazwa, tafsiri yake ni kwamba kuna makosa yanayofanyika inawezekana vitambulisho vya ujasiliamali likawa ni dili la mtu na Bunge sisi tusijetukatumika kama rubber stamp kupitisha mambo ya mtu binafsi. Kwa hiyo, tenda ilitangazwa? Nani aliyeshinda kwenye tenda hii? (Makofi)
Mheshimiwa Naibu Spika, jambo lingine niseme tu kwamba ukweli ni kwamba sisi wote tunafahamu ukienda leo kule Mbozi kwa mfano pale Mlowo au ukaenda kule Kijijini Igambo au Hampangala akina mama wanahangaika sana. Hii imekuwa kama ni kodi ya kichwa imerudishwa. Leo mama mmoja anauza nyanya kwenye nyumba moja, anaambiwa alipe shilingi 20,000/=; baba anauza miwa, anaambiwa alipe shilingi 20,000/=, mtoto mwingine anauza bamia, alipe shilingi 20,000/=, mtoto mwingine anauza nyanya chungu shilingi 20,000/=. Nyumba moja shilingi 80,000/=. Sasa hii ni zaidi ya kodi ya kichwa. Kama Serikali imeleta kodi ya kichwa, wawaambie Watanzania. (Makofi)
Mheshimiwa Naibu Spika, najua wewe unatoka kule Rungwe, wapo akina mama wanaohangaika. Kama leo wamerudisha kodi ya kichwa Bunge hili liwaambie kwamba kodi ya kichwa imesharudishwa na hii Wabunge hatutakuwa tayari kukubali suala hili la kodi ya kichwa kurudishwa kwa mara nyingine tena. (Makofi)
Mheshimiwa Naibu Spika, jambo la pili, leo Serikali ilisema kwamba itapeleka shilingi milioni 50 kila kijiji. Badala ya kupeleka shilingi milioni 50 ya kila kijiji, imeenda kuwadai watanzania wote shilingi 20,000/=. Kwa sababu kama Serikali iliahidi shilingi milioni 50, kwa nini hazijapelekwa? Badala ya kuzipeleka, imeanza kuchukua shilingi 20,000/= kwa kila Mtanzania, kwa sababu nchi hii imewaambia hadi wapiga debe, makonda, wanaoziba pancha za baiskeli, kila mtu. Sasa hali hii ni mbaya sana. (Makofi)
Mheshimiwa Naibu Spika, jambo la pili, amezungumza dada yangu hapa Mheshimiwa Suzan Kiwanga, naomba haya maneno ya kuhusu ndugu yangu Jenerali Mabeyo Mkuu wa Majeshi, nimeyanukuu hapa; ili mkisema kwamba kama kuna ushahidi, nimeyanukuu yapo hapa na ushahidi upo. Katika baadhi ya maneno yake alisema kwamba, “ndani ya nchi yetu kwa kushirikiana na vyombo vingine, tutawalinda wananchi na mali zao, tutakabiliana na matishio ndani ya nchi yetu na sasa hivi tunaendelea kufuatilia kauli tata zinazoashiria uchochezi na machafuko ndani ya nchi yetu.” (Makofi)
Mheshimiwa Naibu Spika, suala la kulinda wananchi na mali zao ni kazi ya Jeshi la Polisi, siyo kazi ya Jenerali Mabeyo. Siyo kazi yake hii. Maana yake kama anataka uteuzi kuwa IGP, atuambie ili Rais amwondoe kwenye nafasi yake… (Makofi)
MBUNGE FULANI: Mheshimiwa Naibu Spika, taarifa.
MHE. PASCAL Y. HAONGA: …ya Mkuu wa Majeshi ampeleke kuwa IGP. Maana yake hii siyo kazi yake. (Makofi)
Mheshimiwa Naibu Spika, yeye kazi yake ni kulinda mipaka ya nchi hii. Siyo kazi hii… (Makofi)
| 2019-08-22T22:08:37 |
https://www.bunge.go.tz/polis/members/252/contributions
|
[
-1
] |
Imetumwa : July 10th, 2018
Ngozi ni ziwa la kreta (crater lake) lipatikanalo Mkoa wa Mbeya kwenye milima ya Uporoto, lipo katika nyuzi 9.008° Kusini na 33.553° Mashariki, ni ziwa la pili kwa ukubwa barani Afrika baada ya lile lililoko nchini Ethiopia. Hata hivyo, wataalamu wanasema kwamba Ziwa Ngosi lina sifa za kipekee linazolitofautisha na lile lililoko Ethiopia.
Moja ya tofauti hizo ni kwamba Ziwa Ngozi lina umbo ya ramani ya Afrika na limezungukwa na milima na misitu minene tofauti na lile la Ethiopia ambalo liko eneo lililo wazi na hufikika kwa urahisi kabisa kwa gari kitu ambacho hakiwezekani kwa Ziwa Ngosi.
Wataalamu wanasema kwamba kuwepo kwa ziwa hilo sehemu hiyo kunasaidia kuzuia milipuko ya mara kwa mara ya volkano kwa kuwa linasaidia kupunguza misukumo ya gesi inayojijenga chini na kuanza kutafuta upenyo wa kutokea chini ya ziwa.
Ziwa hili pia lina ingiza tu maji na halitoi maji kwa sababu liko katikati ya milima hivyo kuonekana kama liko shimoni alafu halina ufukwe, ziwa hili linalopatikana katika Hifadhi ya msitu Uporoto (Poroto Ridge) yenye eneo la hekta 9,332 ipatikanayo karibu na vijiji vya Kisanga 4.3km Uyole (24.4km) na mji mdogo wa Tukuyu upatikanayo wilaya ya Rugwe.
Zipo imani nyingi potofu juu ya ziwa hilo la maajabu watu husema ziwa hili lilichomwa moto na wakazi wa kijiji cha Mwakaleli kwasababu lilikuwa likileta mikosi mingi kijijini hapo ikiwemo vifo vya mara kwa mara kitu ambacho si sahihi kitaalam ziwa haliwezi kuhama,
Zipo imani miongoni mwa watu kuwa ziwa ngosi watu wanapotea kimazingara, kuwapo kwa sauti za watu wasioonekana ndani ya misitu, wengine husema ziwa hilo limekuwa likigeuka rangi mara kwa mara na kuwa na rangi za kijani, bluu, nyeusi na nyeupe.
Chanzo: Mbeya Tourism Blog
| 2018-07-21T13:57:30 |
http://mbeya.go.tz/new/lijue-ziwa-ngozi
|
[
-1
] |
MWAKILISHI WA TANZANIA KWENYE MASHINDANO YA MISS AFRIKA 2016 AKABIDHIWA BENDERA YA TAIFA NA WAZIRI NAPE ~ K-VIS BLOG '; if(img.length>=1) { imgtag = '
MWAKILISHI WA TANZANIA KWENYE MASHINDANO YA MISS AFRIKA 2016 AKABIDHIWA BENDERA YA TAIFA NA WAZIRI NAPE
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye,(kulia), akimkabidhi Bendera ya Taifa, mwakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya Miss Africa 2016 Julietha Kabete wakati wa mkutano na waandishi wa habari ofisini kwa waziri jijini Dar es Salaam, Novemba 14, 2016. Mashindano hayo yatafanyika nchini Nigeria. (PICHA NA
RAYMOND MUSHUMBUSI WHUSM).
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye,(kulia), akizungumza na waandishi wa habari wakati wa hafla hiyo.
Julietha Kabete,(katikati), akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es Salaam kuhusu ushiriki wake kwenye mashindano hayo
Mwenyekiti wa Kamati ya Miss Tanzania Bw. Hashim Lundenga ( katikati) akifafanua jambo kwa waandishi wa kuhusu mchakato wa kumpata mshiriki wa mashindano hayo kutoka kwa washiriki wa Miss Tanzania 2016 wakati wa hafla ya kumkabidhi Bendera ya Taifa, Julietha Kabete
Mwakilishi wa Millen Magese group company Ltd Bw. Matukio Aranyande Chuma.(katikati) akitoa maelezo kuhusu mashindano ya Urembo ya Afrika kwa mwaka 2016 kwa waandishi wa habari leo Novemba 14, 2016 Jijini Dar es Salaam.
| 2017-08-22T18:34:48 |
http://khalfansaid.blogspot.com/2016/11/mwakilishi-wa-tanzania-kwenye.html
|
[
-1
] |
Wito wa Kufanya Usafi Kila Jumamosi ya Mwisho wa Mwezi - LEKULE BLOG
Home KITAIFA NEWS Wito wa Kufanya Usafi Kila Jumamosi ya Mwisho wa Mwezi
Wito wa Kufanya Usafi Kila Jumamosi ya Mwisho wa Mwezi
Sostenes Lekule Wednesday, March 23, 2016 KITAIFA, NEWS,
Watanzania Wenzangu mtakumbuka kwamba tulikubaliana tuwe tunafanya usafi wa mazingira yetu nchi nzima kila jumamosi ya mwisho wa mwezi ili kuitikia wito wa Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliouanzisha tarehe 09 Desemba 2015.
Nachukua nafasi hii kuwasihi Watanzania wote kushiriki kikamilifu kufanya Usafi wa Mazingira kwenye Makazi yetu, Maeneo yetu ya Biashara, maeneo ya Taasisi za Umma na maeneo yenye mikusanyiko ya watu mbalimbali kama masokoni na minadani.
Mbali ya kwamba kufanya usafi kuna fanya mazingira yetu yapendeze na hivyo kuondoa magonjwa yanayo sababishwa na uchafu lakini pia zoezi la kufanya usafi kwa pamoja lina jenga Umoja na Mshikamano wa kitaifa, linaondoa matabaka ndani ya jamii yetu.
Natoa wito kwa kila Mtanzania Kujitokeza kufanya usafi bila kujali uwezo wa mtu,hadhi yake,cheo chake, au nafasi yake katika jamii. Viongozi wa makundi yote katika jamii tuwe mfano katika jambo hili jema.
Nichukue fursa hii kusisitiza tuendelee kujitokeza kufanya Usafi ili Utamaduni huu ujengeke kwa Kizazi cha sasa na kizazi kijacho.
Watanzania wote wa Mijini na Vijijini tujenge desturi ya kuweka mazingira yetu katika hali ya usafi wakati wote na katika jambo hili kila mmoja wetu awe mlinzi wa kukemea watu wenye tabia za kutupa taka hovyo ili maeneo yetu yawe katika hali ya usafi na yakuvutia wakati wote.
Usafi kwenye nyumba na mazingira yako,Usafi kwenye sehemu ya Shughuli zako na mazingira yake ndio usafi wa Taifa. Tujitokeze,Tuungane tukafanye Usafi kila Jumamosi ya Mwisho wa Mwezi kuanzia saa 12 Asubuhi
By Sostenes Lekule at Wednesday, March 23, 2016
| 2018-02-25T21:30:55 |
http://sosteneslekule.blogspot.com/2016/03/wito-wa-kufanya-usafi-kila-jumamosi-ya.html
|
[
-1
] |
Bayern yafungwa lakini yasonga mbele | Michezo | DW | 24.11.2010
Bayern yafungwa lakini yasonga mbele
Na katika michuano ya Kombe la Mabingwa wa Ulaya-Champions League, timu ya Ujerumani ya Bayern Munich jana imefungwa mabao 3-2 na timu ya AS Roma ya Italia katika dakika za mwisho.
Mario Gomez akishangilia moja ya mabao yake mawili aliyoifungia Bayern Munich jana
Bayern Munich ilikuwa inaongoza katika nusu ya kwanza ya mchezo baada ya mshambuliaji wake Mario Gomez kuifungia timu yake hiyo mabao mawili.
Lakini baadae katika nusu ya pili ya mchezo, AS Roma ilifanikiwa kujipatia ushindi huo wa mabao 3-2. Bayern Munich ambayo tayari imepitia katika awamu ya mtoano, kwa sasa inaongoza kundi E ikiwa na pointi tatu.
Katika mechi nyingine Basel iliifunga CFR Cluj bao 1-0, huku Olympique Marseille ikiichapa Sptartak Moscow mabao 3-0.
Chelsea ambayo tayari imekwishafuzu kwa raundi ijayo iliendeleza ubabe wake kwa kuifunga Zilina mabao 2-1.Nayo AC Milan ilitamba ugenini kwa kuichapa Auxerre mabao 2-0.
Real Madrid haikuwa na huruma kwa Ajax Amsterdam pale ilipoishindilia mabao 4-0, il hali Arsenal ikilambishwa mchanga na Braga kwa kufungwa mabao 2-0.Shakhtar Donetsk ilitamba ugenini kwa ushindi wa mabao 3-0 mbele ya Partizan Belgrade.
Mwandishi:Aboubakary Liongo/Reuters
Tarehe 24.11.2010
Kiungo http://p.dw.com/p/QGgh
| 2017-12-17T22:20:44 |
http://www.dw.com/sw/bayern-yafungwa-lakini-yasonga-mbele/a-6260679
|
[
-1
] |
Naibu Waziri: Jeshi la Polisi Halina Muda wa Kulinda Maandamano Yasiyo na Tija - Karafuu24 Blog
katafuu24 April 21, 2018 Makala
| 2019-08-21T08:27:58 |
http://www.karafuu24.com/2018/04/naibu-waziri-jeshi-la-polisi-halina.html
|
[
-1
] |
The Wait is Over: Hii ni ratiba ya kutoka kwa Collabo za Diamond na P-Square na Papa Wemba mwezi huu | Hisia za Mwananchi
Kama zitatoka katika wiki zitakazofuatana, basi collabo hizi zitamfanya Diamond ateke vichwa vya habari vya Afrika na kumuongezea ukubwa wake unaoendelea kukua kila siku kwenye muziki wa Afrika
| 2018-08-18T18:41:51 |
http://rashidijuma.blogspot.com/2016/06/the-wait-is-over-hii-ni-ratiba-ya.html
|
[
-1
] |
Mbowe afukuzwa jimboni mwake | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Mbowe afukuzwa jimboni mwake
Habari nilizopata sasa hivi kutoka jimbo la Hai ni kwamba Mbowe amefukuzwa jimboni humo na wafuasi wake WanaChadema. Wamemwambia aondoke aende kumsaidia Dr Slaa na wengine katika kampeni zao, kwani humo jimboni mwake Hai, kishamaliza kazi -- watampa kura 100%.
Dr.Slaa ni zaidi ya CCM 100000 X 10000000000000
Habari nilizopata sasa hivi kutoka jimbo la Hai ni kwamba Mbowe amefukuzwa jimboni humo na wafuasi wake WanaChadema. Wamemwambia aondoke aende kumsaidia Dr Slaa na wengine katika kampeni zao, kwani humo jimboni mwake Hai, kishamaliza kazi -- watampa kura 100%.Click to expand...
Mkuu acha hizo! Kidogo unifanye niweweseke!
Mkuu acha hizo! Kidogo unifanye niweweseke!Click to expand...
Duh! Hata mimi kajasho kalianza kunitoka. Jamaa katumia lugha ya aina yake; mpaka usome ndo uelewe. Lah!
Hai inajulikana kwamba Mbunge wa CCM ndugu Fuya Kimbita hapati hata kwa kutambika. Ukweli ni kwamba Mbowe Hai amemaliza na kama ataendelea na kampeni ni waste of resources. Ila hapo tusiseme amefukuzwa bali ameongezewa majukumu baada ya kufanya vizuri:smile-big:
Mkuu vipi tena kichwa cha habari na habari ni tofauti kidogo ungeweza kuandika."Wapiga kura Hai wamwambia Mbowe hana haja ya kufanya kampeni" then unamwaga manyuzi yako tutakuelewa.Bahati mbaya sina kamusi karibu kufukuzwa maana yake ni kukataliwa sawa sawa mkuu imebidi nikope msemo wa Maalimu Seif.
Naungana nao kama ni kweli
Kafukuzwa au kashauriwa tu.................Baadhi ya vichwa vya habari vinaniacha hoi.........
Hai inajulikana kwamba Mbunge wa CCM ndugu Fuya Kimbita hapati hata kwa kutambika. Ukweli ni kwamba Mbowe Hai amemaliza na kama ataendelea na kampeni ni waste of resources. Ila hapo tusiseme amefukuzwa bali ameongezewa majukumu baada ya kufanya vizuri:smile-big:Click to expand...
Kama Zito Kabwe. Hayo ni majembe ya ukweli.
Duh! Hata mimi kajasho kalianza kunitoka. Jamaa katumia lugha ya aina yake; mpaka usome ndo uelewe. Lah!Click to expand...
Lugha safi sana, itawafanya hata wakina MS wasome wakifikiri chichiem inashinda huko Hai.
Umeileta vibaya mpaka nikaona nachelewa kuiona, kama hivyo aende tu huko kumpiga tough DR. Slaa, wakuu wengine tuko mbali na habari Je DR.Slaaa anaenda Lindi na mtwara lini?
Unafaa kuwa mwandishi wa habari wa magazeti ya Udaku! Maana heading hii kidogo initoe jasho. But keep it up and make sure all of u vote for the better Tanzania of tomorrow
Kama ni gazeti lingeuza sana.
Good news by the way.
Nilipoona kichwa cha habari nilishutuka
Mkuu unaweza kuua watu kwa presha, bahati imekuwa sio kama nilivyoelewa ningeweza kufa
Hahahaha nilikimbilia hapa kujua kulikoni! All is fine asante
Mwanangu nimeshtuka na hiyo heading yako
Nchi iko kwa slaa,mtu makini,tunamwamini na Tunamhitaji.
| 2016-12-04T06:13:26 |
http://www.jamiiforums.com/threads/mbowe-afukuzwa-jimboni-mwake.81096/
|
[
-1
] |
Vitu Vitatu Vitakavyokufanya Uwe Na Hamasa Ya Kufikia Mafanikio. – AMKA MTANZANIA
Vitu Vitatu Vitakavyokufanya Uwe Na Hamasa Ya Kufikia Mafanikio.
Hamasa ni kitu muhimu sana ili uweze kufikia mafanikio kwenye jambo lolote unalofanya.
Hii ni kwa sababu katika njia yoyote utakayopita utakutana na vikwazo na pia katika yale utakayofanya utapata changamoto.
Bila ya kuwa na hamasa kubwa utaishia njiani kwa kukata tamaa haraka sana.
Uzuri ni kwamba unaweza kuhamasishwa na pia unaweza kujihamasisha mwenyewe.
Unahamasishwa unaposoma vitabu ja makala nzuri kama hizi unazosoma hapa kwenye JIONGEZE UFAHAMU, MAKIRITA AMANI, AMKA MTANZANIA na KISIMA CHA MAARIFA.
Baada ya kupata hamasa hii unaweza sasa kuendelea kujihamasisha mwenyewe.
Ili kujihamasisha mwenyewe unahitaji kuwa na vitu hivi vitatu muhimu;
1. Kujisimamia.
Kama unajua kwamba unaweza kujisimamia mwenyewe unakuwa na hamasa kubwa sana ya kufanya vizuri. Hakuma mtu ambaye anapenda kupangiwa kila kitu cha kufanya, unapokuwa na nguvu ya kujipangia na kujisimamia unakuwa na hamasa ya kutekeleza mipango yako.
2. Kubobea.
Kama wewe ni mtaalamu wa kitu unachofanya unakuwa na hamasa kubwa ya kufanya kitu hiko. Kama umebobea na unatoa vitu ambavyo kila mtu anavikubali utahamasika kufanya zaidi ili wengi zaidi wanufaike na kile unachotoa.
SOMA; Kitu hiki kimoja ndio kitakufanya uanze.
3. Dhumuni.
Kama una dhumuni zuri la kuwasaidia wengine kwa kile unachofanya utahamasika kufanya zaidi. Kwa kuwa unajua watu wanakiutegemea kwa unachofanya na wanategemea kitu bora, hutotaka kuwaangusha. Hii itakuhamashisha ufanye zaidi na zaidi.
Hivyo ndio vitu vitatu muhimu unavyohitaji ili kujihamasisha. Habari njema ni kwamba kama huna vitu hivyo unaweza kujifunza. Na utajifumza kwa kujiunga ma KISIMA CHA MAARIFA ambapo mimi na wewe tutakuwa karibu zaidi.
Kama Unataka Kuwa Na Mafanikio Makubwa Mwaka 2015, Acha kufanya Mambo Haya.
| 2017-10-18T16:55:35 |
https://amkamtanzania.com/2015/01/21/vitu-vitatu-vitakavyokufanya-uwe-na-hamasa-ya-kufikia-mafanikio/
|
[
-1
] |
MIRERANI TANZANITE: January 2014
Posted by Joseph Lyimo at 00:56 No comments:
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Elaston Mbwilo akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa 20 wa Kamati ya Ushauri ya mkoa huo (RCC) mjini Babati.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utawala Bora) Kapteni Mstaafu George Huruma Mkuchika akizungumza kwenye Mkutano wa 20 wa Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Manyara mjini Babati.
Posted by Joseph Lyimo at 01:36 No comments:
Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini Mkoani Manyara, Vrajilal Jituson akizungumza kwenye mkutano wa 20 wa Kamati ya Ushauri ya mkoa huo, ambapo alisema sheria ya manunuzi inatakiwa ibadilishwe.
Mbunge wa Vitimaalum Mkoa wa Manyara, Pauline Gekul akizungumza juzi kwenye mkutano wa 20 wa Kamati ya Ushauri ya mkoa huo, ambapo alisema viongozi wanatakiwa kujali utawala bora wenye kufuata sheria.
Posted by Joseph Lyimo at 01:10 No comments:
| 2017-09-23T11:05:09 |
http://mireranitanzanite.blogspot.com/2014/01/
|
[
-1
] |
Jinsi Ya Kuongoza Watu Wa Mauzo - Digitalwaves
6 Feb Jinsi Ya Kuongoza Watu Wa Mauzo Author Digital wavesOn 06. Feb 2017 Kama meneja kazi kubwa ambayo wengi hupata ni kuhakikisha watu wamauzo wanafanya kazi nzuri. Mara nyingi tunawalaumu wafanyazi wenzetu kwa matokeo yasiyo ridhisha kama kutokuwa na mpangilio, mipango, kughairi mambo, kutokuwa na ushirikiano, mauzo sifuri na mengine mengi.
Hata hivyo kama maneja inabidi tuwe makini katika mbinu zetu tunazotumia kuongoza timu zetu. Nahodha anaweza kuzamisha meli au kuiongoza mpaka ufukweni.
Ni muhimu kuweka akilini kuwa timu yako ndio mafanikio au hasara yako. Jinsi unavyopanga kuunda na kuongoza timu yako ndio kutaleta matokeo katika ushalishaji.
Njia za kuongoza watu wa mauzo ni kama;
Tumia njia ya ufundishaji, kuwaongoza na kuwaelezea bila kuwa na matarajio makubwa katika uwezo wao. Kama maneja unatakiwa kutambua kuwa sio kila mtu anaujuzi au uzoefu mzuri kufanya mauzo. Ongea nao namna ya kutatua matatizo wanayokutana nayo bila kukasirika. Mnaweza pia mkajadili changamoto mbalimbali wanazokutana nazo katika kufanya mauzo. Kuwa nao pamoja katika kila hatua.
Fanya urafiki na wafanyakazi. Watu wa mauzo sio kama wahasibu au wanyakazi wengine katika kitengo chako ambao wanafuata utaratibu Fulani kufanya kazi. Watu wamauzo wananamna zao pekee zakuwashawishi wateja kununua bidhaa hizo. Huwezi kumlazimisha mtu wa mauzo kutumia njia unayomuelekeza kushawishi wateja kununua. Timu yako inahitaji kuwa huru kutumia uwezo wao kufanya mauzo.
Tambua uwezo wa kila mtu katika timu yako. Kwa mfano; mwengine anaweza akawa sio mzuri katika kuandaa mikakati au ripoti. Lakini anaweza kuwa mzuri katika kumshawishi mtu na jinsi yakuwasilisha bidhaa kwa mteja.
Kuwapongeza; Moja ya njia mbadala yakufanya timu yako iendelee kufanya kazi vizuri ni kuwapongeza. Ikiwa ni mauzo kwa mara ya kwanza au ya mia. Ni lazima kuonesha umuhimu wa kazi anayofanya mtu wa mauzo. Kuna wakati ambapo mauzo yako chini sana. Hii inaweza kusababishwa na hali mbaya ya uchumi, mabadiliko ya hewa, siasa na mengineyo. Kama meneja bado unatakiwa kuonesha unatambua jitihada zao za kuongeza mauzo ya kampuni.
Best Ways To Increase Sales Performance 5 Advantages Of Social Media Management
| 2017-07-27T08:35:36 |
http://digitalwavesafrica.com/jinsi-ya-kuongoza-watu-wa-mauzo/
|
[
-1
] |
Wezi wa Tanesco ni Sengerema Engineering Goup Ltd | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Wezi wa Tanesco ni Sengerema Engineering Goup Ltd
Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by DALA, Jul 12, 2012.
Salaam kwa wote,
Mimi ninamiliki biashara ya car wash maeneo ya Mabibo kwenye barabara ya kuelekea Loyola opposite na Jambo Garden.
Nilikamilisha taratobu za kuomba huduma za Za umeme na kufanikiwa kulipa kiasi cha 1,175, 500/= kama gharama za kuunganishiwa umeme 06/02/2012. Mpaka leo, sijaletewa umeme zaidi ya nguzo waliouleta karibia miezi miwili iliyopita.
Leo mida ya saa tano na nusu nilipigiwa simu na kijana wangu akinitaarifu kwamba kuna watu kutoka Tanesco wamekuja kung'oa nguzo ikabidi niongee nao kwenye simu, jamaa wakaniambia kwamba wanalazimika kung'oa nguzo kwasababu watu wanalalamika eti serikali haikuwalipa fidia nilipomuuliza maswali mawili matatu nikaona anashindwa kunipa majibu yakuridhisha ikabidi niende kuongeanao ana kwa ana.
Nilishangaa kukuta gari aina ya Canter yenye namba T845 ASH inayomilikiwa na kampuni ya Sengerema Engeneering Group Ltd. Tulibishana matokeo yake walishindwa kung'oa nguzo baada ya kuishiwa hoja ikabidi niende Tanesco Magomeni kufuatilia.
Nilichoambiwa ni kwamba hawa ni independent contractors wa Tanesco ila kuna wakati wanaiba vifaa kama hivyo kwa matumizi yao ya kampuni. Mapokeo ya Tanesco kwa kiasi yamenionyesha picha kwamba watumishi wa Tanesco wanalielewa hili ila ninashangaa hawachukui hatua stahiki kuondokana na watu kama hawa katka uchumi wetu.
Tunakokwenda mbali kweli. Ngoja tuone!
Pole sana, kwahiyo kama ni kampuni ya ya watu binafsi nani aliaambia waziweke awali hizo nguzo ni Tanesco au waliamua kuziweka wao? Hapo kunatatizo.
Hawa kwa kifupi ni wezi hawakuweka nguzo! Wanapita kuiba nguzo kutoka pale ambapo Tanesco wameweka bila kukamilisha kwa kufunga nyaya na mita! Actually walipoona kwamba nimewakalia vibaya ilibidi waondoke!
Hii kampuni naijua huwa inafanya kazi za TANESCO. Sijui kama deal hizi huwa hazina mawaa. Hii ikimfikia Prof. Muhongo basi ata deal nao.
Sengerema Engeneering Goup Ltd - Sounds like kampuni ya Ngeleja mbunge wa Sengerema
Dala, hadi leo kwa nini hujapta umeme? Waziri alitoa press release kuwa wale wote waliolipia wanatakiwa wawe wamepata umeme ifikapo 30 Juni. Kama Tanesco wameshindwa kukupa umeme unatakiwa kutoa taarifa Wizarani. Alitoa na namba za simu.
Nenda Wizarani na risiti zako Mkuu na umwone muhisika.
Sengerema Engeneering Goup Ltd - Sounds like kampuni ya Ngeleja mbunge wa SengeremaClick to expand...
Una akili sana wewe, inaelekea aliipigia debe ili ishinde zabuni ya mabilioni pale TANESCO.
Sengerema ni jimbo la aliekuwa waziri wa zamanai wa nishati na madini ndugu Ngeleja aka Megawat, so its sound ni kama kampuni yake ndo maana its untouchable
Nenda Wizarani na risiti zako Mkuu na umwone muhisika.Click to expand...
Naomba hizo number alizotoa Waziri Muhongo huku kuna watu wengi tu wamelipia lakini hawajafungiwa umeme, TANESCO wanadai hawana nguzo.
Huenda ikawa ni ya kwake, si unajua katoka hapo hapo wizara ya 'Umeme'?
Una akili sana wewe, inaelekea aliipigia debe ili ishinde zabuni ya mabilioni pale TANESCO.Click to expand...
BAK nimejaribu tu kuunganisha some dots. Maana Ngeleja ambaye ni mbunge wa Sengerema alikuwa waziri wa nishatii na madini na TANESCO ilikuwa chini yake. Na kwa kuwa walishaona rais ni dhaifu basi jamaa wanaunda tu vikampuni na kujipatia tenda za kuiba pesa za walipa kodi kama watakavyo. Too bad.
Nilikamilisha taratobu za kuomba huduma za Za umeme na kufanikiwa kulipa kiasi cha 1,175, 500/= kama gharama za kuunganishiwa umeme 06/02/2012. Mpaka leo, sijaletewa umeme zaidi ya nguzo waliouleta karibia miezi miwili iliyopita.................Click to expand...
Hii bei ya 1,175,500 ni malipo ya umeme wa haina gani? Ebu fuatilia, utakuwa umeingizwa mjini.
Sidhani kama ni kampuni ya ngeleja,MKurugenzi mkuu wa kampuni hii anaitwa Joseph Masindi yupo pale ubungo NSSF building ndio ofisi yao.Sijui sana kuhusu utendaji wao wa kazi,ila kama ni kweli basi duh sitajaribu kuwatumia nikipata tenda
Ibra, nimepiga maktime mpaka nimechoka! Kama nchi inahujumiwa hivi unategemea nini? Tanesco hawaishiwi mistari, suluhisho ni kuweka serikali itakayokuwa na sauti kwa taasisi zake otherwise hapa hakuna kitu! The system is too corrupt to bring us development we want!
| 2016-12-05T02:55:38 |
http://www.jamiiforums.com/threads/wezi-wa-tanesco-ni-sengerema-engineering-goup-ltd.291355/
|
[
-1
] |
WATUHUMIWA 58 WAKAMATWA SAKATA LA DAWA ZA KULEVYA | TANURU LA FIKRA BlogNews
Home TANURI LA FIKRA-KITAIFA WATUHUMIWA 58 WAKAMATWA SAKATA LA DAWA ZA KULEVYA
WATUHUMIWA 58 WAKAMATWA SAKATA LA DAWA ZA KULEVYA
Tanuru Media 6:29:00 AM Add Comment TANURI LA FIKRA-KITAIFA Edit
Zipo taarifa kuwa baadhi ya wananchi Mkoa wa Mjini Magharibi wanatumia, wanashiriki, wanafadhili au kusaidia biashara ya madawa ya kulevya kama ilivyo kwenye maeneo mengine nchini.
Hata hivyo Serikali ipo kwenye vita kali ya kupambana na mtandao wa madawa ya kulevya na Inspekta Jenerali wa Polisi kwa kushirikiana na Kamisheni ya Polisi Zanzibar waliunda timu kutoka Kitengo cha Operesheni Maalum za Polisi Makao Makuu Dar es salaam kuja kuongeza nguvu katika ufuatiliaji wa kero hii kama ilivyo kwenye maeneo mengine ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
katika oparation hiyo kumeweza kubaini taarifa na kuwakamata watu kadhaa wanaohusika kwa namna moja au nyingine kwa kutumia, kuuza, kufadhili au kusaidia na mpaka sasa jumla ya watuhumiwa 105 wamekamatwa.
Na katika hao watuhumiwa walioshikiliwa waliopatikana na hatia ni 58 ambao kati ya hao watuhumiwa 26 wamefikishwa mahakamani tayari, na watuhumiwa 16 bado wako chini ya upelelezi na 16 wengine wapo chini ya uangalizi wa polisi(police supervisee.
Na vielelezo vilivyopatikana ni Heroin kete 1293 na vifuko vitatu ambavyo ni sawa na gramu 74.385 na banghi vifurushi 373 na nyingine vifuko vitatu.
Wito kwa wananchi wote
Tahadhari kwa wananchi wote wanaohusika kwenye mtandao huu kuacha mara moja kwa kuwa vita hii imeshaanza na inaendelea kwa lengo la kuhakikisha usalama wa vizazi vilivyopo na vizazi vijavyo maana madawa haya yanaathiri zaidi vijana ambao ndiyo muhimili na nguvu kazi ya Taifa.
Aidha nawapongeza wananchi wote waliotoa ushirikiano wa kutoa
taarifa za uhalifu huu bila ya kuona muhali. Niwaombe wananchi wote
kuendelea na ushirikiano huu wa kutoa taarifa.
Mwisho natuma salamu kwa watuhumiwa wote waliotoroka kule
walipo wajue kuwa wanatafutwa na watakamatwa ili wahojiwe na
hatimae kufikishwa Mahakamani.
Liberatus Sabas – DCP
Mkuu Wa Uperesheni Maalum za Polisi Tanzania
| 2018-07-18T22:05:29 |
http://www.tanurulafikra24.com/2018/03/watuhumiwa-58-wakamatwa-sakata-la-dawa.html
|
[
-1
] |
dj sek: KIVUKO CHA MV KILOMBERO II KUANZA KAZI
KIVUKO CHA MV KILOMBERO II KUANZA KAZI
Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano inapenda kuujulisha umma kuwa kivuko cha MV Kilombero II ambacho kilizama tarehe 27 Januari 2016, na kusababisha kusimama kwa hudum ya kivuko kwenye Mto Kilombero Mkoani Morogoro kimeanza kufanyakazi rasmi tarehe 29 Februari, 2016 mara baada ya kukamilika kwa ukarabati wake.
Kivuko hicho kinaendelea na ratiba yake ya utoaji huduma ya kivuko kuanzia saa 12:30 asubuhi hadi saa 1:00 jioni kama kawaida. Wizara inaomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza wakati kivuko hicho kikiwa kwenye matengenezo.
Taarifa hii imetolewa na,
KATIBU MKUU (UJENZI),
Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano,
Posted by dj sek at 5:34 PM
| 2017-09-22T20:22:36 |
http://dj-sek.blogspot.com/2016/03/kivuko-cha-mv-kilombero-ii-kuanza-kazi.html
|
[
-1
] |
Who owns BP Tanzania Ltd? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Who owns BP Tanzania Ltd?
Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Jackbauer, Aug 8, 2011.
Kama serikali ya Tz inamiliki 50% ya hisa za BP tanzania iweje kampuni hii "igome" kuuza mafuta?ina maana serikali imeamua kuhujumu watu wake?
Huyu mmiliki mwingine ni nani?ana uwezo upi wa kuzuia uuzaji wa mafuta?
godbiy
Mmiliki mwingine kwa sasa ni BP yenyewe kupitia Africa arm. Ingawa kwa wale waliobahatika kusoma press release ya FCC (fair competition commission), BP wameuza kwa Puma Energy (subsidiary of Trifigura).
Kuhusu kugoma,hilo swali kwa kweli ni gumu kwani maamuzi ya kuuza au kutouza yanafanywa na board members ambayo 50/50 kati ya BP na Serikali. Hilo ni moja lakini la pili ambalo ndilo ninalohisi ni sababu ya tatizo lenyewe ni kwamba,haya macampuni ya kigeni (i.e Oryx,BP,Total etc), mfumo wao wa biashara ni kwamba, kituo kinakuwa chini ya umiliki wa kampuni lakini uendeshaji anapewa dealer ambaye kazi yake ni kununua mafuta kutoka kwa kampuni yake lakini anakuwa na 100% mamlaka ya uendeshaji wa kituo, kwa lugha ya kigeni wanaita "Company owned but dealer operated" sasa kutofungua inawezekana supplier ambaye ni BP ameamua kutouza mafuta au huyu dealer ameona hatapata faida kama akinunua mafuta kwa bei ambayo atauziwa na supplier wake.
godbiy said:
This is my viewClick to expand...
nashukuru kwa ufafanuzi!kwa maelezo yako yawezekana dealer ndiye anayecheza mchezo mchafu,ni vizuri tukamjua huyo 'dealer' anayemtunishia misuli mmiliki!
Ukweli ni kuwa serikali ni legelege!! Ni ajabu kuona wafanyabiashara wa mafuta wanaitunishia misuli serikali!!
Phweeew!! Yaani leo wese nomaaaa!!!
Huyu mmiliki mwingine ni nani?ana uwezo upi wa kuzuia uuzaji wa mafuta?Click to expand...
Nadhani haiwezekani labda ni 49% kwa 51%
I might be mistaken but didn't the indian company Reliance industries by part of BP-Africa when the guy Ambani came to Serengeti Kempenski?? I dnt knw if he is the owner or the dealer?
http://www.reliance-tracker.in/mukesh-ambani/mukesh-ambani-bids-for-bp-tanzania-assets/
Wow! Jamani mnataka kunambia serikali yetu ina own - BP Shell? au mimi ndio sielewi mchokizungumza hapa...Au mnazungumzia BP as a Franchise maanake nijuavyo wenye vituo hununua haki miliki (franchise) kutoka BP na kuifanya biashara hiyo kitkt eneo husika kwa niaba (under licence) unakatiwa cha juu.
Wameshindwa kufanya maamuzi ili kulinda nidhamu na uwajibikaji ndani ya chama, sasa wanashindwa hata kusimamia wauza mafuta? What do we need the government for? Hivi Ngeleja akibeba mikoba yake kwenda kazini kesho anaenda kufanya nini hasa kama hata kutoa kauli juu huu mgomo ameshindwa?
Wakati mwingine serikali inajitakia kulaumiwa. Hivi kweli wameshindwa kutatua huu mgomo?
Lege lege,.......
Nadhani haiwezekani labda ni 49% kwa 51%Click to expand...
radio mbao zinaniambia ni 50%
Wow! Jamani mnataka kunambia serikali yetu ina own - BP Shell?Click to expand...
ni BP Tanzania!
Wameshindwa kufanya maamuzi ili kulinda nidhamu na uwajibikaji ndani ya chama, sasa wanashindwa hata kusimamia wauza mafuta? What do we need the government for? Hivi Ngeleja akibeba mikoba yake kwenda kazini kesho anaenda kufanya nini hasa kama hata kutoa kauli juu huu mgomo ameshindwa?<br />
Wakati mwingine serikali inajitakia kulaumiwa. Hivi kweli wameshindwa kutatua huu mgomo?Click to expand...
imefika mahali tuisaidie kazi wizara husika na serikali kwa ujumla,inasikitisha kuona wafanyabiashara wanaiendesha serikali namna hii mara leo sukari kesho mahindi keshokutwa mafuta.huyu dealer ni nani huyu?
Kauli ya serikali kuhusu mgomo wa wauza mafuta yaweza kuwa hivi;
''HAWA WATU NI HATARI, TUKIWAGUSA NCHI HAITATAWALIKA!''
Wow! Jamani mnataka kunambia serikali yetu ina own - BP Shell? au mimi ndio sielewi mchokizungumza hapa...Au mnazungumzia BP as a Franchise maanake nijuavyo wenye vituo hununua haki miliki (franchise) kutoka BP na kuifanya biashara hiyo kitkt eneo husika kwa niaba (under licence) unakatiwa cha juu.Click to expand...
Serikali ina own 50% ya BP Tanzania now acquired by Puma Energy.
NAIROBI (Reuters) - Tanzania's competition regulator on Friday approved the sale by London-based BP of a 50 percent stake in a fuel marketing business in the east African country to Puma Energy, a subsidiary of Dutch commodity trader Trafigura.
The deal follows an announcement by the oil major in November that it had agreed to sell its southern African network to Trafigura for $296 million, part of a trend that oil majors are exiting fuel retail businesses.
The go-ahead was granted by Tanzania's Fair Competition Commission (FCC) after BP announced it would sell interests in forecourts and supply businesses in Namibia, Botswana, Zambia, Tanzania and Malawi to Puma Energy.
Oil traders such as Trafigura have not historically involved themselves in fuel retail business.
Tanzania's government, which owns the remaining 50 percent stake in BP Tanzania, did not object to the acquisition.
radio mbao zinaniambia ni 50%Click to expand...
Jamani 50% ni January Makamba and the Washikajiz,Huyu Dogo anautaka sana Uwaziri wa Nishati na Madini.Kwa hiyo atafanya bidii zote kuonyesha Weakness za Ngereja ili JK amtimue ampe yeye shavu,alianza na Umeme amempata,sasa ilibaki mafuta tu,and there he is now!!Hahaaaaa Go January,next week Yule mpangaji wa Magogoni atakuona,na ndio maana kauchuna kwa sababu anajua kinachoendelea,Husein Mwinyi kajenga shell(Lake Oil) barabarani ili jembe mzee wa barabara asibomoe,Nchi2 & Liz(Camel oil) ,Liz anamiliki malori ya kusafirisha wese,sasa kuna nini hapa.Wanajenga mazingira ya kuonesha kijana anafanya vizuri na kamati yake ya Mashati ya Majini,nashangaa mpaka leo nayeye kauchuna wakati kwenye umeme alikuwa anbonga sana huyu dogo mithili ya baba yake mzee yusuph!!!!!!!!!Swaumu kali kama nimebugi mnanicheki kwenye phone Wakuu.
Kuna kitu kimoja hatukielewi hapa, haya makampuni hakuna anaesema amegoma, bali wanakuambia wana-review (calculate) price ili kuangalia kama wanaweza match na Ewura.
So hata BP hawawezi kudai kua wamegoma.
EWURA ingeacha ubabe katika hili suala tusingefikia hapa tulipo. Ewura inatumia U-Serikali kuwatishia waagizaji mafuta ikitegemea wataogopa kutokana na Ugeni wao nchini
This is a good question. Waandishi wa habari kama mnategeme kila kitu ni chadema tu basi hakuna industry ya news Tanzania. Imeonekana kwabisa waandishi wengi wa habari hawaulizi ccm na kikwete wao kwanini nchi haijui waamiliki wa hizi kampuni hapa nchini? Nchi gani ina population 43 million lakini anayefahamu mmiliki wa bp ni kikwete na wizara ya nishati ya madini? Hapa kuna tatizo na journalism Tanzania nayo imekuwa dhaifu mno na muamke na kuacha kuwaachia chadema wakitetea nchi yao kila siku, journalists nendeni nje ya ofisi ya ngereja na uwanja wa ndege muwasubiri kikwete na mke wake wakitaka kuondoka usiku. Journalism sio makala ya vichekesho, starehe na pombe its leadership and sacrifices too.
i smell something kwenye hii migomo...big bon ya pale sinza kwa remmy watu wanagombania mafuta kila siku,yeye hagomi??kweli ridhiwani mjasiliamali
Jamani 50% ni January Makamba and the Washikajiz,Huyu Dogo anautaka sana Uwaziri wa Nishati na Madini.Kwa hiyo atafanya bidii zote kuonyesha Weakness za Ngereja ili JK amtimue ampe yeye shavu,alianza na Umeme amempata,sasa ilibaki mafuta tu,and there he is now!!Hahaaaaa Go January,next week Yule mpangaji wa Magogoni atakuona,na ndio maana kauchuna kwa sababu anajua kinachoendelea,Husein Mwinyi kajenga shell(Lake Oil) barabarani ili jembe mzee wa barabara asibomoe,Nchi2 & Liz(Camel oil) ,Liz anamiliki malori ya kusafirisha wese,sasa kuna nini hapa.Wanajenga mazingira ya kuonesha kijana anafanya vizuri na kamati yake ya Mashati ya Majini,nashangaa mpaka leo nayeye kauchuna wakati kwenye umeme alikuwa anbonga sana huyu dogo mithili ya baba yake mzee yusuph!!!!!!!!!Swaumu kali kama nimebugi mnanicheki kwenye phone Wakuu.Click to expand...
| 2016-10-21T13:28:07 |
http://www.jamiiforums.com/threads/who-owns-bp-tanzania-ltd.162141/
|
[
-1
] |
XTRA COVER.: Fenerbahce WABISHA HODI CAS KUDAI HAKI YAO.
Fenerbahce WABISHA HODI CAS KUDAI HAKI YAO.
Uongozi wa klabu ya Fenerbahce ya nchini Uturuki umefungua kesi dhidi ya shirikisho la soka barani Ulaya UEFA, kwa madai ya kutotendewa haki ya kuondolewa kwenye michuano ya ligi ya mabingwa barani humo ambayo itaendelea kutimua vumbi lake kwa kushuhudia hatua ya makundi ikianza kati kati ya juma lijalo.
Fenerbahce wamefungua kesi hiyo katika mahakama ya kimichezo iitwayo Court of Arbitration for Sport *CAS* iliyo chini ya shirikisho la soka ulimwenguni kote FIFA ambapo pia wanahitaji kulipwa sehemu ya fedha walizotarajia kuzipata katika kipindi cha maandalizi ya michuano hiyo.
Uongozi wa klabu hiyo inayotuhumiwa kupanga matokeo na kujipatia ubingwa wa nchini Uturuki kwa njia zisizo halali, umesema, kesi hiyo imefunguliwa, Sepetember mosi huko CAS na unaamini haki itatendeka na pengine watalipwa fedha hizo na kurejeshwa mashindanoni.
Soko la hisa la nchini uturuki limeonyesha kwamba Fenerbahce wamepoteza kiasi cha Euro million 45, ambacho wangekipata katika maandalizi ya michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya, hatua ambayo inawafanya kulidai shirikisho la soka barani Ulaya UEFA kufuatia hasara hiyo waliyoipata.
Shirikisho la soka barani Ulaya lilitangaza kuiondoa Fenerbahce katika michuano ya ligi ya mabingwa barani humo na nafasi hiyo ikapelekwa kwenye klabu ya Trabzonspor ambayo ilimaliza katika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi ya nchini Uturuki msimu uliopita.
Sakata la upangaji wa matokeo, lilisababisha zaidi ya wachezaji 30 pamoja na raisi wa Fenerbahce Aziz Yildirim kuwekwa kizuizini na jeshi la polisi nchini humo.
Katika hatua nyingine shirikisho la soka nchini Uturuki TFF, limetangaza kujiondoa katika utaratibu wa klabu hiyo kukata rufaa ya kupinga maamuzi ya UEFA kwa kutoa taarifa iliyosomeka, hatupo pamoja nao hata kidogo.
Pia shirikisho hilo limelazimika kuahirisha tarehe yakuanza kwa ligi kuu ya soka nchini humo kwa kutaka kupisha maamuzi ya mahakama ambayo yataamuru klabu ya Fenerbahce ishushwe daraja ama kusalia katika ligi hiyo kufuatia sakata la rushwa linalowaandama.
Posted by XTRA COVER. at 3:39 PM
| 2018-06-23T04:38:36 |
http://viwanja.blogspot.com/2011/09/fenerbahce-wabisha-hodi-cas-kudai-haki.html
|
[
-1
] |
CHICHARITO AMEPATA UTAWALA KWENYE FALME MPYA | ShaffihDauda
Home Ligi BUNDESLIGA CHICHARITO AMEPATA UTAWALA KWENYE FALME MPYA
CHICHARITO AMEPATA UTAWALA KWENYE FALME MPYA
Javier ‘Chicharito’ Hernandez aliondoka Manchester United na kujiunga na Bayer Leverkusen ambapo akiwa United hakua anacheza kila mechi kama sasa.
Hii inatokea mara nyingi mchezaji kushindwa kuonekana akiwa na kikosi cha timu moja na akaenda kufanya vizuri na club nyingine. Hivi sasa Chicharito anaendelea kuwa tegemezi kwenye safu ya ushambuliaji wa club ya Leverkusena. Pia hawaangushi mashabiki wa club hiyo ambapo anafunga magoli na kuchangia ushindi wa club hiyo.
Chicharito hivi sasa ni mmoja kati ya mastaa wakubwa wa ligi ya Bundesliga na baadhi ya mashabiki wa Manchester united wanatamani mchezaji huyo labda angebaki kwenye club yao.
Chicharito ataendeleza harakati zake za kuisaidia club yake kwenye ligi ya Bundesliga kwenye kila mechi zijazo. Njia pekee ya kumuona Chicharito ni kupitia Startimes ambapo Bundesliga inaonekana live.
Hii ni highlight ya moja ya mechi ya Chicharito akiwa na Bayer Leverkusen
Previous articleKINAWAKA NDANI YA VOLKSWAGEN ARENA
Next articleHUYU NDIE MBABE WA AUBAMEYANG NA LEWANDOWSKI KWA KUTUPIA NYAVUNI
| 2018-09-19T22:30:23 |
http://shaffihdauda.co.tz/2015/10/29/chicharito-amepata-utawala-kwenye-falme-mpya/
|
[
-1
] |
RICHARD hulima shamba lililolimwa na babu wa baba yake miaka 100 hivi iliyopita. Lakini, mnamo mwaka wa 2001, mkulima huyo Mkanada alikuwa mtu wa kwanza kutovuna chochote katika vizazi vinne vya familia yao. Mimea yake iliharibiwa na ukame. Na matatizo yake yamezidi kwa sababu katika miaka iliyotangulia bei za mazao zimeshuka na gharama zimeongezeka. Richard alilalamika hivi: “Matatizo yanazidi kuongezeka na hakuna suluhisho.”
Larry alikuwa na shamba ambalo lilikuwa limemilikiwa na familia yake kwa miaka 115 katika eneo linalokuza mahindi kwa wingi nchini Marekani. Anasema hivi: “Nilihisi nina wajibu wa kuendelea kulima shamba hilo na kulifanya litokeze faida nyingi . . . , lakini sikufua dafu.” Larry na mkewe walipoteza shamba lao.
Wakulima wengi wanakabili matatizo kama ya Larry na Richard. Kuenea kwa ugonjwa wa mifugo wa midomo na miguu nchini Uingereza kuliwaletea wakulima hasara kubwa ya kifedha na mfadhaiko. Taarifa moja ya habari ilisema: “Kila siku wakulima nchini Uingereza wanakumbwa na mahangaiko, upweke, na matatizo ya madeni, hata wale ambao hawajakabili ugonjwa huo wa mifugo.” Katika nchi fulani zinazoendelea, vita, ukame, ongezeko la haraka la idadi ya watu, na matatizo mengine mengi yamewatatiza wakulima. Serikali zinalazimika kununua chakula kutoka nje, na familia nyingi haziwezi kukinunua.
Kwa hiyo, matatizo ya wakulima yanawaathiri watu wengi. Hata hivyo, ni wakazi wachache wa mjini wanaojali dhiki za wakulima. Miaka 50 hivi iliyopita, Rais wa Marekani Dwight D. Eisenhower alitoa taarifa hii mwafaka: “Kilimo huonekana kuwa rahisi sana ikiwa unafanya kazi ofisini, na ikiwa unaishi mbali sana na shamba la mahindi.” Vivyo hivyo, leo wakulima wanahisi kwamba watu wengi ulimwenguni hawaelewi kilimo na umuhimu wa wakulima. Mkulima mmoja Mkanada analalamika hivi: “Hatujali chakula chetu chatoka wapi. Kazi kubwa huwa imefanywa kabla chakula hakijapakiwa na kuuzwa dukani.”
Matatizo ya wakulima hayawezi kupuuzwa kwani sote tunategemea bidhaa za kilimo. Wanasoshiolojia Don A. Dillman na Daryl J. Hobbs wanaonya hivi: “Katika jamii yetu inayotegemeana sana, matatizo ya mashambani husambaa upesi mjini, na matatizo ya mjini husambaa haraka mashambani. Jamii za mjini au za mashambani haziwezi kuendelea kwa muda mrefu ikiwa mojawapo inakabili matatizo.” Isitoshe, katika ulimwengu wa leo ulio kama kijiji, uchumi wa taifa moja unapozorota, unaweza kuathiri sana uuzaji wa mazao na gharama za uzalishaji katika nchi nyingine.
Basi, si ajabu kwamba kituo fulani cha kilimo huko New York kilisema hivi: “Kilimo ni mojawapo ya kazi 10 zinazosababisha mfadhaiko mwingi nchini Marekani.” Ni nini baadhi ya visababishi vya matatizo ya wakulima? Wakulima wanawezaje kukabiliana na matatizo hayo? Je, kweli matatizo hayo yanaweza kukomeshwa?
“Kilimo huonekana kuwa rahisi sana ikiwa unafanya kazi ofisini, na ikiwa unaishi mbali sana na shamba la mahindi”
| 2020-02-26T20:12:27 |
https://www.jw.org/sw/maktaba/magazeti/g20031008/Matatizo-ya-Wakulima/
|
[
-1
] |
Kocaeli tramvay uzatma projesi | RayHaber | raillynews
NyumbaniMradi wa ugani wa tram ya Kocaeli
Akçaray itaongezwa hadi Kuruçeşme na Hospitali ya Şehir; Mstari wa tramu uliopanuliwa kwa Barabara ya Pwani utakuwa kwenye huduma kama Jumatatu. Kilomita mpya ya 2,2 kilomita mpya, ambapo kazi imekamilika, safari ya kwanza ya Meya wa Kocaeli Assoc. Dr. Tahir [Zaidi ...]
Manispaa ya Metropolitan Kocaeli itajenga chini ya mstari ambapo tram inaweza kupitisha kwa Izmit Mevlana Junction ili mstari wa tram ufikia eneo la Kuruçeşme. Katika muktadha huu, mipangilio ya trafiki ya kazi zinazofanyika kanda kwa mwishoni mwa wiki [Zaidi ...]
Mchakato wa EIA ulikamilika ili kupanua tram katika kituo cha mji wa Izmit hadi eneo la 3 tofauti. Iliamua kuwa "EIA haitakiwi ilgili. Mstari mpya wa 393 itajengwa kwa gharama ya makadirio ya paundi milioni [Zaidi ...]
| 2020-01-20T07:16:30 |
https://sw.rayhaber.com/kuwa/Mradi-wa-ugani-wa-tram-ya-Kocaeli/
|
[
-1
] |
Mrema na Cheyo waomba CHADEMA ifutwe | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Mrema na Cheyo waomba CHADEMA ifutwe
Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Molemo, Mar 4, 2011.
Wadau jana mwenyekiti wa TLP Augustine Mrema na mwenyekiti wa UDP John Cheyo waliishambulia CHADEMA kwa maneno unayoweza kufananisha na matusi. Eti Mrema ameshauri CHADEMA ifutwe kwa sababu wanataka kuleta vita. Cheyo naye amesema CHADEMA wanataka kuleta mambo ya Libya na Misri.
Hivi kweli hawa ni wapinzani? Na kwanini wote wazungumze lugha moja kwa wakati mmoja. Imetokea kwa bahati mbaya? Eti Mrema anadai CHADEMA hawana uchungu na taifa hili na wanatumiwa na mataifa ya nje...
Hao ni wazee sana siyo watu wa kutupotezea muda wetu.
Chadema mwendo mdundo...
hawana jipya wana 90mil za magari lazima wabwatuke
Wana haki ya kutoa maoni, japo ni kosa sana kutumia haki hiyo kwa kitu cha kitoto, hawa ni viongozi wa upinzani na inawauma sana kuona kwamba wananchi wanawadharau kutokana na kushindwa kabisa kui-challenge serikali.
Waache waifute ndipo watagundua kuwa watanzania wa leo sio mabwege tena. Wataikaribisha hali ya Libya mlangoni mwetu kwa spidi kubwa ya ajabu wakijaribu kufanya hivyo. Wanaweza kutuua kwa risasi za moto wafuasi wa CHADEMA wote lakini matokeo ya kufanya hivyo bado yatafanya wasifurahie maisha tena hasa ukizingatia muundo wa jamii za taifa letu ulivyo.
Umri mkuu ndo unawasumbua, hawawezi kufikiri tena. acha waendelee kuijenga cdm manake wanayoyasema kwa cdm cyo ya kweli!
..nafikiri ufike wakati, watanzania wapenda maendeleo ya nchi hii wawatambue viongozi wa TLP, CUF, NCCR-Mageuzi nk kwamba wote wanaganga njaa!!! wanatoa matamko kutegemea na maelekezo ya kina makamba.
Wacha waseme wakichoka watalala
Hawajui shida tunazozipata mtaani kwa sababu wameshapewa mkate wao na ccm
Cheyo ndiyo m/kiti wa chama chake na ndiyo mbunge pekee wa chama chake. Hivyo hivyo kwa Lyatonga. Hawana cha kuongea. Mrema amesahau alipokuwa kwenye chati miaka ya 1995, aliweza kuzunguka nchi nzima.
Ndugu yangu "mzee wa mapesa" wa wakati huo, ajitahidi kuimarisha chama angalau kipate kufika hata Kigoma, Tanga na hata Shinyanga mjini. Aachane na chadema. Alivyomtukana Tundu Lissu bungeni siku ile amesahau kwamba ule ni uchochezi. Huwezi kumwambia Mh Mbunge mwenzako eti :"Shut up"!! ndani ya Bunge, wananchi wa Bariadi hawajakutuma kutukana wenzako. Kwani alisema uongo kwamba chama chako kina mbunge mmoja.
Cheyo na Mrema msiogope vivuli vyenu, fanyeni kazi mliyotumwa na wapiga kura wenu, kama CDM wanvyofanya. Halafu kama mtu huna hoja, kukaa kimya kunaleta maana.
Wazee wale tuwasamehe!wanaganga njaa!hii movement ya sasa tena wakisikia itakua tz nzima wana ccm wanakosa usingizi kabisa!kwa sasa inatafutwa njia ya kuzuia maandamano bahati nzuri maandamano ni ya wananchi kwa ajili ya kudai haki za msingi ktk nchi yetu!hayana vurugu bali roho zinawasuta hao watawala miaka 50 nchi haina muelekeo wa ajira,elimu,afya,miundombinu,kilimo,masoko ya mazao,huduma mbovu ktk sekta ya umma haswa ardhi,polisi,mahakama.hembu fikiri makinda eti anasema mitihani ya mchujo form 4 irudiwe hiyo ni akili au?wenye migodi watoe umeme 50mw wawape tanesco huku ni kutuona hatuna akili rais mpaka leo anawaza mitambo ya kukodi
CCM wanatumia mbinu za kizamani sana kufikiri kuwa kuwanunua Cheyo na Mrema itatoa picha kuwa wapinzani wapo nao. Hawajui tumeshajua hao ni maajenti wao?
Walifikiri wakichakachua kura na kuwa wengi bungeni watapata likizo ya kula shushu kwa miaka mitano ijayo. Sasa wanaona hakuna kulala wananchi wamepata wa kuwazungumzia na awareness inkua kubwa.
Naomba maandamano yanayofuata yafanyike jimbo la Vunjo na Bariadi wapiga kura wa hao waganga njaa waelezwe makosa waliyo fanya kuwachagua wachovu namna hiyo kwenda kuwawakilisha.
Maskini Mrema.
Juzijuzi hapa alisema hayo madai ya Chadema ya katiba mpya aliyaanzisha yeye, leo anakuja na tuhuma kwamba chadema wanataka kupingua nchi! Kasahau kwamba na yeye alishawahi kuhojiwa na polisi akiwa NCCR Mageuzi kwa madai kama ya chadema? Zama zake zimepita, akae kimya!
hawana jipya wana 90mil za magari lazima wabwatukeClick to expand...
90milionea za cdm ni kuamsha watz
Tuwapuuze mzee upara na huyo Lyatonga; Natapata tabu sana kumuelewa mzee upara akiongea kwani anavunja maneno sanaaaaaaaaaaa!!!!! Huyo lyatonga nadhani diabates zinamsumbua na moja ya indicators za ugonjwa huu ni kuongea pumba!!
Nimejaribu kutafakari movement zinazofanywa nachadema namaneno yanayotamkwa na wapinzani wenzao pamoja na serikali,kuwa chadema niwachochez.
Kwa upande wangu sikubaliani nao wanaosema hivyo ila kinachofanyika sasa ni wakati ndio unaongea, bahati mbaya hata chadema wakikaa kimya watu wataendelea kuandamana hata mioyoni mwao na ipo siku watatafuta njia mbadala.Siasa za fitna hazina nafasi ktk wakati tulionao zaidi yakusema ukweli(kijiko kiitwe kijiko) , kukifuta CHADEMA kwa sasa ni sawa nakuwaambia watu ingieni mitaani mana hakutakuwa na mtu wakuwazuia. Sina hakika kama viongozi wetu wa serikali na nccr,tlp,udp wanajua watu wanawaza nini juu yao au juu ya mustakabali wa maisha yao ya kesho, uhalisia watu wamekata tamaa zamani juu ya viongozi wao, nasema muda utatuambia wala si mbali.
Juzijuzi hapa alisema hayo madai ya Chadema ya katiba mpya aliyaanzisha yeye, leo anakuja na tuhuma kwamba chadema wanataka kupingua nchi! Kasahau kwamba na yeye alishawahi kuhojiwa na polisi akiwa NCCR Mageuzi kwa madai kama ya chadema? Zama zake zimepita, akae kimya!Click to expand...
Mrema ni Mtu wa kale aliyepitwa na wakati,hiki ni kizazi kipya na ulimwengu wa Technohama ulimwengu unakimbia kwa kasi sana Mrema,wewe huwezi enzi zako zilipita na laana uliyopewa na Mwalimu Bado inakuandama! Ndiyo maana hata ulipojipendekeza kwa CCM Dodoma walikukejeli tu.
Mbona wenzao wakizeeka wanakuwa na busara?Hawa wanazeeka vibaya au CCM wameshachezea bongo zao.
| 2017-07-25T20:55:48 |
https://www.jamiiforums.com/threads/mrema-na-cheyo-waomba-chadema-ifutwe.114879/
|
[
-1
] |
Mkutano wa mfuko wa kupambana na maradhi ya ukimwi, kifua kikuu na malaria | Matukio ya Kisiasa | DW | 26.09.2007
Mkutano wa mfuko wa kupambana na maradhi ya ukimwi, kifua kikuu na malaria
Wafadhili wanaosimamia mfuko wa kupambana na maradhi ya ukimwi, kifua kikuu na malaria wameanza mkutano wa kuchangisha fedha zitakazosadia katika vita hivyo.Mkutano huo unaofanyika Berlin Ujerumani unanuia kuchangisha dolla billioni 8 katika kupambana na magonjwa hayo matatu sugu.
Mwenyeji wa mkutano huo wa siku tatu,ujerumani iliuanzisha kwa kuahidi kutoa euro millioni 600 katika mfuko huo katika muda wa miaka mitatu ijayo. Waziri wa maendeleo na nchi za nje Heidemarie Wieczorek-Zeul alitangaza pia kuwa ujerumani itaisamehe Indoneshia deni inaloidai la euro millioni 50 kwa masharti kuwa Jarkata itatoa fedha kugharamia mipango ya mfuko huo.
Waziri huyo amesema hatua hiyo itaipa nafasi Indonesia kutumia euro millioni 25 zinazohitajika kwa dharura kupambana na maradhi ya ukimwi, kifua kikuu na malaria. Waziri Zeul aliyataka mataifa mengine tajiri kuyasadia mataifa maskini kwa kuchukua mwelekeo sawa na huo wa Ujerumani.Hii ni mara ya kwanza kwa ujerumani kusamehe deni ili taifa husika kutumia fedha hizo moja kwa moja katika huduma zake za afya.
Katika muda wa kuelekea kuanza kwa mkutano huo, shirika la umoja mataifa la kupambana na ugonjwa wa ukimwi lilikuwa limetishia ukosefu wa raslimali, na hata mwanamuziki mashuhuri wa mwindoko ya rock Bono kuyataka mataifa tajiri kuongeza kiasi cha fedha yanachotoa katika mfuko wa kupambana na maradhi hayo matatu sugu.
Katika taarifa kupitia kikundi chake kinachotetea maslahi ya bara africa DATA, Rono aliyataka mataifa manane tajiri duniani na hasa ujermani kama rais wa klabu cha mataifa hayo kuongeza kiasi cha fedha ilichoahidi katika mkutano wao wa kilele mwezi juni, wa kutoa dolla billiioni 60 katika muda wa miaka kadhaa ijayo kukabiliana na ugonjwa wa ukimwi.
Kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa mjini Geneva,shirika la umoja wa mataifa la kukabiliana na ugonjwa wa ukimwi lilisema kuwa fedha zinazotolewa kukabiliana na kutibu maradhi ya ukimwi zinapaswa kuongezwa mara nne ya kiasi cha sasa katika muda wa miaka mitatu ijayo na kufikia dolla billioni 42.2 ili kuzuia kuenea kwa ugonjwa huo.
Mfuko huo ambao hutegemea msaada kutoka mataifa mbalimbali na makampuni makubwa unahitaji kati ya dolla billioni 12-18 ili kugharamia mipango iliyoko sasa na kuanzisha mingine kati ya mwaka 2008 na mwaka 2010.
Siku ya kuamkia mkutano huo uingereza ilitangaza kuwa itatumia pauni billioni moja kupambana na maradhi ya ukimwi,kifua kikuu na malaria kupitia mfuko huo katika muda wa miaka minane ijayo
Mfuko huo wa kimataiafa wa kupambana na maradhi ya ukimwi,kifua kikuu na malaria ulizinduliwa miaka mitano iliyopita kwa msisitizo wa aliyekuwa katibu mkuu wa umoja wa mataifa Koffi Annan na kufikia sasa umetumia kiasi cha dolla billioni 7 kama msaada wa kugharamia mipango 450 katika mataifa 136.
Pia inadaiwa umeokoa maisha ya watu millioni 2 kwa kugharamia dawa kwa wanaougua ukimwi´na kifua kikuu .
Kiungo http://p.dw.com/p/CH7e
| 2017-11-20T12:25:12 |
http://www.dw.com/sw/mkutano-wa-mfuko-wa-kupambana-na-maradhi-ya-ukimwi-kifua-kikuu-na-malaria/a-2925758
|
[
-1
] |
Mkala Fundikira 4:31:00 PM Edit
Ubao ukionesha maelezo ya matengenezo hayo.
Hii ni barabara ya Fundikira katika eneo la Cheyo mjini Tabora hapa inafanyiwa matengenezo madogo ili ipitike kirahisi. Barabara hii ni kiungo muhimu na fupi cha maeneo ya Cheyo na Isevya lakini bado Manispaa ya mji huo ulioachwa nyuma kimaendeleo tangu kipindi cha uhuru pamoja na kuwa na mchango mkubwa katika harakati za kuupigania uhuru huo haijaona umuhimu wa kuitengeneza kwa kiwango cha lamioja na kuwa haina hata kilo meta moja unusu.
| 2018-02-21T18:55:24 |
http://keronyingi.blogspot.com/2011/03/ubao-ukionesha-maelezo-ya-matengenezo.html
|
[
-1
] |
O.F.A: "DERBY" ORANJE FOOTBALL ACADEMY YAIFUNZA SOKA MKUNAZINI F.C MECHI ILIYOMALIZIKA KWA DAKIKA 120
"DERBY" ORANJE FOOTBALL ACADEMY YAIFUNZA SOKA MKUNAZINI F.C MECHI ILIYOMALIZIKA KWA DAKIKA 120
Mabingwa wa soka wa Knock-out U/17 Oranje Football Academy leo wamewafunza soka na kukata midomo ya wapinzani wao wakubwa Mkunazini F.C U/20 baada ya kuitupa nje ya michuano ya Knock-out ya msimu huu 2010 katika mechi kali iliyokuwa na upinzani mkubwa ambayo ilikuwa ya kiwango cha hali ya juu kwa pande zote mbili.
Mkunazini F.C ambao ni mabingwa wa Knoc-out U/20 msimu uliopita 2009 waliweza kuanza kwa hasira mechi hio kwa kutaka kutimiza ahadi yao ya kuikomoa na kuingamiza Oranje Football Academy waliweza kuanza kufurahia azma yao hio kwa kuanza kushangilia ushindi baada ya kuweza kuweka kimiana mabao 2 ya haraka haraka ndani ya dakika 30 za kipindi cha kwanza na kuifanya Mkunazini F.c iongoze kwa mabao 2-0,
Baada ya kuingia kwa mabao hayo 2 vijana wa Oranje Football Academy walianza kutulia na kujirekebisha katika safu ya ulinzi kutoruhusu tena magoli zaidi na safu ya kiungo na ushambuliaji kuanza kazi ya kucheza soka kama kawaida yao ambapo vijana hao wa Oranje Football Academy waliweza kupachika bao moja dakika za mwisho za kipindi cha kwanza hio kuifanya mechi hio hadi mapumziko O.F.A 1-2 Mkunazini.
Kipindi cha pili vijana wa Oranje Footbal Academy walizidisha kusukuma mashambulizi makali wakitumia pasi za haraka haraka kwa uelewano mkubwa waliweza kupachika bao la pili na kuifanya mechi hio kuwa 2-2.
Zikiwa zimesalia dakika 15 kumalizika pambano hilo Mkunazini F.C waliweza kupachika bao la 3 na kuifanya tena Oranje Football Academy kuwa nyuma kwa mara nyingine tena 2-3.
katika dakika ya 85 zikiwa zimesalia dakika 5 kumalizika kwa pambano hilo huku Mkunazini F.C wakishangilia ushindi walikuwa ni vijana wa Oranje Football Academy tena kudhihirisha uwezo wao wa soka kwa kuweza kupachika bao safi la kusawazisha ambapo hadi mwisho wa dakika 90 mabao yalikuwa ni 3-3.
katika mechi hio ambayo ni lazima kupatikana mshindi iliendelea kwa dakika za nyogeza 30 ambapo mashambulizi yalikuwa makali kwa pande zote mbili ambapo hadi mwisho wa dakika 120 matokeo yalikuwa O.F.A 3-3 MKUNAZINI F.C
Mabao ya Oranje Football Academy yalipachikwa kimiani na Yussuf Miraji mabao 2 na Seif Abdalla 1.
Kutokana na matokeo hayo ya 3-3 sheria za penalti zilitumika ambapo Oranje Football haikufanya makosa baada ya kupachika mabao 5 bila ya kukosa penalti yoyote katika penalti zote 5 ambapo pia Mkunazini walijibu kwa kufunga penalti 5.
Penalti ya 6 OF.A walipoteza kwa kumpa kipa na Mkunazini Kupaisha.
Oranje Football Academy waliweza kupachika bao safi penalti ya 7 na MkunaziniF.C wakapaisha tena juu ya Goli penalti hio na kuifanya Oranje Football Academy kushinda ushindi wa jumla ya mabao 9-8 hadi mwisho wa matokeo ya mechi hio.
Oranje Football Academy ni kituo cha kukuza Soka kwa Vijana nchini hilo ilikuwa ni funzo kwa Mkunazini F.c kutoka kwa vijana O.F.A.
Kesho mazoezi yataendelea kama kawaida kwa chipukizi wa U/14 na wakubwa zao kutokana na mikikimikiki ya leo kesho atakuwa na mapumziko.
Kikosi Cha Oranje Football Academy kikiwa katika picha ya pamoja na Kocha Bo Nilson(watatu kulia waliosimama) kutoka Sweden katika moja ya mechi ambazo Kocha huyo alibahatika kuwaona vijana hao baada ya kuwapatia mazoezi hapo kabla .........................................................................................................................................................................
| 2018-07-23T16:57:44 |
http://oranjefootballacademy.blogspot.com/2010/05/derby-oranje-football-academy-yaifunza.html
|
[
-1
] |
Msaada wa kisheria niweze pata mafao yangu toka kwa muajiri | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Msaada wa kisheria niweze pata mafao yangu toka kwa muajiri
Discussion in 'Jukwaa la Sheria (The Law Forum)' started by fungafunga, Jun 2, 2011.
wana JF wenzangu. habarini.
niliachishwa kazi na muajiri wangu kampuni binafsi 3yrs ago. hakuwa akiniwekea chochote NSSF japo alikuwa akinikata 10% ya mshahara wangu mda wote nikiwa ktk ajira. nimefuatilia kudai hakiyangu mpaka nauli imeisha. NSSF wanasema hawawezi kunilipa kwakuwa hakuna chochote kilichopelekwa kwao.
tafadhali naombeni ushauri ndugu zangu. nini nifanye na wapi nianzie.
fungafunga said: ↑
Ndugu yangu pole sana. hapa kuna sheria inaweza kukubana. Time limitation might not be friendly to you. Haya mambo ya civil litigations yana time limit. Nipe muda nitakufahamisha. I am not a lawyer, but could give some hint. Muda umepita mrefu, atakuwekea preliminary objection (PO) basing on time limitation.
Kutokukuwekea michango yako ni kosa la jinai. Na Limitation does not run against the republic, hawezi kukwepa kwa hilo, mripoti kwenye vyombo vya sheria utapata haki yako.
| 2018-01-19T12:31:03 |
https://www.jamiiforums.com/threads/msaada-wa-kisheria-niweze-pata-mafao-yangu-toka-kwa-muajiri.141777/
|
[
-1
] |
CHADEMA WAENDELEA KUJIZOLEA WANACHAMA WAPYA. ~ CHIMBUKO LETU
2:26 AM HABARI ZA MIKOANI NA SIASA. No comments
Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA),kimeendelea kujizolea wanachama wapya baada ya kufanya mkutano wa hadhara Agosti 8 mwaka huu katika Kijiji cha Kongoro Mswisi,Wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya.
Mkutano huo ulifunguliwa na Mwenyekiti wa chama hicho wilaya Bwana Peter Mwashite wakiwa na nia ya kutoa shukrani kwa wananchi wa kijiji hicho waliokipigia kura chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2010 wa kuchangua Rais,Wabunge na Madiwani,licha ya kura kutotosha kukiwezesha chama hicho kuibuka na ushindi.
Aidha,katika mkutano huo viongozi kadhaa wa chama hicho walipanda jukwaani na kunadi sera za chama akiwemo aliyewahi kugombea nafasi ya ubunge wa Jimbo la Mbarali Bwana Gidawaya Kazamoyo,Diwani wa viti maalumu Lucy Ngonde,Diwani wa Kata ya Kiwira,Wilaya ya Rungwe Bwana Julius Laurent Mwakalibule,Mwenyekiti wa Vijana mkoa Bwana Julius Kasambala na Bi.Agatha John ambaye ni mwenyekiti wa wanawake Wilaya ya Mbeya Mjini.
Katika mkutano huo kadi za wanachama zaidi ya 74 kutokea Chama Cha Mapinduzi(CCM) walijiunga na chama cha CHADEMA.
Akihutubia mkutano huo Diwani wa Viti Maalumu wa wilaya ya Mbarali Bi, Lucy Ngonde,amesema kuwa zaidi ya bilioni 1.4 pesa za Halmashauri ya wilaya hiyo zimefujwa ba kusababisha miradi ya maendeleo kukwama na kwamba pesa hizo ni tofauti ya shilingi milioni 87 zimefujwa na Mweka Hazina wa halmashauri hiyo.
Wakat huohuo amemtaka Mkurugenzi wa wilaya hiyo kutenga bajeti ya fedha kwa ajili ya chaguzi za vitongoji,ambapo imebainika kuwa baadhi ya vijiji vina makaimu wenyeviti kikiwemo Kijiji cha Mswiswi,kitongoji cha Uswafwani hakina mwenyekiti kwa takribani mwezi mmoja mpaka sasa,Majengo Mapya miaka miwili,Mshikamano miaka mitatu na Maendeleo miaka miwili,hali inayopelekea kuzorota kwa maendeleo wilayani humo.
| 2017-10-23T20:32:39 |
http://chimbukoletu.blogspot.com/2012/08/chadema-waendelea-kujizolea-wanachama.html
|
[
-1
] |
WAZIRI LUKUVI ASULUHISHA MGOGORO WA ARDHI BAINA YA WATAWA NA WANANCHI WA KIJIJI CHA MLONGONI SIHA - The Choice
Home News WAZIRI LUKUVI ASULUHISHA MGOGORO WA ARDHI BAINA YA WATAWA NA WANANCHI WA...
WAZIRI LUKUVI ASULUHISHA MGOGORO WA ARDHI BAINA YA WATAWA NA WANANCHI WA KIJIJI CHA MLONGONI SIHA
Baadhi ya Wananchi wa Mlangoni Wilaya ya Siha mkoa wa Kilimanjaro wakimpokea kwa majani Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi (hayupo pichani) alipowasili katika kijiji hicho kusuluhisha mgogoro wa ardhi baina ya Shirika la Watawa wa Katoliki na wananchi wa Mlangoni kuhusiana na Shamba la Kirari.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akizungumza na viongozi wa kijiji cha Mlangoni Wilaya ya Siha mkoa wa Kilimanjaro alipokuenda kusuluhisha mgogoro wa ardhi baina ya Shirika la Watawa wa Katoliki na wananchi wa Mlangoni kuhusiana na Shamba la Kirari.
WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi amesuluhisha mgogoro uliodumu zaidi ya miaka thelathini ambao ulileta uhasama na chuki baina ya Shirika la Watawa wa Kikatoliki na wananchi wa kijiji cha Mlongoni katika Wilaya ya Siha mkoa wa Kilimanjaro kuhusiana na shamba la Kirari.
Katika shamba hilo wananchi wa kijiji cha Mlongoni wanaishi katika eneo lenye ukubwa wa ekari 347 na Watawa kubakia na ekari 1063 ambapo kwa mara ya kwanza Hati ya shamba hilo ilitolewa tarehe 26 Oktoba, 1950 kwa ajili ya shughuli za ufugaji na kilimo.
Lukuvi alifikia suluhu na pande hizo mbili baada ya kukutana na Watawa wa Katoliki na baadaye viongozi wa kijiji cha Mlongoni kwa lengo la kutafuta suluhu baada ya Mahakama ya Rufaa Tanzania kuwapatia ushindi Watawa na hivyo kulazimu wananchi wa kijiji hicho wanaofikia 3,700 kutakiwa kuondoka katika shamba la Kirari.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi aliamua kuenda eneo hilo la kijiji cha Mlongoni jana wakati akiwa katika ziara yake ya kutembelea wilaya za Hai, Moshi na Same mkoa wa Kilimanjaro kwa ajili ya kushughulikia migogoro ya ardhi katika wilaya hizo.
Katika kikao chake na Watawa wa Katoliki, Lukuvi aliwaeleza kuwa Shirika lao ni wamiliki halali wa shamba hilo kama ilivyoamuliwa na Mahakama ya Rufaa na Serikali haiwezi kupingana na maamuzi ya Mahakama na kusisitiza anachotaka yeye ni kuangalia namna bora ya kutekeleza hukumu ya Mahakama.
Aliwaeleza Watawa kuwa, pamoja na wao kupatiwa ushindi katika kesi hiyo kuna haja ya wao kuangalia namna bora ya utekelezaji wa hukumu hiyo bila kuathiri wananchi wanaoishi eneo hilo ambao wengi wameishi kwa muda mrefu wengine wakiwa wameuziwa maeneo bila ya kufahamu.
“Ninyi ni wamiliki halali wa eneo hilo kama ilivyoamuliwa na Mahakama ya Rufaa lakini ili kuweza kufanya kazi kwa amani kwenyea eneo hilo ni lazima kutafuta namna bora ya kutekeleza uamuzi wa mahakama, ni lazima kuwe na win win situation” alisema Lukuvi
Haikuwa kazi rahisi kuweza kuwashawishi Watawa kukubaliana na ombi la Lukuvi lakini baada ya kutumia takriban saa mbili kuwaelewesha namna alivyoweza kushughulika na migogoro ya aina hiyo zaidi ya 120 katika maeneo tofauti ya nchi, Watawa walikubali kumuachia kushughulikia utekelezaji bora wa hukumu ya mahakama .
Uamuzi huo wa Watawa ulimfanya Lukuvi kuenda eneo la tukio wilayani Siha na kukutana na uongozi wa kijiji cha Mlongoni na baadaye wananchi wote wa kijiji hicho.
Katika mazungumzo yake na wananchi wa kijiji hicho, Lukuvi aliwaeleza kuwa kufuatia hukumu ya Mahakama ya Rufaa, wananchi hao hawana haki ya kuwepo eneo hilo na Serikali haiwezi kuingilia uamuzi huo na katika kutekeleza maamuzi ya Mahakama wananchi wanatakiwa kuondoka kwenye shamba hilo ikiwemo kuvunjiwa nyumba zao.
Hata hivyo, Lukuvi aliwaeleza wananchi hao kuwa, Serikali ya awamu ya tano ni Serikali inayowajali wanyonge hivyo haitakuwa busara kuwaondoa wananchi wanaokadiriwa kufikia 3,700 hasa ikizingatiwa baadhi yao walijenga nyumba kwa kuweka fedha kidogo kidogo.
Katika kutekeleza namna bora ya hukumu ya Mahakama, Lukuvi aliwaeleza wana kijiji kuwa ili suala hilo liishe kwa usalama na amani ni vyema wakakubaliana na utaratibu utakaopangwa na Serikali na hatua ya kwanza ni kufanya tathmini katika eneo hilo kwa lengo la kujua idadi halisi ya wakazi pamoja na mali zao ili kuepuka wajanja wachache wanaoweza kujipenyeza kwa nia ya kujinufaisha na kumuagiza Mkuu wa Wilaya ya Siha na timu yake kuanza kazi hiyo mara moja.
Aidha, katika kushughulikia suala hilo Lukuvi alisitisha uendelezaji wowote katika eneo hilo hadi hapo utaratibu mzuri utakapofanywa na kufafanua kuwa uendelezaji wowote utakaofanyika unaweza kuleta athari kwa wana kijiji ambao kwa sasa hawana haki na eneo hilo.
Mwenyekiti wa kijiji cha Mlongoni Manase Herman alimshukuru Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa jitihada zake za kutafuta suluhu katika mgogoro huo uliodumu kwa zaidi ya miaka thelathini na kubainisha kuwa wao kama viongozi wa kijiji cha Mlangoni wanakubaliana na utaratibu utakaotumiwa na Lukuvi katika kutafuta suluhu ya jambo hilo huku mwananchi mwingine John Ngwandi akitaka serikali kuangalia namna ya kuwasaidia hasa ikizingatiwa kizazi cha awali kilishatoweka na wengi waliobaki ni wa kuanzia miaka ya sitini.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akiwasili katika kijiji cha Mlangoni Wilaya ya Siha mkoa wa Kilimanjaro kwa ajili ya kusuluhisha mgogoro wa ardhi baina ya Shirika la Watawa wa Katoliki na wananchi wa Mlangoni kuhusiana na Shamba la Kirari.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akimsikiliza Meneja wa Kiwanda cha Kilimanjaro Machine Tools Manufacturing Co Ltd kilichopo eneo la Viwanda Weruweru Wilaya ya Hai Kilimanjaro Andreano Nyaluke wakati wa ziara yake ya kushughulikia migogoro ya ardhi katika wilaya za Hai, Moshi na Same.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akimsikiliza Meneja wa Kiwanda cha Kilimanjaro Machine Tools Manufacturing Co Ltd kilichopo eneo la Viwanda Weruweru Wilaya ya Hai Kilimanjaro Andreano Nyaluke wakati wa ziara yake ya kushughulikia migogoro ya ardhi katika wilaya za Hai, na Moshi.
Baadhi ya Watawa wa Katoliki wakimsikiliza Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi (hayupo pichani) wakati wa kusuluhisha mgogoro wa ardhi baina ya Shirika la Watawa wa Katoliki na wananchi wa Mlangoni kuhusiana na Shamba la Kirari.
Baadhi ya Wananchi wa Mlangoni Wilaya ya Siha mkoa wa Kilimanjaro wakimsikiliza Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi (hayupo pichani) wakati wa kusuluhisha mgogoro wa ardhi baina ya Shirika la Watawa wa Katoliki na wananchi wa Mlangoni kuhusiana na Shamba la Kirari.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akifurahia jambo na wananchi wa kijiji cha Mlangoni baada ya kusuluhisha mgogoro wa ardhi baina ya Shirika la Watawa wa Katoliki na wananchi wa Mlangoni kuhusiana na Shamba la Kirari katika wilaya ya Siha mkoa wa Kilimanjaro.(PICHA ZOTE NA WIZARA YA ARDHI)
Previous articleSERIKALI YAWATAKA WATENDAJI SEKTA YA ARDHI NCHINI KUJISAHIHISHA
Next articleAWESO NA KAMPENI YA “MRADI KWA MRADI” YAMFIKISHA KIJIJI AMBACHO WAKAZI WAKE HAWAJAWAHI KUULIZA SWALI KWA WAZIRI MOJA KWA MOJA
| 2018-11-16T01:58:40 |
http://thechoicetz.com/waziri-lukuvi-asuluhisha-mgogoro-wa-ardhi-baina-ya-watawa-na-wananchi-wa-kijiji-cha-mlongoni-siha/
|
[
-1
] |
07. Dalili ya tano kutoka katika Sunnah kwamba Allaah yuko juu ya viumbe | Firqatu Nnajia
07. Dalili ya tano kutoka katika Sunnah kwamba Allaah yuko juu ya viumbe
5- Abul-Fath ametuhadithia: Abul-Fadhwl Ahmad bin al-Hasan bin Khayruun ametuhadithia: Abu ´Aliy al-Hasan bin Ahmad bin Ibraahiym bin Shaadhaan ametuhadithia: Abu Sahl Ahmad bin Muhammad Ziyaad al-Qattwaan: Abu Yahyaa ´Abdul-Kariym bin al-Haytham bin Ziyaad ad-Dayr´aaquuliy ametuhadithia: Rajaa’ bin Muhammad al-Baswriy ametuhadithia: ´Imraan bin Khaalid bin Twaliyq ametuhadithia: Baba yangu amenihadithia, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa babu yake aliyesema:
“Quraysh walizozana kwa al-Husayn, baba yake na ´Imraan, na wakasema: “Mwanamume huyu anawatukana waungu wetu. Tunataka uongee naye na umuwaidhi.”Wakatembea naye mpaka walipokaribia kufika katika mlango wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Wakakaa na al-Husayn akaingia ndani. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akamuona na akasema: “Mpeni nafasi mzee.”Wakafanya hivo. ´Imraan na Maswahabah wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndio walikuwepo hapo. al-Husayn akasema: “Tumefikiwa na khabari kwamba wewe unawatukana waungu wetu. Baba yako alikuwa mtu mtukufu.” Akasema: “Baba yangu mimi na baba yako wewe wako Motoni. Ee Husayn! Ni waungu wangapi unaoabudu hii leo?”Akasema: “Saba ardhini na mmoja yuko mbinguni.” Mtume akasema: “Unapofikwa na matatizo ni nani unayemuomba?” al-Husayn akajibu: “Ni Yule aliye mbinguni.”Mtume akasema: “Anakujibu pekee na unamshirikisha na wengine? Ima huko radhi Naye au huchelei akuadhibu.” Akasema: “Hakuna hata moja katika hayo mawili.”Nikatambua kuwa sijawahi kuongea na mtu mfano wake. Akasema: “Ee Husayn! Ingia katika Uislamu utasalimika.” Akasema: “Mimi nina watu na familia walio chini yangu. Niwaambie nini?”Akasema: “Waambie:
“Ee Allaah! Ninakuomba uniongoze kwa yale yaliyo na kheri na mimi, unilinde kutokamana na shari ya nafsi yangu, nifundishe yatayonifaa, uninufaisha na yale Uliyonifunza na Unizidishie elimu itakayonifaa.”
Akasema hivo na hakuwahi kusimama mpaka akawa ameshaingia katika Uislamu. Hivyo ´Imraan akabusu kichwa chake, mikono yake na miguu yake. Pindi Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipoyaona hayo akaanza kulia. Kukasemwa: “Ee Mtume wa Allaah, ni kipi kinachokuliza?” Akasema: “Aliyoyafanya ´Imraan. al-Husayn ameingia akiwa ni mshirikina na hakuwahi kusimama wala kutazama upande wake. Wakati amesilimu ametimiza haki yake. Yamenigusa.”Wakati al-Husayn alipotaka kuondoka zake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema: “Simama na umsindikize kwenye nyumba yake.”Alipotoka tu nje ya mlango wakamtukana na wakajitenga naye.”[1]
[1] Ibn Khuzaymah katika ”Kitaab-ut-Tawhiyd”, uk. 120, al-Bayhaquy katika ”al-Asma’ was-Swifaat”, uk. 534, na adh-Dhahabiy katika ”al-´Uluww, uk. 24, aliyesema:
”´Imraan ni dhaifu.”
Marejeo: Ithbaatu Swifat-il-´Uluww, uk. 75-77
07. Dalili ya tano kutoka katika Sunnah kwamba Allaah yuko juu ya viumbe 5- Abul-Fath ametuhadithia: Abul-Fadhwl Ahmad bin al-Hasan bin Khayruun ametuhadithia: Abu ´Aliy al-Hasan bin Ahmad bin Ibraahiym bin Shaadhaan ametuhadithia: Abu Sahl Ahmad bin Muhammad Ziyaad al-Qattwaan: Abu Yahyaa ´Abdul-Kariym bin al-Haytham bin Ziyaad ad-Dayr´aaquuliy ametuhadithia: Rajaa’ bin Muhammad al-Baswriy ametuhadithia: ´Imraan bin Khaalid bin Twaliyq ametuhadithia: Baba yangu amenihadithia, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa babu yake aliyesema: “Quraysh walizozana kwa al-Husayn, baba yake na ´Imraan, na wakasema: “Mwanamume huyu anawatukana waungu wetu. Tunataka uongee naye na umuwaidhi.”Wakatembea naye mpaka walipokaribia kufika katika mlango wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Wakakaa na al-Husayn akaingia ndani. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akamuona na akasema: “Mpeni nafasi mzee.”Wakafanya hivo. ´Imraan na Maswahabah wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ndio walikuwepo hapo. al-Husayn akasema: “Tumefikiwa na khabari kwamba wewe unawatukana waungu wetu. Baba yako alikuwa mtu mtukufu.” Akasema: “Baba yangu mimi na baba yako wewe wako Motoni. Ee Husayn! Ni waungu wangapi unaoabudu hii leo?”Akasema: “Saba ardhini na mmoja yuko mbinguni.” Mtume akasema: “Unapofikwa na matatizo ni nani unayemuomba?” al-Husayn akajibu: “Ni Yule aliye mbinguni.”Mtume akasema: “Anakujibu pekee na unamshirikisha na wengine? Ima huko radhi Naye au huchelei akuadhibu.” Akasema: “Hakuna hata moja katika hayo mawili.”Nikatambua kuwa sijawahi kuongea na mtu mfano wake. Akasema: “Ee Husayn! Ingia katika Uislamu utasalimika.” Akasema: “Mimi nina watu na familia walio chini yangu. Niwaambie nini?”Akasema: “Waambie: “Ee Allaah! Ninakuomba uniongoze kwa yale yaliyo na kheri na mimi, unilinde kutokamana na shari ya nafsi yangu, nifundishe yatayonifaa, uninufaisha na yale Uliyonifunza na Unizidishie elimu itakayonifaa.” Akasema hivo na hakuwahi kusimama mpaka akawa ameshaingia katika Uislamu. Hivyo ´Imraan akabusu kichwa chake, mikono yake na miguu yake. Pindi Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipoyaona hayo akaanza kulia. Kukasemwa: “Ee Mtume wa Allaah, ni kipi kinachokuliza?” Akasema: “Aliyoyafanya ´Imraan. al-Husayn ameingia akiwa ni mshirikina na hakuwahi kusimama wala kutazama upande wake. Wakati amesilimu ametimiza haki yake. Yamenigusa.”Wakati al-Husayn alipotaka kuondoka zake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema: “Simama na umsindikize kwenye nyumba yake.”Alipotoka tu nje ya mlango wakamtukana na wakajitenga naye.”[1] [1] Ibn Khuzaymah katika ”Kitaab-ut-Tawhiyd”, uk. 120, al-Bayhaquy katika ”al-Asma’ was-Swifaat”, uk. 534, na adh-Dhahabiy katika ”al-´Uluww, uk. 24, aliyesema: ”´Imraan ni dhaifu.” Mhusika: Imaam Muwaffaq-ud-Diyn bin Qudaamah al-Maqdisiy Mfasiri: Firqatunnajia.com Marejeo: Ithbaatu Swifat-il-´Uluww, uk. 75-77 http://firqatunnajia.com/07-dalili-ya-tano-kutoka-katika-sunnah-kwamba-allaah-yuko-juu-ya-viumbe/
Previous: Kutafuta elimu kwa kuwapigia simu
Next: 08. Dalili ya sita kutoka katika Sunnah kwamba Allaah yuko juu ya viumbe
| 2019-03-20T01:11:29 |
http://firqatunnajia.com/07-dalili-ya-tano-kutoka-katika-sunnah-kwamba-allaah-yuko-juu-ya-viumbe/
|
[
-1
] |
Mh. Dewji iokoe Mwenge sekondari Singida! | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Mh. Dewji iokoe Mwenge sekondari Singida!
Discussion in 'Jukwaa la Elimu (Education Forum)' started by babayah67, Apr 30, 2012.
Wiki mbili zilizopita nilikuwa Singida Mjini kikazi, nikiwa miongoni mwa Wanafunzi waliosoma Singida kati yaa mwaka 1980 hadi 1984 (Form I - IV) nilikuwa na hamu ya kuitembelea shule yangu, ili kuangalia mandhari yake na pia kuwasalimia walimu wangu kama wangekuwa bado wapo.
Baada ya kumaliza shughuli zangu za siku, jioni moja nilitembea kuelekea Mwenge Sekondari. Nilianza kupatwa na mshtuko mara tu nilipofika pale kwenye mawe mawili ya barabarani karibu na guest ilokuwa ikijulikana kama Victoria, au Mmassy Bakery (alokuwa akisupply mikate na matunda shuleni). Shock yenyewe ni kuwa shule siku hizi haina tena uzio uliokuwa ukizunguuka shule na kupunguza vibaka. Pamoja na hilo, siku hizi hakuna ulinzi wowote magetini, yaani geti A lili linaloingilia ofisini na madarasani, au Geti B, lile linaloingilia nyumba za walimu.
Nilijisikia kutoa machozi nilipotembelea mabwenini. Ukiingia bweni la Jamhuri, Azimio na Kujitegemea hali inatisha sana. Vitanda vibovu, kuta chafu hazijapakwa rangi nafikiri sijui toka sisi tunamaliza shule. Kwa ujumla hali ni mbaya saana. Sehemu tulizokuwa tunafulia na kuogea, siku hizi hazitumiki kabisa, maji hayatoki basi ni taabu tupu. Nikatembelea bwalo la chakula, ambalo wakati wetu lilikuwa na meza karibu 90 na kila meza ikiwa na mabenchi mawili, sasa hivi niliona meza moja tu. Nilipowauliza wanafunzi wanakaa wapi wakati wa kula walisema wanakula wakiwa wamesimama tu. Kwa ujumla jamani hali ni mbaya saana. Kwa wanafunzi wanaosoma pale, sitarajii matokeo yao kuwa mazuri.
NB: Namwomba Mbunge wa Singida Mjini MH. AZIM DEWJI aitazame kwa jicho la huruma shule hiyo. Ninaamini anaweza japo kuwapakia rangi ndani ya Mabweni yao vijana wale. Na kuwarekebishia japo Taa za kusomea Madarasani na bwenini.
Mkuu pole kwa huzuni iliyokukuta.
Hali hiyo hiyo hutukuta sisi wengine tuliopita hapo.
Siungi mkono ushauri wako wa kumtaka MO aisaidie hiyo shule...
Hiyo ni shule ya SERIKALI KUU na serikali ina wajibu kuikarabati.
MO kama ana ubavu aibane serikali ndani na nje ya bunge itimize wajibu wake huo.
Pesa ambayo angetumia kuisaidia shule akaitishe mikutano na wana CCM awalishe pilau,soda na maji kama alivyozoea.
Akiamua kuisaidia shule afanye kama raia mwenye mapenzi mema...atambue hayo si moja ya majukumu ya mbunge.
Serikali imeshindwa, wananchi chukueni hatua wenyewe. Wasake wote waliosoma hapo, mfanye maarifa ya kutoa usaidizi endelevu shuleni hapo Haba na haba hujaza kibaba
Akiamua kuisaidia shule afanye kama raia mwenye mapenzi mema...atambue hayo si moja ya majukumu ya mbunge.Click to expand...
Huyo MO yupo kwenye hiyo nafasi kwa maslahi yake mkuu. Ufisadi na ujambazi wooote unaofanywa hapa Tanzania sasa ulishawahi kusikia hata anafanya usanii wa kukemea? Hata kama akipaka rangi asipokemea ujambazi unaoendeshwa na viongozi wa serikali ya sasa ni kama mgonjwa wa maleria kutumia asprin.... hatapona. Wabunge wa aina hii ni kiama cha walalahoi tu.
dah tuko wengi lakini hatujuani yaan hiyo sio shule tena hata matamasha ya mziki huwa yanafanyika hapo.mwenge ilikuwa zamani sasa hivi imebaki jina tu kama ccm
| 2017-07-23T14:56:13 |
https://www.jamiiforums.com/threads/mh-dewji-iokoe-mwenge-sekondari-singida.259632/
|
[
-1
] |
Mgomo wa wafanyakazi wa shirika la reli waendelea. | Habari za Ulimwengu | DW | 21.11.2007
Mgomo wa wafanyakazi wa shirika la reli waendelea.
Paris. Vyama vya wafanyakazi wa usafirishaji nchini Ufaransa , utawala na serikali wanatarajiwa kuwa na mazungumzo wakati mgomo dhidi ya mipango ya mageuzi ya akiba ya uzeeni yakiingia katika siku yake ya nane. Matumaini yameongezeka kuwa makubaliano yanaweza kufikiwa na kumaliza mgomo huo ambao umedhoofisha mfumo mzima wa usafirishaji nchini Ufaransa. Mamia kwa maelfu ya wafanyakazi wa umma waliongeza mbinyo wao katika mgomo huo jana Jumanne kuhusiana na wasi wasi wao wa kupoteza kazi. Rais Nocolas Sarkozy ameahidi kuendelea na mageuzi yake yanayoonekana kupingana na matarajio ya watu wengi. Shirika la taifa la reli, SNCF, limekadiria kuwa kutakuwa na hali bora ya huduma za usafirishaji wa reli kuanzia leo wakati idadi ya watu waliogoma ikipungua taratibu.
Wakati huo huo shirika hilo la reli limesema matendo yanayoenea ya uharibifu wa mfumo wa reli yameharibu mfumo wa reli kwa treni ziendazo kasi za TGV. Afisa kutoka shirika la reli amesema kuwa matukio kama hayo ya uharibifu yaliyofanyika usiku yamesababisha ucheleweshaji mkubwa kwa huduma za treni ziendazo kasi.
Kiungo http://p.dw.com/p/CQ2S
| 2017-12-12T17:06:09 |
http://www.dw.com/sw/mgomo-wa-wafanyakazi-wa-shirika-la-reli-waendelea/a-2960032
|
[
-1
] |
Mambo ya kuepuka kama una Ngozi Kavu
HomeAfyaMambo ya kuepuka kama una Ngozi Kavu
Ngozi kavu inaweza kukufanya ukose raha kutokana na kuwasha mara kwa mara, lakini pia kupauka hii inaweza kusababisha mikunjo ya ngozi na hata kupatwa na vidonda katika ngozi. Ngozi kavu husababishwa na baridi lakini pia unaweza ukawa umezaliwa nayo tu upo hivyo. kama una ngozi ya aina hii basi haya ni mambo matatu ya kuyaepuka kufanya.
Kuoga maji ya moto kwa muda mrefu
Epuka kuoga maji ya moto mara kwa mara kunaweza kufanya yale mafuta natural yanayo moisturize mwili kukauka, ili kuepuka tatizo hili ni vyema ukatumia maji ya uvuguvugu au baridi katika kuoga au kunawa mwili wako.
kutumia vipodozi vyenye Alcohol Nyingi
Alcohol nyingi husababisha ngozi kuzidi kuwa kavu, wakati wa kwenda kununua vipodozi vyako hakikisha unasoma maelezo na kujua kiasi cha alcohol kilichopo kama ni nyingi usichukue chukua yenye kiasi kidogo.
Kuosha Ngozi Na Sabuni Mara Kwa Mara Na Kusugua Kwa Nguvu
Kuosha ngozi mara nyingi sana na sabuni ni njia ya mojawapo ya kupata ngozi kavu. Ngozi kavu iliyokasirika huathirika zaidi na maambukizi ya bakteria kwa sababu kuosha mara nyingi huondosha safu za kinga ya ngozi yako.
| 2020-07-08T11:07:13 |
https://www.uhalisia.com/2020/06/mambo-ya-kuepuka-kama-una-ngozi-kavu.html
|
[
-1
] |
HAZINA YA MASWALI->هود->پیامبران - HAZINA YA MASWALI - islamquest
MANENO YOTE KAMA IBARA ILIVYO KILA NENO(MANENO YALIYO AINISHWA TU) KILA NENO(PAMOJA NA MINYAMBUKO YAKE) Hali kwa sasa timu:هود ► MAUDHUI ZOTE Miscellaneous questions Qur-ani پیامبران Hadithi Elimu ya Akida Falsafa Tabia Irfani Fiqhi Tarehe Nyendendo احکام مبانی شیعه اندیشه های امام خمینی (ره) مفاهیم قرآنی ولایت فقیه و حکومت اسلامی عرفان و اخلاق منطق و فلسفه بیشتر بدانید قواعد عربی KIPINDI CHOTE MSAA 24 YALIOPITI WIKI MOJA ILIYOPITA WIKI MBILI ZILIZOPITA WIKI TATU ZI,LIZOPITA MWEZI MMOJA ULIOPITA MIEZI MIWILI ILIYOPITA MIEZI SITA ILIYOPITA
10945 مکر 2012/05/23
9025 آفتاب 2012/06/17
6658 حوادث روز عاشورا 2012/05/23
8537 Tabia kimatendo 2012/06/17
10381 Tabia kimtazamo 2012/05/23
| 2019-06-25T17:43:26 |
http://www.islamquest.net/af/archive/category/1564
|
[
-1
] |
Sophie Mbeyu Blog: Sababu 10 zinazosababisha maumivu ya tumbo wakati wa miezi mitatu ya kwanza ya ujauzito.
Sababu 10 zinazosababisha maumivu ya tumbo wakati wa miezi mitatu ya kwanza ya ujauzito.
Kuna matatizo mengi ambayo yanasababisha maumivu kwa mtu mwenye ujauzito, hata hivyo, ni muhimu kukumbuka kwamba hali yoyote ambayo husababisha maumivu kwa mgonjwa asiyekuwa na ujauzito inaweza pia kutokea kwa mjamzito, ingawa historia na uchunguzi vinaweza kuwa tofauti.
Kwa asili kutathmini maumivu ya tumbo kwa mama mjamzito kuna changamoto kwa sababu kichefuchefu, kutapika na maumivu ya tumbo hujitokeza mara nyingi kwa wajawazito wengi.
MIMBA NJE YA MFUKO
Mgonjwa ambaye mimba imetunga nje ya mfuko kipimo cha ultrasound ni lazima kitumike na kitaonyesha mambo mengi na ni pamoja na majimaji na uchafu ndani ya mfuko huo wa uzazi.
Mimba iliyotunga nje ya mfuko ni tatizo linaloongoza kusababisha maumivu kwa kinamama wengi. Tatizo hili linaweza kubainika kwa kutumia kipimo cha Ultrasound na kipimo cha homoni HCG.
Hata hivyo, tatizo hili linatibiwa kama dharura kwa mama kufanyiwa upasuaji.
KIINITETE KUJIPANDIKIZA
Lakini pia kiinitete kinapojipandikiza katika kuta za ndani za mfuko wa uzazi kinaweza kusababisha maumivu makali ya tumbo kwa mjamzito, ambayo huchukua muda wa siku moja hadi mbili na kiasi kidogo cha damu ukeni hutoka.
Mara nyingi kiasi hiki ni kidogo na hutokea kati ya siku sita hadi kumi na mbili baada ya tarehe inayohisiwa mimba kutungwa, mara nyingi kipindi hiki hukaribiana na siku ambayo mwanamke alikuwa anatarajiwa kuingia katika siku zake za hedhi. Hivyo, wagonjwa mara nyingi hufanya makosa kwa kufikiri kuwa wameingia katika siku zao kama kawaida.
MFUKO WA UZAZI KUTANUKA
Mfuko wa uzazi unapotanuka wakati mtoto anakua tumboni unaweza kusukuma viungo vingine kando ndani ya tumbo na kusababisha maumivu, kunaweza kujitokeza upungufu wa damu na kitu kinachoitwa kitaalamu Leukocytosis, mambo ambayo ni kawaida kwa mjamzito na vikawa siyo viashiria vya upungufu wa damu au maradhi.
KINACHOSHIKILIA MFUKO WA UZAZI
Sababu nyingine ya maumivu husababishwa na kitu kinachoitwa kitaalamu ‘round ligament’.
Ligament hii ndio inayoshikilia mfuko wa uzazi. Mfuko wa uzazi unavyozidi kukua, ligament hii huvutika na kusababisha maumivu makali kwa mama mjamzito.
Mara nyingi daktari hutoa dawa za maumivu kwa mama mjamzito na husaidia kwa tatizo hili.
Sababu nyingine ya maumivu ya tumbo kwa mjamzito ni kutoka kwa mimba. Mimba inaweza kutoka yenyewe au kutolewa kwa makusudi. Tatizo hili huambatana na maumivu pamoja na kuvuja damu.
Utoaji wa mimba usiokuwa salama unaongoza kusababisha vifo vya kinamama katika nchi zinazoendelea.
UVIMBE KWENYE MIRIJA MIRIJA YA MAYAI
Wakati mwingine uvimbe huu wa kwenye mirija ya mayai hupasuka au kujizungusha. Hata hivyo, unaweza kupungua na usipopungua unaweza kuondolewa kwa njia ya upasuaji hasa wakati wa muhula wa pili wa ujauzito.
KUJIZUNGUSHA KWA MIRIJA YA MAYAI
Hii hujitokeza mara chache. Uvimbe kwenye mfuko wa uzazi pia husababisha maumivu hasa unapokuwa mkubwa. Tatizo hili linaweza kusababisha ujauzito kutoka hasa katika miezi ya awali.
KIDOLE TUMBO
Kidole tumbo (appendicitis) pia kinaweza kusababisha maumivu ya tumbo kwa mjamzito na hujitokeza kwa uwiano sawa kama wanawake ambao hawana ujauzito. Matibabu ya ugonjwa huu ni upasauji. Mara nyingi wanawake wengi hupata uchungu baada ya upasuaji.
Kutokana na mabadiliko ya homoni wanawake wengi hupata tatizo la mawe kwenye mfuko wa nyongo. Tatizo hii huweza kugunduliwa kwa njia ya kipimo cha Ultrasound. Matibabu hutegemea na dalili na uchunguzi wa daktari.
UVIMBE MFUKO WA NYONGO
Uvimbe unaoitwa kitaalamu inflammation kwenye mfuko wa nyongo ni tatizo la ghafla linalosababisha maumivu makali ambalo pia hujitokeza wakati wa mimba.
Tatizo hili mara nyingi husababishwa na mawe kwenye mfuko wa nyongo. Dawa za kuua bakteria hutumika katika matibabu ya ugonjwa huu.
MAAMBUKIZI NJIA YA MKOJO
Wanawake wengi wakati wa ujauzito hupata maambukizi kwenye njia ya mkonjo mara kwa mara. Hii ni kutokana na mabadiliko yanayojitokeza wakati huu wa ukuaji wa mimba.
Ultrasound hutumika katika uchunguzi wa maumivu ya tumbo wakati wa ujauzito. Kongosho, mfuko wa nyongo na kidole tumbo vyote huonekana kwa mama mjamzito. Vipimo vinavyotumia mionzi vitumike tu pale inapohitajika kwa mama mjamzito.
Dokta wa Uwazi Simu: 0754 391743
Posted by Sophia Mbeyu at 15:29
Blog Archive 06/17 - 06/24 (1) 06/10 - 06/17 (10) 06/03 - 06/10 (17) 05/27 - 06/03 (7) 05/20 - 05/27 (28) 05/13 - 05/20 (22) 05/06 - 05/13 (9) 04/29 - 05/06 (7) 04/22 - 04/29 (13) 04/15 - 04/22 (22) 04/08 - 04/15 (21) 04/01 - 04/08 (23) 03/25 - 04/01 (37) 03/18 - 03/25 (27) 03/11 - 03/18 (32) 03/04 - 03/11 (38) 02/25 - 03/04 (41) 02/18 - 02/25 (41) 02/11 - 02/18 (45) 02/04 - 02/11 (31) 01/28 - 02/04 (39) 01/21 - 01/28 (34) 01/14 - 01/21 (30) 01/07 - 01/14 (9) 12/31 - 01/07 (12) 12/24 - 12/31 (31) 12/17 - 12/24 (31) 12/10 - 12/17 (45) 12/03 - 12/10 (41) 11/26 - 12/03 (28) 11/19 - 11/26 (28) 11/12 - 11/19 (56) 11/05 - 11/12 (24) 10/29 - 11/05 (40) 10/22 - 10/29 (50) 10/15 - 10/22 (63) 10/08 - 10/15 (47) 10/01 - 10/08 (63) 09/24 - 10/01 (39) 09/17 - 09/24 (45) 09/10 - 09/17 (41) 09/03 - 09/10 (47) 08/27 - 09/03 (72) 08/20 - 08/27 (51) 08/13 - 08/20 (33) 08/06 - 08/13 (59) 07/30 - 08/06 (32) 07/23 - 07/30 (34) 07/16 - 07/23 (30) 07/09 - 07/16 (47) 07/02 - 07/09 (28) 06/25 - 07/02 (36) 06/18 - 06/25 (46) 06/11 - 06/18 (41) 06/04 - 06/11 (46) 05/28 - 06/04 (47) 05/21 - 05/28 (55) 05/14 - 05/21 (61) 05/07 - 05/14 (61) 04/30 - 05/07 (57) 04/23 - 04/30 (59) 04/16 - 04/23 (45) 04/09 - 04/16 (56) 04/02 - 04/09 (38) 03/26 - 04/02 (41) 03/19 - 03/26 (52) 03/12 - 03/19 (44) 03/05 - 03/12 (54) 02/26 - 03/05 (44) 02/19 - 02/26 (53) 02/12 - 02/19 (2) 02/05 - 02/12 (37) 01/29 - 02/05 (78) 01/22 - 01/29 (58) 01/15 - 01/22 (68) 01/08 - 01/15 (73) 01/01 - 01/08 (61) 12/25 - 01/01 (67) 12/18 - 12/25 (38) 12/11 - 12/18 (72) 12/04 - 12/11 (67) 11/27 - 12/04 (66) 11/20 - 11/27 (67) 11/13 - 11/20 (58) 11/06 - 11/13 (78) 10/30 - 11/06 (58) 10/23 - 10/30 (64) 10/16 - 10/23 (61) 10/09 - 10/16 (49) 10/02 - 10/09 (46) 09/25 - 10/02 (53) 09/18 - 09/25 (59) 09/11 - 09/18 (64) 09/04 - 09/11 (63) 08/28 - 09/04 (65) 08/21 - 08/28 (79) 08/14 - 08/21 (78) 08/07 - 08/14 (69) 07/31 - 08/07 (69) 07/24 - 07/31 (86) 07/17 - 07/24 (80) 07/10 - 07/17 (86) 07/03 - 07/10 (113) 06/26 - 07/03 (93) 06/19 - 06/26 (99) 06/12 - 06/19 (104) 06/05 - 06/12 (102) 05/29 - 06/05 (102) 05/22 - 05/29 (118) 05/15 - 05/22 (134) 05/08 - 05/15 (125) 05/01 - 05/08 (162) 04/24 - 05/01 (114) 04/17 - 04/24 (138) 04/10 - 04/17 (126) 04/03 - 04/10 (136) 03/27 - 04/03 (124) 03/20 - 03/27 (113) 03/13 - 03/20 (162) 03/06 - 03/13 (126) 02/28 - 03/06 (122) 02/21 - 02/28 (120) 02/14 - 02/21 (112) 02/07 - 02/14 (128) 01/31 - 02/07 (120) 01/24 - 01/31 (131) 01/17 - 01/24 (113) 01/10 - 01/17 (130) 01/03 - 01/10 (145) 12/27 - 01/03 (116) 12/20 - 12/27 (102) 12/13 - 12/20 (118) 12/06 - 12/13 (112) 11/29 - 12/06 (113) 11/22 - 11/29 (117) 11/15 - 11/22 (116) 11/08 - 11/15 (114) 11/01 - 11/08 (127) 10/25 - 11/01 (133) 10/18 - 10/25 (137) 10/11 - 10/18 (116) 10/04 - 10/11 (123) 09/27 - 10/04 (131) 09/20 - 09/27 (116) 09/13 - 09/20 (128) 09/06 - 09/13 (125) 08/30 - 09/06 (143) 08/23 - 08/30 (187) 08/16 - 08/23 (151) 08/09 - 08/16 (136) 08/02 - 08/09 (145) 07/26 - 08/02 (136) 07/19 - 07/26 (153) 07/12 - 07/19 (142) 07/05 - 07/12 (159) 06/28 - 07/05 (117) 06/21 - 06/28 (157) 06/14 - 06/21 (176) 06/07 - 06/14 (163) 05/31 - 06/07 (160) 05/24 - 05/31 (122) 05/17 - 05/24 (118) 05/10 - 05/17 (134) 05/03 - 05/10 (122) 04/26 - 05/03 (153) 04/19 - 04/26 (111) 04/12 - 04/19 (149) 04/05 - 04/12 (153) 03/29 - 04/05 (168) 03/22 - 03/29 (168) 03/15 - 03/22 (175) 03/08 - 03/15 (145) 03/01 - 03/08 (139) 02/22 - 03/01 (158) 02/15 - 02/22 (143) 02/08 - 02/15 (141) 02/01 - 02/08 (146) 01/25 - 02/01 (169) 01/18 - 01/25 (182) 01/11 - 01/18 (172) 01/04 - 01/11 (135) 12/28 - 01/04 (163) 12/21 - 12/28 (166) 12/14 - 12/21 (149) 12/07 - 12/14 (165) 11/30 - 12/07 (162) 11/23 - 11/30 (171) 11/16 - 11/23 (180) 11/09 - 11/16 (151) 11/02 - 11/09 (138) 10/26 - 11/02 (156) 10/19 - 10/26 (128) 10/12 - 10/19 (130) 10/05 - 10/12 (139) 09/28 - 10/05 (135) 09/21 - 09/28 (124) 09/14 - 09/21 (142) 09/07 - 09/14 (129) 08/31 - 09/07 (144) 08/24 - 08/31 (136) 08/17 - 08/24 (123) 08/10 - 08/17 (121) 08/03 - 08/10 (118) 07/27 - 08/03 (115) 07/20 - 07/27 (112) 07/13 - 07/20 (138) 07/06 - 07/13 (127) 06/29 - 07/06 (107) 06/22 - 06/29 (107) 06/15 - 06/22 (136) 06/08 - 06/15 (142) 06/01 - 06/08 (146) 05/25 - 06/01 (134) 05/18 - 05/25 (120) 05/11 - 05/18 (139) 05/04 - 05/11 (154) 04/27 - 05/04 (116) 04/20 - 04/27 (124) 04/13 - 04/20 (127) 04/06 - 04/13 (113) 03/30 - 04/06 (113) 03/23 - 03/30 (124) 03/16 - 03/23 (99) 03/09 - 03/16 (97) 03/02 - 03/09 (89) 02/23 - 03/02 (86) 02/16 - 02/23 (92) 02/09 - 02/16 (77) 02/02 - 02/09 (82) 01/26 - 02/02 (82) 01/19 - 01/26 (91) 01/12 - 01/19 (81) 01/05 - 01/12 (88) 12/29 - 01/05 (90) 12/22 - 12/29 (79) 12/15 - 12/22 (93) 12/08 - 12/15 (109) 12/01 - 12/08 (84) 11/24 - 12/01 (95) 11/17 - 11/24 (101) 11/10 - 11/17 (90) 11/03 - 11/10 (92) 10/27 - 11/03 (84) 10/20 - 10/27 (74) 10/13 - 10/20 (92) 10/06 - 10/13 (95) 09/29 - 10/06 (106) 09/22 - 09/29 (105) 09/15 - 09/22 (92) 09/08 - 09/15 (92) 09/01 - 09/08 (78) 08/25 - 09/01 (78) 08/18 - 08/25 (75) 08/11 - 08/18 (90) 08/04 - 08/11 (86) 07/28 - 08/04 (94) 07/21 - 07/28 (93) 07/14 - 07/21 (76) 07/07 - 07/14 (66) 06/30 - 07/07 (74) 06/23 - 06/30 (66) 06/16 - 06/23 (52) 06/09 - 06/16 (65) 06/02 - 06/09 (80) 05/26 - 06/02 (54) 05/19 - 05/26 (41) 05/12 - 05/19 (53) 05/05 - 05/12 (41) 04/28 - 05/05 (33) 04/21 - 04/28 (44) 04/14 - 04/21 (43) 04/07 - 04/14 (51) 03/31 - 04/07 (47) 03/24 - 03/31 (41) 03/17 - 03/24 (50) 03/10 - 03/17 (57) 03/03 - 03/10 (22) 02/24 - 03/03 (26) 02/17 - 02/24 (18) 02/10 - 02/17 (22) 02/03 - 02/10 (2) 01/27 - 02/03 (2) 01/20 - 01/27 (3) 01/13 - 01/20 (5) 11/22 - 11/29 (1) 07/26 - 08/02 (3) 07/12 - 07/19 (1) 07/05 - 07/12 (12) 07/22 - 07/29 (1)
| 2018-06-18T17:13:31 |
http://sophiembeyu.blogspot.com/2018/06/sababu-10-zinazosababisha-maumivu-ya.html
|
[
-1
] |
Elimu : Wanafunzi wawili wa Shule ya Academic International washinda mitihani ya Cambridge - Wazalendo 25 Blog
Home ELIMU HABARI MATUKIO TUZO Elimu : Wanafunzi wawili wa Shule ya Academic International washinda mitihani ya Cambridge
Elimu : Wanafunzi wawili wa Shule ya Academic International washinda mitihani ya Cambridge
Gadiola Emanuel November 28, 2016 ELIMU, HABARI, MATUKIO, TUZO,
| 2017-12-12T21:25:24 |
https://wazalendo25.blogspot.com/2016/11/elimu-wanafunzi-wawili-wa-shule-ya.html
|
[
-1
] |
Haikuwa rahisi kufunga ndoa na Grace-: Professor Jay | Perfect 255
Home ENTERTAINMENT Haikuwa rahisi kufunga ndoa na Grace-: Professor Jay
Haikuwa rahisi kufunga ndoa na Grace-: Professor Jay
11 July 2017, 11:50 am
Moja kakti ya story zilizochukua nafasi kubwa sana weekend iliyopita kila kona ni kuhusiana na mkongwe wa muziki wa Hiphop nchini ambaye pia hivi sasa ni Mbunge wa jimbo la Mikumi Professor Jay kufunga Ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Grace Mgonja.
Unaambiwa Professor Jay alidumu katika mahusiano ya uchumba na mpenzi wake huyo kwa takriban miaka 13 hadi kufikia kufunga ndoa, safari ndefu iliyokumbwa na misukosuko ya kila aina kama ilivyo kawaida katika mahusiano ya kawaida.
Professor Jay ametusanua kwamba ilifika time wakatengana kabisa katika mahusiano na kila mmoja akaendelea na mahusiano mapya ila mwisho wa siku walikuja kurudiana kwasababu kila mmoja aliamiini kuwa mwenza wake ndio chaguo sahihi kwake.
Bonyeza play kwenye video hii hapa chini uweze kumsikiliza Professor jay akisimulia japo kwa ufupi historia yake na misukosuko ambayo wamepitia na mpenzi wake huyo.
Grace Mgonja
Previous articleWizkid amtia ndimu Cassper Nyovest, anatamani siku moja litokee hili
Next articleEXCLUSIVE: Diamond Platnumz akiongelea mipango, siri ya mafanikio yake na WCB kwa ujumla
PICHA:NIMEKUWEKEA HAPA LIST YA WASHINDI WA TUZO ZA EMMYS AWARDS, WANAWAKE WANG’ARA
| 2017-09-19T22:29:53 |
http://www.perfect255.com/entertainment/haikuwa-rahisi-rahisi-kufunga-ndoa-na-grace-professor-jay/
|
[
-1
] |
Kamari kuungana |
Kamari kuungana
Kitufe cha kufungua
Funga Kitufe
Kasino ya Bethard
Casino ya Expekt
Mshindi wa Kasino
Kasino ya Ushirika
Kasino ya Betano
Kasino ya nyumbani
Mchezo wa Biafafa
Mchezo wa Xtip
Unganisha Casino
July 30, 2020July 30, 2020 AdminAdmin 0 Maoni
SOMA ZAIDISOMA ZAIDI
Februari 26, 2020Februari 26, 2020 adminadmin 0 Maoni
1Mtihani wa Casino wa xBit Katika Mtihani wa-1xBit tumefikia kasino, wachezaji online Bitcoin na roulette, Mashine za slot zilihusisha poker na michezo Paris kuruhusiwa! Soma hapa, kiwango sasa! Sisi
888.na Kasino888.na Kasino
888.com Casino Maoni yetu kwenye 888.com Das 888 Kasino kam 1997 Boresha kibiashara na usihifadhi juhudi zozote za kuwa kampuni yenye sifa. Anuwai ya michezo na zaidi ya
Uzoefu na 22Bet if maker 22Bet anatarajia paris kutoa huduma anuwai ya michezo huko Paris na Paris na mpango mzuri wa bonasi moja kwa moja. 22Bet sio kiongozi anayejulikana wa tasnia nchini Ujerumani. Lakini
Mchezo wa BwinMchezo wa Bwin
Februari 10, 2020Februari 10, 2020 adminadmin 0 Maoni
Bwin kashfa au halali? Wakala huyu ni Elektra Operator Works Limited. Nyumba, mdogo Malta, Gibraltar. Kwa hivyo, Bwin ana leseni halali ya mchezo kwa nchi hii. Kulingana na leseni hii
Kasino ya BethardKasino ya Bethard
Bethard ametajwa kuwa kasino bora duniani! Bet ngumu hutoa pesa kama betting mara nyingi! Kasino ya Bethard imejiwekea malengo, katika mazingira ya
Casino ya ExpektCasino ya Expekt
Habari za jumla & Usajili wa Usajili wa Usajili wa Kompyuta ni moja ya wazee katika tasnia ya uchezaji ya mkondoni na ni moja ya Manga Gaming Malta Limited. Juu ya mlolongo wa chakula, Betclic Everest
Mshindi wa KasinoMshindi wa Kasino
Mshindi wa Casino tangu 2009 kwenye soko na hutoa jukwaa kamili mkondoni kwa wachezaji ulimwenguni. Wavuti inapatikana katika lugha kadhaa – kwa ujerumani.
Kasino ya UshirikaKasino ya Ushirika
Maelezo ya Jumla & Usajili Casino ya Betclic ilikuwa katika mwaka 2005, Nicolas Beraud alianzishwa. Baada ya miaka minne tu, kasino imekuwa kiongozi katika nchi kadhaa ulimwenguni
Kasino ya BetanoKasino ya Betano
Kasino ya Betano – wazi na nzito Nani anasikia jina Betano ambaye awali alifikiria, labda mara moja tu kwenye michezo na betting za michezo. Hakuna sababu iliyokosekana, kwa sababu Betano aliendelea kuendelea
Ukurasa 1 Ukurasa 2 Ukurasa unaofuata
888.na Kasino
© Hakimiliki 2019 - Mtindo WordPress mandhari
| 2020-08-05T08:05:45 |
https://gamblingconnect.xyz/sw/
|
[
-1
] |
Nunua Ilio tumika Subaru Outback Silver Gari ndani ya Blantyre nchini Malawi - CarYanga
Inaonekana321
KuhusuSubaru Outback
Masafa148K
MWK 16,290,936
Habari, Nimevutiwa na Subaru Outback car iliopo Malawi - Blantyre nilio iona katika CarYanga.com. Unaweza nitumia taarifa zaidi juu yake? Ahsante.
| 2019-09-17T20:58:05 |
https://www.caryanga.com/sw/vehicle_listings/ad-subaru-outback-malawi-blantyre-3487
|
[
-1
] |
Kigezo:Wide image - Wikipedia, kamusi elezo huru
Kigezo:Wide image
Without caption[hariri chanzo]
smaller[hariri chanzo]
With caption[hariri chanzo]
Right aligned[hariri chanzo]
{{Wide image-noborder}}
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Kigezo:Wide_image&oldid=1042297"
Ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 25 Agosti 2018, saa 07:18.
| 2019-10-20T18:53:12 |
https://sw.wikipedia.org/wiki/Kigezo:Wide_image
|
[
-1
] |
المعتقد الصحيح
الواجب على كل مسلم اعتقاده
[I´tiqaad sahihi wajibu kwa kila Muislamu kuiamini]
Shaykh ´Abdus-Salaam bin Barjas Aal ´Abdil-Kariym
Abu Bakr Khatwiyb al-Atrush
00. Dibaji ya kitabu al-Mu´taqad as-Swahiyh
01. ´Aqiydah sahihi juu ya Tawhiyd-ur-Rubuubiyyah
02. ´Aqiydah sahihi juu ya Tawhiyd al-Asmaa´ was-Swifaat
03. ´Aqiydah sahihi juu ya Tawhiyd-ul-Uluuhiyyah
04. ´Aqiydah sahihi juu ya nguzo za imani sita
05. ´Aqiydah sahihi juu ya imani
06. Msimamo wa Ahl-us-Sunnah juu ya Takfiyr
09. ´Aqiydah sahihi juu ya watu wa nyumba ya kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)
10. ´Aqiydah sahihi juu ya karama za mawalii
11. ´Aqiydah sahihi juu ya watawala wa waislamu
12. Msimamo sahihi juu ya mijadala katika dini
Himdi zote anastahiki Allaah. Swalah na salaam ziwe juu ya Mtume wa Allaah, kizazi chake na Maswahabah zake.
Hakika ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah ndio dini ya haki ambayo ni wajibu kwa kila muislamu aiitakidi, kwani ndio ´Aqiydah ya Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Maswahabah zake watukufu (Radhiya Allaahu ´anhum). Atakayechagua ´Aqiydah nyingine, basi ameipelekea nafsi yake katika adhabu, khasira na ghadhabu za Allaah kali.
Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema kuhusu mapote ambayo yatazuka katika Ummah wake na akataja mapote sabini na tatu:
"Yote yatakuwa Motoni isipokuwa moja tu ambalo ni al-Jamaa´ah."1
Hakika Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesifu mkusanyiko huu ambao umesalimika kutokamana na matishio ya Moto pale aliposema:
"Ni wale wataokuwemo katika mfano wa yale niliyomo mimi hii leo na Maswahabah."2
Hiki ndio kidhibiti cha Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Hakika wao ni wenye kushikamana na Sunnah za Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Sunnah za makhaliyfah wake waongofu. Ni wenye kuziuma kwa magego. Kwa ajili hio ndio maana wakawa ni pote lililookoka (Firqat-un-Naajiyah). Ni wenye kuokoka na Moto siku ya Qiyaamah. Ni wenye kusalimika na Bid´ah hapa duniani. Vilevile wao ni kundi lililonusuriwa (Firqat-ul-Mansuurah). Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
"Hakutoacha kuwepo kipote katika Ummah wangu kuwepo katika haki wazi wazi mpaka itapowajia amri ya Allaah ilihali wako wazi wazi."
"Hakutoacha kuwepo kipote kwenye Ummah wangu katika ushindi mpaka itapowajia amri ya Allaah ilihali ni washindi."3
Maana ya kuwa wazi hapa ni nusura (Ta´ala):
"Tukawatia nguvu wale walioamini dhidi ya maadui zao, wakapambaukiwa wakiwa washindi." (61:149)
"Na hakika jeshi Letu ndilo litakaloshinda." (37:173)
Wao ni wenye kushinda kwa panga na mikuki au kwa hoja na dalili. Inahusu kundi moja na sio mengi. Kwa ajili hiyo ndio maana wameitwa ´mkusanyiko`. Amesema (Ta´ala):
"Na kuna nini baada ya haki ila upotofu." (10:32)
Hawatambuliki kwa jina lingine zaidi ya Uislamu na Sunnah na majina mengine yenye dalili. Imaam Maalik (Rahimahu Allaah) amesema:
"Ahl-us-Sunnah hawana jina lingine wanalotambulika kwalo, si Jahmiyyah, Qadariyyah wala Raafidhwah."
Aliulizwa vilevile kuhusu as-Sunnah ambapo akajibu kwa kusema:
"Hawana jina lingine zaidi ya as-Sunnah."
Bi maana Ahl-us-Sunnah hawana jina wanalojinasibisha nalo zaidi yalo.
Kumetiliwa umuhimu mkubwa juu ya kuipa nguvu ´Aqiydah ya wema waliotangulia (Salaf-us-Swaalih) na kubainishwa dalili zake. Imewekwa wazi na maimamu wengi wakubwa katika vitabu vingi, vya kibinafsi na vya kwa pamoja. Miongoni mwa vitabu hivyo kuna vinavyoitwa "as-Sunnah", bi maana "´Aqiydah". Ni zaidi ya vitabu mia mbili na khamsini. Baadhi yavyo ni:
1 – ”as-Sunnah” ya Ibn Abiy ´Aaswim
2 – ”as-Sunnah” ya ´Abdullaah bin Imaam Ahmad
3 – ”as-Sunnah” ya al-Khallaal
4 – ”as-Sunnah” ya Ahmad bin al-Furaat Abiy Mas´uud ar-Raaziy
5 – ”as-Sunnah” ya Ismaa´iyl bin Usayd al-Madiyniy
6 – ”as-Sunnah” ya Ibn-ul-Qaasim – mwanafunzi wa Maalik
7 – ”as-Sunnah” ya Muhammad bin Salaam al-Baykandiy
8 – ”as-Swifaat wa ar-Radd ´alaa al-Jahmiyyah” ya Nu´aym bin Hammaad
9 – ”as-Sunnah” ya al-Athram
10 – ”as-Sunnah” ya Harb bin Ismaa´iyl al-Karmaaniy
11 – ”as-Sunnah” ya Ibn Abiy Haatim
12 – ”as-Sunnah” ya Ibn Jariyr at-Twabariy
13 – ”at-Tabasswur fiy ´Alam-id-Diyn” vilevile ni ya Ibn Jariyr
14 – ”as-Sunnah” ya at-Twabaraaniy
15 – ”as-Sunnah” ya Abush-Shaykh al-Aswbahaaniy
16 – ”as-Sunnah” ya Abul-Qaasim al-Laalakaa’iy
17 – ”as-Sunnah” ya Muhammad bin Naswr al-Marwaziy
18 – ”´Aqiydat-us-Salaf wa Asw-haab-il-Hadiyth” ya as-Swaabuuniy
19 – ”al-Ibaanah” ya Ibn Battwah
20 – ”at–Tawhiyd” ya Ibn Khuzaymah
21 – ”at-Tawhiyd” ya Ibn Manda
22 – ”al-Iymaan” ya Ibn Abiy Shaybah
23 – ”al-Iymaan” ya Abu ´Ubayd al-Qaasim bin Salaam
24 – ”Sharh-us-Sunnah” ya al-Muzaniy – mwanafunzi wa ash-Shaafi´iy
25 – ”Sharh-us-Sunnah” ya al-Baghawiy
26 – ”Sharh Madhaahib Ahl-is-Sunnah” ya Ibn Shaahiyn
27 – ”al-Hujjah fiy Bayaan-il-Mahajjah wa Sharh ´Aqiydah Ahl-is-Sunnah” ya Abul-Qaasim al-Aswbahaaniy
28 – ”Usuul-us-Sunnah” ya Abu Abdullaah Ibn Abiy Zamaniyn
29 – ”ash-Shariy´ah” ya al-Aajurriy
30 – ”I´tiqaad Ahl-is-Sunnah” ya Abu Bakr al-Ismaa´iyliy
31 – ”as-Sunnah” ya al-Barbahaariy
32 – ”al-Iymaan” ya Ibn Manda
33 – ”al-Iymaan” ya al-´Adaniy
34 – ”al-´Arsh” ya Ibn Abiy Shaybah
35 – ”al-Qadar” ya Ibn Wahb
36 – ”al-Qadar” ya Abu Daawuud
37 – ”ar-Ru’yah” ya ad-Daaraqutwniy
38 – ”as-Swifaat” ya ad-Daaraqutwniy
39 – ”an-Nuzuul” ya ad-Daaraqutwniy
40 – ”Jawaab Ahl Dimashq fiys-Swifaat” ya al-Khatwiyb al-Baghdaadiy… na vitabu vinginevyo vingi.
Vivyo hivyo inahusiana na vitabu vilivyoandikwa baada ya waandishi hawa. Miongoni mwao ni Ibn ´Abdil-Barr, Ibn Qudaamah al-Maqdisiy, Ibn Taymiyyah, Ibn-ul-Qayyim, adh-Dhahabiy, Ibn Kathiyr, Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab na wengineo. Humo mmebainishwa ´Aqiydah sahihi. Vinasimamisha hoja na kufichua utata wa Ahl-ul-Ahwaa´.
Tutataja sehemu katika ´Aqiydah ya watu hawa vigogo.
Sipati kuwezeshwa haya isipokuwa na Allaah. Kwake Yeye ninategemea na kwake Yeye naelekea.
| 2020-06-01T01:08:59 |
http://azrefs.org/al-mutaqad-as-swahiyh-shaykh-abdus-salaam-barjas.html
|
[
-1
] |
Hatimaye bajaji yenye kutumia nishati ya Jua yawasili Uingereza
You are at:Home»Teknolojia»Magari»Hatimaye bajaji yenye kutumia nishati ya Jua yawasili Uingereza
By Mato Eric on September 14, 2016 Magari, Teknolojia
‘Kwenye nia siku zote pana njia’. Usemi huu unadhihirika baada ya ile bajaj yenye kutumia nishati ya Jua kuwasili nchini Uingereza baada ya kukwama nchini Ufarasa kwa zaidi ya wiki moja.
Takribani wiki moja hivi TeknoKona ilikuhabarisha kuhusiana na bajaji iliyokwama safari yake kutokana na dereva wa bajaji hiyo kuibiwa nyaraka yake ya kusafiria (passport), hatimaye dereva bajaji hiyo amefanikiwa kufika Uingereza.
Mmiliki wa bajaji yenye kutumia nishati ya Jua.
Safari hiyo ilidumu kwa miezi saba na umbali ukiwa maili 6,200 (9,978 Km). Alitarajia kufika mapema lakini akakwama kwa muda Paris baada ya pasipoti na kipochi chake kuibiwa.
Mhandisi Bw Rabelli akiwasili Uingereza.
Mmiliki wa bajaj hiyo alisema kuwa watu hupenda bajaji yake na hujitokeza na kupiga selfie. Watu hushangaa sana anapowaambia kuwa bajaji yake haitumii mafuta.
Alianzia safari yake Bangalore nchini India kisha akaendea Iran. Alipitia Uturuki, Bulgaria, Serbia, Austria,Uswizi, Ujerumani na Ufaransa. Anapanga kuhitimisha safari yake katika kasri la Buckingham, London.
INAYOHUSIANA Angani kwa siku tano kwenye ndege ya abiria
Ni safari iliyokuwa na changamoto kadhaa lakini hatimaye lengo la kuhamaisha watu kutumia magari yanayotumia kawi mbadala kama vile solar au umeme limetimia.
| 2019-01-19T20:21:52 |
https://teknolojia.co.tz/hatimaye-bajaji-yenye-kutumia-nishati-ya-jua-yawasili-uingereza/
|
[
-1
] |
Tangawizi Ya Mafuta Ya Mkojo Ya Jani
Home > Bidhaa > Tangawizi Ya Mafuta Ya Mkojo Ya Jani (Jumla ya 24 Bidhaa kwa Tangawizi Ya Mafuta Ya Mkojo Ya Jani)
Tangawizi Ya Mafuta Ya Mkojo Ya Jani - mtengenezaji, kiwanda, muuzaji kutoka China
Sisi ni maalumu Tangawizi Ya Mafuta Ya Mkojo Ya Jani wazalishaji na wasambazaji / kiwanda kutoka China. Ya jumla Tangawizi Ya Mafuta Ya Mkojo Ya Jani na ubora wa juu kama bei ya chini / bei nafuu, mojawapo ya Tangawizi Ya Mafuta Ya Mkojo Ya Jani bidhaa za kuongoza kutoka China, Jining Fuyuan Fruits And Vegetables Co., Ltd..
Tangawizi Ya Mafuta Ya Mkojo Ya Jani jumla kutoka China, Direct Buy kutoka China wazalishaji wa kuongoza kwa bei nafuu kiwanda. Pata bidhaa Tangawizi Ya Mafuta Ya Mkojo Ya Jani jumla kwenye Jining Fuyuan Fruits And Vegetables Co., Ltd. na kupata ubora wa juu Tangawizi Ya Mafuta Ya Mkojo Ya Jani moja kwa moja kutoka kwa wauzaji wa jumla wa China Tangawizi Ya Mafuta Ya Mkojo Ya Jani na wasambazaji. Tuma mahitaji yako ya kununua & Pata majibu ya haraka.
| 2019-07-24T03:52:22 |
http://sw.fuyuanfv.com/dp-tangawizi-ya-mafuta-ya-mkojo-ya-jani.html
|
[
-1
] |
SMZ yakataa waraka wa wakatoliki | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
SMZ yakataa waraka wa wakatoliki
Discussion in 'Jamii Intelligence' started by Barubaru, Sep 5, 2009.
Hatimaye Serikali ya mapinduzi Zanzibar imeupinga kabisa na kuukataa waraka uliotolewa na kanisa katoliki . Imeweka wazi kuwa waraka huo ni hatari sana na una nia na madhumuni ya kugawa nchi ikiwa pamoja na kuvunja umoja wa kitaifa,
Waraka wa wakatoliki mwisho Chumbe
je walisemaje kuhusu waraka wetu wa Kiislamu?
Waraka wa wakatoliki mwisho ChumbeClick to expand...
Mbona serikali imepiga marufuku hata ule waraka wa Shura za maimamu? Kwa nini umeacha kuutaja huo ukataja wa wakatoliki tu? Uwe mkweli bana! Serikali imesema haitaki waraka wa mwongozo
Mbona serikali imepiga marufuku hata ule waraka wa Shura za maimamu? Kwa nini umeacha kuutaja huo ukataja wa wakatoliki tu? Uwe mkweli bana! Serikali imesema haitaki waraka wa mwongozoClick to expand...
Kwa sababu huo ukarasa au waraka wa kanisa ndio kiini cha matatizo yote ambayo yanendelea kurindima.Na ndio mzizi wa fitna hivyo ukishakatwa huo mingine yote itanywea na kufa.
Kutoutaja MWONGOZO wa Shura ya Maimamu kuwa ni mzuri au la inamaanisha kwamba SMZ wanaukubali? Kaazi kweli kweli!
sasa mwache kadinali pengo atowe kunya zake kwa SMZ,kama hayatomkuta yaliyo mkuta shekh KURWA ,zanzibar anisikia tu sasa na kuiona paa ,hadi hivi naingia mitamboni hatakiwi hata kutia mguu wake hapa zanzibar.
Kitu ambacho sikielewi ni kuwa nyaraka hizi ni za serikali au za wananchi?. Ikiwa waumini wa dini wanakaa na kusema kuwa wanataka waogozwe vipi hayo haiyahusu serikali kwani serikali imewekwa na wananchi bali ni jukumu la wananchi wenyewe.
Tatizo hawa watu waliopewa dhamana wanajiona kama vile wana haki miliki na yeyote anayeingilia ulaji wao wanamuona ni mhatarisha usalama wa nchi( hawa wote ni wanafiki na wabinafsi hakuna kinacho wasumbua zaidi ya ubinafsi wao)
Waraka huu si kwa ajili yao ni kwa ajili ya wananchi wachague watu wanaowaona wanafaa na si vinginevyo sasa kwa kuwa wao tayari wanajijua hawafai wanaanza kulialia "they are hypocrites" kama waraka ungekuwa unawafagilia wao wangeutumia kujihakikishia kubaki kuitafuna nchi. Serikali yoyote ile haina mamlaka ya kuupinga waraka wowote kwani si kwa ajili yao na kitendo chochote cha kuupiga marufuku ni power abuse na one day tutawashitaki kwa udikteta wao na kuiminya katiba inayompa haki mtu kueleza mawazo yake (freedom of expression)
sasa mwache kadinali pengo atowe kunya zake kwa SMZ,kama hayatomkuta yaliyo mkuta shekh KURWA ,zanzibar anisikia tu sasa na kuiona paa ,hadi hivi naingia mitamboni hatakiwi hata kutia mguu wake hapa zanzibar.Click to expand...
Nyie wazanzibari acheni ujinga wenu; hao mafisadi wanaowatawala ndio chanzo cha matatizo ya maisha yenu eboo!! waraka wa katoliki unawapa mwanga wa jinsi ya kujinasua kutoka kwenye makucha ya wakandamizaji wenu na ndio maana wanaupinga. AMKENI SAA YENU YA UKOMBOZI NI SASA: AMA SIVYO HAO MASULTANI WENU WEUSI{ UKOO WA KARUME NA MWINYI} UTAWATAWALA MILELE NA MILELE NA DAIMA MTAKUWA MAFUKARA!!
Mtamroga au mtamsomea albadil? wewe ndio umeamua kuwa hatakiwi kutia mguu Zanzibar au? Ndugu zangu wa Zanzibar jaribuni kubadilika jamani, hivi kweli mnadhani mtabaki na akili hizo hadi lini? kwanini mnapenda sana ligi zisizokuwa na maana? Ninahisi wa bara wamewachoka mno basi tu, ingekuwa kuna kura za maoni nahisi idadi kubwa ya kukataa muungano wa kijinga huu ingetoka bara sasa....
Mtamroga au mtamsomea albadil? wewe ndio umeamua kuwa hatakiwi kutia mguu Zanzibar au? Ndugu zangu wa Zanzibar jaribuni kubadilika jamani, hivi kweli mnadhani mtabaki na akili hizo hadi lini? kwanini mnapenda sana ligi zisizokuwa na maana? Ninahisi wa bara wamewachoka mno basi tu, ingekuwa kuna kura za maoni nahisi idadi kubwa ya kukataa muungano wa kijinga huu ingetoka bara sasa....Click to expand...
KULA TANO BWANA MKUBWA.....yaani wabongo tumewachoka hawa wazanzibar mpaka inatia kinyaa,siku hizi wala hawaendi huko watu ni china au indonesia.aaaaaaaaah hhhuu mungano ufe wabaki na kakisiwa kao,hovyooo.
Kutoutaja MWONGOZO wa Shura ya Maimamu kuwa ni mzuri au la inamaanisha kwamba SMZ wanaukubali? Kaazi kweli kweli!Click to expand...
Habari ndiyo hiyo hatutaki fitna zenu....someni waraka wenu huko huko makanisani khalas
KULA TANO BWANA MKUBWA.....yaani wabongo tumewachoka hawa wazanzibar mpaka inatia kinyaa,siku hizi wala hawaendi huko watu ni china au indonesia.aaaaaaaaah hhhuu mungano ufe wabaki na kakisiwa kao,hovyooo.Click to expand...
Naona maji yameganda sasa unaita nini ........barafu?
Wazenj ni vilaza period.
Sasa wewe, sikuelewi. Hebu tafuteni kwanza uhuru wenu, halafu mkishakuwa huru ndio muweze kumsemea aliyehuru kama Pengo. Hamjui kuwa tangu enzi za mkoloni tulikuwa na maliwali waliokuwa wanawajibika kwa wakoloni na sio kwa wananchi? Nyie leo sijui imekaaje? Labda mwaka ujao mtajichagulia liwali vile, sijui!???!!??
Waraka huu si kwa ajili yao ni kwa ajili ya wananchi wachague watu wanaowaona wanafaa na si vinginevyo sasa kwa kuwa wao tayari wanajijua hawafai wanaanza kulialia "they are hypocrites" kama waraka ungekuwa unawafagilia wao wangeutumia kujihakikishia kubaki kuitafuna nchi. Serikali yoyote ile haina mamlaka ya kuupinga waraka wowote kwani si kwa ajili yao na kitendo chochote cha kuupiga marufuku ni power abuse na one day tutawashitaki kwa udikteta wao na kuiminya katiba inayompa haki mtu kueleza mawazo yake (freedom of expression)Click to expand...
Nafikiri tuwe fair! Kwanini tunasema kuwa serikali haihusiki kwa hili la Waraka wa kidini eti ni mawazo ya wananchi? Kwani mahakama ya Kadhi si MATAKWA ya wananchi? Mbona Serikali na Wabunge wamekataa kusikiliza? Nini sababu inayotolewa si Udini? Na waraka wa Kidini ni wa Kidini na unapotolewa na kundi moja huku ukiacha kundi jengine utakuwa na lengo la kuligawa Taifa.
Nyie wazanzibari acheni ujinga wenu; hao mafisadi wanaowatawala ndio chanzo cha matatizo ya maisha yenu eboo!! waraka wa katoliki unawapa mwanga wa jinsi ya kujinasua kutoka kwenye makucha ya wakandamizaji wenu na ndio maana wanaupinga. AMKENI SAA YENU YA UKOMBOZI NI SASA: AMA SIVYO HAO MASULTANI WENU WEUSI{ UKOO WA KARUME NA MWINYI} UTAWATAWALA MILELE NA MILELE NA DAIMA MTAKUWA MAFUKARA!!Click to expand...
Unajua kuwa fidhuli alishindwa kwa kurejeshewa tusi lake? Anza kuacha ujinga wewe nasi tutakufuatilia.
Acha uongo Bwana! Hivyo huoni aibu kuhusishwa na watu wasio na akili? Basi tangazeni kuachana nao.
Muungwana ni vitendo sio maneno na kama kujielewa ndio mnahisi kinyaa basi mtapata tabu kijana. Kumbe ni kuhamahama sio kujitegemea? Loh Kazi ipo!
Wazenj ni vilaza period.Click to expand...
Hatuna tofauti jora moja!
Sasa wewe, sikuelewi. Hebu tafuteni kwanza uhuru wenu, halafu mkishakuwa huru ndio muweze kumsemea aliyehuru kama Pengo. Hamjui kuwa tangu enzi za mkoloni tulikuwa na maliwali waliokuwa wanawajibika kwa wakoloni na sio kwa wananchi? Nyie leo sijui imekaaje? Labda mwaka ujao mtajichagulia liwali vile, sijui!???!!??Click to expand...
Tatizo unachokiona wewe kuwa ni kilima kwa mwenzio ni kichuguu.
| 2016-12-08T00:34:17 |
http://www.jamiiforums.com/threads/smz-yakataa-waraka-wa-wakatoliki.38048/
|
[
-1
] |
> UKOSEFU WA KIWANJA CHA MPIRA WA KIKAPU JIJINI ARUSHA - MSUMBA NEWS BLOG
Home MICHEZO UKOSEFU WA KIWANJA CHA MPIRA WA KIKAPU JIJINI ARUSHA
UKOSEFU WA KIWANJA CHA MPIRA WA KIKAPU JIJINI ARUSHA
Mjumbe wa chama cha mpira wa kikapu Arusha Bw.Bariki Kilimb7a ameeleza adha wanayoipata kutokana na ukosefu wa kiwanja cha kufanyia mazoezi na kuchezea mpira wa kikapu jijini Arusha.
Akizungumza na Msumbanews Blog Bw.Bariki amesema kuwa chama cha mpira wa kikapu Arusha kiliwapeleka baadhi ya wadau kwenda kusoma Uganda na Nairobi nia ikiwa ni kuwafundisha watoto na vijana.
Pia ameongeza kwa kusema kuwa ukosefu wa kiwanja hicho cha mpira wa kikapu kunawaathiri kwa kiasi kikubwa kwani walikuwa wakitegemea kiwanja cha Soweto lakini kwa sasa wamezuiliwa kwa muda kwa ajili ya usalama zaidi kwani kuna makazi ya watu katika eneo hilo.
Aidha ameendelea kusema wameshindwa kufanya ligi ya mkoa ambapo walitegemea kupeleka timu ya mkoa kushindana jijini Dar-es-salaam lakini imeshindikana kutokana na ukosefu wa kiwanja cha kufanya mazoezi
Amehitimisha kwa kusema kuwa chama cha mpira wa kikapu hakihitaji fedha kutoka serikalini kwa sababu wana wafadhili hivyo wameiomba serikali kuwapatia eneo la wazi kwa lengo la kujenga kiwanja cha mpira wa kikapu ili kukuza vipaji vya watoto na vijana.
| 2019-03-21T08:26:12 |
http://www.msumbanews.co.tz/2018/04/ukosefu-wa-kiwanja-cha-mpira-wa-kikapu_14.html
|
[
-1
] |
Moses Wetangula - Wikipedia, kamusi elezo huru
Moses Masika Wetangula (amezaliwa 13 Septemba 1956) ni mwanasiasa wa Kenya na Mbunge anayewakilisha jimbo Sirisia. Yeye amekuwa Waziri wa Mambo ya Nje tangu Januari 2008.
§Maisha Yake ya Utotoni[hariri | hariri chanzo]
Wetangula alisoma katika Shule ya Msingi ya Nalondo, halafu akaenda katika Shule ya Upili ya Teremi na baadaye Shule ya Friends, Kamusinga kabla ya kujiunga na Chuo Kikuu cha Nairobi, ambapo alifuzu kwa shahada ya Sheria (LLB).
§Siasa[hariri | hariri chanzo]
Yeye aliteuliwa kuwa mbunge kwenye chema cha kisiasa cha Kanu baada ya uchaguzi mkuu mwaka 1992, na kuwahudumia Wakenya hadi 1997. Yeye amewahi kushika vyeo vingine kadhaa vya umma kama hakimu na mwenyekiti wa Electricity Regulatory Board. Wetangula alishiriki katika asasi kadha za kuleta fedha ili kuanzisha miradi ya kusaidia watu na amekuwa akitoa huduma za kisheria kwa wananchi. Yeye huhamasisha wanawake na vijana kuanzisha miradi ya kuzalisha kipato.
Wetangula alichaguliwa kwenye Bunge katika uchaguzi wa Desemba 2007. Rais Mwai Kibaki alimchagua Wetangula kuwa Waziri wa Mambo ya Nje mnamo [1] tarehe 8 Januari 2008, pindi kulipokuwa na migogoro kuhusu matokeo ya uchaguzi wa rais. Mwezi wa Januari, baada ya nchi ya Uingereza kulalamika kuhusu uchaguzi wa rais, Wetangula alimwita na kumlalamikia Kamishna wa Uingereza , Adam Wood, na alisema kwamba "uchaguzi wetu hauhitaji muhuri wa mamlaka kutoka House of Commons ".[2] Baada ya serikali ya mseto kukubaliwa kati ya Kibaki na Raila Odinga, wote ambao walidai ushindi katika uchaguzi wa rais, Wetangula bado alihifadhi cheo chake katika Serikali ya Mseto, iliyotangazwa tarehe 13 Aprili 2008.[3]
↑ [4] ^ "Kenya: Kibaki achagua bara", The East African Standard (allAfrica.com), 8 Januari 2008.
↑ "Kenya kususia upinzani katika mpango wa", Al Jazeera, 21 Januari 2008.
↑ [6] ^ Anthony Kariuki, " Kibaki amtaja Raila PM katika baraza jipya", nationmedia.com, 13 Aprili 2008.
Ofisi ya Mawasiliano ya Umma
R. Odinga · Mudavadi · Ng'ongo · Kajwang · Duale ·
| 2015-03-29T01:07:23 |
http://sw.wikipedia.org/wiki/Moses_Wetangula
|
[
-1
] |
1,461 2,000
Ukisema wanachama napingana na wewe..kidogo ungesema kati ya watu kumi,saba ni (nyumbu)washabiki wa ccm
Reactions: KIKUBIJI, Ikemefune, Mmawia and 3 others
Labda ulifanya research kwenye nyumba ya mjumbe wa nyumba kumi
Nimefanya research kwa kufuatilia jinsi Magufuli anavyokubalika nimegundua MAGUFULI atashinda kwa 70% ikilinganishwa na vyama vya upinzani ambavyo vitpata watu 30%..muda ukifika nadhani hisia hizi zitakuwa kweli.tanzania yetu inapaa lakini tulicheleweshwa na watendaji Sasa system imewazingira Magufuli kawatega.
Reactions: Mmawia, PNC and MAPITO Mwanza
Reactions: Bila bila, KIKUBIJI, Ikemefune and 7 others
Utakuwa ulihesabu na majini mabaya
Reactions: Ikemefune, Mmawia, kimu mazengo and 3 others
Aisee! Kwa hiyo huu ni uthibitisho mwingine wa utafiti wa Twaweza na mwendelezo wa umasikini wetu!
Reactions: Ikemefune, Mmawia, PNC and 2 others
4,792 2,000
Binafsi sina shida na kushinda urais, hata wangekaa milele, je tunafikia malengo tuliyojiwekea, nimesikia juzi bungeni kwamba bajeti zinazotengwa sizo zinazofikia eneo husika, tutaendeleaje kwa staili hii? Umaskini ni biashara na tunatumia hii kuwarubini Watanzania maskini walio huko vijijini, ambaye hata ukimjengea choo na kumpa kanga anaridhika na kukupa kura, Kweli 2025 tutakuwa na uchumi wa kati?
Reactions: Ikemefune, 1000 digits and MAPITO Mwanza
Muda ni mwalimu
Asante kwa taarifa, sasa kama ndivyo kumbe hofu ya tume huru ya uchaguzi ni ya nini?
Reactions: Ikemefune, 1000 digits, PNC and 3 others
Reactions: Ikemefune, 4realiyulu and tindo
Hahaha nimefanya research. Okay maeneo yapi? Umetumia method gani? Data umekusanya kutoka makundi yapi?
37,116 2,000
Research imefanyika na mtu wa kutoka lumumba
Reactions: dos.2020 and MAPITO Mwanza
6,760 2,000
Kama ni hivyo kweli, mbona Jiwe ndio anazidi kuwaogopa wananchi wa 'Tanzania ya Magufuli'? Gen Mabeyo anaongeza vitisho kwa wananchi?
Reactions: tindo and MAPITO Mwanza
Kwakua lengo lishatimia mnaona Shida nini kuwaluhusu hawa kina mbowe na wapinzani kwaujumla wafanye siasa kama itakavyo katiba yetu uoga wanini wakati sasa watanzania wanyonge wanawakubali nyinyi ?
3,070 2,000
Kwa lugha nyingine ni kwamba kati ya watu 10 kuna wapumvavu 7 hapa bongo! Basi sawa.
4,044 2,000
Usisahau pia kwamba katika hao kumi...nane au tisa ni masikini wa kutopea.
18,050 2,000
Katika kila watu wawili mmoja ni mpinzani. Hivyo wakati wa uchaguzi vyombo vyote vya dola, tume ya uchaguzi itabidi wafanye mchezo mchafu ili ccm watangazwe washindi.
chikanu chikali
Sema kati ya watu 10 kuna mashetani 7 wapenda haki3
Reactions: the Tudor
Yawezekana maana majority yetu sisi ni nyumbu
| 2019-04-20T20:33:34 |
https://www.jamiiforums.com/threads/katika-kila-watu-10-kuna-wana-ccm-7.1573112/
|
[
-1
] |
Simuelewi shemeji yangu huyu | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Simuelewi shemeji yangu huyu
Discussion in 'Mahusiano, mapenzi, urafiki' started by M-bongotz, Jun 11, 2012.
Someni yaliyomsibu huyu dada....
"Mimi ni dada mwenye miaka 28,nimeolewa na nina mtoto mmoja,tunakaa nyumba ya kupanga na husband+mdogo wake wa kiume mwenye miaka 23.
Kuna siku niligundua kuwa picha zangu nyingi zimepotea,pamoja na kuuliza sikupata jibu lolote,jumamosi iliyopita niliingia bafuni kuoga baada ya yule shemeji yangu kutoka kuoga (tunashea bafu/choo) kilichonishangaza nilikuta picha zangu mbili kule bafuni sikuelewa zimefikaje na ni kati ya zile zilizopotea,nilipomuuliza hakuwa na la kujibu nikamwambia nitamwambia kaka yake,akaomba sana msamaha na kurudisha zile picha akasema hana nyingine.,leo asubuhi nimeingia chumbani kwake nikakuta kabandika picha 2 pembeni ya kitanda chake.,nishaurini nimfanyaje huyu kijana?"
kifupi ni kwamba shem wako anakuvutia hisia wew wakati anapiga punyeto bafun, jaribu kuongea nae aache hiyo tabia na ikiwezekana atafute demu
pole . . . . .
Adolescence inamalizikia so anakuvutia kasi
Ni bora amwambie mumewe mapema, hao mashemeji na mawifi huwaga vigeugeu kama kinyonga. Mwisho wa yote atakuja singiziwa kuwa yeye ndo alikuwa anamtamani uyo shemeji.
kwani kama anazitumia kuvutia hisia, ina-kuaffect in any way? labda yuko obsessed na wewe tu au anatamani kuwa na mwanamke of your calibre
mwambie mumeo....
Ukifanya masihara atakubaka huyo.....
Adolescence inamalizikia so anakuvutia kasiClick to expand...
Kongosho hivi adolescence mwisho ni miaka mingapi, maana naona miaka 23 huyo keshavuka!
peleka hilo swala kwa mumeo atakupeleka pabaya
Ukifanya masihara atakubaka huyo.....Click to expand...
BADILI TABIA ambake mara ngapi? hiyo kutumia picha zake kupunguza ashki yake ya kujaamiana tayari ni kubaka kisheria
Au unamtega na Khanga moko na min zakufamtu kijana inabidi akoki gobole.......chezea khanga moko!!au mnamtesa wewe na kakayake mkiingia 6x6 basi utadhani mko kumi chumba miguno yakufa mtu!!
mmmh, sidhani
kila mtu anakuwa tofauti.
Kuna wengine mabadiliko yanachelewa kuanza wengine wanawahi.
Sidhani kama naweza mlinganisha binti aliyevunjwa ungo na miaka 1r na yule aliyevunja na miaka 17.
Nadhani mabadiliko ya nje yana-reflect hata mabadiliko ya ndani/kiakili.
Kongosho hivi adolescence mwisho ni miaka mingapi, maana naona miaka 23 huyo keshavuka!Click to expand...
Kwani inawezekana hajamwambia mumewe hadi sasa? Kwanini sasa? Huwa sielewi sana linapokuja swala la kuchagua vitu vya kumwambia mumeo au mkeo, mi nadhani mkishaoana ni sharti muambiane kila kitu, tena mnakuwa marafiki tu. Ni shida sana dada anawaambia baadhi ya marafiki zake vitu fulani na anamficha mumewe tena kwa visingizio vidogo tu (Nitawagombanisha na mdogo wake bure! au anaweza asinielewe!) Huyo ni mkeo au mumeo, mwambie kila kitu kuepusha kutoaminika, maana kama kuna kitu kimetokea alafu hukusema na akaja kugundua mwenyewe unapoteza kabisa uaminifu japo si kosa lako na pia muelezee kila kitu ili kumfanya awe karibu zaidi na maisha yako!
Lakini akimalizia haja zake thru picture, and not reality kuna shida gani best??
Huoni kama unatakiwa ujisifie sana kwa kuweza kupendwa hadi na mdogo mtu??
Ningekua wewe ningepiga tena nyingine nzuri zaid (sio naked) nimpelekee.
Pengine hii ingemsaidia kuliko kujitumbukiza kwenye real sex na umri wake +vicheche vya siku hizi.
mtu mzimwa HABAKWI
Kongosho! Acha uhuni, 23 sio adolescence Bana! Huyo kinacchomsumbua ni mibangi na domo zege. Chukua tahadhari kwani iko siku atakupanda kwa nguvu. Atakugeuza PANZI, akubake
hivi kwa nini watu wapenda matumizi ya geisha and revola soaps kwenye kuwatoa wazungu wao! si nasikia ule mchezo unafanya dushelele linapinda mbele na kuwa kibamia???? mbona cku hizi mademu wapo very, very cheap??? jamani wadogo zangu kwenye rika la kubalehe acheni huo mchezo! mweeeee!
ndetia said:
kifupi ni kwamba shem wako anakuvutia hisia wew wakati anapiga punyeto bafun, jaribu kuongea nae aache hiyo tabia na ikiwezekana atafute demuClick to expand...
Ili kujua nia yake siku moja jifanye unampa ofa ya kiaina mkutane sehemu akija ujue hana nia njema na wewe.
Ohhh anataka dudu huyo! Mkanye au msemee kwa kakake!
| 2016-12-11T02:43:22 |
http://www.jamiiforums.com/threads/simuelewi-shemeji-yangu-huyu.277502/
|
[
-1
] |
GABO ZIGAMBA ATWAPA SOMO WASANII CHIPUKIZI | saluti5 ':"")+"";else if(null!=(o=r.match(/(youtu.be\/|youtube.com\/(watch\?(.*&)?v=|(embed|v)\/))([^\?&\"\'>]+)/gi))){var v=o[0].match(/^.*((youtu.be\/)|(v\/)|(\/u\/\w\/)|(embed\/)|(watch\?))\??v?=?([^#\&\?]*).*/);v&&11==v[7].length&&(s='')}else s='';i='',l=r.replace(/<(.*?)>/g,"").replace(/[\n\r]+/g," "),u.innerHTML=s+''+d+""+l.substring(0,g.summaryLength)+'…'+i+""}
» GABO ZIGAMBA ATWAPA SOMO WASANII CHIPUKIZI
GABO ZIGAMBA ATWAPA SOMO WASANII CHIPUKIZI
MWIGIZAJI nyota wa filamu za
Bongomuvi, Salim Ahmed “Gabo” amewataka wasanii chipukizi kufanya kazi kwa
juhudi ili kupata mafanikio kwenye tasnia hiyo.
Gabo alisema kuwa wasanii
chipukizi wanahitajika kuvionyesha vipaji vyao bila ya woga ili kupata
mafanikio ya kazi wanazozifanya.
Aidha, aliwataka wasanii
chipukizi kufanya kazi kwa juhudi bila woga wa aina yoyote na kufikia malengo.
| 2016-12-05T00:27:30 |
http://www.saluti5.com/2016/10/gabo-zigamba-atwapa-somo-wasanii.html
|
[
-1
] |
Atakayepinga aliyechaguliwa kuongoza NASA ataonekana kuunga mkono serikali iliopo - BBC Swahili
Atakayepinga aliyechaguliwa kuongoza NASA ataonekana kuunga mkono serikali iliopo
http://www.bbc.com/swahili/habari-39657700
Viongozi wa muungano wa NASA nchini Kenya wakiwa katika ukumbi wa Bomas Jijini Nairobi
Muungano wa upinzani nchini Kenya NASA umesema kuwa utamtangaza atakayeshikilia bendera yake ya urais mnamo tarehe 27 mwezi Aprili 2017.
Akizungumza katika mkutano wa kumlaki gavana wa kaunti ya Bomet Isack Ruto kujiunga na muungano huo kama mmoja wa viongozi wakuu wa chama hicho, waziri wa zamani wa maswala ya kigeni ambaye pia ni seneta wa kaunti ya Bungoma Moses Wetangula amesema kuwa kiongozi huyo atatajwa katika mkutano utakaofanyika uwanja wa Uhuru Park uliopo katikati ya jiji la Nairobi.Amesema kwamba tayari viongozi hao ambao wamekuwa wakikutana kwa takriban siku tatu zilizopita wamepiga hatua ya kumchagua mmoja wao kuongoza muungano huo.
Viongozi wakuu wa muungano wa NASA ni aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinga wa chama cha ODM, aliyekuwa wakati mmoja makamu wa rais Kalonzo Musyoka, wa chama cha Wiper, Moses Wetangula wa chama cha Ford Kenya na Issack Ruto wa chama cha mashinani CCM.Wetangula amesema kuwa kiongozi atakayetangazwa atakuwa amechaguliwa na viongozi wote watano na kwamba hakuna kiongozi atakayekuwa na pingamizi miongoni mwao.Amesema kwamba wafuasi wa NASA watakaopinga tangazo hilo watachukuliwa kwamba wanaunga mkono chama tawala cha Jubilee.
Wafuasi wa chama cha ODM katika muungano wa upinzani nchini Kenya NASA
''Tutatoa tangazo kubwa kuhusu kiongozi wetu ifikiapo tarehe 27 na mfuasi yeyote atakayepinga tangazo hilo ataonekana kuwa mfuasi wa chama tawala cha Jubilee ambacho ndio mpinzani wetu mkubwa katika uchaguzi huu'', alisema Wetangula mbele ya wanachama wa muungano huo waliomshangilia kwa vifijo na nderemo.Kiongozi huyo aliongezea kwamba makubaliano yote ambayo yaliafikiwa hapo awali kati ya viongozi hao yaliangaziwa na kutatuliwa ikiwemo yale ya ugawanaji wa mamlaka.''Makubaliano yote ambayo yalikuwa yamewekwa awali yameangaziwa na kutatuliwa na sasa tunasubiri kuweka serikali itakayounganisha wote na sio ile inayoongozwa na watu wawili''.Awali akizungumza katika mkutano huo aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinga alisema kuwa chama hicho sasa kitakuwa na baraza kuu kwa jina ''NASA Pentagon'' kufuatia kujiunga kwa Issack Ruto.Viongozi wote wakuu wa muungano huo walihudhuria mkutano huo katika ukumbi wa Bomas of Kenya Jijini Nairobi.
| 2017-06-26T01:14:35 |
http://www.bbc.com/swahili/habari-39657700
|
[
-1
] |
Wierd Behaviours That Kenyan Last Borns Have - Daily Active
Discussion of how weird the last borns are among Kenyans has been on for a while. Many are times parents get involved in an online discussion about the same. They are described as the most notorious in the family.
Although parents complain, other siblings always complain that the weird behaviors among the last borns are mostly influenced by the parents. Last borns are said to be the most pampered.
A parent identified as Run Town Marley started the discussion on Facebook asking fellow Kenyans what experience they would share about last borns.
“Last born wenyu ako na kasoro gani wetu akitumwa mkate asubuhi hawezi fanya ingine tena,” he asked. This invited reactions from netizens who shared different traits among last borns in their families.
Damaris Ndei Kuzurura nyairofi mnaeza ongea akiwa donholm,tena uskie ako alsops by jioni ako ushago…Tshiru Ladyheart join safarizangu😂😂
Anne Kimanjara Bad temper na altitudes, kujichocha nayo!!!!
Gracii Nimuh She once said she is not going to school bcs her stomach was “tired” of all excuses she could tell she chose a tired stomach🤣🤣🤣😂
Shiro Bridgita Ukienda home upate anwatch TV hakuna kuchange channel coz remote ni yake🙄🙄alafu pigiwa simu na bae alafu askie ukisema “luv you too bye”🙁mum akiingia tu “mum shiro ameabia mtu kwa simu luv you”😏😏otherwise i really luv you small siz😘
Mimi Sironka Wetu anakuanga moody 24/7. Hivi karibuni tunangoja alale tuhame😂😂😂
Kelly Vellymah Jino ikimuuma usiku anawaamsha boma mzima 😭😀😂
Fulani Binti Fulani Wetu hakuna kitu atatumwa aone…its either hakuna or sioni hata ka iko puani kwake. Nkt
Verah Momanyi Akikohoa mara moja amekua mgonjwa anaambia kila mtu “I’m siki”,anatoka shule eti jino inamuuma anakulia hiyo jino njaro wiki yote Friday unamsikia akisema amechoka na nyama 🙆♀️🤷♀️
Milly De Boss Chic Khai shiko ketu ata kukuletea kijiko ni tafash 🙄🙄🙄….tunakapenda tu hivyo
Rita Akoth Wetu akitumwa asubuhi anrudi saa nane na mkate ya asubuhi
Penny M Maish Wetu ukimchapa anaenda kulia kwenye wazazi wako
Eysher Nelly Wetu akiamka asubuhi anakohoa ndo asiende shule
Frida Toto Totos Haki wetu huwa askiii akiitwa but akijua unamuitia food huwa anaskia loud n clear
Jay Kizeles Wetu Ako 30 but mkikosana anatapika. Ugali yake hupikwa na maji baridi. Sisi tunangoja alete bwana tumlipie mahari tumpeleke kwa gate ya huyo bwana tukimbie na tuzime Simu. Tunajua hatakumbuka home
Leila First Ile kitu anaweza tu ni masomo.
Vitu zingine, 🙆🙆🙆🙆aiii. Swez andika hapa
Itakaa thread
Ann Wandia Kulia bila sababu na ni MTU 34 yrs
Shaz Aggy Ukipika lazima umpee mwiko alambe tabia mbaya iyo 😂😂😂😂😂
Tags: #SurvivalTactics, 3, Kenyans, Last Borns
7 BlackSpots Every Driver Must Know- NTSA
| 2020-07-07T10:20:15 |
https://www.dailyactive.info/2019/10/07/wierd-behaviours-that-kenyan-last-borns-have/
|
[
-1
] |
theNkoromo Blog: FAST JET YAANZISHA SAFARI ZA NDEGE MPYA NCHINI, KUANZA RASM KESHO WANANCHI WAOMBWA KUCHANGAMKIA
Mkuu wa Kampuni ya Fast jet, John Corse (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu kampuni hiyo kuanza kutumia ndege mpya aina ya Embraer 190 kusafirisha abiria. Kulia ni Ofisa Uhusiano na Masoko wa kampuni hiyo, Lucy Mbogoro.
Mkuu wa Kampuni ya Fast jet, John Corse (katikati), akisisitiza jambo kwenye mkutano huo. Kushoto ni Ofisa Mkuu wa Huduma kwa Wateja, Christina Kausan.
wametakiwa kuchangamkia usafiri wa ndege wa Kampuni ya Fast jet baada ya kampuni hiyo kuanza kutumia ndege mpya aina ya Embraer 190 ambayo ni nafuu zaidi kwa matumizi.
huo umetolewa na Dar es Salaam leo na Meneja Mkuu wa Kampuni ya Fast jet, John Corse wakati akizungumza na waandishi wa habari jana kuwa ndege hizo ni rahisi kwa matumizi ya usafiri hapa nchini. Alisema
kuwa ndege hiyo ina uwezo wa kubeba abiria 108 aliongeza kuwa zitahudumia kwa miezi 6 huku ikitoa nafasi kwa mafunzo wa marubani wa Fast jet hapa nchini.
kuwa kwa kuwa Fast jet hapa nchini imepata hasara kiuendeshaji hivyo ndege hizo kwa kuwa hazitumii matufa mengi itasaidia kuiimarisha biashara.
Hii imetokea tu kuwa wakati serikali imeleta aina ya ndege zisizotumia mafuta mengi na sisi tulikuwa pia tumeshaanza mchakato huo na hivyo kwa sasa binafsi naona kuwa watanzania watanufaika zaidi" alisema Corse.
aliipongeza serikali kwa kuleta ndege mpya aina ya Bombardier 8, Q400 ambazo zinaenda mikoa ya Rukwa, Mara, Kagera na Dodoma ambapo ndege za Fast jet hazifiki.
kwa kuwa lengo la Fast jet ni kuwapatia watanzania huduma nafuu za usafiri wa anga hivyo inafurahia pale ambapo inaona kuwa ndege za serikali zinafika mikoa ambayo Fast jet haifiki. Alisema
kuwa kwa kupeleka ndege kwenye mikoa hiyo ni hatua ambayo inatimiza lengo la Fast jet la kuhakikisha watanzania wanapata huduma bora za anga
kwa bei rahisi na kwa wakati.
| 2016-12-04T14:10:11 |
http://bashir-nkoromo.blogspot.com/2016/10/fast-jet-yaanzisha-safari-za-ndege-mpya.html
|
[
-1
] |
Mabilioni Ya Wanachama NSSF Hatarini Kuyeyuka | MPEKUZI
Mabilioni Ya Wanachama NSSF Hatarini Kuyeyuka
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), imebaini dosari katika uwekezaji uliofanywa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), katika ununuzi wa ardhi na ujenzi kwenye miradi saba ambayo inaigharimu serikali mabilioni ya shilingi.
Uchambuzi wa kamati hiyo kuhusu miradi hiyo saba, unaonyesha jumla ya Sh. bilioni 27.1 ambazo ni mali ya wanachama wa NSSF, zipo hatarini kupotea kutokana na uamuzi wa uwekezaji usiokuwa na tija.
Miradi hiyo ni pamoja na ujenzi wa Hospitali ya Apollo-Dar es Salaam, ujenzi wa jengo la ubalozi na biashara Nairobi-Kenya, uzalishaji wa umeme Mkuranga na ujenzi wa nyumba katika eneo la Kiseke na Bugarika mkoani Mwanza.
Mingine ni mradi wa Mwandiga Transport Terminal, ununuzi wa ardhi katika mikoa ya Pwani na Dar es Salaam na ujenzi wa nyumba katika kitalu namba 249 kilichopo eneo la Njiro mkoani Arusha.
Akiwasilisha taarifa ya shughuli za kamati hiyo kwa mwaka 2018, Mwenyekiti wa PAC, Naghenjwa Kaboyoka, alisema taarifa ya ukaguzi maalum uliofanyika NSSF, imebainisha udhaifu mkubwa katika suala la uwekezaji.
“Ukaguzi huu maaalum wa miradi ya NSSF ulilenga zaidi miradi inayohusu ununuzi wa ardhi katika maeneo mbalimbali hapa nchini. NSSF iliwekeza miradi kadhaa ya uwekezaji, ambayo kwa kiasi kikubwa haijaleta ufanisi hivyo kuashiria matumizi yasiyofaa ya fedha za umma,” alisema.
Alisema kamati yake imefanya uchambuzi wa kina wa miradi hiyo kama ilivyowasilishwa katika taarifa ya ukaguzi maalum wa NSSF kwa mwaka 2016/2017 na kubaini dosari ambazo zinaweza kuisababishia serikali hasara.
Katika mradi wa ujenzi wa Hospitali ya Apollo ya Dar es Salaam, alisema mkataba wa mradi huo ulisainiwa Septemba 23, 2014 kati ya NSSF na Apollo Hospital Enterprises Limited, Singapore.
Alisema makubaliano ya mradi huo yalikuwa Apollo watoe vifaa na kuendesha hospitali hiyo kwa miaka 15 kwa gharama ambayo ingekubaliwa na kugawanywa asilimia 50 kwa 50 kwa wabia wa mradi huo.
Kwa mujibu wa Kaboyoka, hadi sasa mradi huo umetumia Sh. bilioni 4.19. Hata hivyo, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) alipoutembelea mradi huo Februari 2018, alikuta umetelekezwa na mkandarasi kutokana na eneo hilo kutofikika kwa urahisi kwa sababu ya ujenzi wa mradi wa mabasi yaendayo haraka.
Kwamba hakuna shughuli inayoendelea, hivyo kuthibitisha uwekezaji usio na tija na matumizi yasiyofaa ya fedha za umma.
Kwenye mradi wa ujenzi wa jengo la ubalozi na biashara Nairobi, Kaboyoka alieleza hadi sasa, jumla ya Sh. milioni 854.2 zimekwishatolewa na NSSF katika utekelezaji wa mradi huo. Hata hivyo, kamati inakamilisha taarifa hiyo, hakuna shughuli zozote zinazokuwa zinaendelea katika mradi huo licha ya fedha kutolewa.
Alisema Wizara ya Mambo ya Nje inamiliki sehemu ya ardhi jijini Nairobi na iliingia makubaliano na NSSF kujenga jengo la ubalozi na biashara.
Kaboyoka alisema NSSF walitakiwa kutoa fedha kiasi cha Sh. bilioni 77.4 na Wizara ingechangia ardhi kama sehemu ya mtaji wake.
Kuhusu mradi wa kuzalisha umeme wa Mkuranga (Mkuranga Power Generation), Kaboyoka alisema hadi sasa, NSSF wametumia Sh. bilioni tatu katika mradi huo lakini ukaguzi umebaini ardhi iliyonunuliwa haijawahi kupimwa wala haina mipaka, jambo ambalo litasababisha migogoro siku zijazo.
Alisema: “Pamoja na dosari hiyo, hapakuwapo na upambuzi yakinifu wowote kuonyesha 'economic viability' (faida za kiuchumi) za mradi huo na namna fedha za uwekezaji zitakavyorejeshwa.”
Alisema kuwa kabla ya kuanza kwa mradi huo, NSSF, Shirika la Umeme (Tanesco) na Shirika la Maendeleo ya Petroli (TPDC) waliingia makubaliano ya kuanzisha mradi wa kuzalisha umeme katika eneo la Mkuranga mkoani Pwani.
Gharama za mradi huo kwa mujibu wa Kamati ya PAC, zilikadiriwa kuwa dola za Marekani milioni 490. NSSF walinunua ardhi yenye ukubwa wa ekari 100 kwa ajili ya mradi na kuchimba visima 11 vya maji katika eneo hilo.
Kuhusu mradi wa ujenzi wa nyumba katika eneo la Kiseke na Bugarika mkoani Mwanza, Kaboyoka alisema hadi sasa jumla ya Sh. bilioni 1.51 ambazo ni sawa na asilimia 80 ya gharama za mradin zimekwishalipwa.
Alisema ukaguzi umebaini NSSF hawajapewa viwanja vyote kwa mujibu wa mkataba, hivyo kuwapo uwezekano wa kupotea kwa fedha za umma.
Pamoja na dosari hiyo, Kaboyoka alisema uongozi wa Kata ya Buhongwa uliwafahamisha wakaguzi kuwa baadhi ya wanavijiji wa eneo hilo hawakulipwa fidia, hivyo wameamua kuvamia eneo hilo na kusababisha hasara kwa NSSF.
Mradi huo ulianza kutekelezwa mwaka 2008, NSSF wakikubaliana na Halmashauri ya Jiji la Mwanza kununua viwanja 357 katika eneo la Bugarika na viwanja 299 katika eneo la Kiseke kwa gharama ya Sh. bilioni 1.89.
Katika mradi wa ujenzi wa nyumba katika kitalu namba 249 eneo la Njiro jijini Arusha, alisema malipo ya awali yalifanyika Novemba 2010 ni Sh. milioni 132 na malipo ya mwisho yalikuwa Sh. milioni 308 yalifanyika Machi 2011.
“Wakaguzi walipotembelea eneo hilo Januari 2018, walikuta eneo lote limevamiwa na wanakijiji na kujenga majengo kama nyumba za ibada na shughuli nyingine za binadamu. Pamoja na dosari hizo, wakaguzi hawakuweza kupata nyaraka za uhamisho wa ardhi hiyo kutoka kwa muuzaji kwenda NSSF. Hivyo basi, hakuna uwezekano wa fedha za umma zilizotumika kununua ardhi hiyo kurejeshwa tena kwa sasa," Kaboyoka alisema.
Aliongeza kuwa kamati yake imebaini hakuna shughuli inayoendelea katika mradi wa Mwandiga Transport Terminal licha ya kutumika Sh. bilioni 1.85.
Alisema NSSF walipanga kutekeleza mradi wa kituo cha kimataifa cha usafiri katika eneo la Mwandiga, Kigoma lenye ukubwa wa ekari 28 kwa gharama za Sh. bilioni 33.3.
Kaboyoka alisema kuwa hadi sasa, jumla ya ekari 28 za ardhi zimepatikana kwa gharama ya Sh. bilioni 1.85, akihoji ekari moja ya ardhi kununuliwa kwa wastani wa Sh. milioni 66.
Vilevile, alisema wamebaini dosari katika ununuzi wa ardhi mikoa ya Pwani na Dar es Salaam kwa gharama ya Sh. bilioni 15.8.
“Kamati imebaini kuwa ardhi hiyo ilinunuliwa bila ya kuwapo kwa kamati ya uwekezaji ya shirika la (Management Investment Committee - MIC) na haikupata idhini ya bodi. Haikuwa hivyo tu, bali imebaini pia ardhi hiyo haikuwa imepimwa na kufanyiwa tathimini ili kujiridhisha na thamani yake halisi ukilinganisha na bei iliyonunuliwa,” alisema.
Kutokana na uwekezaji huo usiokuwa na tija, Bunge liliazimia serikali ifanye uchunguzi wa wahusika wote waliohusika katika mchakato wa ununuzi wa ardhi husika kwa malengo ya uwekezaji ambao haukuwa na tija na kisha kuchukua hatua stahiki kwa kuzingatia matokeo ya uchunguzi.
Pia, serikali na bodi za mifuko mipya ya hifadhi za jamii iliyoundwa zihakikishe masuala ya uwekezaji yanafanyika kwa kuzingatia sheria na miongozo ya mamlaka husika kama Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) na Benki Kuu (BoT) ili kuepuka uwekezaji usiokuwa na tija kwa taifa na kwa wanachama wa mifuko husika.
| 2019-04-18T17:15:06 |
http://www.mpekuzihuru.com/2019/02/mabilioni-ya-wanachama-nssf-hatarini.html
|
[
-1
] |
MEDEAMA WAWASILI DAR NA MKWARA KUIPIGA YANGA 2-0 - BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE
MEDEAMA WAWASILI DAR NA MKWARA KUIPIGA YANGA 2-0 HABARI MOTOMOTO
MEDEAMA WAWASILI DAR NA MKWARA KUIPIGA YANGA 2-0 Mchezaji wa Medeama FC ya Ghana (katikati) akionyesha vidole viwili baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam mchana wa leo kwa ajili ya mchezo wa Kundi A Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wenyeji, Yanga SC Jumamosi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
Jamaa aliendelea kuonyesha vidole viwili hadi anakwenda kupanda basi kuelekea hotelini, akimaanisha wataipiga Yanga 2-0 Wachezaji wengine walitoka JNIA bila mbwembwe Wengine walitoka wanafanya mikakati kama hawa
Medeama wamekuja na mizigo mingine, mingine wamebeba vyakula
Item Reviewed: MEDEAMA WAWASILI DAR NA MKWARA KUIPIGA YANGA 2-0 Rating: 5
| 2016-12-10T10:46:20 |
http://www.binzubeiry.co.tz/2016/07/medeama-wawasili-dar-na-mkwara-kuipiga.html
|
[
-1
] |
‘Magufuli anasafiria nyota ya Kikwete’ – MwanaHALISI Online
Posted by: Masalu Erasto April 2, 2016 2 Comments 3,893 Views
LICHA ya Serikali ya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete kutuama katika tuhuma ya uzembe, ufisadi na rushwa, sehemu ya utawala wake unatajwa kumbeba Rais John Magufuli, anaandika Regina Mkonde.
Hatua ya Serikali ya Rais Magufuli kupunguza bei ya umeme inatajwa kuandaliwa na mtangulizi wake Rais Kikwete na kwamba, miundombinu Shirika la Umeme nchini (Tanesco) na mingine iliyoandaliwa na mtangulizi wake, inamsaidia kuinua uchumi wa nchi.
Serikali jana imetangaza kupunguza bei ya umeme pia kuondoa kodi ya huduma kwa mwezi Sh. 5520 hatua ambayo imepokelewa kwa mikono miwili na wananchi huku baadhi ya wachambuzi wakieleza kuwa, hatua hiyo haitoleta mabadiliko kwenye uchumi wa nchi kulingana na asilimia ndogo ya mabadiliko katika bei.
Akizungumza na MwanaHALISI Online Bashiru Ally, Mhadhiriwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM) amesema, mafanikio hayo si ya Rais Magufuli isipokuwa ni ya mtangulizi wake.
“Ni vigumu kusema kuwa anachofanya rais ni jitihada zake na kwamba Rais Kikwete hakufanya kitu, tusisahau kuwa miradi mingi ya umeme na miundombinu ilijengwa na Rais Kikwete,” amesema Bashiru na kuongeza;
“Huyu amekuja kuanzia sehemu aliyoishia mtangulizi wake na yeye ataacha misingi na changamoto ambazo zitakuja kutatuliwa na anayefuata.”
Hata hivyo, Bashiru amepongeza hatua hiyo kwa kuwa, katika hali fulani itawasaidia wananchi kupunguza makali ya maisha hasa wajasiliamali wadogo wanaotegemea kuingiza mapato kupitia nishati ya umeme.
“Wazalishaji watanufaika baada ya kushuka kwa bei ya umeme, kutasaidia kupunguza mfumuko wa bei nchini kama unavyopanda wakati gharama za umeme zinapopanda,” amesema Bashiru.
Mtaalamu wa masuala ya uchumi nchini, Profesa Ibrahim Lipumba amesema kwamba, Rais Magufuli bado hafikia viwango vya kukomboa uchumi wa nchi.
Amesema, hatua ya kushusha bei ya umeme haijafikia kiwango cha kusaidia uchumi wa nchi kama ambavyo baadhi ya watu wanavyoweza kudhani.
“Ukitazama kwa ndani utaona kwamba hakuna mshuko mkubwa wa bei ya umeme iliyofanyika ukilinganisha na kushuka kwa bei ya petrol kulikotokea mwaka jana, sababu bei ya Petrol mwaka 2015 ilishuka sana na kufikia nusu ya bei iliyokuwa ikiuzwa,” amesema Prof. Lipumba ambaye alikuwa Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF).
Ameeleza kuwa kama bei ya umeme ingeshuka kwa asilimia 20 ingesaidia kuimarisha uchumi wa wananchi hasa wale wenye viwanda vidogo.
“Iwapo bei ingeshuka kwa asilimia 20 ingesaidia kujenga uchumi wa nchi kwa asilimia kubwa pia kungekuwa na umeme wa uhakika hali ambayo ingesaidia kuimarisha uchumi,” amesema Prof. Lipumba.
Akizungumzia kuhusu Tanzania kunyimwa misaada na Mfuko wa Chanagamoto za Milenia (MCC), Profesa huyo ametoa wito kwa serikali kurejesha misingi mizuri ya demokrasia na kujenga uaminifu duniani kote kulingana na namna ilivyojinasibu kuwa nchi inayoendeshwa kwa misingi ya demokrasia na uhuru.
“Wahisani waliamua kufuta misaada yao baada ya kuona uchaguzi wa marudio uliofanyika Machi 20, mwaka huu visiwani Zanzibar haukufuata demokrasia hali iliyotafsiriwa na wahisani kama kwenda kinyume na makubaliano baina yao na MCC,” amesema.
Anasema Tanzania iliingia mkataba na MCC na ikasaini makubaliano ya kuendeleza misingi ya demokrasia na haki na ndiyo sababu ya kukubaliwa kupewa msaada wa Sh. 360 Bilioni ambazo zimezuiliwa.
Prof. Lipumba anafafanua kwamba fedha hizo zililenga kuwekeza kwenye sekta ya nishati ili nchi ipate umeme wa uhakika utakaokidhi mahitaji ya viwanda hivyo kutopatikana kwa fedha hizo kuna athiri uchumi wa nchi.
Prof. Benson Bana, Mhadhiriwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam amesema, kushuka kwa bei ya umeme kutasaidia kupunguza mfumuko wa bei.
“Umeme unatumika kwa wingi viwandani hivyo kushuka kwa gharama za umeme kutasaidia kupungua kwa mfumuko wa bei,” amesema Prof. Bana.
Kuhusu kukatishiwa misaada na nchi wahisani, amesema serikali haina budi kuangalia upya sera ya urafiki na diplomasia ya nchi za nje.
“Kuna baadhi ya maeneo yataathirika hivyo lazima serikali ijitahidi kubana matumizi mahali Fulani ili kuziba pengo hilo,” amesema Bana.
Amesema ingawa kujenga uchumi wa nchi itachukua muda lakini baadaye mambo yatakaa sawa na hata vizazi vijavyo vitanufaika na kuishi kwa raha kama wanavyoishi raia wa nchi nyingine.
LICHA ya Serikali ya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete kutuama katika tuhuma ya uzembe, ufisadi na rushwa, sehemu ya utawala wake unatajwa kumbeba Rais John Magufuli, anaandika Regina Mkonde. Hatua ya Serikali ya Rais Magufuli kupunguza bei ya umeme inatajwa kuandaliwa na mtangulizi wake Rais Kikwete na kwamba, miundombinu Shirika la Umeme nchini (Tanesco) na mingine iliyoandaliwa na mtangulizi wake, inamsaidia kuinua uchumi wa nchi. Serikali jana imetangaza kupunguza bei ya umeme pia kuondoa kodi ya huduma kwa mwezi Sh. 5520 hatua ambayo imepokelewa kwa mikono miwili na wananchi huku baadhi ya wachambuzi wakieleza kuwa, hatua hiyo haitoleta mabadiliko kwenye uchumi…
Previous: Kitilya, Sinare kizimbani kwa kuibia serikali
Next: Mbeya City yaididimiza Coastal, Mwadui hoi nyumbani
| 2020-04-03T23:41:09 |
http://mwanahalisionline.com/magufuli-anasafiria-nyota-ya-kikwete/
|
[
-1
] |
Habari Utamaduni Vijana na Michezo Dkt. Finella Mukangara, amenusurika
Waziri wa Habari Utamaduni Vijana na Michezo
Dkt. Finella Mukangara, amenusurika kifo katika ajali ya gari
iliyotokea leo Igunga mkoani Tabora wakati akiwa safarini kuelekea Mwanza
akitokea Dodoma.
Gari la Waziri Dk. Mukangara linadaiwa
kupinduka wakati dereva wake akijaribu kulipita roli la mizigo na kutaka
kugongana uso kwa uso na basi la Green Sta lililokuwa likitokea Mwanza.
Waziri, Msaidizi wake na dereva walipata
majeraha na kutibiwa katika Hospitali ya Nzega Mkoani Tabora.
| 2016-12-02T20:00:39 |
http://watanzaniaoslo.blogspot.com/2012/06/waziri-wahabari-utamaduni-vijana-na.html
|
[
-1
] |
PNY Furniture Co&Ltd (@penda_nyumbayako) - Ligaviewer is the best Instagram viewer
penda_nyumbayako
PNY Furniture Co&Ltd (@penda_nyumbayako) — "Tunauza furniture za kisasa,electronics and decors
Tunarepair sofa💪
Whatsap 0715460821
Loc-MakongoDSM
#furniture #interiordesign #decor
KIDS LEARNING TABLET BEI 150000 UTAPEWA BURE FREE WIRELESS SPEAKER AND BACK CAMERA. ZINAKUJA NA MICHEZO MBALIMBALI PAMOJA NA VIDEO ZA WATOTO. ZINAONGEZA IQ NA UWEZO WA AKILI YA MTOTO. ZINA UWEZO WA KUPIGA SIMU(LINE 2). ZINA SUPPORT HDMI NA MEMORY CARD. INAKUJA NA CABLE,USB CABLE,EARPHONE NA CHARGER. CALL 0715460821 TUNAPATIKANA MAKONGO JUU. MIKOANI TUNATUMA KWA USALAMA ZAIDI NA DELIVERY TUNAFANYA PIA KWA BAADHI YA SEHEM ZA DAR ES SALAAM. KARIBUNI
19.04.2019 15:52:30
19.04.2019 15:52:23
19.04.2019 05:47:13
L shaped sofa Bei 1.2 Puff 200,000 Tunapatikana makongo juu dsm Bidhaa ni kwa order tu Free delivery in dsm Mikoani tunatuma kwa gharama nafuu. Call 0715460821
19.04.2019 05:45:25
L shaped sofa set. Bei 1.4m Be Yellow Tunapatikana makongo juu dsm Bidhaa ni kwa order tu Free delivery in dsm Mikoani tunatuma kwa gharama nafuu. Call 0715460821
19.04.2019 05:44:40
L shaped sofa Available to order Bei 1.5m Tunapatikana makongo juu dsm Bidhaa ni kwa order tu Free delivery in dsm Mikoani tunatuma kwa gharama nafuu. Call 0715460821
L shaped sofa set Bei 1.2m Tunapatikana makongo juu dsm Bidhaa ni kwa order tu Free delivery in dsm Mikoani tunatuma kwa gharama nafuu. Call 0715460821
19.04.2019 05:31:19
Be R.E.D Sleeping sofa Available to order Price 750,000 Tunapatikana makongo juu dsm Bidhaa ni kwa order tu Free delivery in dsm Mikoani tunatuma kwa gharama nafuu. Call 0715460821
19.04.2019 04:39:09
17.04.2019 05:02:35
Ottoman❤ Bei 250000 Call 0715460821...more
17.04.2019 05:02:11
17.04.2019 04:18:39
My bathroom goals❤ Be inspired...more
16.04.2019 12:10:33
16.04.2019 12:09:41
L shaped sofa set Bei 1.200,000 Puff 200000 Call 0715460821...more
Electrical kids motorbikes Bei 450000 Zinakuja kwa order tu Ndani ya siku3 unapata mzigo wako Please ni order only. Call 0715460821 Tunapatikana makongo juu dsm
16.04.2019 04:53:24
16.04.2019 04:53:08
16.04.2019 04:52:59
| 2019-04-20T06:24:08 |
https://lviewer.com/penda_nyumbayako
|
[
-1
] |
Mapendekezo: Rais awe mmoja wa Muungano, bara na visiwani watoke makamu wa rais tu! - JamiiForums
Mapendekezo: Rais awe mmoja wa Muungano, bara na visiwani watoke makamu wa rais tu!
Napendekeza aqepo rais mmoja wa Muungano na awe na makamu wawili wa marais mmoja atoke bara na mwingine atoke visuwani. Na rais wa muungano awe anatoka sehemu yoyote ya muungano.
Hii mkuu si ndio ilishindikana?
Raisi mmoja serikali moja finish
Rais awe mmoja wa muungano na makamu wake, zenji kuwe na waziri mkuu, tanganyika pia kuwe na waziri mkuu, mchezo unaisha!
wanasiasa wanakomalia ili wawe na political posts kibao bila kuangalia kipato cha nchi
Muungano wenyewe una mambo 7 tu ya kushughulikia na its likely yakapunguzwa. Hii ina maana kiongozi mkuu (Whatever jina atakaloitwa) na kiongozi wa Zanzibar watakua na majukumu mengi mengi zaidi. Hivyo rais wa muungano atakuwa bwanyenye tu, kazi yake itakua kukata utepe tu.
Tuwe na serekali mbili tu ya Tanganyika na Zanziba. Tutakutana kwenye shirikisho la africa mashariki maana tumeshafika katika hatua nzuri na muda si mrefu mambo haya 7 yatashughulikiwa na shirikisho la east africa
3,689 1,353 280
Kwa kuongezea ni kujipatia umaarufu na kukusanya mali kwa kupitia muungano, tuachwe tupumue tukutane EAC
| 2019-03-19T03:57:39 |
https://www.jamiiforums.com/threads/mapendekezo-rais-awe-mmoja-wa-muungano-bara-na-visiwani-watoke-makamu-wa-rais-tu.464586/
|
[
-1
] |
DKT. SHEIN AONGOZA BARAZA LA SIKUKUU YA EID EL FITRI MJINI ZANZIBAR - SUFIANIMAFOTO
Home HABARI PICHA Jamii DKT. SHEIN AONGOZA BARAZA LA SIKUKUU YA EID EL FITRI MJINI ZANZIBAR
DKT. SHEIN AONGOZA BARAZA LA SIKUKUU YA EID EL FITRI MJINI ZANZIBAR
Muhidin Sufiani Monday, June 26, 2017
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Wananchi mbali mbali baada ya Swala ya Eidd Fitri iliyoswaliwa leo katika uwanja wa Maisara Suleiman Mjini Unguja katika kusherekekea kumalizika kwa Mfungo wa MweziMtukufu wa Ramadhan.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Wananchi mbali mbali baada ya Swala ya ElIdd Fitri iliyoswaliwa leo katika uwanja wa Maisara Suleiman Mjini Unguja katika kusherekekea kumalizika kwa Mfungo wa MweziMtukufu wa Ramadhan.
Katibu wa Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Fadhil Soraga alipokuwa akitoa khutba baada ya Swala ya El Idd elfitri iliyoswaliwa katika Uwanja wa Maisara Suleiman Mjini Unguja katika kusherehekea Sikukuu ya Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan aliyohudhuriwa na Viongozi wa Kitaifa na Waislamu mbali mbali wa Mkoa wa Mjini Magharibi leo.
Waislamu wanawake wakiwa katika Swala ya Eid el fitri iliyoongozwa na Sheikh Fadhil Soraga katika Uwanja wa Maisara Suleiman Mjni Unguja leo katika Mkoa wa Mjini Magharibi ambapo Viongozi wa Kitaifa na Waislamu mbali mbali walihudhuria.
Baadhi ya waislamu wanaume waliohudhuria katika swala ya EId elfitri wakimsikiliza Katibu wa Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Fadhil Soraga aklipokuwa akitoa khutba ya Swala ya El Idd elfitri iliyoswaliwa katika Uwanja wa Maisara Suleiman Mjini Unguja katika kusherehekea Sikukuu ya Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.Picha na Ikulu.
Mkutano mkuu wa Jumuiya ya Wachumi wazinduliwa - *[image: 1]* *Mkurugenzi wa Kituo Cha Uwekezaji TIC na Mwenyekiti wa Kamati Uzinduzi wa Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Wachumi Tanzania Economics Society Of Ta...
| 2018-02-25T03:23:21 |
http://www.sufianimafoto.com/2017/06/dkt-shein-aongoza-baraza-la-sikukuu-ya.html
|
[
-1
] |
Chupi za Kisasa in Dar Es Salaam | ZoomTanzania
Chupi za Kisasa
17. Apr, 11:42
Chupi 10 kwa pamoja
Duka lipo wazi
Member Since 17. Apr 5 Active Ads 5 Published Ads
+255766801316
| 2018-05-25T20:26:53 |
https://www.zoomtanzania.com/womens-clothing/suitable-bra-1019588
|
[
-1
] |
WAKAZI WA MWANZA WAASWA KUCHANGAMKIA FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA HISA - SUFIANIMAFOTO
Home Biashara WAKAZI WA MWANZA WAASWA KUCHANGAMKIA FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA HISA
WAKAZI WA MWANZA WAASWA KUCHANGAMKIA FURSA YA UWEKEZAJI KWA NJIA YA HISA
Muhidin Sufiani Tuesday, October 17, 2017
Rai hiyo imetolewa jana na wataalam wa uwekezaji katika masoko ya dhamana na mitaji walipokuwa wakizungumza na wafanyabiashara, wadau wa sekta binafsi na sekta ya umma Jijini Mwanza kwenye mjadala ulioandaliwa na Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA) kwa ushirikiano na Best Dialogue (Mpango wa Uboreshaji Mazingira ya Biashara nchini)Mjadala huo ulilenga kuangalia fursa na changamoto za biashara zinazoikumba sekta binafsi na namna ya kuzitatua na kuwezesha ustawi wa biashara jijini Mwanza ili kuweza kufikia uchumi wa kati na viwanda.Mgeni rasmi katika mjadala huo alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mh. John Mongella ambaye aliwakilishwa na Mkuu wa Wilaya ya Magu Mh. Khadija Nyembo ambaye alisema kuwa Serikali iko tayari kuboresha mazingira ya kibiashara ili kufikia uchumi wa kati pamoja na Tanzania ya viwanda.
Tunauza hisa sokoni sasa na hisa hizi zinauzwa kwenye matawi yote ya benki ya CRDB ambapo tunaunga mkono juhudi za Rais wetu anayesema uchumi wa Tanzania umilikiwe na watanzania wenyewe na njia mojawapo ya kuwajumuisha watanzania wengi ni uuzaji wa hisa sokoni”. Amesisitiza Mwangalaba na kuongeza kwamba hisa hizo pia zinapatikana ofisi za TCCIA.Naye Mshauri wa Hisa, Richard Manamba amesema ununuzi wa hisa una faida nyingi ikiwemo wanunuzi kupata gawio la faida ambalo benki hulipata na kwamba hisa hizo huongezeka thamani kulingana na nguvu ya soko.Maendeleo Bank yenye mtaji wa shilingi bilioni 10 sokoni inaendelea kuongeza mtaji wake hadi kufikia shilingi bilioni 17 ambapo inatarajiwa kufungua matawi yake katika mikoa mbalimbali nchini ikiwemo Mwanza.
| 2018-10-22T02:00:17 |
http://www.sufianimafoto.com/2017/10/wakazi-wa-mwanza-waaswa-kuchangamkia.html
|
[
-1
] |
Mwandishi wa Riwaya | ENOCKMAREGESI
Diwani za Kiswahili
Mwandishi wa Riwaya
Kutoshiriki Tuzo ya Kiswahili ya Mabati-Cornell ya Fasihi ya Kiafrika si busara kama wewe ni mwandishi wa riwaya au diwani za Kiswahili.
Tuitetee lugha yetu.
« Mtoto Mchanga
Bidii »
| 2017-11-17T19:29:39 |
https://enockmaregesi.wordpress.com/2016/08/13/mwandishi-wa-riwaya/
|
[
-1
] |
JINSI YA KUIFANYA BLOG/WEBSITE YAKO IONEKANE KWENYE SEARCH ENGINES(ORGANIC TRAFFICS) | MASWAYETU BLOG
JINSI YA KUIFANYA BLOG/WEBSITE YAKO IONEKANE KWENYE SEARCH ENGINES(ORGANIC TRAFFICS)
Natumaini kwamba kila mtu anajua maana ya blog na website,sitazungumzia sana hili swala,leo nitazungumzia kuhusu upatikanaji wa traffics(vistors)kwenye blog yako kupitia search engines.
Search engines ni nini?
A web search engine is a software system that is designed to search for information on the World Wide Web.Kuna aina mbalimbali za search engines ,hizi hapa,
Kaa ukitambua kwamba kuna aina mbalimbali za upatikanaji wa traffics katika blog yako,Organic(exaple google) na reffered(example facebook).
Leo nitazungumzia kuhusu upatikanaji wa traffics kupitia organic search-GOOGLE.
JINSI YA KUPATA TRAFFICS KUPITIA SEARCH ENGINES -GOOGLE
login kwenye blog yako kupitia www.blogger.com
2nd step nenda kwenye setting 3rd step
bonyeza search and preference
Kwenye custom robots tick YES,baada ya hapo kitatokea kibox flani hivi ndani ya hicho kibox jaza robots code zifuatazo:
Sitemap: http://www.maswayetublog.com/atom.xml?redirect=false&start-index=1&max-results=150
NOTE:Kwenye hiyo sitemap utaedit na kuweka blog yako.
Hapo inamaanisha kwamba user agent ni robot ambaye una mruhusu atembelee blog yako ili haiindex ndio maana ya Disallow au Allow/(hawa robot huwa wanasoma kinyume nyume ndio maana Disallow wanaiona kama Allow na Allow/ wanaiona kama disallow)
Baada ya kumruhusu huyo robot atembelee blog yako aje akague nini?ndio tunaweka hiyo sitemap ambayo inaonyeza idadi ya post ulizonazo kwenye blog yako.
Kwenye hiyo site utaedit na kuweka blog yako.
Hapo ataindex post zote kuanzia 1 maximum results ni 150,kwa hiyo kama una zaidi ya post 150 utaandika ma ifuatavyo,
Sitemap: http://www.maswayetublog.com/atom.xml?redirect=false&start-index=151&max-results=150
Save pale chini. 6th step
Bonyeza overview,then angalia chini mkono wa kulia pembeni utaona sehemu wameandika open webmaster tool,bonyeza hapo.
Kama hujawahi kujisajili kitatokea kibox kitakuambia add your site,wewe andika blog yako mfano.www.maswayetublog.com then Add
Baada ya hapo Itaload na itafungua open serach console.
Ikashafungua angalia upande wa kulia kulia bonyeza sehemu walioandika CRAWL,then bonyeza site map then bonyeza add site map,Kitafungua kibox unachotakiwa rudi kule kwenye robot txt yetu tulipoisave then copy ifuatayo
Then ipaste kwenye sitemap then add,then fata maelekezo yatakayotokea hapo yanaeleweka.
UKIMALIZA STEP YA 9 ,TAYARI UTAKUWA UMESHA ISETT BLOG YAKO ILI IWEZE KUONEKANA KWENYE SEARCH ENGINES YA GOOGLE.
Ili sasa uamini kwamba blog yako inaonekana ,create post yoyote mpya mfano:Mbwa kachomwa kisu mtaa wa moroco,ipublish then fanya yafuatayo.
View ile post kwenye homepage copy link ya hiyo post then rudi kwenye webmaster tool(refer 6th step)
ikifunguka bonyeza crawl,then bonyeza fetch as google>kitatokea kibox then ipaste hapo >then futa kuanzia hapa kwenye ile link uliyopaste pale
http://www.maswayetublog.com/ kurudi nyuma kwa sababu tayari ipo pale kwenye kibox ,>then bonyeza fetch>crawl only this post>then submitt.
Wait dakika 1 nenda kweny www.google.com,Search mfano:mbwa aliechomwa kisu moroco,Post yako itaonekana ya kwanza.HONGERA UMEMALIZA KUIFANYA BLOG YAKO IONEKANE KWENYE SEARCH ENGINE.
NOTE:SWALA LA KUIFETCH KILA POST LAZIMA LIFANYIKE KILA SIKU ILI UWE COMPETENT KWENYE SEO
HII YA LEO NI PART ONE ,NAHITAJI COMMENTS ZENU BAADA YA HAPO NITAENDELEA ILI BLOG YAKO IWE YA KUTISHA ZAIDI KWENYE SEO KAMA MILLARD AYO,MPEKUZI,MALUNDE,MASWAYETU,NA YUVINUSM.
wako innocent the blogger boy(WWW.MASWAYETUBLOG.COM OWNER) BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD APPLICATION MPYA YA MASWAYETU BLOG
| 2016-12-05T16:36:16 |
http://www.maswayetublog.com/2016/05/jinsi-ya-kuifanya-blogwebsite-yako.html
|
[
-1
] |
NCHI 67 KUSHIRIKI KONGAMANO LA TATU LA MAFUTA NA GESI LITAKALOFANYIKA OKTOBA 2 NA 3 JIJINI DAR ES SALAAM - MTAA KWA MTAA BLOG
Home BIASHARA NCHI 67 KUSHIRIKI KONGAMANO LA TATU LA MAFUTA NA GESI LITAKALOFANYIKA OKTOBA 2 NA 3 JIJINI DAR ES SALAAM
Othman Michuzi September 30, 2019 BIASHARA,
| 2019-10-20T10:23:32 |
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2019/09/nchi-67-kushiriki-kongamano-la-tatu-la.html
|
[
-1
] |
Yow 2 | NTB Bible | YouVersion
Yow 2
Malweele ma ku Kana
1Mu kiluumbu kya bitatu, kwaba makweele ku Kana, mu nkoonsi ya Ngalili. Nguri Yesu waba hanaho. 2Batumisini se Yesu na bayiki baandi ha makweele mamo. 3Malu bu mawa, nguri Yesu waleele kuri nde ti: «Bo basiiri na malu ko!» 4[Na] Yesu wamuleele ti: «Mukyeetu, nki bya ntwaari ha kakati dya ye na me? Kilookolo kya me kyakiri kutubuka pe.» 5Nguri yaandi yaleele kuri bisari ti: «Yirikeenu mpisi ma kaluleele.» 6Ha kibeendu kikyo, kwaba bisa bisaamunu bya matari byaba salilaana Bayudayo mu nsyemusunu manyutu. Mpisi kisa mu kuluula, lo mbyeengu mpoomo bunu pe kuumi na dzoolo. 7Yesu waleele kuri bo ti: «Luuluseenu bisa mu maampa.» Bisari byaluulusa bisa natee mu minwa. 8Yesu ha kaleele kuri bo ti: «Sa tekeenu mu lumalu, na nateenu kuri mukuutu munkeembu.» Bo banata. 9Mukuutu munkeembu bu kabiimba maampa, meki makituka malu, nde waba wahele kuyaaba kumafumini, ngo bisari batekiri maampa byaba biyaari. Mukuutu munkeembu wateele mukweeri, 10waleele kuri nde ti: «Mpisi muutu wuhaanaa meti malu mamabwe, baatu bakolaana, tumi keki palisa mahele mamabwe. Kasi ye, wakebe malu mamabwe natee mu lu!»
11Yesu bubwo kari kabandukila kuyirika bimaangu, ku Kana mu nkoonsi ya Ngalili. Nde wasoongo nkeembu yaandi, na bayiki baandi basa kanyi mu nde. 12Ha mambisa haho, nde wayende ku Kafarnawumi, kintwaari na nguri yaandi, na bampaangi baandi, na bayiki baandi, na bo badzakala kukwo mu mwa biluumbu kitsu.
Yesu mu Nzo-Nzaambi
(Mat 21.12-13; Mal 11.15-17; Luk 19.45-46)
13Paaka dya Bayudayo dyaba dyeki bebele, Yesu wanwaata ku Yerusalemi. 14Nde watangusina munsa Nzo-nzaambi baatu bari mu kuyarika bangoombo, bimeeme na mabeembe, na bayiingisi ba mboongo baba badzakala. 15Yesu bu kayirika lukwaasulu lwa misiinga, wabinga bobanso mu Nzo-nzaambi, na bimeeme, na bangoombo, na watsaamuna mboongo dza bayiingisa na waseengele mataabala; 16na waleele kuri babo ba bayarikaana mabeembe ti: «Yisileenu bimabi ha kibeendu ki! Yaa lusa nzo Taayi dya me, nzo mumbungu ko.» 17Bayiki baandi babaambuka mwooyo ti diri dyatinu ti: «Ho! Kuheme ku nyiri na me mu nzo yaaku kwankalimina.»
18Hango Bayudayo bafuula, baleele kuri nde ti: «Nkya kidiimbu ye wusoongo kuri beetu, ti ye wuri na miswa mu kuyirika mamo?» 19Yesu wabvutula waleele kuri bo ti: «Tsaaminee Nzo-nzaambi yimayi, na mu biluumbu bitatu me sa mbweese kuyitelemese.» 20Bayudayo baleele ti: «Nzo-nzaambi yi bayituungiri mu mibvu makuumi mana na misaamunu; ngo ye, mu biluumbu bitatu, lo bweesiri kuyitelemese?» 21Ngo nde Nzo-nzaambi yi kaba dzoonsolo nyutu yaandi. 22Ngo nde kafulukaa mu bafwa, bayiki baandi babaambuka mwooyo mu ma kabaleele, na basa kanyi mu Matinu na mu maampu ma baleele Yesu.
Yesu nkati yaari mutima muutu
23Yesu bu kaba ku Yerusalemi mu ntaangu ya munkeembu wa Paaka, baatu balaka basa kanyi mu nkuumbu yaandi, mu bu bamwiini bidiimbu bi kayirikiri. 24Ngo Yesu nde-meene waba wahele kusa kanyi mu bo, bukuri nde waba wubayaari bobanso, 25na bukuri nde waba wahele na nzala kuri ti bamuteele kimbaangi mu muutu; bukuri nde-meene waba yaari mari mu muutu.
Explore Yow 2 by Verse
Yow 2:1
Yow 2:2
Yow 2:3
Yow 2:4
Yow 2:5
Yow 2:6
Yow 2:7
Yow 2:8
Yow 2:9
Yow 2:10
Yow 2:11
Yow 2:12
Yow 2:13
Yow 2:14
Yow 2:15
Yow 2:16
Yow 2:17
Yow 2:18
Yow 2:19
Yow 2:20
Yow 2:21
Yow 2:22
Yow 2:23
Yow 2:24
Yow 2:25
| 2020-07-11T12:45:55 |
https://www.bible.com/bible/812/JHN.2.NTB
|
[
-1
] |
Ibadhi Haki Kwa Dalili - MAMBO YANAYO HARIBU SALAA
Yafuatayo ni mambo ambayo yakifanywa wakati wa Salaa yana haribu Salaa.
I. Kutoka katika uisilamu.
Ikiwa mtu atatoka katika Uislamu basi Salaa zake zote alizosali wakati wa nyuma pamoja na ibada zake zote nyingine zitakuwa zimeharibika, kwani kuwa muisilamu ni sharti ya lazima kwa kukubaliwa kwa ibada yoyote ile.
II. Kubadilisha niya.
Nia ni nguzo ya Salaa. Kama mtu anasali halafu akanuia kutoka katika ile Salaa, basi Salaa yake itakuwa imeharibika hivyo basi itabidi aanze kuisali tena toka mwanzo. Inajuzu kubadilisha niya ya Salaa kutoka kwenye Salaa ya faridha kuwa Salaa ya nafla au sunna au tatawa (yaani Salaa za nyongeza), na haijuzu kubadilisha niya Salaa ya sunna kuwa Salaa ya faridha
III. Kupoteza akili ama kwa usingizi au maradhi.
Kuwa na akili timamu ni sharti ya lazima kwa mwenye kutaka kusali. Kasema Mola Mtukufu katika Surat Nnisaai aya ya 43, “
﴿يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُواْ لاَ تَقْرَبُواْ الصَّلاَةَ وَأَنْتُمْ سُكَارَى حَتَّى تَعْلَمُواْ مَا تَقُولُونَ﴾.
Maana yake, “Enyi mlio amini! Msikaribie Salaa, hali mmelewa, mpaka myajue mnayo yasema”.
Pia kasema Bibi Aisha R.A.A.H., “Kasema Mtume wa Mwenyezi Mungu S.A.W., “
إِذَا نَعَسَ أَحَدُكُمْ وَهُوَ يُصَلِّي فَلْيَرْقُدْ حَتَّى يَذْهَبَ عَنْهُ النَّوْمُ فَإِنَّ أَحَدَكُمْ إِذَا صَلَّى وَهُوَ نَاعِسٌ لا يَدْرِي لَعَلَّهُ يَسْتَغْفِرُ فَيَسُبُّ نَفْسَهُ.
Maana yake, “Akisinzia mmoja wenu hali yakuwa anasali, basi alale mpaka umtoke usingizi. Kwani mmoja wenu atakaposali naye anasinzia inawezekana huenda akawa anaomba maghufira (msamaha, na badala yake) akawa anaiapiza[1] nafsi yake.”
[1] Anajiombea shari.
IV. Kufanya ibada kwa ajili ya kujionesha.
Ikhlasi ni sharti ya lazima ya kukubaliwa kwa ibada yoyote ile. Na yeyote atakae fanya ibada kwa kutaka yaliyo kwa watu au asifiwe basi atakuwa anafanya madhambi makubwa, na inamuharibia ibada yake. Mwenyezi Mungu Mtukufu hakubali ibada yoyote ambayo ameshirikishwa na mwingine. Au ibada ile ya yule anaesali akajiona kuwa yeye ni bora kuliko wengine kufuatana na cheo au daraja yake. Na ikiwa wakati wa Salaa sheitani atamchezea kwa kumletea mambo haya mawili naye hayataki; basi ajitahidi kuizuia nafsi yake, na wala Salaa yake haitoharibika.
V. Kujishughulisha na mawazo nje ya Salaa kwa kukusudia.
Ikiwa wakati wa Salaa mtu atajishughulisha na mawazo yaliyo nje ya Salaa kwa kukusudia, hata asifahamu nini kafanya au kasoma, basi Salaa yake ile itakuwa ime haribika. Lakini ikiwa sheitani atamchezea na atataka kumshughulisha na fikra au vitendo vilivyo nje ya Salaa basi ajizuiye na airudishe akili yake katika Salaa, na Salaa yake haitoharibika.
VI. Kuacha moja ya sharti au nguzo za Salaa.
Kuacha nguzo au sharti ya Salaa kwa anayejiweza kwa sababu zisizo maalum, au bila ya sababu yoyote ile kuna haribu Salaa. Na nguzo za Salaa na Shuruti za Salaa tumekwisha zizungumzia hapo nyuma.
VII. Kurudia rudia nguzo za Salaa.
Kurudia nguzo yoyote ile ya Salaa, au sehemu yake, mfano kurudia maneno yaliyoko katika Surat Al-Fatiiha kwa kukusudia bila ya sababu kuna haribu Salaa.
IIX. Kula na kunywa katika Salaa.
Kula au kunywa ndani ya Salaa kunaharibu Salaa.
IX. Kuzungumza katika Salaa.
Haijuzu kabisa kwa anayesali kuzungumza maneno yaliyo nje ya Salaa. Wakati wa mwanzo wa Uislamu ilikuwa inaruhusiwa anayesali kuongea ndani ya Salaa, mpaka iliposhuka amri ya kukataza mazungumzo na maneno ndani ya Salaa. Hadithi ya Zaid bin Arkam kasema, [1]“
كُنَّا نَتَكَلَّمُ فِي الصَّلَاةِ يُكَلِّمُ الرَّجُلُ صَاحِبَهُ وَهُوَ إِلَى جَنْبِهِ فِي الصَّلاةِ حَتَّى نَزَلَتْ ﴿وَقُومُوا لِلَّهِ قَانِتِينَ﴾ فَأُمِرْنَا بِالسُّكُوتِ وَنُهِينَا عَنْ الْكَلَامِ.
Maana yake, “Tulikuwa tukiongeya katika Salaa, mtu anamsemesha mwenzake pembezoni mwake katika Salaa mpaka iliposhuka kauli ya Mwenyezi Mungu katika Suratil Baqara aya ya 238, “
﴿وَ قُومُواْ للهِ قاَنِتِينَ﴾
Maana yake, “Na simameni kwa unyenyekevu katika kumwabudu Mwenyezi Mungu." Basi tukaamrishwa tunyamaze ndani ya Salaa na wala tusizungumze” Na pia Hadithi ilio hadithiwa na Muawiya bin Al Hakam al Sulami kasema, “Alipiga mtu chafya katika Salaa nikamwambia, “Mwenyezi Mungu akurehemu.” Baada ya Salaa Mtume S.A.W. alinijia akaniambia, [2]“
إِنَّ صَلاتَنَا هَذِهِ لا يَصْلُحُ فِيهَا شَيْءٌ مِنْ كَلامِ النَّاسِ إِنَّمَا هُوَ التَّسْبِيحُ وَالتَّكْبِيرُ وَتِلَاوَةُ الْقُرْآنِ.
Maana yake, “Hakika Salaa yetu hii hairuhusiwi kusema ndani yake maneno ya watu. Isipokuwa ni kumtakasa, na kumtukuza Mwenyezi Mungu, na kusoma Quraani.” Pia hadithi ilio hadithiwa na Wail bin Abdillahi kasema, “Kasema Mtume S.A.W.,[3] “
إِنَّ اللَّهَ يُحْدِثُ مِنْ أَمْرِهِ مَا يَشَاءُ وَإِنَّ اللَّهَ جَلَّ وَعَزَّ قَدْ أَحْدَثَ مِنْ أَمْرِهِ أَنْ لا تَكَلَّمُوا فِي الصَّلاةِ.
Maana yake, “Mwenyezi Mungu anabadilisha katika amri Zake Alizotowa Anavyotaka, na amri aliyoibadilisha ni kuwa msizungumze katika Salaa.” Pia hadithi iliyo hadithiwa na Abdillah Ibn Masoud R.A.A. kasema, “Tulikuwa tukimwamkia Mtume S.A.W. akiwa ndani ya Salaa, na alikuwa akituitikia. Lakini tuliporudi kutoka kwa Najash tulipomwamkia hakutujibu, tukamuuliza, “Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, tulikuwa tunakwamkia ndani ya Salaa na ulikuwa ukitujibu, akajibu akasema,[4] “
إِنَّ فِيَّ أَوْ فِي الصَّلاةِ لَشُغْلا.
Maana yake, “Kwa hakika ndani ya Salaa au ndani ya Salaa kuna shughuli.” Yaani wakati wa Salaa haitakiwi kujishughulisha na shughuli nyingine.
[1] Muslim 3/142 (838).
[2] Muslim 3/140 (836), Nnasaai 4/463 (1203), Ahmad 48/274 (22644).
[3] Nnasaai 4/466 (1206), Abu Daawud 3/107 (789), Bukhaari 23/47.
[4] Ahmad 7/417 (3382), Abu Daawud 3/106 (788), Ibn Maajah 3/300 (1009), Bukhaari 4/422 (1140).
| 2019-06-18T08:38:46 |
https://ibadhi.com/sw/vipindi/jamii/462-mambo-yanayo-haribu-salaa
|
[
-1
] |
HABARI MSETO BLOG: GOR MAHIA YATWAA UBINGWA WA SUPER CUP
GOR MAHIA YATWAA UBINGWA WA SUPER CUP
Wachezaji wa Gor Mahia ya Kenya wakishangilia na kombe lao baada ya kuibuka mabingwa wa Kombe la SportPesa Super Cup katika mchezo wa fainali uliofanyika Uwanja wa Uhuru dhidi ya AFC Leopards. Gor Mahia imeshinda 3-0.
Beki wa Gor Mahia, Inocent Wafulla (kushoto), akichuana na mshambuliaji wa AFC Leopards katika mchezo wa fainali uliozikutanisha timu za Kenya.
Beki wa Gor Mahia, Horon Shakava (kushoto), akichuana na mshambuliaji AFC Leopards, Gilbert Fiamenyo katika mchezo wa fainali ya kombe la SportPesa Super Cup kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam. Gor Mahia ilishinda 3-0. (Picha na Francis Dande).
| 2017-10-24T09:28:21 |
http://francisdande.blogspot.com/2017/06/gor-mahia-yatwaa-ubingwa-wa-super-cup.html
|
[
-1
] |
Ng'ombe mmoja kuongezeka Kilo 2 na nusu kwa siku | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Ng'ombe mmoja kuongezeka Kilo 2 na nusu kwa siku
Discussion in 'Kilimo, Ufugaji na Uvuvi' started by Apolinary, Apr 13, 2012.
Habari wana jf nakuombeni kujua zaidi ni wapi hizo lishe za ng,ombe mmoja kuongezeka kilo 2 na nusu kwa siku zinapatikana wapi katika mikoa ya Arusha na Moshi Natanguliza shukran
Nafikiri ukiwasiliana na wale jamaa sijui wapo Morogoro....wanaweza kukutumia!!
mkuu nijuavyo mimi hii ni aina ya ng'ombe wa nyama wenye sifa ya ukuaji wa aina hii na tena kuna wengine wanaongezeka uzito kwa kila saa 1. Ng'ombe wa maziwa au wa kienyeji hata umlishe nini hawezi kuongezeka uzito kwa kiwango hicho.
Messages: 27,503
Likes Received: 5,807
Du kuna hadi ng'ombe wa broiler?? Wazungu wanazidi kutujazia cancer tu africa!
Miezi sita atakuwa na kg 450 ?
Bei ya nyama 5,000 x 450 - (ngozi, utumbo, miguu kg 150) = 1,500,000/=
Du wakuu hawa watakuwa ni salama kwa mlaji kweli? Nahisi haya ndio kati ya mambo yanayotusababishia maradhi ya ajabu ajabu duniani!
hiyo lishe itakuwa imechanganywa na ARVs
Nafikiri ukiwasiliana na wale jamaa sijui wapo Morogoro....wanaweza kukutumia!![/QU mawasiliano yao ndugu tafadhali
mkuu umebobea sana.
su?mimi nilikuwa sijui hilo,watakuwa wanalishwa ARV nini?
jamani majibu weny kujua zaidi tafadhali sana
basi tunasubiri jibu. Asante Apolonary kwa kuuliza
Wanajamvi vp tena?
basi tunasubiri jibu. Asante Apolonary kwa kuuliza[ haswa hayo majibu ndo nayasubir kwa ham maana jf ni zaid ya uijuavyo.
mkuu nijuavyo mimi hii ni aina ya ng'ombe wa nyama wenye sifa ya ukuaji wa aina hii na tena kuna wengine wanaongezeka uzito kwa kila saa 1. Ng'ombe wa maziwa au wa kienyeji hata umlishe nini hawezi kuongezeka uzito kwa kiwango hicho.[/QU je kama unasema ng,ombe wa maziwa hawez kukua haraka kias hicho mbona waziri mwenye dhamana ya wizara husika alisema ng,ombe wa aina zote wanafaa kutumia au ni muongo?
Du kuna hadi ng'ombe wa broiler?? Wazungu wanazidi kutujazia cancer tu africa![ sio cancer ndugu bali ni utaratibu maalum wa malisho!
Nafikiri ukiwasiliana na wale jamaa sijui wapo Morogoro....wanaweza kukutumia!![ nipe mawasiliano yao!
Kuna programu ya kunenepesha ng'ombe.. analishwa majani yenye ubora.. chumvi.. sukari guru na wanpewa chanjo za minyoo na magonjwa mengine... ukiwa na mbegu bora ya ng'ombe... inawezakana kabisa... hii ni kwa mujibu wa maongezi ya na Professor Mulozi.. yuko SUA Morogoro.. na mwongozo upo..
Bujibuji njoo
sitoki kapa hapa
Topics 1,181,368
Posts 27,348,096
| 2018-07-22T03:02:58 |
https://www.jamiiforums.com/threads/ngombe-mmoja-kuongezeka-kilo-2-na-nusu-kwa-siku.250159/
|
[
-1
] |
Kuchungwaa Ngozi Na Mimba: Athari Kwa Mtoto Ni Zipi | Africaparent
Huenda kueusha ngozi yako unapokuwa na mimba ikawa sio wazo la busara.
Kuchungwaa ngozi kunaweza athiri mtoto aliye tumboni mwa mamake? Uhusiano kati ya kuchungwaa ngozi na mimba ni upi? Unashangaa iwapo kueusha ngozi unapokuwa na mimba kuna athari? Soma zaidi upate kufahamu jinsi kueusha ngozi ukiwa na mimba kunaweza athiri mtoto aliye tumboni mwa mama.
Kuchungwaa ngozi na mimba: Kueusha ngozi ni kufanya nini?
Kueusha ngozi ama kuichungwaa kuna maana sawa. Kulingana na NHS, kueusha ngozi ni utaratibu wa kimapambo ambao watu hufanya ili kueusha ngozi zao na kufanya waonekana weupe.
Kuchungwaa ngozi hufanya kazi kivipi?
Kulingana na NHS, kuchungwaa ngozi hupunguza kiwango cha melanin kwenye ngozi na kupunguza utoaji wa melanin. Melanin ni hali ya ngozi ya kuwa na rangi nyeusi. Inasaidia kulinda ngozi kutokana na miale hatari ya jua.
Kwa kutumia bidhaa za kuchungwaa ngozi kila mara, ngozi inakuwa nyeusi na kupunguza melanin.
Kuchungwaa Ngozi na Mimba: Hiari za kuchungwaa ngozi zilizoko ni kama zipi?
Watu wanao amua kuchungwaa ngozi wanapaswa kufikiria kwa kina kabla ya kuamua mbinu watakayo tumia. Hata kama mbinu iliyo maarufu zaidi ya kuchungwaa ngozi inahusisha utumiaji wa krimu za kuchungwaa ngozi ama mafuta ya kuchungwaa na mbinu zingine zilizoko.
Tembe za kemikali za kuchungwaa ngozi
Tembe za kemikali za kuchungwaa ngozi hufanya kazi vitofauti ikilinganishwa na tembe za kawaida. Huu sio utaratibu wa kutoa seli mpya tu na kuacha ngozi freshi na iliyo changa zaidi. Tembe za kemikali za kuchungwaa ngozi unapokuwa na mimba huwa na viungo vinavyo punguza utoaji wa melanin vinaongezwa kwa kemikali. Matokeo yake ni ngozi isiyo ng’aa.
Kuchungwaa ngozi kwa kutumia sitima ama laser
Nyakati za hivi punde, glutathione imekuwa maarufu sana kwa kuchungwaa ngozi. Watu wengi wanazichukua zikiwa pamoja ili kupata matokeo ya mbio. Masomo haya yalikuwa na nia ya kujua iwapo ina uwezo wa kuchungwaa ngozi.
Kuchungwaa ngozi na mimba: Krimu za kuchungwaa
Unaweza pata tembe ama krimu za kuchungwaa kutoka maduka tofauti pahali popote. Kiungo kilicho maarufu zaidi ni hydroquinone. Baadhi ya krimu hizi huwa na mercury na steroids ambazo ni hatari sana. Bidhaa za kutunza ngozi zinazo kuwa na mercury, steroids na hydroquinone zimepigwa marufuku katika sehemu nyingi duniani, ila baadhi ya hizi bado ziko kwa soko na madukani.
Je, kuchungwaa kunaweza athiri mtoto aliye tumboni – athari za kuchungwaa ngozi
Kuchungwaa hufanya ngozi iwe nyembamba na kupunguza uwezo wake wa kupanuke, yenye maana kuwa unapo jichungwaa ukiwa na mimba, ngozi kwenye sehemu ya tumbo huenda ikaanza kupasuka.
Kuchungwaa hutoa rangi nyeusi ama melanin kwenye ngozi yako na kutoa ulinzi wa asili wa ngozi dhidi ya saratani ya ngozi.
Ochronosis ni tatizo ya linalo tokana na kuchungwaa ngozi.
Kulingana na NHS, krimu za kuchungwaa zinaweza sababisha matatizo ya maini, neva na figo.
Viungo vinavyo tumika kwa krimu za kuchungwaa zinaweza sababisha changamoto kwenye watoto na hii ndiyo sababu kwa nini sindano ama tembe za kuchungwaa sio wazo bora.
Unapaswa kuichungwaa ngozi yako ukiwa na mimba?
Unacho fanya na ngozi yako ni uamuzi wako bila shaka. Ila, huenda ikakubidi kuwacha kuichungwaa ngozi yako unapokuwa na mimba. Mimba huja na matatizo mengi ya ngozi, na huenda ukapata majaribio ya kuficha mimba yako ama matatizo ya ngozi kwa kuichungwaa ngozi. Walakini, unapaswa kuangalia athari hasi za kuchungwaa unapokuwa na mimba kabla ya kufanya uamuzi.
Melanin Swahili mimba kueusha ngozi ngozi nyeusi kuchungwaa ngozi
| 2020-07-13T12:37:58 |
https://www.africaparent.com/kuchungwa-ngozi-na-mimba
|
[
-1
] |
Henry Ford I | Books on Islam and Muslims | Al-Islam.org
Imani na Mafundisho (ya Imani) Elimu na Jamii Historia na Siasa Sheria & Ibada Qur’ani & Hadithi Maisha ya Kiroho na Falsafa Henry Ford I
Myahudi Wa Kimataifa Kazi za Ahlul Bayt DILP hutekelezwa kupitia juhudi shirikishi ya kujitolea ambayo msingi yake iko katika nchi nyingi duniani kote. Jiandikishe na Al-Islam.org kushirikiana katika kujenga Maktaba ya Kiislamu Kubwa Kabisa ya Digital kwenye Mtandao.
| 2017-02-27T12:55:48 |
https://www.al-islam.org/sw/person/henry-ford-i
|
[
-1
] |
Je! "Ulaghai wa Internet" ni nini? - Semalt Inatoa Jibu
internet ni rasilimali kubwa ya kiuchumi, ambayo ina faida nyingi kwa watumiaji wengi. Watu wengi wanaweza kuchukua fursa ya uwezekano wa soko, ambayo mtandao unao. Biashara zilizo na tovuti za biashara zinaweza kupata wateja kutoka duniani. Mara nyingi, watu hujenga tovuti na watumiaji wa mwisho katika akili. Kuna nafasi ndogo sana ya kuzingatia usalama wa usalama kwenye tovuti yako. Hata hivyo, uelewa wa mtandao wa udanganyifu unaweza kufanya tovuti yako ya e-commerce salama kwa njia ya mchanganyiko wa mbinu nyingi za ushahidi wa hack.
Ujuzi kuhusu udanganyifu wa mtandao unaweza kuwa na manufaa kwa tovuti katika mbinu za uuzaji wa jumla kama vile Utafutaji wa Teknolojia ya Utafutaji (SEO) inategemea ufanisi wa vipengele vya usalama wa tovuti. Google inaweza kuandika tovuti kama salama, ambayo inaweza kusababisha wanunuzi wengine hofu ya kuingia kwenye tovuti. Ni muhimu pia kutoa taarifa za udanganyifu wa mtandao mara moja. Unaweza kuokoa usalama wa wateja wako pamoja na ile ya biashara yako ya biashara.
Ross Barber, Semalt Meneja Mfanikio wa Mteja, hutoa kuzingatia aina zifuatazo za udanganyifu wa internet:
Hacking. Hackers ni wataalamu wa kompyuta ambao wanaweza kuendesha mifumo na kupata kuingia salama kwa mifumo mingi..Kuacha mbali na washahara ni muhimu. Wachuuzi wanaweza kufanya biashara kupoteza huduma zao kwa sababu ya mashambulizi ya DoS. Katika hali nyingine, udanganyifu wa mtandao kama vile wizi wa kadi ya mkopo hutokea kwa msaada wa wahasibu. Ni muhimu kujihadharini na mbinu za kukataza kama vile sindano ya SQL pamoja na Cross Site Scripting (XSS). Unaweza pia kujenga kampeni ya ufahamu kwa wateja wako kuwajulisha vidokezo muhimu vya kukaa salama.
Spamming. Ujumbe wa barua taka ni barua pepe ambazo huwa na sababu isiyojulikana ya kuwepo kwao. Spammers huajiri kila aina ya mbinu za kufanya masomo yao bonyeza viungo ambazo huwa na madhara au madhara mabaya. Kwa mfano, zinaweza kuwa na Trojans ambazo zinaweza kushambulia kompyuta ya mwathirika na kuchukua habari muhimu. Virusi hizi zinaweza pia kuharibu mfumo mzima wa faili unaosababisha kupoteza huduma kwenye kompyuta ya mwathirika.
Phishing. Phishing ni mbinu ambayo wengi wadanganyifu hutumia kuwadanganya watu katika kutoa sifa za kuingia. Inaweza pia kuharibu taarifa zingine zinazofaa pamoja na kutengeneza hacks nyingine nyingi. Phishing inahusisha uumbaji wa kurasa za duplicate za wavuti. Halafu basi lazima kutafuta njia ya kumdanganya mwathirika katika kutumia tovuti bandia kama halali. Watumiaji wanaweza kupata upatikanaji imefumwa kwa data ya wateja bila idhini yao.
usalama wa Cyber ni umuhimu wa tovuti nyingi za biashara. Ni muhimu kufanya tovuti iliyo salama kutoka kwa kazi za washaki na moja ambayo inaweza kuruhusu wateja kufanya ununuzi bila hitches nyingi. Matokeo yake, kuwa na ujuzi wa kutosha kuhusu udanganyifu wa internet ni muhimu. Matukio mengi ya spamming na hacking kutokea kutokana na kutosha uelewa wa waathirika wa mashambulizi impending. Matokeo yake, hali ya usalama hukaa katika hali iliyoathirika sana. Mwongozo huu una vidokezo muhimu vya udanganyifu wa mtandao. Masuala kama vile wizi wa kadi ya mkopo na wizi wa utambulisho hauwezi kukutana nawe unapotumia hatua hizi.
| 2018-02-20T09:46:56 |
http://halftheink.com/je-ulaghai-wa-internet-ni-nini-semalt-inatoa-jibu
|
[
-1
] |
Usitishaji mapigano mashakani Gaza | Matukio ya Kisiasa | DW | 01.08.2014
Usitishaji mapigano mashakani Gaza
Usitishaji wa mapigano wa saa 72 kati ya Israel na Hamas katika Ukanda wa Gaza uko mashakani masaa machache baada ya kuanza kutekelezwa wakati Hamas ikisema shambulio la kifaru cha Israel limeuwa watu 25.
Mwanamke wa Kipalestina akilia baada ya kuona nyumba yake imeangamizwa na mashambulizi ya Israel katika mji wa Beit Hanoun kaskazini mwa Ukanda wa Gaza.
Usitishaji huo wa mapigano uliotangazwa na waziri wa mambo ya nje wa Marekani John Kerry na Umoja wa Mataifa umeanza saa mbili asubuhi baada ya mapigano makali kuuwa Wapalestina 17 na wanajeshi watano wa Israel. Israel na Hamas zimekubaliana kusitisha operesheni zote kuu na kuchukuwa hatua za kujihami tu.
Akiutolea ufafanuzi mpango huo waziri wa mambo ya nje wa Marekani John Kerry amesema Wapelstina walioko Gaza wataweza kupatiwa chakula,madawa na msaada wa kibinaadamu, kuwahudumia ndugu zao waliojeruhiwa na kuzika wale waliouwawa.
Hata hivyo waziri huyo wa mambo ya nje wa Marekani ametahadharisha kwamba hakuna uhakikisho kwamba usitishaji huo wa mapigano utakomesha vita hivyo ambavyo hivi sasa vimeingia wiki ya nne.
Muda mfupi kabla ya saa nne asubuhi vifaru vya Israel vilishambulia eneo la mashariki la mji wa Rafah ulioko kusini ya Gaza na kuuwa watu 25 na kujeruhi wengine 15.Msemaji wa jeshi la Israel amesema bila ya kutowa ufafanuzi kwamba kulikuwa na mashambuliano makali ya risasi katika eneo la Rafah.
Kulikuwa na takriban usitishaji wa mpigano mara nne chini ya misingi ya utu kulikotangazwa tokea kuanza kwa mzozo huo lakini makubaliano ya kusitisha mapigano yote yalivunjwa muda mchache kutokana na kuanza upya kwa mapigano.Usitishaji huu wa mapigano wa leo wa saa 72 ni muda mrefu kuwahi kutangazwa.
Hamas kuzuwiya operesheni za Israel
Wapalestina wakikimbia mshambulizi ya Israel huko Rafah ,Gaza Kusini.(31.07.2014)
Naibu waziri wa mambo ya nje wa Hamas Gazi Hamad amesema hawatokubali kuiachia Israel kuendelea kufanya operesheni zake huko Gaza.Amesema "Huko ni kwenda kinyume na makubaliano hayo na Israel haina haki kuendelea na opresheni hizo za kijeshi kwa sababu watazitumia kubomowa nyumba zaidi na kuifanya ifanye itakavyo na wakati huo huo Wapalestina wakitakiwa wanyamaze kimya hii si haki.Iwapo Israel itaendelea na operesheni hizo ni haki yetu kujihami na kuchukuwa hatua zinazohitajika."
Chini ya makubaliano hayo ya kusitisha mapigano vikosi vya Israel vilioko Gaza vinaweza kuendelea kuyaharibu mahandaki yanayopakana na mpaka wao wenye ulinzi mkali lakini yale tu yalioko safu ya ulinzi ya Israel na yanayoelekea ndani ya ardhi ya Israel.
Waziri Mkuu wa Israel Banjamin Netanyahu hapo jana ameapa kuungamaiza mtandao wa mahandaki wa Hamas aidha kwa kuwepo ustishaji wa mapigano au hata bila ya usitishaji wa mapigano.
Vita vya Gaza vimeuwa zaidi ya Wapalestina 1,450 wengi wao wakiwa raia na zaidi ya Waisrael 60 wengi wao wakiwa ni wanajeshi.
Maneno muhimu gaza, kerry, israel, hamas
Kiungo https://p.dw.com/p/1CnMb
| 2019-10-20T03:12:48 |
https://www.dw.com/sw/usitishaji-mapigano-mashakani-gaza/a-17826029
|
[
-1
] |
Rais Dkt. Magufuli Apokea Taarifa Ya Mwaka Ya Utendaji Wa Taasisi Ya Takukuru Pamoja Na Hundi Kifani Ya Sh. Bilioni 6 Kutoka Bunge Baada Ya Kubana Matumizi. | MPEKUZI
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Mhandisi John Kijazi pamoja na Waziri wa Ofisi ya Rais Tamisemi, Utumishi na Utawala bora Angela Kairuki Ikulu jijini Dar es Salaam
| 2017-04-26T23:26:53 |
http://www.mpekuzihuru.com/2016/04/rais-dkt-magufuli-apokea-taarifa-ya.html
|
[
-1
] |
Mashirika ya huduma ya watoto yaliyotumika kwa kushinikiza kwa wajibu wa chanjo, kituo cha huduma ya siku Berend Botje anakataa watoto: Martin Vrijland
chanzo: volkskrant.nl
"Berend Botje, kampuni kutoka Holland ya Kaskazini, tayari amefanya uamuzi: watoto ambao hawajajaliwa chanjo wanakataliwa. Kampuni hiyo inajitahidi kushikilia shingo yake nje, kwa sababu inawezekana kwamba hakimu ataacha hii ikiwa wazazi wenye hasira wanachukua hatua kwa mahakamani. Lakini pia inawezekana kwamba hakimu anasema kuwa ni vizuri kile Berend Botje anavyofanya, kwa sababu sheria juu ya hili haija wazi."Hivyo de Telegraaf leo. Hiyo, bila shaka, ni njia tuliyoyaona hapo awali. Kwanza basi hakimu afanye uamuzi wa kuendeleza siasa kwa upande huo, kwa sababu kila aina ya mipango ya TV kama vile Pauw na Jinek kuwakaribisha wanasiasa na "wataalam" ili kuwashawishi maoni ya watu na kufanya kesi ya kupitishwa kwa kukubaliwa na watu wapya sheria. Sisi ni wazi kuelekea kwenye sheria ya lazima ya chanjo.
Siku hizi tunaona majadiliano mengi ya vyombo vya habari juu ya kila aina ya mambo ambayo yatakuwa katika chanjo hizo; vitu vinaweza kusababisha autism, kwa mfano. Unaweza kusikia kwamba ili uweze kusema baadaye kwamba hii yote ilikuwa habari ya uongo na ya uongo, na kisha kufungua njia ya sheria ambayo inafanya chanjo kulazimishwa. Chini ya mchoro wa 'hiyo yote ni habari ya udanganyifu na habari bandia' unaweza kusema kwamba hakuna kitu cha kusimama katika njia ya kulazimisha sindano ya chanjo. Hiyo ni mchezo unaojulikana ambao unachezwa na upinzani unaodhibitiwa na lengo la mwisho la kufanya bomu lilipuka ndani ya (kwa makusudi kujengwa) sakafu mbili, ili kuendesha kila mtu kwenye vyombo vya habari vya kawaida na uchunguzi wa kisayansi wa kisayansi. Hiyo haimaanishi kwamba chanjo haziwezi kusababisha autism, lakini vyombo vya habari vya kawaida na sayansi zilizopangwa zitakuja na ripoti zinazohitajika ili kutoa uonekano kwamba hakuna dalili ya ushahidi, na kisha tovuti ya upinzani iliyodhibitiwa na njia za vyombo vya habari, kwa mfano, tu kuwa kwa kifupi inayohusishwa na kashfa kuu na upinzani wote umekwenda.
Inakuja hata hivyo, kwa sababu tunaishi katika udikteta wa siri, ambapo tu kuonekana kwa demokrasia na ukweli wa vyombo vya habari vya Trumanshow huwapa watu udanganyifu kuwa ina kitu cha kupungua katika maziwa. Huna hiyo. Soma hapa tena kwa nini.
Chanjo ya lazima ni ndoto ya mvua kwa hali ya polisi ya kikatili. Kwa nini? Angalia kama hiyo. Njia ya CRISPR-CAS, ambayo sasa inajulikana na wengi, ni njia ya kuandika tena DNA ya binadamu. Pamoja na hili unaweza kurekebisha halisi kila kipande cha DNA katika wanadamu (au aina yoyote ya maisha). Hii ndiyo sababu tunaona kushinikiza muhimu kuelekea kuundwa kwa databasaki za DNA duniani kote. Tunasema hapa juu ya mradi wa duniani kote, ambapo DNA ya kila mtu lazima ikapigwa ramani. Nchini Uholanzi, RIVM imeanza kukusanya katika 2000 DNA kutoka vidogo vya kisigino. Masuala ya PsyOp kama yale ya Marianne Vaatstra na Nicky Verstappen wanapaswa kupata idadi ya watu kwa hiari kuacha DNA yao. Kwa nini serikali zinahitaji DNA ya wakazi kwa vibaya sana? Hii ni jinsi gani: Ikiwa una njia ya kurekebisha DNA ya kila mtu (njia CRISPR-CAS) na una DNA halisi ya kila mtu katika database ya kitaifa, basi unaweza kubadilisha kila mtu kupima. Chanjo zitashiriki jukumu kubwa katika hili.
Ikiwa unatoa chanjo na enzyme inayofanya CRISPR-CAS iwezekanavyo kutoka kwa wingu, unaweza kurekebisha DNA ya kila mtu wakati wowote. Ndiyo maana chanjo ya lazima ni muhimu sana. Ikiwa umeweka mtandao wa kimataifa wa 5G, utakuwa na bandwidth ya kutosha uliyo na uwezo wako wa kuandika upya genome ya kibinadamu mtandaoni (angalia hapa). Tazama uwasilishaji hapa chini ili ugundue jinsi mbinu hii sio kweli. Si wazo la njama. Utauambiwa na mtambuzi wa kike wa njia ya CRISPR-CAS12. Bila shaka, jambo kama hilo pia linaweza kutumika vizuri, lakini ikiwa chanjo hulazimika, ni suala la kuamini kwamba serikali haziingiza enzyme iliyobeba hapa ambayo inafanya njia ya CRISPR-CAS mtandaoni na kuandika.
"Naam, lakini serikali inaweza kuaminiwa". Ni juu yako kuhukumu hiyo. Kwa maoni yangu, kushinikiza sheria ya lazima ya chanjo ni juu ya kitu kimoja tu na kwamba ni kwamba serikali inaandaa mfumo wa ushirika. Mfumo wa ushirikisho unaohamasishwa kwa uangalifu, wakati watu wanahifadhiwa na kwa njia ya 'Tatizo, Majibu, Suluhisho'njia inaamini kukubali sheria zote muhimu.
Kushiriki367
367 hisa
Tags: Berend, Fungua, featured, kituo cha huduma, vituo vya huduma, Shirika la Huduma za Watoto, Mashirika ya huduma za watoto, OM, serikali, piga, chanjo, kiwango cha chanjo, sheria ya chanjo, inahitajika, lazima
2 Mei 2019 kwenye 20: 27
Pichahop; watoto wenye maguni: https://www.youtube.com/watch?v=Am630xkAotI
Kunyonyesha huonekana kuwa mwanzo mzuri kwa watoto. Nadhani ni bora kuliko sindano.
« Machafuko ya mwisho ya Dola ya Magharibi ya Kirumi na jaribio la kupigania nchini Venezuela
Mwandishi wa Paul Jansen mkuu wa Telegraaf: dictator wako mpya ambaye anafanya hofu sheria ya TBS »
Ziara ya Jumla: 15.813.899
| 2020-01-17T14:19:17 |
https://www.martinvrijland.nl/sw/uchambuzi-wa-habari/mashirika-ya-huduma-ya-watoto-yaliyotumika-kwa-kushinikiza-kituo-cha-huduma-ya-watoto-wajibu-wa-chanjo-anakataa-watoto/
|
[
-1
] |
SAFARI YA MBINGUNI (sehemu ya mwisho) | Strokes of My Pen
Home Coast & Culture SAFARI YA MBINGUNI (sehemu ya mwisho)
SAFARI YA MBINGUNI (sehemu ya mwisho)
Mwandishi: Mtoto wa Katama
Mtaa mzima ulipata habari ya yale yaliyotokea na mamake Khamisi alikuwa mmoja kati ya waliokuwa wakimtafuta Khamisi. Maafisa wa usalama walifika kwenye eneo la tukio, wakauburuza mwili wa marehemu hadi katika gari walilokuja nalo na kuupakia mwili kama vile wamo boharini. Wakakaa kidogo na kujifanya kuuliza maswali wale waliokuwa katika eneo, huku wakitikisa vichwa vyao tu, kama kuonyesha kuwa wanajali sana majibu yaliyokuwa yakitolewa. Kisha hao wakatia gari moto na kuchomoka na maiti.
Mamake Khamisi baada ya kumtafuta kwa muda na kiza kikawa kinaingia bila ya mafanikio yeyote, hakujua afanye nini. Hakuweza kukubali matukio yaliyotokea siku ile, cha zaidi aliomba tu! Siku ingeanza upya, huku machozi yakimdondoka bila kilio chochote. Alikuwa amechoka sana lakini alijiburuta, akaingia jikoni na kujitengenezea kikombe cha chai, mdogo wake Khamisi alikuwa amelala asijue lilotokea. Aliporudi kukaa, alijiuliza Khamisi atakuwa ametokomea wapi. Na wakati ule ilimjia kuwa Khamisi alikimbia na panga mkononi, hivi atakuwa amemwaga damu zaidi huko alikokimbilia au na yeye kapata mbabe aliyemmalizia mbali. Akaanza kugeuka huku na huku, jasho likimtoka, alikumbuka kuwa Khamisi ndiye mwana aliyemtegemea wakumshusha mzigo wa kumlea mdogo wake. Lakini kwa jinsi mambo yalivyotokea, na picha iliyobaki ni aidha Khamisi atauwawa na wanakijiji au aishilie jela milele kwa mauaji ya ami yake. Ndoto zote alizokuwa nazo juu ya mtoto wako zilianza kufifia moja baada ya nyingine. Katika hali ile ya kufikiria na kujilaumu kwa masaibu yake, afua ya Maulana ilimjia na usingizi ukamchukua na kulala chali kama kitoto licha ya masaibu yote.
Mamake Khamisi alipofungua mlango alimwona Bi Sofia amesimama huku amefungata mdomo wake kwa kiganja chake. Maneno yakimtoka kwa kigugumizi “ Ah! Ahhh!, mwenzangu, Innalilahi… waina ilayhi rajiun, sote ni wa Mungu tunaelekea huko huko” alisema kwa masikitiko Bi Sofia. Lakini mamake Khamisi alikuwa kachanganyikiwa, kwa kweli hakujua anamuongelea nani haswa. “ Hivi bibiye nikuulize, nani katuacha haswa?” aliuliza mamake Khamisi. “Hivi huna habari kabisa mwenzangu, mwanao Khamisi amepatikana pwani huko na wavuvi walioingia alfajiri ya kwanza, kajinyonga kwenye mti ufukweni” Bi Sofia akasema. Hata kabla ya kumaliza maneno yake, mamake Khamisi aliishiwa na nguvu, miguu yake ilishindwa kumueka tisti na akadondoka hadi sakafuni.
Fahamu zilimrudia mamake Khamisi na alikuwa tayari anafarijiwa na wenzake. Uani, majamvi yalikuwa teyari yametandikwa, ile hali ya ‘umatanga’ ilikuwa imeshafika katika nyumba ya mamake Khamisi. Watu walikuwa nao wanamiminika pole pole. Kuna wale waliokuja kutoa pole na kuenda zao na wale walioeka kambi mpaka shughuli nzima itakapomalizika.
Kati ya waombolezaji wale, alitokeo mvuvi mmoja na kumkabidhi Bi Sofia karatasi na kumpa maagizo ampe mamake Khamisi. Karatasi ile ilikuwa ni waraka uliokuwa umeandikwa na Khamisi kabla ya mauti yake, bila kusita mamake Khamisi alifungua na kusoma barua ile ya dhiki japokuwa alikuwa na hamu nayo…” Utakapo soma barua hii mamangu mpendwa itakuwa tayari nimekufa, na la zaidi ungetamani niwe hai ili upate majibu kwa yale niliyoyafanya. Lakini sijutii lolote kwa walimwengu, ila ninahofia Mola wangu atanipokea vipi?. Kukujibu na kukuondeshea makiwa nilifanya hayo yote ili mamangu mzazi uweze kurithi kile alichoacha babangu mzazi, Nishamuondoa nduli aliyezuia haya yote. Nataraji utapata nafasi katika moyo wako na kunisamehe na kama hamna nafasi hiyo, tafadhali niombe kwa Maulana ninapoanza hii safari yangu ya ‘mbinguni’…..
Previous articleSAFARI YA MBINGUNI (sehemu ya 5)
Next articleDHIKI ZA MAHABA
| 2017-10-18T14:56:20 |
http://lubnah.me.ke/safari-ya-mbinguni-sehemu-ya-mwisho/
|
[
-1
] |
Naunga mkono mgomo wa madaktari | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Discussion in 'Habari na Hoja mchanganyiko' started by The secretary, Mar 5, 2012.
Watanzania tumezoea kutowawajibisha viongozi mtu anavulunda anajua miaka mitano ikifika anachapa lapa huu mtindo waliohuanzisha madaktari wa kuwawajibisha utaleta mabadiliko badala tusisubiri hiyo miaka mitano hii ni kwa manufaa yetu
Siungi mkono hoja, tutafute namna nyingine ya kuwaadabisha hao viongozi na sio hii ambayo raia wa kawaida ndio wanaumia.
Nami naunga mkono hoja, hawa mawaziri wetu wanatupeleka bora liende wanajua miaka 5 yao itaisha hakuna wakuwasumbua wapo kimaslahi binafsi na sio ya umma, wangekuwa waungwana wangejiuzuru kwa yaliotokea sio hao wa afya hata nishati na madini pia wajifunze toka kwa mataifa mengine hata watani zetu kenya na uganda wana mawaziri wanajiuzuru pindi linapotokea tatizo linalogusu jamii na taifa, hii ndio inatakiwa watanzania nao wajifunze
Siungi mkono hoja, tutafute namna nyingine ya kuwaadabisha hao viongozi na sio hii ambayo raia wa kawaida ndio wanaumia.Click to expand...
namna gani ya kusubiri hiyo miaka mitano halafu apite tena kwa ulaghai wa kula
Mkuu wajua 2015 ndio mbali kabisa sijui kama unatambua hilooooo.
Ndugu yangu KAESO huoni hata aibu kwa maneno yako? Hivi wewe ulishawahi kulazwa au kuuguza mgonjwa hospitalini? Kama umeshawahi basi wewe unafaa uitwe mtu mwenye poverty mentality! Kwangu mimi naunga mkono mgomo wa madr!
Kumbuka ''haki haiombwi wala hainunuliwi bali inadaiwa'' . Mie naunga mkono hoja ya mgomo wa madr!
Aisifuye mvua imemnyeshea. Siungi mkono hoja. Ndugu yetu amepoteza mtt wake kwa ajili ya huo mgomo. Mazungumzo yafanyike sio mgomo.
Unajua ili ufanye maamuzi sahihi inabidi uwe na taarifa sahihi. Naomba kumwuliza mleta mada, asume kesho aubuhi unapata Ajali mbaya (Mungu epushia Mbali) unavuja damu kwa wingi, tumekubeba kwenye machela mbio Muhimbili, tunakuta Madokta wamegoma anakuja Mwandishi anakuhoji, Je utaunga mkono Hoja? 'Usiombe kukutwa na huu Mgomo'. Hauwawajibishi viongozi bali wananchi wa kawaida.
Mungu epushia mbali huu Mgomo. Amina.
Siwaungi mkono.
la sasa kali mmmh, sijui,
nina baba mdogo kalazwa huko muhimbili,
sijui tuanze kumhamishia hosp. nyingine,
but haki ni lazima ipatikane.
hebu suggest an altetnative method which you think is better
Matokeo yasiyo kusudiwa ya mapambano ya kuleta hali njema ya ustawi wa jamii ni azima yaambatane na kafara.
Katika mapambano haya ya kuleta usitawi wa huduma katika tiba ni dhahiri kwamba wagonjwa ndiyo watakao athirika.
Lakini pia ikumbukwe kwamba katika mazingira ambayo Dr hana vifaa vya kufanyia kazi,mazingira mabaya na uongozi mbaya ni wagonjwa ndiyo hutolewa kafara.
Wengi wetu hapa hatujui idadi ya watu wanao kufa kila siku pale Muhimbili kwa kukosa Drip la maji, right medicine na usafi utokanao na ukosefu wa maji.
Ni wagonjwa wengi sana hufa kwa kukosa huduma muhimu na za lazima kutokana na ukweli kwamba Bajeti ya Muhimbili hutumiwa kifisadi na viongozi Wizarani kujikimu katika ubinafsi wao.
Madaktari tofauti na kada nyingine nyingi wana uwezo kimizania kuiweka serikali ya CCM katika kilenge na hata kuilazimisha kutekeleza yale ambayoni wajibu wake kutekeleza.
Ni haki ya kuzaliwa ya Wananchi wa Tanzania kuunga au kupinga chochote kile wakitacho, akini katika kupinga au kuunga mkono kwao ni lazima wawe tayari kubeba matokeo ya muda mfupi na ya muda mrefu.
Matokeo ya muda mrefu ya kushindwa kuunga mkono mgomo wa madaktari yatakuwa kuendelea kuzorota kwa huduma za afya nchini Tanzania hadi kufikia katika kiwango ambacho kutakuwa hakuna tofauti kati ya kuwa katika Mhabusu ya Polisi na Wodi ya Mwaisela.
Matokeo ya muda mfupi ni kuendelea na hali iliyoko huko Muhimbili ambapo wagonjwa wengi hufa na idadi yao hubaki kuwa Takwimu katika vitabu huku familia nyingi zikiingiwa na majonzi na misiba inayolazimisha na ufisadi wa serikali ya CCM
Asilimia inayokaribia nusu ya Watanzania ni waoga sana katika kudai haki zao kiasi kwamba wanatamani wawe katika hali ya ufu ili waweze kudai haki zao.
Hali ya Kiuchumi,kisiasa na kiutamaduni tuliyonayo sasa hivi nchini Tanzania haiwezi kutupeleka popote pale kimaendeleo mpaka tutakapo amka katika usingizi wetu mnono wa kifukara na kupambana na serikali ya CCM katika lengo la kuing'oa ili kujenga serikali mpya yenye safu ya viongozi wanao wajibika kwa wananchi wa Tanzania.
Kwa sababu serikali ya CCM ina Polisi UWT na JWTZ kibindoni mwake mapambano haya ya kuhakikisha inaondoka madarakani ni lazima yawe magumu kwetu wapambanaji,serikali ya CCM ni lazima ni lazima itatumia uvunjaji mwingi wa sheria na haki za binadamu ili kuhakikisha kwamba inabakia madarakani.
Hatuna Mjomba,shangazi wala kaka mahali popote nje ya mipaka ya Tanzania aliye tayari kupambana kwa niaba yetu. Ili kujikomboa kutoka katika Makucha ya serikali ya CCM ni lazima kabisa kuanzish mapambano katika shughuli zote za kiuchumi, kisiasa, kiutamaduni na kijamii nchini Tanzania.
Madaktari wameanzisha mapambano katika shughuli za kijamii wale wote wenye upeo 2020 wataunga mkono mapambano haya yenye nia ya kurudisha heshima ya kila Mtanzania.
Naunga mkono Mgomo wa Madaktari.
Mungu epushia mbali huu Mgomo. Amina.Click to expand...
Muhimbili yenyewe iko juu ya mawe, haina kitu - si madawa ya dharura, mashine za kuuwa wadudu kwenye vifaa, oksijen etc, ukipelekwa Muhimbili ukapona ni Mungu wanko na sio hao madaktari makarani wanaoishia kuandika yaliyokusibu ilihali hawana vifaa vya kukuhudumia. Hapo ni hospital ya taifa, je hali ikoje huko mikoani, wilayani ambapo 95% ya ajali za TZ ndiko zinakotokea? Hata nyuzi za kukushonea huo mshipa unaomwaga damu hawana! Tafakari!
Naunga MKONO MGOMO wa Madaktari mia kwa mia, tena mmechelewa sana. Na walimu pasheni moto injini, you are the next. Nadhani tuwaachie polisi tu ambao tukiandamana kupigania hali duni ya maisha(incl ufukara wa polisi), wao wanatupiga mabomu na virungu!!!
Watanzania tumezoea kutowawajibisha viongozi mtu anavulunda anajua miaka mitano ikifika anachapa lapa huu mtindo waliohuanzisha madaktari wa kuwawajibisha utaleta mabadiliko badala tusisubiri hiyo miaka mitano hii ni kwa manufaa yetuClick to expand...
Kuunga mkono mgomo wa madaktari; mtanisamehe kwa tafsiri yangu, ni sawa na Ugaidi, Ukaburu, Ush***zi, Use**ge wa kupindukia!!!! Wanaoathirika na mgomo huu siyo akina Pinda, Mponda, Nkya, Kikwete, Slaa, Mbowe, Lipumba, Seif,Magufuli, Mwakyembe, Rizi-1, wala wengineo wa tabaka hilo... endapo kama ule mgomo uliopita ungewagusa wangekuwa wamesalimu amri...lakini wanajua hata kama ma-dr wakigoma kwa miaka yote-5 mfululizo, hawataathirika hata kidogo...sisi walalahoi tu ndio tunaathirika... Ni bora MAANDAMANO mara elfu moja huwa wanayaogopa, pia hayawaui walalahoi kwa wingi kama mgomo wa ma-dr. SIUNGI MKONO KABISA MGOMO WA MA-DR.
Kuunga mkono mgomo wa madaktari; mtanisamehe kwa tafsiri yangu, ni sawa na Ugaidi, Ukaburu, Ush***zi, Use**ge wa kupindukia!!!! Wanaoathirika na mgomo huu siyo akina Pinda, Mponda, Nkya, Kikwete, Slaa, Mbowe, Lipumba, Seif,Magufuli, Mwakyembe, Rizi-1, wala wengineo wa tabaka hilo... endapo kama ule mgomo uliopita ungewagusa wangekuwa wamesalimu amri...lakini wanajua hata kama ma-dr wakigoma kwa miaka yote-5 mfululizo, hawataathirika hata kidogo...sisi walalahoi tu ndio tunaathirika... Ni bora MAANDAMANO mara elfu moja huwa wanayaogopa, pia hayawaui walalahoi kwa wingi kama mgomo wa ma-dr. SIUNGI MKONO KABISA MGOMO WA MA-DR.Click to expand...
Mkuu wakiandamana wanaletewa polisi na maji ya kuwasha, kumbuka polisi wetu hutumia nguvu za ziada ikiwemo risasi......kuna hospitali ya mkoa haina chumba cha upasuaji, pesa hakuna ila za kuhonga Arumeru zipo na rais kusafiri zipo. Hapa daktari akigoma unalaumu? Huyo mgonjwa anayehitaji huduma ya dharura ya upasuaji daktari amfanyaje? Bora akae nyumbani kuliko kuja kuangalia wakifa wagonjwa kwa huduma duni.
naunga mkono kwa asilimia 100
tatizo lenu mnaotupinga u dont have to face the hardship we face...umeshawahi kuangalia mtu anapoteza maisha mbele ya macho yako kwasababu tu vifaa fulani vimekosekana?nyie mnafikiri tukifiwa na mgonjwa kwaajili ya uzembe tunafurahia?msiongee tu kwasababu mna midomo but fikiria matatizo tunayokutana nayo tukiwa kazini halafu serikali inashindwa kuwajibika huku kila siku viongozi wanaidhinisha matumizi mabovu ya kodi zetu
Aisifuye mvua imemnyeshea. Siungi mkono hoja. Ndugu yetu amepoteza mtt wake kwa ajili ya huo mgomo. Mazungumzo yafanyike sio mgomo.Click to expand...
Mazungumzo gani unaona yanaweza fanyika ukapatikana muafaka? bora madaktari wagome tena kazeni buti haswaaa mpaka kieleweke.
Madaktari wakigoma, wanaoumia ni wananchi wapiga kura. Madai ya madaktari yanagomewa na serikari iliyoko madarakani, na inayotaka iendelee kuwa madarakani na viongozi wake wa ccm hata kama wameshindwa kutenda kazi zao kwa ushabiki wa anayewateua.
Mgomo utawaathiri wapiga kura, ambao ndio wanaendelea kuikumbatia serikari iliyogoma kuboresha maslahi na hali za vifaa na mazingira ya kazi ili kutoa huduma za afya zilizo bora.
Mgomo utawalazimisha wapiga kura kuiacha serikari iliyo madarakani na kuinyima ushirikiano ili iweze kujirekebisha na tabia ya viongozi wenye uchu wa madaraka na wasiokubali kuwajibika kwa makosa wanayofanya.
Mgomo ni sawa.
Viongozi wetu na watoto wao wanatibiwa nje ya hospitali zetu.
Pinda pia anapaswa ajiuzuru na mawaziri anaowang'angania.
| 2016-12-04T06:29:50 |
http://www.jamiiforums.com/threads/naunga-mkono-mgomo-wa-madaktari.230184/
|
[
-1
] |
MWIGULU KUWAKABIDHI YANGA 'MWALI' WAO KESHO | BOIPLUS
» MWIGULU KUWAKABIDHI YANGA 'MWALI' WAO KESHO
MWIGULU KUWAKABIDHI YANGA 'MWALI' WAO KESHO
WAZIRI wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mwigulu Nchemba Madelu kesho anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara kati ya Ndanda na Young Africans utakaofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Mbali ya Nchemba ambaye atakabidhi Kombe kwa Yanga ambao ni mabingwa wa Ligi hiyo msimu wa 2015/16, wageni wengi maalumu watakaokuwa kwenye mchezo huo ni Mkurugenzi wa Vodacom, Ian Ferrao sambamba na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda pamoja na viongozi wengine wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Bodi ya Ligi ya Kuu Tanzania Bara (TBLB).
Mchezo huo utafanyika kwa baraka za TPLB baada ya maombi ya Yanga kukubaliwa na Ndanda ambao watakuwa wenyeji wa mchezo
huo utakaoanza saa 10:00 alasiri.
Mara baada ya mchezo huo, Mabingwa watapewa Kombe la ubingwa, medali na fedha Sh 81,345,723; Mshindi wa Pili Sh
40,672,861; Mshindi wa Tatu Sh 29,052,044 na Mshindi wa Nne atazawadiwa Sh 23,241,635. Mchezaji Bora atapewa Sh 5,742,940 sawa na Mfungaji Bora wa Ligi na Kipa bora wa michuano
hiyo inayodhaminiwa na Vodacom, Bia ya Kilimanjaro, Azam, Startimes na NHIF. Mwamuzi Bora atazawadiwa Sh 8,614,610 saw na Kocha Bora wakati timu yenye nidhamu itavuna Sh
17,228,820. Yanga ndiyo iliyoomba kwa Ndanda
kadhalika TPLB kuomba ridhaa ya mchezo huo
kufanyika Dar es Salaam kwa kuwa inatarajiwa kusafiri kwa ndege Jumapili kwenda Angola kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidia ya Sagrada
Esperanca ya Angola utakaofanyika ama Mei 17
au 18, mwaka huu.
Barua ya Bodi ya Ligi kwa imesema kwamba Yanga watatumia mchezo huo ambao Ndanda itakuwa mwenyeji kupokea taji la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara litakalotolewa na Nchemba ambaye mara nyingi anaonekna uwanjani.
Kanuni ya pili ya Ligi Kuu Bara toleo la 2015/16 imeeleza wazi kuwa, “Katika mazingira maalumu, timu inaweza kucheza mchezo wake wa nyumbani katika uwanja mwingine endapo kuna sababu nzito na za msingi, utambulisho wa uwanja katika
mazingira haya pia unawajibika kufanywa katika
kipindi cha uthibitisho wa kushiriki ligi au kwa maombi maalumu kwa TPLB,” inasehemu kanuni hiyo. Kwa kuzingatia kanuni hiyo na sababu za yanga ambazo Ndanda na Bodi wameona kuwa ni nzito wamekubaliana kucheza mchezo huo Dar es Salaam.
Tayari Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF),Jamal Malinzi ameipongeza timu ya soka ya Yanga kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu
ya Vodacom Tanzania Bara kwa mara ya pili mfululizo baada ya kufanya hivyo msimu uliopita wa mwaka 2014/2015.
Hii ni mara ya 26 kwa Yanga ambayo kwa sasa inacheza mashindano ya kuwania kutwaa Kombe la Shirikisho Barani Afrika, kutwaa taji hilo tangu kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania Bara
mwaka 1965. Simba inafuatia katika rekodi hiyo baada ya kulitwaa taji hilo kwa mara 18.
“Nichukue nafasi hii Kuipongeza Yanga
kwa ubingwa. Pia nizipongeze timu zote za Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kushiriki na kufanya
msimu wa Ligi Kuu Bara ya Vodacom 2015/16 kuwa wenye mafanikio,” amesema Rais Malinzi
baada ya Yanga kufikisha pointi 71 ambazo haziwezi kufikiwa na timu nyingine 15 zilizoshiriki ligi hiyo.
| 2017-01-17T06:55:06 |
http://boiplus.blogspot.com/2016/05/mwigulu-kuwakabidhi-yanga-mwali-wao.html
|
[
-1
] |
Ni Utani Tu!! Kuwa Mkweli – Namba ya Mpenzi Wako Umeisave Jina Gani Kwenye Simu Yako? – Mediahuru
Home Nyingine Ni Utani Tu!! Kuwa Mkweli – Namba ya Mpenzi Wako Umeisave Jina Gani Kwenye Simu Yako?
March 16, 2017 Benix Matrix 0
Ni Utani Tu!! Kuwa Mkweli – Namba ya Mpenzi Wako Umeisave Jina Gani Kwenye Simu Yako?
March 16, 2017 Benix Matrix
Leo unaweza kufurahi ama kuchukia kwa kuangalia jina alilokusave mpenzi wako kwenye simu yake ya mkononi.
Girlfriend wangu yupo karibu sana na simu yangu na sina jinsi zaidi ya kutumia jina ambalo lipo Romantic ili kuwatisha wasichana wengine wanaposhika simu yangu na pia kumfanya ajisikie special kwenye maisha yangu.
Kuwa Mkweli– Namba ya Mpenzi Wako Umeisave Jina Gani Kwenye Simu Yako?
Mimi:- Kighane Kyangu (Mpenzi wangu)
Vipi kuhusu wewe?
Unaweza kutumia akaunti mbili za whatsapp kwenye simu moja kwa kufuata hatua hizi Kama fedha sio kitu, Simu hii inaweza kuwa kwa ajili yako Swali la Siku kutoka kwa Denzel Washington: Una Tumia Simu Yako au Simu Yako Inakutumia ? Benki ya CRDB Kutumia Namba ya Simu Kufungua Akaunti Jinsi ya kutumia simu au internet ya simu kama modem kwenye kompyuta
previous [VIDEO] Victoria Kimani ft. Phyno – LOVER
next Angalia Vitu 7 Ambavyo Wanaume Wa Kweli Hawavifanyi
January 25, 2017 Mediahuru 0
Swali la Siku kutoka kwa Denzel Washington: Una Tumia Simu Yako au Simu Yako Inakutumia ?
May 27, 2017 Mediahuru 1
| 2017-08-18T22:06:23 |
https://mediahuru.com/ni-utani-tu-kuwa-mkweli-namba-ya-mpenzi-wako-umeisave-jina-gani-kwenye-simu-yako/
|
[
-1
] |
Archives ya Oceana - Mwandishi wa EU: Mwandishi wa EU
#Oceana - Udanganyifu wa injini unaoenea unahitaji kupunguzwa kwa nguvu katika juhudi za uvuvi katika Bahari ya #WestMedMAP #WMedMAP
EU Reporter Mwandishi | Oktoba 12, 2019
Oceana anaonya kwamba ombi la Tume ya Ulaya juu ya fursa za uvuvi kwa Bahari la Bahari la Bahari na Nyeusi limepungua katika kushughulikia mzozo wa samaki wanaofurika wa bahari hizi. Kiwango kinachotambulika cha udanganyifu katika nguvu za injini za vyombo kinahitaji kupunguzwa kwa kiwango cha juu cha juhudi za uvuvi ili kuhakikisha kuanza upya kwa idadi ya samaki na siku zijazo kwa uvuvi muhimu […]
#Oceana inataka EU kupiga marufuku uvuvi wa cod ya mashariki ya Baltic #StopOverfishing #SaveTheCod
EU Reporter Mwandishi | Oktoba 10, 2019
Mnamo Oktoba 14, Baraza la Kilimo na Uvuvi la EU (AGRIFISH) litakutana huko Luksembuli kuamua juu ya mipaka ya uvuvi ya 2020 ya spishi za kibiashara katika Bahari ya Baltic. Oceana anawasihi mawaziri kuweka mipaka ya kushika sokwe na ushauri wa kisayansi. Ni nafasi ya mwisho kwa EU kufikia tarehe ya mwisho inayokaribia kumaliza […]
Tume ya Ulaya imeshindwa kupendekeza kukomesha #Uuzaji wa jumla katika #Baltic na 2020
NGOs za Mazingira Ziko Hatarini, Samaki wetu na Oceana wamesikitishwa sana kwamba pendekezo la Tume ya kuweka mipaka ya uvuvi katika Baltic inaruhusu kuendelea kwa uhaba wa samaki katika 2020, hata ingawa kuna tarehe ya mwisho ya kumaliza kukamilisha uuzaji wa samaki na 2020 chini ya sera ya kawaida ya uvuvi ya EU. . Pendekezo la Tume ni pamoja na mipaka ya uvuvi ambayo […]
#Medithera za mapema zinaendelea kupigania uvuvi haramu katika bahari iliyozidiwa zaidi ulimwenguni
EU Reporter Mwandishi | Julai 24, 2019
Oceana anasifu maendeleo yaliyofanywa na nchi za Mediterania wakati wa mkutano wa kufuata sheria wa Kamisheni ya Uvuvi wa Bahari ya Samaki (GFCM), uliyofanyika wiki iliyopita huko Tirana, Albania. Mwisho wa mkutano wa kikanda kati ya vyama vya kuambukiza vya 24, wajumbe walikubaliana kupitisha mchakato mkali wa vikwazo kwa nchi zisizokidhi sheria za Mediterranean, na kuboresha uwazi na […]
#CodCrisis inakua katika Bahari ya Kaskazini
EU Reporter Mwandishi | Julai 1, 2019
Halmashauri ya Kimataifa ya Ufuatiliaji wa Bahari (ICES) imetangaza leo kuanguka kwa idadi ya watu wa Bahari ya Kaskazini, na imependekeza kupunguza mipaka yake ya catch kwa 70% kwa 2020. Ili kurejea hali yake mbaya, Oceana inasisitiza sana watunga uamuzi wa EU kufuata ushauri huu, ambao ni matokeo ya tathmini ya kisayansi iliyosasishwa [...]
#Oceana inaomba nchi za Mediterranean ili kulinda maeneo muhimu kwa uhai wa samaki kushughulikia mgogoro wa kukabiliana na uvuvi
EU Reporter Mwandishi | Juni 10, 2019
Kabla ya mkutano wa kisiasa ili kukabiliana na mgogoro wa kukabiliana na uvuvi katika Mediterranean, Oceana inaomba nchi za mkoa kulinda mazingira muhimu ya samaki (EFHs) kama hatua ya haraka ili kuhakikisha baadaye ya uvuvi katika bahari ya dunia iliyopandwa zaidi. Wanachama wa Tume ya Uvuvi Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa Méditerran (GFCM) watakutana [...]
EU inashindwa kuonyesha uongozi juu ya hifadhi ya baharini na mpango dhaifu kwa uvuvi wa Atlantiki, inasema #Oceana
EU Reporter Mwandishi | Februari 13, 2019
Mpango wa 'unambitous' umepitishwa na Bunge la Ulaya, kwa ajili ya usimamizi wa uvuvi katika maji ya Ulaya ya Bahari ya Atlantic, anasema Oceana. Ingawa mpango wa kila mwaka wa maji ya Magharibi (WWMAP) unaweka muda mrefu, mfumo wa kanda kwa ajili ya uvuvi wa Atlantiki, haupo hatua thabiti juu ya maswala muhimu ya mazingira kama vile ulinzi wa samaki muhimu [...]
| 2019-10-14T19:14:12 |
https://sw.eureporter.co/tag/oceana/
|
[
-1
] |
White House yakataa kushiriki kesi inayoendeshwa na Kamati ya Sheria – RSWAHILI
Mwenyekiti wa kamati hiyo, Jerrold Nadler alimwalika Rais Donald Trump na mwanasheria wake kuhudhuria kikao hicho cha kwanza cha kamati hiyo inayosikiliza shauri hilo la uchunguzi wa kumfungulia kesi ya kumuondoa rais madarakani ikiingia katika awamu nyingine.
Wakati hakuna aliyekuwa na matarajio ya kuhudhuria kwake, rais amepanga kuhudhuria mkutano wa NATO unaofanyika karibu na London wiki hii, mshauri wa White House Pat Cipollone pia amekataa mwaliko wa Jumatano.
Cipollone alisema atajibu mwishoni mwa wiki iwapo White House itashiriki kwenye shauri hilo katika siku zijazo.
Nadler alimhakikishia Trump na wakili wake katika barua ya mwaliko aliyoituma wiki iliyopita kwamba “anayo nia ya dhati kuhakikisha mchakato huu wa mahojiano ni wa uadilifu na wenye kuelimisha.
Kikao hicho cha Kamati ya Sheria siku ya Jumatano kitalenga kwenye kanuni za katiba zinazoelezea mashtaka ya kuondolewa madarakani rais. Mashahidi ambao bado hawajatajwa majina watakuwa ni wataalamu wa sheria.
← 'Kenya inahitaji wafalme na malkia wengi zaidi wa mipira ya kondomu'
Ndege za kivita za serikali ya Syria zahujumu Idlib →
Jengo la ghorofa sita limeporomoka jijini Nairobi
Mapacha ambao walitenganishwa na ubaguzi wa rangi
| 2019-12-06T21:37:45 |
http://rswahili.com/white-house-yakataa-kushiriki-kesi-inayoendeshwa-na-kamati-ya-sheria/
|
[
-1
] |
Matusi ya CCM yatikisa Bunge – MwanaHALISI Online
Posted by: Masalu Erasto May 6, 2016 0 3,317 Views
KAULI ya ‘matusi’ iliyotolewa jana na Goodluck Mlinga, Mbunge wa Ulanga Mashariki (CCM), imesababisha wabunge wanawake kutoka vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kutimuliwa nje, anaandika Kelvin Mwaipungu.
Jana Mlinga alitoa kauli iliyotafsiriwa na wabunge hao kwamba, ndani ya Ukawa ili wabunge hao wapate nafasi hizo lazima ‘wachojoe.’
“Mheshimiwa Spika, kuthibitisha hilo ili upate ubunge ndani ya Kambi ya Upinzani lazima uitwe ‘baby’.
“Watu hawa wamefikia hatua ya kuwa na mahusiano ya jinsia moja,” alisema Mlinga. Kauli hiyo imesababisha mtifuano leo na kupelekea Job Ndugai, Spika wa Bunge kuwatoa nje wabunge hao.
Wabunge hao wanawake walianza kufanya fujo ndani ya Ukumbi wa Bunge baada ya Mlinga kushindwa kuomba radhi kutokana na madai ya kuporomosha matusi dhidi ya wabunge hao.
Kabla ya kutolewa nje, wabunge hao waliomba muongozo kutoka kwa spika kutaka Mlinga afute kauli yake, spika hakuruhusu na hapo ndipo fujo zilianza kuibuka.
Wabunge ha wametafsiri kitendo hicho kama udhalilishaji ambapo wamepanga kuiandikia barua Ofisi ya Bunge ikiwa ni pamoja na kutishia kujitoa katika Chama cha Umoja wa Wabunge Wanawake wa Bunge la Tanzania.
Wameeleza kuwa, kukaa kimya kwa wabunge wanawake wa CCM kunaonesha kuridhika na matusi waliyoporomoshewa hatua ambayo wameeleza kutoifumbia macho.
KAULI ya ‘matusi’ iliyotolewa jana na Goodluck Mlinga, Mbunge wa Ulanga Mashariki (CCM), imesababisha wabunge wanawake kutoka vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kutimuliwa nje, anaandika Kelvin Mwaipungu. Jana Mlinga alitoa kauli iliyotafsiriwa na wabunge hao kwamba, ndani ya Ukawa ili wabunge hao wapate nafasi hizo lazima ‘wachojoe.’ “Mheshimiwa Spika, kuthibitisha hilo ili upate ubunge ndani ya Kambi ya Upinzani lazima uitwe ‘baby’. “Watu hawa wamefikia hatua ya kuwa na mahusiano ya jinsia moja,” alisema Mlinga. Kauli hiyo imesababisha mtifuano leo na kupelekea Job Ndugai, Spika wa Bunge kuwatoa nje wabunge hao. Wabunge hao wanawake walianza kufanya fujo…
Previous: Mkosoaji Kenya apigwa risasi
Next: Ukawa wawekwa chini ya ulinzi bungeni
| 2018-07-15T23:19:25 |
http://mwanahalisionline.com/matusi-ya-ccm-yatikisa-bunge/
|
[
-1
] |
Mgombea Mwenza-CCM Bi. Samia Suluhu Ahaidi Umeme Kila Kijiji Ruvuma, Viwanda vya Mahindi, Kahawa | H@ki Ngowi
Mgombea Mwenza-CCM Bi. Samia Suluhu Ahaidi Umeme Kila Kijiji Ruvuma, Viwanda vya Mahindi, Kahawa
Mgombea mwenza wa nafasi ya urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bi. Samia Suluhu (katikati) akimnadi mgombea Ubunge wa Jimbo la Mbin...
H@ki Ngowi: Mgombea Mwenza-CCM Bi. Samia Suluhu Ahaidi Umeme Kila Kijiji Ruvuma, Viwanda vya Mahindi, Kahawa
http://1.bp.blogspot.com/-25EmVN5QQJ4/Ve-RsfOuELI/AAAAAAAADR0/23M2wGRluTk/s640/IMG_0181%2B%25281%2529.jpg
http://1.bp.blogspot.com/-25EmVN5QQJ4/Ve-RsfOuELI/AAAAAAAADR0/23M2wGRluTk/s72-c/IMG_0181%2B%25281%2529.jpg
http://www.hakingowi.com/2015/09/mgombea-mwenza-ccm-bi-samia-suluhu_9.html
| 2017-12-18T12:52:16 |
http://www.hakingowi.com/2015/09/mgombea-mwenza-ccm-bi-samia-suluhu_9.html
|
[
-1
] |
Florida - Ufuatiliaji wa Reef Resilience | Resilience ya mwamba
Florida - Ufuatiliaji wa Reef Resilience
Mamba ya Mamba ya Mawe ya Mto katika Utoaji wa Mto wa Florida
Mtaa wa Reef Florida, Florida, USA
Mabadiliko ya hali ya hewa na shughuli mbalimbali za binadamu zinahatarisha ustahimilivu wa asili wa mazingira ya miamba ya matumbawe. Usilivu wa miamba ni uwezo wa kupinga na kupona kutokana na mvuruko huku ukizingatia kazi na muundo sawa. Wasimamizi wanaweza kusaidia ushujaa wa asili wa miamba kwa kupunguza usumbufu wao kwa matatizo ya hali ya hewa, kama vile blekning bleaching, kwa kupunguza mkazo juu ya miamba inayosababishwa na shughuli za binadamu. Kutambua maeneo yenye miamba ya miamba na kuelewa vizuri mahusiano yao na wasiwasi wa binadamu inaweza kusaidia ujuzi wa mikakati ya usimamizi ili kulinda miamba ya matumbawe bora zaidi.
Miamba ya matumbawe ya Kusini mwa Florida iko karibu na pwani na kuwepo kwa maeneo yenye miji mingi. Wanaathirika na madhara mbalimbali ya asili na ya kibinadamu, ikiwa ni pamoja na, kati ya wengine, aina ya blekning na magonjwa, aina za vumbi, uchafu wa baharini, vyanzo vya ardhi vya uchafuzi, matumizi ya matumizi ya burudani na ya kibiashara, na ujenzi wa pwani. Changamoto kwa mameneja wa rasilimali za asili huko Florida, kama ilivyo kwa maeneo mengine ya miamba, hutegemea kuamua hatua zozote za kutekeleza na wapi, ili kusaidia usaidizi bora. Kuelewa tofauti ya nafasi katika ustahimilivu wa mabadiliko ya hali ya hewa katika Mtaa wa Mazao ya Florida ilikuwa lengo la mradi huu, kwa lengo la kuzalisha habari ambazo zinaweza kuwa na maamuzi ya usimamizi.
Mradi huu ulikuwa ushirikiano uliofadhiliwa na Mpango wa Hifadhi ya Mkoba wa NOAA, Idara ya Mazingira ya Ulinzi wa Mazingira, na ofisi ya Florida Conservancy ya Florida. Mradi huu unataja kipaumbele hiki kutoka Mpango wa Hatua ya Mabadiliko ya Hali ya Hewa Florida - Kuamua na maeneo ya ramani ya ustahimilivu wa juu na wa chini kwa mabadiliko ya hali ya hewa ili kuandaa jitihada za usimamizi.
Ukusanyaji wa Takwimu & Uchambuzi
Ili kuelewa tofauti ya anga katika ustahimilivu wa mabadiliko ya hali ya hewa katika Njia ya Mto la Florida, zifuatazo saba viashiria zilijumuishwa katika Tathmini ya ujasiri wa jamaa:
cover coral
kupinga blekning
utofauti wa matumbawe
ugonjwa wa matumbawe
bibi ya mimea
kutofautiana kwa joto
Takwimu zilizotumiwa kuendeleza viashiria hivi zinatoka kwa uchunguzi wa ufuatiliaji wa miamba ya shamba (isipokuwa tofauti ya joto, ambayo inaonekana kwa mbali) uliofanywa katika 2016 (hapana miaka mingine ni pamoja) kama sehemu ya Programu ya ufuatiliaji wa miamba ya miamba ya mawe na Programu ya Resilience ya Reef ya Florida. Mipango yote ya ufuatiliaji hutumia muundo wa sampuli random stratified ambapo tafiti ni kukamilika ndani ya aina mbalimbali ya makazi na mikoa ndogo ya Florida Reef Tract. Mafunzo ya kuchambua ujasiri wa jamaa yanaweza kupatikana hapa.
Kukusanya data. Picha © Jessica Keller
Kwa hili uchambuzi, data zilizokusanywa zinafupishwa kwa kutumia wastani wa ndani ya 'strata', ambayo huchanganya aina ya makazi na utata wa wima wa mwamba (yaani 'PR_HR' Patch reef high relief katika Tortugas). Kuna safu nane katika Tortugas, saba katika Keys za Florida (FL Keys) na nane huko Southeast Florida (SE FL). Thamani moja kwa kiashiria kila hutolewa kwa kila moja ya mstari wa 23. Vigezo vya kiashiria vilifanywa kuwa viongozi wa pekee (alama ya juu ni alama nzuri), alama hizo ni kawaida kwa thamani ya kiwango cha juu ili kuhesabiwa alama kwa kiwango cha 0-1, na alama zinapanuliwa na zinarekebishwa ili kuzalisha alama za mwisho za kujiamini . Kipande hicho kinachochaguliwa kutoka alama ya juu hadi chini na kuchaguliwa kama ifuatavyo, kulingana na wastani wa wastani (AVG) wa mwisho wa kujiamini (0.77) na kupotoka kwa kawaida (SD) (0.16):
High (> AVG + 1SD)
Je, unapenda (> AVG & <AVG + 1SD)
Weka chini (<AVG &> AVG-1SD)
Chini (<AVG-1SD)
Kwa maeneo ya kufuatilia ya Reef Florida, alama ya wastani kwa alama za ujasiri wa 'ghafi' ilikuwa 0.5 na imeanzia 0.31 hadi 0.65. Wastani wa alama za kawaida za ustahimilivu zilikuwa 0.77 na zimeanzia 0.31 hadi 0.65. Kupotoka kwa kawaida kwa wastani huu ilikuwa 0.16. Makundi ya ustahimilivu yanawekwa kama:
High (> AVG + 1SD;> 0.93)
Je, unapenda (> AVG & <AVG + 1SD;> 0.77 & <0.93)
Weka chini (<AVG &> AVG-1SD; <0.77 &> 0.61)
Chini (<AVG-1SD; <0.61)
Kielelezo 1. Uwezeshaji wa hali ya mabadiliko ya hali ya hewa katika Njia ya Reef ya Florida, kulingana na data zilizokusanywa katika 2016. Maonyesho kutoka kwa kiwango cha juu kabisa hadi kwa chini kabisa (1-23) huonyeshwa baada ya kanuni za strata juu ya kushoto, na maelezo ya kanuni za strata ni sahihi. Ustahimilivu wa jamaa ni mkubwa katika Vifungo vya FL na chini kabisa katika SE Florida. Matokeo ya uhakikisho wa maandishi ya makondoni kuu (CAP) hayana na kuonyesha makundi yenye nguvu kati ya makundi ya jamaa katika nafasi ya multivariate. Maeneo makubwa ya ustahimilivu yanahusishwa sana na maadili ya juu ya kifuniko cha matumbawe, upinzani wa blekning, na mimea ya majani na viwango vya chini vya ugonjwa wa matumbawe; kinyume chake ni kweli kwa maeneo ya chini ya ushujaa (kutoka Maynard et al. 2017). Bofya ili kuona picha kubwa.
Miongoni mwa safu ya 23, kuna 5 yenye ujasiri wa juu, 9 kati-juu, 6 kati-chini, na 3 yenye ujasiri mdogo (Kielelezo 1). Tortugas ilikuwa na 1 ya juu, 4 med-high, na 3 med-chini ujasiri strata. Keki za FL zilikuwa na high 4, 2 med-high, na 1 med-low ujasiri strata. SE Florida ilikuwa na kiwango cha chini cha 5 na 3 ya ujasiri wa chini.
Uwekaji wenye ujasiri mkubwa ni:
F_D_LR [1] - Hatua ya chini ya msamaha mdogo katika Vifungu vya FL
MC_PR [2] - Muda wa katikati wa kamba katika vipengele vya FL
PR_HR [3] - Msaada mkubwa wa miamba katika Tortugas
RF_HR [4] - Msaada mkubwa wa Reef katika Funguo za FL
F__LR [5] - Hatua ya chini ya misaada ya chini ya chini kwenye vipengele vya FL
Uwekaji wenye ujasiri mdogo ni:
KUTIKA [21] - Nishoni mwa SE Florida
RR_C [22] - Complex-ridge complex katika SE Florida
RF_D [23] - Reef ndani ya SE Florida
Matokeo ya uchambuzi wa takwimu nyingi (uchambuzi wa kisheria wa kuratibu kuu) zinaonyesha kuwa maeneo ya ustahimilifu kwa ujumla yalikuwa na maadili mazuri kwa mimea ya herbivore, utofauti wa matumbawe, kufunika kwa matumbawe na upinzani wa blekning; kinyume chake ni kweli kwa maeneo yenye ushujaa wa chini au chini (Kielelezo 1). Matokeo yanagawanyika ndani ya ripoti ya mradi kama ramani na kuonyesha tofauti ya nafasi katika ujasiri wa jamaa, pamoja na tofauti ya nafasi katika kila moja ya viashiria vya kujiamini 7 vilivyojumuishwa katika uchambuzi.
Uelewa bora wa kutofautiana kwa mazingira katika ustahimilivu wa mabadiliko ya hali ya hewa katika Njia ya Reef ya Florida ilipatikana, ambayo inaweza sasa kutumika kutumikia maamuzi ya usimamizi. Ramani za maeneo ya hali ya juu na ya chini ya mabadiliko ya hali ya hewa itasaidia kuweka kipaumbele jitihada za usimamizi na kuamua ni vipi vitendo vya kutekeleza na wapi, ili kusaidia usaidizi bora.
Mradi huo ulifanikiwa kwa kuwa uchambuzi uliopangwa ulikamilishwa na kuaripoti imeandikwa, na matokeo yalishirikiwa na mameneja wa kushirikiana kutoka Idara ya Mazingira ya Ulinzi wa Mazingira na Sanctuary ya Taifa ya Maziwa ya Florida.
Shughuli za baadaye za utafiti na mawasiliano zinapendekezwa ni pamoja na:
Tengeneza data ya ufuatiliaji wa miamba ili kuchunguza mwenendo katika viashiria vya ustahimilivu na ujasiri juu ya miaka ya mwisho ya 10
Kuchunguza tofauti ya nafasi katika ujasiri wa wengine (kuliko matumbawe ya mawe) wajenzi wakuu wa makazi, kama vile sponge za pipa, mashabiki wa bahari na matumbawe ya laini
Kuchunguza data zilizo kwenye tovuti ili uhakikishie ustahifu kwenye azimio la juu zaidi kuliko safu
Kuzalisha karatasi za kweli ili kuelimisha sera za wakuu na waamuzi juu ya dhana za ustahimilivu
Tumia maelezo ya ujasiri ili kutabiri maisha ya matumbawe yaliyopandwa kutoka kwa vitalu
Panga dashibodi inayofanya data ya ufuatiliaji wa miamba na muhtasari wa ustawi inapatikana kama ramani zinazoingiliana na mameneja na umma
Fedha kwa ajili ya mradi huo ulitolewa na Idara ya Ulinzi ya Mazingira ya Florida, Mpango wa Hifadhi ya Mamba ya NOAA, na Conservancy ya Hali
SymbioSeas na Kituo cha Utafiti cha Maziwa ya Maziwa
Idara ya Ulinzi wa Mazingira ya Florida
Mpango wa Hifadhi ya Mkoba wa NOAA
Chuo Kikuu cha Miami RSMAS
NOAA Atlantic na Maabara ya Meteorological Meteorological
Mamba ya Mawe ya Mamba ya Mawe ya Mto katika Mtaa wa Reef wa Florida (pdf, 3.5 M)
| 2019-06-26T12:37:07 |
http://reefresilience.org/sw/case-studies/florida-monitoring-reef-resilience/
|
[
-1
] |
Gibraltar ni eneo la ng'ambo la Uingereza ambayo ni rasi katika Mediteranea kwenye ncha ya kusini ya rasi ya Iberia katika Ulaya ya Kusini. Imapakana na Hispania.
Umuhimu wa Gibraltar [hariri]
Jina la Gibraltar [hariri]
Hispania imedai mara nyingi kurudishwa kwa eneo ikishtaki Uingereza kuwa na koloni ya mwisho katika Ulaya. Lakini wakazi wenyewe walipigia kura mwaka 2002 hoja la kubaki upande wa Uingereza badala ya Hispania na zaidi ya 98% wakakubali.
Mengine [hariri]
Wakazi wa Gibraltar ni takriban 28,000 walio wengi huwasiliana kwa lahaja ya Kihispania lakini wote wajua Kiingereza.
Mwamba wa Gibraltar mwenye kimo cha 426 m ni mahali pa pekee Ulaya penye nyani huru.
Rudishwa kutoka "http://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Gibraltar&oldid=878517" Jamii: Mbegu za jiografia ya UlayaNchi za UlayaEneo la ng'ambo la UingerezaMediteranea Urambazaji
Ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 8 Machi 2013, saa 23:05.
| 2013-05-23T07:17:41 |
http://sw.wikipedia.org/wiki/Gibraltar
|
[
-1
] |
Batatoli ya Yehova bamemi likambo etali kosakola na batribinale | Bokonzi ya Nzambe
Ndenge Yesu asakolaki yango, bakonzi mosusu ya Leta mpe ya mangomba batɛmɛlaka mosala na biso ya kosakola
1, 2. (a) Bakonzi ya mangomba balongaki kosala nini, kasi bantoma basalaki nini? (b) Mpo na nini bantoma baboyaki kotosa epekiseli oyo etyamaki na mosala ya kosakola?
EZALAKI mwa moke nsima ya Pantekote ya mobu 33 T.B. Lisangá ya bokristo efungwamaki na Yerusaleme esalaki kaka mwa bapɔsɔ. Satana amonaki ete ezali ntango ya malamu ya kobundisa lisangá yango. Liboso lisangá yango ekóma makasi, alukaki koboma yango. Eumelaki te, Satana asalaki ete bakonzi ya mangomba bápekisa mosala ya kosakola Bokonzi. Kasi, bantoma bakobaki kosakola na mpiko, mpe ebele ya mibali ná basi bakómaki “kondimela Nkolo.”—Mis. 4:18, 33; 5:14.
Bantoma basepelaki “mpo batángamaki bato oyo babongi kosambwisama mpo na nkombo na ye”
2 Banguna basilikaki makasi mpe na mbala oyo, babwakaki bantoma nyonso na bolɔkɔ. Kasi, na butu, anzelu ya Yehova afungolaki baporte ya bolɔkɔ mpo bantoma bábima, mpe na ntɔngɔntɔngɔ, bazongelaki kosakola! Bakangaki bango lisusu mpe bamemaki bango epai ya bankumu; bankumu yango balobaki ete bantoma babuki mobeko oyo epekisaki mosala ya kosakola. Na mpiko nyonso, bantoma balobaki ete: “Tosengeli kotosa Nzambe mpo azali mokonzi na esika ya kotosa bato.” Bankumu yango basilikaki makasi mpe balingaki “koboma” bantoma. Na ntango yango ya likama, Gamaliele, moteyi moko ya Mibeko oyo azalaki na lokumu mingi, akebisaki bankumu na maloba oyo: “Bókeba na bino . . . Bókɔta na makambo ya bato oyo te, kasi bótika bango.” Likambo ya kokamwa, bankumu bandimaki toli wana mpe batikaki bantoma bákende. Mibali yango ya sembo basalaki nini? Na mpiko nyonso “bakobaki koteya mpe kosakola nsango malamu oyo etali Kristo, Yesu.”—Mis. 5:17-21, 27-42; Mas. 21:1, 30.
3, 4. (a) Mayele mabe nini Satana asalelaka banda kala mpo na kobundisa basaleli ya Nzambe? (b) Tokotalela nini na mokapo oyo mpe na mikapo mibale oyo elandi?
3 Likambo wana oyo elekaki na tribinale na mobu 33 T.B. ezalaki mbala ya liboso bakonzi bátɛmɛla lisangá ya bokristo, kasi ezalaki mbala ya nsuka te. (Mis. 4:5-8; 16:20; 17:6, 7) Na mikolo na biso mpe Satana asalaka ete banguna ya losambo ya solo bátinda bakonzi bápekisa mosala na biso ya kosakola. Banguna yango bafundaka basaleli ya Nzambe na makambo ndenge na ndenge. Na ndakisa, balobaka ete totyaka mobulu na mboka, tobimisaka botomboki mpe ete tosalaka mombongo. Na ntango oyo ebongi, bandeko bakendaki na batribinale mpo na komonisa ete bifundeli wana nyonso ezali lokuta. Makambo esukaki ndenge nini? Ndenge nini bikateli oyo batribinale ezwá na bambula oyo eleki esalisaka yo lelo? Tótalela mwa makambo oyo tosambaki na batribinale mpe tómona ndenge esalisi na “kokɔtela nsango malamu mpe kofandisa yango na nzela ya mibeko.”—Flp. 1:7.
4 Na mokapo oyo, tokolobela mingimingi ndenge oyo tosambaki mpo na lotomo na biso ya kozwa bonsomi ya kosakola. Na mikapo mibale oyo elandi, tokolobela makambo oyo tosambaki mpo na komonisa ete tokoki kokɔta na makambo ya mokili te mpe ete tosengeli kotosa mibeko ya Bokonzi ya Nzambe.
Totyaka mobulu to tozali sembo na Bokonzi ya Nzambe?
5. Na nsuka ya bambula ya 1930, mpo na nini bakangaki basakoli ebele ya Bokonzi, mpe bandeko oyo bazalaki kokamba bakanisaki kosala nini?
5 Na nsuka ya bambula ya 1930, bakonzi ya bingumba mpe bitúká ndenge na ndenge ya États-Unis basɛngisaki Batatoli ya Yehova ete bázwa mokanda na Leta oyo ekopesa bango ndingisa ya kobima na mosala ya kosakola. Kasi bandeko baboyaki kozwa mokanda ya ndenge wana. Baboyaki mpo guvɛrnema ezalaki na lotomo ya koboma ndingisa oyo mokanda yango epesi. Bamonaki mpe ete guvɛrnema moko te ezalaki na bokonzi ya kotɛmɛla etinda oyo Yesu apesá bakristo ete básakola nsango ya Bokonzi. (Mrk. 13:10) Na yango, bakangaki bankama ya basakoli ya Bokonzi. Na bongo, bandeko oyo bazalaki kokamba lisangá bakanisaki komema likambo yango na tribinale. Bazalaki na elikya ya komonisa ete epekiseli oyo Leta atyelaki Batatoli eyokanaki te na mibeko oyo epesi bango bonsomi ya losambo. Mpe likambo moko oyo esalemaki na 1938 etikaki nsango na tribinale. Likambo yango nini?
6, 7. Likambo nini ekómelaki ndeko Cantwell ná libota na ye?
6 Na ntɔngɔ ya mwamibale, mokolo ya 26/04/1938, ndeko Newton Cantwell, oyo azalaki na mbula 60, mwasi na ye Esther, mpe bana na bango ya mibali Henry, Russell, ná Jesse—bango nyonso mitano babongisi-nzela monene—bamibongisaki mpo na kokende kosakola mokolo mobimba na engumba New Haven, na etúká ya Connecticut. Kutu, bayebaki ete mbala mosusu bakozonga ndako te mokolo yango. Mpo na nini? Lokola bakangaki bango mbala mingi liboso, bayebaki ete bakoki kokanga bango lisusu. Atako bongo, mposa na bango ya kosakola nsango ya Bokonzi ekitaki te. Bakómaki na New Haven na mituka mibale. Ndeko Newton atambwisaki motuka oyo ezalaki na mikanda ná bafono, mpe Henry, oyo azalaki na mbula 22, amemaki motuka oyo ezalaki na bikóliseli-loláká. Kaka ndenge bakanisaki yango, mwa bangonga na nsima, bapolisi bakangaki bango.
7 Bakangaki liboso Russell, oyo azalaki na mbula 18, mpe na nsima bakangaki ndeko Newton ná mwasi na ye Esther. Na mosika, Jesse, oyo azalaki na mbula 16, amonaki ndenge bapolisi bazalaki komema baboti na ye ná yaya na ye. Lokola Henry akendaki kosakola na eteni mosusu ya engumba yango, elenge Jesse atikalaki ye moko. Atako bongo, amemaki fono na ye mpe akobaki kosakola. Mibali mibale ya Lingomba ya Katolike bandimaki ete Jesse ayokisa bango diskur ya ndeko Rutherford oyo ezalaki na motó ya likambo “Banguna.” Kasi, ntango bayokaki diskur yango, mibali yango basilikaki makasi mpe balingaki kobɛta Jesse. Jesse alongwaki wana na malɛmbɛ, kasi mwa moke na nsima, polisi moko akangaki ye. Na yango, Jesse mpe asukaki na bolɔkɔ. Bapolisi balobaki ete ndeko Esther azali na likambo te, nzokande bakweisaki ndeko Cantwell ná bana na ye. Kasi, bafutaki lomande mpe batikaki bango kaka na mokolo wana.
8. Mpo na nini tribinale emonaki ete Jesse Cantwell azali kotya mobulu na mboka?
8 Mwa basanza na nsima, na sanza ya libwa na 1938, libota ya ndeko Cantwell bakendaki kosamba na tribinale ya New Haven. Bafundaki ndeko Newton, Russell, ná Jesse ete bazalaki kosɛnga bato makabo nzokande bazwaki te mokanda ya ndingisa mpo na kosala yango. Atako bamemaki likambo yango na Tribinale monene ya etúká ya Connecticut, bazuzi bakweisaki Jesse; balobaki ete azali kotya mobulu na mboka. Mpo na nini? Mibali mibale ya Lingomba ya Katolike oyo bayokaki diskur ya ndeko Rutherford balobaki na tribinale ete diskur yango efingaki lingomba na bango mpe etumolaki bango. Mpo na komonisa ete ekateli wana ya tribinale ezalaki malamu te, bandeko oyo bazalaki kokamba lisangá bamemaki likambo yango na Tribinale monene ya États-Unis.
9, 10. (a) Ekateli nini Tribinale monene ya États-Unis ezwaki na likambo ya ndeko Cantwell ná libota na ye? (b) Ndenge nini ekateli wana esalisaka tii lelo?
9 Kobanda na mokolo ya 29/03/1940, ndeko Hayden Covington, avoka ya Batatoli ya Yehova, asambaki liboso ya zuzi-mokonzi Charles Hughes ná bazuzi mosusu mwambe. * Ntango prokirɛrɛ ya etúká ya Connecticut azwaki maloba mpo na komonisa ete Batatoli bazalaki kotya mobulu, zuzi moko atunaki boye: “Nsango oyo Kristo Yesu ateyaki na mikolo na ye esepelisaki bato nyonso te, boye te?” Prokirɛrɛ azongisaki ete: “Ezali bongo, kutu soki namikosi te, Biblia elobi mpe likambo oyo ekómelaki Yesu mpo na nsango oyo azalaki koteya.” Amikweisaki mpenza! Kozanga ete ayeba, prokirɛrɛ yango atyaki Batatoli na ngámbo ya Yesu, mpe bakonzi ya etúká ya Connecticut na ngámbo ya baoyo bafundaki ye. Na mokolo ya 20/05/1940, bazuzi nyonso ya Tribinale monene balongisaki Batatoli.
Hayden Covington (liboso, na katikati), Glen How (pembeni na ye), mpe bato mosusu bazali kobima na tribinale nsima ya kolonga
10 Matomba nini ekateli ya Tribinale wana ebimisaki? Elongisaki lotomo ya kosala makambo ya losambo na bonsomi nyonso na boye ete ezalaki na mobeko mosusu te oyo mboka, engumba, to etúká ekokaki kosalela mpo na kopekisa bonsomi ya losambo. Lisusu, bazuzi ya Tribinale wana bamonaki ete likambo oyo Jesse asalaki “etyaki mobulu na mboka te.” Na yango, ekateli ya bazuzi emonisaki polele ete Batatoli ya Yehova batyaka mobulu na mboka te. Ezalaki bolongi monene mpenza mpo na basaleli ya Nzambe! Ndenge nini likambo yango esalisaka biso ata lelo? Avoka moko oyo azali Motatoli alobi boye: “Lotomo ya kosala makambo ya lingomba na biso na bonsomi kozanga kobanga bipekiseli oyo ezangi bosembo epesi biso Batatoli nzela ya koyebisa bato nsango oyo epesaka elikya na bisika nyonso oyo tozali.”
Tobimisaka botomboki to tosakolaka solo?
Trakte Likunya makasi ya bato ya Québec mpo na Nzambe, mpo na Kristo mpe bonsomi ezali nsɔni mpo na Canada mobimba
11. Bandeko na biso ya Canada basalaki kampanye ya nini, mpe mpo na nini?
11 Na bambula ya 1940, Batatoli ya Yehova na Canada bakutanaki na botɛmɛli makasi. Na yango, na 1946, mpo bato báyeba ete Leta aboyaki kotosa bonsomi ya losambo, bandeko basalaki kampanye ya mikolo 16 mpo na kokabola trakte oyo elobaki Likunya makasi ya bato ya Québec mpo na Nzambe, mpo na Kristo, mpe mpo na bonsomi ezali nsɔni mpo na Canada mobimba. Trakte yango ya nkasa minei emonisaki malamu ndenge bakonzi ya mangomba bazalaki kotinda bato bátungisa bandeko ya etúká ya Québec, ndenge bapolisi bazalaki konyokola bango, mpe makambo ya mobulu oyo bato bazalaki kosala bango. Trakte yango elobaki boye: “Bazali kokanga Batatoli ya Yehova kaka boye, ntina te. Bakoseli Batatoli ya Yehova makambo soki 800 na Montréal.”
12. (a) Banguna bayokaki ndenge nini mpo na kampanye ya trakte wana? (b) Bafundaki bandeko na biso ete bazali kosala nini? (Talá mpe maloba na nse ya lokasa.)
12 Maurice Duplessis, ministre-mokonzi ya Québec, oyo azalaki kosala na boyokani makasi na Villeneuve, kardinale ya Lingomba ya Katolike, asepelaki na trakte wana te mpe alobaki polele ete esengeli kobundisa Batatoli tii na nsuka. Eumelaki te, bifundeli elongwaki 800 mpe ekómaki 1 600. Ndeko mwasi moko ya mobongisi-nzela alobaki boye: “Bapolisi bakangaki biso mbala ebele, toyebi kutu te soki mbala boni.” Batatoli oyo bapolisi bakutaki bazali kokabola trakte wana, bakangaki bango mpe bafundaki bango ete bazali kokabola mikanda “mpo na kobimisa botomboki.” *
13. Banani bato ya liboso oyo basambaki mpo bafundaki bango ete bazali kobimisa botomboki, mpe tribinale ezwaki ekateli nini?
13 Na 1947, bato ya liboso oyo basambaki mpo na efundeli ya kobimisa botomboki ezalaki ndeko Aimé Boucher ná bana na ye mibale: Gisèle, mbula 18, mpe Lucille, mbula 11. Bakabolaki trakte Likunya makasi ya bato ya Québec pene na ferme na bango na sudi ya engumba Québec, kasi soki otali bango, ezalaki mpasi koloba ete batyaka mobulu na mboka. Ndeko Boucher azalaki moto ya komikitisa mpe ya boboto. Azalaki kosala na kimya na mwa ferme na ye; na bantango mosusu azalaki kokende na engumba monene na mpunda mpe sharɛti. Atako bongo, libota na ye mpe ekutanaki na minyoko mosusu ya makasi oyo trakte wana elobelaki. Zuzi ya tribinale, oyo azalaki koyina Batatoli ya Yehova, aboyaki kondima bilembeteli oyo emonisaki ete libota ya ndeko Boucher bazali na likambo te. Zuzi yango andimaki ete trakte wana ezalaki kolendisa mobulu, mpe na yango libota mobimba esengeli kokweisama. Na yango, na makanisi ya zuzi wana, koloba solo, ezali mabe! Akataki ete Aimé ná Gisèle bazalaki kobimisa botomboki; kutu, ata elenge Lucille alalaki mikolo mibale na bolɔkɔ. Bandeko bamemaki likambo na Tribinale monene ya Canada, mpe bazuzi bandimaki koyoka yango.
14. Bandeko na biso ya Québec basalaki nini na boumeli ya bambula ya minyoko?
14 Nzokande, bandeko mibali mpe bandeko basi ya Québec bamonisaki mpiko mpe bakobaki kosakola nsango ya Bokonzi atako banguna bazalaki konyokola bango makasi—mpiko na bango ebimisaki mbuma ya malamu mpenza. Mbula minei nsima ya kampanye wana oyo ebandaki na 1946, motángo ya Batatoli na Québec elongwaki 300 mpe ekómaki 1 000! *
15, 16. (a) Tribinale monene ya Canada ezwaki ekateli nini na likambo ya ndeko Boucher ná bana na ye? (b) Bolongi wana ezalaki na litomba nini mpo na bandeko mpe bato mosusu?
15 Na sanza ya motoba na 1950, bazuzi nyonso libwa ya Tribinale monene ya Canada bayokaki likambo ya ndeko Aimé Boucher. Sanza motoba na nsima, na mokolo ya 18/12/1950, tribinale yango elongisaki biso. Mpo na nini? Ndeko Glen How, avoka ya Batatoli ya Yehova, alobaki ete bazuzi bandimaki makanisi oyo bandeko babimisaki mpo na komonisa ete “kobimisa botomboki” elimboli nde kotinda bato básala mobulu to bátɛmɛla guvɛrnema. Nzokande, trakte wana “etindaki ata moke te na makambo wana mpe na yango, ezalaki kaka lolenge moko ya komonisa ete tozali na bonsomi ya koloba.” Ndeko How abakisaki ete: “Namonaki mpenza ndenge Yehova asalisaki biso tólonga.” *
16 Ekateli oyo Tribinale monene ezwaki ezalaki mpenza bolongi monene mpo na Bokonzi ya Nzambe. Ekweisaki bifundeli mosusu 122 oyo ezalaki na batribinale, oyo elobaki ete Batatoli ya Québec bazalaki kobimisa botomboki. Lisusu, ekateli wana emonisaki ete bana-mboka Canada mpe ya bikólo mosusu nyonso oyo Angleterre eyangelá bazali sikoyo na bonsomi ya koloba soki basepeli te na makambo ya guvɛrnema. Longola yango, bolongi wana esalaki mpe ete bakonzi ya lingomba mpe bakonzi ya Leta na Québec bátika kobundisa Batatoli ya Yehova. *
Tosalaka mombongo to tosakolaka Bokonzi ya Nzambe na molende?
17. Bakonzi mosusu balukaka kotyela biso mibeko nini mpo na mosala ya kosakola?
17 Lokola bakristo ya liboso, biso basaleli ya Yehova “tozali te bato oyo batɛkaka liloba ya Nzambe.” (Tángá 2 Bakorinti 2:17.) Nzokande, bakonzi mosusu balukaka kotambwisa mosala na biso na kolanda mibeko oyo etali makambo ya mombongo. Tótala ndenge batribinale mibale ekataki likambo ya koyeba soki Batatoli ya Yehova bazali bato ya mombongo to basakoli.
18, 19. Ndenge nini bakonzi ya Danemark balukaki kopekisa mosala ya kosakola?
18 Danemark. Na mokolo ya 01/10/1932, bakómaki kosalela mobeko moko oyo epekisaki kotɛka mikanda kozanga kozwa mokanda ya Leta oyo epesi ndingisa ya kosala mombongo. Nzokande, bandeko ya Danemark bazwaki mokanda moko te ya ndenge wana. Na mokolo oyo elandaki, bandeko mitano bakendaki kosakola na mboka Roskilde, na kilomɛtrɛ koleka 30 na wɛsti ya engumba-mokonzi, Copenhague. Na mpokwa, moko na bango, ndeko August Lehmann azalaki komonana te. Nzokande, bakangaki ye mpe bafundaki ye ete azali kotɛka biloko, kasi azalaki na mokanda ya ndingisa te.
19 Na mokolo ya 19/12/1932, ndeko August Lehmann akendaki kosamba na tribinale. Alobaki ete azalaki kokende epai ya bato mpo na kolakisa bango mikanda oyo elimbolaka Biblia, kasi te mpo na kotɛka biloko. Bazuzi bandimelaki ye. Balobaki boye: “Moto oyo bafundi . . . azali na mbongo na ye ya kobikela, mpe bafutaka ye te mpe azelaka te ete báfuta ye [mpo na mosala ya kosakola], kutu asalelaka nde mbongo na ye mpo na mosala yango.” Bazuzi balongisaki Batatoli ya Yehova; bamonisaki ete mosala oyo Lehmann azalaki kosala “ezali mombongo te.” Kasi, banguna ya basaleli ya Nzambe bazalaki kaka koluka kosukisa mosala ya kosakola na ekólo yango. (Nz. 94:20) Prokirɛrɛ amemaki likambo yango na Tribinale monene ya ekólo. Bandeko na biso basalaki nini?
20. Ekateli nini Tribinale monene ya Danemark ezwaki, mpe bandeko basalaki nini?
20 Pɔsɔ moko liboso bákende kosamba na Tribinale monene, Batatoli na Danemark mobimba babakisaki molende na mosala ya kosakola. Na mokolo ya mibale 03/10/1933, Tribinale monene eyebisaki ekateli na yango. Endimaki ekateli oyo ezwamaki na tribinale ya moke ete August Lehmann abukaki mibeko te. Ekateli wana emonisaki ete Batatoli bakoki kokoba kosakola na bonsomi. Mpo na kopesa Yehova matɔndi na ndenge asalisaki bango bálonga na likambo wana, bandeko babakisaki lisusu milende. Banda wana, Leta atungisaka lisusu bandeko na biso ya Danemark te mpo na mosala ya kosakola.
Batatoli ya mpiko na Danemark na bambula ya 1930
21, 22. Tribinale monene ya États-Unis ezwaki ekateli nini na likambo ya ndeko Murdock?
21 États-Unis. Na mokolo ya lomingo 25/02/1940, bakangaki ndeko moko ya mobongisi-nzela Robert Murdock elongo na Batatoli mosusu nsambo ntango bazalaki kosakola na Jeannette, engumba moko pene na Pittsburgh, na etúká ya Pennsylvanie. Bafundaki bango ete bazwaki te mokanda ya ndingisa mpo na kokabola mikanda. Ntango bamemaki likambo yango na Tribinale monene ya États-Unis, bazuzi bandimaki kotalela likambo yango.
22 Na mokolo ya 03/05/1943, Tribinale monene eyebisaki ekateli na yango, oyo ekɔtelaki Batatoli. Elobaki ete esengeli te kozwa mokanda ya ndingisa mpamba te yango ezalaki lokola kofutisa moto “mpako liboso asala likambo moko oyo mibeko ya mboka epesá moto nyonso bonsomi ya kosala yango.” Tribinale yango ekweisaki mobeko oyo eutaki na engumba Jeannette mpe elobaki ete mobeko yango “ezalaki kolongola bonsomi ya kobimisa mikanda mpe bonsomi ya losambo.” Ntango zuzi William Douglas azalaki koyebisa ekateli ya Tribinale monene, alobaki ete mosala ya Batatoli ya Yehova “esuki kaka na kosakola te; esuki mpe kaka na kokabola mikanda te. Kasi, esangisi makambo yango nyonso mibale.” Abakisaki ete: “Kosala makambo wana ya losambo . . . ezali ndenge moko na kosambela mpe koteya na ndako-nzambe.”
23. Mpo na nini makambo oyo tolongaki na 1943 ezali na ntina lelo?
23 Ekateli wana ya Tribinale monene ezalaki bolongi monene mpenza mpo na basaleli ya Nzambe. Emonisaki polele ete tozali basakoli ya Bokonzi, kasi te bato ya mombongo. Na mokolo wana oyo etiká nsango na 1943, Batatoli ya Yehova balongaki makambo 12 na kati ya makambo 13 oyo bamemaki na Tribinale monene, kati na yango lisambisi ya Murdock. Bikateli wana ya tribinale esalisi mingi na mikolo eleki ntango tosambaki lisusu mpo banguna balingaki lisusu kobebisa bonsomi na biso ya kosakola nsango ya Bokonzi na babalabala mpe na ndako na ndako.
“Tosengeli kotosa Nzambe mpo azali mokonzi na esika ya kotosa bato”
24. Tosalaka nini soki Leta apekisi mosala ya kosakola?
24 Biso basaleli ya Yehova tosepelaka mingi ntango bakonzi ya Leta bapesi biso lotomo ya kosakola nsango ya Bokonzi na bonsomi. Kasi, soki guvɛrnema epekisi biso kosakola, tokómaka kosalela mayele mosusu, mpo tókoba mosala na biso ya kosakola. Ndenge moko na bantoma ya Yesu, “tosengeli kotosa Nzambe mpo azali mokonzi na esika ya kotosa bato.” (Mis. 5:29; Mat. 28:19, 20) Kasi, tomemaka mpe likambo yango na batribinale mpo na kosɛnga ete epekiseli elongwa. Tótalela bandakisa mibale.
25, 26. Makambo nini bandeko ya Nicaragua bamemaki na Tribinale monene, mpe esukaki ndenge nini?
25 Nicaragua. Na mokolo ya 19/11/1952, ndeko Donovan Munsterman, oyo azalaki misionɛrɛ mpe mokɛngɛli ya filiale, akendaki na biro oyo etalelaka makambo ya bapaya na Managua, engumba-mokonzi ya Nicaragua. Kapitɛni Arnoldo García, oyo azalaki mokonzi na biro yango nde abengisaki ye. Kapitɛni yango ayebisaki ndeko Donovan ete epekisami na Batatoli ya Yehova nyonso na Nicaragua kosakola mateya na bango mpe kosala makambo na bango ya losambo. Ntango ndeko Donovan atunaki ntina ya mobeko yango, kapitɛni García alobaki ete ministre apesá Batatoli ndingisa ya kosakola te mpe ete bafundaki bango ete bazali Bakoministe. Banani bafundaki biso? Bakonzi ya Lingomba ya Katolike.
Bandeko ya Nicaragua na ntango ya epekiseli
26 Ndeko Donovan amemaki mbala moko likambo yango epai ya ministre oyo atalelaka makambo ya mangomba mpe epai ya Anastasio Somoza García, prezida ya ekólo yango, kasi esimbaki te. Na yango, bandeko basalelaki mayele mosusu. Bakangaki Ndako ya Bokonzi, bakómaki kosala makita na bituluku ya mike, mpe batikaki kopesa litatoli na babalabala, kasi bazalaki kaka kosakola nsango ya Bokonzi. Bakomelaki mpe Tribinale monene ya Nicaragua mpo na kosɛnga ete epekiseli wana elongwa. Lokola bazulunalo ebele elobelaki epekiseli wana mpe makambo oyo tosɛngaki, Tribinale monene endimaki kotalela likambo na biso. Esukaki ndenge nini? Na mokolo ya 19/06/1953, bazuzi nyonso ya Tribinale monene balongisaki Batatoli. Bamonaki ete epekiseli wana ebukaki mobeko oyo epesá bato bonsomi ya koloba, ya kolanda lisosoli na bango, mpe ya kolobela bindimeli na bango. Basɛngaki mpe ete boyokani ya Leta ya Nicaragua ná Batatoli ezonga ndenge ezalaki liboso.
27. Mpo na nini bana-mboka Nicaragua bakamwaki ekateli oyo Tribinale monene ezwaki, mpe ndenge nini bandeko batalelaki bolongi yango?
27 Bana-mboka Nicaragua bakamwaki makasi ndenge Tribinale monene elongisaki Batatoli ya Yehova. Liboso ya ntango wana, bakonzi ya mangomba bazalaki na bokonzi mingi na boye ete Tribinale monene ezalaki kolinga kokweisa bango te. Lisusu, mbala mingi tribinale yango ezalaki kokweisa ekateli ya bakonzi ya Leta te mpo bazalaki na nguya mingi. Bandeko bamonaki mpenza ete balongaki na likambo wana kaka mpo Mokonzi Yesu abatelaki bango mpe bakobaki kosakola.—Mis. 1:8.
28, 29. Na katikati ya bambula ya 1980, makambo nini esalemaki na Zaïre?
28 Zaïre. Na katikati ya bambula ya 1980, Batatoli bazalaki soki 35 000 na Zaïre (lelo oyo République Démocratique du Congo). Lokola bokoli ezalaki makasi, filiale ebandaki kotonga bandako ya sika. Na sanza ya zomi na mibale na 1985, basalaki liyangani oyo esangisaki mikili mingi na engumba-mokonzi Kinshasa, mpe bato 32 000 oyo bautaki na mikili ndenge na ndenge batondisaki libándá ya masano. Kasi na nsima, makambo ya basaleli ya Yehova ekómaki kobongwana. Nini esalemaki?
29 Ndeko Marcel Filteau, misionɛrɛ moko oyo autaki na Québec, mpe amonaki botɛmɛli oyo ezalaki na boyangeli ya Duplessis, azalaki kosala na Zaïre na ntango wana. Ayebisaki ndenge makambo elekaki; alobaki boye: “Na mokolo ya 12/03/1986, bandeko oyo bazalaki kokamba mosala bazwaki mokanda oyo elobaki ete ebongiseli ya Batatoli ya Yehova na Zaïre eyebani na Leta te.” Epekiseli yango eutaki epai ya prezida ya ekólo, Mobutu Sese Seko.
30. Bandeko ya Komite ya filiale bamitunaki nini, mpe ekateli nini bazwaki?
30 Mokolo oyo elandaki, radio ya ekólo eyebisaki ete: “Tokoyoka lisusu Batatoli ya Yehova te na [Zaïre].” Minyoko ebandaki wana. Bakómaki kobebisa Bandako ya Bokonzi, mpe bazalaki kopunza biloko ya bandeko, kokanga bango, kobwaka bango na bolɔkɔ, mpe kobɛta bango. Bazalaki kotya ata bana na bolɔkɔ. Na mokolo ya 12/10/1988, Leta akangaki biloko ya filiale, mpe basoda oyo babengamaki ba Garde civile bakómaki kofanda na esika oyo bazalaki kotonga filiale. Bandeko oyo bazalaki na mikumba bakomelaki prezida Mobutu, kasi bazwaki eyano te. Na ntango wana, bandeko ya Komite ya filiale bamitunaki boye: “Tómema likambo na Tribinale monene, to tózela?” Timothy Holmes [Timothée Holmes], oyo azalaki misionɛrɛ mpe mokambi misala ya Komite ya filiale na Zaïre, alobi boye: “Tosɛngaki Yehova apesa biso mayele mpe alakisa biso nzela.” Nsima ya kosolola mpe kobondela elongo, bandeko ya komite bamonaki ete ntango ekokaki naino te mpo na komema likambo yango na tribinale. Bamipesaki na kolendisa bandeko mpe na koluka mayele mosusu mpo na kokoba kosakola.
“Ntango tozalaki kosamba likambo yango, tomonaki ete Yehova akoki mpenza kobongola makambo”
31, 32. Ekateli nini Tribinale monene ya Zaïre ezwaki, mpe esalaki nini epai ya bandeko?
31 Mwa bambula elekaki. Bazalaki lisusu konyokola Batatoli ya Yehova mingi te, mpe ntomo ya bato ekómaki kotosama mingi na mboka. Bandeko ya Komite ya filiale bamonaki ete ntango ekokaki mpo na komema makambo na Tribinale monene ya Zaïre mpo na kosɛnga ete epekiseli elongwa. Likambo ya kokamwa, tribinale yango endimaki kotalela likambo na biso. Na nsima, na mokolo ya 08/01/1993, bambula pene na nsambo nsima ya ntango oyo prezida apekisaki misala ya Batatoli ya Yehova, Tribinale monene elobaki ete makambo oyo guvɛrnema esalaki Batatoli ya Yehova eyokanaki na mibeko te, mpe epekiseli elongwaki. Kanisá naino! Bazuzi wana batyaki bomoi na bango na likama mpo balongolaki mobeko oyo prezida ye moko atyaki! Ndeko Holmes alobi boye: “Ntango tozalaki kosamba likambo yango, tomonaki ete Yehova akoki mpenza kobongola makambo.” (Dan. 2:21) Bolongi wana elendisaki kondima ya bandeko. Bamonaki ete Mokonzi Yesu asalisaki bato na ye báyeba ntango ya kosala likambo mpe ndenge ya kosala yango.
Bandeko ya Congo-Kinshasa basepelaka mingi na bonsomi na bango ya kosambela Yehova
32 Ntango epekiseli wana elongwaki, Leta apesaki biro ya filiale nzela ya kobengisa bamisionɛrɛ, ya kotonga bandako ya sika, mpe ya kokɔtisa mikanda oyo elimbolaka Biblia na mboka. * Basaleli ya Nzambe na mokili mobimba basepelaka mingi komona ndenge Yehova abatelaka bato na ye mpo bázala malamu na elimo!—Yis. 52:10.
“Yehova azali mosungi na ngai”
33. Mwa makambo oyo totaleli emonisi nini?
33 Mwa makambo oyo touti kotalela emonisi ete Yesu akokisi elaka oyo apesaki ete: “Nakopesa bino monɔkɔ mpe bwanya, oyo batɛmɛli na bino nyonso bakokoka te kotɛmɛla to kotyela ntembe.” (Tángá Luka 21:12-15.) Na bantango mosusu, emonani ete Yehova asalaki ete bato básala lokola Gamaliele mpo na kobatela basaleli na ye; na bantango mosusu atindaki bazuzi mpe baavoka ya mpiko bákata makambo na bosembo. Ya solo, Yehova akweisi bibundeli ya banguna na biso. (Tángá Yisaya 54:17.) Botɛmɛli ekoki kopekisa mosala ya Nzambe te.
34. Mpo na nini makambo oyo tolongi na batribinale ezali likambo ya kokamwa, mpe yango emonisi nini? (Talá mpe etanda “ Makambo minene oyo tolongi elendisi mosala ya kosakola Bokonzi.”)
34 Mpo na nini bolongi nyonso oyo tozwi na batribinale ezali mpenza kokamwisa? Kanisá naino: Batatoli ya Yehova bazali bato ya lokumu to bato ya nguya te. Tosalaka voti te, tokɔtelaka bato ya politiki te, totindaka mpe bango te ete básalela biso makambo. Lisusu, bandeko mingi oyo bakendaka kosamba na batribinale minene batalelamaka lokola “bato batángá kelasi mingi te mpe bato mpamba.” (Mis. 4:13) Na yango, na miso ya bomoto, eloko moko te ekoki kotinda bazuzi bázwa bikateli mpo na kolongisa biso mpe kokweisa makanisi ya banguna na biso—bakonzi ya mangomba mpe bato minene ya politiki. Nzokande, mbala mingi bazuzi balongisaka biso! Bolongi na biso na batribinale emonisi ete tozali kotambola “na miso ya Nzambe, esika moko na Kristo.” (2 Ko. 2:17) Yango wana, biso mpe tolobaka lokola ntoma Paulo ete: “Yehova azali mosungi na ngai; nakobanga te.”—Ebr. 13:6.
^ par. 9 Likambo yango, oyo ebengamaki lisambisi ya Cantwell ná etúká ya Connecticut ezalaki likambo ya liboso kati na makambo 43 oyo ndeko Hayden Covington asambaki mpo na bandeko na Tribinale monene ya États-Unis. Akufaki na 1978. Mwasi na ye Dorothy, asalelaki Yehova na bosembo tii ntango akufaki na 2015, na mbula 92.
^ par. 12 Efundeli yango eutaki na mobeko moko oyo ebimaki na 1606. Mobeko yango epesaki bazuzi nzela ya kokweisa moto soki bamoni ete maloba na ye ezali kolendisa mobulu, ata soki maloba yango ezali solo.
^ par. 14 Na 1950, bandeko oyo bazalaki na mosala ya ntango nyonso na Québec bazalaki 164, kati na bango bandeko 63 oyo bautaki na Gileade, mpe bandimaki kosala kuna atako botɛmɛli makasi ezalaki kozela bango.
^ par. 15 Ndeko Glen How azalaki avoka ya mpiko mpenza, mpe kobanda 1943 tii na 2003, asambaki malamu makambo ebele mpo na Batatoli ya Yehova na Canada mpe na mikili mosusu.
^ par. 16 Mpo na koyeba likambo yango malamu, talá lisolo “La bataille n’est pas la vôtre, mais celle de Dieu,” na Lamuká ya 22/04/2000, nkasa 18-24, na Lifalanse.
^ par. 32 Nsukansuka, basoda yango balongwaki na lopango ya filiale; kasi filiale etongamaki na esika mosusu.
Ndenge nini batribinale emonisaki ete tozali basakoli ya Bokonzi, kasi te bato oyo batyaka mobulu na mboka, oyo babimisaka botomboki, to oyo basalaka mombongo?
Ndenge nini bikateli oyo batribinale ezwá mpo na kolongisa biso esalisaka biso ata lelo?
Tosalaka nini soki mosala na biso ya kosakola epekisami?
Na miso ya bomoto, mpo na nini ezali likambo ya kokamwa ndenge basaleli ya Yehova balongi makambo ebele ya minene na batribinale?
Ndenge nini makambo oyo totaleli elendisi kondima na yo?
Engumba Stara Pazova, na Serbie
MAKAMBO MINENE OYO TOLONGI ELENDISI MOSALA YA KOSAKOLA BOKONZI
DATI 11/11/1927
EKÓLO Suisse
ETALELI Bonsomi ya losambo.
LIKAMBO Polisi moko akangaki ndeko Adolf Huber ntango azalaki kosakola; afundaki ye ete azali kotya mobulu na mangomba ya bato, mpe abɔtɔlaki ye batrakte.
EKATELI Liboso ya bazuzi ya Tribinale monene, ndeko Huber amonisaki ete polisi wana asalaki mabe. Bazuzi bamonaki ete kobɔtɔla ye batrakte ya lingomba na ye, eyokani te na “bonsomi ya losambo.”
LITOMBA Ekateli ya tribinale epekisaki bapolisi kotya mobulu na mosala ya kosakola ya Bayekoli ya Biblia.
DATI 09/07/1935
EKÓLO Roumanie
ETALELI Bonsomi ya kosakola.
LIKAMBO Bakangaki Batatoli motoba mpe bafundaki bango ete bazali kokabola babuku oyo “ezali kotya mobulu mpe kolongola kimya na mboka.” Bakatelaki bango etumbu ya mikolo 15 ya bolɔkɔ.
EKATELI Tribinale monene emonaki ete Batatoli basalaka makambo na bango na kimya, ete mikanda na bango ebimisaka mobulu te, mpe ete bazali na lotomo ya koteya makambo na bango.
LITOMBA Ekateli yango ná bikateli mosusu oyo ezwamaki na makambo 530 ya Batatoli oyo tribinale yango etalelaki kobanda 1933 tii na 1939, etosisaki mibeko oyo epesaki bandeko nzela ya kosakola. Lelo oyo, bandeko basakolaka na bonsomi.
DATI 17/03/1953
EKÓLO Pays-Bas
ETALELI Bonsomi ya kosakola mpe ya kobimisa mpe kokabola mikanda.
LIKAMBO Bakangaki Pieter Havenaar mpe bafundaki ye ete abuki mobeko oyo elobaki ete esengeli kokabola mikanda kaka na mokolo ya mibale mpe na mokolo ya misato na ngonga ya 9:00 tii 11:00.
EKATELI Tribinale monene emonaki ete mobeko wana elekisaki ndelo.
LITOMBA Ekateli wana elongolaki mobeko nyonso oyo esimbaki lotomo ya kokabola mikanda kino kokómisa yango mpasi mpenza, lokola nde epekisami.
DATI 06/10/1953
EKÓLO Canada
ETALELI Bonsomi ya losambo mpe ya kosakola.
LIKAMBO Mobeko moko ya engumba Québec elobaki ete epekisami kokabola mikanda soki ozwi mokanda ya ndingisa epai ya polisi te. Ndeko Laurier Saumur, oyo azalaki mokɛngɛli-motamboli alekisaki sanza misato na bolɔkɔ mpo abukaki mobeko yango.
EKATELI Tribinale monene emonaki ete kosalela mobeko wana mpo na Batatoli ya Yehova ebongi te. Bazuzi bamonaki ete kokabolela bato mikanda oyo ezali na nsango ya Biblia ezali likambo ya losambo mpo na Batatoli ya Yehova, mpe mibeko ya mboka endimá yango.
LITOMBA Ekateli wana elongolaki makambo koleka 1 600 oyo etúká ya Québec efundaki Batatoli.
DATI 13/07/1983
EKÓLO Serbie
LIKAMBO Bakangaki bandeko basi mibale mpo bazalaki kokabola mikanda. Bafundaki bango ete “bazali kotya mobulu mpe kobebisa kimya” mpe batyaki bango na bolɔkɔ mikolo mitano.
EKATELI Tribinale monene emonaki esika babukaki mobeko te; emonaki mpe ntina te ya koloba ete bazalaki kotya mobulu.
LITOMBA Nsima ya bolongi wana, kokanga bandeko to kobɔtɔla bango mikanda ezalaki lisusu mingi te.
DATI 26/05/1986
EKÓLO Turquie
LIKAMBO Ntango mabota misato ya Batatoli ekendaki mpo na kokomisa Lingomba ya Batatoli ya Yehova na mikanda ya Leta, bakangaki bandeko 23 mpe bafundaki bango ete balingi kobongola makambo mpe kotya mobulu na politiki.
EKATELI Tribinale monene ekweisaki bifundeli wana, elongisaki Batatoli ya Yehova, mpe ebatelaki bonsomi na bango ya losambo.
LITOMBA Ekateli wana epekisaki kokanga Batatoli mpo bazali kosala makambo na bango ya losambo mpe epesaki bana-mboka nyonso ya Turquie bonsomi ya losambo.
DATI 25/05/1993
EKÓLO Grèce
ETALELI Bonsomi ya kolobela bindimeli.
LIKAMBO Na 1986, bafundaki ndeko Minos Kokkinakis mpo na mbala ya 18 ete abendaka bato bákɔta na lingomba na ye. Kobanda 1938 tii 1992, bakangaki Batatoli ya Yehova koleka 19 000 mpo mibeko ya Grèce epekisaki likambo yango.
EKATELI Tribinale monene ya Mpoto mpo na ntomo ya bato elobaki ete mobeko wana eyokani te na bonsomi ya koloba, ya kolanda lisosoli, mpe ya losambo; emonaki ete ezali na ntina te kokɔta na makambo ya losambo ya bato; mpe emonisaki ete Batatoli ya Yehova bazali mpenza “lingomba oyo eyebani.”
LITOMBA Guvɛrnema ya Grèce eyebisaki bazuzi nyonso ete bátosa ekateli oyo ezwamaki na lisambisi ya Kokkinakis, mpe eboyaki kondima bifundeli mosusu oyo elobi ete moto azali koluka kobenda bato na lingomba na ye.
DATI 17/06/2002
EKÓLO États-Unis
LIKAMBO Mboka Stratton na etúká ya Ohio ebimisaki mobeko oyo elobaki ete moto nyonso oyo alingi kosala mosala moko ya ndako na ndako asengeli kozwa mokanda ya ndingisa. Tribinale ya etúká mpe batribinale mosusu endimaki ete mobeko wana eyebani na Leta.
EKATELI Tribinale monene elobaki ete mobeko wana eyebani na Leta te mpe emonisaki ete moto nyonso azali na bonsomi ya losambo mpe ya kolobela bindimeli na ye. Tribinale yango emonisaki ete Batatoli ya Yehova balobaki ete “lotomo na bango ya kosakola euti na Makomami.”
LITOMBA Bingumba ebele etikaki kosalela mibeko ya ndenge wana mpo na mosala ya kosakola ya Batatoli ya Yehova.
Yesu apesaki bayekoli na ye etinda ya ‘kokómisa bato bayekoli na bikólo nyonso.’ Lokola botɛmɛli mpe mikakatano ezalaki mingi, Bayekoli ya Biblia bakangaki ntina ya maloba ‘tiká pole engɛnga.’
| 2018-01-16T20:45:14 |
https://www.jw.org/ln/mikanda/babuku/bokonzi-ya-nzambe/bolongi-na-tribinale/batatoli-ya-yehova-na-batribinale/
|
[
-1
] |
Webber mshindi wa Silverstone - BBC Swahili
Webber mshindi wa Silverstone
http://www.bbc.com/swahili/michezo/2012/07/120708_webber
Image caption Webber pamoja na Alonso wa timu ya Ferrari ndio madereva waliofanikiwa kuibuka washindi katika mashindano mawili msimu huu
Mark Webber, dereva wa timu ya Red Bull, siku ya Jumapili aliibuka bingwa wa mashindano ya Uingereza ya magari ya Grand Prix.
Dereva huyo kutoka Australia, aliweza kumpita Fernando Alonso kutoka Uhispania, katika raundi za mwishomwisho za mashindano hayo ya Silverstone.
Alonso aliweza kuongoza kwa muda mrefu tangu mwanzo wa mashindano, lakini Webber aliweza kutumia mbinu kwa upande wa kubadilisha magurudumu, na hatimaye kuweza kufukuzana kwa kasi na dereva huyo wa Uhispania.
Alonso hatimaye alimaliza katika nafasi ya pili, na Mjerumani Sebastian Vettel, dereva wa timu ya Red Bull, alimaliza katika nafasi ya tatu.
Felipe Massa, kutoka Brazil, na akiwa ni dereva wa Ferrari, alimaliza katika nafasi ya nne.
Lewis Hamilton, dereva wa McLaren, ilibidi aridhika na kumaliza katika nafasi ya nane, huku Muingereza mwenzake, Jenson Button, na pia akiwa katika timu ya McLaren, akishikilia nafasi ya 10.
“Nimewahi kuibuka mshindi mara chache, lakini ushindi huu bado haujaniingia akilini. Nilipata nafasi moja ya kuongoza, na kamwe sikutazamie iniepuke,” alielezea Webber.
Webber sasa yumo katika nafasi ya nne katika kuwania nafasi ya dereva bora zaidi msimu huu, akiachwa na Alonso kwa pointi 37 sasa.
Vettel yumo katika nafasi ya tatu, na tofauti kati yake na Alonso ni pointi 29.
Timu ya McLaren, ambayo ilianza msimu ikiwa na gari lenye kasi zaidi, sasa inaelekea wanaendelea kuachwa nyuma na Red Bull na Ferrari, ambayo wamweza kuimarisha magari yao zaidi.
Mashindano ya Silverstone yaliamuliwa kupitia magurudumu.
Huku Ferrari wakiamua kumuanzisha Alonso kwa kutumia magurudumu magumu zaidi, kama walivyofanya mafundi wa McLaren pia waliohusika na Hamilton, kinyume na hayo, Red Bull waliamua kutumia matairi ya kawaida yaliyo mepesi zaidi.
Ushindi huu umemfanya Webber, kama Alonso, kuwa madereva wawili wa pekee msimu huu ambao wameweza kuibuka washindi katika mashindano mawili.
| 2017-12-17T17:09:40 |
http://www.bbc.com/swahili/michezo/2012/07/120708_webber
|
[
-1
] |
Xana Ndzi Nga Aka Muti Ni Munhu Loyi? | Vantshwa Va Vutisa
Xana u n’wi kumile munhu loyi u nga akaka muti na yena? Loko swi ri tano, u nga swi vonisa ku yini loko mi ta hanyisana kahle ni munhu yoloye?
I swa nkoka ku rhanga hi ku langutisa timfanelo letinene. Eka swilo hinkwaswo, nhwanyana wo xonga swi nga endleka a nga tshembekanga kumbe mufana la rhandzekaka ngopfu swi nga endleka mahanyelo ya yena ma nga basanga. Entiyisweni na wena u lava munhu la ku fanelaka—loyi a pfumelelanaka kahle ni vumunhu bya wena ni tipakani ta wena.—Genesa 2:18; Matewu 19:4-6.
Kuwa Ro Tshwuka Ri Ni Xivungu Endzeni
N’wi langutise kahle loyi u lavaka ku tekana na yena. Kambe u fanele u xiya! Swi nga endleka u languta ntsena leswi u lavaka ku swi vona. Hikwalaho u nga hatliseli. Ringeta ku twisisa leswi munghana wa wena a nga xiswona.
Vantshwa vo tala vo tsakisiwa ntsena hi loko va rhandzana. Va ta ku byela hi swilo leswi havumbirhi bya vona va swi rhandzaka, u ta twa va ku: “Hi rhandza vuyimbeleri lebyi fanaka.” “Hi tsakela mintirho leyi fanaka.” “Ha pfumelelana eka xin’wana ni xin’wana!” Hambiswiritano, u fanele u languta timfanelo leti nga ta nkoka. U fanele u vona “munhu la nge xihundleni wa mbilu.” (1 Petro 3:4; Vaefesa 3:16) Ematshan’weni yo dzikisa mianakanyo ya wena emhakeni ya leswaku ma pfumelelana swinene eka swilo swo tala, swi nga ku pfuna ku tiva leswaku mi ta endla yini loko mi nga pfumelelani eka mhaka yo karhi.
Hi xikombiso, tinhla leti landzelaka:
Xana munhu yoloye u endla yini loko mi nga voni swilo hi ndlela leyi fanaka—u sindzisa leswaku swilo swi endliwa hi ndlela ya yena, kumbexana a va ni “swifafa” kumbe a tirhisa “mavulavulelo ya nhlamba”? (Vagalatiya 5:19, 20; Vakolosa 3:8) Kumbe wa anakanyela—a kondletela ku rhula hi ku pfumelelana na wena ntsena loko ku nga tluriwi nawu wo karhi?—Yakobo 3:17.
Xana munhu yoloye u sindzisa leswaku ku endliwa leswi yena a swi lavaka, u rhandza ku lawula kumbe u ni mavondzo? Xana u lava ku tiva xin’wana ni xin’wana lexi u xi endlaka? Nicole u ri: “Ndzi twa leswaku vanhu van’wana lava rhandzanaka va tshamela ku lwa hileswi un’wana eka vona a lavaka ku tiva lomu munghana a nga kona. Hi ku ya hi mina va ni xiphiqo.”—1 Vakorinto 13:4.
Xana vanhu van’wana va swi teka njhani? Swi ta ku pfuna ku bula ni lava se va nga ni nkarhinyana va hanya na yena, vo kota swirho swa vandlha leswi tshembekaka. Hi ndlela yoleyo u ta tiva loko munhu loyi u rhandzanaka na yena “ku vulavuriwa kahle” ha yena.—Mintirho 16:1, 2.
https://www.jw.org/finder?docid=502013267&wtlocale=TS&srcid=share
mailto:?body=Xana Ndzi Nga Aka Muti Ni Munhu Loyi?%0a%0ahttps%3A%2F%2Fwww.jw.org%2Ffinder%3Fdocid%3D502013267%26wtlocale%3DTS%26srcid=share⊂ject=Xana Ndzi Nga Aka Muti Ni Munhu Loyi?
| 2017-01-16T13:05:51 |
https://www.jw.org/ts/tidyondzo-bibele/ndyangu/vantshwa/vutisa/aka-muti-ni-munhu-loyi/
|
[
-1
] |
Maadhimisho ya Siku ya SECAM: 29 Julai - 2 Agosti, 2020! Ujumbe! - | Vatican News
Shirikisho la Mabaraza ya Maaskofu Katoliki Afrika na Madagascar, SECAM linaadhimisha Siku ya SECAM kuanzia tarehe 29 Julai hadi tarehe 2 Agosti 2020: Siku za Sala, Umoja na Mshikamano.
Maadhimisho ya Siku ya SECAM: 29 Julai - 2 Agosti, 2020! Ujumbe!
Waamini wajenge utamaduni wa kukutana na Yesu katika Neno la Sakramenti zake. Toba na wongofu wa ndani, uwasaidie waamini kuambata utakatifu wa maisha tayari kutangaza na kushuhudia imani yao kwa Kristo na Kanisa lake.. Waamini wajibidiishe kufahamu Mafundisho Tanzu ya Kanisa ili kujenga na kudumisha umoja na mshikamano wa familia ya Mungu inayowajibika Barani Afrika.
Maadhimisho ya Jubilei ya Miaka 50 tangu kuanzishwa kwa Shirikisho la Mabaraza ya Maaskofu Katoliki Afrika na Madagascar, SECAM mwaka 2019 yalipambwa na kauli mbiu “Kanisa, familia ya Mungu Barani Afrika; Sherehekea Jubilei yako! Mtangaze Kristo Yesu Mkombozi wako”. Hii ilikuwa ni nafasi muafaka ya kuyatafakari yaliyopita kwa moyo wa shukrani, kuyaishi ya sasa kwa moyo wa hamasa na kuyakumbatia ya mbeleni kwa moyo wa matumaini. Lengo kuu la Jubilei hiyo ilikuwa ni kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa zawadi ya imani kwa familia ya Mungu Barani Afrika. Huu ni wakati kwa waamini kutambua kwamba, kwa njia ya Sakramenti ya Ubatizo wanashiriki: ukuhani, unabii na ufalme wa Kristo, hivyo wanaitwa na kutumwa kumtangaza na kumshuhudia Kristo Yesu aliyeteswa, akafa na kufufka kwa wafu ili kumkomboa mwanadamu kutoka katika lindi la dhambi na mauti.
SECAM ni matunda ya maadhimisho ya Mtaguso Mkuu wa Pili wa Vatican, uliowahamasisha Maaskofu kutoka Barani Afrika, kushikamana kwa hali na mali, ili kuweza kukoleza ari na moyo wa kimisionari, tayari kujikita katika mchakato wa uinjilishaji wa kina, unaogusa mahitaji ya mtu mzima: kiroho na kimwili. SECAM ikazinduliwa rasmi tarehe 31 Julai 1969 huko Uganda kwa ushuhuda na uwepo wa Mtakatifu Paulo VI. Familia ya Mungu Barani Afrika, kila mwaka ifikapo tarehe 29 Julai inaadhimisha kilele cha Siku ya SECAM Barani Afrika, lakini kwa mwaka huu, kwa vile siku hii inaangukia kati kati ya juma, kumbe kilele cha sherehe hizi ni Jumapili tarehe 2 Agosti 2020. Hii ni siku ya kumshukuru Mungu kwa zawadi ya imani, umoja, mshikamano na upendo miongoni mwa watu wa Mungu Barani Afrika. Huu ni muda wa kutafakari kwa kina na mapana mafanikio, matatizo, changamoto na matumaini ya Kanisa Barani Afrika kwa siku za usoni.
Katika kipindi cha miaka 51 iliyopita, kumekuwepo na mafanikio makubwa na changamoto katika maisha na utume wa SECAM Barani Afrika. Mwaka 2019, Kanisa Barani Afrika limeadhimisha Jubilei ya Miaka 25 tangu maadhimisho ya Sinodi ya Kwanza ya Maaskofu Barani Afrika ilipoadhimishwa kunako mwaka 1994 chini ya uongozi wa Mtakatifu Yohane Paulo II. Familia ya Mungu inayowajibika, ikawa ni nguzo msingi katika mchakato wa uinjilishaji wa kina unaogusa mahitaji ya mtu mzima: kiroho na kimwili Barani Afrika. Familia ya Mungu Barani Afrika haina budi kujifunga kibwebwe ili kuendelea kumtangaza na kumshuhudia Kristo Yesu kama sehemu ya mchakato wa maisha na utume wa Kanisa katika kuinjilisha, ili kweli bara la Afrika liweze kuwa ni mahali pazuri zaidi pa kuishi. Watakatifu Mashahidi wa Uganda pamoja na watakatifu na wenye heri kutoka Barani Afrika wawe ni mifano bora ya kuigwa katika kumwilisha misingi ya imani, matumaini na mapendo miongozi mwa watu wa Mungu ndani na nje ya Bara la Afrika.
Kardinali Philippe Ouédraogo kutoka Burkina Faso, ambaye ni Rais wa Shirikisho la Mabaraza ya Maaskofu Afrika na Madagascar, SECAM, katika ujumbe wake kwa Siku ya SECAM kwa Mwaka 2020 amekazia umuhimu wa kuendeleza mchakato wa uinjilishaji wa kina Barani Afrika. Waamini wajenge utamaduni wa kukutana na Kristo Yesu katika Neno la Sakramenti za Kanisa. Toba na wongofu wa ndani, uwasaidie waamini kuchuchumilia na kuambata utakatifu wa maisha tayari kutangaza na kushuhudia imani yao kwa Kristo Yesu na Kanisa lake. Waamini wajibidiishe kufahamu Mafundisho Tanzu ya Kanisa na Mafundisho Jamii ya Kanisa, ili kujenga na kudumisha umoja na mshikamano wa familia ya Mungu inayowajibika Barani Afrika. Ni wakati wa kukuza na kudumisha majadiliano ya kidini na kiekumene ili kujenga na kuendeleza misingi ya haki, amani na maridhiano kati ya watu wa Mungu Barani Afrika.
Wongofu na mshikamano wa shughuli za kichungaji ni kati ya changamoto ambazo waasisi wa SECAM waliwataka watu wa Mungu Barani Afrika, kuzifanyia kazi, ili kudumisha utu, heshima na haki msingi za binadamu na hivyo kuendeleza utume wa kinabii Barani Afrika! Umefika wakati kwa familia ya Mungu Barani Afrika kuhakikisha kwamba, inajitegemea kwa mahitaji yake msingi, kwa rasilimali watu, fedha na vitu. Ili kufikia hatua hii, kuna haja ya kuendelea kujizatiti katika mapambano dhidi ya umaskini, ujinga na maradhi Barani Afrika. Jubilei ya Miaka 50 tangu kuanzishwa kwa SECAM ilijenga matumaini makubwa kwa watu wa Mungu Barani Afrika. Lakini kwa bahati mbaya, janga la homa kali ya mapafu inayosababishwa na Virusi vya Corona, COVID-19 limekuwa na madhara makubwa sana kwa familia ya Mungu Barani Afrika.
Taarifa ya Shirikisho la Mashirika ya Misaada ya Kanisa Katoliki Kimataifa, Caritas Internationalis inabainisha kwamba, watu wa Mungu Barani Afrika wameathirika sana na COVID-19. Kuna uhaba mkubwa wa ukosefu wa fursa za ajira, baa la njaa na umaskini vinaendelea kuongezeka kila kukicha, mchakato wa uzalishaji na huduma vimeathirika sana. Kuna baadhi ya nchi zimeathirika sana kutokana na mabadiliko ya tabianchi. Kuna nchi ambazo zimeshambuliwa na Nzige wa jangwani na hivyo mambo yote haya kuchangia katika uvunaji haba wa mazao ya chakula na biashara! Zote hizi ni changamoto zinazoendelea kuwakabili watu wa Mungu Barani Afrika. Katika shida na mahangaiko yote haya, watu wa Mungu Barani Afrika hawana budi kuwa na imani, matumaini na mapendo thabiti kwa Mwenyezi Mungu, ambaye ni asili na chemchemi ya wema na utakatifu wote. Kwa njia ya mateso, kifo na ufufuko wa Kristo Yesu kutoka kwa wafu, matatizo na changamoto za maisha ya mwanadamu zimepata mwelekeo mpya.
Watu wa Mungu wanapaswa kuwa na ujasiri bila ya kukata wala kukatishwa tamaa. Waendelee kusali na kufuata ushauri wa madaktari na wataalam wa afya katika kupambana na Virusi vya Corona, COVID-19. Gonjwa hili limeonesha udhaifu wa binadamu na umuhimu wa kuendelea kushirikiana na kushikamana kama familia ya Mungu inayowajibika, kama njia ya kukabiliana na gonjwa hili la kutisha. Inasikitisha kuona kwamba, hata katika kukabiliana na janga la Virusi vya Corona, COVID-19, bado vita na mashambulizi ya kigaidi yameendelea kufanyika Barani Afrika. SECAM inapenda kuungana na Baba Mtakatifu Francisko pamoja na viongozi wa Jumuiya ya Kimataifa kutoa wito wa kusitisha vita ili rasilimali na nguvu zaidi zielekezwe katika mapambano dhidi ya janga la Virusi vya Corona, COVID-19. SECAM inapenda kuwashukuru na kuwapongeza watu wa Mungu Barani Afrika kwa kuendelea kujizatiti katika mchakato wa uinjilishaji wa kina licha ya changamoto mamboleo zinazoendelea kujitokeza kila kukicha.
SECAM inazipongeza Serikali mbali mbali katika jitihada zao za kudhibiti ugonjwa wa Virusi vya Corona, COVID-19. Inawashukuru, madaktari, wahudumu wa sekta ya afya, wakleri na watawa waliojisadaka kwa ajili ya huduma makini kwa jirani zao. SECAM inawashukuru wafadhili na wadau wa maendeleo kutoka ndani na nje ya Bara la Afrika kwa mchango wao. Ni matumaini ya SECAM kwamba, familia ya Mungu Barani Afrika itaendelea kupanua wigo wa maisha na utume wa SECAM na hivyo kuliwezesha Kanisa Barani Afrika kuwa ni chombo makini cha huduma, ili Bara la Afrika liweze kuwa ni mahali pazuri zaidi pa kuishi. SECAM inawakumbusha waamini na watu wote wenye mapenzi mema, kusali na kuiombea kuanzia tarehe 29 Julai hadi tarehe 2 Agosti 2020, kilele cha Maadhimisho ya Siku ya SECAM kwa Mwaka 2020. SECAM inaendelea kupokea mchango kwa wale wote wanaoguswa na utume wake, kwani kwa mwaka 2020, mkazo umewekwa katika mapambano dhidi ya Virusi vya Corona, COVID-19.
Siku ya SECAM 2020
27 July 2020, 09:50
| 2020-08-10T22:06:49 |
https://www.vaticannews.va/sw/church/news/2020-07/maadhimisho-siku-secam-29-julai-2-agosti-2020-ujumbe-rais-secam.html
|
[
-1
] |
TRUMP AMFUTA KAZI MWANASHERIA MKUU WA MAREKANI. | Dar Mpya Online TV
Mwanasheria Mkuu wa Marekani Jeff Sessions amejiuzulu wadhifa wake, baada ya kuombwa kufanya hivyo na Rais Donald Trump.
Trump ametangaza kuondoka kwa Sessions kupitia ukurasa wake wa Twitter leo Alhamis Oktoba 8, akimtakia kila la kheri.
Nafasi yake itashikiliwa kwa muda na aliyekuwa mkuu wake wa utumishi Matthew Whitaker. Whitaker sasa atasimamia uchunguzi wa madai ya Urusi kushirikiana na kampeni za rais Trump mwaka 2016.
Nancy Pelosi, anayetarajiwa kuliongoza Baraza la wawakilishi amesema kujiuzulu huko ni jaribio la wazi la Trump, kupunguza makali ya mchunguzi maalumu Robert Mueler anayeongoza uchunguzi huo wa Urusi.
Kiongozi mwingine wa Democratic katika seneti Chuck Schumer amesema mabunge yote ya Marekani ni lazima yalinde uchunguzi huo.
Kwa upande wake, Jeff Sessions katika barua yake ya kujiuzulu, aliweka bayana kuwa uamuzi wa kuondoka katika nafasi hiyo haukuwa wake.
Katika barua isiyokuwa na tarehe alimjulisha Rais kwamba anawasilisha barua yake ya kujiuzulu kama alivyomtaka afanye hivyo
WAZIRI MKUU ATAKA WABUNGE WAWATULIZA WAKULIMA SAKATA LA UNUNUZI WA KOROSHO
| 2019-02-17T20:53:04 |
http://www.darmpya.com/trump-amfuta-kazi-mwanasheria-mkuu-wa-marekani/
|
[
-1
] |
SOUTHAMPTON YAIPIGA 1-0 LIVERPOOL NUSU FAINALI KOMBE LA LIGI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SOUTHAMPTON YAIPIGA 1-0 LIVERPOOL NUSU FAINALI KOMBE LA LIGI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
Mwanzo > HABARI ZA ULAYA > SOUTHAMPTON YAIPIGA 1-0 LIVERPOOL NUSU FAINALI KOMBE LA LIGI
SOUTHAMPTON YAIPIGA 1-0 LIVERPOOL NUSU FAINALI KOMBE LA LIGI
Nathan Redmond akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Southampton bao pekee dakika ya 20 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Liverpool kwenye Nusu Fainali ya kwanza ya Kombe la Ligi England usiku wa jana Uwanja wa St Mary's PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Item Reviewed: SOUTHAMPTON YAIPIGA 1-0 LIVERPOOL NUSU FAINALI KOMBE LA LIGI Rating: 5 Reviewed By: Bin Zubeiry Sports - Online
| 2018-07-22T04:54:11 |
http://www.binzubeiry.co.tz/2017/01/southampton-yaingoa-liverpool-na-kwenda.html
|
[
-1
] |
Je inawezekana kuwazuia al-Shabab ? | Mtanzania
Home Maoni Je inawezekana kuwazuia al-Shabab ?
Je inawezekana kuwazuia al-Shabab ?
Shambulio lililotekelezwa na wapiganaji wa Kisomali jijini Nairobi Januari 15 mwaka huu ni mapinduzi makubwa ya Propaganda kwa upande wa wapiganaji hao na kuibua wasiwasi kuhusu uwezo wa Kenya kukabiliana na ugaidi.
Wapiganaji hao walitumia vilipuzi na risasi kuingia katika hoteli ya kifahari ya DusitD2 na ofisi nyengine zilizopo katika eneo la Riverside Drive 14 katika eneo la Westlands, karibu na duka la jumla la West Gate Mall ambalo lilishambuliwa 2013.
Mnamo Januari 16, Rais Uhuru Kenyatta alisema kwamba watu 14 waliuawa katika shambulio hilo na kwamba magaidi wote waliangamizwa.
Kanda za kamera za CCTV zilizopeperushwa hewani na vyombo vya habari viliwaonyesha watu wanne waliokuwa wamevalia magwanda meusi wakifyatua risasi za rashasha walipokuwa wakiingia katika hoteli hiyo.
Kundi la Al-Qaeda linalohusiana na wapiganaji wa al-Shabab waliodai kutekeleza shambulio la Westgate Mall ambapo takriban watu 67 walifariki walidai kutekeleza shambulio hilo.
Shambulio hilo lilitokea siku moja baada ya mahakama ya Nairobi kuwashtaki watu watatu kwa mashtaka ya kuwasaidia al-Shabab kutekeleza shambulio la Westgate.
Hoteli ya DusitD2 inarudisha kumbukumbu ya uwezo wa al-Shabab kushambulia ndani ya Kenya, kinyume na madai ya serikali kwamba wanajihad hao wamezuiliwa katika maeneo ya mpakani na Somalia.
Nchini Somalia, kundi la al-Shabab linasalia kuwa tishio kubwa la usalama licha ya operesheni za hivi majuzi za kijeshi na mashambulio ya angani yaliotekelezwa na vikosi vya usalama, wanajeshi wa Muungano wa Afrika AU na vikosi vya Marekani. Kundi hilo la Kijihad linadhibiti maeneo mengi ya Somali ya kati pamoja na kusini.
Kwa nini Kenya inalengwa? Al-Shabab iliimarisha mashambulio yake nchini Kenya wakati serikali ilipotuma wanajeshi wake nchini Somalia kukabiliana na kundi hilo 2011.
Wapiganaji hao waliitaka Kenya kuondoka nchini humo na kuapa kulipiza kisasi. Wito wa serikali kuondoa wanajeshi wake nchini Somalia umekandamizwa na madai kwamba ujumbe huo una wajibu wa kizalendo.
Wengine wamesema kuwa kuondoka kwa wanajeshi wa Kenya nchini Somalia ni sawa na ushindi wa al-shabab.
Mamia ya wanajeshi wa Kenya wameuawa na wapiganaji wa Alshabab nchini Somalia katika kipindi cha miaka minane iliopita.
Serikali imetetea uwepo wa wanajeshi wake nchini Somalia licha ya wito wa mara kwa mara wa kutaka kuondoka kwa mpangilio, ambao baadhi ya wanaharakati wanasema haufanyiki.
Je raia wa Kenya wenye mizizi yao Somalia watashutumiwa? Kufuatia shambulio hilo, vikosi vya ujasusi pamoja na washirika wao wa magharibi watalazimika kukabiliana na seli za kigaidi nchini.
Huenda kukawa na shinikizo ya kuangazia upya kitengo cha ujasusi ili kujilinda dhidi ya mashambulio mengine katika siku za usoni.
Vikosi vya usalama vimepongezwa kwa kuchukua hatua mwafaka ikilinganishwa na hatua walizochukua wakati wa shambulio la West Gate ambalo lilitajwa kuwa janga.
Haitarajiwi kwamba kutakuwa na vita dhidi ya Waislamu ama hata dhidi ya raia wa Kisomali kufuatia shambulio hilo.
Hata hivyo mamlaka itakuwa katika shinikizo la kujadiliana na jamii hizo zaidi ili kusaidia katika ujasusi.
Waislamu na raia wa kabila la Somali katika siku zililzopita wamelalamika kuhusu kukandamizwa na kunyanyaswa na vikosi vya usalama. Wakati huohuo wito wa serikali kuondoa wanajeshi wake Somalia huenda ukaanza tena kutolewa.
Previous articleWazazi wapelekeni mapema hospitali watoto wenye jinsia mbili
Next articleSiku ‘Mchina’ Howing Kao Hojofat akigombea urais wa Tanzania
| 2019-07-16T10:08:22 |
http://mtanzania.co.tz/je-inawezekana-kuwazuia-al-shabab-%EF%BB%BF/
|
[
-1
] |
Mediahuru – Page 2 – Maisha Yetu Na Teknolojia
Baada ya kuwawezesha wateja wa benki hiyo kuhamisha fedha kwenda kwenye simu zao za mkononi, mfumo unaorahisisha kulipia bili za aina tofauti. Mabadiliko ya mfumo wa kibenki na kukua kwa teknolojia kumepelekea Benki ya CRDB kukamilisha mchakato wa kuwawezesha wananchi kufungua akaunti kwa kutumia namba zao za simu za mkononi. Mpango huo umebainishwa na Mkurugenzi […]
Miji yenye teknolojia kubwa zaidi dunia
Miji yenye teknolojia ya juu dunia huvutia, hutoa upatikanaji wa mitaji ya ubia, ni nyumbani kwa start-ups na incubators, ina sifa za kuwa miji bora zaidi – hufanya iwe na uwezo na yenye nguvu – na ni chagua la kwanza kwa upanuzi na uhamisho wa mashirika makubwa ama kampuni. Uchunguzi wa hivi karibuni uliofanywa na […]
Kampuni maarufu Africa kwa kutengeneza simu za mkononi yaani Tecno Mobile hivi karibuni imefanikisha kuingia makubaliano ya kibiashara na timu kubwa ya mpira wa miguu ya uingereza ya Manchester United ambapo kampuni hiyo imepanga kutoa simu zenye ubora huku zikiwa na rangi pamoja na nembo ya timu hiyo, imeripoti gazeti la nipashe. Kwa mujibu wa […]
| 2017-08-18T07:00:24 |
https://mediahuru.com/page/2/
|
[
-1
] |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.