text
stringlengths
44
187k
timestamp
timestamp[us]
url
stringlengths
16
3.37k
dup_ids
list
DK MANDAI: BARIDI JINSI ILIVYOATHIRI MAISHA NCHINI MAREKANI BARIDI JINSI ILIVYOATHIRI MAISHA NCHINI MAREKANI Kumekuwepo na taarifa za watu zaidi ya ishirini kufariki kutoka na hali mbaya ya hewa iliyotokana na kuanguka kwa theluji katika miji ya Mashariki nchini Marekani. Hali hiyo imepelekea vituo vya dharura vya kuhudumia wagonjwa kufunguliwa kuwahudumia watu wanaopata matatizo ya mshutuko wa moyo na kuvunjika mifupa kutokana na hali hiyo. Gavana wa jimbo la New York Adrew amewaonya madereva kutoendesha ovyo labda pale kunapokuwa na sababu za kufanya hivyo. Amesema amri ya kutosafiri iliyotangazwa hapo awali imeondolewa na viwanja vya ndege vimefunguliwa.. "Marufuku ya kusafiri imeondolewa. Hiyo haina maana watu watoke nje na kuendesha baiskeli na kuangalia hali ilivyo. Barabara zimesafishwa katika maeneo mengi. Kuna milundiko ya theluji kwenye barabara za kuingia na kutokea ambazo bado hazijasafishwa. Mamlaka ya viwanja vya ndege imefanya kazi kubwa kusafisha viwanja vya ndege. Na sasa vipo tayari kwa ndege zitakazofanya safari. Hata hivyo, imeelezwa kuwa si Marekani pekee theluji hiyo imedondoka katika nchi nyingine za Asia kama vile Korea kusini, China ,Japan na Hong Kong. Posted by kenneth john at 13:18
2017-08-19T07:30:46
http://www.dkmandai.com/2016/01/baridi-jinsi-ilivyoathiri-maisha-nchini.html
[ -1 ]
JunTaro(@juntarojapan)さんはこんな言葉をよくつぶやいてます。無料, 楽天・・・ | Twiree【ツイリー】 @juntarojapan @juntarojapanさんをフォロー @juntarojapanさんはこんな言葉をよくつぶやきます。 @juntarojapanさんはこんな言葉をよくつぶやきます。無料, 楽天・・・ @juntarojapanさんとつぶやきが似ている人たち 無料 1 楽天 1
2020-01-20T11:33:29
http://twiree.com/a/juntarojapan
[ -1 ]
Kulesha kalolo bya kutumikila myanda | Kubadika & kulongyesha Kulesha kalolo bya kutumikila myanda Nkindji 3:21 MU KIKOSO: Kwasha bantu abakuteemesha bapushe mushindo wi mwisambo ngutale nshalelo aabo, na webaleshe byabadya kukita na myanda yabalongo. Tuula bantu abakuteemesha mu binangu. Nangushena bwakinyi abitungu bantu bapushe myanda ywakula na otaluule mwanda ulombene kwikala na bukwashi bukata kwabadi. Mu mwisambo oobe, lesha bantu abakuteemesha kyabadya kukita. Ku mbangilo kwa mwisambo oobe, muntu oso ambe shi: ‘Bino mbintale.’ Nsaa ywakula mwanda ukata oso, oleshe bya kwiutumikila. Twekalanga wakula myanda mu kiibungi. Lesha mushindo wa kutumikila miiya ya mu Bible mu kipaso akilesha shi okwete kwituula pa mbalo yaabo. Pamutwe pa kwibatopekanga, nyingisha lukumino lwabo, okulupile shi mashimba abo aebatakula mu kukita bi buwa. Saa ywelumbuula bwa kwenda mu bulungudi, nangushena ku mikandu y’abakula ku bisaashi na myanda yabakumiina kwakula mu teritware enu. Akula myanda ipushene na ikwete kufumankana nayo bantu bwesamba nabo. Ela nkonko na kanemo bwa shi muntu aleshe mweneno aaye pabitale yaaya myanda. Akupu oteemeshe lwalulo, na omukwashe muyile mweneno aaye. Mbinkunyi byodi mulombene kutakula abakuteemesha mu kutumikila byabalongo mu kipaso akilesha shi okwete kwituula pa mbalo yaabo? Kubadika na kulongyesha—Kulesha kalolo bya kutumikila myanda
2020-02-22T01:38:36
https://www.jw.org/sop/mikanda/mikanda/kubadika-na-kulongyesha/13-kulesha-kalolo-bya-kutumikila-myanda/
[ -1 ]
Sura ya 11: Ugonjwa Sugu wa Figo: Dalili na Utambuzi Ugonjwa Sugu wa Figo : Dalili na Utambu Utambu Hapa figo zimedhurika kidogo.Wagonjwa wanaweza kuwa hawana dalili, lakini ishara zinaweza kuwa ni kukojoa mara nyingi hasa usiku,shinikizo la damu kuwa juu,mkojo usio wa kawaida na creatinini kwenye damu inaweza kuwa juu ( au hata kawaida).
2018-10-22T14:37:27
http://kidneyeducation.com/Swahili/Chronic-Kidney-Disease-Symptoms-and-Diagnosis/187
[ -1 ]
MASOMO YA MISA NOVEMBA 4, 2017 JUMATATU, JUMA LA 31 LA MWAKA - AckySHINE MiniSites | Best of 2019 Rum. 11:29-36 Jinsi zilivyo kuu utajiri na hekima na maarifa ya Mungu! Maana ni nani aliyeijua nia ya Bwana? Au ni nani aliyekuwa mshauri wake? Au ni nani aliyempa yeye kitu kwanza, naye atalipwa tena? Kwa kuwa vitu vyote vyatoka kwake, viko kwa uweza wake, tena vinarejea kwake. Utukufu una yeye milele. Amina. Zab. 69:29-30, 32-33, 35-36 (K) 14 (K) Kwa wingi wa fadhili zako unijibu, Ee Bwana. Nami niliye maskini na mtu wa huzuni. Nami nitamtukuza kwa shukrani. (K) Walioonewa watakapoona watafurahi; Wala hawadharau wafunga wake. (K) Maana Mungu ataiokoa Sayuni, Na kuijenga miji ya Yuda, Wazao wa watumishi wake watairithi, Nao walipendao jina lake watakaa humo. (K) Lk. 14:12 – 14 Yesu alimwambia yule aliyemwalika, Ufanyapo chakula cha mchana au cha jioni, usiwaite rafiki zako, wala ndugu zako, wala jamaa zako, wala jirani zako wenye mali; wao wasije wakakualika wewe ukapata malipo. Bali ufanyapo karamu waite maskini, vilema, viwete, vipofu, nawe utakuwa heri, kwa kuwa hao hawana cha kukulipa; kwa maana utalipwa katika ufufuo wa wenye haki. Fwatilia Website hii kupokea Makala Kama hii ya MASOMO YA MISA NOVEMBA 4, 2017 JUMATATU, JUMA LA 31 LA MWAKA Endelea kusoma makala hizi za kufanana na hii ya; MASOMO YA MISA NOVEMBA 4, 2017 JUMATATU, JUMA LA 31 LA MWAKA
2019-11-12T19:20:22
http://www.ackyshine.com/masomo-ya-misa:masomo-ya-misa-novemba-4-2017-jumatatu-juma-l
[ -1 ]
OLAN LT, UAB - Faksi all OLAN LT, UAB Kadi virtual biashara Akitengeneza kazi, Biashara bidhaa, Briquettes mafuta, Changarawe, Chembe +28 Ateities pl. 31 Kampuni kificho: 302583298 Vat kificho: 100005854919 Ss bima kificho: 2088490 I-V 9:00-17:00 OLAN LT, UAB Vyeti Ramani Akitengeneza kazi, Biashara bidhaa, Briquettes mafuta, Changarawe, Chembe, Concrete products, Fixing, Kulisha kiwanja, Kumaliza paneli, Kumaliza vifaa, Lishe, Madini, Mafuta, Maliasili, Miamba, Nishati imara, Nishati na maliasili, Nishati ya mimea, Paneli ukuta, Quarries, Stone bidhaa, Stone kifusi, Stone kugawanyika, Stone mapambo, Stone products, Stone usindikaji, Ujenzi wa barabara, Ujenzi, mali isiyohamishika, Vifaa vya ujenzi, Vitalu jengo, Vituko, Vyombo vya mawe, Wanyama chakula up Qr kificho Tovuti anuani: www.olan.lt Jina tovuti: UAB OLAN LT - prekyba granitine skalda, akmens gaminiais, trinkelėmis. Tovuti maelezo: Prekyba granitine skalda, trinkelėmis, akmens gaminiais. Keywords: granitinė skalda, granitas, skalda, dekoratyvinė skalda, akmuo, akmens gaminiai, trinkelės up Ukaguzi Esate įmonės (OLAN LT, UAB) savininkas? Atnaujinkite duomenis Tai nieko nekainuoja, užtruksite vos kelias minutes.Primename: vizitinės kortelės su didesniu kiekiu įvairios informacijos, paieškos rezultatuose rodomos aukščiau. © 2014-2017 www.vizitinekortele.lt - Kadi virtual biashara. OLAN LT, UAB Kadi ya biashara
2017-01-18T12:00:20
http://olan-lt.vizitinekortele.lt/sw/
[ -1 ]
Discussion in 'Mahusiano, mapenzi, urafiki' started by Fahari omarsaid, Oct 9, 2011. Mi ninampenzi wangu 2napendana sana,kila niendapo kwake nikifika tu ananiambia naomba cm zako na kuanza kupekua,hapo mwanzo nilisevu jina lake la kawaida na baada ya kupekua akabadilisha lile jina lake na kujisevu MY L,na mimi nataka kufanya hivyo ktk cm yake sababu cjui amenisevu vipi bt naogopa kujiumiza roho kwani naweza kugundua mambo mengine,nifanyaje ili niangalie alivyonisevu? Na kwa upande wa mapenzi ananijali kama kawaida. Kwanini ukiwa nae usipige simu yake uone jina gani linatumika...nasema hivi kwa kuwa utaratibu wa kupekua simu ya mwenza wako utakutana na maajabu na kama una roho ndogo tutakupoteza.... huyo mwanamke hakufai,ogopa mwanamke anayekupekua pekua,hamtadumu ,hilo nakuhakikishia.Mwambie akupe space na wewe mpe space,akuamini na wewe umuamini. Kama mnapendana kweli ni rahisi wewe kuchukua simu yake na kufanya unachotaka lakini kama wewe ndio UNAMPENDA (namaanisha mapenzi ni ya upande mmoja, wewe ndio mwenye mapenzi ya kweli lakini yeye hana) utapata ugonjwa wa roho bure siku usiyotarajia. acha wivu wa kipuuzi..................na woga moyoni usio na msingi Chukua simu pekua kwan yako aliwezaje kuichukua hebu weza kutetea uanamume wako dogo. husitake kujua kila kitu ndugu, unakumbuka waswahili wanasemaje, Ukimchunguza sana bata.........................!!! Ili mapenzi yenu yadumu, epuka kabisa kuangalia simu yake. ni hapo utakapokuta amesevu "buzi 6". Pekua upendavyo ili kuondoa wasiwasi moyoni mwako wengi wanaosema si vizuri kiupekuana ni waovu pekua rafiki yangu siku za nyuma mwanamke alikuwa haolewi mpaka achunguzwe siku hizi ni ngumu kwa sababu mambo yote huanzia kwenye simu hivyo ukiinasa chunguza. w.ke wa dizaini hiyo,wanakuwa wasumbufu,hutafuta sababu ndogo tu ya kugombana Watu wengi sana wanavunja mahusiano kwa simu,na ndio maana hata ukisoma comment nyingi za watu humu wamekushauri wajuavyo. Simu hizi tulizo nazo ni nzuri sana ila aina ya matumizi ambayo ni mabaya ndio yana sababisha matatizo. Kama wapenzi mnaaminiana hauwezi kukataa kumpa simu mwenzako ila kama unamambo yako binafsi ndio utakataa na kumkataza mwenzako kishika cm yako. Huna haja yakumuomba simu kama unaiona na yeye yupo hapo unashika tu as long as mnaaminiana,me huchukulia simu kama kipimo cha uaminifu mana ambae ametulia na wewe hawezi kukatazia simu yako. Wewe kama unajiamini huna tatizo basi we mpe tu akiihitaji na kama anataka umsave atakavyo mwache kwani yakupunguzia nn wakati yeye ni wako? Wewe sasa usiwe unafanya jambo sababu yeye kafanya,hayo yatakua mapenzi ya kisasi,leo umelipiza kuangalia kesho mtalipiziana kitu ambacho kitaharibu penzi lenu.Chamsingi mwambie tu umenisave vp? nataka unisave hivi basi. BARNABA & LINAH - WRONG NUMBER [HQ]. - YouTube tusigombane kisa mesejioooooooooooo........ haifai kulalamika Kwani ni lazima ushike simu yake na ujue amekusave vipi? I think its good but not necessary! Yeye mwanamke aendelee kuangalia simu ya mwanaume? Kwa hapo nani kaolewa? Hili jina fahari tumeshindwa kuelewe ni HE au SHE manake ushauri unatofautiana lol! kama wewe ni HE vimeo vyote visevu kwenye Simcard na simu uwe unatumia Handset memory kwahiyo hata bidada akiangalia anaambilia sifuri,ukihitaji kuwasiliana na vimeo unabadili to simcard memory kwa muda,sms zote za mashaka unafanya kama Funzadume 'ukishasoma ideliti'. Kama wewe ni SHE uwe na tabia nzuri na uridhike na huyu mmoja sawa hahaha! marufuku kumpa mtu namba ya simu yako au kutumiana sms mchezo kwisha lol! Ukiona unamuogopa mwanamke wako kwa namna yeyote ile jua hapo siyo!Utageuka kituko siku dume zima! Bado mleta mada hajasema kama yeye ni SHE au HE.
2018-01-21T17:21:51
https://www.jamiiforums.com/threads/nisaidieni.180594/
[ -1 ]
CFAO YAANZISHA HUDUMA MPYA KWA WAMILIKI WA MALORI YA MERCEDES BENZ NCHINI‏ | Magazeti ya leo| Tanzania News |Tanzania Today WAKUU WA MERCEDES BENZ KUTOKA UJERUMANI NA WAWAKILISHI WA MERCEDES BENZ AFRIKA WATEMBELEA TANZANIA‏ Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya CFAO Motors, Bw.Wayne Mcintosh, akizungumza na Wakuu wa Mercedes Benz kutoka Ujerumani na Wawakilishi wa Mercedes Benz Afrika katika mpango mkakati wa kubadilishana nao mawazo na uzoefu katika shughuli za biashara na masoko katika ukanda wa Afrika. Wakuu wa Mercedes Benz kutoka Ujerumani na Wawakilishi wa Mercedes Benz Afrika pia walipata fursa ya kuangali akarakana ya kampuni hiyo kwenye... MBUNIFU SHERIA NGOWI AFUNIKA KATIKA MAONYESHO YA MAVAZI YA 'MERCEDES BENZ FASHION WEEK AFRICA 2014' NCHINI AFRIKA KUSINI‏
2019-05-20T17:00:53
http://www.tanzaniatoday.co.tz/news/cfao-yaanzisha-huduma-mpya-kwa-wamiliki-wa-malori-ya-mercedes-benz-nchinirlm
[ -1 ]
Montenegro - Cpi Usafiri Mfumuko Wa Bei 0.50 -0.20 26.50 -1.40 Asilimia [+] Mfumuko Wa Bei (Mwezi) 0.50 0.10 5.00 -1.10 Asilimia [+] Consumer - Bei - Index - Cpi 105.00 104.90 105.60 89.80 Index-Pointi [+] Mtayarishaji Bei 170.40 170.00 170.60 93.20 Index-Pointi [+] Harmoniserade Watumiaji Bei 106.60 106.50 107.20 89.90 Index-Pointi [+] Mabadiliko Ya Bei Uzalishaji 2.60 2.80 19.70 -9.90 Asilimia [+] Chakula Mfumuko Wa Bei 3.30 3.10 8.70 -3.60 Asilimia [+] Export Bei 132.80 133.50 140.90 88.00 Index-Pointi [+] Huduma za Makazi ya CPI 103.30 103.20 105.00 84.78 Index-Pointi [+] Cpi Usafiri 106.00 106.60 109.90 92.63 Index-Pointi [+] Sasa, maadili, data ya kihistoria, utabiri, takwimu, chati na kalenda ya kiuchumi - Montenegro - Cpi Usafiri.
2019-11-17T21:01:16
https://sw.tradingeconomics.com/montenegro/cpi-transportation
[ -1 ]
RED BUTTERFLY - 4 - Kichwahits Home / RED BUTTERFLY / RED BUTTERFLY - 4 / SIMULIZI / RED BUTTERFLY - 4 RED BUTTERFLY - 4 by Kichwahits on March 02, 2020 in RED BUTTERFLY, RED BUTTERFLY - 4, SIMULIZI "Jamani naombeni mnisaidie ataniua huyu..." Meneja Christopher alikuwa anasema huku analia. Aliruhusu mkojo kumtoka mtoto wa kiume. "We komaa! Sio wakusaidie, wapishe mlangoni tuondoke zetu.." Yule mwanamke alisema kwa ukali. "Adrian. Nahesabu hadi tatu. Kama hamthamini uhai wa huyu raia mwema kwa sababu ya kunikamata mimi basi sawa" Yule mwanamke aliacha hiyo sentensi iingie kwa wale askari kisha akaanza kuhesabu. "Moja, Mbi..." Hakumaliza mbili. Askari wote sita wakiongozwa na Adrian waliweka silaha chini. Hawakutaka kuwa sababu ya kifo cha yule raia mwema. Kwa maana yule mwanamke alikuwa anamaanisha, sura na sauti yake zilikuwa shahidi. "Natoka nje na huyu mwanamme. Silaha yangu itahitaji mguso mdogo sana kuitoa risasi katika chemba na kuitoa roho ya huyu mjinga. Ninachomaanisha sitaki yeyote yule alete ujanja ( akatukana tusi kubwa la nguoni). Kwanza nyote sogeeni kuleee" Yule mwanamke alisema huku akiionesha kona moja pembeni ya ile ofisi. Na wale askari walitii. Yule mwanamke alikuwa ameushika usukani sasa kwa kujiamini. Yule mwanamke akaanza kumkokota meneja Christopher kwa tahadhari kubwa sana. Mkongojo sasa ukielekezwa kwa zamu kwa wale askari. Akapita naye mlangoni kwa kasi na kutoka nje. Akauvuta ule mlango wa ofisi na kuufunga kwa nje. Akamsukuma yule meneja mlangoni na kukimbilia kwenye pikipiki yake nyuma ya ile ofisi. Aliwasha na kutokomea kwa kasi akiwaacha wakina Adrian wamezubaa ofisini. Ni meneja Christopher ndiye aliyewafungulia mlango dakika tatu baadae baada ya kujitambua. Red butterfly alikuwa ametokomea... ***SURA YA NNE*** Baada ya nusu saa Adrian Kaanan alikuwa pembeni ya kitanda cha Daniel Mwaseba katika hospitali ya Kairuki. Alikuwa amemwelezea kila kitu kilichotokea kule katika kiwanda cha nguo cha Urafiki. Daniel alimwelewa Adrian lakini alikuwa hajamwelewa kabisa. "Kwanini unahisi huyo mwanamke ni Red butterfly, wakati Red butterfly tunaamini ni mzee au hujivika umbo la kizee. Sasa huyo aliyewafungia nyie katika ofisi ya meneja wa kiwanda cha nguo cha Urafiki mnasema alikuwa ni msichana mrembo?" Daniel Mwaseba alimuuliza Adrian. " Mimi naamini yule mwanamke ndiye Red butterfly. Wepesi na kasi ulionielezea ni ileile nilioushuhudia kwa macho yangu. Hata Idd amethibitisha yule ni Red butterfly. Alikuwa anajivika tu umbo la bibi kizee, lakini kwa meneja alikwenda kwa umbo lake halisi" Adrian alisema. "Nimekuelewa Adrian, unafikiri kwanini Red butterfly kama inavyotupasa kuamini kuwa ni huyohuyo alienda katika kiwanda cha nguo cha Urafiki?" Daniel aliuliza. "Kwa mujibu wa Meneja Christopher, Red butterfly alienda kuulizia kilekile nilichoenda kuulizia mimi. Na kwabahati nzuri ni mimi ndiye niliyefanikiwa kukipata. Sasa ninaamini katika safu hii ya uongozi kuna kitu ambacho Red butterfly alikuwa anakihitaji" Adrian alisema huku akitoa karatasi tano alizopewa na meneja Christopher na kumkabidhi Daniel. "Uko vizuri sana Adrian. Kwakuwa waliouwawa wote walikuwa viongozi wa kiwanda cha Urafiki miaka hiyo bila shaka kwa kupitia kuangalia viongozi wa kipindi hiko tutapata jibu" Daniel Mwaseba alisema huku akiziangalia zile karatasi kwa umakini. "Ona, ona Adrian, waliouwawa wote nane walikuwa viongozi wa mwaka 1955 hadi 1957" Daniel alisema kwa wahka mkubwa. "Nimeliona hilo kaka Daniel ingawa wewe umechukua muda mfupi sana kugundua. Mwaka 1955 mpaka 1957 kiwanda cha Urafiki kilikuwa na viongozi kumi na tano katika kamati yake ya utendaji. Na nane kati ya hao wameuwawa kwa mkongojo wa Red butterfly. Kwa maana walibaki hai viongozi saba tu wa kipindi hiko. Lakini viongozi watano kati ya hao wameuwawa kwa magonjwa mbalimbali kabla ya tukio hili. So walio hai mpaka sasa ni viongozi watatu tu" Adrian alisema kwa kirefu. "....ambao unapaswa kuwafatilia ili kujua kwanini viongozi wenzao wa kipindi hiko wanasakwa na Red butterfly" Daniel Mwaseba alidakia. "Ndio kazi iliyopo mbele yangu baada ya kutoka hapa" Adrian alisema. "Ila kuwa makini sana Adrian. Kwasasa Red butterfly anajua kwamba umemuwahi pale katika kiwanda cha Urafiki kwa kuchukua hizi nyaraka. Sasa atakusaka kwa kujua wewe ni mtu hatari kwake. Hakikisha kila unapoenda wakina Idd wapo nyuma yako wanakulinda, peaneni taarifa mara kwa mara. Unaenda hatua ya mwisho katika kufumbua fumbo la Red butterfly, kuwa makini sana katika hatua hii. Shirikiana na wenzako. Ushirikiano ni kila kitu katika misheni hatari kama hizi" Daniel Mwaseba alisema. Waliendelea kuongea kama nusu saa kisha wakaagana. Waliongea pia kuhusu kupotea kwa Elizabeth Neville. Adrian alimwambia kuwa bado watu wa China wakiongozwa na Maxi Lee wanaendelea na uchunguzi wao. Mwishowe Adrian aliondoka akiwa na imani kubwa ya kwenda kufumbua fumbo la Red butterfly huku Daniel akiwa na shauku kubwa ya kutaka kujua kwanini Red butterfly anafanya mauaji kwa viongozi wa kiwanda cha urafiki tu wa mwaka 1955 hadi 1957? na swali la wapi alipo mke wake Elizabeth Neville pia liliendelea kuganda katika kichwa cha Daniel Mwaseba... Waliendelea kuongea kama nusu saa kisha wakaagana. Waliongea pia kuhusu kupotea kwa Elizabeth Neville. Adrian alimwambia kuwa bado watu wa China wakiongozwa na Maxi Lee wanaendelea na uchunguzi wao. Mwishowe Adrian aliondoka akiwa na imani kubwa ya kwenda kufumbua fumbo la Red butterfly huku Daniel akiwa na shauku kubwa ya kutaka kujua kwanini Red butterfly anafanya mauaji kwa viongozi wa kiwanda cha urafiki tu wa mwaka 1955 hadi 1957? na swali la wapi alipo mke wake Elizabeth Neville pia liliendelea kuganda katika kichwa chake" Tusome ya leo sasa... Saa kumi kamili jioni Adrian Kaanan ilimkuta katika nyumba ya Fuga Kindo. Mmoja wa viongozi wa kiwanda cha nguo cha urafiki wa mwaka 1955 hadi mwaka 1957. Mzee Fuga Kindo alikuwa anaishi maeneo ya Tandika Foma ambako alijenga nyumba baada ya kustaafu. Adrian alifika Tandika na moja kwa moja alielekea katika nyumba ya mzee Fuga Kindo ambako alikuwa na umaarufu sana katika maeneo ya Tandika Foma. Ilikuwa ni nyumba iliyobanana katikati ya nyumba nyingi sana. Adrian alifika hadi katika mlango wa nyumba ya mzee Fuga Kindo. Aligonga. Alipokewa na ukimya, hodi yake haikuitikiwa. Aligonga tena, bado ilikuwa kimya. Aligonga tena na tena. Bado hali ilikuwa ileile ukimya wa kimya. Akaongea katika kifaa maalum alichovaa ili kuwasiliana kina Idd. "Hapa kimya kabisa. Sijui huyu mzee katoka?" "Sidhani. Tafuta mjumbe wa mtaa ili tupate ruhsa ya kuvunja mlango na kuingia ndani. Inawezekana Red butterfly katuwahi tena" Idd alisema. "Sawa Soldier" Adrian akajibu. Dakika kumi na nane baadae walikuwa katika mlango wa mzee Kindo wakiwa na mjumbe wa mtaa, shahidi mmoja pamoja na fundi seremala. Fundi seremala alitumia dakika zisozozidi tano kuvunja mlango ule. Mlango haukuweza kuhimili ufundi wa fundi yule. Sasa walikuwa ndani ya nyumba ya mzee Kindo. Walitafuta huku wakiita kwa dakika kadhaa, bado kulikuwa kimya kama awali. Mzee Kindo hakuwepo. "Itakuwa kaenda wapi huyu mzee?" Adrian akaipata sauti. "Mzee Kindo amekuwa akilala hapa kitandani kwa miaka kumi sasa. Amepooza hivyo hawezi kutembea. Suala la kutokuwepo leo ni la ajabu sana" Mjumbe alijibu. "Au ndugu zake wamekuja kumchukua?" Adrian aliuliza tena. "Sidhani. Mzee ana ndugu mmoja tu ambaye alikuwa anakuja kumsaidia mara kwa mara. Huwa anamletea vitu hapa na kuondoka" Yule jirani akasema. "Yupoje huyo mwanamke?" Adrian aliuliza. "Ni mwanamke mrefu mweupe. Nywele zake amezifunga kwa nyuma. Mara nyingi huja na pikipiki. Huja mara kwa mara hapa na kumwachia pesa nyingi sana mzee Kindo" Yule jirani akajibu. " Mliwahi kumuuliza mzee Kindo ana uhusiano gani na huyo mwanamke?" Adrian aliuliza. "Mzee Kindo hakutaka kabisa kumzungumzia yule mwanamke. Ilikuwa ukitaka kumuuzi muulize kuhusu yule mwanamke" Yule jirani akasema. "Red butterfly. Sifa zote ni za yule mwendawazimu" Adrian aliwaza. Huku moyoni akiamini kwamba walikuwa wamezidiwa tena ujanja na Red butterfly. "Sasa kwanini viongozi wengine wa kiwanda cha nguo cha urafiki wa mwaka 1955 wamewauwa lakini mzee Kindo hajamuuwa? Na zaidi amekuwa anamuhudumia?" Adrian alijiuliza lakini majibu yalikuwa mbali sana. Ulikuwa utata mwengine ndani ya fumbo la yule mwanamke wa ajabu. Mwanamke anayeitwa Red butterfly.. Baada ya maongezi na wale watu Adrian aliondoka huku wakipeana namba za simu. Adrian aliondoka kichwa chini, alikuwa na mawazo yasiyo na kifani. Hii kesi ilikuwa ngumu sana kwake. "Hallo Adrian" Kile kifaa cha masikioni kiliita. "Eeeh Idd, mambo magumu sana. Sasa wamebaki watu watatu tu wa kuweza kutufumbulia fumbo hili. Mzee Togo Lunyanda na Mzee Kondo Habibu. Wakati sasa tukiwasaka hao wazee bila shaka na Red butterfly naye anawasaka kwa udi na uvumba. Sasa tujigawe, wewe na askari wawili nendeni kwa mzee Togo Lunyanda kule Mabibo na mimi ninaenda kwa mzee Kondo huko Gongo la mboto. Naomba muende kwa haraka huku mkiwa makini. Hawa wazee wawili ni muhimu sana, tukiwapoteza yaani tumepoteza kila kitu" Adrian alisema. "Sawa Adrian nimekuelewa. Tuwe tunawasiliana basi mara kwa mara tujue tumefikia wapi?" Pikipiki tatu zikajigawa. Idd na askari wawili walielekea Mabibo kwa mzee Togo Lunyanda huku Adrian na askari wawili walielekea Gongo la mboto kwa mzee Kondo Habib. Idd na wenzake ndio walikuwa wakwanza kufika Mabibo nyumbani kwa kwa mzee Togo Lunyanda. Alipofika maeneo ya chuo cha NIT alisimamisha pikipiki yake na kumuuliza kijana mmoja aliyekuwa anachoma mahindi barabarani. Alielekezwa. Moja kwa moja alienda nyumbani kwa mzee Togo Lunyanda huku nyuma yake akifuatwa na pikipiki za askari wawili kwa siri. Ilimchukua dakika moja tu kufika. Hakukuwa mbali sana. Ilikuwa nyumba ya wastani iliyojitenga. Adrian alipiga hodi. Aliitikiwa. Mlango ulifunguliwa, alitoka mama mmoja wa makamo. "Habari yako" Alisalimu Adrian. "Nzuri mwanangu wangu. Karibu sana" Yule mama alijibu. "Samahani mama nilikuwa namuulizia mzee Togo Lunyanda, nimemkuta?" Adrian alisema. "Mzee amelazwa Muhimbili wiki sasa ana tatizo katika njia ya mkojo" Yule mama alisema. "Yupo katika wodi gani? Nina shida naye muhimu sana" Adrian alisema. "Yupo katika wodi ya Mwaisela" Yule mama alijibu. Adrian aliaga na kwenda kwenye pikipiki yake. Kwa kasi alikuwa anaelekea katika hospitali ya Muhimbili kuonana na Mzee Tondo. Mtu muhimu sana katika kufumbua fumbo la Red butterfly. Njiani Adrian aliwasiliana na kina Idd. "Hallo Idd?" Aliita. "Idd unanisikia?" Ilikuwa kimya. "Idd, Idd Adrian hapa unanisikia?" Adrian aliita. Bado ilikuwa kimya. "Mbona Idd hapatikani. Au kutakuwa na tatizo la mtandao" Adrian aliwaza. Kipindi hiko alikuwa Magomeni Mwembechai akielekea katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Dakika kumi tu baadae alikuwa nje ya geti ya hospitali ya mkononi. Ndipo simu yake ya mkononi iliita. Aliitoa simu yake mfukoni na kuipokea. Ilikuwa ni simu kutoka kwa IGP John Rondo. Moyo wa Adrian ukastuka, akajua kuna kitu. "Haloo mkuu, habari yako" Adrian alisalimu. "Nzuri Adrian, upo salama kweli?" IGP John Rondo aliuliza kwa sauti yenye wasiwasi. "Nipo salama, nipo Muhimbili hapa nikiifatilia ile kesi" Adrian alisema. IGP alishusha pumzi ndefu na kuuliza "Kina nani walienda Gongo la mtoto?" "Idd, Francis na Kennedy" Adrian alijibu. "Nimepokea taarifa hapa. Kuna mzee mmoja ameuwawa na askari wote watatu wamejeruhiwa na risasi dakika tano zilizopita" IGP John Rondo alisema. Nasema hivi mzee mmoja ameuwawa na askari wote wamejeruhiwa huko Gongo la mboto. Kuna shambulio lililodumu kwa dakika saba. Aliyewashambulia amefanikiwa kukimbia huku wakina Idd wakiwa wamejeruhiwa vibaya sana!!" IGP John Rondo alisema. "Red butterfly.." Adrian alisema kwa sauti ndogo iliyosikiwa na IGP John Rondo. "Red butterfly yupo Gongo la mboto?" IGP John Rondo. Adrian alimueleza kila kitu IGP John Rondo ilivyokuwa mpaka wakaenda kule Tandika Foma, na jinsi walivyojigawa ili kumpata Red butterfly. "Ngoja nikuache Adrian. Nenda haraka kaongee na huyo mzee. Kuwa makini sana Adrian. Kwa vyovyote Red butterfly yupo njiani anakuja huko. Naleta askari hapo hospitali ili akija tu uwe ndo mwisho wake!" Adrian aliisikia sauti ya hasira kutoka kwa John Rondo. Harakaharaka Adrian aliingia ndani ya hospitali kwenda kuonana na Mzee Tondo Lunyanda. Alienda moja kwa moja katika wodi ya Mwaisela. Mlangoni alikutana na watu wakiutoa nje mwili wa mtu. Hakuwa na haja ya kuambiwa kwamba yule alikuwa tayari amekufa. Adrian alikuwa anaomba ile maiti isiwe ya mzee Tondo Lunyanda. Alimvuta nesi mmoja aliyekuwa anawafata nyuma wale manesi wengine waliobeba maiti. Kwa pupa aliuliza. "Mzee Tondo Lunyanda yupo humu wodini?" "Loh mzee amefariki dakika mbili zilizopita, ndio huyo tunampeleka monchwari.." Adrian hakusikia maneno ya mbele ya yule nesi. Aliona kama kaibeba dunia nzima peke yake. Sehemu pekee aliyokuwa anaitegemea sasa haikuwepo tena. Fumbo la red butterfly liliendelea kuwa fumbo la siri! Mara simu yake iliita, alikuwa ni IGP John Rondo. Akaipokea. "Mzee Tondo amefariki" Ndio ilikuwa kauli ya kwanza ya Adrian. "Unasemaje Adrian?" IGP John Rondo aliuliza. "Mzee amefariki. Nikiwa naingia wodini hapa mlangoni niliona manesi wakitoa maiti ndani ya wodi ya Mwaisela. Nilimuita nesi mmoja na kumuuliza. Ni huyo ndio aliyenambia kwamba mzee Tondo alikuwa amefariki dakika chache zilizopita" Adrian alisema. "Asalaleeee tumepoteza tena ushahidi!" IGP John Rondo alisema simuni. "Sahivi ninataka kurudi Mabibo nikaongee na yule mjane wa marehemu labda nitapata chochote. Maana watu wawili muhimu wameuwawa huku mmoja akipotea katika mazingira ya kutatanisha" Adrian alisema. "Safi Adrian fanya hivyo. Gari moja ya askari itakuwa nyuma yako popote utapokwenda" IGP John Rondo alisema. "Ahsante sana. Nashukuru sana" Adrian alisema. Akatoka nje, akachukua pikipiki yake na kuelekea Mabibo. Ndani ya dakika kumi na mbili alikuwa mbele ya nyumba ya mzee Tondo Lunyanda. Alishuka kwenye pikipiki na kwenda kugonga hodi. "Karibu" Alikaribishwa. Ilikuwa sauti ileile ya awali. Baada kama ya sekunde thelathini mlango ulifunguliwa. Alitoka yule mwanamke aliyekuwa anaongea nae awali ambaye alikuwa mke wa mzee Tondo Lunyanda. Bila shaka hakuwa taarifa na kifo cha mumewe. "Samahani sana mama, nimerudi tena" Adrian alisema. "Karibu sana mwanangu" "Safari hii naomba tukae ndani nina maongezi marefu kidogo na wewe" Adrian alisema. Adrian na yule mama waliingia ndani ya nyumba. Walikaa kwenye sebule dhaifu iliyokuwa na samani zilizochakaa. "Samahani tena mama yangu kwa kukupotezea muda wako" Adrian alianza kusema. "Bila samahani mwanangu. Jisikie huru" Yule mama aliongea kwa sauti ya upole. "Kwa majina naitwa Adrian, ni askari wa jeshi la Polisi. Katika majukumu yangu ya kazi nimepewa kazi ya kuchunguza kifo cha waziri Elisha Ngwena na watu wengine saba. Katika uchunguzi wangu nimegundua kuwa watu wanauwawa ni wale waliokuwa viongozi wa kiwanda cha nguo cha urafiki mwaka 1955 hadi mwaka 1957. Ambapo mumeo pia alikuwa kiongozi kipindi hiko. Katika uchunguzi wangu pia nimegundua uhusika wa Mwanamke aitwaye Red butterfly katika mauaji hayo. Sasa nilikuja kwako ili niongee na mumeo labda anajua chochote juu ya vyanzo vya vifo hivyo. Kwa bahati mbaya nimeenda hospitali nimemkuta mzee hayupo tayari kuongea kutokana na maradhi yake, ndipo nimekuja kwako kukuuliza labda unajua chochote sababu ya vifo hivyo" Adrian alieleza kwa kirefu. "Nimekuelewa mwanangu ila kuna sehemu moja sijakuelewa. Kuna sehemu kuna uhusika wa Mwanamke sijui anaitwa nani?" "Red butterfly" Adrian akadakia. "Hapo ndio sijalielewa hilo jina lina maana gani?" Yule mwanamke aliuliza. "Red butterfly ni kwa kiingereza kwa kiswahili ni kipepeo mwekundu, ame...." Adrian hakumaliza kuelezea. "Kipepeo mwekundu!! Muuaji ni kipep..." Yule mwanamke hakulirudia tena hilo neno. Katikati ya paji la uso zilikuwa zinamwagika damu!! Bila shaka bastola yenye kiwambo cha kuzuia sauti ilikuwa imefanya kazi yake sehemu fulani. Yule mama alilalia lile kochi kuukuu kwa shingo upande, mdomo ukiwa wazi ukitaka kuelezea chochote kuhusu kipepeo mwekundu. Macho alikuwa ameyatoa akimwangalia Adrian. Hakukuwa na haja ya daktari yule mwanamke hakuwa katika sayari hii. Alikufa siku sawa na aliyokufa mume wake wakipishana dakika chache sana. Adrian alikuwa amerukia nyuma ya kochi na bastola yake mkononi. Alikuwa anaangalia kwa umakini madirisha yote mawili ni wapi ilipopenya ile risasi. Bila shaka kutoka katika bastola ya Red butterfly... Mambo yamekuwa magumu zaidi, je Adrian atafanikiwa kumnasa Red butterfly? Na je wale askari walio kule nje hawajamuona Red butterfly? Majibu yote yapo ndani ya simulizi hii ya aina yake... Adrian alikuwa amerukia nyuma ya kochi na bastola yake mkononi. Alikuwa anaangalia kwa umakini madirisha yote mawili ni wapi ilipopenya ile risasi. Bila shaka kutoka katika mkono wa Red butterfly. Ndani kulikuwa kimya. Adrian akanyanyuka kidogo kule nyuma ya kochi na kuangazaangaza, kulikuwa kimya vilevile. Akanyata taratibu katika dirisha ambalo alikuwa na uhakika mpigaji wa risasi ile ndilo alilolitumia, alifika, akachungulia kwa nje pembeni kabisa mwa dirisha lile, hakukuwa na mtu, ingawa aliliona tundu dogo ilipopenya ile risasi. By Kichwahits kwa March 02, 2020 category RED BUTTERFLY, RED BUTTERFLY - 4, SIMULIZI
2020-04-09T13:50:16
https://www.kichwahits.com/2020/03/red-butterfly-4.html
[ -1 ]
Jamani ni saidieni kwa hili | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Discussion in 'Mahusiano, mapenzi, urafiki' started by lukunij, Aug 21, 2012. Ni muda mrefu tu natafuta mchumba lkn sijampata ambaye nilikuwa namuhitaji sasa najiuliza je? nikisema nimuowe yeyote tu sitapata taabu hapo mbele ya safari au nifanye nini? maana nina hamu kwelikweli ya kuingia kwenye mahusiano ya mke na mume nilijaribu kutumia hiyi blog ckumpata so nisaidie kwa ushauri nifanye nini??????? Hii sio blog, hii ni website. lukunij said: Ni muda mrefu tu natafuta mchumba lkn sijampata ambaye nilikuwa namuhitaji sasa najiuliza je? nikisema nimuowe yeyote tu sitapata taabu hapo mbele ya safari au nifanye nini? maana nina hamu kwelikweli ya kuingia kwenye mahusiano ya mke na mume nilijaribu kutumia hiyi blog ckumpata so nisaidie kwa ushauri nifanye nini???????Click to expand... Usikate tamaa ndugu yangu,Mungu wetu kamuumbia kila mmoja ubavu wake,endelea kumuomba yeye na kumtumainia na ipo siku atakupa mwenzi wako wa maisha.ndoa sio kitu cha kuharakia,ndoa sio kamari useme unabahatisha,ndoa sio nyumba useme ukikosea utajenga upya(wakristo),buy more time bro ktk kumuomba Mungu kwani mke mwema hutoka kwake. Ebwana una umri gani kwanza? Na umesema una hamu sana ya kuingia kwenye mahusiano? Hebu jielezeee kwanza tuone tunakusaidiaje? Wewe ni mwanaume au mwanamke?Click to expand... Huoni kasema 'nimuoe'... Atakuwa 'me' kwani kwa mila za watazania mwanamke anaweza kumuoa mwanaume au anaolewa na mwanaume? mpako hapo tu hujatambua mimi ni wa jinsia gani? mwanaume Hebu jielezeee kwanza tuone tunakusaidiaje?Click to expand... nina miaka 28 but i'm very tired na maisha ya ubachelor Mkuu, hautakiwa ku-rush kwenye mahusiano. Ndoa si kitu cha kusema unaweza kuchukua yeyote ukajaribu halafu ukishindwa mkamwagana, hiyo si suruali au gari la kusema unajaribu then utarudisha, ni taasisi inayojitegemea na kutegemea mapenzi, mahusiano, maelewano, ukaribu, mvuto nk baina yenu wawili. Huwezi kuchukulia kirahisi tu, kuwa kwa kuwa umekosa uoe yeyote, ukishampata je na tayari umekuwa kwenye ndoa utafanyaje? Utaoa mke mwingine? Nakushauri ni bora usubiri huku unaomba Mungu naamini wakati ukifika utampata yule umpendaye. mke mwema anatoka kwa Mungu,...mwombe Mungu atakupa mke mwema nina miaka 28 but i'm very tired na maisha ya ubachelorClick to expand... Inawezekana njia unayotumia ku'recruit' wenye vigezo unavyovitaka sio.. Jaribu kuangalia tena kwa nini wanawake unaokutana nao hawameet vigezo vyako.. Isije kuwa unataka kumuoa 'malaika'.. Isije kuwa unataka kumuoa 'malaika'..Click to expand... hapana japokuwa swala la uzuri lipo lkn sio kwa sana but wana JF now day wanawake hawaeleweki so ni ngumu sana kumpata muelewa na wakati mwingene nafikiria nikichelewa sana sitakuja kuoa tena cos nitazoea na maisha ya ubachelor na hata family yangu nitaipa uzeeni ndio hizo habari za watoo kuja kulelewa na ndugu Piga Goti umuombe Mungu Ndoa ................Ndoana.....................!!!! Piga Goti umuombe MunguClick to expand... tunaomba but ndio chenga tu Ndoa ................Ndoana.....................!!!!Click to expand... so kwahiyo niachane na hii issue sio? kwani kwa mila za watazania mwanamke anaweza kumuoa mwanaume au anaolewa na mwanaume? mpako hapo tu hujatambua mimi ni wa jinsia gani? mwanaumeClick to expand... tatozo siku hizi jinsia zote wanaolewa ndio sababu Mwali kauliza hivyo 28? mbona bado? endelea kuvunja mifupa kaka!!!!(kiding) piga goti na hakikisha unawinda sehemu potential tu! Isiwe unataka upate mwanza ambae sio mnywaji wa pombe alaf unaenda kutega pale kwenye baa yetu saa tano usiku. ucwe na akili ya kipuuz hivi unadhan kwa mawazo yako hayo hata wanawake wa humu watakuamini,kwanza cio mahala pa kuleta hoja zako,love ni kitu kinachohitaji time and good environment,kuwa na subira la si hivyo utafeli. ucwe na akili ya kipuuz hivi unadhan kwa mawazo yako hayo hata wanawake wa humu watakuamini,kwanza cio mahala pa kuleta hoja zako,love ni kitu kinachohitaji time and good environment,kuwa na subira la si hivyo utafeli.Click to expand... mkuu which time unaongera it means i'm not grown enough to have marriage? Jaribu kutulia utapata usiwe na haraka ya ndoa! Ndoa si kitu cha kufanya haraka haraka, jaribu kutulia mkuu. Wanawake wapo wengi haujatenga muda wa kutosha!
2016-10-23T20:40:01
http://www.jamiiforums.com/threads/jamani-ni-saidieni-kwa-hili.311108/
[ -1 ]
.: TAMKO LA TAASISI YA WAHANDISI TANZANIA KUHUSU KUPOROMOKA KWA JENGO LA GHOROFA 16 LILILOKUWA LINAJENGWA JIJINI DAR ES SALAAM Rais wa Taasisi ya Wahandisi Tanzania, Eng. Dk. Malima Bundara akitoa tamko la taasisi yake leo jijini Dar es Salaam mbele ya waandishi wa habari. Kabla ya kutoa tamko lake, Taasisi ya Wahandisi Tanzania inatanguliza ufafanuzi ufuatao kwa ajili ya kuongeza uelewa na kuzuia upotoshaji wa habari na/au uchanganyaji wa majukumu ya taasisi mbalimbali katika tasnia ya uhandisi na ukandarasi nchini Tanzania. Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) ni taasisi ya serikali chini ya Wizara ya Ujenzi iliyoundwa kwa lengo la kusajili na kusimamia kazi za wahandisi nchini Tanzania. Lengo la serikali ni kulinda maslahi ya wananchi na watumiaji wa huduma za kihandisi. Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB) ni na kusimamia kazi za makandarasi nchini Tanzania. Lengo la serikali ni kulinda maslahi ya wananchi na watumiaji wa huduma za makandarasi. Taasisi ya Wahandisi Tanzania (IET) ni jumuiya binafsi isiyokuwa ya kibiashara iliyoundwa na wahandisi wenyewe kwa lengo la kuhamasisha, kujenga na kuendeleza taaluma ya uhandisi na stadi za wahandisi nchini Tanzania na kwingineko. Tarehe 29 Machi, 2013, jengo lenye ghorofa 16 lililokuwa linajengwa kwenye mtaa wa Indira Gandhi jijini Dar es Salaam liliporomoka na kuua watu 36 na kujeruhi watu wengine kadhaa. Tukio hili siyo la kwanza kutokea jijini Dar es Salaam katika kipindi kisichozidi miaka 10, kwani mwaka 2006 jengo lililokuwa linajengwa Chang’ombe liliporomoka na mwaka 2009 jengo la ghorofa 10 lililokuwa linajengwa eneo la mtendeni jijini vilevile liliporomoka. Katika matukio mawili ya mwanzo serikali iliunda Tume kuchunguza vyanzo vya ajali hizo. Taasisi ya Wahandisi Tanzania kwa niaba ya Wahandisi wote nchini na kwengineko inatamka kama ifuatavyo: (a) Kuporomoka kwa jengo lililokuwa linaendelea kujengwa jijini Dar es Salaam kumepokelewa kwa mshangao na huzuni kubwa. Wahandisi wanatoa pole kwa serikali kupitia kwa Mkuu wa Mkoa. Aidha wahandisi wanatoa pole kwa wafiwa na watanzania wote kwa ujumla kutokana na msiba huu mkubwa. Vilevile taasisi inawashukuru wananchi na waandishi wa habari kwa mchango wao katika shughuli za uokoaji kwenye ajali hii. (b) Taasisi inaipongeza serikali kwa juhudi zake za kupanga na kusimamia uokoaji katika ajali hiyo. Aidha taasisi inaipongeza serikali kwa kuziamini na kuzikabidhi taasisi zake za kitaalamu (yaani ERB na CRB) jukumu la kuunda jopo la kufanya uchunguzi ili kubaini chanzo cha kuporomoka kwa jengo hilo. Ni matumaini ya Taasisi ya Wahandisi Tanzania kwamba jopo litakaloundwa litajumuisha wataalamu makini watakaofanya uchunguzi wa weledi na kina na kuzingatia maslahi ya Taifa letu bila kumwonea au kumpendelea mtu au taasisi. (c) Kwa kuwa Taasisi ya Wahandisi Tanzania ni msemaji wa wahandisi kama wanataaluma ndani na nje ya serikali, Taasisi ya Wahandisi Tanzania inawajibika kusaidiana na serikali katika kupata ufumbuzi wa kudumu na kuondokana na kuporomoka kwa majengo na majanga mengine katika sekta ya ujenzi. Aidha umma wa watanzania unatagemea kupata tamko la wahandisi kuhusu suala hili. (d) Ingawa kila mtu anataka aelezwe chanzo cha kuporomoka kwa jengo hilo sasa hivi, Taasisi inasema kwamba kufanya hivyo haraka haraka bila kupata taarifa za kutosha ni kuendelea kushughulikia matokeo badala ya kupata kiini kinacholeta matokeo hayo. Kutokana na mtazamo huo, Taasisi imeunda Kamati ya Wataalamu saba kusaidiana na ile Kamati ya Serikali kuchunguza chanzo cha kuporomoka kwa jengo kwa namna tofauti. Badala ya kujikita kwenye uchunguzi wa tukio lenyewe, Kamati ya Taasisi itachunguza sheria na mfumo wa sekta ya ujenzi wa majumba kwa jumla ili kubaini kiini cha matokeo yatakayopatikana katika uchunguzi wa tukio. Kamati ya Taasisi itakusanya na kuchambua taarifa kuhusu; i) Sheria na taasisi zenye majukumu ya kisheria kwenye ujenzi wa majumba. Orodha ya Taasisi hizi ni ndefu ikiwa ni pamoja na; Halmashauri miji/majiji, OSHA, CRB, AQRB, NCC, TBA, NHC, NEMC, PPRA, Agensi ya Zimamoto na uokoaji na Wizara ya Ardhi. ii) Viwango na kanuni kwenye sekta ya ujenzi wa majumba hapa nchini. iii) Taratibu za kazi katika sekta ya ujenzi kuanzia pale mtu anapopata idhini ya kujenga nyumba mpaka nyumba inapokuwa tayari kwa watu kuishi. iv) Masuala ya usanifu na usimamizi wa ujenzi wa nyumba, wahusika wake na mgawanyo wa kazi. v) Ripoti za uchunguzi wa matukio kama haya na hatua iliyokwishafikiwa katika utekelezaji wa mapendekezo husika. vi) KUPOROMOKA KWA JENGO NA UHUSIANO WAKE NA MAMBO YALIYOTAJWA HAPO JUU. (a) Kamati ya Taasisi itaongozwa na Eng. Ladislaus Salema ambaye ni Rais mstaafu wa Taasisi. Kamati imepewa siku 14 kumaliza kazi yake. Taasisi inawaomba Watanzania wote siyo kuwa na subira, bali pia kushirikiana na Kamati zetu ili kupata kiini na dawa ya maradhi yanayoendelea kujitokeza kwenye sekta yetu ya ujenzi wa majumba. 03 Aprili, 2013
2017-03-30T22:41:12
http://watanzaniaoslo.blogspot.com/2013/04/tamko-la-taasisi-ya-wahandisi-tanzania.html
[ -1 ]
Hatimaye Kikwete Afanya Kweli | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Hatimaye Kikwete Afanya Kweli Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Mzee Mwanakijiji, May 26, 2006. Kwa mujibu wa habari, serikali ya Jakaya Kikwete imesitisha mara moja uuzaji wa nyumba za Serikali kwa viongozi na kuanzia sasa nyumba hizo hazitouzwa tena. He got some nerves, Kuna watu imedaiwa wamekasirishwa na kitendo hicho. Soma habari hapa: http://majira.co.tz/kurasa.html?soma=tanzania&habariNamba=737 Mwanakijiji,' He should have gone a step further na kurudisha zote zilizokwishagawanywa. 8) kwa vile walizinunua kwa kufuata sheria na utarabu halali??? itakuwa vigumu hivyo bila ya wao kushtaki mahakamani. Nafikiri aliona bora bygones be bygones.. I do not buy this nonesense!, alikuwa wapi siku zote? kuzuia sasa faida yake ni nini wakati tayari nyumba zote zilizotakiwa kuuzwa zimeuzwa? Habu nitajieni ni kiongozi gani wa zamani ambaye alitaka kununua nyumba ameshindwa? Nia na madhumuni ya kuuzwa kwa nyumba ilikuwa kuwapatia viongozi wa zamani nyumba, na hilo limeshatimia tayari sasa huu mkwara ni wa nini kama sio uongo? Look at this, BM amenunua ile nyumba ya Sea View, JM amenunua ile nyumba ya See View, JK mwenyewe amenunua, Sumaye amenunua, Kawawa alijengewa bure, Msekwa amenunua, Siwale amenunua, Jumbe amenunua, Mwinyi amenunua, Msuya amenunua, Warioba tu ndiye aliyekataa, lakini anashirikianaje na mwizi Mahalu? Wakati mmoja Warioba alikuwa anataka kuulazimisha ubalozi wetu NY umlipie rent mtoto wake yule wa kike June Warioba, ambaye hata kuandika jina lake tu ni taabu lakini alikuwa na bonge la scholarship kule DC, ninasema hivi kwa sababu siku zote huyu mzee anapenda kujiosha kuhusu rushwa na power, kumbe sio kweli! Wazee hii serikali inadanganya kuhusu nyumba ukweli ni kwamba tayari wazee wote wa CCM walishapata nyumba ndio maana sasa wanasimamisha, NONESENSE! wangu hapa umetupa madongo kishenzi lakini utanisamehe kusema kwamba June Warioba kabuntas?... Noo bro, June darasani kichwa kile kimetulia na kasoma bila kulipiwa toka huko alikoanza. Sema ukitoka darasani hapo tena habari nyingine!.. Mzee Bob, Miaka yote June aliyokaa shule DC, degree iko wapi? Sisi tulikuwa tunasoma na kufanya kazi ili kujilipia maisha na watu kama yeye walikuwa kazi mwisho wa mwezi kwenda kukusanya posho pale ubalozini, At the end sisi wote tuna degree yeye na wenziwe watoto wa vigogo, hakuna kitu! Unajua Bob ilibidi serikali ya US kupitia USAID iingilie kati na kusimamisha malipo hayo kwa watoto wa vigogo, ambao walikuwa wanakaa kwenye Luxurious apartments wakati sisi tunafukuzana na panya, ndipo wote wakarudishwa, Bob hakuna kati yao hata mmoja mwenye angalau Associate Degree! Sasa yuko pale kwenye Law Firm ya Mahalu na baba yake, hebu nisaidie anfanya nini? Eti anatangaza biashara, za nani hakuna kitu, anyway the issue hapa na Mzee JK na nyumba, hilo ninasema ni another Nonesense ya kutafuta umaarufu watanzania ni lazima tuwe makni na serikali yetu mpya ya umaarufu! Kusema kweli mimi nashindwa kumlaumu JK ktk swala hili na nitaeleza kwa nini!. Tukumbuke tu pindi alipoingia madarakani, swala hili na ongezeko la mishahara kwa wabunge yalifikishwa kwake baada ya bunge kuendelea kuyaunga mkono.. Malalamiko ya wananchi wote yamesaidia sana kufkia yeye kutoa uamuzi ambao unapinga maamuzi ya wenzake hata kama wapo waliokwisha chukua nyumba ama mishahara hiyo chini ya utawala wa Mkapa. Anachofanya hapa ni marekebisho tu ya sera ambazo zimekwisha pita kama muswada. Kurudisha nyuma zote za zamani, hili swala jingine na kisheria sidhani kama inakubalika. Sheria zote huanza kutumika pale mzee mzima kaangusha wino, nyuma ya hapo labda swala lililofikishwa kwake ni kutaifisha upya nyumba zote za serikali. Hii sio kazi rahisi na mara nyingi huondoa uaminifu wa serikali ktk maamuzi yake na baadaye kutumika (on record) kama mwelekeo ama serikali isiyokuwa na msimamo, mavunja sheria n.k. Jambo ambalo linaweza kabisa kuchangia kuwafukuza hata wawekeshaji. Je matakwa ya wananchi ni yapi?... nyumba hizi zirudishwe... sawa lakini JK alituambia kabla ya uchaguzi kwamba hatarudisha nyumba zilizokwisha chukuliwa. Hii ndio ahadi yake na wananchi tulimpa kura zetu zote. Yaani Wa-TZ wamekubaliana na malengo yake ktk kuiongoza nchi. Yawezekana mimi na wewe hapa ni kati ya kundi ambalo halikumpa kura, tumesimama upande wa pili. Mshikaji, June anayo digree, sema hakumalizia masters yake, nakumbuka alifanya kazi VOA na kazi hiyo anaiweza. Pia kumbuka Warioba hakuwa akifanya tena kazi serikalini na mwenzetu mjamaa alikunywa maji ya uhuru... hakutoka na kitu zaidi ya elimu yake. Kusema kweli, navyofikiri mimi hiyo sheria ya kutosomesha watoto wa wakubwa hali wamekwisha ingia darasani ni maonezi na pengine roho za kikorosho. Sheria ile ingetumika toka pale Mkapa alipoweka sahihi na sio kusimamisha hata kwa wale waliokwisha ingia masomoni kabla ya sheria hiyo. Kulingana na siasa za Kibongo hapa kuna watu walikuwa wakitafutwa tu. Ndiyo yale ya Nyerere, Nyerere hakusomesha watoto wake ama kutumia nafasi ile, leo hii kila mtu anamwona mjinga na mpuuzi.. hata mimi sikupenda kabisa kiongozi kuwaacha watoto wake bila elimu na urithi unaolingana na nafasi yake. Kwa maana hiyo nampongeza sana saana Karume na matunda yanaonekana. Hakuna kabisa kitu kinachoitwa binadamu wote sawa! Mzee ES, mimi nilikuwa shabiki wa Mkapa just kutokana na habari za magazetini, lakini jinsi JK anavyoanza kufanya haya mambo naanza kujiuliza hivi Mkapa alikuwa ni Rais wa nchi gani? Nafikiri kama kuna mtu ambaye Nyerere anajutia kutupa Watanzania ni Mkapa. Angalau Mwinyi ilikuwa ni majaribio ya utawala bila Mwalimu!! Mimi nafikiri Rais afanya hatua moja zaidi. Kama kuna kiongozi yeyote aliyenunua nyumba za serikali zaidi ya moja, basi warudishe hizo nyingine serikalini!!! Wachague ni ipi wanataka kuendelea kuwa nayo, na hizo nyingine zirudishwe kwenye matumizi ya serikali au ziuzwe kwa wafanyakazi wa kati!! Halafu atuhakikishie kuwa hizo nyumba mpya walizopewa Mawaziri haziauzwa kwao baada ya uchaguzi ujao. Hizo zibakie kuwa ni nyumba za serikali. Elimu ni kwa watoto wenye uwezo wa kusoma kwani elimu sio kwa wote, kuna mtoto wa Mwalimu Magige peke yake ndiye aliyekuwa na uwezo wa kusoma kwani wengine wote sio siri huo uwezo hawakuwa nao, sasa hata kama Mwalimu angejitahidi kiasi gani haikusadida kitu, halafu kumbuka kuwa wao jina lilikuwa linatosha kuwapa shule yoyote ile ndani na nje ya bongo kwa hiyo labda Mwalimu hakuwa na mali lakini Elimu hapana ni makosa ya watoto wenyewe, Kwa mfano, Msekwa hakumsomesha mtoto wake huyu wa Foreign amejisomehsa mnwenyewe kwa ajili ya jina kapata shule Urusi na akaweza kupata kazi hapo protocl foreign, Mwinyi hakumsomesha Hussein, ni yeye mwenyewe aliyejisomesha Uturuki, sasa kwa sababu ya jina ni waziri, Vitalis hakusomeshwa na Kawawa, amejisomehsa yeye mwenyewe lakini baadaye jina limemsaidia kuwa mbunge, Swedi amejisomesha mwenyewe ila jina la baba lilimasaidia kuwa balozi UN, na sasa mbunge, William hakusomeshwa na JM amejisomesha mwenyewe kule NY sasa ndipo jina la baba linaingia kwani yuko njiani kurudi naye kupewa ubunge na baadaye atakuwa tu waziri no question about it, Januari amejisomesha mwenyewe kule US ndipo baadaye jina la baba Makamba ndio limemsogeza kuwa aide wa mzee JK, sasa hii ni mifano michache ambayo wale wote wanaomlaumu Mwalimu kuhusu watoto wake kutokuwa na maendeleo wanapaswa kuieelewa na the fact kuwa wangejisomesha au angalau wangekuwa na uwezo wa kusoma, jina la baba yao lingewasaidia kwenda kokote wanakotaka, lakini kama huna uwezo wa kuiweza elimu jina haliwezi kukusaidia kitu ndio maana kina BM wamejitahidi kila njia kuwapa nafasi watoto wa Mwalimu kama Rose na Makongoro, lakini wasingweza kuwapa uwaziri kwani sio siri kuwa huo uwezo hawana, kutokana na kutokuwa na Elimu, Karume watoto hawakusoma, isipokuwa wamebahatika kuwa katika mazingara yanayoruhusu kuwa viongozi bila ya kuwa na elimu ya kutosha, Ammani ndio kwanza anatafuta Degree pale Open University lakini ni rais wa ZNZB, kuhusu watoto wa viongozi na elimu mimi ninasema wapitie system yetu na watimize masharti yake kielimu ndipo majina ya baba zao yaingie kati sio kupata F kila siku halafu wanapewa nafasi nje za kusoma ndio maana USAID ilibidi waingile kati kwani walifahamishwa kuwa hawa watoto wa akina BM walikuwa ni mizigo kwa shule na kuziba nafasi wza wnegine tu, hakukuwa na kuonewa kwani kuna waliobaki wenye uwezo wa kusoma kama wa Mgaya, Chacha, JM, Ntagazwa, Mwambulukutu, ambao waliweza kujisomesha wenyewe mpaka mwisho, sasa hawa wengine waliorudishwa ni kwamba si kwamba walionewa hapana ni kwamba hawakuwa na uwezo wa kusoma hawa kina June, kina Magani hawakuwa na huo uwezo sio siri ukubwa wa wazazi wao usingeweza kusaidia kitu na unapaswa kutosaidia kitu, wasome kama sisi masikini au warudi nyumbani kama mtoto wa Rupia aliposhindwa kusoma tu akarudi nyumbani mapema na kuingia kwenye biashara za baba yake, na wengine wote warudi kwenye biashara za baba zao walizotuibia wananchi hela za kodi, Back to the issue, suala la nyumba JK alipaswa kulisimamisha pale tu alipoingia, kama vile Bush alivyosimamisha sheria iliyopitishwa na Clinton ya serikali ya US kulipia abortions kwenye nchi zingine, hakuhitaji bunge wala kamati ya tume, ndio maana tunasema kuwa kuna walakini na hii issue bongo na nyumba, kwani lengo lake la kuhakikisha kuwa vigogo wote wana nyumba, lilitokana na marehemu Mnauye kufariki akiwa hana nyumba ikabidi mzee Makamba amfadhili aibu, ndipo vigogo walipomjia juu BM kuwa lazima wajengewe au wauziwe na serikali, sasa ninasema lengo limetimia ndio maana limesimamishwa, sasa huo ni uhuni wa siasa sio siasa au ni siasa za umaarufu tu yaani za short term fame, hazina faida yoyoyte kwa wananchi au taifa, Mwanzoni nilikuwa na matumaini na mzee JK, lakini sasa nimeshanza kushituka kuwa ni yale yale tu, dalili nimeshaanza kuziona ila great ni kwamba Mtandao umeshaanza kuwa nyufa! Habari nilizonazo ni kwamba wanchama wengi wa mtandao wameanza kulalamika kuwa wametumia hela nyingi mno kumsaidia JK lakini uwezekano wa kurudisha hela zao unaonekana kutokuwepo na wengine wanadai Mzee JK amewatelekeza, ninajua kuwa kwenye kikao kimoja cha mtandao karibuni Mzee JK aliwatumia ujumbe kuwa ".........Mimi ni rais wa Tanzania nzima nimeupata kwa kuupigania kwa jasho langu, na sina ubia na mtu yoyote katika huu urais.............", sas politically what this means kwa bongo? Ni kwamba soon tutasikia mifarakano ambayo itawafanya watoe siri zao katika kulumbana na kupakana matope, katika kutoa siri zao watatusaidia kujua madhambi yao kwa nchi na hata jinsi walivyovunja sheria zetu katika kutafuta power ambayo wameipata lakini ni clear kuwa competence inagomba, guys hawana ubavu wa kupambana na matatizo ya nchi yetu, ninasema hawana! Sasa Watanzania tuendelee tu kupigana na maisha yetu kama siku zote individually serikali hamna kitu, wewe rais wetu anasafiri na watu 50 katika hali hii ambayo nchi yetu imesimama kabisaa kiuchumi! Rais wetu hataki maswali ya kweli kwenye mikutano na wabongo nje? Why? anajua kuwa wabongo wa nje wanajua kinachoendelea na hawana sababu ya kumuogopa kumuuliza. Haya another 10 years ya kurudi nyuma zaidi, ndio faida ya kuchagua serikali maarufu bila record, bila historia ya kuonyesha ila tu ushikaji tu hakuna kazi wala siasa ila ushikaji, sasa tutalipia for the next 10 years, Mungu aibariki hii bongo! Tausi 1 Kuna kipindi wakati wa kampeni za uchaguzi kama utakumbuka tukiwa BCS nilikuwa critical sana wa JK , Mimi nilishajua ya kuwa JK awezi kuwa kiongozi mzuri kwa sababu ameingia pale kiujanja ujanja , mambo wanamtandao waliyomfanyia salim yatawa haunt milele ! kitendo cha kutumia rangi ya mtu katika kampeni ni cha kinyama na wala hakina nafasi katika jamii yetu ya leo. Kuna tofauti kubwa sana kati ya kuongoza nchi na genge , unapoongoza genge unaweza kusema lolote lakini kwenye Nchi watu tutakupima kutokana na matokeo ! JK amekuwa kama kasuku anazungumza sana bila vitendo anasema taboresha hali ya wafanyakazi wakati huo huo pato la taifa linazidi kupungua , sasa swali langu ni atawezaje kufanya hivyo ? Mimi bado nimesikitishwa sana na kitendo alichokifanya pale DC , kwanza kukimbia maswali na kutudanganya kama watoto kuwa atarudi mwezi wa tisa na tutakuwa na nafasi ya kuuliza maswali kusema ukweli lazima viongozi wetu waache uswahili. MZEE ES , Mwisho nakuomba sana sana kama unamjua mtu yote anayefanya kazi kwenye magazeti ya IPP , waambie bwana mtandao wao unaboa !!! kwani imekuwa kama sehemu ambayo JK anatumia kurusha propaganda zake kila siku wanamsifia JK !!! Tausi, Yaani ninasikitika kusema kuwa you were right, Salim tulimkataa karibu Watanzania wote as far as I am concerned kwa sababu hata baada ya uchaguzi hatukupiga sana kelele kuhusu kuonewa kwake, politically wabongo wengi hatukupendelea kuwa rais mwarabu, na hiyo ilikuwa dhana kubwa among viongozi wa juu wa nchi na hasa wa CCM na upinzani pia, Ninajua watu kama Chief Fundikira, Ndesamburo, walishaanza kampeni za chini chini mapema sana kumpiga vita Salim kutokana na uarabu wake, the matter of fact watu kama Ndejembi aliyekuwa ndiye mkuu wa kampeni ya Salim, alishaitwa na mzee Ben mapema na kuambiwa "...acha kupoteza muda wako, nchi hii haitakuja kutawaliwa na mwarabu......", Ben alikuwa tu anamfikishia salamu za viongozi wengi wa nchi kuanzia upinzani mpaka CCm, I personally, had a problem na Salim kwamba ingawaje alisifika na dunia hakuwa na chochote cha kuonyesha, yaani sifa zake zilikuwa hewa, halafu the fact kwamba alikuwa ndiye mentor wa Bandora ambaye ni Mrundi, lakini akampromote mpaka kuwa balozi wetu Lagos hii ingekuwa nchi za West ingekuwa scandal kubwa sana kwa Salim na angeacha siasa kabisaa, halafu record yake kule Adis ndiyo iliyomshitaki zaidi kwa watu kama sisi ambao tunaelewa yote aliyoyafanya kule ambayo sytem ya bongo ilikuwa inamfuatilia kwa makini kila anachofanya, hatuwezi kuyasema yote kwani ni aibu na the fact kwamba baada ya kushindwa Dodoma aliamua kujitoa kabisaa na siasa za bongo, ila angeleta makelele then yangesemwa, halafu I do not care what, I was not ready kuongozwa na mwarabu mimi binafsi, sasa kama ni ujinga wangu ok I will take it yaani unaweza kusema lolote nitakubali tu lakini kuongozwa na mwarabu, HAPANA! Sasa kambi ya JK walifanya a great job kuwa-eliminate all the threats, kwa sababu Lowassa alipaswa kuwemo ili kupunguza nguvu za JK, JK alitishia CCM kuwa angetoka na kuingia upinzani, ni kweli angewasumbua CCm lakini asingeshinda, NO way! At one point alimu-offer adui wake mkubwa JM kumuachia nafasi ya kutawala kwa masharti kwamba yeye awe PM na iwe term moja, nilifikiri ilikuwa the best understanding kutoka kwa JK na kambi yake, lakini kambi ya Jm hapa ilikosea sana kukataa, at this point Bm alikuwa hajaamua kumsaidia nani, ni uchaguzi wa mwenyekiti wa vijana wa CCM ndio ulioanza kumsogeza Bm karibu na JK, pale kijana wa JM Nape alipopigwa mweleka, na from there on JK hakuangalia nyuma tena ukawa ni umafia tu na ukweli ni kwamba JK alikuwa na hela nyingi mno, kumbuka kuwa hata baada ya uchaguzi bado alibaki na shillingi billioni ishirini, Katika huu umafia akambadili hata BM mawazo na kumsadia, kilichomsaidia JK kushinda ni the fact kwamba kwanza toka tupate uhuru Tanzania hatukuwa na tabia ya kuwatayarisha viongozi warithi, halafu tulijijengea tabia ya kuamini kuwa kiongozi anatakiwa kuwa suprise sio yule anayetajwa kila wakati, kitendo cha Ben kuweza kuwa rais mbele ya majina mazito yaliyokuwa yakitajwa ilikuwa ndio hasa chanzo cha tulipo sasa, kwani katika hii vurugu ya uchaguzi Watanzania tulifikia mahali tukasema kuwa mtihani ni mgumu kwa hiyo lazima Ben aingilie kati kutuchagulia kiongozi anyefaa, na yeye unakumbuka kwa kiburi akatuambia nitawa-suprise! Tukafurahia kuwa rais wetu amesikia kilio chetu, na kweli akatupatia JK kama alivyoingizwa yeye na Mwalimu, sasa ni juzi tu kina Butiku wameshituka kuwa kama Ben angekuwa kiongozi mzuri toka then ilikuwaje hakuwahi kuwa PM? It is too late ndugu zangu, tumekwama na hatuna pa kwenda! Hatuwezi kwenda UN au the Hague, Mzee JK ninasema ni yala yale tu, rais wa kuikomboa nchi yetu anatakiwa aamue kuwakumbatia wananchi kabla ya viongozi wenziwe, lakini anytime tunapata rais ambaye tunajua mapema kuwa nani na nani watakuwa viongozi, tumeingiza wine mpya kwenye chupa ya zamani, Kuhusu IPP, huku nyumbani tunafahamu kuwa walishakuwa compromise siku nyingi yote hayo ni mbinu za Mengi kujihami asilipishwe madeni! Mimi Mugishawe nasema kwamba swala la Salim kuwa Rais wa Tanzania was out of question hakuwa na sifa hata moja ya kuwa Rais na hana cha kutueleza kama mfano wa kumfanye awe na heshima mbele ya Tanzania na Africa kama kiongozi shupavu.KUongozwa nw aMwarabu could have been a tragedy maana Watanzania tupo na uwezo wa kuongoza tunao . Kikwete Mimi sitasema sana nangoja miezi 6 hapo nitakuwa na la kusema ila mwelekeo wake bado una utata mkubwa . Kuhusu uongozi wa JK, sidhani kama kuna utata wowote. He is not for real PERIOD! Sikiliza hotuba zake, angalia conferences:domestic and foreign. Nothing genuine. Nahisi tatizo linalotukabili wengi ni kwamba tunashindwa kuamini kama kiongozi tuliyedhani anaweza kufanya makubwa kwa taifa, ndiyo anayofanya haya......NOTHING! Empty promises....... Mimi sio kwamba nilikuwa namtetea Salim , ninachopinga mimi na nitakachoendelea kupinga ni vigezo vilivyotumika kumnyima huyu bwana Urais ! Jamani kilichofanywa na wana mtandao ni discrimination mbaya kabisa inayogusa rangi ya mtu . Jamani lets put ourselves in salim position and tell me how would you have felt ? Watanzania wamepata kile walichostahili , JK sio kiongozi ambaye tulikuwa tunafikiria atatupeleka katika promised land . Kwanza anajaribu kufanya mambo mengi sana wakati mmoja . Pili bado huyu bwana ajatambua role yake kama rais , aingii akilini kwa rais kusikia jambo na kisha kulirukia , polisi kapigwa risasi kesho yuko muhimbili kumpa pole , simahanishi kwamba ni jambo baya lakini kuna watu wengi sana wanaweza kwenda hospitalini . Tatizo kubwa watanzania tunatumia mioyo yetu katika kufikiri , watu wengi wanampenda JK kwa sababu tuu anajichanganya ! Lakini ukiwauliza jee huyu mtu mnaijua track record yake tangu akiwa wizara ya fedha , wizara ya nje na hata wakati akiwa kule nachingwea kama katibu wa chama ? watu tisa kati kumi watakuambia wanaijua ila watasema wakati huo hakuwa rais ndio maana hakufanya mambo mengi ya maendeleo kitu ambacho ni cha uongo " Totally insane". Jamani mimi baada ya JK kutangaza baraza la mawaziri ambalo ni kubwa kuliko yote katika historia ya Tanzania na kutengeneza baadhi ya wizara simply kwa ajili ya kuwapa wanamtandao ajira nikajua IT'S OVER. MZEE ES Nimesoma magazeti mengi naona siku hizi Emmanuel Nchimbi hawamuiti Dr tena, vipi imekuwaje ? hau ameona ishu inaenda pabaya kwa hiyo kawaomba waandishi ? Nilifurahi sana na nikaona madongo ya bcs yalimfikia. samahani mkuu bado nitatofautiana na wewe ktk issue hii. Watoto wa wakubwa wote nchini wamesomeshwa na baba zao.. Naposema wamesomeshwa na baba zao nina maana kwamba kutokana na majina ya baba zao vijana hawa wamepewa nafsi za masomo nje kwa kutumia mfuko wa serikali hali vijana hawa hawakufaulu vizuri kuliko wengi Watanzania ambao hawakupata nafasi hizo. Na msisitizo wa baba zao kuhakikisha wanasoma nje ndio kilichokamilisha masomo yao nje. hakuna hata baba mmoja aliyetoa fedha zake mfukoni na wala hii haikuwa maana yangu. Nyerere alikataa kabisa kufanya hivyo (kutumia jina lake), Pili urithi sio lazima elimu kama ulivyosema. Ila mzazi kutambua kipaji cha mwanane na kumsaidia aweze kufikia malengo yake. Nyerere na wazazi wetu wengi hapa TZ hawana tamaduni hii ila wachache sana wanaojitokeza na kutamba leo hii. Wao madai yao ni kwamba waliweza kupata utajiri ama elimu zao bila msaada wa baba zao kwa hiyo na sisi tujifunze kutafuta wenyewe... Udhaifu huu upo tu kwa mwafrika... kwa sababu wenzetu utakuta kampuni imeanzishwa toka 1740, leo bado inaendeshwa na wajukuu na kwa ubora zaidi. Sisi waafrika baba akisha kufa na biashara imekufa. hakuna mzazi anayeuandaa mwanae kurithi isipokuwa naweza kusema wachagga.Wachagga kama sikosei mtoto wa mwisho wa kiume ndiye mrithi na wazazi hujitahidi mtoto huyo kuwa na elimu ya biashara ama mradi wa mzazi...Nadhani mfano mdogo ni Free. Kuhusu swala la nyumba JK amekomesha zoezi la kuuzwa nyumba toka hapo alipoweka mkataba kutengua maamuzi ya Mkapa sawa na Bush kwa ile issue ya Clinton. Hata Bush hakuweza kurudi nyuma na kuwahukumu wale wote waliojihusisha ama kufanikiwa na sheria ile ikiwa chini ya Clinton. Hii ndio maana yangu. Je, JK anafanya kazi nzuri?Kusema kweli hadi sasa bado nashindwa kumhukumu kwa sababu sijaona mapungufu zaidi ya hiyo baraza la mawaziri. Mikataba na ahadi zake anazifanyia kazi. hakuna kati yetu anayefahamu nini atarudi nacho toka huo msafara wake, na kama tutamhukumu kwa sababu hiyo basi hapo sina la kuongezea. Ila tukumbuke akifanya yote kwa ahadi zake tusirudi nyuma na kusahai haya madongo yetu. Subira nadhani nmdio muhimu hapoa. Tuzichambue ahadi zake na hasa zilizompa kura kisha tupime mafanikio. hayo ya Uchaguzi CCM nadhani hatuna haja ya kuyazungumzia kwani hatuwezi kubadilisha kitu na wala sioni kati yetu anayependa kuona mabadiliko. JM kuna wengi hawampendi wal kudhani anaweza kuwa kiongozi mzuri sawa na Salim ama Sumaye. nafuu yetu kusema kweli ni huyu JK hadi hapo miaka mitano ijayo. Mzee Nchimbi sasa hivi anatafuta ukatibu wa CCM baada ya Mangula mwakani, sasa anajua kuwa kuna watu kama Ditopile ambao nao wanatafuta huo ukatibu, na anjua kuwa it will get very ugly! Kule ndani ya bunge sasa hivi kila siku habanduki karibu na JM, lakini tayari kampeni zimeshaanza na neno kubwa against yake ni kuhusu Elimu yake, kwa hiyo ni kwa kujitayarisha ndio maana akawaomba media walitoe hilo la Dr......, sio kwamba hana udoctor!, no anao lakini anajua kuwa una utata ndani yake, kuhusu bongo ndio hivyo tunavuna matunda tuliyopanda, mzee JK amenishangaza sana kukwepa maswali ya kweli huko nje ya nchi ambako mko nyinyi mnaoona kuliko sisi wa ndani, na nyinyi you have nothing to lose kama sisi huku, sasa ni clear kuwa maswali yenu ndio anayoyahitaji sio yetu huku ya compromise, lakini tutaendelea tu kuwapigia kelele hatuwezi kukata tamaa kwa sababu bongo ni yetu wenyewe, kwenye baraza la mawaziri ni aibu hata kulizungumzia, ndio maana ninashauri kuwa wabadilishane na makatibu wakuu wa wizara ambao wengi wao ni wataalamu wa kweli, watu kama kina Mwakapugi, Mapunjo, Mama Nyoni, Mkama, Mutalemwa, na wengineo hawa ni wataalamu wa kweli, sasa ninashindwa kuelewa kwamba ilikuwaje akaweza kuchagua makatibu bomba akshindwa mawaziri? Tausi 1 said: Mimi sio kwamba nilikuwa namtetea Salim , ninachopinga mimi na nitakachoendelea kupinga ni vigezo vilivyotumika kumnyima huyu bwana Urais ! Jamani kilichofanywa na wana mtandao ni discrimination mbaya kabisa inayogusa rangi ya mtu.......? ........ JK sio kiongozi ambaye tulikuwa tunafikiria atatupeleka katika promised landClick to expand... Swala la Ndugu Salim na ati huo uarabu wake nami nakubaliana nawe, kwani huo ni ubaguzi wa ajabu na wa aina yake...Si kitu kizuri hata kidogo kwani ina maanisha kuwa kesho na keshokutwa tunaweza kumkataa kiongozi anayefaa kisa tu ati babu au bibi yake alikuwa na kijidamu cha Uarabuni, Uzungu, uhindi au hata Uchina, je nchi itaendelea kweli kama tutaendela na vigezo dhaifu hivyo?? Nimeanglia kwa kina post za badhi ya wachangiaji zikisema aah. huyo mwarabu no way!!, Pia ikaulizwa je amefanya nini nchini? Swali langu je hawa viongozi wengine mabomu wa kutupwa wemefanya nini nchini?? kama si kuingamiza zaidi nchi yetu mbayo ipo hoi bin taabani tayari?? Baadhi ya viongozi wanajulikana wazi kuwa walinadi au wananadi kila kitu kilichopo usawa wao, iwe ni benki, Tanesco, Maji nk kwa wageni wanaokuja kunyonya tu, na wanaviuza kwa bei karibu na bure je, uzalendo wa viongozi hao uko wapi?? upo kwenye rangi au matumbo yao?? Kesi ya Huyu Salim tena inanisikitisha kwaniMiaka ya 80 alikosa ukuu wa UN kisa ni mwafrica kutoka "Black Africa" yaani kusini mwa sahara...cha ajabu ni kuwa uraisi wa hiyo nchi iliyosababisha akakosa huo ukuu wa UN wanamtema tena kisa si mbongo je yeye aende wapi?? Jengine ni kuwa Nadhani tetesi zinasema baadhi ya maraisi wetu nao hawakuwa wabongo, bali walivuka mpaka na wazazi wao na kuingia nchini je uraia wao mbona haukuhojiwa? Swala la JK kuwa ati hafai au ni bomu, nadhani hilo itabidi tusubiri baada ya miaka kumi ndo tutajua. Kwa sasa naona kaanza kwa kasi ya kuridhisha sijui hapo baadaye. kwani hata wa awamu ya tatu alipoingia nakumbuka tulimwita "Mr Clean" hakuwa na doa au dosari, sijui alianza kuharibu vipi au wapi...Bali nionavyo ni kuwa karibu kila kitu kikawa kishapigwa mnada kwa bei ya kuokota. Pia baada ya miaka kumi naona karibu vigogo wote ni mabilionea (waliokuwa kwenye timu yake nk)!! Ikitokea kuwa kwa bahati mbaya JK akatupeleka pabaya zaidi nadhani hatakuwa wa kwanza au wa mwisho labda tu tuwe tushaingiwa na akili kuwa rangi ya mtu si tatizo bali tatizo ni uzalendao wa huyo mtu na utendaji wake wa kazi. Si mnaona JJ Rawlings aliyekuwa Rais wa Ghana alivyoisaidia?Rangi yake haikuwa sababu ya yeye kutoindeleza nchi yake anayoipenda kama raia mwingine yeyote. Wako Watanzania kibao wanaoweza kuwa marais wa bongo na wana uwezo na vitu vyao vimeonekana, watu kama Kaduma, Mramba, Asha Rose ni viongozi ambao wanaweza kuiongoza hii nchi na ikaelekea inakotakiwa na wakatuwakilisha mahali popote kama Watanzania, hatuhitaji waarabu, aliyesema "Mwarabu No way!" ni mimi Mzee Es na ninarudia kuwa bongo hatuwezi kutawaliwa na waarabu, UN alikataliwa na Reagan kwa sababu nyingi mojawapo ikiwa ni pamoja na uarabu wake, Let me get this straight, waliompiga vita huko yaani Mtandao walikosea kitu kimoja tu, nacho kumtumia rais anayetoka kumpiga vita they did not have to that, kwa sababu record ya Salim ni clear kutoka CIA kuwa alihusika na kifo cha Karume, na kwamba alipelekwa na Babu Cuba na wenziwe kina Mahfudhi kufundishwa ukomaandoo kwa ajili moja tu nayo ni kuja baadaye kuipindia serikali ya ZNZB. Alipogombea UN, Reagan alipewa faili la Salim na akamuita ili akanushe yale yaliyokuwemo kwenye faili akashindwa, serikali yetu chini ya Mwalimu akjaribu kufuatilia wakaishia kupewa copy ya hilo faili, ambalo baadaye kuna mtu alili-leak kwa baadhi ya viongozi wa ZNZB, ndio maana kwenye uchaguzi wa mwaka 1985 juhudi zote za Mwalimu kumpitisha Salim ziligonga mwamba kwani ni wazanzibari wenziwe walioweka mguu chini na kumuonyesha Mwalimu lile faili ambalo lina mambo mengi ambayo mengine hatuwezi kusema ni aibu juu ya Salim, sasa kisiasa Salim alitakiwa kuanza na Zanzibar si ndiko anakotokea kwa nini asigombee urais wa huko kwanza alikotokea na baadaye agombee bara? Watanzania sio wajinga mzee, ndio maana safari hii yale mambo ya kusema zamu ya rais wa ZNZB tumekataa na hayatarudiwa tena, kwani hayamo kwenye katiba ya nchi rais atatoka bara tu bro! Rawlings hakuwasaidia kitu wa-Ghana, ambao mpaka leo wanaenda kulia kwenye kaburi la Nkurumah kila siku, halafu nashangaa jinsi unavyoweza kumsifia kiongozi aliyepindua nchi, kama angekuwa kama unavyosema basi angegombea kura kwani kama ni kupindua hata Salima akipindua hakuna atakaye mkataa, lakini kwa njia ya kura alikataliwa kule Dodoma, Rawlings hakugombea kura bro! na halafu hajawasaidia kitu huko Ghana, njaa ni ile ile tu kama ya bongo! Kuhusu Mzee JK sio lazima wote tusubiri miaka kumi, NO! dalili zimeshaanza kuonekana, rais wako anapowakimbia wananchi huko NY, halafu huko DC wakapandikizwa wazee wawili kuuliza maswali ya compromise, halafu yakaruhusiwa maswali mawili tu! Something is wrong na hiyo serikali sasa hatuwezi kuachia midomo wazi hadi baada ya miaka kumi ndio maana tunaanza sasa kusema kuwa serikali mpya ina matatizo, serikali amabayo tayari imeshaanza kujigamba kwamba imeomba na kupewa hela nyingi itatufikisha wapi? Rais wa bongo anaposafiri na watu 50, mpaka nchi nyingine zinashituka sisi watanzania tukae tuuu kimya eti tunasubiri miaka kumi! Salim ni mwarabu aliyetokea Zanzibar, basi akaanzie huko kwanza tuone lakini bara hatuwezi kuongozwa na mwarabu wakati wabongo kibao wapo wenye uwezo, hakuna ubaguzi hapa ni ukweli bongo ni ya wabongo na tupo ni sisi, wenye uwezo wapo lakini system imewanyima nafasi lakini pole pole ipo siku watanzania watadai kiongozi mwenye uwezo kwani hii tabia ya kuchaguana kwa ujanja haitadumu daima kwani kadri wanavyoshindwa kuongoza ndivyo wananchi wanajifunza, ndio maana safari hii suala la rais atoke Zanzibar lilizimwa mapema maana wanachi hawajasahu mambo ya Mwinyi, na take it from me baada ya huyu rais wa sasa wananchi hawatarudia tena kuchagua rais maarufu asiyekuwa na record! Weweeeeeeeeeeeeee Choveki tulia kwanza na hadithi zako .Ama wewe ni mwana mtandao ama unajifunza mambo hapa Duniani.Mzee Es nakubaliana nawe kwa point ya Salim .Salim ni kitu gani bwana klwa Tanzania ? Salim amlaumu BWM aliyemwengua kwa kashfa za wazi huko Dodoma lakini kwangu mimi Salimu alikuwa ni Kibaraka wa Waarabu akiwemo Ghaddafi.Leo mtasema Ghaddaf ni mwana mapinduzi Hell no siyo kabisa ana malengo yake . Salimu amekaa OAU kaondoka kwa aibu kisa anamsikiliza mwenye pesa wa Libya .Salimu alikuwa kiongozi wapi akafanikiwa jamani ? Pamoja na mengine mengi aliombwa aondoe jina lake AU na Ghaddaf alkipinga na akataka kukataa ku sponsor transformation ya AU ndipo Waafrika wa West Africa wakamwambia hawaondoi majina yao na Salimu ataumbuka akasoma alama za nyakati akaachia leo unasema Salimu wa wapi huyu ??? Es nakupinga kwa kasi kwamba Migiro na Mramba wanaweza kuongoza Tanzania usawa hapana.Migiro namwacha kwanza namchukua Mramba ambaye amejenga ubaguzi wa hali ya juu Hazina .Nenda TRA na Hazina uone alivyo wamwaga Wachaga hadi huwezi kuamini kunani huko .Mramba hafai na labda wewe useme ni mwana mtandao wa kinamna maana akina Migiro ni wana Mtandao ambao wako na Rais wa Ziara na si Rais wa Watanzania . Nasema yes kuna watu zaidi ya Mramba na Salimu wanaweza kuongoza Tanzania nikiwemo mimi mwenyewe bwana . b. Je mwarabu anaweza kuwa Mtanzania kwa kuzaliwa na kwa kuchagua? Bila ya shaka! Je Mhindi anaweza kuwa mtanzania? Bila ya shaka! Tanzania na CCM wenyewe wameshakubali kuwa rangi si kitu tunao wahindi wengi na waarabu ambao leo hii wanawakilisha watu weusi kwenye Bunge!! Wamechaguliwa na watu kwa sababu ni Watanzania na wametumia haki yao hiyo. Tatizo la kukataa "kutaliwa na mwarabu" ni tatizo baya sana kwani linatokana na ubaguzi mtupu! Je Tanzania iko tayari kutawaliwa na Mchagga, Mnyakyusa, au Mhaya? Kuna watu watasema "Hapana! Hatuko tayari kutawaliwa na watu hao" Kisa na mkasa... ? ni makabila yao!! c. Nakubaliana na wewe kwenye hoja ya SAS kwamba asitawale Tanzania kwa sababu moja tu nayo ni rekodi yake na sifa zake kama kiongozi!! Itakuwa ni kujidanganya kuwa mtu mweusi wa Tanzania basi ana uchungu zaidi na ana uwezo zaidi wa kuitawala nchi yetu! (Ushahidi unaonyesha vingenevyo). Kama SAS alikataliwa kwa sababu ya rekodi yake ya uongozi na historia yake kama kiongozi hiyo ni sawa, lakini kumkataa mtu kwa sababu ya rangi yake, ni uonevu mkubwa, kinyume na utanzania wetu, na zaidi ya yote ni kitendo cha kibaguzi ambacho watanzania tumeupinga tangu tuwe Taifa!! Ninawasihii wazee wenzangu tusianze leo ubaguzi huu... Kwa sababu mwisho itakuwa "Wahutu hawawezi kutawala nchi...let's kill em!" d. SAS kukataliwa na Reagan, haituhusu, Reagan hakuwa Mpaka Mafuta wa Wafalme kama Nabii Samuel!! Hivi tukichagua viongozi wetu kwa kufuata baraka za wakubwa tutafika kweli? Miye binafsi sijali Reagan alionyeshwa nini kwenye faili la SAS ambaye aliwahi kuwa Rais wa Baraza la Umoja wa Mataifa. SAS alikataliwa na wakubwa sababu ya Uislamu wake na siyo Uarabu wake. Ndo maana hata wakati ulipofika kwa nchi za kiarabu kutoa Katibu Mkuu Mpya, hawakumtoa Muislamu bali Mwarabu Mkristu (Boutros Boutros Ghali)!
2016-10-24T10:46:20
http://www.jamiiforums.com/threads/hatimaye-kikwete-afanya-kweli.65/
[ -1 ]
DELLA MEDIA PRODUCTION: KOSA LANGU NI LIPI....? SEHEMU YA ...12.... KOSA LANGU NI LIPI....? SEHEMU YA ...12.... “Hee leo umepotea njia” Joyce alicheka kidogo na kusema “Lina na wewe hata salamu” Lina akamjibu “Mwenzangu nimeshangaa kukuona. hatujaonana siku nyingi au ndiyo shemeji anakuficha” Baadaye alimkaribisha ndani na kumpatia kinywaji, na waliendelea kuzungumza “Eeh rafiki yangu, niambie za huko kwako vipi shemeji mzima” Alisema Lina.Joyce alinyamaza kimya kidogo na kujibu “Mzima lakini huko si kwema sana, nina tatizo kidogo”. JE NINI KITAENDELEA USIKOSE ....SURA YA.....12....... “Tatizo gani tena wewe mwanamke una mume anakupenda. kila kitu unapata sasa una matatizo gani” Alisema Lina huku akiguna kidogo. Joyce alimjibu “Tatizo ni kupata ujauzito,hapa nilipo sijui nifanyeje natamani kweli kupata mtoto na Fredy jana alipofika tu baada ya kutoka kazini amelizungumzia hilo na kusema anataka mtoto” Lina alimsikiliza kwa umakini na kusema “Sasa hapo kuna tatizo gani, ni kwenda tu Hospitali. mkaangalie kama kuna tatizo. Mshauri mume wako ili muende kwa wataalamu watawasaidia, mbona kuna watu wanakaa hata miaka kumi ndiyo wanakuja kupata mtoto” Joyce akamjibu “lakini kweli rafiki nitafanya hivyo”. Waliendelea kuzungumza baadaye Joyce aliondoka na kurudi nyumbani. Huko nyumbani siku zilivyozidi kwenda Fredy aliendelea na nia ya kutaka kupata mtoto. Ndipo Joyce alipoamua kumuambia kuhusu kwenda Hospitalini. Siku hiyo Joyce alifika nyumbani na kufanya kazi zake za nyumbani kama kawaida kisha aliketi sebuleni akimsubiri Fredy ili amshauri kuhusu kwenda hospitalini. Akiwa pale sebuleni moyoni mwake aliwaza akisema “Eeeh Mungu naomba unisaidie nipate mtoto, hivi inawezekana labda kizazi changu kiliharibika nilipokuwa natoa mimba, kipindi nipo kwa Maliki sijui nitafanyaje kama mimi ndiye mwenye tatizo na Fredy hafahamu kama mimi nilishawahi kutoa mimba naogopa sana kumpoteza Fredy”. Akiwa anaendela kuwaza alishtuka Fredy yupo karibu yake. Fredy alimshangaa na kusema “Vipi mke wangu mbona una mawazo sana yaani mimi hadi naingia ndani hunioni unawaza nini?” Joyce aliamua kutabasamu kisha kusema “Samahani mume wangu nilikuwa nimepitiwa kidogo ila pia nilikuwa nawaza kuhusu wazo la kupata mtoto” Kabla hajamaliza kuzungumza Fredy akasema “ Vipi kuna dalili ya ujauzito mke wangu” Joyce akasema “Hapana nilikuwa napendekeza tuende Hospitalini kuangalia kama kuna tatizo naamini watatusaidia” Fredy alicheka kidogo na kusema “Unajua mke wangu nilijua ipo siku utaniambia hivyo, mimi sina tatizo na kwanza nilipoona tumekaa muda mrefu bila ya kupata mtoto. Niliwahi kumuomba Daktari aniangalie kama nina uwezo wa kumpa mimba mwanamke. Na majibu ninayo kwamba sina tatizo. Kwahiyo wa kwenda Hospitali ni wewe na si mimi” Joyce alishangaa na kusema “Lakini Fredy, haujanitendea haki mume wangu. Kwanini hukunishirikisha” Fredy alinyamaza kimya kidogo na kusema “Naomba unisamehe mke wangu, kwani niliogopa nikahisi isije ikawa mimi ni tatizo. nilitamani kujua mapema samahani kwa hilo” Joyce aliinama chini kidogo kisha akamwangalia mume wake na kumuahidi ataenda kuangalia nini tatizo. Ilipita kama wiki moja tokea Joyce na Fredy wazungumze juu ya kupata mtoto mambo yalizidi kuwa mabaya kwa upande wa Joyce kwani hata ndugu wa Fredy walianza kuhoji kuhusu mtoto. Siku moja Mama yake mzazi na Fredy alienda kuwajulia hali Joyce na Fredy. Siku hiyo alimkuta Joyce kwani Fredy alikuwa hayupo kwa wakati huo."Habari za hapa Joyce, binti yangu naona unazidi kupendeza" Alisema Mama Fredy. Joyce alijibu huku akionyenya tabasamu pana "Asante mama jamani nimefurahi umekuja kutusabahi, nikuletee kinywaji gani Mama yangu" Mama Fredy akamjibu "Hapana Joyce usiniletee chochote embu keti kwenye sofa kwanza tuzungumze". Joyce alijisogeza huku akisema "Lakini mama si ningekuletea angalau hata soda" Mama Fredy akasema "Hapana Joyce hizo soda nakunywa kila siku, mimi kilichonileta hapa nataka kujua hivi unawaza nini kuhusu kupata mtoto jamani" Joyce alinyamaza kimya kidogo bila kujibu chochote kana kwamba kuna kitu anatafakari "Hivi si nazungumza na wewe Joyce inamaana hunisikii" Alihoji Mama Fredy "Hapana Mama, Mimi na mume wangu tumeshalizungumzia suala hilo la kupata mtoto.Kwani muda bado upo Mama mtoto atakuja tu" Alisema Joyce huku akimtizama mkwe wake, ambaye hakuridhika na majibu ya Joyce "Muda upo! muda gani huo? Wakati ndiyo huu, natamani sana kumuona mjukuu wangu, au wewe binti ni mgumba?" Aliuliza mama Fredy. Joyce alionekana kukosa amani na kusema "Jamani Mama kupata mtoto ni mipango ya Mungu. Naamini Mungu atatusaidia tu...."Kabla hajamalizia kuzungumza Mama Fredy alimkatisha na kusema "Sikiliza nikuambie binti mimi naona hapa kuna tatizo. Sasa kama mwanangu ameoa mwanamke mgumba, itabidi atafute mwanamke mwingine ili azae naye. siwezi kukubali mwanangu asiwe na mtoto wakati wanawake wapo wengi" Joyce alimsikiliza Mama Fredy kwa umakini na kusema "Lakini mama mbona unafika huko" Alilalama Joyce Mama Fredy akamjibu kwa sauti iliyojaa jazba "Huko wapi?Ahera au, tena sikiliza nikuambie fanya ufanyalo mimi nahitaji mjukuu. alaah! Hivi unafikiri hili jambo ni dogo eeh, mimi naondoka lakini tuliyoyazungumza hapa ukae nayo kichwani na uyafanyie kazi" Aliongea huku akiondoka na kumuacha Joyce akiwa ameketi pale sebuleni. JE NINI KITAENDELEA USIKOSE SEHEMU YA ......13..... NA KESHO USIKOSE SIMULIZI YA ,,,,,,,BADO MIMI..... Imechapishwa na Adela Kavishe kwa 6:15 Mchana mhhhhhhhhhh majanga yameanza,mungu msaidie joyce jmn awe mzma. 3 Julai 2013 19:43 Heeeeeey! ndo yamekuwa hayo tena,! hilo ndio tatizo la kuoa na kukaa karibu na wazazi, ni vurugu 2pu, lkn jaman hayo yote matatizo kwa joyce ni kwa 7bu ya maliki. cha msingi joyce awe mvumilivu mola atakuwa naye na atapata mtoto 2 3 Julai 2013 20:43 “Tatizo gani tena wewe mwanamke una mume anakupenda. kila kitu unapata sasa una matatizo gani” 4 Julai 2013 12:24
2017-10-22T02:59:13
http://adeladallykavishe.blogspot.com/2013/07/kosa-langu-ni-lipi-sehemu-ya-12.html
[ -1 ]
Amateka ya Étienne Tshisekedi wahatanye na bose bayoboye RDC kugeza apfuye – Izuba Rirashe Étienne Tshisekedi wa Mulumba ni umunyapolitiki wo muri Repubulika Iharanira Demukarasi ya Kongo ufite amateka akomeye kuko atigeze avuga rumwe na ba Perezida bose bayoboye iki gihugu kugeza ubwo ashizemo umwuka tariki 1 Gashyantare 2017. Uyu musaza wavutse tariki 14 Ukuboza 1932 ahitwa i Kananga mu ntara ya Kasai-Occidental, apfuye afite imyaka 84 akaba yayoboraga ishyaka UDPS (Union pour la démocratie et le progrès social ). Yaguye mu bitaro bya Europe-Sainte Élisabeth mu mujyi wa Buruseli mu Bubiligi aho yari yajyanwe igitaraganya mu ndege ye bwite tariki 24 Mutarama agiye kwisuzumisha. Yabaye Ministiri w’Intebe w’iki gihugu inshuro eshatu ubwo cyitwaga Zaire, mu 1991, yongera mu 1992 kugeza mu 1993, na none yongera mu 1997. Ni we mugabo uzwi kuba yarahanganye n’abayobozi bose bayoboye iki gihugu nubwo yabaye muri guverinoma ya Mobutu Sese Seko mu mirimo itandukanye, yahanganye na we mu matora kandi ni we wenyine uzwiho kuba yaramuhangaraga. Mu matora yo mu 2006 ishyaka rye rya UDPS ryanze kwitabira amatora rivuga ko yateguranwe uburiganya mbere y’uko aba. Mu 2011 yari umukandida ku mwanya wa Perezida wa Repubulika aho imiryango mpuzamahanga n’indorerezi zavuze ko atabaye mu mucyo. Muri aya matora umusaza Tshisekedi yatsinzwe na Joseph Kabila ubu uyobora Kongo, nyuma abapolisi n’abasirikari barinda Kabila bakunze kugota inzira igana ku rugo rwa Tshisekedi aho yahise afungirwa iwe mu rugo.] Nk’umujyanama wa Patrice Lumumba mu ishyaka MNC (Mouvement National Congolais), Tshisekedi yarivuyemo akurikira Albert Kalonji wari ufite gahunda y’impinduramatwara mu ntara ya Kasai aho yari yaremerewe kuba Minisitiri w’Ubutabera muri iyo leta yigenga ya Kasai y’Epfo. Mu kwezi k’Ugushyingo 1965, Tshisekedi yagize uruhare mu gufasha Mobutu guhirika bwa kabiri ku butugetsi Perezida Kasavubu hamwe na Minisitiri w’Intebe Kimba aho binavugwa ko Tshisekedi ari we watanze itegeko ryo kwica Kimba hamwe na bagenzi kuwa 2 Kamena 1966 ku munsi wa Penekositi. Ku butegetsi bwa Laurent-Désiré Kabila, hasohotse ilisiti y’abantu 250 batemerewe kwiyamamariza umwanya w’Umukuru w’Igihugu aho urwo rutonde rwagaragayeho na Tshisekedi bityo bituma muri Gashyantare 1998 ubwo yashinjwaga kwica amategeko agenga imitwe ya politiki; ahita abaho nk’impunzi mu gihugu cye. Laurent Kabila amaze kwicwa Tshisekedi yanze kwinjira muri guverinoma ya Joseph Kabila aho arenze apfa agihanganye na we nubwo yahoraga amutsinda mu matora uyu musaza ntabyemere.
2017-11-19T18:04:55
http://izubarirashe.rw/2017/02/amateka-ya-etienne-tshisekedi-wahatanye-na-bose-bayoboye-rdc-kugeza-apfuye/
[ -1 ]
Imechapishwa: Wed, Nov 9th, 2016 Kitaifa / Mbeya / Slideshow | Na Mtanzania Digital Polisi waliowacharaza wanafunzi wafukuzwa kazi Tags Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Dhahiri Kidavashari JESHI la polisi mkoani Mbeya limewafukuza kazi polisi wawili kwa kukiuka maadili ya kazi baada ya kuwafanyia vitendo vibaya wanafunzi wa kike wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari ya Isuto iliyopo Mbeya vijijini. Askari hao ni PC Petro Mgana mwenye namba H 4925 wa kikosi cha kutuliza ghasia mkoani Mbeya (FFU) na PC Lukas Ng’weina wa Wilaya ya Polisi Mbalizi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Dhahiri Kidavashari, alisema jana kuwa tukio hilo lilitokea November 15 usiku, katika Shule ya Sekondari ya Isuto iliyopo Kijiji na Kata ya Isuto Tarafa ya Isangati, Wilaya ya Polisi Mbalizi. Alisema inadaiwa askari hao kwa pamoja wakiwa kwenye ulinzi wa mitihani ya taifa ya kidato cha nne ya mwaka huu, waliwatoa kwenye hosteli wanafunzi wa kike kwa kile walichodai kuwa walikuwa wanapiga kelele. “Baada ya kuwatoa wanafunzi hao nje, waliwapeleka eneo la foleni na kuwapa adhabu zikiwamo kupiga push up, kuruka kichura, kushika masikio na kuwachapa viboko,”alisema. Alisema adhabu hizo ziliwasababishia maumivu makali na baadhi yao kuondoka shuleni kurudi nyumbani kwao. “Baada ya vitendo hivyo, jeshi la polisi limewachukulia hatua za nidhamu askari hao kwa kuwafukuza kazi kuanzia tarehe 08.11.2016 na baadaye watafikishwa mahakamani baada ya uchunguzi kukamilika,”alisema. Hata hivyo, habari zilizolifikia gazeti hili zinaeleza kwamba Magana amelitumikia jeshi hilo kwa miezi minne tu tangu afuzu mafunzo yake katika Chuo Cha polisi Moshi (CCP) huku Lukas akiwa amekwisha kuilitumikia kwa miaka miwili. © New Habari (2006) Ltd. Haki zote zimahifadhiwa Polisi waliowacharaza wanafunzi wafukuzwa kazi
2017-01-21T00:09:21
http://mtanzania.co.tz/?p=23809
[ -1 ]
BARCELONA WAINUA NDOO YA MFALME HISPANIA, WAICHAPA SEVILLA 2-0 MADRID - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BARCELONA WAINUA NDOO YA MFALME HISPANIA, WAICHAPA SEVILLA 2-0 MADRID - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE Mwanzo > HABARI ZA ULAYA > BARCELONA WAINUA NDOO YA MFALME HISPANIA, WAICHAPA SEVILLA 2-0 MADRID BARCELONA WAINUA NDOO YA MFALME HISPANIA, WAICHAPA SEVILLA 2-0 MADRID Wachezaji wa Barcelona na familia zao wakifurahia na faimlia zao taji la Kombe la Mfalme, maarufu kama Copa del Rey baada ya kuifunga Sevilla 2-0 katika mhezo wa fainali uliodumu kwa dakika 120 kufuatia dakika 90 kumalizika timu hizo zikiwa hazijafungana usiku wa kuamkia leo kwenye Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid, Hispania. Mabao ya Barca Jordi Alba dakika ya 97 na Neymar dakika ya 120 na ushei. Katika mchezo uliokuwa mkali na wa kusisimua, Javier Mascherano wa Barcelona alitolewa kadi nyekundu dakika ya 36 kwa kumchezea rafu Kevin Gameiro akiwa anakwenda kufunga na Ever Banega wa Sevilla pia alitolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 90 na ushei kwa kumchezea rafu Neymar PICHA ZAIDI GONGA HAPA [email protected] Mahmoud Bin Zubeiry at 07:14 Monday, May 23, 2016 Item Reviewed: BARCELONA WAINUA NDOO YA MFALME HISPANIA, WAICHAPA SEVILLA 2-0 MADRID Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
2020-04-10T03:59:42
http://www.binzubeiry.co.tz/2016/05/barcelona-wainua-ndoo-ya-mfalme.html
[ -1 ]
This Day Magazine: KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2014: Zaidi ya wanajeshi na polisi 150,000 kuweka ulinzi KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2014: Zaidi ya wanajeshi na polisi 150,000 kuweka ulinzi Brazil itawatumia zaidi ya wanajeshi na polisi 150,000 ili kuimarisha ulinzi wakati wa dimba la Kombe la Dunia. Watapambana na maandamano ya kuipinga serikali yanayotarajiwa kufanyika wakati huo Maafisa wa Brazil wamesema kuwa kuwa wanajeshi 57,000 wataungana na polisi 100,000 na maafisa wengine wa usalama kuvilinda viwanja 12 vitakavyoandaa mechi za dimba la Kombe la Dunia, pamoja na mahoteli na viwanja vya ndege. Waziri wa ulinzi Celso Amorim anasema Brazil “imejiandaa vilivyo” kuhakikisha usalama wa wakaazi na mamia kwa maelfu ya wageni wanataotarajiwa kusafiri nchini humo wakati wa tamasha hilo maarufu. Maduka yaliporwa wakati wa mgomo wa polisi kudai nyongeza ya mishahara na mazingira bora ya kazi Maafisa wamesema gharama ya hatua za ziada za usalama ni euro milioni 628, kitu ambacho hakitawafurahisha Wabrazil wengi, ambao wanahoji kuwa badala ya kutumia mamilioni katika kuandaa Kombe la Dunia, serikali inastahili kuwekeza fedha hizo katika mambo kama vile huduma za afya, elimu na usafiri. Takribani watu milioni moja waliingia barabarani wakati wa kinyang'anyiro cha Kombe la Mabara mwaka jana, katika maandamano ambayo wakati mwingine yaligeuka kuwa ghasia. Rais Dilma Rousseff kisha akatoa hotuba kwenye televisheni na kuahidi kuyashughulikia matakwa ya waandamanaji. Hata hivyo Waziri wa Sheria Jose Eduardo Cardozo anasema hatarajii maandamano ya Kombe la Dunia kuwa makubwa kama yale ya mwaka jana. Hata hivyo maandamano yameendelea kushuhudiwa nchini humo huku kukiwa na migomo kadhaa, ambapo polisi, walimu, na madereva wa mabasi wakishiriki migomo kabla ya kuanza Kombe la Dunia. Cardozo amesema maandamano ya amani yataruhusiwa wakati wa kinyang'anyiro hicho, lakini maafisa wa usalama watajiandaa kupambana na matatizo yoyote, hasa kama maandamano hayo yatatishia kuvuruga michezo itakayokuwa ikiendelea. Waziri wa Ulinzi Amorim anasema kama wanajeshi wan chi hiyo watalazimika kuchukua hatua, kwanza watatumia mbinu zisizo hatari. Mwandishi: Bruce Amani/ Reuters, AFP, AP, dpa
2017-07-23T22:46:01
http://thisdaymag.blogspot.com/2014/05/kuelekea-kombe-la-dunia-2014-zaidi-ya.html
[ -1 ]
BARA YAANZA VIBAYA CHALLENGE, YACHAPWA 1-0 NA KENYA, ZANZIBAR YATOA SARE NA SUDAN 1-1 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BARA YAANZA VIBAYA CHALLENGE, YACHAPWA 1-0 NA KENYA, ZANZIBAR YATOA SARE NA SUDAN 1-1 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE Mwanzo > TAIFA STARS > BARA YAANZA VIBAYA CHALLENGE, YACHAPWA 1-0 NA KENYA, ZANZIBAR YATOA SARE NA SUDAN 1-1 BARA YAANZA VIBAYA CHALLENGE, YACHAPWA 1-0 NA KENYA, ZANZIBAR YATOA SARE NA SUDAN 1-1 TANZANIA Bara imeanza vibaya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Challenge baada ya kuchapwa 1-0 na Kenya katika mchezo wa Kundi B jioni ya leo Uwanja wa Lugogo mjini Kampala, Uganda. Bao lililoizamisha Kilimanjaro Stars inayofundishwa na kocha Juma Mgunda anayesaidiwa na Zubery Katwila limefungwa na Hassan Abdallah dakika ya nne tu akimalizia pasi ya Anthony Wambani aliyewatoka mabeki kiustadi. Bara itarejea uwanjani Desemba 10 kumenyana na Zanzibar kabla ya kukamilisha mechi zake za kundi hilo kwa kumenyana na Sudan Desemba 14, wakati Nusu Fainali zitafuatia Desemba 17 na Fainali Desemba 19. Kenneth Muguna wa Kenya akimtoka kiungo wa Tanzania Bara, Jonas Mkude leo Uwanja wa Lugogo Mechi nyingine ya CECAFA Challenge leo kundi hilo leo, Zanzibar ililazimishwa sare ya 1-1 na Sudan mchana Uwanja wa Lugogo. Makame Khamis alianza kuwafungia Zanzibar Heroes dakika ya 55, kabla ya Montasir Yahia kuisawazishia Sudan dakika ya 90. Zanzbar itarejea uwanjani Desemba 10 kumenyana na Tanzania Bara kabla ya kukamilisha mechi zake za kundi hilo kwa kumenyana na Kenya Desemba 14. Kikosi cha Kenya kilikuwa; Samuel Odhiambo, Joash Onyango, Lawrence Juma, Kevin Kimani/Cliffton Miheso dk72, David Owino, Samuel Olwande, Anthony Wambani/ Whyvone Isuza dk82, Oscar Wamalwa, Kenneth Muguna, Johnstone Omorwa na Hassan Abdallah/ Daniel Sakari dk90+3. Tanzania Bara; Aishi Manula, Mwaita Gereza, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’, Bakari Mwamnyeto, Kelvin Yondan, Jonas Mkude, Miraj Athumani ‘Madenge’/Hassan Dilunga dk70, Muzamil Yassin, Paul Nonga/ Ditram Nchimbi dk65, Cleophace Mkandala na Lucas Kikoti/Eliuter Mpepo dk43. Item Reviewed: BARA YAANZA VIBAYA CHALLENGE, YACHAPWA 1-0 NA KENYA, ZANZIBAR YATOA SARE NA SUDAN 1-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
2020-03-31T13:11:41
http://www.binzubeiry.co.tz/2019/12/bara-yaanza-vibaya-challenge-yachapwa-1.html
[ -1 ]
Vigogo IPTL, Rugemalira na Habinder Sethi, waongezewa mashtaka, Sita ya utakatishaji wa fedha - Maganga One Blog Home »Unlabelled » Vigogo IPTL, Rugemalira na Habinder Sethi, waongezewa mashtaka, Sita ya utakatishaji wa fedha
2017-09-23T16:22:13
https://magangaone.blogspot.com/2017/07/vigogo-iptl-rugemalira-na-habinder.html
[ -1 ]
MKURUGENZI MKUU WA MFUKO WA PENSHENI LAPF BW.ELIUDI SANGA ATEMBELEA MAONYESHO YA SABASABA | MWANAHARAKATI MZALENDO ™ Home » LAPF » MKURUGENZI MKUU WA MFUKO WA PENSHENI LAPF BW.ELIUDI SANGA ATEMBELEA MAONYESHO YA SABASABA Labels: LAPF muda 6:16:00 PM
2018-02-18T17:54:12
http://mwanaharakatimzalendo.blogspot.com/2017/07/mkurugenzi-mkuu-wa-mfuko-wa-pensheni.html
[ -1 ]
Mwakilishi wa Jimbo la Raha Leo, Salim Nassor, akimkabidhi tuzo ya Msanii Bora Chipukizi wa mwaka, msanii Emma Score, wakati wa hafla ya kukabidhi zawadi za washindi wa Tuzo hizo za Wasanii bora wa muziki wa Zanzibar wa mwaka 2012. Mke wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Zakhia Bilal, akiwa ni miongoni mwa wageni waalikwa waliohudhuria hafla hiyo. Mkurugenzi wa redio ya Briz Fm, bi. Mariam, akimkabidhi Tuzo ya kuwa msanii bora wa Kike wa muziki wa Afro Pop, Msanii Baby J, wakati wa hafla ya kukabidhi zawadi za washindi wa Tuzo hizo za Wasanii bora wa muziki wa Zanzibar wa mwaka 2012. Kundi la Taarab la Zanzibar One Modern Taarab, wakitoa burudani jukwaani wakati wa hafla hiyo. Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi, Abdallah Mwinyi Mkuu, akimkabidhi Tuzo mwanamuziki wa kundi la Taarab la Zanzibar One Modern Taarab, Saada Nassor, baada ya kuibuka mshindo kwa kuwa Msanii bora wa Kike wa mwaka wa muziki wa Taarab ya Kisasa, wakati wa hafla ya kukabidhi zawadi za washindi wa Tuzo hizo za Wasanii bora wa muziki wa Zanzibar wa mwaka 2012. :- Mbunge wa Jimbo la Uzini na Mkurugenzi wa redio ya Zenji Fm, Mohamed Seif Khatib, akimkabidhi Tuzo msanii, Rukia Ramadhan, aliyeibuka mshindi kwa kuwa mwimbaji bora wa mwaka wa Taarab Aslia. Baadhi ya wageni na wadau wa sanaa, waliohudhuria hafla hiyo. 13:- Picha ya pamoja baada ya zoezi la kukabidhi zawadi kwa washindi wa tuzo hizo. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Tuzo ya Heshima msanii mstaafu wa muziki wa Taarab, Mwanacha Hassan Kijole (65) wakati wa hafla ya kukabidhi zawadi za washindi wa Tuzo hizo za Wasanii bora wa muziki wa Zanzibar wa mwaka 2012, zilizodhaminiwa na Kampuni ya simu za mkononi ya Zantel.Hafla hiyo ilifanyika jana Julai 6, 2012 katika Ukumbi wa Hoteli ya Bwawani mjini Zanzibar. Kulia ni Mbunge wa Jimbo la Uzini na Mkurugenzi wa redio ya Zenji Fm, Mohamed Seif Khatib (kushoto) ni Mkurugenzi wa Biashara wa Kampuni ya Zantel, Zanzibar, Mohamed Baucha. picha zote na muhidin Sufian -OMR
2017-08-22T03:29:20
http://dinaismail.blogspot.com/2012/07/makamu-wa-rais-dkt-bilal-mgeni-rasmi.html
[ -1 ]
Weusi Lazima Bear Arms - Live kutoka lockdown RT @AbolitionistLC: Under fire, Philly stops suing parents of incarcerated kids for child support t.co/YGKHuCxHa6 Muda iliyopita 322 Siku kupitia Twitter kwa Android Reply - Retweet - Favorite My Life- The Game feat. Lil Wayne t.co/Q30uVgBp75 Muda iliyopita 325 Siku kupitia Twitter kwa Android Reply - Retweet - Favorite Congressional Black Caucus Playing Politics Again? t.co/v5diTJcMlU Muda iliyopita 327 Siku kupitia Twitter kwa Android Reply - Retweet - Favorite Who gets locked up, and who goes free? An easy guide to N.J. bail reform t.co/sc3LNZUHLv Muda iliyopita 333 Siku kupitia Twitter kwa Android Reply - Retweet - Favorite “amri au kwa ujumla utawala wa sababu ya kwamba kila mtu tunapaswa kujitahidi amani, mbali kama ana matumaini ya kupata ni; na wakati hawezi kupata hiyo ili aweze kutafuta na kutumia kila husaidia na faida ya vita.” Kaskazini ni taifa nguvu zaidi katika uso wa dunia, na, kihistoria, black people have been the main victims of this violence. Je, tunaweza jina nguruwe single ambaye alipewa adhabu ya kifo kwa ajili ya utekelezaji silaha Black au Latino mtu, au muhimu zaidi wanakabiliwa adhabu ya kifo katika kesi? Black watu wamekuwa kunyongwa, lynched na bombed na hali ya kutokujali– Medgar Evers, 16th Street Baptist Church, Fred Hampton, George Jackson, na orodha inaendelea. Kujua historia, Mimi kuuliza kiongozi yeyote wa haki za kiraia wa leo, jinsi wengi mahubiri zaidi, maandamano, maombi, na mayowe ya “Hakuna haki! Hakuna amani!” kabla ya mwathirika ana haki ya tena kuruhusu themself kwa kuwa mhanga? Nasema hakuna muda zaidi ni kuwa kupita. Ni wakati kwa ajili ya Wakristo wa kweli nyeusi kupata nje Cadillac na condo na kuondoka makanisa yao kibepari na kupata mahubiri yao kutoka wahubiri wa zamani kama John Brown, Nat Turner and Denmark Vessey, ambaye alijua vurugu mapinduzi ni lugha tu kuonea kueleweka. Harriet Tubman inaweza kuwa kupendwa Biblia yake lakini yeye alisafiri na shotgun yake ya bure watumwa. White suburban society defends itself by bearing arms. Wao zoezi 2 Marekebisho haki yao ya kumiliki na kutumia bunduki ya kujilinda, familia zao na jamii, kama mfano kwa Cliven Bundy. Kwa nini watu maskini, ujumla weusi na Latinos, kufanya lolote kidogo kwa ajili ya maisha yao, familia zao na jamii zao? “Wanamgambo vizuri umewekwa, kuwa muhimu kwa usalama wa bure State, haki ya watu kuweka na kuzaa Arms, hatakuwa na kukiukwa.” – U.S. Katiba Marekebisho 2 mashairi confinement faragha mahabusu lookup Kuongeza UP kubadilisha uhalifu wafungwa New Jersey Maalum Management Unit Live kutoka lockdown Kuongeza UP Media gangsta penitentiary lockdown mahabusu locator mitaani magenge SMU live from Bloods Tewhan Butler molekuli-kufungwa jela Illinois inmate search mahabusu gereza magenge shirikisho gerezani Chicago Stateville Correctional Center USP Lewisburg
2018-01-22T13:45:43
http://www.livefromlockdown.com/sw/blacks-must-bear-arms/
[ -1 ]
Sofa Ya Viti Vitatu Na Mto Wa Kitambaa China Manufacturers & Suppliers & Factory Sofa Ya Viti Vitatu Na Mto Wa Kitambaa - mtengenezaji, kiwanda, muuzaji kutoka China (Jumla ya 24 Bidhaa kwa Sofa Ya Viti Vitatu Na Mto Wa Kitambaa) Sofa nyepesi ya viti vitatu na mto wa kitambaa Iliungwa mkono na sura ya chuma, sofa ya viti vitatu inahakikisha utulivu zaidi na uthabiti wa kutosha. Kitambaa cha kitambaa cha sofa ya viti vitatu hutoa kiti tofauti nzuri. Maswali: 1. Wewe ni kiwanda au mfanyabiashara wa fanicha? Sisi ni kiwanda, tunashughulika na biashara fulani ya biashara kusambaza huduma za... Sofa Ya Viti Vitatu Na Mto Wa Kitambaa Sofa ya viti vitatu na Mto wa Kitambaa Sofa ya Kiti Moja Na Mto wa Kitambaa Sofa ya Kiti Moja ya Kitambaa Sofa ya Seti tatu na Kitambaa cha Grey Sofa ya Kiti Moja na Mto wa kijani Kula mwenyekiti na Mto wa Kitambaa Viti Vya Juu vya Kitambaa
2019-12-11T13:18:30
https://sw.taihuafurniture.com/dp-sofa-ya-viti-vitatu-na-mto-wa-kitambaa.html
[ -1 ]
RAIS MPYA CECAFA NAYE ‘HAAMBILIKI’? - BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE MICHUANO ya klabu barani Afrika itaanza katikati ya Februari, Yanga SC wakiifuata Cercle de Joachim nchini Mauritius kwa mchezo wa kwanza wa raundi ya Awali Februari 13, mwaka huu katika Ligi ya Mabingwa. Azam FC wataanzia ugenini Machi 11 dhidi ya mshindi kati ya Light Stars FC ya Shelisheli na Bidvest Wits ya Afrika Kusini katika Raundi ya Pili Kombe la Shirikisho. Na timu zote zitaingia katika michezo hiyo zikitokea katika ratiba ngumu ya mechi za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, iliyoshika kasi katika mzunguko wake wa pili. Hali ambayo inasababisha majeruhi wengi na wachezaji kuchoka kwa mazoezi magumu ya kila siku na mechi mbili kwa wiki. Ni matarajio wiki moja kabla ya michezo yao, zitapewa mapumziko kwenye ligi ili waelekeze nguvu kwenye maandalizi ya mechi zao za Afrika. Nachotaka kuzungumzia leo ni kwa nini miaka ya nyuma, klabu zetu angalau zilikuwa zinasogea sogea mbele kwenye michuano ya Afrika, tofauti na sasa. Mwaka 1974 Simba SC iliingia katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika ikitokea katika Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, michuano ambayo waliibuka mabingwa mjini Dar es Salaam. Na katika Klabu Bingwa Afrika, Simba SC wakaenda hadi Nusu Fainali, ambako walitolewa na Mehallal El Kubra kwa penalti 3-0, bada ya sare ya jumla ya 1-1 kila timu ikishinda 1-0 nyumbani kwake. Mwaka 1993 Simba SC waliingia kwenye michuano ya Kombe la CAF wakitokea kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati mjini Kampala, Uganda. Bahati mbaya Simba SC ilishika nafasi ya tatu katika Kundi B nyuma ya Bata Bullets ya Malawi waliokuwa wa pili na wenyeji Express FC walioongoza Kundi, wakati El Hilal ya Sudan ilishika mkia. Na mwaka huo, wakafanikiwa kufika hadi Fainali ambako walifungwa na Stella Abidjan ya Ivory Coast mabao 2-0 Dar es Salaam, baada ya sare ya 0-0 Abidjan. Mwaka 2003 Simba SC waliingia katika Ligi ya Mabingwa Afrika wakitokea katika Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, wakati huo tayari michuano imebadilishwa jina na kuwa Kombe la Kagame, ambako walifika fainali mjini Kampala Uganda na kufungwa na wenyeji SC Villa 1-0. Na katika katika Ligi ya Mabingwa, Simba SC walifanikiwa kufika hatua ya makundi wakiitoa timu ngumu, Zamalek ya Misri ambao wakati huo ndiyo walikuwa mabingwa watetezi. Lakini baada ya hapo, Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) likayumba na kujikuta linashindwa kuendelea kuendesha Kombe la Kagame katika muda wake. Michuano ya mwaka 2004 ilipangwa kufanyika mjini Kigali, Rwanda kama kawaida kuanzia Januari, lakini ikaahirishwa kwanza hadi Machi na baadaye hadi Aprili 25 hadi Mei 9, ili iende sambamba na maazimisho ya miaka 10 ya mauwaji ya Genocide mwaka 1994. Tangu hapo, michuano hiyo haikurudi katika muda wakati halisi Januari bali imeendelea kusogezwa mbele na sasa imefikia inafanyika Agosti tu. Agosti ni kipindi ambacho Ligi Kuu nyingi za ukanda huu ndiyo zinamalizika au zinaelekea kuanza, maana yake hata timu zinakuwa hazijawa vizuri kwa michuano. Lakini pia, imekuwa haina faida kufanya michuano hiyo Agosti kama ilivyokuwa awali ilipokuwa ikifanyika Januari, klabu zetu zilikuwa zikitoka kwenye Kagame zinaingia moja kwa moja kwenye michuano ya Afrika. Zilikuwa zinaingia kwenye michuano ya Afrika baada ya kupata vipimo vizuri katika Kombe la Kagame na haikuwa ajabu klabu zilizokuwa zinajipanga vizuri kama Simba SC ziliweza kufika mbali. Baada ya mwaka 2003 hakuna timu ya Tanzania iliyoweza kufika hatua ya makundi ya michuano ya Afrika kwa sababu zimepoteza fursa nzuri ya kuitumikia michuano ya Kagame kama sehemu ya maandalizi yake. Lakini pia, athari ni nyingi hadi kwenye michuano yenyewe, kwani imeshuhudiwa katika michuano ya mwaka jana mjini Dar es Salaam, waliokuwa mabingwa watetezi, El Merreikh ya Sudan wakishindwa kuja kwa sababu walikuwa kwenye hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Na hata washindi wa pili wa Ligi Kuu ya Sudan, El Hilal nao hawakuja kwa sababu wapo kwenye hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika- badala yake wakaja washindi wa tatu na wa nne, Al Shandy na Khartoum. Hakuna ubishi katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, klabu hizo mbili za Sudan zipo juu zaidi kisoka na hata kwa uwezo wa kujiendesha, tena kisasa kabisa. Kwa miaka ya karibuni imekuwa kawaida kwa timu stahiki kutojitokeza katika Kombe la Kagame kutokana na sababu za kawaida sana. Kwa mfano mwaka juzi, Yanga SC walitakiwa kusafiri hadi Rwanda, lakini wakagoma kwa sababu ndiyo kwanza walikuwa wanaanza maandalizi ya msimu mpya. Miaka ya nyuma, wakati mashindano haya yanafanyika Januari hakuna timu iliyostahili ilikuwa inakosekana. Timu nyingi zilichangamkia fursa ya kushiriki michuano hiyo, kwa sababu baada ya hapo zilikuwa zinaingia moja kwa moja kwenye michuano mikubwa ya Afrika- Kombe la Washindi, Kombe la CAF na Klabu Bingwa Afrika. Julai na Agosti ni kipindi ambacho michuano ya CAF inafikia kwenye hatua ya makundi- lakini kwa sababu Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) limejikatia tamaa, halioni umuhimu tena wa michuano hiyo ya bara zima. Sasa ni dhahiri sisi wa CECAFA ndiyo tunashika mkia kisoka katika bara letu, hata nchi ndogo ndogo zilizokuwa duni kisoka miaka michache iliyopita kama Madagascar, Lesotho, Swaziland na Shelisheli za kusini (COSAFA) sasa zinatufundisha mengi. Hii ni kwa sababu, pamoja na mapungufu yetu yote, lakini pia hatuna mipango. Mfano mdogo ni hii michuano ya Kagame, badala ya kuifanya Januari ili timu zetu zipate maandalizi ya kuingia kwenye michuano ya Afrika, tunaifanya Julai na Agosti. Mashindano hayo yakirudi kufanyika Januari, dhahiri yatarejesha msisimko wake na hakutakuwa na udhuru wa timu kutokuja kushiriki. Hata ile dhamira ya kualika timu kubwa za ukanda mwingine kuja kutongezea changamoto inaweza kufanikiwa kwa sababu hicho ni kipindi ambacho hakuna mashindano ya CAF. Lazima turejeshe enzi zile bingwa mtetezi anapokewa kwenye kituo cha mashindano akiwa na Kombe lake. Turejeshe enzi ambazo mashindano yanashirikisha mabingwa watupu wa ukanda wetu. Turejeshe thamani ya mashindano kwamba si ya kila timu kushiriki, yawe mashindano ya mabingwa wa ukanda wetu. Novemba na Desemba tunafanya Challenge (Kombe la Mataifa ya CECAFA), Januari mapema tu ndani ya wiki mbili za mwanzo tunakamilisha Kagame- baada ya hapo, klabu zetu ziende kwenye michuano ya Afrika zikiwa vizuri. Lakini ajabu CECAFA wameshindwa kuelewa dhana hii na wameendelea kulazimisha Kombe la Kagame lifanyike Agosti, ndiyo maana watu sasa wanayaita mashindano haya Bonanza tu, kwa sababu hawaoni umuhimu wake. Katika miaka yote 10 ya Leodegar Chillah Tenga wa Tanzania kuwa Rais wa CECAFA ameshindwa kuupokea ushauri wa kuirudisha Januari michuano ya Kagame, lakini baada ya Novemba mwaka jana kupatikana Rais mpya, Mutasim Sirelkhatim Gaffar wa Sudan, tunasubiri naye tumuone atachukua gani kuinusuru soka ya ukanda huu. Au naye haambiliki? Item Reviewed: RAIS MPYA CECAFA NAYE ‘HAAMBILIKI’?
2017-07-22T02:36:19
http://www.binzubeiry.co.tz/2016/01/rais-mpya-cecafa-naye-haambiliki.html
[ -1 ]
NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, MHE.KANYASU AWATAKA WAZAZI WATIMIZE WAJIBU WAO | Full Shangwe Blog Home Teknolojia NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, MHE.KANYASU AWATAKA WAZAZI WATIMIZE WAJIBU WAO Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Constantine Kanyasu akizungumza na jumla ya wahitimu 60 wa kidato cha nne yaliyofanyika katika shule ya Sekondari ya Rocks-Hill iliyopo wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza. Naibu Waziri wa Maliasiil na Utalii, Mhe.Constantine Kanyasu akimkabidhi cheti mwanafunzi Antony Ezekiel ambaye bingwa wa somo la Fizikia katika mahafali ya kidato cha nne yaliyofanyika katika shule ya sekondari ya Rocks- Hill ya jijini iliyopo katika wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe, Constantine Kanyasu ( kushoto) akiwa pamoja na Meneja wa Shule ya Sekondari ya Rocks- Hill, Meshak Mpalanga wakiangalia ratiba kabla ya mahafali ya kidato cha nne kuanza katika shule hiyo iliyopo katika wilaya ya Ilemele jijini Mwanza. Wanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya sekondari ya Rocks- Hill wakiwa katika mstari wa kuingia katika eneo lililoandaliwa kwa ajili ya wahitimu hao. ( PICHA NA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII) Naibu Waziri Maliasili na Utalii, Mhe.Constantine Kanyasu amewakumbusha Wazazi wenye watoto waliowapeleka kusoma katika shule binafsi wahakikishe wanawatimizia mahitaji yao ya muhimu katika kipindi chao chote cha masomo ili waweze kufaulu mitihani yao ya mwisho. Badala ya kuja na zawadi nyingi siku ya mahafali ajili ya kuwapongeza wanapohitimu ilhali wanafunzi hao walikuwa wakirudishwa nyumbani kila wakati wakachukue ada ya shule. Ametoa kauli hiyo jana wakati wa mahafali ya kidato cha nne kwa wanafunzi 60 yaliyofanyika katika shule ya Sekondari ya Rocks Hill iliyopo katika wilaya ya Ilemela jijini Mwanza. Amesema wazazi lazima wawekeze kwa watoto wao ili waweze kusoma katika mazingira ya kutokuwa na hofu ya kurudishwa nyumbani kwa sababu wazazi wao hawajawalipia ada ya shule. “Ukiamua kumsomesha mtoto lazima ukubali kwamba elimu haijawahi kuwa bure, hivyo ni jukumu la kila mzazi kukidhi mahitaji ya mwanae likiwemo suala la kumlipia ada kwa wakati.” alisisitiza Kanyasu Amesema ni vyema wazazi hao kutambua dhamana waliyonayo katika kuwandaa watoto wao kielimu badala ya kusubili hadi watoto warudishwe nyumbani. Mhe.Kanyasu amesema kitendo hicho cha wanafunzi kurudishwa nyumbani kwa ajili ya ada kimekuwa kikiwarudisha nyuma kimasomo kwa vile wamekuwa wakikosa baadhi ya vipindi. Katika hatua nyingine, Mhe.Kanyasu amewataka wazazi kuendelea kuwalea watoto wao katika maadili mema ili wasiweze kuharibikiwaa mara baada ya kuhitimu masomo yao. Kwa upande wake Meneja wa Shule hiyo, Meshak Mpalanga amesema katika kipindi chao chote cha masomo wamelelewa kimaadili hali itakayowasaidia kupambana zaidi katika kuyamudu maisha Akizungumzia jinsi walivyoandaliwa kwa ajili ya mtihani wao wa mwisho, Amesema anatarajia idadi kubwa ya wanafunzi watafaulu na kujiunga na kidato cha tano. NayevMwanafunzi bora katika masomo yote aliyetajwa katika mahafali hayo, Diana Titus amesema wamejianda vyema na wapo tayari kwa ajili ya mtihani wao wa mwisho. ” Tunawashuru walimu wote kwa kutulea na kutufundisha, tunaamini sote tutafanya vizuri mitihani yetu.alisisitiza Mwanafunzi huyo Previous articleHuduma ya Vodacom Lipa Kwa Simu Yako Yazinduliwa Mkoani Dodoma Next articleBODA BODA TABORA WAFURAHIA KUINGIZWA KWENYE BIMA YA AFYA CHUO CHA UALIMU WA UFUNDI STADI VETA-MOROGORO WAANDAA TEKNOLOJIA RAHISI YA KUFUNDISHA FANI YA UMEME VIWANDANI VETA MKOA WA SINGIDA WAAMUA KUTENGENEZA MFUMO WA UMEME MAJUMBANI AMBAO HUJIWASHA WENYEWE PINDI KUKIWA GIZA KITUO CHA OSARIKO KINACHOSIMAMIWA NA VETA CHATENGENEZA KITANDA TIBA
2020-07-11T13:44:58
https://fullshangweblog.co.tz/2019/10/20/naibu-waziri-wa-maliasili-na-utalii-mhe-kanyasu-awataka-wazazi-watimize-wajibu-wao/
[ -1 ]
Riwaya:Mwanafunzi Mchawi ( A Wizard Student ) - Sehemu ya Kumi na moja | UBUYU ...Jeneza la mwalimu John lilikuwa tayari limefunuka, Mwalimu John aliinuka ndani ya Jeneza na kusimama wima cha kwanza alichofanya ilikuwa ni kunyanyua kinywa chake na kumuita mkewe mpenzi kwani ndiye aliyekuwa akimfikiria kila sekunde. " Mke wanguuuuu... Niko hai..usilie" Mwalimu John alisema kwa sauti kuu, huku furaha ikiwa imefurika moyoni mwake kwani hakuamini kama kweli ameurudia uhai. Hakuna aliyesalia kwenye eneo lile, vumbi lilitimka na kuwaaga waombolezaji wote ambao mpaka wakati ule hakuna aliyejua kilichotokea. "Maajabu haya! Maiti kafufuka? Kweli dunia IPO ukingoni" alisikika mwanamume mmoja ambaye alikuwa amejikwaa mguu baada ya kukimbia kwa muda mrefu.Alihema kwa nguvu huku akizitafuta nguvu zingine za kukimbilia. Ghafla akahisi kuna Mtu kasimama nyuma yake Mwalimu John alikuwa haelewi ni kwanini watu wote wanakimbia, na yeye akaingiwa na hofu akaanza kukimbia akijua labda kuna jambo la hatari linakuja. Alizipiga mbio kuelekea nyumbani kwake ili akajihifadhi haraka Mwalimu John alipofika mtaani kwao, kila MTU alikimbilia ndani na kujifungia. Ndipo alipozidisha juhudi na kuongeza mwendokasi akidhani hatari inamkaribia. Mwalimu John alifika nyumbani kwake, alipofika getini ghafla geti likafungwa. Akastaajabu sana kwani hakufikiria kuwa mkewe badala ya kumpokea kwa shamrashamra alimfungia mlango. " Nifungulie mke wangu!" Alisema Mwalimu John huku akipigapiga mlango, na kwakuwa mlango haukufungwa vyema ukajifungua. Mwalimu John aliingia ndani huku akihema sana. "Mamaaaaa!" Zilisikika kelele ndani ya nyumba ya Mwalimu John, ndugu wote walipiga kelele. "mke wangu! Hunitaki!?" Mwalimu John aliuliza kwa sauti ya kutia huruma, huku akimsogelea mkewe. "Ushindweee!" Mkewe alifoka. "Mke wangu nishindwe Mimi? Leo unaniambia nishindwe kwani Mimi pepo?" Mwalimu John alizidi kutia huruma. Aliinamisha kichwa chini, kwa bahati macho yakatua mwilini mwake. Mwalimu John alishtuka kupita kiasi, akajiogopa na akatamani kujikimbia. "Nooooooooo!" Alikuwa bado ameshikilia vidonge huku machozi yakimchuruzika kama bombs machoni mwake. Alilia kwa uchungu huku akimlaani sana Doreen, alimuona kama mnyama aliyekuja kuupoteza uhai wake. Alimchukia kuliko kitu kingine chochote lakini tayari alikuwa amechelewa. "Eddy vipi unataka kujiua" Jackson alisema kwa mshtuko huku akimnyang'anya kinguvu vidonge vile. "Acha nife tu!" Alisema Eddy kwa unyonge. "Huwezi kufa, na huwezi amini Eddy nimempigia simu mama yako nimemwambia una matatizo aje kukuchukua!" "What! Sitaki Mimi! Sipendi kiherehere chako Jack! Umemwambia nini?" Eddy alifoka kwa hasira. "Hebu tulia bro! Mimi sijamwambia bays lolote, nimemwambia una matatizo ambayo hutaki walimu wajue, na sio muda anakuja!" "Umenikera sana ujue, sitaki kwenda home! Bora ningekunywa dawa zangu mapema kabla haujafanya huo ujinga wako.. Sio siri kaka umeniboa kinazi!" Alizidi kufoka Eddy. "Eddy haupo sawa.. Jack usimsikilize huyu sio kosa lake! " alisema Zawadi. "Nani hayupo sawa unamaana nina kichaa sio? Nyie wote mabwege tu.. Siwaelewi wala nini.." Eddy alikuwa kama mwenda wazimu, Jack na Zawadi walitulia kimya tu. "Nawaharibia sasa hivi mjue! Niondokeeni hapa.. Poteeni maboya nyie..!" Jackson na Zawadi walitulia kimya tu, ghafla meseji iliingia kwenye simu ya Jackson. Ingawa simu zilikuwa haziruhusiwi shuleni pale ila alikuwa na simu ya kimagendo. "Nimefika hapa shule mwanangu!" Mama take alipoletewa kijana wake hakuamini. "Eddy mwanangu wakufanya nini? Wamekupa kichaa?" Alisema mwanamama yule mrembo. "Siendi kokote mie, siendi na mtu!" Eddy alikataa kuondoka . Ikabidi wambebe kinguvu na kumsweka kwenye gari ya mama yake. "Mungu wangu mtoto mwenyewe mmoja huyu kama roho.. Mungu wangu wee!" Alilia Mama Eddy. "Wow! Atanifaa sana! Na vile vititi anavyovibust vile.. !" Doreen alitabasamu akijua tayari kazi imeisha. Ushindi ni wake. Alifurahia sana kumfanyia mwenzie ukatili. "Mambo mrembo!" "Poa.. Habari yako?" "Salama.. Nimekuja kupiga stori na were, vipi upon tayari?" "Karibu.." Alisema Nadia Joseph huku akimkazia macho Doreen. "OK!" HAPO SASA DOREEN KAKUTANA NA MOTO WA MAKUTI UNAFIKIRI NINI KITAENDELEA?... USIKOSE KUFUATILIA SEHEMU INAYOFUATA. Usikose kufuatilia sehemu inayofuata kupitia ubuyublog.com
2017-06-26T17:25:07
http://www.ubuyublog.com/2016/07/riwayamwanafunzi-mchawi-wizard-sehemu.html
[ -1 ]
Sindika soya ili kuongeza thamani na ubora wake | Mkulima Mbunifu Mwanzo Makala Binadamu Mazingira Mifugo Mimea Majarida Redio Video Picha Machapisho Mengine You are hereMwanzo»Sindika soya ili kuongeza thamani na ubora wake Sindika soya ili kuongeza thamani na ubora wake Soya ni zao mojawapo kwatika mazao ya jamii ya mikunde ambalo hulimwa kwa wingi katika mikoa ya Mtwara,Ruvuma, Morogoro, Rukwa, Lindi,Mbeya, Iringa na Arusha. Zao hili huwa na virutubisho vingi kama vile wanga, protini, mafuta, madini na hata vitamini. Aidha, lina sifa ya kuwa na kiasi kikubwa cha protini kinachofikia hadi asilimia 40. Soya ni zao la muda mfupi ambalo hukomaa ndani ya miezi mitatu hadi mitano toka kupandwa kulingana na aina, hali ya hewa na mwinuko kutoka usawa wa bahari. Kama ilivyo kawaida kwa aina nyingi za mikunde kuwa na madhara iwapo itatumika bila kuchemsha, soya ni muhimu kuzichemsha kabla ya kutumia ili kuondoa sumu na vimeng’enyo vinavyozuia kutumika kwa protini mwilini. Soya huweza kusindikwa na kuzalisha bidhaa mbalimbali kama vile, soya zenyewe, unga, maziwa, kahawa na njugu. Kwa kufanya hivyo mkulima ataweza kuzuia uharibifu na upotevu wa mavuno yake unaoweza kujitokeza baada ya kuvuna zao hili. Soya zilizosindikwa hutumika kupika kama mboga, kupikia makande, ndizi au chakula chochote kile mlaji atakachoamua kukiandaa. Jiko, sufuria/kikaango, mizani, vifungashio safi vya kuhifadhia. Kusindika soya kupata unga Jinsi ya kutengeneza Chemsha na kukausha kasha kukaanga hadi ipate rangi ya kahawia. Chukua unga na fungasha kwenye mifuko safi isiyopitisha unyevu.
2017-06-25T00:18:09
http://www.mkulimambunifu.org/node/58
[ -1 ]
RC CHALAMILA : BOSI WA MKUU WA SHULE NI MKUU WA MKOA...NATAKIWA NIWACHARAZE SANA | MALUNDE 1 BLOG Home » habari » RC CHALAMILA : BOSI WA MKUU WA SHULE NI MKUU WA MKOA...NATAKIWA NIWACHARAZE SANA RC CHALAMILA : BOSI WA MKUU WA SHULE NI MKUU WA MKOA...NATAKIWA NIWACHARAZE SANA Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Albert Chalamila, jana October 4 alichalaza bakora wanafunzi 14, katika Shule ya Sekondari Kiwanja iliyopo Chunya mkoani Mbeya kwa madai ya kukutwa na simu za mkononi jambo ambalo ni kinyume na na utaratibu wa shule Asubuhi ya Leo Ijumaa, RC Chamila amefika tena katika shule hiyo na kuagiza wanafunzi wote wa kidato cha 5 na 6 warudi nyumbani hadi Oct 18,2019 kwa kosa la kuchoma Bweni. RC Chalamila ameeleza sababu ya kuwarudisha wanafunzi hao makwao ni kutokana na kile kinachodaiwa, waliteketeza kwa moto mabweni yao baada ya walimu wao kuwanyang'anya simu, ambapo amewataka warudi, Oktoba 18, huku kila mmoja akipaswa kulipa kiasi cha Shilingi 200,000 na wale waliokamatwa na simu za mkononi, ameamuru walipe kiasi cha Shilingi 500,000 na warudi shuleni wakiwa na wazazi wao. "Mliochoma Mabweni, nawaambia kama mna hamu na mnawashwa kuchoma vitu, mkachome nyumba za wazazi wenu. Kuanzia sasa nafunga form 5 na 6, mnaondoka kwenda kwenu, na ikifika saa 4 bado mnang'ang'a hapa, mtakung'utwa kichapo cha kufa mtu na Walimu mnaowafundisha mtaenda likizo kidogo na ninyi wote mtakuja na laki 2 na waliokamatwa moja kwa moja na simu mtakuja na laki 5 na wazazi juu. "Kwa hiyo Mkuu wa Shule, Afande RPC, Afande OCD, sitaki kuona form 5 na 6, wataondoka watarudi hapa tarehe 18. Na nyie form 4 kama kuna watu watafanya fujo, nitawatimua hata kama mitihani ni kesho, nafuta darasa zima. - RC Chalamila Akizungumzia suala la kuwachapa viboko wanafunzi hao 14, Chalamila amesema kuwa yeye ndio bosi wa Mkuu wa shule katika mkoa na hivyo anaowajibu wa kutoa adhabu kwa wanafunzi wote wanaoonesha utovu wa nidhamu shuleni. "Jana niliwacharaza viboko watoto, wengine wamenijadili kwenye mitandao wakihoji Mkuu wa Mkoa anatoa wapi mamlaka haya. Bosi wa Mkuu wa Shule ni Mkuu wa Mkoa. Sasa kama Mkuu wa Shule anaruhusiwa kuwachapa, basi mimi (Mkuu wa Mkoa) natakiwa niwacharaze sana."- RC Albert Chalamila Aidha RC Chalamila ameongeza kuwa hakuna mwanafunzi yeyote atakayeruhusiwa kuhama shule,hadi pale atakapokuwa amekamilisha kulipa kiasi hicho cha pesa na kuuagiza uongozi wa shule, kuhakikisha ujenzi wa mabweni hayo unaanza mara moja pindi pesa hizo zitakapoingizwa kwenye akaunti ya shule.
2019-11-13T02:14:49
https://www.malunde.com/2019/10/rc-chalamila-bosi-wa-mkuu-wa-shule-ni.html
[ -1 ]
5 Nami nikaona katika mkono wa kuume wa Yule aliyeketi juu ya kile kiti cha ufalme+ kitabu cha kukunjwa kilichoandikwa ndani na upande wa nyuma,+ kimefungwa+ kabisa kwa mihuri saba. 2 Nami nikamwona malaika mwenye nguvu akitangaza kwa sauti kubwa: “Ni nani anayestahili kukifungua kile kitabu cha kukunjwa na kufungua mihuri yake?” 3 Lakini hapakuwa na hata mmoja, wala mbinguni wala juu ya dunia wala chini ya dunia, aliyeweza kukifungua kitabu hicho cha kukunjwa au kutazama ndani yake. 4 Nami nikalia sana kwa sababu hakuna yeyote aliyepatikana kuwa anastahili kukifungua kitabu hicho cha kukunjwa au kutazama ndani yake.+ 5 Lakini mmoja wa wale wazee akaniambia: “Acha kulia. Tazama! Simba ambaye ni wa kabila la Yuda,+ mzizi+ wa Daudi,+ ameshinda+ ili akifungue kitabu hicho cha kukunjwa na mihuri yake saba.” 6 Nami nikamwona mwana-kondoo,+ kana kwamba alikuwa amechinjwa,+ akiwa amesimama katikati ya kile kiti cha ufalme+ na ya wale viumbe hai wanne na katikati ya wale wazee,+ akiwa na pembe saba na macho saba, macho ambayo yanamaanisha roho+ saba za Mungu ambazo zimetumwa katika dunia nzima. 7 Naye akaenda na mara moja akakichukua kutoka katika mkono wa kuume wa Yule aliyeketi juu ya kile kiti cha ufalme.+ 8 Na alipokichukua kile kitabu cha kukunjwa, wale viumbe hai wanne na wale wazee 24+ wakaanguka chini mbele ya Mwana-Kondoo, kila mmoja akiwa na kinubi+ na mabakuli ya dhahabu yaliyokuwa yamejaa uvumba,+ na huo uvumba unamaanisha sala+ za watakatifu. 9 Nao wanaimba wimbo mpya,+ wakisema: “Wewe unastahili kukichukua kile kitabu cha kukunjwa na kufungua mihuri yake, kwa sababu ulichinjwa na kwa damu+ yako ukamnunulia+ Mungu+ watu kutoka katika kila kabila na lugha na watu na taifa, 10 nawe ukawafanya kuwa ufalme+ na makuhani+ kwa Mungu wetu,+ nao watatawala wakiwa wafalme+ juu ya dunia.” 11 Nami nikaona, nami nikasikia sauti ya malaika wengi kuzunguka kile kiti cha ufalme na wale viumbe hai na wale wazee, na hesabu yao ilikuwa makumi ya maelfu ya makumi ya maelfu+ na maelfu ya maelfu,+ 12 wakisema kwa sauti kubwa: “Mwana-Kondoo aliyechinjwa+ anastahili kupokea uwezo na utajiri na hekima na nguvu na heshima na utukufu na baraka.”+ 13 Na kila kiumbe kilicho mbinguni na juu ya dunia na chini ya dunia+ na juu ya bahari, na vitu vyote vilivyo ndani ya hivyo, nikasikia vikisema: “Kwake Yule anayeketi juu ya kile kiti cha ufalme+ na kwa Mwana-Kondoo+ kuwe na baraka na heshima+ na utukufu+ na nguvu milele na milele.” 14 Na wale viumbe hai wanne wakasema: “Amina!” na wale wazee+ wakaanguka chini na kuabudu.+
2017-07-23T02:50:55
https://www.jw.org/sw/machapisho/biblia/bi12/vitabu/ufunuo/5/
[ -1 ]
Download Music: Harmonize Ft. Raymond - Penzi By Mtokambali - May 02, 2016 Huu wimbo haujatoka rasmi ila umevuja mitandoni, Ni kutoka Kutoka Wasafi Rec, Harmonize Ft. Raymond ngoma imepewa jina la 'PENZI'. Downlod ngoma hiyo kwa kubonyeza HAPA.
2018-02-18T10:24:58
https://mawerenews.blogspot.com/2016/05/download-music-harmonize-ft-raymond.html
[ -1 ]
CHADEMA YATUMBUA MAJIPU YA WASALITI - PAMOJA BLOG Home > Unlabelled > CHADEMA YATUMBUA MAJIPU YA WASALITI CHADEMA YATUMBUA MAJIPU YA WASALITI 3/03/2016 03:47:00 PM Na Bryceson Mathias, Morogoro CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kata ya Kihonda, Morogoro Mjini, kimemfukuza uanachama, Charles Chimwaga, kumvua madaraka, Frank Makomelo na kumpa onyo kali, Paschal Mazengo, kwa madai ya kukisaliti chama hicho na kukitumikia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka jana. Katika barua ya kumvua uanachama Chimwaga yenye Kumb. CDM/KM/MOR/Vol.2/2015, inaeleza kuwa anatuhumiwa kukigawa, kukisaliti chama, kuahidiwa kupewa kazi (na viongozi wa CCM) na kukubali kuwa mmoja wa kuchakachua matokeo ya kura katika Mkoa wa Mwanza na maeneo mengine. Mkutano Mkuu katika kikao chake ulifikia uamuzi wa kumvua uanachama kwa mujibu wa Ibara ya 5.4.3, 5.4.5 na kukoma uongozi kwa mujibu wa Ibara ya 6.3.4 (b), tangu siku ya uamuzi huo. Kikao cha Novemba 15, 2015 cha tathmini ya uchaguzi wa Oktoba 25, 2015 kilimtia hatiani Makomelo kwa makosa ya kimaadili yanayomuondolea sifa za kuwa kiongozi kama navyoonyeshwa kwenye Katiba ya Chadema Ibara ya 10.1 (ix) na (x). Kwa msingi huo, mkutano ulimvua nafasi ya Uenyekiti wa Vijana wa Kata na ile ya Tawi la Ngerengere na kukoma kuwa kiongozi kama ilivyoainishwa kwenye Ibara za 6.3.4 (b) na (c) tangu siku ya uamuzi huo. Akijitetea, Makomelo alisema: “Mimi kama Makomelo nakerwa sana na hali ya baadhi ya viongozi kuwa wachumia tumbo. Nakerwa sana na hali hiyo, ndiyo maana natoa mawazo yangu japo kwa uchache tu. “Hata hapa Kihonda Maghorofani, Mwenyekiti wa Wilaya ya Morogoro Mjini (James) ni shida! Leo natengenezewa kusimamishwa uongozi, na kibaya ni kunifukuza uanachama kabisa! Kisa ni kikwazo kwao, ili tunaoonekana wafia chama tuzibwe midomo.” Hata hivyo Makomelo alipingwa na wajumbe kuwa alikuwa kikwazo katika mafanikio ya Chadema.
2017-08-19T09:09:38
http://www.pamoja.co.tz/2016/03/chadema-yatumbua-majipu-ya-wasaliti.html
[ -1 ]
Best Water Parks Barani Ulaya Kwa likizo | Save A Train Home > Travel Ulaya > Best Water Parks Barani Ulaya Kwa likizo na Laura Thomas-Gilks 30/07/2019 Train usafiri Denmark, Train usafiri Ufaransa, Train usafiri Germany, Train usafiri Italia, Travel Ulaya 0 Hakuna anasema likizo au likizo, kabisa kama Hifadhi ya maji, je, unadhani? Sunshine, ice cream, na sliding chini baadhi slides maji mkubwa ni kichocheo mwisho kwa ajili ya kujifurahisha wakati wa Summer likizo! Sisi alifanya kazi ngumu ya kupima nje Best Water Parks katika Ulaya sisi wenyewe kwa kutoa taarifa sahihi zaidi juu ya wale tunaweza! hapa ni bora mbuga za maji katika Ulaya kwa ajili yako na familia yako kufurahia. Katika mood kwa baadhi Nordic adventure? Angalia Lalandia, kubwa Hifadhi ya maji katika Skandinavia, na moja ya Best Water Parks katika Ulaya. Akishirikiana uteuzi wa slides yanayofaa familia, sisi hasa upendo Pweza safari! Umri wetu anafanya show ingawa wakati kuonyesha ijayo kwenye orodha yetu kuhusu Hifadhi hii ni mabwawa moto na kushangaza mkondo wavivu! Zima hii safari katika moja ya elimu pia. Watoto kuabudu pango Pool, ambapo wanaweza kuchunguza miamba ya matumbawe na samaki kigeni. Si nia ya Pweza? Kisha hii bila ya shaka kufurahisha dhana yako; Wazazi na utashi utulivu Unaweza kupumua rahisi katika Saunas aromatherapy! alama! Basi watoto kufurahia Aqua Splash maji uwanja wa michezo, Monky Tonky ndani playland au kwenda Bowling wakati baridi nje. Pia kuna tano slides maji ndogo bila wapenzi maji kidogo. Ziada: Lalandia iko katika Billund, ambapo Legoland ni mwingine mkubwa wa familia sare! Sisi ni kama kushangaa kama kuwa tulipata baadhi ya Best Water Parks katika Ulaya katika nchi ambazo kwa ujumla kuishia kuwa baridi sana juu ya bora ya Winter miezi. Tropical Island AMAZONIA katika Brandenburg, germany hakuna ubaguzi. Ziko juu ya gari saa moja kutoka kati kituo cha Berlin, Tropical Island AMAZONIA ni mkubwa 35,000-mraba mita maji fun-paradiso. Nzuri kwa zote? Ni wazi kwa miaka yote! Yep, ni nne ya msimu ndani-nje South Pacific-themed kivutio! Ni makala 27 mita high maji slide mnara, bahari ya ndani, rasi moto, na kiddie pool na meza maji kucheza. Uchovu wa kuwa mvua lakini bado unataka kuwa na furaha? Si na wasiwasi, kujisajili kwa raundi ya mini-golf au kuchukua hewa puto safari. Nature wanaopenda familia pia kufurahia mbuga ndani misitu ya mvua, ambayo makala 50,000 mimea kutoka duniani kote. Kama na zaidi ya maji mbuga tumechagua, kuna kitu kwa ajili ya wazazi, pia! Je, kuna mtu kusema Bubble loungers na mabwawa massage? Hesabu kwetu katika! Water Park Splashworld – Avignon Ufaransa Ni mbuga ya kwanza na kubwa maji-themed katika Ufaransa, iko katika mkoa Provence, karibu Avignon, inaweza kutoa wewe jamaa umesimama, maeneo kwa ajili ya watoto wadogo, slides tofauti maji, kubwa wavivu mto katika Ulaya na pia surf simulator kubwa duniani. Hifadhi hii maji ni wazi wakati wa msimu wa majira ya joto (kuanzia Juni hadi Septemba) na pia ni mzuri kwa ajili ya watu wenye ulemavu. Splashworld uko 17 km kutoka Avignon, ambayo inafanya kuwa urahisi! pia, ukaribu wa kituo cha mabasi ambayo inaunganisha Hifadhi ya maji na kituo cha treni ya Avignon, inayowezesha kwa wale Safiri kwa basi au treni kutoka maeneo mengine katika Ufaransa kufikia Splashworld haraka! 15 ya 17 mabwawa ni wazi mwaka mzima na moja ya kubwa mabwawa ya ndani imeunganishwa na joto nje pool pia wazi kwa mwaka. wimbi pool na surf pool kutokeza hisia za likizo ya bahari. surf pool ni mkubwa! Inaweza kutumika na bodi maalum ya maendeleo kwa ajili ya matumizi ya ndani na pia kwa bodi yako mwenyewe. Kama wewe ni kuangalia kwa ajili ya zoezi baadhi kuna 25 m (82 ft) bwawa la kuogelea na a 3 m (10 ft) mbizi mnara. ndani adventure pool inatoa 11 slides na urefu wa karibu 1 km (0,6 maili). slide juu inachukua wewe chini ya safari ya kusisimua kutoka 17 m (55 ft). pia, kuna slide hela kwa ajili ya watu upande hadi tatu kwa upande pamoja na kitunguu slide na 180 m (590 ft) muda mrefu mlima mto, huku akiwa amezungukwa na miamba mwinuko, kama wewe ni hisia adventurous. Lyon kwa Avignon Treni Paris Avignon Treni Vyema Avignon Treni Marseilles kwa Avignon Treni Pick Tunayopenda kwa Best Water Parks katika Ulaya ni: Water Park Caneva Dunia, Italia Ziwa Garda inaweza kuwa maarufu kwa amani na utulivu wake, lakini Caneva Dunia kweli shakes mambo. This double whammy of a theme park is split between a Movieland and Acquapark. Kupata karibu na filamu hatua juu ya Overdrive Live Set, hutegemea kwenye viti yako katika John Rambo Stunt Show, kisha kusimamisha kutoamini wote kwa Illusionist show. Kuna umesimama kwa ajili ya familia yote, kutoka maji racing juu Kitt Super Jet, kwa urefu heady ya Hollywood Action Tower na ya kutisha Diabolik Invertigo roller Coaster. Kama hatua ambayo kila anapata kidogo moto sana, mbizi katika Caneva Aquapark na kunyoosha nje chini ya miti ya mitende, katika kivuli volkano kubwa! Lakini kwa pool kubwa wimbi na slides kushangaza maji kama Twin Peaks, Anaconda na Sherry kuna mengi ya akawajaribu ufukwe. burudani inaendelea katika Medieval Times Restaurant & Show – kiti mwenyewe chini katika medieval ngome na kupata tayari kwa ajili ya mashujaa, farasi, na mashindano kubwa jousting! Trento na Ziwa Garda Peschiera Treni Bolzano Bozen ya Ziwa Garda Peschiera Treni Bologna na Ziwa Garda Peschiera Treni Venice na Ziwa Garda Peschiera Treni Tayari na pakiti swimsuit yako na kwenda kwenye safari ya kutafuta Best Water Parks katika Ulaya? Heck ndiyo! Best habari bado, unaweza kupata yote ya nchi hizi kwa urahisi kwa msaada wa SaveATrain ! Pamoja na ada hakuna siri ya ziada, itabidi zaidi ya kutumia katika umesimama ajabu na nyakati nzuri! Kitabu kwamba Summer likizo, sasa! Unataka kupachika blog yetu baada kwenye tovuti yako, unaweza ama kuchukua picha wetu na maandishi na tu kutupa mikopo na kiungo kwenye chapisho hili blog, au bonyeza hapa: https://embed.ly/code?url=https://www.saveatrain.com/blog/best-water-parks-europe/- (Nenda chini kidogo kuona Embed Code) Train usafiri Austria, Train usafiri Italia, Train usafiri Uswisi, Travel Ulaya 1
2019-09-16T12:53:52
https://www.saveatrain.com/blog/best-water-parks-europe/?lang=sw
[ -1 ]
Makala yangu katika Raia Mwema Toleo la Agosti 8 (Haipo Mtandaoni) ~ Kulikoni Ughaibuni Makala yangu katika Raia Mwema Toleo la Agosti 8 (Haipo Mtandaoni) Kwa sababu zilizo nje ya uwezo wangu,makala yangu katika jarida la Raia Mwema toleo la Jumatano iliyopita (Agosti 8, 2012) haikuwekwa mtandaoni japo ipo gazetini.Kwa faida ya wasomaji,nimelazimika kuiweka hapa (inaweza kuwa na tofauti chache na iliyopo gazetini ambayo imehaririwa) MAKALA YA RAIA MWEMA TOLEO LA AGOSTI 8 Kwa zaidi ya wiki moja sasa kumekuwepo habari zisizopendeza kuhusiana na tatizo la muda mrefu la mpaka kati ya Tanzania na Malawi. Ningependa kukiri hadharani kwamba pamoja na kiu yangu kubwa ya ufahamu wa masuala mbalimbali sikuwahi kujibidiisha kufuatilia kwa undani chanzo cha tatizo hilo. Na pengine kuliita suala hilo ‘tatizo’ ni kulipunguzia uzito kwani ukichambua kwa makini kauli mbalimbali kutoka kwa baadhi ya viongozi wetu na wenzao wa Malawi, kinachoendelea hivi sasa kinaweza kabisa kuitwa ‘mgogoro wa mpaka kati yetu na Malawi.’ Katika baadhi ya mitandao ya jamii, ambayo baadhi yetu inatusaidia sana kufuatilia mambo mbalimbali huko nyumbani kumeanza kujitokeza hofu ya vita kati ya nchi hizi ambazo licha ya ujirani zina ukaribu mkubwa kwa sababu ya mwingiliano wa makabila. Hata hivyo, wakati hofu hiyo ya vita kati yetu na Malawi ikianza kukua, kuna mambo kadhaa yanayopaswa kujadiliwa kwa uwazi. Lakini pia ningependa kuweka wazi msimamo wangu kuwa ninaamini ufumbuzi pekee na wenye manufaa katika mgogoro huu ni kwa njia za amani. Na moja ya sababu kubwa ya kutaka mgogoro huu utatuliwe kwa njia za amani ni kumbukumbu niliyonayo ya vita pekee nilivyowahi kushuhudia katika uhai wangu hadi sasa. Bado nina kumbukumbu nzuri ya vita ya Kagera kati yetu na Uganda, ambapo wakati huo nilikuwa mtoto mdogo ninayeishi na wazazi mkoani Kigoma. Moja ya kumbukumbu zinazoniogofya hadi leo ni pale wakazi wa mji huo walipotakiwa kuchimba mahandaki kama hatua ya kujilinda. Kulikuwa na taarifa kwamba ‘swahiba’ wa nduli Idi Amin wa Uganda, aliyekuwa Rais wa ‘Zaire’ (sasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Congo-DRC) dikteta Mobutu, alikuwa na mpango wa kumsaidia Amin kushambulia Kigoma hasa kwa vile mkoa huo unapakana na DRC. Ninakumbuka hofu tuliyokuwa nayo kila tuliposikia mlio wa ndege angani, tukidhani ni ndege za Mobutu zimekuja kutuangamiza. Bahati nzuri hadi vita hiyo inamalizika hakukuwa na shambulio lolote kwa mji huo. Kwa kuzingatia kumbukumbu hizo, nisingependa kuona Watanzania wenzangu wakirejea kwenye hofu kama hiyo iliyotukumba sie wakati wa vita hiyo kati yetu na Uganda. Lakini kuna jambo jingine linalonipa hofu zaidi. Katika moja ya shahada zangu za Uzamili nimesoma Stadi za Vita (War Studies), na katika kozi hiyo tulitumia muda mwingi mwanafilosofia mahiri wa masuala ya vita, Mchina Sun Tzu. Moja ya mambo yanayousiwa na Sun Tzu kuhusu maandalizi ya vita ni hili “Sanaa ya vita inatufundisha sio kutarajia kuwa adui hatotuvamia bali maandalizi yetu katika kukabiliana nae, na sio katika uwezekano kuwa (adui) hatoweza kutuvamia bali uimara wa nafasi yetu ‘kutohujumika’ (unassailable).” Licha ya sote kuwa na mapenzi kwa nchi yetu, tukiangalia mwenendo wa mambo huko nyumbani kwa sasa, jambo tusilotaka kabisa kusikia kwa sasa ni vita. Mmoja wa ukweli mchungu ni kwamba hadi sasa tumeshindwa kukabiliana na maadui kadhaa wa ndani ambao hawana silaha bali fedha na porojo zao. Hapa ninawazungumzia mafisadi na maharamia wengine wanaoifanya Tanzania yetu kuwa katika umasikini tusiostahili. Lakini pia uimara wetu kukabiliana n adui si wenye kutoa matumaini. Katika siku za karibuni tumeshuhudia migomo ya madaktari na baadaye walimu, wote wakidai kuboreshewa maslahi yao. Wakati watawala wetu wanadai serikali haina fedha za kuboresha maslahi ya watumishi wake, imemudu kupandisha mishahara ya wabunge hadi kufikia shilingi milioni 11 kwa kila mmoja wao. Je inawezekana chokochoko kutoka Malawi zinachangiwa na uelewa wa nini kinachoendelea nchini mwetu? Lakini hata kama hiyo si sababu, je katika mazingira haya ya kuendekeza anasa kwa tabaka dogo huku wengi wa wananchi wakizidi ‘kupigika’ kutokana na uchumi dhaifu unaozidi kudhoofeshwa na majambazi wanaopora raslimali zetu kila kukicha, tunaweza kweli kukabiliana na adui huku tukiwa na uhakika wa kumshinda? Ninatambua kuwa ninaweza kuonekana msaliti kwa nchi yangu kwa kubainisha hoja hizo hapo juu lakini kama nilivyotanabaisha hapo awali, ningependa, na ninataraji, mgogoro huu utamalizwa kwa njia za amani. Nimeeleza hapo mwanzo kuwa sikuwahi kujishughulisha kufuatilia chanzo cha mgogoro ‘wa muda mrefu’ wa mpaka kati yetu na Malawi. Lakini jitihada kidogo tu ziliniwezesha kukutana na makala ya kitaaluma, ambayo licha ya kuwa ilichapishwa mwezi Disemba mwaka 1973, bado ina maelezo muhimu kuhusu mgogoro huo. Katika makala hiyo, The Malawi-Tanzania Boundary Dispute (mgogoro wa mpaka wa Malawi na Tanzania) iliyoandikwa na James Mayall, na ambayo ni mapitio ya kitabu (book review) kuna taarifa ambazo kwa namna flani zinatoa taswira ya ‘msimamo wa kukanganya’ kwa baadhi ya viongozi wetu, ikiwa ni pamoja na Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere. Kwa mujibu wa makala hiyo, awali viongozi wetu wakiongozwa na Nyerere waliridhia kuwa Ziwa si letu bali la Malawi. Kwa kiasi kikubwa msimamo huo ulionekana kuchagizwa na dhamira ya nchi yetu katika umoja wa nchi za Afrika. Japo sitaki kuchukulia makala hiyo kama ukweli halisi kuhusu chanzo cha mgogoro huo, mwandishi alijitahidi kwa kiasi kikubwa kubainisha jinsi suala hilo lilivyochukuliwa kuwa la kiutawala zaidi kuliko la kisheria. Inavyoelekea, kwa mujibu wa Mayall, moja ya sababu zilizopelekea nchi yetu kubadili msimamo wake wa awali kuwa Ziwa hilo si letu ni uhusiano wa karibu kati ya aliyekuwa Rais wa Malawi, dikteta Kamuzu Banda na utawala wa makaburu. Kama ambavyo inaelezwa kuwa moja ya vipaumbele vilivyopelekea Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar ni sababu za kiusalama, umuhimu wa sehemu ya Ziwa hilo kumilikiwa nasi unaelekea kuchangiwa na sababu kama hizo. Kadhalika, makala hiyo inajenga picha moja ambayo yayumkinika kuhisi kuwa inaweza kurandana na sababu za sasa za kurejea kwa mgogoro huo. Mwandishi Mayall alieleza kuwa katika wakati flani huko nyuma kulikuwa na hisia kwamba hoja ya Malawi kumiliki Ziwa lote ilihamasishwa na utawala wa Makaburu (waliokuwa wakitawala baadhi ya nchi za kusini kabisa mwa Afrika) na Wareno (waliokuwa wakitawala Msumbiji). Kisichopendeza kwa Mtanzania yeyote kuhusu makala hiyo ni ukweli kwamba msimamo wa awali wa nchi yetu ulikuwa ni pamoja na kuwaachia Wamalawi waamue wenyewe ‘kutuachia’ sehemu ya Ziwa Nyasa na pia kauli mbalimbali zilizoonyesha kuafiki kuwa Ziwa hilo si sehemu ya nchi yetu, japo baadaye msimamo huo ulibadilika. Ningependa sana kuitafsiri makala hiyo nzima kwa Kiswahili lakini nafasi hairuhusu, na pengine kufanya hivyo kunaweza kuwavunja moyo baadhi ya Watanzania wenzangu na pengine kuanza kuamini kuwa sie ndio chanzo cha chokochoko zilizopelekea mgogoro huo kufikia hatua ya sasa. Hata hivyo, iwapo kuna msomaji atahitaji nimsaidie kutafsiri makala hiyo ya Kiingereza, nipo tayari kufanya hivyo. Wakati ninajipa matumaini kuwa mgogoro huo utamalizwa kwa amani, ninajikuta nikikabiliana na maswali kadhaa ambayo ninachelea hata kudadisi majibu yake. Kwa mfano, itakuwaje iwapo Malawi watapuuza onyo lililotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe kuwa makampuni yanayojihusisha na uchimbaji raslimali katika Ziwa hilo yasitishe kazi mara moja? Wakati viongozi kadhaa huko Malawi wametoa kauli za kuleta matumaini kuwa kilichopo si mgogoro kwa vile nchi zetu zipo katika mahusiano mazuri, takriban wote wanaonekana kuwa na msimamo unaorandana kwamba Ziwa Nyasa lote ni la nchi hiyo. Hapo huhitaji uelewa wa mambo ya diplomasia kuhitimisha kuwa kinachoongelewa na viongozi hao ni kupunguza tu hofu kwa wananchi lakini pasipo kurudi nyuma katika msimamo kuwa Ziwa hilo ni lao lote na hawapo tayari kuliachia. Lakini kuna swali jingine la msingi zaidi. Je jeuri ya Malawi inatoka wapi? Je inachangiwa na makampuni yanayochimba raslimali katika Ziwa hilo? Je inachangiwa na uelewa kuwa nchi yetu kwa sasa inakabiliwa na ‘mizigo mikubwa’ kiasi cha kuiaminisha nchi hiyo kuwa hatuna uwezo wa kuwakabili? Na swali ambalo pengine ni gumu zaidi, je tuna uwezo wa kurejea ‘tulichomfundisha Nduli Idi Amin mwaka 1978-79? Ili uingie vitani ni lazima uwe na taarifa sahihi dhidi ya adui yako. Je taasisi zetu zinazoonekana kama zimesalimu amri kwa mafisadi wanaotafuna nchi yetu zina uwezo wa kukusanya taarifa muhimu za kiusalama ili pindi tukiamua ‘liwalo na liwe’ dhidi ya Malawi tusiishie kujilaumu? Vyovyote itakavyokuwa (huku tukiamini kuwa hakutokuwa na haja ya matumizi ya nguvu kutatua mgogoro huo) suala moja muhimu ni kuutumia mgogoro huu kama fursa ya kusaka suluhisho la kudumu.Kama ambavyo matatizo ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar unavyoendelea kuzalisha matatizo hususan kutokana na kukosekana utashi wa kisiasa kumaliza matatizo yaliyopo, mgogoro huu kati yetu na Malawi ambao umedumu kwa takriban nusu karne sasa unahitaji kumalizwa. Lakini ili hilo liwezekane ni muhimu kwa watawala wetu kuelewa vipaumbele vya taifa letu. Na kwa vile katika mazingira tuliyonayo tunalazimika kuwa kitu kimoja (na kuweka kando ukweli kuwa baadhi ya wenzetu wameigeuza nchi yetu kuwa kitegauchumi chao) na tunalazimika pia kuwaamini watu walewale ambao ‘wanadai hawajui chanzo cha umasikini wetu’, basi ni muhimu Tuweke kando tofauti zetu na tuwe tayari kulinda na kutetea kile tunachoamini ni halali yetu. Nimalizie kwa kutoa wito kuwa suala hili nyeti lisigeuzwe turufu ya kisiasa kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka 2015.Tusiruhusu wababaishaji wakurupuke na kauli za kusaka umaarufu pasipo kuwa na mikakati ya namna ya kutatua mgogoro huu kwa njia za amani. Kwa jirani zetu wa Malawi na hususan Rais Banda, wito wangu kwao ni huu: amani ni muhimu kwetu sote, lakini wakati mwingine inalazimu kutumia mabavu ili kuleta amani ya kudumu. Pamoja na matatizo yetu, mie na pengine kila Mtanzania anaamini kuwa kamwe hatutoruhusu Ziwa Nyasa ligeuzwe ‘uwanja wa kutupima ubavu.’ Tulimsambaratisha Nduli Amin kwa sababu nia tulikuwa nayo, sababu tulikuwa nazo, na uwezo pia tulikuwa nao. Hata kama itaonekana kwa Wamalawi kuwa nia, sababu na uwezo wetu ni hafifu kwa sasa, hakuna Mtanzania aliye tayari kuona ardhi ya nchi yake ikimegwa au mipaka yetu ikichezewa. Mwanafalsafa Sun Tzu anaonya; “gharama ya vita ni kubwa kuliko ushindi wowote utakaopatikana” na “wanaoingia vitani hufanya hivyo wakiongozwa na ‘miscalculations’ hasa imani kuwa watashinda...lakini vita ikimalizika hujikuta wana hasara kubwa kuliko kabla hawajaingia vitani.”
2019-01-19T13:37:59
https://www.chahali.com/2012/08/makala-yangu-katika-raia-mwema-toleo-la_16.html
[ -1 ]
(showing articles 1001 to 1020 of 37937) 03/18/13--23:52: _kutoka zanzibar leo. 03/19/13--03:04: _toto day 03/19/13--04:40: _Tamasha la Pasaka k... 03/19/13--04:43: _NAIBU WAZIRI CHARLE... 03/19/13--05:45: _polisi jamii na mic... 03/19/13--06:03: _Tuzo ya shukurani 03/19/13--06:28: _RAIS KIKWETE AZINDU... 03/19/13--06:44: _kumbukumbu 03/19/13--06:53: _KINANA AKUTANA NA M... 03/19/13--07:13: _SHOW YA GUINNESS FO... 03/19/13--07:17: _Barclays Tanzania t... 03/19/13--07:20: _TEXAS-SEMINA YA WAL... 03/19/13--12:45: _KAMATI YA BUNGE YA ... 03/19/13--13:02: _MAKAMU WA RAIS DKT.... 03/19/13--13:11: _Rais Kikwete ahani ... 03/19/13--13:35: _RAIS KIKWETE MGENI ... 03/19/13--14:09: _Article 11 03/19/13--22:54: _ Despite spirited w... 03/20/13--00:06: _TANEXA yalalamikia ... 03/20/13--02:12: _Sipho Makhabane, gw... older | 1 | .... | 49 | 50 | (Page 51) | 52 | 53 | .... | 1897 | newer 03/18/13--23:52: kutoka zanzibar leo. Usalama wa Abiria na kufuata sheria ni suala muhimu na linalopaswa kuzingatiwa kwa madereva,pichani Askari wa usalama barabarani wakifanya ukaguzi wa magari yaendayo shamba kuhakikisha usalama kwa abiria. Haki za Wanyama zinapaswa kulindwa na kila mtu,kuwatesa Wanyama ni kuvunja maadili na haki za wanyama,pichani vijana wakimlazimisha Ng'ombe kumvisha gari baada ya kugoma.PICHA NA YUSUF SIMAI-MAELEZO. 03/19/13--03:04: toto day 03/19/13--04:40: Tamasha la Pasaka kunufaisha walemavu TAMASHA la Pasaka linalotarajiwa kufanyika Machi 31, mwaka huu kwenye uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam, linatarajia kuwanufaisha zaidi watu wenye ulemavu, imeelezwa. Akizungumza jijini leo, Mkurugenzi wa Msama Promotions ambao ndio waandaaji wa tamasha hilo, Alex Msama, alisema kuwa malengo yake kwa mwaka huu ni kuhakikisha tamasha hilo linawasaidia walemavu wengi tofauti na miaka iliyopita. Msama alisema kuwa nia kuu ya tamasha la mwaka huu ambalo pia litahudhuriwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ni kuhubiri amani na upendo, lakini nchi haiwezi kuwa na amani na upendo kama kuna baadhi ya watu wanataabika. “Kauli mbiu ya tamasha la mwaka huu ni amani na upendo, lakini wote tunajua ni ngumu kumuhubiria amani na upendo mtu ambaye anataabika, sasa katika kuhakikisha watanzania wote wanaifurahia amani yao na kuongeza mapendo baina yao, nimepanga kuwasaidia kwa namna yeyote walemavu ili kuwapa nguvu za kuifurahia nchi yao yenye amani,”alisema Msama. Aidha aliongeza kuwa wigo wa kuwasaidia walemavu utaongezeka kulingana na kiasi cha fedha kitakachopatikana. Tamasha la mwaka huu limeonekana kukubalika na jamii kubwa ya watanzania kutokana na kauli mbiu yake, lakini pia utaratibu wa kuwapa nafasi watanzania kuchagua mikoa na wasanii watakaopamba tamasha umekubalika na wengi hali iliyolifanya tamasha hilo kuwa la watu wote bila kujali dini, rangi ama kabila. Wanamuziki wa Injili wanaotarajiwa kupamba tamasha hilo ni Sipho Makhabane wa Afrika Kusini, Ephraim Sekeleti wa Zambia na Solomon Mukubwa ambaye raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) anayeishi nchini Kenya, pamoja na kwaya ya Ambassadors of Christ yenye makazi yake Kigali nchini Rwanda. Kwa upande wa wasanii wa hapa nchini watakaotumbuiza ni Upendo Kilahiro, Rose Muhando, Upendo Nkone, John Lissu, kwaya ya Kinondoni Revival na kundi la Glorious Celebration. Tamasha la Pasaka hilo pia litafanyika katika mikoa ya Mbeya ambapo litaendelea Aprili Mosi kwenye Uwanja wa Sokoine, Aprili 3 litafanyika katika Uwanja wa Samora Iringa na Aprili 6 litakuwa kwenye uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma na siku inayofuata itakuwa Uwanja wa CCM Kirumba, jijini Mwanza. 03/19/13--04:43: NAIBU WAZIRI CHARLES KITWANGA AFANYA MKUTANO NA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU MKUTANO WA KIMATAIFA WA MABADILIKO YA TABIANCHI Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Charles Kitwanga akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu Mkutano wa Kimataifa wa Kuhimili Mabadiliko ya Tabia nchi kwa Njia ya Asili kwenye ukumbi wa Mkutano Ofisini Mtaa wa Luthuli Mjijini Dar es Salaam, Kulia Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bw Sazi Salula kushoto Mkurugenzi Msaidizi Mazingira Bw Richard Muyungi Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Charles Kitwanga akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu Mkutano wa Kimataifa wa Kuhimili Mabadiliko ya Tabianchi kwa Njia ya Asili Mkutano huo Umefanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano Ofisini Mtaa wa Luthuli Jijini Dar es Salaam, Kulia Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bw Sazi Salula. [Picha na Ali Meja] 03/19/13--05:45: polisi jamii na michezo kwa jamii Ofisa wa polisi jamii Tarafa ya Moipo Mkoani Manyara,Amiri Mlemba akikabidhi mpira kwa mabingwa wa soka wa Wilaya ya Simanjiro,timu ya Middle Age ya Mji mdogo wa Mirerani kwenye uwanja wa Barafu.(picha na woinde shizza,manyara. 03/19/13--06:03: Tuzo ya shukurani Waziri mkuu mh.Mizengo Pinda akimkabidhi tuzo ya shukrani mkurugenzi wa Tigo Tanzania Diego Gutierrez kwa ajili ya mchango wao katika kuwaletea wananchi huduma ya sms ambayo itawawezesha wananchi kujua hali za figo zao popote walipo kupitia simu zao za mkononi 03/19/13--06:28: RAIS KIKWETE AZINDUA JENGO LA TEHAMA LA CHUO CHA VETA KIPAWA Rais Jakaya Kikwete akimwagilia maji mti baada ya kuzindua Chuo cha Tehama cha VETA Kipawa jijini Dar es Salaam. Rais Kikwete akipewa maelezo ya kazi katika Chuo cha Veta Kipawa. Baadhi ya vifaa vinavyotumiwa kufundishia wanafunzi. Mkurugenzi Mkuu wa VETA, Zebadia Moshi akimuonesha Rais Jakaya Kikwete mashine za kisasa zinazotumiwa chuoni hapo. Mwalimu wa Chuo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Veta Kipawa, Adrian Aloyce akimpa maelezo Rais Jakaya Kikwete wakati wa uzinduzi wa chuo hicho jijini Dar es Salaam. Rais Jakaya Kikwete akitoa hotuba yake wakati wa uzinduzi wa Jengo la Chuo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA), Veta Kipawa jijini Dar es Salaam. 03/19/13--06:44: kumbukumbu 03/19/13--06:53: KINANA AKUTANA NA MJUMBE WA KAMATI KUU YA CPC, CHINA Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (wapili kulia) na ujumbe wake wakiwa kwenye semina kuhusu uzoefu wa China katika kupunguza umasikini vijijini, semina hiyo iliendeshwa na Mkurugenzi wa Kituo cha Kimataifa cha kupambana na umasikini, Profesa Huang Chenwei (kushoto), katika hoteli ya Wanshou, Beijing, China, Machi 19, 2013. Wengine ni Katibu wa NEC ya CCM, Siasa na Uhisiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro (kulia), Kulia kwa Kinana ni, Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Zanzibar) Vuai Ali Vuai, Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mjini Magharibi, Yusuf Yusuf na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Jesca Msambatavangu. Kinana na ujumbe wa viongozi 14 wa CCM, wapo nchini China kwa ajili ziara ya mafunzo, kwa mwaliko wa Chama Cha CPC. (Picha na Bashir Nkoromo). MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC) Ai Ping, ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa China ( kulia) akiendesha semina kwa kuhusu ujenzi wa vyama vingi katika mazingira ya utandawazi, kwa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (wapili kushoto) na ujumbe wake wa viongozi 14 wa CCM, leo Machi 19, 2013. Semina hiyo ilifanyika katika Ofisi za Mambo ya Nje ya Chama Cha Kikomunisti cha China (CPC). Viongozi wa CCM kutoka kushoto ni Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro. Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Zanzibar), Vuai Ali Vuai, Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mjini Magharibi, Yusuf Mohamed Yusuf, Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu, Katibu Mkuu wa UVCCM, Martine Shigela na Katibu Mkuu wa UWT, Amina Makilagi. Kinana na ujumbe wa viongozi 14 wa CCM, wapo nchini China kwa ajili ziara ya mafunzo, kwa mwaliko wa Chama Cha CPC. Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kushoto) akisalimiana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa China ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Kikomunisti cha China (PCP), Ai Ping, Kinana alipowasili kwenye Ofisi za Makao Makuu ya Mambo ya Nje ya chama cha CPC, mjini Beijing, China, Machi 19, 2013. Kinana ambaye aliwasili kwenye Ofisi hizo na ujumbe wa viongozi 14 wa CCM, wapo nchini China kwa ajili ziara ya mafunzo, kwa mwaliko wa Chama Cha CPC. Katibu wa NEC ya CCM, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro, akisalimiana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa China ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Kikomunisti cha China (PCP), Ai Ping, alipowasili na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, kwenye Ofisi za Makao Makuu ya Mambo ya Nje ya chama cha CPC, mjini Beijing, China, Machi 19, 2013. Kinana na ujumbe wa viongozi 14 wa CCM, wapo nchini China kwa ajili ziara ya mafunzo, kwa mwaliko wa Chama Cha CPC. Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Katibu wa NEC, Siasa na Uhisiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro, wakibadilishana mawazo, baada ya semina kuhusu uzoefu wa China katika kupunguza umasikini, iliendeshwa na Mkurugenzi wa Kituo cha Kimataifa cha kupambana na umasikini, Profesa Huang Chenwei, katika hoteli ya Wanshou, Beijing, China, Machi 19, 2013. Kinana na ujumbe wa viongozi 14 wa CCM, wapo nchini China kwa ajili ziara ya mafunzo, kwa mwaliko wa Chama Cha CPC. (Picha na Bashir Nkoromo). 03/19/13--07:13: SHOW YA GUINNESS FOOTBALL CHALLENGE KUANZA KESHO WANAJUMUIYA WA AFRIKA MASHARIKI WACHUANA KWENYE KIPINDI CHA KWANZA KABISA CHA GUINNESS® FOOTBALL CHALLENGE™! *KIPINDI CHA KWANZA CHA MCHEZO HUU WA KUSISIMUA WAANZA TAREHE 20 MWEZI HUU* MACHI 19, 2013 Dar es Salaam – Wakati umewadia tena wa kushuhudia mapambano katika kipindi ukipendacho cha Televisheni na kinachotambulika kama, “The GUINNESS® FOOTBALL CHALLENGE™”, ambacho kinarudi kwenye runinga yako wiki hiii tarehe 20 mwezi huu wa tatu. Ikumbukwe kwamba mamia ya vijana kutoka kona mbali mbali nchini walichuana vikali hapo leaders club ambapo walikua na nafasi ya kuweza kuingia kwenye shindano ambalo lingewawezesha kujishidia kitita cha dola za kimarekani $250,000. Kipindi hiki cha televisheni kinachotazamwa na wengi barani Afrika kimerudi tena kwa kishindo na kwa sasa kitakuwa kinashirikisha nchi za barani Africa. Washiriki watakuwa kutoka nchi za Cameroun, Ghana, Kenya, Tanzania and Uganda na washindi wa mwisho kabisa watajipatia tuzo ya ‘Pan-African champions.’ Timu kwenye raundi ya kwanza : • Kutoka Dar es Salaam, Daniel Msekwa, ndiye kiongozi kwenye maswala ya maswali yanayohusiana na soka, Mwalimu Akida Hamad, naye ataonyesha kipaji kwa kucheza . Daniel ni mfanyakazi wa shirika la bandari Tanzania yaani TPA na Mwalimu bado ni mwanafunzi wa chuo cha elimu ya juu. Wote wanakubali kwamba mchezo huu umewapa nafasi vijana wengi kuonyesha vipaji vyao na kwamba unainua soka sio kwa kucheza tu bali na kuwa na uelewa kuhusu mchezo mwenyewe. Je wataweza kuendelea kwenye hatua ya pili? • Hawa wapenzi wa michezo mmoja ni Michael Kirwa, na mwenzake ni mwalimu wa mazoezi yaani ‘fitness trainer’ Stephen Githinji, wote wa jiji la Nairobi. Michael yupo hapa kwa maswala ya kujibu maswali yani uelewa wa soka naye Stephen ndiye atakayeonyesha vipaji kwa kucheza . • Oscar Boban na Kennedy Andindu, wanatokea kampala na ndio watakaoakilisha Uganda katika hiki kipindi cha kwanza. Oscar ni mfanyabiashara na ndiye atakayekuwa mshiriki wa uelewa na kennedy ambaye ni mpenzi wa Arsenal .Yeye atakuwa jukwaani kuonyesha kipaji • Daniel Muthendu, ni mhasibu na amekili ni mpenzi mkubwa wa soka na kujiamini kuchuana kwenye maswali yote yanayohusu mpira huu wa miguu. Mwenzake ni Oscar Litonde, ambaye ni mchezaji wa mpira, mechi za kirafiki jijini Nairobi. Hawa nao pia watachuana vikali na timu Wapenzi wa kipindi hiki cha Guiness football challenge barani Afrika wanakumbushwa kwamba nao wanaweza kushiriki kwa kufuatilia kwa karibu. Wanaweza kufanya hivyo kwa kujisajili bure kabisa katika tovuti ya m.guinnessvip.com kwa kupitia simu ya mkononi na kompyuta zao. Pia GUINNESS FOOTBALL CHALLENGE ina kurasa ya Facebook page www.facebook.com/guinnesskenya Ili kufuatilia kwa karibu yanayojiri, unatakiwa kuupenda ukurasa huu yaani ‘like’ na utakuwa unapata habari zote kama zinavyotiririka. GUINNESS FOOTBALL CHALLENGE, ni kipindi cha mchezo wa soka kinachotayarishwa na kampuni ya kimataifa ya Endemol iliyopo Afrika Kusini. Usikose kuangalia na kufuatialia kipindi hiki katika runinga 03/19/13--07:17: Barclays Tanzania today launched Barclays Internet banking, tabloid banking and mobile banking Tunu Kavishe head corporate affairs barclays adressed press conference today acompanied by Samuel Mkuyu head of Products and channels on her left and on her right is mr Valence Luteganya Liability and products development manager Barclays Tanzania today launched Barclays Internet banking, tabloid banking and mobile banking. Speaking at the press conference today, Mr Samuel Mkuyu, Head of Products at Barclays Bank Tanzania said Barclays Internet Banking is a unique online platform that enables our customers to carry out their everyday banking transactions and pay for their utility bills over the Internet anytime, anywhere conveniently and securely. Barclays Internet Banking can be accessed via www.barclays.co.tz. Another services launched today is Barclays Tabloid Banking (BTB) which is Internet Banking provided via Applications supported by Android (Samsung Galaxy tabs) and i-OS (iPads). The third services launched today is the Barclays Mobile Banking (BMB) this is Internet Banking that is provided via Applications supported by Android (Samsung Galaxy phones) and i-OS (iPhones). BTB bears the same functionality as BIR except, that it does not allow self registration and only supports payments to billers and, or beneficiaries already added as payees in the users profile…he added…. Commenting on these new services offered by Barclays Tanzania, Barclays Tanzania Corporate Affairs Head Mrs Tunu Kavishe said with the features/Benefits outlined above, Barclays Internet Banking takes the lead in the market in provision of the most innovative digital banking solutions in Tanzania. This is not to mention that it is free. It goes without saying that Internet banking forms our Unique Selling Proposition as Retail. To support Internet banking, Barclays Operation Client (BOC) has been deployed for use at the branches and with customer service. With this in place, Branches can capably attend to all customer queries and complaints and resolve them. Barclays Bank Tanzania Managing Director, Kihara Maina said: “As part of the Barclays Africa Group, we will continue to play an important role in the country to ensure that the benefits of Africa’s growth story are realised by the people of Tanzania.” 03/19/13--07:20: TEXAS-SEMINA YA WALIMU WA KARATE Sensei Rumadha ni mmoja wa walimu wa Kitanzania wa karate ambao wanafanya vizuri katika fani hii ughaibuni, ni matumaini yetu wahusika katika sekta ya michezo hasa upande wa mapambano kama ngumi, kick boxing, judo nk wataangalia uwezekano wa kupata mchango wao ambao unaweza kusaidia katika kuboresha wanamichezo wetu kufikia kiwango cha kimataifa na kuliletea sifa taifa letu. GFAMILY Blogger. 03/19/13--12:45: KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMBELEA DARAJA LA KIGAMBONI LEO 03/19/13--13:02: MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ATOA POLE KWA WAFIWA MSIBA WA ASKARI WA USALAMA BARABARANI ALIYEGONGWA NA GARI leo Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiweka saini katika kitabu cha maombolezo ya msiba wa aliyekuwa askari wa Usalama Barabarani, WP Elikizaeli Lokisa Nnko, aliyefariki dunia kwa kugongwa na gari na dereva ambaye hadi sasa hajajulikana wakati akiwa katika majukumu yake ya kikazi eneo la Bamaga Mwenge jijini Dar es Salaam leo. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimfariji Prince David, mtoto wa aliyekuwa askari wa Usalama Barabarani, marehemu WP Elikizaeli Lokisa Nnko, aliyefariki dunia kwa kugongwa na gari na dereva ambaye hadi sasa hajajulikana wakati akiwa katika majukumu yake ya kikazi eneo la Bamaga Mwenge jijini Dar es Salaam leo. 03/19/13--13:11: Rais Kikwete ahani msiba wa trafiki aliyegongwa, dereva aliyetokomea baada ya ajali akamatwa Taarifa iliyoifikia Globu ya Jamii hivi punde zinaeleza kuwa yule dereva aliyemgonga askari polisi wa usalama barabarani WP 2493 CPL-Elikiza Lokisa Nko na kutokomea, amekamatwa jana usiku masaa kadhaa baada ya kupoteza uhai wa askari huyo maeneo ya Bamaga mapema jana mchana. Kwa Mujibu wa Mkuu wa Kikosi cha Polisi cha Usalama barabarani nchini, Kamanda Mohamed Mpinga amesema leo kuwa gari lilohusika kwenye ajali hiyo aina ya Landlover Discovery rangi nyeusi limepatikana likiwa limefichwa maeneo ya Tabata dampo jijini Dar. Kupatikana kwa gari hilo kumekuja baada ya Polisi kufuatilia na kujua mmiliki wa gari hilo kuwa ni kanisa la TAG chini ya Mchungaji Wambura, ambaye kwa ushirikiano alioutoa dereva aliyetambuliwa kama Jackson Stephen, alijulikana na hatimaye kupatikana Kamanda Mpiga ametoa taarifa hiyo mbele ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete jioni hii nyumbani kwa Marehemu hukoUnunio kiasi cha kilomita 25 hivi Kaskazini mwa jiji la Dar. Rais Kikwete pamoja na uongozi wa juuu wa jesgi la polisi walifika kuhani msiba huo nyumbani kwa marehemu ambaye ameacha Mume na watoto watatu. Mume wa marehemu pia ni askari polisi. Pichani juu Rais Kikwete akimfariji mume wa marehemu na watoto wake pamoja na Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Saidi Mwema. 03/19/13--13:35: RAIS KIKWETE MGENI RASMI MAADHIMISHO YA MIAKA 60 YA BARAZA LA UUGUZI NA UKUNGA, AZINDUA MAABARA YA UHANDISI JENI Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizindua kitabu cha historia ya Uuguzi na Ukunga nchini wakati wa maadhimisho ya miaka 60 ya Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania katika bustani ya Mnazi Mmoja leo Machi 19, 2013 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiondoka kufungua rasmi Maabadara ya kisasa ua Uhandisi Jeni (Genetic Engineering) katika kituo cha utafiti wa Kilimo cha Mikocheni jijini Dar es salaam leo Machi 19, 103. Kushoto ni Dkt Chrtistopher Chiiza na wa pili kulia ni Mku wa kituo hicho Bw. Joseph Ndunguru Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimtunuku medali mmoja ya wauguzi wakongwe nchini aliyewahi pia kuwa Mbunge na Msajili wa Wauguzi na Wakunga Mama Jitto Ram wakati wa maadhimisho ya miaka 60 ya Baraza la Uuguzi na Ukunga katika bustani ya Mnazi Mmoja leo Machi 19, 2013. 03/19/13--14:09: Article 11 03/19/13--22:54: Despite spirited war on maternal deaths, progress unimpressive Though the government is making significant efforts to reduce maternal and child mortality, expectant mothers have continued to die, a situation that delays the country from attaining the fifth Millennium Development Goal (MDG5) This was revealed on Monday by the assistant director, Reproductive and Child Division in the ministry of Health and Social Welfare, Dr Neema Rusibamayila, during a two days workshop on evaluation of the integrated maternal and newborn healthcare programme in Morogoro by the Muhimbili University of Health and Allied Sciences and the Johns Hopkins University, whose target is to reduce maternal and infant mortality. According to the Tanzania demographic and health survey, more than 454 mothers die from pregnancy-related complications for every 100,000 live births. However, Dr Rusibamayila said this is because women have not considered the importance of visiting health facilities during pregnancy, at delivery and afterwards. She said, so far, it is only 43 per cent of expectants who visit clinics at least four times before delivery and that only 50 per cent give birth at health facilities and under the supervision of a professional midwife. But this is due to the fact that still only 43 per cent repeat the visits up to four times. However, even for women who feel they do not have any sign of complication during pregnancy, there are still unexpected conditions which can arise during delivery and that could lead to death. But only 50 per cent of mothers give birth at health facilities,” said Dr Rusibamayila. Reading a speech to launch the workshop on behalf of deputy minister for Health Seif Rashid, Dr Rusibamayila said the government would continue to demonstrate a strong political commitment to achieving health-related millennium development goals 4 and 5. However, there is still significant work that needs to be done to achieve these goals. She said, though the under-five mortality has declined to 122 deaths per 1, 000 live births, up to 47 per cent of children that die in the country do so at the neonatal period or within the first month of life. For her part, the principal investigator on evaluation of integrated maternal and newborn healthcare programme in Morogoro, Prof Japhet Killewo, a medical doctor and Epidemiologist who is overseeing the study on behalf of Muhimbili University, said pregnant women make their first visits to facilities later than recommended. However, many are discouraged by the long times they need to spend waiting to be seen, lack of drugs and test kits in some health facilities. As a result, many of them do not return to clinics to receive valuable services that could be beneficial for their health and that of their unborn babies. “We have discussed extensive research and valuable policies,” said Prof. Killewo adding, “Today we have presented findings that we hope will spark countrywide discussion on how to best address opportunities in meeting women’s needs during pregnancy, at birth in the months following birth.” “There are also positive points that merit mention,” said Dr. Rose Mpembeni of Muhimbili University, who presented at the conference. “We see that women generally report good feelings about the integration of many services – including HIV services – during antenatal visits. Among HIV-positive women, we have noted that patient-provider relationships are strong. In terms of supplies within facilities, we observed that supplies of commodities such as family planning products and HIV test kits are, in many facilities, good,” she said. 03/20/13--00:06: TANEXA yalalamikia wingi wa beria mpakani mwa Tanzania na Uganda Moja ya gari la mizigo likifanyiwa ukaguzi wa nyaraka kwenye beria kabla ya kuingia Tanzania. Moja ya beria zilizopo eneo la Kyaka SHIRIKISHO la Wasafirishaji Bidhaa nje ya nchi (TANEXA) wamelalamikia kukithiri kwa vituo vya ukaguzi wa magari (beria) na mizigo vilivyopo barabarani, unapoingia na kutoka Tanzania kupitia mpaka wa Tanzania na Uganda (Mtukula). Eneo lilalolalamikiwa zaidi ni kutokea Mtukula hadi Bukoba mjini ambapo kuna wingi wa vituo njiani. Akizungumza katika semina ya wadau wa biashara juzi mjini Bukoba, Mkurugenzi Mtendaji wa Shirikisho la Wasafirishaji Bidhaa Nje ya nchini (TANEXA), Mtemi Naluyaga alisema wingi wa beria umekuwa kikwazo cha wafanyabiashara huku baadhi ya wafanyakazi wasio waaminifu wanaohudumia katika vituo hivyo wakijenga mazingira ya rushwa kwa wanachama wao. "Kutokea Mtukula hadi Bukoba Mjini kuna beria 9 upande wa Tanzania, lakini ukiingia Uganda hadi mjini kuna beria moja...na kibaya zaidi ukiangalia beria hizi nyingine zinafanya kazi sawa na beria zingine huu ni usumbufu kwa wafanyabiashara. Alishauri Serikali kupitia mamlaka husika kujipanga na kuweka beria moja eneo la Mtukula na kuimarisha uteandaji ili kituo hicho kifanye kazi ya beria zote. Kwaupande wake Mwenyekiti wa Wafanyabiashara Wanawake Mpakani mwa Tanzania na Uganda (IWCBTA), Mtukula, Jane Charles alisema akinamama wamekuwa wakinyanyaswa na kutishiwa na baadhi ya watendaji katika beria hizo jambo ambalo limekuwa vikwazo katika ufanyaji biashara zao. Akizungumza katika semina hiyo, Mjumbe wa Chama cha Wamiliki wa Mabasi ya mikoani (TABOA), Wilaya ya Bukoba, Eliud Rumanyika alipinga kitendo cha wafanyakazi wa TRA kuyashikilia baadhi ya magari ya wanachama wao kwa makosa ya abiria pindi inapotokea abiria kaingia na mzigo ambao umekuwa na tatizo mpakani. "...Sisi tunaona si haki kwa baadhi ya watendaji wa TRA kwenye vituo vya ukaguzi kuamua kuyashikilia magari yetu kwa kosa la abiria, abiria anapokutwa na kosa mpakani atozwe faini mwenyewe na si kushikilia gari la abiria hii ni usumbufu kwa wengine na wamiliki," alisema Mjumbe Rumanyika. 03/20/13--02:12: Sipho Makhabane, gwiji wa muziki wa Injili A.Kusini Awatungia wimbo maalum watanzania katika tamasha la Pasaka HISTORIA ya muziki Duniani, inaonesha kuwa muziki wa makanisani, ambao unajulikana kama muziki wa Injili ndio chimbuko la aina zote za muziki ulimwenguni. Hakuna ubishi kuwa kila mwanamuziki mwenye kuujua muziki, ukimuuliza chanzo cha yeye kujihusisha na muziki ni lazima atakueleza kuwa alianzia kwenye kwaya ama kaswida. Hata hivyo pamoja na ukongwe wa muziki huo, bado unaonekana kutopewa nafasi sana kwenye vituo vya redio na Televisheni, labda kutokana na kuegemea dini fulani. Pamoja na hilo, lakini pia haujaweza kuwanufaisha wanamuziki wa muziki huo hapa nchini tofauti na wanavyofaidika wanamuziki wa mataifa mengine kama ilivyo nchini Afrika Kusini. Sipho Makhabane ambaye anajihusisha na muziki huo nchini Afrika Kusini ni mmoja wa wanamuziki wa Injili wenye mafanikio makubwa. Makhabane ambaye pia ametajwa kuja nchini kushiriki tamasha la Pasaka linalotarajiwa kufanyika Machi 31, mwaka huu, anamiliki kampuni kubwa ya Big Fish, ambapo kazi yake kubwa ni kukuza na kuibua vipaji vipya vya wanamuziki wa Injili. Jina la mwanamuziki huyo ni kubwa barani Afrika, ambapo umaarufu wake umepatikana kutokana na uwezo wake wa kutunga nyimbo zenye ujumbe wa hali ya juu wa kumsifu na kumuabudu mungu. Kutokana na uwezo wake huo mashabiki wengi wa muziki wa Injili wamekuwa wakimfananisha na wanamuziki mahiri kama Joyous Celebration ama Sfiso Ncwane. Makhabane mwenye umri wa miaka 45 ni mmoja wa magwiji wa uimbaji nchini Afrika Kusini, ameshiriki katika shughuli mbalimbali za kiroho na kijamii. Kutokana na kutingwa na shughuli zake mwaka 2010 alitangaza kuachana na kazi ya kuimba, hata hivyo mwaka 2012 aliushangaza ulimwengu kwa kuachia albamu yake mpya iliyokubalika na watu wengi. Historia ya maisha yake inaonesha kuwa ni mtu aliyekulia katika muziki huo. Kutokana na ugumu wa maisha uliokuwa ukiikabili familia yake, Makhabane alilazimika kuacha shule akiwa darasa la tano na akiamua kufanya kazi katika shamba la miwa la Kaaruls huko Mpumalanga kama ilivyokuwa kwa mwimbaji mwingine nguli Rebecca Malope. Makhabane alifanya hivyo walau aweze kupata fedha ya kuwasaidia wazazi wake pamoja na ndugu zake ambao walikuwa wakimtegemea yeye. Alipotimiza miaka 17, alihamia kwenye kazi za ujenzi kwenye Hifadhi ya Taifa ya Afrika Kusini ya Kruger. Akiwa huko alifanya kazi ya kuwasaidia mafundi waliokuwa wakijenga nyumba kambini hapo na alipotimiza miaka 21 alikuwa tayari na ujuzi wa kutosha katika kazi ya ujenzi na akapata kazi katika eneo la Pienaar. Mwaka 1986, Makhabane alipata ofa nzuri katika kampuni ya Telkom kama fundi, lakini katika kuhangaika kwake alijikuta akiishia kwenye muziki wa Injili. Hata hivyo hakuwa akijua kuwa nyota ya mafanikio yake ilikuwa kwenye huduma hiyo ya uimbaji na badala yake alikuwa akifanya muziki wa kujifurahisha zaidi na si wa biashara. Mwaka 1990, wakati huo akiwa na umri wa miaka 25, Makhabane alifunga ndoa na binti aliyekuwa na umri wa miaka 18. Baada ya hapo ndipo alianza kazi ya kununua na kuuza kazi za muziki ndani na nje ya nchi ya Afrika Kusini. Kutokana na kuona muziki umeanza kuingia kwa kasi kwenye akili yake, Makhabane aliamua kuachana na kazi ya ufundi mitambo ya simu na kujikita kwenye muziki. Katika kuhakikisha anaingiza kipato mwanamuziki huyo aliamua kusambaza kazi zake mwenyewe , lakini kikwazo kwake kikawa ni namna ya kuwavutia wasambazaji waliokuwa tayari kununua kazi kutoka kwake. Kazi yake iliyomfanya kukubalika ilianza kusikika kwenye redio ya Swazi ambayo inajulikana zaidi kwa jina la Ligwalagwala FM, ambapo kibao kilichomtambulisha ni kile cha Ngitinikela Kuwe. Hatimaye mwaka 1996, Makhabane aliamua rasmi kuifanya kazi hiyo ya muziki wa Injili na kuacha kazi aliyokuwa akiifanya kwenye kampuni ya simu. Mwaka huo huo aliachia album yake iitwayo “Yek’intokozo” wimbo ambao mpaka leo unakumbukwa na mashabiki wake kwani ndio ulimtambulisha vema, ingawa tayari alishatoa album nyingine mbili miaka ya 1993 hadi 1999 za ‘THUM’UMLOLO” na “JESU ULIQHAWE”. Mwaka 1998, kupitia kampuni ya CCP Records aliachia album yake ya nne iitwayo “Uyigugu” iliyofanya vema kabla ya mwaka uliofuata kuachia nyingine iitwayo “Makadunyiswe,”. Mwaka 2001, alifyatua album ya Calvary ambayo iliuza kufikia kiwango cha juu na mwaka uliofuata (2002), aliachia albamu nyingine ya ‘Akukhalwa’ ambayo ilitikisa kama album ya “Yek’intokozo,” akiuza zaidi ya nakala 70,000. Mwaka 2003, Makhabane aliachia album ya ‘Moya wami’ ambayo pia iliuza zaidi ya nakala 70,000. Kutokana na umahiri wake, Makhabane ameweza kushirikishwa katika album na waimbaji wakongwe wa nchini kwake kama Jabu Hlongwane, Marehemu Vuyo Mokoena, Lundi, Hlengiwe Mhlaba na wengine wengi. Pia akiwa nyuma ya mafanikio ya waimbaji lukuki kama Hlengiwe Mhlaba, Ncandweni Christ Ambassadors, Shongwe na Khuphuka Saved Group. Nje ya uimbaji, Makhabane ni mtayarishaji wa kazi za muziki wa injili akiwa daraja la waimbaji wengine kutokana na kuwika vilivyo kupitia kazi zao zilizoandaliwa na gwiji huyo. Makhabane ametunga wimbo maalum kwa ajili ya mashabiki wake wa Tanzania.
2019-12-10T11:47:58
http://jiachie1.rssing.com/chan-7007640/all_p51.html
[ -1 ]
Ngoma: Watu 4 walikamatwa wakitumia katani na wakiwa na kilo 165 - Swahili Home HABARI Ngoma: Watu 4 walikamatwa wakitumia katani na wakiwa na kilo 165 Ngoma: Watu 4 walikamatwa wakitumia katani na wakiwa na kilo 165 Tarehe ya: January 31, 2017 7:31:14 AMNdani: HABARIHakuna Maoni Tarehe 29 Januari 2017, polisi ya Rwanda katiaka wilaya ya Ngoma iliwakamata watu wane wakivuta katani na mmoja wao alikua na mifuko nne ya katani yote ikiwa na kilo 165. Waliokamatwa ni Havugabaramye Jonas, Ibyimanikora Jean Baptiste, Niyonsaba Jean Baptiste pamoja na Uwiringiyimana. Msemaji wa polisi jimbo la Mashariki, Inspector of Police (IP) Emmanuel Kayigi amesema kuwa waliwakuta wakivuta katani katika nyumba ya Ibyimanikora mwenyeji wa kiini ya Kinyonzo, tarafa ya Kazo. Walikwenda kusaka katika nyumba ya Havugabaramye ndipo wakaona hio katani kilo 165 na ndipo mhusika akasema kuwa alimuwekea Ibyimanikora. IP Kayigi eti,”kukamatwa kwa hao ni kutokana na taarifa kutoka kwa wakaaji, ikimaanisha ya kua raia tayari wamejua matokea mabaya ya katani, nawashukuru kwa hayo”, na akiwaomba kuendelea kutoa taarifa ili kuzuia usambazaji wa dawa za kulevya. Hao wane wapo kwenye stesheni ya polisi ya Mutenderi hata hio katani kilo 165 huwekea hapo na upelelezi ukiendelea. Msemaji wa polisi jimbo la mashariki amewapa ujumbe akisema kuwa wanajuwa mbinu ambazo hutumia ili kufanya biashara ya dawa za kulevwa, na kuambia wakaaji kuwa wakisubutu watakamatwa bila shaka.
2017-05-26T20:50:12
http://swahili.bwiza.com/blog/2017/01/31/ngoma-watu-4-walikamatwa-wakitumia-katani-na-wakiwa-na-kilo-165/
[ -1 ]
BUNGE LAENDELEA NA KIKAO CHAKE MJINI DODOMA LEO - HABARI24 Home / Uncategories / BUNGE LAENDELEA NA KIKAO CHAKE MJINI DODOMA LEO wanafunzi wa Chuo cha Ufundi -VETA mkoa wa Dodoma nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma.PICHA/Aron Msigwa-MAELEZO BUNGE LAENDELEA NA KIKAO CHAKE MJINI DODOMA LEO Reviewed by HABARI24 TV on 2:10:00 PM Rating: 5
2018-02-17T19:48:24
http://habari24.blogspot.com/2016/05/bunge-laendelea-na-kikao-chake-mjini_81.html
[ -1 ]
Rais Magufuli achangia Milioni 10 ujenzi wa Msikiti Mkuu Dar....Atoa Ujumbe Mzito Kwa Viongozi Wote wa Dini Nchini | MPEKUZI Rais Magufuli achangia Milioni 10 ujenzi wa Msikiti Mkuu Dar....Atoa Ujumbe Mzito Kwa Viongozi Wote wa Dini Nchini Rais John Magufuli amewataka viongozi wa dini kuwa wasemaji wa mambo yao na si kusemewa na wanasiasa. Amesema hayo leo Juni 12, 2018 alipotembelea kukagua maendeleo ya ujenzi wa msikiti mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), unaojengwa Kinondoni jijini Dar es Salaam. Rais amesema viongozi wa dini wanapaswa kuwa wasemaji wakuu wa mambo yao na si kuwaachia watu wengine ambao hawana uhusiano wowote na masuala ya kidini. “Msiwe na wasemaji ambao si viongozi wa dini. Msiwatumie wanasiasa... mambo ya dini yazungumzwe na viongozi wa dini wenyewe,” amesema Rais Magufuli. Amesema kuwapa uwanja wanasiasa kuwa wazungumzaji wa masuala ya kidini kunaweza kulitumbukiza Taifa katika hatari kwa kuwa wanasiasa wamekuwa na tabia ya kutaka kutumbukiza ajenda zao. “Msitafute wasemaji kwa niaba ya maaskofu, mapadri, wachungaji, masheikh... kuweni wasemaji wa mambo yenu wenyewe. Mtakuwa mnatupoteza, Taifa mtalipeleka kubaya. Mambo yenu yasemeeni wenyewe kuwapa watu wengine mtawachanganya wasikilizaji,” amesema. Rais Magufuli amemkabidhi Sh10 milioni kwa Mufti wa Tanzania, Abubakary Zubeiry zikiwa mchango wake katika kugharimia ununuzi wa saruji ili kuharikisha ujenzi wa msikiti huo unaotarajiwa kumalizika Aprili, 2019. “Hela hii ikasaidie kununua mifuko 625 ya saruji ili msikiti huu ukamilike kwa wakati... nafahamu ujenzi wake unagharimiwa na Mfalme wa Morocco lakini nami nimeona nichangie sehemu hiyo ndogo,” amesema.
2019-05-26T01:34:45
http://www.mpekuzihuru.com/2018/06/rais-magufuli-achangia-milioni-10.html
[ -1 ]
Gamboshi, Kijiji kinachobeba dhana ngumu kuaminika - Best Hope Media™ You are here: Home » Makala » Gamboshi, Kijiji kinachobeba dhana ngumu kuaminika Gamboshi, Kijiji kinachobeba dhana ngumu kuaminika Wakazi wa kijiji cha Gamboshi Wengi tumekuwa tukisikia habari nyingi kuhusu kijiji cha Gamboshi kilichopo wilayani Bariadi.Kijiji hichi kimekuwa kikihusishwa na uchawi na ushirikina huku ikisemwa kuwa kina maajabu mengi sana.Kwa wale waliokuwa wakisikiliza kipindi cha sitosahau kupitia Redio Free Afrika kipindi kile watakuwa wamewahi kusikia habari kuhusu maajabu ya kijiji hicho, mwandishi nguli wa hadithi nchini Eric Shigongo aliwahi kuandika hadithi akitumia jina la kijiji hicho. Kuna wale ambao walikuwa wakihisi kuwa jina hilo ni la kubuni na hakuna kijiji kama hicho. Nimekuwekea makala iliyowahi kuwekwa kwenye gazeti la mwananchi miaka kadhaa iliyopita . isome hapa chini; “Tume ya Katiba ilitupita, mwenge wa Uhuru nao haujawahi kupita hapa. Tuko kisiwani mbali na Watanzania wengine,” anasema Maduhu. Ofisa Mkaguzi kutoka Bodi ya Pamba (TCB), Ramadhani Dissa, anaielezea Gamboshi kuwa ni moja ya vijiji vilivyouza pamba nyingi msimu huu. “Siku moja kijana huyo alikuja kijijini hapa akimsandikiza mpenzi wake, kisha kushindwa kurudi kijijini mwake,” anasimulia Maduhu akiongeza, “Juhudi za kumsaka kijina huyo hazikiweza kuzaa matunda, hadi aliponekana kichakani baada ya siku saba, huku ngozi yake imebadilika na kuwa nyeupe.” Mkazi mwingine wa kijiji hicho, Malimi Kidima anasema kuwa wana Gamboshi wangeweza kuitangazia dunia kuwa wao ni wasafi lakini, kwa miaka mingi wamekosa jinsi ya kuifanya sauti yao isikike. “Redio ndiyo njia ya pekee inayotufanya sisi tuwe karibu na dunia, Hakuna mwenye luninga hapa kwa sababu hakuna umeme. Tunasoma magezeti kupitia vichwa vya habari vinavyosomwa kila siku redioni,” anasema Kidima. Baada ya mwendo, Kijiji cha Gamboshi kikaanza kuonekana kikipambwa na miti ya Jakaranda yenye maua mekundu, kiliioenekana ni kijiji kizuri, chenye nyumba chache na hali yake kunogeshwa na ubaridi uliotokana na miti mirefu iliyopandwa kuzunguka nyumba chache zilizokuwepo. Habari hii imenukuliwa kwenye tovuti ya Mwananchi kupitia gazeti lake la Mwananchi Jumapili, kama ilivyoandikwa na mwandishi Miguel Suleyman.
2018-09-23T23:47:41
http://kaozab.blogspot.com/2016/04/gamboshi-kijiji-kinachobeba-dhana-ngumu.html
[ -1 ]
TASWIRA: SHEREHE ZA 49 ZAMAPINDUZI ZANZIBAR ZILIVYOFANA UWANJA WA AMANI JANA | Politiksi Kurunzini Home HABARI POLITIKSI TASWIRA: SHEREHE ZA 49 ZAMAPINDUZI ZANZIBAR ZILIVYOFANA UWANJA WA AMANI JANA TASWIRA: SHEREHE ZA 49 ZAMAPINDUZI ZANZIBAR ZILIVYOFANA UWANJA WA AMANI JANA SeriaJr Sunday, January 13, 2013 HABARI , POLITIKSI Edit Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali Mohamed Shein, akikagua Gwaride wakati wa Sherehe za Mapinduzi, zilizofanyika leo kwenye Uwanja wa Amani jini Zanzibar Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) wakipita kwa ukakamavu mbele ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Ali Mohamed Shein kutoa heshima kwake na Viongozi wa Juu wa Kiserikali waliohudhuria Maadhimisho ya siku ya mapinduzi Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Rais Mstaafu wa Zanzibar DK.Salmin Amour Juma,alipowasili katika Uwanja wa Amaan katika Kilele cha Sherehe za Miaka 49 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Rais Mstaafu wa Zanzibar DK.Amani Abeid Karume,alipowasili katika Uwanja wa Amaan katika Kilele cha Sherehe za Miaka 49 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar zilizofanyika leo. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dkt. Salmin Amour, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Amani Mjini Zanzibar leo kwa ajili ya kuhudhuria katka sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Ameir Pandu Kificho, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Amani Mjini Zanzibar leo kwa ajili ya kuhudhuria katka sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Amani Mjini Zanzibar leo kwa ajili ya kuhudhuria katka sherehe za Mapinduzi ya Zanzibar. Msanii Halikuniki akiongoza Kikundi cha wasanii cha Cha Beni Maarufu(Mbwakachoka) kikipita mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani) katika sherehe za kutimia miaka 49 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,zilizofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Studium jini Zanzibar Wafanyakazi wa Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar wakipita mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani) katika sherehe za kutimia miaka 49 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,zilizofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar. Kikundi cha wasanii cha Mbwakachoka kikipita mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani) katika sherehe za kutimia miaka 49 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,zilizofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar. Baadhi ya wananchi wakipita kwa Maandamano mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani) katika sherehe za kutimia miaka 49 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar,zilizofanyika leo katika Uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar. Waziri Mkuu wa Tanzania Mizengo Pinda, Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama mwanamwema Shein, na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Davis Mwamunyange, wakiwa katika Jukwa la VIP katika kilele cha Sherehe za Miaka 49 ya Mapinduzi ya Zanzibar [Picha na Ramadhan Othman, Ikulu] Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduizi Dk.Ali Mohamed Shein,akitoa hutuba yake kwa wananchi wa Zanzibar kupitia katika sherehe za kutimia miaka 49 ya Mapunduzi Matukufu ya Zanzibar huko Uwanja wa Amaan Studiuma Mjini Zanzibar jana, kuhudhuriwa na Maelfu ya wananchi mbali mbali Mjini na Mashamba.[Picha na Ramadhan Othman, Ikulu] Kikosi cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kikipita mbale ya Rais kwa Gwaride la Mwendo wa kuruka ruka, katika sherehe za Kutimia miaka 49 ya Mapinduzi Matiukufu ya Zanzibar huko Uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar jana. [Picha na Ramadhan Othman, Ikulu] Kikosi cha Jeshi la (KMKM) Kikosi cha kuzuia Magendo Wanaume kikipita mbale ya Rais kwa Gwaride la Mwendo wa haraka, katika sherehe za Kutimia miaka 49 ya Mapinduzi Matiukufu ya Zanzibar huko Uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar jana. [Picha na Ramadhan Othman, Ikulu – ZANZIBAR]
2018-05-26T11:49:44
https://arusha255.blogspot.com/2013/01/taswira-sherehe-za-49-zamapinduzi.html
[ -1 ]
MFUMUKO WA BEI WA TAIFA WAONGEZEKA HADI ASILIMIA 5.5 - PAMOJA BLOG Home > Habari > Matukio > Uchumi > MFUMUKO WA BEI WA TAIFA WAONGEZEKA HADI ASILIMIA 5.5 7/08/2016 06:14:00 PM Habari, Matukio, Uchumi
2017-12-17T21:26:04
http://www.pamoja.co.tz/2016/07/mfumuko-wa-bei-wa-taifa-waongezeka-hadi.html
[ -1 ]
MLEKANI SPORTS NEWS: Uchukuzi Yaadhimisha Siku ya Mazingira Duniani Wafanyakazi kutoka taasisi mbalimbali za sekta ya Uchukuzi jana wakifanya usafi ndani ya soko la Mabibo, wakishirikiana na wananchi ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha Siku ya Mazingira Duniani, iliyoadhimishwa jana.
2017-08-19T00:03:32
http://mlekani.blogspot.com/2017/06/uchukuzi-yaadhimisha-siku-ya-mazingira.html
[ -1 ]
Serikali kuanzisha sarafu mpya ya mia tano | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Serikali kuanzisha sarafu mpya ya mia tano Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by OMUSILANGA, Feb 27, 2012. Ndiyo Wakuu! Katika kutoa majibu mepesi kwenye maswali magumu,serikali kupitia gavana bank kuu ,Prof Ndulu inatarajia kuanzisha sarafu ya miatano .Amedai kuwa noti hizo zinachakaa sana kwa sababu mzunguko wake ni mkubwa. Je ule ubora uliokuwa unasemwa uko wapi wakati noti hizo zinatoka? Au ndo ni amini kuwa jamaa walisha kula cha kwao? Hivi ni lini serikali hii ita anzisha vitu endelevu? Tunahitaji tafukuri nzito kama Taifa kuelekea Tanzania tuitakayo. Source: Taarifa habar Cloudz Kuleta source ya hii inf yako ni muhimu sana, kama ni kweli naomba serikali wawe wakweli tu mara zote hubadili noti na kuwa sarafu baada ya fedha yake kuporomoka dhamani ndivyo ilivyo hata sasa ukisema inamzungoko mkubwa si wana recycle - 0 people likes kuleta source ya hii inf yako ni muhimu sana kama ni kweli naomba serikali wawe wakweli tu mara zote hubadili noti na kuwa sarafu baada ya fedha yake kuporomoka dhamani ndivyo ilivyo hata sasa ukisema inamzungoko mkubwa si wana recycle Click to expand... si kaandka hapo source:clouds fm..tatzo wana jf tume kariri mtu akileta mada tu bila hata kumaliza kusoma "source".. jakaya amekasirika na analipiza kisasi mwaka 2010 si tulijfanya hatumpend sasa ndo tutamkoma.. lakini watanzania hatuna utaratibu mzuri wa kutunza noti!! sasa mtu anashika noti mikono mibichi au masizi ya mkaa wewe unategemea nini Mkuu usemayo ndio ukweli wenyewe. Hii ni manifestation ya prevailing inflation/hyperinflation!. Tunakoelekea tutatolewa sarafu ya elfu moja. BOT Kuanzisha sarafu ya shs. 500, ni wazo zuri. sarafu zenyewe za shilingi 50, 100 na 200 hazina ubora kama za zamani zinachubuka mapema. Gavana anahitaji kueleza sababu zaidi ya hiyo moja. Noti za Mia tano za Dr Balali zilikuwa bora kuliko hizi za Dr. Beno Ndulu. Naunga mkono kama ni kwa nia njema. imi nashauri hela zote tanzania ziwe sarafu. benki ziwekwe zile jackpot tukifika pale tunatumbukiza tunachapa mwendo ukihitaji unaenda pale unchomoa tu.oa Kutokana na umasikini wa watanzania mzunguko wa noti za sh. 500 ni mkubwa hivyo kuchakaa kwake hakuepukiki ni bora kuwa na sarafu badala ya noti. wakitengeneza noti nyingine waziache na noti mbili zilizotangulia ili tuwe na aina tatu ya noti moja jakaya amekasirika na analipiza kisasi mwaka 2010 si tulijfanya hatumpend sasa ndo tutamkoma..Click to expand... Akasirike tuu ila Hasira yetu itawaangukia CCM 2015. Hawatakatiza Baba riz anataka mwanya wakupenyeza msura wake teh! teh! Sarafiu yenyewe iking'aa kama hilo kombe itakuwa safi sana. lakini watanzania hatuna utaratibu mzuri wa kutunza noti!! sasa mtu anashika noti mikono mibichi au masizi ya mkaa wewe unategemea niniClick to expand... Nasubiri wanauchumi watupe majibu ya hili ila naamini au nijuavyo mimi.kuchapisha not mpia nikwamba uchumi unashuka pia thaman ya noti imeshuka au huna noti kwenye mzunguko ndio unato chapa ili ziwe nyingi. Yote kwa yote nikua thamani ya shiling yetu imepotea na inazidi kupotea kilasiku. Hatuko mbali watu kwenda sokoni na masanduku ya hela kununua mahtaji ya nyumbani kama ilivyokua kwacha ya zambia miaka ya nyuma japo sasa kidogo wanajtahd Kutokana na umasikini wa watanzania mzunguko wa noti za sh. 500 ni mkubwa hivyo kuchakaa kwake hakuepukiki ni bora kuwa na sarafu badala ya noti.Click to expand... Nashukuru kwa leo kukubali kuwa serikali ya ccm imewafanya watanzania kuwa maskini. Nashukuru sana kwa kukili hilo. Ila wapelekee taarifa kwamba, there is a breaking point, uvumilivu wa watanzania una mwisho, na huo mwisho hauko mbali sana. Lazima tutawaweka vijiti kama wananchi wa libya walivyofanya. Ndiyo Wakuu! Katika kutoa majibu mepesi kwenye maswali magumu,serikali kupitia gavana bank kuu ,Prof Ndulu inatarajia kuanzisha sarafu ya miatano .Amedai kuwa noti hizo zinachakaa sana kwa sababu mzunguko wake ni mkubwa. Je ule ubora uliokuwa unasemwa uko wapi wakati noti hizo zinatoka? Au ndo ni amini kuwa jamaa walisha kula cha kwao? Hivi ni lini serikali hii ita anzisha vitu endelevu? Tunahitaji tafukuri nzito kama Taifa kuelekea Tanzania tuitakayo. Source: Taarifa habar CloudzClick to expand... Hii ni ishara nzuri ya kumkamata Beno Ndullu ajumuishwe na wale wenzake walioingiza mashine za kuharibu noti kumbe hazikuwa zinahitajika. Kwa hesabu la haraka-haraka, kiasi cha fedha kilichotumika kutengeneza noti mpya za 500 ni kiasi kikubwa na ndani ya miaka mitatu zimechakaa...!! Kiasi hiki cha uharibifu kwa rasilimali za umma kinampasa aliyethibitisha kuwa ni bora ashitakiwe mara moja, au kunyongwa! Wanafanya mzaha maana tumeishia kuongea tu na hakuna hatua za maana zinachukuliwa! Ni Beno Ndullu, na sio mwingine, akamatwe! Alisema Noti mpya zikifuliwa zinatoa rangi, sio tatizo ila hiyo ndiyo alama yake ya 'kiusalama'? kumbe ndio kuchakaa kwenyewe anakokubali sasa! Hawezi kusema zinachakaa mapema kutokana na mzunguko wake kuwa mkubwa, dola zinazunguka sana, hazichakai! Noti za zamani za 500, 1000, na 2000, hata 5000 zinazunguka zana, mbona hazichakai??....Hii yote 'chai' tu...viongozi wamefilisika, wamejaa uongo, sababu tu hakuna wa kuwahukumu....! Rais mwenyewe hata hajui kama noti ya mia tano inazunguka au la....! May God help us! Hakuna serikali yoyote duniani inachapisha sarafu fulani kwa sababu ya uchakavu wa noti. Kigezo kimojawapo kinachofanya sarafu kubwa kuchapishwa ni uporomokaji wa uchumi wa nchi husika. Mfano miaka ya hadi 1985 noti ya juu Tz ilikuwa 100. kulikuwa na noti za sh. 5,10,20, 50. Leo hii miaka karibu 15 tu, tupo hapa tulipo, na sasa wanataka kuchapisha sarafu ya miatano kusingizia uchakavu, what shame, what stupidity in their minds. Wanadhani wote ni wajinga wa kuamini haraka kuwa sababu ya uchakavu wa noti inafanya wachapishe sarafu? Kwanini basi wasichapishe hela yote katika sarafu hadi noti ya elfu kumi, ili tuachane na usumbufu wa uchakavu wa noti kwa miaka ijayo? Ili pia tuonekane nchi ya kwanza duniani kuwa na hela ya sarafu tu. Ni jambo la kusikitikia kuliko kufurahia. Uchumi wa Tz unaporomoka kila kukicha. Waliopewa dhamana ya kuulinda uchumi wetu wapo usingizini, au hawajali, au yote pamoja. Ni Mkapa tu, pamoja na madhaifu mengine ya kiufisadi ya serikali yake, alijitahidi kurudisha heshima ya uchumi wetu.
2016-12-09T06:17:11
http://www.jamiiforums.com/threads/serikali-kuanzisha-sarafu-mpya-ya-mia-tano.227885/
[ -1 ]
Ruto azungumzia maandamano ya upinzani Kenya - BBC Swahili Ruto azungumzia maandamano ya upinzani Kenya http://www.bbc.com/swahili/medianuai/2016/05/160524_ruto_interview Watu watatu wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa wakati polisi wa kuzuia ghasia walipokabiliana na waandamanaji wa upinzani katika miji mikubwa nchini Kenya wakitaka Tume ya Uchaguzi ijiuzulu. Mtu mmoja amethibitishwa kufa mjini Kisumu na wawili zaidi inaripotiwa wameuawa mji jirani wa Siaya. Chama kikuu cha upinzani CORD kimetoa wito kufanyika maandamano kila Jumatatu mpaka Tume itakapojiuzulu kabla ya uchaguzi mkuu mwakani. Upinzani unaituhumu Tume kupendelea chama kilichopo madarakani. Awali mwandishi wetu Zuhura Yunus alizungumza na Naibu Rais wa Kenya William Ruto ambaye yuko mjini Istanbul Uturuki kuhudhuria mkutano wa kimataifa kuhusu njia za kuwasaidia wakimbizi duniani, na kumuuliza kwa nini Polisi wameendelea kutumia nguvu dhidi ya waandamanaji. Video Tazama jinsi ndege ilivyogeuzwa na kuwa hoteli Ethiopia
2018-02-20T10:01:04
http://www.bbc.com/swahili/medianuai/2016/05/160524_ruto_interview
[ -1 ]
MISS TANZANIA 2019 AAHIDI KUTUMIA KISWAHILI MASHINDANO YA MISS WORLD | MALUNDE 1 BLOG Home » burudani , habari » MISS TANZANIA 2019 AAHIDI KUTUMIA KISWAHILI MASHINDANO YA MISS WORLD
2019-09-23T17:28:43
https://www.malunde.com/2019/09/miss-tanzania-2019-aahidi-kutumia.html
[ -1 ]
Ofa: Jipatie Sabufa Hii Kwa 250,000 Tu, Na Tv Kuanzia 200,000 Tu. Soma Tangazo Lote | MPEKUZI Ofa: Jipatie Sabufa Hii Kwa 250,000 Tu, Na Tv Kuanzia 200,000 Tu. Soma Tangazo Lote TAFADHALI SOMA TANGAZO LOTE KABLA HUJAPIGA SIMU. Bongo Deco Electronics ni duka la vifaa mbalimbali kkama tv, Friji, Home theater, na vingine vingi. Sasa wanakuletea sabufa hii yenye spika 5 na warranty ya mwaka 1. Sabufa hii ni nzuri sana na inadumu sana. Sabufa hii ina bluetooth, inashika radio mbalimbali, unaweza iunganisha na Tv, Deki au kingamuzi, pia ina seheemu ya Flash, Memory Card. Warranty yake ni mwaka 1. Kwa wakazi wa Dar unaweza kuja kuifata mwenyewe dukani au piga simu 0658184797 au 0752184797 tukuletee BURE kama upo Dar na utalipia 250,000 radio ikikufikia. 1. MTUMIE HELA NDUGU YAKO ALIEPO DAR AJE AKUCHUKULIE HALAFU AKUTUMIE WEWE MKOANI. 2. UTUME HELA YA USAFIRISHAJI TUKUTUMIE SISI HADI HUKO MKOANI SABUFA HII BEI 250,000 TU. TV IPO KWENYE OFA NI 32INCH MPYA KWA 295,000 TU. PIA TUNAUZA TV ZENYE WARRANTY YA MWAKA 1. Usafiri na kufungiwa ukutani ni BURE kwa Dar. Piga 0658184797 / 0752184797. Warranty mwaka 1 na Tupo KINONDONI STUDIO PEMBENI YA KITUO CHA MWENDOKASI. MKOANI TUNATUMA KWA GHARAMA ZA MTEJA MWENYEWE AU MTUMIE HELA NDUGU YAKO ALIEPO HUKU AJE AKUCHUKULIE. 32inch 630,000 40inch 1,000,000 40inch 730,000 32inch 400,000 (zmeisha) 40inch 550,000 (zmeisha) 55inch 1,250,000 (zmeisha) 32inch 380,000 32inch 480,000 (zmeisha) 55inch 1,300,000 (zmeisha) SOYI TV (SIO SMART) 21inch 205,000 24inch 280,000 32inch 360,000 42inch 580,000 SOYI SMART TV 32inch 405,000 42inch 650,000 50inch 900,000 GOODVISION TV 32inch 300,000 OFA 42inch 600,000 GOODVISION SMART TV 32inch 430,000 55inch 1,200,000 50inch 950,000 UBEY TV SIO SMART 19inch 210,000 22inch 255,000 UBEY SMART TV 32inch 350,000 OFA 43inch 690,000 50inch 4k 880,000 55inch 1,150,000 65inch -2,000,000
2020-08-06T02:02:47
https://www.mpekuzihuru.com/2020/03/ofa-jipatie-sabufa-hii-kwa-250000-tu-na.html
[ -1 ]
Mkoa wa Njombe - Wikipedia, kamusi elezo huru Mkoa mpya wa Njombe umechukua eneo lote la kusini la Mkoa wa Iringa katika Tanzania. Rangi iliyokolea inaonyesha wilaya ya Njombe tu kabla haijagawanywa. Wilaya za Mkoa wa Iringa na mikoa jirani hadi mwaka 2010. Kanisa mkoani Njombe, Tanzania Mkoa wa Njombe ni mmojawapo kati ya mikoa mipya nchini Tanzania wenye postikodi namba 59000 [1], ukiwa umeanzishwa rasmi mwaka 2012[2]. Umepakana na mikoa ya Morogoro, Ruvuma, Mbeya na Iringa. Kutokana na hadhi mpya, wilaya ya Njombe imegawanyika kati ya ile ya mjini na ile ya vijijini. Pia, mwezi wa Machi 2012, imeanzishwa wilaya ya Wanging'ombe. Mwaka 2012 katika eneo hilo kulikuwa na wakazi 702,097 Census 2012. Jalada kutoka ya awali juu ya March 5, 2016. Iliwekwa mnamo 14 February 2016. katika wilaya sita zifuatazo: Njombe Mjini (wakazi 130,233), Njombe Vijijini (wakazi 85,747), Makambako (wakazi 93,827), Makete (wakazi 97,266), Ludewa (wakazi 133,218), Wanging'ombe (wakazi 161,816). Makao makuu yako Njombe mjini. Yapo pia makabila madogo kama vile Wawanji, Wakisi, Wamanda, Wamagoma n.k. ambao kwa ujumla wao wanachukua asilimia 6 iliyosalia ya watu Mkoani Njombe. Karibu wakazi wote wa mkoa ni Wakristo, hasa Walutheri na Wakatoliki. Njombe Kaskazini : mbunge ni Joram Hongoli (CCM) Njombe Kusini : mbunge ni Edward Mwalongo (CCM) Makambako : mbunge ni Deo Kasenyenda Sanga (CCM) Wanging'ombe : mbunge ni Gerson Hosea Lwenge (CCM) Makete : mbunge ni Dk. Norman Adamson Sigalla (CCM) Ludewa : mbunge ni ↑ Staff. "Tanzania: State Gazettes New Regions, Districts", 9 March 2012. Archived from the original on August 23, 2012. Wilaya za Mkoa wa Njombe, Tanzania Njombe Vijijini Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Mkoa_wa_Njombe&oldid=1016378" Ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 21 Oktoba 2017, saa 07:36.
2018-03-24T21:23:58
https://sw.wikipedia.org/wiki/Mkoa_wa_Njombe
[ -1 ]
Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa na mwenzake wa Zambia Edgar Lungu wamekutana Jumatano na kutoa tamko la kuishauri tume ya uchaguzi (CENI) nchini Jamhuri ya KIdemokrasia ya Congo (DRC) kutangaza matokeo ya uchaguzi kwa haraka ili kuendeleza utulivu nchini humo. Wiki iliyopita, Afrika Kusini, ambaye ni mshirika mkuu wa Kabila, waliungana na Russia na China huko katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN) kuzuia tamko lilopendekezwa na Ufaransa ambalo lilikuwa linapongeza kufanyika uchaguzi lakini likakosoa uamuzi wa serikali kuzima mitandao ya intaneti na mitandao mengine ya jamii. Tume imetangaza Jumanne jioni kwamba imeanzisha “mikutano kadhaa ya kutathmini na kujadili, na kuwa itapelekea kutangazwa kwa matokeo ya awali ya uchaguzi wa urais.” Mwanadiplomasia mwengine, hata hivyo amesema kuwa majumuisho ya kura zote bado hayajakamilika na kuwa kutangazwa kwa matokeo hayo kunaweza kusubirishwa hadi Alhamisi. Wakati huohuo Askari wa kuzuia fujo wamepelekwa katika makao makuu ya tume ya uchaguzi Kinshasa, Jumatano, wakati kukiwa na wasiwasi juu ya matokeo yenye utata ya uchaguzi wa rais katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, uchaguzi ambao tayari umetiwa dosari kwa tuhuma za wizi wa kura. Majumuisho ya matokeo yanaweza kutangazwa baadae Jumatano baada ya CENI kukutana usiku kucha hadi asubuhi. Polisi pia wameendelea kulinda doria katika barabara kubwa ya jiji hilo la Kinshasa, wakati wananchi wa Congo wakiwa na wasiwasi juu ya uwezekano wa kutokea uvunjifu wa amani wakati kuna hisia ya kuwa serikali ya Rais Joseph Kabila inafaya mazungumzo juu ya makubaliano ya kuwa na serikali ya mseto na kiongozi mmoja wa upinzani. Uchaguzi wa Disemba 30 ulikusudia kuleta kwa mara ya kwanza kubadilishana kwa madaraka kwa njia ya kidemokrasia kwa nchi hiyo kubwa iliyoko Afrika ya Kati katika kipindi cha miaka 59 ya uhuru wake. Lakini matokeo yenye utata yanaweza kuibua uvunjifu wa amani ambao uliwahi kutokea baada ya uchaguzi wa 2006 na 2011 na kuivuruga mipaka ya upande wa mashariki ya Congo ambayo tayari haina amani.
2020-07-05T09:35:57
https://www.voaswahili.com/a/afrika-kusini-zambia-waishauri-ceni-kutangaza-matokeo-drc/4735310.html
[ -1 ]
Education Services | Masasi District Council TARATIBU ZA KUHAMISHA MWANAFUNZI KUTOKA SHULE MOJA KWENDA NYINGINE NDANI NA NJE YA WILAYA Uhamisho wa mwanafunzi kutoka shule moja ya sekondari kwenda nyingine hufanywa wakati wa likizo tu isipokuwa kama kuna tatizo kubwa linasababisha uhamisho kufanyika na kwamba asipohamishwa hawezi kusoma au kufuatilia vizuri masomo yake. Aidha uhamisho hutakiwa kufanywa na mzazi au mlezi na sio mwanafunzi mwenyewe. Ziko aina mbili za uhamisho;- Uhamisho kutoka shule za sekondari za Halmashauri ya wilaya ya Masasi kwenda ndani na nje ya Halmashauri . Uhamisho huu hufanya kwa kuandika barua ya ombi la uhamisho kwa Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara na barua kupitia kwa Mkurugenzi Mtendaji wilaya, Afisa Elimu Sekondari Wilaya, Mkuu wa shule anakotoka mwanafunzi na Mkuu wa shule anakokwenda mwanafunzi. Mwonekano wa anuani za barua ni kama ifuatavyo;- Katibu Tawala (M) K.K. Mkurugenzi Mtendaji (W) S.L.P 60 K.K. Afisa Elimu Sekondari Halmashauri ya Wilaya ya Masasi S.L.P. 60 K.K. Mkuu wa shule (anakotoka Mwanafunzi. Huyu atapitisha na kujaza fomu za uhamisho) K.K. Mkuu wa Shule (Anakotaka kuhamia mwanafunzi. Huyu ataonesha kama nafasi ipo ya kumpokea) Ili uhamisho uweze kukamilia ni lazima Mzazi/mlezi apate ridhaa kutoka kwa mkuu wa shule anakohamia mwanafunzi hivyo ni lazima barua ya maombi ya uhamisho ipite kwanza kwa mkuu wa shule anakohamia mwanafunzi kwa uthibitisho wa kupata nafasi. Uhamisho kutoka shule za sekondari zilizo nje ya Halmashauri kuja katika shule za sekondari za halmashauri ya wilaya ya Masasi. Uhamisho huu hufuata anuani kama zilivyo hapo juu katika uhamisho aina ya kwanza ISIPOKUWA anuani hizi uelekezwa kwa Katibu Tawala wa Mkoa au Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya na afisa Elimu sekondari wa Wilaya anayotoka mwanafunzi. Kabla ya kuwasilisha barua katika ngazi za juu kama anuani zinavyoonesha mzazi/mlezi anatakiwa kupeleka kwanza barua kusainiwa kwa mkuu wa shule anayohamia mwanafunzi na kufuata mfululizo wa anuani kama ulivyo kutoka chini. Aidha jukumu la halmashauri katika uhamisho huu ni kumpokea mwanafunzi baada ya kupata kibali cha uhamisho kutoka kwa Katibu Tawala wa Mkoa anakohama. NAFASI YA AJIRA YA MKATABA December 11, 2018 TANGAZO LA KAZI YA UFUNDI UJENZI HOSPITALI YA HALMASHAURI YA WILAYA December 13, 2018
2018-12-16T04:32:44
http://masasidc.go.tz/education-services
[ -1 ]
Balozi Mrango aongezewa muda | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Balozi Mrango aongezewa muda Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Divele Dikalame, Sep 22, 2011. Hatimaye katibu mkuu wa wizara ya ujenzi Balozi Harbert Mrango ameongezewa muhula wa mwaka mmoja baada ya muda wake wa kustaahafu kufikia tangu mwanzoni mwa mwezi huu, Balozi Mrango ambaye alikuwa katika pilika pilika kubwa kupitia kwa rafiki yake mzee Luhanjona alifika mpaka kwa mzee Msuya ili kufanikisha azma yake hiyo amefakinikiwa zowezi lake hilo na amepokea barua ya kuongezewa mwaka mmoja tangu tarehe 20/9/20011. Muhimu cha kujiuliza huyu mzee anatafuta nini kwa ugagalizi wake huu? utendanji wake unafahamika kwamba ni mmbovu muulize mtu yeyote pale wizarani atapasha hilo sasa ni kwa ufanisi gani alofanya mpaka aongezewa muda huo? Nadhani hongo za vibali,Tanroads zimemlewesha na habari zaidi zinatufahamisha tayari amemtuma bwana kimweri kumtengenezea michoro ya hekalu analotaka kuliporomosha kijijini kwake. nchi hii hadi nyatokee mapinduzi ama ya amani au yas kumwaga damu ndiyo viongozi watapata akili kwani hakuna mtu anaye weza kushika hiyo nafasi ila yeye tu. Haya ndi mawazo mgando ya akina Gadafi kuwa bila yeyey Libya haiwezi kuwepo Msingi wa thread hii unaonekana kuwa ni majungu na chuki binafsi. Ninashawishika kufikiria Huyu Divele Dikalame Kama sio mmoja wa wale watumishi wavivu na corrupt waliodhibitiwa kikamilifu na Balozi Mrango, basi ni wakala wa Makandarasi uchwala ambao Balozi Mrango amewadhibiti sana pale Wizarani katika kipindi chake. Kama kuna jambo moja Yule bwana analosifika vizuri na vibaya pale Wizarani ni kubana matumizi. Wale waliozoea kutengeneza mabomu, semina uchwara, malipo hewa...woote amewadhibiti ile mbaya. Wale Makandarasi waliojaribu kumuonga ili malipo Yao yatoke wakati kazi zao ni shoddy, wa Ito ga mwamba.....maana jamaa mwenyewe mlokole..hachangamkii deal. Mwisho wao sasa walikuwa wanasubiria aondoke kwa kustaafu......hivyo sishangai Kama kweli ameongezewa mkataba...lazima iwe ni shocking news kwa wahujumu wa rasilimali zetu.
2017-04-27T11:44:06
https://www.jamiiforums.com/threads/balozi-mrango-aongezewa-muda.175088/
[ -1 ]
> Hiki Hapa Kikosi cha Timu ya Taifa ( Taifa Stars) Kitakachocheza Dhidi ya Uganda - MSUMBA NEWS BLOG Home MICHEZO Hiki Hapa Kikosi cha Timu ya Taifa ( Taifa Stars) Kitakachocheza Dhidi ya Uganda Hiki Hapa Kikosi cha Timu ya Taifa ( Taifa Stars) Kitakachocheza Dhidi ya Uganda in MICHEZO published on March 08, 2019 leave a reply Kocha mkuu wa Timu ya Taifa Tanzania ‘Taifa Stars’, Emmanuel Amunike amekitaja kikosi cha wachezaji 25 kinachojiandaa na mchezo dhidi ya Uganda. Stars inajiandaa na mchezo dhidi ya Uganda wa kufuzu mashindano ya Afrika, mchezo utakaopigwa 24 March katika uwanja wa Taifa. Katika kikosi hiko Amunike amefanya mabadiliko kwa kuwatoa nyota waliokuwa katika kikosi hiko na kuingiza wengine. Amunike amemuondoa kikosini Beno Kakolanya ambaye yupo nje ya uwanja kwa muda mrefu kutokana kuwa katika sintofahamu na klabu yake, lakini pia amemuondoa Abdi Banda, Ibrahim Ajib na Erasto Nyoni anayesumbuliwa na majeraha. Katika nafasi hizo amewaongeza Aaron Kalambo(Tanzania Prison),Metacha Mnata (Mbao) na Suleman Salula (Malindi Fc Zanzibar). Huku katika upande wa mabeki akiwaongeza Vicent Philipo (Mbao Fc) na Kennedy Wilson (Singida Utd).
2019-05-25T17:44:48
http://www.msumbanews.co.tz/2019/03/hiki-hapa-kikosi-cha-timu-ya-taifa.html
[ -1 ]
Wanafunzi wa shule ya msingi Ludewa Mjini Mkoani Njombe wanatumia vyoo vya wavulana vilivyojaa baada ya waalimu wao kuvijaza maji na Chumvi ili kupunguza ujazo wa kinyesi katika vyoo hivyo ili waendelee kuvitumia. Read more: Waalimu kujaza maji na chumvi kwenye vyoo vya wanafunzi ili kupunguza kinyesi. Watu zaidi ya 236 wameugua Kipindupindu kwa kipindi cha zaidi ya Mwezi mmoja tangu Ugonjwa huo uingie katika Wilaya za Mbarali na Chunya Mkoani Mbeya na sasa umelipuka katika Wilaya ya Songwe na Momba mkoani humo. Read more: Kipindupindu chaendelea kuwa tishio Mbeya Chama cha Mapinduzi CCM kimewataka wanachama wake kutambua kuwa bila kujiimarisha kiuchumi kitakuwa na wakati mgumu wa kujiendesha hasa katika kipindi hiki cha kuelekeza uchumi wa kati. Read more: CCM yahimizwa kujiimarisha kimapato. Jumla ya wakala wa forodha 50 wanaotarajiwa kutoa mafunzo kwa mawakala wa forodha visiwani Zanzibar wamekabidhiwa vyeti vya kiwango cha Afrika mashariki cha utoaji wa huduma za uwakala mara baada ya kuhitimu mafunzo hayo yaliotolewa na wataalamu wa ITA. Read more: Wakala wa forodha 50 wakabidhiwa vyeti.
2019-10-23T01:07:17
http://www.startv.co.tz/startvweb/index.php/kitaifa?start=243
[ -1 ]
AUDIO: Klabu ya ligi kuu Tanzania Bara iliyotangaza kutosajili mchezaji wa kigeni msimu ujao – Millardayo.com Baada ya msimu wa ligi kuu Tanzania Bara 2015/2016 kumalizika timu nyingi zimeelekeza nguvu zake kwenye usajili. Taarifa iliyotoka ni kwamba klabu Majimaji FC ya Songea haitasajili mchezaji wa nje ya Tanzania, itasajili wachezaji wa Tanzania pekee yake, Meneja wa Majimaji FC, Godfrey Mvuala ameliweka wazi hilo………… >>>’tarehe 20 tutaanza kusajili wachezaji ambao atawahitaji mwalimu, mwalimu amesema atawataka wachezaji wa kizalendo kwa maana wachezaji wa hapahapa Tanzania’ USISHANGAE UKIMUONA KAVUMBAGU WA AZAM FC AKIICHEZEA MBEYA CITY MSIMU UJAO, BONYEZA PLAY HAPA CHINI ← Previous Story Zlatan Ibrahimovich huenda akawa staa wa tatu kusajiliwa na Jose Mourinho baada ya staa huyu Next Story → Dalili nyingine ya Zlatan Ibrahimovic kuelekea kujiunga na Man United
2020-04-09T10:54:14
https://millardayo.com/tpl13/
[ -1 ]
Kuoga aoge Rostam, Mengi, halafu watakate waandishi!haki??? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Kuoga aoge Rostam, Mengi, halafu watakate waandishi!haki??? Kuoga aoge Rostam, Mengi, halafu watakate waandishi! Imeandikwa na Neophitius Kyaruzi; Tarehe: 5th May 2009 Hakuna ubishi kwamba hivi sasa nchini, habari zinazotamba katika vyombo vya habari ni zile zinazozungumzia suala la ufisadi nchini. Kutokana na ukweli huo, kwa miezi kadhaa sasa, vyombo vingi vya habari vimekuwa vikifuatilia habari hizo kwa karibu na kuzichapisha au kuzitangaza kwa lengo la kuongeza mauzo au kujipatia umaarufu kwa njia moja au nyingine. Pia kuisaidia jamii. Lakini jambo baya zaidi ni kwamba sasa inaonekana wazi kuwa vyombo vingi vya habari vimeanza kupoteza mwelekeo, kwani katika siku za hivi karibuni, suala la maslahi ya taifa limewekwa pembeni hivyo kinachoangaliwa zaidi ni maslahi ya kibiashara tu. Kibaya zaidi ni kwamba baadhi ya vyombo vya habari vimejiingiza katika mijadala hiyo bila kujua kwamba ina athari gani kwa taifa letu. Katika hoja yangu, napenda nizungumzie mvutano uliopo sasa kati ya wafanyabiashara maarufu nchini, Rostam Aziz na Reginald Mengi ambao kwa sasa umeshika kasi kubwa kiasi kwamba kwa siku kadhaa kumekuwapo na majibizano kati yao kupitia vyombo vya habari. Ingawa Waingereza wanasema “big names make news” (majina makubwa hutengeneza habari), wakati umefika sasa kwa vyombo vya habari nchini kuwa makini katika ufuatiliaji na uchapishaji wa habari za watu hawa wenye majina makubwa. Sitoi hoja hii kwa lengo la kutaka suala hilo lisijadiliwe, bali ninachotahadharisha ni kwamba kwa jinsi mjadala unavyokwenda umehama kutoka katika maslahi ya taifa, na sasa yameibuka malumbano ambayo kwa kiasi kikubwa yanachochewa na vyombo vya habari. Kuna faida gani kwa waandishi? Yanatusaidia kweli? Hebu tutazame jamani, tusije tukafananishwa na paka wa hoteli, ambao hukaa meza yenye chakula na kama mahali hakuna chakula hawakai. Ni ukweli usiopingika kwamba kila mfanyabiashara kati ya hawa wawili ana wafuasi wake na jinsi mjadala unavyozidi kupanuka, wafuasi wao wanazidi kuongezeka. Hii inatokana na uhusiano ulipo kati ya mtu mmoja mmoja au kundi la watu na mfanyabiashara mmojawapo au jinsi mmoja kati yao anavyoweza kuchanga karata zake mbele ya vyombo vya habari hivyo kufanikiwa kuushawishi umma ili uamini maelezo yake dhidi ya mwingine. Hii ni hatari kubwa! Kinachojitokeza ni kwamba hivi sasa vyombo vyetu vya habari vimeacha kuibua mijadala ya masuala yanayohusu maslahi ya taifa kama vile hali ya uchumi wa taifa letu na jinsi ya kujikwamua katika uchumi wa dunia ulioporomoka, badala yake nguvu zote zimeelekezwa kwa watu hawa wawili. Kila kukicha vyombo vya habari vinafuatilia nani atajibu nini juu ya tuhuma zinazomkabili. Vyombo vyetu vya habari vimegeuka waendesha mashitaka ambao huwauliza maswali wahutumiwa ili kujenga hoja mbele ya hakimu au jaji. Vyombo hivi vimesahau kabisa kwamba malumbano yanayoendelea sasa yanapaswa kusikilizwa mahakamani badala ya vyombo vya habari kuyatangaza hivyo kuongeza uchonganishi kati ya watu hawa wawili matajiri, kwa maisha ya Kitanzania. Kama itakumbukwa kutokana na nguvu ya malumbano hayo, Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliulizwa bungeni kuhusu mwenendo wa mjadala huo, naye alisema ni wajibu wa aliyetuhumiwa kwenda mahakamani kulalamika na kuonya kwamba si vyema masuala yalioko mahakamani kuzungumzwa na mtu yeyote. Ingawa alijibu kwa ufupi, kauli yake ilikuwa na maana kubwa kwani hakuna atakayetupatia ufumbuzi zaidi ya mahakama. Kwa kuwa kila mtu anasema kwamba anao ushahidi dhidi ya matendo ya kifisadi ya mwenzake, aende akatoe taarifa kwenye vyombo vya dola ili sheria ichukue mkondo wake badala ya kuuondoa umma katika ajenda muhimu za kijamii na kujadili mambo yao ambayo yanahitaji ufumbuzi wa kisheria. Hatuna haja ya kujadili tuhuma zinazomkabili mmoja kati ya hao, kwani wananchi ni wasikilizaji tu na hawana la kufanya juu ya tuhuma hizo. Tunahitaji tuhuma hizo zifikishwe mahakamani na ushahidi wa kutosha ili fisadi wa kweli atumikie adhabu kutokana na ukubwa wa makosa yake. Vyombo vya habari bado vina kazi kubwa ya kuibua changamoto zinazowakabili Watanzania badala ya kung’ang’ania mivutano hiyo ambayo mwisho wake haujulikani. Vyombo vya habari havina budi kubadilika, Tanzania si ya watu wawili tu walio katika neema, ina watu wengi masikini ambao sauti zao hazisikiki popote, ambao wanahitaji kusikika kupitia vyombo hivi. Ni vyema sasa waandishi tukawa makini katika mjadala huu, kwangu mimi nasema Mengi na Rostam wameoga, sasa waandishi iweje tutakate sisi? Ikumbukwe kwamba mwisho wa siku tutageukana sisi kwa sisi, na jambo hilo limeshaanza kujitokeza kwani baadhi yetu wameshaanza kujibizana kwenye magazeti tena kwa kukashfiana. 'Any way', tumeyataka wenyewe! Tusipeleke dhahabu kwa mhunzi badala ya sonara, tutakuwa tunakosea. Mhunzi kazi yake ni kufua vyuma, jambo la msingi ni kuwaambia waungwana hawa wapeleke mambo yao mahakamani. Lakini jambo la msingi kwa Mengi na Rostam hakuna haja ya kulaani giza, bali wawashe mshumaa. Maana yangu ni kuwa kama nilivyoeleza wasitupiane maneno makali, waende mahakamani, kwisha. Naomba kutoa hoja, nikiamini msema yote husifiwa na wachache. Ukweli ndio huo! Jamani sasa huu mvutano unataka kutugawa watanzania.Watu wanaanza kujadili ukabila>Ooh eti mengi ni mchaga ana upendeleo nk.Hebu nyie weusi wa TZ mjiulize nani mkabila kati ya Mengi na Wahindi.Wala tusifike mbali kimaslahi,hakuna muhindi anayependa kuolewa au na MTZ na akikutwa na MTZ anatengwa kwao.Wahindi hawa ndo wanawachezea dada zetu kutokana na fweza zao ila hawataki hata kusikia sie tunaongea na dada zao.Je! huu si ukabila?WatZ wakifanya kazi kwa wahindi mishahara ni tofauti na Wahindi.MTZ akilipwa 100,000.00 muhindi of the same level anapata 1,000,000.00.Leo WaTZ mnakaa kuwatetea hawa Manguruwe. Mbaya zaidi wanaochangia humu ndani waafrika wengi ndo wanabainisha ukabila just kwa sababu alotoa malalamiko ni Mchaga.E bwana e,mi si mchaga ila usiombe ukakujua uchagani.This chagas are fighters of life.they are very much behind other Tanzanians.Watetapakaa every periferry of this country and across the border.Kwa upande wa elimu wapo,biashara they are TZ one.Na wana uwezo wa kufocus thas why mengi amefocus na kuamua kuweka wazi.Their are jelous.Nani Mtz anaweza kuwatikisa hawa wanaoitwa mafisadi papa!!!Unajua hata Mungu alisema mwenye nacho huongezewa na asokuwa nacho hunyanganywa hata alichonacho.Hii niwazi hata kwa hili.Mwenye nacho anawatetea msokuwa nacho ili mgawane sawa kile walichotuibia mafisadi,ajabu ni kuwa mnamtetea yule alokuwa nacho(alichotuibia) ili aendelee kuwa nacho!!!!!!!!!!!! Hapa tunataka watanzania wote tufanane na wachaga na wahindi.watu mnaendelea kula mlo mmoja kwa siku na kusihi kwenye mbavu za mbwa ila bado hamtaki kutoka huko mnang'ang'ania mafisadi. Wachaga wametupiga bao uongo si kazi na tuache wivu.Ukienda sahemu yoyote TZ hii huwezi kupata huduma nzuri kama hamna mchaga.Nani anapinga hilo? Wachaga wakihamisha biashara na nyumba zao Dar panabaki kama mkuranga.Nani anabisha hilo?This people are civilised. Hapa tuchangie hoja ya magabacholi ku-expatriet our resources.That is the issue Mvutano huu wa RM na RA ni wa maana sana katika ukombozi mpya wa nchi yetu maana kuna anayesema ukweli na msema ukweli.Pia Mengi amesaidia kufungua mdomo wa RA ulikuwa umeziba,sasa tunasubiri atuambia anafanya biashara zipi na kampuni zake ni zipi na ziko wapi.Biashara za RM zinafahamika,ayataje kabla ya kumfuata Ditopile na Kolimba. Waandishi kweli mnayo. Sisi tulikuwa tunawaangalia tu jinsi mlivyo hodari wa kujipendekeza kwa mafisadi mamba na kenge. Lakini tusimame sisi kama sisi, tuupige vita ufisadi kwani kila fisadi anashiriki kikamilifu kudororesha hali zet. Mjadala ni heathy kwa taifa. Mengi ana ajenda yake ambayo anaipush kwa umma, amini usiamini, kwa wenye busara na kujiuliza mara mbilimbili 'what is the motive behind' unapata jibu issue sio mafisadi papa bali mlezi wa mafisadi papa mzee anauma huku akipulizia na kupaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Mengi ni fisadi na Rostam ni fisadi. Siungi mkono Mengi kuwataja mafisadi, bali pia Rostam kujibu vile vile, wote ni wajinga hawa. Hatari ya Mengi iko kwa Jeeth Patel, kesi yake ya EPA itaisha, atashinda kesi, hatatoa majibu kwa tuhuma za Mengi, hatafanya press conference wala hata kwenda mahakamani, tusubiri kitakacho tokea. Nadhani Jeethu Patel ni mmoja wa 5 powerful men in Tanzania who are filthy rich and cool silent. wengine wa aina hii ni Fida Hussein na mtu anayeitwa Yokhes Manik. Waandishi wetu, hiki ni kipindi cha mavuno mpaka uchaguzi mkuu upite. Waandishi wetu, hiki ni kipindi cha mavuno mpaka uchaguzi mkuu upite.Click to expand... yogesh manek....huyu anamiliki mac group of companies which includes; exim bank, chemi and cotex, heritage insurance, strategies insurance,.... vipi kwani naye ni papa au nyangumi???? Binafsi Naunga mkono kuwataja mafisadi (Name and shaming) kama kuna ushahidi wa wazi... Isitoshe mengi si mtu wa kwanza kuwataja akina RA... Alichofanya ni ku-paraphrase tu yaliyokwisha sema huko nyuma na akina Dr Slaa... RA na wengine wanatakiwa wam-sue Mengi kwa defamation kama wana hakika aliyoyasema ni uzushi ... Hata kama wakimshitaki hawatashinda maana mengi atasema alichokisema yaani tuhuma alizozisema si yeye bali ni hearsay ambayo mahakamani is not admissible... Kesi kwisha na mengi kupiga matalumbeta... Labda ndo maana akina RA wamekimbilia Takukuru ambako wanajua sio competent kiasi hicho... Nilisikia pia Ra akihoji moral authority ya mengi kumsema.. Hivi Mtu anapataje moral authority ? Yaani inabidi ukae kimya na mawazo yako bonafsi kama hukuchaguliwa na wananchi kama RA? Moral authority inapatikana pia kutokana na standing ya mtu katika jamii hivyo RA sidhani kama yeye ana hiyo moral authority ya kumkemea mengi ili hali akijua kwamba anatuhumiwa ameiba fedha za umma katika utapeli... Kama mengi alichukua mikopo, ni juu ya tasisi hizo zilizomkopesha kumdai na kumlimbikizia Riba na sio vinginevyo kwa mtu kama RA kutoa mambo ambayo hayahusiani... Mwisho... details a mengi RA kazitoa wapi? maana navyofahamu ni kwamba unapoomba mkopo ni kakubaliano kati yako na bank au mkopeshaji na itakuwa breach of confidentiality or privacy kwa mkoposhaji kutoa au kuanika hadharani makubaliano yenu bila idhaa za wahusika wote... Je mengi aliridhia madeni hayo yawe public knowledge? kama ni ndio je wakopeshaji walimuarifu mengi kwamba wata-share datas na RA? Kama jibu ni hapana basi RA katumia umafia kuzipata data hizo za mengi ambapo wanazishikilia data hizo inabidi waulizwe iweje RA kuwa na data za Mengi bila idhini yake... Huu waweza kuwa pia ni ufisadi mwingine ambapo RA anaweza kuwa ameufanya maana inaoneka amehangaika sana kutafuta kumu-expose mengi... Fahari wawili wakigombana, ziumiazo ni nyasi... Walaji nyasi ni sisi watanzania maskini kama alivyosema Basil Pesambili mramba... Hivyo wao waendelee kurumbana na hatimaye watuambie wanahusikaje kuidhulumu TZ yetu na wakubali pia kukiri makosa yao kama moral authority inavyowasukuma na wakubali kuzirudisha pesa zetu...
2017-04-29T07:44:53
https://www.jamiiforums.com/threads/kuoga-aoge-rostam-mengi-halafu-watakate-waandishi-haki.28409/
[ -1 ]
MATUKIO @ MICHUZI BLOG: AGPAHI ARIEL CAMP 2018 YAFUNGWA DAR Kambi ya watoto na vijana inayosimamiwa na Ariel Glaser Pediatric AIDS Healthcare Initiative (AGPAHI) maarufu kama Ariel Camp 2018’ iliyoshirikisha washiriki 50 kutoka mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Mara na Simiyu imefungwa leo Ijumaa Disemba 14,2018 jijini Dar es salaam. Akifunga kambi hiyo kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI nchini (TACAIDS), Mkurugenzi wa Uhamasishaji na Habari wa Tume hiyo Bw. Jumanne Issango aliipongeza AGPAHI kwa kuanzisha kambi hizo zinazolenga kuwapa watoto na vijana msaada wa kisaikolojia utakaowawezesha kukabialiana na changamoto zinazowakabili. “Naishukuru AGPAHI kwa kutoa msaada huu wa kisaikolojia kwa watoto na vijana kwani huduma hiyo ni muhimu sana kwa afya na ustawi wao hasa ikizingatiwa kuwa changamoto hizo zinawaathiri kimwili, kiafya, kijamii na kisaikolojia,” alisema Bw. Issango. Aidha aliitaka jamii kubadilika na kuacha vitendo vya kunyanyapaa wanaoishi na maambukizi ya VVU huku akiwahamasisha watoto na vijana hao kutumia kwa usahihi dawa za kufubaza makali ya VVU ili kuimarisha afya zao. “Ili kuishi maisha bora na kukamilisha ndoto zenu za baadaye nawakumbusha kuwa ARV ndiyo mpango mzima, Watu wasiotumia vizuri dawa hizi afya zao zimekuwa zikitetereka na kushambuliwa na magonjwa nyemelezi na hata kufa. Kamwe msiache kutumia dawa kwa sababu yoyote ile,” alisisitiza. Pia aliiomba AGPAHI kwa kushirikiana na watoa huduma na wadau mbalimbali kuelimisha wananchi kuhusu VVU na maambukizi yake kwani imedhihirika kuwa bado jamii haina elimu ya kutosha kuhusu VVU na UKIMWI. "Kudhihirika huku kunatokana na unyanyapaa unaoendelea katika jamii." Kwa upande wake Mkurugenzi wa Taarifa za Kimkakati wa AGPAHI, Dk. Boniface Idindili, aliziomba halmashauri za wilaya kutenga bajeti kwa ajili ya kuanzisha klabu za vijana na watoto wanaoishi na VVU na kupata huduma za tiba na matunzo katika vituo vya afya ili wengi zaidi waweze kupata msaada wa kisaikolojia. Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa AGPAHI, Dk. Idindili alisema, “Tunaiomba serikali iweke madawati maalumu mashuleni na kwenye vyuo kwa ajili ya kusaidia watoto na vijana wanaoishi na VVU, Vijana wengi hulazimika kukabiliana na changamoto zao kimya kimya kwa kukosa msaada na wakati mwingine hushindwa kuzimudu.” Pia alishauri vyuo vya ufundi stadi vya VETA kutoa upendeleo maalum kwa vijana wanaoishi na VVU kujiunga navyo ili kuwawezesha kujitegemea na kukidhi mahitaji yao ya kila siku.Nao washiriki wa Kambi ya Ariel walisema kuwa kipindi chote wakiwa kambini wamefundishwa mambo mengi yaliyowasaidia kuwajenga kiakili na kimwili. Katika risala yao kwa mgeni rasmi, walitaja baadhi ya mambo hayo kuwa ni pamoja na ujasiriamali, matumizi sahihi ya dawa, ukatili wa kijinsia na unyanyapaa.Mbali na kubadilishana mawazo na kupata marafiki wapya, washiriki wamecheza michezo mbalimbali na kutembelea Mji wa Kihistoria wa Bagamoyo ili kujifunza kiundani historia ya Tanzania. Mkurugenzi wa Uhamasishaji na Habari wa TACAIDS Bw. Jumanne Issango akizungumza katika ukumbi wa Serene Beach Resort wakati akifunga Ariel Camp 2018 kwa niaba ya Mkurugenzi wa TACAIDS. Kushoto ni Mkurugenzi wa Taarifa za Kimkakati wa AGPAHI, Dk. Boniface Idindili,kulia ni Mkurugenzi wa Huduma za mama na mtoto AGPAHI, Dk. Akwila Temu. Washiriki wa Ariel Camp wakimsikiliza mgeni rasmi. Mkurugenzi wa Taarifa za Kimkakati wa AGPAHI, Dk. Boniface Idindili akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa AGPAHI wakati wa kufunga Ariel Camp 2018. Waliokaa ni washindi wa shindano la Mr & Miss AGPAHI Ariel Camp wakiwa katika picha ya pamoja na jaji Lugano Maclean (wa kwanza kulia) na kiongozi wa washiriki wa shindano la Urembo 'Mr & Miss Ariel Camp' Agnes William ( wa kwanza kushoto) na washiriki wa shindano hilo. Keki ya upendo kwa ajili ya washiriki wa Ariel Camp 2018. Mkurugenzi wa Uhamasishaji na Habari wa TACAIDS Bw. Jumanne Issango akimlisha keki mshiriki wa Ariel Camp 2018. Miss Ariel Camp 2018 akimlisha keki Mkurugenzi wa Uhamasishaji na Habari wa TACAIDS Bw. Jumanne Issango. Mkurugenzi wa Uhamasishaji na Habari wa TACAIDS Bw. Jumanne Issango akikabidhi zawadi ya begi kwa mshiriki wa Ariel Camp 2018. Mabegi hayo ya shule yamekabidhiwa kwa washiriki wote 50 wa Ariel Camp 2018. Kijana akifurahia baada ya kupewa zawadi ya begi la shule. Watoto wakiwa wamekaa na mabegi yao. Washindi wa shindano la Mr & Miss Ariel Camp 2018 wakifuata zawadi kwa mgeni rasmi. Mkurugenzi wa Uhamasishaji na Habari wa TACAIDS Bw. Jumanne Issango akikabidhi zawadi ya saa za ukutani kwa washindi wa shindano la Mr & Miss Ariel Camp 2018. Vijana na watoto wakiwa na walezi wao waliojichora rangi usoni. Latifa Abdallah kutoka Taasisi ya Babawatoto akitoa burudani ya kuzungusha meza kwa miguu. Kijana wa Babawatoto Debora Dickson akitoa burudani ya sarakasi. Mtoto akielezea kuhusu mchoro aliochora kwa Mkurugenzi wa Uhamasishaji na Habari wa TACAIDS Bw. Jumanne Issango na Mkurugenzi wa Taarifa za Kimkakati wa AGPAHI, Dk. Boniface Idindili. Picha ya pamoja Mmiliki wa Hoteli ya Serene ambapo ndipo kambi ya vijana na watoto imefanyika, Dk. Moses Mkonye (wa pili kulia) na watoto wawili aliojitolea kuwasomesha na Mkurugenzi wa Uhamasishaji na Habari wa TACAIDS Bw. Jumanne Issango (wa pili kushoto), Mkurugenzi wa Huduma za mama na mtoto AGPAHI, Dk. Akwila Temu (wa kwanza kushoto) na Mkurugenzi wa Taarifa za Kimkakati wa AGPAHI, Dk. Boniface Idindili (wa kwanza kulia). Vijana wakipiga picha ya kumbukumbu baada ya Ariel Camp 2018 kufungwa. Picha zote na Kadama Malunde - Malunde1 blog.
2019-05-22T12:36:48
https://michuzi-matukio.blogspot.com/2018/12/agpahi-ariel-camp-2018-yafungwa-dar.html
[ -1 ]
Panasonic Cutter 108711002401 China Manufacturers & Suppliers & Factory Panasonic Cutter 108711002401 - mtengenezaji, kiwanda, muuzaji kutoka China (Jumla ya 24 Bidhaa kwa Panasonic Cutter 108711002401) Panasonic Cutter 108711002401 Panasonic CUTTER 108711002401 Panasonic AI 308712100202 Panasonic AI 1087111010 Panasonic PUSHER 108711001801 Panasonic CUTTER 1083510024 Panasonic AI 104131002202 Panasonic AI 1041310028
2020-08-10T05:59:53
https://www.aismtks.com/sw/dp-panasonic-cutter-108711002401.html
[ -1 ]
Rais wa Baraza la Usalama Gustavo Meza-Cuadra (wa pili kushoto) akiwa na timu ya Baraza la Usalama la UN wakati walipowasili uwanja wa ndege wa kimataifa Naypyitaw, Myanmar, April 30, 2018. Ujumbe wa watu 15 wa Baraza la Usalama la UN wamekutana Jumatatu na Aung San Suu Kyi, na kamanda mwandamizi wa jeshi Jenerali Min Aung Hlaing huko Naypyitaw. Ujumbe huo wa UN utaelekea kwenye jimbo la Rakhine lenye machafuko Jumanne kuangalia athari za ukandamizaji uliofanywa na jeshi ulioanza Agosti 2017, pamoja na matayarisho ya kurejeshwa kwa wakimbizi, wengi wao ni wa kabila la Rohingya walio wachache. Warohingya wamekataliwa uraia, pamoja na kuwa wengi katika familia hizo wameishi katika nchi ya Myanmar kwa vizazi vingi. Wakimbizi wamekimbia uvunjifu wa amani katika jimbo la Rakhine ambao UN imeeleza kuwa unalingana na nadharia halisi ya mauaji ya kikabila”. Serikali ya Myanmar imekubali kuruhusu wajumbe wa UN kutembelea eneo la Rakhine, baada ya siku za nyuma kukataa kamati ya uchunguzi kuingia eneo hilo. Waandishi wa habari na wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu wamezuiliwa kuingia katika jimbo hilo kwa miezi kadhaa sasa. Ujumbe wa UN uliwasili Jumamosi nchini Bangladesh ili kuweza kujioneya wenyewe hali ya wakimbizi wa Rohingya, kutembelea eneo la Cox Bazar ambapo kambi za wakimbizi za muda zimefunguliwa mpakani karibu na Myanmar.
2018-07-22T10:41:03
https://www.voaswahili.com/a/un-yatathmini-hali-ya-wakimbizi-700000-walioko-bangladesh/4370871.html
[ -1 ]
Rwebangira Blog: TMK KUMEKUCHA Duuu poleni sana huko Dar kila siku matukio ya kutisha cjui kamanda Kova umecheki hali hiyo unalo jipya la kusema juu ya ulinzi shirikishi? 8:08 PM GMT+3
2016-12-09T09:50:15
http://bongopicha.blogspot.com/2009/07/tmk-kumekucha.html
[ -1 ]
Historia ya Barbie Maendeleo na Barbie Mavazi Barbie Puzzle na Barbie Unusual kwa almalbis Barbie, hiyo ni jina kubwa, na pia akawa doll maarufu zaidi duniani, na kwamba kutoka kuanzishwa kwake. Doll Barbie kwa mara ya kwanza kuuzwa Machi 9, 1959 na Mattel. Mattel ni mchezo wa Marekani, aliumba kwa Eliott Halder na Harold Mattson na Mattel miongoni mwa wengine, contraction ya "Matt" na "El" na majina yao. I-kuzaliwa kwa Barbie. historia ya Barbie si yasiyo na maana, ni awali wazo kwamba linatokana na Ruth Halder, mke wa Eliott Halder. Kwa kweli, uvumbuzi wa Barbie aliongoza kwa mawazo yake, lakini doll alinunua binti yake wakati wa safari, doll Kijerumani aitwaye Bild Lilli. doll anapenda binti yake ili yeye aliamua kuleta Marekani, wazo kwamba kufanya mafanikio ya baadaye ya doll, yeye ni jina Barbie, kwa diminutive binti Barbara. Tangu kurudi kwake kwa Marekani, Ruth, kikamilifu kufanya kazi katika mradi wake wa kujenga mpya doll dolls révolutionnerai dunia kwamba hata sasa wasingalikuwa aina Bild Lilly. Kwa mara ya kwanza Barbie doll wazima vipimo, hivyo mbali, dolls walikuwa watoto. Barbie kwanza ina vipimo karibu na kwamba amepagawa na doll Ujerumani. doll mpya, blonde au kahawia na rangi pembe ngozi na makala sana katika Ulaya. Yeye wears swimsuit strapless pundamilia nyeusi na nyeupe, nyeusi visigino miwani,, na pete ya dhahabu kwa njia ya pete. Nyushi zake ni circumflex lafudhi, midomo yake na makucha yake ni nyekundu. Nadhari yake ni akageuka chini. Hii ni Barbie Millicent alizaliwa Robert, cm 29, 205 g, wenye umri wa miaka ishirini. Yeye ana kifua nice, mrefu miguu, kiuno ndogo, mwili rigid na imefafanuliwa katika shingo. mfano lazima kwa wasichana. II-Mageuzi ya Barbie. Barbie ina tolewa zaidi ya miaka na utamaduni wa Marekani, mavazi style mabadiliko kulingana na kampuni. Nywele Barbie wa mabadiliko kadhaa rangi kuonekana, platinum blonde, nyekundu, kahawia kama mapema kama 1961. Aidha, Barbie plastiki pia yanazidi, vipimo ni upya, uso wake kubadilika, ni antar zaidi kuamua, ambayo anadai utu wake. Na wanawake wa 70s katika Umoja wa Mataifa ni tena sawa kama 60s. Ni viumbe wa Malibu Barbie, ambaye alikuwa mmoja wa mfululizo mafanikio zaidi ya Barbie. Hakika Barbie diversifies, inadhaniwa fani kadhaa, mbalimbali ya Barbie wazi. Ni sasa inaweza mifugo, daktari, mwalimu wa shule .... Mpya marafiki kwa ajili ya Barbie, yeye hana hakika kuwa na mpenzi, pia kuundwa kwa Handler Ruth, ni jina Ken, diminutive ya Kenneth, mwana wa Obedi. Ken ni blond kama Barbie, yeye ni mtu bora, kisha huja kuzaliwa Skipper, dada wa Barbie. Kuna pia kubadilisha Barbie kikabila, pamoja na kuonekana ya Christie, doll nyeusi. Itakuwa katika dolls Barbie miaka Asia, India, Brazil. III-fie.nipa Barbie. Kulikuwa kadhaa kwa kushirikiana na nyumba kubwa Barbie na Haute Couture viatu. Barbie doll ni kwa wasichana ni pretty sana na ina vyumba kushangaza, na wingi wa jozi ya viatu. Kumekuwa hiyo kwa miaka 30 ya Barbie, katika 1989, kwa kushirikiana na Christian Dior na Channel, na ubunifu wa kipekee wa mifano. Mwaka 2009 Barbie sherehe 50 na kwa ajili ya tukio, wote mifano ya Barbie kwanza kwamba yaliwasilishwa leo wakati Fashion Week, na nguo nzuri zaidi kuliko wengine daima yaliyotolewa na mkuu waumbaji. Kushirikiana na Christian Louboutin, pia ulifanyika na, zaidi ya mia jozi mpya ya viatu kwa Barbie. Barbie ni si tu dolls, ulimwengu wote iliundwa kuzunguka hili. Kuna hivyo walikuwa na Barbie inaonekana kama mapema kama 2001 katika toleo la filamu animated katika "nutcracker Barbie", itakuwa kufuata zaidi ya dazeni ya filamu Barbie, inachukua mwaka . Barbie michezo kuonekana, jinsi ya mavazi almalbis? Jinsi babies? Jinsi nywele? Ili kujibu michezo zaidi ya mia moja viliumbwa "Barbie Dress up yako" "headdress Barbie ".... IV-Hitimisho. "Barbie ni kujenga mwanamke doll-kama, mbali na watoto wachanga katika Vogue wakati."Ruth Halder. mafanikio ya Barbie mara moja uteuzi ni doll ambayo yanakidhi mahitaji ya wasichana, na kuundwa kwa Barbie kadhaa. Icons wasichana akawa kimataifa sanamu. Mafanikio hii bado yanayotokana zaidi ya dola bilioni. Yeye pia imekuwa walipiga Bidhaa wa Mwaka 2006. Barbie yetu Michezo
2020-07-07T13:35:25
http://www.barbieplaza.com/sw-ke/history.html
[ -1 ]
Ufafanuzi Kuhusu Wasiokopeshwa Mikopo Na HESLB Kudaiwa | MASWAYETU BLOG na taarifa zilizotolewa kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari, hasa gazeti la Jamboleo toleo namba 2541 la 23 Agosti, 2016 kuhusu Bodi ya Mikopo kuwadai wasionufaika na mikopo. Taarifa hizi zinalenga kuleta hofu na mkanganyiko usiokuwa wa lazima kwa wadau. Kufuatia hatua hiyo Bodi ya Mikopo inapenda kutoa ufafanuzi wa suala hili kama ifuatavyo:- ya Mikopo inapenda kuufahamisha Umma kuwa ‘database’ yake ya wanufaika wa mikopo ina taarifa zote muhimu zilizo sahihi. Hii inatokana na utunzaji mzuri wa kumbukumbu za ukopeshaji kuanzia hatua ya utoaji mikopo (loan allocation and disbursement) hadi urejeshaji wake (loan repayment). Kutokana hamasa na elimu inayotolewa, kumekuwepo na mwitikio mkubwa wa wanufaika wa mikopo na waajiri wao kujitokeza na kuanza kurejesha mikopo. Hivyo, katika utekelezaji wa jukumu hilo, tumebaini kuwepo kwa malalamiko kutoka kwa baadhi ya wadaiwa kwamba ama hawakuwahi kukopa au hawajawahi kufikia kiwango cha elimu ya juu. sasa, imebainika kuwepo kwa baadhi ya wanufaika ambao wanadai hawakujua iwapo fedha walizopatiwa na serikali wakati huo zilikuwa za mkopo. Pia kuna wachache ambao vyeti vyao vilitumiwa na ndugu zao kwa ajili ya masomo ya elimu ya juu. Katika hali hii, mdaiwa atalazimika kumtaja mtu halisi anayepaswa kukatwa deni hilo ili Bodi iweze kusitisha makato hayo 2.3 Iwapo kuna mnufaika wa mkopo anadai amekatwa zaidi ya kiwango cha mkopo anaodaiwa; mnufaika huyo anapaswa kuwasilisha vielelezo vinavyothibitisha kumaliza kurejesha deni lake. Itakapothibitika kuwa kuna makato zaidi yalifanyika, basi kiasi kilichozidi kitarejeshwa kwa mhusika. inapenda kuwahakikishia wadau wake kuwa imetunza vizuri taarifa zote muhimu za wanufaika wa mikopo ambazo ndizo zinazotumika kwenye zoezi la urejeshaji wa mikopo. Kasoro ndogo ndogo zinazojitokeza zinatatuliwa kwa kufanya rejea kwenye kumbukumbu zilizopo. Bodi inaendelea kuwahimiza wanufaika wote wa mikopo ambao hawajaanza kurejesha mikopo yao kuhakikisha wanawasilisha taaifa zao ofisi za Bodi au wanajaza taarifa zao kweye fomu ‘Loan Inquiry Form’ iliyopo kwenye tovuti ya Bodi na kuituma kwa anuani ya barua pepe [email protected] ili kila mmoja ajulishwe deni lake na kuanza kurejesha. mnufaika anayetaka kuanza kurejesha mkopo wake baada ya kuwa amepata taarifa ya deni lake; aweke fedha kwenye akaunti za Benki zifuatazo na kisha kuwasilisha hati ya malipo:
2016-12-11T00:14:06
http://www.maswayetublog.com/2016/08/ufafanuzi-kuhusu-wasiokopeshwa-mikopo.html
[ -1 ]
YAKOWAPI MABUIBUI HAYA? | Blog YAKOWAPI MABUIBUI HAYA? About 4 Years, 4 Months, 1 Week, 2 Days, 16 Hours, 31 Minutes ago Ni mabuibui yaliyo na 'Full' stara na kudumisha heshima baina ya wanaume na wanawake. Ni mabuibui yaliyokuza hadhi ya mwanamke. Ni mabuibui yaliyohifadhi utamaduni wa Waswahili na dini yao (Uislamu). Yapo mabuimbui ya kisasa yenye stara ambayo mwanamke akivaa hupata heshima yake. Leo hii tumetekwa akili na kuyaona mabuibui haya 'out of fashion.' Wasichana siku hizi wapenda mabuibui 'Slim Fit' kama lile waliitalo 'Butterfly.' Buibui limeshika mwili na kumtoa 'figure.' Akitembea sehemu zote za mwili zinazotingishika zaoneka. Kwanini ukipita maskani usisikie, 'Sister hujambo?' Katika dini ya Uislamu tumeambiwa kuwa, "Hawatoridhika (wasiokuwa Waislamu) hadi pale mutakapofuata mila zao." Kwenye mila zao, wanampa mwanamke uhuru wa kutembea uchi au nusu uchi. Jamaa hawa waliona mbali na kujua kuwa Waisalmu kutembea uchi mbele ya umma ni ngumu (Ijapokua wako). Badala yake wakaamuwa kutengeza mabuibui ya 'Fashion' tuwe tumejistiri na huku twenda uchi. Dini imetuambia tusikaribie zinaa kwani ni uchafu mkubwa. Mavazi mengi, hasa ya mwanamke huchangia pakubwa katika kumvutia mwanamume katika zinaa, hata kama ni ya macho. Utakapovaa vazi 'provocative' na kumvutia mwanamume akutongoze nawe umkubali basi hapo huwa ndio mwanzo wa zinaa. Kisha tumedanganywa sana na wasiotupenda kuwa 'Sex is good' bora utumie 'protection.' Utakapotongozwa, utahadaiwa mpaka uta'give in' kwa kuwa mwatumia 'condom.' Uislamu umekataza pakubwa ngono nje ya ndoa. Hata kama 'Sex is good' kumbuka inapaswa kuwa kwa waliyoana. Alhamdulila wako dada zetu, mama zetu na marafiki zetu wanaojistiri ipasavyo. Mungu awazidishie. Na wale waliyokiuka mafundisho ya dini Mungu awaongoze. In sha Allah Ameen. (Photo credit flickrhivemind.net)
2018-11-21T18:53:32
http://ummah.co.ke/blog/2014/07/yakowapi-mabuibui-haya
[ -1 ]
Tenis: Serena Williams anusia rekodi mpya - BBC Swahili Tenis: Serena Williams anusia rekodi mpya http://www.bbc.com/swahili/habari/2016/01/160128_williams_record_grand_slam Image caption Serena Williams anusia rekodi mpya Mchezaji anayeorodheshwa nambari moja duniani kwa upande wa wanawake Serena Williams yuko mbioni kuandikisha rekodi ya kuwa mwanamke aliyewahi kushinda michuano mingi zaidi duniani endapo atashinda fainali ya wanawake ya mchuano wa Australian Grand Slam siku ya jumamosi. Mmarekani huyo alijiweka katika nafasi nzuri ya kuweka historia baada ya kumbwaga Agnieszka Radwanska seti mbili kwa nunge za alama 6-0, 6-4 katika hatua ya nusu fainali . Endapo Williams ataibuka mshindi dhidi ya mchezaji anayeorodheshwa katika nafasi ya 7 duniani Angelique Kerber, basi atakuwa ameshinda mashindano 22 makubwa ya tenisi ya wazi na kufikia rekodi iliyowekwa na Steffi Graf aliposhinda mataji 22. Vilevile atakuwa amempiku graf na kuwa mwanamke wa pili baada ya Margaret Court aliyeandikisha rekodi ya kushinda mataji 24. Williams anapigiwa upatu kundeleza msururu wa matokeo mema hususan ikikumbukwa kuwa ameibuka kidedea katika mechi 6 za fainali zilizoandaliwa katika ukumbi wa Melbourne Park nchini Australia. ''kwa hakika mimi sitafuti rekodi, mimi natafuta kushinda taji la mwaka huu. umeshasahau mwaka uliopita kila mtu alikuwa akiniuliza swali naskiaje kuwa nimesalia na rekodi moja tu kabla ya kufikia rekodi ya kuwa mwanamke bora zaidi katika historia ya tenis ? Image caption Williams kuchuana na Angelique Kerber katika fainali ya Australian Open Nitaizuia ,,,bila shaka sitaitilia maanani hadi baada ya mechi.'' Alisema Williams katika mkutano na waandishi wahabari. Mpinzani wake Kerber alimtamausha muingereza Johanna Konta katika hatua ya nusu fainali aliomlaza seti mbili kwa nunge za alama 7-5, 6-2 na kujikatia tikiti ya fainali yake ya kwanza ya Grand slam. Licha ya kushindwa Konta ndiye aliyekuwa mwanamke wa kwanza Muingereza kufuzu kwa nusu fainali ya mchuano kama huo tangu mwaka wa 1983 . Kwa upande wake Kerber anatafuta ushindi wake wa pili dhidi ya Williams tangu mwaka wa 2012
2017-12-16T22:50:36
http://www.bbc.com/swahili/habari/2016/01/160128_williams_record_grand_slam
[ -1 ]
Iwapo ulizikosa wiki hii ya 22-26 Julai 2019 | Habari za UN mtoto Mwigulu Matonange Magesa mwenye umri wa miaka 16 kutoka Tanzania anayeishi na ualbino. Shirika la kimataifa la nguvu za atomiki IAEA, Jumatatu ya tarehe 22 julai 2019 limetangaza kwa masikitoko makubwa kifo cha aliyekuwa mkurugenzi mkuu wa shirika hilo Yukiya Amano. Amano raia wa Japan na mwanadplomasia aliyekuwa na umri wa miaka 72 ameliongoza shirika la IAEA tangu mwaka 2009 na kabla ya kuwa mkurugenzi mkuu wa shirika hilo alifanya kazi katika utumishi wa umma wa kimataifa kwenye Umoja wa Mataifa katika vitengo mbalimbali . Uongozi wa IAEA umesema kumpoteza Amano ni pigo kubwa kwani alikuwa mchapa kazi aliyeipenda kazi yake kwa moyo wote, "na katika kipindi cha miaka kumi iliyopita, shirika limeleta matokeo halisi ili kufikia lengo la Atomiki kwa ajili ya amani na maendeleo, kutokana na msaada wa nchi wanachama na kujitolea kwa wafanyakazi wa shirika hili. Ninajivunia sana mafanikio yetu, na ninawashukuru nchi wanachama na wafanyakazi wa shirika hili. " Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Uhamiaji la Umoja wa Mataifa IOM António Vitorino na lile la kuhudumia wakimbizi, UNHCR Filippo Grandi wamesema hayo kufuatia makubaliano yaliyotokana na mjadala uliofanyika mjini Paris, Ufaransa miongoni mwa mataifa ya Ulaya. “Tunakabirisha makubaliano ya leo kuhusu umuhimu wa kumaliza ushikiliaji holela wa wakimbizi na wahamiaji nchini Libya. Kuna umuhimu wa kuwepo kwa mchakato halali wa kuachia watu wanaoshikiliwa kwenye vituo iwe mijini au kuwepo kwa maeneo ya wazi ya kuwawezesha kutembea huru na kupata msaada bila kudhurika,” wamesema viongozi hao kupitia taarifa yao ya pamoja. Mauzo ya hewa ya ukaa ni ushindi kwa uhifadhi wa mazingira na kipato Kenya-UN Environment Shirika la mazingira la Umoja wa Mataifa, UN Environment, halmashauri ya misitu Kenya na taasisi ya utafiti ya viumbe baharí na samaki Kenya na wadau hivi karibuni wamezindua mradi katika pwani ya Kenya kwa ajili ya kukuza biashara ya hewa ya mkaa kufuatia uhifadhi na upanzi wa mikoko. Taarifa ya UN Environment iliyotolewa Nairobi, Kenya, inasema kuwa wakati kunapatikana mfumo wa kuhifadhi mazingira na unaopunguza umasikini na kujengea jamii mnepo kiuchumi, kwa kawaida serikali hupiga jeki hatua kama hizo na kwa hiyo ni suluhu ya ushindi kwa pande zote. Ripoti zinasema kuwa kwa sasa kuna upungufu wa mikoko kwa sababu ilikuwa inavunwa kupita kiasi kwa ajili ya kuni na mbao za ujenzi, hali ambayo inazua hatari kwani jamii nyingi zinazotegemea uvuvi, huku maeneo ya mikoko yakiwa ni maeneo ya mazalia ya samaki. Kwa mujibu wa shirika hilo maeneo yaliyo hatarini zaidi ni Yemen, Sudan, Eritrea na baadhi ya sehemu za Ethiopia na Kaskazini mwa Somalia. Limeongeza kuwa “hali hiyo inaweza kusababisha athari kubwa katika mazao ya msimu wa kilimo na uchumi wa maeneo hayo kitu ambacho ni tisho la uhakika wa chakula na maisha ya watu wa nchi husika." Napenda niwe mchezaji mashuhuri wa mpira wa soka kama Ronaldo- Mwigulu Licha ya kupungua kwa vitendo vya mashambulizi dhidi ya watu wenye ualbino, bado kundi hilo linaishi kwa mashaka na hofu kutokana na madhila wanayopitia katika maisha yao ya kila siku. Miongoni mwao ni mtoto mtanzania Mwigulu Matonange Magesa ambaye sasa ana umri wa miaka 16, na ambaye mashambulizi dhidi yake yamemsababishia kupoteza mkono wake mmoja katika kisa hiki anachosimulia alipohojiwa na Priscilla Lecomte wakati alipotembelea New York, MArekani hivi karibuni kushiriki mkutano wa kamisheni ya Umoja wa Mataifa ya watu wenye Ulemavu. Mwigulu Matonange Magesa|Tanzania|Kenya|Mikoko|Yukiya Amano|nzige|UN Environment Ajenda 4 kusongesha malengo ya SDGs mbele- Kenya, waziri Munya Unaweza kubeba mkoba uliotengenezwa kwa ngozi ya samaki?
2019-11-11T20:57:16
https://news.un.org/sw/story/2019/07/1063251
[ -1 ]
FANYENI TAFITI ZENYE KUINUA ELIMU NCHINI-NZUNDA - Kamera Yangu ' : ''; var month = [1,2,3,4,5,6,7,8,9,10,11,12]; var month2 = ["Jan","Feb","Mar","Apr","May","Jun","Jul","Aug","Sep","Oct","Nov","Dec"]; var day = postdate.split("-")[2].substring(0,2); var m = postdate.split("-")[1]; var y = postdate.split("-")[0]; for(var u2=0;u2 Posted by Augusta Njoji on 3:07 PM in KITAIFA | Comments : 0 Naibu Katibu Mkuu (ELIMU) Ofisi ya Rais TAMISEMI, Tixon Nzunda akifunga Mafunzo ya Uimarishaji Stadi za Kusoma, Kuandika, na Kuhesabu (KKK) kwa wawezeshaji watakaowafundisha walimu wanaofundisha madarasa ya MEMKWA mjini Morogoro leo, Kulia kwake ni Odilia Mushi Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Elimu (Elimu ya Watu Wazima) Ofisi ya Rais TAMISEMI na kushoto ni Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM), Dkt. Syston Masanja amesema Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia iliwakabidhi Taasisi yao (ADEM). Naibu Katibu Mkuu (ELIMU) Ofisi ya Rais TAMISEMI, Tixon Nzunda akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa Mafunzo ya Uimarishaji Stadi za Kusoma, Kuandika, na Kuhesabu (KKK) kwa wawezeshaji watakaowafundisha walimu wanaofundisha madarasa ya MEMKWA mjini Morogoro leo Baadhi ya Washiriki wa Mafunzo ya Uimarishaji Stadi za Kusoma, Kuandika, na Kuhesabu (KKK) kwa wawezeshaji watakaowafundisha walimu wanaofundisha madarasa ya MEMKWA wakifuatilia hotuba ya mgeni rasmi wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo mjini Morogoro Naibu Katibu Mkuu (ELIMU) Ofisi ya Rais TAMISEMI, Tixon Nzunda amefungua leo Mafunzo ya Uimarishaji Stadi za Kusoma, Kuandika, na Kuhesabu (KKK) kwa wawezeshaji watakaowafundisha walimu wanaofundisha madarasa ya MEMKWA mjini Akifungua mafunzo hayo mjini Morogoro, Nzunda amewataka washiriki hao kufanya weledi, uadilifu, na uwajibikaji lakini pia kufanya tafiti zitakazosaidia kuboreshwa kwa Sekta ya Elimu nchini pamoja na kubadili fikra zao ili kuleta matokeo makubwa. “Fanyeni weledi, uadilifu, na uwajibikaji, kusimamia na kufanya tafiti, lakini pia tunategemea mafunzo haya yawabadilishe mwenendo, tabia, kifikra na kimtizamo ili muweze kwenda kuhamisha maharifa hayo kwa wengine na baadaye muweze kuleta mabadiliko makubwa ndani ya sekta ya elimu,”amesema. Nzunda amewataka washiriki hao kuwa makini na wadadisi wakati wote wa mafunzo ili walimu watakaopatiwa mafunzo ya madarasa ya Mpango wa Elimu ya Msingi Kwa Wasiobahatika (MEMKWA). “Nitoe wito kwenu washiriki wa mafunzo haya, kuwa makini na wadadisi kwa madazote zitakazowezeshwa ili nanyi mfikishe maudhui hay ohayo kikamilifu kwa walimu wanaofundisha madarasa ya MEMKWA,”amesema. Nzunda ameyataja moja ya mafanikio ya MEMKWA ni pamoja na mwaka 2012 ilitoa wanafunzi 4170 waliochaguliwa kujiunga na darasa la tano na wengine 1576waliweza kujiunga na masomo ya sekondari. Aidha, amesema licha ya ongezeko kubwa la watoto wanaoandikishwa darasa la kwanza, bado idadi ya watoto katika elimu ya mfumo huu usio rasmi (MEMKWA) ni kubwa ikilinganishwa na msisitizo wa Serikali wa kuifanya Elimu ya Msingi kuwa bure nay a lazima. Amezitaja changamoto zinazoikabili Programu ya MEMKWA kuwa ni pamoja na walimu kukosa umahiri wa kufundisha stadi za KKK, kukosekana kwa mtaala na miongozo ya kufundishia na kujifunzia vikiwemo vitabu, kutokuwepo kwa takwimu sahihi za watoto walio nje ya mfumo rasmi, kuchelewa kwa malipo ya honoraria kwa walimu wa MEMKWA, na kukosa umahiri wa upimaji na tathmini ya maendeleo ya kitaaluma kwa wananfunzi wa MEMKWA. Naye, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM), Dk. Syston Masanja amesema Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia iliwakabidhi Taasisi yao (ADEM) kuratibu kazi ya mafunzo ya Wawezeshaji wa Wawezeshaji kuhusu uimarishaji wa Stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) kwa Walimu wa wanaofundisha madarasa ya MEMKWA Tanzania Bara na kwamba ‘Global Partnership for Education chini ya Programu ya LANES ndiyo imefadhili uendeshaji wa mafunzo. Aidha, amesema anatarajia mafunzo hayo yatafanyika kwa vitendo zaidi na mbinu mbalimbali ili kuwafanya wanafunzi watakaofundishwa kuweza kufurahia masomo hapo baadae. “lazima twende zaidi kwa practicals (vitendo), kwa sasa kuna njia nyingi, teknolojia nyingi ili anayesoma afurahie somo , tunataka mkalete matokeo kule” amesisitiza Dk. Kwa upande wake , Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Elimu (Elimu ya Watu Wazima) Ofisi ya Rais TAMISEMI, Odilia Mushi amesema jumla ya wawezeshaji 80 watapatiwa mafunzo ambao watakwenda kuwapatia mafunzo walimu wapatao 1594 katika vituo vitatu vya Chuo cha Ualimu Morogoro, Chuo cha Ualimu Tukuyu(Mbeya) na Chuo cha Ualimu Butimba (Mwanza) lakini pia Maafisa Elimu Mikoa (Elimu ya Watu Wazima na Elimu Nje ya Mfumo RAsmi) watahusishwa ili kupata uelewa kuhusu mwongozo ulioboreshwa na kufanya ufuatiliaji. Aidha, Mushi amesema, Nia ya Ofisi ya Rais TAMISEMI kama Serikali inataka wanafunzi wanaochukuliwa kwa mfumo wa MEMKWA wasiwepo ifikapo mwaka 2020 na hivyo wabakie wale tu watakao kuwa ndani ya Mfumo Rasmi wa Elimu. Mafunzo hayo ya walimu wa MEMKWA baada mafunzo ya siku mbili ya wawezeshaji yanatarajiwa kuanza rasmi tarehe 26 Machi, 2017 hadi 14 Aprili, 2018 ambapo mada kadhaa zitatolewa ikiwa ni pamoja na Usimamizi na Uendeshaji wa Elimu nje ya Mfumo Rasmi, Utekelezaji wa Mtaala ya Elimu ya Msingi kwa watoto walio nje ya Mfumo Rasmi kwa darasa la kwanza na la pili, Maandalizi ya Ufundishaji na Ufundishaji Kiduchu kwa darasa la kwanza na la pili, Utekelezaji wa Mtaala ya Elimu ya Msingi kwa watoto walio nje ya Mfumo Rasmi kwa darasa la tatu na la nne na pia Ufuatiliaji na Tathmini ya Maendeleo ya Elimu nje ya Mfumo Rasmi.
2018-10-16T04:02:14
http://www.kamerayangu.co.tz/2018/03/fanyeni-tafiti-zenye-kuinua-elimu.html
[ -1 ]
Urusi 2018: Nani atabeba Kombe? Tuimulike Urusi – Dar24 Kenya yapata mwarobaini wa uhalifu wa mtandaoni Azam FC yaivurugia Young Africans 7 mins ago Comments Off on Urusi 2018: Nani atabeba Kombe? Tuimulike Urusi Dunia nzima imepata joto la shangwe za mashabiki wa Soka wanaosubiri kushuhudia fainali za Kombe la Dunia, linalofanyika mora moja kila baada ya miaka minne. Mwaka huu mwenyeji wa Mashindano haya ni Urusi, moja kati ya mataifa yenye nguvu kubwa duniani. Kwa kujali umuhimu wa kombe hili, Dar24 tunakuletea mfululizo wa makala za Kombe la dunia zitakazokusaidia kufahamu kwa ufupi mambo muhimu kuhusu kila kikosi cha timu itakayoshiriki, ili upate picha ya awali ya ‘Nani anaweza kuwa nani’ kwenye fainali hizi. Tukianza na kundi A. Leo tunakimulika kikosi cha Timu ya Taifa ya Urusi, wenyeji walioko kundi A. Kundi A (Group A). Timu za kundi hili ni Urusi, Saudi Arabia, Egypt (Misri) na Uruguay. Leo tunaimulika Urusi. Urusi (Russia) Urusi imefuzu moja kwa moja kushiriki fainali za kombe la dunia mwaka huu, kwa tiketi yake ya kuwa mwenyeji wa fainali hizo, ambazo zitafanyika kwa mara ya kwanza nchini kwao tangu zilipoanza mwaka 1930. Mfumo: Kikosi cha Urusi hutumia mfumo wa 3-5-2. Mchezaji Nyota: Mlinda mlango wa klabu ya CSKA Moscow, Igor Akinfeev. Mchezaji hatari: Aleksandr Golovin kutoka klabu ya CSKA Moscow. Kocha: Stanislav Cherchesov (54), raia wa Urusi. Huyu anaweza kuwa na morali ya uzalendo pamoja na jitihada ya kulinda obora wa kazi. Ushiriki: Urusi wamewahi shiriki fainali za kombe la dunia mara saba (7), tangu kuvunjwa kwa Umoja wa Kisoviet kati ya mwaka 1990 na 1991. Urusi imeshiriki mwaka 1994, 1998, 2002, 2006, 2006, 2010 na 2014. Mafanikio: Haikuwahi kuchukua kombe. Mafanikio ya juu zaidi iliyowahi kufikia ni nafasi ya 18 katika fainali za mwaka 1994 zilizofanyika nchini Marekani. Kocha Stanislav Cherchesov, hakufanya vizuri katika fainali za barani Ulaya za 2016 pamoja a kombe la mabara mwaka 2017. Katika fainali za kombe la dunia mwaka huu anatarajia kumtumia beki chipukizi Viktor Vasin wa klabu ya CSKA Moscow ambaye atashirikiana na Fedor Kudryashov wa klabu ya Rubin Kazan, Georgi Dzhikiya wa Spartak Moscow. Mabeki hao watachukua nafasi za wakongwe kama Ignashevich na Vasily Berezutski. Kocha huyo hupendelea mfumo wa kuwatumia mabeki watatu tofauti na ilivyozoeleka miongoni mwa mashabiki wengi duniani kuona mfumo wa mabeki wanne wakitumika mara kwa mara. Kikosi cha Urusi kitaongozwa na nyota wake Igor Akinfeev, ambaye ndio gumzo kwa sasa, miongoni mwa mashabiki wa nchi hiyo. Nyota mwingine ambaye ni gumzo kwa sasa nchini Urusi ni Igor Denisov, ambaye anacheza nafasi ya kiungo mkabaji katika klabu yake ya Dynamo Moscow kwa kusaidiana na Cherchesov. Washambuliiaji wa Urusi ambao ni hatari kuelekea katika fainali za mwaka huu ni Alan Dzagoev, Fyodor Smolov na Aleksandr Kokorin. Urusi imepangwa katika kundi la kwanza lenye timu za Saudi Arabia, Egypt (Misri) na Uruguay. Wenyeji hawa wa mashindano wataanza kampeni za kuusaka ubingwa mwaka huu kwa kucheza dhidi ya Saudi Arabia katika uwanja wa Luzhniki uliopo mjini Moscow Juni 14, kisha watapambana na Egypt mjini Saint Petersburg kwenye uwanja wa Krestovsky Juni 19, na watamaliza michezo ya hatua ya makundi Juni 25 dhidi ya Uruguay, kwenye uwanja wa Cosmos mjini Samara. Je, Kombe la Dunia litabaki Urusi mwaka huu, au mashabiki wa soka nchini humo watakula kwa macho na kuachwa na kilio? Usikose kufuatilia uchambuzi mfupi wa timu nyingine inayoshiriki Kombe la Dunia, kesho, hapa hapa Dar24. Toa maoni yako, unadhani nani atanyanya kombe? Michezo 2 hours ago Comments Off on Dar24 inakusogeza karibu na Urusi, Kombe la Dunia 2018 Michezo 3 hours ago Comments Off on Everton yamtimua Sam Allardyce Michezo 20 hours ago Comments Off on Azam FC yaivurugia Young Africans Michezo 24 hours ago Comments Off on Rais Magufuli kukabidhi kombe la Ubingwa 2017/18 Michezo 1 day ago Comments Off on Robin van Persie kusaini mkataba mpya Michezo 1 day ago Comments Off on 11 waliocheza 2014 waitwa kikosini Ureno Magazeti 4 days ago Comments Off on Video: Mikopo elimu ya juu wabunge wachachamaa, Makinikia yaleta kiama Ali Kiba awafungukia wadukuzi wa YouTube, 'sijui wametumwa' Korea Kaskazini 'yaishtukia' Marekani, yadai inapanga kuifanya kama Libya
2018-05-24T17:41:09
http://dar24.com/urusi-2018-nani-atabeba-kombe-tuimulike-urusi/
[ -1 ]
WAFUGA NYUKI WA KAGERA KUTEMBELEA SHAMBA (MANZUKI) LA MH. PINDA | BUKOBA WADAU WAFUGA NYUKI WA KAGERA KUTEMBELEA SHAMBA (MANZUKI) LA MH. PINDA Wafuga nyuki kutoka mkoa wa Kagera watafanya ziara ya mafunzo kwenye manzuki ya Waziri Mkuu, Mh. Pinda iliyoko Dodoma mwezi ujao. Akizungumza na Bukoba Wadau Media juu ya ziara hiyo, Mratibu wa Ushirika wa Wafuga Nyuki Kagera (Kagera Nyuki Mali Cooperative) Bwana Sadick Mwesiga amesema kuwa Ushirika umepata mwaliko wa kwenda kujifunza kwenye moja ya manzuki ya kisasa nchini. Mwaliko huu umepatikana baada ya kufanya mawasiliano kupitia kwa wasaidizi wa Waziri Mkuu. Katika ziara hii Wafugaji wa Kagera watajifunza kwa kuona namna bora ya kufanya ufugaji wa kisasa kwa kutumia mizinga iliyoboreshwa. Pia watajifunza jinsi ya kuzalisha malkia wa nyuki, kutengeneza makundi ya nyuki na kuendesha manzuki kibiashara kwa mbinu za kisasa. Ujumbe utakaofanya ziara Dodoma utajumuisha wafuga nyuki 20 wote kutoka Kagera. wawapo Dodoma wafuganyuki hawa watapata fursa ya kulitembelea Bunge na kutambulishwa wakati wa vikao vya Bunge la Bajeti ya mwaka 2015/2016 kwa mwaliko wa Mbunge wa Bukoba Vijijini Mh. Jasson Rweikiza. Kagera Nyuki Mali Cooperative ni Ushirika ulioanzishwa na wafuga nyuki mkoani Kagera kwa malengo ya kuwaunganisha wafuga nyuki ikiwa ni jitihada za kuyafanya mazao ya nyuki kuwa mazao mbadala ya kibiashara mkoani Kagera, kuongeza ubora na uzalishaji wa mazao ya nyuki kutoka Kagera, kuwahakikishia wafugaji nyuki masoko ya mazao ya nyuki yenye uhakika na yenye tija, kutafuta pembejeo na mitaji ya kuwawezesha wanaushirika kukukuza shughuli zao katika sekta ya nyuki na kushirikiana na Serikali pamoja na wadau wengine katika kukuza sekta ya nyuki Tanzania. Ili kufanya vema majukumu yake Ushirika umeanza zoezi la kuwatambua wafuga nyuki mkoani Kagera. Wadau wa sekta hii wanaweza kuwasiliana na ushirika kupitia [email protected] na simu namba 0767-988-173.
2018-01-16T11:40:09
http://www.bukoba-wadau.com/2015/03/wafuga-nyuki-wa-kagera-kutembelea.html
[ -1 ]
Kama kazi ya udaktari na uwalimu ni wito kwa nini ubunge isiwe kazi ya wito??? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Mtumishi Wetu, Jul 23, 2012. Wadau naomba kuuliza ikiwa je kazi ya ualimu na udaktari kama wanavyodai serikalini kuwa ni kazi ya wito, kwa nini kazi ya ubunge isiwwe ya wito pia??? Madaktari wanasomea huo udaktari kwa miaka zadi ya tano mpaka apate uprofesional na mwalimu anasome ualimu hadi afundishe mtoto kuanzia chekechea hadi university!!! Mbunge ana vigezo gani vya kumfanya kazi yake isiwe wito ya daktari ikawa wito???Kwanza wabunge wengine ni STD seven kama tulivyo ona humu na hawajakanusha kwa nini warundikiwe mafedha yote hayo na madokta wafe njaa??? Tena Spika akasema kuwa wabunge wanasaidia watu kwenye majimbo yao huoni kufanya hivyo ni kuchochea rushwa badala ya kukomesha rushwa, kwa namana hiyo rushwa kweli tuata ikomesha???? Kwa nini mbunge asitetee wanachi ili serikali itimize wajibu wake badala ya kuto visenti kwa watu eti anawasaidia si ni kupoza watu ili serikali iendelee kuiba badala ya kutimiza majukumu yake?? Kwa nini ubunge usiwe wito kwa vile wao ni kutete wananchi mafedha yote wanayorundikiwa ni ya nini si kuendeleza rushw aili serikali ipitishe mambo yake bila kipingamizi??? - 0 people likes hoja tamu kwelkwel daktari 975,000/= mbunge 6,000,000/= hahaha wafanye viceversa mbunge 975,000/= na daktari 6,000,000/= Kurudisha heshima ya taaluma ni wataalamu walipwe sana na wabunge walipwe kikawaida hapo ndipo kila mtu atarudi kwenye taaluma yake...tusiwe na watu wengi wapiga porojo wanaolipwa mafao makubwa Kurudisha heshima ya taaluma ni wataalamu walipwe sana na wabunge walipwe kikawaida hapo ndipo kila mtu atarudi kwenye taaluma yake...tusiwe na watu wengi wapiga porojo wanaolipwa mafao makubwaClick to expand... Mkuu nchi za wenzetu hata Uingereza Mwl hata wa primary analipwa vizuri kama wabunge wao!! Kwa nini mbunge asilipwe posho siku akiudhurua bunge tu tukaacha ufisadi wa kisiasa??? Hakika kazi zote zinatakiwa kuwa za WITO. Bila WITO kazi inakuwa ya KULAZIMISHWA (forced labour). Hata hivyo umesema vyema kuwa habari za ujira ni lazima Serikali na hata Bunge lenyewe libadilike ili wataalam wengine kama Madaktari, Walimu, Waandisi , Wanasheria n.k walipwe ujira na marupurupu zaidi kuliko wanasiasa (Wabunge) na hili halipingiki. Hakika kazi zote zinatakiwa kuwa za WITO. Bila WITO kazi inakuwa ya KULAZIMISHWA (forced labour). Hata hivyo umesema vyema kuwa habari za ujira ni lazima Serikali na hata Bunge lenyewe libadilike ili wataalam wengine kama Madaktari, Walimu, Waandisi , Wanasheria n.k walipwe ujira na marupurupu zaidi kuliko wanasiasa (Wabunge) na hili halipingiki.Click to expand... Hapo ni kweli Mhe Raisi asidanganye watu eti serikali haina fedha za kulipa madaktari na walimu huku wabunge na wana siasa wakijiongezea posho na mishahara bila kikwazo chochote!! Yatupasa tutambue umuhimu wa wataalamu wetu na walipwe vizuri ni kazi ya serikali kufuta fedha za kulipa professionals mishahara mizuri!!! - 0 people likes wote mmenena vyema, isipokuwa haya hayabadiliki kirahisi hivyo, mapinduzi haya yanapaswa kupigania. na ndio maana madaktari wanajaribu kuleta mapinduzi haya lakni hawana support, walimu nao vile vile. Tuamke jamani Naunga mguu hoja!. princedy said: wote mmenena vyema, isipokuwa haya hayabadiliki kirahisi hivyo, mapinduzi haya yanapaswa kupigania. na ndio maana madaktari wanajaribu kuleta mapinduzi haya lakni hawana support, walimu nao vile vile. Tuamke jamaniClick to expand... Tunajaribu kuwaambia hao waheshimiwa walioko mjengoni Dodoma kuwa waangalie na wajue kuwa nao pia kazi yao ni wito hivyo wapiganie maslahi ya walimu na madaktari sio maslahi yao tu na kujaza viroba kama sio matumbo yao tuu!!!!Waibane serikali iongeze maslahi ya wataalamu wetu wagonjwa wasiendelee kuteketea mahospitarini!!! Nchi ya viongozi mazuzu tu!! Hizo ng'ombe ndo mnaziita "wabunge", wanamwakilisha nani??? Pale bungeni, wanaoweza kuonekana wawakilishi wa wananchi hawazidi 10 out of 300 mps. 95% of mps are "******", and they have nothing to help us rather than looking for their share! Hata kama ni kwa garama ya damu ya Watz, they dont care. Hoja yako ni nzuri sana, ila hawa mazuzu wasingependa kuisoma, trust me. Eti "prof maji marefu", what the hell is this?! Naunga mkono hoja kuwa ubunge nayo iwe kazi ya wito ili kuleta uwiano. Naunga mkono hoja bila marakabisho! Nchi ya viongozi mazuzu tu!! Hizo ng'ombe ndo mnaziita "wabunge", wanamwakilisha nani??? Pale bungeni, wanaoweza kuonekana wawakilishi wa wananchi hawazidi 10 out of 300 mps. 95% of mps are "******", and they have nothing to help us rather than looking for their share! Hata kama ni kwa garama ya damu ya Watz, they dont care. Hoja yako ni nzuri sana, ila hawa mazuzu wasingependa kuisoma, trust me. Eti "prof maji marefu", what the hell is this?! Naunga mkono hoja kuwa ubunge nayo iwe kazi ya wito ili kuleta uwiano.Click to expand... Wakielewa kuwa ubunge ni wito wanaweza kuibana serikali ili ibane matumizi yasiyo ya lazima ili iweze kulipa wataalamu vizuri waweze kutoa quality produce!!! Vinginevyo watu wanaendelea kufa na wanafunzi wanazorota mashuleni tunazalisha vilaza sijui nchi itakuwa ya namna gani hii????This is a continuance process the country is deteriorating at a speedy late!!! - 0 people likes
2016-12-08T22:07:10
http://www.jamiiforums.com/threads/kama-kazi-ya-udaktari-na-uwalimu-ni-wito-kwa-nini-ubunge-isiwe-kazi-ya-wito.296501/
[ -1 ]
I have never seen,a woman who loves | JamiiForums | The Home of Great Thinkers I have never seen,a woman who loves Discussion in 'Habari na Hoja mchanganyiko' started by Apolinary, Nov 26, 2011. Ninasema hivyo coz kila mwanamke anataka mtu mwenye pesa au mwenye maisha mazuri!Nina 23yrs lakini sijawahi kukutana na mwanamke aliyenipenda jinsi nilivyo kila mmoja anacheka nami akiwa na shida lakin shida yake ikiisha hutaona hata manyoa yake sasa nataka kujua tabia za mwanamke anayekupenda ukweli na sio kauka nikuvae mana nimeshindwa kuelewa mwanamke anahitaji nini kutoka kwa m/ume NAWASILISHA! Tazama kwa posti yako, jibu lipo mumohumo. Achakufukuzia wanawake bar au disco.kama unataka mwanamke akupende tafuta maeneo yanayokuwa na wanawake wenye heshima. Mwanauume anapenda kwa maono,mwanamke anapenda kwa mguso. That why mwanamke ulemtoa usichana aachi kukupenda hata kama huna kitu, sema tatizo hawa dada/mama zetu tamaa wanaitanguliza mbele.hata kama anakupenda! Achakufukuzia wanawake bar au disco.kama unataka mwanamke akupende tafuta maeneo yanayokuwa na wanawake wenye heshima.Click to expand... Kma wapi mbona huweki jamvini? nami nawataka nimechoshwa Ninasema hivyo coz kila mwanamke anataka mtu mwenye pesa au mwenye maisha mazuri!Nina 23yrs lakini sijawahi kukutana na mwanamke aliyenipenda jinsi nilivyo kila mmoja anacheka nami akiwa na shida lakin shida yake ikiisha hutaona hata manyoa yake sasa nataka kujua tabia za mwanamke anayekupenda ukweli na sio kauka nikuvae mana nimeshindwa kuelewa mwanamke anahitaji nini kutoka kwa m/ume NAWASILISHA!Click to expand... 1 Tumefahamu kuwa ni kijana 2 Unamaisha mazuri Kama usemavyo 3 Unachunywa ipasavyo na mabinti Sasa huu unaweza kuwa ni mtego kwa mabinti wenye tamaa humu JF AMA wewe hautoi game la ukweli ndio maana mabinti wanasepa. Mkuu jichunguze kwanza kabla haujawapa lawama hawa viumbe Tatizo lako ni kwamba, unavyokutana naye kwa mara ya kwanza mwenyewe huwa unajifanya wa matawi fulani kwa hiyo basi kwa wakati ule yuko nawe kulinganana na hali uliyomuonyesha. Nini kifanyike? Hebu jaribu hivi badilisha hali yako kabisa halafu jifanye mtu wa hali ya chini kabisa halafu tafuta mdada ukiwa katika hali hiyo naamini huyo atakuwa wa ukweli. Isije ikawa tu wewe mwenyewe unataka wa dada wa matawi! Best hutamjua anayekupenda kweli. Achakufukuzia wanawake bar @acha hasira. unamtizamo hasi sana juu ya kaz za wa2. Kufanya kaz bar haimaanish kuwa na tabia mbaya kwani hayo ni maisha ya mtu binafs kama kufanya biashara zingne. Hawa hawa ndo tunakutana nao misktn na makanisan na kuwatetemekea kwa kigezo cha mazngra kwamba wametulia. Mi nadhan kama ukiishi ndani yako unaweza oa kahaba kwa sababu yy atakuwa anayajua mapenz na sio kiruka njia kwani hakuna asichokijua.Click to expand... Kwa uo umri wako embu soma kwanza. Nadhani hata kitanda haujachonga bado. Unachotumia bado ni kile walichokununulia wazazi. Wanawake lazima waku yeyushe hapo. 19,125,858
2017-01-20T05:50:06
https://www.jamiiforums.com/threads/i-have-never-seen-a-woman-who-loves.197027/
[ -1 ]
KUJISAJILI WCF LENGO NI KUMUONDOLEA MZIGO WA GHARAMA MWAJIRI,KULINDA HAKI ZA MFANYAKAZI: MAVUNDE - JIACHIE Home HABARI KUJISAJILI WCF LENGO NI KUMUONDOLEA MZIGO WA GHARAMA MWAJIRI,KULINDA HAKI ZA MFANYAKAZI: MAVUNDE KUJISAJILI WCF LENGO NI KUMUONDOLEA MZIGO WA GHARAMA MWAJIRI,KULINDA HAKI ZA MFANYAKAZI: MAVUNDE michuzijr Thursday, March 01, 2018 HABARI, Baadhi ya waajiri ambao Naibu Waziri na timu yake walifanya ukiaguzi huo ni pamoja na kampuni ya Machare Investments, Scholastica Schools iliyoko Himo nje kidogo ya mji wa Moshi.Alisema sio lengo la serikali kuwatisha au kuwadhalilisha waajiri hao bali nia ni kuhakikisha haki za wafanyakazi zinalindwa lakini pia kuwaondolea jukumu waajiri la kuwahudumia wafanyakazi wao wanapopatwa na madhara wakiwa kazini. By michuzijr at Thursday, March 01, 2018
2019-04-19T21:16:55
https://michuzijr.blogspot.com/2018/03/kujisajili-wcf-lengo-ni-kumuondolea.html
[ -1 ]
HABARI NA MATUKIO: RAIS MUSEVENI WA UGANDA AWASILI DAR ES SALAAM KUHUDHURIA MKUTANO WA VIONGOZI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI RAIS MUSEVENI WA UGANDA AWASILI DAR ES SALAAM KUHUDHURIA MKUTANO WA VIONGOZI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI Mwenyekiti wa Jumuya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akitambulisha wasaidizi wake kwa Rais wa Uganda Mhe Yoweri Kaguta Museveni mgeni wake huyo alipowasili Ikulu Dar es salaam leo jioni ya Septemba 7, 2016 tayari kwa mkutano wa Viongozi wa jumuiya hiyo utaofanyika ukumbi wa mikutano wa Ikulu. Mwenyekiti wa Jumuya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli na Rais wa Uganda Mhe Yoweri Kaguta Museveni wakiingia ndani na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika mashariki, Kikanda na Kimataifa Dkt Augustine Mahiga (kushoto) mara mgeni huyo alipowasili Ikulu Dar es salaam leo Septemba 7, 2016 tayari kwa mkutano wa Viongozi wa jumuiya hiyo hapo kesho katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu. Mwenyekiti wa Jumuya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akipeana mikono Rais wa Uganda Mhe Yoweri Kaguta Museveni mgeni wake huyo alipowasili Ikulu Dar es salaam jioni ya leo Septemba 7, 2016 tayari kwa mkutano wa Viongozi wa jumuiya hiyo hapo kesho katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu.
2017-01-20T16:00:11
http://www.kajunason.com/2016/09/rais-museveni-wa-uganda-awasili-dar-es.html
[ -1 ]
Madaktari leo kujadili sakata la Ulimboka - Page 2 Topic: Madaktari leo kujadili sakata la Ulimboka 7th August 2012 04:42 WAKATI kukiwa na taarifa za kurejea nchini kwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari, Dk Steven Ulimboka viongozi wa Jumuiya hiyo na Umoja wa Madaktari Tanzania (MAT), wanatarajia kukutana leo kujadili mkanda mzima wa sakata lililomkumba kiongozi huyo. Baada ya kikao hicho, madaktari hao watakutana na familia yake na kisha kumuuliza Dk Ulimboka kama angependa kilichomtokea kiwekwe wazi kwa jamii. Dk Ulimboka ambaye alikuwa anaratibu mgomo wa madaktari uliokuwa ukiendelea nchi nzima, alitekwa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia Jumatato ya Juni 27 mwaka huu na kupelekwa katika msitu wa Pande, nje kidogo ya Jiji a Dar es Salaam, ambako aliteswa na kujeruhiwa vibaya. Katika tukio hilo daktari huyo aling’olewa meno mawili na kucha za mkono mmoja na baadaye kulazwa katika Kitengo cha Wagonjwa Wanaohitaji Uangalizi Maalum (ICU) katika Taasisi ya Mifupa (MOI). Baada ya hali yake kuzidi kuwa mbaya Juni 30 mwaka huu, alisafirishwa kwenda Afrika a Kusini kwa ajili ya vipimo na matibabu. Kusafirishwa kwake kulifuatia taarifa ya jopo la madaktari lililokuwa linamhudumia kutoa taarifa kwa madaktari bingwa kuhusu abadiliko ya afya. Taarifa za kurejea kwa Dk Ulimboka zimezagaa katika mitaa mbalimbali jijini Dar es Salaam, huku baadhi ya watu wakizijadili katika mitandao ya kijamii. Akizungumza na gazeti hili Katibu wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania, Dk Edwin Chitage, alisema kuwa hali ya Dk Ulimboka inazidi kuimarika lakini alisita kueleza wazi ni lini kiongozi huyo wa madaktari atarudi nchini. “Tukiwa tayari tutatoa taarifa katika vyombo vya habari juu ya suala zima la afya ya Dk Ulimboka,” alisema Dk Chitage. Alisema leo au kesho viongozi mbalimbali wa MAT na Jumuiya ya Madaktari, watakutana kujadili suala la kiongozi huyo. “Ndani ya siku mbili hizi (leo na kesho) viongozi tutakutana na kujadili ripoti ya matibabu ya Dk Ulimboka na tutajadili kama tuvieleze vyombo vya habari ama laa,” alisema Dk Chitange. Hata hivyo Dk Chitange alisema hatua hiyo itategemea na kauli ya familia ya Dk Ulimboka na yeye mwenyewe (Dk ULimboka) kwa kuwa na wao pia watashirikishwa. “Dk Ulimboka na familia yake tutawashirikisha katika mambo ambayo tutayajadili,” alisema Dk Chitage. Alipoulizwa kama kiongozi huyo wa madaktari sasa anaweza kufanya shughuli zake kama awali, alisema hana uhakika kwa kuwa hana taarifa za ndani zaidi . 7th August 2012 12:45 Re: Madaktari leo kujadili sakata la Ulimboka skuizi wanauwana wenyewe kwa wenyewe! wamemuua mwenzao morogoro wanasema kajinyona! shame on them! siwapendi hawa jamaa! yani kule mpakani kutokee vita hata ya masaa 4 tu! alafu hawa mafala wapelekwa kama chambo wafe wote. 7th August 2012 16:15 Huyu aitwaye "thatha" huenda ni Abeid, Rama au ACP Ahmed Msangi kama siyo Pindaz. 7th August 2012 16:20 UGHONDU na wale wenzako tunawajua!! Habari za mwanahalisi zimetoka kwa DR mind you!! TISS ni Majambazi period!! 7th August 2012 16:25 Mwakyembe ni mfuasi wa Kibwetere! 7th August 2012 16:32 Umekuja Kimkakati nn Posts : 19,047 Rep Power : 7th August 2012 17:22 dr.ulimboka sema ukweli kuficha mambo kutakuletea matatizo kumbuka mwakyembe alificha mambo walichomfanyia ni kumuua taratibu.....ukweli ndio pona yako Kawaida yako kupotosha, haikusaidii kwani ukweli utajitenga tu. 7th August 2012 19:57 gazeti mwananchi;Madaktari kujadili sakata la Ulimboka Fidelis Butahe WAKATI kukiwa na taarifa za kurejea nchini kwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari, Dk Steven Ulimboka viongozi wa Jumuiya hiyo na Umoja wa Madaktari Tanzania (MAT), wanatarajia kukutana leo kujadili mkanda mzima wa sakata lililomkumba kiongozi huyo. Baada ya kikao hicho, madaktari hao watakutana na familia yake na kisha kumuuliza Dk Ulimboka kama angependa kilichomtokea kiwekwe wazi kwa jamii. Dk Ulimboka ambaye alikuwa anaratibu mgomo wa madaktari uliokuwa ukiendelea nchi nzima, alitekwa na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia Jumatato ya Juni 27 mwaka huu na kupelekwa katika msitu wa Pande, nje kidogo ya Jiji a Dar es Salaam, ambako aliteswa na kujeruhiwa vibaya. Katika tukio hilo daktari huyo aling�olewa meno mawili na kucha za mkono mmoja na baadaye kulazwa katika Kitengo cha Wagonjwa Wanaohitaji Uangalizi Maalum (ICU) katika Taasisi ya Mifupa (MOI). Baada ya hali yake kuzidi kuwa mbaya Juni 30 mwaka huu, alisafirishwa kwenda Afrika a Kusini kwa ajili ya vipimo na matibabu. Kusafirishwa kwake kulifuatia taarifa ya jopo la madaktari lililokuwa linamhudumia kutoa taarifa kwa madaktari bingwa kuhusu abadiliko ya afya. Taarifa za kurejea kwa Dk Ulimboka zimezagaa katika mitaa mbalimbali jijini Dar es Salaam, huku baadhi ya watu wakizijadili katika mitandao ya kijamii. Akizungumza na gazeti hili Katibu wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania, Dk Edwin Chitage, alisema kuwa hali ya Dk Ulimboka inazidi kuimarika lakini alisita kueleza wazi ni lini kiongozi huyo wa madaktari atarudi nchini. �Tukiwa tayari tutatoa taarifa katika vyombo vya habari juu ya suala zima la afya ya Dk Ulimboka,� alisema Dk Chitage. Alisema leo au kesho viongozi mbalimbali wa MAT na Jumuiya ya Madaktari, watakutana kujadili suala la kiongozi huyo. �Ndani ya siku mbili hizi (leo na kesho) viongozi tutakutana na kujadili ripoti ya matibabu ya Dk Ulimboka na tutajadili kama tuvieleze vyombo vya habari ama laa,� alisema Dk Chitange. Hata hivyo Dk Chitange alisema hatua hiyo itategemea na kauli ya familia ya Dk Ulimboka na yeye mwenyewe (Dk ULimboka) kwa kuwa na wao pia watashirikishwa. �Dk Ulimboka na familia yake tutawashirikisha katika mambo ambayo tutayajadili,� alisema Dk Chitage. Alipoulizwa kama kiongozi huyo wa madaktari sasa anaweza kufanya shughuli zake kama awali, alisema hana uhakika kwa kuwa hana taarifa za ndani zaidi . kesho nitakua eneo ambalo nitapata news kinagaubaga,ha ha nitawaletea yatakayojiri Ni ukweli upi Watanzania tunaotaka kuusikia tofauti na ule aliousema Ulimboka mwenyewe kwenye ile clip ya mahojiano? Wahusika alishawataja labda kama ni details zaidi ambazo kwakweli sidhani kama zitatusaidia chochote zaidi yakupandisha hasira pasipo vitendo. Mmeo kamaliza kunywa uji wa pilipili manga? Kamtandikie kitanda alale 8th August 2012 08:52 Pasiwekwe wazi taarifa hiyo kwani nani ataiamini sana sana itachochea mengine kutumia taarifa ambayo haiaminiki na wote. Cha busara ni kuwa na tume huru kuchunguza mambo yote halafu watuletee na hiyo ndiyo taarifa ya kuzungumza kama iwekwe wazi au la. CCM makao makuu wapeleka pesa nyingi Washington DC ili kuhonga watu Karume alitaka mamlaka ya waliyo wengi na sio umwagaji damu
2013-05-18T05:57:50
http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/304144-madaktari-leo-kujadili-sakata-la-ulimboka-2.html
[ -1 ]
Joh 1 | `BDD | STEP | Tuta 'ebe hegaina hauhau 'oina Gwae huhuna 'imiyamiya. Huhunaina tuwa Tauna Keliso. Tauna Yehoba ba'idana, eeta tauna tuwa Yehobaina. 1Tuta 'ebe hegaina hauhau 'oina Gwae huhuna 'imiyamiya. Huhunaina tuwa Tauna Keliso. Tauna Yehoba ba'idana, eeta tauna tuwa Yehobaina. 2Weyahina 'ebe hegaina hauhau 'oina Gwae huhunaina Yehoba ba'idana simiyamiya. 3Ma Gwae huhunaina tauna ginaula mabwaiyana 'ipaihowediya ma wete ginaula mabwaiyadi 'ihemasalahediya Yehoba ba'idana, ta geya 'eta wete tohemasalaha. 4Gwae huhunaina mayawasina moisa, 'oinega 'asilala 'i'eweyama ta 'i'abi latuheyama tomiya bale'u mabwaiyada 'oida. 5Ma 'oinega 'asilalaina guguyou 'oina 'isae haneya ma guguyouina geya 'ina waiwaimo. Casilalaina geya wete 'ina 'ebe lolagumo. 6Eeta Yehoba loheya 'aigeda 'ihesumaneya, sanina Yoni, 7Tauna tomota 'oidiya 'inaoma ma 'abehega 'asilalaina weyahina 'ida hepwaile ma 'oinega 'abehega tomota baibaiwadi sihesagohe ma 'idi hemisa silagu 'asilalaina 'oina. 8Tauna Yoniina geya 'asilalaina, ma hesi 'asilalaina 'ana to'etala hepwahepwaila. 9Ma 'asilalaina 'asilala moisa. Gogo gabulena mabwaiyada 'oida 'ihe'asilala. 10Tauna 'itauya pwaima gogo gabulena 'oina, ma gogo gabulena 'imiyamiya, ma tauna tuwa gogo gabulena 'ana tohemasalaha, ma gogo gabulena 'ana tomiyaedi geya sisanapu to loheya. 11Ma saugaina wete 'iboi 'inaoma 'ina bodao 'oidiya, ma wete taudi silogwahateya. 12Ma hesi boda tupwadimo 'ina gwae sihesagoheya ta sihemisaeya 'abehega tauna tuwa To'abihetenaina. Coinega bodaedi 'oidiya 'itagwala 'abehega Yehoba natunao. 13Bodaedi taudi tagwae sili'uhila. Ma li'uhilaina geya 'abehega loheloheya bweyahidi nuwana 'idi nuwatuhu 'oinega. Ma hesi li'uhilaina Yehoba 'oinega. 14Ma Gwae huhuna 'iheloheya, ma bewa tuwa mahetedai tamiyamiya. Ma 'ina wasawasa madou hedadena 'i'abi hemaedaneya 'oima ta 'a'iteya, 'oinega 'asanapuya 'abehega tauna tuwa Yehoba natuna moisa, ma wete tauna tohelau moisa, wete mumugana mabwaiyana bwebwe'ana. 15Mwalo Yoni Yesu 'ihepwaileya 'enana madouna 'oinega 'igwae, “Loheyainaina bewa tauna weyahina yahehewasa, tutaina yagwaeya, ‘Loheya 'aigeda muliguwega 'itautauyama, sanina madou hedadena 'abwa taugu. Weyahina taugu 'abwa geya yali'u ma tauna 'imiyamiya.’ 16“Tauna tohelau ma to'ebwaya moisa, weyahina 'ina helauina 'oinega mabwaiyada 'ilohemahegita. 17Yehoba 'ina loina Mosese* 'oinega silatuwa. Ma hesi helau moisa ma mumuga bwebwe'adi Yesu Keliso 'oinega silatuma. 18Yehoba 'ana 'ita geya 'eta taiya 'ida 'iteya, ma hesi natuna moisa 'iboi 'isanasanapu Tamana 'ana 'ita. Weyahina tauna Tamana deina 'imiyamiya, 'oinega tauna Tamana 'ana 'ita 'ihe'itegita.” 19Tuta beno 'oidiya, meYudiya 'idi tohanugetao topwaoli* tupwadi ma Libai* tupwana 'ina bodao 'oidiyega sihesumanedima Yelusalema 'oinega Yoni sabi hesilalaina 'abehega tauna to loheya. 20Beno 'oina Yoni geya 'ilowahi'wata 'idi hesilalaina 'oina weyahina, ma hesi 'idi hesilalaina 'ana maisa bwebwe'ana ma maemaedanina 'i'ebwaediya 'igwae, “Taugu geya To'abihetenaina.” 21Coinega taudi wete sihesilala hileya sigwae, “Hede taiya 'owa? Bo 'abehega 'owa Ilaitiya?” Ma Yoni 'igwaeya, “Taugu geya Ilaitiya*.” Ma taudi wete sihesilala hileya sigwae, “Bo nuwana 'owa 'aigeda wete palopita*, palopitainaina tauna 'ayamwayamwa?” Ma Yoni 'ihegwae hilediya 'igwae, “Geya.” 22Coinega tohesilalaedi wete sigwae hila, sigwae, “Cowa hede to loheya? Mane hana 'uda hegwaemai ma 'aneyage 'alohihila ma 'ima tohanugetao 'ahegwae bwaibwainidi to'aha gide 'ino hegwaegwae weyahiu.” 23Ma Yoni 'igwaeya, “Mwalona palopita Aiseya weyahigu 'ihepwaila pwaiya 'igwae, ‘Cabwa nata tobwau 'aigeda yoho 'awawa* 'ilatu ma 'ibwaubwau 'igwae, “Cinapwana 'ina 'eda wahunae ma wa'abi heduhedumwalu.”’” 24Coinega tohalewasaedi taudi Palisiyedi sihewasaedima sihesilaleya sigwae, “Ceguma 'owa geya To'abihetenaina, bo 'owa geya Ilaitiya, bo 'owa geya palopitaina tauna weyahina 'ayamwayamwana, hede to'aha weyahina 'u'abi'abi hebabitaiso?” 26Ma Yoni 'idi hesilalaina 'ihemaiseya 'igwae, “Taugu tuwa tomota we'ahega ya'abi'abi hebabitaisodi. Ma loheyaina geya wasanapu bewa tuwa gamwagamwanimiya 'itotoholo. 27Tauna tuwa muliguwega 'itautauyama, sanina madou hedadena 'abwa taugu. Geya sawasawahigu ma 'ana butu* 'ahenega yalihasi yahule, weyahina tauna loheya madou hedadena.” 28Ginaula mabwaiyana bewa Bedani 'oina silatuwa, beno Yoni 'ina 'ebe hebabitaiso 'oina, Yolidani hali tupwega. Yehoba 'ina lami* weyahina 29Ci'adaleya, Yoni Yesu 'i'iteya 'itautauyama 'oina. Ma Yoni boda 'ihegwaediya 'igwae, “Loheya nage 'itautauyama Yehoba 'ina lami*, tauna 'abwa mebale'u weyahida 'i'amasa, ma 'ida puiyao 'i'ewa yahuledi. 30Loheyainaina mwalona weyahina yahepwaila nugeta, tutaina yagwaeya 'abehega loheya 'aigeda muliguwega 'itautauyama, tauna sanina madou hedadena 'abwa taugu. Weyahina tauna tonugeta, 'abwa muliyetega yalatuma. 31Loheyainaina taugu geya yasanapu toho. Beno yasanapuya 'abehega taugu meIsileli 'oimiya yatauyama ma we'aha 'oinega ya'abi'abi hebabitaisogemi. Muliyetega 'abwa 'igu paihowa 'oinega loheyainaina 'omi wasanapu.” 32Yoni 'ihepwaila latuwa 'igwae, “Yehoba Yaluyaluwana ya'iteya 'ana 'ita gidemusa gabubu galewega 'isuluma Yesu 'oina 'itowa. 33Mwalo loheyainaina geya yasanapu toho. Ma hesi Yehoba tauna 'ihesumanegauma babitaiso we'ahega yapaipaihowadi, 'ihegwaegauwa 'igwae, ‘Cabwa nata Yaluyaluwagu 'u'ita 'isuluma ma loheyaina 'oina 'itowa, beno tauna 'abwa Yaluyaluwagu 'oinega boda 'i'abi hebabitaisodi.’” 34Coinega Yoni boda 'ihegwaediya 'igwae, “Loheyainaina moisa mataguwega ya'iteya, ma bewa tuwa weyahina 'oimiya yahehewasa tauna moisa Yehoba natuna.” Yesu 'ana tomuliyao nugenugetaidi 35Ci'adaleya hali sabwelo 'oina, Yoni ma'ana tomuliyao siteluwa mahetenao sitotoholo, 36ma Yesu si'iteya deidiyega 'itautauya. Coinega Yoni 'ana tomuliyaedi 'ihegwaediya 'igwae, “Loheyaina nage Yehoba 'ina lami.” 37Eema siteluwaedi Yoni 'ina gwae sihesagoheya, 'oinega Yesu simuliyeya. 38Simulimuliyeya, sitautauya ma Yesuina 'i'ita lohihila, ta 'i'itediya mulinega sitautauyama. Coinega 'ihesilalediya 'igwae, “To'aha nuwanuwami?” Ma taudi sigwae, “Tohe'ita, ta'ehina 'umiyamiya?” 39Coinega Yesu 'ihegwaediya, 'igwae, “Tanaowa ma 'igu 'ebe miya yahe'itegomi.” Sitautauya ma Yesu 'ina 'ebe miyaina si'iteya, beno lahilahi, 'oinega nobwa mahetenao simiya heboiya. 40Tomuliyaedi siteluwa 'oidiyega 'aigeda sanina Andulu, Saimoni Pita tasina. 41Anduluina tasinaina Saimoni 'inuwatuhuya, 'oinega 'itauya tasinaina 'ibesa mwayamwayauweya, ma 'ilobeya, ma 'ihegwaeya 'igwae, “Mesaiyaina 'alobeya.” (Mesaiya* 'ana bui Keliso, beno 'ena Gilisi*. Ma 'ana sanapu To'abihetena.) 42Eeta Anduluina tasina Saimoni 'itoeya ma mahetena sitauya Yesu 'oina. Ma Yesu Saimoniina 'i'ebubuya, 'ihegwaeya, 'igwae, “Cowa saniu Saimoni, tamau Yoni. Bewa tuwa saniu hauhauna yabwauwe Pita.” (Pita 'ana bui beno da'ule.) Pilipi ma Nataniyela Yesu 'ibwauwediya 43Gona 'i'adaleya, Yesu nuwanuwana 'itauya Galili. Citauya ma Galili 'oina Pilipi 'ilobeya, 'ibwauweya 'igwae, “Pilipi, 'unaoma 'umuliyegau.” 44Pilipi 'ina 'asa sanina Bedeseida, beno Andulu ma Pita 'idi 'asa. 45Muliyetega Pilipi Nataniyela 'ilobeya, ma 'ihegwaeya 'igwae, “Nataniyela, loheyaina sigwaegwaeneya 'alobeya. Tauna mwalona Mosese 'ina buki 'oina weyahina 'ihehegwaegwae. Palopitao 'idi lele 'oidiya wete weyahina sihegwaegwaeneya. Tauna tuwa Yesu, tamana Yosepa, Nasaleta loheyaina.” 46Ma Nataniyela Pilipi 'ihegwaeya 'igwae, “Geya 'eta to'aha bwebwe'ana Nasaleta 'oinega 'ida latuwa.” Ma hesi Pilipi 'igwaeya, “Tuwa hana 'unaoma, tatauya ma loheyaina 'u'ita.” Coinega siteluwaedi sitauya Yesu 'oina. 47Sitautauya, ma Yesu Nataniyela 'i'iteya, ma Nataniyelaina weyahina 'ihegwaegwaeya 'igwae, “Loheya nage gwama Isileli* moisa, ma mumugana 'ausalana mabwaiyana.” 48Nataniyela Yesu 'ihesilaleya 'igwae, “Togidega ta 'usanapugauwa?” Ma Yesu 'igwae, “Nige heneyage ya'ita nugetegowa 'abwa muliyetega Pilipi 'ibwauwegowa, tutaina 'owa damaya* huhuna 'umiyamiya.” 49Coinega Nataniyela Yesu 'ihegwaeya 'igwae, “Cinapwana, 'owa moisa Yehoba natuna. Ma wete 'owa meIsileli 'ima kini.” 50Coinega Yesu 'ihegwaeya 'igwae, “Nataniyela, 'abwa hesi 'uhemisaegauwa weyahina yahegwaegowa 'abehega damaya 'oina 'umiyamiya ma ya'itegowa, 'awa? Ma hesi 'uda sanapu 'abehega bewa tuwa 'ebe'ita 'i'iuna 'oiuwa. Ma 'abwa nata tuta sinaonaoma 'oidiya 'abwa ginaula madoudi 'u'itadi.” 51Ma Yesu wete 'ihegwaediya 'igwae, “Yagwae moisa 'oimiya, 'abwa nata galewa huwehuweina 'u'ita, ma wete Yehoba 'ina aneloseyao 'u'itadi sihanehane ma sisulusuluma taugu Loheyaiguina* 'oiguwa.”
2020-08-11T07:25:38
https://www.stepbible.org/?q=version=BDD%7Creference=Joh.1
[ -1 ]
Salewa-Backpacks and suitcases-Accessories Sale UK » Shop The Latest Collection - −61% Salewa-Backpacks and suitcases-Accessories Wholesale Outlet Online Salewa Wallet Accessories Red Backpacks and suitcases,salewa phantom...
2018-02-20T09:48:36
http://www.miamilocationvacances.com/accessories-c-3_84_99.html
[ -1 ]
Dk Shein Akutana na Balozi mpya wa Msumbiji nchini - ZanziNews Rais Dkt Magufuli akutana na Rais wa Zanzibar Dk Shein Ikulu Dar Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Al... Kamishna Uhamiaji Zanzibar afanya ziara Ofisi ya Uhamiaji Mkoa wa Kusini Unguja Afisa Uhamiaji Wilaya ya Kusini Mkaguzi Msaidizi wa Uhamiaji, Kheri Shabani akitoa mkono wa salamu kwa Kamishna wa Uhamiaji Zanzibar... Home HABARI KITAIFA Dk Shein Akutana na Balozi mpya wa Msumbiji nchini Dk Shein Akutana na Balozi mpya wa Msumbiji nchini othman maulid 9:49 PM Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akisalimiana na Bibi,Monica Patricio Balozi mpya wa Msumbiji katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kujitambulisha kwa Rais leo,(katikati) Balozi Mdogo wa Msumbiji anyefanyia kazi zake Zanzibae Bw. Jorge Augusto Menezes,[Picha na Ikulu.]07/09/2016. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Balozi mpya wa Msumbiji katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bibi,Monica Patricio mara alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kujitambulisha leo,[Picha na Ikulu.]07/09/2016. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Balozi mpya wa Msumbiji katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bibi,Monica Patricio (wa pili kulia) akiwa na ujumbe aliofuatana nao mara walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo,[Picha na Ikulu.]07/09/2016. Zanzibar 7.08.2016 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Msumbiji na Tanzania ni nchi zenye historia katika uhusiano na ushirikiano wao hivyo kuna haja ya kuendelezwa na kuimarishwa zaidi kwa manufaa ya pande mbili hizo. Dk. Shein aliyasema hayo leo wakati wa mazungumzo kati yake na Balozi mpya wa Msumbiji katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzaniam Monica Patricio Clemente Mussa aliyefika Ikulu mjini Zanzibar kwa ajili ya kujitambulisha. Katika mazungumzo hayo, Dk. Shein alisema kuwa uhusiano na ushirikiano kati ya Tanzania na Msumbuji ni wa kihistoria ambao umeasisiwa na viongozi wa wa Mataifa hayo akiwemo Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Marehemu Mzee Abeid Amani Karume na Hayati Samora Machel. Akisisitiza juu ya uhusiano na ushirikiano wa kidugu kati ya Zanzibar na Masumbiji, Dk. Shein alisema kuwa katika kuliimarisha hilo Zanzibar hivi sasa kuna WanaMsumbujini wengi wanaoishi na waliozaliwa ambao wanaishi na Wazanzibari kama ndugu. Kutokana na juhudi na hatua hizo, Dk. Shein alisema kuwa mashirikiano katika sekta kadhaa za maendeleo ni muhimu na ya msingi kwani yanaweza kuleta tija na mafanikio zaidi kwa pande zote. Aidha, Dk. Shein alitumia fursa hiyo kutoa pongezi kwa mafanikio makubwa iliyoyapata Msumbiji katika kuimarisha uchumi wake sambamba na mafanikio katika sekta nyengine za maendeleo. Aidha, Dk. Shein alisema kuwa Zanzibar ikiwa ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inathamini sana uhusiano na ushirikiano huo uliopo kati ya Msumbiji na Zanzibar na kueleza kuwa mashirikiano yanayoendelezwa yatasaidia katika uimarishwaji wa sekta za maendeleo zikiwemo elimu, kilimo, gesi na mafuta, biashara, utalii na nyenginezo. Akizungumzia kwa upande wa sekta ya elimu, Dk. Shen alisema kuwa Zanzibar imeweza kupiga hatua katika sekta ya elimu ikiwa ni pamoja na kuwa na Vyuo Vikuu Vitatu hivi sasa na kusisitiza haja kwa Msumbiji kuleta wanafunzi wake ili kuja kusoma Zanzibar ikiwa ni pamoja na kujifunza Lugha ya Kiswahili kupitia Chuo chake Kikuu cha Taifa cha SUZA. Pia, Dk. Shein akitilia mkazo sula hilo alieleza kuwa hatua hiyo itasaidia katika kubadilishana uzoefu ambapo itawapa fursa na wanafunzi wa Zanzibar kwenda nchini humo kusoma lugha ya Kireno kwa lengo la kuiimarisha lugha hiyo hapa nchini ambayo ina historia kubwa katika historia ya Zanzibar na Utawala wa Kireno uliotawala hapa Zanzibar mnamo miaka ya 1500. Dk. Shein alitumia fursa hiyo kumkaribisha Balozi huyo hapa nchini pamoja na kumpongeza Rais wa Nchi hiyo Filipe Nyusi kwa mafanikio yaliopatikana ya kiuchumi na kimaendeleo. Nae Balozi wa Msumbiji katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Monica Patricio Clemente Mussa, alisema kuwa Msumbiji inajivunia uhusiano na ushirikiano uliopo kati yake na Tanzania ikiwemo Zanzibar ambao ni wa muda mrefu. Katika maelezoa yake Balozi huyo wa Msumbiji alisema kuwa nchi hiyo hivi sasa imeqweza kupata mafanikio makubwa kwani tayari uchumi wake unazidi kuimarika siku hadi siku. Aidha, Balozi Mussa alisema kuwa miongoni mwa sekta ambazo hivi sasa zinaimarika ni pamoja na sekta ya miundombinu, kilimo, madini, gesi na mafuta huku akisisitiza kuwa uchumi wa nchi hiyo inaendelea kukua na kuimarika. Katika mazungumzo yao viongozi hao pia, waligusia haja ya kukuza uhusiano na ushirikiano katika sekta za maendeleo. MAGAZETI YA LEO IJUMAA NOVEMBER 24, 2017 - Ndugu wasomaji wetu tunaomba support yenu kwa kutangaza nasi hapa kwenye hii blog kwa bei nafuu ili tuweze kuendelea kutoa habari bila tatizo lolote. Wasil...
2017-11-24T03:47:31
http://www.zanzinews.com/2016/09/dk-shein-akutana-na-balozi-mpya-wa.html
[ -1 ]
Khamenei.ir - Sala ya Idul Fitr iliyosalishwa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Sala ya Idul Fitr iliyosalishwa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Taifa lililoshikamana, lenye umoja na lililoimarika kiimani la Iran, leo limetekeleza ibada ya Sala ya Idul Fitr ikiwa ni katika kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kulipa taufiki ya kutekeleza ibada za funga na kujijenga kinafsi wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Wananchi wa Iran katika kona zote za nchi wamefanya "Sijdatush Shukr" ili kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwapa taufiki hiyo na wametekeleza ibada ya Idul Fitr huku wakimuomba Allah aendelee kuwamiminia rehema Zake na kulipa taifa lao taufiki na saada ya duniani na Akhera. Lulu na johari ya ibada hiyo tukufu imefana katika jiji la Tehran wakati Waislamu wa mji mkuu wa Iran waliposhiriki kwa wingi mno kwenye Sala hiyo iliyosalishwa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Udhma Khamenei kwenye eneo la "Musalla." Katika khutba ya kwanza ya Sala hiyo, Ayatullah Udhma Khamenei ametoa mkono wa baraka na fanaka kwa taifa la Iran na kwa Waislamu wote duniani kwa mnasaba wa kuwadia sikukuu ya Idul Fitr na kusema kuwa, mwezi wa Ramadhani mwaka huu kwa hakika ulikuwa ni mwezi wa kumiminika baraka za Mwenyezi Mungu kwa taifa la Iran kwa maana halisi ya neno. Ameongeza kuwa: Kufunga saumu katika siku za joto kali za kipindi cha joto, kufanyika mahafali ya kila namna ya Qur'ani Tukufu, kushiriki kwa wingi Waislamu wa Iran kwenye dua, tawassul na kunyenyekea kwa Mwenyezi Mungu, vitanga vya chakula chepesi na cha kimaskini cha futari katika misikiti, mabarabarani na kwenye maeneo ya umma na hatimaye maandamano makubwa ya Siku ya Kimataifa ya Quds, ni miongoni mwa ishara za wazi za baraka hizo za Mwenyezi Mungu. Ameongeza kuwa: Njia sahihi ya kulitambua taifa la Iran ni kuzingatia mambo kama hayo, mambo ambayo yanayathibitishia mataifa mengine kuwa hivi ndivyo lililovyo taifa la Iran katika upande wa ibada na hivyo ndivyo lilivyo katika medani ya kupambana na uistikbari na ubeberu. Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amegusia nara na kaulimbiu za "mauti kwa Israel" na "mauti kwa Marekani" zilizotolewa na wananchi wa Iran katika maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds (Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani) na kuongeza kuwa: Wale wanaotaka kujua msimamo adhimu wa harakati ya taifa la Iran waangalie kaulimbiu na nara za namna hiyo wasiangalie watu baki na mabeberu wanasema nini kuhusu taifa hili ingawa hata hivyo inasikitisha kuona kuwa hata ndani ya Iran kuna baadhi ya watu wenye welewa potofu wanakariri matamshi hayo hayo ya mabeberu. Katika khutba ya pili ya Sala ya leo ya Idul Fitr, Ayatullah Udhma Khamenei amegusia matukio ya kusikitisha katika eneo la Mashariki ya Kati na kuongeza kuwa: Inasikitisha kuona kwamba mikono miovu isiyo na baraka yoyote imeifanya Ramadhani ya mwaka huu kuwa chungu, ngumu na nzito kwa wananchi wengi wa huko Yemen, Bahrain, Palestina na Syria na kwa hakika masuala kama hayo ni muhimu sana kwa taifa la Iran. Ayatullah Udhma Khamenei ameihusisha sehemu kubwa ya khutba hiyo ya pili ya Sala ya Idul Fitr kwa kuzungumzia nukta kadhaa kuhusu kadhia ya nyuklia. Katika nukta ya kwanza, amewashukuru maafisa wa Iran waliondesha mazungumzo hayo marefu na magumu na kuishukuru timu ya Iran ya mazungumzo ya nyuklia kwa jitihada zake kubwa katika uwanja huo. Ameongeza kuwa: Matini iliyoandaliwa ya mazungumzo hayo inabidi ipitie kwenye mkondo wake ulioainishwa ya kisheria lakini tab'an maafisa wa Iran walioshiriki kwenye mazungumzo hayo watalipwa malipo mema na Mwenyezi Mungu, ni sawa matini hiyo itapasishwa au haitopasishwa. Aidha Ayatullah Udhma Khamenei ‘amewakhutubu' kwa kusisitiza maafisa wa Iran wanaohusika na kuitalii na kuidurusu matini iliyoandaliwa ya nyuklia akiwaaambia: Fanyeni kazi zenu kwa umakini na kina cha hali ya juu kwa kuzingatia maslahi ya nchi na manufaa ya taifa ili matokeo ya umakini wenu huo wa hali ya juu yaweze kuliletea ufakhari taifa na kumridhisha Mwenyezi Mungu Mtukufu. Amesisitiza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itakabiliana na njama zozote za kuitumia vibaya matini hiyo ya nyuklia na kuongeza kuwa: Kamwe hatutoruhusu kutiwa doa misingi mikuu ya mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu, ni sawa tu, matini hiyo itakuwa imepasishwa au haikupasishwa. Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria pia anga ya vitisho iliyopo hivi sasa na namna maadui walivyoelekeza njama zao kwenye masuala ya kiulinzi ya Iran na kusema kuwa: Kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu, nguvu zetu za kiulinzi zitazidi kuimarika na mipaka ya usalama ya nchi yetu italindwa vizuri na kwamba Jamhuri ya Kiislamu kamwe haitopiga magoti mbele ya siasa za kujikumbizia upande wao kila kitu madola ya kibeberu. Kuendelea kuwaunga mkono marafiki wa Jamhuri ya Kiislamu katika eneo hilo ni nukta nyingine iliyobainishwa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu wakati alipozungumzia kadhia ya nyuklia. Ayatullah Udhma Khamenei amesema: Taifa la Iran halitaacha kuyaunga mkono mataifa madhlumu ya Palestina, Yemen, Bahrain pamoja na mataifa na serikali za Syria na Iraq wakiwemo pia mujahidina wa kweli wa Lebanon na Palestina, ni sawa tu matini hiyo ya nyuklia - baada ya kupitia mkondo wake wa kishseria nchini Iran - itapitishwa au haitopitishwa. Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, kwa hali yoyote ile, siasa za taifa na za mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haziwezi kubadilika kuhusiana na Marekani. Ameongeza kuwa: Sisi hatuwezi kuwa na mazungumzo yoyote yale na Marekani kuhusu masuala ya pande mbili, ya kieneo na kimataifa, isipokuwa katika masuala ya dharura mno kama hili la nyuklia, suala ambalo tumewahi kulifanya pia huko nyuma hata kabla ya kuanza mazungumzo ya nyuklia. Amezikosoa vikali siasa za Marekani za kuunga mkono utawala wa Kizayuni unaomwaga damu za watoto wadogo na pia siasa zake za kuwaita mujahidina wa kweli wa Hizbullah wanaojitolea kila chao kwa ajili ya ukombozi wa nchi yao kuwa eti ni magaidi na kuongeza kuwa: Siasa zetu katika eneo la Mashariki ya Kati zinatofautiana kwa daraja 180 na siasa za Marekani, hivyo ni vipi tunaweza kukaa pamoja na kuzungumzia masuala hayo? Ayatullah Udhma Khamenei ameendelea kuzungumzia kadhia hiyo ya nyuklia kwa kugusia majigambo ya hivi karibuni ya Wamarekani na kuongeza kuwa: Siku hizi wanasiasa wa kike na wa kiume wa Marekani wanalazimika kutoa maneno ya majigambo ili kutatua matatizo yao ya ndani, na ukweli ni kuwa maneno ya hayo yanabakia kuwa majigambo tu, hayana ukweli ndani yake. Ametoa mfano mmoja wa majigambo hayo ya pale viongozi wa Marekani walipodai kuwa wameizuia Iran isizalishe silaha za nyuklia na kusema kuwa: Sisi miaka mingi nyuma tulitoa fatwa kwa msingi wa mafundisho matukufu ya Uislamu na kusema kuwa, ni haramu kuzalisha silaha za nyuklia na dini yetu tukufu inatuzuia kutengeneza silaha hizo za mauaji ya umati, lakini pamoja na yote hayo Wamarekani ijapokuwa baadhi ya wakati wanatangaza kuwa fatwa hiyo ni muhimu sana, lakini katika propaganda na majigambo yao ya uongo wanadai kuwa, wameweza kuondoa tishio lililokuwepo kwa eti kuizuia Iran kutengeneza silaha za nyuklia. Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameongeza kuwa: Viongozi wa sasa hivi wa Marekani wanazungumzia suala la kupigishwa magoti Iran, tab'an marais watano wa Marekani waliopita huko nyuma baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran nao pia walikuwa na ndoto hizo hizo, lakini leo hii baadhi yao wameshakufa na wengine wamepotea kwenye historia na nyinyi viongozi wa hivi sasa wa Marekani pia mtabakia katika ndoto zenu hizo hizo zisizoagulika - za kutaka kuipigisha magoti Iran. Ayatullah Udhma Khamenei amezungumzia pia namna Rais wa hivi sasa wa Marekani anavyokiri makosa kadhaa yaliyofanywa na viongozi waliomtangulia kuhusu Iran yakiwemo mapinduzi ya kijeshi ya "Mordad 28" (Agosti 19, 1953) na uungaji mkono wa Marekani kwa Saddamu Hussein na kuongeza kuwa: Hiyo ni sehemu ndogo mno ya makosa ya Marekani na kuna makosa mengine mengi ambayo hadi hivi sasa Wamarekani wanakwepa kuyakiri. Aidha ametoa nasaha kwa viongozi wa Marekani waachane na makosa yao ya hivi sasa ili viongozi wa siku za usoni wa nchi hiyo wasije na wao wakalazimika kukiri makosa ya viongozi wa sasa hivi wa nchi hiyo. Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameongeza kuwa: Katika kipindi cha karibu miaka 12 nchi sita kubwa duniani zimekuwa zikijaribu kuishinikiza Iran iache kufuatilia teknolojia ya nyuklia na huku baadhi yao wakisema kuwa, lengo lao ni kuangamiza kabisa miradi ya nyuklia nchini Iran lakini leo hii zimelazimika kukubali maelfu ya mashinepewa zifanye kazi kuendeleza miradi ya nyuklia nchini Iran ikiwa ni pamoja na Iran kuendelea na utafiti na kustawisha miradi yake hiyo tena ndani ya Iran na jambo hilo halina maana nyengine isipokuwa kuonesha nguvu na uimara wa kupigiwa mfano wa taifa la Iran. Amesema, uwezo na nguvu zinazozidi kuongezeka siku hadi siku za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zinatokana na muqawama na kusimama kidete taifa pamoja na vipaji na ubunifu wa kupigiwa mfano wa wataalamu azizi wa Iran na ameitumia fursa hiyo kuwashukuru mashahidi wa nyuklia wa Iran na kuziombea subira na uvumilivu familia za wataalamu hao. Amesema: Mwenyezi Mungu alimiminie neema Zake taifa linalosimama imara kiasi chote hiki katika kupigania haki zake. Mwishoni mwa khutba ya pili ya Sala ya Idul Fitri, Ayatullah Udhma Khamenei ameashiria matamshi ya Rais wa hivi sasa wa Marekani aliyedai kuwa ana uwezo wa kuliangamiza na kulimaliza nguvu jeshi la Iran na ‘kumkhutubu' Rais huyo akimwambia: Hata waliokutangulia nao walikuwa wakitoa matamshi hayo ya majigambo na majisifu lakini wameondoka na ndoto zao. Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameendelea ‘kuwakhutubu' viongozi wa Marekani akiwaambia: Sisi hatupendi kutokea vita vyovyote vile, na kamwe hatutakuwa wa kwanza kuanzisha vita, lakini kama vita vitatokea basi atakayepata kipigo na kushindwa vibaya kwenye vita hivyo ni Marekani mchokozi na mtenda jinai.
2018-01-18T21:35:31
http://swahili.khamenei.ir/index.php?option=com_content&task=view&id=1535&Itemid=60
[ -1 ]
1 Samweli : 6 – Ufalme wa Mungu Kwanza 1 Samweli : 6 7 Basi sasa jifanyizieni gari jipya, mtwae na ng’ombe wake wawili wakamwao, ambao hawajafungwa nira, nanyi mkawafunge hao ng’ombe garini, na kuwaondoa ndama zao na kuwatia zizini; 10 Basi watu wale walifanya hivyo; wakatwaa ng’ombe wawili wakamwao, wakawafunga garini, na ndama zao wakawafunga zizini; 12 Na hao ng’ombe wakashika njia moja kwa moja kwenda Beth-shemeshi; wakaiandama njia ya barabara, wakaenda wakilia, lakini hawakugeukia upande wa kuume wala wa kushoto; na mashehe wa Wafilisti wakawafuata hata kuufikia mpaka wa Beth-shemeshi. 14 Na lile gari likaingia katika konde la Yoshua wa Beth-shemeshi, na kusimama pale pale, palipokuwapo jiwe kubwa; basi wakaipasua miti ya lile gari, wakawatoa wale ng’ombe kuwa ni sadaka ya kuteketezwa kwa Bwana.
2018-11-14T09:01:11
http://kinet.org/1-samweli-6/
[ -1 ]
ACT WAMKANA ALIYEPOKELEWA CCM MBELE YA RAIS MAGUFULI,WAMVAA POLEPOLE AACHE PROPAGANDA - HABARI24 Home / SIASA / ACT WAMKANA ALIYEPOKELEWA CCM MBELE YA RAIS MAGUFULI,WAMVAA POLEPOLE AACHE PROPAGANDA HABARI24 TV 5:18:00 AM SIASA HALI YA MAISHA NI NGUMU Pole Pole AACHE PROPAGANDA ZA KITOTO DHIDI YA ACT Wazalendo Juzi tarehe 21Juni,2017 akihutubia wananchi kwenye viwanja vya Bwawani, Kibaha Mjini, Mwenyekiti wa CCM, ndugu John Magufuli alitumia fursa hiyo kumruhusu Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama chake, ndugu Humphrey Polepole kumwingiza CCM mtu mmoja aliyesemwa kuwa ni Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Mkoa wa Pwani. Kama Chama umekuwa msimamo wetu wa siku nyingi kutowajibu watu wanaohama Chama chetu au kuwapa mkazo mkubwa watu wanaohamia Chama chetu. Tangu kuasisiwa kwa siasa za mageuzi hapa nchini, imekuwa ni kawaida kwa watu kutoka Chama kimoja kwenda kingine, Utitiri wa watu wamefanya hivyo kwa muda mrefu. Si jambo linalostaajabisha hata kidogo. Lakini, leo tumelazimika kulitolea ufafanuzi tukio la Kibaha kwa sababu liligubikwa na uwongo wa dhahiri, hadaa, na propaganda za kitoto za Polepole. Mtu aliyesemwa kuwa Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Mkoa wa Pwani, Isihaka Juma Karanda,si tu kwamba mtu huyo si Mwenyekiti bali hana nafasi yeyote katika Kamati ya Uongozi ya Mkoa wa Pwani na si mwanachama kabisa wa Chama chetu. Mwenyekiti Chama cha ACT Wazalendo, Mkoa wa Pwani ni Mimi hapa mbele yenu Mrisho Swagara. Katibu wangu ni ndugu Amina Batash. Kamati yetu ya uongozi ya Mkoa wa Pwani imeshangazwa sana na propaganda hizi za Polepole na chama chake, ambazo ziliendeshwa kwa kutumia kodi zetu wananchi. Jambo hili la propaganda za kitoto za CCM dhidi ya ACT Wazalendo ni mwendelezo wa harakati za Chama hicho kuwahadaa watanzania wasizungumzie hali mbaya ya chakula na usalama, pamoja na ugumu wa maisha, masuala ambayo chama chetu kimejikita katika kuyasemea. Katika wakati ambao uchumi wa nchi unaanguka, hali mbaya ya usalama mkoani Pwani, kukiwa na mfumuko wa bei wa bidhaa wa kutisha, hasa vyakula, ingetarajiwa kuwa chama makini kingejikita kuisimamia Serikali yake irekebishe masuala hayo. Lakini kwa masikitiko kabisa CCM wamejikita kwenye propaganda za kitoto kabisa dhidi ya Chama pekee kinachosimamia mambo ya wananchi, chama cha ACT Wazalendo. Hili ni jambo la aibu sana. Kwaniaba ya Chama changu, Viongozi wenzangu wa Mkoa wa Pwani, nawaasa Watanzania wenzangu wazipuuze propaganda hizo za CCM zinazofanywa kwa gharama kubwa ya kodi zetu. Ni muhimu Watanzania tuutumie muda huu kuhoji juu ya masuala muhimu yanayotugusa sisi wananchi, uhaba wa madawa hospitalini, hali ngumu ya maisha, kukosekana ajira kwa vijana, pamoja na kupanda kwa gharama za bidhaa kulikotokana na mfumuko mkubwa wa bei. Uongo huo wa viongozi wa CCM unadhihirisha namna chama hicho kilivyo cha hovyo na kinavyoweza kufanya mambo ya hovyo kwa ajili ya kumfurahisha mwenyekiti wao Kiusalama ni muhimu kwa wasaidizi wa Mwenyekiti wa CCM Kujiridhisha juu ya masuala mbali mbali yanayofikishwa mbele ya Rais ili wasimshushie hadhi kiongozi huyo wa nchi kwa ajili ya wachache kutaka sifa za kuonekana ni wachapakazi wanaokubaliwa katika maeneo yao. Mrisho Swagara Mwenyekiti wa Mkoa wa Pwani - ACT Wazalendo ACT WAMKANA ALIYEPOKELEWA CCM MBELE YA RAIS MAGUFULI,WAMVAA POLEPOLE AACHE PROPAGANDA Reviewed by HABARI24 TV on 5:18:00 AM Rating: 5
2018-07-23T01:34:16
http://habari24.blogspot.com/2017/06/act-wamkana-aliyepokelewa-ccm-mbele-ya.html
[ -1 ]
Arti Nama Fitriani Dari Bahasa Indonesia Untuk Nama Bayi Laki-laki - CariNamaBayi.Com Arti Nama Fitriani (indonesia) Berikut ini adalah Arti Nama Fitriani. Nama Fitriani berasal dari bahasa Indonesia. Arti Anak yang suci Detail nama Fitriani Fitriani adalah nama yang dapat digunakan untuk anak Laki-laki. Nama Fitriani dapat digunakan pada nama depan, nama tengah dan nama akhir. Nama Fitriani dapat digunakan pada Nama Depan misalnya: Fitriani Andri, Fitriani Aulia Maghfira, Fitriani Ayusari, Fitriani Izzatunnisa, Fitriani Putri, Fitriani Rahayu. Nama Fitriani juga dapat digunakan pada Nama Tengah misalnya: Assyfa Fitriani Kusumaning Ayu, Liliana Fitriani Najwa, Anggi Fitriani Putri, Alia Fitriani Denisha, Denisa Fitriani Dewi, Ainun Fitriani Ismail, Annisa Fitriani Ilma, Lailia Fitriani Mawardi, Rara Fitriani Putri Abdillah. Nama Fitriani juga dapat digunakan pada Nama Akhir misalnya: Pipit Fitriani, Maulida Fitriani, Isfi Fitriani, Rosita Fitriani, Durrotun Nafisah Fitriani, Keysa Fitriani, Silvia Fitriani, Natasya Fitriani, Fransiska Fitriani, Afnel Fitriani. Anda bisa melihat ide rangkaian nama Fitriani di Ide Rangkaian Nama Fitriani semoga dapat membantu anda dalam memilih nama yang tepat buat buah hati anda. Arti nama Fitriani dari beberapa Bahasa Selain nama Fitriani dari indonesia yang ada pada tabel di atas, nama Fitriani juga memiliki arti dari beberapa bahasa lain, diantaranya yaitu: - Fitriani dari Indonesia (untuk anak Perempuan), yang berarti Gadis Yang Suci
2020-02-23T23:38:15
https://carinamabayi.com/32161/fitriani.html
[ -1 ]
Unapewa uraisi Tz kwa masaa 24 utatumia vipi nafasi yako? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Unapewa uraisi Tz kwa masaa 24 utatumia vipi nafasi yako? Discussion in 'JF Chit-Chat' started by gody, Jul 7, 2012. Wanajamvi/chit-chat unapewa nafasi ya uraisi na mamlaka yote ndan ya masaa 24 utaacha heshma gani Bila kuingiza chama chako cha siasa??? sasa kama mm napewa mamlaka kama haya 1.natema mkwara wawaachie wale wote waliofungwa kwa hira kwa hiari yao kabla ya masaa 2 sjaja kukagua nikija tu hawana kazi!! Ili waachie nafas ya mafsad 2. Weka mafisad woote maabusu siangalii sura sijui epa na richmon wote na wamwaka huu wasije wakakimbia af ndo navuta riport ya CAG napitia tena zile sehemu zilizosemwa bungen ambazo haziitaji kuzsoma kwa phd wizara zote nikkukuta na kosa huko huko hukumu bila kujua siku ya kutoka!!! 3. Hapa ndo kimbembe tume huru ya fasta kwa walio mtesa Dokta na dokta mwenyewe akiwemo akiwasaidia sasa mkimshika mtuhumiwa meno mawili tu moja chini lingne juu ya mbele si mpeleki keko wala segerea huyu namfoward GWANTANAMO! kudadekii ni kwa mfano tu!!! Ntalihutubia Taifa Nitahakikisha naacha nimeshasign ujenzi wa daraja Dar kwenda Unguja. Ntalihutubia TaifaClick to expand... kuwa?? Nitahakikisha naacha nimeshasign ujenzi wa daraja Dar kwenda Unguja.Click to expand... labda litakuwa undergroud!! Nitahakikisha kila mtu anatumia Jina lake halisi hapa JF! kuwa??Click to expand... nawaeleza mikakati ya kulikomboa taifa 2. Nawafukuza kazi KOVA na MZEE WA MEEE na nahakikisha nawapeleka Mabwepande 3.kama muda utaruhusu namnyang'anya vasco dagama zile suti alizohongwa 1. Nitamwachia huru papii kocha,babu seya simuachii ng'o. 2. Chenchi ya rada nitahakikisha watoto wote inji hii wanapata kiti na desk,aibu jamani wanetu kukalia mawe. 3.NBC nitaitaifisha,hivi kwa nini tuliiuza? 4. Nitapiga marufuku uanzishwaji wa migodi mipya,kama hatuwezi kuchimba wenyewe kwa mtaji wetu bora tuviachie vitukuu vitajua la kufanya,sio wakute mashimo. 5. Mwisho but more importantly nitamkaribisha dina ikulu The secretary. Badilisha mikataba ya madini,gesi govt kuwa na 51%.mla rushwa kupigwa risasi,waendao guest kuwa na vyeti vya ndoa 5. Mwisho but more importantly nitamkaribisha dina ikulu The secretary.Click to expand... kwenye namba 4 wamarekani watakuwa wapi kuku gadaf? nawaeleza mikakati ya kulikomboa taifa 2. Nawafukuza kazi KOVA na MZEE WA MEEE na nahakikisha nawapeleka Mabwepande 3.kama muda utaruhusu namnyang'anya vasco dagama zile suti alizohongwaClick to expand... kuwafukuza unakuwa hujawatendea haki yaan mimi nikuwapeleka Gwantanamo!! Mpaka aliyenipa hayo madara atatamani nisiachie nchi! Ningehakikisha PLATOZOOM & CHARMINGLADY nawapigisha ndoa ya mkeka! Leoleo . Badilisha mikataba ya madini,gesi govt kuwa na 51%.mla rushwa kupigwa risasi,waendao guest kuwa na vyeti vya ndoaClick to expand... labda litakuwa undergroud!!Click to expand... Underground passage are not a Bridge ! That's is a Tunnel! Bridge means a raised platform ! Passage over, structure spanning a River, Ocean, Lake etc Kwanza kuwafilisi mafisadi na kuwaua wananichefua sana cwapendi wameleta ugumu wa maisha na kuisababishia serikali kupoteza imani kwa wananchi lazima ningechukua umiliki wa migodi, ardhi maelfu ya ekari, ningejimegea pande la bahari nikajenge hoteli inayoingia hadi baharini kama double tree, namrudisha maige amalizie twiga waliobaki. kuwafukuza unakuwa hujawatendea haki yaan mimi nikuwapeleka Gwantanamo!! Mpaka aliyenipa hayo madara atatamani nisiachie nchi!Click to expand... mabwepande ni zaidi ya Gwantanamo. Wanajf wote mkataba haraka sana migodi sie mbuga sie tenda zote sie wakuu wa mikoa wote sie mabalozi ili mradi mtu asaini hata mtandaoni. waliomtesa uli wangenikoma. Wanajf wote mkataba haraka sana migodi sie mbuga sie tenda zote sie wakuu wa mikoa wote sie mabalozi ili mradi mtu asaini hata mtandaoni. waliomtesa uli wangenikoma.Click to expand... duh ! Kweli unahasira!!
2016-10-26T13:44:08
http://www.jamiiforums.com/threads/unapewa-uraisi-tz-kwa-masaa-24-utatumia-vipi-nafasi-yako.288971/
[ -1 ]
Ushirikiano wa Hyperbaric - HBOT Tiba ya Oxygen ya Tiba Nyumbani/Kuhusu Tekna Hyperbaric/Ushirikiano wa Hyperbaric - HBOT Tiba ya Oxygen ya Tiba Ushirikiano wa Hyperbaric - HBOT Tiba ya Oxygen ya Tibateknamfg2018-01-04T18:19:33+00:00 Chuo cha Marekani cha Madawa ya Hyperbaric ACHM ni jamii ya kitaaluma iliyotolewa kwa matumizi sahihi, viwango vya utunzaji, elimu, mafunzo, vyeti, na kutambuliwa tiba ya oksijeni ya hyperbaric kama maalum ya matibabu. Chuo cha Amerika cha Madawa ya Hyperbaric ilianzishwa katika 1983 kwa msaada wa waalimu wanaofanya dawa ya hyperbaric ambao walitambua umuhimu wa oksijeni ya matibabu katika maombi ya kliniki, hasa usimamizi wa jeraha. Machapisho ya Alert Network DAN Medical Taarifa wafanyakazi wa idara ya saa ya dharura ya saa ya 24 na mtaalamu wa uhamisho wa uokoaji, habari za dawa za kupiga mbizi na uhamisho wa matibabu. Uchunguzi na utafiti ni genesis ya ufafanuzi wa kisayansi. Rubicon Foundation inaanzisha miradi inayochangia upanuzi wa ufahamu wa binadamu. Dawa ya Caribbean Hyperbaric Dawa ya Caribbean Hyperbaric inajumuisha na inaongoza kozi za kitaifa za vibali za kitaifa (vibali na Bodi ya Taifa ya Diving na Hyperbaric Medical Technologies na Chuo Kikuu cha Marekani cha Madawa ya Hyperbaric). Kozi hizi zinatumiwa kimataifa na madaktari na wataalamu wengine wa huduma za afya wanaostahili kupata vyeti vya hyperbaric ambazo zinahitajika kwa ajili ya kutoa matibabu ya wagonjwa wa hyperbaric. Dawa ya Caribbean Hyperbaric pia hutoa kozi za 12 zilizoidhinishwa na Mtandao wa Alert wa Diver (DAN) Mifugo ya Mifugo Hyperbaric Medicine Society Ujumbe wa Mifugo ya Mifugo Hyperbaric Medicine ni kuendeleza sayansi na matumizi ya kliniki ya tiba ya hyperbaric katika dawa za wanyama na za binadamu kupitia uendelezaji wa elimu, ugunduzi, na ushirikiano. The 4000 ya mseto ni chumba cha maadili bora zaidi nilichowahi kuona.
2019-06-17T12:53:32
https://sw.hyperbaric-chamber.com/about-tekna-hyperbaric/hyperbaric-affiliations/
[ -1 ]
Uchumi : Wafanyabiashara Waaswa kulipa kodi - Wazalendo 25 Blog Home BIASHARA HABARI Lifestyles MATUKIO News UCHUMI Uchumi : Wafanyabiashara Waaswa kulipa kodi Uchumi : Wafanyabiashara Waaswa kulipa kodi Gadiola Emanuel February 09, 2016 BIASHARA, HABARI, Lifestyles, MATUKIO, News, UCHUMI, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk.Philip Mpango akizungumza na wafanyabiashara leo katika ofisi za wizara ya Fesha jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya sekta binafsi (TPSF), Salum Shamte.
2018-05-20T13:56:31
https://wazalendo25.blogspot.com/2016/02/uchumi-wafanyabiashara-waaswa-kulipa.html
[ -1 ]
Natafuta kazi ya kuuza duka au yoyote - JamiiForums Natafuta kazi ya kuuza duka au yoyote Thread starter unique vee unique vee Habari wana JF, mimi ni msichana mwenye miaka 21 elimu yangu n kidato cha nne. Nlikuwa natafuta kazi ya kuuza duka au yoyote ile mwenye hitaji la mfanyakazi naomba aniinbox ntamtafuta, naishi Dar Temeke. Likes: Mitha and Kirikou Wa Kwanza 186 106 60 Natafuta msichana wa kazi za ndani kama upo tayari ni Pm unique vee said: Habari wana jf mm n msichana mwenye miaka 21 elimu yangu n kidato cha nne nlikuwa natafuta kazi ya kuuza duka au yyte ile mwenye hitaji la mfanyakazi naomba aniinbox ntamtafuta naishi dar temeke Unaonaje kama hapo kwenye neno 'kazi yoyote' ukalifungua zaidi maana isijekuwa unaongea kama ahadi ya Kaizari kwa binti yake. sorry dada kaz za ndan cwez Nashukuru kwa kunisahihisha kaz yyte ile icpokuwa house girl maana ciwez 26,119 25,041 280 JF hii bwana? Neno "kazi yoyote" litamponza huyu binti. Likes: jack daniel and Shanyc 1,246 577 280 Sina zaidi ya kazi ya kunipikia na kunifulia... hata hivyo niko bachelor, kazi kwako. 28,395 15,426 280 Nitafute PM kama uko serious Npo serious nataka kukupm bt sorry kwa profile yako mbona cjaona pa kukupm kama hutojar anza kunipm plz Likes: fatma kimambo and misasa Nimekumbuka this song Nakushauri Usome tu Mdogo Wetu.. Tafuta fan yeyote uwe na kaujuzi... nchi ya viwanda ndio imeshaanza kuandaliwa na wewe jiandae... i know life ni tafu... ila komalia elimu hata kama ni ngumu rudia rudia akili zitashika tu Likes: 7ve Hahau made my day kwa kwel Asante kwa ushaur wako na mungu akubariki 11,746 14,133 280 Huko PM mbona watu wanapenda kupatumia sana hasa kwenye matukio kama haya? Kwa upande wng natumia pm maana nmaelewano ya kaz kwa mwajir na mtafuta kaz na pia kufanya sir ya malipo ya kaz kama ntakuwa nmekosea naomba unisahihishe Ok Bahati Mbaya Siamini uwepo wa Mungu Mnayemuamini Nyie... Na Maisha yanasonga kwa Juhudi tu... Ukilala hali inakuwa Mbaya... so Ni Maamuzi tu... Ukitaka Kuwa Masikini Tajiri hakuhitaji Umungu... Humu Mabazazi bado hawajakuona? Mabazazi?? Amesema anataka ya kuuza duka alaf mnamwambia kaz ya ndani hamjui kusoma? Likes: unique vee Posts 29,272,800
2018-12-14T10:50:10
https://www.jamiiforums.com/threads/natafuta-kazi-ya-kuuza-duka-au-yoyote.1079260/
[ -1 ]
Primobolan & Testosterone Stack for POWER, Nguvu & Misuli konda Nyumbani / Primobolan / Primobolan & Testosterone Stack for POWER, Nguvu & Misuli konda 2. Primobolan & Testosterone mpororo 3. Ufafanuzi wa Steroids 5. Primobolan madhara 7. Testosterone madhara Kuchukua Primobolan and Testosterone together in what is called a "Mpororo" is very common. For the appearance of being “kata” with increases in athletic power, bodybuilders have turned to cutting stacks that make use of steroids like test and primobolan. This article will summarize the most up-to-date information about both each of these steroids and explore the combined benefits and possible side effect of stacking them together.Kununua steroids kisheria online hapa. Primobolan & Testosterone mpororo Kulinganisha na hatari na faida ya uwezekano wa madhara dhidi ya faida inawezekana lifanywe kwa makini na mtu yeyote kuzingatia mchanganyiko huu potent. Mizunguko na magonjwa Kipimo cha 500 mg of Testosterone per week for cycle weeks 1-10 Corticoids madini kama vile ya Aldosterone kusaidia kudhibiti maji na electrolyte usawa. When it comes to Anabolic Steroids, neno “anabolic” inahusu darasa mkuu wa steroids kwamba kujenga ogani na tishu na kuchochea ukuaji na hivyo kuongeza misuli molekuli. Primobolan whose chemical name is Methenolone or Metenolone is an anabolic-androgenic steroid (AAS) hilo ni moja ya steroids mdomo maarufu. According to popular myth, Primobolan was the favorite steroid of famous body builder and former California Governor Arnold Schwarzenegger who was featured in the movie “Kusukumia chuma.” Primobolan is metabolized in the liver and excreted by the kidneys. In the United States Primobolan is a Schedule 3 Madawa ya kulevya ambayo ina maana kuwa ina matumizi kukubalika kwa sasa ya matibabu na inapatikana kwa dawa tu. A potentially dangerous side effect of Primobolan is an increase in LDL (Mbaya) viwango vya cholesterol na kupungua kwa HDL (nzuri) viwango vya cholesterol wote wawili ambao ni vipengele vya hatari kwa shinikizo la damu, mashambulizi ya moyo, heart disease and strokes and even death. It increases lean muscle mass, inapunguza molekuli ya mafuta na unaweza kukuza upinzani jeraha. Pia inahimiza kurekebisha misuli haraka na huongeza uwezo wa “Duta nyuma” haraka kutoka majeraha na uchovu. Pia, athari za sumu inaweza kujumuisha maendeleo ya shinikizo la damu ambalo linaweza kusababisha viboko, mashambulizi ya moyo na upofu hata. This means that it is metabolized in the liver and so can cause liver toxicity, homa ya manjano, kansa ya ini na hata ini. Zaidi ya hayo, Testosterone use can lead to damage to the renal tubular cells within the kidneys that can eventually led to kidney failure. It can also accelerate the formation of kidney stones. Psychological side effects of Testosterone can include bouts of aggression, wazimu, majonzi na kile kawaida kinaitwa “roid hasira.” Testosterone has also been found in studies to decrease sperm count, reduce sperm motility and cause various sperm abnormalities including infertility. It can also lead to ejaculation disorders (male orgasmic disorder), atrophy makodo, prostatitis, prostate cancer and sleep apnea. Primobolan and Testosterone can help to increase lean muscle mass, uvumilivu na nguvu wakati kupunguza mafuta mwilini, uchovu na majeraha.
2017-11-19T05:08:01
https://steroidly.com/sw/primobolan-testosterone-stack/
[ -1 ]
WATUMISHI TUISHI KWA UPENDO - Wizara ya Afya Tanzania Wizara ya Afya Tanzania Saturday, March 16, 2019 Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Faustine Ndugulile akisisitiza jambo wakati akiongea na Watumishi wa Sekta ya Afya, katika mkutano wa Baraza la Wafanyakazi kujadili bajeti ya Wizara ya Afya uliofanyika katika ukumbi wa Mipango Jijini Dodoma Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto ambae pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi Wizara ya Afya Dkt. Zainab Chaula akiongea na Watumishi wa Sekta ya Afya (Hawapo kwenye picha) wakati wa mkutano wa Baraza la Wafanyakazi kujadili bajeti ya Wizara ya Afya uliofanyika katika ukumbi wa Mipango Jijini Dodoma Naibu Katibu Mkuu TUGHE Taifa Eng. Amani Msuya akiwasilisha hoja za Wafanyakazi mbele ya Mgeni rasmi wa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Faustine Ndugulile na Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto ambae pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi Wizara ya Afya Dkt. Zainab Chaula. Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Faustine Ndugulile akiteta jambo na Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto ambae pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi Wizara ya Afya Dkt. Zainab Chaula Meza Kuu ikiongozwa na Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Faustine Ndugulile (Watatu kutoka kushoto) wakati wakiimba wimbo wa kuhamasisha umoja na mshikamano wakati wa mkutano wa Baraza la Wafanyakazi kujadili bajeti ya Wizara ya Afya uliofanyika katika ukumbi wa Mipango Jijini Dodoma. Baadhi ya Watumishi wa Sekta ya Afya ambao pia ni Wanachama wa TUGHE Taifa wakishikana mikono huku wakiimba wimbo wa kuhamasisha umoja na mshikamano, wakati wa mkutano wa Baraza la Wafanyakazi kujadili bajeti ya Wizara ya Afya uliofanyika katika ukumbi wa Mipango Jijini Dodoma. Baadhi ya Watumishi wa Sekta ya Afya ambao pia ni Wanachama wa TUGHE wakifuatilia maelekezo kutoka kwa Mgeni rasmi ambae ni Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Faustine Ndugulile(Hayupo kwenye picha) wakati wa mkutano wa Baraza la Wafanyakazi kujadili bajeti ya Wizara ya Afya uliofanyika katika ukumbi wa Mipango Jijini Dodoma. Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto ambae pia ni mgeni rasmi wa Mkutano huo Dkt Faustine Ndugulile akiteta jambo na Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto ambae pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi Wizara ya Afya Dkt. Zainab Chaula katika mkutano wa Baraza la Wafanyakazi kujadili bajeti ya Wizara ya Afya uliofanyika katika ukumbi wa Mipango Jijini Dodoma Picha ya pamoja ikiongozwa na Mgeni rasmi Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile na Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto ambae pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi Wizara ya Afya Dkt. Zainab Chaula wakiwa na baadhi ya Wajumbe wa TUGHE Taifa akati wa mkutano wa Baraza la Wafanyakazi kujadili bajeti ya Wizara ya Afya uliofanyika katika ukumbi wa Mipango Jijini Dodoma. Na WAMJW – Dodoma. Watumishi watakiwa kudumisha upendo, umoja na mshikamano katika mahala pa kazi na kufanya kazi kwa bidii ili kutoa huduma iliyo bora. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Faustine Ndugulile alipokuwa akizungumza na watumishi wa Sekta ya afya wakati wa ufunguzi wa Baraza la Wafanyakazi lililofanyika jijini hapa Dkt. Ndugulile amesema anaamini kuwa Wizara ya Afya itafika mbali zaidi ikiwa watumishi watafanya kazi kwa bidii kwa kuzingatia maadili ya utumishi wa umma na kuheshimiana bila kujali utofauti wa vyeo baina ya watumishi. “Kila mmoja amuheshimu mwenzake kwa sababu ana mchango katika haya yote tunayoyafanya na tunategemeana sana kwenye kazi zetu za kila siku” amesema Dkt. Ndugulile. Aidha, Dkt. Ndugulile amewataka watumishi kuziheshimu nafasi za uongozi walizonazo sasa kwa kuzienzi na kuhakikisha wanafanya kazi ili kuthibitisha kuwa kweli wanastahili kuwa kwenye nafasi hizo. “Bado kuna watumishi wengine hawajajitafakari katika nafasi zao, lugha tunazozitoa, kutojituma, tuache kufanya kazi kwa mazoea” alisema Dkt. Ndugulile. Awali akizungumza na wajumbe wa mkutano, Mwenyekiti wa Baraza hilo ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Dkt. Zainab Chaula amesisitiza watumishi kufanya kazi kwa umoja na kujitolea ili wote kwa pamoja kufikia malengo yaliyokusudiwa. Katika Mkutano huo wajumbe walipitia na kujadili masuala kadha wa kadha kuhusiana na Wizara ya Afya ikiwemo bajeti ya Wizara, mabadiliko ya sheria ya mifuko ya hifadhi ya jamii, Sera ya Afya, Bima ya Afya pamoja na masuala ya utendaji ndani na nje ya Wizara. 0 on: "WATUMISHI TUISHI KWA UPENDO"
2019-03-25T01:32:27
http://afyablog.moh.go.tz/2019/03/watumishi-tuishi-kwa-upendo.html
[ -1 ]
Kina Warioba, Mwinyi, Kimiti na Vijana wa zamani wakae kimya sasa; tunalipia hatia yao | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Kina Warioba, Mwinyi, Kimiti na Vijana wa zamani wakae kimya sasa; tunalipia hatia yao Discussion in 'Habari na Hoja mchanganyiko' started by Mzee Mwanakijiji, Oct 14, 2011. Waziri Mkuu Mstaafu, Joseph Sinde Warioba ​ Kama kuna kitu kimeanza kunigusa pabaya katika fikra zangu ni kauli za mara kwa mara za wale wanaotajwa kuwa ni “viongozi wa zamani” wa taifa letu ambao hutoa kauli mbalimbali za kujaribu kuonesha kuwa nchi imefika pabaya. Kauli za hivi karibuni za aliyekuwa Waziri Mkuu Bw. Joseph Warioba na zile za aliyewahi kuwa Waziri na Mkuu wa Mkoa kwa muda mrefu na Mdhamini wa CCM Bw. Paul Kimiti zinanifanya nianze kuona kuwa kama taifa tunaanza kuchezewa akili na wale ambao waliwahi kuwa viongozi. Lakini vile vile kauli za aliyekuwa Rais wa Tanzania Mzee Ally Hassan Mwinyi kuhusu masuala ya madawa ya kulevya na viongozi wa dini nazo zinanifanya niamini kabisa kuwa viongozi wetu hawa wa zamani wanaishi katika ulimwengu wa wale wanaokana. Yaani, wale ambao hawajakaa chini na kuangalia ni kwa jinsi gani maamuzi yao wao wenyewe ndio yamelifikisha taifa letu leo hii. Wazee hawa wanapozungumza japo inaonekana kana kwamba ni katika “uzalendo” ukweli ni kwamba wanajaribu kujitenga na matendo na misimamo yao wakati walipokuwa madarakani. Ndugu zangu, leo hii tunalipia hatia yao. Wanayo hatia na wakati umefika waanze kukiri hatia hiyo na kuliomba taifa letu msamaha na wawajibike kwa kuanza kukaa kimya. Mkuu nimeiosoma hiyo makala it's a good one. Kinachonisikitisha zaidi kama ulivyojaribu ku-highlight ni namna hawa wazee wanaposhindwa kueleza kinagaubaga chanzo cha matatizo haya. And no one seem to be close into taking responsibility kwa yanayotokea. Kiukweli hawa wazee nao ni sehemu ya janga. Nadhani imefika muda sasa wa aidha tukae kimya au tuchukue hatua. mmm... Wakale walisema "mjinga kwa kwenda, akirudi anajua pabaya na pazuri" Mkuu nimeiosoma hiyo makala it's a good one. Kinachonisikitisha zaidi kama ulivyojaribu ku-highlight ni namna hawa wazee wanaposhindwa kueleza kinagaubaga chanzo cha matatizo haya. And no one seem to be close into taking responsibility kwa yanayotokea. Kiukweli hawa wazee nao ni sehemu ya janga. Nadhani imefika muda sasa wa aidha tukae kimya au tuchukue hatua.Click to expand... Nitakupa mfano - wakati wote wa kampeni Igunga na pamoja na tuhuma zote za uvunjwaji wa haki na taratibu mbalimbali Warioba hakusema kitu chochote. Of course yawezekana hakutaka kusema kwa sababu ingeonekana ana influence uchaguzi. Gharama ya ukimya wake tumeona katika mivutano mbalimbali iliyotokea na hata madai ya watu kupoteza maisha. Hakuwa na ujasiri wa kuikemea serikali wala kukinyoshea kidole chama chake. Baada ya uchaguzi ndio anatoka na kutuambia ati hali ilikuwa mbaya. Lakini cha kuudhi zaidi ni kuwa yeye aliwahi kuwa Mwanasheria Mkuu na ndiye aliyeongoza tume ya kuangalia hali ya corruption nchini. Leo ni nani kati ya wale waliotajwa mle ambaye hana nafasi ya maana au haendelei na shughuli zake kama kawaida. Ripoti ya Warioba ilishangiliwa sana lakini mtu mwenyewe aliyeiagiza naye mwenyewe anasimama akidaiwa kuhusika na ufisadi na hujawahi kumsikia Warioba akizungumzia hilo! huyu mzee ni miongoni mwa viongozi wastaafu wa nchi hii ambao ni wanafiki. ONDOA HISA ZAKO VODACOM AMA JIONDOE UJUMBE WA BODI YA TTCL. wewe ndiye unayeiua TTCL KWA MASLAHI YA VODACOM UKUSHIRIKIANA NA BAADHI YA WATENDAJI WA TTCL , NYIE MGELIKUA CHINA TUNGELIKUWA TUMEISHA WASAHAU. warioba kazi yake ni kukitetea chama na pia ni mmoja wa watu wenye kundi kwa kulenga uchaguzi wa 2015 - 0 people likes Ni kweli hawa wazee wanataka kuonyesha mambo yameharibika siku hizi,jambo ambalo siyo kweli. Wao ndiyo walijenga huu mfumo ambao umelipeleka taifa katika maangamizi. Wanapaswa watuombe msamaha,wakubali kwamba nao ni sehemu ya mfumo huu kwasababu wengi wao bado wako katika vikao vya maamuzi ndani ya chama chao. Wakati wakiwa serikalini wameshiriki kutunga na kusimamia sheria kandamizi ambazo leo watawala wanajiona maboss badala ya watumishi. Kumekua na kilio cha muda mrefu kuhusu Tume huru ya uchaguzi,wizi na uchakachuaji wa kura,muda wote huo hawa wazee wamekaa kimya,maana aliyekua ananufaika ni wao na chama chao. Sasa wanaona mambo yamekua mabaya eti wanajidai kutushauri vijana kudumisha amani!
2017-07-21T11:03:50
https://www.jamiiforums.com/threads/kina-warioba-mwinyi-kimiti-na-vijana-wa-zamani-wakae-kimya-sasa-tunalipia-hatia-yao.182154/
[ -1 ]
Rwebangira Blog: Nini kinaendelea CCM, Nini kinaendelea CCM, KATIBU Mkuu wa CCM, Yusuf Makamba amepinga kauli ya makamu mwenyekiti wa zamani, John Malecela kwamba, chama hicho kitakuwa na wakati mgumu katika Uchaguzi Mkuu ujao. Juzi Malecela alisema CCM itakuwa na wakati mgumu katika uchaguzi huo wa mwaka 2010 kwa sababu ya tuhumu nyingi za ufisadi na baadhi ya wabunge wake kushindwa kutekeleza ilani ya chama hicho ya mwaka 2005. Kwa mujibu wa Malecela, vita dhidi ya mafisadi ni ngumu kwa sababu ndani ya CCM kuna baadhi ya watu wanaokichafua chama kwa tabia zao za kuungana na mafisadi. Lakini, Makamba jana alisema ufisadi anaozungumzia Malecela kwamba utakisambaratisha chama hicho mwakani ni wa kufikirika kwa sababu mpaka sasa hakuna mwenye ushahidi unaodhihirisha kwamba fulani ni fisadi. "Mimi siwajui hawa mafisadi. Hebu wewe nitajie jina la mtu mmoja ambaye una ushahidi kuwa ni fisadi," alisema Makamba. Alipoulizwa kuhusu baadhi ya makundi ya mafisadi ambayo tayari yameanza kampeni ya kusambaza pesa za kuwaangusha kwenye majimbo wabunge walio mstari wa mbele katika vita dhidi yao, Makamba alisema, "siyo kweli ila ni jambo ambalo linakuzwa tu." SOMA ZAIDI HAPA..................... 3:00 AM GMT+3 Hongera Sylivia Shally Ka - Skuli na ka mtoko finito Athuman na Mtui wanaendelea vyema
2017-06-25T14:06:55
http://bongopicha.blogspot.com/2009/08/nini-kinaendelea-ccm.html
[ -1 ]
Ujenzi wa hosteli za wasichana uimarishwe Imechapishwa: 12 Aprili 2017 GAZETI hili hivi karibuni lilichapisha habari ya kusikitisha iliyobeba kichwa cha habari: ‘’Wanafunzi wengi wa kike Busega wakatisha masomo yao kwa mimba.’’ Habari hiyo pia ilitoa takwimu kwamba kila wanafunzi 40 wanaojiunga na kidato cha kwanza wilayani Busega, mkoani Simiyu kila mwaka, kati yao 15 hadi 18 hukatishwa masomo yao kwa sababu ya kupata ujauzito. Hakuna ubishi kwamba kama hali hiyo haitatafutiwa suluhisho la kudumu watoto wengi wa kike katika wilaya hiyo wataendelea kukatishwa tamaa katika harakati za kutimiza ndoto zao za kuwafikisha katika elimu ya juu na kupata ujuzi wa kuwasaidia maishani mwao kama ilivyo wenzao wa kiume. Hapa tanapenda kumpongeza kwamba mbunge wa jimbo la Busega, Dk Raphael Chegeni kwa kushirikiana na viongozi wenzake jimboni humo kuliwekea mkakati wa kukabiliana vilivyo na tatizo hilo kwa watoto wetu wa kike wilyani humo. Bila shaka sababu ziko nyingi lakini ile ya kukosa mabweni au hosteli na kusababisha wanafunzi wa kike kutembea umbali mrefu kwenda na kurudi shuleni lina mchango mkubwa katika kufanikisha nia ovu ya wanaume wanaopenda kuwarubuni wanafunzi kwa kutumia shida na udhaifu walionao ili kuwaharibia maisha yao ya kitaaluma. Mkakati wa mbunge wa Busega, Dk Chegeni wa kujenga hosteli za wasichana kwa shule ya sekondari zilizopo pembezoni mwa jimbo hilo ziungwe mkono kwa kila hali ili kunusuru watoto wetu wa kike wilayani humo kukosa elimu ambayo ni ufunguo wa maisha. Tunafarijika kupata taarifa kwamba tayari mradi huo wa ujenzi wa hosteli za wasichana umeshaanza kutekelezwa katika shule ya sekondari ya Ngasamo na shule nyingine nne ikiwa ni pamoja na Mkula,Malili,Kabita na Sogesca ziko mbioni kutekeleza mradi kama huo. Tunapenda kuwapongeza wananchi wa jimbo la Busega pamoja na wadau na washirika wa maendeleo kwa kuunga mkono juhudi za utekelezaji mradi huo ili ufikie lengo lake la kuwapatia malazi karibu na shule zao wanafunzi wa kike. Tatizo la ukosefu wa hosteli au mabweni ya wasichana halipo katika jimbo la Busega peke yake bali pia katika majimbo na mikoa mingine hapa nchini. Hali kama hiyo ya wasichana kuingia katika vishawishi vya ngono na hatimaye kuishia kupata ujauzito lipo pia katika maeneo hayo mengine. Wenzao wa jimbo la Busega wameonesha mfano wa kukabiliana na tatizo hilo na hivyo tungependa pia maeneo mengine nchini yenye tatizo kama hilo la wanafunzi kupata mimba kutokana na sababu za kuishi mbali na maeneo ziliko shule wanazosoma, wajiweke pia katika mipango yao ya maendeleo ya jamii, miradi ya ujenzi wa hosteli za wasichana. Hapa tunapenda kutoa mwito kwa viongozi wa siasa, serikali, dini na jamii kwa ujumla kushirikiana na kushikamana katika kukabiliana na changamoto hiyo ili watoto wetu wa kike wasikose huo ufunguo wa maisha.
2017-12-15T08:26:42
https://habarileo.co.tz/index.php/tahariri/22148-ujenzi-wa-hosteli-za-wasichana-uimarishwe
[ -1 ]
'Drones' zitaua uhuru wa Afrika | Gazeti la Jamhuri Waafrika tulipokuwa tunaimba na kucheza ngoma, kusherehekea uhuru na matunda yake, vizazi vya waliokuwa wakoloni vilikuwa vinakuna vichwa kutafuta jinsi na namna ya kufuta hiyo furaha kutoka kwenye nyuso zetu milele. Uchambuzi wa kina waliufanya kujua kilichosabisha wakoloni washindwe vita dhidi ya wapigania uhuru wa nchi za Afrika na sehemu nyingine vita ambazo, kifedha na kisilaha, hawakustahili kushindwa. Jawabu walilopata lilikuwa ni woga wa kifo; wakoloni walikuwa tayari kuua, lakini hawakuwa tayari kufa. Juhudi zao zote basi zilielekezwa kwenye kutafuta uvumbuzi wa tatizo hilo; na baada ya nusu karne tu wamefanikiwa kutengeneza silaha itakayowawezesha kuua watu bila wao wenyewe kuwa katika hatari yoyote ya kuuawa. Silaha hii inaitwa “drone” au “unmanned aerial combat vehicle – UACV” – ndege ya kivita ambayo haichukui rubani. Wapo wachambuzi wa siasa wanaosema kuwa nchi kama Uingereza, Ufaransa, Uholanzi na nyinginezo zilizokuwa na makoloni zililazimika kutoa uhuru kwa makoloni yao kwa sababu baada ya Vita Kuu ya Pili nchi hizo zilikuwa katika hali mbaya mno ya kiuchumi. Laiti utajiri pekee ungeliweza kuhakikisha ushindi katika vita, basi Marekani iliyoibuka kutoka kwenye vita hiyo tajiri kuliko nchi nyingine yoyote duniani isingelishindwa Vietnam. Hizi “drones” au UACVs ni ndege ambazo tayari zimeanza kuua watu Somalia, Libya, Yemen, Iraq, Afghanistan, Pakistan na sehemu nyingine wakati watu wanaoziendesha au maopereta wake wapo kilometa karibu 10,000 kutoka sehemu za mauaji – kwenye chumba chenye “air-condition” labda na kikombe cha chai au kinywaji baridi mkononi. Hizi ni ndege zinazogeuza (concept) ya vita badala ya mapambano kuwa ni mauaji (massacre); ni ndege zitakazozika jadi ya kupigania uhuru na uwezekano wa kuua kabisa uhuru wenyewe katika bara la Afrika upo tena ni mkubwa. Fauka ya hili, roboti zitakazotumika nchi kavu na baharini aidha tayari zipo au katika hatua ya juu kabisa ya kuwapo. Nchi karibu 50 hivi sasa zinajishughulisha kwa dhati na teknolojia hii ya mauaji ya “remote control”; na katika hizi, haipo nchi ya Kiafrika hata moja. Hivyo basi, kabla viongozi wa Afrika hawajamaliza kukabidhi bara zima kwa wakoloni wanaokwenda kwa jina la “Wawekezaji katika ardhi”, itakuwa ni bora kama watafanya tafakari na tathmini ya kina juu ya matokeo au “implications” ya hizi silaha katika siku za usoni. Na tena hasa ikizingatiwa kuwa kwenye karne ya 19, wakati wakoloni wanajigawia bara la Afrika kwa kiburi na jeuri, kujiamini kwao kulitokana na uhakika wa kwamba, “What-ever happens, we have got the maxim gun, and they have not”. Wazungu walikuwa na maana kwamba “Vyovyote itakavyokuwa, tuna mzinga wa maxim, na wao hawana.” Hii ndiyo iliyosababisha wageni kuvamia bara letu bila woga, yaani sisi Waafrika tulikuwa na mikuki na mishale, wao walikuwa na mabunduki na mizinga. Ilichukua miaka mingi na uhai wa mamilioni ya Waafrika kujinasua kwenye ukoloni huo. Na ushindi ulitokana na ujasiri na misimamo imara ya watangulizi wetu waliokuwa tayari kuiaga leo yao kwa ajili ya kuhakikisha kwamba kutakuwa na kesho ambayo ni azizi kwa vizazi vyao vijavyo. Wakati wakoloni, walikuwa tayari kuua ili waendelee kutawala Afrika, lakini hawakuwa tayari kufa. Walichotaka ni kubaki hai wafaidi matunda ya kutawala bara letu; na hicho ndicho kilichowafanya wakoloni washindwe kwenye vita dhidi ya wapigania uhuru, licha ya utajiri mkubwa na vifaa bora vya vita walivyokuwa navyo. Kwa kuweka mikuki na mishale pembeni na kuanza kutumia bunduki za kawaida kama AK 47 Waafrika waliotawaliwa na Wareno, mathalani, walipata katika muda wa miaka 10 uhuru waliokuwa wanaulilia kwa muda wa miaka 500. Kama, wakoloni wangelikuwa na uwezo wakati huo wa kuua tu wapigania uhuru bila wenyewe kuwa na hofu ya kuuawa basi bara la Afrika lisingekombolewa kamwe; kwani wakoloni hao wasingelisita hata kidogo kuua kila mtu. Je, wakoloni walipata kujaribu kufuta wazawa katika nchi? Nasikitika kusema kuwa jibu la swali la hapo juu ni ndiyo, tena si mara moja. Kwa mfano, nchi inayoitwa Democratic Republic of Congo (DRC) ilipokuwa ni mali ya Mfalme Leopold wa pili wa Ubelgiji na kuitwa Congo Free State (ingawa haikuwa huru), kati ya mwaka 1885 na 1908, Wakongo zaidi ya milioni kumi waliuawa (nusu ya raia wote); aidha kwa kufanyishwa kazi ya kuvuna raba maporini (wild rubber) mpaka wanakufa au kwa kuwindwa kama wanyama (for sport). Kwenye idadi hiyo iongezwe watu ambao maisha yao yaliharibiwa kwa kukatwa mkono au kiungo kingine kwa tuhuma za uvuvi, na watoto waliokatwa mkono wazazi wao walipochelewesha kuwasilisha mavuno ya hiyo raba. Na unyama huu wote uliwezeshwa na uhakika wa kwamba Wakongo hawakuwa na jinsi ya kuwaonjesha wakoloni hao ladha ya kifo. Huko Namibia, wakoloni wa Kijerumani waliua asilimia 80 ya wananchi wa kabila la Waherero na asilimia 50 ya wananchi wa kabila la Wanama. Nchini Kenya, baada ya serikali ya kikoloni kutangaza hali ya hatari na kuanza kuua watu bila simile, wakati wa vita ya Mau Mau, kati ya Oktoba 1952 hadi 1960, idadi ya Wakenya waliouawa inategemea unafuata takwimu gani: Rekodi za kikoloni zinasema 12,000 waliuliwa; wakati Profesa David Anderson wa Chuo Kikuu cha Oxford nchini Uingereza anasema ni zaidi ya 20,000; Profesa Caroline Elkins kutoka Chuo Kikuu cha Havard, Marekani, aliyefanya utafiti mpana na wa kina zaidi anasema ni zaidi ya wananchi 50,000 waliuawa; na yeye anazidi kuongeza kuwa kuna watu zaidi ya 100,000 waliokufa kwenye makambi (concentration camps) na vijiji ambavyo vilizungushiwa sinyenge vilivyoitwa hifadhi “reserves”. Wakikuyu waliokadiriwa kuwa milioni 1.5 nyakati hizo karibu wote waliwekwa kwenye hizi hifadhi na makambi; na vifo sehemu hizi vilisababishwa na msongamano, vipigo, mateso (torture), njaa na magonjwa. Katika kitambo hicho hicho (1952-1960) Wazungu walowezi (settlers) waliouawa walikuwa ni 32 tu; na askari Wazungu waliokufa vitani hawakuzidi 69. Kwa maneno mengine ilichukua jumla ya vifo vya Wazungu 101 katika muda wa miaka 8 kuwafanya Waingereza walazimike kutoa uhuru wa bendera kwa Kenya mwaka 1963; baada ya ukoloni wa miaka zaidi ya 70. Wazungu waliohamia Marekani kutoka Ulaya pia walifanya mauaji yalioyoashiria jaribio la kutaka kuangamiza (annihilate) Wahindi wazawa wa nchi hiyo. Kwa mujibu wa Profesa Ward Churchill wa Chuo Kikuu cha Colorado: “… Idadi ya Wahindi wazawa (natives) wa Marekani iliyokadiriwa kuwa ni milioni 12 mwaka 1500 ilishuka hadi karibu watu 237,000 ilipofikia mwaka 1900.” Hilo kama si jaribio la kufuta taifa zima la watu hawa ni kitu gani? Gazeti la The Sydeny Monitor, liliwahi kuchapisha makala iliyoelezea jinsi Wazungu waliohamishiwa Australia walivyodhamiria kuua taifa zima la watu weusi nchini humo, ambao ni Waaustralia wa asili (siku hizi wanaitwa Waaustralia wa kwanza) – Aboriginals – mnamo mwaka 1838. Lakini naona juhudi zao hazikufanikiwa, kwa sababu mwaka 1984, raia “mlowezi” Lang Hancock, alikuwa anahojiwa kwenye televisheni wazo la kuwaweka pamoja aliowaita “Waaboriginal wabaya” halafu kutia madawa kwenye maji yao yatakayozuia wao kuzaana, kwa lengo la kuwamaliza. Sasa wazo kama hili likitolewa na mlevi linakera, lakini linapotoka kinywani mwa tajiri wa kupindukia kama Hancock na ambaye anaondokea kuwa ni rafiki wa karibu wa aliyekuwa Waziri Mkuu wakati huo, basi hili huwa ni tishio halisi si masihara. Hivyo basi, ninaposema aidha wakoloni wasingelisita kuua kila mtu, au hawakuwa tayari kupoteza maisha yao kulinda makoloni, wala sitii chumvi. Baada ya vizazi vya wakoloni kukamilisha hiyo silaha (inayohakikisha vifo vya maadui wao bila maisha yao wenyewe kuwa hatarini), hatua inayofuata ni kubuni mbinu za kurudi kwenye hizi nchi ambazo walifukuzwa karibu miaka hamsini iliyopita bila wananchi wa nchi hizo kuwashitukia. Matokeo ndiyo huu ulaghai wa uwekezaji wa waja katika ardhi unaoikumbuka Afrika leo. La ajabu ni kuwa wanatumia mbinu zile zile ambazo mababu zao walitumia zaidi ya miaka mia moja iliyopita. Lakini jambo la kushangaza zaidi ni kwamba waheshimiwa wanaongoza Afrika leo, ambao ni wasomi na wanajua yaliyojiri zama za nyuma wameingia kwenye mtego ambao mababu zetu waliingizwa bila kujua kwa sababu walikuwa wajinga wa kusoma (ignorant). Wakoloni walipoingia Afrika na sehemu nyingine walitumia “Chartered Companies” ndiyo zilizokuwa “pioneers” za ukoloni; hivi sasa wamebadili jina, badala ya “Chartered Companies” wanaita “Multinational Corporations”; juzi walidai wanakuja kueneza ustaarabu (civilization) sasa wanasema wanaleta “globalization”; jamani, pamoja na usomi na uzoefu wao wote, viongozi wanashindwa kugundua kuwa hizi ni njama zilezile na zenye malengo pacha? Tuwasome vipi waheshimiwa hawa; wakiitwa akina “Judas Iscariot”, akina “Marcus Brutus” – wasaliti – watakuwa wanawasingiziwa? Hawa wakoloni mamboleo wanafahamu kuwa wakishakamata ardhi kwa kisingizio kinachokubalika na kutambulika kitaifa na kimataifa kama vile “uwekekezaji wa nje”, basi kesho na keshokutwa wenye nchi wakizinduka na kuanza kupigania ardhi yao; wao watakimbilia kwenye Kamati ya Usalama (Security Council) ya Umoja wa Mataifa (UN), kuomba kibali cha ulimwengu kuwaporomoshea mabomu kutoka kwenye hizo “drones”, watu ambao watakuwa tayari wamepachikwa nembo ya magaidi (terrorists). Na madhali UN inadhibitiwa na wao wenyewe, basi maombi yao hayatakataliwa. Lakini la msingi hapa ni kwamba matatizo haya yote yatakuwa yanatokana na hizi sera za kilimo zinazonyang’anya raia ardhi yao na kuwapa wageni milele. Kwa mila na desturi, ardhi ni mali ya Taifa na Taifa ni wananchi si Serikali; hivyo kudai kuwa ardhi ambayo wageni wanapewa ni ya Serikali si ya wananchi ni utapeli, na ujambazi wa kisiasa (political banditry). Wakati watakuwa wanaporomosha hayo mabomu wanayoyaita moto wa jahanamu (hellfire) kutoka kwenye ma-drone, kweli ya rushwa ya kuwanunua watawala wa Afrika wakubali kuuza ardhi bila idhini ya watu wao, haitakuja kuongelewa kabisa. Itadaiwa kwamba kwa sababu hizo sera za uwekezaji kwenye ardhi zitakuwa zimepitishwa na mabunge yao, hivyo wananchi wamezikubali, dai ambalo halina usahihi wowote. Kwani ubaguzi wa kikaburu wa Afrika Kusini ulioitwa “apartheid” ulipitishwa na Bunge, bado haukuwa halali kwenye macho ya ulimwengu na wananchi waliokuwa wengi nchini. Ni kweli kwamba Rais wa kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Nyerere, aliwahi kuchukua ardhi ya wananchi na kuanzisha mashamba ya umma kama NAFCO, ambayo faida iliyotokana na mashamba hayo ilinufaisha wananchi wenyewe. Hii ni tofauti na NAFCO hiyo kumkabidhi mkoloni anayejiita “mwekezaji” alime kulisha Waarabu au Wazungu wanaoishi nje ya nchi au kuuza nje (export) kwa faida yake. Harid Mkali ni mwandishi wa habari, mchambuzi anayetumia nafasi hizo kuandika vitabu. Ni msomaji wa Gazeti la JAMHURI kupitia tovuti ya www.jamhurimedia.co.tz. Anaishi jijini London, Uingereza. Anapatikana kupitia simu: +447979881555; barua pepe: [email protected] na tovuti yake: haridmkali.com Previous: Semmy Kiondo kumng’oa Mama Kilango? Next: Inakumbukwa Richmond inasahaulika Escrow! Magazetini leo September 07, 2018 Uongozi wa Awamu ya Tano na hatima ya nchi yetu
2019-09-23T03:15:04
http://www.jamhurimedia.co.tz/drones-zitaua-uhuru-wa-afrika/
[ -1 ]
20 Rabi' I 1441 | Jumapili, 17 Novemba 2019 Hizb ut Tahrir / Indonesia: Majadiliaono ya Habari katika Gazeti la Umat: Mustakbali wa Ummah katika Miaka Mitano Ijayo, Indonesia una Kiza Mno. 3 Rabi' I 1441 | Alhamisi, 31 Oktoba 2019 Takriban watu 250 wameshiriki kwenye Majadiliano ya Habari katika Gazeti la Umat: Mustakbali wa Ummah katika Miaka Mitano ijayo, Alhamisi (31/10/2019) katika eneo la Gedung Joang, Jakarta. 4 Sha'aban 1440 | Jumatano, 10 Aprili 2019 Hizb ut Tahrir / Indonesia: Mkutano wa Wanachuoni Nchini Indonesia (Multaqo ‘Ulema) umesisitiza Kuendeleza Mvutano wa Kusimamisha Khilafah Zaidi ya wanachuoni 600, Masheikh na wahudumu wa Kiislamu, wakiwemo Habayeb na Maprofesa, walishiriki mkutano wa wanachuoni katika eneo la Madura / Java Mashariki, uliosadifiana na kumbukumbu la tukio la Isra na Miraaj ya Mtume (saw). Hizb ut Tahrir / Indonesia: Hizb ut Tahrir Yasisitiza Ufaradhi wa Khilafah katika Mwezi wa Rajab 10 Rajab 1440 | Jumapili, 17 Machi 2019 Rajab ni mwezi mtukufu. Ni katika mwezi huu ambapo kuna matukio makubwa kwa Waislamu. Tukio la Isra na Mi’raj la Mtume (saw), kufunguliwa kwa Baitul Maqdis Palestina na Salahuddin al-Ayyubi nako kulitokea katika mwezi huu wa Rajab. Hizb ut Tahrir / Indonesia: Suluhisho la Matatizo ya Uyghur inahitaji amri moja chini ya Uongozi wa Khalifah: 21 Rabi' II 1440 | Jumatano, 26 Disemba 2018 Mwanachama wa Hizb ut Tahrir Indonesia (HTI), Ustaadh Rokhmat S Labib alisema kwamba suluhisho kwa Wauyghur ni kuwa na amri ya utawala mmoja.
2020-08-13T11:31:41
http://hizb-ut-tahrir.info/sw/index.php/dawah/indonesia.html
[ -1 ]
Uchafu Wa Serikali Ya Rais Amani Karume | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Junius, Aug 26, 2009. RIPOTI ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) kwa mwaka 2007/08 ilieleza kuwa zaidi ya sh milioni 100 (nyingi sana kwa Zanzibar) zilitumika visivyo halali katika idara na taasisi mbalimbali za serikali. Katika ripoti hiyo yenye maelezo ya kusikitisha na kutisha, iliyowasilishwa katika kikao kilichopita cha bajeti cha Baraza la Wawakilishi, ilielezwa kuwa baadhi ya maofisa wa serikali walitumia vibaya fedha za umma na hawajali taratibu ziliowekwa za matumizi ya fedha za serikali. Ripoti hiyo ilieleza kwamba rasilimali nyingi za serikali zilikuwa hazijulikani zilipo na nani alizichukua haifahamiki na baadhi ya taasisi ziligunduliwa kuwa na magari mengi, nyumba na mashamba bila kuwapo kumbukumbu rasmi za mali hizi. Bila shaka hali hii hutoa mwanya kwa wajanja kuiba mali za serkali. Alipowasilisha ripoti hii ambayo nakala zake zilikuwa chache (sijui kwa nini), lakini naamini ni kielelezo kingine cha kutokuwapo uwazi katika SMZ, japokuwa viongozi wake hununa unapowaambia, Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Katiba na Utawala Bora, Ramadhani Abdulla Shaaban, alisema kulikuwapo na matumizi ya mamilioni ya shilingi yaliyokosa vielelezo. Mkaguzi pia aligundua kuwapo kwa dola 70,895 za Marekani bila maelezo ya kuwapo kwa fedha hizo. Vile vile palikuwapo vifaa mbalimbali vyenye thamani ya sh milioni 160, ambavyo ununuzi wake hauna uthibitisho wa stakabadhi. Hapa panazuka mashaka kwamba ulitumika ujanja katika ununuzi huo na wapo watu waliofaidika na nchi kufisidika. Unapoitafakari ripoti hii ya Mkaguzi wa Hesabu za Serikali unaona wazi kuwapo kwa vitendo vya ufisadi na rushwa katika baadhi ya idara na taasisi za Serikali ya Zanzibar ambavyo vinahitaji kufuatiliwa kwa undani zaidi na hatua za kisheria kuchukuliwa kwa wahusika wa uovu huu. Vile vile kutopatikana kwa urahsi kwa ripoti hiyo ni kielelezo kwamba SMZ inaendesha shughuli zake kwa siri. Zanzibar ni maskini. Kwa muda mrefu imekuwa na matataizo ya fedha si tu kwa miradi ya maendeleo bali hata kwa kutoa huduma muhimu za kijamii, kama matibabu, maji na elimu. Kinachoonekana ni kwamba kwa muda mrefu SMZ imewafumbia macho wahujumu uchumi kwa sabbu zisioeleweka. Miaka miwili iliyopita tuliambiwa waligunduliwa wafanyakazi hewa 5,000 katika utumishi wa serikali, hata ndani ya vikosi vya SMZ. Katika baadhi ya sehemu wafanyakazi hewa walilipwa mishahara kwa karibu miaka mitano. Huu ni ujambazi wa hali ya juu, bila shaka ulikuwa mtandao mchafu wa wajanja wachache waliojipatia kirahisi fedha za umma na kujenga majumba ya kifahari na wanasomesha na kutibu watoto wao nje ya nchi. Watu hawa hawakuwaonea huruma watu maskini wa Zanzibar wanaopata shida za maisha, ikiwamo kukosa dawa muhimu wanapofika hospitalini. Hali hii imechangiwa na wizi wa fedha kidogo zilizopo Hazina, unaofanywa na mafisadi wachache. Kilichofanyika baada ya kutolewa ripoti juu ya wafanyakazi hewa ni kwa maofisa wachache wa ngazi za chini kufunguliwa mashitaka. Kinachoshangaza ni kuwa hakuna hata mkubwa hata mmoja aliyewajibishwa wakati wao ndio wadhamini na wasimamizi wakuu wa idara, taasisi na vikosi. Kama fedha si miongoni mwa mambo wanayoyasimamia sijui wanasimamia nini! Wakati umefika wa kuachana na propaganda zisizo na manufaa, za kusema viongozi na watendaji wa SMZ ni safi, hawana dosari na unaweza kusema ni kama malaika na hakuna rushwa wala ufisadi srikalini. Ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu wa SMZ imeonyesha uchafu uliopo katika idara na taasisi zake. Kinachotakiwa ni kuifuatilia kwa karibu hii ripoti ili kukomesha mwenendo huu mchafu wa kutumia vibaya fedha za umma na mali za serikali ambazo wapo wanaoona ni haki yao kuzipora watakavyo. Mwenendo wa utendaji kazi wa wakaguzi wa ndani wa fedha waliopo katika idara na taasisi mbalimbali za seikali unapaswa kuangaliwa au kuundwa upya ili hawa wakaguzi wawe na sauti na waweze kusaidia kupunguza wizi na ubadhirifu wa fedha na mali za serikali. Kama wakaguzi wa ndani wa hesabu katika idara za serikali wangekuwa na sauti, wanafanya kazi zao kwa uadilifu na kwa mujibu wa taratibu zilizowekwa na kukataa kufumbia maovu wizi wa aina yoyote ile huu upoteaji wa fedha za serikali uliolezwa na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali usingefikia kiwango cha kutisha kilichoelezwa. Ripoti ya Mkaguzi wa Hesabu ya Serikali imeonyesha kuwapo mafisadi katika SMZ na si vizuri kudanganyana. Wakati ni huu wa kuwasaka kwa uvumba na ubani na kuwawajibisha kisheria badala ya kila siku kuona wanaoshitakiwa kwa wizi ni wale wanaotembea miguu chini, ambao wameiba nazi mbili, fungu la muhogo au mandazi. Hawa wanaoiba ndizi au mandazi ni vijizi vidogo vinavyofanya hivyo kutokana na njaa inayowasumbua. Wezi hasa ni hili kundi la maofisa wachache serikalini ambao wanachota bila woga mamilioni ya shilingi na kutusukuma kutoka kwenye umaskini na kutupeleka kwenye ufukara uliokithiri. Hawa ni watu hatari sana, ambao hawafai hata kidogo kuonewa haya, muhali wala huruma, hasa kwa vile hawana utu, imani wala hisani na hawajali kuona wananchi wenzao wanateseka kutokana na wao kupora fedha umma. Tuwasake mafisadi kwa nguvu zetu zote za kisheria ili tuinusuru nchi yetu na hawa mafisadi kabla hawajatoa roho zetu na za watoto wetu. Halafu wanawadanganya wananchi eti mafisadi wapo bara tu SMZ safi, waongo hawa, CCM yoooote imeoza, ufisadi mtupu. na ndio maana ccm wako tayari kuwalinda mafisadi kwani wote ni mafisadi huwezi kumlinda mchawi kama na wewe si mchawi mimi naona yapo makubwa zaidi bado hayajatajwa leo ukienda hospital dawa hakuna ukimpeleka mzazi lazimaafanyiwe operation ili watu wauze glove japo mtu anaweza kuzaa bila ya kupasulia lakini mafisadi watataka apasuliwe ili wauze vifaa vyao kiukweli smz imeshindwa kuwahudumikia wananchi wake wao ccm kazi kujisifu na hakuna wanalo lifanya kwa wananchi Halafu wanawadanganya wananchi eti mafisadi wapo bara tu SMZ safi, waongo hawa, CCM yoooote imeoza, ufisadi mtupu.Click to expand... Huu muungano bora ufe wabaki na karafuu zao huko.Kila baya wanadai lipo bara tu, ni bora wabaki hukohuko then wafyekane weee kama vile wasomali! Huu muungano bora ufe wabaki na karafuu zao huko.Kila baya wanadai lipo bara tu, ni bora wabaki hukohuko then wafyekane weee kama vile wasomali!Click to expand... Omumura, Tunaambiwa kwamba wao wakianza kufyekana, watatuambukiza na sisi, eti hatutapona. Wanasema Zanzibar ni kisiwa kinachotamaniwa na kila mtu, enzi hizo tukiambiwa Wakomunisti watakuja, leo ni Wafashisti wa Al Qaida ndio tishio. Hawataki Comoro, hawataki visiwa vya Fiji, hawataki Taiwan na Madagascar; Wakomunisti na Al Qaida wanataka Zanzibar. Na wanadai tukimaliza kutengana na Zanzibar, tutaanza kutafutana na Wachagga. Tukiwapa Wachagga nchi yao Moshi, tutaanza kuwatafuta abamura. Hatutapona. Ndio faida za Muungano. Ndivyo wasemavyo... Mtakao adhirika ni nyinyi na ndio mana manatupigia magoti na hata kufika wakati wa kuleta vitisho Mkuu hapa mada ni ufisadi hizi habari za muungano zina thread zake,ustake kuniharibia ftari yangu saahizi. Zenj kwa kudokoa 100 milioni hawajambo!, nakumbuka meya mmoja wa miaka ya 90 nae alitafuna milioni 100 za Manispaa na kuifanya Manispaa hiyo kuwa lofa kwa miaka mingi. Zenj kwa kudokoa 100 milioni hawajambo!, nakumbuka meya mmoja wa miaka ya 90 nae alitafuna milioni 100 za Manispaa na kuifanya Manispaa hiyo kuwa lofa kwa miaka mingi.Click to expand... Halafu hakuna aliyesema Kwiiii??? Halafu hakuna aliyesema Kwiiii???Click to expand... Hakuna hata mmoja, ripoti ya utafunaji huo ilishia kupigwa na vumbi tu... Na sasa imekuwa ni hadithi ya wakati wa kahawa.
2016-10-28T15:57:18
http://www.jamiiforums.com/threads/uchafu-wa-serikali-ya-rais-amani-karume.37247/
[ -1 ]
MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI | Lemutuz Home News MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI MAKAMU WA RAIS AFUNGUA MKUTANO WA BIASHARA AFRIKA MASHARIKI Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa Ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Biashara la Jumuiya ya Afrika Mashariki uliofanyika kwenye hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais) Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akijadiliana jambo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Dkt. Augustine Mahiga wakati wa Ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Biashara la Jumuiya ya Afrika Mashariki uliofanyika kwenye hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)​ Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan leo amefungua mkutano wa pili wa Biashara, Ujasiriamali na Maonyesho wa Jumuiya ya Afrika Mashariki ulioandaliwa na Baraza la Biashara la Afrika Mashariki. Katika mkutano huo ambao unazikutanisha sekta Serikali na Sekta binafsi kutoka nchi wanachama, Makamu wa Rais alisisititiza kuwa pamoja na kuelekea kwenye kujenga Afrika Mashariki ya Viwanda ni muhimu viwanda hivi vitumie malighafi zinazozaliwa ndani ya Afrika Mashariki. Makamu wa Rais alisema kujenga uchumi wa viwanda uendani na maboresho ya sera ya viwanda ili itoe uwanja mpana wa kuajiri vijana wengi zaidi. Makamu wa Rais alihimiza kuwa Viwanda vitakavyojengwa viende sambamba na kilimo kwani kwa pamoja ndipo tunaweza ona mafanikio na ukuaji wa uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa Ujumla. Makamu wa Rais alimalizia kwa kusema kuwa Serikali na Sekta binafsi zinawajibu kushirikiana katika kuandaa mazingira mazuri ya kuelekea kwenye uchumi wa viwanda. Previous articleMATUKIO MBALIMBALI YA BUNGENI MJINI DODOMA LEO NOVEMBA 14,2017 Next articleVIJANA WAMKOSOA JENERALI WA JESHI ZIMBABWE VITUKO VYATAWALA KUAPISHWA KWA MNANGAGWA… JUMUIYA YA WAZAZI YAWEKA WAZI MAJINA YA WATAKAO GOMBEA CCM. NYUMBA YA LUGUMI MBWENI YASHINDIKANA KUUZWA 124,593FansLike 489,175FollowersFollow MTOTO WA MUGABE AINGILIA MGOGORO WA ZIMBABWE Mtoto wa Rais wa Zimbabwe, Robert Mug... 506 views SABABU 5 ZA MKE WA ALIYEKUWA RAIS MUGABE KUCHUKIWA ZAANIKWA Aliyekuwa Rais Robart Mugabe wa Zimbabwe Wakati mwisho... 499 views IKULU YAKANUSHA TAARIFA YA UTEUZI Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikul... 471 views JEMBE NI JEMBE AONYESHA UTAALAMU WAKE LEO “MELI YA MAKONDA” Mfanya biashara maarufu hapa Mjini Dar Dr. Seba Ndege a... 461 views Magazeti139 LIVE STRAIGHT TALK33 TAASISI YA DORIS MOLLEL YAZINDUA FILAMU YA MTOTO “NJITI” JIJINI DAR USHINDI WA RAIS UHURU KENYATTA WAPINGWA MAHAKAMANI TAARIFA KWA UMMA KUHUSU WALIOTEULIWA KUGOMBEA UDIWANI KATIKA KATA 43 ZITAKAZOFANYA...
2017-11-24T13:13:38
https://lemutuz.com/2017/11/14/makamu-wa-rais-afungua-mkutano-wa-baraza-la-biashara-afrika-mashariki/
[ -1 ]
Kikao cha kilele chaanza Copenhagen | Wafanyakazi wa Idhaa ya Kiswahili | DW | 07.12.2009 Kikao cha kilele chaanza Copenhagen Mkutano wa kilele wa mazingira unaanza rasmi hii leo mjini Copenhagen,Denmark.Viongozi wa mataifa na marais wanatarajiwa kukihudhuria kikao hicho kilicho na azma ya kuutafuta mktaba mpya utakaourithi ule wa Kyoto Nembo ya mkutano wa Copenhagen Cop15 Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na athari za mabadiliko ya hali ya hewa Yvo de Boer amewatolea wito viongozi wa ulimwengu kuwa na msimamo wa pamoja wakati ambapo kikao cha kilele cha mazingira kinaanza rasmi hii leo. De Boer alisema kuwa kuna haja ya kila nchi kutangaza bayana mchango wao ili mkutano huo uweze kufanikiwa. Kiongozi UNFCCC, Yvo de Boer Lengo la kikao hicho cha siku kumi na mbili ni kufikia mkataba mpya utakaosaidia kuvipunguza viwango vya gesi za viwanda baada ya ule uliopo wa Kyoto kumaliza muda wake ifikapo mwaka 2012. Kiungo https://p.dw.com/p/Kral
2019-09-18T15:55:47
https://www.dw.com/sw/kikao-cha-kilele-chaanza-copenhagen/a-4972571
[ -1 ]
Online TV zinafaida kubwa nchini-TCRA – DEWJIBLOG Serikali yasema itamkumbuka Sista Jean Pruitt kwa ... Wakala wa Majengo (TBA) yakabidhiwa nyumba za ... Maalim Seif, Lipumba kuburuzwa kortini kwa kushindwa kulipa mil. 50 za wafanyakazi Waziri Mkuu amuagiza CAG kukagua Bandari, CRDB Mkuu wa mkoa wa Mwanza akutana na ugeni kutoka Marekani Mwijage afunguka kuhusu serikali kufufua viwanda, sasa vimefika 52,000 vinavyofanya kazi
2017-10-18T03:54:04
http://dewjiblog.co.tz/online-tv-zinafaida-kubwa-nchini-tcra/
[ -1 ]
Waroma 14 | Biblia Kwenye Mtandao | Tafsiri ya Ulimwengu Mpya SOMA KATIKA Chitonga (Malawi) Kiafrikana Kiajemi Kialbania Kiamhara Kiarabu Kiarmenia Kiaymara Kiazerbaijani Kiazerbaijani (cha Kisirili) Kibaoule Kibatak (cha Karo) Kibatak (cha Toba) Kibemba Kibikoli Kibulgaria Kicheki Kichewa Kichina (Kilicho Rahisi) Kichina (cha Kitamaduni) Kidachi Kidangme Kidenishi Kiebrania Kiefik Kiestonia Kiewe Kifaransa Kifiji Kifini Kiga Kiganda Kigeorgia Kigiriki Kiguarani Kigujarati Kiguni Kihiligaynoni Kihindi Kihiri Motu Kihispania Kihosa Kihungaria Kiigbo Kiiloko Kiindonesia Kiingereza Kiisako Kiitaliano Kijaluo Kijapani Kijavanese Kijerumani Kikamba Kikambodia Kikanada Kikaonde Kikatalan Kikazakh Kikikongo Kikiluba Kikirghiz Kikiribati Kikongo Kikorea Kikreoli cha Haiti Kikreoli cha Ushelisheli Kikroatia Kikuyu Kikwechua (cha Ancash) Kikwechua (cha Ayacucho) Kikwechua (cha Bolivia) Kikwechua (cha Cuzco) Kilatvia Kilingala Kilithuania Kilunda Kiluvale Kimakedonia Kimalagasi Kimalay Kimalayalamu Kimalta Kimarathi Kimaya Kimyanmar Kindebele Kindebele (Zimbabwe) Kinepali Kinias Kinorwei Kinyarwanda Kinzema Kioromo Kiosetia Kiotetela Kipangasinani Kipapiamento (cha Curaçao) Kipijini cha Visiwa vya Solomon Kipolishi Kiponape Kipunjabi Kireno Kireno (Ureno) Kirumania Kirundi Kirusi Kisamoa Kisango Kisebuano Kisena Kisepedi Kiserbia Kiserbia (cha Roma) Kishona Kisilozi Kisinhala Kislovaki Kislovenia Kisranantongo Kiswahili Kiswahili (cha Kongo) Kiswati Kiswedi Kitagalogi Kitahiti Kitajiki Kitamili Kitatar Kitelugu Kithai Kitigrinya Kitok Pisin Kitonga Kitonga Kitshiluba Kitshwa Kitsonga Kitswana Kiturkmen Kituruki Kituvalu Kitwi Kitzotzil Kiukrania Kiumbundu Kiurdu Kiuzbek Kivenda Kivietnam Kiwaray-Waray Kiyoruba Kizulu Sesotho (Lesotho) Tetun Dili kibislama kichitumbuka Kwa Waroma 14:1-23 Msihukumiane (1-12) Msiwakwaze wengine (13-18) Jitahidi kupata amani na umoja (19-23) 14 Mkaribisheni mtu aliye na udhaifu katika imani yake,+ lakini msihukumu kuhusu maoni yanayotofautiana.* 2 Mtu mmoja ana imani ya kula kila kitu, lakini mtu aliye dhaifu hula mboga za majani tu. 3 Yule anayekula asimdharau yule asiyekula, na yule asiyekula asimhukumu yule anayekula,+ kwa maana Mungu amemkaribisha. 4 Wewe ni nani ili umhukumu mtumishi wa mwingine?+ Kwa bwana wake yeye husimama au kuanguka.+ Kwa kweli, atasimamishwa, kwa maana Yehova* anaweza kumsimamisha. 5 Mtu mmoja anahukumu siku moja kuwa muhimu kuliko nyingine;+ mwingine anahukumu siku moja kuwa sawa na nyingine zote;+ kila mtu na asadikishwe kikamili katika akili yake mwenyewe. 6 Yule anayeishika siku huishika kwa ajili ya Yehova.* Pia, yule anayekula, anakula kwa ajili ya Yehova,* kwa maana yeye humshukuru Mungu;+ na yule asiyekula, hali chakula kwa ajili ya Yehova,* na bado yeye humshukuru Mungu.+ 7 Hakuna hata mmoja wetu anayeishi kwa ajili yake mwenyewe tu,+ na hakuna yeyote anayekufa kwa ajili yake mwenyewe tu. 8 Kwa maana tukiishi, tunaishi kwa ajili ya Yehova,*+ na tukifa, tunakufa kwa ajili ya Yehova.* Basi tukiishi na tukifa, sisi ni wa Yehova.*+ 9 Kwa maana kwa kusudi hili Kristo alikufa na akawa hai tena, ili awe Bwana juu ya waliokufa na walio hai pia.+ 10 Lakini kwa nini unamhukumu ndugu yako?+ Au kwa nini pia unamdharau ndugu yako? Kwa maana sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu.+ 11 Kwa maana imeandikwa: “‘Kwa hakika kama ninavyoishi,’+ asema Yehova,* ‘kila goti litapigwa mbele zangu, na kila ulimi utakiri waziwazi kwa Mungu.’”+ 12 Hivyo basi, kila mmoja wetu atatoa hesabu kwa Mungu kwa ajili yake mwenyewe.+ 13 Kwa hiyo tusiwe tukihukumiana tena,+ badala yake tuazimie kutoweka kikwazo au kizuizi mbele ya ndugu.+ 14 Ninajua, nami ninaamini katika Bwana Yesu kwamba hakuna kitu ambacho ndani yake chenyewe ni kichafu;+ isipokuwa tu mtu anapokiona kitu kuwa kichafu, kwake yeye hicho huwa kichafu. 15 Kwa maana ikiwa unamkasirisha ndugu yako kwa sababu ya chakula, wewe hutembei tena kulingana na upendo.+ Kwa chakula chako usimwangamize* yule ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake.+ 16 Kwa hiyo, msiache mema mnayofanya yasemwe vibaya. 17 Kwa maana Ufalme wa Mungu haumaanishi kula na kunywa,+ bali unamaanisha uadilifu na amani na shangwe pamoja na roho takatifu. 18 Kwa maana yeyote anayemtumikia Kristo kwa njia hii anakubalika kwa Mungu naye ana kibali cha wanadamu. 19 Hivyo basi, na tufuatilie mambo yanayoleta amani+ na mambo ya kujengana.+ 20 Acheni kuibomoa kazi ya Mungu kwa ajili ya chakula tu.+ Ni kweli, vitu vyote ni safi, lakini ni vibaya* kwa mtu kula ikiwa itasababisha kikwazo.+ 21 Ni vema kutokula nyama au kunywa divai au kufanya jambo lolote ambalo litamkwaza ndugu yako.+ 22 Imani uliyo nayo, endelea kuwa nayo mbele za Mungu. Mwenye furaha ni mtu asiyejihukumu mwenyewe kwa yale anayokubali. 23 Lakini ikiwa ana shaka, yeye akila tayari atakuwa amehukumiwa kuwa mwenye hatia, kwa sababu hali kwa imani. Kwa kweli, kila kitu ambacho hakitokani na imani ni dhambi. ^ Au labda, “maswali ya ndani.” ^ Au “usimharibu.” ^ Au “kosa.” Waroma 14
2018-10-18T09:20:41
https://www.jw.org/sw/machapisho/biblia/nwt/vitabu/waroma/14/
[ -1 ]
MAMLAKA YA MAJI SAFI NA USAFI WA MAZINGIRA MJINI MOSHI (MUWSA) YAWASOGEZA HUDUMA YA MAJI KATIKA KIJIJI CHA NEWLAND WILAYANI MOSHI. ~ Mzee wa matukio daima
2017-08-17T11:37:48
http://www.matukiodaima.co.tz/2017/08/mamlaka-ya-maji-safi-na-usafi-wa.html
[ -1 ]
New Kia Vehicles and Used Cars - Melville, Perth WA - Used Cars - Magic Kia 83 Cars match your search Any Alfa Romeo (1) Ford (3) Holden (5) Honda (2) Hyundai (6) Isuzu (1) Jeep (3) KIA (49) Mazda (2) Mercedes-Benz (1) Mini (1) Mitsubishi (3) Nissan (7) Renault (18) Subaru (1) Suzuki (5) Volkswagen (4) 2011 Suzuki Alto GLX GF U37695 109,840 Kms U37586 2010 Volkswagen Golf 90TSI Trendline VI MY10 92,464 Kms U37584 94,166 Kms U37700 112,066 Kms U37680 2013 Renault Kangoo F61 MY13 90,187 Kms U37380 2015 Renault Kangoo Maxi F61 Phase II 163,100 Kms U37122 2013 Volkswagen Golf 90TSI 7 MY14 91,250 Kms U37699 2012 Jeep Compass Sport MK MY13 79,255 Kms U37688 U37678
2019-12-11T06:02:24
https://www.magickia.com.au/stock/used-cars-for-sale-melville-perth/
[ -1 ]
INDABA AFRICA: MWENYEKITI WA CCM MBEYA AKIRI CHAMA CHAKE NI LEGELEGE KIMEZAA SERIKALI LEGELEGE MWENYEKITI WA CCM MBEYA AKIRI CHAMA CHAKE NI LEGELEGE KIMEZAA SERIKALI LEGELEGE MWENYEKITI WA CCM MBEYA AKIRI CHAMA CHAKE NI LEGELEGE KIMEZAA SERIKALI LEGELEGE: WAZIRI WA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA PROF.JUMANNE MAGHEMBE AKIJIBU HOJA ZA WAKULIMA NA WAKUU WA WILAYA NA VIONGOZI WA HALMASHAURI ZA MBOZI, MBEYA VIJIJINI, ILEJE NA RUNGWE JANA ALIPOSHAMBULIA NA VIONGOZI WENZAKE WA SERIKALI WALIOKUWA WAMEGEUZA KIKAO HICHO KUWA CHA KWAO WAKATI WAKULIMA WA KAHAWA NDIYO WALITAKIWA KUTOA HOJA. KATIKATI ANAYEONESHA MGONGO NI WAZIRI MAGHEMBE ALIPOZUILIWA NA WAKULIMA WA WILAYA YA MBOZI ASIINGIE UKUMBINI KWA MADAI KUWA WALIOKUWA WAMEANDALIWA NA HALMASHAURI YAO WALIKUWA NI WAFANYABIASHARA NA WALA SI WAKULIMA. MMOJA WA WAKULIMA AKIWA ANAELEZA JAMBO KWA WAANDISHI WA HABARI WALIOKUWEPO MBOZI JANA NA KWAMBA WAO WANATAKA KUUZA KAHAWA MBIVU KATIKA SOKO HURIA ILI KULETA USHINDANI WA BEI KATIKA ZAO HILO LAKINI WANAZUILIWA NA HALMASHAURI HIYO HUKU IKIRUHUSU BAADHI YA VIKUNDI VYA WALANGUZI KWA MANUFAA YAO. MKUU WA MKOA WA MBEYA ABBAS KANDORO ALITOA NENO LA BUSARA NA WAZIRI MAGHEMBE ALIINGIA KWENYE UKUMBI KUJIBU KERO YA KAHAWA RC KANDORO ALITOA PENDEKEZO KWA WAKULIMA HAO ILI KURUHUSU WAINGIE 10 UKUMBINI HUMO. · Waziri waghembe aambiwa Wizara imemshinda · Serikali Mbeya yajitenga, yasema isiingiliwe · Wakurugenzi wajitoa, wawaachia wanasiasa MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Mbozi mkoani hapa Aloyce Mdalavuma ambaye ni muhanga wa kura za maoni za Ubunge katika uchaguzi Mkuu 2010, amesema kuwa chama chake ni legelege ndiyo maana kimeunda Serikali legelege Hayo aliyasema jana katika kikao cha pamoja kati ya Waziri huyo, Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro, wakuu na wakurugenzi wa wilaya za Mbozi, ileje, Mbeya Vijijini na Rungwe, wafanyabiashara na wakulima wa zao la Kahawa. Mdalavuma alisema kuwa, wakulima wilayani Mbozi wamekosa pembejeo msimu wa mwaka 2010-2011 na Serikali imekaa kimya jambo ambalo linamkumbusha kauli ya kwamba chama legelege huunda Serikali legelege. ‘’Ndugu waziri, umekuja hapa tukifikiri kuwa utazungumzia mustakabali wa uuzaji na ununuzi wa kahawa mbivu na upatikanaji wa pembejeo lakini tunashangaa hakuna majibu ya namna hiyo na hii nakumbuka kauli isemayo chama legelege huzaa serikali legelege’’alisema Mdalavuma huku wadau wakiguna na Prof, Maghembe akishika tama. Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo ya Mbozi Erick Ambakisye alimtisha Waziri Maghembe kuwa endapo anguthubutu kutekeleza kanuni za wizara yake zinazoruhusu kununua kahawa mbivu wilayani humo ambayo wakulima wanaitaka wakati Halmashauri haihitaji atakuwa tayari kwenda kwa Rais Jakaya Kikwete ili waziri huyo achunguzwe. Alisema kuwa anavyomfahamu Waziri huyo, anaamini kuwa wizara hiyo ya Kilimo chakula na Ushirika imemshinda na Jimbo lake pia limemshinda ndiyo maana wananchi wake hawana uchumi imara. Kwa upande wao, wakulima zaidi ya 400 waliofika katika ukumbi wa Halmashauri hiyo ya Mbozi walimzuia Waziri Maghembe kuingia ukumbini hapo kwa madai kuwa waliokuwa ndani ya ukumbi walikuwa ni wafanyabiashara ya kahawa na wala si wakulima na ndiyo maana wao kama wakulima halisi walikataliwa na viongozi wa Halmashauri kuingia ukumbini. Baada ya hali hiyo ya vuta nikuvute huku Afisa usalama wa wilaya hiyo akijaribu kuwasukuma wakulima hao ili Waziri aingie ndani na kuzungumza na ‘’wakulima maalum’’ waliokuwa wameandaliwa bila mafanikio huku asijue kuwa kulikuwa na wakubwa zake katika msafara huo, ndipo Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro alitumia busara ya kuwataka wateue wawakilishi. Wakulima wengi walisema kuwa taarifa aliyokuwa amepewa na viongozi wa Mkoa wa Mbeya iliyosema kuwa uuzaji wa kahawa mbivu inawaingizia hasara siyo ya kweli bali ililenga kuwanufaisha watu wachache wakiwemo vigogo wa Halmashauri zinazolima zao la kahawa mkoani Mbeya. Mkulima Abrahamu Nzowa alisema kuwa, wakati Serikali na baadhi ya watendaji wa Halmashauri hizo zikiwa zinaipiga vita biashara hiyo hasa kampuni ya Lima Ltd inayonunua zao hilo kwa bei kubwa kuliko vikundi ambavyo viongozi hao wanamanufaa navyo, vikundi vinaendelea kuwanyonya wakulima hali ambayo wamesema inaleta kutoelewana miongoni mwao. Aidha walisema kuwa kwasababu kahawa ni mali yao hawataacha kuuza kahawa hiyo mbichi kwa kampuni ambayo itakuwa inanunua kwa bei nzuri licha ya wilaya na mkoa kukataza kuuza kahawa hiyo. Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro alimweleza Waziri Maghembe kuwa msimamo wa Serikali ya mkoa wa Mbeya ni kwamba haitaki kusikia uuzaji na ununuzi wa kahawa mbivu mkoani hapa mpaka pale wakulima watakapoandikishwa na kutambulika. ‘’Sisi kama mkoa wa Mbeya tuliazimia katika vikao halali vya wadau wa mkoa na kwamba hatutaki biashara ya kahawa mbivu na kwasababu hapa hakuna wakulima walioandikishwa hawa wote si wakulima halali kisheria hivyo mpaka hapo tutakapokamilisha zoezi la kuwaadikisha ndipo tutakapochukua maoni yao’’ alisema Kandoro kwa kujichanganya. Akizungumza na waandishi wa habari nje ya ukumbi huo baada ya kuogopa hoja za Wakuu wa wilaya, wenyeviti wa Halmashauri za wilaya hizo Nne huku wakurugenzi wote wakikataa kuzungumzia suala hilo lililochukuliwa kisiasa zaidi, Waziri Maghembe alisema kuwa hatengui kanuni zenye baraka za Wizara bali anachotaka bei ziboreshwe kwa wakulima. ‘’Mimi sijatengua kanuni za Wizara na Bodi ya kahawa juu ya ununuzi wa kahawa m,bivu bali nilichokuwa nasema ni kwamba lazima wilaya zisimamie sheria na kuhakikisha bei kwa wakulima wa kahawa zinasimamiwa na kulipwa vema lakini Serikali ya mkoa nyie mmeisikia haitaki biashara hiyo’’ alisema Waziri Maghembe. Alisema licha ya hayo yote kila mfanyabiashara wa kahawa ama mnunuzi ni lazima awe na leseni ya biashara na haruhusiwi kununua kahawa kwa mkulima ambaye hajaandikishwa ili kudhibiti ukwepeji mapato ya Serikali kupitia biashara hiyo kama ilivyo sasa wilayani humo. Kwa upande wake Mkurugenzi wa bodi ya kahawa nchini Adolph Kumbulu na mwanasheria wa Wizara ya kilimo walisema kuwa ununuzi wa kahawa mbivu umeongeza tija ya ubora wa kahawa Tanzania kutokana na ubora wa usindikaji wake tofauti na usindikaji unaofanywa na wakulima. Hali hiyo ya mkanganyiko wa uuzaji na ununuzi wa kahawa mbivu (Cherry) imeleta utengano wa baadhi ya wakulima ambapo Serikali hasa vyombo vya usalama vinatakiwa kuliangalia kwa umakini kutokana na hali ilivyo ya wananchi kujengeana chuki ikiwa ni pamoja na kuijengea chuki Serikali. Ubora wa kahawa upo katika ngazi nne ambazo ni P1,P2,P3 na Ponds, ambapo P1 inatoa madaraja Nane ambayo ni AA, A, B, PB, C, AF na F ambapo madaraja yanayouzwa nje ya nchi ni AA,A,B, PB na daraja C. Habari na pastor kalulunga
2018-01-21T18:16:41
http://dtwevetz.blogspot.com/2012/01/mwenyekiti-wa-ccm-mbeya-akiri-chama.html
[ -1 ]
Mgombea ubunge ubungo wa CCM apandisha katika mdahalo urafiki | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Mgombea ubunge ubungo wa CCM apandisha katika mdahalo urafiki Discussion in 'Uchaguzi Tanzania' started by Jatropha, Aug 28, 2010. Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM Bibi Hawa Ng'ambi, usiku huu alishindwa kujizuia na kupandisha hasira kiasi cha mara kwa mara kumzonga mwendeshaji wa kipindi cha mchakato majimboni kilichokuwa kikiendeshwa na kurushwa na TBC baada ya kuulizwa swali aelezee ushiriki wake katika uuzwaji wa nyumba ya Jumuia ya Wanawake Tanzania (UWT) Kinondoni ambapo yeye alikuwa kiongozi wa ngazi ya wilaya. Alimzonga mwendeshaji wa kipindi akitaka kupatiwa upendeleo wa kujieleza na zaidi. Ilibidi wahudhuriaji waanze kumzomea kwa jinsi alivyokuwa akionyesha kutaka kumruhusu Mama huayo kugeuka ndiye mwendeshaji wa kipindi; ndipo mwendeshaji akapata ujasiri wa kuendelea kusimamia kipindi kama alivyokuwa akifanya kutoka mwanzo. Yaani CCM imetapakaa mafisadi wakubwa na wadogo. Kwa jinsi alivyoonyesha kupandisha na kutishia kwenda mahakamani ni wzi kuwa alihusika na kashafa hiyo. Jibu la aliyeuliza swali hilo nalo lilikuwa bomba "Mahakama zimetengenezewa watu na sio wanyama". Mwenye habari kamili atahabarishe mi ni afadhali nikalewe taska kuliko kumsikiliza huyu mama Kama wagombea wengi wa CCM, hana tofauti na wenzake. Usitarajie kunywa mvinyo kwa mtu anayeandaa mkojo. Mkojo ni mkojo, mvinyo ni mvinyo. Hata ukiuchanganya na mvinyo, mkojo ni mkojo tu! aisee ni hatari yaani mwanzoni na mbwembwe nyingi kedekede nilidhani bonge la kiongozi na digrii kibao kedekede....nikashangaa anashindwa kaswali kakijinga mno yaani angejibu tu "si kweli" ilikuwa tosha matokeo yake amekuwa kituko mpaka kuzomewa .........pole mama <p> Kama wagombea wengi wa CCM, hana tofauti na wenzake.</p> <p>Usitarajie kunywa mvinyo kwa mtu anayeandaa mkojo. Mkojo ni mkojo, mvinyo ni mvinyo. Hata ukiuchanganya na mvinyo, mkojo ni mkojo tu!Click to expand... Mhh..hebu mwageni mbigiri zaidi wadau.. Ile attitude aliyoonyesha ndio ya mtu mwenye shshada 2 za uchumi na 2 sijui za kitu gani. Shahda za ngono hizo!!!!!!!!!!!!!!. Mara mia mgombea mwenza wetu angeweza kuonyesha hekima, busara na ueledi wa uongozi. Namkumbuka siku moja nilikuwa pale Wizara ya Kilimo ya zamani Pamba House basi mama huyu na mwenzake walijisimamisha karibu na gari la Mhe Sumaye wakati huo akiwa naibu au Waziri wa Waziri wa Kilimo kwa masaa na alipotoka kuingia kwenye gari wakajigonga kisawa sawa KiOHIO OHIO. Kila mtu aliyekuwa pale aliwashangaa sana na ukware wao. Kibamba ndio wameshapata hasara mgombea ubunge ndio kama hivyo. Nasikia hata mgombea udiwani wa CCM aliyepita ni aina ya kiOhio Ohio kwa kwenda mbele!!!!!!! Kazi kwenu mkiwapitisha hao machangu:mad2::mad2::mad2: Duh,hizi mbigiri sasa zina sumu.. Wenye data mwageni upupu na mbigiri, hata kama zikiwawasha SHAURI YAO! anatuharibia kauli mbiu yetu ya "wanawake tukiwezeshwa tunaweza" jazba zimezidi sana bana! agrrrrrrh! Duh,hizi mbigiri sasa zina sumu..Click to expand... umeona eh! kazi ipo ni hivi, yule mama lazima kuna mkubwa 'anakaa', haikua rahisi kumshinda Nape/Mwangunga katika mchakato....jana kachemshwa ipasavyo,na penye uongo ukweli hujulikana, first round tayari tumeshajua kwamba ni bogus...utaratibu huu wa CCM wa "women empowerement" ni mbaya sana,wanawake wengi wanadhalilishwa sana pamoja naelimu zao..... Lady N ni kweli kwamba alihusika katika uuzwaji wa nyumba hiyo na kufilisi miradi kibao ya UWT Kinondoni. Sasa atawezaje kuwakomboa akina mama wakati ndiye alihusika na wao kuwa maskini kwa kutafuna miradi ya UWT? Baada ya kashafa hiyo ndio Lowassa akamtoa na kumpa UDC. Juzi, Jumamosi usiku TBC walikuwa na kipindi walichokianzisha cha kuwakutanisha wagombea ubunge na wapiga kura wao ili waweze kuelezea sera zao na wapiga kura waweze kuwauliza maswali. Moja ya jambo lililonifurahisha ni la mgombea wa CCM kuhamaki na kuanza kuropoka hovyo akitishia kumpeleka mahakamani muuliza swali kama asingetoa vielelezo vya tuhuma alizotoa kuwa yeye (Ng'umbi) alishawahi kuhusishwa na tuhuma ya kuuza mali nyumba za umoja wa wanawake alipokuwa mwenyeketi wa umoja huo. Nadhani hii haikuwa mara ya kwanza kusikia tuhuma hizi. Mgombea yule alilipuka na kuanza kulopoka hovyo na kumtishia yule muuliza swali, bahati nzuri yule muuliza swali alimjibu kuwa haogopi kwenda mahakamani na akamtaka mgombea ajibu hoja na si kurusha vitisho... yule mama hakujibu na alipopewa nafasi ya kufanya majumuisho yake alirejerea swali lile huku akionyesha kuyumbishwa kiakili na swali lile. Swali je ukweli ni upi? Je huyu mama ni kweli aliuza nyumba zile kwa manufaa yake? Kama ni kweli, je huyu mtu atafaa kutuwakilisha sisi wanyonge kudai haki zetu na kuhakikisha kuwa haki yetu inasimamiwa ipasavyo??? Huyu mama huyu.....haya jamani...ana bahati sana....JK aliwahi muwakia akiwa DC Mvomero.....ajabu ni kuwa watu wasio wanasiasa wanang'ang'ania siasa tuu...si arudi MECCO alikokuwa fundi barabara? Mtangazaji amemtukana mgombea wa CCM (kwa kumuambia ukweli) Ubunge Ubungo ni wa kijana wetu na mwenzetu kamanda John Mnyika ...FULL STOP... huyo mama kama ni mwizi au jambazi la mali za umma akawaibie hao ccm wake...ile ubunge ata akija bila nguo "hatumpiiiii" Siku zote hayo ndo majibu ya mtu anayeambiwa ukweli pale anapokuwa anaulazimisha ulimi wake upingane na roho/moyo wake! Kaaaaziiiiiiiii kweli kweli hata mi nilishangaa sana... watu kama hawa wakikabiliana na sofia simba lazima patachimbika! manake sofi nae huwa halazi damu! Tunatafuta 50/50 kwa hiyo kuweni wapole tu tuwapeni maendeleo sisi ccm............kidumu chama cha mafisadi Ukiingalia hata picha ya huyo mama inaonyesha tools of analysis kichwani ni sifuri. na sielewi inaonekana hata wana-ccm walioko ubungo wameichoka ccm, ingekuwa wanaitaka ccm wangemteua Nape.
2016-12-05T14:49:59
http://www.jamiiforums.com/threads/mgombea-ubunge-ubungo-wa-ccm-apandisha-katika-mdahalo-urafiki.71421/
[ -1 ]
HOFU YA MLIPUKO WA KILE KINATAJWA VOLCANO YAENDELEA KUTANDA NDEMBEZI SHINYANGA....UJI UJI UNAVUJA KUTOKA ARDHINI | MALUNDE 1 BLOG Home » matukio , shinyanga » HOFU YA MLIPUKO WA KILE KINATAJWA VOLCANO YAENDELEA KUTANDA NDEMBEZI SHINYANGA....UJI UJI UNAVUJA KUTOKA ARDHINI Watalaamu wa Jiolojia na Miamba wameombwa kufika katika eneo la Mtaa wa Mazinge kata ya Ndembezi Manispaa ya Shinyanga kuangalia hali kufuatia uwepo wa kile kinachodaiwa kuwa ni mlipuko wa Volcano iliyolala ambayo imezua taharuki kwa wakazi wa kata hiyo baada ya kutoa uji uji tope hali iliyoleta wasiwasi kwa wakazi wa jirani. Baadhi ya Wakazi wa Mtaa wa Mazinge ambapo limetokea tukio hilo wamesema kuwa hali hyo imetokea baada ya kuona tope zito likitoka kutoka chini ya ardhi na kuja juu mfano wa uji hali ambayo imewapa shaka huku wengine wakisem kuwa kumewakupo tamaduni za siku nyingi ambapo hali hyo hutokea baada ya kukaa muda mrefu bila kufanya matambiko Nao baadhi ya viongozi waliofika katika eneo hilo wakiwemo wakurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga, Geofrey Mwangulumbi na Michael Matomola wa Ushetu wamesema zinahitajika jitahada za haraka za watalaam wa jiolojia kufika haraka eneo ilo ili kubainisha kama hali inaweza kuwa na athari kwa jamii za maeneo hayo ili waweze kupewa tahadhari kulingana na hali hiyo. Uji uji huo upo ng'ambo ya mto unaotenganisha Ndembezi na Tambukareli na ambapu kuna udongo unaoonekana kama uji uliobubujika kutoka chini,umeziba njia ya mto. Kwa Mujibu wa Diwani wa kata ya Ndembezi David Nkulila aliyefika mapema Septemba 16,2019 eneo la tukio alisema uji uji huo ni dalili ya Volcano lakini jinsi ilivyo kuna baadhi ya watu wanaingiza mambo ya mila kwamba ni Mizimu la Malembela Amesema Taharuki iliyopo ni wananchi kuhofia kuwa huenda Volcano ikalipuka na kuleta athari lakini wamewapa elimu wananchi kuendelea kuwa na subira serikali inalifanyia kazi watalaamu watatoa majibu . "Kuna uji unatoka,kuna kama kashimo kanatoa uji laini kama kanasukumwa hivi...Tunasubiri majibu kutoka serikalini,tuendelee kuwa na subira kulikoni kuendelea kuzungumzia kitu ambacho hatuna uhakika nacho 16 September at 09:02 · VOLCANO AU NINI? MTONI- MPAKA KATI YA TAMBUKARELI NA MTAA WA NDEMBEZI KATA YA NDEMBEZI! Baada ya kupewa taarifa na Mwenyekit wa Mtaa wa Ndembezi juu ya kilichotokea hapo.Nimefika asubui leo na kujiona Ujiuji laini uliobubujika toka chini ardhini na lundo la udongo uliojilundika katikati ya mto huo na kuziba njia ya mto (Pichani) #UFUMBUZI. Nimeongea na Mh D.C. Yasinta Mboneko na anatuma wataalamu hapo na ndio watakao toa majibu sahihi ya kitaalamu na hata ushauri.Tafadhari tuache taharuki na kuelezea tusicho kijua. Tuwe na subira na tahadhari hasa kwa watoto.Serikali inalishughulikia. Udongo uliokauka mtoni Mkurugenzi wa manispaa ya Shinyanga Geofrey Mwangulumbi (katikati) akiangalia uji uji huo
2020-07-14T19:16:51
https://www.malunde.com/2019/09/taharuki.html
[ -1 ]
maisha na mitindo Archives - Elizabeth David Home maisha na mitindo maisha na mitindo elizabeth David - January 8, 2018 Kitu gani ni vitamini C Yako? Unahitaji nini? Zoezi: Kuza Nguvu yako ya ndani. Kwa nini? Kila mtu ana matatizo yake. Ukiangalia wengi wana stress, magonjwa, kupoteza, mazingira magumu, Bila shaka ni mengi sana hasa katika... AKILI YAKO ITAJUAJE KAMA KILA KITU KIPO KWA AJILI YAKO. maisha na mitindo elizabeth David - January 1, 2018 Inawezekana hujawahi kutambua kabisa kuwa kila kitu kipo kwa ajili yako.Yaani Afya, furaha, amani, upendo, pesa, heshima ,hekima na mengine katika maisha . Mungu anasema kila kitu unachotaka,unachohitaji tayari unacho hata kabla hujaomba nimekupa vyote,... Njia 7 Za Kutumia Muda Peke Yako Zitabadilisha Maisha Yako maisha na mitindo elizabeth David - December 29, 2017 Mwisho mlango umefungwa na kelele zimekwisha. Nilikuwa chumbani mwangu ,Taa zimezimwa hakuwepo mtu yeyote. Ilikuwa ni mapumziko. Tena kwa muda huo familia yangu ilikuwepo, walikuwa wakipita huku na huku. mara wanafungua hiki mara wanaongea. Lakini... Tatizo Kubwa Ni Kujiona Uko Sahihi Kila Mara maisha na mitindo elizabeth David - October 9, 2017 Unaweza kubadilisha mawazo yako , Hisia zako, na tabia zako ndani ya mahusiano yako kwa kuelewa mtindo uliopo kati yenu na mtindo wa watu unaohusiana nao. Kila aina ya mshikamano uliopo una athari tofauti jinsi... SIO MWONEKANO , NI UNDANI WAKO NDIO UNAKUFANYA UVUTIE maisha na mitindo elizabeth David - June 17, 2017 Kila mtu huwa ana siku ambazo hujisikia kama havutii. Na hujaribu kukutana na mahitaji ya jamii kutaka kuonekana mzuri, na hio inakatisha tamaa Nguo zako ni za kutoka kipindi cha nyuma, nywele haziko vizuri, umeongezeka... HATUA HIZI 5 ZITAFUNGUA UFAHAMU WAKO NA KUONYESHA UHALISIA WAKO maisha na mitindo elizabeth David - April 4, 2017 Kujikubali inakusaidia kuwa halisi na kujisikia vema katika ngozi yako mwenyewe. Uhalisia ni moja ya uchaguzi unaofanya kila siku. Ni kuhusu kuonyesha uchaguzi na kuwa halisi. Uamuzi wa kuwa mkweli, uchaguzi wa kuwa wewe. Uchaguzi... KAMA HUWEZI KUKAA POSE HILI KWA SEKUNDE 50, BASI UTAKUWA NA MATATIZO maisha na mitindo elizabeth David - March 24, 2017 Unatafuta aina ya mazoezi ambayo yatakusaidia kuweka mifupa yako vizuri hasa kwenye tumbo na mgongo? Unatafuta kuwa na Abs, kuimarisha misingi yako, na kuboresha mwili? Kama ndio hivyo fanya mazoezi ya plank ndio sahihi... Kwa Nini Unadhifu Wa Mwanaume Humfanya Kuwa Mwenza Mzuri Unawakumbuka Lakini Huwataki mahusiano213
2018-01-24T07:57:18
http://lizzdavid.com/category/maisha-na-mitindo/?filter_by=featured
[ -1 ]