text
stringlengths
44
187k
timestamp
timestamp[us]
url
stringlengths
16
3.37k
dup_ids
list
Shrika la Ujerumani la kupambana na ukoma na kifua kikuu latoa ripoti ya mwaka | Masuala ya Jamii | DW | 10.08.2007 Shrika la Ujerumani la kupambana na ukoma na kifua kikuu latoa ripoti ya mwaka Shirika la misaada kwa ajili ya kupambana na ugonjwa wa ukoma na kifua kikuu la hapa Ujerumani, Deutsche Lepra und Tuberkulosehilfe, DAHW, limekamilisha miaka 50 tangu lilipoanzishwa mnamo mwaka wa 1957. Kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jana hapa mjini Bonn shirika hilo limetoa ripoti yake ya mwaka jana 2006. Msichana wa kihindi anayeugua ukoma Ripoti ya shirika la Ujerumani linatoa misaada kusaidia juhudi za kupambana na ugonjwa wa ukoma na kifua kikuu duniani, DAHW, inasema mbali na kiwango cha fedha kilichotolewa kuwasaidia waathirika wa janga la tsunami barani Asia na watu walioathirika kutokana na tetemeko la ardhi nchini Pakistan, mwaka jana 2006 ulikuwa mgumu kidogo kifedha. Jürgen Hammelehle, kiongozi wa shirika hilo anasema walipokea euro zaidi ya milioni 13 kupitia michango, urathi, uuzaji wa mali na faini zilizotozwa. Mwaka juzi 2005 shirika la DAHW lilipokea kiwango cha zaidi ya euro milioni 17, zikiwemo euro milioni nne za misaada ya kiutu. Changamoto kubwa inalolikabili shirika hilo ni kutoshughulikiwa ugonjwa wa kansa ya Buruli. Katibu katika wizara ya ushirikiano na maendeleo ya hapa Ujerumani, BMZ, Karin Kortmann, amesema shirika la DAHW linatoa misaada kwa ajili ya magonjwa ambayo hayashughulikiwi kikamilifu. Magonjwa ya kuambukiza ambayo hugunduliwa kuchelewa katika maeneo mbalimbali barani Afrika huathiri, mifupa na ngozi huku wanaothiriwa zaidi wakiwa ni watoto. Bi Karin Kortmann anasema changamoto kubwa katika vita dhidi ya ukoma na kifua kikuu ni mifumo dhaifu ya afya. ´Changamoto zilizopo ni kama ilivyokuwa hapo zamani. Mifumo ya utoaji huduma za afya iliyopo ni dhaifu. Tunahitaji vituo zaidi vya afya ambavyo watu wataweza kuvifikia kwa kutembea kwa miguu. Inapaswa fedha zaidi zitolewe kuwekeza katika utoaji wa mafunzo kwa wafanyakazi wa afya, madaktari, lakini pia katika sekta nzima ya afya.´ Ili kuweza kutoa huduma za matibabu na ushauri kwa wagonjwa wa ukoma na kifua kikuu nchini Togo, shirika la DAHW linataka kujengwe zahanati nchini humo na kufanywe kampeni za kuwahamasisha wananchi. Jamii nyingi barani Afrika huwanyanyapaa wagonjwa wa ukoma na kifua kikuu na kwa maoni yake Bi Karin Kortmann wa shirika la BMZ anasema tatizo hili linasababishwa na ukosefu wa elimu juu ya magonjwa hayo. ´Unyanyapaa wa wagonjwa wa ukoma na kifua kikuu kama ujuavyo aidha unaonyesha hakuna elimu au watu hawafahamu kwamba magonjwa haya ni ya kuambukiza na yanaweza kumpata mtu yeyote. Cha muhimu zaidi ni kuwafanya wagonjwa waweze kukubalika na kupewa kipaumbele katika jamii. Ipo haja ya kufanya kampeni za kuwahamasisha watu kuhusu vipi magonjwa haya yanavyoambukiwa, ili waondokane na hofu.´ Shirika la DAHW linadhamini miradi 135 ya kupambana na kifua kikuu katika nchi nane miongoni mwa nchi 22 zilizokabiliwa zaidi na tatizo hilo duniani kote. Miradi hiyo inajumulisha huduma za matibabu katika vitongoji vya miji mikubwa na miradi maalum kwa wagonjwa wa kifua kikuu wanaougua pia ukimwi. Changamoto kubwa katika siku za usoni itakuwa vipi kupambana na aina ya ugonjwa wa kifua kikuu ambayo imekuwa sugu kwa dawa. Matibabu kwa sasa yanakadiriwa kugharimu euro 10,000 kwa kila mgonjwa. Ripoti ya shirika la DAHW inasema mwaka jana shirika hilo lilipokea kiasi cha euro milioni 18.9. Kwa kudhamini miradi 320 katika nchi 36, zilitumika takriban euro milioni 14.8. Thuluthi mbili ya kiwango hicho kilitumika kugharamia matibabu, na thuluthi moja ikatumika kwa ajili ya kuwasaidia na kuwajumulisha katika maisha ya kawaida watu waliopona kutokana na ukoma na kifua kikuu.
2017-08-19T11:45:02
http://www.dw.com/sw/shrika-la-ujerumani-la-kupambana-na-ukoma-na-kifua-kikuu-latoa-ripoti-ya-mwaka/a-2928123
[ -1 ]
SIMBA, YANGA, AZAM ZATENGEWA MWALI MWINGINE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SIMBA, YANGA, AZAM ZATENGEWA MWALI MWINGINE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE Mwanzo > Untagged SIMBA, YANGA, AZAM ZATENGEWA MWALI MWINGINE Mkurugenzi wa masoko na matukio wa TFF Jimmy Kabwe akisaini mkataba wa makubaliano ya udhamini wa michuano ya Banc ABC SUP8R Soccer Tournament 2012 inayodhaminiwa na banc ABCkulia kwake ni katibu mkuu wa TFF Angetile Osiah, Mkurugenzi Mkuu wa benki hiyo Boni Nyoni na Mkuu wa Idara ya fedha ya benki hiyo, Mwalimu Zubery. Osiah akibadilishana hati na Nyoni TIMU nane toka Tanzania Bara na Visiwani zinatarjiwa kushiriki katika michuano maalum inayokwenda kwa jinala ‘Banc ABC SUP8R Soccer Tournament 2012’ inayotarajiwa kutimua vumbi Augusti 4 hadi 18. Katibu Mkuu wa Shirikisho la soka Tanzania (TFF) Angetile Osiah amesema leo kwamba lengo la michuano hiyo ni kuzipa makali timu shiriki kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa ligi. Alisema michuano hiyo itakayohusisha timu tatu bora kutoka Tanzania Bara, timu tatu bora kutoka Visiwani na timu moja iliyopanda katika pande hizio, itachezwa katika mikoa ya Arusha, Mwanza, Dar es Salaam na Zanzibar. Alisema timu hizo zitakuwa katika makundi mawili na hakutakuwa na mechi ya kusaka mshindi wa tatu zaidi ya kuwepo kwa zawadi kwa timu itakayotwaa ubingwa tu na tayari wameshaziandikia barua za kuzitaarifu kuhusiana na michuano hiyo. “Nadhani hii ni nafasi nyingine kwa timu kuonyesha ushindani katika michuano hii, pia pamoja na kujiandaa kwa msimu mpya wa ligi, makocha wa timu shiriki wataweza kujua kiwango kilichopo kwenye timu zao na kama kuna kasoro warekebishe kabla ya kuanza kwa ligi,”alisema. Banc ABC ambayo imedhamini michuano hiyo kwa miaka mitatu, kupitia kwa mkurugenzi wake Mkuu Boni Nyoni alisema wameamua kuandaa michuano hiyo ili kuunga mkono jitihada za maendeleo ya soka hapa nchini. SOURCE: dinaismail.blogspot.com Item Reviewed: SIMBA, YANGA, AZAM ZATENGEWA MWALI MWINGINE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
2020-04-02T22:35:15
http://www.binzubeiry.co.tz/2012/07/simba-yanga-azam-zatengewa-mwali.html
[ -1 ]
Ndoa Ya Profesa Kapuya ‘FarasI’ Wa Kushutumu Uislamu – Hizb ut Tahrir Tanzania Ndoa Ya Profesa Kapuya ‘FarasI’ Wa Kushutumu Uislamu Mitandao ya kijamii imesheheni vidio fupi (clip) ya sherehe ya ndoa ya Profesa Juma Athumani Kapuya (74) Mbunge wa zamani wa jimbo la Urambo, pia aliyewahi kushika nyadhifa kubwa mbalimbali katika serikali ikiwemo uwaziri katika elimu, ulinzi, kazi, michezo nk. Mjadala mkubwa katika mitandao ya kijamii umewafanya baadhi kuambatanisha na dharau na kebehi kwa ndoa hiyo. Hoja yao ni kutokana na tofauti kubwa ya kiumri iliyopo baina ya Profesa na binti aliyemuowa Mwajuma Mwinko (25) ambapo tofauti baina yao ni umri wa miaka 49. Mjadala wa ndoa hii umewateka hata baadhi ya wale wanaodai kuamini demokrasia na dhana ya ‘uhuru binafsi’, baadhi wanakosoa kijanja, lakini wengine wamekuwa kifuambele kwa ujasiri wakijisahaulisha na kuiweka kando dhana hiyo ya ‘uhuru binafsi’ wanayoiamini, hadi kuambatanisha pia na sura ya chuki ya kidini. Cha Ajabu ! ni kuwa Profesa Kapuya hakukosea kwa mujibu wa Uislamu, sheria za nchi, wala kwa mtazamo wa dhana ya ‘uhuru binafsi’ katika demokrasia, ambayo ni nguzo miongoni mwa nguzo za demokrasia. Ndoa za tofauti kubwa ya kiumri ni jambo lipo na maarufu, kamwe halikuasisiwa na Profesa Kapuya, ni jambo maarufu katika jamii mbalimbali hususan za kiafrika, zikitekelezwa na wengi miongoni mwa hata wasiokuwa Waislamu pia. Mfano hai mzee na Mkurugenzi wa kampuni za IPP Reginald Mengi mnamo mwaka 2015 alimuoa aliyekuwa msanii Jacqueline Ntuyabaliwe. Pamoja na tofauti yao kiumri ambapo Mzee Mengi ana umri wa 75 na mkewe akiwa na miaka 41, hata hivyo Mzee Mengi alijinasibu kwamba ndoa yao na mkewe inasonga mbele raha mustarehe: “Ananipenda sana (mke wangu), ananipikia, anafua nguo zangu kwa mikono yake na sio kwa mashine ya kufulia, ananiheshimu, na anajua nafasi yangu kama mwanamume na mume, na yeye anajua nafasi yake kama mwanamke na mke….” https://informationcradle.com/africa/reginald-mengi/ Ukosoaji na kebehi kufuatia ndoa ya Profesa Kapuya kamwe haukulengwa kwake binafsi, bali ni matokeo na athari ya kampeni ya kimataifa ya chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu, kiasi cha kampeni hii kuwatia upofu hata wale wanaonekana kuwa ni mufakirina/wanafikra katika jamii, ambao baadhi wanaonekana hata kukhalifu/kupingana na fikra wanazoziamini, kama vile fikra ya ‘uhuru binafsi’. Matokeo yake wamedandia tukio hili kuchochea chuki zaidi na kuonesha kama inavyopigiwa debe na nchi za magharibi na wakala wao kwamba Uislamu ni dini ya ‘kishenzi’ na wafuasi wake wanafanya ‘ushenzi’. Makala hii ipo zaidi kuweka sawa mambo kwa mujibu wa Uislamu, ukiwa mfumo kamili wa maisha uliokuja na masuluhisho katika kila sekta ya maisha ya mwanadamu, na kamwe haipo kujadili masuala ya kibinafsi. Uislamu unamuangazia mwanadamu kwa namna ya kuwafikiana na maumbile yake. Haumkwazi katika mambo, wala haumpi fursa ya kuruka mipaka kuwakwaza wengine, bali unaweka mizania sawa iwe ni kwa nafsi yake au kwa jamii iliyomzunguuka. Aidha, Uislamu unatambua mwanadamu kuwa ana mahitajio ya kibailogia yanayohitaji kushibishwa kama kuhitajia kwake maji, chakula, hewa nk. Pia Uislamu unatambua kuwa mwanadamu ana hisia za kimaumbile (instincts) zinazohitaji kushibishwa ikiwemo hisia ya kuendeleza kizazi. Hii ndio humsukukuma mwanamume na mwanamke kupendana na kuibua hisia ya kutaka kukidhi matamanio yao kijnsia. Kwa kulitambua hilo, Uislamu kamwe haukumbana mwanadamu kama ulivyofanya ukiristo wa kumtia mwanadamu kitanzi kinachoitwa ‘utawa’ aishi bila ya kuoa au kuolewa, wala haukumuachia huria akidhi matamanio yake kama mnyama kama wanavyotuhubiria wanademokrasia kwa kudandia kisingizio cha ‘uhuru binafsi’. Kwa sababu kumuachia mwanadamu kukidhi matamanio yake bila ya nidhamu thabiti kutapelekea kvuruga muundombinu wa kijamii katika suala la urathi, uwalii, huduma za watoto na hata kupelekea kujenga chuki baina ya wanadamu nk. Hivyo, Uislamu ukaona utatuzi pekee kwa hisia hiyo ya kuendeleza kizazi na kukidhi matamanio ya kijinsia ni ndoa, na ndoa yenyewe ukaruhusu zaidi ya mke mmoja, pia ukaruhusu talaka, na sio pingu ya maisha. Kwa kuwa kuna mazingira huwa suluhisho la kurekebisha hali baina ya wanandoa ni kuachana kabisa, baada ya kushindikana hatua mbali mbali za kuokoa ndoa husika. Uislamu umeweka vipimo vingi vya kisheria na kwa ufafanuzi katika utekelezaji wa suala la ndoa, hayo yameelezwa kwa urefu katika fiqhi ya Kiislamu. Amma suala la mke au mume kumzidi umri mwenzake kamwe sio jambo kamwe linalozingatiwa kisheria, almuradi wanaoowana ni balegh. Labda hapa tuulize swali, jee ikiwa mwanamume mkubwa kiumri, au mwanamke mkubwa kiumri wametokea kupendana baina yao, jee wafanye nini ili kukidhi kiu yao ya mapenzi? Bila ya shaka kama sio ndoa watatumbukia katika shimo la zinaa!! Hili ni jambo la ajabu ya mwaka, ni vipi inashutumiwa ndoa na kutengeneza mazingira kwa ajili ya zinaa !!! Pamoja na ukweli kwamba ndoa ni jambo adhimu linalokubalilka na kuhimizwa na jamii na dini zote. Uislamu umehimiza ndoa ili kuongeza kizazi, kukidhi matamanio na kujenga ustawi mwema baina ya wanadamu na ukaweka ufafanuzi wa kutosha ambao ni maarufu kwa Waislamu kushikamana nao katika utekelezaji wake. Amma kwa wasiokuwa Waislamu wanapohisi kuwa Waislamu wamekwenda kombo katika utekelezaji wa jambo lolote katika Uislamu, wanachopaswa kufanya amma ni kuwaachia Waislamu watende kwa mujibu wa dini yao, au kukaribisha mjadala wa kistaarabu juu ya misingi ya kiimani. Kama kujadili uwepo wa Mwenyezi Mungu, ukweli wa ujumbe wa Mtume SAAW, ukweli juu ya Quran nk. Kwa kuwa Waislamu wanapotekeleza jambo lolote iwe ndoa au jengine huwa wanatekeleza kwa mujibu wa Quran na Sunna (Mtume), na kwa wasiokuwa Waislamu kwa kuwa wao hawayaamini yanayotokamana vyanzo hivyo, walipaswa kwanza wahoji uhalali wa vyanzo hivyo kwa hoja za kiakili Tukio kama hili ni vyema kwa wasiokuwa Waislamu kulitumia katika kujadili misingi ya Uislamu kwa njia ya hoja za kiakili ili waweze kuona udhati wa Uislamu katika sura ya upana wake kiuadilifu kinyume na unavyoneshwa na maadui. Risala ya Wiki No. 30 Jumada al-Thanni 1440 Hijri / Februari 2019 Miladi 14 Jumada al-Thanni 1440 Hijri | 19-02- 2019 Miladi
2019-05-23T03:59:56
http://hizb.or.tz/2019/02/19/ndoa-ya-profesa-kapuya-farasi-wa-kushutumu-uislamu/
[ -1 ]
UM na WEF wazindua mpango wa kuwepo kwa mbinu za uwekezaji ambazo ni rafiki kwa mazingira | Habari za UN UM na WEF wazindua mpango wa kuwepo kwa mbinu za uwekezaji ambazo ni rafiki kwa mazingira 7 Disemba 2012 Umoja wa Mataifa kupitia sekretarieti yake ya mabadiliko ya tabia nchi kwa kushirikiana na Kongamano la kidunia la uchumi, WEF wamezindua mpango mpya ujulikanao kama Msukumo wa mabadiliko,uwekezaji fedha katika vitegauchumi rafiki kwa mazingira. Ushirikiano huo umetangazwa huko Doha, Qatar ambako mkutano wa kimataifa wa mabadiliko ya Tabia nchi umemalizika leo na lengo la mpango huo ni kutamba miundo ya uchangishaji fedha za uwekezaji unaopunguza athari za mazingira kwenye nchi zinazoendelea. Katibu Mtendaji wa UNFCCC Christiana Figerese amesema watamulika mbinu za ushirikiano kati ya sekta ya umma na sekta binafsi kwenye nchi zinazoendelea ambazo zinapatia majibu matatizo ya mabadiilko ya tabia nchi. Amesema mbinu hizo zitaweza kuwa mfano kwa serikali, sekta ya biashara na viwanda kama vichocheo vya kuwa na vitegauchumi rafiki kwa mazingira. Africa|Americas|Asia|Environment|Europe|Hapa na pale|Middle East|Women, children, population Rwanda itakuwa mwenyeji wa sherehe za 'Siku ya Mazingira' mwaka 2010 Uharibifu wa misitu duniani umepungua lakini bado ni tatizo kwa nchi nyingi
2018-04-22T12:28:08
https://news.un.org/sw/story/2012/12/333462-um-na-wef-wazindua-mpango-wa-kuwepo-kwa-mbinu-za-uwekezaji-ambazo-ni-rafiki-kwa
[ -1 ]
‘Tundu Lissu shujaa duniani’ – MwanaHALISI Online Posted by: Jabir Idrissa 22 days ago 0 9,184 Views MBUNGE wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tundu Lissu, ametangazwa katika kongamano la kimataifa lililofanyika jijini Lagos, nchini Nigeria, kuwa ndiye mwanasiasa kiongozi katika kutetea matumizi mazuri ya raslimali za taifa lake, anaandika Jabir Idrissa. MBUNGE wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tundu Lissu, ametangazwa katika kongamano la kimataifa lililofanyika jijini Lagos, nchini Nigeria, kuwa ndiye mwanasiasa kiongozi katika kutetea matumizi mazuri ya raslimali za taifa lake, anaandika Jabir Idrissa. Wanakongamano waliokusanyika kujadili amani duniani, wamesema: “Lissu ni kielelezo kizuri cha kiongozi mwenye maadili na shujaa wa haki za binadaamu… mpenda haki na mwanasiasa mkweli anayestahiki kuombewa na wapenda amani hata kufikia kuwa rais katika nchi yake.” Kwa ujasiri wake katika kukataa dhulma na kuitumia vema fani ya sheria katika kusimamia raslimali za taifa lake, wanakongamano wamesema, “mamilioni ya vijana duniani kote wameanza kuomba kusoma fani… Previous: Maambukizi ya VVU yapiga kambi kwa wanandoa Next: Wajumbe wamtibua mwenyekiti wa CCM Katavi
2017-08-23T10:15:58
http://mwanahalisionline.com/tundu-lissu-shujaa-duniani/
[ -1 ]
BACK TO THE BUSINESS AFTER THE MOST DIFFICULT TIME IN MY LIFE ~ Kulikoni Ughaibuni BACK TO THE BUSINESS AFTER THE MOST DIFFICULT TIME IN MY LIFE BACK IN THE BUSINESS, PHOTOS Matatizo ya kidunia yalinifanya nishindwe ku-update blog hii kwa takriban miezi miwili hivi.Kupoteza mzazi inaweza kuwa tukio la kawaida iwapo litatokea kwa mtu mwingine.Lakini ukweli mchungu ni kwamba once ikitokea kwako ni vigumu mno kuhimili matokeo yake.Inaumiza zaidi pale mmoja wa watu aliyekuwa inspirational katika kufikia malengo yake flani (kwa upande wangu,suala la shule) anapoondoka duniani miezi michache kabla ya wewe kufikia lengo hilo.Lakini kwa sie tunaoamini katika mapenzi ya Mungu na usahihi wa maamuzi yake inalazimu kufika mahala kukubali kuwa yote,hata kama machungu kiasi gani,ni MAPENZI YA BWANA. Blogu hii itaendelea kuwaletea uchambuzi wa masuala mbalimbali,hususan ya kisiasa.Kwa vile tunaelekea kwenye uchaguzi wa rais huko U.S.A,blogu hii itajitahidi kuleta mkusanyiko wa habari mbalimbali.Pamoja na hayo ni picha mbalimbali kutoka Tanzania zilizopigwa katika kipindi cha takriban miezi mitano niliyokuwa huko. Kwa kuanza,kuna hapa chini ni picha kadhaa kutoka angani.Picha ya kwanza ni Addis Ababa kutoka angani,ya pili ni Dar kutoka angani,ya tatu ni Schiphol Airport,Amsterdam na ya mwisho ni Aberdeen Airport.
2019-09-17T11:44:49
https://www.chahali.com/2008/09/back-to-business-after-most-difficult.html
[ -1 ]
Chadema Blog: Mbowe: Serikali isithubutu kuahirisha Uchaguzi Mkuu. Mbowe: Serikali isithubutu kuahirisha Uchaguzi Mkuu. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema hakitakubaliana na maamuzi yoyote ya serikali kuahirisha Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu, kwa kisingizio cha kuchelewa kukamilika kwa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura. Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe, alitoa angalizo hilo jana, wakati wa ufunguzi wa programu ya mafunzo itakayofanyika nchi nzima, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Uchaguzi Mkuu mwaka huu. Alisema serikali isithubutu kutumia urahisi iliyoupata kuahirisha kura ya maoni ya katiba inayopendekezwa na kutaka kufanya hivyo katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu ambao unafahamika kikatiba. “Tarehe ya Uchaguzi Mkuu ilijulikana tangu mwaka 2010 kuwa ni Jumapili ya mwisho ya Oktoba…uandikishaji hadi leo haujamalizika kwenye mkoa mmoja, kuna miezi minne kufika siku ya kuanza kampeni, tunajiuliza ndani ya siku hizo itaweza kuandikisha nchi nzima?” alihoji. Alisema Chadema imejipanga kuwa kampeni za uchaguzi huo zitakazoanza Agosti 15, mwaka huu ambazo zitatudumu kwa siku 72. Uandikishaji wapiga kura katika Daftari la Kudumu la wapigakura kwa mfumo wa Biometric Voters Registration (BVR), ulianza mkoani Njombe na Februari 23, mwaka huu na utakamilika kesho. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), imepokea vifaa (BVR Kits) 498 huku ikiendelea kusubiri vifaa vingine. Nec ilitangaza kuahirisha kura ya maoni ya Katiba inayopendekezwa iliyotakiwa kufanyika Aprili 30, mwaka huu, kwa kile kilichoelezwa kuwa ni kuchelewa uboreshaji wa daftari hilo na kwamba itatangazwa tena baada ya kushauriana na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (Zec). Aidha, Tume hiyo imesema hadi Julai 30, mwaka huu, itakuwa imekamilisha uandikishaji wapigakura kwa mfumo wa BVR na kwa sasa wataanza kwenye mikoa ya Ruvuma, Mtwara, Lindi na Iringa. USHIRIKIANO IMARA Mbowe alisema matarajio ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kugombana na ushirika wao kuparaganyika, na kwamba jambo hilo halitawezekana kwa kuwa wamejipanga kikamilifu. Alisema anatambua majaribu na changamoto za ushirika wowote duniani, hivyo pamoja na changamoto zinazojitokeza kwenye Ukawa, lakini watazishinda na kusonga mbele kwa kushika dola Oktoba, mwaka huu. “Vikao vya Ukawa vinaendelea vizuri na makubaliano yetu ni yale yale kuwa kila kata, jimbo na rais kutakuwa na mgombea ambaye atapitishwa na Ukawa,” alisema na kuongeza: “Leo kuna watangaza nia kuliko nafasi za uongozi, sisi Ukawa tunasema watakaopata watapata kwa misingi ya haki na usawa na siyo dhuluma, watakaoshindwa ubunge na udiwani wasiache kuunga mkono wagombea kwa kuwa serikali itakayoundwa itahitaji viongozi wengi ndani ya serikali ya shirikisho,” alisema. Alisema Dar es Salaam ina dhamana kubwa kwa kuwa katika kushika dola ni lazima kujihakikishia ushindi wa majimbo nane ya mkoa huo. Alisema walichogundua Ukawa ni kuwa katika uchaguzi wa mwaka 2010, Chadema na CUF waligawana kura katika majimbo ya Temeke na Kinondoni na kwamba hawatakubali kuendelea kugawana katika maeneo mbalimbali nchini bali kuwa wamoja. “Hatufanyi mtihani wa mzaha bali ni wenye kusudio la uhakika tunashika dola…tunatambua kuwa kila chama kina nguvu kwa upande wake ndiyo maana tumejenga ushirikiano kwa matokeo mema ya nchi,” alisema. Ukawa ni Muungano wa Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD, ambavyo vilianzisha umoja huo wakati wa Bunge Maalum la Katiba. MAANDALIZI YA VIONGOZI Mbowe alisema viongozi hawazuki bali huandaliwa ndiyo maana Chadema imeanza mpango wa mafunzo kwa viongozi wake nchi nzima na wameanzia na Dar es Salaam, kwa kuwa ina idadi kubwa ya wapiga kura kuliko mikoa yote nchini. Mbowe ambaye pia ni Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, alisema maandalizi ya viongozi 2 2,4287 yatafanyika katika kanda 10, majimbo 242, kata 4,852, matawi 22,749, misingi 64,803 ya kichama. Alisema viongozi hao watafundishwa namna ya kutekeleza wajibu wao na kuimarisha wagombea ili wawe wagombea wazuri na kunadi sera zao. Alisema Dar es Salaam ina majimbo sita kati yake la Kigamboni ndilo lenye wapiga kura wengi ikifuatiwa na mengine ya jiji hilo na kwamba ni kitovu cha mambo yote ikiwamo makao makuu ya nchi na vyombo vyote vya habari. Alisema dhamana kubwa ya kushinda inategemea Dar es Salaam kwa kuwa kura zake ndizo zitakazoamua nani ataongoza nchi. Kwa mujibu ya Sensa ya Watu na Makazi mwaka 2012 na zilizotolewa na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Dar es Salaam ina wapiga kura 2,932,930. Awali, Kaimu Katibu Mkuu, John Mnyika, alisema wakati anaingia jimbo la Kinondoni, Manispaa ya Kinondoni mwaka 2010, makusanyo ya ndani yalikuwa Sh. bilioni saba, lakini kwa sasa ni Sh. bilioni 35 huku ya Serikali Kuu yalikuwa ni Sh. bilioni 87 na ya sasa Sh. bilioni 84. Mnyika ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu Bara, alisema zaidi ya asilimia 80 ya mapato ya nchi yanakusanywa Dar es Salaam, hivyo Jiji hilo lina umuhimu mkubwa katika ushindi wa nafasi zote. Naye, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, Salmu Mwalimu, alisema kutakuwa na timu tatu za kuzunguka nchi nzima kufanya mafunzo hayo zitakazoongozwa na makatibu hao na wataanza kesho.
2017-11-18T08:03:38
http://chademablog.blogspot.com/2015/04/mbowe-serikali-isithubutu-kuahirisha.html
[ -1 ]
Kutoka Mtu Mdogo wa Kijani hadi Galaxi Kubwa ya Kijani! | Space Scoop | UNAWE Kuna watu bilioni saba wengine wanaoishi katika sayari hii pamoja na wewe, watu wenye umri, ukubwa na rangi za ngozi tofauti tofauti. Ingawa kuna karibu ya mara mamilioni ya galaxy katika ulimwengu zaidi ya binadamu! Nazo pia zipo katika namna tofauti tofauti. Hivi karibuni aina mpya ya galaxi imeongezwa katika orodha. Aina hii mpya ni kubwa na inang’aa kuliko kitu kingine chochote angani, na kama hiyo haitoshi, basi pia zinawaka katika mwanga wa kijani! Hii imewafanya wanaastronomia wazipe jina la ‘green bean’(harage la kijani) galaxy (angalia green bean ndogo ndogo katika picha iliyopigwa angani). Galaxi hizi mpya ni baadhi ya vitu adimu sana katika ulimwengu kwa ujumla. Tunafikiri kuwa zinang’aa sana kwa sababu ya shimo jeusi katika viini vyake. Shimo jeusi ni kitu kidogo sana ambacho kina nguvu kubwa ya uvutano. Ambapo kitu chochote kinachosogea karibu na shimo jeusi kinavutwa ndani ya shimo hilo na kutokuonekana tena. Karibu kila galaxy ina kitu kama hicho cha ajabu katika kiini chake, ikiwemo galaxi yetu ya Milk Way! Kama vile shimo jeusi linavyomeza vitu vilivyo karibu yake na vile vinavyolizunguka. Fikiria kama vile maji yanavyofonzwa katika sinki. Mduara unaozunguka shimo jeusi huongezeka joto kwa kadri jinsi unavyozungushwa na kufanya utoe mwanga mkubwa sana unaong’aa. Kwa kutumia njia hiyo mashimo meusi yanajulikana kwa kutengeneza mwanga mkali kabisa katika viini vya galaxy. Lakini katika green beans, galaxi yote inawaka! Pamoja na green beans (maharage ya kijani), kuna galaxi za ‘green pea’ (njegere) pia huko angani. Zilizopewa jina hilo kwa sababu zinafanana na njegere (angalia hapa). Galaxi hizi ni ndogo kuliko zile za green bean na zinatoa mwanga mkali sana wa kijani unaotoka kwenye nyota zilizopo ndani yake!
2019-07-23T18:22:09
http://it.unawe.org/kids/unawe1262/sw/
[ -1 ]
Wakati ujao | Bibleinfo.com nyumbani » Bible Topics » Wakati ujao Mungu amewaahidi wao wanao mwamini Yesu kuwa mwana wa Mungu uzima wa milele. Imeandikwa, Yohana 3:16 "Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanwe pekee ili kila mtu amwaniye asipoytee bali awe na uzima wa milele.." Uzima wa milele ni zawadi kwa wale wanao mwamini Yesu. Imeandikwa. 1yohana 5:11-12 "Na huu ndio ushuhuda ya kwamba Mungu alitupa uzima wa milele na uzima huu uko katika mwanawe yeye aliye naye mwana anao huo uzima, asiye naye mwana wa Mungu hana huo uzima. Maisha yetu ya mbiguni yanaanza wakati Yesu anaporudi mara ya pili. Imeandikwa, 1Wathesalonike 4:16-17 "Kwa sababu Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko na sauti ya malaika mkuu na parapanda ya Mungu nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza kasha sisi tulio hai tuliosalia tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu ili tumlaki Bwana hewani na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele." Wakati Yesu atakaporudi tutafanywa haswa na tufanane naye. Imeandikwa, Kwa maana sisi wennyeji wetu uko mbinguni kutoka huko tena tunamtazamia mwokozi Bwana Yesu kristo atakaye ubadili mwili wetu wa unyonge upate kufanana na wake wa utukufu kwa uweza ule ambao kwa huo aweza hata kuvitiisha vitu vyote view chini yake." Je! Bibili a yasemaje kuhusu mbinguni? Imeandikwa, Yohana 14:2-3 "Nyubani mwa Baba yangu mna makao mengi kama sivyoningaliwaambia maana naenda kuwaandalia mahali basi mimi nikienda na kuwaandalia mahali nitakuja tena niwakaribishe kwangu ili nilipo nanyi mwepo." Maisha yajayo ya milele ni zaidi ya mafikara yetu. Imeandikwa, 1Wakorintho 2:9 "Lakini kama ilivyoandikwa mambo ambayo jicho halikuyaona wala sikio halikuyasikia wala hayakuingia katika moyo wa mwanadamu mambo ambayo Mungu aliwaandalia wampendao." Isaya alisema nini kuhusu maisha yajayo? Imeandikwa, Isaya 65:21-23 "Nao watajenga nyumba na kukaa ndani yake watapanda mizabibu na kula atunda yake hawatajenga akakaa mtu mwingine ndani yake hawatapanda akala mtu mwingine maana kama siku za mti ndivyo zitakavyokuwa siku za watu wangu na wateule wangu wataifurahia kazi ya mikono yao muda wa siku nyingi hawata jitaabisha kwa kazi bure wala hawatazaa kwa taabu kwa sababu wao ni wazao wahao waliobarikiwa na Bwana na watoto wao pamoja." Amani itakuwapo hata katika jamii ya wanyama. Imeandikwa, Isaya 65:25 "Mbwa mwitu na mwana-kondoo watalisha pamoja, na samba atakula majani kama ng'ombe; na mavumbi yatakuwa chakula cha nyoka. Hawata dhuru wala kuharibu katika mlima wangu mtakatifu wote asema Bwana." Viwete wataponywa. Imeandikwa, Isaya 35:5-6 "Ndipo macho ya vipofu yatafumbuliwa na masikio ya viziwi yatazibuliwa ndipo mtu aliye kilema ataruka-ruka kama kulungu na ulimi wake aliye bubu utaimba maana katika nyika maji yatabubujika na vijito jangwani." Mungu ataishi na watu wake, haop ndipo mwisho wa kifo, kilio na maumivu. Imeandikwa, Ufunuo 21:3-4 "Nika sikia sauti kubwa kutoka katika kile kiti cha enzi ikisema tazama maskani ya Mungu ni pamoja na wanadamu naye atafanya maskani yake pamoja nao nao watakuwa watu wake naye Mungu mwenyewe atakuwa pamoja nao naye atafutakila chozi katika macho yao wala mauti haitakuwapo tena wala maombolezo wala kilio wala maumivi hayatakuwapo tena kwa kuwa mambo yakwanza yaekwisha kupita." Kumfunza mtoto
2018-06-23T01:09:38
http://www.bibleinfo.com/sw/topics/wakati-ujao
[ -1 ]
TAWASSULI (SEHEMU YA TATU) UTANGULIZI Hakika Tawassul uhalisi wake umeelezwa na Qura’ni tukufu pindi Mwenyezi Mungu alipowaambia waumini: يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اتَّقُوا اللَّهَ وَابْتَغُوا إِلَيْهِ الْوَسِيلَةَ وَجَاهِدُوا فِي سَبِيلِهِ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ {35} “Enyi mlioamini mcheni Mwenyezi Mungu na tafuteni njia ya kum- fikia. Na piganeni kwa ajili ya dini yake ili mpate kufaulu.” Al-Maida: 35. Hakika Aya hii tukufu imehesabu Uchamungu na Jihadi kuwa ni miongo- ni mwa njia za kisheria ambazo mwanadamu anaweza kuzifanya sababu ya kumfikia Mwenyezi Mungu Mtukufu. Na je, kuna njia nyingine ambazo zimehimizwa na Sheria? Au jambo hili ameachiwa mwanadamu na kwa uwezo wake agundue njia nyingine za kumkurubisha kwa Mwenyezi Mungu? Ni wazi kuwa njia ambazo mja anaweza kujikurubisha kwazo kwa Mwenyezi Mungu hazitokani na Juhudi za kielimu, kwani kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu na njia za kupatikana ukuruba huo zinahitaji mwongozo wa Mwenyezi Mungu. Na hapo ndipo Sheria ilipochukua jukumu la kuzibainisha, ikazitolea maelezo na kuziwekea mipaka ndani ya Kitabu na Sunna tukufu. Kila njia isiyokuwa ile iliyoelezwa na Sheria kwa namna ya pekee au ya mjumuisho, basi yenyewe ni aina moja ya bidaa na upotovu. Imam Ali bin Abu Twalib amegusia njia ambazo kwazo mja atajikurubisha kwa Mwenyezi Mungu, akasema: “Hakika njia bora ya kupita wenye kwenda kwa Mwenyezi Mungu ni: Kumwamini Yeye na Mtume wake na Jihadi katika njia yake, hakika yenyewe ndio heshima ya Uislamu. Na Tamko la dhati, hakika lenyewe ndio silika. Na kusimamisha Swala, haki- ka yenyewe ndio dini. Na kutoa Zaka, hakika yenyewe ni faradhi. Na Funga ya Ramadhani, hakika yenyewe ni ngome dhidi ya adhabu. Na Kuhiji Nyumba tukufu na kufanyia Umra, hakika hivyo viwili vinaondoa ufakiri na kuondoa dhambi. Na kuunga undugu wa damu, hakika kwenyewe ni ongezeko la utajiri katika mali. Na Sadaka ya wazi, hakika yenyewe inaepusha kifo kibaya. Na kutenda wema, hakika wenyewe unazuia kushindwa kwa udhalili. 2018-06-19 12:46:42 TAWASSULI (SEHEMU YA PILI) UTANGULIZI Hakika Tawassul uhalisi wake umeelezwa na Qura’ni tukufu pindi Mwenyezi Mungu alipowaambia waumini: يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اتَّقُوا اللَّهَ وَابْتَغُوا إِلَيْهِ الْوَسِيلَةَ وَجَاهِدُوا فِي سَبِيلِهِ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ {35} “Enyi mlioamini mcheni Mwenyezi Mungu na tafuteni njia ya kum- fikia. Na piganeni kwa ajili ya dini yake ili mpate kufaulu.” Al-Maida: 35. Hakika Aya hii tukufu imehesabu Uchamungu na Jihadi kuwa ni miongo- ni mwa njia za kisheria ambazo mwanadamu anaweza kuzifanya sababu ya kumfikia Mwenyezi Mungu Mtukufu. Na je, kuna njia nyingine ambazo zimehimizwa na Sheria? Au jambo hili ameachiwa mwanadamu na kwa uwezo wake agundue njia nyingine za kumkurubisha kwa Mwenyezi Mungu? Ni wazi kuwa njia ambazo mja anaweza kujikurubisha kwazo kwa Mwenyezi Mungu hazitokani na Juhudi za kielimu, kwani kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu na njia za kupatikana ukuruba huo zinahitaji mwongozo wa Mwenyezi Mungu. Na hapo ndipo Sheria ilipochukua jukumu la kuzibainisha, ikazitolea maelezo na kuziwekea mipaka ndani ya Kitabu na Sunna tukufu. Kila njia isiyokuwa ile iliyoelezwa na Sheria kwa namna ya pekee au ya mjumuisho, basi yenyewe ni aina moja ya bidaa na upotovu. Imam Ali bin Abu Twalib amegusia njia ambazo kwazo mja atajikurubisha kwa Mwenyezi Mungu, akasema: “Hakika njia bora ya kupita wenye kwenda kwa Mwenyezi Mungu ni: Kumwamini Yeye na Mtume wake na Jihadi katika njia yake, hakika yenyewe ndio heshima ya Uislamu. Na Tamko la dhati, hakika lenyewe ndio silika. Na kusimamisha Swala, haki- ka yenyewe ndio dini. Na kutoa Zaka, hakika yenyewe ni faradhi. Na Funga ya Ramadhani, hakika yenyewe ni ngome dhidi ya adhabu. Na Kuhiji Nyumba tukufu na kufanyia Umra, hakika hivyo viwili vinaondoa ufakiri na kuondoa dhambi. Na kuunga undugu wa damu, hakika kwenyewe ni ongezeko la utajiri katika mali. Na Sadaka ya wazi, hakika yenyewe inaepusha kifo kibaya. Na kutenda wema, hakika wenyewe unazuia kushindwa kwa udhalili. TAWASSULI (SEHEMU YA KWANZA) UTANGULIZI Hakika Tawassul uhalisi wake umeelezwa na Qura’ni tukufu pindi Mwenyezi Mungu alipowaambia waumini: يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اتَّقُوا اللَّهَ وَابْتَغُوا إِلَيْهِ الْوَسِيلَةَ وَجَاهِدُوا فِي سَبِيلِهِ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ {35} “Enyi mlioamini mcheni Mwenyezi Mungu na tafuteni njia ya kum- fikia. Na piganeni kwa ajili ya dini yake ili mpate kufaulu.” Al-Maida: 35. Hakika Aya hii tukufu imehesabu Uchamungu na Jihadi kuwa ni miongo- ni mwa njia za kisheria ambazo mwanadamu anaweza kuzifanya sababu ya kumfikia Mwenyezi Mungu Mtukufu. Na je, kuna njia nyingine ambazo zimehimizwa na Sheria? Au jambo hili ameachiwa mwanadamu na kwa uwezo wake agundue njia nyingine za kumkurubisha kwa Mwenyezi Mungu? Ni wazi kuwa njia ambazo mja anaweza kujikurubisha kwazo kwa Mwenyezi Mungu hazitokani na Juhudi za kielimu, kwani kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu na njia za kupatikana ukuruba huo zinahitaji mwongozo wa Mwenyezi Mungu. Na hapo ndipo Sheria ilipochukua jukumu la kuzibainisha, ikazitolea maelezo na kuziwekea mipaka ndani ya Kitabu na Sunna tukufu. Kila njia isiyokuwa ile iliyoelezwa na Sheria kwa namna ya pekee au ya mjumuisho, basi yenyewe ni aina moja ya bidaa na upotovu. Imam Ali bin Abu Twalib amegusia njia ambazo kwazo mja atajikurubisha kwa Mwenyezi Mungu, akasema: “Hakika njia bora ya kupita wenye kwenda kwa Mwenyezi Mungu ni: Kumwamini Yeye na Mtume wake na Jihadi katika njia yake, hakika yenyewe ndio heshima ya Uislamu. Na Tamko la dhati, hakika lenyewe ndio silika. Na kusimamisha Swala, haki- ka yenyewe ndio dini. Na kutoa Zaka, hakika yenyewe ni faradhi. Na Funga ya Ramadhani, hakika yenyewe ni ngome dhidi ya adhabu. Na Kuhiji Nyumba tukufu na kufanyia Umra, hakika hivyo viwili vinaondoa ufakiri na kuondoa dhambi. Na kuunga undugu wa damu, hakika kwenyewe ni ongezeko la utajiri katika mali. Na Sadaka ya wazi, hakika yenyewe inaepusha kifo kibaya. Na kutenda wema, hakika wenyewe unazuia kushindwa kwa udhalili.”1 2018-06-19 10:58:40 UDHUU KWA MTAZAMO WA QUR’ANI NA SUNNA 6 AYA YA UDHU NI AYA MUHKAMAH Waislamu wameafikiana kwa mujibu wa na Kitabu kitukufu kuwa Swala haiwi sahihi isipokuwa kwa tohara, nayo ni: Wudhu, Josho, na Tayammum, na Allah (s.w.t.) amebainisha siri ya taklifu ni kwakuipata tohara kabla ya Swala kwa kauli yake: (Mwenyezi Mungu hataki kuwafanyiyeni ugumu, lakini anataka kuwatoharisheni). Udhu katika sheria ya kiislamu umepata umuhimu mkubwa kama ambavyo Qur’an na Sunna vimetamka. Amesema Mtume (s.a.w.w.): (Hapana Swala ila kwa tohara), na katika maneno yake mengine: (Wudhu ni sehemu ya imani) (Al’wasaailu, Juz.1, mlango wa kwanza miongoni mwa milango ya Wudhu). Ikiwa hii ndio nafasi ya Wudhu basi ni wajibu kwa Muislamu kuzitambua sehemu zake, na sharti zake, na vitanguzi vyake na vibatilisho vyake. Vitabu vya Fiq’h vimebainisha umuhimu huu. Ambalo twalitilia mkazo hapa ni kubainisha lile ambalo neno la wanavyuoni limehitilafiana kwalo.Naikusudia hukumu ya miguu upande wa kuosha au kupaka, hivi basi twasema: Mungu Mtukufu amesema ndani ya Kitabu chake kitukufu akibainisha wajibu wa wudhu na jinsi yake kwa kauli yake. 2018-06-09 13:00:40 UHURU WA KIJAMII WA MWANAMKE UHURU WA KUJICHAGULIA MAJALIWA YAKE Katika kipindi cha kabla ya Uislamu, Uarabuni kulikuwa na aina ya ndoa iliyokuwa ikipendwa ikijulikana kama ndoa ya Shighar (kubadilishana mabinti) ambayo ilikuwa ni dhihirisho la mamlaka yasiyo na kikomo ya akina baba juu ya binti zao. Mwanaume alikuwa akimuoza binti yake kwa mwanaume mwingine kwa matarajio ya yeye pia kupewa binti wa huyo mwanaume kama mke. Katika ndoa za aina hii, hakuna mke yeyote katika hawa wawili aliyepata mahari. Uislamu ulipiga marufuku ndoa za aina hii. Inafaa kuzingatiwa kuwa Mtume (s.a.w.w.) alimpa uhuru kamili binti yake Fatimah Zahra (a.s) katika kuchagua mume. Aliwaoza pia binti zake wengine wengi, lakini hakuwanyima uhuru wao. Imam Ali bin Abi Talib (a.s) alimwendea Mtume (s.a.w.w) na kueleza nia yake ya kumposa Fatima (a.s), Mtume alisema wanaume wengi walimwendea Mtume, na yeye akafikisha ujumbe kwa Fatimah, lakini aligeuza uso wake pembeni, kama ishara ya kukataa. Mtume alimhakikishia Ali kuwa angefikisha ujumbe wake pia. Mtume alikwenda kwa Fatimah na kumweleza binti yake mpendwa alichotaka Ali. Safari hii hakugeuza uso wake, lakini alinyamaza kimya na hivyo alielezea ridhaa yake. Mtume alipotoka nje, alikuwa na furaha, akasema, “Mungu ni Mkubwa!” HARAKATI ZA KIISLAMU JUU YA HAKI ZA WANAWAKE Uislamu umewafanyia wanawake mambo makubwa. Sio tu kwamba ulikomesha udhibiti usio na mipaka wa akina baba, lakini pia uliwapa wanawake uhuru, haiba na uhuru wa kufikiri na kutoa maoni. Uislamu kirasmi kabisa ulizitambua haki zake za asili. Hata hivyo, kuna tofauti mbili za msingi kati ya hatua zilizochukuliwa na Uislamu na kile kinachotokea katika nchi za Magharibi na zinazofuatwa na wengine. Tofauti ya kwanza inahusiana na saikolojia ya mwanaume na mwanamke. Uislamu umefanya na kufunua maajabu katika hili. Tutalijadili hili baadaye katika sura zinazofuatia. Tofauti ya pili ni kuwa, japo Uislamu uliwafanya wanawake wazijue haki zao na ukawapa utambulisho, haiba na uhuru, haukuwachochea kuasi na kuwafanyia uovu wanaume zao. Harakati za Kiislamu, za ukombozi wa wanawake zilikuwa nyeupe. Hazikuwa nyeusi wala nyekundu, hazikuwa bluu wala urujuani. Hazikukomesha heshima ya mabinti waliyokuwa nayo kwa baba zao wala ya wake kwa waume zao. Hazikuvuruga msingi wa maisha ya familia na hazikuwafanya wanawake wayatilie mashaka majukumu yao kwa baba zao na waume zao. Hazikutoa mwanga kwa wanaume ambao hawajaoa ambao mara zote huwa wanatafuta mwanya wa kuwalaghai wanawake. 2018-05-27 12:43:14 DU’A YA MWEZI WA RAMADHANI (SEHEMU YA 7) اللّهُمَّ رُدَّ كُلَّ غَرِيبٍ Ewe Mola Mrudishe Kila Alie Mgeni MAANA YA ‘GHARIIB’ Kutokana na ujuzi mdogo wa baadhi ya tamaduni na lugha, baadhi yetu tunadhani kwamba neno ‘Ghariib’ lina maana ya ‘maskini’. Kwa mfano neno hili kwa ki-Urdu lina tumiwa kuonyesha umasikini wa mtu, lakini linapo tumiwa kwa maana makhsusi, kama vile ‘Gharibul watan’ lina kuwa na maana nyingine. Kwa kiarabu ambayo ndio lugha ya asili ya neno lenyewe, ‘lina maana ya kitu kilicho mbali’. Kwa hivyo kitu chochote kilicho ghariib, kiko mbali. Seyyid Ali al-Madani al Husayni katika ufafanuzi wake wa Sahifatul Sajjādiyya anasema: الْغُرْبَةُ بالضمّ البَّعْدُ و الَنَّوَى “Ghurba (yenye irabu ya dhumma juu ya ghayn) ina maana ya ‘mbali’ na masafa”.1 Kwa hiyo, Ghariib ni kitu chochote ambacho kiko mbali [katika kuhusiana na kitu kingine cho chote]. Katika lugha ya kiarabu, maneno yasiyojulikana vile vile hujulikana kama ghariib. UFAFANUZI Uchungu unaompata mtu alie mgeni unajulikana vizuri kwa yule ambaye amepitia hali hii au yuko katika hali hii.Yeyote anayekwenda nchi ya kigeni ana matarajio ya kurejea nyumbani akiwa salama na mzima. Na bila ya shaka hangelipenda kutengana na watu wake wa karibu au kuviacha vitu vyake anavyo vihitajia katika maisha.Wale ambao wameacha miji yao na wakakumbwa na misukosuko wakiwa njiani au wamekwama katika nchi nyingine, wanafahamu shida iliyoko ya kuwa mbali na nyumbani. Historia ya miaka ya hivi karibuni imejaa mifano inayo vunja moyo ya kila msikilizaji mwenye kuhusika. Mazayuni kama walivyo kuwa katika miaka iliyoipita, wanaendelea kuzitesa sehemu mbali mbali za mataifa dhaifu ulimwenguni kwa kuzifanyia ugaidi na kuzihamisha, na hivyo basi kuwatoa wengi wasio na hatia wakiwemo wanawake na watoto katika miji yao, ili wapate uchungu wa mateso katika makambi ya wakimbizi. Watu kama hawa ambao hawana hatia, wanahitajia msaada wetu. Na kama tulivyo taja pale mwanzo, tuna wajibika kuziangalia sehemu ambazo tunaweza kutoa michango yetu ipasavyo kuhusiana na jambo hili na tuwasaidia kwa vyovyote vile iwezekanavyo. Kwa mfano, ikiwa kuna michango inayotolewa kupitia kwa vyama vya kutoa misaada vinavyo aminika, tujaribu tutoe michango yetu kwa wingi iwezakanvyo. Na ikiwa tunaweza tumsaidie ili aweze kuyazoea maisha mapya ambayo amelazimika kuwa ndani yake. Na ikiwa hatuna uwezo wa kuyafanya haya yote, basi tusisahau kuwaombea kwa Mwenyezi Mungu awasahilishie yanayo wakabili na awape utulivu. HESHIMA YA RAMADHANI "Mwezi wa Ramadhani ni ambao imeteremshwa ndani yake Qur'ani kuwa mwongozo kwa watu..." (Qur'ani: 2:185) Waislamu kote ulimwenguni hufunga mwezi ambao ni mwema kuliko miezi yote, ulio na masiku bora kuliko masiku yote, wenye masaa ya baraka kuliko masaa yote na amali zifanyikazo katika mwezi huo ni makbuli kuliko baki ya maombi. Nao ni mwezi wa Ramadhani. Mwezi huu wa Ramadhani ambao ni mwezi wa tisa wa miezi wa Kiislamu, ni mwezi wa pekee wa aina yake kwa utukufu. Ni mwezi wa kusameheana, kuombeana heri na hata kufanya ibada kwa wingi na kwa usahali kabisa. Mwezi huu una matukio mbali mbali ya kihistoria ambayo hayatasahaulika, na ambayo vile vile hupambanua wazi utukufu wake. Imam Ja'far As-sadiq (a.s.) alisema kutoka kwa Babuye, (Mtume s.a.w.) "Taurati ilishuka na kumfikia Nabii Musa (a.s.) tarehe 6 Ramadhani, nayo Injili iIiteremshiwa Nabii Isa (a.s.) tarehe 12 za Ramadhani, kadhalika Zaburi ya Nabii Daud (a.s.) iliteremshwa mnamo tarehe 18 za Ramadhani, vile vile Qur'ani Takatifu iliteremka katika usiku wa Laylatul Qadri ambao kwa kawaida huwa katika mwezi huu wa Ramadhani." 2018-05-24 12:41:06 FAIDA ZA SAUMU Limekuwa jambo jema kueleza faida za Saumu ili kila afungaye ajuwe hasa masumbuko yake ni kwa sababu gani? Kwani si vyema mtu kutaabika na hali hajui matokeo ya shughuli zake, na pengine huenda akaingia katika kundi la wale waliotajwa na mshairi mmoja kwamba: Mfisada mkubwa ni mjuzi mwenye kupotosha (bila kujua) na aliye muovu zaidi ni mjinga mwenye (kupenda) ibada. Hao watu wa aina mbili hizi ni fitina kubwa kwa watu na hasa kwa mtu aliyeshikamana na dini kwa kuwafuata. Jee, vipi utamfuata mtu ambaye hajui? Mshairi mwengine amenena: Ewe mtu (mjinga) unayemfundisha mwenzako, jee wewe nafsi yako unajua unachofundisha? Wampa dawa mtu aliyokonda na mwenye maradhi ili apone (kwa hizo dawa) na hali wewe ni mgonjwa?" Faida za kufunga ni nyingi sana tena mno, miongoni mwazo ni kutekeleza mojawapo ya amri za Mwenyezi Mungu Alizotufaradhia kwetu sisi na faida ya utekelezaji huu ni kuingia peponi. Faida ya pili ya Saumu ni kujizoeza subira, yaani katika mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani, mtu anajifunza jinsi ya kuweza kuvumilia na kustahamilia njaa, kiu, na kila matamanio ya kimwili. Mtume (s.a.w) amenena: "Huo mwezi wa Ramadhani ni mwezi wa kusubiri, na hakika subira malipo yake ni pepo tu". Faida ya tatu ni kuwa na uadilifu na kujifundisha usawa baina ya tajiri na maskini. Imam Ja'far As-sadiq (a.s.) alisema: "Hakika si jingine, Mwenyezi Mungu amefaradhisha kufunga ili wapate kulingana tajiri na maskini (katika shida ya njaa na kiu) basi akapenda viumbe vyake wawe sawa, na Amwonjeshe tajiri maumivu ya kushikwa na njaa ili apate kumhurumia mnyonge, na apate kumsikitikia mwene njaa". Faida ya nne na ambayo ni muhimu zaidi ni kughufiriwa katika mwezi huu na kusamehewa madhambi yote ya mwaka ikiwa mwenye kufunga ameyafuata masharti yote na kufunga kwa ajili ya Mwenyezi Mungu kama alivyosema Mtume (s.a.w) katika mojawapo ya hotuba alizozitoa kwa minajili ya mwezi huu akasema: "Enyi watu! Hakika umewaelekeni nyinyi, mwezi wa Mwenyezi Mungu (mwezi wa Ramadhani) kwa baraka, rehema na msamaha. Mwezi ambao ni bora mbele ya Mwenyezi mungu kuliko miezi yote, na siku zake ni bora kuliko siku zote, na masiku yake ni bora kuliko masiku mengine yote na masaa yake ni bora na muhimu kuliko masaa yote." DU’A YA MWEZI WA RAMADHANI (SEHEMU YA 6) اللّهُمَّ فَرِّجْ عَنْ كُلِّ مَكْرُوبٍ Ewe Mola Mfariji Kila Mwenye Huzuni MAANA YA ‘MAKRŪB’ Neno ‘Makrūb’ ni shamirisho ya jina ambalo asili yake ni kitenzi cha jina ‘karb’ lenye maana ya ‘huzuni nyingi’. Allāma Tabātabā’i katika kitabu chake ‘al-Mizān’, anamnukuu Sheikh Rāghib Isfahāni, Mtaalamu mashuhuri wa kuandika kamusi ya maneno ya Qur’an, akisema ya kwamba: الْكَرْبُ الغَمُّ الشَّدِيْدُ “Karb maana yake ni ‘huzuni kubwa”.1 Neno ‘karbala’ kwa mfano, limejengeka kutokana na neno (Karb) huzuni na majonzi na (balā) mtihani. Hivyo basi kwa ufupi, Makruub,’ ni mtu ambaye ana huzuni nyingi na majonzi. CHANZO CHA HUZUNI Katika sehemu hii ya dua, tunamuomba Mwenyezi Mungu (s.w.t.) Kwa unyenyekevu awaondolee wote hali ya kuwa na ‘huzuni na majonzi’ wale wote walioko kwenye hali hii. Yeyote anayeomba kuondolewa kwa huzuni na majonzi anaomba pia kuondolewa kwa sababu ambazo pia husababisha huzuni. Hata hivyo ni lazima tuelewe kwamba, sababu za huzuni zinatafautiana kulingana na watu na mazingira tofauti. Kwa mfano, wale wenye ukaribu na Mwenyezi Mungu (s.w.t.) japokuwa hawana huzuni kwa kuikosa dunia na starehe zake: أَلَا إِنَّ أَوْلِيَاءَ اللَّهِ لَا خَوْفٌ عَلَيْهِمْ وَلَا هُمْ يَحْزَنُونَ “Hakika marafiki (vipenzi) vya Allah hawaogopi wala hawahuzuniki” (Qur’an 10:62) Hupatwa na huzuni kwa yale yatakayo wafika makafiri katika siku za usoni (Allah anamwambia Mtume Wake): أَفَمَنْ زُيِّنَ لَهُ سُوءُ عَمَلِهِ فَرَآهُ حَسَنًا ۖ فَإِنَّ اللَّهَ يُضِلُّ مَنْ يَشَاءُ وَيَهْدِي مَنْ يَشَاءُ ۖ فَلَا تَذْهَبْ نَفْسُكَ عَلَيْهِمْ حَسَرَاتٍ ۚ إِنَّ اللَّهَ عَلِيمٌ بِمَا يَصْنَعُونَ “Basi roho yako isitoke kwa majonzi juu yao…”2 (Qur’an 35:8) Imam Khomeini (r.a.) katika kitabu chake maarufu kiitwacho ‘Hadithi al-Arbain’ anasema: “…Yeyote ambaye ameweza kutambua utukufu wa Mwenyezi Mungu (s.w.t.) kwa kiwango kikubwa na akavijua vituo vitukufu vya Allah (s.w.t.) zaidi ya wengine, huwa anaumia zaidi na kuteseka kwa kiwango kikubwa sana kwa dhambi za viumbe na makosa yao dhidi ya utukufu wa Mwenye Mungu (s.w.t.). Vile vile, yule mwenye mapenzi na huruma kwa viumbe wa Mwenyezi Mungu huteseka kwa kiwango kikubwa mno kwa uhalifu wao na hali zao mbaya za kimaisha. Na bila ya shaka Mtume wa mwisho (s.a.w.w.) alikuwa amekamilika zaidi katika vituo vyote hivi na alikuwa juu kuwashinda Mitume wote na Mawalii kwa kiwango chake cha ukamilifu na ubora. Hivyo kuteseka kwake na kuhuzunika kwake kulikuwa kukubwa kuliko yeyote katika hao…” Wakati mwingine sababu ya huzuni huwa tofauti. 2018-05-24 11:27:08 DU’A YA MWEZI WA RAMADHANI (SEHEMU YA 5) اللّهُمَّ اقْضِ دَيْنَ كُلِّ مَدِينٍ Ewe Mola Mlipie Deni Kila Mwenye Kudaiwa MAANA PANA YA NENO ‘DENI’ Huenda wengi wakachukulia ya kwamba neno deni ni sawa na mkopo lakini katika sheria za kiislamu lina maana pana kushinda mkopo kwa kuwa mkopo ni sehemu ya deni. Āyatullāh Shirāzi katika kitabu chake cha ‘Tafsir-e-Nemūne’ amezungumzia jambo hili na akasema kwamba “Mkopo” hutumika mtu anapo lazimika kurudisha kilicho sawa na kilicho chukuliwa, kwa mfano kama atachukua pesa kwa njia ya mkopo atalazimika arejeshe kiasi hicho hicho na lau atachukua aina fulani ya chakula atalazimika arudishe aina hiyo hiyo. Hata hivyo dayn (deni) lina maana pana kwa kuwa linajumuisha aina yoyote ya shughuli, kama vile: kusuluhisha (sulh), mkataba wa kupangisha, (ijāra), kuuza na kununua na kadhalika.1 DENI WAKATI MWINGINE HUMZUIA MTU KUENDELEA KIROHO Deni wakati mwingine huwa ni kizuizi kikubwa katika njia ya Mwenyezi Mungu. Sababu ya hili ni kwamba hushughulisha akili na moyo wa mtu, na kwamba ni kipengele cha wazi ambacho huzuia maendeleo. Tazama hadithi ifuatayo: 1. Imamu Zaynu’l ‘Abidin katika maombi yake ya kupendeza2 kwa ajili ya kuondokana na madeni anawajulisha wafuasi wake hali ngumu ambayo mdaiwa kwa kawaida huipata: Ewe Allah! Mbariki Muhammad na watu wa nyumbani kwake, na uniondolee deni ambalo huchusha uso wangu, huchanganya akili yangu, huvuruga mawazo yangu na hurefusha muda wangu kwa kulishughulikia! Naomba kinga Kwako, ewe Mola wangu, kutokana na wasiwasi na mawazo kuhusu deni, kutokana na uharibifu wa deni na kukosa usingizi; basi mbariki Muhammad na watu wa nyumbani kwake, na unipe kinga kutokana nalo! Naomba hifadhi Kwako, ewe Mola wangu, kutokana na udhalili wa deni katika maisha, na matokeo yake mabaya baada ya kufa… LENGO LA KUUMBWA MWANADAMU Msiba mkubwa wa maisha ya mwanadamu unatokana na kutofahamu madhumuni ya kuumbwa mwanadamu. Maadamu mwanadamu atakuwa hajui ‘lengo la maisha’ atakuwa daima kwenye matatizo. Kanuni hii inatumika kwa matajiri pia. Muulize kila tajiri iwapo pesa zake zinamfanya awe na furaha daima, bila shaka jawabu litakuwa ni la. Qur’an Tukufu na pia Ahlulbayt (a.s.) wametufahamisha kwamba makusudio ya lengo la kuumbwa kwa mwanadamu ni ili apate ujirani na ukaribu wa Mwenyezi Mungu. Na njia ya kumuongoza mtu kutambua hamu hii si nyingine bali ni ibada, kama ilivyoelezwa kwenya aya zifuatazo:- Katika sura ya 51 aya ya 56. Mwenyezi Mungu anasema ya kwamba: “Na sikuwaumba majini na wanaadamu ila waniabudu” Hapa lengo linaonyesha ya kuwa ni kumuabudu Mwenyezi Mungu. Lakini jee hili ndilo lengo la kipekee la kuumbwa kwa mwanadamu? Ili tuweze kulijibu swali hili, tunawajibika kuiangalia aya ya 99 katika sura ya 15, ya Qur’an, isemayo: “Na muabudu Mola wako mpaka ikufikie hiyo yakini” Kwa hivyo kitu cha mwisho ni kumjua Mwenyezi Mungu (s.w.t.) na kila anapojikurubisha mtu kwa Mola wake ndivyo elimu kumhusu Muumba wake inavyoongezeka. DU’A YA MWEZI WA RAMADHANI 3 DU’A YA MWEZI WA RAMADHANI 3 Moja ya falsafa za kufunga katika Mwezi wa Ramadhani ni kujizoesha njaa, na hivyo kufahamu hali ya wale ambao wana njaa na hawana uwezo wa kujitosheleza ipasavyo. Hadithi ifuatayo iliyonukuliwa na Faidh Maulā Kāshāni kutoka kwenye kitabu ‘Man lā yahdhuru’l Faqih’, inazungumzia jambo hili hili. Imām al-Sadiq (a.s.) katika hadithi iliyo sahihi, wakati anapoelezea falsafa ya kufunga anasema: “[Allah (s.w.t.) alitaka kufanya usawa baina ya viumbe vyake kwa kumuonjesha tajiri njaa na uchungu ili amuonee huruma alie dhaifu na amhurumie mwenye njaa.]”1 yanayo sababisha njaa Njaa ni tatizo lililo enea katika ulimwengu wa leo na kuna sababu mbalimbali ambazo zaweza kuainishwa katika (sababu) aina mbili: aina ya kwanza (ya sababu) zinamhusu mtu binafsi na aina ya pili (ya sababu) zinatokana na mambo ya nje. Chanzo cha sababu zinazomhumsu mtu mwenyewe, hutokana na muathiriwa mwenyewe, ambapo sababu za nje huanzia kwenye jamii na matukio asilia mengineyo. Aina hizi mbili za sababu hatuwezi kuzijadili kwa sasa kwa kuwa zitatutoa nje ya eneo la ufafanuzi huu mfupi. Hata hivyo ni muhimu kujifunza mipaka ya sababu hizi ili tujitahidi kujiepusha nazo au kuziondolea mbali kwa urahisi. Suala hili ambalo liko chini ya mjadala, kama linavyoweza kuonekana kwa uwazi, vile vile linauhusiano wa karibu na umaskini. Mwanzoni tulionyesha ukweli kwamba, kitu kinacho jitegemea husimama kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Kwa hivyo ikiwa Mwenyezi Mungu hakutaka mtu apatwe au aathiriwe na msiba hakuna kitakacho mpata. Kanuni hii kama ilivyotajwa mwanzoni, sio tu inatajwa na ufunuo (wahyi), bali pia huthibitishwa na akili. DU’A YA MWEZI WA RAMADHANI 2 DU’A YA MWEZI WA RAMADHANI 2 Tunapomwomba Mwenyezi Mungu Awatajirishe maskini tunatakiwa kivitendo pia tuchukue hatua katika kuwatajirisha wengine kwa kiasi cha uwezo wetu. Jambo hili ni kwamba ndilo linalo tarajiwa kutoka kwetu kama tulivyo elezea hapo mwanzo. Tunapoangalia sehemu hii ya du’a kwa makini tunafahamu ya kwamba mwenye kuisoma hawaombei wanaohitajia waondolewe haja zao kwa mda mfupi, kama tufanyavyo wengi wetu tunapowasaidia wanaohitajia kwa kipindi kifupi cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa kuwanunulia mahitaji yao ya nyumbani. Na tukafurahi kwa kuwa tumemfurahisha Mwenyezi Mungu kwa kitendo chetu hiki. Bila ya shaka ni kitendo kizuri, na kina thawabu nyingi, lakini ni tafauti na yale tunayo muomba Mwenyezi Mungu kwenye sehemu hii ya du’a kwa kuwa lengo letu siyo maskini watoshelezewe haja zao muda mfupi, bali tunamuomba Mwenyezi Mungu awasaidie kwa kuwapa njia ya kudumu ya mapato, yaani, “Ewe Mola mtajirishe kila aliye maskini.” Baada ya kuifahamu du’a hii, basi mwenye kusoma dua hii anatakiwa afikirie namna ya kutoa mchango wake katika kuwatajirisha maskini. Kwa mfano, yule mwenye mali anatakiwa angelifikiria namna ya kuwasaidia maskini ili wajianzishie biashara ndogondogo na kujitajirisha mwenyewe. Na yule mwenye biashara ndogo na anahitaji wafanyikazi angeliwaajiri maskini na awatajirishe kwa kiwango fulani. Na yule ambaye ni mwajiriwa, kutokana na kufahamiana kwake na matajiri angeliwaombea masikini kazi kwao. Wasomaji, linalohitajika hapa ni kufahamu mambo mbali mbali yanayo husiana na jambo hili tukufu. Na lililo muhimu hapa ni kwamba kila mtu achukue hatua kuhusiana na jambo hili. 2018-05-22 12:47:57 ummi Yaasir UTUKUFU WA RAMADHANI “Enyi Mlioamini mmefaradhishiwa Saumu kama walivyofaradhishiwa waliokuwa kabla yenu ili mpate kumcha Mungu”. (TMQ 2:183) Tunaweza kuugawa Utukufu wa Ramadhani katika sehemu mbili kubwa: 1.Utukufu wa ibada ya funga kwa ujumla ndani ya Ramadhani au nje ya Ramadhani. Na kwa kuwa ndani ya mwezi wa Ramadhani imo ibada ya funga, mfungaji hana budi kufaidika na utukufu huo. 2.Utukufu maalum (khasa) wa funga ya Ramadhani na yote yaliyomo ndani yake UTUKUFU JUMLA WA KUFUNGA SAUMU Amesema Mtume (SAAW): akipokea kutoka kwa mola wake “Kila Amali ya mwanadamu ni yake, isipokuwa Saumu, hiyo ni Yangu, na Mimi ndie Nitakayelipa” (Bukhar) Amesema pia SAAW: “Watu Watatu dua zao hazirejeshwi Kiongozi muadilifu, aliyefunga mpaka kufuturu na dua ya mwenye kudhulumiwa” (Ibn Majah) Pia kasema SAAW: “Hakika katika pepo kuna mlango unaitwa Rayyan wataingia mlango huo wafungaji na hatoingia mwengine yoyote kinyume na wao” (Bukhar) UTUKUFU MALUMU (KHASA) WA RAMADHANI “Na mkifunga ni kheri kwenu ikiwa mnajua” (TMQ 2:184) Kwa Aya hii Muumba wa kila kitu Anatangaza kwamba kufunga Ramadhani kuna kheri kwetu. Jee kuna kubwa kuliko kauli ya Allah Taala? Amesema Mtume SAAW: “Swala tano, ijumaa mpaka ijumaa Ramadhani mpaka Ramadhani ni kafara (kifutio) cha madhambi atakapojiepusha mtu na madhambi makubwa/al-kabair” (Bukhari) Anasema (s.a.w.w) : “Amekula hasara mtu nitakapotajwa asiniswalie, na amekula hasara itakapoingia Ramadhani na ikaondoka hakusamehewa madhambi yake. Amesema tena SAAW: “Itakapoingia Ramadhani milango ya moto hufungwa, na hufunguliwa milango ya pepo, na hufungwa mashetani (Bukhar) Amesema tena SAAW: “Atakaefunga kwa imani thabit na matarajio ya malipo husamehewa madhambi yaliyotangulia (Bukhar) Kasema SAAW: Hakika imekufikieni funga ya Ramadhani, basi atakaefanya sunna ya kisimamo chake, atakaefunga na kusimama kwa ibada kwa imani na matarajio ya malipo atafutiwa madhambi yake kama siku alipozaliwa kutoka katika tumbo la mama yake (Nassai) Pia kasema SAAW: “Hakika umekudhihirikieni mwezi wa Ramadhani ndani yake umo usiku mtukufu wa laylat-ul-qadr ambao ni bora kuliko miezi alfu. 2018-05-22 12:28:51 ummi fadhila FADHILA ZA MWEZI WA RAMADHANI Sifa njema zote Anastahiki Allaah Mola wa viumbe vyote na Swalah na salamu zimfikie Mtume wetu na kipenzi chetu Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa sallam) na aali zake watoharifu. Ama kwa hakika katika mwezi wa Ramadhwaan kuna fadhila nyingi ambazo mimi nitazitaja kwa uchache, namuomba Allaah Aniwafiqishe 'asaa yawe na manufaa katika Duniya na Akhera. 1) MWEZI WA QUR-AAN Kama Alivyosema Allaah Mtukufu: "Mwezi wa Ramadhwaan ni mwezi ambao imeteremshwa Qur-aan ili iwe uongozi kwa watu na hoja na upambanuzi (Baina ya haki na batil)” [Qur-aan 2:185] Vilevile kama ilivyopokewa na Ibn 'Abbaas (radhiya Allaahu 'anhu) kuwa makusudiyo yake kwa hakika kuteremshiwa Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa sallam) Qur-aan mwanzo ni katika mwezi wa Ramadhwaan na vilevile Qur-aan mwanzo wa kuteremka ni usiku wa Laylatul-Qadir na Laylatul-Qadir iko katika mwezi wa Ramadhwaan. Hivyo basi ni juu yetu kufanya juhudi katika mwezi huu kukithirisha sana kusoma Qur-aan. Walikua Salafus-Swaalih (Wema Waliotangulia) wakikilinda kitabu cha Allaah kwa kukisoma na kuyafanyia kazi yaliyokuwemo kwa mazingatiyo. Pia Tunaambiwa kuwa Sayyidnaa Jibriyl (‘Alayhis-Salaam) akimfundisha Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa sallam) Qur-aan katika mwezi wa Ramadhwaan, na alikuwa 'Uthmaan bin 'Afaan (Radhiya Allaahu 'anhu) kila siku akisoma Qur-aan yote yaani anakhitimisha mara moja kwa siku, kwa maana, msahafu mzima anausoma kwa siku moja. Na walikuwa baadhi yao katika wema wakisoma Qur-aan yote kwa siku tatu, wengine kwa wiki moja na wengine kwa siku kumi. Walikuwa wakisoma Qur-aan ndani ya Swalah na nje ya Swalah. Allaah Atuwafiqishe mimi na wewe tuisome Qur-aan na kwa mazingatio khasa katika mwezi huu tufanye juhudi sana ili tuweze kupata fadhila za mwezi huu mtukufu. 2018-05-21 14:41:50 pars today, kiswahili RAMADHANI NA UTULIVU WA MOYO Wataalamu wa masuala ya nafsi au wanasaikolojia wanasema: "Sisi wanaadamu katika uwepo wetu, tuna uwezo mkubwa wa kupokea mapenzi na mahaba na iwapo moja ya hilo litatoweka, tutahisi tumekosa kitu na hivyo kuingiwa na wasiwasi. Nukta muhimu zaidi ya uwezo huu wa mahaba ni mapenzi kwa Mwenyezi Mungu ambayo hutupatia hisia chanya na utulivu. Kwa hakika utulivu ni nukta muhimu sana katika maisha ya mwanadamu kwa kadiri kwamba tunaweza kusema kuwa, sababu kuu ya jitihada za mwanadamu ni kufikia utulivu. Wengi hutafuta mali na utajiri ili wapate utulivu. Kwa mfano kununua nyumba au ardhi hufanyika kwa ajili ya kufikia utulivu. Wengi hutafuta maisha ya kifahari ili wapate utulivu na pia kuna wengi ambao humuabudu Mwenyezi Mungu ili waweze kupata utulivu. Lakini kati ya yote hayo tuliyoyataja ni lipi lenye kumletea mwanadamu utulivu wa kudumu?" Erich Seligmann Fromm, mwanasaikolojia wa Ujeurmani anaandika hivi : "Tujaalie kuwa, maisha ya kimaada na kuishi maisha bora ni mambo ambayo huandamana na furaha na utulivu. Uzalisahji usio na mipaka , uhuru usio na mipaka na ustawi wa kustaajibisha ni mambo yanayoweza kuifanya dunia iwe ni pepo na kuifanya ichukue sehemu ya pepo iliyoahidiwa. Lakini ukweli ni kuwa, katika zama zetu hizi za kiviwanda, mwanadamu amegonga mwamba katika kufikia malengo yake makubwa, Mwanadamu ametambua kuwa, kupata anasa kupita kiasi hakuwezi kumdhaminia utulivu na furaha." Naye Albert Schweitze, tabibu Mjerumani ambaye mwaka 1952 alipata Tuzo ya Amani ya Nobel wakati alipokuwa akipokea zawadi hiyo aliwahutubu walimwengu kwa kusema: "Mwanadamu amekuwa mtu mwenye uwezo wa kupita kiasi. Lakini mtu huyu mwenye uwezo wa kupita kiasi hajaweza kufikia hekima na fikra ya juu. Kadiri ambavyo uwezo wa mwanadamu unavyozidi kuongozeka, anazidi kudhoofika na kudhoofika zaidi na hili ni jambo linalopaswa kututikisa nafsi zetu." MWALIKO WA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI Tuko katika siku tukufu za ibada ya funga ya mwezi wa Ramadhani na sote tumealikwa kuwa wageni wa Mwenyezi Mungu Mtukufu. Mtu anapoalikwa kwenye karamu au shughuli yoyote ya ugeni, hali hiyo humsisimua na kumfanya awe ni mwenye furaha wakati wote hadi wakati wa kushiriki karamu au ugeni huo. Sote tunajua ya kwamba jambo linalomfanya mwalikwa kuwa na furaha hiyo ni ile hamu ya kutaka kukutana na mwenyeji wake pamoja na wageni wengine walioalikwa kwenye karamu hiyo ambapo mazingira mapya ya kuonana na kujuliana hali wageni hujitokeza, mapenzi na upendo kudhihirishwa na wakati mwingine zawadi kutolewa na mwenyeji wao. Kabla ya kushiriki kwenye mwaliko, jambo la kwanza ambalo mwalikwa hukabiliana nalo ni jinsi atakavyovalia vizuri, kutembea vizuri na kuzungumza vizuri. Tunapofahamu kuwa mwenyeji wetu atakuwa anatusubiri mlangoni kwa ajili ya kutulaki, hapo kasi ya hatua hatua zetu kumuelekea huongezeka. Mwanzo wa kila mwaliko huwa ni kuzingatia na kufungamana kimawazo na mwenyeji, ambapo kila mara mfungamano huo unapokuwa ni wa kirafiki zaidi, ugeni nao hunoga na kuvutia zaidi. Hivi sasa na kwa mara nyingine tumealikwa na mwenyeji ambaye ni rafiki mwema wa kuvutia, mwenye huruma na anayesamehe zaidi kati ya wenyeji wengine wote tunaowajua sisi wanadamu. Mwenyezi Mungu ni Muumba wa pekee na Mwenye Hekima ambaye jina lake hutuliza nyoyo zinazosononeka na kutaabika. MAMBO YA KUJICHUNGA KATIKA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI FALSAFA NA HEKIMA YA FUNGA Kuhusu falsafa na hekima ya funga au saumu, yamezungumzwa mengi ndani ya Qur’ani tukufu, Hadithi pamoja na kauli za maulamaa wa dini. Katika kubainisha hukumu ya kufaradhishwa na kuwajibishwa kufunga, Qur’ani tukufu imeitaja taqwa na uchaMungu kuwa moja ya hekima za kufaradhishwa amali hiyo tukufu. Aya ya 183 ya Suratul Baqarah inasema: Enyi mlio amini! Mmeandikiwa Saumu, kama walivyo andikiwa walio kuwa kabla yenu ili mpate kuchamungu. Funga ni moja ya amali bora kabisa za kumwezesha muumini kudhibiti ghariza za kihayawani na kuhuisha moyo wa uchaji Mungu ndani ya nafsi yake. Kama ilivyoelezwa katika Hadithi ni kwamba: “Funga ni ngao (ya Moto wa Jahannamu)”. Yaani mtu atanusurika na kuokoka na Moto wa Jahannamu kutokana na kufunga. Na sababu ni kuwa, kutokana na t’aa, ibada anazofanya mtu na kuzidhibiti na kuzidhoofisha hawaa na matamanio ya nafsi hatimaye huweza kumdhibiti na kumshinda shetani wa ndani na nje ya nafsi yake. Na ni kutokana na hayo ndipo Bwana Mtume Muhammad SAW akasema: “Ndani ya mwezi huu mashetani hufungwa pingu na minyororo, basi mwombeni Mwenyezi Mungu asiwasalitishe juu yenu”. Kurasa Kutoka 3
2018-09-26T14:23:10
http://alhassanain.org/swahili/?com=content&view=category&id=20
[ -1 ]
Lissu hatarini kukamatwa MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imesema itafuta fungu la dhamana, alilosaini mdhamini wa aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema), Ibrahim Ahmed endapo hatamleta mshitakiwa huyo mahakamani. Awali, Mdhamini wa Lissu, Ahmed aliieleza mahakama kuwa aliwasiliana na Lissu kama mahakama ilivyomuelekeza kwamba afike siku ya kesi (jana). Alidai alichojibiwa na Lissu (pichani) ni kwamba anahitaji kuja nchini, lakini bado ana shaka na kwamba anaendelea kumhimiza kufika mahakamani kusikiliza kesi yake. Wakili wa Serikali, Sylvia Mitanto alidai kutokana na maelezo ya mdhamini huyo, hawaelewi kama mshitakiwa bado mgonjwa au ameshapona na kwamba wanao mashahidi, lakini hawawezi kuwaleta kutokana na mshitakiwa huyo kutofika mahakamani. Baada ya kueleza hayo, Hakimu Simba alisema “Bado naendelea kusisitiza namtaka mshitakiwa hapa mahakamani, kwa sababu shauri hili limekaa muda mrefu linashindwa kuendelea. Hivyo, mlete mshitakiwa kabla fungu lako la dhamana halijafyekwa.” Hakimu Simba aliahirisha kesi hiyo hadi Januari 20, 2020. Alisisitiza Lissu kufika mahakamani na kwamba dhamana kwa washitakiwa wengine inaendelea. Mbali na Lissu na Simon Mkina, washitakiwa wengine ni Mhariri wa gazeti la Mawio, Jabir Idrisa na Mchapishaji wa Kampuni ya Jamana, Ismail Mehboob. Lissu na wenzake wanakabiliwa na mashitaka matano, ikiwemo la kuandika habari za uchochezi kinyume na Sheria ya Magazeti ya Mwaka 2002. Inadaiwa kuwa Januari 12 hadi 14, 2016 katika jiji la Dar es Salaam, washitakiwa watatu, Jabir, Mkina na Lissu, kwa pamoja waliandika na kuchapisha taarifa za uchochezi zenye kichwa cha habari kisemacho ‘Machafuko yaja Zanzibar’. Katika mashitaka ya pili, wanadaiwa kuwa Januari 14, 2016 katika jiji la Dar es Salaam, walichapisha habari hizo ili kuleta chuki kwa wananchi wa Zanzibar. Mshitakiwa Mehboob anadaiwa kuwa Januari 13,2016 katika jengo la Jamana lililopo Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam, alichapisha gazeti la Mawio lililokuwa na taarifa za uchochezi. Inadaiwa mshitakiwa huyo, pia alichapisha gazeti hilo bila ya kuwasilisha hati ya sheria ya kiapo kwa Msajili wa Magazeti. Mbali na mashitaka hayo, washitakiwa hao kwa pamoja wanadaiwa kuwa Januari 14, 2016 Dar es Salaam, bila ya kuwa na mamlaka yoyote, waliwatisha na kuwatia hofu wananchi wa Zanzibar, wasiweze kuingia kwenye marudio ya Uchaguzi Mkuu.
2020-01-22T09:43:41
https://habarileo.co.tz/habari/2019-12-205dfc6760e10a3.aspx
[ -1 ]
wewe forgot about Rosemary! xD zaidi ya mwaka mmoja uliopita As I always do XD zaidi ya mwaka mmoja uliopita goddamnit COLA why u no want wiezlga to happen xD zaidi ya mwaka mmoja uliopita I didn't say that XP It's just gonna be instant zaidi ya mwaka mmoja uliopita mmmmhmmmmmm zaidi ya mwaka mmoja uliopita i give up *sigh* zaidi ya mwaka mmoja uliopita Hm, that was easier than I expected :P zaidi ya mwaka mmoja uliopita (: It wasn't intentional though zaidi ya mwaka mmoja uliopita
2019-10-20T17:13:21
http://sw.fanpop.com/clubs/windwakerguy430/forum/post/224272/125/black-death-rp
[ -1 ]
Video editing programme inayobadilisha original video background | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Video editing programme inayobadilisha original video background Discussion in 'Tech, Gadgets & Science Forum' started by Rutunga M, Nov 23, 2011. Naomba kujuzwa juu ya hii programme lakini nataka inayo-operate katika Window not mac Naomba pia ufafanuzi. Ukitazama studio nyingi za TV wakati wa news hasa Channel ten,Star tv na TBC wasomaji wa news hupigwa picha wakiwa katika vyumba vya kawaida lakini background zinazoonekana zikibadilika badilika huzitengeneza via computer,je ni programme gani wanatumia? Nyuma ya Watangazaji kuna blue/green screen na tendo hilo kwenye editing inaitwa Chroma key unaweza kutumia Premiere Pro au Magix Pro kufanya chromagane effects nitashukuru sanaClick to expand... Rutunga M, program zote za editing zina chorma key ila tuu watu wako wasivae nguo za blue!. Kama unatumia mac, windows za nini?. Prog ya mac ni final cut pro, ina edit kwa real time, program zote za windows zinachukua muda mrefu sana kurender materias za HDV. Kama unatumia mac, windows za nini?. Prog ya mac ni final cut pro, ina edit kwa real time, program zote za windows zinachukua muda mrefu sana kurender materias za HDV.Click to expand... Asante,Lakini mimi natumia DV format kwa sasa siyo HDV.Pia Final Cut is only for mac ambazo sina tatizo la kuchelewa kwa window siyo tatizo kubwa kwangu kwani sifanyi kazi kubwaaa,fupu fupi tu nimejaribu kudwnloadd hizo magix pro naona ina 354MB na sijui kama hiyo ni trial ama vipi.Lakini kwa mwanga huu nawashukuru sana JF 4 L! JF 4 L!Click to expand... Mkubwa,Zunguka zunguka hoja lakini kama unafanya video editing ni lazima utumie Computer na OS za MAC,vinginevyo ni kucheza tu. Mkubwa,Zunguka zunguka hoja lakini kama unafanya video editing ni lazima utumie Computer na OS za MAC,vinginevyo ni kucheza tu.Click to expand... Sakafia kabisa huo ujumbe.Belivdat Ni uzushi kuwa unahitaji mac kufanya editing halina ukweli wowote, dollar for dollar kwenye windows utapata compyuta nzuri zaidi. Ni uzushi kuwa unahitaji mac kufanya editing halina ukweli wowote, dollar for dollar kwenye windows utapata compyuta nzuri zaidi.Click to expand... kweli kabisa tena kwa bei unayotumia kununua MAC basi utapata kompyuta yenye uwezo wa wa hali ya juu ya windows. Sidhani ni mpaka uwe na computer ya mac nio ufanye quality graphics editing. una chohitaji ni kuwe na computer hatakama ni widnows yenyew uwezo mkubwa wa kuhandle graphics. Zipo computer za windows zenye specs nnuzri tu. Mi nadhani wanaosema ni Mac tu ndio inafaa kwenye mambo ya graphcs editing wanakuwa washabiki zaidi Mi nadhani wanaosema ni Mac tu ndio inafaa kwenye mambo ya graphcs editing wanakuwa washabiki zaidiClick to expand... Ni kweli kabisaaaaaaaa?!! Mie natumia window kwa video editing kwa miaka mingi tu! Labda ndugu zetu Mzizi Mkavu na Mtazamaji jaribu kutupa specification ya pc inayoweza kuhandle vizuri graphics katika window. Mie natumia PC iliyo na window XP. More details HP AMD Athlon 64 Processor 3800+ 2.40 GHz 2GB RAM. Kwa editing natumia Adobe Premier CS 5.5 na mambo ni bomba. Kama kuna mtu anaweza kutupa specification ya nyingine itakuwa vizuri zaidi. Kama kuna mtu anaweza kutupa specification ya nyingine itakuwa vizuri zaidi.Click to expand... Chukulia mfano wa system requiremnt za adobe CS5.5 Master collection. Master collection ya adobe ina application hizi zaidi ya(15) Photoshop® CS5 Extended Illustrator® CS5 InDesign® CS5.5 Acrobat® X Pro Flash® Catalyst® CS5.5 Flash Professional CS5.5 Flash Builder® 4.5 Premium Edition Dreamweaver® CS5.5 Fireworks® CS5 Contribute CS5 Adobe Premiere® Pro CS5.5 After Effects® CS5.5 Adobe Audition® CS5.5 Adobe OnLocation™ CS5 Encore® CS5 Bridge CS5 Device Central CS5.5 Media Encoder CS5.5 Sada adobe wanapenndekza system requireent za mshine ziweje . NB agalia kuna requiremet ambayo inaweza kuwa ndgo lakini kuna recomended ( Moja wapo ni RAM iwe zaidi ya 2GB kwa windows) ili mtu ufanye kazi kwa ubora wa hali ya juu System requirements for cs 5.5 Master collection Intel® Pentium® 4 or AMD Athlon® 64 processor (Intel Core™ i3, i5, or i7 or or AMD Phenom® II recommended); Intel Core 2 Duo or AMD Phenom II required for Adobe® Premiere® Pro; processor with 64-bit support required for Adobe Premiere Pro and After Effects® Microsoft® Windows® XP with Service Pack 3; Windows Vista® Home Premium, Business, Ultimate, or Enterprise with Service Pack 2; or Windows 7; 64-bit edition of Windows Vista or Windows 7 required for Adobe Premiere Pro, After Effects, and the Subscription Edition of Master Collection 2GB of RAM (4GB or more recommended) 24.3GB of available hard-disk space for installation; additional free space required during installation (cannot install on removable flash storage devices) 1280x900 display (1280x1024 recommended) with qualified hardware-accelerated OpenGL graphics card, 16-bit color, and 256MB of VRAM Adobe-certified GPU card for GPU-accelerated performance in Adobe Premiere Pro; visit Tech specs | Adobe Premiere Pro CS5.5 for the latest list of supported cards Some GPU-accelerated features in Adobe Photoshop® require graphics support for Shader Model 3.0 and OpenGL 2.0 Some features in Adobe Bridge rely on a DirectX 9–capable graphics card with at least 64MB of VRAM 7200 RPM hard drive for editing compressed video formats; RAID 0 for uncompressed Adobe-certified card for capture and export to tape for SD/HD workflows OHCI-compatible IEEE 1394 port for DV and HDV capture, export to tape, and transmit to DV device Sound card compatible with ASIO protocol or Microsoft Windows Driver Model DVD-ROM drive compatible with dual-layer DVDs (DVD+-R burner for burning DVDs; Blu-ray burner for creating Blu-ray Disc media) J Mac OS Mac OS X v10.5.8 or v10.6; Mac OS X v10.6 required for Adobe Flash Builder™ 4.5 Premium Edition and Flash Builder integration with Flash Catalyst® and Flash Professional; Mac OS X v10.6.3 required for GPU-accelerated performance in Adobe Premiere Pro Core Audio–compatible sound card Sasa huu ni mfano wa laptop za za windows zinaweza kupiga mzigo bila usumbufu kwa full package ya cs5.5 Master collection ASUS G73JW-A1 bei $1500 - $2000 kutegemea na model .Toshiba Satellite A665-3DV8 - Sasa Mac yenye perfomremce sawa na Asus G73JW au hizo mshine chache za winws nilizotaja hapo juu inauzwa zadii ya $ 2400. So unaweza kupata mashine yenye uwezo mkubwa ya windows kwa $ 2000 na ikachapa mzigo vizuri sana kama mac na ukawa umeokoa karibu $ 400 Labda wanaosema kuwa Mac is better watupe technical reasons why the come to that conclusion. aisee natafuta cs5 naweza pata. aisee natafuta cs5 naweza pata.Click to expand... Aiseee nilipata Download music, movies, games, software! The Pirate Bay - The world's most resilient BitTorrent site sasa jaribu bahati yako. Vyovyote vile ila what is required is quality video. Vyovyote vile ila what is required is quality video.Click to expand... Na ili upate quality video lazima uwe na programm bora na nzuri mfano Final cut pro ambayo inafanya katika Mac tu. Na ili upate quality video lazima uwe na programm bora na nzuri mfano Final cut pro ambayo inafanya katika Mac tu.Click to expand... Si kweli. Ni ushabiki tu kama wa simba na Yanga
2017-04-27T03:16:52
https://www.jamiiforums.com/threads/video-editing-programme-inayobadilisha-original-video-background.196043/
[ -1 ]
YANGA YA ZAHERA IKIMKOSA YONDANI, KUTAKUWA NA SUBIRA KWA MAKAMBO? - Gazeti la Dimba Home Makala YANGA YA ZAHERA IKIMKOSA YONDANI, KUTAKUWA NA SUBIRA KWA MAKAMBO? NA MAREGES NYAMAKA MABINGWA wa kihistoria nchini, Yanga, wanaendelea kujifua Mji Kasoro Bahari, mkoani Morogoro kwa ajili msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara, chini ya kocha kutoka DRC, Zahera Mwinyi. Maandalizi hayo yana maingizo mapya yaliyosajiliwa msimu huu, huku yakiwafanya mashabiki wengi kukosa imani nayo. Kiashiria cha kukosa tabasamu kwa wana Yanga, ni maneno yanayosikika vinywani mwao yakieleza bayana kutokuwa na imani na usajili wa aina hiyo ambao katika klabu hiyo hawajauzoea. Sura mpya ndani ya kikosi hicho iliyofanywa na Kamati ya Usajili kupitia kwa Mwenyekiti wake, Hussein Nyika, ni wachezaji Mrisho Ngassa, Deus Kaseke, Feisal Salum ‘Fei Toto’, Mohamed Japhary, Mohamed Issa, Klaus Kindoki na Heriter Makambo kutoka nchini DRC. Kilichofanywa na Nyika ni sawa na mbuzi kula kulingana na urefu wa kamba yake, maana kuna ukweli kwamba klabu haikuwa vizuri kimapato. Ni ngumu kukikimbaza na timu kama za Singida United, Simba na Azam ambao wanaonekana wako vizuri katika eneo hilo la uchumi, lakini pia ushirikiano ukiwa wa hali ya juu sana. Katika usajili huo wa Yanga ukijimuisha na wachezaji waliosalia, unaiona kazi kubwa ya kocha Zahera ambaye atalazimika kuipanga vizuri timu yake hasa nafasi ya ulinzi ambako hakukuwa na ingizo jipya. Pia kulikuwa na mapungufu baada ya beki wake wa kulia, Hassan Kessy kutimkia Zambia ambako inaelezwa amejiunga na timu ya Nkana Red Delvis. Kwa maana hiyo, nafasi hizo sasa zitakuwa chini ya Juma Abdul, Pato Ngonyani, Andrew Vicent ‘Dante’ Abdlalah Shaib wote hao wakitegemea uzoefu wa Kelvin Yondani ambaye ni kiongozi wa eneo hilo. Yondani alipokosekana katika michezo kadhaa ikiwamo mechi tano alizofungiwa na Shirikisho la Soka nchini (TFF), hakukuwa na muunganiko eneo hilo, hiyo inaleta mashaka katika michuano ijayo ya ligi yenye jumla ya timu 20 msimu huu. Hata hivyo, inawezekana kocha huyo naye akaibuka na hatua zake pengine akafanya ‘surprise’ kwa kumtumia mchezaji mwingine badala ya Yondani kama zilivyo falsafa za makocha wengi. Kwa upande wa ushambuliaji, zinahitajika juhudi za kuficha pengo la mpachika mabao, Obrey Chirwa, kazi ambayo rasmi inatakiwa kufanywa na mrithi wake Mcongo, Makambo ambaye ni pendekezo la Zahera mwenyewe. Pembeni ya Mcongo huyo yupo Ibrahim Ajib ambaye licha ya uwezo mkubwa alionao, lakini inabidi kuangaliwa zaidi kutokana na mabadiliko yake yasiyotarajiwa. Katika safu ya kiungo, hapo kwanza ndipo hakuna mchezaji aliyeondoka, kikubwa zaidi wameongezwa watu wengine wa kazi, maana yake upinzani wa nafasi unakuwa mkubwa. Chipukizi Fei Toto ambaye amecheza mashindano kadhaa makubwa ikiwamo Ligi ya Mabingwa (Afrika Caf), akiwa na JKU ya Zanzibar, ana nafasi kubwa ya kuwania namba ndani ya kikosi cha kwanza, licha ya eneo hilo kuwepo akina Papy Kabamba Tshishimbi, Thaban Kamusoko, Thaban Kamusoko, Jafary Mohammed, Mohammed Issa ‘Banka’ na Raphael Daud. Inaweza kuwa Yanga itakayotisha endapo ndoto ya kocha Zahera itakwenda sawia na aina ya wachezaji alionao. Previous articleYANGA HUIONI, TSHISHIMBI UNAMUONA Next articleKAGERE ANASUBIRI KIPENGA KIPULIZWE TU!
2019-08-19T06:23:17
http://www.dimba.co.tz/yanga-ya-zahera-ikimkosa-yondani-kutakuwa-na-subira-kwa-makambo/
[ -1 ]
Ukipenda penda - Wamathai Ukipenda penda Posted on November 18, 2013 by Mary Ambi | 2 Replies Ni kama kikohozi, Ndilo nilowasikia wakisema, Magwiji wa sanaa na mistari, Nayo lizidisha kuchemua, Harufu yake ya manukato. Koo liwasha, mikwaruzo- Kukohowa ilibidi, Japo makali kwa vidonge lipunguza; Ama likuwa kama kohozi, Langu kwake penzi. Alinipamba kwa zawadi, Maji moto pia kanipa, Japo kulikausha. Nalo ni kikohozi, Kulificha mie kashindwa. Kumbe mwenzangu, Kwa limau, ‘tungu sumu na tangawizi, Penzi kazuia, nalo ni kohozi, Lamlipuka baada ya kitambo, Mwenzio ‘shanikaukia! Basi ‘kipenda, penda, Penzi lauma, ni kama kikohozi, Ila likisha ni mazoea, Ni tabasamu la kumbukumbu, Sizuie uwapo mwasho! Share this:Click to share on Facebook (Opens in new window)Click to share on WhatsApp (Opens in new window)Click to share on LinkedIn (Opens in new window)Click to share on Tumblr (Opens in new window)Click to email this to a friend (Opens in new window)Click to print (Opens in new window)Click to share on Telegram (Opens in new window)Share on Skype (Opens in new window)Click to share on Twitter (Opens in new window)Click to share on Google+ (Opens in new window)Click to share on Pocket (Opens in new window) Posted in Poetry. About Mary Ambi Mary is a political scientist graduate, with a keenness for spoken word for it gives her the next set of words and a passion for the written word! View all posts by Mary Ambi → 2 thoughts on “Ukipenda penda” Nyokabi Karanja said on March 16, 2014 at 1:31 am: This poem just called out to me,the simplicity and richness of it.The fact that is in swahili inspires one to indulge more in the language.Thanks for sharing. Mary Mj Ambi said on April 15, 2014 at 2:04 pm: thnx Nyokabi
2017-06-29T14:20:18
http://www.wamathai.com/2013/11/18/ukipenda-penda/
[ -1 ]
Kuna Maumivu Ndani ya Moyo Wangu | Kanisa la Mwenyezi Mungu Kuna maumivu ndani kabisa ya moyo wangu. Kila ninapofikiria kuhusu zamani ni kama kisu kilipinda moyoni mwangu. Wakati mmoja nilimpinga na kumkufuru Kristo. Nilimwamini Mungu lakini sikumjua, na nikampinga. Nilimshuhudia Kristo akionyesha ukweli lakini bado nilimkana, mimi si tofauti na Mafarisayo. Sitasahau kamwe somo hili lililoandikwa kwa damu. Nimeachwa na toba na majuto ya milele. Nilimwamini Bwana kwa miaka mingi lakini sikufuatilia ukweli. Nilijizatiti kwa maarifa ya kibiblia ili kuringa. Nilizungumza juu ya nadharia za teolojia ili kuwafanya wengine waniabudu na kuniheshimu. Nilijitahidi kwa ajili ya baraka na thawabu. Nilikuwa mbinafsi na mwovu, bila kujali kamwe mapenzi ya Mungu. Nilipiga kelele nyingi juu ya kumpendeza Mungu lakini sikutenda ukweli. Niliapa kuwa mwaminifu kwa Mungu kwa maneno lakini sikutekeleza wajibu wangu. Nilikuwa mcha Mungu kwa nje lakini sikumtii Mungu. Hukumu na kuadibu kwa Mungu vinanifanya nisujudu. Natetemeka kwa hofu ninapoona tabia ya Mungu ya haki. Nachukia upotovu wangu wa kina na ukatili. Nimetenda dhambi nyingi sana na nimeuvunja moyo wa Mungu. Kwa yote niliyoyafanya ningeangamizwa na Mungu muda mrefu uliopita. Lakini Mungu ni mvumilivu na mstahimilivu kwangu, Akanipa nafasi ya kutubu. Kuona wokovu wa Mungu kunaujaza moyo wangu majuto. Nimeamua kutenda ukweli na kuishi kwa kudhihirisha mfano wa binadamu. Niko tayari kutumia maisha yangu kwa ajili ya Mungu na kulipa mapenzi ya Mungu. Nitamtii Mungu na kumwabudu Mungu milele. Iliyotangulia:Tambua Kuwa Kristo Ni Ukweli Milele Inayofuata:Upendo wa Kweli wa Mungu
2020-08-14T22:16:14
https://sw.godfootsteps.org/pain-deep-in-heart-txt.html
[ -1 ]
DC WA ILALA JIJINI DAR ES SALAAM ATOA SOMO KWA WAJUMBE WA BARAZA LA ARDHI - PAMOJA BLOG Home > Matukio > mkuu wa wilaya > Sophia Mjema > DC WA ILALA JIJINI DAR ES SALAAM ATOA SOMO KWA WAJUMBE WA BARAZA LA ARDHI 10/09/2016 02:25:00 PM Matukio, mkuu wa wilaya, Sophia Mjema
2017-08-21T19:47:58
http://www.pamoja.co.tz/2016/10/dc-wa-ilala-jijini-dar-es-salaam-atoa.html
[ -1 ]
Azam, Simba, Jamhuri zitavuna zilivyopanda By Editor 16th February 2013 Timu tatu za Azam, Simba na Jamhuri ya Zanzibar zinacheza mechi za kwanza za michuano ya Afrika kati ya leo na kesho ambazo kwa namna ya ajabu tena mwaka huu zote zitaanzia nyumbani. Azam leo inacheza na Al Nasir Juba ya Sudan Kusini katika mchezo wa Kombe la Shirikisho kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam wakati Jamhuri itacheza na St. Georges ya Ethiopia katika Ligi ya Klabu Bingwa kwenye Uwanja wa Gombani, Pemba kesho. Mabingwa wa Bara Simba na wazoefu wa michuano ya kimataifa watacheza pia kesho na Recreativo do Libolo ya Angola kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam katika pambano la Ligi ya Klabu Bingwa Afrika. Tungependa, Nipashe, kuzitakia heri timu hizi katika michezo yake ya wiki-endi ya klabu ya Afrika ili zitoke viwanjani na matokeo mazuri. Zote. Lakini, tunafahamu Nipashe, mpira wa sasa ni sayansi na mwanasayansi anayefanikiwa ni yule ambaye amefanya maandalizi mazuri maabara kabla ya kuingia kwenye 'mtihani' ulio mbele yake. Hivyo pamoja na kupenda Azam, Jamhuri na Simba zizifunge timu za Sudan Kusini, Ethiopia na Angola na kujiweka katika mazingira ya kusonga mbele, tunajua kuwa ni maandalizi ya timu zetu kwa ajili ya mechi za leo na zile za marudiano baada ya wiki mbili, ndiyo yatakayoaumua ni nini zitavuna. Tunafahamu kuwa Azam ilifanya ziara za mazoezi JK Kongo na Kenya na imekuwa ikifanya vizuri kwenye mechi za duru la pili la ligi kuu ya Bara. Kama Azam, Simba nayo ilikwenda Oman ambako iliweka kambi ya wiki mbili ambayo haijaleta furaha ya kutosha kwa mashabiki wake baada ya kutoka sare mbili mfululizo na timu mbili za JKT. Kuna habari chache sana zinazoelezea maandalizi ya Jamhuri lakini tuna hakika kuwa ilikuwa ikijiandaa vizuri hapa hapa. Je, ziara ya nchi mbili za jirani ya Azam ambayo imekuwa timu pekee kushinda mechi zake zote tatu za mzunguko wa pili iliwawezesha wachezaji wake kuwa katika mazingira ya kuibuka na ushindi dhidi ya Al Nasir Juba leo? Ndilo swali ambalo tunaweza kujiuliza, Nipashe, hasa ukizingatia ugeni wa Azam katika michuano ya klabu ya Afrika. Faraja pekee ambayo tunapata, Nipashe, ni kuwa kutokana na upya wa Sudan Kusini hii pia ni mara ya kwanza kwa Al Nasri kucheza katika michuano hiyo hivyo ni msuli na akili za wachezaji wa Stewart Hall wakati wa maandalizi tu vinavyoweza kuwafanya Watanzania waamke kesho asubuhi wakiwa na matumaini mapya katika anga ya soka ya Afrika. St George ni timu ambayo imekuwa ikishiriki mara kwa mara michuano ya klabu ya Afrika lakini kwa bahati nzuri, pia ni moja ya washiriki wa mara kwa mara wa Kombe la Kagame la klabu bingwa ya Afrika Mashariki na Kati hivyo kutokuwa katika nafasi ya kuwashangaza mabingwa wa zamani wa Zanzibar Jamhuri. Lakini Jamhuri ilifanya maandalizi ya kutosha ya kimya kimya ya kuwa katika nafasi ya kupeperusha vizuri bendera ya Zanzibar kwenye Ligi ya Klabu Bingwa Afrika? Sare mbili mfululizo zinaweza kuwa zimekatisha tamaa ya ushindi mashabiki wengi wa Simba ambao walitaraji kuona matunda ya timu yao kuishi kwa wiki mbili Oman ni 'dozi' mfululizo kwa timu pinzani kwenye ligi kuu ya Bara. Lakini inapochukuliwa kuwa sare hizo ni dhidi ya timu za JKT ambazo zina sifa ya ukakamavu na maandalizi ya umakini kwenye makambi ya jeshi la kujenga taifa, ambacho Nipashe na mashabiki wa Simba tuna wasiwasi nacho ni kama mafunzo ya Uarabuni yalikuwa mazuri na yalipokelewa vya kutosha kuwezesha timu hiyo 'kuituliza' Libolo. Kama mafunzo na mapokeo yaliyotolewa JK Kongo, hapa hapa na Oman yalikuwa mazuri vya kutosha timu zetu zitang'ara zikitupa karata za kwanza za michezo ya kwanza ya michuano ya klabu ya Afrika mwaka huu na tungependa iwe hivyo, Nipashe.
2013-05-23T16:28:01
http://www.ippmedia.com/frontend/index.php/hl=23tion=com_content.com/el=2301208dll/kf-id/rficnte/1/function.fopen?l=51300
[ -1 ]
Vipengele - Pini ya Pini, Waunganisho wa Waandishi - Mchanganyiko wa Vyombo vya elektroniki | Infinite-Electronic.hk NyumbaniBidhaaWaunganisho, VipindiVipengele - Pini ya Pini, Waunganisho wa Waandishi Vipengele - Pini ya Pini, Waunganisho wa Waandishi 3144-2-00-21-00-00-08-0 Mill-Max Maelezo:CONN PC PIN CIRC 0.062DIA GOLD 3914-0-01-15-00-00-08-0 Mill-Max Maelezo:CONN PC PIN CIRC 0.077DIA GOLD 3601-3-07-21-00-00-08-0 Mill-Max Maelezo:CONN PC PIN CIRC 0.080DIA GOLD 4288-0-00-15-00-00-33-0 Mill-Max Maelezo:CONN PC PIN CIRC 0.018DIA GOLD 1997-2 Keystone Electronics Corp. Maelezo:CONN PC PIN CIRC 0.020DIA TIN 1376-2 Keystone Electronics Corp. Maelezo:CONN PC PIN CIRC 0.080DIA GOLD 11075 Keystone Electronics Corp. Maelezo:CONN PC PIN CIRC 0.040DIA TIN 11160 Keystone Electronics Corp. Maelezo:CONN PC PIN CIRC 0.040DIA TIN 74640016 Wurth Electronics Maelezo:CABLE CONNECTOR FOR DIRECT PLUG 7464006 Wurth Electronics Maelezo:CABLE CONNECTOR FOR DIRECT PLUG 74640010 Wurth Electronics Maelezo:CABLE CONNECTOR FOR DIRECT PLUG 7464004 Wurth Electronics Maelezo:CABLE CONNECTOR FOR DIRECT PLUG Maelezo: CONN PC PIN CIRC 0.080DIA GOLD Katika hisa: 94874 pcs Pakua: 3601-3-07-21-00-00-08-0.pdf Maelezo: CONN PC PIN CIRC 0.018DIA GOLD Katika hisa: 155528 pcs Pakua: 4288-0-00-15-00-00-33-0.pdf Maelezo: CONN PC PIN CIRC 0.030DIA GOLD Katika hisa: 595461 pcs Pakua: 3330-0-00-15-00-00-03-0.pdf Maelezo: .080" DIAMETER RIGHT ANGLE PINS Katika hisa: 133079 pcs Pakua: 3780-0-14-15-00-00-03-0.pdf Maelezo: CONN PC PIN CIRC 0.020DIA TIN Katika hisa: 215487 pcs Pakua: 1997-2.pdf Maelezo: .080" DIAMETER STRAIGHT PINS Katika hisa: 217042 pcs Pakua: 3580-1-00-15-00-00-03-0.pdf Maelezo: CONN PC PIN 0.040DIA GOLD Katika hisa: 233014 pcs Pakua: 6834-0-00-15-00-00-03-0.pdf Maelezo: CONN PC PIN CIRC .017DIA TINLEAD Katika hisa: 120286 pcs Pakua: 3121-2-00-01-00-00-08-0.pdf Maelezo: CONN PC PIN Katika hisa: 94759 pcs Pakua: 8969-0-05-15-00-00-03-0.pdf Katika hisa: 110757 pcs Pakua: 1376-2.pdf Maelezo: CONN PC PIN CIRC 0.047DIA SILVER Katika hisa: 99039 pcs Pakua: 2104-2-01-44-00-00-07-0.pdf Maelezo: CONN PC PIN CIRC 0.040DIA TIN Katika hisa: 59610 pcs Pakua: 11075.pdf Maelezo: CABLE CONNECTOR FOR DIRECT PLUG Katika hisa: 34661 pcs Pakua: 74640016.pdf Maelezo: .060" DIAMETER STRAIGHT PINS Katika hisa: 179219 pcs Pakua: 3560-2-00-15-00-00-03-0.pdf Katika hisa: 74431 pcs Pakua: 11160.pdf Maelezo: CONN PC PIN CIRC 0.010DIA GOLD Katika hisa: 157254 pcs Pakua: 4184-0-00-15-00-00-33-0.pdf Maelezo: CONN PC PIN CIRC 0.025DIA TIN Katika hisa: 366452 pcs Pakua: 1428-4.pdf Maelezo: DOUBLE TAIL HEADER PIN Katika hisa: 127212 pcs Pakua: 3169-0-00-15-00-00-03-0.pdf Maelezo: CONN PC PIN SQUARE 0.025 GOLD Katika hisa: 84045 pcs Pakua: 85931-5.pdf Maelezo: CONN PC PIN CIRC 0.058DIA GOLD Pakua: 60599-3.pdf Maelezo: SLOTTED PIN W/COMPLIANT TAIL Katika hisa: 157862 pcs Pakua: 3622-0-32-15-00-00-03-0.pdf Maelezo: CONN PC PIN CIRC 0.050DIA GOLD Katika hisa: 194300 pcs Pakua: 1360-2.pdf Katika hisa: 113555 pcs Pakua: 3138-2-00-15-00-00-080.pdf Katika hisa: 68485 pcs Pakua: 11157.pdf Maelezo: CONN PC PIN CIRC 0.188DIA SILVER Katika hisa: 102305 pcs Pakua: 2807-2-01-44-00-00-07-0.pdf Maelezo: CONN PC PIN CIRC Katika hisa: 107251 pcs Pakua: 3221-2-00-80-00-00-08-0.pdf Katika hisa: 130214 pcs Pakua: 9159-0-00-15-00-00-03-0.pdf Katika hisa: 33680 pcs Pakua: 7464006.pdf Katika hisa: 57493 pcs Pakua: 11151.pdf Katika hisa: 448367 pcs Pakua: 3123-2-00-80-00-00-08-0.pdf Maelezo: SKT PGA SOLDRTL Katika hisa: 98908 pcs Pakua: 5155-0-00-34-00-00-03-0.pdf Maelezo: CONN PC PIN CIRC 0.048DIA GOLD Katika hisa: 418419 pcs Pakua: 0600-0-05-15-00-00-01-0.pdf Katika hisa: 68264 pcs Pakua: 11065.pdf Katika hisa: 36395 pcs Pakua: 74640010.pdf Katika hisa: 60223 pcs Pakua: 11159.pdf Maelezo: CONN PC PIN CIRC 0.040DIA GOLD Katika hisa: 385268 pcs Pakua: 3232-3-00-15-00-00-08-0.pdf Maelezo: CONN PC PIN CIRC 0.093DIA NICKEL Katika hisa: 342279 pcs Pakua: 1226.pdf Katika hisa: 66039 pcs Pakua: 11153.pdf Maelezo: CONN PC PIN CIRC 0.094DIA SILVER Katika hisa: 324411 pcs Pakua: 2352-2-01-44-00-00-07-0.pdf Katika hisa: 35569 pcs Pakua: 7464004.pdf Katika hisa: 83524 pcs Pakua: 2104-3-01-44-00-00-07-0.pdf Maelezo: STRAIGHT PIN Katika hisa: 129818 pcs Pakua: 6527-0-00-15-00-00-03-0.pdf Maelezo: CONN PC PIN CIRC 0.025DIA GOLD Katika hisa: 423915 pcs Pakua: 3130-2-00-15-00-00-08-0.pdf Katika hisa: 190436 pcs Pakua: 3124-2-00-15-00-00-08-0.pdf Katika hisa: 51617 pcs Pakua: 11156.pdf Katika hisa: 26237 pcs Pakua: 3233-2-00-34-00-00-08-0.pdf
2019-11-12T15:33:25
https://tz.infinite-electronic.hk/Connectors,Interconnects/Terminals-PC-Pin,Single-Post-Connectors.aspx
[ -1 ]
WAZIRI BITEKO APIGA MARUFUKU SHUGHULI ZA UCHIMBAJI WA MADINI YA BAUXITE KATIKA MILIMA YA BUGHAI WILAYANI LUSHOTO - MSUMBA NEWS BLOG WAZIRI BITEKO APIGA MARUFUKU SHUGHULI ZA UCHIMBAJI WA MADINI YA BAUXITE KATIKA MILIMA YA BUGHAI WILAYANI LUSHOTO WAZIRI wa Madini Doto Biteko akizungumza na wananchi wa Kata ya Magamba wilayani Lushoto mkoani Tanga wakati wa ziara yake kutembelea eneo milima ya Bughai kulikokua kunafanyika shughuli za uchimbaji wa madini ya Bauxite baadae kuzungumza na wananchi kupitia mkutano wa hadhara. WAZIRI wa Madini Doto Biteko kushoto akisisitiza jambo kwa Diwani wa Kata ya Magamba Mathew Mbaruku wakati wa ziara yake katikati anayeshuhudia ni Mkuu wa wilaya ya Lushoto January Lugangika MKUU wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella akizungumza kwenye mkutano huo MBUNGE wa Jimbo la Mlalo Rashid Shangazi akizungumza wakati wa ziara hiyo ya Waziri wa Madini Doto Biteko MKUU wa wilaya ya Lushoto January Lugangika akizungumza DIWANI wa Kata ya Magamba (CCM) Mathew Mbaruku akizungumza wakati wa mkutano huo kushoto ni Waziri wa Madini Doto Biteko kulia ni Mbunge wa Jimbo la Mlalo (CCM) Rashid Shangazi WAZIRI wa Madini Doto Biteko akiingia kwenye eneo la Milima ya Bughai kulikokua kukifanyika uchimbaji wa madini ya Bauxite Wananchi wa Kata ya Magamba wakimsikiliza Waziri wa Madini Doto Biteko Waziri wa Madini Doto Biteko kulia akimsikiliza kwa umakini Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Mazinde Juu wakati wa mkutano huo "Nimepiga mafuruku shughuli zote za uchimbaji kuendelea kwani nimeona kuna mashine kule za uchimbaji hivyo ziondoeni "amesema Waziri huyo.
2019-11-17T10:53:46
http://www.msumbanews.co.tz/2019/08/waziri-biteko-apiga-marufuku-shughuli.html
[ -1 ]
WABUNGE WA MKOA WA KAGERA WAKUTANA NA BALOZI WA UINGEREZA MJINI DODOMA LEO | BUKOBAWADAU Dodoma 9/06/2017. Wabunge wa Mkoa wa Kagera wamefanya kikao na Mhe Balozi wa Uingereza Bi Sara Cooke kujadiliana juu ya misaada kwa maendeleo ya mkoa hususan ujenzi wa shule ya sekondari ya Ihungo iliyoharibika katika tetemeko la tarehe 10/09/2016. Serikali ya Uingereza inajenga shule hiyo upya kwa msaada wa Shs bilioni 6 uliotangazwa tarehe 2/01/2017 wakati. Bi Cooke alipokuwa mgeni rasmi wa mhe Rais John Pombe Magufuli alipotembelea mkoa wa Kagera kuwafariji wahanga wa tetemeko la tarehe 10/09/2016. Balozi huyo amethibitisha kwa Mwenyeji wake aliyemkaribisha katika kikao hicho Prof Anna Tibaijuka ambaye pia ni Mwenyekiti wa Wabunge wa Mkoa wa Kagera kwamba Uingereza pia itajenga nyumba za walimu katika shule ya sekondari ya wasichana ya Rugambwa zilizoharibiwa na tetemeko. Itakumbukwa kwamba tarehe 2/01/2017 baada ya ziara ya Rais Profesa Tibaijuka alimsindikiza Balozi huyo akaione pia shule ya Rugambwa iliyoathirika kwa tetemeko. Juhudi hizo sasa zimezaa matunda. Profesa Anna ni mmojawapo wa wasichana waliosoma shule ya Rugambwa ilipofunguliwa mwaka 1965. Wahe Prof Anna Tibaijuka (Muleba Kusini) Wilfred Lwakatare (Bukoba Manispaa) na Innocent Bashungwa (Karagwe) wapo katikati. Nd. Sylvester Ernest Afisa Mwandamizi wa Siasa Ubalozi wa Uingereza yu kulia. Credit:Aidan Mapala
2017-10-24T00:05:14
http://www.bukobawadaumedia.com/2017/06/wabunge-wa-mkoa-wa-kagera-wakutana-na.html
[ -1 ]
KWA NINI UNATAKIWA KULITAFAKARI NENO LA MUNGU USIKU NA MCHANA? – …UTAIINUA MISINGI YA VIZAZI VINGI… (Isaya 58:12) February 6, 2007 January 12, 2008 Sanga KWA NINI UNATAKIWA KULITAFAKARI NENO LA MUNGU USIKU NA MCHANA? Na; Patrck samson Sanga. Yoshua 1:8 “kitabu hiki cha Torati kisiondoke kinywani mwako, bali yatafakari maneno yake mchana na usiku, upate kuangalia kutenda sawasawa na maneno yote yaliyoandikwa humo……..) Hapa tunaona jinsi Mungu alivyomtisitiza Joshua kwa habari ya kulitafakari neno la Mungu usiku na mchana . Lengo la waraka huu mfupi kwako mpendwa msomaji ni kukueleza sababu za msingi kwa nini ni lazima na sio ombi kwamba usome na kulitafakari Neno la Mungu usiku na mchana.Kabla sijakueleza sababu nikupe tafasiri ya Neno la Mungu kwa ufupi, neno la Mungu ni jumla ya mawazo ya Mungu juu ya mwanadamu. Ndani ya Neno kuna maamuzi (hukumu), sheria, maagizo na njia za Mungu za kumtoa mwanadamu katika shida aliyonayo, kumfanikisha katika mambo yote na kumsaidia, kuishi kwa kulishika shauri (kusudi) la Bwana. Sababu hizo ni ; (a) uweze kuelewa nini mawazo ya Mungu juu yako . Katika kitabu cha Yeremia 29:11 Mungu anasema nayajua mawazo ninayokuwazi si mawazo mabaya ………, sasa ili uweze kuelewa Mungu anakuwazia nini ni lazima usome kwa kulitafakari neno lake ili upate anachokueleza kuhusu maisha yako, huduma, kazi, biashara nk. (b) upate kuifanikisha njia yako. Yoshua 1:8b. Mungu anasema nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea ………….( Zaburi 32:8), kumbuka kila mmoja ana njia yake ya kupita ili kilitumikia shauri la Bwana. Sasa ili uweze kufanikiwa katika njia yako ni lazima usome na kulitafakari Neno la Mungu maana ni taa ya miguu yako. Zaburi 119:105. (c) usimtende Mungu dhambi . Zaburi 119:11. mwimbaji wa zaburi anasema, moyoni mwangu nimeliweka neno lako ili nisikutende dhambi. Neno linawekwa moyoni kwa kulitafakari. Kadri unavyolitafakari kimapana ndivyo linavyokusaidia na kukulinda na dhambi. Litakuonyesha hila na mitego ya dhambi ya shetani, na litakupa ushindi kwa kila ushawishi wa adui. (d)Ili uongezeke kiimani. warumi 10:17. Ikiwa chanzo cha Imani ni kusikia, na kusikia huja kwa neno la kristo, maana yake kadri unavyolisoma na kulitafakari Neno la kristo mara kwa mara, kisha ukajitamkia mwenyewe ili ulisikie hii ina maana lazima imani yako itaongezeka tu. (e)Neno limebeba jibu la mahitaji yako. Zaburi 107:20. kwa kuwa ndani ya neno kuna mawazo na njia (mikakati) ya kukufanikisha kimaisha, hii ina maana, unapolitafakari licha ya kuelewa mipango ya Mungu juu yako, pia utaelewa na njia za Mungu za kukuondoa katika shida uliyo nayo kiroho, kimwili, kindoa , kibiashara nk. (f)uweze kustawi sana . Yoshua 1:8b, Biblia inapozungumzia kustawi ina maana ya kutawala na kumiliki vema, kimapana yale ambayo Mungu ameyaweka chini yako .Mtu ambaye ndani yake amejaa Neno la Mungu kwa wingi huyo ana uwezo mkubwa sana wa kutawala na kuongoza watu pia. (g)Litakupa miaka mingi duniani . Mithali 3:1. Ukilitafakari Neno la Mungu katika maisha yako.Neno litakupa miaka mingi ya amani (mafanikio) hapa duniani na kila ulifanyalo litafanikiwa. (h)uwafundishe wengine kumjua Mungu. kumbukumbu 6:1-10. Mungu anataka watu wamjue yeye, kwa hiyo pindi unapotafakari anajifunua kwako, akajifunua kwako anataka uwaambie na wengine jinsi alivyo na ukuu wake ili wasimsahau yeye Naamini baada ya kuwa umejua umuhimu wa kusoma na kutafakari Neno la Mungu usiku na mchana, utaamua kuanza pia kulisoma na kulitafakari usiku na mchana. Previous KWA NINI TATIZO LA FEDHA LIMEKUWA SEHEMU YA MAISHA YA WAKRISTO? Next JINSI YA KUENENDA KWA ROHO. Utukufu kwa Mungu wetu akiyetuita kila mmoja kwa kusudi lake. Mshauri na mwalimu says: KWA KWELI NIMEBARIKIWA, NAWE UBARIKIWE nimebarikiwa kweli ni muhimu kusoma neno la Mungu kila wakati nimebarikiwa sana mtumishi…Mungu akubariki nawe. ibrahimu sanga says: aginiwage Yesu… ndebarikiwe sana ne limenyu ili nene ibrahimu sanga ndihoma homakete hwiniho Kweli Mungu anapolituma neno huwa halirudi bure,nimebarikiwa na umenigusa sana ubarikiwe mtumishi na Mungu azidi kukutumia asante. Nimebarikiwa sana Mungu azid kukutia nguvu za mwilini ni rohoni frenk nyangwe mwilwa says: Nimebalikiwa sana mawazo yangu naona Yesu ni neno mfano amri usiibe au usiseme uongo ukiweza kuzishika amri hizo na kuzitenda hizo hapo tunasema Yesu au neno limekaa ndani yako kwa hiyo Yesu ni hali nzuri na siyo object tusifikiri yesu ni kiumbe kinachoweza kukaa ndani yetu ni roho hayo ni mawazo yangu. mussa mwakatobe says: Mwenyezi MUngu akubariki Janeth Maina says: Mungu azidi kukubariki mtumishi wa Mungu unatutia nguvu ya kulisomaneno la mungu mwanzo nilisoma tu bila kutafakari kwa sasa nimepata muongozo kamili wa kujua neno la Mungu. Ahsante Janeth, Ashukuriwe Mungu kama umepata jambo la kukusaidia, maombi yako ni muhimu sana. Tumaini john says: Mungu akubariki kwa maana neno lake ni taa inayo tuongoza maishani mwetu. Amina Tumaini, ubarikiwe pia. neno la Mungu ni taa ya miguu yangu. ni vema kulitafakari kila wakat Thadei Kinyala says: Ubarikiwe sana Mtumishi, binafsi nimetiwa nguvu, tumaini lenye baraka na nimenoti mistari michache kwa ajili ya wengine. Amina ndg. Thadei, utukufu kwa Mungu, umefanya vema kuchukua hiyo mistari, tufanye kazi yake maadam ni mchana. bwana asifiwe kaka , mm ni mkumbo. ubarikiwe kwa kazi njema, na mungu azidi kukutumia katika huduma hii. baraka mchaka says: Nimependa somo lako. Mungu akubaliki ili uendelee kutangaza neno lake ili wasiofahamu waweze kufunuliwa na kufuata neno lake kwa usahihi, maana watu wengi wanashindwa kutafakari neno la Mungu, wanasubili kutafsiliwa na mtu mwingine hata kama ni cha uongo atafuata kutokana na uwelewa wa aliyemtafsilia nurueli says: Bwana Yesu asifiwe mtumishi, Mungu akubariki kwa mafundisho mazuri Philbert Kamugumya says: NENO LA BWANA NI NGUVU UBARIKIWE MTUMISHI WA MUNGU Ni kweli, Amina. Rose Mpembo says: Amìna. mayala kimotoli says: mtumishi Bwana akubariki sana maana umenitoa katika sehemu niliyokuwa na kuniweka mahali salama Glory to Jesus, tuzidi kuombeana. HOSEA MWASUNDA says: nimebarikiwa mtumishi Bizzo simiko says: Mmmh! somo tamu sana! Mungu akubariki mtumishi aendelee kukufunulia mafundisho ya Neno lake.. Hakika neno la BWANA ni tamu kushinda asali, tuzidi kuombeana Mungu akuzidishie hekima,ili nasi tuzidi kuvuna matunda kwako na kuwajuvisha wengine..zab1:1-3.heri mtu yile asiekwenda ktk shauri la wasio haki,wala hakusimama ktk njia ya wakosaji;wala hakuketi barazani pa wenye mizaha. Bali sheria ya Bwana ndiyo impendezayo Na sheria yake huitafakari usiku na mchana Naye atakuwa kama mti uliopandwa kandokando ya vijito vya maji uzaao matunda yake kwa majira yake; Wala jani lake halinyauki na kila alitendalo litafanikwa Amina, ahsante kwa neno na maombi yako Mungu akubariki sana Patrick kwa mafundusho mazuri. Nimekuwa nikiwashirikisha wanakikundi wenzangu kujifunza masomo haya na yamefanyika baraka sana katika maisha yetu na mwongozo mkubwa katika kulitumikia kusudi la Mungu katika nafasi mbalimbali. Binafsi kiwango changu cha imani kimekua kupitia mafundisho yako. Ninamwomba Roho Mtakatifu aniwezeshe kukuombea wewe na huduma hii bila kukoma. Roho Mtakatifu azidi kukupa mafunuo ili uendelee kulisha na kunywesha roho zetu. Mungu akubariki sana wewe na huduma yako. Amina dada Martha ahsante sana kwa ushuhuda wako, naam nashukuru sana pia kwa maombi yako maana kwa haikia nayahitaji sana hasa kipindi hiki cha sasa, tuzidi kuombeana na BWANA aendelee kukuza imani zenu na kuwafanya kumjua yeye zaidi na zaidi. Mungu wa mbinguni akubariki sana kaka kwa mafundisho mazuri, umeniongezea hatua kubwa sana katika kutumika. Na kwa nafasi hii nilopewa na kupata kibali namwomba Mungu kwa jina la Yesu azidi kuifunua akili yako kuyaelewa maandiko ili uendelee kuwaleta watu katika kusudi la Kristo. Mungu akubariki na kuiponya kila hatua ya huduma yako. Haleluya, utukufu kwa Mungu, tuzidi kuombeana NUHU J. MAKAYA says: Jihadhari na manabii wa uongo. Edson paul says: Mungu ni nimkubwa GODWIN MGENI says: barikiwa mtumishi kwa kutupatia chakula cha uzma Asante sana mtumishi kwa mafundisho yako mazuri, Mungua akubariki sana kwakweli nimebarikiwa saanaa Deogratius emmanuel says: Amen, nimebarikiwa na kujifunza kupitia neno hili. Mbarikiwe na kristo. Mtumishi umenena kweli mungu akuzidishie zaidi ANTHONY GAUDENCE says: Thanks, and God gonna bless u Mrs. Elly says: Mtumishi barikiwa sana …nimejifunza mengiii Ni kweli kabisa lazima tuishi kwa kutafakari neno ili tuweze kuyaishi mapenzi yake.Mungu akubariki brother. Fundisho zuri sana…ahsante ubarikiwe. RUNGU LA YESU says:
2018-05-24T14:09:34
https://sanga.wordpress.com/2007/02/06/maswali-na-majibu/
[ -1 ]
Alhidaaya Tathmini Shukurani Kumbukumbu Zako Email address : *[P] Number of messages : 1549 1-2-3-4-5-6-7-8-9-10 ... 78 on 29/05/2017 at 09:27 Anuary (Dar es salaam, Tanzania, United Republic of) Alhidaaya mashaallah on 24/05/2017 at 05:21 Abu Ateeq (Mombasa, Kenya) Assalammu alaykum wa rahmmatuullaahi wa barakauh Nafurahi sana kwa kupata mtandao huu wenye faida tele hasa ikizingatiwa kuwa unafuta manhaj ya Mtume Muhammad صلى الله عليه و آله وسلم Nawashukuru Sana wahusika wa huu mtandao na Allaah Awalipe kila la heri kwenye juhudi zenu. Maoni yangu nikuwaomba mufanye ushirikiano na islamqa.com ili tuweze kufanikiwa zaidi. Sshukran. on 21/05/2017 at 20:06 Farjallah Ubeyd Abdulrahman (Mombasa, Kenya) Assalaam Alaikum shukran tunafaidi sana ALLAH Awalipe kila la kheri on 20/05/2017 at 16:21 Raphael Taiya (Morogoro, Tanzania, United Republic of) Alhamdulillaah. tunawashukuru kwa maboresho ya blog yetu ambayo inatufunza mengi sana kuhusiana na dini yetu tukufu ya kiislaam. Allaah (Subhaana wata'ala) atawalipa kwa hilo. Poa niwapongeze kwa kuamua kuiba muda wa dunia (kufanya ya dunia) na kuamua kuupeleka muda huo katika maandalizi ya kesho Akherah (yaani kutumia muda wenu kuandaa yalo muhimu kwetu waislaam). Zaidi tudumishe upendo kwetu sote na tuweke tofauti zetu pembeni kwa ajili ya dini, bi idhnillaah. Nawapenda wote kwa ajili ya Allaah. on 18/05/2017 at 14:01 ABUU TAWHIIDULLAH HARUNA (MOROGORO, Tanzania, United Republic of) ASSALAAM A'LAIKUM WARAHMATULLAH WABARAKAATUH.Allah awalipe kheri nyingi na pepo ya juu.Kwa makala na elimu mnayo tujuza. Mwanzoni mlikuwa mmeweka website za wanachuoni mbali mbali,lakin hivisasa mmezitoa.Nashauri mzirudishe JAZAAKUMULLAH KHAIRAN on 16/05/2017 at 09:13 Masoud (Kongwa, Tanzania, United Republic of) ALHAMDULILLAH...Allah subhana h wataallah atawalipa kwa elimu mnayotupa.in sha Allah...Naomba mtuwekee tarehe kama ilivyo mwanzo. on 13/05/2017 at 09:53 Bi Lilla (Dar es Salaam, Tanzania, United Republic of) Natoa shukran nyingi sana kwa wote mnaotuletea mada mbalimbali hapa Alhiidaya. Natoa shukran zangu za dhati kwa matengenezo haya ya hii site kwa kweli ni mazuri na yanatupa urahisi sisi watumiaji wa hii site, kwa kweli imependeza. Allah awalipe lilobora zaidi kwa juhudi zenu. Shukran Maasalam. on 12/05/2017 at 12:33 Mohd abdalla mohd (Zanzibar, Tanzania, United Republic of) napenda sn jinsi mashekh wetu munavyo tufundisha mambo mbalimbali yanayo husu dua dini yetu ya kiislam m/mungu awazdishie amin.. on 12/05/2017 at 09:11 Mahdi Ibrahim (Tanzania, United Republic of) Assalaam alaykum warahmatullah Muonekano wa home page hauna mvuto na umekosa vitu muhimu hasa tarehe zote mbili Hijriya Na Miladiyya tunaomba mboreshe hayo! Wabillah Tawfiq on 11/05/2017 at 06:12 Salma (London, United Kingdom) Asalaam aleykum. Alhamdulillah tunanufaika sanaa na hii Web Allah akulipeni kila la kheri .Mimi mani yangu ni tarehe ya kiislamu tafadhali ni wahusika tuwekeeni ni muhimu sana kwetu. Wa jazakumullah khayran on 09/05/2017 at 06:53 Khamis f mabrouk (Zanzibar, Tanzania, United Republic of) Mm nakushaurin ktk jambo la kutuwekea tarehe ya kiisla kw kila siku kama ilivyokua awali na Allah awawezeshe ktk hilo amiin on 07/05/2017 at 21:37 Mustafa (Dar es salaam, Tanzania, United Republic of) Asalam..Alaykum maoni yangu naomba mu upload qur an na tafsiri yake ile ya aya kwa aya...naile tafsiri ya kila baada ya kifungu cha aya... maana waislamu wengi waanaisoma quran lakini hawajui maana ya aya zina maana gani In sha Allah natumai mtalifanyia kazi hili Asalam...Alaykum on 05/05/2017 at 13:15 Yusuf (Mpanda, Tanzania, United Republic of) Assalam alykum warhamtullah wabarakatuh.nimefurahi na namna mlivyoboresha program za Alhidaaya lakin tunaomba mtuwekee na tarehe za kiislam kama ilivyokuwa mwanz kwani wengine tunastafidi kwa kutizama humu ndani on 02/05/2017 at 06:14 Umm ayman wa abdullah (Dsm, Tanzania, United Republic of) asalam alaykum warahmatullah wabarakatul layout imependeza maa shaa Allah hongeren kwa jitihad kubwa hakika ukwelusiopingika tunanufaika sana na website yenu. Allah awalipe baraka llahu fiykum on 01/05/2017 at 11:42 Mohamed Ali (Zanzibar, Tanzania, United Republic of) Assalaam 'alaykum..tunaomba muendelee kutuwekea tarehe ya kiislam kwa mujibu wa muandamo wa mwezi duniani..inatusaidia sana..Allah Awalipe kheri kwa juhudi zenu on 01/05/2017 at 05:45 Muhammad Abdallah (Zanzibar, Tanzania, United Republic of) Assalaam alyakum Maoni yangu ni kuhusu tarikh ya kiislam kwenye hiyo front page (homepage) haipo, naomba iwekwe kama ya vile mwanzo on 30/04/2017 at 20:08 Khamis f mabrouk (Zsnzibar, Sweden) Assalamu Alaykum Warahmatu Allahi Wabarakatuh Mimi maoni yangu yapo hapa ktk layout ya sasa mbona haionyeshi tarehe ya kiislam kama layout ya zamani fanyen jitihada ili iweze kuonekana inatusaidia wengi Baaraka Allahu Fiykum on 30/04/2017 at 02:51 Juma tanbih (Daares sa laam, Tanzania, United Republic of) Allah akilipeni kila la kheri,kweli tinafaidika na majambo mingi sana, lakini vipj saaa mbona baada ya marekebisho tareikh haiyonekanwi? hua nikifungua tu naona tareikh sasa sioni tena on 28/04/2017 at 17:55 Abuu Yaasir AsSukumiy (Dodoma, Tanzania, United Republic of) السلام عليكم ورحمة اللَّهِ وبركاته Twayyib ikhwaah ALLAAH 'azza wa jall awalipe kila lenye kheri na awakinge na kila lenye sharri, hakika sisi ndugu zenu katika Iymaan tunawapendeni sana لله khaaswa na tunamuomba ALLAAH awazidishie nguvu na utashi pamoja na elimu zaidi yenye manufaa muzidi kutusaidia sisi ndugu zenu kwa hali zetu zote pasina ubaguzi. Tunafaidika sana na website hii ikhwaah, ujira wenu mtaukuta mbele ya ALLAAH tabaaraka wa ta'aalah siku ya malipo, in shaa ALLAAH. JazaakumuLLAAHU kheiran wa baaraka fiykum jami'ian... on 23/04/2017 at 14:54 Shau (Zanzibar, Tanzania, United Republic of) Tunakushukuruni wana wa ALHIDAAYA kwa kazi kubwa mnayoifanya. Nasi tunamuomba ALLAH akupeni kila kheri katika kila hali INSHAALLAH.
2020-08-15T20:00:10
http://www.alhidaaya.com/swahili/guestbook/?debut=80&mots_search=&lang=english&skin=&seeAdd=0&seeNotes=0&seeMess=0
[ -1 ]
Rwebangira Blog: Wadau wa TIGO NA RC Wadau wa Tigo Mkoani Tanga Kunani wakiwa na Rias wa Mkoa Bwana Abdulaziz wakti wa Mdahalo wa mashule ya seko mkoani, Mdau Rweyemamua aka Meneja Mtoto ndiye meneja mauzo wa kanda ya kaskazini akiwa na mikoa isiyo pungua mitano.
2017-04-25T08:33:51
http://bongopicha.blogspot.com/2008/09/wadau-wa-tigo-na-rc.html
[ -1 ]
TANZANIA YAOMBOLEZA NA UFARANSA ~ CCM Blog ","thumbnails"===n.vars.controlNav&&!0===n.vars.thumbCaptions){var c=s.attr("data-thumbcaption");""!==c&&void 0!==c&&(a+=''+c+"")}n.controlNavScaffold.append(" Home » » TANZANIA YAOMBOLEZA NA UFARANSA TANZANIA YAOMBOLEZA NA UFARANSA Bashir NkoromoJanuary 10, 2015 Mwakilishi wa Kudumu wa Jamahuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi, jana Ijumaa alijumuika na wawakilishi wa Kudumu wa Mataifa mengine katika Umoja wa Mataifa, waliojitokeza katika kile kinachoweza kuelezwa kama mshikamano kusaini kitabu cha Maombelezo kilichofunguliwa katika Uwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Ufarasa katika Umoja wa Mataifa, kufuatia tukio linaloelezwa kuwa la kigaidi lililotokea siku ya Jumatano ambapo watu kumi na mbali wakiwamo waandishi wa gazeti la Charlie Hebdo walipoteza maisha katika shambulio hilo. Pichani, Balozi Tuvako Manongi akibadilishana mawazo na Mabalozi wenzie muda mfupi kabla ya kusaini kitabu cha maombolezo kilichofunguliwa katika Uwakilishi wa Kudumu wa Ufaransa katika Umoja wa Mataifa, kufuatia tukio la jumatano ambapo watu kumi na mbili wakiwamowaandishi wa gazeti la Charlie Hebdo walipoteza maisha Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, akiandika salamu za rambirambi kufuatia tukio linaloelezwa kuwa la kigaidi ambapo watu kumi na mbili wakiwamo waandishi wa gazeti la Charlie Hebdo waliuawa
2018-07-21T05:33:48
http://ccmchama.blogspot.com/2015/01/tanzania-yaomboleza-na-ufaransa.html
[ -1 ]
Mbeya Yetu: MTOTO Adolotea Njavike(1.4) anaomba msaada wa matibabu kutoka kwa wasamaria wema ili aweze kufanyiwa upasuaji kutokana na Kichwa na Kiwiliwili kuungana baada ya kupata na ajali ya Moto akiwa na mama yake Mzazi. Joseph Mwaisango wa Mbeya yetu akiwa amempakata mtoto huyo
2017-02-25T13:35:25
http://mbeyayetu.blogspot.com/2014/02/mtoto-adolotea-njavike14-anaomba-msaada_28.html
[ -1 ]
Nyumbani Waandishi Posts by Steven Bancarz 48 POSTS 0 MAONI Steven Bancarz - Oktoba 15, 2016 Ujio wa pili wa Yesu: sitiari au halisi? Steven Bancarz - Tarehe 17 Septemba, 2016 Kategoria Teua kategoria Atheism (35) Atheism Debunked (32) Sayansi na mageuzi (7) Bible (66) New Testament (57) Pingamizi Debunked (15) Agano la Kale (12) Utegemezi na uaminifu (28) Christianity (48) Doctrine (9) Mbinguni na kuzimu (1) Objections Debunked (40) God (27) Pingamizi Debunked (18) Sababu & ushahidi (8) Teolojia (5) Jesus (87) Ushahidi wa kihistoria (29) Objections Debunked (51) Sababu za imani (30) Mmoja (1) Society & Culture (39) Abortion (10) Maisha (4) Vyombo vya habari, sinema, vitabu (14) Masuala ya ulimwengu (16) Studies (3) Supernatural (16) Mapepo na malaika walioanguka (10) Fringe (13) Testimonies (44) Conversions (41) Miujiza (4) Karibu uzoefu kifo (1) Uncategorized (2) World Religions (62) Ubuddha (4) Uhindu (4) Uislamu (13) Mormonism (2) New Age (38) Dini nyingine (13) 637,810MashabikiKama 116,565WatuKujiunga Yesu85
2019-02-22T10:57:58
http://reasonsforjesus.com/sw/author/etna/page/4/
[ -1 ]
Bati ya Migongo Midogo in Dar Es Salaam | ZoomTanzania Bati ya Migongo Midogo Bati ya Migongo midogo(Corrugated) Geji 28,30,32 zinapatikana kwa bei nafuu kabisa. Vipimo: Urefu wa bati ni futi 10(3metres) Upana wa bati ni 86cm na 90cm Warranty miaka 15 bila kupauka rangi na wala kupaka kutu.
2018-06-19T16:19:28
https://www.zoomtanzania.com/roofing-precast/bati-ya-migongo-midogo-1038000
[ -1 ]
UBORA WA COUNTINHO UKO MAENEO GANI ? - Tanzania Sports 16th March 2019 Last update at 1:23 pm Jana Barcelona wamefanikiwa kukamiliza vipimo vya Phillipe Countinho. Hivo rasmi ni mchezaji wa Barcelona , anachosubiri ni kukabidhiwa namba ya jezi atakayoivaa. Yuko kwenye ardhi ambayo alitabiriwa na wengi kama gwiji wa zamani wa Barcelona, Ronaldinho Gaucho. Ronaldinho aliwahi kusema mtu pekee anayeweza kuziba pengo la Neymar ni Phillipe Countinho. Muda huu tayari Phillipe Countinho yupo sehemu ambayo alikuwa anaitamani na wengi waliona ni sehemu sahihi ambayo itamfaa kucheza. Ameshakuwa mchezaji wa Barcelona tayari. Je ataenda kucheza katika mfumo ambao utamfaa ?? Barcelona msimuu huu wamecheza mifumo kadhaa kama 4-4-2, 4-3-3, 4-2-3-1. Ndani ya mifumo hii Countinho atafanikiwa kuchezaje ? 4-3-3. Huu ni mfumo ambao unakuwa na mabeki wanne, viungo watatu wa kati na washambuliaji watatu ambapo wawili watakuwa wanatokea pembeni na mmoja kusimama kama mshambuliaji wa kati. Katika mfumo huu Countinho anaweza kusimama kama mtu wa kuziba pengo la Neymar. Kwa sababu anaweza akawa anacheza kama mshambuliaji anayetokea pembeni kushoto kama ambavyo alivyokuwa anacheza Neymar. Katika mfumo huu Phillipe Countinho kule mbele anauwezo wa kucheza pamoja na Messi ambaye atacheza kama mshambuliaji wa pembeni akitokea kulia, na Suarez atacheza kama mshambuliaji wa kati. Kwenye huu mfumo pia, Countinho anaweza kutumika kama mtu wa kuziba nafasi ya Iniesta. Iniesta kwa sasa umri unakwenda, Phillipe Countinho anaonekana kama ni mtu ambaye amekuja kwa ajili ya kumpumzisha Iniesta. Hivo Phillipe Countinho anaweza akawa anacheza kwa kutokea katikati mwa uwanja. Hivo kule mbele kuwapa nafasi Dembele, Suarez na Messi kucheza huku yeye akicheza katikati akicheza na Sergio/Rakitic, Paulinho na yeye Katika mfumo wa 4-4-2, iwe Flat au Diamond anaweza akacheza vizuri akitokea pembeni kushoto. 4-2-3-1 hapa anaweza akacheza kwa kutokea katikati kushoto , mfumo huu unaruhusu viungo wawili wa kati ambapo kwenye viungo hao wa kati anaweza akacheza Sergio Bosquets na Iniesta huku kwa wachezaji watatu watakaocheza mbele yao wanaweza kucheza Countinho ambaye atatokea pembeni kushoto, Messi ambaye atatokea katikati na Dembele ambaye atacheza pembeni kulia huku mshambuliaji wa mwisho akabaki kuwa Baada ya kuangalia jinsi ambavyo Countinho anaweza kucheza vizuri katika mfumo wa Barcelona, hebu tuangalie ubora wa Phillipe Countinho Uwezo wa kuona na kujitengenezea uwazi ndani ya uwanja. Moja ya sifa ya Phillipe Countinho ni kukimbia na mpira, anapokuwa anakimbia na mpira huwa anatoa pasi kwa wenzake na kujiweka sehemu ambayo ina uwazi ili apokee tena mpira. Uwezo huu wa kujitengenezea uwazi , huwa unampa nafasi ya kuonesha madhara akiwa karibu na goli kwa sababu wakati anapotoa pasi na kwenda sehemu ambayo ni wazi huwa anauwezo mkubwa wa kupiga mashuti ambayo yana madhara. Ubora mwingine wa Phillipe Countinho ni uwezo wake wa kutengeneza muunganiko wa mashambulizi ndani ya timu. Phillipe Countinho akiwa anacheza katikati ya uwanja, hushuka chini kuchukua mpira na kuanzisha mashambulizi. Mpaka sasa Phillipe Countinho ana take ons 39 ambazo ni nyingi kuzidi take ons za Iniesta na Paulinho. Mchezaji pekee wa Barcelona anayemzidi Take ons ni Messi. Pia, Phillipe Countinho ni mzuri katika ufungaji na kutoa pasi za mwisho za magoli. Barcelona haina tatizo la magoli lakini ujio wake utakuwa umeongeza uzito katika magoli na upatikanaji wa magoli ( utengenezwaji wa magoli). Barcelona ina Messi ambaye anauwezo mkubwa wa kucheza mipira iliyokufa ( mipira ya adhabu ndogo au free kick). Phillipe Countinho ni mzuri sana eneo hili pia. Hivo anaingia kwenye kikosi cha Barcelona kuongeza nguvu kwenye eneo hili. Hivo, Ujio wa Phillipe Countinho umeonesha namna sahihi ambavyo Barcelona walivyotakiwa kutumia pesa za Neymar kwa busara. Tags: Barcelona, Liverpool F.C., Philippe Coutinho
2019-03-22T00:24:18
https://www.tanzaniasports.com/2018/01/09/ubora-wa-countinho-uko-maeneo-gani/
[ -1 ]
Bado hali ya VVU miongoni mwa watoto na Barubaru Afrika Magharibi na Kati ni mbaya. | Habari za UN Mashirika hayo ya Umoja wa Mataifa ni lile la kupambana na Ukimwi, UNAIDS, la kuhudumia wakimbizi, UNHCR na lile la afya, WHO ambapo wito huo wa kuongeza kasi ya kudhibiti maambukizi unazingatia ukweli kwamba mwaka 2017 takribani watoto 67,000 wenye umri wa kuanzia mwaka 0 hadi miaka 9 na barubaru wenye umri wa kuanzia miaka 10 hadi 19 walipata maambukizi mapya ya VVU. Theluthi mbili ya idadi hiyo yaani 46,000 ya barubaru waliopata maambukizi mapya ni wasichana. Taarifa ya UNAIDS inasema kuwa wakati mafanikio yameonekana katika kuzuia maambukizi kwa watoto katika baadhi ya nchi, nchi 11 zikiwa zinaonesha maambukizi kupungua kwa asilimia 35 kati ya mwaka 2010 na 2017, nchi nyingine ikiwemo Nigeria maambukizi katika ukanda huo, ilionekana kutopungua kabisa. Mkurugenzi mkuu wa UNAIDS Michel Sidibé anasema nchi za Magharibi na katikati mwa Afrika zina fursa ya kutengeneza mabadiliko chanya kwa watoto na vijana wadogo. Masuala ya msingi ni pamoja na ukosefu wa uwekezaji wa ndani, mifumo tete ya afya, malipo, kukosekana kwa usawa wa kijinsia, unyanyapaa na ubaguzi, hivi vyote lazima vitizamwe haraka ili ili kuondoa vikwazo na kuokoa maisha. Katika Afrika Magharibi na Kati, takribani watoto 800 000 na barubaru kwa mwaka 2017 walikuwa wanaishi na Virusi Vya UKIMWI, ikiwa ni idadi kubwa ya pili kote duniani baada ya mashariki na kusini mwa Afrika. vvu ukimwi hiv aids
2020-01-25T23:04:31
https://news.un.org/sw/audio/2019/01/1043912
[ -1 ]
Katni to Ambaji route, how to reach Ambaji from Katni by flight, bus and road Katni Ambaji Routes Chhatarpur Ambaji Tikamgarh Ambaji
2018-02-22T13:31:19
https://www.goibibo.com/routeplanner/katni-ambaji/
[ -1 ]
dhaka barisal launch service | KuakataTours 2 search results for dhaka barisal launch service in 0.387 seconds. hotel sky palace kuakata room decoration 3x bangla photo kuakata hotels bangladesh www BarisalBD Com bangladesh kuakata hotel Hotel Golden Palace Kuakata Bangladesh kuakata pic kuakata to sundarban kuakata com
2019-12-13T02:46:26
http://www.kuakatatours.com/search/dhaka-barisal-launch-service/
[ -1 ]
Msaada kupata daktari mtaalamu wa ENT | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Msaada kupata daktari mtaalamu wa ENT Discussion in 'JF Doctor' started by MNDEE, Aug 11, 2010. Wanajamvi nahitaji msaada wenu kumpata daktari wa ENT, mwanafamilia wangu anatatizo la uvimbe sehemu za shingoni na ameshauriwa kuonana daktari wa ENT. Kama unamfaham dr. ambaye ataweza kumuona nitashukuru sana. nenda Muhimbili kama upo Dar...au nenda kwenye hospitali yeyote ya Mkoa Unaishi sehemu gani? Nenda pale Namange kuna Clinic ya Daktari bingwa Dr. Kimario, Ni karibu na mataa ya kuingia msasani/na Ali hassani mwinyi au Nenda Muhimbili Muulizie Dr. Kimario Au Kupitia simu yake ya mkononi No. 0756714679 Dk Minja: Mikocheni Hospital au pale karibu na Kwa Shehe Yahya/Magomeni kuna Clinic ina madaktari mbalimbali wa ENT Wakuu ahsanteni sana kwa hizi details, mgonjwa wangu yuko Tanga na ameshaondoka kuelekea Dar. Wanajamvi, nimeona niwapatie update ya yule mgonjwa wangu. Pale Muhimbili alipigwa zile za nenda rudi kwa takribani miezi 6, kilichokuwa kinafanyika ni kupasua uvimbe leo hapa next time pengine. Tukaomba mgonjwa afanyiwe full blood picture, tukapeleka majibu nje ya nchi, tukaletewa repoti mgonjwa ana cancer ya damu. To cut the long story short, mgonjwa alipelekwa huko majibu yalikosomwa na ameshaanza Chemotherapy, tunashukuru Mungu anaendelea vizuri. Ahsanteni kwa ushauri. Wanajamvi, nimeona niwapatie update ya yule mgonjwa wangu. Pale Muhimbili alipigwa zile za nenda rudi kwa takribani miezi 6, kilichokuwa kinafanyika ni kupasua uvimbe leo hapa next time pengine. Tukaomba mgonjwa afanyiwe full blood picture, tukapeleka majibu nje ya nchi, tukaletewa repoti mgonjwa ana cancer ya damu. To cut the long story short, mgonjwa alipelekwa huko majibu yalikosomwa na ameshaanza Chemotherapy, tunashukuru Mungu anaendelea vizuri. Ahsanteni kwa ushauri.Click to expand... shukuru mungu kwa kufikiria mbele na kuchukuwa uwamuzi wa kipimo hicho cha damu... ! tunahitaji ma hematologist na vifaa tzn .. usingeingia gharama kubwa hizi.. poleni sna Nenda muhimbili kuna idara hiyo na utapata huduma ila uwe na barua ya rufaa toka hospitali kama temeke,m/mala au amana au nenda lugalo kuna doctor muhidze au ekenywa dispensary iko magomeni utamkuta specialist anaitwa dr.ole lengine(he is real good) mpe pole jamaa yako Pole kwa kuuguliwa ndugu. Nenda pale Namanga kuna doctor ana hospitali yake ya ENT na anafanya kazi muhimbili. pole sana kwa kuuguliwa.,hongera pia kupata matibabu sahihi. Pole sana kwa kuuguza. Pia pale magomeni mikumi nyuma ya yule mtabiri maarufu kuna Dr mmasai wa MNH ana clinic ya ENT Pia pale magomeni mikumi nyuma ya yule mtabiri maarufu kuna Dr mmasai wa MNH ana clinic ya ENTClick to expand... Huyo anaitwa Prof Ole na klinik yake inatwa EKENYWA Huyo anaitwa Prof Ole na klinik yake inatwa EKENYWAClick to expand... Asante kwa ufafanuzi mkuu..ni Dr mzuri wa ENT MNDEE kweli hakuna mtu Muhimbili aliyekwambia fanya Peripheral Blood Smear (Naamini sio Full Blood Picture, maana FBP hata daktari msaidizi anaweza isoma) mpaka ukaipeleka nje? Au ndiyo zile style za kutibiwa corridor na madaktari uchwara? Kuna Hematologists wazuri sana pale Muhimbili waliosoma ndani na nje ya nchi. Akina Rwehabura et al.
2017-01-23T07:11:19
https://www.jamiiforums.com/threads/msaada-kupata-daktari-mtaalamu-wa-ent.69527/
[ -1 ]
Madudu zaidi yabainika uwanja wa ndege D'salaam | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Madudu zaidi yabainika uwanja wa ndege D'salaam Kwa mujibu wa vyanzo hivyo, raia hao wawili wa kigeni, walikuwa nchini ambako siku zote walikuwa na urafiki na raia huyo wa Tanzania (jina tunalihifadhi kwa sasa) ambaye aliwasaidia kununua madini ya dhahabu kwa mapatano kwamba wangemlipa kiasi fulani cha fedha. "Yaani hakuna maji, umeme wala nini, angalia tunalinda mitambo nyeti ya uwanja yenye thamani kubwa lakini maeneo yetu ya kazi hayana umeme wala maji. Tutafanyaje kazi katika hali hii?," kilihoji chanzo kimoja. Tukio la awali Madudu hayo ni mwendelezo wa matukio ya kutatanisha uwanjani hapo, kufuatia tukio la Desemba 2, 2011 pale abiria Zainabu Kaswaka, alipokutwa na bastola kwenye ndege ya shirika la Emirates. Kamanda wa Viwanja vya Ndege nchini, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Ulrich Matei alithibitha taarifa hiyo akisema tukio hilo lilisababisha ndege hiyo iliyokuwa tayari imeanza kuruka, kutua tena kwa ajili ya kuitoa bastola hiyo na kuikabidhi kwa walinzi uwanjani hapo kabla ya kuendelea na safari. Abiria huyo alikuwa na hati ya kusafiria namba AB00828, alipita na kukaguliwa katika mashine mbili za usalama (X-ray machines), lakini walinzi ambao wanatajwa kutoka Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Kikosi cha Anga Ukonga (Air wing), hawakuweza kubaini kama moja ya mzigo wa abiria huyo ulikuwa na bastola ndani. Hadi sasa tukio hilo halijahitimishwa kwani abiria huyo hajarejea nchini. chanzo. Madudu zaidi yabainika uwanja wa ndege D'salaam ukiwa na fedha bongo yote yanawezekana............ Hivi ni baadhi ya vitu vinavyotushushia hadhi sisi watanzania, taifa letu kwa ujumla na taasisi zetu za usalama. chanzo. Madudu zaidi yabainika uwanja wa ndege D'salaamClick to expand... mtanzania huyu anastahili pongezi. Hao wa POLAND, kwao hakuna ardhi mpaka waje kupora madini yetu? na wakome kutufatafata. Hivi ni baadhi ya vitu vinavyotushushia hadhi sisi watanzania, taifa letu kwa ujumla na taasisi zetu za usalama.Click to expand... simlaumu mana anaiga mfano wa utapeli wa wakubwa zetu. nchi hii kila kitu ni kero tupu. naona huruma sana. Huyo mhalifu akamatwe na apewe adhabu kali! [TD="class: contentheading, width: 100%"]Madudu zaidi yabainika uwanja wa ndege D'salaam [/TD] [TD="class: createdate"] Monday, 09 January 2012 07:50 [/TD] Hadi sasa tukio hilo halijahitimishwa kwani abiria huyo hajarejea nchini. [/TD] wabongo ni matapeli vibaya sana Njaa kali... wabongo ni matapeli vibaya sanaClick to expand... tukiendelea kuendekeza utapeli,tusilalamike tukinyimwa nafasi za kazi ama tukikosa fursa nyingine muhimu. yote tisa ile ishu ya kontena feki la hela mpaka leo huwa nahisi kizunguzungu Bongo Daslama hiyo yote tisa ile ishu ya kontena feki la hela mpaka leo huwa nahisi kizunguzunguClick to expand... Bongo Daslamu. hii nchi ni 'bora liende tu' viongozi wanaiendesha nchi kwa mazoea. Na huwezi amini hayo yote yatasemwa na mwishowe hakuna hata uwajibikaji. Mtaona wenyewe... Hapo hatujasoma... Tungesoma je...
2017-07-22T19:08:16
https://www.jamiiforums.com/threads/madudu-zaidi-yabainika-uwanja-wa-ndege-dsalaam.210442/
[ -1 ]
Kada Chadema mbaroni kwa kusambaza habari za corona mtandaoni | Mtanzania Home Habari Kuu Kada Chadema mbaroni kwa kusambaza habari za corona mtandaoni Kada Chadema mbaroni kwa kusambaza habari za corona mtandaoni Upendo Mosha – Moshi Previous articleWanajeshi wa Rwanda watuhumiwa kubaka Next articleCAG eleza sababu deni la taifa kupaa
2020-05-31T17:43:52
http://mtanzania.co.tz/kada-chadema-mbaroni-kwa-kusambaza-habari-za-corona-mtandaoni/
[ -1 ]
Ujumbe toka Muhunda: January 2012 TPBC yaingia makubaliano na Chuo cha Polisi Moshi Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBC) na Chuo cha Polisi cha Kimataifa cha Moshi (CCP) wameingia makubaliano ya kukuza na kuendeleza vipaji vya michezo vya vijana. Katika Makubaliano hayo yaliyofikiwa mwezi August, 2011, TPBC na CCP watashirikiana kuchagua vijana wenye vipaji vya mchezo wa ngumi na kuwaendeleza ili waweze kucheza michezo ya majeshi pamoja na mashindano mengine ndani na nje ya Tanzania. Makubaliano haya yamekuja wakati ambapo Tanzania inahitaji msukumo mkubwa kwenye medani ya michezo ili kuweza kufufua ari na moyo wa michezo kama ilivyokuwa katika miaka ya 70 na 80. Aidha, Makubaliano haya yana lengo la kuandaa jeshi zuri la wanamichezo hodari watakaoleta sifa jeshi la Polisi pamoja na Tanzania kwa ujumla. Tayari vijana wengi wanafanya mazoezi katika kambi (Gym) ya ngumi ambayo imewekwa katika viwanja vya michezo vya CCP. Kambi hiyo inawashirikisha pia vijana kutoka maeneo mengine mkoani Kilimanjaro ambao sio Polisi. Katika kusimamia hili, Rais wa TPBC Onesmo Ngowi akishirikiana na Afisa Mipango na Utawala wa CCP Superintendent of Police, Lutusyo Mwakyusa watahakikisha kuwa vifaa muhimu vinapatikana pamoja na mazingira ya kufanyika mazoezi na upatikanaji wa wataalam wanaotakiwa wanapatikana. Naye Superintendent of Police, Yahya Mdogo ambaye ni Afisa wa Michezo katika Chuo cha Polisi cha Kimataifa Moshi ataangalia kwa karibu mwendendo mzima wa mahitaji ya kila siku ya mazoezi. Tayari TPBC imeshatoa vifaa muhimu vya mazoezi pamoja na wataalam (Makocha) wa kuwafundisha mabondia hao wako katika sehemu ya mazoezi. Vijana wengi ambao walikuwa hawana kazi au mahala pa kwenda wakati wa saa za jioni kwa sasa wanafanya mazoezi na wenzao katika uwanja wa CCP. Aidha, baadhi ya mabondia kutoka katika mkoa wa Kilimanjaro ambao walikuwa wameweka kambi katika jiji la Nairobi nchini Kenya na Arusha wamejumuika katika kambi hii mpya. Mabondia hao ni pamoja na Pascal Bruno anayejulikana na wengi kama "Prince Kilimanjaro", Emilio Norfat, Charles Damas, Alibaba Ramadhani, Robert Mrosso, Bernard Simon na wengine wengi Baadhi ya wataalam waliojitokeza kuwafundisha vijana hawa ni pamoja na Felix Joseph na Pius Msele ambao kwa nyakati tofauti wamewahi kuwa wachezaji na makocha wa timu ya ngumi ya taifa. haya ni baadhi tu ya mikakati mipya za TPBC za kuamsha ari ya mchezo wa ngumi kwa kuzisambaza mikoani kuliko ilivyozoeleka ngumi kufanyika katika mkoa wa Dar -Es-Salaam peke yake. "Kwa sasa kazi kubwa tulivyo nayo ni kuzipeleka ngumi mikoani ambako tunaamini kuna vijana wengi sana wenye moyo pamoja na vipaji vikubwa" alisema Ngowi. Ingekuwa unaishi kwenye sayari ya Mercury... Sayari inayojulikana kama Mercury ndiyo iliyo karibu zaidi na jua miongoni mwa sayari zinazojumuishwa ndani ya mfumo wa Jua na sayari zake inayojulikana kwa Kiingereza kama Solar System. Mercury ina umbali wa wastani wa kilomita 58 milioni kati yake na Jua. Dunia inachukuwa mwaka mzima, siku 365, kulizunguka jua. Mwaka mzima wa Mercury unachukuwa siku 88 tu. Lakini siku moja ya Mercury ni suala lingine. Siku nzima hapa duniani (au mzunguko mmoja wa dunia) inachukuwa saa 24. Siku nzima, au mzunguko mmoja, kwenye sayari ya Mercury unachukuwa siku 59 za hapa duniani. Mercury: sayari ndogo kuliko zote kwenye mfumo wa Jua na sayari zake. Picha kwa hisani ya NASA. Wanasayansi wanatumia muda mwingi kuchunguza uwezekano wa kuwepo uhai wa aina fulani kwenye sayari mbalimbali. Mpaka sasa bado hawajafanikiwa kupata viumbe hai vya aina yoyote sehemu nyingine zaidi ya hapa duniani. Na pengine vyema hali hiyo kubaki hivyo. Wazo kuwa kuna viumbe kama binadamu wanaweza kuishi kwenye mazingira ambapo mawio mpaka machweo ni siku 59 inaibua changamoto za aina yake. Maoni ya Amani Millanga kuhusu mafuriko ya Dar: sehemu ya nne kati ya nne Mafuriko haya yanatupa funzo la kuhakikisha kuwa tunavyo vyombo na vifaa vya kukabiliana na hali kama hii isitokee siku nyingine. Lakini pia tunakuwa wepesi wa kuchukua hatua za kuokoa maisha ya watu na si kusubiri hali inapokuwa mbaya ndipo tunaleta msaada kwa watu. Maisha ya watu wengi yangepotea kama si hatua za haraka na za makusudi zilizofanywa na mbunge wa Mafia za kukodi boti na kuipeleka eneo la mafuriko. Vyombo vya uokozi vya serikali vilikuwa wapi? Miaka 50 ya Uhuru, changamoto bado ni nyingi na kubwa sana lakini la kusikitisha zaidi ni kwamba mafunzo ya kuthamini utu wa watu ambayo tuliyarithi kutoka kwa hayati Baba Mwalimu Julius Kambarage Nyerere yametoweka katika nyoyo zetu na leo hii tunasisitiza waathirika "wahame" tena bila fidia. Tumewaona wanawake wajawazito na watoto wakiwa hawana chakula; tumewaona majeruhi hawapati matibabu katika muda muafaka; tumewaona wazee hawana nguo za kujisitiri. Ndugu zangu Watanzania, ama kwa hakika tumeuona umaskini ukitembea. Ni uchungu ulioje. Maoni ya Amani Millanga kuhusu mafuriko ya Dar: sehemu ya tatu kati ya nne Kuhama si suluhisho pekee la kukabiliana na maafa. Suluhisho ni kujenga miundombinu inayoweza kuhimili maafa hayo ingawa naamini nguvu ya Mungu ndiyo kinga kuu. Zipo nchi kama Japan na New Zealand ziko kwenye ukanda wa tetemeko la ardhi. Indonesia takriban kila mwaka inakumbwa na tetemeko la ardhi, milipuko ya volkano na mafuriko. Uturuki, Pakistani na hata Marekani huwa zinakumbwa na athari za mitetemeko ya ardhi na mafuriko. Ujumbe katika nchi hizi si kuhamisha watu bali ni kujenga miundombinu imara inayoweza kukabiliana na nguvu hizi za asili na walau kupunguza makali yake. Kwa Dar es Salaam sijasikia hoja ya kujenga kingo katika mto uliofurika ili kupunguza makali ya mafuriko siku zijazo. Kwa nini hatuoni hili la miundombinu na tunakimbilia kuwahamisha waathirika? Ni ukweli uliowazi kwamba maeneo yalikotokea mafuriko ni maeneo mazuri kwa biashara na ujenzi wa majumba makubwa ya kisasa. Je, wakishahama hawa waathirika maeneo haya yatabaki kuwa wazi tu au yatagawiwa kwa matajiri na "wawekezaji" kujenga vitega uchumi vyao? Kama serikali au jiji litayagawa haya maeneo kwa wawekezaji kwa nini tunataka kuwahamisha watu hawa bila kuwapa fidia inayolingana na thamani ya maeneo yao? Najua fika kuwa wakati huo waja, ambao serikali au jiji litasema 'maeneo haya ni mazuri kwa biashara na kwamba wawekezaji watajenga nyumba imara za kuhimili mafuriko na kujenga kingo kwenye mto na miundo mbinu ya kuzuia mafuriko'. Tutaipokea hoja hiyo kwa mikono miwili na kusahau kwamba ilifanyika dhuluma ya kuwahamisha waathirika bila kuwapa malipo. Naungana na waathirika kuidai fidia kabla ya kuhamishwa kwa haki katika maeneo yao. Natoa wito kwa serikali kuwalipa fidia waathirika. Pili natoa wito kwa Watanzania kuhakikisha kuwa waathirika wanapata haki yao. Natoa wito kwa jumuiya za kimataifa kuliangalia suala hili kwa kina na mapana yake. Maoni ya Amani Millanga kuhusu mafuriko ya Dar: se...
2017-06-27T20:56:04
http://muhunda.blogspot.com/2012/01/
[ -1 ]
18. Aug, 19:04 6pairs in dar es salaam free delivered 0754935890 Hair Dryer Blower For strong winds and low noise, it is reliable and practical. Additionally, designed in the right style, it is easy to carry without taking many positions. Power 1000W. Hairdryer blower 17. Jun, 04:28 Kwa urahisi wa matumizi katika saluni, nyumba, hoteli,Ambayo inaweza kukidhi mahitaji tofauti ya kukausha nywele. Mkono maalum wa kushikilia, ili watumiaji wanaweza kushikilia nywele kwa rahisi. Nguvu ya juu ya 1500W Wire mlefu 1.6m Kubwa na ya kudumu mda mrefu Rangi: Pink Uzito 0.5kg 0769169029
2019-10-19T05:06:21
https://www.zoomtanzania.com/fashion-beauty/dar-es-salaam?location=kinondoni-wazo
[ -1 ]
UVCCM WAMPITISHA MAGUFULI KUGOMBEA URAIS 2020 | MALUNDE 1 BLOG Home » habari , siasa » UVCCM WAMPITISHA MAGUFULI KUGOMBEA URAIS 2020 UVCCM WAMPITISHA MAGUFULI KUGOMBEA URAIS 2020 "Kama msemaji rasmi wa UVCCM, msimamo wa taasisi yetu ni kwamba hatuna na hatutakuwa na mchakato wa kumtafuta mgombea Urais 2020 mwingine zaidi ya Magufuli ambaye ndiyo Mwenyekiti wa CCM" amesema Hassan Bomboko, UVCCM. Aidha Bomboko amesema kuwa "mwaka 2020 tutakwenda Dodoma kwenye mchakato wa kidemokrasia Kukamilisha desturi yetu ya CCM ya kumbariki mgombea wetu kwa muhula wa pili, uchaguzi wa mgombea wa CCM tulishamaliza mwaka 2015"
2019-05-20T14:23:07
https://www.malunde.com/2018/12/uvccm.html
[ -1 ]
MKAZI WA KIJIJI CHA ISENGULE MKOANI KATAVI FATUMA ISSA (22) AJIFUNGUA WATOTO WANNE ~ K-VIS BLOG '; if(img.length>=1) { imgtag = '
2018-05-23T22:16:52
http://khalfansaid.blogspot.com/2017/03/mkazi-wa-kijiji-cha-isengule-mkoani.html
[ -1 ]
Sliding Window - Uchina Renshi Doors & Windows Exquisite muonekano & design usalama kugusa kubuni mmoja kidole sliding dirisha lock utaratibu, kwa urahisi kufanya kazi na kuhakikisha usalama High mzigo kuzaa & Vizuri Sliding Kusaidia wajibu mkubwa dirisha sash wakati sliding vizuri, kulia shimo design inaweka maji ya mvua off 2) Usalama Pad kubuni maalum kwa ajili ya usalama wa vidogo lakini muhimu sehemu ya kuhakikisha sash hawezi kuondolewa na kutenda kama mto wakati sliding madirisha Awali: Single Swing next: Inamisha & Pinda Window Aluminium sliding milango na madirisha Aluminium Sliding Windows Makazi Usawa Sliding Window sliding milango na madirisha Dirisha Sliding Doors
2019-06-18T23:28:58
http://www.nicehut-window.com/sw/sliding-window.html
[ -1 ]
Wema Sepetu afarijiwa, ‘kuitwa mama sio lazima uzae’ - lilOmmy.com Home Article Wema Sepetu afarijiwa, ‘kuitwa mama sio lazima uzae’ Wema Sepetu afarijiwa, ‘kuitwa mama sio lazima uzae’ Allen / 03:50 Msanii wa filamu Bongo, Wema Sepetu ameelezwa kitendo cha kutopata mtoto hadi sasa kisimkatishe tamaa kwani wakati wake utafika Mungu akipenda. Hayo yamesemwa na Mjasiriamali, Maznat Bridal ambapo amemueleza Wema kuwa kuitwa mama sio lazima awe na mtoto. Kupitia ukurasa wake Instagram ameandika; “Kuitwa mama siyo lazima uzae, ukifikia umri tu wa kuitwa aunt, mama mdogo, shangazi, mama mkubwa ina maana wewe tayari ni mama. Kuwa mama siyo lazima uingie labour, mimi namshukuru Mungu nimezaa na nimelea watoto wangu na wasio wangu na katika yote nimejifunza kupenda watoto kwa dhati pasipo kubagua,” amesema. “Mungu ni msiri sana sana mdogo wangu Wema Sepetu anajua nini kinamstahili nani, kwa muda gani, muda wa Mungu ukifika ataku suprise, atakupa faraja ya ajabu, atakupa kile moyo wako unahitaji, atakutunuku zawadi ya kipekee…utabaki mdomo wazi, ukishangaa maajabu ya Muumba. Jipe moyo, it is well,” amesisitiza. September mwaka jana Wema Sepetu alieleza kuwa amekuwa akihitaji mtoto toka akiwa na umri wa miaka 24 hadi sasa ila hilo haliwezi kumkatisha tamaa. February 2016 wakati Wema akiwa katika mahusiano na muigizaji Idris aliweka wazi kubeba ujauzito wa watoto mapacha hata hivyo baadaye ujauzito huo uliripotiwa kuharibika.
2018-05-25T16:37:29
http://www.lilommy.com/2018/04/wema-sepetu-afarijiwa-kuitwa-mama-sio.html
[ -1 ]
Mateso ya Kidini | Kanisa la Mwenyezi Mungu Mawasiliano yanayohusiana na 18 Tangu kilipokuja mamlakani katika China Bara mnamo mwaka wa 1949, Chama Cha Kikomunisti cha China kimekuwa hakikomi katika mateso yake kwa imani ya kidini. Kwa wayowayo… Maandishi Yote Li Ming’ai ni Mkristo nchini China Bara. Yeye ni mwanamke mwadilifu ambaye anawaheshimu wakweze, humsaidia mumewe na kumuelimisha mtoto wake, na ana familia ya… Maandishi Yote Tangu kilipokuja mamlakani katika China Bara mnamo mwaka wa 1949, Chama Cha Kikomunisti cha China kimekuwa hakikomi katika mateso yake kwa im… Maandishi Yote Liu Zhen, mwenye umri wa miaka 78, ni mke wa nyumbani wa kawaida wa mashambani. Baada ya kumwamini Mungu, alihisi furaha isiyo na kisawe na kusoma maneno Yake na kuim… Maandishi Yote Fang Jin ni Mkristo. Alikamatwa na serikali ya CCP kwenye mkusanyiko. Ili kumlazimisha kuwataja ndugu zake wa kike na kiume na kumsaliti M… Maandishi Yote Tangu kilipokuja mamlakani katika China Bara mnamo mwaka wa 1949, Chama Cha Kikomunisti cha China kimekuwa hakikomi katika mateso yake kwa imani ya kidini. Kwa wayowayo kimewash… Maandishi Yote Tangu kilipokuja mamlakani katika China Bara mnamo mwaka wa 1949, Chama Cha Kikomunisti cha China kimekuwa hakikomi katika mateso yake kwa imani ya kidini. Kwa wayowayo kime… Maandishi Yote Tangu kilipokuja mamlakani katika China Bara mnamo mwaka wa 1949, Chama Cha Kikomunisti cha China kimekuwa hakikomi katika mateso yake kwa imani ya kidini. Kwa wayowayo ki… Maandishi Yote Katika uzoefu wangu wa vitendo, kwa kweli nimekuja kufahamu kwamba mamlaka na nguvu ya maneno ya Mungu ni kubwa sana, kwamba uhai ambao Mungu humpa mwanadamu ni usio na mwisho na kwamba unaweza kushinda nguvu zote ovu za… Maandishi Yote Hata kama miaka bora zaidi ya ujana wangu ilitumika gerezani; katika miaka hii saba na miezi minne nilipopitia shida kwa sababu ya imani yangu katika Mungu, sina malalamiko na sina majuto, kwa sababu ninaelewa ukweli ful… Maandishi Yote Katika kipindi hicho cha mateso, maneno ya Mungu yalikuwa yameandamana na mimi kupitia mchana na usiku za kudhikisha, maneno ya Mungu yalikuwa yameniruhusu kubaini njama janja za Shetani na kutoa ulinzi wa wakati wa kufa… Maandishi Yote Han Lu ni kiongozi wa Kanisa la Mwenyezi Mungu katika China bara. Ameamini katika Mungu kwa zaidi ya muongo mmoja na amepitia kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho. Anaelewa baadhi ya ukweli na anajua kwamba ni kupitia tu Kristo wa siku za mwisho, Mwenyezi Mungu, ndi… Maandishi Yote Jina lake ni Xiao Li. Ameamini katika Mungu kwa zaidi ya muongo mmoja. Katika majira ya baridi ya mwaka wa 2012, alikamatwa na polisi wa Kikomunisti wa China katika mkutano. Wakati wa mahojiano, polisi walimshawishi, kumtisha, kumpiga na kumtesa tena na tena katika majaribi… Maandishi Yote Meng Yong Mkoa wa ShanxiMimi kwa asili ni mtu mwaminifu, ikiwa ndiyo maana nimekuwa nikidhulumiwa daima na watu wengine. Kwa sababu hiyo, nimeonja dharau ya ulimwengu wa mwanadamu na nilihisi maisha yangu yakiwa matupu … Maandishi Yote Chen Lu Mkoa wa ZhejiangNilizaliwa miaka ya 1980 katika kijiji—tulikuwa tumekuwa familia ya wakulima kwa vizazi vingi. Nilijiingiza katika masomo yangu ili niweze kuhitimu kuingia katika chuo na kuepuka maisha ya kijij… Maandishi Yote Wang Jun Mkoa wa ShandongKwa miaka mingi tangu kukubali kazi ya Mwenyezi Mungu katika siku za mwisho, mke wangu na mimi tumepitia hili pamoja chini ya ukandamizaji wa joka kubwa jekundu. Katika wakati huu, ingawa nimekuw… Maandishi Yote Tangu kilipokuja mamlakani katika China Bara mnamo mwaka wa 1949, Chama Cha Kikomunisti cha China kimekuwa hakikomi katika mateso yake kwa imani ya kidini. Kwa wayowayo kimewashika na kuwaua Wakristo, kuwafukuza na kuwadhulumu wamishonari wanaofanya kazi nchini China, wakac… Maandishi Yote Tangu kilipokuja mamlakani katika China Bara mnamo mwaka wa 1949, Chama Cha Kikomunisti cha China kimekuwa hakikomi katika mateso yake kwa imani ya kidini. Kwa wayowayo kimewashika na kuwa… Maandishi Yote
2020-05-31T11:14:55
https://sw.godfootsteps.org/tag/Mateso-ya-Kidini
[ -1 ]
VIJIMAMBO: WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO, DKT. MPANGO AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA MWAKA WA BENKI YA DUNIA
2016-12-11T13:46:45
http://lukemusicfactory.blogspot.com/2016/10/waziri-wa-fedha-na-mipango-dkt-mpango.html
[ -1 ]
Idara ya R heumatism Idara ya Rheumatology, Second Affiliated kwa Yiling Hospital, Hebei Medical University, Mkurugenzi wa Mkufunzi uzamili, Naibu Mkurugenzi wa Vijana wa Professional Kamati ya Kichina na Magharibi dawa Rheumatism, Naibu Mkurugenzi wa Professional Kamati ya TCM Rheumatism na Bone Magonjwa ya Mkoa wa Hebei, Mtaalam wa tathmini ya Mafanikio ya Sayansi na Teknolojia ya Hebei Sayansi na Teknolojia idara. Utaalamu: Utambuzi na matibabu ya magonjwa ya baridi yabisi kama vile scleroderma, adilifu ya mapafu, dermatomyositis, na ugonjwa Behcet ya. D epartment ya M uscular Atrophy mkurugenzi wa Kituo cha Matibabu Kufifia ya Yiling Hospital, Hebei Medical University, mwanachama wa Dhamana Kamati ya Kichina Chama cha Tiba Asilia Kichina Magonjwa na mwanachama wa Kamati ya Kudumu ya Magonjwa Pediatric Kamati ya Mkoa wa Hebei jadi Kichina Madawa Society . Utaalamu: dystrophy misuli, myasthenia gravis, motor ugonjwa neuron, watoto kupooza ubongo, mitochondrial ugonjwa, lipidosis, ugonjwa glycogen mkusanyiko na miopathi nyingine na misuli utambuzi kudhoufika na matibabu, na ukarabati wa misuli, Zoezi, dawa na ukarabati kwa ajili ya wagonjwa kupooza ubongo. Rehabilitation sehemu Yeye ni Naibu Mkuu wa Hebei Yiling Hospital na Mkurugenzi wa Hebei Majimbo Kazi Kuumia Rehabilitation Center, Mkurugenzi wa Idara ya Rehabilitation katika Yiling Hospitali ya Mkoa wa Hebei, vijana na wenye umri wa kati ya mtaalam na michango bora kutoka Shijiazhuang, mwanachama wa Kichina Chama cha Tiba ya Kichina, na naibu mwenyekiti wa dhamana Magonjwa Kamati Maalum ya Kichina Chama cha Tiba ya Kichina, Mbunge wa idara ya Neurology, Hebei Province Chama cha Integrative Medicine. Utaalamu: cerebrovascular ugonjwa, magonjwa neuromuscular, osteoarthropathy na kuhusiana sequelae ya ukarabati, hasa nzuri ya kuongoza ukarabati mafunzo utaratibu. Idara ya Endocrinology Chief daktari, Medical PhD, Master Mkufunzi Hebei Yiling Hospital Naibu Dean na Mkurugenzi wa Endocrinology-Diabetes idara Hebei Mkurugenzi wa Mkoa wa jadi Kichina Madawa Kisukari Kituo cha Matibabu Hebei Mkurugenzi wa Mkoa wa jadi Kichina Madawa ya Kuzuia na matibabu ya ugonjwa wa kisukari Makamu wa Rais wa Endocrinology Kamati ya Shirikisho ya Tiba ya Kichina Shirikisho Mkurugenzi Mtendaji wa Endokrini Tawi wa Chama Kichina ya Kichina na Magharibi dawa Kamati ya Kudumu ya Kichina Medical Association Kisukari Tawi Mwanachama Mwanachama wa Kamati ya Kudumu ya Kichina Chama cha Tiba Asilia Kichina Mkurugenzi wa Kisukari Professional Kamati ya Shirikisho la Kichina Tiba na Mkurugenzi wa kisukari Foot Care Team utaalamu: utambuzi na matibabu ya ugonjwa wa kisukari na matatizo ya kisukari, hasa katika utambuzi na matibabu ya ugonjwa wa kisukari mguu (kisukari chini mwisho mishipa vidonda) na kisukari cha niuropathi pembeni. Idara ya Kadiolojia Chief daktari, Medical PhD, PhD msimamizi Kufurahia posho maalum kutoka Baraza la Taifa Mkuu wa Hebei Yiling Hospital na Mkurugenzi wa Taifa TCM Hospitali Mtaalamu Mpango wa Tume Afya na Uzazi wa mpango (Kadiolojia) Naibu Mkurugenzi, Key Maabara ya ugonjwa dhamana, Jimbo Tawala wa Tiba Asilia Kichina Makamu Mwenyekiti wa Kichina Chama cha tiba ya Kichina Makamu wa Rais wa Chama cha Hebei Kichina na Magharibi dawa ya sita mkurugenzi mtendaji wa Hebei Majimbo Chama cha tiba Asilia Kichina utaalamu: Habari za saa kuchanganya Kichina na Magharibi dawa katika matibabu ya haipalipidemia, shinikizo la damu, atherosclerosis, ugonjwa wa moyo ugonjwa angina, papo hapo myocardial infarction kipindi ahueni, yasiyo ya kawaida na kushindwa kwa muda mrefu moyo.
2020-03-31T17:20:28
http://www.yilinghospital.com/sw/our-service/expert-consulting/
[ -1 ]
Watch Dark Angel - Season 1 (2016) quanlity HD with english at Putlocker Dark Angel - Season 1 (2016) Episode 02 2016-11-08 Dark Angel - Season 1 (2016) Episode 01 2016-11-01 Stars: Jonas Armstrong; John Bowler; Alun Armstrong; Keywords: dark angel - season 1 (2016) gostream watchfree IMDb 6 23 min Stars: Hikaru Midorikawa Tôru Furuya Katsuyuki Konishi Satsuki Yukino Mamiko Noto
2018-11-20T08:01:40
http://bevinsanimalhospital.com/watch/dark-angel-season-1-2016-episode-01.html
[ -1 ]
RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI ASHIRIKI KATIKA HAFLA YA UTOAJI WA TUZO ZA RAIS KWA WAZALISHAJI BORA WA VIWANDA KWA MWAKA 2015. | Blogu Rasmi ya Ofisi ya Rais ← HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI ALIYOITOA KWENYE MKUTANO WA MASHAURIANONWA BODI YA USAJILI WA MAKANDARASI NCHINI (CRB) 26 MEI 2016 RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA UJENZI WA MAKTABA MPYA YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM JUNE 2,2016 →
2018-01-22T14:23:39
http://blog.ikulu.go.tz/?p=14187
[ -1 ]
TCharanza - Usomaji wa akili wa mtandaoni Online masomo ya akili > Psychics Live > TCharanza Megan Machi 23, 2017 Psychics LiveKuondoka maoni kwenye TCharanza Kuhusu TCharanza Psychic TCharanza ina miaka ya uzoefu wa 20-25 kwa kutumia uwezo wa psychic kusaidia wengine na kupata majibu ya maswali yao ya kibinafsi. Psychic TCharanza hivi karibuni imewasaidia washiriki wa 0 na usomaji wa kisaikolojia na ufunuo wa anga katika Oranum. Ushuhuda chini unaonyesha kile wengine walisema juu ya usahihi na usikivu wa TChar kama psychic ya mtandaoni. Siku zote nimekuwa nikipendelea roho. Mimi ni fizikia wa kweli na miaka ya kutaja bahati nzuri. Wakati nilikuwa na kazi ya siku, nilikuwa nikisoma marafiki wa marafiki wangu na kusoma utajiri wao. Wakati mmoja hata nilimtazama mmoja wa wafanyikazi wenzangu na nikamwambia alikuwa karibu kupata ujauzito na hakika ya haki baada ya hapo yeye ni mjamzito, ndipo wakati nilijua mimi ni msomaji wa akili kweli. Napenda kusaidia watu kwa kuwaambia mema na mabaya ambayo yatatokea katika siku zao za usoni. Ninahisi kama Mungu alinipa zawadi hii nzuri na kuificha kutoka kwa ulimwengu sio jambo zuri. Napenda kushiriki zawadi yangu na watu wengi kadri iwezekanavyo. Nina umri wa miaka 29 na nina binti nzuri za 3. Mimi ni mama asiye na mama na baadhi ya shughuli zangu ni pamoja na kupikia, kutumia wavu, na bahati nzuri ya kusema. Hivi sasa mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu nikisoma kuwa mtaalamu wa mazoezi ya Muuguzi. Sijafunga ndoa lakini ninatumahi kuolewa katika siku za usoni mara tu nitapata Mr. RIght. Napenda kusoma, kutumia wakati na familia yangu na wanaoendesha farasi.
2019-12-09T13:10:33
https://sw.psychicbonus.com/tcharanza/
[ -1 ]
Huyu jamaa kachukua record ya urefu wa Hasheem Thabeet Ligi ya NBA… – Millardayo.com Huyu jamaa kachukua record ya urefu wa Hasheem Thabeet Ligi ya NBA… Hasheem Thabeet, picha na #SlideVisual. Hasheem Thabeet jina la kwanza la Mtanzania kuingia kwenye Headlines Duniani akitajwa kama Mbongo wa kwanza kuchezea Ligi ya Mpira wa Kikapu Marekani, NBA. Sim Bhullar unaambiwa ni jina jingine kubwa TENA kuingia kwenye NBA.. Jamaa hatokei BONGO, ni raia wa Canada ambaye tayari kasaini contract ya siku 10 na timu ya Sacramento Kings.. wazazi wake wana asili ya India, baadae walihamia Canada ambapo Bhullar alizaliwa mwaka 1992, hivyo anakuwa mchezaji wa kwanza ambaye ana asili ya India kuchezea Ligi ya NBA. Sim Bhullar. Bhullar ana urefu wa futi 7.5, anakuwa mchezaji wa kwanza kwa urefu kwa sasa hivi, anampita Hasheem Thabeet ambaye ana futi 7.3. Manute Bol, aliyenyoosha mikono katikati. Hasheem na Bhullar ni warefu, lakini rekodi ya mchezaji mrefu zaidi aliyewahi kuchezea NBA bado inashikiliwa na Manute Bol, alikuwa raia wa Sudan alikuwa na urefu wa futi 7.7, alifariki kwa ugonjwa wa ini mwaka 2010. Related ItemsHasheem ThabeetManute BolNBA ← Previous Story Maseneta Marekani walikataa Russia isiandae #WorldCup2018, FIFA imejibu hivi.. Next Story → Labda hukutarajia kusikia eti mastar hawa ni mashabiki wa SOKA…!! Lebron James azidi kuweka rekodi nyingine kubwa NBA.
2019-08-20T01:00:17
http://millardayo.com/nbanews-0304tza/
[ -1 ]
Ink - Changzhou Longxin Mashine Co, Ltd Ink ni aina ya kuweka mchanganyiko wa rangi, kisheria mawakala (resin mafuta), vingine kama vile diluent na kioevu mafuta ya taa dispersions. Ni inaweza kuchapishwa kwenye aina mbalimbali ya vifaa kama vile mbao, karatasi, chuma foil, plastiki, chuma, ngozi kwa njia ya vyombo vya habari kuchapisha. maumbo ya vifaa hivi substrate inaweza kuwa gorofa, cylindrical, nk Na muundo wa wino inategemea mbinu uchapishaji na vifaa ya substrate. Kulingana na aina ya sahani uchapishaji. Ink inaweza kugawanywa katika aina 4: 1.Lithographic uchapishaji wino Ni jina la jumla ya inks mbalimbali zinazofaa kwa kuchapa lithographic. uso wa lithography kimsingi katika ndege. eneo muundo oleophilic na yasiyo ya muundo eneo ni hydrophilic. Uchapishaji ni msingi wa kanuni kwamba mafuta na maji kuzuia kila mmoja. Kwa hiyo, lithographic wino lazima maji upinzani. Pamoja lithographic uchapishaji wino ikiwa ni pamoja na kukabiliana na uchapishaji wino, Gloss kukabiliana na wino, resinous kukabiliana na wino, mtandao kulishwa-kukabiliana na wino, karatasi kulishwa kukabiliana na wino, rangi nne kuchakato kukabiliana na wino, haraka kuweka kukabiliana na wino, kukabiliana bati-uchapishaji wino, sterilization upinzani kukabiliana bati-uchapishaji wino na wino collotype uchapishaji. 2.Letterpress wino Ni jina la jumla ya inks mbalimbali kutumika katika njia letterpress uchapishaji. Ni hasa ikiwa ni pamoja na inks kutumika katika vitabu, magazeti, picha, bili, nk hulka ya letterpress wino ni kwamba wino sehemu ya sahani ya uchapishaji ni inayojitokeza kutoka sehemu pasipo wino. Pamoja letterpress wino ikiwa ni pamoja na letterpress wino kwa ajili ya uchapishaji, letterpress rangi wino, Rotary letterpress wino kwa ajili ya uchapishaji, Rotary letterpress habari wino, Rotary letterpress rangi habari wino, shaba sahani uchapishaji wino, letterpress uchapishaji wino kwa ajili ya filamu ya plastiki na flexographic uchapishaji wino. 3.Gravure uchapishaji wino Ni jina la jumla ya inks mbalimbali kutumika katika mbinu gravure uchapishaji. Wakati uchapishaji, recessed muundo eneo la sahani ni inked kisha scrape mbali wino kutoka eneo zisizo muundo. Ni inaweza kugawanywa katika kuchonga gravure wino na kupiga picha gravure wino. Pamoja gravure wino ikiwa ni pamoja na ufungaji wa wino laini, sigara wrapping wino na wino carton uchapishaji. 4.Mesh uchapishaji wino Ni jina la jumla ya inks mbalimbali kutumika katika njia mesh uchapishaji na kutumika sana katika uchapishaji nguo, uchapishaji plastiki, chuma uchapishaji, uchapishaji kauri, uchapishaji kioo, uchapishaji elektroniki bidhaa na bahati nasibu ya uchapishaji, nk Pamoja mesh uchapishaji wino ikiwa ni pamoja na karatasi screen uchapishaji wino , plastiki screen uchapishaji wino, kitambaa screen uchapishaji wino, kioo screen uchapishaji wino, kauri screen uchapishaji wino, tete kukausha kutengenezea wino, nk Changzhou Longxin ina kushirikiana na wengi maarufu utengenezaji wa ndani na nje ya nchi ikiwa ni pamoja na wino TOYO INK, DIC INK, DUBUIT INK na kadhalika. mashine zetu nje ya Marekani, Brazil, India, Russia, Japan, Korea, Singapore, Asia ya Kusini na nchi nyingine na mikoa, kufurahia sifa ya juu kutoka kila matembezi ya maisha. Longxin wenyewe wa heshima Makamu Mwenyekiti Unit ya kichina Ink Association na ni daima kiongozi wa uvumbuzi na mapinduzi katika sekta hii. Mbali na hilo, tunaweza kubuni na kujenga nzima bidhaa kulingana na mashine moja kwa mujibu wa ombi kwa wateja. Sisi kutoa ubora bora na huduma kwako. Kupendekeza vifaa kwa ajili ya uzalishaji wino: DS mfululizo superfine sahihi tatu roller kinu, Ys mfululizo hydraulic tatu roller kinu, WSJ mfululizo usawa ndani ya baridi ya kazi bead kinu, WSD mfululizo kinu kasi kati yake mchanga, WSS mfululizo usawa mchanga kinu, Wsk mfululizo High-mnato superfine hodari bead kinu Bidhaa Line: High ufanisi wino bidhaa line, Gravure wino moja kwa moja bidhaa line, High-mnato wino (kukabiliana, UV kukabiliana, hariri kuchapa) Bidhaa Mpya
2018-11-21T06:23:37
http://www.longxin-global.com/sw/application/
[ -1 ]
Kona ya Afya: April 2010 Kinywaji cha coca cola kimeendelea kuwa maarufu duniani lakini utafiti mpya umeonyesha kuwepo uhusiano wa kunywa sana kinywaji hicho na matatizo ya uzazi kwa wanaume.Kwa mjimu wa utafiti huo uliochapichwa kwenye Jarida la Epidemiology la Marekani, wanaume wanaokunywa zaidi ya lita moja ya coca cola kwa siku wanakabiliwa na hatari ya kuwa tasa. Wanaume waliotumia kinywaji hicho walikuwa na upungufu wa aslimia 30 ya mbegu za uzazi zilizohesabiwa, ikilinganishwa na wale ambao hawakutumia. Wanaume hao walionekana kuwa na matatizo ya uzazi zaidi kuliko wasiokunywa coca cola. Japokuwa kumekuwa na mjadala mkubwa kuhusu taarifa kuhusu faida za kiafya za chokoleti, lakini utafiti mpya umedhihirishwa kwamba kula chokoleti nyeusi kuna faida kwa moyo. Utafiti huo uliochapishwa katika jarida la Moyo la Ulaya umeonyesha kwamba, kula kila siku gramu 7.5 za chokoleti, kiasi ambacho ni kidogo kuliko kipande mraba kidogo cha chokolati kunapunguza shinikizo la damu suala ambalo huondoa hatari ya kupatwa na mshituko wa moyo kwa asilimia 39. Kula chokoleti kidogo huweza kumzuia mtu asipate ugonjwa wa moyo lakini iwapo tu italiwa badala ya vyakula vingine viliwavyo katikati ya mlo au asusa (snacks) vyenye kalori nyingi bila kuongeza uzito wa mwili. Flavanols inayopatikana katika kakao huimarisha uwezo wa kiabiolojia wa seli wa kutengenezwa nitric oxide kuzunguka kuta za damu, suala ambalo hufanya mishipa laini ya damu ipumzike na kupanuka na hivyo kusaidia sana afya ya moyo. Kwa kuwa katika chokoleti nyeusi kuna kakao nyingi, aina hiyo ya chokolati ina taathira kubwa katika kupunguza mfumuko wa mawazo na wasiwasi pamoja (stress) na kusaidia mzunguko wa damu na kiwango cha chinikizo la damu. Lakini inaaminiwa kuwa chokoleti nyeupe hazina kabisa flavanol hivyo hazina faida hiyo. Wataalamu wamesisitiza kwamba, watu wale chokolate nyeusi kila siku lakini kwa tahadhari kubwa kwani kiasi kidogo tu cha chokolati kina kiasi kikubwa cha kalori na mafuta ambavyo ni hatari kwa afya. Mammography inaweza kuokoa maisha ya wanawake wengi Japokuwa kumekuwepo na mjadala mkubwa kuhusiana na uwezo wa kutambua ugonjwa wa kipimo kinachotumiwa kugundua kensa ya matiti, lakini utafiti mpya umethibitsiha kwamba, kipimo hicho kina faida kubwa.Uchunguzi huo umeonyesha kuwa, kipimo cha mammography faida zake ni kubwa zaidi kuliko hasara zake, na kutumiwa kwakwe kunaokoa zaidi maisha ya wanawake yanayoweza kupotea kutokana na kensa ya matiti. Mammography ina uwezo wa kuonyesha uvimbe (tumors), japokuwa kipimo hicho kinaweza kuonyesha uvimbe ambao hauna madhara, na kuwafanya baadhi ya wanawake kupata wasiwasi na kufanyiwa operesheni bure. Uchunguzi wa huko nyuma ulishauri kuwa, umri wa kufanyiwa kipimo cha mammography ili kujua kama mtu ana saratani ya matiti au la usogezwe kutoka miaka 40 hadi 50 ili kupunguza uwezekano wa wanawake kufanyiwa kipimo hicho mara nyingi maishani, Vilevile imesisitiza kwamba, kwa kila maisha ya mwanamke mmoja yanayonusuriwa kwa kufanywa mammography, kuna wanawake wengine 6 ambao wanafanyiwa kipimo hicho bila ya kuwa na ulazima.Kwa hivyo wataalamu wamewashauri wanawake wasizembee na kuwahimiza wafanyiwe kipimo hicho, kwani faida yake ni kubwa zaidi kuliko hasara yake. Nchini Uingereza pekee, zaidi ya wanawake 45,000 hugunduliwa kuwa wana kensa ya matiti kila mwaka, na zaidi ya wanawake 12,000 hufariki dunia kutokana na ugonjwa huo. Huku watu wakishauriwa kufanya mazoezi nusu saa kwa siku zisizopungua tano katika wiki ili kulinda afya zao, uchunguzi mpya umesema kuwa kwa wale wanaotaka kuzuia uzito usiongezeke inawabidi wafanye mazoezi zaidi ya muda huo. Kwa mujibu wa uchunguzi huo, lisaa moja la kufanya mazoezi ya wastani linatakiwa kwa ajili ya kupunguza unene kwa wanawake. Kila ambavyo mwanamke mwenye unene wa kawaida anavyofanya mazoezi ndivyo uzito wake utakavyopungua. Uchunguzi huo umesema kuwa kushughulisha mwili kuna umuhimu mkubwa katika kupunguza unene.Hata hivyo wataalamu wamesisitiza kwamba kufanya mazoezi kunapaswa kuambatana na kula chakula bora ili kujenga afya vyema. Pia watu wazima wameshauri kula matunda na mboga mboga, kupunguza kula vyakula vyenye mafuta mengi na kufanya mazoezi ili kulinda afya zao na kuweza kuisha maisha marefu.
2017-07-22T02:52:20
http://kona-ya-afya.blogspot.com/2010/04/
[ -1 ]
Biashara ya nazi yageuka lulu, walaji wahofia Ramadhani - Mwananchi Thu May 10 13:23:31 EAT 2018 Biashara ya nazi yageuka lulu, walaji wahofia Ramadhani By Burhani Yakub, Mwananchi [email protected] Baadhi ya wakulima wanaeleza chanzo kuwa ni upepo wa kusi, huku wafanyabiashara wakisema ni baadhi ya wakulima kuficha nazi ili waziuze kwa bei ya juu wakati wa mfungo wa Ramadhani unaotarajia kuanza Mei 16 au 17 kulingana na mwandamo wa mwezi. Serikali yashtuka, yawaonya watakaopandisha bei Tanga. Wakati wakulima na wafanyabiashara ya nazi wakieleza kuadimika kwa bidhaa hizo mkoani hapa, mtaalamu wa kilimo ameeleza sababu za kutokea hali hiyo. Ofisa kilimo wa Halmashauri ya Wilaya ya Pangani, Ramadhan Zubeir aliliambia gazeti hili kuwa uvunaji nazi umeshuka kwa takriban asilimia 50 kutokana na chumvi ya bahari kuenea ardhini, hivyo kuathiri mimea ikiwamo minazi. “Uvunaji umeshuka mno ni kwa zaidi ya asilimia 50, hata nazi zinazotegemewa ni kutoka Bonde la Mauya lakini maeneo mengine hali ni mbaya,” alisema. Zubeir alisema sababu nyingine ni ongezeko la ukataji minazi kwa ajili ya mbao zinazotumika kuezekea nyumba na kutengenezea samani, kwa kuwa hazishambuliwi na wadudu. Ofisa huyo alisema changamoto nyingine ni minazi mingi iliyopo ni mikongwe iliyopandwa miaka zaidi ya 50 iliyopita. “Sababu wanazotoa za upepo wa kusi na kaskazi ni za mazoea siyo za kitaalamu, kwa kuwa uzaaji wa nazi hutokana na maua yanayotokeza kila baada ya muda maalumu bila kuangalia ni wakati gani,” alisema Zubeir. Mtaalamu huyo alisema uvunaji nazi wilayani Pangani umeshuka kutoka tani 34,600 mwaka 2012 kufikia tani 16,865. “Nazi niliyoshika kwa kawaida nisingeinunua kwa sababu watu wa pwani aina hii tunaiita shorobero, yaani haifai kuungiwa lakini kwa sababu hakuna nazi nimelazimika kuinunua tena kwa Sh500,” alilalamika Mwanamkuu Khalid mkazi wa Barabara ya 10 jijini Tanga. Naye mkazi wa Madina jijini hapa, Bakari Lunza alisema kuadimika kwa nazi kunawatia wasiwasi kwa sababu zitauzwa kwa bei ghali wakati wa Ramadhani. Alisema nazi ambayo huuzwa Sh400 katika masoko ya jijini Tanga sasa inauzwa Sh1,000. Hata hivyo, katibu tawala mkoani Tanga, Zena Said alisema Serikali haitawafumbia macho wafanyabiashara watakaopandisha bei bidhaa ikiwamo nazi wakati wa Ramadhani kwa visingizio mbalimbali. Wauzaji wa nazi wa Soko Kuu la Ngamiani ambalo ni kituo kikubwa cha ununuzi na mauzo ya nazi, walieleza kuwa wamelazimika kupandisha bei kwa sababu zimeadimika. Fadhili Ndalo (48), ambaye anafanya biashara ya nazi kwa zaidi ya miaka 15 sokoni hapo, alisema wachuuzi wanaopelekea bidhaa hiyo wamepandisha bei ya jumla kuanzia Sh600 hadi Sh800 kwa nazi kubwa, huku ndogo wakiuza Sh400. Naye mfanyabiashara Suleyman Shaibu alisema soko hilo lina wachuuzi wapatao 40, lakini kutokana na kuadimika kwa nazi wiki moja sasa wenye bidhaa hiyo ni wafanyabiashara wachache.
2018-07-22T02:44:15
http://mobile.mwananchi.co.tz/makala/-Biashara-ya-nazi-yageuka-lulu--walaji-wahofia-Ramadhani/1604562-4554636-format-xhtml-bx48xkz/mobile.mwananchi.co.tz
[ -1 ]
Ufahamu Ugaidi Hatari Kuliko Wote Duniani Unaosumbua Maisha Ya Watu Wengi – AMKA MTANZANIA Rafiki, napenda kutumia nafasi hii kukualika tena siku hii ya leo katika makala yetu ya leo ili tuweze kujifunza wote kwa pamoja yale mazuri niliyoweza kukuandalia siku hii ya leo. Kwa namna ya pekee rafiki yangu, nakusihi sana tusafiri pamoja hadi mwisho wa somo letu la leo ambapo leo tutakwenda kujifunza njia bora kabisa ya kumaliza umbea na majungu katika maisha yako hivyo basi, karibu tujifunze. Kama ni ugaidi mkubwa ulioibuka katika jamii yetu basi ni ugaidi wa umbea yaani terorism of gossips, huu ni ugaidi hatari sana katika maisha yetu. umbea unawajeruhi watu na kuwasababishia majeraha ya moyo kadiri ya Papa Francis ‘’ wakati dunia inapombana na magaidi katika jumuiya zetu hatuna budi kupambana na magaidi wa umbea, masengenyo, udaku, majungu, manyanyaso, dhuluma ambayo yamejeruhi na hata kuwaua wengi kiroho, kisaikolojia, kijamii na kihisia.’’ Kumbe basi, ugaidi wa umbea na majungu ‘’ ni ugaidi hatari na mbaya zaidi kuliko hata ule wa maangamizi ya mabomu wanaotumia boko haramu, alkaida, alshabau na wengine wa aina hiyo.’’ Silaha ya umbea na majungu ni hatari sana katika maisha ya binadamu kwani inawaangamiza watu wazima na kuwaua kabisa. Kazi ya umbea ni kazi ya watu waliokosa kazi ya kufanya kabisa huwezi kuanza kujeruhi watu kwa kuanza kumwaga sumu kwa kutumia ulimi wako kama una kazi ya kufanya. Rafiki, ulimi ni kiungo hatari kinachomwaga sumu sana na kama tukisema kiungo kilichojaa laana na uchafu basi ni ulimi kwani kinatoa kila aina ya maneno unayoyajua wewe. Tunaposhindwa kutawala ndimi zetu ndipo tunakaribisha hatari kubwa katika jamii yetu na jamii ya leo inapenda habari za umbea kuliko kazi na hii ni hatari kabisa hata kwa ustawi mzima wa maendeleo binafsi na hata ya taifa kwa ujumla. Mimi leo ninakuletea suluhisho la umbea kabisa katika kujisomea kwangu kwa watu walioacha mawazo katika vitabu na walioweza kuishi karne za nyuma kabisa nikakutana na maneno haya ya Mt Maria Magdalena wa Pazzi akisema, ‘’ usiseme hata mara moja kuhusu mwingine, kile ambacho hutathubutu kusema akiwepo mwenyewe. Wasemee wengine yale upendayo wakusemehe wewe’’ Rafiki, kama kila mmoja wetu ataweza kuyaweka maneno hayo akilini basi tutapunguza kama siyo kumaliza kabisa matatizo ya umbea na majungu kwani imekuwa ni kero kubwa katika jamii yetu. watu wanajeruhiana maeneo ya kazi zao na hata kufikia kipindi cha kukinai hata mazingira ya kazi yake na kuona hana thamani pale, umbea na majungu yanawaumiza watu zaidi kuliko hata hayo mashambulizi tunayoyasikia ya mabomu. Hatua ya kuchukua leo, usiseme hata mara moja kuhusu mwingine, kile ambacho hutathubutu kusema akiwepo mwenyewe. Wasemee wengine yale upendayo wakusemehe wewe’’ achana na biashara hii ya umbea kwani haina faida fanya biashara bora ya kutoa ni upendo kwa wengine na kujali maisha yako. Kwahiyo, umbea na majungu ni moja ya kemikali hatari inayoua watu wengi katika jamii yetu na watu wengi wamedhoofika kiakili kwa sababu ya maneno yenye sumu kama haya. Kinywa chako ukikitumia vizuri ni faida lakini ukikitumia vibaya ni kama sumu ya kobra ambayo inamaliza watu mara moja. Ili tuweze kuibadilisha dunia tunaalikwa kuanza kubadilisha sisi na mimi leo nimeanza kukubadilisha dunia kwa kuacha kufanya tabia hii ya aibu na hatari kwa maisha yetu. Makala hii imeandikwa na Deogratius Kessy ambaye ni mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali, unaweza kuwasiliana naye kupitia namba 0717101505/0767101504 au kwa barua pepe [email protected], [email protected] au unaweza kutembelea tovuti yake, www.mtaalamu.net/kessydeo ,www.actualizeyourdream.blogspot.com kwa kujifunza zaidi kila siku. Asante sana
2018-01-22T01:51:09
https://amkamtanzania.com/2017/11/02/ufahamu-ugaidi-hatari-kuliko-wote-duniani-unaosumbua-maisha-ya-watu-wengi/
[ -1 ]
Hoja ya Tundu Lissu yaigawa NCCR bungeni | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Hoja ya Tundu Lissu yaigawa NCCR bungeni Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Relief, Nov 14, 2011. Wabunge wa Chama cha NCCR Mageuzi wamegawanyika bungeni jioni ya leo baada ya hoja ya Mh.Tundu Lissu. Baada ya hoja hiyo, wabunge David Kafulila wa Kigoma Kusini na Felix Mkosamali wa Muhambwe wameungana na wabunge wa CHADEMA kutoka nje huku wabunge Agripina Buyogela na Mosses Machali wamebaki ndani kushirikiana na CCM (MAGAMBA) katika mjadala unaoendelea. Ni wazi ya kuwa kubaki kwa wabunge hao wawili wa NCCR Mageuzi ndani ya Bunge kujadili jambo ambalo wabunge wenzao wa Upinzani wanalipinga kunadhihirishia Umma jinsi gani wao ni CCM-B na huenda uamuzi wao huo ni maelekezo ya Bw. James Mbatia ambaye huyu ndugu yetu Machali anamtetea muda wote na kuwalaani wenzie kuwa wanakosea kumwondoa madarakani. Mgawanyiko huu unaleta maswali juu ya wabunge hawa wa upinzani hususan NCCR Mageuzi; Je inawezekana kweli upinzani unatumiwa na MAGAMBA kuleta mpasuko Bungeni kwa faida yao na si ya Umma? Je, hali hii iliyojionyesha mapema ya kufarakana kwa NCCR katikati ya mchakato wa kuelekea Katiba Mpya na vyama vingine vya upinzani (TLP na CUF) kukubaliana na CCM juu ya MUSWADA wa Katiba ambao hauonyeshi dhamira ya dhati ya upatikanaji wa TUME adilifu kusimamia uundwaji wa KATIBA MPYA utatupatia KATIBA tunayoitazamia? Tutarajie Tanzania gani baada ya mchakato huu kuisha? Wana jamii naomba kuwasilisha! Nani ateue tume? Aibu yao, aibu ya magamba... Matukio kama haya yanatusaidia kujua wapinzani na CCM B. Dr Mrema kabwabwaja mpaka akamwita Speaker 'mh. Mungu' wakati wenzake wametoka, tutamuita huyu mpinzani kweli? Huyo Machali nae ni walewale, kibaraka wa mkt wake Mbatia, kazua mjadala hapa JF wa kwamba Zitto na Kafulila wanataka kuivuruga NCCR wanajamvi nao bila kuchambua mambo kiundani wakaweka chuki mbele na kumshambulia Zitto. Uzuri wa unafiki huwa unaumbuka ndani ya muda mfupi tu. Big up CDM, msikubali kuburuzwa bungeni, maoni yenu muhimu kwa maendeleo ya taifa letu, katiba ni dira muhimu sana kizazi na kizazi. Siamini kama kubaki kwao wanamaanisha kuunga mkono huo muswaada hasa Machali,bado nina imani na Machali na inawezekana kabisa kubaki kwake anatafuta nafasi yakuchangia nakutoa dukuduka lake kwakupinga huo muswaada wa ovyo kisha aungane na Makamanda. Mbona tunapenda kulalamika kama mazezeta?..... NANI ATEUE/CHAGUE TUME YA KUKUSANYA MAONI? Tatizo lako hausomi maoni ya wadau wengi umeishi kuandika masimulizi ya hao ccm uchwara kwamba watu wanalalamika tu. Kila kinachokosolewa wazo mbadala linatolewa. Tatufa uzi wenye hotuba ya Lissu leo bungeni usome (kama utaacha uvivu wa kusoma) Kwa mbunge kijana Machalii nadhani tatizo ni kumsikiliza Mbatia,kwa upande wa Agripina Buyogela sidhani kama hata anaelewa nini maana ya Katiba Mpya. Kwa akina Mrema na Cheyo hawa kila mtu anaelewa matatizo yao. Wanakula wamekwisha kabisa. Wabunge ambao nashindwa kuwaelewa kabisa ni CUF ambao ningetarajia baada ya aibu ya Igunga wajipange upya na hasa wale wanaotoka huku bara,wameshindwa tena kusoma watanzania wanataka nini. CUF inazidi jichimbia ktk kaburi la kisiasa,na CCM haitakua na huruma kuwafukia siku itakapotimia! Naungana mkono na wadau, jamani wapinzani baadhi wameshanunuliwa na MAGAMBA tukaeni macho, itakapobidi kuingia barabarani na tuwe tayari maana hilo BUNGE LA KATIBA litakaloenda kuundwa na Rais sina imani nalo hata chembe. Uchaguzi wa Tume urudishwe kwa wananchi upitishwe na wabunge kwa namna ambayo Kafulila amependekeza. Kwa mbunge kijana Machalii nadhani tatizo ni kumsikiliza Mbatia,kwa upande wa Agripina Buyogela sidhani kama hata anaelewa nini maana ya Katiba Mpya. Kwa akina Mrema na Cheyo hawa kila mtu anaelewa matatizo yao. Wanakula wamekwisha kabisa. Wabunge ambao nashindwa kuwaelewa kabisa ni CUF ambao ningetarajia baada ya aibu ya Igunga wajipange upya na hasa wale wanaotoka huku bara,wameshindwa tena kusoma watanzania wanataka nini. CUF inazidi jichimbia ktk kaburi la kisiasa,na CCM haitakua na huruma kuwafukia siku itakapotimia! CUF watoke ndoa yao ivunjike? Wanaogopa kuachika! Umesema vizuri kuhusu Machali, watu huku JF walikuwa hawamuelewi vizuri. Agripina, Mrema na Cheyo sina cha kuongeza. Dharau nayo ni dhambi Hivi watanzania bado kweli mna imani na raisi ambaye amepindisha sheria za nchi mara nyingi tu?rejeeni suala la ufisadi wa EPA,Rada,Kiwira,Richmond,na mengine mengi,na kwa reference ya ufisadi uliokwisha tendeka nchini na yeye raisi kushindwa kushughulikia kwa lengo la kuwalinda hao mnadhani kuna haki na ukweli katika madaraka yote anayotarajiwa kupewa raisi.acheni kuongopeana kuna tatizo kubwa hapa. Nshachoka kusoma sihasa...ngoja nkalale Hakuna wazo mbadala lililotolewa, ukisema kwamba unapendekeza vyama vya siasa, wasomi na NGOs, bado hujasema specifically how you gonna get intellectuals, who is to appoint those intellectuals, and how? Je, 83% ya hiyo kamati itaundwa na wabunge wa CCM?, how many intellectuals and NGOs, religious lewaders? in what proportion? Hiyo hotuba aielezi chochote kuhusu composition in terms of proportionality..... in short is just a complaint rather than an alternative solution. Usituletee ushabiki hapa! anold Tumaini Member unaelewa maana ya mapendekezo? hmzuyu Member Yah ni complaint na ndio maana tunasema ilibidi usomwe kwa mara ya kwanza ili ammbo kama hayo ya propotionalitity yajadiliwe ikiwa pamoja na sifa an kila kilichokosolewa.kwanza utambue kosa hiyo ni moja ya utatuzi wa tatizo,then njoo mezani tutafute alternative. Sasa watu ahta tatizo hamlioni,mtalitatuaje???? Ibra Mo said: ↑ hata mm nakumbali Machali hyseee najua tu hakutaka kutoka mana hataki kuonekana ana msimamo sawa na Kafulila. Tungoje atakapochangia tutajua. Singili Member Ingekuwa vizuri iwapo sentensi ya mwisho ungeandika -WANAMAGWANDA NAOMBA KUWASILISHA!-
2018-01-24T12:22:04
https://www.jamiiforums.com/threads/hoja-ya-tundu-lissu-yaigawa-nccr-bungeni.192850/
[ -1 ]
MWONGOZO KUHUSU MUUNDO, UTARATIBU WA KUWAPATA WAJUMBE WA MABARAZA YA KATIBA YA WILAYA (MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA) NA UENDESHAJI WAKE | MATUKIO DAIMA Home » » MWONGOZO KUHUSU MUUNDO, UTARATIBU WA KUWAPATA WAJUMBE WA MABARAZA YA KATIBA YA WILAYA (MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA) NA UENDESHAJI WAKE MWONGOZO KUHUSU MUUNDO, UTARATIBU WA KUWAPATA WAJUMBE WA MABARAZA YA KATIBA YA WILAYA (MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA) NA UENDESHAJI WAKE Written By mzee wa matukiodaima habari bila uoga on Tuesday, February 26, 2013 | 11:24 PM MWONGOZO KUHUSU MUUNDO, UTARATIBU WA KUWAPATA WAJUMBE WA MABARAZA YA KATIBA YA WILAYA (MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA) NA UENDESHAJI WAKE Kwa mujibu wa Kifungu cha 18 (3) cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83, Tume inawajibu wa kuunda Mabaraza ya Katiba kwa ajili ya kupitia na kutoa maoni juu ya Rasimu ya Katiba iliyoandaliwa na Tume. Muundo wa Mabaraza ya Katiba unapaswa kuzingatia mgawanyiko wa kijiografia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mabaraza ya Katiba yatawashirikisha na kuwakutanisha wawakilishi kutoka makundi mbalimbali ya wananchi katika jamii kwa lengo la kutoa maoni juu ya Rasimu ya Katiba. Aidha, kifungu cha 17 (8) kinaeleza kuwa, isipokuwa kama mazingira yatahitaji vinginevyo, Tume itabuni utaratibu unaofanana ambao utatumika kila upande wa Muungano. Kifungu cha 18 (6) kinaeleza aina nyingine ya Mabaraza ya Katiba. Kwa mujibu wa Kifungu kidogo cha (6), Tume inaweza kuruhusu Asasi, Taasisi au Makundi ya watu kuandaa mikutano kwa ajili ya kutoa fursa kwa wanachama wake kutoa maoni yao juu ya Rasimu ya Katiba na kisha kuwasilisha maoni hayo kwa Tume. Kwa Msingi huo, Tume imeamua kuwa Mabaraza ya Katiba yatakuwa katika makundi mawili yafuatayo:- 1.1 Mabaraza ambayo Tume itayasimamia na kukusanya Maoni (Mabaraza ya Katiba ya Wilaya – Ngazi ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa). 1.2 Mabaraza ambayo Tume haitayasimamia. Mabaraza hayo yatajisimamia yenyewe na kukusanya maoni yatakayowasilishwa kwenye Tume kwa mujibu wa maelekezo. (Mabaraza ya Katiba ya Asasi, Taasisi na Makundi ya Watu). Mwongozo huu unaainisha Muundo, Utaratibu wa kuwapata Wajumbe na Utaratibu wa Uendeshaji wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya ngazi ya Mamlaka za Serikali za Mitaa yatakayoendeshwa na kusimamiwa na Tume. 2.0. MABARAZA YA KATIBA YA WILAYA NGAZI YA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA Kwa kuzingatia mgawanyiko wa kijiografia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mabaraza ya Katiba ya Wilaya – Ngazi ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa yataundwa kwenye kila Mamlaka ya Serikali za Mitaa katika ngazi ya Halmashauri za Jiji, Manispaa, Mji, Wilaya na Mabaraza ya Miji. Kwa upande wa Tanzania Bara, Katika Mikoa yote ngazi ya kupata wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya (Mamlaka za Serikali za Mitaa) itakuwa ni Ngazi ya Kata. Wajumbe watapigiwa kura za kupendekezwa kwenye ngazi za Kijiji/Mitaa na kuchaguliwa kwenye ngazi ya Kata. Kwa upande wa Zanzibar, Katika Mikoa yote ngazi ya kupata wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya (Mamlaka za Serikali za Mitaa) itakuwa ni Shehia. Wajumbe watapigiwa kura kwenye ngazi za Shehia. Muundo na utaratibu huu umezingatia changamoto mbalimbali zikiwemo; ukubwa wa Mabaraza ya Katiba, utaratibu wa kuwapata wajumbe, ufanisi katika uendeshaji wa Mabaraza ya Katiba, gharama ya kufanikisha shughuli ya Mabaraza ya Katiba ya Wilaya ngazi ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa, na tofauti ya Mfumo wa Serikali za Mitaa Tanzania Bara na Zanzibar. Kutokana na changamoto hizo, utaratibu wa kuwapata wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya haufanani kwa pande zote za Muungano. 3.0. WAJUMBE WA MABARAZA YA KATIBA YA WILAYA NGAZI YA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA 3.1 Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba. Mabaraza ya Katiba katika ngazi ya Halmashauri za Jiji, Manispaa, Mji, Wilaya na Mabaraza ya Miji yataundwa na Wajumbe wafuatao:- 3.1.1. Kwa Tanzania Bara. 3.1.1.1 Wajumbe wanne kutoka kila Kata watachaguliwa kwautaratibu utakaofafanuliwa na Mwongozo huu. 3.1.1.2 Wajumbe wanane kutoka kila Kata kwa Mkoa wa Dar es Salaam. 3.1.2. Kwa Zanzibar. 3.1.2.1. Wajumbe watatu kutoka kila Shehia watachaguliwa kwa utaratibu utakaofafanuliwa na Mwongozo huu. 3.1.3. Kwa pande zote za Muungano. 3.1.3.1. Madiwani wa kuchaguliwa kwenye Kata / Wadi. 3.1.3.2. Madiwani wa Viti Maalum. 3.1.3.3. Madiwani wa kuteuliwa na Waziri mwenye dhamana ya Serikali za Mitaa kwa pande zote za Muungano [Madiwani waliopo kazini kwa sasa]. 3.2 Ngazi ya Msingi ya kuwapata Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba 3.2.1. Kwa upande wa Tanzania Bara Kwa Mikoa yote ya Tanzania Bara, ngazi ya msingi ya kuwapata Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba itakuwa Kata. 3.2.2. Kwa upande wa Zanzibar Kwa Mikoa yote ya Zanzibar, ngazi ya msingi ya kuwapata Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba itakuwa Shehia. 3.3 Idadi ya Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya ngazi ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa. Idadi ya Wajumbe itakuwa kama ifuatavyo:- 3.3.1. Kwa Tanzania Bara, idadi ya Mabaraza ya Katiba yatakayoendeshwa katika Mamlaka za Serikali za Mitaa ni 163 ambapo kila Mamlaka moja ya Serikali za Mitaa ngazi ya Wilaya itakuwa na Baraza moja la Katiba ukiondoa Mkoa wa Dar es Salaam ambapo kila Halmashauri itakuwa na Mabaraza mawili ya Katiba. Hivyo, jumla ya Mabaraza ya Katiba ya Wilaya ngazi ya Mamlaka za Serikali za Mitaa itakuwa 163 (zipo Mamlaka za Serikali za Mitaa 160). 3.3.2. Katika Mikoa 24 ya Tanzania Bara, kila kata itawakilishwa na Wajumbe wanne (4) ambao wataungana na Madiwani wa Kata na Viti Maalum. Idadi ya Kata ni 3,339 ukiondoa kata 90 za Mkoa wa Dar es Salaam, zinabaki kata 3,249 [utaratibu wa kuwapata wajumbe kwa Mkoa wa Dar es Salaam ni tofauti na Mikoa mingine ya Tanzania Bara na umefafanuliwa katika aya ya 3.3.3]. Hivyo, Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya kutoka kwenye Kata zote isipokuwa kata 90 za Mkoa wa Dar es Salaam, watakuwa 12,996 na idadi ya Madiwani wote ni 4,453. 3.3.3. Kwa Mkoa wa Dar es Salaam, wenye Kata 90 utawakilishwa na Wajumbe wanane (8) kutoka kila Kata. Kwa hiyo, idadi ya Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya kutoka Mkoa Dar es Salaam Watakuwa 720 watakaoungana na Wajumbe wengine kama ilivyofafanuliwa kwenye aya ya 3.3.2. Jumla ya Wajumbe wote wa Mabaraza ya Katiba kwa Tanzania Bara watakuwa 18,169 kwa mchanganuo ufuatao:- 3.3.3.1. Idadi ya Wajumbe 4 kutoka kila Kata 12,996 3.3.3.2. Idadi ya Wajumbe 8 kutoka Kata za Mkoa wa Dar es salaam 720 3.3.3.3. Idadi ya Madiwani wote ni: 4,453 3.3.4. Kwa upande wa Zanzibar, idadi ya Mabaraza ya Katiba yatakayoendeshwa katika Mamlaka za Serikali za Mitaa ni 13 ambapo kila Mamlaka moja ya Serikali za Mitaa itakuwa na Baraza moja la Katiba (zipo Mamlaka za Serikali za Mitaa 13). 3.3.5. Katika Mamlaka za Serikali za Mitaa 13 za Zanzibar, kila Shehia itawakilishwa na Wajumbe watatu (3) ambao wataungana na Madiwani wa Wadi, Viti Maalum, na Wakuteuliwa waliopo kazini kwa sasa. Idadi ya Shehia ni 335. Hivyo, Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya kutoka kwenye Shehia zote watakuwa 1,005 na idadi ya Madiwani wote ni 193. Jumla ya Wajumbe wote wa Mabaraza ya Katiba kwa Zanzibar watakuwa 1,198 kwa mchanganuo ufuatao:- 3.3.5.1.Idadi ya Wajumbe kutoka kila Shehia: 1,005 3.3.5.2.Idadi ya Madiwani Wote ni: 193 Mchanganuo wa idadi ya Wajumbe kwa kila Mamlaka ya Serikali za Mitaa ni kama ilivyo kwenye Jedwali “1” kwa upande wa Tanzania Bara na Jedwali “2” kwa Zanzibar. 4.0. SIFA ZA WATAKAOCHAGULIWA KUWA WAJUMBE WA MABARAZA YA KATIBA YA WILAYA NGAZI YA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA. Wajumbe wanne kutoka kila Kata kwa Tanzania Bara na wanane kutoka kila Kata katika Mkoa wa Dar es Salaam na Wajumbe watatu kutoka kila Shehia kwa Zanzibar wanapaswa kuwa na sifa zifuatazo kwa pamoja:- 4.1 Awe ni Raia wa Tanzania. 4.2 Awe na umri wa miaka 18 au zaidi. 4.3 Awe na uwezo wa kusoma na kuandika. 4.4 Awe ni mkazi wa kudumu wa Kijiji/ Mtaa / Shehia husika. 4.5 Awe ni Mtu mwenye hekima, busara na uadilifu. 4.6 Awe ni Mtu mwenye uwezo wa kujieleza na kupambanua mambo. 5.0. MAMBO YA KUZINGATIWA Licha ya sifa zilizotajwa katika aya ya 4.0., utaratibu wa kuwapata Wajumbe kwa Tanzania Bara na Zanzibar uzingatie mambo yafuatayo:- 5.1 Uwakilishi wa watu wazima. 5.2 Uwakilishi wa wanawake. 5.3 Uwakilishi wa vijana, yaani kati ya miaka 18 hadi 35. 5.4 Jiografia ya Kata/ Wadi / Kijiji / Mtaa / Shehia husika. 6.0. UTARATIBU WA KUWAPATA WAJUMBE KWENYE MABARAZA YA KATIBA YA WILAYA NGAZI YA MAMLAKA ZA SERIKALI ZA MITAA 6.1 Kwa upande wa Tanzania Bara utaratibu utakuwa kama ifuatavyo:- Kwa Mikoa yote isipokuwa Mkoa wa Dar es Salaam. 6.1.1. Kwa kuzingatia sifa zilizoainishwa kwenye aya za 4.0 na 5.0, kila Mwananchi wa Kijiji / Mtaa husika anayependa kuwa Mjumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya ngazi ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa atawasilisha jina lake kwa Afisa Mtendaji wa Kijiji / Mtaa. Uwasilishaji huo uambatane na taarifa zifuatazo:- 6.1.1.1. Majina kamili ya mwombaji. 6.1.1.2. Jinsi yake. 6.1.1.3. Umri wake. 6.1.1.4. Elimu yake. 6.1.1.5. Kazi yake. 6.1.1.6. Sehemu anayoishi katika Kijiji / Mtaa husika. 6.1.2. Wakati wa uwasilishaji wa jina, kila mwananchi anayependa kuwa Mjumbe wa Baraza la Katiba la Wilaya, atawasilisha nakala mbili za barua kwa Afisa Mtendaji wa Kijiji / Mtaa. Nakala moja ibaki kwa Afisa Mtendaji wa Kijiji / Mtaa; na nakala ya pili iwekwe Mhuri na saini ya Afisa Mtendaji wa Kijiji / Mtaa. Nakala hiyo abaki nayo mwanachi husika kwa uthibitisho kuwa barua yake ilipokelewa. 6.1.3. Orodha ya majina ya Wananchi wote wanaotaka kuwa Wajumbe yatabandikwa kwenye maeneo ya wazi / matangazo ya kila Ofisi za Kijiji / Mtaa siku saba (7) kabla ya Mkutano ili wananchi wapate fursa ya kuyapitia na kujiridhisha kama walioomba wana sifa zilizoanishwa kwenye aya za 4.0 na 5.0. 6.1.4. Afisa Mtendaji wa Kijiji / Mtaa ataitisha Mkutano Mkuu Maalum wa Kijiji / Mtaa ambao utakuwa na agenda moja tu ya kuwapendekeza kwa kuwapigia kura watu wanne ambao majina yao yatawasilishwa kwenye Kamati ya Maendeleo ya Kata. Mkutano huu utaendeshwa na Mwenyekiti wa Kijiji / Mtaa, ambapo Afisa Mtendaji wa Kijiji / Mtaa atakuwa Katibu wa Mkutano huo na ndiye atakayewasilisha majina ya wananchi wote walioomba kuingia kwenye Baraza la Katiba la Wilaya. 6.1.5. Kwa kuzingatia Sifa zilizoainishwa katika aya za 4.0. na 5.0, Mkutano Mkuu Maalum wa Kijiji / Mtaa utayapigia kura ya siri majina ya wananchi walioomba kuwa Wajumbe wa Baraza la Katiba la Wilaya ngazi ya Mamlaka za Serikali za Mitaa. 6.1.6. Utaratibu wa kupiga kura za kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa kuwachagua Wananchi wanne wanaopendekezwa kuwa Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya utakuwa kama ifuatavyo:- 6.1.6.1. Kwanza, Wajumbe wote wa Mkutano Mkuu Maalum wa Kijiji / Mtaa watapiga kura ya siri ya kumchagua Mtu mzima mmoja [anaweza kuwa mwanamke au mwanamme]. 6.1.6.2. Pili, Wajumbe wote wa Mkutano Mkuu Maalum wa Kijiji / Mtaa watapiga kura ya siri ya kumchagua Mwanamke mmoja. 6.1.6.3. Tatu, Wajumbe wote wa Mkutano Mkuu Maalum wa Kijiji / Mtaa watapiga kura ya siri ya kumchagua Kijana mmoja [anaweza kuwa Mwanamme au Mwanamke]. 6.1.6.4. Nne, Wajumbe wote wa Mkutano Mkuu Maalum wa Kijiji / Mtaa watapiga kura ya siri ya kumchagua Mtu mwingine yeyote kutoka miongoni mwa Wananchi walioomba kuwa Wajumbe wa Baraza la katiba la wilaya. 6.1.7. Orodha ya majina ya wananchi wanne waliopigiwa kura nyingi za kupendekezwa kuwa Wajumbe wa Baraza la Katiba la Wilaya ngazi ya Mamlaka za Serikali za Mitaa, yatabandikwa kwenye maeneo ya wazi/ matangazo ya kila Ofisi ya Serikali ya Kijiji / Mtaa. 6.1.8. Majina ya watu wanne yatakayokuwa yamepata kura nyingi kuliko mengine yatawasilishwa na Afisa Mtendaji wa Kijiji / Mtaa kwa Afisa Mtendaji wa Kata yakiwa yameambatanishwa na Muhtasari wa Mkutano Mkuu Maalum wa Kijiji / Mtaa uliosainiwa na Mwenyekiti wa Kijiji /Mtaa pamoja na orodha ya wananchi waliohudhuria. 6.1.9. Afisa Mtendaji wa Kata baada ya kupokea majina yaliyopendekezwa kutoka kwenye Mikutano Mikuu Maalum ya Vijiji / Mitaa ya Kata husika, ataitisha Kikao Maalum cha Kamati ya Maendeleo ya Kata, ambacho kwa kuzingatia sifa zilizoainishwa kwenye aya za 4.0 na 5.0 kitachagua majina manne kwa kura ya siri kwa utaratibu ufuatao:- 6.1.9.1. Kwanza, Wajumbe wote wa Kamati ya Maendeleo ya Kata watapiga kura ya siri ya kumchagua Mtu mzima mmoja [anaweza kuwa mwanamke au Mwanamme]. 6.1.9.2. Pili, Wajumbe wote wa Kamati ya Maendeleo ya Kata watapiga kura ya siri ya kumchagua Mwanamke mmoja. 6.1.9.3. Tatu, Wajumbe wote wa Kamati ya Maendeleo ya Kata watapiga kura ya siri ya kumchagua Kijana mmoja [anaweza kuwa Mwanamme au Mwanamke]. 6.1.9.4. Nne, Wajumbe wote wa Kamati ya Maendeleo ya Kata watapiga kura ya siri ya kumchagua Mtu mwingine yeyote kutoka miongoni mwa wananchi walioomba kuwa Wajumbe wa Baraza la Katiba la Wilaya. 6.1.10. Jina la Mwananchi atakayekuwa amepata kura nyingi kutoka kila kundi [Mtu mzima, Mwanamke, Kijana na Mtu mwingine yeyote] yatawasilishwa kwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa yakiwa na Muhtasari uliosainiwa na Mwenyekiti na Katibu wa Kikao Maalum cha Kamati ya Maendeleo ya Kata kilichoyapigia kura majina hayo pamoja na orodha ya Wajumbe waliohudhuria. 6.1.11. Mkurugenzi wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa kwa kuzingatia sifa na utaratibu ulioainishwa kwenye aya za 4.0 na 5.0, atawasilisha majina kwa Katibu wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa Uteuzi. 6.1.12. Endapo Diwani wa kata ambaye ndiye Mwenyekiti wa Kamati ya Maendeleo ya Kata hatakuwepo [Kwa sababu zozote ikiwa ni pamoja na kuwa safarini kwa kipindi ambacho Mabaraza ya Katiba yatafanyika, kuwa mgonjwa na kutoweza kutekeleza majukumu ya Udiwani, Kifo au sababu nyingine], utaratibu wa kawaida wa kumpata mwenyekiti wa kikao cha Kamati ya Maendeleo ya Kata wakati Diwani hayupo utatumika, ambapo Mwenyekiti wa Kijiji/Mtaa atakayependekezwa na Wajumbe wenzake wa Kamati ya Maendeleo ya Kata kuendesha Kikao hicho ndiye atawakilisha kata badala ya Diwani. 6.2 Kwa Mkoa wa Dar es Salaam utaratibu utakuwa kama ifuatavyo:- 6.2.1. Kwa kuzingatia sifa zilizoainishwa kwenye aya za 4.0 na 5.0, kila Mwananchi wa Mtaa husika anayependa kuwa Mjumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya ngazi ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa atawasilisha jina lake kwa Afisa Mtendaji wa Mtaa. Uwasilishaji huo uambatane na taarifa zifuatazo:- 6.2.1.1. Majina kamili ya mwombaji. 6.2.1.2. Jinsi yake. 6.2.1.3. Umri wake. 6.2.1.4. Elimu yake. 6.2.1.5. Kazi yake. 6.2.1.6. Sehemu anayoishi katika Mtaa husika. 6.2.2. Wakati wa uwasilishaji wa jina, kila mwananchi anayependa kuwa Mjumbe wa Baraza la Katiba la Wilaya, atawasilisha nakala mbili za barua kwa Afisa Mtendaji wa Mtaa. Nakala moja ibaki kwa Afisa Mtendaji wa Mtaa; na nakala ya pili iwekwe Mhuri na saini ya Afisa Mtendaji wa Mtaa. Nakala hiyo abaki nayo mwanachi husika kwa uthibitisho kuwa barua yake ilipokelewa. 6.2.3. Orodha ya majina ya Wananchi wote wanaotaka kuwa wajumbe wa Baraza la Katiba la Wilaya ngazi ya Mamlaka za Serikali za Mitaa, itawekwa kwenye maeneo ya wazi / matangazo ya Ofisi za Mtaa kwa siku saba (7) kabla ya Mkutano ili wananchi wa Mtaa husika wapate fursa ya kuyapitia na kujiridhisha kama walioomba wana sifa zilizoanishwa kwenye aya za 4.0 na 5.0. 6.2.4. Afisa Mtendaji wa Mtaa ataitisha Mkutano Mkuu Maalum wa Mtaa ambao utakuwa na agenda moja tu kuwapendekeza kwa kuwapigia kura ya siri watu Wanane watakaokuwa wajumbe wa Mabaraza ya katiba ya Wilaya ngazi ya Mamlaka za Serikali za Mitaa. 6.2.5. Mkutano Mkuu Maalum wa Mtaa wa kuwachagua wananchi wanane (8) kuwa Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya ngazi ya Mamlaka za Serikali za Mitaa utaendeshwa na Mwenyekiti wa Mtaa ambapo Afisa Mtendaji wa Mtaa atakuwa Katibu, na ndiye atakayewasilisha majina ya wananchi wote kwenye Mkutano huo walioomba kuingia kwenye Baraza la Katiba la Wilaya. 6.2.6. Utaratibu wa kupiga kura za kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Mtaa wa kuwachagua Wananchi wanane wanaopendekezwa kuwa Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya utakuwa kama ifuatavyo:- 6.2.6.1. Kwanza, Wajumbe wote wa Mkutano Mkuu Maalum wa Mtaa watapiga kura ya siri ya kuwachagua Watu Wazima Wawili [wanaweza kuwa Wanawake au Wanaume]. 6.2.6.2. Pili, Wajumbe wote wa Mkutano Mkuu Maalum wa Mtaa watapiga kura ya siri ya kuwachagua Wanawake wawili. 6.2.6.3. Tatu, Wajumbe wote wa Mkutano Mkuu Maalum wa Mtaa watapiga kura ya siri ya kuwachagua Vijana wawili [wanaweza kuwa Wanaume au Wanawake]. 6.2.6.4. Nne, Wajumbe wote wa Mkutano Mkuu Maalum wa Mtaa watapiga kura za siri kuwachagua Watu wengine wawili wowote kutoka miongoni mwa majina yaliyowasilishwa kwenye Mkutano Mkuu Maalum wa Mtaa. 6.2.7. Orodha ya majina ya Wananchi wanane waliopigiwa kura nyingi za kupendekezwa kuwa Wajumbe wa Baraza la Katiba la Wilaya ngazi ya Mamlaka za Serikali za Mitaa, yatabandikwa kwenye maeneo ya wazi/ matangazo ya kila Ofisi ya Serikali ya Mtaa. 6.2.8. Majina ya watu wanane yatakayokuwa yamepata kura nyingi kuliko mengine, yatawasilishwa na Afisa Mtendaji wa Mtaa kwa Afisa Mtendaji wa Kata yakiwa yameambatanishwa na Muhtasari wa Mkutano Mkuu Maalum wa Mtaa uliosainiwa na Mwenyekiti wa Mtaa pamoja na orodha ya Wananchi waliohudhuria. 6.2.9. Afisa Mtendaji wa Kata baada ya kupokea majina yaliyopendekezwa kutoka kwenye Mikutano Mikuu Maalum ya Mitaa ya Kata husika, ataitisha Kikao Maalum cha Kamati ya Maendeleo ya Kata, ambacho kwa kuzingatia sifa zilizoainishwa kwenye aya za 4.0 na 5.0 kitachagua majina manane kwa kura ya siri kwa utaratibu ufuatao:- 6.2.9.1. Kwanza, Wajumbe wote wa Kamati ya Maendeleo ya Kata watapiga kura ya siri ya kuwachagua Watu wazima wawili [wanaweza kuwa Wanawake au Wanaume]. 6.2.9.2. Pili, Wajumbe wote wa Kamati ya Maendeleo ya Kata watapiga kura ya siri kuwachagua Wanawake wawili. 6.2.9.3. Tatu, Wajumbe wote wa Kamati ya Maendeleo ya Kata watapiga kura ya siri kuwachagua Vijana wawili [wanaweza kuwa wanaume au wanawake]. 6.2.9.4. Nne, Wajumbe wote wa Kamati ya Maendeleo ya Kata watapiga kura ya siri kuwachagua watu wawili wengine wowote, kutoka miongoni mwa majina yaliyowasilishwa kwenye Kikao Maalum cha Kamati ya Maendeleo ya Kata. 6.2.10. Majina ya Wananchi watakaokuwa wamepata kura nyingi kutoka kila kundi [Watu wazima wawili, Wanawake wawili, Vijana wawili na Watu wawili wengine] yatawasilishwa kwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa yakiwa na Muhtasari uliosainiwa na Mwenyekiti na Katibu wa Kikao Maalum cha Kamati ya Maendeleo ya Kata, kilichoyapigia kura majina hayo pamoja na orodha ya Wajumbe waliohudhuria. 6.2.11. Mkurugenzi wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa kwa kuzingatia sifa na utaratibu ulioainishwa kwenye aya za 4.0 na 5.0, atawasilisha majina kwa Katibu wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa Uteuzi. 6.2.12. Endapo Diwani wa Kata ambaye ndiye Mwenyekiti wa Kamati ya Maendeleo ya Kata hatakuwepo [Kwa sababu zozote ikiwa ni pamoja na kuwa safarini kwa kipindi ambacho Mabaraza ya Katiba yatafanyika, kuwa mgonjwa na kutoweza kutekeleza majukumu ya Udiwani, kifo au sababu nyingine], utaratibu wa kawaida wa kumpata Mwenyekiti wa kikao cha Kamati ya Maendeleo ya Kata wakati Diwani hayupo utatumika, ambapo Mwenyekiti wa Mtaa atakayependekezwa na Wajumbe wenzake wa Kamati ya Maendeleo ya Kata kuendesha Kikao hicho ndiye atawakilisha kata badala ya Diwani. 6.3 Kwa upande wa Zanzibar utaratibu utakuwa kama ifuatavyo:- 6.3.1. Kwa kuzingatia sifa zilizoainishwa kwenye aya za 4.0 na 5.0, kila Mwananchi Mkaazi wa Shehia husika anayependa kuwa mjumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya ngazi ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa atawasilisha jina lake kwa Sheha. Uwasilishaji huo uambatane na taarifa zifuatazo:- 6.3.1.1. Majina kamili ya mwombaji. 6.3.1.2. Jinsi yake. 6.3.1.3. Umri wake. 6.3.1.4. Elimu yake. 6.3.1.5. Kazi yake. 6.3.1.6. Sehemu anayoishi katika Shehia husika. 6.3.2. Wakati wa uwasilishaji wa jina, kila Mwananchi anayependa kuwa Mjumbe wa Baraza la Katiba la Wilaya, atawasilisha nakala mbili za barua kwa Sheha. Nakala moja ibaki kwa Sheha; na nakala ya pili iwekwe Mhuri na saini ya Sheha. Nakala hiyo abaki nayo Mwanachi husika kwa uthibitisho kuwa barua yake ilipokelewa. 6.3.3. Orodha ya majina ya Wananchi wote walioomba kuwa Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya ngazi ya Mamlaka za Serikali za Mitaa yatabandikwa kwenye maeneo ya wazi (mfano Skuli) / matangazo katika Shehia husika siku saba (7) kabla ya Mkutano ili Wananchi wapate fursa ya kuyapitia na kujiridhisha kama walioomba wana sifa zilizoanishwa kwenye aya za 4.0 na 5.0. 6.3.4. Sheha ataitisha Mkutano wa Shehia husika ambao utakuwa na agenda moja tu ya kuwapigia kura ya siri watu watatu [3] ambao majina yao yatawasilishwa kwa Mkurugenzi wa Baraza la Manispaa, Katibu wa Halmashauri Mji/ Wilaya ambapo Shehia hiyo ipo. 6.3.5. Mkutano wa Shehia utachagua Mwenyekiti na Katibu wa Mkutano huo kutoka miongoni mwa Wananchi waliohudhuria Mkutano. Katibu ndiye atakayewasilisha kwenye Mkutano majina ya Wananchi wote walioomba kuwa Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya ngazi ya Mamlaka za Serikali za Mitaa. 6.3.6. Mwenyekiti na Katibu wa Mkutano wa Shehia watakaochaguliwa sharti wawe na sifa kama za Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba zilivyoainishwa katika aya ya 4.0. 6.3.7. Utaratibu wa kupiga kura kwenye Mkutano wa Shehia wa kuwachagua Wananchi watatu kuwa Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya utakuwa kama ifuatavyo:- 6.3.7.1. Kwanza, Wananchi wote waliohudhuria Mkutano wa Shehia watapiga kura ya siri ya kumchagua Mtu mzima mmoja [anaweza kuwa Mwanamke au Mwanamme]. 6.3.7.2. Pili, Wananchi wote waliohudhuria Mkutano wa Shehia watapiga kura ya siri ya kumchagua Mwanamke mmoja. 6.3.7.3. Tatu, Wananchi wote waliohudhuria Mkutano wa Shehia watapiga kura ya siri ya kumchagua Kijana mmoja [anaweza kuwa Mwanamme au Mwanamke]. 6.3.8. Matokeo ya upigaji kura wa siri yatatangazwa kwenye Mkutano baada ya mchakato wa kupiga kura kukamilika na kuwekwa kwenye maeneo ya wazi / matangazo katika Shehia husika. 6.3.9. Katibu wa Mkutano wa Shehia, atawasilisha majina ya watu watatu (3) waliochaguliwa katika Mikutano ya Shehia kwa Mkurugenzi wa Baraza la Manispaa, Katibu wa Halmashauri ya Mji / Wilaya ambapo Shehia hiyo ipo katika muda wa siku moja tangu Mkutano ulipofanyika. Mawasilisho hayo yaambatane na muhtasari wa Mkutano uliotiwa saini na Mwenyekiti na Katibu pamoja na orodha ya majina ya wananchi waliohudhuria. 6.3.10. Mkurugenzi wa Baraza la Manispaa, Katibu wa Halmashauri Mji/ Wilaya kwa kuzingatia sifa na utaratibu ulioainishwa kwenye aya za 4.0 na 5.0, atawasilisha majina kwa Katibu wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa uteuzi. Baada ya kupokea orodha ya majina ya watu waliochaguliwa kuwa Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya ngazi ya Mamlaka za Serikali za Mitaa kutoka Tanzania Bara na Zanzibar, Katibu atatoa barua rasmi za kuwateua Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya ngazi ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa. 7.0. TARATIBU ZA KUFANYA MIKUTANO YA KUWAPATA WAJUMBE WA MABARAZA YA KATIBA YA WILAYA. Ili kuendana na muda wa kuwapata Wajumbe na kufanyika kwa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya ngazi ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa pamoja na maandalizi yote muhimu, vikao vya kupendekeza majina na kufanya uchaguzi vitafanyika kwa utaratibu ufuatao:- 7.1 Wananchi wanaopenda kuwa Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya wawasilishe majina yao kwa Maafisa Watendaji wa Vijiji / Mitaa kwa Tanzania Bara na kwa Sheha kwa Zanzibar kati ya tarehe 08 Machi, 2013 hadi 20 Machi, 2013. 7.2 Orodha ya majina ya Wananchi wote wanaotaka kuwa Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya ngazi ya Mamlaka za Serikali za Mitaa iwekwe kwenye maeneo ya wazi / matangazo katika Ofisi za Vijiji / Mitaa kwa Tanzania Bara; na katika maeneo ya wazi / matangazo kwenye Shehia husika kwa Zanzibar tarehe 22 Machi, 2013 na majina hayo yaendelee kuwepo hadi tarehe 28 Machi, 2013. 7.3 Kwa Tanzania Bara, Vikao vya Vijiji / Mitaa vya kuwachagua kwa kuwapigia kura za siri wananchi wanne kuwa Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba vifanyike kati ya tarehe 30 Machi 2013 hadi 03 Aprili, 2013. 7.4 Kwa upande wa Tanzania Bara, Kikao Maalum cha Kamati ya Maendeleo ya Kata cha kuwachagua wajumbe wanne kutoka miongoni mwa Wananchi waliopigiwa kura na Mikutano Mikuu ya Vijiji / Mitaa kifanyike kati ya tarehe 05 Aprili 2013 hadi 09 Aprili, 2013. 7.5 Kwa Tanzania Bara, majina ya Wajumbe wanne waliochaguliwa na Kikao Maalum cha Kamati ya Maendeleo ya Kata, yawasilishwe kwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa husika kati ya tarehe 13 Aprili, 2013 hadi 17 Aprili, 2013. 7.6 Kwa Mkoa wa Dar es Salaam, 7.6.1. Vikao vya Mitaa vya kuwapigia kura ya kuwapendekeza wajumbe wanane wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya vifanyike kati ya tarehe 30 Machi, 2013 hadi 03 Aprili, 2013. 7.6.2. Vikao Maalum vya Kamati za Maendeleo za Kata vya kuwachagua wajumbe wanane kutoka miongoni mwa wananchi waliopigiwa kura na Mikutano Mikuu ya Mitaa vifanyike kati ya tarehe 05 Aprili, 2013 hadi 09 Aprili, 2013. 7.6.3. Majina ya Wajumbe wanane waliochaguliwa na Kikao Maalum cha Kamati ya Maendeleo ya Kata, yawasilishwe kwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa husika kati ya tarehe 13 Aprili 2013 hadi 17 Aprili, 2013. 7.7 Kwa Zanzibar, 7.7.1. Vikao vya Shehia vya kuwachagua kwa kuwapigia kura za siri Wananchi watatu kuwa Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya vifanyike kati ya tarehe 30 Machi, 2013 hadi 03 Aprili, 2013. 7.7.2. Majina ya Wajumbe watatu, waliochaguliwa na Mikutano ya Shehia, yawasilishwe kwa Mkurugenzi wa Baraza la Manispaa, Katibu wa Halmashauri ya Mji / Wilaya ambapo Shehia hiyo ipo kati ya tarehe 13 Aprili 2013 hadi 17 Aprili, 2013. Majina ya watu wote waliochaguliwa kuwa wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya, pamoja na majina ya Madiwani wote wa Mamlaka ya Serikali za Mtaa husika yawasilishwe kwa Katibu wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa kutumia Fomu maalum iliyoandaliwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba kwa madhumuni hayo kwa njia ya nakala tete (soft Copy) na nakala mango (hard copy) kati ya tarehe 25 Aprili 2013 hadi 30 Aprili, 2013. 8.0. MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA MCHAKATO WA KUWAPATA WAJUMBE WA MABARAZA YA KATIBA YA WILAYA Ni Jukumu la Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kusimamia, kuratibu na kuhakikisha Mikutano hiyo inafanyika. 8.1 Kwa Tanzania Bara isipokuwa kwa Mkoa wa Dar es Salaam 8.1.1.Mikutano yote ya Vijiji / Mitaa itaendeshwa na Wenyeviti wa Serikali za Vijiji / Mitaa na Maafisa Watendaji wa Vijiji / Mitaa watakuwa ni Makatibu na wasimamizi wa Mikutano hiyo. 8.1.2.Mikutano Mikuu yote ya Vijiji / Mitaa itakayoitishwa kwa lengo la kuwapigia kura ya siri watu wanne kuwa Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya vifanyike katika tarehe moja kwenye Vijiji / Mitaa yote iliyopo kwenye Mamlaka ya Serikali za Mitaa husika. 8.1.3.Vikao vyote vya Kamati za Maendeleo za Kata vitakavyokuwa na jukumu la kuwachagua watu wanne kuwa Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya ngazi ya Mamlaka za Serikali za Mitaa vifanyike katika tarehe moja kwenye Kata zote za Mamlaka ya Serikali za Mitaa husika. 8.1.4. Kwa Mkoa wa Dar es Salaam: 8.1.4.1. Mikutano Mikuu yote ya Mitaa itakayoitishwa kwa lengo la kuwapigia kura watu wanane wanaopendekezwa kuwa Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya ifanyike katika tarehe moja kwenye Mitaa yote iliyopo kwenye Mamlaka ya Serikali za Mitaa husika. 8.1.4.2. Vikao vyote vya Kamati za Maendeleo za Kata vitakavyokuwa na jukumu la kuwachagua watu wanane kuwa Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya ngazi ya Mamlaka za Serikali za Mitaa vifanyike katika tarehe moja kwenye Kata zote za Mamlaka ya Serikali za Mitaa husika. 8.2 Kwa Zanzibar 8.2.1. Ni jukumu la Mkurugenzi wa Baraza la Manispaa, Katibu wa Halmashauri ya Mji / Wilaya kusimamia, kuratibu na kuhakikisha Mikutano hiyo inafanyika. 8.2.2. Mikutano yote ya Shehia itaendeshwa na Wenyeviti na Makatibu watakaochaguliwa na Mikutano hiyo. 8.2.3. Jukumu la Sheha ni:- 8.2.3.1. Kupokea majina ya Wananchi wanaoomba kuwa Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya. 8.2.3.2. Kubandika katika maeneo ya wazi / matangazo majina yote ya watu walioomba kuwa Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya. 8.2.3.3. Kuitisha Mkutano wa Shehia utakaochagua Mwenyekiti na Katibu wa Mkutano. 8.2.4. Majukumu ya Katibu wa Mkutano atakayechaguliwa:- 8.2.4.1. Kupokea orodha ya majina ya Wananchi wote walioomba kuwa Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya kutoka kwa Sheha. 8.2.4.2. Kuwasilisha majina ya Wananchi wote walioomba kuwa Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Wilaya kwenye Mkutano. 8.2.4.3. Kuratibu mchakato wa uchaguzi kwenye Mkutano. 8.2.4.4. Kubandika kwenye maeneo ya wazi / matangazo matokeo ya kura kwa kila mwombaji alivyopata baada ya Mkutano. 8.2.4.5. Kuandaa Muhtasari wa Mkutano. 8.2.4.6. Kuwasilisha majina ya Wananchi walioshinda pamoja na Muhtasari wa Mkutano kwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Serikali za Mitaa iliyopo kwenye Shehia husika. 9.0. MABARAZA YA KATIBA YA ASASI, TAASISI NA MAKUNDI YA WATU Kama ilivyoelezwa hapo awali, Kifungu cha 18 (6) cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83, kinaeleza aina nyingine ya Mabaraza ya Katiba. Tume inaruhusu Asasi, Taasisi au Makundi ya Watu wenye malengo yanayofanana kuandaa mikutano kwa ajili ya kutoa fursa kwa wanachama wake kutoa maoni yao juu ya Rasimu ya Katiba kisha kuwasilisha maoni hayo kwa Tume si zaidi ya tarehe 14 Agosti, 2013. Mabaraza hayo yatajiendesha yenyewe na kuwasilisha maoni yao kwa Katibu wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Orodha ya Mabaraza hayo ni pamoja na: 1.1. Jumuiya ya kidini. 1.2. Chama cha siasa. 1.3. Asasi ya kiraia. 1.4. Taasisi ya elimu ya juu. 1.5. Chama cha wafanyakazi. 1.6. Chama cha wakulima. 1.7. Chama cha wafugaji. 1.8. Chama cha Wanahabari. 1.9. Mabaraza ya Watoto, Taasisi za Kitaaluma, Vijana na Wazee. 1.10. Kundi au makundi ya watu wenye malengo yanayofanana kama Sheria inavyoelekeza. 1.11. Kundi au makundi ya watu wenye mahitaji maalum katika jamii. 10.0. TAREHE YA KUANZA KUTUMIKA Mwongozo huu utaanza kutumika kuanzia tarehe 01 Machi, 2013. Joseph S. Warioba
2018-07-19T02:06:43
http://matukiodaima.blogspot.com/2013/02/mwongozo-kuhusu-muundo-utaratibu-wa.html
[ -1 ]
Philippines - Jumla ya Pato zisizohamishika Ukuzaji Rasilimali Sasa, maadili, data ya kihistoria, utabiri, takwimu, chati na kalenda ya kiuchumi - Philippines - Jumla ya Pato zisizohamishika Ukuzaji Rasilimali.
2020-01-25T13:49:54
https://sw.tradingeconomics.com/philippines/gross-fixed-capital-formation
[ -1 ]
Bangladesh na Brazil zashinda tuzo la UN-Sasakawa | Idhaa ya Redio ya UM Umoja wa Mataifa 23/05/2013 Bangladesh na Brazil zashinda tuzo la UN-Sasakawa Bwana Sasakawa amesema kauli mbiu ya tuzo la mwaka huu ni "Kuchukua hatua ya pamoja", ambayo Hazina ya Nippon ilianzisha baada ya tetemeko la ardhi na Tsunami mashariki mwa Japan, kwa kushirikiana na kampuni za biashara na mashirika yasiyo ya kiserikali kuandaa warsha za kuhamasisha kuhusu kuweka majengo yanayowarahisishia watu walemavu kujinusuru katika nyakati za dharura.
2013-12-13T05:54:52
http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/05/bangladesh-na-brazil-zashinda-tuzo-la-un-sasakawa/
[ -1 ]
‘JK hajakataa kukabidhi uenyekiti’ - Bongo Leaks Msemaji wa CCM, Christopher Ole Sendeka. CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema hakuna mgogoro wowote katika mchakato wa kukabidhi kijiti cha Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho kutoka kwa Mwenyekiti wa sasa Jakaya Kikwete kwenda kwa Rais John Magufuli. Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana na Msemaji wa CCM Taifa, Christopher ole Sendeka ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC) ilieleza taarifa hizo zinazushwa na baadhi ya vyombo vya habari visivyozingatia maadili ya taaluma ya uandishi wa habari. “Baadhi ya vyombo vya habari vimekuwa vinatoa taarifa potofu kuhusu mchakato wa Mwenyekiti wa sasa wa CCM Dk Jakaya Kikwete kukabidhi kijiti cha uongozi wa CCM kwa Rais John Pombe Magufuli kama ilivyo mila na desturi ya CCM. “Yamekuwapo madai eti Mwenyekiti amekataa au anachelewesha kukabidhi kijiti. Habari hiyo si kweli kabisa na ni kinyume chake, kwani Dk Kikwete amekuwa akisisitiza kukabidhi madaraka mapema iwezekanavyo. “Kwa ajili hiyo kwenye kikao cha Mei 3, 2016 alikataa kusiongezwe ajenda nyingine ambazo zitalazimisha Mkutano Mkuu Maalumu kuchelewa kufanyika kwa sababu ya kukamilisha maandalizi ya ajenda hizo na alisisitiza ajenda iwe moja tu,” ilieleza taarifa hiyo ya CCM. Kwa mujibu wa taarifa hiyo ya Ole Sendeka, dhamira ya kufanyika Mkutano Mkuu Maalum Juni, 2016 iko pale pale na kwamba kilichoelezwa kwenye kikao ni kutaka kukamilisha utaratibu wa kupata fedha za kugharimia mkutano huo. “Taratibu zikikamilika tarehe itapangwa. Mipango ya kutafuta pesa inaendelea na ikikamilika tarehe itatangazwa,” alisema Msemaji huyo wa CCM Taifa. Aliwataka wana-CCM wasihamanike wala kubabaishwa na taarifa za upotoshaji zinazofanywa na watu wenye nia mbaya na chama hicho, akisema watu hao ni wale ambao wamekuwa wakiiombea mabaya CCM bila ya mafanikio. “Pia tunapenda kukanusha madai ati kuwa Mwenyekiti Kikwete aliwatahadharisha wajumbe wa Kamati Kuu kuhusu ukimya wa Edward Lowassa. Hakuna wakati wowote kauli kama hiyo aliitoa. Ni uzushi mtupu. Jina la Ndugu Lowassa halikutajwa kabisa,” alisema. Katika hatua nyingine Ole Sendeka alikanusha madai ya kufanyika mkutano baina ya Mwenyekiti Kikwete, Rais Magufuli, Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, kuhusu uchaguzi wa Katibu wa Kamati ya Wabunge wa CCM.
2018-02-19T21:40:57
http://www.frankleonard.info/2016/05/jk-hajakataa-kukabidhi-uenyekiti.html
[ -1 ]
‘Wazuieni Wahitimu Darasa la Saba Bazi ya Bodaboda’ Wazazi wameshauriwa kuwakataza vijana wao waliohitimu darasa la saba kujiepusha na biashara ya bodaboda na badala yake waendelezwe kimasomo ili wafanikiwe kupata elimu ya juu. Ushauri huo ulitolewa na Mkuu wa Shughuli za Benki ya Wanawake Tanzania, Zabron Yebete jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Yebete alisema vijana wengi wamekuwa wakihitimu darasa la saba na kukimbilia kufanya biashara ya bodaboda badala ya kufikiria kujiendeleza na masomo. Aliyasema hayo wakati wa mahafali ya Shule ya Msingi Kifulu iliyoko katika Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Alisema benki yake inatambua mchango wa walimu wa shule za msingi na hivyo imejipanga kutumia faida inayopata kusaidia jamii. Aidha, amewaomba walimu kuchangamkia mikopo inayotolewa na benki yake ili kujiendeleza na kuinua vipato vyao kwa kuwa na miradi ya ujasiriamali pamoja na kupata mikopo ya viwanja kwa kulipa asilimia 30 na benki yake italipia asilimia 70 kumwezesha mwalimu amiliki nyumba. Kwa upande wake, Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Ezekeila Mwambeje, alisema shule yake imekuwa ikikabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwamo shule hiyo kuwa jirani na barabara kuu. Mwambeje alisema kuwapo kwa benki hiyo ya wanawake kutasaidia walimu wengi kupata mikopo ambayo itasaidia kuinua maisha yao. Alisema walimu wamekuwa wakikabiliwa na changamoto za maisha kutokana na mishahara yao kutokidhi mahitaji yao. Yebeti aliwaahidi walimu hao kuwapelekea maofisa wa mikopo wa benki yake kwenda kuwatembelea na kuwasikiliza matatizo yao ili wakopeshwe kwa riba nafuu pamoja na wajasiriamali. Aidha, ameiomba Manispaa ya Ilala kuchukua hatua za haraka za kuipanua Shule ya Msingi Kifulu kutokana na shule hiyo kuwa barabarani na pia ina madarasa machache kwa kulinganisha na wanafunzi waliopo. Alisema jumla ya wanafunzi waliopo shuleni hapo ni 980 lakini vyumba vya madarasa vipo vinane tu ikiwa ni pungufu ya vyumba 14. TRA Yaelekezwa Kudhibiti Uingizwaji Bidhaa Feki Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Dk. Binilith Mahenge, ameitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kudhibiti mipaka...
2018-08-14T23:54:52
https://www.kijijini.com/2014/10/wazuieni-wahitimu-darasa-la-saba-bazi-ya-bodaboda/
[ -1 ]
[4.81 MB MB] Madini ya vito na dhahabu yenye thamani ya Sh. Bil 13.17 yakamatwa yakitoroshwa. Lagu MP3, Video MP4 & 3GP - STAFABAND.ES Download Lagu dari Madini ya vito na dhahabu yenye thamani ya Sh. Bil 13.17 yakamatwa yakitoroshwa. Mp3 Gratis. Download Lagu Tahun Madini ya vito na dhahabu yenye thamani ya Sh. Bil 13.17 yakamatwa yakitoroshwa..mp3 gratis hanya untuk review saja, Belilah Kaset asli atau CD original dan unduh lagu aslinya di Itunes atau gunakan NSP/I-RING/RBT agar Musisi kesayangan anda dapat terus berkarya di Belantika Musik Dunia Hits : 5,880 Upload by : ITV TANZANIA Size : 4.81 MB 720p madini-ya-vito-na-dhahabu-yenye-thamani-ya-sh-bil-13-17-yakamatwa-yakitoroshwa- Lagu Madini ya vito na dhahabu yenye thamani ya Sh. Bil 13.17 yakamatwa yakitoroshwa. hanya untuk review saja, jika memang kamu suka dengan lagu Madini ya vito na dhahabu yenye thamani ya Sh. Bil 13.17 yakamatwa yakitoroshwa. belilah kaset asli yang resmi atau CD official dari album ini, kamu juga bisa mendownload secara legal di Official iTunes. Ikufikie hii ya madini yanayotafutwa kwa wingi duniani Wanasayansi Wagundua Dhahabu Kwenye Kinyesi HABARI - SEPT.03.2015 | TBC Uchimbaji Tanzanite na watoto Madini ya Dhahabu Turkana Kazi ya kuchimba madini , inahitaji ukakamavu , na kujitolea hanga. Mgodi wa mkasa Tanzania DHAHABU YANASWA IKITOROSWHA BANDARINI
2018-03-19T21:59:53
http://stafaband.es/watch?v=Q8u0mrlsvik
[ -1 ]
RAIS KIKWETE ana UJASIRI MKUBWA!!!!!!!!! | JamiiForums | The Home of Great Thinkers RAIS KIKWETE ana UJASIRI MKUBWA!!!!!!!!! Discussion in 'Habari na Hoja mchanganyiko' started by mizambwa, Aug 2, 2012. Kikwete asisitiza Serikali kutompiga Dk. Ulimboka RAIS Jakaya Kikwete ameendelea kuyapuuza na kukana madai yanayoihusisha serikali yake na tukio la kutekwa nyara, kuteswa, kupigwa na kujeruhiwa kwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari, Dk. Steven Ulimboka. Akizungumzia suala hilo, alisema ingawa kumekuwa na maneno mengi kuhusu tukio hilo la kikatili dhidi ya Dk. Ulimboka ambayo yataendelea kusemwa, ukweli unabaki pale pale kwamba, kuihusisha serikali ni kuionea. Akifafanua, Rais Kikwete alisema atashangaa iwapo kutakuwa na mtu ambaye anaweza akajitolea kufanya kitendo cha namna hiyo dhidi ya Ulimboka kwa niaba ya serikali. “Hizi taarifa za mashaka zitaendelea kuwapo. Habari ziko nyingi na zitaendelea kusemwa. Serikali ifanye hivyo kwa sababu gani? Nitashangaa kwamba eti kuna mtu anaweza akafanya kitendo cha namna hiyo kwa niaba ya serikali,” alisema. Rais Kikwete ambaye alikuwa akilihutubia taifa kwa kukutana na wahariri Ikulu jijini Dar es Salaam jana, alitoa taarifa hizo baada ya kuwapo kwa taarifa katika vyombo vya habari ambazo zimekuwa zikiwataja baadhi ya maofisa wa juu wa taasisi za kiusalama kuhusika na utekaji nyara na kujeruhiwa kwa Dk. Ulimboka ambaye anaendelea na matibabu nchini Afrika Kusini. Hii ilikuwa ni mara ya pili kwa Rais Kikwete kukanusha taarifa zinazoihusisha serikali yake na unyama aliofanyiwa Dk. Ulimboka baada ya kufanya hivyo kwa mara ya kwanza wakati wa hotuba yake ya mwishoni mwa mwezi Juni. Akijibu swali kuhusu madai ya madaktari kwamba serikali yake imekuwa ikielekeza vipaumbele vyake katika maeneo mengine na kusahau masilahi ya madaktari na sekta ya afya, Rais Kikwete alisema japo hapendi kujisifu kwa hilo, wamefanya kazi kubwa kuboresha mazingira ya kazi ya madaktari na yale ya mahospitalini. Alieleza kusikitishwa na kisha akahoji kuhusu madai ya kukosekana kwa mashine ya T scan katika hospitali zote za umma ambayo gharama yake imekuwa ikifananishwa na bei ya gari moja la kisasa aina ya Toyota VX 8. Akifafanua, Rais Kikwete alisema swali kubwa la kujiuliza ni kwa nini mashine hiyo ya T Scan iliyoko katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambayo thamani yake ni dola za Marekani 700,000 imekuwa ikiharibika mara kwa mara. “Pale Muhimbili kuna T Scan, swali la kujiuliza ni kwa nini mashine ile imekuwa ikiharibika mara kwa mara hata kusababisha wagonjwa wanaokwenda pale kutakiwa kwenda katika Hospitali ya Regency? Hilo ndilo swali la kujiuliza,” alihoji Rais Kikwete. Mbali ya hilo, Rais Kikwete alisema serikali imechukua hatua nyingi nyingine za kuboresha mazingira ya kazi katika hospitali nyingi nchini ikiwa ni pamoja na kununua vifaa mbalimbali vya tiba katika hospitali mbalimbali za umma. “Akutukanaye hakuchagulii tusi. Nimesikia wanasema serikali haijafanya lolote au pengine kuna tatizo la vipaumbele. Hii si kweli hata kidogo….pale Muhimbili leo hii wagonjwa wanaotaka kusafishwa figo wanafanyiwa hivyo wakati awali walikuwa wakitakiwa kwenda Nairobi,” alisema. Akiizungumzia hospitali hiyo hiyo alisema leo hii kitengo cha mapokezi wanapofikia wagonjwa kwa mara ya kwanza kimeboreshwa kwa kuwa na eneo maalumu la kupumzisha wagonjwa. Sambamba na hilo, alisema hatua zaidi zilikuwa zimechukuliwa katika Hospitali ya Muhimbili kwa kuimarishwa kwa kitengo cha meno ambacho hivi sasa kina hadhi ya vile vilivyoko katika hospitali kubwa duniani. Hakuishia hapo, alikwenda mbele na kueleza kwamba, katika Hospitali ya saratani ya Ocean Road ambako wagonjwa walikuwa wakilala chini, limejengwa jengo jipya ili wagonjwa waweze kulala vizuri wanapoendelea na tiba na kwamba hilo pia limefanyika katika hospitali nyingine mbalimbali nchini. Akizungumzia kuhusu idadi ya madaktari, Rais Kikwete alisema wakati nchi ilikuwa na madaktari wa magonjwa maalumu (specialists) wasiozidi 50 wakati walipoingia madarakani wamefanya juhudi kubwa katika kuhakikisha kwamba idadi yao inaongezeka na kufikia 500 hivi sasa. Source: Tanzania Daima =================================================================================================== MYTAKE: Rais J. Kikwete yaani pamoja na serikali yake kuwekwa uchi kwa makala iliyosababisha Gazeti Mwanahalisi kufungiwa, anakuwa shujaa katika kujiaminisha kuendelea kukanusha "Serikali haikumteka na kumtesha Dr. S. Ulimboka???? Kweli ana moyo mgumu sana na usio na aibu. Kama ni hivyo kwa nini wasimchukulie hatua za kisheria Ndugu Kubenea???? ili ukweli ujulikane??? Wananchi tutaendelea kuilaumu Serikali hadi watakapotuthitishia kuhusu tukio hili. Kesi ipo mahakamani kwa nini Rais anaendelea kuiongelea suala hili??? Sio jasiri wa nini,sema ni m.k.w.e.r.e.hawana aibu wale.muulize ritz
2017-07-25T18:56:16
https://www.jamiiforums.com/threads/rais-kikwete-ana-ujasiri-mkubwa.301974/
[ -1 ]
Timisoara, ni makazi ya muda ya wakimbizi walio njiani kuelekea nchi ya tatu. Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR na shirika la kimataifa la Uhamiaji IOM wanaendelea na harakati za kuwahamisha wakimbizi kutoka Libya ambao sasa wamekuwa wageni wa muda wa serikali ya Romania kwenye kituo cha ETC kilichoko mjini Timisoara Romania .
2020-05-28T22:00:53
https://news.un.org/sw/news/region/europe/audio/index%252Ehtml/date/2019/date/2019-01
[ -1 ]
Serikali yatangaza kibano kwa magazeti, majarida – MwanaHALISI Online Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO,Hassan Abbasi Posted by: Jovina Patrick August 23, 2017 0 798 Views MSEMAJI wa serikali ambaye pia ni mkurugenzi mkuu wa Idara ya Habari (Maelezo, Hassan Abbas ametangaza kibano kwa tasnia ya habari kinachohusu usajili upya wa magazeti, majarida na machapisho yote yaliyopo pamoja na kulipia shilingi milioni moja kama gharama za leseni kwa mwaka, anaandika Jovina Patrick. Abbas ametangaza maelekezo hayo leo alipozungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam na kwamba mmiliki aliyefuata agizo hilo hataruhusiwa kuchapisha gazeti ama jarida lolote hapa nchini. Awali gharama hizo za leseni hazikuwapo isipokuwa mmiliki alikuwa anatakiwa kusajili gazeti ama jarida na akishapata usajili anaanza kuchapisha bila malipo mengine. Akizungumza na waandishi wa habari, Abbas amesema zoezi hilo ni utekelezaji wa matakwa ya kifungu cha 5(e) cha sheria ya huduma za habari, ambayo ni muendelezo wa azma ya waandishi wa habari kuwa na taaluma inayowajibika. Usajili huo umeanza leo na unatarajia kumalizika Octoba 15, mwaka huu na kwamba baada ya muda huo kumalizika gazeti ama jarida ambalo halikusajiliwa halitaruhusiwa kuchapishwa. “Gazeti au jarida lolote litakaloshindwa kujisajili na kupata leseni halitaruhusiwa kutoa nakala zake na endapo likitoa nakala litachukuliwa hatua hali za kisheia” anasema Abbas. Amesema kwa magazeti yaliyopo sasa mwisho wa kusajiliwa upya ni Oktoba 15, mwaka huu, lakini yale yanayotaka kuanzishwa kwa mara ya kwanza usajili wake utaendelea baada ya tarehe hiyo. Nyaraka zinazohitajika katika usajili huo ni pamoja na sera ya chombo husika, viwango vya elimu kwa Wahariri pamoja na Waandishi wao katika chombo husika. MSEMAJI wa serikali ambaye pia ni mkurugenzi mkuu wa Idara ya Habari (Maelezo, Hassan Abbas ametangaza kibano kwa tasnia ya habari kinachohusu usajili upya wa magazeti, majarida na machapisho yote yaliyopo pamoja na kulipia shilingi milioni moja kama gharama za leseni kwa mwaka, anaandika Jovina Patrick. Abbas ametangaza maelekezo hayo leo alipozungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam na kwamba mmiliki aliyefuata agizo hilo hataruhusiwa kuchapisha gazeti ama jarida lolote hapa nchini. Awali gharama hizo za leseni hazikuwapo isipokuwa mmiliki alikuwa anatakiwa kusajili gazeti ama jarida na akishapata usajili anaanza kuchapisha bila malipo mengine. Akizungumza na waandishi wa… Previous: Polisi wamaliza upekuzi kwa Lissu, waambulia patupu Next: Mahakama Kenya waonya wanahabari, mawakili
2018-02-20T05:43:09
http://mwanahalisionline.com/serikali-yatangaza-kibano-kwa-magazeti-majarida/
[ -1 ]
Mwenyekiti wa CHADEMA - London kachaguliwa kwa kigezo gani? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Mwenyekiti wa CHADEMA - London kachaguliwa kwa kigezo gani? Watu waliohudhuria mkutano wa chadema london ni 10 pamoja na matangazo yote ya Blog ya MJENGWA ambayo imekuwa kama gazeti la Tanzania daima.sasa hivi chris lukosi anasema kachaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chadema kwenye uchaguzi wa jana.walioshiri ni watu 10. jee alishindana na nani hadi akawa mwenyekiti?alipata kura ngapi na mpinzani wake alipata ngapi? hawa watu nadhani hata katiba ya chadema hawaijui. ilitakiwa wafundishwe kazi kwanza. Chris umepata kura ngapi? na hadi sasa wamekosa katibu kwani watu kumi walioshiri kila mtu kaingia mitini. wanatafuta katibu. hii ni dalili ya kufeli kwa chadema London.wame deal na mabogus ndio matokeo yake. poor planning huleta poor result. wanatia huruma. LEMA KICHWA kinamuuma. chris na viongozi wote wa chadema london hawakuchaguliwa...wameteuliwa ili kukiongoza chama kuelekea uchaguzi mkuu wa viongozi chadema ndio kwanza wametia timu hapa London hivyo lazima kuwe na watu watakaokuwa wanaact kama viongozi wa mpito ili kuendesha shughuli za kuratibu mambo yote yanayokihusu kwa ulayaClick to expand... maeneo waliyofanyia mkutano wao wanaishi watu wengi kutoka visiwani zanzibar, kitendo chao cha kupeleka mkutano BAR ndicho kilipelekea kukosa watu, na hasa hii kasumba ya ukristo, waislam wanakiokopa chama hicho. maeneo waliyofanyia mkutano wao wanaishi watu wengi kutoka visiwani zanzibar, kitendo chao cha kupeleka mkutano BAR ndicho kilipelekea kukosa watu, na hasa hii kasumba ya ukristo, waislam wanakiokopa chama hicho.Click to expand... Nijuavyo mimi, wazanzibari wengi wanaoishi London ni wapemba, na wako close zaidi ya CUF unless wamebadili msimamo 'jana usiku'. Lakini pia tuwe realistic, kwa sasa Zanzibar wako busy na harakati za kuachana na 'mkoloni Tanganyika' kwa hiyo madai ya venue, mara number of participants ni visingizio. Nijuavyo mimi, wazanzibari wengi wanaoishi London ni wapemba, na wako close zaidi ya CUF unless wamebadili msimamo 'jana usiku'. Lakini pia tuwe realistic, kwa sasa Zanzibar wako busy na harakati za kuachana na 'mkoloni Tanganyika' kwa hiyo madai ya venue, mara number of participants ni visingizio.Click to expand... Halafu unamsikia anafanya kila juhudi kupiga tarumbeta ya kidini!! Eti hicho chama wanakiogopa waislam, kwani London ni mji wa waislamu, mbona walikimbilia huko kama walitaka kuishi waislamu peke yao? hebu wanaojificha kwenye hizi dini msizozijuwa kuweni na fikra pana zaidi! chris na viongozi wote wa chadema london hawakuchaguliwa...wameteuliwa ili kukiongoza chama kuelekea uchaguzi mkuu wa viongozi chadema ndio kwanza wametia timu hapa London hivyo lazima kuwe na watu watakaokuwa wanaact kama viongozi wa mpito ili kuendesha shughuli za kuratibu mambo yote yanayokihusu kwa ulaya nikuulize swali,hivi ukienda kusajiri chama kwa tendwa ukajiandika kuwa wewe ni mwenyekiti na mkeo ni katibu..hivi huwa mnakuwa mmechaguliwa na wanachama gani? tuwape muda hawa viongozi wa mpito na sio kuja na hoja za kitoto hapa Kuna watu walikuwa wanataka hako kanafasi watafute kutoka kimaisha kama mleta mada...umeumbuka. Hatuangalii wingi wa watu waliojitokeza bali tunaangalia kilichozungumzwa kina manufaa gani kwa Tanzania. Ni hekima kubwa kutokubaliana na wengi wenye makosa, na ukasimama pekee yako kwenye ukweli. Wingi si tija hata kidogo. Chadema kinatakiwa kujijenga hapa nyumbani kuanzia grassroot level,then kiende ulaya.so long hao wa nje sio reflection ya maisha halisi ya mtanzania Chris umepata kura ngapi? na hadi sasa wamekosa katibu kwani watu kumi walioshiri kila mtu kaingia mitini. wanatafuta katibu. hii ni dalili ya kufeli kwa chadema London.wame deal na mabogus ndio matokeo yake. poor planning huleta poor result. wanatia huruma. LEMA KICHWA kinamuuma.Click to expand... Atakuwa kachaguliwa na wenzake 10 ukiwemo kama ulikuwepo na kama hukuwepo kelele za nini hadi utake kujua nani walio mchagua ?Hebu waache wenye nia waendelee na kama ni wachumia tumbo soon watajulikana lakini kwa sasa waacheni wachape kazi .Hata hivyo wewe na wenzako wa UK kwa sasa si wapiga kura na siasa zenu ni za JF pekee wenzeni tuko JF na polisi tunakumbana nao . so long hao wa nje sio reflection ya maisha halisi ya mtanzaniaClick to expand... Kwani aliye nje siyo mtanzania? huyo ambaye reflection ya maisha yake inatakiwa iheshimiwe ni aliye Bongo tu? Chadema kinatakiwa kujijenga hapa nyumbani kuanzia grassroot level,then kiende ulaya.so long hao wa nje sio reflection ya maisha halisi ya mtanzaniaClick to expand... Duh!!! kazi ipo kweli kuelimisha jamii. nchi nyingine raia wao wanapiga kura japokuwa hawapo inchini mwao je hawareflect jamii yao? Hivi unaweza kusema hivyo kweli kipindi hichi cha utandawazi? Jana ilikuwa siku ya Jumatatu na wengi wetu tunajua huko majuu watu hawako kama Manzese au Kariakoo kukiwa na tukio watu watajaza hata kukosa pa kupenya, kumbe kupotea njia kwa mwendesha bodaboda au kibabaja kuparamia tuta. Majuu ni box tu mtindo mmoja, kwani hii mikutano italipa bills? Mikutano majuu ukitaka ipate wahudhuriaji iwe siku za weekend na mapumzikko, la sivyo tegemea kupata wahudhuriaji kama kamati au kongamano, lakini kama mkutano jamaa kubeba box ndio jambo la kwanza. Huko dakika 7 umechelewa kazini unakatwa umekosa robo saa si kama bongo jamaa anaenda lunch na kuunganisha sokoni, kisha kijiweni siku imepita mshahara dinari ile ile moja. Juu ya kumpata mwenyekiti, waliohudhuria sishangai kama waliamua kumchagua Mwenyekiti, kwani bila kuwapo na kiongozi hakutakuwa na mwenye kuwahamasisha na kuwaunganisha. Mwanzoni ni jambo la kawaida na baadaye wakishaongezeka hitaji la kura za kikatiba ni wajibu. Wazanzibar Mwende CUF Mkuu mbona unaenda mbali sana? Hapo kwenye RED naona umeruka juu mno. Nini hasa kinakusumbua? Magamba daima hawajifichi. Wewe umejiunga hapa leo kwa ajili ya kuleta uzi huu tu? Pole hata wangekuwa wa4 nyie nendeni ccm mkafidiane huko huku hakuna majungu[ HATA WALIOKO UKO NI SAWA TU, il mradi wanaunga mkono chama. Usemalo mkuu n sawa chama kianzie toka grassroots hapahapa nchini na jee waliopo mbali wasichaguane ili kwenda kimkakati? I think is also ok let them continue! lets do also what is required while in the country. Wazanzibar Mwende CUFClick to expand... I think yeyote anayejiunga na chama cha wazalendo kama hiki (Chadema) ajiunge ila akiwa mnafiki basi ni bora aende hukoooo CCM. Tunataka wanaoionea huruma Tanzania. chama hakina ubaguzi kwa mtanzania regardless katoka zenji/bara I think yeyote anayejiunga na chama cha wazalendo kama hiki (Chadema) ajiunge ila akiwa mnafiki basi ni bora aende hukoooo CCM. Tunataka wanaoionea huruma Tanzania. chama hakina ubaguzi kwa mtanzania regardless katoka zenji/bara[/QUOTE Dr.slaa anadaiwa na chama cha demokrasia na maendeleo(CHADEMA) kiasi cha tsh.Million 140 ambazo hazifahamiki zitarudishwaje hadi hii leo. Samahan mkuu huyu Babu naye ni Mzalendo?Click to expand... Waliochaguliwa ni kina nani? Tajeni majina ya viongozi.
2017-04-29T21:35:45
https://www.jamiiforums.com/threads/mwenyekiti-wa-chadema-london-kachaguliwa-kwa-kigezo-gani.304923/
[ -1 ]
JE WAJUA VITUKO VYA MAREHEMU LUCY KIBAKI | Rundugai Blog Home » KIMATAIFA » JE WAJUA VITUKO VYA MAREHEMU LUCY KIBAKI JE WAJUA VITUKO VYA MAREHEMU LUCY KIBAKI IJUMAA iliyopita uvumi ulienea kuhusu mahali alikokuwa Mama Lucy Kibaki, aliyekuwa mke wa rais mstaafu wa Kenya, Mwai Kibaki, ambapo vyombo vya habari vilieleza kwamba alikuwa amelazwa katika kitengo cha wagonjwa mahututi (ICU) katika hospitali moja jijini Nairobi. Mwanamke huyo aliyekuwa na umri wa miaka 75 alikuwa haonekani sana hadharani tangu mwaka 2010 na kutokuwepo kwake kulionekana wazi baada ya kutohudhuria hafla ambapo mumewe, Rais Kibaki, alikabidhi madaraka kwa Uhuru Kenyatta mwaka 2013. Yote kwa yote, taarifa iliyotolewa jana na ofisi ya Rais Uhuru Kenyatta ilisema mama huyo alifariki jana katika hospitali moja jijini London, Uingereza, alikokuwa anapatiwa matibabu na kwamba mipango ya mazishi yake ilitegemewa kutangazwa baadaye. Yafuatayo ni matukio kumi ambayo yalimhusisha mama huyo ‘mcharuko’ aliyekuwa hawezi kujizuia anachotaka kukisema ama kukifanya: Miezi kadhaa baada ya mumewe kuapishwa kuwa rais wa tatu wa Kenya, alisemekana aliifunga baa iliyokuwa ndani ya Ikulu ambapo mawaziri na marafiki wa karibu wa Mwai Kibaki walikuwa wanaitumia kwa kujiburudisha na kiongozi huyo mpya wa nchi. Aliwahi kumwambia mumewe aitishe mkutano wa dharura wa waandishi wa habari Ikulu na atangaze waziwazi kwamba hakuwa na mke mwingine zaidi yake. Hii ni baada ya kuwepo uvumi kwamba alikuwa na mke wa pili. Mnamo Mei 2005, aliingia ndani kwa jirani yao, mkurugenzi wa Benki ya Dunia nchini humo, Makhtar Diop, akiwa amevaa suti la michezo (tracksuit) usiku wa manane na kumtaka afunge au apunguze sauti ya muziki aliokuwa anaupiga. Bw. Diop siku hiyo alikuwa ana sherehe ya kumaliza muda wake wa kufanya kazi nchini Kenya. Baada ya tukio hilo kwa Bw. Diop, magazeti yaliliandika sana, jambo lililomfanya mama huyo kuzivamia ofisi za Nation Centre, ambazo ni ofisi za kampuni ya vyombo vya habari vya Nation Media Group, Mtaa wa Kimathi, na akataka mwandishi aliyeandika habari kuhusu mgongano wake na Bw. Diop akamatwe.Lucy Kibaki 2 Mama huyo alikuwa ni mtu wa kwanza miongoni mwa watu maarufu kumtwanga mwandishi; alifanya hivyo kwa kumzaba kibao mpiga picha Clifford Derrick aliyekuwa akimpiga picha baada ya kuingia kwa vishindo ofisi za Nation Centre. Vituko vyake havikuishia hapo. Kuna wakati alimchapa kibao mshereheshaji (MC) kwenye sherehe za Siku ya Jamhuri mwaka 2007 zilizofanyika Ikulu. Mshereheshaji huyo alifanya kosa la kipumbavu alipomtambulisha mke wa rais kwa jina la Lucy Wambui badala ya Lucy Muthoni Kibaki.lucy akidondoka kwenye ngazi Wakati wa sherehe za Siku ya Jamhuri mwaka 2009 zilizofanyika Uwanja wa Nyayo, mama huyo aliteleza na kuanguka kwenye ngazi lakini akasaidiwa kwa kuinuliwa na walinzi wake. Katika kuendeleza vituko, anasemekana alimzaba kibao mfanyakazi wa Ikulu, Matere Keriri, ambapo mfanyakazi huyo alikuja kueleza mwenyewe kwamba mke huyo wa rais alikuwa hajisikii vizuri kwa yeye (Keriri) kuwa na ukaribu sana na rais. Katika miaka yake kumi aliyokuwa Ikulu alikuwa hawezi ‘kumechisha’ nguo zake na hafla husika. Siku aliyofanya kioja kikubwa zaidi cha tabia hiyo ni pale alipovaa gauni la rangi ya samawati (bluu) kwenye chakula cha usiku kilichoandaliwa na Rais George W. Bush katika Ikulu ya Marekani. Gauni hilo lilikosolewa sana na watu Wakenya kutokana na kitambaa chake kuwa cha bei rahisi na likiwa katika ‘dizaini’ ambayo haikuufanya mwili wake upendeze. Lucy Kibaki anasemekana pia alimzabua kibao mwanasheria na mwanasiasa, Gitobu Imanyara, katika hafla kuhusu masuala ya bunge iliyofanyika Ikulu. Mama huyo anasemekana alichukizwa na pale mwanaasiasa huyo alipokuwa anasisitiza kwamba kumfungulia mashitaka mbunge mmoja aliyekuwa amemshambulia kwa maneno rais (Kibaki) ni kupoteza muda. Filed Under: KIMATAIFA on Thursday, April 28, 2016
2017-09-21T01:38:37
https://rundugai.blogspot.com/2016/04/je-wajua-vituko-vya-marehemu-lucy-kibaki.html
[ -1 ]
25 | September | 2017 | Blogu Rasmi ya Ofisi ya Rais RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT.JOHN POMBE MAGUFULI AMEMALIZA ZIARA YA SIKU SITA (6) MKOANI ARUSHA.SEPTEMBA 25,2017. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa njiapanda ya KIA mara baada ya kusimamishwa msafara wake alipokuwa anaelekea katika uwanja wa ndege wa kimataifa KIA kuelekea Dar es salaam akitokea mkoa wa Arusha alipokuwa na ziara ya siku 6 kuanzia septemba 20,2017 hadi Septemba 25,2017. Baadhi ya wananchi wa njiapanda ya KIA wakishangilia kwa furaha wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza nao mara baada ya kusimamishwa msafara wake alipokuwa anaelekea katika uwanja wa ndege wa kimataifa KIA kuelekea Dar es salaam akitokea mkoa wa Arusha alipokuwa na ziara ya siku 6 kuanzia septemba 20,2017 hadi Septemba 25,2017. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na Bi.Anna E lisha Mgwila mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro na Bw.Mrisho Gambo mkuu wa mkoa wa Arusha katika uwanja wa ndege wa kimataifa KIA kabla ya kuanza safari ya kuelekea Dar es salaam akitokea mkoa wa Arusha alipokuwa na ziara ya siku 6 kuanzia septemba 20,2017 hadi Septemba 25,2017. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Bw.Mrisho Gambo mkuu wa mkoa wa Arusha katikati ni Bi.Anna Elisha Mgwila mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro katika uwanja wa ndege wa kimataifa KIA kabla ya kuanza safari ya kuelekea Dar es salaam akitokea mkoa wa Arusha alipokuwa na ziara ya siku 6 kuanzia septemba 20,2017 hadi Septemba 25,2017. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Bi.Anna Elisha Mgwila mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro kulia ni Bw.Mrisho Gambo mkuu wa mkoa wa Arusha katika uwanja wa ndege wa kimataifa KIA kabla ya kuanza safari ya kuelekea Dar es salaam akitokea mkoa wa Arusha alipokuwa na ziara ya siku 6 kuanzia septemba 20,2017 hadi Septemba 25,2017. This entry was posted in Top Stories, Ziara on September 25, 2017 by Ikulu Ikulu.
2017-10-23T04:21:27
http://blog.ikulu.go.tz/?m=20170925
[ -1 ]
Mama Janeth Magufuli ashiriki ibada kwa mara ya kwanza | EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG Home » Unlabelled » Mama Janeth Magufuli ashiriki ibada kwa mara ya kwanza Mama Janeth Magufuli ashiriki ibada kwa mara ya kwanza Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Janeth Magufuli jana Jumapili ameungana na Wakristo wenzake wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Petro iliyopo Oysterbay Jijini Dar es Salaam ikiwa ni wiki kadhaa tangu alipougua na kulazwa hospitali. Akiwa mwenye afya njema na furaha Mama Magufuli aliyekuwa pamoja na Mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa walisali ibada ya asubuhi katika kanisa hilo na baadaye kusalimiana na waumini nje ya kanisa. Baada ya kumalizika kwa Ibada, baadhi ya Waumini wa Kanisa hilo walielezea furaha yao ya kumuona Muumini mwenzao akiungana nao katika ibada na walimuombea afya njema. “Nimejisikia furaha sana kumuona Mama Magufuli amekuja Kanisani akiwa na afya njema na uso wa bashasha, na ninamuombea kwa Mungu aendelee kumsimamia” alisema Mama Mabula. “Nimeshukuru sana kumuona Mama yangu Mama Magufuli, Mwanajumuiya mwenzangu Kanisani, huku afya yake ikiwa imetengemaa zaidi, tunamshukuru sana Mwenyezi Mungu na tunamuombea aendelee kumpigania afya yake izidi kuwa imara” alisema Thomas Simon.
2017-08-22T03:26:07
http://ndgshilatu.blogspot.com/2016/12/mama-janeth-magufuli-ashiriki-ibada-kwa.html
[ -1 ]
CCM NA UVCCM PWANI YASEMA ZOEZI LA KUCHUKUA NA KUREJESHA FOMU LAENDA VIZURI/WENGI WAMIMINIKA - Kamera Yangu ' : ''; var month = [1,2,3,4,5,6,7,8,9,10,11,12]; var month2 = ["Jan","Feb","Mar","Apr","May","Jun","Jul","Aug","Sep","Oct","Nov","Dec"]; var day = postdate.split("-")[2].substring(0,2); var m = postdate.split("-")[1]; var y = postdate.split("-")[0]; for(var u2=0;u2 CCM NA UVCCM PWANI YASEMA ZOEZI LA KUCHUKUA NA KUREJESHA FOMU LAENDA VIZURI/WENGI WAMIMINIKA Posted by sheila simba on 8:11 PM in SIASA | Comments : 0 Katibu wa siasa na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM )mkoani Pwani, dk.Zainab Gama ,akiwa na Mwenyekiti wa UVCCM mkoani Pwani, Mohammed Nyundo(MNEC)(picha na Mwamvua Mwinyi) Zoezi la uchukuaji fomu kugombea nafasi mbalimbali ndani ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)2017,mkoani Pwani,limeenda vizuri ambapo wanachama wamejitokeza kwa wingi kuwania nafasi zilizotangazwa. Zoezi hilo lilianza rasmi july 2 na kukamilika july 10 na sasa hatua inayosubiriwa itakuwa ni vikao vya mapendekezo kufanya kazi zake kwa mujibu wa kanuni. Katibu wa CCM mkoani Pwani,Anastazia Amas alisema, waliochukua fomu kugombea nafasi ya wajumbe wa halmashauri kuu ya Taifa mkoani humo ni 11 na nafasi ya mwenyekiti mkoa ni wanne. "Wilaya ya Bagamoyo waliojitokea kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya mwenyekiti ni watatu,Kibaha Mjini ni 11,Kibaha Vijijini waliochukua fomu kwa nafasi hiyo ni watano" alielezea. Anastazia alisema waliochukua fomu kuwania nafasi ya mwenyekiti wilaya ya Kibiti ni watano,Kisarawe wanne,Mafia kumi,Mkuranga sita na Rufiji walichukua fomu hiyo wanne. KATIKA HATUA NYINGINE, katibu wa CCM Kibaha Mjini,ABDALLAH MDIMU Mdimu ,alibainisha,nafasi ya katibu mwenezi wamejitokeza watu watano,wajumbe wa halmashauri kuu ya wilaya kwa makundi ya UVCCM,UWT na Wazazi wamejitokeza watu 36. Katika ngazi ya mkutano mkuu wa Taifa 30,mkutano mkuu wa mkoa ni watu 26 na halmashauri kuu ya CCM ya mkoa wamejitokeza watu 13. Mdimu alieleza kwasasa hakukuwa na harufu ya kubebana wala kupanga safu kutokana na elimu waliyoitoa kuanzia ngazi za chini. "Tulitoa elimu ya kutosha na kusimamia zoezi zima ,mabadiliko ya CCM Mpya kiukweli yameonyesha kila jambo linawezekana " "Hakujitokeza hata mtu mmoja kuja na mbwembwe kufuata fomu hata kurudisha na hakuna mtu ambae hajarudisha fomu ,zoezi limefanyika kwa kufuata demokrasia na haki imetendeka kwani wengi wamejitokeza " alisema Mdimu . WAKATI HUO HUO,mwenyekiti wa jumuiya ya vijana (UVCCM)Mkoani Pwani ,MOHAMMED NYUNDO(MNEC) ,alisema mchakato mzima upo vizuri na anaamini jumuiya hiyo wilaya na mkoa itapata viongozi wenye uchungu na jumuiya/chama,waadilifu,wachapakazi na wawajibikaji. Alisema wamekamilisha zoezi la utoaji na urudishaji wa fomu za kuomba kuteuliwa kugombea nafasi mbali mbali ngazi ya mkoa na wilaya . Nyundo aliwashukuru vijana wote kwa kuitikia wito katika zoezi hilo muhimu la mchakato wa kuwapata viongozi wa jumuiya na chama kwa muda wa miaka mitano ijayo . Alieleza wameridhishwa na idadi ya vijana waliojitokeza katika kuomba ridhaa katika nafasi zote. "Ni wajibu wetu kuhakikisha tunatenda haki katika nafasi zetu za kufanya mapendekezo.;Tunaahidi kutenda haki,sisi tunaamini kila mmoja anayo haki ya kuomba, kuchagua na kuchaguliwa." aliongeza Nyundo. Nyundo aliwasihi vijana wote, kama walivyokuwa watulivu wakati wa kuchukua fomu, kujaza na kurejesha bila aina yoyote ya matendo ya kuvunja kanuni za uchaguzi, basi wafanye hivyo hivyo katika wakati huu wa kusubiri ratiba ya vikao vya maamuzi na kuelekea kwenye uchaguzi . Anasema kipimo cha kwanza cha kiongozi bora ni uvumilivu, na hasa katika kipindi hiki.
2018-02-19T21:54:25
http://www.kamerayangu.co.tz/2017/07/ccm-na-uvccm-pwani-yasema-zoezi-la.html
[ -1 ]
Mbeya ya pili kwa utitiri wa madhehebu Afrika - JamiiForums Mbeya ya pili kwa utitiri wa madhehebu Afrika Likes: Executivesister, bagamoyo and Hon Nkundwe 1,480 584 280 BORA MADHEEBU KULIKO KULE NANI KILA NYUMBA MGANGA Likes: Innovator97, Rich Ze Best, monicer and 2 others Mbona fresh tu, kuna miji inaongoza kwa gesti hausi Likes: Rich Ze Best, bruno twemanye, Gaspare Mbile and 1 other person 21,319 22,463 280 Kama ndio hivo haina haja nchi nzima tumuombee, akiombewa na huo mtaa wa Sae pekee inatosha, sie wengine tufanye mambo mengine! Likes: Mzee wa BsN, swamy, Edwin171 and 5 others 5,257 3,638 280 my home city the green city Likes: josminga, Alex Tanzania and Hassan Mtawa 2,851 1,629 280 Haaaaaah Kumbe Sae Yetu inaongoza sa mbona mimi sisali niko sae Likes: Elisha Chacha Masubho, Hassan Mtawa and evansGREATDeal mtwara dar lindi ni noma Hayo madhehebu hayana maana . Maana huko Mbeya ndio number moja kwa maambukizi ya Ukimwi.....Maujaji ya albino na vikongwe... Likes: swamy and evansGREATDeal Kuna kipindi walisema kuwa Mbeya inaongoza kwa kuwa na watu wengi wanaoishi na VVU kwa kuwa watu wengi ni maaskofu na wachungaji hivyo wanaona aibu kununua condom kwa nyadhifa zao! Likes: Hassan Mtawa Hahahah mnapaonea mbeya We jamaa, saa yangu inaniambia saiz ni saa tatu na dk 50 ila naona bado unaota, mbeya inaongoza maambukizi ya ukimwi? Unataka iringa waandamane? Mauaji ya albino/vikongwe ? Nikumbushe kesi iliyowahi ripotiwa ya albino/vikongwe toka mbeya, au unataka ututengenezee bifu na shinyanga eti Likes: mtzmweusi, Mzee wa BsN, Ngigana and 3 others Safi sanaa hii.... Injili lazma ihubiliwe ... Ila wawe serious na Mungu... Lakini husikii mauaji ya kikatili katili na mambo ya ajabu ajabu kama huko kwenye Utitiri wa makanisa. Likes: msabillah, medenc and pye Chang shen Uchawi ni kimya kimya Mkuu hujui? SIMIKE ndo inaongoza kwa Afrika mashariki na kati ikifuatiwa na SAE. 3,363 957 280 Hawa jamaa ni wachokozi sana.tena vita yenyewe wala hawaiwezi kwani wao wanapenda sana kuishi kama sisi tunavyopenda kufa Wachawi ni watu sio dini.hivi huko kwenu dini yenu ilisema mwanamme amuoe mwanamme mwenzake? Nimeandika Uchawi si Mchawi rudia kusoma. Hakuna dini inayesema kitu bali vitabu vya mungu vimeandikanini juu ya jambo flani. Tuna amni seheemu yenye Misikiti mingi sana walau ushirikina unapungua. na seheemu yenye makanisa Mengi tunamaini Ushirikina unapungua. hila seheemu zenye waganfa wengi sana sijui jibu wewe sasa ............ Mbeya inaongoza kwa mauaji ya albino na vikongwe?!? Takwimu hizi umezitoa wapi? Shinyanga, Simiyu, na Mwanza ni za ngapi? Naona wewe ni Msukuma una lengo lakuficha kinachotokea kwenu!!? Ndo maana kuna wachungaji wengi wanatoka huko pia waimbaji wa nyimbo za injili.
2019-03-27T02:46:08
https://www.jamiiforums.com/threads/mbeya-ya-pili-kwa-utitiri-wa-madhehebu-afrika.1157765/
[ -1 ]
RAIS DKT. JAKAYA KIKWETE AWATUNUKU NISHANI WATUMISHI WA UMMA WALIOLILETEA SIFA TAIFA - HABARI24 Home / Uncategories / RAIS DKT. JAKAYA KIKWETE AWATUNUKU NISHANI WATUMISHI WA UMMA WALIOLILETEA SIFA TAIFA RAIS DKT. JAKAYA KIKWETE AWATUNUKU NISHANI WATUMISHI WA UMMA WALIOLILETEA SIFA TAIFA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo amewavisha nishani mbalimbali watumishi wa Serikali kwa kutambua mchango wao kitaifa. Rais Kikwete amefanya hivyo kwa kutumia madaraka aliyopewa chini ya sheria ya mamlaka ya Rais (sura ya 9) kamailivyorekebishwa mwaka 2002 fungu la 4 kama ilivyotangazwa katika tangazo la serikali namba 227. Nishani zilizotunukiwa leo ni Nishani ya Jamhuri ya muungano Daraja la Kwanza, Nishani ya Utumishi mrefu na Maadili mema Daraja la kwanza, Nishani ya utumishi mrefu na Maadili mema Daraja la pili na Nishani ya Ushupavu. Nishani hizo zinatunukiwa kwa watumishi ambao sifa zao zimekidhi mmatakwa ya nishani husika SHARES
2017-06-28T22:29:53
http://habari24.blogspot.com/2015/06/rais-dkt-jakaya-kikwete-awatunuku.html
[ -1 ]
Kinga dhidi ya Kuachishwa kazi, Haki ya kurejea kwenye nafasi ya kazi - Mywage.org/Zanzibar Kutokufanya kazi hatarishi Sheria ya Ajira inatoa kinga kwa wafanyakazi wajawazito na wanaolea. Ikiwa mwajiri atahakikisha kwamba mfanyakazi mwanamke mjamzito au anayelea amepigwa marufuku dhidi ya kufanya kazi usiku na/au kazi baada ya saa rasmi ili kuhakikisha usalama na afya yake, mwajiri atalazimika kufanya hivyo. Ikiwa hali za kufanya kazi za mfanyakazi haziwezi kufaa kazi yake ya sasa, lazima ahamishwe kwa kazi nyingine bila kupoteza malipo. Sheria inapiga pia marufuku kumpa kazi au kumweka mfanyakazi mwanamke katika eneo lolote linalotumia kemikali za sumu ambazo zinaweza kuathiri uzazi au ujauzito wake na kuwaweka wafanyakazi wanawake penye minunurisho ya benzini na ayoni. Mwajiri anahitajika kuhakikisha kwamba mfanyakazi mjamzito hajapewa kazi nzito na saa za kufanya kazi zimepangwa kwa njia ambayo mfanyakazi huyo hafanyi kazi usiku. chanzo: §84-87 ya Sheria ya Ajira Nambari 11 ya 2005 Kinga dhidi ya Kuachishwa kazi Imepigwa marufuku kukatiza au kumfuta kazi mfanyakazi kwa misingi ya ujauzito au kujifungua. Ujauzito au kunyonyesha huzingatiwa kuwa sio sababu nzuri za kukatiza mkataba hata wakati wa kipindi cha majaribio. Mwajiri hawezi kumfuta kazi mfanyakazi ambaye ako katika livu ya uzazi kwa msingi kwamba kwa kuwa katika livu ya uzazi, mfanyakazi husika alikosa kufanya kazi. chanzo: §60.5, 70.7, 87.1.c na 118.3.c ya Sheria ya Ajira Nambari 11 ya 2005 Haki ya kurejea kwenye nafasi ya kazi Haki ya kurejea imehakikishwa chini ya Ajira ya kazi. Mfanyakazi mwanamke anayejifungua mtoto ana uhakika wa kufanya kazi kati ya wiki 08 kuanzia tarehe yake ya kujifungua. chanzo: § 70.8 ya Sheria ya Ajira Nambari 11 ya 2005 Cite this page © WageIndicator 2019 - Mywage.org/Zanzibar - Kinga
2019-12-08T10:27:51
https://mywage.org/zanzibar/sheria-za-kazi/uzazi-na-kazi/job-protection
[ -1 ]
You are at:Home»Blackberry»TCL na BlackBerry, TCL kuacha rasmi utengenezaji wa simu za BlackBerry By Mhariri Mkuu February 13, 2020 No Comments Simu hizi zimepotea na kurudi mara kadhaa kwenye soko, baada ya mafanikio kadhaa ya hivi karibuni TCL na kampuni ya BlackBerry inaonekana wameshindwa kuendeleza mahusiano tena. Kupitia akaunti ya Twitter ya BlackBerry Mobile, tangazo liliwekwa likisema TCL wataacha rasmi uuzaji wa simu za BlackBerry kufikia mwisho wa mwezi Agosti mwaka huu. Ila wataendelea kutuma masasisho na huduma nyingine zozote muhimu hadi Agosti mwaka 2022. TCL walitangaza rasmi Disemba 2016 kupewa hakimiliki ya biashara za simu na haki ya kutumia jina na teknolojia za BlackBerry kwenye simu hizo. Jambo hili lilifanywa na kampuni mama ya BlackBerry baada ya wao wenyewe kujaribu mara kadhaa kuleta simu bila mafanikio – hazikufanya vizuri sokoni. Baadae wakaona bora kuingiza mapato kupitia kuuza hakimiliki hiyo huku wao wakiendelea kujikita katika biashara kubwa zaidi za kiusalama wa teknolojia za kimawasiliano hasa hasa kwa makampuni. INAYOHUSIANA BUKU: Kodi ya Laini Inawezekana Ikatolewa! Mpaka sasa TCL walishakuja na simu mbalimbali zilizobeba jina la BlackBerry, hii ni pamoja na BlackBerry KeyOne mwaka 2017, na BlackBerry Key 2 mwaka 2018. Tayari TCL walianza kuirudisha simu ya BlackBerry kwenye sifa nzuri hasa hasa kwa sasa ikiwa inakuja na programu endeshaji ya Android. Kuna watafiti wanaosema uamuzi wa BlackBerry unaweza kuchangiwa na wao kuona uamuzi wa TCL pia kuendelea na uwekezaji wa utengenezaji wa simu zao zinazoenda kwa jina la Alcatel. Uamuzi huu unaweza ukawa umewafanya BlackBerry kuona TCL hawataendelea kuzipa simu zinazokuja na jina la BlackBerry nafasi nzuri katika uwekezaji na utengenezaji. Tutaendelea kufuatilia taarifa hizi na tutaendelea kukupa mrejesho kama BlackBerry wataamua kutengeneza wenyewe simu zao kwa sasa au kuipa haki kampuni nyingine kazi hiyo. Ila wengi, wanaamini huu ndio mwisho wa simu janja za kubeba jina hilo. Previous ArticleHuawei, Oppo, Vivo, na Xiaomi Kuungana Katika Kutengeneza Mbadala Wa Playstore! Next Article Infinix Kuipamba VALENTINE Kwa Uzinduzi Wa Duka La Pili La Kisasa #InfinixSmartHub!
2020-02-28T18:40:23
https://teknolojia.co.tz/tcl-na-blackberry-tcl-kuacha-utengenezaji-simu-za-blackberry/
[ -1 ]
Nyumbani2017Haziran12 (Jumatatu) Siku: Juni 12, 2017 Huduma za Wavuti za IMM za Kuvutia Huduma ya bure ya kukamata raia kwa IMM: Idara ya Polisi wa Manispaa ya Istanbul, kutoa huduma kwa bure katika sehemu zingine za jiji ili kuingilia kati magari yaliyobaki barabarani na kupunguza usumbufu katika trafiki. [Zaidi ...] Enzi mpya imeanza katika trafiki ya mijini ya Izmit: Enzi mpya ya trafiki ya mijini ya Izmit iliyoanza na Manispaa ya Kocaeli imeanza. Timu za mji mkuu zitaweza [Zaidi ...] Cankansen: Usafiri wa TCDD ni Nzuri C Ingawa imechukua muda mrefu tangu ilisajiliwa na TCDD, 01, ambayo ilianza kufanya kazi hadi Januari mwaka huu, inaendelea kutokuwa na hakika ya kama ni vuslat au kutamani. [Zaidi ...] Maombi ya msimu wa Motaş Yaanza katika Usafiri wa Umma: Huko Malatya, huduma za Mabasi zitaandaliwa kulingana na orodha ya majira ya joto kuanzia Juni 12, na kutoka Trambus hadi 19 Juni. Malatya watu waende vijijini na [Zaidi ...] Teknolojia ya Arm Tunnel Teknolojia inawekeza katika uwezo: Teknolojia za Arm Tunnel, ambayo inafanya kazi katika uwanja wa ujenzi wa handaki na teknolojia, inaendelea uwekezaji wake ili kuimarisha msimamo wake katika sekta. Kampuni hiyo ilianzisha kituo kipya na uwekezaji wa TL 35 milioni. [Zaidi ...] Bozankaya mabasi ya umeme kabambe kuongezeka: Sehemu ya chini ya yote ya mikoa mbalimbali kuhudhuriwa na mabasi ya umeme zabuni nchini Uturuki BozankayaPia ilifikia fainali katika zabuni ya 625 kwa XLUMX TL milioni ya XLUMX TL. kampuni [Zaidi ...] Sekta ya Teknolojia ya Reli na Mkutano wa Maono ya 2020 ulifanyika huko Tülomsaş Mkutano wa Sekta ya reli ulifanyika TÜLOMSAS Vision na 2020: 2020 Reli Systems Sekta na Vision nchini Uturuki, ambapo kuanzishwa Eskisehir na mikutano ya kikanda marudio ulifanyika TÜLOMSAS. mkutano; Gavana Azmi Çelik, Anatolia [Zaidi ...] Karşıyakatramu kwa biashara nchini Uturuki Karşıyakashirika la biashara kwa biashara katika Izmir: Manispaa ya Metropolitan, Karşıyaka Kupita kwa mstari wa tramu, Mtaa wa Cengiz Topel, ambao wiani wa utumiaji uliongezeka, aliamua kanuni na kanuni kuhusu utumiaji wa nafasi wazi mbele ya biashara. katika eneo [Zaidi ...] Sahur Muda wa Majira ya Ujenzi wa Karaman-Ulukışla High Speed ​​Line kutoka Apaydın: Msimamizi Mkuu wa TCDD İsa Apaydın, 10 Juni 2017 Jumamosi, sahur na wafanyakazi katika tovuti ya ujenzi ya Ereğli ya Karaman-Ulukışla High Speed ​​Railway line [Zaidi ...] Apaydın, miradi ya mafunzo ya kasi sana muhimu kwa maendeleo ya Uturuki: meneja mkuu wa TCDD İsa Apaydın, 9 Juni 2017 6 huko Adana Ijumaa. Alishiriki katika mpango wa iftar ulioandaliwa na Kurugenzi ya Mkoa. Meneja Mkuu [Zaidi ...] Apaydın, Adana-Mersin High Speed ​​Train Line Inachunguzwa: Meneja Mkuu wa TCDD İsa Apaydın, 9 Mnamo Juni 2017 Ijumaa, mstari wa gari moshi wa kasi wa Adana-Mersin ulikuwa chini ya ujenzi. Wasimamizi Wakuu Msaidizi [Zaidi ...] Karaman Kuendeleza na Mradi wa Teknolojia Mkubwa Karaman, Mradi wa Treni ya High Speed: Meneja Mkuu wa TCDD İsa Apaydın, 9 Juni 2017 alikutana na Meya wa Karaman Ertugrul Caliskan kama sehemu ya uchunguzi wake juu ya barabara ya kasi ya reli ya Konya-Karaman-Ulukisla Ijumaa. "Related [Zaidi ...] Kuwasiliana, Konya-Karaman-Ulukışla High Speed ​​Train Line: Meneja Mkuu wa TCDD İsa Apaydın, 9 Juni 2017 ilifanya uchunguzi kwenye mstari wa Reli ya Konya-Karaman-Ulukışla, ambayo hivi sasa inajengwa. Wasimamizi Wakuu Msaidizi, Karani Maalum [Zaidi ...] Ukarabati wa Ufungaji wa Umeme, Fimbo ya Mwanga na Upeo wa Moto Ufungaji wa Derince Road Mek Arç Mkurugenzi wa Utunzaji wa Huduma ya Matengenezo na Matengenezo ya YHT Sets
2020-02-20T13:25:02
https://sw.rayhaber.com/2017/06/12/
[ -1 ]
THE SUPERSTARS TZ: "EDWARD LOWASSA ANAHUSIKA NA KUTEKWA KWANGU PAMOJA NI KIPIGO NILICHOPEWA"...NASSARI Pages "EDWARD LOWASSA ANAHUSIKA NA KUTEKWA KWANGU PAMOJA NI KIPIGO NILICHOPEWA"...NASSARI Mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nassari amemtuhumu Mbunge wa Monduli Edward Lowassa kwamba anahusika na kipigo alichokipata kutokana na chuki aliyonayo kwake. Aidha amemtuhumu Spika wa Bunge, Anne Makinda kwamba naye ni miongoni mwa watu wanaomchukia pamoja na viongozi wengine wa Bunge, kwa kuwa hakuna kati yao aliyempigia simu au kumtumia ujumbe wa kumjulia hali kutokana na kipigo alichopata ambacho kimemsababishia maumivu makali. Akizungumza jana akiwa kwenye chumba alicholazwa katika Taasisi ya Tiba ya Magonjwa ya Mifupa na Ufahamu Muhimbili (Moi), Nassari alidai Lowassa ambaye amewahi kuwa waziri mkuu kabla ya kujiuzulu, amemchukia tangu alipomshinda mkwewe Sioi Sumari, kwenye uchaguzi mdogo wa ubunge uliofanyika Aprili mwaka jana. Nassari aliyekuwa amelazwa katika Hospitali ya Selian ya jijini Arusha kabla ya kuhamishiwa MOI, alidai kupigwa na kuchaniwa nguo na Green Guard wakati alipokuwa katika jitihada zake za kuhesabu kura kwenye uchaguzi wa udiwani wa Kata ya Makuyuni-Monduli. “Kipigo nilichopata Lowassa anahusika ananichukia, anataka urais lakini hawezi kuupata kwa kuuumiza watu kama hivi, alifikiri kwamba nitakufa sitakufa hadi kwa mapenzi ya Mungu,” alisema. Alisema kuna jambo ambalo wananchi wanapaswa kulifikiria ni jinsi ambavyo kumekuwa na matukio ya kutekwa na kuvamiwa, lakini hakuna yanayohusisha kiongozi wa CCM, badala yake ni raia wa kawaida na viongozi wa dini na siasa. Nassari alidai akiwa kama wakala mkuu wa Chadema katika kata hiyo, alikumbana na mambo kadhaa yaliyomshangaza, ikiwa ni pamoja na kufanyiwa jaribio la kutekwa mara mbili, kabla ya kushambuliwa kwa kipigo. Alisema pia anashukuru kwamba askari wawili waliokuwepo katika eneo hilo walijitahidi kutaka kumnusuru, lakini walizidiwa nguvu na vijana hao, hasa kutokana na kutokuwa na bunduki, ambapo yeye alipofanikiwa kuchoropoka alikimbilia bastola yake na kuwanyoshea vijana hao bila kufyatua. Akizungumzia kuhusu hali yake, Nassari alisema amepimwa kipimo cha X-ray ambapo imeonyesha kuwa pingili za mgongo wake zipo sawa, lakini daktari ameshauri afanyiwe kipimo kingine kiitwacho MRI ili kuangalia hali ya mishipa kutokana na maumivu makali anayoendelea kuyapata. Aidha alitumia fursa hiyo kumshukuru Mbunge wa Kuteuliwa, Joseph Mbatia kuwa ndiye aliyemsaidia kufanya mipango kuwasiliana na uongozi wa Bunge na kumwezesha kuhamishiwa Moi, baada ya wabunge wote wa Chadema kwenda Arusha kushughulikia waliofariki kwa bomu. Hata hivyo, Lowassa alipotafutwa kuhusiana na tuhuma hizo alikataa kuzungumzia suala hilo na kusema hilo aulizwe Msimamizi wa Uchaguzi, Paulo Kitaleki. Mwananchi ilimtafuta Kitaleki ambaye pia ni katibu tarafa, alikanusha kuhusika kwa Lowassa akielezea kuwa siku ya tukio hilo alikuwa Geita. “Huyu Nassari ni mwigizaji na anafaa kuwa msanii kwa kuwa anaigiza tu hata hakupigwa, bali yeye ndiyo aliyempiga Wakala wa CCM, Hussein Osama ambaye ni mlemavu, kisha akatimua mbio baada ya vijana kutaka kumkamata, nashangaa kumwona yupo hospitali akidai kupigwa, siyo kweli,” alisema Kitaleki. AnonymousSaturday, June 22, 2013washenz kama hawa wafe tu....we unatuletea picha za kihindi hapa..sterling wewe, adui wewe........kafie mbali ...mnaharibu cham...mnanikumbusha enzi za NCCR mageuzi....naimani cku 1 kiongoz yeyote atacmama na kusema ''CHADEMA IMEKUFA KIFO CHA MENDE''ReplyDeleteAnonymousSunday, June 23, 2013pole sana kamanda mungu akupe nguvu walidhani utskufa kizembe bla mipango ya mungu labda wafe wao, wanautaka uongozi kwa kutumia mabavu! Waende syria sio Tanzania, hawata kuweza wewe ndio (dogo janja)ReplyDeleteAdd commentLoad more... "EDWARD LOWASSA ANAHUSIKA NA KUTEKWA KWANGU PAMOJA...
2016-12-04T03:55:32
http://thesuperstarstz.blogspot.com/2013/06/edward-lowassa-anahusika-na-kutekwa.html
[ -1 ]
Hawa hadi leo wanatisha, lakini walikuwa ghali tangu wakiwa makinda. - Habari Online na Elimtaa Habari Online na Elimtaa 2017 at 12:15PM Blogger IFTTT June 11 Uncategorized Hawa hadi leo wanatisha, lakini walikuwa ghali tangu wakiwa makinda. Hawa hadi leo wanatisha, lakini walikuwa ghali tangu wakiwa makinda. Elimtaa Tv 12:26:00 pm 2017 at 12:15PM Blogger IFTTT June 11 Uncategorized Kylian Mbappe anatajwa kuwa na thamani ya zaidi ya euro 100m kiasi ambacho kinaweza kuweka rekodi mpya ya usajili, Mbape ana miaka 19 tu lakini kuna hawa wachezaji watano ambao nao ni hatari hadi sasa na walinunuliwa kwa pesa ndefu wakiwa hawajafikisha miaka 20. 5.Sergio Aguero. Mwaka 2006 alikuwa na umri mdogo tu wa miaka 17 ambapo klabu ya Atletico Madrid walimuona akiichezea klabu ya Independiente na kutokana na uwezo wake mkubwa waliona kiasi cha euro 15m kinatosha kumchukua mshambuliaji huyo. 4.Sergio Ramos. Beki wa kutumainiwa wa klabu ya Real Madrid lakini mwanzo alikuwa akikipiga Sevilla na ilipofika mwaka 2005 Real Madrid walimnunua Ramos kutoka Sevilla kwa dau la euro 18.5m akiwa na umri wa miaka 19 tu na sasa amekuwa mlinzi bora haswa. 3.Wayne Rooney. Mshambuliaji wa klabu ya Manchester United alinunuliwa akiwa na miaka 18 kutoka katika klabu ya Everton mwaka 2004 na katika michezo 460 ambayo ameichezea klabu ya Manchester United mshambuliaji huyo amefunga jumla ya mabao 198. 4.Gabriel Jesus(19). Ukiongelea kinda ambaye amefanya makubwa ndani ya muda mfupi ni Jesus, huwezi amini kwamba huyu Jesus ndio ambaye mwaka 2014 alikuwa akipaka rangi mitaani nchini Brazil, alinunuliwa kwa euro 27m kutoka Palmeiras na hadi sasa anaonekana bora sana kuendana na thamani yake. 5.Lucas Moura. Kama ilivyo kwa Jesus huyu naye ni Mbrazil ambaye alikuwa akikipiga katika klabu ya Sao Paulo na tangu akiwa hajafikisha miaka 15 vilabu vikubwa duniani vilishaanza kumgombani lakini PSG walifanikiwa kumsaini kwa euro 28m, alikuwa na miaka 19 tu wakati akisajiliwa. from Blogger http://ift.tt/2rOqMRf
2017-09-21T07:04:08
https://eliabu.blogspot.com/2017/06/hawa-hadi-leo-wanatisha-lakini-walikuwa.html
[ -1 ]
WAKUU WA MIKOA WOTE WAKABIDHIWA AWAMU YA PILI YA VITAMBULISHO VYA WAFANYABISHARA NDOGONDOGO IKULU JIJINI DAR ES SALAAM - MWANAHARAKATI MZALENDO ™ WAKUU WA MIKOA WOTE WAKABIDHIWA AWAMU YA PILI YA VITAMBULISHO VYA WAFANYABISHARA NDOGONDOGO IKULU JIJINI DAR ES SALAAM Editor 5:06:00 PM HABARI TANZANIA Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Charles Kichere akitafanua jambo kwa wakuu wa mikoa yote nchini wakati wa kikao kazi kilichoongozwa na Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi na kuhudhuriwa pia na Katibu Mkuu Tamisemi Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni Katibu Mkuu TAMISEMI Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul makonda awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni Katibu Mkuu TAMISEMI Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Bilinith Mahenge awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni Katibu Mkuu TAMISEMI Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni Katibu Mkuu TAMISEMI Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe. Ally Hapi awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni Katibu Mkuu TAMISEMI Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia jenerali Marco Gaguti awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni Katibu Mkuu TAMISEMI Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Brigedia Jenerali (Mst) Emmanuel Maganga sehemu ya awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni Katibu Mkuu TAMISEMI Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Anna Mghwira sehemu ya awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni Katibu Mkuu TAMISEMI Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Godfrey Zambi sehemu ya awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni Katibu Mkuu TAMISEMI Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Alexander Mnyeti sehemu ya awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni Katibu Mkuu TAMISEMI Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Mara Mhe. Adam Malima sehemu ya awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni Katibu Mkuu TAMISEMI Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mhe. Albert Chalamila sehemu ya awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni Katibu Mkuu TAMISEMI Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Steven Kebwe sehemu ya awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni Katibu Mkuu TAMISEMI Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa sehemu ya awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni Katibu Mkuu TAMISEMI Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhe. John Mongella sehemu ya awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni Katibu Mkuu TAMISEMI Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Christopher Ole Sendeka sehemu ya awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni Katibu Mkuu TAMISEMI Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo sehemu ya awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni Katibu Mkuu TAMISEMI Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Joachim Wangabo sehemu ya awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni Katibu Mkuu TAMISEMI Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Mhe. Christina Mndeme sehemu ya awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni Katibu Mkuu TAMISEMI Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Tellack sehemu ya awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni Katibu Mkuu TAMISEMI Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka sehemu ya awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni Katibu Mkuu TAMISEMI Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt Rehema Nchimbi sehemu ya awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni Katibu Mkuu TAMISEMI Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brigedia Jenerali Nicodemus Elias Mwangela sehemu ya awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni Katibu Mkuu TAMISEMI Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Tabora Mhe. Aggrey Manri sehemu ya awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni Katibu Mkuu TAMISEMI Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi akimkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe Martine Shigella sehemu ya awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo. Wanaoshuhudia katikati ni Katibu Mkuu TAMISEMI Mhandisi John Nyamhanga na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019 Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi John Kijazi katika picha ya pamoja akiwa ameketi na Katibu Mkuu TAMISEMI Mhandisi John Nyamhanga (kulia kwake) na Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Vijana) Bw. Andrew Massawe (Kushoto Kwake) Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Charles Kichere (kushoto) pamoja na Mwenyekiti wa Wakuu wa Mikoa na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Ndikilo (kulia) baada ya kuwakabidhi wakuu wa Mikoa hao awamu ya pili ya vitambulisho vya wafanyabishara ndogondogo vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Ta nzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa kikao kazi cha kujadili mikakati ya kufanikisha zoezi hilo Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 28, 2019. By Editor muda 5:06:00 PM
2019-05-26T21:09:55
https://www.mwanaharakatimzalendo.co.tz/2019/01/wakuu-wa-mikoa-wote-wakabidhiwa-awamu.html
[ -1 ]
Wito kwa CHADEMA na Dr Slaa - JamiiForums Wito kwa CHADEMA na Dr Slaa Tunatahamu ya kusikia kutoka kwenye chama chetu pendwa yafuatayo: Matokeo ambayo wao waliyapata kutoka kwa mawakala wao, sidhani kama sasa hii inaweza kuleta uvnjifu wa amani wowote, Tunaomba mtusaidie kujua nini kinaendelea, tangu uchaguzi upite hatusikia kutoka kwa shujaa wetu Dr Slaa akitushukuru kwa moyo na ushirikiano tuliomwonyesha kwa kuunga mkono agenda yao ya mabadiriko Tunaomba mharakishe mkakati wa maandalizi ya uchaguzi wa 2014 &2015, tuko tayari kuwaunga mkono kwa hali na mali, tunaomba muonyeshe mnajari kwa kutusaidia kutujurisha ofisi zenu kwenye kila mtaa, kata. Naamini mnaweza kuajiri vijana mkawalipa kutokana na michango yetu wakafanya kazi ya kutusaidia kutuunganisha. Mimi binafsi nataka kujua ofisi yenu ya kata ya KWEMBE/KIBAMBA ilipo, nataka chama kitusaidie wakazi wa Kibamba/Kwembe kudai haki yetu ya kupatiwa barabara na madaraja yanayopitika muda wote Tuna haki na ni wajibu wenu kutupatia taarifa sahihi. Tuliwaunga mkono kwa hali na mali kwa hiyo tunaomba mtimize wajibu wenu. Nadhani kimya hiki hakikisaidii Chama, na yale maneno kuwa vyama vya upinzani ni vya msimu yatapata nguvu kama mtaendelea kuwa kimya Mtu wa PROPAGANDA wa CHAMA yuko wapi?? mikutano ya kushukuru ilitakiwa kuanza nchi nzima polis maweizuia kwa madai kuwa hali ya nchi n i tete na serikali bado haijaundwa. baada ya leo baraza kutangzwa labda wataachai kidogo mikutano iweze kufanyika. Wanajua kuw aissue kubwa itakuwa ni kudai katina mpaya na tume huru ya uchaguzi ni maana wanaban. aaakh...kumbe mimi wa APPT MAENDELEO SIHUSIKI katika hili Taarifa kwa umma ingefaa zaidi kuliko kukaa kimya kama walivyofanya. Huko Kijijini kuna watu walikatwa mapanga na wengine nyumba zao kuchomwa moto wakitetea kura za Dr Slaa lakini mpaka sasa hawajamsikia akijitokeza hadharani.
2018-09-23T07:14:49
https://www.jamiiforums.com/threads/wito-kwa-chadema-na-dr-slaa.90898/
[ -1 ]
MAASINDA: Maiti ya mwanaume yafukuliwa, yakatwa kichwa Maiti ya mwanaume yafukuliwa, yakatwa kichwa Katika hali isiyokuwa ya kawaida wilayani hapa, Mkoa wa Geita, watu wasiojulikana wamefukua kaburi la mtu aliyekufa na kuzikwa katika makaburli ya mtaa wa Elimu Nyantorotoro, kisha kukata kichwa chake na kuondoka nacho kusikojulikana. Tukio hilo limekuja siku chache wakati wakazi wa Wilaya ya Geita wakiwa na hofu baada ya kutokea tukio la mtoto Shaabani Maulidi (16) aliyefariki miaka zaidi ya miwili iliyopita na kuonekana akiwa hai jirani na mtaa huo. Katika tukio hilo ambalo limekusanya umati mkubwa wa wakazi wa mji wa Geita, lilitokea jana baada ya watu kukuta jeneza la maiti likiwa limefukuliwa na kupasuliwa na baadae kutoa kichwa cha maiti hiyo ya mwanaume (jina halijafahamika), kisha kuondoka nacho na kuliacha kaburi likiwa wazi. Mwenyekiti wa Mtaa wa Elimu Nyankumbu, Hassan Malima, alisema tukio hilo liligunduliwa saa tatu asubuhi na watu walioenda eneo hilo kuchimba kaburi baada ya kutokea msiba kwa mchungaji Mtafuteni Mihana, wa kanisa la Pefa, aliyefiwa na mtoto wake. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, maiti hiyo ilizikwa takribani miezi mitatu iliyopita. Hata hivyo, ndugu na jamaa wa karibu wa marehemu huyo hawakupatikana haraka kuzungumzia tukio hilo. Malima alisema baada ya kupata taarifa za tukio hilo linalohusishwa na imani za kishirikina, walitoa taarifa polisi ambao walifika haraka katika eneo hilo wakiongozwa na mkuu wa polisi wilaya ya Geita, OCDBwire. Baada ya kufanyika uchunguzi wa kitabibu uliofanywa na Dk. Alex Makonda, alibainisha kuwa marehemu huyo alikuwa ni mwanaume. Naye mchungaji wa kanisa la Pefa, katika mtaa huo, Mchungaji Mtafuteni alisema tukio hilo limetokana na imani za kishirikina na kwamba imesababishwa na watu kukosa hofu ya Mungu. Imechapishwa na Elisante William kwa 10:55 PM
2017-11-19T21:32:57
http://maasinda.blogspot.com/2013/10/maiti-ya-mwanaume-yafukuliwa-yakatwa.html
[ -1 ]
PressReader - Rai: 2017-10-26 - Uchaguzi Kenya giza tupu Uchaguzi Kenya giza tupu WAKENYA wanatarajia kufanya uchaguzi wa marudio wa kumchagua Rais wao leo baada ya ule wa awali uliofanyika Agosti 8, mwaka huu kufutwa na Mahakama ya juu kwa kile kilichodaiwa ni kukiukwa kwa baadhi ya taratibu. Uchaguzi wa leo unatarajiwa kufanyika huku kukiwa na sintofahamu kutokana na mpinzani mkuu kwenye mbio za urais, Raila Odinga kujiengua kwenye mbio hizo kwa madai ya kutokubaliana na baadhi ya mambo ndani ya Tume huru ya uchaguzi nchini humo pamoja na udhaifu wa demokrasia. Inaelezwa kuwa mfumo dhaifu wa demokrasia nchini Kenya unaendelea kujionyesha katika rangi mbalimbali ingawa kuna wakati ulileta matumaini kutokana na muafaka hata hivyo hali hiyo ilibadilika ghafla. Haya yote yamejiri katika kipindi cha miezi miwili tu iliyopita, hata hivyo matumaini makubwa yalifikiwa miaka saba iliyopita baada kupatikana kwa Katiba mpya ambayo ilisifiwa kuwa ni miongoni mwa katiba bora kabisa barani Afrika na hivyo kuweza hata kuigwa na nchi nyingine. Wadadisi wa mambo wanasema hakuna mahali Afrika panapokosa siasa chafu, jambo linalosukumwa kwa kiasi kikubwa na ile hali ya kutoaminiana miongoni mwao. Aidha, wanasema siku hizi katika Bara la Afrika, na katika nchi nyingi za ulimwengu wa tatu, hasa katika masuala ya siasa zinazidi kuwa kivutio kwa wanasiasa wengi – walio madarakani hupenda kung’ang’ania walipo na wale walio nje wakitumia kila njia kuingia. Kenya ukweli unabakia kwamba nchi inaweza kutumbukia katika ghasia kubwa iwapo wanasiasa wataendelea kushikilia misimamo yao mikali. Rais Uhuru Kenyatta aliye madarakani anayegombea kipindi chake cha pili anakazania kufanyika kwa uchaguzi kama ilivyoelekezwa katika hukumu ya Mahakama ya Juu (Supreme Court) baada ya kubatilisha uchaguzi wa Agosti 8 ambao ilisema Katiba, sheria na kanuni zilikiukwa katika uendeshaji wake. Kwa upande wake mgombea mkuu wa muungano wa upinzani wa NASA, Raila Odinga amejitoa katika uchaguzi huo akitaja kwamba uchaguzi huo wa marudio hautakuwa wa kuaminika kutokana na kusimamiwa na tume ile ile ya IEBC ambayo ilivuruga uchaguzi awali. Raila alitaka kwanza kuweko mabadiliko katika tume hiyo ndiyo uchaguzi ufanyike. Kutokana na msukumo wa nchi za Magharibi Rais Uhuru Kenyatta hatimaye alikubali maamuzi ya Mahakama ya Juu ya kubatilisha uchaguzi wa Agosti 8, lakini baadaye alionekana kuchukua hatua kadha yaliyobeba ishara ya kuyazunguka maamuzi hayo. Chini ya hati ya dharura, utawala wake ulipeleka muswada wa marekebisho bungeni wa Sheria ya Uchaguzi ya kuweka ugumu kwa mahakama kubatilisha uchaguzi. Marekebisho hayo yalitaka iwapo mgombea urais hana mpinzani basi atangazwe moja kwa moja kuwa mshindi. Hali kadhalika Kenyatta alishindwa kutoa msukumo wa kuifumua Tume ya Uchaguzi kama wanavyodai NASA na hivyo kuzidisha hali ya mkwamo. Wadadisi wa mambo wanasema iwapo Kenya itafanya uchaguzi leo itakuwa inafanya makosa makubwa, ushauri wa busara ni kwa Tume kuahirisha uchaguzi huo. Wanasema kisheria ni IEBC pekee ndiyo ina uwezo wa kufanya hivyo iwapo itaona kwamba kufanyika uchaguzi kunaweza kuleta vurugu kubwa hadi kutishia uhalali wa matokeo. Tayari nchi hiyo imetawaliwa na maandamano na matishio katika maeneo mbalimbali ya nchi hiyo, hasa yale yanayomuunga mkono Odinga.
2017-11-24T04:28:10
http://www.pressreader.com/tanzania/rai/20171026/281483571632953
[ -1 ]
LENZI YA MICHEZO: WAJUMBE WATATU WALIOVULIWA UANACHAMA YANGA WAKATA RUFAA TFF WAJUMBE WATATU WALIOVULIWA UANACHAMA YANGA WAKATA RUFAA TFF WAJUMBE watatu wa Yanga ambao walivuliwa uanachama wamepeleka barua yao kupinga hatua hiyo katika Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF). Akizungumza na wandishi wa habari afisa habari wa TFF, Alfred Lucas amesema barua hiyo iliwasilishwa katika shirikisho hilo Agosti 12, 2016. “Wanachama Ayoub Nyenzi, Hashim Abdallah na Mkemi ni wajumbe wa kamati ya utendaji ya Yanga ambao walivuliwa uanachama Agosti 6, mwaka huu walileta barua ya malalamiko TFF, ” amesema Lucas. Ameongeza kuwa “nathibitisha kuwa malalamiko yao yamepokelewa ambayo yanalenga kutaka haki itendeke.” Amesema barua hiyo inasema kuwa uongozi wa Yanga ulikiuka taratibu na katiba ya klabu hiyo ilipowafuta uanachama. “TFF imeyapokea malalamiko hayo na yatapelekwa katika kamati husika pindi yatakapofanyiwa maamuzi tutawajulisha wadau wa mpira wa miguu nchini,” amesema. Posted by RAHEL PALLANGYO at 7:13 AM
2018-07-17T19:34:06
http://pallangyor.blogspot.com/2016/08/wajumbe-watatu-waliovuliwa-uanachama.html
[ -1 ]
Sweet bite | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Discussion in 'Biashara, Uchumi na Ujasiriamali' started by cc_africa, Jun 1, 2010. cc_africa A.AL3IKUM. WANDUgu. KARIBUNI KATIKA HOTELI MPYA INAYOITWA SWEET BITE ILIYOKO ARUSHA KARIBU NA STENDI KUU YA MKOA. Kuna vyakula vya aina tofauti*tofauti.wale wakazi wa arusha mnakaribishwa sana na wageni pia nakaribishwa sana. Pia 2napokea oda za maofisin.Karibuni sana!!!! cc_africa said: A.AL3IKUM. WANDUgu. KARIBUNI KATIKA HOTELI MPYA INAYOITWA SWEET BITE ILIYOKO ARUSHA KARIBU NA STENDI KUU YA MKOA. Kuna vyakula vya aina tofauti*tofauti.wale wakazi wa arusha mnakaribishwa sana na wageni pia nakaribishwa sana. Pia 2napokea oda za maofisin.Karibuni sana!!!!Click to expand... picha pls.vyumba bei gani kwa siku? kwa upande upi mkuu, ipo karibu na wapi?...tupe daireksheni tuje tukuungishe mkuu Wadau simaanishi hotel ya kulala. Ni sehemu ya kula chakula,chai, chakula cha mchana, na jioni. Nafkiri mushanfahamu!!! Ipo jengo la stedium karibu na mlango mkuu wa kuingilia. Inakaribiana na stendi ya mgamba bus. Wadau simaanishi hotel ya kulala. Ni sehemu ya kula chakula,chai, chakula cha mchana, na jioni. Nafkiri mushanfahamu!!!Click to expand... ..............hio ni restaurant na sio HOTEL............ Ok unajua lugha zinapisha watanzania 2mezoea kusema hotel. Utasikia hotel flani chakula chao kizuri sna!! Sasa pia 2anze kuwarekesha w2 2sio wajua. Ni maoni 2. Ok unajua lugha zinapisha watanzania 2mezoea kusema hotel. Utasikia hotel flani chakula chao kizuri sna!! Sasa pia 2anze kuwarekesha w2 2sio wajua. Ni maoni 2.Click to expand... ... come again ?? :confused3: Hii ni restaurant basi au mgahawa.... Ukisema hotel moja kwa moja mtu anapata picha ya malazi na chakula na huduma nyingine ndugu. ni Mkahawa oops ama mgahawa! ni Mkahawa oops ama mgahawa!Click to expand... ...mGahawa. Restaurant ni Mkahawa kwa kiswahili kizuri(halisi) na Mgahawa ni kile cha ulevi (kiso sanifu/makapi) pia mwenye huo mkahawa tunakushukuru sana kwa kutuongezea mganga mwingine wa tumbo(deni la dunia) inshaalah mungu akipenda tukiwasili tu mjini Arusha basi tutakuja kujitibu. Kazi njema na Mwenyezi mungu akupe uvumilivu katika mapambano yako ya kila siku. Tunashukuru sana weekend hii tutakuwa hapo,Preta na PJ jiandaeni Tunashukuru sana weekend hii tutakuwa hapo,Preta na PJ jiandaeniClick to expand... nami nitajoin kama mwenyeji! 999,327 20,617,088
2017-04-28T02:59:36
https://www.jamiiforums.com/threads/sweet-bite.63337/
[ -1 ]
Ndoto za Olimpiki Tanzania imezimwa, tunahitaji mabadiliko ya haraka kwenye uongozi wa michezo.... - Tanzania Sports Home / Sport / Athletics / Ndoto za Olimpiki Tanzania imezimwa, tunahitaji mabadiliko ya haraka kwenye uongozi wa michezo…. 18th August 2017 Last update at 1:14 am *Ubinafsi wa viongozi kikwazo cha kukuza michezo *Watoto wenye vipaji waishia kwenye ulevi na ngono Michezo ya 30 ya Olimpiki imeanza kutimua vumbi jijini London, ikikusanya vipaji vya aina ya juu. Michuano hii mikubwa kuliko yote duniani, inashirikisha nchi 205, ambapo Tanzania nayo imejitupa kujaribu bahati yake. Pamoja na kwamba ni mashindano yanayofanyika kila baada ya miaka minne, yakitoa nafasi kubwa kwa wadau kujiandaa, Tanzania haiwezi kusema imejiandaa vyema. Idadi ndogo ya washiriki ni ishara ya kwanza ya maandalizi duni na ama mwamko mdogo, kutojituma ipasavyo kwa wahusika, au kutekwa kwa fursa husika na kupotezewa malengo kwa kizazi cha sasa. Tanzania kuwa na washiriki wasiofika hata kumi kwenye mashindano makubwa kama haya, ambayo ratiba yake inajulikana siku zote ni udhaifu mkubwa. Wingi wa wachezaji kwa nchi ni moja ya njia za kujitangaza, kwa sababu kwenye maandamano ya kuingia kila moja inaoneshwa na wachezaji wake nyuma ya bendera na ngao yenye jina la nchi. Kujituma kwenye mashindano yenyewe, kila wachezaji katika michezo mbalimbali waliyokuja kuwakilisha ni hatua ya pili. Kilele chake ni kwa mshindi wa kwanza kwa kila mchezo kupata medali ya dhahabu, wa pili fedha na wa tatu shaba. Siku njema huonekana asubuhi, Waswahili husema, ni wazi kwamba wingi wa washiriki hutoa nafasi kubwa ya kufanya vizuri kwa kufuata sayansi ya uwiano. Maana uchache wa wanamichezo wetu, japo walipendeza na suti zao za kibuluu na upeperushaji bendera kubwa na ndogo, ni kujifunga tayari. Huko ni kujifunga kwa sababu kwanza hakuna uhakika iwapo wote watapata medali, na mazoea yamekuwa wengi kuzikosa, kwa hiyo timu inakuwa kimsingi imeshakosa nafasi nyingi za awali. Badala ya timu kuingia na ndoto ya kushika nafasi ya kwanza, ya pili, ya tatu na nyingine zinazokaribia hapo, inakuwa na mawazo ya kuwa ya 100 au nyuma ya hapo. Hapo n kwa kutumia kigezo cha idadi ya wachezaji wake tu, ikizingatiwa kwamba timu zote 205 zimetoa karibu wachezaji 11,000. Ile tu kushiriki michezo yote iliyopo ni sifa kubwa, na msingi wa kuweza kutwaa medali zaidi. Kwa Tanzania ni kinyume, maana michezo iliyopo ni zaidi ya mara tatu ya washiriki wake. Zipo nchi ndogo kijiografia na kiuchumi, zenye idadi ndogo ya watu zinazostahili kutuma mtu mmoja, watano au 10 lakini si Tanzania kubwa na yenye watu milioni 46. Mfano wa karibu kuonesha Tanzania inavyokwenda isivyotakiwa ni jirani zetu Uganda yenye eneo dogo zaidi, uchumi mdogo zaidi, watu wachache zaidi (milioni 34) lakini imetuzidi wanamichezo wa Olimpiki mara dufu. Kwamba medali ya mwisho ya fedha (si dhahabu) katika Olimpiki kwa Tanzania ilipatikana mwaka 1980 halijawa jambo la kuwasukuma Watanzania kujiandaa vyema. Ndoto zlizojengeka kwamba baada ya akina Filbert Bayi na Suleiman Nyambui kutwaa medali hizo za fedha, Tanzania ingetwaa medali nyingi zaidi za fedha na hata dhahabu ziliyeyuka. Wakati ikidhaniwa matumaini yangerejea, kadiri miaka ilivyokwenda ndivyo ndoto zilifutika kabisa, zikazikwa kwenye kilindi kikubwa cha bahari, maana hadi leo, miaka 32 hakuna kitu. Je, nini kinatukwaza? Yawezekana ni ukosefu wa mipango na kujituma katika kuitekeleza, tukiachia tu kila mmoja kwenye nyanja yake aoneshe nguvu zake. Ukubwa wa nchi kijiografia na wingi wa watu uliozungumziwa awali ndiyo hazina ya vipaji, ndiyo maana nchi kubwa kama Marekani ina wachezaji 525 Olimpiki. Hakuna anayesema Tanzania nayo ipeleke wengi kiasi hicho, lakini hata wakiachwa hao 500, inashindwa kupeleka walau 25? Je, katika wingi wa vipaji vilivyosambaa kote mikoani Bara na Visiwani, wanakosekana wanamichezo 100 wa kufuzu? Ili yote haya yafanikishwe lazima kuwe na dira ambayo inaweza tu kuwekwa Watanzania wakiwa na ndoto moja itakayowaongoza mwelekeo mmoja. Uzuri wa Tanzania ni kwamba inavyo vitu vyote vya msingi kwa ajili ya maendeleo katika nyanja zote, michezo ikiwamo. Wapo watu waelewa wanaoweza kutoa uongozi mzuri na wamebarikiwa kwa rasilimali nyingi. Katika vijiji vingi Tanzania kuna vipaji vya ajabu kwenye michezo karibu yote 25 ya Olimpiki. Ni jinsi tu ya kuvikuza na kufungua fikra za wachezaji na kuwaingiza kwenye hali ya kisasa ya sayansi kiutandawazi. Katika Olimpiki hakuna michezo ya kutoka sayari nyingine, ni michezo ya kawaida tu – kuogelea, kulenga shahaba, soka ya wanawake na wanaume, tenisi, vishale, mpira wa pete, kikapu…yote inachezeka. Kwa msingi huo, ndoto ya kuweza, ikichanganywa na uwezeshaji wa uongozi katika vipaji anuwai ambavyo vimekuwa vikichipuka kila wakati kote nchini, Tanzania ingekuwa mbali. Nchi hii ya asali na maziwa, yenye eneo kubwa kuliko nchi nyingi za Afrika Mashariki na Kati (ukiondoa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo), ingeweza kuwika sana michezoni. Kwa kufanya hivyo, lingekuwa tangazo kubwa sana kwa utalii wake usio kifani. Kukuzwa utalii kungeisaidia nchi kuingiza mabilioni ya shilingi kwa mapato na kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla. Lakini ndoto imeuawa na kuzikwa, wameachwa wachache wenye vipaji kujaribu bahati yao pembezoni walipo, hivyo kwamba ni shida kupanda hadi kufuzu kwa Olimpiki. Ndoto nzuri ya Olimpiki inauawa na watu wenyewe – kwa ubinafsi wao, uroho na kutoridhika na walicho nacho, wanachochuma au hata wanachokipata kutokana na kodi za wananchi. Wachache waliopewa dhamana wameshindwa kuwasaidia wananchi kuvuna asali na maziwa. wanakwama kubadili umasikini wao kuwa utajiri, hivyo ama kuzikalia rasilimali au kuacha zitafunwe na wachache kwa kushirikiana na wageni. Tangu Serikali ya Awamu ya Kwanza ya Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere hadi leo Tanzania ikiwa awamu ya nne, ni medali mbili tu za fedha. Pengine wapo viongozi wanaoona ni matunda ya kutosha ya uhuru na ya kujivunia. Ndiyo maana hawaoni haja ya kuibua na kukuza vipaji vilivyotapakaa kila kona. Naam, ndiyo maana wanaona ni sawa kupeleka wanamichezo saba kati ya 11,000 wanaoshiriki michezo mitatu kati ya 205. Wanaona ni sawa kwa viongozi au watu wasio wachezaji kuwa wengi kuliko wachezaji kwenye msafara. Wanaweza kujitetea kwamba kila mchezo unahitaji kocha wake, daktari na nafasi nyingine watakazoamua kubuni. Lakini ukweli pia utawaumbua, kwamba ni ukosefu wa uongozi bora kwenye michezo unaosababisha, kwani ikiwa kila mchezo ungekuwa na washiriki walau wawili, basi wachezaji wangezidi viongozi. Hilo ni doa tayari na ni vigumu kulifuta. Kama bado hawapo tayari, je, wanaweza kuacha kushiriki ili wajiandae? Ikiwa ni hivyo, wanaweza kutoa ratiba na mipango yenyewe badala ya kutetea kwenda viongozi wengi kuliko wachezaji? Si ajabu inalazimu kushiriki michezo hii na mingine inayokuja kila mwaka au kila baada ya miaka kadhaa kwa ajili ya posho za viongozi. Bahati mbaya wachezaji wengi hutolewa hatua za mwanzo, wangefanikiwa kusonga mbele na viongozi wangezidi kujikusanyia kitita cha posho kila wakati. Huu ndio muda wa kujirudi, kukaa chini na kutafakari kama taifa, ili ndoto ile izaliwe upya. Mafanikio wenye Olimpiki hayatakuja kwa kushangilia watu saba tu London, ambao pia hawakupata maandalizi ya kutosha. Haikushangaza kumsikia na kumsoma Katibu Mkuu wa Chama cha Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui akisema hawatarajii wachezaji kufanya vizuri. Katika uchache wao, wakifanya vizuri ingekuwa faraja, lakini bado ujumbe muhimu wa kufikisha na kufanyiwa kazi ni wa kujenga upya misingi na zaidi kujenga utamaduni safi. Mazingira yamechafuka sasa Tanzania, kwa sababu watoto hawakuzwi tena katika maadili na miiko inayotakiwa ili wafanikiwe. Sinema za uzalendo zimechukuliwa na ‘visinema’ vingi vya mambo machafu kwenye mikahawa ya mitandao ya jamii, televisheni majumbani na sasa katika simu za mkononi. Picha za mambo ya ngono, muziki uliojaa maneno yasiyo na maadili ndivyo vinawalevya watoto waliotakiwa kukuzwa ili leo watambe Stratford, London na kwingineko. Imekuwa vigumu kupata zaidi ya wanamichezo saba kwa sababu ya mchanganyiko wa mambo haya – viongozi hawana muda wa kuvikuza vipaji vya wengi walio pembezoni, hivyo wameishia kwenye mambo machafu. Ile ari ya Ujamaa na Kujitegemea imetibuliwa na ubepari na uhuria wa soko ambao umesambaza kila aina ya bidhaa chafu na kupasua mtandao wa umoja chini ya utamaduni wa kweli wa mwana wa Kitanzania. Utukufu wa mafanikio ya Mtanzania katika michezo na utamaduni hauonekani tena katika medali za Olimpiki ya Athens, Beijing, Stratford wala hakuna anayeifikiria Rio de Janeiro miaka minne ijayo. Ni fahari ya waliopewa dhamana kuongeza utajiri wao, kumalizia majumba yao, kutunisha akaunti zao kwa fedha za kukuzia vipaji. Hakuna tena soni katika kuuza viwanja vya kuchezea watoto kwenye miji na vijiji vya Tanzania, kwa sababu imegeuka fursa ya walioaminiwa kujipatia fedha. Nani ataitangaza tena fahari ya Mlima Kilimanjaro, visiwa vya karafuu vya Zanzibar na hifadhi za Ngorongoro na Serengeti ikiwa hakuna anayeona uchungu na idadi hii ndogo ya washiriki wetu Olimpiki? Miaka 50 baada ya uhuru ambayo Watanzania wameitambia kuwa na mafanikio, ni wachache mno wanaotumia nafasi zao, ubunifu na jitihada za wengine kufanikisha michezo. Lakini pia, ni muhimu kutambua kwamba, mchezaji mzuri si lazima aje kuwa kocha bora, na hii imethibitika kisayansi kwenye ndani na nje ya nchi. Ni katika msingi huo, naona kwamba kwa Filbert Bayi na Suleiman Nyambui kuiletea Tanzania medali za fedha kutoka Olimpiki, si tiketi ya wawili hao kuwa viongozi wa michezo. Ndiyo kusema kwamba pamoja na medali zao, wao ni sehemu ya udhaifu wa uongozi unaopigiwa kelele. Bayi ni Katibu Mkuu wa Kamati ya Olimpiki Tanzania wakati Nyambui ni Katibu Mkuu wa Chama cha Riadha Tanzania. Ipo haja kwa wadau kutafakari zaidi maana ya uongozi, kupima na kuchagua kwa uangalifu zaidi, badala ya kuchukulia kirahisi tu kwamba wote waliofanya vyema kwenye mchezo fulani wanafaa kuongoza. Katika lile suala zito kuchukua maamuzi magumu, nadhani hakuna haja ya kupoteza muda, ambapo wawili hao binafsi wakiamua kujitazama wataona wamewakwaza Watanzania. Hii ni kwa sababu wameshindwa kuwarithisha wengine vipaji vyao vya riadha. Ingekuwa mchezaji mzuri anageuka kiongozi mzuri, tangu washike nafasi hizo Tanzania ingepata medali nyingi za dhahabu kwenye Olimpiki. Kwa kuwa uongozi ni kupokezana kijiti na lazima anayepokea awe na uwezo, utashi wa kufanya kazi husika, nguvu ya kuhimili mitikisiko na kasi ya kuwashinda wengine na kupata medali, watoe vijiti kwa wengine. Ieleweke kwamba lazima viongozi wa kweli wafanye maamuzi magumu, iwe ni katika kuleta mafanikio wakiwa madarakani au kung’atuka wanapoona hawaleti matunda yanayotakiwa. Nakumbuka nikiwa mwajiriwa wa Idara ya Mifugo mkoani Dodoma, Ofisa Elimu wa Mkoa wakati huo, Mama Cecelia Shirima alinitumia kutafuta vipaji, kuvikuza na kuviendeleza. Mama Shirima alichukua hatua hiyo kwa kutambua mchango wangu katika maendeleo ya Mpira wa Wavu (Volleyball). Ulikuwa uamuzi mgumu, kwa sababu alifanya kile ambacho hakuna aliyekuwa amejaribu, na hakujua athari zake, lakini alihisi mafanikio na utimilifu wa ndoto ya mkoa kimichezo. Kwa kwenda kinyume na utaratibu wa kawaida wa kazi ambao umegeuka na kuwa kituko cha business as usual, alihatarisha nafasi yake, maana ilitakiwa wakufunzi wawe waajiriwa wa wizara. Uamuzi huo mgumu haukuwa bure, ulilipa, kwa sababu hatimaye Mkoa wa Dodoma ulikuwa Bingwa wa Umitashumta kwa miaka sita mfululizo. Tena sehemu kubwa ya timu iliundwa na wachezaji kutoka shule moja ya msingi ya wilayani Kondoa, ikiitwa Mirambo! Je, nani amerudi Kondoa kujua siri ya mafanikio haya? Mkoa ulipata sifa kubwa kwa mafanikio yale, na vijana nao wakapata nafasi ya kuijua nchi yao, kwa maana ya kusafiri mikoani, walipopelekwa kwenye mashindano kama ya Bonite. Tunahitaji Viongozi wenye uwezo na uthubutu wa kutoa maamuzi magumu hata kama yatawagharimu, lakini kwa faida ya wananchi na Tanzania yao. Endapo Kenya wanafanya vizuri kwenye michezo mingi, kwa nini tusiwatumie Wakenya kutusaidia kutengeneza mfumo mzuri wa michezo utakaokuwa endelevu na kutupatia mafanikio, hasa kwenye riadha? Tunahitaji viongozi wa aina ya akina Mama Shirima wengi, vinginevyo Tanzania haitafanikiwa kwenye michezo, bali itabaki imesinzia. Medali za Olimpiki zitabaki ndoto ikiwa Tanzania haitasafisha nyumba yake – kwa wadau kuondoa woga, ubinafsi na kuacha kula vilivyotengwa kwa ajili ya watoto wa Olimpiki. Uozo unaongezeka kwa sababu kadiri watoto wanavyoongezeka katika ardhi kubwa ya Tanzania, ndivyo wanavyoachwa kuogelea kwenye uchafu wa pombe na ngono. Mbaya zaidi ni kwamba vipo vyombo vya habari ambavyo msingi wa kuanzishwa kwake duniani ni kuelimisha, kuhabarisha na kuburudisha. Ndivyo vinashiriki kuwatumbukiza wana wa Tanzania kwenye shimo la kina kirefu kwa ukosefu wa maadili. Wanazeeka kabla ya muda wao, hivyo ni ndoto za mchana kuwaona wakikuza vipaji vyao na kutamba ndani na nje ya mipaka ya Tanzania. Wataendelea kuachwa katika hali hiyo hadi pale viongozi watakapoona busara ya kutokimbilia Beijing, London na Rio de Janeiro kwa mashindano huku wanamichezo wenyewe wakiwa bado Bagamoyo. Olimpiki iliyozinduliwa Ijumaa kwa sherehe ya Pauni milioni 27 inayotarajiwa kukuza uchumi wa nchi mwenyeji kwa kiasi kikubwa ni kitu tofauti kwa Tanzania. Fashifashi zilizowaka angani usiku ule na kupokewa kwa vifijo na wakazi wa London na wageni wake ziliizamisha Tanzania kwenye deni kubwa zaidi, maana miaka inaongezeka tangu ing’are. Nani atahangaika tena kukuza kipaji chake cha michezo ikiwa watoto wanashuhudia sasa wasiofanya kazi wakifaidi maisha? Wanafuata mkumbo na tabia hiyo isipokomeshwa isiwe ajabu ushindani wa nchi kupungua zaidi. Mazoea yanayojengeka yanaharibu picha ya Tanzania, fahari ya waasisi wake waliorithisha kabla ya kuondoka. Tanzania iseme wazi ‘basi’ kwa waporaji wa watoto hawa. Vipaji visidumazwe kwa uchu wa fedha walio nao viongozi wachache wanaofikia hatua ya kutafuna fedha zilizotengwa kwenye bajeti ya kukuza vipaji na kuandaa timu. Hizi ni zama za kurejea kwenye ndoto nzuri ya Tanzania. Kuiona fahari yake kwa Watanzania wengi zaidi kushiriki na kutwaa medali kwenye Olimpiki na mashindano mengine. Hakuna tena muda wa kupoteza, hivyo basi, ujenzi wa ndoto hiyo uanze sasa. Tags: Michezo, ovyo, Riadha, TA, tanzania
2017-08-19T09:29:03
https://www.tanzaniasports.com/2012/07/29/ndoto-za-olimpiki-tanzania-imezimwa-tunahitaji-mabadiliko-ya-haraka-kwenye-uongozi-wa-michezo/
[ -1 ]
UHAMASISHAJI WA USAFI WA MAZINGIRA WILAYA YA CHEMBA WAFANYIKA - MTAA KWA MTAA BLOG Home HABARI UHAMASISHAJI WA USAFI WA MAZINGIRA WILAYA YA CHEMBA WAFANYIKA UHAMASISHAJI WA USAFI WA MAZINGIRA WILAYA YA CHEMBA WAFANYIKA Othman Michuzi December 06, 2018 HABARI, Na Shani Amanzi Mkuu wa Wilaya ya Chemba Simon Odunga amewataka Wananchi wa Chemba kujali afya zao kwa kufanya usafi wa mazingira kuanzia majumbani kwao ikiwemo kuwa na vyoo bora ili kuzuia magonjwa ya mlipuko ikiwemo kipindu pindu. Mhe.Simon Odunga ameungana sambamba na Rais wa Awamu ya Tano Mhe ,Rais John Pombe Magufuli na kuridhia ,Tamko la Rais la kuhakikisha kaya zote katika Wilaya ya Chemba zinakuwa na vyoo bora. “Ntahakikisha kila kaya inakuwa na vyoo bora na kuvitumia ,kwa kaya nyingine ambazo hazina vyoo naelekeza kwa viongozi wenzangu na vijana kama tulivyokubaliana kuanzia 25/12/2018 kila kaya iwe na choo bora na kukitumia na kuagiza viongozi wotewanaohusika katika ngazi zote za wilaya, Kata,Tarafa ,Vijiji na Vitongoji kusimamia kikamilifu agizo langu hili”aliongeza kwa kusema hivyo Mhe.Simon Odunga. Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chemba Dkt.Semistatus Mashimba ameipongeza Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na Msanii Mrisho Mpoto kwa kuwa na ubunifu wa uhamasishaji ,kwani wilaya ya Chemba wameitika kwa mwitikio mkubwa na kupokea ujumbe huo. Aidha Dkt.Mashimba amesema “katika taarifa ya ya robo mwaka July,September jumla ya kaya 60,576 zilitembelewa kati ya hizo kaya zenye vyoo vya muda ni 47,487 sawa na asilimia 78.4 na kaya zenye vyoo vya kudumu ni 11,920 sawa na asilimia 19.7 na changamoto iliopo ni baadhi ya jamii kutoezeka vyoo vyao,kwa imani ya kuogopa nyoka kuingia kwenye vyoo” Naye Msanii Mrisho Mpoto amesema katika kampeni hii aliyoshirikiana na Wizara ya Afya ya kusema”Usichukulie Poa Nyumba ni Choo”wameweza kuzunguka Kata 10 ikiwemo Mondo,Jangalo,Goima ,Mrijo,Babayu,Kidoka ,Soya,Gwandi,Kelema na Chemba wamefarijika sana kwani mwitikio wa wananchi ni mkubwa bali kata moja tu ambayo ni ya Babayu imeonekana ina idadi kubwa ya kaya zisizo na vyoo. Hata hivyo sheria ndogondogo za Halmashauri zinaendelee kutumika katika kuwabana wasio na vyoo pamoja na wasiokamilisha ujenzi wa wa choo bora,aidha kampeni hiy ya uhamasishaji wa mazingira imehitimishwa katika kata ya Chemba ambapo kampeni hiyi ilifanyika ndani ya siku tano kuanzia Tarehe 1 mpaka5/12/2018 ilipomalizika katika uwanja wa Godown,Chemba. Posted by Othman Michuzi at December 06, 2018
2019-04-25T02:48:06
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2018/12/uhamasishaji-wa-usafi-wa-mazingira.html
[ -1 ]
ACACIA Wapinga Ripoti ya Kamati ya Pili ya Rais JPM Kuhusu Mchanga wa Madini Mwitikio wa Acacia kwenye matokeo ya kamati ya pili ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli. USOME WALAKA WA ACACIA
2018-03-18T13:30:00
http://rumaafrica.blogspot.com/2017/06/acacia-wapinga-ripoti-ya-kamati-ya-pili.html
[ -1 ]
tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai Videos - Watch Any Format Videos Posted 2 month ago by Afri Media Tundu Lissu Amjibu Spika wa Bunge Job Nd... Tundu Lissu Amjibu Spika wa Bunge Job Ndugai - Hicho Kibali Kinatolewa Katika Mazingira Gani Video watch and learn with MP4,3GP format.You can watch online Tundu Lissu Amjibu Spika wa Bunge Job Ndugai - Hicho Kibali Kinatolewa Katika Mazingira Gani video to free learn Tundu Lissu Amjibu Spika wa Bunge Job Ndugai Hicho Kibali Kinatolewa Katika Mazingira Gani. Tundu lissu leo Amemjibu Ndungai Kuhusu Kurudi nchini, ... Lissu Amjibu Spika Ndugai kuhusu kurejea... Lissu Amjibu Spika Ndugai kuhusu kurejea nchini "Hajui Chochote" Video watch and learn with MP4,3GP format.You can watch online Lissu Amjibu Spika Ndugai kuhusu kurejea nchini "Hajui Chochote" video to free learn Lissu Amjibu Spika Ndugai kuhusu kurejea nchini "Hajui Chochote" Majibizano kati ya Tundu Lissu na Spika Job Ndugai yamezidi kukua baada ya Mbunge ... Posted 2 month ago by ABC HABARI Tundu Lissu aibuka tena..! Amjibu vikali... Tundu Lissu aibuka tena..! Amjibu vikali Spika Ndugai kuhusu kulipwa milioni 250 Video watch and learn with MP4,3GP format.You can watch online Tundu Lissu aibuka tena..! Amjibu vikali Spika Ndugai kuhusu kulipwa milioni 250 video to free learn Posted 1 year ago by Chadema Media TV Mhe. Tundu Lissu amjibu Spika Job Ndugai Mhe. Tundu Lissu amjibu Spika Job Ndugai Video watch and learn with MP4,3GP format.You can watch online Mhe. Tundu Lissu amjibu Spika Job Ndugai video to free learn Mhe. Tundu Lissu amemjibu Spika Job Ndugai juu ya jukumu la Bunge kumgaramia matibabu sio hisani bali ni utaratibu na kanununi walizojiwekea kwa ... Posted 7 month ago by Salim Kikeke Mahojiano ya Tundu Lissu na BBC na majib... Mahojiano ya Tundu Lissu na BBC na majibu ya Spika Job Ndugai Video watch and learn with MP4,3GP format.You can watch online Mahojiano ya Tundu Lissu na BBC na majibu ya Spika Job Ndugai video to free learn Mahojiano ya Tundu Lissu na Dira ya Dunia TV, na majibu ya Spika Job Ndugai. Taarifa nzito tuliyoipata Asubuhi hii, T... Taarifa nzito tuliyoipata Asubuhi hii, Tundu Lissu Afanya Maamuzi Magumu kuhusu Spika Ndugai Video watch and learn with MP4,3GP format.You can watch online Taarifa nzito tuliyoipata Asubuhi hii, Tundu Lissu Afanya Maamuzi Magumu kuhusu Spika Ndugai video to free learn Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema) nchini Tanzania, Tundu Lissu ametoa ufafanuzi wa fedha anazolipwa na Bunge la nchi hiyo, ambazo spika Job ... BREAKING: SPIKA KUFUTA MSHAHARA, MALIPO ... BREAKING: SPIKA KUFUTA MSHAHARA, MALIPO YOTE YA TUNDU LISSU "ANAZURURA DUNIANI" Video watch and learn with MP4,3GP format.You can watch online BREAKING: SPIKA KUFUTA MSHAHARA, MALIPO YOTE YA TUNDU LISSU "ANAZURURA DUNIANI" video to free learn Spika wa Bunge Job Ndugai amesema atasimamisha Mshahara na malipo yote ya Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu kutokana na kwamba ofisi yake ... Spika Ndugai: Tundu Lissu arudi Tanzania... Spika Ndugai: Tundu Lissu arudi Tanzania haraka...! Hana Kibali cha kuzurura Video watch and learn with MP4,3GP format.You can watch online Spika Ndugai: Tundu Lissu arudi Tanzania haraka...! Hana Kibali cha kuzurura video to free learn SPIKA NDUGAI "TUMEMLIPA TUNDU LISSU... SPIKA NDUGAI "TUMEMLIPA TUNDU LISSU MILIONI 25O, AKIKANUSHA NATOA MKEKA" Video watch and learn with MP4,3GP format.You can watch online SPIKA NDUGAI "TUMEMLIPA TUNDU LISSU MILIONI 25O, AKIKANUSHA NATOA MKEKA" video to free learn January 31, 2019 Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai amelieleza Bunge kwamba hadi sasa ofisi yake imeshamlipia gharama za matibabu Mbunge wa ... Posted 1 week ago by GILLY BONNY ONLINE TV Spika Ndugai Amjibu Tundu Lissu Madai ya... Spika Ndugai Amjibu Tundu Lissu Madai ya Mshahara, Awafunga Midomo Waropokaji, Tamko lake ni hili Video watch and learn with MP4,3GP format.You can watch online Spika Ndugai Amjibu Tundu Lissu Madai ya Mshahara, Awafunga Midomo Waropokaji, Tamko lake ni hili video to free learn Spika wa Bunge Job Ndugai amesema hajapata taarifa yeyote juu ya kuzuiliwa kwa mshahara wa Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu, huku akimtaka ... Msimamo alioutoa Spika Ndugai kuhusu mat... Msimamo alioutoa Spika Ndugai kuhusu matibabu ya Tundu Lissu Video watch and learn with MP4,3GP format.You can watch online Msimamo alioutoa Spika Ndugai kuhusu matibabu ya Tundu Lissu video to free learn Spika wa Bunge Job Ndugai alisimama kujibu mwongozo wa mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema aliyehoji kwanini hadi sasa ofisi ya Bunge haigharamii ... Spika Ndugai AMMALIZA Tundu LISSU, KABIS... Spika Ndugai AMMALIZA Tundu LISSU, KABISA!! Video watch and learn with MP4,3GP format.You can watch online Spika Ndugai AMMALIZA Tundu LISSU, KABISA!! video to free learn Spika wa Bunge, Job Ndugai amembananisha Tundu Lissu Kisawasawa kwa kukanusha uongo wake wa kudai kwamba BUNGE HALIJAMPA ATA SENTI ... tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai This paragraph tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai is totally about tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai. Related Videos for tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai - You have look for videos tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai especially. Most relevant thousands videos Results according to your search tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai videos are available on these pages. Perfect Results of tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai Videos and Clips.Convert MP3 audio ,MP4 video tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai Free with AnyFormat convertor. View and Download tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai with HD format Video. repeat a paragraph again please read carefully tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai real topic. Related Videos for tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai - You have look for videos tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai especially. Most relevant thousands videos Results according to your search tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai videos are available on these pages. Perfect Results of tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai Videos and Clips.Convert MP3 audio ,MP4 video tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai Free with AnyFormat convertor. View and Download tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai with HD format Video. Many of people search Related Videos for tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai - You have look for videos tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai especially. Most relevant thousands videos Results according to your search tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai videos are available on these pages. Perfect Results of tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai Videos and Clips.Convert MP3 audio ,MP4 video tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai Free with AnyFormat convertor. View and Download tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai with HD format Video. videos, some internet user want to listien music related Related Videos for tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai - You have look for videos tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai especially. Most relevant thousands videos Results according to your search tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai videos are available on these pages. Perfect Results of tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai Videos and Clips.Convert MP3 audio ,MP4 video tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai Free with AnyFormat convertor. View and Download tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai with HD format Video.,other people want to download videos about Related Videos for tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai - You have look for videos tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai especially. Most relevant thousands videos Results according to your search tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai videos are available on these pages. Perfect Results of tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai Videos and Clips.Convert MP3 audio ,MP4 video tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai Free with AnyFormat convertor. View and Download tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai with HD format Video.. You can listen Related Videos for tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai - You have look for videos tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai especially. Most relevant thousands videos Results according to your search tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai videos are available on these pages. Perfect Results of tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai Videos and Clips.Convert MP3 audio ,MP4 video tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai Free with AnyFormat convertor. View and Download tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai with HD format Video. music, download Related Videos for tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai - You have look for videos tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai especially. Most relevant thousands videos Results according to your search tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai videos are available on these pages. Perfect Results of tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai Videos and Clips.Convert MP3 audio ,MP4 video tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai Free with AnyFormat convertor. View and Download tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai with HD format Video. videos and conver Related Videos for tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai - You have look for videos tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai especially. Most relevant thousands videos Results according to your search tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai videos are available on these pages. Perfect Results of tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai Videos and Clips.Convert MP3 audio ,MP4 video tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai Free with AnyFormat convertor. View and Download tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai with HD format Video. video to mp3 on anyformat.net. tundu lissu amjibu spika job ndugai Related Videos for tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai - You have look for videos tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai especially. Most relevant thousands videos Results according to your search tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai videos are available on these pages. Perfect Results of tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai Videos and Clips.Convert MP3 audio ,MP4 video tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai Free with AnyFormat convertor. View and Download tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai with HD format Video.
2019-03-25T10:15:28
http://www.anyformat.net/videos/tundu-lissu-amjibu-spika-job-ndugai/
[ -1 ]
Harakati za Urusi na Amerika Nchini Syria Hariri ni Mfuasi wa Serikali ya Saudi Arabia – Hizb ut Tahrir Kenya December 9, 2017 Views: 1 Swali la Kwanza: Twajua kuwa Urusi imeingia Syria kupitia makubaliano na Amerika au kupitia maagizo yake kuidumisha serikali hiyo na kuunda mazingira ya suluhisho la kisiasa na upinzani nchini humo. Lakini imeonekana kuwa Amerika inakaribia kuavya juhudi za Urusi za kuleta pamoja serikali na upinzani eneo la Astana na Sochi na mengineo, na inapo hudhuria (mikutano), itafanya hivyo kama mtazamaji tu mithili ya Jordan! Ni upi ufafanuzi wa hili? Shukran. Jibu: Ufafanuzi wa hili unaweza kufupishwa kwa kukusanya maneno mawili: kiburi cha Amerika na ujinga wa Urusi na kuonyesha hilo: 1- Ni kweli kuwa kuingilia kati kwa Urusi kulikuwa kwa ridhaa ya Amerika au maagizo yake kufikia maslahi ya Amerika. Tumefafanua hili siku za nyuma katika taarifa tuliotoa mnamo 11/10/2015, na iliyosema: “… Huu hapa ndio mkakati; Amerika inajidai kuungana na mapinduzi na hivyo kuwa vigumu kuwapiga vita hadharani, na wamesababisha madhara kwa serikali. Kibaraka badala kwa Amerika bado hajapatikana, hivyo basi mchezo wake mchafu ulikuwa ni kwa Urusi kufanya kazi hiyo. Dori yake ni kuisaidia serikali hiyo wazi wazi na kusimama wazi wazi dhidi ya mapinduzi hayo kwa sababu vita dhidi yake vishahalalishwa, na serikali ilikuwa tayari kuiita Urusi kupitia agizo kutoka kwa Amerika. Hicho ndicho kilicho tokea. Urusi imekubali kucheza uovu huu, dori chafu nchini Syria kuihudumia Amerika!” tuliliweka wazi hili katika “Jibu la Swali” tulilotoa mnamo 18/11/2015 kwa anwani: “Maendeleo Mapya katika Uwanja wa Syria”, lililo eleza: “…A- Uvamizi wa Urusi nchini Syria mnamo 30/9/2015 ulitanguliwa punde tu na mkutano baina ya Obama na Putin mnamo 29/9/2015; mkutano huo ulichukua dakika 90… Mgogoro wa Ukraine ulitawala sehemu ya kwanza ya mkutano huo, huku maraisi hao wawili wakiangazia hali nchini Syria katika sehemu yake iliyo bakia. Matokeo ya mkutano huu moja kwa moja yalionyesha. “Mnamo 30/9/2015 baraza la Urusi (Russian Federation Council) lilipasisha kwa pamoja ombi la Putin la kutumia ndege za kijeshi za Urusi nchini Syria… (Chanzo: Russia Today 30/9/2015)” B- Hata maeneo yaliyo shambuliwa na Urusi nchini Syria mengi yao yalikuwa ni kwa makubaliano na Amerika. Shirika la habari la CNN lilinukuu mnamo 4/10/2015: “Jenerali Andrey Kartapolov, afisa wa kijeshi katika wanajeshi jumla wa jeshi la Urusi, alisema mnamo Jumamosi jioni 3/10/2015 kwamba maeneo yaliyo lengwa na jeshi la anga la Urusi nchini Syria yalikuwa tayari yashatambulishwa kwa Moscow na taasisi ya utoaji maagizo ya kijeshi ya Amerika kama maeneo yanayo ficha magaidi pekee.” Hivyo basi, Amerika iliikaribisha Urusi nchini Syria kusaidia serikali hiyo na kuunda mazingira kwa suluhisho la Kiamerika. Urusi haikuingia Syria kubuni suluhisho kana kwamba ndiyo inayo dhibiti mambo nchini Syria. Lakini ujinga wa Urusi, baada ya maafa iliyo sababisha na kuweza kwake kuzuia kuanguka kwa serikali hiyo, kuliidanganya kufikiri kuwa ingeweza kusimamia suluhisho la kisiasa na kudhani kuwa Amerika haitapinga hili, bali, itakubali maadamu yeye, Urusi, ameongoza dori ya kikatitli nchini Syria kama ilivyo takikana na Amerika na kuilinda serikali kutokana na kuanguka kwake. 2- Kwa msingi wa ufahamu huu wa kimakosa, ikaitisha mikutano maeneo ya Astana na Sochi, na ikaalika makundi nchini humo na kuchora miradi. Na ikaialika Amerika kushiriki na kuwa na dori changamfu ndani yake: “Biskov alisema leo, Jumamosi, kumekuwepo na maendeleo mazuri kuhusiana na suluhu ya Syria katika muda wa hivi karibuni, “Lakini inahitaji juhudi za pamoja kuyafikisha katika hatua mpya yenye thamani, yote haya yahitajia Urusi kuamiliana na Amerika katika njia moja au nyengine…” (Chanzo: Orient News 4/11/2017). Urusi ilikuwa inatarajia kufanya mkutano baina ya raisi Putin na raisi wa Amerika Trump nchini Vietnam katika kongamano la APEC mnamo 10/11/2017, na imekuwa ikikariri na kuitisha mkutano wazi wazi baina ya maraisi hao wawili hata wakati wa kongamano hilo katika hali inayo ashiria haja ya Urusi kushirikiana na Amerika katika mahusiano baina ya nchi hizo juu ya Syria, lakini Amerika haikujibu na ikakubali tu kutoa taarifa ya pamoja ya maraisi hao wawili kana kwamba mkutano huo tayari umefanyika ingawa si kwa kiwango cha kimkutano, ilikuwa ni taarifa iliyo tayarishwa na wajuzi kutoka pande zote mbili na hatimaye kupeana mikono kwa maraisi hao wawili. Huu ni mfano wa Urusi kuiomba Amerika, inayo dhihirisha kutiwa aibu. 3- Urusi wakati huo huo inajua kuwa haiwezi kufanya hivyo bila ya Amerika, na inaendelea kuiomba ikitaraji kupata majibu; aina ya idhilali inayo anza kujitokeza, kama ilivyo tajwa juu kwa kutaka kwake mkutano baina ya Putin na Trump. Na kwa sababu Urusi inakimbilia kupata suluhisho nchini Syria, raisi wake, Putin, alimualika mhalifu Bashar kufanya naye mkutano eneo la Sochi mnamo 20/11/2017, na kisha kuwasiliana na Trump mnamo 21/11/2017, akimwambia namna ya mazungumzo kati yake na Bashar yalivyo kwenda: “Raisi wa Urusi Vladimir Putin alimpigia simu leo,Jumanne, mwenzake wa Amerika Donald Trump, iliyo angazia juu ya mgororo nchini Syria na matokeo ya mkutano wake na Bashar al-Assad. (Chanzo: Russia Today 21/11/2017) Hivyo basi, Urusi inapapatiko la kutaka kuharakisha suluhisho la mgogoro wa Syria, na kuota mchana kama kawaida yake kuwa yeye ni dola kuu inayo chukua nafasi sako kwa bako na Amerika katika kutatua mgogoro wa syria, kwa hivyo tunaiona kuwa na hamu kupata suluhisho la kisiasa leo kwa kuwa ndilo litakalo ipatia hadhi katika kuondoka kwake. Suluhisho hili la kisiasa litasitisha kudhaifika kwake hususan katika uchumi kama natija ya kushiriki kwake kijeshi. Kutokana na yote haya, ikachukua hatua ya kufanya mikutano iliyotoa sura ya kuwa yeye ni kiongozi anayeongoza juhudi za kupatikana suluhu nchini Syria; hivyo basi, ikamshurutisha Bashar, kisha Erdogan na Rouhani, na kisha kupanga kuwaita wale wanaojulikana kama wawakilishi wa “matabaka yote ya Syria” kutafuta suluhu ya mgogoro huo. Urusi inainyenyekea Amerika kushiriki mchakato huu ili kufikia suluhisho la haraka, imetangaza nia yake ya kuondoa baadhi ya wanajeshi wake: “Huenda ikachangia pakubwa kupunguza idadi ya jeshi la Urusi nchini Syria “katika athari inayohisika wazi wazi” na huenda ikaanza kabla ya mwisho wa mwaka huu,” akasema Valery Gerasimov, mkuu wa jeshi la Urusi, mnamo Alhamisi… (Chanzo: euronews 23/11/2017). Lakini, Amerika inakwenda kwa mwendo wa kinyonga katika kujibu maombi ya Urusi. 4- Huu ndio mchezo wa Amerika pamoja na Urusi kuhusiana na Syria, yaani, kuitenga na kutelekeza matakwa yake na kutosimama nayo isipokuwa katika kadhia chache na aghalabu ni kwa kupitia wafuasi wake, jambo linaloonyesha kuwa juhudi za Urusi kuongoza suluhisho la kisiasa nchini Syria zitasambaratika kutokana na Urusi kuanguka ndani ya shimo la Amerika nchini Syria. Kile ambacho Amerika inakinyamazia kimya na kukishajiisha ni kuendelea kuitumia Urusi kama moja ya vifaa vya utawala wa Amerika nchini Syria dhidi ya mapinduzi na athari ya Uislamu ndani yake; Urusi haina dori yoyote ya kuongoza kutatua mgogoro nchini Syria licha ya kuoneka mandhari ya mikutano na makongamano mingi na kupokelewa kwake jijini Moscow na Sochi… Na kabla ya njia ya Urusi na Amerika kuwa wazi, mipango yote ya Urusi kwa ajili ya suluhisho nchini Syria itasalia kuwa dhaifu ikisubiri kushiriki kwa Amerika. Pindi chembe chembe za suluhisho hilo zitakapo komaa nchini Syria, Amerika inatarajiwa kusonga mbele kupitia Umoja wa Mataifa au kupitia washirika wake wa eneo kulazimisha suluhisho nchini Syria. 5- Hivi ndivyo inavyo jitokeza kwa harakati za Urusi na Amerika nchini Syria, ambazo zaweza kutunguliwa, Allah akitaka, ikiwa makundi ya wapiganaji yatafuata njia iliyo nyoka na kuvunja mafungamano yao na vibaraka wa Amerika wa eneo, hususan Uturuki na Saudi Arabia, na kisha kusimama kidete mbele ya serikali kwa ikhlasi na kushirikiana na wenye ikhlasi miongoni mwa Umma, kwa kushikana na Kamba ya Allah. Hapo ndipo Syria, itakapo kuwa izara kwa Amerika na Urusi, na itakapo kuwa ni yenye kuwavunja migongo yao wote wawili na kutoka huku wakiwa wameshindwa, wakikimbia pasi na kujali chochote chengine nyuma yao. Hili si gumu kwa Alllah kulitimiza. Swali la pili: Hariri amerudi tena kutoka katika hali ya kujiuzulu kwake na wizara ikakutana chini ya uenyekiti wake mnamo 5/12/2017. Kisha akasema kuwa wizara hiyo imekubali “kutoingilia kati kadhia (nje ya Lebanon)” kufuatia vitendo vya Hariri, fazaa na migongano ilijitokeza: Baada ya miaka mitano ya kukosekana raisi nchini Lebanon, Hariri alikwenda kwa Aoun mnamo 20/10/2016 na kukubaliana naye juu ya uraisi na serikali, akijua kwamba Aoun na Hezbollah ni kundi moja na kwamba Hezbollah ndiye mhusika mkuu. Mnamo 04/11/2017, Hariri alitangaza kujiuzulu kwake nchini Saudi Arabia na kumwaga hasira zake kwa Hezbollah. Ulibatilisha kujiuzulu kwake huku na kuendelea na serikali, ikiwemo Hezbollah! Ni upi ufafanuzi wa fazaa hii na mgongano huu? Na je, uko muelekeo wa kupunguza ushawishi wa Iran na chama chake? Je, watarajia uvamizi kutoka kwa dola ya Kiyahudi kwa Lebanon au kwa Hezbollah, kwa kupatiliza fursa ya dhurufu zilizoko kwa sasa? Jazakallah. Jibu: Ili kuweka wazi jibu hili, ni muhimu kutaja uhalisia wa uhusiano kati ya familia ya Hariri na Saudi Arabia: Hariri ni mfuasi wa Saudi Arabia. Ikiwa mtawala wa Saudia ni mtiifu kwa Uingereza basi hili pia litatarajiwa kwa Hariri, katika miondoko yake, katika sera zake nchini Lebanon na hali kadhalika ikiwa huyo ni mtiifu kwa Amerika. Kwa msingi huu, twaweza kujibu yafuatayo: 1- Muhula wa aliyekuwa raisi wa Lebanon Michel Suleiman ulimalizika mnamo Mei 2014, na mtawala nchini Saudi Arabia alikuwa Mfalme Abdullah bin Abdul Aziz, na kwa sababu Abdullah alikuwa mtiifu kwa Uingereza na kwa kuwa Hezbollah ilikuwa imejitolea kuhakikisha inamfanya Aoun kuwa raisi, na inajulikana kuwa Hezbollah na Aoun wanapewa usaidizi na Iran kibaraka wa Amerika, Mfalme Abdullah hakukubaliana na chaguo la Aoun kuwa raisi wa Lebanon, na hivyo basi kumuagiza Saad Hariri kupinga ugombezi wa uraisi wa Aoun. Saad Hariri sera yake aliichukua kutoka kwa sera ya Saudia, yaani sera ya Abdullah na hivyo basi nafasi kiti cha uraisi wa Jamhuri ya Lebanon imekuwa wazi kwa muda wa zaidi ya miaka miwili na nusu tangu kumalizika kwa muhula wa Michel Suleiman mnamo Mei 2014 mpaka mchana wa Jumatatu ambapo bunge la Lebanon lilikutana na kuchaguliwa kwa Aoun kama raisi wa Jamhuri hiyo na hayo yalikuwa mnamo 31/10/2016. 2- Kilicho saidia ni mabadiliko ya utawala nchini Saudi Arabia. Mfalme Abdullah alifariki mnamo Januari 23/1/2015, na kakake, Salman, kuchukua uongozi kutoka kwake. Kama ilivyo maarufu, yeye ni kibaraka wa Amerika. Mfalme huyu alianza kwa kuwakata mabawa watoto wa Abdullah ambao ni vibaraka wa Uingereza na waliokuwa wafuasi wake mpaka alivyoweza kuyaimarisha mazingira ya utawala wake. Baada ya mambo kutulia, na kwa sababu Amerika ilitaka kumakinisha hali nchini Lebanon kwa njia ya kivyake yeye kupitia kumchagua Aoun kama raisi wa Jamhuri hiyo, Amerika ilimuagiza Salman kumuagiza Hariri kutopinga hili! Hiyo ndio sababu Saad Hariri alikwenda kwa Aoun na kukubaliana naye na kumteua kama mgombezi wa uraisi wa nchi hiyo. Kwa maana nyengine ni kuwa, upinzani ulioongozwa na Saad Hariri katika enzi za Abdullah umemalizika katika enzi ya Salman! (Raisi Saad Hariri aliwasili kutoka makao yake (Bait Al-Wasat) na kumteua mbunge Michel Aoun kuwa mgombezi wa uraisi wa Jamhuri hiyo mbele ya wanachama wa chama chake, wakiongozwa na Raisi Fuad Siniora na mbunge Bahia Hariri. Kisha akatoa hotuba ambapo alisema: “Kwa msingi wa nukta za makubaliano tulizofikia, natangaza mbele yenu leo uamuzi wangu wa kuunga mkono kuchaguliwa kwa Jenerali Michel Aoun kuwa Raisi wa Jamhuri hii”… Chanzo: An-Nahar 20/10/2016). Baada ya hayo, bunge la nchi hiyo lilikutana mnamo 31/10/2016 na Aoun akachaguliwa Raisi wa Jamhuri…” Uungaji mkono huu wa kiongozi wa chama cha Al-Mustaqbal, Saad Hariri, uliharakisha uchaguzi wa uraisi baada ya kiti hicho kukaa wazi kwa muda wa miaka miwili na miezi mitano tangu kumalizika kwa muhula wa aliyekuwa Raisi wa Lebanon Michel Suleiman mnamo Mei 2014… Chanzo: al-Arabiya 31/10/2017), na hivyo basi ziara ya Aoun nchini Saudi Arabia ilikuwa ni kuonyesha shukrani zake! Kama ilivyo wazi katika maelezo ya juu, Hariri ni mfuasi wa mtawala wa Saudi Arabia, kwa hivyo atapinga au kukubali kile atakacho onyeshwa na mtawala wa Saudi Arabia. 3- Baada ya Trump kuchukua uongozi wa Amerika, alizuru Saudi Arabia mnamo 20/05/2017 na kutoa taarifa kali kuhusu Iran na Hezbollah. Alilenga kutoa taarifa hizo kali kabla ya kongamano la takriban viongozi 50 walegevu wa Waislamu kuziba macho juu ya kadhia ya Waislamu wa Palestina na kuwafanya waangazie juu ya Iran, ambapo ilikuwa ni utangulizi wa kile alichokuwa anakipanga, kuitambua Jerusalem kuwa mji mkuu wa Mayahudi. Ilikuwa wazi katika taarifa hizo katika kukokotezwa ukali wake. Bila shaka, Saudi Arabia na nchi nyenginezo miongoni mwa wafuasi wake zimetabanni muelekeo huu. Na kwa kuwa dori kuu ya Iran katika eneo hilo imetawaliwa na vitendo vya Hezbollah nchini Lebanon na kuingilia kati kwake nchini Syria, Saudi Arabia ilimuagiza Hariri kuwa mpinzani wa Hezbollah na Iran. Hivyo walimuita nchini Saudi Arabia na kumuagiza kujiuzulu huko na kutoa sababu zake kupitia taarifa kali dhidi ya Iran na Hezbollah. Kwa hayo, Hariri aliletwa nchini Saudi Arabia na kutoa taarifa yake kali, na kutangaza kujiuzulu kwake nchini Saudi Arabia mnamo 04/11/2017M. 4- Amerika inafahamu kuwa taarifa zake dhidi ya Iran na Hezbollah hazimaanishi mzozo kati ya Iran na chama chake, bali ni mkokotezo wa kupatiliza fursa ya hofu ya wakaazi wa Ghuba; ndilo lililotakikana kwa Saudi Arabia na Hariri kutuma ujumbe, lakini si kufuata barabara hii mpaka mwisho. Kwa maana nyengine ni kuwa, Amerika haitaki kumaliza uwepo wa chama chake, bali kutuma tu ujumbe uliotathminiwa pasi na kuchochea hali nchini Lebanon. Hii ndio sababu iliiagiza Saudia kuleta utulivu, yaani kumfanya Hariri kupunguza sauti yake. katika tovuti ya An-Nashra mnamo 04/12/2017, ilieleza: “…Mfalme Mtarajiwa wa Saudia, Muhammad bin Salman, hakuchukua hatua isipokuwa baada ya maelekezo kutoka ikulu ya White House, na baada ya ziara ya nne ya mshauri mkuu wa Raisi wa Amerika mkwewe Jared Kushner katika Mashariki ya Kati tangu Raisi Donald Trump kuchukua mamlaka, ziara hii iliwekwa mbali machoni mwa vyombo vya habari. Kushner na ujumbe wake nchini Saudia ulikaa siku nne ikihusisha ziara za mara kwa mara nchini Misri na Jordan na “Israel”. Takriban wiki mbili baada ya kuondoka Kushner, migogoro nchini Lebanon na ukamataji nchini Saudi Arabia ikalipuka. Wakati ambapo migogoro mibaya ya kisiasa ilipo ishambulia Lebanon, dalili ziliibuka kuwa kuna maelewano kati ya ikulu ya White House na Mfalme Mtarajiwa wa Saudia juu ya Lebanon nayo ni kuishinikiza Hezbollah kufanya marekebisho ya ukubwa wa eneo lake baada ukubwa wa eneo lake kuongezaka. Chini ya anwani hii, Mfalme huyo Mtarajiwa wa Saudia alianzisha mashambulizi yake kwa serikali ya Lebanon kupitia Waziri Mkuu wake, Saad Hariri, na hivyo basi kuvuruga makubaliano ya kati na kati yaliyo fanyika kwa kuwasili kwa Jenerali Michel Aoun katika kasri la Baabda. Lakini mbinu ya Saudia ilikuwa ya vurugu iliyokosa hekima ya kidiplomasia, iliyo hatarisha utulivu wa kindani nchini Lebanon. Huku taasisi za Kiamerika zikiendelea kukariri kuwa shinikizo hili linalo lengwa Hezbollah linadhibitiwa na mipaka maalumu ambayo hakuna anayeruhusiwa kuivuka ili kuchunga kuharibika kwa hali nchini humo. Huku mambo yakizorota, taasisi za Kiimerika zilichukua hatua kwa msingi kuwa utulivu wa Lebanon uko katika hatari ya kuporomoka… (Chanzo: Tovuti ya An-Nashra: 04/12/2017) Hivyo basi, Hariri akaanza kulainisha sauti yake kwa maagizo ya Saudi Arabia. Ili kuokoa uso wake, Saudi Arabia ilimpokea Raisi wa Ufaransa na kufanya mazungumzo naye na kukutana na Hariri. Kisha Hariri akasafiri hadi Ufaransa na kisha Misri na kuunda mazingira kana kwamba anawashauri ili kuchukua msimamo unaostahili ingawa mandhari yalionekana wazi nchini Saudi Arabia kabla ya kuondoka kwake, ambayo ni kulainisha sauti yake na kutojiuzulu. Haya ndio yaliyotokea; aliregea nchini Lebanon mnamo 22/11/2017 na kisha kupunguza sauti yake kwa kiwango kikubwa dhidi ya Hezbollah, na kusema kuwa Hezbollah haitumii silaha zake nyumbani, kana kwamba anajidanganya mwenyewe kabla ya kuwadanganya wengine, na kusahau kuwa Hezbollah hutumia silaha zao ndani ya Lebanon zaidi ya mara moja mpaka wakati alipo tangaza kusitisha kujiuzulu kwake na kuitisha mkutano wa baraza la mawaziri chini ya uenyekiti wake mnamo 05/12/2017. Alisema katika taarifa yake (…kwamba hali ya utilivu imeregea baada ya uidhinishaji wa wanachama wote wa serikali wa kujiweka mbali na kadhia za nchi za kiarabu) alisema haya, huku wanamgambo wa Hezbollah wanapigana nchini Syria usiku na mchana! 6- Kwa mukhtasari, Hariri ni mfuasi wa utawala wa Saudi Arabia na sera yake kama mtawala inategemea Saudi Arabia, na utiifu wake unaashiriwa kwa maagizo yake kwake. Hili sio siri, na ni bure kuwapotosha watu kulihusu! Kwa hivyo kutakuwepo na hatua ya kupunguza ushawishi wa Iran na chama chake, na hili lawezekana, lakini linatarajiwa kufanyika baada kufikia suluhusho nchini Syria kwa kiwango kinacho takikana na Amerika, kisha ikiwa dori za Iran na Hezbollah zitakamilika, huenda ikajiondoa nchini Syria na kupunguza dori ya kijeshi ya Iran na chama chake. Kwa taarifa yako, Hezbollah ni tagaa la serikali ya Iran kama alivyo Hariri tagaa kwa serikali ya Saudi Arabia. Hivyo basi, inatarajiwa kuwa ikiwa kadhia ya Syria itamalizika kwa mipangilio maalumu ya kujiondoa kwa Iran, mipangilio maalumu mengine itafuata kwa chama chake nchini Lebanon. Je, kuna uvamizi wowote unaotarajiwa wa dola ya Kiyahudi kwa Lebanon na Hezbollah? Hii itategemea mipangilio ya suluhisho nchini Syria, ambayo inategemea dhurufu zilizoko kwa sasa na dhurufu mpya. 21 Rabii’ Al Awwal 1439 H 9/12/2017 M
2019-02-24T01:00:25
http://hizb.or.ke/sw/2017/12/09/harakati-za-urusi-na-amerika-nchini-syria-hariri-ni-mfuasi-wa-serikali-ya-saudi-arabia/
[ -1 ]
ABBASI KANDORO AFARIKI DUNIA, KUAGWA MSIKITI WA MANYEMA DAR, KUSAFIRISHWA KWENDA IRINGA KWA MAZIKO - SUFIANIMAFOTO Home HABARI JAMII ABBASI KANDORO AFARIKI DUNIA, KUAGWA MSIKITI WA MANYEMA DAR, KUSAFIRISHWA KWENDA IRINGA KWA MAZIKO ABBASI KANDORO AFARIKI DUNIA, KUAGWA MSIKITI WA MANYEMA DAR, KUSAFIRISHWA KWENDA IRINGA KWA MAZIKO Muhidin Sufiani Saturday, April 28, 2018 Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mbeya, Abbas Kandoro, amefariki dunia usiku wa kuamkia jana katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam, Muhimbili alikokuwa amelazwa akipatiwa matibu. Awali kabla ya kulazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili, Kandorro alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa jijini Dodoma. Aidha Kandoro alistaafu kazi akiwa ni Mkuu wa mkoa wa Mbeya kabla ya kumwachia Amos Makalla. Pia aliwahi kushika nafasi ya ukuu wa mikoa katika zaidi ya mikoa sita Tanzania Bara ikiwemo Dar es salaam, Mwanza, Arusha, Singida na Mbeya. Marehemu anaagwa jioni hii katika Msikiti wa Manyema jijini Dar es Salaam, na kusafirishwa kuelekea Iringa kwa ajili ya maziko. MASHAHIDI 15 KUTOA USHAHIDI KESI YA ZITTO - *Na Karama Kenyunko, Blogu ya Jamii. * *UPANDE wa mashtaka katika kesi ya uchochezi inayomkabili, Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto Kabwe umeieleza Mahakama y...
2018-12-13T14:29:28
http://www.sufianimafoto.com/2018/04/abbasi-kandoro-afariki-dunia-kuagwa.html
[ -1 ]
JavaScript / Images and MediajQuery Splitscreen Plugin— Add-On kwa WorldWideScripts.netKujiunga na kulisha wetu kukaa hadi tarehe!Mpya! Kufuata yetu kama unataka!★★★★★Sehemu hii inapatikana katika 37 lugha nyingine!ArabicBengaliCatalan/ValencianDanishDutchEnglishEsperantoFinnishFrenchGermanGreekGujaratiHindiIndonesianItalianJapaneseKannadaKoreanMalayNorwegianPersianPolishPortugueseRomanian/Moldavian/MoldovanRussianSimplified ChineseSpanish/CastilianSwedishTagalogTamilTeluguThaiTraditional ChineseTurkishUkrainianUrduVietnameseKuishi PreviewViwamboAds Kuhusu jQuery Splitscreen jQuery Splitscreen ni ya awali, nguvu, simu na kugusa tayari, ilio Splitscreen Plugin kwa ajili ya Nje. Splitscreen ni ujasiri na njia tofauti kwa ajili ya Nje kuonyesha matangazo picha, kukuza maudhui, au kuwakaribisha mtandao surfers mtandao ukurasa yao. Splitscreen ni ya kipekee, maingiliano, fullscreen, style Billboard, jQuery overlay Plugin kwa njia tatu: Splash, promo, na teaser, na chaguzi kadhaa kwa ajili Plugin customization, kama autoplay kwa mfano. Documentation inafanya kuwa rahisi kwa watengenezaji mtandao kwa tone tu ndani ya ukurasa wa mtandao zilizopo. Tu kuongeza Splitscreen Css na Javascript files na mkuu wa mtandao ukurasa wako na initialize Plugin chini ya mtandao ukurasa wako, kuacha wengine ya mtandao bidhaa ukurasa wako intact na Splitscreen itaonekana! jQuery Splitscreen Quick Highlights Katika Splash mode, Splitscreen inaonekana juu tovuti maudhui yako na ni kufukuzwa kazi (C.) kwa kubonyeza katikati ya ukurasa. Katika Promo mode, Splitscreen inaonekana juu tovuti maudhui yako na vifungo mbili nyuma ya kupasuliwa. Moja leades kifungo desturi url, wakati anakanusha nyingine (anafunga) Splitscreen, kuruhusu mtumiaji kuona ukurasa wa sasa. Katika Teaser mode, Splitscreen inaonekana juu tovuti maudhui yako na hutoa fursa ya kuongeza desturi â € ~teaserâ € ™ html nyuma mgawanyiko, katika hali hii Splitscreen haiwezi kufukuzwa kazi (C.) isipokuwa wewe kuongeza css darasa maalum kwa kipengele katika â € ~teaserâ € ™ html au kutumia ni pamoja na javascript wito kwa karibu Splitscreen programmatically. Cookie kudhibiti: Kuamua kama user tu anaona Splitscreen mara moja au zaidi wakati wa kutembelea tovuti. Auto kucheza: Amua kama Splitscreen moja kwa moja wazi juu ya ukurasa mzigo au katika vipindi. Button kudhibiti: kuchagua font, rangi, ukubwa na alignment ya Splitscreen vifungo SEO yako si walioathirika! Na zaidi! Pia inapatikana kwa WordPress: Info ziada Latest Mwisho (v1.3.1): Version 1.3.1 hadi Splitscreen uzoefu wa vifaa vya mkononi na kugusa. Mwisho (v1.3): Version 1.3 updates Splitscreen kwa kuunganisha yaliyo picha kipengele, kuruhusu kwa ajili ya uwekaji wa yaliyo image / alama katika maeneo 9 tofauti ndani ya Splitscreen. Mwisho (v1.2): Version 1.2 ya Splitscreen ni customization kuboresha hasa kwa ajili ya Promo mode. Font Michezo, Font Family na chaguzi Size walikuwa aliongeza â € ~Promoâ € ™ na â € ~Continueâ € ™ kifungo Configuration Mwisho pia ni pamoja na msaada bora cookie.. DownloadVipengele vingine katika jamii hiiKila sehemu ya mwandishi huyuMaoniMara kwa mara kuulizwa maswali na majibuMaliCreated:25 Julai 11Badiliko la Mwisho:5 Oktoba 13, High AzimioKeywordseCommerce, Items wote, kutangaza, Billboard, fullscreen, maingiliano, jQuery Plugin, kutua ukurasa, simu, overlay, Plugin, promo, Splash ukurasa, mgawanyiko screen, teaser, kipekee
2017-06-26T20:38:35
https://sw.worldwidescripts.net/jquery-splitscreen-plugin-39261
[ -1 ]
FUNDI WA KOMBO: September 2011 ANGALIZO ALILOLITOA WAZIRI MKUU MSTAAFU CLEOPA D. MSUYA KUHUSU HALI YA UMEME NCHINI LIZINGATIWE. Mh. Cleopa David Msuya. Athari ambazo zinaweza kutokea kutokana na Taifa kuendelea kuwa kizani, wananchi wanaotegemea nishati hii kama nyenzo yao ya kujipatia kipato na uhitaji wa Nishati hiyo Mahospitalini, inaweza kutupeleka Watanzania tukaingia kwenye vugu vugu la wananchi kutaka kuitoa Serikali iliyo madarakani kwa njia maarufu inayoitwa 'NGUVU YA UMMA' kama mataifa mengi ya Kiislam yalivyotokea; mfano hai ni Misri. Hayo yalisemwa na Mh. Msuya wakati alipokua kwenye mjadala wa kitaifa kuhusu miundombinu, nishati na madini katika Wiki ya Maonyesho ya Miaka 50 ya Uhuru yaliyoandaliwa na Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TPSF). Upi ? Msimamo wa viongozi wa nchi Afrika kuhusu Libya? Je ? wanamtambua kiongozi halali wa Libya? Vipi ? kiongozi wa waasi Mustafa Abdel-Jalil anatambulika na Viongozi wetu? Wakati viongozi wa nchi mbali mbali wamekutanika mjini New York, kwa ajili ya mkutano wa umoja wa mataifa UN, katika mkusanyiko huo wamo pia viongozi wetu kutoka nchi za kiafrika ambao pia ni wanachama wa umoja wa Afrika AU, ambayo Libya pia ni mwanachama wa AU,lakini utata unakuja nani kiongozi halali wa nchi hiyo Libya? Kanal Gaddaf au Mstafa Abdel-Jalil ambaye nae yupo huko New York. Swali lingine kubwa ambalo wengi wetu tunajiuliza je ?viongozi wa nchi za Afrika wanautambua uhalali wa Mstafa Abdel- Jalil ?kama hawautambui je? watakubali kuwepo ukumbini na kumsikiliza otuba ya kiongozi huyo aleyeingia madarakani kwa njia ya bunduki tena kwa kusaidiwa na NATO? au watakuwepo ukumbini kwa mithali za kiswahili kila moja na lwake? yaani ya Ngoswe muachie Ngoswe! je? fadhila za Kanal Gaddaf na mchango wake katika bara la Afrika ndio zitakua zimesauliwa. Mengi tunajiuliza lakini siye wafrika tunategea sikio uko UN kusikiliza msimamo wa viongozi wetu juu ya kauli ya pamoja kuhusu maslahi ya bara la Afrika. On behalf of the family of Mr. Biseko Magesa Berrien Spring Michigan, I would like to update you on the collection mechanism of contributions towards the Dr. Israel Magesa Memorial Fund. Dr. Israel Magesa will be laid to rest on Monday September 26 in Berrien Springs Michigan. A new checking account has been established at Bank Of America. The Israel Magesa Memorial Fund account details are as follows: Account Name: Biseko Magesa Bank Address: 1803 S. M-139, Benton Harbor MI 49022 Bank Routing No: 072000805 Bank Account No: 375009262891 Or for people who live around Michiana Area you may deposit in any Federal Credit Union near you in account of:- Name of Credit Union: UNITED FEDERAL CREDIT UNION Account #: 0193011 Routing or Transit #: 272484894 You can contribute to the account using of the following options: 1) (i) Account to account transfer if you have a Bank Of America 2(ii) Deposit into the account at a local Bank Of America if you happen to have a Bank of America branch near you. 3) (iii) Wire transfer from your bank account from anywhere in the world. (iv) Mail a check or money order payable to Biseko Magesa to the following address: Biseko Magesa 6543 Deans Hill Rd., For more information or updates, please contact any of the following: 1. Stephen Mndalila 574-344-0134 [email protected] 2. Mendrad Mchopa 269-240-0812 [email protected] You can reach the Magesa's family to comfort them after such a big loss of their loved one by email at [email protected] or by phone at (269) 313-4102 or simply pay them a visit at: Biseko Magesa Family Address: MEMORIAL PROGRAM IS AS FOLLOW Viewing: Sunday september 25, 2011 Allred Funeral Home: Phone: (269) 471-3729 http://www.allredfuneralhome.com Service will take place on : Monday, September 26, 2011 Time: 11:00Am ( viewing) service starts 12:00pm 8454 Kephart Lane http://www.michianafil-am.com Leo tarehe 22 September ! Siku ya Kuzaliwa mwanamapinduzi Abdulrahman Mohamed Babu (RIP) Professor Abdulrahaman Mohamed Babu alikuwa mwanasiasa,mwanamapinduzi msomi,mwandishi,mchumi, na ujamaa kwake ulikuwa ni mfumo wa maisha yake. Tunapowataja na kukumbuka wakongwe wa siasa na wapambanaji waliosimama kidete kuhakikisha kuwa wafrika tunajikomboa kutoka katika makucha ya ukoloni uwe mkongwe au ukoloni mambo leo,jina la marehem Abdulrahman Mohamed Babu (RIP)alitasahulika, ambaye kama angelikuwa hai leo tarehe 22 September ndio siku yake ya kuzaliwa. Historia inatuelezea kuwa mwanamapinduzi marehem Prof. A.M.Babu alizaliwa 22 Sept 1924 huko kisiwani Unguja,Zanzibar, na alifariki dunia 05.08.1996, marehem Prof. A.M.Babu anakumbukwa kwa mengi pamoja na kuwa engineer wa mapinduzi ya visiwani 1964 yalimfanya sultani akimbie na kusahau kiremba kitandani. KASI ZAIDI!! NGUVU ZAIDI!! NA HARI ZAIDI!! TULIAHIDI NA TUMETEKELEZA!! NA NYINGINE; TUMEWEZA! TUMETHUBUTU! TUNASONGA MBEEELEEE!! YA MWISHO NAYO; PIPOOO!!! PAWAAAA!!! Hii ni moja ya Shule ya msingi Bukoba - Kagera 'HIZO ZOTE NDIO KAULI ZA WANASIASA' Wanasiasa watatujia kwa kauli nyingi sana, lakini mwisho wa siku watoto wetu tunaishia kuwapa elimu kwenye mazingira kama haya! ebu muangalie huyo aliye karibu na Mfuko wa plastic, yupo darasani kweli!!! nini anachowaza! Mimi na wewe tutabaki tunahisi tu: Labda hajanywa chai! au anaumwa! La hasha! mazingira hayo yanampelekea kutomsikiliza mwalimu. KAPINGAZ Blog inakwambia "TAFADHALI CHUKUA HATUA, TUWAWEZESHE WATOTO WETU WAPATE ELIMU BORA" Mh. Rais wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa na Dr. Wilbrod Slaa, Katibu Mkuu wa CHADEMA. kumbukumbu zangu kama sijakosea wakiwa kwenye shughuli moja inayohusu CCBRT. Mh Dr. Jakaya Kikwete akikumbatiana na Mh. Profesa Ibrahim Lipumba Mwenyekiti wa Chama cha wananchi - CUF Tanzania Watanzania wenzangu wanasiasa wetu wanapokua wanakuja kutuomba kura, wanakuja na mengi sana kutoka kwenye vinywa vyao, ni vema yale wanayoyasema tuyachukulie kama vile tunawaona wako pamoja wamekaa meza moja wakiwa wanatueleza hayo ya kwao. Hili litatusaidia sana kuwafanya wao wasiweze kutugombanisha sisi mpaka kutupelekea kutokea yale ambayo hatutaki yatokee. KAPINGAZ Blog inakwambia Mtanzania kuwa makini na maneno yao; yatafakari kwanza kabla hujachukua hatua "MJUE SENSEI RUMADHA FUNDI" Wakati tunaelekea katika shangwe za miaka 50 ya Uhuru, tunawaletea makala maalumu ya matunda ya vijana walizozaliwa ndani ya miaka 50 ya uhuru,Tanzania pamoja na kuwa na watalaamu wa fani na taaluma mbali mbali lakini tunao wataalammabingwa wachache sana katika nyanza au fani ambazo ni adimu sana,watalaamu hao mojawapo ni mkufunzi bingwa wa michezo ya KARATE NA YOGA ,Mtanzania Sensei Rumadha Fundi,anayeishi kule Marekani aka nchi ya herufi tatu USA, Darubini yetu imemnasa na kama anavyoelezea: Naitwa Rumadha Fundi, “Sensei Romi”Mvuto wangu katika sanaa ya Karate ulianza wakati nilikuwa mdogo mnamo miaka '70s pale Kariakoo,jiji Dar, lakini asili ya kwetu ni Tabora. Kwa bahati nzuri, jirani yetu pale mtaani(Aggrey/Congo) Dar-es-salaam ambako Sensei Bomani alikuwa anakuja kuwafuata baadhi ya wanafunzi wake enzi hizo. Hapo ndio ulikuwa mwanzo wangu wa kujua hasa kuhusu Goju Ryu Karate. Sensei Rumadha fundi pia at facebook Romi Fundi Happy Birthday Kakamanda ketu ! Ras Makunja wa FFU ! 19.September Leo tarehe 19.September ni siku ya kuzaliwa mwanamuziki,Ebrahim Makunja aka Kamanda Ras Makunja ,mtunzi,mwimbaji na kiongozi wa bendi maarufu "Ngoma Africa band" aka FFU,yenye makao yake nchini Ujerumani. Kamanda Ras Makunja alizaliwa Katikati ya jiji la Dar-es-salaama 19.Septemeber/ mtoto wa kiume wa Bw.Jumanne Saleh Makunja(RIP) na Bi.Moza Hassan Mpili.www.ngoma-africa.com Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mamlaka aliyopewa chini ya Ibara ya 2(2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anaweza kuigawa Jamhuri ya Muungano katika Mikoa, Wilaya na maeneo mengineyo kwa kufuata utaratibu uliowekwa na Sheria au kwa mujibu wa Sheria iliyotungwa na Bunge. Katika kutekeleza Mamlaka hayo, Rais ametoa notisi ya kusudio la kuanzisha Mikoa minne (4) na Wilaya kumi na tisa (19). Notisi hizo ambazo zimetolewa chini ya kifungu cha 4 cha Sheria ya Uanzishaji wa Mikoa na Wilaya Sura 397 ya Toleo la 2002 ni Tangazo la Serikali Na. 285 la tarehe 9 Septemba, 2011 kwa ajili ya uanzishaji wa Mikoa na Tangazo la Serikali Na. 287 la tarehe 9 Septemba, 2011 kwa ajili ya uanzishaji wa Wilaya. Madhumuni ya Notisi hizi ni kuzialika Taasisi na mtu mwingine yeyote ambaye ataathirika na uanzishaji huo kutoa maoni, mapendekezo au pingamizi iwapo yatakuwepo katika kipindi cha siku 21 kwa Mikoa mipya na siku 30 kwa Wilaya mpya kuanzia tarehe ya Notisi hizi. Baada ya muda uliowekwa kupita, Rais atachambua maoni, mapendekezo na pingamizi zilizotolewa na kuzitolea uamuzi kabla ya kuanzisha rasmi Mikoa na Wilaya hizo kwa kadri atakavyoona inafaa. Mikoa mipya inayoanzishwa na Makao Makuu yake ni kama ifuatavyo: - Wilaya mpya zinazoanzishwa na Makao Makuu yake ni kama ifuatavyo: - 9 Septemba, 2011
2018-01-19T21:06:22
http://fundirkombo.blogspot.com/2011/09/
[ -1 ]
‘Wanaume teleza’ waundiwa mkakati Kigoma, wazee wahusishwa - Mwananchi Martin Ottieno Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Emmanuel Maganga amewaomba wazee wanaoishi katika manispaa ya Kigoma Ujiji kushirikiana na jamii kuwataja ‘wanaume teleza’ ambao hujipaka oil na kuwabaka wanawake kwa maelezo kuwa wanaishi katika nyumba zao Kigoma. Si jambo geni kusikia habari za wanaume wanaojipaka oil chafu maarufu ‘wanaume teleza’ kisha kuwabaka wanawake mkoani Kigoma. Jana jioni Ijumaa Mei 24, 2019 mkuu wa Mkoa huo, Emmanuel Maganga amewaomba wazee wanaoishi katika manispaa ya Kigoma Ujiji kushirikiana na jamii kuwataja wanaume hao kwa maelezo kuwa wanaishi katika nyumba zao. Alitoa kauli hiyo katika futari aliyoiandaa nyumbani kwake na kuwaalika wakazi wa Kigoma, wakiwemo wazee. Amebainisha kuwa jamii ikitoa ushirikiano vijana hao watakamatwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria na wakikutwa na hatia wataishia gerezani. Amewataka wakazi wa Kigoma kuacha uoga kwa kuficha taarifa kuhusu unyama unaofanywa na vijana hao. Diwani wa Mwanga Kusini, Musa Maulidi aliiambia Mwananchi kuwa ikiwa jamii itakuwa tayari kutoa taarifa Polisi tatizo la ‘wanaume teleza’ litakwisha na watu kuishi kwa amani. Kauli ya polisi Kigoma kuhusu wabakaji wa ‘teleza’ Vitendo mbalimbali vinavyofanywa na ‘wanaume teleza’ mkoani humo vimezungumzwa mara kadhaa na Mei 20, 2019 bungeni jijini Dodoma mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe alitoa maelezo kuhusu vitendo vinavyofanywa na kundi hilo ikiwa ni pamoja na kubaka, kujeruhi na kuiba. Zitto alisema shirika lisilo la kiserikali la Tamasha, wamekusanya matukio ya wanaume teleza na kubaini matukio kama 43. Alichokisema Lugola kuhusu teleza Akijibu hoja ya Zitto bungeni, Waziri wa Mambo ya Ndani Kangi Lugola alisema ubakaji ni kosa la jinai na linaadhibiwa kisheria na kwamba vitendo hivi vya makosa ya aina hii vimekuwa vikitokea si Kigoma tu hata maeneo mengine na vimekuwa vikidhibitiwa. “Vitendo hivi vimeendelea kudhibitiwa na nilipopata taarifa kutoka kwa Zitto na mkurugenzi wa Twaweza, Aidan Eyakuze. Lakini jambo hilo si kubwa kwa kiasi hicho, kama anavyosema Zitto, tukiangalia taarifa katika vitabu vyetu pale Kigoma, hakuna taarifa zilizoripotiwa mpaka leo,” amesema waziri huyo ambaye pia ni mbunge wa Mwibara (CCM). Amesema katika kipindi cha mwaka mmoja, hakuna tukio lolote lililohusisha mwanamke kubakwa isipokuwa yapo matukio matatu ya kubakwa yanayohusisha wanawake kujeruhiwa katika nyumba zao. Wakati wote huo, Zitto alikuwa akisimama mara kwa mara kutaka kuzungumza lakini Mwenyekiti wa Bunge, Najma Giga alimzuia akimtaka kusubiri waziri amalize kisha atampa nafasi ya kuzungumza.
2019-11-13T18:36:34
https://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/1597296-5131224-qtco2az/index.html
[ -1 ]
Mbunge Aibua Sakata la Vifo vya Mtikila na Chacha wangwe Bungeni. - Imekaaje Imekaaje Habari Mbunge Aibua Sakata la Vifo vya Mtikila na Chacha wangwe Bungeni. 10:23:00 AM Habari
2019-07-17T17:16:59
https://www.imekaaje.com/2018/05/mbunge-aibua-sakata-la-vifo-vya-mtikila.html
[ -1 ]
Contributions by Hon. Oran Manase Njeza (33 total) MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Naibu Spika, napenda kutoa pongezi kwa Rais Dkt. John Magufuli pamoja na timu yake ya Mawaziri kwa kuleta matumaini ya Watanzania:- Utumbuaji Majipu; Kuondoa wafanyakazi hewa; Kuondoa wafanyakazi wazembe; Kuondokana na uchumi tegemezi; Kuondokana na mikopo; na Kuweka mazingira ya kuongeza FDI. Mheshimiwa Naibu Spika, Hotuba ya Mpango wa Pili wa Maendeleo. Natoa pongezi kwa Rais Dkt. John Magufuli kwa:- Utumbuaji majipu; Kuondokana na uchumi tegemezi, FDI vs Misaada; Uchumi wa viwanda; Kuboresha elimu; na Kuboresha kilimo. Mheshimiwa Naibu Spika, katika huduma za Fedha:- Mitaji ya benki za TIB na TADB 212 bilioni na 60 bilioni; Jinsi ya kunufaisha wakulima na wajasiriamali wadogo; Riba haziko rafiki na wakopeshe wadogo (Wajasiriamali na Wakulima); Matumizi ya Mobile Money – M Pesa; Payment system inahama kutoka ma-bank kwenda kwenye mitandao ya simu; usimamizi/ulinzi/protection; na TR na usimamizi wa mashirika. Mheshimiwa Naibu Spika, katika kilimo (3.4%):- Napongeza Mpango wa Serikali wa kutoa milioni 50 kwa kila Kijiji/Mtaa; Elimu ya kilimo na ujasiriamali; Mapinduzi katika kilimo; Kuongeza thamani ya mazao ya kilimo; Msisitizo wa viwanda vidogovidogo vijijini; na Msisitizo uwe kuongeza na kuboresha uzalishaji wa kilimo; US$ against TZS – itakuwa imara tukiongeza uzalishaji na kupunguza imports. Mheshimiwa Naibu Spika, kuhusu Barabara/Reli/Miundombinu Vijijini:- Barabara za Vijijini ziboreshwe kusaidia usafirishaji wa mazao; Kuboresha Reli ya TAZARA; Barabara za kupunguza msongamano; Barabara ya Tanzania – Zambia kupita katikati ya miji yetu mikubwa kama Jiji la Mbeya, hatari ya ajali/msongamano; Barabara za kuunganisha mikoa; Isyonje (Mbeya) Kikondo – Kitulo - Makete – Njomb; na Mbalizi – Galula, Mbalizi – Ilembo – Ileje. Mheshimiwa Naibu Spika, kuhusu maji:- Changamoto za maji vijijini; Maji/afya ya wananchi na gharama ya tiba; na Miradi ya maji Kata ya Mjele, Mji Mdogo wa Mbalizi. Mheshimiwa Naibu Spika, katika elimu, mitaala ya elimu iendane na mipango yetu; ujasiriamali wa kilimo. Mheshimiwa Naibu Spika, Nishati na Madini:- Vyanzo vya umeme; jua, maji, upepo na gesi; Madini ya Songwe; na Umiliki wa wananchi MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Naibu Spika, naomba nichukue nafasi hii kumpongeza Rais, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli na timu yake mahiri ya Mawaziri kwa kazi nzuri wanayofanya na hasa ya kutumbua majipu na kuinua uchumi wa nchi yetu ya Tanzania. Mheshimiwa Naibu Spika, kuondoa umaskini kupitia TASAF; pamoja na mafanikio makubwa yatokanayo na mpango wa kunusuru kaya maskini, TASAF, kuna changamoto nyingi ambazo zinatakiwa kushughulikiwa. Mheshimiwa Naibu Spika, natoa rai kwa Serikali kuhakikisha changamoto mbalimbali zinazotokana na utekelezaji zinatatuliwa ili kuhakikisha fedha hizi zinakidhi malengo. Serikali ihakikishe TASAF imetimiza malengo ya kuondoa umaskini. Napendekeza mpango huu wa TASAF uboreshwe hasa usimamizi wa kutambua kaya maskini. Pia napendekeza hasa katika maeneo ya vijijini fedha ya TASAF itumike kuboresha huduma za kijamii ili hiyo pesa kidogo ifanye kazi pana zaidi. Mheshimiwa Naibu Spika, kuhusu Utawala Bora; pamoja na muundo mzuri wa Serikali na taasisi zake, kuna changamoto ya nafasi nyingi za Uongozi kuwa na Makaimu kwa muda mrefu. Pia kuna Mashirika mengi ya Umma yanaendeshwa bila Bodi za Wakurugenzi kwa kipindi kirefu. Hii inapelekea Idara na Mashirika hayo kutoendeshwa vizuri. Mheshimiwa Naibu Spika, natoa rai kwa Serikali kuboresha uteuzi wa Bodi za Wakurugenzi, kuzingatia taaluma na uwezo badala ya uwakilishi wa Idara za Serikali. Msajili wa Hazina (TR) ahusike kikamilifu katika zoezi la kuteua Wakurugenzi wa Bodi. Pia Serikali izingatie uwezo na taaluma katika kuteua Wakuu wa Idara wakiwemo Wakurugenzi wa Halmashauri na Viongozi wengine. Mheshimiwa Naibu Spika, natoa rai kwa Serikali kutowavumilia Viongozi na Watumishi wenye tuhuma za ubadhirifu na uadilifu wa mashaka, badala ya kuwahamisha au kubadilisha kituo waondolewe kwenye Utumishi wa Serikali na Taasisi zake. MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Mwenyekiti, napenda kumpongeza Waziri na Naibu wake pamoja na timu nzima ya Wizara kwa kazi nzuri na hotuba nzuri ya bajeti. Mheshimiwa Mwenyekiti, dunia ya leo ni kama kijiji, hivyo suala la elimu ni muhimu sana kuliko wakati wote uliopita. Tulizoea kulinganisha ubora wa bidhaa (product competitions) kwa brand „nation brand‟ Elimu bora ni muhimu sana kwa nchi yetu kuwa na nation competitive advantage. Mheshimiwa Mwenyekiti, napendekeza mindombinu na mitaala ya elimu iboreshwe kulingana na dunia ya leo. Napendekeza elimu kwa vitendo ianze toka shule za msingi elimu ya vitendo ijikite kwenye kilimo ufundi, ujasiriamali na TEHAMA. Mheshimiwa Mwenyekiti, nchi za Mashariki ya Mbali, (tiger countries) zimefanikiwa sana kwenye uchumi wao kutokana na elimu bora ikiwa na nafasi kubwa katika orodha ya sababu za hayo mafanikio yao. Pamoja na muundo wa elimu ya nchi yetu napendekeza Wizara iweke mikakati ya kuboresha miundombinu na maslahi ya Walimu. Tunapoenda kwenye uchumi wa kati elimu ni muhimu sana hasa elimu inayowatayarisha vijana kujitegemea. MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Naibu Spika, nashukuru sana. Nami napenda kumpongeza Waziri wa Kilimo na Naibu wake na timu nzima ya Wizara ya Kilimo kwa kazi kubwa wanayoifanya na kukabiliana na changamoto zilizopo. Mheshimiwa Naibu Spika, kwa kweli kama walivyosema wenzangu, hii Bajeti ya Kilimo haijakaa vizuri. Asilimia 0.9 ya bajeti nzima ya Serikali kuipeleka kwenye kilimo, nafikiri hatuitendei haki Sekta hii ya Kilimo. Niliangalia vizuri sana Bajeti ya Mheshimiwa Waziri Mkuu ambayo ilikuwa na mabadiliko makubwa sana. Aliibadilisha kutoka asilimia 15 ya maendeleo mpaka asilimia 70 ya maendeleo. Sasa tulitegemea mabadiliko kama hayo yangekuwepo vilevile kwenye sekta hii muhimu ya kilimo. Mheshimiwa Naibu Spika, suala la uzalishaji na tija ya kilimo linasababishwa sana na ufinyu wa bajeti ya kilimo. Ukiangalia, kama sisi tunaotoka kwenye maeneo ambayo ni ya kilimo, kwenye Wilaya ya Mbeya tunalima karibu mazao yote ya biashara na mazao ya chakula. Kabla ya mwaka 2010, Wilaya ya Mbeya ilikuwa ni mojawapo ya wazalishaji wakubwa sana wa pareto Tanzania na Afrika, lakini kwa leo hii zao hilo limeporomoka sana. Sababu kubwa ya kuporomoka kwa zao hilo ambalo lina soko zuri sana duniani ni ufuatiliaji na ubora na usimamizi mbovu. Mheshimiwa Naibu Spika, soko halina uhakika kabisa! Watu waliopewa majukumu ya kulisimamia Soko la Pareto leo hii wameweza kuweka mnunuzi mmoja wa pareto na huyo mnunuzi ambaye ni mwekezaji ndio ana Kiwanda cha Pareto. Unategemea mkulima atafaidika namna gani kwa monopoly ya namna hii? Mheshimiwa Naibu Spika, pareto ilipokuwa na wanunuzi wengi, wakulima walipata sh. 2,400/= kwa kilo. Leo hii wakulima wanapata sh. 1,500/=. Bei ya huko kwa wenzetu nchi nyingine ni sh. 4,000/= kwa kilo. Sasa unategemea maajabu gani kuitoa nchi hii katika huu umaskini wakati umaskini unazalishwa na sisi wenyewe? Angalia hiyo tofauti ya sh. 1,500/= na sh. 4,000/=. Ukiweza kuibadilisha tu hiyo, ni kwamba uchumi wetu utakuwa umebadilika kwa zaidi ya asilimia 200. Mheshimiwa Naibu Spika, nami namwomba Waziri na nashukuru alikuwa amelifanyia kazi suala hili, lakini inavyoelekea kuna matatizo kwenye Bodi ya Pareto. Uliagiza kuwa wakutanishwe wanunuzi wadogo na yule mwekezaji (PST) pamoja na wakulima, lakini mpaka leo, licha ya kwamba Waziri Mkuu vilevile alisimamia suala hilo, hawajakutana na hawataki kuwakutanisha hawa watu. Mheshimiwa Naibu Spika, sasa kama tuna bodi tunazozisimamia, hazipokei maagizo kutoka juu, tunategemea nini? Nafikiri Mheshimiwa Waziri inabidi uangalie ni namna gani utalishughulikia hili suala. Hali hii inakatisha tamaa wakulima, nami mwenyewe kama ni mkulima, nasikitika kuona wakulima wa Mbeya wanapata sh. 1,500/= na soko huko nje wanapata sh. 4,000/=, kisa ni utendaji mbovu wa Bodi ya Pareto. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, ukiangalia huu uzalishaji wetu, tulikuwa tunaongoza duniani; nchi zetu hizi tatu za Afrika Mashariki ikiwemo Kenya, Rwanda na Tanzania. Tulikuwa tunazalisha zaidi ya asilimia 70 ya pareto inayozalishwa duniani. Leo hii baada ya haya matatizo, kisiwa kidogo cha Tasmania huko Australia ndiyo kinazalisha zaidi ya asilimia 70 ya pareto na wenzetu kule wanapata zaidi ya sh. 4,000/= kwa kilo. Mheshimiwa Naibu Spika, nafikiri tuanze kuangalia ni namna gani tunasimamia sera zetu na strategic objectives tulizonazo ili tukishazitatua hizo, nafikiri badala ya kuongeza maeneo ya kilimo, tuangalie ni namna gani haya maeneo yetu tuliyonayo sasa hivi yatatoa mazao yetu ya kilimo kwa tija zaidi na kabla ya kuongeza maeneo ya kilimo. MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Naibu Spika, ukiangalia kule kwangu, Wilaya ya Mbeya… NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Njeza muda wako tayari! MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Naibu Spika, naunga mkono hoja kwa asilimia mia moja. Ahsante. MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Mwenyekiti, napenda kumpongeza Waziri, kwa hotuba nzuri ambayo inalenga Tanzania kuwa nchi ya viwanda. Mheshimiwa Mwenyekiti, umuhimu wa sekta ya viwanda na biashara kwa maendeleo ya kiuchumi ya nchi na watu wake unahitaji mtazamo tofauti. Nchi za Tiger (Tiger nations) zimeendelea kiuchumi ukilinganisha na Tanzania kwa sababu ya viwanda. Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kiasi kikubwa sekta hii inaleta ufunguo wa sekta nyingine hasa kilimo. Serikali iweke mkazo kwenye viwanda vidogo vidogo vya kuongeza thamani za mazao ya kilimo. Kutokana na kazi nzuri ya REA, napendekeza kuangalia uwekezaji mdogo mdogo wa viwanda vijijini ili kuongeza thamani ya mazao yetu na pia kuongeza ajira kwa vijana. Mheshimiwa Mwenyekiti, tatizo kubwa la mitaji linaweza kutatuliwa na benki mpya ya kilimo (TADB). Napendekeza milioni 50 kwa kila kijiji, zipelekwe TADB, kwa kusimamia hizo pesa ambazo ni mfuko wa kuzunguka (Revolving Fund) kwa kila kijiji. Hii itawezesha TADB kutoa huduma moja kwa moja kwa wakulima ikiwa ni pamoja na kuiongezea mtaji. Mheshimiwa Mwenyekiti, ili kufanikisha ufanisi wa viwanda na biashara ndogo ndogo, ni muhimu kutoa elimu za muda mfupi kwa vijana na hasa wa vijijini, ili ujasiriamali uwe na tija na mafanikio makubwa. Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na umuhimu wa kufufua viwanda vyetu, zoezi hilo liendeshwe kwa uangalifu mkubwa kutokana na kubadilika kwa teknolojia na ushindani mkubwa. Mheshimiwa Mwenyekiti, katika Halmashauri ya Mbeya, imetenga eneo mahsusi katika kijiji cha Mjele kwa ajili ya Kiwanda cha Nyama na bidhaa zingine zitokanazo na mifugo. Hilo eneo ni mbadala wa eneo lililokuwa la Tanganyika Packers ambalo kwa sasa limezungukwa na makazi ya watu (Mji mdogo wa Mbalizi). MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Naibu Spika, napenda kumpongeza Waziri na Naibu Waziri kwa hotuba nzuri na kazi kubwa wanayoifanya. Sekta ya Kilimo inatoa mchango mkubwa kwa sekta nyingine hasa viwanda, fedha, usafirishaji na biashara. Mheshimiwa Naibu Spika, pamoja na umuhimu wa kilimo, hakijapewa kipaumbele inavyostahili. Uzalishaji kwa eneo ni mdogo na tija ni ndogo; miundombinu ya barabara vijijini ni mibovu, mfumo wa masoko ni duni na uwezo wa kupata fedha toka vyombo vya fedha ni mdogo; vile vile Sekta ya Kilimo hupewa chini sana asilimia 0.9 badala ya asilimia 10 kama ilivyo kwenye Azimio la Maputo na changamoto za upatikanaji wa pembejeo bora. Mheshimiwa Spika, uzalishaji wa pareto unaporomoka sana na hata kwa huo uzalishaji mdogo, bei kwa wakulima ni ndogo sana ukilinganisha na msimu wa mwaka 2013/2014. Sababu kubwa za kuporomoka uzalishaji na bei:- (1) Mnunuzi ambaye ndiye mwekezaji ni mmoja na wanunuzi wadogo wazalendo wamefungiwa kununua kwa kuwekewa masharti magumu sana; 2) Ukosefu wa wataalam kusimamia zao hili hupelekea ubora wa pareto yetu koporomoka sana; (3) Kutokana na monopoly ya mnunuzi, bei imeporomoka kutoka sh. 2,400/= kwa kilo mwaka 2014 mpaka sh. 1,400/= kwa kilo mwaka 2015; (4) Mwaka 2010 Tanzania na nchi nyingine za Afrika Mashariki zilikuwa zinazalisha asilimia zaidi ya 70 ya mahitaji ya dunia. Leo hii Kisiwa kidogo cha Tasmania (Australia) ndiyo kinaongoza kwa kuzalisha asilimia zaidi ya 65 wakati bei ya pareto kwa mkulima Tanzania ni sh. 1,500/= kwa kilo. Wakulima wa nchi nyingine ni zaidi ya sh. 4,000/= kwa kilo. Naomba Waziri uagize Bodi ya Pareto iwakutanishe wanunuzi wadogo, wawakilishi wa wakulima na bodi ili kupanga utaratibu mzuri wa ununuzi wa pareto; na (5) Pia Serikali iweke mazingira ya kujenga Kiwanda cha Pareto Mbeya. Mheshimiwa Naibu Spika, changamoto kubwa ya zao la kahawa ni uzalishaji duni na usimamizi mbovu wa Soko la Kahawa. Ni lini Commodity Exchange Market itaanza kufanya kazi? Mheshimiwa Naibu Spika, bei ya kahawa (Arabica) kwa wenzetu Kenya wenye Nairobi Coffee Exchange ni zaidi ya sh. 8,000/= kwa kilo wakati kwenye soko la TCB Moshi ni chini ya sh. 4,000/= kwa kilo. Kwa nini mkulima wa Tanzania anaibiwa kiasi hicho? Wanunuzi ni wale wale! Mheshimiwa Naibu Spika, Benki ya TADB ina umuhimu mkubwa sana kwenye Sekta hii muhimu. Mtaji wa shilingi milioni 60 ni mdogo sana. Serikali kama ilivyoahidi, iongeze mtaji wa Benki hii ili iweze kukidhi mahitaji makubwa ya wakulima na wajasiriamali wa kilimo. Mheshimiwa Naibu Spika, napongeza sana mpango wa Serikali wa shilingi milioni 50 kwa kijiji. Kiasi hiki cha pesa zikisimamiwa vizuri zinaweza kubadilisha kwa kiasi kikubwa tija na uzalishaji wa kilimo. Napendekeza hizi shilingi milioni 50 zilizotengwa kwa kila kijiji zisimamiwe kwa ukaribu na TADB. Mheshimiwa Naibu Spika, kuhusu mafunzo ya wakulima na Maafisa Ugani:- Serikali iongeze idadi ya Maafisa Ugani vijijini; Vijana wapewe elimu ya ujasiriamali wa kilimo; na Vyuo vyetu na hasa Vyuo vya Utafiti vitumike kupima udongo ili tuweze kutumia pembejeo sahihi. MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Mwenyekiti, napenda kumpongeza Mheshimiwa Waziri, Mheshimiwa Naibu Waziri na timu nzima ya Wizara kwa hotuba nzuri ya bajeti. Mheshimiwa Mwenyekiti, dunia ya leo uhusiano wa Mataifa ni sehemu ya kukuza uchumi na pia ni kipimo cha Nation Brand. Tanzania ina sifa kubwa na heshima kwa nchi nyingi duniani kutokana na utamaduni, amani, demokrasia na hata historia ya kuwa mstari wa mbele katika ukombozi wa Afrika. Economic diplomacy inaenda pamoja na branding ya nchi yetu kwa kuhakikisha tunaimarisha Nation Brand ya Tanzania. Hii ni pamoja na kuhakikisha Balozi zetu zinaendelea kuitangaza Tanzania na kuangalia ni jinsi gani nchi yetu inakuwa na competitive advantage na nchi jirani na Bara zima la Afrika. Mheshimiwa Mwenyekiti, napendekeza Wizara iendelee kuangalia namna ya kuimarisha diaspora katika kuchangia uchumi wa Tanzania. Nchi zinazoendelea zilizo nyingi zinategemea sana fedha ya kigeni kutokana na diaspora. Tunapoangalia ushiriki wa diaspora katika uchumi wetu, napendekeza Wizara iweke utaratibu wa vijana wetu kupanua ajira ya nchi za nje. Kutokana na changamoto za ajira ni bora pia kuangalia soko la ajira la nchi za nje. Mheshimiwa Mwenyekiti, kulikuwa na maneno ya mpaka wa Ziwa Nyasa kati ya Tanzania na Malawi. Napendekeza Mheshimiwa Waziri aliambie Bunge huu mgogoro wa mpaka kama upo umefikia wapi? Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa muda mrefu sasa nchi jirani imetumia fursa tulizonazo hapa nchini kuzitangaza kuwa zipo kwao. Napendekeza Wizara ichukue hatua mahsusi kukomesha tabia hii. Pia ni wakati muafaka kwa Wizara kuangalia fursa za kibiashara hasa kwa nchi mpya kama Sudan ya Kusini. MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante sana kwa kupata nafasi hii ili niweze kuchangia hii Wizara muhimu ya Ardhi. Napenda kwanza kuanza kwa kumpongeza Mheshimiwa Waziri na timu yake kwa kazi nzuri waliyoifanya na pia, kwa kuangalia hata orodha ya migogoro ambayo ametupa, inaonesha ni namna gani amejikita kuhakikisha kuwa, matatizo yote ya ardhi atayatatua. Mheshimiwa Mwenyekiti, katika hii orodha ambayo ametupa leo, katika Wilaya ya Mbeya kuna mgogoro wa muda mrefu sana kati ya Kijiji cha Kikondo na Hifadhi ya TANAPA. Waziri alitoa maelekezo kuwa wakae, ili waweze kuitatua na Serikali ya Wilaya walikaa pamoja na hifadhi kwa ajili ya kulitatua hilo tatizo, lakini tatizo linaelekea ni kwa hawa TANAPA, wamekataa kuwalipa wananchi! Wanapiga danadana! Namwomba Mheshimiwa Waziri, ajaribu kuongea na Waziri mwenzake wa Maliasili ili walitatue hili tatizo! Wananchi wako tayari kuwaachia TANAPA eneo hilo kwa ajili ya hifadhi. Mheshimiwa Mwenyekiti, wananchi wenyewe sasa hivi wanasema kabla ya bajeti hii kwisha waambiwe watapata fidia au hawatapata fidia ili waweze kuendelea na shughuli zao za kilimo! Kwa hiyo, naomba Mheshimiwa Waziri aje na hilo na kama haiwezekani kupata fidia, ile ardhi ni mali kwetu tunahitaji kwa ajili ya kuendeleza kilimo. Kwa hiyo, namwomba Mheshimiwa Waziri aliangalie hilo kwa umuhimu mkubwa. Mheshimiwa Mwenyekiti, tatizo lingine ni kwenye mgogoro wa Wilaya ya Mbozi na Wilaya ya Mbeya kwenye Kitongoji cha Mtakuja kilichopo Kijiji cha Mjele. Hili ni tatizo la muda mrefu, naomba sana Mheshimiwa Waziri, hujaorodhesha kwenye hii orodha yako na kuna matatizo ambayo ni makubwa! Vilevile kuna hifadhi ambayo haieleweki kama ni hifadhi! Kwa vile wananchi walivamiwa pale, ng’ombe wao wakachukuliwa, nyumba zao zikachomwa moto na mpaka leo hatuelewi nini kinachoendelea! Mheshimiwa Mwenyekiti, hili tatizo waliolishughulikia ni Wilaya nyingine, Serikali ya Wilaya ya Mbozi badala ya Wilaya ya Mbeya! Hilo ni tatizo kubwa. Kitongoji kizima wananchi walishachomewa nyumba! Ng’ombe wao hawajarudishiwa mpaka leo! Naomba Wizara iangalie, hilo ni tatizo kubwa linavuruga sana Wizara, inaonekana kama nayo ni sehemu ya migogoro. Mheshimiwa Mwenyekiti, lingine ni suala la Mipango Miji. Kama Mheshimiwa Waziri alivyoelezea kwenye Kitabu chake cha Hotuba, ameelezea vizuri sana ni mipango gani ambayo wanayo kuhakikisha kuwa wanaendeleza mipango miji na vijijini. Kuna suala la miji midogo, naomba liangaliwe sana liwekwe msisitizo kwa vile hii ndiyo Wizara Mama ya kuangalia hayo masuala. Mheshimiwa Mwenyekiti, kuna upungufu sasa hivi wa ardhi, Mji Mdogo wa Mbalizi umepanuka kiasi kikubwa mno kutoka wananchi chini ya 10,000 sasa hivi ni zaidi ya 100,000. Sehemu hata ya kujenga shule, huduma mbalimbali hakuna! Vituo vya Huduma za afya hatuna, lakini kuna eneo kubwa karibu hekta 2,000 ambayo ilikuwa ni eneo la Tanganyika Packers. Naomba hilo nalo Mheshimiwa Waziri alitatue haraka. Uzuri wake katika Sheria alizotupa leo nimeangalia katika Sheria ya mwaka 2007, hili shamba halitakiwi likae mjini. Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa upande wa Halmashauri ya Mbeya wametenga eneo lingine mahususi kwa ajili ya kunenepeshea ng’ombe. Tunaomba hili eneo ipewe Halmashauri ya Mbeya ili waliendeleze na waweze kuwalipa wale wananchi ambao walikuwa hawajalipwa malipo yao ya fidia. Hili liwe la haraka, hili ni eneo muhimu kwa vile ndiyo linapakana na kiwanja chetu cha Songwe. Kwa usalama nafikiri ni eneo ambalo linahitaji liboreshwe, ili na mazingira vilevile ya kiwanja cha Songwe ambacho ni International Airport kiwe kimezungukwa na eneo ambalo linaleta sura nzuri ya nchi yetu. Mheshimiwa Mwenyekiti, lingine ni suala la TAZARA; kama alivyosema mwenzangu ambaye hakumalizia, tuna tatizo la Sheria zetu ambazo wananchi hawaelimishwi. Mheshimiwa Waziri, TAZARA ilikuwa na hifadhi ya mita 30 kila upande, sasa hivi zimeongezwa 20 kila upande! Wananchi hawakuelimishwa! Wananchi hawajapewa fidia! TAZARA yenyewe iko hoi! Badala ya kufanya shughuli za usafirishaji wanafanya shughuli za kuonesha kwamba, wanawatishia wananchi kubomoa nyumba zao! Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba kabla haya masuala ya kubomoa nyumba kutekelezwa wananchi kwanza waweze kupata fidia zao. Elimu kwanza itolewe, hii kusema ignorance of law is not defence! Kwa sisi wananchi wetu zaidi ya 80% wanaishi vijijini, unategemea hizi Sheria wataziona wapi? Hizi Sheria zimefichwa na sijui zimefichwa wapi? Siku ya kubomolewa ndiyo unaambiwa kuna Sheria ya mita 30. Naomba hilo liangaliwe na hatua zichukuliwe; kwanza ya kuwashughulikia watu wa TAZARA na hawa wananchi wapate fidia zao. Hayo maeneo ni ya Mji Mdogo wa Mbalizi na Kata ya Inyala, naomba hilo lishughulikiwe haraka iwezekanavyo. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, suala lingine ni suala la mortgage finance. Hizi mortgage finance kwa sisi watu wa vijijini zitatufikia namna gani? Sisi asilimia 80 ya Watanzania tutapata vipi hii mikopo? Au nchi hii ni kwa ajili ya watu wachache wanaoishi mijini? Hatuoni hata siku moja tukaelimishwa kuwa kuna mikopo! Naomba Mheshimiwa Waziri aliangalie hilo. Mheshimiwa Mwenyekiti, nimalizie kwa kuwapongeza National Housing Corporation, wanafanya kazi nzuri, ina management nzuri, ni mfano wa Watanzania ambao wanaweza ku-transform Shirika la Umma likafanya vizuri. (Makofi) MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Naibu Spika, nashukuru sana. Nami niendeleze pale wenzangu walipokuwa wanakupongeza na pia kukupa moyo na kukuhakikishia hiyo kazi yako kila mmoja ameridhika kuwa ni nzuri, unafanya kazi vizuri, uendelee na moyo huo huo na uendelee na uzi huo huo na wengi tuna imani ya kwamba hiyo kazi kwako ni Mwenyezi Mungu amekupatia. Bunge hili ndilo lililokuweka wewe hapo siyo mtu mwingine na unafanya kazi vizuri sana. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya kusema hilo, napenda nimpongeze Waziri, Naibu Waziri na timu yake. Naye niendeleze kumtia moyo kwa kusema mtoza kodi hasifiwi hata siku moja. Kwa hiyo, awe na moyo huo kuangalia kwamba chochote atakachokifanya hata mimi mwenyewe unaponitoza kodi sitakufurahia. Mheshimiwa Waziri anafanya kazi vizuri, Wizara yake inafanya kazi vizuri sana. Mheshimiwa Naibu Spika, kwa kuanza labda ningenukuu hitimisho la hotuba ya Waziri kidogo tu, ukurasa wa 93 anasema:- “Mheshimiwa Spika, wananchi wetu wengi wamechoka na adha ya umaskini: Watanzania wanataka kipato cha kuweza kukidhi mahitaji yao ya msingi. Wananchi wanataka huduma bora zaidi hususan upatikanaji wa maji, elimu, afya, umeme na makazi”. Mheshimiwa Naibu Spika, nafikiri hili ni hitimisho zito sana na kwamba Waziri imani yake ni hiyo, anatambua kuwa Watanzania tupo katika dimbwi la umaskini. Asilimia 75 ya Watanzania tunaishi vijijini, ni wakulima lakini ajaribu kuangalia na hilo hitimisho lake ametuangalia vipi sisi wananchi wa vijijini na hasa wakulima. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, pia katika ukurasa wa 95 amesema kuwa:- “Misaada pia inaweza kuchochea rushwa na kuzorotesha jitihada za ndani hususan za ukusanyaji wa mapato”. Mheshimiwa Naibu Spika, pia amemnukuu mwanazuoni anaitwa Sebastian Edward ambaye naye alikiri kwamba Tanzania hii misaada nayo imesababisha kuharibu uchumi wetu na haikutusaidia, nami nakubaliana naye. Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya kulisoma hilo na mimi nikaenda kwenye kitabu kingine ambacho ameandika mwana dada Mzambia Mchumi Mbobezi, Dkt. Dambisa Moyo katika kitabu cha Dead Aid naye ameelezea hivyo hivyo kwa uchungu kabisa. Huyu ni mtaalam wa Benki ya Dunia na amepingwa na watu wengi ambao wamekuwa wakileta misaada huku. Alichosema nchi zetu hazihitaji misaada ya handout wanatufanya tuwe maskini zaidi. Mheshimiwa Naibu Spika, akaendelea kusema, sasa kuondokana na hilo, sisi Waafrika tunachotakiwa ni kwamba, tuweke mazingira mazuri ya kuvutia ili hawa watu waweze kutuletea mitaji ambayo itaongeza ajira kwa watu wetu. Nami nakubaliana na hilo na ndiyo sababu Serikali yetu ya Mheshimiwa John Pombe Magufuli amesema anataka Tanzania iwe ya viwanda. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, pamoja na hayo, ukiangalia katika bajeti hii nafikiri Waziri kwa kiasi kikubwa hakupata muda wa kuiangalia vizuri, inawezekana wataalam wetu wanapotosha Mawaziri wetu. Huwezi ukazungumza maneno mazito namna hiyo halafu ukiangalia bajeti ya kilimo haieleweki. Utakuwa vipi mchungu na umaskini wakati mkulima bajeti yake ya pembejeo hujaonyesha kuwa umemwekea kiasi gani kwa ajili ya kupunguza bei ya mbolea. Watanzania tunafanya kazi kwa bidii sana, wakulima tunazalisha lakini masoko yetu hayaeleweki. Hii bajeti haioneshi ni namna gani sisi mazao yetu yatakuwa shindani na wenzetu wa Afrika Mashariki. Mheshimiwa Naibu Spika, kwa sisi tunaolima kahawa, chai, pareto, viazi, tumbaku, bei zetu ni ndogo mno. Bei ya Kahawa ya Tanzania (Arabica) ni karibu nusu ya bei ya kahawa ile ile ya Kenya, ni kwa nini? Mheshimiwa Naibu Spika, ili kumtoa umaskini huyu Mtanzania tuangalie tu kuboresha haya masoko. Mheshimiwa Naibu Spika, katika hotuba ya Mheshimiwa Waziri ameonesha kuna mkakati wa kuanzisha commodity exchange ambalo ni wazo zuri sana, lakini sijaona huo mkakati ameuelezea wapi. Faida za commodity exchange ni kubwa mno, wakulima tunalima hatuna mahali pa kuweka mazao yetu yanaharibika. Walanguzi ndiyo wanasubiri wakati wa mavuno waweze kuwanyonya wakulima. Kahawa yetu inanunuliwa na wale wanunuzi wa kutoka Ulaya ambao wananunua na Kenya lakini kwa nini kahawa yetu tulipwe nusu ya bei ya Kenya, Ethiopia au Rwanda? Naomba hilo Waziri aliangalie. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, kwa kumsaidia mkulima, naomba pia aangalie uanzishwaji wa Benki ya Kilimo, huu mtaji hautoshi. Nami naendelea kumshauri, najua labda hilo atakuwa halipendi, ile shilingi milioni 50 ingeenda kwenye Benki ya Kilimo. Uzoefu unaonesha hizi pesa zikienda moja kwa moja zinaenda huko kuharibu hata uchumi wa nchi yetu. Naomba tuziwezeshe SACCOS zetu, tuiwezeshe Benki ya Wakulima ili ziweze kutoa huduma kwa wakulima. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, lingine ni huduma za kibenki. Huduma za kibenki ni muhimu sana kwa uchumi wetu, lakini unapoanza kuweka tozo (VAT) kwenye huduma za kibenki ina maana unazifanya zile huduma ziwe ghali zaidi na unawakatisha tamaa Watanzania kutumia huduma hizi, naomba hilo aliangalie. Waziri kwenye hotuba yake ameongelea kuwa tofauti iliyoko kati ya riba ya deposit na riba ya lending ni kubwa, sasa ukiongeza hii VAT ina maana nayo itaongeza zaidi gharama za kibenki. Mheshimiwa Naibu Spika, Tanzania sasa hivi tunahitaji financial inclusion na huwezi ukaanza kuweka tozo wakati huo huo una-encourage financial inclusion. Huwezi ukaanza kuweka tozo kwenye capital market, capital gains tax unataka u-introduce ya nini, limetoka wapi hili wazo? Sasa hivi Watanzania tunataka tuwekeze kwenye soko la hisa unaanza kuwakatisha tamaa watu wasiwekeze huko. Utakusanya vipi kwanza hiyo tozo kwani transaction cost zinaweza kuwa kubwa kuliko hata hiyo unayotaka kukusanya. Kwa hiyo, naomba Waziri hilo aliangalie kwa upana wake na huko ndiyo mahali ambako Watanzania tunataka kwenda. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, naomba nimalizie… Mheshimiwa Naibu Spika, naunga mkono hoja kwa asilimia mia. Ahsante. MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Naibu Spika ahsante nashukuru sana kwa kunipa nafasi hii kuchangia kwenye hoja ya Wizara muhimu, Wizara ya fedha. Nianze kwanza kwa kuipongeza Wizara, Waziri pamoja na timu yake kwa kufanya kazi zao vizuri sana na kwa hotuba nzuri na pia kwa kutupa muelekeo ni kwa namna gani wamejipanga kuhakikisha kuwa yale malengo ambayo walikuwa wametupa mwanzoni yatatimia. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, pamoja na hayo nilitaka na mimi nijaribu kushauri mambo machache. La kwanza ni suala zima la ukusanyaji wa mapato. Naona kwa muda mrefu sana tumetegemea mapato yetu kupitia TRA. Sidhani kama tukiendelea namna hiyo itakuwa sustainable ili tuweze kufikia hayo malengo na kukiangalia ni namna gani kipindi chote kilichopita tulikuwa tunazungumzia kuhusu miradi mbalimbali na Wabunge wengi tumezungumzia kuhusu namna ya kutumia pesa, hatukupata muda namna gani hizo pesa tutakazotumia zitatoka wapi na zitakusanywa wapi. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, kwa kiasi kikubwa naona nchi yetu ina uwezo mkubwa wa kujitegemea na bila hata kutegemea misaada kutoka nje. Tukiweza kujipanga vizuri, tukaangalia zile fursa tulizonazo ambazo ni nje ya zile za kodi ambazo tulikuwa tumezizoea nafikiri malengo yetu yanaweza kutimia kwa haraka sana. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, kwa mfano, angalia ofisi ya TR, tunashukuru kwanza imeimarishwa sasa hivi kuna timu nzuri. Nafikiri tukiendelea kuimarisha hii timu, kuna nafasi ya kukusanya pesa nyingi kutoka kwenye mashirika yetu. Tuangalie ni kiasi gani ambacho Serikali imewekeza mitaji kwenye hayo mashirika. Je, haya mashirika yamepewa malengo ya kurudisha kiasi gani Serikalini? Mabilioni na mabilioni yapo huko lakini ukisoma kwenye report ya Waziri anaangalia ni namna gani ya kuyasaidia haya mashirika yalipe madeni, nafikiri hilo Waziri jaribu kuangalia, dunia ya leo ni dunia ambayo inaangalia zaidi tuende Kibiashara zaidi. Tuongeze capacity kwenye mashirika yetu, tuwe na management zinazoeleweka, tuangalie mifano ya mashirika yanayofanya vizuri. Mheshimiwa Naibu Spika, angalia Shirika kama NMB, benki kama NMB ilivyokuwa? Ilikuwa imefilisika lakini leo inafanya kazi vizuri sana. Sababu yake kubwa ni nini? Ni kwa sababu Serikali ilihakikisha kuwa inaweka management nzuri na leo hii ukilinganisha NMB na NBC ninaimani NMB inafanya vizuri zaidi. Angalia Shirika la Nyumba lilivyokuwa hoi lakini baada ya kuweka management nzuri, Shirika la Nyumba sasa hivi linafanya vizuri sana. Kwa hiyo, na haya mashirika mengine naomba mpe uwezo mkubwa sana TR aweze kuangalia hata vilevile management zitakazokuwepo pale na bodi zitakazokuwepo pale, hilo lizingatiwe. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, lingine nilichokuwa namuomba Waziri aangalie ni Benki ya Wakulima. Naona kwenye repoti ya Kamati wametoa mawazo mazuri sana ya milioni 59 zile ambazo zililengwa kwenda kwa ajili ya Mfuko wa Vijiji zipelekwe kwenye Benki ya Wakulima na mimi hilo naungana nao. Hizi zitasaidia sana ili zilete chachu huko vijijini, wakulima waweze kupata mikopo kirahisi lakini pia na zile pesa ziweze kusimamiwa kitaalamu. Lakini vilevile milioni 59 ni kidogo mno, naomba ziongezwe zifikie hiyo bilioni 196 ambayo ni asilimia 20 ya bilioni 980. Mheshimiwa Naibu Spika, lingine ambalo ningependa zaidi Wizara iliangalie; ushiriki wa mabenki kwenye uchumi wa nchi yetu. Riba za mabenki ni kubwa sana ukilinganisha tofauti ya riba anayolipwa anayeweka pesa (depositor) na anayekopa ni kubwa kupita kiasi na tumeona kwa muda mrefu haya mabenki yanatengeneza pesa nyingi sana, lakini ni namna gani hizi pesa wanazozitengeneza ambazo zimetokana wakati mwingine na amana za walalahoi zimeweza kurudisha kwa wale watu ambao ni depositors. Nafikiri hili nilijaribu kuliangalia, hizi riba za asilimia 20, asilimia 18 ni kubwa mno. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, lingine; unapoangalia amana nafikiri Mheshimiwa Waziri aangalie pesa zinazozunguka kwenye miamala ya M-pesa or mobile money, ni kubwa mno. Hizi tumeziangalia vipi ya kwamba nazo zinawezakusaidia kwenye uchumi wa nchi hii? Zinasimamiwa vipi? Nafikiri hilo tuendelee kuliangalia vizuri. Ukiangalia katika hotuba ya Wizara hapa, hajaiona hiyo kama ni sehemu mojawapo ya amana tulizonazo nchi hii ambazo zinaweza kusaidia katika uchumi wa nchi yetu. Amana inayozunguka kwa mwezi mmoja ni zaidi ya trilioni 4.5, hizo ni nyingi mno. Chukulia kidogo tu, ya kwamba unaweza kuchukuklia hata 0.5 zirudi kwenye uchumi wetu, utapata bilioni zaidi ya 270. Naomba na hilo liangaliwe kwa karibu, tuweke mfumo vilevile wa kuzilinda. Mheshimiwa Naibu Spika, lingine ningependekeza tuangalie vilevile ni namna gani tuweke usimamizi wa hizi pesa ambazo Wizara zinakwenda kwenye miradi yetu. Nafikiri hapa kuna tatizo kubwa kwa sababu kama Wizara itapeleka pesa kwenye Halmashauri au kwenye miradi asilimia yote ile ikaliwa hiyo mojawapo ni kwamba yale mapato tunakuwa tumeyapoteza. Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo, tunakuwa hatuna sababu ya kuzungumzia kutafuta mapato wakati tunashindwa kusimamia vizuri matumizi ya hayo mapato. Ukichukulia mfano, kwenye Halmashauri ya kwangu kuna bilioni zaidi ya two point five zimepelekwa kwa ajili ya miradi ya maji lakini mpaka leo unashindwa kuuliza ni nani ambaye anasimamia zile pesa. Maji hayatoki, miradi huioni! Makandarasi huwaoni! Mheshimiwa Naibu Spika, sasa hizo ni pesa za wananchi, ni pesa za kodi, nani anazisimamia? Zimetoka Wizara ya Fedha labda zimekwenda Wizara ya Maji na zimekwenda Halmashauri, msimamizi ni nani hapo katikati? Na hili nafikiri ni tatizo kubwa, nafikiri tuweke coordination kati ya hizi Wizara zinazohusika ili tuweze kusimamia hii miradi yetu vizuri. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Sika, baada ya kusema hayo ningependa kwa kumalizia kuipongeza hii Wizara na pia suala zima la commodity exchange ingawa nimeongelea kwa kiasi kidogo sana lakini nafikiri hiki ni chombo muhimu sana hasa kwa wakulima. Tuiangalie kianzishwe haraka ili kiweze na wakulima wakafaidika na mazao hayo ambayo kwa sasa hivi tunapovuna, mahindi bei inakuwa kidogo sana lakini baada ya muda mfupi bei zinapanda. Kwa hiyo, kama kukiwa na chombo kama hiki kinaweza kusaidia ili wakulima waweze kufaidika. MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Mwenyekiti, napenda kumpongeza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais kwa hotuba nzuri aliyowasilisha Bungeni kwa Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018. Napenda pia kutoa pongezi kwa Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mheshimiwa Mwenyekiti, pia napenda kutoa pongezi kwa Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Pia napenda kutoa pongezi kwa Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kazi nzuri sana ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2015 - 2020. Mheshimiwa Mwenyekiti, Wizara hii ni muhimu sana kwa uhai wa Muungano wetu na wamefanya kazi kubwa sana ya kuondoa kero za Muungano. Kwa kiasi kikubwa Muungano wetu umetuletea sifa nyingi kutoka kila pande za dunia; changamoto kubwa tuliyonayo ni uharibifu wa mazingira na tabianchi. Katika maeneo mengi kuna uharibifu mkubwa sana wa mazingira unaotokana na shughuli za kibinadamu. Uharibifu huo unasababisha changamoto za tabianchi ikiwemo upungufu wa mvua na majanga mbalimbali. Mheshimiwa Mwenyekiti, ili kukabiliana na changamoto za uharibifu wa mazingira napendekeza Wizara iimarishe elimu ya utunzaji mazingira na pia kuimarisha ofisi na wataalam katika maeneo ya kimkakati, kama vile Mikoa ya Mbeya na Iringa ambayo ni vyanzo vikuu vya mito ikiwemo Mto Ruaha. Pamoja na elimu, wananchi wa maeneo ya kimkakati ya mazingira wanahitaji motisha ili watunze mazingira yao. Motisha kama vile kupewa kipaumbele cha nishati, miundombinu, elimu na hata kupatiwa miche bure itasaidia kwa kiasi kikubwa utunzaji wa mazingira. Maeneo haya yanahitaji upendeleo wa makusudi ili kukuza uchumi wa wananchi katika maeneo haya na kwa kiasi kikubwa kupunguza uharibifu wa mazingira. Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na utunzaji wa mazingira Wizara ya Kilimo ishirikishwe ili kuhimiza kilimo cha kuhifadhi ardhi ambapo mkulima ahitaji kulima kwa jembe wala kuchoma moto. Elimu ya kilimo cha hifadhi ardhi kiendane na pembejeo bora zikiwemo mbegu bora ili wakulima waone tija ya hiki kilimo cha kuhifadhi ardhi. Mheshimiwa Mwenyekiti, uharibifu wa vyanzo vya mito umesababisha mito mingi kukauka na pia michanga na udongo kujaza maziwa yetu ikiwemo Ziwa Rukwa ambalo limo hatarini kutoweka. Serikali za Mitaa zihimizwe kutafuta maeneo mbadala ya uchimbaji mchanga ili kunusuru vyanzo vyetu vya mito. MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante sana. Kama walivyosema watangulizi wangu, nianze kwanza kwa kuzipongeza hizi Kamati mbili za PAC na LAAC kwa kazi nzuri walizofanya na ripoti zao ni nzuri sana na pia recommendation zao nazo ni nzuri sana. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, labda nianzie pale alipoishia msemaji wa mwisho. Ukiangalia masuala yote haya inaonekana udhibiti wa haya mashirika yetu na hata taasisi zetu kuna mahali pana legalega. Ukijaribu kuangalia kwa mfano mdogo tu kwa ripoti kama ya NSSF achilia mbali hiyo ya Mradi wa Dege lakini wamekopesha mikopo kwa SACCOS mabilioni mengi na wao sio benki, hawana utaalam wa taasisi za kibenki. Kawaida ya SACCOS unategemea kwamba hawa wanafanya savings and credit unakuta SACCOS ndiyo zinaanza kukopa, ni kitu cha hatari sana katika uchumi wa nchi yetu. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, tungetegemea SACCOS zikusanye savings huko na zikopeshe wale members wao. Sasa unakuta shirika kama NSSF ambapo siyo kazi yake inakwenda kukopesha SACCOS na hizo SACCOS kama ripoti inavyosema zingine ni hewa, zaidi ya shilingi bilioni 70 imetolewa kama ilivyoelezwa kwenye ripoti humu. Hizo pesa zote ni za umma na zimekwenda sehemu ambayo siyo. Kama ripoti ya PAC ilivyosema ufanyike uchunguzi kuangalia namna hiyo mikopo ilivyotolewa na ilikwenda kwa nani na kwa jinsi gani. Sidhani kama wana kitengo maalum kwa ajili ya kukopesha na sidhani kama wana software ya kibenki ambayo inaweza kufanya tracking ya mikopo hii. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, suala lingine ni la usimamizi wa mashirika yetu. Kuna mifano imetolewa ya EWURA na SUMATRA kuwa yale makusanyo yao yote wameyatumia katika matumizi ya mishahara na matumizi ya kawaida. Ukiangalia EWURA wametumia zaidi ya 71% na SUMATRA wametumia 82% ya pesa walizokusanya. Sasa unajaribu kuangalia hawa SUMATRA na EWURA ni vyanzo vya mapato ya Serikali, badala ya kutumia hizo pesa kutunisha Mfuko wa Hazina wenyewe wamezitumia kwa matumizi ya kama kujilipa mishahara, posho na matumizi mengine. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, naungana na PAC kushauri kwamba Ofisi ya Msajili wa Hazina iweze kuimarishwa ili iweze kuyasimamia mashirika haya kwa ukaribu zaidi. La sivyo tutaendelea kutegemea tax revenue na tukaacha hili eneo ambalo Serikali yetu kama ikilisimamia vizuri litaondoa kabisa kutegemea kodi ambazo zinaongezeka kila siku. Tukisimamia hizi investments, haya mashirika tuna uwezo hata wa kupunguza kodi kwa wafanyabiashara wetu. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, lakini wenzangu waliongelea kuhusu Internal Auditor (Mkaguzi wa Ndani). Nafikiri huu mfumo uliopo sasa hivi kwa Wakaguzi wa Ndani kwenye Halmashauri zetu kuwa chini ya Wakurugenzi siyo sahihi. Internal Auditor kama alivyo External Auditor wanatakiwa wawe na uhuru wa aina fulani kwa watu wanaowakagua. Sitegemei Internal Auditor anayeripoti kwa Mkurugenzi amkague Mkurugenzi atatoa ripoti nzuri. Mheshimiwa Naibu Spika, kikawaida hata code of ethics za Internal Auditors zinasema Internal Auditor awe independent anatakiwa aripoti kwa mtu ambaye ni tofauti. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, lakini vilevile nilivyokuwa naangalia governance za hizi Halmashauri zetu nafikiri kuna vitengo ambavyo vinahitaji kuimarishwa kama Audit Committee na Risk Committee. Ukiangalia composition za hivi vitengo nafikiri haziko sawasawa. Kama tungekuwa na Internal Audit Committee na Risk Committee ambazo zinajitegemea tungeweza vilevile tukaagiza hawa Internal Auditor waripoti kwenye hizi committee ambazo ziko nje ya utawala wa DED. Mimi naona kwa vile kuna Director of Internal Audit ambaye yuko chini ya Wizara ya Fedha labda angejaribu kuwa karibu zaidi kuwaangalia na kuwasimamia hawa Internal Auditors ili waweze kulinda maslahi ya pesa zetu na kusiwe na ufujaji mkubwa wa hizi pesa zetu. (Makofi) MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Spika, napenda kuchukua fursa hii kumpongeza Waziri, Naibu Waziri na Watendaji wote wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa kazi nzuri ya kuendeleza michezo na sanaa. Pia napenda kuwapongeza kwa hotuba nzuri ya bajeti ya Wizara hiyo kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018. Mheshimiwa Spika, napenda kumpongeza Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa uongozi uliotukuka na hasa kuhakikisha maendeleo mazuri ya Sekta ya Habari, kuendeleza utamaduni, mila na desturi za Mtanzania, kuimarisha tija na kulinda kazi za sanaa na pia kuendeleza michezo katika Taifa letu. Mheshimiwa Spika, napenda kuwapongeza Mheshimiwa Majaliwa Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kazi nzuri za kusimamia shughuli za Serikali na kuhakikisha utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2015 - 2020. Mheshimiwa Spika, Tanzania kama ilivyo kwa nchi zingine ina jukumu kubwa la utambulisho wa Taifa, kupitia Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo. Nchi yetu imesheheni vipaji mbalimbali na kinachohitajika ni kuibua hivi vipaji na kuviendeleza. Mheshimiwa Spika, vipaji vingi vya michezo vipo vijijini na juhudi za makusudi zinahitajika kuibua vipaji vya michezo na sanaa huko vijijini ili viendelezwe. Michezo na sanaa ni ajira nzuri sana kwa dunia ya leo na pia ni utambulisho mzuri wa Taifa letu (National brand) na michezo pamoja na sanaa vinaleta heshima kubwa kwa Taifa letu. Mheshimiwa Spika, Wilaya ya Mbeya Vijijini na hata Mkoa mzima wa Mbeya kuna vipaji vingi katika michezo hasa mpira wa miguu na riadha. Serikali ichukue hatua za makusudi za kimkakati wa kuibua hivi vipaji ikiwa ni pamoja na kuhimiza michezo mashuleni na kujenga viwanja vya michezo vijijini. Mheshimiwa Spika, kutokana na umuhimu wa kipekee wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) ambalo ni tegemeo la Watanzania walio wengi vijijini kupata habari mbalimbali kwa muda mrefu TBC haisikiki katika maeneo mengi vijijini na wananchi wanakosa fursa ya kupata habari. Pamoja na kutengewa bajeti ya shilingi bilioni moja katika Mwaka wa Fedha 2016/2017, lakini ripoti ya Kamati inaonesha bado utekelezaji na pia kiasi hiki ni kidogo ukilinganisha na mahitaji halisi ya uwekaji wa vyombo vya aina yake. Naungana na maoni ya Kamati ya kushauri Serikali kuwekeza vya kutosha katika Shirika la Utangazaji (TBC). Mheshimiwa Spika, kutokana na tatizo la wizi wa kazi za Wasanii wakiwemo waimbaji wa Injili, nashauri Serikali iweke mkakati wa kulinda kazi za wasanii ili waongeze kipato kwa kazi zao na pia mapato ya Serikali yataongezeka. MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Naibu Spika, napenda kuwapongeza Kamati ya Nishati na Madini kwa taarifa nzuri. Mheshimiwa Naibu Spika, pamoja na utekelezaji mzuri wa miradi ya REA, naungana na Kamati kupendekeza kuwepo kwa usimamizi mzuri wa hii miradi ili iwe endelevu kitaalam. Usambazaji kwa maeneo ya vijijini, waya zinawekwa umbali mrefu na pia miundombinu ya nguzo za kawaida ni changamoto kutokana na mazingira ya vijijini. Mheshimiwa Naibu Spika, pamoja na kazi nzuri inayofanywa na REA, napendekeza Serikali iwe na mkakati wa kuimarisha wataalam wa TANESCO ili waendane na ongezeko na kasi ya usambazaji wa umeme kwa mpango wa REA. Kutokana na ongezeko la usambazaji wa umeme kumesababisha kuzorota kwa huduma za dharura (emergency) hasa katika maeneo ya vijijini. MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante sana kwa kunipa nafasi hii adimu ya kuchangia hizi Kamati mbili muhimu; Kamati ya Ardhi na Kamati ya Kilimo. Kamati zote mbili zimewasilisha ripoti nzuri sana na maoni yao ni mazuri sana na naiomba sana Serikali ichukue haya maoni na mapendekezo kwa uzito kulingana na umuhimu wa ardhi ya nchi yetu pamoja na kilimo kwa nchi yetu. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, naanza na suala la mipango miji. Sheria ya Ardhi ya Mipangomiji na Vijiji ni nzuri sana, lakini ukiangalia mipangilio yetu ya miji toka 2007 ilipotoka hiyo sheria kwa kweli inasikitisha sana. Napendekeza; kwa uzito wake wa mipangomiji sasa hivi hakuna miundombinu kwenye miji yetu, hakuna barabara, hakuna sehemu ya kupitisha mabomba; hilo lingezingatiwa na kuhakikisha namna ya kuzishirikisha taasisi binafsi na National Housing wakafanya kazi kwa pamoja kuhakikisha kuwa tunakuwa na mipangomiji mizuri. Mheshimiwa Mwenyekiti, mfano mzuri nilionao ni kwenye Mji Mdogo wa Mbalizi. Pale Mji mdogo wa Mbalizi kulikuwa na watu 2,000 miaka 10 iliyopita lakini sasa hivi kuna watu wanaokaribia 150,000; lakini ukienda pale ni squatters tu hakuna mitaa. Kwa watu hao 150,000 hata miundombinu ya maji ni ile iliyokuwepo kwa ajili ya watu 2,000. Sasa hii inatuonesha ni namna gani tuko nyuma katika kupanga miji yetu. Wananchi wetu wanataka hizi huduma na sisi tunaiomba Serikali iangalie jinsi ya kuwasaidia wananchi. Sasa hivi vijiji vingi vinageuga kuwa miji, badala ya watu kujenga kiholela Serikali iwe ya kwanza kuhakikisha kuwa inapanga hayo maeneo na yanapimwa kwanza. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, pale Mbalizi kuna ekari zaidi ya 6,000 za iliyokuwa Tanganyika Peckers miaka zaidi ya 50 iliyopita, kile kiwanda hakikuanza kufanya kazi, hizo ekari 6,000 zote hazijafanyiwa chochote na halmashauri na wananchi wote wa Mbeya DC waliamua kuwa waombe hili eneo ili liweze kupimwa liwe makazi ya watu, wautengeneze mji bora ambao utaonesha kioo cha Mbeya kwa sababu hilo eneo ndilo eneo ambalo liko karibu na uwanja wa ndege, ndilo eneo ambalo unatoka katika nchi jirani za Zambia mpaka Afrika Kusini unapoingia Mbeya. Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa wananchi wameomba hilo eneo ili wapewe kuwe na mpangomji na Sheria Namba Nane kama sijakosea inasema uwekezaji wa mashamba kwa mijini usizidi eka tatu. Kwa hiyo hiyo eka 6,000 kwa kuwekwa mjini kwa ajili ya malisho ya ng’ombe nafikiri tutakuwa tunachekesha. Uzuri wake halmashauri imetenga eneo mbadala kwa sababu nao wanahitaji hiki kiwanda cha nyama na vilevile wanahitaji maboresho kuhakikisha kuwa tunafuga mifugo bora. Mheshimiwa Mwenyekiti, walichokifanya halmashauri, wamejenga wao machinjio ya kisasa kwa ajili ya soko la ndani na soko la nje. Kwa hiyo, eneo mbadala limepatikana na Serikali itakapopata mwekezaji eneo tunalo tayari. Sisi tunachoomba, hili eneo ambalo liko mjini iachiwe Halmashauri ya Mji wa Mbalizi ili tutengeneze makazi ya kisasa. Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa sasa hivi shule zetu za msingi na sekondari zina idadi ya wanafunzi kubwa mno na hatuwezi kupanua shule, wanafunzi wakifaulu darasa la saba wanakwenda sekondari za mbali ambazo wanatembea zaidi ya kilometa 10, sidhani katika hali ya sasa hivi kama hayo yanakubalika. Kwa hiyo, tunaomba sana huu ushauri Serikali iuchukue. Mheshimiwa Mwenyekiti, vilevile tumeona kwamba ardhi yetu pamoja na kuwa tajiri wanaofaidi ni wageni. Nilipotembelea National Housing na kamati yangu pale Tanganyika Peckers, Kawe, tuliambiwa kuwa ile ardhi mwekezaji alinunua kwa bilioni sita kwa ajili ya kiwanda, hakujenga, hakuendeleza. National Housing walipokwenda pale kutaka wapate lile eneo mwekezaji akakataa, alipotaka kununua kakataa, akakubali kwamba waingie joint venture, kwa bilioni sita. Mheshimiwa Mwenyekiti,Investment iliyoko pale sasa hivi ni mabilioni kama sio trilioni. Sasa jaribu kufikiria mtu mgeni unampa utajiri wa namna hii kwa mali yetu, hajafanya chochote. Sasa hilo lisijirudie katika maeneo mengine ya iliyokuwa Tanganyika Peckers. Mheshimiwa Mwenyekiti, suala la kilimo; mimi ni mkulima. Ili umsaidie mkulima unahitaji uwekezaji kwanza, unahitaji umpe mtaji, unahitaji utaalam, unahitaji masoko. Nawashukuru sana Waheshimiwa Wabunge wamelichangia hili kwa umakini mkubwa sana, lakini angalia, mtaji utapata wapi? Benki ya wakulima leo hii haina mtaji, bilioni 60 ilizokuwa nazo imewekeza karibu bilioni tatu tu, sasa wakulima nani atawasaidia? Mheshimiwa Mwenyekiti, ukija kwenye wataalam wataalam wenyewe hatuwaoni wakija kwenye mashamba yetu. Mimi nikiwa kama mkulima sanasana wageni wangu wanaonitembelea kutoka Serikalini ni OSHA na… MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Mwenyekiti, napenda kumpongeza Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano, Naibu Waziri na Timu nzima ya Wizara kwa ripoti nzuri na pia bajeti nzuri ya mwaka 2017/2018. Mheshimiwa Mwenyekiti, pia napenda kumpongeza Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli na Mheshimiwa Samia Hassan Suluhu Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa Mbunge, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuiongoza vema nchi yetu katika utekelezaji wa Ilani ya CCM 2015/2020. Mheshimiwa Mwenyekiti, Wizara ya Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano ni muhimu sana katika uchumi wa nchi yetu na katika kipindi cha bajeti ya 2016/2017. Serikali imefanya vizuri sana kama ifuatavyo:- (1) Ujenzi wa reli ya standard gauge umeanza; (2) Serikali imeendelea kulipa madeni ya wafanyakazi wa TAZARA ambapo shilingi billioni 16.8 zimelipwa kati ya shilingi billioni 22.9 zilizokuwa zinadaiwa; (3) Serikali iliingia mkataba wa ununuzi wa ndege sita, ndege mbili aina ya Bombardier dash 8-Q400 ziliwasili nchini Septemba, 2016; (4) Ujenzi wa Mkongo wa Taifa wa mawasiliano; (5) Ujenzi wa barabara za juu kwenye makutano ya TAZARA unaendelea vizuri; na (6) Ujenzi wa barabara na madaraja mbalimbali unaoendelea nchi nzima. Mheshimiwa Mwenyekiti, dunia ya leo ya ushindani mkubwa wa kibiashara umepelekea biashara ya Kimataifa kuwa ya masaa 24 na siku saba za wiki na ili kuwe na tija na ufanisi katika uchumi wetu tunahitaji uboreshaji wa miundombinu ya barabara, reli, bandari pia mawasiliano. Mheshimiwa Mwenyekiti, changamoto za usafirishaji na miundombinu ya bandari yamepelekea kwa kiasi kikubwa gharama kubwa za ndani (domestic supply chain costs) kwa bidhaa zetu na hata pembejeo za kilimo ukilinganisha na nchi zingine. Mheshimiwa Mwenyekiti, gharama kubwa ya mbolea kwa mkulima wa Tanzania imebebwa na gharama za bandari, usafiri wa barabara na hata ucheleweshwaji wa kutoa mzigo bandarini. Mnyororo wa gharama za mbolea kwa mkulima wa Tanzania, hivi sasa asilimia 47 ni gharama za ndani port charges, transportation, taxes and mark up, wakati asilimia 53 ni gharama ya kununulia nje ya nchi CIF kwa kulinganisha na nchi ya Ufilipino gharama ya ndani ni asilimia 16 tu na CIF ni asilimia 84. Pia nchi ya Myanmar gharama za ndani za mbolea ni 23% tu wakati gharama za kununulia CIF ni asilimia 77, hivyo mzigo mkubwa wa bidhaa za Tanzania unatokana na uchukuzi, tozo mbalimbali za bandari na matumizi ya barabara. Mheshimiwa Mwenyekiti, nashauri Serikali iboresha TAZARA pia ili mbolea isafirishwe kwa reli badala ya barabara ambayo ni gharama kubwa sana. Pia napendekeza Serikali iendelee kuboresha bandari ili meli kubwa ziweze kuingia kwa urahisi, vilevile shehena za mizigo ya mbolea zipewe kipaumbele cha kupakuliwa bandarini. Pia kuwepo na kituo kimoja cha huduma kwa wateja one stop centre. Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na kuboresha bandari ya Dar es Salaam na TAZARA napendekeza kujenga bandari kavu katika eneo la kimkakati la Inyala, Mbeya ili wateja wa Zambia, Malawi, DRC Congo na hata wafanyabiashara Watanzania kutoka Nyanda za Juu Kusini wasilazimike kuchukua mizigo yao. Mheshimiwa Mwenyekiti, miundombinu ndiyo chachu na tija bora hasa katika sekta ya kilimo ambayo ndiyo mhimili wa uchumi wetu wa Tanzania. Barabara za vijijini ni muhimu sana kwa kusafirisha mazao ya kilimo na pia kupunguza gharama za usafiri wa pembejeo na urahisi wa kupeleka mazao sokoni. Mheshimiwa Mwenyekiti, ili kuboresha usafirishaji wa mazao ya kilimo na pia kuunganisha mikoa kwa barabara za lami (trunk roads) napendekeza Serikali kuboresha barabara zinazounganisha Mkoa wa Mbeya na mikoa mingine kama vile babaraba ya Isyonje-Kikondo Makete - Njombe, barabara ya Mbalizi-Shigamba-Ileje inaunganisha Mbeya na Ileje - Songwe, barabara ya Mbalizi-Makongorosi inaunganisha Mbeya na Songwe. Mheshimiwa Mwenyekiti, ili kuboresha usafirishaji wa mazao na pembejeo, napendekeza kupandishwa hadhi barabara za kimkakati zikiwemo Kawetere-Mwabowo- Ikukwa, Mbalizi-Iwindi-Jojo, Inyala-Simambwe na Imezu – Garijimbe (mchepuo/bypass) Mheshimiwa Mwenyekiti, wakati Serikali inajenga barabara ni muhimu pia kuzingatia vigezo vya kiuchumi pamoja na ahadi za Marais waliostaafu na Rais aliye madarakani, pamoja na barabara zilizotajwa hapo juu. Mheshimiwa Rais wa Awamu ya Nne na Rais wa sasa waliahidi ujenzi wa barabara ya mchepuo by pass ya kilomita 40, kuanzia Mlima Nyoka Inyala-Ijombe-Swaya-Igale-Iwindi- Songwe. Pamoja na kupunguza msongamano pia ni barabara inayounganisha machimbo mapya ya umeme wa jotoardhi na mgodi mpya wa Pandahill. Mheshimiwa Mwenyekiti, changamoto za kiwanja cha ndege cha Songwe ni pamoja na kukosekana kwa uzio wa uwanja na kutokuwa na navigational aids, ikiwemo taa katika njia za kutua na kurukia ndege. Eneo la uwanja wa Songwe lina ukungu hususani wakati wa asubuhi na hivyo kuwa vigumu kwa marubani wa ndege kuona kiwanja vizuri. Kukosekana kwa taa kumepelekea na kusababisha usumbufu mkubwa kwa abiria na hata mashirika ya ndege. Mheshimiwa Mwenyekiti, kutokana na ukanda wa Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini kuwepo kwa mazao mengi ya kilimo, hasa matunda, mbogamboga na hata maua, kuna fursa za ndege za mizigo kuchukua hayo mazao na kupeleka moja kwa moja soko la nje. Kutokana na ukosefu wa taa navigation aids na uzio mashirika ya ndege za mizigo yameshindwa kuanza usafirishaji. Mheshimiwa Mwenyekiti, nashauri Serikali kuhakikisha kabla ya mwaka wa fedha 2016/2017 kwisha, fedha zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya taa, navigation aids na uzio wa kiwanja cha Songwe, zinatolewa ili kukamilisha kazi hizo. Mheshimiwa Mwenyekiti, kama ilivyokuwa uchukuzi, na ujenzi, mawasiliano ni muhimu sana kwa wakulima vijijini. Serikali inapoangalia kuanzisha soko la mazao Tanzania, commodities exchange market ni muhimu sana kwa sasa kuhakikisha maeneo ya vijijini yanakuwa na minara ya mawasiliano. Napendekeza Serikali iharakishe ujenzi wa minara ya mawasiliano hasa kwa vijiji ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya, vikiwemo Vijiji vya Itala, Mkuyuni, Ulenje, Wambishe, Ihango, Mashese, Nyalwela, Mwela, Shango, Ngole, Ikukwa, Ipusizi, Izyira, Shizuvi, Shisyete, Isonso na Igalukwa. MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Mwenyekiti, napenda kuchukua nafasi hii kumpongeza Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, pamoja na timu nzima ya Wizara yake kwa kuleta Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari wa Mwaka 2016 (The Media Services Bill, 2016). Taaluma ya habari ni mojawapo ya taaluma muhimu sana katika jamii yetu kwa kuuhabarisha umma mambo mbalimbali yakiwemo ya kisiasa, kiafya, kielimu na masuala ya uchumi wa nchi yetu. Mheshimiwa Mwenyekiti, taaluma ya habari ni tegemeo kubwa la jamii yetu na hivyo inahitaji a high degree of trust; na kwa kwa hali hiyo taaluma hiyo inahitaji kuaminiwa na jamii na pia kuwa na maadili ya hali ya juu. Napongeza Muswada huu kwa vile unalinda uhuru wa vyombo vya habari kuhakikisha habari zina ukweli na usahihi na pia Muswada huu unalinda utu na heshima ya kila mtu. Mheshimiwa Mwenyekiti, naunga mkono Muswada huu kwa vile unalenga kuhakikisha nchi yetu inaendeleza kupinga ubaguzi wa aina yoyote ile. Pia Muswada huu uhakikishe kwa namna yoyote ile unazuia vitendo vya rushwa kwa wanahabari na vyombo vya habari. Mheshimiwa Mwenyekiti, taaluma ya habari ihakikishe inalinda umoja na amani ya nchi yetu. Kwa vile Tanzania ni sehemu ya dunia, hivyo Muswada huu uhakikishe kuwa unazingatia sheria na maadili mema yaliyo katika Miswada ya nchi nyingine. MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Mwenyekiti, nashukuru sana kwa kuniheshimu, na mimi nakuheshimu sana na huwa sikosi nafasi ukikaa hapo. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza nianze kwa kuwapa pole wale wenzetu wote waliofiwa kwa ajali ya gari kule Arusha, na mimi kwenye jimbo langu tulikuwa kati ya watu ambao tuliathirika kwa kufiwa na mtoto wetu kwenye kijiji cha Irambo. Kwa hiyo, poleni sana Watanzania wote na tunategemea haya mambo hayatajirudia tena. Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza nianze kwa kuwapongeza hawa Waheshimiwa Mawaziri na Wizara nzima, ni watu ambao kwa kweli Wabunge watakubaliana na mimi, ukiongea nao hatakukatalia kitu, wana moyo wa kusaidia sana, hata ukienda Wizarani watakupokea vizuri sana. Hata hivyo, labda kitu kimoja tu, ukiwa na moyo inabidi vilevile uwe na maini. Nafikiri hapa leo tunazungumzia ni namna gani hawa tuwasaidie kwa moyo wao ule vilevile wamepewe na maini. Mheshimiwa Mwenyekiti, bajeti ya maji ni muhimu sana kwa Tanzania, lakini mimi nakubaliana na wenzangu wote kwamba hii bajeti iongezeke. Tozo ya kuongeza ya shilingi 50 ni muhimu na tusipinge hapa, kuna wengine wanafikiri ukiongeza hiyo labda itaongeza inflation, hapana. Mafuta tunanunua kwa dola, 2015 dola ilikuwa 2150, leo ni 2200, hata tukiongeza hiyo shilingi 50 haina impact yoyote kwenye inflation; na ukiongeza hiyo shilingi 50; na kwa ripoti ya EWURA tuliingiza mafuta kwa ajili ya matumizi ya Tanzania kama shilingi bilioni 3.4, ina maana tunaweza kuongeza kwenye bajeti zaidi ya shilingi 170,000,000,000, ni hela nyingi. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini ninachoomba mimi hapa, kwa sababu kuongeza mapato ni suala lingine, je, haya mapato unakwenda kuongezea kwenye kikapu gani? Unaweza kwenda kuongeza kwenye kikapu ambacho kimetoboka, na hilo ndilo tatizo tulilonalo. Kwa sababu Sekta ya Maji kwa experience niliyonayo kwenye jimbo langu haina control kabisa, hela zote zinazopelekwa hazifanyi kazi ile inayotakiwa. Mheshimiwa Mwenyekiti, tangu mwaka 2010 Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya ilipewa zaidi ya shilingi bilioni 6.2 lakini leo hii ninapozungumza katika miaka yote hiyo hakuna mradi hata mmoja ambao unafanya kazi kwa hizo pesa zilizokwenda. Sasa tunaweza kuzungumzia hapa kuongeza pesa, unaongeza maji kwenye kikapu ambacho kimetoboka, unafanya kazi ya bure. Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo mimi ninachoomba hapa yawepo mambo mawili, iongezwe pesa kwenye bajeti kusaidia maji lakini vilevile kuwe na udhibiti wa pesa za maji. Udhibiti huo utasaidiwa kwa kuunda kile chombo cha Wakala wa Maji Vijijini na hiyo utekelezaji wake uje mara moja. Nalisema hilo kwa uchungu mkubwa kwa sababu Wabunge hapa ni mashahidi, niliuliza swali kuhusu matatizo, changamoto ya maji Mbalizi nikajibiwa kuwa hakuna matatizo ya maji Mbalizi na maji yapo ya ziada na wananchi mpaka leo wanashangaa. Mheshimiwa Mwenyekiti, hiyo miradi ambayo sisi tulipewa, yote, ukiangalia orodha ya Wizara inaoneshwa hiyo miradi imekamilika. Sasa unauliza, huyu ni nani anayemdanganya Mheshimiwa Waziri? Ukionesha miradi imekamilika wananchi nao kule wanajua kuwa miradi imekamilika… Mheshimiwa Mwenyekiti, nashukuru sana, ahsante. MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Naibu Spika, nashukuru sana. Nami kwanza niungane na Waheshimiwa Wabunge wenzangu kumwombea mwenzetu uponyaji wa haraka kwa haya yaliyompata. Mheshimiwa Naibu Spika, Azimio hili la leo ni muhimu sana kwa nchi yetu, hata kwa nchi zinazotuzunguka. Labda ningeanzia pale kwenye Azimio, nafikiri kunahitaji masahihisho kidogo ya jina la Wilaya. Kuna Wilaya pale imetajwa, Mbeya Vijijini. Hatuna Wilaya ya Mbeya Vijijini, ila tuna Wilaya ya Mbeya. Kwa hiyo, labda kwa ajili ya kumbukumbu sahihi za Bunge, ingebadilishwa na kusahihishwa kuwa Wilaya ya Mbeya. Mheshimiwa Naibu Spika, baada ya kusema hivyo, niende zaidi kwenye maoni. Niungane kwanza na maoni ya Kamati, walivyosisitiza kuwa katika mkataba huu labda ndiyo wakati muafaka wa Serikali kuangalia ni namna gani huu mkataba vile vile unaweza kutusaidia katika kutatua tatizo la mgogoro wa mpaka ulioko katika Ziwa Nyasa. Mheshimiwa Naibu Spika, nafikiri hiki kinaweza kuwa ni chanzo kizuri sana na Ziwa Nyasa linatokana na Mto songwe na Mto Songwe kwa kiasi kikubwa unatoka kwetu, kwa hiyo, nafikiri hiyo inaweza kuwa ni chanzo kizuri ni namna gani tukaondoa hili tatizo la mgogoro wa Ziwa Nyasa. Mheshimiwa Naibu Spika, la pili katika maoni ya Kamati, vile vile waligusia elimu kwa wananchi. Nafikiri hili ni jambo muhimu sana kuangalia ni namna gani wananchi wakashirikishwa kikamilifu na kuwapa elimu ya namna ya kuhifadhi haya mabonde yetu na hivi vyanzo vya mito. Mheshimiwa Spika, ukiangalia tunapozungumzia bonde la Mto Songwe, kuna Mto Songwe ambao unakwenda Ziwa Nyasa na kwa kweli kilichonifurahisha hapa ni namna gani yatajengwa yale mabwawa matatu na faida za yale mabwawa matatu ambayo yatazalisha umeme takriban Megawatt 182.2. Pamoja na hilo, hayo maji yatatumika kwa ajili ya umwagiliaji na vile vile kwa ajili ya matumizi ya majumbani. Mheshimiwa Naibu Spika, ukiangalia yale maeneo ya kwetu hasa katika Wilaya yangu, pamoja na kuwa na mito mingi ambayo ndiyo vyanzo vya mito hii inayokwenda Songwe na ile Songwe inayokwenda Rukwa, vile vile ndiyo chanzo cha Mto Ruaha, lakini yale maji kwa kiasi kukubwa wananchi hawayafaidi. Kwa hiyo, kwa mtazamo huu uliopo kwenye mkataba huu nina imani ya kwamba Serikali itaangalia ni namna gani wananchi nao wafaidike na haya maji. Mheshimiwa Naibu Spika, tunapoliangalia bonde la Mto Songwe ambao unaelekeza maji yake kwenye Ziwa Nyasa, napendekeza kuwa Serikali vile vile iangalie bonde la Rukwa ambalo nalo lina Mto Songwe ambao unapeleka maji Ziwa Rukwa. Hili ni bonde muhimu sana na kwa kiasi kikubwa Ziwa Rukwa karibu linaanza kupotea kwa ajili ya udongo na mmomonyoko ambao unasongwa na mto Songwe kupelekwa Ziwa Rukwa. Mheshimiwa Naibu Spika, sasa katika huu mtazamo ambao tunauona hapa leo, nafikiri itakuwa ni jambo jema sana, tuanze sasa hivi kuangalia kuchukua hatua za haraka, ili haya yanayofanyika kwenye Bonde la Mto Songwe unaopeleka maji Ziwa Nyasa, vile vile iende na kwenye Mto Songwe unaopeleka maji Ziwa Rukwa. Tufanye hivyo hivyo, kwa vyanzo vingine vya mito vilivyoko kwenye milima ya Uporoto na Kitulo ambao maji yake ndiyo chanzo cha Mto Kiwira ambao unapeleka maji vile vile Ziwa Nyasa na vile vile ndiyo chanzo cha Mto Ruaha. (Makofi) Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo, hivi vyanzo vyote ni muhimu sana. Kwa hiyo, elimu itakuwa muhimu sana kwa wananchi, lakini tufanye mikakati ya makusudi, ni namna gani tuwasaidie hawa wananchi ili waone manufaa vile vile, nao wahusike katika kuhifadhi hivi vyanzo vya hii mito. Kwanza nianze kwa kumpongeza Mheshimiwa Waziri, Naibu Waziri na Wizara nzima ya Fedha kwa mwongozo mzuri wa mpango wa mwaka 2018/2019 na kweli unatuonesha mwelekeo mzuri. Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi naomba nijikite zaidi kwenye vipaumbele vile vinne vya mpango. Mheshimiwa Mwenyekiti, kipaumbele cha kwanza kinaelezea kuhusu viwanda vya kukuza uchumi na ujenzi wa msingi wa uchumi wa viwanda na mimi naona hiki ni kipaumbele kizuri sana; lakini ningependa zaidi kuona kwamba hiki kipaumbele kinajikita zaidi kwenye kilimo kwa sababu viwanda vyetu, uchumi wetu wa Tanzania kwa kiasi kikubwa utategemea kilimo ambacho kinaajiri zaidi ya asilimia 75 ya Watanzania. Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, namuomba Mheshimiwa Waziri atakapokuja na mpango wake kwa mwaka huo pamoja na bajeti, uangalie ni namna gani utajikita kuinua kilimo Tanzania kwa sababu hiki kilimo ndio kitatupelekea kupata malighafi kwa ajili ya viwanda vyetu. Nalizungumzia hilo la kilimo kwa sababu kubwa ambayo imejitokeza hivi karibuni. Wakulima kwa kiasi kikubwa wamezalisha sana mazao, hasa nafaka. Hata hivyo leo hii ukiangalia bei ya nafaka hasa mahindi na mbaazi ziko chini sana. Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa Serikali ijaribu kuangalia ni namna gani iwasaidie wakulima yale mazao wanayoyazalisha bei iweze kuwa inaeleweka, kuwe na price stabilization. Vilevile kuwe na masoko ya uhakika. Tusipokuwa na masoko ya uhakika, bei ya mazao yetu isipoeleweka kwa kweli nchi yetu itakuwa katika hali ambayo sio nzuri na uchumi wetu utakuwa katika hali mbaya kwa sababu bei zetu za mazao ukilinganisha na wenzetu sisi zipo chini sana. Kwa hiyo, ningeomba hapa Serikali iangalie jinsi gani ambavyo tutaanzisha masoko ya mazao. Mheshimiwa Mwenyekiti, jana nimesikiliza kwenye taarifa ya habari walikuwa wanazungumzia kuhusu commodity exchange market. Ikianza mapema hiyo nafikiri inaweza kutusaidia sana kuhakikisha kuwa mazao yetu yanakuwa na bei inayoeleweka na vile vile kunakuwa na masoko. Mheshimiwa Mwenyekiti, vile vile kilimo kinahitaji zaidi pembejeo, napenda niishukuru Serikali kwa mpango wake wa kuagiza mbolea kwa jumla (bulky procurement); hii imesaidia sana kiasi ambacho mbolea leo za DAP bei imeteremka karibu nusu. Kwa kule kwetu DAP inanunuliwa kwa shilingi 51,000 kwa mfuko wa kilo 50 na Urea inanunuliwa kwa shilingi 41,000 kwa mfuko, hayo ni mafanikio makubwa. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na hizi mbolea kushuka bei namna hiyo bado ninaona kuna njia ambazo zinaweza kusaidia mbolea ikashuka zaidi; kama tukiboresha zaidi miundombinu ya barabara na miundombinu ya reli. Kwa sehemu ambazo tuko ukanda wa reli ya TAZARA, kama TAZARA ikiboreshwa, bei ya mbolea inaweza kushuka zaidi. Kwa hiyo, ninaomba katika hiki kipaumbele cha kufunganisha uchumi na maendeleo tuangalie zaidi ni namna gani wananchi wanaweza kufaidi bei ya pembejeo zikawa chini zaidi kwa kuboresha huduma za miundombinu. Mheshimiwa Mwenyekiti, nafikiri vilevile Serikali iliangalie suala la afya, hasa miundombinu ya afya. Wananchi wamejenga zahanati nyingi, wamejenga vituo vya afya na bado vipo kwenye mtambaapanya wakitegemea kuwa Serikali itakuja kumalizia. Katika huu mpango unaokuja katika hii bajeti inayokuja ninapendekeza kipaumbele kiwe kumalizia hizi zahanati na vituo vya afya ambavyo kwa kiasi kikubwa wananchi wameshajenga na wengine bado wanaendelea kujenga. Kwa hiyo, upendeleo uwe kwa wananchi wale ambao wameshafikia hatua nzuri, tuweze kuwatia nguvu ili waweze kuendelea kuchangia katika ujenzi wa nchi hii. Mheshimiwa Mwenyekiti, lingine ni suala la maji. Maji kwa wananchi wetu hasa vijijini na mijini ni muhimu sana, kwa hiyo, tunapoangalia maendeleo tuangalie ni namna gani hii miundombinu ya maji hasa kwa vijijini itaweza kuboreshwa. Kwa kiasi kikubwa Serikali imewekeza sana kwenye miundombinu, imetoa hela nyingi sana kwa ajili ya miundombinu ya maji. Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini hii miundombinu sehemu nyingi likiwemo Jimbo langu la Mbeya Vijijini bado haifanyi kazi. Ukiangalia kwa kule Mbeya Vijijini tulipata miradi ya vijiji kumi na miradi ile asilimia 80 ya pesa ilishakwenda, lakini mpaka leo ni mradi mmoja tu ndiyo umekabidhiwa. Sasa katika hii bajeti, iangalie ni namna gani hii miradi iweze kukamilika ili tuweze kuanzisha miradi mingine. Mheshimiwa Mwenyekiti, vilevile katika miradi ya maji ninapendekeza kwa kule Mbeya tungeanza na vyanzo vingine mbadala. Kuna chanzo cha Mto Kiwira, naomba kipaumbele kiwepo cha chanzo cha Mto Kiwira kwa ajili ya kupeleka maji Wilaya yetu ya Mbeya hasa Jimbo la Mbeya Vijijini, nafikiri itatukomboa kwa kiasi kikubwa. Mheshimiwa Mwenyekiti, lingine ambalo linaweza kutusaidia katika mpango mzima wa maji nafikiri ni kuunganisha hizi mamlaka; mamlaka za maji mijini na mamlaka za miji midogo (clustering). Kwa hiyo, napendekeza katika mpango wa bajeti unaokuja tuhakikishe kuwa Mamlaka ya Maji Jiji la Mbeya inaunganishwa na Mamlaka ya Maji Mbalizi, lakini vilevile na miji midogo mingine ya Mbeya Vijijini iweze kuunganishwa ili kupata maji ya uhakika. Mheshimiwa Mwenyekiti, lingine ambalo ni kipaumbele ni suala la ujenzi wa mazingira wezeshi, nafikiri hili ni muhimu sana kwa sababu unapojenga uchumi kusipokuwa na mazingira wezeshi kutakuwa na changamoto nyingi sana ili kufikia malengo yetu. Pendekezo langu hapa ni kwamba tungeangalia ni namna gani wakati tunaendelea na ujenzi wa reli ya standard gauge na ile miradi mingine ya kimkakati vile vile tuboreshe na reli yetu ya TAZARA. Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na kuboresha reli ya TAZARA tunaomba vilevile tujenge bandari kavu ambayo itasaidia kwa mizigo inayoenda nchi za nje; Zambia, Malawi, Kongo, na nchi nyingine zinazotuzunguka ambazo tuna ushindani nazo kwa bandari za Beira Msumbiji, Afrika Kusini na Angola. Tukiboresha hii TAZARA na tukajenga bandari kavu na pia tukajenga reli ambayo itatuunganisha sisi na wenzetu wa Malawi kuanzia pale Mbeya na hii reli vilevile itatusaidia kuboresha huduma za meli mbili ambazo zimeshaundwa na zimeshaanza kufanya kazi kwenye Ziwa letu la Nyasa. Mheshimiwa Mwenyekiti, katika ujenzi wa mazingira… Nashukuru sana, naunga mkono hoja. MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Mwenyekiti, nashukuru sana kwa kunipa hii nafasi ya kipekee nami niweze kuchangia hizi Kamati mbili. Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza nianze kwa kuzipongeza Kamati zote mbili zimeleta ripoti zao nzuri na mapendekezo mazuri sana ambayo nina imani kama yakifanyiwa kazi na Serikali tunaweza kwenda kwenye hatua nyingine ambayo ni nzuri zaidi kimkakati kwenye mambo ya kilimo na ardhi. Mheshimiwa Mwenyekiti, kama ilivyoeleza taarifa ya Kamati ya Kilimo nafikiri na jinsi walivyoongelea wenzangu, tuna changamoto kubwa sana kwenye sekta hii ya kilimo hasa ukizingatia kuwa kilimo ndiyo sehemu kubwa inayoajiri Watanzania zaidi ya asilimia 75, lakini kwa kiasi kikubwa hatuoni mikakati madhubuti kabisa inayochukuliwa ukilinganisha na umuhimu wa sekta hii ya kilimo. Mheshimiwa Mwenyekiti, mfano mdogo kule kwangu katika Halmashari ya Mbeya tunalima pareto na zao hili lina umuhimu wa kipekee sana duniani. Halmashauri yetu tunaongoza kwa kilimo cha pareto Tanzania. Bahari nzuri kwa pareto ile inayolimwa kule vilevile inaongoza kwa uzalishaji kwa Bara zima la Afrika. Pareto inayolimwa kwenye Halmashauri ya Mbeya na sisi ni namba mbili katika uzalishaji wa pareto duniani, lakini huwezi kuona mahali popote katika makaratasi ambapo limeupa umuhimu wa kipekee hili zao la pareto. Mheshimiwa Mwenyekiti, napenda kumshukuru Waziri pamoja na Naibu Waziri wamechukua hatua ambazo kidogo zinaanza kuonesha mwanga wa kwamba labda hili zao nalo linaweza kuwaletea manufaa Watanzania. Kwa kipekee kabisa Naibu Waziri alitembelea Jimbo langu, akakutana na wakulima, akaona wakulima wanavyopata tabu ya soko la pareto. Mheshimiwa Mwenyekiti, tatizo kubwa la pareto hii ni monopoly. Tuna mnunuzi mmoja tu anayenunua zao hili na kwa bahati mbaya mnunuzi huyu katika mnyororo wa zao la pareto yeye ana-control kutoka kwa mkulima, uzalishaji na mpaka soko la dunia kwa vile kwenye soko la dunia nako amelikamata yeye. Mheshimiwa Mwenyekiti, shida tunayoipata ni kwamba yeye sasa ndiyo atampangia mkulima bei na kwa bahati mbaya hana huruma na mkulima na Tanzania. Kwa bei ya mkulima ni Sh.2,300 kwa kilo lakini kwa bei ya pareto hiyo hiyo ni Sh.8,000 kwa kilo anayouzia yeye sasa angalia hiyo spread, angalia ni kiasi gani katika dunia ya leo mkulima ananyonywa kiasi hiki. Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, pendekezo la langu, Kamati iongeze katika taarifa yake mapendekezo kuwa Serikali iweke mkakati wa kipekee kuangalia ni namna gani zao hili la pareto litakuwa na manufaa kwa wananchi. Vilevile huu uzalishaji wa pareto badala ya hii kampuni kupeleka crude extract na powder ya pareto waweze kutengeneza finished product ambazo zinaweza kuuzwa na zikapata jina ya kwamba hii pareto inatoka Tanzania. Tumenyonywa kwa kiasi kikubwa nafikiri hii itaweza kutusaidia. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi tunazungumzia Tanzania ya viwanda, nafikiri Serikali iweke mkakati namna gani tuwe na viwanda vidogo vidogo kwa ajili ya kuchakata hayo mazao ikiwemo pareto. Kiwanda cha Pareto kinahitaji mtaji wa dola laki moja na nusu tu ambazo ni karibu milioni 300. Nafikiri hizi kwa kiasi kikubwa kama kweli tuna nia nzuri ya kukiendeleza kilimo, tunaweza tukaanzia kwenye pareto tukawa na viwanda vingi na tukawasaidia wakulima waweze kupata faida. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, ukiachilia mbali pareto, kwa kiasi kikubwa mwaka huu tumepata matatizo sana kwenye mazao na hasa zao la mahindi. Serikali ilikuwa imepiga marufuku kupeleka mahindi nje ya nchi. Matokeo yake leo hii mahindi kwenye soko letu la Mbeya yameteremka bei kutoka Sh.12,000 mpaka Sh.5,000 kwa debe, leo hii linauzwa kwa Sh.3,800. Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa fikiria mkulima amepata hasara ya namna gani na hata hii Sh.3,800 huwezi kupata mnunuzi. Masoko ya huko nje tuliyozuia wenzetu wame-take advantage wamepeleka mahindi kutoka Zambia, Malawi na South Africa yamejaa kwenye yale masoko tuliyokuwa tunapaleka sisi. Mheshimiwa Mwenyekiti, nafikiri tujaribu kujitathmini na kuangalia kama hizi taarifa tunazozipata kwa wataalam wetu zinatusaidia katika ku-make decision. Nafikiri tunawaumiza wakulima na tukiumiza wakulima kwa kiasi kikubwa tunawaumiza Watanzania walio wengi ambao wanategemea kilimo. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, vilevile napenda kutoa pendekezo langu na kuiunga mkono taarifa ya Kamati ya Maji kuwa Serikali iweke mkazo tuanzishe Wakala wa Maji Vijijini kwa sababu kwenye Halmashauri zetu tuna tatizo kubwa, hatuna wataalam wa maji, tuna mainjinia na kadhalika lakini uwezo wao wa kusimamia miradi hii mkubwa ya maji ni mdogo sana. Ni afadhali tuweke chombo cha wataalam kusaidia kuhakikisha kuwa Watanzania wanapata maji. Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa mfano, Mbeya tuna maji mengi sana lakini toka 2013 hakuna mradi hata mmoja wa maji uliokamilika licha ya bajeti kubwa ya Serikali tuliyoletewa. Nina imani kuwa Wakala wa Maji atutasaidia kama tulivyoona kwenye REA na barabara. Kwa hiyo, naungana na Kamati wahakikishe kuwa hiki chombo kinaanzishwa... MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Naibu Spika, napenda kumpongeza Waziri, Naibu Waziri na timu nzima ya Wizara ya Maji na Umwagiliaji kwa kuboresha miundombinu na upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama katika nchi yetu. Mheshimiwa Naibu Spika, pamoja na umuhimu wa maji, changamoto kubwa ya utekelezaji wa bajeti ya maji ni ufinyu wa mapato uliopelekea Wizara kupokea asilimia 19. 8 tu ya fedha zote za bajeti ya maendeleo zilizoidhinishwa na Bunge kufikia Machi 2017 kwa mwaka 2016/2017. Changamoto nyingine ambayo ni sugu ni fedha za miradi ya maji kutumika vibaya kutokana na kutokuwepo na usimamizi wa kutosha. Mheshimiwa Naibu Spika, katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya, miradi karibu yote ya kuanzia mwaka 2013/ 2014 ya shilingi bilioni 6.2 ambayo pesa imelipwa zaidi ya nusu miradi hiyo mpaka sasa haifanyi kazi. Kati ya miradi hiyo, ripoti ya CAG inaonesha kuwa malipo yalifanyika bila ukaguzi na kwa kazi ambazo hazikufanyika. Mradi wa Swaya/Lupeta zimelipwa shilingi milioni 120 kati ya shilingi milioni 520 na kazi iliyofanyika haizidi shilingi milioni 50. Pia mradi wa Mbawi na Jojo wa shilingi milioni 804, zimelipwa karibu asilimia 100 lakini mradi haufanyi kazi. Pia mradi wa Horongo/Itimu/Mwampalala zimelipwa shilingi bilioni 1.2 (100%) na uko chini ya kiwango na malipo yalifanyika bila kuzingatia utaratibu wa malipo ya Serikali ikiwemo kutofanyika kwa ukaguzi. Mheshimiwa Naibu Spika, kukosekana kwa usimamizi wa miradi ya maji, fedha za miradi ya maji zinatumika vibaya na wananchi wanaendelea kukosa huduma ya maji salama. Pamoja na miradi hiyo kutofanya kazi, ripoti za Wizara ya Maji zinapotoshwa kuonyesha kuwa miradi iliyotajwa hapo juu na mingine ambayo wala haijaanza imekamilika wakati wananchi walengwa katika vijiji hivyo hawana maji. Ripoti hizo za kupotosha zimepelekea kwa makusudi hata majibu ya swali la maji katika Mji Mdogo wa Mbalizi kujibiwa kwa kupotosha kuonyesha hakuna uhaba wa maji na pia kuonyesha vyanzo vya maji ambavyo havipo. Mheshimiwa Naibu Spika, wananchi kupitia Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya wameniagiza kumwomba Waziri wa Maji atembelee hiyo miradi aliyodanganywa na pia Bunge lielezwe hao wahusika wa upotevu wa fedha za miradi iliyotajwa ni hatua gani zimechukuliwa kwani hadi leo hii miradi iliyotajwa hapo juu haifanyi kazi. Kutokana na changamoto za usimamizi usioridhisha, naunga mkono mapendekezo ya kuanzishwa kwa Wakala wa Maji Vijijini (Rural Water Agency). Kuanzishwa kwa Wakala huyu kutaongeza tija ya bajeti ya maji. Mheshimiwa Naibu Spika, naungana na mapendekezo ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji ya kuongeza tozo ya mafuta kwa kila lita ya dizeli na petroli kutoka Sh.50/= ya sasa kufikia Sh.100/=. Ripoti ya EWURA ya mwaka 2015 inaonyesha lita 3,380,097,164 ziliingizwa nchini na kwa tozo ya Sh.100/= kwa lita, mfuko ungekusanya shilingi bilioni 338. Hili ongezeko la tozo ni muhimu kutekelezwa haraka iwezekanavyo ili kunusuru hali ya maji vijijini. Mheshimiwa Naibu Spika, Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya ina vyanzo vingi vya maji ya mserereko. Pamoja na kuwepo vyanzo vingi, zaidi ya asilimia 60 ya wananchi hawana maji salama. Kuna Vijiji vichache kama vya Ngole, Iwala, Idugumbi na Chombe, wananchi wamejihamasisha na kuanzisha miradi ya kujitolea. Vijiji vya Mjete ni eneo la ukame na hakuna maji kabisa. Pia kuna vijiji zaidi ya 100 pamoja na kuwepo vyanzo vizuri vya maji ya mserereko lakini hawana maji salama. Wizara iangalie namna ya kupeleka miradi ya maji katika vijiji hivyo. MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Mwenyekiti, napenda kumpongeza Waziri wa Fedha na Mipango, Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango, Naibu Waziri Mheshimiwa Dkt. Ashatu Kijaji, Katibu Mkuu na Naibu Makatibu Wakuu pamoja na Wataalam wa Wizara kwa kazi nzuri ikiwa ni pamoja na kuandaa hii bajeti. Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na kazi ya kusimamia mapato, jukumu la Wizara ya Fedha ni kusimamia udhibiti wa matumizi ya fedha za umma. Matumizi mazuri ya fedha, yanaweza kutekelezeka kama kutakuwepo na utendaji wenye tija kwa kada ya ukaguzi wa ndani pamoja na Kamati za Ukaguzi katika Halmashauri zetu. Imezoeleka kuona Idara ya Ukaguzi wa Ndani kutofanya kazi zake kwa uhuru, kwa muundo tulionao sasa ambapo Mkaguzi wa Ndani anasimamiwa na Mkurugenzi wa Halmashauri. Pia hata Wakuu wa Idara ya Uhasibu imekuwa kawaida kutekeleza kazi zao kinyume na misingi na kanuni za fedha. Mheshimiwa Mwenyekiti, hali ya kushangaza imejitokeza katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya kwa Mhasibu mwenye sifa na mwaminifu kuondolewa kwenye nafasi yake kwa kuwa alikataa maagizo ya Mkurugenzi kufanya malipo kinyume na kanuni. Huyu Mhasibu mwenye cheti cha juu cha uhasibu (CPA) amehamishiwa kufanya kazi za ukarani kwenye Sekondari ya Kijijini. Pia Idara ya Ukaguzi wa Ndani akiwemo Mkuu wa Idara wapo katika wakati mgumu kwa vile waliandika ripoti iliyoibua ubadhirifu kwenye miradi ya maendeleo. Mheshimiwa Mwenyekiti, kutokana na ripoti hiyo Baraza la Madiwani lilichukua hatua za kinidhamu kwa wahusika, lakini kwa sasa linapingwa na viongozi kiasi cha kuwagawa Madiwani. Mheshimiwa Mwenyekiti, napendekeza Wizara ya Fedha, kuimarisha Idara ya Ukaguzi wa Ndani ikiwemo idara hii kuwa huru (Independent). Pia Wizara ifanye ukaguzi wa miradi ya maendeleo ambayo kwa kiasi kikubwa kuna upotevu mkubwa wa fedha. Kuwepo na mkakati wa kudhibiti matumizi ya fedha za umma badala ya kusubiri ripoti za Mkaguzi (CAG) ambayo ni postmortem. Mheshimiwa Mwenyekiti, Ofisi ya Msajili wa Hazina ina umuhimu wa kipekee wa kusimamia Mashirika ya Umma. Mashirika ya Umma ni muhimu na chanzo kikubwa cha mapato yasiyo ya kodi. Lengo kuu la Ofisi ya Msajili wa Hazina ilielekezwa kuboresha utendaji wa Mashirika ili yatoe mchango mkubwa kwenye kuinua uchumi wa nchi yetu. Mheshimiwa Mwenyekiti, Ofisi ya Msajili wa Hazina ifanye tathmini ya mashirika ambayo hayana tija na kuyatengenezea mkakati wa kuyafufua au kubadilisha malengo kupelekea yawe na tija. Katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya kuna mashamba makubwa yaliyokuwa ya Tanganyika Packers katika Mji Mdogo wa Mbalizi kutokana na Sheria za Mipango Miji mashamba hayo yanakosa sifa za kuwepo Mjini. Kutokana na hali hiyo, Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya imetafuta ardhi kubwa ya zaidi ya ekari 7,000 kuwa mbadala wa haya yaliyokuwa mashamba ya kunenepesha ng’ombe. Mheshimiwa Mwenyekiti, napenda kukumbusha Wizara, kukubaliana na ombi la Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya ili uwekezaji wa iliyokuwa Tanganyika Packers uhamishiwe kwenye eneo mbadala ambalo ni muafaka kwa mazingira ya sasa. Mheshimiwa Mwenyekiti, huduma za kibenki hazijafika vijijini kama ilivyo mijini. Mabenki karibu yote yanasita kuhudumia wakulima wadogo na wananchi wa vijijini. Huduma za kibenki ni muhimu sana kwa kilimo cha tija ambacho ndiyo mhimili wa uchumi wa Tanzania. Kutokana na changamoto za mtaji wa Benki ya Wakulima (TADB) napendekeza Serikali ielekeze revolving fund ya shilingi milioni 50 kwa kila kiijiji kusimamiwa na TADB. Kwa kuipa TADB jukumu la kusimamia huu mfuko wa milioni 50 kwa kila kijiji utawezesha usimamizi mzuri wa huu mfuko na wakati huo kuiwezesha TADB kutekeleza majukumu yake. MHE. ORAN M. NJEZA: Mheshimiwa Mwenyekiti, napenda kumpongeza Waziri wa Fedha na Mipango, Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango, pamoja na timu nzima ya Wizara ya Fedha na Mipango kwa kuleta mapendekezo mazuri ya Mpango na pia Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti kwa mwaka 2018/2019. Naomba nipendekeze kuwa katika kipaumbele cha viwanda vya kukuza uchumi na ujenzi wa msingi wa uchumi na viwanda msukumo wa kuboresha kilimo, hasa katika suala la bei na uhakika wa masoko ya mazao. Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kuboresha kilimo tutaweza kuwa na malighafi ya kutosha kwa viwanda vyetu. Pamoja na msukumo wa kuanzisha kanda maalum za kiuchumi na kuimarisha SIDO, napendekeza katika mpango kuwepo na viwanda vidogo huko vijijini ili kuongeza thamani ya mazao, uwepo msukumo wa viwanda vya kuchakata pareto kutokana na mahitaji makubwa ya duniani. Mheshimiwa Mwenyekiti, katika kipaumbele cha kufungamanisha uchumi na maendeleo ya watu, kipaumbele hiki ni muhimu sana hasa ukizingatia kuwa kukua kwa uchumi wetu kuendane na hali za wananchi hasa vijijini. Katika mpango wa mwaka 2018/2019 napendekeza Serikali iweke katika bajeti ya maendeleo umaliziaji wa miradi iliyokwama kwa muda mrefu. Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya wananchi wamejitoa sana katika ujenzi wa zahanati na vituo vya afya na pia ujenzi wa madarasa pamoja na ujenzi wa kituo cha polisi cha wilaya. Mheshimiwa Mwenyekiti, hali ya upatikanaji wa maji hairidhishi katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya. Kati ya miradi tisa iliyoanzishwa mwaka 2013, ni mradi mmoja tu uliokabidhiwa wakati zaidi ya shilingi bilioni 4.2 kati ya shilingi bilioni 5.5 ambayo ni 84% zimelipwa, lakini wananchi hawapati maji, Serikali ihakikishe miradi hii inakamilika. Mheshimiwa Mwenyekiti, wakati huo huo napendekeza mradi wa maji wa chanzo cha Mto Kiwira kwa matumizi ya Wilaya ya Mbeya. Pia kuwepo na kuunganisha Mamlaka ya Maji ya Jiji la Mbeya na Mamlaka ya Maji ya Mji Mdogo wa Mbalizi. Pia kuwepo kwa bajeti ya ujenzi wa mabwawa kwa wafugaji wa Kata ya Mjele. Mheshimiwa Mwenyekiti, katika kipaumbele cha ujenzi wa mazingira wezeshi, napendekeza msukumo uwepo wa kuboresha miundombinu ya barabara vijijini. Pamoja na uchumi mzuri wa Wilaya Mbeya, hali ya barabara ni changamoto kubwa. Napendekeza msukumo uelekezwe kuboresha barabara za kuunganisha mikoa, ikiwemo barabara ya Mbalizi – Makongorosi, barabara ya Mbalizi – Shigamba, barabara ya Isyonje – Kikondo – Makete – Njombe, barabara ya Mjele – Mlima Njiwa, barabara ya Kawetere – Ikukwa, barabara ya Mbalizi – Songwe – Jojo, barabara ya Ilembo – Mwala, barabara ya Ilembo Isonso na pia, by pass ya Mlima Nyoka (Uyole) – Songwe. Mheshimiwa Mwenyekiti, napendekeza reli ya TAZARA iboreshwe na iende sambamba na uboreshaji wa Bandari ya Dar es Salaam ikiwa ni pamoja na ujenzi wa Bandari Kavu Inyala, Mbeya. Pamoja na uboreshaji wa reli ya TAZARA, pia iwekwe kwenye bajeti ujenzi wa Reli ya Uyole, Mbeya kwenda Malawi, ili kukabiliana na ushindani wa biashara ya Bandari yetu ya Dar es Salaam na bandari nyingine kama Beira, Msumbiji na zile za Afrika Kusini na hata Angola. Mheshimiwa Mwenyekiti, katika kipaumbele cha kuimarisha usimamizi na utekelezaji wa Mpango, napenda msukumo uwekwe kuboresha ufuatiliaji na utoaji taarifa za utekelezaji, ikiwa ni pamoja na kuwepo kwa mfumo utakaotoa taarifa sahihi. Taarifa nyingi za miradi zimekuwa hazina uhalisia na zinapotosha, taarifa za miradi ya maji katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya zimekuwa zinapotoshwa. Naunga mkono hoja.
2018-04-26T01:54:59
http://parliament.go.tz/polis/members/241/contributions
[ -1 ]
HANDENI KWETU: Tangazo la kifo cha bwana Sijaona Simon Familia ya bwana Sijaona Simon wa Dar es Salaam, inasikitika kutangaza kifo cha baba yao mzazi ndugu Simon Malosha kilichotokea siku ya alhamisi tarehe 22/5/2014 saa nane mchana katika hospitali ya TMJ. Mazishi yatafanyika jumapili tarehe 25/5/2014 saa tisa mchana katika Makaburi ya Kinondoni, Dar es Salaam. Misa ya kumuaga marehemu na kutoa heshima za mwisho, itafanyika kwa Marehemu Sijaona magorofa ya Urafiki block QA. Taarifa ziwafikie kaka yake mkubwa William Lukuba wa Nyakato Mwanza, Dada yake mkubwa wa Mwanza, waumini wote wa Kanisa la Mlima wa Moto Dar es Salaam ndugu, jamaa na marafiki wote wanao husika na msiba huo.
2017-05-25T06:52:39
http://handenikwetu.blogspot.com/2014/05/tangazo-la-kifo-cha-bwana-sijaona-simon.html
[ -1 ]
50th Anniversary of African Union … Dar Images | simbadeo2000 50th Anniversary of African Union … Dar Images Pamako Products. Wine za Rosella na Juice za Rosella. Anapatikana Kijiji cha Malegea, P.O. Box 20, Nansio, Ukerewe, Mwanza. +255-762-008327. Band ikitumbuiza Naam. Mwanadada alifanya makubwa. Walikamilisha burudani … ilinoga sana. Mavazi bora … kazi ya ubunifu. Dreads na mapambo ya Kimasai ya akina mama. Bw Eliakim Laizer wa Ilkiding’a. Watembelee hapa: http://www.ilkidinga.com. Naye unaweza kumpata hapa: +255 713 520 264. Naam, baadhi ya nchi zilizowakilishwa. Kazi za sanaa … kazi za mikono ya mwanadamu … ubunifu wa hali ya juu. Madam Khadija M. John wa Khadija Designs. Anapatikana Kwakilosa Area, P. O. Box 1679, Iringa, Tanzania. +754 496916. Pochi … mikoba … ndiyo mahali pake. Inapendeza. Sana. Ni katika maadhimisho ya kumbukumbu za miaka 50 tangu kuanzishwa wa Umoja wa Afrika (zamani OAU na siku hizi ni AU). Kuna mengi ya kutafakari. 1. Uhuru wa bendera umepatikana — Je, ni lini Afrika itajikomboa dhidi ya UTAWALA wa wakoloni (weusi)? 2. Amani bado ni bidhaa adimu na tete barani humu … Je, AU ina ubavu wa kutuliza mambo na kurekebisha hali ya mambo? Kwa nini miaka 50 baada ya uhuru bado tuna pengo kubwa la kimapato kati ya matajiri na masikini? 3. Yaani, kwa nini tuwe na matajiri 3 katika kila watu 100, huku watu wa daraja la kati wakiwa 7 na wengine waliobaki wakiwa ni masikini wa kutupwa? 4. Changamoto yetu ni kubadili mwenendo huo wa kitakwimu ili kwamba walau tuwe na watu 90 wa kipato cha kati katika watu 100, kisha tuwe na matajiri 7 na masikini 3 tu. 5. Wewe, mimi, yule … tuna wajibu katika kufikia mabadiliko hayo. Kila mmoja ajitume na kutimiza wajibu wake kikamilifu. Pamoja sana. Siasa ziwekwe kando. Tunataka vitendo, vitendo, vitendo. Posted in Culture, Economy, Education, Entertainment, Family and social life, History, human rights, Investment, Media, Nature and the Environment, Places, Siasa na jamii, Talent Tagged with African Union, AU, OAU, Organisation of African Unity « Ukwepaji Kodi … Nchi Changa Zayakabili Makampuni ya Kimataifa Justine Kasyome … Yuko Hapa »
2018-01-18T23:40:34
https://simbadeo.wordpress.com/2013/05/25/50th-anniversary-of-african-union-dar-images/
[ -1 ]
Maoni na ushauri wenu vitanisaidia katika hili | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Maoni na ushauri wenu vitanisaidia katika hili Discussion in 'Mahusiano, mapenzi, urafiki' started by rehema nyuda, Jan 3, 2012. Nina mchumba ambaye tunamuda mrefu kidogo kwa sasa, mwanzo tulipokutana tukawa tunawasiliana kama marafiki wa kawaida lakini cku moja akanitamkia kuwa ananipenda na anataka tuwe wachumba ambao hatima yetu kujakuwa mume na mke, nami kwakuwa sikua na mtu mwingine nikamkubalia lakini nikamwambiwa anichunguze kwa muda nami ntafanya hivyo kwa upande wake. Nikawa mkweli kwake nakumpa background yangu naye akakubali kilichoniboa kwake wakati tunaendelea kuchunguzana akanipigia sim nakusema nanukuu "mpenzi wangu nakupenda sana ili nisikusaliti naomba unipe penzi lako, amini kuwa mimi ndiye mumeo mtarajiwa" naomba ushari na maoni yenu wana JF. ina maana ni wachumba lakini hakuna kula 'halua'? sasa hapo mnachunguzana nini? kuchunguzana si pamoja na kujua yote? ya ndani na nje? Sasa ushauri na maoni kuhusu nini?Hiyo kauli mbona inajielezea?Either unataka au hutaki. Kama mna malengo hata huko mnaweza mkachunguzana (japo hulazimishwi) ili msije mkaanza kulalamikiana mkishaoana. Kabla haujafanya chochote jiulize kwanza haya maswali. Je ni kweli anakupenda? Umeridhika naye awe mume wako? Ni mwaminifu kwako? ana mipango mizuri na wewe (Future)? Aombwae radhi siku zote asipoelewa maana ya neno "SAMAHANI" husomeka muombaji radhi si tatizo, bali tatizo ni muombwa radhi. Huwezi kumtambua mwenye virusi vya ukimwi kwa macho.....tafakari, amua, chukua hatua! Achana naye huyo mwanaume anataka kukuvua chupi tu afu apotee zake. Anaye taka kuoa...Anaoa tu, hata kama hajakuvua chupi....wewe ishikile tu chupi kwa kwenda juu ya kitovu....Ukiregeza ikafika chini ya magoti...Ujue wazi CCM kitashinda tena uchaguzi wakati wakugombea uraisi. Kwa nje ameshakuchunguza bado ndani uzuri wewe mwenyewe ndio ulimpa go ahead ya kukuchunguza dada angu asikuongopee mtu, huyo jamaa amekuambia yanayotoka moyoni bila kuficha au kutumia lugha za kungátangáta, najua ulitaka kuambiwa kwa lugha tamu lakini maneno hayo hayo anayoyasema lakini ki ukweli moyoni amekusudia kusema hayo. hapa nataka kusema nini, kuishi katika ndoa ni kuchunguzana kila kitu na kufahamiana katika kila angle nini unapenda na nini mwenzio anapenda, wakati mwingine mtanakiwa kujaribu yote kujua unafurahia karibu vingi ndani ya mwenzako ( si lazima vyote mana hakuna aliye mkamilifu)!! hasa sex ni kitu muhimu saana kukijua kabla hujaingina ndoani.. nakuuliza, unamnyima saizi vipi ukiingia ndani ya ndoa ukamkuta hafanyi kazi vizuri au hasimamishi barabara? au vipo ukiingia ndani ya ndoa ukamkuta ni wale ambao saizi yake haikufikishi kunako?(maana amini hapa duniani watu wameumbwa kwa saizi mbalimbali sema siku hizi tu wanachakachua, yule aliyeumbwa kupokea small size siku hizi anapokea XXXXXX large), hapo si ndo utaanza kutoka nje kutafuta vingine? kwa nini usijue sasa kama unamfurahia kunako sita kwa sita? si hili tu, haya yanapaswa kufanyika katika kila kitu, kuangalia kama mna hobby zinazoendana, kama mnaelewana mnapopanga mambo, kama mnasikilizana kama mkiambiana, kama mnarekebishika kama mkirekebishana... usipoyajua haya itakula kwako mbeleni na mtaishia kuachana. watoto wa siku hizi sio kama wale wa enzi za mwalimu utandawazi umewaharibu sana so inahitajika kuwafanhamu vizuri sana kabla ya kuoa!! hujiulizi kwa nini ndoa za siku hizi hazidumu? yote haya yanachangia nakuambia ushauri: nendeni mkapime kabla ya yote na jaribu pia uonekama unaridhika naye kitandani, ukiona fyne, usimpe mara kwa mara na jaribu pia kuangalia katika mambo mengine ukiona nako safi ongea naye kimahaba zaidi kuharakisha ndoa... usimforce katika hilo usije ukapeperusha njiwa Nikawa mkweli kwake nakumpa background yangu naye akakubali kilichoniboa kwake wakati tunaendelea kuchunguzana akanipigia sim nakusema nanukuu "mpenzi wangu nakupenda sana ili nisikusaliti naomba unipe penzi lako, amini kuwa mimi ndiye mumeo mtarajiwa" naomba ushari na maoni yenu wana JF.Click to expand... tukushauri nini tena na wakati unaiona red iyo Mmmmmmmmh!....hala hala mti na macho. Unataka kumuuzia mbuzi kwenye gunia?mpe tu aonje ili ajue kama ni tamu au chungu.kama ni tamu lazima atangaze ndoa ila kama ni chungu subiri kibuti tu! Hahahaha! Mbona anaomba penzi kishamba hivyo! Lol. Ata-certify vipi bila kugonga muhuri? Labda kama sio loya Kwani hujawahi kumpa mtu yeye ndio wa kwanza? kama ushawahi kuitoa mwanzo basi na yeye anagalau kakwambia maneno matamu kidogo aonje usimalize mapishi tuu, Ninashukuru kwa ushauri wenu nitazingatia yote mliyosema. Kwenye hii generation, hivi vitu kawaida tu! kama kweli umeridhika nae go ahead! msisahau kutumia dawa ya penzi wajukuu zangu loh. . . . . Huyo mwanaume mshamba, tena usimkubali, na mpige chini fasta. Linabembelezea penzi kwenye simu!!! Angekuwa mjanja angekuwa ameshakuchojoa nguo zamani. wala usingekuja kuomba ushauri hapa, labda kutuhadisia utamu ulioupata...
2016-12-03T09:47:43
http://www.jamiiforums.com/threads/maoni-na-ushauri-wenu-vitanisaidia-katika-hili.208643/
[ -1 ]
Marekani yatoa msaada | Matukio ya Afrika | DW | 23.01.2013 Marekani yatoa msaada Maafisa kutoka Marekani wamesema hatua ya nchi hiyo kusafirisha vikosi vya Ufaransa mjini Bamako inaweza kuendelea kwa wiki nyengine mbili zijazo. Ndege ya Kijeshi ya Marekani Jeshi la Marekani limeweka kati ya watu 8 hadi 10 katika uwanja wa ndege wa Mali, kusaidia katika ndege zinazoingia na kutoka mjini Bamako hadi pale wanajeshi wote watakaposafirishwa mjini humo. Tayari ndege tano za Marekani zimewasili Bamako na kuwapeleka takriban wanajeshi 80 wa Ufaransa mjini humo pamoja na tani 124 za vifaa vya kijeshi. Hata hivyo Marekani haitoi msaada wa moja kwa moja kwa wanajeshi wa Mali kwa sababu serikali iliyoteuliwa kidemkorasia nchini humo ilipinduliwa mwezi Machi mwaka jana na wanajeshi walioasi. Wanajeshi wa Ufaransa Ufaransa ilio na wanajeshi 2,500, iliingia Mali Januari 11 mwaka huu kupambana na waasi kaskazini mwa nchi hiyo. Vikosi hivyo vikishirikiana na vile vya serikali ya Mali kwa sasa vimefanikiwa kuikomboa miji ya Diabaly, Konna na Doutenza iliyokuwa inadhibitiwa na waasi. Vikosi vya nchi hizo mbili Mali na Ufaransa vinaendelea kusonga mbele kuingia katika miji zaidi inayodhibitiwa na waasi ili kuiokomboa na kuirudisha mikononi mwa serikali ya Mali. Japan kufunga ubalozi wake, Mali Huku hayo yakiarifiwa, Japan imesema huenda ikaufunga ubalozi wake nchini Mali kwa hofu ya kutokea ghasia zaidi. Kulingana na taarifa iliyotoka katika wizara ya mambo ya nchi za nje ya Japan, wafanyakazi wote wa ubalozi huo wataendelea kufanya kazi katika ubalozi wake nchini Ufaransa. Waasi nchini Mali Taarifa hiyo imesema wafanyakazi wote wataondoka mjini Bamako ifikapo Januari 27 pindi maandalizi ya kuondoka yatakapokamilika. Habari hii imekuja siku moja baada ya nchi hiyo kutangaza kuwa raia wake 7 walikufa katika nchi jirani na Mali, Algeria, kufuatia mzozo wa mateka katika kiwanda cha gesi nchini humo. Wakati huo huo, wachambuzi wa siasa nchini Chad wanasema rais wa nchi hiyo, Idriss Deby, anaonekana kuwa tayari kabisa kutuma kikosi kikubwa cha wanajeshi nchini Mali kusaidia kupambana na waasi. Rais wa Chad Idriss Deby Hata hivyo taarifa kutoka kwa maafisa wa Chad, zinasema kikosi hicho kilicho na mafunzo ya hali ya juu ya kijeshi, kilicho na vifaa vya kutosha pamoja na uzoefu mkubwa wa vita vya jangwani, hakitajiunga rasmi na mpango wa kimataifa wa kuisaidia Mali ambao utakuwa na wanajeshi zaidi ya 4,000 walioombwa na mataifa ya magharibi. Lakini kitakuwa ardhini kikifanya kazi na kikosi ambacho kitakuwa kikioongozwa na Nigeria. Watafanya kazi pia na vikosi vya Ufaransa ambavyo viliingilia kati katika kuwafurusha waasi kaskazini mwa Mali. Mwandishi Amina Abubakar/AP/AFP Wanajeshi 1,000 wa Afrika wawasili Mali Huku vikosi vya Ufaransa vikizidi kusonga mbele katika juhudi za kuwaondoa waasi kaskazini mwa Mali, wanajeshi wengine 1,000 wa Kiafrika wamewasili nchini humo kusaidia kuwaondoa kabisa waasi kaskazini mwa nchi hiyo. (22.01.2013) Ufaransa na Mali zasonga mbele Majeshi ya Ufaransa na Mali yanaripotiwa kusonga mbele katika mji wa mashariki wa Diabaly ambao umekuwa kitovu cha mashambulizi ya anga na mapigano tangu ulipodhibitiwa na waasi wa Kiislamu wiki moja iliyopita. (21.01.2013) Mada Zinazohusiana Marekani, Mali, Benki Kuu ya Marekani, Chama cha Republican, Donald Trump, Mike Pence, Marine Le Pen, CIA, Francois Fillon, NAFTA Maneno muhimu Mali, Marekani, Ufaransa, Waasi Kiungo http://p.dw.com/p/17Q54 Marekani yataka baraza la Usalama kuchukua hatua dhidi ya Urusi 15.03.2018 Balozi wa Marekani kwenye Umoja wa Mataifa Nikki Haley amelieleza Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuwa Marekani inaamini Urusi inapaswa kulaumiwa kwa shambulizi la sumu dhidi ya Scripal. Mauzo ya silaha yaongezeka Mashariki ya Kati 12.03.2018 Mauzo ya silaha katika nchi zinazokabiliwa na migogoro Mashariki ya Kati yameongezeka mara mbili katika kipindi cha miaka mitano iliyopita huku Marekani na nchi za ulaya zikisafirisha shehena kubwa ya silaha.
2018-03-20T12:16:32
http://www.dw.com/sw/marekani-yatoa-msaada/a-16544890
[ -1 ]
Gwakisaj: 2008 It is long time since I once saw some of you,I can now see you and some of you don't even know how I can see you.This is what we call Technology,It can just take seconds for me to get to see you pictures! I can see those faces,I really miss you all an I wish you all A happy New Year! But I don't know that very small kid!Everything has changed,Soon I will go to see all those changes. Posted by Iwindi_Mbalizi at 7:06 AM Labels: Iwindi Village (Home) My lovely grandfather is growing Old and as he grows Old the house also grow old.I can see how lonely the grandparents are after all the other family members are away to other cities and countries. I really thank you grandfather cause without you I don't know how I could have been today.I know you made me stronger and you fought for me in whatever Situation and may God bless you and give you a longer life.I will try to pay you back by doing something to the family and all those in need of my Help.I know there is nothing to pay back to you but just say thank you! His name is Samwel A.Swila,He is one of the wonderful grandfather i have seen,He was ready to fight for me at whatever cost.Even if fighting for me was at the expense of his happiness he always fought.Whoever has lived with me It is all his work with the Help of his almighty. Posted by Iwindi_Mbalizi at 5:05 AM Chadema Vs CCM in my Home! http://www.mwananchi.co.tz/newsrids.asp?id=8873 Date::12/28/2008 Mgombea wa Chadema awekewa pingamizi MCHAKATO wa uchaguzi mdogo wa ubunge katika jimbo la Mbeya Vijijini umeingia dosari baada ya mgombea wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)Sabwee Shitambala kuwekewa pingamizi na vyama vya CUF na CCM. Wakati mgombea huyo wa Chadema akiwekewa pingamizi, Chadema imeeleza kumwekea pia pingamizi mgombea wa CCM kwa madai kuwa amesema uongo kuhusu mahala alipozaliwa. Vuta nikuvute hiyo ilitokea jana katika ofisi ya msimamizi wa uchaguzi huo ambako CUF na CCM wamedai kuwa mgombea wa Chadema ameapa kinyume na taratibu za uchaguzi. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuwasilisha fomu ya pingamizi hilo mjumbe wa tume ya uchaguzi ya CUF, Hussein Mmasi alisema chama chake kimeamua kumuwekea pingamizi mgombea wa Chadema kutokana na kuapa katika kampuni ya uwakili badala ya mahakama ya wilaya. "Tumeweka pingamizi kutokana na mgombea wa Chadema kuapa katika kampuni ya uwakili ambako yeye anafanyia kazi. Kufanya hivyo ni sawa na mgombea huyo kujiapisha mwenyewe,"alisema. Alisema taratibu za kisheria zinawataka wagombea kuapa mahakamani na siyo kwenye makampuni ya uwakili, kwani fomu ya mgombea wa Chadema inaonyesha mhuri wa kampuni ya mawakili ambayo ndiyo anayofanyia kazi. Madai hayo ndio pia yaliyokifanya Chama Cha Mapindizi kumwekea pingamizi mgombea huyo. Akizungumza na gazeti hili, Mkurugenzi wa vijana wa Chadema John Mnyika, alikiri kuwepo pingamizi hilo na kueleza kuwa chama kimejipanga kulipangua. Alisema viapo vilikuwa wazi na Chadema imejipanga kuliondoa pingamizi hilo. Akizungumzia suala la pingamizi la mgombea wake, Mnyika alisema limewekwa kimakosa kwani mawakili ambao ni makamishna wa uchaguzi wa wilaya wanaruhusiwa pia kuwaapisha wagombea. Alisema mgombea wa Chadema alilazimika kuapishwa na wakili kutokana na mahakama kufungwa siku za sikukuu. Katika hatua nyingine Chadema kimemwekea pingamizi mgombea wa CCM Mchungaji Luckson Mwanjali kwa madai kuwa mgombea huyo alitoa taarifa za uongo kuhusu mahali alipozaliwa. Akizungumzia pingamizi hilo mjumbe wa kamati kuu ya Chadema na ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Mpanda Kati, Said Arfi alisema wameamua kutoa pingamizi hilo kutokana na mgombea huyo kutoa taarifa ya uongo kuwa ni mzaliwa wa Igawilo kitongoji cha Uyole jijini Mbeya huku taarifa zinaonyesha kuwa ni mzaliwa wa Tukuyu wilayani Rungwe. "Tumeamua kuweka pingamizi dhidi ya mgombea wa CCM kutokana na kuwepo kwa sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kutoa sababu za uongo za mahali alipozaliwa na tumemtaka mgombea huyo awasilishe vielelezo vitakavyothibitisha sehemu halali aliyozaliwa,"alisema. Alizitaja sababu nyingine za pingamizi hilo kuwa ni Mgombea huyo kutotoa tamko la kisheria kuhusu maslahi yake katika hospitali teule ya Wilaya ya Mbeya ya Ifisi na kwamba siye mgombea aliyethibitishwa na chama chake cha CCM. Posted by Iwindi_Mbalizi at 1:05 AM Labels: Mbeya Vijijini mbeya Rural Constituency http://www.mwananchi.co.tz/newsrids.asp?id=8868 Mambo ya Harakati za Ubunge Mbeya Vijijini. Urejeshaji fomu wafunika Mbeya Vijijini Na Brandy Nelson, Mbeya SHAMRASHAMRA na chereko jana ziliifunika Ofisi ya Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Mbeya vijijini kutokana na mashabiki wa vyama kuwasikidikiza wagombea wao kurejesha fomu kwa maandamano. Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ndio waliokuwa wa kwanza kurejesha fomu huku mgombea wao Sambwee Shitambala akisindikizwa na mamia ya wafuasi wa chama hicho waliokuwa wakiimba nyingi za kejeli dhidi ya Chama cha Mapinduzi. Huku wengine wakiimba, CCM fisadi, CCM fisadi, wengine walikuwa wamebeba bendera za chama hicho wakiwa na magari, baskeli na pikipiki. Katika ofisi hizo wafuasi wa Chadema kutoka katika maeneo mbalimbali ya Mbeya Vijijini waliotembea kwa mguu kutoka katika ofisi za chama hicho zilizoko maeneo ya Mama John kwa maandamano, walijazana wakishuhudia mgombea wao akirejesha fomu. Kwa upande wake CCM, walianza maadamano yao Mbeya Vijijini mapema asubuhi wakiwa na magari yaliyojaa wapambe huku mgombea wao, Lackson Mwanjali akiwa juu ya gari akipungia mkono watu waliokuwa pembeni ya barabara. Hata hivyo, msafara wake ulipata msukosuko alipofika katika eneo la Stendi na Soko la Mbalizi Mbeya vijijini alipokutana na watu waliomzomea. Katika hali isiyo ya kawaida wananchi na waliokuwa pembezoni mwa barabara walionekana ni wafuasi wa vyama vingine waliuzomea msafara huo huku wakipiga kelele za mafisadi , mafisadi na kusababisha mgombea huyo kukerwa na hali hiyo. Baada ya kuonekana makelele yanazidi aliamua kuwapa ishara kwa kunyosha vidole viwili juu vya mkono wa kushoto na kimoja cha mkono wa kulia kupachika katikati ya vidole hivyo. Hali hiyo ilisababisha mji mdogo wa Mbalizi kuzidi kwa makelele na kumzomea, hali ambayo iliulazimu msafara wake kusitisha maadamano na kurejesha fomu kimya kimya. Akizungumza baada ya kurudisha fomu zilizopokelewa na Msimamizi wa Uchaguzi, Juliana Malange, mgombea wa Chadema, Sambwee Shitambala alisema ameamua kugombea uongozi katika jimbo hilo ili kudhihirisha kuwa wananchi wa jimbo hilo wanataka maendeleo. Shitambala alisema wakati wa mabadiliko umefika sasa na kuwaahidi wananchi wa jimbo hilo kuwa hajagombea ili awe mtawala bali amekuja kuwatumikia wananchi wa jimbo hilo waliozingirwa na umasikini tangu nchi hii ilipopata uhuru miaka 45 iliyopita. Wengine waliorudisha fomu ni pamoja Subi Mwakapiki wa Chama cha Sauti ya Umma na Daud Mponzi wa Chama cha wananachi (CUF). Kampeni za uchaguzi huo wa kuziba nafasi iliyoachwa kufuatia kifo cha mbunge wa jimbo hilo, Richard Nyaulawa, zinatarajiwa kuanza Desemba 30 mwaka huu. Wakati huo huo, Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa wa Mbeya, Godfrey Mwamboma amekihama chama hicho na kujiunga na Chadema. Mwamboma ni miongoni mwa wananchi wengine 102 wa vijiji vya Itewe, Inyala na Idunda vilivyopo katika kata ya Inyala Wilaya ya Mbeya vijijini waliorudisha kadi za CCM na kujiunga na Chadema huku wadai kuhama kwa sababu chama hicho kimewatelekeza tangu walipokichagua mwaka 2005. Mwamboma aliyekuwa na kadi ya CCM namba 177601 iliyotolewa Julai 22 mwaka 2003, alichukua kadi ya Chadema yenye namba 0139981 ambayo alikabidhiwa na mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Said Arfi. Alisema kuwa kuwa ameamua kwa hiari yake kujiunga na Chadema kutokana kuonesha muelekeo wa maendeleo wenye nia ya kulikomboa jimbo hilo na kuleta maendeleo ya kiuchumi. "Kama kijana nilikuwa na matumaini kwamba CCM itawavusha na kuwakwamua kiuchumi lakini matokeo yake viongozi wakuu wa serikali wameonekana wazi wakituhumiwa kwa ufisadi na ulaji wa rushwa, jambo ambalo limenifanya nikose imani na chama hicho," alisema Wanachama hao walisema kuwa viongozi wa CCM walifika hapo wa kampeni za uchaguzi mwaka 2005 na kuwagawia nguo, kofia na kanga na baada ya hapo hawajarudi tena kijijini "Kitendo kilichofanywa na viongozi wa CCM kimesababisha tukione chama hicho hakina nia ya kutekeleza ahadi walizotuahidi wakati wa kampeni, hivyo tumeamua kukiacha na kujiunga na Chadema na ndiyo mkombozi wetu," alisema. Posted by Iwindi_Mbalizi at 7:29 AM Labels: Mbeya Mp harakti news CCM yampiga chini Makamba-Harakati za Mbeya kupata MP http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/22105-ccm-yampiga-chini-makamba.html CCM yampiga chini Makamba CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimemteua mgombea wake wa ubunge jimbo la Mbeya Vijijini na kumwengua katibu wake mkuu, Yusuf Makamba katika safu za mbele za kutetea ushindi katika uchaguzi huo.CCM inafanya mikakati mizito ya kuhakikisha hakianguki kwa mara ya pili mfululizo baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupata ushindi mkubwa kwenye uchaguzi mdogo wa jimbo la Tarime, ambako CCM iliongozwa na Yusuf Makamba.Kuanguka kwa CCM kulisababisha lawama kubwa dhidi ya Makamba kiasi cha kubashiriwa kuwa mkuu huyo wa zamani wa mkoa wa Dar es salaam angevuliwa ukatibu mkuu wa chama wakati wa mkutano wa Halmashauri Kuu uliofanyika Dodoma karibu mwezi mmoja uliopita.Makamba aliokoka baada ya kikao hicho kuisha bila ya kumjadili, lakini sasa hataongoza kampeni ya kutetea kiti kilichoachwa wazi na Richard Nyaulawa aliyefariki dunia kutokana na kuugua kwa muda mrefu.Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, John Chiligati aliwaambia waandishi wa habari jana kuwa Makamba sasa hatakuwa msimamizi mkuu bali mwangalizi na mwezeshaji wa kampeni."Makamba sasa hatajikita moja kwa moja katika usimamizi wa kampeni hizo kama ilivyokuwa Tarime badala yake atakuwa na kazi ya kuangalia na kuwezesha kampeni hizo," alisema Chiligati.Alisema uamuzi wa kutomuweka Makamba kuwa msimamizi mkuu unatokana na mkakati wa chama hicho kuiachia CCM Mkoa kufanya kazi hiyo, badala ya kuongozwa na CCM Taifa."Makamba atakuwa akienda Mbeya kuwezesha kampeni hizo na kurudi," alisema Chiligati. "Kamati ya uchaguzi ya mkoa wa Mbeya ndiyo yenye jukumu la kusimamia uchaguzi huo."Katika uchaguzi wa jimbo la Tarime, Makamba alilaumiwa kuwa hakufanya jitihada za kuondoa tofauti za makundi yaliyoibuka wakati wa uchaguzi wa mwaka 2005, moja likidaiwa kuongozwa na Kisyeri Chambiri na jingine likidaiwa kuongozwa na Chrisopher Gachuma.Makamba anadaiwa kuegemea kwenye moja ya makundi hayo na hivyo kuwafanya baadhi ya Wana-CCM kutomuunga mkono mgombea wake, Christopher Kangoye.Makamba pia alidaiwa kutotumia wazawa wa Tarime kwenye kampeni hizo na badala yake kuwatumia wapiga debe waliojiunga na CCM kutoka vyama vya upinzani, huku lawama nyingine zikielekezwa kwa kada huyo kwa kushindwa kwenye uchaguzi licha ya kuwezeshwa kila kitu, zikiwemo helkopta mbili.Kuhusu mgombea wa CCM kwenye jimbo hilo la Mbeya Vijijini, Kapteni Chiligati alimtangaza Mchungaji Luckson Mwanjale kuwa ndiye aliyeshinda katika uteuzi huo uliofanywa na Kamati Kuu ya CCM (CC) jijini Dar es Salaam jana.Alisema Mwanjale amewashinda wenzake kadhaa, akiwemo aliyekuwa mkuu wa majeshi mstaafu, Robert Mboma aliyepata kura 164.Wengine walioshiriki katika nafasi ya kugombea kuteuliwa ni Allan Mwaigaga, aliyepata kura 259, Adrea Sayile (229), Diovita Diame (162), Petro Mwashusha (28),Flora Mwalyambi(26), Machael Mponzi (23) na Maria Mwambanga(19).Alisema kampeni za uchaguzi huo wa Mbeya Vijijini zitazinduliwa na Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi Januari 4 mwakani.Uchaguzi mdogo jimbo la Mbeya Vijijini utafanyika Januari 25 mwakani kuziba pengo la aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, Richard Nyaulawa aliyefariki dunia Novemba mwaka huu kwa ugonjwa wa saratani.Wakati CCM imemteua mgombea wake, Chadema ilimteua Sabwee Shitambala kukiwakilisha katika uchaguzi huo utakaohusisha pia Chama cha Wananchi (CUF). Mgombea wa CUF anateuliwa leo kwenye mkutano mkuu wa CUF wilayani Mbeya Vijijini Posted by Iwindi_Mbalizi at 2:05 AM Nadhani Tanzania iko chini ya Advanced Neocolonialsim ambapo uchumi umeshikwa na watu wa nje, wakati serikali imeshikwa na watanzania wasiokuwa na mapenzi na nchi hii na tayari ama wana maskani yao nje ya nchi au wana mipango ya namna hiyo.Kwa nini?(a) Aliyekuwa Gavana wa Benki kuu akisimamia wizi mkubwa wa pesa zetu, baada ya kuacha ofisi alirudi kwake Marekani, ambako ndiko alikomalizia maisha yake. (b) Aliyekuwa mwanasheria mkuu wa serikali akisimamia mikataba mingi mibovu, amegundulika kuwa na vijisenti vingi sana huko kwenye mabenki ya nje. Siku yoyote akitaka ataondoka na kwenda kwenye vijisenti vyake. Huyu bwana naye alikuwa ametushikia bendera ya karatasi tu. (c) Aliyekuwa katibu Mkuu wa wizara ya fedha akisimamia matumizi na mapato ya serikali yetu ana maskani yake ya kudumu huko Marekani. Siku yoyote anaweza kuondoka.(d) Leo hii nimesoma headline moja kuwa aliyekuwa waziri wa elimu akisimamia kuharibika kwa elimu nchini ili vizazi vijavyo viweze kutawaliwa kirahisi naye ana mpango wa kuhamie Marekani.(e) Kuna tetesi kuwa kiongozi mmoja mzito sana anauza mali zake kwa kasi sana, inawezekana lengo lake ni kuhamia nje ya nchi kutokana na mwenendo wa kesi za ufisadi zilizoanza. Kiongozi huyu anasemekana ana majumba Marekani na Afrika ya Kusini.(f) Viongozi wetu wengi waliowahi kushika nafasi nyeti wana maskani mengine nje ya nchi wakati hakuna viongozi wa nchi za nje walio na maskani yao nchini mwetu.Huu ufisadi tunaosikia kila siku ni matokeo ya viongozi wetu kuitumia nchi yetu kama sehemu ya wao kuchuma, halafu wakalie walichochuma huko nchi za nje. kwa kifupi, tunahitaji uhuru wetu tena, safari hii ikiwa ni dhidi ya Advaced Neocolonialism. Posted by Iwindi_Mbalizi at 2:22 AM Labels: Tanzanian Politics Wakili ashinda kura za maoni Chadema Mbeya Vijijini 2008-12-18 12:33:47 Na Thobias Mwanakatwe, Mbeya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimekamilisha mchakato wa kushiriki katika uchaguzi mdogo wa ubunge katika Jimbo la Mbeya Vijijini unaotarajia kufanyika Januari 25, mwakani. Uchaguzi huo unafuatia kifo cha aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, marehemu Richard Said Nyaulawa, aliyefariki dunia mwezi uliopita kutokana na ugonjwa wa kansa ya ini. Jana, Mkutano wa Chadema wa Wilaya ya Mbeya Vijijini, ulimchagua wakili wa kujitegemea, Sambwee Shitambala, kuwania ubunge wa Jimbo la Mbeya Vijijini kupitia chama hicho. Shitambala aliibuka mshindi katika mkutano wa kura za maoni uliofanyika katika Hoteli ya Tughimbe mjini Mbalizi kwa kupata kura 44 na kuwashinda washindani wake watatu. Wagombea walioangushwa katika kinyang`anyiro hicho ni Katibu wa Chadema Wilaya ya Mbeya Vijijini, Ipyana Seme aliyeambulia kura 18, Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Nswila, Amos Nsote aliyepata kura 17 na mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Elimu (Duce), Burton Gwakisa, aliambulia kura saba. Kufuatia matokeo hayo, Shitambala, anasubiri kuidhinishwa na Kamati Kuu ya Chadema itakayokutana mjini Mbalizi ambapo viongozi wakuu wa chama hicho, Mwenyekiti wa Taifa, Freeman Mbowe na Katibu Mkuu, Dk.Wilbroad Slaa watahudhuria. Akizungumza na Nipashe baada ya kutangazwa mshindi, Shitambala ambaye alipata Shahada ya Uzamili ya Sheria nchini Uingereza, alisema kwake siasa siyo ajira bali ni huduma kwa jamii. Alisema kama atachaguliwa na wananchi wa Jimbo la Mbeya Vijijini atahakikisha anatumia taaluma yake ya sheria kwa kuwasaidia kuwaelimisha wananchi elimu ya uraia ili wajue wajibu wao na kuzifahamu haki zao za msingi. Alisema zipo baadhi ya sheria ambazo bado ni kandamizi kwa jamii hivyo atakapoingia bungeni atasaidia kuzipigia kelele ili zirekebishwe. Wakati huo huo, wanachama wawili wa Chama cha Wananchi (CUF) wamejitokeza kuchukua fomu, akiwemo Askofu wa Kanisa la Pentekoste, ili kugombea ubunge wa jimbo hilo. Katibu wa CUF Mbeya Vijijini, Ernest Gunza, akizungumza na Nipashe alisema miongoni mwa wanachama waliochukua fomu za kuwania ubunge ni Askofu wa Kanisa la Pentekoste PCG Mbeya, Samson Mwalyego, na mfanyabiashara wa mji wa Mbalizi, Obadia Nkyenky. Alisema zoezi la kuchukua fomu bado linaendelea hadi kesho. Katika hatua nyingine, Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, ZittoKabwe, amesema chama chake hakipingi ushirikiano wa vyama vya upinzani katika kumweka mgombea mmoja kwenye uchaguzi wa Jimbo la Mbeya Vijijini. Posted by Iwindi_Mbalizi at 3:26 AM Labels: harakati za kuchagua mbunge Mby vijijini Today I was able to see Mwite and My mum again atleast by pictures after the three years of not seeing each other.This was possible only after giving Mwite my Laptop and Camera and by using the office internet of where she is doing her field training.Even if I have not met them for all that time but now I can guess on how they are and may be can see how I can act accordingly. As I can see my mum has turned black and little older,more white hairs coming!I know she misses me very much her only kid,and Her only hope in her future.The distance is a little problem but from today this will no longer be a problem.I will make sure I get her pictures update at given time intervals!Also soon I expect Mwite to show me the pictures of my lovely grandfather and all other people whom I have been missing for four years! Thanks Mwite and God Bless you! Mama Ninakukumbuka sana na wala sijakusahau!Ninakupenda sana! Posted by Iwindi_Mbalizi at 6:02 AM Wapinzani sasa wasambaratika Mbeya Vijijini 2008-12-15 12:56:43 Na Joseph Mwendapole na Muhibu Said Kambi ya upinzani, imeshindwa tena kuungana na kusimamisha mgombea mmoja katika uchaguzi mdogo wa ubunge Jimbo la Mbeya Vijijini. Uchaguzi huo umepangwa kufanyika Januari 25, mwakani. Jimbo hilo liko wazi kufuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wake, Richard Nyaulawa (CCM) kufariki dunia. Vyama vinne vya Chadema, NCCR-Mageuzi, TLP na CUF, vilianzisha ushirikiano ambapo vilikubaliana kuwa vitasimamisha mgombea mmoja katika chaguzi pale ambapo itaonekana chama kimojawapo kinaungwa mkono pamoja na kuwa na msimamo mmoja katika masuala mbalimbali ya kitaifa na kimataifa. Ushirikiano huo uliingia doa Oktoba, mwaka huu katika uchaguzi mdogo wa ubunge na udiwani katika kata ya Tarime Mjini na jimbo la Tarime wa kujaza nafasi hizo kufuatia kifo cha aliyekuwa anazishikilia, Chacha Zakayo Wangwe kufariki dunia. Katika uchaguzi huo, kambi ya upinzani ilishindwa kukubaliana kusimamisha mgombea mmoja hivyo Chadema, NCCR-Mageuzi kila kimoja zikasimamisha wagombea huku TLP ikikiunga mkono NCCR-Mageuzi na CUF kukiunga mkono Chadema. Democrat (DP) ambacho hakiko katika ushirikiano huo nacho kilisimamisha wagombea. Mwenyekiti wa DP, Christopher Mtikila, alisema jana kuwa chama chake kiko katika mchakato wa kumpata mgombea atakayesimamishwa kuwania jimbo hilo. Alisema wanatarajia mchakato huo utakamilika na hatimaye mgombea kupatikana wiki hii. Kwa upande wake, Chadema) kimesema kinatarajia kusimamisha mgombea na tayari mchakato umeanza. Katibu Mkuu wa Chama hicho, Dk. Willbroad Slaa, alisema uteuzi wa Wilaya utafanyika Desemba 17 na Kamati Kuu ya chama itakaa Desemba 20. Kwa upande wake, Mwenyekiti wa TLP, Augustino Mrema, alisema jana kuwa hajajua iwapo chama chake kitasimamisha mgombea au la. ``Nipe muda wa saa moja kisha nitakujibu kama tutasimamisha mgombea au la, ngoja niwasiliane na wenzangu ntakujulisha,`` alisema Mrema. Hata hivyo, gazeti hili lilipowasiliana naye baada ya muda huo Mrema hakupokea simu licha ya kupigiwa mara kwa mara. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa CUF, Profesa Lipumba, alisema Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Shariff Hamad, ndiye atakayekuwa msimamizi wa mchakato mzima kwa upande wa kwa CUF katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Mbeya Vijijini. Alisema CUF kilimwandikia barua Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, ili chama hicho kikiunge mkono CUF katika uchaguzi huo lakini hadi jana Mbowe hakuwa ameijibu barua hiyo. Profesa Lipumba alisema CUF kitashiriki kikamilifu katika uchaguzi huo na wana matumaini ya kushinda kwa kuwa mgombea wao katika uchaguzi wa mwaka 2005 alishika nafasi ya pili nyuma ya marehemu Nyaulawa. Alisema ushirikiano wa kisiasa wa vyama vinne una mtihani mgumu kwa kuwa baadhi ya vyama vimeonyesha dalili zote za kudhoofika. Akizungumza na Nipashe jana, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa NCCR-Mageuzi, Joseph Selasini, alisema wanasubiri uamuzi wa vikao vya juu vya chama hicho vitakavyoamua iwapo chama hicho kisimamishe mgombea au la. Alisema ingawa wana nia ya kumsimamisha mgombea wao, lakini kwanza watapima upepo kabla yakufikia uamuzi huo. Selasini alisema yeye alikuwa Mbeya kwa wiki tatu kufanya tathmini ya kisiasa na aliyoyaona huko yatawasilishwa kwenye vikao vya ngazi za juu ili yafanyiwe maamuzi. Mchakato wa uchaguzi huo mdogo umeashaanza rasmi baada ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutoa ratiba yake inayoonyesha kuwa uteuzi wa wagombea utafanyika Desemba 27 wakati kampeni zitaanza rasmi Desemba 28 hadi Januari 24, siku moja kabla ya upigaji kura. Uamuzi wa kila chama kusimamisha mgombea wake unakipa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nafasi nzuri ya kushinda kutokana na kambi ya upinzani kugawana kura. Posted by Iwindi_Mbalizi at 7:18 AM Labels: Mbeya Vijijini The Former Mkuu wa Majeshi(JWTZ) Struggling to Be our MP http://www.habarileo.co.tz/kitaifa/?id=14560 Habari zaidi! Jenerali Mboma ajitosa kuwania kiti cha Mbeya Vijijini Merali Chawe, MbeyaDaily News; Friday,December 12, 2008 @21:15 Wanafunzi vyuo vikuu waaswa kujaza fomu za kurejea darasani Mkuu wa Majeshi mstaafu, Jenerali Robert Mboma jana alikuwa mwana-CCM wa tisa kuchukua fomu ya kuwania kuteuliwa kuwania nafasi ya Ubunge katika Jimbo la Mbeya Vijijini na kumaliza uvumi uliokuwa umetawala kama atajitosa katika kinyang'anyiro hicho ama la. Kuingia kwa Jenerali Mboma katika kinyang'anyiro hicho ndani ya CCM kumebadili mwelekeo na kusababisha wanachama waliochukuwa fomu kuwania nafasi hiyo huku wakiwa na imani ya kuibuka na ushindi kuanza kupigana vijembe wao wenyewe. Akizungumza na waandishi wa Habari mara baada ya kuchukua fomu, Mbona alipinga madai yanayotolewa na baadhi ya wanasiasa kuwa mstaafu huyo wa Jeshi ametumwa na Rais Jakaya Kikwete kuja kugombea katika jimbo hilo lililoachwa wazi na Richard Nyaulawa. "Mimi napiga vita sana kupigana vijembe, na hii ndio dalili yenyewe ya kupigana vijembe, Rais Kikwete kamwe hawezi kufanya kitu kama hicho," alisema na kuongeza kuwa ameamua kuingia katika kinyang'anyiro hicho kwa utashi wake mwenyewe. Aidha alisema ameamua kuingia katika ulingo wa siasa si kwa ajili ya kutafuta maslahi, lakini kwa sababu anataka kutatua kero zinazowakabili wananchi hususani suala la mbolea, umeme na maji, mambo ambayo yanakwamisha shughuli za kiuchumi za wananchi wa jimbo hilo. Alisema kuwa kabla ya siasa kutenganishwa na Jeshi alifanikiwa kushika nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya CCM na kwamba ana uzoefu na masuala ya siasa na kwamba ana imani akishinda ataweza kutatua kero mbalimbali za wananchi. Hadi kufikia jana mchana, wanaCCM tisa walikuwa wamechukua fomu za kuomba kuwania nafasi ya ubunge wa jimbo hilo, mbali ya Jenerali Mboma wengine ni Allan Mwaigaga, Djovita Diyami, Maiko Mponzi, Flora Mwalyambi, Petro Mwashusya, Mchungaji Luckson Mwanjali, Mariam Mwambanga na Andrew Sayila. Mwisho wa kuchukua fomu kwa wanaowania kuteuliwa na CCM ni leo saa 10 alasiri, ambapo kampeni za uchaguzi wa jimbo hilo zinatarajiwa kuanza Desemba 27 na uchaguzi unatarajia kufanyika Januari 25, mwakani. Wakati CCM leo ikikamilisha shughuli ya uchukuaji na urejeshaji fomu kwa wanachama wake, Chadema bado inaendelea na mchakato wa utoaji fomu utakaofikia tamati Desemba 15, ambapo kwa upande wa Chama cha Wananchi (CUF), tayari kimemtangaza Mwanamama Amina Ahmed kugombea katika jimbo hilo. Posted by Iwindi_Mbalizi at 3:00 AM Mbeya Rural Constituency(My Home) Struggling to get New MP! After The Death of the former MP in my place now people struggle to get new MP to cover the gap,Hope that this can be some efforts towards changing the life of the suffering Mbeya Rural District residents!But this might be hard as the most of the people in the don't open their eyes to see who can help them and also some even don't know that they got problems! The kids in the picture above deserve a bright future,all this lies on the people who have the dhamana including the MP's.It pains me a lot when i see at the end of the day all these kids end up nowhere,They even don't how the other kids on the other world live.But one day I believe more of those will have better opportunities!God help them! Afisa Elimu wa Chunya achukua fomu kuwania jimbo la Nyaulawa 2008-12-12 13:01:23 Na Thobias Mwanakatwe, Mbeya Afisa Elimu wa Wilaya ya Chunya mkoani hapa, Petro Mwashusa amekuwa mwanachama wa sita wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuchukua fomu za kuwania ubunge katika jimbo la Mbeya Vijijini. Katibu wa CCM Wilaya ya Mbeya Vijijini, Hassan Dumwali, alisema Afisa Elimu huyo ambaye ni mkazi wa Mbeya Vijijini, ni mwanachama pekee aliyechukua fomu jana kwani hadi kufikia saa 10:00 jioni ambao ndio muda wa mwisho kwa wanachama kuchukua fomu. Wanachama wengine waliokwishachukua fomu ni Djovita Diame ambaye ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Wilaya ya Mbeya Vijijini, Mchungaji Langson Mwanjali (Katibu wa Fedha na Uchumi), Aran Mwaigaa (Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa). Wengine ni Flora Mwaliambi (Mjumbe wa Halmashauri (CCM Mbeya Vijijini) na Michael Mponzi ambaye ni mtoza ushuru kituo cha Igoma katika Halmashauri ya Mbeya Vijijini. Wakati wanachama wa CCM wakiendelea kuchukua fomu, kwa upande wa Chadema ndiyo kinaanza leo kutoa fomu kwa wanachama wake wanaotaka kuwania ubunge. Katika kuupa nguvu uchaguzi huo, tayari viongozi wandamizi wa Chadema toka makao makuu wameshawasili mjini Mbeya kupanga mikakati ya jinsi chama chao kitakavyoshiriki uchaguzi huo na kuibuka na ushindi. Viongozi hao bado hawajaanza mikutano ya hadhara na badala yake wanachokifanya kwa sasa ni kuitisha vikao vya ndani vya chama. Kwa upande wa Chama cha Wananchi (CUF) kimeanza kutoa fomu kwa wanachama wake wanaotaka kugombea ubunge ambapo hadi sasa Mwenyekiti wa Mbeya Vijijini wa chama hicho, Amina Ahmed ndiye mwanachama pekee aliyechukua fomu. Naye Kamishina wa NCCR Mageuzi, Adam Mwansampeta alisema chama chake kinaendelea na mikakati kwa ajili ya uchaguzi huo ingawa bado hakija weka wazi kama kitasimamisha mgombea wa ubunge wa jimbo hilo. Posted by Iwindi_Mbalizi at 4:58 AM na Christopher Nyenyembe, MbeyaMKUU wa Mkoa wa Mbeya, John Mwakipesile, katika hali iliyoonyesha kutoridhishwa na utendaji wa kazi wa Mkurugenzi wa jiji hilo, Elizabeth Munuo, amemwamuru aondoke kwenda kutafuta kazi nyingine kama kazi aliyonayo imemshinda.Mwakipesile alitoa kauli hiyo jana mara baada ya Munuo kulalama katika kikao cha bodi ya barabara kilichokutana mjini hapa kuwa anajuta na kujilaumu kuhamishiwa Jiji la Mbeya, lenye uchafu uliokithiri na lisilo na vitendea kazi.Munuo alitoa kauli hiyo alipotakiwa na wajumbe kuelezea mikakati ya kukabiliana na tatizo la uchafu katika jiji hilo, ambalo limekithiri kwa uchafu kila kona na kwenye lango kuu la kuingilia eneo la Uyole ambako kuna dampo kubwa la kutupia taka, lakini zinamwagwa taka hadi barabarani.Huku akisikilizwa kwa makini na wajumbe hao, mkurugenzi huyo badala ya kuelezea mikakati yake, alijikuta akiweka wazi uchungu alionao wa kujutia uamuzi wa serikali wa kumhamishia hapo, huku akidai kuwa mikoa aliyotoka haikuwa hivyo.“Hapa kwenu Mbeya, nilipokuja nilikuta hakuna wahisani, nasikia waliondoka baada ya kusumbuliwa na matukio ya ujambazi, nilikuta halmashauri ikiwa katika hali hiyo na tumeendelea hivyo hivyo na magari mawili ya kuzolea taka, bajeti ya mwaka huu tumeweka magari mawili ya taka angalau yatusaidie lakini jiji hili linahitaji magari 10,” alisema Munuo.Munuo alikiri kuwa jiji hilo limekithiri kwa uchafu ambao hauwezi kuondolewa kwa kutumia magari mawili, tena mabovu na kwamba ukosefu wa magari mapya umetokana na tatizo lililowaondoa wahisani.“Hata mimi mwenyewe najilaumu ilikuwaje nikahamishiwa katika mji huu waliofukuzwa wahisani na nimekuta hali chafu, miji yote niliyokaa ilikuwa na hali nzuri, si Mbeya ndugu mwenyekiti,” alisema mkurugenzi huyo.Ndipo Mkuu wa mkoa huo, Mwakipesile akionyesha wazi kuchukizwa na kauli ya mkurugenzi huyo ya kuubeza uamuzi wa serikali wa kumhamishia kwenye jiji hilo, aligonga meza na kumpasha kuwa kama ameshindwa kazi aondoke.“Kama huwezi kazi nenda, go goo, ondoka, katafute kazi sehemu nyingine, Where you think you can do a better job, go, go hatuwezi kufanya kazi kwa kubembelezana, go nenda, takataka zinatupwa hadi barabarani unatuletea utetezi hata mifereji mnashindwa kuzibua, no,” alisema Mwakipesile kwa ukali.Mbali ya mkuu wa mkoa huyo, kauli hiyo pia iliwafanya wajumbe wengine wa kikao hicho akiwemo Mbunge wa Viti Maalumu, Hilda Ngoye, ambaye alitahadharisha kuwa uchafu wa jiji hilo haupaswi kufumbiwa macho kwani unaweza kuwa chimbuko la matatizo mengi.Aliyefuatia alikuwa Mbunge wa Mbeya Mjini, Benson Mpesya, ambaye hakuridhishwa na hoja ya ukosefu wa vifaa vya usafi, isipokuwa alidai kuwa watendaji wa halmashauri hiyo hawajajipanga kukabiliana na tatizo hilo, hivyo kusababisha takataka zizagae kila kona.Mbunge wa Mbozi Mashariki, Godfrey Zambi, alisema inatia shaka kwa mtendaji wa serikali kudai kuwa kule alikokuwa, kulikuwa kusafi kuliko Jiji la Mbeya alikohamishiwa kwani hali hiyo inaonyesha upungufu wa uwajibikaji.“Hii ni changamoto kwako mkuu wa mkoa, kwa kuwa watu hawa unaishi nao kila siku na hali ya uchafu unaiona, ulichopaswa ni kutoa maagizo ya jiji liwe safi, unakumbuka Jiji la Dar es Salaam liliwahi kuvunjwa na kuwa mamlaka, sasa hatuoni sababu ya utetezi huu unaotolewa hapa wa kujutia kuhamishiwa Mbeya, ” alisema Zambi.Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, John Mwankenja, alimuomba, mkuu wa mkoa huo amtake mkurugenzi huyo afute kauli yake, kwa madai kuwa inadhalilisha utendaji mzima wa serikali katika jiji hilo.Mstahiki Meya wa jiji hilo, Athanas Kapunga, aliingilia kati kwa kukiri upungufu wa kuwapo kwa uchafu katika jiji leo.Alisema yote yaliyosemwa na wajumbe katika kikao hicho, yatazungumzwa na madiwani wa halmashauri hiyo, huku akielezea wazi kuwa mji huo umekuwa ukiendelea kushuka hadhi tofauti na miaka ya nyuma.Kwa upande wake Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya, Zelothe Stephen, alilitaka jiji hilo kuhakikisha linaweka taa za barabarani kama urembo, lakini zitakuwa sehemu muhimu ya ulinzi kwa kupunguza vitendo vya uhalifu.“Mimi sitaki kujikita huko kwenye uchafu, mimi nahamia upande wa taa za barabarani, kwetu sisi taa ni ulinzi mkubwa, zinasaidia kupunguza upigaji wa nondo, hii inatia aibu badala ya Mbeya kuwa jiji, linakuwa zizi,” alisema Kamanda Stephen. Tanzania Daima Posted by Iwindi_Mbalizi at 5:39 AM Labels: Mbeya News Sometimes I feel like missing home too much, But at certain Situation like when visit some places around China and meet with other countrymates/Africans It is like I'm Home!Hope all those old friends who are in Iwindi,Mbalizi are all fine. Most of my old friends, there is no way I can communicate to them now But I just want to let their mind know that I really miss them and remember them with all the difficult times they face due to Country's bad rural situations.One day I will go there to see them and one day there lives if not their kids lives will change and be good! In China also not everybody has good life,they also have Many people especially in the rural areas with bad life conditions but their country is trying to make sure conditions change to be better and atleast you can see them enjoying the good roads,schools,banks,water services,healthy services,supermarket etc.So to me there is a dream that Tanzania can also learn from China and we have all the potentials to make people enjoy their lives in Tanzania. I miss Iwindi,Mbalizi,Mbeya,Tanzania and all thoese friends of mine whom we are no longer in touch! To those who don't know Chinese when you meet Chinese just say: 'nihao'(habari-hi), 'pengyou'(rafiki-friend), 'huanying'(karibu-welcome), 'wo ai ni'(ninakupenda-I love you) baba(baba-father) mama(mama-mum) gege(kaka-brother) guojia(nchi-country) If I see there is need I will deliver more Chinese Words next time! Posted by Iwindi_Mbalizi at 11:22 PM Labels: China Is Fine For Me
2017-11-17T17:12:04
http://gwakisaj.blogspot.com/2008/
[ -1 ]
Kwa Nini Nimetembea Njia ya Mafarisayo? | Kanisa la Mwenyezi Mungu Iliyotangulia:Nilijifunza Kufanya Kazi na Wengine Inayofuata:Upendo wa Wokovu wa Mungu kwa Wanadamu Jitiishe Mwenyewe ili Kufundisha Wengine Nidhamu Sababu ya Kweli ya Kazi Isiyofaa Sitapumbazwa Tena na "Nia Njema" Kanuni Zangu za Maisha Ziliniacha Nikiwa Nimeharibika
2018-08-18T14:24:07
https://sw.godfootsteps.org/why-have-i-walked-the-path-of-the-pharisees.html
[ -1 ]
.......: MARADONA'S HAND GOAL 1986.. Mdau,tar kama ya leo mwaka 1986 katika World Cup iliyofanyika Mexico straika Diego maradona wa Argentina(ambaye sasa ni kocha wa timu hiyo) alitikisa nyavu kwa bao la mkono ambalo lilileta utata na mitafaruku kibao dunia nzima,so tulikumbuke ki hivi wakati fainali za mwaka huu zikiendelea huko Afrika ya Kusini.... Posted by RENATUS KILUVIA at 5:30 AM
2019-12-10T08:59:16
http://muzikinamaisha.blogspot.com/2010/06/mdautar-kama-ya-leo-mwaka-1986-katika.html?widgetType=BlogArchive&widgetId=BlogArchive1&action=toggle&dir=close&toggle=YEARLY-1262332800000&toggleopen=WEEKLY-1277017200000
[ -1 ]
Science | Kenyan Analyst Ripoti ya Richmond Bungeni *Ahsante ndugu RL. Mheshimiwa Spika, matokeo haya yanaonesha hali halisi iliyopo Tanzania, hali ya uoga na ya kutojiamini inayowakumba Watanzania walio wengi wanapotakiwa kuelezea kwa uwazi maneno yale yale wanayoyanong’ona pembeni kwa hamasa kubwa. Kwa mtindo huu Taifa letu linaweza kuishia kuwa la walalamishi wasio na ujasiri wala dhamira ya dhati ya kukemea maovu pale inapobidi. (ii) tathmini ya zabuni ifanyike kwa siku mbili (tarehe 7 – 8 Machi 2006). Mamlaka ikaishauri TANESCO kuwa badala ya kutumia njia ya kutangaza zabuni ya kimataifa (international competitive tendering) itumie njia mbadala ya ununuzi wa kimataifa (international shopping) ambapo makampuni mengi yanayotengeneza mitambo ya kuzalisha umeme yanaalikwa na “kuyashindanisha kwa kuyaomba yawasilishe zabuni zao badala ya kutangaza kwani utaratibu huo ungesaidia kuondoa makampuni ya kati yasiyohusika na uzalishaji umeme”. “Mshindi wa tenda ya ununuzi wa mitambo mipya atajulikana baada ya idhini ya Serikali kutolewa. Composition ya wajumbe wa TANESCO Tender Board ibadilishwe na kuimarishwa kwa kuwa na wajumbe wenye uwezo na ni pro-active”. Kazi ya kwanza ya Kamati hiyo ya Wataalam ilikuwa ni kupitia upya na kuichambua tathmini iliyofanywa na TANESCO. Kazi ya pili ya Kamati hiyo ilikuwa ni kumpata mzabuni ambaye angeweza kutekeleza mradi huo wa umeme wa dharura kwa haraka. Katika kutekeleza majukumu yake, Kamati hiyo ikatupilia mbali vigezo vya msingi vilivyotumika na Kamati ya Tathmini ya TANESCO na kuweka vipya ambavyo, kwa maoni ya Kamati Teule, vilifanana na vigezo vya mchezo wa zamani wa watoto wa sadakarawe: “mwenye kupata apate, mwenye kukosa akose”. Mheshimiwa Spika, tarehe 19 Juni, 2006, Bodi ya Zabuni ya TANESCO ilikutana na kupitisha uamuzi rasmi wa kufuta zabuni waliyokuwa wanashughulikia awali na kutangaza kuwa “TANESCO isihusishwe na mkataba wowote utakaotokana na nyaraka za zabuni waliyoifuta”. “Kamati ya Serikali ya Majadiliano (GNT) inayojumuisha wataalam kutoka Wizara Fedha, Wizara ya Nishati na Madini, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Benki Kuu na TANESCO ilifanya majadiliano na Richmond Development Company LLC ya Houston, Marekani kutoka tarehe 8 hadi 16 Juni 2006, kwa kuzingatia maelekezo yako.” Baadhi ya mashahidi, wakiwemo waandishi wa habari mashuhuri nchini, waliinyooshea kidole Ofisi ya Waziri Mkuu kuwa msingi wa ubabe uliokithiri wa Wizara ya Nishati na Madini katika kuibeba Richmond. Aidha baadhi ya nyaraka ambazo Kamati Teule ilipata katika uchunguzi wake zilionesha kuwa maelekezo na maamuzi mengi ya msingi yalikuwa yanafanywa na Waziri Mkuu badala ya Wizara. Mfano ni barua kutoka Wizara ya Nishati na Madini kwenda kwa Waziri Mkuu tuliyoinukuu ukurasa wa 31 wa taarifa hii, ikitamka wazi kuwa GNT ilifanya majadiliano na Richmond Development Company LLC tarehe 8 hadi 16 Juni 2006 “kwa kuzingatia maelekezo” ya Waziri Mkuu. Vilevile, Mheshimiwa Spika, tarehe 13 Julai 2006 Waziri wa Nishati na Madini akamwandikia Katibu Mkuu wake kuwa, “Nimezungumza tena na Mheshimiwa Waziri Mkuu leo juu ya bei ya mitambo ya Aggreko. Msimamo ni ule ule niliokueleza awali na ameagiza tuulizie Richmond kama anaweza kutoa 40 MW kwa bei isiyozidi ile ile ya 4.99 cents per kWh na kama tunaweza kuipata basi achukuliwe Richmond”. Mheshimiwa Spika, Kamati Teule ikawaita kwa mara ya pili Dk. Msabaha (Mb) na Ndugu Mwakapugi kwa mahojiano zaidi. Wote wawili, wakiwa ndani ya kiapo, walikataa katakata kupokea maagizo kutoka kwa Waziri Mkuu ya kuipa Richmond upendeleo. Lakini Mhe. Dk. Msabaha (Mb), baada ya mahojiano chini ya kiapo, akaiuma sikio Kamati Teule kuwa katika suala hilo yeye atakuwa kondoo wa kafara tu au, kwa maneno yake mwenyewe, “Bangusilo” kwa lugha ya Kizaramo. Maelezo hayo ya ziada nje ya kiapo ya Mheshimiwa Waziri yaliyotoa ujumbe kuwa “si yeye ila mkuu wake wa kazi”, yalioana na maelezo aliyoyatoa Balozi Kazaura nje ya kiapo tarehe 30 Novemba, 2007. Mara baada ya kumaliza mahojiano kwa kiapo na Kamati Teule, Balozi akatoa maelezo ya ziada kuwa Richmond ilikuwa mradi wa “Bwana Mkubwa” na “mshiriki wake mkubwa kibiashara”, akimaanisha Mhe. Waziri Mkuu na Mhe. Rostam Aziz (Mb). Mheshimiwa Spika, tumelazimika kueleza hata mambo tuliyoelezwa kwa siri kiungwana (in confidence) kutokana na uzito wa suala lenyewe na dhamana kubwa tuliyopewa na Bunge ya kuelezea kilichotokea kwa uwazi na ukweli. Lakini ushahidi huu wa ziada na nje ya kiapo wa viongozi hawa wawili, haukutoa msaada stahili kwa Kamati Teule kwa kuwa msingi wa maamuzi yote ya Bunge si minong’ono au tetesi, bali taarifa zenye uthibitisho halisi. Ni dhahiri kuwa, kwa watumishi hao “waaminifu” wa Serikali, isingelikuwa rahisi kumtaja Waziri Mkuu chini ya kiapo. Hatua hiyo inahitaji ujasiri mkubwa na uzalendo wa hali ya juu. Madhumuni ya msingi ya Mkataba huu yalikuwa kuzalisha na kusambaza umeme wa dharura (emergency power supply) katika kipindi cha ukame kilicholikumba Taifa. Ndiyo maana tangazo la awali la zabuni la TANESCO liliweka kipindi kifupi cha miezi 12 tu cha kutumia umeme huo wa dharura na muda huo ungeweza kuongezwa kutegemea hali ya uzalishaji umeme nchini. Lakini Mkataba huo umeongeza muda kutoka miezi 12 hadi 24 na kuifanya dhana ya “umeme wa dharura” ipotee kabisa katika mradi huo. “All taxes and charges arising in relation to the importation and exportation of the plant, equipment, tools, spare parts, consumables, testing and monitoring equipment or in connection with the supplier’s performance of its obligations under this Agreement generally that become due in accordance with the laws of Tanzania shall be paid for by TANESCO at its sole cost and expense”. Mheshimiwa Spika, tumefikishwa hapa tulipofika na mikataba mibovu, maamuzi ya kiimla na papara ya baadhi ya watendaji waandamizi wa Serikali wasiozingatia maslahi ya muda mrefu ya Taifa. Net Group Solution (PTY) ambayo kwa kiwango kikubwa imechangia sana katika kuidumaza TANESCO kiutaalamu na kifedha, iliingizwa TANESCO kwa ubabe bila kujali hoja za msingi za wataalamu na wafanyakazi wa TANESCO. Matokeo yake wote tunayaelewa. Vivyo hivyo, Richmond Development Company LLC, kampuni isiyo na rekodi yoyote ya kiufundi hata ya kuchomeka “bulb” kwenye kishikio chake, ikapewa mradi mkubwa na Serikali wa kuzalisha umeme wa dharura bila kujali kuhusu ufanisi wake tena katika kipindi ambacho nchi ilikuwa gizani! Huu ni ujasiri wa kifisadi. : “… tunaona kuwa tofauti na taarifa zilizotolewa wakati wa majadiliano ya Mkataba kuwa mkandarasi aliyechaguliwa alikuwa na vifaa tayari kuvileta nchini, sasa ni wazi kuwa si hivyo. Napenda kupendekeza kuwa malipo yoyote ya awali kutoka akaunti ya MDRI lazima yaandamane na dhamana ya kuridhisha kutoka kwa mkandarasi. Sharti hili linaonyesha kutokuzingatiwa chini ya mapendekezo yenu”. “ . . . I wish to inform you that the proposed amendments to the existing Letter of Credit are acceptable and you are advised to liaise with CRDB Bank to effect the changes as soon as is practical. . . .” Barua ya Katibu Mkuu wa Nishati na Madini (Kumb. Na. CBD.214/324/01 ya tarehe 6/10/2006) inasomeka. “The Supplier (i.e. Richmond) has the equipment and the financial and technical capability to construct, install, commission, operate and maintain such a plant as required by TANESCO”. (Msambazaji (yaani Richmond) ana vifaa na uwezo wa kifedha na wa kitaalam kujenga, kusimika, kuiwasha, kuendesha na kuendeleza mtambo huo kama TANESCO inavyohitaji.) Mheshimiwa Spika, kwa viongozi wa Wizara na TANESCO kushindwa kujua bei halisi ya mitambo kutoka kwa watengenezaji wenyewe kwa takribani miaka 10 huku wakisafiri kwenda nje ya nchi kila kukicha kwa mikutano, warsha, makongamano, n.k, na kwa Wizara kung’ang’ania kutumia mawakala badala ya watengenezaji wa mitambo, nchi yetu imegeuzwa gulio la wajanja kuikamua na kuwabebesha wananchi mzigo wa kodi. Mheshimiwa Spika, Kamati Teule ilipotembelea Marekani, iliamua kuwatembelea baadhi ya watengenezaji wa mitambo ya uzalishaji wa umeme huko huko Houston Marekani kujua bei za mitambo yao. Mmoja wa watengenezaji wenye jina kubwa duniani, Kawasaki Gas Turbines – Americas, anatengeneza na kuuza Mtambo mpya aina ya GPB180 wenye uwezo wa kuzalisha MW 17.5 kwa Dola za Kimarekani 7.5 milioni (Tsh. 9.4 bilioni). Mawakala huwa wanatuletea mitambo ya aina hiyo hiyo kwa bei mara mbili ya bei halisi. 3.3 Mheshimiwa Spika, uamuzi wa Serikali wa kuipa Richmond Development Company LLC zabuni ya kuzalisha umeme wa dharura wa MW 105.6 na baadaye kuingia mkataba na TANESCO, ulizua mjadala wa manung’uniko ya wananchi wa kada mbalimbali walioshuhudia kushindwa kwa kampuni hiyo kutekeleza mradi huo katika muda muafaka. Umma wa Watanzania wa kawaida, wanasiasa, wasomi, wanataaluma, wanahabari, na wadau mbalimbali hawakusita kuilalamikia Serikali kwa uteuzi huo wa Richmond ambao walihisi kuwa uligubikwa na maslahi binafsi ya baadhi ya viongozi. Mheshimiwa Spika, kwa ujumla uchunguzi uliofanywa na TAKURU, ambao taarifa yake unadai kuwa ulikuwa wa “kina na wenye umakini wa hali ya juu’’ ulibaini kwamba:- • Mchakato wa kumpata mzabuni ulikuwa wa wazi na shindanishi; • Hakuna ushahidi uliopatikana kuthibitisha vitendo vya rushwa, uzembe na hata kupokea kamisheni. Pia hakuna ushahidi uliopatikana wa Afisa yeyote Serikalini kumiliki hisa au kuwa na madaraka katika Richmond Development Company LLC; • Kamati maalum iliyoundwa haikupata muda wa kutosha kuifanyia uchambuzi wa kina Richmond Development Company LLC ili kufahamu uwezo wake kiufundi na kifedha na badala yake ilitegemea uwezo wa Kampuni ya Pratt & Whitney kama kigezo cha kuipatia Richmond zabuni; • Utafiti wa kina haukufanywa kutambua uwezo wa Kampuni ambayo ingepaswa kusimamia shughuli za Richmond Development Company LLC yaani Richmond Development Company (T) Ltd; na • Mapungufu machache yalikuwepo lakini ya “kawaida kiutendaji” na hayakuhusisha rushwa au manufaa ya aina yeyote ile kwa watendaji wa Serikali na wala hakuna hasara iliyosababishwa na mapungufu hayo. (ii) Hoja ya TAKURU kuwa kulikuwa na mapungufu, lakini mapungufu hayo yalikuwa ya kawaida ambayo hayajengi makosa ya jinai haina msingi. Kwa Wizara kuilazimisha taasisi nyingine ya ununuzi, yaani TANESCO, kusaini Mkataba ambao haukupitishwa na vyombo vyake vya maamuzi; kwa kampuni hiyo ya Kimarekani kujitambulisha kwa majina mbalimbali katika mchakato huo: mara Richmond Development Company LLC, mara RDC, RDVECO, na mara nyingine RDEVCO; yote haya kwa TAKURU ni makosa ya “kawaida ya kiutendaji”? 5.6 5.3 Vyombo vya Habari – Magazeti Hunton & Williams LLP wameituhumu Richmond Development Company LLC kwa upotoshaji wa hadhi yake kikampuni (misrepresentation of its corporate status) na kutoa tamko lisilo sahihi (incorrect statement) kuhusu hadhi yake chini ya sheria za Texas. Ukaguzi wa kumbukumbu za Katibu wa Jimbo la Texas uliofanywa na kampuni hiyo ya mawakili Oktoba 2006, ulionesha kuwa hakuna kampuni yenye jina la “Richmond Development Company LLC” iliyokuwa imeanzishwa na kuendesha shughuli zake jimboni Texas wakati huo. Ni kweli kabisa kuwa majimbo mengi Marekani, likiwemo la Texas, yanaruhusu matumizi ya majina mbadala katika biashara au huduma. Kwa Kiingereza majina hayo yanaitwa “assumed names” au “dba”, kwa kirefu: “doing business as”. Katika nchi nyingine nyingi kama vile Tanzania, Uingereza, Ireland, Australia na baadhi ya majimbo ya Marekani na sehemu za Kanada, neno linalotumika zaidi ni “t/a”, yaani “trading as”. (a) Mbali na kwamba hati hiyo ya Bwana Gire ni kivuli tu au nakala ya “hati” halisi (kama ipo), nakala ambayo haina uthibitisho wowote wa uhalali na uhalisia wake, ilikuwa ina saini ya afisa mmoja tu badala ya wawili walioainishwa katika hati hiyo; Aidha, Wajumbe wa Kamati Teule wakatambua kuwa jengo hilo la Richmond Printing LLC linatumiwa vilevile kama ofisi za RDEVCO LLC, kampuni ambayo ilisajiliwa chini ya sheria hiyo hiyo ya Texas tarehe 11 Septemba, 2003 ikiwa na madhumuni mapana ya kujishughulisha na “biashara yoyote halali”. Kampuni hiyo vilevile ilianzishwa ikiwa na mwanahisa na meneja mmoja tu kwa jina Mohamed Gire. Tunalazimika kusema kuwa jengo hilo vilevile ni “makao makuu” ya kampuni hewa ya Richmond Development Company LLC. Licha ya kutumia jengo moja, kampuni zote hizo zinamhusu mtu mmoja, Mohamed Gire, na zinatumia anuani moja. Kutokana na uchambuzi huu, ni wazi kuwa maelezo yaliyomo kwenye utangulizi wa Mkataba kati ya Richmond Development Company LLC na TANESCO kuwa chombo hicho cha biashara cha Bw. Gire ni “kampuni iliyosajiliwa chini ya sheria za Jimbo la Texas”, si sahihi hata kidogo. Mapema mwezi Oktoba, 2003 Wizara ikapokea mapendekezo ya awali ya mradi kutoka RDC ambayo yalipitiwa na wataalamu wa Wizara na TPDC na kukutwa na mapungufu mengi yakiwemo: kukosekana kwa tathmini za kifedha na za kiuchumi za mradi, kukosekana kwa tathmini za mazingira, na kukosekana kwa mpango wa kuwapa makazi waathirika katika njia ya bomba. Kutokana na mapungufu hayo, Wizara ikasita kuipa RDC mradi huo muhimu na kuitaka kampuni hiyo kwanza irekebishe mapungufu yote yaliyojitokeza. RDC nayo ikaweka sharti la kupewa upendeleo wa kutoruhusu kampuni nyingine kwenye mradi huo kwa kipindi maalum (exclusivity period) ili kukamilisha kazi hiyo bila wasiwasi wa kunyang’anywa mradi. Sehemu ya barua ya Katibu Mkuu inasomeka hivi: “The Ministry of Energy and Minineral (sic) notes with regret that throughout the 18 month exclusivity period, in spite of several reminders, the Richmond Development Company failed to honor its obligations as provided for in Art.2.1 and 2.2 of the Memorandum”. (Wizara inasikitika kuwa kwa kipindi chote cha miezi 18 ya upendeleo, Richmond Development Company, pamoja na kukumbushwa mara kwa mara, ilishindwa kuheshimu wajibu wake kama ulivyoainishwa katika Ibara ya 2.1 na 2.2 ya Mkataba). 1. Richmond Development Company LLC yenye anuani ya 5825 Schumecher (tunadhani ni Schumacher), Houston – Texas 778057, USA (hisa 750,000) na Mheshimiwa Spika, ni wazi kuwa picha iliyojengwa kwenye mkataba tunaouongelea hapa kuhusu hadhi na uhalali wa Richmond Development Company LLC nchini Tanzania ilikuwa ya kisanii, ya uongo na isiyo na msingi wowote kisheria. Kinachosikitisha hapa ni kuwa mwezi Februari, 2006, yaani mwezi moja tu baada ya Wizara ya Nishati na Madini kuiandikia barua Richmond Development Company LLC kuwa haina imani nayo, “kampuni” hiyo ya Bwana Gire, ikajitosa kwenye zabuni nyingine ya Wizara hiyohiyo ya Nishati na Madini, zabuni ya kuingiza nchini jenereta za kuzalishia umeme wa dharura wa Megawati 100. Mheshimiwa Spika, Serikali ingejaribu kuzichunguza sifa hizo za rejareja za Richmond Development Company LLC hata kwa kuuandikia Ubalozi wa Marekani Dar es Salaam au kukagua tovuti yake (www.rdevco.com), ukweli ungelidhihirika kuwa “kampuni” hiyo si chochote wala lolote. Tovuti yake yenyewe imesheheni makosa madogo madogo ya Kiingereza na kupambwa na taarifa za juu juu za miradi ambayo “kampuni” hiyo inadai kuitekeleza, hivyo kuzua maswali mengi na hali inayoashiria upeo mdogo kielimu wa wamiliki wa kampuni hiyo. Kwa mfano ukurasa wa kwanza wa tovuti hiyo iliyoandaliwa mwaka 2004 unabeba dhamira mbili za “kampuni”, lakini dhamira ya kwanza haieleweki, inahitaji mpangilio mpya wa sentensi kwa Kiingereza sanifu. Mbali na makosa madogo madogo ya kisarufi na mpangilio, ambayo yamepamba kurasa zote 11 za tovuti hiyo, ukurasa wa 7 unaorodhesha miradi mbalimbali ambayo “kampuni” hiyo ilikuwa inatekeleza: ujenzi wa uwanja wa kisasa wa michezo unaoweza kuchukua watazamani 65,000; ujenzi wa bomba la mafuta la kilometa 1,150 na ukarabati wa viwanja mbalimbali vya ndege nchini Tanzania. Miradi yote hiyo ilikuwa porojo tupu ambazo watendaji wetu Serikalini hawakustahili kuzifumbia macho. Mheshimiwa Spika, kama ilivyotarajiwa, “kampuni” hiyo ikashindwa kutekeleza sehemu yake ya mkataba. Mashahidi kadhaa walioongea na Kamati Teule wakati wa uchunguzi, walisema ingelikuwa maajabu kwa “kampuni” ya aina hiyo iliyokuwa haina uwezo kifedha hata wa kuwasafirisha wawakilishi wao kwenda Afrika ya Kusini kwa mazungumzo ya kutafuta fedha za mradi, kampuni iliyokuwa haina uelewa stahili wa masuala ya nishati na iliyokosa rekodi nzuri ya utendaji, kufanikisha mradi huo. Hivyo basi, Mheshimiwa Spika, kwa Richmond Development Company LLC kuingia kwenye mchakato wa zabuni nyingine ya Wizara ya Nishati na Madini hata kabla wino kwenye barua iliyoandikiwa na Wizara ikilalamikia utendaji kazi wake haujakauka sawasawa, na kwa Wizara kufumbia macho ubabaishaji bayana wa “kampuni” hiyo na kuiruhusu kushiriki kwenye zabuni ya umeme wa dharura inayohitaji uzoefu maalum bila wasiwasi wa madhara ambayo yangeweza kutokea kwa Taifa, hisia za maslahi binafsi ya baadhi ya viongozi wa Serikali hazikwepeki. Hatimaye, Mheshimiwa Spika, TANESCO walipotaka kuuvunja mkataba kati yao na Richmond Development Company LLC kwa kampuni hiyo ya Kimarekani kushindwa kutekeleza sehemu yake ya mkataba na kwa kutoa taarifa za uongo kuhusu hadhi ya kampuni hiyo, ni Wizara ya Nishati na Madini iliyoingilia kati na, bila aibu, “kuwezesha” mkataba huo urithiwe na kampuni nyingine katika kipindi ambacho nchi ilikuwa haihitaji kabisa umeme wa ziada licha ya kuwepo fursa za wazi kisheria kwa TANESCO kuvunja mkataba huo bila ya athari za hasara zozote. Pia napenda kuishukuru Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa ushirikiano wake mzuri ambao uliiwezesha Kamati hii kupata taarifa mbalimbali. Vilevile naushukuru Ubalozi wa Tanzania wa Washington D.C, Marekani kwa kuwawezesha baadhi ya Wajumbe wa Kamati hii waliosafiri kwenda Marekani kufanya kazi yao kwa ufanisi. Nakishukuru Chama cha Uwekezaji cha Watanzania waishio Marekani (Tanzanian American Investment Forum- TAIF) chini ya Mwenyekiti wake Dk. Lenard Tenende kwa mapokezi mazuri ya Wajumbe wa Kamati Teule walipozuru Houston, Texas – Marekani. February 9, 2008 at 6:30 pm 5 comments Source: Cape Argus via Independent Online Annan arrived in the Kenyan capital on January 15 on an African Union (AU) invitation to head up the talks around Mwai Kibaki’s disputed election victory. He was joined by Graca Machel and the former Tanzanian President Benjamin Mkapa, under the banner of the Panel of Prominent African Personalities. ogether they brought members of both sides of the political divide to the table at the Serena Hotel, where Annan was also staying. Athough a breakthrough had been announced last Friday, when a four-point framework was agreed upon to curb the violence and address the December 27 poll, Kibaki and opposition leader Raila Odinga continued to wage a war of words on the sidelines. News of the bugging comes just 24 hours after Cyril Ramaphosa withdrew as the intended chief negotiator when the government of Kibaki made it be known that they would not trust the South African’s intervention. Ramaphosa was not the first South African to receive his walking papers. Nobel laureate Desmond Tutu’s efforts to broker a deal last month were also met with a luke-warm reaction. Meanwhile, more than 1 000 lives have been lost, some 300 000 people are internally displaced and billions of shillings worth of damage has been carried out on properties and businesses throughout the country, home to the third largest UN headquarters in the world. Machel is due to arrive in Nairobi on Wednesday after a brief trip home to Johannesburg. Meanwhile, Fresh violence in western Kenya on Wednesday left 12 dead, nine of whom were shot by police cracking down on gangs of youths who have attacked houses and other property, police sources said. Weeks of turmoil have delivered a major blow to Kenya’s tourism industry, the top foreign currency earner, while tea production and agriculture have also been hard hit. About 300 business leaders issued a statement supporting Annan’s mediation effort and warned that the economy faced a meltdown if the crisis was not resolved quickly. Uganda, Sudan, Djibouti, Ethiopia and Somalia decided to dispatch their foreign ministers to Nairobi today to show support for “government efforts to restore stability”. Annan has set a deadline of seven to 15 days to resolve the crisis. February 6, 2008 at 5:00 pm 3 comments Electric shock for African Christianity *This article first appeard in the Nairobi Star on July 14th, 2007. An interesting story came off the wires in Kampala the other day. Kojo Nana Obiri-Yeboah, a Ghanaian preacher, had been nabbed for the most unseemly crime a man of the cloth could have been known for. The good old Beeb told us that “he tried to import an electric shock machine to make people believe he could pass on the Holy Spirit.” Ever faithful Reuters quoted an online magic shop selling the device as saying: “With a simple touch, make a fluorescent bulb glow on and off at your command, make confetti move, charge a spoon and watch as it shocks a volunteer!” Reports indicate Ugandan security services are looking into the matter, with a long-term view of regulating religion in the Pearl of Africa. Similar talk is rife in neighboring Kenya where concerns over charismatic Christianity more than bothers some religious and political leaders. It gets even funnier in the reportedly 85% Christian East African nation – Mary Akatsa, a self-proclaimed prophetess from Nairobi’s environs, reportedly once claimed she had talked to God and now had Christ enclosed in some cupboard at her abode in Kawangware, a rather shanty side of the capitol. A BBC report three months ago indicated that there has been a massive influx of Nigerian, Pentecostal preachers into neighboring Cameroon. “Some of these churches attract so many people because they promise some many things,” a one-time adherent was quoted as saying. “One is healing. Another is providing riches to so many people – especially in Cameroon, where very many people live in poverty and are affected by disease – when they hear such messages, they decide to go there. “But when they reach those places and don’t find a solution to those problems, they leave.” A scholar of religion was quoted as saying: “There are also limited leadership opportunities in Nigeria now, so many Nigerians see neighbouring countries as a possible place to start churches – and thereby make an income as well.” Everywhere in Africa you turn today, you are bound to encounter the most interesting understandings and celebrations of the Christian faith, much of which borders on the heretical. Everywhere you turn you will find an African praising and worshipping hard, punctuating the next sentence with “praise the Lord” and a fairly long testimony. Their dances to celebrate God’s goodness can only be rivaled by its opposite in African dancehalls, – the romancing gyrating of hips that has every well-moneyed Westerner gracing African tourist resorts like nowhere else. Undress such “active” Christians and you will more than likely find a charm or amulet someplace, guarding against some calamity or warding off some demons. The same fellow will seek wisdom in African metaphysics – an euphemism for witchcraft – in the very likely event that he or she gets into some trouble. What are God’s people in Africa to do when they suffer, as they quite honestly do? How best to find one’s way through this maze in a century that has largely been christened as “the African century?” How best to experience genuine spiritual renewal, revival and growth to authenticate the thesis that Christianity is truly moving into the Global South, the supposed fulcrum of the faith this century? How best to dispel the thinking that African Christianity is miles wide but only inches deep? They say theology develops in context – sourced out of Church traditions, personal reflections and, importantly, the canonical Scriptures. It would seem inappropriate that, these many years after the indigenization of the Church in Africa, we still have to seek to develop reflections and theologies around some of these issues. Yet nothing, perhaps apart from teaching and discipleship, could be more urgent and pressing. And there is yet another reason we should take this challenge seriously – the crucial place of women in missions in a globalized context. Walk into any of the congregations in question and you will find that women constitute, on average, more than half of the entire population. The battle is even more intense outside Christianity where various competing faiths and value systems seek to win the fairer sex over; – their vulnerability or lack of it is now more than an academic item for intellectual leisure. In the final analysis, the one question we must respond to in light of the Kampala incident is: Whither African Christianity? Jesus, in the Gospels, confronts us with a command to do just that by going into the whole world and preach his Good News, and his is not merely another request, suggestion or recommendation: It is a command. For more information on my campaign, click here. July 17, 2007 at 9:53 am 5 comments Perspectives: Whose perspective runs your life? That’s the title to a book recently published by my friend Gituma M’Ikiara. It’s an easy read, making simple most of the concepts, principles and ideas you might encounter in Albert M. Wolters’ CREATION REGAINED : BIBLICAL BASICS FOR A REFORMATIONAL WORLDVIEW (of which I’m a big fan). His examples are very African, borrowing heavily from the Kenyan experience. He has something to say about Mammon, Fools, Family, Worship, Tribe, Values, Creativity, Politics, etc. The 61-pages book goes for just Kshs. 200/=. Gituma heard God’s clear call to His ministry in 1986 while at Lodwar High School. Obedience to that call has led him to many places doing many things. He presently leads a team that seeks to empower the disadvantaged (refugees, widows, orphans, disabled, etc). Restore Hope Ministries is waiting for registration by the Registrar of Societies. I commend Gituma and his book to you. I attend Parklands Baptist with him; we both serve in the Church’s Media ministry. He has also been actively involved in the Church’s Student Discipleship Ministry (SDM), serving students in Kenya’s universities and colleges. He may be reached via: [email protected] and+254-(0)722220147. May 2, 2007 at 12:53 pm 4 comments Azimio la semina elekezi ya Ibilisi *Mmoja wa marafiki zangu toka nchi jirani yaTanzania amenitumia ujumbe ufwatao. Ni tafsiri ya barua ambayo huenda baadhi yenu mshapokea kimbele. Habari za ubusy? Naamini unaendelea kuitafuna vyema pasaka yako na familia yako. Ninaamini hiki ndio kipindi pekee wewe hauko busy sana lakini kuanzia jumanne ubusy wako utarudi kutoka mapumzikoni kabla haujarudi sikiliza hii. “Baada ya semina elekezi kwa viongozi na watumishi wa Serekali iliyofanyika huko Ngurdoto mkoani Arusha iliyoongozwa na rais Jakaya Mrisho Kwikwete, na baadae semini nyingine elekezi zilizofwatia baada ya hapo kama ile ya mkuu wa mkoa wa Arusha kwa watendaji naviongozi mbalimbali wa mkoa wa Arusha na nyingine kama hizo katika mikoa mingine Tanzania. Shetani naye aliitisha semina elekezi kwa mapepo duniani na katika hotuba yake ya ufunguzi wa mkutano huo alisema”Tumeshindwa kuwazuia wakristo wasiende kanisani””Tumeshindwa kuwazuia wasisome biblia zao na kufahamu ukweli””Tumeshindwa hata kuwazuia wasiwe na mapenzi ya kwelikwa Mwokozi wao” “Mara wapatapo muungano wa kweli na kristo, mamlaka yetu yatakuwa yamefika mwisho.””Kwahiyo waacheni waende kanisani, waacheni waendelee na karamu zao za upendo, LAKINI waibieni muda, iliwasipate nafasi ya kudumisha mahusiano na mapenzi yakweli kwa Yesu Kristo….” “Hiki ndicho ninachotaka mfanye.” alisema Shetani:”wataabisheni wasipate kamwe kushikamana na mwokozi wao na wasifungamane naye kwa siku nzima!” “tutafanyaje jambo hilo?” Mapepo yalimwuuliza kwa jazba. “hakikisheni wanakuwa ‘BUSY’ (BUSY= Being Under Satan’s York) katika mambo yasiyokuwa na umuhimu katika maisha yao na muanzishe mipango mingi sana isiyohesabika ili kujaza akili na ufahamu wao,”alijibu shetani “wapeni kutumia, na kutumia, na kutumia; na kukopa, nakukopa, na kukopa.” ‘washawishini wake zao waende kufanya kazi kwa siku kushinda huko kwa masaa mengi sana kwa siku na waume zao wafanye kazi kwa siku sita hadi saba kwa wiki, na masaa 10 hadi 12 kwa siku, ili wasiweze kupata nafasi ya kutulia na kutafakari chochote kulingana na mfumo huo wa maisha.” “Wazuieni wasiwe na nafasi ya kukaa na watoto wao” “Familia zao zikiparaganyika, mara, nyumba zao hazitakwepa msongamano wa kazi na mawazo.” “Wachocheeni zaidi akili na fahamu zao ili kuhakikisha kwamba hawaiskii ile sauti ndogo, tulivu ya Mungu wao.” “Washawishini walize radio au kaseti au muziki kwenye simu,popote wanapoendesha gari au wanapotembea kwa miguu .” waache TV, VCR, CD na KOMPYUTER zikiwa zimewashwa kama kawaida majumbani mwao na mhakikishe kwamba kila duka na mgahawa kote duniani linapiga muziki usiokuwa wa kibiblia mfululizo bila kukoma.” “Hii itasonga akili na fahamu zao na kuvunja ule muungano wa Kristo.” “Jazeni magazeti na vijarida mbalimbali kwenye meza zao za kahawa na chai dunia kote.” “Shindilieni habari na matukio mbalimbali ndani yafahamu zao kwa muda wa masaa 24.” “Ingilieni kwenye muda wao wa kuendesha barabarani kwa kuwaonyesha mabango na matangazo.’ “Kwenye masanduku ya postana barua pepe jazeni vipeperushi na majarida na kila aina ya matangazo yahabari za vitu na hudumu yanayowapa matumaini ya uongo.” “Wekeni wanawake warembo sana mitaani na kwenyeTelevisheni na majarida ili kwamba wanaume walioko kwenye ndoa wadanganyike na kuamini kwamba urembo wanje ndio muhimu, na wasiridhike na wake zao.” “wafanye wake zao wachoke sana wasiweze kuonesha upendo kwa waume zao usiku.” ‘Wapeni maumivu ya kichwa pia!” “kama hawatawapa waume zao upendo wanaouhitaji sana,wataanza kutazama kwingine.” “Hiyo itaparaganyisha familia zao haraka sana!” “wapeni waalimu wa uongo ili wawapotoshe wasifundishe injili ya kweli kwa watoto wao na waumini wao.” “Wapeni zawadi na kadi za pasaka ili wasizungumzie nguvu za ufufuka kwa Kristo juu ya dhambi na mauti.” “Hata katika karamu zao wachosheni sana kwa anasa nakuwafanya warudi wakiwa wamechoka sana.” “Hakikisheni wanakuwa ‘BUSY’ na kusongwa na mambo kiasi kwamba hawapati muda wa kutafakari wema wa Mungu. Badala yake wapeni kutalii kwenye maeneo ya ajabu,matukio ya michezo, matamasha, kumbi za sinema na video. “Wafanye wawe ‘BUSY,’ ‘BUSY,’ ‘BUSY,! Yaani wasongwe na kusongwa na kusongwa na kazi kwelikweli!” “Na wanapokutanika kwenye ibada zao za kiroho wafanye waingie katika umbea na fitina na kuzungumzia mambo madogo madogo ya umbea na fitina ili waondoke wakiwa na dhamira mbaya zilizochafuliwa.” “Jazeni visababishi vingi vya mambo katika maisha yao ili wasiwe na nafasi ya kutafuta msaada na nguvu za Yesu.” “Muda si mrefu watakuwa wakitegemea akili zao wenyewe,wakihatarisha afya zao na za familia zao kwa ajili ya maangamizi yao wenyewe.” “Itafanya kazi” “Itafanya kazi!”Huu ni mkakati kweli kweli !Mapepo yaliondoka kwenye mkutano yakiwa na hamu kubwa sana ya kutekeleza majuku hayo waliyopewa na kuanza kuwafanya wakristo wawe na kukimbia na mambo huku na huko.wakawa na muda mdogo sana kwa ajili ya Mungu wao na familia zao.Wakakosa muda wa kuwaeleza wengine kuhusu nguvu za Yesu kristo kubadili maisha ya wanadamu.NADHANI SWALI NI JE SHETANI AMEFANIKIWA KATIKA MIPANGOYAKEHIYO?WEWE NDIYE HAKIMU!!!!!!!!!!je ‘UBIZE’ au kutingwa na kazi kunamaanisha : kuwa chini ya mkataba au utumwa wa shetani? WAfahamishe wengine uwapendao na dumu katika KRISTO YESU aliye tumaini na mkombozi wetu. PASAKA NJEMA!!! April 8, 2007 at 10:42 pm 4 comments March 16, 2007 at 8:00 am 1 comment
2018-01-22T19:56:44
https://kenyananalyst.wordpress.com/category/science/
[ -1 ]
News that Malawi female president Joyce Banda dissolved her cabinet spread like bush fire. Banda had to swallow a bitter pill after it came to light that her government was either ignoring or condoning malpractices. It was sleeping on the wheel. Banda stole thunder earlier last year, after the death of Bingu wa Mutharika whose courtiers and stooges wanted to stop the then vice president Banda from taking the oath of president as Malawi constitution stipulates. The move by Mutharika’s inner circle was opposed by many in Malawi and abroad. Abhorring such undemocratic move, Malawians threw their support behind Banda believing she’d reverse economic limbo Malawi was in. The coming of Banda into the big picture was expected to bring breath of fresh air. However, things didn’t work as Malawians expected. After ascending to power, Banda proved to be more a disaster than her predecessor. Instead of addressing the very problems Malawians faced, she embarked on vengeance, fuata nyayo and knockdown policy aiming at punishing Mutharika’s inner circle that’s replaced by her own cronies. She went ahead devaluing Malawi Kwacha to begin with. Thereafter, fissures in Banda regime started to surface after being accused of nepotism and corruption. Things went from bad to worse and corruption became rife. All of the sudden, the woman who used to convince Malawians that she’s a mother who would care about them became another monster. It as if Malawians were afraid of a lizard to death to end up embracing a gator. Again, tongues didn’t stop waging especially for those in the know regarding what has been going on in Malawi. After firing the cabinet her supporters started singing praises to their heroine for ‘taking’ on the vestiges of corruption little knowing that she was acted on orders from above. Detractors did not jump into praise-singing bandwagon. They are asking: Why taking dissolving the cabinet after being lectured by donor community? Detractors have a point. Recently the EU warned Banda to put her house in order. Alexander Baum, the Head of EU Malawi mission was quoted as saying, “There is need for a cleanup before we make our disbursement.” Pressure on Banda was exerted after top finance ministry official, Paul Mphwiyo, who’s seen as an anti-corruption crusader, was shot and wounded last month. The shooting of Mphwiyo provoke the blow up of many especially anti-graft campaigners who termed it as a move to silence Mphwiyo. Many wondered how Malawi would be ripped off by a few venal officials while the government was just doing nothing. Baum added, “All this massive looting was happening under the nose of auditor general’s office and malpractice was not detected or discovered.” although Baum did not directly implicate the government, his harsh words aimed at sending the message which Banda got and acted on it. Looking at the mess Malawi is in under a female president, the whole belief that females are less corrupt than men as it has always been drummed in up does not hold water especially in Africa. The thing is. For Africa females and males are equally corrupt and unpredictable. Refer to the scam involving another female Liberian president whose children are in high offices undeservedly. The situation in Liberia became worse so as to force madam president to fire her sons in order to save her face. More on Banda, last year her minister of justice who also is attorney general Raphael Kasambara admitted to have spent public money without following proper procedure. He was not fired despite admitting wrong doing. Was Banda waiting for? Did Kasamabara firing need EU’s pressure? Kasambara’s case is but a drop in the ocean of Banda’s administration regarding graft. Banda was required recently declare her wealth as a step towards combating graft. Sadly though, Banda refused to do so. Can such a person be clean? Leading is always to be in front of others and lead by deeds not mere words. Again, many are still asking. If Banda seriously aims at dealing with the vestiges of corruption, then when will she fire herself given that she is the core and pillar of corruption in Malawi currently? Ironically, what was drummed as reshuffle wasn’t. Instead, Banda recycled the same kit and caboodle of courtiers. Source: The African Executive Magazine Oct., 30, 2013. Posted by BAADA ya kugundua kuwa kuna mchezo mchafu wa kuwachukulia wachovu kama mataahira huku wahusika wakizidi kuiba njuluku zao, kijiwe kimekuja na suluhisho la kudumu. Kapende anachomekea, “Hizi nazo ni sanaa na ngonjera ambazo wanasiasa watatumia kujipatia kura ya kula na ujiko kama anavyofanya Mzito Kabwela ambaye alituahidi kutaja lakini akawa anajikanyaga kama Dokta Mwakiwembe na wauza bwimbwi. “Walioficha njuluku Uswisi wanajulikana. Leo mie nataja. Nambari wani ni Endelea Chengaaa, Idiiliishua Rashidu, Niziro Kadamage, Rahasttamu L’ Aziz, Billy Ngeleza, Mood Daweje aka bilionea toka kaya kapuku, Pitia Noni, Eddie Ewassa, Njaa Kaya, Bazil Pesatatu Mrambaramba, Ben Dugong Makapu na nkewe na Dan son of Johah.” Mijjinga anapuuzia utani na kusema, “Sasa unazidi kuniudhi. Rais achukue hatua ya nini iwapo serikali yake imekalia kashfa hii kwa miaka yote? Umesahau EPA mara hii! Hujui kuwa nyingi ya fedha iliyofichwa nje inatokana na MaEPA na Ma Richmonduli Kagoda na Meremeta rada na ndege mkangafu ya rais?” Machungi anadakia, “Mijjinga usitikumbushe hiyo EPA ambayo ni mahepe. Huoni yale majambazi ya EPA yanaitwa watukufu na majina mengine makubwa. Hivi sisi timeogwa na nani?” Mbwa Mwitu kuona yamekuwa hayo anaamua kujitetea, “Mgosi ndugu yangu hutaniwi?” Mpemba ambaye alikuwa kimya muda mrefu akisoma habari za Mzito Kabwela kutibua dili la majambazi wanono anampa gazeti Mchunguliaji na kukamua mic, “Yakhe mie nimekaa kimya nda nrefu. Sasa acha nipitishe fatwa wallahi. Mie naona tuache kulalama. Kama alivyosema Mgosi, twende huko maofisini tuwahukumu hawa wezi wanaojiona wana mamlaka juu ya kila kitu na kila mtu wakati mwenye mamlaka ni Subhana Wa Taala mwenyewe. Twangojani wakati kila kitu chaliwa? Mwataka nasi tuliwe?” Kabla ya kumaliza Mgosi Machungi anachomekea, “Mgosi usitiletee mambo ya popo bawa hapa ohoo!” Mpemba anajihami, “Hapa mie sifanyi utani yakhe. Mambo ya popobawa yeshapitwa na wakati na waliofanyiwa ushenzi si mwawaona wakiumbuka wengine kupofuka?” Kila mtu alichukua kikombe chake na kuanza kulimwagia kahawa huku akilirushia kashata na tangawizi huku tukisema, “Acha siasa na ngonjera rejesha pesa yetu mliyoiba na kuficha Uswasi.” Chanzo: Tanzania Daima Okt., 30, 2013. Posted by RAIS Jakaya Kikwete, ingawa wapo wanaomuona kama dhaifu tangu aingie madarakani, anaweza kubadili mwelekeo wa mambo na kuwa shujaa. Anaweza kufanya hivyo kama atafanya yafuatayo.Mosi, kukiacha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kijifie kutokana na kuishiwa kulhali. Anaweza kufanya kama alivyofanya rais wa mwisho wa lililokuwa Shirikisho la Kisoviet la Urusi, Michael Gorbachev. Pia anaweza kufanya kama rais wa zamani wa Romania, Ion Iliescu aliyekataa kuunga mkono uimla na umwagaji wa damu wa imla wa zamani wa Romania, Nicolae Causescu.Pili, anaweza kufuta kile wakosoaji wake wanachoona kama ni makosa kwa kubadili aina yake ya utawala. Ingawa amebakiza muda mfupi madarakani, anaweza kuamua kuweka mfumo na mazingira ya watakaofuatia kurekebisha makosa ambayo mengi aliyarithi toka kwa mtangulizi wake aliyeiuza nchi kwa wawekezaji uchwara huku akihujumu kila rasilimali ya Taifa.Tatu, anaweza kuendelea kuiandaa CCM kisaikolojia tayari kukabidhi madaraka kwa wengine wenye uwezo na kukubalika kwa wananchi.Nne, anaweza kuachana na kile ambacho wakosoaji huita kuwafumbia mafisadi macho chini ya dhana mbovu ya ‘huyu ni mwenzetu’ ambayo kimsingi ndiyo imetufikisha hapa tulipo.Tano, Kikwete anaweza kutumia mbinu mbadala ya kulibadili Taifa kwa kufanya mabadiliko kwa njia ya kupinga na kukataa mazoea ya kutawala kwa kuegemea kwenye maamuzi ya chama ambayo ndiyo silaha kubwa ya CCM.Sita, anaweza kuangalia utaifa zaidi ya ukereketwa wa chama kama ambavyo imekuwa siku zote ambapo watu hufanya madudu na kutenda jinai kwa kisingizio cha kulinda maslahi ya chama. Rejea kwa mfano kuhusishwa kwa Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Mwigulu Nchemba na makosa ya kigaidi kwa kubambikizia wenzake makosa anayotenda.Saba, anaweza kuamua kupingana na makada wote waliomzunguka wakimshawishi aendeleze uhohehahe kisiasa ili kuinufaisha CCM ambayo kimsingi ilishachokwa na Watanzania kutokana na kuendelea kuwazamisha.Nane, anaweza kutumia miaka miwili iliyobaki ya kuwa madarakani kufanya yote mazuri na ya lazima aliyoacha kufanya kwa miaka nane iliyopita.Tisa, anaweza kuanza kuandika historia mpya ya urais wake kwa kuendelea na mageuzi ya kweli ya kisiasa badala ya maigizo na sanaa za CCM. Mfano, anaweza kuzuia CCM kuendelea kuamrisha tume ya uchaguzi wakati wa uchaguzi kama ilivyotokea kwenye uchaguzi mkuu uliopita ambapo baadhi ya wabunge walioshindwa waliidhinishwa kwa mtutu wa bunduki.Kumi, kwa vile ameishawaambia wazi CCM kujiandaa kisaikolojia, anapaswa kuendelea kuwaandaa akipangua wale wote wenye mawazo mgando na kufanya yale ambayo wasingetaka yafanyike kwa vile yatakiumiza chama.Kwa mfano, anaweza kuamua kupambana na ufisadi, ujambazi, rushwa, matumizi mabaya ya fedha za umma, kutowajibika kwa watendaji wa umma. Kwa mfano, Kikwete anaweza kuanzisha vita dhidi ya wezi wa pesa za umma ambao wizi wao huripotiwa karibu kila mwaka na mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Hesabu za serikali (CAG). Anaweza kuibadili Tanzania toka kwenye kuwa shamba la bibi na kuwa mali ya Watanzania ikiwanufaisha badala ya kunufaisha genge la watu wachache wanaotumia chama kushika hatamu kuliangamiza Taifa.Anaweza kuachana na mfumo wa kujuana na kulipana fadhila. Kama ni kulipa fadhila, nadhani alizokwishalipa na aliowalipa wanatosha.Kwa vile Kikwete haruhusiwi kugombea urais tena kisheria, hana cha kupoteza bali kufaidika kwa kuleta mapinduzi tena ndani ya kipindi kifupi. Hili linawezekana, linamfaa na asipoteze fursa hii ambayo Waingereza huita golden chance.Kikwete si mjinga kiasi ambacho wale wanaomdanganya wanamdhania. Anajua fika kuwa kuna maisha baada ya kutoka Ikulu. Ameona wazi jinsi mtangulizi wake asivyo na heshima wala mashiko kwenye jamii ya Watanzania. Amesikia, kuona hata kusoma jinsi wachambuzi wanavyomtumia mtangulizi wake kama kielelezo cha maovu hasa yatokanayo na ufisadi. Rejea jinsi mtangulizi wake alivyoandamwa na jinamizi la kuua NBC, kujitwalia mgodi wa makaa ya mawe wa Kiwira, kufanya biashara akiwa Ikulu, kuruhusu mkewe atumie Ikulu kuunda NGO ya ulaji, kuruhusu uingiwaji mikataba ya kiwizi ya uwekezaji ambao umegeuka uchukuaji na mengine mengi.Pia Kikwete anajua kuwa Watanzania si wasahaulifu kama CCM ambavyo imekuwa ikifanya makosa na kuwachukulia. Tutoe mfano wa mbali kidogo. Nani, kwa mfano, amesahau kashfa iliyokabili utawala wa rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi ya Loliondo?Kikwete anafahamu fika kuwa kila lenye mwanzo lina mwisho. Amesoma na kushuhudia historia ya maanguko la vyama kama UNIP (Zambia), KANU (Kenya), MCP (Malawi), NP (Afrika Kusini) na vingine vingi barani Afrika. Ameona machungu ya marais wa zamani hasa wale waliojisahau wakaendesha nchi kama mali binafsi na mali ya vyama vyao. Anajua yaliyowapata akina Fredrick Chiluba, misukosuko ya Bakili Muluzi, Laurent Gbago, Hosni Mubarak, Muammar Gaddafi, Zein ElAbedeen Ben Ali na wengine watakaofuatia ambao asingependa awe miongoni mwao. Kama kusoma alama za nyakati basi ndiko huku. Kufanya hivyo humkomboa mhusika na kumpa hakikisho la nafasi katika historia ya Taifa.Tuhitimishe kwa kuendelea kumpa moyo na changamoto Kikwete asijipeleke mwenyewe majilini wakati ana njia ya kuachia madaraka na kuacha historia ya maana kwake. Sidhani kama Kikwete hayajui yote haya wala kama angependa awe muathirka wa mambo ambayo anayajua fika. Sidhani. Afahamu kuwa ataendelea kuishi baada ya urais. Pia afahamu kuwa mambo huenda yakibadilika. Yeye aliweza kumkingia kifua Mkapa jambo ambalo limembebesha lawama kwa kusema muache mzee Mkapa apumzike. Je ana uhakika gani kama atakayekuja atamkingia kifua wakati mazingira ya kufanya hivyo yanazidi kutoweka kutokana na hamu ya kuwa na Katiba Mpya ambayo ni zao la mabadiliko ya kifikra ya Kikwete? Afahamu kuwa kubadili katiba kutampa utajo katika historia ya Taifa na kuwa baba wa katiba na mabadiliko vinavyoweza kunusuru Taifa letu. Hakika Kikwete ana sababu ya kuchagua kumaliza urais wake akiwa shujaa na si mtuhumiwa wa matumizi mabaya ya uongozi. Akifanya hivyo, Watanzania watamsamehe makosa yake yote na kuanza ukurasa upya. Kwani naye ni binadamu. Ila asipofanya hivyo, ajue atakuwa rais mstaafu mwenye wingi shaka na misukosuko. Chanzo: Dira ya Mtanzania Oktoba 2013. Posted by MAWAZIRI Mathias Chikawe (Sheria na Katiba) na Stephen Wassira ( Waziri wa Nchi Ofisi ya rais Mahusiano na Uratibu) ni watu wasioisha vituko. Alijua kuwa waziri Wassira angewaambia wapinzani kuwa wanalilia kwenda Ikulu kunywa juisi kana kwamba juisi ni kitu kikubwa? Inashangaza mtu mzima kiumri na mwenye madaraka kuhangaishwa na udohoudoho namna hii.Naye Chikawe alitoa mpya aliposema kuwa atamshangaa rais Jakaya Kikwete kama hatasaini muswada wa katiba uliochakachuliwa. Hivi karibuni Chikawe alikaririwa akisema, “Nitamshangaa sana Rais Kikwete kama atashindwa kusaini muswada huo kwa sababu ya kelele za wapinzani.” Hakuna anayejua kigezo alichotumia kiasi kuonekana kama anamfanya rais mjinga kiasi hiki. Rais hawezi kusaini au kutosaini muswada kwa kuogopa watu wasimshangae. Kinachomsukuma rais kusaini au kutosaini muswada ni sheria. Naye Wassira alikaririwa akisema, “Hawa tumewalea siku nyingi na sasa wanafanya mazoea, ninachotaka kuwaeleza wasitarajie tena kuitwa Ikulu.” Kama tutauangalia ukweli bila makengeza na miwani ya mbao, kati ya wapinzani na Wassira nani amefugwa? Kuna dhana kuwa Wassira alikuwa akijitahidi kuwashambulia wapinzani ambako alitokea ili aonekane kuwa hana uhusiano nao tena. Wengi wanadhani kuwa Wassira anaiandama Chadema kwa maslahi yake yaani aonekane hana uhusiano nao tena ingawa kwa wanasiasa lolote linawezekana. Kinachoshangaza ni ile ya Wassira kuwaandama wapinzani utadhani yeye hajawahi kuwa mpinzani. Ama kweli ‘nyani haoni kundule’. Wakati mwingine ya nyani kutoona nonihino lake inaweza kutafisriwa kama unafiki au uchangudoa wa kisiasa. Ila ni vizuri Wassira na wenye mawazo kufu na mfu kama yake wakafahamu kuwa si wapinzani wote wako kwenye upinzani kwa ajili ya kukidhi tamaa na njaa zao. Wapo ambao ni makini na wana nia ya kuleta mabadiliko kwa Taifa lao. Mambo huenda yakibadilika. Hata hivyo Wassira anapaswa kuelewa kuwa wapo wapinzani walioko ndani ya chama kama yeye. Ila si vizuri kudhani wote ni kama yeye. Nani kwa mfano alijua kuwa Augustino Lyatonga Mrema au Maalim Seif Sharif Hamad wangekuwa na uswahiba na CCM?Kinachofanya watu tuwashangae watu kama Chikawe wanaomshangaa rais kwa kukataa muswada uliochakachuliwa ni ile hali ya kuwa wanasheria wasiojua sheria. Inashangaza sana kuona mtu kama Chikawe waziri wa sheria na mwanasheria kitaaluma kufikiri kisiasa badala ya kitaaluma. Inashangaza kuona watu wanaopaswa kulinda katiba kama Chikawe ndiyo hao hao wanaotaka ichezewe na kila kundi la wahuni eti kwa vile ni wenzao. Nchi yetu haiwezi kuendeshwa kama kikundi cha ngoma ya mdundiko au baa ambapo kila mtu hujifanyia atakavyo. Hatuwezi kuwa wote vipofu tukiachia hatima ya nchi yetu kwenye sera za ubabaishaji na utendaji wa ajabu ajabu kama wabunge kukubali kutumiwa kuchakachua muswada ambao kimsingi ungewaletea ukombozi kama Taifa. Isitoshe, suala la kujua kuwa muswada wa Katiba Mpya umechakachuliwa halihitaji kuwa na shahada ya sheria bali akili ya kawaida, ‘common sense’. Kuna wakati watu wanashangaa watu kama hawa waliteuliwa vipi wakati wanaonyesha kukosa uelewa mdogo ukiachia mbali ujuzi wa kuweza kuwa mawaziri. Tunajua kuwa wengine wamesoma tena nje kiasi cha kufikia kuwa na ‘Masters degree’. Je ni kwanini matendo na matamshi yao hayafanani na elimu wanayodai kuwa nayo au ni yale ya kutumia majina ya vyuo vya nje kuonyesha wana sifa kama siyo kughushi au kununua shahada za kwenye mtandao.Kinachofanya watu wawashangae zaidi mawaziri hawa ni kuongelea mambo yasiyolingana na umri na nyadhifa zao ukiachia mbali mambo yenyewe kutoingia akilini. Kwa mfano, Ikulu na juisi wapi na wapi au kumshanga mtu anayefanya jambo ambalo ni la maana? Kuna haja ya mawaziri wetu kujitofautisha na wapiga debe, wavuta bangi, waimbaji taarabu au ‘rap’ au machinga wa pale mtaa wa Kongo. Kushindwa kufanya hivyo hupelekea watu kuamini kuwa wahusika wamefilisika kisiasa.Kwa mawaziri kushindwa kutenda kama nyadhifa zao zinavyowatuma na ukiachia mbali kujiaibisha wao na bosi wao, wengi wanadhani wakati wa rais Kikwete kuwatimua ili kulinda heshima yake na Serikali ni sasa. Haiwezekani Serikali kuendelea kuwavumilia wahuni ikashindwa kuonekana ya kihuni kama wao. Maana Waingereza husema, nionyeshe marafiki zako nikwambie wewe ni nani. Hatuamini kuwa Serikali yetu na rais wake wamefikia kiwango hiki cha huruma na hasara. Hatuamini kuwa akina Chikawe na Wassira ni watu wanaopaswa kuonyeshwa iwapo mtu atamtaka rais Kikwete aonyeshe wenzake aambiwe yeye ni nani.Tumalize, kwa kumtaka rais Kikwete asiishie kuwashangaa na kuwavumilia akina Chikawe na Wassira. Badala yake awawajibishe ili kulinda hadhi yake. Inabidi awaonyeshe kuwa yeye kuamuru katiba iandikwe upya hakuwa anataka kujiridhisha wala kufanya majaribio bali aliona hatima ya Taifa. Pia akina Chikawe na Wassira wanaomshangaa rais kwa kutimiza wajibu wake kama kiongozi wa nchi wanapaswa, kuogopwa kama ukoo. Kwa ninavyojua, rais Kikwete lazima awawajibishe ili kuwaonyesha Watanzania kuwa mambo yamebadilika. Atuonyeshe kuwa siasa za mazoea na kubabaisha zimeishapitwa na wakati na siyo stahiki na staili yake.Kwa ufupi ushauri wetu kwa rais ni huu. Rais usiwavumilie nyani utavuna mabua. unayekaribia kumaliza muda wako ni wewe na ni wewe huyo huyo uliyeapa kulinda katiba ya nchi na si hao wapambe ambao wengi wao huwa ni nuksi. Rais Kikwete tuondolee kadhia. Wawajibishe mawaziri mzigo kwenye baraza lako la mawaziri kama hawa walioshindwa kutimiza wajibu wao kwako na kwa Taifa. Usiwape nafasi wakushangae au kukutisha.
2017-07-28T14:59:04
http://mpayukaji.blogspot.ca/2013/10/
[ -1 ]