text
stringlengths
44
187k
timestamp
timestamp[us]
url
stringlengths
16
3.37k
dup_ids
list
Kocha Ole amekuwa akihusishwa na majina ya mastaa wengine wakiwamo mabeki Harry Maguire, Kalidou Koulibaly na Aaron Wan-Bissaka huku viungo wengine anaowataka ni Dan James, Declan Rice na Gareth Bale. LONDON, ENGLAND.MAMBO ni mengi muda ni mchache. Manchester United na Arsenal zote zimeshindwa kumaliza ligi ndani ya Top Four na sasa mipango yao ya msimu ujao ni balaa unaambiwa. Makocha wa vikosi hivyo, Ole Gunnar Solskjaer wa huko Old Trafford na Unai Emery wa Emirates watakuwa bize kufanya mabadiliko kadhaa kwenye vikosi vyao ili kuja na nguvu mpya kwa msimu ujao. Kwa wiki sasa Man United imeripotiwa kujifungia kwenye mazungumzo ya kumnasa Paul Dybala wa Juventus, huku wakipiga hesabu pia za kumnasa kiungo wa Barcelona, Ivan Rakitic ili kuziba pengo la Ander Herrera. Kama nyota hao wote watanaswa, basi Man United ya msimu ujao itakuwa na sura mpya kadhaa kwenye kikosi chake cha kwanza ambapo golini anaweza kuendelea kuwa David De Gea, huku kwenye beki kutakuwa na Luke Shaw kushoto, Wan-Bissaka kulia na mabeki wa kati ni Maguire na Koulibaly. Kwenye viungo watatu kutakuwa na Paul Pogba, Rice na Rakitic na kwenda fowadi kulia atakuwa Dybala, kushoto Bale na katikati atakuwa Marcus Rashford. Kocha Emery, naye bila shaka atakuwa bize kusaka wachezaji anaotaka kuwaongeza kwenye kikosi chake kinachoripotiwa ni huenda kuna mastaa sita wapya wakatua kwenye kikosi chake kwa kuanzia na Juan Mata na Adrien Rabiot anaoweza kuwanasa bure huku akimsaka pia Youri Tielemans na Ryan Fraser wa Bournemouth. Mipango ya Emery pia ni kumnasa beki wa kati wa Getafe, Djene Dakonam, huku akiwa kwenye nafasi nzuri pia ya kumsajili staa wa Ajax, Hakim Ziyech. Kama Emery atafanikiwa kunasa huduma za mastaa hao anaowataka, basi kikosi chake cha msimu ujao kitakuwa kama ifuatavyo, ambapo golini atakuwa Leno huku mabeki wake wakiwa Kolasinac kushoto, Hector Bellerin kulia huku mabeki wa kati ni Sokratis na Dakonam, kwenye kiungo kutakuwa na Tielemans, Rabiot na Torreira huku katika fowadi kulia atakuwa Ziyech, kushoto Mata na katikati Pierre-Emerick Aubameyang. Kama lisemwalo likitokea, basi Arsenal na Manchester United zitakuwa zimetengeneza vikosi ambavyo bila ya shaka vitachuana vikali na kukamatia ile Top Four baada ya msimu huu uliomalizika hivi karibuni kuambilia patupu zikishika nafasi za tano na sita kwenye msimamo huo wa Ligi Kuu England.
2019-09-18T14:12:27
https://www.mwanaspoti.co.tz/soka/Arsenal--Man-United-kuna-moto-mkali-unaambiwa/1799484-5128094-7n5kh9z/index.html
[ -1 ]
Somalia: Baraza la Usalama laregeza vikwazo vya silaha | Matukio ya Afrika | DW | 25.07.2013 Somalia: Baraza la Usalama laregeza vikwazo vya silaha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa,lililegeza vikwazo vya silaha Somalia, ili iweze kununua silaha na vifaa vingine muhimu, vitakavyoiwezesha kuimarisha usalama nchini ambayo imekumbwa na vita vya muda mrefu. Somalia imekumbwa na vita vya zaidi ya miongo miwili Hata hivyo nchi hiyo bado hairuhusiwi kununua zana nzito nzito za kivita, bila kibali kutoka Umoja wa Mataifa. Muda mfupi uliopita Daniel Gakuba amezungumza na mbunge wa Somalia Hussein Bantu kuhusu hatua hiyo ya Umoja wa Mataifa, na kwanza alitaka kujua iwapo serikali mjini Mogadishu imetoa tamko lolote. Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini. Sikiliza mazungumzo kati ya Daniel Gakuba na Hussein Bantu Maneno muhimu Somalia: Baraza la Usalama laregeza vikwazo Kiungo https://p.dw.com/p/19E2r
2019-06-20T01:20:44
https://www.dw.com/sw/somalia-baraza-la-usalama-laregeza-vikwazo-vya-silaha/a-16975281
[ -1 ]
Mbegu ya Ng'ombe wa Kisasa wa Maziwa | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Mbegu ya Ng'ombe wa Kisasa wa Maziwa Discussion in 'Kilimo, Ufugaji na Uvuvi' started by ministrant, Jun 25, 2017. ministrant Member Wakuu Salaam. Nipo Dar es salaam ila Nina mpango wa kufuga Ng'ombe wa kisasa wa maziwa au hata kama watakuwa chotara sio mbaya ili mradi wawe na uwezo wa kutoa maziwa kuanzia Lita 10 kwa Siku. Ninahitaji msaada wa kufahamishwa ni wapi ninapoweza kupata hao ng'ombe wa kununua au hata ndama kama nitakosa wakubwa. Nawasilisha kwa msaada wenu Ok,safi sana kwa kuwa mfugaji,jamii ya ng'ombe uwatakao nilishawahi kuwaonaga maeneo ya mji wa njombe,kuna jamaa mmoja anaitwa kasunga ni maarufu sana hapo njombe anao hao ng'ombe uwatakao,ila ushauri wangu ukihitaji ng'ombe nenda mikoani utawapataila hapa hakuna wafugaji ama kama wapo utalanguliwa tu Likes Received: 6,668 Ufugaji wa Ng'ombe wa maziwa dili sana chija JF-Expert Member Kikubwa uwe na eneo la kutosha chija said: ↑ Ehe ukishakuwa na eneo la kutosha nini kinafuata? Yeye kauliza Ng'ombe wazuri kwa maziwa huenda vigezo vingine vyote anavyo. conservative3 JF-Expert Member hongera mkuu kwa maamuzi,pia nenda kwenye mashamba ya makampuni yanayozalisha maziwa yanayofuga hiyo mifugo,cha pili utoaji wa maziwa unategemea matunzo hasa malisho na tiba stahiki pasipo kusahau sehemu safi za kulala hao mifugo. Kilala Makusaro JF-Expert Member wapo Meru arusha tuwasiliane nikuelekeze unaweza email namba yako hapa [email protected] mbota JF-Expert Member Wakuu tunaomba kama mnazo taarifa zaidi tujuzanee MTUSUAJI Senior Member Muelekeze hapa ili nawengine wafaidike Emily mwasubila Member ministrant said: ↑ ==========* Veterinary products, tunauza/kusambaza Ng'ombe wa maziwa ,kulingana na idadi unayotaka, Friesian, Ayrshire wenye mimba, Competitor of Philips Member Emily mwasubila said: ↑ gharama zake zikoje mkuu?,nitafurah ukinipa mrejesho....., SOORI MBISE Senior Member Tutafute Meru dairy farming tutakuhudumia. Utapata ng'ombe bora Fresian na Ayrshire mitamba wenye mimba. Mawasiliano [email protected] Likes Received: 4,289 Huwa napenda kusoma uzi ukiwa na picha na nisipoona picha naingia Google kujionea zaidi maana hakuna jinsi Kwa faida ya wote na basi hata kapicha kanapendeza Mathias Elias Senior Member Ushauri. ni vyema ukaandaa uzi juu ya ng'ombe wa kisasa na ukadadavua kwa kina kila aina moja wapo pia itakusaidia kupata wateja zaidi Mbao za Mawe JF-Expert Member Huwenda ukiwa na eneo la kutosha maziwa yanamwagika toka juu Kuja kwa box,nina mtamba mmoja mzuri mapinga Ufugaji ni mzuri sana. MKUU VP ULIFANIKISHA
2018-07-21T07:56:21
https://www.jamiiforums.com/threads/mbegu-ya-ngombe-wa-kisasa-wa-maziwa.1274100/
[ -1 ]
Brigid Kosgei: Aliacha shule, mama wa watoto mapacha na aliyeweka rekodi kwenye riadha - BBC News Swahili Brigid Kosgei: Aliacha shule, mama wa watoto mapacha na aliyeweka rekodi kwenye riadha https://www.bbc.com/swahili/habari-50122065 Wanariadha mara nyingi wana kitu kinachowasukuma kufanikiwa, na kwa mbio za marathon za wanawake hata kuweka rekodi ni matokeo ya msukumo alioupata Brigid Kosgei alipokuwa akipitia kipindi kigumu utotoni. ''Nikifikiri kuhusu nilikoanzia na changamoto tulizopitia tulipokuwa tunakua, ninajiambia siwezi kurudi kwenye maisha yale yale na hicho kilinisukuma kufanya vizuri , ''mwanariadha huyu aliambia BBC. Miaka minne tangu aliposhiriki kwa mara ya kwanza mbio za marathon, ambazo alishinda, Kosgei kwa sasa ni mwanamke mwenye mbio zaidi katika historia kwa umbali wa kilometa 42.2 Juma lililopita katika mji wa Chicago nchini Marekani, alivunja rekodi iliyowekwa na muingereza Paula Radicliffe aliyoiweka miaka 16 iliyopita. Kukimbia kwenda shuleni Alikuwa mmoja kati ya watoto saba waliolelewa na mama pekee katika kaunti ya Elgeyo -Marakwet, mji katika bonde la ufa ambao umewatoa wakimbiaji maarufu wa nchini Kenya. Na kama ilivyo kwa wakimbiaji wengine wa Kenya kabla yake, Kosgei aligundua kuwa anaweza kukimbia akiwa shule ya msingi, ambapo alikuwa akikimbia kwenda darasani nyakati za asubuhi. ''Shule yangu ilikuwa umbali wa kilomita 10 kutoka nyumbani na wakati mwingine kuepuka kuchelewa nilikua nakimbia, nikiwa njiani nilikutana na wakimbiaji wakiwa mazoezini na kujisemea mwenyewe: 'ninaweza kuwa kama wao' alisema. Alianza kushindana kwa umbali wa kati akiwa shuleni na ingawa hakuchaguliwa kuwakilisha nchi yake, kipaji chake hakikuwa na shaka. Baada ya kuongezwa kwa karo ya shule ilikuwa changamoto kwa mama yake, Kosgei aliamua kukatisha masomo yake mwezi Januari mwaka 2012 katika mwaka wake wa mwisho. ''Nilipofika kidato cha tatu, malimbikizi ya madeni yalikua zaidi ya pauni 1,200. Mama yangu alijaribu kunishawishi niendelee na shule naye atakopa fedha kulipa deni nilimwambia: ''kwa muda gani utaendelea kukopa?'' Eliud Kipchoge atuzwa shujaa wa taifa Lakini sasa akiwa na miaka 17, aliutilia maanani mchezo wa kukimbia- kazi ambayo iliiwezesha familia kuwalipia karo ndugu zake wadogo. Alianza kufanya mazoezi na rafiki yake wa kiume Mathew Kosgei, ambaye kwa sasa ni mumewe. Mwaka mmoja baadae alikua mapumzikoni baada ya kujifungua watoto mapacha. Lakini uzazi haukumfanya akatishe nia yake. Mwaka 2015 alianza alipoishia, wakati huu aliingia kwenye kambi ya mafunzo si mbali na makazi yake, kambi iliyokuwa chini ya mwalimu wake. Kambi hizo nchini Kenya zinatoa mazingira ambapo wakimbiaji wanapata nafasi ya kujikita zaidi na mafunzo bila kuingiliwa. Msimu wake sasa umepita lakini amerekodiwa kuwa mkiambiaji wa kwanza mwanamke wa marathon kwa mwaka 2019. Mwaka ujao amedhamiria kushiriki michuano mikubwa zaidi ya Olimpiki. Kwa sasa anaelekea kijijini kumtembelea mama yake, ambaye amemnunulia kiwanja na nyumba kutokana na faida aliyopata aliposhinda michuano kadhaa awali, pia atatumia muda huo akiwa na mumewe na watoto.
2019-11-17T06:01:15
https://www.bbc.com/swahili/habari-50122065
[ -1 ]
Siku hadi Siku za Ibada ya Hijja | Imamswadiq ← Kupatwa kwa Mwezi na Wajibu wa Swala ya Alama (Salat al-Ayat) Hili ndilo Tukio la Ghadir → Siku hadi Siku za Ibada ya Hijja Siku ya Kwanza: Siku ya 8 ya Dhul-Hijjah Siku ya nane ya Dhul-Hijjah (Yawm Tarwiyah), Hujaji anavaa Ihraam yake baada ya swala ya Dhuhr & Asr na kutoka Makkah kwenda Mina. Anatumia muda wote wa mchana na usiku akiwa huko Mina Kwa ibada na swala, akijitayarisha kwenda Arafa. Siku ya pili: Siku ya 9 ya Dhul-Hijjah Siku ya tisa ya Dhul-Hijjah (Yawm Arafa), baada ya sala ya al-Fajr huko Mina, Hujaji anasubiri hadi muda kidogo baada ya jua kuchomoza, kisha anatoka nje ya mji wa Mina kwenda kwenye viwanja vya Arafa ambapo anapaswa kuingia hapo Arafa mchana. Akiwa Arafa ataswali Sala ya Dhuhr na Asr pamoja kwa Adhana moja na Iqama mbili wakati wa mwanzo wa muda wa Zuhr (Kwa maneno mengine ataunganisha Swala ya Dhuhri na Alasiri). Hujaji anapaswa kusubiri huko Arafa mpaka muda mfupi baada ya kuzama kwa jua (takriban dakika 10 baada ya kuzama kwa jua), halafu atatoka kuelekea Mash’ar au Muzdalifa (eneo kati ya Arafaat na Mina). Ataahirisha swala ya maghribi na Isha huko Arafaat ili kwenda kuziswali kwa pamoja huko Mash’ar kwa Adhana moja na Iqama mbili, (Ataunganisha Maghrib na Isha) kisha atautumia muda wote usiku katika sala na usingizi. Aidha Hujaji akiwa hapo Muzdalifa anapaswa kuchukua/Kuokota vijiwe vingi zaidi ya idadi ya vijiwe (21) vinavyohitajika ili baadaye siku inayofuata akavitupe kupiga shetani Jamaraats huko Mina. Siku ya Tatu: Siku ya 10 ya Dhul-Hijjah Siku hii inajulikana kama Eidul Adha / Yawm Nahr. Hujaji anapaswa kuswali swala ya al-Fajr hapo Muzdalifa, kisha kuondoka Muzdalifa kwenda Mina muda mfupi baada ya jua kuchomoza. Na kisha kuelekea kupiga mawe ilipo Jamrah Al-Aqabah (Shetani mkubwa), kisha Jamrah Al-Ula (Shetani wa mwanzo) na mwisho Jamara Al-Wusta (Shetani wa kati). Anapopiga kila jiwe kwenye Jamaraat hizi anapaswa kusema Allahu Akbar. Baada ya kukamilisha ibada ya kupiga mawe, Hujaji anapaswa kwenda mahali ambako wanyama huhifadhiwa na kuchinja mnyama (Qurbani / Kutoa sadaka). Kisha aelekee kwenye kukata kucha (Taqseer) au kunyoa nywele za kichwani (Halaq). Baada ya hapo, ataanza safari ya kuelekea mji wa Makka kwa ajili ya Matendo ya ibada ya Makka (Amaal Makkah), ambayo yanajumuisha Tawaaf ya Hijja / Tawaafu Ziyara, Swala ya Sunnah ya Tawaf (Salaat Al-Tawaaf) na Sayee. (Kutembea matiti baina ya vilima viwili Safa na marwa) Kisha hujaji atakamilisha kwa Tawaaf-Un-Nisa na Swala yake na baada ya hapo atavua Ihraam yake. Siku ya nne: Siku ya 11 ya Dhul-Hijjah Siku hii Hujaji atafanya tendo la Ramy Jamaraats huko Mina. Vijiwe vinavyopiga Shetani vinapaswa kutupwa kwenye Jamaraat kwa mfuatano na nidhamu iliowekwa, yaani, kuanzia shetani lile la mwanzo unapotoka upande wa Mina kwenda Makkah liitwalo Al-Jamrah Al-Ula, kisha linalofuatia liitwalo Al-Jamrah Al-Wusta na mwisho lililopo karibu na Makkah liitwalo Al-Jamrah Al-Aqabah. Na Hujaji anapaswa kuupitisha usiku huo mjini Mina. Si lazima kuwa huko usiku wote. Siku ya Tano: Siku ya 12 ya Dhul-Hijjah Hujaji atafanya matendo kama alivyofanya siku ya 11 ya Dhul-Hijjah. Siku ya Sita: Siku ya 13 ya Dhul-Hijjah. Vijiwe vinavyopiga Shetani vinapaswa kutupwa kwenye Jamaraat mfuatano uliowekwa, yaani, kuanzia shetani lile la mwanzo unapotoka kwa Mina kwenda Makkah liitwalo Al-Jamrah Al-Ula, kisha linalofuatia liitwalo Al-Jamrah Al-Wusta na mwisho lililopo karibu na Makkah liitwalo Al-Jamrah Al-Aqabah. Na Hujaji sasa anaweza kuondoka kuelekea Makka mara moja kwa ajili ya Tawafu ya kuaga (Tawafuu-ul-Widaa) na Swala yake ya Sunna. Posted on August 25, 2017, in Habari na Matukio. Bookmark the permalink. Leave a comment.
2018-07-16T12:33:38
https://imamswadiq.com/2017/08/25/siku-hadi-siku-za-ibada-ya-hijja/
[ -1 ]
Tusiwafumbie macho wahujumu hifadhi ya msitu wa Jozani | ZanzibarLeo Mwanzo Maoni Tusiwafumbie macho wahujumu hifadhi ya msitu wa Jozani Tusiwafumbie macho wahujumu hifadhi ya msitu wa Jozani IMEKUWA kawaida kila mwaka kuibuka taarifa za kuungua moto msitu wa hifadhi ya taifa wa Jozani, ambao ndani yake kuna viumbe adimu wakiwemo wanyama na mti. Mara nyingi moto katika msitu huo huibuka wakati wa majira ya kiangazi ambapo kutokana na majani, nyasi na miti kuathirika na jua kali hivyo huwa rahisi sana kushambuliwa na mtoto. Katika kiangazi cha mwaka huu kinachoendelea zipo ripoti kwamba zaidi ya hekta 19 za misitu huo wa hifadhi zimeteketea kwa moto na kusababisha hasara kubwa. Mbali ya harasa ya kifedha iliyopatikana katika janga hilo, upo uhakika kuwa makaazi na hata baadhi ya wanyama ama baadhi ya misitu itakua imekufa kutoka na moto huo. Kubwa zaidi ni kwamba wanasayansi wanatueleza kuwa misitu imekuwa chanzo kikubwa cha mvua, hivyo kuathirika kutokana na moto kutaathiri mfumo wa kisayansi unaowezesha kutengenezwa kwa mvua. Hivyo tusilalamike hata kidogo unapofika msimu wa masika ama vuli mvua zimekuwa kidogo, haziwezi kuwa nyingi kwa sababu hicho chanzo cha mvua kimeharibiwa. Kwa mujibu wa taarifa moto huo ulioteketeza hekta hizo, umeanzia eneo la Kiungani ambalo liko katika kijiji cha Charawe ambacho ni miongoni mwa sheria zinazozunguukwa na hifadhi ya msitu. Jambo la kusikitisha ni kwamba waliotia moto huo, tumeambiwa kuwa ni ‘watu wasijulikana’, kama hivyo ndivyo, basi itakuwa vigumu kujua sababu za kwanini wametia moto huo. Hata hivyo, sisi tunavyoamini waliotia moto huo wanajulikana vyema na jamii ama sehemu ya jamii ya wananchi wa Charawe, ila pengine wanawalinda ili wasiweze kukabiliwa na haki kisheria inayowastahikia. Kamwe hatuwezi kuamini na wala asitokee mtu akatuaminisha kwamba moto huo umejitia wenyewe na hilo haliwezi kutokea, hekta hizo za msitu zimeteketea kutokana na mikono ya mwanadamu. Hili limekuwa tatizo kubwa kwenye jamii yetu na hasa huko vijijini, wananchi wanafahamu wahalifu ama wanaviona viashiria vya uhalifu, lakini wanafumba macho wakidhani hayo ndiyo mapenzi. Tumekuwa hatupendi kuwajibishana pale makosa yanapotokea kutokana na kugandwa na ugonjwa la siku nyingi na kuyavaa makoti ya kitu kinachoitwa muhali. Wananchi katika vijiji vinavyounda hifadhi ya msitu wa Jozani ni vyema wakafahamu kuwa kuendelea kuwaficha wahalifu wanaoutia moto msitu huo ni kulisababishia hasara kubwa taifa na kupoteza maisha ya viumbe ambavyo vyengine havipatikani sehemu nyengine yoyote duniani. Aidha kwa tunavyofahamu msitu huo umekuwa na manufaa makubwa kwa wananchi wanaozunguuka hifadhi hiyo, kwa sababu wakulima wamekuwa wakipata fedha nyingi kila mwaka zinazotokana na shughuli za utalii katika msitu huo. Tunachojiuliza sasa kama wengine wanautia moto kwa makusudi msitu huyo je! huo mgao wa fedha wanaopewa wakulima unaotokana na mapato ya utalii utapatikana vipi wakati wanyama na miti ambayo ni vivutio vikubwa imeshateketea kwa moto? Vitu vyengine havihitaji elimu kubwa, lakini ni jukumu la wananchi wanaozunguuka msitu wa Jozani kufikiria mara mbili tabia ya kuwaficha wenye kuutia moto msitu huo. Wananchi wanaozunguuka hifadhi ya msitu wa Jozani wana haki na jukumu la msingi la kuulinda msitu huo sio kwa wanaouhujumu kwa moto tu, bali hata wale wanaokata miti ovyo. Kwa msisitizo kabisa tunapenda kueleza kuwa tuwe na tabia ya kutunza, kuthamini na kulinda yale yanayotupatia manufaa kwa ajili ya maisha yetu ya leo, kesho na kuweka msingi mzuri kwa vizazi vijavyo. Habari ZilizopitaZanzibar Sand Heroes kujipma kwa Wasauz Habari NyengineJe! Ramaphosa kuvaa viatu vya Mandela? Pembe awasilisha muswada mkaguzi wa elimu HAFSA GOLO na NASRA MANZI WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Amali, Riziki Pembe Juma, amesema kuanzishwa kwa sheria ya Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Elimu Zanzibar ya mwaka 2018, kutatoa uwezo wa kuwa na chombo huru chenye nguvu katika mamlaka ya usimamizi, ufatiliaji wa utoaji wa elimu... Dk. Shein awaotoa hofu wahitimu kada ya afya Asema mafunzo ya vitendo yatafanyika Z’bar […] Wasanii Zanzibar wamsikitisha Waziri NA MWAJUMA JUMA WAZIRI wa Habari, Utalii na […] UN yaitaja Israel kama nchi ya kibaguzi UMOJA wa mataifa umetoa ripoti inayoituhumu […] This Year : 25146 Total Visit : 25146 Ligi kuu yazidi kutoa matokeo ya ajabu Raia wa Hispania apandishwa Kizimbani Z’bar yazindua mfumo wa NTB’s
2018-09-22T13:22:46
http://www.zanzibarleo.co.tz/2018/02/22/tusiwafumbie-macho-wahujumu-hifadhi-ya-msitu-wa-jozani/
[ -1 ]
AUDIO TRACK: MUDY KILOSA – HISIA ZA MAPENZI MUDY KILOSA – HISIA ZA MAPENZI AUDIO TRACK: MADAZO – LAST NIGHT MADAZO – LAST NIGHT AUDIO TRACK: BARNABA – BABY I’M SORRY BARNABA – BABY I’M SORRY AUDIO TRACK: ROGER MIA – UJUE ROGER MIA – UJUE AUDIO TRACK: CHIDI BEENZ FT DULLY SYKES – NIMERUDI CHIDI BEENZ FT DULLY SYKES – NIMERUDI AUDIO TRACK: POINT 7 FT JOS MTAMBO & Q-CHILLAH – LAANA POINT 7 FT JOS MTAMBO & Q-CHILLAH – LAANA AUDIO TRACK: AMINI FT LINAH – WANGU AMINI FT LINAH – WANGU Ngoma mpya ya Amini aliyomshirikisha Linah ndio hii, ngoma imefanyika Kiri Records chini ya producer mahiri C9 AUDIO TRACK: MR. BLUE FT MAN WALTER – NIPENDE MR. BLUE FT MAN WALTER – NIPENDE Baada ya kimya cha muda mrefu msanii Herry Sameer almaarufu kama Mr. Blue, Byser au Babylon ameachia ngoma hii mpya aliyomshirikisha Man Walter. AUDIO TRACK: BUI BUI – BORA UNGESEMA BUI BUI – BORA UNGESEMA AUDIO TRACK: TMK WANAUME FAMILY – TUTAONEKANAJE TMK WANAUME FAMILY – TUTAONEKANAJE Page 20 of 55« First...10«16171819202122232425»304050...Last »
2013-05-20T15:48:35
http://dartalk.com/music/page/20/
[ -1 ]
Home > Hadith Za Mtume (s) Na Ma Imamu (a) > 3. Historia ya Uandishi wa Hadith Katika Sunni: > Sababu za Uchelewesho Katika Uandishi wa Hadith: Source URL: https://www.al-islam.org/node/24347
2018-01-19T05:51:31
https://www.al-islam.org/print/book/export/html/24347
[ -1 ]
MAMBO 19 KILA MWANAUME ANAYATAKA KUTOKA KWA MWENZA WAKE Haya mambo 19 kila mwanaume anayataka kutoka kwa mwenza wake Kila mwanaume anataka kujisikia anapendwa. Anataka kuona kuwa mwenza wake anampenda kiuhalisia na anamjali. 3. Uaminifu (Loyalty) Kila mwanaume anataka mwenza wake awe mwaminifu kwake. 4. Mahaba Kila mwanaume anahitaji mahaba, na hapa nasema mahaba badala ya ngono, kwasababu si kila mwanaume ni mzuri katika hilo. Mahaba haya yanaweza kuwa kupapaswa, kubusiwa au kukumbatiwa. 5. Kukubalika Kila mwanaume anataka kujisikia mwenza wake anamkubali kwa mambo mbalimbali kama vile penzi lake, muda, jitihada, anavyojituma na kila anachokifanya kwa mwenza wake. 6. Yeye ni bora zaidi 7. Uaminifu (Honesty) Mwanaume anahitaji mwenza wake awe mwaminifu. Uaminifu ni kila kitu kwa mwanaume na kadri mwenzake wake anavyokuwa mwaminifu, ndivyo hawezi kuwa na wivu. 8. Ukweli Kila mwanaume anahitaji kujua kuwa anaweza kumwamini mwenzake wake na kwamba naye anamwamini. 9. Kulelewa Sio kila mwanaume anataka mtu atakayempa matunzo kama anayoweza kupata kwa mama yake. Lakini ni kwamba mwanaume anataka kujisikia anapendwa anatunzwa kwa kiwango fulani na mwenza wake. 10. Utulivu Mwanaume anajua kuwa kuna kiasi fulani cha drama hakiepukiki kutokea wakati wa uhusiano au pale anapooa. Lakini mwenzake wake anapokuwa mtulivu zaidi ndivyo anavyopenda. 11. Anayejitegemea Hata kama mwanaume anapenda kupata attention kubwa kutoka kwa mpenzi wake, hataki kumuona akiwa kupe, mhitaji sana, au asiyeweza kuwa mwenyewe. 12. Akili Anataka mwenzake wake aweze kuendelea na mazungumzo na kuwa huru katika mazingira mengi yakiwemo ya kijamii, familia na akiwa naye. 13. Kujiamini Kila mwanaume hupenda kumuona mwenza wake anajiamini. Hii inamaanisha kuwa anataka mwenza wake ajikubali. Na hapa kujiamini hakumaanishi awe na kiburi. 14. Awe na Mvuto Kila mwanaume anataka mwenza wake avutie. Mwenzake sio lazima awe kama supermodel bali anayeweza kuyavutia macho yake kila siku. 15. Aive naye Kila mwanaume anataka kuiva na mwenzake wake na kuhisi kuwa anamvutia. Haoni umuhimu wa kuwa na mwanamke mrembo zaidi duniani bali yule anayeweza kuiva naye vizuri. 16. Mtu wa familia Mwanaume anataka kujisikia kuwa mwenzake wake anaheshimu kutumia muda fulani na familia yake na kwamba anathamini na kuheshimu pia familia yake. Baadhi ya wanaume huchukulia kigezo hiki si tu muhimu, bali cha lazima katika kumtafuta mwenza. 17. Msimamo Kila mwanaume anataka mwenza mwenye msimamo na asiyebadilisha mawazo yake kila siku kuhusu kuwa naye na kumpenda. Anataka mwenzake wake awe sawa kihisia na kisaikolojia pia. 18. Ushirikiano Mwanaume anataka kuona kuwa si yeye pekee ndiye anayefanya kila kitu kuupalilia uhusiano wao. Anataka kuona kuwa kuna usawa fulani kwenye uhusiano. 19. Kujivunia Kila mwanaume anataka kuona kuwa mwenzake anajivunia kuwa naye. Anataka kumfanya mwenza wake ajivunia na wakati mwingine anahitaji kusikia. By Anne Cohen – huffingtonpost.com
2017-08-22T07:23:55
http://rumaafrica.blogspot.com/2016/05/mambo-19-kila-mwanaume-anayataka-kutoka.html
[ -1 ]
GLENN MURRAY NDIYE ANAYEMFUATIA MESSI KWA KUFUNGA MABAO DUNIANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE GLENN MURRAY NDIYE ANAYEMFUATIA MESSI KWA KUFUNGA MABAO DUNIANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE Mwanzo > Untagged GLENN MURRAY NDIYE ANAYEMFUATIA MESSI KWA KUFUNGA MABAO DUNIANI GLENN MURRAY NDIYE ANAYEMFUATIA MESSI KWA KUFUNGA MABAO DUNIANI BIN ZUBEIRY imetambua kwamba Glenn Murray yuko nyuma ya Lionel Messi katika orodha za wafungaji kwenye ligi zote msimu huu. Baada ya kuangalia madaraja mawili ya juu Ulaya kwenye ligi tano bora za Ulaya tumegundua ni Messi pekee ambaye amempita mshambuliaji hatari wa Crystal Palace kwa mabao msimu huu. Akifunga bao la kwanza kwenye mechi ya ushindi wa 2-1 dhidi ya Bristol City, usiku wa Jana, Murray alifikisha mabao 28 msimu huu. Angalia video... Mashine ya Mabao: wakati Cardiff City wakiteleza jana usiku,bao la Murray liliisaidia Palace kuisogelea Cardiff Murray ni zao jipya kutoka Spotland Kutakuwa na kitu kwenye maji ya Spotland, kwa Rochdale kufanikiwa kuzalisha washambuliaji hatari siku za karibuni. Mashabiki wa Ligi Kuu ya England, watakuwa wanawajua kina Grant Holt na Rickie Lambert – ambao walicheza pamoja Dale katika msimu wa 2005-06, chni ya Steve Parkin – lakini walisajiliwa kuwarithi waliopoondoka kwenda Nottingham Forest na Bristol Rovers hawakuwa wabaya pia. Adam Le Fondre, ambaye kwa sasa anachezea Reading, pamoja na mfungaji bora Ligi Daraja la Kwanza akiwa na Crystal Palace, Glenn Murray walisajiliwa kuziba nafasi hizo. Murray – ambaye alifunga mabao 25, kwenye mechi 58 akiwa na Rochdale – Jana amefunga bao dhidi ya Bristol City na kufikisha mabao 28 msimu huu. Akiwa na miaka 29, Murray siyo mchezaji wa msimu, lakini kama anataka kupata moyo zaidi na kujiamini kwamba anastahili kucheza ligi za juu anatakiwa kuangalia wachezaji wenzake waliowahi kupita Spotland. Holt na Lambert wameonyesha ubora wao kwenye vikosi vya Norwich na Southampton msimu huu. Akili ya Murray na uwezo wake wa mipira ya juu, inamfanya kuwa hatari zaidi kwa mabaeki na kama Palace wataendeleza kasi yao hiyo basi kuna nafasi kubwa kwa mchezaji huyo kuungana na wenzake kutoka Rochdale kwenye Ligi Kuu ndful for any defender, and if Palace continue the way they are going then he will be joining the strong ex-Rochdale contingent in the Premier League before too long. Joe Ridge Murray kwa kiasi kikubwa amekosa umaarufu kutokana na kufunikwa na Wilfred Zaha ambaye ametua Manchester United, kwa ada ya pauni milioni 15. Lakini Murray ambaye kwa sasa ndiye mfungaji bora nchini England akiwa mbele ya Tom Pope wa Port Vale kwa mabao matatu na mabao saba zaidi ya Robin van Persie wa Man United. Mabao yake yamemfanya akamate nafasi ya pili kwa ufungaji, nyuma ya Messi ambaye juzi alifunga bao lake la 301 akiwa na miamba ya Catalan. Cha kushangaza Ligi Daraja la Kwanza inaongoza kwa ufungaji kwenye ligi za madaraja ya chini huku Murray, Charlie Austin, Jordan Rhodes na Matej Vydra wakishika nafasi nne za Juu, nafasi ya tano ndiyo inashikiliwa na Marco Sansovini wa Serie B, akiwa na mabao 18. Wakati ambao mpinzani wake Muargentina amefunga mabao 37, kwenye mechi 24 za La Liga msimu huu na wazi kwa, Murray anakazi kubwa sana ya kumfukuzia. Lakini akili yake yote itakuwa kuhakikisha anaipandisha timu yake msimu huu. Mzaliwa huyo wa Cumbria, Murray alianza kucheza asoka kwenye klabu ya mtaani ya Workington Reds mwaka 2002, akifunga mabao 25 kwenye mechi 43 alizocheza kwa miaka miwili. Alihamia Carolina Kaskazini kuchezea klabu ya Wilmington Hammerheads ambako alicheza mechi 14 tu, kabla ya kurudi England na kutua Barrow mwaka 2004. Murray alifunga mabao tisa katika mechi tisa na klabu hiyo, kiwango chake kilimpeleka Carlisle – ikiwa ni klabu yake ya nne japokuwa alikuw ana miaka 21 tu. Baada ya kuisadia klabu hiyo kuchukua mataji mawili mfululizo mwaka 2005 na 2006, alijikuta akiwa hana nafasi kwenye klabu hiyo, na akatolewa kwa mkopo kwenye klabu ya Stockport County na baadaye Rochdale. Akiwa na Rochdale Murray alifanya vizuri sana na kusajiliwa kwa mkataba wa kudumu, na alikuwa na wastani wa kufunga bao moja katika kila mechi mbili. Alisajiliwa kwa pauni 300,000 na klabu ya Brighton mwaka 2008 na Murray alipata taji la Ligi one akiwa na klabu hiyo. Murray alikataa kuongeza mkataba mpya baada ya kudumu na klabu hiyo kwa miaka mitatu, na kutua Crystal Palace. Kiongozi: Mfungaji bora wa Ulaya Lionel Messi Orodha: Orodha ya wafungaji Bora kwenye ligi mbalimbali za Ulaya Murray kazini wakati akiwa na klabu ya Brighton. Murray alihusika kwenye ushindi wa Kombe la Ligi dhidi ya Manchester United msimu ulipopita Alifunga bao la ushindi lililoitupa nje ya michuano ya Kombe la Ligi Man United mwaka jana, Old Trafford. Licha ya kufunga mabao saba kwenye mechi 44, kocha wake pale Selhurst Park alikuwa akimuamini bado Imani yao kwake imejilipa, msimu huu baada ya Murray kuibuka kuwa mmoja kati ya wachezaji tishio zaidi kwenye Ligi Daraja la Kwanza England. Na mabao 28 katika mechi 30 yamekuwa muhimu kwa klabu yake kuendelea kuifukuzia Cardiff kwenye harakati za kupanda daraja msimu ujao. VIDEO: Angalia shughuli ya mshambuliaji huyo dhidi ya Middlesbrough... VIDEO: Watch Murray score a 20-minute hat-trick as Crystal Palace come back to win after being 2-0 down at home to Cardiff... Item Reviewed: GLENN MURRAY NDIYE ANAYEMFUATIA MESSI KWA KUFUNGA MABAO DUNIANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
2020-04-03T21:11:15
http://www.binzubeiry.co.tz/2013/02/glenn-murray-ndiye-anayemfuatia-messi.html
[ -1 ]
MATUKIO KATIKA PICHA: 2012 MATUKIO YA ZIARA YA UJUMBE WA NGAZI YA JUU YA CCM NCHINI CHINA Picha ya pamoja, katika mkutano wa vijana nchini China,kutoka kushoto ni Nd.Edmund(afisa Ubalozi wa Tanzania nchini China, Ndg. Jasinta Mboneko (Afisa wa CCM - SUKI),Ndg Dhahir Mshana( Katibu Msaidizi Mkuu Itifaki),Ndg.Martine Shigela( Katibu Mkuu UVCCM),Ndg.Ussi Yahaya Haji(Mjumbe wa NEC-Zanzibar),Mh.Philip Marmo( Balozi wa Tanzania nchini China.) Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara,Mh. Pius Msekwa akisalimiana na Mh.Charles Liu,Makamu wa Rais wa Startimes-China. Makamu Mwenyekiti CCM- Bara, Mh.Pius Msekwa pamoja na Mjumbe wa Kamati Kuu Mh. Constancia Buhiye wakiwa na viongozi wa Jumuiya ya Vijana wa Peoples Democratic Party (PDP) Katibu Mkuu wa UVCCM, Ndg.Martine Shigela akiwa na Katibu Mkuu wa Vijana wa CPC-China Ndg.Zhou Changkui Ndugu Martine Shigela,Katibu Mkuu wa UVCCM akipanda mti wa urafiki nchini China. Katibu Mkuu UVCCM, Ndg.Martine Shigela akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini China Mh. Philip Marmo katika ofisi za ubalozi wa Tanzania uliopo China. Ujumbe wa ngazi ya juu ya CCM wakiwa kwenye picha ya pamoja, kutoka kushoto Dhahir Mshana (Katibu Msaidizi Mkuu Itifaki),Mh.Constancia Buhiye(Mjumbe wa Kamati Kuu),Mh.Pius Msekwa (Makamu Mwenyekiti wa CCM-Bara),Mh.Vuai Ali Vuai( Naibu Katibu Mkuu CCM -Zanzibar),Mh.Ussi Yahaya Haji(Mjumbe wa NEC-Zanzibar) Picha zote kwa hisani ya Yasinta Mboneko(Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa- CCM) Posted by Ccmmawasilianonaumma Ccm at 6:43 AM No comments: Baadhi ya Wachangiaji mada Bi.Josephine Douglas kutoka chuo cha Usimamizi wa Fedha akichangia mada. Amon Chakushemeire kutoka Mzumbe akichangia mada katika Kongamano la Katiba. Baraka Kange akichangia mada. Posted by Ccmmawasilianonaumma Ccm at 5:30 AM No comments: Picha za maonyesho ya BDG Wajasiriamali waonyesha wakiwezeshwa wanaweza kufanya zaidi ya hapa,wengi wao wamesema kuwa wanajitahidi kufanya uzalishaji kwa ubora wa hali ya juu lakini taratibu za TBS na TFDA bado ni kikwazo kwao kwani kuna mlolongo mrefu sana wakati wa ufuatiliaji,ombi lao kwa wahusika waandae mfumo utakao kuwa mwepesi kwao. Posted by Ccmmawasilianonaumma Ccm at 2:01 AM 2 comments: ZIARA YA KATIBU WA NEC OGANAIZESHENI CCM, TANGA Katibu wa NEC, Oganaizesheni CCM, Asha Abdallah Juma aka Mshua, akiwa na kijana wake ambaye amehitimu mafunzo ya JWTZ Kambi iliyopo Tanga Asha Abdallah Juma akikagua jengo la ghorofa moja la tawi la Mgwashi, Lushoto mkoani humo. Pamoja naye ni viongozi wa CCM mkoani humo. Asha Abdallah Juma akiwa na mtoto Januari aliyezaliwa wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu, Mgwashi, Lushoto Akizungumza na viongozi wa CCM kwenye shina namba moja la CCM Mgwashi, Lushoto Akisaini kitabu cha wageni, katika shina namba moja Mgwashi, Lushoto. Kushoto ni Katibu wa CCM Lishoto Bwana Hamisi na Mussa Mbuguni Mwenyekiti wa CCM, wilaya hiyo. Alipofika pale Kwa Mkono, Handeni wananchi wakampa zawadi ya mbuzi Akihutubia mkutano wa hadhara eneo la Kwa Mkono, Handeni. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Tanga, Tanga, Mussa Shekimweri Akizungumza na viongozi wa CCM wilaya ya Lushoto Akiwa na watoto wa Kkimasai eneo la KwaMmkono, Handeni Akiwa katika picha na viongozi wa wilaya ya Lushoto Akiwa katika picha ya pamoja na wakazi Mgwashi Akisomewa risala ya ujenzi wa tawi la Mgwashi Ujenzi tawi la Mgwashi, Viongozi wa CCM wakimsikiliza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika tawi la CCM Mgwashi. Posted by Ccmmawasilianonaumma Ccm at 2:33 AM 1 comment: MATUKIO YA ZIARA YA UJUMBE WA NGAZI YA JUU YA CCM...
2018-01-23T15:50:35
http://matukiokatikapicha.blogspot.com/2012/
[ -1 ]
Habari Trump amteua Gavana Mike Pence kama mgombea mwenza Julai 15, 2016 "Nitafanya mkutano na waandishi wa habari kuhusiana na swala hilo kesho saa nne asubuhui," alisema Trump. Pence, mwenye umri wa miaka 57, alikutana na Trump na familia yake nyumbani kwake Indianapolis siku ya Alhamisi na kupelekea uvumi kuwa angekuwa mgombea mwenza wa Trump . Kabla ya kuwa Gavana wa Indiana, nafasi ambayo ameshikilia tangu mwaka wa 2013, pence aliwahi kuhudumu katika bunge la Congress la Marekani kwa miaka 12. Trump anatarajiwa kuidhinishwa kama mgombea rasmi wa chama cha Republikan kwenye kongamano litakalofanyika mjini Cleveland, Ohio, kuanzia Jumatatu, tarehe kumi na nane Mwezi Julai. Watagombania nafasi ya urais na Bi Hillry Clinton, ambaye ndiye mgombea mteule wa chama cha Demoktarik na ambaye pia anatarajiwa kuidhinishwa kwenye mkutano mkuu wa chama utakaofanyika mjini Philadelphia kuanzia tarehe 25.
2017-07-20T20:42:28
https://www.voaswahili.com/a/trump-picks-pence-as-running-mate/3419879.html
[ -1 ]
Van | Magari yaliyotumika dunia nzima yapatikana - SBT Japan Namba ya bidhaa: FD7873 Namba ya bidhaa: WZ9652 Namba ya bidhaa: BK9634 Namba ya bidhaa: VR7670 Namba ya bidhaa: KE9443 kiyoyozi Navigation Air Bag Power Windows Namba ya bidhaa: AG6588 Namba ya bidhaa: TN2742 Namba ya bidhaa: HH1975 Namba ya bidhaa: TD6810 Namba ya bidhaa: UN8604 Namba ya bidhaa: WD8047 kiyoyozi Navigation Anti-Lock Brake System Namba ya bidhaa: LR2481 Namba ya bidhaa: CI4586 Namba ya bidhaa: CI6721 Namba ya bidhaa: HO2327 Namba ya bidhaa: GH7763 Namba ya bidhaa: CW9291 Namba ya bidhaa: IN9809 Namba ya bidhaa: XP0215 Namba ya bidhaa: GZ4648
2019-09-18T00:50:53
https://www.sbtjapan.com/sw/used-cars/?language=kiswahili&type=van
[ -1 ]
Aina Tisa Za Thamani Ya Kiuchumi Kwenye Biashara. – Kisima Cha Maarifa Aina Tisa Za Thamani Ya Kiuchumi Kwenye Biashara. By Makirita Amani | April 16, 2014 Mteja anapotoa hela kwa ajili ya kununua biashara yako au kulipia huduma yako ina maana kwamba kuna thamani kubwa ya kiuchumi ameiona kwenye bidhaa hiyo ambayo inazidi umuhimu wa hela anayotoa. Hakuna mtu anayependa kupoteza fedha zake hasa pale ambapo zimepatikana kwa shida. Hivyo mpaka mteja achukue hatua ya kukupa ← Makosa Makubwa Matano Yanayoweza Kukuharibu Wewe Kama Kiongozi. Dalili Kumi Kwamba Tayari Wewe Ni Kiongozi. →
2017-12-14T06:26:54
http://www.kisimachamaarifa.co.tz/2014/04/16/aina-tisa-za-thamani-ya-kiuchumi-kwenye-biashara/
[ -1 ]
HUYU NDIYE MH. DKT. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - HABARI NA MATUKIO Home AFYA ELIMU HABARI HABARI NA MATUKIO MAGUFULI HUYU NDIYE MH. DKT. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA HUYU NDIYE MH. DKT. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Kajunason at June 17, 2020 AFYA, ELIMU, HABARI, HABARI NA MATUKIO, MAGUFULI, NA MWL FREDERICK J NDAHANI –SINGIDA [email protected] -0757622794 MH John Pombe Joseph Magufuli alizaliwa Oktoba 29,mwaka 1959 katika kijiji cha Chato,wilayani Biharamuro katika Mkoa wa Kagera hivi sasa Chato ni Wilaya katika Mkoa wa Geita. Mh Magufuli ni Daktari wa Falsafa (PhD) ya Kemia. Amejaliwa Mke na watoto Saba. Mh Magufuli alichaguliwa na Watanzania kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwezi Oktoba, 2015 kwa tiketi ya CCM na kuapishwa ili aanze majukumu yake rasmi ya kuingoza Tanzania tarehe 5 Novemba, 2015 .Aidha alifungua bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 20 Novemba 2015. Rais anapolivunja Bunge la 11 leo tarehe 16 June 2020, Rais Magufuli ameonesha kuwa ana sifa zote muhimu za uongozi, Ana Dira, maono na malengo ya kulijenga Taifa letu kule anakotaka liwe na kuwaletea maendeleo makubwa Watanzania. Rais haogopi kufanya maamuzi makini katika Nyanja mbalimbali na hata pale tulipo kuwa katika kipindi cha ugonjwa wa COVID 19 aliwahimiza watanzania kumutanguliza Mungu wakati wote na leo hii tunashuhudia kupungua kwa ugojwa wa corona na shughuli mbalimbali kurejea kama kawaida na Rais ametangaza kufunguliwa kwa shule za awali, msingi na sekondari tarehe 29 June 2020. Ana kiu ya kuona Taifa linapata maendeleo. Amejipambanua kuwa mtetezi wa wanyonge na dhamira yake kubwa ni kuona Wananchi wanapata huduma bora za jamii na kero zao zinaondoka katika nyanja mbalimbali. Sisi kama watanzania ni mashuhuda wa mafanikio haya katika sekta za elimu, afya, kilimo, biashara, umeme, maji, usafiri na usafirishaji, mifigo uvuvi, utawala bora, ukasanyaji na usimamizi wa mapato na michezo pamoja na utamaduni. Rais Dkt Magufuli alianza elimu ya Msingi katika shule ya Msingi Chato mwaka 1967 na kumaliza mwaka 1974. Mwaka 1975 alianza masomo ya sekondari katika shule ya Seminari ya Katoke Mkoani Kagera na kuhamia shule ya Sekondari Lake iliyopo Mwanza mwaka 1977. Alihitimu kidato cha nne mwaka 1978. Mwaka 1979 na 1981 alifanya masomo ya kidato cha Tano na Sita katika shule ya Sekondari ya Mkwawa Mkoa wa Iringa. Aidha 1981 hadi 1982 alisoma Chuo cha Ualimu Mkwawa na kuhitimu Stashahada ya Ualimu ya Masomo ya Kemia ma Hisabati, yeye ni Mwalimu kweli kweli. Mwezi Julai hadi Disemba mwaka 1983 Rais Magufuli alipata mafunzo ya kijeshi katika Jeshi la Kujenga Taifa kikosi cha Makutupora Mkoa Dodoma, baadaye alihamishiwa kikosi cha mafunzo ya kujenga Taifa Makuyuni –Arusha Machi 1984 na alimaliza mafunzo June mwaka 1984 baada ya kuhamishiwa Mpwapwa Dodoma. Mwaka 1985 Rais Magufuli alijiunga na chuo Kikuu cha Dar es Salaam kusoma Shahada ya kwanza ya Sayansi nna Ualimu akijikita katika Masomo ya Kemia na Hisabati. Mh Rais alitunukiwa Shahada hiyo mwaka 1988. Mwaka 1991 hadi 1994 alisoma na kutunukiwa Shahada ya Uzamili katika fani ya Kemia iliyotolewa na chuo kikuu cha Dar es Salaam na Chuo kikuu cha Salford cha Uingereza. Mwaka 2006 alijiunga na chuo Kikuu cha Dar es salaam kwa ajili ya Shahada ya Uzamivu katika fani ya Kemia na kufanikiwa kuhitimu mwaka 2009. UZOEFU WA NDANI YA SERIKALI Rais Magufuli alikuwa mwalimu katika shule ya sekondari Sengerema iliyopo Mkoani Mwanza akifundisha Masomo ya Kemia na Hisabati na baadae kujiunga na Chama cha Ushirika cha Nyanza Mkoani Mwanza akiwa Mkemia Mkuu hadi mwaka 1995. Mwaka 1995 alichaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Biharamulo Mashariki Mkoani Kagera. Aidha Rais wa Awamu ya Tatu Mheshimiwa Benjamini W Mkapa alimteuwa kuwa Naibu waziri wa Ujenzi aliitumikia hadi Mwaka 2000. Mwaka 2000 alichaguliwa kuwa Mbunge tena bila kupigwa katika jimbo la Biharamulo Mashariki na kuteuliwa kuwa waziri kamili wa ujenzi hadi mwaka 2005. Mwaka 2005 Rais Magufuli alichaguliwa tena bila kupingwa katika jimbo lake na Rais wa Awamu ya Nne Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete alimteuwa kuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kuanzia mwaka 2005 hadi 2008 ambapo alihamishiwa Wizara ya Mifugo na maendeleo ya Uvuvi hadi mwaka 2010. Baada ya mgawanyo wa majimbo Rais Magufuli alichaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Chato na kuteuliwa kuwa Waziri wa ujenzi mwaka 2010 hadi 2015. Rais Magufuli alishiriki katika Bunge maalumu la kutunga katiba Mpya akiwa mjumbe Mwaka 2014. Akiwa waziri wa Aridhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi aliweza kuwachaguliwa kuwa Mwenyekiti mweza (Co-Chair) wa Mkutano wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo ya Makazi (UN-Habitat). Rais John Joseph Magufuli alichaguliwa na wananchi wakiwa na matumaini makubwa kwake 25 Oktoba, 2015 kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na kuapishwa kushika rasmi wadhifa huo tarehe 5 Novemba, 2015. Dkt Magufuli ni kiongozi mnyenyekevu aliye na hofu ya Mungu, mkweli, mtekelezaji wa ahadi, mwadilifu, shupavu, mahiri, mbunifu, mtafiti, mchapakazi na mtetezi wa wanyonge. Ni kiongozi mpenda haki na mchukia dhuluma, Rushwa, ufisadi na ubaguzi wa aina yoyote ile. Ni kiongozi mwenye msimamo na mtetezi wa yale anayoaamini. Katika Urais wa awamu ya miaka mitano amefanya kazi kwa uadilifu na umahiri mkubwa, amejipambanua kuwa mfuatiliji na msimamizi wa sheria. Magufuli anasifika sana kwa uwezo wake wa kutunza kumbukumbu ya kazi zake na leo alipo lihutubia Bunge na kulivunja tumejionea anapotaja mafanikio ya serikali yake ya Awamu ya Tano ametaja barabara kwa takwimu na maeneo ambayo ametekeleza miradi mabalimbali ya maendeleo. Rais Magufuli ametekeleza ahadi zake alizozitoa kwa asilimia kubwa na nikiwa Mwalimu nampatia Daraja la A. Wakati akizindua Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 20 Novemba 2015, Rais Dtk. Magufuli alitaja malengo mahususi ya Serikali ya Awamu ya Tano. Malengo hayo ni kama ifuatavyo:- 1. Kudumisha Muungano, Amani na Umoja wa Tanzania, Serikali haitamuonea aibu mtu mwenye nia ya kuvunja Muungano na kuvuruga Amani na mshikamano wa Nchi. Hili limejidhirisha vizuri wakati wa uchaguzi wa marudio huko Zanzibar kwani uchaguzi ulifanyika kwa Amani na utulivu. 2. Kujenga uchumi wa viwanda ili kufikia azma ya kuwa nchi ya uchumi wa kati kulingana na malengo ya Dira ya Maendeleo ya Taifa 2025. Viwanda vingi zimeendelezwa na kujengwa ambapo umesaidia kupunguza tatizo la ajira na umaskini pamoja na kukuza pato la Taifa na Uchumi. 3. Kuongeza kasi ya ujenzi wa miondombinu ya kiuchumi hususani miondombinu ya usafiri na nishati. Tumejionea Ndege, meli, Barabara, viwanja na reli ya kisasa. 4. Kuimarisha huduma za jamii,hususani Elimu, Afya na Maji. Lengo hili limefanikiwa kwa upatikanaji wa huduma hizo kwa urahisi na ubora unaostahili ili kukabiliana na ujinga, umaskini na maradhi. 5. Kusimamia uwajibikaji wa utumishi wa umma na kuondoa urasimu wa ndani ya serikali. Lengo limefanikiwa kwani watumishi wa umma wanafanya kazi kwa ueledi, uadilifu na kujituma ili kuwawezesha wananchi kupata huduma bora na kwa wakati. 6. Kuimarisha usimamizi wa rasimali za nchi ikiwemo kuhifadhi mazingira na kuzidisha vita dhidi ya ujangili lengo limefanikiwa kwa kuwa rasilimali za nchi zinawanufaisha watu wa kizazi cha sasa na kijacho ikiwemo madini na misitu aidha ukusanyaji wa mapato ya serikali na udhibiti wa matumizi ya serikali nao umeimarishwa. 7. Kusimamia utawala bora unaozingatia sheria na haki za Binadamu. Jitihada za makusudi zimetekelezwa katika mapambano dhidi ya Rushwa, usafidi, dhuruma na uonevu wa aina yeyote. Aidha maslahi ya makundi ikiwemo kupatiwa mikopo bila riba vijana, walemavu na wanawake pamoja wazee na watoto maslahi yao yamelindwa. Wananchi tumehimizwa kuheshimu na kufuata sheria za nchi. 8. Kulinda usalama wa raia na mali zao kwa kupambana na uhalifu ,ikiwemo wizi, ujambazi, tatizo la dawa za kulevya. Watanzania kwa sasa tuna Amani na kushiriki kazi za maendeleo kila kubughudhiwa na uhakika wa usalama wa mali zao umeimarika. 9. Kudumisha na kuendeleza ujirani mwema, mahusiano mema na mataifa mengine duniani pamoja na mashirika ya kimataifa na kikanda. 10. Kuendeleza na kusimamia vizuri shughuli za michezo, Sanaa, burudani na utamaduni ikiwemo kukuza lugha ya Kiswahili. Rais katika hotuba yake ya kufunga Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 16 June 2020 ameleza kinagaubaga mafanikio makubwa yaliyofanyika katika miaka mitano na sisi watanzania tumejiona kwa macho mafanikio haya hatuna budi kuendelea kumwamini tena kwa miaka mitano ijayo hadi 2025. Watanzania wote ni wajibu wetu wa kulinda miradi yote na kumuombea Rais wetu mpendwa Dkt. John Pombe Magufuli na wasaidizi wake ili malengo na azma ya serikali ya awamu ya Tano iweze kufanikiwa, Tumpatie nafasi Mheshimiwa Magufuli miaka mitano 2020 hadi 2025 ili Watanzania tuendelee kufaidi matunda ya Rais wetu ambaye ni chagua la Mungu. kwetu watanzania kwani amedhamiria kuongeza kasi ya ukuaji wa maendeleo ya kiuchumi na sisi watanzania kushiriki kufanya kazi kwa bidii na maarifa ndani ya falsafa ya HAPA KAZI TU. Dhamira ya Rais wetu kwa miaka mitano ijayo ni kuwezesha Taifa letu kufikia uchumi wa kati unaoongozwa na viwanda na huduma bora kwa wananchi ili kutimiza malengo ya Dira ya Maendeleo ya Taifa ya mwaka 2025. AFYA, ELIMU, HABARI, HABARI NA MATUKIO, MAGUFULI AFYA ELIMU HABARI HABARI NA MATUKIO MAGUFULI
2020-07-07T15:00:02
http://www.kajunason.co.tz/2020/06/huyu-ndiye-mh-dkt-john-pombe-joseph.html
[ -1 ]
SHIRIKA LA JSI LAWAPATIA MSAADA WA BAISKELI NA MAKABATI MAAFISA MAENDELEO WA JAMII | LIBENEKE LA KASKAZINI Home / Habari / MATUKIO / SHIRIKA LA JSI LAWAPATIA MSAADA WA BAISKELI NA MAKABATI MAAFISA MAENDELEO WA JAMII Woinde Shizza Friday, February 16, 2018 Habari , MATUKIO Maafisa Maendeleo ya Jamii wa kata kumi na moja Halmashauri ya Arusha wilayani Arumeru wamepatiwa msaada wa biskeli 11 na makabati 11 kutoka Shirika lisilo la Kiserikali la Johs Snow Ink 'JSI' Kanda ya Kaskazini na kati linalojishughulisha na masuala ya Ulinzi na Usalama wa mtoto. Akizungumza wakati wa kukabidhi vitendea kazi hivyo Mkurugenzi wa JSI ndugu Antony Mwendabaka amesema kuwa shirika limefikia uamuzi huo baada ya kuona changamoto ya usafiri na utunzaji kwa kumbukumbu unaowakabili watendaji hao katika kutekeleza majukumu yao kwa kulinganisha na Jiografia ya maeneo yao.
2018-08-21T21:09:53
https://woindeshizza.blogspot.com/2018/02/shirika-la-jsi-lawapatia-msaada-wa.html
[ -1 ]
Shein aagiza mitaala ya ujasiriamali sekondari – Zanzibar Yetu Posted on December 5, 2016 December 21, 2016 by zanzibariyetu Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na viongozi mbalimbali wakati alipowasili katika viwanja vya ukumbi wa Baraza la wawakilishi la zamani Mnazi Mmoja Mjini Unguja,kuzindua Kongamano la Wajasiriamali Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ameiagiza Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali kuongeza kasi ya kubadili mitaala katika shule za sekondari na kuingiza somo la ujasiriamali kwa lengo la kuwaandaa wanafunzi kwa maisha ya kujiajiri. Pia, alisema Serikali itaimarisha vyuo vya amali ili somo la ujasiriamali liweze kuchukua nafasi katika mitaala na kuhakikisha wanafunzi wanapomaliza masomo watoke wakiwa na uelewa mzuri wa namna ya kujiajiri. Akizungumza katika kongamano la siku mbili na maonyesho ya wajasiriamali linalofanyika katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi, Kikwajuni mjini Unguja, alisema utaratibu huo utawapa elimu itakayowasaidia kujiajiri watakapokuwa wamemaliza masomo. Dk Shein aliwakumbusha vijana kuwa elimu waliyoipata katika vyuo vikuu na taasisi mbalimbali zinazotoa mafunzo ya kazi na ufundi, wachukulie ni mtaji muhimu katika kuendeleza shughuli za ujasiriamali. Hivyo, aliwataka wasijenge dhana kuwa ujasiriamali ni kufanya biashara ndogondogo za bidhaa zinazoonekana katika masoko, lakini wajifunze kutokana na uzoefu wa nchi mbalimbali hasa India ambapo vijana wengi waliosoma wamekuwa wakijiajiri baada ya kumaliza masomo yao. Alisisitiza kuwa Serikali inatambua umuhimu wa kuwaendeleza wajasiriamali katika kuyafikia malengo ya kupambana na umaskini wa kipato na kupunguza tatizo la ajira, hasa miongoni mwa wanawake na vijana. Dk Shein alitumia fursa hiyo kueleza mafanikio ya Mfuko wa Uwezeshaji ambao katika kipindi cha miaka miwili tangu ulipoanza umetoa jumla ya mikopo 998 yenye jumla ya Sh1.6 bilioni, kwa visiwa vyote vya Unguja na Pemba na hadi sasa marejesho ni asilimia 96. Alisema taarifa zinaonesha kwamba asilimia 67 ya watu waliopewa mikopo ni vijana wenywe umri kati ya miaka 18 hadi 35, huku akiwataka wanasiasa kutowadanganya vijana kuhusiana suala la ajira kwani vijana hivi sasa hawadanganyiki. Waziri wa Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana, Wanawake na Watoto, Maudline Castico alisema kuwa kongamano hilo ni la kwanza la aina yake kufanyika visiwani humo na kueleza kuwa mchango wa sekta binafsi kupitia wajasiriamali wakubwa na wadogo ni muhimu ili kufikia lengo la Zanzibar kuwa na uchumi wa kati ifikapo 2020. Alisema kuwa kongamano hilo linatarajiwa kuhamasisha na kuwaelimisha wajasiriamali ili kuendeleza shughuli zao kwa ufanisi zaidi. Previous PostPrevious Achomwa kisu nje ya kituo cha polisi Pemba Next PostNext EU calls for renewal of government of national unity in Zanzibar
2018-03-23T22:41:54
https://zanzibariyetu.wordpress.com/2016/12/05/shein-aagiza-mitaala-ya-ujasiriamali-sekondari/
[ -1 ]
Magufuli akumbwa na kashfa nzito! ~ CHIMBUKO LETU 3:58 AM BIASHARA NA UCHUMI., HABARI ZA MIKOANI NA SIASA. No comments Hii imetoka kwenye hotuba ya kambi ya upinzani. Sehemu hii inaonyesha ubadhirifu wa fedha kwenye wizara iliyoko chini ya Dr John Pombe Magufuli. Mheshimiwa Spika, baada ya fedha hizi kupunguzwa kiasi cha shilingi bilioni 95 na kupelekwa wizara ya uchukuzi zilibakia kiasi cha shilingi bilioni 252.975 katika kifungu hiki, leo tumelazimika kulikumbusha Bunge kuhusiana na suala hili kwani kwa mujibu wa ripoti ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali ya mwaka husika wa fedha kuhusiana na kifungu hiki alisema, naomba kunukuu “malipo ya madeni ya mwaka wa nyuma yaliyolipwa kwa fedha za 2011/2012 kwa kutumia jina la mradi usio halisi Tshs. 252,975,000,000. Miradi katika wizara ilipewa namba 4168 kwa ajili ya kupitisha malipo ya madeni ya miaka ya nyuma kwa miradi inayotekelezwa na TANROADS. Namba hii sio halisi” (chanzo: taarifa ya CAG uk.160,fungu 98) Mheshimiwa Spika, fedha hizi “zilizopotea”au “kulipwa kifungu hewa” ni sawa na fedha zote zilizotengwa kwa ajili ya barabara ifuatazo kwa mwaka huu wa fedha 2013/2014; i. Barabara ya Usagara-Geita-Kyamyorwa (KM 422) ii. Barabara ya Kigoma-Kidahwe-Uvinza- Kaliua-Tabora (KM 443) iii. Barabara ya Nangurukuru-Mbwemkulu iv. Barabara ya Sumbawanga-Matai-Kasanga Port (KM 112) v. Barabara ya Manyoni-Itigi-Tabora (KM264) vi. Barabara ya Tabora-Ipole-Konga-Mpanda (KM 359) vii. Barabara ya Kidatu-Ifakara-Lupilo-Malinyi- Londo-Lumecha/Songea(KM-396) viii. Kuondoa msongamano barabara za Dar (KM-102.15) Aidha, ni sawa na kusema kuwa barabara ya lami yenye urefu wa kilomita 316.218 imepotea kwa kutumia mahesabu ya wizara ya ujenzi kuwa kilomita moja ya lami inajengwa kwa kiasi cha shilingi milioni mia nane (800,000,000), hii ni sawa na kusema kuwa barabara ya kutoka Manyoni-Itigi-Tabora (KM 264) Changanya na barabara ya kutoka Chunya – Makongorosi (KM 43) na Barabara ya Tangi Bovu –Goba (KM 9), zimepotea kutokana na ufisadi huu. Chanzo: Hotuba ya kambi rasmi ya upinzani bungeni Soma hapa zaidi>>> Jamii Forums
2017-12-16T20:43:07
http://chimbukoletu.blogspot.com/2013/05/magufuli-akumbwa-na-kashfa-nzito.html
[ -1 ]
Ni nini juu ya mtihani HiSET? | USAHello | USAHello Ni nini juu ya mtihani HiSET™? Ni nini juu ya mtihani HiSET? Njia bora ya kujiandaa kwa ajili ya mtihani wako ni kujua ni nini juu ya mtihani HiSET. Here is the information you need to know about what is on the HiSET test. Kujifunza jinsi ya kujifunza na kufanya mazoezi kwa ajili ya mtihani. Lazima tutarajie nini? Ni nini juu ya mtihani HiSET? Hii ni nini inaweza kutarajia: Unaweza kwenda kwenye kituo cha majaribio ili kupima HiSET Haiwezi kuchukua mtihani HiSET mtandaoni Anaweza kuchukua kipimo kwenye kompyuta au kwenye karatasi si zaidi ya magonjwa ya zinaa Unaweza kuchukua mtihani katika Kiingereza au Kihispania Mtihani ina 5 sehemu, iitwayo subtests – moja kwa kila eneo la maudhui (mada) Mtihani mzima huchukua muda mrefu kidogo kuliko 7 saa, lakini unaweza kuchukua ya 5 sehemu siku tofauti miezi kadhaa. Hii ni nzuri kwa ajili ya wafanyakazi wa shughuli na wazazi. Inamaanisha unaweza kuchagua kujifunza kwa kila sehemu ya mtihani tofauti. Au unaweza kuchukua sehemu unavyojua, na kisha kutumia muda wako kujifunza kwa sehemu ngumu. Nitajuaje kama mimi ni tayari kuchukua kipimo? Unaweza kuchukua yetu majaribio ya mazoezi bure mtandaoni kuona kama wewe ni tayari. Unaweza pia Pakua HiSET™ wa rasmi wa wengi, mazoezi ya majaribio kuchukua nje ya mtandao. Maswali kama ni nini? Mtihani wa the HiSET™ ina maswali yote multiple-choice isipokuwa swali moja ya insha. Maswali Multiple-choice Swali multiple-choice inakupa uchaguzi wa majibu. Swali linaweza kuwa kuhusu matini, au inaweza kuwa kuhusu picha au ramani. Inaweza kuwa mchoro, ikiwa ni pamoja na chati, Jedwali, au grafu. Chini ya matini au taswira itakuwa swali na kisha orodha ya majibu, kama mfano huu kulia. Unaweza kuchagua haki ya mmoja kwa kubofya duara kwenye tarakilishi, au kufanya alama kwenye karatasi. Kitu kizuri kuhusu maswali multiple-choice ni kwamba jibu ni daima huko mbele yako. Wewe tu na kufikiri ipi ni. Kufanya hii, unahitaji kuangalia kwa makini taarifa utapewa. Soma swali kwa makini sana, pia. Ni ili kukudanganya kidogo – kwa mfano, wanaweza kusema, Jibu ambalo ni kweli? Insha kwa swali Mtihani wa Your HiSET™ na swali moja ya insha katika sehemu inayoitwa sanaa ya lugha – kuandika. Kwa swali hili, na utaandika aya chache kuhusu mada utapewa. Kujaribu yao! Anaweza kuchukua kipimo HiSET™ kwenye karatasi au kwenye tarakilishi. Jaribu muundo tofauti – unaweza kuwa na uwezo wa kukamilisha wote wa aina ya swali kama mazoezi kabla ya wakati! Pakua ya maswali ya sampuli rasmi kujaribu HiSET™ maswali kwenye karatasi. Matumizi ya majaribio ya mazoezi rasmi ya bure kujaribu HiSET™ maswali kwenye kompyuta. Utakuwa na kuingia na anwani ya barua pepe kujaribu maswali haya. Je, ni masomo? Ni nini juu ya mtihani HiSET? Kuna subtests ya tano (masomo) kwenye mtihani HiSET™: Somo la kijamii, Sayansi, hisabati (hisabati kwa kifupi), kusoma na kuandika. Sanaa ya lugha – kusoma Sanaa ya lugha ya The HiSET™ – kusoma mtihani inachukua 65 dakika. Ina 50 maswali Multiple-choice. Mtihani huu hatua uwezo wako wa kuelewa na kutafsiri vifaa vya kusoma. Unaweza kujibu maswali kuhusu vifaa vya kusoma. Vifaa inaweza kuwa ya hotuba, barua, Makala ya gazeti, au kifungu kutoka Kitabu. 60 asilimia ya maandiko ni kutoka fasihi (riwaya au mashairi kwa mfano) na 40 asilimia ya maandiko ni taarifa, kama vile ya makala. Maandiko ya kusoma itakuwa kuhusu 400 kwa 600 maneno muda mrefu. Sanaa ya lugha – kuandika Sanaa ya lugha ya The HiSET™ – kuandika mtihani inachukua 120 dakika. Ina 2 sehemu: sehemu ya kwanza na 60 multiple-choice questions lasts 75 dakika, and the second part with 1 essay question last 45 dakika. Mtihani huu hatua uwezo wako wa kuhariri na kusahihisha matini kiwango cha wa Marekani Kiingereza. Ni itakuuliza maswali kuhusu njia sahihi za kuandika. Ni mtihani uelewa wako wa sarufi. Na swali la insha, testers na unataka kuona kwamba wanaweza kupanga taarifa yako, kuendeleza wazo au maoni, kutoa mifano, na kuandika wazi kuhusu mawazo yako. Huna haja ya kujua ukweli yoyote kupita mtihani ya sanaa ya lugha. Unahitaji kuonyesha kwamba unaelewa nini wewe ni kusoma na kujibu maswali, na kwamba unaweza kuandika Kiingereza sahihi. Somo la kijamii Huchukua muda wa mtihani wa somo la kijamii the HiSET™ 70 dakika. Ina 60 maswali Multiple-choice. Testers ya kutarajia baadhi ya maarifa ya msingi juu ya ulimwengu na Marekani, lakini hupima uwezo wako wa kuelewa na kutafsiri taarifa zaidi ya kutahini maarifa yako ya ukweli. Soma na kutathmini taarifa kuhusu masomo kama vile ya historia, Sayansi ya siasa, saikolojia, sosholojia, anthropolojia, jiografia na uchumi. Maswali ya kutumia nyaraka za msingi, mabango, katuni, Kalenda, Ramani, grafu, Majedwali, Chati pamoja na kusoma vifungu vya. Huchukua muda wa mtihani wa hisabati wa the HiSET™ 90 dakika. Ina 55 maswali Multiple-choice. Unaweza kutumia calculator kwa ajili ya sehemu hii. Toleo la tarakilishi la mtihani huu ina na kwenye skrini Kikokotoo. Kama ni kuchukua mtihani mikononi na karatasi, wako kituo cha mtihani nitakupa calculator mkononi. Uamuzi wa aina ya Kikokotoo kutumika ni hadi hali yako. Majaribio ya kupima uelewa wako wa aina kadhaa za Hisabati. Maswali ni iliyotolewa kama matatizo ya kiutendaji. Wewe atawajibu wao kutumia operesheni za namba, kipimo, hesabu, Tafsiri ya data na fikra za kimantiki. Wengi wa mtihani kutumia ujuzi wa hisabati tu ya msingi na ujuzi wa hoja. Maswali mengi (45%) kutumia aljebra, na wengine kutumia jiometri. Mtihani wa hisabati wa the HiSET™ inachukua 80 dakika. Ina 60 maswali Multiple-choice. Mtihani hatua uelewa wako wa mawazo fulani ya msingi ya kisayansi. Ni kupima uwezo wako wa kutumia maarifa ya maudhui ya sayansi, kutumia kanuni za uchunguzi wa kisayansi (mbinu ya kisayansi), na kutafsiri na kutathmini taarifa ya kisayansi. Maswali ya kutumia michoro, Majedwali na chati kama vile matini kuwasilisha taarifa na matokeo. Unaweza kujifunza more about all the HiSET™ subtests. Jinsi ni majaribio alifunga? Ikawa ya HiSET™, una kuchagua jibu sahihi kwa idadi fulani ya maswali. Majibu hayo sahihi nitakupa pointi. Inawezekana idadi ya pointi unaweza kupata kwenye subtests yote mitano pamoja ni 100. Alama yako ya jumla juu ya subtests wote pamoja lazima angalau 45 pointi nje ya iwezekanavyo na 100 pointi. Kwenye mtihani kila ndogo, lazima alama angalau 8 nje ya iwezekanavyo na 20 pointi. Kwenye swali la insha ya sanaa ya lugha – kuandika mtihani, lazima alama angalau 2 nje ya iwezekanavyo na 6 pointi. Nina maswali kuhusu jinsi ya kuchukua kipimo HiSET™ katika hali yangu. Unaweza find out how to take the HiSET™ mtihani Mimin your state. Nifanye nini ijayo? Kuchukua yetu mtihani wa mazoezi bure mtandaoni ili kujua kama uko tayari kwa ajili ya mtihani wako wa. Kama uko tayari, sisi kukuonyesha hatua zinazofuata. Kuanza yetu darasa huru ya mtandaoni Kama unahitaji kujifunza kwa ajili ya mtihani wako wa. Kuanza wakati wowote na kwenda kwa kasi yako mwenyewe. Kujifunza how to answer multiple choice questions Sisi ni hapa ili kukusaidia kufanikiwa! GED® ni nini®?
2019-08-19T08:32:12
https://usahello.org/sw/resources/what-is-on-the-hiset-test/
[ -1 ]
Wema Sepetu Atoa Neno Baada Ya Diamond Platnumz Kumpost Instagram Siku Ya Jana. - SeeTheAfricanLink Home / Burudani / Wema Sepetu Atoa Neno Baada Ya Diamond Platnumz Kumpost Instagram Siku Ya Jana. Wema Sepetu Atoa Neno Baada Ya Diamond Platnumz Kumpost Instagram Siku Ya Jana. Diamond Platnumz July 5 /2016 aliweza kufanya jamb ambalo watu wengi hawawezi kutarajia kuona kwenye mtandao wa kijamii baada ya kupost kwenye Instagram kuhusu show ambayo imeandaliwa na mpenzi wake wa zamani Wema Sepetu pamoja na Christian Bella na Idris. ‘Watu wamekuwa wakiitumia hii beef yetu kujipatia followers hasa kwenye mitandao yao kwasababu mtu anaweza akatokea sehemu yoyote na kuanza kunitukana mimi au kumtukana Naseeb akajipatia followers wa kutosha, kuna muda mimi nilikuwa naogopa kuimba wimbo wa Diamond unapopigwa naogopa hata kucheza’Wema Sepetu Alisema ‘Nikisikia nyimbo za Naseeb siwezi kuimba inanibidi nikaze lakini mwisho wa siku najikomoa mimi mwenyewe nikikaa kwenye gari nitaimba kama utakuwa unakumbuka nilivyoimba mara ya kwanza watu wakashangaa wakawa wanajiuliza maswali mengi sana, kwasasa hatuko kwenye mapenzi lakini tunasaidiana kazi kuonesha uzalendo’ Alisema Wema Sewpetu POSTI HII HAPA CHINI NDIYO ALIPOST DIAMOND
2018-02-21T05:20:34
http://www.seetheafrica.com/2016/07/wema-sepetu-atoa-neno-baada-ya-diamond.html
[ -1 ]
UNITED-STATES HOLIDAYS - DATA - KIUCHUMI VIASHIRIA Umoja-Mataifa All Countries Umoja-Mataifa Uingereza China Afghanistan Albania Algeria Andorra Angola Antigua Na Barbuda Argentina Armenia Aruba Australia Austria Azerbaijan Bahamas Bahrain Bangladesh Barbados Belarus Ubelgiji Belize Bermuda Bhutan Bolivia Bosnia Na Herzegovina Botswana Brazil Brunei Bulgaria Cambodia Canada Cape-Kijani Visiwa Vya Cayman Chile China Colombia Pwani-Rica Kroatia Kuba Cyprus Jamhuri Ya Czech Denmark Dominika Jamhuri Ya Dominika Timor Ya Mashariki Ecuador Misri The-Mwokozi Estonia Ethiopia Euro Eneo Fiji Finland Ufaransa Georgia Ujerumani Ghana Ugiriki Grenada Guatemala Guyana Haiti Honduras Hong-Kong Hungary Iceland India Indonesia Iran Iraq Ireland Israeli Italia Jamaika Japan Jordan Kazakhstan Kenya Kiribati Kosovo Kuwait Kyrgyzstan Laos Latvia Lebanon Liechtenstein Lithuania Luxemburg Macau Macedonia Malaysia Maldivi Malta Mauritius Mexico Moldova Monako Mongolia Montenegro Morocco Msumbiji Namibia Nepal Uholanzi Kaledonia Mpya Mpya-Zealand Nikaragua Nigeria Norway Oman Pakistan Palestina Panama Papua Guinea Mpya Paraguay Peru Philippines Poland Ureno Pwetoriko Qatar Romania Urusi Rwanda Samoa Sao Tome Na Principe Saudi-Arabia Serbia Shelisheli Singapore Slovakia Slovenia Visiwa Vya Solomon Afrika Kusini Korea Ya Kusini Hispania Sri-Lanka Surinam Sweden Uswisi Syria Taiwan Tajikistan Tanzania Thailand Tonga Trinidade and Tobago Uturuki Turkmenistan Uganda UK Ukraine Falme Za Kiarabu Uingereza Umoja-Mataifa Urugwai Uzbekistan Vanuatu Venezuela Vietnam Yemen Zambia Zimbabwe Feb/19 Siku Ya Rais Mar/30 Ijumaa Njema May/28 Memorial-Siku Jul/04 Siku Ya Uhuru Sep/03 Kazi Siku Oct/08 Columbus Siku Nov/22 Siku Ya Shukrani
2018-11-17T09:08:30
https://sw.tradingeconomics.com/united-states/holidays
[ -1 ]
Home > Bidhaa > Solar Lighting Loudspeaker Box (Jumla ya 24 Bidhaa kwa Solar Lighting Loudspeaker Box) Solar Lighting Loudspeaker Box - mtengenezaji, kiwanda, muuzaji kutoka China Sisi ni maalumu Solar Lighting Loudspeaker Box wazalishaji na wasambazaji / kiwanda kutoka China. Ya jumla Solar Lighting Loudspeaker Box na ubora wa juu kama bei ya chini / bei nafuu, mojawapo ya Solar Lighting Loudspeaker Box bidhaa za kuongoza kutoka China, ZHEJIANG FIZZ NEW ENERGY CO.,LTD . Solar Lighting Loudspeaker Box jumla kutoka China, Direct Buy kutoka China wazalishaji wa kuongoza kwa bei nafuu kiwanda. Pata bidhaa Solar Lighting Loudspeaker Box jumla kwenye ZHEJIANG FIZZ NEW ENERGY CO.,LTD na kupata ubora wa juu Solar Lighting Loudspeaker Box moja kwa moja kutoka kwa wauzaji wa jumla wa China Solar Lighting Loudspeaker Box na wasambazaji. Tuma mahitaji yako ya kununua & Pata majibu ya haraka.
2020-06-06T07:49:10
http://sw.ywfizz.com/dp-solar-lighting-loudspeaker-box.html
[ -1 ]
BBM PARTY 2012 @ MBALAMWEZI – FRI 6TH – USIKOSE!!!!! | DarTalk.com™ home BBM PARTY 2012 @ MBALAMWEZI – FRI 6TH – USIKOSE!!!!! Posted on 04 July 2012 Ile party ya kijanja inayoshirikisha mastaa kibao kutoka tasnia ya filamu na Muziki wa Kizazi kipya Bongo, BBM Party 2012 itachukua nafasi kwa mara nyingine Ijumaa hii ndani ya Mbalamwezi Beach Mikocheni jijini Dar Es Salaam. Mmoja wa Wakurugenzi wa Kampuni ya G5click inayomiliki mitandao maarufu wa burudani Afrika Mashariki na kati, G5click.com, Desy Ernest amethibitisha kufanyika tena kwa ‘event’ hiyo mwaka huu ikiwa imepewa jina la BBM Party 2012 season II. “yeh ni kweli itakuwepo,na hakika BBM Party 2012 itakuwa tofauti kwani G5click imejipanga vizuri na pia tumepata sapoti kubwa kutoka kampuni kubwa nchini kama Prime Time,Global Publishers,Clouds Fm, Choice Fm Teentz.com,Clouds Tv,J Square Pro 24 Djs na Nap International, hivyo tunawaomba ‘fans’ kujitokeza kwa wingi ‘kuinjoi wikiendi’ yao Ijumaa ya terehe 6 ndani ya Mbalamwezi Beach”. alisema Desy. Akiendelea zaidi Desy ,alisema katika party hiyo kutakuwa na burudani kibao kutoka kwa Ma Djs wakali wanaotamba hapa town kama Pro 24 Djs , Dj Zero na Dj Pq na pia vinywaji na nyama choma ,Karaoke ambapo utapata nafasi ya kuperform na wasanii nyota wa bongo fleva pia mastaa kibao kutoka Bongo movie huku pia zawadi kibao kama simu za blackberry na kulipiwa huduma ya internet ya bure kwa mwaka nzima Tags < PREVIOUS POST AUDIO TRACK: LINEX FT WYRE – RIZIKI - admin ‘TID’ ATOA SABABU TATU ZA KUTOSHIRIKI KATIKA SHOW YA LADY JAYDEE TAREHE 31…!! - admin AUDIO TRACK: JONNY YES FT ZAHIR ZORRO – MPENZI GUITAR - admin AUDIO TRACK: MWANA FA FT MAN DOJO, DOMOKAYA & K’NJARO BAND – KAMA ZAMANI - admin
2013-05-20T20:42:01
http://dartalk.com/2012/07/04/bbm-party-2012-mbalamwezi-usikose/
[ -1 ]
BREAKING NEWS .... VIGOGO UVCCM TAIFA WATIMULIWA KWA UFISADI .... HII HAPA TAARIFA YAO KAMILI | EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG Home » Unlabelled » BREAKING NEWS .... VIGOGO UVCCM TAIFA WATIMULIWA KWA UFISADI .... HII HAPA TAARIFA YAO KAMILI BREAKING NEWS .... VIGOGO UVCCM TAIFA WATIMULIWA KWA UFISADI .... HII HAPA TAARIFA YAO KAMILI
2018-03-18T09:27:32
http://ndgshilatu.blogspot.com/2016/08/breaking-news-uvccm-watimuana-kwa.html
[ -1 ]
Maine-based Ambulance company sets up service center in Whitman - News - Hamburg Reporter - Hamburg, IA - Hamburg, IA
2019-06-27T00:07:18
https://www.hamburgreporter.com/x469065814
[ -1 ]
Wiki ya 52 ya Njia za Mwanzo kwa Blog yako | WHSR Nyumbani > blog > Vidokezo vya Mabalozi > Wiki ya 52 ya Njia za Kuanza kwa Blog yako 236hisa Ikiwa unataka wageni wa tovuti kurudi kwenye blogu yako mara kwa mara, unawapa nyenzo mpya kusoma. Wanahitaji kujua kwamba wanaweza kukuamini kuwapa ushauri mzuri na kuupatia ratiba ya kawaida. Huenda unashangaa kwanza jinsi ni mara ngapi unahitaji kuunda post mpya ya blogu. Wakati hakuna jibu lililokatwa na kavu la swali hili, kuna shule zingine za mawazo unazoweza kuzingatia blogi yako mwenyewe. John Rampton, msaidizi wa makampuni ya mwanzo, aliandika kwa Forbes kwamba "zaidi daima ni bora zaidi." Yeye kisha anaendelea kuvuta kwa baadhi ya stats kutoka HubSpot kuhusu blogs kwamba baada ya mara kwa mara. Kampuni inayotuma zaidi ya posts ya 16 kwa mwezi inapata angalau mara tatu na nusu trafiki kama moja ambayo ni posts mara chache kwa mwezi. Kwa hivyo, ikiwa unataka kutumia mfano huo, unahitaji kuchapisha machapisho ya awali mara nne kwa wiki kwa wastani. Kuendelea na Ujumbe wa Mara kwa mara Machapisho minne kwa wiki huweza kusikia kama mengi, lakini maisha huelekea kupata njia. Una biashara ya kukimbia, familia kuendeleza, na labda maslahi mengine binafsi na biashara ambayo huchukua muda wako. Kuandika inaweza kuwa au inaweza kuwa sio yako, na kuja na mawazo mapya manne kila wiki inaweza kuwa taxing. Unapotakiwa kutuma barua hiyo mara kwa mara, ni rahisi sana kuingia kwenye mwambaa wa mwandishi. Kwa bahati nzuri, kuna mambo kadhaa unaweza kufanya ili ufanye kazi kupitia maandishi ya mwandishi, uje na maoni mapya, na ushikamane na ratiba. Picha ya picha ya Huffington Post Lifestyle Ukurasa Fikiria moja ya maeneo maarufu zaidi ya habari kwenye mtandao, Post Huffington. Ujumbe wao wa mara kwa mara ni sehemu ya sababu wanayopata Wageni milioni 110 kila mwezi. Kuna baadhi ya hatua maalum ambazo unaweza kuchukua ili kuunda ratiba ya kuchapisha ambayo ni mara kwa mara lakini inakufanyia kazi. Kidokezo #1. Kujenga Ratiba Jambo la kwanza unahitaji kufanya ni kukaa chini na kuunda ratiba ya kuchapisha kwenye tovuti yako. Wakati machapisho manne kwa wiki yanaweza kuwa bora, unaweza kuwa katika hatua ambayo huwezi kusimamia kabisa bado. Ni sawa. Ikiwa mara moja kwa wiki ndiyo unayoweza kushughulikia, basi tengeneza ratiba ya kuchapisha mara moja kwa wiki. Machapisho yako yanapaswa kuwa yanayotabiriwa kwa wasomaji wako, kwa hiyo wanajua wakati wa kuangalia chapisho. Kwa hiyo, kwa mfano, unaweza kupanga nafasi ya Ijumaa saa 1 na kushiriki kwenye vyombo vya habari vya kijamii kwa wakati mmoja. Wasomaji wako na wafuasi watakuja kutarajia hili, kwa hivyo kuweka chapisho chache kwenye foleni ili kukidhi matarajio haya. Kidokezo #2. Kuja na Mawazo Mapya Kuja na maoni mapya sio rahisi kila wakati. Mara tu unapopitia misingi katika niche yako, unaweza kujikuta unataabika au maudhui safi. Kwa bahati nzuri, kuna mambo kadhaa unayoweza kufanya kuja na machapisho ya kipekee. Tumia kuanza kwa wazo (nitakupa 52 kwa dakika) Soma blogi za washindani. Tafadhali usinakili. Unapata msukumo na kuona ni nini hawajashughulikia au kinachohitaji kufunikwa zaidi. Soma blogs nje ya niche yako. Wakati mwingine mawazo bora yanayotoka katika maeneo ya nje ya eneo lako la riba. Ongea na wanablogu wengine kuhusu jinsi wanavyo kuja na mawazo. Tumia muda kufanya shughuli nyingine za uumbaji Jaza "ubunifu wako vizuri." Sikiliza muziki ili kupata msukumo. Kidokezo #3. Kuweka malengo ya baadaye Mara tu ukiwa na ratiba ya blogi mahali, angalia malengo ungependa kujiwekea. Tovuti yako inavyoongezeka na mapato inakua, unapaswa kuwa na uwezo wa kuajiri waandishi au kuongeza muda unaoweka kwenye blogi mwenyewe. Kwa hivyo, ikiwa unaandika barua ya 1 kwa wiki, unaweza kuweka lengo la kuandika mara mbili katikati ya mwaka huo na kuandika machapisho ya 2 kwa wiki. Kwa sababu tu ununda ratiba haimaanishi kuwa huwezi kuongezea, pia. Anza na lengo linaloweza kufikiwa na unaweza daima kushughulikia malengo yako baadaye. Kujifunza Blogu Mafanikio kwa Upepo Njia moja ya kufikiri jinsi ya kufanya blogu yako mwenyewe kufanikiwa zaidi na kuweka mawazo yanayotembea ni kujifunza blogu nyingine zenye mafanikio. Wacha turudi kwenye wavuti hii na tuangalie tena. Kuna sababu ninaendelea kutaja tovuti hii - imefanikiwa. HP inachapisha chapisho mpya kuhusu kila sekunde 58. Wow! Wakati labda hauwezi kuanza kugusa kiwango hicho cha kuchapisha na wavuti ndogo (au hata kubwa), inakwenda kuonyesha jinsi ni muhimu kuchapisha mara kwa mara. Neil Patel ni mwanablogu aliyefanikiwa ambaye anasoma ni nini wanablogu wengine wanafanya vizuri. Inawezekana umesikia jina lake ikiwa umekuwa kwenye blogi za duru kwa muda mrefu sana. Patel anasema kwamba wakati tovuti kama Huffington Post zinafanikiwa, kwamba kuna blogi zingine nyingi zilizofaulu ambazo huchapisha mara moja kwa wiki. Ufunguo, Patel anasema, ni Usijenge maudhui tu bali maudhui ya "ubora wa juu". Patel inasema kwa hakika kuna mengi zaidi ya kuchapisha mtandaoni kuliko kuacha tu posts nyingi kama unaweza na yeye anazungumzia umuhimu wa mkakati smart kufanya hivyo. Ratiba yako ni hatua ya kwanza kuelekea hilo. Chris Hornak, mmiliki wa Mikono ya Blog, alishirikisha baadhi ya mawazo yake juu ya kuja na mawazo mapya ya mada. Hornak alisema: Anza kwa neno la msingi na utumie zana muhimu za utafiti wa mada ili kufunua aina mbalimbali za mada. Halafu unapoanza kuandika mada, kagua matokeo ya sasa ya 10 ya utaftaji huo na uone jinsi unavyoweza kutoa kitu cha thamani kubwa au ya kipekee kuliko ile iliyo tayari katika matokeo ya utaftaji. Maoni ya Hornak ni nzuri, kwa sababu utakuwa ukiangalia mada ambayo watu tayari wanatafuta. Starters Idea ya 52 Na sasa, bila ado zaidi, wacha tufike kwa kile kweli umekuja hapa. Wale wanaoanzisha wazo kukufanya uendelee kwenye maoni ya blogi ya tovuti yako. Unaweza kutumia orodha hii ya wazo la 52 linaanza njia kadhaa tofauti. Unaweza kutumia kila mwanzo wa wazo kwa chapisho moja kila wiki. Au, unaweza kutumia wazo hili na kuja na mfululizo wa machapisho juu ya mada ya wiki. Mengi itategemea tu jinsi machapisho mengi ya blogu unayopanga kila wiki. Starter ya Idea #1: Nataka kujua zaidi kuhusu ... Je, kuna mada ambayo wewe binafsi unataka ungefahamu zaidi? Zaidi ya uwezekano, wasomaji wako wangependa kujua zaidi kuhusu mada hiyo pia. Kumaliza hukumu hiyo hapo juu na kisha ukajifunze zaidi kuhusu mada iliyopo. Unapojifunza, unaweza kushiriki mawazo yako na wasomaji wako pia. Starter ya Idea #2: Nini mwenendo wa hivi karibuni katika ... Kila sekta ina mwenendo unaokuja na kwenda. Hata hivyo, mada / vitu vyenye mwelekeo vinaweza kuwa jambo la kuandika kuhusu. Ni nini kinachoendelea katika sekta yako hivi sasa? Unawezaje kugeuza kuwa kwenye chapisho la blogu au mfululizo wa machapisho ya blog? Starter ya Idea #3: Nini jambo la kuvutia zaidi kuhusu kampuni yako? Je, ni kitu gani cha pekee chenye kipekee kuhusu kampuni yako ambayo inafanya kuondokana na ushindani? Hii inaweza kuwa nyamba za utajiri hadithi ya mahali ulipoanza na ambapo kampuni yako ni leo. Inawezekana kuwa maili ya ziada unaenda kwa wateja wako. Labda una mtumishi mgonjwa na kampuni nzima imewazunguka ili kusaidia kufikia gharama zao za hospitali. Chochote kile kinachofanya iwe pekee, shiriki na wasomaji wako! Mfano wa maisha halisi: Soma safari ya safari ya Groove hadi mapato ya $ 10M. Starter ya Idea #4: Eleza hadithi yako bora kuhusu ... Fikiria jinsi unaweza kushiriki hadithi inayohusiana na biashara yako. Ikiwa una duka la kitaalamu la gorofa, je! Unaweza kumwambia hadithi kuhusu mchezo bora wa golf aliyewahi kucheza? Sio kila baada ya kuuza bidhaa. Wakati mwingine unapaswa kuuza brand yako na moyo nyuma ya brand yako. Starter ya Idea #5: Je! Umewahi kutaka ... Fikiria juu ya jambo la kushangaza ambalo lingeweza kutokea, lakini iwezekanavyo haliwezekani, katika sekta yako. Sasa, shiriki mawazo yako na ndoto na wasomaji wako. Hii ni aina ya fantasy post. Katika ulimwengu bora, kila golfer angepata shimo moja. Starter ya Idea #6: Wasomaji wanapaswa kuwa waangalifu wa nini? Unaweza kuchukua tahadhari, wasiwasi, au ugumu wa takwimu na kuifungua kuwa chapisho la blogu. Kwa mfano, ikiwa uuza chakula cha mbwa cha hali ya juu, unaweza kushiriki habari juu ya unakumbuka pet fulani katika miaka ya hivi karibuni na kwa nini mbwa wa msomaji wako unastahili bora. Usifanye tuhuma yako kuwa ya mauzo sana. Kitu muhimu ni kutoa taarifa na basi basi msomaji afikie hitimisho kwamba anahitaji bidhaa yako. Mfano wa maisha halisi: Jinsi ya kuandika barua pepe ambazo hazina maana. Starter ya Idea #7: Nani aliyefanya wa kwanza, aliandika kwanza, alianza _____ ya kwanza? Unafikiri kuhusu sekta yako, ambao walikuwa waanzilishi? Kwa mfano, ikiwa unahifadhi duka la nguo mtandaoni, basi unaweza kuelekeza kwa wabunifu wa mitindo mapema na kushiriki habari juu yao na jinsi moja au zaidi imekuhimiza. Jaribu kuifanya iwe ya kibinafsi wakati wowote utakapoweza. Usizungumze tu juu ya Chanel ya Cocoa, lakini eleza ni kwanini Chanel alikuhimiza kufungua duka lako au kupendezwa na mitindo. Starter ya Idea #8: Ulisoma hivi karibuni kuhusu sekta yako? Ni makala gani, kitabu, au utafiti wa kesi uliyosoma hivi karibuni kuhusu sekta yako? Hakikisha haitokani na wavuti inayoshindana na kisha ujisikie huru kuandika hakiki yake na ushiriki kile ulichojifunza na jinsi wasomaji wako wanaweza kutumia habari hiyo kwa maisha yao wenyewe au utumiaji wa bidhaa yako. Starter ya Idea #9: Chukua picha za ofisi, bidhaa, au wafanyakazi wako na uwashiriki. Wasomaji wanapenda nafasi ya kukujua wewe na kampuni yako. Chukua muda wa kupiga picha za ofisi zako, wafanyakazi wako, au hata tukio. Shiriki maelezo kidogo juu ya kile kinachoendelea na ambao watu wako katika picha. Unaweza hata kuwa na wafanyakazi wako kuchukua selfies na kuwapeleka kwa maelezo mafupi kama njia ya kuanzisha timu kwa wasomaji wako. Ofisi yetu ya kichwa nchini Malaysia. Mtazamo mwingine wa ofisi ya WHSR ya Ipoh. Starter ya Idea #10: Ni nini kinaendelea kwenye Twitter? Idadi ya watu kwenye vyombo vya habari vya kijamii, hasa Facebook na Twitter, inaendelea kukua kutoka mwezi hadi mwezi. Kwa sababu watumiaji wengi wa Intaneti wana kwenye vyombo vya habari vya kijamii, inafaa tu kugeuka kwenye hii ya kati kwa mawazo fulani juu ya mada yaliyohamia. Unapoingia kwenye Twitter, utaona hashtags upande wa kushoto wa ukurasa wako wa nyumbani. Chagua moja ambayo unaweza kuhusiana na tasnia yako kwa njia fulani, andika chapisho, uchapishe na ushiriki kwenye Twitter na hashtag hiyo. Chimba zaidi: Pata Jason Pata vidokezo na uchapishaji kwenye maelezo ya Twitter. Starter ya Idea #11: Je, ni ya msingi gani ya-kwa ajili ya bidhaa au huduma yako? Wakati mwingine nzuri ya zamani-fashioned jinsi-kuongoza ni jambo bora unaweza kuandika. Unaweza kufikiria ni rahisi sana, lakini mtu ambaye hajawahi kutumia bidhaa yako au huduma anahitaji haja ya hatua kwa hatua maelezo. Mifano halisi ya maisha: Angalia yetu Usimamizi wa wavuti wa 101 na ya Michael mwongozo bora juu ya kuandika post yako ya kwanza ya blog. Starter ya Idea #12: Ni baadhi ya rasilimali zako zinazopenda? Bila kujali aina gani ya biashara au blog unayoendesha, unaweza uwezekano wa kuwa na rasilimali zinazopendwa zinazohusiana na mada yako kwa mkono. Kurudi kwenye mfano wa golf, labda unajua video nzuri ambayo itasaidia mtu anayejitahidi kurudi nyuma. Labda umetembelea kozi ya golf ambayo unataka kupendekeza. Chochote rasilimali unazopenda, zikusanyike pamoja kama orodha ya rasilimali wasomaji wako lazima waangalie na uwashiriki. Hii pia hujenga kibali na wamiliki wengine wa biashara. Mfano wa maisha halisi: WP Kube's Nyenzo bora za WordPress kwa muda wa kwanza. Starter ya Idea #13: Maswali ya kawaida ambayo wasomaji wanauliza ni nini? Angalia kupitia maoni yako, vikao, au kwenye vyombo vya habari vya kijamii. Je, ni maswali gani ambayo wasomaji wako wanaonekana kuuliza mara kwa mara? Unaweza hata kutaka kurudi kupitia barua pepe za zamani kutoka kwa wateja. Unawezaje kujibu maswali haya katika fomu ya posta? Piga zaidi: Njia za 12 za kuelewa wasikilizaji wako bora zaidi. Starter ya Idea #14: Fafanua juu ya shughuli za siku yako. Ulifanya nini leo inayohusiana na biashara yako au kwamba wasomaji wako wanaweza kuhusisha? Shiriki kwa undani shughuli zako. Ikiwa unamiliki duka hilo la golf, labda umetumia siku inayozungumza na golfer maarufu wa pro na unataka kushiriki vidokezo vya ndani ambavyo alikupa (kupata ruhusa yake, bila shaka) na ushiriki snapshot ya wawili wenu kwenye golf kozi. Starter ya Idea #15: Nini kinakufanya uwe wazimu? Hii inaweza kweli kuwa msukumo mkubwa kwa chapisho la blogu. Ni nini kinachokufanya uwe wazimu na ni jinsi gani inaweza kuwa imara? Shiriki mchakato huu wa mawazo na msomaji wako. Hakikisha tu kwamba inahusiana na mada iliyopo! Mfano wa maisha halisi: Angalia nini kinachofanya Jerry anachukia blogu. Starter ya Idea #16: Ninaogopa nitashindwa kwa… Fungua kwa wasomaji wako na uwaambie ni nini kinachowatisha juu ya biashara hii unayoendesha. Una wasiwasi utashindwa katika huduma ya wateja? Shiriki hivyo na waulize maoni yao ya ukweli juu ya jinsi unavyofanya. Kuwa mwangalifu usije ukasikika kama unapiga kelele au unauliza uthibitisho, ingawa, kwani wasomaji hawatakubali jambo hilo. Starter ya Idea #17: Tumia kitu cha kawaida - kinachohusiana na mada yako. Chukua kitu cha kawaida na ukielezee kwa mada yako. Kwa mfano, unaweza kuchukua kivuli cha meno na kuzungumza juu ya jinsi siku na mchana nje kwamba jino la meno husaidia kukuwezesha afya kwa kuondoa bakteria kutoka meno yako, kukusaidia kuwa na tabasamu nyepesi, nk. Basi, unastahili kuwa na mada yako. Kwa hiyo, unaweza kuandika kuwa kama shaba ya meno, wajumbe kwenye kozi ya golf yako ya ndani wanaweza kukuhudumia siku na mchana na kukuhifadhi afya na burudani, nk. Wakati mwingine huenda unapaswa kunyoosha kidogo ili kukamilisha wazo hili, lakini jambo hilo ni jambo jema kwa sababu unaweza pia kufikiria mawazo mengine kuandika kuhusu. Starter ya Idea #18: Nani unaweza kuzungumza? Je, kuna mtu anayeweza kuhojiana naye ambaye anajua mengi juu ya mada yanayohusiana na wasomaji wako watakavyojali? Unaweza kuona kwamba hapa WHSR tunafanya mahojiano kadhaa na wataalam katika mambo kama kuhudhuria, wabunifu wa Plugin ya WordPress, wauzaji, nk. Kwa sababu kila mtu ana mtazamo wa pekee. Kuuliza wengine kunaweza kuleta habari ambazo huenda usifikiri vinginevyo. Kama bonus, wanaweza kuhojiana nawe kwenye tovuti yao au kuunganisha kwako pia. Mifano halisi ya maisha: Soma mahojiano yetu na Carol Tice (Fanya Kuandika Kwa Kuishi), Chuck Charlestown (Kickassd), Pankaj Narang (Socialert), na Jamie Opalchuk (HostPapa), Starter ya Idea #19: Je, unaweza kujenga infographic juu ya? Je, unaweza kushiriki takwimu katika fomu ya kuona? Mara baada ya kuunda infographic nzuri (au kuna moja iliyoundwa kwa ajili yenu), unaweza kuongeza baadhi ya maandiko kwenda na kuwa na post kamili blog. Piga zaidi: Jifunze jinsi ya kuunda infographic nzuri. Starter ya Idea #20: Je! Unajua ni nini kinanifanya msisimko? Ni nini kinachovutia kuhusu kampuni yako au bidhaa hivi sasa? Shiriki hili na wasomaji wako. Starter ya Idea #21: Je! Unukuu wako unaopenda ni nini? Je! Unayo nukuu ambayo unarejelea mara nyingi kwa msukumo au kutia moyo? Kwangu, napenda shairi ambalo mara nyingi huhusishwa na Ralph Waldo Emerson aliyeitwa Mafanikio (vyanzo vingine vinasema hii iliandikwa na mtu mwingine, lakini inaonekana kama diction lake, kwa hivyo ninaenda na RWE kama mwandishi). Shairi ni ndefu, lakini sehemu ninayoisemea mara nyingi iko mwishoni na inakwenda: "Ili kuacha dunia iwe bora zaidi, iwe na mtoto mwenye afya, kiraka cha bustani, au hali ya kijamii iliyomkombolewa; Kujua hata maisha moja yamepumua rahisi kwa sababu umeishi. Hii inafanikiwa. " Ningeweza kurejea kwa urahisi kuwa kwenye chapisho la blogu kuhusu falsafa yangu na wateja wangu na kujaribu jitihada zangu kuwasaidia kupumua kidogo. Biashara za mbio ni vigumu na kuja pamoja nao kama mpenzi wa kuchukua baadhi ya shinikizo ni kitu ambacho napenda kufanya. Kwa hiyo ni nini kinachopenda sana na ni jinsi gani unaweza kuiweka kwenye chapisho la blogu? Starter ya Idea #22: Nini hujitokeza kwenye orodha? Orodha ni haraka, rahisi kusoma kwa wageni wako wa tovuti. Je, unaweza kuunda orodha ya? Ikiwa unatengeneza mashati, unaweza kuunda orodha ya mambo ya juu ya 10 ya kufanya na shati la zamani la tee. Pata ubunifu. Fanya orodha iwe na furaha kwa wasomaji wako. Mifano halisi ya maisha: Tazama Njia za 70 unaweza kutumia Twitter kwa biashara na Miradi ya 50 + Lego kwa ajili ya watoto. Starter ya Idea #23: Je! Ni mandhari gani katika baadhi ya machapisho kwenye tovuti yako? Ikiwa unaweza kuona mandhari, basi unaweza kuunda. Aina hii ya chapisho itakuokoa tani ya muda na kurudia maudhui ya zamani. Utakusanya tu viungo, kuzishiriki na maelezo ya chapisho lililopita, andika na intro na hitimisho, na umekamilika. Rahisi, sawa? Starter ya Idea #24: Je! Ni hadithi gani za uongo kuhusu sekta yako? Shiriki hadithi za juu kwenye tasnia yako na ueleze kwa nini sio sahihi. Unaweza hata kufikiria zaidi katika kila hadithi na kuelezea ukweli dhidi ya uwongo. Starter ya Idea #25: Ni mafanikio gani unaweza kusherehekea? Je, msaidizi wako wa utawala aliolewa tu? Shiriki picha ya wafanyakazi katika mapokezi ya harusi na kumpongeza kwenye blogu yako. Hii inakupa kampuni yako kujisikia binafsi kwamba wasomaji watafurahia. Mfano wa maisha halisi: Pardeep Goyal's hadithi ya kwenda kutoka R. 0 kwa 2,000,000 katika miezi 6. Starter ya Idea #26: Ikiwa ungeenda kuandika Maswali kuhusu niche yako, ungejumuisha nini? Funika baadhi ya mada ya msingi kuhusu tovuti yako, bidhaa, au sekta na ushiriki na wasomaji. Kuwa na mada ya msingi yanayochanganywa na wale wa juu zaidi yatakuwa na wateja wapya pamoja na wateja wanaoendelea. Mfano wa maisha halisi: Ukurasa wa Maswali ya Bitcatcha kwenye A2 huduma ya Kukaribisha. Starter ya Idea #27: Sikiliza podcast na ushiriki kile ulichojifunza kutoka kwake. Kwa hakika, hii itakuwa podcast ndani ya sekta yako, lakini kama unaweza kufikiria njia ya kuhusisha podcast yasiyo ya kuhusiana, kwenda kwa hiyo. Starter ya Idea #28: Pata video ya YouTube ya kushangaza na ushiriki. Kubali. Unapofungiwa, hutazama video za kuchekesha kwenye YouTube, sivyo? Badala ya kupoteza muda, tumia wakati wako kwa busara kwa kutafuta video kwenye mada zinazohusiana na blogi yako. Unapopata ya kushangaza, nenda mbele na ushiriki na wasomaji wako na nini umepata kutoka kwake. Jitahidi kupata moja kutoka kwa mtu asiyeshindani, bila shaka. Starter ya Idea #29: Nini upendo wako favorite? Tumia muda wa kushiriki na wasomaji wako unachofikiri ni sababu nzuri. Je, unaweza kuunganisha hili katika biashara yako kwa namna fulani? Labda unaweza kutoa kutoa asilimia ya mauzo kwa shirika kwa miezi mingi ijayo? Starter ya Idea #30: Je, ni zana gani zinazopenda? Je! Unatumia vifaa gani kwenye tasnia yako. Kutumia mfano wa gofu tena, unaweza kushiriki siku ya kawaida kwenye gofu. Unatumia kichungi maalum, tees na initials zako, na vitu vingine kadhaa ambavyo ungependa kupendekeza kwa gofu kama wewe. Zaidi ya uwezekano, una shauku kubwa juu ya tasnia ambayo uko, kwa hivyo shiriki shauku hiyo na wasomaji wako. Starter ya Idea #31: Je, ni mambo gani ya 20 kuhusu mimi? Shiriki maelezo ya kina juu ya historia yako, wewe binafsi, kampuni yako, nk. Wasomaji wanapenda kukujua vizuri, hivyo uwe na kibinafsi. Starter ya Idea #32: Nani mteja wangu anayevutia zaidi? Je! Unaweza kuonyesha moja ya wateja wako au wateja wako na kuelezea jinsi wanavyovutia? Kwa mfano, ikiwa unauza klabu za golf, labda una golfer isiyo na maono ambayo amejifunza kufanya kazi karibu na ulemavu wake na bado anacheza mchezo anaoupenda. Starter ya Idea #33: Nini habari za karibuni za sekta? Weka tahadhari za Google ili kukuweka kwenye kitu kinachoendelea katika sekta yako. Kisha, futa mawazo moja au zaidi ya mawazo hayo kwenye chapisho kwa blogu yako. Starter ya Idea #34: Pata mkutano wa sekta na ushiriki uzoefu wako. Zaidi unayoweza kuingia katika sekta yako, machapisho yako ya blogu zaidi yatakuwa ya kuvutia zaidi. Tumia muda wa kuhudhuria mkutano kwenye niche yako na kisha ushiriki baadhi ya uzoefu wako kutoka kwenye mkutano huo, warsha uliyohudhuria ambapo ulijifunza mengi, au tidbits nyingine zinazovutia. Starter ya Idea #35: Ni masomo gani umejifunza njiani? Je! Ni masomo gani magumu ambayo umelazimika kujifunza maishani? Shiriki moja ya haya pamoja na vidokezo kadhaa juu ya jinsi wasomaji wako wanaweza kuzuia kufanya makosa sawa na badala yake wajifunze kutoka kwa uzoefu wako. Starter ya Idea #36: Je! Umepanga mambo gani ya kusisimua kwa siku zijazo? Nini maono yako kwa kampuni yako katika mwaka, miaka mitano, au miaka kumi? Je, hatua zako zifuatazo ni nini? Je! Una bidhaa au huduma zinazovutia katika bomba? Shiriki ndoto hizi na wasomaji wako, ambao wana uhakika wa kupata msisimko na wewe na kukufurahi. Starter ya Idea #37: Ni mwenendo gani unayoona unaojitokeza katika sekta yako na unafikiria nini kuhusu hilo? Je, ni baadhi ya mwenendo unaojitokeza katika sekta yako na nini mawazo yako? Fanya kusimama au kupinga na kueleza sababu. Baadhi ya blogi itakuwa tayari kujipatia kwa urahisi kwa aina hii ya kipande kuliko wengine, lakini unapaswa kupata kitu ambacho unaweza kueleana na mada ya karibu ikiwa unasoma kupitia habari za sekta na bodi za matangazo. Mfano wa maisha halisi: Google SEO vs Guest Blog yangu. Starter ya Idea #38: Nini akaunti za vyombo vya habari vya kijamii ambazo hupenda kufuata? Zaidi ya uwezekano, una akaunti za vyombo vya habari vya kijamii unazofuata ili uweze kuendelea hadi wakati juu ya mada yako. Nini akaunti hizi? Je, wewe hufuata yoyote Mazungumzo ya Twitter? Fanya roundup ili wasomaji waweze kufuata pia. Kama bonus iliyoongezwa, baadhi ya watu wanaoathiriwa wanaweza kukupa sauti juu ya vyombo vya habari vya kijamii. Starter ya Idea #39: Kukusanya ushuhuda wa wateja na kuwaonyesha. Waulize wateja wako kwa ushuhuda wa kuweka kipengele cha juu kuhusu huduma yako ya wateja na jinsi unavyojitahidi kupendeza wateja wako. Hata bora kama unaweza kuonyesha tatizo la mteja alikuwa na, jinsi ulivyoliweka, halafu ushiriki ushuhuda. Hii inaweza kufanya sababu yako ya uaminifu kuongezeka kwa digrii chache. Starter ya Idea #40: Weka podcasts yako au video zako. Je, unaunda podcasts au video kwenye mada yako. Tumia wakati wa kuandika moja na kuifanya kama chapisho la blogu. Sio kila mtu anataka kuona video, au anaweza kuwa kazi ambapo sauti ni hapana. Hata hivyo, kuwa na fomu iliyoandikwa inakuwezesha kushiriki kwa urahisi na kila mtu. Starter ya Idea #41: Unawezaje kuwasiliana katika picha? Kuja na photoblog badala ya maandiko yaliyoandikwa. Kwa kweli, utataka kuelezea picha, lakini zile zinaweza kuwa fupi na tamu. Je! Likizo ya hivi karibuni? Jaribu kitu kipya? Shiriki kwenye chapisho la picha. Starter ya Idea #42: Teknolojia yangu favorite ni ... Shiriki baadhi ya teknolojia yako favorite na jinsi unayotumia katika maisha yako ya kila siku. Ikiwa unaweza kuzungumza na niche yako, basi unaweza kuelezea kwa wasomaji wako jinsi wanaweza kufaidika na teknolojia hii pia. Starter ya Idea #43: Je! Ni kitabu gani ungependa kuandika? Je, ni jambo gani unafikiri ni muhimu sana kwamba unaweza kuandika kitabu kuhusu hilo? Fafanua wasomaji wako kwa nini unaona mada hii ni muhimu na ungependa kuona kufunikwa. Nani anajua, chapisho linaweza kukuhimiza uandike kitabu. Starter ya Idea #44: Ningependa kujua zaidi kuhusu ... Je! Kuna mada unayotamani ungejua zaidi kuhusu? Shiriki wazo hilo na wasomaji wako na ueleze kile unachofanya tayari kujua na jinsi unavyoweza kujenga juu ya hilo na ujuzi huu mpya unayotaka kutafuta. Starter ya Idea #45: Mtu ambaye alinifundisha alikuwa ... Chukua dakika kutoa utambuzi fulani kwa washauri wako. Je! Mshawishi alitoa ushauri katika siku za kwanza za kuzaliwa kwa blogi yako? Shiriki habari hiyo na wasomaji wako na uwahimize kupata washauri wao wenyewe. Starter ya Idea #46: Je, ungependa nini hacks? Haijalishi ni aina gani ya biashara unayoendesha, mara tu umekuwa ukiifanya kwa muda mfupi, utajifunza njia za mkato na hila ambazo hukusaidia kuwa bora zaidi. Je! Ni gunia gani ulilochukua njiani ambazo zinaweza kuokoa wasomaji wako wakati? Starter ya Idea #47: Nini hupoteza muda wako? Je! Ni mambo gani kadhaa ambayo umefanya ili kukuza biashara yako ambayo haikufanya kazi? Usijali, kila biashara hupitia maumivu hayo yanayokua. Kushiriki na wasomaji wako inaonyesha kuwa wewe ni halisi na wa mbele. Shiriki pia kile umefanya ili urekebishe. Starter ya Idea #48: Katika mwaka uliopita, somo langu kubwa lililojifunza ni ... Je! Umejifunza somo gani mwaka jana ambao umebadilika biashara yako au mtazamo wako juu ya maisha? Mfano wa maisha halisi: Ni nini Tim Ferris kujifunza katika 2016. Starter ya Idea #49: Je, shida ni nini wasomaji wako wanayoweza kurekebisha? Je, ni shida gani wasomaji wako wanakabiliwa? Je, ni marekebisho gani ya shida hiyo? Ikiwa unaweza kutatua tatizo kwa wasomaji wako, basi hiyo itaenda kwa muda mrefu kuelekea kujenga jema. Starter ya Idea #50: Je, ni blogu zako zinazopenda? Je, ni blogu zipi zinazohusiana na sekta yako unayoipenda? Shiriki blogi hizi na maelezo ya kila mmoja na wasomaji wako. Starter ya Idea #51: Ulikuwa na nini cha kukuza biashara yako hadi sasa? Kila mmiliki wa biashara hana budi kushinda changamoto na kujua mambo kadhaa muhimu ili kufanikiwa. Je! Ni nini baadhi ya mambo ambayo umekuwa na ujuzi? Je! Hiyo imekusaidia vipi kufanikiwa kwenye biashara yako? Starter ya Idea #52: Nini ndoto yako kubwa kama mmiliki wa biashara? Nini ndoto yako kubwa kuhusu biashara yako? Labda unataka kufanikiwa ili uweze kusaidia usaidizi uliopenda. Labda unataka kuwa dhahabu kubwa zaidi ya duka duniani. Tumia wakati wa kuandika ndoto zako. Kupata Upepo Kama unaweza kuona, kuna njia nyingi za kupata msukumo na kupata mada ya kuandika kuhusu blogu yako. Kitu muhimu ni kuchukua wakati wa kufikiri, kupanga mipangilio, na hatimaye uwe na wasomaji wako. Zaidi wazi na waaminifu unaweza kuwa, kweli zaidi utaonekana. Wasomaji hujibu vizuri mtu halisi.
2019-10-18T00:08:15
https://www.webhostingsecretrevealed.net/sw/blog/blogging-tips/52-weeks-of-idea-starters-for-your-blog/
[ -1 ]
Balozi Seif Ali Iddi Ameondoka leo Mchana Kwenda India.na Safari ya Kikazi Nchini Ras Al Khaimah. - ZanziNews Home HABARI Balozi Seif Ali Iddi Ameondoka leo Mchana Kwenda India.na Safari ya Kikazi Nchini Ras Al Khaimah. Balozi Seif Ali Iddi Ameondoka leo Mchana Kwenda India.na Safari ya Kikazi Nchini Ras Al Khaimah. Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mh. Mgeni Juma Hassan akimsindikiza Balozi Seif kuelekea Nchini India kupitia Mjini Dar es salaam kwa uchunguzi wa kawaida wa Afya yake. Kati kati yao ni Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mh. Mgeni Juma Hassan na nyuma ya Balozi Seif ni Mkewe Mama Asha Suleiman Iddi. (Picha na – OMPR – ZNZ) Katika safari hiyo Balozi Seif amefuatana na Mkewe Mama Asha Suleiman Iddi baada ya kuongoza mapokezi ya mwili wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mzee Aboud Jumbe Mwinyi aliyefariki Dunia Nyumbani kwake Mji Mwema Mjini Dar es salaam na baadaye kwenda kutoa mkono wa pole kwa Familia ya marehemu Nyumbani kwake Migombani Mjini Zanzibar.
2018-06-18T04:06:27
http://www.zanzinews.com/2016/08/makamu-wa-pili-wa-rais-wa-zanzibar.html
[ -1 ]
Maadhimisho ya mwaka mmoja wa #Greece kuhitimisha kwa mafanikio mpango wa msaada wa utulivu - Mwandishi wa EU: Mwandishi wa EU 20 Agosti ilikuwa alama mwaka mmoja tangu Ugiriki ilimaliza kwa mafanikio mpango wake wa uimara wa Utaratibu wa Uimara wa Ulaya. Programu ya msaada wa utulivu wa miaka ya 3 ilichukua njia iliyoratibiwa ya kukabiliana na maswala ya kimuundo ya muda mrefu na yenye mizizi ambayo ilichangia Ugiriki kupata mzozo wa kiuchumi na kupoteza ufikiaji wa masoko ya kifedha. Kwa jumla, washirika wa Ugiriki wa Ulaya walitoa bilioni 61.9 bilioni kwa mkopo kwa mamlaka ya Uigiriki kutekeleza mfuko kamili wa mageuzi. Inapochukuliwa pamoja, marekebisho haya yameweka misingi ya kufufua uchumi, kuweka hali za msingi zinazohitajika kwa ukuaji endelevu, utengenezaji wa ajira na fedha nzuri za umma. Viashiria vinathibitisha kwamba, wakati kazi inabaki kufanywa, juhudi zinazofanywa ni kutoa faida zinazoonekana. Kwa mfano, kiwango cha ukosefu wa ajira kilipungua hadi 17.6% Aprili 2019. Ingawa hii bado ni kiwango cha juu kisichokubalika, ni mara ya kwanza kiashiria hiki kuanguka chini ya 18% tangu Julai 2011 na iko chini kutoka kilele cha 27.9% mnamo Julai 2013. Inabakia kuwa muhimu kwa mamlaka ya Uigiriki kuendelea kuzingatia kushughulikia kikamilifu athari za kijamii na kiuchumi za miaka ya shida. Ugiriki inaweza kutegemea msaada wa Tume ya Ulaya katika juhudi hii. Nchi sasa imejumuishwa kikamilifu katika Muhula wa Uropa na uwasilishaji unaoendelea wa marekebisho yaliyokubaliwa unafuatiliwa chini ya mfumo wa uchunguzi wa Enhanced. Mjadala wa Euro na Jamii na Utatavu wa Fedha, Huduma za Fedha na Malkia wa Makamu wa Rais Malkia, Valdis Dombrovskis alisema: "Mwaka mmoja uliopita Ugiriki ilikamilisha mpango wake wa msaada wa utulivu wa ESM ili kurejesha utulivu wa kifedha na kukuza ukuaji wa uchumi na uundaji wa kazi. Uchumi wa Ugiriki umenufaika kutokana na mageuzi na kuongeza ujasiri. Ukuaji ni wa kasi, ukosefu wa ajira unashuka na fedha za umma zimeimarika. Ni muhimu kujenga mafanikio haya kwa kuendelea kwenye njia ya sera zenye dhamana za fedha na marekebisho ya kimuundo, pamoja na yale yaliyolenga kuimarisha tasnia ya kifedha ya Uigiriki. " Waziri wa Mambo ya Uchumi na Fedha, Kamishna wa Ushuru na Forodha, Pierre Moscovici alisema: "Ugiriki imetoka mbali tangu kukamilisha mpango wake wa msaada wa utulivu mwaka mmoja uliopita. Takwimu za kiuchumi zinaonyesha ishara nzuri, zinaonyesha juhudi zitaendelea kuzaa matunda kwa jamii ambayo imeona ugumu mwingi. Walakini, changamoto zinabaki na utayari wa kushiriki, kikamilifu, katika mchakato wa kukamilika kwa marekebisho - na kufanya kazi kwa karibu na washirika wa Uropa - itakuwa muhimu kusaidia utulivu, ukuaji, utengenezaji wa kazi, na mfumo bora wa ustawi wa jamii katika miezi na miaka hadi njoo. Ni muhimu kwamba watendaji wote wa umma na wa kibinafsi wafanye kazi kwa pamoja ili kupata na kuendeleza maisha bora ya baadaye kwa watu wa Uigiriki. Tume ya Ulaya itabaki kwa upande wa Ugiriki na kuunga mkono jukumu lake kuu kama mshiriki wa Jumuiya ya Ulaya na eurozone. " Maelezo zaidi juu ya mpango wa msaada wa utulivu unapatikana hapa. Karatasi ya ukweli juu ya viashiria muhimu vya kiuchumi vya Ugiriki inapatikana hapa. « #StateAid - Tume idhibitisha msaada wa umma wa € 60 milioni kwa mradi wa mtandao wa Broadband katika mkoa wa #Carinthia nchini Austria Kamishna Navracsics mwenyeji wa pili #EuropeanEducationSummit »
2019-10-17T20:26:52
https://sw.eureporter.co/frontpage/2019/08/21/one-year-anniversary-of-greece-successfully-concluding-stability-support-programme/
[ -1 ]
Jinsi Ya Kutumia Tango Kuilainisha Ngozi – AfroSwagga Fashion Blog Blogger, 4 months ago 2 min read 111 Tango ni tunda muhimu sana katika kusaidia afya na uzuri wa ngozi. Unaweza kula tunda lenyewe, kupaka juisi yake, kugandika vipande vyake vidogo vidogo au kunywa juisi yake. Njia zote hizo zinakusaidia kupata virutubisho muhimu kwa ngozi yako. Tango husaidia sana kulainisha ngozi na kuikaza ngozi iliyonyauka na kulegea. Yaani hufanya kazi ya Skin Tonning ya asili. Pia ukiitumia kwa muda endelevu husaidia kuondoa na kuzuia chunusi kubwa kubwa (Pimples), makovu ya chunusi, makunyanzi na ukavu wa ngozi ya usoni. Ni moja kati ya tunda muhimu sana kwa ajili ya matundo na upendezeshaji wa ngozi yako. Jinsi Ya Kuandaa Na Kutumia Tango Vizuri Andaa tango, maji, chombo cha kuwekea vipande vya tango na kifaa cha kukatia tango (Grater) lako katika vipande vidogo vidogo na laini Osha tango lako, chombo chako na kifaa chako cha kukatia tango lako. Bila kumenya, anza kulikatakata tango lako katika vipande vidogo vidogo sana na laini na kuweka kwenye chombo chako Ukimaliza kukata tango lako chukua vipande hivyo vidogo vidogo na laini kisha paka usoni, kuzunguka macho na shingoni pamoja na juisi yake Acha ikae kwa dakika 15 – 20 na kisha nawa kwa maji na uache bila kujikausha. Rudia hivyo kila siku na kwa muda endelevu hadi matokeo yatakapokuwa mazuri Faida Za Kufanya Hivi Ni rahisi sana na salama Ufanisi wake ni mkubwa Gharama yake ni nafuu Tumia matango mazuri na kata kata vizuri vipande vyako. Hakikisha unatumia mara tu baada ya kutengeneza, usilaze wala kutumia vipande vilivyolala. Kuwa mvumilivu kidogo, utaanza kuona matokeo mazuri baada ya wiki mbili. Kama unapenda vipodozi vya asili basi tango ni zuri sana kwako. Kula tango, kunywa juisi ya tango, paka vipande na juisi ya matango. Tags #matumizi ya tango katika ngozi #namna ya kutunza ngozi #njia asili za kutunza ngozi #tango #utunzaji wa ngozi Simple Hair Styles Kutoka Kwa Shilole, Jokate Na Jennifer Kyaka
2020-08-15T10:02:22
https://afroswagga.com/urembo/jinsi-ya-kutumia-tango-kuilainisha-ngozi/
[ -1 ]
• 13 Mar 2016 20:48, 13 Mar 2016 20:48 ago; mahusiano,: Ni ushauri tuu kwako wewe • 21 Sep 2017 21:54, 21 Sep 2017 21:54 ago; featured-katoliki,: Makala za leo za Kanisa Katoliki • 12 May 2018 16:26, 12 May 2018 16:26 ago; featured-jokes,: Most-amazing-tales-for-today • 22 Dec 2018 08:48, 22 Dec 2018 08:48 ago; ads-sd,: Tengeneza kadi • 12 May 2018 16:00, 12 May 2018 16:00 ago; featured-jokes,: Real-amazing-tales-for-all • 06 Oct 2015 17:34, 06 Oct 2015 17:34 ago; vichekesho,: Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki • 22 Dec 2017 17:14, 22 Dec 2017 17:14 ago; sms,: Ujumbe wa kumwambia mpenzi wako ni mrembo na kumsihi asikuache • 06 Aug 2017 03:01, 06 Aug 2017 03:01 ago; picha-nzuri,: CHEKA-WAHENGA-KWA-PICHA • 02 Mar 2015 17:23, 02 Mar 2015 17:23 ago; wiki,: Ushauri kwa mtu aliyebakwa • 09 Jan 2018 17:06, 09 Jan 2018 17:06 ago; mypictures,: 87 • 13 Mar 2019 15:41, 13 Mar 2019 15:41 ago; ads-sd,: MLO MWEMA MZAZI • 04 Feb 2017 05:57, 04 Feb 2017 05:57 ago; taf,: Daima Tinakumbushwa kuungama dhambi zetu hata kama ni ndogo kiasi gani • 02 Feb 2017 12:49, 02 Feb 2017 12:49 ago; videos,: Angalia huyu dogo kabeba kondoo wawili kwenye baisikeli isiyokuwa na kitako • 10 Oct 2017 13:32, 10 Oct 2017 13:32 ago; featured-marafiki,: TAFUTA-NDUGU-WANAUME-ONLINE • 18 Apr 2018 15:11, 18 Apr 2018 15:11 ago; funny-pictures,: Best enjoyable pictures for you fiancé • 08 Aug 2017 16:33, 08 Aug 2017 16:33 ago; featured-katoliki,: Maswali ya msingi ya Kanisa Katoliki • 05 Apr 2018 19:22, 05 Apr 2018 19:22 ago; vichekesho-bomba,: VIHOJA-VYA-KUKUBADILISHA-MOOD • 16 Feb 2018 10:20, 16 Feb 2018 10:20 ago; featured-sms,: SMS-NZURI-ZA-MAPENZI • 11 Jan 2017 05:45, 11 Jan 2017 05:45 ago; katekisimu,: Roho Mtakatifu hutajwa wapi katika Rozari? • 17 Apr 2018 11:08, 17 Apr 2018 11:08 ago; funny-pictures,: Good funny pictures on the internet • 17 Apr 2018 12:01, 17 Apr 2018 12:01 ago; funny-pictures,: Truly funny pictures to makes you happy • 18 Apr 2018 03:44, 18 Apr 2018 03:44 ago; funny-pictures,: Definitely hilarious pictures for your fiancée • 27 Jun 2019 12:38, 27 Jun 2019 12:38 ago; _default,: Swahili In Content 2 • 04 Mar 2017 05:51, 04 Mar 2017 05:51 ago; uchumi,: Kuwa na kawaida ya kujiwekea Akiba ni njia na Siri ya kuwa tajiri • 12 Apr 2018 18:18, 12 Apr 2018 18:18 ago; pictures,: If you don't know a real failure, here it is • 01 Dec 2016 04:45, 01 Dec 2016 04:45 ago; katoliki-music,: Ikulu ya mbinguni • 27 Feb 2017 20:42, 27 Feb 2017 20:42 ago; vichekesho,: Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu • 11 May 2018 11:36, 11 May 2018 11:36 ago; featured-jokes,: Funniest-weekend-gags • 26 Jan 2017 19:41, 26 Jan 2017 19:41 ago; videos,: Huyu mtoto kavalishwa nguo Kawa kama kuku • 28 May 2017 16:10, 28 May 2017 16:10 ago; sala,: LITANIA YA BIKIRA MARIA • 15 Jan 2017 17:27, 15 Jan 2017 17:27 ago; videos,: Angalia gari ilivyogongwa na treni • 09 Jan 2018 02:02, 09 Jan 2018 02:02 ago; mypictures,: 52 • 04 Jun 2018 17:03, 04 Jun 2018 17:03 ago; jokes,: Where can you always find a peacock? • 15 Nov 2019 17:49, 15 Nov 2019 17:49 ago; masomo-ya-misa,: MASOMO YA MISA NOVEMBA 16, 2019 JUMAMOSI, JUMA LA 32 LA MWAKA • 17 May 2015 05:24, 17 May 2015 05:24 ago; mix,: Assessing the Viability of the business Idea • 25 Jan 2017 13:59, 25 Jan 2017 13:59 ago; katekisimu,: Watoto wawili wa Adamu na Eva walkikuwa wepi? • 16 Feb 2018 11:53, 16 Feb 2018 11:53 ago; featured-sms,: SMS-TAMU-NZURI-ZA-MAPENZI • 10 Mar 2015 05:37, 10 Mar 2015 05:37 ago; wiki,: Mtu anaweza kurithi uvutaji wa bangi? • 11 May 2018 11:44, 11 May 2018 11:44 ago; featured-jokes,: Interesting-short-jokes • 11 Mar 2015 04:51, 11 Mar 2015 04:51 ago; wiki,: Je, ni kweli matumizi ya dawa za kulevya ni mojawapo ya sababu zinazochangia maambukizi ya virusi vya UKIMWI (VVU) • 15 Feb 2017 14:49, 15 Feb 2017 14:49 ago; mix,: Never neglect the important of small things • 18 Apr 2018 18:00, 18 Apr 2018 18:00 ago; funny-pictures,: Top enjoyable pictures for him • 02 Jul 2017 12:46, 02 Jul 2017 12:46 ago; katoliki-library,: Biblia Takatifu: Agano la Kale • 13 Mar 2019 15:00, 13 Mar 2019 15:00 ago; ads-sd,: SALAMU ASUBUHI NDUGU • 12 Oct 2016 06:14, 12 Oct 2016 06:14 ago; mix,: Facts of Life • 11 Jan 2017 05:42, 11 Jan 2017 05:42 ago; katekisimu,: Mkristo Hupokea Sakramenti ya Kipaimara Mara ngapi? • 07 Feb 2017 06:00, 07 Feb 2017 06:00 ago; mapishinalishe,: Vyakula vinavyoongoza kuongeza akili kwenye ubongo • 18 Nov 2016 07:45, 18 Nov 2016 07:45 ago; ads-sd-cat,: Bikira Maria na Mtoto Yesu • 15 Mar 2015 04:45, 15 Mar 2015 04:45 ago; wiki,: Je, ni matatizo yapi yanayotokana na ujauzito katika umri mkubwa? • 20 Sep 2016 09:57, 20 Sep 2016 09:57 ago; katoliki-picha,: Mtakatifu John Fisher • 04 Nov 2018 04:03, 04 Nov 2018 04:03 ago; mypictures,: 117 • 11 May 2018 11:24, 11 May 2018 11:24 ago; featured-jokes,: Funny-gags-for-all • 08 Jul 2017 04:13, 08 Jul 2017 04:13 ago; mapishinalishe,: Jinsi ya kutengeneza Cookies Za Tende Na Tangawizi • 21 Nov 2016 06:19, 21 Nov 2016 06:19 ago; vichekesho-na-picha,: SOMA-SASA • 19 Mar 2018 07:10, 19 Mar 2018 07:10 ago; sms,: Meseji nzuri ya kimahaba ya salamu kwa mpenzi • 17 Apr 2018 10:46, 17 Apr 2018 10:46 ago; funny-pictures,: Best funny pictures for this month • 13 Jan 2017 05:14, 13 Jan 2017 05:14 ago; katekisimu,: Ni kwa nini inaitwa Sakramenti ya Daraja? • 28 Sep 2017 01:38, 28 Sep 2017 01:38 ago; featured-katoliki,: Ujumbe wa leo wa dini Katoliki 05 Oct 2019 13:01, 05 Oct 2019 13:01 ago; masomo-ya-misa,: MASOMO YA MISA JUMAPILI, OKTOBA 6, 2019 DOMINIKA YA 27 YA MWAKA, soma zaidi 18 Apr 2018 16:36, 18 Apr 2018 16:36 ago; funny-pictures,: Categorically enjoyable pictures to brighten your day, soma zaidi 19 Aug 2017 23:02, 19 Aug 2017 23:02 ago; katoliki-f,: MAFUNDISHO-YA-WAKRISTU, soma zaidi 14 Jun 2019 14:10, 14 Jun 2019 14:10 ago; masomo-ya-misa,: MASOMO YA MISA, JUNI 15, 2019: JUMAMOSI, JUMA LA 10 LA MWAKA, soma zaidi 21 Jan 2017 12:05, 21 Jan 2017 12:05 ago; videos-kali,: VIDEO-KUBWA, soma zaidi 12 May 2018 18:03, 12 May 2018 18:03 ago; featured-jokes,: Modern-short-jokes, soma zaidi 02 Dec 2016 11:23, 02 Dec 2016 11:23 ago; videos,: Angalia huyu mganga wa kienyeji alichomfanyia huyu dada, soma zaidi 27 Jun 2019 13:27, 27 Jun 2019 13:27 ago; urembo-na-mitindo,: Madhara ya Kujichubua, soma zaidi 08 Aug 2017 16:14, 08 Aug 2017 16:14 ago; featured-katoliki,: Mafundisho ya sasa ya Imani katoliki, soma zaidi 05 Apr 2018 18:24, 05 Apr 2018 18:24 ago; vichekesho-bomba,: VITUKO-VYA-KUKUPA-MUDI-MPYA, soma zaidi 12 May 2018 16:29, 12 May 2018 16:29 ago; featured-jokes,: Worth-posts-ever, soma zaidi 02 Jun 2019 03:45, 02 Jun 2019 03:45 ago; mapishinalishe,: Jinsi ya kutibu tatizo la kukosa choo bila kutumia dawa, soma zaidi 22 Oct 2016 07:20, 22 Oct 2016 07:20 ago; katekisimu,: Sakramenti inayohusiana zaidi na ubatizo ni ipi?, soma zaidi 18 Nov 2016 07:41, 18 Nov 2016 07:41 ago; ads-sd-cat,: Bikira Maria na Yesu, soma zaidi 22 Jul 2016 21:54, 22 Jul 2016 21:54 ago; mahusiano,: Hadithi ya kusisimua, jifunze kitu hapa, soma zaidi 12 May 2018 13:27, 12 May 2018 13:27 ago; featured-jokes,: Most-funniest-new-posts, soma zaidi 03 Nov 2016 13:32, 03 Nov 2016 13:32 ago; katekisimu,: Katika Amri ya Tisa ya Mungu tumekatazwa nini?, soma zaidi 12 Jun 2017 05:06, 12 Jun 2017 05:06 ago; katoliki,: Mambo muhimu kujua kuhusu Ubatizo, soma zaidi 08 Apr 2018 14:01, 08 Apr 2018 14:01 ago; vichekesho-na-picha,: VIHOJA-VYA-SIKUKUU-HII, soma zaidi 13 Dec 2018 04:46, 13 Dec 2018 04:46 ago; picha-bomba,: Cheki lodi lofa anachokisema sasa, soma zaidi 21 Jul 2017 00:59, 21 Jul 2017 00:59 ago; katoliki-music,: Twakukimbilia Maria, soma zaidi 18 Apr 2018 05:34, 18 Apr 2018 05:34 ago; funny-pictures,: Worthy entertaining pictures for entertaining, soma zaidi 06 Aug 2016 08:48, 06 Aug 2016 08:48 ago; mahusiano,: Mwanamke akipenda amependa kweli, soma zaidi 18 Apr 2018 05:10, 18 Apr 2018 05:10 ago; funny-pictures,: Categorically entertaining pictures for entertaining, soma zaidi 12 May 2018 06:01, 12 May 2018 06:01 ago; featured-jokes,: Current-new-gags, soma zaidi 19 Aug 2017 15:43, 19 Aug 2017 15:43 ago; featured-katoliki,: Dondoo za kipekee za Katoliki, soma zaidi 21 Jan 2017 11:41, 21 Jan 2017 11:41 ago; videos-kali,: VIDEO-ZA-WANAWAKE, soma zaidi 19 Aug 2017 15:42, 19 Aug 2017 15:42 ago; featured-katoliki,: Dondoo za kweli za Mkristu, soma zaidi 12 May 2018 07:27, 12 May 2018 07:27 ago; featured-jokes,: Very-funny-gags-ever, soma zaidi 12 May 2018 17:35, 12 May 2018 17:35 ago; featured-jokes,: Recent-short-jokes, soma zaidi 04 Aug 2017 00:33, 04 Aug 2017 00:33 ago; videos-kali,: ANGALIA-VIDEO-MHENGA, soma zaidi 18 Apr 2018 03:49, 18 Apr 2018 03:49 ago; funny-pictures,: Worthy hilarious pictures forever ever, soma zaidi 17 Apr 2018 15:38, 17 Apr 2018 15:38 ago; funny-pictures,: Worthy funny pictures for you fiancé, soma zaidi 02 Oct 2017 08:30, 02 Oct 2017 08:30 ago; kilimonaufugaji,: Namna ya kutunza kuku na kuwakinga na magonjwa, soma zaidi 12 Feb 2017 17:39, 12 Feb 2017 17:39 ago; videos,: Kwa wale wapenzi wa katuni angalia hii, soma zaidi 14 Jun 2019 12:18, 14 Jun 2019 12:18 ago; mafumbo,: Unapima maisha yangu kulingana na ninavyokuhudumia, mimi ni nani?, soma zaidi 21 Sep 2017 10:46, 21 Sep 2017 10:46 ago; mapishinalishe,: Jinsi ya kupika Mkate, soma zaidi 17 Apr 2018 10:50, 17 Apr 2018 10:50 ago; funny-pictures,: Best funny pictures for your mother, soma zaidi 18 Apr 2018 16:09, 18 Apr 2018 16:09 ago; funny-pictures,: Truly enjoyable pictures for this week, soma zaidi 05 Apr 2018 19:50, 05 Apr 2018 19:50 ago; vichekesho-bomba,: VISA-VYA-SIKUKUU-HII, soma zaidi 18 Sep 2016 04:14, 18 Sep 2016 04:14 ago; uchumi,: Je, unajua kwa nini hufanikiwi?, soma zaidi 04 Feb 2017 05:42, 04 Feb 2017 05:42 ago; dini,: Kwa nini Binti usivae Suruali, ubaya wa Suruali kwa wanawake, soma zaidi 04 Aug 2017 23:56, 04 Aug 2017 23:56 ago; videos-kali,: CHEKI-VIDEO-KWA-MHENGA, soma zaidi 16 Feb 2018 12:43, 16 Feb 2018 12:43 ago; featured-sms,: MESEJI-KALI-NZURI-ZA-MAHABA, soma zaidi 24 May 2019 08:16, 24 May 2019 08:16 ago; masomo-ya-misa,: MASOMO YA MISA, MEI 25, 2019: JUMAMOSI, JUMA LA 5 LA PASAKA, soma zaidi 19 Mar 2018 06:35, 19 Mar 2018 06:35 ago; sms,: Meseji ya kumwambia mpenzi wako asiwaze hata siku moja kuwa unawea kumuacha, soma zaidi 12 May 2018 16:08, 12 May 2018 16:08 ago; featured-jokes,: Most-amazing-posts-for-today, soma zaidi 18 Sep 2016 03:48, 18 Sep 2016 03:48 ago; vichekesho-bomba,: VICHEKESHO-ORIGINALI, soma zaidi 12 May 2018 18:24, 12 May 2018 18:24 ago; featured-jokes,: Latest-posts-for-you, soma zaidi 19 Feb 2017 09:37, 19 Feb 2017 09:37 ago; dini,: Ishi kama Penseli ili uwe mtu bora, soma zaidi 12 Jun 2018 05:10, 12 Jun 2018 05:10 ago; jokes,: Why do Marxists like fruit infusions?, soma zaidi 22 Jan 2017 12:36, 22 Jan 2017 12:36 ago; videos-kali,: VIDEOS-FUPI-KALI, soma zaidi 08 Feb 2017 14:03, 08 Feb 2017 14:03 ago; videos,: Imani ya huyu dada imemponza kwa huyu mwanaume, soma zaidi 17 Apr 2018 11:32, 17 Apr 2018 11:32 ago; funny-pictures,: Really funny pictures to makes you happy, soma zaidi 23 Jul 2016 03:51, 23 Jul 2016 03:51 ago; vichekesho,: Misemo ya kina dada, soma zaidi 13 Dec 2018 03:45, 13 Dec 2018 03:45 ago; picha-bomba,: Haya ndiyo matokeo ya kukaa muda mrefu bila kupata ajira, soma zaidi 08 Oct 2016 13:17, 08 Oct 2016 13:17 ago; katekisimu,: Kwa ajili gani Mwana wa Mungu (Yesu) alijifanya mtu?, soma zaidi 10 Mar 2015 09:21, 10 Mar 2015 09:21 ago; vichekesho,: Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!, soma zaidi 12 May 2018 07:17, 12 May 2018 07:17 ago; featured-jokes,: Very-funny-short-posts, soma zaidi 17 Apr 2018 11:53, 17 Apr 2018 11:53 ago; funny-pictures,: Truly funny pictures for him, soma zaidi 10 Nov 2019 14:41, 10 Nov 2019 14:41 ago; masomo-ya-misa,: MASOMO YA MISA NOVEMBA 11, 2019 JUMATATU JUMA LA 32 LA MWAKA, soma zaidi 01 Mar 2018 04:29, 01 Mar 2018 04:29 ago; picha-bomba,: Duu! Jamaa kakalia moto akiwa uchi, soma zaidi 04 Sep 2017 04:49, 04 Sep 2017 04:49 ago; featured-katoliki,: Makala za kweli za Kikristu, soma zaidi 02 Mar 2015 12:08, 02 Mar 2015 12:08 ago; wiki,: Kwa nini Albino wanatengwa katika masuala ya mapenzi na wale watu ambao siyo Albino?, soma zaidi 07 Oct 2015 06:16, 07 Oct 2015 06:16 ago; mapishinalishe,: Jinsi ya kupika mkate wa sembe, soma zaidi 12 May 2018 16:29, 12 May 2018 16:29 ago; featured-jokes,: Worth-jokes-for-today, soma zaidi 30 Jan 2017 05:47, 30 Jan 2017 05:47 ago; videos,: Huyu jamaa chizi kweli, anapiga gwaride na punda na kondoo, soma zaidi 29 Oct 2016 13:28, 29 Oct 2016 13:28 ago; ads-sd,: Smiley Happy Buny, soma zaidi 17 Apr 2018 12:01, 17 Apr 2018 12:01 ago; funny-pictures,: Categorically funny pictures of a week, soma zaidi 08 Jun 2019 16:40, 08 Jun 2019 16:40 ago; methali-na-vitendawili,: Afadhali kujaza maji kuliko kuunguza, soma zaidi 17 Feb 2017 05:31, 17 Feb 2017 05:31 ago; featured-videos,: Videos bomba za kuburudisha mwaka huu, soma zaidi 31 Dec 2018 15:24, 31 Dec 2018 15:24 ago; deleted,: Mwaka Mpya huoooo! Mtakie yule Umpendaye Heri ya Mwaka MPya hapa, soma zaidi 16 Feb 2017 13:21, 16 Feb 2017 13:21 ago; featured-videos,: Wiki hii Pata burudani mubashara na videos, soma zaidi 18 Apr 2018 04:43, 18 Apr 2018 04:43 ago; funny-pictures,: Really entertaining pictures for funny, soma zaidi 30 Apr 2018 13:19, 30 Apr 2018 13:19 ago; jokes,: What’s a frog’s favorite game?, soma zaidi 08 Jun 2019 15:46, 08 Jun 2019 15:46 ago; methali-na-vitendawili,: Blanketi la babu lina chawa, soma zaidi 13 Mar 2016 20:08, 13 Mar 2016 20:08 ago; mahusiano,: Dada zangu huu ni mwaka wa mabadiliko, soma zaidi 03 Jul 2017 06:36, 03 Jul 2017 06:36 ago; top-cotent,: Kuzima hasira, soma zaidi 19 Aug 2017 15:49, 19 Aug 2017 15:49 ago; featured-katoliki,: Dondoo za sasa za dini Katoliki, soma zaidi 12 May 2018 17:54, 12 May 2018 17:54 ago; featured-jokes,: Hot-posts-for-all, soma zaidi 20 Aug 2017 06:48, 20 Aug 2017 06:48 ago; katoliki-f,: MAONI-YA-DINI-YA-WAKRISTO, soma zaidi 21 Jan 2017 15:08, 21 Jan 2017 15:08 ago; videos-kali,: VIDEOS-MTANDAONI, soma zaidi
2019-11-17T00:32:35
http://www.ackyshine.com/system:page-tags/tag/enterprising
[ -1 ]
MUME WA MTU ATIWA MBARONI KWENYE DANGURO - LEWIS MBONDE BLOG MUME WA MTU ATIWA MBARONI KWENYE DANGURO Lewis Mbonde Sunday, August 28, 2016 0 MATUKIO Njemba huyo akisihi kuachiwa baada ya sakata hilo. NI aibu iliyoje! Mwanaume mmoja ambaye anadaiwa kuwa ni mume wa mtu, amekutwa ndani ya danguro moja lililopo Sinza ya Mapambano jijini Dar ikiwa ni mazingira ya kutatanisha. Ishu hiyo ilijiri usiku wa manane wa Ijumaa kuelekea Jumamosi ya wiki iliyopita. Awali, Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers ilipokea taarifa kutoka kwa vyanzo vyake kuwa ndani ya danguro hilo, ameingia mwanaume huyo aliyeonekana kuwa na heshima zake na kwa vile inaeleweka vitu vinavyoendelea, vyanzo vilikuwa na wasiwasi naye!Bila kupoteza muda, kikosi kazi cha OFM kilifuatilia eneo hilo na kufanikiwa kuingia ndani ya danguro hilo ambako walimkuta jamaa huyo akiwa anazungumza na wasichana watatu ingawa haikueleweka mara moja walikuwa wakizungumzia nini. Mmoja wa changudoa hao akikurupushwa kutoka kwenye danguro hilo. Baada ya kuwaona makamanda wa OFM, waliacha mazungumzo yao na kuwatumbulia, lakini walipoanza kupigwa picha, ukaibuka mzozo mpya baina ya watu hao wakisaidiwa na walinzi wanaolinda danguro hilo, dhidi ya waandishi. Posted by Lewis Mbonde at Sunday, August 28, 2016
2018-02-25T11:57:52
http://habarikablog.blogspot.com/2016/08/mume-wa-mtu-atiwa-mbaroni-kwenye-danguro.html
[ -1 ]
HANDENI KWETU: Tiketi za kuwaona P-Square zaanza kuuzwa Uuzwaji wa tiketi za tamasha la kundi maarufu zaidi la muziki wa kizazi kipya barani Afrika, P-Square, umeanza kufanyika jijini Dar es salaam ambapo zitauzwa kwa awamu tatu kwa bei tatu tofauti. Akiongea na gazeti hili, Alex Galinoma, Afisa masoko wa kituo cha EATV, amesema baada ya tarehe 17 tiketi zitapanda bei na kuuzwa shilingi 35,000 ambapo safari hii zitakuwa zikiuzwa kwenye maduka mbali mbali jijini Dar es salaam ambayo yatatangazwa. "Bei hii itaendelea mpaka mchana wa siku wa tamasha ambapo sasa, ukienda eneo la tamasha(Leaders Club) kununua tiketi mlangoni zitakuwa zikiuzwa shilingi 50,000, alifafanua Galinoma. Mara ya mwisho kundi hilo lilipokuja jijini Dar, walikuja kwenye tamasha liloandaliwa na kituo cha EATV, tamasha hilo lilipewa jina la kibao chao kilichokuwa kikitamba wakati huo "Do Me". Katika tamasha hilo lililofanyika Agost 31, mwaka 2008, katika viwanja vya Leaders Club, kiingilio kilikuwa ni 20,000 ambapo walifanya onyesho la dakika 45 huku wakitumia mtindo wa Playback. Kwa mujibu wa Galinoma, safari hii wanamuziki hao watakuja na bendi nzima na watatumia mtindo wa ala na watakuwa jukwaani kwa masaa mawili bila kupumzika. Galinoma alisema tamasha hilo la P-Square litaanza rasmi kuanzia saa moja jioni mpaka saa 7 usiku, ili kuwapa mashabiki muda wa kupumzika na kuendelea na mambo mengine. Milango ya Leaders club itakuwa wazi kuanzia saa 12 jioni na mashabiki wataweza kuingia. Washabiki wanashauriwa kufika mapema Leaders club kwa sababu kutakuwa na ukaguzi wa kutosha na ulinzi mkubwa kwenye tamasha hili. Mwandishi Kambi Mbwana SAA 11:28 AM
2017-10-18T02:10:25
http://handenikwetu.blogspot.com/2013/11/tiketi-za-kuwaona-p-square-zaanza-kuuzwa.html
[ -1 ]
Viwango vya ubadilishaji wa canada Katika - 2019 Viwango vya ubadilishaji wa canada 2019-10 2019-03-10 08:16:52 Kusubiri kwa ubadilishaji wa Bitcoins zako mpaka kiwango cha ubadilishaji kinachofanana kinatokea. Ubadilishaji wa Fedha za Kigeni. 020 WA Vifuatavyo ni viwango vya kubadilisha fedha za kigeni vinavyotumika tarehe 30 Januari,. canada Uanzishwaji wa Viwango vya Afrika Mashariki umechochewa na haja ya kusawazisha masuala yanayodhibiti ubora wa bidhaa na huduma katika ukanda wa. Viwango vya ubadilishaji wa canada. Viwango vya kubadilishana huongezeka na kuanguka kwa wakati. Mwongozo wa Mpango na Bajeti umeandaliwa kwa mujibu wa Kifungu Na. Kama uko katika maeneo ambako usajili wa wafanyabiashara unaruhusiwa, unaweza kuuza programu zako canada katika sarafu mbalimbali ukitumia Play Console. The civil society leaders were convinced that high standards of practice and performance could enable CSOs achieve greater relevance, recognition, and results, and. Kwa mfano, kiwango cha ubadilishaji inaweza kukuwezesha biashara 1 # # kwa Dollar ya Canada $ kwa siku moja. 21 canada cha Sheria ya Bajeti Na. Viwango vya ubadilishaji wa canada. 11 ya Mwaka na Kanuni zake. Canada imezindua uchunguzi wa hali ya juu dhidi ya ongezeko la viwango vya juu vya mauaji na kupotea kwa wanawake na wasichana wenye asili ya nchi hiyo, suala ambalo limevuta hisia za mataifa. 8 Kipindi cha ubadilishaji Kipindi kati ya uanzishwaji wa kilimo- hai na wakati mazao na bidhaa zitokanazo na wanyama hupata sifa za kuwa bidhaa/ mazao ya kilimo- hai. History of Viwango Kenyan CSOs realized that there was a need to inspire and nurture a culture of continuous improvement to deliver superior value to the relevant constituencies. VIWANGO VYA KUBADILISHA FEDHA VYA SARAFU ZILIZOAINISHWA KATIKA WARAKA NA. Mfano sauti [ p] na [ canada t], [ f] na [ k] katika lugha ya Kijerumani. Temu, PhD, Registered Dietitian, Golden Life Management, Canada. Tafadhali zingatia kuwa Viwango vya kuuza ni kwa ajili ya Maduhuli wakati Viwango vya Kununua ni kwa ajili ya Mahuruji. Ukiwasilisha programu yako mahali panapotumia sarafu ya nchi hiyo, wateja wa Google Play wataona programu inayouzwa katika canada sarafu hiyo. iii UTANGULIZI 1. Fedha za kigeni zinazonunuliwa na kuuzwa: USD/ GBP/ EURO/ ZAR Kiwango cha juu cha benki: Dola za Kimarekani 5, 000. Mfumo na maelezo ya kina ya mpango wa kimataifa viwango wa viwango vya chakula kwa wenye matatizo ya kumeza ( IDDSI) Imetafsiriwa na kikundi cha watanzania wanaojishughulisha na taaluma ya lishe: Alice G. Wiki moja baadaye, kiwango cha ubadilishaji inaweza kuwa $ 10, 000 kwa $ 1. Kwa maana kwamba ukinzani wao si wa kupishana kwa viwango vya sifa ile ile. iii Ukinzani wa kisawa, ukinzani wa memba wa kundi moja ni sawa na ukinzani baina ya kundi jingine. Pamba ya biashara ya binti jogja - Biashara ya juu ya siku 50
2019-10-16T20:49:00
https://natur-motor.com/2019-03-10-081652/6b809d2c9fe1f-viwango-vya-ubadilishaji-wa-canada-2019-03-10-081652/
[ -1 ]
RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AFUNGUA MKUTANO WA BUNGE LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI - SUFIANIMAFOTO Home BUNGE RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AFUNGUA MKUTANO WA BUNGE LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN AFUNGUA MKUTANO WA BUNGE LA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI Muhidin Sufiani Tuesday, October 11, 2016 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na na Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki Daniel F.Kigeda mara alipowasili katika ufunguzi wa Mkutano wa Pili wa kikao cha tano cha Bunge la tatu la Afrika Mashariki leo katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Wilaya ya Magharibi "B"Unguja,(katikati) Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe,Zubeir ali Maulid. Picha na Ikulu. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake katika ufunguzi wa Mkutano wa Pili wa kikao cha tano cha Bunge la tatu la Afrika Mashariki uliofanyika leo katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Wilaya ya Magharibi "B"Unguja Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto mbele) Spika wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki Daniel F.Kigeda(katikati mbele) Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif AliIddi (kulia mbele) na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe,Zubeir Ali Maulid,wakisimama pamoja na Wabunge wa Bunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki,wimbo wa Taifa nchi za Jumuiya ukipigwa baada ya kumalizika ufunguzi wa Mkutano wa Pili wa kikao cha tano cha Bunge la tatu la Afrika Mashariki leo katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Wilaya ya Magharibi "B"Unguja Baadhi ya Wabunge wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein wakati alipokuwa akitoa hutuba yake katika ufunguzi wa Mkutano wa Pili wa kikao cha tano cha Bunge la tatu la Afrika Mashariki uliofanyika leo katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Wilaya ya Magharibi "B"Unguja Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mbunge Shrose Bhanji mara baada ya ufunguzi wa Mkutano wa Pili wa kikao cha tano cha Bunge la tatu la Afrika Mashariki uliofanyika leo katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Wilaya ya Magharibi "B"Unguja Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Wabunge mbali mbali wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki mara baada ya ufunguzi wa Mkutano wa Pili wa kikao cha tano cha Bunge la tatu la Afrika Mashariki uliofanyika leo katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Wilaya ya Magharibi "B"Unguja
2018-06-22T11:17:14
http://www.sufianimafoto.com/2016/10/rais-wa-zanzibar-dkt-shein-afungua.html
[ -1 ]
KIGOMA WAPONGEZWA KWA UBUNIFU WA KUSAFIRISHA WAOMBA HIFADHI YA UKIMBIZI KUTOKA BURUNDI WANAOINGIA NCHINI | BUKOBA WADAU KIGOMA WAPONGEZWA KWA UBUNIFU WA KUSAFIRISHA WAOMBA HIFADHI YA UKIMBIZI KUTOKA BURUNDI WANAOINGIA NCHINI Mkuu wa mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya (mwenye koti) akipata maelezo ya njia ya kutembea kwa miguu kutoka Kagunga hadi Mkigo kutoka kwa mkazi wa kijiji hicho, Mahmud Ahmad wakati alipokagua njia hiyo ili itumike kuwasafirisha waomba hifadhi ya ukimbizi wa Burundi, tarehe 17 Mei, 2015, (mwenye Kaunda suti ) ni Mkurugenzi Idara ya uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Brig.Jen, Mbazi Msuya Mkuu wa mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya (mwenye koti) akiwa katika kijiji cha Kilemba kwa ajili ya kuwapokea waomba hifadhi ya ukimbizi wa Burundi waliokuwa wanasafirishwa kwa kutembea kwa miguu kutoka kijiji cha kagunga hadi kijijini hapo ili wapelekwe kambini (mwenye Kaunda suti ) ni Mkurugenzi Idara ya uratibu maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Brig.Jen, Mbazi Msuya, Mkuu wa Kikosi cha Jeshi la Wananchi 24 KJ Kigoma, Luteni Kanali Donald Msengi (katikati) na Kaimu Katibu tawala wa mkoa wa Kigoma, Salvatory Shauri tarehe 17 Mei, 2015. Mkuu wa mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu Issa Machibya akiongea na vijana ambao ni waomba hifadhi ya ukimbizi kutoka Burundi mara baada ya kuwapokea vijana hao walipofika kijijini Kilemba ili wapelekwe kambini baada ya kusafirishwa kwa kutembea kwa miguu kutoka kijiji cha kagunga tarehe 17 Mei, 2015. Baadhi ya vijana takribani 36 ambao ni waomba hifadhi ya ukimbizi kutoka Burundi wakiwa wamepunzika kijiini Kilemba kabla ya kusafirishwa na basi kwenda kwenye kambini mara baada ya kusafirishwa kwa kutembea kwa miguu kutoka kijiji cha kagunga tarehe 17 Mei, 2015. Mkurugenzi Idara ya uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Brig.Jen, Mbazi Msuya akiongea na mwakilishi wa Shirika la Kimataifa la kusafirisha wakimbizi, Son Ha Dinh, mara baada ya kuwasafirisha vijana takribani 36 ambao ni waomba hifadhi ya ukimbizi kutoka Burundi kutoka kijiji cha kagunga, tarehe 17 Mei, 2015. Idara ya Uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu imeupongeza mkoa wa Kigoma kwa kushirikiana na mashirika ya kimataifa yanayowahudumia wakimbizi kwa ubunifu wanaoufanya wa kusafirisha waomba hifadhi ya ukimbizi kutoka Burundi. Kutokana na zoezi linaloendelea mjini Kigoma la upokeaji waomba hifadhi hao, tayari waomba hifadhi wapatao elfu 90 wameandikishwa kuingia nchini kupitia kijiji jirani na Burundi cha Kagunga. Hadi tarehe 15, Mei tayari waomba hifadhi wapatao elfu 21 walikuwa wamesafirishwa kwa meli hadi Kigoma mjini na baadae kusafirishwa kwa basi hadi katika kambi ya Nyarugusu wilayani Kasulu. Kutoka kijijini Kagunga hadi Kigoma mjini usafiri unaoaminika ni usafiri wa majini. Meli ya Mv. Liemba ambayo hutumika kubeba abiria inaouwezo wa kubeba abiria wapatao 600. Mkoa wa Kigoma kwa kushirikiana na mashirika ya Kimataifa wameweza kutumia meli ya kukodi ya Mv. Malagarasi kwa ajili ya kubeba abiria yenye uwezo wa kubeba abiria wapatao 300. Aidha, kwa kuzingatia idadi kuwa kubwa ya waomba hifadhi dhidi ya vyombo vya usafri salama vya majini vinavyotumika, tayari njia nyingine imebuniwa ya kutumia njia ya kutembea umbali wa km 10 kwa vijana wenye nguvu , kutoka kagunga hadi Kilemba ambapo husafirishwa na mabasi hadi katika kambi ya Nyarugusu wilayani Kasulu. Mkurugenzi Idara ya Uratibu wa Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu, Brigedia Jenerali Mbazi Msuya akiongea hivi karibuni mara baada ya kuwatembelea waomba hifadhi hao waliopo kijijini Kagunga na kushiriki zoezi la kuwapokea waomba hifadhi hao mjini Kigoma wapatao 600 waliowasili kwa meli ya Mv. Liemba na kuwapokea wengine kijijini Kilemba wapatao vijana 36 waliosafirishwa kwa kutembea kwa miguu kutoka Kagunga, alisema kuwa kutokana na idadi ya watu waliopo kijijini hapo na vyombo salama vya usafiri wa majini vilivyomo mkoani humo ubunifu wa namna ya kuwasafirisha waomba hifadhi hao hadi kambini ni vyema ukapongezwa. “Takwimu za uhamiaji za Kagunga zinaonesha kuwa hadi hivi sasa wapatao watu elfu 90 wamejiandikisha kuingia nchini kupitia mpaka uliopo hapa kagunga na kati ya watu hao watoto ni wapatao elfu 75 , ile hali kwa mujibu wa mtendaji wa kijiji hiki kuna wakazi wapatao elfu 17, kwa mantiki hii idadi hii ya watu ni kubwa ukilinganisha na uwezo wa kijiji hivyo ubunifu wa kutumia njia ya kusafirisha vijana wenye nguvu kutembea mwendo wa km 10, hadi Kilemba utapunguza idadi ya watu waliopo hapa na hatimaye tutakuwa nauwezekano mkubwa wa kuepuka magonjwa ya mlipuko kijijini hapo” alisema Msuya Aliongeza kuwa palipo na watu wengi yakilipuka magonjwa ya mlipuko ni maafa makubwa. Hivyo idara ya uratibu wa maafa nchini inaupongeza uongozi wa mkoa wa Kigoma unavyofanya zoezi hilo kwa kushirikiana na serikali ya kijiji cha kagunga , halmashauri za wilaya pamoja na mashirika ya kimataifa yanayowahudumia wakimbizi na Taasisi za kitaifa zinazowahudumia wakimbizi kwa kuwapokea waomba hifadhi hawa kwa kuhakikisha wanakuwa salama. Vilevile alifafanua kuwa lengo ni kuepusha maafa kwa waomba hifadhi na jamii ya kitanzania hivyo tayari wameshajadiliana na uongozi wa mkoa juu ya njia nyingine mbadala za kuharakisha usafiriishaji wa waomba hifadhi hao ambapo kwa kuwa njia hizo zinashirikisha wadau tofauti wenye mamlaka mbalimbali baada ya kuwafikishia mawazo hayo njia hizo zitaanza kutekelezwa mara moja ili kuepusha maafa yanayo weza kutokana na idadi kubwa ya watu waliopo Kagunga. Awali, akiongea mara baada ya kuwapokea vijana wapatao 36 ambao ni waomba hifadhi ya ukimbizi waliotembea kwa miguu umbali wa km 10 kutoka kijijini Kagunga hadi kijijini Kilemba Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kanali Mstaafu, Issa Machibya aliwataka waomba hifadhi ya ukimbizi kutoka Burundi hao kutii na kufuata sheria na kanuni wanazo elezwa na uongozi husika pindi wanapokuwa katika kambi watakazo hifadhiwa hapa nchini. Posted by Bukobawadau at 2:45 AM
2018-01-21T18:34:02
http://www.bukoba-wadau.com/2015/05/kigoma-wapongezwa-kwa-ubunifu-wa.html
[ -1 ]
MICHUZI BLOG: TAZAMA MAPOKEZI YA MIILI YA MASHUJAA WETU,WANAJESHI 14 WA JWTZ WALIOUWAWA CONGO '; if(img.length>=1) { imgtag = ' TAZAMA MAPOKEZI YA MIILI YA MASHUJAA WETU,WANAJESHI 14 WA JWTZ WALIOUWAWA CONGO Monday, December 11, 2017 ~ Copyright: Michuzi Blog MICHUZI TV ~ Mtumie Rafiki Yako , Maoni: 0
2018-07-18T07:04:29
https://issamichuzi.blogspot.com/2017/12/tazama-mapokezi-ya-miili-ya-mashujaa.html
[ -1 ]
Uhai wetu na madereva vichaa | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Uhai wetu na madereva vichaa Discussion in 'Habari na Hoja mchanganyiko' started by tz1, Nov 20, 2011. Hapo ni maeneo ya iyovi Dar -Mby Rd. Hapo wanaovataki kwa pamoja yakipanda mlima. Je likitokea lori lina shuka mlima itakuwaje? Hata kwa mujibu wa Aalama za Barabarani zilizopo hapo chini ni kwamba eneo hilo haliruhusiwi gari moja kulipita jingine Michoro hiyo chini inapiga MARUFUKU. tz1 said: View attachment 41701 Je likitokea lori lina shuka mlima itakuwaje?Click to expand... kwa kweli hapo panaudhi sana................. nadhani nikiwa hakimu mkaniletea kesi ya uzembe kama huu na uliosababisha ajali ama na kifo kabisa na ushahidi wa picha kama huu, asee nakwambia nitakula shingo ya mtu.................. yeah, madereva wazembe wanaua wengine kwa bangi zao kwa nini wao kitanzi kisiwatembelee???.................... aaaagrr................ Hapo kuna abiria zaidi ya 270,ajali ikitokea ni jangaa kubwa sana Madereva wa mabasi ni tatizo kubwa sana........ajali karibia zote zinatokana na ukichaa kama huu! Kuna hiyo tanker mbele, likija gari na kukumbana nalo, kuna hatari ya moto mkubwa kufunika magari yote hayo. Kuna anayeweza kulitambua hilo basi la kijani linalofuatia tanker kwa nyuma? Hii picha inafaa kusambazawa pia kwenye magazeti ili wananchi wajionee wenyewe jinsi maisha yao yanavyowekwa hatarini. Hiyo mistari tu hapo chini hairuhusu overtaking...nyambaf sana hawa madereva Sijui ni bangi au ni laana.Maana inaonekana hawana uoga wamaisha ya watu na yao wenyewe Kuna hiyo tanker mbele, likija gari na kukumbana nalo, kuna hatari ya moto mkubwa kufunika magari yote hayo. Kuna anayeweza kulitambua hilo basi la kijani linalofuatia tanker kwa nyuma? Hii picha inafaa kusambazawa pia kwenye magazeti ili wananchi wajionee wenyewe jinsi maisha yao yanavyowekwa hatarini.Click to expand... Bus hilo lililo nyuma ya lori ni 'green star', hawa huwa walau wanaustaarabu na hawakurupuki barabarani. Nimesafiri nalo mara 3 kwenda/kurudi Mbeya. Bus hilo lililo nyuma ya lori ni 'green star', hawa huwa walau wanaustaarabu na hawakurupuki barabarani. Nimesafiri nalo mara 3 kwenda/kurudi Mbeya.Click to expand... Mkuu hiyo c "green star" ni NGANGA EXPRESS, angalia vzuri utaona Scania hiyo. Green star wana mabasi Yutong ya kichina, kuhusu ustaarabu ni kweli wanao kiduchu! Hapa palipofika ni abiria kuchukua sheria mikononi mwao na kuanza kucharaza bakora madereva woote ili hizo bangi zao ziwatoke vichwani. Haiwezekani wapuuzi hawa wawe na uhuru wa kuhatarisha maisha na mbaya zaidi kukatisha uhai wa binadamu wasio na hatia..
2016-12-10T03:25:33
http://www.jamiiforums.com/threads/uhai-wetu-na-madereva-vichaa.194923/
[ -1 ]
WAZIRI MEMBE AUTEKA MSIBA WA MUFTI SIMBA,TIZAMA ALIVYOSHIRIKI WANANCHI WAKIMSHANGILIA - HABARI24 Home / Uncategories / WAZIRI MEMBE AUTEKA MSIBA WA MUFTI SIMBA,TIZAMA ALIVYOSHIRIKI WANANCHI WAKIMSHANGILIA WAZIRI MEMBE AUTEKA MSIBA WA MUFTI SIMBA,TIZAMA ALIVYOSHIRIKI WANANCHI WAKIMSHANGILIA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akiweka udongo kwenye kaburi la marehemu Mufti mkuu Issa Shaban Bin Simba wakati wa mazishi yaliyofanyika katika makaburi ya Nguzo Nane mjini humo Juni 16.2015. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akitoa neno kwa umati wa waombolezaji katika msiba wa Mufti mkuu Issa Shaban Bin Simba nyumbani katika Mtaa wa Majengo mjini Shinyanga, baada ya mazishi yaliyofanyika katika makaburi ya Nguzo Nane mjini humo Juni 16.2015. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akisindikizwa na Askofu Liberatus Sangu baada ya kumaliza mazishi ya marehemu Mufti mkuu Issa Shaban Bin Simba nyumbani katika Mtaa wa Majengo mjini Shinyanga Juni 16.2015. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akisalimiana na wananchi baada ya weka udongo kwenye kaburi la marehemu Mufti mkuu Issa Shaban Bin Simba wakati wa mazishi yaliyofanyika katika makaburi ya Nguzo Nane mjini humo Juni 16.2015. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akijadiliana jambo na Askofu Liberatus Sangu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Shinyanga baada ya kumaliza mazishi ya marehemu Mufti mkuu Issa Shaban Bin Simba nyumbani katika Mtaa wa Majengo mjini Shinyanga Juni 16.2015. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kushoto), akijadiliana jambo na Waziri Mkuu mstaafu Frederick Sumaye walipiokutana baada ya kumaliza mazishi ya marehemu Mufti mkuu Issa Shaban Bin Simba nyumbani katika Mtaa wa Majengo mjini Shinyanga Juni 16.2015. WAZIRI MEMBE AUTEKA MSIBA WA MUFTI SIMBA,TIZAMA ALIVYOSHIRIKI WANANCHI WAKIMSHANGILIA Reviewed by HABARI24 TV on 1:35:00 PM Rating: 5
2017-08-18T12:48:35
http://habari24.blogspot.com/2015/06/waziri-membe-auteka-msiba-wa-mufti.html
[ -1 ]
swahilivilla: Korea Kaskazini: Tuko tayari kupigana vita na Marekani wakati wowote Korea Kaskazini: Tuko tayari kupigana vita na Marekani wakati wowote Korea Kaskazini imetangaza kuwa iko tayari kwa ajili ya vita baada ya Marekani kutuma idadi kubwa ya meli zake za kivita katika Peninsula ya Korea. Katika taarifa ya yake ya kwanza baada ya manowari za kivita za Marekani kuwasili eneo hilo, Korea Kaskazini imelaani vikali chokochoko hizo za Washington na kusema itajilinda kwa silaha zenye nguvu. Siku ya Jumamosi, meli kadhaa za kivita zilielekea magharibi mwa Bahari ya Pasifiki karibu na Peninsula ya Korea huku kukiwa na wasiwasi wa kuzuka vita vya nyuklia katika eneo hilo. Shirika rasmi la habari la Korea Kaskazini KCNA limemnukuu msemaji wa wizara ya mambo ya nje wa nchi hiyo akisema kuwa: "Tutachukua hatua kali sana kukabiliana na wachokozi." Jaribio la kombora la Korea Kaskazini Marekani inatumia kisingizio cha majaribio ya makombora ya balistiki ya Korea Kaskazini kutuma manowari zake katika eneo hilo. Lakini wakuu wa Korea Kaskazini wamesema wanafanya majaribio hayo ya makombora yenye uwezo wa kubeba silaha za nyuklia kwa sababu hasimu wake wa jadi, Korea Kusini anashirikiana kijeshi na Markeani. Kwa msingi huo wakuu wa Marekani imechangia kuenea hali ya wasi wasi katika Peninsula ya Korea kwani ina wanajeshi 28,000 Korea Kusini. Korea mbili ziko katika hali ya vita visivyo rasmi baada ya vita vya nchi hizo mbili vya 1950-1953 kumalizika pasina kuwepo mapatano ya amani. Labels: Korea Kaskazini: Tuko tayari kupigana vita na Marekani wakati wowote
2018-12-15T17:06:59
http://swahilivilla.blogspot.com/2017/04/korea-kaskazini-tuko-tayari-kupigana.html
[ -1 ]
Karibu PR Promotion Blog: USAFI WA OFISI NI MUHIMU KILA ASUBUHI. KIJANA WA SKY INTANETI AKIWAJIBIKA USAFI WA OFISI NI MUHIMU KILA ASUBUHI. KIJANA WA SKY INTANETI AKIWAJIBIKA Kijana Rojasi J. aka Jerry Muro akijituma mida ambayo Anko Patty akiingia katika nyu7mba hii ya Mtandao kuwekavitu. Kwakweli Sky Intaneti huduma zao ni Fastafasta napia wanapamba na kupika katika Maharusi na nk.Sikwamba nawafagiria ila nawafaham.Sim zao ni 0714032241 g April 1, 2012 at 6:01 PM
2017-12-15T16:04:51
http://prhabari.blogspot.com/2010/05/usafi-wa-ofisi-ni-muhimu-kila-asubuhi.html
[ -1 ]
018 Maneno Ya Mungu Ni Ukweli Usiobadilika Milele Zingatia Majaliwa ya Binadamu Mungu Ameleta Utukufu Wake Mashariki Jinsi Upendo wa Mungu kwa Mwanadamu Ulivyo Muhimu Maonyesho Kamili ya Mamlaka ya Muumba Watu Wote Wanaishi Katika Mwanga wa Mungu Unapaswa Kupokeaje Kurudi kwa Kristo wa Siku za Mwisho? Kusudi la Kazi ya Usimamizi ya Mungu ni Kumwokoa Binadamu Mungu Hutumaini Mtu Anaweza Kumjua na Kumwelewa Kwa Kuwa Mungu Anamwokoa Mwanadamu, Atamwokoa Kabisa Matendo ya Mungu Yanajaza Ulimwengu Mzima Tupu Jinsi Mungu Anavyotawala Vitu Vyote Upendo Safi Bila Dosari Mamlaka na Nguvu za Mungu Vyafunuliwa katika Mwili Kiini cha Kristo Ni Mungu Kusudi la Kazi ya Mungu la Usimamizi Umuhimu wa Mungu Kumsimamia Binadamu Maneno Ya Mungu Ni Ukweli Usiobadilika Milele Unapoufungua Moyo Wako kwa Mungu Mungu Anapata Mwili ili tu Kumshinda Shetani na Kuwaokoa Binadamu Jinsi ya Kutafuta Nyayo za Mungu Kazi ya Mungu Inaendelea Kuboreshwa Tabia ya Haki ya Mungu ni ya Pekee Mungu Anashuka na Hukumu Ni kwa Kufanya Kazi Katika Mwili Pekee Ndiyo Mungu Anaweza Kumpata Binadamu Umuhumi wa Maombi Viumbe Wote Lazima Waje Chini ya Utawala wa Mungu Ni Wakati tu Ambapo Mungu Anakuwa Mwili Ndipo Mwanadamu Anaweza Kuwa Mwandani Wake Toa Akili na Mwili ili Kutimiza Agizo la Mungu
2019-02-18T14:39:23
https://sw.godfootsteps.org/mood-lighthearted/God-s-words-are-unchanging-truth.html
[ -1 ]
Kilichosababisha Hakimu kuahirisha kutoa Hukumu kesi ya Mbunge wa CHADEMA – Millardayo.com ← Previous Story Sababu za washiriki wa Miss Burundi kususia fainali ya shindano hilo Next Story → Raia wa Marekani afikishwa Mahakamani Kisutu kwa kusafirisha Dawa za Kulevya
2019-04-26T14:10:23
http://millardayo.com/mhghh-2/
[ -1 ]
ANTOINE GRIEZMANN AINGIA RADA ZA BAYERN MUNICH | saluti5 Home » SOKA » ANTOINE GRIEZMANN AINGIA RADA ZA BAYERN MUNICH ANTOINE GRIEZMANN AINGIA RADA ZA BAYERN MUNICH KLABU ya Bayern Munich imemweka katika orodha ya usajili ujao Antoine Griezmann. Lengo la kufanya hivyo ni mkakati wa vigogo hao wa Bundesliga wanaotaka kuwa na kikosi kipana cha kupambana kwa ajili ya kusaka mataji zaidi. Katika kuhakikisha hilo linafanikiwa, Bayern wameanzisha ushawishi kwa uongozi wa klabu yake ya sasa ya Atletico Madrid ili wakubali kuweka mezani kitita cha usajili ujao wa majira ya baridi mwezi Januari na ule wa kiangazi. Griezmann mwenye umri wa miaka 25, alikuwa katika kiwango bora katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya na huku akionyesha kiwango kizuri ndani ya Atletico Madrid. “Tunapambana kuona Griezmann anatua Bayern, ni mchezaji wa aina yake ambaye atakuwa na msaada ndani ya kikosi,” imekiri klabu ya Bayern Munich katika tovuti yao. Hata hivyo, Bayern wataingia katika upinzani wa baadhi ya timu zinazomwania nyota huyo, kwani Chelsea na Barcelona nazo zinapiga hesabu kali za kupata saini yake.
2017-10-23T06:09:54
http://www.saluti5.com/2017/02/antoine-griezmann-aingia-rada-za-bayern.html
[ -1 ]
Baada ya kususia hotuba ya JK sasa operesheni sangara ya ghafla kufanyika nchi nzima - JamiiForums Baada ya kususia hotuba ya JK sasa operesheni sangara ya ghafla kufanyika nchi nzima Baada ya kususia hotuba ya JK sasa operesheni sangara ya ghafla kufanyika nchi nzima.. Hii surprise na aksante kwa wananchi wa TZ... Watakaa kikao ili waweze kutueleza wananchi jinsi gani kura ziliibwa... Thats great, hasa ukizingatia kuwa WHATS GOES AROUND COMES AROUND.... CCM na CUF wasidhani kuwa yataisha hivihivi. 2,003 1,410 280 CUF has decided to be submisive naipenda CHADEMA, jamani naipenda sana, ni chama ambacho kinaendeshwa kisomi tupe ratiba mdau lini inaanza na wapi itakuwepo/itaanzia wapi Kilicho tufanya tushindwe uchaguzi ni kutokuwa na mtandao wa kutosha hasa vijijini , hilo ndilo viongozi wetu wanatakiwa kufanya. Sasa kama kutafanyika mikutano nchi nzima hiyo peke yake ni gharama kubwa, kwa nini hizo pesa zisitumike kujenga matawi vijijjini ?. Kwa mwendo wa hii mikutano tu tuna safari ndefu ya kuchukua hii nchi, THINKTWICE ! I beg to differ. Hatukushindwa uchaguzi. Tulishindwa kulinda ushindi wetu kwa sababu NEC inadhibitiwa na CCM. 10,941 230 160 Naomba isiwe nguvu ya soda. Harakati ziendelee mpaka kieleweke. Ilo la kuwa na mtandao nchi nzima unaokwenda mpaka kwenye kaya ni sawa, lakini utekelezaji wake unaweza kwenda sambamba na hiyo operation sangara mkuu ndiba hakuna nguvu ya soda hapo ni mwendo mwanzo hadi mwisho When did you join CHADEMA? It seems to me that the neutrality of JF is already gone. Wewe haya umepayapata wapi? Tupe source ya hii habari. Watu wengi waliojiunga na forum hii (sijasema wote) wakati wa kampeni za uchaguzi wanakuja na post za ajabu ajabu lengo ni kutuumiza vichwa tu. Sijui wako kwenye payroll ya mafisadi? nmh chadema ilishindwa japo c kwa kiasi hicho badala ya kuzunguka kueleza namna gani waliibiwa kura watumie fungu hilo kuwawezesha viongozi wao wa mikoa wakishirikiana na wabunge wa maeneo husika au mikoa jirani wapeleke ujumbe otherwiz ni kujitafutia mizunguko isiyo na tija Unataka source au unataka uone kitakachotokea... Kapige ramli tuu utaona nilipopata safi sana mkuuu,nakubaliana nawe Sas hivi Watanzania wengi sana wanataka mabadiliko. Wameshagundua usanii na ubinafsi unaofanywa na ccm hivyo jitihada zikiongezwa nina uhakika mafisadi watang'olewa kwa kishindo kikuu. Umoja na mshikamano ni muhimu zaidi. Cuf wameshajitoa kwenye mapambano sasa wamebaki askari wa ukweli. Comandoo mmoja wa chadema ni sawa na askari mia moja wa cuf. Duh! ama kweli Chadema wamepania.. lakini sijui kama CCM watakubali, na natanguliza tahadhari kwani huu ndio unaweza kuwa cheche za Mageuzi. kwa mwenye mtazamo wa ndani zaidi ni mwanachama wa haki bila kuutetea udhumaji lazima atatofautiana na wewe kama ninavyotofautiana hapa labda awe pandikizi la ccm ndani ya chadema japo siamini kama wwalio wengi wanaamini kama mimi ninavyoamini kuwa Chadema kwa kiasiki kikubwa kama si uchakachuaji 182 7 35 Elisekia, kama itakuwa ni kweli hii itasaidia sana kwani vyombo vyenyewe vya habari hasa tv wangeweza kurusha hewani, ingesaidia kuwafikia wengi pia. Lakini walivyo?! Ntaiunga mkono mia kwa mia wakienda kwa wanachi kwa mtindo huo wa kukutana nao ana kwa ana! Ndiyo gharama za demokrasia eti! Zakumi my friend, I just got back from Bongo. I have not officially joined CHADEMA. But I am a supporter. I volunteered as a wakala in the just finished election and I have learned a lot of things from the experience. Threads 1,236,597 Posts 29,263,496
2018-12-13T16:06:36
https://www.jamiiforums.com/threads/baada-ya-kususia-hotuba-ya-jk-sasa-operesheni-sangara-ya-ghafla-kufanyika-nchi-nzima.88602/
[ -1 ]
Sipendi Bush ampe "idea" JK! | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Sipendi Bush ampe "idea" JK! Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Mzee Mwanakijiji, Apr 14, 2008. Suala la Kenya, serikali yetu ilikuwa haina msimamo na haikuwa na nia ya kuingilia kati au hata kutoa tamko la kulaani uvunjwaji haki wa binadamu nchini mle kwa kile ambacho kilionekana kutokuingilia kati mambo ya nchi nyingine. Ndipo JK kama aliyepigwa funguo na akawa kama energizer bunny akaruka kwenda Nairobi na masaa machache ujumbe ukafika! Msimamo huo hata hivyo ulikoma masaa machache baada ya Ikulu ya Marekani kuzungumza na Ikulu yetu na kutoa "pendekezo" na ushauri kwa Rais wetu kupeleka ujumbe wa wazi kwa Kibaki kuhusu "fimbo na karoti"... Likaja suala la Zimbabwe ambapo serikali yetu haikutaka kujihusisha kabisa na kumuacha Rais wetu aendelee na misafara yake ya ki Vasco Da Gama hadi pale alipokuwa Uchina alipopata simu nyingine toka kwa Bush iliyomtaka (kama kiushauri wa kirafiki) afuatilie suala la Zimbabwe na Marekani iko nyuma yake. Zaidi ya yote wakaamua kufuta ziara ya Waziri Mkuu na kuona ni bora aje yeye mwenyewe ili "wazungumze". Kwa mara nyingine tena JK akakatisha ziara yake ndefu huko Ulaya na Asia na kugeuza ili kujiandaa kwenda US huko Makamu wake akienda kule UK na Scandinavia kuziba pengo na hivyo kwa mara ya kwanza kumuachia Pinda "kufanya vitu vyake" huku nyuma. Sasa kama Rais wetu hawezi au hataki kupima uzito wa mambo ya bara letu yeye mwenyewe na kuona umuhimu wa kuonesha uongozi basi ajiandae kuongozwa na wanoona uongozi! Sipendi kabisa Rais wetu asubiri simu na ahadi toka DC ili aweze kuamua nini cha kufanya next. Well, on the other hand yawezekana kuwa this is the best thing to happen to Kikwete kuwa angalau ana mtu/watu wa kumuongoza! Sasa Bush akiondoka itakuwaje? Well, on the other hand yawezekana kuwa this is the best thing to happen to Kikwete kuwa angalau ana mtu/watu wa kumuongoza! Sasa Bush akiondoka itakuwaje?Click to expand... Obama atachukua nafasi ya Bush Kama mambo ndivyo hivyo ulivyoyaelezea, na mwelekeo mkubwa ni kuwa ndivyo yalivyo, ninakubali moja kwa moja kwamba sisi Tanzania ni "Banana Republic per Excellence." Oooh, my dear country Tanzania, what an amazing transformation in just a few years! From a proud, independent minded, a bastion of liberation struggle to a puppet state? Sasa yametimia, tusubiri zamu yetu kuchafuana. Heshima mbele Mkuu, usiwe na shaka hata chembe,Mimi ninauhakika kabisa akitoka tu huyo Bush,basi JK ataendelea kupata "idea" hapa JF kama ilivyo siku zote anagalau kwa huo mwaka Mmoja ulio baki. Kuna ubaya gani kwa Rais wetu kupata mashauri kutoka kwa viongozi wengine? Naona mnataka kumfanya Rais ajifungie Ikulu tu na asizungumze na mtu yeyote, halafu akiboronga muwe wa kwanza kulaumu. Kuna simu na njia za mawasiliano ambazo ni rahisi na safe zaidi kuliko kuwa kiguu njia kila mara! Nchi masikini hiyo bi senti ina maana hulioni hili wewe?! Kuna simu na njia za mawasiliano ambazo ni rahisi na safe zaidi kuliko kuwa kiguu njia kila mara! Nchi masikini hiyo bi senti ina maana hulioni hili wewe?!Click to expand... Hanaliona sana hilo, ila hawa nao ndo walewale Kwani swala la kutetea haki ya kenya au zimbabwe nalo linaitaji JK mpaka kuambiwa sio? Kama kuna ukweli kuwa JK maswala kama haya anaitaji kuambiwa na yeye mwenyewe hawezi kuona umuhimu wake, basi hata haya ya ufisadi tukae tukiomba mungu Bush akimwambia labda anaweza kuyaangalia, lakini hivi hivi naona itakuwa ndoto, na ataendelea kula raha tu na kukata mitaa kama kawa labda tumuombe Bush amuambie JK awachukulie mafisadi hatua labda atafanya hivyo. Jamani hata ili nalo wanapinga, Kenya Raisi amekaa kimya mpaka wamekufa watu zaidi ya 1000 kitu ambacho angeweza kukemea mapema, ndo maana wakenya wamechora katuni inayomuonyesha akimwakilisha Bush kwao. Vilevile anasubiri na zimbabwe wafe kidogo halafu anakwenda kukemea. Sasa yametimia, tusubiri zamu yetu kuchafuana.Click to expand... hahahahahaaaa,kicheko cha uchungu. Ah kazi ipo. labda tumuombe Bush amuambie JK awachukulie mafisadi hatua labda atafanya hivyo.Click to expand... Inaoneka hilo ndilo linasubiriwa kufanyika! hatari tupu Inaoneka hilo ndilo linasubiriwa kufanyika! hatari tupuClick to expand... Kwani bila kuambiwa wanajishughulisha hawa jamaa, si wanajua watawadanganya tu watanzania, yaani yapo kama majitu fulani, lakini ukiyasikia yakijisifia utawara bora utasema hapa kweli tunao viongozi kumbe pumba tu, na wizi kibao. Huyu inaonekana anapelekwa sana tena sana na huyo Bush, ngoja aje kuweka ngome ya Jeshi lake Bongo na kuchimba Uranium ndo mtajua
2016-12-09T11:44:46
http://www.jamiiforums.com/threads/sipendi-bush-ampe-idea-jk.12012/
[ -1 ]
 Samsung: Jinsi itakavyokuwa simu ya mkunjo - TeknoKona Teknolojia Tanzania You are at:Home»Samsung»Samsung: Jinsi itakavyokuwa simu ya mkunjo Samsung: Jinsi itakavyokuwa simu ya mkunjo By Siyan on October 20, 2018 Samsung, simu, Teknolojia Mengi yamesemwa na kuandikwa kuhusiana na ujio wa simu ya mkunjo kutoka Samsung, hatimae wahusika wamedokeza namna itakavyokuwa. Kampuni hiyo imekuwa ikifanyia kazi wazo la utengenezaji wa simu ya aina hiyo kwa miaka kadhaa. Taarifa zaidi kuhusiana na simu hiyo itatolewa mwezi ujao kwenye mkutano wa mwaka wa wakuzaji wa bidhaa za Samsung 2018 (SDC 2018) utakaofanyika San Francisco, Marekani. Hata hivyo, simu hiyo inaweza isiwe tayari kutolewa sasa hadi mwaka ujao 2019. DJ Koh, rais na Kiongozi Mkuu Mtendaji wa Samsung kitengo cha simu za mkononi, ndiye aliyegusia baadhi ya dondoo kuhusiana na simu hiyo wakati wa tukio la uzinduzi wa buy propecia generic online Galaxy A9 jijini Kuala Lumpur. Simu hiyo itakuwa na muunganiko wa bidhaa mbili kwa pamoja ambazo ni tabiti na simu janja. Koh hakuthibitisha juu ya sifa mahsusi za kioo ingawa itawezekana kutumia follow simu hiyo kama tabiti wakati itakapofunguliwa au simu janja pindi ikikunjwa. Tabit/simu ya mkunjo ambayo inatazamiwa kutoka katika siku za usoni. Umbile la nje la simu hiyo litakuwa na uwezo wa kuficha skirini yote wakati simu hiyo inapofungwa. Na hata baada ya kufungwa simu itakuwa bado ina uwezo wa kutumika huku ikitumia kioo cha nje. Inaelezwa kuwa ukubwa wa simu hiyo utakuwa ni inchi 7.3 huku mfumo wake ukiwa ni wa OLED na pia skirini ya nje ikiwa ya vipimo vya inchi 4.6, mfumo wake wa kuonyesha picha ukiwa ni wa OLED. Angalizo limetolewa mapema kwamba simu hizo lazima ziwe na maana kwa wateja, kama watumiaji hawataridhika kwa kiwango kinachohitajika hawatatoa tena toleo la simu za mkkunjo.
2019-01-19T06:39:35
https://teknokona.com/itakavyokuwa-simu-ya-mkunjo/
[ -1 ]
Fmuser 4 1 katika H.264 / H.265 High Definition HD IPTV Streaming Encoder-FBE204-H.265-DTV Front Mwisho Equipment-Fmuser FM Transmitter Guangzhou, FM transmitter China Supplier nafasi:nyumbani >> bidhaa >> DTV Front Mwisho Vifaa FM Antenna uwezo mdogo Mwenye nguvu mtaalamu TX FM Receiver 15w 15w 30w 1.5w RF Transistor PCB Kit Analog TV TX Usambazaji wa umeme dipole antenna 1w 5w 300w 50w 25w 0.5w 0.2w 150w 7w 1kw 0.1w 3kw QAM 80w 500w 2kw 100w 350w miradi 600w 10kw 5kw 2w 200w 50mw FM amplifier 8w Power mita kudhibiti PC RF Connector Digital TV TX nguvu splitter usb fm transmitter RDS transmitter moduleta 700w dummy mzigo 2000w TV Antenna USB Transmitter gari antenna 1000w RF cable Audio cable bidhaa nyingine vifaa vya redio vifaa pcb Studio Link encoder TV Transmitter kituo cha Radio IRD Multiplexer transmitter mini transmitter MUX-Scrambler mixer redio TV FM Transmitter STL mtaalamu 1kw fm transmitter SET TOP BOX Fmuser 4 1 katika H.264 / H.265 High Definition HD IPTV Streaming Encoder-FBE204-H.265 Encoder, IPTV Encoder, H.265 Encoder, 4 1 katika Encoder uliopita:Fmuser 4 1 katika H.264 High Definition HD IPTV Streaming Encoder-FBE204-H.264 next:Fmuser 16 1 katika H.264 High Definition HD IPTV Streaming Encoder-FBE216-H.264 R: V20161125-17 12- Karatasi ya data Kutoa Maalum !! Bei kabla:1417USD sasa1417USD 1133USDkwa meli !!! Katika kufunga kubadilisha na ushindani mkubwa soko TV, waendeshaji na watoa huduma TV lazima kutoa upatikanaji wa bidhaa juu ya skrini wote, wakati wowote, mahali popote, wakati pia kupunguza utata na kuendesha gari ufanisi katika majukwaa yote. encoder 4IN1 Fmuser FBE204 ni iliyoundwa kushughulikia mahitaji ya kuongezeka kwa utoaji video na mtandao na vifaa simu. Fmuser FBE204 ni ushirikiano juu na gharama nafuu kubuni kufanya kifaa hiki sana kutumika katika aina ya mifumo ya digital usambazaji, kama vile ujenzi wa kitaaluma matangazo kiwango cha IPTV & OTT mfumo, ukarimu IPTV maombi, Remote HD mbalimbali dirisha mkutano wa video, Remote HD elimu na Remote HD matibabu, Streaming kuishi Broadcast nk 4IN1 Fmuser FBE204 H.264 /H.265 IPTV Streaming Encoder inasaidia 4 4 redio na HDMI ukusanyaji video na pembejeo wakati huo huo kwa chaguo. Unaweza kuchagua kutumia HDMI au 3.5mm Stereo kwa ajili ya mstari wa kusikiliza katika. 4IN1 Fmuser FBE204 IPTV Encoder inaweza kutoa mito H.264 / H.265 / encoding video na njia zaidi ya huru IP pato kwa watumishi mbalimbali kwa ajili ya IPTV & OTT maombi, kama vile Adobe Flash Server (FMS), Wowza Media Server, Windows Media Server , RED5, na baadhi ya watumishi wengine msingi UDP / RTSP / RTMP / HTTP / HLS / ONVIF itifaki. Bila shaka ni kuunga mkono VLC Decode. FBE204 ni sambamba na zaidi ya majukwaa Streaming, kuishi Broadcast On Huduma Streaming yoyote kama Wowza, FMS, Red5, Youtube Live, Facebook kuishi, Ustream, mtiririko wa, shtuko, Meridix, Streamspot, Dacast, Tikilive, Netrmedia ... Sisi pia kuwa matoleo SDI, 1way au 16 1 katika encoders katika mtaalamu 19 '3U Rack chassis, tafadhali jisikie huru kuwasiliana nasi kama unahitaji yao. Education Streaming Solutions.Streaming kwa darasani na beyond.Extend kufikia yako. Kujihusisha. Kufanya zaidi ya bajeti yako. --Video Pembejeo: 4 x HDMI 1.3a version (msaada HDCP itifaki, au 4 x SDI kwa chaguo) --Audio Pembejeo: 4 x 3.5mm Stereo Audio pembejeo * MKUU OPTION --Package Vipimo: 540mm (W) * 390mm (D) * 145mm (H) --Package Uzito: 4.8KG Nyuma Panel Illustration: 1pcs Fmuser FBE204 IPTV Streaming encoder 4 X HDMI katika 4pcs 3.5mm kwa RCA kike (LR)
2018-01-18T15:49:00
http://sw.fmuser.net/content/?1978.html
[ -1 ]
Mikataba kabla ya kufunga ndoa; Prenuptials TZ huwa ipo? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Mikataba kabla ya kufunga ndoa; Prenuptials TZ huwa ipo? Discussion in 'Jukwaa la Sheria (The Law Forum)' started by Futota, Jan 12, 2012. Hivi kwa bongo hii mikataba huwa ipo? kama ndio huwa inatumika katika kesi za kugawana mali wakati wa kuachana (divorce)? Kwa sababu kama mwanamke aliolewa na urithi wake wa let say, nyumba zenye hati, sasa akiachana na mumewe, halafu mumewe akataka wagawane na hizo mali zake pia. kesi kama hii mwanamke utafanya nini, maana sijawahi kusikia haya mambo ya prenuptial bongo. Ibara ya 58 ya sheria ya ndoa ya 1971 inasema ( 1 ) inaruhusu makubaliano binafsi kuhusu umiliki wa mali kwa wanandoa na pia inaainisha kuwa ndoa isikuzuie kuwa na chako binafsi. "Isipokuwa kama kuna makubaliono binafsi ambayo wana ndoa wamefanya basi ndoa isiwe sababu ya mke au mume kupoteza umiliki wa mali yake au kumzuia asimiliki au asishikilie mali kivyake, au kuuza mali yake." "Isipokuwa kama kuna makubaliono binafsi ambayo wana ndoa wamefanya basi ndoa isiwe sababu ya mke au mume kupoteza umiliki wa mali yake au kumzuia asimiliki au asishikilie mali kivyake, au kuuza mali yake."Click to expand... Asante kwa kujibu mkuu, naanza kuelimika Ndoa hufungwa rohoni tu, lakini sheria za Tanzania ni kama wimbo wa kigeugeu Mikataba yote tangu uchumba iko covered kwenye sheria ya ndoa ya mwaka 1971. Kuhusu mali kabla ya ndoa Mke/mume ataziandikisha kama mali binafsi za mwanandoa husika na ndoa ikivunjika zinabaki ni za mwanandoa husika. Ila pia mwanandoa anaruhusiwa kuziandikisha kama mali za ndoa au hata kuzitoa kama zawadi kwa mwanandoa mwenzake. Sheria hiyo inamtambua mume kama ndio mtafutaji, ndoa ikivunjika mali zinazogawanywa ni za mume tuu hata kama mke ana mali zake na mume huwajibika kutoa matunzo kwa mkewe na watoto hata kama mke ana kazi nzuri na anaweza kijitunza. ndoa ikivunjika mali zinazogawanywa ni za mume tuu hata kama mke ana mali zakeClick to expand... Umetoa wapi hicho kitu wewe Pasco?! Hebu stick kwenye journalism bana, ndo maana dhamira yako ilikwambia uachane na legal profession, huna wito huko! Umeshatamka mwenyewe mwazoni kwamba "Mke/mume ataziandikisha kama mali binafsi za mwanandoa husika na ndoa ikivunjika zinabaki ni za mwanandoa husika" halafu unakuja tena unaongeza kituko kwamba "ndoa ikivunjika mali zinazogawanywa ni za mume tuu..." Mke/mume ataziandikisha kama mali binafsi za mwanandoa husika na ndoa ikivunjika zinabaki ni za mwanandoa husika.Click to expand... Huoni hapo kwamba unajipinga pinga mwenyewe, hivi wanasheria wa kibongo mna matatizo gani jamani? Eeh? Sheria inasema mali ya mtu, awe mwanamke awe mwanamme, kama hujachangia, cha mwenzio si chako! Mkiachana hakigawanywi! Power of court to order division of matrimonial assets, CAP 29 of Laws, 5-1971 114.-(1) The court shall have power, when granting or subsequent to the grant of a decree of separation or divorce, to order the division between the parties of any assets acquired by them during the marriage by their joint efforts or to order the sale of any such asset and the division between the parties of the proceeds of sale. (2) In exercising the power conferred by subsection (1), the court shall have regard: ...(b) to the extent of the contributions made by each party by money, property or work towards the acquiring of the assets... (3) For the purposes of this section, references to assets acquired during a marriage include assets owned before the marriage by one party which have been substantially improved during the marriage by the other party or by their joint efforts. Watu wote tunaotoa zawadi kwenye harusi, au wafungisha ndoa, ma Sheikh, Pastor, Mkuu wa Wilaya naombeni jamani muwe mnagawa nakala ya Sheria ya Ndoa ya 1971 kwa newly weds, badala ya kuwapa vitenge na tenzi za rohoni na kanzu! Wakuu, Taso na Pasco, naona sasa kabisa mmenichanganya hapa, which is which? Labda nitoe mfano, mke aliolewa tayari anamiliki nyumba yenye hati, wakiwa kwenye ndoa wakajenga nyumba na hati ikaandikwa jina la mume pekee, pia wanalo gari na card ya gari ina jina la mume pekee. Sasa wakiachana, for sure mke ataondoka na nyumba yake. sasa ile ya pamoja yenye jina la mume na gari, hizo mali 2 kisheria si itabidi wagawane? au hapa mume atachukua vyote? Ndoa hufungwa rohoni tu, lakini sheria za Tanzania ni kama wimbo wa kigeugeuClick to expand... Hapa sijakuelewa Mkuu, ndoa hufungwa either kanisani, msikitini, bomani au kimila. Labda hauamini kama taratibu hizi za ndoa zinafuatwa au hizifuatwi, ila ninaamini kila kinachofanywa ktk ndoa ni utaratibu ambao sheria za nchi hutambua, kwa upande wako huwezi kufahamu kama mambo yanayotendeka ktk masuala ya ndoa ni taratibu za kisheria au ni mazoea tu. Angalia sheria ya Ndoa, Na. 5 ya 1971 (Sura ya 29 R.E 2002) itakuonyesha namna ambavyo masuala ya ndoa yanavyoendeshwa kwa mujibu wa sheria hiyo, na tatizo linakuja pale ambapo watu wengi hawafahamu taratibu za kisheria zinazoongoza ndoa yao.
2016-12-09T08:01:10
http://www.jamiiforums.com/threads/mikataba-kabla-ya-kufunga-ndoa-prenuptials-tz-huwa-ipo.211546/
[ -1 ]
Serikali mkoani Simiyu imesema imeandaa mazingira wezeshi kwa wawekezaji katika Fursa mbalimbali za uwekezaji ikiwemo viwanda, kilimo na teknolojia, ambapo imejipanga kutoa ardhi bure kwa wawekezaji walio tayari kuwekeza mkoani humo. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Wilaya ya Bariadi Mhe. Festo Kiswaga ambaye alimwakilisha Mkuu wa Mkoa huo , Mhe. Anthony Mtaka katika Ufunguzi wa Kongamano la Uwekezaji la Chama cha Wanataaluma na Wajasiriamali Waadiventista Wasabato (ATAPE), lililofanyika Mjini Bariadi Septemba 13, 2018. Kiswaga amesema mkoa huo ni mkoa wenye ajenda ya maendeleo, hivyo umejipanga katika kuwawekea mazingira mazuri wawekezaji katika fursa mbalimbali za uwekezaji mkoani humo, ikiwa ni pamoja na sekta ya viwanda, kilimo, tekonolojia mbalimbali, uchimbaji wa visima na fursa nyingine, ili kufikia lengo kuufanya mkoa huo kuwa katika nafasi nzuri kiuchumi. “Mkoa wa Simiyu una fursa nyingi mkifika hapa chagueni tu sehemu mje kuwekeza, mtu atakayekuja kujenga kiwanda kikubwa, kizuri ardhi tutampa bure, sisi tutamuuliza tu kwamba tuandike jina gani kwenye hati na tutamkabidhi hati yake, kwa hiyo ATAPE pelekeni salamu kwa wawekezaji wenzenu kuwa ardhi ya uwekezeaji Simiyu ni bure, ninyi mtafute mtaji tu” alisema Kiswaga. Ameongeza kuwa wawekezaji wote watakaowekeza mkoani Simiyu watapata soko la uhakika la bidhaa zao, huku akibainisha kuwa mkoa wa Simiyu na mikoa inayouzunguka ina wakazi wasiopungua milioni 10 ambao watakuwa wanunuzi wakubwa wa bidhaa zao watakazozalisha. Aidha, Kiswaga ametoa wito kwa wawekezaji wote wakiwemo ambao ni wanachama wa Chama cha Wanataaluma na Wajasiriamali Waadiventista Wasabato (ATAPE), kuwekeza katika ujenzi wa hoteli na hosteli katika Eneo la Nyakabindi mahali ulipo Uwanja wa Nanenane Halmashauri ya Mji wa Bariadi ili kukabiliana na changamoto ya malazi. Katika hatua nyingine Kiswaga ametoa wito kwa Taasisi za Madhehebu ya Dini kuiga mfano wa Chama cha Wanataaluma na Wajasiriamali Waadiventista Wasabato (ATAPE) katika kuwajenga waumini wao kiroho na kuwaimarisha kiuchumi, ili Taasisi kama hizo zitumike kama madaraja kuwavusha waumini wao kueleka katika Uchumi wa Kati. Kwa upande wake Mwenyekiti wa Chama cha Wanataaluma na Wajasiriamali Waadiventista Wasabato (ATAPE), Bw. Fredy Manento amesema pamoja na kutoa huduma za kiroho ATAPE inatoa mafunzo ya ujasiriamali, imeweza kuwafikia zaidi ya wananchi 20,000 kupitia huduma za afya za bure na imewekeza zaidi ya shilingi milioni 639 katika miradi mbalimbali. Makamu Mwenyekiti wa ATAPE Taifa (Upande wa Uwekezaji) Dkt. Dastan Kabiaro amesema katika uwekezaji huo ATAPE imeanza na kilimo ambapo imeshanunua jumla ya ekari 10,250 katika mikoa ya Tanga, Iringa, Pwani , Njombe na inatarajia kupata eneo jingine katika Mkoa wa Morogoro kwa ajili ya kilimo cha miwa ya sukari. “ ATAPE imeanza kuwekeza katika kilimo,baadaye tutaenda kwenye maeneo mengine ambayo tumeshaanza kama maji, tutatoa visima \Tanzania nzima kwenye maeneo yote ambayo hayana maji; katika kilimo tumeanza kuchukua ardhi na kuiendeleza mpaka sasa tuna ekari 10,250, tumeendeleza ardhi hiyo kwa asilimia 10 na tunaendelea kuiendelea ardhi hiyo” alisema. Mwenyekiti wa ATAPE Kanda ya Bariadi, Bi. Mariam Manyangu amesema mkoa wa Simiyu una wanachama takribani 80, ambao miongoni mwao ni watalaam katika fani mbalimbali pamoja na wafanyabiashara na wanaendelea kuhamasisha waumini wengi kujiunga na chama hicho, ili kujenga waumini imara kiuchumi watakaoweza kuendesha maisha yao na kuchangia kazi ya Mungu. ATAPE ni kifupi cha Association Of Tanzania Adventist Proffessionals and Enterpreneurs -Chama cha Wanataaluma na Wajasiriamali Waadiventista Wasabato)-ambacho kilianzishwa mwaka 1999 kwa lengo kuwafanya Wanataaluma na Wajasiriamali watumie talanta zao kwa faida ya Jamii, Kanisa na kazi ya Mungu. KUPATA PICHA ZAIDI KUHUSU HABARI HII FUNGUA KIUNGANISHI HIKI:-https://simiyuregion.blogspot.com/2018/09/simiyu-yaandaa-mazingira-wezeshi-kwa.html
2020-05-26T20:48:50
http://www.simiyu.go.tz/new/simiyu-yaandaa-mazingira-wezeshi-kwa-wawekezaji-yaahidi-kutoa-ardhi-ya-uwekezaji-bure
[ -1 ]
Itangazo ryo Kugurisha Imodoka | Job in Rwanda African Evangelistic Enterprise (AEE Rwanda) iramenyesha abifuza kugura imodoka ko ifite imodoka zigurishwa: Nomero ya shasi Nomero ya moteri Umwaka yakozwemo RAC 624 P AHTYZ59G50802278 JKDA079544 Toyota Land Cruiser/Jeep RAC 154 N JTERB71J900025721 Toyota Hilux/ Pick Up RAC 910 A AHTFK22G503000944 5L56061178 Gusura izi modoka bikorwa buri munsi kuva tariki ya 29 Nyakanga 2020 kugeza tariki ya 5 Kanama 2020, guhera saa munani kugeza saa kumi n’imwe mu minsi y’akazi, ku cyicaro cya AEE Rwanda giherereye ku Kicukiro, mu murenge wa Kagarama KK 37 Av 80. Abifuza kugura basabwa gutanga igiciro cyabo mu ibahasha bitarenze kuwa kane tariki ya 6 Kanama 2020 2019 saa munani. Ibahasha igomba kuba ifunze neza, yanditseho “Kugura Imodoka”. Amabahasha azafungurwa uwo munsi saa munani n’igice (14h30). Uwatsindiye imodoka azabimenyeshwa mu nyandiko bitarenze kuwa gatanu tariki ya 7 Kanama 2020. Uwifuza kugura kandi abanza kwishyura caution ingana n’amafaranga ibihumbi ijana (frw 100,000) kuri compte no 00040-00047325-22 RWF iri muri Banki ya Kigali (BK), akagaragaza bordereau de versement (Bank slip) mu gihe cyo gutanga iyo baruwa. Kwishyura hakoreshejwe cheki ntibyemewe. AEE ishobora kwanga kugurisha mu gihe igiciro cyatanzwe kiri munsi y’igiciro fatizo cyagenwe. Uwatsindiye isoko ahera kuri caution akishyura asigaye mu gihe cy’iminsi ibiri, atabishobora isoko rigahabwa umukurikiye mu biciro byatanzwe kandi ntasubizwa caution. Iyo ugura adatsindiye isoko, asubizwa amafaranga ya caution yatanze nyuma y’iminsi ibiri isoko ritanzwe. Bikorewe i Kigali kuwa 28/07/2020 John KALENZI AEE Rwanda Itangazo ryo kugurisha Imodoka July 2020082f13db2e7c459207a6a8df42967def.pdf
2020-08-03T08:38:16
https://www.jobinrwanda.com/job/itangazo_ryo_kugurisha_imodoka_1
[ -1 ]
Replica Vioo - Clothes : Kukuza (-55%) Duka la Replica Je! Unavutiwa na kura za kuona, vikoba, viatu au mifuko? Kuliko umefika mahali pazuri! Je! Unatafuta utoaji wa utajiri na wa kina wa majambazi ya bidhaa na wazalishaji maarufu zaidi? Wakati ununuzi wa bidhaa, unataka kuhakikisha kwamba utapata ubora wa juu zaidi, halali na unatokana na makala ya chanzo cha kuaminika na kisheria? Je! Unavutiwa na kura za kuona, vikoba, viatu au mifuko? Kuliko umefika mahali pazuri! Katika replicas soko la soko la bidhaa maalumu hufurahia umaarufu mkubwa na usiofaa. Sababu kuu ya yake ni ukweli, kwamba wanaweza kununuliwa hata kwa mara chache bei ya chini, wakati bado una sifa ya bidhaa bora, ambazo ni kidogo au kabisa si tofauti na awali. Bei inayovutia, utoaji wa wazi wa utoaji, utoaji wa tajiri na utumishi wa kitaaluma - yote haya hutolewa na duka letu na mifuko ya mifuko, viatu, nguo na bidhaa nyingine nyingi. Kujua hali halisi ya soko na matarajio ya wanunuzi, tunatoa pekee ya marudio, glasi au kuona, ambazo zimejaribiwa na sisi wenyewe ili tuweze kuthibitisha ubora wao. Kutoa ni pamoja na bidhaa kama vile Ray Ban, Versace, Miu miu, Rolex, Emporio Armani na Bvlgari, Piaget au Tiffany & Co. Mpangilio kamili na kamili unaweza kupatikana kwenye tovuti yetu ya duka Vioo ni mojawapo ya vifaa vya mtindo rahisi zaidi vinavyoweza kuonekana kubadilisha mabadiliko yako, uso, na ambayo hubadilika sana picha ya mtu huyo. Kuuza na kuvaa glasi za rangi, maana ya ufahari na ustadi, inakuwa maarufu na zaidi. Kwa wale ambao hawawezi kumudu gharama kubwa kama dola mia kadhaa, huko kunajaribu replicas nyingi za Ray Ban, pamoja na Chrome Hearts, DITA, Glassino au Miu Miu. Kuangalia tu kuhifadhi yetu na kuchagua mfano unaofaa kwako. Glasi zote zinaelezea katika kutoa yetu ni bidhaa zinazozalishwa kwa uangalifu mkubwa, tahadhari kwa maelezo madogo na kwa kutumia vifaa bora. Ndiyo sababu, wakati wa kununua, unaweza kuwa na hakika kwamba haitaonekana tu kifahari, bali kwamba hawatatambulika na asili. Hiyo inahusisha kila mtindo, bila kujali kama ulipendezwa na replica ya Versace, uangalifu mkubwa, makini na maelezo madogo zaidi na matumizi ya vifaa bora, mifano ya Gucci, bidhaa za Super au Thom Brown: zote zina sifa ya ubora huo. Tunakualika uone utoaji kamili wa sasa, kwenye https://get2lux.cn/en/123-glasses Tunakualika ili uone utoaji kamili wa sasa, saa Kila mtindo aliuliza juu ya sehemu isiyofunguliwa zaidi ya vifaa katika garderobe ya wanaume na wanawake, bila kusita, jibu kwamba wao ni mkoba. Na kwa kweli, ingawa sisi huzingatia kuvaa nguo za mtindo, vito vya mawe au miwani, mikoba haionekani kuwa muhimu. Duka la rekodi ya mkoba husaidia kubadilisha mwelekeo huu kwa kutoa mitindo ya mitindo, ya kisasa na ya kisasa ambayo inashangaa na kubuni na muundo wa awali. Vifaa vya mkoba, licha ya yote, havihusishwi na bidhaa nyingi kama unavyoweza kudhani. Mojawapo maarufu zaidi ni replica ya Miu mi, mtengenezaji maalum katika kubuni ya wallet wanawake 'na Louis Vuitton, ambaye ameshinda soko walengwa kwa wanaume. Bila shaka, katika mkusanyiko wetu utapata bidhaa nyingine pia, ikiwa ni pamoja na Chanel, Gucci na Christian Louboutin. Mifano zilizochapishwa na vyumba vingi, zimefungwa na nyota zisizoonekana au sumaku zisizoonekana, kazi ya kukamilisha ya kifahari na kubuni ya ajabu ni sifa ambazo zinafafanua marudio yetu ya mkoba na zinawafanya ziwe pekee katika soko zima. Tunakualika uangalie duka yetu na uangalie utoaji kamili: https://get2lux.cn/en/120-wallets Mchapisho wa viatu sasa ni bidhaa ambazo zinazonunuliwa mara nyingi ambazo zinatengeneza bidhaa za awali, huku zinaendelea ubora wa kulinganishwa na kuonekana sawa kabisa. Wateja wanafurahia ustadi na usahihi wa kazi pamoja na kudumu sana, upinzani na miaka mingi ya usability wa viatu kama vile. Si ajabu kwamba replicas ya Burberry, Prada, Gucci, Hermes au Chloe ni bidhaa ambazo zinapatikana nje mara moja na idadi ya watu wenye kuridhika na ununuzi huo inakua kivitendo kila wiki. Sisi tumeunda utoaji mzuri sana na upana kutoka kwa bidhaa za mtindo zaidi na wabunifu maarufu zaidi, hasa kwa ajili yenu. Utapata hapa replicas wote LV viatu, Isabel Marant na Givenchy viatu, lakini pia mifano kutoka Gucci, Prada au YSL. Miundo ya hivi karibuni na ya mtindo, tahadharini na maelezo madogo zaidi, ubora wa vifaa na ukusanyaji mzuri wa bidhaa zilizopatikana zitakuwezesha kupata viatu ambavyo vitadumu kwa miaka mingi na utakabiliana kabisa na mavazi yoyote. Vitu vya viatu vilivyouzwa na sisi - bila kujali mtindo au mtengenezaji aliyechaguliwa - ni dhamana ya shughuli zinazofanikiwa, kutembea vizuri na kuridhika na ununuzi. Jinsi ya kutambua nguo zipi bora za replicas kwa suala la nyenzo zitumiwa? Je! Ununuzi wa replicas kwenye mtandao wa kisheria, salama na kwa haraka? Na hatimaye, ni thamani ya kununua replicas badala ya asili, ingawa bei zao inaweza kutofautiana hadi mamia ya zloty? Maswali haya yote yanashughulikiwa na duka la nguo la replica, ambalo tunawakaribisha. Kwa miaka mingi, kununua replicas ya nguo si tatizo kubwa au aibu; Zaidi ya nusu ya wakazi wamevaa replicas kwa sababu ubora wa nguo hizo ni sawa na asili yao wenyewe. Maelekezo ya YLS, Alexander Mqueen, Emporio Armani na Kenzo hupatikana katika kuhifadhi yetu; sisi pia tuna makusanyo mazuri ya nguo kutoka Chloe, Louis Vuitton na Moschino. Kitambaa cha kitaalamu cha Gucci na nguo kutoka Givenchy, ambazo huchaguliwa hasa kwa wateja wadogo na wa kisasa kutoka miji mikubwa, ni maarufu sana. Tunakuhimiza kujitambulisha na utoaji wa kina wa duka, ambayo utapata kwenye kiungo hiki https://get2lux.cn/en/115-clothing Pete kutoka Chanel, mkufu kutoka Diora, bangili kutoka Louis Vuitton? Sio muda mrefu uliopita, uharibifu huo ulipatikana kwa wachache waliochaguliwa ambao walikuwa na mkoba wa ajabu sana. Leo, kitambaa cha jewellery kutoka Cartier, ALL au Piageta kinapatikana kwa kila mtu, na kwa bei ambazo hazifanya maumivu ya kichwa. Upatikanaji rahisi na bei za chini ni mambo ambayo huamua juu ya mafanikio makubwa ambayo marudio ya mawe yanafurahia nchini Poland hivi sasa. Wanawake na wanaume kutoka pembe zote za nchi wanunua na kuvaa, bila kujali hali ya kijamii au usawa wa akaunti. Aina ya utoaji na bei huruhusu kila mtu kuchagua aina ya vito ambavyo hawapendi tu, lakini pia anaweza kumudu. Bila kujali ukweli kama ni vito kutoka kwa ukusanyaji wa Tiffany & Co Replica, au mfano kutoka kwa mtengenezaji aliyejulikana mdogo - wote wanaweza kununuliwa katika duka letu, kwa bei nzuri, na kwa dhamana ya shughuli za mafanikio na salama. Lakini usichukue neno letu juu yake, tu uangalie duka yetu na marudio ya mawe, inapatikana hapa https://get2lux.cn/en/121-jewellery Kama sehemu ya nguruwe huvaliwa kwenye mikono, saa zimejulikana kwa muda mfupi, kwa miaka mia moja tu. Mapema, walikuwa wamevaa katika mifuko, iliyounganishwa na mnyororo. Leo, vifaa visivyojulikana vinapendeza umaarufu wa kawaida, pamoja na replicas ya wristwatch kutoka kwa bidhaa na wazalishaji wanaojulikana. Kati yao unaweza kutambua makampuni kama vile: Emporio Armani, U-mashua, Rolex, lakini pia Audemars Piguet au Cartier. Mifano ya awali ya saa hizi huwa na gharama nyingi hata maelfu ya dola, ambazo, baada ya kugeuka katika zloty, inakuwa bahati kubwa. Ndiyo sababu sio mshangao kwamba maslahi ya Poles hupendekezwa na replicas vizuri sana za Rolex badala ya awali, ambayo haipatikani kwa urahisi katika nchi yetu hata hivyo. Lakini je, si kununua mbadala za bei nafuu kukuzuia aibu na kunyosha kwa kutumia bidhaa zisizo za kawaida? Hakika si! Mchapisho ya wristwatch kutoka U-mashua au TAG Heuer sio mbaya zaidi kuliko asili zinazoonekana au kwa pekee, na kutofautisha mbili ni karibu haiwezekani. Mifano zilizotajwa, pamoja na bidhaa nyingine nyingi za kuona. Kama sehemu ya nguruwe huvaliwa kwenye mikono, saa zimejulikana kwa muda mfupi, kwa miaka mia moja tu. Mapema, walikuwa wamevaa katika mifuko, iliyounganishwa na mnyororo. Leo, vifaa visivyojulikana vinapendeza umaarufu wa kawaida, pamoja na replicas ya wristwatch kutoka kwa bidhaa na wazalishaji wanaojulikana. Kati yao unaweza kutambua makampuni kama vile: Emporio Armani, U-mashua, Rolex, lakini pia Audemars Piguet au Cartier. Mifano ya awali ya saa hizi huwa na gharama nyingi hata maelfu ya dola, ambazo, baada ya kugeuka katika zloty, inakuwa bahati kubwa. Ndiyo sababu sio mshangao kwamba maslahi ya Poles hupendekezwa na replicas vizuri sana za Rolex badala ya awali, ambayo haipatikani kwa urahisi katika nchi yetu hata hivyo. Lakini je, si kununua mbadala za bei nafuu kukuzuia aibu na kunyosha kwa kutumia bidhaa zisizo za kawaida? Hakika si! Mchapisho ya wristwatch kutoka U-mashua au TAG Heuer sio mbaya zaidi kuliko asili zinazoonekana au kwa pekee, na kutofautisha mbili ni karibu haiwezekani. Mifano zilizotajwa, pamoja na bidhaa nyingine nyingi za kuona.
2018-04-23T03:46:34
http://getlux24.com/sw/
[ -1 ]
Ushauri wa bure kwa CHADEMA | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Nzi, Sep 25, 2011. Jambo nitakalolizungumzia si mara ya kwanza kwa jambo hili kusemwa humu JF na wadau mbalimbali. CHADEMA, kama chama kinachozidi kukua na kupata umaarufu hapa TZ, kinapaswa kianze kujiweka katika mazingira ya chama maarufu na kinachokubalika kweli. Mazingira haya ninayoyasema yamejikita katika suala la ofisi za chama zenye hadhi ya CHADEMA ya sasa na ya badae (kama chama tawala). Kwa kweli ofisi za chama, tena hata za mkoa bado hazina hadhi ya CHADEMA. Mfano, ofisi ya chama pale mkoani Dodoma, ni aibu kwa chama. Si vyema CHADEMA kuwa na ofisi kama ile, kwanza ipo ndani ya kijichumba kimoja (kama frame za maduka kwenye stand za mabasi au za biashara); hakuna office stationary; hakuna hata secretary zaidi ya jamaa mmoja ambae ndie uwa anakaa pale. Pia ofisi za makao makuu nazo zimeshaongelewa sana na wadau; nazo hazina hadhi ya chama kwa sasa. Hapa chama kinabidi kifanye jitihada kweli; hata kama ni kwa kuomba michango toka kwa wanachama, wapenzi na wakereketwa chama kifanye, ili 2015 chama kiwe angalau na ofisi nzuri katika miji mikubwa hapa TZ. Hili suala chama kinapaswa hisilichukulie kana kwamba ni dogo; muonekano wa kiofisi nao una matter katika masuala ya kisiasa. Hivyo mimi ninakishauri chama kifanye jitihada za haraka katika hili. Niko tayari kuchangia kwa ajili ya kufanikinisha zoezi hili. NB: Pia uongozi wa chama naomba mjitahidi katika suala la mawasiliano na utoaji wa taarifa mbalimbali za chama; website ya chama imedorora sana. System administrators wajitahidi kuwa active and alive. Natumaini viongozi wa chama watasikia ushauri wangu na kuuzingatia. Ni ushauri mzuri sana lakini angalau wapambanaji muchukue kadi na muwe mnalipa ada. Kwa kufanya hilo itasaidia kutatua matatizo kama hayo ya ofisi. Kwa kufanya hilo itasaidia kutatua matatizo kama hayo ya ofisi.Click to expand... Pamoja mkuu.. Big Up Wapambanaji; ofisi zenye hadhi, kituo cha televisheni na vyombo vya kisasa kimawasiliano pamoja na training kwa maafisa wa kada mbali mbali juu ya technolojia za kimawasiliano ni mamobo ya msingi mara baada ya kutawazwa mbunge wetu mpya wa Igunga. Ni ushauri mzuri sana huu naamini utafanyiwa kazi. Mkuu tunaomba uwe tayari kutoa support yako kwa ajili ya utekelezaji lakini pia itapendeza kama utachukua na kadi. Tuko pamoja sana mkuu. ni ushauri mzuri sana ni swala la vipambele kumba chama kimetoka kwenye kampeni mwishoni mwa mwaka jana, tegemea chama kuwa na madeni na katika ruzuku nijuavyo mimi huwa wanatoa kulingana jimbo lilivyo patakura lakini kama wenyeji wasehemu husika tukiongozwa la viongozi wetu tukiamua tunaweza kuharakisha badala ya kusubili makao makuu au pesa ya gawio.. Chadema wako kimaslahi yao zaidi! Hawaangalii future, viongozi wao ni walafi na wana uchu wa madaraka sana. Wanatumia hela nyingi sana kwenye maandamano yao na operations mbalimbali ambazo hazina tija! Ushauri wako ni mzuri..lakini ni kama umempigia mbuzi gitaa Thank you my fellow citizen. Am pretty sure sister Regina will pass by here to take these ideas. However, let us fight for the country first our personal affairs later. We have nothing to loose except the chains of out stupidity, poverty and ignorance. Fight hard CHADEMA I have seen from the mountain top, 'dawn is near'. Ni hayo tu Halafu tunamlipa JOSEPHINE 7.2M kila mwezi! Badala ya kujenga ofisi? Halafu tunamlipa JOSEPHINE 7.2M kila mwezi! Badala ya kujenga ofisi?Click to expand... Bado per diem za kila maandamano Hujui ulinenalo tunakusamehe Bure. Chadema hakipo kwa ajili ya kufanya siasa ni kampuni ya wachagga waliolenga kugawana ruzuku ya chama, mtapata taabu bure kupanua midomo kama mi..ndu! Ushauri wako ni mzuri..lakini ni kama umempigia mbuzi gitaaClick to expand... Huoni kwamba hizo operations ndizo zinazidi kuwaumbua ninyi CCM.CDM are always strategic,thats why always mtacheza ngoma ya CDM. Chadema hakipo kwa ajili ya kufanya siasa ni kampuni ya wachagga waliolenga kugawana ruzuku ya chama, mtapata taabu bure kupanua midomo kama mi..ndu!Click to expand... N wewe pia una akili mgando au umejilazimisha kutokuona.Kigoma,mwanza,mara,singida,Dar,mbeya,shinyanga,iringa n.k kuna wachaga huko?.Hatutaki akili zenu na sera zenu za kibaguzi ninyi magamba. Wafadhili wa Magwanda wamewaambia Chadema wasitumie hata shilingi kujenga ofisi na badala yake hela yote waitumie kuratibu maandamano na kununulia tindikali. Your name says is all, Tambwe at his best. ushauri wa kgmagambamagamba! weka evidence la cvyo huna maana Chadema hakipo kwa ajili ya kufanya siasa ni kampuni ya wachagga waliolenga kugawana ruzuku ya chama, mtapata taabu bure kupanua midomo kama mi..ndu! ..ku.. mods vip tena?Click to expand... Mods nini hii????????????????
2017-04-24T23:31:45
https://www.jamiiforums.com/threads/ushauri-wa-bure-kwa-chadema.175932/
[ -1 ]
wavuti: 03/22/14 Mail on Sunday on Tanzania: World Picture Exclusive - Haul of shame: Shocking photo shows for first time biggest stockpile of illegal ivory on earth UK's Mail on Sunday's Martin Fletcher goes inside the warehouse in Tanzania Full story at: Dailymail.co.uk Pres. Kikwete’s speech leads to the choice of a three government structure Why President Kikwete’s speech leads to the choice of 3 government union structure: The speech delivered by President Jakaya Mrisho Kikwete in the official opening of the special Parliament for new constitution writing for Tanzania was a great one as it surprised many on unforeseen and serious challenges which could be encountered in the implementation of the new constitution draft which was submitted in the Parliament earlier by retired Judge Joseph Sinde Warioba, especially the proposed three government union structure. The challenges highlighted in the presidential speech offer the special Parliament for new constitution writing the opportunity to enhance formulation of the Jela miaka 28 kwa kughushi cheti cha uuguzi Imeandikwa na Flora Mwakasala/Imechapishwa katika gazeti la HabariLeo MUUGUZI Lucia Ilomo (44) amehukumiwa kifungo cha miaka 28 jela katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam baada ya kupatikana na hatia ya kughushi vyeti vya Uuguzi na Ukunga. Hakimu Mkazi Augustina Mmbando alitoa hukumu hiyo jana baada ya kupitia ushahidi wa mashahidi watatu wa upande wa Jamhuri pamoja na utetezi wa mshitakiwa. Akitoa uamuzi huo jana, Hakimu Mmbando alisema upande wa Jamhuri umethibitisha mashitaka manne dhidi ya mshitakiwa na Smart Codes: We have moved to a new office! SMART CODES, we are excited to announce that our team has moved to a new location at Mikocheni B. Our old office at Kijitonyama Sayansi-COSTECH served us well, and we made great memories there, but we couldn't be more excited about our new space. The new office is at Old Bagamoyo Road, C & G Plaza(near Baraka Plaza)-First Floor 672/2 Old Bagamoyo Road Mikocheni B +255 (0) 786 675 487 or +255 (0) 786 675 487 or +255 (0) 786 675 487 or +255 (0) 786 675 487 ([email protected]) - CEO +255 (0) 789 776 668 or +255 (0) 789 776 668 or +255 (0) 789 776 668 or +255 (0) 789 776 668 ([email protected]) - Business Executive Ebola kills 59 in Guinea as disease spreads to Sierra Leone Reuters reports from Conakry, the capital of Guinea that the country's government on Saturday said it has received confirmation that a mysterious disease that has killed up to 59 people in the West African country, and may have spread to neighboring Sierra Leone, is the hemorrhagic fever Ebola. "It is indeed Ebola fever. A laboratory in Lyon (France) confirmed the information," Damantang Albert Camara told Reuters. "But you have to understand that not all the cases are necessarily due to Ebola fever. Some will have other origins, including a form of severe dysentery," Keita said. Read more Nyumba asilia Ni moja kati ya baadhi ya nyumba majirani za watu wa kijiji cha Muhundwe wilayani Rorya mkoani Mara, maisha yanaendelea na hapa binti mdogo Robi anaonekana akitimiza majukumu ya nyumbani. (picha: ZEPHANIA MANDIA) Maoni ya Zitto: Tuboreshe rasimu iliyopo Wiki ya Machi 18 - 22, 2014 ilianza kwa siku ya Jumanne Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Sinde Warioba aliwaslisha rasmi Rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Bunge Maalumu la Katiba. Wiki hiyo imeishia kwa siku ya Ijumaa Rais wa Jamhuri ya Muungano ndugu Jakaya Mrisho Kikwete kutoa hotuba kwa Bunge Maalumu. Hotuba zote zimepokelewa kwa hisia tofauti kulingana na msimamo wa kila mtu kuhusu hoja inayoonekana ni kubwa kuliko zote katika mchakato wa kuandika Katiba Mpya - Muundo wa Muungano. Wale wanashabikia muundo wa Serikali Tatu, walifurahishwa mno na hotuba ya Jaji Warioba. Wale wanaoshabikia muundo wa Serikali mbili walifurahishwa mno na hotuba ya Rais Kikwete. Sikufurahishwa na hotuba zote mbili. Moja, hotuba zote mbili zilichukua muda mrefu zaidi kuelezea sura moja tu ya Rasimu ya Katiba nayo ni sura [audio] Kupotea Air Malaysia, Takwimu za usalama wa anga duniani Na JamiiProduction — Wakati harakati za kutafuta ndege ya Shirika la ndege la Malaysia iliyopotea zikizidi kushika kasi na kuvunja rekodi ya kushirikisha mataifa mengi duniani, baadhi ya takwimu kuhusu hali ya usalama wa safari za anga duniani zimezidi kuibuka na kufungua macho ya wengi waliokuwa wakiamini kuwa tukio hili ni la kwanza na / ama miongoni mwa machache kupata kutokea duniani. Mail on Sunday on Tanzania: World Picture Exclusiv... Pres. Kikwete’s speech leads to the choice of a th... Ebola kills 59 in Guinea as disease spreads to Sie... [audio] Kupotea Air Malaysia, Takwimu za usalama w...
2018-11-17T04:42:57
https://www.wavuti.com/2014_03_22_archive.html
[ -1 ]
Banki ya Kigali ifite gahunda yo guca ikoreshwa ry’impapuro habungabungwa ibidukikije - IGIHE.com Kuya 22 Ukwakira 2016 saa 07:51
2017-09-22T13:25:02
http://www.igihe.com/amakuru/u-rwanda/article/banki-ya-kigali-igiye-guca-ikoreshwa-ry-impapuro-muri-kazi-kayo
[ -1 ]
Tanzania na tuzo za kimataifa | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Tanzania na tuzo za kimataifa Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by PISTO LERO, Mar 28, 2012. Tanzania imekua ikipokea tuzo nyingi za kimataifa kinyume na wananchi tunavyoona halì halisi,tuzo hizi ni kama zile za utawala bora,demokrasia na kadhalika,je? Wanatusanifu au ni ile hulka ya kumsifia mtu ili upate unacho kitaka?zina msaada gani kwetu. Tanzania imekua ikipokea tuzo nyingi za kimataifa kinyume na wananchi tunavyoona halì halisi,tuzo hizi ni kama zile za utawala bora,demokrasia na kadhalika,je? Wanatusanifu au ni ile hulka ya kumsifia mtu ili upate nacho kitaka?Click to expand... Utawala bora ni upuuzi mtupu TZ! Kwani tz ni taifa linalotawaliwa kipropoganda na kiuongo uongo, hata unaweza kuhisi kuwa polisi wetu kule ccp Moshi wanafundishwa kuwa waongo. wanaopeleka taarifa za kupewa izo tuzo nimabalozi wanaowakilisha nchi zao hapa bongo, sasa huwenda kuna agenda ya siri kwa hawa mabalozi. who knows? sijawahi kuamini kwamba nchi haijawahi kufanya zuri hata moja katika nyanja zote . kama kuna maeneo tumefanya vizuri haishangazi kama ambavyo haishangazi tukiambiwa tumefanya vibaya ktk maeneo mengine sijawahi kuamini kwamba nchi haijawahi kufanya zuri hata moja katika nyanja zote . kama kuna maeneo tumefanya vizuri haishangazi kama ambavyo haishangazi tukiambiwa tumefanya vibaya ktk maeneo mengineClick to expand... mfano hi tuzo ya utawala bora wewe unaona inatustahili? sanifu pamoja na kutaka kitu Mkuu kama ikitolewa tozo ya uongozi bora je nalo hilo unalichukulia je? kwan hizo tunzo zina msaada gani na maendeleo ya nchi?
2016-12-08T22:15:19
http://www.jamiiforums.com/threads/tanzania-na-tuzo-za-kimataifa.240258/
[ -1 ]
Archives Apple - Ukurasa 2 ya 3 - EU Reporter: EU Reporter #HealthyDiet: Kutoka shambani kwa uma - muungano wa matunda na maziwa miradi EU kwa watoto wa shule EU Reporter Mwandishi | Machi 4, 2016 | 0 Maoni EU matunda na mboga mpango kwa ajili ya shule ni kuwa zimeunganishwa na mpango maziwa shule. Katika mchakato MEPs kuwa kuulinda fedha za ziada kwa ajili ya programu ambayo lengo la kusaidia shule za kutumikia watoto mazao safi. mpya pamoja mpango ni kuwa na kujadiliwa katika kikao Jumatatu 7 Machi, na wanachama kupiga kura juu ya [...] Kamishna Oettinger katika Marekani kukutana makampuni ya juu tech, kuanzisha miradi na watunga sera EU Reporter Mwandishi | Septemba 22, 2015 | 0 Maoni Kuanzia leo (22 Septemba) huko San Francisco, Kamishna wa Uchumi na Shirikisho la Jamii Günther Oettinger (picha) ni ziara ya siku tano Marekani ambapo atakutana na usimamizi mkuu wa vipindi vya tech kama vile Facebook, Google, Apple andeBay. Pia atakutana na ujumbe wa wajasiriamali wa Ulaya kutoka 'kuanzisha Ulaya kuja hadi Silicon Valley'. Baada ya Pwani ya Magharibi, Kamishna Oettinger ataongoza [...] Oxfam majibu ya kusikia Pierre Moscovici ya katika Bunge la Ulaya EU Reporter Mwandishi | Oktoba 3, 2014 | 0 Maoni On 2 Oktoba, Ufaransa Pierre Moscovici (pichani), kamishina wa Ulaya mteule wa masuala ya uchumi na fedha, kodi na desturi, wanakabiliwa mjadala kwenye Bunge la Ulaya kutathmini uwepo wake kwa ajili ya kazi. Oxfam Naibu Mkurugenzi wa Utetezi & Kampeni Natalia Alonso alisema: "Mheshimiwa Moscovici alifanya impassioned ahadi ya kuendeleza maslahi ya Ulaya katika uchumi na [...] EU 'si wanaamini' Apple kulipa haki kiwango cha kodi juu ya inachouza EU Reporter Mwandishi | Septemba 30, 2014 | 0 Maoni Tume ya Ulaya itaweka kesi yake Jumanne (30 Septemba) dhidi ya mipangilio ya kodi ya Apple nchini Ireland. Ripoti hiyo ni sehemu ya uchunguzi pana wa EU katika sera za kodi nchini Ireland, Uholanzi na Luxemburg. Tume ni kuchunguza kama nchi hizi zimependekezwa kwa makampuni ya kimataifa ikiwa ni pamoja na Apple, Fiat na Starbucks. EU itakuwa [...] Katika programu ya manunuzi: Bora ulinzi kwa ajili ya walaji katika michezo online EU Reporter Mwandishi | Julai 18, 2014 | 0 Maoni Kufuatia idadi kubwa ya malalamiko katika nchi za EU katika habari katika programu ya manunuzi katika michezo online na katika manunuzi hasa inadvertent na watoto, mamlaka ya kitaifa imejiunga na Tume ya Ulaya kutafuta ufumbuzi. uratibu utekelezaji wa hatua katika EU juu ya manunuzi katika programu katika michezo online na mkononi imefanya maendeleo ya kweli katika kutoa yanayoonekana [...]
2019-11-17T00:32:19
https://sw.eureporter.co/tag/apple/page/2/
[ -1 ]
Sura ya 9 | INJILI YA KUSHUKA KWA UFALME Njia … (6) Njia … (7) Jinsi ya Kuingia Katika Hali ya Kufaa Jinsi Hatua ya Pili ya Kazi ya Kushinda Huzaa Matunda Jinsi Unavyopaswa Kuitembea Hatua ya Mwisho ya Njia Utambulisho wa Asili wa Mwanadamu na Thamani Yake: Je, ni Nini? Kwa sababu kwamba wewe ni mmoja wa watu nyumbani Mwangu, na kwa sababu wewe ni mwaminifu katika Ufalme wangu, kila unachofanya lazima kifikie viwango Ninavyohitaji Mimi. Sisemi kwamba uwe tu kama wingu linalofuata upepo, bali uwe kama theluji inayong’aa, na uwe na hali kama yake na hata zaidi uwe na thamani yake. Kwa sababu Nilitoka katika nchi takatifu, si kama yungiyungi, ambalo lina jina tu na halina dutu kwa sababu lilikuja kutoka katika matope na si kutoka nchi takatifu. Wakati ambapo mbingu mpya inashuka duniani na nchi mpya kuenea juu ya anga ndio pia wakati hasa ambao Ninafanya kazi kirasmi miongoni mwa binadamu. Ni nani kati ya wanadamu anayenijua Mimi? Ni nani aliyeona wakati wa kuwasili Kwangu? Ni nani ameona kwamba Mimi sina jina tu, bali zaidi ya jina Nina dutu? Mimi huyasongeza mawingu meupe kwa mkono wangu na kwa karibu Naichunguza anga; katika anga, hakuna kitu kisichopangwa kwa mkono wangu, na chini ya anga, hakuna mwanadamu asiyechangia juhudi yake ndogo kwa ukamilishaji wa shughuli Yangu kuu. Mimi Simwekei mwanadamu madai mazito duniani, kwa maana Mimi daima Nimekuwa Mungu wa vitendo, na kwa sababu Mimi ni Mwenyezi Aliyeumba mwanadamu na Anayejua mwanadamu vizuri. Watu wote wako machoni pa Mwenyezi. Hata wale walio katika pembe zote mwisho wa dunia watawezaje kuepuka uchunguzi wa Roho Yangu? Ingawa mwanadamu anajua Roho Wangu, yeye pia huikosea Roho Wangu. Maneno Yangu yanaweka wazi uso mbaya wa wanadamu wote, na kuweka wazi mawazo ya ndani kabisa ya watu wote, na kusababisha wote duniani kufanywa wazi na mwanga Wangu na kuanguka chini ndani ya uchunguzi Wangu. Ijapokuwa mwanadamu anaanguka chini, moyo wake hauthubutu kwenda mbali Nami. Miongoni mwa viumbe, ni nani asiyekuja kunipenda kwa sababu ya matendo Yangu? Ni nani asiyekuwa na hamu kwa ajili ya kuyasikia maneno Yangu? Ni nani asiyezaliwa ndani mwake na hisia za ibada kwa sababu ya upendo Wangu? Ni kwa sababu tu ya ufisadi wa Shetani ndio maana mwanadamu anashindwa kuufikia ulimwengu kama Ninavyomhitaji kufika. Hata viwango vya chini kabisa ambavyo Mimi Namhitaji kufika huzalisha mashaka ndani yake, bila kutaja chochote cha leo, enzi ambayo Shetani anaendesha ghasia na ni mdhalimu mkuu, au wakati ambapo mwanadamu amekanyagwa sana na Shetani mpaka mwili wake mzima umejaa uchafu. Ni lini ambapo kutojali kwa mwanadamu kuhusu moyo Wangu kwa sababu ya upotovu wake hakujanisababishia Mimi huzuni? Je, inawezekana kwamba Mimi namwonea Shetani huruma? Je, inawezekana kwamba Mimi Nimekosea katika upendo wangu? Wakati mwandamu ananikaidi, Moyo wangu unaomboleza kwa siri; wakati mwanadamu ananipinga, Ninamwadibu; wakati Ninamwokoa mwandamu na kumfufua kutoka wafu, Mimi Humlisha kwa uangalifu ulio bora zaidi; wakati mwanadamu ananitii, Moyo Wangu unatulia tuli na mara moja Ninahisi mabadiliko makubwa katika mambo yote mbinguni na duniani; wakati mwanadamu ananisifu, itawezekanaje Nisiwe na furaha? Wakati mwanadamu ananishuhudia na kupatwa na Mimi, itawezekanaje Nisitukuzwe? Inawezekana kwamba kila anachofanya mwanadamu hakiongozwi na kutolewa na Mimi? Wakati ambapo Sitoi mwelekeo, wanadamu wanazembea na kuwa wanyamavu, na, nyuma Yangu, wao wanashiriki katika zile shughuli chafu “zenye kusifika.” Je, unafikiri kwamba mwili Ninaouvaa, haufahamu chochote kuhusu matendo yako, tabia zako, na maneno yako? Nimestahimili mvua na upepo kwa miaka mingi, na vile vile Nimepitia machungu ya ulimwengu wa binadamu, lakini ukitafakari kwa karibu, hakuna kiasi cha mateso kinachoweza kumfanya mwanadamu aliye katika nyama za mwili kupoteza matumaini ndani Yangu, kama vile hakuna utamu wowote unaoweza kumfanya mwanadamu wa mwili awe bila hisia, mwenye kuvunjika moyo au mwenye kunipuuza Mimi. Je, upendo wa mwanadamu Kwangu una mipaka kwa hali ya kutokuwa na maumivu au kutokuwa na utamu? Leo hii, Mimi niko katika nyama na nimeanza kirasmi kutekeleza kazi ambayo lazima Niifanye, na hata ingawa mwanadamu anaogopa sauti ya Roho Wangu, yeye huasi kiini cha Roho Yangu. Sihitaji kufafanua jinsi ni vigumu kwa mwanadamu kunijua Mimi Niliye katika mwili kupitia kwa maneno Yangu. Kama Nilivyosema awali, Mimi Simlazimishi mwanadamu katika matarajio Yangu, na si lazima muwe na ufahamu wote kunihusu Mimi (kwa maana mwanadamu amepungukiwa; hii ni hali asili, na ujuzi wa kujipatia hauwezi kubadili hali hii). Mnahitaji kujua tu mambo yote yanayofanyika na kusemwa na Mimi katika hali ya mwili. Na kwa maana mahitaji Yangu si ya kulazimisha, ni matumaini Yangu kwamba mnaweza kuja kujua, na kwamba mnaweza kufaulu. Lazima mjitoe katika uovu wenu kwenye ulimwengu huu mchafu, lazima mjitahidi kufanya maendeleo katika jamii hii ya wafalme wakuu iliyo nyuma kimaendeleo, na msijiruhusu wenyewe kuzembea. Hupaswi kujihurumia hata kidogo: Unastahili kutenga muda mwingi na kuweka juhudi ili ujue lile Nitamkalo kwa siku moja, na maarifa ya hata sentensi moja Ninayonena ina thamani ya mafunzo ya maisha marefu. Maneno Ninayonena ni yakini na dhahania, sio maneno matupu. Watu wengi wanayo matumaini ya kufaidi kutokana na maneno Yangu, lakini Siwapi sikio; watu wengi wanatamani unene Wangu, lakini Mimi Siwapi hata kidogo; watu wengi wanatamani kuuona uso Wangu, lakini kamwe Mimi nimeuficha; watu wengi husikiliza kwa makini sauti Yangu, lakini Mimi hufunga macho Yangu na kupindua Kichwa changu, kwa kuwa kutotikisika na tamaa yao; watu wengi wanahofia sauti Yangu, lakini maneno Yangu daima ni ya kuanzisha vita; watu wengi wana uoga wa kuuona uso Wangu, lakini Mimi huwatokezea kwa maksudi ili niwacharaze waanguke. Mwanadamu kwa hakika hajawahi kuuona uso Wangu na hajawahi kuisikia sauti Yangu, kwa maana yeye hanijui kwa kweli. Hata ingawa yeye anapata pigo kutoka Kwangu, hata ingawa ananiacha, hata ingawa anaadibiwa kwa mkono wangu, yeye bado hajui kama yote anayofanya ni ya kupendeza Moyo Wangu kwa kweli, na bado hana ufahamu kuhusu ni nani ambaye hufichuliwa Moyo Wangu. Tangu uumbaji wa ulimwengu mpaka sasa, hakuna mtu aliyewahi kunijua kwa kweli, au kuniona kwa kweli, na ingawa Nimekuwa mwili leo, nyinyi bado hamnijui. Je, huu sio ukweli? Je, umewahi kuona vitendo Vyangu na tabia Yangu hata kidogo katika mwili? Mbinguni ndiko mahali Ninakojinyoosha kwenye kiti, na chini ya mbingu ndipo ambapo Mimi Hupata mapumziko. Mimi Nina mahali pa kukaa, na Ninao wakati wa kuonyesha nguvu Zangu. Kama Singekuwa duniani, kama Singejificha ndani ya mwili, na kama Singekuwa mnyenyekevu na msiri, je, si mbingu na dunia zingekuwa zimeshabadilishwa muda mrefu uliopita? Je, si nyinyi watu Wangu, mngekuwa tayari mmetumiwa na Mimi? Hata hivyo kuna hekima kwa matendo Yangu, na ingawa Ninafahamu kikamilifu kuhusu udanganyifu wa mwanadamu, Mimi Sifuati mfano wake, na badala yake Ninafanya mabadilishano nao. Hekima Yangu katika ulimwengu wa kiroho haiishi, na pia hekima Yangu katika mwili ni ya kudumu milele. Je, huu sio wakati hasa ambao matendo Yangu yanawekwa wazi? Nimemsamehe na kufuta dhambi za mwanadamu mara nyingi, mpaka leo, katika Enzi ya Ufalme. Nitaweza kuchelewesha wakati Wangu zaidi tena? Ingawa Nimekuwa na huruma kiasi fulani kwa mwanadamu mdhaifu, pindi kazi Yangu inapokamilika, Ninaweza kujiletea taabu kwa kufanya kazi ya zamani? Ningeweza kwa makusudi kumruhusu Shetani alete mashtaka? Sihitaji mwanadamu afanye kitu chochote ila kukubali ukweli wa maneno Yangu na maana halisi ya maneno Yangu. Hata ingawa maneno Yangu ni rahisi, katika kiini maneno hayo ni machangamani, kwa maana nyinyi ni wadogo mno, na pia mmekuwa wasiosikia. Ninapozionyesha siri Zangu wazi na kufanya wazi mapenzi Yangu katika mwili, hamwoni haya yote; mnaisikikiliza sauti, lakini hamwelewi maana yake. Mimi hukumbwa na huzuni kuu. Ingawa Mimi Niko katika mwili, Ninakosa uwezo wa kufanya kazi ya huduma ya mwili. Ni nani ambaye amekuja kujua matendo Yangu katika mwili kati ya maneno na matendo Yangu? Ninapofichua siri zangu kwa maandishi, au kuzizungumza kwa sauti, watu wote hupigwa na butwaa, na wanafumba macho yao wakiwa kimya. Kwa nini Ninayosema hayaeleweki na mwanadamu? Kwa nini maneno Yangu hayaeleweki na yeye? Kwa nini yeye ni kipofu kwa matendo Yangu? Ni nani anayeweza kuniona na kamwe asiweze kusahau? Ni nani anayeweza kusikia sauti Yangu na asiiruhusu impite tu? Ni nani anayeweza kuhisi mapenzi Yangu na aufurahishe Moyo Wangu? Ninaishi na kutembea miongoni mwa wanadamu, Nimekuja kutambua wanachopitia, na ingawa Nilihisi kwamba kila kitu kilikuwa kizuri baada ya Mimi kuviumba kwa ajili ya mwanadamu, Sipati furaha kutokana na maisha miongoni mwa wanadamu, na Mimi sifurahishwi na kuwepo kwa furaha miongoni mwa wanadamu. Simchukii wala kumkataa mwanadamu, na wala Mimi Sina mvuto wa upendo kwake-kwa maana yeye hanijui, yeye huona ugumu kuuona uso Wangu gizani, na ana ugumu wa kuisikia sauti Yangu, na hawezi kutambua maneno Yangu, katika kelele hizo. Hivyo, kwa kijuu juu, yote mnayoyafanya ni kwa kunitii, lakini moyoni mwenu, nyinyi bado mnaniasi. Hali asili yote ya zamani ya mwanadamu, inaweza kusemwa, iko namna hii. Ni nani aliye tofauti? Ni nani asiye mmoja wa wale wanaolengwa na kuadibu Kwangu? Lakini ni nani asiyeishi chini ya uvumilivu Wangu? Kama mwanadamu angeangamizwa na ghadhabu Yangu, umuhimu wa kuumba Kwangu kwa mbingu na dunia ungekuwa nini? Wakati mmoja Niliwaonya watu wengi na kuwasihi watu wengi, na kwa uwazi Nikawahukumu watu wengi-je, hili si bora zaidi kuliko kumuangamiza mwanadamu moja kwa moja? Lengo Langu sio kumweka mwanadamu kwenye mauti, bali kumfanya kujua matendo Yangu yote katika hukumu Yangu. Wakati mnapanda kutoka kuzimu, ambayo ni kusema, mnapojiweka huru kutoka kwenye hukumu Yangu, fikira zenu binafsi na mipango yote yatatoweka, na watu wote watanuia kukidhi matakwa Yangu. Na katika hili, je, Mimi Sitakuwa Nimefanikiwa katika Lengo Langu? Machi 1, 1992 Iliyotangulia:Sura ya 8 Inayofuata:Sura ya 10 Kwa masuala ya ndani ya roho, unapaswa kuwa makini kwa utaratibu; kwa maneno Yangu, unapaswa kuwa msikivu kwa makini. Unapaswa kulenga hali ambayo un… Ni nani ameshinda nyumbani Kwangu? Ni nani amesimama kwa ajili Yangu? Ni nani ameteseka kwa ajili Yangu? Ni nani ameweka ahadi yake mbele Zangu? Ni n… Kazi ya siku za mwisho ni kutenganisha vitu vyote kulingana na jinsi yavyo, kuhitimisha mpango wa usimamizi wa Mungu, kwa maana muda u karibu na siku… Kila mtu anahisi kuwa usimamizi wa Mungu ni wa ajabu, kwa sababu watu wanafikiri kuwa usimamizi wa Mungu hauna uhusiano wowote na mwanadamu. Wanafikir…
2019-12-07T01:21:00
https://sw.kingdomsalvation.org/the-ninth-utterance-2.html
[ -1 ]
HII NDIYO SABABU YA USAIN BOLT SHABIKI MAARUFU WA MANCHESTER KUVAA JEZI YA ARSENAL | ShaffihDauda Home Kimataifa HII NDIYO SABABU YA USAIN BOLT SHABIKI MAARUFU WA MANCHESTER KUVAA JEZI... HII NDIYO SABABU YA USAIN BOLT SHABIKI MAARUFU WA MANCHESTER KUVAA JEZI YA ARSENAL Huyu mkali wa kukimbiza upepo ni shabiki maarufu sana wa club ya Manchester na kuna kipindi kulikua na tetesi za Sir Alex kutoka kumsajili. Ushabiki wake wala haufichiki kwasababu mara nyingi amekua akienda Old Trafford kuangalia mechi za Man united. Sasa nini kimetokea amevaa jezi ya wapinzani wake, kumbe huyu jamaa ali-bet dhidi ya mtangazaji wa TV anaitwa Patty Lopez la Cerda kwamba kama Manchester ikifungwa basi Bolt kwa mara ya kwanza atavaa jezi ya Arsenal. Bolt anaiamini timu yake akakubali akijua swala kufungwa halitatokea. Baaada ya Manchester kuchezea kichapo cha 3-0 basi ikabidi Bolt avalishwe jezi hiyo bila ubishi. Previous articleLIONEL MESSI ANATUMIA KIFAA MAARUFU KUPONA HARAKA…KINAITWA “GAME READY” Next articleCOMPUTER SPECIAL IMETABIRI JINSI MSIMAMO WA EPL UTAKAVYOISHA…ANGALIA TIMU ITAISHIA WAPI
2018-09-21T21:28:30
http://shaffihdauda.co.tz/2015/10/08/hii-ndiyo-sababu-ya-usainmm-bolt-shabiki-maarufu-wa-manchester-kavaa-jezi-ya-arsenal/
[ -1 ]
Prof. Jay Aanza Kuwapigia Debe Wasanii kwa Rais Magufuli - Mtiwadawa Home Audio Prof. Jay Aanza Kuwapigia Debe Wasanii kwa Rais Magufuli Akizunguza na wandishi wa habari nje ya viwanja vya Bunge mjini Dodoma jana, Profesa Jay, amesema kuwa Rais anapaswa kutambua umuhimu wa wasanii hao badala ya kuwatumia katika mambo mbalimbali ya kisiasa kisha kuwatelekeza.
2018-08-14T07:07:49
https://mtiwadawa.com/2015/11/prof-jay-aanza-kuwapigia-debe-wasanii.html
[ -1 ]
Bunge jipya la Serbia lapinga mpango wa Ahtisaari | Matukio ya Kisiasa | DW | 15.02.2007 Bunge jipya la Serbia lapinga mpango wa Ahtisaari Juhudi za kusaka maridhiano ya mzozo wa Kosovo zamwagiwa mxchanga na waserbia Bunge la Serbia mjini Belgrade Bunge jipya la Serbia lililokutana kwa mara ya kwanza jana baada ya uchaguzi mkuu wa mwezi uliopita,limepitisha kwa wingi mkubwa azimio linalolaani mpango wa Umoja wa mataifa unaoashiria aina fulani ya uhuru kwa jimbo la Kosovo. Baada ya majadiliano marefu,waabunge 225 kati ya 244 waliohudhuria kikako hicho wameidhinisha azimio lililowasilishwa na serikali inayomaliza wadhifa wake na ambalo linalaani mapendekezo ya mjumbe maalum wa Umoja wa mataifa Marti Ahtisaari kuhusu mustakbal wa Kosovo-jimbo linalosimamiwa na Umoja wa mataifa tangu mwaka 1999. Wabunge 15 wamepinga azimio hilo na wane hawakuelemea upande wowote. Azimio hilo linadhihirisha msingi wa msimamo wa serikali ya Belgrade katika mazungumzo ya February 21 ijayo pamoja na wakosovo wenye asili ya Albania mjini Vienna. Msimamo huo mkali unatishia kukorofisha juhudi za kusaka maridhiano zinazoendeshwa na mjumbe maalum wa umoja wa mataifa Marti Ahtisaari. Wakihutubia bunge mjini Belgrade,rais Boris Tadjic na waziri mkuu Vojislav Kostunica waliwataka hapo awali wabunge waupinge mpango huo wanaosema unavunja milki ya Serbia.Rais Boris Tadjic anasema: “Kimsingi mpango huo si chochote isipokua kuiongoza Kosovo hadi uhuru.” Rais Tadjic amesema Serbia itashiriki katika mazungumzo ya Vienna ili kutetea msimamo wake na kupendekeza mpango wake wenyewe ambao anautaja kua ni wa haki na unaoweza kukubalika.. Kwa upande wake waziri mkuu Vojislav Kostunica amesema Serbia iko tayari kuwapatia wakosovo wenye asili ya Albania mamlaka makubwa ya kujiamulia mambo yao na atakaeopinga anasema waziri mkuu, na hapa tunanukuu:” anataka kuimegua Serbia”-Mwisho wa kumnukuu waziri mkuu wa Serbia Vojislav Kostunica. Mapema mwezi huu mjumbe maalum wa umoja wa mataifa Marti Ahtisaari alipendekeza aina ya mamlaka ya Kosovo itakayokua chini ya usimamizi wa kimataifa na kuongozwa na umoja wa Ulaya. Kwa mujibu wa mapendekezo hayo,Kosovo inaweza kua mwanachama wa taasisi mbali mbali za kimataifa na kujivunia kanuni na vyenzo vya dola huru,ikiwa ni pamoja na katiba, bendera na wimbo wa taifa. Pekee muungano wa upande wa upinzani cha kiliberali-LDP unaoongozwa na Cedomir Jovanovic ndicho kilichopinga azimio la serikali ya Serbia. Jovanovic amesema azimio hilo ni mfululizo wa sera zilizoiangamiza Serbia.
2017-08-21T14:24:44
http://www.dw.com/sw/bunge-jipya-la-serbia-lapinga-mpango-wa-ahtisaari/a-2926530
[ -1 ]
Bora kumbukumbu kadi ya data recovery programu Wakati mwingine ni vigumu sana kwa mtumiaji kuepua data ya kadi ya SIM ambayo inajumuisha zaidi ya mawasiliano na ujumbe wa matini. Mafunzo haya ina maendeleo kuhakikisha kwamba programu bora ni tu kuletwa lakini mtumiaji pia anapata knowhow wa kuzitumia. Si tu kufanya maisha rahisi kwa mtumiaji lakini pia kupanua upeo wa macho. Faili irrecoverable kutoka kwa kadi ya SIM Ni ieleweke kwamba mbinu za jadi haiwezi kutumika kuhakikisha kwamba data kadi ya SIM ni Rudishwa na ni kutokana na ukweli kwamba data kwenye uso imefungwa na mtumiaji inahitaji kuhakikisha kwamba huduma za ziada na mipango ya programu ni kutumika kuepua data. Ni pia ieleweke kwamba ufufuaji wa moja kwa moja kutoka kwa kadi ya SIM kamwe inawezekana na kwa sababu hiyo ni pia ieleweke kwamba mtumiaji wanapaswa kutumia mbinu ambayo ingekuwa alieleza katika sehemu ya mwisho ya mafunzo ili kuhakikisha kwamba suala hili bado hakuna mechi kwa ajili ya mtumiaji. Huduma ambayo ingekuwa alieleza katika mafunzo haya pia Tutahakikisha kwamba faili irrecoverable kutoka kwa kadi ya SIM ni si tu alifanya hakitazidi lakini data ni pia kuondolewa namna bora ili kwamba mtumiaji anapata matokeo bora ndani wakati hakuna wakati wote. Ni pia ieleweke kwamba mtumiaji lazima kufuata hatua zote ambavyo vimetajwa katika mafunzo ya kama atawaongoza kuelekea ufumbuzi katika hali ya utulivu mzuri na enchanting kusababisha mtumiaji kupata matokeo kulingana na mahitaji. Ni pia ieleweke kwamba mtumiaji lazima kuhakikisha kwamba hatua ni kamwe imeruka au pengine ahueni faili kutoka kwa kadi ya SIM itakuwa kazi ngumu sana kufanya. Kufufua data zako na bora SIM kadi ya data recovery programu Wondershare Dk. Fone kwa ajili ya Android ni moja ya programu programu ya akili sana na kifalme alikuwa Imetengenezwa na Wondershare kuhakikisha kuwa ya lazima ni kufanyika na mtumiaji anapata data ya aina yoyote Rudishwa ndani hakuna muda. Kufuatia maendeleo katika sayansi na teknolojia ni pia ieleweke kwamba programu inasambizwa kutimiza matakwa na mahitaji ya watumiaji kwamba ni kutokea kwa kila siku. Maelezo kamili kuhusu programu imetajwa pia katika tovuti rasmi ya Wondershare na mtumiaji kutembelea ni kuhakikisha kukusanya taarifa ya ziada. Pia ni muhimu kutaja kwamba kuna Orodha ndefu sana ya simu za mkononi ambayo imetajwa katika tovuti na hizi ni simu ambayo ni mkono na programu na kwa sababu hiyo ni pia ieleweke kwamba programu ni mmoja wa wale ufanisi zaidi na bora ambayo inapatikana katika soko. Mchakato husika kwa kufufua data ya kadi ya SIM (ambayo kwa kawaida huwa SMS au wawasiliani) kufufua ilivyotajwa hapa chini kuhakikisha kwamba mtumiaji anapata matokeo bora na kufuata mchakato wa kuhakikisha kwamba mahitaji ya mtumiaji ni pia alikutana: 1. URL http://www.wondershare.com/data-recovery/android-data-recovery-guide.html ni kuwa itatumika ili kuhakikisha kwamba faili exe ya programu zilizopakuliwa: 2. sasa kwenye kifaa android mtumiaji inahitaji kuhakikisha kwamba njia zilizotajwa chini ikifuatiwa kupata mchakato kwenda: Mipangilio"> bofya"Maombi"> bofya"Maendeleo"> kuangalia"USB urekebishaji 3. kifaa kuchambua hatua mapenzi basi kuanzishwa kama maendeleo ya: 4. aina ya faili ni kuchaguliwa. Kama SIM kadi ni kutumika kuepua data ili matini ujumbe aina watachaguliwa kuendelea: 5. mtumiaji kisha inahitaji kubainisha hali ya utambazaji kwa ajili ya kufufua data na hapa ni kuhusu uchaguzi wa mtumiaji. Uhakika kwamba ni ieleweke ni kwamba hali-tumizi pevu anaweza kuonekana kama tambazo kina na inachukua muda mrefu na hufanya mtumiaji kusubiri zaidi ikilinganishwa na kiwango cha hali-tumizi ambayo ina masharti: 6. mfumo wa mapenzi retrieve data zote ya SMS kutoka kadi ya simu na simu kuhakikisha kwamba cha muhimu ni kufanyika: 7. mtumiaji sasa anahitaji kuhakikisha kwamba ujumbe ambao ni kulipwa Bofywa au kuchunguzwa na wengine ni kushoto unchecked. Haraka kama kitufe cha kuokoa kisha taabu programu Tutahakikisha kwamba wale wote matini ujumbe ni checked zinalipwa na hii pia anahitimisha mchakato kikamilifu. Mambo gani imehifadhiwa kwenye kadi ya SIM? SIM anasimama kwa mteja utambulisho moduli na kwani sawa sababu ni bora na teknolojia ya GSM pevu zaidi kwamba ulikuwa umetayarishwa. Inafanya uhakika kwamba data ni Rudishwa si tu kutoka BTS karibu lakini mawimbi ya pia daima vimeelekezwa kwenye simu ya mteja. Mambo ambayo yamehifadhiwa kwenye kadi ya SIM unategemea juu ya uchaguzi wa kampuni ya au Machaguo ambayo wamepewa kwa mtumiaji katika suala hili. Wengi wa waendeshaji mkononi kwamba ni uendeshaji kote duniani kuhakikisha kwamba kwa chaguo-msingi mawasiliano na SMS uhifadhiwa kwenye SIM ya na ni kwa sababu hiyo hiyo kwamba njia juu ya ufufuaji wa SMS limeelezewa kutumia Wondershare Dk. Fone kwa ajili ya Android. Ni aina gani ya data unayotaka kuepua kutoka kwa kadi yako ya SIM? Kama ni limeelezewa kabla pia kuwa aina mbili za data iliyohifadhiwa kwenye kadi ya SIM ni wawasiliani kama vile SMS na wote wao ni muhimu sana kwa ajili ya mtumiaji linapokuja suala la uepuaji data. Kama kura ya maoni ni uliofanywa katika suala hili basi matokeo yake yatakuwa 100% watumiaji akisema SMS na 100% yao akisema Wawasiliani. Kwa hivyo kura hii ya maoni ni sawa kuwapendelea data ambayo wamekuwa zilizotajwa. > Rasilimali > Kadi ya kumbuko > bora SIM kadi ya data recovery programu
2018-01-22T14:18:39
http://sw.wondershare.com/disk-utility/the-best-sim-card-data-recovery-software.html
[ -1 ]
Aunty Ezekiel- Sipendi Kuishi Maisha Ya Kuigiza Mitandaoni - Ghafla TZ | PressTZ - Your Number 1 Source of Aggregated Online Content Aunty Ezekiel- Sipendi Kuishi Maisha Ya Kuigiza Mitandaoni Muigizaji wa Bongo movie na mfanyabiashara maarufu Aunty Ezekiel amefunguka na kuweka wazi kuwa hawezi kuishi maisha ya kuigiza tajiri kwenye mitandao ya kijamii wakati hana kitu. Aunty amefunguka hayo baada ya hivi karibuni kusemwa Kwenye social media baada ya kuonekana amerudia nguo aliyovaa Kwenye msiba wa mtoto wa Muna ambayo alishavaa Kwenye misiba kadhaa siku za nyuma. Kwenye mahojiano aliyofanya na gazeti la Amani, Aunty Ezekiel, amesema anawashangaa watu wanaomjadili kuwa anarudia nguo na kumtaka anunue nguo kila siku kitu ambacho yeye anaona hakina maana. Eti kila sehemu niende na nguo mpya au hata msibani nibadili nguo ina maana nitakuwa sina vitu vingine vya kufanya vya maendeleo zaidi ya kununua nguo kwa ajili ya maonyesho? Watu wasinijadili, sina muda huo wala kufuata wanayotaka wao”. The post Aunty Ezekiel- Sipendi Kuishi Maisha Ya Kuigiza Mitandaoni appeared first on Ghafla!Tanzania. 1: Dogo Janja na Young Dee Hawaniwezi Kwenye kazi;-Young Killer 2: Vanessa Atoa Siri Ya Uhusiano Wake na Jux Wakati Bado Yupo na Jack Cliff 3: Ali Kiba- Mama Yangu Amenisapoti Kimuziki Kuliko Baba 4: Shigongo Adai Diamond Hawezi Kuwa Staa Milele 5: Hukumu Ya Wema Sepetu Kusomwa Ijumaa
2018-07-16T22:21:55
http://presstz.net/aunty-ezekiel-sipendi-kuishi-maisha-ya-kuigiza-mitandaoni-38892294
[ -1 ]
SIMBA YATUPWA NJE NA BANADARI YA KENYA FAIBALI ZA SPORTPESA. - Mtinge Blog Home / Unlabelled / SIMBA YATUPWA NJE NA BANADARI YA KENYA FAIBALI ZA SPORTPESA. SIMBA YATUPWA NJE NA BANADARI YA KENYA FAIBALI ZA SPORTPESA. MABINGWA wa Tanzania Simba FC wametupwa nje ya michuano ya SportPesa Super Cup baada ya kuchapwa mabao 2-1 na Bandari ya Kenya katika mchezo wa Nusu Fainali uliofanyika Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Bandari:Faruk Shikholo, Nicholas Meja, Fred Nkata, Bernard Odhiambo, Felly Mulumba, Collins Agade, Abdallah Hassan, Khamis Abdallah/Wilberforce Lugogo dk54, Temia Mwama/Wycleffe Ochomo dk62, William Wadri na David Kingatua/Msaga Darius dk52 Via Binzubeiry SIMBA YATUPWA NJE NA BANADARI YA KENYA FAIBALI ZA SPORTPESA. Reviewed by Bashir Nkoromo on January 25, 2019 Rating: 5
2019-08-25T17:42:29
http://www.mtinge.com/2019/01/simba-yatupwa-nje-na-banadari-ya-kenya.html
[ -1 ]
SIKIA HII... ETI PATCHO MWAMBA AMEWAMISS MASHABIKI WANAORUSHA PESA JUKWAANI WAKATI WANATUMBUIZA! | saluti5 Home » MUZIKI » SIKIA HII... ETI PATCHO MWAMBA AMEWAMISS MASHABIKI WANAORUSHA PESA JUKWAANI WAKATI WANATUMBUIZA! SIKIA HII... ETI PATCHO MWAMBA AMEWAMISS MASHABIKI WANAORUSHA PESA JUKWAANI WAKATI WANATUMBUIZA! STAA wa muziki wa dansi, Patcho Mwamba ametoa kali ya mwaka baada ya kusema kuwa siku hizi mashabiki wamekuwa hawarushi tena fedha jukwaani kwasababu ya ukata wa kimaisha. Patcho ambaye pia ni mcheza filamumaarufu, alidai kuwa suala la uhaba wa fedha linaloendelea nchini limesababisha mashabiki kushindwa kuwatuza wanapokuwa jukwaani wanapotoa burudani. “Pesa imekuwa ngumu kidogo, siku hizi hakuna msanii anayetuzwa jukwaani kama zamani, watu wako bize na masuala ya msingi tu,” alisema Patcho. Staa huyo mwenye asili ya Congo (DRC), amekuwa akifanya kazi zake nyingi na JB, huku kivutio kikubwa kwa mashabiki kikiwa ni lafidhi yake ya Kikongo.
2017-10-24T11:30:51
http://www.saluti5.com/2017/06/sikia-hii-eti-patcho-mwamba-amewamiss.html
[ -1 ]
VIJIMAMBO: MBUNGE WA CCM ANASWA KWA TUHUMA ZA RUSHWA MBUNGE WA CCM ANASWA KWA TUHUMA ZA RUSHWA Biharamulo. Mbunge wa Kishapu (CCM), Suleiman Nchambi na viongozi watatu wa mgodi wa Stamigold ulioko Tulawaka wilayani Biharamulo mkoani Kagera, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya rushwa.
2019-03-26T08:41:02
http://lukemusicfactory.blogspot.com/2018/08/mbunge-wa-ccm-anaswa-kwa-tuhuma-za.html
[ -1 ]
VIDEO:- CCM YAPIGA MARUFUKU UJAZAJI RUMBESA NA VIPIMO VYA UJAZO VINAVYOMUIBIA MKULIMA. ~ g sengo VIDEO:- CCM YAPIGA MARUFUKU UJAZAJI RUMBESA NA VIPIMO VYA UJAZO VINAVYOMUIBIA MKULIMA. Wednesday, July 31, 2019 SIASA No comments Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. Bashiru Ally amehudhuria Mkutano Mkuu wa Jimbo la Ilemela wa uwasilishaji wa utekelezaji wa Ilani ya CCM Jimbo la Ilemela-uwanja wa CCM Kirumba. Mkutano huo maalum wa uwasilishaji wa utekelezaji wa Ilani, uliofanywa na Mbunge wa Ilemela, Angelina Mabula umehudhuriwa viongozi mbalimbali wa chama na serikali wakiongozwa Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM Ndg. Kheri James Mwenyekiti wa Vijana wa CCM taifa na Mama Munde Tambwe, mjumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa ndg. Jamal Babu, viongozi wa Mkoa, Wilaya, Kata, Matawi na wajumbe wote wa mashina Wilaya ya Ilemela. Katibu Mkuu akizungumza katika mkutano huo, ametoa maelekezo kwa viongozi wa serikali hasa wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya kusimamia vipimo vya ujazo wa mazao ikiwemo kupiga marufuku ujazaji wa rumbesa na mizani isiyotenda haki kwa wakulima. "Natoa maelekezo nchi nzima kwa wakuu wa mikoa na wilaya kwa niaba ya CCM, kama mnataka kazi ndani ya serikali hii ya CCM nisisikie malalamiko kuhusu ujazaji wa rumbesa kama ambavyo baadhi ya wafanyabiashara wanawafanyia wakulima wetu hivi sasa. Rumbesa, na mizani isiyokuwa ya haki kwa wakulima wetu ni kosa kisheria, na kamati za siasa za mikoa, wilaya, kata na matawi simamieni hili na mtoe taarifa ili wananchi wanyonge wasiendelee kunyanyaswa." Dk. Bashiru ameelekeza. Wakati huo huo, Ndg. Kheri James akimkaribisha Katibu Mkuu, amewataka vijana wote nchini kuendelea kuwatetea viongozi kwa nguvu zote dhidi ya baadhi ya watu wasio itakia mema nchi yetu kwa kutoa kejeli na kuwakatisha tamaa viongozi wetu, licha ya kazi kubwa wanayoifanya kwa nchi yetu. "Ninawaomba vijana nchi nzima, tuendelee kuwalinda viongozi wa chama na serikali dhidi ya yeyote anayetoa kejeli kwa kazi kubwa wanazofanya viongozi wetu usiku na mchana, hatutaruhusu mwenyekiti na Rais wetu, Katibu Mkuu wetu na viongozi wote wakatishwe tamaa na watu wachache wasioitakia mema nchi yetu." Ndg. Kheri amesisitiza. Mkuu wa mkoa wa Mwanza John Mongella akitoa neno la utambulisho na makaribisho kwa wadau waliohudhuria mkutano huo. Ziara hii ya siku tano, imeanza leo Mkoani Mwanza ikiwa ni muendelezo wa kutekeleza jukumu la viongozi wa CCM kufuatilia utekelezaji wa maelekezo ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM.
2020-05-28T04:32:13
https://gsengo.blogspot.com/2019/07/video-ccm-yapiga-marufuku-ujazaji.html
[ -1 ]
Estonia - Ajira lugha Sasa, maadili, data ya kihistoria, utabiri, takwimu, chati na kalenda ya kiuchumi - Estonia - Ajira lugha.
2019-10-16T21:18:26
https://sw.tradingeconomics.com/estonia/employment-change
[ -1 ]
Uchumba wa Jack Wolper – Habari Zao October 27, 2015October 27, 2015 Alli Matala Rumors Uchumba wa Jack Wolper ULE uchumba wa mwigizaji Jacqueiline Wolper na Mkongo ambao ulipamba vyombo vya habari kwa miezi kadhaa iliyopita, hatimaye umevunjika rasmi huku daktari wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asili kilichopo Mbezi-Afrikana, Dk. Fadhili Emily akitajwa, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili. Wolper alivalishwa pete ya uchumba kwa mbwembwe katika hoteli moja moja maarufu jijini Dar ambapo mwanaume huyo raia wa Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo aliahidi kumuoa hivi karibuni huku akijiweka karibu na ndugu wa Wolper. Kwa mujibu wa mtu wa karibu na Wolper, kabla Dk. Fadhili hajatia ‘saundi’, tayari Wolper alikuwa ameshapishana na Mkongo huyo hivyo Dk Fadhili alipata kazi rahisi kuvunja uchumba huo maana amekuta unasuasua. “Wolper alikuwa ameshatofautiana na jamaa, lakini jamaa alikuwa hakubaliani na matokeo akawa anaendeleza uchumba kwa tabutabu sasa alipotokea Dk. Fadhili na kuingiza nyavu, fasta tu Wolper akawa amevunja uchumba wa awali na kuunga uchumba mpya,” alisema mtu huyo wa karibu na Wolper. Mara baada ya ubuyu huo kutua kwenye dawati la Ijumaa Wikienda, mwanahabari wetu alimtafuta Wolper ili aweze kuzungumzia taarifa hizo ambapo alipopatikana alikiri uchumba wake na kutofafanua vizuri kama uchumba huo umevunjwa na Dk. Fadhili. “Ndiyo uchumba umevunjika kwani tatizo liko wapi? Kuhusu suala la nani ameuvunjia mbona sioni umuhimu wake, iwe ni huyo dokta (Dk. Fadhili) au mwingine yeyote sawa tu kwani haya si ni maisha yangu binafsi,” alisema Wolper. Tagged Featured, Jacquline Wolper Published by Alli Matala Diamond Platnumz kashinda Tuzo ya Best Worldwide Act, Italy kwenye MTV EMA 2015.Mourinho ashtakiwa utovu wa nidhamu Picha,Huyu ndio Latiffah Nasibu Abdul mtoto wa Diamond na Zari. PICHA, DIAMOND PLATNUMZ AKIMBUSU TUMBO LA ZARI, NATAMANI MJUE NAVYOMPENDA ZARI Kuhusu mkanda wa ngono wa Lil Wayne na atakachofanya ukisambazwa. PICHA, MAPENZI MOTOMOTO YA NICKI MINAJ NA MEEK MILL KWENYE VIDEO YA ALL EYES ON YOU Harmonize asema Jackline Wolper alikuwa Single Follow Habari Zao on WordPress.com Visitors 90,922 Visitors Top TrendWasanii watatu wa rap anaowakubali zaidi Lil Wayne…. June 7, 2017 Alli Matala Create a free website or blog at WordPress.com.
2017-06-24T19:08:35
https://habarizao.wordpress.com/2015/10/27/uchumba-wa-jack-wolper-wavunjika/
[ -1 ]
5th to 10th October: Climate Change Adaptation MAFUNZO JUU YA MABADILIKO YA TABIA NCHI YATOLEWA Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Rukwa kwa kushirikiana na GIZ-Tanzania iliendesha mafunzo ya Mabadiliko ya Tabia Nchi (climate change) kwa wataalamu kutoka umwagiliaji, kilimo,maendeleo ya jamii kutoka Bonde la Ziwa Nyasa na Rukwa. Katika mafunzo hayo walifundishwa mambo mbalimbali kuhusu mabadiliko ya Tabia Nchi. Mada zilizotolewa ni pamoja na kuona kwa jinsi gani jamii inaweza kushirikishwa kuanzia ngazi ya taifa mpaka ngazi ya chini kabisa kukabiliana na Mabadiliko ya Tabia Nchi kwenye maeneo yao. Washiriki wa mafunzo haya walipata vyeti kwa kushiriki. Katika mafunzo hayo mafunzo kwa wawezeshaji yalitolewa pia. 16th to 18th September: Annual Water Conference BODI YA MAJI BONDE LA ZIWA RUKWA YASHIRIKI MKUTANO WA WADAU WA MAMLAKA ZA MAJI-DODOMA 2015 Watumishi kutoka Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Rukwa walishiriki katika mkutano wa wadau wa mamlaka za maji uliofanyika mkoani Dodoma uliondaliwa na ATAWAS kuanzia tarehe 16/09 mpaka 18/09/2015. Katika mkutano huo mada mbalimbali ziliwasilishwa, ambapo Bodi ya Maji ya Bonde la Ziwa Rukwa ilipata nafasi ya kuwasilisha mada mbili (2) kuhusu mkakati wa mawasiliano unavyosaidia katika usimamizi shirikishi wa Rasilimali (Communication strategy as a tool for water governance) za maji pamoja na mada kuhusu utafiti wa kina cha maji cha ziwa Rukwa ( Lake Rukwa Bathymetric survey). Mbali na mada zilizowasilishwa na ofisi yetu, kulikuwepo pia na mada mbalimbali kuhusu usimamizi wa rasilimali za maji kutoka kwa wadau wengine. 08th August: Nanenane exhbition BANDA LA WIZARA MAJI (BONDE LA MTO RUFIJI, ZIWA RUKWA NA ZIWA NYASA) LAVUTIA WENGI KATIKA MAONESHO YA NANENANE 2015 Bodi ya maji bonde la Mto Rufiji, Ziwa Rukwa na Ziwa Nyasa zilishiriki katika maonesho ya nanenane yaliofanyika katika uwanja wa Mwakangale mkoani Mbeya. Katika maonesho hayo wataalamu kutoka ofisi za maji za mabonde walitoa elimu juu ya usimamizi shirikishi wa rasilimamili za maji, mbali na utoaji wa elimu jamii ilipata kujionea vifaa mbalimbali vinavyotumika katika usimamizi wa rasilimali za maji, kauli mbiu ya nanenane ya mwaka huu ilikuwa matokeo makubwa sasa, tuchague viongozi bora kwa maendeleo ya kilimo na ufugaji. Katika maonesho haya wataalaamu toka mabonde husika walionyesha ubunifu wao kuandaa chanzo cha maji kilichovutia watu wengi, ambapo waliotembelea banda letu walipata elimu jinsi ya kuhifadhi vyanzo vya maji kwa kupanda miti rafiki na maji, taratibu za uchepushaji wa maji na matumizi mazuri ya maji. Maafisa maji kutoka bodi ya maji bonde la ziwa Rukwa na Nyasa walifurahia maonesho hayo na kusema kuwa hii ni elimu nzuri kwa jamii juu ya usimamizi wa rasilimali za maji. 03rd Julay: WUA study trip JUMUIYA ZA WATUMIA MAJI BONDE LA ZIWA RUKWA ZAPATA MAFUNZO Jumuiya za watumia maji kutoka bonde la Ziwa Rukwa zilifanya ziara ya siku nne (4) katika bonde la Mto Rufiji kwa lengo la kujifunza. Lengo kuu la mafunzo hayo ilikuwa ni kuzijengea uwezo jumuiya hizi katika suala zima la usimamizi wa Rasilimali za maji. Mafunzo haya yalilenga juu ya ugawaji wa maji, ukusanyaji wa mapato, utatuzi wa migogoro, uongozi na namna ya kutunza vyanzo vya maji. Jumuiya zilizopata mafunzo haya ni wanajumuiya wa bonde dogo la mto Katuma kutoka mkoani Katavi, na jumuiya za bonde dogo la mto Myovizi, Mlowo pamoja na Ruanda kutoka wilayani Mbozi. 9th June: Bodi ya Maji BODI MPYA YA MAJI BONDE LA ZIWA RUKWA Waziri wa Maji Profesa Jumanne Magembe ameteua bodi mpya ya Bonde la Ziwa Rukwa baada ya ile ya zamani kumaliza muda wake. Hii inakuwa ni bodi ya tatu toka kuanzishwa kwa ofisi ya maji ya Bonde la Ziwa Rukwa mwaka 2004. Katika bodi hii mpya iliyoteuliwa kuanzia April, 2015 inajumuisha wadau waliopo katika Bonde la Ziwa Rukwa ambao ni wajumbe kutoka sekta mbalimbali bila kuwasahau wadau kutoka jumuiya za watumia maji. Majina ya wajumbe wa bodi mpya: Lawrence W. Mbuya, Chairman Eng. Florence Mahay, Basin Water Officer LRBWB, Secretary Eng. Leonard Masanja - Ministry of Energy and Mines Eng. Maua Mgallah - District Water Engineer, Momba District Tatu Abdalah, Water User Association Katuma River Joseph Kakunda, PCU, Ministry of Water, Rose Mero, Lafarge - Mbeya Cement Given Haonga, Water User Association Myowizi River Elibariki J. Mwendo, Zonal Irrigation Unit, Ministry of Agriculture Juliana Nzowa, Water User Association Mlowo River Eng. Zakaria Nyanda, Mpanda UWSA 29th May: Mabadiliko ya Tabianchi BODI YA MAJI BONDE LA ZIWA RUKWA KWA KUSHIRIKIANA NA GIZ YAFANYA JUKWAA LA KWANZA LA MABADILIKO YA TABIA NCHI KWA WADAU Wadu mbalimbali kutoka maeneo ya bonde la Ziwa Rukwa walikutana kwa mara ya kwanza katika jiji la Mbeya kwenye jukwaa la kwanza la mabadiliko ya tabia nchi. Katika mdahalo huo wadau walioshiriki ni kutoka asasi za kiraia (NGOs), taasisi binafsi pamoja na taasisi za kiserikali zilizopo katika bonde la ziwa Rukwa. Mada zilizojaliwa katika jukwaa hilo ni pamoja na “climate change vulnerability” iliyowasilishwa na Afisa wa Maji toka Bodi ya Maji ya Bonde la Ziwa Rukwa, “global negotiation in climate change adaptation” iliyowasilishwa na Susane Schwan, Mr Baraka Kajange kutoka coffee and climate intiative aliwasilisha mada ambayo ilihusu namna taasisi binafsi zinavyoweza kuwa na mchango katika masuala ya mabadiliko ya tabia nchi. Mada nyingine iliyowaslishwa ilihusu athari ya mabaliko ya tabia nchi katika nchi za Africa mashariki iliyowasilishwa na Mr Till. katika jukwaa hili wadau walipata fursa ya kujadili jinsi wanavyokabiliana na mabadiiliko ya tabia nchi kwenye sekta zao, ambapo ilijadiliwa katika sekta ya kilimo, mifugo, mazingira, na rasilimali za maji. 08th and 9th of May: Mkutano Wadau wa Maji WADAU WA MAJI WAIBUA CHANGAMOTO KWENYE USIMAMIZI RASILIMALI ZA MAJI Wadau maji kutoka mkoani mbeya walikutana kwenye kikao cha siku mbili wilaya Rungwe kujali changamoto zilizopo katika usimamizi wa rasilimali za maji. Wadau walioshiriki katika kikao hicho ni mameja wa mamlaka ndogo za maji, wataalamu toka NEMC, Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Rukwa na Nyasa, wahandisi wa maji wilaya pamoja na wataalamu wa afya toka wilayani Rungwe. Mada zilizojadiliwa ni hali ya ubora wa maji katika mkoa wa mbeya, ushiki wa wadau mbalimbali katika usimamizi wa rasilimali za maji pamoja na elimu juu ya sheria ya maji. Washiriki walipendekeza kuwa ni vema suala la kuharibiwa kwa vyanzo vya maji katika sehemu nyingi hapa mkoani mbeya likasimamiwa kikamilifu. Wajumbe kwa pamoja walikubaliana kwamba ni vema kukawepo na majukwaa ya mara kwa mara katika suala zima la usimamizi wa rasilimali za maji. 16th to 22. March 15: Maji Wiki MAADHIMISHO YA MAJI WIKI Bodi ya maji bonde la Ziwa Rukwa kwa kushirikiana na GIZ, walihitimisha wiki ya maji 2015 kwa kishindo kupitia mashindano ya mpira wa miguu, ambapo jumla ya timu nane (8) zilizopo katika bonde dogo la mto katuma zilishiriki. Mashindano haya yaliyoendeshwa kwa msaada wa GIZ yalilenga kuhamasisha jamii iliyopo katika bonde hili katika usimamizi endelevu wa Rasilimali za Maji. 11 and 12. March 15: Ziara ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais mazingira Alipotembelea Kiwanda cha Saruji (Mbeya Cement) na Migodi tatu katika Chunya Waziri alitembelea Jumla ya Migodi tatu (Sunshine Gold Mining, Shanta Gold Mining na Mek One Gold Mining. Katika zara yake waziri alikuwa anaangalia jinsi migodi ilivyojipanga katika utunzaji wa mazingira. Vitu alivyokuwa anaangalia ni vitu vikuu vitatu: 1) tathmini ya athari ya mazingira (EIA), Mpango wa utunzaji wa mazingira (EMP), Tailing Storage Facility (TSF - Mabwawa ya kuhifadhia mabaki kutoka mgodini. Halafu alipotembelea Kiwanda cha Saruji Mbeya Cement. Mapungufu yaliyojitokeza: Mabwabwa ya Majitaka (Waste Water Stabilization Ponds) Hayapo katika hali ya usafi unaolidhisha hivyo yatapelekea mabwawa hayo kutokufanya jazi ipasavyo. Waziri alipendekeza mabwawa ya majitaka kufanyiwa usafi haraka iwezekanayo ili kuweza kuongezea ufanisi wa utendaji kazi wa mabwawa hayo ili kuweka mazingira katika hali ya usafi. 26. Jan 15: Mpango wa hifadhi wa vyanzo vya maji Watumishi wa Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Rukwa wakipanda miti Safu ya Mlima Mbeya Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Rukwa kwa kushirikiana na wadau mbalimbali walishiriki katika mpango wa uhifadhi mazingira na vyanzo vya maji katika safu ya mlima Mbeya. Mpango huu wa uhifadhi wa mazingira na vyanzo vya maji uliozinduliwa na mkuu wa mkoa tarehe 15/01/2015, lengo kuu ilikuwa ni kutafuta ufumbuzi wa uharibifu wa mazingira na vyanzo vya maji katika safu za mlima Mbeya. Wadau waliohusika katika kuandaa mpango huu ni wakala wa huduma za misitu (TFS), mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira jiji la Mbeya, Baraza la Taifa la Mazingira (NEMC), Halmashauri ya jiji la Mbeya na Mbeya vijijini, Shamba la miti kawetere, vyombo vya ulinzi na usalama (JKT-Itende, JWTZ-Mbalizi na Jeshi la Polisi Mkoa) na Jamii inayozunguka safu ya mlima Mbeya. Changamoto zilizopo katika safu ya mlima Mbeya zinasababishwa na shughuli za kibinadamu katika vyanzo vya maji, ambapo athari zake ni pamoja na mabadiliko ya tabianchi, mmonyoko wa udongo, kupungua kwa wingi na ubora wa maji na upotevu wa viumbe hai (bionuai). Mpango huu umelenga kupunguza matukio ya moto, kuzuia uvamizi wa maeneo ya hifadhi, kukazia sheria za uhifadhi wa mazingira, kutoa elimu na ushirikishwaji wa jamii kulinda na kuhifadhi safu ya mlima Mbeya , kurudisha uoto wa asili kwenye vyanzo vya maji pamoja na kutafuta vyanzo mbadala vya nishati. Shughuli za utekelezaji katika mpango huu zilizofanyika toka uzinduzi wake mwezi January ni pamoja na upandaji miti iliyo rafiki na maji kwenye vyanzo vya maji vilivyopo katika safu ya mlima Mbeya ambapo zaidi ya miche 45,000 ilioteshwa,uanzishaji wa shamba darasa katika kata ya iganzo lenye mizinga 50 pamoja na kutengeneza barabara za kuzuia moto. Utunzaji wa vyanzo vya maji ni suala muhimu kwa vile linahusisha maisha ya binadamu na viumbe hai katika maeneo husika, Bodi ya Maji Bonde la Ziwa Rukwa kama msimamizi mkuu wa Rasilimali za Maji katika Bonde la Ziwa Rukwa ilishiriki kikamilifu katika utekelezaji wa mpango huu. 12. Dec 14: Presentation of IWRMD II plan Severe Climate Change Impacts on Water Resources in Lake Rukwa Basin Expected A stakeholder workshop on the review of the Interim II Integrated Water Resources Management and Development Plan (IWRMD) revealed large changes in water availability for the regions of Lake Rukwa Basin. In the workshop held in Mbeya on 11th and 12th of December, WREM International and the Lake Rukwa Basin Water Board, which is supported by GIZ, presented their water demand projections and future water availability to about 100 stakeholders from various sectors. According to their findings, Climate Change is expected to exacerbate water stresses throughout the basin. Although a higher average precipitation levels are expected, a higher evapotranspiration due to higher temperatures will lead to a dryer climate. In addition, more heavy rains and longer droughts are expected. Because of its hydrogeological characteristics, Lake Rukwa is very sensitize to changing climate and “can act as an indicator for global warming”, as Aris Georgakakos from WREM stated. Katuma river and Songwe river are identified as the hotspots of climate change with severe trade-off challenges between future water demands and availability. At Katuma river, water use for irrigation will not be possible for several consecutive years, if the water demand of the wetland ecosystem of Katavi National Park are taken into account. The densely populated Songwe catchment around Mbeya will suffer from water shortages during dry seasons, mainly because of population and industrial growth. So far Environmental flow requirements are currently unsupported, indicating alarming stresses on the environment and ecosystems. A continuation of past water use and management practices will surely escalate environmental degradation and foreclose socio-economic development. Basin Water Officer Florence Mahay underlined that the “IWRMD is an opportunity for systemic change in water management and use that must not be missed”. Stakeholders from from all districts and regions of the basin, private companies, utilities, various government authorities and ministries, as well as Water User Associations discussed on how the gaps between future water demand and availability could be met. The meeting was hosted by Mr. Kakunda, Director of Programm Coordination Unit, Dr. Hamza Sadiki, Director of Water Resources and Mr. Mbuya, Chairman of the Lake Rukwa Basin Water Board. Coverage: Mbeya, Rukwa, Katavi and small parts of Tabora and Singida 05 Dec 14: Annual General Meeting Basin Water Boards meet to discuss future water resources management In a four days annual general meeting in Mtwara from December 2nd to December 5th, the nine Basin Water Boards exchanged experiences and views on the way forward in managing Tanzania's water resources. They presented challenges and innovative approaches, which have been put into practice in the last year. Elaborate discussions arose from the presentations on credibility of hydrological data by Prof. Kamugisha and on low-cost bathymetrie by BWO Florence Mahay from Lake Rukwa Basin, which have been the highlights for many participants. Furthermore, the presentation on the Performance Assessment Framework, developed by Ministry of Water and GIZ received a very positive feedback. Besides the themed and research presentations, the different consultants for the Integrated Resources Management and Development Plans used the opportunity to inform about their progress. The Minister of Water, Prof. Jumanne Maghembe, PS Futakamba and the Directors for Water Resources and PCU, Dr. Hamza Sadiki and Joseph Kakunda. 28th Nov 14: Board election Lake Rukwa Basin elects a new Basin Water Board Stakeholders from local government authorities, private companies, Government institutions, water user associations, and water utilities came together on November 28th to elect a new Basin Water Board for Lake Rukwa Basin. The Basin Water Board is the lead water management institution in the basin. Through the Board water users and stakeholders are enabled to manage their water sources themselves in a participatory and equitable way. From January 1st 2015, the new Board will issue water use permits and police water use. It will also monitor the work of the Basin Water Office, who implements the decisions of the Board and provides technical expertise to the Board members. The new Board will consist of three representatives from Water User Associations, one representative of the private business sector, one MD from an urban utility, two Water Engineers from districts in the basin, one representative from a ministry and the Basin Water Officer. The electorate elected and recommended suitable candidates to the Minister of Water, who will officially appoint the new board members and a chairman. It will be the forth Board for Lake Rukwa Basin. GIZ supports with a development advisor as part Call Center: +255 2500028Lake Rukwa Basin 2013. All Rights Reserved
2018-07-22T08:25:45
http://lakerukwabasin.co.tz/events.html
[ -1 ]
Nahisi kupenda ila sijampata wa kumpenda bado nifanyeje... - JamiiForums Nahisi kupenda ila sijampata wa kumpenda bado nifanyeje... Wahenga wanasema mficha uchi hazai... Nimejisikia mno upweke soo "nahisi kupenda ila sijampata wa kumpenda bado" nifanyeje?? I'm a girl with 28yrs. Ukinipa ushauri wa busara nitashukuru sana... muombe Mungu akuongoze Umewahi kupenda kabla? Au ndio uko bize kutatafuta wa kumpenda kwa mara ya kwanza? Halafu mapenzi ya kweli yako ''very automatic'', wala hayapangwi! Nimependa sana mbinu yako ya kutangaza kutafuta mwenzi, iko very much advanced big up mwana mama. sugua magoti mbele za mungu hakuna kinachoshindikiana mbele zake, PRAISE THE LORD. usiumize kichwa kwa kipindi hiki mpende Mungu wako kwanza Mume mwema anatoka kwa MUNGU mwombe sana naye atakupatia. Lakini vile vile kumbuka wahenga walishasema kwamba UKICHAGUA SANA NAZI MWISHO UTACHAGUA KORONA. Mungu akubariki Nani kakwambia anatafuta mume? Kasema anatafuta mtu wa kumpenda tu. Anaweza kuwa kaolewa, mumewe yuko mbali, kwa hiyo yuko lonely anatafuta kampani! Shtuka! Hongera sana kama hujawahi kupenda au kupendwa.. Jitahidi sana kuushinda UJANA. MUNGU kwanza then MAPENZI baadae, utampata tu wa kufanana na wewe... MUNGU AKUTIE NGUVU ZAIDI. What is your original JF ID if I may ask? Just being curious!! Nakuonea huruma ila usijali utapata tu, but hujatoa criteria kuwa unataka mtu wa aina gani. btw hw r u n preta??? mis u cuties jamani!!! sahihisha hapo penye bold ili uwe fair................... mimi maisha yangu yote siijawahi kuoa a "gilr with 28 yrs old"!!!!!!!!!!!!!................ sema a "mama with 28 yrs old"............ naomba kuwasilisha.............. Katika umri huo hujakutana na wakumpenda?? Usijifungie sana ndani, changanyika na vijana wezio kwenye shughuli mbalimbali ziwe kanisani/msikitini, kwenye michezo, kwenye masomo na hata majirani halafu jitunze mwili wako uwe msafi, mrembo watakuja wengi tu wenye interest na automatically utabahatisha wakumpenda. Pia omba mungu akuongoze katika hayo yote usijekutana na matapeli manake utaumia sana. Miaka 28 hujachelewa bado, ila angalia sana style yako ya kutafuta usije ukapata palipochokwa! inaonekana wewe sio mtu wa kujichanganya, lakini hujachelewa utapata mtu wa kumpenda zaidi omba Mungu usijeangukia kwa asiyefaa! We are well sisy, tuko bomba. Omba Mungu na jichanganye mahali ambapo unapenda upate mchumba. kama ni kanisani nenda kanisani, kama ni viwanja , jichanganye sana tu, all the best. unamshauri vibaya, hao ndio hawatakiwi kanisani kabisa, tena ndi uwa wanaharibu vijana makanisani kwani wanakuwa hawana imani halisi bali wanaigiza kumwamini Mungu ili wapate wanachokitafuta.................. yeye aende tu huko viwanja sio kanisani.....................na asisahau kuchukua kondom kwa usalama wake...................... Huwezi jua anatumia kigezo cha Bible.kwenye Bible hata uwe bibi kizee wewe ni binti tu( binti sayuni). Na zaidi ya hapo mimi huwa naangalia sana tamthilia.Huwa naona wenzetu wazungu akiwa na mpenzi hawajafunga ndoa ni girlfrien/boyfriend hata kama wana 50 na kuendelea.
2018-12-15T06:49:40
https://www.jamiiforums.com/threads/nahisi-kupenda-ila-sijampata-wa-kumpenda-bado-nifanyeje.54248/
[ -1 ]
Sio kwa ajili ya video ya ‘Unforgettable’, French Montana asaidia sekta ya Afya Uganda | Perfect 255 Home ENTERTAINMENT Sio kwa ajili ya video ya ‘Unforgettable’, French Montana asaidia sekta ya... Sio kwa ajili ya video ya ‘Unforgettable’, French Montana asaidia sekta ya Afya Uganda 28 July 2017, 8:34 am Licha ya kuwa bize katika kuipromote Album yake ya “Junge Rules”, Unaambiwa rapper French Montana pamoja na mshikaji wake The Weeknd waamua kusaidia Sekta ya Afya huko nchini Uganda ambapo kila mmoja alijitolea dola za kimarekani Laki Moja. Kabla ya msaada, kituo hicho cha Afya cha Suubi kilichopo Bondondo nchini Uganda kilikuwa na uwezo wa kusaidia watu 56,000 lakini kupitia mchango wao wa dola lakimoja lakimoja ambao ni sawa na Milioni 400 za Kibongo utafanikisha kituo hiko kupokea watu 286000. Brick by brick build empires #unforgettablemoments 🇺🇬 #junglerules A message from our founder Nyla Rodgers, who's on the ground at the Suubi Health Center (@bicsuubi ) in Uganda to see all of the incredible progress being made thanks to @frenchmontana , @theweeknd and the #Unforgettable movement! Soon, the first floor of this clinic will be ready to expand services to 286,000 people in rural Uganda! Now, we need to raise $300k more to FINISH the 5-floor hospital – learn more + get involved at mamahope.org. Previous articleOfficialVideo: Harmonize ametuletea nyingine mpya! Inaitwa “Sina” Itazame hapa Next articlePicha: Puma na Jay Z wamesogeza Sneaker za ‘4:44’.
2017-10-21T19:21:24
http://www.perfect255.com/entertainment/sio-kwa-ajili-ya-video-ya-unforgettable-french-montana-asaidia-sekta-ya-afya-uganda/
[ -1 ]
Manara kuhusu Kichuya kutakiwa TP Mazembe “hamu yake ni kucheza nje ya Tanzania” | ShaffihDauda Home Kitaifa Manara kuhusu Kichuya kutakiwa TP Mazembe “hamu yake ni kucheza nje ya... Hivi karibuni baba mzazi wa Shiza Kichuya alinukuliwa na baadhi ya vyombo vya habari akisema, anataka mtoto wake akimaliza mkataba na Simba aende TP Mazembe timu ambayo imeonesha nia ya kutaka kumsajili. Mkataba wa Kichuya na Simba unaelekea ukingoni lakini baba mzazi wa mchezaji huyo hayupo tayari kuona mtoto wake anasaini mkataba mpya wa kuendelea kubaki Simba baada ya kuonesha kiwango cha juu katika misimu miwili aliyoitumikia klabu hiyo. Manara akiwa Clouds FM kwenyekipindi cha ‘Leo tena’ ameeleza mpango wa Simba baada ya kauli ya baba yake Kichuya. “Juzi nikizungumza na Kichuya, baada ya kuambiwa na watu ninaowaamini kwamba mzee wake amezungumza mahali.” “Kichuya bado anamkataba na Simba lakini ana hamu ya kwenda kucheza mpira nje ya Tanzania kwa ajili ya maendeleo yake, familia yake, klabu na nchi.” “Ameniambia kipaumbele chake ni maslahi kwenye mpira kwa hiyo tunajaribu kukaa nae kuzungumza kuona kama ataendelea kucheza Simba lakini akipata nafasi hatutamzuia.” “Huyu ni kijana wetu amecheza Simba kwa miaka miwili kwa mafanikio, anapendwa sana japokuwa alianzia huko Morogoro, kwa hiyo litakalokuja tutawatangazia lakini ni miongoni mwa wachezaji watakaosafiri kwenda Songea.” Previous article#1DayToKiev, Cr7 anajiona bado ana miaka 23, atangaza siku yake ya kustaafu Next articleNipo tayari kutengua ‘swaumu’ kwa wanaopinga mabadiliko Simba”-Manara
2018-09-18T13:51:55
http://shaffihdauda.co.tz/2018/05/25/manara-kuhusu-kichuya-kutakiwa-tp-mazembe-hamu-yake-ni-kucheza-nje-ya-tanzania/
[ -1 ]
Bacterial Vaginosis ni Nini? (BV) | BongoLife Bacterial Vaginosis ni Nini? (BV) Bakteria rafiki na wabaya wote huishi ndani ya uke. Inapotokea uwiano dhalili wa ukeni unabadilika, unaweza kupata ugonjwa huu wa bacterial vaginosis (BV kwa kifupi) au wakati mwingine huitwa vaginal bacteriosis. Ni ugonjwa unaowasumbua wanawake walio katika umri wa kuzaa, miaka 15 hadi 44 ingawa mwanamke wa umri wo wote huweza kuupata. Chanzo halisi bado hakijajulikana, lakini kushiriki ngono mara nyingi bila kinga na kujiosha ukeni kwa maji kumedhihirika kuwa kunaongeza uwezekano wa kupata ugonjwa huu. BV kwa kawaida haileti madhara mengine ya kiafya. Lakini huweza kuchangia kupatwa na matatizo mengine hasa pale unapokuwa mjamzito au unatarajia kupata mimba. Chanzo Cha Bacterial Vaginosis Bakteria aitwaye lactobacillus hufanya kazi ya kuuweka uke kwenye hali ya utindikali ili bakteria wabaya wasizaliane. Endapo idadi ya lactobacillus itapungua, bakteria wabaya huongezeka na utapata BV. Mwanamke ye yote anaweza kupata BV, lakini yafutayo yanaongeza yamkini ya maambukizi haya: . Kuvuta sigara . Kushiriki ngono na mpenzi mpya au wapenzi wengi . Kujiosha ukeni kwa maji au vimininika vingine (douching) . Matumizi ya antibiotics ya siku za karibuni Ungefikiria kuwa kujiosha mara kwa mara ukeni kungekusaidia kuzuia BV, lakini kujiosha huko kunaharibu uwiano wa asili wa bakteria wa ukeni. Sabuni za manukato na perfume za ukeni nazo zinachangia katika kuharibu uwiano huo wa bakteria. Kuwa na mpenzi mpya au kuwa na wapenzi wengi kunaongeza uwezekano wa kupata BV. Sababu hazijawa bayana. Unaweza kupata BV kwa kushiriki ngono ya mdomo au ya kinyume na maumbile. Si kweli kuwa unaweza kupata BV au magonjwa mengine ya ukeni kutoka kwenye mabwawa ya kuogelea au vyoo. Dalili Za Bacterial Vaginosis Zaidi ya nusu ya wanawake wenye BV hawaonyeshi dalili zo zote. Pale zinapoonekana huwa pamoja na: . Uchafu mwembamba mweupe, wa kijivu au kijani hasa baada ya tendo la ndoa . Kuwaka moto wakati wa haja ndogo . Harufu ya samaki inayozidi baada ya kujamiiana . Mara chache kuwa na miwasho sehemu ya nje ya uke BongoLife : Bacterial Vaginosis ni Nini? (BV) https://lh3.googleusercontent.com/-OJXEwJjHV6w/XRZ301WhAnI/AAAAAAAACno/3ydDBuiJD6sJiL2-i88N5Q2Rk_e3oWOUwCLcBGAs/s1600/IMG_1839.JPG https://lh3.googleusercontent.com/-OJXEwJjHV6w/XRZ301WhAnI/AAAAAAAACno/3ydDBuiJD6sJiL2-i88N5Q2Rk_e3oWOUwCLcBGAs/s72-c/IMG_1839.JPG https://www.bongolives.com/2019/06/bacterial-vaginosis-ni-nini-bv.html
2019-10-15T06:03:42
https://www.bongolives.com/2019/06/bacterial-vaginosis-ni-nini-bv.html
[ -1 ]
UKADIRIFU: Kwani siasa ni nini? MARA nyingi hatujiulizi swali hili. Kwenye kitabu chake cha mwaka 1962; TUJISAHIHISHE, Mwalimu Julius Nyerere anaandika; “Nataka kutaja makosa machache ambayo mara nyingi huzuia umoja wowote kuwa imara hata ushindwe kutimiza madhumuni yake. Ukiondoa matatizo wayapatayo binadamu kwa sababu ya mambo kama mafuriko, nzige, kiangazi, matatizo yao mengi hutokana na ubinafsi.” “Swali ambalo twalisikia mara kwa mara; hali yetu ya baadaye itakuwaje? Mtu anayeuliza anafikiri kuwa TANU iliundwa kwa faida yake yeye binafsi. Ni kama kwamba TANU ilipoundwa ilimwahidi kwamba ikiwa atakubali kuwa mwanachama, au kiongozi, basi, TANU itamfanyia yeye jambo fulani kama tunzo! Anasahu kabisa kuwa TANU inajishughulisha na haja za jumuiya kwa ujumla. “Lakini, kwa mtu wa aina hiyo, hata kama TANU inatimiza madhumuni yake ya Jumuiya, ataona kuwa ni umoja ambao hauna maana kwa sababu haumtimizii haja zote za nafsi yake! Huu ni ubinafsi. Kama wanachama wa TANU, na hasa viongozi, hawatakiuhukumu chama chetu kwa mahitaji ya jamii yao, bali watakihukumu kwa mahitaji ya nafsi zao wenyewe, chama hakitadumu. Wanachama wa aina hiyo ni ugonjwa katika chama.” Mwalimu Nyerere anaendelea; “Dalili nyingine ya ubinafsi na ambayo ni ugonjwa mbaya sana, ni fitina. Kanuni moja ya TANU inasema; nitasema kweli daima. Fitina kwangu ni mwiko. Lakini bado tunao wanachama ambao ni wafitini wakubwa bila kujitambua.” Miaka 50 baadaye, yaani leo hii, bado aliyoyaandika Mwalimu yanahitaji kusomwa na kufuatwa na kila aliye makini ndani na nje ya chama alichoshiriki kukiasisi, CCM. Hakuna ajuaye na aliye hodari kwa kila jambo. Hata Mwalimu alikuwa tayari kujisahihisha, nasi hatujachelewa. Tunayaona makosa yakitendeka. Tusione aibu ya kujisahihisha. Maana, chama cha siasa ni mkusanyiko wa watu wenye itikadi, madhumuni, shabaha na malengo yenye kufanana. Ni chama kilichojiwekea kanuni za kufuatwa kwa viongozi na wanachama wake. Ni vigumu kukawa na chama cha siasa kitakachodumu muda mrefu kikiundwa na watu wenye itikadi tofauti na wasiokubaliana katika madhumuni na malengo ya msingi. Kikishindwa kuwa na hivyo muhimu, hakiwezi kuwa na kanuni zitakazofuatwa. Hicho ni chama kwa nadharia, lakini kimatendo, ni mkusanyiko wa vikundi vya watu wenye malengo, madhumuni na shabaha tofauti chini ya kivuli cha “chama nadharia”. Tunahitaji uwepo wa utamaduni wa vyama vya siasa vyenye kuendesha mambo yake kwa uwazi na ukweli. Katika siasa, ukweli na uwazi ni vitu muhimu sana, na hivi kamwe visipuuzwe kwa kujali maslahi ya mtu badala ya jumuiya. Kwani, siasa ni mapambano ya hoja. Siku zote, kinachopingwa iwe ni hoja na si mtu aliyetoa hoja. Tusizihukumu hoja kabla hazijawasilishwa. Tujenge utamaduni wa kujifunza kusikiliza hoja zinazotolewa, tuzijibu hoja kwa kuzikubali au kuzikataa, bila kujali uhusiano wetu na mtoa hoja. Tujifunze kujenga hoja na hata kubomoa hoja za wengine, kwa nguvu za hoja, si kunyume chake. Hayo ndio mambo ya siasa na hufanywa na wanasiasa. Tusijifunze kujenga fitna, mizengwe na majungu. Hayo ni mambo ya umbeya na hufanywa na wambeya, hayaendani na ustaarabu wa kisiasa. Na tutafakari madhara yanayotokana na wanasiasa wenye malengo binafsi ya kuwania madaraka bila kuwa na misingi ya kiitikadi na malengo yaliyo bayana. Wanasiasa wasioweka bayana kanuni za kuwaongoza. Hawa hujali sana maslahi yao, watakuwa tayari kufanya lolote, ilimradi waingie au wabaki madarakani. Hawaamini katika siasa kwa maana tunayoifahamu. Kwao wao, itikadi, malengo, madhumuni na shabaha ya chama yatabaki kuwa ya chama, na wao wanayo ya kwao wenyewe! “Kila mtu na lwake!” Na siasa ni nini? Siasa ni hatua za majadiliano endelevu. Majadiliano yasiyokoma. Hakuna kitu kibaya katika siasa kama kutafuta njia za mkato katika kufikia malengo, njia hizi zina gharama kubwa kwa jamii. Njia za mkato uhusisha hoja za nguvu, hila na hata vitisho. Ni kweli, kuwa demokrasia na amani katika jamii huenda isiwepo bila wachache kukubali matakwa ya wengi. Matakwa ya wengi hujulikana kwa njia ya mazungumzo ya wazi wazi, kwa mbinu za wazi kisiasa. Vivyo hivyo, kinyume chake, yaani matakwa ya wachache. Hata baada ya majadiliano, baada ya uchaguzi, wachache walioshindwa wanapaswa kukubali kushindwa. Wanapaswa kufanya hivyo kama kulikuwepo na uhuru na haki katika majadiliano na hata uchaguzi. Hata hivyo, kukubali kwao kushindwa hakuwanyimi haki yao ya kuendelea kuamini katika kile walichokiamini. Hapa demokrasia inawapa haki watu hawa, na ukweli unawapa wajibu wa kuyaendeleza mawazo yao, hadi pale walio wengi wayakubali. www.raiamwema.co.tz: Maggid Mjengwa Posted by Emmanuel Turuka at 9:24 PM
2017-11-23T05:15:18
http://ukadirifu.blogspot.com/2013/07/kwani-siasa-ni-nini.html
[ -1 ]
MFUMO madhubuti uliowekwa katika magereza mbalimbali nchini umefanikisha kudhibiti mimba kwa wafungwa na mahabusu. Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na Mrakibu Mwandamizi wa Jeshi la Magereza nchini, Amina kavirondo, kwenye kikao cha siku mbili cha tathmini ya Mpango wa Kitaifa wa Kutokomeza Ukatili wa Wanawake na Watoto (MTAKUWWA). Mkutano huo ambao ni mwendelezo wa siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia zilizozinduliwa hivi karibuni mkoani Dodoma, umebeba kaulimbiu ‘Kizazi Chenye Usawa: Simama Dhidi ya Ubakaji’. Amina alitoa ufafanuzi huo wakati akijibu hoja ya mjumbe wa mkutano huo aliyedai kuwa kuna wanawake wanapata mimba wakiwa magerezani. Alisema kutokana na udhibiti huo haijawahi kutokea hata siku moja mahabusi au mfungwa akapata ujauzito akiwa kwenye gereza lolote nchini. “Hakuna wakati ambapo kwenye gereza lolote Tanzania mfungwa au mahabusi aliwahi kupata mimba. Nina miaka 24 kazini nazungumza kitu ambacho ninauhakika nacho haijawahi kutokea na haiwezi kutokea kama mnavyodhani,” alisema. Alifafanua kuwa mfungwa anapoingia gerezani siku ya kwanza anapimwa vipimo vingi ikiwamo ujauzito kama ni mwanamke na iwapo atabainika kuwa na mimba taarifa huwasilishwa kwa viongozi wote wa juu wa jeshi hilo. Amina alisema kama mfungwa wa kike ataingia gerezani akiwa hana ujauzito hawezi kuupata akiwa ndani kwa kuwa wameweka utaratibu mzuri ambao hakuna nafasi kwa mfungwa huyo kuonana na mwanaume awe askari wa kiume au mfungwa wa kiume. Akifungua mkutano huo, Ofisa Maendeleo ya Jamii kutoka Ofisi ya Rais Tamisemi, Mwajina Lipinga, alisema serikali itaendelea kutoa ushirikiano kwa asasi zisizo za kiserikali katika utekelezaji wa Mtakuwwa. Alisema wakati serikali ikiandaa mpango huo ilishirikisha asasi binafsi hivyo utekelezaji wake unahitaji ushirikiano wa pande zote mbili ili kufikia malengo yake mwaka 2022 ya kupunguza ukatili huo angalau kwa asilimia 50. Aliipongeza WiLDAF kwa namna inavyoratibu mashirika 63 kwenye utekelezaji wa mpango huo na kwamba hiyo ni dalili njema kuwa jukumu hilo halijaachwa kwa serikali pekee. Mkurugenzi wa WiLDAF, Anna Kulaya, alisema mkakati huo ni matokeo ya kazi kubwa ya ushawishi wa asasi binafsi baada ya kuona matukio ya ubakaji na unyanyasaji wa wanawake na watoto umeshika kasi. Alisema Tanzania ni miongoni mwa nchi nne duniani zinazotelekeza mpango wa Mtakuwwa na kwamba baadhi ya nchi zitakuja kujifunza namna ilivyofanikiwa kuutekeleza na changamoto zake. “Mpango huu usipofanikiwa haitaangaliwa serikali bali itaangaaliwa nchi hivyo sisi wadau wa asasi binafsi lazima tukae pamoja tuseme wapi tumefanikiwa na wapi kuna changamoto,” alisema.
2020-02-24T18:10:57
https://www.ippmedia.com/sw/node/72157
[ -1 ]
Allen Sean Phillip: MENGI YAZIDI KUIBUKA BAADA YA KIFO CHA MICHAEL JACKSON. MENGI YAZIDI KUIBUKA BAADA YA KIFO CHA MICHAEL JACKSON. Rafiki wa zamani wa Michael Jackson ambaye pia alikuwa mtaalamu wa ngozi Arnold Klein ameibuka na kusema kuwa mfalme huyo wa muziki wa Pop ulimwenguni hakuwa na uwezo wa kuzaa kutokana na kujeruhiwa mara mbili korodani zake. Katika mahojiano yaliyorekodiwa na mtandao mmoja wa nchini Marekani, Paul Gohranson – ambaye ni mtaalamu wa kuchua misuli na aliyewahi kuishi kimapenzi na Klein amesema kuwa Jacko alipoteza uwezo wake wa kutengeneza mbegu za uzazi baada ya baba yake kumpiga korodani zake. Gohranson aneleza kwamba hali hiyo ndiyo iliyopelekea patna wake wake wa zamani kujitolea mbegu zake ili kumwezesha Jacko kuwa baba. Amenukuliwa akiimuuliza "Arnold kwanini Michael Jackson asitumie mbegu zake mwenyewe? alijibiwa kuwa Michael alikuwa hawezi kuzaa." Akifafanua Arnold alisema kuwa Klein alimwambia na kumthibitishia mara mbili kuwa Michael Jackson aliwahi kumwambia kuwa alipigwa sehemu zake za siri mara mbili kwanza wakatia akiwa mtoto mdogo ambapo baba yake alimnyanyua mguu wake mmoja na kuanza kumpiga. Anasema kuwa Klein aliendelea kumueleza kuwa baba yake Michael hakudhamiria jkumpiga sehemu zake hizo za siri wakati huo lakini ndiyo hivyo imetokea na ilimsababishia maumivu makali sana Michael. Mara ya pili ilikuwa pale Michael alipotoa albamu yap eke yake na haikufanya na kila mtu alimjia juu Jacko kuwa anapoteza sauti yake,anapoteza mtazamo wake na huenda akaitia aibu familia ya Jackson. Jamaa akiendelea kusimulia mkasa huo anasema baada ya Michael kumaliza kumwambi yote hayo machozi yalikuwa yakimtoka na haya yote alikuwa akieleza baa ya kufanyiwa vitendo hivyo alisema Klein. Hata hivyo baba yake Michael Joe Jackson, 79 kati kati ya juma hili amekanusha kwamba aliwahi kupiga mtoto wake huyo kiasi hicho wakati wa utoto wake. Familia ya Michael kwa uda mrefu ilikuwa ikilalamikiwa kwa ukatili dhidi ya mwanamuziki huyo hasa katika kipindi ambacho ilikuwa ikisimamia kazi za Jackson 5. Katika utetezi wake mzee Joe amewahi kusikika akisema kuwa hakuwahi kuwa fanyia vitendo vya kikatili watoto wake hao wakoseapo. Posted by Allen Sean Phillip at 8:01 PM Rashid Mkwinda July 23, 2009 at 6:27 PM Karibu Allen hivi ndivyo vijiji vya watu wa kufikirika na kusadikika kwa yale yaliyojiri,yanayojiri na yale yatakayojiri, ukibarizi katika vijiji hivi kwa wema hakuna atakayekubughudhi, utatembelea mtoni, nyikani,jangwani na hata baharini ili mradi huvunji heshima za watu, huku kuna uhuru mpana kuliko huko uliko ilimradi ni wewe mwenyewe kujihesshimu na kulinda heshima yako na watu watakulinda pia, wapo wanaoweza kukudhihaki kwa kutumia majina ya kificho na wapo watakaotumia majina ya kughushi ilimradi kila mtu na mtazamo wake, usitumie uga huu kufanya malumbano na watu yanaweza kukukuta yasiyostahili kukukuta ilhali u kijana unayetarajia kuwa baba wa fulani punde ukamwacha mwanao anahangaika kutokana na wewe kuwa nguvuni kwa kuchonganisha jamii kwa hili GAZETI TANDO,wapo walitangulia jenga desturi ya kuwatembelea vijiji vya wenzio ili nao wakutembelee utajifunza mengi. Ni haya tu!!!! karibu sana naona wanyalu wamekufanya usahau washikaji wako!!!lakini kijiji chako kizuri kinapendeza sanaa!!!
2018-10-19T21:38:22
http://seanphillip.blogspot.com/2009/07/mengi-yazidi-kuibuka-baada-ya-kifo-cha.html
[ -1 ]
Je, wajua kuwa vinasaba au DNA huweza kutumika katika tiba yako? | Mwanasayansi | Medicopress Mwanzo Afya Je, wajua kuwa vinasaba au DNA huweza kutumika katika tiba yako? Picha Na Sashkin / Shutterstock Sayansi ya vinasaba (DNA) inazidi kupanuka. Kadri maarifa yanavyoongezeka katika sayansi hii, magonjwa ya kurithi ambayo wanasayansi au jamii walidhani ni ‘magonjwa magumu kueleweka’ sasa yanaweza kutambuliwa kwa ufasaha na kutibiwa katika muda muafaka. Lakini pamoja na hayo, kuna muamko zaidi miongoni mwa jamii katika kupenda kufahamu jinsi sayansi ya vinasaba inavyosaidia katika tiba. Nianze kwa kulielezea hilo nikitumia mifano halisi; hasa katika familia zetu. Kwa kutumia sayansi ya vinasaba, watu wamepata fursa ya kujua vihatarishi vya magonjwa ya kurithi ndani ya familia zao kwa kutambua ni mwanafamilia yupi mwenye uwezekano mkubwa wa kupata maradhi na nani anaweza kurithisha maradhi hayo kwa kizazi kinachofuata. Si hilo tu. Kabla mtoto hajazaliwa, watalaamu sasa wanaweza kutabiri uwezekano wa mtoto huyo kupata maradhi ya kurithi kutoka kwa wazazi. Hii ni kupitia upimaji wa vinasaba. Mfano mzuri ni ugonjwa wa Down’s Syndrome ambao hutokana na kasoro katika chambe za vinasaba au DNA alizorithi mtoto. Tatizo hili likigunduliwa kabla ya mtoto kuzaliwa, wazazi wanapata nafasi ya kujiandaa na kufanya maamuzi bora kuhusu mustakabli wa mtoto wao. Je, tunaposema “kasoro’” katika vinasaba tunamaanisha nini? Kuna wakati mambo yanaweza kwenda ndivyo sivyo na ikatokea hitilafu za kimuundo kwenye vinasaba. Haya ni mabadiliko katia chembe za urithi. Hitilafu hizo huleta kasoro fulani kwenye vinasaba. Hali hii hutambulika kwa lugha ya kitaalamu kama “mutation” Watu wengi hupenda kujua, je mtu ana kinga dhidi ya kutokea kwa kasoro za kimuundo kwenye vinasaba vyake? Jibu ni hapana. Kila mtu yupo katika uwezekano wa kutokea kwa kasoro za kimuundo kwenye vinasaba vyake na kasoro hizi hutokana na kurithi kutoka kwa wazazi au sababu za kimazingira, mathalani mionzi ndani ya mwanga wa jua au visababishi vingine vingi. Sayansi ya vinasaba kwenye tiba huangazia uhusiano uliopo kati ya vinasaba katika mwili wa binadamu na mazingira. Hii husaidia kung’amua uwezekano wa mtu kupata baadhi ya magonjwa na kutoa nafasi kwa wataalamu wa tiba kukinga hatari hiyo ya kutokea ugonjwa. Sayansi hii ni tawi jipya katika tiba. Ina nafasi ya kuwa na mchango mkubwa katika tafiti za saratani, uchunguzi wa magonjwa na uzalishaji dawa na hivyo kuwa yenye manufaa ya moja kwa moja kwenye afya zetu. Mafanikio yanaonekana, mathalani katika mradi mkubwa wa sayansi ya vinasaba vya binadamu (Human Genomic Project); miongoni mwa miradi ya kibiolojia yenye mafanikio makubwa. Mradi huu uliwakutanisha wanasayansi wa kimataifa na kushirikiana kutafiti mlolongo wa chembe ya urithi au DNA katika miili ya binadamu. Tunaweza Kujiuliza, je uwekezaji wa mabilioni kama huu una faida gani? Madhumuni ya mradi huu ilikuwa ni kuzalisha taarifa za kutosha kuhusu vinasaba vya mwanadamu. Taarifa hizi hutumiwa na wanasayansi kutafiti sababu za kibiolojia za magonjwa ya binadamu na kujua namna ya kuyakinga. Kwa sasa wanasayansi wanatilia mkazo katika kuzichambua taarifa za vinasaba ili zitumike katika kuboresha maisha na kupunguza vifo .Je wafahamu haya? Maradhi yasiyoambukiza huweza kuchunguzwa hadi kwenye vinasaba. Hapa, naongelea maradhi ambayo umewahi kuyaona au kuyasikia mfano ugonjwa wa moyo,saratani,magonjwa ya kudumu ya mfumo wa upumuaji. Kwa kuzingatia sayansi hii ambayo tumekuwa tunazungumzia, tunaweza kupambana vyema dhidi ya magonjwa ya moyo, lehemu iliyozidi na saratani kwa kutumia dawa, lishe na mabadiriko ya mitindo ya maisha hata kabla dalili za ugonjwa hazijaanza. Tumejifunza kuwa upimaji wa vinasaba una mchango mkubwa kwenye Tiba. Endelea kufuatilia mlolongo wa makala hizi kufahamu jinsi sayansi ya vinasaba inavyoweza kuleta mabadiriko kwenye utoaji tiba kwa mtu binafsi. Makala haya yameandaliwa na Mohammed Zahir Alimohammed, mtaalam katika biolojia ya vinasaba kutoka Tanzania. Imetafsiriwa kutoka kwenye lugha ya Kiingereza na Dkt Norman Jonas. Makala iliyopitaMapambano dhidi ya ugonjwa wa ‘siko seli’ barani Afrika yanahitaji mshikamano Makala inayofuataUmuhimu wa taarifa sahihi nyakati za mlipuko wa Corona
2020-08-05T10:28:11
https://sayansi.medicopress.media/2020/02/23/je-wajua-kuwa-vinasaba-au-dna-huweza-kutumika-katika-tiba-yako/
[ -1 ]
Sahihisho:Wahisani bado wanaikaba Tanzania - BBC News Swahili Sahihisho:Wahisani bado wanaikaba Tanzania http://www.bbc.com/swahili/habari/2014/12/141224_donors_correction Image caption Balozi wa Finland nchini Tanzania, Sinikka Antila. Tunachukua fursa hii kurekebisha taarifa tuliyoitoa jana katika tovuti yetu yenye kichwa cha habari "Wahisani wafurahishwa na hotuba ya JK". Kimsingi, katika mawasiliano yake na Idhaa ya Kiswahili ya BBC kwa njia ya barua pepe, Balozi wa Finland nchini Tanzania, Sinikka Antila, ambaye pia ni mwenyekiti wa Wahisani wanaochangia bajeti ya Tanzania (Budget Support Development Partners) alieleza kuwa wamekuwa wakifuatilia hatua zinazochukuliwa kuhusiana na madai ya "uchotwaji" wa fedha kutoka akauti ya Tegeta Escrow. "Wahisani walipokea hatua ya kuwasilishwa ripoti za Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (PCCB) Bungeni na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), kuwasilishwa kwa ripoti ya PAC Bungeni, mjadala uliofuatia, maazimio yaliyopitishwa na Bunge", Balozi Anitila aliifahamisha BBC. Washirika wa maendeleo (DPs) wanaamini kuwa mifumo ya uwajibikaji ya Tanzania itamudu kushughulikia swala hili kikamilifu na tunatazamia kupatikana kwa majibu ya uhakika kutoka serikalini.Balozi Antila alifafanua kuwa wamefuatilia maelezo aliyoyatoa Rais Kikwete katika hotuba yake kwa taifa. "Wahisani wamepokea taarifa aliyoitoa Rais tarehe 22 Disemba, 2014, akitambua maazimio yaliyopitishwa na Bunge na kuthibitisha baadhi ya hatua na uchunguzi zaidi. Wakati bado tunatathimini hali ya mambo, wahisani bado wanaendelea na mashauriano na Wizara ya Fedha, na uamuzi wowote wa kuruhusu fedha zitolewe utafanyika kwa mawasiliano na Waziri anayehusika”, alieleza Balozi Antila. Pia alisema mpaka sasa, kiasi cha dola za kimarekani milioni 84, au takriban asilimia 15 ya fedha zilizoahidiwa kusaidia bajeti (Budget Support funds) kwa mwaka 2014/15 zilikwishatolewa, lakini fedha hizo hazina uhusiano na hatua zinazochukuliwa sasa. Bali ni jumla ya fedha ambazo zimetolewa kwa nyati tofauti. Tunaomba radhi kwa Balozi Sinikka Antila wa Finland na pia wasomaji wa tovuti ya bbcswahili.com kwa usumbufu uliojitokeza .
2018-05-24T15:04:02
http://www.bbc.com/swahili/habari/2014/12/141224_donors_correction
[ -1 ]
Mpo na nini Nzambe asalelaka nguya na ye ya kobebisa? | Pusaná penepene Nguya ya kobebisa—“Yehova azali elombe ya etumba” 1-3. (a) Baezipito bakanaki kosala Bayisalaele nini? (b) Ndenge nini Yehova abundelaki bato na ye? BANA ya Yisalaele bakangamaki mpenza na motambo—na ngámbo oyo, bangomba oyo esalaki mabwaku ya nsɔmɔ, na ngámbo oyo kuna mbu oyo bakokaki kokatisa te. Nsima na bango, basoda ya Ezipito—oyo bazalaka na mawa ata moke te mpe babomaka na ndenge ya nsɔmɔ—bazalaki kolanda bango na nkanda mpenza mpo na kosilisa bango nyɛɛ. * Atako bongo, Moize alendisaki bango bázala kaka na elikya. Akitisaki bango motema na maloba oyo: ‘Yehova akobundela bino.’—Exode 14:14. 2 Atako bongo, emonani ete Moize abelelaki Yehova, mpamba te Nzambe apesaki ye eyano oyo: “Oleli epai na ngai mpo na nini? . . . Tombolá lingenda na yo mpe sembolá lobɔkɔ na yo na likoló ya mai mpe kabolá yango.” (Exode 14:15, 16) Sikoyo, meká komona na makanisi ndenge makambo elandanaki. Mbala moko Yehova apesi anzelu na ye mitindo, mpe likonzí ya lipata eleki na nsima ya bana ya Yisalaele; ntango mosusu etandani lokola efelo mpe epekisi molɔngɔ ya liboso ya basoda ya Ezipito kopusana penepene na bango. (Exode 14:19, 20; Nzembo 105:39) Moize asemboli lobɔkɔ. Mopɛpɛ moko ya makasi ebandi kopɛpa mpe ekaboli mbu. Mai ekangami mpe etɛlɛmi lokola bifelo, efungoli nzela oyo bonene na yango ekoki mpo na kolekisa ekólo mobimba wana!—Exode 14:21; 15:8. 3 Ntango Farao amonaki nguya ya ndenge wana, asengelaki kopesa mitindo na basoda na ye bázonga. Kasi, mpo na lolendo, atindi bango bálanda Bayisalaele. (Exode 14:23) Baezipito baweleli kokɔta na nzela oyo efungwami na kati ya mbu, mpe eumeli te mobulu ekɔteli bango, mpamba te bapine ya makalo na bango ebandi kolongwa. Ntango Bayisalaele bakómi na ngámbo mosusu mpe bazali lisusu na likama te, Yehova ayebisi Moize boye: “Sembolá lobɔkɔ na yo likoló ya mai na monana ete mai ezonga likoló ya Baezipito, likoló ya makalo na bango mpe ya bato na bango ya mbalata.” Mai oyo etɛlɛmaki lokola bifelo ekwei, ekundi Farao ná basoda na ye!—Exode 14:24-28; Nzembo 136:15. Na Mbu Motane, Yehova amonisaki ete azali “elombe ya etumba” 4. (a) Na Mbu Motane, Yehova amonisaki ete azali nani? (b) Ndenge yango ya kolobela Yehova ekoki kopesa basusu makanisi nini? 4 Kobikisama ya ekólo ya Yisalaele na Mbu Motane ezalaki likambo moko ya monene na lisolo ya makambo oyo Nzambe asalelá bato. Na libaku wana, Yehova amonisaki ete azali “elombe ya etumba.” (Exode 15:3) Kasi, ndenge wana ya kolobela Yehova epesi yo makanisi nini? Ezali solo ete bitumba epesi bato mawa mpe mpasi mingi. Na yango, ekoki kozala ete ndenge oyo Nzambe asalelaka nguya na ye ya kobebisa ezali nde kopekisa yo kopusana penepene na ye? Bitumba ya Nzambe ekeseni na oyo ya bato 5, 6. (a) Mpo na nini Nzambe abengami na nkombo oyo ebongi mpenza na ye “Yehova ya mampinga”? (b) Na ndenge nini bitumba ya Nzambe ekeseni na oyo ya bato? 5 Mbala soki nkama misato na Makomami ya Liebele mpe mbala mibale na Makomami ya Grɛki, tozali kokuta titre oyo ya Nzambe: “Yehova ya mampinga.” (1 Samwele 1:11) Lokola Yehova azali Mokonzi Monene, azali kokamba limpinga monene ya baanzelu. (Yosua 5:13-15; 1 Mikonzi 22:19) Limpinga yango ezali na nguya ya kobebisa mingi mpenza. (Yisaya 37:36) Kobomama ya bato ezali likambo oyo esepelisaka te. Kasi, tosengeli kobosana te ete bitumba ya Nzambe ekeseni na bitumba ezangá ntina oyo bato babundaka. Atako bakonzi ya basoda mpe ya politiki balukaka ntango mosusu komonisa ete makanisi ya malamu nde etindaka bango na kobundisa basusu, kasi mbala mingi ezali lokoso ná mposa ya koluka kaka matomba na bango nde etindaka bango bábundaka bitumba. 6 Nzokande, Yehova asalaka makambo bisalelá te, kozanga kokanisa liboso. Deteronome 32:4 (NW) elobi ete: “Libanga, mosala na ye ezali ya kokoka, mpo nzela na ye nyonso ezali sembo. Nzambe ya sembo, oyo epai na ye kozanga bosembo ezali te; azali moyengebene mpe sembo.” Liloba ya Nzambe emonisi ete kozala na nkanda makasi, konyokola basusu mpe kosala mobulu ezali mabe. (Genese 49:7; Nzembo 11:5) Na yango, Yehova asalaka ata likambo moko te soki ntina ya kosala yango ezali te. Asalelaka nguya na ye ya kobebisa na mbala moko moko mpe kaka na ntango oyo ndenge mosusu ya kosala ezali te. Yango nde amonisaki na monɔkɔ ya mosakoli Ezekiele: “Ngai nazwi esengo na kufa ya moto mabe? Ebongi malamu ete abongwana na nzela na ye mpe abika te?”—Ezekiele 18:23. 7, 8. (a) Libunga nini Yobo azalaki na yango na ntina na bampasi na ye? (b) Ndenge nini Elihu asembolaki makanisi ya Yobo na likambo yango? (c) Liteya nini tokoki kozwa na libunga wana ya Yobo? 7 Kasi, mpo na nini Yehova asalelaka nguya ya kobebisa? Liboso ya kopesa eyano, tókanisa lisusu moyengebene Yobo. Satana atyaki ntembe ete Yobo—tóloba ete moto nyonso—akotikala sembo te soki amekami. Mpo na kopesa eyano na ntembe wana, Yehova apesaki Satana nzela ameka bosembo ya Yobo. Yango wana, Yobo abɛlaki, bomɛngo na ye nyonso esilaki mpe bana na ye nyonso bakufaki. (Yobo 1:1–2:8) Lokola Yobo ayebaki te ntina ya bampasi wana nyonso, akanisaki ete Nzambe nde apesi ye etumbu atako asalaki mabe te. Atunaki Nzambe ntina oyo Ye akómi komona ye lokola “eloko ya kokanela,” to “monguna” na Ye.—Yobo 7:20; 13:24. 8 Elenge mobali moko na nkombo Elihu amonisaki Yobo ete azali na libunga, ayebisaki ye boye: ‘Olobi ete, Boyengebene na ngai eleki ya Nzambe.’ (Yobo 35:2) Ya solo, kokanisa ete biso toyebi makambo koleka Nzambe to kokanisa ete makambo asali ezali sembo te, ezali nde kozanga bwanya. Elihu alobaki boye: “Tiká ete ezala mosika na Nzambe ete asala mabe! Ezala mosika mpe na Oyo-ya-Nguya-Nyonso ete [asala makambo oyo ezangi bosembo].” Nsima na yango, alobaki ete: “Mpo na oyo etali Mozwi-ya-Nguya-Nyonso, tomoni ye te; aleki na nguya, mpe akotyola te bosembo ná boyengebene oyo etondi mɛkɛ.” (Yobo 34:10; 36:22, 23; 37:23) Na yango, esengeli tóyebaka ete soki Nzambe abundi etumba, ntina ya solosolo esengeli kozala. Lokola tosimbi likanisi wana, tótala sikoyo mwa bantina oyo etindaka Nzambe ya kimya akóma na bantango mosusu elombe ya etumba.—1 Bakolinti 14:33. Ntina oyo Nzambe ya kimya abundaka 9. Mpo na nini Nzambe ya kimya abundaka? 9 Nsima ya kokumisa Nzambe ete azali “elombe ya etumba,” Moize alobaki ete: ‘Ee Yehova, nani azali lokola yo kati na banzambe? Nani azali lokola yo, na lokumu kati na bosantu?’ (Exode 15:11) Ndenge moko mpe, mosakoli Habakuku akomaki ete: “Yo ozali na miso ya pɛto, okoki komona mabe te, oyebi mapɛngwi te.” (Habakuku 1:13) Atako Yehova azali Nzambe ya bolingo, kasi azali mpe Nzambe ya bosantu, ya boyengebene mpe ya bosembo. Na bantango mosusu, bizaleli yango esɛngisaka ye asalela nguya na ye ya kobebisa. (Yisaya 59:15-19; Luka 18:7) Na yango, Nzambe abebisaka bosantu na ye te soki abundi etumba. Kutu, abundaka nde mpo azali mosantu.—Exode 39:30. 10. (a) Ntango nini mpe ndenge nini esengelaki ete Nzambe abunda mpo na mbala ya liboso? (b) Wapi lolenge moko kaka ya kosilisa bonguna oyo esakolamaki na Genese 3:15, mpe bolamu nini yango ekomemela bayengebene? 10 Tózwa ndakisa ya likambo oyo ebimaki nsima ya botomboki oyo Adama ná Eva, mobali ná mwasi ya liboso, batombokelaki Nzambe. (Genese 3:1-6) Soki Yehova akangaka miso na kozanga boyengebene na bango, mbɛlɛ akitisaki lokumu na ye ya Nkolo Mokonzi ya molɔ́ngɔ́. Lokola azali Nzambe ya boyengebene, esɛngaki akatela bango etumbu ya liwa. (Baloma 6:23) Na esakweli ya liboso oyo ezali na Biblia, asakolaki ete bonguna ekozala kati na basaleli na ye mpe baoyo bakolanda “nyoka,” elingi koloba Satana. (Emoniseli 12:9; Genese 3:15) Nsukansuka, ekosɛnga kaka kopanzapanza Satana mpo na kosilisa bonguna yango. (Baloma 16:20) Kasi etumbu wana ekomemela bayengebene ebele ya mapamboli, mpamba te ekolongola makambo mabe ya Satana awa na mabelé mpe ekopesa nzela ete mabelé mobimba ezala paladiso. (Matai 19:28) Kasi, liboso makambo wana esalema, baoyo bakomitya na ngámbo ya Satana bakobanda ntango nyonso kotungisa basaleli ya Nzambe mpe kotya elimo na bango na likama. Yango ekosɛnga na bantango mosusu ete Yehova asalelaka nguya na ye. Nzambe asalelaka nguya na ye mpo na kolongola mabe 11. Mpo na nini Nzambe amonaki ete esengeli ayeisa mpela na mokili mobimba? 11 Mpela ya mikolo ya Noa ezali ndakisa moko ya motindo oyo Yehova asalelaki nguya na ye na ndenge yango. Genese 6:11, 12 elobi ete: “Mokili ezalaki mabe na miso ya Nzambe; mokili etondaki na yauli. Nzambe atalaki mokili mpe yango ezalaki mabe mpenza, mpo ete bato nyonso babebisaki nzela na bango na mokili.” Nzambe alingaki nde kotika ete bato mabe bálimwisa ata mwa ndambo ya bizaleli malamu oyo ezalaki naino na mabelé? Te. Yehova amonaki ete esengeli ayeisa mpela na mokili mobimba mpo na kolongola na mabelé baoyo bamipesaki na mobulu mpe etamboli ya mbindo. 12. (a) Likambo nini Yehova asakolaki na ntina na “momboto” ya Abalayama? (b) Mpo na nini Baamola basengelaki kobomama nyɛɛ? 12 Ezalaki mpe bongo mpo na etumbu oyo Nzambe apesaki bato ya Kanana. Yehova ayebisaki ete na nzela ya “momboto” oyo ekouta na Abalayama, mabota nyonso ya mokili ekomizwela lipamboli. Na kotalela mokano yango, Nzambe azwaki ekateli ete akopesa bana ya Abalayama Kanana, mokili oyo Baamola bazalaki kofanda. Nzambe alingaki koloba nini soki batuni ye ntina nini azwaki ekateli ya kolongola bato wana na makasi na mboka na bango? Yehova asakolaki ete akolongola bango te liboso mbula 400 ekoka—ntango ‘lisumu ya Baamola ekotonda.’ * (Genese 12:1-3; 13:14, 15; 15:13, 16; 22:18) Mokemoke, na boumeli ya bambula nyonso wana, bizaleli ya Baamola ebebaki nde kobeba. Kanana ekómaki mokili ya bato oyo bamipesaki na losambo ya bikeko, na kobomana mpe na makambo ya kosangisa nzoto na ndenge ya mbindo mpenza. (Exode 23:24; 34:12, 13; Mituya 33:52) Bazalaki ata kotumba bana na bango na mɔtɔ lokola mbeka. Nzambe oyo azali mosantu akokaki nde kotika bato ya ekólo na ye báfanda na kati ya mabe ya ndenge wana? Te! Alobaki ete: “Mokili ezali mbindo, mpe nasengeli kopesa yango etumbu mpo na libunga na yango, mpe mokili ekosanza bafandi na yango.” (Levitike 18:21-25) Atako bongo, Yehova abomaki bato ya Kanana nyonso te. Atikaki na bomoi baoyo bazalaki na ezaleli oyo ebongi, na ndakisa Lahaba ná bato ya Gibeoni.—Yosua 6:25; 9:3-27. Abundaka mpo na nkombo na ye 13, 14. (a) Mpo na nini Yehova asengelaki kosantisa nkombo na ye? (b) Ndenge nini Yehova alongolaki nsɔni oyo babwakelaki nkombo na ye? 13 Lokola Yehova azali mosantu, nkombo na ye mpe ezali mosantu. (Levitike 22:32) Yesu ateyaki bayekoli na ye bábondelaka boye: “Tiká nkombo na yo esantisama.” (Matai 6:9) Botomboki oyo ebimaki na Edene esambwisaki nkombo ya Nzambe na ndenge ebimisaki ntembe likoló ya lokumu ya Nzambe mpe ya lolenge oyo ye ayangelaka. Yehova akokaki ata moke te kokanga miso na botomboki mpe makambo yango ya lokuta oyo bakoselaki ye. Asengelaki kolongola nsɔni nyonso oyo babwakelaki nkombo na ye.—Yisaya 48:11. 14 Tólobela lisusu bana ya Yisalaele. Ntango nyonso oyo bazalaki baombo na Ezipito, bazalaki komona ete elaka oyo Nzambe apesaki Abalayama, ete na nzela ya Momboto na ye mabota nyonso ya mokili ekomizwela lipamboli, ezalaki maloba mpamba. Kasi, ntango Yehova asikolaki bango mpe akómisaki bango ekólo, alongolaki nsɔni wana oyo babwakelaki nkombo na ye. Mosakoli Danyele akundolaki likambo yango na libondeli oyo asalaki na maloba oyo: ‘Ee Yehova Nzambe na biso, obimisaki bato na yo na mokili ya Ezipito na lobɔkɔ makasi mpe ozwaki lokumu.’—Danyele 9:15. 15. Mpo na nini Yehova abikisaki Bayuda na boombo na Babilone? 15 Yebá ete ntango Danyele abondelaki bongo, Bayuda bazalaki na mposa ete Yehova asalela lisusu nguya na ye mpo na nkombo na Ye. Bayuda yango oyo bazangaki botosi bazalaki baombo, kasi ya mbala oyo na Babilone. Yelusaleme, mboka-mokonzi na bango, ebebaki. Danyele ayebaki ete soki Bayuda bazongisami na mboka na bango, yango ekokumisa nkombo ya Yehova. Yango wana, abondelaki boye: ‘Ee Yehova, limbisá; ee Yehova, yoká mpe salá; ee Nzambe na ngai, kozela te, na ntina na yo mpenza, mpo ete mboka na yo mpe bato na yo batángami nkombo na yo.’—Danyele 9:18, 19. Abundaka mpo na basaleli na ye 16. Limbolá ntina oyo likebi oyo Yehova atyaka mpo na kokɔtela nkombo na ye elakisi te ete amibanzabanzaka te mpo na basusu mpe alukaka kaka bolamu na ye moko. 16 Likebi oyo Yehova atyaka mpo na kokɔtela nkombo na ye elakisi ete amibanzabanzaka mpo na basusu te, mpe alukaka kaka bolamu na ye moko? Te, mpamba te bosantu na ye mpe kolinga oyo alingi bosembo etindaka ye abatela basaleli na ye. Tózwa ndakisa ya Genese mokapo 14. Yango elobeli bakonzi minei oyo bayaki kokɔtela mboka ya bato mpe bamemaki na makasi Lota, mwana ya ndeko ya Abalayama, elongo na libota na ye. Na lisalisi ya Nzambe, Abalayama alongaki mampinga wana oyo ezalaki na babundi ebele koleka oyo ya ye! Ekoki kozala ete lisolo ya bolongi wana nde ezali lisolo ya liboso kati na masolo oyo ekomamaki na ‘mokanda ya Bitumba ya Yehova,’ oyo ezalaki ntango mosusu buku moko oyo ezalaki mpe na masolo ya bitumba mosusu oyo Biblia elobeli te. (Mituya 21:14) Kasi na nsima bakolonga lisusu bitumba ebele. 17. Nini emonisi ete Yehova abundelaki Bayisalaele nsima ya kokɔta na bango na mokili ya Kanana? Pesá bandakisa. 17 Mwa moke liboso Bayisalaele bákɔta na mokili ya Kanana, Moize akitisaki bango motema na maloba oyo: “[Yehova] Nzambe na bino, oyo azali kokenda liboso na bino, akobunda ye mpenza mpo na bino, [lokola] ebundaki ye mpo na bino na miso na bino na Ezipito.” (Deteronome 1:30; 20:1) Kobanda na Yosua, mokitani ya Moize, tii na ntango ya Basambisi mpe na boumeli ya boyangeli ya bakonzi ya Yuda oyo bazalaki sembo, Yehova abundelaki mpenza basaleli na ye; mbala mingi, azalaki kosala ete bálonga banguna na bango na ndenge ya nsɔmɔ.—Yosua 10:1-14; Basambisi 4:12-17; 2 Samwele 5:17-21. 18. (a) Mpo na nini tokoki kozala na botɔndi na ndenge Yehova abongwani te? (b) Likambo nini ekosalema ntango bonguna oyo elobelami na Genese 3:15 ekoya ndongo? 18 Yehova abongwani te; mokano na ye ya kokómisa mabelé oyo paladiso ya kimya ebongwani mpe te. (Genese 1:27, 28) Tii lelo, Nzambe ayinaka mabe. Alingaka mpe basaleli na ye mingi mpe etikali moke akosalela nguya na ye mpo na bolamu na bango. (Nzembo 11:7) Tóyeba ete, mosika te, bonguna oyo elobelami na Genese 3:15 ekoya ndongo mpe ekobimisa nsuka na mobulu. Na ntango wana, mpo na kosantisa nkombo na ye mpe kobatela basaleli na ye, Yehova akomikómisa lisusu “elombe ya etumba.”—Zekalia 14:3; Emoniseli 16:14, 16. 19. (a) Pesá ndakisa mpo na komonisa ntina oyo ndenge Nzambe asalelaka nguya na ye ya kobebisa ekoki kosalisa biso tópusana penepene na ye. (b) Mposa ya Nzambe ya kobundela biso esengeli kosala biso nini? 19 Tózwa ndakisa: Mobali moko amoni nyama moko mabe elingi kolya mwasi ná bana na ye; mbala moko akweli nyama yango mpe abomi yango. Okanisi ete mwasi ná bana na ye bakomona ete asali mabe? Okokanisa nde ete bolingo oyo amoniseli bango mpe komipesa oyo amipesi mpo na bango ekosimba mitema na bango. Ndenge moko mpe, tosengeli koyoka mabe te mpo Nzambe asalelaka nguya na ye ya kobebisa. Mposa na ye ya kobunda mpo na kobatela biso esengeli kotinda biso nde tólinga ye mingi. Tosengeli mpe komemya lisusu koleka nguya na ye oyo ezangi nsuka. Na ndenge yango, ‘tokosalela Nzambe mosala mosantu na ezaleli ya kobanga Nzambe mpe nsɔmɔ.’—Baebele 12:28. Pusaná penepene na “elombe ya etumba” 20. Tosengeli kosala nini ntango totángi na Biblia masolo ya bitumba ya Nzambe kasi tozali kokanga ntina na yango mpenza te, mpe mpo na nini tosengeli kosalaka bongo? 20 Ezali solo ete Biblia eyebisi makambo nyonso te oyo etindaki Yehova azwa ekateli boye to boye na bitumba nyonso oyo abundaki. Kasi tóyebaka ntango nyonso ete, Yehova asalelaka ata moke te nguya na ye ya kobebisa na ndenge oyo ezangi bosembo, kaka mpamba to mpo na konyokola bato. Mbala mingi, soki totaleli bavɛrsɛ oyo ezali zingazinga ya lisolo moko ya Biblia to makambo oyo ezalaki na ntango likambo yango esalemaki, ekoki kosalisa biso tókanga malamu ntina ya lisolo yango. (Masese 18:13) Ata soki toyebi makambo nyonso te, kasi soki kaka tozali koyekola koyeba Yehova malamumalamu mpe tozali komanyola bizaleli na ye ya kokamwa, yango ekoki kosalisa biso tóbwaka ntembe nyonso oyo ekoki kobima na makanisi na biso. Soki tosali bongo, tokomona ete tozali na bantina mingi oyo esengeli kotinda biso tótyela Yehova, Nzambe na biso, motema.—Yobo 34:12. 21. Atako na bantango mosusu Yehova azalaka “elombe ya etumba,” kasi azalaka mpenza moto ya ndenge nini? 21 Atako, soki esengeli, Yehova azalaka “elombe ya etumba,” yango elingi koloba te ete ye alingaka bitumba. Na emonaneli oyo Ezekiele azwaki oyo etali likalo ya likoló, amonaki Yehova azali pene na kobunda na banguna na ye. Atako bongo, Ezekiele amonaki Nzambe azingami na monama—elembo ya kimya. (Genese 9:13; Ezekiele 1:28; Emoniseli 4:3) Ntembe ezali te ete Yehova azalaka moto ya matata te mpe alingaka kimya. Ntoma Yoane akomaki ete: “Nzambe azali bolingo.” (1 Yoane 4:8) Bizaleli na ye nyonso esalaka elongo na bokatikati mpenza. Yango wana, tozali mpenza na libaku malamu ya kozala na likoki ya kopusana penepene na Nzambe yango oyo atondi na nguya, kasi azali mpe na bolingo! ^ par. 1 Josèphe, Moyuda moko moto ya mayele na makambo ya kala, akomaki ete “balandaki [Baebele] na makalo 600 ná basoda 50 000 oyo babundaka na mpunda mpe na ebele ya basoda oyo batambolaka na makolo mpo na kobunda, oyo bazalaki 200 000.”—Antiquités judaïques, II, 324 [xv, 3]. ^ par. 12 Emonani ete awa, liloba “Baamola” ezali kolobela bikólo nyonso ya Kanana.—Deteronome 1:6-8, 19-21, 27; Yosua 24:15, 18. 2 Mikonzi 6:8-17 Na ndenge nini koyeba ete Nzambe azali “Yehova ya mampinga” ekoki kolendisa biso na ntango ya mpasi? Ezekiele 33:10-20 Liboso Yehova asalela nguya na ye ya kobebisa, libaku nini azali kopesa na mawa mpenza baoyo bazali kobuka mibeko na ye? 2 Batesaloniki 1:6-10 Lokola bato mabe bakobebisama na mikolo ezali koya, libɔndisi nini basaleli ya sembo ya Nzambe bakozwa? 2 Petelo 2:4-13 Nini etindaka Yehova asalela nguya na ye ya kobebisa, mpe makambo nini yango eteyaka bato nyonso? Yekolá ndenge mokolo ya kosambisama ekozala mokolo ya mapamboli mpo na bato nyonso oyo bazali sembo.
2018-01-16T18:06:44
https://www.jw.org/ln/mikanda/babuku/penepene-na-yehova/nguya/nguya-ya-nzambe-ya-kobebisa/
[ -1 ]
Kuhusu 200 aina ya fungi na makazi katika Carpathians Kiukreni. - 47. Uwasilishaji wa mapumziko ya Ukraine, mji Yaremche <> - ::::::Каталог для туриста:::::: - <<< "В - К" Kuhusu 200 aina ya fungi na makazi katika Carpathians Kiukreni. Kuhusu 200 aina ya fungi na makazi katika Carpathians Kiukreni. Katika sura na rangi ya uyoga ni hivyo tofauti kwamba unaweza kupata nyuma yao na hata taarifa yake. Sawa na maua na mabawa ya vipepeo, kwa ajili ya bakuli na mayai, miavuli na pavuchkiv, na mipira patychky, ribbons na Ruche, kofia na kofia, waliwakamata na makali lawns, mteremko na Meadows Alpine na hata mteremko mwinuko. Kweli nini tunaita uyoga ni matunda ya viumbe ya msitu. Baadhi ya matunda hutengenezwa kwa siku moja, wengine ripen wiki kadhaa. Uyoga kukua kwa haraka sana. Saa chache wanaweza kunyoosha hadi cm 5-7 kwa wananchi wengi wa siku 3 hadi 6 kwa kukua zaidi. Mkubwa kati ya aina 60 ya uyoga ni chakula Carpathian Borovik. Jumla ya uzito wa mwili matunda yake inaweza kuwa juu ya kilo 3. Katika Carpathians, mara nyingi kuna nyeupe uyoga uzito zaidi ya kilo moja. Kila mountaineer unaweza kawaida hadithi colorful, mara moja alikuja hela kubwa ya. Hutsuls kujua kwamba milima na misitu, na mito mito, Meadows pepo, na mawingu - ameonekana hai. Tangu zamani, wenyeji kuwasiliana na ulimwengu wa nje, kwa mambo ya asili, pamoja na wanyama na mimea, na miti ya majani, na uyoga .... Katika msitu wao kuwakaribisha katika roho walikuwa hapo na kuulizwa vikapu walikuwa full. Kuvu A kupatikana, asante. Ajabu ambapo wazazi wetu alijua kwamba hivi karibuni alifungua ya sayansi ya kisasa. Hakuna wa mountaineers si kuondoa toadstool, Amanita sisi zitatetemeka, si kuponda crinkle. Katika mahusiano na wengine ni serikali na kujinadi na ufahamu na kuelewa kwamba kila kitu. Hii chache zilizopita miongo kadhaa, kusema wanasayansi. Wao tahadhari dhidi ya uharibifu wa uyoga inedible, kwa sababu wao ni sehemu ya kubadilishana ya virutubisho kupanda. Podiceps, kwa mfano, kukuza uchumi na maendeleo ya vichaka na mimea: oselyayuchys juu ya asili, kupata yao kutoka wanga, lakini wanapendelea unyevu na madini kufutwa. Kwa thamani ya chakula, wanasayansi wanasema, uyoga si mavuno nyama, mboga na hata matunda! Na idadi ya protini mwilini kwa urahisi na uyoga mafuta mbali outweigh ya chakula nafaka, na nyama. Kwa kilo ya protini kavu boletus mara mbili zaidi kuliko katika nyama ya wanyama. Na mara tatu zaidi ya samaki. Uyoga madini mengi, potasiamu, sodiamu, zinki, manganese, chuma, shaba na madini ya chumvi, kiberiti. Jumla ya 10 g pidpenkiv ya kutosha kukidhi mahitaji ya kila siku ya shaba na zinki, ni muhimu kwa ajili ya mchakato wa hematopoiesis. Na fosforasi na kalsiamu katika karibu sawa kwa samaki. Katika fungi wamekutana 8 amino asidi. Macho pamoja na dutu madini na kunukia, wao kuchochea digestion. Na jinsi wengi vitamini! A, B1, B2, C, D, PP - wao ni matajiri hasa misitu hizi zawadi. Vitamini A katika chanterelles wengi, zafarani, na boletus kahawia. Thiamine (B1) katika pidosychnyku si chini ya unga wa bidhaa. Pidpenky vyenye yake kama vile kuoka chachu. Baadhi ya fungi kwenye maudhui ya riboflauini (B2) kuliko mboga na nafaka. Na kama wewe kufikiria maudhui ya niasini (PP), bidhaa hii ni kuja kwa ajili ya shughuli za kibiolojia na ini. uyoga chakula ni kugawanyika katika makundi kulingana na sifa 4 lishe na ladha. Kwanza - ya ladha zaidi, matajiri katika protini na vitamini na madini. Hii - Borovik, ladha zafarani, maziwa, uyoga. Wa pili ni pamoja na uyoga, ambaye massa si hivyo upole: pidosychnyky, kahawia, uyoga siagi, uyoga Kipolishi uyoga,. Kundi la tatu - Smorzhiv, chanterelle, boletus, pidpenky, russule, Kozlyuk. Ya nne - uyoga mengine yote. Wakazi wa ndani katika fungi Carpathians classified katika yake mwenyewe: favorite - uyoga mweupe au "halisi". Na wengine wote. Wakati uyoga kuonekana? muda wao - kuanzia mwezi Juni hadi mwishoni mwa Oktoba. Na kuna wale kwamba kukua tu katika nyakati fulani. Spring - wrinkles, Mei holubinky. Pidpenky pavutynnyky halisi na kutokea tu katika spring. Lakini wakati wa baridi pidpenky kuonekana na theluji ya kwanza. Rusty, kuwa na majimaji ya njano, kidogo kidogo kuliko majira ya joto na jamaa zao vuli. Makazi zaidi katika Hollow. Ulaya ni kukulia kwenye mabaki ya sekta ya mbao. Tu ya wiki moja au mbili inachukua wimbi la kwanza la uyoga. Itaanza mwishoni mwa Mei - mapema Juni, maua majivu. Mapema uyoga kukua katika maeneo vizuri-lit. Msimu wazi nyeupe, kahawia, russule. Mziki Uyoga tamasha huanza katika nusu ya pili ya Juni. Kwa wiki kadhaa katika Woods inaonekana zaidi ya aina ya uyoga. Wimbi la tatu - mrefu. Kutoka katikati ya Agosti na mwanzoni mwa Novemba, utofauti wa fungi. Ni kuamini kwamba kilele cha uyoga msimu huamua majani ya miti Birch njano njano. Wakati huu, karibu kila aina ya uyoga kukua. Mycologist (wanasayansi kusoma fungi) kumbukumbu matukio mengi phenological. Kwa mfano, uyoga "Snowdrops". Wao walikuwa kupatikana wakati wa huzitoa theluji, mwishoni mwa Novemba au hata Desemba. Mwaka 1984 katika Transcarpathia boletus mzima chini ya theluji zaidi ya mwaka mpya! Miaka michache baadaye ulizidi russule. Hai Mizhgirya uyoga lasuvaly katika Januari! A joto sana katika mwanzo wa Mei 1993 kuna alionekana Oiler. Haijulikani ni ngapi uyoga kukua katika sehemu moja. Watafiti mrefu aliona nao chini ya mti huo kwa muda wa miaka 12. Usimbishaji, joto, mwanga, urefu, upepo kasi - asili yanayoathiri kama uyoga kukua katika eneo fulani. Kuna misitu, ambapo hata pohanok - kupitia muundo maalum ya udongo. Sababu nyingine - anthropogenic. Hai za binadamu kuingilia katika maisha ya misitu si katika neema ya uyoga. Kupunguza kusherehekea mavuno yao na wakazi wa mitaa, na misitu. mabadiliko ya hivi karibuni kueleza mazingira ya jumla ya kwamba alifanya maandalizi ya viwanda ya uyoga na kuendelea kukata miti. Safi, uchungu, kali, tamu, chumvi, kali, kali, au tu unpleasant - uyoga hivyo safi na ladha. Kavu, nata, kufunikwa na lami - kugusa. Uchi, laini, magamba, YENYE NYUZINYUZI, pamoja na pete ya Cortina, pamoja na Volvo, au bila ya yote haya - kwa kuonekana. Mush kofia zao ni rojorojo, slimy, voskovatym, kama ngozi, Cork na hata derevystym. A harufu ya aniseed, mdalasini, unga, sill, manii jordgubbar, mbao, figili, vitunguu au vitunguu, mapera na hata. Woods tofauti ni matajiri katika fungi mbalimbali. Tu katika misitu Carpathian Beech kuongezeka moja ya uyoga bora chakula - Amanita Kaisari, unaojulikana kama zhovtyuh na yayeshnyk. Hata Waroma wa kale waliona kuwa ni wa kwanza kati ya uyoga nyingine kwa ladha. Zhovtyuh ni aina ya Borovik, angavu - machungwa nyekundu, au pink - ya bonnet. Inaonekana katika Julai. Awali kutoka nchi kuonyesha yai nyeupe - kwamba aina ya uyoga amevikwa mablanketi. Baadaye proryvayutsya na juu vytykayetsya cap rangi. Yayeshnyk - a Kuvu nadra. Wake waliotajwa katika Kitabu Red. Jirani zhovtyuha katika msitu Beech ni Borovik Fehtnera. Ina kofia grayish-nyeupe, ambayo kugeuka bluu wakati mwongozo kufungwa. Mara kwa mara kuna ni chini ya Pines na firs katika maeneo ya miinuko. Lakini schyryak, voit, bibi, Bilyak, kweli Kuvu - nyeupe uyoga - it anapenda misitu coniferous na mchanganyiko wa foothills mlima. Buvaltsi ushauri kutafuta moja nyeupe, makini kutafuta eneo karibu. Truffles - hasa ladha uyoga. Katika Carpathians - si kawaida. Wenyeji wito haya matunda hrupilem chini ya ardhi, bruvleyu, excavation moyo. Kununua yao katika misitu mchanganyiko chini ya mialoni ya zamani, katika Agosti. Kuwaambia ni kwamba uyoga juu ya mahali katika upepo sunset komashok swarm. Winged madai naendelea underling wake hatari alerts angalau woodman, ambao lazima tupu ya moyo wa earthlings. Na yeye napuskaye macho ukungu, inatoa ghasia. Kwa kweli, wadudu kuvutia na harufu ya uyoga. Katika misitu Carpathian kukua mbili aina ya truffles: nyeusi na nyeupe - Baranovka, nyeupe moyo. Katika misitu ya mchanganyiko ya kawaida ya aina ya uyoga. Kukata tamaa uyoga, mdomo mbuzi, Grill pid'yayeshnyk katika mycology - kupasuka boletus, kukua katika pindo ya maeneo, pamoja na joto jua. Sawa na uyoga yake Kipolishi au pisochnyk. Msimu - Julai hadi mwishoni mwa Oktoba. Wakati huu pia kuna goatherd (pidhryb, dragonfly hudhurungi) na krasnoholovets (nyekundu dragonfly, Krasnyuk, pidosykovyk) pidpenky majira ya joto. Cap decorated na misitu rangirangi Carpathian russule - nyekundu, pink, zambarau, bluu, njano, nyeupe, grayish. Kati yao ni wengi ladha ya kijani kibichi na russule - shablyachka. Haya uyoga kukua katika vilima na Gorgan Rocky. Horyany si heshima yao pia. Wao kukusanya tak syroyizhok tu. A syvulky na holubinky na wengi kubaki katika msitu wa kula yake wenyeji ndogo. Coniferous, misitu pamoja na fungi hizi ni matajiri katika uyoga siagi (maslyanyky, dragonflies) na reshitnyky (kozlyaky). Wao kukua juu ya kukata magogo, miti ya vijana. Kwa upande mwingine, chanterelles kamenysti vydryapuyutsya familia kwenye mteremko mlima. Vile vile, vikundi vidogo vidogo makazi kati fir vijana na spruce, katika mahali pa juu, misitu na mapungufu rydz edges, pembe, ryzhiy - zafarani ladha. Chasnychnyk kubwa - kinachojulikana ya aina ya uyoga Beech misitu. Hukua kuanzia mwezi Juni hadi Oktoba. Ina nyeupe-kijivu kofia. Wakazi wa mara kwa mara za Mitaa matumizi yake kama seasoning kwa harufu na ladha sawa na mchanganyiko wa vitunguu na vitunguu. Oyster (kalichky, hlyvachky) pia ni kawaida wenyeji wa misitu Beech. Wao kukua katika Hollow ya miti, karibu Mbegu - kwa familia thelathini za fungi. Kuonekana katika majira ya marehemu. Katika nchi nyingi, chaza, kama uyoga, ni mzima katika mashamba maalum. Champignons, uyoga, pecharky kupatikana katika Meadows, katika bustani na vijiji, katika vitongoji, pamoja uzlis. Mei-Oktoba - ya msimu wa uyoga. Hata hivyo, mara chache sana kutokea mushroomers. Lakini busyachoho cheese (yeye ni kiwete uyoga mbwa mwitu tumbaku, au raincoat) hapa sana. uyoga huu harufu ya massa figili na tulivu, lakini bado nyeupe. Jinsi ya kukusanya uyoga? SHEAR, twist au kuvunja duniani, ili kama si kwa uharibifu wa mycelium? Kuthibitika kisayansi kwamba hakuna njia ya juu itakuwa si kusababisha uharibifu mkubwa na uyoga. Hata hivyo, kutokana na muundo wa miguu bora "kuvunja" bomba - zafarani, russule, holubinky. I "kukusanya", yaani kuondoa au kupunguza, lamellar uyoga - nyeupe, kahawia, siagi uyoga na zaidi. Kufurahia kuwinda yako! Hivyo - uyoga katika Carpathians Категорія: 47. Uwasilishaji wa mapumziko ya Ukraine, mji Yaremche | Додав: vechervkarpatah (11-01-25)
2018-09-25T13:12:47
http://vechervkarpatah.at.ua/publ/presentation_of_the_rest_in_ukraine_city_yaremche/47_uwasilishaji_wa_mapumziko_ya_ukraine_mji_yaremche/kuhusu_200_aina_ya_fungi_na_makazi_katika_carpathians_kiukreni/96-1-0-4301
[ -1 ]
Mahojiano ya Mubelwa Bandio na Shose Kombe kuhusu Diaspora - ZanziNews Home HABARI MATUKIO Mahojiano ya Mubelwa Bandio na Shose Kombe kuhusu Diaspora othman maulid 3:30 PM Mubelwa T Bandio Founder Kwanza Production LLC http://www.kwanzaproduction.com/mubelwa-bandio/
2017-09-19T20:52:13
http://www.zanzinews.com/2017/06/mahojiano-ya-mubelwa-bandio-na-shose.html
[ -1 ]
Uislamu Chaguo Langu 18 + Sauti | Kiislamu vyanzo Mwenyezi Mungu SWT ndio mhimuli wa uongofu na amali njema. Yeye ni nuru kubwa ambayo huwaangazia wanaadamu na kuwapa saada. Mwanaadamu naye pia ameumbwa ili aweze kuyafikia malengo ya Mwenyezi Mungu. Kwa hivyo tunaweza kusema muongozo au hidaya ni jambo la kimaumbile. Lakini baadhi ya masuala ya kimaisha na upotofu katika mazingira ya jamii hupelekea mwanaadamu kuondoka katika mkondo sahihi wa maisha. Pamoja na hayo mwanaadamu katika kufuata dhati ya maumbile yake hujitahidi kutafuta ukweli ili hatimaye aweze kufaidika na nuru ya Mwenyezi Mungu. Hii ni nuru ambayo sasa iko katika nyoyo za waumini wa kweli na wenye ikhlasi. Mwenyezi Mungu SWT katika aya ya 35 ya Suratun Nur anasema hivi: “Mwenyezi Mungu ni Nuru ya Mbingu na Ardhi. Mfano wa Nuru yake ni kama shubaka lenye kuwekwa ndani yake taa. Taa ile imo katika tungi. Tungi lile ni kama nyota inayo meremeta, inayo washwa kwa mafuta yanayo toka katika mti ulio barikiwa, mzaituni. Si wa mashariki wala magharibi. Yanakaribia mafuta yake kung’aa wenyewe ingawa moto haujayagusa – Nuru juu ya Nuru. Mwenyezi Mungu humwongoa kwenye Nuru yake amtakaye. Na Mwenyezi Mungu huwapigia watu mifano. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua kila kitu. Katika upeo wa nuru ya Mwenyezi Mungu, nyoyo ziko tayari kupokea ukweli na muongozo maishani. Wanaadamu wengi wakati wanapoishi maisha ya upotofu; ijapokuwa kidhahiri hawawezi kukiri lakini huwa wanapata masaibu ya kinafsi. Wenye kupata taufiki hatimaye hufikia imani ya Mwenyezi Mungu na kukiri kuwa wameingia katika maisha mapya na hivyo huwa kana kwamba wamezaliwa upya. Wapenzi wasikilizaji karibuni kujiunga nami katika dakika hizi chache za makala yetu hii yenye anuani ya ‘Uislamu Chaguo Langu’ ili tuweze kuangazia maisha ya Joseph Zammit, raia wa Malta aliyesilimu baada ya kufanya utafiti wa kina. Leo “Tokea utotoni, kutokana na mapenzi ambayo Mwenyezi Mungu aliyatia katika moyo wangu, nilikuwa navutiwa na masuala ya kimaanawi na kidini. Daima wakati mama yangu alipokuwa akifanya kazi za nyumba, alikuwa akinisimulia visa vya maisha ya Nabii Issa AS. Niliutumia wakati wangu wa mapumzko kusoma visa vya mitume na watu wakubwa waliotangulia na hasa nilivutiwa sana na shakhsia ya Nabii Issa AS. Nilishiriki katika masomo ya kujifunza Bibilia. Hapo niliweza kupata yakini kuwa kuna sehemu kubwa ya maneno ya Injili ambayo yalikuwa yamefutwa. Kwa hivyo singeweza tena kuyakubali mafundisho ya Kikristo kwani hayakuwa yananiathiri tena. Niliacha kila kitu mikononi mwa Mwenyezi Mungu na nikaamua kuanza kufanya utafiti kuhusu dini mbali mbali. Kwa hakika nilikuwa namtafuta Mwenyezi Mungu na nilifanya kila niwezalo ili kumfikia naye pia alinisaidia katika hili.” Maneno hayo ni sehemu ya kumbukumbu za Joseph Zammit, raia wa Malta aliyesilimu na kuchagua jina la Yusuf Abdullah. Kuhusu tajriba yake katika kuutafuta ukweli, Yusuf Abdullah anaendelea kusema hivi: ‘Kufuatia kuongozeka moyo wa kutafuta ukweli katika nafsi yangu, nilianza kufanya utaifti kuhusu makundi mbali mbali ya Kiirfani pamoja na nadharia mbali mbali za kisaikolojia. Halikadhalika nilifanya utafiti kuhusu dini ya Ubuda. Sambamba na hilo nilichunguza pia itikadi za Kisufi na nikapata nukta za kuvutia lakini kutokana na kuwa chimbuko lake lilikuwa ni Uislamu, sikuendeleza utafiti kuhusu Usufi. Hii ni kwa sababu nilikuwa nimesikia sifa mbaya za Uislamu kama vile dini hii ni ya vita na inayokinzana na uhuru. Nilifanya utafiti kuhusu Irfani ya Kihindu na mapote ya Kikristo. Utafiti huu ulipelekea nichunguze Bibilia kwa kina. Pamoja na hayo nilikuwa navutiwa na Uislamu kutokana na usahali na mapenzi ya kina ya Waislamu kwa Mwenyezi Mungu.” Pamoja na kuwepo propaganda chafu dhidi ya Uislamu lakini Yusuf Abdullah alikuwa anahisi kuwepo sauti ya ndani iliyokuwa inamuita kuelekea katika Uislamu. Hatimaye Mwenyezi Mungu aliitikia dua yake na akaweza kuifahamu Qur’ani ambayo ni kitabu kamili zaidi na cha mwisho kutoka kilichoteremka kutoka mbinguni. Yusuf Abdullah anabainisha hivi kuhusu kusilimu kwake: “Katika nchi ya Kikatoliki kama Malta, ambayo ni nchi ndogo kusini mwa bara Ulaya, kuwa Mwislamu kunahesabiwa kuwa ni uhaini mkubwa. Kutokana na hili nilinyanyua mikono yangu juu na kumuomba Mwenyezi Mungu anipe hidaya. Raghba kubwa katika nafsi yangu ilkuwa cheche ambayo ilinipelekea nifanye utafiti wa kina kupitia kuisoma Qura’ani Tukufu. Baada ya kuona mshabaha mkubwa katika yaliyomo ndani ya Qur’ani na Injili kuhusu Mitume waliotangulia. Nilishangaa ni vipi katika miaka yote ya utafiti wangu sikuwa bado nimeisoma Qur’ani.” Kwa msingi huo Yusuf Abdullah aliweza kujifunza mengi katika Qur’ani Tukufu na hivyo akafaidika na mafundisho yake yenye kuleta utulivu moyoni. Anaendelea kusema hivi: “Nilianza kusoma Qur’ani kila siku na hatua kwa hatua nikaanza kujifunza kuhusu nguzo za Uislamu kama vile Sala, Saumu, Hija na kadhalika.” Kati ya mambo yaliyomvutia sana Yusuf Abdullah kabla ya kusilimu ni umaridadi wa ibada ya Hija. Alikuwa na hamu sana ya kushiriki katika kongamano hili adhimu la Waislamu. Mwenyezi Mungu alitaka aelekee Hija kama Mwislamu kamili. Anaendelea kusema hivi: ‘Nikiwa katika msikiti wa eneo langu nilikutana kwa sadfa na mtu na mkewe ambao walikuwa raia wa Uingereza. Tulifanya mazungumzo na wakanizawadia vitabu kadhaa. Vitabu hivyo vilikuwa ni vyenye thamani sana kwani baada ya kuvisoma niliweza kutambua ukweli na kupata yakini kuhusu nuru ya Uislamu na Ushia na hapo nikaamua kuikumbatia kikamilifu dini ya Kiislamu na hivyo baada ya kusilimu na kwa imani imara ya Ushia nilielekea katika safari ya Hija.” Mpenzi msikilizaji kama mjuavyo tunakaribia msimu wa Hija ambao ni machipuo ya umaanawi na dhihirisho la Tauhidi. Wenye kupata taufiki ya kutekeleza ibada ya Hija ipasavyo huibuka wakiwa wametakasika kikamilifu. Katika ibada ya Hija nuru ya utakasifu huweza kuonekana na Waislamu pamoja na wasiokuwa Waislamu. Hii ndio sababu wengi waliosilimu huvutiwa sana na ibada hii kwani mvuto wake hauko katika dini au itikadi yoyote nyingine. Kwa mfano Malcolm X aliyekuwa kiongozi wa Waislamu Marekani alielekea Hija baada ya kusilimu. Anasimulia ifuatavyo safari yake ya Hija. “Hadi sasa sijawahi kuona idadi kubwa ya watu kama hii ambapo wote wanafanya ibada pamoja kwa raghba kubwa na kwa hisia ya udugu. Hapa ni ardhi ya kale na palikuwa makao ya Ibrahim AS na Mohammad SAW pamoja na Mitume wengine wa Mwenyezi Mungu. Wote, kutoka kila rangi na kaumu wamekutana katika sehemu moja pasina kuwepo ubaguzi. Katika wiki nilizokuwa Hija nilivutiwa sana kwa ajili ya kuwa katika mjumuiko huu na hata sina maneno ya kuelezea hisia niliyokuwa nayo.” Hivi sasa baada ya kusilimu, Yusuf Abdullah anamuomba Mwenyezi Mungu aweze kuwaongoza wanaadamu wote katika njia ya haki. Anasema pamoja na kuomba dua, mwenye kutaka hidaya pia anapaswa kuwa na raghba na bidii ya kutafuta ukweli. Yusuf Abdullah, raia wa Malta aliyezaliwa Mkristo na baadaye kusilimu baada ya kufanya utafiti anasema hivi kuhusu kuishi katika nuru ya Uislamu: “Katika kutaka Mwenyezi Mungu atuongoze katika njia ya haki tunapaswa kuwa wakweli na kisha tumuachie mengine yote. Katika maisha yangu ya kabla ya kusilimu nilikuwa navutiwa na vitu vya kidunia. Lakini sasa kuwepo Mwenyezi Mungu katika maisha yangu ni jambo ambalo limepelekea nipate utulivu maishani. Mwenyezi Mungu SWT ndio mhimuli wa uongofu na amali njema. Yeye ni nuru kubwa ambayo huwaangazia wanaadamu na kuwapa saada. Mwanaadamu naye pia ameumbwa ili aweze kuyafikia malengo ya Mwenyezi Mungu. Kwa hivyo tunaweza kusema muongozo au hidaya ni jambo la kimaumbile. Lakini baadhi ya masuala ya kimaisha na upotofu katika mazingira ya jamii hupelekea mwanaadamu kuondoka katika mkondo sahihi wa maisha. Pamoja na hayo mwanaadamu katika kufuata dhati ya maumbile yake hujitahidi kutafuta ukweli ili hatimaye aweze kufaidika na nuru ya Mwenyezi Mungu. Hii ni nuru ambayo sasa iko katika nyoyo za waumini wa kweli na wenye ikhlasi. Mwenyezi Mungu SWT katika aya ya 35 ya Suratun Nur anasema hivi: "Mwenyezi Mungu ni Nuru ya Mbingu na Ardhi. Mfano wa Nuru yake ni kama shubaka lenye kuwekwa ndani yake taa. Taa ile imo katika tungi. Tungi lile ni kama nyota inayo meremeta, inayo washwa kwa mafuta yanayo toka katika mti ulio barikiwa, mzaituni. Si wa mashariki wala magharibi. Yanakaribia mafuta yake kung'aa wenyewe ingawa moto haujayagusa - Nuru juu ya Nuru. Mwenyezi Mungu humwongoa kwenye Nuru yake amtakaye. Na Mwenyezi Mungu huwapigia watu mifano. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua kila kitu. Katika upeo wa nuru ya Mwenyezi Mungu, nyoyo ziko tayari kupokea ukweli na muongozo maishani. Wanaadamu wengi wakati wanapoishi maisha ya upotofu; ijapokuwa kidhahiri hawawezi kukiri lakini huwa wanapata masaibu ya kinafsi. Wenye kupata taufiki hatimaye hufikia imani ya Mwenyezi Mungu na kukiri kuwa wameingia katika maisha mapya na hivyo huwa kana kwamba wamezaliwa upya. Wapenzi wasikilizaji karibuni kujiunga nami katika dakika hizi chache za makala yetu hii yenye anuani ya 'Uislamu Chaguo Langu' ili tuweze kuangazia maisha ya Joseph Zammit, raia wa Malta aliyesilimu baada ya kufanya utafiti wa kina. Leo @@@ "Tokea utotoni, kutokana na mapenzi ambayo Mwenyezi Mungu aliyatia katika moyo wangu, nilikuwa navutiwa na masuala ya kimaanawi na kidini. Daima wakati mama yangu alipokuwa akifanya kazi za nyumba, alikuwa akinisimulia visa vya maisha ya Nabii Issa AS. Niliutumia wakati wangu wa mapumzko kusoma visa vya mitume na watu wakubwa waliotangulia na hasa nilivutiwa sana na shakhsia ya Nabii Issa AS. Nilishiriki katika masomo ya kujifunza Bibilia. Hapo niliweza kupata yakini kuwa kuna sehemu kubwa ya maneno ya Injili ambayo yalikuwa yamefutwa. Kwa hivyo singeweza tena kuyakubali mafundisho ya Kikristo kwani hayakuwa yananiathiri tena. Niliacha kila kitu mikononi mwa Mwenyezi Mungu na nikaamua kuanza kufanya utafiti kuhusu dini mbali mbali. Kwa hakika nilikuwa namtafuta Mwenyezi Mungu na nilifanya kila niwezalo ili kumfikia naye pia alinisaidia katika hili." Maneno hayo ni sehemu ya kumbukumbu za Joseph Zammit, raia wa Malta aliyesilimu na kuchagua jina la Yusuf Abdullah. Kuhusu tajriba yake katika kuutafuta ukweli, Yusuf Abdullah anaendelea kusema hivi: 'Kufuatia kuongozeka moyo wa kutafuta ukweli katika nafsi yangu, nilianza kufanya utaifti kuhusu makundi mbali mbali ya Kiirfani pamoja na nadharia mbali mbali za kisaikolojia. Halikadhalika nilifanya utafiti kuhusu dini ya Ubuda. Sambamba na hilo nilichunguza pia itikadi za Kisufi na nikapata nukta za kuvutia lakini kutokana na kuwa chimbuko lake lilikuwa ni Uislamu, sikuendeleza utafiti kuhusu Usufi. Hii ni kwa sababu nilikuwa nimesikia sifa mbaya za Uislamu kama vile dini hii ni ya vita na inayokinzana na uhuru. Nilifanya utafiti kuhusu Irfani ya Kihindu na mapote ya Kikristo. Utafiti huu ulipelekea nichunguze Bibilia kwa kina. Pamoja na hayo nilikuwa navutiwa na Uislamu kutokana na usahali na mapenzi ya kina ya Waislamu kwa Mwenyezi Mungu." Pamoja na kuwepo propaganda chafu dhidi ya Uislamu lakini Yusuf Abdullah alikuwa anahisi kuwepo sauti ya ndani iliyokuwa inamuita kuelekea katika Uislamu. Hatimaye Mwenyezi Mungu aliitikia dua yake na akaweza kuifahamu Qur'ani ambayo ni kitabu kamili zaidi na cha mwisho kutoka kilichoteremka kutoka mbinguni. Yusuf Abdullah anabainisha hivi kuhusu kusilimu kwake: "Katika nchi ya Kikatoliki kama Malta, ambayo ni nchi ndogo kusini mwa bara Ulaya, kuwa Mwislamu kunahesabiwa kuwa ni uhaini mkubwa. Kutokana na hili nilinyanyua mikono yangu juu na kumuomba Mwenyezi Mungu anipe hidaya. Raghba kubwa katika nafsi yangu ilkuwa cheche ambayo ilinipelekea nifanye utafiti wa kina kupitia kuisoma Qura'ani Tukufu. Baada ya kuona mshabaha mkubwa katika yaliyomo ndani ya Qur'ani na Injili kuhusu Mitume waliotangulia. Nilishangaa ni vipi katika miaka yote ya utafiti wangu sikuwa bado nimeisoma Qur'ani." Kwa msingi huo Yusuf Abdullah aliweza kujifunza mengi katika Qur'ani Tukufu na hivyo akafaidika na mafundisho yake yenye kuleta utulivu moyoni. Anaendelea kusema hivi: "Nilianza kusoma Qur'ani kila siku na hatua kwa hatua nikaanza kujifunza kuhusu nguzo za Uislamu kama vile Sala, Saumu, Hija na kadhalika." Kati ya mambo yaliyomvutia sana Yusuf Abdullah kabla ya kusilimu ni umaridadi wa ibada ya Hija. Alikuwa na hamu sana ya kushiriki katika kongamano hili adhimu la Waislamu. Mwenyezi Mungu alitaka aelekee Hija kama Mwislamu kamili. Anaendelea kusema hivi: 'Nikiwa katika msikiti wa eneo langu nilikutana kwa sadfa na mtu na mkewe ambao walikuwa raia wa Uingereza. Tulifanya mazungumzo na wakanizawadia vitabu kadhaa. Vitabu hivyo vilikuwa ni vyenye thamani sana kwani baada ya kuvisoma niliweza kutambua ukweli na kupata yakini kuhusu nuru ya Uislamu na Ushia na hapo nikaamua kuikumbatia kikamilifu dini ya Kiislamu na hivyo baada ya kusilimu na kwa imani imara ya Ushia nilielekea katika safari ya Hija." @@@ Mpenzi msikilizaji kama mjuavyo tunakaribia msimu wa Hija ambao ni machipuo ya umaanawi na dhihirisho la Tauhidi. Wenye kupata taufiki ya kutekeleza ibada ya Hija ipasavyo huibuka wakiwa wametakasika kikamilifu. Katika ibada ya Hija nuru ya utakasifu huweza kuonekana na Waislamu pamoja na wasiokuwa Waislamu. Hii ndio sababu wengi waliosilimu huvutiwa sana na ibada hii kwani mvuto wake hauko katika dini au itikadi yoyote nyingine. Kwa mfano Malcolm X aliyekuwa kiongozi wa Waislamu Marekani alielekea Hija baada ya kusilimu. Anasimulia ifuatavyo safari yake ya Hija. "Hadi sasa sijawahi kuona idadi kubwa ya watu kama hii ambapo wote wanafanya ibada pamoja kwa raghba kubwa na kwa hisia ya udugu. Hapa ni ardhi ya kale na palikuwa makao ya Ibrahim AS na Mohammad SAW pamoja na Mitume wengine wa Mwenyezi Mungu. Wote, kutoka kila rangi na kaumu wamekutana katika sehemu moja pasina kuwepo ubaguzi. Katika wiki nilizokuwa Hija nilivutiwa sana kwa ajili ya kuwa katika mjumuiko huu na hata sina maneno ya kuelezea hisia niliyokuwa nayo." Hivi sasa baada ya kusilimu, Yusuf Abdullah anamuomba Mwenyezi Mungu aweze kuwaongoza wanaadamu wote katika njia ya haki. Anasema pamoja na kuomba dua, mwenye kutaka hidaya pia anapaswa kuwa na raghba na bidii ya kutafuta ukweli. Yusuf Abdullah, raia wa Malta aliyezaliwa Mkristo na baadaye kusilimu baada ya kufanya utafiti anasema hivi kuhusu kuishi katika nuru ya Uislamu: "Katika kutaka Mwenyezi Mungu atuongoze katika njia ya haki tunapaswa kuwa wakweli na kisha tumuachie mengine yote. Katika maisha yangu ya kabla ya kusilimu nilikuwa navutiwa na vitu vya kidunia. Lakini sasa kuwepo Mwenyezi Mungu katika maisha yangu ni jambo ambalo limepelekea nipate utulivu maishani. http://kiswahili.irib.ir" }
2017-11-25T02:03:42
http://www.sw.islamic-sources.com/article/uislamu-chaguo-langu-18-sauti/
[ -1 ]
Dk. Magufuli ajitosa Katiba mpya, awabeza CHADEMA | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Dkt. Magufuli kitu kinaweza kufuata taratibu zote but is sub-standard. Be careful with what you say. Watanzania sasa wajua mambo kulivyo unavyoweza kufikiria magufuli kichefuchefu. Alitakiwa kupewa ukatibu mwenezi Aangalie maneno yake, mdoma huponza kichwa. Dr. Magufuli, achana na hizo longolongo za kisiasa za chama chako. Tunakujua na kukuaminia kuwa wewe ni mchapa kazi, hizo ngonjera za ubabaishaji waachie kina Kikwete ndo zao. Btw, nakupongeza kwa hilo la kutaka mkandarasi mzembe apigwe chini. Waangalie kwa macho mawili hao kina Kadashi, wanakula na wakandalasi hao, watakuangusha. magufuli acha kuongea upupu yataja kutokea puani ohoo!!! Unafanya research: population mikoa 26..... sample mikoa 3..... time to collect data siku mbili tu...... haya ni maajabu ya kuunda katiba BORA zaidi Tanzania Magufuli ni fisadi, nani asiemjua! Aende huko, anasema sababu yupo chama cha magamba, cdm wangekuwa na dola angewasifia pia. ukiwa mwanasisa hasa wa chama tawala ili ufanikiwe ni lazima uwe mnafiki ili kulinda kitumbua chako Gharama ya kivuko Billioni 1.6!!!! Magufuli toa mchanganuo bwana pombe! Alikuwa kalewa huyo kama jina lake. Btw, nakupongeza kwa hilo la kutaka mkandarasi mzembe apigwe chini. Waangalie kwa macho mawili hao kina Kadashi, wanakula na wakandalasi hao, watakuangusha.Click to expand... Mnamjua wewe na nani?? Magufuli licha ya uchapa kazi wake, bado anamawazo ya kizamani sana, hajui kuwa maandamano ni moja ya njia ya kudai haki. Wafanye kazi, watoe haki sawa, then hakutakuwa na maandamano Mwanzoni wabunge hao hao walisema hawamtambui rais, lakini sasa wamekuwa wa kwanza kukimbilia Ikulu kuzungumza na rais wasiyemtambua&#8230;kuona hivyo rais kawapa chai, juisi na soda wakanywa, kesho yake akasaini muswada wa kupata tume ya Katiba mpya," alisema Dk. Magufuli. Unaweza usiamini, lakini ndo hivyo. Nafikiri magufuli apewe uenezi sababu Siku tangu aitwe dr.sio yule mchapaka kazi aliyejulikana ndani ya harass la mawaziri!mh.unakera sana na siasa za Maji taka zenu na zaidi Siku bidi hufanyi kazi unajipendekeza kwa maboss . Nimeota leo kwamba KATIBA MPYA IJAYO ITAPIGA MARUFUKU MAANDAMANO YANAYOFANYWA NA VYAMA VYA SIASA ili kulinda amani na uvunjifu wa amani nchini Tanganyika. Nashangaa wengi wetu tunasahau kuwa UKAWA walijiunga kwa dhumuni la kupata katiba mpya ya wananchi. Sasa naskia kelele nyingi kuhusu Magufuli na uchapakazi, je ataifanyia kazi katiba mpya ili tuipate katiba ya wananchi kama yalivyo malengo ya UKAWA? kwasababu nimeona wengi wanampambanisha Magufuli na UKAWA, nikakumbuka madhumuni halisi ya UKAWA, nikaona kwamba kumbe ni Magufuli vs katiba ya wananchi! Kama wananchi si wasahaulifu, basi kwenye kupiga kura hapo October, misimamo wa wagombea na vyama vyao kuhusiana na katiba mpya, utakuwa one of the main deciding factors! Manema Jr Kwa Tanzania yetu hii,,,watu wameshasahau kama walichakachuliwa katiba yao mimi naona hakuna jipya Makufuli vipi sheria ya gesi anaikubali sasa kama anaikubali vipi anawambia watanzania anaweza kuleta maendeleo?
2017-01-19T19:48:57
https://www.jamiiforums.com/threads/dk-magufuli-ajitosa-katiba-mpya-awabeza-chadema.203678/
[ -1 ]
MAASINDA: KAJALA MASANJA HURU, WEMA SEPETU AMWOKOA KWA KUMLIPIA MILIONI 13 ILI ASITUMIKIEE KIFUNGO KAJALA MASANJA HURU, WEMA SEPETU AMWOKOA KWA KUMLIPIA MILIONI 13 ILI ASITUMIKIEE KIFUNGO Kajala akiwa na Wema Sepetu mara baada ya kuachiwa huru baada ya Wema kumlipia milioni 13 MSANII maarufu nchini, Wema Sepetu amemnusuru msanii mwenzake Kajala Masanja kwenda jela miaka saba baada ya kumlipia faini ya fedha taslimu ya Sh.milioni 13 . Hata hivyo wakati Kajala akiachiwa huru, mumewe Faraja Chambo amehukumiwa kifungo cha miaka 12 jela kutokana na kushindwa kulipa faini ya Sh milioni 213.Mke na mume hao walihukumiwa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi Sundi Fimbo baada ya kuwatia hatiani kwa makosa matatuya kula njama, kuuza nyumba iliyopatikana katika mazingira ya rushwa ili kuficha ukweli na kosa la utakatishaji fedha.Mahakama ya Kisutu ilitawaliwa na vituko mbalimbali kwani wakati hukumu ikisomwa, Kajala alikuwa akilia muda wote hali iliyosababisha wasanii wengi waliojaa mahakamani kuangua vilio kwa kububujikwa na machozi kwani hawakuweza kutoa sauti wakihofia kukamatwa kwa kuisumbua mahakama.Hakimu Fimbo alipomaliza kusoma hukumu Kajala alijikuta akikaa chini na kulia kwa huzuni, alitolewa nje kuelekea mahabusu na kuwaacha wasanii wakilia na kupanga jinsi ya kumsaidia aweze kutoka gerezani. Mama mzazi wa Faraja alitoka mahakamani na kuelekea katika mahakama nyingine ya wazi, alipofika humo aliangua kilio kikubwa kilichovuta watu kumfata kujua kulikoni, mama huyo alivua viatu na kuanza kuwakimbiza wapiga picha walioanza kumpiga picha. Kuwakimbiza na kuwarushia mkoba wake hakuona kama inatosha aliamua kuokota mawe na kuwatishia kuwaopiga nayo, walifanikiwa kumpiga picha lakini walikuja kuondolewa na askari kwa ajili ya utulivu.Wasanii walianza kuchanga fedha kwa ajili ya kulipa faini ya jumla ya Sh milioni 13 lakini Wema aliwakataza na kuwaambia kwamba fedha zote atazilipa, aliondoka eneo hilo kuelekea benki na baada ya masaa mawili alirudi na fedha hizo. Akisoma hukumu, Hakimu Fimbo alisema upande wa amshtaka katika kesi hiyo ulikuwa na mashahidi saba na waliweza kuthibitisha katika ushahidi wao kwamba washtakiwa walitenda makosa hayo huku wakijua. "Kuna makosa matatu, kosa la kwanza wanadaiwa Aprili, 2010 walikula njama ya kuuza nyumba iliyokuwa Kunduchi Sala sala jijini Dar es Salaam, Shtaka la pili kuuza nyumba hiyo Aprili 14, 2010 kwa Emiliana Rwegangira huku wakijua kuna notisi inayowakata kufanya hivyo na shtaka la tatu la kutakatisha fedha. "Ili mahakama itoe uamuzi kwa kosa la kula njama lazima iangalie kosa la pili la kuuza nyumba iliyozuiliwa kuuzwa kwa sababu ilipatikana katika kwa nia ya rushwa, kwa kuangalia ushahidi mahakama inawatia hatiani kwa kosa la pili,"alisema Fimbo.Alisema kwa kuwa shtaka la pili wametiwa hatiani, mahakama inawatia hatiani kwa shtaka la kulanjama kwani limethibitika. Katika shataka la tatu la kutakatisha fedha, mahakama inamtia hatiani mshtakiwa Faraja na kumwachia huru Faraja kwa sababu alihusika katika kuuza nyumba lakini hajui fedha za kujenga nyumba hiyo zilipatikanaje."Kwa kosa la kwanza la kula njama, mahakama inawatia hatiani washtakiwa wote na watalipa faini ya Sh milioni 5 au kwenda jela miaka miwili kama watashindwa kulipa, Shtaka la pili washtakiwa wote watakwenda jela miaka mitano kama watashindwa kulipa faini ya Sh milioni 8 na shtaka la tatu faraja anatakiwa kwenda jela miaka mitano akishindwa kulipa faini ya Sh milioni 200,"alisema. Baada ya kutoa adhabu hizo wasanii walihaha kuchangishana lakini Wema aliokoa jahazi kwa kutoa jumla ya Sh milioni 13 kwa ajili ya kumuokoa Kajala ambaye baada ya saa tatu alifanikiwa kutoa kuelekea nyumbani.Kajala aliondoka na gari la kifahari eneo la Mahakama ya Kisutu kwa kulakiwa na ndugu, jamaa na marafiki waliokuwepo eneo hilo.Kajala na mumewe walifikishwa mahakamani hapo kwa mara ya kwanza, Machi 15, mwaka jana na kusomewa mashitaka matatu ya kula njama, kubadilisha umiliki wa nyumba baada ya kuiuza na kutakatisha fedha haramu, kosa ambalo halina dhamana kisheria. Washitakiwa hao wanadaiwa kula njama ya kuhamisha umiliki wa nyumba iliyopo Kunduchi, Salasala, Dar es Salaam, kinyume na kifungu cha 34 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ya mwaka 2007. Pia, wanadaiwa Aprili 14, 2010, walihamisha umiliki wa nyumba kinyume na Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa.Kajala na mumewe wanadaiwa katika shitaka la tatu kuwa, Aprili 14, 2010, wakijua kuwa ni kinyume na sheria, walifanya kosa la kutakatisha fedha haramu. Kajala na mumewe wanadaiwa katika shitaka la tatu kuwa, Aprili 14, 2010, wakijua kuwa ni kinyume na sheria, walifanya kosa la kutakatisha fedha haramu. "Hakuna ubishi kwamba washtakiwa walikaa wakaamua kuuza nyumba, kinachotakiwa kuangalia kama kweli walifanya hivyo kihalali au la kwani ushahidi ulionyesha washtakiwa wote walishiriki katika utaratibu wa kuuza nyumba hiyo. Imechapishwa na Elisante William kwa 5:08 AM
2017-08-23T00:34:02
http://maasinda.blogspot.com/2013/03/kajala-masanja-huru-wema-sepetu-amwokoa.html
[ -1 ]
Obama kwenda Jordan | Matukio ya Kisiasa | DW | 22.03.2013 Rais Barack Obama wa Marekani baadae leo anakwenda Jordan, ambapo pamoja na mambo mengine, atakuwa na mazungumzo na Mfalme Abdullah wa Pili. Rais Obama akiweka shada la maua kwenye kaburi la Theodor Herzl Ziara ya Jordan anaifanya baada ya kukamilisha ziara yake Israel ambapo ameuzuru kaburi la Yitzhak Rabin na pia atatembelea Kanisa la Bethlehemu huko Palestina. Mazungumzo kati ya Rais Obama na Mfalme Abdullah wa Pili wa Jordan yatahusu zaidi vita vya wenyewe kwa wenyewe katika nchi jirani ya Syria na matarajio ya Israel na Palestina kurejea katika meza ya mazungumzo ya amani. Ziara hiyo ina lengo la kuihakikishia Jordan kwamba Marekani inaiunga mkono katika wakati huu inapokabiliwa na wimbi la wakimbizi kutoka Syria na mzozo wa kiuchumi uliosababishwa na vuguvugu la mageuzi katika utawala kwenye mataifa ya Kiarabu. Jordan imewapokea karibu wakimbizi 436,000 wa Syria na idadi hiyo inaweza ikaongezeka hadi 700,000 ifikapo mwishoni mwa mwaka huu. Obama kumuhimiza Mfalme Abdullah kuhusu mageuzi ya kisiasa na kiuchumi Afisa wa Marekani amesema Rais Obama anatarajiwa kumuhimiza Mfalme Abdullah wa Pili kuendelea na mpango wa kufanya mageuzi ya kiuchumi na kisiasa. Aidha, amesema Marekani inashirikiana kwa karibu kabisa na serikali ya Jordan, kama sehemu ya nchi ambayo inawaunga mkono waasi wa Syria kuushinikiza utawala, na kuujenga upinzani. Rais Obama amesema Marekani inachunguza madai kuwa silaha za kemikali zilitumika wakati wa mzozo wa Syria. Kabla ya kuelekea Jordan, Rais Obama amekamilisha ziara yake Israel na Palestina kwa kuzuru makaburi ya Waziri Mkuu wa zamani wa Israel, Yitzhak Rabin na shujaa wa nchi hiyo, Theodor Herzl, kwa kuweka mashada ya maua kwenye makaburi hayo. Kiongozi huyo wa Marekani, atatembelea pia kituo cha kumbukumbu ya mauaji ya Wayahudi cha Yad Vashem. Rais Obama atakutana na Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ambaye tayari walishafanya mazungumzo baada ya kuwasili Jerusalem siku ya Jumatano. Azuru Bethlehemu Kanisa la Bethlehemu Kisha, atatembelea Kanisa la Uzawa la Bethelemu katika Ukingo wa Magharibi, ambalo kwa utamaduni Wakristo wanalichukulia kama sehemu aliyozaliwa Yesu Kristo. Akizungumza jana na wamafunzi wa Jerusalem, Rais Obama aliwataka wanafunzi hao kuanzisha amani kwa kutatua masuala ya kikanda yanayotishia taifa lao na kwamba mataifa mawili, ndio suluhisho pekee la kuhakikisha Israel inabakia kama taifa la Kiyahudi, licha ya mabadiliko ya idadi ya watu. Afisa mwandamizi wa Palestina, amesema kuwa Rais wa Mamlaka ya Palestina, Mahmoud Abbas ameridhishwa na hotuba ya Rais Obama. Kiongozi huyo alilaani vitisho vinavyoendelea vya mashambulizi kutoka kwa kundi la Hamas katika Ukanda wa Gaza, baada ya maroketi mawili kushambulia kusini mwa Israel karibu na mji wa Sderot. Rais Obama, akizungumza mbele ya Rais Abbas, amesema suluhisho la mataifa mawili bado linawezekana, licha ya madai kuwa ujenzi wa makaazi unaofanywa na Israel umeharibu ndoto za Wapalestina. Mada Zinazohusiana Jerusalem, Intifada, Al-Nakba, Barack Hussein Obama, Ukingo wa Magharibi Kiungo https://p.dw.com/p/182Qj
2019-01-23T09:39:38
https://www.dw.com/sw/obama-kwenda-jordan/a-16692305
[ -1 ]
TUKUYU STARS ‘BANYAMBALA’ 1991, CHACHALA, CHAMBUA NDANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE TUKUYU STARS ‘BANYAMBALA’ 1991, CHACHALA, CHAMBUA NDANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE Mwanzo > TUKUYU STARS > TUKUYU STARS ‘BANYAMBALA’ 1991, CHACHALA, CHAMBUA NDANI HABARI MOTOMOTO LIGI KUU BARA MAKTABA YA BIN ZUBEIRY TUKUYU STARS TUKUYU STARS ‘BANYAMBALA’ 1991, CHACHALA, CHAMBUA NDANI Kikosi cha Tukuyu Stars mwaka 1991 kutoka kushoto waliosimama ni mwasisi wa klabu hiyo, Ramnik Patel 'Kaka' (marehemu), Pobias Malilo, Jimmy Mored, Daudi Kufakunoga, Issa Mohamed, Jabir Mahmoud, Betwel Afrika, Robert Damian na Chachala Muya. Waliochuchumama kutoka kushoto ni Kanza Mrisho, Michael Kidilu, Sekilojo Chambua, Ikupilika Nkoba, Mohammed Kasanda na Asanga Aswile. Item Reviewed: TUKUYU STARS ‘BANYAMBALA’ 1991, CHACHALA, CHAMBUA NDANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
2020-01-20T06:58:24
http://www.binzubeiry.co.tz/2019/03/kikosi-cha-tukuyu-stars-banyambala.html
[ -1 ]
THE SUPERSTARS TZ: PENY AFUNGUKA NAKUSEMA "NIPO TAYARI KUCHANGIA PENZI NA WEMA KWA DIAMOND" Pages PENY AFUNGUKA NAKUSEMA "NIPO TAYARI KUCHANGIA PENZI NA WEMA KWA DIAMOND" Peniela Mwingilwa ‘Penny’. wa Kituo cha Televisheni cha DTV, Peniela Mwingilwa ‘Penny’, ambaye ni mpenzi wa mkali wa Bon- go Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amesema yupo tayari kuchangia map- enzi na msichana mwingine yeyote ambaye atachukuliwa na mwanaume huyo anayem- penda. Penny, chaguo la mama mzazi wa staa huyo wa kibao cha My Number One, amesema maneno hayo, yanayotafsiriwa kama yupo tayari kuchangia mapenzi na hasimu wake, Wema Sepetu ambaye amerejesha uhu- siano wake wa kimapenzi na mwimbaji huyo mpenda vidosho.“Ninampenda Diamond na sitaki kum- poteza. Nia yangu ni kumuona akiwa na furaha. Kama Diamond anaona kuna msicha- na mwingine wa kutoka naye na kwake hilo linampa furaha, basi mimi sina matatizo kwa sababu ninataka awe na furaha, nitaendelea kuwa naye,” alisema Penny. Kumekuwa na habari zisizo shaka kwamba Diamond na Wema wamerejesha uhusiano wao na hivi karibuni walitupia picha katika mitandao ya kijamii zilizowaonyesha wawili hao wakiwa katika mapozi ya kimahaba huko Ughaibuni.Ingawa bado Diamond anatoka na Penny, lakini kwa siku za karibuni amekuwa karibu zaidi na mrembo huyo aliyetwaa taji la Miss Tanzania mwaka 2006. AnonymousFriday, November 08, 2013ukimwi utawamaliza nyie..ReplyDeleteAnonymousTuesday, November 12, 2013hiyo ni dalili ya kutojiamini pennyReplyDeleteAdd commentLoad more...
2017-02-28T12:13:31
http://thesuperstarstz.blogspot.com/2013/11/peny-afunguka-nakusema-nipo-tayari.html
[ -1 ]
Hon. Richard Mganga Ndassa MHE. RICHARD M. NDASSA: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante sana na mimi niungane na wenzangu katika kuwapongeza Mawaziri. Mheshimiwa Mwenyekiti, la kwangu la kwanza, nimwombe sana Mheshimiwa Waziri wa Michezo, tunacho kiwanda cha kuzalisha wataalam wa michezo nchini, Chuo cha Michezo Malya. Wataalam hao ni walimu wanaotoka kwenye shule za misingi wanakwenda kujifunza namna ya kufundisha michezo mbalimbali kwenye shule zetu za misingi na sekondari, ndiyo maana nakiita ni kiwanda. Ili upate wachezaji wazuri wa fani zote, huwezi ukaanza na vijana wa sekondari wala vyuo, lazima uanze na shule za msingi. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, nimuombe sana Mheshimiwa Waziri, chuo hiki malengo yake nafikiri anayafahamu na bahati nzuri juzi alifika akaona miundombinu yake, jinsi tulivyo-invest siku zote. Sasa ni vizuri zaidi pale walipoishia wenzake hebu na yeye akanyage sasa huo moto ile accelerator asitoe mguu wake ili ipae zaidi, chuo kile ikiwezekana kiondoke na kutoa certificate, diploma kiende kwenye degree ya michezo. Tukifanya hivyo Mheshimiwa Waziri chuo kile tutakuwa tumekisaidia sana. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, la pili, nimuombe Katibu Mkuu, tuna upungufu kadhaa hasa upande wa maji, kipo kisima kikubwa tulitumia pesa zaidi ya shilingi milioni 230 kwa ajili ya kujenga kisima cha maji kwa ajili ya Malya ambayo mnufaika mmoja wapo ni Chuo cha Michezo Malya, tumepungukiwa mambo madogo madogo. Bahati nzuri kama sikosei Mkuu wa Chuo cha Malya yupo, nafikiri anaweza akamweleza Katibu Mkuu, hili tatizo la upungufu wa maji linaweza likaondoka. Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini pia niruhusu kwa sababu vinginevyo sitajitendea haki nimpongeze sana Naibu Spika kwa kuweza kuchukua baadhi ya wachezaji wa michezo ya ngoma za asili kwenda kupata mafunzo ya ziada kwenye chuo chetu cha Bagamoyo. Ni chuo kizuri na sisi Waheshimiwa Wabunge nafikiri si vibaya tukaiga utaratibu huo mzuri. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, tatu, Baraza la Michezo la Taifa. Mimi sijui Bwana Malinzi ni Malinzi yupi sasa, Baraza hili ndilo linalosimamia michezo yote. Sijaona wala kusikia Baraza limekwenda limekemea eneo fulani penye mgogoro, lipo lipo tu. Nilisema kipindi kile na leo nasema tena kwa sababu Baraza hili ndiyo mlezi wa vyama hivi vya michezo. Sina uhakika kama Baraza hili linafanya kazi yake ile ambayo tuliitunga humu Bungeni. Mimi nasema kama upo upungufu kwenye utaratibu wetu hebu tuje hapa tubadilishe. Kwa sababu haiwezekani leo hii Baraza kila mnapoenda iwe kwenye vilabu, iwe kwenye riadha, kuna migogoro. Sasa kazi ya Baraza hili ni nini? Naomba Baraza hili hebu lijipange vizuri kwa sababu michezo hii ni mingi kama walivyosema wenzangu. Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba Uwanja wetu wa Taifa tubadilike sasa tuache kuutumia kwa ajili ya mechi za Simba na Yanga na hizi mechi la ligi. Uwanja ule tunaweza tukaugeuza ukawa ni uwanja wa kibiashara na ukawa ni uwanja wa kuleta watalii kutoka nje hasa michezo ya kimataifa. Nilisikia juzi juzi hapa Mheshimiwa Waziri sijui timu gani inakuja utasema, tuna uwanja mzuri, tuna mbuga za wanyama, wachezaji hawa wa kigeni wakija kucheza michezo ya kimataifa Tanzania kwenye uwanja wetu wa Taifa baada au kabla ya michezo ile wanatembelea mbuga zetu za wanyama, tunapata watalii kupitia michezo na kupitia uwanja ule, ni jambo linalowezekana. Naomba Mheshimiwa Waziri akae na Katibu Mkuu wake na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii ili kusudi uwanja ule unufaishe pande zote mbili, kwenye upande wa michezo na kwa upande wa utalii. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, nije upande wa timu zetu hasa hizi timu kubwa za Simba na Yanga lakini kuna mtu mmoja amechangia hapa anauliza kuhusu waamuzi. Mimi nishauri, tuwe wanasiasa au tuwe watu gani, tukitaka mpira wetu uendelee kwa timu zetu hizi Simba, Yanga na timu zingine sisi wanasiasa hebu tukae pembeni kidogo. Kwa sababu kama sisi wanasiasa tutaingia ndani tukajifanya sisi ndiyo waamuzi namba 12 au 13 kinachofuata ni kuharibu ile test ya mpira wenyewe. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, ndiyo maana tunavurunda humu ndani kwa kutumia urafiki na wanasiasa tukienda huko nje hatufanikiwi. Watani zangu Yanga ndani humu wanacheza vizuri sana, lakini wakienda huko nje na bendera yetu ya Taifa wanarudi na rundo la magoli. (Makofi) Sasa tujiulize hivi kwa nini humu wanaweza na kwa nini nje hawawezi? Ni kwa sababu ya mambo yetu ya siasa. Tukiacha siasa tukafanya mpira uwe mpira, wakacheza mpira bila kupendelewa na watu fulani fulani whether ni viongozi wa kisiasa au linesman, nina uhakika hata huku nje watashinda kwa sababu kule nje hamna kubebwa, mbeleko kule nje hakuna, ziko hapa ndani. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, vilevile Baraza la Michezo tukiendelea kwa utaratibu huu wa kuzibeba timu zetu, tukienda nje ni aibu, tutaendelea kuwa wasindikizaji. Nirudie Baraza la Michezo hebu fanyeni kazi yenu. Hivi sisi kweli maandalizi yote hayo kwa timu zetu, tuna wachezaji wazuri lakini tukitoka hapa tukienda nje tunafungwa. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, hata timu yetu hii ya vijana nina uhakika kama haitaingiliwa na wanasiasa kwenda kuwa-lobby wale wachezaji wazuri waliomo mle ndani, maana yake tutaanza wewe ni wa kwangu, wewe ni kwangu tutawapa vichwa watashindwa kufanya kazi yao ya kuchezea mpira uwanjani. Tuwaache wao na makocha wao na wataalam wao ili kusudi wacheze mpira, watuletee sifa Tanzania, kwamba Tanzania sasa sio Tanzania kama ile ya zamani. Tukianza sasa sisi wanasiasa kuingia ndani nina uhakika timu ile itarudia njiani. (Makofi) Mheshimiwa Mwenyekiti, la mwisho, wewe najua ni mpenzi mzuri wa mpira hasa wa miguu na ni kiongozi na humu tuko wapenzi wengi wa mpira wa miguu na michezo mingine, niwashauri sana Wabunge wenzangu pamoja na ushabiki wetu, pamoja na Mzee Mkuchika pale na Yanga yake tuache ushabiki usiokuwa na utaratibu kwa manufaa ya timu zetu. Nina uhakika hata timu ya sasa inayokuja kwenye ligi kuu ya Singida United mtakuja kuniambia na kukumbuka maneno yangu kwa sababu wanasiasa wanaingia kutafuta umaarufu, pesa zikishawaishia wanakaa pembeni ile timu inabaki peke yake. (Makofi) Wameshaanza kuingia wanasiasa kujipendekeza. Muda utakapofika wakikaa pembeni ile timu itabaki peke yake. Naomba Singida United ibaki kama ilivyoanzishwa kwa mapenzi yako. (Makofi)
2019-08-21T11:21:14
http://parliament.go.tz/polis/contributions/5702
[ -1 ]
Ezekieli. Chapter 12 15 Nao watajua ya kuwa mimi ndimi Bwana; nitakapowatawanya kati ya mataifa, na kuwatupa-tupa katika nchi zote. 16 Lakini nitawasaza watu wachache miongoni mwao na kuwaokoa na upanga, na njaa, na tauni ili watangaze habari ya machukizo yao yote, kati ya mataifa huko waendako; nao watajua ya kuwa mimi ndimi Bwana. 17 Tena neno la Bwana likanijia, kusema, 18 Mwanadamu, ule chakula chako kwa matetemo, ukanywe maji yako kwa kutetemeka na kwa kuyatunza sana; 19 ukawaambie watu wa nchi, Bwana MUNGU asema hivi, katika habari zao wakaao Yerusalemu, na katika nchi ya Israeli; Watakula chakula chao kwa kukitunza sana, na maji yao watayanywa kwa ushangao, nchi yao iwe ukiwa, kwa kukosa vitu vyote viijazavyo, kwa sababu ya udhalimu wao wote wakaao ndani yake. 20 Na miji yote yenye watu itakuwa maganjo, nayo nchi itakuwa ukiwa; nanyi mtajua ya kuwa mimi ndimi Bwana. 21 Neno la Bwana likanijia, kusema, 22 Mwanadamu, ni mithali gani hii mliyo nayo katika nchi ya Israeli, mkisema, Siku hizo zinakawia na maono yote hayatimizwi. 23 Basi uwaambie, Bwana MUNGU asema hivi; Nitaikomesha mithali hii, wasiitumie tena kama mithali katika Israeli; lakini uwaambie, Siku hizo ni karibu, na utimilizo wa maono yote. 24 Kwa maana hayatakuwapo tena maono yo yote ya ubatili, wala ubashiri wa kujipendekeza, katika nyumba ya Israeli. 25 Maana mimi ni Bwana; mimi nitanena, na neno lile nitakalolinena litatimizwa; wala halitakawilishwa tena; maana katika siku zenu, Ewe nyumba iliyoasi, nitalinena neno hilo na kulitimiza, asema Bwana MUNGU. 26 Neno la Bwana likanijia tena, kusema, 27 Mwanadamu, tazama, hao wa nyumba ya Israeli husema, Maono hayo ayaonayo ni ya siku nyingi zijazo, naye anatabiri habari ya nyakati zilizo mbali sana. 28 Basi uwaambie, Bwana MUNGU asema hivi; Maneno yangu hayatakawilishwa tena hata moja, bali neno nitakalolinena litatimizwa, asema Bwana MUNGU.
2019-09-17T13:21:12
http://sw.dobro.in/ezekiel-chapter-twelve/
[ -1 ]
KARIBU NYUMBANI: WAZIRI MHE JENISTA MHAGAMA APOKELEWA WIZARANI KWAKE Mwandishi: Nicky Mwangoka : saa 9:59:00 pm
2018-06-21T17:45:47
http://karibunyumbani.blogspot.com/2015/12/waziri-mhe-jenista-mhagama-apokelewa.html
[ -1 ]
MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA MAZINGIRA JIJINI MWANZA - SUFIANIMAFOTO Home MAZINGIRA MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA MAZINGIRA JIJINI MWANZA Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Wadau wa Mazingira Wanasayansi na Watafiti wa Bonde la Ziwa Victoria uliofanyika kwenye Hoteli ya Malaika jijini Mwanza. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na (kushoto) Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Balozi Augustine Mahiga pamoja na (kulia),Waziri wa Maji na Umwagiliaji ,Injinia wakiwa wamesoma kwa pamoja kabla ya kuanza kwa ufunguzi wa Mkutano wa Wadau wa Mazingira Wanasayansi na Watafiti wa Bonde la Ziwa Victoria uliofanyika kwenye Hoteli ya Malaika jijini Mwanza Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais
2017-08-24T06:45:36
http://www.sufianimafoto.com/2017/02/makamu-wa-rais-afungua-mkutano-wa.html
[ -1 ]
Warumi 1 SNT - Kutoka kwa Paulo, mtumwa wa Yesu Kristo - Bible Gateway Matendo Ya Mitume 28Warumi 2 Warumi 1 Neno: Bibilia Takatifu (SNT) 1 Kutoka kwa Paulo, mtumwa wa Yesu Kristo na mtume niliyecha guliwa na kuitwa kuhubiri Habari Njema ya Mungu. 2 Habari hii aliiahidi tangu zamani kwa njia ya manabii wake katika Maandiko matakatifu.
2020-02-18T07:17:35
https://classic.biblegateway.com/passage/?search=Warumi+1&version=SNT
[ -1 ]
KIPA WA TATU WA YANGA SC, RAMADHANI AWAM KABWILI AKIJIFUA 'KIKOMANDOO' MSITUNI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE KIPA WA TATU WA YANGA SC, RAMADHANI AWAM KABWILI AKIJIFUA 'KIKOMANDOO' MSITUNI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE Mwanzo > YANGA > KIPA WA TATU WA YANGA SC, RAMADHANI AWAM KABWILI AKIJIFUA 'KIKOMANDOO' MSITUNI KIPA WA TATU WA YANGA SC, RAMADHANI AWAM KABWILI AKIJIFUA 'KIKOMANDOO' MSITUNI KIPA wa tatu wa klabu ya Yanga SC, Ramadhani Awam Kabwli akifanya mazoezi binafsi kujiweka fiti kipindi hiki klabu yake imesitisha mazoezi ya vikosi vyake vyote kutokana na mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona duniani kote, vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19 Item Reviewed: KIPA WA TATU WA YANGA SC, RAMADHANI AWAM KABWILI AKIJIFUA 'KIKOMANDOO' MSITUNI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
2020-05-25T12:24:49
http://www.binzubeiry.co.tz/2020/04/kipa-wa-tatu-wa-yanga-sc-ramadhani-awam.html
[ -1 ]
Yanayojiri baada ya kufikisha tatizo letu kwa Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira ~ wavuti Yanayojiri baada ya kufikisha tatizo letu kwa Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Rejea: MALALAMIKO YA KUHARIBIWA MAKAZI YETU NA KUHITAJI MSAADA WA WAZIRI JANUARI MAKAMBA (BOFYA HAPA) Sisi wakazi wa Kijiji cha Ngyani kilichoko Wilaya ya Arumeru mkoa wa Arusha tulioathirika sana na uchimbaji haramu wa mchanga katika maeneo yetu ya makazi tangu mwezi wa sita mwaka huu unaofanywa kwa kibali kilichotolewa na Mkuu wa Wilaya ya Arumeru na Mwenyekiti wa kijiji, tunazidi kumshukuru Waziri wa Mazingira Mhe. Januari Makamba kwa hatua za haraka ananzochukua kufutilia jambo. Leo hii maafisa wa NEMC wamefika eneo la tukio na wamechukua ushahidi wote wakiwa na baadhi ya wananchi na Mhe. Diwani wa kata ya Nkoaranga ambaye amekua mstari wa mbele kupinga hili jambo tangu lilipoanza bila mafanikio (picha zinajieleza). Pia wamejionea kwa macho yao jinsi ambacho chanzo cha maji/chemchem ambayo imekua ikitiririsha maji kwa karne na karne sasa maji yameanza kukauka na wananchi wanachota kwa vikombe. Kwa upande mwingine, baada ya habari kujulikana kwa waliotoa vibali na kampuni inayochimba kwamba tumefikisha tatizo letu kwa waziri, wananchi wameanza kupata habari za kuwatisha kwamba hawatafanikiwa na leo wachina wamefika asubuhi na mapema na kuanza kuweka nguzo upoande mmoja wa maeneno waliyochimba chini sana pembezoni na barabara ya umaa. Kwa walivyochimba, barabara hii haiwezi kuvumilia mvua kubwa bila kumomonyoka (picha zinajieleza). Tuna imani kwamba katazo la kusimamisha uchimbaji huu litatoka leoleo baada ya NEMC kujionea kiwango cha uharibifu. Mungu akubariki Mhe. Waziri na wasaidizi wako kwa uwajibikaji wenu na tunategema haki yetu itapatikana mapema.
2019-11-18T06:42:16
https://www.wavuti.com/2016/12/yanayojiri-baada-ya-kufikisha-tatizo.html
[ -1 ]
JOHN MNYIKA: Uzinduzi hospitali ya Sinza na ufafanuzi sahihi wa suala la Sekta ya Afya Jana, 11 Desemba 2012 Nimeshiriki uzinduzi makabidhiano ya jengo la huduma za mama na mtoto katika hospitali ya Sinza (ipo Sinza-Palestina) kwa msaada wa Korea ikiwa ni sehemu ya kuboresha huduma za afya. Ipo haja ya kuongeza watumishi wa afya ikiwemo madaktari kwa kupanua wigo wa elimu kwa ujenzi wa Chuo Kikuu MUHAS, eneo la Kwembe Mloganzila. Hata hivyo, nilitarajia Rais Kikwete angeeleza serikali ilivyojipanga kuboresha maslahi ya madaktari kwa kurejea taarifa ya kamati ya huduma za jamii iliyoundwa baada ya mgomo wa madaktari ili kuepusha kasi ya madaktari kwenda nchi za nje, badala yake Rais ametoa kauli nyingine tata. Aida, Rais amepotoshwa kuwa wanasiasa wa upinzani wamepinga ujenzi wa MUHAS na kuahidi fidia ya usumbufu. Ukweli ni kuwa aliyewaahidi wananchi fidia ya ardhi ni aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Bwana John Chiligati mnamo mwaka 2009 na 2010 kwa ajili ya CCM kupata kura kwenye uchaguzi za serikali ya mitaa na Uchaguzi Mkuu. Wananchi wanachodai ni waliyoahidiwa na serikali. Mbunge wa Jimbo la Ubungo, *Shukrani kwa blogu ya HakiNgowi na IssaMichuzi kwa picha Posted by John Mnyika at 1:42 AM
2018-07-17T01:52:12
http://mnyika.blogspot.com/2012/12/uzinduzi-hospitali-ya-sinza-na.html
[ -1 ]
MAJIRA - GAZETI HURU LA KILA SIKU:: WANANCHI WAZUA BALAA BAGAMOYO WANANCHI WAZUA BALAA BAGAMOYO WANANCHI wa Kijiji cha Kidomole, Kitongoji cha Vihagatta Kata ya F u k a y o s i wi l a y a n i Ba g amo y o mk o a n i Pwa n i wamevamia mashamba yaliyopo katika kijiji hicho na kugawana maeneo kwa madai kuwa viongozi wa halmashauri ya mji huo wanayauza kinyemela kwa watu wasiojulikana .Akizungumzia na Majira mapema wiki hii, Mwenyekiti wa Kamati maalumu ya wananchi hao, Salum Mubalule alisema wamechoshwa na viongozi hao kwani wamekuwa wakishuhudia maeneo hayo yakiuzwa kwa matajiri wenye fedha zao bila wananchi kuhusishwa ikizingatia kuwa maeneo hayo yalitolewa na wananchi kwa ajili ya huduma za kijamii. “Haya maeneo tuliyatoa sisi wananchi kwa ajili ya kujenga shule, zahanati, soko na mambo mengine kwa ajili ya maendeleo ya wananchi lakini chakushangaza viongozi hawa wanauza kinyemela tena kinyume na taratibu, hivyo tunaamua kugawana hapa,” alisema. Aliongeza kuwa wamefanya jitihada mbalimbali zikiwa pamoja na kwenda Wilayani kuripoti matukio hayo kwa nyakati tofauti na wakati mwingine kufikia hata makubaliano yakuendeleza maeneo hayo lakini kadri siku zinavyokwenda maeneo yanazidi kuuzwa. Naye Katibu wa Kamati hiyo, Samweli Kisoma alisema Serikali ya kijiji imeshindwa kuwasikiliza na hata walivyokwenda wilayani pia wameshindwa kuwajibika hivyo maamuzi yao ni kugawana mashamba hayo kila mwanakijiji achukuwe kilicho chake. Akijibu tuhuma hizo za wananchi wake Mwenyekiti wa Kijiji hicho, Ramadhani Mohamed alisema utaratibu wanaoutumia wananchi hao haukubaliki na wanapaswa kuchukuliwa hatua kali za kinidhamu. Alisema mambo wanayoyaleta kijijini hapo ni ya kisiasa hivyo Serikali ya kijiji itawachukulia hatua wote wanaofanya vurugu hizo ikiwa pamoja na kushawishi watu wengine kwani wanajulikana. “Mnajua wanaofanya mambo haya wanajulikana na mimi kama mwenyekiti sitakubali vurugu hizi na tutahakikisha tunawachukulia hatua kali wananchi hawa ambao wanahatarisha amani ya kijiji chetu,” alisema. Aliongeza kuwa kuna kundi la watu ambalo linaongozwa na mwenyekiti ambaye aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Serikali ya kijiji hiki na alitolewa na wananchi hao hao kwa tuhuma mbalimbali na hata mambo hayo ya kuuzwa kwa ardhi yeye alihusishwa huko nyuma. “Nadhani anachofanya hapa ni kuhamasisha wananchi kufanya vurugu hizi, sasa lazima wachukuliwe hatua kali za kinidhamu ili kukomesha vitendo hivi vya utovu wa nidhamu,” alisema.Naye Mkuu wa Wilaya hiyo, Ahmed Kiponzi aliagiza kukamatwa kwa wananchi hao nakuongeza wanachokifanya hakikubaliki katika nchi inayoongozwa kidemokrasia
2017-08-19T11:17:22
http://majira-hall.blogspot.com/2013/09/wananchi-wazua-balaa-bagamoyo.html
[ -1 ]
RAIS WA BURUNDI AWASILI NCHINI KWA ZIARA RASMI NA KUPOKELEWA NA MWENYEJI WAKE RAIS DKT. JOHN MAGUFULI - NGARA MKOANI KAGERA - PAMOJA BLOG Home > Habari > Matukio > RAIS WA BURUNDI AWASILI NCHINI KWA ZIARA RASMI NA KUPOKELEWA NA MWENYEJI WAKE RAIS DKT. JOHN MAGUFULI - NGARA MKOANI KAGERA 7/20/2017 06:48:00 PM Habari, Matukio
2018-07-18T08:27:42
http://www.pamoja.co.tz/2017/07/rais-wa-burundi-awasili-nchini-kwa.html
[ -1 ]
KUELEKEA TUZO ZA KILI 2013 KIKWETUKWETU; UPI WIMBO BORA WA HIP HOP? - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE KUELEKEA TUZO ZA KILI 2013 KIKWETUKWETU; UPI WIMBO BORA WA HIP HOP? - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE Mwanzo > Untagged KUELEKEA TUZO ZA KILI 2013 KIKWETUKWETU; UPI WIMBO BORA WA HIP HOP? Na Princess Asia, IMEWEKWA MEI 31, 2013 SAA 4:30 ASUBUHI Jana kwa muhtasari tulielezea ushindani uliopo katika kipengele cha Wimbo Bora wa Kushirikiana ambako Chuki Bure, Mapito, Me n U, Sihitaji Marafiki na Single Boy zinashindanishwa. Leo tunahamia kwenye Wimbo Bora wa Hip hop ambako Alisema wa Stamina na Jux, Bum Kubam wa Nikki wa Pili na G Nako, Dear God wa Kalla Jeremiah, Nasema Nao wa Nay wa Mitego na Sihitaji Marafiki wa Fid Q zinashindanishwa. Kwa ujumla nyimbo zote zilizoingia fainali ni ambazo mwaka jana zilifanya vizuri katika medani ya muziki nchini kiasi cha kujipatia umaarufu mkubwa. Je, katika kipengele vya Wimbo Bora wa Hip hop, utatoa wapi kura yako? Item Reviewed: KUELEKEA TUZO ZA KILI 2013 KIKWETUKWETU; UPI WIMBO BORA WA HIP HOP? Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
2020-02-28T19:19:00
http://www.binzubeiry.co.tz/2013/05/kuelekea-tuzo-za-kili-2013-kikwetukwetu_31.html
[ -1 ]
Mico Justin yatangiye imyitozo yoroheje ari n... - Inyarwanda.com Mico Justin yatangiye imyitozo yoroheje ari nako Police FC ikomeje kwitegura APR FC-AMAFOTO Taliki:6/06/2018 13:47 0 0 0 0 0 Loading... 0 Mico Justin ukina mu bashaka ibitego mu ikipe ya Police FC n’Amavubi akomeje kugerageza imyitozo yoroheje muri gahunda yo kureba niba umukino Police FC ifitanye na APR FC ku Cyumweru tariki ya 10 Kamena 2018 kuri sitade ya Kigali. Mico Justin wari ufite ikibazo mu ivi, byaje gutuma adakina umukino Police FC yangtanyijemo na Rayon Sports igitego 1-1 ariko kuri ubu akab aari gukora imyitozo yoroheje kugira ngo abe yagaruka mu bakinnyi 18 bazitabazwa ku mukino bazakirwamo na APR FC bakina ikirarane cy’umunsi wa 22 wa shampiyona. Mico Justin ari kwitegura biciye mu myitozo yoroheje Mu myitozo y’uyu wa Gatatu tariki ya 6 Kamena 2018, abakinnyi bari barwaye ubwo bateguraga guhura na Rayon Sports bose bakoze imyitozo ubona ko bagarutse mu murongo mwiza wo kwitegura imikino iri imbere yaba igikombe cy’Amahoro na shampiyona iri kugana ku musozo. Abakinnyi bayakinnye umukino wa Rayon Sports kubera ibibazo bitandukanye by’imvune n’uburwayi ariko bakaba bagarutse barimo; Nzarora Marcel (GK), Ndayishimiye Celestin na Ishimwe Issa Zappy. Biramahire Abeddy niwe mukinnyi ugifite igihe kinini hanze y’ikibuga kuko afite ikibazo ku kirenge. Nyuma y’imikino 24 Police FC bamaze gukina bari ku mwanya wa gatandatu n’amanota 40 inyuma ya Kiyovu Sport iri ku mwanya wa gatanu n’amanota 41 mu mikino 24. Police FC itsinze cyangwa ikanganya uyu mukino, izahita ijya imbere ya Kiyovu Sport. Abakinnyi bateze amatwi umutoza Albert Mphande wa Police FC Abakinnyi bagenda bishyushya buhoro buhoro Munezero Fiston ku mupira Nizeyimana Mirafa yinezeza ku mupira Mpozembizi Mohammed ku mupira mu myitozo y'uyu wa Gatatu Mico Justin yaje kuruha aricara Munezero Fiston (hasi) akurikiwe na bagenzi be barimo Muhinda Bryan (Ibumoso) na Habimana Hussein (Iburyo) Albert Mphande umutoza mukuru wa Police FC ayoboye imyitozo Muhinda Bryan umwe mu bagize umutima w'ubwugarzii bwa Police FC Danny Usengimana ari gukorera imyitozo muri Police FC Uva ibumoso: Bwanakweli Emmanuel, Nzarora Marcel na Nduwayo Danny Bariteze abanyezamu ba Police FC Umwe mu banyezamu bakorera imyitozo muri Police FC Bwanakweli Emmanuel umunyezamu wa kabiri muri Police FC Nduwayo Danny Bariteze mu kirere ashaka umupira Nzarora Marcel umunyezamu wa Police Fc utameze neza muri iyi minsi Niyigaba Ibrahim ukina ataha izamu muri Police FC Uva ibumoso: Nzarora Marcel, Ishimwe Issa Zappy na Mico Justin baruhuka PHOTOS: MIHIGO Saddam (Inyarwanda.com)
2019-01-24T07:31:03
http://inyarwanda.com/inkuru/82749/amafoto-82749.html
[ -1 ]
hadithi fupi – Jowal Jones Home Posts tagged "hadithi fupi" Tag: hadithi fupi PURUKUSHANI YA MAMA NZIGHE Kama ilivyo kawaida kila Jumapili jioni, sote wajukuu tulijumuika chini ya mvule na kumngojea babu awasili ili atuhadithie visa vilivyotukia wakati alipokua barobaro. Hadithi za babu zilituburudisha na kutumakinisha vilivyo, hata kuliko elimu tuliyopewa ya darasani kwenye daftari. Mzee huyu mwenye mvi nyeupi pepepe alikua maktaba ya uhalisia. Nyingi ya… Lukorito Jones January 20, 2015 January 20, 2015 Swahili hadithi fupi, insha, kiswahili, swahili, ulaya 3
2018-11-15T00:05:56
http://jowaljones.com/tag/hadithi-fupi/
[ -1 ]