text
stringlengths
44
187k
timestamp
timestamp[us]
url
stringlengths
16
3.37k
dup_ids
list
IRENE MWAMFUPE JAMII: NINGEKUWA MIMI PROFESA TIBAIJUKA NISINGEFUMBIA MACHO UOZO HUU KATIKA ARDHI NINGEKUWA MIMI PROFESA TIBAIJUKA NISINGEFUMBIA MACHO UOZO HUU KATIKA ARDHI Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Kajumulo Tibaijuka. Kwako Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Kajumulo Tibaijuka. Najua bado hujatulia kutokana na ziara ya kushtukiza ya Mbunge wa Kawe, Halima Mdee jimboni kwako, Muleba Kusini ambapo amemwaga ‘upupu’ kwa wapiga kura wako. Sijui lengo la ziara yake jimboni kwako ni nini lakini leo sitaki kuzungumzia hilo. Pamoja na wakati mgumu ulionao kutokana na matatizo lukuki ya ardhi yanayokuhusu moja kwa moja kwa sababu wewe ndiye waziri mwenye dhamana katika masuala yote ya ardhi, nataka kukufikishia ujumbe wangu kwako. Mimi sikuzaliwa Oktoba 12, 1950 katika Kijiji cha Kangaviyo mkoani Kagera kama wewe. Nakuapia sina CV kubwa kama wewe, sijawahi kufundisha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam tangu mwaka 1993 hadi 1998 kama wewe. Sijawahi kupata ‘exposure’ kubwa ya kimataifa kama wewe, sijawahi kufanya kazi katika Shirika la Umoja wa Mataifa la UN-Habitat wala sijawahi kuzunguka sehemu nyingi duniani, nikishika nyadhifa mbalimbali kama wewe. Mimi ni mlalahoi tu, mbumbumbu nisiyejua chochote kuhusu mambo ya kimataifa wala serikali na utawala kama wewe. Hata hivyo, hilo halinizuii kukufikishia ujumbe wangu kwako. Najua kwamba wewe ni mwanamke mchapakazi, uliyesoma na mwenye uwezo wa kuongoza ndiyo maana umeshika nyadhifa mbalimbali kwa nyakati tofauti, kuanzia Umoja wa Mataifa mpaka kwenye Serikali ya Tanzania. Naamini umepata uzoefu mkubwa wa namna ya kuongoza na kuzitatua kero mbalimbali zinazowakabili watu unaowaongoza. Hata hivyo, mbona unashindwa kuonesha uzoefu na uwezo wako katika wizara unayoiongoza? Kuna matatizo mengi sana yanayohusu ardhi katika nchi hii, nikianza kuyaorodhesha, gazeti zima litajaa na bado hayataisha. Ina maana huyajui matatizo haya? Hujui kero zinazowakumbwa wananchi wa Mbarali kwenye shamba la mpunga la Kapunga? Huyajui matatizo ya ardhi yanayowakabili wananchi wa Kigamboni? Vipi kuhusu mgogoro wa muda mrefu wa Chasimba na Chatembo, Kinondoni jijini Dar es Salaam? Vipi kuhusu mapigano ya wakulima na wafugaji katika Bonde la Mto Rufiji na mkoani Morogoro? Ulianzisha mkakati kabambe wa kubomoa mahekalu ya watu waliojenga kwenye fukwe za bahari na uoto wa mikoko lakini mbona nyumba zilizobomolewa zilikuwa ni za ‘akina mwenzangu na mimi’ tu wakati mahekalu ya vigogo bado yamesimama? Sitaki kuamini taarifa zinazoeleza kuwa unamiliki ekari zaidi ya 800 katika Kijiji cha Kyamnyorwa wilayani Muleba katika jimbo lako. Sitaki kuamini kama ni kweli na wewe unamiliki ekari za kutosha eneo la Kigamboni. Naamini wewe ni mzalendo, unawapenda Watanzania na ndiyo maana uliamua kuachia wadhifa mkubwa Umoja wa Mataifa na kurudi kuwatumikia wananchi wa Muleba. Lakini mbona unashindwa kuyashughulikia matatizo haya yanayowakera wengi? Viwanja vya wazi karibu asilimia kubwa vimeshavamiwa na kujengwa ‘mijengo’ ya maana, kwa nini unalifumbia macho hili? Kwa bahati mbaya mimi nitabaki kuwa mimi na sitaweza kuwa wewe lakini kama ningekuwa mimi kwenye nafasi yako, kwa hii migogoro ya ardhi inayoendelea nchi nzima, narudia tena kusema bila kumung’unya maneno kwamba nisingeifumbia macho, ningechukua hatua haraka sana. Pengine hii ndiyo ingekuwa alama kwa wananchi wangu juu ya uaminifu wao kwangu kwa nyadhifa nyingine kubwa zaidi maana nasikia unataka kuchukua kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao.
2017-10-22T04:42:52
http://irenemwamfupejamii.blogspot.com/2014/11/ningekuwa-mimi-profesa-tibaijuka.html
[ -1 ]
DJ K U: Waraka Wa Godbless Lema Kwa Rais Kikwete Waraka Wa Godbless Lema Kwa Rais Kikwete Mh Rais , Mama Theresa , Nelson Mandela , Martin Luther Jr na Malcom X hawakuwa Wabunge kupigania haki za Nchi yao na watu wao , sihitaji Ubunge kupigania ukweli, haki na utu , nahitaji dhamira safi , nia njema na huu utakuwa wajibu wangu mpaka nakwenda kaburini , nitakapomaliza mbio hizi najua nitapata fursa ya kutazama nyuma yangu nione nini nilifanya , ukweli nisingependa kuona vituo vya mafuta , magorofa , magari na viwanja vingi kila kona ya Nchi bali Haki ,Usawa na utu vikiwa kama nguzo ya imani ya watawala wetu watakaokuwepo, pengine sitaishi miaka mingi sana kama utachukizwa sana na waraka wangu huu kwani Polisi , Usalama wa Taifa na Jeshi la Wananchi wanakutii wewe , hata hivyo siogopi kufa kwani nisipokufa kesho , nitakufa siku moja ambayo siijui , napenda kuishi maisha marefu nimwone mke wa mtoto wangu kama itawezekana , lakini kuliko iwezekane kwa kuishi kwa hofu ni bora ishindakane kwa kuthamini haki , kwa hiyo kama utakuwa umekasirika sana , unaweza kufanya jambo lolote baya kwa kutumia mamlaka yako , niko tiyari sio kesho wala leo isipokuwa sasa hivi, najua IKULU imewazulumu watu wa Arusha Mbunge wao. Mh Rais ninajua wazi njama zote na hasira hizi zinaweza kuwa zimetokana hasa na mkutano tuliokaa Osterbay Dar mimi na wewe kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 hata hivyo sikupuuza maongezi yetu isipokuwa nilichagua kufuata dhamira yangu na wito wangu wa utumishi wa kweli katika Jimbo langu na Nchi yangu. Mh Rais nimekuelewa na Wananchi wamekuelewa kila mahali , wewe ni Rais unayo mamlaka makubwa na mimi ni mwananchi mamlaka yangu makubwa ni kwa mke wangu tu , sina Polisi wala Usalama wa Taifa lakini nitawaomba wanyonge wafunge na kusali tuone kama mamlaka yako inaweza kushindana na haki na ukweli . Mh Rais “Mtu anaweza kuzini kwa siri lakini hawezi kuugua ukimwi kwa siri” Serikali na Chama cha Mapinduzi kimepuuza watu na haki zao kwa muda mrefu , lakini wakati umefika ambapo hawatapuuzwa tena hata hivyo kwa kauli yako hii naamnini haiwezi kuwafundisha kazi majaji wa mahakama ya rufaa .
2016-12-03T21:51:16
http://dj-ku.blogspot.com/2012/06/waraka-wa-godbless-lema-kwa-rais.html
[ -1 ]
Mambo ya kuzingatia ili kuhakikisha kuwa biashara au taasisi yako haipotezi data za kieletroniki – Serengeti Bytes Serengeti Bytes > Updates > Mambo ya kuzingatia ili kuhakikisha kuwa biashara au taasisi yako haipotezi data za kieletroniki Karne ya 21 imekuja na maendeleo makubwa katika sayansi na teknolojia, hasa katika kompyuta na mifumo yake. Wakati huu ambao kompyuta na mifumo yake inatengenezwa kwa ubora wa hali ya juu kabisa, bado kuna changamoto ambazo hujitokeza. Upotezaji wa taarifa zinazohifadhiwa katika kompyuta ni moja kati ya jambo sugu linalosumbua taasisi na watu wengi duniani kote. Utafiti wa hivi karibuni uliofanywa na IBM, unasema kuwa biashara ndogo na za kati hasa kwa mataifa yaliyoendelea hupoteza walau wastani wa dola milioni 2.5, ikiwa hasara zinazotokana na upotezaji data zitapigiwa hesabu na kuwa hasara ya kifedha. Data hupoteaje? Kuna mambo kadhaa ambayo huweza kusababisha upotevu wa data zilizohifadhiwa kwenye kompyuta kama vile; diski ngumu ya kompyuta kuharibika au kuchakaa, mfumo wa kompyuta kuharibika, shambulizi la virusi (kama malicious na malware; Trojan, Ransomware, Adware, Spyware na kadhalika), uharibifu wa kompyuta yenyewe (physical damage) na wizi wa kompyuta. Katika upotezaji wa data, hakuna aliye salama. Kuanzia taasisi kubwa zaidi za kimataifa na serikali zenye nguvu duniani, hadi biashara, taasisi ndogo na watu binafsi hukutana kwa namna moja au nyingine ya matukio yanayoweza kuwafanya wapoteze data zao. Ingawa hakuna ambaye anapaswa kutegemea kupoteza data zake, ni muhimu kujiandaa kwa namna fulani zitakazoweza kusaidia kuzuia au kupunguza adhari za kupotea kwa taarifa zako. Iwe ni kwasababu za uvamizi au kwa uzembe, upotezaji data unaweza kuwa hatari kwa biashara au taasisi; Hizi ni mbinu za kukabiliana na upotevu data katika taasisi yako; Siku zote, hakikisha kuwa umehifadhi data zako sehemu mbadala (backup) Kinga ni bora kuliko tiba. Kwa kuhifadhi data zako sehemu mbadala, iwe ni kwenye seva za ndani au ya mtandaoni, itakusaidia kupunguza hatari ya kupoteza data zako. Vilevile, kulingana na umuhimu wa data au hatari za kupoteza zilizopo, mtaalamu anaweza kukushauri kuwa na mfumo wa uhifadhi unaochukua na kuhifadhi data kila siku, kila wiki au kila mwezi. Kuwa na hifadhi Zaidi ya moja ya data zako (more than one backup) Chukulia kuwa kompyuta yako ni sehemu ya kwanza ya kuhifadhi data yako. Kisha unaweza kuwa na diski ngumu, au seva za ndani ya ofisi yako. Lakini hatua muhimu Zaidi ni kuhakikisha kuwa siku zote unakuwa na uhifadhi wa data zako nje ya eneo la biashara yako. Unaweza kufanikisha hili kwa kununua hifadhi ya mtandaoni (Online/Cloud Storage) Wekea ulinzi data za muhimu sana kwa kufanya usimbuaji fiche (Encryption) Taarifa au data zako hasa zile za muhimu sana (sensitive/confindential) kama taarifa za kifedha, za kiulinzi, namba uanachama ya mifuko ya mafao, taarifa za kibenki, taarifa za kiuchunguzi na masuala ya usalama wa taifa au wa kampuni hazipaswi kufikiwa na watu ambao hawajapewa ruhusa. Kuweka taarifa hizo katika diski au seva mbadala pekee hakuvifanyi kuwa salama kikamilifu, unapaswa kwenda mbali Zaidi kwa kulinda taarifa zako kwa kufanya usimbuaji fiche ili hata ikitokea wavamizi wamezifikia, washindwe kuzidukua na kuzitumia vibaya. Hakikisha wewe pamoja na wafanyakazi wote mnafahamu kuhusiana na masuala ya usalama wa data/taarifa. Kuchukua hatua za kiusalama pekee inaweza isitoeshe, hakikisha kuwa wafanyakazi wote wana mafunzo ya masuala ya usalama wa data. Mfano, data nyingi huibiwa ikiwa mmoja kati ya watu wanaoweza kufikia data zako atatumiwa kiungo kwa baruapepe chenye uwezo wa kufanya shambulizi ikiwa kitafunguliwa. Pia, hakikisha kuwa unaweza kufuta data zako ikiwa vifaa vyako vitaibiwa (remote data wiping) na pia unaweza kwenda mbali kwa kuweka kamera za ulinzi (CCTV) katika maeneo yote ambao wizi wa data unaweza kutokea. Tumia Programu za kukabiliana na virusi na ulinzi wa baruapepe (Antivirus na Email Security) Uvamizi kupitia udukuaji, ransomware na phising inaweza kuwa kitisho kikubwa zaidi kwa data zako. Tumia program za ulinzi zinazoweza kupelekea kiungo cha uvamzi kujiambatanisha katika mifumo ya kompyuta za taasisi au kwenye mifumo ya baruapepe Fanya kazi na wataalamu wa masuala ya ulinzi data Taarifa zako zipo hatarini ikiwa hazitokuwa na wa kuziangalia. Ikiwa yoyote kati ya hayo yatatokea, fanya tathmini ikiwa kweli unaweza kutumia zana zozote kuweza kupata data zako. Ikiwa huna uhakika wa kufanikisha hilo, tafuta wataalamu wanaoweza kukusaidia kuzifikia na kuokoa data zako. Taasisi nyingi hazina matarajio kuwa kupoteza data ni jambo linaloweza kutokea ingawa hiyo haimaanishi kuwa jambo hilo haliwezekani kabia kutokea. Kumbuka kwamba hakuna anayependa sana vita ikiwa anaweza kupata kile atakacho bila kuingia gharama za vita. Njia muhimu zaidi ni kuhakikisha kuwa unaweka mifumo ya kitaasisi au kibinafsi inayoweza kuzuia kupoteza data za taasisi au biashara yako.. Je, una maoni au ushauri kuhusiana na makala hii? Tuandikie baruapepe [email protected]
2019-12-08T13:22:01
https://www.serengetibytes.com/mambo-ya-kuzingatia-ili-kuhakikisha-kuwa-biashara-au-taasisi-yako-haipotezi-data-za-kieletroniki-2/
[ -1 ]
Programu Tumizi | Golabz Programu Tumizi za Kusoma kwa Kuulizia Hutoa mwongozo na usaidizi kwa wanafunzi wako katika kila hatua ya mchakato wa kuulizia. Go-Lab Inquiry Apps Learning Analytics Apps Domain Specific Apps Math Related Support Apps Programu tumizi ni zana za programu zilizojitolea na zinazosaidia wanafunzi katika kazi zao za kusoma kwa kuulizia na kusaidia wanafunzi kuunda maswali mbalimbali, kuunda majaribio, kutoa utabiri, kuunda ufasiri wa data, nk. Programu tumizi nyingine za kusoma uwasilisha wanafunzi, kwa mfano, na mjarabu au kuwaruhusu wanafunzi kutazama maoni ya mwalimu mtandaoni. Programu tumizi zinaweza kuunganishwa na Maabara Mtandaoni ili kuunda Nafasi ya Kusoma kupitia kwa Kuuliza (ILS). Programu tumizi za uchambuzi wa kusoma huwapa walimu muhtasari wa maendeleo ya mwanafunzi katika ILS. Kama utateua programu tumizi kwa Dutch, maelezo katika tovuti hii yataonyeshwa bado kwa Kiingereza. Hata hivyo, ukijumuisha programu tumizi katika ILS na kuubadilisha mpangizo wa lugha wa ILS katika Dutch, programu tumizi itaonyeshwa kwa Dutch ndani ya ILS. Panga kwa Zilotazamwa SanaKialfabetiMpya ZaidiSasishwaImepimwa zaidi Scratchpad dhana Hypothesis Scratchpad husaidia wanafunzi kuandaa dhana. Masharti ya kikoa uliofasiliwa awali zinaweza kuchanganywa kuunda nadharia, kutumia Buruta na Achia. Wasomaji pia kuongeza masharti yao kutumia aina ya sanduku yako mwenyewe. Kama mwalimu unaweza kubadilisha Usanidi wa zana hii. Zana Sanifu wa majaribio Zana ya kubuni majaribio (EDT) inasaidia mipango ya majaribio ya kisayansi na kurekodi matokeo aliona. Wasomaji wanaweza kufafanua miundo kadhaa ya majaribio kutoka Seti fulani ya sifa na hatua, na Ingiza thamani kupatikana kutokana na majaribu majaribio sambamba. Kosa la majaribio Kikokotoo Rating: 4 - 4 votes Zana hii inaruhusu wanafunzi kuhesabu makosa majaribio unaotokana na setups majaribio halisi. Zana ya hitimisho Katika chombo cha hitimisho wanafunzi unaweza kuangalia kama matokeo ya majaribio katika fomu ya data ya grafu au uchunguzi mkono dhana yao kutoka scratchpad wa nadharia au ni muhimu kwa ajili ya maswali vinavyotokana katika scratchpad swali. Uramanishi dhana Chombo cha dhana uramanishi Hebu wasomaji Unda ramani ya dhana, kupata maelezo ya dhana muhimu na mahusiano yao katika kikoa kisayansi. Wanaweza kufafanua dhana na mahusiano yao wenyewe au Chagua kutoka kwa orodha ya masharti uliofasiliwa awali. Rating: 2.8 - 11 votes Programu hii Padlet inaruhusu wanafunzi kutumia Ukuta Padlet katika nafasi ya uchunguzi. Ukuta Padlet ni mweupe ushirikiano ambapo wanafunzi wanaweza kuandika, Ongeza picha na kuandaa maudhui kwa urahisi. Kionyeshi cha data Kionyeshi cha Data hutoa vipengele kwa wanafunzi kupanga na visualise data kutoka kwa majaribio. Seti ya data inaweza kuwasilishwa kwa njia tofauti, mfano kama chati Mwambaa, Tawanya njama au mstari chati. Kama mwalimu unaweza kubadilisha Usanidi wa zana hii. Kikasha Ingizi Na kumbuka rahisi programu kuchukua kwa ajili ya wanafunzi. Programu tumizi hii Otomatiki huhifadhi nakala za kwa kila mwanafunzi tofauti. Swali Scratchpad Scratchpad swali husaidia wanafunzi kuandaa maswali ya utafiti. Mbali na uhariri wa matini wa bure, masharti ya kikoa kabla defined zinazotolewa kuwasaidia. Kama mwalimu unaweza kubadilisha Usanidi wa zana hii. Chombo cha uchunguzi Chombo cha uchunguzi huruhusu wanafunzi uchunguzi rekodi alifanya wakati wa kuandaa, kuendesha na kuchambua majaribio. Uchunguzi, pamoja na uchambuzi wa data, unaweza baadaye kufufuliwa katika chombo cha hitimisho kama msingi kwa ajili ya kuchora hitimisho. Zilotazamwa SanaKialfabetiMpya ZaidiSasishwaImepimwa zaidi Go-Lab Inquiry Apps (15) Math Related Support Apps (2) General Apps (6) Basque (36) Simplified Chinese (35)
2019-12-16T06:59:38
https://www.golabz.eu/sw/apps?language=30
[ -1 ]
Nape awarushia kombora UKAWA ~ Uhuru Online '; if(img.length>=1) { imgtag = ' MCHAKATO wa Katiba Mpya umeendelea kutumika kama kichaka cha kuzuia vuguvugu la mabadiliko katika vyama vya upinzani nchini. Vyama vingi vya upinzani vikiwemo vinavyojinadi kuwa ndio vikubwa, vimekuwa kwenye migogoro mikubwa inayotokana na ubaguzi, matumizi mabaya ya madaraka na kugombea ruzuku. Pia vyama vingine ikiwemo CHADEMA ambacho kimegubikwa na migogoro mizito ikiwemo ya kuwania madaraka na ufujaji wa fedha za ruzuku, huku baadhi ya viongozi wake wakitimuliwa na wengine kuamua kujiengua wenyewe. Katibu wa NEC ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, alisema jana kuwa vyama hivyo katika kufunika hoja hiyo, wamebuni njia mbalimbali ikiwemo kuunda kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Alisema viongozi wa vyama hivyo vilivyounda UKAWA, wamekuwa kwenye wakati mgumu mbele ya wanachama wanaopenda mabadiliko na kwamba, mchakato wa Katiba Mpya ndio umetumika kupunguza makali. Akizungumza ofisini kwake mjini Dar es Salaam, Nape alisema viongozi wa vyama hivyo hawataweza kuepuka vuguvugu hilo kwa kujaribu kukwepesha hoja na kujificha nyuma ya UKAWA. “Katiba mpya haiwezi kupatikana kwa maandamano. Maridhiano hayawezi kupatikana kwa maandamano. CCM hatuna tatizo na mikakati hiyo, lakini wasifiche migogoro yao kwa mgongo wa Katiba,” alisema. Nape alisema CCM inaaamini kwamba Katiba mpya itapatikana kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kukaa bungeni kujadiliana na hatimaye kufikia muafaka. Alisema yapo mazungumzo yanayoendelea, lakini anashangazwa na kauli kung’ang’ania kwamba watafanya maandamano nchi nzima kupinga mchakato huo. Kwa mujibu wa Nape mambo yanayoendelea kujadiliwa ndani ya Bunge hilo ni muhimu na yana maslahi makubwa kwa Watanzania hivyo UKAWA kuendelea kususia ni kuwasaliti waliowachagua. Hivi karibuni kumekuwa na migogoro ndani ya CHADEMA iliyosababisha baadhi ya wanachama wake kukihama na kuanzisha chama kipya cha ADC na kwamba, bado kimeendelea kukumbwa na migogoro inayosababishwa na uchaguzi unaendelea ndani ya chama hicho. Hatua hiyo ilisababishwa na baadhi ya viongozi wakuu wa chama hicho kukiendesha kwa ubabe kwa kuwatimua baadhi ya wanachama waliokuwa wakiwapinga katika masuala mbalimbali ya uendeshaji wa CHADEMA. Katika hali ya kushangaza, pia aliyekuwa mwanachama wa chama hicho Habibu Mchange, aliibuka na kuweka hadharani mambo mazito yanayofanywa na CHADEMA. Mchange, ambaye alizungumza na waandishi wa habari mjini Dar es Salaam na pia kupitia vituo vya redio na televisheni, alieleza namna matukio ya mauaji na utekaji yanavyopangwa na kutekelezwa ndani ya chama hicho.
2017-11-23T00:00:31
http://uhurunewspaper.blogspot.com/2014/08/nape-awarushia-kombora-ukawa.html
[ -1 ]
Zamaradi wa Clouds kashajifungua? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Discussion in 'Celebrities Forum' started by Radhia Sweety, Jun 20, 2012. Naomba msaada wa kujulishwa maendeleo ya ujauzito wa huyu 'former classmate' wangu. Ni muda tangu nimesikia ana kibendi na tangu hapo sijapata taarifa kama ameshajifungua au bado. Duuh former classmate wako, you shoud know her better. Kazaa hakuzaa it deosn't make different amongst 45m Tanzanians keshajifungua mjukuu wa baba rizi tena baby boy,familia ya kikwete yaongezeka!!! keshajifungua mjukuu wa baba rizi tena baby boy,familia ya kikwete yaongezeka!!!Click to expand... Una uhakika ni mjukuu wa kikwete? Afadhali! Ngoja nimpigie. Una uhakika ni mjukuu wa kikwete?Click to expand... Wewe una uhakika siyo mjukuu wake? Tiririkaaaaaaaaaa Vipi unataka kumnunulia diapers za mwaka mzima? jaman hivi ni kweli riz ndo anabanjua pale??? jaman hivi ni kweli riz ndo anabanjua pale???Click to expand... Kama wanaume wazima na kende zao wanajigongagonga kwa mtoto wa Mkwele sembuse hii mbunye Zamaradi!? lazima abanjuliwe tu, ila namuonea huruma huyu mtoto maana atakaa muda mrefu bila malezi ya Baba, maana kuanzia 2015 huyu Fisadi mtoto ni mfungwa mtalajiwa. Naomba msaada wa kujulishwa maendeleo ya ujauzito wa huyu 'former classmate' wangu. Ni muda tangu nimesikia ana kibendi na tangu hapo sijapata taarifa kama ameshajifungua au bado.Click to expand... Class mate wako wapi maana St.Augustine alitimuliwa shosti mwenye viguuu kama fimbo ya pool table..yupo humu JF anatumia jina la Mrembo by Nature! Class mate wako wapi maana St.Augustine alitimuliwa shosti mwenye viguuu kama fimbo ya pool table..yupo humu JF anatumia jina la Mrembo by Nature!Click to expand... mkuu sijakusoma bado...unaposema ana viguu kama fimbo ya pool table unamaanisha vyembamba sana?vimekaa upande upande?vimekomaa komaa?akitembea viguu vinapepesuka?au ulimaanisha yote hapo juu??...sijakusoma bado mwanangu!!! mkuu sijakusoma bado...unaposema ana viguu kama fimbo ya pool table unamaanisha vyembamba sana?vimekaa upande upande?vimekomaa komaa?akitembea viguu vinapepesuka?au ulimaanisha yote hapo juu??...sijakusoma bado mwanangu!!!Click to expand... haha haha..pigia mstari..yote majibu hayo dogo! haha haha..pigia mstari..yote majibu hayo dogo!Click to expand... unanipaga raha humu jamvini kwa kumpenda mama yako, kudos to u! hayo ya miguu ya mrembo by nature siingilii hayo yenu we anders batta na mwenzio matumbo kha! unanipaga raha humu jamvini kwa kumpenda mama yako, kudos to u! hayo ya miguu ya mrembo by nature siingilii hayo yenu we anders batta na mwenzio matumbo kha!Click to expand... eace: tena kaanza likizo leo..ndo mana lunch time hajanipigia..ngoja nimpigie umenikumbusha! ha ha :A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2: Mhh wambeya ka kipindi cha jana tena na mawingu frequency media eace: tena kaanza likizo leo..ndo mana lunch time hajanipigia..ngoja nimpigie umenikumbusha! ha ha :A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:Click to expand... msalimie, mwambie mdada mmoja jei efu anakusalimia! lol! mama's are the best, they are soooo sweet acha kabisa! JF ni noumer, mshanibatiza mara hii, uwiii nicheke mieee hahahahahahaha , basi bana nlishajifungua tena mtoto wa kiume, mnaruhusiwa kuja kuniona Kogh kogh kogh kikohozi kimenibana mieeeee Kogh kogh kogh kikohozi kimenibana mieeeeeClick to expand... Puuuuuuuuhhhh!!..... kwa habari JF sio mchezo.
2016-12-07T22:47:49
http://www.jamiiforums.com/threads/zamaradi-wa-clouds-kashajifungua.280997/
[ -1 ]
WAZIRI MKUU AWASILI MTWARA AKIWA NJIANI KWENDA RUANGWA - MTAA KWA MTAA BLOG Home Unlabelled WAZIRI MKUU AWASILI MTWARA AKIWA NJIANI KWENDA RUANGWA WAZIRI MKUU AWASILI MTWARA AKIWA NJIANI KWENDA RUANGWA Othman Michuzi December 31, 2018 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Mtwara akiwa njiani kwenda Ruangwa, Desemba 30, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara, Dkt. Jilly Elibariki Maleko wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Mtwara akiwa njiani kwenda Ruangwa, Desemba 30, 2018. Wapili kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa, watatu kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi na kushoto ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi, Bibi Rehema Madenge. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akislimiana na viongozi wa mkoa wa Mtwara wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Mtwara akiwa njiani kwenda Ruangwa, Desemba 30, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Posted by Othman Michuzi at December 31, 2018 KUMBUKUMBU February (212) January (376) December (356) November (356) October (414) September (418) August (240) July (329) June (335) May (330) April (292) March (337) February (252) January (332) December (376) November (471) October (506) September (498) August (586) July (471) June (420) May (530) April (416) March (482) February (400) January (473) December (414) November (493) October (283) September (344) August (569) July (552) June (401) May (378) April (393) March (499) February (531) January (501) December (579) November (385) October (656) September (653) August (509) July (381) June (392) May (353) April (298) March (329) February (228) January (201) December (254) November (204) October (260) September (251) August (287) July (239) June (195) May (202) April (214) March (150) February (214) January (238) December (235) November (199) October (233) September (251) August (283) July (266) June (306) May (303) April (259) March (268) February (227) January (242) December (280) November (228) October (240) September (212) August (265) July (306) June (317) May (287) April (216) March (177) February (179) January (217) December (217) November (196) October (204) September (240) August (174) July (193) June (193) May (178) April (177) March (167) February (106) January (136) December (136) November (141) October (142) September (179) August (151) July (144) June (130) May (137) April (129) March (206) February (152) January (91) December (123) November (124) October (108) September (135) August (149) July (95) June (73) May (54) April (74) March (48) December (1) November (22) October (66) September (70) August (89) July (117) June (115) May (81) April (60) March (8) February (95) January (76) December (59) November (75) October (97)
2019-02-17T21:16:53
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2018/12/waziri-mkuu-awasili-mtwara-akiwa-njiani.html
[ -1 ]
53 WAMEUAWA KATIKA SHAMBULIO LA MAKOMBORA YA URUSI Takriban raia 53 wameuawa katika shambulio la kombora la Urusi katika kijiji kilichopo mashariki mwa Syria Al-Shafah, kundi la uangalizi linasema. Awali SOHR lilisema watu 34 wameuawa katika makombora yaliolenga makaazi ya watu . Lakini mkuu wa shirika hilo limeliambia shirika la habari la AFP kwamba sasa wanaamini idadi hiyo ipo juu zaidi. Urusi ni mshirika wa kariu wa rais wa Syria Bashar al-Assad katika vita vya muda mrefu vya kiraia nchini humo. Polisi wa Papua New Guinea (PNG) wameingia katika kituo cha mahabusu cha wahamiaji kilichokuwa kinamilikiwa na Australian kwa azma ya kuwaondosha wanaoomba uhamiaji waliosalia, imethibitisha serikali ya Australia. Mamia ya wanaume wamekataa kuondoka kwenye kituo hicho kilichopo katika kisiwa cha Manustangu kilipofungwa tarehe 31 Oktoba, wakielezea hofu ya usalama wao. Alhamisi, wanaume waliokuwa katika kituo hicho walisema polisi wa PNG walikuwa wamewapatia saa moja wawe wameondoka. Australia imesema kuwa operesheni hiyo inaendeshwa na Papua New Guine- PNG. Chini ya sera tata, Australia iliwashikilia watu wanaoomba uhamiaji wanaowasili kwa boti kwenye kambi katika visiwa cha Manus na Nauru, ambalo ni taifa dogo leneo la Pacific. Waziri mkuu wa Australia Malcolm Turnbull alisema kuwa taifa lake ''halitashinikizwa " kuwakubali wanaume hao wahamiaji, akirejelea kuwa sera ya muda mrefu ya kuwashikilia itachochea biashara haramu ya binadamu. Mmoja wa wakimbizi hao, Abdul Aziz Adam, alisema kwua watu wapatao 420 wanaoomba uhamiaji walibakia kwenye kituo hicho Alhamis Thursday, na walikuwa watulivu. Watu hao walikataa kuondoka kwasababu wanahofia kuwa wanaweza kushambuliwa na jamii za watu waishio kwenye kisiwa hicho. Makundi ya kutete haki za binadamu yansema wahamiaji hao wamewahi kushambuliwa awali. JESHI LA PAKISTAN LASEMA LIKO TAYARI KUSAIDIA KUKOMESHA MAANDAMANO ISLAMABAD Jeshi la Pakistan linasema liko tayari kuisaidia serikali kuwatawanya waandamanaji wenye itikadi kali za kiislamu walioifunga barabara kuu wa Islamabad. Serikali ililiomba jeshi liisaidie kurudisha utulivu baada ya polisi kushindwa kuwatawanya waandamanaji Jumamosi. Hatahivyo taarifa ya jeshi inaonekana kuishutumu serikali kwa namna ilivyoshughulikia hali, ikieleza kuwa maafisa wa polisi hawakutumiwa vizuri. Inaaminika kuwa takriban watu 6 wameuawa na Wengine takriban 200 wamejeruhiwa. Jeshi limeomba ufafanuzi zaidi kabla ya kuagiza kutumwa kwa wanajeshi. Waandamanaji wamefunga barabara kwa wiki kadhaa wakitaka waziri wa sheria Zahid Hamid, afutwe kwa kazi kwa makosa ya kukufuru. Maandamano yamesambaa hadi katika miji mingine ukiwemo Lahore na bandari ya kusini Karachi. Siku ya Jumamosi, serikali ilifunga kwa muda vituo vya kibinfasi vya habari na kufunga baadhi ya mitandao ya kijamii ukiwemo Facebook, Twitter na Instagram - kutokana na wasiwasi kwamba matangazo ya moja kwa moja ya hatua ya polisi huenda yakachochea hisia kali za kidini. Kamanda wa zamani wa jeshi la Boznia Jenerali Ratko Mladich amehukumiwa maisha jela na Mahakama ya kimataifa ya makosa ya uhalifu wa kivita-ICC. Mladich alipatikana na hatia ya kutekeleza mauaji ya kimbari na uhalifu wa kivita pamoja na dhulma dhidi ya binadamu katika iliyokuwa utawala wa Yugoslavia. Hukumu imepokelewa kwa hisia tofauti. Kundi la wamama wa Srebrenitsa, limesema kuwa limefurahishwa mno na hukumu hiyo. Lakini mwanamke mmoja Muislamu raia wa Boznia, ambaye wavulana wake wawili na mumewe waliuwawa katika vita hivyo, ameiambia bbc kuwa Bwana Mladich anastahili hukumu kubwa na kali zaidi. HOFU YAONGEZEKA KWA MLIMA WA VOLKANO KULIPUKA Takriban watu laki moja karibu na mlima Agung kisiwani Bali wametakiwa kuhama wakati maafisa wanahofia mlima huo wa volkano kulipuka pakubwa. Maafisa Indonesia wameongeza kiwango cha hatari na kupanua zaidi eneo linalokaribiana na mlima huo wa vokano unoendelea kuchemka linalotarajiwa kuathirika. Majivu na moshi wa Volcano hiyo imefikia urefu wa zaidi ya mita 3400 juu ya mlima huo hali iliyosababisha giza. Mlima huo wa volkano ulionekana ukitoa moshi na sauti za milipuko zilisikika kwa umbali wa kilomita 12 kutoka juu ya mlima huo. Ufaransa imetoa wito wa kufanyika mkutano katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kujadili vitendo vibaya wanavyofanyiwa Wahamiaji nchini Libya. Hatua hiyo imekuja baada ya taarifa kutoka nchini Libya kusema kuwa Wahamiaji wa Kiafrika wamekuwa wakiuzwa kama watumwa. Baada ya mkutano wake na Kiongozi wa Umoja wa Afrika, Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amekuelezea kuuzwa huko kama uhalifu dhidi ya ubinadamu na kuongeza kuwa hatua zaidi zinahitajika kuchukuliwa kuvunja mtandao wa watu wanaohusika na biashara haramu ya binadamu. Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Ufaransa Jean-Yves Le Drian amesema vikwazo vya kimataifa vinapaswa kuwekwa iwapo mamlaka za Libya hazitachukua hatua, kupiga marufuku vitendo hivyo. MNANGAGWA AKUTANA NA RAIS JACOB ZUMA AFRIKA KUSINI Rais mtarajiwa wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa amekutana na rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma wakati ambapo anasubiriwa kurudi nyumbani jana. China imesema kuwa imeheshimu uamuzi wa rais Robert Mugabe wa kujiuzulu na kwamba bado atasalia kuwa rafiki wa raia wa Uchina. Msemaji wa wizara ya maswala ya kigeni Lu Kang ameongezea kuwa sera za China kwa Zimbabwe hazitabadilika. Uhusiano wa China na Zimbabwe ni mkubwa tangu vita vya Rodesian vya msituni. Bwana Mugabe alikosa kuungwa mkono na Usovieti hivyobasi akarudi China ambayo iliwapatia wapiganaji wake wa Gorila vifaa pamoja na mazoezi. Mataifa yote mawili yaliimarisha uhusiano wao wa kidiplomasia wakati wa uhuru wa Zimbabwe 1980 na rais Mugabe alimtembelea waziri mkuu wa China mwaka uliofuata. JESHI LA ZIMBABWE LATOA UFAFANUZI JUU YA KAULI YA MKUU WA MAJESHI
2018-01-19T03:25:38
http://safarimedia.co.tz/blog-category/94-international-news.html?start=8
[ -1 ]
Jinsi ya kuendesha gari katika Marekani | taarifa kuhusu kuendesha gari kwa ajili ya wageni | USAHello Jinsi ya kuendesha gari katika Marekani Kuanza kuendesha gari katika Amerika, lazima kujifunza jinsi ya kuendesha salama na kupita mtihani kuonyesha unajua Marekani kuendesha sheria. Hali kila unahitaji kupata leseni ya udereva kama unapanga juu ya kuendesha gari. Kama wewe hoja kwa hali tofauti, lazima kubadilishana leseni yako ya zamani kwa ajili ya leseni mpya katika hali hiyo. Hapa ni baadhi ya mambo ya muhimu kujua kuhusu jinsi ya kuendesha gari katika Marekani. Kupata leseni ya dereva Ni haramu kwa gari bila leseni ya kuendesha gari. Kila nchi katika Marekani ina sheria tofauti ya kuendesha gari. Unaweza kujifunza sheria hizi kwa kusoma U.S. na dereva wa kikuli katika lugha nyingi. Wewe pia haja na Soma halisi miongozo ya dereva kwa ajili ya hali yako. Mara baada ya kusoma na kuelewa sheria, unahitaji kuchukua mtihani imeandikwa na mtihani wa kuendesha gari kwa kupata leseni yako. Unahitaji ratiba mtihani huu kabla ya wakati. Wewe Nenda mtandaoni au tembelea au piga simu kwa Ofisi ya DMV ambayo ni karibu na nyumba yako. Una kulipa ada ya kupima yako na kupata leseni yako. Majimbo mengi kuruhusu kuchukua kipimo katika lugha yako asili. Gari bima Gari bima inashughulikia gharama katika tukio la ajali au jeraha. Sheria inahitaji bima ya msingi wa magari yote katika kesi dereva wajeruhi mtu au uharibifu wa mali. Unaweza pia kupata bima ili kufidia gharama za uharibifu wa gari yako mwenyewe, na kwa wizi wa gari. Lazima uwe na gari msingi angalau bima ili kuendesha kisheria. Hata kama wewe ni kuendesha rafiki ’ s gari, ni jukumu lako kuhakikisha kwamba gari ni kuendesha gari ni bima. Waraka bima inapaswa kuhifadhiwa katika gari kuonyesha kama ni kusimamishwa na polisi. Usajili wa gari Usajili wa gari ni kodi kulipwa kila mwaka hali. Utapata kuchukua gari barabarani na haya mabamba yako leseni. Si kisheria kuendesha gari ambayo haijasajiliwa. Waraka wa usajili inapaswa kuhifadhiwa katika gari kuonyesha kama ni kusimamishwa na polisi. Usalama na vidokezo vya kuendesha gari Marekani ina sheria ili kukulinda wakati wewe ni kuendesha. Lazima daima kufuata sheria hizi. Sheria hizi inaweza kuwa tofauti katika nchi yako nyumbani. Unahitaji kujifunza sheria maalum kwa ajili ya hali yako. Hapa ni baadhi ya usalama muhimu kanuni ambazo nchi nyingi zinahitaji: • Gari viti Watoto wachanga na watoto lazima wapanda katika viti vya gari sahihi kwa ukubwa wao kwamba ni strapped salama katika gari. Umri watoto kuacha kutumia viti vya gari hutofautiana kwa hali. Kama huna uhakika, kuwasiliana na ofisi yako ndani ya DMV. Kushikilia kamwe mtoto katika paja lako wakati wa kuendesha gari au wakiwa ndani ya gari; ni hatari na haramu. Lazima kuvaa mkanda wa kiti na wakati wa kuendesha gari au wakiwa ndani ya gari katika Marekani. Kila mtu ndani ya gari lazima kuvaa na mkanda wa kiti, kama kuendesha gari au wanaoendesha kama abiria. Sababu ni kwamba, katika ajali ya, watu bila seatbelts inaweza kuruka kutoka viti vyao, kujeruhi wenyewe na wengine. • Helmeti Kama ni wanaoendesha au kuendesha pikipiki, wanapaswa kuvaa kofia ya chuma. Karibu kila nchi katika Marekani inahitaji motorcyclists kuvaa helmeti. • Kunywa Hauruhusiwi kunywa pombe kabla au wakati wa kuendesha gari. Hii ni muhimu sana kwa sababu wewe kupoteza leseni yako kama kunywa na kuendesha na inatakiwa kulipa faini kubwa au hata kutumikia wakati jela. Wewe inaweza pia umakini wajeruhi au kuua mtu kama kunywa na kuendesha. • Simu za mikononi na vishawishi vingine Ni haramu kuzungumza kwenye simu yako wakati wewe ni kuendesha katika baadhi ya majimbo katika Marekani. Luninga ni marufuku katika mataifa karibu yote. Simu za mkononi zinaweza kuvuruga wewe kutoka barabara. Kama unahitaji kutumia simu yako, unapaswa kuvuta. Idadi kubwa ya miji yetu ni akipinga vishawishi vingine pia, kama vile kula, kunywa kahawa, au kuhudhuria kwa wanyama. • Watoto katika magari Kwa ujumla hauruhusiwi kuondoka watoto wenu katika gari yako wakati wewe si katika gari. Kwa mfano, ukienda katika duka la, lazima kuleta watoto wako na wewe. Kama watoto wameachwa peke yake, wao wanaweza kujeruhiwa kujaribu kupata, kutolewa breki au clutch, overheat au kufungia, Funga wewe, au wanapotea. • Kuendesha gari wakati uchovu Gari kama wewe ni uchovu. Kama wewe ni katika gari lako na kutambua wewe ni uchovu sana kuendesha, ishara na mvuto juu katika mahali salama ambapo wewe ni si kufunga mitandao trafiki na wewe si katika hatari. Juu ya freeways kuna maeneo ya mapumziko iliyotengwa. Daima Funga milango yako wakati wewe nap. • Honking na wengine kelele Epuka kutumia pembe yako isipokuwa kuna wasiwasi wa usalama. Katika baadhi ya maeneo, ni haramu kutumia pembe usiokuwa au wakati wa saa fulani. Matumizi ya Redio kubwa pia ni tamaa au haramu katika baadhi ya maeneo. • Kufuli na funguo Wizi wa gari na wizi kutoka magari ni tatizo katika baadhi ya maeneo. Ni muhimu kufunga milango ya gari yako, hata wakati gari lako, na kuchukua funguo yako wakati kuondoka. Ondoa vitu kutoka mtazamo wa. • Pets katika magari Kama hali ya hewa ni moto sana au baridi sana kawaida juu ya 70° F au chini ya 40° F, ni wazo mbaya kuondoka wanyama katika gari hata na Fungua windows, kwa sababu wanaweza kufa. Wanyama kujulikana kufunga dereva nje ya gari, hivyo daima kuweka ufunguo juu yenu. Kama wewe kupata ajali wakati wewe ni kuendesha, lazima kuacha. Kuondoka eneo la ajali bila kuacha. Kama gari yako bado kazi, Jaribu kuvuta ndani ya barabara. Kama mtu yeyote ni kuumiza, Muite 911 mara moja. Kama hakuna madhara, wanapaswa kuandika jina, Namba ya simu, Anwani, dereva ’ s leseni idadi, Namba ya gari, na habari kuhusu bima ya mtu hit au ambao hit wewe. Kama kulikuwa na watu ambao walishuhudia (aliona) ajali, lazima pia kukusanya majina na namba za simu zao. Kama una kamera, Unaweza kuchukua picha ya uharibifu wowote. Unapaswa pia kuandika eneo la ajali na kuchukua picha za mahali pamoja. Baada ya ajali, wewe lazima kuripoti ajali kwa kampuni yako ya bima mara moja. Kuendesha gari katika hali mbaya ya hewa Kutegemea ambapo ni makazi katika Marekani, hali ya hewa inaweza kuwa tofauti sana na ile ya nchi yako nyumbani. Inaweza kuwa muda wako kwanza kuendesha gari katika hali. Kama barabara ni icy au snowy, unapaswa kuepuka kuendesha gari. Kama lazima kuendesha, Nenda polepole na kutumia matairi ya theluji au minyororo kwenye matairi yako. Wanaweza kukusaidia kuacha vyema katika barafu au theluji. Pakiti kit ya dharura katika gari yako ina usalama vipengee, kama vile vya huduma ya kwanza, mavazi ya joto ziada, maji, minyororo, sepetu theluji, na kurunzi. Road hasira Road hasira ni mrefu kuelezea hasira watu kuhisi wakati Wanawafukuza. Watu wanaweza yell au honk au kuendesha gari kufunga kwako kama ni hasira juu yako kuendesha gari. Kama mnavyojua, umefanya kosa wakati wewe ni kuendesha, wewe wimbi kuonyesha mtu wewe ni pole. Kama mtu ana chuki ya barabara na ni hasira na wewe, kujibu. Jaribu tu kuweka kuendesha gari kama utulivu iwezekanavyo na kupata nje ya njia zao. Kukabiliana au changamoto kiendeshaji hasira, na gari wakati wewe ni hasira au upset. Kuendesha gari inachukua mengi ya utulivu na uvumilivu. Kununua gari Ni mara yako ya kwanza kununua gari katika Marekani? Kununua gari ni kujitoa kwa dhati kabisa. Tunapendekeza kwamba una rafiki wa Marekani au mshauri kukusaidia mara ya kwanza kununua gari. Wakati mwingine unaweza kupata mkopo kutoka benki au SACCO kununua gari. Lakini kama unaweza kupata mkopo, utakuwa kulipa riba juu yake kila mwezi ili gari gharama zaidi kuliko kama ulihifadhi fedha za kununua pamoja na fedha taslimu. Wakati na kulipwa kwa ajili ya gari yako au kulipwa mbali mkopo wako kabisa, utapata ya “kichwa” kwa gari lako – waraka rasmi kuthibitisha wewe mwenyewe ni. Jinsi ya kununua gari Ni nafuu kwa ujumla kununua gari kutumika kuliko gari mpya. Unaweza kununua gari kutumika kutoka kwa mmiliki au kutoka kwa muuzaji wa magari. Wanaweza kujadili juu ya bei. Kama ni kununua gari kutumika, ni wazo zuri kuwa na ufundi wa kuangalia gari kabla ya kununua ni kuhakikisha kwamba hakuna ubaya gari. Wewe pia unataka mtihani wa gari gari. Hii ina maana unaweza kuchukua kwa ajili ya Hifadhi na kuangalia ili kuhakikisha kwamba kila kitu ni kazi kabla ya kununua ni. Wakati kununua gari kutumika, unahitaji kuhakikisha kwamba gari “kichwa” (ambayo inaonyesha ushahidi kwamba mtu ni kununua ni kutoka anamiliki ni) ni wazi. Wanapaswa kupata hati miliki gari notarized (rasmi saini) na hakikisha unapata risiti, hata kama ni yameandikwa na mkono, kutoka mmiliki wa gari. Mahitaji kwa ajili ya kununua na kumiliki gari Kununua gari, unahitaji leseni ya dereva. Una kusajili gari na katika Idara ya magari katika hali yako kupata mabamba ya leseni, ambayo wanatakiwa. Unaweza pia kuwa na kulipia bima kila mwezi ili kuendesha gari na gesi na matengenezo ya gari. Haya ni mapendekezo yote tu ili kukusaidia kuelewa vyema kuendesha gari katika Marekani. Hakuna wa habari hii inakusudiwa kama ushauri wa kisheria. Maswali yoyote kuhusu kuendesha gari zielekezwe kwa hali DMV ofisi au polisi wa eneo hilo. Miongozo ya dereva kutafsiriwa kwa ajili ya wakimbizi na wahamiaji Jinsi ya kutumia usafiri wa umma
2020-01-19T13:26:03
https://usahello.org/sw/resources/how-to-drive/
[ -1 ]
Makonda atoa ruksa watumishi wa dini kuhubiri klabu na disko usiku – Dar24 Makonda atoa ruksa watumishi wa dini kuhubiri klabu na disko usiku 2 months ago Comments Off on Makonda atoa ruksa watumishi wa dini kuhubiri klabu na disko usiku Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda ametoa kibali kwa watumishi wa Mungu wa dini zote kuhubiri na kutangaza neno la Mungu sehemu mbalimbali kama vile klabu, Disko na Kumbi za starehe ili neno la Mungu lizidi kuenea na kuwafikia watu mahali popote walipo. Ambapo amesema mtumishi yeyote atakapohitaji kuhubiri, muziki utazimwa kwa muda wa nusu saa na baada ya hapo watu wataendelea na starehe zao wakiwa tayari wamepokea neno la Mungu. ”Watumishi wa Mungu kama mnataka kuhubiri kwenye klabu, nawapa kibali mkawahubirie huko angalau kwa nusu saa wapate fursa ya kusikia neno la Mungu, wasije kusema hawakusikia, wafuateni huko,” amesema Makonda. Mtoto wa miezi 5 akatwa kiganja, madaktari wadai damu ilivilia kumbe sumu Ameongezea kuwa mmiliki wa klabu atakaemkatalia mtumishi Kuhubiri, RC Makonda atamuombea mtumishi huyo na ikibidi kumsindikiza. ”Mtumishi wa Mungu yeyote akitaka kwenda klabu ruksa, sasa nimuone huyo mwenye klabu akatae, mimi si ndiyo mkuu wa mkoa, kuanzia wiki ijayo mkitaka kwenda klabu yeyote mniambie” amesissitiza Makonda. Makonda amesema hayo baada ya kubaini uwepo wa idadi kubwa ya watu kwenye sehemu za starehe na pindi watu hao wakienda makanisani na misikitini kuishia kusinzia na wengine wanakuwa wamechoka kiasi cha kushindwa kulisikiliza kwa ufasaha neno la Mungu. Hayo yote yamejiri jana wakati alipokuwa akizungumza na maelfu ya waumini wa Kanisa la Arise and Shine linaloongozwa na mtumishi wa Mungu Apostle Boniface Mwamposa. Video: Mbivu, mbichi Lissu, Ndugai leo | Nyumba 30 hatarini kuzama Dar Habari 33 mins ago Comments Off on Acacia yafuwa rasmi kwenye soko la hisa
2019-11-18T13:31:45
http://dar24.com/makonda-atoa-ruksa-watumishi-wa-dini-kuhubiri-klabu-na-disko-usiku/
[ -1 ]
wavuti: U.S.A. pledges $407 million aid to Tanzania U.S.A. pledges $407 million aid to Tanzania REUTERS, Mon Aug 1, 2016 -- The United States pledged $407 million aid to Tanzania on Monday, months after cancelling a similar payment due to an election that it said had violated the country's commitment to democracy. Kwa taarifa zaidi kuhusu mkataba huu, tafadhali wasiliana kwa barua pepe na Japhet Sanga ([email protected]), Afisa Habari Mwandamizi wa Ubalozi wa Marekani Dar es Salaam au Bw. Benny Mwaipaja, ([email protected]), Kaimu Afisa Habari Mkuu wa Serikali – Wizara ya Fedha, Dar es salaam. ▼ 31/07/16 - 07/08/16 (78) Tanzania’s Mkekabet becomes 1st in Afriica to sign... Katuni: Hapa kwangu bakora tu... utakimbia Katuni: Simba sokoni... teh Job opportunity for a Regional Trainer at MS TCDC,... Update: [audio] Mila? Wamasai wavamia nyumba kumch... Kuhusu kutenguliwa Mkurugenzi na uhusiano wa kushi...
2018-01-23T18:08:54
https://www.wavuti.com/2016/08/us-pledges-407-million-aid-to-tanzania.html
[ -1 ]
Hong-Kong - Sasa Akaunti ya Pato la Taifa <iframe src='https://tradingeconomics.com/embed/?s=hkgca2gdp&v=201810021230x&lang=all&h=300&w=600&ref=/hong-kong/current-account-to-gdp' height='300' width='600' frameborder='0' scrolling='no'></iframe><br />source: <a href='https://tradingeconomics.com/hong-kong/current-account-to-gdp'>tradingeconomics.com</a> Urari Wa Biashara Ya -52149.00 -47109.00 7228.00 -59898.00 Hkd - Milioni [+] Mauzo Ya Nje 376302.80 359125.00 376302.80 172.00 Hkd - Milioni [+] Uagizaji 428452.00 406234.00 428452.00 230.00 Hkd - Milioni [+] Sasa Akaunti 15660.00 16564.00 92020.00 -29059.00 Hkd - Milioni [+] Masharti Ya Biashara Ya 99.00 100.20 108.50 99.00 Index-Pointi [+] Capital Mtiririko -45878.00 -44572.00 22424.00 -89673.00 Hkd - Milioni [+] Utalii Waliofika 5895951.00 5461222.00 6009577.00 427254.00 [+] Uwekezaji Wa Moja 13356.84 13230.81 13356.84 1955.85 Hkd - Bilioni [+] Ya Nje Madeni Ya 13057340.00 12775626.00 13057340.00 2707907.00 Hkd - Milioni [+] Sasa, maadili, data ya kihistoria, utabiri, takwimu, chati na kalenda ya kiuchumi - Hong-Kong - Sasa Akaunti ya Pato la Taifa.
2018-10-16T05:56:32
https://sw.tradingeconomics.com/hong-kong/current-account-to-gdp
[ -1 ]
 Polisi wasimulia jinsi ‘majambazi’ wanne walivyouawa kwa risasi baada ya msako mkali Polisi wasimulia jinsi ‘majambazi’ wanne walivyouawa kwa risasi baada ya msako mkali Mkuuwa kitengo cha upelelea mkoani hapo Amedeus Tesha amesema operesheni hiyo imefanyika kwa muda wa siku tano katika mikoa ya Tabora , Kigoma, 05 June 2018 Tuesday 09:31 JESHI la Polisi mkoani Shinyanga limeeleza jinsi watu wanne wanaosadikiwa kuwa ni majambazi walivyouawa mara baada ya msako wa siku kadhaa. Akizungumza Kamanda wa polisi wa mkoa huo Simon Haule, amesema watu hao wamepoteza maisha juzi wakiwa njiani kupelekwa hospitali ya Kahama mji kufuatia majeraha waliyoyapata kwa kupigwa risasi na polisi wakati wakijaribu kutoroka baada ya kuonesha silaha zao na eneo wanalotumia kuzificha baada ya kufanya uhalifu. Mkuuwa kitengo cha upelelea mkoani hapo Amedeus Tesha amesema operesheni hiyo imefanyika kwa muda wa siku tano katika mikoa ya Tabora , Kigoma, Shinyanga hususan wilayani Kahama ambapo mtuhumiwa aliyetajwa kwa jina la Masamali Paulo alikamatwa mkoani Kigoma na kuwataja wenzake watatu ambapo amewataka watu wanaojihusisha na ujambazi kujisalimisha na silaha zao kabla ya kukamatwa. Watu hao walikutwa na bunduki mbili, moja ikiwa ni ya kivita aina ya AK 47 na shortgun moja iliyokatwa mtutu, bastola mbili pamoja na bomu la kutupa kwa mkono na risasi 45 zikiwa katika magazini mbili tofauti Jeshi La PolisiMajambaziMkoa Wa Shinyanga
2019-07-22T18:42:58
http://www.azaniapost.com/ajenda/polisi-wasimulia-jinsi-majambazi-wanne-walivyouawa-kwa-risasi-baada-h18560.html
[ -1 ]
HABARI NA MATUKIO: KERI HILSON ATUA NCHINI NIGERIA KWA FINALI ZA MASHINDANO AIRTEL TRACE MUSIC STARS AFRIKA KERI HILSON ATUA NCHINI NIGERIA KWA FINALI ZA MASHINDANO AIRTEL TRACE MUSIC STARS AFRIKA Mwanamuziki nguli wa nchini Marekani na jaji mkuu wa shindano la Airtel Trace Music Stars, Keri Hilson akiongea wakati wa mkutano na waandishi wa habari ulifanyika lagos nchini Nigeria Mwanamuziki nguli wa nchini Marekani na jaji mkuu wa shindano la Airtel Trace Music Stars, Keri Hilson akiongea wakati wa mkutano na waandishi wa habari ulifanyika lagos nchini Nigeria. Akishuhudia ni Mkurugenzi wa Masoko Airtel Afrika, Dia Ezzaoudi. Mshindi wa Airtel Trace Music Stars Afrika 2015, Nalimi Mayunga akiongea wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Lagos nchini Nigeria. Mwanamuziki nguli wa nchini Marekani na jaji mkuu wa shindano la Airtel Trace Music Stars, Keri Hilson akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumaliza mkutano na waandishi wa habari Mwanamuziki nguli wa nchini Marekani na jaji mkuu wa shindano la Airtel Trace Music Stars, Keri Hilson akiwa katika picha pamoja na Mshindi wa Airtel Trace Music Stars Afrika 2015, Nalimi Mayunga wa Airtel kutoka nchi mbalimbali wakiwa katika picha pamoja na Mwanamuziki nguli wa nchini Marekani na jaji mkuu wa shindano la Airtel Trace Music Stars, Keri Hilson mara baada ya kumaliza mkutano na waandishi wa habari. Pichani (wa pili kushoto) Afisa uhusiano wa Airtel Tanzania, Bi Jane Matinde. --- Mwanamuziki nguli nchini Marekani, Keri Hilson ameingia nchini Nigeria ili kushiriki katika shindano la Airtel Trace Music Stars Afrika linaloshiriksha nchi 9 barani Afrika ambapo Tanzania inawakilishwa na mwanadada Melisa John. “Naamini finali itakuwa na mvuto sana nimekutana na washiriki na kushuhudia vipaji vya kutosha. Mambo makuu tutakayoangali wakati wa fainali ni pamoja na uwezo wa mshiriki kuweza kutoa burdani , uwezo wa sauti yake na jinsi gani anaweza kutoa burdani kwa mashabiki. Naamini mashindano ya kesho yatakuwa na mvuto nanimejiandaa vyema kufanya kazi na mshiriki atakayeshinda kwa mwaka huu”
2016-12-10T22:16:46
http://www.kajunason.com/2016/06/keri-hilson-atua-nchini-nigeria-kwa.html
[ -1 ]
Kuolewa na Mume Aliyeahidi Kuacha Maasiya Lakini Hakuacha Sasa Hana Maelewano Naye Aombe Talaka? | Alhidaaya.com Ukurasa Wa Kwanza /Kuolewa na Mume Aliyeahidi Kuacha Maasiya Lakini Hakuacha Sasa Hana Maelewano Naye Aombe Talaka? NASHUKURU SAANA ALLAH KUNIEZESHA KUPATA WEB SITE YENU IMENIFUZA MENGI NABADO NAEDELEYA KUFATIZA. NINA SWALI LANGU NAOBA JAWABU YENU MIMI NAFANYA KAZI OFFICIN SECRETARY NAPOKEYA SALARY ALHAMDULILLAH YAKUTOSHA. LAKINI NILIHAGAIKA FASI PA KUISHI KISHA NIKAPATA JAMA PIYA KUTOKA **** WAKANIKARIBISHA KWAO NIKAISHI LAKINI SINA RAHA. ALHAMDULILLAH NIWATU WAZURI SAANA ALLAH AWAZIDISHIYE EMAAN. NIKAWA NATAKA ATA NIOLEWE ILE BASI. NIKAPATA MWANAUME MWENYE MIAKA 45 PIYA KUTOKA **** AKANIOBA KUOLEWA NAYE NIKAMUOBA MUDA NIPATE KUFIKIRIYA. NIKAULIZIYA KWA WATU. NIKABIWA ANALA MAIRUGI, MLEVI, BAGI, WALA HASALI. LAKINI NIKAABIWA NIMUTU MWENYE ROHO ZUURI PEGINE AKIKUWOWA ATAWACHA. NIKAAMWABIYA AKASEMA ATAWACHA IZO VITU ZOTE AKISHA KUWOWA. NIKASALI SALAT ISTAHAR NIKAOBA IKIWA ANAKHER NAMIMI ANISAHLISHIYE. MARA NYINGI NA SALA NIKIOBA. MABO YAKAWA NYEPESI TUKAWOWANA SASA MIEZI 7 POMBE AMEACHA LAKINI ZEGINE HAJAWACHA. NAKILAMARA NAMWABILIYA INAKUWA NIUGOVI NA KWA MAMBO YA DOA ANAJIRIDHISHA YEYE BASI KILA SIKU NIKIMWABIYA HAIFAYI KWA DINI ANANIGOBANISHA NAKUNITOKANA MANENO MABAYA SANA. PAKA NIMEFIKA KUMUCHUKIYA ATA SINA HAJA NAYE SIMUSHUGHULIKIYA TENA KWA MAMBO MEGI ABAYO INAFA KWA DINI. LAKINI NASUBIRIYA KWA AJILI AMALIZE DENI ZENYE TUNAZO KISHA NIMUOBE TALAKA YANGU. NAOBA MUNIFAHAMISHE KAMA INAFA KUMOUBA TALAKA YANGU KISHA NIBAKI KWANYUBA NIJILIPIYA MAHITAJI ZOTE NAOBA USHAURI YENU DUNGU ZANGU. INSHAALLAH ALLAH AZIDI KUWAPA AFYA, UZIMA NA KILA LA KHRI HAPA DINIAAN MIMI DADA YENU Shukrani kwa swali lako kuhusu mwanamme aliyekuahidi kuwa ataacha maasiya yake akikuoa. Hakika dada zetu mara nyingi huwa wanadanganyika kwa maneno matamu ambayo wanaambiwa na wanaume ambao haja zao ni kutimiza uchu wao tu. Dada zetu inatakiwa tuwe waangalifu sana wala tusijiangamize kwa ahadi za uongo mara nyingi kutoka kwa wanaume. Ni afadhali sana wewe umeolewa lakini wapo wasichana wengi hupotezwa na kuingizwa katika uzinifu kwa ahadi ya kuolewa baadaye. Na mara zote ahadi hizo huwa hazitekelezwi kabisa. Ikiwa hali ni hiyo kutoka kwako tuliyoisikia, jaribu tena kumnasihi, kwani ameweza kuacha moja anaweza kuacha na mengine. Ikiwa amefuata nasiha vyema na lau hakufuata wewe utapata thawabu za kutoa nasaha. Ikiwa hatokuwa ni mwenye kubadilika katika hilo basi tafuta marafiki zake au watu wanaoweza kusikiliza ili wazungumze naye kuhusiana na hayo maasiya. Ikiwa pia hakubadilika, itabidi mkutane wewe, yeye na wazazi wenu ili kujadili suala hilo na ikiwa wazazi hawapo karibu basi nenda mara moja kwa Qaadhi au Shaykh mwadilifu ili awasulishe katika tatizo lenu hilo. Fuata utaratibu huo wa kutaka kuleta mabadiliko na kuiokoa ndoa hiyo yenu. Tunamuomba Allaah Aiyetukuka Akufanyie kila la kheri katika mambo yako.
2020-04-10T09:48:52
http://www.alhidaaya.com/sw/node/4885
[ -1 ]
Jinsi ya kupika uji wa viazi vitamu na soya Posted in Vinywaji Jinsi ya kupika uji wa viazi vitamu: Shukurani nyingi kwa Mama Salmin mpenzi wa blogu hii kwa kututumia pishi hili. Je unajua kuwa waweza pika uji mtamu kwa kutumia viazi? fuatilia… Pishi: Uji wa Viazi vitamu Unga wa viazi vitamu kijiko cha chakula 1. Unga wa soya kijiko cha chakula 1. Unga wa mahindi vijiko vya chakula 4. Limau 1 Sukari vijiko vya chai 2. Maji vikombe 6 jinsi ya kutengeneza uji hatua kwa hatua Weka chombo safi cha kupikia jikoni, tia vikombe vitano vya maji acha yachemke. Changanya unga wa soya na unga wa mahindi kwa kutumia kikombe kimoja cha maji kilichobaki ili kufanya uji mzito. Weka mchanganyiko wako huo kwenye maji yanayochemka huku ukikoroga kuzuia unga kushikana na kuwa mabonge. Kisha acha uchemke kwa dakika kama 20. Wakati sufuria ikichemka, tengeneza juisi ya limau Baada ya dakika 20 Uji uliopikwa utakuwa mzito, ondoa uji kwenye moto na ongeza juisi ya limau na sukari. Poza, tayari kwa matumizi. Jinsi ya kupika uji wa viazi vitamu: Vidokezo Maziwa yanaweza kuongezwa ikibidi, Waweza kutumia unga wa ulezi, mtama au Muhogo badala ya unga wa mahindi. Muda halisi wa kuiva uji huu inategemea na ukali wa moto na aina ya unga unaotumia. Hilo ndilo pishi letu la leo, jinsi ya kupika uji wa viazi vitamu na soya kama lilivyoandikwa na msomaji wetu. na wewe waweza kutuma pishi lako hapa, na sisi tutalichapisha. Asante! waweza tuma maoni yako hapo chini Walaji: 1-3 <iframe src="http://www.facebook.com/plugins/like.php?href=https%3A%2F%2Fjinsiyakupika.com%2Fvinywaji%2Fjinsi-ya-kupika-uji-wa-viazi-vitamu%2F&amp;layout=standard&amp;show_faces=false&amp;width=260&amp;action=like&amp;font=arial&amp;colorscheme=light&amp;height=28" scrolling="no" frameborder="0" style="border:none; overflow:hidden; width:260px; height:28px;" allowtransparency="true"></iframe>
2019-12-15T03:08:15
https://jinsiyakupika.com/vinywaji/jinsi-ya-kupika-uji-wa-viazi-vitamu/
[ -1 ]
RASMI, KUANZIA LEO OKTOBA 8, 2018 MASOUD JUMA IRAMBONA SI KOCHA WA SIMBA SC TENA - Bin Zubery | PressTZ - Your Number 1 Source of Aggregated Online Content RASMI, KUANZIA LEO OKTOBA 8, 2018 MASOUD JUMA IRAMBONA SI KOCHA WA SIMBA SC TENA HATIMAYE klabu ya Simba SC leo imetoa tamko rasmi la kuachana na Kocha Msaidizi, Mrundi Masoud Juma Irambona baada ya takriban mwaka mmoja wa kuwa klabu. Kaimu Rais wa Simba, Salum Abdallah ‘Try Again’ amesema kwamba uamuzi huo ni kwa faida ya klabu na kwa maslahi ya pande zote mbili na kumshukuru kocha huyo kwa kazi nzuri aliyoifanya kwa kipindi chote alichofanya kazi Msimbazi na kumtakia kheri katika maisha yake mapya nje ya klabu hiyo. “Tumekaa naye vizuri, ametusaidia sana, lakini kila jambo lina mwisho wake, kwa faida ya klabu yetu tumefikia makubaliano kwa faida ya pande zote mbili kuuvunja mkataba huu, ili tuweze kuendelea. Tumemfungulia mlango Masoud kwa roho safi, na huenda hii ikawa ni bahati yake huko mbele ya safari kwa sababu tunaamini ni mwalimu mzuri,” amesema taarifa hiyo. Lakini Abdallah amesema kwamba japo anaamoini Juma atapata klabu nyingine kubwa zaidi, lakini Mungu akipenda anaweza kurudi Tanzania kufundisha Simba SC. Kwa upande ... Continue reading ->
2018-12-15T22:45:16
http://presstz.net/rasmi-kuanzia-leo-oktoba-8-2018-masoud-juma-irambona-si-kocha-wa-simba-sc-tena-42131640
[ -1 ]
Magufuli akataa Ombi la Luaga Mpina - Boss Ngasa Official Website Home Unlabelled Magufuli akataa Ombi la Luaga Mpina Magufuli akataa Ombi la Luaga Mpina Alisema hawezi kuwadanganya kuwa atawapatia halmashauri wakati jambo hilo hawezi kulifanya kwa sasa Magufuli akataa Ombi la Luaga Mpina Reviewed by jaqueline victorv on Monday, September 10, 2018 Rating: 5
2019-02-21T01:30:59
http://www.bossngasatz.com/2018/09/magufuli-akataa-ombi-la-luaga-mpina.html
[ -1 ]
MICHUZI BLOG: MAKALA YA SHERIA: JE SHERIA INASEMAJE KUHUSU MKE KUTOA MATUNZO KWA MME WAKE MAKALA YA SHERIA: JE SHERIA INASEMAJE KUHUSU MKE KUTOA MATUNZO KWA MME WAKE Je nani anawajibu wa kumtunza mwenzake kati ya wanandoa. Je ni mme, je ni mke au ni wote . Sheria inasemaje kuhusu hili. Kwa kuanza tu ni kuwa suala matunzo kwa wanandoa ni la kisheria. Matunzo sio hisani,zawadi au upendeleo maalum bali ni wajibu uliozaliwa na sheria. Sheria ya Ndoa iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2010 , sura ya 29 imeweka bayana habari nzima ya matunzo baina ya wanandoa. Niseme mapema tu kuwa wapo wanaojua kuwa mme peke yake ndiye mwenye wajibu wa kutoa matunzo kwa mke. Tutaona hili likoje . Kabla ya hayo ni vema tukaona matunzo yanajumuisha nini na nini kwa mujibu wa sheria hii. 1.MATUNZO NI YAPI. Kifungu cha 63( a ) cha sheria ya ndoa kinataja vitu ambavyo kisheria ndivyo vitakavyoitwa matunzo kwa mwanandoa. Kifungu kinataja makazi(accommodation), mavazi, na chakula. Haya ndiyo ya msingi ambayo mwenye wajibu wa kuyatoa atatakiwa kutoa. 2. MKE KUTOA MATUNZO KWA MME. Ni vema kujua kuwa suala la matunzo linawahusu wanandoa wote yaani mke pamoja na mme. Kila mmoja anao wajibu kwa mwenzake katika kutoa matunzo. Isipokuwa wajibu huu umetofautiana kati ya hawa wawili . Mke ana wajibu wenye mipaka katika kutoa matunzo halikadhalika mme. Kifungu cha 63( b ) cha sheria ya ndoa kinasema kuwa mwanamke ambaye ana uwezo anawajibu wa kutoa matunzo kwa mme wake ambaye hajiwezi, ambaye ana ugonjwa wa kimwili au kiakili ambao haumuwezeshi kufanya kazi ya kumuingizia kipato. Kifungu kiko wazi kuwa wajibu wa mwanamke kumhudumia mwanaume ni pale tu mwanaume huyo anapokuwa mlemavu au mgonjwa wa akili au mwili. Lakini pia ugonjwa huo au ulemavu huo uwe ni wa kiwango cha kutomwezesha kufanya kazi. Ikiwa ugonjwa au ulemavu ni wa kiwango cha kumwezesha kufanya kazi atakuwa nje ya muktadha wa kifungu hiki. IJUE SHERIA,
2017-03-24T04:17:25
https://issamichuzi.blogspot.com/2017/03/makala-ya-sheria-je-sheria-inasemaje.html
[ -1 ]
Abaperezida Bane b'Amerika mu Mihango yo Gushyingura Nelson Mandela Kw'isi Abaperezida Bane b'Amerika mu Mihango yo Gushyingura Nelson Mandela Ibyahinduwe nyuma Ukuboza 09, 2013 Abayobozi b’ibihugu by’isi n’imiryango taliki ya 10 y’ukwa 12 umwaka wa 2013, bazitabira muri Afurika y’Epfo, imihango yo gusezera kuri Madiba Nelson Mandela, umuyobozi warwanije politiki ya apartheid. Mandela yitabye Imana kuwa kane w’icyumweru gishize, afite imyaka 95 y’amavuko. Perezida w’Amerika Barack Obama yavuye hano I Washington kuri uyu wa mbere mu gitondo, ari kumwe na madame we Michelle, ndetse n’uwahoze ari perezida George Bush na madame we Laura. Ba perezida Bill Clinton na Jimmy Carter bo bagiye I Johannesburg mu yindi ndege Abategetsi b’Afurika y’Epfo bavuga ko abakuru b’ibihugu, aba za guverinoma ndetse n’ibikomangoma barenga 80, bitezwe kuza gusezera kuri bwana Mandela. Ni we wabaye perezida w’umwirabura wa mbere w’Afurika y’Epfo nyuma yo gufungwa imyaka 27, kubera kuyobora urugamba rwo kurwanya politiki ya apartheid ya ba gashakabuhake. Ministri w’ububanyi n’amahanga w’Afurika y’Epfo Maite Knoana-Mashabane avuga ko habaye ubushake budasanzwe bw’abayobozi b’ibihugu byo kw’isi bashaka kuza muri uwo muhango, uzarangwa n’umutekano ukaze cyane. Perezida Barack Obama ari mu bakuru b’ibihugu bazafata ijambo muri uwo muhango. Abandi bayobozi b’isi bazitabira uwo muhango barimo ministri w’intebe w’Ubwongereza David Cameron, perezida w’Ubufransa Francois Hollande, uwa Bresil Dilma Rousseff, uwa Cuba Raul Castro ndetse n’umunyamabanga mukuru wa ONU Ban Ki-moon. Umurambo wa Madiba Nelson Mandela uzerekanwa mu ngoro ya guverinoma Union Buildings y’I Pretoria, ku mataliki ya 11, 12 na 13 z’ukwezi kwa 12 umwaka wa 2013. Mandela azashyingurwa ku musozi we avukamo wa Qunu.
2017-04-24T22:55:33
http://www.radiyoyacuvoa.com/a/abaperezida-bane-bamerika-bazasezera-kuri-mandela/1806755.html
[ -1 ]
387. BUBUNGU WALYA NDILI. | Sukuma Legacy Project 387. BUBUNGU WALYA NDILI. Imbuki ya lusumo lunulo yingilile kubhuli bhondili b’o nva ja bubungu. Ulu munhu utuula ndili hanze na guib’a, agusanga inva jinijo yailyagwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki ‘bubungu walya ndili.’ Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kubhanhu abho b’agalekaga jikolo jabho hanze, bhasanga abhib’i bhajib’aga. Abhanhu bhenabho, ulu bhasanga jikolo nulu sabho jabho jib’agwa b’abayombaga giki, ‘bubungu walya ndili.’ Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gutuula sabho jabho na witegeleja bhutale, na gub’ade’b’a chiza, abhanhu abho bhalikala nabho, ulu bhali bhawiza, nulu b’abhub’i. Mathayo 7:15. Wafilipi 3:2. Maombolezo 3:4. KISWAHILI: BUBUNGU WALA NGOZI. Chanzo cha methali hiyo chatokea kwenye ulaji wa ngozi wa mbwa wa Bubungu. Mtu akiweka ngozi nje na kuisahau, atakuta mbwa hao wameila. Ndiyo maana watu husema kwamba, ‘bubungu wala ngozi.’ Methali hiyo hulinganishwa kwa watu ambao huacha vitu au mali zao, na kukuta wezi wameziiba. Watu hao wakikuta mali zao zimeibiwa husema, ‘bubungu wala ngozi.’ Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuweka mali zao kwa uangalifu mkubwa, na kuwaelewa vizuri watu waishio nao, kama ni wema, au waovu. ENGLISH: BUBUNGU’S DOGS EAT SKINS. The source of the above saying comes from Bubungu dogs that eat animal hides. If someone leaves the animal hide unattended, dogs can take and eat it. This is why people can say ‘Bubungu’s dogs eat hides,’ to communicate the idea of living things unattended. The saying can be compared to people who carelessly leave their belongings. They can be easily stolen. In such a scenario where someone’s belongings are stolen out of carelessness, one can say ‘Bubungu’s dogs eat skins.’ The saying teaches people to put their possessions in order, and to better understand the people around them, whether they are good or bad. Philippians 3: 2. Lamentations 3: 4. ← 386. B’ADALYAGA MIHAYO B’ADILYAGA MINO. 388. B’UJIKU B’ONNIA NOKO NUB’EB’E B’ULAGULYA. →
2020-08-07T00:06:40
https://sukumalegacy.org/2019/10/30/387-bubungu-walya-ndili/
[ -1 ]
Wakati wengi wetu wanapopiga picha kuanzia biashara yetu ya kufulia, tunaweza kuzingatia mistari juu ya safu ya washers wa kibiashara na dryers na wafanyakazi wengi wanaoupakia, kufungua, kufungua na kufunyiza kwa kufulia . Kujenga au kuendeleza utunzaji wa huduma binafsi au kuanzia kusafisha na biashara ya kusafisha hutafuta maelfu na maelfu ya dola katika uwekezaji kuanzisha na kufanya kazi pamoja na utunzaji wa kitambaa na utaalamu wa usimamizi wa biashara. Lakini kuna njia nyingine za kuwa mjasiriamali wa kusafisha ambazo hazihitaji uwekezaji mkubwa na zinaweza kufanyika kama kazi ya wakati wa muda au upande wa kulia. Ni rahisi kuliko unavyofikiria. Hapa ndio njia ya kuanza kwako katika biashara ya kusafisha kwa kuendeleza huduma ya utoaji wa nguo. Anza Kufulia au Usafi Kavu Pata Huduma na Utoaji Kila mtu anaonekana kuwa na ufanisi wa siku hizi na kuwa na msaada kidogo na kazi za kila siku daima hupendekezwa. Kuanzisha kusafisha na huduma ya kujifungua inachukua kidogo tu ya shirika, matangazo, bima ya dhima, muda, na gari la kuaminika au njia ya usafiri. Maeneo muhimu ambapo huduma ya utoaji wa nguo itakuwa kazi vizuri zaidi ni vyuo vya chuo, complexes ofisi kubwa, na maeneo yenye wakazi wengi. Kufanya hivyo kufanikiwa zaidi, mjasiriamali anapaswa kuanzisha uhusiano na usafi wa jirani ya biashara / kavu ambayo inaweza kutoa discount kwa ajili ya usambazaji wa kawaida wa biashara; au labda kutoa kiwango cha gorofa kwa semester moja ya kufulia (karatasi, taulo, kitanda) kutoka kwa mwanafunzi wa chuo. Jinsi ya kuanza Mpango wako Anza kwa kuamua eneo lako la huduma. Kufanya kazi yako ya nyumbani na kuangalia maeneo yaliyo ndani ya jiji lako ambayo hutoa uwezo mkubwa wa biashara. Kwa kufanya utafiti fulani mtandaoni, unaweza kupata takwimu za idadi ya watu, waajiri kubwa katika eneo lako, na maeneo ya kufulia ya kibiashara na wafugaji kavu. Panga ratiba yako na upatikanaji, hasa kama hii itakuwa kazi ya muda. Unapaswa kuanzisha njia zako tofauti na maeneo kabla ya kuanza kutangaza. Kisha, uunda tovuti, kadi za biashara, vipeperushi, na utumie vyombo vya habari vya kijamii kutangaza huduma zako. Kuna njia nyingi za gharama nafuu za kuunda vifaa vya mtaalamu na huduma za mtandaoni na programu ya kubuni ya graphic. Unapaswa pia kufikiria kuendeleza programu kwa wateja kutumia na mfumo wa kufuatilia programu ili kuhakikisha kuweka kila kitu kinachoendesha vizuri. Kwa kuwa unauza huduma, daima fikiria uzoefu wa wateja kwanza na ufanye kila kitu iwe rahisi iwezekanavyo. Tumia faida ya huduma za maendeleo za biashara za ndani katika eneo lako ambazo zinaweza kukupa ushauri mkubwa na hata kutoa stadi ili kukusaidia kuanza. Utawala wa Biashara Ndogo wa Marekani (SBA) na SCORE kutoa ushauri bora wa biashara za BURE na maelekezo. Nini Nipaswi Kutoa Huduma za Kufulia? Wakati wa kupanga nini cha malipo kwa huduma zako za kusafisha, unataka si tu kufunika gharama za petroli na gharama zako, lakini pesa. Lakini wakati huo huo, unahitaji kulipa bei ya haki na ushindani ili kuvutia na kuwaweka wateja. Anza kwa kuanzisha gharama ya kuendesha gari yako kwa maili-kumbuka gesi, mafuta, matairi, matengenezo ya kawaida. Kiini katika barabara yoyote za barabara au ada ya maegesho unahitaji kulipa. Kiini wakati wako-ni thamani! Ikiwa una mpango wa kuajiri wengine kukusaidia, labda watatarajia mshahara wa saa ya ushindani. Ukiwa na gharama zote zilizowekwa, unaweza kuanzisha ada ya gorofa kwa kila kuchukua na utoaji au malipo kwa kilomita kutoka kwa kila mteja. Utahitaji kuwa na sera ya malipo na makubaliano mahali hapo unapojiandikisha kila mteja. Weka sera juu ya malipo ya awali, siku za kukusanya, likizo, kuchelewesha kutokana na hali ya hewa. Sema kila kitu kwa kuandika na kutakuwa na mshangao machache. Kila makubaliano inapaswa kufanywa rahisi kupata programu ya kompyuta na maelezo ya kibinafsi ya mteja. Maelezo ya mawasiliano ni muhimu ili kupata namba za simu, barua pepe, akaunti za vyombo vya habari, maelekezo ya kuendesha gari, na maagizo maalum. Ni muhimu kuweka rekodi za ujuzi. Wakati kuepukika kutokea Siku itakuja wakati una dharura. Lazima uwe nje ya mji au wewe ni mgonjwa. Panga mpango wa uhifadhi ili uweze kutegemea kampuni yako. Treni mtu mwingine kujua njia yako na kile wanachohitaji kufanya. Hii ndio ambapo kuwa na sera iliyoandikwa ni muhimu. Ikiwa una nafasi ya kupanga mbele kwa siku ambazo hazitapatikana, basi mbadala wako afanye kazi siku moja au mbili peke yake ili kujifunza ratiba. Labda kuanzia biashara na mpenzi kutoka mwanzo itafikia mahitaji ya wateja wako. Kunaweza pia kuwa na siku ambapo nguo zinapotea au kuharibiwa. Ndiyo maana ni muhimu kuwa na sera ya bima ya dhima mahali pa kufunika gharama zako. Pata ushauri wa bima ili kupata sera inayofaa bajeti yako. Jinsi ya Kushughulikia Vyema Snow na mavazi ya Ski Mimea Kwa Majani ya Fedha Ufafanuzi wa Cheti cha Ndoa
2020-05-24T22:06:09
https://sw.insterne.com/jinsi-ya-kuanza-huduma-ya-utoaji-laini/
[ -1 ]
SINGIDA UNITED YAAPA KUPELEKA MAUMIVU TENA KWA MASHABIKI WA YANGA | Full Shangwe Blog Home Michezo SINGIDA UNITED YAAPA KUPELEKA MAUMIVU TENA KWA MASHABIKI WA YANGA UONGOZI wa Singida United iliyo chini ya Kocha Mkuu, Ramadhan Nswanzurimo umesema kuwa hauna mashaka na mchezo wao wa kesho, Januari 22 dhidi ya Yanga utakaochezwa Uwanja wa Namfua, Singida. Akizungumza na waandishi wa habari Mkurugenzi wa Singida United Festo Sanga amesema kuwa wanatambua mchezo utakuwa mgumu ila wamejipanga kupata ushindi. “Tunatambua Yanga ni timu bora na ina wachezaji wenye uzoefu ila hilo halitupi mashaka tupo tayari kuona namna gani tutashinda. “Mashabiki wajitokeze kutupa sapoti kwani timu imekuwa ikipita kwenye wakati mgumu ila kwa sasa tumeanza kurejea kwenye ubora,” amesema. Sanga amesema kuwa historia inawabeba kuwa Yanga hawajawahi kupata ushindi katika uwanja wa Namfua tangu wapande Ligi Kuu hivyo wana imani kuwa wataibuka na ushindi na kuendeleza kuwapa maumivu washabiki wa Yanga. Yanga iliyochini ya kocha mpya kutoka Ubelgiji Luc Eymael,tangu achukue mikoba ya Charles Mkwasa haijapata ushindi huku ikiwa imepoteza mechi mbili mfululizo wakifungwa na Kagera Sugar 3-0 na kupoteza dhidi ya Azam Fc 1-0 mechi zote zilichezwa jijini Dar es Salaam. Huku Singida United wakiwa nafasi ya 16 ina pointi 10 imeshinda mechi mbili pekee katika mechi 16 ilizocheza mpaka sasa. Previous articleBAADA YA VIPIGO VIWILI MFULULIZO, YANGA SC WAREJESHA KAMATI YA MASHINDANO Next articleMV- MWANZA KUSTAWISHA BIASHARA KANDA YA ZIWA, NA NCHI JIRANI ZA KENYA NA UGANDA
2020-02-20T14:20:21
https://fullshangweblog.co.tz/2020/01/21/singida-united-yaapa-kupeleka-maumivu-tena-kwa-mashabiki-wa-yanga/
[ -1 ]
SERIKALI IMEZITAKA HALMASHAURI KUWA NA ONE STOP CENTRES KUPAMBANA NA VITENDO VYA UKATILI NCHINI – Full Shangwe Blog Home / MCHANGANYIKO / SERIKALI IMEZITAKA HALMASHAURI KUWA NA ONE STOP CENTRES KUPAMBANA NA VITENDO VYA UKATILI NCHINI Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akiongea na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Engineer Evalist Ndikilo kuhusu masuala Afya pamoja na Maendeleo ya Jamii mapema leo ofisini kwake Kibaha Mkoani Pwani. Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile pamoja na Mkurugezi Mkuu wa hospitali ya Tumbi Dkt. Edward Wayi akitoa maelezo ya Kituo cha Mkono kwa Mkono (one stop centre) kwa waandishi wa habali kuhusu masuala ya ukatili wa kijinsia mapema leo Tumbi Kibaha Mkoani Pwani. Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile pamoja na Mkurugezi Mkuu wa hospitali ya Tumbi Dkt. Edward Wayi akiongea na wagonjwa alipotembelea na kufanya ukaguzi wa hospitali ya rufaa ya Tumbi Kibaha Mkoani Pwani. Na Mwandishi wetu Pwani Serikali imezitaka Halmashauri zote Nchini kuhakikisha zinakuwa na vituo vya huduma za mkono kwa mkono (Ones Stop Centre) ili kuunga mkono serikali katika juhudi zake za kupambana na vitendo vya ukatili hapa Nchini. Hayo yamesema leo wilayani kibaha mkoani Pwani Naibu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile alipotembelea kituo cha huduma za mkono kwa mkono kilichopo katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani iliyoko Kibaha mkoani humo. Dkt. Ndugulile amesema kuwa lengo la vituo hivyo linalenga kupunguza mlolongo wa huduma kwa muhanga wa ukatili kwani vituo hivyo vinatoa huduma za matibabu, huduma za polisi na ushahuri wa kisaikolojia kutoka kwa Afisa Ustawi wa Jamii kwa wahanga wa ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto. Aidha Dkt. Ndugulile amesema nchi kwa sasa ina vituo vikumi tu hivyo kutaka maeneo Mikoa mingine kuiga Mkoa wa Pwani kuhunga mkono juhudi hizi kwa kuwa takwimu zilizopo zinaonesha Tanzania ina ina matukio ya ukatili 41,000 na kati ya matukio hayo 13,000 ni ukatili dhidi ya watoto akitaja hali hiyo kuwa ni ujambazi mpya zidi ya binadamu. Amezitaja juhudi nyingine za kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa wanawake na watoto kuwa ni kuwepo kwa madawati ya Jinsia katika vituo vya polisi akitaja idadi ya vituo hivyo kote Nchini kuwa ni jumla ya madawati 500. Ameongeza kuwa Serikali inawajengea uwezomwalimu wa Shule za Msingi na Sekondari ili kuwa na madawati ya ukatili wa kijinsia kwani vitendo vingi vya ukatili kwa watoto vinatokea katika eneo la shule. Dkt. Ndugulile pia ameitaka jamii kutofumbia macho vitendo vya ukatili vinavyotokea katika maeneo yao hasa nyumbana katika familia na amesema Serikali itawachukulia hatua watoa huduma za fya watakaojihushisha na uitoaji wa taarifa za uongo kuhusu mashauri ya vitendo vya ukatili. ‘’Baadhi ya wanajamii hapa nchini wanafurahia vitendo vya ukatili kwani wamekuwa wakimalizana kifamilia na kusababisha vitendo hivi kuendelea” alisisitiza Dkt. Ndugulile. Naibu Waziri Ndugulile ameuagiza Mkoa wa Pwani pamoja na mikoa mingine Nchini kuanzisha dawati la ulinzi wa wanawake na watoto akiongeza kuwa ili ni agizo la serikali hivyo ni lazima mikoa yote Nchini inakuwa na madawati haya ili kutekeleza agizo la serikali. Akiongea na watumishi wa hospitali ya Tumbi Dkt. Ndugulile amesema kumekuwepo na kasumba ya adaktari ya kuficha ushahidi kwa watu waliofanyiwa vitendo vya ukatili na kuongeza kuwa hilo ni kosa kisheria na atakayebainika kuficha ushaidi adhabu yake ni kufutiwa usajili. Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile yupo katika ziara yake ya siku mbili katika mikoa ya Pwani anmbapo anatembelea na kukagua huduma za afya na maendeleo ya jamii. Previous IGP AKUTANA NA BALOZI WA KOREA NCHINI Next RAIS WA ZANZIBAR DKT ALI MOHAMED SHEIN AFUNGUA MAONESHO YA KWANZA YA UTALII ZANZIBAR
2019-01-18T18:53:25
https://fullshangweblog.com/home/2018/10/17/serikali-imezitaka-halmashauri-kuwa-na-one-stop-centres-kupambana-na-vitendo-vya-ukatili-nchini/
[ -1 ]
Mayahudi wenye asili View attachment 1148401 Reactions: Dalmine, BAK, steveachi and 2 others Hahahaha baba usilie utajuta kilichokutoa Ethiopia kuwakimbilia mazayuni hahahaha nchi ya ahadi iko wapi sasa? Reactions: Dalmine, Malcom Lumumba and ChoiceVariable Wayahud weus wanaangamia kwa kukosa maarifa eti walidhan nchi ya mungu mweeee kumbe ni nchi ya kupakuana vinyeo hahaha Reactions: Yaka, Dalmine and ChoiceVariable R.i.p broo (pure jew) uliyeuawawa na wayahudi feki mazayuni wa israel kisa wewe eti ni mweusi daaah Reactions: Dalmine, The Icebreaker, Omary Ndama and 1 other person Wamemuuwa coz ni mweusi Reactions: Dalmine, The Icebreaker and Rooney Taarifa hii ungeiandika vzr bila propaganda ningesoma nikamaliza nikaelewa. Sasa nimeshindwa kuendelea, sawa haina neno nadhan ndo itikadi au labda mwelekeo wako. Ushauri wangu, andika taarika ukiwa neutral inakuwa na wasomaji wengi zaidi Reactions: Security Code, coscated, TAJIRI MSOMI and 3 others Reactions: Ummayed, Dalmine and The hitman the return of ayatollah Hii uturuki nchi ya kiislamu Reactions: coscated, mtafuta-maisha, kiss daniel and 2 others Sio nchi ya kiislam Reactions: Ummayed, Dalmine, coscated and 4 others ETHIOPIA wala hawakufukuzwa vieleele vyao kwenda huko. MI nikidhan wanaandamana kurudi kwao Ethiopia. Reactions: Yaka and ChoiceVariable R.i.p broo (pure jew) uliyeuawawa na wayahudi feki mazayuni wa israel kisa wewe eti ni mweusi daaah View attachment 1148406 Reactions: Ummayed, Dalmine, Abuu Dharr and 3 others Reactions: Yaka, Dalmine, STRUGGLE MAN and 2 others utakuta kuna mbongo flan huko nanjilinji anakuambia GOD BLESS ISRAEL, stupid! Reactions: Yaka, Dalmine, Abuu Dharr and 3 others Reactions: chapwa24
2019-07-21T17:51:52
https://www.jamiiforums.com/threads/maelfu-ya-wayahudi-weusi-waandamana-israel-kupinga-ubaguzi-mmoja-amiminiwa-risasi.1603849/
[ -1 ]
Hila za mafisadi kutumia kifo cha Wangwe zimeshindwa | Gazeti la MwanaHalisi WIKI iliyopita, Watanzania hususani wananchi wa jimbo la Tarime na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), walipatwa na msiba wa mbunge wa Tarime, Chacha Wangwe, ambaye alifarikia katika ajali ya gari iliyotokea eneo la kijiji cha Pandambili, Kibaigwa wilayani Kongwa mkoa wa Dodoma. Kwa hali zote ulikuwa ni msiba mkubwa wenye sura ya kitaifa. Ni jambo la bahati mbaya kwamba kambi ya upinzani imepata pigo kubwa hasa ikizingatiwa idadi ndogo ya wabunge wao katika Bunge lililofunikwa na chama tawala, Chama Cha Mapinduzi-CCM, kutokana na kuwa idadi kubwa ya wabunge. Kwa kuwa ajali haina kinga na kwa kuwa kila mmoja ataonja mauti, binafsi naamini Wangwe amefariki dunia katika ajali mbaya, na kwa kweli ilikuwa ni ajali. Yawezekana tukajadili kama ingewezekana ajali hiyo kuzuiwa isitokee au la, lakini kwa sasa mjadala huo ni jambo lisilokuwa na manufaa yoyote ya maana kwa yote yaliyotokea. Hata hivyo, msiba wa Wangwe umetufundisha na kutufungua macho kiasi cha sasa kutambua kwamba siasa zetu zimeingiliwa. Ni jambo la hatari kubwa kwamba wakati Watanzania wakiomboleza kifo cha Wangwe, wapo wanasiasa wengine bila aibu si tu walithubutu kuwaza uovu juu ya msiba wa Wangwe, ila walichukua hatua kutengeneza zengwe kwa nia ya kujinufaisha na kifo hicho. Ni jambo la hatari sana katika siasa za taifa hili kwamba kundi la watu wanaoandamwa na tuhuma kubwa za ufisadi sasa wanatafuta kila upenyo kujiondoa katika dhambi waliyotenda. Wanatafuta kila upenyo kuchomeka mambo yao ili kusalia salama. Ndivyo msiba wa Wangwe ulivyotumika. Baada ya kifo cha Wangwe watu hawa wasio na hata chembe ya soni katika nyuso zao, waliamua kupanga, wakaelekeza ulaghai wao ili ionekane kwamba kifo cha Wangwe kilipangwa na viongozi wa CHADEMA. Eti kwa kuwa wakati wa uhai wake Wangwe alikuwa ametofautiana na viongozi wenzake na kufikia hatua ya kusimamishwa uongozi kama Makamu Mwenyekiti wa chama hicho; uamuzi ambao yeye hakuuafiki, basi kwa hali hiyo wakazusha viongozi hao walikuwa wanamuwinda ili wammnalize. Kwa mafisadi eti ajali iliyomuua Wangwe Dodoma ni matokeo ya mpango wa viongozi wa CHADEMA. Ulaghai huo ukahamasishwa Tarime, watu wakapangwa, wakasafirishwa kwa magari ili kwenda kujenga picha hiyo Tarime. Waandishi wa habari uchwara, wenye upeo mdogo na wasioheshimu dhima ya kazi hii inayohitaji utendaji adilifu na adhimu, wakakubali kuandika waliyoaandika kulipa fadhila za bahasha walizopewa. Wakakubali kutumika kuusadikisha umma kwamba sasa nguvu ya uasi wa umma imeibuka dhidi ya CHADEMA, dhidi ya mwenyekiti wake, Freeman Mbowe, dhidi ya Naibu Katibu Mkuu, Zitto Kabwe, dhidi ya chama kizima. Aibu! Waandishi wakakubali kugeuka kuwa Yuda Iskariyote, yule aliyepokea vipande thelathini vya fedha kutoka kwa Wayahudi ili kumsaliti Yesu, wakapokea wakapanga habari wakapeleka kwenye vyumba vya habari, wahariri wenye haraka zao, wasiotaka kukaa kuwaza na kuwazua, wakabeba habari hizo nzima nzima, wakazipachika kwenye magazeti yao, lakini nguvu ya Mungu ilivyo kubwa, umma ukataa kuwasadiki. Ukajua kuna mkono wa mtu, ukajiuliza na kudadisi vipi habari ya kifo inataka kugeuzwa kuwa kaburi la CHADEMA na viongozi wake, nani anafanya hivyo na kwa faida ya nani? Ndiyo maana leo hii tunapata hoja ya kusema kwamba mafisadi wamejikuta wakishindwa tena katika mpango wao huu haramu wa kuua hoja ya ufisadi. Waliamini kwamba sasa CHADEMA ambayo imekuwa mstari wa mbele kuwalipua na kuwaanika hadharani kitaingia kwenye mgogoro wa ndani, chama kifikie mwisho. Mafisadi waliamini kwamba sasa mabomu ya mbunge wa Karatu, Dk Wibroad Slaa na wenzake hayatafyatuliwa tena. Waliamini mgogoro waliokaa mezani na kuupanga na kutumbukiza kwenye vyombo vya habari, utakuwa kama ule ulikumba NCCR- Mageuzi baada ya mwaka 1997. Mungu akasimama upande wa CHADEMA. Haki ikajiinua juu ya dhuluma na uovu, ukweli ukajulikana kwamba kifo cha Wangwe hakiwezi kuwa mwisho wa CHADEMA na wala njama za mafisadi kugeuza ajenda. Kilio na mapambano ya wananchi dhidi ya ufisadi yanaendelea, umma unataka kujua mwisho wa kila tuhuma inayokabilia wakubwa. Wanataka kujua hatima ya EPA na Sh bilioni 133 zilizoibwa, wanataka kujua mwisho wa Richmond/Dowans; wanataka kujua mwisho wa mikataba ya madini, ya TICTS na yote inayofanana na hiyo. Katika kutafakari kifo cha Wangwe ukweli mmoja unajidhihirisha kwamba mafisadi hawalali, wapo wanasaka mwarobaini wa kuzuia vita hii ambayo kila siku zinavyokwenda ndivyo hasira ya umma inavyozidi kukolea. Kila mtu mwenye kuitakia nchi hii mema, anajiunga na vita hii, hata kama hasemi lolote, kukasirika moyoni au kusonya tu kwatosha kabisa kuongeza nguvu ya vita. Umma sasa unatambua kwamba zile zama za kusifia wezi na kuwatukuza zimepitwa na wakati, kwamba hata kama fedha kiasi gani ikitumika kujaribu kugeuza uongo uwe ukweli hakuna manufaa yoyote mafisadi watapata. Vita itaendea kukolea na kuongeza wigo, na mwishowe umma utashinda. Jaribio lililoshindwa la kutumia kifo cha Wangwe ili kujiponya dhidi ya hasira ya umma; jaribio la kutaka kukimaliza kabisa CHADEMA; jaribio la kuzima sauti za kijasiri za akina Kabwe, Slaa, Mbowe na wengineo ndani ya chama hicho kidogo lakini makini, hakika ni ushindi mwingine dhidi ya ufisadi. Vitaa hii ni takatifu Mungu yu upande wa umma hakika mafisadi hawatashinda. Pinda Kikwete Lowassa Richmond Makamba Mkapa CHADEMA CUF Rostam Dowans Chenge Uchaguzi Slaa CCM Sitta
2019-08-22T08:17:02
http://mwanahalisi.co.tz/hila_za_mafisadi_kutumia_kifo_cha_wangwe_zimeshindwa
[ -1 ]
UJIJI RAHAA: MWENDO KASI UDART MKOMBOZI WA ABIRIA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI MWENDO KASI UDART MKOMBOZI WA ABIRIA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI Basi la Shirika la Mabasi yaendayo haraka Dar es Salaam (UDART) likitoka eneo la Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kuchukua Abiria Mei 10, 2017. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA) Abiria wakiingia katika Basi hilo Baadhi ya Abiria wakiwa katika mstari kuingia katika Gari eneo la Muhimbili ambapo safari imeanza Mei 10, 2017 Baadhi ya Abiria wakipata huduma ya tiketi. Na Khamisi Mussa. Safari tuliyoianzisha ya Muhimbili , tumeianzisha mahususi kwa kuwapunguzia Abiria wetu Gharama za nauli walizokuwa wakizitumia hapo awali ambapo walikuwa wakitoka Mbezi na kuja hadi Faya na kupanda Gari jingine. Hayo yamesemwa na Meneja huduma, Pius Ragero wakati alipokuwa akizungumza na waandishi (pichani hawapo) mara baada ya kuanza safari hiyo eneo la Muhimbili, alianza kwa kusema. Tumeanzsha safari hiyo la kuwapunguzia abiria wetu gharama za nauli ambapo hapo awali . Abiria ilikuwa anatoka, mfano akianzia Mbezi anakuja hadi Faya nakuchukua usafiri mwingine kuja Muhimbili, sasa atatoka Kimara kwa Sh. 650 hadi faya na atapanda gari letu litokalo Gerezani kuja Muhimbili kwa gharama hiyohiyo. Akianzia Kivukoni anakuja hadi faya na anapanda gari lakutokea gerezani hadi Muhimbili na akitokea Morocco anakuja hadi faya na anapanda gari la kutoka gerezani na kufika Muhimbili. Hayo yalisemwa na Meneja Huduma, Ragero ambapo alisema, anawaomba abiria kutowa ushirikiano na kupenda huduma yetu kwani tumejipanga kikamilifu, alisema Ragero Kwa sasa naona mapungufu hakuna na kama tiketi mtu anafika kituoni na kupata tiketi na kupanda gari letu na kuanza safari yakuelekea atakako ilimuradi abiria huyo asitoke nje ya kituo chetu. Naye abiria aliyefika kupata huduma ya tiketi, Grece Kivugo alisema. Anashukuru kwa wahusika julali na kuamua kuanzisha safari hii ya Muhimbili na kuona umuhimu na kutujali, ila anaomba ifahamike Hospitali ya Taifa Muhimbili ni hospitali kubwa , inapaswa barabara zinazo ingilia Muhimbili ziboreshwe na usafi ufanyike kuanzia nje, Naye mkazi wa Tandika Juma Adam alikuwa na haya ya kusema, usafiri huu ni mzuri na bado matatizo madogo madogo bado yapo, kama unavyoona, mtu anakaa foleni unaambiwa tiketi hakuna kutokana na muitikiwa wa watu kuupokea usafifiri huo nakuona ni mkombozi kwao, alisema Adam, Sasa inatakiwa waboreshe usafiri wawe inatakiwa vituvyote viwe vimekamilika na inakuwa haina haja ya mtu kuhangaika kwa usafiri na kutozunguushana na tutakuwatumepata usafiri wa uhakika.
2018-04-20T12:26:48
http://ujijirahaa.blogspot.com/2017/05/mwendokasi-mkombozi-wa-abiria-hospitali.html
[ -1 ]
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthnony Mtaka ametoa wito kwa wananchi wote wenye sifa mkoani hapa kwenda kujiandikisha katika daftari la orodha ya wapiga kura, kugombea nafasi mbalimbali na hatimaye kwenda kupiga kura katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 24, 2019 ili wapate viongozi waadilifu. Mtaka ametoa wito huo wakati akizungumza na waumini wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Petro Mwanhuzi wilayani Meatu, baada ya ibada ya misa takatifu Oktoba 06, 2019 ambapo alibainisha kuwa wananchi wanapaswa kuchagua viongozi waadilifu na wacahapakazi ambao watasimamia vizuri fedha za miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao. “Kuanzia tarehe nane mwezi huu uandikishaji unaanza nendeni mkajiandikishe na wote wenye sifa chukueni fomu za kugombea nafasi mbalimbali na kujitokeza kupiga kura siku ya tarehe 24 Novemba ili mpate viongozi bora, tumekuwa tunapata migogoro mingi ya ardhi, fedha za miradi kutotumika inavyotakiwa na moja ya sababu ni vongozi wasio waadilifu, kajitokezeni mchague waadilifu, “ alisema. Katika hatua nyingine Mtaka ametoa wito kwa wananchi mkoani Simiyu kusomesha watoto wao na kuona umuhimu wa kuchangia ujenzi wa miundombinu ya elimu ikiwemo vyumba vya madarasa na mabweni ambayo yatawapunguzia watoto wa kike kutembea mwendo mrefu. Akitoa shukrani kwa niaba ya waumini wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Petro Mwanhuzi wilayani Meatu, Paroko Robert Walwa amesemshukuru Mkuu wa Mkoa kwa kusisitiza umuhimu wa kupenda elimu jambo ambalo amesema hata Biblia Takatifu imesisitiza kuishika elimu maana ndiyo chimbuko la imani, hivyo ni vema wananchi wakazingatia elimu ili imani zao ziimarishwe. Naye mmoja wa waumini wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Petro Mwanhuzi aliyejitambulisha kwa jina moja la Jennifer amesema wananchi wanamshukuru Mkuu wa Mkoa kwa jitihada anazozifanya katika mkoa ambazo zimekusudia kuinua mkoa kielimu na akabainisha kuwa watashirikiana na Serikali katika kuhakikisha malengo ya kuinua sekta ya Elimu yanatimia ikiwemo kuongeza ufaulu. Kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Bi. Jeniffer amesema atahakikisha anajiandikisha na kupiga kura siku ikifika ili aweze kutumia vema haki yake ya msingi ya kuchagua kiongozi anayemtaka na si wa kuchaguliwa na watu wengine. KUPATA PICHA ZAIDI FUNGUA KIUNGANISHI HIKI:-https://simiyuregion.blogspot.com/2019/10/mkuu-wa-mkoa-wa-simiyu-mhe.html
2019-10-22T07:31:21
http://simiyu.go.tz/new/wananchi-mkajiandikishe-mchukue-fomu-na-kupiga-kura-uchuguzi-serikali-za-mitaa-rc-mtaka
[ -1 ]
Sili – Zaima Media Network HomeKOLAMULUGHASili February 1, 2016 Zanzibar Daima LUGHA 2 Sili kattu miye sili, sili kilicho haramu, hali nakijuwa fika Nakijuwa si halali, sili kilicho na sumu, nikila nitadhurika Kingarembwa kwa asali, kionekane kitamu, na kawa kikafunikwa Sikili kamwe sikili, kichwani mwangu timamu, nawale walopotoka! [email protected] says: Safi sana khelefu.
2018-07-21T00:07:59
https://zanzibardaima.net/2016/02/01/sili/
[ -1 ]
Polisi wetu wanapeleleza au wanahoji kesi? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Polisi wetu wanapeleleza au wanahoji kesi? Discussion in 'Jukwaa la Sheria (The Law Forum)' started by Mulama, May 13, 2011. [FONT=&quot]Nimeona niulize kwenu wana jf suala hili la jinsi polisi wa nchi hii wanavyoendesha kesi za jinai,[/FONT] [FONT=&quot]Utaona polisi anakamata au analetewa mtuhumiwa kituoni na kumuweka ndani yaani mahabusu kasha kesho yake au baadae atamtoa na kuanza kumuhoji maswali huku akinakili majibu ya mtuhumiwa. Zaidi ya hapo san asana ataenda na mtuhumiwa sehemu anakoishi au alipokamatiwa na kupekuapekua juu juu halafu jalada linakuwa tayari kupelekwa mahakamani. [/FONT] [FONT=&quot]Je hatua hizi mnadhani zinatosha ku establish kosa la mtuhumiwa na kujenga merit ya kesi mahakamani?[/FONT] [FONT=&quot]Nawasilisha [/FONT] kutokana na maelezo yako hapo juu hatua hizo hazitoshi kabisa kujenga kesi mahakamani, lakini tukumbuke kuwa polisi wanaujuzi mdogo sana kuhusu criminal laws and procedures ata sheria ya ushaidi na yenyewe hawana ujuzi nayo sana, since there not trained as lawyers, iliushinde kesi ya jinai procedures nyingi za kisheria zinakuwa involved ambapo nikizielezea hapa zitachukua muda mwingi. na kwa jinsi ulivyoeleza ndio maana unakuta mashitaka yanayoendeshwa na polisi katika mahakama za mwanzo, mengi jamhuri uwa inashindwa kuprove kosa. Ahsante mkuu kwa mchango wako mzuri. sasa tufanyeje au nini kifanyike ili wawe wapelelezi na kuweza kkuondoa raia kukata tamaa na kujichukulia sheria mkononi? ningeshauri kuwa serikali iwaajiri waendesha mashitaka ambao kimsingi sio polisi wawe na nguvu yakuendesha mashitaka katika mahakama za mwanzo,hii itasaidia kupunguza mzigo kwa polisi maana wanachunguza wao na wanaprosecute case wao na vile itasaidia kufanya kesi ziwe znatolewa maamuzi haraka pili, raia waelimishwe juu ya haki na sheria zilizopo kuhusu makosa ya jinai why? basically kila binadamu ana haki za msingi ambazo lazima zieshimiwe mfano kwa mshitakiwa ana haki ya kupata dhamana, sasa unakuta mtu kashikwa asubuhi akaweza kujiwekea dhamana jioni akawa mtaani, wananchi wanaanza ooh, polisi wameongwa wamwachie kumbe hapana ni haki ya huyo mshitakiwa.
2017-04-27T02:05:33
https://www.jamiiforums.com/threads/polisi-wetu-wanapeleleza-au-wanahoji-kesi.135185/
[ -1 ]
Violah Nkya. Nickson Frank. Usisahau Kushare/kumtumia kwenye mitandao ya kijamii hapa chini ili Violah Nkya asome Ujumbe wako Bofya ANDIKA UJUMBE MPYA kumuandikia na wewe Mtu wako Ujumbe kama Nickson Frank alivyomwandikia Violah Nkya.
2019-10-18T08:40:12
http://www.ackyshine.com/salamu-mchana-mpenzi:704
[ -1 ]
Simu Zenye Kamera Kutumika Kupimia Malaria na TB | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Simu Zenye Kamera Kutumika Kupimia Malaria na TB Discussion in 'JF Doctor' started by MziziMkavu, Aug 10, 2009. Unapotumia simu yenye kamera na Cellscope utaweza kujipima Malaria na TB Friday, August 07, 2009 8:15 AM Watu wenye simu zenye kamera hivi karibuni wataweza kujipima wenyewe kama wameambukizwa TB au Malaria kwa kutumia kifaa maalumu kidogo chenye darubini ambacho kwa kuambatanishwa kwenye simu zenye kamera itakuwa rahisi kuvipiga picha vijidudu vya TB na Malaria. Timu ya wanasayansi katika chuo kikuu cha Berkeley University of California nchini Marekani wametengeneza kifaa ambacho kitakuwa kikiambatanishwa kwenye simu yoyote yenye kamera ili kuwawezesha watu kuvipiga picha na kuvionyesha vijidudu vinavyosababisha ugonjwa wa Malaria na kifua kikuu (TB). Kifaa hicho kilichopewa jina la CellScope kina microscope ndogo lakini zenye nguvu kubwa sawa na Microscope kubwa zinazotumika kwenye maabara mahospitalini. CellScope zimetengenezwa maalumu kwaajili ya kusaidia watu wanaoishi kwenye maeneo yenye huduma duni za afya kwa kuwawezesha watu kujipima wenyewe kama wana Malaria au TB. Kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa na chuo kikuu hicho, kwa kutumia sampo za damu, mtumiaji wa simu yenye kamera na CellScope ataweza kuviona vijidudu vinavyoitwa Plasmodium falciparum ambavyo husababisha Malaria. Kwa kutumia sampo za mate, mtumiaji ataweza kuwaona bacteria wanaosababisha ugonjwa wa kifua kikuu na kwa kutumia programu maalumu idadi ya bakteria hao wa kifua kikuu itakuwa rahisi kujulikana. Dan Fletcher, Profesa wa bioengineering katika chuo kikuu hicho ambaye ndiye aliyeiongoza timu ya watafiti katika kuivumbua CellScope alisema kuwa CellScope zitawasaidia zaidi watu wanaoishi maeneo ambayo huduma za afya ni duni. "Kwa kutumia simu zenye kamera na CellScope watu wataweza kuvigundua vijidudu vya Malaria na TB na hivyo kuwawezesha kupata tiba mapema kabla vijidudu havijasambaa mwilini" alisema David Breslauer ,mmoja wa watafiti walioshiriki katika utafiti huo. Makampuni ya Microsoft na Nokia yamevutiwa na teknolojia hiyo mpya iliyovumbuliwa na wanatafuta njia ya kuingia ubia kwenye mradi huo. Kwa mujibu wa ripoti za taasisi za afya duniani, theluthi ya idadi ya watu duniani wameambukizwa ugonjwa wa kifua kikuu na watu milioni mbili hufariki kwa ugonjwa huo kila mwaka. http://www.nifahamishe.com/NewsDetails.aspx?NewsID=2748366&&Cat=1
2016-10-27T01:32:39
http://www.jamiiforums.com/threads/simu-zenye-kamera-kutumika-kupimia-malaria-na-tb.35888/
[ -1 ]
MICHUZI TV: Makamu wa Rais ashiriki ibada ya kumuweka Wakfu na kumuingiza kazini Askofu Mteule Mch. Dkt. Isaac Kissiri Laiser wa KKKT mkoani Tabora - Issa Michuzi | PressTZ - Your Number 1 Source of Aggregated Online Content Nae Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Baba Askofu Fredrick Shoo alisema kuwa wameona jitihada za Mheshimiwa za Rais na wataendelea kumuunga mkono na wapo pamoja kushirikiana na Serikali kwa nia njema kabisa. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo mara baada ya kuwasili kwenye Ibada ya Kuzindua Dayosisi ya Magharibi Kati na kumuweka Wakfu na kumuingiza kazini Askofu Mteule Mch. Dkt. Isaac Kissiri Laiser na kuingizwa kazini Msaidizi wa Askofu Mteule Mch. Newton John Maganga, mkoani Tabora leo. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais) Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongozana na Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo mara baada ya kuwasili kwenye Ibada ya Kuzindua Dayosisi ya Magharibi Kati na kumuweka Wakfu na kumuingiza kazini Askofu Mteule Mch. Dkt. Isaac Kissiri Laiser na kuingizwa kazini Msaidizi wa Askofu Mteule Mch. Newton John Maganga, mkoani Tabora leo. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais) Makamu wa Rais akisalimiana na Askofu Mteule Mchungaji Dkt. Isaac Kissiri Laiser wakati wa ibada ya ya Kuzindua Dayosisi ya Magharibi Kati na Kumuweka Wakfu na Kumuingiza kazini katika Kanisa Kuu la Kiinjili la Kilutheri Tabora Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea kamba kama ishara ya zawadi ya ng'ombe wa maziwa kutoka kwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Baba Askofu Fredrick Shoo wakati wa Ibada ya Kuzindua Dayosisi ya Magharibi Kati na Kumuweka Wakfu na Kumuingiza kazini Askofu Mteule Mchungaji Dkt. Isaac Kissiri Laiser na kuingizwa kazini Msaidizi wa Askofu Mteule Mchungaji Newton John Maganga katika Kanisa Kuu la Kiinjili la Kilutheri Tabora. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais) . Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Maaskofu wote kutoka Baraza la Maaskofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania mara baada ya kumalizika kwa Ibada ya Kuzindua Dayosisi ya Magharibi Kati na Kumuweka Wakfu na Kumuingiza kazini Askofu Mteule Mchungaji Dkt. Isaac Kissiri Laiser na kuingizwa kazini Msaidizi wa Askofu Mteule Mchungaji Newton John Maganga katika Kanisa Kuu la Kiinjili la Kilutheri Tabora.
2018-07-17T07:12:39
http://presstz.net/michuzi-tv-makamu-wa-rais-ashiriki-ibada-ya-kumuweka-wakfu-na-kumuingiza-kazini-askofu-m-38892002
[ -1 ]
Homez Deco - Kreative Homez: February 2014 Napenda kumshukuru mteja wangu huyu wa tabata....kwa kutuletea kazi yake....nasisi kama homez deco tumeifanya kwa uangalifu mkubwa na umakini........unaweza kusema ni kazi ndogo....ni kweli kazi sio kubwa sana.....ingawa watu hudharau pale unapompa bei ya kazi yake jamani kila siku nasema kizuri ni rahisi....na kibaya ni gharama....... METAL FURNITURES...AVAILABLE AT HOMEZ DECO BY ORDER...... Meza na stools zake 2 bei ni tshs. 300, 000. meza peke yake ni tshs. 200, 000. Homez deco tulipata kazi ya kubadilisha cusions za sofa...pamoja pillow ndogo za sofa kwa mteja wetu huyu.....alipenda silver kwa mito mikubwa na mito midogo iwe ni color combo.... Topic hii ninamalizia kuiandaa.....na kuiweka kiufasaha...na iweze kueleweka....maana katika nyumba zetu kumekua na makosa flan flan ambayo yangeweza kuepukika.....ama kuzuilika.... INAPATIKANA HOMEZ DECO...BY ORDER....RANGI YOYOTE..... kiti hiki kinaweza kukaa chumbani kama una chumba kikubwa ama chumba cha kuvalia viatu....ama korido....na hata sittingroom ..... kinapatikana kwa order....price ni 700, 000.....ila bri inategemea na ukubwa...yaweza kushuka ama kupanda... Note: mnaweza nifuata pia instagram @homezdeco METAL SOFA .......LIKIWA TAYARI KWENDA KWA MTEJA... Mteja alipenda rangi ya sofa iwe black na silver....na homez deco tukafanya kazi...na hivi ndivyo inavyoonekana baada ya kwisha...... choose the right size for your space – Ceiling fans are available in different sizes depending on the square footage of the space. eg. master bedroom is about 200 square foot, so I decided on a medium size fan that is 44″. in the family room I’ll need to use a large fan because it’s about 300 square feet. Choosing the right fan for the appropriate square footage is important to achieve maximum comfort and air efficiency. 9. Designers can save you time. Think about all the time (and gas) wasted by buying items, not being happy with them once at home, and then returning them. Has that happened to you once or twice? When I work with clients, many never step foot into a store or showroom (unless they want to), because I bring samples, images, and pieces to their home. 10. Designers can save you money. When making interior selections and decisions for one room or your entire home, it can be overwhelming and it’s possible that you’ll make purchases or choices on items that are either not worth the cost or won’t “live” for long. With a Designers (like me) assistance, direction, and know-how, they can steer you in the right direction so the entire space can come together as a whole. Let me ask you this – How many times have you purchased 2,3, or 4 different gallons of paint to repaint a room and you still weren’t satisfied? Maybe once or twice?? Be honest… With a Designers perspective, big bucks can be saved, along with the countless wasted hours. I hope you learned a little something, especially that working with a Designer is attainable for anyone with any space and any budget! If you are in the market for a Designer or if reading this post peeked your need to finish up the space you’ve been working on for the last year, please contact us: 0713 - 920565.. Wapendwa wadau wetu na wateja wetu...... Tunapenda kuwafahamisha kuwa oda za mikoani tunapokea na zinafanyika na zinatumwa kwenu mikoani....gharama ya kutuma ni kutokana na mkoa uliopo...nani juu ya mteja...... Tunapenda kuwakaribisha wote karibuni mtoe oda na zinafika bila wasi wasi..... Asanteni na karibuni sana.... Sylvia Namoyo.
2017-07-21T06:50:58
http://homezdeco.blogspot.com/2014/02/
[ -1 ]
Kuwaasi wazazi | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Kuwaasi wazazi Discussion in 'Habari na Hoja mchanganyiko' started by Mahmood, Nov 14, 2009. Baada ya dhambi ya ushirikina; kusema/kuitakidi kuwa kuna Mungu zaidi ya mmoja, dhambi kubwa kuliko zote ambayo Mwenyezi Mungu anasema: "HAKIKA MWENYEZI MUNGU HASAMEHI KUSHIRIKISHWA; NA HUSAMEHE YASIYOKUWA HAYA KWA AMTAKAYE. NA ANAYEMSHIRIKISHA MWENYEZI MUNGU BILA SHAKA AMEBUNI DHAMBI KUBWA". [4:48] Dhambi inayoifuatia hiyo na kushika nafasi ya pili ni kuwaasi/kutokuwatii wazazi. Kutowatii wazazi ni uovu/munkari ambao muislamu mkweli/mkamilifu wa imani hawezi hata kuufikiria au kuuwazia. Shukrani, wema na mwenendo mwema ni sifa kuu tatu zinazompa mtu sifa ya utu/ukamilifu. Mtu asiyeweza kujikusanyia na kuzihodhi sifa tatu hizi, utu wake hauwezi kukamilika. Mtu kama huyo ni nadra mno kuweza kupata rehema za Mwenyezi Mungu, kwa sababu hawezi kutekeleza wajibu wake kwa Mwenyezi Mungu Mola Muumba wake wala wanadamu wenziwe. Kwa maana hii basi, waislamu walio watiifu kwa Mwenyezi Mungu hawawezi abadan kuwaasi na kutokuwajali wazazi wao. Sayyidina Abu Bakarah ( Nafei Ibn Haarith)-Mungu amuwiye radhi-anasimulia kwamba siku moja Mtume wa Mungu-Rehema na Amani zimshukie-aliwauliza je, nisikuambieni juu ya dhambi kuu tatu? Wote kwa pamoja wakajibu: Kwa nini (usituambie), tuambie ewe Mtume wa Mungu! Mtume akasema: "Kumshirikisha Mungu, kuwaasi wazazi". Akainuka akakaa sawa kwani alikuwa ameegemea, akasema: "Kusema uongo au kutoa ushahidi wa uongo". Aliendelea kuyakariri maneno yake hayo kwa kitambo ambacho tulitamani anyamaze (kwa kumuhurumia)". ii.Waraka wa Mtume wa Mungu kwa watu wa Yemen: Ndani ya waraka (barua) muhimu mno waliotumiwa watu wa Yemen na Mtume wa Mungu-Rehema na Amani zimshukie-kupitia kwa swahaba wake Amrou Ibn Hazim-Mungu amuwiye radhi. Mtume Muhammad SAW aliwaonya juu ya dhambi zifuatazo: 1.kumshirikisha Mungu, 2.kumuua asiye na hatia, 3.kukimbia katika jihadi, 4.kuwaasi wazazi, 5.kuwasingizia machafu wanawake wacha-Mungu, 6.kujifunza sihiri (uchawi), 7.kula riba na 8.kudhulumu mali ya yatima". iii.Ushauri wa Mtume wa Mungu kwa uma: Sayyidina Muadh Ibn Jabal- Mungu amuwiye radhi-alikuwa ni miongoni mwa maswahaba mashuhuri wa Mtume wa Mungu-Rehema na Amani zimshukie. Sayyidina Umar; khalifa wa pili wa Mtume wa Mungu - alikuwa akisema kuwa bila Muadh kuangamia kwake kulikuwa ni dhahiri. Mara kwa mara Sayyidina Muadh alikuwa akipewa nasaha na Mtume wa Mungu, siku moja Mtume alimnasihi: "Kamwe usimshirikishe Mungu hata kama utauawa au kuunguzwa hai. Na katu usiwaasi wazazi wako hata kama watakuamuru kuitupa mali yako au kuiacha familia yako (mkeo)". iii.Kuwatukana wazazi: Sayyidina Abdullah Ibn Amrou-Allah amuwiye radhi-alimsikia Mtume wa Mungu-Rehema na Amani zimshukie-akisema: "Kuwatukana wazazi pia ni miongoni mwa madhambi makubwa". Watu waliokuwepo pale wakauliza kwa mshangao: "Ewe Mtume wa Mungu! Mtu anawezaje kuwatukana wazazi wake mwenyewe?", Mtume akajibu: "Naam (anaweza), wakati mtu anapomtukana baba wa mwenziwe, kwa kurudishia huyo mwingine nae atamtukania baba yake. Atamuita jina baya mama wa mwenziwe, nae atamrudishia kwa kumtukana mama yake". Hivi ndio kusema kuwa kumtukana mzazi wa mwenzio ni sawa kabisa na kuwatukana wazazi wako mwenyewe. Kwani utakapomtukania wazazi wake, kisilka nae hatakubali ila awatukane wazazi wako, kwa hiyo ni wewe ndiye utakayekuwa umesababisha wazazi wako kutukanwa. Ili kuliepuka hili, basi hakikisha kuwa huutumii ulimi wako kuwatukana wazazi wa wenzio. Leo hili ni suala lisilopewa umuhimu mkubwa, mtu haoni vibaya kufanya jambo au kutamka neno litakalosababisha kutukaniwa wazazi wake. Katika kisa mashuhuri cha Israa na Miiraji tunasoma: "Kisha (Mtume) akapandishwa mpaka Mustawaa akasikia (hapo) sauti ya mkokoto wa kalamu. Na akamuona mtu amezama katika nuru ya Arshi. (Mtume) akauliza: "Huyu ni nani, je ni malaika?", akajibiwa: Hapana. Akauliza (tena): "Je, ni mtume", akajibiwa: Hapana. Akauliza (mara ya tatu): "Ni nani huyu basi?", akajibiwa: "Huyu ni mtu alikuwa duniani (siku zote), ulimi wake laini kwa (wingi wa) kumtaja Mungu. Na moyo wake ulikuwa umefungamana na misikiti, wala katu hakupata kuwatukanisha wazazi wake". Hizo ndizo fadhila na daraja adhimu za mtu atakayejiepusha na dhambi hii ya kuwatukanisha wazazi wake. - 0 people likes Asante ndugu Mahmoud Kwa post yako hii nzuri sana. Shukran na Mola atujaalie tuwe wenye kusikia maneno kufuata njia sahihi. Shukran na Mola atujaalie tuwe wenye kusikia maneno kufuata njia sahihi.Click to expand...
2016-12-08T18:45:56
http://www.jamiiforums.com/threads/kuwaasi-wazazi.43903/
[ -1 ]
LATEST NEWS: TUKIO LA AJALI YA NDEGE LEO ASUBUHI MKOANI MBEYA NANE NANE UYOLE | CHIMBUKO LETU Home » »Unlabelled » LATEST NEWS: TUKIO LA AJALI YA NDEGE LEO ASUBUHI MKOANI MBEYA NANE NANE UYOLE LATEST NEWS: TUKIO LA AJALI YA NDEGE LEO ASUBUHI MKOANI MBEYA NANE NANE UYOLE HIVI NDIVYO NDEGE ILIVYOUMIA BAADA YA KUANGUKA ENEO LA NANE NANE UYOLE MBEYA ABIRIA WA NDEGE WAKIWA NA FURAHA MARA BAADA YA KUNUSURIKA KIFO KATIKA AJALI HIYO ILIYOTOKEA LEO ASUBUHI NANE NANE UYOLE MKOANI MBEYA NDEGE INAVYOONEKANA BAADA YA KUPATA AJALI RUBANI WA NDEGE NAMBA 9J-BIO SESINA 206 AKIPATA HUDUMA YA KWANZA PAMOJA NA ABIRIA WENGINE WALIO KUWEMO KATIKA AJALI HIYO BAADHI YA WATU WALIOFIKA ENEO HILO LA TUKIO KUTOA MSAADA BAADA YA AJALI HIYO MMOJA YA ABIRIA ALIYEKUWEMO KATIKA NDEGE HIYO AKITOA MAELEZO MACHACHE JUU YA AJALI HIYO ENEO LA MBELE == == = = = == == = Ajali ya ndege namba 9J-BIO SESINA 206, imetokea leo asubuhi majira ya saa tatu eneo la Nanenane Uyole jijini Mbeya na abiria wanne wanusurika kifo na hakuna aliyefariki. Abiria walionusurika kifo ni pamoja JVER WAAK Umri wa Miaka 49 ambayealikuwa Rubani, Raia wa Afrika Kusini, Bwana CHRISTIAN BASIL MMASI umri miaka 30, Ambaye ni Afisa Utawala wa mashamba ya Kapunga wilaya ya Mbarali, Balozi MOHAMMED RAMIA kabula leke ni Mmakua mwenye umri wa miaka 64, mkazi wa Masaki jijini Dar es Salaam ambaye ni mfanyakazi EXPORT TRADING na Bwana SUNNY TAYIR mwenye umri wa miaka 50 ambaye ni Mhindi na ni mfanyakazi wa EXPORT TRADING. Na chanzo cha ajali hiyo akijafahamiaka mpaka sasa. Imetolewa na Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya Bwana ANACLET MALIMBISA
2018-03-21T10:52:59
http://www.chimbukoletu.com/2011/09/latest-news-tukio-la-ajali-ya-ndege-leo.html
[ -1 ]
Hiki ndicho alicho funguka Ray c kuhusu Ruge - Boss Ngasa Official Website Home Unlabelled Hiki ndicho alicho funguka Ray c kuhusu Ruge Hiki ndicho alicho funguka Ray c kuhusu Ruge VUNJA ukimya! Sexy lady wa Bongo Fleva, Rehema Yusuf Chalamila ‘Ray C’ ametaja sababu ya kutomzika Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba ‘Jasiri Muongoza Njia’, Risasi Jumamosi lina habari kamili. Kama ulikuwa hujui, mlezi mkuu wa Ray C kimuziki na kimaisha kwa jumla alikuwa Ruge hivyo kifo chake hakiwezi kuwa ni jambo dogo kwa staa huyo wa Wimbo wa Na Wewe Milele. Ruge alifariki dunia Februari 26, mwaka huu nchini Afrika Kusini alikokuwa akipatiwa matibabu baada ya kusumbuliwa na matatizo ya figo kwa miezi kadhaa kisha kuzikwa kijijini kwao, Kiziru-Kabale, Bukoba mkoani Kagera, Machi 4, mwaka huu. RAY C HAKUONEKANA Msiba wa Ruge uligusa na kuhudhuriwa na watu wengi wa kada mbalimbali wakiongozwa na Rais John Pombe Magufuli, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, mawaziri na viongozi wengine huku wasanii wakiwa kama wote isipokuwa mwanadada Ray C. Wasanii wengi waliopitia mikononi mwa Ruge waliibua gumzo msibani, lakini Ray C hakuonekana. MINONG’ONO MINGI Kutoonekana kwa Ray C msibani kuanzia jijini Dar hadi kule Bukoba kuliibua minong’ono mingi kwa mashabiki wake wakitaka kujua kulikoni kwani wanajua Ruge alikuwa sawa na baba yake. RAY C AELEZA SABABU Katikati ya minong’ono na sintofahamu hiyo ya kutoonekana kwa Ray ndipo gazeti hili likajipa kazi ya kumtafuta mwanamuziki huyo almaarufu Kiuno Bila Mfupa ambaye alifunguka sababu ya kushindwa kufika kwenye msiba wa Ruge. Katika mazungumzo yake na Gazeti la Risasi Jumamosi akiwa kwenye makazi yake jijini London, Uingereza, Ray C alisema wakati msiba huo unatokea alikuwa safarini kwenye ziara ndefu ya kimuziki nchini Marekani. NI MSIBA MZITO Ray C alisema kuwa, pamoja na kwamba ulikuwa ni msiba mzito kwake na kwamba alijikuta akitokwa machozi kutokana na uchungu wa kumpoteza mtu wake huyo wa karibu, lakini alishindwa kuahirisha au kuvunja ziara zake kwani alishalipwa kwa ajili ya shoo za watu. “Iliniuma sana, tena sana na mpaka sasa hivi inaniuma, natokwa na machozi kwa kumpoteza mtu muhimu kwangu. “Nakumbuka wakati ninapata taarifa za msiba nilikuwa Marekani kwenye tour (ziara) kwa ajili ya shoo na nilishalipwa. “Kiukweli sikuwa na jinsi kwani nilishindwa kabisa kukatiza ziara,” alisema Ray C ambaye baada ya shoo za Marekani ataendelea na ziara yake nchini Ufaransa na Sweden. WARAKA WA RAY C KWA RUGE Siku chache kabla ya kifo, Ray C alimwandikia Ruge waraka mzito akimtaka kuamka kitandani alikolazwa ili amwambie kinachoendelea maishani mwake. Kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Kijamii wa Instagram, Ray C alimwandikia Ruge; “Amka bwana, nimeshachoka kusubiri, meseji zangu hujibu, simu hupokei, nina stori kibao nataka kukwambia ingawa najua utanichamba, lakini nilishazoea kukwambia kila kitu changu kinachoendelea kwenye maisha yangu. “Tunagombanaga mpaka tunablokiana, lakini tukionana tu, tukaangaliana, tunabaki kucheka tu. “Nilishazoea kukwambia mambo yangu kwa sababu we’ ndo’ msiri wangu. We’ ndo’ unanipaga makavu nikiharibu. “Kuna muda mpaka ninalia na ukiona ninalia, ndo’ unazidi kunipa makavu bila huruma. “Ninaondoka kwa hasira ingawa moyoni ninajua uliyoniambia ni kweli… ninakununiaaa ila haifiki wiki, huyo nimeshakuja ofisini kwako. “Muda mwingine sina hata cha maana cha kukwambia ila nakuja tu ofisini kukuona unitanie nicheke! “Ray C umenimiss eeh… Kama nywele hujazielewa unanipa live Ray C nenda katoe hizo nywele. “Nikikuona tu ninapata amani ya moyo. Nikitoka tu studio wa kwanza kukutumia demo! Ni wewe, wewe tu miaka yote tangu nimeanza muziki kwa sababu ninaheshimu sikio lako na ninaliamini. “Mwezi wa ngapi sasa huu Ruge! Natuma meseji, ninakupigia, natamani kukuimbia japo kidogo upate nguvu sikupati…Ruge najua huko ulipo unaumia sana, najua unataka kuamka na kufanya kazi zako. Please wake up (tafadhali amka) babaa. “Please! You are too strong (tafadhali wewe ni imara sana) babaa. Don’t give up please for you (usijikatie tamaa mwenyewe). “Nishike mkono. Nibusu shavuni. Vyovyote vile. Nakupenda (wimbo unaoupenda sana). Amka Ruge.” Hata hivyo, pamoja na waraka huo mzito wa Ray C, lakini Ruge ambaye pia alikuwa meneja wa mwanadada huyo hakuamka hadi Mungu alipomchukua mja wake. Ray C aliyesifika kwa kukata mauno alianza kujulikana baada ya kutoa nyimbo kadhaa kama vile, Sikuhitaji, Mapenzi Yangu, Na Wewe Milele, Ulinikataa na nyingine nyingi zilizompa umaarufu. Awali alikuwa mtangazaji wa Radio East Africa kabla ya kwenda Clouds FM na hatimaye kuwa mwimbaji maarufu aliyeutingisha na anayeendelea kufanya poa kwenye muziki wa Bongo Fleva Hiki ndicho alicho funguka Ray c kuhusu Ruge Reviewed by jaqueline victorv on Sunday, March 17, 2019 Rating: 5
2019-03-22T00:20:07
http://www.bossngasatz.com/2019/03/hiki-ndicho-alicho-funguka-ray-c-kuhusu.html
[ -1 ]
Raia wa China washikiliwa Marekani kwa kosa la kuiba taarifa – DEWJIBLOG Raia wa China washikiliwa Marekani kwa kosa la kuiba taarifa Raia watatu wa China wanashtakiwa kwa kosa la kuingia kwenye mifumo ya kompyuta ya Makampuni ya Sheria ya Marekani na kufanya wizi wa mamilioni ya dola katika jiji la New York. Waendesha mashtaka wanasema kwamba katika kesi hiyo ya msingi kwamba waliweza kupata zaidi ya dola za kimarekani 4 milioni baada ya kupata taarifa za siri kutoka kwenye makampuni hayo ya sheria. Wanasema walipata faida zaidi baada ya kununua hisa kwenye kampuni hizo za sheria kama sehemu ya wamiliki. Taarifa zinasema wizi wa kutumia mitandao ya kompyuta unashika kasi kwa nchini nyingi zilizoendelea na kutishia uhai wa biashara nyingi duniani. Mwanasheria wa kampuni ya Manhattan, Preet Bharara alionya kwamba kesi hiyo ni kelele ya kuwaamsha kutoka usingizi juu ya wizi unaoendelea kwenye mifumo ya kompyuta na mitandao nchini Marekani. Wachina hao watatu wanashtakiwa kwa kuingia kwenye mawasiliano ya kampuni hizo, kudungua mawasiliano, kufanya miamala ya biashara, na wizi wa mamilioni na kuingia kwenye mifumo ya kompyuta. China yaja na mkakati wa kuboresha vyoo ... JPM aeleza siri ya kumteuwa Mghwira kuwa RC Kilimanjaro
2017-12-17T00:22:20
http://dewjiblog.co.tz/raia-wa-china-washikiliwa-marekani-kwa-kosa-la-kuiba-taarifa/
[ -1 ]
Kura ya maoni kuandaliwa 2019, Raila adokeza ▷ Tuko.co.ke Kura ya maoni kuandaliwa 2019, Raila adokeza Maoni: 3302 - Kiongozi wa upinzani Raila Odinga aliyakana madai kuwa anashinikiza kufanyika kura ya maoni ili kufutilia mbali baadhi ya nafasi za serikalini na kubuni zingine - Alisisitiza kuwa anaangazia masuala yatakayolielendeleza taifa la Kenya - Alieleza kuwa anaendelea na shughuli ya kuiunganisha taifa, pendekezo ambalo litatekelezwa kati ya Januari na Disemba 2019 Kiongozi wa upinzani Raila Odinga amelitia chumvi donda la kura ya maoni kwa kudokeza kuwa Wakenya watarudi debeni 2019 kufanya uamuzi huo. Alisisitiza kuwa anaangazia masuala yatakayolielendeleza taifa la Kenya na wala si kujitafuti anafasi serikalini. Picha: UGC. Kauli yake inaoana na ile ya Katibu Mkuu wa COTU Francis Atwoli ambaye pia alidokeza kuhusu uwezekano wa kura hiyo kuandaliwa 2019. Akizungumza katika hafla moja Magharibi mwa Kenya Jumaatu, Disemba 24, Raila alijitenga na madai kuwa anashinikiza mageuzi ya katiba ili kuondoa baadhi ya nafasi serikalini na kubuni nyingine za kumfaa. ''Nimesikia baadhi ya viongozi wakisema kuwa Raila anataka kubandua nafasi za MCA na kupunguza idadi ya maeneo bunge na kaunti kupitia kwa kura ya maoni. Haya yote ni takataka na uongo unaotumika kujitafutia umaarufu,’’ Alisema. ''Msiwasikize wanasisa wa kujitafutia umaarufu. Tunataka kuyaangazia masuala ambayo yataipigisha hatua nchi yetu. Hili ndilo tunaloangazia na tutaweza kufanikisha kuanzia Januari hadi Disemba 2019,’’ Raila alisema. Ruto alidai kuwa baadhi ya viongozi wanashinikiza kufanyika kura ya maoni ili kubuni nafasi za kuwafaidi. Picha: UGC. Naibu Rais William Ruto akizungumza Bungoma kuhusiana na suala hilo Jumapili, 23, alidai kuwa baadhi ya viongozi wanashinikiza kufanyika kura ya maoni ili kubuni nafasi za kuwafaidi wenyewe. Kenya road signs Zuku internet packages Anita Nderu Prediction sites
2019-01-22T11:26:48
https://kiswahili.tuko.co.ke/294694-kura-ya-maoni-kuandaliwa-2019-raila-adokeza.html
[ -1 ]
SUMAYE NIPO TAYARI KUVAA NDALA LAKINI SIPO TAYARI KURUDI CCM | Moto Moto News SUMAYE NIPO TAYARI KUVAA NDALA LAKINI SIPO TAYARI KURUDI CCM Ntamakulilo Katosho 15:17:00 0 comment Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA ambaye pia ni Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amefunguka na kusema licha ya mambo anayofanyiwa na serikali ikiwa pamoja na kunyang'anywa mashamba yake lakini hawezi kurudi CCM. Sumaye amedai kuwa toka alipohama chama hicho na kuingia upinzani wapo viongozi walitamka wazi kuwa dawa yake ni kupokonywa mali zake mpaka awe masikini na kudai hayo mambo ndiyo yameanza lakini hayawezi kumfanya kurudi tena katioka chama hicho. "Hata lile lililotokea Mwabepande nililitegemea kama mtakumbuka kipindi nilichohama kutoka CCM na kuja upinzani mwaka 2015 katika kipindi cha kampeni wapo viongozi walitamka wazi kuwa huyu dawa yake kunyang'anywa mali zake mpaka awe masikini, nilipoanza kuandikiwa barua mara sijafanya hiki sijui sijafanya hiki nikajua wazi kuwa hakuna sababu nyingine zaidi ya sababu za kisiasa na nina adhibiwa kwa kuwa nimekwenda upinzani" alisema Sumaye. Aidha Sumaye amekiri kuwa mashamba hayo aliyapata kwa njia halali na siku zote amekuwa akiyalipia kwa muda wote huo na kusema mashamba yake yeye amekuwa akiyaendeleza tofauti na inavyoelezwa kuwa mashamba hayo hayaendelezwi. "Mimi nitaiachia mahakama iendelee mpaka hapo itakaposema ama imeshindwa ama nifanye nini kama wanafikiria mimi nitarudi CCM kwa kuteswa, nasema sirudi CCM eti kwa sababu nateseka" alisisitiza Sumaye Serikali imetangaza kuchukua mashamba mbalimbali ya wananchi ambayo hayajaendelezwa kwa muda mrefu na wamiliki wa waeneo hayo, jambo ambalo limemkuta na Mhe. Sumaye kwa mashamba yake mawili kudaiwa kuchukuliwa na serikali kwa kigezo hicho hicho kuwa hayajaendelezwa kwa muda mrefu.
2019-01-20T04:15:17
http://www.motomotonews.com/2017/08/sumaye-nipo-tayari-kuvaa-ndala-lakini.html
[ -1 ]
Mashitaka Mawili Yanayowakabili Idris Sultan na Mwenzake | MPEKUZI Mashitaka Mawili Yanayowakabili Idris Sultan na Mwenzake Msanii wa vichekesho, Idris Sultan, na mwenzake, Innocent Maiga wamefikishwa katika Mahakama ya Kisutu leo Mei 27, 2020, na kusomewa mashtaka yanayowakabili likiwemo la kumiliki laini ya simu ya Maiga na kushindwa kuripoti mabadiliko ya umiliki wa laini hiyo. Washitakiwa wamesomewa mashitaka yao na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo Simon, Matilda Mushi na Estazia Wilson mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Rashid Chaungu. Kosa la kwanza la kushindwa kufanya usajili wa simu wa kadi iliyokuwa inamilikiwa na mtu mwingine linamkabili Idris Sultan. Katika kesi hiyo ya jinai, inadaiwa ametenda kosa hilo kati ya Desemba 1, 2019 na Mei 19, 2020, maeneo ya Mbezi Beach Kinondoni ambapo alitumia kadi ya simu iliyomilikiwa na Innocent Maiga bila kuripoti kwa mtoa leseni. Kosa jingine ni kushindwa kutoa taarifa ya mabadiliko ya kadi ya simu ambapo linamkabili Innocent Maiga ambaye anadaiwa amelitenda Desemba 1, 2019 na Mei 19, 2020 Mbezi Beach Kinondoni ambapo ni kinyume na sheria kwani alishindwa kutoa taarifa ya mabadiliko ya namba ya simu kama inatumiwa na Idris Sultan. Baada ya kusomewa mashitaka hayo, washitakiwa walikana makosa yao, ambapo upelelezi wa kesi hiyo umekamilika. Hata hivyo, washitakiwa hao wameachiwa kwa dhamana baada ya kutimiza masharti ya kuwa na wadhamini wawili waliosaini bondi ya Sh. mil. 15 kila mmoja. Hata hivyo, Wakili wa Idris Sultan, Benedict Ishabakaki, ameondolewa kumwakilisha mshitakiwa huyo kwa sababu atatumika kama sehemu ya ushahidi wa upande wa Jamhuri kutokana na kushuhudia mshitakiwa wake akichukuliwa maelezo polisi, hivyo anabakia wakili mmoja ambaye ni Jebrah Kambole.
2020-08-08T00:55:41
https://www.mpekuzihuru.com/2020/05/mashitaka-mawili-yanayowakabili-idris.html
[ -1 ]
download, downloads, collage, Bila shaka, mwongozo, maelekezo, návody, serial, download, download, tipy, tricks, misingi Adobe Photoshop ni mhariri wa picha ya bitmap kwa ajili ya kuunda na kuhariri graphics za bitmap (kama vile picha) zinazoundwa na Adobe Systems. Toleo la kwanza (1.0) ilitolewa Februari ya 1990 kwa Mac OS chini ya auspices ya Adobe Systems. Kwa sasa kuna toleo la kumi na nne, kuuzwa chini ya lebo ya Creative Cloud (CC). Mwanzoni, Photoshop iliundwa na ndugu Thomas na John Knoll, ambao walianza kufanya kazi kwenye 1987. Moja ya pointi muhimu zaidi [...]
2018-03-17T22:14:58
https://sw.vipcasting.cz/category/adobe-photoshop/
[ -1 ]
HIZI NI SALAMU ZA BONDI KWA DORICE WA COSOTA – Habari Zao HIZI NI SALAMU ZA BONDI KWA DORICE WA COSOTA I kiwa zimepita siku kadhaa tangu rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania aagane na wasanii wa nchini Tanzania na kutoa maagizo kadhaa ikiwamo suala la kufuatilia mirahaba na haki za wasanii, msanii wa filamu nchi Bond ameamua kutuma salamu kwa Dorice wa Cosota ambaye atakuwa mfuatiliaji. Jamani naombeni mnifikishie salam zangu kwa dada Doris wa Cosota Jana usiku wa tar 6/08/2015 kwa mara ya kwanza nadhani alijikuta anasimama pembeni ya rais wa jamhuli ya muungano Mh. JK na kujibu maswali magumu kwa njia nyepesi tu. Amepewa muda wa wiki mbili kukamilisha ripoti ya masuala yetu wasanii yakiwemo ya mirabaha na mengineyo ya wazi wa kazi na masuala ya haki. Kwanza nimpongeze sana kwa anavyojitahidi lakini kikubwa zaidi nisisi kama wasanii tunaomba awe muwazi kabisaa katika ripoti yake kuwa COSOTA haina ofisi ya kudumu, COSOTA haina ghala la kuhifadhia mali zinazokamatwa baada ya misako na hii inasababisha wasifanye misako ya kukamata, COSOTA haina sheria ya kutoza mirabaha kwa wadau bali inawaomba wachangie tu na unapomuomba mtu basi ujue ana hiari ya kutoa anacho jisikia au asitoe kabisa, COSOTA haina ofisi mikoani COSOTA haina wafanyakazi wa kutosha, COSOTA ina gari moja tu je linaweza kuzunguka nchi nzima? COSOTA inatakiwa ipate asilimia katika pesa za stika za kwenye CD ili iweze kufanya misako ya kazi feki na wizi la sivyo haina haja ya kuweka stamp za TRA na tuweke Stamp za Cosota Pia COSOTA isimamie haki ya kazi za wanachama wake kikamilifu Haina haja ya kumuomba mkaguzi wa hesabu wa serikali ili akaikague kosota kuwzia mwaka 1991 mpaka sasa na kujua imeingiza kiasi gani kupitia mirabaha ya sanaa ya mziki na filamu kuanzia Mabar, Mahotel, Mabasi, vituo vya Tv, vituo vya redio, kwenye mameli, ndege, libraly, cable netwok, vibanda vya video shows na sehem nyinginezo na imetoa kiasi gani kwa wahusika bali hivi sasa tunaomba tuanze mwanzo mpya kabisa Huu ni wakati wa kusema ukweli ili nasi tule halali yetu ukificha ficha tena hali mbaya sana inakuja na mungu ndio atakae tusaidia kuyaweka bayana na yakiwa bayana itakuwa aibu kubwa sana kwa Cosota Hizi ni salamu zangu nifikishieni jamani Naitwa Bond Wastara Juma on instagram August 9, 2015 Bond, COSOTA, Featured Previous Previous post: KUTANA NA PICHA AMBAZO ZINATRENDS MITANDAONI ZA MTOTO WA DIAMOND Next Next post: PRIMIER LEAGUE ARSENAL YADUNGWA 2-0 DHIDI YA WEST HAM
2017-12-15T02:29:52
https://habarizao.wordpress.com/2015/08/09/hizi-ni-salamu-za-bondi-kwa-dorice-wa-cosota/
[ -1 ]
Mbowe aibua mazito risasi ya Akwilina – MwanaHALISI Online Mbowe aibua mazito risasi ya Akwilina Posted by: Faki Sosi February 27, 2018 0 4,886 Views MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe amesema kuwa jeshi la Polisi limewajeruhi waandamanaji wa tano wa risasi za moto huku moja ikimpata Mwanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji Tanzania (NIT), Akwilina Akwilini zilizokuwa zikiwalenga wao. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Mbowe amewaambia waandishi wa Habari leo, kuwa Polisi walifyatua risasi za moto ambayo zilikuwa zinawalenga moja kwa moja waandamanaji na siyo juu kama ilivyodaiwa na Jeshi la Polisi. Maandamano hayo yalifanyika Februari 16, mwaka huu ambapo Akwilini aliyekuwa akitoka Mabibo akielekea Makumbusho akiwa kwenye daladala alifariki kwa kupigwa na risasi ya moto inayotokana na maandamano hayo. Mbowe aliyekuwepo kwenye maandamanano hayo amesema kuwa zilirushwa risasi zilizowalenga wao. “Sisemi kama zilikuwa zinanilenga mimi lakini zililengwa kwetu waandamanaji.” Amesema kuwa risasi hizo ziliwapiga waandamanaji watano ambao hadi leo hawakupewa dhamana na hawakufikishwa mahakamani. Amesema kuwa Jeshi la Polisi linaendelea kuwashikilia majeruhi hao ili wasitoke nje wakaonekana kwenye vyombo vya habari. ‘’Unatumiaje siraha za moto kuzuia maandamano ya amani. Fanya hivyo halafu waache majeruhi wakajipatie matibabu lakini bado munawashiria,’’ amesema Mbowe. Ameeleza kuwa chama hicho kupitia mawakili wake wamefungua shauri mahakamani la kuwashinikiza polisi kuwapeleka mahakamani wafusi hao. Wakati huohuo, Mbowe amedai kuwa vyombo vya usalama vinaratibu mipango ya kuwabambikia kesi za ugaidi, mauaji na uhaini viongozi wa Chadema. Amesema kuwa kuibuka Cyplian Musiba na madai yake ni kuandaliwa kwa tuhuma hizo na kwamba maneno hayo ya yalikuwa sio yake ni maneno ya kulishwa, lakini watatii sheria na kwamba wataitetea haki na demokrasia kwa misingi ya haki. Mbowe ameeleza kuwa vurugu hizo zinasababishwa na watendaji wa juu wa Tume ya Uchaguzi Tanzania (NEC) kutokana na kushindwa kusimamia haki. “Kailima (Ramadhani) Mkurugenzi wa Uchaguzi tumemuandikia barua, tumemfuata ofisini kwake tumempigia simu yake tumemueleza vitu ambavyo vilikuwa vikionesha uchaguzi utaharibika, hakutaka kuelewa kwa vile anapokea maagizo kutoka serikalini hakutusikiliza. “Hakuna wakati wowote katika historia ya uchaguzi wa nchi hii ambapo tuna tume hopeless, Mkurugenzi hopeless, kama kipindi hiki, angalau zamani walikuwa wanaiba kiakili lakini wao wanaiba kitoto kijinga kipumbavu, kumfurahisha bwana mkubw, aliyesema hataki kuona mpinzani anatangazwa kuwa mshindi,” amesema Mbowe kwa uchungu. Mbowe amesema kuwa kama Tume haitaki kutambua nafasi ya upinzani nchini haina haja ya kufanya uchaguzi kutokana na hasara zinazotokea, kuliwa kwa watu, kuumizwa watu. Amesema kuwa waliwasiliana Mkurugenzi Kailima kumjuza kuwa wasimamizi wa uchaguzi kuwa ni makada Chama cha Mapinduzi (CCM) lakini hakuchukua hatua yoyote. “Ndugu zangu chaguzi zote zitaendelea kuzaa majeraha maumivu kama hatua serious hazikuchukuliwa kwa sababu hawa wenzetu hawana aibu, wamejipanga wanalindwa na dola…. Walitunyima vitambulisho vya mawakala wetu ili waibe kura ndicho walichofanya,” amesema Mbowe. Kwa upande mwingine Mbowe amesema kuwa hukumu ya Mbunge wa Mbeya Jesoph Mbilinyi na Katibu wa Chama hicho Kanda ya Nyasa, Emmanuel Masonga imefanywa kwenye ushirika wa viongozi wa CCM, watendaji wa serikali pamoja idara ya Usalama wa Taifa kwa kumtumia hakimu. Mbowe amesema kuwa licha chama hicho kuheshimu muhimili wa Mahakama kutokana upekee wake katika kutoa haki kwenye nchi lakini wapo mahakimu wanaotumika vibaya kupindisha sheria kwa visasi. Amesema kuwa wao kama chama walishapata taarifa siku nne kabla siku ya hukumu kuwa mipango iliyopangwa ni kuwafunga viongozi hao. “Polisi na vikosi vya usalama vilikusanywa kutoka mkoa wa Mbeya na Songwe kutokana na hofu ya kukabiliana na presha ya wananchi ni jambo liloratibiwa,” amesema Mbowe. Mbowe amesema kuwa bado wanaimani na mahakama lakini hawakuwa na imani ya Hakimu aliyetoa hukumu ile kutokana na alionekana akiendesha kesi kwa kupokea maagizo ambapo ni kinyume na weledi wa taaluma hiyo. MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe amesema kuwa jeshi la Polisi limewajeruhi waandamanaji wa tano wa risasi za moto huku moja ikimpata Mwanafunzi wa Chuo cha Usafirishaji Tanzania (NIT), Akwilina Akwilini zilizokuwa zikiwalenga wao. Anaripoti Faki Sosi ... (endelea). Mbowe amewaambia waandishi wa Habari leo, kuwa Polisi walifyatua risasi za moto ambayo zilikuwa zinawalenga moja kwa moja waandamanaji na siyo juu kama ilivyodaiwa na Jeshi la Polisi. Maandamano hayo yalifanyika Februari 16, mwaka huu ambapo Akwilini aliyekuwa akitoka Mabibo akielekea Makumbusho akiwa kwenye daladala alifariki kwa kupigwa na risasi ya moto inayotokana na maandamano hayo. Mbowe&hellip; Previous: Usain Bolt asaini Mamelods ya Afrika Kusini Next: Waziri wa fedha atoa onyo, Watanzania wakiongezeka
2019-01-24T12:45:55
http://mwanahalisionline.com/mbowe-aibua-mazito-risasi-ya-akwilina/
[ -1 ]
HABARI MSETO BLOG: LIGI KUU BARA USHINDANI KILA KONA Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL), inatarajiwa kuendelea kesho Ijumaa Oktoba 20, 2017 kwa mchezo mmoja utakaokutanisha timu za Mwadui na Kagera Sugar kwenye Uwanja wa Mwadui mkoani Shinyanga. Timu hizo zinakutana katika Raundi ya Saba katika duru hili la kwanza la VPL ambalo mbali ya Kampuni ya Simu ya Vodacom - wadhamini wakuu, wadhamini wengine ni Kituo cha Televisheni cha Azam (Azam Tv) na Benki ya KCB ambayo huduma zake za kibenki zinazidi kushamiri nchini. Wadhamini hao wanachagiza ligi hiyo ambayo itaendelea Jumamosi Oktoba 21 kwa michezo sita itakayofanyika kwenye viwanja tofauti huku mechi nyingi zikipata fursa ya kuonyeshwa kwenye chaneli mbalimbali za Azam Tv kupitia king’amuzi cha Azam. Michezo ya Jumamosi itakutanisha timu za Mbao na Azam kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, wakati Lipuli itakuwa mwenyeji wa Majimaji ya Songea kwenye Uwanja wa Samora mjini Iringa ilihali Ruvu Shooting watakuwa wageni wa Mbeya City kwenye Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya. Jumamosi hiyo hiyo Simba yenye mabadiliko kidogo kwenye benchi la Ufundi, itawaalika Njombe Mji kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam huku Ndanda ikicheza na Singida United kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara. Wakati Jumamosi hiyohiyo tena, Mtibwa Sugar wakicheza na Tanzania Prisons ya Mbeya kwenye Uwanja wa Manungu mkoani Morogoro, Jumapili kutakuwa na mchezo mmoja tu - ambao ni kati ya Stand United na mabingwa watetezi, Young Africans ya Dar es Salaam - mchezo utakaopigwa Uwanja wa Kambarage mkoani Shinyanga. Imewekwa na: Francis Dande Tarehe: 19.10.17 TAA kuhakikisha inapata hati miliki za viwanja vya ndege WAZIRI MKUU AKUTANA NA MABALOZI WA TANZANIA KATIKA NCHI ZA MISRI NA ZAMBIA SERIKALI KUANZISHA TAASISI YA ITAKAYOSIMAMIA USALAMA BARABARANI BILIONEA WA TAKUKURU AFIKISHWA MAHAKAMANI WAFANYAKAZI WA BENKI YA CRDB PAMOJA NA WATEJA WACHANGIA MILIONI 15 UJENZI WA OFISI ZA WALIMU DAR MAJALIWA:MWENENDO WA UKUAJI UCHUMI WA TAIFA UNARIDHISHA ECOBANK TANZANIA MANAGEMENT PAYS A COUTESY VISIT TO MEMBERS OF PARLIAMENT IN DODOMA Maafisa AAKIA wafurahishwa na ulinzi JNIA WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKUTANA NA BALOZI WA CHINA YALIYOMO Nov 20 (10) Nov 19 (3) Nov 18 (11) Nov 17 (4) Nov 16 (15) Nov 15 (3) Nov 14 (2) Nov 13 (2) Nov 12 (6) Nov 11 (3) Nov 10 (13) Nov 09 (6) Nov 08 (6) Nov 07 (4) Nov 06 (5) Nov 05 (10) Oct 31 (1) Oct 30 (1) Oct 29 (4) Oct 28 (1) Oct 27 (5) Oct 26 (5) Oct 25 (2) Oct 24 (11) Oct 23 (1) Oct 22 (3) Oct 21 (1) Oct 19 (3) Oct 18 (4) Oct 17 (3) Oct 16 (5) Oct 15 (3) Oct 14 (7) Oct 13 (1) Oct 12 (4) Oct 11 (1) Oct 10 (4) Oct 09 (5) Oct 08 (1) Oct 07 (7) Oct 05 (3) Oct 04 (4) Oct 03 (2) Oct 02 (6) Oct 01 (6) Sep 30 (3) Sep 29 (6) Sep 28 (3) Sep 27 (4) Sep 26 (1) Sep 25 (1) Sep 24 (1) Sep 23 (1) Sep 22 (2) Sep 21 (9) Sep 20 (2) Sep 19 (4) Sep 18 (4) Sep 17 (3) Sep 16 (3) Sep 15 (6) Sep 14 (5) Sep 13 (8) Sep 12 (10) Sep 11 (5) Sep 10 (4) Sep 09 (4) Sep 08 (8) Sep 07 (8) Sep 05 (3) Sep 04 (4) Sep 03 (3) Sep 02 (5) Sep 01 (6) Aug 31 (7) Aug 30 (3) Aug 29 (5) Aug 28 (3) Aug 27 (5) Aug 25 (4) Aug 24 (2) Aug 23 (1) Aug 22 (3) Aug 21 (5) Aug 20 (2) Aug 19 (6) Aug 18 (4) Aug 17 (1) Aug 16 (5) Aug 15 (3) Aug 14 (4) Aug 13 (2) Aug 12 (9) Aug 11 (1) Aug 10 (7) Aug 09 (3) Aug 08 (8) Aug 07 (5) Aug 06 (2) Aug 05 (6) Aug 04 (3) Aug 03 (7) Aug 02 (3) Aug 01 (4) Jul 31 (6) Jul 30 (5) Jul 28 (3) Jul 27 (4) Jul 26 (4) Jul 25 (3) Jul 24 (4) Jul 23 (4) Jul 22 (6) Jul 21 (2) Jul 20 (5) Jul 19 (2) Jul 18 (7) Jul 17 (2) Jul 16 (1) Jul 15 (4) Jul 14 (2) Jul 13 (4) Jul 12 (4) Jul 11 (3) Jul 10 (6) Jul 09 (9) Jul 08 (1) Jul 07 (4) Jul 06 (1) Jul 05 (7) Jul 04 (6) Jul 03 (2) Jul 02 (8) Jun 30 (5) Jun 29 (3) Jun 28 (1) Jun 27 (2) Jun 26 (4) Jun 25 (7) Jun 24 (5) Jun 23 (2) Jun 22 (2) Jun 21 (7) Jun 20 (8) Jun 19 (5) Jun 17 (1) Jun 16 (6) Jun 15 (9) Jun 14 (8) Jun 13 (5) Jun 12 (4) Jun 11 (8) Jun 10 (4) Jun 09 (4) Jun 08 (6) Jun 07 (3) Jun 06 (9) Jun 05 (2) Jun 04 (7) Jun 03 (7) Jun 02 (4) Jun 01 (1) May 31 (4) May 30 (2) May 29 (3) May 28 (4) May 27 (4) May 26 (1) May 25 (10) May 24 (3) May 23 (6) May 22 (5) May 21 (4) May 20 (6) May 19 (1) May 18 (5) May 17 (3) May 16 (7) May 15 (5) May 14 (4) May 13 (5) May 12 (2) May 11 (4) May 10 (8) May 09 (7) May 08 (6) May 07 (2) May 06 (4) May 05 (7) May 04 (4) May 03 (6) May 02 (3) May 01 (3) Apr 30 (5) Apr 29 (4) Apr 28 (4) Apr 27 (5) Apr 26 (3) Apr 25 (1) Apr 24 (5) Apr 23 (7) Apr 22 (2) Apr 21 (4) Apr 20 (8) Apr 19 (4) Apr 18 (9) Apr 16 (5) Apr 15 (4) Apr 14 (2) Apr 13 (4) Apr 12 (4) Apr 11 (7) Apr 10 (1) Apr 09 (1) Apr 08 (1) Apr 07 (7) Apr 06 (10) Apr 05 (8) Apr 04 (7) Apr 03 (6) Apr 02 (1) Apr 01 (3) Mar 31 (7) Mar 30 (6) Mar 29 (2) Mar 28 (4) Mar 27 (9) Mar 26 (8) Mar 24 (8) Mar 23 (4) Mar 22 (8) Mar 21 (6) Mar 20 (6) Mar 19 (5) Mar 18 (1) Mar 17 (11) Mar 16 (9) Mar 15 (7) Mar 14 (12) Mar 13 (9) Mar 12 (4) Mar 11 (2) Mar 10 (1) Mar 09 (5) Mar 08 (3) Mar 07 (10) Mar 06 (4) Mar 05 (2) Mar 04 (7) Mar 03 (8) Mar 02 (6) Mar 01 (1) Feb 28 (6) Feb 27 (4) Feb 26 (6) Feb 25 (5) Feb 24 (3) Feb 23 (5) Feb 22 (6) Feb 21 (5) Feb 20 (9) Feb 19 (1) Feb 18 (9) Feb 17 (8) Feb 16 (8) Feb 15 (8) Feb 14 (5) Feb 13 (8) Feb 12 (7) Feb 11 (3) Feb 10 (7) Feb 09 (5) Feb 08 (10) Feb 07 (13) Feb 06 (10) Feb 05 (7) Feb 04 (5) Feb 03 (8) Feb 02 (11) Feb 01 (14) Jan 31 (3) Jan 30 (9) Jan 29 (3) Jan 28 (6) Jan 27 (7) Jan 26 (9) Jan 25 (2) Jan 24 (10) Jan 23 (3) Jan 22 (9) Jan 21 (9) Jan 20 (5) Jan 19 (7) Jan 18 (15) Jan 17 (10) Jan 16 (2) Jan 15 (4) Jan 14 (6) Jan 13 (6) Jan 12 (6) Jan 11 (4) Jan 10 (10) Jan 09 (5) Jan 08 (4) Jan 07 (2) Jan 06 (6) Jan 05 (12) Jan 04 (6) Jan 03 (7) Jan 02 (9) Jan 01 (9) Dec 31 (5) Dec 30 (5) Dec 29 (7) Dec 28 (8) Dec 27 (10) Dec 26 (3) Dec 25 (8) Dec 24 (2) Dec 23 (7) Dec 22 (7) Dec 21 (10) Dec 20 (1) Dec 19 (3) Dec 18 (5) Dec 17 (4) Dec 16 (6) Dec 15 (2) Dec 14 (8) Dec 13 (11) Dec 12 (9) Dec 11 (10) Dec 10 (3) Dec 09 (7) Dec 08 (4) Dec 07 (6) Dec 06 (8) Dec 05 (8) Dec 04 (8) Dec 03 (5) Dec 02 (4) Dec 01 (4) Nov 30 (10) Nov 29 (1) Nov 28 (13) Nov 27 (3) Nov 26 (7) Nov 25 (7) Nov 24 (12) Nov 23 (6) Nov 22 (7) Nov 21 (3) Nov 20 (7) Nov 19 (9) Nov 18 (4) Nov 17 (3) Nov 16 (8) Nov 15 (4) Nov 14 (2) Nov 12 (8) Nov 11 (3) Nov 10 (7) Nov 09 (4) Nov 08 (10) Nov 07 (2) Nov 06 (2) Nov 05 (2) Nov 04 (8) Nov 03 (13) Nov 02 (1) Nov 01 (6) Oct 31 (10) Oct 30 (4) Oct 29 (8) Oct 28 (7) Oct 27 (11) Oct 26 (6) Oct 25 (4) Oct 24 (2) Oct 23 (5) Oct 22 (9) Oct 21 (7) Oct 19 (8) Oct 18 (6) Oct 17 (5) Oct 16 (4) Oct 15 (8) Oct 14 (10) Oct 13 (8) Oct 12 (3) Oct 11 (3) Oct 10 (8) Oct 09 (1) Oct 08 (5) Oct 07 (4) Oct 06 (5) Oct 05 (5) Oct 04 (6) Oct 03 (1) Oct 02 (12) Oct 01 (5) Sep 30 (2) Sep 29 (3) Sep 28 (10) Sep 27 (10) Sep 25 (2) Sep 24 (1) Sep 23 (6) Sep 22 (5) Sep 21 (9) Sep 20 (8) Sep 19 (2) Sep 18 (2) Sep 17 (6) Sep 16 (3) Sep 15 (4) Sep 14 (2) Sep 13 (9) Sep 12 (6) Sep 11 (1) Sep 10 (4) Sep 09 (7) Sep 08 (7) Sep 07 (10) Sep 06 (2) Sep 05 (3) Sep 04 (2) Sep 03 (4) Sep 02 (1) Sep 01 (7) Aug 31 (3) Aug 30 (7) Aug 29 (2) Aug 28 (4) Aug 27 (7) Aug 25 (6) Aug 24 (6) Aug 23 (5) Aug 22 (1) Aug 21 (4) Aug 20 (5) Aug 19 (4) Aug 18 (7) Aug 17 (3) Aug 16 (3) Aug 15 (6) Aug 14 (1) Aug 13 (4) Aug 12 (6) Aug 11 (3) Aug 10 (6) Aug 09 (6) Aug 08 (4) Aug 07 (4) Aug 06 (4) Aug 04 (7) Aug 03 (4) Aug 02 (13) Aug 01 (7) Jul 31 (6) Jul 30 (1) Jul 29 (9) Jul 28 (5) Jul 27 (7) Jul 26 (7) Jul 25 (11) Jul 23 (4) Jul 21 (5) Jul 20 (7) Jul 19 (10) Jul 18 (10) Jul 17 (5) Jul 16 (6) Jul 15 (5) Jul 14 (2) Jul 13 (7) Jul 12 (9) Jul 11 (13) Jul 10 (4) Jul 09 (7) Jul 08 (7) Jul 07 (1) Jul 06 (10) Jul 05 (3) Jul 04 (6) Jul 03 (5) Jul 02 (3) Jul 01 (5) Jun 30 (6) Jun 29 (9) Jun 28 (6) Jun 27 (9) Jun 26 (4) Jun 25 (4) Jun 24 (4) Jun 23 (12) Jun 22 (12) Jun 21 (5) Jun 20 (7) Jun 19 (5) Jun 18 (1) Jun 17 (12) Jun 16 (8) Jun 15 (4) Jun 14 (6) Jun 13 (7) Jun 12 (8) Jun 11 (3) Jun 10 (3) Jun 09 (8) Jun 08 (6) Jun 07 (9) Jun 06 (3) Jun 05 (4) Jun 04 (2) Jun 03 (10) Jun 02 (9) Jun 01 (2) May 31 (4) May 30 (10) May 29 (3) May 28 (9) May 27 (7) May 26 (10) May 25 (6) May 24 (3) May 23 (3) May 22 (6) May 21 (4) May 20 (8) May 19 (2) May 18 (6) May 17 (4) May 16 (7) May 15 (4) May 14 (5) May 13 (7) May 12 (8) May 11 (6) May 10 (16) May 09 (3) May 08 (3) May 07 (2) May 06 (7) May 05 (6) May 04 (3) May 03 (12) May 02 (7) May 01 (1) Apr 30 (5) Apr 29 (9) Apr 28 (5) Apr 27 (8) Apr 26 (7) Apr 25 (5) Apr 24 (5) Apr 23 (10) Apr 22 (7) Apr 21 (4) Apr 20 (3) Apr 19 (1) Apr 18 (9) Apr 17 (3) Apr 16 (4) Apr 15 (5) Apr 14 (13) Apr 13 (5) Apr 12 (9) Apr 11 (8) Apr 10 (3) Apr 09 (4) Apr 08 (12) Apr 07 (3) Apr 06 (7) Apr 05 (11) Apr 04 (7) Apr 03 (4) Apr 02 (6) Apr 01 (2) Mar 31 (8) Mar 30 (5) Mar 29 (3) Mar 28 (6) Mar 27 (6) Mar 26 (7) Mar 25 (9) Mar 24 (3) Mar 23 (8) Mar 22 (5) Mar 21 (11) Mar 20 (4) Mar 19 (3) Mar 18 (13) Mar 17 (2) Mar 16 (7) Mar 15 (10) Mar 14 (9) Mar 13 (8) Mar 11 (8) Mar 10 (6) Mar 09 (6) Mar 07 (2) Mar 04 (3) Mar 03 (6) Mar 02 (2) Mar 01 (4) Feb 29 (8) Feb 28 (3) Feb 27 (4) Feb 26 (2) Feb 25 (6) Feb 24 (8) Feb 23 (2) Feb 22 (7) Feb 21 (5) Feb 20 (2) Feb 18 (6) Feb 17 (6) Feb 16 (5) Feb 15 (2) Feb 14 (2) Feb 13 (3) Feb 12 (2) Feb 11 (6) Feb 10 (1) Feb 09 (3) Feb 08 (7) Feb 07 (3) Feb 06 (3) Feb 04 (5) Feb 03 (8) Feb 02 (6) Feb 01 (4) Jan 31 (1) Jan 30 (2) Jan 29 (1) Jan 28 (1) Jan 27 (4) Jan 26 (5) Jan 25 (5) Jan 24 (7) Jan 23 (6) Jan 22 (4) Jan 21 (4) Jan 20 (8) Jan 19 (5) Jan 18 (5) Jan 17 (9) Jan 16 (2) Jan 15 (8) Jan 14 (2) Jan 13 (8) Jan 12 (7) Jan 11 (9) Jan 10 (5) Jan 09 (2) Jan 08 (7) Jan 07 (5) Jan 06 (1) Jan 05 (3) Jan 04 (3) Jan 03 (8) Jan 01 (7) Dec 31 (4) Dec 30 (4) Dec 29 (4) Dec 28 (5) Dec 27 (4) Dec 26 (6) Dec 25 (3) Dec 24 (2) Dec 23 (2) Dec 22 (5) Dec 21 (9) Dec 20 (8) Dec 19 (2) Dec 18 (6) Dec 16 (6) Dec 15 (6) Dec 14 (6) Dec 13 (5) Dec 12 (6) Dec 11 (8) Dec 10 (5) Dec 09 (10) Dec 08 (9) Dec 07 (2) Dec 06 (3) Dec 05 (3) Dec 04 (5) Dec 03 (4) Dec 02 (5) Dec 01 (3) Nov 30 (5) Nov 29 (4) Nov 28 (2) Nov 27 (5) Nov 26 (5) Nov 25 (2) Nov 24 (4) Nov 23 (2) Nov 22 (5) Nov 21 (7) Nov 20 (7) Nov 19 (6) Nov 18 (7) Nov 17 (3) Nov 16 (14) Nov 15 (2) Nov 14 (1) Nov 13 (8) Nov 12 (3) Nov 11 (6) Nov 10 (8) Nov 09 (9) Nov 08 (3) Nov 07 (4) Nov 06 (6) Nov 05 (1) Nov 04 (9) Nov 03 (6) Nov 02 (6) Nov 01 (3) Oct 31 (4) Oct 30 (3) Oct 29 (7) Oct 28 (9) Oct 27 (5) Oct 26 (2) Oct 25 (3) Oct 24 (4) Oct 23 (8) Oct 22 (10) Oct 21 (8) Oct 20 (3) Oct 19 (1) Oct 18 (5) Oct 17 (4) Oct 16 (3) Oct 15 (10) Oct 14 (3) Oct 12 (2) Oct 11 (10) Oct 10 (8) Oct 09 (12) Oct 08 (10) Oct 07 (1) Oct 06 (14) Oct 05 (6) Oct 04 (7) Oct 03 (4) Oct 02 (6) Oct 01 (5) Sep 30 (6) Sep 29 (7) Sep 28 (10) Sep 27 (12) Sep 26 (2) Sep 25 (8) Sep 24 (9) Sep 23 (6) Sep 22 (10) Sep 21 (4) Sep 20 (4) Sep 19 (6) Sep 17 (8) Sep 16 (4) Sep 15 (4) Sep 14 (7) Sep 13 (8) Sep 12 (4) Sep 11 (7) Sep 10 (3) Sep 09 (3) Sep 08 (5) Sep 07 (1) Sep 06 (11) Sep 05 (3) Sep 04 (2) Sep 03 (6) Sep 02 (1) Sep 01 (8) Aug 31 (2) Aug 29 (4) Aug 28 (7) Aug 27 (6) Aug 26 (13) Aug 25 (10) Aug 24 (5) Aug 22 (1) Aug 21 (2) Aug 20 (6) Aug 19 (15) Aug 18 (3) Aug 17 (5) Aug 16 (6) Aug 15 (2) Aug 14 (9) Aug 12 (1) Aug 11 (2) Aug 10 (8) Aug 09 (4) Aug 07 (3) Aug 06 (3) Aug 04 (6) Aug 03 (8) Aug 02 (6) Aug 01 (5) Jul 31 (6) Jul 30 (3) Jul 28 (9) Jul 27 (6) Jul 26 (5) Jul 25 (5) Jul 24 (9) Jul 23 (7) Jul 22 (6) Jul 21 (11) Jul 20 (5) Jul 19 (6) Jul 18 (2) Jul 17 (6) Jul 16 (9) Jul 15 (2) Jul 14 (5) Jul 13 (8) Jul 12 (4) Jul 11 (8) Jul 10 (12) Jul 09 (7) Jul 08 (8) Jul 07 (6) Jul 06 (5) Jul 05 (4) Jul 04 (6) Jul 03 (3) Jul 02 (13) Jul 01 (7) Jun 30 (8) Jun 29 (2) Jun 28 (7) Jun 27 (7) Jun 25 (8) Jun 24 (1) Jun 23 (4) Jun 22 (7) Jun 21 (4) Jun 20 (4) Jun 19 (6) Jun 17 (5) Jun 16 (2) Jun 15 (3) Jun 14 (3) Jun 13 (6) Jun 12 (7) Jun 11 (2) Jun 10 (5) Jun 09 (4) Jun 08 (5) Jun 06 (2) Jun 05 (7) Jun 04 (11) Jun 03 (1) Jun 02 (5) Jun 01 (8) May 31 (8) May 27 (5) May 26 (4) May 25 (8) May 24 (8) May 23 (5) May 22 (6) May 21 (1) May 20 (9) May 19 (2) May 18 (5) May 17 (3) May 16 (2) May 15 (7) May 14 (6) May 13 (4) May 12 (2) May 11 (5) May 09 (2) May 08 (5) May 07 (6) May 06 (3) May 05 (8) May 04 (1) May 03 (9) May 01 (4) Apr 30 (3) Apr 29 (3) Apr 28 (7) Apr 27 (6) Apr 26 (5) Apr 25 (1) Apr 24 (2) Apr 23 (5) Apr 21 (3) Apr 20 (3) Apr 19 (3) Apr 17 (8) Apr 16 (2) Apr 15 (3) Apr 14 (2) Apr 13 (3) Apr 12 (7) Apr 10 (2) Apr 09 (4) Apr 08 (4) Apr 07 (6) Apr 06 (5) Apr 05 (4) Apr 04 (5) Apr 03 (1) Apr 02 (1) Apr 01 (2) Mar 31 (4) Mar 30 (3) Mar 27 (3) Mar 26 (2) Mar 25 (7) Mar 24 (3) Mar 23 (2) Mar 21 (6) Mar 20 (3) Mar 19 (6) Mar 18 (5) Mar 17 (3) Mar 16 (4) Mar 15 (5) Mar 14 (1) Mar 13 (3) Mar 12 (1) Mar 11 (4) Mar 10 (5) Mar 09 (5) Mar 08 (3) Mar 07 (1) Mar 06 (2) Mar 05 (9) Mar 04 (5) Mar 03 (5) Mar 02 (6) Mar 01 (5) Feb 28 (5) Feb 27 (3) Feb 26 (4) Feb 25 (7) Feb 24 (1) Feb 23 (4) Feb 22 (2) Feb 21 (3) Feb 20 (7) Feb 19 (5) Feb 18 (3) Feb 17 (6) Feb 16 (4) Feb 15 (4) Feb 14 (1) Feb 13 (6) Feb 12 (3) Feb 11 (4) Feb 10 (7) Feb 09 (4) Feb 08 (8) Feb 06 (6) Feb 05 (6) Feb 04 (2) Feb 03 (1) Feb 02 (2) Feb 01 (7) Jan 31 (3) Jan 30 (3) Jan 29 (5) Jan 28 (4) Jan 27 (10) Jan 26 (3) Jan 25 (4) Jan 24 (1) Jan 23 (2) Jan 22 (4) Jan 21 (3) Jan 20 (4) Jan 19 (4) Jan 18 (5) Jan 16 (7) Jan 15 (3) Jan 14 (6) Jan 13 (3) Jan 12 (4) Jan 11 (9) Jan 10 (4) Jan 09 (9) Jan 08 (3) Jan 07 (1) Jan 06 (5) Jan 05 (2) Jan 04 (5) Jan 03 (1) Jan 02 (4) Jan 01 (4) Dec 31 (2) Dec 30 (5) Dec 28 (4) Dec 27 (1) Dec 25 (5) Dec 24 (2) Dec 23 (5) Dec 22 (2) Dec 21 (3) Dec 20 (6) Dec 19 (10) Dec 18 (4) Dec 17 (4) Dec 16 (3) Dec 15 (7) Dec 14 (5) Dec 13 (7) Dec 12 (4) Dec 11 (3) Dec 10 (3) Dec 09 (6) Dec 08 (4) Dec 07 (7) Dec 06 (1) Dec 05 (9) Dec 04 (2) Dec 03 (5) Dec 02 (5) Dec 01 (14) Nov 30 (6) Nov 29 (7) Nov 28 (7) Nov 27 (10) Nov 26 (14) Nov 25 (9) Nov 24 (2) Nov 23 (9) Nov 22 (4) Nov 21 (8) Nov 20 (13) Nov 19 (19) Nov 18 (3) Nov 17 (6) Nov 16 (4) Nov 15 (5) Nov 14 (7) Nov 13 (3) Nov 12 (4) Nov 11 (9) Nov 10 (4) Nov 09 (6) Nov 08 (2) Nov 07 (9) Nov 06 (6) Nov 05 (6) Nov 04 (3) Nov 03 (6) Nov 02 (3) Nov 01 (8) Oct 31 (3) Oct 30 (7) Oct 29 (3) Oct 28 (1) Oct 27 (7) Oct 26 (4) Oct 25 (5) Oct 24 (1) Oct 23 (2) Oct 22 (9) Oct 21 (3) Oct 20 (6) Oct 19 (2) Oct 18 (10) Oct 17 (9) Oct 16 (9) Oct 15 (2) Oct 14 (5) Oct 13 (4) Oct 12 (5) Oct 11 (4) Oct 10 (13) Oct 09 (7) Oct 08 (5) Oct 07 (5) Oct 06 (6) Oct 05 (7) Oct 04 (1) Oct 03 (6) Oct 02 (9) Oct 01 (11) Sep 30 (4) Sep 29 (12) Sep 28 (7) Sep 27 (13) Sep 26 (3) Sep 25 (6) Sep 24 (13) Sep 23 (18) Sep 22 (6) Sep 21 (4) Sep 20 (2) Sep 19 (13) Sep 18 (7) Sep 17 (9) Sep 16 (7) Sep 15 (4) Sep 14 (3) Sep 13 (11) Sep 12 (11) Sep 11 (5) Sep 10 (5) Sep 09 (7) Sep 08 (5) Sep 07 (6) Sep 06 (5) Sep 05 (2) Sep 02 (2) Sep 01 (4) Aug 31 (6) Aug 30 (9) Aug 29 (6) Aug 28 (9) Aug 27 (6) Aug 26 (3) Aug 25 (11) Aug 24 (3) Aug 23 (5) Aug 22 (6) Aug 21 (5) Aug 20 (6) Aug 19 (7) Aug 18 (4) Aug 17 (10) Aug 16 (9) Aug 15 (10) Aug 14 (10) Aug 13 (11) Aug 12 (6) Aug 11 (8) Aug 10 (6) Aug 09 (4) Aug 08 (7) Aug 07 (4) Aug 06 (9) Aug 05 (4) Aug 04 (8) Aug 03 (7) Aug 02 (7) Aug 01 (7) Jul 31 (6) Jul 30 (12) Jul 29 (7) Jul 28 (7) Jul 27 (2) Jul 26 (5) Jul 25 (4) Jul 24 (9) Jul 23 (11) Jul 22 (7) Jul 21 (4) Jul 20 (5) Jul 19 (1) Jul 18 (7) Jul 17 (5) Jul 16 (12) Jul 15 (3) Jul 14 (7) Jul 13 (6) Jul 12 (1) Jul 10 (7) Jul 09 (5) Jul 08 (3) Jul 07 (10) Jul 06 (7) Jul 05 (5) Jul 04 (6) Jul 03 (9) Jul 02 (8) Jul 01 (3) Jun 30 (1) Jun 29 (3) Jun 28 (1) Jun 27 (8) Jun 26 (3) Jun 25 (5) Jun 24 (3) Jun 23 (5) Jun 22 (2) Jun 21 (6) Jun 19 (2) Jun 18 (5) Jun 17 (1) Jun 16 (2) Jun 14 (1) Jun 12 (2) Jun 11 (2) Jun 10 (4) Jun 09 (4) Jun 07 (3) Jun 06 (1) Jun 05 (3) Jun 03 (3) Jun 02 (4) Jun 01 (1) May 31 (5) May 30 (1) May 28 (2) May 27 (2) May 26 (8) May 25 (7) May 23 (1) May 22 (3) May 21 (3) May 20 (3) May 19 (3) May 18 (5) May 16 (3) May 15 (2) May 14 (4) May 12 (2) May 10 (9) May 09 (1) May 08 (7) May 07 (5) May 06 (6) May 05 (2) May 04 (4) May 03 (1) May 02 (4) May 01 (1) Apr 30 (5) Apr 29 (5) Apr 28 (4) Apr 27 (2) Apr 26 (1) Apr 25 (1) Apr 23 (2) Apr 22 (8) Apr 20 (5) Apr 19 (4) Apr 18 (4) Apr 16 (4) Apr 15 (4) Apr 14 (9) Apr 13 (2) Apr 11 (1) Apr 09 (4) Apr 08 (1) Apr 07 (5) Apr 06 (13) Apr 05 (8) Apr 04 (4) Apr 03 (1) Apr 02 (5) Apr 01 (4) Mar 31 (2) Mar 30 (1) Mar 28 (3) Mar 27 (7) Mar 25 (5) Mar 24 (4) Mar 23 (4) Mar 22 (4) Mar 21 (5) Mar 20 (4) Mar 19 (4) Mar 18 (3) Mar 17 (7) Mar 16 (4) Mar 15 (4) Mar 14 (5) Mar 13 (4) Mar 12 (2) Mar 11 (6) Mar 10 (4) Mar 09 (3) Mar 08 (2) Mar 06 (2) Mar 05 (5) Mar 04 (1) Mar 03 (4) Mar 02 (4) Mar 01 (3) Feb 28 (7) Feb 27 (2) Feb 25 (3) Feb 24 (3) Feb 23 (4) Feb 22 (3) Feb 21 (3) Feb 20 (2) Feb 19 (6) Feb 18 (6) Feb 17 (1) Feb 16 (9) Feb 14 (6) Feb 13 (5) Feb 12 (3) Feb 11 (2) Feb 10 (2) Feb 09 (4) Feb 08 (1) Feb 07 (4) Feb 06 (2) Feb 05 (4) Feb 04 (2) Feb 03 (5) Feb 02 (1) Feb 01 (4) Jan 31 (5) Jan 30 (1) Jan 29 (4) Jan 28 (6) Jan 27 (1) Jan 26 (1) Jan 25 (5) Jan 24 (8) Jan 23 (2) Jan 21 (4) Jan 20 (3) Jan 19 (8) Jan 17 (1) Jan 16 (4) Jan 15 (1) Jan 14 (7) Jan 12 (5) Jan 11 (3) Jan 10 (5) Jan 09 (2) Jan 08 (3) Jan 07 (7) Jan 06 (1) Jan 05 (2) Jan 04 (3) Jan 03 (9) Jan 02 (6) Jan 01 (3) Dec 31 (3) Dec 30 (5) Dec 29 (7) Dec 28 (3) Dec 27 (5) Dec 26 (3) Dec 25 (4) Dec 24 (2) Dec 23 (7) Dec 22 (11) Dec 21 (5) Dec 20 (2) Dec 19 (9) Dec 18 (7) Dec 17 (10) Dec 16 (6) Dec 15 (6) Dec 14 (4) Dec 13 (8) Dec 12 (5) Dec 11 (8) Dec 10 (3) Dec 09 (1) Dec 08 (6) Dec 07 (5) Dec 06 (3) Dec 05 (6) Dec 04 (8) Dec 03 (3) Dec 02 (6) Dec 01 (5) Nov 30 (1) Nov 29 (4) Nov 28 (6) Nov 27 (7) Nov 26 (7) Nov 25 (6) Nov 24 (4) Nov 23 (1) Nov 22 (6) Nov 21 (3) Nov 20 (9) Nov 19 (5) Nov 18 (7) Nov 17 (4) Nov 15 (6) Nov 14 (3) Nov 13 (7) Nov 12 (7) Nov 11 (3) Nov 10 (15) Nov 08 (6) Nov 07 (11) Nov 06 (1) Nov 05 (4) Nov 04 (4) Nov 03 (4) Nov 02 (5) Nov 01 (8) Oct 31 (10) Oct 30 (8) Oct 29 (8) Oct 28 (6) Oct 27 (8) Oct 26 (1) Oct 25 (6) Oct 24 (9) Oct 23 (2) Oct 22 (6) Oct 21 (3) Oct 20 (5) Oct 19 (3) Oct 18 (17) Oct 17 (5) Oct 16 (8) Oct 15 (10) Oct 14 (5) Oct 13 (8) Oct 12 (3) Oct 11 (7) Oct 10 (14) Oct 09 (7) Oct 08 (5) Oct 07 (8) Oct 06 (11) Oct 05 (3) Oct 04 (9) Oct 02 (4) Oct 01 (4) Sep 30 (5) Sep 29 (10) Sep 28 (5) Sep 27 (11) Sep 26 (12) Sep 25 (5) Sep 24 (7) Sep 23 (14) Sep 22 (7) Sep 21 (5) Sep 20 (10) Sep 19 (1) Sep 18 (7) Sep 17 (9) Sep 16 (10) Sep 15 (1) Sep 14 (3) Sep 13 (7) Sep 12 (7) Sep 11 (3) Sep 10 (7) Sep 09 (4) Sep 08 (6) Sep 07 (9) Sep 06 (10) Sep 05 (5) Sep 04 (1) Sep 03 (5) Sep 02 (5) Sep 01 (6) Aug 31 (5) Aug 30 (9) Aug 29 (8) Aug 28 (7) Aug 27 (4) Aug 26 (6) Aug 25 (8) Aug 24 (9) Aug 23 (15) Aug 22 (12) Aug 21 (4) Aug 20 (8) Aug 19 (8) Aug 18 (8) Aug 17 (2) Aug 16 (6) Aug 15 (7) Aug 14 (10) Aug 13 (5) Aug 12 (13) Aug 11 (3) Aug 10 (6) Aug 09 (3) Aug 08 (6) Aug 07 (3) Aug 06 (7) Aug 05 (7) Aug 04 (10) Aug 03 (8) Aug 02 (9) Aug 01 (10) Jul 31 (8) Jul 30 (7) Jul 29 (4) Jul 28 (12) Jul 27 (5) Jul 26 (7) Jul 25 (10) Jul 24 (5) Jul 23 (9) Jul 22 (5) Jul 21 (12) Jul 20 (5) Jul 19 (19) Jul 18 (5) Jul 17 (7) Jul 16 (7) Jul 15 (8) Jul 14 (3) Jul 13 (4) Jul 12 (12) Jul 11 (4) Jul 10 (8) Jul 09 (3) Jul 08 (9) Jul 07 (13) Jul 06 (4) Jul 05 (2) Jul 04 (3) Jul 03 (5) Jul 02 (7) Jul 01 (6) Jun 30 (9) Jun 28 (11) Jun 27 (14) Jun 26 (10) Jun 25 (5) Jun 24 (12) Jun 23 (3) Jun 22 (8) Jun 21 (15) Jun 20 (6) Jun 19 (13) Jun 18 (9) Jun 17 (13) Jun 16 (8) Jun 15 (3) Jun 14 (8) Jun 13 (5) Jun 12 (3) Jun 11 (10) Jun 10 (5) Jun 09 (5) Jun 08 (5) Jun 07 (6) Jun 06 (20) Jun 05 (10) Jun 04 (6) Jun 03 (6) Jun 02 (11) Jun 01 (8) May 31 (11) May 30 (6) May 29 (9) May 28 (9) May 27 (10) May 26 (6) May 25 (4) May 24 (4) May 23 (13) May 22 (17) May 21 (4) May 20 (16) May 19 (5) May 18 (3) May 17 (7) May 16 (13) May 15 (11) May 14 (8) May 13 (10) May 12 (2) May 11 (7) May 10 (6) May 09 (10) May 08 (6) May 07 (9) May 06 (3) May 05 (12) May 04 (6) May 03 (5) May 02 (8) May 01 (2) Apr 30 (8) Apr 29 (3) Apr 28 (4) Apr 27 (8) Apr 26 (13) Apr 25 (5) Apr 24 (3) Apr 23 (7) Apr 22 (7) Apr 21 (2) Apr 20 (9) Apr 19 (9) Apr 18 (6) Apr 17 (13) Apr 16 (3) Apr 15 (9) Apr 14 (10) Apr 13 (4) Apr 11 (7) Apr 10 (7) Apr 09 (13) Apr 08 (1) Apr 07 (13) Apr 06 (3) Apr 05 (9) Apr 04 (8) Apr 03 (15) Apr 02 (12) Apr 01 (2) Mar 31 (6) Mar 30 (2) Mar 29 (4) Mar 28 (1) Mar 27 (10) Mar 26 (12) Mar 25 (6) Mar 24 (3) Mar 23 (2) Mar 22 (2) Mar 21 (8) Mar 20 (11) Mar 19 (10) Mar 17 (11) Mar 16 (8) Mar 15 (9) Mar 14 (5) Mar 13 (5) Mar 12 (11) Mar 11 (5) Mar 10 (8) Mar 09 (4) Mar 08 (8) Mar 07 (5) Mar 06 (6) Mar 05 (11) Mar 03 (6) Mar 02 (8) Mar 01 (8) Feb 28 (7) Feb 27 (6) Feb 26 (10) Feb 25 (7) Feb 24 (18) Feb 23 (1) Feb 22 (7) Feb 21 (8) Feb 20 (12) Feb 19 (14) Feb 18 (3) Feb 17 (3) Feb 16 (7) Feb 15 (10) Feb 14 (2) Feb 13 (5) Feb 12 (7) Feb 11 (9) Feb 10 (7) Feb 09 (3) Feb 08 (15) Feb 07 (6) Feb 06 (4) Feb 05 (6) Feb 04 (3) Feb 03 (6) Feb 02 (3) Feb 01 (7) Jan 31 (7) Jan 30 (5) Jan 29 (10) Jan 28 (3) Jan 27 (13) Jan 26 (5) Jan 25 (13) Jan 24 (1) Jan 23 (14) Jan 21 (2) Jan 20 (12) Jan 19 (13) Jan 18 (1) Jan 17 (10) Jan 16 (6) Jan 15 (6) Jan 14 (1) Jan 13 (6) Jan 12 (6) Jan 11 (9) Jan 10 (11) Jan 09 (7) Jan 08 (5) Jan 07 (6) Jan 06 (6) Jan 05 (4) Jan 04 (12) Jan 03 (3) Jan 02 (10) Jan 01 (15) Dec 31 (9) Dec 30 (9) Dec 29 (7) Dec 28 (7) Dec 26 (2) Dec 25 (3) Dec 24 (8) Dec 23 (10) Dec 22 (4) Dec 21 (4) Dec 20 (10) Dec 19 (13) Dec 18 (5) Dec 17 (2) Dec 16 (10) Dec 15 (10) Dec 14 (2) Dec 13 (4) Dec 12 (7) Dec 11 (8) Dec 10 (7) Dec 09 (5) Dec 08 (1) Dec 06 (1) Dec 04 (1) Dec 03 (1) Oct 23 (1) HAYE TENA, AUMIA MAZOEZINI PAMBANO LAKE NA BELLEW LAAHIRISHWA IGP SIRRO AKUTANA NA BALOZI WA CHINA NCHINI ASASI ZA KIRAIA ZAIOMBA SERIKALI KUBORESHA SHERIA ZA USALAMA BARABARANI ASASI ZA KIRAIA ZAIOMBA SERIKALI KUBORESHA SHERIA YA USALAMA BARABARANI YA 1973 SHAMTE NA WENZAKE WAPANDISHWA KIZIMBANI WASOMEWA MASHITAKA SITA LIKIWEMO LA UTAKATISHAJI Wakenya Watamba Kilimanjaro International Airport Maratahon 2017 TUNAJENGA
2017-11-21T02:37:45
http://francisdande.blogspot.com/2017/10/ligi-kuu-bara-ushindani-kila-kona.html
[ -1 ]
NAPE NNAUYE AELEZA ALICHOAMBIWA NA TUNDU LISSU WAKITOKA BUNGENI JANA - KIJUKUU CHA BIBI K | Habari na Matukio Uncategories NAPE NNAUYE AELEZA ALICHOAMBIWA NA TUNDU LISSU WAKITOKA BUNGENI JANA NAPE NNAUYE AELEZA ALICHOAMBIWA NA TUNDU LISSU WAKITOKA BUNGENI JANA Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye ameeleza alichoambiwa na Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu jana Alhamisi mchana wakati wakitoka bungeni huku wakicheka. Nape amesema Lissu alimwambia, “Wewe Nape ni mjomba wangu, kwa nini unabaki CCM? Mimi na wewe tunafuatiliwa na jamaa zako wakitumia gari moja. Mimi na wewe ni watuhumiwa, hama CCM mjomba.” Lissu alipigwa risasi jana Alhamisi mchana na kupelekwa chumba cha upasuaji katika Hospitali ya Rufaa ya Dodoma na baadaye usiku alihamishiwa Hospitali ya Aga Khan ya Nairobi nchini Kenya. Ndege iliyomsafirisha iliondoka katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma saa sita na robo usiku.
2018-03-21T23:57:00
http://www.kijukuu.com/2017/09/nape-nnauye-aeleza-alichoambiwa-na.html
[ -1 ]
Sasa utaweza kutumia Extension kama ilivyo kwenye Google Chrome Januari 16, 2020, 2:46 um -1 Votes Baada ya kuwa kwenye majaribio kwa muda mrefu hatimaye hivi leo kampuni ya Microsoft imetangaza ujio wa kivinjari kipya cha Microsoft Edge. Kivinjari hicho ambacho sasa kinakuja na muonekano mpya pamoja na logo mpya kime tengenezwa juu ya mfumo wa Google maarufu kama Chromium, mfumo ambao pia hutumika kutengeneza kivinjari cha Google Chrome. Kama unavyoweza kuona hapo juu, logo ya kivinjari hicho sasa imebadilika kabisa kutoka logo ya zamani (upande wa kushoto) kuja kwenye logo mpya (upande wa kulia). Mbali na logo, mfumo mzima wa kivinjari cha Microsoft Edge umebadilika kabisa na utaweza kutumia mfumo huu kama unavyotumia kivinjari cha Chrome. Utaweza kuinstall Extension kama vile IDM na Extension nyingine nyingi ambazo zinafanya kazi kwenye kivinjari cha chrome, mbali na hayo pia utaweza kuingia kwa kutumia akaunti yako ya Google na kuhamisha data za kivinjari chako cha Chrome kwenda kwenye kivinjari hicho kipya cha Microsoft Edge. Kwa sasa tayari unaweza kupakua Kivinjari hiki kwenye kompyuta yako ya Windows na MacOS ambapo kwenye Windows kivinjari hiki kita kuwepo badala ya kivinjari cha zamani ambacho kipo kwenye kompyuta nyingi zenye mfumo wa Windows 10. Unaweza kupakua kivinjari hichi Hapa kama unatumia mfumo wa Windows na Hapa kama unatumia mfumo wa MacOS. Kwa watumiaji wa Android unaweza pia kupakua kivinjari hichi kipya kupitia soko la Play Store kwa kutumia link hapo chini. Kwa watumiaji wa Windows 7, Kivinjari hiki pia kinaonekana kufanya kazi kwenye mfumo huo japo kuwa mfumo huo ulisitishwa na Microsoft siku kadhaa zilizopita. Makala iliyopita Kampuni ya TECNO Yaimarisha Ushirikiano wake na Google (2020) Makala inayofuata Facebook Yasitisha kwa Muda Kuweka Matangazo WhatsApp
2020-08-09T18:24:40
https://tanzaniatech.one/2020/01/kivinjari-kipya-cha-microsoft-edge/
[ -1 ]
Ukurasa Wa Kwanza > Mama Mshirikina Anataka Twende Kwake Baada ya Kuaga Dunia Baba Yetu Wazazi Wangu Wako Kwenye Maasi,Ushirikina Wa Waganga Na Albadiri (Ahlul-Badr) [2] Inafaa Kukata Undugu Na Dada Anayefanya Ushirikina Na Kupenda Starehe Za Dunia? [3] Source URL: http://www.alhidaaya.com/sw/node/4861 [2] http://www.alhidaaya.com/sw/node/439 [3] http://www.alhidaaya.com/sw/node/4190 [4] https://www.addtoany.com/share#url=http%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F4861&amp;title=Mama%20Mshirikina%20Anataka%20Twende%20Kwake%20Baada%20ya%20Kuaga%20Dunia%20Baba%20Yetu
2020-07-14T00:33:37
http://www.alhidaaya.com/sw/print/4861
[ -1 ]
Serikali yawasilisha bungeni mkataba wa Kimataifa wa Mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi - Mtazamo News-Habari Bila Mipaka Home HABARI Serikali yawasilisha bungeni mkataba wa Kimataifa wa Mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi Serikali yawasilisha bungeni mkataba wa Kimataifa wa Mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi Serikali imewasilisha Mkataba wa Kimataifa wa Mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki kati ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Muungano. Akiwasilisha Mkataba huo kwa niaba ya Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Harrison Mwakyembe amesema kuwa Tanzania na Uganda ni wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ambayo malengo yake ni pamoja na kuimarisha ushirikiano kati ya nchi wanachama kwenye maeneo ya kisiasa, kiuchumi, kijamii kiteknolojia , utafiti, ulinzi na masuala ya Kisheria. Dkt. mwakyembe amesema kuwa Serikali ya Uganda kupitia kampuni za Kimataifa za TOTAL, TULLOW NA CNOOC iligundua uwepo wa mafuta ghafi takribani mapipa bilioni 6.5 katika eneo la Albertine nchini Uganda. " Kufuatia ugunduzi huo, Serikali ya Uganda ilianza kutafuta njia ya kusafirisha mafuta hayo kwenda kwenye soko la kimataifa ambapo iliaanisha njia takribani tatu ikiwemo ile ya kutoka Hoima nchini Uganda hadi bandari ya Tanga nchini Tanzania" amesema Dkt. mwakyembe. Aidha Dkt. mwakyembe amebainisha baadhi ya faida zitokanazo na Mkataba huo ikiwemo kuongezeka kwa mapato ya Serikali kutokana na Kodi ya zuio na Kodi ya Mapato ya Kampuni zitakazotozwa wakati wa ujenzi na uendeshaji wa Mradi. Vilevile amesema kuwa Serikali ya Tanzania itanufaika katika kuongezeka kwa mapato ya Serikali kwa takribani Dola za Marekani 12.2 kwa kila pipa la mafuta ghafi litakalosafirishwa kupitia Bandari ya Tanga kulingana na kiwango cha Hisa za Serikali ya Tanzania. " kuimarika kwa mahusiano ya kidiplomasia, ulinzi na usalama kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Uganda pamoja na nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa ujumla sambamba na kuimarika kwa huduma mbalimbali katika bandari ya Tanga kutokana na shughuli za Mradi na miundombinu itakayojengwa" aliongeza Dkt. Mwakyembe Pia ongezo kwa fursa za ajira kwa Watanzania ambapo takribani watanzania 10, 000 wataajiriwa wakati wa ujenzi na ajira zipatazo 1,000 wakati wa uendeshaji, Amesema Dkt. Mwakyembe. Kwa upande wake Deogratius Ngalawa akimuwakilisha Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ameishauri Serikali kuhakikisha inasimamia utekelezaji wa mkataba huo kwa kuzingatia mustakabali wa manufaa ya kiuchumi kwa Taifa. " Napenda kutoa pongezi za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kwa juhudi zake na umahiri aliouonesha katika kuhakikisha Tanzania inapata fursa ya mradi huu mkubwa wa ujenzi wa bomba la kusafirisha mafuta ghafi kutoka Hoima, Uganda hadi Tanga, Tanzania" Amesema Ngalawa. Akiongea kwa niaba ya Msemaji Mkuu kambi Rasmi ya Upinzani Wizara ya Nishati na Madini Mhe. Devota Minja amesema kuwa bomba hilo la kusafirisha mafuta ilikuwa na kazi iliyohusu zaidi ushawishi mpana kwani kulikuwa na ushindani mkubwa utoka kwa nchi jirani.
2018-01-23T17:33:02
http://www.mtazamonews.com/2017/09/serikali-yawasilisha-bungeni-mkataba-wa.html
[ -1 ]
RC GAMBO:MTUMISHI ALIYECHUKUA PESA ZAIDI(YA MWANANCHI) YA KUUNGANISHA UMEME AIREJESHE HARAKA - The Choice Home News RC GAMBO:MTUMISHI ALIYECHUKUA PESA ZAIDI(YA MWANANCHI) YA KUUNGANISHA UMEME AIREJESHE HARAKA Na Vero Ignatus, Karatu MKUU wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo amemwagiza Meneja wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco)Wilaya ya Karatu, Edward Mwakapaju kuhakikisha mtumishi wa shirika hilo aliyechukua pesa kiasi cha Sh. 70,000/= kwa mmoja kati ya mwananchi wa eneo la Mang’ola badala ya Sh. 27,000/= za kuunganishiwa umeme wa REA kuzirudisha mara moja. Gambo amesema kuwa haridhishwi na kasi ya usambazwaji umeme unaofanywa na Kampuni ya NIPO Group Ltd kwenye vijiji na vitongoji mbalimbali vya wilaya hiyo na kumpa agizo Meneja wa Tanesco Mkoa wa Arusha, Henry Mhina kuhakikisha anachukua hatua ili wananchi waweza kuunganishiwa umeme. RC Gambo aliyasema hayo katika ziara yake ya siku tatu kwaajili ya kukagua miradi ya umeme wa Vijijini ( REA) miradi ya maji na barabara inayosimamiwa na Wakala wa Barabara Mijini na Vijijini (TARURA). Alisema mtumishi huyo wa Tanesco (jina hakumtaja) alichukua fedha kwa mwananchi wa Man’gola kiasi cha Sh. 70,000 ili amuunganishie umeme wa REA ilihali akijua kuwa gharama ya kuunganisha umeme huo ni Sh. 27,000/= huku wananchi wengine wa vijiji vya Tloma na Ganako wakitozwa Sh. 177,000/= badala ya Sh. 27,000/=. Alisema ingawa mtumishi huyo wa Tanesco amefukuzwa kazi lakini hela alizochukua Sh. 70,000/= kutoka kwa mwananchi huyo haijarudishwa hivyo ni vyema sasa hela hizo zikarudishwa kwa mwananchi huyo mara moja huku akiziagiza vyombo vya ulinzi na usalama kushughulikia tatizo hilo mara moja. Pia alimwagiza Meneja wa Tanesco Mkoa wa Arusha, Mhina kuhakikisha anakaa na watendaji wa NIPO Group Ltd kuhakikisha wanakaa kwa pamoja ili kutatua changamoto za msambazaji wa umeme wa kampuni ya Lesheya Investment Ltd aliyeingia mkataba na kampuni ya NIPO Group Ltd kwaajili ya kusambaza nguzo hadi eneo husika ili kufunga umeme kwa wananchi. “Nataka huyu mtumishi wa Tanesco arejeshe hela ya huyu mwananchi mara moja na pia lazima hatua zichukuliwe kwa hao wanaowachukulia wananchi kiasi kikubwa cha kuwaunganishia umeme wananchi huko vijijini pia siridhishwi na kasi ya usambazwaji umeme unaofanywa na kampuni ya NIPO Group Ltd na naomba hii kampuni kama mnaona wakala anawakwamisha chukueni hatua ” Alisema Gambo. Awali Mkuu wa Wilaya ya Karatu, Bi. Theresia Mahongo alisema kuwa suala la mwananchi huyo kuchukuliwa kiasi cha Sh. 70,000/= ni la kweli na lipo mezani kwake hivyo vyombo vya ulinzi na usalama vinalishughulikia suala hilo. Awali Mhandisi wa kampuni ya NIPO Group Ltd, Hussein Said alisema kuwa kampuni hiyo inaendelea na kazi katika wilaya hiyo pamoja na vijiji mbalimbali lakini changamoto kubwa ni mahitaji ya nguzo ambapo hadi sasa mahitaji ya nguzo hizo ni makubwa kuliko usambazwaji wa umeme wanaofanya kwani mahitaji ya nguzo kubwa ni 1,661 hadi sasa nguzo zilizopo ni 795 huku nguzo ndogo zikiwa zimekuja 257. Pia wana changamoto kubwa ya usambazwaji wa Transfoma zilizopo ni 21 badala ya 70 kutoka Kiwanda cha kutengeneza Transfoma cha Tanelec huku akisisitiza kuwa endapo watasanbaziwa vifaa hivyo ikiwemo nguzo na transfoma kwa wakati wataweza kusambaza umeme kwa kasi. Awali wananchi wa kijiji cha Kibaoni na Kilimamoja akiwemo Yusuph Said na Elizabeth Sabaha waliomba kero hiyo ya maji kushughulikia mara moja kwani hivi sasa badala ya wananchi hao kulipia Shilingi 20 kwa ndoo moja ya maji ya kijiji wao wanalipa Sh. 100 kwa ndoo moja. Gambo anaendelea na ziara yake ya siku tatu katika wilaya za Karatu na Ngorongoro ambapo anakagua maendeleo ya miradi ya barabara na maji katika wilaya hizo. Pichani ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha na Mkuu wa Wilaya ya Karatu Bi Theresia Mahongo wakipata maelezo kutoka kwa wahandisi wa TARURA wilaya ya Karatu juu ya maendeleo ya ujenzi wa daraja la Getamong wilayani humo. Picha na Vero Ignatus Meneja wa TANESCO Wilaya ya Karatu Edward Mwakapaju akitoa maelezo kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo juu ya hali ya utekelezwaji wa mradi wa umeme vijijini REA wilayani humo.Picha na Vero Ignatus Wananchi wa eneo la Kilimamoja wilayani Karatu wakiwa katika mkutano wa hadhara kutoa kero zao kwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo. Picha na Vero Ignatus. Previous articleMAJAJI NA MAHAKIMU WAKUMBUSHWA KUTOA ADHABU ZINAZOIREKEBISHA JAMII Next articleAUDIO | Ibrah Nation – Nieleze | Download
2019-02-19T21:38:04
http://thechoicetz.com/rc-gambomtumishi-aliyechukua-pesa-zaidiya-mwananchi-ya-kuunganisha-umeme-airejeshe-haraka/
[ -1 ]
Viwanjani (nini kimejiri leo Maximo?): October 2009 Kikosi kamili cha timu ya Soka ya Simba, wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom na Yanga, Dar es Salaam. Klabu ya Simba imefanikiwa kuibuka na ushindi wa goli 1 - 0 dhidi ya Yanga katika mchezo wa ligi kuu TAnzania bara uliyochezwa leo katika uwanja mpya wa Taifa, Dar es Salaam. Kocha Patrick Phiri akishangilia (kushoto) Mwina Seif Kaduguda katibu mkuu wa Simba (katikati) na Mwenyekiti wa klabu ya Simba Hassan Dalali (kulia) Goli la dhahabu lilifungwa na mchezo Mussa Hassan Mgosi katika dakika ya 26 kipindi cha kwanza akiunganisha mpira wa krosi uliyopigwa na Dani Mrwanda. Ambani Mshambuliaji wa Yanga Boniface Ambani akichuana na na Joseph Owino, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom, uliochezwa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Simba ilishinda 1-0. Mwenyekiti wa Yanga Iman Madega, akipita mbele ya mashabiki wa timu yake kuhamasisha ushindi, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom kati ya timu yake na Simba, Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Simba ilishinda 1-0. Mshambuliaji wa Yanga Jerison Tegete akiwa ameketi chini ya Uwanja wa Taifa Dar es Salaam baada ya timu yake kufungwa bao 1-0 na Simba wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Kikosi kamili cha timu ya Soka ya Yanga kilichofungwa bao 1-0 na Simba Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Posted by Amri Massare (Maximo) at 10:45 AM Hadi Simba na Yanga zinapambana hapo kesho Takwimu zinaonesha kuwa lango la Timu ya Simba limeguswa mara 3 tu katika mechi walizoshinda. Waliifunga Toto African 3-1, 2-1 dhidi ya Moro United na 4-1 kwa JKT Ruvu huku Simba ikiwa imefunga mabao 18 hadi sasa. Kwa upande wa Yanga Nyavu zake zimeguswa mara 7 huku imefunga magoli 13 katika kuchomoza kwao mara 5, Sanjari 3 na kuzabwa mara moja. Matokeo ya Jumla yanatanabaisha kuwa Yanga na Simba zimekutana mara 82 huku Simba ikishinda mara 30, Yanga mara 24 zilizobaki ni Suluhu. Mchezaji atakayekuwa na mvuto kwa mashabiki wengi ni kipa Juma Kaseja kutokana na Wana Yanga kutarajiwa kuangalia atafanya nini atakavyosimama langoni mwa Simba kumbuka Kaseja alikuwa Jangwani msimu uliopita kabla ya kurejea Msimbazi msimu huu. Wachezaji wa Simba wanaotakiwa kuchungwa kwa hali ya juu ni Danny Mrwanda , Emmanuel Okwi, Viungo Hillary Echesa na Mussa Hassan ‘Mgosi’ wakali hao wakiwa sanjari na wenzao Kelvin Yondani, Joseph Owino, Nico Nyagawa, Mohamed Banka, Mohamed Kijuso na Ramadhan Redondo wanaweza kupeleka Simanzi Jangwani. Mnyama atawakosa mchezo huu ni pamoja na Emeh Izechukwu na Henry Joseph waliouzwa katika klabu ya Kongsvinga ya Norway huku pia wakimkosa Haruna Moshi “Boban” aliyekwenda Sweden kwa majaribio ya kucheza soka la kimataifa. Kwa upande wa Yanga wachezaji wanaotakiwa kulindwa kwa umakini ni Mike Barasa, Jerson Tegete, Mrisho Ngassa, Athuman Iddi’Chuji’ , Kabonge Honore na Nurdin Bakari. Wachezaji ambao wamewahi kucheza katika klabu ya Simba na Yanga na wanatarajiwa kuteremka Dimbani hapo kesho ni pamoja na Juma Kaseja, Athumani Iddi “chuji’, Nurdin Bakari na George Owino. Kwa upande wa Yanga watawakosa Nadir Haroub ‘Cannavaro” na Ben Mwalala, Nadir “Canavaro’ anasukuma soka la kulipwa katika klabu ya Vancouver Whitecaps ya CANADA. Mwamuzi wa Mtanange huo anataraji kuwa Oden Mbaga ambaye katika mchezo uliyopita alikuwa mwamuzi wa mezani hivyo anauzoefu wa presha za mchezo wa Simba na Yanga. Posted by Amri Massare (Maximo) at 9:52 AM Shirikisho la soka nchini TFF limewahakikishia Watanzania katika mchezo wa kesho wa watani wa jadi wa Simba na Yanga kuwa utakuwa na Ulinzi na Usalama kwa muda wote kabla na baada ya mchezo huo . Akizungumza na waandishi wa Habari kwenye Ukumbi wa TFF Katibu Mkuu wa Shirikisho hilo Fredrick Mwakalebela amesema utaratibu mzima umeshakamilika ikiwa ni pamoja na kuwa na Askari wa kutosha watakaokuwepo Uwanja mzima kwa ajili ya kuangalia usalama na shughuli zingine. Mwakalebela ameongeza kuwa siku ya kesho hakutakuwa na uegeshaji wa magari ndani ya Uwanja huo hivyo wanatakiwa kuegesha magari hayo katika uwanja wa Uhuru na katika viwanja vya nje vya Balaza la Michezo la Taifa BMT. Wakati huo huo Mwakalebela amesema katika kuhakikisha soka la Tanzania linakuwa wao kama Shirikisho wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuongea stesheni ya Super Sports kwa ajili ya kuonyesha mpira huo kwa kuurekodi ili uweze kuonyesha na Stesheni zingine za Afrika. Mwakalebela amesema siku ya leo wamekutana na Timu zote mbili pamoja na Waamuzi na Makamisaa mapema na kuzungumzia kuhus mchezo wa kesho ili kuwapa nafasi Timu hizo kupata muda wa kutosha kujiandaa na mchezo huo mgumu iliojaa ushindani. Wakati huo huo JESHI la polisi la mkoa wa Dar es Salaam, limejipanga kuweka kamera ili kubaini waanzilishi wa vurugu katika mpambano wa mpira wa miguu kati ya watani wa jadi Simba na Yanga. Akizungumza Dar es Salaam, Kamanda wa Kanda maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova amesema, sambamba na kamera hizo pia kutakuwa na namba ya simu ambayo itawaruhusu mashabiki watakao kuwa uwanjani hapo kutuma ujumbe mfupi ili kuwavumbua wahalifu hao. Kamanda Kova amezitaja namba hizo kuwa ni 0783 034224 ambapo ujumbe utakaotumwa utakuwa ukipita katika kompyuta maalum ambapo utafanyiwa kazi wakati huohuo na maaskari watakao kuwa maeneo hayo. Amesema, ulinzi umeongezwa mara mbili ili kudhibiti hali yeyote ya utovu wa nidhamu kujitokeza na atakaebainika kufanya uhalifu tachukuliwa hatua hapo hapo ikiwa ni pamoja na kufikishwa mahakamani. Amesema, hakutaruhusiwa kila mtu kufanya biashara isipo kuwa kutakuwa na watu maalum kwa ajili ya kufanya biashara ili kuepusha purukushani zisizo za lazima ambazo ndizo chanzo cha vurugu. Hata hivyo, kamanda kova ametahadharisha mashabiki wa Simba kutokuja na jeneza uwanjani kwa hali hiyo imekuwa ikijitokeza mara kwa mara na ni kitendo kinachochochea vurugu kwa timu hizo hasa ipatapo ushindi. Vile vile Kamnda Kova amesema, hakutaruhusiwa uuzwaji wa kilevi cha aina yeyote uwanjani ikiwa ni pamoja na watu kuzingatia gharama za tiketi walizo kata ambapo kila mtu anastahili kukaa sehemu husika. Posted by Amri Massare (Maximo) at 9:40 AM Wanamuziki wa Tanzania wamemwagwa katika tuzo za Video zinazotolewa na Channel O katika tamasha lililofanyika hapo jana Carnival City nchini Afrika Kusini. Wanamuziki wa Tanzania ambao waliingia katika kinyang`anyiro cha kuwani tuzo za Video ni pamoja na MwanaFA aliyekuwa akiwaniwa tuzo ya Most Gifted East Afrca Video akichuana na Amani, Xod, Mwana Fa, Wahu, Cannibal na Black Rhino. Black Rhino aliyekuwa akiwania tuzo mbili, moja ya Most Gifted East Afrca Video akichuana na Amani, Xod, Mwana Fa, Wahu, na Cannibal, pamoja na kuwania tuzo ya Most Gifted Hip Hop Video ambapo alikuwa akichuana na Okyeame Kwame, HHP, Zeus, Jay Ru na Pro. Wanamuziki watatu wametwaa tuzo mbili katika tuzo za Video mwaka 2009 zinazotolewa na kituo cha Televesheni cha Chennel O (2009 Channel O Music Video Awards) katika tamasha lililofanyika nchini Afrika Kusini usiku wa kuamkia leo. Wanamuziki hao ni kutoka Nigeria, Zimbabwe na Namibia. Darey Art Alade (Nigeria), Gal Level (Namibia) na Buffalo Souljah (Zimbabwe) ambapo kila mmoja ameondoka na tuzo mbili, na kudhihirisha umahiri wa kazi zao kwa mashabiki wa muziki barani Afrika pamoja na watazamaji wa Channel O ambao wamewachagua washindi katika sifa 14 tofauti (categoies). Darey ametangazwa kuwa mwanamuziki bora wa kiume katika tamasha hilo lililofanyika katika ukumbi wa Carnival City Alhamisi 29 October, na kuhudhuriwa na watangazaji mashuhuri wa Afrika ambao pia walikuwa ma MC`s watatu Vuzu VJ Nonhle na Lungile na KB. Wanamuziki ambao walitoa burudani ni 2Face Idibia, Sound Sultan, HHP (Jabba), Nneka pamoja na Bongani Fassie (Jozi) & the Umoja Choir. Nigeria imepata tuzo tano na wanamuziki wa Afrika Kusini wamepoteza tena huku Khuli pekee akitwaa tuzo ya mwanaziki chipukizi (Best Newcomer award). Washindi wa tuzo zote hawa hapa: Tuzo ya heshima imepopkelewa na - Bongani Fassie kwa niaba ya mama yake Brenda Fassie. Tuzo za 2009 Channel O Music Video Awards itarushwa siku ya Jumapili tarehe 8 Novemba kuanzia saa 21:00, ikiambatana na bonge la show ambalo litaanza kuonyeshwa 20:30. Mkurugenzi Mtendaji wa Benchmark Production, Rita Paulsen (kulia)akimkabidhi hundi ya shilingi milion 25 kwa mshindi wa mashindano ya Bongo Star Search (BSS), Paschal Cassan wakati wa hafla fupi ya makabidhiano yaliyofanyika Dar es salaam jana anaeshudia katikati ni Ofisa mwandamizi Mkuu kutoka Balaza la sanaa la Taifa (BASATA) na mlatibu wa BSS, Victoria Temu.(Picha na Rajabu Mhamila) KAMPUNI ya Bench Mark Productio , imewakabidhi zawadi zao washindi wa mashindano ya kusaka vipaji vya uimbaji vya Bongo Star Seach BSS 2009. Zawadi hizo za pesa taslim zilikuwa ni sh. milioni milioni 35.5 zilitolewa kwa washindi watano wa mashindano hayo yaliyomalizika 0ktoba 13 mwaka huu katika ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam. Washindi waliokabidhiwa zawadi hizo ni nyota wa mashindano hayo ya BSS kwa mwaka 2009 Pascal Cassian aliyekabidhiwa sh. milioni 25, Peter Msechu aliyekabidhiwa sh. milioni tano, Kelvin Mbati aliyepata sh. milioni tatu, Jakson George aliyepata sh. milioni 1.5 na Beatrice William aliyepata sh.milioni moja. Akizungumza mara baada ya makabidhiano hayo nyota wa mashindano hayo Cassian amesema kwa kuwa kwake ni mara ya kwanza kushika pesa nyingi kama hizo, atajadiliana na wazazi wake kabla ya yeye kuchukua maamuzi yoyote juu ya kuzitumia pesa hizo. Mshindi wa tatu wa BSS Kevin Mbati akikabidhiwa milion 3 "Naweza kusema hii ni mara yangu ya kwanza kushika pesa nyingi kama hizi, hivyo kwa kuwa nina wakubwa zangu kama wazazi nitasikiliza kwanza ushauri wao kabla ya kuzitumia,"alisema Cassian. Amesema kwa sasa anajipanga kutoa nyimbo zake yeye mwenyewe na kwamba yupo katika maandalizi ya mwisho ili kuzikamilisha nyimbo hizo na kuzirusha hewani. Jackson George mshindi wa nne wa BSS akikabidhiwa kiasi cha Tsh milion 1.5 Naye Mkurugenzi wa Bench Mark Production ambao ndio waandaaji wa mashindano hayo, Ritta Poulsen amesema Bench Mark ipo katika maandalizi ya awali ya kuandaa mashindano ya BSS 2010. "Tunawaomba vijana ambao wapo na vipaji vya uimbaji wakae tayari kwani tunatarajia kuanza mchakato wa kusaka vipaji hivi mapema ili kuhakikisha mikoa yote ya Tanzania tunavisaka vipaji hivyo,"amesema Ritta. Beatrice William mshindi wa tano wa BSS akikabidhiwa fedha taslim Tsh Milioni moja. Amesema mchakato wa kusaka vipaji hivyo hautakuwa tofauti na miaka iliyopita na kwamba Bench Mark itaboresha zaidi mashindano hayo mwaka hadi mwaka. Raisi wa TFF Leodga Chilla Tenga(Kushoto)na Ashford Mamelod mjumbe wa FIFA. Shirikisho la kandanda Duniani FIFA limeandaa mpango wa kukuza na kuendeleza soka kwa vijana wadogo hapa Nchini Tanzania utakaoanza mwezi March Mwakani ikiwa ni mikakati waliyonayo ya kuhakikisha mchezo huo unaendelea kukua Duniani kote. Akizungumza na Waandishi wa Habari katika ukumbi wa Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam Mjumbe kutoka Fifa Ashford Mamelod amesema mpango huo utaanza Mashuleni kwa kuanza na vijana wakike na wakiume wa umri mdogo ambao ni muafaka kwa kuanza kufundishwa mpira. Ashford ameongeza kuwa anahitaji ushirikiano mkubwa hasa kutoka TFF na Serikali na Wadhamini katika kuhakikisha mpango huu unafanikiwa kwa asilimia kubwa ili baadae waje kupata wachezaji wazuri wa Kimataifa. Kwa upande wake Raisi wa Shirikisho la soka Nchini TFF Leodga Chilla Tenga amesema amefurahishwa na mpango huo ijapokuwa inahitajika nguvu za ziada katika kusimamia ikiwa ni pamoja na ushirikiano. Mcheza gofu Joseph Tango ameibuka kinara wa mashindano ya wiki hii ya Fiddle yaliyofanyika katika viwanja vya klabu ya Gymkhana jijini hapa Tango ameibuka kinara kwa kupiga mikwaju pointi 38 katika mtindo wa Stable Ford katika mashimo kumi na nane. Katika kundi A nafasi imekwanda kwa Idan Mziku mikwaju pointi 33, akifuatiwa na Laulence Pangani kutoka katika kundi B aliyepiga mikwaju pointi 37 huku Kei Mwakawago mikwaju point 36 kutoka kundi C akifuatiwa na mwadada Maniwe Pangani mikwaju pointi 37. Mashindano hayo yenye lengo la kukuza nba kuendeleza mchezo huo hapa nchini yalikuwa na jumla ya washiriki 27 waliogawanyika katika makundi mbalimbali. Wakatihuohuo, mashindano ya wazi ya Safari maarufu kama Safari Open yataanza kuvurumishwa jumamosi ya wiki viwanjani hapo. Mashindano hayo ya siku mbili yatachezwa katika mtindo wa Stroken Play katika viwanja 18 na yatashirikisha wachezaji wote wanaoshiriki mchezo huo hapa nchini. Hadi sasa washiriki zaidi ya 100 wamejiandikisha kushiriki mashindano hayo akiwemo Hamis Ally Idan Mziku na Jane Molell. Posted by Amri Massare (Maximo) at 9:47 AM Bondia Mkongwe wa ngumi za kulipwa Maneno Osward Mtambo wa gongo amewaomba waandaji wa mchezo wa ngumi kuandaa pambano dhidi yake na Bondia Mada Maugo maarufu kama Maugo Junior ili akate mdomo wa bondia huyo. Akizungumza na kipindi cha michezo na Osward amesema Maugo bado hajui mchezo ila kazi yake ni kuongea tu na vyombo vya habari hivyo yeye ni mwalim wa kurekebisha tabia yake ya kutamba kila kukicha. Amesema Bondia Maugo anajiona anaweza kumbe awezi na anapopigwa anadai apigwi kwa kuwa wanamaliza naye mchezo na kama atakutana naye atamsambaratisha mapema katika raundi za mwanzo za mchezo. Hadi hii leo mabondia zaidi ya watatu wanamtaka Bondia Mada Maugo ili wamuonyeshe mchezo katika mabondia hao ni pamoja na Franciss Cheka, Karama Nyarawila na Maneno Osward. Posted by Amri Massare (Maximo) at 9:42 AM MPIGIE KURA SASA, KURA YAKO NDIYO SIFA KWA TAIFA LA TANZANIA Msanii Black Rhino amechaguliwa kuwa mmoja wa wasanii wanaoshindania tuzo za Afrika za Chanell O Music Awards 2009 akiwa ametajwa kwenye kategori mbili yaani MOST GIFTED EAST AFRICA VIDEO na MOST GIFTED HIP HOP VIDEO.Uongozo wa Chanel O ulitangaza majina ya wasanii wanaowania tuzo hizo kwa mwaka huu kwenye kikao cha wandishi wa jijini Johansburg Afrika Kusini ambapo msanii Black Rhino toka Tanzania alitajwa kuwa tuzo hizo mbili. Black Rhino anawahimiza sana wa Tanzania waliyo ndani na nje ya nchi kumpigia kura nyingi ili aweze kuibuka mshindi, kwani kushinda kwake katika tuzo hizi kutailetea heshima kubwa Tanzania. JINSI YA KUPIGA KURA MOST GIFTED EAST AFRICA VIDEO tuma Nambari 13 E kwenda +27 83 92 0 84 00 Tuma Nambari 10F kwenda +27 83 92 0 84 00 Au unaweza pia kumpigia kura kwa kupitia www.channelo.tv au www.channelo.co.za au www.oboma.net Tuzo za Channel O Music Video Awards 2009 zitafanyika Alhamisi Oktoba 29, 2009 Carnival City, Johanesburg Afrika Kusini. Albamu ya Black Rhino inaitwa Usipipme inajumla ya nyimbo kumi na iliingia sokoni Februari 2008 na inasambazwa na GMC Mwananchi. Posted by Amri Massare (Maximo) at 7:03 AM Msanii Mrisho Mpoto (Mjomba) kushoto akiimba wakati wa utambulisho wa onesho la HIP HOP litakalofanyika jumamosi hii katika ukumbi wa Diamond Jublie (kulia) ni Msanii Ismail Shabani, wasanii wengine watakao pafom ni pamoja na TMK Wanaume Halisi, Prof Jay, Fid Q, Best Friends Dance Show.(Picha na Rajabu Mhamila) Meneja wa huduma wa Mikopo Midogomidogo, Mashaga Changarawe (kushoto) akimkabidhi fulana Makamu Mwenyekiti wa Shirikisho la Mashirika ya Umma na Makampuni Binafsi Tanzania (SHIMUTA) Sadiq Sagawe Dar es salaam vifaa hivyo vitakavyotumika katika mashindano ya SHIMUTA yatakayoanza mwanzoni mwa mwezi ujao anaeshuhudia katikati ni Katibu Mkuu wa Shirikisho hilo, Award Safari.(Picha na Rajabu Mhamila) BENKI ya NMB imejitosa kudhamini mashindano ya Shirikisho la Mashirika ya Umma na Makampuni Binafsi Tanzania (SHIMUTA) yanayotarajia kuanza mwanzoni mwa mwezi ujao. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam, Meneja Mikopo Midogomidogo wa benki hiyo,Mashaga Changarawe amesema wameamua kudhamini mashindano hayo baada ya kuombwa na viongozi wa shirikisho hilo ambapo kwa kuzingatia kuwa na wao ni wanamichezo na muda mrefu ndio maana wakaamua kudhamini. ''Sisi siku zote huwa tunapenda kuona nchi yetu inakuwa na maendeleo katika soka ndio maana hata haya mashirika ambayo yanashiriki mashindano hayo ndio maana tukaona si vibaya kama tukawasaidia katika kufanikisha mashindano hayo,'' alisema Changarawe. Amesema kutokana na wao kuwa wadau wakubwa wa michezo nchini hawakuwa na budi kuwafadhili wenzao kwa namna moja ama nyingine ambapo wametoa fulana 114 zitakazotumika katika mashindano hayo. Naye Makamu Mwenyekiti wa shirikisho hilo, Sadiq Sangawe amesema wamefurahi kupata hizo fulana, hivyo watazitumia kama inavyotakikana ambapo mashindano hayo yanatarajiwa kuanza Novemba 6 mpaka Novemba 17, mwaka huu mgeni rasmi katika ufunguzi huo atakuwa mkuu wa Mkoa wa Tanga, Saidi Kalembo. FILAMU YA "THE HIT" INA MHUSU MICHAEL JACKSON YAZINDULIWA DAR Baadhi ya mashabiki wa Michael Jackson wakifuatilia kwa makini uzinduzi wa cinema ya THE HIT iliyozinduliwa jana na kudhaminiwa na kampuni ya Zain Tanzania Dar es salaam Mlimani City.(Picha na Rajabu Mhamila) Mwanafunzi wa kidato cha nne Jesca Kailembo(kulia) akiwa na wenzake baada ya kumaliza sherehe fupi za mahafari ya kidato cha nne katika shule ya secondari ya kisutu jijini yaliyofanyika leo. Mwanafunzi wa kidato cha nne Jesca Kailembo( wa tatu kutoka kushoto)akiwa na baadhi ya ndugu zake katika sherehe fupi za mahafari ya kidato cha nne katika shule ya secondari ya kisutu jijini yaliyofanyika leo. Maunda (wa kwanza kushoto) akimkabizi wifi yake zawadi baada ya kumaliza sherehe fupi za mahafari ya kidato cha nne katika shule ya secondari ya kisutu jijini yaliyofanyika leo. Wazazi wa wanafunzi wa kisutu wakiwa katika mahafari hayo ya kidato cha nne yaliyofanyika Kisutu leo Posted by Amri Massare (Maximo) at 5:18 AM Shirikisho la Ngumi Nchini BFT linaendelea kutoa wito kwa wadau na Wafadhili mbalimbali Nchini kulisaidia Shirikisho hilo kwa Vifaa vya michezo kwaTimu ya Taifa ambalo ni tatizo kubwa linalowakabili. Katibu Mkuu wa Shirikisho hilo Makore Mashaga amesema kwa muda wa Mwezi Mmoja na nusu sasa Wachezaji wa Timu ya Taifa wanafanya mazoezi bila ya kutumia vifaa vya michezo ikiwermo Glovs na vinginevyo. Wakati huo huo, Mashaga amesema kufuatia maagizo ya Kocha Mkuu wa mchezo huo wa Ngumi, wameamua kuzigawa timu katika makundi mawili ya A na B ili waweze kufanya mazoezi kwa nafasi. HASHEEM THABEET LEO KUTUPA KARATA YAKE YA KWANZA NBA Msimu wa 2009/10 wa ligi maarufu ya mpira wa kikapu ya nchini Marekani(NBA) umeanza rasmi hapo jana. Ni mwanzo wa mikikimikiki ya ushindani mkali ambao hutawala ligi hiyo. Kwa watanzania wengi, macho na masikio yao,watayaelekeza kwa Hasheem Thabeet ambaye kwa mapana na marefu atakuwa siyo tu anaitafutia timu yake ya Memphis Grizzlies ushindi,bali pia atakuwa akiipeperusha bendera ya nchi yake ya Tanzania kwa njia moja au nyingine. Habari za Hasheem zitakuwa sio tu za uchezaji bali pia jinsi ambavyo ni “ndoto iliyotimia” kwa kijana kutoka nchi ya “ulimwengu wa tatu” kama ya Tanzania kufikia kiwango cha kucheza katika ligi ya NBA ambayo hata huko Marekani kwenyewe,vijana wengi hutamani sana kufanya hivyo. Bila shaka jina la Tanzania litatajwa mara nyingi kuliko kawaida katika matangazo ya ligi hiyo.Ni kwa sababu ya Hasheem Thabeet,mtanzania wa kwanza kuchezea katika ligi hiyo.Haishangazi kuona kwamba watu wengi,wakiwemo viongozi wetu,wanajitahidi kuwa karibu zaidi na Hasheem Thabeet.Jina lake ni ishara ya ushindi.Ni lulu. Ingawa Hasheem hayupo bado katika “First Five” ya timu yake ya Grizzlies Memphis,bila shaka atacheza leo wakati timu yake itakapowakaribisha, Detroit Pistons (kutoka jijini Detroit,Michigan) mjini Memphis,Tennesse yalipo makao makuu ya Grizzlies Memphis.Watabiri wa mambo wanasema Hasheem tayari ameonyesha uwezo mkubwa wa kuzuia mirusho ya timu pinzani lakini wanashauri azidishe juhudi katika rebound.Bila shaka anasikia na atazingatia ushauri huo na pia wa makocha wake. Viwanjani inaungana na wote wanaomtakia kheri Hasheem.Tunaelewa kwamba mafanikio ya Hasheem ndio mwanzo wa mafanikio ya vijana wengine wengi wa kitanzania ambao naamini kabisa,endapo watapewa nafasi,wanaweza pia kufikia kiwango cha Hasheem.Kila la kheri HT. Meneja Matukio wa Kampuni ya Vodacom, Rukia Mtigwa (kulia) akizungumza na simu Dar es salaam wakati wa kutafuta washindi waliochangia timu za Yanga na Simba kupitia M-PESA ambao watapata tiketi za VIP pamoja na maradhi popote walipo na kuja kuangalia mpambano wa watani wa jadi utakaopigwa jumamosi hii kushoto ni Msimamizi kutoka bodi ya Michezo ya Kubahatisha,Chiku Saleh.(Picha na Rajabu Mhamila) KAMPUNI ya simu za mkononi Vodacom imeendesha bahati nasibu ya Vodafone M- PESA kwa ajili ya kuwapa fursa wapenzi na mashabiki wa Klabu ya Simba na Yanga kushuhudia mechi ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara ya watani wa jadi itakayofanyika Oktoba 31 uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Jumla ya washindi 10 walipatikana katika bahati nasibu hiyo ambapo kila mshindi atakabidhiwa tiketi mbili pamoja na jezi mbili ambapo washindi watano ni wa Klabu ya simba huku watano wakiwa ni wa klabu ya Yanga. Washindi hao kwa upande wa Simba ni mdau wa viwanjani Rajabu Mhamila 'Super D', Adam Chonya, Husein Lingu, Marry Kaduguda na Thabit Kaisari huku washabiki wa Yanga wakiwa ni Issa Kasim, Ramadhan Fulle, Muhidini Omari, Idrisa Mohamed na Mambo Mkediyo. Akizungumza Dar es Salaam jana wakati wa kuwataja washindi hao Meneja Matukio wa Vodacom Rukia Mtingwa alisema jumla yamashabiki 240 waliweza kuzichangia timu hizo za Simba na Yanga kupitia huduma hiyo ya M-PESA . Alisema kati ya mashabiki 240 ni mashabiki 52 walifanikiwa kuingia katika bahati nasibu hiyo kwa upande wa Simba huku Yanga ikiwa na mashabiki 57 ambapo kati yao ni mashabiki 10 ndio waliofanikiwa kupata nafasi hiyo ya kushuhudia mechi ya watani wa jadi hao. Alisema mpango huo wa kuzichangia timu za Simba na Yanga utakuwa ni endelevu na kwamba wapenzi na mashabiki wa timu hizo wanatakiwa kujiunga na huduma hiyo ili kuziwezesha timu hizo kupata fedha zitakazosaidia kuendesha klabu hizo. Rukia alisema wapenzi na mashabiki wanatakiwa kuzichangia timu hizo kuanzia kiasi cha sh 2,000 ambapo wapenzi wa Yanga watatuma ujumbe huo kwenda namba 200200 huku mashabiki wa Simba wakituma kwenda namba 500500. Posted by Amri Massare (Maximo) at 5:57 AM Mkurugenzi Mtendaji Makai Enterprises Eileen Kasubi ( kushoto) akiwakabidhi zawadi washiriki wa kinyang`anyiro cha Miss Utalii Ilala. Na Rajabu Mhamila "Super D" MAKAI Moringa Enterprises, jana imejitokeza kudhamini mashindano ya kumsaka malkia wa Utalii kanda ya Ilala 'Miss Utalii Ilala 2009', yatakayofanyika November 6 katika Ukumbi wa Da West Inn Park uliopo Tabata Dar es Salaam. Udhamini wa kampuni hiyo utaigharimu sh. 750,000, ikiwa ni gharama za bidhaa zinazotengenezwa na kampuni hiyo. Akizungumza Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Eileen Kabusi, alisema wameamua kutoa zawadi hizo za asili ili kulinda afya za warembo hao pamoja na kuvutwa kwao na mashindano hayo ya Utalii. Mashindano hayo yatawashirikisha warembo 15, wanaoendelea na mazoezi katika ukumbi wa Dar west Park, Tabata jijini Dar es Salaam. Aliwataja warembo watakaopanda jukwaani ni Flora Nicholaus (22), Edna Endrew (20),Janneth Samson (19), Sheila Said Baamary (23), Sauda Ramadhani (22), Ratifa Iddy (20), Rechal Isaya(19) na Jamida Abdu (21). Warembo wengine ni Tickey Lighton (21), Agenss Deogratius(20), Grace Msuka(20), Glory Joseph(21), Violeth Mganga (21), Neema Mashala (21) na Rose Luner(21). Wadhamini wengine katika mashindano hayo ni Chiken Hut Tanzania Limited, Savannah Lounge Paradise City Hotel, Kelken Fitness Center, Dage Saloon, Kiwanga Store & C0, Aucland Tours & Safari, The Grand Villa Hotel, Mashujaa Pub na Sayona Drinks Water. Wengine ni Moringa Oleifera, Image Smart, Valey Spring, Mbunge wa Jimbo la Ilala, Mussa Azan Zungu, VAM General Supply, Victor na Kariakoo, Mama Vanessa, Tigo, Babu Kubwa Magazine & OK News Week, Kiu, Sun, Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Idd Azan. Msanii Black Rhino amechaguliwa kuwa mmoja wa wasanii wanaoshindania tuzo za Afrika za Chanell O (Music Awards 2009) akiwa ametajwa kwenye kategori mbili yaani MOST GIFTED EAST AFRICA VIDEO na MOST GIFTED HIP HOP VIDEO.Uongozo wa Chanel O ulitangaza majina ya wasanii wanaowania tuzo hizo kwa mwaka huu kwenye kikao cha wandishi wa jijini Johansburg Afrika Kusini ambapo msanii Black Rhino toka Tanzania alitajwa kuwa tuzo hizo mbili. Black Rhino anawahimiza sana wa Tanzania waliyo ndani na nje ya nchi kumpigia kura nyingi ili aweze kuibuka mshindi, kwani kushinda kwake katika tuzo hizi kutailetea heshima kubwa Tanzania. JINSI YA KUPIGA KURA MOST GIFTED EAST AFRICA VIDEO TIKETI ZA MCHEZO WA SIMBA NA YANGA KUANZA KUUZWA JUMATANO Shirikisho la kandanda la Tanzania limetangaza vituo na viingilio katika Mchezo wa Dar es Salaam Young Afrikan dhidi ya watani wao wa Jadi wekundu wa msimbazi Simba mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara utakaochezwa Oktoba 31 katika Dimba la Taifa jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa TFF, Fredrick Mwakalebela amefahamisha kuwa Matayarisho yote ya mchezo huo yanakwenda vizuri na Tayari TFF imefanya vikao mbalimbali. Amesema tiketi zinapatika katika vituo 15, vituo hivyo ni Shule ya Benjamini Mkapa,Big Bon Kariakoo, Big Bon Mbagala, Stears zote, Oil Com Veta, Uwanja wa Uhuru, Sabco Mwembe Chai, Kobil Buguruni, Njia panda ya Tabata, Sheli Ofisi ya Miundo Mbinu, Mtoni Mtongani, na vituo vyote vya plisi Tandika. Tiketi zitaanza kuuzwa Jumatano Asubuhi katika vituo vyote ambavyo vimetajwa na tiketi hizo zitauzwa kwa siku tatu na siku ya Jumamosi hakuna tiketi itakayouzwa uwanjani siku ya mchezo wa Yanga na Simba. Naye Katibu Mkuu wa Dar es Salaam Young Afrikan Laurence Mwalusako amesema kwamba timu yake imejiandaa vizuri katika mchezo dhidi ya Simba na amewaomba mashabiki wa Yanga wawe na nidhamu katika mchezo huo. Akielezea kibali cha Kocha Kostadin Papic Mwalusako amesema anakifuatilia ili katika mechi ijayo awepo katika benchi Katibu wa wekundu wa Msimbazi Simba Mwina Kaduguda alipotakiwa aelezee maandalizi ya timu yake alikuwa na haya ya kusema. Wakati huo huo wachezaji wa Dar es Salaam Young Afrikan Moses Odhiambo na Amir Maftah walioadhibiwa na kamati ya mashindano kutocheza michezo mitatu baada ya ukosefu wa nidhamu kumtukana mwamuzi katika mchezo wa Yanga dhidi ya Azam FC Oktoba 17 mwaka huu wameachiwa huru baada ya ushahidi kutokamilika. Akizungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Shirikisho la Kandanda Tanzania TFF, Mwenyekiti wa kamati ya nidhamu na usuluhuishi Kamanda Alfred Tibaigana amesema jana walikutana kujadili masuala hayo na walipoangalia makosa waliyoadhibiwa hayakuwa na ushahidi wa maandishi Kikosi cha wachezaji 31 kinachounda timua Taifa ya Tanzania Taifa Stars kimetangwazwa rasmi hii leo katika ukumbi wa Tff watakaokwenda Nchini Misri kucheza mchezo wa kimataifa wa kirafiki Novemba Tano mwaka huu nchini humo. Akizungumzia utaratibu mzima wa utakaokuwepo mara baada ya kutangazwa majina ya wachezaji hao Katibu Mkuu wa Shirikisho la soka Nchini Tff Fredrick Mwakalebela amesema kambi ya timu hiyo itaingia rasmi Novemba moja mwaka huu. Mwakalebela ameongeza kuwa TFF litaendelea kutafufa michezo mingi ya kirafiki ya kimataifa ili iweze kufanya vizuri ikiwa pamoja na kujiandaa na michuano ya Four National Tournament na kombe la Challenge. Majina yaliyotangazwa ni pamoja na: - Ally Mustafa - Simba Shabani DIhile - JKT Ruvu Shabani Kado - Mtibwa Mohammed Mwarami - Ferroviaro Maputo Shadrack Nsajigwa - Yanga Erasto Nyoni - Azam David Naftari - SImba Nadir Haroub - Vancouver, Canada Kevin Yondani - SImba Salum Swedi - Azam Juma Jabu - Simba Steven Mwasika - Moro United Nurdin Bakari - Yanga Ibrahimu Mwaipopo - Azam Juma Nyoso - SImba Shamabi NDiti - Mtibwa Suger Abdurahim Amour - Mtibwa Henry Joseph - Kongsvinger, Norway Rashid Gumbo - African Lyon Mwinyi Kazimoto - JKT Tuvu Kigi Makasi - Yanga Nizar Khalfani - Vancouver,Canada Saidi Mohammed - Moro United Mrisho Khalfani Ngasa - Yanga Mbwana Samata - African Lyon Mussa Hassan Mgosi - Simba Dani Mrwanda - Simba John Bocco - Azam Jerson Tegete - Yanga Zahoro Pazi - Mtibwa Suger wachezaji waliyoitwa timu ya taifa toka timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 20 na 17 Amani Kiata - Moro United U-20 Thabit - African Lyon U-17 Himid Mao - Azam FC U-20 Thomas Emmanuel - TSA U-20 Yusuf Abbas Soka - African Lyon U-20 Jumla ya kura 209 zimempa nafasi Mshambuliaji wa Timu ya Azzam na timu ya Taifa ya Tanzamnia Taifa Stars John Bocco maarufu Adebayo kuwa mwanamichezo bora kwa mwezi Septemba Mewaka huu. Akitaja matokeo hayo mbele ya waandishi wa habari ambao ndio waliopiga kura hizo Katibu Mkuu wa TASWA Kigoba Mgaya amesema John Bocco ameibika kidedea kati ya wagombea watatu waliochaguliwa na Waandishi ambapo ni Kocha Mkuu wa Timu ya Simba Patrick Phiri na Mwanariadha Mary Naali. Wakati huohuo Mgaya ameongeza kuwa Tamasha la Waandishi wa Habari ambalo lilikuwa lifanyike Novemba moja mwaka kuu kuwa watatangaza utaratibu mzima itakavyokuwa hapo kesho kutwa. Waliokuwa wadhaminui wakuu kwa miaka miwili wa timu ya Toto African ya Mwanza, ambao ni watengenezaji wa Bia ya Serengeti wamesema sababu kubwa ya kujitoa kuidhamini timu hiyo ni kutopewa ushirikiano wa kutosha na Viongozi wa klabu hiyo.. Akizungumza na kipindi cha michezo cha Radio Times FM Afisa uhusiano wa Kampuni hiyo Teddy Mapunda ametanabaisha kuwa mbali na kujitoa kwenye Udhamini huo lakini wanaendelea kuisaidia timu kwa kuwapa fedha ambapo wiki iliyopita waliwapa shilingi milioni 5 na wanategemea hivi karibuni kuwapa tena milioni tano. Timu ya Toto African mpaka sasa inashika nafasi ya mwisho katika msimamo wa Ligi kuu Tanzania Bara ambapo katika michezo kumi iliyokwisha cheza imetoka sare michezo minne na kufungwa michezo yote na kujikusanyia pointi 4. Posted by Amri Massare (Maximo) at 9:51 AM Wakati Tanzania ikiwa umegubikwa na mgao wa Umeme huko katika Jimbo la Kano mnchini Nigeria kimetokea kituko cha Mwaka wakati umeme ukiwa umekatika uwanjani na hivyo mchezo kuongezwa kwa dakika 14 za ziada . Kamati ya michuano ya Jimbo hilo la Kano linalosimamia michuano ya Kombe la Dunia la chini ya miaka 17 limesema kuwa tatizo kama hilo halitotokea tena. Matatizo hayo yalitokea katika mtanange wa kundi E baina ya USA na Hispania ikiwa nyuma kwa bao 1 Hispania ikiifunga USA mabao 2 kwa 1. Jack McInerney aliiongozea USA kwa bao la Dakika ya 4 huku Borja akiichomolea Hispania kabla ya Pablo Sarabia kushindilia msumari wa mwisho dakika 8 baadaye. Mtanange mwingine utaendelea kesho baina ya Malawi dhidi ya USA huku UAE wakicheza na Hispania katika kundi E. ARGENTINA WALIZWA NA UJERUMANI Katika Michuano ya Kombe la Dunia chini ya umri wa miaka 17 inayoendelea huku Nigeria katika Dimba la Taifa la Abuja Ujerumani imeiliza Argentina bao 1-0 goli la ushindi limesukumizwa wavuni na Mshambulizi Mario Jose katika dakika ya 8 ya mchezo. Japan imeizima Uswisi 2-0 kwa mabao ya Mshambulizi Takumi Miyayoshi katika dakika ya 9 na 20 katika Dimba la Tesilim blogani huko Lagosi. Usiku huu Saa tatu usiku Majira ya Afrika Mashariki Wenyewe Nigeria watawakaribisha vilivyo Honduras huko Mji Mkuu wa Abuja wakati Huko Lagos Wana Samba Brazil watachuana na Mexico. Ofisa Uhusiano na Udhamini wa Kampuni ya Tigo, Jackson Mmbando (kushoto) akimkabidhi vifaa Kamishina wa Uhamiaji anayeshughulikia Sheria katika Wizara ya Mambo ya Ndani, Magrusi Hulungi vifaa hivyo michezo mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milion.6.8 kwa ajili ya mashindano ya SHIMIWI yanayoendelea mjini morogoro, anaye shuhudia kulia ni Kamishina anaeshuhulikia vibari. Bariki Shayo.(Picha na Rajabu Mhamila) Mgombea wa Kamishina wa watoto katika Shirikisho la Mpira wa Kikapu Taifa Selemani Semunyu (kushoto) mtangazaji wa Radio Times FM akirundisha fomu ya kugombea nafasi hiyo Dar es Salaam kwa Ofisa Kumbukumbu Mwandamizi wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT) Adola Said.(Picha na Rajabu Mhamila) Selemani Semunyu wa pili kushoto, akizungumza neno na mdau mkuu wa viwanjani mwenye tisheti ya njano, pamoja na Adamu huseni mwenye tisheti nyekundu na Hussein Musa Mhassa wote wafanyakazi wa Radio Times FM. Posted by Amri Massare (Maximo) at 8:03 AM ▼ October ( 109 )
2018-03-20T19:41:10
http://viwanjani.blogspot.com/2009/10/
[ -1 ]
Njia Ya Kukutana Na Wanawake Nje Ya Baa - Kuuliza Watu Njia Ya Kukutana Na Wanawake Nje Ya Baa — Kuuliza Watu Je, kuna kitu mbaya zaidi kuliko kujaribu kukutana na mwanamke unataka tarehe nje katika inaishi bar? Mara baada ya wewe kupambana na njia yako juu ya bartender ili mwenyewe baadhi ya kioevu ujasiri, kuna mchakato mzima wa upeo nje ya mtu wewe ni nia, hisia nje kama au si yeye ni moja, inakaribia yake na ufunguzi line kwamba ni heshima ya kutosha ili kupata mawazo yake na kuyaweka mazungumzo. wakati wewe ni wote kunguruma katika kila mmoja ni masikio juu ya kiasi kubwa sana ya muziki. Si hasa mazingira bora kwa ajili ya kupata kujua mtu, achilia kutua mwenyewe mpenzi. si kuna bora ya maeneo ya kukutana na mwanamke siku hizi? Bila shaka, unaweza daima kujaribu bahati yako kwa dating programu. Lakini hata kama wewe ni uwezo wa swipe kushoto na haki ndani ya kuachana bila ya kuwa na kuweka juu ya suruali, na wewe ni bado pitting mwenyewe dhidi ya elfu au hivyo wengine moja dudes katika eneo lako ambao ni yote juu ya hapa na kwamba huo lengo mwisho: mkutano wa wanawake. Na kama wewe kutokea kwa kuishi mahali fulani ambapo kuna eneo single skews na wachache na haki kwa wanawake kuliko wanaume, wewe ni amefungwa kupata mwenyewe katikati ya idadi mchezo kuwa hata zaidi yako fikra ufunguzi mistari uwezekano hawezi skew kwa neema yako. Mara baada ya wewe kupata kuendana na mtu ambaye anajibu kwa ujumbe wako, na kwa miujiza fulani kusimamia na kupata kwa siku, muda na mahali kwamba kazi kwa ajili ya wote wewe, bado kuna nafasi mbili za huwezi kuishia kupiga mbali. Si kubwa ROI wakati huja kwa muda wako. Pia, utasikia tu kupata mwenyewe nyuma katika msongamano bar wewe walikuwa hapa kwa kuepuka katika nafasi ya kwanza. Lakini kama wewe ni zaidi ya online dating na fora nje katika bar, na wewe si kuangalia kwa moja usiku kusimama, ambapo mwingine unaweza matumaini ya kukutana yako ijayo mpenzi uwezo? Je, kuna njia bora ya kukutana na wasichana? Sisi aliuliza chache ya wanaume halisi ambao bypassed bar eneo kutuambia jinsi walikutana yao ya sasa washirika-na wao walikuwa wachache ubunifu mapendekezo ya kushiriki. Hapa ni njia chache ya kukutana na wanawake bila ya kuwa na kupoteza muda na fedha katika mitaa ya kumwagilia shimo. Hata kama wewe si all-star michezo mchezaji, uhusiano mtaalam Kayla Kolinski anasema kucheza kwenye kitongoji michezo ya ligi inaweza kusaidia kupanua mzunguko yako ya kijamii na kwa upande mwingine, wazi juu ya uwezekano wa mkutano na mtu maalum. Moja ya njia bora sisi kuwaambia wateja wetu kwa kukutana na maisha yao ya baadaye nyingine muhimu ni kwa kujiunga na jamii ya michezo ya ligi, yeye anasema. Mazingira ya kesi mbaya, wewe tu kufanya michache ya marafiki mpya — lakini usisahau, marafiki kujua marafiki wengine ambao wanajua marafiki wengine-na nafasi yako ya kuwa na kuweka up na mtu maalum kwa yako mpya buddies ni kubwa zaidi kuliko milele. Kama duka kahawa hangouts ni pia bonyeza & papo hapo kwa ajili yenu, basi michezo ya ligi inaweza fit muswada huo, na tofauti katika maduka ya kahawa, wewe utakuwa na kupata workout katika, pia. Nini Wanaume Halisi Kusema: mimi alicheza juu ya Zag timu ya soka kwa muda wa miaka mitatu, anasema Andrew. Mimi kushoto wa timu kama alivyofanya mchezaji mwingine kuchukua msimu wa mbali (ambayo hatimaye kushoto mbili ya matangazo ya wazi). Kelly (yangu ya sasa mpenzi) na roommate wake alikuwa tu wakiongozwa na Hoboken na alijiunga Zag soka kama mawakala huru na got kuweka kwenye timu katika nafasi yangu. Rafiki yangu juu ya timu akaniita siku moja kwa sababu wao walikuwa short mchezaji na kuulizwa kama mimi naweza kucheza siku hiyo kwa kujaza katika. Wao ilianzisha mimi Kelly, ambaye mimi mara moja kuanza kusagwa juu. Niliwaambia basi mimi kujua kama wao milele zinahitajika mchezaji tena-na kisha mimi kuanza kwenda nyuma wakati wowote walihitaji mtu hivyo mimi naweza kuona wake. Msimu kumalizika, hivyo mimi aliamua kucheza msimu ujao pamoja nao na maendeleo ya baadhi ya kemia na yake. Sisi got pamoja, na wengine ni historia. Si tu haina kujitolea kwa ajili ya tukio upendo, jumuiya ya ukumbi wa michezo au kuchangisha kuweka wewe katika mazingira na watu kama wenye nia, lakini pia erbjuder wewe muda wa kutumia pamoja nao na kupata kujua yao-ambayo ni kiasi Francis, alikutana na mke wake. Wakati mimi aliishi katika Kisiwa muda Mrefu, mimi kuanza kujitolea kwa ajili ya mgogoro wa simu, anasema. Mimi alikuwa na mbili mabadiliko ya washirika, mmoja wao kuishia kuwa mke wangu baadaye. Wakati huo, yeye alikuwa na mpenzi na mimi alikuwa na girlfriend, hivyo wakati mimi walidhani yeye alikuwa cute, kuna kamwe yoyote weird flirty mvutano. Sisi pamoja moja saa nne kuhama kwa wiki kwa muda wa miaka miwili. Bila ya kweli na madhumuni ya, sisi kuwa marafiki wazuri kwa sababu ya uzoefu sisi pamoja kusaidia wateja na kuzungumza juu ya maisha yetu nje ya simu katika kati ya wito. Karibu wakati yeye kushoto simu, sisi wote bahati akaenda kwa njia ya breakups. Sisi akaenda kutoka commiserating kuhusu wetu jourtelefon kazi kwa commiserating juu ya kuwa moja. Basi usiku mmoja yeye alikuja juu, sisi yatakuwapo up, na juu ya mwaka mmoja na nusu baadaye sisi walikuwa ndoa. Nadhani nini kazi juu ya mkutano kwa njia hiyo ni kwamba mambo ya maendeleo ya kweli na hai, kwa sababu wala sisi walikuwa huko na kukutana na watu. Sisi bonded juu ya kazi sisi walikuwa kufanya na mambo sisi aligundua sisi alikuwa katika kawaida zaidi ya miaka. Nafasi, hii moja ni kwenda kuchukua wewe nje ya eneo lako la faraja, lakini jinsi mwingine kufanya wewe kutarajia kukutana na watu wapya? Angalau katika ngoma darasa, kama mshenga Susan Torbati pointi nje, tabia mbaya itakuwa katika neema yako. Yoga, ngoma darasa, au inazunguka darasa ni sehemu kubwa ya kukutana na wanawake kama unaweza kupata ndani yake, yeye anasema. Najua kura ya watu ambao kujaribu hii na mafanikio mengi. Utakuwa dhahiri kuwa katika wachache. Hata kama huna kukutana na msichana, wewe utakuwa na kuboresha maisha yako, ambayo ni msaada mkubwa kwa moja watu kila mahali linapokuja kuvutia wanawake nzuri. Na tofauti na mengi ya dating locales, ngoma madarasa ni pia maeneo ya kirafiki kwa ajili ya wanaume wazee kuangalia kwa tarehe nyingine tena. Nini Wanaume Halisi Kusema: Salsa kucheza ni sehemu ya utamaduni wangu, anasema Javier. Hivyo wakati dada yangu ni rafiki kufunguliwa ngoma studio katika kitongoji wetu mimi alikuja kwa ajili ya grand ufunguzi na complimentary salsa darasa-na alikuwa na furaha sana kwamba mimi kuishia kununua darasa mfuko. Kama moja ya wanaume tu katika darasa, mimi alikuwa na pick yangu ya washirika ambayo ilikuwa nzuri, na alifanya mengi ya marafiki wakati wa muda wangu huko. Karibu yangu tano au sita darasa sisi mipango yote juu ya mkutano hadi saa salsa club baada ya darasa kujaribu nje ya kile sisi alikuwa na kujifunza, na mimi aliona yangu ya sasa mpenzi Ramona huko pamoja na kundi lake la marafiki-moja ambayo alijua moja ya darasa wanachama nilikuwa nje na. Yeye kuletwa kwetu, na sisi wanacheza pamoja mpaka. m. wakati klabu ya kufungwa. Tumekuwa pamoja tangu milele. tumekuwa wote alikuwa na haya ya moja kutokea kwa sisi katika baadhi ya uwezo-kama ni mfanyakazi ni chama housewarming au jirani yako chini ya ukumbi na kusisitiza kuwa wewe swing kwa ajili ya kupata pamoja, wao ni kuwa, kwenda kwa chama ambapo wewe kujua tu mwenyeji unaweza kujisikia pretty awkward. Lakini hata kama huna kwenda na wala kukutana na yoyote moja ya wanawake kwamba usiku, kuna nafasi unaweza kukutana na mtu kuna ambao wanaweza kuweka juu na maisha yako ya baadaye mpenzi au uhusiano wa muda mrefu-kama ilivyokuwa kwa Alex. Mimi kazi katika kampuni ya kubuni juu ya timu ndogo ya nne, anasema. Hivyo wakati moja ya yangu wenzake kununuliwa condo sisi wote walikuwa waalikwa zaidi ya kusherehekea. Mimi alikuwa mmoja tu katika timu bila imara udhuru kwa si kuonyesha up na plus, mfanyakazi mwenzangu anaishi katika kitongoji hicho kama mimi kufanya hivyo mimi figured mimi d swing na. Mimi kuishia kuwa na wakati kubwa ya kuzungumza na mfanyakazi mwenzangu ni dada na mume wake-kwa uhakika kwamba dada yake alisisitiza kwamba yeye basi mimi kuweka yake juu na chuo yake rafiki ambaye alikuwa kusonga hapa na sikujua mtu yeyote. Mimi nina kawaida na wasiwasi juu ya watu kuweka me up-lakini yeye alinionyeshea picha ya yake na mimi walidhani yeye alikuwa super pretty, hivyo mimi walikubaliana. I got simu yake ya simu basi alichukua yake nje ya wiki moja au mbili baada ya yeye kuhamia New York na sisi hit ni mbali. Yeye na mimi wote daima kusema jinsi bahati sisi ni kwamba mimi akaenda kwamba chama. Wakati fora hadi mazungumzo na mpenzi uwezo, kutafuta ardhi ya kawaida ni vita ya nusu. Daudi, alikuwa makali kwenye mazungumzo wakati yeye alikutana na mpenzi wake wa sasa katika kusaini kitabu. Nilikutana na mpenzi wangu Stephanie katika kusaini kitabu kwa ajili ya Karen Russell, yeye anasema. Mstari ilikuwa ni aina ya wavivu, hivyo mimi akageuka na mtu nyuma yangu na alisema, mimi si wa kata wewe, je, mimi? na yeye alisema, Hakuna. Hiyo ilikuwa Stephanie. Mimi alisema, Hivyo ni kubwa Karen Russell shabiki? na yeye alisema, Ndiyo. Mimi aliuliza ambao baadhi ya wake wengine favorite waandishi walikuwa, na sisi aliongea kwa ufupi. Yeye got kitabu chake saini, basi mimi got yangu saini. Baadaye mimi akageuka, na yeye alikuwa amesimama pale kusubiri kwa ajili yangu. Aligeuka sisi wote wawili walikuwa kwenda Grand Central, hivyo sisi kutembea huko pamoja. Tulikuwa na haraka sana, wazi sana kemia. Sisi got kona ambapo sisi zinahitajika kwa kupasuliwa up, na Stephanie alisema, na mimi nataka kuweka kuzungumza na wewe ingawa. Treni yake ilikuwa kuondoka muda mfupi kabla yangu, hivyo mimi akaenda pamoja yake ya treni, kisha akaruka mbali tu kama milango walikuwa kufunga na ya haraka ya kukamata treni yangu. Mimi alikuwa amewapa yake kadi yangu ya biashara, na yeye emailed mimi siku ya pili. tumekuwa pamoja kwa karibu miaka mitano. Kwamba kuwa alisema, kama uko busy guy, unapaswa kujua kwamba njia ya haraka na rahisi ya kukutana na wanawake ni kwenda online. Bila kujali umri gani wewe ni au ni aina gani ya wanawake uko ndani ya, online dating sites ni kawaida surer na nadhifu njia ya inakaribia wanawake kuliko nasibu kusema hi kwa wageni katika umma, ambayo ni zaidi ya uwezekano wa kupata wewe kinachoitwa huenda kwa wanawake ambao ni kwenda juu ya siku zao na si kuangalia kuwa hit juu. Kwa kuwa katika akili, hapa ni juu ya online dating maeneo ya Kuuliza Watu inapendekeza: Kuuliza Watu Inapendekeza: Unaweza kutambua jina, lakini Video Dating ni Kuuliza Watu ni juu-nafasi ya online dating tovuti. Ni boasts sizable user msingi na tovuti (na programu) kwamba ni rahisi kutumia, kama vizuri kama kubwa ukusanyaji wa hali ya-ya sanaa makala, Video Dating ni vigumu kumpiga linapokuja kutafuta upendo. Kuuliza Watu Inapendekeza: Ndiyo, Mechi imekuwa karibu kwa muda mrefu-tangu, katika ukweli. Hata hivyo, ni vigumu sana kwa baadhi ya vumbi masalio ya online dating. Tovuti inatoa watumiaji premium uzoefu linapokuja kwa wote makala na wanachama, na kufanya ni chaguo kubwa kwa mtu yeyote ambaye ni kuangalia kwa ajili ya cream ya dating mazao. Kuuliza Watu Inapendekeza: Kama wewe ni kuangalia kwa ajili ya ngono badala ya uhusiano, unaweza kutaka kuchagua Rafiki Finder juu ya Video kwa Dating au Mechi. FF ni hookup tovuti ambayo inalenga katika tamaa yako katika chumba cha kulala badala ya kila kitu kingine. Katika suala la sifa, unaweza ujumbe kwa watumiaji wengine, uhakika, — lakini pia unaweza kuishi-matangazo, kwa mfano, wakati wa Nini ni Moto sehemu ya mambo muhimu juu-rated picha, maelezo na video kwenye tovuti. ← Anonymous chat roulette Kugundua bure bila malipo →
2018-11-13T20:04:36
https://sw.videochat.world/njia-ya-kukutana-na-wanawake-nje-ya-baa-kuuliza-watu/
[ -1 ]
« Jinsi ya kublogu kwa simu za mkono Huduma za kuhifadhi makala ndefu na Jinsi ya kuweka makala bloguni » This entry was posted on April 7, 2006 at 10:13 am and is filed under Blogger, Jinsi ya kuanza kublogu. You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0 feed. 16 Responses to “Jinsi ya kuanza kublogu” weight watchers Says: October 6, 2006 at 5:27 pm | Reply weight watchers Schuldenberatung Says: October 18, 2006 at 6:52 am | Reply Schuldenberatung FREDY OKUKU Says: December 16, 2006 at 2:26 pm | Reply mimi ni mtanzania FREDY OKUKU Says: December 16, 2006 at 2:28 pm | Reply mimi ni mwanafunzi FREDY OKUKU Says: December 16, 2006 at 2:29 pm | Reply mimi ninatafuta ukweli FREDY OKUKU Says: December 16, 2006 at 2:31 pm | Reply mimi ni mtoto wa okuku gun cabinets Says: February 15, 2007 at 11:52 pm | Reply gun cabinets Features of gun cabinets. adult nude web cam Says: February 18, 2007 at 11:29 am | Reply adult nude web cam News about adult nude web cam. mongolian barbecue restaurant Says: April 20, 2007 at 11:40 am | Reply mongolian barbecue restaurant mongolian barbecue restaurant intro article gratis swinger video Says: April 26, 2007 at 1:50 pm | Reply gratis swinger video home | gratis swinger video | contacts blocker nicotine Says: May 31, 2007 at 8:50 pm | Reply blocker nicotine Top news about blocker nicotine. philadelphia celebrex attorney Says: May 31, 2007 at 8:50 pm | Reply philadelphia celebrex attorney ka-ka-sh-ka 5031546 Master information for philadelphia celebrex attorney. town car Says: May 31, 2007 at 9:04 pm | Reply town car Relevant town car teen mouth cum Says: June 7, 2007 at 5:24 pm | Reply teen mouth cum ka-ka-sh-ka 5031546 Search results for ‘teen mouth cum’. daniel kadwame Says: January 14, 2011 at 11:24 am | Reply naomba kaeni tayari kupata habari za kila siku Sephania Says: December 16, 2014 at 9:20 am | Reply Mimi nilikuwa naomba mwendelezo hapo ili nijiunge na B moja kwa moja
2017-06-27T12:18:21
https://mwongozo.wordpress.com/2006/04/07/jinsi-ya-kuanza-kublogu/
[ -1 ]
TH # bangla waz mehfil Recent keywords for the quotation: «bangla waz mehfil» Results for «bangla waz mehfil» ¿ charli chaplin bangla 3gp video free download ¿ bangla tabijer kitab download for jar # united healthcare 2019 # picha za kuma nzuri mboo na mikundu
2020-08-14T13:24:47
https://www.thumbcreator.website/fx-quotes/bangla-waz-mehfil/
[ -1 ]
STRAIKA: DIEGO LOPEZ AMFUNIKA RONALDO KIWANGO DHIDI YA BORUSSIA DIEGO LOPEZ AMFUNIKA RONALDO KIWANGO DHIDI YA BORUSSIA Chati ya utafiti uliofanywa kwa mashabiki wa Real Madrid nchini Hispania kupima viwango vyao katika mechi waliyolala 4-1 dhidi ya Borussia Dortmund Kipa wa Real Madrid, Diego Lopez KWA mujibu wa utafiti uliofanywa nchini Hispania, Diego Lopez ndiye mchezaji wa Real Madrid aliyeepuka lawama katika kikosi kilichosambaratishwa na Borussia Dortmund kwa kipigo cha 4-1. Mashabiki wamempa kipa huyo alama 6.6. Waliomfuatia ni Varane na Ronaldo, ambaye amepata alama 4.3. Pepe ndiye aliyepata alama ndogo zaidi, akiambulia alama 1.4. Ingawa Diego Lopez alitunguliwa magoli manne na mshambuliaji raia wa Poland, Robert Lewandowski, aliificha aibu zaidi Real kwa kuokoa mashuti mengine ya hatari, likiwamo la Reus wakati matokeo yakiwa 0-0. Katika dakika za mwisho wa mechi aliokoa kwa ncha ya vidole shuti kali la Gundogan ambalo lilidhaniwa lingetinga wavuni. Haukuwa usiku mzuri kwa Pepe na hakuweza kumdhibiti Lewandowski, ambaye alikuwa nyota wa siku asiye na ubishi akithibitisha uwezo wake wa kutupia kambani magoli. Hicho ndicho kilichomfanya beki huyo Mreno kupata alama ndogo zaidi. Mashabiki hawakumuacha Mourinho pia. Kocha huyo Mreno alipewa alama kiduchu, 2.2 tu kwa kutumia takriban dakika 90 zote za mechi hiyo akiwa amepigwa ganzi kwenye benchi la ufundi ilhali kocha wa mwenzake wa Borussia Jurgen Klopp alikuwa muda wote amesimama pembeni ya uwanja akitoa maelekezo kwa wachezaji nini kifanyike. Wachezaji waliopata alama chache katika mechi hiyo walikuwa Sergio Ramos (2.9), Xabi Alonso (2.2), Ozil (2.2), Higuain (2.9), Di Maria (2.8) na Benzema (2.1). Orodha hiyo pia inawajumuisha Coentrao, ambaye alikuwa miongoni mwa waliopata alama nzuri akipata (3.3), wakati waliopondwa Khedira (2.5), Modric (2.2) na Kaka (2.0). Wastani wa jumla wa timu ulikuwa alama 2.9. Posted by Amur Hassan at 1:20 PM
2017-08-24T08:36:13
http://straikamkali.blogspot.com/2013/04/diego-lopez-amfunika-ronaldo-kiwango.html
[ -1 ]
Simba kumekucha Zanzibar NEXT Muhimbili yafanya upasuaji kwa matundu... Simba, Yanga kazi imekwisha... Tume yalaani mauaji ya ofisa upelelezi ... Chuo Kikuu Dar chapinga kudahili vilaza... RPC azuiwa kujibu swali la Tundu Lissu... Magufuli apongeza madaktari Muhimbili... Mahiga: Waliofukuzwa Msumbiji wasiharibu uhusiano SADC... Serikali yaionya TFF... DC aagiza ‘Tiger’ na wenzake wakamatwe... Mhasibu wa manispaa afukuzwa kazi... Waziri SMZ awapongeza Magufuli, Shein ... Mke wa bilionea Msuya aachiwa huru ... Mokiwa amshitaki Askofu Mkuu Anglikana... Rais Museveni kuja Jumamosi... Walioua Polisi Pwani wahusishwa na ugaidi... TCRA:Kuhama kampuni ya simu si lazima... Jiji Dar lapitisha bajeti ya bil. 20/- ... U/Ndege wa kimataifa kujengwa Babati... Ndalichako ageukia ada shule za kidini... Meya Dodoma kakubali yaishe... 7,000 hatarini kufutiwa udahili vyuo vikuu... Masogange kizimbani, adaiwa kutumia Heroine... Majaliwa aagiza wakurugenzi wasimamie fedha... Yanga, Simba kufia uwanjani... Samia: Nchi za Bonde Mto Nile shirikianeni... Kally alaumu wachezaji... Majaliwa ataka Babati watunze daraja... Wafanyakazi Quality Group wadaiwa kughushi... Ujenzi barabara za juu Ubungo waiva... Kituo cha forodha Tanzania, Zambia chaanza kutumika... Uko hapa: Home/Michezo na Burudani/Simba kumekucha Zanzibar Imeandikwa na Mwandishi Wetu, Zanzibar Imechapishwa: 08 Januari 2017 Kuchapa Barua pepe View Comments VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara Simba leo wanashuka dimbani kucheza na vijana hatari wa Jang’ombe Boys katika mchezo wa kuhitimisha mechi za Kundi A utakaofanyika kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Mchezo huo ni kama fainali kwa timu zote mbili, licha ya Simba kuongoza wakiwa na pointi saba mkononi baada ya kucheza mechi tatu, lakini wakifungwa leo, Jang’ombe watafikisha pointi tisa. Simba iko kieleni katika Kundi A baada ya zifunga 2-1 Taifa Jang’ombe , 1-0 dhidi ya KVZ na kutoka suluhu na Mamlaka ya Mapato Uganda au URA. Jang’ombe Boys wakiipumulia Simba kwa pointi sita, hivyo wakishinda au kutoka sare watafikisha pointi saba au tisa na kuifikia au kupita kabisa Simba. Taifa jang’ombe nao wana pointi sita na URA, ambao ni mabingwa watetezi wa kombe hilo, wenyewe wana shika mkia wakiwa na pointi zao nne, lakini wana uwezo wa kufikisha saba, endapo watashinda leo. URA wenyewe leo watakuwa na kibarua wakati watakapotoana jasho na Taifa Jang’ombe katika mchezo utakaofanyika kuanzia saa 2:30 usiku kwenye Uwanja huo huo wa Amaan. Simba wenyewe wanajua kuwa mchezo wa leo utakuwa mgumu pamoja na umuhimu wake kutokana na Jang’ombe Boys pamoja na uchanga wao, lakini wameonesha uwezo mkubwa hata kuifunga URA, ambayo Simba walitoka nayo suluhu. Kitu kingine kinachofanya mechi zote za leo kuwa muhimu, hadi sasa hakuna timu yoyote yenye uhakika wa kucheza nusu fainali kutoka katika kundi hilo, huku kila moja ikiwa na nafasi ya kufuzu kwa hatua hiyo kutegemea na jinsi itakavyochanga karata zake. Simba wanaweza kujikuta wakirudi Dar mapema endapo watafungwa, kwani watabaki na pointi zao saba wakati Taifa Jang’ombe na Jang’ombe Boys kila moja inaweza kufikisha pointi tisa endapo itashinda mchezo wake wa mwisho. Aidha, Kocha Mkuu wa Simba Mcameroon Joseph Omog alisema anatarajia upinzani mkali kutoka kwa Jang’ombe Boys katika mchezo wao huo. Omog alisema kwamba Jang’ombe Boys ni timu nzuri na ilidhihirisha hilo baada ya kuwafunga mabingwa watetezi, URA 2-1, hivyo hata mbele ya Simba watakuwa tishio tu. Kwa sababu hiyo, Omog amesema kwamba amewandaa vizuri vijana wake kwenda kucheza kwa tahadhari ili kuepuka kuingia kwenye mitego ya Jang’ombe Boys. Nusu fainali ya kwanza ya mashindano hayo itapigwa kwenye Uwanja huo Januari 10 saa 10:00 Jioni wakati ile ya pili itafanyika kuanzia saa 2:30 Usiku wakati fainali itakuwa Januari 13 kuanzia saa 2:30 Usiku. Katika Kundi B, Yanga tayari imeshajihakikishia nafasi ya kucheza nusu fainali na jana usiku ilikuwa na kibarua cha kucheza na Azam FC ikisubiri wa kukutana naye katika hatua hiyo. Mashindano hayo ni ya kusheherekea miaka 53 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyofanyika mwaka 1964, ambayo yaliuondoa utawaka wa Waarabu. Yanga njia nyeupe Polisi aua mwenzake, ajiua baada ya mechi 2017-02-22 Yanga wajiachia, Simba wapigwa stop Muhimbili yafanya upasuaji kwa matundu Simba, Yanga kazi imekwisha Tume yalaani mauaji ya ofisa upelelezi 2017-02-24 Chuo Kikuu Dar chapinga kudahili vilaza Chuo Kikuu... SIKU moja baada ya Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kutangaza utata wa udahili wa... RPC azuiwa... MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imemzuia shahidi wa kwanza katika... Magufuli apongeza... RAIS John Magufuli amewapongeza madaktari wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa juhudi... DC aagiza ... WAKAZI wa Kata ya Kinondoni katika Manispaa ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam wa... Sponsored Links Sunrise: 6:28 am | Sunset: 6:44 pm 85% 17.7 km/h 1009.000 in Sunrise: 6:57 am | Sunset: 7:7 pm 86% Sunrise: 6:41 am | Sunset: 6:52 pm 84% Sunrise: 6:43 am | Sunset: 6:58 pm 90%
2017-02-24T06:16:59
http://habarileo.co.tz/index.php/michezo-na-burudani/19633-simba-kumekucha-zanzibar
[ -1 ]
HABARI NA MATUKIO: TIDO MUHANDO ABURUZWA KORTINI KWA UHUJUMU UCHUMI TIDO MUHANDO ABURUZWA KORTINI KWA UHUJUMU UCHUMI Aliyekuwa kuwa mkurugenzi Mkuu Wa shirika la utangazaji nchini, Tido Muhando, amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya uhujumu uchumi. Mhando ambaye kwa sasa ni Mkurugenzi Wa Azam Media anakabiliwa na mashtaka manne ya matumizi mabaya ya madaraka na shtaka moja la kuisababishia serikali hasara ya zaidi ya sh. Milioni 887. Mhando alifikishwa mahakamani hapo nyakati za asubuhi na ilipofika saa 5:22 asubuhi aliingizwa katika ukumbi wa mahakama ya wazi kusomewa kesi yake hiyo. Mhando amesomewa mashtaka yake Mwendesha Mashtaka Wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Leonard Swai aliyekuwa akisaidiana na wakili, Aneth Mavika pamoja na Dismas Muganyizi. Akisoma hati ya mashtaka Swai amedai, Juni 16, 2008 huko Dubai United Arab Emirates (UAE) mshtakiwa Mhando, akiwa mwajiriwa wa TBC kama Mkurugenzi Mkuu alitumia madaraka yake vibaya kwa kusaini mkataba wa makubaliano kwa ajili ya kuendesha vipindi vya utangazaji kati ya TBC na Channel 2 group Corporation ( BV1) bila ya kupitisha zabuni kinyume na sheria ya manunuzi na kuisabishia BV1 kupata manufaa. Katika shtaka la pili imedaiwa, Juni 20,2008 katika eneo hill hilo, Mhando, katika utekelezaji wa kazi yake alitumia madaraka vibaya kwa kusaini makubaliano ya utangazaji wa digital duniani kati ya TBC na BV1. Pia imedaiwa Agosti 11,2008 na Septemba 2008 katika maeneo hayo, Mhando alisaini mkataba wa makubaliano ( kuongea wakuu wa mkataba ) kwa ununuzi, usambazajj kufunga vifaa vya usambazi na mnara wa utangazaji kati ya TBC na BVI na kuisababishia BVI kupata faida. Katika shtaka la nne, Mhando anadaiwa, Novemba 16, 2008 akiwa Dubai ,United Arab Emirates alitumia vibaya madaraka yake kwa Kusini mkataba wa makubaliano(kuongea wakuu wa mkataba ) kwa kuendesha miundombinu ya utangazaji ( DTT broadcast infrastructure) kati ya TBC na BVI na kusababisha BVI kupata manufaa. Katika shtaka la tano Tido anadaiwa kuwa kati ya Juni 16 na Novemba 16,2008 katika maeneo hayo ya United Arab Emirates aliisababishia hasara TBC ya Sh 887, 122,219.19. Hata hivyo, Baada mshtakiwa Mhando amekana mashtaka hayo na yuko nje kwa dhamana baada ya kutimiza masharti ya dhamana. Hakimu Nongwa alimtaka mshtakiwa hiyo kutoa fedha taslimu mahakamani hapo Sh 444 milioni ama hati ya mali isiyohamishika yenye thamani ya kiasi hicho cha fedha. Aidha ametakiwa kuwa na wadhamini wawili ambao watasaini bondi ya milioni 500, na pia hatakiwi kutoka nje ya nchi bila ya kuwa na kibali cha mahakama. Kesi hiyo, imeahirishwa hadi Februari 23,2018 kwa ajili ya kusomewa maelezo ya awali (PH). Kwa mujibu wa upande wa mashtaka upelelezi katika kesi hiyo umekamilika. KUMBUKUMBU March 2008 ( 80 ) April 2008 ( 53 ) May 2008 ( 40 ) June 2008 ( 38 ) July 2008 ( 75 ) August 2008 ( 23 ) September 2008 ( 54 ) October 2008 ( 13 ) November 2008 ( 5 ) January 2009 ( 15 ) February 2009 ( 4 ) March 2009 ( 6 ) April 2009 ( 1 ) May 2009 ( 1 ) June 2009 ( 12 ) July 2009 ( 14 ) August 2009 ( 6 ) September 2009 ( 25 ) October 2009 ( 7 ) November 2009 ( 10 ) December 2009 ( 18 ) January 2010 ( 20 ) February 2010 ( 5 ) June 2010 ( 18 ) September 2010 ( 13 ) November 2010 ( 1 ) March 2011 ( 13 ) April 2011 ( 144 ) May 2011 ( 154 ) June 2011 ( 144 ) July 2011 ( 115 ) August 2011 ( 170 ) September 2011 ( 90 ) October 2011 ( 101 ) November 2011 ( 155 ) December 2011 ( 146 ) January 2012 ( 165 ) February 2012 ( 127 ) March 2012 ( 164 ) April 2012 ( 154 ) May 2012 ( 183 ) June 2012 ( 162 ) July 2012 ( 186 ) August 2012 ( 133 ) September 2012 ( 148 ) October 2012 ( 179 ) November 2012 ( 213 ) December 2012 ( 206 ) January 2013 ( 228 ) February 2013 ( 208 ) March 2013 ( 166 ) April 2013 ( 187 ) May 2013 ( 240 ) June 2013 ( 194 ) July 2013 ( 148 ) August 2013 ( 171 ) September 2013 ( 188 ) October 2013 ( 212 ) November 2013 ( 175 ) December 2013 ( 158 ) January 2014 ( 130 ) February 2014 ( 153 ) March 2014 ( 237 ) April 2014 ( 250 ) May 2014 ( 241 ) June 2014 ( 200 ) July 2014 ( 295 ) August 2014 ( 221 ) September 2014 ( 207 ) October 2014 ( 266 ) November 2014 ( 210 ) December 2014 ( 228 ) January 2015 ( 166 ) February 2015 ( 182 ) March 2015 ( 216 ) April 2015 ( 225 ) May 2015 ( 228 ) June 2015 ( 283 ) July 2015 ( 245 ) August 2015 ( 226 ) September 2015 ( 212 ) October 2015 ( 246 ) November 2015 ( 212 ) December 2015 ( 231 ) January 2016 ( 220 ) February 2016 ( 221 ) March 2016 ( 238 ) April 2016 ( 214 ) May 2016 ( 160 ) June 2016 ( 210 ) July 2016 ( 255 ) August 2016 ( 312 ) September 2016 ( 313 ) October 2016 ( 270 ) November 2016 ( 258 ) December 2016 ( 210 ) January 2017 ( 194 ) February 2017 ( 193 ) March 2017 ( 268 ) April 2017 ( 215 ) May 2017 ( 213 ) June 2017 ( 278 ) July 2017 ( 247 ) August 2017 ( 228 ) September 2017 ( 227 ) October 2017 ( 290 ) November 2017 ( 234 ) December 2017 ( 258 ) January 2018 ( 208 ) February 2018 ( 136 )
2018-02-21T07:19:54
http://www.kajunason.com/2018/01/tido-muhando-aburuzwa-kortini-kwa.html
[ -1 ]
Meridianbet ni mwendo wa Afya na Burudani nyumbani | East Africa Television Meridianbet ni mwendo wa Afya na Burudani nyumbani Jumamosi , 4th Apr , 2020 Kama Kampuni inayowajibika kwa jamii na kujali afya na utu wa wananchi, Meridianbet inataka kukuhimiza kufuata taratibu na kanuni zilizowekwa na mamlaka husika. Submitted by Elbogast on Jumamosi , 4th Apr , 2020 Sisi kama jamii ni lazima tujali afya zetu na wananchi wengine na kuonesha mshikamano kati yetu. Tunafahamu kiasi cha msongo wa mawazo na hali ya mabadiliko katika maisha yetu, hali hii imepelekea watu wengi kutumia muda mwingi kukaa majumbani na kujitenga. Hivyo, kwa ajili ya kufanya hali iwe rahisi katika kipindi hiki ambacho wote tupo, Meridianbet imeamua kuwapa ofa kubwa wananchi wote wa Tanzania. Cheza michezo ya Kasino kwa gharama zetu, mizunguko ya bure, bonasi na zaidi! Tulia uburudike na michezo tunayotoa kwa sababu Meridianbet tupo kwa ajili yako. Kwa kila muamala unaoweka kwa kutumia Vodacom M-PESA au TIGO Pesa, Meridianbet itakupa 5% ya bonasi moja kwa moja kwenye akaunti ya bonasi. Hauhitaji kutoka nje ya sehemu salama uliyopo kwa sababu yetu – unayo nafasi ya kuendelea kubashiri nasi kupitia tovuti yetu kwa kutumia simu yako ya mkononi kwa programu za Android au iOS au kutumia kompyuta. Tunahimiza wananchi wote kutii maelekezo yaliyotolewa na mamlaka husika, na kuruhusu Meridianbet kukuletea burudani nyumbani kwako, kwa kukupa fursa ya kubashiri michezo mbali mbali pamoja na michezo ya Kasino. Kumbuka, jambo muhimu kwa sasa ni kufurahi na kuwa salama. Unaweza kujisajili kwa kutumia promo code ya RED unapojiunga nasi. Tunakutakia kila la heri.
2020-06-02T11:45:01
https://www.eatv.tv/news/business/meridianbet-ni-mwendo-wa-afya-na-burudani-nyumbani
[ -1 ]
zendegiziba - غذاهای سنتی اصفهان یکشنبه 21 آبان 1396 :: نویسنده : نویسنده Ž هر شهر و استانی غذاهای محلی و سنتی ای دارد که از مهم ترین جاذبه های اجتماعی به شمار می رودکه گویی به نحوی شناسنامه آن شهر محسوب می شوند. از غذاهای محلی بگیرید تا صنایع دستی تا مکان های گردشگری . همه و همه نمادی از یک شهر و استان محسوب می شوند که اتفاقا مردمان آن منطقه تعصب خاصی نسبت به آنها دارند. البته گاهی به دلیل سیر و سفرهایی که همیشه باب بوده، این تحفه ها دست به دست چرخیده و به شهرهای دیگر قرض داده شده اند. تقریبا همه انواع خوراک ها در این استان تهیه و طبخ می شود ولی برخی از آن ها خاص خود مردم استان است كه در همه شهرها، بخش ها و دهستان ها تهیه شده و طرز استفاده آن از این خطه به نقاط دیگر ایران رفته است. غذای بریانی اصفهان در تهران از این دست غذاهاست که توسط آشپزان ماهر طبخ میشود و همواره مورد استقبال گردشگران قرار می گیرد. مشهورترین غذای سنتی اصفهان بریونی است. غذاهای دیگری چون:کوفته سبزی،کاله جوش، اماج، آب گوشت و سیب‌زمینی (گوشت و لوبیا)، كاچی هفت دختر (كاچی بی‌بی حور)و… از دیگر غذاهای سنتی استان اصفهان به شمار می آیند. گز از شیرینی‌های معروف و سوغات اصلی اصفهان است که با کیفیت بالایی در این منطقه تهیه می شود و شهرت زیادی دارد. در این مقاله سه نوع از غذاهای مشهور اصفهان را معرفی و طریقه طبخ آن را توضیح خواهیم داد. بریانی اصفهان : بریانی اصفهاندر اصفهان غذایی سالم و مغذی و مشهور است . غذایی که مخصوص نهار که از گوشت گوسفند و جگرسفید تهیه می‌شود. بدون شک یکی از معروف ترین و لذیذترین غذاهای سنتی اصفهان بریان و یا همان بریونی خودمان است؛ غذایی که بهترین و خوش طعم ترین آن را باید در اصفهان تجربه کنید. بریانی که ظاهری شبیه به همبرگر دارد از مخلوط گوشت گردن گوسفند، جگر سفید گوسفند، ادویه اصفهانی، پیاز، نمك و فلفل وزرد چوبه تهیه می شود. بعد از سرخ شدن بریانی روی آن را با دارچین، خلال بادام و گردو تزئین و با نان سنگک، سبزی تازه و دوغ نوش جان کنید. رستورانهایی در تهران مثل رستوران بریانی پل از پختن این غذا به خوبی بر می آیند. حلیم بادمجان : یکی دیگر از غذاهای سنتی و خوشمزه اصفهان که بارها خودمان آن را درست کرده ایم ولی نام آن را بخوبی نمیدایم حلیم بادمجان است که مواد لازم برای پخت آن : برنح -گوشت -بادنجان -پیاز داغ و نعناع داغ -كشك -نمك و فلفل می باشد. برنج را با اب و كمی نمك میپزیم به حدی كه وا برود.گوشت كه بهتره گوشت گردن باشه رو هم میپزیم.بادمجانها را سرخ و كمی میپزیم و بعد برنج و بادنجانها را با هم كوبیده تا به خورد هم رود و سپس گوشت را افزوده و دوباره میكوبیم و در اخر كشك را افزوده و حدود نیم ساعت میگذاریم بجوشد با حرارت ملایم و بعد با پیاز و نعناع داغ تزیین میكنیم.میتونید بنا بر سلیقه پیاز داغ را داخل خود حلیم بادنجان هم بریزید. به جای كوبیدن هم میتوانید مواد را چرخ كنید. گوشت و لوبیا :گوشت گوسفند به همراه لوبیا سفید و سبزی (تره – جعفری – شنبلیله )را میگذاریم با هم بپزند البته نمك وفلفل یادتون نره.سبزی ها را خیلی ریز نكنه چند تكه كنید كافی است .بعد از پخت مواد را از قابلمه خارج كنید و بكوبید .با اب غذا میتونید تلیت كنید (مثل ابگوشت).كمی هم برنج میتونید به مواد اضافه كنید برای لعاب غذا. خورشت ماست : گوشت بدون استخوان گردن گوسفند ▪ پیاز متوسط ▪ شکر ▪ ماست چکیده▪ زرده تخم مرغ ▪ زردچوبه۰ زعفران۰ گلاب۰ ابتدا بگذارید گوشت با پیاز و کمی زردچوبه کاملا بپزد. بعد در ظرف تفلون با دست آن را ورز دهید (این کار ممکن است یک ساعت وقت بگیرد). نصف استکان از آب گوشت را نیز کم کم به گوشت در حال ورز دادن اضافه کنید تا جایی که گوشت به صورت خمیری یکنواخت شود که به راحتی کش می آید. در ظرفی دیگر، زرده تخم مرغ، ماست و شکر را با هم مخلوط کنید و روی حرارت قرار دهید تا یک جوش بزند سپس آن را از روی حرارت بردارید و این مخلوط را به گوشت اضافه کنید. آنگاه زعفران و گلاب را افزوده و دسر را در ظرف مورد نظرتان بکشید. به مدت ۲۴ ساعت دسر را در یخچال بگذارید و بعد آن را سرو کنید. یادتان باشد که ورز دادن در این دسر اهمیت بسیاری دارد زیرا در این صورت مایه ای با خاصیت کشسانی فراوان به دست خواهد آمد. جالب است بدانید که اصفهانی ها در اصطلاح به این عمل کف زدن می گویند و استفاده از دستگاهی مانند گوشتکوب برقی را به هیچ وجه توصیه نمی کنند.
2018-09-26T13:29:55
http://zendegizibair.mihanblog.com/post/50
[ -1 ]
Msajili, CAG mmemsikia JPM? | Gazeti la Rai Home Makala Msajili, CAG mmemsikia JPM? Msajili, CAG mmemsikia JPM? WAKATI Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi akijitokeza na kutetea hotuba ya Rais John Magufuli, akisema alinukuliwa vibaya pindi alipokuwa akizuia wanasiasa kufanya mikutano, maandamano na makongamano sasa Rais ameibuka na kupigilia msumali wa katazo hilo alilosema mwanzo. Rais Magufuli ameweka wazi kuhusu kauli yake ya kuzuia wanasiasa kutofanya siasa hadi mwaka 2020, kauli hiyo ameitoa kabla Watanzania hawajasahau utetezi uliotolewa na Jaji Mutungi ambaye alisema wananchi waliitafsiri kimakosa kauli ya kwanza ya Rais Magufuli ya katazo la kufanya siasa hadi muda alioupanga kiongozi huyo. Jaji Mutungi akiwa mlezi wa vyama vyote vya siasa ameushangaza umma kuibuka na kujivika joho la utetezi wa rais. Katika kauli yake Jaji huyo anayeheshimika alisema Rais Magufuli hakuzuia wanasiasa kufanya siasa badala yake alichokuwa akitaka ni ushirikiano kutoka kwa wanasiasa hao kwa nia ya kuwaletea maendeleo wananchi. Jaji Mutungi aligeuka mfafanuzi wa kauli iliyokuwa wazi ya kuwataka wanasiasa kuacha siasa hizo alizoziita za ovyo hadi mwaka 2020 utakapofanyika uchaguzi mkuu mwingine, ili muda uliopo utumike kuijenga nchi. Akaendelea kumtetea kiongozi huyo wa nchi, kwamba hapingi siasa isipokuwa anapingana na wanasiasa aliowaita pingamizi katika kuleta maendeleo na muda wote wamejikita katika siasa bila kuangalia namna ya kutekeleza ahadi zao kwa wananchi. Hivi karibuni katika uwanja wa Biafra wakati akifungua mpango wa usalama mkoa wa Kinondoni, Rais Magufuli ameonyesha wazi kwamba mtu ambaye hakumuelewa katika tamko lake la kutaka wanasiasa kuacha kufanya siasa hadi mwaka 2020, alikuwa Jaji Mutungi. Hakumuelewa kwamba Rais Magufuli amezuia hilo kwa hoja nyepesi za kusema kwamba kufanya kwao siasa kutamfanya ashindwe kutimiza ahadi zake katika miaka mitano aliyoomba ridhaa ya kuongoza. Rais akatoa amri kwa askari kuhakikisha wanawadhibiti wanasiasa wote watakaofanya siasa katika kipindi hiki akiamini kufanya kwao siasa kutamchelewesha kutekeleza ahadi zake. Dk. Magufuli kafanya hivyo kwa sababu anaamini msajili hana ubavu wa kumnyooshea kidole kwa uamuzi wake wa kwenda kinyume na Kanuni za Maadili ya vyama vya Siasa Mwaka 2007, zilizotungwa chini ya fungu la 22(h) la sheria ya vyama vya siasa (Sura ya 258). Huenda kwa kuogopa kwake kutumbuliwa Jija Mutungi ameshindwa kabisa kusimamia haki za vyama vya siasa kwa kutumia kanuni ya namba 4(1) (a)-(e) iyosema “Kila chama cha siasa kitakuwa na haki ya kufanya mikutano ya kisiasa na maandamano kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa”. Anajua hana ubavu wa kusimamia kanuni namba 5 (1) (c) inayozungumzia wajibu wa vyama vya siasa kutotumia dola kwa kujinufaisha kisiasa “Kila chama cha siasa kitakuwa na wajibu wa kutunza maadili chini ya kanuni hizi kwa kutotumia vyombo vya dola kukandamiza na kutoa vitisho kwa chama cha siasa kingine kwa manufaa yake”. Kwa namna ambavyo Magufuli amewajengea woga watendaji wake hali hiyo imekuwa sababu ya msajili kushindwa kusimamia Kanuni ya 5(1)(i). Kanuni hiyo inasema “Kila chama cha siasa kitakuwa na wajibu wa kutunza maadili chini ya kanuni hizi kwa kuepuka kutumia mamlaka, rasilimali za Serikali, vyombo vya dola au wadhifa wa kiserikali, kisiasa au ufadhili wa nje ama wa ndani kwa namna yoyote ile ili kukandamiza chama kingine”. Inashangaza kuona msajili anaacha kusimamia wajibu wake kanuni ya 6(1)(a) ya kusimamia maadili ya vyama vya siasa. Ukitazama nyongeza ya kanuni ya 6(1) (c ), inamuhitaji kuzuia kitendo cha uvunjifu wa kanuni za maadili kisiendelee na kukitaka chama au kumtaka kiongozi wa chama kujirekebisha. Sasa nimeshangazwa na msajili kushindwa kusimamia kanuni ya 6(1) (d) kwa kushindwa kutoa onyo la maandishi kwa chama au kiongozi wa chama husika. Nikiachana na upungufu huo uliofanywa na msajili wa vyama vya siasa, mwingine anayestahili kulaumiwa kwa uvunjaji wa haki za kidemokrasia unaofanywa na Dk. Magufuli ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), George Masaju. Mtendaji mwingine mwenye dhamana ya kuisaidia serikali katika masuala ya kisheria ni Mwanasheria Mkuu wa serikali (AG), lakini hadi leo amekuwa kimya akimuacha rais akiteleza katika kauli zake za kuvunja sheria na demokrasia. Binafsi simlaumu Dk. Magufuli kwa sababu hana utaalamu wa sheria ila lawama nazipeleka kwa AG, kwa sababu ndiye anayestahili kuishauri serikali na Ikulu katika masuala ya kisheria. Kama rais anaendelea kuvunja sheria na AG anaendelea kukaa kimya sasa atakuwa na faida gani? Kwanini anakula mshahara huku anashindwa kusimamia kazi anayostahili kufanya ya kutoa ushauri wa kisheria kwa Rais na serikali? Previous articleMITI YA MATUNDA……….Ukombozi kwa mwanamke Next articleWahariri timizeni, zingatieni taaluma yenu
2019-04-21T04:29:57
http://www.rai.co.tz/msajili-cag-mmemsikia-jpm/
[ -1 ]
BREAKING NEWZZ : GEORGE TYSON AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI MBAYA YA GARI MKOANI MOROGORO--TZAMA PICHA ZA GARI LAO NA PICHA ZAO KABLA YA AJALI--R.I.P TYSON - HABARI24 Home / Uncategories / BREAKING NEWZZ : GEORGE TYSON AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI MBAYA YA GARI MKOANI MOROGORO--TZAMA PICHA ZA GARI LAO NA PICHA ZAO KABLA YA AJALI--R.I.P TYSON BREAKING NEWZZ : GEORGE TYSON AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI MBAYA YA GARI MKOANI MOROGORO--TZAMA PICHA ZA GARI LAO NA PICHA ZAO KABLA YA AJALI--R.I.P TYSON Muongozaji mkongwe wa filamu nchini Tanzania mwenye asili ya Kenya, George Tyson amefariki Dunia baada ya kupata ajali mbaya ya gari wakati wakitokea kwenye hafla ya kuadhimisha miaka miwili ya kipindi cha luninga cha The Mboni Show mkoani Dodoma kufuatia gari walilokuwa wakisafiria aina ya Toyota Noah kupasuka matairi na kuangukaeneo la Gairo mkoani Morogoro majira ya saa moja jioni. Katika gari hilo walikuwa watu 8 ila yeye pekee ndio aliyepoteza maisha na wengine kupata majiraha mwilini pamoja na dereva wa gari hilo. Kwa sasa mwili wa marehemu umehifadhiwa hapa Morogoro katika hospital ya mkoa Morogoro, baadae asubuhi mwili utaanza safari ya kurudi Dar es Salaam Awali Tyson aliwahi kuwa mume wa muigizaji nyota wa kike wa Bongo Movie, Yvonne Cherry ‘Monalisa’ aliyeza nae mtoto mmoja wa kike anayeitwa Sonia. Atakumbukwa kwa ucheshi, ukarimu na busara zake, Mungu ailaze Roho ya Marehemu Mahali pema peponi Ameen. Gari alilopata nalo ajali Director George Tyson na picha za saa 4 kabla ya tukio Dj Choka ambae kwa sehemu kubwa alikua kwenye safari moja ya Dodoma na Marehemu George Tyson, ameandika kwenye Kwenye hii safari, George Tyson aliambatana na mtangazaji Mboni Masimba wa The Mboni show. BREAKING NEWZZ : GEORGE TYSON AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI MBAYA YA GARI MKOANI MOROGORO--TZAMA PICHA ZA GARI LAO NA PICHA ZAO KABLA YA AJALI--R.I.P TYSON Reviewed by HABARI24 TV on 7:23:00 PM Rating: 5
2018-04-25T04:26:10
http://habari24.blogspot.com/2014/05/breaking-newzz-george-tyson-afariki.html
[ -1 ]
Club ya Azam FC imeingia na Baraka Zimbabwe, limetokea hili baada ya miaka miwili – Millardayo.com Club ya Azam FC imeingia na Baraka Zimbabwe, limetokea hili baada ya miaka miwili Club ya Azam FC kwa sasa ipo Harare nchini Zimbabwe kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa kuwania kucheza hatua ya makundi ya Kombe la shirikisho Afrika dhidi ya Triangle FC, mchezo ambao utachezwa katika uwanja wa Bulawayo chini Zimbabwe siku ya. Mchezo huo ambao ni muhimu kwa Azam FC kupata ushindi kwa namna yoyote au unaweza kusema ni mchezo wa kufa na kupona, Azam FC imewasili na wachezaji wake wakiwa fiti sambamba na viongozi wao wakuu wameingia leo kuiongezea nguvu akiwemo CEO wao Abdulharim ‘Popat’ Hata hivyo afisa habari wa Azam FC Jafari Iddi Maganga aliyethibitisha ujio wa viongozi hao, leo ameripoti kuwa ndio kwa mara ya kwanza mvua imenyesha na baridi kali, unaambiwa kwa miaka miwili Zimbabwe ilikuwa haijapata mvua kunyesha, hivyo kwa imani za kiafrika wanatafsiri kuwa Azam FC imekuja na baraka. ← Previous Story LIVE MAGAZETI: IGP Sirro atema cheche, Watuhumiwa wapigana vikumbo kukiri kwa DPP Next Story → MO Salah kapiga kijembe shirikisho la soka Misri, baada ya kugundua halijampigia kura The Best FIFA
2020-01-28T17:47:51
https://millardayo.com/fgyjj/
[ -1 ]
MISS TANZANIA PROFILE KATIKA MISS WORLD | AfroSwagga MISS TANZANIA PROFILE KATIKA MISS WORLD Maandalizi ya Miss World yamesha anza washiriki wote wamesha wekwa katika website ya Miss World, katika washiriki wote yupo pia bi Diana Lukumai ambae ni miss Tanzania 2016/2017 unaweza kubofya hapa kuona profile yake, Jamani nini kimetokea? seriously what happened? Miss wetu yupo kawaida mno hajapewa effort yoyote while styling her, we wish hata ange piga hizi picture na nguo zake za kimasai tujue moja, mara ya kwanza naiona hii picture na make up yake nika dhani aah labda ana jaribu kutoa pictures ambazo anaonekana vizuri kidogo si kama zile za mwanzo watu walizo kuwa wakizisambaza lakini kumbe ndio her official pictures katika miss world haya ni maoni yetu, hatujui kuhusu nyie ila hizi picture Diana hakuwa styled kabisa si kama za Lilian Kamazima mwaka jana, Diana yupo kawaida sana hio black dress una weza kuipata kariakoo ina maanisha hakuna mbunifu aliye buni hapo pia make up yake, yule mshindi namba 3 Grace Malikita ni make up artist mzuri nadhani ange mpa msaada Diana ange pendeza mno. Ukiangalia pictures za washiriki wengine kutoka Nchi mbali mbali za Africa na Ulaya utagundua hata kama wame kuwa styled simple ila wana eleweka una weza kuwaangalia mara mbili nadhani hii pia ime tokana na waandaji wa Miss Tanzania Kuto muandaa Diana Kama ambavyo mwenyewe ali lalamika Miss World Ghana kavaa kitenge tu lakini kapendeza na make up yake Miss World Nigeria ni Fierce angalia make up na jinsi ambavyo ana pose Miss World Uganda simple mno lakini at least kuliko Tanzania, Tuambie yapi maoni yako kupitia 6 TIMES CHIC AMA AMETUPA AFRICAN PRINT GOALS THE BAGPACK TREND
2018-09-19T19:29:51
http://afroswagga.com/habari/miss-tanzania-profile-katika-miss-world/
[ -1 ]
Benki ya Afrika na Japan zatiliana saini makubaliano kuhusu maendeleo ya nishati - Afrika - RFI Afrika Ethiopia AU Japani Imechapishwa 19-07-2017 • Imehaririwa 19-07-2017 Saa 12:18 Benki ya Afrika na Japan zatiliana saini makubaliano kuhusu maendeleo ya nishati Nembo ya Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB logo Serikali ya Japan na Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB zimetiliana saini makubaliano ya kuazishwa kwa mchakato wa nishati kati ya Japan na Afrika ili kutoa mchango katika makubaliano kuhusu nishati kwa bara la Afrika, ambayo yanalenga kumfanya kila mwananchi kupata nishati ya uhakika ifikapo mwaka 2025 kwa kutumia rasilimali za nishati zilizopo pamoja na teknolojia ya hali ya juu. Makubaliano haya yalitiwa saini kando na mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika uliomalizika hivi karibuni jijini Addis Ababa, Ethiopia. Kutokana na majadiliano yaliyoanzishwa na viongozi wa Afrika wakati wa mkutano wa 6 wa kimataifa wa Tokyo kuhusu maendeleo ya Afrika, TICAD-VI uliofanyika jijini Nairobi mwaka 2016 na pia ziara ya rais wa benki ya Afrika, Dr Akinwumi Adesima nchini Japan, Serikali ilithibitisha utayari wake wa kusaidia mkakati wa maendeleo ya nishati kati ya Japan na bara la Afrika. Mchakato huu utachangia pakubwa kwa juhudi za barala Afrika katika kufikia mapengo ya pamoja ya kidunia kuhusu nishati na kubadilisha mifumo yake ya nishati kupitia njia ambazo sio za gharama kwa kuchanganya na matumizi ya nishati mbadala na rasilimali nyingine. Chini ya mchakato huu beki ya Maendeleo ya Afrika itaongoza mradi wa maendeleo kwa kushauriana na nchi wanachama. Nchi ya Japan iko tayari kutoa kiasi cha hadi kufikia dola za Marekani bilioni 6 kufadhili miradi ya operesheni ambayo itapeleka umeme majumbani, mashuleni, mahospitalini, kwenye kilimo, viwanda na nishati mbadala za kupikia. Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika Dr Akinwumi Adesina AfDB Mchakato huu utafadhili shughuli mbalimbali zitakazohusiana na masuala ya uma na yale ya sekta binafsi hasa kuhusu miradi ya nishati, hii ni pamoja na kuandaa ujenzi kupitia mchanganuo mzuri wa fedha na usaidizi wa kiufundi. Akizungumza kwenye sherehe za utiaji saini makubaliano haya rais wa benki ya Afrika Adesina amesema “napenda kuishukuru Serikali ya Japan kwa usaidizi wao wa muda mrefu kwa AfDB na bara la Afrika. Nakaribisha kwa mikono miwili usaidizi wa nchi ya Japan kwa makubaliano haya kuhusu nishati kwa bara la Afrika”. Balozi wa Japan nchini Ethiopia Shinichi Saida alisoma ujumbe wa naibu waziri mkuu wa Japan ambaye pia ni waziri wa fedha Taro Aso ambaye alisema ana imani kupitia mchakato huu, nchi yake itachangia pakubwa kufikia malengo na kupeleka umeme kwenye maeneo mengi ya bara la Afrika. Benki ya Afrika na Serikali ya Japan zitafanya kazi kwa karibu katika kutekeleza makubaliano yenyewe ndani ya majuma machache yajayo na kabla ya mwisho wa mwaka 2017.
2018-11-14T15:59:21
http://m.sw.rfi.fr/afrika/20170719-benki-ya-afrika-na-japan-zatiliana-saini-makubaliano-kuhusu-maendeleo-ya-nishati
[ -1 ]
Treni yaanza Dar Stesheni hadi Pugu - ZanziNews Pages Treni yaanza Dar Stesheni hadi Pugu ya Kampuni ya Reli (TRL) katika Stesheni ya Dar es Salaam kwenda Pugu huduma ambayo imeanza kutolewa leo. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA) KHAMISI KUSSA; ambayo imeanza kutoa huduma zake kwa safari ya kuanzia Stesheni ya Dar es Salaam hadi pugu, imeanza kutolewa leo katika stesheni hiyo ambayo itakuwa ikitoa huduma kwa mara 3 kwa asubuhi na mida ya jioni mara 3 ambayo itaongeza kasi ya uchumi kwa wakazi wa maeneo ya pugu hasa wakiwemo wachuuzi. ambao hasa na wachuuzi wa mboga ambao walikua wakitegemea mabasi ya Abiria (Daladala) hayo yalisemwa na chanzo chetu cha habari likicho dokeza , ambapo wengine hufika Ferry kwa majira ya Asubuhi na kuchukua mboga katika Soko la Kimataifa la Samaki Ferry na kuchukua usafiri wa Bajaji na kuwahi usafiri wa treni kwa muda unao uhitaji. wengine kufika pugu inakua ni rahisi kutokana na usafiri huo utakua wa haraka tofauti na mabasi, wengine mboga zao huharibika, na chanzo hicho kiliendelea kusema, kwanza anatoa pongezi kwa Rais Magufuli kwa kuteuwa watu makini wanao endana na kasi ya Rais Magufuli. meneja huyu ambaye jinalake silifaham, naona mwanzo wake anafanya vizuri zaidi na kumuomba aongeze kasi na kuondoa changamoto iliyopo katika usafiri hapa jijini Dar es Salaam kutokana na foleni aweze kuongeza mabehewa na aongeze vituo, chetu kiliweza kwenda mbali zaidi na kusema, kutokana na aina ya vitu ambavyo TRL wamependekeza hakika wanastaili pongezi na waweze kukumbukwa watu wa wanao ishi maeneo ya kuanzia Kipawa, Jet Lumo, Karakata na Mjimpya chini chanzo chetu kilitoa ushauri na maombi kwa Uongozi uweze kusaidia kuwepo vituo hivyo katikati ya Vingunguti, kiembembuzi na Airport ili kuwaguasa wakazi hao waishio maeneo hayo, kama wameamua kuweka usafiri huo niwazi wananchi wengi watajitokeza kufanya biashara kwa wakati tofauti ya mabasi kutwa nzima unakuwa katika usafiri na foleni ya jiji hili, ninaimani kubwa wakitekeleza hayo niwazi wananchi watakuwa na ari ya kuishughulisha kwa lengo la kujipatia kipato na kujikimu kimaisha na ukilinganisha na kauli ya Hapa kazi Wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wakigombania kuingia katika mabehewa baada ya kuanzishwa usafiri huo Wanafunzi wa Shule Mbalimbali wakiwa ndani ya mabehewa ya Treni ya Kampuni ya Reli (TRL) katika Stesheni ya Dar es Salaam kwenda Pugu huduma ambayo imeanza kutolewa . Askari wa kike ambae jina lake halikuweza kupatikana maramoja, akidandia behewa huku Treni ikiwa imeanza mwendokatika kituo ya Buguruni
2017-01-18T18:20:32
http://www.zanzinews.com/2016/08/trani-yaanza-dar-stesheni-hadi-pugu.html
[ -1 ]
2Corinthians 5:17-19 (NIV) - 10-05-2017 | Azania Front Cathedral 2Corinthians 5:17-19 (NIV) - 10-05-2017 2Corinthians 5:17-19 (NIV) JUBILATE - NEW LIFE IN CHRIST: HOW WE ARE PERCEIVED 2Corinthians 5:17-19 The scripture we have read, admonishes us to pick up the pace, so that we can stand and be counted as new creatures in Christ, through the love of Jesus. The love that changed Paul, the author of this epistle, a man who once persecuted the church, but when he met with Jesus, he was changed to being an advocate for Christ and the Church. He was the vessel of honour that brought the gospel to the world. His zeal to save the world was greater than his former zeal to kill. Accordingly it is impossible to have an encounter with Jesus and not to become a Christian. The Word says for one to be Christian you have to confess with your mouth the Lord Jesus and believe in your heart that God has raised Him from the dead.(Rom 10:9) Apostle Paul is one good example of the good changes that occurred after he met with Jesus. One who will gloat that he was a former tormentor, but now a new creature in Christ. There is no way that one would have met Jesus and not be a changed to conform to the ways of Christ. It is impossible to hide the changes, because you cannot control what is happening. People will testify over the changes they see in you. Zacchaeus and Nicodemus were changed people after they met with Jesus. What does God expect from us? Why did he seek to have us in His Kingdom at such a cost of letting His only son be crucified, a painful and a demeaning death. Ask yourself earnestly, who are you to God, and what type of a relationship do you have with Him? What do you have to show to him that you will be proud of like a true Christian? Do you ever feel indebted to Him? Christ is calling us as free persons! Let us stand and be reconciled with Him and declare victory over sin, and not be snared by sin again, but be renewed in Christ Jesus! Behold, all things have become new! MSHANGILIE BWANA - MAISHA MAPYA NDANI YA KRISTO: MUONEKANO WETU 2 Korintho 5:17-19 17 Hata imekuwa, mtu akiwa ndani ya Kristo amekuwa kiumbe kipya; ya kale yamepita tazama! Yamekuwa mapya. 18 Lakini vyote pia vyatokana na Mungu, aliyetupatanisha sisi na nafsi yake kwa Kristo, naye alitupa huduma ya upatanisho; 19 yaani, Mungu alikuwa ndani ya Kristo, akiupatanisha ulimwengu na nafsi yake, asiwahesabie makosa yao; naye ametia ndani yetu neno la upatanisho. Neno linatuasa kukaza mwendo ili tufikie kuhesabiwa kuwa viumbe vipya ndani ya Kristo, katika upendo wa Yesu. Upendo ambao ulimbadilisha Paulo, mwandishi wa Neno hili, ambaye mwanzo alilitesa kanisa, lakini alipokutana na Yesu alibadilika akawa mtetezi mkuu wa Kristo na Kanisa lake. Alikuwa chombo cha Yesu cha kupeleka injili ya Yesu kwa Mataifa. Hakuna anayekutana na Yesu asiwe mkristo. Neno linatuambia kuwa ili uwe mkristo lazima umkiri Yesu kwa kinywa chako kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako kuwa Mungu alimfufua katika wafu (Rum 10:9) Paulo ni mfano wa watu wengi ambao baada ya kukutana na Yesu waliweza kujisifu ndani ya Yesu, wakisema hapo zamani walikuwa hivi walikuwa vile! Ukikutana na Yesu, lazima itadhihirika jinsi ulivyobadilika, hutaweza kuficha. Muulize Kilichomkuta Zakayo na Nikodemo. Tujiulize, wazo la Mungu juu yangu ni nini? Anataka nini kwangu hata kuingia gharama ya kumtoa mwanawe pekee kupitia njia ngumu ya msalaba. Jiulize, una uhusiano gani na Mungu? Mahali alipokuweka anataka aone nini? Na wewe unaona una deni kwake? Kristo alituandika huru ili tufanane naye! Kama vile Yesu alivyovaa utu upya alipopaa mbinguni, basi basi pia tusimame tukiri ushindi wala tusinaswe tena na utu wa kale, tuwe viumbe viumbe vipya ndani ya Kristo. Ya kale yamepita, tazama! yamekuwa mapya.
2019-11-14T02:13:08
http://azaniafront.org/2corinthians-517-19-niv-10-05-2017
[ -1 ]
Mchumba ninayekaribia kumuoa simuelewi | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Mchumba ninayekaribia kumuoa simuelewi Discussion in 'Mahusiano, mapenzi, urafiki' started by Tigga Mumba, Aug 24, 2012. Naomba ushauri wenu. Nina mchumba wangu tumekaa muda mrefu kama miaka 5 hivi. Sasa tumeona ni muda muafaka wa kuoana. Kipindi kirefu cha uhusiano wetu hatukuwa tunaishi pamoja as yeye alikuwa anasoma mkoa mwingine nami mwingine. Lakini hii haikupunguza mapenzi yetu maana tulikuwa tunawasiliana na kutembeleana mara kwa mara. Sasa alimaliza chuo na kuanza kazi, na mimi pia nina kwangu. Tukawa tuko close zaidi na siku moja moja tunakaa pamoja nyumbani. Hili kufanya mambo yaende kwa heshima, tukafikia hatua ya kutambulishana kwa wazazi rasmi na kuanza kujipanga kwa ajili ya mahari na ndoa Kuna tabia ambazo nimezigundua zinanikera na ninaomba ushauri. 1. Huyu binti ni mvivu Anapenda kukaa kuangalia moviez tu. Moviez, kuchat thats it. Nyumba chafu nasafisha mwenyewe. Kila kitu kipo ndani(jiko, chakula), hataki kupika eti mpaka awe kwenye mood kwahiyo tunaishia kula chips. Nguo zangu chafu(hata za kwake) kufua ugomvi. 2. Kisirani Mtu wa visirani, kujibu, kununa. Sasa tunaelekea kwenye mahari lakini kichwa changu kinawaka moto. Hivi tu kwenye ndoa bado, tukiwa ndani ya ndoa si itakuwa balaa? Mimi pia nina mapungufu yangu kama vile ni mkali sana, pia nina maneno ya kukejeli(wengine wanasema dharau), but mara nyingi nakuwa open sana sio mtu wa kuficha ficha. Je nifanyeje? Binti nampenda, napenda niishi nae ila kwa style hii nyumba si itawaka moto?! Tafakari upya kuhusu athari ya tabia hizo katika maisha yenu ya ndoa. Ndoa haijaribiwi. Baada ya kusoma maelezo yako, nawiwa kusema moyo na nafsi yako vimeshakubali kuishi na huyo binti. Sasa basi, kama ndio hivyo sidhani kama kuna usauri wowote utaoweza kubadili uamuzi wako na ndio maana umeweza kuishinda ile nia iliyokuwa ikikuelekeza uachane naye hata ukafikia uamuzi wa kuposa na kutoa mahari. "Ukipenda boga, penda na ua lake" Kaka hata mimi nipo kama wewe,ila ni kawaida kwa wanaume wasafi kuwa namna hiyo na hasa ukikutana na mwanamke mchafu na mvivu,anakera sana.me naona hakuna cha kukushauri maana unalijua tatizo na uamuzi tayari unao,sema unaogopa tu kuutekeleza kwa kuhofu utachukuliwaje..we tekeleza unachoona ni sahihi kwako. Pia soma hii thread itakusaidia https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/312070-je-huyu-ndiye-nitaoana-naye-nitajuaje-ni-yeye.html mkuu heri nusu shari kuliko shari kamili.Pima mwenyewe! Munambefu said: mkuu heri nusu shari kuliko shari kamili.Pima mwenyewe!Click to expand... Kichwa kinauma. "Ukipenda boga, penda na ua lake"Click to expand... Ni kweli. Je kuna namna unahisi labda nitumie kumfanya aweze kujihusisha na mambo ya usafi/kupika? Kaa chini juilize kama matendo hayo unaweza kuyavumilia milele mpaka kifo kiwatenganishe?? Kama unaweza well and good continue kama ni ngumu jitoe. She is not the last woman you'll ever meet or be impressed by. Tigga Mumba said: UshauriClick to expand... Hakuna kitu kilichonifurahisha kama self analysis yako na kukubali mapungufu. You are one step ahead, ninakushauri kaa mjadili bila kutumia ukali; make her reason with you na especially hiyo ya kula junk food. Lakini kama wote ni wafanyakazi, mnaweza kuhire a help, mtu akawa anakuja anafanya usafi na kufua at least 4 times a week, huku mkijipanga jinsi ya kujitegemea. Nina uhakika sababu ya kumpenda ni zaidi ya kuwa mfanyakazi wa nyumbani; hivyo basi, hizo shughuli mjadiliane zitafanyika vipi coz lazima zifanyike; mwambie aje na suggestion. Ni kweli. Je kuna namna unahisi labda nitumie kumfanya aweze kujihusisha na mambo ya usafi/kupika?Click to expand... mwambie ukweli kwamba huwezi kuoa mwanamke asiyependa kupika, kufua, kufanya usafi na mengineyo...maana hayo anakufanyia wewe, jiulize mkianza kuwa na familia watoto si ndio watakua vimbulu! Ni kweli. Je kuna namna unahisi labda nitumie kumfanya aweze kujihusisha na mambo ya usafi/kupika?Click to expand... Yaani umeshindwa kum-face ukamweleza tabia ambazo huzifurahii na ukamshauri abadilike unakuja kushtaki jf! Halafu unajisifu we mkali. mkuu mshukuru Mungu kwa kukuonyesha hilo...maisha ya ndoa si mchezo huwezi ingia katika hali hiyo...ingekuwa mimi natupa kule najipanga upya...think twice kaka... Yaani umeshindwa kum-face ukamweleza tabia ambazo huzifurahii na ukamshauri abadilike unakuja kushtaki jf! Halafu unajisifu we mkali.Click to expand... Nilishamwambia lakini kutokana na namna navyoweka maneno yangu, nilikuwa mkali sana! Aliniogopa, nikajishusha tukasonga mbele. hizo ni dalili mbaya sana...atabadilika kusave mahusiano then later atakuja na hari na kasi mpya,nyumba itakuwa uwanja wa vita...binafsi mdada akileta dharau tu hata kam nimemtambulisha namdelete ahh raha kweli kweli mpangiane zamu km vip usiwe unafanya peke ako wewe fanya j3 mpk j5 yeye alh mpk jumamos jumapil afta chach muwe na genearal klniles muwe mnafanya pamoja mhh kuna mkaka mmoja ana tatizo ilo...mkewe kutandika kitanda mwiko mashuka yapo vululu lulu ..shuka linakaa ata siku 8 kitandan na ili joto jaman dah...na choo kipo ndan bas kusafisha akuna tiles nyeussssssssssssssssss...full kunuka sink km la choo chamnaz mmoja puuuhhh!!!!!!!!!!!kinyaaaa hatar inakuaje unataka kumuoa mtu ambae hauwezi kumkosoa? Manake kwa maelezo yako haujamwambia kuwa haufurahishwi na hizo tabia. Mkalishe chini muyazungumze na ujipe muda ujiridhishe kuwa amejirekebisha. piga chini huyo!!mabinti wa facebook hao na vampire diaries lol Mkalishe chini muyazungumze na ujipe muda ujiridhishe kuwa amejirekebisha.Click to expand... Kumkosoa ninaweza. Nitakaa nae chini kiupole kumuelezea tena maana nilishakaa nae chini ila nikatumia lugha kali sana. Ila asipobadilika ataniweka kwenye wakati mgumu sana maana nakereka mno.
2017-04-30T17:23:30
https://www.jamiiforums.com/threads/mchumba-ninayekaribia-kumuoa-simuelewi.312560/
[ -1 ]
Kila msumari utumikao kwenye ujenzi ni kiashiria cha kufunika jeneza la ukatili dhidi ya mtoto Sudan Kusini- UNMISS | Habari za UN Watoto wakicheza katika kambi vitongoji vya Aweli, kasakzini mwa Bahr el-Ghazal, kaskazini mwa Sudan Kusini Ujenzi wa kituo hicho unafanyika kwenye makao makuu ya jeshi la Sudan Kusini yaliyopo mji mkuu Juba, kwa ufadhili wa ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo, UNMISS. Wajenzi wanaendelea na kazi ya ujenzi wa msingi na ukuta madhubuti wa jengo hilo na vifaa vyote vipo kwenye eneo la ujenzi ikiashiria kuwa utakamilika kwa wakati. Jengo litakuwa na ofisi nne, chumba cha mkutano, eneo la mapokezi na ushoroba. Maafisa waandamizi wa jeshi wamekuwa wakifuatilia ujenzi kama anavyoelezea Meja Jenerali Chaplain Khamis Edward, Mkuu wa kitengo cha ulinzi wa mtoto kwenye jeshi la Sudan Kusini ambaye amesema, “katika ulinzi wa mtoto tunatatua mambo sita ambayo hatutaki yaendelee ndani ya jeshi na nje ya jeshi. Tunataka kutokomeza matumizi na utumikishaji watoto jeshini. Ukaliaji wa shule, utekaji watoto, ukatili wa kingono dhidi ya watoto, kuzuia ufikishaji wa huduma. Watoa huduma wasambaze huduma watakako na tutakuwa nao pamoja.” Mtoto wa kike akiwa amesimama nje ya makazi ya muda ya kulinda raia huko Bentiu nchini Sudan Kusini. Ufadhil wa ujenzi huu ni chini ya mradi wa matokeo ya haraka, QIP wa UNMISS ambao huleta kuboresha maisha ya jamii Sudan Kusini kote na Mkuu wa kitengo cha ulinzi wa mtoto, U NMISS Alfred Orono-Orono anafafanua ya kwamba, “kila tofali hapa linaashiria aina ya umoja kati yetu na jeshi la Sudan Kusini, SSPDF, na kila msumari unaotumika hapa ni msumari wa jeneza la kifo cha masuala ya ukiukwaji wa haki za mtoto Sudan Kusini. Hili ni jengo muhimu sana kwetu sisi.” Matumaini ni kwamba kukamilika kwa jengo hili ni fursa sasa ya kuanza hatua za dhati za ulinzi wa mtoto Sudan Kusini dhidi ya vitendo vya ukatili vinavyofanywa na makundi yaliyojihami kwenye taifa hilo changa zaidi duniani. Bwana Orono-Orono amesema ofisi hiyo itakuwa na afisa kutoka UNMISS na shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF, ambaye atawajengea uwezo maafisa wa jeshi la Sudan Kusini kuhakiksha kuwa suala la ulinzi wa mtoto linachipua na kuwa sehemu ya vikosi vya usalama Sudan Kusini.” Awali masuala ya ulinzi wa mtoto yalikuwa yakishughulikiwa kwenye jengo chakavu lililojengwa mwaka 2009. UNMISS|sudan kusini|sspdf|watoto|Ukatili
2019-12-10T17:32:45
https://news.un.org/sw/story/2019/04/1053381
[ -1 ]
Unachezwa: 15174 Sasa, kucheza mchezo wa tic TAC si lazima kuchukua karatasi na kuchora kiini. Tu kualika rafiki na kwenda katika mchezo. Kuwajibika kabla ya mchezo unaweza kutoa mafunzo na kushindana na kompyuta. . Kucheza mchezo tic TAC Toe online. Mchezo tic TAC Toe aliongeza: 21.03.2012 mchezo unachezwa: 15174 mara Mchezo Rating: 4.01 nje 5 (104 makadirio)
2018-07-19T09:24:31
http://sw.itsmygame.org/999970886/tic-tac-toe_online-game.html
[ -1 ]
WAZIRI MHAGAMA AKUTANA NA BALOZI WA VIETNAM BW.NGUYEN KIM DOANH JIJINI DAR ES SALAAM | MATUKIO NA VIJANA Home » »Unlabelled » WAZIRI MHAGAMA AKUTANA NA BALOZI WA VIETNAM BW.NGUYEN KIM DOANH JIJINI DAR ES SALAAM
2017-08-20T05:46:41
http://www.matukiotz.co.tz/2017/08/waziri-mhagama-akutana-na-balozi-wa.html
[ -1 ]
 Vilabu vinne Ligi Kuu England vyawania saini ya Mbwana Samatta Everton inasemekana inaendelea kutafuta mshambuliaji wa kuziba pengo lililoachwa na Romelu Lukaku 09 October 2018 Tuesday 10:35 Westham, Everton, Brighton na Burnley wanachuana kuipata saini ya nyota na nahodha wa Tanzania Mbwana Samatta anacheza soka la kulipwa katika Ligi Kuu ya nchini Ubelgiji katika klabu ya KRC Genk. Ripoti kutoka tovuti mbalimbali England zinaelezea namna gani timu hizo zinahitaji huduma ya mchezaji huyo ambaye amefanya vizuri akiwa Genk, moja ya tovuti maarufu kutoka katika mji wa Liverpool, Liverpool ECHO pamoja na mtandao wa HITC wamethibitisha uhitaji wa huduma ya Samatta ligi kuu England. Mbwana Samatta tayari amefunga mabao kumi na nne katika michezo kumi na sita ya mashindano akiwa na Genk, nusu yake akiwa ni katika michuano ya Europa League. Nyota huyo ameifungia timu yake ya Taifa ya Tanzania magoli 16 katika michezo 44 katika mashindano yote. Thamani ya nyota huyo inafikia 4,00 Mill. € kwa viwango vilivyowekwa Septemba 11 mwaka huu Samatta aliwahi kuwa mchezaji bora wa Afrika wakati anachezea TP Mazembe huku akiwa mfungaji bora msimu huo wa 2015. Alitua KRC Genk mwaka 2016 akishuhudia wenzake wakipata nafasi ya kucheza ligi kubwa akiwemo Wilfred Ndidi aliyetimkia Leicester City huku wengine wakitua League 1 na Bundesliga. Licha ya kutakiwa England bado Getafe ya Hispania inamfutilia kwa karibu nayo inahitaji huduma ya nyota huyo ambaye anafunga kila kukicha huko Ubelgiji. Samatta ambaye ana miaka 25 inaonekana muda sahihi wayeye kucheza ligi kubwa na huenda akawa mchezaji wakwanza wa Tanzania kucheza ligi kuu ya England akiwa na vilabu vinavytofahamika. Everton wanataka kuziba nafasi ya Lomelu Lukaku ambapo tangu aondoke bado pengo lake halijazibwa licha ya kusajili nyota kadhaa. Mbwana SamattaLigi Kuu EnglandWesthamEvertonBrighton Zubeir mzuzuri 2018-10-09 14:15:38 Kila la kheri popa samagoals JONATHAN 2018-11-06 18:06:17 samatta anafaa kucheza ulaya.
2018-11-19T11:39:40
http://www.azaniapost.com/michezo/vilabu-vinne-ligi-kuu-england-vyawania-saini-ya-mbwana-samatta-h23460.html
[ -1 ]
VIUATILIFU ni sumu ambayo hutumika kuua, kuangamiza, kufukuza au kuzuia visumbufu katika mimea mashambani. Visumbufu vya mimea vinaweza kuwa wadudu, kuvu (fungasi), magugu na baadhi ya wanyama na ndege. Kiuatilifu kinaweza kunyunyizwa kwa kutumia bomba la kawaida (sprayer) au kutumia tangi maalumu, lililoshikizwa kwenye trekta au ndege, ili kiuatilifu kiweze kufanya kazi kwa lengo lililokusudiwa. Kwa Tanzania ambayo wananchi wake takribani asilimia 70 wanategemea kilimo kama kitega uchumi, matumizi sahihi ya viuatilifu ni muhimu ili kukifanya kilimo hicho kuwa bora. Ukweli ni kwamba mazao shambani, haijalishi mazao ya chakula au ya biashara, endapo mkulima asipotumia pembejeo ipasavyo ikiwemo viuatilifu, huweza kuteketea au kuleta uvunaji hafifu kwa kushambuliwa na wadudu. Taasisi ya Utafiti wa Viutailifu Ukanda wa Tropiki (TPRI), imekuwa ikisimamia na kutoa mafunzo kwa wakulima ya namna ya kutumia viuatilifu sahihi ili kuepusha jamii na magonjwa yatokanayo na matumizi ya sumu za kuulia wadudu waharibifu wanaoshambulia mazao. Kwa mujibu wa taasisi hiyo matumizi mabaya au yasiyo sahihi ya viuatilifu hivyo, husababisha magonjwa kwa walaji wa mazao hayo. Pamoja na matumizi hayo yasiyo sahihi ya viuatilifu, pia wakulima wa Tanzania wamekuwa wakikabiliwa na tatizo la kununua viuatilifu hivyo feki na kusababisha wapate hasara kubwa, kwa mazao yao kuharibiwa. Kutokana na hali hiyo, Agosti, mwaka jana Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan wakati akifungua Maonesho ya 27 ya Sikukuu ya Wakulima (Nane Nane) kitaifa mkoani Simiyu, aliagiza Wizara ya Kilimo kushughulikia kasoro zilizopo katika upatikanaji wa pembejeo, hasa mbolea, mbegu na viuatilifu ili wakulima waweze kuzalisha kwa tija na kuleta mapinduzi katika sekta ya kilimo. Alisema kumekuwepo na malalamiko mengi kutoka kwa wakulima juu ya kupelekewa pembejeo, ambazo hazina ubora na wakati mwingine kuwafikia zikiwa zimechelewa na kuwafanya wazalishe kidogo. Hata hivyo, katika kutafutia suluhu suala hilo, taasisi ya TPRI kwa kushirikiana na Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL), wameingia mkataba wa maandalizi ya uzinduzi wa mfumo wa kuhakiki viuatilifu kwa kutumia simu ya mkononi. Mfumo huo umepewa jina la ‘T–Hakiki’ ni huduma ya simu ya mkononi, ambayo itamwezesha mkulima kupata taarifa ya viuatilifu, vilivyoajiriwa na kwa matumizi sahihi ili kuleta tija katika kilimo. Utoaji wa huduma hiyo, unatarajiwa kuanza mwezi ujao baada ya kukamilisha baadhi ya taratibu zinazotakiwa. Kwa mujibu wa TTCL, mfumo huo utakuwa suluhisho la kuondoa viuatilifu feki sokoni na kuongeza kasi ya matumizi ya viuatilifu sahihi vya kilimo na ufugaji. Jambo la muhimu kwa sasa ni kwa huduma hiyo, kusambazwa nchi nzima huku wakulima wakipatiwa elimu ya jinsi ya kuitumia ili kuweza mapata matokeo chanya. Hivyo, ni fursa kwao kuchangamkia huduma hiyo na kuitumia ipasavyo ili kuepusha kutumia viuatilifu feki na kuhatarisha maisha yao na mlaji.
2020-04-02T21:30:32
https://habarileo.co.tz/habari/2020-02-265e568ea870223.aspx
[ -1 ]
MAKAMU WA RAIS AONGOZA MAMIA YA WATANZANIA KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MZEE KINGUNGE ~ K-VIS BLOG '; if(img.length>=1) { imgtag = ' Posted by KHALFAN SAID on 08:38 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisaini kitabu cha kumbukumbu cha maombolezo ya msiba wa Kingunge Ngombale Mwiru kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam muda mfupi kabla ya kutoa heshima za mwisho. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitoa heshima ya mwisho mbele ya jeneza lililobeba mwili wa mwanasiasa mkongwe na kiongozi wa muda mrefu marehemu Kingunge Ngombale Mwiru kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimpa mkono wa pole mtoto wa kiume wa marehemu Kingunge anayefahamika kwa jina la Kinjekitile mara baada ya kutoa heshima za mwisho katika viwanja vya Karimjee. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)​
2018-10-22T03:31:53
http://khalfansaid.blogspot.com/2018/02/makamu-wa-rais-aongoza-mamia-ya.html
[ -1 ]
UN yataka Israil na Palestina kuzungumza - BBC News Swahili UN yataka Israil na Palestina kuzungumza https://www.bbc.com/swahili/habari/2014/07/140712_unsec_gaza_israeli_palestina Image caption UN yaitaka Israeli na Wapalestina kurejelea mazungumzo Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeitaka Israeli kukomesha mashambulizi yake dhidi ya Palestina katika ukanda wa Gaza. Baraza hilo limeafikiana kwa sauti moja kuagiza wapiganaji wa Palestina na Israel kurejelea mazungumzo huku ikibainika kuwa zaidi ya asilimia 70% ya wapalestina 133 waliouawa katika mashambulizi haya ya ndege za kijeshi za Isareili ni raiya bila ya silaha.. Shirika la Umoja wa mataifa linaloshughulikia utoaji misaada kwa wakimbizi wakipalestina UNWRA linasema kuwa kati ya idadi hiyo 28 ilikuwa ni watoto wachanga. Msemajizi wa UNWRA , Adnan Abu Hasna, ameomba pande zote husika kukomesha mauaji hayo ya Wapalestina. ''Kutokana na kile tulichokishuhudia kwa macho yetu hapa Gaza Watoto wanauawa bila ya kuhusika kwa njia yeyote na mapigano haya . Hawa watoto wameuawa wakiwa bila hatia yeyote .Sio haki wao kuuawa katika njia hii'' Image caption Mabomu yakilipuka Gaza Zaidi ya wapalestina 133 wameuawa katika siku tano ya mashambulizi ya ndege za kijeshi za Israili huku ripoti zikisema kuwa muda mchache uliopita (jumamosi) Wapalestina wengine 15 wameuawa katika mashambulizi mapya. Israel kwa upande wake inasema kuwa maeneo ya Tel Aviv yameshambuliwa kwa makombora 90 baada ya kundi la Kislamu la Hamas kutishia kushambulia mji huu baada ya ndege za kijeshi za Isareli kuendelea kulipua maeneo ya Gaza. Uamuzi huu ni wa Kwanza kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusiana na Mashambulizi ya Gaza. Israel imesema inafanya mashambulio hayo, ili kujaribu kuwazuia wapiganaji wa Hamas, ambao wamekuwa wakirusha mamia ya makomborakwenye ardhi ya Israel. Israel inalaumu wapiganaji wa Hamas kwa kutumia raia kama ngao kwa kuweka vifaa vya kivita kwenye makazi ya watu. Image caption Asilimia 70% ya waliouawa ni raiya kwa mjibu wa UN Professor Manuel Hassassian mwakilishi wa Palestina nchini Uingereza, ameiambia BBC, Israel kwa kuwalenga Hamas huwatakwepa kuwadhuru raia. Alisema idadi kubwa ya raia wamekufa siyo sababu Hamas inajificha kati ya raia, yaani inawatumia raia kama kinga. Gaza, kwa hivyo wanapowalenga Hamas wanawalenga wa-Palestina wote. Siyo Gaza peke yake.Katika Ufukwe wa Magharibi pia, Israil imekuwa ikiwauwa kiholela, na huko hakuna makombora yaliyolengwa dhidi ya Israil" Alisema Hassassian.
2018-08-15T01:39:42
https://www.bbc.com/swahili/habari/2014/07/140712_unsec_gaza_israeli_palestina
[ -1 ]
IRENE UWOYA “Mimi na Dogo Janja tumeshindwana, nina mtu wangu akioa nitaenda” – Millardayo.com IRENE UWOYA “Mimi na Dogo Janja tumeshindwana, nina mtu wangu akioa nitaenda” Irene Uwoya amekubali kufunguka kuhusu mahusiano yake mapya na kufunguka kila kitu kuhusu kile kilichokuwa kikiendelea mtandaoni kuhusu yeye na Dogo Janja. BONYEZA PLAY HAPA CHINI KUTAZAMA FULL VIDEO. VIDEO: TAZAMA SHILOLE ALIVYOWAZINGUA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU UCHEBE VIDEO: HAJI MANARA AIKATISHA SAFARI YA MILLARD AYO ← Previous Story PICHA 27: Mastaa waliohudhuria Party ya msemaji wa Simba SC Haji Manara Hyatt DSM Next Story → Mkongwe Oliver Mtukudzi apumzishwa rasmi Kijijini Madziwa (+Picha)
2019-09-15T16:02:29
http://millardayo.com/p-96d-69l6k9-e96r6/
[ -1 ]
MAONI: CCM imeingia vita vya anga bila ndege za kivita | JamiiForums | The Home of Great Thinkers MAONI: CCM imeingia vita vya anga bila ndege za kivita Discussion in 'Habari na Hoja mchanganyiko' started by jingalao, Jun 10, 2012. Kwa wiki kadhaa sasa Chama Cha Mapinduzi kimeamua kupambana na CHADEMA kwa kutumia mikutano, maandamano na mitandao ya kijamii. Mfumo huu wa mapambano umekuwa ukitumiwa na wanaCHADEMA kwa mafanikio makubwa sana. Ukweli ni kwamba CCM haina utaalamu katika aina hii ya mapambano. CCM imekosa wasemaji wenye vipaji na uwezo wa kuwavuta vijana, wasomi na wafanyakazi ukilinganisha na CHADEMA, mbinu hii mpya ya kuendesha siasa ni muhimu lakini inahitaji wataalamu wa hali ya juu. CCM ingefanikiwa sana kama ingeendelea kutumia mbinu zake za kawaida kama vile kuhakikisha mabalozi wa nyumba kumi, wenyeviti wa vijiji au mitaa na wakuu wa wilaya wanawajibika ipasavyo kurudisha imani ya chama kwa wananchi na kuhakikisha CCM inashinda kwenye chaguzi mbalimbali. Hakika ni kosa kubwa kutumia style iliyowatowa CHADEMA kimasomaso huku tukijua CCM ni mbabe wa vita ya mtaa kwa mtaa au nyumba kwa nyumba. Nape umetuingiza katika vita vya anga bila kuwa na maandalizi ya kutosha na matokeo yake yatakuwa mabaya sana kwa upande wa CCM. TAHADHARI KWA MODS-Naomba thread hii isifutwe au kuunganishwa na thread nyingine kama mlivyonifanyia jana. ccm wameona hizo siasa za kibabe na ukiritimba hazieleweki tena kwa kizazi cha leo. wewe ulitumainia kuwa wadanganyika wataishi kwa unyenyekevu wa woga milele???? advantage waliyokuwa nayo ccm ni kuwa waliendeleza ushenzi wa kikoloni wa mzungu na mwarabu dhidi ya ndugu zao. Mfano hai nilioshuhudia mimi miaka ya 70's nikiwa bado mtoto ni watu wazima wenye wake na watoto wakikimbia baada ya landrover ya mkuu wa wilaya kuonekana inakuja kijijini. Mkuu wa wilaya siku hizo alikuwa kama sultan au governor wa malkia alikuwa na uwezo wa kumkamata mtu yeyote kijijini na kumpeleka gerezani bila kuulizwa. Sasa mambo kama hayo ccm waliarithi kutoka kwa wakoloni na wameyaendeleza katika kipindi chao chote cha kutawala. Walikuwa wanabadilisha majina tu mara kigogo, mara kingunge mara mtu mkubwa mara mtu mzito nk wakimaanisha vijisultani na vi governor vi mungu mtu. Miaka ya 80's baada ya vita kulikuwa na shida za bidhaa, maji na umeme wa mgao ukaanza, ukubwa wa mtu ulikuwa ni kuwa na huduma zote muhimu wakati wananchi wengine hawana, walikuwa hawapangi mistari ya foleni ili kupata mahitaji kama wananchi wengine bali walikuwa wanapelekewa majumbani mwao na watumishi wa mashirika au serkali, wakienda hospitali au kukata ticket za usafiri nk wao wanaruka foleni ukinung'unika unaambiwa kwani wewe humjui huyo ni nani?? mtu mkubwa huyo!!! Miaka ya 90's siyo tu waliendeleza ushenzi wao bali pia wakaanza kujilimbikizia mali, kupeleka watoto wao ng'ambo nk wakaanza kuigawa jamii katika matabaka ya walionacho na wasionacho, hali iliyofanya watu waanze kulalamika lakini kwa ajili ya kutokuwepo kwa elimu na hofu iliyojengeka kwa muda mrefu ya wananchi kwa serkali, basi ccm waliendelea kujihakikishia umilki wa serkali na kuendelea kutawala kwa hiari au mabavu, kwa hadaa au kwa chochote kile Sasa watu wameamka wanataka ukombozi wa kweli, wawe huru kutoa maoni na kuwaajibisha viongozi uchwara wanaorudisha nyuma maendeleo ya nchi yao. Hapa tulipofika haogopwi mtu tena siyo mjumbe, mtendaji wala mkuu wa wilaya au mkoa, waziri wala mtoto wa raisi, muda wa ukoloni umeendelea sana na sasa saa ya ukombozi imewadia, wenye akili wameliona hilo!! Bado wanaendelea kutumia mtaji wao mkubwa, ambao ni umaskini wa waTZ!! Safari hii sidhani kama watafanikiwa andrews ukiandika bila kuweka hiyo mifont yako inayotuumiza macho utaeleweka tu, otherwise mbwembwe nyingine hizi ni za kijinga tu. nimevumilia lakini nimeshindwa ni kweli tu ndio umuweka mtu huru. Unategemea nini kwenye chama ambacho wazee ndo kila kitu hawataki vijana na ndio maana hata mbinu zao niza karne ya 13. hawasomi nyakati kwao ccm madaraka ni kuiba mpaka mwisho, unategemea watawachia vijana? ambao sasa ndo wako CDM kuongoza UKOMBOZI Unategemea nini kwenye chama ambacho wazee ndo kila kitu hawataki vijana na ndio maana hata mbinu zao niza karne ya 13. hawasomi nyakati kwao ccm madaraka ni kuiba mpaka mwisho, unategemea watawachia vijana? ambao sasa ndo wako CDM kuongoza UKOMBOZIClick to expand... vijana wa ccm lazima watoke kwenye ukoo wa kiongozi ndio apate madaraka naona bado ccm inaamini kufanikiwa kupitia mbinu za chadema! Aliyeiroga ccm alishafariki, sasa ni ngumu kupata dawa ya kuzingua zindiko. Njia hiyo waliyoamua kuitumia ndiyo itawamaliza. Watu wenyewe wababu wataweza kuhimili aibu za uzeeni? Nilicho na uhakika nacho ni kwamba njia hiyo wataiacha baada ya muda mfupi kwa kuchemsha vibaya. Kuna maeneo watarushiwa mawe, believe itg siku zote chadema ilipenda kuona mnaiga style yao kuna makada wa ccm wameamza kuamini haya unayosema Sasa hivi CCM ni chama kisicho rasmi cha upinzani, kila kitu wanajipima na CHADEMA. Wataendeshwa mchakamchaka hadi wenyewe watachoka. Watarudi kwenye wizi wa kura, lakini safari hii wizi utakumbana na nguvu ya umma. kama kweli mikakati wanayotumia hivi sasa ccm watashindwa vibaya tunalalamika nini??? kwanini mnamuamsha aliyelala/[ kama kweli amelala?] au ni uoga fulani kuwa pengine watashinda??? vinginevyo adui wako muombe njaa. kama mkakati wao wa sasa ni mbovu basi iwe furaha kwa upinzani maana uhakika wa upinzani kuingia ikulu uchaguzi ujao ni wa uhakika zaidi vinginevyo jamaa kama wataendelea na 4w-drive huko mbele maajabu yanaweza kutokea kwa kuingia tena ikulu by wider margin than before sasa sijui ikitokea hivyo mtasusa?????[haya ni maoni tu] kazi kwao walioanzisha hiyo vita, tunachotaka mujue, sisi watanzania tumechoshwa na namna CCM wanavyoliendesha hili Taifa kama vile wanagawana maandazi juu ya rasilimali zetu............. kazi ni moja tu kuwaweka pembeni sasa..... Tunawaomba wajiandae kisaikolojia kukabidhi Nchi hii kwa watu wengine kwa usalama na amani yetu kama ilivyo.........Freedom is coming tomorrow(2015) Mkuu una ujumbe mzuri, ila tusaidie wasomaji wako kutoweka rangi, na pia herufi ndogo zinasomeka kwa raha zaidi. Thanks kwa mchango wako. ccm wanachokifanya ni kama kuigiza. Hakuna mabadiliko ya msingi yanayotegemewa na hii secretariert mpya. Tatizo la ccm ni mfumo hata nyerere angefufuka na kupewa uenyekiti angeshindwa. Ni siku zimefika ni lazima ccm ife kifo cha kawaida 2 'Chama Cha Migogoro'...xo wat z ajabu abt that? Wao wanaona fahari kuwa na migogoro na vyama vya upinzani kavile ndio mfumo wa maisha ya kila siku... Yaan wameshafulia na xaxa wanaanza kuozeana na kutokwa na funza huku vilio vikitawala madomo yao... Wataalamu wa kucopy na kupaste!!!!!!! Hivi wana jf wenzangu mnajua tatizo la nchi ye2 nimfumo na si chama? Mm bado nina wasi wasi na hao cdm ina weza kuwa chupa nyengine ila mvinyo ni uleule, sababu cdm ina ongozwa na watu tena wengiwao wame toka humohumo ccm sasa tujiulize nijambo gani jema walili fanya wakiwa huko?
2016-12-07T09:03:48
http://www.jamiiforums.com/threads/maoni-ccm-imeingia-vita-vya-anga-bila-ndege-za-kivita.277018/
[ -1 ]
Annan kwenda Syria haraka | Matukio ya Kisiasa | DW | 28.05.2012 Annan kwenda Syria haraka Kikosi cha umoja wa mataifa kinachoangalia makubaliano Mjumbe maalum wa umoja wa mataifa na Arab League Kofi Annan Urusi inapinga ushahidi huo na kuendelea kuikingia kifua nchi hiyo mshirika wake wa karibu katika mashariki ya kati. Hatuamini kuwa serikali ya Syria itapendelea kuharibu ziara ya mjumbe maalum Kofi Annan , ziara ambayo ni muhimu sana ambapo tunatarajia mengi ya maendeleo, amesema Igor Pankin, naibu balozi wa Urusi katika umoja wa mataifa. Urusi yalaumu waasi Urusi na serikali ya Syria zinaendelea kuyalaumu makundi ya upinzani pamoja na watu kutoka nje wenye misimamo mikali kwa kuleta ghasia nchini humo. Waziri wa mambo ya kigeni wa Uingereza William Hague amesema kuwa hii ni mbinu ya muda mrefu sasa ya serikali ya Syria. "Hii ni mbinu inayofahamika ya utawala wa Assad ya kuwalaumu watu wengine kwa kile kinachotokea nchini mwake, ili kujaribu kujitoa katika wajibu kwa kiwango cha mauaji na uharibifu. Tumechukizwa sana katika serikali ya Uingereza na katika jumuiya ya kimataifa kwa kile tulichokiona katika muda wa siku chache zilizopita, hususan vifo vya zaidi ya watu 100 ambao hawakujihami kwa silaha , wanaume, wanawake na watoto". Jeshi huru la Syria pamoja na waasi wengine wakati huo huo wanasema kuwa mauaji ya Houla ni sababu nyingine kwanini hawataheshimu kusitisha mapigano ambayo yamepatanishwa na Kofi Annan lakini ambayo hayajafanyakazi. Wataalamu wa mataifa ya magharibi wanasema kuwa Assad huenda ataendelea kuwapo madarakani kwa miezi kadha, kama sio muda mrefu zaidi. Wakati waangalizi wa makubaliano ya kusitisha mapigano wa umoja wa mataifa nchini Syria , tayari wanashambuliwa na ghasia zinaongezeka , kuna matumaini finyu ya juhudi za amani za Kofi Annan . Mauaji ya kuchukiza Mkuu wa ujumbe wa umoja wa mataifa nchini Syria meja jenerali Robert Mood amesema kuwa mauaji hayo ni ya kuchukiza. Mkuu wa ujumbe wa UN nchini Syria Robert Mood "Haisameheki . Vifo vya watoto zaidi ya 50, hali ya baadaye ya Syria , ni kitu ambacho kinasikitisha sana". Mpango wa Annan haujakufa, amesema balozi wa Uingereza katika umoja wa mataifa Mark Lyall Grant. Lakini katika mazungumzo kuhusu mashariki ya kati kesho Jumanne na Syria siku ya jumatano baraza linahitajika kuwa na mkakati maalum wa majadiliano juu ya mpango wa Annan na kile baraza hilo la amani linaloweza kufanya kumsaidia mjumbe huyo mpango wake kufanyakazi. Wakati huo huo kundi la wapinzani limesema leo kuwa mashambulio ya jeshi la serikali ya Syria yamesababisha mauaji ya watu 41 katika mji wa Hama katika muda wa saa 24 zilizopita. Kiungo http://p.dw.com/p/153O9
2017-09-24T07:35:11
http://www.dw.com/sw/annan-kwenda-syria-haraka/a-15981005
[ -1 ]
Kuendelea siasa za chuki za Donald Trump dhidi ya Wapalestina - Pars Today Kuendelea siasa za chuki za Donald Trump dhidi ya Wapalestina Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema katika majibu yake kwa hatua ya Marekani ya kukata misaada yake kwa hospitali za Palestina huko Quds kuwa, hatua hiyo ni muendelezo wa njama zisizo na faida za Marekani za kuwatwisha Wapalestina mpango wa 'Muamala wa Karne'. Akiendeleza siasa zake za chuki dhidi ya Wapalestina, Rais Donald Trump wa Marekani amekata misaada ya dola milioni 20 ya nchi hiyo ambayo ilitengwa kwa ajili ya hospitali za Palestina huko Quds. Aidha mwanzoni mwa mwezi huu wa Septemba, serikali ya Marekani ilisimamisha misaada yake yote kwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Ajira Kwa Ajili ya Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA). Hivi karibuni Mike Pompeo, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani aliandika katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter kwamba: Katika kipindi cha miaka 24 iliyopita, Marekani imewasaidia Wapalestina misaada yenye thamani ya zaidi ya dola bilioni 6. Uchunguzi kuhusiana na siasa za Marekani kuhusu Wapalestina katika kipindi hiki unaonyesha kuwa, Washington imekuwa ikitumia misaada hiyo kama wenzo wa kutaka upendeleo kutoka kwa Wapalestina sanjari na kusukuma mbele gurudumu la malengo ya Wazayuni dhidi ya Wapalestina. Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Ajira Kwa Ajili ya Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA). Israel ni moja ya madola yanayopata misaada mingi zaidi kutoka Marekani. Utawala haramu wa Israel umekuwa ukipokea misaada isiyo na masharti yenye thamani ya zaidi ya dola bilioni 3 kwa mwaka kutoka Marekani. Licha ya Marekani kutoa misaada yote hiyo mingi kwa Wazayuni katika miongo kadhaa iliyopita, lakini imeamua kukata misaada ya Wapalestina ambayo si lolote si chochote ikilinganishwa na misaada yake kwa Wazayuni maghasibu. Ni kwa kuzingatia ukweli huo ndio maana wakosoaji wa serikali ya Washington wanasema kuwa, siasa hizo za White House lengo lake ni kuwatwisha Wapalestina mwenendo wa mapatano na Wazayuni. Uamuzi wa Marekani wa kuwakatia misaada Wapalestina unakinzana na madai yake ya kutoa misaada kwa ajili ya kuimarisha amani na utulivu katika Mashariki ya Kati hasa kwa kutilia maanani kwamba, hatua hiyo ni madhara kwa Wapalestina. Mtandao mmoja wa habari wa Kifaransa umeripoti juu ya kutekelezwa kimya kimya mpango eti wa mapatano wa 'Muamala wa Karne' na kueleza kwamba, lengo lake ni kuifutilia mbali kadhia ya Palestina. Uhaba wa maji ni moja ya matatizo yanayowakabili wananchi wa Ukanda wa Gaza Mtandao huo wa Mediapart umeandika katika uchambuzi wake kwamba: Licha ya Donald Trump kuchelewa kutangaza rasmi mpango wenye utata wa 'Muamala wa Karne', lakini kivitendo serikali ya Marekani imeanza kutekeleza baadhi ya vipengee vya mpango huo kupitia kuhamishia ubalozi wake mjini Beitul-Muqaddas na kukata misaada yake kwa Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Ajira Kwa Ajili ya Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA). Kwa mujibu wa Mediapart ni kuwa: ilipangwa kuwa, Jared Kushner mkwe wa Donald Trump na mshauri wake mkuu pamoja na Jason Greenblatt mwakilishi maalumu wa Trump wautangaze mpango wa 'Muamala wa Karne' wa kurasa 40 mwanzoni mwa mwezi huu, hata hivyo hilo halikufanyika. Hii ni katika hali ambayo, kivitendo utekelezwaji wa mpango huo uumeshaanza. Marekani ikiwa na lengo la kusukuma mbele mpango huo, haijaacha kutekeleza hatua yoyote ile isiyo ya kibinadamu wala inayokinzana na kimaadili. Serikali ya Washington iko tayari hata kutumia vibaya mazingira magumu ya maisha wanayokabiliwa nayo wagonjwa huko Palestina ili tu ifanikiwe kutekeleza mpango wake wa 'Muamala wa Karne'. Maandamano ya kupinga mpango wa 'Muamala wa Karne' Siasa za uhasama za Marekani dhidi ya Wapalestina zinaonyesha adawa na chuki ya hali ya juu walionayo viongozi wa Washington ambapo wakiwa na nia ya kufikia malengo yao hawajali wala kuheshimu maadili, utu au sheria za kimataifa. Ukweli ni kuwa, Marekani imekuwa pamoja na Israel katika jinai zake dhidi ya Wapalestina. Jambo hilo linaonyesha kuwa, harakati za Marekani dhidi ya Wapalestina zimeingia katika marhala na hatua hatari zaidi. Katika mazingira haya, walimwengu wanashuhudia kufikia kilele cha juu kabisa hatua za kukiuka maadili za serikali ya Marekani katika kipindi cha uongozi wa Donald Trump, ambapo kufanya njama, mauaji, ukandamizaji, kuyawekea vikwazo mataifa mengine, ushari na kukiuka haki za mataifa mengine ni mambo ambayo yamewekwa katika ajenda za serikali ya sasa ya Washington. Sep 10, 2018 10:42 UTC
2018-11-22T10:45:54
http://parstoday.com/sw/news/middle_east-i48042-kuendelea_siasa_za_chuki_za_donald_trump_dhidi_ya_wapalestina
[ -1 ]
RAIS DKT. MAGUFULI AFUNGUA BARABARA YA ITIGI-MANYONI-CHAYA | Politiksi Kurunzini Home HABARI Slider utawala RAIS DKT. MAGUFULI AFUNGUA BARABARA YA ITIGI-MANYONI-CHAYA SeriaJr TW Wednesday, July 26, 2017 HABARI , Slider , utawala Edit Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amkimsikiliza kwa makini Mhandisi wa TANROADS mkoa wa Singida Leonard Kapongo mapema leo. Katika mkutano wa hadhara na wananchi wa Itigi, Rais Magufuli amemuagiza Meneja huyo na Wizara ya ujenzi kupitia upya gharama za ujenzi wa barabara ya Mkiwa-Itigi itakayoelekea Makongorosi yenye urefu wa kilomita 57 ambapo gharama za ujenzi wa barabara hiyo ni bilioni 104
2018-05-26T11:48:05
https://arusha255.blogspot.com/2017/07/rais-dkt-magufuli-afungua-barabara-ya.html
[ -1 ]
Nyimbo zetu Praimary sent kayumbaa..enzi izo! | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Nyimbo zetu Praimary sent kayumbaa..enzi izo! Discussion in 'Mahusiano, mapenzi, urafiki' started by mkonowapaka, Nov 5, 2011. jamani leo nimekaa na dogo mmoja apa home anasoma hizi sent nanihii with usafiri hadi mlangoni..mara ghafla inanijia picha enzi izo nasoma vidudu hadi primary kulee kijijin kwetu....aah nimecheka sana!! kwanza kulikua na vinyimbo flani hivi common sana kuimbwa achilia mbali ngoma za kutamaduni na mambo kama hayo...mtaniwia radhi sent nanihii... ujue kwanza ile asubuhi ilikua lazima ubebe kuni na maji hawatajali umevaa ndala wala raio..uache daftari kwenu uje na kigazet they dont care..kali zaidi kipindi cha mavuno mnabeba mazo mnapeleka shule...wee mwalim nanihii wewe ndo maana huzeeki!! nirudi kwenye nyimbo sasa: wa kwanza:'kijani kibichii chaa mplilipiiili shule yetu ina raha mama weee iliyo kando yaa barabara..kando ya elimu yapita bila shiidaa...'sijui inaendeleaje apo mwingine ule wa kuagwa saa 6 hahaa.......'saa imefiika ya kweenda nyumbaniii..mama amepika waali na nyamaa na nini sijui,..'baada ya hapo ni mbio hadi kwenu..hahaaaaaa maisha yale najua bado yapo lakini very interesting!!! tukumbushane baadhi ya nyimbo zingine..........wale wa st nanihii samahanini kwa leo!!mnajua Musa Neema and Baraka kwanza>?? hahaaaaaa wkend njemaaaa Unanikumbusha stori za Juma na Roza,Damasi na Lusi,,,,na adhabu za kushika masikio.Du! Nakumbuka moja, "Mabata madogo madogo yanaogelea, yanaogelea ktk shamba zuri la bustani. Yanapenda kulia kwakwa-kwakwa, ..." Ok nimekumbuka na mwingine, "Maua mazuuuuuuri yapeeeeeendeza, ukiyatizama yanameremeta ......". Du shule enzi hizo ilikuwa poa sana! Alisemaaa alisema alisema nyerere alisema vijana wangu wote mmelegea ni sharti tuanze mchaka mchaka ... chinja Dah,KWELI NI KITAMBO CHA AINA YAKE! ILIKUWA RAHA JAMANI..... Kibangaaa ampiga mkoloni, kibanga ampiga mkoloni..................... Pia kuna mmoja tuliwahi kufundhiswa kumuimbia Mrema wakati ule akiwa waziri kwa mzee mwenye kabla ya vyama vingi "......Tunamsifu Mrema, kama alivyosema kuwahi makazini, baba Mrema hongeraaaaaa...." long time kitambo Enzi hizo tukimaliza masomo lazima tuimbe wimbo huu "Sasa sasa saa ya kwenda kwetu kwaheri mwalimu kwaheri tutaonana kesho!" Kesho, kesho.................... Tukitoka hapo ni nduki hadi home, kuwahi msosi kabla haujavaa koti. Nakumbuka zile story za Mussa na Neema na Mdogo wao Baraka na Baba yao Mr. Daudi na Mama yao Mrs. Daudi. Unakumbuka ule wimbo wa kumuimbia Mussa: ''are u sleeping*2 brother Mussa*2,morning bells are ringing,ndindondi''. Sikiri na Sadiki, darasa la 3. Mimi ni Mariam, mwanzo wa mwaka huu nilianza shule, chopeko na mnofu darasa la 2, mpapai na upepo, maskio ya mfalme marefu.... Duh, ilikuwa nzuri sana, kidumu cha maji daily, ufagio wa nje daily, kuni kila jumatano, jembe msimu wa kilimo, kukaguliwa usafi wa kucha, meno, na nguo. Kama huna mfuko wa madaftari unabeba mgongoni. Kipndi hicho kila takataka inaliwa maembe mabichi, limao, tunda pori zote, dengu za kukaanga, vibalagala, n.k hahaaaaaa wkend njemaaaaClick to expand... mkuu kijijini kwenu kulikuwa na vidudu?naomba muongozo ni kijiji gani hicho au kijiji cha makumbusho pale kijitonyama?? enzi hizo kulikuwa na shule bwana english media ni kama arusha school na sio vi sant nanihii vya sasahivi.
2017-01-19T21:38:36
https://www.jamiiforums.com/threads/nyimbo-zetu-praimary-sent-kayumbaa-enzi-izo.189441/
[ -1 ]
Tabia Nne za Mpenzi asiyekuwa na penzi la kweli | UDAKU SPECIAL BLOG November 10, 2019 Mapenzi 1 comment Unknown 16 January 2019 at 21:51 Ahsante jaman leo najifunza mengi maana mm nilikuwa mpofu najua kupenda bt ni mkos wa kutendwa had sasa nimeamua kukaa lone
2020-01-29T20:29:21
https://www.udakuspecially.com/2019/11/tabia-nne-za-mpenzi-asiyekuwa-na-penzi.html?showComment=1547664667756
[ -1 ]
(showing articles 30481 to 30500 of 37912) 02/22/18--06:15: _VITUO MAALUM VYA UC... 02/22/18--06:19: _RAIS MAGUFULI AHUDH... 02/22/18--06:24: _RAIS WA FIFA, GIANN... 02/22/18--07:27: _MAANDALIZI TAMASHA ... 02/22/18--07:29: _TANZANIA YANG'ARA K... 02/22/18--07:35: _FIRST NATIONAL BANK... 02/22/18--08:00: _TAARIFA KUTOKA BENK... 02/22/18--21:36: _.WAZIRI JAFO AAGIZA... 02/22/18--21:37: _WILAYA YA GAIRO YAE... 02/22/18--21:42: _Naibu waziri SUBIRA... 02/22/18--21:57: _WAZIRI MKUCHIKA AKU... 02/22/18--22:29: _ALIVYOWASILI RAIS W... 02/22/18--22:34: _BAM INTERNATIONAL Y... 02/22/18--23:06: _TANZANIA YAIPONGEZA... 02/22/18--23:15: _MWENYEKITI MTAA WA ... 02/23/18--00:29: _DALALI ATAKA TAWI L... 02/23/18--00:30: _SAM KAMANGA- NIC KU... 02/23/18--05:41: _RAIS DKT. MAGUFULI ... 02/23/18--06:04: _CHEKA KUZICHAPA NA ... 02/23/18--06:07: _CDMT YABORESHA MIUN... older | 1 | .... | 1523 | 1524 | (Page 1525) | 1526 | 1527 | .... | 1896 | newer 02/22/18--06:15: VITUO MAALUM VYA UCHENJUAJI KUJENGWA KATIKA MAENEO YA WACHIMBAJI WADOGO NCHINI 02/22/18--06:19: RAIS MAGUFULI AHUDHURIA MKUTANO MAALUM WAKUU WA NCHI JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI (EAC) UNAOFANYIKA KAMPALA NCHINI UGANDA 02/22/18--06:24: RAIS WA FIFA, GIANN INFANTINO AWASILI NCHINI TANZANIA 02/22/18--07:27: MAANDALIZI TAMASHA LA PASAKA YAZIDI KUNOGA,ROSE MUHANDO 02/22/18--07:29: TANZANIA YANG'ARA KATIKA VITA DHIDI YA RUSHWA Tanzania, Rwanda Zang’ara EAC Vita ya Rushwa . 02/22/18--07:35: FIRST NATIONAL BANK YAENDESHA MKUTANO KUJADILI UCHUMI 02/22/18--08:00: TAARIFA KUTOKA BENKI KUU 02/22/18--21:36: .WAZIRI JAFO AAGIZA DARAJA LA CHIPANGA LIKAMILIKE KABLA YA MWEZI JULAI, MWAKA HUU 02/22/18--21:37: WILAYA YA GAIRO YAENDELEA KUSHIRIKIANA NA WAZAZI KUTOA CHAKULA CHA MCHANA MASHULENI Mhe. Mchembe akishiriki ugawaji chakula kwa wanafunzi Shule ya Msingi Kibedya mara baada ya kutembelea baadhi ya shule Kata ya Kibedya na Chakwale. Wanafunzi wakipata chakula cha mchana. 02/22/18--21:42: Naibu waziri SUBIRA MGALU awasha Umeme kituo cha Mbagala 02/22/18--21:57: WAZIRI MKUCHIKA AKUTANA NA UJUMBE WA DfID 02/22/18--22:29: ALIVYOWASILI RAIS WA FIFA KATIKA KITUO CHA MIKUTANO CHA JNICC JIJINI DAR Baadhi ya Wajumbe wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) wakiwasili katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) tayari kwa kikao cha shirikisho hilo mapema hii leo jijini Dar es Salaam. Baadhi ya Wajumbe wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) wakiangalia bidhaa mbalimbali za uchongaji na ushonaji toka kwa wajasiriamali wa Tanzania kabla ya kuanza kwa kikao cha shirikisho hilo mapema hii leo katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC), jijini Dar es Salaam. Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) Gianni Infantino (katikati) akiwasili katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) tayari kwa kikao cha shirikisho hilo mapema hii leo jijini Dar es Salaam, kushoto ni Rais wa Shirikisho la Soka Barani Afrika Ahmad Ahmad na kulia ni Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania Wallace Karia. Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) Gianni Infantino (aliyevaa shuka la kimasai) akivalishwa urembo wa mkononi wenye rangi za bendera ya Taifa mara baada ya kuwasili katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) tayari kwa kikao cha shirikisho hilo mapema hii leo jijini Dar es Salaam. Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) Gianni Infantino (aliyevaa shuka la kimasai) akifurahia jambo na Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania Leodger Tenga mara baada ya kuwasili katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) tayari kwa kikao cha shirikisho hilo mapema hii leo jijini Dar es Salaam. Afisa Uhusiano Mkuu toka Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Geofrey Tengeneza (kushoto) akimkabidhi Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) Gianni Infantino, zawadi mbalimbali toka bodi hiyo kabla ya kuanza kwa mkutano wa shirikisho hilo mapema hii leo katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC), jijini Dar es Salaam. 02/22/18--22:34: BAM INTERNATIONAL YAWAPA SAPOTI WATOTO YATIMA KIMARA DAR ES SALAAM MENEJA Mahusiano na Maendeleo ya Biashara .wa Kampuni ya BAM International Noreen Mazalla (wa pili kushoto) akikabidhi jiko la gesi kwa Mlezi wa ‘New Hope for Girls Organization’ Consoler Wilbort kwenye makazi ya watoto takribani 38 wa kike mayatima wanaolelewa na familia hiyo Kimara nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam jana. Kampuni ya Ujenzi ya Bam International imetoa pia msaada wa vyakula na mahitaji mengine muhimu kwa binadamu kwa familia hiyo. Anayeshuhudia (nyuma kushoto) ni Meneja Kambi na Majengo ya Kampuni hiyo, Wim Mulderij. (Picha na Robert Okanda Blogs). MENEJA Mahusiano na Maendeleo ya Biashara wa Kampuni ya BAM International Noreen Mazalla (wa tatu kushoto) akikabidhi sehemu ya msaada kwa watoto, Loveness Julius (kulia) na Rechol Lazaro wanaolelewa kwenye makazi ya ‘New Hope for Girls Organization’ Kimara nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam jana. Kampuni ya Ujenzi ya Bam International imetoa pia msaada wa vyakula na mahitaji mengine muhimu kwa binadamu kwa watoto takribani 38 wa kike mayatima wanaolelewa na familia hiyo. Anayeshuhudia (wa pili kushoto) ni Meneja Kambi na Majengo ya Kampuni hiyo, Wim Mulderij. Meneja Kambi na Majengo ya Kampuni Kampuni ya BAM International, Wim Mulderij akigawa dawa za mswaki kwa sehemu ya watoto takribani 38 wa kike mayatima wanaolelewa ‘New Hope for Girls Organization’ Kimara nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam jana. Kampuni ya Ujenzi ya Bam International imetoa pia msaada wa vyakula na mahitaji mengine muhimu kwa binadamu kwa familia hiyo. Kushoto ni Meneja Mahusiano na Maendeleo ya Biashara wa Kampuni hiyo, Noreen Mazalla. MLEZI wa ‘New Hope for Girls Organization’ Consoler Wilbort (kushoto) akimkabidhi cheti cha shukrani Meneja Mahusiano na Maendeleo ya Biashara wa Kampuni ya BAM International Noreen Mazalla wakati wa hafla hiyo, Kimara nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam jana. MENEJA Mahusiano na Maendeleo ya Biashara wa Kampuni ya BAM International Noreen Mazalla (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na watoto takribani 38 wa kike mayatima wanaolelewa ‘New Hope for Girls Organization’ Kimara nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam jana. Kampuni ya Ujenzi ya Bam International imetoa pia msaada wa vyakula na mahitaji mengine muhimu kwa binadamu kwa familia hiyo. Pamoja nao (nyuma kushoto) ni Meneja Kambi na Majengo ya Kampuni hiyo, Wim Mulderij. 02/22/18--23:06: TANZANIA YAIPONGEZA FIFA KWA KUPAMBANA NA RUSHWA 02/22/18--23:15: MWENYEKITI MTAA WA BUNGONI ATOA MABATI 150 KUCAHNGIA UJENZI WA ZAHANATI ILALA 02/23/18--00:29: DALALI ATAKA TAWI LA SIMBA CREAM TANGA KUANZISHA TIMU YA VIJANA U-17 02/23/18--00:30: SAM KAMANGA- NIC KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA WADAU WA 'BARCODES' 02/23/18--05:41: RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS WA KENYA UHURU KENYATTA KAMPALA NCHINI UGANDA 02/23/18--06:04: CHEKA KUZICHAPA NA MFILIPINO-MTWARA Kwa mara ya Kwanza Bondia Franciss Cheka anapigana Mchezo wa Kimataifa wa Kutetea Ubingwa wa Mkanda wa UBO wa kilogram76 katika Mkoa wa Mtwara,ambapo tayari ameanza Kufanya maandalizi ya Mazoezi tayari kwa Pambano hilo.AKiongea na waandishi wa habari Promota Jay Msangi anasema Bondia Kutoa Ufilipino anatoka katika Historia ya mabondia wakubwa. “Bondia huyu anahistoria anatokea katika kambi ya Man Pacquiao na anayemfundisha aliwah pia kumfundisha Pacquiao na ni Bondia mwenye kushika daraja la pili katika Nchi ya Ufilipino kenye uzito wa Kilogram 76 na hivyo unaweza kuona kwa Francis Cheka anakutana na Bondia Mwenye uwezo mkubwa”alisema Promota Jay Msangi. “Sifahamu Uwezo wa Mfilipino lakini najifahamu uwezo wangu kwa sababu nimeshakuwa Bingwa wa Dunia na hivyo nawahakikishia Watanzania hususani wakazi wa mkoa wa Mtwara nitafanya vizuri,Simfahamu huyo Bondia lakini nitakapokutana naye Ulingoni tutafahamiana Hapo Hapo”Alisema ChekaCheka. Wakati huo huo Bondia Francis Cheka amekabidhiwa Ubalozi wa Kuitangaza Eneo la Mikindani ambalo lina majengo ya Kihistoria. Mzee Mohammed Kidume Akimsimika Ubalozi wa Mikindani Bondia Francis Cheka katikati kwa lengo la Kutangaza historia ya Majengo ya Kale ambayo yalitumiwa na Wakoloni. 02/23/18--06:07: CDMT YABORESHA MIUNDOMBINU YA CHOO HANDENI
2019-12-05T18:27:01
http://jiachie1.rssing.com/chan-7007640/all_p1525.html
[ -1 ]
Young D Atembelea Maduka Ya Tigo na Kugawa Zawadi Mbalimbali Kwa Wateja na Mashabiki Zake. - BongoSwaggz.Com About Us Young D Atembelea Maduka Ya Tigo na Kugawa Zawadi Mbalimbali Kwa Wateja na Mashabiki Zake. Msanii wa kizazi kipya Young Dee akifurahi jambo na mmoja wa wateja wa tawi zawadi ya tisheti kwa mmoja wa wateja wa Tigo wa tawi la Makumbusho mapema leo alipofanya ziara ya kutembelea maduka matatu ya Tigo ya Makumbusho ,Tegeta na Manzese na kugawa zawadi na kupiga picha na mashabiki wake kuelekea sikukuu ya wapendanao mwishoni mwa wiki hii. Msanii wa kizazi kipya Young Dee akifurahi jambo na mmoja wa wateja wa Tigo tawi la Makumbusho baada ya kumkabidhi zawadi ya tisheti mapema leo alipofanya ziara ya kutembelea maduka matatu ya Tigo ya Makumbusho ,Tegeta na Manzese na kugawa zawadi na kupiga picha na mashabiki wake kuelekea sikukuu ya wapendanao mwishoni mwa wiki hii . Msanii wa kizazi kipya Young Dee akihojiwa na mwandishi Emmanuel Onyango katika Tigo wa tawi la Makumbusho mapema leo alipofanya ziara ya kutembelea maduka matatu ya Tigo ya Makumbusho ,Tegeta na Manzese na kugawa zawadi na kupiga picha na mashabiki wake kuelekea sikukuu ya wapendanao mwishoni mwa wiki hii Msanii wa kizazi kipya Young Dee akitazama simu zinazouzwa katika duka la Tigo tawi la Tegeta mapema leo alipofanya ziara ya kutembelea maduka matatu ya Tigo ya Makumbusho ,Tegeta na Manzese na kugawa zawadi na kupiga picha na mashabiki wake kuelekea sikukuu ya wapendanao mwishoni mwa wiki hii Wafanyakazi wa Tigo tawi la Tegeta wakiwa katika picha ya pamoja na msanii wa kizazi kipya Young Dee mapema leo alipofanya ziara ya kutembelea maduka matatu ya Tigo ya Makumbusho ,Tegeta na Manzese na kugawa zawadi na kupiga picha na mashabiki wake kuelekea sikukuu ya wapendanao mwishoni mwa wiki hii . Msanii wa kizazi kipya Young Dee akitoa zawadi ya tisheti kwa mmoja wa wateja wa tawi la Manzese simu zinazouzwa katika duka la Tigo tawi la Tegeta mapema leo alipofanya ziara ya kutembelea maduka matatu ya Tigo ya Makumbusho ,Tegeta na Manzese na kugawa zawadi na kupiga picha na mashabiki wake kuelekea sikukuu ya wapendanao mwishoni mwa wiki hii . Msanii wa kizazi kipya Young Dee akikabidhi zawadi ya tisheti kwa mmoja wa wateja wa tawi la Manzese zawadi ya tisheti mapema leo alipofanya ziara ya kutembelea maduka matatu ya Tigo ya Makumbusho ,Tegeta na Manzese na kugawa zawadi na kupiga picha na mashabiki wake kuelekea sikukuu ya wapendanao mwishoni mwa wiki hii . facebook count=412000;Followers
2017-03-30T10:46:47
http://www.bongoswaggz.com/2016/02/young-d-atembelea-maduka-ya-tigo-na.html
[ -1 ]
Hii Hapa Sababu Kubwa Inayowafanya Wanawake Kupiga Kelele Wakati wa Tendo la Ndoa | UDAKU SPECIAL BLOG January 07, 2020 Mapenzi 4 comments Mwaka 2011 watafiti wawili mmoja kutoka Chuo Kikuu cha Lancashire na mwingine kutoka Chuo Kikuu cha Leeds wote wa nchini Uingereza walichapisha utafiti wao walioufanya uliokuwa ukihusu utoaji wa sauti wa kati wa kujamiina. Walitaka hasa kujua kwanini wanawake hutoa sauti hizo. Katika utafiti huo, waliwahoji wanawake 71 wenye umri kati ya miaka 18 na 48 ambao hushiriki mapenzi mara kwa mara juu ya utoaji wa sauti wakati wa kujamiiana. Katika utafiti huo ulibaini kuwa wanawake wengi huto sauti hizo lakini sio pale tu wanapokuwa wamefika kileleni. Asilimia 66 walisema kuwa hutoa sauti wakati wa kujamiina ili kuwasaidia wenza wao kufika kileleni haraka, wakati asilimia 87 walisema kuwa hutoa sauti hizo ili kuwaongezea wenza wao kujiamini kwa kile wanachokifanya kuwa wapo sawa. Wanawake walieleza kuwa mara nyingi hutoa sauti wakati wenza wao wanapofika kileleni. Baadhi pia walieleza kuwa sauti hizo huwasaidia kuwaondolea uoga walionao, hali ya kutojisikia kuwa sawa, wakati mwingine kuondoa maumivu lakini pia kama njia ya kufurahia raha anayokuwa anaipata. Aidha, wataalamu hao walisema kuwa kwa vile wanaume wengi huhusisha utoaji wa sauti na mwanamke kufika kileleni, basi baadhi ya wanawake hutoa sauti hizo kwa uongo ili tu kuwaridhisha wenza wao waone kila kitu kipo sawa. Kwa upande mwingine, imegundulika kuwa wanawake si jamii ya wanyama pekee ambao hutoa sauti wakati wa kujamiiana kwani hata nyani (baboons) wana aina zao za sauti ambazo huzitoa wakati wakijamiiana. Imeelezwa kuwa wakati mwingine huwa ni vigumu sana kuelezea kila kinachotokea wakati wa kijamiiana kwa sababu kila mtu huwa na utashi wake. Lakini kitu wataalamu walichokubaliana ni kuwa sauti hizo zinaweza kumsaidia mwenza kujua kama anachofanya ni sasa hivyo aendelee au aache, aongeze au apunguze. Andika Maoni yako Hapo Chini Utuambie nini Kinamfanya Mpenzi Wako Apige Kelele Wakati wa Kuhondomola au Kama Wewe ni Mwanamke Tueleze Sababu ya Nini Kinapelekea Hadi mnapiga kelele wakati wa game,Zingatia Lugha yenye tafsida isiyokuwa na matusi. Ereneus Mbunda 12 January 2020 at 23:42 Aiseh nasubir koment zenu wadau Unknown 13 January 2020 at 09:37 Inategemea ila mimi nachoona kama mwanamke huwa ni raha inakufanya ku-scream hata kama hujafika kilele its just something you cant explain no one Can understand the feelings ..also watalaamu wameongea ukweli wanawake sometimes tuna ongopa kwa mfano ukilala na mtu humpendi na unataka mmalizane harakaharaka au una expect something from him after tendo la ndoa so una-scream ili ajue anakufurahisha au anakupa raha kumbe hamna lolote/pia sisi wanawake Hu-scream zaidi hasa ukimpenda huyo jamaa unae make nae love u just feel him deeply thatswhy or sometime kuna kama kajimaumivu flani kimechanganyikana na utamu . ..huu ndio opinion yangu au comment yangu.. Unknown 14 January 2020 at 15:01 wadada wengi wanadanganya Lee 19 January 2020 at 13:58 Ile kuscream inatusaidia sisi wanaume kupata hamu ya kuendelea kupiga game kwa kujiamini bila kuchoka,na endepo mwanamke kampenda mwanaume 100% ni lazima atascream tu ili kumfanya mwenza wake endelee kupiga show bila kuchoka,ila kama mwanamke hakupendi hawez kukupa moyo uendelee na game atachoamua atakuachia tu upige game umalize fasta then uondoke tu, hata unapokua kwenye uwanja wa mpira unacheza mpira,kila unaposkia skia mashabiki wako walioko nje ya uwanja wanakupigia makofi na kukushabikia ujue ndio wanakupa moyo na hamu ili ujikaze na ucheze mpira kwa bidii, the same as when the women scream in sex
2020-05-31T22:52:42
https://www.udakuspecially.com/2020/01/hii-hapa-sababu-kubwa-inayowafanya.html
[ -1 ]
Chomboz: MAJIGAMBO SANAA YA MAJIGAMBO KATIKA NYIMBO ZA KIZAZI KIPYA Kwa hakika sanaa ya majigambo yaijapotea Barani Afrika, isipokuwa imebadilika tu kulingana na maendeleo ya Sayansi na Teknolojia. Katika kujadili mada hii, kwanza tutaanza kufafanua dhana ya majigambo kwa kuwatumia wataalamu mbalimbali huku tukitoa maana yetu kutokana na mawazo ya wataalamu hao, pia tutaelezea kwa ufupi kuhusu chimbuko la muziki wa kizazi kipya, kisha tutaingia katika kiini cha mada tajwa kwa kuonesha jinsi gani majigambo yalivyojitokeza katika nyimbo mbili za kizazi kipya ambapo tumetumia wimbo wa msanii Prof Jay “Ndiyo mzee” na wimbo wa Sugu “Sugu”. Kisha hitimisho Kwa mijibu wa Simiyu (2011), majigambo ni maigizo yanayotoa mwanya kwa wahusika kujisifu kwa sababu ya matendo fulani ya kishujaa au mafanikio katika nyanja fulani za maisha. Mulokozi (1996), vivugo (majigambo) ni ghani la kujisifia. Kwa kawaida hutungwa na kughanwa na muhusika mwenyewe. Kivugo hutungwa kwa ufundi mkubwa kwa kutumia mbinu kama sitiari, vidokezi, ishara, takriri na wakati mwengine hata vina. Wamitila (2003), hii ni aina ya maghani (sifo) yanayohusu kujisifu au sifa. Aghalabu kuhusu kutongoa utungo wa kujisifu kuhusiana na kitendo fulani, ushujaa, urijali au matendo muhimu. Wamitila (Kishatajwa), majigambo au vivugo haya ni maigizo ambayo yanaonesha kujitapa (kujigamba) kwingi kwa mtu ambaye labda ni shujaa au ametenda mambo ya kishujaa au yenye uzito fulani. Watu wanaopatikana katika majigambo ndiyo watambaji au wasimuliaji wa majigambo yenyewe. Ni kawaida ya majigambo kuwa na lugha nzito iliyojaa tamathali zenye taswira au picha za undani na yenye hisia na mawazo mazito. Mtambaji anaweza kujitapa kwa jambo lolote lile. Wataalamu wote wanashabihiana katika kutoa maana ya majigambo kwani wote wanaelezea kuwa majigambo huhusika na matendo ya kishujaa. Kwa hiyo tunakubaliana na fasili ya Wamitila (2003), ambaye ameenda mbele zaidi na kueleza kuwa kuna matumizi ya lugha ya kisanaa. Pia mtambaji anaweza kujigamba au kujitapa kwa jambo lolote lile na siyo lazima liwe jambo la kishujaa tu. Kwa asili kivugo huwa hakiandikwi, hutungwa kichwani kabla au wakati wa utambaji. Siku hizi watu wameanza kutunga au kutungiwa kwa kuandika na baadaye kusoma kivugo hicho. Hii ni kutokana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia yanayoashiria mabadiliko ya sanaa ya majigambo. Nyimbo za kizazi kipya ni zao la mabadiliko ya sanaa ya majigambo. Muziki wa kizazi kipya hapa Tanzania ulianzia kama muziki wa Hip Hop na kwamba inaelekea kuwa mwaka 1980 na 1990 watoto wa Kitanzania kutoka kwenye familia zenye uwezo kiuchumi ndiyo waliosaidia kuleta muziki wa Hip Hop waliporudi kutoka likizo walikuja na kanda, video na majarida ya muziki kuhusu wasanii wa Hip Hop wa Marekani, Uingereza. Kwa namna hiyo muziki ulikuwa na baadaye vijana wengi walijiunga ingawa muziki huu unaendelea lakini jina la “Bongo Fleva” lilishika kasi. Kwa kutumia wimbo wa “Ndiyo Mzee” ulioimbwa na Prof Jay na wimbo wa “Sugu” ulioimbwa na Sugu tunaweza kuthibitisha kuwa ni kweli sanaa ya majigambo haijapotea barani Afrika. Wimbo wa “Ndiyo mzee” ulioimbwa na msanii Prof Jay, ni wimbo unaohusu sera zilizokuwa zikitolewa za mwanasiasa fulani wakati wa kampeni za uchaguzi. Pia wimbo wa “Sugu” ulioimbwa na Sugu ni wimbo ambao msanii anajitamba kwa sifa alizonazo yeye, kwamba, hawezi kulinganishwa na msanii mwingine yoyote yule. Sanaa ya majigambo imejitokeza katika nyimbo hizi katika sifa zifuatazo:- Watu huigiza kwa kutumia lugha nzito ya tamathali, picha na taswira zenye hisia na mawazo mazito. Katika wimbo wa “Ndiyo mzee” msanii ametumia lugha nzito ya tamathali, picha na taswira, katika ubeti wa kwanza mtambaji anajigamba kuwa:- “Nadhani nimeletwa niokoe hiki kizazi” “Mimi ni mwanasiasa niliyebarikiwa na Mungu” “Mimi ni mteule kusini mwa jangwa la Sahara” Hapa msaniii ametumia lugha hii kujitofautisha na wanasiasa wengine. Pia msanii ametumia tashibiha katika kujigamba pale asemapo:- “Nataka kuigeuza Tanzania kama ulaya” “Kwenye mahospitali nitamwaga dawa kama mchanga” Msanii ametumia lugha ya picha pale asemapo:- “Mabomba yatatoa maji na maziwa nchi nzima” Hapa hadhira inapata picha ya nchi ya Tanzania kuwa yenye mabomba ya kutoa maji na maziwa:- “Nitajenga kumbi nyingi sana za starehe baharini” Hapa hadhira inapata picha jinsi kumbi zitakavyojengwa kwenye bahari, jambo hili si la msingi analojigamba nalo mwanasiasa huyu kwa kuacha masuala muhimu kama kujenga daraja la Kigamboni pale kwenye kivuko nk. Pia katika wimbo wa “Sugu” msanii ametumia tashibiha. “Sauti yangu kwenye mic inasambaa kama upepo”. Ametumia pia lugha nzito, lugha ya picha na tashibiha. “Kuna kitu kimoja watu hawajajua huwezi kuzuia mvua na Sugu ni kama mvua kama ananyesha ananyesha” Pia ametumia sitiari. “Mimi ni dume la mbegu” Majigambo huwa na matumizi ya chuku. Katika wimbo wa “Ndiyo Mzee” msanii ametumia sana chuku. Kwa mfano:- “Nataka mpaka Matonya afundishe chuo kikuu” “Wanafunzi wafanyie practical mwezini” “Nitafungua account kwa kila mtoto mchanga“ “Nikiwa kuliko mfalme Suleiman msiwe na wasi” Majigambo husaidia kuelimisha, kuadilisha na kuhifadhi mila na kuzipokeza kwa vizazi vipya. Wimbo wa “Ndiyo mzee” unaelimisha wananchi hasa kwenye ubeti wa pili pale mwimbaji Juma Nature anapomkosoa mwanasiasa kwa kueleza kuwa, yale yote aliyojigamba nayo mwanasiasa huyo ni ya uongo na wala hatoweza kuyatimiza. Kwa hiyo anaelimisha jamii isikubali uongo wake. Wimbo huu unaweza kutumika kwa vizazi vya sasa na vijavyo ili kuelimisha wananchi juu ya wagombea wa kisiasa wanaoomba kura kwa wananchi. Pia katika wimbo wa “Sugu” msanii anasema kwamba:- “Napata matatizo natatua bila chuki” Hapa msanii anaelimisha jamii kwamba unapopata matatizo usiyatatue kwa kuwachukia wenzako bali utafute utatuzi wa tatizo. Mtambaji hutumia jina halisi au jina la sifa la muhusika. Katika wimbo wa “Ndiyo mzee” msanii ameanza kwa kujitamba kwa kutumia jina lake halisi pale anaposema:- “Ok ok naitwa Joseph Haule mwana wa Msolopa Ganzi” Vilevile katika wimbo wa “Sugu” msanii anajitapa kwa kuanza:- “Wananiita Mr two kwa jina jingine Sugu, sasa nakubali kuwa mimi ni dume la mbegu” Mtambaji huahidi kutenda mambo makubwa zaidi kwa ajili ya mkubwa wake ambaye anaweza kuwa mzazi, mtawala au umma. Katika wimbo wa “Ndiyo mzee” mtambaji prof Jay anatoa ahadi kadha wa kadha kwa wananchi kama vile:- “Nitahakikisha kila baamedi anamiliki benz” “Wanafunzi watafanyia practical mwezini” “Kwenye mahospital nitamwaga dawa kama mchanga” “Nitafungua account kwa kila mtoto mchanga” “Nitafadhili wachawi waweze kutengeneza ndege” Pia katika wimbo wa “Sugu” mtambaji pia anajitapa kwa kusema kuwa:- “Nataka kuwa kama 2pac” Pia majigambo huwa na tamati, kujikabidhi rasmi kwa mkubwa. Katika wimbo wa “Ndiyo mzee” kuna tamati ambayo imetambwa na Mc Babu Ayoub ambaye anamkabidhi mgombea kwa hadhira kwa kuiuliza hadhira kama ifuatavyo:- “Ndugu wananchi kuna mtu anaswali kutoka kwa mgombea? Nauliza nasema hivii kama mtu anaswali basi ajitokeze aweze kuuliza swali” Kwa kuhitimisha ni kuwa kutokana na athari za lugha za kimagharibi, majigambo ya muziki wa kizazi kipya yamekumbwa na mwingiliano mkubwa wa lugha kwani si ajabu kuona mtambaji akichanganya lugha ya kiingereza na lugha ya Kiswahili. Hii ni athari ya lugha kukua na kuathiriana kutokana na kukua kwa sayansi na teknolojia. Lakini majigambo ya hapo awali yalitumia lugha za asili za jamii husika na hivyo kuudumisha utamaduni wa kiafrika. VIAMBATIZI. Prof Jay – Ndiyo mzee. Kibwagizo. Naam ndugu wananchi Mc wenu babu ayubu Ninawaleteeni habari japo kwa kifupi kuhusiana na huyu mgombea wetu Joseph Haule Mpeni kura za ndiyo kwa sababu yeye ni mpenda watu, nimpenda amani na ni mtu mwenye huruma kwa wananchi wote Kwa hivyo basi nawaomba ndugu wananchi mumpe kura ya ndiyo. Naam basi hivyo basi ndugu wananchi tafadhali na mkaribisha mgombea wetu bwana Joseph Haule ili aje aweze kuzungumza na wananchi karibi karibu. Ok, ok naitwa Joseph Haule mwana wa msolopo ganzi, Nadhani nimeletwa niokoe hiki kizazi Mimi ni mwanasiasa niliyebarikiwa na Mungu Nimeletwa kwenu waungwana niwapunguzie machungu Mimi ni mteule kusini mwa jangwa la Sahara Ndiyo maana nimetunukiwa cheti cha juu cha utawala Na ikiwa kuliko mfalme Suleiman msiwe na wasi Na hii nitadhihirisha pindi mtakaponipa nafasi Actually nimedhamiria kuwasaidia Taifa lenye nguvu duniani liwe Tanzania Jamani makofi tafadhali basi jamani…… Ni mambo madogo tu Nadhani nitarekebisha mkinipa visiku vichache Uchumi utapanda ile ghafla bin vuu Nataka mpaka Matonya afundishe Chuo Kikuu Nchi ya Tanzania inang’ara ile kishenzi Na nitahakikisha kila baa med anamiliki benz Si mtafurahi dada zangu jamani.. ndiyoooooo Nipeni hiyo nafasi jamani hamuoni hali ni mbaya Nataka kuigeuza Tanzania kama Ulaya Cha kwanza nitakachofanya nitafuta umasikini Wanafunzi mkafanyie practical mwezini Kwenye mahospitali nitamwaga dawa kama nchanga Nitafungua account kwa kila mtoto mchanga Mabomba yatatoa maji na maziwa nchi nzima Watu wa vijijini mtasahau habari za visima Nitafadhili wachawi waweze kutengeneza ndege Kila mtu awe na yake makonda na wapiga debe Kiitikio. Si mtafurahi Watanzania jamani… ndiyooo mzeee Si ni kweli nakubalika jamani… ndiyooo mzeeee Basi mimi ni mkombozi wenu jama.. ndiyo mzeee Na nitafuta shida zenu zote.. ndiyo mzeee Hivi ni nani ni vijimbamambo … ndiyo mzeee Na vinanikera kweli kweli mimi.. ndiyo mzeee Basi hali itabadilika sawa.. ndiyo mzeee Na hatamu tutaishika ok…. ndiyo mzeee Wafanyakazi wa serikalini nashangaa hamna magari Yaani hata mikweche hahaaaa hii ni hatari Ninampango wa kuongeza mishahara iliyo minono Mara mia ya ile ya mwanzo ilifayofanya mfanye mgomo Nitawapa nyumba nzuri na magari ya kifahari Watu watashangaa mtakapopita kila mahali Mkulima kila mmoja nitampatia trekta Nadhani hiyo kidogo itasaidia kunyanyua sekta Mtauza nafaka zenu bilioni kwa mabilioni Watu midomo wazi kama wamekamatwa ugoni Walimu zawadi zenu amm nimezificha moyoni Nadhani mtazimia siku mkizitia machoni We acha tu mtafurahi nyinyi Ila hapo hapamfahi mtu mwingine niwekeni mimi By the way polisi wote ninawasifu Jinsi mnavyokwenda sahani moja na wahalifu Sasa kila mmoja nitampatia helicopta Nadhani hiyo wote hapo hamjawahi kuota Raia wa Tanzania mtalala milango wazi Infakti nauhakika wa kuthibiti ujambazi Nitajenga barabara tano tano juu na chini Nitajenga kumbi nyingi sana za starehe baharini Ninaupendo kuliko wa mshumaa kumulikia wenzangu Mtakaoyumba kiuchumi tutagawana vya kwangu. Ndugu wananchi kuna mtu anasawali kutoka kwa mgombea? Nauliza hivii kuna mtu anaswali basi ajitokeze ili aweze kuuliza swalii.. Nyie ndugu zangu huyu msimpe uongozi siyo vizuri Muongo tu mnafiki na kiburi kimsuli Anaongopeeaaaa saaanaa sijui kazaliwa muda gani alfajiri au alasiri Au wakati wa mvua zile za kipindi kile Amepita pita school lakini mambo yake si mazuri Wala tusimtetee atatuangamiza Labda angesubiri kwanza uchaguzi umekwisha Tumemfuma mwenyewe kwa kalmanzira anasafishwa Klamanzira akamwambia ehee shida yako Elezea fasta fasta kabla jini hajapanda Mmmmhhhh chyaaaaaaa Hajakaa vizuri mashetani si yakamuanza Kakurupuka kwa kasi kimbunga amejichanja Tukamsikia akisema kwa kasi sauti kubwa ya kukaripia Iihiiii chyaaaaaaaaaa Waungwana mnisaidie ndiyooo nitamweleza Uongo mtupu babake ameliwa Waungwana wamempeleka njau mpaka kaibiwa Yupo hamna……………………….amewehuka Hajatulia huyu mpepeeni upuuuuffff upuuuuffff Ni sauti iliyosikika kutoka kwa mzee wa pembeni Sijui msaidizi mganga au mpelelezi Na kwa taarifa yako uongozi hupati ng’oo Labda urudi kwenu uende ukavunje tunguli Na hao waganga wako waeleze hupati kitu hapa Hata utoe chapaaaa. Je wananchi mmenisikia.. ndiyo mzeee Kuwa huyu jamaa hatufai… ndiyo mzeee Na inafaa kumchukia.. ndiyo mzeee Hatumtaki aondoke zake.. ndiyo mzeee Tusizubae na maneno yake.. ndiyo mzeee Tunahakikisha hatumchagui.. ndiyo mzeee Asitufanye siye wanafiki… ndiyo mzeee Wanakuita sugu x 3 Ubeti wa kwanza. Wanaita Mr. two kwa jina jingine Sugu Sugu mtu wa vurugu Wengi sasa wanakubali mimi ni dume la mbegu Yaani ni mtu ambaye nipo Na hata nisipokuwepo sauti yangu itakuwepo Nataka kuwa kama 2pac Itikadi zangu nazieleza kwenye mic Napata matatizo natatua bila chuki Shukrani za dhati kwa mashabiki Mwanzo nilikataa mliponiita Super star Lakini sasa nakubali siwezi tena kukataa Ninapopita sehemu nyingi nakutana na watu wa aina nyingi Mara nyingi wananiuliza maswali mengi Wengine wananiuliza eti kama navuta bangi Nakataa kujibu maswali yasiyo ya msingi Sababu nina mambo mengi Kila siku kwenye ziara kama vile rais Hata mama anajua mimi ni mtu wa mitikasi ila tu basi Na naweza kuwakamata watu nuksi Na sipo longolongo ninapojimix na fix Dawa ya mabishoo ni kuwa bishoo zaidi yao Sugu na mbalimbali zaidi yao Napata message kwenye voda kutoka kwa madem zao Mi ndo sugu Hata mtoto wa demu wangu ananiita uncle sugu. Ahaaaaa staraa. Ubeti wa pili. Nayajua matatizo zaidi yako Na hata kama ni msoto nimepata zaidi yako Usinione brothemen kwa kuwa nipo na mkoko Shoko utazima zako Kasheshe zangu nzito Hautaweza peke yako Dar es salaam bongo yangu Wa kwapi machizi wangu Kokote kule mliko naomba muite jina langu (suguuu) Napata flag kila ninapopita Hata watoto wadogo wakiniona wananiita Naitika bila kusita Nikiamua kukomaa mbaka promota anadata Popote heshima ilipo hapo mimi ndipo napenda niwepo Sauti yangu kwenye mic inasambaa kama upepo Narudia kusema tena muziki ni kazi yangu Nawaombe kwa mungu mashabiki wangu Na mamc wote ambao ni kama wadogo zangu Kuna kitu kimoja watu wengi hawajajua Huwezi kuizuia mvua Sugu ni kama mvua kama kunyesha nanyesha Kama barozi kwenye chat napandisha Wananiita sugu machizi wote sema sugu oyaaaa sugu Mambo namna gani sugu na siwezi kukataa kuitwa sugu Wakati mimi ni sugu. Simiyu, W. (2010). Kitovu cha Fasihi Simulizi. Serengeti Bookshop. Makoroboi. Mwanza. Posted by chomboz at 01:56 Victor Amini 3 May 2017 at 06:25 safi wadau kwa kuipandisha hii sanaa ni kazi nzuri Unknown 18 July 2018 at 10:06 Iko pw umensave sn
2019-09-20T06:35:16
http://chomboz.blogspot.com/2013/10/majigambo.html
[ -1 ]
NAIBU WAZIRI LUHAGA MPINA AKAGUA UHARIBIFU WA MAZINGIRA BUNJU BOKO TEGETA NA KEKO MWANGA - HABARI ZA JAMII Home / Unlabelled / NAIBU WAZIRI LUHAGA MPINA AKAGUA UHARIBIFU WA MAZINGIRA BUNJU BOKO TEGETA NA KEKO MWANGA Naibu Waziri Mpina akimsikiliza katibu wake Bw. Daniel Sagata kulia alipokuwa akimuonyesha tuta lililojengwa na kiwanda cha saruji cha Wazo cha Tegeta Jijini Dar es Salaam, Tuta ambalo lilijengwa baada ya kujengwa mtaro wa kupitisha maji ya mvua yaliyokuwa yakisababisha kero ya mafuriko kwa wakazi wa maeneo jirani yaliyotaka na makorongo yaliyochimbwa na kiwanda hicho kwa lengo la kutafuta maligafi za kutengeneza saruji, kero hiyo inasemekana kupungua baada ya Naibu Waziri Mpina kuwahai kufanya ziara kiwandani hapo na kutoa maagizo. Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Luhaga Mpina Kiongea na vijana katika eneo la Bunju A Usalama, kuhusu Karavati (halipo pichani) ambalo lilikuwa ni moja ya kero ya kuchangia mafuriko katika eneo hilo hasa katika vipindi vya mvua kutokana na uchafu wa mazingira uliopelekea karavati hilo kuziba. Naibu Waziri Mpina ametembelea eneo hilo leo ikiwa ni sehemu ya ufuatiliaji wa utekelezaji wa magizo aliyotoa kwa sekta husika wakati wa ziara yake aliyowahi kuifanya katikamaeneo hayo.
2018-07-16T06:34:52
http://www.habarizajamii.com/2017/06/naibu-waziri-luhaga-mpina-akagua.html
[ -1 ]
MAISHA: Mapacha walioungana waeneza Uislam Mapacha walioungana waeneza Uislam Mapacha walioungana kutoka Cameroon Pheinbom na Shevoboh walionekana kama nuksi walipozaliwa, lakini mafanikio yao ya kutenganishwa na madaktari wa Saudi Arabia yamebadili kabisa maisha yao – na imani ya baadhi ya watu katika kijiji chao. Walipozaliwa walikuwa wameungana kwenye kifua, tumbo na nyonga na baadhi ya wauguzi katika kijiji cha Babanki Tungo kilichopo kaskazini-magharibi mwa Cameroon, walishtushwa sana na hivyo kukimbia siku walipozaliwa. Huduma muhimu za matibabu huko Babanki Tungo hazikuwa na ufanisi kwa mabinti hao, kufuatia ombi kupitia mtandao, mfalme wa Saudi Arabia alikubali kuwalipia nauli ili waende nchini humo kwa ajili ya upasuaji mwaka 2007. Upasuaji huo uliochukua saa 16 ulifanikiwa kuwatenganisha mapacha hao na kwa sasa kila mmoja ana tumbo lake. Hata hivyo, miaka mitatu tangu upasuaji huo ufanyike, changamoto nyingi bado zinawakumba. Baada ya upasuaji huo, kila binti alibaki na mguu mmoja tu, na kwa sasa wanasubiri kurudi Saudi Arabia ili wabandikwe viungo bandia na waanze kujifunza kutembea. Kwa sasa wanaweza kutambaa tu. Pamoja na hayo mabinti hao wanapenda kucheza, ni wachangamfu, na watundu, kama ambavyo ingetarajiwa kwa mtoto yeyote mwenye umri wa miaka minne. Kubadili kuwa muislamu Baadhi ya watu huko Babanki Tungo- kijiji kinachojishughulisha na kilimo na hasa uzalishaji wa mboga za majani walidhani kuwa watoto hao ni ‘zawadi kutoka kwa shetani’ ambao wameletwa kumwadhibu baba yao, ambaye tayari ana watoto wengine 13 kutoka kwa wake zake wawili. Wengine waliamini kwamba Pheinbom na Shevoboh wamezaliwa kuadhibu kijiji kizima, baada ya kiongozi mmoja wa kimila eneo hilo alipochomwa moto akiwa hai na watu wenye hasira. Mama wa mabinti hao Emerencia Nyumale anakumbuka kwa kusema “Ulikuwa wakati mgumu wakati watoto hawa bado walikuwa wameungana.” Anasema, “Watu walikuwa wakiniona nikiwabeba na kukimbia na nilikuwa nikijihisi nimekosa na mpweke.” Nashukuru Mungu hayo yote yamekwisha tangu watenganishwe.” Mkasa wa watoto hawa umeleta jambo jengine muhimu kwa watu wa Babanki Tungo. Serikali ya Saudi Arabia inafadhili kituo cha kiislamu katika kijiji hicho chenye msikiti, shule ya chekechea na msingi na pia kituo cha afya. Hatua hii imesababisha baadhi ya wazee kutabiri kuwa wengi waliopo Babanki Tungo kwenye imani nzito ya kikristo kutabadilka kuenea kwa uislamu. Kama njia ya kushukuru fadhila ya mfalme huyo, familia hiyo imebadilisha dini na kuwa waislamu. Baba wa watoto hao, Ngong James Akumbu, sasa anajiita “Abdallah”, Emerencia naye ni “Aisha”, na watoto wao watano wanakwenda kwenye shule ya msingi ya kiislamu. Baraka au laana? Kum Edwin, ambaye ni mwalimu katika shule hiyo, naye pia amebadili dini na kuwa muislamu. Bw Edwin, aliyebadili jina lake na kuwa “Abdallah Waqf” amesema, “Kabla ya shule hiyo kuanzishwa, nilikuwa sina ajira, nilikuwa na wapenzi wengi na nilikuwa nakunywa sana pombe.” “Niliposikia kunaanzishwa shule ya kiislamu, nilichukua mafunzo ya kiislamu kwa miezi mitatu, siku hizi sinywi sana na kwa sasa natafuta mke kwa sababu kuwa na wapenzi wengi sio vizuri.” Watu wengi Babanki Tungo wanaona kuzaliwa kwa Pheinbom na Shevoboh ni kama baraka badala ya laana. Macho ya wasiwasi waliokuwa wakitazamwa mapacha hao na wanakijiji imeacha. Baba wa watoto hao alisema, “Huwa namwambia kila mzazi awe na subra kwasababu Mungu mara nyingi humletea mwanadamu mambo mazito ambayo baadae hugundua kuna kheri.” Hakika, mapacha hao wameona mabadiliko makubwa katika maisha yao. Kwa kutengwa walipozaliwa, sasa wana maisha yao pekee na wamechangia kwa kiasi kikubwa kubadili maisha ya watu wanaowazunguka. Baada ya yote hayo waliyoyapitia, kujifunza kutembea kunaweza kuwa rahisi kwao. Posted by ISMADO at 10:43 PM
2018-02-20T21:46:53
http://maishani.blogspot.com/2010/05/mapacha-walioungana-waeneza-uislam.html
[ -1 ]
RAIS MAGUFULI AMTEUA BERNARD HEZRON KONGA KUWA MKURUGENZI MKUU WA NHIF | Magazeti ya leo| Tanzania News |Tanzania Today Mhandishi James Mtayakingi KilabaDAR ES SALAAM Kabla ya uteuzi huo, Mhandisi James... Rais Magufuli amteua Prof. Yunus D. Mgaya kuwa Mkurugenzi Mkuu wa NIMR Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 17 Desemba, 2016 amemteua Prof. Yunus D. Mgaya kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR). Uteuzi wa Prof. Yunus D. Mgaya unaanza mara moja. Prof. Yunus D. Mgaya anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Dkt. Mwele Malecela ambaye uteuzi wake umetenguliwa. Taarifa hii ni kwa mujibu wa Gerson Msigwa, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU Dar es Salaam mapema leo 17 Desemba, 2016 Rais Magufuli amteua Prof Yunus Mgaya kuwa mkurugenzi mkuu NIMR Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt John Pombe Magufuli amemteua Profesa Yunus Mgaya kuwa mkurugenzi mkuu NIMR. NEWZ ALERT:Rais Magufuli amteua Prof. Yunus D. Mgaya kuwa Mkurugenzi Mkuu wa NIMR
2017-10-16T22:12:05
http://www.tanzaniatoday.co.tz/news/rais-magufuli-amteua-bernard-hezron-konga-kuwa-mkurugenzi-mkuu-wa-nhif
[ -1 ]
Rihanna is coming For Your Coins With The Fenty Sunglasses – AfroSwagga Fashion Blog Blogger, 1 year ago 2 min read 1 Wakati Rihanna akianza muziki sote tulikuwa tunajua she means business and she ain’t going nowhere lakini ambacho tulikuwa hatujui ni kwamba alikuwa na mipango yake mingine, Rihanna amejiingiza katika biashara ya mavazi na urembo na kama ambavyo tunajua she is a fashion icon basi watu wengi wanapenda kuvaa mavazi yake, kuanzia collaboration yake ya Fenty X Puma ambayo ilifanya vizuri, clothing line yake ya Savage savage X Fenty na sasa ana Fenty beauty seems like Rihanna is one busy mama. Hivi karibuni shabiki zake wamekuwa wakiulizia kuhusu kutoa album na mziki mpya Riri amesema watapata hivyo vyote mwaka huu na kabla ya kupata huo mziki mpya tunaousubiri kwa hamu Riri anaonekana kuja na kitu kipya na sasa ni miwani ya Fenty. Mwaka 2017 wakati amehudhuria katika red carpet ya Cannes Film Festival Rihanna alihudhuria akiwa amevaa tiny sunglasses & hell broke loose kila mtu alivaa hizi sunglasses mwaka 2018 mpaka tumeomba mwaka 2019 ziachwe Seems like Rihanna kaliona hilo amerudi na trend mpya ya miwani na safari hii ni oversized shade ambazo tumeona alizovaa zimeandikwa jina lake la Fenty ambapo amefanya watu wajiulize is she coming for our coins? je miwani hizi zitaanza kuuzwa na hii itakuwa ndio new product kutoka kwake? Rihanna ali pair miwani yake hii na neon t-shirt, oversize blazer , skin jeans na blue boots zilizomatch na blazer yake huku akiwa amemalizia na mini handbag Alionekana tena na miwani hii akiwa amevalia na brown coat, all black outfit na blue boots akiwa amemalizia na her favorite Dior Saddle Bag The Dior Saddle Bag Is The It Accessory Of The season Well Afromates will you chop the glasses or nah? NAMNA YA KUTUMIA HENNA (HINNA) KWA UKUAJI WA NYWELE
2020-05-30T05:04:25
http://afroswagga.com/urembo/rihanna-is-coming-for-your-coins-with-the-fenty-sunglasses/
[ -1 ]
OFA: Jipatie Riwaya Kali za Kusisimua Toka kwa Mtunzi Makini | MPEKUZI OFA OFA OFA OFA Baada ya siku kadhaa za AIIISSII YOU KIILL kusimama, hadithi sasa ina endelea hewani. Kwa wasomaji wangu wa whatsapp leo hii 22/04/2018. Jipatie ofa ya hadithi ya Aiissii you kill me, ukinunua episode 20 ambazo ni sawa na sh 5000 una pata ofa ya episode 20 Bureeee kabisa. Pia season two ya AIISSII YOU KILL ME iitwayo AIISSII YOU KILL ME LEGACY kwa sasa ipo tayari. Ukihitaji kuendelea na hadithi ya Tanga raha season two. Nina kukaribisha ujiunge kwenye group langu la hadithi whatsapp kupitia namba 0657072588 au 0768516188. Leo kuna ofa ina kusubiria, ukijiunga una pata ofa ya episode 80 buree kabisa. Katika group uta soma hadithi ya TANGA RAHA(return of Olvia Hitler) na hadithi ya SIN, kwenye group uta soma story kuanzia jumatatu hadi juma mosi. Ada ya group ni sh 4000 kwa mwenzi tu. Karibubu sana wasomaji wangu. By Eddy Msulwa.
2019-07-16T02:38:04
http://www.mpekuzihuru.com/2018/04/ofa-jipatie-riwaya-kali-za-kusisimua.html
[ -1 ]
TAASISI YA TANZANIA WOMEN OF ACHIEVEMENT (TWA) YAZINDUA KAMPENI YA UWIANO WA KIJINSIA. | LUKAZA BLOG TAASISI YA TANZANIA WOMEN OF ACHIEVEMENT (TWA) YAZINDUA KAMPENI YA UWIANO WA KIJINSIA. Rais wa Taasisi ya TANZANIA WOMEN OF ACHIEVEMENT (TWA) (TWA), Irene Kiwia (katikati ) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pi... http://www.josephatlukaza.com/2016/02/taasisi-ya-tanzania-women-of.html Rais wa Taasisi ya TANZANIA WOMEN OF ACHIEVEMENT (TWA) (TWA), Irene Kiwia (katikati ) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani ) kuhusu uzinduzi wa kampeni ya uwiano wa kijinsia ambayo ni kauli mbiu kuelekea kusherehekea Siku ya Wanawake Duniani, kushoto kwake ni Balozi wa kampeni ya uwiano sawa kijinsia Inspk.Prisca Komba na kulia kwake ni Mwenyekiti wa TWA, Sadaka Gandi kwenye mkutano uliofanyika mapema leo jijini Dar es salaam. Mwenyekiti wa Taasisi ya TANZANIA WOMEN OF ACHIEVEMENT (TWA), Sadaka Gandi akifafanua jambo kuhusu uzinduzi wa kampeni ya usawa wa kijinsia kwenye mkutano na waaandishi wa habari uliofanyika mapema leo jijini Dar es salaam. Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakisikiliza kwa makini maelezo kutoka kwa Rais wa TWA Irene Kiwia kuhusu uzinduzi wa kampeni ya usawa wa kijinsia katika mkutano uliofanyika mapema leo Jijini Dar es salaam . Dar es Salaam, Februari 17, 2016: Taasisi ya TANZANIA WOMEN OF ACHIEVEMENT (TWA) imetangaza uzinduzi wa kampeni ya uwiano wa kijinsia kwenye kusherehekea Siku ya Wanawake Duniani ya Wanawake inayotoa wito kwa kila mtu kuchukua hatua za dhati kusaidia upatikanaji wa usawa wa jinsia kwa kasi zaidi ili kuwasaidia wanawake na wasichana kufikia malengo yao. Hali kadhalika inatoa wito kwa jamii kuwa na uongozi ulio na usawa wa kijinsia, kuheshimu na kuthamini tofauti bainia ya jinsia, kuanzisha utamaduni jumuishi na kuondoa upendeleo kwenye sehemu za kazi. Akizungumza leo kwenye mkutano wa waandishi wa habari kwenye ofisi za TWA jijini Dar es Salaam Rais wa TWA, Bi. Irene Kiwia alisema kuwa lengo la Kampeni ya Uwiano wa Kijinsia ni kutoa wito kwa wanawake na wanaume kuungana pamoja kusaidia wanawake kufikia hali ya usawa kwa idadi kubwa na kutambua mchango wao usio na ukomo wanaoutoa kwenye uchumi duniani kote kwa ujumla hususani nchini kwetu Tanzania. “Kampeni ya Uwiano wa Kijinsia inamaanisha kutoa wito kwa wadau wote vikiwemo vyombo vya habari, watu binafsi, serikali na mashirika yote kutambua na kujenga uelewa kuhusu mianya inayozuia mchakato wa kuwepo usawa wa kijinsia na kutaka kuchukua hatua za dhati kuharakisha mabadiliko,” alisema Kiwia. “Mwaka 2014 Jukwaa la Uchumi Duniani (World Economic Forum -WEF) lilitabiri kuwa usawa wa jinsia duniani utafikiwa mwaka 2095. Lakini mwaka mmoja baadaye, yaani 2015 lilikadiria kuporomoka kwa hatua husika na kupunguza kasi ya kufikia uwiano kuwa pengo la kijinsia linaweza kuzibwa ifikapo mwaka 2133. Hii inamaanisha kusubiri kwa miaka 117 ambayo ni mingi sana. Kutokana na hali hiyo TWA inaungana na wito wa dunia wa kuitaka kila nchi kuliweka suala la jinsia kwenye ajenda zake na kuharakisha kasi ya kufikia lengo la usawa wa kijinsia .” alisema Kiwia. Akitoa wito kwa watu binafsi, mashirika na wadau wengine kushiriki kwenye kampeni hiyo Mwenyekiti wa TWA Bi. Sadaka Gandi alisema Kampeni itahusisha matembezi ya kilomita sita asubuhi ya siku ya tarehe Tano mwezi March kuanzia kwenye `Viwanja vya Mbio za Mbuzi´ maarufu kama ‘Uwanja wa Farasi’ kupitia kwenye makutano ya Shule ya Kimataifa ya Tanganyika (IST), kuelekea Kanisa Katoliki la Mt. Petro na kupitia Ubalozi wa Kenya nchini na kurudia sehemu yalipoanzia. Bi. Sadaka Gandi aliendelea kusema kuwa matembezi hayo yatafuatiwa na mkutano wa kusherehekea siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani ambao utafanyika Machi 6, 2016 kwenye Hoteli ya Regency Kilimanjaro. Bibi Gandi alisema, “Mkutano huu utawakutanisha wanawake na wanaume kutoka sehemu tofauti ambao watashirikiana na kushawishiana kuungana na harakati hizi, vile vile tutaonyesha mafanikio yaliyopatikana mpaka sasa kutoka Mkutano wa Beijing miaka 21 iliyopita, na hali kadhalika ni kasoro gani ambazo bado zipo na ni kwa namna gani ushirikiano wa pamoja unaweza kuharakisha mabadiliko. Tunaamini mchango wako sio tu kwamba utachangia msingi wa maendeleo ya wanawake bali pia utaonesha ni jinsi gani kampuni yako inachangia kwenye upatikanani wa usawa wa kijinsia kwa ujumla”. Bibi Gandi alisema kuwa mkutano huo utazungumzia masuala mbalimbali yanayomhusu mwanamke kwa kuzingatia elimu, afya, uongozi, haki na sheria na uchumi. “Usawa wa jinsia ni muhimu kwa sababu umefungamana na kukua kwa uchumi kwani maendeleo ya wanawake na uongozi ni nguzo ya ufanisi kwenye biashara na ustawi wa uchumi”, alihitimisha. Kijamii 2830581261121398569
2017-10-23T00:25:55
http://www.josephatlukaza.com/2016/02/taasisi-ya-tanzania-women-of.html
[ -1 ]
KISHINDO LEO: Ufoo Saro wa ITV apigwa risasi na mumewe aliyejiua na kuumua mama mkwe Ufoo Saro akiwa hosptalini MWANDISHI wa Habari ambaye pia ni Mtangazaji wa ITV, Ufoo Saro, amepigwa risasi na mchumba wake aitwaye Antel Mushi. Baada ya kufanya unyama huo, Mushi ambaye alikuwa Mfanyakazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa nchini Sudan, alimuua kwa risasi mama yake Ufoo, Anastazia Saro (58) kisha naye akajiua. Kamanda wa Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, alisema tukio hilo lilitokea jana alfajiri, eneo la Kibamba, Dar es Salaam. “Tukio hilo limetokea leo (jana), asubuhi saa 12 alfajiri eneo la Kibamba CCM, baada ya Mushi ambaye ni mzazi mwenzake na Ufoo, kurejea nchini juzi akitokea Sudan na kufikia nyumbani kwa Ufoo. “Kabla ya tukio, inaonekana kulikuwa na mazungumzo kati ya wawili hao na mama yake Ufoo, ambapo walishindwa kuelewana na Mushi akampiga risasi kifuani mama yake Ufoo na kumuua kisha akampiga Ufoo tumboni na mguuni na yeye akajiua,” alisema Kamanda Kova. Alisema kwamba, Ufoo baada ya kujeruhiwa, alikimbizwa katika Hospitali ya Tumbi Kibaha na baadaye akahamishiwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili ambapo alifanyiwa upasuaji katika maeneo aliyojeruhiwa. Hata hivyo, Kamanda Kova alisema jitihada za kupata maelezo ya Ufoo zilishindikana baada ya kuwaambia polisi kwamba atazungumza baada ya kupona. Ufoo ana mtoto mmoja aitwaye Alven Mushi mwenye umri wa miaka 10 ambaye alimzaa na marehemu Mushi.
2018-01-19T02:02:21
http://kishindoleo.blogspot.com/2013/10/ufoo-saro-wa-itv-apigwa-risasi-na.html?showComment=1459388131150
[ -1 ]
Sheria Leo | Uliza Sheria | Page 2 Uliza Sheria Pata Elimu Na Msaada Wa Kisheria Kwa Huduma Za Kisheria Mawasiliano 0713 888 040 Makala Za Sheria Category: Sheria Leo Sheria Leo.120: Kitendo cha Kijinai ‘Actus reus’ February 10, 2018 - Posted by: ulizasheria - In category: Sheria Leo - 8 comments Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji wa makala za Sheria Leo ambapo umekuwa ukipata maarifa juu ya sheria mbali mbali na dhana kadhaa za kisheria kila siku. Katika makala iliyopita kwenye tuliangalia kwa utangulizi juu ya Viashiria vya Kosa la Jinai, ambapo tulijadili juu ya historia ya adhabu kwa makosa ya jinai na mabadiliko yake. Leo […] Sheria Leo.119: Viashiria vya Kosa la Jinai February 9, 2018 - Posted by: ulizasheria - In category: Sheria Leo - 2 comments Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji wa makala za Sheria Leo ambapo umekuwa ukipata maarifa juu ya sheria mbali mbali na dhana kadhaa za kisheria kila siku. Katika makala iliyopita kwenye ukurasa huu tulianza kuangalia namna mbalimbali za utetezi kutokana na makosa ya kijinai. Leo tunakwenda kuangalia juu ya Viashiria vya Kosa la Jinai. Historia ya […] Sheria Leo.118: Utetezi wa kisheria kutokana Ugonjwa wa Akili January 18, 2018 - Posted by: ulizasheria - In category: Sheria Leo - 2 comments Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji wa makala za Sheria Leo ambapo umekuwa ukipata maarifa juu ya sheria mbali mbali na dhana kadhaa za kisheria kila siku. Katika makala iliyopita tumezongumzia Utetezi wa kisheria kutokana na Umri Mdogo. Leo tunakwenda kuangalia Utetezi wa Kisheria unaotokana na Ugonjwa wa Akili. Dhana ya Utimamu wa Akili kwa watu […] Sheria Leo.117: Utetezi wa kisheria kutokana na Umri January 17, 2018 - Posted by: ulizasheria - In category: Sheria Leo - No responses Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji wa makala za Sheria Leo ambapo umekuwa ukipata maarifa juu ya sheria mbali mbali na dhana kadhaa za kisheria kila siku. Katika makala za tumeendelea kukuelimisha katika nyanja za kisheria. Pia tuligusia kidogo kwenye masuala ya jinai na kuangalia msingi wa sheria za kijinai. Leo tunakuletea Utetezi wa Kisheria Kutokana […] Sheria Leo.116. Hatua Dhidi ya Wanaochukua Sheria Mkononi January 16, 2018 - Posted by: ulizasheria - In category: Sheria Leo - No responses Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji wa ukurasa huu wa Sheria Leo kwenye mtandao wako wa Uliza Sheria. Kama kawaida yetu lengo la kukuletea makala hizi fupi ni kukusaidia kuishi kwa mujibu wa sheria kila siku.tumekuwa na mfululizo wa makala zinazohusu tabia ya watu kujichukulia sheria mkononi. Leo tunaangalia hatua dhidi ya watu wanaojichukulia […] Sheria Leo.115. Kujichukulia Sheria Mkononi kwenye Migogoro ya Kifamilia January 15, 2018 - Posted by: ulizasheria - In category: Sheria Leo - No responses Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji wa ukurasa huu wa Sheria Leo kwenye mtandao wako wa Uliza Sheria. Kama kawaida yetu lengo la kukuletea makala hizi fupi ni kukusaidia kuishi kwa mujibu wa sheria kila siku.tumekuwa na mfululizo wa makala zinazohusu tabia ya watu kujichukulia sheria mkononi. Katika makala iliyopita tumechambua juu ya eneo […] Sheria Leo.114. Kujichukulia Sheria Mkononi kwenye Uhalifu wa Kujamiiana January 14, 2018 - Posted by: ulizasheria - In category: Sheria Leo - No responses Sheria Leo.113. Kujichukulia Sheria Mkononi kwenye Uhalifu wa Mali January 13, 2018 - Posted by: ulizasheria - In category: Sheria Leo - No responses Sheria Leo.112. Kujichukulia Sheria Mkononi kwenye Makosa ya Sheria za Barabarani. January 12, 2018 - Posted by: ulizasheria - In category: Sheria Leo - No responses Sheria Leo.111. Maeneo ambayo watu hupenda Kujichukulia Sheria Mkononi January 11, 2018 - Posted by: ulizasheria - In category: Sheria Leo - No responses Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji wa ukurasa huu wa Sheria Leo kwenye mtandao wako wa Uliza Sheria. Kama kawaida yetu lengo la kukuletea makala hizi fupi ni kukusaidia kuishi kwa mujibu wa sheria kila siku.tumekuwa na mfululizo wa makala zinazohusu tabia ya watu kujichukulia sheria mkononi. Leo tunaangalia maeneo ambayo watu hupenda kujichukulia […] Uchambuzi wa Sheria.90. Nani mwenye mamlaka ya kusitisha ajira ya mwajiriwa? Uchambuzi wa Sheria.89. Nani mwenye mamlaka ya kusitisha ajira ya mwajiriwa? Uchambuzi wa Sheria.88. Ufanye nini endapo mfanyakazi haonekani kazini pasipo ruhusa? Uchambuzi wa Sheria.87. Ukomo wa Muda kwa madai ya Likizo Uchambuzi wa Sheria.86. Ukomo wa Muda kwa madai ya Saa za Ziada Biashara Sheria Sheria Jinai Sheria Leo Sheria za Kazi na Ajira Uchambuzi wa Sheria Ushauri wa Sheria Uchambuzi wa Sheria.90. Nani mwenye mamlaka ya kusitisha ajira ya mwajiriwa? September 7, 2019 Uchambuzi wa Sheria.89. Nani mwenye mamlaka ya kusitisha ajira ya mwajiriwa? August 1, 2019 Uchambuzi wa Sheria.88. Ufanye nini endapo mfanyakazi haonekani kazini pasipo ruhusa? July 31, 2019 Uchambuzi wa Sheria.87. Ukomo wa Muda kwa madai ya Likizo July 30, 2019 Uchambuzi wa Sheria.86. Ukomo wa Muda kwa madai ya Saa za Ziada July 29, 2019
2020-02-25T20:35:12
http://ulizasheria.co.tz/category/sheria-leo/page/2/
[ -1 ]
You are at:Home»Habari360»Google kuendelea kushirikiana na Huawei wa siku 90 zijazo By Mato Eric on May 22, 2019 Habari360 Huawei inapitia katika kipindi kigumu kuweza kufanya kazi hasa nchini Marekani kutokana na kuwepo kwa “Vuta nikuvute” kati ya nchi hizo mbili na tayari kampuni hiyo ya Uchina inafahamu ugumu inaoupitia ingawa Google wamesema wataendelea kushirikiana na Huawei katika kipindi cha miezi mitatu ijayo. Tunafahamu vyema kuwa Google ilitangaza kuacha kuacha kufanya kazi na Huawei jambo ambalo limewahuzunisha wateja/wanaomiliki rununu za Huawei na kimsingi ndio wanaoumia lakini sasa Marekani imesema imeiruhusu Huawei kuendelea kutoa huduma kwa watu wa nchi hiyo kwa siku tisini. Baada ya taarifa hiyo kutoka watu wakawa wanaitazama Google iwapo nao watarudisha nyuma walichokisema hapo awali. Google wataendelea kutoa masasisho ya ulinzi kwa programu endeshi (Android), kuwepo kwa soko la programu tumishi/PlayStore kwa simu za Huawei mpaka Agosti, 19 2019. Nini kitatokea baada ya siku 90 kupita? Baada ya miezi mitatu kutimia, simu janja za Huawei zitazotoka kuanzia Agosti, 19 2019 hazitakuwa na programu tumishi kama Youtube, Gmail, kivinjari cha Google, soko la programu tumishi, kupokea masasisho ya kuimarisha Android lakini ambacho Google hakina uwezo wa kufanya ni kuzuia simu za Huawei kutumia programu endeshi-Android kutokana na kwamba Android ni programu endeshi ya wazi ambapo yeyote anaweza kuiboresha/kuitumia kwa lugha rahisi leseni ya programu endeshi husika ni HURIA!. Baadhi ya programu tumishi ambazo zitaondolewa kwenye simu janja za Huawei. Hatua hiyo itafuata baada ya Google kusitisha kushirikiana na Huawei. Hayo ndio mambo ya Google inayoonekana kufuata agizo la serikali ya rais Trump dhidi ya Huawei inayoonekana kuwa ni tishio kwa watu wa Marekani kiasi kwamba hata mataifa mengine duniani kutia shaka na huduma zao hasa ya 5G. Vyanzo: Phone Arena, CNET Previous ArticleHALMASHAURI YAVUNJA MKATABA WA UJENZI MRADI WA MAJI SAWALA Next Article Sevilla FC ya Hispania kutua Dar leo, kukipiga na Simba SC Alhamisi Uwanja wa Taifa
2019-08-24T19:13:25
https://habarimpya.com/featured-2/mato-eric/google-kuendelea-kushirikiana-na-huawei-wa-siku-90-zijazo
[ -1 ]
SHAMBA LA MITI LUNGUZA WAZIPIGA JEKI SHULE ZA MSINGI MUHEZA WAKABIDHI MADAWATI 200. - JIACHIE SHAMBA LA MITI LUNGUZA WAZIPIGA JEKI SHULE ZA MSINGI MUHEZA WAKABIDHI MADAWATI 200. - JIACHIE Home > TAARIFA MBALIMBALI > SHAMBA LA MITI LUNGUZA WAZIPIGA JEKI SHULE ZA MSINGI MUHEZA WAKABIDHI MADAWATI 200. ELIMU HABARI HABARI MBALIMBALI HABARI ZA KITAIFA HABARI ZANZIBAR JAMII TAARIFA MBALIMBALI Item Reviewed: SHAMBA LA MITI LUNGUZA WAZIPIGA JEKI SHULE ZA MSINGI MUHEZA WAKABIDHI MADAWATI 200. Rating: 5 Reviewed By: Ahmad Michuzi
2018-01-16T21:31:44
http://michuzijr.blogspot.com/2016/10/shamba-la-miti-lunguza-wazipiga-jeki.html
[ -1 ]
MBUNGE CHADEMA AHOJI BUNGENI SABABU ZA RIPOTI ZA CAG KUTOKUWA NA TAARIFA ZA TANROADS SHIRIKA LA NDEGE (ATCL) - KIJUKUU CHA BIBI K | Habari na Matukio Uncategories MBUNGE CHADEMA AHOJI BUNGENI SABABU ZA RIPOTI ZA CAG KUTOKUWA NA TAARIFA ZA TANROADS SHIRIKA LA NDEGE (ATCL)
2018-08-17T01:45:23
http://www.kijukuu.com/2018/04/mbunge-chadema-ahoji-bungeni-sababu-za.html
[ -1 ]
Leo twendeni hadi Jinini Mbeya .. Wahusika wa secta ya Elimu wameliona hili?? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Leo twendeni hadi Jinini Mbeya .. Wahusika wa secta ya Elimu wameliona hili?? Discussion in 'Jamii Photos' started by Toneradio, Jul 26, 2011. Bright Secondary School: Kwa Mpango Huu hapa Je tutafika kielimu?.. Ni swali kwa wadau wote TAZAMA HIZI TASWIRA KWA UMAKINI ZAIDI HALAFU UTAPATA MAJIBU KAMA SECTA HUSIKA YA ELIMU INATOA VIBALI KWA KUCHAKACHUA AU VINGINEVYO Hii ni kali kuliko zote. Makubwa jamani.hivi wabunge wa mbeya wanafanya nini bungeni? Bright Secondary School: Kwa Mpango Huu hapa Je tutafika kielimu?.. Ni swali kwa wadau wote TAZAMA HIZI TASWIRA KWA UMAKINI ZAIDI HALAFU UTAPATA MAJIBU KAMA SECTA HUSIKA YA ELIMU INATOA VIBALI KWA KUCHAKACHUA AU VINGINEVYOClick to expand... Mimi ni board member wa shule hii. Leteni watoto wenu, nafasi bado zipo. Za kata zikoje mkuu? Bora hii. Kule hali ni mbaya. Lakini pia shule si majengo. CCM wanaamini katika kujenga majengo kila kata na wanadhani hizo ndo shule, Hii nayo impo katika ule mpango hewa wa JK wa kugaiwa komputa ? Hii Bright Secondary School naamini bado haijasajiliwa na Wizara ya Elimu. Hiki ni kijiwe cha wahuni wanaodanganya watu na kuwatoza ada isivyo halali. Mwenye data za usajili aziweke hapa jamvini. Makubwa jamani.hivi wabunge wa mbeya wanafanya nini bungeni?Click to expand... Wanasinzia na kuvuta UJIRA WA MWIHA. hiyo ndiyo maana ya soko huria ( uhuru wa manyani) na mara zote hii ni miradi ya wakubwa Usefull post, hata hivyo na wewe rejea bandiko lako u-edit neno SECTA liwe SEKTA au sector naomba twende sawa. Dah Ukistaajabu ya musa ......
2016-10-25T13:56:20
http://www.jamiiforums.com/threads/leo-twendeni-hadi-jinini-mbeya-wahusika-wa-secta-ya-elimu-wameliona-hili.158436/
[ -1 ]
Haya ndiyo MASUALA 7 muhimu yaliyomfanya UHURU kusafiri hadi Uingereza ▷ Tuko.co.ke Haya ndiyo MASUALA 7 muhimu yaliyomfanya UHURU kusafiri hadi Uingereza Maoni: 1889 - Rais Uhuru Kenyatta yupo Uingereza na ziara yake itajumlisha kuhudhuria Mkutano wa 3 jijini London kuhusu Somalia almaarufu Lancaster House - Pia ametoa ombi kadhaa kwa Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May kuhusu Kenya na mojawapo ni miraa Rais Uhuru Kenyatta yupo safarini Uingereza atakaposhughulikia masuala kadhaa, pamoja na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May. Uhuru na May. Rais pia atahudhuria kuhudhuria Mkutano wa 3 jijini London kuhusu Somalia na kukutana na mwana wa mfalme wa Uingereza Prince William katika makao yake Buckingham Palace Ijumaa, Mei 12. Akiwa Uingereza, alifanya mazungumzo na May kuhusu masuala 7 muhimu. 1. Kenya inataka Uingereza kuanzisha tena kituo cha kutengeneza viza Nairobi ili kuwafaidi raia wa ukanda wa Mashariki na pia Afrika ya Kati. Kwa sasa, Viza za Uingereza hutengenezwa Afrika Kusini, jijini Pretoria. 2. Uhuru alimtaka Waziri Mkuu May ushirikiano katika kupeana mafunzo na ujuzi na msaada wa kifedha kuhusu kilimo cha miraa ili kuongeza mazao na kuzuia madhara ya kupiga marufuku bidhaa hiyo Uingereza, miaka 3 iliyopita. 3. Kenya pia iliomba ushirikiano wa kibiashara na UK baada ya utengano (pro-Brexit). Hili ni katika kuhakikisha bidhaa za Kenya zinapata soko Uingereza bila ya kutozwa ushuru na kugawanya baada ya Uingereza kujitenga na Muungano wa Ulaya. “Ni matarajio ya Kenya kuendelea kuwa na ushirikiano wa kibiashara usiokuwa na matatizo wakati na baada ya Brexit. Ni matumaini yetu kuendelea kupata masoko Uingereza bila kutozwa ushuru na kugawanywa baada ya UK kujitoa katika muungano wa EU,” (It is Kenya’s desire to continue having seamless trade relations during and after Brexit. We wish to continue accessing the UK market duty-free and quota-free after the UK exits the EU,) Uhuru alisema. 4. Rais na Waziri Mkuu pia walijadili kuhusu program ya kupambana na ugaidi na Waziri Mkuu akataja kujitolea kwa Uingereza kuendelea kuisaidia Kenya. 5. piua kulikuwapo mazungumzo kuhusu ushirikiano wa kirafiki katika katika kutoa msaada wa kisheria kwa mataifa haya 2, huku Uhuru akisema ulikuwa umechangia katika kupatikana kwa fedha zilizopatikana kwa njia za ufisadi na kufichwa katika akaunti za benki jijini Jersey. 6. Uhuru vile vile alisisitiza kuwapo kwa uwazi katika kutumia pesa za msaada kutoka Uingereza na mashirika ya mikopo. 7. pia kulikuwapo na mazungumzo kuhusu kuzidisha mahusiano ya pamoja baina ya mataifa haya ambayo ni ya urafiki wa muda mrefu.. Carol Radull Do Uhuru Kenyatta have a degree Githae kiereini Mutahi Ngunyi How to get a job in Kenya
2017-10-18T09:33:37
https://kiswahili.tuko.co.ke/239988-haya-ndiyo-masuala-7-muhimu-yaliyomfanya-uhuru-kusafiri-hadi-uingereza.html
[ -1 ]
Jumatatu, 19 Oktoba 2015 11:10 Hali ya Muharram mjini Najaf, Iraq, na Ustadh Jamal Abdallah Kasole Maombolezo ya kumbukumbu ya kuuawa shahidi Imam Hussein bin Ali AS yanaendelea katika maeneo mbalimbali. Mwaka huu mwezi wa Muharram na maadhimisho ya mapambano ya Imam Hussein (AS) yameanza katika … Jumamosi, 17 Oktoba 2015 14:14 Mawaidha ya Muharram 1437 Hijria Mawaidha ya Muharram na Sheikh Ali Ammar Mwazoa wa Tanga, Tanzania. Ingia hapa chini kusikiliza mawaidha hayo. Unaweza pia kupakua (download) na kwa ajili ya kuyasikiliza nje ya Intaneti. Jumamosi, 17 Oktoba 2015 14:11 Mawaidha ya Muharram na Sheikh Ali Ammar Mwazoa 1437 Hijria Jumamosi, 17 Oktoba 2015 13:52 Msafara wa Nuru Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuh. Kwa kuwadia mwezi wa Muharram, kumbukumbu ya hamasa inayobakia milele ya Karbala hujirudia tena akilini. Kila mtu, na kwa njia tofauti hujenga mawasiliano maalumu na Hussein … Alkhamisi, 15 Oktoba 2015 12:11 Hadithi ya Uongofu (14) Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika sehemu nyingine ya mfululizo wa kipindi hiki cha Hadithi ya Uongofu.Kipindi chetu cha leo na vipindi kadhaa vijavyo vitazungumzia maudhuii … Jumatano, 14 Oktoba 2015 16:56 Muharram; mwezi wa kuadhimisha mapambano ya Imam Hussein AS Assalaamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakaatuh. Kwa mara nyengine tena mwezi wa Muharram umewadia. Mwezi ambao unahuisha na kurejesha akilini kumbukumbu ya mapambano adhimu na yenye adhama. Muharram ni mwezi uliofungamana na … Jumatano, 14 Oktoba 2015 16:53 Kuamrisha Mema na Kukataza Mabaya katika Mwamko wa Imam Hussein AS Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika makala hii fupi ambayo inawadieni kwa mnasaba wa siku hizi kumi za mwanzo za Mwezi Mtukufu wa Muharram ambapo Waislamu na wapenda haki kote … Jumatano, 14 Oktoba 2015 12:16 Chanzo cha utakfiri katika ulimwengu wa Kiislamu (8) na Sauti Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika mfululizo wa vipindi ambavyo vinaangazia macho chimbuko na kiini cha makundi ya kitakfiri duniani hii leo ikiwa ni sehemu ya nane ya makala hazi. … Jumanne, 13 Oktoba 2015 12:59 Hadithi ya Uongofu (13) Ni wasaa na wakati mwingine wapenzi wasikilizaji wa kujiunga nami katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Hadithi ya Uongofu. Kipindi chetu cha leo kitazungumzia maudhui ya bidaa na uzushi … Jumanne, 06 Oktoba 2015 14:00 Chanzo cha utakfiri katika ulimwengu wa Kiislamu (7) na Sauti Ni matumaini yangu kuwa hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika mfululizo wa vipindi hivi ambavyo vinaangazia chimbuko na kiini cha makundi ya kitakfiri duniani hii leo ikiwa ni sehemu ya … Jumatatu, 05 Oktoba 2015 15:26 Uislamu na Mtindo wa Maisha-83 Kama tulivyosema katika makala zilizotangulia, mtindo wa maisha (Life style) ni mfumo wa maisha unaoumpa mtu, familia au jamii utambulisho makhsusi. Mtindo wa maisha unaweza kuwa jumla ya utendaji na … Jumapili, 04 Oktoba 2015 22:10 Uislamu na Mtindo wa Maisha (82) Ni wakati mwingine wa kuwaletea mfululizo wa vipindi hivi vya Uislamu na Mtindo wa Maisha na hii ikiwa ni sehemu ya 82. Kipindi chetu leo kitakamilisha mjadala kuhusu kazi na … Ijumaa, 02 Oktoba 2015 19:03 Maswali Yetu na Majibu ya Thaqalain (95) Asaalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji na karibuni kusikiliza sehemu ya 95 ya kipindi hiki cha Maswali Yetu na Majibu ya Thaqalain kinachokujieni kupitia Idhaa ya Kiswahili Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu … Ijumaa, 02 Oktoba 2015 19:02 Maswali yetu na Majibu ya Thaqalain (94) Assalam Alaikum wapenzi wasikilizaji na karibuni kusikiliza sehemu ya 94 ya kipindi hiki cha Maswali Yetu na Majibu ya Thaqalain kinachokujieni kupitia Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu … Ijumaa, 02 Oktoba 2015 19:01 Maswali Yetu na Majibu ya Thaqalain (93) Assalaam Aleikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na karibuni kusikiliza sehemu ya 93 ya kipindi hiki cha Maswali Yetu na Majibu ya … Ijumaa, 02 Oktoba 2015 19:00 Maswali Yetu na Majibu ya Thaqalain (92) Assalaam Alaikum wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inayokutangazieni kutoka mjini Tehran. Swali tutakalolijibu katika kipindi hiki linasema : Je, ni kwa nini … Ijumaa, 02 Oktoba 2015 12:10 Ghadir, njia nyoofu ya saada ya ufanisi Assalamu Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh. Baada ya Mtume Mtukufu (saw) kumaliza Hija yake ya mwisho, aliamua kurejea Madina. Akiwa njiani, kulitoa tukio kubwa ambalo lilibadili kabisa historia. Siku hiyo mtukufu huyo … Jumatano, 30 Septemba 2015 11:24 Chanzo cha utakfiri katika ulimwengu wa Kiislamu (6) Na Sauti Hamjambo wapenzi wasikilizaji na karibuni katika mfululizo wa vipindi ambavyo vinaangazia macho chimbuko na kiini cha makundi ya kitakfiri duniani hii leo ikiwa ni sehemu ya sita ya makala hizi. … Jumatano, 23 Septemba 2015 12:30 Ujumbe wa Hija wa Kiongozi Muadhamu 1436 Hijria Bismillahir Rahmanir Rahim Na hamdu na shukrani zote zinamstahikia Allah, Mola Mlezi wa viumbe wote na rehema na amani ziwe juu ya Bwana wa viumbe wote Muhammad na Aali zake …
2018-03-22T21:32:27
http://kiswahili.irib.ir/uislamu?start=100
[ -1 ]
Home > Arizona, the Anti-Immigrant Laboratory Source URL: https://nacla.org/article/arizona-anti-immigrant-laboratory
2019-03-20T08:24:34
https://nacla.org/print/6631
[ -1 ]