text
stringlengths
44
187k
timestamp
timestamp[us]
url
stringlengths
16
3.37k
dup_ids
list
AKG K 271 Mk II and AKG K 702 Headphones Yakima WA - AKG K 271 Mk II, Yakima WA music instrument, Yakima WA sound quality, Yakima WA tracking record, Yakima WA stereo equipment
2017-12-18T12:47:21
http://local.eqmag.com/AKG_K_271_Mk_II_and_AKG_K_702_Headphones_Yakima_WA-r1337402-Yakima_WA.html
[ -1 ]
Mdee awatibua wabunge wa CCM - PAMOJA BLOG Home > Habari > Mdee awatibua wabunge wa CCM 5/21/2017 04:00:00 PM Habari Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee jana aliwatibua wabunge wa CCM baada ya kuwaambia wasaidie wananchi ambao ni asilimia 65 wanaotegemea kilimo badala ya kumpongeza waziri kwa kufuta tozo za mazao. Tangu Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Dk Charles Tizeba awasilishe bajeti ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2017/18, wabunge wa CCM wamekuwa wakipongeza kwa hatua hiyo. Kwa mujibu wa Dk Tizeba katika mwaka wa fedha 2017/18 kodi, tozo na ada 80 kati 139 ambazo zimekuwa kero kwa wakulima zitafutwa. Akichangia bajeti hiyo, Mdee aliwataka wabunge wapya kuwasaidia wakulima ambao ni asilimia 65 badala ya kutoa pongezi kwa kufutwa kwa tozo. “Mnasema kuwa mmefuta tozo mbalimbali badala ya kutuambia mna mkakati gani wa kuwasaidia wananchi. Tungewekeza katika kilimo ajenda isingekuwa ni kuondoa tozo,” alisema Mdee. Hata hivyo, Mbunge wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi alimpa taarifa mbunge huyo kuwa wabunge wote waliopo bungeni ni wapya na walichaguliwa katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 kabla ya kuapa. Akiendelea kuchangia, Mdee alisema kuwa yeye ni mbunge wa jimbo la mjini, lakini analazimika kuyasema hayo kwa sababu wapigakura wake wanaathirika na mfumuko wa bei. Alisema Serikali imewaahidi Watanzania kuwa kilimo kitakua kwa asilimia 10, lakini ukuaji wa sekta hiyo umekuwa ukipungua mwaka hadi mwaka. Mbunge huyo alisema Serikali katika mwaka wa fedha 2016/17 imetoa Sh3.3 bilioni sawa na asilimia 3.3 ya bajeti ya maendeleo. Hata hivyo, Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Tekinolojia, Stella Manyanya alisema malalamiko ya mbunge huyo hayana mashiko. “Kama alivyosema yeye ni mbunge wa mjini na wabunge wa vijijini wanatambua kero za wananchi wao asiingilie uchangiaji wao,” alisema. Mdee ambaye alikuwa akikatishwa kwa taarifa na miongozo, alisema anachokisema ni kwa nia njema ya kutaka kuishauri Serikali kwa ajili ya manufaa ya Taifa. “Nimesoma bajeti ya Wizara ya Maji na Umwagiliaji fedha iliyotolewa ni Sh8 bilioni tu kwa ajili ya kujenga miundombinu ya umwagiliaji, lakini Tume ya Umwagiliaji ina wajibu wa kueneza miundombinu ya umwagiliaji nchini,” alisema. Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Isack Kamwelwe alisimama na kumpa taarifa kuwa pamoja na Serikali kutoa kiasi hicho kwa ajili ya miradi ya umwagiliaji lakini wafadhili wametoa Sh43 bilioni kwa ajili ya miradi ya umwagiliaji. Alisema kuwa ujenzi wa miradi hiyo unaendelea katika maeneo tofauti. Baada ya taarifa hiyo, Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT Wazalendo), Zitto Kabwe aliomba mwongozo wa Spika akitaka wabunge wawe wavumilivu wakati wenzao wenye mawazo tofauti wanapochangia. Akijibu mwongozo huo, Mwenyekiti wa Bunge, Andrew Chenge alisema kwa mujibu wa kanuni za Bunge taarifa zinaruhusiwa. Hata hivyo, alionyesha kukerwa na tabia iliyoanza kujengwa na baadhi ya wabunge ya kukataa taarifa hata kama ndio hali halisi ilivyo. Mbunge wa Newala (CCM), George Mkuchika alisimama na kutoa taarifa kuwa anachofahamu katika Bunge hilo hakuna mbunge wa mjini wala wa shamba bali wote ni sawa. “Kila mtu ana uhuru wa kusema anachokiamini, awaachee anayepongeza aendelee kupongeza,” alisema Mkuchika. Hata hivyo, yaliibuka maneno kutoka kwa baadhi ya wabunge wakisema bila kuruhusiwa na kiti, “mwenyekiti wa nidhamu lakini hana nidhamu.” Akiendelea kuchangia, Mdee alisema anawashauri wabunge wapya na wa zamani wakasome Ilani ya CCM ambayo hata yeye anaisoma (akaionyesha). “Mkasome Ilani yenu, haya nayoshauri ni kwa mafanikio yenu na Taifa mimi naisoma Ilani yenu pia,” alisema mhunge huyo. Alisema katika bajeti Serikali imekuwa ikitenga asilimia moja kwa ajili ya utafiti, lakini fedha hizo hazitoki na kiasi kinachotolewa kwa ajili ya suala hilo ni aibu. Mdee alisema Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage alisema kuwa jumla ya viwanda 234 vimejengwa lakini karibu robo tatu ya viwanda hivyo viko jijini Dar es Salaam. “Tunasema kuwa hakuna viwanda bila malighafi lakini robo tatu viko Dar es Salaam. Ukienda kuangalia unaweza kucheka ufe mbavu, havina hadhi ,” alisema . Mbunge huyo alihoji Serikali ni moja lakini iweje leo ukisoma bajeti ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwezeshaji na ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi hazioani. “Ukisoma hotuba zote mbili hizi ni mbingu na kingine dunia havikutani,” alisema. Alisema inauma kuona hoja binafsi ambayo iliungwa mkono na wabunge wengi mwaka 2011 iliyoitaka Serikali kufanya ukaguzi wa ardhi na kupeleka majibu bungeni haijatekelezwa ili waweze kupanga mipango ya kutatua matatizo yaliyopo. Aliongeza kuwa hadi leo Serikali haijaleta majibu hayo bungeni ili waweze kutatua matatizo ya migogoro ya wakulima na wafugaji nchini. Hali hiyo iliwafanya wabunge wengi wa CCM waliofuatia kuchangia kujikita kumjibu Mdee kwamba kuondolewa kwa tuzo hizo kuna manufaa makubwa kwa wakulima.
2018-08-16T21:48:28
http://www.pamoja.co.tz/2017/05/mdee-awatibua-wabunge-wa-ccm.html
[ -1 ]
Picha : KIWOHEDE YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA KAHAMA | MALUNDE 1 BLOG Home » habari , shinyanga » Picha : KIWOHEDE YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA KAHAMA Picha : KIWOHEDE YASHIRIKI MAADHIMISHO YA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA KAHAMA Shirika lisilo la Kiserikali KIWOHEDE ambalo linatekeleza mradi wa Elimu ya Afya ya Uzazi na Ujinsia kwa vijana wilayani Kahama Kwa ufadhili wa Shirika la Kimataifa la Sida la nchini Sweden, kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi pamoja na Serikali, wameadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia wilayani humo, na kuitaka jamii iondokane na vitendo hivyo. Maadhimisho hayo yamefanyika leo Desemba 10,2018 kwenye Uwanja wa Nje wa Bwalo la Polisi wilayani Kahama, kwa kutanguliwa na maandamano yalioanzia katikati ya Mji wa Kahama,kwa kuonyeshwa mabango yenye ujumbe mbalimbali wa kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia ndani ya jamii. Awali Mratibu wa Mradi wa Afya ya Uzazi na Ujinsia kwa vijana kutoka Shirika la Kiwohede wilayani Kahama Amos Juma, ambao wanapinga mimba na ndoa za utotoni, aliitaka jamii kuachana na tabia ya kung’ang’ania kuenzi mila na desturi ambazo zimeshapitwa na wakati ikiwa ndiyo chanzo kikubwa cha kuendelea kutokea matukio ya ukatili wa kijinsia. “Mila na desturi kandamizi zimekuwa kichocheo kikubwa cha matukio ya kikatili ikiwemo mimba na ndoa za utotoni,hivyo ni lazima wadau tushirikiane kuhakikisha tunaondoa mila hizi ambazo zimekuwa zikikatisha ndoto za watoto wetu,”,alisema Juma. Akizungumza katika maadhimisho hayo mgeni rasmi mkuu wa wilaya ya Kahama Anamringi Macha, aliitaka jamii kuondokana na vitendo hivyo vya ukatili wa kijinsia ambavyo vimekuwa vikirudisha nyuma maendeleo, ikiwamo na ongezeko la wajane, watoto wa mitaani, ubakaji, mimba pamoja na ndoa za utotoni. Alisema ili kukomesha matukio hayo ya ukatili wa kijinsia inapaswa watu wote kushirikiana na kuwa wamoja kukataa vitendo hivyo, pamoja na kuwachukulia hatua kali za kisheria wale ambao bado wanaendeleza ukatili, hali ambayo itasaidia kwa kiwango kikubwa kupunguza ama kumaliza kabisa matukio ya ukatili ndani ya jamii. “Natoa wito kwa wananchi tushirikiane kabisa kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia, na wale ambao wanafanyiwa matukio mabaya watoe taarifa katika mamlaka zinazohusika, kama mama Fatuma Mabanga ambaye alibakwa na kisha kutobolewa macho ambapo mtuhumiwa alikatwa na kisha kufungwa jela,”alisema Macha. “Nawasihi pia wazazi mtekeleze majukumu yenu kwa watoto wenu, muache tabia ya kuwatelekeza ikiwamo kuwasomesha, kutowatimizia mahitaji yao, na kuacha tabia ya kuwachungisha mifugo pamoja na kuwaozesha ndoa za utoto kwa tamaa ya kupata mali na hatimaye kuzima ndoto zao”,aliongeza. Pia alipiga marufuku kwa watu ambao wamekuwa na tabia ya kusafirisha watoto wadogo kwa kuwarubuni wanakwenda kuwasomesha, na matokeo yake huanza kuwatumikisha kazi za ndani, mashambani kwenye baa, migodini na kwenye majumba ya madanguro kuwa atakaye bainika atashughulikiwa kisheria. Naye kaimu mkurugenzi wa halmashauri ya Kahama Mji Robert Kwema, ametaja takwimu za vitendo vya ukatili wa kijinsia kuanzia kipindi cha Januari hadi Novemba 2018 kuwa jumla ya matukio 1,341 yameripotiwa, ukiwamo ukatili wa Kingono matukio 76, kimwili 140, kihisia 133,kiuchumi 118, kutelekezwa 26. Pia alitaja takwimu za mimba za utotoni 26 na ndoa 26 pamoja na ajira kwa watoto 77, huku akitoa wito kwa wazazi na watoto kuacha tabia ya kutotoa ushirikiano mahakamani pale kesi zinapofunguliwa, ili watuhumiwa wapate kuchukuliwa hatua kali za kisheria na kuweza kukomesha vitendo hivyo. Naye mmoja wa waathirika wa matukio hayo ya ukatili wa kijinsia Fatuma Mabanga (50) mkazi wa Kahama mwenye watoto 13, ambaye alibakwa vichakani na kisha kutobolewa macho mwaka 2014, ambapo alitelekezwa na mumewe Vicent Nkwabi, aliiomba mahakama iwe inatoa hukumu haraka kwa watu wanaotenda matukio ya kikatili ili wafungwe jela na siyo kuzichezea kesi hizo. Mtandao wa Polisi wanawake wilayani Kahama wakiongoza maandamano huku wakishika mabango yenye ujumbe mbalimbali kwa ajili ya kutoa ujumbe kwa jamii kuacha vitendo vya ukatili wa kijinsia. Mabinti wanufaika wa mradi wa afya ya uzazi na ujinsia kwa vijana kutoka Shirika la KIWOHEDE wilayani Kahama wakiwa kwenye maandamano na kuonyesha mabango yenye ujumbe wa kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia ndani ya jamii. Maandamano yakiendelea katikati ya mji wa Kahama kuelekea kwenye uwanja wa bwalo la Polisi na kutolewa ujumbe mbalimbali za kupinga ukatili wa kijinsia kwa jinsi zote. Mtandao wa Polisi wanawake ukiongoza maanadamano katika maadhimisho ya siku 16 ya kupinga ukatili wa kijinsia. Ujumbe mbalimbali ukisomeka katika mabango juu ya kupinga ukatili wa kijinsia wilayani Kahama. Mabinti wanufaika wa mradi wa afya ya uzazi na ujinsia kwa vijana kutoka katika Shirika la KIWOHDE wilayani Kahama, wakiwa kwenye maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia. Mabinti wanufaika wa mradi wa afya ya uzazi na ujinsia kwa vijana kutoka katika Shirika la KIWOHEDE wilayani Kahama, wakiwa kwenye maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia wakionyesha ujumbe wa kupinga ukatili huo. Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Anamringi Macha akizungumza kwenye maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia na kuitaka jamii iondokane na vitendo hivyo ili wananchi wa jinsia zote wabaki kuwa salama, pamoja na watoto kutimiza ndoto zao. Awali Mkuu wa kituo cha Polisi wilaya ya Kahama Sophia Jongo akifungua maadhimisho hayo ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia wilayani humo. Mratibu wa mradi wa afya ya uzazi na ujinsia kwa vijana kutoka Shirika la KIWOHEDE wilayani Kahama Amos Juma akielezea namna changamoto ambazo wanakutana nazo katika kutekeleza mradi wao huo,ambao unapinga matukio ya ukatili wa kijinsia ikiwemo mimba na ndoa za utotoni, kuwa kiwazo kikubwa ni jamii kuendekeza mila na desturi potofu ambazo zimeshapitwa na wakati, na kuitaka iachane nazo. Victoria Athony ambaye ni binti mnufaika na mradi wa afya ya uzazi na ujinsia kwa vijana kutoka Shirika la KIWOHEDE wilayani Kahama,akiwataka wazazi kuacha tabia ya kunyanyasa watoto wao pamoja na kutowabagua watoto wa kike ikiwemo kuwapatia elimu, ambapo baadhi yao huamua kutoroka makwao na kwenda kujitegemea na mwisho wa siku wanaambulia ujauzito. Mohamed Mgalula ni kijana mnufaika na mradi wa afya ya uzazi na ujinsia kwa vijana kutoka Shirika la KIWOHEDE wilayani Kahama, anaelezea namna maadhimisho hayo ya siku 16 ya kupinga ukatili wa kijinsia kuwa ni muhimu kwao vijana katika kuhakikisha wanapaza sauti kwa mamlaka husika ili kuwashughulikia watu ambao bado wanaendekeza vitendo hivyo vya ukatili wa kijinsia. Kaimu mkurugenzi wa Kahama Mji Robert Kwema akitaja takwimu za ukatili wa kijinsia kuanzia Januari hadi Novemba mwaka huu, kuwa jumla ya taarifa za ukatili zimewasilishwa 1,341 huku utelekezaji watoto ukiongoza matukio 362. Kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilayani Kahama Richard Kayula, akitoa elimu kwenye maadhimisho hayo ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia wilayani humo, na kukemea kuendekeza vitendo vya rushwa ambavyo ni moja ya vichocheo vya kuongezeka kwa ukatili wa kijinsia, zikiwamo Rushwa za ngono, pamoja na watuhumiwa kuhonga na hatimaye kesi kuisha bila ya kufungwa jela. Fatuma Mabanga(50) ambaye ni mkazi wa wilaya ya Kahama mwenye watoto 13 akielezea namna alivyofanyiwa ukatili wa kijinsia kwa kubakwa mwaka 2014 na kisha kutobolewa macho na mhusika na baada ya tukio hilo mumewe Vicent Nkwabi alimkimbia na kumuachia watoto hao kuwalea mwenyewe huku yeye akienda kuoa mwanamke mwingine. Mkuu wa dawati la jinsia wilayani Kahama Zainabu Mangalla akielezea namna jeshi hilo linavyomsaidia mama huyo ikiwemo kumpatia huduma za chakula na malazi, ikiwa watoto wake hawana uwezo ambapo hufanya biashara ndogondogo ikiwemo kuuza mbogamboga. Kaimu mkurugenzi wa Kahama Mji Robert Kwema akielezea namna serikali inavyomsaidia mama huyo kwa kushirikiana na wadau wa kupinga ukatili wa kijinsia ambapo kikundi cha akina mama wajasiriamali wamemfungulia akaunti ya NMB ili msaada wa fedha anazozipata zituzwe benki. Mkuu wa wilaya ya Kahama Anamringi Macha akimkabidhi kadi ya benki ya NMB Fatuma Mabanga pamoja na pesa taslimu zilizochangwa na wadau wa kupinga ukatili wa kijinsia shilingi 96,8500. Afisa Ardhi wa halmashauri ya Kahama Mji Radislaus Masumbuko akitoa msaada wa kiwanja kwa mama huyo Fatuma Mabanga kwa ajili ya kujengewa nyumba ya kuishi. Mwandishi wa habari wa gazeti la Nipashe wilayani Kahama Neema Sawaka naye akiunga mkono kwa kutoa msaada wa Bati Tano kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa nyumba ya mhanga huyo wa ukatili wa kijinsia Fatuma Mabanga, huku akishikana mkono wa pongezi na mkuu wa kituo cha Polisi wilayani Kahama Sophia Jongo, akifuatiwa na mkuu wa wilaya ya Kahama Anamringi Macha. Wanafunzi kutoka shule ya msingi Kahama "B" wakiimba Ngonjela yenye ujumbe wa kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia. Vijana kutoka kundi la Mwanakwela wakitoa burudani kwenye maadhimisho hayo ya siku 16 za kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia. Wafanyakazi wa halmashauri ya Kahama Mji wakiwa na askari Polisi wakivuta Kamba kupimana nguvu,ambapo kundi la wafanyakazi ndiyo liliibuka na ushindi huo. Mwanakwela akiendelea kutoa burudani kwenye maadhimisho hayo ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia kwa kuchezea baiskeli. Mtandao wa Polisi wanawake wilayani Kahama wakitoa burudani kwa kucheza kwaito kwenye maadhimisho hayo ya Siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia. Mwenyekiti wa mtandao wa polisi wanawake wilayani Kahama Sophia Jongo akielezea zawadi ambazo wanazitoa kwa watoto wanaolelewa kwenye vituo vya watoto yatima katika kituo cha Mvuna pamoja na Peace cha Nyahanga,kwa kutao zawadi za sabauni za unga mifuko miwili, sabani kiche box 2, mafuta ya kupikia ndoo mbili, Sukari mifuko miwili, unga mifuko 4, zikiwamo na taulo za kike. Baadhi wa waandishi wa habari wilayani Kahama wakichukua matukio mbalimbali kwenye siku hiyo ya maadhimisho ya siku 16 za kupinga matukio ya ukatili wa kijinsia.
2019-01-23T17:26:47
https://www.malunde.com/2018/12/kiwohede-ukatili.html
[ -1 ]
Tunajitahidi kuongeza operesheni zetu pale panapowezekana:WFP | Idhaa ya Redio ya UM Umoja wa Mataifa 23/01/2014 Tunajitahidi kuongeza operesheni zetu pale panapowezekana:WFP WFP yaongeza operesheni Sudan Kusini
2014-12-27T23:02:02
http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2014/01/tunajitahidi-kuongeza-operesheni-zetu-pale-panapowezekanawfp/
[ -1 ]
Bendi ya Mashujaa Musica Kufanya Show na JB Mpiana Dar - Habari | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania HomeBurudani Bendi ya Mashujaa Musica Kufanya Show na JB Mpiana Dar Share this on WhatsAppMeneja wa JB Mpiana, Guyguy Kiangala (kulia), akielezea ujio wa mwanamuziki huyo kuja kufanya onyesho hapa Tanzania.Waandaaji wakijinadi kwa waandishi wa habari. KAMPUNI ya QS ya jijini inatarajia kumleta nchini mwanamuziki nguli wa Jahmuri ya Kidemokrais ya Congo, JB Mpiana wa bendi ya Wenge BCBG katika uzindizi wa bendi ya Mashujaa Musica ya jijini unaotarajia kufanyika katika viwanja vya Leaders November 30 mwaka huu. Bendi hiyo ya Mashujaa inatarajiwa kuzindua albam yao ya ‘Risasi Kidole’ yenye nyimbo sita. Burudani zingine zitakazokuwepo siku hiyo ni wanamuziki wa kizazi kipya ambao ni H. Baba, Ney wa Mitego, Mb Dog na wasanii wengine kibao wa muziki wa kizazi kipya. (Picha zote na Habari kwa Hisani ya www.globalpublishers) Previous : Matukio Katika Mkutano wa CCM Kumpongeza Rais Kikwete Dar es Salaam Next : Wakilisha Nchi Yako; Jiunge na Guinness Football Challenge Uiongoze Tanzania Kupata Ushindi About The Author Nguli wa Muziki Papa Wemba Afariki Dunia Mwanamuziki Prince Afariki Dunia Akiwa na Miaka 57 Filamu Kuuzwa Mwaka 2023 Matangazo Yaanza Mwaka Huu
2016-04-30T01:25:35
http://www.thehabari.com/bendi-ya-mashujaa-musica-kufanya-show-na-jb-mpiana-dar/
[ -1 ]
BID-045 - Supreme BODY Naked Company – Slutty Board Members Swarm Over A Dick – Sayuki Kano Sayuki Kanno Erika Kitagawa Meisa Chiba Yuna Hoshizaki slut big tits outdoor threesome » Download Japanese Porn Movie from TakeFile.link Download Japanese Porn Movie » Jav Movies » BID-045 - Supreme BODY Naked Company – Slutty Board Members Swarm Over A Dick – Sayuki Kano Sayuki Kanno Erika Kitagawa Meisa Chiba Yuna Hoshizaki slut big tits outdoor threesome BID-045 - Supreme BODY Naked Company – Slutty Board Members Swarm Over A Dick – Sayuki Kano Sayuki Kanno Erika Kitagawa Meisa Chiba Yuna Hoshizaki slut big tits outdoor threesome Erika Kitagawa, Meisa Chiba, Sayuki Kanno, Yuna Hoshizaki big tits dirty talk hidef outdoor slut threesome BID-048 - Taboo Nudist Life 24 Hours Of
2020-01-24T22:41:54
https://javidol.site/9478-bid-045-supreme-body-naked-company-slutty-board-members-swarm-over-a-dick-sayuki-kano-sayuki-kanno-erika-kitagawa-meisa-chiba-yuna-hoshizaki-slut-big-tits-outdoor-threesome.html
[ -1 ]
Dkt. Mengi alivyotembea peku kusaka utajiri na urithi aliouacha – Dar24 Dkt. Mengi alivyotembea peku kusaka utajiri na urithi aliouacha 9 months ago Comments Off on Dkt. Mengi alivyotembea peku kusaka utajiri na urithi aliouacha Tanzania imepata pigo kubwa la kuondokewa na mmoja kati ya wadau wakubwa wa uchumi, maendeleo na falsafa za kizalendo, Dkt. Reginald Abraham Mengi, aliyetangulia mbele ya haki leo, Mei 2, 2019, Dubai alipokuwa mapumzikoni. Dkt. Mengi ameacha alama zisizofutika katika maisha ya watu wengi na wengine wamefaidika na matunda ya kazi yake kwa njia ambayo sio ya moja kwa moja. Alikuwa mmoja kati ya watoto saba wa mzee Abraham Mengi na mkewe Ndeekyo. Alizaliwa mwaka 1944, Machame mkoani Kilimanjaro. Alikuwa mfanyabiashara maarufu aliyehesabiwa kati ya matajiri wakubwa zaidi Afrika. Alikuwa Mwenyekiti wa Masharika mbalimbali ikiwa ni pamoja na Shirikisho la Viwanda vya Tanzania, IPP Gold Ltd., Media Owners Association of Tanzania, IPP Ltd na Handeni Gold. Sehemu ya urithi aliouacha ni ni kitabu ambacho pamoja na mambo mengine kimeelezea wasifu wake ikiwamo safari yake ya maisha ya dhiki akiwa mtoto hadi kuwa msomi mkubwa katika fani ya uhasibu na kisha tajiri. ‘I Can, I Must, I Will, The spirit of success’ ni urithi mkubwa kwa kila atakayesoma kwani ndani ya kitabu hicho ameelezea maisha ya kubangaiza waliyokuwa wakiishi wazazi wake katika vibanda vya udongo katika kijiji cha Nkuu mkoani Kilimanjaro. Katika kitabu hicho, Dkt. Mengi amesimulia jinsi familia yao ilivyokuwa masikini sana kiasi cha kuishi kwenye vibanda pamoja na ng’ombe, kuku wachache waliokuwa nao. Alitembea peku kutokana na umasikini, lakini maono ya upambanaji kuufikia utajiri yalisukuma safari yake bila kujali kipindi wanachopitia wakati huo. “Ninaporudisha fikra na kutazama nyuma ni vigumu napatwa na ugumu wa kufikiri namna tulivyoweza kuishi katika hali ile. Tuliishi kwenye vibanda vya udongo tukichanganyika na ng’ombe na kuku. Familia yetu ilikuwa masikini sana, kila siku ilikuwa ni vita ya kupambana na umasikini,” alisema Dkt. Mengi. Katika miaka ya 1983, Dkt. Mengi aliona fursa kutokana na uhaba wa kalamu za wino nchini ambazo zilikuwa zikiagizwa kutoka nje, wakati huo kaka yake Elitira kutokana na ugumu wa maisha alikuwa anafanya biashara ya kuuza mayai akiwa bado mwanafunzi wa shule ya msingi. Kutokana na mbinu za kaka yake alipewa kipawa cha kugundua fursa na kuzigeuza kuwa biashara katika ujasiriamali, zikamvutia Dkt. Mengi, naye akaanza biashara aliyoiona ya kalamu za wino. Dkt. Mengi alingia katika ulimwengu wa biashara akianza na utengenezaji wa kalamu alizozipa jina la ‘Epica’ kwa kuagiza vifaa kutoka Mombasa akiwa hana mtaji wowote bali kwa makubaliano ya kulipa baada ya mauzo. Mengi alizidi kutanua wigo wa biashara kadiri siku zilivyokwenda kutoka na kukusanya vifaa vya kutengeneza kalamu kwa wingi. Uthubutu, na upambanaji wa Dkt. Mengi umemfanya hadi sasa kuwa mmoja wa matajiri wakubwa nchini na pengine ukanda wa Afrika Mashariki akiwa na biashara ya vyombo vya habari, kiwanda cha vinywaji baridi na madini. Mfalme amuoa mlinzi wake na kumpa hadhi ya Malkia Dkt. Mengi aliorodheshwa na jarida la Fobes mwaka 2014 kuwa na utajiri upatao Dola za Marekani 560 milioni, zaidi ya Sh za Kitanzania Trilioni 1.2 akiwa nafasi ya 45 kati ya matajiri 50 zaidi barani Afrika. Wapiga umbea kutozwa faini na kuokoteshwa takataka masaa 3 Hizi hapa ni moja ya heshima na tuzo alizo tunukiwa Dkt. Mengi katika uhai wake; 2000-2003 – Most Respected CEO East Africa Community (EAC) 2008 – Martin Luther King Drum Major for Justice Award 2010 – Global Leadership and Humanitarian Award 2012 – United Nations NGO Lifetime Achievement Award 2012 – The Business for Peace Award 2012 – Honorary Doctor of Humanity Degree Award 2014 – International Order of the Lions Award 2014 – Business Leader of the Year Award Pumzika salama Dkt. Reginald Abraham Mengi. Amen Habari kubwa katika Magazeti ya Tanzania leo Mei 3, 2019 Habari 7 hours ago Comments Off on Tanzania, India kuendeleza uhusiano wa kidiplomasia, kukuza maendeleo Maisha 9 hours ago Comments Off on Hii ndiyo rangi ya mwaka 2020 Afya/Habari 12 hours ago Comments Off on Maziwa mtindi kinga dhidi ya mafua Afya/Habari 13 hours ago Comments Off on Siku ya Ukoma Duniani: Serikali yalia na unyanyapaa wa wagonjwa Habari 15 hours ago Comments Off on Katavi: Barabara yafungwa kwa kujaa maji Biashara/Habari 1 day ago Comments Off on Wachunangozi waandaliwa mafunzo maalumu
2020-01-26T21:34:12
http://dar24.com/dkt-mengi-alivyotembea-peku-kusaka-utajiri-na-urithi-aliouacha/
[ -1 ]
Taarifa Bungeni | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Taarifa Bungeni Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by kinyoba, Jul 6, 2011. Mheshimiwa Kombo Hamisi Kombo pale akichangia hoja ya maswala ya muungano amepewa taarifa ya kwa nini rais wa muungano hatoki Zanzibar pale alipodai kuwa zanzibar haijapata raisi tangu Mwinyi alipo ongoza. Nimeipenda taarifa kwa sababu imeonekana kuwa raisi wa Jamhuri ya Muungano wa TZ hawezi tena kutoka Zanzibar kwa kua Zanzibar tayari inae Rais wake na haitawezekana tena kwa kosa kama hilo kurudiwa kama ilivyotokea wakati wa Mwinyi. Yaani Zanziba kuwa na Rais wake na wakati huo huo kuwa na Rais wa Muungano. Ni vizuri mambo yakawekwa wazi maana malalamiko yamekuwa mengi mno. mara muungano uvunjike mara wanataka rais atoke huko. Waamue moja kubaki au kuondoka lakini hawawezi kuwa na nchi na rais wao pamoja na baraza la wawakilishi halafu wa-export rais bara ambapo hakuna baraza la wawakilishi wa Tanganyika. Hahahahahaaaaaa... Daaaaaaaa wadhandhiberi mpooooooooo Ni vyema kwa kweli kama tunataka kutoka hapa tulipo ni wakati wa kupeana mbivu na mbichi kwani siasa hizi za kufunika kipindi cha utawala fulani zinatugharimu sana kama watanzania na sio ( watanganyika na wazanzibar) Tuambiane ukweli na tufuate sheria sio kwa kulalamika au kufunika mambo kwamba haya yasizungumziwe, yatazungumzwa lini? Kuendelea kukalia kimya mambo haya ni kuhamishia matatizo kwa watoto wetu mahali ambapo sisi wazazi tumeshindwa ni busara ya wapi hii?
2017-07-26T07:21:14
https://www.jamiiforums.com/threads/taarifa-bungeni.152585/
[ -1 ]
Umeme Juuu next week! | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Umeme Juuu next week! Discussion in 'Biashara, Uchumi na Ujasiriamali' started by MziziMkavu, Aug 29, 2009. Inaelezwa kuwa gharama za kulipia umeme zitakwea hewani kwa asilimia tatu zaidi kuanzia Septemba mosi, mwaka huu, ili kulipia Mfuko wa Umeme Vijijini (REA), imefahamika. Kwa mujibu wa tangazo lililotolewa jana na Ofisi ya Mawasiliano ya Shirika la Ugavi wa Umeme nchini (TANESCO), wateja wote wanaotumia umeme na wananchi wote kwa ujumla, watatakiwa kulipa ushuru wa asilimia tatu kwa ajili ya mfuko huo. Tangazo hilo lililosambazwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari jana, lilisema kuwa ushuru huo unatozwa kwa kuzingatia Tangazo la Serikali (GN) la Agosti Mosi, 2009 na ainisho la sheria ya Bunge kuhusu Wakala wa Umeme Vijijini (Rural Energy Act of 2005), kifungu namba 19 (3) ( c ) na (d). “Ushuru huu ni kwa ajili ya Mfuko wa Umeme Vijijini ambao matumizi yake ni pamoja na kuongeza kasi ya usambazaji umeme vijijini na mafunzo kwa wajasiriamali ili kuboresha maendeleo ya jamii kwa kutumia nishati bora vijijini. “Ushuru huu utakuwa ni asilimia tatu (3%) ya thamani ya umeme uliotumiwa katika mwezi husika, yaani juu ya gharama ya matumizi ya umeme,” ilisema sehemu ya tangazo hilo. TANESCO kupitia tangazo lake hilo, imeeleza kuwa yenyewe itakuwa ni mkusanyaji tu wa ushuru huo, ambapo makusanyo yote yatakabidhiwa REA. Kutokana na tangazo hilo, sasa katika ankara ya umeme mteja atapaswa kulipia asilimia 18 kama Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT), malipo kwa EWURA asilimia 1 na Mfuko wa Umeme Vijijini (REA), asilimia 3. “Hii inatokana na upungufu wa nafasi katika fomu ya Ankara. Hata hivyo, kwa sasa tunatengeneza fomu mpya ambayo itaonyesha kila gharama peke yake. Tunategemea fomu hii itakuwa tayari kabla ya mwisho wa mwaka 2009,” ilisema sehemu ya tangazo hilo. Source: DarHotWire.com sasa mnatakaje?umeme wa bure? sasa mnatakaje?umeme wa bure?Click to expand... Imawezekana kabisa kama kusingekuwa na richmond, merememta, radar, ndege ya raisi na chai ya billioni tisa, umeme ungekuwa wa bure. Kutokuwa na priorities ndiko kunakopandisha umeme. suala hapa sio umeme wa bure... kila mwananchi anatakiwa kuachangia maendeleo ya umeme vijijini sio watumia waliopo sasa ambao ni wastani wa wateja 600,000. Tatizo la Tanzania wale wanaolipa kodi ndo huwa wanaendelea kukamliwa zaidi.... nadhani wangetafuta njia nyingine ya kupata hizo fedha za miradi yao... kwa maana hiyo katika kila shilingi mia utakao tumia kununulia umeme, shilingi 21 zitakuwa ni kodi mbalimbali weka na service charge kwa mwezi ambayo ni sh 3000, kwa mlalahoi kama mimi ili niwashe bulb yangu ya sebuleni na chumbani ni lazima niwe na buku 10 !!!!! mandeleo yaletwe na wote sio 600,000 tu!!!!! Tutajuuuuuutaaaaa kuifahamu ccm! Kupanda kwa bei kulitakiwa kuendane na huduma siyo bei inakuwa juu na umeme wenyewe ndo ule wa kukatika kila dakika. Ni vizuri serikali na TANESCO watafute vyanzo ambavyo wanawe zalisha umeme kwa bei nafuu zaidi kuliko kulalia zaidi kwenye kuwakamua wananchi ambao ukiangalia kwa undani unakuta vipato ni vidogo sana. Pia CCM wasiwakumbatie mafisadi maana ndo waliochangia hadi tumefika hapa. Tulishazoea wapandishe watakavyo hata wakitaka asilimia mia sisi tutalipa tu kwani kuna la kujitetea? hata kama sitaki nitapata huduma hiyo muhimu kwa nani? Wapandishe tu hamna noma tutalipa tu! wapandishe tu hamna noma tutalipa tu!Click to expand... watanzania wote wangekuwa kama wewe nchi ingeendelea kwa haraka,matatizo yetu ni kuwa kila mtu ni mjuaji na mbishi hata kwa mambo ya faida,kila mtu ni "much know" Kwenye kupandisha bei ya umeme kwa asilimia 3% sio ufisadi au kwa manufaa ya tanesco bali ni katika kutekeleza sera ya CCM ya MAISHA BORA kwa kila Mtanzania!! Huna wa kumlaumu haya ni matunda ya kura zenu za kishindo zilizomweka JMK mtoto wa CCM madrakani! Serikali ya CCM badala ya kubadili sheria ya kodi ili madini yachangie kwa kiwango cha maana katika kupeleka umeme vijijini wameona wawabebeshe ailimia 10% ya watanzania wanaopata huduma ya umeme kuwapelekea umeme Watanzania asilimia 90% wasiokuwa na umeme. Hii sio njia muafaka kwani watu wote waliohai wangepaswa kuchangia kama CCM imekosa mbinu! Kazi ya kufanya electrification ni kubwa hizi mbinu za kichovu za hawa wahuni wa CCM plus a few members of parliament calling themselves opposition. Kuna haja ya kutafakari na kuweka mpango mkubwa wa kufanya kazi hiyo. What comes from the 3% is a pea nut assume ni Tshs 740m/= per month itachukua karne ngapi kupeleka umeme vijijini!! Msichekelee this is national tragedy!!! Janga la kitaifa nyie CCM cant you use your grey matter!!! Toeni mawazo msilalamike tujenge hoja na msiseme ufisadi ina maana serikali is a big fisadi or what?
2017-04-23T05:44:51
https://www.jamiiforums.com/threads/umeme-juuu-next-week.37435/
[ -1 ]
Changamoto Zinazowakumba Vijana Katika Tamthilia ya Kitumbua Kimeingia Mchanga - Kibabii University Library Jackson Ndung’u Mwangi Chuo Kikuu Cha Laikipia, Kenya Katika ulimwengu wa sasa, kuna mabadiliko chungu nzima yanayoshuhudiwa duniani kote yanasababishwa na masuala anuwai kama vile maendeleo ya kiteknolojia pamoja na utandarithi yanayoathiri pakubwa maisha ya vijana. Hapo nchini, vijana wana umuhimu wa kipekee kwani wanatekeleza majukumu muhimu sana katika kukuza uchumi wa nchi. Isitoshe, idadi ya vijana kote ulimwenguni imeendelea kuongezeka kila uchao na imepiku ile ya wazee. Kwa hivyo, ni nyema kujadili changamoto zinazowakabili na kupendekeza hatua za kukabiliana nazo. Lengo la utafiti huu lilikuwa ni kuchanganua changamoto zinazowakumba vijanapamojanaathari zake katika ya tamthilia ya Kitumbua Kimeingia MchangayaS.A Mohamed (2000).Mada hiiilichaguliwakwamisingikwambavijanawanakumbwanachangamoto nyingikatikamaishayao zinazowaathiri kwa kiasi cha haja na kutinga juhudi za kuafikia jaala zao.Utafiti huu ulilenga kubainisha changamoto zinazowakumba vijanakatika tamthilia hii na kutambua mbinu ambazo vijana hawa wanazua ili kukabiliana nazo. NadhariayaUhalisiailitumika kwa sababuilionekana kufaa zaidi kuchanganua changamoto zinazowakumba vijana kwani changamoto hizi zina uhalisiamkubwakatikamaishayao. Madhumuniyautafiti huu yalikuwa ni kuchunguzanakueleza namna changamoto za vijana zinavyojitokeza katika tamthilia ya Kitumbua Kimeingia Mchanga na kisha kubainisha hatua zinazochukuliwa kuzitatua changamoto hizo. Utafiti huu ni wa kimaelezo na kiudhamano kwani ulihusisha kuchanganua matini zinazohusiana na mada husika. Sampuli katika utafiti huu iliteuliwa kimakusudi kwani ndiyo ingempa mtafiti data aliyonuia kuipata. Utafiti huu ulijikita katika maktaba ya kitaifa na yale ya vyuo vikuu humu nchini. Utafitiwetuumebainisha kidakidaki kwambatamthilia ya Kitumbua Kimeingia Mchanga imesheheniChangamoto nyingi mno zinazowaathiri vijana kamavile dawa za kulevya, dhuluma,anasa,uavyaji mimba,utabaka, athari za tamadunizakigenipamoja nakufanyiwa uamuzi.Aidha, imethihirika wazikuwa vijana wanazua mbinu kabambe za kutatua changamoto zinazowakumba kama vile kutafuta ushauri kutoka kwa wenzao, kutumia wazee na kuwa na ujasiri wa kujitetea dhidi ya wanaowadhulumu pamoja na serikali kukabiliana na walanguzi wa dawa za kulevya. Ni bayana kuwa utafiti huu utaifaa jamii ya wasomi wanaoshughulikia maswala ibuka katika jamii. Inapendekezwa kuwa tafiti za baadaye zitafiti kuhusu nafasi ya vijana katika jamii. Maneno Elekezi: Dhana ya Vijana, Jaala, Changamoto, Athari, Uhalisia Download Abstract: Changamoto Zinazowakumba Vijana Katika Tamthilia ya Kitumbua Kimeingia Mchanga_Kibabii University Conference Abstract
2019-07-16T18:13:45
https://library.kibu.ac.ke/changamoto-zinazowakumba-vijana-katika-tamthilia-ya-kitumbua-kimeingia-mchanga/
[ -1 ]
Discussion in 'Mahusiano, mapenzi, urafiki' started by Davy-D, Mar 28, 2010. Hello everybody. I thought I should register with JF and see if ms right can befound for mr right (of Tz origin) with the following profile: 38-year old educated (PhD level), working for government in North America (Biostatistics research scientist), father of a 6-year old girl (no plans to have anymore kids whatsoever), 5'6 height, 185 lb weight (well built), not religious but believes in god (and appreciates various valid religions) and abides to god's commandments as much as possible, and most important, loves to travel around the globe (travels about 7 times a year). Should you think you are a match write me at [email protected] at your convenient. Please note that I will not reply or respond to any post herein. Enjoy your day as you finish reading this post. mungu akusimamie kaka yangu upate haja ya moyo wako!nakutakia kila la kheri Mie kidhungu sijui tuandikie kiswahili plz!Click to expand... Tangu lini ukawa Maimuna Maria Roza! Tangu lini ukawa Maimuna Maria Roza!Click to expand... Hahha hha BAK nilikuwa na edit kumbe umeikamata!! mh huwezi jua landa ndo wale wanaija! Hahha hha BAK nilikuwa na edit kumbe umeikamata!! mh huwezi jua landa ndo wale wanaija!Click to expand... Hahahahahahaha nimekuwahi LOL! inaudhi kweli kama ulikuwa unataka ufanye editing halafu mtu anakuwa ameishaikamata. Basi tumheshimu huyu jamaa na kutomharibia thread yake ambayo ina umuhimu mkubwa kwake kimaisha. Nina hakika utampata atakayekuenzi! Leo dunia imeharibika sana naomba usipapatike sana ukimpata kwanza mkapime! Keep on searching buddy! Mungu akuongoze mheshimiwa. Kweli wewe unapenda changamoto. Kila la heri hivi majuzi hapa jamvini mtu mmoja anaitwa akili kichwani alipata binti mzuri sana anaitwa pearl au lulu, hapa hapa. wengine roho iliuma sana lakin tukalazimika kukubaliana na matokeo. labda umuulize kwa private messege akujuze alitumia mbinu gani. ni hayo tu kila la heri mkubwa ni hayo tu kila la heri mkubwaClick to expand... si alituma post kama huyu ! atampata tu ndio hivyo pearl? masharti ya bwan dokta ni magumu kidogo.............hataki mtoto tena wakati yeye tayari anae mtoto wake! hapa mgombea nafasi hiyo lazima awe mwanamke mkakamavu. all the best though masharti ya bwan dokta ni magumu kidogo.............hataki mtoto tena wakati yeye tayari anae mtoto wake! hapa mgombea nafasi hiyo lazima awe mwanamke mkakamavu. all the best thoughClick to expand... Mgumba angemfaa zaidi. Ushampata, USIJALI.
2017-07-21T03:06:24
https://www.jamiiforums.com/threads/natafuta.57606/
[ -1 ]
Kampuni ya Strategis Insurance Tanzania Yakamdhi Msaada wa Vifaa vya Wodi ya Wazazi Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar. - ZanziNews Pages Kampuni ya Strategis Insurance Tanzania Yakamdhi Msaada wa Vifaa vya Wodi ya Wazazi Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar. Viongozi wa Kampuni ya Strategis Insurance Tanzania na wa Wizara ya Afya Zanzibar wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa kwa Wadi ya Wazazi Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar. Mkurugenzi wa Idara ya Masoko wa Kampuni ya Strategis Insurance Tanzania Dennis Nombo, akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi Vifaa kwa Wodi ya Wazazi Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar. Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar Dk Jamala Adam, akipokea msaada wa vifaa kwa ajili ya Wodi ya Wazazi Hospitali ya Mnazi Mmoja kutoka kwa Mkurugenzi wa Idara ya Masoko wa Kampuni ya Strategis Insurance Tanzania Dennis Nombo,hafla hiyo imefanyika hospitali ya Mnazi mmoja Mkurugenzi Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar Dk Jamala Adam, akipokea msaada wa magodoro kwa ajili ya Wodi ya Wazazi katika Hospitali Kuu ya Mnazi Mmoja kutoka kwa Mkurugenzi wa Idara ya Masoko wa Kampuni ya Strategis Insurance Tanzania Dennis Nombo, mwenye suti,hafla hiyo Viongozi wa Kampuni ya Strategis Insurance Tanzania na wa Wizara ya Afya Zanzibar wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa hafla ya kukabidhi vifaa kwa Widi ya Wazazi Hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar. Next PROFESA MBARAWA ATETA NA MAKAMU WA RAIS WA JICA. *Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akijadiliana jambo na Makamu wa Rais wa Shirika la Maendeleo la Japan (JICA), Bi Suzuki ...
2016-12-08T14:20:42
http://www.zanzinews.com/2016/05/blog-post_22.html
[ -1 ]
 Wafariki wakipiga picha ya 'selfie' mbele ya treni - TeknoKona Teknolojia Tanzania You are at:Home»Teknolojia»Wafariki wakipiga picha ya ‘selfie’ mbele ya treni Kati ya vifo 127 vinavyotokana na watu kupiga Selfie kati ya mwaka 2014 - 2015, visa 76 vimeripotiwa India. Wafariki wakipiga picha ya ‘selfie’ mbele ya treni By Mato Eric on January 19, 2017 Teknolojia Katika suala zima la teknolojia katika miaka ya hivi karibuni neno ‘selfie’ si geni kwa wengi na ni moja ya vitu vilivyotokea kupendwa na watumiaji wengi wa simu janja. http://fisflug.is/?yrus=recenzioni-autopzionibinarie&ccb=3a Katika hali ya kusukitisha vijana kadhaa huko New Delhi-India wamepoteza maisha baada ya kugongwa na treni walipokuwa wakipiga picha kwa kutumia kamera ya mbele yaani selfie. see Kundi la vijana lilikwenda katika kituo cha reli kupiga selfie mbele ya treni zilizokuwa zinawadia lakini wawili kati ya vijana hao walichelewa kuondoka katika reli hiyo na treni ikawakanyaga. source Kati ya vifo 127 vinavyotokana na watu kupiga Selfie kati ya mwaka 2014 – 2015, visa 76 vimeripotiwa India. go to site Wakati wa kupiga picha, waliiona treni ikija wakasogea pembeni lakini treni nyingine ilitokezea upande wa pili na walikwama katikati. Waligongwa na mojawapo ya treni hizo. follow site http://podzamcze-dobczyce.pl/index.php/restauracja/assets/js/assets/js/assets/js/jquery-ui.datepicker.js Kamera iliyokuwa ikitumika katika tukio hilo imepatikana kutoka kwa vijana. Kwenye kamera hiyo zimekutwa picha na picha jongefu yaani video, video bado inafanyiwa uchunguzi ingawa picha hizo zinathibitisha kuwa walikuwa wanaruka kutoka reli moja hadi nyengine. Mwaka uliopita vijana wawili walipoteza maisha baada ya kuzama kwenye mto uliokuwa na maji mengi walipokuwa wakipiga selfie. TeknoKona tunashauri kuchukua tahadhari pale tunapokuwa tunapiga picha za selfie. les rencontres intergУЉnУЉrationnelles Chanzo: BBC Tazama Viti Vinavyojipanga (Self-parking) vyenyewe... Mtoto wa miaka 10 kutengeneza roboti itakayokuwa i... Ifahamu TV ya 4K Ambayo Inabamba Zaidi Ya HD Uwezekano wa kurudisha uhai kwa marehemu! #Teknolo... 581f3b148000c2c43d6b1646556ded12 Ni Mhariri Msaidizi na mtaalamu wa mambo yanayohusu kompyuta. Pia ni mmoja wa wafuasi wakubwa katika teknolojia; Dunia ya sasa inaendeshwa kwa teknolojia. Wasiliana nami kupitia |[email protected]| http://www.industries3r.com/albiol/976 Comments are closed. fort benning ga dating Weka anuani ya barua pepe yako ili uweze kupata taarifa za OFA na makala mapya moja kwa moja kwenye Inbox.
2018-05-24T13:56:02
http://teknokona.com/wafariki-wakipiga-picha-ya-selfie-mbele-ya-treni/
[ -1 ]
DOWNLOAD OFX Afrika Kusini Mageuzi FSX & P3D - Rikoooo Ukubwa 1.66 GB Downloads 9 515 Kuundwa 11 12--2015 07: 24: 00 OFX Amerika ya Kusini Mageuzi kutoa na wewe mpya kweli 10 m usahihi matundu na landclass kamili ya Amerika ya Kusini kufunikwa 18.118.032 km², pia ni pamoja na nchi ya Amerika ya Kati. Amerika ya Kati Nchi (Mesh / Landclass): Panama, Costa Rica, Nicaragua na El Savador Amerika ya Kusini (Mesh / Landclass): Argentina, Bolivia, Brazil, Chile, Colombia, Ecuador, Kifaransa, Guyana, Paraguay, Peru, Surinam, Trinidad na Tobago, Uruguay, Venezuela. (Pamoja Falkland kisiwa hicho, Galápagos) Utoaji wa mazingira tofauti: Andes, msitu Mlima, Pampa, Desert, Rock mazingira, misitu Tropical, mazao ya kilimo, Volcano, gorofa mazingira. Hii nchi 18 10 na m matundu usahihi. Baadhi mji aliongeza na landclass kama Ushuaia Download na ufungaji maelezo download Hii ni nzito sana 1.66 GBkama wewe siJumbomwanachama kutarajia kusubiri masaa mengi ya muda download .. scenery Hii ilikuwa imegawanywa katika sehemu 3, baada ya kushushaunzip kila kitu katika folder na bonyeza ofx_south_america_evolutionexekuanza ufungaji moja kwa moja. OFX Amerika ya Kusini Mageuzi FSX & P3D download Mkono: 45 031 Mkono: 59 301 Mkono: 5 011 Mkono: 9 336 Mkono: 4 569 Mkono: 23 933 Mkono: 40 943 Mkono: 67 676
2018-01-20T09:28:34
http://www.rikoooo.com/sw/downloads/viewdownload/68/802
[ -1 ]
Mradi mkubwa wa kusafisha fukwe za bahari waanzishwa nchini India | Masuala ya Jamii | DW | 21.11.2017 Mradi mkubwa wa kusafisha fukwe za bahari waanzishwa nchini India Mtu huyo ameanzisha mradi mkubwa zaidi wa kusafisha fukwe za bahari duniani. India ina ukanda wa Pwani wa zaidi ya kilomita 7000, lakini cha kusikitisha, sio fukwe zote nchini humo zenye muonekana wa kuvutia. Na kwa hakika wakaazi wa mji wa Mumbai wamezifanya fukwe hizo sio zaidi ya majaa ya takataka. Fukwe hizo zimejaa takataka - mifuko ya plastiki ya rangi mbali mbali , chupa na vifurushi vya chakula vimetapakaa kila mahali, mara nyingi huingizwa katika nyavu za zamani za uvuvi au vitambaa vya kuoza. Watu wengi wameghadhabishwa na hali hiyo, wakiwa na hasira kwa serikali ya jiji kwa kutosafisha au kwa wale ambao wanatupa ovyo taka. Kutokana na hali hiyo mwanamume mmoja ameamua kuacha kulalamika na badala yake, amechukua hatua mikononi mwake. Kwa siku za kawaida Afroz Shah mwenye umri wa miaka 36, hufanya kazi kama mwanasheria wa katiba katika mahakama kuu ya Mumbai. Lakini inapofika wikendi, anasafisha fukwe. Yote haya yalianza miaka miwili iliyopita, alipohamia katika nyumba moja iliyokuwa ikielekea upande wa fukwe ya bahari ya Versova mjini Mumbai. Alikuwa ameishi katika eneo hilo tangu utotoni akicheza kwenye fukwe hiyo, kwahivyo alifurahia kurudi huko. "Mimi ni mpenzi wa bahari,” amesema. "kuwa karibu na maji kunanipa amani,na kunanipa furaha.” Lakini muonekana wa fukwe hiyo anaouona kutokea dirishani kwake haukuwa ule alioutarajia. Aligundua kwamba kwenda matembezini kunatoa taswira mbaya ya eneo hilo kutokana na uchafu na takataka zilizorundikana.Anasema eneo hilo la bahari sio tu lina takataka za plastiki lakini pia limesheheni kinyesi kwasababu uchafu wa kutoka mabomba ya maji taka hutupwa kwenye bahari hiyo. Kuwa mabadiliko ya unachokitaka Shah hakuogopa, akifuata falsafa ya Gandhi ya "kuwa mabadiliko ya unachokitaka,” alianzisha alichokiiita "Shram Daan” inayomaanisha kujitolea kufanya kazi kwajili ya taifa lako. Jirani yake mwenye umri wa miaka 84 alikubali kujiunga naye. Makundi ya watu wajitolea kusafisha fuo ya bahari Asubuhi moja, wawili hao walikwenda ufukweni na mifuko ya plastiki na glavu za mikononi ili kukusanya takataka. Watu waliwatazama. "Baadhi ya watu walitucheka na wengine walituuliza kwanini tunafanya kazi ya serikali?” anakumbuka. Wengine wakapendekeza awasilishe malalamiko au kuishtaki serikali. Shah aliendelea tu. Hiyo siku, walijaza mifuko miwili mikubwa ya takataka kwenye ufukwe huo. Polepole, watu zaidi wakaanza kujiunga nao. Leo hii kiasi ya watu 300 wanajitolea na kuja kusafisha kila jumamosi na jumapili. Msaada wao umebadilisha kazi hiyo iliyoanzishwa na Shah kuwa mradi mkubwa zaidi wa usafi duniani. Kujitolea kwake katika kazi hii kumemfanya amebandikwa jina la bingwa wa umoja wa mataifa wa dunia. "Zaidi ya asilimia 80 ya uchafu ndani ya maji unatoka ardhini,” amesema Doug Woodring, mwanzilishi wa muungano wa kufufua bahari. "ikiwa tunaendelea kuijaza bahari na taka, itaendelea kuturudishia kwa mawimbi na upepo.” Duniani, tani milioni nane za plastiki huingia baharini kila mwaka, hasa kwa njia ya vifaa vya ufungaji, chupa, sigara. "Uzalishaji wa plastiki duniani umeongezeka mara mbili zaidi ya miaka kumi na tano iliyopita, ikifikia zaidi ya tani milioni mia tatu kwa mwaka,” amesema Gerhard J. Herndi, profesa na mwenyekiti wa biolojia ya majini katika chuo kikuu cha Vienna. Wakati takataka nyingi za fukwe jijini Mumbai hutoka baharini, nyingi hutoka kwa wenyeji. Hivyo lengo la pili la Shah ni kuongeza ufahamu kuhusu matumizi ya plastiki kwa kuihusisha jamii. "Kusafisha fukwe kutokana na taka za plastiki kwa hakika ni njia ya kwanza ya kufanya fukwe ivutie tena, lakini muhimu zaidi inatoa uelewa wa kutotupa plastiki katika mazingira, anasema Herndl. Katika ufuo wa bahari wa Versova, wadogo kwa wakubwa, tajiri kwa masikini sasa wameungana bega kwa bega kufanya usafi na kuokota plastiki, wenyewe wakiona athari za kutupa plastiki. Shah na wenzake walojitolea tayari wamekusanya zaidi ya tani 7,000 za takataka na serikali ya jiji sasa inatuma vifaa vya kuchimba na matrekta kusaidia kusafirisha plastiki kwenye eneo la ugawishaji wa taka, ambapo chochote kinachoweza kutumika kinatolewa. Kando na kazi yake, Shah huandaa warsha katika vyuo na shule, mashirika yasiokuwa ya kiserikali zinamkaribisha kuzungumza juu ya athari za plastiki na utupaji taka. Mwandishi: Fathiya/Sachdev Chhavi/DW Maneno muhimu Mumbai, India, mazingira Kiungo https://p.dw.com/p/2o0hm Nyota wa Bollywood Salman Khan atoka jela kwa dhamana 07.04.2018
2018-12-17T08:22:09
https://www.dw.com/sw/mradi-mkubwa-wa-kusafisha-fukwe-za-bahari-waanzishwa-nchini-india/a-41471786
[ -1 ]
Pazia la Bundesliga linafungwa rasmi-Aufiderzen, bonasi kubwa! - MTAA KWA MTAA BLOG Home HABARI MICHEZO Pazia la Bundesliga linafungwa rasmi-Aufiderzen, bonasi kubwa! Pazia la Bundesliga linafungwa rasmi-Aufiderzen, bonasi kubwa! MICHUZI BLOG June 26, 2020 HABARI MICHEZO, Meridianbet inatarajia ushindi kwa timu ya nyumbani - Leverkusen odds 1.30, na 1.33 kwa Monchengladbach. Pia unaweza kuunganisha na idadi ya magoli, ambayo itazidisha nafasi yako ya kushinda sana. Posted by MICHUZI BLOG at June 26, 2020 Ernest 26 June 2020 at 16:23:00 GMT+3 Kesho sio mchezo ndani ya Bundesliga Neema juma 26 June 2020 at 16:32:00 GMT+3 BUNDESLIGA ni noma Unknown 26 June 2020 at 16:44:00 GMT+3 Jamani msimu mpya wa Bundesliga uakuwaje? Hope 26 June 2020 at 17:12:00 GMT+3 Mechi kalii Unknown 26 June 2020 at 17:38:00 GMT+3 Duuh nilikua sifahamu kumbeeee Ester jackson 26 June 2020 at 18:00:00 GMT+3 Mambo kesho itakuwa si mchezo Gabriel 26 June 2020 at 18:42:00 GMT+3 Unknown 26 June 2020 at 18:59:00 GMT+3 Jamvi safii linahusika maana sio kwa michezo ya bundersliga Rehema Saidi 27 June 2020 at 00:41:00 GMT+3 Elika 27 June 2020 at 07:51:00 GMT+3 Mechi zote zimejiandaa vizur sana Unknown 27 June 2020 at 11:19:00 GMT+3 Mda wa kubeti ndio huu sasa Unknown 27 June 2020 at 11:35:00 GMT+3 Hii imekaa poa sana Isaya massawe 27 June 2020 at 12:38:00 GMT+3 Mechi hizi za mwisho ndo mechi za hela #meridianbettz Ester mmakasa 27 June 2020 at 19:17:00 GMT+3 Bundesliga ndo habari ya mjini. Ccelez 28 June 2020 at 00:20:00 GMT+3 Meridian naona mambo sio mabaya Saupha mohamed 28 June 2020 at 00:40:00 GMT+3 Mambo mazuriii Unknown 28 June 2020 at 00:40:00 GMT+3 Mambo kazurii Juliana 28 June 2020 at 11:08:00 GMT+3 Unknown 28 June 2020 at 15:44:00 GMT+3 Mambo mazuri KUMBUKUMBU July (54) June (44) May (42) April (62) March (50) February (25) January (44) December (72) November (87) October (220) September (216) August (113) July (240) June (190) May (244) April (255) March (319) February (344) January (376) December (356) November (356) October (414) September (418) August (240) July (329) June (335) May (330) April (292) March (337) February (252) January (332) December (376) November (471) October (506) September (498) August (586) July (471) June (420) May (530) April (416) March (482) February (400) January (473) December (414) November (493) October (283) September (344) August (569) July (552) June (401) May (378) April (393) March (499) February (531) January (501) December (579) November (385) October (656) September (653) August (509) July (381) June (392) May (353) April (298) March (329) February (228) January (201) December (254) November (204) October (260) September (251) August (287) July (239) June (195) May (202) April (214) March (150) February (214) January (238) December (235) November (199) October (233) September (251) August (283) July (266) June (306) May (303) April (259) March (268) February (227) January (242) December (280) November (228) October (240) September (212) August (265) July (306) June (317) May (287) April (216) March (177) February (179) January (217) December (217) November (196) October (204) September (240) August (174) July (193) June (193) May (178) April (177) March (167) February (106) January (136) December (136) November (141) October (142) September (179) August (151) July (144) June (130) May (137) April (129) March (206) February (152) January (91) December (123) November (124) October (108) September (135) August (149) July (95) June (73) May (54) April (74) March (48) December (1) November (22) October (66) September (70) August (89) July (117) June (115) May (81) April (60) March (8) February (95) January (76) December (59) November (75) October (97)
2020-07-09T00:17:30
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2020/06/pazia-la-bundesliga-linafungwa-rasmi.html
[ -1 ]
MREMBO SASHA ACHIKICHIA MAHARI NA AINGIA MITINI | Lemutuz Home Entertainment MREMBO SASHA ACHIKICHIA MAHARI NA AINGIA MITINI MREMBO SASHA ACHIKICHIA MAHARI NA AINGIA MITINI Sasha alisema mwanaume huyo aliyemtaja kwa jina moja la Boniphace amejikuta akishindwa kuendelea naye sababu ya wivu, amekuwa akimuonea wivu picha anazoposti mtandaoni na kumtaka asitumie mitandao ya kijamii, jambo ambalo hayupo tayari kukubaliana nalo. Previous articleIGP SIRRO AZUNGUMZA NA ASKARI WA VIKOSI VYA MJINI MAGHARIBI,KUSINI NA KASKAZINI UNGUJA JANA Next articleNGUZA NA WANAYE WATINGA KATIKA SHEREHE ZA MAPINDUZI YA ZANZIBAR MREMBO HAMISA MOBETTO AKATAA MAJINA YA INSTAGRAM 132,481FansLike STAA ZARI ANUNUA GARI MPYA 2018 KUWAONYESHA JEURI YA PESA Baada ya kununua Mercedes mpya Model ya 2017 mara b... 514 views RAPA CHIDI BENZ AKAMATWA TENA NA MADAWA Msanii wa Hip Hop nchini Rashid Makwiro 'Chid Benz an... 473 views BREAKING NEWS: NECTA YATANGAZA MATOKEO YA KIDATO CHA PILI NA DARALA LA NNE BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza matok... 300 views MAMA MOBETO AFUNGUKA KUPORWA BWANA NA BI SANDRA KWA siku kadhaa kumekuwa na ubuyu mzito kuwa, mwanaum... 292 views Magazeti283 LIVE STRAIGHT TALK51
2018-01-17T23:32:04
https://lemutuz.com/2018/01/12/mrembo-sasha-achikichia-mahari-na-aingia-mitini/
[ -1 ]
KUTOKA KWENYE MAGAZETI YA TANZANIA, HARDNEWS JUMATATU JANUARI 23/2017 YAKIWA NA VICHWA VIKUU VYA HABARI | MTANDA BLOG Home / magazeti / slider / KUTOKA KWENYE MAGAZETI YA TANZANIA, HARDNEWS JUMATATU JANUARI 23/2017 YAKIWA NA VICHWA VIKUU VYA HABARI KUTOKA KWENYE MAGAZETI YA TANZANIA, HARDNEWS JUMATATU JANUARI 23/2017 YAKIWA NA VICHWA VIKUU VYA HABARI Juma Mtanda 8:14 AM magazeti , slider Edit
2017-08-21T11:51:41
http://jumamtanda.blogspot.com/2017/01/kutoka-kwenye-magazeti-ya-tanzania_64.html
[ -1 ]
155. NGOKO YA NG’WANA ITAMILAGA IGINO | Sukuma Legacy Project 155. NGOKO YA NG’WANA ITAMILAGA IGINO Imbuki ya lusumo lunulo ililola ngoko iyo ilinasusu iyo igajilishaga tamu mpaga giguta, haho itali iyoyi ugulya. Ingoko yiniyo igajidilililaga tamu isusu jayo, huna yalya nayo ahanuma. Ulusumo lunulo lugatumamilagwa kubhabyaji abho bhagabhalishaga, na gub’alela chiza abhana bhabho. Ili nghana gitumo dugabhonelaga umuwikaji wize bho bhuli lushigu, igiki, ingoko iyo ilina susu, igatucholelaga ijiliwa utususu toyo, bho nduhu ugulya tamu iyoyi. Alilomela, UPadri Joseph G. Healey, umujitabho jakwe ijo jihayile, “KUENEZA INJILI KWA METHALI.” “Gutananya nhulu ja wiza bho sumo.” Uk. 34. Abhasukuma, bhagatumilaga ulusumo lunulo umuguzenga nholo ya gwifunya jisambo kunguno ya bhanhu bhangi, nonono abhobhadidulile. Ukujigemelo ijawiza, ija guitimija iyiniyo, ni ngoko iyoigajilanghanaga isusu jayo ijo jidamanile ugulimila ilishinu. Ubhulangwa ubhutale umu lusumo lunulo bhuli “bhulanghani ubho bhalinabho abhabyaji ukubhana bhabho.” Ingoko guti mayu, igacholaga makanza gose ijiliwa ja gujilisha isusu jayo. Amakanza ayo ikomile gupandika nulu lishinu, idalilyaga, aliyo igalilekaga kugiki isusu jayo jigalilye. Ingoko yiniyo, igizunilijaga duhui aho isusu jayo, jamalaga ugulya. Ulu jumala gwituta isusu, huna nu mayu ojo ng’wunuyo, agicholegaga ginhu ja gulya ng’winikili. Umyaji ng’unuyo agalekaga ugwiiganikila ng’winikili tamu, mpaga ulu yujiganikila tamu isusu jayo. Inhungwa yiniyo iya ngoko, ilijigongwa numa nu lusumo ulo luhayile giki, “Uli ng’wana o mbata, ib’egejage ng’winikili.” Ulusumo lunulo, lulilanga mingi ukubhabyaji. Ili milimo yabho, ugubhalanga abhana bhab’o bho gub’inha bhugota, gubhasomisha, na gub’inha nhungwa jawiza, jiliwa, myenda na yingi mingi. Ijinaguitimija iyiniyo ukubhana bhabho, guli nimo go bhabyaji uguleka nhungwa guti ja gung’wa walwa wingi, guzwala majizwalo ga mahela mingi, na gangi ayo gikolile na genayo. Ubhulingisilo bho gwita giko, ili kihamo na golecha bhutogwa bhobho ukubhana bhabho na kubhose abho bhadidulile umuwikaji bhobho, abho bhalilomba wambilijiwa. Bhadulile ugubhalela chiza abhana bhabho bho gugaleka amatumiji ayo gadigalazima kugiki bhatimije unimo gogubhadilila abhana bhabho, mpaga nabho bhakule bhali na nhungwa ja wiza. Ijinagongeja, ulusumo lunulo lulilanga bhanhu higulya ya kuleka wimi ng’holo bhogwidilila bhoyi duhui, aliyo, bhabhadilile abhobhalilomba wambilijiwa. Inhungwa guti yiniyo, idulile gwenha wizang’holo bho gubhalela chiza abhana bhose abha muchalo, bho nduhu gulola igiki, uyo aling’wana ong’wa nani, nulu alifumila ha kaya iliginehe. SWAHILI: KUKU MWENYE VIFARANGA HAMEZI FUNZA (NYUNGUNYUNGU) Chanzo cha methali hii kilaangalia kuku mwenye vifaranga ambaye huhakikisha kwamba vifaranga wamwepata chakula, kabla ya yeye mwenyewe kula. Kuku huyo huwajali kwanza wale watoto ndipo anakula na yeye mwenyewe baadaye. Methali hiyo hutumika kwa wazazi ambao huwalisha, na kuwatunza kwa kuwalea vizuri watoto wao. Ni kweli kama tunavyoona katika maisha yetu ya kila siku, kwamba, kuku mwenye vifaranga huwa anawatafutia watoto wake chakula bila kula yeye mwenyewe kwanza. Aeleza Pd. Joseph G. Healey, kwenye kitabu chake kisemacho “KUENEZA INJILI KWA METHALI.” uk. 34. Wasukuma hutumia methali hiyo katika kujenga moyo wa kujitolea sadaka kwa ajili ya wengine hasa wale wasiojiweza. Mfano mzuri wa kutekeleza hilo ni kuku ambaye huwatunza watoto wake wachanga, ambao hawawezi kumeza mdudu. Mandhali kuu ya methali hiyo ni “Utunzaji walionao wazazi kwa watoto wao.” Kuku kama mama, hutafuta daima chakula ili kuwalisha vifaranga vyake. Wakati apatapo chakula, kama vile mdudu, hamli lakini humuacha kwa ajili ya watoto wake. Kuku huyo kuridhika tu baada ya vifaranga vyake kula. Baada ya watoto wake kushiba, basi ndipo naye mama huyo huchukua kitu fulani kwa ajili yake mwenyewe. Mama huyo huacha kujifikiria mwenyewe kwanza, badala yake huwafikiria kwanza watoto wake. Tabia hiyo ya kuku huenda kinyume na methali ya kisukuma isemayo, “Uli mwana o mbata ib’egejage.” Maana yake, “wewe ni mtoto wa pata, jitegemee mwenyewe.” Methali hiyo, hufundisha mengi kwa wazazi. Ni wajibu wao, kwa mfano, kuwahudumia watoto wao kwa kuwapa mahitaji ya afya, elimu na tabia nzuri, chakula, nguo na mahitaji mengine. Ili kutimiza majukumu hayo kwa watoto wao, ni muhimu kwa wazazi kuacha tabia ya kujishughulisha na mambo fulani katika maisha yao, kama vile, kunywa bia nyingi, kuvaa nguo za gharama kubwa, nk. Lengo la kufanya hivyo, ni pamoja na kuutekeleza upendo wao kwa watoto wao na kwa wale wanaohitaji msaada wao, kwa kuwatunza. Wataweza kuwalea vyema watoto wao kwa kuacha matumizi yasiyoyalazima ili walitekeleze jukumu la kuwajali zaidi watoto wao kwa ajili ya kuwawezesha kukua katika maadili mema. Zaidi ya hayo, methali hiyo hufundisha watu juu ya kuacha ubinafsi kwa kuwajali wahitaji katika jamii. Tabia kama hiyo huweza kuleta ukalimu wa kuwalea watoto wote pale walipo bila kujali kwamba, mtoto fulani ni wa nani, au anatoka kwenye familia gani. ENGLISH: THE HEN WITH BABY CHICKS DOESN’T SWALLOW THE WORM. An inspiring Sukuma proverb in Tanzania on sacrifice and self-denial is The hen with baby chicks doesn’t swallow the worm. Its main theme is “Parental Care.” The mother hen is constantly looking for food to feed her chicks. When she does find some food, for example a worm, she doesn’t eat it but leaves it for her chicks. Only after the chicks have eaten and been satisfied will the mother hen take something for herself. In contrast to the hen, the mother duck doesn’t provide for her ducklings. She let’s them fend for themselves. See the Sukuma proverb Uli ng’wana wa mbata ibegejage (You are the child of a duck; take care of yourself). Similar African proverbs are When a woman is hungry she says: “Roast something for the children that they may eat” (Akan, Ghana). No matter how skinny, the son always belongs to his father (Galla, Ethiopia). The cows never run away from her calves (Bemba, Zambia). The porcupine lovingly licks her spinney (thorny) offspring (Oromo, Ethiopia). The child who stays near his or her mother does not fall into the trap (Chewa, Malawi/Zambia). The mother hen does not break its own eggs (Swahili, Eastern Africa). The umbilical cord and strap in which the cord is wrapped is like mother and child (Ganda, Uganda). Parents can learn much from this proverb. It is their obligation to care for their children by providing what is necessary for their health, education and right conduct — food, clothing and other needs. To fulfill their obligations to their children, it is necessary for parents to be self-sacrificing and forego certain things in their lifestyle, for example, excessive beer drinking, wearing expensive clothes, etc. An important aspect of African proverbs is their participatory nature that fits in very well with relationship and community values. Sometimes a preacher or teacher gives the first half of the proverb and the congregation or audience responds with the second half: Unity is strength…division is weakness. The hen with baby chicks…doesn’t swallow the worm. The second half is the advice that the speaker wants the audience to accept so he or she “maneuvers” the listeners so that the words come from their own lips. Posted in Sukuma Proverbs and tagged Folklore, heritage, proverbs, Riddles, sayings, Songs, stories, Sukuma, Tanzania on December 2, 2018 by Sukuma legacy. Leave a comment ← 154. NIGO GWA GWIPANJA 156. LWINZI LWA NHUB’ANILWA →
2019-11-12T12:48:38
https://sukumalegacy.org/2018/12/02/155-ngoko-ya-ngwana-itamilaga-igino/
[ -1 ]
Ipo Siku Utakutana Na Mtu Atakayekuonyesha Jinsi Upendo Wa Kweli Ulivyo - Elizabeth David Ipo Siku Utakutana Na Mtu Atakayekuonyesha Jinsi Upendo Wa Kweli Ulivyo elizabeth David August 18, 2017 0 2 163 views Ipo siku utakutana na mtu tofauti na ulivyozoea kuona au kusikia. Haitakuwa kwa sababu ya tabasamu lao au ucheshi wao au kwa jinsi ya kuongea kwao au kusema majina yao. Ni kwa sababu ya njia itakayo kufanya wewe ujisikie tofauti. hutaogopa kupenda na kupendwa. Siku moja utakutana na Upendo utakaoufurahia. Hutaweza kufikiria mara mbili. Hutaweza kuwa na wasiwasi kwamba anakupenda au hakupendi. ‘Utafahamu tu. Kwa mtu huyu hutaweza kuficha tabia yako. hutaficha madhaifu yako na usumbufu wako. hutakuwa na mawazo ya itakuwaje kama ata kupandia kichwani. hutakuwa na maswali ya kujua muhimu wake na hutakuwa na labda. Wakati ukikutana na mtu huyu hutaingiwa na woga. hutaweza kufikiri fikiri kitu chochote. hutaweza kufikiria upendo wake kwako. Na wakati anaposema hawezi kwenda mahali , utafahamu kuwa ni kweli. Wakati huo hutasikia kukosa kitu ndani ya moyo wako, hutasikia upweke, hutaweza kusikia chochote kinyume na upendo uliopo. Ipo siku , mtu fulani atabadilisha maisha yako. kwa sababu atakuonyesha upendo wa kweli ni upi na maana ya upendo ni nini, unaonekanaje. Atakuonyesha kuwa upendo hauna mwisho. na hutamkimbia , na hutaweza kutaka faida zaidi. hutapigwa na wala kupata maumivu yasio na msingi. Ipo siku Hutaogopa kupata maumivu. Hutaogopa kuacha tena. kwa kupoteza kipande cha moyo wako na roho yako. hutaogopa tena kutoa na kutoa upendo wako . Siku moja utapumua kwa urahisi kwa kufahamu kuwa huyo mtu hataondoka . Utapumua vizuri kwa kujua kwamba upendo huo utadumu. Huyo mtu hatakutelekeza na wala hataweza kukukimbia. Utafahamu toka moyoni mwako kwamba upendo huo hautakuumiza. Utaweza kuishi, kucheka, kulia na kupumua kwa urahisi ukiwa pembeni ya mtu huyo. Utajifahamu na kujiona vizuri. Utaweza kumuonyesha makovu, na vidonda ulivyonavyo na kwa kuwa vimepona. Utaweza kumuonyesha mtu huyo moyo wako wote kwa kujua kuwa hawezi kukuacha. Ipo siku utajikuta unaamka mikononi mwake, ukiwa karibu yake kwa upendo , katika maisha yako. hutakuwa na wasiwasi . hutaogopa. hutasikia uzito wa kupumua tena. Utahisi upendo ndani yako. mwisho utagundua Upendo halisi. Washirikishe wengi. Tags mahusiano NDOA uchumba upendo wa kweli Kama Unampenda Kweli, Usingeweza Kumwacha Aende Tengeneza Tabia Za Mafanikio Thanks love u ever Mungu akupe Haja Ya Moyo Wako Sikudhany
2018-10-18T16:45:49
http://lizzdavid.com/ipo-siku-utakutana-na-mtu-atakayekuonyesha-jinsi-upendo-wa-kweli-ulivyo/
[ -1 ]
Mradi wa (pamoja na vijana) unafanywa na tume ya waandishi wa habari katika chuo kikuu cha Kufa. Miongoni mwa miradi inayo fanywa na kituo cha kiislamu cha masomo ya kimkakati chini ya kitengo cha habari na utamaduni cha Atabatu Abbasiyya tukufu na wenye mwitikio mkubwa ni mradi wa (pamoja na vijana), unaoangalia matatizo na changamoto za kitamaduni, kidini na kiitikadi kwa vijana, pamoja na kuangalia namna ya kuzitatua na kuwafanya wawe macho daima, sambamba na kuwaongezea maarifa mbalimbali, miongoni kwa vipengele vya mradi huo ni kushirikiana na wanafunzi wa vyuo vikuu katika kufanya maradi mbalimbali. Kama ilivyo fanyika katika chuo kikuu cha Kufa, ambacho kilikua mwenyeji wa mkutano wa kamati ya waandishi ya habari, na washiriki wa mkutano huo ni wanafunzi pamoja na wakufunzi wao. Mkutano ulilenga kujenga uwezo wa wanafunzi wa uandishi wa habari kupitia mihadhara iliyotolewa na walimu waliobobea katika mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na aina za habari zinazo weza kuathiri jamii, na namna ya kupanga habari kwenye gazeti, pamona na namna ya kuandaa habari ya kwenye luninga (tv), sambamba na kuandaa vipindi vya kwenye luninga (tv) na redio, na kuangalia vipaji vya sauti, mambo yanayo saidia mustakbali wa wanafunzi kielimu, na kuwafungulia fursa mpya baada ya kuhitimu kwao. Kumbuka kua mkutano huu umetokana na mawasiliano ya moja kwa moja na vijana na kuwapa fikra kuhusu mradi huu na mingine yenye lengo la kuinua uwezo wao katika nyanja tofauti. Ufuatiliaji na uhariri: kamati ya wahariri wa mtandao wa kimataifa Alkafeel.
2020-03-28T22:09:06
https://alkafeel.net/news/index?id=8393&lang=sw
[ -1 ]
Sura ya 42 | INJILI YA KUSHUKA KWA UFALME Sijui kama watu wameona mabadiliko yoyote katika tamko la leo. Huenda watu wengine wameona kidogo, lakini hawathubutu kusema kwa kweli. Labda wengine hawajatambua chochote. Mbona kuna tofauti kubwa sana hivyo kati ya siku ya kumi na mbili na ya kumi na tano ya mwezi? Umetafakari hili? Maoni yako ni gani? Umeelewa chochote kutokana na matamko yote ya Mungu? Ni kazi gani kuu iliyofanywa kati ya tarehe mbili Aprili na tarehe kumi na tano Mei? Mbona, leo, watu wanaonekana hawana habari, wamekanganywa kama kwamba walikuwa wamegongwa na rungu kichwani? Leo, mbona hakuna safu zinazoitwa “Kashfa za Watu wa Ufalme”? Tarehe mbili na tarehe nne za Aprili, Mungu hakuonyesha hali ya mwanadamu; vilevile, katika siku kadhaa baada ya leo Hakuonyesha hali ya watu—mbona hivyo? Kwa hakika kuna fumbo kuhusu hili—kwa nini kulikuwa na mgeuko kabisa? Hebu kwanza tuzungumze kidogo kuhusu kwa nini Mungu alinena hivyo. Hebu tuyaangalie maneno ya Mungu ya kwanza, ambayo kwayo Hakupoteza wakati kusema “Punde tu kazi mpya inapoanza.” Sentensi hiyo inakupa fununu ya kwanza kwamba kazi ya Mungu imeingia katika mwanzo mpya, kwamba Ameanza kazi mpya kwa mara nyingine. Hili linaonyesha kwamba kuadibu kunakaribia kumalizika; inaweza kusemwa kwamba kilele cha kuadibu tayari kimeingiwa, na kwa hiyo lazima watu wautumie vizuri wakati wao ili kukamilisha kazi ya enzi ya kuadibu, ili waepuke kubaki nyuma, au kuanguka. Hii yote ni kazi ya mwanadamu, na inahitaji kwamba mwanadamu afanye kila awezalo kushirikiana. Wakati ambapo kuadibu kumeondolewa kabisa, Mungu anaanza kuanzisha sehemu inayofuata ya kazi Yake, kwani Mungu asema, “… Nimeendelea kutekeleza kazi Yangu miongoni mwa wanadamu…. Wakati huu, moyo Wangu umejaa furaha kuu, kwani Nimepata sehemu ya watu, na kwa hiyo ‘biashara’ Yangu haiko tena katika hali ya kuporomoka, si maneno matupu tena.” Katika nyakati zilizopita, watu waliona mapenzi ya Mungu ya dharura katika maneno Yake—hakuna uwongo ndani ya hili—na leo Mungu anafanya kazi Yake kwa kasi kuu zaidi. Kwa mwanadamu, hili halionekani kulingana kabisa na matakwa ya Mungu—lakini kwa Mungu, kazi Yake tayari imemalizika. Kwa kuwa mawazo ya watu ni magumu sana kueleweka, fikira yao kuhusu mambo mara nyingi huwa yenye utata mno. Kwa kuwa watu wanadai mengi kutoka kwa watu, lakini Mungu hamdai mwanadamu mengi sana, inaonyesha jinsi tofauti kati ya Mungu na mwanadamu ilivyo kuu. Dhana za watu huwekwa wazi katika yote ambayo Mungu hufanya. Sio kwamba Mungu huwadai watu makuu na watu hawawezi kuyafikia, lakini kwamba watu humdai Mungu makuu na Mungu hawezi kuyatimiza. Kwa sababu, baada ya matibabu, kuna athari ya ugonjwa wa awali ndani ya mwanadamu, ambaye amepotoshwa na Shetani kwa miaka elfu kadhaa, watu daima wamemtaka Mungu atende mambo “makuu” kama hayo, na hawana huruma hata kidogo, wakiogopa sana kwamba Mungu hapendezwi. Hivyo, katika mambo mengi, kama watu hawawezi kufanya kazi, wanavumilia kujiadibu, na kuvumilia athari za matendo yao wenyewe, na hayo ni mateso matupu. Kuhusu taabu inayovumiliwa na watu, zaidi ya asilimia 99 inadharauliwa na Mungu. Kusema waziwazi, hakuna mtu ambaye ameteseka kweli kwa ajili ya Mungu. Wote huvumilia athari za matendo yao wenyewe—na hii hatua ya kuadibu, bila shaka, si tofauti, ni mwiba wa kujidunga, ambao anachukua na kujidunga. Kwa kuwa Mungu hajafichua kusudi la asili la kuadibu Kwake, ingawa kuna sehemu ya watu ambao wamelaaniwa, hili haliwakilishi kuadibu. Sehemu ya watu wamebarikiwa, lakini hili halina maana kwamba watabarikiwa katika siku za baadaye. Kwa watu, inaonekana kwamba Mungu ni Mungu asiyetimiza neno Lake. Usijali. Huenda haya yakawa yamepita mipaka, lakini usiwe hasi; Ninachozungumzia kina uhusiano fulani na kuteseka kwa mwanadamu, lakini Nafikiri lazima uunde uhusiano mwema na Mungu. Lazima umpe “zawadi” nyingi zaidi, hilo bila shaka litamfurahisha. Naamini kwamba Mungu huwapenda wanaompa “zawadi.” Unasema nini, maneno haya ni sahihi? Kufikia sasa, mmeacha kiasi gani cha matarajio yenu? Kazi ya Mungu itamalizika hivi punde—kwa hiyo lazima muwe mmeacha takribani matarajio yenu yote, sivyo? Mnaweza hata hivyo kujichunguza: Mnapenda kila mara kujiamini, mkijisifu na kujitangaza—hii ni nini? Leo, bado Sijui matarajio ya watu ni gani? Kama watu kweli wanaishi wakiwa wamezingirwa na bahari ya mateso, wanapoishi katikati ya utakaso wa taabu, au chini ya tishio la vifaa mbalimbali vya mateso, au wanapoishi wakati wa kukataliwa na watu wote na kutazama angani na kutanafusi kwa uzito, katika mawazo yao nyakati kama hizi wanaweza, labda, kuyaacha matarajio yao. Hii ni kwa sababu watu hutafuta paradiso ya kufikirika katikati ya kutokuwa na matumaini, na hakuna mtu ambaye katika hali za starehe amewahi kuacha ufukuziaji wake wa ndoto nzuri. Hii huenda ikawa ndoto, lakini Ningependa kwamba hili silo jambo lililo ndani ya mioyo ya watu. Je, bado mnataka kunyakuliwa mkiwa hai? Je, bado mnataka kubadilisha umbo lenu katika mwili? Sijui kama mna maoni sawa, lakini kila mara Nimehisi kwamba hii ni ndoto—mawazo kama haya huonekana ya kupita kiasi sana. Watu husema mambo kama haya: Acha matarajio yako, kuwa wa kweli. Unataka watu waachane na mawazo ya kubarikiwa—lakini wewe je? Wewe hukanushi mawazo ya watu ya kubarikiwa na wewe mwenyewe unatafuta baraka? Huwaruhusu wengine kupokea baraka lakini wewe unazifikiria kwa siri—hilo linakufanya kuwa nini? Tapeli? Unapofanya hivyo, dhamiri yako haishutumiwi? Ndani ya moyo wako, huhisi kuwa na deni? Je, wewe si mdanganyifu? Unachimbua maneno yaliyo ndani ya mioyo ya wengine, lakini husemi lolote kuhusu yaliyo moyoni mwako—wewe kweli ni kipande cha takataka kisicho na thamani! Nashangaa mnachofikiria ndani ya mioyo yenu mnapozungumza—hamngeweza kushutumiwa na Roho Mtakatifu? Hili halifadhaishi hadhi yenu? Kweli hamjui kinachowafaa! Inadhihirika kwamba nyinyi nyote ni kama Bw. Nanguo—ninyi ni walaghai. Si ajabu Mungu aliweka “kujitolea” ndani ya “wote wako radhi ‘kujitolea’” katika mabano. Mungu anamfahamu sana mwanadamu, na haijalishi jinsi udanganyifu wa mwanadamu ulivyo wa kijanja—hata asipofichua chochote, uso wake haubadiliki rangi kuwa mwekundu, moyo wake hauendi kasi—macho ya Mungu yanang'aa, kwa hiyo mwanadamu kila mara amekuwa na tatizo kuepuka kuangaza macho kwa Mungu. Ni kana kwamba Mungu ana mwanga wa eksirei na anaweza kuziona sehemu zilizo ndani ya mwili wa mwanadamu, kana kwamba Anaweza kufahamu watu wana aina gani ya damu bila upimaji. Hekima ya Mungu ni kama hiyo, na haiwezi kuigwa na mwanadamu. Kama asemavyo Mungu, “Kwa nini Nimefanya kazi nyingi sana, lakini hakuna thibitisho lake ndani ya watu? Je, kwani Sijatia bidii ya kutosha?” Ushirikiano wa mwanadamu na Mungu una upungufu mno, na inaweza kusemwa kwamba kuna mengi sana yaliyo hasi ndani ya mwanadamu, na watu huwa na matumaini yoyote kwa shida sana, wao huwa nayo kiasi kidogo mara chache tu, lakini yametiwa doa sana. Hili linaonyesha tu watu wanampenda Mungu kiasi gani; ni kana kwamba kuna sehemu mia kwa milioni ya kumpenda Mungu ndani ya mioyo yao, kati ya hiyo asilimia 50 bado imetiwa doa, ndiyo maana Mungu anasema hapati thibitisho lolote ndani ya mwanadamu. Ni kwa sababu ya kutotii kwa mwanadamu hasa ndio sauti ya matamko ya Mungu ni katili sana na isiyo na huruma. Ingawa Mungu haneni na mwanadamu kuhusu nyakati ambazo zimepita, watu kila mara hutaka kukumbuka ya kale, ili kujionyesha mbele ya Mungu, na wao kila mara hutaka kuzungumza juu ya nyakati ambazo zimepita—lakini Mungu hajawahi kuchukulia jana ya mwanadamu kama leo; badala yake, Yeye huwashughulikia watu wa leo kwa kutumia leo. Huu ni mtazamo wa Mungu, na katika hili, Mungu ameyasema maneno haya kwa dhahiri, ili kuwazuia watu kusema katika siku zijazo kwamba Mungu hafikirii mno, kwani Mungu hafanyi mambo ya kupita kiasi, bali huwaambia watu ukweli, watu wasije wakakosa kuweza kusimama imara—kwani mwanadamu, hata hivyo, ni mnyonge. Baada ya kuyasikia maneno haya, unasemaje kuyahusu: Je, uko radhi kusikia na kutii, na kutoyafikiria zaidi? Yaliyo hapo juu yako nje ya mada, haijalishi kama yanazungumziwa au la. Natumai hamtakuwa tofauti, kwa sababu Mungu hufanya hii kazi ya maneno, na Hupenda kuzungumza kuhusu kila kitu chini ya jua. Lakini Natumai bado mtayasoma, na hamtapuuza maneno haya, Sawa? Mngefanya hivyo? Ilisemwa tu kwamba katika maneno ya leo Mungu amefichua habari mpya: Mbinu ambayo kwayo Mungu hufanya kazi iko karibu kubadilika. Kwa hivyo, ingekuwa bora kulenga mada hii motomoto. Inaweza kusemwa kwamba matamko yote ya leo yanatabiri masuala ya siku za baadaye, yanahusu Mungu kufanya mpango kwa ajili ya hatua inayofuata ya kazi Yake. Mungu karibu amemaliza kazi Yake ndani ya watu wa kanisa, baadaye Atatumia ghadhabu kuonekana mbele ya watu wote. Kama asemavyo Mungu, “Nitawafanya watu walio duniani wakubali mambo Yangu, na mbele ya ‘kiti cha hukumu,’ matendo Yangu yatathibitishwa, ili yakubalike miongoni mwa watu walio kote duniani, ambao watasalimu amri.” Je, uliona chochote ndani ya maneno haya? Humu mna muhtasari wa sehemu inayofuata ya kazi ya Mungu. Kwanza, Mungu atawafanya walinzi wote wanaotawala kwa nguvu za kisiasa waridhike kabisa na wajiondoe katika jukwaa la historia, kutowahi kupigania hadhi tena au kufanya hila na kula njama. Kazi hii lazima itekelezwe kwa njia ya Mungu kusababisha mabaa mbalimbali duniani. Lakini Mungu hataonekana; kwa sababu, wakati huu, nchi ya joka kubwa jekundu bado itakuwa ni nchi ya uchafu, Mungu hataonekana, lakini ataibuka tu kwa njia ya kuadibu. Hiyo ndiyo tabia ya Mungu yenye haki, na hakuna anayeweza kuiepuka. Katika wakati huu, vyote vinavyoishi katika taifa la joka kubwa jekundu vitapitia maafa, ambavyo kwa kawaida ni pamoja na ufalme ulio duniani (kanisa). Huu ndio hasa wakati ambao ukweli hujitokeza, na kwa hiyo unapitiwa na watu wote, na hakuna anayeweza kuepuka. Hili limejaaliwa na Mungu. Ni kwa sababu ya hatua hii ya kazi hasa ndio Mungu asema, “Huu ndio wakati wa kutekeleza mipango mikuu.” Kwa sababu, katika siku za baadaye, hakutakuwa na kanisa duniani, na kwa ajili ya majilio ya machafuko, watu hawawezi kufikiria kuhusu kitu chochote kingine, na ni vigumu kwao kumfurahia Mungu katikati ya machafuko, hivyo, watu wanatakiwa kumpenda Mungu kwa moyo wao wote katika wakati huu wa ajabu, ili wasikose nafasi. Ukweli huu unapopita, Mungu amelishinda kabisa joka kubwa jekundu, na hivyo kazi ya ushuhuda wa watu wa Mungu imefika mwisho; baadaye Mungu ataanza hatua inayofuata ya kazi, Akifanya uharibifu kwa nchi ya joka kubwa jekundu, na hatimaye kuwagongomelea watu juu chini msalabani kotekote katika ulimwengu, baadaye Atawaangamiza wanadamu wote—hizi ni hatua za siku za baadaye za kazi ya Mungu. Hivyo, mnapaswa kufuatilia kujaribu kumpenda Mungu katika mazingira haya ya amani. Katika siku za baadaye hamtakuwa na nafasi zaidi za kumpenda Mungu, kwani watu huwa tu na nafasi ya kumpenda Mungu katika mwili; wanapoishi katika ulimwengu mwingine, hakuna atakayenena kuhusu kumpenda Mungu. Je, hili si jukumu la kiumbe aliyeumbwa? Kwa hiyo unapaswa kumpenda Mungu vipi katika siku zako za uhai? Umeshawahi kufikiri juu ya hili? Je, unangoja mpaka ufe ili umpende Mungu? Je, haya si maneno matupu? Leo, kwa nini hufuatilii kumpenda Mungu? Je, kumpenda Mungu huku ukiwa na shughuli nyingi kunaweza kuwa upendo halisi wa Mungu? Madhumuni ya kusema kwamba hatua hii ya kazi ya Mungu itafika mwisho hivi punde ni kwa sababu Mungu tayari ana ushuhuda mbele ya Shetani; hivyo, hakuna haja ya mwanadamu kufanya lolote, mwanadamu anatakiwa tu kufuatilia kumpenda Mungu katika miaka ambayo yuko hai—hili ndilo jambo muhimu. Kwa sababu masharti ya Mungu si mengi, na, zaidi ya hayo, kwa kuwa kuna hamu kuu ndani ya moyo Wake, Amefichua muhtasari wa hatua inayofuata ya kazi kabla ya hatua hii ya kazi kumalizika, ambalo linaonyesha kwa dhahiri kuna kiasi gani cha muda: kama Mungu hangekuwa na hamu ndani ya moyo Wake, je, Angeyanena maneno haya mapema hivyo? Ni kwa sababu muda ni mfupi ndio maana Mungu anafanya kazi kwa njia hii. Inatarajiwa kwamba mnaweza kumpenda Mungu kwa mioyo yenu yote, kwa akili zenu zote, na kwa nguvu zenu zote, kama tu vile mnavyotunza maisha yenu wenyewe. Je, haya siyo maisha yenye maana kuu zaidi? Ni wapi pengine ambapo mngeweza kupata maana ya maisha? Je, huko hakungekuwa kutoweza kutambua kabisa? Uko radhi kumpenda Mungu? Je, Mungu anastahili upendo wa mwanadamu? Je, watu wanastahili ibada ya mwanadamu? Kwa hiyo unapaswa kufanya nini? Mpende Mungu kwa ujasiri, bila kusita—na uone kila ambacho Mungu atakufanya. Uone kama Atakuchinja. Kwa muhtasari, kazi ya kumpenda Mungu ni muhimu zaidi kuliko kunukuu na kuandika mambo kwa ajili ya Mungu. Unapaswa kukipa kipaumbele kilicho muhimu zaidi, ili maisha yako yawe na maana zaidi na yajae furaha, na kisha unapaswa kusubiri “hukumu” ya Mungu kwako. Nashangaa iwapo mpango wako utahusisha kumpenda—Ningependa kwamba mipango ya watu wote iwe ile inayokamilishwa na Mungu, na iwe ya uhalisi. Iliyotangulia:Sura ya 41 Inayofuata:Sura ya 44 na 45
2020-01-24T14:01:15
https://sw.kingdomsalvation.org/interpretation-of-the-forty-second-utterance.html
[ -1 ]
Wasichana Safari movie download movie online kuangalia online 2017 Film Girls Trip movie download bora na 1080p Kamili HD Online. Sisi kuwakaribisha kutembelea tovuti yetu telechargerfilm24.com Angalia filamu ya karibuni Girls Trip 2017. ajabu filamu. kila siku, utapata katika mpya Streaming yetu ya kwanza ya filamu. jamii bora kwa kusikilizwa wa sinema ya juu. Tunatoa filamu na katika “AVI” aU “mP4”. Film étonnant, qui est un souvenir de la vie d’un groupe d’amis, parce que c’est un film pour les femmes n’oublie pas. Tunatoa karibuni katika sinema super quality. Kujiunga kikundi chetu cha watazamaji sasa! Best muigizaji muigizaji na wahusika bora. Date de Girls Trip film télécharger full movie pato 13 Desemba 2017 . Girls Trip 2017 manukuu, Film Girls Trip 2017 msomaji,
2018-07-20T06:37:25
http://telechargerfilm24.com/sw/girls-trip-film-telecharger-online/
[ -1 ]
Matukio na Wanavyuo: MPYA KABISA: NAFASI ZA KAZI KUTOKA TANAPA, OMBA SASA MPYA KABISA: NAFASI ZA KAZI KUTOKA TANAPA, OMBA SASA 1.0 MHIFADHI WANYAMAPORI DARAJA LA III – (NAFASI 100) Nafasi hizi ni kwa ajili ya Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii. 1.1 MAJUKUMU YA KAZI Kufanya doria ndani na nje ya maeneo ya hifadhi Kudhibiti vitendo vya ujangili nje na ndani ya hifadhi Kusimamia shughuli za uwindaji wa kitalii na utalii wa picha Kulinda binadamu na mali zake dhidi ya Wanyamapori Kukusanya na kulinda Nyara za Serikali Kufanya usafi na ulinzi wa kambi Kusimamia uingiaji na utokaji wa watu na mali zao kwenye hifadhi Kukusanya na kutunza vielelezo vya ushahidi na kutoa ushahidi Mahakamani Kukagua wanyamapori kwenye mashamba na mazizi ya wanyamapori na kukusanya takwimu zao Kusimamia taratibu za kusafirisha wanyamapori hai na nyara nje na ndani ya Nchi Kudhibiti wanyamapori waharibifu Kudhibiti moto kwenye hifadhi Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa zinazoendana na taaluma yake 1.2 SIFA ZA MWOMBAJI Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha IV au kidato cha VI wenye Astashahada ya Uhifadhi Wanyamapori (Technician Certificate in Wildlife Management) kutoka Chuo cha Taaluma ya Wanyamapori Pasiansi au chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali. 1.3 MSHAHARA Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS B2 kwa mwezi. 2.0 MHIFADHI WANYAMAPORI DARAJA LA III – (NAFASI 327) Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha IV au kidato cha VI wenye Astashahada ya Awali ya Uhifadhi wa Wanyamapori (Basic Technician Certificate in Wildlife Management) kutoka Chuo cha Taaluma ya Wanyamapori Pasiansi au chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali. Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS B1 kwa mwezi. 3.0 MHIFADHI WANYAMAPORI DARAJA LA II – (NAFASI 10) kusimamia uwindaji wa kitalii na utalii wa picha kulinda Nyara za Serikali Kusimamia usafirishaji wa wanyamapori na nyara nje na ndani ya Nchi Kusimamia matumizi ya magari ya doria Kukagua wanyamapori kwenye mashamba na mazizi ya wanyamapori na kutunza takwimu zao Kuratibu uingiaji wa wageni katika Mapori ya Akiba Kudhibiti moto katika hifadhi Kukusanya takwimu za wanyama na mimea kwenye hifadhi Kuajiriwa wahitimu wa kidato cha IV au kidato cha VI wenye Stashahada ya Uhifadhi Wanyamapori (Diploma in Wildlife Management) kutoka Chuo cha Usimamizi Wanyamapori Mweka au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali. Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS C kwa mwezi. MASHARTI YA JUMLA KWA KAZI ZOTE. iv. Nafasi ya kazi inayoombwa iandikwe katika kichwa cha habari cha barua na juu ya bahasha, kutozingatiwa hili kutasababisha maombi ya kazi kuwa batili. vi. Maombi yote yaambatane na vyeti vya taaluma, nakala za vyeti vya kidato cha nne na kidato cha sita kwa wale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika. Viambatanisho hivyo vibanwe sawa sawa kuondoa uwezekano wa kudondoka au kupotea. - Shahada ya juu/Shahada/Stashahada ya juu/Stashahada/Astashahada. - Cheti cha Kompyuta - Picha moja “Passport size” ya hivi karibuni iandikwe jina kwa nyuma. vii. “Transcripts”, “Testmonials”, “Provisional Results”, “Statement of results”, hati matokeo za kidato cha nne na sita (FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS) HAVITAKUBALIWA. x. Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika utumishi wa umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba, 2010. xii. Mwisho wa kupokea barua za maombi ni tarehe 15 Aprili, 2014 xiv. Waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika (TCU na NECTA). xv. Maombi yanaweza kuandikwa kwa Lugha ya Kiswahili au Kiingereza na yatumwe kupitia posta kwa anuani ifuatayo;- Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, SLP.63100, P.O.Box 63100
2017-10-20T08:54:41
https://tzwanavyuo.blogspot.com/2014/04/mpya-kabisa-nafasi-za-kazi-kutoka.html
[ -1 ]
Pete Za Masonic Immoring Hazina Uhusiano Wowote Na Kuabudu Masheitwani | MPEKUZI Pete Za Masonic Immoring Hazina Uhusiano Wowote Na Kuabudu Masheitwani Imeandikwa na: Dokta Mungwa Kabili -0744 000 473. Maneno yaliyo zagaa mitaani kwamba eti watu wanao vaa pete za Masonic Immoring ni waabudu sheitwani hayana ukweli wowote. Ikitokea mtu maarufu ameonekana akiwa amevaa pete hizo basi moja kwa moja watu wataanza kumuhusisha na habari za kuabudu masheitwani. Maneno hayo ni uzushi mtupu na ambao hauna mashiko yoyote katika ulimwengu wa kiroho. Watu wanao eneza uzushi huo ni watu wenye ufahamu mdogo sana kuhusu imani za jadi, imani za siri, imani za kale na ulimwengu usio onekana ( ulimwengu wa kiroho ) kwa ujumla. Pete za Masonic Immoring ni pete ambazo zimekuwa zikitumiwa na wanadamu toka enzi na enzi . Kwa wewe ambae bado una shikilia imani kwamba Masonic Immoring ni pete za kisheitwani, nakushauri ufanye utafiti wako vizuri. Ukifanya utafiti wako vizuri utagundua kwamba pete hizi zilikuwa zikivaliwa hadi na wafalme wenye kuheshimika sana katika vitabu vyote vitakatifu. Watu wanao dai kwamba wavaaji wa pete za Masonic Immoring ni waabudu shetani, wana toa hoja dhaifu kwamba watu wote wanao jihusisha na uvaaji wa pete za Masonic Immoring huwa ni watu wenye mafanikio makubwa sana katika maisha ikilinganishwa na watu wanao fanya kitu kile kile kinacho fanywa na watu wenye kuvaa pete hizo za Masonic Immoring. Kwamba kama ni mwanamuziki basi anakuwa juu sana kuliko wana muziki wenzake wanao fanya aina ya muziki ule ule anao ufanya yeye, kama ni mfanya biashara basi biashara yake inapata mafanikio makubwa sana kuliko wafanya biashara wenzake ambao wanafanya biashara kama ile ile anayo ifanya . Mifano ipo mingi sana. Hata hivyo hoja hii ni dhaifu sana kwa sababu mali na mafanikio vyote vinatoka kwa Mungu kwa sababu yeye ndio ameumba Dhahabu, Almasi,Fedha na vitu vyote vinavyo onekana na visivyo onekana. Ina maana gani kuwapa utukufu masheitwani kwa kazi ambayo imefanywa na Mungu mwenyewe. Kwani ina maana Mungu hawezi kumfanya mtu awe tajiri au apate mafanikio ? SIRI YA PETE MASONIC IMMORING NI MOJA TU : Pete za Masonic Immoring zimetengezwa kwa madini na vito vinavyo kaliwa na majini wazito wazito, wajini wakubwa, majini watukufu na walio katika daraja za juu kabisa katika ufalme wa kijini, majini wa kifalme. Unapo ivaa pete ya Masonic Immoring unakuwa umeunganisha nyota yako na nguvu ya majini wanao kalia madini ,mawe na vito vilivyo tumika kutengeneza Masonic Immoring. Hivyo unapokuwa umevaa pete ya Masonic Immoring unakuwa umeingia katika agano rasmi la kiroho la kuunganisha nafsi/nyota yako na nguvu ya majini hao kwa kuwaingiza majini hao katika mfumo wa nyota yako na maisha yako kwa ujumla. Nyota yako inaanza kusafiri kwa kufuata kasi ya mkondo wa nyota za majini hawa wa kifalme kwa sababu tayari nyota yako inakuwa imeunganishwa na nyota ya majini hawa na kuwa kitu kimoja. Katika hili la nyota yako kusafiri katika mkondo wa nyota ya majini hawa watukufu mfanano wake ni rahisi sana. Yani ni kama vile wewe kijana ambae umezaliwa na kukulia kijijini kwenye maisha ya tabu halafu ghafla ukapata bahati ya kuajiriwa na mwanamuziki mkubwa anae safari sana katika nchi mbalimbali duniani . Nchi ambazo hujawahi kuota kufika. Utaanza kusafiri na mwanamuziki huyo katika nchi hizo. Kilicho fanya wewe ufike katika nchi hizo ni nyota ya mwanamuziki huyo. Kwamba kwa sababu yeye ni mwanamuziki mkubwa na anae pata mialiko ya kutumbuiza kwenye nchi mbalimbali, na kwa sababu wewe labda umepata kazi ya kuwa mpiga picha wake, au mwandishi wake, basi utakuwa na wewe unasafiri katika nchi hizo na mwanamuziki huyo. Kwa lugha nyingine utakuwa una safiria nyota ya mwanamuziki huyo. Vivyo kuhusu pete ya Masonic Immoring. Unapo vaa pete ya Masonic Immoring basi unaanza kusafiria nyota ya majini wanaokaa kwenye madini, mawe na vito vilivyo tumika kutengeneza Immo Ring. Kiuhalisia kabisa wewe hukustahili kusafiri katika nchi hizo lakini umestahilishishwa kwa sababu ya agano lako na mtu anae stahili kusafiri katika nchi hizo. Majini hawa wana sifa moja kuu, kwanza huwa hawakai na kitu chochote kichafu kama majini wa baharini, kwa hiyo kama utakuwa na kitu chochote kichafu ndani ya mwili wako,uwe umetupiwa uchawi, majini /mapepo wachafu/mizimu mibaya, kijicho au kifungo chochote kile cha kichawi ndani ya mwili wako, vitu vyote hivyo vitafukuzwa ndani ya mwili wako kwa sababu majini wanao kaa kwenye vito,madini na mawe yaliyo tumika kutengeneza Masonic Immoring huwa hawakai na kitu kichafu. Majini hawa watafukuza shari zote ndani ya mwili wako na kuvuta heri zote katika maisha yako sambamba na kuzuia shari yoyote ile iliyo elekezwa kuja kwenye mwili wako. Majini wanao kaa ndani ya vito na madini yaliyo tumika kutengeneza Masonic Immoring hawapendi uchafu na hawakai na vitu vichafu. Ndio maana basi mtu anae vaa pete hii, huwa haruhusiwi kunywa pombe huku pete ikiwa kidoleni, au pombe ikiwa mwilini. Haruhusiwi kufanya zinaa huku akiwa ameivaa pete hii tukufu na haruhusiwi kujisafisha baada ya kumaliza haja kubwa huku pete ikiwa kidoleni kwa sababu pete hii huvaliwa mkono wa kushoto. Ilhali mwanamke haruhusiwi kuvaa pete hii akiwa kwenye siku zake. Na mtu yoyote Yule awe mwanamke au mwanaume baada ya jimai anatakiwa kukoga kwanza kabla ya kuivaa tena pete hii. Pete zote za Immoring zina alama kama inavyo onekana hapo juu, kwa hiyo kwa mtu yoyote Yule atakae hitaji pete ya Masonic Immoring , kitu cha kwanza anacho takiwa kukitazama ni alama ya pete hiyo kama inavyo onekana pichani. Na kama unahitaji pete ya Masonic Immoring, basi wasiliana na Dokta Mungwa Kabili kwa simu namba 0744 000 473.
2019-02-19T15:34:02
http://www.mpekuzihuru.com/2018/05/pete-za-masonic-immoring-hazina_24.html
[ -1 ]
Ni kweli Vietnam wanakula nyoka? Majabvi wa klabu ya Simba ana majibu hapa (+Audio) – Millardayo.com Ni kweli Vietnam wanakula nyoka? Majabvi wa klabu ya Simba ana majibu hapa (+Audio) Kiungo mpya wa kimataifa wa Zimbabwe anayeichezea klabu ya Simba Justice Majabvi ambaye amewahi kucheza soka barani Ulaya na Asia katika nchi ya Vietnam kabla ya kutua Simba mchezaji huyo ana uzoefu wa kucheza soka ndani na nje ya Afrika. Kwa mujibu wa mchezaji huyo akizungumza na ripota wa millardayo.com alishare nasi stori kuhusu utamaduni wa watu wa Vietnam kuwa baadhi ya nchi za Asia wanakula,Chura, Nyoka na Mbwa. “Ndio ni kweli ni kawaida kwa Vietnam watu kula Nyoka, Mbwa, Paka ni kweli ni gharama kununua nyama hiyo hususani ya nyoka ipo juu sana bei yake, mara nyingi familia zinazojiweza ndio huwa wanakula sijui bei yake halisi lakini inafika dola 50 kwa kilo moja”>>> Justice Majabvi Unaweza uka bonyeza Play kumsikiliza Justice Majabvi ← Previous Story Matokeo ya Majimaji FC Vs The Might Elephant FC yapo hapa (Audio&Picha) Next Story → Man United Vs Club Brugge matokeo ni haya (Picha&Video)
2020-06-06T04:46:52
https://millardayo.com/majabvi2608/
[ -1 ]
KESSY NA NKANA YAKE KUNDI MOJA NA ZESCO, AL HILAL NA ASANTE KOTOKO SHIRIKISHO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE KESSY NA NKANA YAKE KUNDI MOJA NA ZESCO, AL HILAL NA ASANTE KOTOKO SHIRIKISHO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE Mwanzo > HABARI ZA NYUMBANI > KESSY NA NKANA YAKE KUNDI MOJA NA ZESCO, AL HILAL NA ASANTE KOTOKO SHIRIKISHO TIMU za Zambia, Zesco na Nkana FC zimepangwa pamoja katika Kundi C Kombe la Shirikisho Afrika baada ya droo iliyofanyika leo makao makuu ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) mjini Cairo, Misri. Mabingwa watetezi, Raja Club Athletic wamepangwa pamoja na wapinzani wao wa Morocco, RS Berkane na Hassania Agadir kwenye Kundi A, huku timu nyingine katika kundi hilo wakiwa ni mabingwa wa Kongo, AS Otoho. Hassan Kessy, wa kwanza kushoto walioinama amepangwa kundi moja na Zesco, Al Hilal na Asante Kotoko Katika droo hiyo ambayo mshambuliaji wa zamani wa kimataifa wa Cameroon, Patrick Mboma alisaidiana na Katibu Msaidizi wa CAF, Anthony Baffoe kupanga makundi, timu mbili za Tunisia, Etoile du Sahel na CS Sfaxien zimekutanishwa Kundi B pamoja na Enugu Rangers ya Nigeria na Salitas ya Burkina Faso. Item Reviewed: KESSY NA NKANA YAKE KUNDI MOJA NA ZESCO, AL HILAL NA ASANTE KOTOKO SHIRIKISHO Rating: 5 Reviewed By: Bin Zubeiry Sports - Online
2019-02-21T09:31:19
http://www.binzubeiry.co.tz/2019/01/kessy-na-nkana-yake-kundi-moja-na-zesco.html
[ -1 ]
PRISONS WAING'OA MBEYA CITY KOMBE LA TFF, WATINGA ROBO FAINALI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE PRISONS WAING'OA MBEYA CITY KOMBE LA TFF, WATINGA ROBO FAINALI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE Mwanzo > KOMBE LA TFF > PRISONS WAING'OA MBEYA CITY KOMBE LA TFF, WATINGA ROBO FAINALI Wachezaji wa Prisons wakishangilia baada ya kuitoa Mbeya City kwa penalti 3-2 kufuatia sare ya 1-1 katika mchezo wa 16 Bora Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Kombe la Azam Sports Federation Cup (ASFC) leo Uwanja wa Sokoine, Mbeya. Victor Hangaya wa Prisons akimtoka beki wa Prisons Wachezaji wa Prisons wakifurahia kwenda Robo Fainali ya Kombe la ASFC na kuendeleza ubabe kwa Mbeya City Item Reviewed: PRISONS WAING'OA MBEYA CITY KOMBE LA TFF, WATINGA ROBO FAINALI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
2020-03-29T21:53:18
http://www.binzubeiry.co.tz/2017/02/prisons-waingoa-mbeya-city-kombe-la-tff.html
[ -1 ]
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Atoa Maelekezo kwa Maafisa Ugani | JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Atoa Maelekezo kwa Maafisa Ugani Naibu Waziri wa Kilimo Omary Mgumba akisalimiana na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa Majaliwa alipowasili katika ukumbi wa Chuo cha Mipango kwa ajili ya kukutana na Maafisa Ugani wa nchi nzima leo Jijini Dodoma.Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Bilinith Mahenge na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo. *Awataka Wasimamie Mifumo Rasmi ya Ununuzi wa Mazao Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Dkt. Tixon Nzunda akisalimiana na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa Majaliwa alipowasili katika ukumbi wa Chuo cha Mipango kwa ajili ya kukutana na Maafisa Ugani wa nchi nzima leo Jijini Dodoma. Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Bilinith Mahenge na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa Majaliwa akitoa maelekezo kwa Maafisa Ugani kutoka katika Halmashauri zote nchini wakati akifungua kikao cha maafisa hao leo Jijini Dodoma. Takribani maafisa Ugani 700 wanakutana kwa siku mbili Jijini Dodoma kwa lengo la kujadili na kupanga mipango ya uboreshaji wa sekta za Kilimo, Mifugo na Uvuvi. Kulia ni Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina, Naibu Waziri wa Kilimo, Omary Magumba na Naibu Katibu Mkuu – TAMISEMI, Dkt. Tixon Nzunda. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo akizungumza katika kikao baina ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (wapili kulia) na Maafisa Ugani kutoka katika Halmashauri zote nchini wakati wa ufunguzi wa kikao hicho leo tarehe 12 Julai, 2018 Jijini Dodoma. Takribani maafisa Ugani 700 wanakutana kwa siku mbili Jijini Dodoma kwa lengo la kujadili na kupanga mipango ya uboreshaji wa sekta za Kilimo, Mifugo na Uvuvi. Kutoka kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge, Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina, Naibu Waziri wa Kilimo, Omary Magumba na Naibu Katibu Mkuu – TAMISEMI, Dkt. Tixon Nzunda. Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina akizungumza katika kikao baina ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (kulia) na Maafisa Ugani kutoka katika Halmashauri zote nchini wakati wa ufunguzi wa kikao hicho leo tarehe 12 Julai, 2018 Jijini Dodoma. Takribani maafisa Ugani 700 wanakutana kwa siku mbili Jijini Dodoma kwa lengo la kujadili na kupanga mipango ya uboreshaji wa sekta za Kilimo, Mifugo na Uvuvi. Naibu Waziri wa Kilimo, Omary Mgumba akizungumza katika kikao baina ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (wapili kulia) na Maafisa Ugani kutoka katika Halmashauri zote nchini wakati wa ufunguzi wa kikao hicho leo tarehe 12 Julai, 2018 Jijini Dodoma. Takribani maafisa Ugani 700 wanakutana kwa siku mbili Jijini Dodoma kwa lengo la kujadili na kupanga mipango ya uboreshaji wa sekta za Kilimo, Mifugo na Uvuvi. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilith Mahenge akizungumza katika kikao baina ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (kulia) na Maafisa Ugani kutoka katika Halmashauri zote nchini wakati wa ufunguzi wa kikao hicho leo tarehe 12 Julai, 2018 Jijini Dodoma. Takribani maafisa Ugani 700 wanakutana kwa siku mbili Jijini Dodoma kwa lengo la kujadili na kupanga mipango ya uboreshaji wa sekta za Kilimo, Mifugo na Uvuvi. Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi inayosimamia Maendeleo ya Kilimo Ukanda wa Nyanda za Juu Kusini (SAGCOT), Geoffrey Kirenga akitoa salama kwaniaba ya wadau wa sekta ya kilimo katika kikao baina ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (watatu kulia) na Maafisa Ugani kutoka katika Halmashauri zote nchini wakati wa ufunguzi wa kikao hicho leo tarehe 12 Julai, 2018 Jijini Dodoma. Takribani maafisa Ugani 700 wanakutana kwa siku mbili Jijini Dodoma kwa lengo la kujadili na kupanga mipango ya uboreshaji wa sekta za Kilimo, Mifugo na Uvuvi. Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Dkt. Tixon Nzunda akizungumza katika kikao baina ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (wa nne kulia) na Maafisa Ugani kutoka katika Halmashauri zote nchini wakati wa ufunguzi wa kikao hicho leo tarehe 12 Julai, 2018 Jijini Dodoma. Takribani maafisa Ugani 700 wanakutana kwa siku mbili Jijini Dodoma kwa lengo la kujadili na kupanga mipango ya uboreshaji wa sekta za Kilimo, Mifugo na Uvuvi. Mkurugenzi wa Uratibu wa Idara za Kisekta toka Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Dkt. Andrew Komba akifafanua jambo wakati wa kikao baina ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (hayupo pichani) na Maafisa Ugani kutoka katika Halmashauri zote nchini wakati wa ufunguzi wa kikao hicho leo tarehe 12 Julai, 2018 Jijini Dodoma. Takribani maafisa Ugani 700 wanakutana kwa siku mbili Jijini Dodoma kwa lengo la kujadili na kupanga mipango ya uboreshaji wa sekta za Kilimo, Mifugo na Uvuvi. Baadhi ya washiriki wa kikao baina ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (hayupo pichani) na Maafisa Ugani kutoka katika Halmashauri zote nchini wakifuatilia hotuba za viongozi mbalimbali wakati wa ufunguzi wa kikao hicho leo tarehe 12 Julai, 2018 Jijini Dodoma. Takribani maafisa Ugani 700 wanakutana kwa siku mbili Jijini Dodoma kwa lengo la kujadili na kupanga mipango ya uboreshaji wa sekta za Kilimo, Mifugo na Uvuvi. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa Majaliwa (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Baadhi ya washiriki wa kikao baina yake na Maafisa Ugani kutoka Halmashauri zote nchini mara baada ya ufunguzi wa kikao hicho leo tarehe 12 Julai, 2018 Jijini Dodoma. Takribani maafisa Ugani 700 wanakutana kwa siku mbili Jijini Dodoma kwa lengo la kujadili na kupanga mipango ya uboreshaji wa sekta za Kilimo, Mifugo na Uvuvi. (Picha zote na: Frank Shija) ← HESLB Kupokea Maombi ya Mkopo Hadi Julai 31 Taasisi za Dini Ziwekeze Kwenye Viwanda – Waziri Mkuu →
2018-09-21T06:21:54
http://blog.maelezo.go.tz/waziri-mkuu-kassim-majaliwa-atoa-maaelekezo-kwa-maafisa-ugani/
[ -1 ]
Ivo Mapunda aivua ubingwa Uganda…. | 22nd January 2018 Last update at 6:00 pm Ivo Mapunda ameivua ubingwa Uganda na kuiingiza Stars nusu fainali ya kombe la chalenji ambapo sasa itacheza na Kenya. Kenya walishinda katika robo fainali nyingine dhidi Rwanda iliyochezwa leo jioni kwenye Uwanja huohuo wa Manispaa unaobeba mashabiki 15000, kwa kuwafunga Rwanda goli 1:0. Uganda iliutwaa ubingwa huo mwaka jana mjini Kampala ikiwa haijafungwa bao hata moja kwenye mechi zake zote, Uganda ilikuwa inaelekea kutimiza rekodi hiyo lakini jana Stars ikatibua mambo. Awali kwenye mechi za makundi Uganda ilikuwa haijaruhusu bao lolote. Mapunda anayeichezea Gor mahia ya Kenya alipangua penalti tatu za Uganda ambayo kocha wake, Sredejovic Milutin ‘Micho’ alijitetea kwamba penalti hazina ufundi na wala Stars haijafanya cha ajabu.; “Hakuna cha ajabu kwenye penalti hakuna fundi.” Licha ya mwamuzi kutoka Somalia , Wish Wabarow kuonekana kuzidiwa na mchezo, mechi hiyo ilimalizika kipindi cha kwanza Stars ikiongoza mabao 2-1 huku ikishangiliwa na Uwanja mzima uliokuwa umetawaliwa na wakenya na Watanzania walioingia kupitia Lungalunga, Tanga. Mshambuliaji wa Uganda, Danny Serunkuma ndiye aliyefunga bao la kwanza dakika ya 16 akipiga shuti kali katikati ya mabeki wa Stars lakini dakika mbili baadae Mrisho Ngassa alisawazisha kwa shuti kali kutoka nje kidogo ya mstatili, likamshinda kipa Benjamin Ochan. Ngassa huyo huyo akapiga bao la pili kwenye eneo pacha dakika ya 38. Mchezo huo uligubikwa na aibu ya aina yake kutokana na kutokuwepo kwa wasaidizi wa msalaba mwekundu kwa kile kilichodaiwa kwamba hawajalipwa chao na Cecafa. Timu hizo zilishambuliana kwa kasi kipindi cha kwanza ambapo mastraika Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu waliipa shida Uganda ambayo kwa siku ya jana straika wake, Danny Serunkuma ndiye aliyeisumbua zaidi Stars. Kipindi cha pili dakika 52 Aboubakar Salum ‘Sure boy’ ambaye alikuwa akichezesha timu, alionyeshwa kadi nyekundu baada ya kumkanyaga beki wa kushoto wa Uganda, Godfrey Walusimbi. Ulimwengu na Samatta walipiga mashuti kadhaa langoni mwa Uganda ingawa jana haikuwa bahati yao, lakini katika hali ya kujiamini Ulimwengu alisogea kwenye mstari wa pembeni na kuliambia benchi la ufundi lisifanya mabadiliko ya haraka licha ya kwamba Stars walikuwa pungufu. Dakika ya 75 beki mrefu wa Uganda alifunga bao laini baada ya Ivo kuutema mpira wa krosi ya Wakiro Wadada. Kim Poulsen alimuingiza Athuman Idd kumiliki kiungo huku akimtoa Mrisho Ngassa ambaye katika mechi dhidi ya Burundi alitoa krosi ya goli kwa Samatta. Baada ya kumalizika kwa dakika 90 zilipigwa penalti ambapo Uganda ilikosa tatu na Stars ikakosa mbili. Penalti za Stars zilipigwa na Erasto Nyoni na Mbwana Samatta(walikosa), Amri Kiemba, Athuman Idd na Kelvin Yondani. Uganda walipiga Danny Walusimbi(alikosa),Emanuel Okwi, Aucho Khalid (alikosa),Hamis Kiiza na Serunkuma aliyekosa penati ya mwisho na kuivusha Stars. Ivo Mapunda ambaye alikuwa akishangiliwa na mashabiki wengi wa Kenya alisema; “Siamini kwamba tumeshinda, ni mungu tu. Mpira ulikuwa mgumu sana na tulicheza na timu ngumu ambayo tumeitoa kwa juhudi binafsi za wachezaji.” Stars ilipangwa hivi; Mapunda,Michael Aidani, Erasto Nyoni, Said Morad, Kelvin Yondani, Sure Boy,Mrisho Ngassa/Athuman Idd, Frank Domayo,Thomas Ulimwengu, Mbwana Samatta na Amri Kiemba. Uganda; Benjamin Ochan, Wakiro Wadada, Walusimbi, Kasaga Richard, Martin Mpuga, Aucho Khalid, Hamis Kiiza, Mpande Joseph, Kizito Godfrey, Okwi na Serumkuma. Tags: ivo, Kenya, Kilimanjaro Stars, mapunda, tanzania, TFF, Uganda
2018-01-22T06:11:52
https://www.tanzaniasports.com/2013/12/07/ivo-mapunda-aivua-ubingwa-uganda/
[ -1 ]
Jitahidini kushiriki katika mchakato wa ujenzi wa Ufalme wa Mungu - Radio Vatican Ufalme wa Mungu unasimikwa katika: kweli na uzima; Utakatifu na neema; Haki, amani na upendo. - RV Katika uhalisia wa ubinadamu wetu leo hii ipo kiu kubwa ya kutulizwa na uwepo wa Mungu na njaa ya kushibishwa na neno lake. Hii ni kwa sababu ulimwengu kinzani umetoa nafasi finyu kwa mwenyezi Mungu na kumtukuza zaidi mwanadamu. Tunashuhudia leo hii jinsi ambavyo mwanadamu anajitahidi kumtenganisha mwenyezi Mungu na maisha ya kawaida ya mwanadamu. Imani na tamaduni zetu zinatengwa kabisa kiasi kwamba hakuna muunganiko wa kile tunachokisikia katika nyumba za ibada na maisha halisia. Inakuwa sawa na livyosema mwandishi mmoja wa kiafrika kuwa: “Ewe mkristo mwafrika fukara unayevaa skapulari shingoni wakati umejifunga hirizi kiunoni”. Hali hii imemuingiza mwanadamu katika utumwa na mateso makubwa. Misiba na shuruba nyingi zinatokana na hali hiyo na hivyo kiu ya kuonja upendo wa Mungu inaongezeka siku hata siku. Katika hali hali hii sisi kama wanakanisa tunauona utume wetu wa kusia mbegu ya ufalme wa Mungu. Tunapaswa kuisia mbegu hiyo tukitambua kuwa inatoka kwa Mungu na Yeye mwenyewe ndiye atakayeikuza. Somo la kwanza linatupatia habari ya kuanza upya kwa taifa la Israeli baada ya utumwa wa Babeli. Nabii Ezekieli anatumia lugha ya picha inayoonesha kwa uwazi kabisa utendaji wa Mungu katika upya huo. Nabii Ezekieli anatoa utabiri wake wakati bado wakiwa utumwani Babeli, mahali ambapo waisraeli walipoteza hadhi kama taifa na hata kidini kukosa nafasi ya kuabudu sawasawa. Waisraeli waliingia katika hali hii baada ya kumuasi mwenyezi Mungu na kuacha kuzitii amri zake. Haya ni matokeo ya ukengeufu wao. Uaguzi huu unawainua tena; wale walionyenyekeshwa na kuwa wadogo kabisa watakuzwa upya. Huu ni uhakika kuwa kwa mwenyezi Mungu hakuna kilicho kidogo na kwa upande mwingine kwake hakuna kilichoharibika au kupotea kabisa kiasi cha kushindwa kurejeshewa hali yake. Ni uthibitisho wa upendo wa Mungu unaodumu milele. Mwanzo huu mpya unajionesha leo hii katika taswira ya Kanisa, chombo cha ukombozi wa mwandamu. Nabii Ezekieli analielezea Kanisa ambalo ni mwili wa Kristo kama ufalme ujao wa nyumba ya Daudi: “nami nitakitwaa kilele kirefu cha mwerezi … juu ya mlima wa mahali palipoinuka pa Israeli nitakipanda”. Kichipukizi hiki tangu kuanza kwake kilichipuka katika hali ya chini na duni kadiri ya macho ya kijamii. Jamii ya kiyahudi waliwaona kama watu wanaopotea na wasiodumu. Katika udogo na uduni huo Kanisa limeendelea kukua hadi leo. Hapa tunapaswa kuzama na kuona kilichodumu ni nini hasa; si uzuri wa majengo na ustadi wa taasisi zake bali ni neno la Mungu na imani thabiti. Hiki ndicho kinacholisimamisha Kanisa. Kazi ya Roho Mtakatifu ndani ya Kanisa inaendelea kufanya hai uwepo wa utajiri huu hadi leo. Ni ukumbusho sahihi kwetu kwamba kazi ya uinjilishaji inahitaji kupandikiza mbegu ya neno la uzima; na bila kutikiswa na udogo au udhaifu wake tuwe na matumaini tele kwani Mungu mwenyewe ndiye atakayeikuza. Injili ya leo inaonesha mambo kadhaa na inatupatia hakika ya ukuaji wa lile linalopandwa. Hata kama ukuaji wake haupo wazi lakini tutastaajabishwa na ukuaji wake. “Ufalme wa Mungu mfano wake ni kama mtu aliyemwaga mbegu juu ya nchi; akawa akilala na kuondoka, usiku na mchana, nayo mbegu ikamea na kukua, asivyojua yeye”. Kwa maneno mengine tunaalikwa kuwa na hali ya ustahimilivu, uaminifu, utulivu na matumaini. Mbegu imemea kwa sababu ni mbegu halisi iliyopandwa. Pia kwa hakika ni mbegu bora na imepandwa katika ukamilifu wake. Kazi ya uinjilishaji inatualika kwanza katika uaminifu wa kulifikisha neno la Mungu kama tulivyolipokea. Neno hili likipandwa hata kama halitaonekana au hata kama ni katika kundi dogo lina uhakika wa kumea. Pili tunaona kuwa namna mbegu inavyokuwa sisi hatufahamu lakini mwisho wa siku mbegu inakuwa. Huu ni uthibitisho wa utendaji wa Mungu katika kile chema ambacho kimeanzishwa kwa jina lake. Kwa maneno mengine tunaelekezwa katika ustahimilivu ambao hutupeleka katika ukomavu. Ni taadhari ya kuepuka hamu ya kuona mambo yanamea na kupendeza haraka haraka, hali ambayo utupeleka katika kukata tamaa kwani mara nyingi vitu vya namna hiyo huzimika ghafla kama moto nyikani. Ustahimilivu na hali ya matumaini hutoa nafasi ili mizizi ishike vizuri na baadaye kupata mmea ulio imara. Jambo lolote jema ambalo linaanza katika Mungu litawezeshwa na Mungu mwenyewe. Ufanisi wake haupimwi kwa vipimo vya kibinadamu kama kupata umaarufu na nguvu za kijamii bali ni katika kuufanya ukweli uenee na Ufalme wa Mungu kustawi. Ni changamoto kwa kizazi cha leo kinachovutika na mambo ya mlipuko na haraka haraka. Mambo mengi hayatoi fursa ya kutafakariwa vizuri, huanzishwa juu juu na mwisho wake hudumu kwa kitambo kidogo tu. Tukijiuliza sababu ya athari hii bado tunaliona suala la kumweka mwenyezi Mungu pembeni na kudhani kuwa sisi ndiyo asili na wawezeshaji wa yale tunayoyafanya. Hali hii hutushawishi kuingia katika mbinu ambazo mara zote hutoka kwa yule muovu, mbinu ambazo kwa hakika huvutia na kutia matumaini lakini kamwe hazilengi katika ukweli. Hizi ni zile mbinu ambazo hutafuta masuluhisho ya muda mfupi. Jamii yetu inapokumbana na changamoto nyingi ambazo kwa sehemu kubwa husababishwa na ukengeufu wa mwanadamu nafasi ya Mungu huwekwa kando katika kutafuta suluhisho lake. Njia za uovu hutumika kutafuta suluhisho la uovu. Ni vipi kipofu anaweza kumwongoza kipofu mwenzake? Tukirudi katika somo la kwanza tunaona jinsi ambavyo Waisraeli walianzishwa upya kwa mkono wa Mungu. Si wao waliojitoa utumwani bali ni Mungu mwenyewe ndiye anayewatoa na kuwafanya kustawi upya. Wema wote tulionao sisi wanadamu asili yake ni Mungu. Jambo jema tunalolianzisha linapaswa kuwa na Mungu kama asili yake. La muhimu kwetu ni uaminifu na uvumilivu ili likue na kumea na mwisho kutoa matunda. Ufalme wa Mungu “ni kama punje ya haradali … ingawa ni ndogo kuliko mbegu zote zilizo katika nchi, lakini ikiisha kupandwa hukua, ikawa kubwa kuliko miti yote ya mboga, ikafanya matawi makubwa”. Hatupaswi kuogopeshwa au kukatishwa tamaa na mwanzo wa jambo jema; pengine kwa udogo wake, udhaifu wake au upinzani unaolikabili. Mwisho wa siku kazi hii njema inayoanza na Mungu huzaa yaliyo mema. Mazao haya ni: “upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole na kiasi” (Gal 5:22 – 23). Mtume Paulo anaunganisha ukuuji wa imani yetu na matendo mema tungalipo hapa duniani ili mwishoni kuungana na Mungu huko juu mbinguni. Mtume anaiona hali yetu kimwili hapa duniani ni kama kuwa mbali na Mungu lakini hali hii katika imani inapaswa kutufikisha baadaye kuungana na Mungu. Mtume anatuambia: “Ikiwa tupo hapa, au ikiwa hatupo hapa, twajitahidi kumpendeza yeye”, yaani Mwenyezi Mungu. Anatuasa kuyatumia maisha haya kama njia ya kuifanya mbegu iliyopandwa ndani mwetu ikue na kufikia ukamilifu. Wajibu wetu katika maisha ya kimaadili unapaswa kurandanishwa ni hicho kilichopandwa ndani mwetu na kutupatia tumaini la kukutana na Mungu. “Kwa maana imetupasa sisi sote kudhihirishwa mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo, ili kila mtu apokee ijara ya mambo aliyoyatenda, kwamba ni mema au mabaya”. Ni wajibu wetu leo hii kuwa vyombo vya Mungu ili kuipanda mbegu njema ya ufalme wa Mungu. Tutafanya hivyo kwa mfano wa maisha yetu ndani ya familia zetu na katika huduma mbalimbali za kijamii. Katika uhalisia wa mwanadamu anayeteseka matunda ya Ufalme wa Mungu ni kitulizo cha kiu na shibe kwa njaa yao. Tuipande mbegu hiyo na kumpatia nafasi Mungu aikuze kwa kadiri ya mapenzi yake. Ukuu na Utakatifu wa Mungu Kanisa ni Sakramenti ya wokovu wa watu
2018-08-19T13:28:37
http://sw.radiovaticana.va/news/2018/06/12/jitahidini_kushiriki_katika_mchakato_wa_ujenzi_wa_ufalme_wa_mungu/1376017
[ -1 ]
ANGALIA TABIA ZA MWANAMKE ANAYEKUPENDA KIMAPENZI ANASHINDWA KUKUAMBIA - The Choice You are at:Home»Mahusiano»ANGALIA TABIA ZA MWANAMKE ANAYEKUPENDA KIMAPENZI ANASHINDWA KUKUAMBIA By choicetz on April 8, 2018 Mahusiano
2018-07-20T02:54:08
https://thechoicetz.com/angalia-tabia-za-mwanamke-anayekupenda-kimapenzi-anashindwa-kukuambia/
[ -1 ]
CCM YAIPONGEZA SERIKALI KURUDISHA NYUMA SUALA LA WANANCHI KULIPIA KODI LAINI ZA SIMU | SDM PRODUCTION MEDIA Home / Uncategories / CCM YAIPONGEZA SERIKALI KURUDISHA NYUMA SUALA LA WANANCHI KULIPIA KODI LAINI ZA SIMU GLORIA MATOLA - 11:45
2017-08-24T10:26:59
http://sdmproductionmedia.blogspot.com/2013/08/ccm-yaipongeza-serikali-kurudisha-nyuma.html
[ -1 ]
Ilikuaje: Nilifanyiwe mke nikiwa miaka 16 - Kiambu MCA Mercy Nungari Posted in Featured on homepage sliderTagged Ilikuaje news, kenya assembly news. MCA news, Massawe Japanni news, radiojambo news
2020-08-07T18:15:37
https://radiojambo.co.ke/ilikuaje-nilifanyiwe-mke-nikiwa-miaka-16-kiambu-mca-mercy-nungari/
[ -1 ]
welcome to samvande.blogspot.com: Tanzania:tatizo letu ni nini hasa? Tanzania:tatizo letu ni nini hasa? Je, tatizo ni Elimu? (kwamba wananchi wengi hawana, na vyombo vya habari pia vimo kwenye mkondo huo huo, mambo ya Mzumbe kwa mfano ya vyeti feki), Uzalendo?(viongozi na sisi sote), Rushwa? Uvivu wa Kufikiri? (Che Nkapa aliwahi kudai hivyo)au Siasa mbovu? Kutoheshimu Taaluma (ushauri wa kitaalam kutoka kwa wasomi na hasa wazalendo)? Je, mkazo tuweke wapi ili tujikwamue? Tanzania tuna viongozi wababaishaji wasio na uwezo wa kutekeleza maamuzi ya kiserikali au chama. Viongozi wengi hawajui kuongoza, ingawa wengi wanajifanya wanajua kutawala! Ni viongozi ambao hawajui kuthubutu au kuchukua maamuzi ambayo yatawaharibia sifa au umaarufu wao! Ni viongozi ambao hawapendi kumuudhi mtu au kumkasirisha mtu. Ushahidi wa hili ni habari za hivi karibuni kuwa WM amekataa ripoti ya maendeleo ya wilaya fulani huko Kigoma, kitu kilichosababisha viongozi wa wilaya za Iringa (atakakotembelea hivi karibuni kuanza kujihami. Kwa vile hawajui kuongoza, viongozi hawa uchwara wanajaribu kwa kila mbinu kujifanya wanajua kutawala! Ni kwa sababu hiyo basi, utakuta viongozi wanaishia kukaa maofisini, kuweka majalada sahihi, kuangalia taarifa wazisoweza kuzielewa n.k! Ni viongozi hao ambao wanasubiri aliyejuu yao kuwaonesha njia (kama alivyofanya WM) na ambao hawatendi kwa kufuata maamuzi yanayoeleweka. Ni kwa sababu hiyo utakuta basi, jambo ambalo inabidi lifanywe na Mkuu wa Wilaya linapelekwa kwa mkuu wa Mkoa ambaye naye kwa ufinyu na udhaifu wa uwezo wake wa uongozi atapiga simu ofisi ya Tawala za Mikoa kuomba maelekezo!! Ni viongozi hao ambao katika akili zao zilizodumaa kiuongozi wanaangalia suala fulani linamhusu mtu gani. Kwa viongozi hao, kuna haki ya watu mashuhuri na haki ya watu wa chini. Wanapokabiliana na tatizo wakiwa na mwenendo huo wa mawazo, utajikuta wanapinda sheria na wakati mwingine kuivunja kabisa! Migogoro ya ardhi kwa mfano, isingetokea kama haki ya watu wa chini ingekuwa inaonekana ni haki sawa na ile ya watu mashuhuri!! Viongozi wetu hawajui hilo. Akitokea bwana Rweyemamu ambaye ni mfanyabiashara mashuhuri na akataka kujenga kwenye eneo fulani pale Ilemela Mwanza, eneo ambalo linamilikiwa na mkulima Mzee Masanja kwa uhalali wake, basi kiongozi wetu atatumia uwezo wake wa kiutawala kuhakikisha kuwa Bw. Rweyemamu anapata eneo hilo!!! Bw.Masanja ataenda Polisi na Mahakamani kulalamikia jambo hilo. Akifika huko tatizo ni lile lile. Bi. Hakimu anaangalia hiyo kesi na kukuta kuwa inamhusu Bw. Rweyemamu ambaye ni mtu maarufu!! Kwa sababu anazozielewa yeye anatupilia mbali kesi ya Masanja. Miaka inaenda na kurudi hadi anapotokea kiongozi ambaye hajali sura za watu au hadhi zao! Kiongozi huyo anasema kwa halali eneo ni la Masanja!! Anamnyang'anya Rweyemamu kiwanja na kukirudisha kwa Masanja. Watu wanamuona mtu huyo mkombozi!!! Mfano huo unaweza kutumiwa mahospitalini, mashuleni, kwenye mikopo ya mabenki n.k! Kiongozi wa ngazi ya chini anayeonekana kufanya kazi vizuri haachwi huko. Kama ni hakimu mzuri, utasikia anapandishwa cheo na kuwa Jaji wa Mahakama ya juu, kama ni mwalimu atapelekwa Wizarani, kama ni Ofisa wa Polisi atapelekwa makao makuu n.k Halafu nafasi zao zinajazwa tena na manovisi!!! Gurudumu la maendeleo linaendelea kubiringishwa kinyumenyume!!
2017-10-19T01:28:25
http://samvande.blogspot.com/2009/04/tanzaniatatizo-letu-ni-nini-hasa.html
[ -1 ]
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA ATUNUKU SHAHADA NA STASHAHADA KATIKA MAHAFALI YA PILI YA CHUO CHA TAKWIMU MASHARIKI MWA AFRIKA ~ Blogu ya Wananchi May 2017 (1425)
2017-05-26T16:45:15
http://www.williammalecela.com/2016/11/makamu-wa-rais-mhe-samia-atunuku_19.html
[ -1 ]
Changamoto ya Kuanzia kwa Digital ya Afrika ya Kaskazini 2017 kwa Mwanzo wa Kiafrika (Euro 40.000 & Safari Zilizofanywa kwa Abidjan & Cape Town | Opportunities Kwa Waafrika Nyumbani Mashindano Digital Africa Startup Challenge 2017 kwa Startups ya Afrika (40.000 euro & ... Changamoto ya Kuanzia kwa Digital ya Afrika ya Kusini 2017 kwa Mwanzo wa Kiafrika (Euro 40.000 & Safari Zilizohamishwa kwa Abidjan & Cape Town Mwisho wa Maombi: Oktoba 22nd 2017 Kwa Siku ya kuzaliwa ya 40 ya Proparco, tanzu ya Agence Française de Développement (AFD, Shirika la Maendeleo la Kifaransa) ililenga sekta binafsi, AFD, Bipifrance na La Kifaransa Tech imezindua kwenye 19 Septemba toleo la pili la Digital Africa, ushindani wa mwanzo na innovation digital kusaidia maendeleo endelevu katika Afrika. Toleo la kwanza la Changamoto ya Digital ya Afrika, ilizinduliwa mnamo Oktoba 2016, imepokea zaidi ya maombi ya 500 na ilipatiwa startups ya kushinda ya 10 ambayo inawashawishi jopo la hukumu juu ya athari ya uvumbuzi wao. Kujenga juu ya mafanikio haya, AFD na Bpifrance waliamua kuimarisha uzoefu huo kwa kusudi la kutoa msaada wa muda mrefu kwa kuongezeka kwa mazingira ya kijinsia yenye ukomavu na imara, wanaosababisha fursa mpya za kiuchumi. Washindi wote wa kuanza kwa hili toleo la pili la changamoto ya Afrika ya Afrika watafaidika na kujulikana kwa juu na kufikia mtandao wa kimataifa wa washirika, wateja na wawekezaji. Watakuwa sehemu ya jumuiya inayokusanya vipaji bora vya innovation digital katika Afrika na Afrika, ili kushiriki uzoefu na mazoea mazuri. Vita vya ushindi vya Kifaransa vya 5 vitafuatana na Bifrance hadi pakiti ya msaada wa thamani ya Euro ya 10.000 ili kuimarisha utaalamu wao na kuendeleza fursa mpya katika bara la Afrika: mafunzo ya Université, Bonde la Ufafanuzi na Utambuzi wa Abidjan na Cape Town na jamii ya wajasiriamali wa Kifaransa katika Viwango vya Kifaransa Tech. Kwa toleo hili la pili la Afrika ya Kaskazini, startups inakaribishwa kupendekeza miradi ya ubunifu inayohusishwa na Malengo ya Maendeleo ya Umoja wa Mataifa: Eneo (changamoto za mijini, mabadiliko ya vijijini, na Smart City nk) Uraia (e-serikali, ushiriki wa kiraia, uharakati, na vyombo vya habari mbadala nk) Maarifa na ubunifu (elimu, malezi, viwanda vya ubunifu na kitamaduni nk) Mazingira na hali ya hewa (kijani tech, teknolojia safi, usafiri endelevu, uchumi wa bluu, na uwezo mbadala nk) Umuhimu wa suluhisho zilizopendekezwa, uwezekano wao, uendelevu na athari za uwezo zitakuwa vigezo muhimu katika mchakato wa uteuzi umegawanywa kwa hatua kadhaa: Uchunguzi mkubwa wa miradi, ya asili yao ya ubunifu na mfano wao wa biashara; Mapitio ya miradi iliyochaguliwa na wataalam wa AFD na Bpifrance; Uchaguzi wa mwisho na juri iliyoandaliwa na wataalamu wa mazingira ya teknolojia na ujasiriamali huko Afrika. Pauline Mujawamariya, Mkurugenzi wa Tuzo ya Innovation kwa Afrika - Afrika Innovation Foundation; Tidjane Deme, Mshirika Mkuu wa Uwekezaji wa Partech; Emeka Okofore, TED Global, kwa Afrika; Aissatou Panda, Mkurugenzi wa Maendeleo ya Afrika, Intel Corporation; Erick Young, Mkurugenzi Mtendaji wa Greentec Capital Partners. Visit the Official Webpage of the Digital Africa Startup Challenge 2017 Makala zilizotanguliaMpango wa Chuo Kikuu cha British Columbia Mastercard Foundation Wasomi 2018 / 2019 kwa ajili ya kujifunza nchini Canada (Fully Funded) Makala inayofuataJukwaa la Kimataifa la Benki ya Dunia kwa Miji Endelevu (GPSC) mashindano ya picha ya kimataifa 2017 Fursa za hivi karibuni kwa jarida la Waafrika (Septemba 18 - 24 2017) | Fursa Kwa Waafrika Septemba 24, 2017 katika 2: 02 pm [...] Digital Africa Startup Challenge 2017 kwa Mwanzo wa Kiafrika (Euro 40.000 & Safari Zilizohamishwa kwa Abidj ... [...]
2019-02-22T04:43:28
https://sw.opportunitiesforafricans.com/digital-africa-startup-challenge-2017-for-african-startups/
[ -1 ]
Mobile / iOS / Full ApplicationsUniversal Task Manager for iPhone and iPhone5— Add-On kwa WorldWideScripts.netKujiunga na kulisha wetu kukaa hadi tarehe!Mpya! Kufuata yetu kama unataka!★★★★Sehemu hii inapatikana katika 37 lugha nyingine!ArabicBengaliCatalan/ValencianDanishDutchEnglishEsperantoFinnishFrenchGermanGreekGujaratiHindiIndonesianItalianJapaneseKannadaKoreanMalayNorwegianPersianPolishPortugueseRomanian/Moldavian/MoldovanRussianSimplified ChineseSpanish/CastilianSwedishTagalogTamilTeluguThaiTraditional ChineseTurkishUkrainianUrduVietnameseKuishi PreviewViwamboAds Unaweza kutazama maombi demo video hakikisho juu ya YouTube. Hii ni XCode mradi na kanuni zote chanzo na mafaili graphics ya kupendeza na rahisi kutumia juu kazi meneja kwa iPhone. Mradi wa makala: Kamili kazi programu Mradi kwa XCode 3.x - 4.x Kazi juu ya iOS 3.x - iOS 6.x Kamili graphics ni pamoja na: iPhone 2G, 3G, 4 / 4S, 5 graphics msaada (hakuna kuonyesha retina na @ 2x retina graphics) Programu kazi juu iPhone 2G, 3G, 3GS, 4 / 4S iPhone 5 na iPod Touch Programu kutumia database za mitaa (CoreData). Programu hauhitaji uhusiano Internet. Matumizi yake popote unataka! PSD files kubuni ni pamoja na Kujenga programu yako mwenyewe kutokana na mradi huu ans kuuza katika AppStore! Tayari kwa ajili ya AppStore - mabadiliko graphics na Sale hilo! Excellent msaada kwa barua pepe na skype Kufanya kazi programu katika AppStore kulingana na mradi huu XCode: Orodha ya Ununuzi PRO TODO kwa iPhone Orodha matibabu pedi kwa iPhone Maombi makala: Ukomo vitu mbalimbali TODO Group vitu yako kwa kujenga makundi ukomo Haraka Entry Angalia "Red bendera" na kupata Orodha muhimu na vitu muhimu juu Archive baadhi orodha ya ununuzi kwa matumizi ya baadaye Angalia na uncheck bidhaa katika programu wakati kununua click tu 1! Angalia kukamilika kwa orodha Kupata icon nyekundu bagde na "haja ya kufanya" ("haja ya kununua") vitu kukabiliana juu ya iPhone yako / iPodTouch / iPad Home Screen! Kuongeza mashamba ziada maelezo ya bidhaa yako (bei, tarehe, maduka, nk) Kutuma orodha ya ununuzi kwa barua pepe (kwa mkeo / watoto / nk) na kukamilika hadhi moja kwa moja katika programu! Nini kupata: XCode mradi na kamili kazi iPhone maombi na graphics wote na mafaili Kubuni chanzo PSD files Kina nyaraka Hatua kwa hatua mwongozo wa mtumiaji "Jinsi ya kujenga TODO yako mwenyewe programu kutoka sampuli hii mradi XCode na kuuza katika AppStore" Ushuhuda pearlriver853 "Hii ni bidhaa kubwa. Shukrani " "Nimepata! Shukrani - na shukrani kwa ajili ya msaada mkubwa " "Una msaada bora! Shukrani sana! :))))) " "Ajabu Project Bei wanapaswa kuwa juu! " "Asante, Nimekuwa na uwezo wa kusafisha / kujenga hii kwa mafanikio. Msaada wako ni ajabu na ya haraka. I have lilipimwa Programu w / 5 nyota. Asante tena. " "Ajabu Mradi Ajabu Mradi Asante soooo MUCH KWA MSAADA" "Mnamo nyota 5. Mkuu programu bala db Hassle. " Historia 2012/10/21 - Safi kificho bila onyo - Kurekebisha baadhi ya mende madogo - Mwisho nyaraka 18.10.2012 - Kuongeza uwezekano wa maoni orodha ya kampuni katika dirisha la orodha - Updated nyaraka 17.10.2012 - Kuongeza files PSD na wote picha DownloadVipengele vingine katika jamii hiiKila sehemu ya mwandishi huyuMaoniMara kwa mara kuulizwa maswali na majibuMaliKuundwa:16 Oktoba 12Badiliko:N / AMafaili Pamoja:h,.m,.pch,.xib /.nib, layered PSDProgramu Version:iOS 4.1, iOS 4.2, iOS 4.3, iOS 5.0, iOS 5.1, iOS 6.0KeywordseCommerce, eCommerce, Vitu zote, 2do, apple, appstore, coredata, Customview, mpiga, ipad, iphone, iPhone5, Lengo-c, Programu, meneja wa kazi, todo, Xcode
2017-06-28T00:19:29
https://sw.worldwidescripts.net/universal-task-manager-for-iphone-and-iphone5-41488
[ -1 ]
Marufuku kwa watoa huduma za afya kuuza damu – Waziri Ummy - Uplandradiofm | official site Home / NEWS / Marufuku kwa watoa huduma za afya kuuza damu – Waziri Ummy Marufuku kwa watoa huduma za afya kuuza damu – Waziri Ummy Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu ameendelea kusisitiza kuwa wananchi hawapaswi kununua damu kwani huduma hiyo ni bure kwa watanzania wote katika hospitali zote. Hayo amezungumza leo jijini Dar es salaam, wakati wa uzinduzi wa Benki ya damu iliyodhaminiwa na Ubalozi wa Kuwait katika Taasisi ya Mifupa MOI ambapo uliuzuliwa na Balozi wa Kuwait nchini Tanzania. “Watanzania wanahoitaji huduma ya kuongezewa damu wapewe bure marufuku kwa watoa huduma za vituo vya afya pamoja na hospitali zote kuuza damu hiyo kwani inatoka kwa wananchi wenyewe” alisisitiza Waziri Ummy. Kwa upande wake Balozi wa Kuwait Nchini Tanzania Bw. Jasem Ibrahim Al-Najem amesema kuwa wameamua kuchangia kiasi cha fedha cha shilingi Milioni 200 katika kutengeneza Benki hiyo ya damu MOI ili kuweza kusaidia kuboresha sekta ya afya nchini. “Mbali na kiasi hicho cha fedha pia tumetoa Dola za Kimarekani 500 ili kuweza kusaidia walemavu mbalimbali katika kulejesha hali zao za kawaida hapa nchini” alisema Bw. Al-Najem. “Tunataka kuhamasisha matibabu ya kibingwa kufanyika nchini pamoja na uchangiaji damu kwani damu hiyo haitatumika MOI peke yake bali hata kwenye Taasisi zingne na vituo vya Afya nchini kote” alisema Dkt. Lwezimula. “Tumehamasika kuja kuchangia damu ili kuweza kutoa mfano kwa wanachi wengie waweze kujitolea katika uchangiaji huu wa damu ili kujenga taifa lenye watu wenye afya bora” alisema Mkurugenzi wa WOW Bw. Martin Gabone.
2018-04-20T07:04:12
http://www.uplandradiofm.com/2017/11/marufuku-kwa-watoa-huduma-za-afya-kuuza.html
[ -1 ]
Baatuli 13 | Bibele ya fa Intaneti | New World Translation Baatuli 13:1-25 13 Maisilaele hape baeza zemaswe fapilaa Jehova,+ mi Jehova abafa mwa mazoho a Mafilisita+ ka lilimo ze 40. 2 Ka nako yeo, nekunani muuna wa kwa Zora+ wa lusika lwa Dani,+ yanaabizwa Manoa.+ Musalaa hae neli mumba, naasina mwana.+ 3 Hamulaho wa nako, lingeloi la Jehova lato iponahaza ku musali yo mi lamubulelela kuli: “Bona, u mumba mi hauna mwana. Kono ukaitwala mi ukapepa mwana wamushimani.+ 4 Cwale utokomele kuli usike wanwa waine kamba nto ifi kamba ifi yenani bucwala,+ mi usike waca nto ifi kamba ifi yesika kena.+ 5 Bona! Ukaitwala mi ukapepa mwana wamushimani, mi asike akutiwa milili nikamuta,+ kakuli mwana yo, ukaba Munazareni wa Mulimu kuzwa fakupepwa kwahae,* ki yena yakakala kulamulela Isilaele mwa mazoho a Mafilisita.”+ 6 Cwale musali ayo bulelela muunaa hae kuli: “Muuna wa Mulimu wa niti naatile ku na, mi naabonahala inge lingeloi la Mulimu wa niti, naasabisa hahulu. Hanisika mubuza kwazwa mi hape hasika nibulelela libizo lahae.+ 7 Kono unibulelezi kuli: ‘Bona! Ukaitwala mi ukapepa mwana wamushimani. Cwale usike wanwa waine kamba nto ifi kamba ifi yenani bucwala, mi usike waca nto ifi kamba ifi yesika kena, kakuli mwana yo, ukaba Munazareni wa Mulimu kuzwa fa kupepwa kwahae* kuisa lifu lahae.’” 8 Manoa akupa Jehova, ali: “Uniswalele, Jehova. Nikupa kuli muuna wa Mulimu wa niti yeu sazo luma akutele ku luna, ato lulaelela moluswanela kuutela mwana yakapepwa.” 9 Mulimu wa niti autwa manzwi a Manoa, mi lingeloi la Mulimu wa niti lakutela ku musalaa hae hanaainzi kwande a muleneñi; muunaa hae Manoa naali siyo ka nako yeo. 10 Kapili-pili musali amatela ku muunaa hae mi amubulelela kuli: “Bona! Muuna yani yanaatile ku na zazi lani utile hape.”+ 11 Manoa kihaa yema mi aya ni musalaa hae. Ayo fita ku muuna yo, mi amubuza kuli: “Kana ki wena muuna yanaambozi ni musalaaka?” Aalaba, ali: “Ki na.” 12 Mi Manoa ali: “Haike kuezahale sina moubulelezi! Mupilelo wa mwana ukaba cwañi, mi musebezi wahae ukaba ufi?”+ 13 Lingeloi la Jehova labulelela Manoa kuli: “Musalaa hao uswanela kutokolomoha lika kaufela zeni mubulelezi.+ 14 Asike aca nto ifi kamba ifi yezwa fa veine, asike anwa waine kamba nto ifi kamba ifi yenani bucwala,+ mi asike aca nto ifi kamba ifi yesika kena.+ Amamele lika kaufela zeni mulaezi.” 15 Cwale Manoa abulelela lingeloi la Jehova kuli: “Nakupa, litela lukulukiseze puli ya mwana.”+ 16 Kono lingeloi la Jehova laalaba Manoa kuli: “Niha nikalitela, hanina kuca lico zahao; kono haiba ubata kufa Jehova nubu ya kucisa, wakona kueza cwalo.” Manoa naasika ziba kuli muuna yo neli lingeloi la Jehova. 17 Cwale Manoa abuza lingeloi la Jehova kuli: “Libizo lahao ki wena mañi,+ kuli lukukuteke, zeubulezi halika ezahala?” 18 Kono lingeloi la Jehova lali ku yena: “Unibuzezañi libizo laka, kakuli ki lelikomokisa?” 19 Cwale Manoa aanga puli ya mwana ni nubu ya bubeke mi alitiseza Jehova fa licwe. Mi Mulimu naaeza nto yekomokisa, Manoa ni musalaa hae inze batalimezi. 20 Malimi a mulilo hanaakambamela mwahalimu kuzwa fa aletare, lingeloi la Jehova lakambama mwa malimi a mulilo ao anaazwa fa aletare, Manoa ni musalaa hae inze baiponela. Honafo bakubama inze bainamiselize lipata zabona fafasi. 21 Lingeloi la Jehova nelisika bonahala hape ku Manoa ni musalaa hae. Mi cwale Manoa alemuha kuli kanti muuna yani neli lingeloi la Jehova.+ 22 Manoa kihaa li ku musalaa hae: “Lukashwa luli, kakuli ki Mulimu yeluboni.”+ 23 Kono musalaa hae ali ku yena: “Kambe Jehova naabata kulubulaya, naasike aamuhela nubu ya kucisa+ ni nubu ya bubeke yezwa ku luna, naasike alubonisa lika ze kaufela, mi naasike alubulelela nihaiba nto iliñwi kwa linto ze kamukana.” 24 Hasamulaho, musali yo apepa mwana wamushimani mi amubeya libizo la Samisoni;+ mwana hanaanze ahula, Jehova azwelapili kumufuyola. 25 Nako hainze iya, moya wa Jehova wakala kusebeza ku yena+ hanaali kwa Mahane-dani,+ mwahalaa Zora ni Eshitaoli.+ ^ Linzwi ka linzwi, “fazwela mwa mba.” Baatuli 13
2017-09-25T02:54:40
https://www.jw.org/loz/lihatiso/bibele/nwt/libuka/baatuli/13/
[ -1 ]
RUKSA 3PILLARS KUCHEZA MECHI ZA KIRAFIKI - Tanzania Sports 16th October 2018 Last update at 10:09 am RUKSA 3PILLARS KUCHEZA MECHI ZA KIRAFIKI Timu ya 3Pillars Football Club ya Nigeria sasa inaruhusiwa kucheza mechi za kirafiki nchini baada ya kupata idhini ya Shirikisho la Mpira wa Miguu la Nigeria (NFF). USAJILI WA WACHEZAJI HATUA YA KWANZA WAMALIZIKA Baadhi ya klabu zimefanya makosa madogo madogo katika usajili ambapo zimepewa siku ya leo (Agosti 6 mwaka huu) kufanyia marekebisho kasoro hizo. Hivyo kesho (Agosti 7 mwaka huu) majina ya vikosi vyote yatabandikwa kwenye mbao za matangazo za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwa ajili ya kipindi cha pingamizi kitakachomalizika Agosti 12 mwaka huu. Hatua ya pili ya usajili itaanza tena Agosti 14 mwaka huu ikihusisha wachezaji ambao watakuwa hawajasajiliwa katika Ligi Kuu ya Vodacom msimu huu na wale kutoka nje ya Tanzania. Hivyo, dirisha la uhamisho kwa wachezaji wa kimataifa litafungwa baada ya hatua ya pili ya usajili kumalizika Agosti 29 mwaka huu. Tags: Nigeria, TFF! 3Pillars
2018-10-16T20:57:18
https://www.tanzaniasports.com/2013/08/06/ruksa-3pillars-kucheza-mechi-za-kirafiki/
[ -1 ]
5 Best USMLE Hatua 2 CK Prep Courses of 2017 [Discounts+ Comparison] Utakuwa kutumia masaa mengi maandalizi kwa ajili ya hatua USMLE 2 CK, hivyo ni muhimu kupata mwongozo wa kujifunza kwamba inafaa bora yako style kujifunza na historia. Je, si lazima prep shaka kwamba si sambamba na style yako kujifunza kupata njia ya kupita mtihani huu muhimu! Lengo lako ni kupita hatua 2 CK mtihani mara ya kwanza kuchukua ni, hivyo unahitaji kuchukua kozi hiyo ni fit bora kwa ratiba yako na mtu binafsi kujifunza style. Vinginevyo, utakuwa kupoteza fedha na masaa mengi ya kujifunza na vifaa ambayo si kukusaidia kufanikiwa. Kazi yetu katika kuponda ni kwa mkono kwa taarifa za kutosha kuchagua kozi ambayo ni bora kwa ajili yenu! Kwasababu hii, sisi binafsi utafiti na upya kila hatua kuu 2 CK prep shaka juu ya soko! Kulinganisha chati hapa chini kukusaidia kufikiri ambayo online kozi bora inafaa mahitaji yako. Hatua 2 CK Course Comparisons & Punguzo KAMPUNI Smash USMLE Bodi vitals Kaplan Hatua 2 Madaktari Katika Mafunzo Becker USMLE SWALI mazoezi 2,000 900+ 2,000 350 2,000 Mihadhara video 200 Masaa 120 Masaa 55 Masaa 200 Masaa PASS AU fedha-Back dhamana Hatua 2 CS ONLINE OPTION Hatua 3 OPTION Punguzo Save 10% STUDENT SUPPORT Mwalimu pepe Support Barua pepe Support Mwalimu pepe Support Kuishi Chat, Barua pepe, & Simu Support Barua pepe Support ONLINE ACCESS KIPINDI 6 Miezi 6 Miezi 3 Miezi 45 Siku 6 Miezi SOMA MY Kamili ANALYSIS Kusoma Tathmini Kamili Kusoma Tathmini Kamili Kusoma Tathmini Kamili Kusoma Tathmini Kamili Kusoma Tathmini Kamili ANZA START NOW START NOW START NOW START NOW START NOW Best USMLE Hatua 2 CK Prep Kozi USMLE Hatua 2 CK Courses Bodi vitals 900+ $199 Madaktari katika Mafunzo 350 $799 Best USMLE Hatua 2 CK Courses https://crushtheusmleexam.com/wp-content/uploads/2016/10/13024095_s.jpg 450 450 James Edge https://crushtheusmleexam.com/wp-content/uploads/2017/01/Crush-The-USMLE-Logo-300x120.png James Edge2017-01-02 23:30:502017-09-14 11:40:21USMLE Hatua 2 CK Prep Kozi Adrian anasema: Januari 8, 2017 katika 12:23 pm Januari 9, 2017 katika 12:30 pm
2017-09-23T07:20:52
https://crushtheusmleexam.com/usmle-step-2-ck-preparation/?lang=sw
[ -1 ]
Ni sawa kwa Mama Tunu Pinda? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Ni sawa kwa Mama Tunu Pinda? Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Indume Yene, Apr 7, 2012. Nimepitia blogu ya Michuzi na kuona Mama Pinda akiwa kwenye msiba wa Steve Kanumba. Lakini vilevile Mama Pinda kaenda pale akiwa kwenye gari ambayo ikiwa na nembo ya Taifa ambayo inatumiwa na Raisi au Waziri Mkuu. Je ni haki kwa mke wa Waziri mkuu au Raisi kutumia gari iliyo na nembo ya Taifa wakati wenyewe hawana hadhi hiyo? Kwani kanumba alikuwa mtumishi wa serikali? kuna kaelement ka ulimbukeni, makidai, zaidi sana dharau kwa mali za uma. kweli sasa nimeamini tanzania ni shamba la bibi,sio haki kabisa. Si haki hii ni against protocol...this is an abuse to the Govt ingawa ni mke wa W/Mkuu lakini hapaswi kutumia at whatever cost. Mi nilisema msiba huu utageuzwa uwanja wa kisiasa subiri na wale jamaa wanao utaka urais Mi nilisema msiba huu utageuzwa uwanja wa kisiasa subiri na wale jamaa wanao utaka uraisClick to expand... kamanda naona utabiri umejibu. Tabiri na jingine. Mama ni VIp na hawezi enda mahali na usafiri tofauti na huo kwa ajili ya usalama wake. Kunamambo mengi makubwa na madogo lakini sio kitu kama hichi. Njaa Gani hizi? Hawa tatizo ulimbukeni ngojea uone zaidi na wamagogoni atakujaje. Lazima aje na kangha ina mipasho mumjue vzr Nchi ya hovyo sana hii yaani haina vipaumbele sijui kwa nini? Yaaani unakurupuka ikulu sijui kule coco unaenda kwenye msiba wa kanumba!! Mbona kafa mzee kipara hamkwenda!! Pumbafu kabisa hii mijitu...na wewe mama tunu nakuonaga babu kubwa kumbe na wewe kama mwenzio wa magogoni !! Aghhhh Wanapokosa cha kuandika. kamanda naona utabiri umejibu. Tabiri na jingine.Click to expand... Subiri Lowasa kwenda msibani na kutoa ubani anajipanga aendaje kesho lowasa anakuja kutoa mil. 50 kwa familia ya marehemu. Tayari mzee mamuvi kashaona kuna wapiga kura wake hapo. Mkuu mbona tayari! Mzee 6 akiwa na Nape wamejihudhurisha bado akina EL. Nadhani EL ataenda kanisani. Nchi ya hovyo sana hii yaani haina vipaumbele sijui kwa nini? Yaaani unakurupuka ikulu sijui kule coco unaenda kwenye msiba wa kanumba!! Mbona kafa mzee kipara hamkwenda!! Pumbafu kabisa hii mijitu...na wewe mama tunu nakuonaga babu kubwa kumbe na wewe kama mwenzio wa magogoni !! AghhhhClick to expand... Mkuu umenikumbusha. Hawakuonekana kwa Mzee Kipara au kwa kuwa alifia Kigogo kwa binti Kayenga na huyu kafia Sinza! Tunaelekea kuwa kama wakenya manake wao kwenye msiba lazima mtu apige kampeni. Akisali kanisani anapewa kusalimia wapigakura na kutoa neno la siasa! Nimepitia blogu ya Michuzi na kuona Mama Pinda akiwa kwenye msiba wa Steve Kanumba. Lakini vilevile Mama Pinda kaenda pale akiwa kwenye gari ambayo ikiwa na nembo ya Taifa ambayo inatumiwa na Raisi au Waziri Mkuu. Je ni haki kwa mke wa Waziri mkuu au Raisi kutumia gari iliyo na nembo ya Taifa wakati wenyewe hawana hadho hiyo? Hayo ndiyo matumizi mabaya ya rasilimali za taifa ndugu yangu. Hayo ndiyo matumizi mabaya ya rasilimali za taifa ndugu yangu.Click to expand... Usafiri anaweza kupewa, hilo hatuwezi kukataa lakini hoja hapa ni kwa nini atumie gari yenye nembo ya Taifa? Viongozi ambao wanatakiwa kutumia nembo ya Taifa wake zao nao wanatakiwa kutumia? Yapasa wananchi muchukue hatua! Hatua gani akili unayo!. ningependa kujua mama tunu ana kazi?? i mean kaajiriwa mahali? au ni mama wa nyumbani? mie nampendaga.... jamani huyu mama alikuwa beki3, sasa lazima ajionyeshe kwa mashosti zake kwamba she is somebody now, more over mtoto wa mkulima hana pingamizi kwake ili aendelee kumtunzia siri ambayo its no longer siri kwa wengi we2,hasa ukizingatia aliwatibua ma Dr.
2017-04-23T20:41:07
https://www.jamiiforums.com/threads/ni-sawa-kwa-mama-tunu-pinda.246933/
[ -1 ]
"KUTEKWA" KWA ROMA MKATOLIKI, SERIKALI YASHTUSHWA, KAMANDA SIRRO ASEMA MSAKO UMEANZA ~ K-VIS BLOG '; if(img.length>=1) { imgtag = ' "KUTEKWA" KWA ROMA MKATOLIKI, SERIKALI YASHTUSHWA, KAMANDA SIRRO ASEMA MSAKO UMEANZA Posted by KHALFAN SAID on 22:12 WIZARA ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, imetoa rai kwa wananchi kushirikiana na Jeshi la Polisi kutoa taarifa zitakazosaidia kupatikana kwa mwanamuziki wa muziki wa kizazi kipya, Ibrahim Mussa, maarufu kama Roma Mkatoliki ambaye yeye pamoja na wenzake watatu, Moni na Bello na Emma“walitekwa nyara” Aprili 5, 2017 wakiwa kwenye studio ya Tongwe jijini Dar es Salaam. Taarifa ya wizara iliyosainiwa na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Bi. Zawadi Msalla, ilisema, “Wizara imepokea kwa mshtuko taarifa za kutoweka kwa mwanamuziki Ibrahim Mussa kwa jina la kisanii.” Ilisema taarifa hiyo. Taarifa hiyo ilisema wizara inafuatilia kwa karibu swala hilo kwakuwa lina muelekeo wa kijinai ingawa taarifa kutoka vyombo vya dola zinathibitisha kuwa Roma Mkatoliki hashikiliwi kwenye kituo chochote cha polisi. Kamanda Simon Sirro KAMANDA wa polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, CP, Simon Sirro, amethibitisha kupokea taarifa za “kutekwa” kwa msanii Ibrahim Mussa maarufu kama Roma Mkatoliki. Kamanda Sirro hata hivyo ameonya watu waache kukimbilia kuilaumu serikali kutokana na tukio hili, “Tusi-conclude kuwa serikali inahusika, tukio hili ni kama matukio mengine, Ufuatiliaji unafanyika, inawezekana ni watu wabaya wamefanya hivyo, tunajaribu kufuatiilia kama kuna mambo ya ugoni au nini, ni vema watu wakatulia wakati polisi inaendelea kuchunguza.” Alisema. Naye mke wa Roma, Nancy aliwaambia waandishi wa habari kuwa yeye alipokea simu majira ya saa 7 usiku wa Aprili 6 akipewa taarifa za kupotea kwa mumewe na kwamba anaiomba vyombo vya sheria na serikali kusaidia mumewe apatikane. Roma na mkewe Nancy Kwa upande wake mmiliki wa studio ya Tongwe Records mahala ambako tukio hilo la “kutekwa” kwa roman a wenzake lilifanyika, Jay Mart, alisema, watu watano wakiwa kwenye gari aina ya NOAH, walifika kwenye studio yake na kuulizia kama nipo, walipoambiwa kuwa sipo, walimuhitaji Roma, na kufaya mahojiano naye pamoja na vijana wengine waliokuwepo, kasha wakachukua TV, Camera na Kompyuta na kuondoka navyo pamoja na akina Roma
2018-07-19T23:00:01
http://khalfansaid.blogspot.com/2017/04/kutekwa-kwa-roma-mkatoliki-serikali.html
[ -1 ]
Picha--za-uchi Videos - Watch and Download Posted 12 month ago by Bongo255 Posted 2 day ago by Kijiwe Che... Kimenuka!! Picha Za Uchi Zamponza GIGY M... Kimenuka!! Picha Za Uchi Zamponza GIGY MONEY Mh,JULIANA SHONZA amtumia Ujumbe Mzito Video watch and download with MP4,3GP format.You can convert online Kimenuka!! Picha Za Uchi Zamponza GIGY MONEY Mh,JULIANA SHONZA amtumia Ujumbe Mzito video to MP3 for free download KijiweChetu #GigyMoney #JulianaShonza Kimenuka!! Picha Za Uchi Zamponza GIGY MONEY Mh Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo ... FAIZA ALLY AACHIA TENA PICHA ZAKE ZA UCH... FAIZA ALLY AACHIA TENA PICHA ZAKE ZA UCHI SASA HIVI KAACHIA AKIWA ANAZAA Video watch and download with MP4,3GP format.You can convert online FAIZA ALLY AACHIA TENA PICHA ZAKE ZA UCHI SASA HIVI KAACHIA AKIWA ANAZAA video to MP3 for free download PICHA ZA UCHI ZA FAIZA ALLY ZAWAZARIRISH... PICHA ZA UCHI ZA FAIZA ALLY ZAWAZARIRISHA WANAWAKE Video watch and download with MP4,3GP format.You can convert online PICHA ZA UCHI ZA FAIZA ALLY ZAWAZARIRISHA WANAWAKE video to MP3 for free download Subscribe at Mid One TV Online. Posted 6 month ago by Alfantizo ... Hii Ndio Sababu ya Wanaume kuomba picha ... Hii Ndio Sababu ya Wanaume kuomba picha za uchi Video watch and download with MP4,3GP format.You can convert online Hii Ndio Sababu ya Wanaume kuomba picha za uchi video to MP3 for free download Sababu kubwa za wanaume weng kuomba picha za uchi kwa wapenzi wao. Posted 1 year ago by Majipu Tv Mwanamziki maarufu ajipiga picha za uchi... Mwanamziki maarufu ajipiga picha za uchi hadharani akichunguza umodal wake tazama video hii fupi Video watch and download with MP4,3GP format.You can convert online Mwanamziki maarufu ajipiga picha za uchi hadharani akichunguza umodal wake tazama video hii fupi video to MP3 for free download Mnyamwezi Tv. Posted 4 month ago by Mid One TV Amber Lulu Kaamua Kupost Picha Za Uchi B... Amber Lulu Kaamua Kupost Picha Za Uchi Bila Kuogopa Video watch and download with MP4,3GP format.You can convert online Amber Lulu Kaamua Kupost Picha Za Uchi Bila Kuogopa video to MP3 for free download MidOneTv. Majibu ya Idris Sultan Baada ya Kupiga p... Majibu ya Idris Sultan Baada ya Kupiga picha akiwa Amevaa Boxer pekee Video watch and download with MP4,3GP format.You can convert online Majibu ya Idris Sultan Baada ya Kupiga picha akiwa Amevaa Boxer pekee video to MP3 for free download Posted 3 week ago by Frado Medi... Hizi ndo picha za ngono zilizokiki zaidi... Hizi ndo picha za ngono zilizokiki zaidi 2018 / amberuty je? Video watch and download with MP4,3GP format.You can convert online Hizi ndo picha za ngono zilizokiki zaidi 2018 / amberuty je? video to MP3 for free download Tanzania imekuwa kawaida wasanii kutuma picha za uchi ,Ukiachana na amberuty kuna wasanii wengine wachafu TANZANIA Nandy na billinas pia walifanya ... Posted 3 year ago by CLOUDSMEDI... Posted 1 year ago by Oscar Chri... Picha za utupu za Sanchoka zaleta utata ... Picha za utupu za Sanchoka zaleta utata instagram tazama hapa!! Video watch and download with MP4,3GP format.You can convert online Picha za utupu za Sanchoka zaleta utata instagram tazama hapa!! video to MP3 for free download Picha--za-uchi This paragraph Picha--za-uchi is totally about Picha--za-uchi. Related Videos for Picha--za-uchi - You have look for videos Picha--za-uchi especially. Most relevant thousands videos Results according to your search Picha--za-uchi videos are available on these pages. Perfect Results of Picha--za-uchi Videos and Clips.Convert MP3 audio ,MP4 video Picha--za-uchi Free with AnyFormat convertor. View and Download Picha--za-uchi with HD format Video. repeat a paragraph again please read carefully Picha--za-uchi real topic. Related Videos for Picha--za-uchi - You have look for videos Picha--za-uchi especially. Most relevant thousands videos Results according to your search Picha--za-uchi videos are available on these pages. Perfect Results of Picha--za-uchi Videos and Clips.Convert MP3 audio ,MP4 video Picha--za-uchi Free with AnyFormat convertor. View and Download Picha--za-uchi with HD format Video. Many of people search Related Videos for Picha--za-uchi - You have look for videos Picha--za-uchi especially. Most relevant thousands videos Results according to your search Picha--za-uchi videos are available on these pages. Perfect Results of Picha--za-uchi Videos and Clips.Convert MP3 audio ,MP4 video Picha--za-uchi Free with AnyFormat convertor. View and Download Picha--za-uchi with HD format Video. videos, some internet user want to listien music related Related Videos for Picha--za-uchi - You have look for videos Picha--za-uchi especially. Most relevant thousands videos Results according to your search Picha--za-uchi videos are available on these pages. Perfect Results of Picha--za-uchi Videos and Clips.Convert MP3 audio ,MP4 video Picha--za-uchi Free with AnyFormat convertor. View and Download Picha--za-uchi with HD format Video.,other people want to download videos about Related Videos for Picha--za-uchi - You have look for videos Picha--za-uchi especially. Most relevant thousands videos Results according to your search Picha--za-uchi videos are available on these pages. Perfect Results of Picha--za-uchi Videos and Clips.Convert MP3 audio ,MP4 video Picha--za-uchi Free with AnyFormat convertor. View and Download Picha--za-uchi with HD format Video.. You can listen Related Videos for Picha--za-uchi - You have look for videos Picha--za-uchi especially. Most relevant thousands videos Results according to your search Picha--za-uchi videos are available on these pages. Perfect Results of Picha--za-uchi Videos and Clips.Convert MP3 audio ,MP4 video Picha--za-uchi Free with AnyFormat convertor. View and Download Picha--za-uchi with HD format Video. music, download Related Videos for Picha--za-uchi - You have look for videos Picha--za-uchi especially. Most relevant thousands videos Results according to your search Picha--za-uchi videos are available on these pages. Perfect Results of Picha--za-uchi Videos and Clips.Convert MP3 audio ,MP4 video Picha--za-uchi Free with AnyFormat convertor. View and Download Picha--za-uchi with HD format Video. videos and conver Related Videos for Picha--za-uchi - You have look for videos Picha--za-uchi especially. Most relevant thousands videos Results according to your search Picha--za-uchi videos are available on these pages. Perfect Results of Picha--za-uchi Videos and Clips.Convert MP3 audio ,MP4 video Picha--za-uchi Free with AnyFormat convertor. View and Download Picha--za-uchi with HD format Video. video to mp3 on anyformat.net. wema picha za uchigigy money picha za uchipicha za uchi bongokicheko ze utamu picha za uchiagnes masogange picha za uchielizabeth michael lulu picha za uchirahatupu picha za uchipicha za uchi za wanawake wenye matako makubwampekuzi picha za uchimichuzi blog picha za uchi na kutombana 2 20150204mkemal atatrk zmir marklipyoutube ben howard keep your head uphollywood movie lollywood movie song mp3ECOMAINTPicha za uchimeena cartoon funnyorange county dui lawyer 1451Danny nanoneambiguous kill la kill opening 2 piano tutorial synthesia anipianoben moody biographywatch برنامه بهداشت بی بی سیwatch 지효peppa pig john cena vine itamimbeausong mp3 song milind shindenaiyya 1979android chhote babu 1957 Related Videos for Picha--za-uchi - You have look for videos Picha--za-uchi especially. Most relevant thousands videos Results according to your search Picha--za-uchi videos are available on these pages. Perfect Results of Picha--za-uchi Videos and Clips.Convert MP3 audio ,MP4 video Picha--za-uchi Free with AnyFormat convertor. View and Download Picha--za-uchi with HD format Video.
2019-01-20T19:57:44
http://www.anyformat.net/videos/Picha--za-uchi/
[ -1 ]
MWANZO MWISHO: AZIZA WA FACEBOOK - 2jiachie - Official Site MWANZO MWISHO: AZIZA WA FACEBOOK FACEBOOK CHATTINGAZIZA WA FACEBOOKNa Nyemo Chilongani. Najisikia nimechoka sana, nimechoka sana kwa sababu nilikuwa nimetoka kucheza mpira uwanjani huku nikiwa nimechafuka kupita kawaida. Ninapofika nyumbani, ninaoga na kisha kuchukua simu yangu kwa ajili ya kuangalia updates za facebook, sikukuta hata meseji moja zaidi ya notification tu, tena wala hazikuwa nyingi. Nilichokifanya ni kuanza kuzugazuga hapa na pale na kisha kutulia. Mara ghafla nikaona namba moja nyekundu kwenye sehemu ya meseji, kulikuwa na meseji imeingia, nilichokifanya, nikaifungua na kuanza kuchati na mtu huyo huyo. EDUADO: Mambo vipi Shahruk Khan. MIMI: Hahahha! Poa. Inakuwaje wewe mtu. EDUADO: Kama kawa. Nilikuwa nakusubiri sana hewani. Nilikuwa na mzuka na wewe ile mbaya. MIMI: Duh! Mzuka na mimi! Kuna nini tena? EDUADO: Kuna bonge la kazi hapa. Unataka? MIMI: Kwa nini nisitake? Nipe mawasiliano yao niandike barua ya kuomba kazi fasta. EDUADO: Hahahaha! Kaka unakosea. Niliposema kazi sikumaanisha hiyo. MIMI: Wewe ulimaanisha ipi sasa? EDUADO: Kazi moja hivi. Kazi ambayo watu wengi wameishindwa hasa masharobaro. MIMI: Hahahaha! Itakuwa kubeba zege hiyo watoto wa mama hawaiwezi. Mimi naiweza, hebu niambie ni jengo gani. EDUADO: Sio kazi ya kubeba zege. Kuna mtu nataka umfanyie kazi. MIMI: Mtu gani? EDUADO: Kuna mrembo fulani nipo nae hapa UDSM ni mkali ile mbaya. Yaani mkali mpaka nashindwa kusema ukali wake unafanana na nini. MIMI: Hebu acha masihala kaka. Kwa hiyo kama mkali mimi nifanyeje nini? EDUADO: Huyu mrembo anaringa mbaya. Yaani mrembo ananata utafikiri akanyagi ardhi hii tunayochimbia vyoo. MIMI: Ok! Wazuri wapo wengi na hata wenye maringo wapo wengi pia. Hebu niambie kuhusu huyo. Kwanza anaitwa nani. Nipe maelezo ya kujitosheleza na sio naanza kumtengeneza mrembo mkali kichwani mwangu ikawa ndivyo sivyo. EDUADO: Huyu mrembo anaitwa Aziza Moody, anaishi Msasani, baba yake ni mfanyabiashara mkubwa sana aisee. Ni mrembo fulani pini…yaani ni pini sana. MIMI: Hebu acha masihala. Sasa inakuwaje watoto wa kisharobaro wamemshindwa. EDUADO: Huyu mrembo hafagilii muonekano, ni mrembo fulani ambaye anapenda mtu anamfuate kama jinsi alivyo. Yaani kama wewe ni mtu wa chini, mfuate hivyo hivyo ila tatizo watoto wa hapa chuo wanapenda kumfuata kisharobaro kaka. MIMI: Dah! Kwa hiyo kazi unayotaka kunipa ni ipi? EDUADO: Umchukue huyu mtoto. Yaani ukifanikiwa, moyo wangu utakuwa mweupeeeeeee kama theluji. MIMI: Hahaha! Usitake kunichekesha EDUADO, hivi unamkumbuka Sikitu? EDUADO: Sikitu yupi? MIMI: Si yule mrembo wa mwaka jana ambaye ulikuwa unamsifia sanaaaaa kwamba mkali kumbe wala hakuwa mkali kama ulivyokuwa ukimsifia, mbaya zaidi alikuwa anakaa mbali, Musomaaaaaa. EDUADO: Acha na hayo, yule msahau kwani mimi mwenyewe alinitumia picha ambayo sio yake. Ila kaka kiukweli Aziza ni mrembo mmoja mkali sana. Hapa chuo amekuwa gumzo kila kona, vijana wengi wamechemka. MIMI: Sasa kama wengine wamechemka mimi nitaweza vipi? EDUADO: Hahahaha! Kaka ninakuamini sanaaaa, wewe mtu unaweza sana kuongea, unaweza sana kuandika. Endapo kazi nikakupa na kisha ukashindwa, haki ya Mungu nitajua kweli duniani kuna wasichana wagumu. MIMI: Kwa hiyo kazi yako ina malipo au? EDUADO: Ikitokea umempata, nitakupa zawadi kaka. Yaani ninachokitaka huyu mrembo umchukue tu, basiiiiiiii. Anaringa sana, ananata sana, yaani sijui niseme vipi. MIMI: Ila si anaringa kwa sababu mzuri? EDUADO: Ndio. Ila yeye kazidi. MIMI: Ila kwa sasa aisee nahisi nimepoteza kumbukumbu zangu za kuongea na hawa watoto wa kike, sijui kama nitaweza. EDUADO: Acha kunitania kaka. Nakuamini sana kwamba unaweza kuliko mtu yeyote na ndio maana nikakufuata wewe. Hivi haujiulizi kwa nini sikumfuata Thomas? Thomas kwenye kuongea mkali sana ila kwenye kuandika hakuna kitu, ila wewe, aisee una kipaji kila kona, nafikiri hata ukimtokea kiziwi, hachomoiiiiiiiiii. MIMI: Hahaha! Hebu acha kunipamba. Hebu niambie, huyo mrembo yupo Facebook? EDUADO: Amejaa teleeee…yaani kajaa teleeee. Anajiita Aziza M Aziza. Ni mrembo mkali sana. Hebu mcheki kwanza. MIMI: Sawa. Sikutaka kuchelewa, tayari kichwa changu kikaanza kujazwa na sura nyingi za wasichana wazuri huku nikianza kuzigawanya kimakundi kwamba huyu alikuwa Aziza mwenyewe huyu hakuwa mwenyewe. Nilikuwa namfahamu EDUADO toka tupo katika shule ya sekondari, alipokuwa akisema msichana fulani ni mzuri, mzuri kweli japokuwa kwa Sikitu alikuwa ameniingiza choo cha kike. Sikutaka kuremba, mara baada ya kuona majina kadhaa, nikamfuata Eduado inbox. MIMI: Oyaa Akshey. EDUADO: Vipi ushampata? MIMI: Wamekuja wakina Aziza wengi hao, mpaka wengine wanakaa India. EDUADO: Hebu subiri. Sikujua alikuwa akifanya nini, kwa sababu aliniambia kwamba nisubiri, wala sikuwa na presha, nikamsubiri nione angeniambia kitu gani baada ya hapo. Nilimsubiri kwa kipindi kama cha dakika moja hivi, akanijia tena inbox. EDUADO: Umeiona hiyo picha yenye mdoli wa Barbie? EDUADO: Ndiye yeye huyo. Ibra huyo ni mrembo mkali ambaye sijawahi kuona. MIMI: Acha utani. EDUADO: Shua. Unamkumbuka Silvia tuliyesoma nae? Sasa Silvia haingii kwa Aziza. MIMI: Acha utani kaka. Silvia haingii? EDUADO: Kweli tena. Tena hagusi hata robo. MIMI: Sasa mbona hajaweka picha yake, nitamjua vipi kama ni mkali. Hebu nipe sifa kwanza manake naona picha zake kazipiga pini watu wasio marafiki zake wasizione. EDUADO: Kwanza mrembo ni pini sana, mrembo kwao wana mahela ya kumwaga, chuo anakuja na gari, Verrosa moja nyeusi, mtoto anamiliki laptop aina ya Apple ile inaayouzwa milioni tatu, mtoto anamiliki anamiliki iPhone 5 huku akisema kwamba iPhone 6 ikianza kuuzwa atataka kuanza kuitumia kwani anapenda kwenda na wakati. MIMI: Kaka utakuwa unanitania tu. EDUADO: Kweli tena. Halafu kuna cha zaidi. MIMI: Kipi? EDUADO: Otea. MIMI: Hebu niambie kipi? EDUADO: Ugonjwa wako. MIMI:Unamaanisha nini? EDUADO: Mtoto Mpemba. MIMI: Hahahaha! Kaka acha utani, utanifanya nimfuate sasa hivi. EDUADO: Ndio hivyo. Mtoto ni pini sana, pini ile iliyosimama. MIMI: Hahaha! Pini kama ya Blackberry vile. EDUADO: Acha kaka. Mtoto ni pini zaidi ya zile za Blackberry. Kwanza ukimuona tu, mtoto utampenda. Mavazi yake sasa…weeeeeee. MIMI: Hebu nipe sifa zake kwa ujumla. EDUADO: Nisikilize. Mtoto ni wa kipemba. Ana nywele ndefu zinazomfikia chini ya mabega yake, mtoto ana hipsi zilizopangika, hapa mashavuni mwake ana vijishimo viwili, lipsi lainiiiii kila wakati zinang’aaaaa. MIMI: Kingine? EDUADO: Mtoto ana sura nyembamba, masikio hayaonekani sana, ifuani hapa kumesimama vizuri sana, mavazi yake huwa ni suruali za jinsi kwa sana. MIMI: Umesema anaishi wapi? EDUADO: Anaishi Masaki. MIMI: Halafu mimi naishi uswahilini Tandale. Umesema anamiliki simu gani? EDUADO: Anamiliki iPhone 5. MIMI: Halafu mimi namiliki Nokia ya Tochi. Umesema baba yake ana gari? EDUADO: Yeah! Yeye mwenyewe analo. MIMI: Mimi sina gari na baba yangu hana hata gari. EDUADO: Acha kujizarau Ibra. Mtoto unang’oa huyu. MIMI: Usijali. Ushawahi kufika kwao? EDUADO: Yeah kaka. Kwanza hiyo nyumba yao….duh! Kuna watu wanakufuru. Kwanza bonge la nyumba. Limezungushiwa ukuta, jumba lina fensi kwa juu, ndani kuna kamera, nyumba vigae, ukiingia ndani unakutana na bwawa la kuogelea. Kuna ungo wa Dstv, kuna bustani kali ya maua mbalimbali, kuna walinzi wawili ambao wanalinda kwa bunduki kutoka Knight. Yaani wapo full. MIMI: Ok! Mimi naishi Tandale. Nyumba yetu ndogo, haina ukuta wala fensi, haina mlinzi na kama kuogea, tunaogea bafuni na si kwenye bwawa. Mpaka hapo, nimeshamkosa. EDUADO: Ibra. Usiniangushe. Yaani mimi lengo langu umchukue huyu mtoto tu. MIMI: Una namba zake za simu? EDUADO: Hapana. MIMI: Basi ngoja nifanye mishe halafu nione itakuwaje. Ila wasiwasi wangu ule ule tu, itakuwa kama Sikitu. EDUADO: Usijali kaka. Huyu sio kama Sikitu. Kwanza yule demu mwenyewe alinitaka nikaamua kukurushia wewe. Mimi na mrembo wa mkoa wapi na wapi. Ishi Dar tuwe tunamalizana, mambo ya mikoani haya, tigo pesa zinatumika sanaaaa. Hapa hapa Bongo ndio kuzuri, ukimtaka tu, nauli yako sh 400 kwenda, 400 kurudi. 600 soda yako, 600 soda yake. Mwisho wa siku kwa gharama zote ukitoa buku tano, michenji inarudi mingi mpaka mfuko unaomba poo kwa kuzidiwa uzito. MIMI: Hahaha! Umeonaeeeee. Hakuna gharama kabisa. Ila poa, usijali. Ngoja nimtumie friend request halafu nianze kumfanyia uninja. Ila niandalie zawadi yangu. EDUADO: Usijali kaka. Wewe fanya yako, ukimaliza, niache nami nifanye yangu. Au sio? MIMI: Poa. Mia mia. Ngoja nianze kazi. EDUADO: Shwari. Ngoja nifanye yangu. Nataka nimfuate mtoto Magreth hapa. MIMI: Ndio yupi huyo? EDUADO: Si yule wa facebook wa kipindi kileeeee. MIMI: Kwani ushang’oa? EDUADO: Chezea mimi wewe. Mimi noma…kama ni wembe basi Gilette. MIMI: Sasa mbona hujamkata Aziza kama ni Gilette. EDUADO: Aziza ana chembechembe za chuma. Ningemkataje? Huyo nakuachia kama wewe mwenye yale maji ya kuyeyushia vyuma ndio utakwenda nae sawa. MIMI: Basi poa. Acha nikufanyie kazi yako mkurugenzi. Kazi hii niliachana nayo zamani sana ila kwa ajili yako, navaa gwanda nikukamilishie halafu nisepetue. EDUADO: Mia mia. Hapo nikatulia kwanza. Nikaanza kujifikiria ni kwa jinsi gani nilitakiwa kuanza kumfuata msichana Aziza. Kitu ambacho kilikuwa kikiniumiza kichwa changu kwa wakati huo ni kwamba hata Aziza mwenyewe sikuwahi kumuona kwa hiyo niliogopa kuuziwa mbuzi kwenye kiroba kama ilivyokuwa kwa Sikitu. Ngoja nikupe kijistori changu na huyu Sikitu. Eduado alinifuata inbox na kuniambia kuhusu Sikitu, alimsifia na kumpamba sana, alinifanya nivutiwe nae sana na yeye alitaka nimchukue, nikasema poa. Mzee nikaanza mishemishe zangu kama Michael Scotfield wa Prison Break na kweli ndani ya wiki mbili, mtoto akawa mikononi mwangu. Unajua jinsi mtu anavyokwambia kwamba msichana mzuri hata kama wewe mwenyewe haujamuona unaanza kumtengeneza msichana wako kichwani, hivyo ndivyo nilivyofanya kwa Sikitu. Nikamtengeneza Sikitu wangu kichwani, kumbe nilikuwa namuumba Sikitu wa tofauti bila kujua. Siku aliponitumia picha yake inbox niione mara baada ya kumlazimisha sanaaa, akanitumia. Alikuwa mrembo lakini hakuwa na urembo kama ambao Eduado aliniambia. Nikaachana nae. Sikitu hakukoma, chating zangu nzuri za inbox za maneno ya hapa na pale alikuwa akizipenda sana, hivyo alitaka tuendelee kuchati. Haikuwezekana tena, nilimkatia maguu mara baada ya kuniambia kwamba anaishi Musoma, mbaya zaidi huku Dar hakuwa hata na ndugu kwa hiyo hakuwa na ndoto za kuja Dar, sasa mimi ningeonania nae wapi? Yaani nisafiri mpaka Musoma kwa ajili yake? Niliona kuwa suala gumu sana kufanyika. Basi ndio hivyo, tukapotezana potezana na hatimae mapenzi kutoweka, siku hizi simuoni, bila shaka, kaniblock. Baada ya miezi miwili, leo Eduado kaja na mpya, kaja na mrembo mpya ambaye wala sijawahi kumuona, huyu anaitwa Aziza. Sikutaka kufanya vitu kwa presha sana, nilichokifanya ni kumuomba urafiki na kisha kuanza kusubiria majibu. Kila siku nilipokuwa naingia facebook, hakuwa amenikubalia, sikuwa na shaka, niliendelea kusubiria zaidi na zaidi na baada ya siku mbili, akakubali kuwa rafiki yangu, furaha iliyoje? Hapo ndipo nilipoamua kuuanza mchezo wangu, mchezo ule ule ambao ulimfanya Sikitu kuchanganyikiwa kwangu, ila kwa hapa, kutokana na sifa ambazo niliambiwa na Eduado, ilinipasa nitumie mbinu kubwa zaidi, mbinu ambazo zingeendana na uzuri wake, mtoto wa kipemba bwana, hakutakiwa kufuatwa kikawaida, nami nikaanza kumfuata kipemba kipemba na mapenzi ya Kihindi….mtu mzima nikawa najiona kama Shahruk Khan vile. Mtu mzima nikaingia kazini kwa ajili ya kuanza kazi yangu ambayo nilikuwa nimepewa ya kuhakikisha kwamba mtoto wa Kipemba, Aziza anakuwa wangu. Ni kweli kwa mambo ambayo alikuwa amenieleza Eduado yalikuwa yamekwishanitenga kwa kiasi kikubwa sana kutoka kwa Aziza lakini ilitakiwa pia nifanye yangu katika kipindi hicho. Kitendo cha Aziza kuukubali urafiki pamoja nami kilionekana kuwa kitu kizuri sana, kwa hiyo nilichokifanya nikajifanya bonge la bwege, nikamfuata kwa wall yake na kuandika ‘Asante A’ na kisha kusikilizia. Kweli, kama alivyosema Eduado ilikuwa vile vile, mrembo hakuiLIKE asante yangu wala kuitolea comment, nikaona poa, vyote hivi ni mwanzo wa kumbukumbu zangu nitakazompa hapo baadae. Kwa upande wa Eduado, hakutaka kujishika, kila siku alikuwa akinisumbua tu kwa inbox. EDUADO: Kaka vipi? MIMI: Kuhusu nini? EDUADO: Mtoto. Hujaniambia chochote kile. Umefanikiwa au? MIMI: Wewe umeniambia mambo mengi kuhusiana na huyu mrembo, unadhani ningeweza kumamilisha ndani ya siku tatu? EDUADO: Hapana. Nilikuwa nauliza manake nimeona hapa sasa hivi u rafiki yake. MIMI: Yeah! Ni rafiki yangu ila kila kitu kinatakiwa kufanywa kimahesabu. EDUADO: Usiniangushe basi Sharukh Khan. MIMI: Hilo usijali. Katika kipindi hicho nilikuwa nafikiria mambo mengi sana, huyu mtoto kwangu alionekana kuwa na pozi ajabu, yaani nilikuwa nikizipitia post za kizushi alizokuwa akiziweka, watu walikuwa wakicomment halafu yeye hatokei. Hata kama kaweka picha ya mdoli, watu walikuwa wakicomment halafu yeye hatokei na mbaya zaidi kulikuwa na watu wengi wanaolike na kucomment jambo lililonifanya kugundua kwamba kuna siku huyu msichana alikwishawahi kuweka picha na hivyo wanaume kujua ni mzuri na kisha kuzitoa. Bado kiu yangu ilikuwa ni kuwasiliana na Aziza tu ambaye alionekana kuwa mtu wa mapozi sana. Sikujua ningeanzia wapi ila nilichokifanya ni kuanza kumtumia meseji nione kama angeijibu au kuipotezea. MIMI: Mambo! Niliituma meseji hiyo, siku ya kwanza, ya pili, ya tatu mpaka wiki hadi mwezi lakini meseji ile moja haikujibiwa, mbaya zaidi nilikuwa namuona yupo hewani. Sikukoma kidume mimi, bado nilikuwa nikimtumia meseji za kumsalimia lakini hali ilikuwa vile vile, hakujibu. Mtu mzima nikaona naumbuka, kama nilikuwa naitwa Sharukh Khan basi ilibidi niwaonyeshe watu kwamba hawakukosea kuniita jina hilo, nilitaka kuwaonyeshea dhahiri kwamba mama yangu alikuwa mtu wa Tanga, kule ambapo mapenzi yalikuwa yamenogeshwa kwa kuwekewa makorokocho. Nilichoanza kukifanya ni kuanza kumtag picha. Hapa ni lazima ugundue, picha ambazo nilikuwa nikimtag ni zile ambazo zilikuwa na muonekano wa kimapenzi tu. Picha ambazo zilikuwa zikiwaonyesha wapenzi wakibusiana na kukumbatiana, ndizo ambazo nilikuwa nikimtag, tena yeye peke yake. Hahaha! Ule ukaonekana kama ujinga vile kumbe kwa wakati huo nilikuwa na target zangu kichwani. Niliendelea na mtindo ule ule mpaka siku ambayo akaonekana kuchoka na kukasirika, kwa mara ya kwanza akaja inbox, ila sio kiamani kama nilivyotaka, alikuja kibifu. AZIZA: Naomba usiwe unanitag mapicha yako. Niliisoma meseji ile. Kwanza nikacheka, kilichonifanya kucheka ni kwa kumuona kwamba alikuwa msichana mjinga sana, kitendo cha yeye kuniandikia meseji kilionekana kuwa kama kosa kubwa sana, nilichokifanya, nikaanza kuandika meseji ndefu, meseji ambayo ingemfanya kunijibu, meseji ambayo isingemfanya kubaki kimya. MIMI: Kuna vitu kadhaa Aziza itakupasa uelewe na ninatumaini vitakuongoza katika maisha yako yote. Jitahidi kuishi lakini kamwe usiwe mbinafsi. Unapopata kitu, usitake kukaa nacho, jaribu kuchangia pamoja na wenzako. Unapopata chakula, jaribu kumwangalia yule asiye na chakula na kumgawia, milele atakushukuru kwa ulichomfanyia siku moja tu alipokuwa na njaa. Unapomuona mtu hana nguo, mgawie nguo na ataendelea kukushukuru maisha yake yote. Unaniona mimi, mimi si mbinafsi hata mara moja, katika maisha yangu nimekuwa nikiwapa watu vitu fulani vitu ambavyo hawana katika maisha yao, nikakuangalia wewe, nikakuona kwamba u masikini sana, ukijiangalia, unajiona kuwa tajiri, mwenye fedha labda, lakini bado ni masikini, masikini wa kitu kimoja ambacho ulihitaji mtu mwenye kitu hicho akusaidie, nikakusaidia lakini unaonekana kuukataa msaada wangu. Kuwa makini Aziza, mara nyingine msaada huja mara moja na kupotea, unapoutafuta, inawezekana usiuone tena. Kwanza nikashusha pumzi nzito, nikaiangalia meseji ile na kisha kuirudia rudia mara nyingi nyingi na kisha kuituma. Niliiona kuwa meseji kali ambayo isingemfanya kubaki kimya kwa kutaka kujua ni kitu gani ambacho alikuwa amekosa katika maisha yake, kilichonifurahisha, akatuma meseji. Kuna nini tena? Meseji ya pili hiyo, hakujua kwamba ndio mwanzo wa chating yetu. AZIZA: Umemaanisha nini? MIMI: Nimemaanisha kwamba wewe ni masikini. Tena yule fukara kabisa. Hiyo ndio maana yangu. AZIZA: Sijakuelewa. MIMI: Hebu isome vizuri hiyo meseji, utaielewa tu. AZIZA: Nimeirudia zaidi ya mara tano, sijaielewa, naomba uniambie umemaanisha nini. MIMI: Nikuulize kitu kimoja? AZIZA: Niulize. MIMI: Unaweza kugundua ni umasikini wa aina gani umekuwa nao? AZIZA: Hapana na ndio maana nikauliza. MIMI: Inawezekana ukawa na magari, nyumba na fedha ila bado ukawa masikini, unakubaliana nami? AZIZA: Hapana. MIMI: Kwa sababu gani? AZIZA: Mtu ana kila kitu, atakuwaje masikini. MIMI: Hahahah! Aziza. Ukisema hivyo unakosea. Kuwa na kila kitu haimaanishi kwamba wewe si masikini. Unaniruhusu nikuulize kitu? AZIZA: Niulize MIMI: Unaamini katika fedha? AZIZA: Yeah! MIMI: Fedha inaweza kukupa kila ukitakacho? MIMI: Unakosea sana Aziza. AZIZA: Unapokuwa na fedha unanunua gari ulitakalo, unanunua chakula, unanunua nyumba na mambo mengine. Kwani nimekosea? MIMI: Umepatia. Ila unavyoona kila mtu mwenye fedha huwa na furaha? AZIZA: Inawezekana. MIMI: Umekosea. Umekwishawahi kuwasikia wale matajiri wanaojiua? MMI: Sasa wamekosa nini wale katika maisha yao? Wana fedha, wanaweza kununua kila kitu, wana magari, wanaweza kwenda sehemu yoyote ile. Ila swali linakuja kwa sababu gani wanajiua? AZIZA: Mmmh! Sijui. MIMI: Hahaha! Jibu rahisi sana. Walikosa furaha, amani, wakakosa mapenzi na mambo mengine. Unapokuwa na fedha, utanunua gari ila kumbuka hautoweza kununua furaha, unapokuwa na fedha utaweza kumnunua msichana mtaani lakini ukashindwa kununua mapenzi. Umenipata hapo? AZIZA: Kidogoooo. MIMI: Yeah! Kila mtu hunipata kidogo, ila tukiendelea kuchati, utanipata sana tu. Utaniruhusu niwe nachati nawe kwa ajili ya kukuambia mengi usiyoyajua? AZIZA: Yeah! Ila huwa siwi hewani muda wote. MIMI: Hilo si tatizo. Unachotakiwa ni kunishtua kila unapokuwa hewani. Utakwenda kufahamu mengi ambayo haujayajua. Kwani unaishi wapi? AZIZA: Nipo Masaki Dar es Salaam. MIMI: Ndio maana. AZIZA: Kwa nini? MIMI: Usijali. Mtaa unaokaa ndio nitakaoanza nao siku tukianza kuchati. Kwa sasa nahitaji kusoma, naomba uniruhusu niondoke. AZIZA: Ila pleeeaseeee naomba uniambie. MIMI: Sijakataa. Nitakwambia tu wala usijali. Wewe ni rafiki yangu, pamoja kuwa na kila kitu, yakupasa kupata vitu vingine ambavyo haupaswi kuvinunua. Nitakwambia namna ya kuvipata na inawezekana hata marafiki zako wakakushangaa. AZIZA: Mmmh! MIMI: Usigune. Huo ndio ukweli. Usiku mwema Aziza. AZIZA: Nawe pia. Kuna nini tena? Nilichokifanya ni kutoka hewani mpaka saa sita ndio nikaingia tena, Aziza hakuwepo, nikamtafuta Eduado, nikamuona, hata kabla sijamtumia meseji, akaniwahi. EDUADO: Vipi Sharukh Khan. Imekuwaje au bado? MIMI: Kwisha habari yake. Anacheza na mwanasaikolojia nini. EDUADO: Imekuwaje tena? MIMI: Wewe usijali. Cha msingi andaa zawadi yangu. EDUADO: Umeanza kufanikisha? MIMI: Ndio maana yake. Unajua ukimjua mpinzani inakuwa rahisi sana. EDUADO: Dah! Wewe noma kaka. Yaani hii kazi nimewapa watu saba, naona wengine wanambwela tu, wananiambia kila wakimtumia meseji dogo hajibu. MIMI: Hahahaha! Hata mimi ilikuwa hivyo hivyo. Nilivyoona anashindwa kujibu, nikatumia plan B. Hapo ndipo nilipompoteza na kuchati nae sana. EDUADO: Kwa hiyo ulichati nae? MIMI: Yeah! Tena mimi ndiye nimemkatisha. Chezea mimi wewe. EDUADO: Hahahah! Ebwana wewe nomaaaaa....sasa hata kukutambulisha kwa mrembo wangu mwingine naogopa. MIMI: Wewe si ulinipa kazi kaka? Hakuna tatizo. Kazi inafanyika taratibu. EDUADO: Duh! Kaka nashukuru sana kwa kunisikiliza. Natumaini mtoto ataeleweka tu. MIMI: Amekwishaeleweka. Dogo amekwishaeleweka. EDUADO: Hahahah! Basi poa sana, nimefurahi sana. MIMI: Usijali kaka...hug. EDUADO: Poa. Kila kitu kikaonekana kuwa juu ya mstari, meseji moja ambayo alikuwa amenitumia ikaonekana kubadilisha kila kitu. Ile meseji ndio ambayo nilikuwa nikiitaka kuiona na kweli aliituma. Chatting zikawa zimeanza, kwa Aziza, nilihitajika kuwa makini sana kupita kawaida kwani kwa kufanya vile nilikuwa na uhakika wa kumchukua ili kumuonyeshea Eduado kwamba nilikuwa Sharukh Khan. Sikutaka kuleta shobo tena kwani tayari nilimuona kuku kuwa wangu kwa hiyo sikutakiwa kumshikia manati kwa kuamini kwamba jioni ikifika mwenyewe atarudi bandani. Nilipoingia hewani siku iliyofuatia, msichana Aziza alikuwepo, kajaa tele ila mtu mzima nikaamua kuchuna. Katika hili ngoja nikwambie kitu kimoja rafiki yangu hasa mwanaume kama mimi. Unapoona kwamba kuna msichana fulani unampigia sana misele facebook, hautakiwi kila wakati umuanze wewe tu, sometimes unamchunia uone je ataweza kukutumia meseji au la. Ukiona kwamba kakutumia, basi jua kwamba anautambua mchango wako na hata kwenye ile mishemishe yako anaonekana kuifurahia. Ila ukiona nae anakaa kimya, mtu mzima poteza kwani si unajua warembo wapo wengi! Inawezekana haujapangiwa kuwa na huyo. Nilipomuona Aziza hewani, nikamchunia kana kwamba sijamuona huku nikiamini kwamba yeye ndiye alipaswa kunitumia meseji. Ila katika kipindi hiki hasa siku ya leo, meseji zilikuwa zikiingia nyingi nyingi hasa kutoka kwa marafiki zangu wengine, bahati nzuri nilikuwa natumia kompyuta hivyo ilikuwa rahisi kuwajibu. IBRA: Mambo vipi kaka! MIMI: Poa. Ni aje mkuu? IBRA: Kama kawa. Upo wapi? MIMI: Nipo gheto aiseee nimesizi tu si unajua kijimvua nje kinazingua. IBRA: Yeah! Hilo kweli kaka. Hivi unamuona mtu wangu hapo hewani? MIMI: Nani? IBRA: Tina. MIMI: Dah! Hapa namuona kwa kuotea, mara anakuja mara anatoka. Kama vipi mcheki kwa whatsapp. IBRA: Kwani yupo huko? IBRA: Dah! Basi nafikiri kule atakuwa kaniblock mtu mzima. Simuoni kabisa. MIMI: Hahahah! Kaka pole sana. Umeblockiwa...hahaha! Tatizo lako uliremba sana kwa kujifanya umeoa, full mauhakika. IBRA: Unajua nini kaka, kila siku naamini kwamba mwenda pole ndiye mla nyama. MIMI: Usitake kuniambia hivyo. Wahenga wengine walikuwa wakizingua tu, kidogo naweza kumuamini yule aliyesema chelewa chelewa utakuta mwana si wako. Si kwamba unamuona kinyonga anatembea taratibu ukajua hata yeye anajua kwamba anatembea taratibu, mwenzako pale anajiona anakimbia kwa kasi sana. Hahahaha! Na bado...atakublock mpaka whatsapp. IBRA: Akiniblock na huko tena, nitamuona katili sana kaka. Huku nikiendelea kupiga stori na Ibra, mara Emmanuel Solo nae akaingia kwa inbox yangu. Sikuwa na jinsi, nilikuwa nachati nao huku nikimuona Aziza hewani ila nami nilikuwa nimemlia pini tu. SOLO: Kaka. MIMI: Niambie. SOLO Upo wapi? MIMI: Nipo gheto. Wewe upo wapi? SOLO: Nipo Morogoro kama kawaida yangu. MIMI: Duh! Wewe noma. Ndani ya wiki moja umetembea mikoa mitatu. Big Up mkuu. SOLO: Kutafuta kaka. Maisha kutafuta. Si unamuona hata Ndimanga Hassan, anatembea zaidi ya mikoa kumi kwa mwezi, hatutakiwi kukaa sehemu moja. Hadithi imeishia wapi? MIMI: Ipi? Zipo nyingi tu. SOLO: Ile ya yule msichana mwimbaji wa kwaya aliyekuwa amepanga mauaji kwa mvulana ambaye alikuwa amemkataa kanisani na kuamua kutaka kumuua nchini Zambia. MIMI: Bila shaka unaizungumzia HER HIDDEN FACE, si ndio? MIMI: Ile ipo sehemu ya tano. Inaendelea kama kawa. SOLO: Basi poa. Ngoja niitafute niendelee kuisoma. EDUADO: Kaka MIMI: Niambie kijana. EDUADO: Mtoto leo kaja chuo aisee kapendezaje! EDUADO: Sure. Mtoto ni noma kaka. Mtoto mrembo mpaka anajishangaa. Namuona hewani, ushatupia mambo? MIMI: Hapana. Nangoja anianze, asiponianza nampotezea tu kwani si lazima kivile kuchati nae na kumshobokea. EDUADO: Ila kaka fanya mambo bhana. Huyu mrembo sitaki umkose kabisa. MIMI: Usijali kaka. Huyu mdogo mdogo mwisho wa siku utamkuta gheto kapumzika. Chezea Tandale wewe. EDUADO: Hahaha! AZIZA: Mambo! MIMIl Mabaya. AZIZA: Ubaya wake? MIMI: Naumwa. AZIZA: Nini tena jamani? MIMI: Maralia. Yaani mbu mmoja tu jana chumbani kwangu ndio alisababisha majanga yote haya. AZIZA: umekunywa dawa? MIMI: Hapana. AZIZA: Kwa nini sasa jamani? MIMI: Naogopa sana dawa Aziza. Labda uje uninyweshe kinguvu. AZIZA: Dah! Pole sana Ibra. Nitakuombea kwa Mungu akuponye. MIMI: Asante sana. Nitafurahi sana. AZIZA: Aya nishakushtua. Hebu niambie kuhusu vitu ulivyokuwa ukiniambia. MIMI: Tatizo lako unajiamini sana Aziza halafu unafanya makosa sana kila unapoona kwamba fedha ndio kila kitu. Yaani haujifikirii kama kuna watoto wa matajiri ambao wanaumwa sana mpaka wanakufa, kama fedha ni kila kitu si wangepona. AZIZA: Nafahamu. MIMI: Basi kama unafahamu, fahamu pia kuna kitu ambacho ni kila kitu na si fedha kama unavyofikiria. AZIZA: Kipi tena. MIMI: Mungu ndiye kila kitu katika maisha yetu. Bila Mungu, huwezi kuwa na furaha hata kama una fedha, bila Mungu huwezi kupona ugonjwa wako hata kama una fedha na kutibiwa na madaktari wakubwa duniani. Umenipata? AZIZA: Ndio nimekupata. MIMI: Au hadi hapo unataka kubishana tena? AZIZA: Hapana. Ila unaonekana kuwa na hekima sana Ibra. MIMI: Yeah! Unajua wakati mwingine yatupasa kuutambua ukweli. Hatutakiwi kuamini sana katika fedha. Ila achana na hayo. Wewe ni mama wa nyumbani, mwanafunzi wa sekondari au mwanafunzi wa chuo? AZIZA: Naonekaje? MIMI: Profile picha yako ni ya mdoli, sasa nitajua unaonekanaje? AZIZA: Hahaha! Usijali. Mimi ni mwanachuo. MIMI: Unasoma wapi? AZIZA: Mlimani MIMI: Unasomea nini? AZIZA: Sheria. MIMI: Afadhali. AZIZA: Afadhali ya nini tena? MIMI: Uje kuwa mwanasheria wangu baadae katika kampuni yangu. AZIZA: Hahahah! Utaweza kunilipa? MIMI: Kwa nini nisiweze? Nitakuwa na fedha mbayaaaaaaa....nitamiliki magari ya kifahari na majumba makubwa sana....lol AZIZA: Yote ni mipango ya Mungu ila napenda ulivyoongea kwa sababu unaonekana una imani ya kupata hivyo, cha msingi yakupasa kujituma tu na kumtanguliza Allah kwa kila kitu. Naomba nikuulize swali. MIMI: Usijali. Uliza. AZIZA: Unaishi wapi? MIMI: Tandale kwa Mtogole. AZIZA: Kule kwenye wezi wengi na wakabaji? MIMI: Si wezi wengi tu, kule kunapodharaulika na watu wenye fedha kama nyie. AZIZA: Hahaha! Usiseme hivyo bwana. Ila mbona umedanganya? MIMI: Nimedanganya nini? AZIZA: Kwenye profile lako. Umeandika unaishi Romania. Ulikuwa unataka kujipaisha nini upate wanawake? MIMI: Hapana Aziza. Hiyo imekuja yenyewe tu. AZIZA: Kivipi? MIMI: Nilikuwa nataka kupatambulisha kama home kwetu ni Tandale. Ila nilipokuwa nikiandika Tandale, haikuwa ikitambulika kama ilivyokuwa sehemu nyingine. Matokeo yao wao kama facebook wakaniletea Tandalesti mji fulani kutoka Romania, nikaona sio kesi, nikakubaliana nao, ila ukiangalia kwa makini, Tandale imetokeza katika jina hilo. AZIZA: Yeah! Nimeona. Hebu naomba uniambie mengi kuhusu Tandale. MIMI: Kama yapi unataka kufahamu? AZIZA: Mazingira, watu wa huko na mambo mengine. MIMI: Tandale kama Tandale mazingira yake mazuri sana, watu full kuyafurahia maisha kama kawa. Kuna watoto wazuri, watoto ambao wanajitambua wao ni nani na kipi cha kufanya maishani mwao. Kuna mambo ya Rusha Roho usiku, yaani kwa kifupi kuhusu maisha, huku tunakula sana bata kuliko kwenu pa kulala saa moja. AZIZA: Hahaha! Kwani huko kwenu huwa mnalala saa ngapi? MIMI: Huwa nikiwa mgonjwa sana, nawahi kulala kama saa saba hivi. AZIZA: Saa saba? MIMI: Yeah! Ila nikiwa si mgonjwa, mpaka adhana iadhiniwe. Watu tunatransform usiku kuwa mchana na maisha yanasonga. AZIZA: U must be kidding me Ibra. MIMI: Huo ndio ukweli Aziza. Siwezi kukutania. Unaona jinsi mawasiliano yetu yalivyokuwa yakienda? Hapo ndipo nilipokuwa napataka sasa. Nilikuwa namletea sana ucheshi lakini mwisho wa siku kuna kitu nilikuwa nakihitaji kutoka kwake, namba ya simu tu. Unajua katika maisha ya kuchati facebook huwa yanachosha sana, kuna kipindi fulani automatically unatokea kummisi mtu fulani na ungependa sana awe hewani lakini hayupo hewani, unapokuwa na namba ya simu, inakupa wakati mzuri wa kumsikia na kumjulia hali katika kipindi chochote ambacho ungependa kumsikia. Ucheshi ndio ulikuwa kawaida yangu ila katika kipindi hiki nilikuwa nataka kuuleta ucheshi mpaka katika maandishi. Aziza akaonekana kulifurahia hilo, akaonekana kuanza kunikubali japokuwa hatujawahi kuonana hata siku moja. Nilikuwa bize na chatting na Aziza, sikutaka kuwasiliana na mtu mwingine katika kipindi hicho japokuwa nilimuona Eduado, Ibra Akilimia na Emmanuel Solo walikuwa wamenitumia meseji. Nilikuwa nikijitahidi sana kumuingiza Aziza kwenye himaya yangu, yaani aingie bila kupenda na mwisho wa siku kila kitu kiwe poa sana. Sikujali alikuwa akiishi wapi, sikujali na mimi nilikuwa nikiishi wapi, kitu ambacho nilikuwa nikikiamini ni kwamba mapenzi wala hayakuwa na hiyana, yalikuwa hayabagui watu kama tulivyo wanadamu. AZIZA: Nikuulize kitu. MIMI: Niulize tu. AZIZA: Unasoma? AZIZA: Unafanya kazi? AZIZA: Sasa unafanya nini? MIMI: Nipo nipo nyumbani. Nilisoma kidato cha kwanza, sikuwa na fedha za kuniendesha kielimu, nikaachana nayo mpaka sasa hivi. Kuna kipindi nilipata vijisenti mara baada ya kubeba sana mizigo Tandale sokoni, nikaenda kusoma English Course. AZIZA: Kwa hiyo haufanyi kazi? MIMI: Yeah! Sifanyi kazi. AZIZA: Unafanya kitu gani kingine? MIMI: Sifanyi chochote kile. AZIZA: Ila niliona kama unaandika hadithi! Au majina yamefanana? MIMI: Yeah! Huwa ninazipost tu. AZIZA: Hadithi zile huwa unaandika wewe? AZIZA: Sasa huwa anaandika nani? MIMI: Anaandika baba na kisha mimi kuzichukua na kuziweka facebook. AZIZA: Unanidanganya Ibra. MIMI: Nikudanganye ili iweje? Kuna tuzo ya uongo wanapewa waongo? Huo ndio ukweli. AZIZA: Mmmh! Basi mpe hongera baba yako. Mimi: Zimefika. Wakati mwingine haitakiwi kuwa mkweli kwa kila kitu. Tayari nilikwishaona kwamba kagundua kwamba sisi ni watu tunaoishi sehemu mbili tofauti, madaraja mawili tofauti na katika kichwa chake aliamini kwamba Tandale wanaishi watu masikini japo haikuwa hivyo. Nilichokuwa nikikifanya ni kuendana na akili yake alivyokuwa ameiweka, nami nikaanza kujifanya masikini ambaye sikubahatika kusoma kwa kuwa sikuwa na fedha ya kuniendeleza kielimu. Nikafanikiwa, kwa kiasi fulani aina ya maisha ambayo nilimpa yalimfanya kuamini kwamba kweli nilikuwa mtoto wa uswahilini, nilijivunia kuishi Tandale katika uwepo wake. Maisha yalikuwa yakiendelea kama kawaida, kuhusu Aziza, wala sikuwa na wasiwasi kwa kuamini kwamba piga ua huyu mtoto ni lazima ningemchukua bila tatizo lolote lile. Kila siku nilikuwa nikiwasiliana nae, alikuwa akionekana kunikubali sana, chatting zangu zilizokuwa zikitabasamu zikaonekana kuuteka moyo wake. Nilikuwa na marafiki wengi facebook lakini nikikaa bila kuchati na Aziza sikuwa nikijisikia furaha kabisa. Japokuwa Eduado alikuwa amenipa ishu ya kumfuatilia Aziza kama mchezo fulani lakini kadri siku zilivyokuwa zikizidi kwenda mbele na ndivyo ambavyo nami nikazidi kufall inlove. Nilikuwa nikipenda sana Aziza, kila nilipokuwa nikiingia facebook na kumkosa, sikuwa nikijisikia raha kabisa. Kuna nyakati za shida zikaingia, nyakati ambazo sikuweza kumuona Aziza hewani. Katika nyakati hizo maisha yalikuwa ya tabu sana, nilikuwa nikikosa furaha hata katika maisha ya kawaida. Nilimzoea sana Aziza, nilimpenda sana Aziza kwa hiyo kutokuuona uwepo wake machoni mwangu kilikuwa ni kitu ambacho kiliniumiza sana. MIMI: Eduado vipi? EDUADO: Poa. Inakuwaje? MIMI: Kama kawa. Mbona Aziza simuoni siku hizi? EDUADO: Tupo kwenye mitihani kaka. MIMI: Sasa mkiwa kwenye mitihani ndio haruhusiwi kuwa hewani? Mbona wewe upo? EDUADO: Mimi si unajua mbishi kaka. MIMI: Dah! Nimemmisi sana Aziza. Nimemmisi ile mbaya kaka. EDUADO: Usijali kaka. Mitihani ikiisha atakurudi hewani tu. MIMI: Poa. Ila mnamaliza lini? EDUADO: Wiki ijayo. MIMI: Duh! EDUADO: Nini tena kaka? MIMI: Nahisi kama nitakufa kwa mawazo. Nahisi nitaweza kufa kaka. EDUADO: Usijali kaka. Wewe vumilia tu utakula mbivu. MIMI: Poa kaka. Katika kipindi hicho ndicho nikajua kwamba moyo wangu ulikuwa ukimpenda sana Aziza. Huyu Aziza ndiye ambaye alinifanya niwaone wasichana wote kuwa wa kawaida sana, yeye ndiye aliyenifanya nimuone kuwa msichana mzuri kuliko wasichana wote duniani. Uwepo wake katika mtandao wa facebook bado nilikuwa nauhitaji sana, nilikuwa nikijisikia mpweke kupita kawaida. Aziza...Aziza...Aziza...upo wapi wewe msichana uje kuupoza moyo wangu ulio kwenye maumivu makali? Siku zikaendelea kukatika na hatimae siku ambayo ilionekana kunifurahisha ikawadia. Siku hiyo nikawa kama nimepigwa na mshtuko mkubwa moyoni, sikuamini kile ambacho kilikuwa kikionekana machoni mwangu, Aziza alikuwa hewani. Sikutaka kupoteza muda, sikutaka kuleta pozi, kwa haraka sana nikamtumia meseji. MIMI: Mungu wangu! AZIZA: Nini tena. MIMI: Umekuja at last. AZIZA: Yeah! Nilipotea kwa kipindi fulani hivi, si unajua mitihani wangu. MIMI: Pole sana. Mmekwishamaliza? AZIZA: Yeah! Tumekwishamaliza. Ila nami nilikumisi sana. MIMI: Nashukuru kwa kunimis, ila ulimiss nini kutoka kwangu? AZIZA: Chatting zako, meseji zako zimekaa kitofauti sana na watu wengine. MIMI: Kivipi? AZIZA: Zipo kitofauti sana. Katika maisha yangu nimewahi kuchati na watu wengi sana, ila zako...dah! MIMI: Bado haujaniambia kivipi. AZIZA: Kwanza hauandiki kimkato kama neno ‘sijui kuliandika cjui’, yaani maneno ya mikato huwa hauitumii kabisa. MIMI: Kwani hiyo nayo ni sababu? AZIZA: Ngoja nikwambie kitu Ibra. Hii ni siri ambayo wanaume wengi wamekuwa hawaielewi na ndipo wanapofanya makosa kila siku. MIMI: Siri gani? AZIZA: Unajua unapochati na msichana yeyote ambaye haujawahi kuonana nae, unatakiwa kuonyesha nidhamu ya hali ya juu, hiyo ndio sifa moja kubwa ya kumteka msichana kwa sababu hisia zetu hazitekwi na mambo makubwaaa, hapana, hivi vitu vidogo vidogo ambavyo wavulana wanavipuuzia ndio vinatuteka. MIMI: Kama vitu gani. AZIZA: Cha kwanza salamu Ibra. Hivi unajua kwa sababu gani meseji yako ya kwanza kabisa uliyowahi kunitumia sijakujibu? MIMI: Hapana. Sijajua kwa nini. AZIZA: Salamu. Wanawake wengi wanalichukulia tofauti neno ‘mambo’. Unapomsalimia msichana kwa mara ya kwanza kwa kumwambia ‘Mambo’, wanaojibu ni wachache sana. MIMI: Kwa nini sasa? AZIZA: Kwa sababu mwanamke anapenda kufuatwa kinidhamu. MIMI: Sasa nilitakiwa kukusalimia vipi ili ujibu? AZIZA: Unapomfuata msichana yeyote duniani, anza kwa kumsalimia ‘Habari yako’ au salamu yoyote iliyokaa kinidhamu. Kidogo ukisalimia hivyo, kuna asilimia kubwa sana ya msichana kukujibu. MIMI: Duh! Kumbeee! AZIZA: Yeah! Hiyo ni siri ya kwanza Ibra, wavulana wengi huwa wanafeli hapo tu kitu ambacho kinawafanya kila siku kulalamika kwamba wasichana tuna mapozi kujibu salamu zao, hapana, hatuna mapozi bali wanakosea kusalimia, wanakosa nidhamu katika kusalimia. MIMI: Nimekuelewa. Naomba siri nyingine. AZIZA: Chatting. Unajua usipende kuchati na msichana kifupi kama nilivyokueleza toka mwanzo. Andika neno lote kwa ujumla, unajua unapoandika kifupi, unaupa kazi ubongo wa mtu kulifikiria neno na matokeo yake akili yake inachoka na kukatisha chatting na wewe. MIMI: Ila mimi sijawahi kuchati namna hiyo Aziza. AZIZA: Najua. Ila ninakumegea siri juu ya vitu ambavyo msichana anavipenda na vile asivyovipenda. MIMI: Dah! Umeifungua akili yangu. AZIZA: Ila wewe..dah! Wewe mtu noma. AZIZA: Kama kuna msichana ulichati nae halafu akaonekana kuchoka na chatting zako, basi hakika hatoweza kuridhika na chatting za mtu yeyote yule duniani. MIMI: Hahaha! Kwa nini? AZIZA: Unaandika maneno kwa ujumla, hauandiki vifupi, cha kushangaza sasa AZIZA: Unafuatilia mpaka alama za maandishi. Penye kiulizo, unaweka, penye nukta, unaweka, penye mkato, unaweka, penye alama ya mshangao, unaweka. Nimekuvulia kofia. MIMI: Hahaha! Ni kawaida sana Aziza. Napenda kuchati na mtu katika staili ya kuandika hadithi. AZIZA: Hongera yako. Naomba nikuulize swali. MIMI: Uliza tu. AZIZA: Ulinimis? MIMI: Sana tu. AZIZA: Ulimiss nini kutoka kwangu? MIMI: Chatting na mambo mengine. AZIZA: Kama yapi? MIMI: Uzuri...koh koh koh AZIZA: Hahaha! Hebu acha kunitania, umewahi kuniona mpaka useme mimi mzuri? MIMI: Unajua unapoongea na msichana usiyemfahamu simuni halafu ukasikia sauti yake, unajua tu kwamba huyu mzuri na huyu mbaya. AZIZA: Sasa kwani mimi umeisikia sauti yangu? MIMI: Hata unapochati na mtu, mwandiko wake unajionyesha kwamba huyu mzuri na huyu mbaya. Ila kuna kingine pia. AZIZA: Kipi? MIMI: Nilichogundua ni kitu kimoja. Wasichana wengi wanaoweka profile picha zao picha za wanawake maarufu wazuri, huwa wabaya. Ila walioweka picha za profile zao kama maua au midoli, huwa ni wanawake wazuri. AZIZA: Hahaha! MIMI: Yeah! Hii ni kwa sababu yule msichana mbaya kamuweka Rihanna kwa sababu anataka kutuonyesha kwamba yeye ni mzuri ila yule aliyoweka picha ya ua anataka kutuonyesha kwamba yeye ni mtu wa thamani, mzuri na ananukia kama ua au mdoli. Nililifuatilia hilo kwa marafiki zangu wengi na nikaligundua. AZIZA: Kweli wewe mfuatiliaji. Kwa hiyo ukagundua mimi kuwa ni mzuri? MIMI: Yeah! Nimegundua hilo kiasi ambacho kama nitaambiwa niombe kitu kimoja duniani nacho kitafanikiwa, basi ningeomba kuwa na wewe, basi. AZIZA: Hahah! Acha utani Ibra. MIMI: Kwani naonekana kutania? AZIZA: Yeah! MIMI: Huwa sifurahii pale ninapokuwa serious halafu mtu ananiona natania. Nipo serius Aziza. AZIZA: Sasa umenipendea nini? Hujawahi kuniona wala nini. MIMI: Ngoja nikwambie kitu Aziza. Mapenzi ni hisia, mapenzi hayajalishi uwe umemuona mtu au haujamuona, vyote hutokea moyoni. Unapotumia kipindi kirefu kuchati na msichana fulani, automatical moyoni unafall inlove, hicho ni kitu ambacho hutokea kwa binadamu wengi wenye moyo wa nyama kama wa Ibra. AZIZA: Duuh! Hivi naomba nikuulize kitu. MIMI: Uliza. AZIZA: Unaongea mambo mengi sana mazuri Ibra. Unaonekana kuwa una kitu cha ziada kichwani mwako. MIMI: Hapana, sina kitu cha ziada. Akili nilizonazo mimi ndizo ambazo hata mtu mwingine anazo, tofauti kwenye kuzitumia hizo akili tu. AZIZA: Unaonaaa. Kila unachoongea point. Ibra una kitu cha ziada akilini mwako. Matumizi ya akili yako nayaona kuwa tofauti sana. Wewe genius. MIMI: Genius! Acha utani. Niwe vipi Genius na wakati shuleni sijawahi kuingia hata kumi bora? AZIZA: Sikiliza Ibra. Kuna wale genious wa darasani. Haimaanishi ukiwa genious darasani basi hata kwenye kuongea na kuandika utakuwa genious, haiko hivyo. Kwa magenious wamegawanyika. Kuna wale wa darasani na wale wa sehemu nyingine kwenye maisha. Unaweza ukawa genius darasani lakini katika maisha ukawa mbumbumbu. Unakubaliana nami? MIMI: Kiasi. AZIZA: Hahaha! Usijali. Utanielewa tu. Turudi kwenye mada yetu. MIMI: Kwa hiyo hivyo ndivyo mapenzi yalivyo Aziza. AZIZA: Nimekuelewa Ibra. MIMI: Naomba nikuulize swali moja tu. AZIZA: Uliza. MIMI: Ushawahi kujisikia kitu chochote romantic moyoni mwako juu yangu? AZIZA: Swali gumu kujibika Ibra. MIMI: Najua. Hata mwalimu anapoamua kutoa mtihani mgumu, kuna wengine wanafaulu japokuwa ni mgumu. Najua swali langu gumu lakini naona linaweza kujibika kirahisi sana. AZIZAl Swali gumu Ibra. MIMI: OK! Ngoja nibadilishe swali. Unanipenda? AZIZA: Ninakupenda sana Ibra. Nahisi katika marafiki zangu wote facebook. U are the best. MIMI: Dah! Ushatoka nje ya mada. MIMI: Hebu turudi ndani ya mada. Unanipenda? Swali lile likaonekana kuwa gumu kwa upande wake, nikaona ukimya ukiwa umetawala mahali hapo, nikawa naisubiria meseji yake huku nikionekana kuwa na kiu kubwa ya kutaka kusikia kitu chochote kutoka kwake, hasa jibu la swali ambalo nilikuwa nimemuuliza. AZIZA: Mhh! MIMI: Nini tena? AZIZA: Una haraka sana Ibra. Maswali yako mengine yanakufanya nikuone mtu wa haraka mno. MIMI: Tatizo muda Aziza. Nahofia kwamba nikichelewa, nitakuta ushachukuliwa kitu ambacho sitaki kitokee. AZIZA: Hahaha! What if nikisema sikupendi? MIMI: Nafikiria litakuwa neno baya ambalo sijawahi kulisikia katika maisha yangu. AZIZA: Hahaha! Ibra una maneno sana. Hivi unayatoa wapi hayo yote? MIMI: Kutoka moyoni mwangu Aziza. Nimetokea kukupenda sana. AZIZA: Lakini bado mapema sana. MIMI: Najua. Najua kwamba mapema ila kumbuka kwamba vitu vingine ni lazima vifanyike mapema. Nadhani sina makosa juu ya hilo. AZIZA: Nikuulize swali? MIMI: Niulize. AZIZA: Una mpenzi? MIMI: Nadhani ningekuwa na mpenzi nisingeweza kukwambia kwamba nakupenda na kukuhitaji. AZIZA: Kwa nini usiweze? MIMI: Uaminifu. Napenda sana kuwa mwaminifu hasa kwa mtu nimpendae.....thats all. AZIZA: Sawa. Ila mbona haujaniuliza kama nina mpenzi au la? MIMI: Nadhani sitakiwi kujua kwani kwa upande mwingine nikitokea kujua, nitaumia kitu ambacho sitaki kitokee moyoni mwangu. AZIZA: Nakuonea huruma Ibra. AZIZA: Unampenda mtu usiyewahi kumuona. MIMI: Hahaha! Hilo si tatizo Aziza. Kukuona haijalishi. Kitu kinachojalisha ni wewe na mimi kuwa pamoja tu. AZIZA: Sasa kama nina mpenzi itakuwaje? MIMI: Sijajua itakuwaje lakini kitu ninachokihitaji ni kimoja tu, kupata nafasi moyoni mwako, kuthaminiwa na kupewa kipaumbele. AZIZA: Kwa hiyo mpenzi wangu nimuache kwa sababu yako? MIMI: Simaanishi hivyo Aziza. AZIZA: Hiyo ndio maana yake. Yaani nimuache mpenzi wangu. MIMI: Wakati mwingine inawezekana. Ngoja nikupe kijistori cha kizushi. AZIZA: Aya nipe. MIMI: Kuna mwanamke mmoja alikwenda kuchota maji siku moja, alikuwa amechoka na kuchafuka sana. Sehemu alipokuwa amechota maji kulikuwa mbali sana, kichwani alikuwa na ndoo na mkononi alikuwa na kidumu. Bahati mbaya, akajikwaa, ndoo ikadondoka na kupasuka, maji yakamwagika na kushindwa kuzoleka. AZIZA: Dah! Alifanya nini sasa? MIMI: Kurudi bombani kulikuwa mbali sana na alikuwa amechoka kupita kawaida. Kile kidumu ambacho alikuwa nacho mkononi ndicho kilichomsaidia kuoga. AZIZA: Stori nzuri. MIMI: Yeah! Ni nzuri na iliyojaa mafunzo. Umejifunza nini? AZIZA: Nimejifunza kwamba yatupasa kuwa na kidumu pia katika kipindi tunachokwenda kuchota maji. MIMI: Umekuwa mwerevu sana. Nadhani ushajua nimemaanisha nini. AZIZA: Hahaha! Kumbe ndio umemaanisha hivyo? Yaani nina ndoo na unataka niwe na kidumu? MIMI: Yeah! Ila naomba ufahamu kitu kimoja. Wakati ndoo inapopasuka, kidumu kitaweza kufanya kazi kama ndoo. Kwa hiyo ni muhimu kuwa na kidumu pia japokuwa haulazimishwa kufanya hivyo. AZIZA: Ibra unanifundisha tabia mbaya. MIMI: Hapana. Sikufundishi tabia mbaya ila nakupa tekniki nyingine ya maisha. Njia ambazo unaweza kufanya plan B mara plan A inapoonekana kuharibika. AZIZA: Ok! Nimekuelewa. MIMI: Sasa umechukua hatua gani baada ya kunielewa? AZIZA: Inabidi unipe muda wa kufikiria kwanza manake duh! Kuwa na kidumu inahitaji moyo. MIMI: Nisikilize Aziza. Unataka kwenda kuomba ushauri wapi? Kwa mama? AZIZA: Hapana Ibra, ila nahitaji kujifikiria juu ya hilo. MIMI: Kwani moyo wako unakwambia nini sasa hivi juu yangu? AZIZA: Hauniambii kitu chochote. MIMI: Unanidanganya Aziza. Hautakiwi kulifikiria jambo hili, unapoamua kufanya maamuzi ya maisha yako yakutakiwa kuwa peke yako Aziza. AZIZA: Najua. Sasa wewe unafikiri natakiwa kumuomba ushauri nani zaidi ya mama? MIMI: Niombe ushauri mimi. AZIZA: Hahaha! Aya basi nishauri juu ya hili. Unaonaje, niwe na Ibra au? MIMI: Hahah! Ninachokushauri ni kwamba inakupasa kuwa nae kwani kwa muonekano wake tu anaonekana kukupenda na kukuhitaji sana tofauti ya unavyofikiria Aziza. Usimuumize, mpende, kama ameamua kukupenda, kuutoa moyo wake kwa ajili yako, mfanyie the same. AZIZA: Hahaha! U mshauri mbaya sana. AZIZA: Unanishauri vitu vibaya. Ila ok! Naomba nikufikirie kwani sitaki kukuumiza. Nikisema nitoe jibu langu sasa hivi, utaumia na mimi sitaki uumie. MIMI: Sawa. Kama unaona ukitoa jibu la papo kwa papo utaniumiza, basi usifanye hivyo. Kwa hiyo lini utanijibu. AZIZA: Wewe unataka lini? MIMI: Sasa hivi....lol!! AZIZA: Utaumia. Naomba unipe muda. Bado tuna nafasi kubwa ya kuzidi kuwasiliana Ibra. MIMI: Poa. Kama ndio hivyo hakuna noma, acha tuzidi kuwa na nafasi zaidi. AZIZA: Umekasirika? MIMI: Hapana. Sijakasirika. Kwani umeongea neno lolote la kunikasirisha? AZIZA: Hapana ila wanaume wengine huwa ukiwakataa wanakasirika sana na kesho wanakuwekea post. MIMI: Acha nao. Hawajui mapenzi, mapenzi yanahitaji subira, mapenzi yanahitaji kujitoa kwa kila kitu, hautakiwi kukata tamaa ila mapenzi pia yanahitajiiiii........ AZIZA: Yanahitaji nini? MIMI: Kuyafuatilia sana kama unafuatilia kazi. AZIZA: Hahaha! Una maneno wewe mtoto. MIMI: Kawaida tu. Ila kiukweli...dah! hongera. AZIZA: Hongera ya nini? MIMI: U mzuri sana. Yaani dah! Sijui niseme nini. Kuna mengine nikisema naona kama nitaonekana muongo. AZIZA: Hahaha! Kivipi? Niambie tu. MIMI: Jana nilipokuwa nikinywa maji, nilikuona kwenye glasi, nilipokuwa najitazama kwenye kioo, nilikuona wewe. Usiku silali, nakuota wewe tu. AZIZA: Hahaha! MIMI: Maneno ya zamani hayo. Wanawake wa zamani ulikuwa ukiwaambia hivyo....fasta unamchukua. Ila nyie wa siku hizi mmejanjaruka sana. AZIZA: Hahaha! Kwa sasa hivi tunajua ukweli kwamba huwezi kuniona kwenye maji. MIMI: Ok! Tuachane na hayo. Hivi tunaweza kuonana? AZIZA: Kuonana. Mbona mapema sana! MIMI: Poa, usijali. Tutaonana tukizeeka kwa sababu ndio utakuwa muda muafaka. AZIZA: Hahaha! MIMI: Hiyo ndio maana yake. Yaani kuonana tu unataka tupeane kalenda. Kweli makubwa. AZIZA: Usijali. Tutaonana soon. Ngoja nikamilishe vitu fulani hivi vya kifamilia. MIMI: Ok! Hakuna tatizo. Unaweza kuchukua muda gani? AZIZA: Si muda mrefu, kama siku mbili tatu hivi. Unatamani kuonana na mimi? MIMI: Yeah! Ninatamani sana Aziza. AZIZA: Ok! Hakuna tatizo. Utaonana na mimi kwa masharti. MIMI: Masharti gani? AZIZA: Uje nyumbani. MIMI: Mh! AZIZA: Nini tena? MIMI: Kwa nini usije nyumbani. Au unaogopa matope, unaogopa kuchafuka kutokana na matope ya uswahilini? AZIZA: Hapana. Nitakuhitaji uje nyumbani. MIMI: Unataka nife nini? MIMI: Baba yako. Nadhani ataniua. AZIZA: Usijali. Ninapokwambia uje nyumbani, namaanisha kwamba siku hiyo itakuwa poa na hakutokuwa na tatizo. MIMI: Sawa. Ukiwa na nafasi naomba uniambie. Shida yangu nikuone tu. AZIZA: Sawa. Usijali. Tutaonana tu. Siku hiyo tulichati sana mpaka saa saba usiku muda ambao alitaka kulala, niliridhika na hivyo kumruhusu kwa moyo mmoja kulala. Siku zikakatika mpaka kufikia siku ambayo Aziza akataka kuonana na mimi. Nakumbuka siku hiyo ilikuwa kama ndoto kwangu, baada ya miezi miwili ya mawasiliano bila kuonana leo hii Aziza akaniambia kwamba alikuwa akitaka kuniona, nilitamani kurukaruka kwa furaha. Siku ya tukio ilipofika, nikaoga na kujiweka makini, nikachukua jinzi yangu na kuivaa, nikachukua raba zangu za kawaida na kuzivaa huku kofia yangu ikiwa kichwani mwangu. Kutoka nyumbani mpaka kwao Masaki wala hakukuwa mbali, nilitegemea kuchukua daladala na hatimae kwenda nyumbani kwao. Mara baada ya kumaliza kujiandaa, nikaingia facebook na kisha kuanza kuwasiliana nae. MIMI: Nipo tayari. AZIZA: Ok! Chukua namba yangu. Hii hapa. 0718 069 269. MIMI: Ok! Ndio najiandaa kwenda kituoni sasa hivi. AZIZA: Kwani umeshatoka nyumbani? MIMI: Bado. AZIZA: Basi usijali. Nielekeze nije kukuchukua. MIMI: Uje kunichukua? AZIZA: Yeah! Kuna ubaya? MIMI: Yeah! Sijawahi kufuatwa na gari toka nizaliwe. AZIZA: Usijali. Leo nitakuwa wa kwanza kukufuata. Umesema Tandale, napafahamu kidogo, nitakuja mpaka kwa Mtogole then unielekeze. MIMI: Hakuna tatizo. Nakusubiria. Sijui niseme nini aisee, huyu mtoto alikuwa akijiandaa kuja kunichukua nyumbani kwa ajili ya kuelekea nyumbani kwao, nilikuwa na presha sana, sikuwa nikijiamini kwamba nilikuwa mimi Ibra. Moyo wangu ukawa na dukuduku kupita kawaida, mavazi niliyoyavaa niliyaona kutokuwa fresh hali iliyonifanya kubadilisha mara kwa mara. Sikujua Aziza alikuwa akifanana vipi, uzuri ambao aliusema Eduado, leo nilikuwa nakwenda kuuona kwa macho yangu. Kwa sababu aliniambia kwamba angekuja mpaka kwa Tandale Kwa Mtogole wala sikuwa na wasiwasi, nilichokifanya ni kuelekea katika sehemu ya Mafyoso Camp ambapo vijana wengi tulikuwa tukitumia kukaa na kutulia. Siku hiyo, mawazo yangu yote yalikuwa juu ya msichana Aziza ambaye alitarajiwa kufika muda si mrefu, sikutaka kumwambia mtu, nilichotaka kukifanya nilitaka kiwe sapraizi kwa kila mtu mahali pale. Ilipofika saa tisa na robo alasili, simu yangu ikaanza kuita, nikaipokea na kisha kuipeleka sikioni. AZIZA: Nimekwishafika hapa kwa Mtogole. MIMI: Ok! Unaiona hiyo njia ya vumbi kushoto kwako? AZIZA: Nimetokea huku Kijitonyama Sayansi. MIMI: Haina noma. Vuka barabara ya lami na kisha ingia katika barabara ya vumbi, nyoosha, hapo mbele njia imegawanyika, panda na hiyo ya kushoto moja kwa moja utanikuta mtu mzima nimejaa tele na wanangu. AZIZA: Ok! Nakuja. Mapigo ya moyo yakaanza kudunda, kila nilipokuwa nikimfikiria Aziza nilikuwa nakosa amani. Nilikuwa nikijiangalia, japokuwa nilipendeza sana kama siku za sikukuu lakini kwa macho yangu nilijiona bado kabisa. Kwangu, Aziza akaonekana kuwa kama malkia fulani ambaye alikuwa akisubiriwa kwa mbwembwe zote kwangu. Macho yangu hayakutulia, yalikuwa yakiangalia ile barabara ya vumbi ambayo ilionganisha mpaka kwa Mtogole. Baada ya muda, kwa mbaliiiii niliweza kuliona gari moja dogo, Verrosa nyeusi, bila shaka lilikuwa gari la Aziza ambalo alikuwa akilitumia. Ebwana sikufichi rafiki yangu, nilipigwa na butwaa, nikakosa kujiamini. Sikutaka kuwaambia washikaji juu ya Aziza kwa sababu unaweza kuwatambia halafu mwisho wa siku msichana mwenyewe akaonekana kuwa si mzuri, mtu mzima ukaona noma. Gari lile likaendelea kuja, lilipofika karibu na pale tulipokaa, nikasimama na kisha kulisimamisha kwa kupunga mkono. Kwanza washikaji wakaonekana kunishangaa, hawakuwa wakifahamu kitu chochote kile kilichokuwa kikiendelea mahali hapo. Nilibaki nikiwa nimesimama nje ya mlango hasa baada ya Aziza kusimamisha gari, sikuweza kumuona kwa sababu vioo vilikuwa tinted. Aliposhusha kioo...MUNGU WANGU! Ngoja nikwambie kitu rafiki yangu. Kati ya majini wote wanaojigeuza kuwa warembo na kuua wanaume nyakati za usiku umewahi kuwaona? Kabla sijaendelea, ngoja nikwambie kitu fulani. Mimi kama mimi nilikwishawahi kukutana na msichana ambaye alikuwa jini nyakati za usiku, tena nakumbuka ilikuwa mkoani Kilimanjaro katika kipindi ambacho kulikuwa na tetesi nyingi kuhusiana na majini ambao walikuwa wakiua watu nyakati za usiku, bila shaka ilikuwa 2006 au 2007. Usijiulize nilijuaje kwamba huyo mwanamke alikuwa jini. Nilikutana nae usiku katika kipindi ambacho nilikuwa nikielekea Majengo katika kipindi cha likizo, nakumbuka ilikuwa saa mbili usiku, tulifunga shule na kuja Dar es Salaam niliona ningetumia gharama kubwa. Nilikutana na huyo msichana, asikwambie mtu, alikuwa mrembo mkali sana, ukali wa msichana yule jini sikuwahi kuuona kwa msichana yeyote yule toka nizaliwe, hata mrembo wangu alikuwa haingii ndani. Nilipopishana nae, alikuwa akinukia manukato mazuri sana, nywele zake zilikuwa ndefu, nilitamani kumsalimia, ila nilikuwa dogo, nadhani kama ningekuwa mkubwa, siku hiyo na mimi lazima ningeuliwa tu...yaani ni LAZIMA. Unamwacha vipi msichana mrembo unayepishana nae? Ukimwangalia, mwarabu si mwarabu, mzungu si mzungu na mtu mweusi si mtu mweusi. Nilipopishana nae, nilipiga kama hatua tano, nilipogeuka nyuma ili niangalie umbo lake la nyuma, kajazia vipi, sikumuona, kilichofuata...ni kutoka nduki tu huku nikipiga kelele. Nilipokuwa nikiwangalia Aziza katika kipindi hicho nilikuwa nikimfikiria yule mwanamke jini wa kule Kilimanjaro. Aziza, aisee Aziza....Mhh! Nadhani Eduado alikuwa mchoyo, hakutoa sifa ambazo alistahili kuwa nazo Aziza, Aziza alikuwa msichana mzuri sana, msichana ambaye....dah! Sijui nizungumze vipi. Hahaha! Kwanza kwa washikaji. Walipoona kwamba nimelisimamisha gari lile, wakataka kuangalia ndani kujua kuna nani, nilikuwa nimewapa mgongo, mlango ulipofunguliwa, Aziza akatoka nje...aiseeee. Si kwa watoto, watu wazima, mababu, wala warembo wengine, wote wakabaki wakimshangaa Aziza, alikuwa mkali mpaka mtu mzima nikawa najipa mapungufu. Ukiachana na zile sifa za uchoyo ambazo alikuwa amezitoa Eduado juu ya Aziza, acha nikwambie jinsi alivyo, umtengeneze Aziza wako kichwani mwako na uone ni jinsi gani alikuwa mrembo. Kwanza Aziza alikuwa Mpemba, kwa hapo sitaki nizungumze sana kwa kuwa wote mnaamini kwamba wapemba wamebarikiwa kwa urembo, mtoto alionekana kuwa baba yake alikuwa mwarabu, tena wa Dubai, mama yake alikuwa Mlangi, vuta picha mtu mzima. Mtoto alikuwa na nywele nyingi sana, hapo ndipo nilipogundua mapungufu ya sifa za Eduado. Mtoto hakuwa na nywele zilizoishia kwenye mabega, mtoto minywele ilikuwa hiyooo mpaka mgongoni huku zikiwa zinang’aa sana. Uso wake ulikuwa mwembamba ambao ulikuwa ukizungukwa na tabasamu pana ambalo lilikuwa likiyafanya meno yake meupeeee kuonekana. Ukiachana na hayo, huyu mtoto alikuwa na kidoti aisee, tena kile kidoto kilichokuwa karibu na pua, kilimfanya kupendeza sana. Ukiachana na uso wake uliomfanya kuonekana kama malaika, umbo lake lilikuwa zuri sana. Huwa wapemba ni kama waarabu au wachina, hawana makalio hayoooo tofauti na wanawake wetu weusi, yeye alikuwa mwembamba wa wastani, kifua chake kilikuwa kimesimama. Kwa sababu alikuwa amevaa sketi fupi kiasi, miguu yake haikuwa miguu ya bia, ilikuwa miguu ya wastani kidogo. Kila nilipokuwa nikimwangalia, mtoto hakuwa na kovu lolote lile, yaani alionekana kama katengenezwa kupitia Adobe Photoshop na kisha kuja kwangu. AZIZA: Wao Ibraaaaaa. Aliniambia kwa furaha na kisha kunikumbatia. Watu wote ambao walikuwa wakimwangalia Aziza wakaanza kutushangaa, Aziza alionekana kama mzungu, nilionekana kuokota embe katika mti wa mlimao au kujenga nyumba kubwa angani. Aziza alikuwa akinukia vizuri sana, harufu ya manukato yake ikanifanya nifall inlove zaidi na zaidi. Nilitamani kumbeba juu juu. Warembo wa pale mtaani ambao walikuwa wakiniringia sanaaaaaa, katika kipindi hiki walionekana kushikwa na wivu huku mioyo yao ikiukubali uzuri wa Aziza. MIMI: Mzima wewe cheupe? AZIZA: Mimi mzima. MIMI: kweli nilipatia, sikutoka nje hata mara moja. AZIZA: Ulipatia nini? MIMI: Wanawake mnaoweka picha za midoli na maua huwa mnakuwa wakali sana. AZIZA: Kwani mimi mzuri? MIMI: Nilikuwa najiuliza kwamba hivi umezaliwa hapa duniani au umeshushwa kutoka hukooooo. AZIZA: Hahaha! Acha hizo Ibra. MIMI: Mtoto unaonekana kuwa mrembo sana, mtoto una mvuto wa ajabu, mtoto unaonekana zaidi ya malkia Cleopatra aiseee...dah! Ulivyonikazia kuwa na mimi sawasawa tu manake ungenisababishia kifo. MIMI: Mmh! Hapa kifo nje nje aiseee. Tena bora ulivyokuwa na gari manake ungekuwa unatembea kwa miguu, utawafanya hata wale wanaokwenda msikitini kuswali wakatishe safari zao, utawafanya mpaka wale wanaokwenda kanisani kusali wakatishe safari zao kwa muda wakuangalie wewe. Kama vitabu vya dini vinavyosema kwamba ukimwangalia mwanamke na kumtani utakuwa umeshazini nae, haki ya Mungu nina uhakika wewe umeshazini na watu wengi maishani mwako. Umeshazini na mimi, umezini na wale marafiki zangu, umezini na wale mababu waliokaa pale chini wakicheza bao, mbaya zaidi, umezini mpaka na wasichana wenzako....hahahaha! Wamekusaga. AZIZA: Yaani yote hiyo kwa sababu wamenitamani? MIMI: Ndio. Hebu jiangalie, hivi unaweza kujilinganisha na nani? Hata Beyonce haingiii, labda Alicia Keys ndiye anaweza kuifikia nusu yako. AZIZA: Hahaha! Ibra una maneno matamu. Hebu nisubiri kidogo niende hapo dukani. AZIZA: Unakwenda kununua nini? Hakuna pizza wala baga hapa Tandale. AZIZA: Hahaha! Hebu acha utani. Huyu Aziza. Aisee bora alivyoweka picha ya mdoli katika akaunti yake ya facebook manake kama angeweka picha yake basi ingekuwa balaa. Mwendo wake ulikuwa ni wa mapozi kupita kawaida, alionekana kutembea kwa tahadhali ardhini. Nilichokifanya nikayapeleka macho yangu kwa washikaji waliokuwa pale kijiweni, nilijua tu kwamba walikuwa na dukuduku mioyoni mwao. JAFARI: Kaka heshima. Kaka heshima yako...kuanzia leo...hauna mpinzani hapa mtaani aiseeee...duh! MIMI: Hahaha! Mtoto umemuonaje. JAFARI: Kwanza huyu mtoto umemtoa wapi? MIMI: Facebook. JAFARI: Duh! Kaka naomba na mimi uniunganishe manake dah! MIMI: Kaka mambo hayapo rahisi kama unavyofikiri. Mpaka nimempata huyu mtoto, nimepitia kwenye mabonde, mito majabari mpaka wewe kumuona hapa. Usifikiri ukijiunga leo kesho unampata, unaweza ukawa babu hujaambulia chochote. ALLY: Kwani huyu ni wa facebook? MIMI: Yeah! Tena yupo mpaka Twitter...yupo kotekote. HUSSENI: Ila huyu mrembo sio mgeni machoni mwangu, nadhani nilishawahi kumuona sehemu. MIMI: Acha uongo. Wapi? ALLY: Daah! Nshajichanganya. Kumbe kichwani mwangu ilikuwa inakuja picha ya Kajool, yule mrembo muigizaji wa Kihindi. MIMI: Hahaha! JAFARI: Ila Ibra. Daah! Unapokuwa na mtoto kama huyu, hivi kweli unaweza kutembea nje ya ndoa? MIMI: Kaka, sisi wanaume hatufai, hata upewe mrembo mzuri kama malaika, kesho unalala na rafiki yake...hahaha! AZIZA: Ibra. MIMI: Niambie (Huku nikimfuata) AZIZA: Tuondoke. MIMI: Bila ya kukanyaga nyumbani? Hebu acha zako, twende home. AZIZA: Ibra...nataka tuwahi nyumbani. MIMI: Hata kama. Twende mara moja tu. Lengo kubwa la kumtaka Aziza twende nyumbani lilikuwa moja tu, kutaka kuwaonyeshea wale wasichana ambao walikuwa wakileta mapozi kwamba huyu msichana alikuja kwa ajili yangu kwani kama nisingefanya hivyo, wangejua kwamba alikuwa mpita njia ambaye alikuwa amesimama kutaka kuulizia kitu fulani. Kwa sababu alikuwa amelipaki gari pembeni, nikawaambia washikaji waliangalie na mimi kuanza kuondoka na Aziza kwenda nyumbani. Watu walikuwa wakinitolea macho, wengine walikuwa wakiniangalia kisiri na kunipigia saluti. Aziza alionekana kukimbiza kupita kawaida, urembo wake ulikuwa ni mkubwa kiasi ambacho hakukuwa na mtu aliyefikiria kama ningeweza kuja na msichana mzuri kiasi kile. AZIZA: Mazingira ya huku nimeyapenda. MIMI: Umeyapendea nini? AZIZA: Yametulia sana. Halafu kumechangamka. MIMI: Hahaha! Nyie si mmezoea mazingira ya kwenu yapo kimya utafikiri jangwani. AZIZA: Yeah! Unajua kule sijui kupo vipi, huwa kunaboa kweli. Katika kipindi chote ambacho tulikuwa tukiongea huku tukielekea nyumbani, kichwa changu kilikuwa kikimfikiria baba. Nilijua kabisa kwamba katika kipindi hicho alikuwa nyumbani, kichwa changu kilikuwa kikifikiria uongo ambao nilitakiwa kumpa, uongo ambao ungeendana na ukweli. Nilipofikiria kwa kipindi fulani, nikapata jibu, nikapata kile nilichotakiwa kumwambia baba. Kweli tukafika home, majirani wote wakawa wananiangalia kwa macho ya kunishangaa, Aziza, kwao alionekana kuwa tofauti sana, uzuri ambao alikuwa nao ulionekana kuwa wa kipekee sana. Nikaufungua mlango, tulipoingia ndani tu, kizaazaa, baba alikuwa kwenye kochi akiangalia televisheni. Nikamkaribisha Aziza, akamsalimia baba na kutulia kochini. Nikamwangalia baba huku lengo langu likiwa ni kutaka kumsoma, hiyo ndio ilikuwa tabia ya nyumbani, muda mwingi watu huwa tunasomana kabla ya kuongea kitu chochote kile. Baba akaonekana kufahamu nilichokuwa nikikifikiria. Akaniwahi. BABA: Unaonekana unataka kuniambia jambo, halafu hilo jambo la uongo, hebu niambie sasa nikusikilize. MIMI: Hahaha! Tatizo mzee Akilimia una presha sana. Wewe subiri kwanza, mbona unakuwa na wasiwasi? BABA: Huo mtazamo wako unaoutumia kunitazama. Ok! Karibu mgeni. Sijui unatumia kinywaji gani? AZIZA: Hapana. Nimeshiba. BABA: Kwani ukinywa kinywaji chochote utavimbiwa? AZIZ: Hapana. Nimekwishakunywa. BABA: Ibra, ni kweli anayoyasema? MIMI: Hapana. Hapo kakupiga fix. BABA: Jisikie huru. Uletewe kinywaji gani? AZIZA: Maji tu yanatosha. MIMI: Ok! Ila kuna maji ya chumvi...utakunywa? AZIZA: Mmmh! Maji ya chumvi? MIMI: Sasa unashangaa nini? Au haujui kama Dar es Salaam kuna bahari ya Indi? AZIZA: Niletee hata hayo nitakunywa tu. Mtu mzima nikanyanyuka, kumbuka hapo bado sikuanza kumtambulisha Aziza kwa mzee kwamba alikuwa nani na alifuata nini nyumbani. Juu ya hilo, sikuwa na wasiwasi sana kwani kwa umri ambao nilikuwa nimefikia, mzee hakuwa muongeaji sana zaidi ya kunitaka kuwa makini kila siku kwa kila nikifanyacho. Nilipochukua maji, nikamletea, tena kwa makusudi, nikamletea kwenye kikombe cha plastiki, nilichokuwa nikikihitaji ni kumuonyeshea maisha fulani ya tofauti sana, maisha ambayo alikuwa akiyaamini kichwani mwake kwamba yalikuwa yakiishiwa na watu waliokuwa wakikaa Tandale uswahilini. MIMI: Baba huyu ni rafiki yangu anaitwa Judith. Nilisomanae Faraja Seminari ila nilimuacha darasa moja. Kwa sasa yupo hapo I.F.M anasomea sheria. BABA: Asante kwa kumfahamu. Karibu Judith na jisikie huru. AZIZA: Asante. MIMI: Judith, huyu ndio mzee Akilimia. Huyu ndiye ambaye nimemuibia hiki kipaji cha kuandikaandika. AZIZA: Nashukuru kumfahamu. Kwa sababu tulikuwa na safari, hatukutaka kukaa sana mahali hapo, tukasimama na kisha kuaga na kuondoka. Njiani, Aziza alionekana kushangaa sana, hakuamini kama nilikuwa na uhuru mkubwa wa kuongea na mzazi kwa kiasi kile. AZIZA: Mbona baba yako unaongea nae namna ile? AZIZA: Ulivyokuwa ukiongea. Yaani kama unaongea na vijana wenzako. MIMI: Nisikilize Aziza, mzazi ni rafiki, hautakiwi kumuogopa sana mzazi mpaka kukosa uhuru, wazazi wetu hawakutulea katika mazingira hayo, walitulea katika mazingira ya kirafiki zaidi, mazingira ambayo yametufanya kuwa huru kwao. AZIZA: Basi hongereni. Mzee wangu ukae chini na kuongea nae namna ile, mh! Mtu hujiamini. Kwanza akirudi tu, amani nakosa, muda wote utasikia Azizaaaa. MIMI: Hahaha! Ila hao wazee ndio fresh. Mzee unakuwa bandidu kama hivyo, hakuna utani, hakuna masihala...hahaha! AZIZA: Kuna uzuri gani? Baba akirudi unajificha chooni. Ngoja nikuulize swali. AZIZA: Kwa nini umemdanganya jina langu na kila kitu kuhusu mimi? MIMI: Pale ningemwambia unaitwa Aziza, angeshtukia mchezo. MIMI: Unajua nimesoma seminari, sasa niliposema kwamba nimesoma na wewe, kidogo angetilia mashaka. Nilichokifanya ni kucheza na akili yake kabla ya yeye kucheza na akili yangu, nikamuwahi. Hahaha! AZIZA: Ibra una visa sana. Tuliendelea kwenda mtaa wa juu, tulipofika, watu wengine bado walikuwa wakishangaa, wala sikutaka kuwa na wasiwasi, kama kuuza tayari nilikuwa nimeuza sana, nilichokifanya ni kushukuru kwa niaba yake kwa washikaji waliokuwa wakililinda gari na kisha kuingia garini. AZIZA: Sasa hapa safari ni kwenda nyumbani. Unatakiwa kuwa huru, baba yangu ni mkali sana ila kwa sasa hayupo. Jiamini, usiwe na wasiwasi. Umenisikia. MIMI: Ooopsss...nimekuelewa. Sasa kama akirudi ghafla? AZIZA: Usiwe na wasiwasi. Kila kitu kipo under control. MIMI: Mmmh! Aya bhana japokuwa huwa ninahofia sana kwenda nyumbani kwa mwanamke. AZIZA: Hahaha! Kwa nini unaogopa? MIMI: Unaweza kugeuzwa mwanamke....hahaha AZIZA: Usijali Ibra. Hakuna mtu anayeishi nyumbani ambaye ametokea Mombasa. Kuwa na amani. MIMI: Aya (Nilisema na Aziza kuwasha gari na kuondoka mahali hapo huku nikiwa nimezoa maksi nyingi sana kwa kila aliyeniona na Aziza). Ila pamoja na hayo yote yaliyokuwa yakiendelea, nadhani sikutakiwa kwenda kwa kina Aziza. Mungu ametufumba macho kutojua mambo yanayotokea mbele yetu, kama angetupa uwezo, nadhani nisinge kwenda kwa kina Aziza kwani hali ilikuwa ni balaa tofauti na uhakika ambao alikuwa amenipa.....chezea wazee wa kiarabu kwa mabinti zao MIMI: Mmmh! Mbona mapigo ya moyo yananidunda hivi? AZIZA: Hahaha! Uoga wako tu. Au una BP? MIMI: Hapana. Yaani kama kuna jambo baya linakwenda kunitokea. AZIZA: Jambo gani na wakati nimekwishakwambia kwamba baba hayupo, nipo peke yangu. MIMI: Na mama je? AZIZA: Nae hayupo. Yaani kurudi kwao mpaka saa mbili usiku. MIMI: Hapo mwakemwake. Kiukweli nilikuwa na wasiwasi sana ila Aziza alijitahidi sana kuniondoa wasiwasi. Ngoja nikwambie kitu kimoja, hakuna wazee ambao ninawaogopa kwa mabinti zao kama wazee wa Kiarabu. Huwa hawataki utani kabisa, huwa hawataki ulete masihala kwa mabinti zao hata mara moja. Kukutoa roho kwa sababu umemfuata binti yake wala haoni tatizo hata mara moja. Kwa Aziza, akajitahidi sana kuniondoa wasiwasi lakini sikufichi rafiki yangu, hofu bado ilikuwa ikiendelea moyoni mwangu. Nikaona haina noma, mzee wa Kiarabu angenitishaje mimi mtoto wa Tandale na wakati kama fujo nimekwishazizoea? Mzee wa Kiarabu angenitishaje mtoto wa Tandale na wakati kama ugomvi tushazoea ? Nilikuwa nikijipa moyo ila nilipofikiria kwamba wazee wa Kiarabu walikuwa wakitumia hata bunduki kukudedisha, nikaona mweeeee...kazi ipo. AZIZA: Tumekwishafika nyumbani. Karibu. MIMI: Asante. Mlinzi akafungua geti na kisha Aziza kuliingiza gari ndani. Nikabaki nikishangaa tu, sikuamini kama hapa Tanzania kulikuwa na watu ambao walikuwa wakiishi katika majumba makubwa kama ule mjengo aisee. Kulikuwa na bonge la bwawa la kuogelea, bustani kubwa ya maua pamoja na sehemu ya kuegesha magari. Mazingira ya nyumba yakanivutia sana, tukateremka na kisha kuanza kuangalia huku na kule, nilitaka kuyazoea mazingira japokuwa ilikuwa ni mara ya kwanza kwangu. AZIZA: Mbona unaangalia hivyo. MIMI: Lazima niyazoee mazingira, naangalia vichochoro vya kufanyia uninja wangu mara mzee wako atakapotokea ghafla. AZIZA: Acha hizo bwana. Mzee harudi sasa hivi, mpaka saa mbili usiku. MIMI: Basi hakuna noma. Kuna nani mwingine ndani ya nyumba? AZIZA: Mfanyakazi wa ndani. Wadogo zangu wote wapo shule nchini Kenya. MIMI: Hakuna noma. Tukaingia ndani na kisha kutulia. Macho yangu hayakutulia sehemu moja, yalikuwa yakiangalia huku na kule kama mtu ambaye nilikuwa natafuta jambo fulani. Sebule ilikuwa nzuri, ilivutia na kupendesha macho ya kila aliyekuwa akiiangalia. Nikakaribishwa katika mkochi mmoja mkubwaaaa, ile kukaa tu, nikayahisi makalio yakiingia ndani kabisa na kuzama kochini. AZIZA: Hapa ndipo nyumbani. Karibu MIMI: Asante AZIZA: Nikuletee nini? MIMI: Kwani kuna nini na nini? AZIZA: Kuna juisi, soda, maziwa na maji. MIMI: Kwa sababu nyumbani ni ngumu sana kunywa maziwa, hebu niletee maziwa. AZIZA: Hahaha! Aya. Kuna kingine unachokitaka? MIMI: Kama kuna vitafunio itakuwa full mzuka. AZIZA: Unataka vitafunio gani? MIMI:Kwani kuna nini na nini? AZIZA: Kuna keki, mandazi, baga, pizza, chapati MIMI: Duh! Utafikiri nimeingia hotelini. Fanya hivi. Kwa sababu sijawahi kula baga zaidi ya kuisikia kwa watu, hebu niletee hiyo na kwa sababu nasikia sikia watu wakitamba facebook sijui pizza tamu, nami niletee kwanza. AZIZA: Utamaliza vyote Ibra? MIMI: Kwani vikibaki si nitabeba! Au hairuhusiwi kubeba? AZIZA: Inaruhusiwa. MIMI: Basi niletee. Usinishangae aiseee, hivi ndivyo nilivyo na nilikwishazoea kuishi maisha ya namna hiyo. Tandale hakukuwa na sehemu inayouza baga wala pizza, kwa hiyo kwa nini nisiagize baga na pizza nami nitoe ushamba mdomoni mwangu? Nikaletewa vitu nilivyovitaka, aiseee, kwanza nikajifanya kutokujua baga ipi pizza ipi, ikanibidi niulize. MIMI: Pizza ipi na baga ipi? AZIZA: Pizza hiyo ya duara na baga ni huo mkate wenye vitu mbalimbali. MIMI: Mweee...kazi ipo. Nahisi leo nitaumwa sana tumbo. MIMI: Tumbo langu halijazoea kula vitu hivi Aziza. AZIZA: Usiogope, vitu vya kawaida tu. Nikaanza kula buana, vilikuwa vitamu sana, tofauti na Aziza alivyofikiria kwamba ningebakisha, haikuwa hivyo, nikala vyote na kushushia na maziwa. Muda wote Aziza alikuwa akiniangalia, sijui alinionaje, sikutaka kujali, nilichokijali ni kupiga msosi tu. Hayo ndio yalikuwa matukio ambayo niliyafanya mahali hapo, bado nilikuwa nikitaka kumuonyeshea Aziza kwamba mimi nilikuwa mtoto wa uswahili. Najua wale masharobaro wangeomba maji na pia kama wangeambiwa kuhusu chakula wangesema wameshiba, ila kwangu mimi mtu nisiyekuwa sharobaro, hahaha! Nikaagiza vitu ambavyo vilikuwa adimu kupatikana Tandale. Nilichokuwa nikikifanya ni kucheza na akili ya Aziza tu, unajua unapoona umekuwa na msichana wa matawi ya juu halafu wewe unatoka uswahilini, usijifanye matawi sana na wakati kwenu ni wababaishaji tu. Nilitaka kumtia kipofu Aziza, nikajifanya sijawahi kula pizza na wakati mara nyingi nilikuwa nakwenda kuzinunua Magomeni karibu na msikiti wa Kichangani. Nikajifanya kwamba hata baga sijawahi kula na wakati nilikuwa nikipenda kuzinunua pale Kijitonyama katika sheli ya mafuta karibu kabisa na jengo la TTCL. Aziza akaniona kwamba kweli nilikuwa mtoto wa uswahilini MIMI: Nashukuru kwa chakula chako na kinywaji chako. Nadhani sasa ni wakati. AZIZA: Asante kwa kushukuru. Wakati gani? MIMI: Wa kuniambia kile ambacho kila siku nilikuwa nikikihitaji sana kwako. MIMI: Kuwa msichana wangu wa dhati. AZIZA: Hahaha! Hausahau? MIMI: Nitasahau vipi na wakati ninakupenda. Then ukiona nakumbuka basi jua kwamba wewe ni mtu muhimu sana kwangu. Kama usingekuwa muhimu, nisingekumbuka. AZIZA: Hahaha! Nisikilize Ibra, najua kwamba unanipenda ila... MIMI: Ila nini tena? AZIZA: Nahofia. MIMI: Unahofia nini? AZIZA: Kuwa na wewe. Naweza kufa kwa presha. MIMI: Haha! Hakuna kitu kama hicho. Nahitaji kuwa na wewe tu. Hebu fikiria muda wote ambao nimeupoteza kwa ajili yako Aziza, umekuwa rafiki yangu mkubwa, rafiki ambaye sikutaka kumpoteza katika maisha yangu yote. AZIZA: Najua. Tuendelee kuwa marafiki. MIMI: Nisikilize Aziza. Kila kitu kinakwenda na nyakati pamoja na mabadiliko. Najua kabisa kwamba kabla ya baba yako kumuoa mama yako walikuwa marafiki, si ndio? AZIZA: Ndio. MIMI: Baadae wakabadilika na kuwa wapenzi, si ndio? MIMIl Na mwisho kabisa wakawa mke na mume. Nimekosea? AZIZA: Haujakosea. MIMI: Yeah! Hayo ndio maisha yalivyo. Tumekuwa marafiki kwa kipindi kirefu, inatupasa tubadilishe kila kitu kwa wakati huu, kutoka kwenye urafiki mpaka kuwa wapenzi, tukitoka hapo, itatupasa tubadilike pia, tuje kuwa wachumba na hatimae mke na mume. AZIZA: Mmmh! Ibra una malego ya mbali. MIMI: Yeah! Hayo ndio maisha yanavyotakiwa kuwa. Hatutakiwi kila siku tufikirie kuhusu hapa tulipo, yatupasa tufikirie kule tutakapokuwa kesho. Ukiona mtu anafikiria zaidi hapa, kidogo atakuwa na matatizo fulani kichwani. AZIZA: Naomba nikuulize swali. Unanipenda? MIMI: Nadhani macho yangu yanaelezea kila kitu. Siku zote mapenzi ya msichana huonekana katika tabasamu lake ila mapenzi ya mvulana huonekana machoni mwake. Unaona nini machoni mwangu? AZIZA: Mapenzi. MIMI: Yeah! Hicho ndicho kitu kilichomo moyoni mwako juu yako. Nakupenda sana. AZIZA: Najua. MIMI: Naomba kitu kimoja Aziza. AZIZA: Kitu gani? MIMI: Lipsi zako. AZIZA: Zimefanyaje? MIMI: Nataka kuona ni jinsi gani zilivyo laini. MIMI: Unamaanisha nini? MIMI: Haujajua namaanisha nini? Subiri. Nikainuka pale nilipokuwa na kisha kumsogelea. Lengo langu kubwa mahali hapo lilikuwa ni moja tu, kubadilishana mate na kisha nione lipsi zake zilikuwa laini kiasi gani. Hakuonekana kuwa mchoyo, akanipokea, huku lipsi zetu zikiwa zinatamaniana tu, ghaflaaaaa....tukasikia honi ya gari getini. Kwa haraka sana Aziza akainuka na kisha kuchungulia dirishani, geti lilipofunguliwa, alikuwa baba yake. AZIZA: Mungu wangu! Baba! MIMI: Unasemaje? AZIZA: Baba. Baba amerudi. MIMI: Amerudi (Nikainuka na kwenda kuchungulia dirishani, gari aina ya Range la baba yake lilikuwa linaingia) AZIZA: Mungu wangu! Sijui nifanye nini. MIMI: Wewe si ulisema baba yako anarudi saa mbili usiku? AZIZA: Ndio. Sijui leo imekuwaje. MIMI: Mmmh! Hiki kifo (Nilijisemea moyoni huku nikitetemeka na haja ndogo ikitaka kunitoka) Aziza alionekana kama kupigwa ganzi, hakujua ni kitu gani ambacho alitakiwa kukifanya kwa wakati huo, nilimuona akianza kutetemeka huku kwa mbali kijasho chembamba kikianza kumtoka. Hakuonekana kuamini kile ambacho alikuwa akikiona mahali pale. MIMI: Kwa hiyo? AZIZA: Sijui nifanye nini. MIMI: Chumba chako kipo wapi? AZIZA: Njoo. Nikaanza kumfuata kule aliponiambia nimfuate, chumbani. Nilijua fika kwamba katika kipindi hicho akili yake haikuwa sawa, mimi kama ninja nikatakiwa kufanya manuva. Tukaenda mpaka chumbani kwake, alikuwa akiendelea kutetemeka tu. Baada ya kufika chumbani, mtu mzima nikabaki nikikiangalia chumba kile, kilionekana kuwa na mvuto sana. AZIZA: Kwa hiyo. MIMI: Daah! Ngoja nizame chini ya kitanda (Sikutaka kuchelewa hata sekunde kumi, mtu mzima nikazama chini ya kitanda) Huko chini kulionekana kusafi ajabu, kitanda kile kikubwa cha chuma kilikuwa na nafasi ya kutosha kabisa. Kitu cha kwanza nilichokifanya ni kuichukua simu yangu na kisha kuiweka katika silent. Nilibaki nikijiuliza sana kwamba kwa nini jambo kama lile lilikuwa likinitokea? Kwa nini Aziza alikuwa ameniaminisha sana mimi kwenda kwao mpaka kutaka kuniletea msala? Kila nilichojiuliza nikakosa jibu. Kule chini ya kitanda nikaanza kuchati na Eduado kupitia sms za kawaida. EDUADO: Ibra umefikia wapi? MIMI: Kaka acha. Nipo kwao. EDUADO: Du! Upo kwao? Wewe noma. Ilikuwaje kuwaje hadi umefika kwao? MIMI: Alikuja kunichukua home. EDUADO: Sikupatii picha mtu mzima. Leo malovee hapo hapo chumbani kwake. MIMI: Haha! Kaka acha, huku msala. Nipo uvunguni. EDUADO: Uvunguni! Kivipi tena? MIMI: Baba yake amefika na wakati dogo alisema kwamba anarudi saa mbili usiku. Karudi kwa kushtukiza, yaani hapa nimeingia chumbani kwake na kujificha uvunguni. EDUADO: Hahaha! Kaka hiyo kweli noma, sikupatii picha aisee ulivyojipinda huko mtu mzima, kama dawa ya mbu. MIMI: Kaka wewe acha tu, huku ni noma. Ukisikia nimepigwa risasi, usishangae. EDUADO: Dah! Ngoja nikuombee Mungu akuokoe. MIMI: Wewe unafikiri Mungu atanisaidia hapa? EDUADO: Atakusaidia tu. MIMI: Kunisaidia anaweza ila dah! Kaka mimi ni mwenye dhambi. Nafikiri atataka nikamatwe ili nisirudie mchezo wangu wa kusalandia watoto wa watu. EDUADO: Kaka pole sana. Sasa mtoto anasemaje? MIMI: Yaani hapa ni kujiokoa mwenyewe. Aziza anazingua, anaonekana kuogopa sana. EDUADO: Kwa hiyo utatokaje humo uvunguni? MIMI: Ngoja kwanza giza liingie manake huku mtu unaweza kufa. Mtu mzima nilikuwa nazidi kutetemeka chini ya uvungu wa kitanda, Aziza hakuwa akitulia, mara aingie, mara atokea hali ambayo ikanionyeshea angetoa boko muda wowote ule. Nilichokifanya nikachukua simu yangu na kisha kuanza kumtumia meseji. MIMI: Nini kinaendelea hapo? AZIZA: Baba amekaa sebuleni, amekuja na wageni. Tena wageni ambao watalala hapa hapa nyumbani. MIMI: Hilo sio tatizo sana. Wa kike au wa kiume? AZIZA: Wa kike. MIMI: Duuh! Ila si watalala chumba cha wageni? AZIZA: Yeah! Ila wengine watalala katika chumba changu. Mbaya zaidi baba ameniambia nije kusogeza kitanda ili kiingizwe kitanda cha pili. MIMI: Duuuh! Leo kazi ipo. AZIZA: Mbaya kuliko zote amemwambia mdogo wangu aje kufagia chumbani. MIMI: Wewe si ulisema wadogo zako wapo shule bording? AZIZA: Nilikuwa nimekudanganya. MIMI: Mungu wangu! Nimekwisha. AZIZA: Naomba uniambie nifanye nini Ibra. MIMI: Kwanza kabla ya yote punguza presha. AZIZA: Sawa. MIMI: Najua kwamba leo nakwenda kukamatwa, kabla sijakamatwa naomba uniambie kitu kimoja. MIMI: Unanipenda? AZIZA: Nakupenda Ibra. MIMI: Upo tayari tuingie katika mahusiano kwa muda mchache uliobakia kabla sijauawa na baba yako? AZIZA: Ibra usiseme hivyo. MIMI: Wewe unafikiri nitasemaje? Naomba unijibu. Upo tayari? AZIZA: Nipo tayari lakini jua hautokwenda kuuawa. MIMI: Nimefanya kila kitu kwa ajili yako, nilihisi mambo haya yatatokea tu toka tulipokuwa tukija. Ila usijali. Ngoja nikuonyeshe jinsi mchezo unavyofanyika Aziza. Nataka nikuonyeshe kwamba huwa sikamatwi kijinga jinga. AZIZA: Utafanya nini sasa? MIMI: Cha kwanza hakikisha mdogo wako haji kusafisha chumba, akifika chumbani mpokonye fagio, ng’ang’ania kusafisha chumba chako. AZIZA: Sawa. Cha pili? MIMI: Hakikisha kila unapotoka chumbani, unafunga mlango kwa ufunguo, cha tatu, uache mlango wa jikoni wazi, cha nne mpe taarifa baba yako kwamba kuna mtu alikuja kumuulizia. AZIZA: Mmmh! Huyo mtu nani? MIMI: Ibra...ila leo niite jina la Ahmed. AZIZA: Akisema yupo vipi? MIMI: Mwambie kama jinsi nilivyo. Usitie shaka. AZIZA: Kingine nisemeje? MIMI: Mwambie kwamba ningekuja baadae kumuulizia tena. MIMI: Usijali. Kila kitu kipo under control. AZIZA: Sawa. Baada ya dakika kadhaa, nikasikia mlango ukifunguliwa, nikasikia vishindo vikija kwa kasi, alikuwa mdogo wake ambaye alitaka kusafisha chumba kwa kukifagia, Aziza akafika na kisha kumpokonya ufagio kwa kutaka kufagia yeye mwenyewe. Mdogo wake alipoondoka, akakiinamisha kichwa na kisha kukutana nami. MIMI: Vipi huko? AZIZA: Bado hali ni ngumu. MIMI: Daah! Sikamatwi kijinga hapa. Fanya kama nilivyokwambia, umesikia? AZIZA: Sawa. MIMI: Nakupenda mpenzi. AZIZA: Nakupenda pia (Tukafanya kile tulichotaka kukifanya pale sebuleni....lol) Aziza akaondoka, nikaona sio ishu, niliendelea kukaa uvunguni mule. Nazo dakika zilikuwa zikisogea tu, zilisogea zaidi na zaidi, mpaka saa moja usiku inaingia, mtu mzima nilikuwa mule mule ndani, chini ya uvungu. Saa mbili kasoro nikaona ungekuwa ujinga, nikamtumia Aziza meseji. MIMI: Njoo uvunguni kwanza. MIMI: Ila kabla ya kuja, cheki kuna nani jikoni. AZIZA: Yupo mama. MIMI: Vizuri sana AZIZA: Vizuri? MIMI: Yeah! Njoo kwanza huku uvunguni. Baada ya muda, Aziza akafika, hakuonekana kuwa na amani. AZIZA: Unasemaje baby? MIMI: Hapa naondoka na kuelekea jikoni, cha msingi kamtoe mama yako jikoni. AZIZA: Mmmh! Nitamtoa vipi? MIMI: Kamwambie kwamba baba yako anamuita. AZIZA: Eeeh! MIMI: Fanya hivyo. Una dakika moja ya kufanya hivyo. Nakwenda na muda. AZIZA: Halafu? MIMI: Wewe kamwambie hivyo. Akija sebuleni mimi utanikuta nje ambapo huko sebuleni utamwambia baba yako kwamba kulikuwa na mtu alikuja kumuulizia. Umesikia AZIZA: Na mama akifika sebuleni na kusema kwamba kaitwa kumbe hajaitwa? MIMI: Mwambie uliskia vibaya. AZIZA: Sawa. Umeifungua MIMI: Kwenye ile dakika moja, umebakisha sekunde arobaini. Nenda, ukitoka zima taa ya humu chumbani na uuache mlango wazi kidogo Aziza akaondoka mahali hapo, na kweli akaelekea jikoni na kumwambia mama yake kwamba alikuwa akiitwa na baba yake, nilipomuona mama yake akipita ukumbini kueleka sebuleni, nikaufungua mlango na kupita kuelekea jikoni kwa kasi huku nikihakikisha sisikiki, nikaufungua mlango na kutoka nje kwa nyuma, nikaanza kuambaa ambaa mpaka pembeni ya gari lao. MAMA AZIZA: Nimekuja mume wangu. BABA AZIZA: Kuna nini? MAMA AZIZA: Aziza amekuja na kuniambia unaniita. BABA AZIZA: Mimi! Hapana, labda kasikia vibaya. AZIZA: Si nimesikia unamuita mama. BABA AZIZA: Hapana. AZIZA: Basi samahani nilisikia vibaya MAMA AZIZA: Usijali. Nipo jikoni naandaa chakula kwa sababu dada wa kazi anaumwa, amelala na huyu Aziza asije akatoa chakula kibichi BABA AZIZA: Sawa. Aziza, wapeleke chumbani wageni hawa. AZIZA: Sawa. Ila leo kuna mtu alikuja kukuulizia. BABA AZIZA: Nani? AZIZA: Sijui, ila alisema atarudi usiku. BABA AZIZA: Yupo vipi? AZIZA: Mrefu kidogo, maji ya kunde halafu ana.........! MLANGO: Ngo ngo ngo ngo (Nilikuwa nikipiga hodi huku mlinzi akionekana kunishangaa kwani aliniona ninavyoingia na Aziza, alikuwa hajui sababu kwa nini nilikuwa nimetokea nyuma ya nyumba na kuanza kugonga mlango. Mlango ukafunguliwa, alikuwa Aziza, kama vile sterring, nikaingia ndani, Baba yake Aziza akabaki akiniangalia, sikufichi, nilijiamini kama Van Damme) Baba yake Aziza alikuwa amenitolea macho pamoja na wageni wote ambao walikuwa sebuleni, mtu mzima sikutaka kuteteleka hata kidogo, nilionyesha uso wa kujiamini kupita kawaida. Kwa Aziza, kwa mbali alionekana kuwa na hofu kwani alidhani kwamba nisingekuwa na ujasiri wa kusimama na kuzungumza. MIMI: Samahani mzee. Shikamoo. BABA AZIZA: Marahaba. MIMI: Nilikuja katika kipindi kilichopita lakini sikukuta. BABA YAKE AZIZA: Sikuwepo. Sawa, umeshanikuta. Kuna nini? MIMI: Niliagizwa na mzee Badour wa kule Msasani, ameniambia kwamba leo utatakiwa kufika katika kikao kile cha harusi kinachoendelea (Baba Aziza akaonekana kushtuka) BABA AZIZA: Kikao gani? MIMI: Kile cha mtoto wake, Farhia. BABA AZIZA: Huyo mzee ndiye nani? MIMI: Mfanyabiashara mwenzako. BABA AZIZA: (Huku akionekana kushangaa zaidi) Alikutuma uje kwangu? MIMI: Ndio (Nilijibu huku nikiwa serious) BABA AZIZA: Una uhakika ni mimi? MIMI: Ndio. BABA AZIZA: Yeye alikwambia uende kwa nani? MIMI: Kwako. MIMI: Mzee Mahmoud. BABA AZIZA: Hapana. Mimi sio mzee Mahmoud. Mimi ni mzee Mansour. MIMI: Mmmh! Mbona unanichanganya? Hii si nyumba namba 315? BABA AZIZA: Hapana. Hii ni nyumba namba 511. Nyumba kuanzia namba 300 zipo kule mbele. MIMI: Ok! Basi samahani kwa usumbufu mzee wangu. Nikosea namba, ila nilipomuuliza mlinzi alijibu hapa ni kwa mzee Mansour ila jina likanichanganya, si unajua sisi wengine majina ya kiarabu hatuyajui vizuri. BABA AZIZA: Usijali kijana. Najua vijana wa sasa hivi mnakuwa na mambo mengi vichwani. Sawa. Nenda. MIMI: Usijali (Nikageuka na kisha kuufungua mlango huku Aziza akibaki kutetemeka tu) MLINZI: Ebwanaa vipi tena, mbona sikuelewielewi? MIMI: Hakuna tatizo. Nilikuwa nataka kuonana na mzee Mansour tu, kuna uninja nilikuwa nakamilisha mara moja. MLINZI: Uninja gani? MIMI: Wa kucheza na akili za watu MLINZI: Kivipi? MIMI: Usijali, hili liko nje ya uwezo wako, ukitaka kulifahamu, utachanganyikiwa. MLINZI: Mmmh! Sawa! Karibu. Nikashusha pumzi ndefu, sikuamini kama niliweza kutoka katika mikono ya mzee yule aliyeonekana kuwa na hasira kupita kawaida. Nilitembea kwa mwendo wa haraka haraka mpaka kituoni ambapo nikapanda gari na kisha kuelekea nyumbani. Garini, mawazo yangu yalikuwa juu ya ule msala ambao nilikuwa nimenusurika, ulikuwa msala mkubwa ambao ungeweza kunitoa roho kama ningeleta ishu za Kisharobaro kama Eduado. Nilipofika nyumbani, nikaanza kuchati na Aziza. AZIZA: Hakuna kama wewe. Umeshindikana mpenzi. Wewe ni genius. MIMI: Hahaha! Tena ana bahati leo sikutaka kuleta usanii mkubwa zaidi. AZIZA: Mmh! Kwani ungeweza kuleta zaidi ya ule? MIMI: Yeah! Yaani mngenibeba pale. AZIZAl: Hahaha! Hapana chezea wewe mtoto wa Tandale, umeshindikana aisee. MIMI: Hahaha! Usijali. Kokote kunapokuwa na ishu zinazohitaji mafunzo ya kininja wewe niite tu, usiogope. Hata ukitaka kuingia Ikulu, wewe niite tu na kila kitu kitakuwa poa. AZIZA: Mmmh! Unajiamini wewe. MIMI: Acha masihala na mimi. AZIZA: Ok! Leo sichati sana ila ningependa kuonana na wewe kesho. MIMI: Wapi? AZIZA: Popote upendapo. MIMI: Poa. Tuonane gesti. AZIZA: Hahaha! Acha masihala. MIMI: Ndio maana nimekwambia sema wapi. Yaani ni sawa na kuja Tandale halafu nikuulize unakunywa kinywaji gani, je ukisema unataka maziwa, nitayatoa wapi? Ukija huku sikuulizi unakunywa kinywaji gani, nakuuliza unakunywa soda gani. AZIZA: Hahah! Wewe mtoto wewe. Najivunia kuwa na mtu kama wewe. MIMI: Usijali. Kuwa serious, tuonane wapi? AZIZA: Njoo chuo. MIMI: Saa ngapi? AZIZA: Muda wowote ule. MIMI: Poa. Nitakuja saa nne usiku. AZIZA: Nini? MIMI: Hebu kuwa serious, nije saa ngapi? AZIZA: Njoo saa tisa. Unalijua lile jengo la Biashara la UDBS? MIMI: Yeah! Si pale karibu na kituo cha polisi, opposite na mini-super market? MIMI: Poa nitakuja. AZIZA: Usichelewe, kuna bonge la sapraizi nataka kukuonyeshea. MIMI: Mmmh! Lipi hilo? AZIZA: Nikikwambia haitokuwa sapraizi. Wewe njoo tu. MIMI: Poa. Kuanzia kipindi hicho sikuonekana kuwa na furaha tena, muda wote nilikuwa nafikiria kuhusiana na sapraizi hiyo ambayo Aziza alikuwa ameniahidi. Sikufichi rafiki yangu, usiku ulikuwa mrefu kwangu. Sikutaka kuchati na Aziza, nililala moja kwa moja mkpaka kesho ambapo nikaamka. Kutokana na ubize wa hapa na pale, nikaenda chuo saa tisa na kisha kumuita aje nje ya jengo lile la UDBS, haukuchukua muda, akatoka huku akiwa na Eduado, wote walikuwa wakicheka jambo lililonichanganya. AZIZA: Karibu mpenzi. MIMI: Asante. Mbona mnacheka hivyo mtafikiri mnamwangalia Mr Bean? EDUADO: Ungekufa. Watoto wa Waarabu si wa kwenda kuwavaminia kwao. Matokeo yake ukajificha uvunguni, sikupatii picha, ulijikunja kama dawa ya mbu. MIMI: Hahaha! Aisee ni noma. Kweli nimeamini mtu akifumaniwa, acha awe mdogo kama panadol. AZIZA: Kwanza twendeni tukapate lunch, au Ibra umeshiba? MIMI: Nimekula home ila sijashiba wala nini. Wazo ulilolitoa liko poa. Msosi wapi? AZIZA: Kule bondeni. MIMI: Wanapakua kingi au nao wababaishaji. AZIZA: Kikiwa kidogo utaongeza. MIMI: Namna hiyo, hayo ndio maneno. Ila hapa nina 400 ya nauli tu. AZIZA: Usijali. Nitakurudisha na gari. MIMI: Hapo mzuka zaidi. Itakubidi uniongezee shilingi mia ninunue vocha ya 500 ili niingie facebook baadae. AZIZA: Usijali. Nitakutumia elfu kumi kabisa. MIMI: Duh! Sasa simu yangu si itazima MIMI: Haijazoea kuingiza kiasi kikubwa cha hivyo. Sawa na mgonjwa wa Tandale ukampelekea juisi ya shilingi elfu kumi. Anaweza kufa. AZIZA: Hahaha! Kwa nini? MIMI: Tumbo limeingiza kitu kigeni kwa hiyo inaweza kuonekana kama asidi. AZIZA/EDUADO: Hahaha. MIMI: Huo ndio ukweli. Ila nina swali. AZIZA: Swali lipi? MIMI: Nahisi kama mnanificha. Kuna ishu inayoendelea hapa? AZIZA: Muulize Eduado. MIMI: Eti kaka kuna nini? EDUADO: Aziza anakupenda. Alikuwa akikuhitaji toka zamani ila alikuwa akiogopa kukwambia, akaniambia nifanye juu chini mpaka anakupata. EDUADO: Ndio hivyo. Anapenda kusoma kila unachokiandika facebook, amekuwa rafiki yako mkubwa, akavutiwa na wewe ila alikuwa akikuhitaji, alichokifanya, akakuunfriend na kisha kujifanya mtu mpya kwako. MIMI: Aiseee...duh! kwa hiyo kila kilichokuwa kikiendelea kilikuwa kikijulikana? EDUADO: Yeah! Huo ndio ukweli. MIMI: Sasa na wewe Aziza ulikuwa unaogopa nini kuniambia? AZIZA: Maadili. AZIZA: Msichana hatakiwi kumuanza mvulana. MIMI: Hahaha! Ningekuwa na girl mwingine je? AZIZA: Ningepigana mpaka nikupate. MIMI: Hahaha! Aya buana. Mchezo wenu umefanikiwa na wote mmeshinda. Hebu kwanza ongezeni mwendo washikaji, unajua hapa nina ubao ile mbaya mpaka tumbo linasikia kizunguzungu. AZIZA: Mmmh! Kwani tunatembea taratibu? MIMI: Mnatembea kama mnamsindikiza Bibi Harusi. Hicho ndicho kitu ambacho nilitaka kukwambia kila siku katika maisha yangu. Aziza ndiye alikuwa msichna wangu, nilimpenda na kumthamini sana. Japokuwa alikuwa msichana mwenye uwezo lakini kila alipokuwa pamoja nami alikuwa akionyesha heshima ya hali ya juu japokuwa nilikuwa nikiishi Tandale. Aziza alinipenda, nilimpenda pia, tulifanya mengi sana hasa yale ambayo wapenzi huyafanya faragha. Mpaka leo hii, bado ninampenda mtoto huyu ila cha ajabu....hahaha! hata kwao sitamani kukanyaga. LIKE PAGE YETU HAPA ==>www.facebook.com/2jiachie Item Reviewed: MWANZO MWISHO: AZIZA WA FACEBOOK
2016-10-22T17:52:53
http://www.2jiachie.com/2014/04/mwanzo-mwisho-aziza-wa-facebook.html
[ -1 ]
Bonanza la watoto Lindi, Afya na Ukakamavu vyawa kichocheo - Channel Ten Bonanza la watoto Lindi, Afya na Ukakamavu vyawa kichocheo Posted on September 25, 2017 by clement Mkuu wa wilaya ya Lindi, Shaibu Ndemanga amemuagiza mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya pamoja manispaa ya mji wa Lindi kurejesha viwanja vyote vilivyotengwa kwa ajili ya michezo mashuleni ili watoto wapate fursa ya kuonyesha vipaji vyao ikiwemo michezo ya sanaa. Akihutubia wazazi na wanafunzi wa shule za msingi zilizo katika manispaa ya lindi leo,mara baada ya kufunga mashindano ya michezo kwa shule 10 za msingi kwa ajili ya uhamasishaji wazazi kuhakikisha wanachangia watoto kupata huduma bora za afya kupitia mpango wa TOTO AFYA KADI unaosimamiwa na Mfuko wa NHIF Pamoja na kushuhudia mchezo wa fainali uliomalizika kwa shule ya msingi mpilipili kutwaa ubingwa huo baada ya kuichapa shule ya msingi mitwero kwa mabao 2 kwa Moja,Ndemanga alitumia fursa kuwaasa wazazi kutoa mwanya kwa watoto kucheza huku akieleza mpango wa serikali kuboresha viwanja vya michezo kwa kuzitaka taasisi mbalimbali kuunga mkono jitihada hizo ikiwemo michezo ya bonanza Pamoja na zawadi na msaada huo wa matibabu baadhi ya wanafunzi walitumia fursa ya uwepo wa channel ten kushukuru mpango huo wa kuhamasisha wazazi afya kwa watoto huku wakiomba kuanzishwa kwa Academy za michezo katika mkoa wa lindi ← Madiwani wamestushwa na kuhoji ya kiwango cha matumizi ya mafuta katika kipindi cha miezi mitatu wilayani Uvinza Ushirikishwaji wa wanawake kuelekea Tanzania ya viwanda – 25.09.2017 →
2019-06-19T16:59:30
http://www.channelten.co.tz/bon21/
[ -1 ]
DK MANDAI: Wafungwa magereza nyanda za juu Kusini kunufaika na mafunzo ya ujasiriamali Wafungwa magereza nyanda za juu Kusini kunufaika na mafunzo ya ujasiriamali Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, Dk. Juma Malewa akipongezana na Meneja Mkazi wa Asasi ya Technoserve, Monsiapile Kajimbwa mara baada ya kubadilishana mkataba wa makubaliano baina ya asasi hiyo katika mradi wa mafunzo ya ujasiriamali kwa wafungwa waliopo katika magereza mbalimbali. JESHI la Magereza limetiliana saini na Asasi ya Technoserve kuendesha mafunzo ya ujasiriamali kwa wafungwa vijana wenye umri wa kati ya miaka 18 hadi 30 waliopo magerezani kwenye mikoa ya Mbeya, Songwe, Iringa, Njombe, Ruvuma, Katavi na Rukwa. Hafla ya kutiliana saini makubaliano hayo imefanyika katika ofisi za makao makuu ya jeshi hilo Dar es Salaam ambapo Technoserve iliwakilishwa na ofisa wake, Monsiapile Kajimbwa. Akizungumza baada ya kutiliana saini makubaliano hayo, Kamishna Jenerali wa Magereza, Dk. Juma Malewa amesema mafunzo hayo yatawapa uwezo wa kubaini na kutumia fursa mbalimbali za kiuchumi wafungwa hao ikiwemo kubuni na kuandaa mipango ya biashara. “Mafunzo haya yatawanufaisha sana wafungwa waliopo magerezani katika mikoa hiyo kwani yatawajengea uwezo wa kujitambua pamoja na kujipatia vipato halali badala ya kutenda uhalifu katika jamii,” amesema Jenerali Malewa. Ameongeza kuwa mafunzo hayo yatafanyika katika Chuo cha Ufundi cha Magereza Ruanda kilichopo mkoa wa Mbeya ambapo wafungwa watajifunza nadharia na vitendo katika dhana nzima ya ujasiriamali ikiwemo stadi za utengenezaji sabuni, ushonaji, useremala, ufumaji sanjari na uandaaji wa mipango ya kibiashara. Meneja Mkazi wa Technoserve, Monsiapile Kajimbwa amesema hatua ya kutiliana saini makubalino hayo ni kuimarisha ushirikiano kati ya asasi yake na Jeshi la Magereza katika kutoa mafunzo kwa wafungwa ili waweze kupata ujuzi kupitia program hiyo.
2019-06-25T10:38:19
http://www.dkmandai.com/2018/03/wafungwa-magereza-nyanda-za-juu-kusini.html
[ -1 ]
wavuti: [update] Gazeti laomba radhi; "Utabiri" wa NIPASHE kuhusu Wakuu wa Wilaya na kilichotokea leo [update] Gazeti laomba radhi; "Utabiri" wa NIPASHE kuhusu Wakuu wa Wilaya na kilichotokea leo Gazeti la leo, Jumatatu, Juni 27, 2016 limemuomba radhi Mku wa Mkoa wa Dar es Salaam... Makonda aliandika ujumbe huu kuhusu habari iliyochapishwa na gazeti hilo jana... Jana gazeti hilo lilichapisha habari ifuatayo.... Mchana wa leo, imetangazwa rasmi orodha ya safu ya uongozi wa wateuzi wa Rais katika ngazi ya Wilaya. Gazeti la NIPASHE Jumapili lililotoka asubuhi ya leo, lilichapisha habari ifuatayo... Sifa za Makonda kuwaponza Ma-DC kibao SIFA ambazo Rais John Magufuli amekuwa akimpa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuhusiana na utendaji wake wa kuvutia huenda zikasababisha kung’olewa kwa Wakuu wa Wilaya wengi ambao umri wao unaelekea kuwatupa mkono zaidi. Chanzo kimoja kimeiambia Nipashe kuwa Magufuli alishaonyesha kuvutiwa na utendaji wa Makonda na pia vijana wengine kadhaa aliowaamini katika kipindi chake cha kuwapo madarakani tangu alipoapishwa Novemba 5, mwaka jana, hivyo kuna kila dalili kuwa uteuzi wake wa wakuu wa wilaya unaotarajiwa kufanyika wakati wowote kuanzia Julai mwezi ujao huenda ukwaponza wakongwe wengi na kuwanufaisha vijana. “Kama alivyosema kwamba tatizo la madawati linaweza kutumika kama kigezo cha nani abaki na nani aendelee na kazi... lakini ni wazi pia kuna vigezo vingine atavitumia kuwachuja watu wa kuwabakiza katika nafasi hizo kama ile ya kushindwa kutatua migogoro ya ardhi na namna ya kukabiliana na njaa. Utendaji wa Makonda na vijana wenzake unaweza pia kuwa chanzo cha wengi kupoteza nafasi zao, hasa wale ambao umri umekwenda sana,” chanzo kiliiambia Nipashe mwishoni mwa wiki. Rais Magufuli alitoa muda hadi kufika mwishoni mwa mwezi huu kuona kuwa wakuu wote wa wilaya na mikoa wahakikishe hakuna tatizo la madawati kwenye maeneo yao ya kazi na kwamba vinginevyo, kila atakayeshindwa atakwenda na maji. Chanzo kingine kilisema kuwa tangu Rais Magufuli alipoteua Wakuu wa Mikoa wapya na kuwaacha 12 wa zamani, wakuu wengi wa wilaya wamejawa na hofu kuhusiana na hatma yao kutokana na kutokuwa na uhakika kuwa watabaki kwenye nafasi zao ama la. Aidha, ilielezwa kuwa dalili za kuwapo na hofu kubwa kwa baadhi ya wakuu wa wilaya waliopo sasa ni wengi wao kuonekana wakicharuka na kuwasimamisha watendaji wanaoona kuwa hawaendani na kasi ya sasa ya serikali ya awamu ya tano, lengo likiwa ni kuongeza ufanisi wa kazi na pia kumthibitishia Rais kuwa wanatosha katika nafasi hizo na hivyo asiwaache wakati wa uteuzi wake mpya. Ilielezwa kuwa baadhi ya wakuu hao wa wilaya wamekuwa wakifanya kazi ya ziada ili kuhalalisha uwapo wao, ikiwa ni pamoja na kupiga picha za matukio mbalimbali ya kijamii na kuzisambaza kwenye vyombo vya habari na pia mitandao ya kijamii. “Kuna kila dalili kwamba ma-DC wengi wazee watapoteza kazi… hata wakati akifungua mkutano wa Bodi ya Usajili wa Makandarasi Mei 27 (2016), Rais Magufuli alisema hataona shida kuwajaza vijana wengi kwa sababu wale aliokwishawaweka tayari wameonyesha uwezo mkubwa wa kiuongozi,” chanzo kingine kiliiambia Nipashe. Katika hotuba yake hiyo ya Mei, ingawa Rais Magufuli hakumtaja kwa jina, lakini ilifahamika wazi kuwa aliyemvutia zaidi ni Makonda ambaye alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kabla ya kupandishwa na kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam. Kadhalika, katika nyakati tofauti, Rais Magufuli amekuwa akimsifu Makonda na kumtambulisha kama ‘kijana mchapakazi.’ Kwenye mkutano wake na wazee wa mkoa wa Dar es Salaam, Rais Magufuli alisema anajua watu wanauliza ni lini atateua wakuu wa Mikoa na Wilaya hivyo alitaka wanaouliza hivyo wajibiwe kwamba bado anawachambua. “Watakaowauliza waambieni bado naendelea na uchambuzi ili kuona nani anatosha na nani hatoshi, lakini angalau Mheshimiwa Makonda wewe umeshajihakikishia utakuwamo… lakini usiende kulala, kaendelee na juhudi zako,” alisema Rais Magufuli kabla hajatimiza ahadi yake kwa kumteua Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Machi 13 mwaka huu wakati alipowateua wakuu wa mikoa 26, kati yao 13 wakiwa wapya. Kwenye mkutano huo wa Bodi ya Makandarasi, Rais Magufuli alisema kuanzia sasa wateule wake wengi serikalini watakuwa ni vijana kwakuwa amegundua wengi wao hawapendi rushwa na tena ni wachapakazi wazuri. Alisema ingawa anafahamu kuwa vijana hawapendwi, lakini amegundua kuwa ndiyo wachapakazi hodari na ambao watasaidia kulipeleka taifa katika maendeleo anayoyatamani kwakuwa aliowaweka tayari ameshaanza kuona matunda ya kazi zao. Magufuli alienda mbali zaidi kwa kusema kuwa baadhi ya wazee walioaminiwa na kupewa nafasi serikalini wamekosa uzalendo na ndiyo walioifikisha nchi mahala pabaya. Wakati huo huo, akihutubia kwenye sherehe za kuzaliwa CCM mkoani Singida, Februari 6 mwaka huu, Rais Magufuli alisema hatawavumilia viongozi wa mikoa na wilaya ambao watakuwa wakikaa kwenye ofisi nzuri, viti vizuri na kupigwa na hewa safi ya viyoyozi huku wanafunzi katika maeneo yao wakiketi chini. Zikiwa zimebaki siku nne kuanzia leo kufikia siku ya mwisho aliyotoa Rais Magufuli kwa ajili ya kukamilisha upatikanaji wa madawati nchini kote, wakuu mbalimbali wa wilaya na mikoa wanaendelea kufanya jitihada za kila namna kutimiza azma hiyo.
2018-01-20T16:37:32
https://www.wavuti.com/2016/06/utabiri-wa-nipashe-kuhusu-wakuu-wa.html
[ -1 ]
KATIBU WA WAZAZI MKOA WA KAGER AMEWATAKA WAZAZI NA WALEZI KUKOMESHA MIMBA ZA UTOTONI | Masama Blog Home » CCM , SIASA » KATIBU WA WAZAZI MKOA WA KAGER AMEWATAKA WAZAZI NA WALEZI KUKOMESHA MIMBA ZA UTOTONI KATIBU WA WAZAZI MKOA WA KAGER AMEWATAKA WAZAZI NA WALEZI KUKOMESHA MIMBA ZA UTOTONI Na Lydia Lugakila. Wazazi walezi na wananchi mkoani Kagera wametakiwa kukemea na kutoa taarifa mara wanapoona au kuhisi kuwepo kwa vitendo vya baadhi ya watu wanao wapa Mimba watoto na kusababisha kukatisha masomo na ndoto zao. Kauli hiyo imetolewa leo Septemba 6, 2019 na katibu wa wazazi Mkoa wa Kagera Jumuiya ya CCM Bwana Angelus Wilbard Kamgisha wakati akiongea na waandishi wa habari (pichani hawapo) katika ofisi za chama cha mapinduzi (CCM) zilizopo Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera. Katibu Kamgisha akitoa wito kwa wazazi walezi na wananchi kukemea tatizo hili la mimba za utotoni zinazosabaisha kukatisha masomo na ndoto zao ametaja vitendo hivyo kuwa kero licha ya kupigiwa kelele kila mara na baadhi ya viongozi. Amesema elimu bure imetolewa hapa nchini kwa ajili ya kumpatia uelewa mtoto lakini baadhi ya watu wasiojua misingi, sheria na kanuni za nchi wameendele kukiuka utaratibu katika kufanya vitendo hivyo ambavyo ulifedheesha taifa kutokana na kuwakosa wategemewa wa baadae. ‘’Watoto hukatishwa masomo, ukaa majumbani kwa sababu ya kupewa ujauzito huku wengine wakiwa bado katika umri mdogo changamoto kubwa ipo kwa wazazi kutotoa ushirikiano wa kutoa taarifa sahihi pale binti anapata ujauzito matokeo yake inamuathiri kisaikolojia huyo binti,’’amesema Katibu huyo Amesema wazazi wanapaswa kushirikiana na vyombo vya dora kwani hata Rais wa jamhuli ya muungano wa Tanzania wakati anaingia madarakani alisisitiza jambo hilo hivyo ni vema wazazi wawahimize watoto wao kwenda shule. Sambamba na hayo amewataka vijana kuachana na makundi mabovu ya mmomonyoko wa maadili, huku akiwataja waendesha pikipiki kuwa chanzo cha kuharibu watoto wa shule kuacha tabia hizo mara moja. Amesema waendesha pikipiki wameeongelewa sana katika baadhi ya sehemu tofauti kutokana na kuwa kikwazo kwa kuwarubuni watoto wa shule kwa rifti zinazojenga vishawishi vya kuwapa mimba wanafuzi ambpo amewataka kuacha tabia hiyo mara moja. Amesema juhudi kubwa za serikali ni kuwa na mpango wa kuhimiza kujengwa kwa mabweni shuleni ili kuepukana na watoto wa kike kuembea umbari mrefu ambapo tayari kila kata ina shule ikilinganishwa na awali. Hata hivyo amesema katika barazaa la Jumuiya ya wazazi la mkoa limetolewa azimio kuwa kila wilaya iunde kamati ya kutoa elimu juu ya maadili mema kwa vijana walioko mashuleni na mitaani, kufuatilia afya na mazingira ambapo tayari kamati hiyo imeanza kuzaa matunda katika wilaya ya Ngara mkoani hapa. from CCM Blog https://ift.tt/2A0EXG8 Thanks for reading KATIBU WA WAZAZI MKOA WA KAGER AMEWATAKA WAZAZI NA WALEZI KUKOMESHA MIMBA ZA UTOTONI
2020-07-04T16:40:41
https://www.masamablog.com/2019/09/katibu-wa-wazazi-mkoa-wa-kager.html
[ -1 ]
Kwanini wagombea wa CCM hawakubaliki? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Kwanini wagombea wa CCM hawakubaliki? Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Masanilo, Oct 6, 2010. Nashindwa elewa kuna shida gani CCM? Mikutano ya kampeni ya Mwenyekiti lazima watu wachuliwe na malori na Mabasi na kupewa posho Kofia, Tshirt na Kanga ili watu wajaae hii ikiambatana na vikundi vya sanaa na maigizo kuleta watu. Kama haitoshi wabunge na madiwani lazima wanadiwe na Kikwete, Salma, Ridhiwani na Miraji kwanini? Kuna shida hapa Hawana uwezo wa kujenga hoja na kutetea wanachoamini ktk CCM.Pili uwezo wao wa kufikiria ni mdogo kuliko wasikilizaji na hivyo wako spoon feeded. Nashindwa elewa kuna shida gani CCM? Mikutano ya kampeni ya Mwenyekiti lazima watu wachuliwe na malori na Mabasi na kupewa posho Kofia, Tshirt na Kanga ili watu wajaae hii ikiambatana na vikundi vya sanaa na maigizo kuleta watu. Kama haitoshi wabunge na madiwani lazima wanadiwe na Kikwete, Salma, Ridhiwani na Miraji kwanini? Kuna shida hapaClick to expand... ni wazi kuwa na wenyewe wanajua wazi kuwa mda wao wa kushika madaraka umekwisha...hawana ujasiri wa kusimama mbele za watu...na ndo maana hata kwenye midahalo wanaogopa!! Mafisadi watupu hawana nia ya kuongoza nchi bali kuiba tu. 8 X 8 - 64 = wagombea wa CCM Chema chajiuza, kibaya ...... uwezi kudanganya watu milele ndicho kinachowasumbua ccm walizoea kudanganya na wana amini kwenye kudanganya na sasa wanaodanganywa wamejua kwamba walidanganywa na wanaendelea kudanganywa so wamekataa kudanganywa sasa. mimi nilijua ipo siku watanzania watagundua uongo wa ccm na kuchukua hatua ila si kwa haraka hivi yani wamegundua mapema na wamechukua hatua lazima ccm wapagawe kwani walikuwa hawaja jiandaa kugundulika sasa Kwa miaka 33 toka kuzaliwa CCM haijawahi tokea Chama cha Wakulima na Wafanyakazi kufanya kampeni kifamilia,haijawahi kutokea mabango ya kuomba kura mengi kama Mwaka huu,najiuliza gharama za matangazo hayo kila moja kama CCM Ingetumia kujenga zahanati,Nyumba za walimu,Barabara ,kupandisha Mishahara walimu,watumishi wa uma,kununua madawa nani leo angeikataa CCM,hata wagombea wake hawakubaliki kwani hawana la maana la kurudi na kuwaeleza wananchi,wakisema kila kata kuna shule mbona elimu inazidi kushuka,ufauru wawatoto unazidi kudidimia kila mwaka.Nadhani hapa CCM Wamesahau hawa wanaoleta vuguvugu sasa ni kizazi cha kuanzia 1972 mpaka leo hawapo tayari kudanganywa kama vifaranga vya kuku kuwa watanyonya kesho ili hali watoto wa vigogowanatanua na V8,Hummer na Majumba ya bei kubwa, Kwa miaka 33 toka kuzaliwa CCM haijawahi tokea Chama cha Wakulima na Wafanyakazi kufanya kampeni kifamilia,haijawahi kutokea mabango ya kuomba kura mengi kama Mwaka huu,najiuliza gharama za matangazo hayo kila moja kama CCM Ingetumia kujenga zahanati,Nyumba za walimu,Barabara ,kupandisha Mishahara walimu,watumishi wa uma,kununua madawa nani leo angeikataa CCM,hata wagombea wake hawakubaliki kwani hawana la maana la kurudi na kuwaeleza wananchi,wakisema kila kata kuna shule mbona elimu inazidi kushuka,ufauru wawatoto unazidi kudidimia kila mwaka.Nadhani hapa CCM Wamesahau hawa wanaoleta vuguvugu sasa ni kizazi cha kuanzia 1972 mpaka leo hawapo tayari kudanganywa kama vifaranga vya kuku kuwa watanyonya kesho ili hali watoto wa vigogowanatanua na V8,Hummer na Majumba ya bei kubwa,Click to expand... uSISAHAU KUKUMBATIA WAFANYABIASHARA NA MAFISADI NA KUMSAHAU KABISA MKULIMA! HALAFU JAMANI DODOMA HAKUENDEKI TUJUE MOJA! Kwa kweli inatisha kuona baadhi ya watu pamoja na kukataliwa wanaendelea kugombea tu Kwa kweli inatisha kuona baadhi ya watu pamoja na kukataliwa wanaendelea kugombea tuClick to expand... Sijui ni nini kinachowapa ujasiri wa kuendelea kugombea wakati watu wamewachoka. hawana sera za kukidhi haja za watanzania. hivi kweli kuna watu wasiojua wizi na udanganyifu wa ccm? hata watoto wadogo siku wanajua janja ya nyani kula mahindi mabichi. Namshukuru Mungu kwa kunipa ujasiri wa kutowapigia kura hao wana harakati wa kijani. Mie sasa hivi wacha nimuongezee namba Chadema. Potelea pote.
2016-10-24T16:12:18
http://www.jamiiforums.com/threads/kwanini-wagombea-wa-ccm-hawakubaliki.77111/
[ -1 ]
Picha: Mabeste na mkewe wanaponikumbusha couple ya Jay Z na Beyonce - Bongo5.com Picha: Mabeste na mkewe wanaponikumbusha couple ya Jay Z na Beyonce By Contributor | May 18, 2017 - 9:47 pm Wasanii wengi maarufu maisha yao ya kimahusiano mara nyingi huyafanya siri, na wengine hata wakijaliwa watoto ni vigumu kuwaona. Lakini kwa Rapa Mabeste na mkewe Lisa ni tofauti kidogo, mahusiano yapo wazi na yanaweza kukuhamasisha. Mabeste na mkewe Lisa Ni kweli mahusiano yao yapo wazi, yanaweza kukuvutia kama yale ya Jay Z na Beyonce, couple inayotolewa macho zaidi duniani. Hapa chini nimeweka baadhi ya picha za wapenzi hawa wawili ili kuelewa dhana nzima ya ujumbe wangu kwako. Siku ya ndoa yao Siku ya ndoa ya Jay Z na Beyonce Mke wa Mabeste alipokuwa na ujauzito wa mwanao Kaylyn Mke wa Jay Z alipokuwa na ujauzito wa mwanao Blue Ivy Mabeste na mkewe wakifurahia mara baada ya kupata mtoto Jay Z na Beyonce walipopata mtoto wao, Blue Ivy Mtoko wa Mabeste na mkewe Mtoko wa Jay Z na Beyonce Mabeste na mkewe wakifurahia jambo Jay Z na Beyonce wakifurahia jambo Mabeste na mwanae Kendrick Jay Z na mwanae Blue Ivy Familia ya Mabeste Familia ya Jay Z
2018-05-23T03:17:44
http://bongo5.com/picha-mabeste-na-mkewe-wanaponikumbusha-couple-ya-jay-z-na-beyonce-05-2017/
[ -1 ]
Balozi Seif Afungua Hospitali ya Meno. - ZanziNews Home Balozi Seif Afungua Hospitali ya Meno. Balozi Seif Afungua Hospitali ya Meno. zanzinews.com 7:57 AM Mlezi wa Mkoa wa Shinyanga Kichama ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewakumbusha Wananchi kuwatafuta Viongozi walioshiba Maadili wakati wa chaguzi tofauti zinapokaribia kwa vileViongozi hao hujali Uzalendo wao katika moyo wa kuwatumikia kimaendeleo. Balozi Seif Ali Iddi alitoa angalizo hilo wakati akizungumza na Wanachama wa CCM pamoja na Wananchi wa Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga mara baada ya kukabidhi Kiti cha huduma za Meno Mwenye Hospitali ya Wilaya ya Jakata Kikwete alichowaahidi Wananchi hao wakati wa ziara yake ya kujitambulisha Miezi Miwili iliyopita. Kiti hicho pia kilijumuisha pia na Kiti cha kuchukulia Wagonjwa Magongo kwa Wagonjwa wenye Ulemavu wanaohitaji kuingia kwa Daktari pamoja na Vifaa vidogo vidogo vya kuwasaidia Madaktari kujikinga na maambukizo ya maradhi mbali mbali. Alisema wakati wa kufikiria kuwa na mlolongo wa Viongozi wenye upofu wa kutoona maendeleo makubwa yaliyofanywa na Chama cha Mapinduzi katika Utekelezaji wa sera na Ilani yake, wapenda madaraka pamoja na walafi kwa sasa umemalizika kabisa. Balozi Seif alisema Wananchi wa Wilaya ya Kishapu wamebarikiwa kuwa na Viongozi makini katika kutanzua Kero zinazowakabili. Hivyo wana kila sababu ya kuwaunga mkono katika kutimiza kiu yao ya kuwaletea maendeleo sambamba na Kutekeleza Inali ya CCM ya Mwaka 2015 – 2020. Mlezi huyo wa Mkoa wa Shinyanga aliwahakikishia Wananchi hao kuendelea kuwaunga mkono kwa kuchangia huduma za Afya ambazo ni za msingi katika Ustawi wa maisha na Afya zao za kila siku. Aliwataka kujenga Utamaduni wa kupima Afya zao badala ya ile tabia ya kusubiri maradhi yanapojichomoza kwa Vile Serikali Kuu kupitia Halmashauri za Wilaya mbali mbali Nchini tayari zinaendelea kujenga miundombinu imara katika Sekta ya Afya. Akitoa shukrani kwa niaba ya Wananchi wa Wilaya ya Kishapu pamoja na Mkoa mzima wa Shinyanga Mkuu wa Mkoa huo Mh. Zainab Telak alisema kitendo alichofanya Mlezi huyo ni Moja ya Ibada ya kuwasaidia Wananchi wataoitumia Hospitali hiyo katika kupata huduma za Afya. Mh. Zainab alisema msaada wa Mlezi huyo wa Mkoa wao anayejali Afya za Watoto wake umeenda sambamba na jitihada za Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuimarisha Miundombinu ya Hospitali za Wilaya Nchini. Alisema kuanzia sasa huduma za matibabu ya maradhi ya Meno zitatolewa na Wataalamu Wawili Wazalendo waliopo katika Hospitali hiyo ya Jakaya Kikwete badala ya mfumo wa zamani wa wagonjwa kufuata huduma hiyo katika masafa marefu ya iliyopo Hospitali ya Mkoa. Mapema asubuhi Balozi Seif alianza ziara yake ya Ulezi kwa kukuagua Uzalishaji wa Mchele katika Kiwanda cha Kusaga Mpunga { Miran Food Industries} kiliopo Lohumbo Mkoani Shinyanga. Meneja Mkuu wa Kiwanda hicho Bwana Tano Koleji alimueleza Mlezi huyo kwamba Kiwanda hicho kimejengwa Mnamo Mwaka 2017 na kuanza uzalishaji rasmi Mwaka uliofuatia wa 2018 kikiwa na wafanyakazi wa 80 wa kibarua na Wanne waliopata ajira za kudumu. Bwana Tano alisema wapo Wakulima wanaoamua kuhifadhi Mpunga wao kwenye ghala la Kiwanda hicho kwa lengo la kutafuta wateja na pale wanapopatikana husagiwa mpunga kwa kiwango wanachohitaji katika ununuzi wao. Hata hivyo Meneja huo wa Miran Food Industries alieleza kwamba zipo changamoto zinazokikabili Kiwanda hicho ikiwa ni ukosefu wa Wateja wa Ununuzi wa Mchele wakati uzalishaji kwa siku unafikia Tani 30 lakini wanunuzi hawazidi Nusu Tani tu. Akitoa nasaha zake Balozi Seif aliutaka Uongozi wa Kiwanda hicho kutokata tamaa kwa vile bidhaa za Mchele bado inahitajika katika masoko mbali mbali ndani na nje ya nchi lakini kinachokosekana ni mawasiliano tu. Kiwanda cha Milan kina uwezo wa kuzalishaji mchele wa daraja la kwanza wanaouuza kwa kima cha shilingi Elfu 1,800/- kwa ujazo wa Kilo moja. Akishiriki kazi za ujenzi wa Taifa baada ya kuweka Jiwe la Msingi la Ofisi ya Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Shinyanga Vijijini Mlezi wa Mkoa wa Shinyanga Balozi Seif alisema kazi inayofanywa na Wana CCM wa Shinyanga ya uimarishaji wa Chama inafaa kuigwa na Mikoa mengine Nchini. Balozi Seif alisema miradi ya Chama inayotekelezwa ndani ya Kata, Majimbo na Wilaya zilizomo ndani ya Mkoa wa Shinyanga na kusimamiwa vyema na Viongozi wao zimekuwa zikisaidia kuipeperusha Benderra ya CCM katika muelekeo wa Utekelezaji sahihi wa malengo yake. Alisema viongozi bora ni wale wanaosimamia mambo yanayowagusa moja kwa moja Wananchi kama inavyoonekana Mkoani Shinyanga na Wilaya pamoja na Kata zake. Balozi Seif alifahamisha kwamba miradi ya huduma za Maji, Afya, Bara bara pamoja na Elimu endapo inasimamiwa na kutekjelezwa vilivyo hakuna haja kwa Wananchi kubadilisha Viongozi wengine katika kuwasimamia kwenye neema hizo. Hata hivyo Balozi Seif alisisitiza umuhimu wa Wanafunzi kuonyesha juhudi katika Sekta ya Elimu inayowanjengea mazingira mema ya muelekeo wa maiksha yao ya baadae wakiwa wao ndio watakaokuwa wasimamizi wa kuliendesha Taifa la Tanzania. Akisoma risala ya Ujenzi wa Ofisi hiyo ya CCM Wilaya ya Shinyanga Vijijini Katibu wa Chama cha Mapinduzi Wilaya hiyo Nd. Jumanne Kilindu alisema wazo la kuanzishwa kwa jengo hilo inatokana na ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Taifa Dr. Bashir Ali aliyeuagiza Uongozi wa Wilaya hiyo kujenga Ofisi ya kudumu. Nd. Jumanne alisema Wana CCM wa Wilaya ya Shinyanga Vijijini iliyozaa Shinyanga Mjini na Kishapu walianmza harakati za ujenzi chini ya Timu ya Madiwani wa Wadi zilizomo ndani ya Wkilaya hiyo wakiongozwa na Mwenyekiti wao wa Halmashauri. Kabla ya hapo Balozi Seif alikagua maendeleo ya Ujenzi waMajengo Mapya ya Hospitali ya Wilaya ya Shinyanmga Vijijini, ujenzi unaokwenda sambamba na ule wa Hospitali ya Kishapu zilizotengewa na Serikali Shilingi Bilioni Tatu. Balozi Seif aliafikiana na uamuzi wa Serikali ya Mkoa huo kuwatumia Wahandisi Wazal;endo katika Ujenzi huo badala ya kutumia Wakandarasi wenye tabia ya kuhitaji gharama kubwa.
2019-07-24T02:45:01
http://www.zanzinews.com/2019/02/balozi-seif-afungua-hospitali-ya-meno.html
[ -1 ]
Maalim aliponda Bunge la Muungano | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Maalim aliponda Bunge la Muungano Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by MaxShimba, Aug 5, 2011. [TD]Minael Msuya na Elizabeth Edward MAKAMU wa kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, amesema Bunge la Jamhuri ya Muungano hivi sasa linapoteza sifa kwa wananchi wake. ​[/TD] Maalim Seif amekuwa ni kiongozi wa kwanza wa ngazi ya juu katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kulinyoshea kidole Bunge la Jamhuri kutokana na hali ya malumbano na vurugu vinavyoendelea kutokea. Kauli hiyo ya Maalim Seif ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), inakuja siku chache baada ya Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba kusema kuwa Bunge limepoteza mwelekeo. Kauli hiyo za Jaji Warioba na Maalim Seif zinatokana na vitendo vya bunge la kumi kutawaliwa na vurugu na malumbano katika kikao cha Bunge la bajeti kinachoendelea hivi sasa mjini Dodoma. Akizungumza katika mahojiano na Televisheni ya TBC1 hivi karibuni, Jaji Warioba alisema Bunge limekosa nidhamu na kwamba, linahitaji kuchukua uamuzi mgumu kurejesha hadhi yake. Jana Maalim Seif alisema Bunge la sasa linasikitisha kutokana na vitendo vinavyofanywa na baadhi ya wabunge ambavyo alisema havina maslahi kwa wananchi. Aliongeza kuwa wakati nchi inakabiliwa na matatizo mbalimbali, wabunge wakionyeshana ubabe na kutukanana ndani ya Bunge badala ya kujadili masuala nyeti yanayolikabili taifa hivi sasa. Mwanasheria Mkuu Pia akichangia hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, juzi Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema alitoa somo kwa wabunge kuhusu mvutano unaoendelea bungeni: "Peaneni nafasi kwa kila mtu na mwenzake na muwe na ushirikiano kama ambavyo mkono wa kushoto na kulia inavyoshirikiana mzuri." Jaji Werema aliwaambia wabunge kuwa kazi ya kuwakilisha wananchi inahitaji uvumilivu kuliko kazi nyingine na akawataka wabunge wa pande zote kutumia lugha za kistaarabu wanapo kuwa ndani ya ukumbi wa bunge. Mtafaruku bungeni Jumatano ya wiki hii, Mbunge wa Nyamagana (Chadema), Ezekia Wenje, alitolewa bungeni na askari wa Bunge, baada ya Mwenyekiti wa Kikao, Sylivester Mabumba, aliyeongoza kikao siku hiyo kumtaka atoke nje kwa kukataa akae chini alipokuwa akiomba mwongozo. Siku moja baada ya tukio hilo, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai, aliwatimua kikaoni wabunge watatu wa Chadema, Godbless Lema (Arusha Mjini), Mchungaji Peter Msigwa (Iringa Mjini) na Tundu Lissu (Singida Mashariki). Wabunge hao walifukuzwa kutokana na kile Naibu Spika Ndugai alichoeleza kuwa ni kukiuka Kanuni za Bunge zinazowataka kutozungumza chochote ndani ya bunge bila idhini ya kiti cha spika. Wakati Maalim Seif akiponda mwenendo wa bunge la Jamuhuri kwa hivi sasa, alilisifia Baraza la Wawakilishi na kusema kuwa wanaendelea kujenga Zanzibar mpya kwa hoja zenye kuleta manufaa kwa wananchi wa Visiwa hivyo. "Mijadala ya Zanzibar ni mizito, Baraza la Wawakilishi linaibana CCM vibaya, tofauti na Bunge la Jamhuri, kule (Baraza la Wawakilishi) hakuna kejeli wala matusi," alisema Maalimu Seif alipokuwa akizindua kisima cha maji katika Mtaa wa Buguruni Malapa, jijini Dar es Salaam. Aliongeza kuwa maridhiano ya Zanzibar yameleta utulivu na unawafanya wawekezaji wanaotaka kuwekeza kuondoa hofu na kwamba, hakuna mvutano kwa sababu wanafanyakazi kwa pamoja. "Sisi tunaijenga Zanzibar, ninyi endeleeni kuvutana na miaka mitatu ijayo mtaona Zanzibar mpya kwa sababu tunashirikiana kwa mambo yenye maslahi ya wananchi kwani tunatambua kuwa ushirikianao ni jambo la msingi," alisema. Alisema wabunge wanapaswa kuacha malumbano kwakuwa mtindo huo unatoa mwanya kwa Serikali kukwepa mambo muhimu. "Wabunge ibaneni Serikali kwa hoja za msingi sio kwa malumbano, mfumo wa malumbano unaipa nafasi Serikali kukwepa kujibu mambo ya msingi yanayoihusu na yenye manufaa kwa taifa," aliongeza Maalim Seif. Pia aliwashukia watu wanaobeza maridhiano ya Serikali ya Mapinduzi kwa madai kuwa CUF sio cha upinzani tena. "Wapo watu wanaobeza maridhiano ya Serikali ya Mapinduzi na kusema eti CUF sio chama cha upinzani, maneno gani hayo? Eti sababu wanashirikiana na CCM! Sijui watu hawa wamejifunza wapi siasa, kwani nchi mbalimbali duniani katika ngazi za uongozi vyama vinashirikiana," alisema Maalim Seif na kuongeza: "Uingereza ni mfano mzuri, ina vyama viwili tu; ‘Conservative' na ‘Labour', vyama vyote hivyo vinafanya kazi kwa pamoja na kushirikiana kikamilifu," alisema. Aliongeza kuwa CUF bado ni chama cha upinzani Zanzibar na mijadala inayofanywa visiwani humo ni mizito na ina lengo la kuijenga Serikali hiyo. Pia Maalim Seif aliwashukia viongozi wa CCM wanaobeza uongozi wake na kusema kuwa, Zanzibar iko kwenye siasa nadhifu. Source Mwanachi Gazeti Maalim Seif amekuwa ni kiongozi wa kwanza wa ngazi ya juu katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kulinyoshea kidole Bunge la Jamhuri kutokana na hali ya malumbano na vurugu vinavyoendelea kutokea. Kauli hiyo ya Maalim Seif ambaye pia ni Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), inakuja siku chache baada ya Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba kusema kuwa Bunge limepoteza mwelekeo. Kauli hiyo za Jaji Warioba na Maalim Seif zinatokana na vitendo vya bunge la kumi kutawaliwa na vurugu na malumbano katika kikao cha Bunge la bajeti kinachoendelea hivi sasa mjini Dodoma. Akizungumza katika mahojiano na Televisheni ya TBC1 hivi karibuni, Jaji Warioba alisema Bunge limekosa nidhamu na kwamba, linahitaji kuchukua uamuzi mgumu kurejesha hadhi yake. Jana Maalim Seif alisema Bunge la sasa linasikitisha kutokana na vitendo vinavyofanywa na baadhi ya wabunge ambavyo alisema havina maslahi kwa wananchi. Aliongeza kuwa wakati nchi inakabiliwa na matatizo mbalimbali, wabunge wakionyeshana ubabe na kutukanana ndani ya Bunge badala ya kujadili masuala nyeti yanayolikabili taifa hivi sasa. Mwanasheria Mkuu Pia akichangia hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, juzi Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema alitoa somo kwa wabunge kuhusu mvutano unaoendelea bungeni: “Peaneni nafasi kwa kila mtu na mwenzake na muwe na ushirikiano kama ambavyo mkono wa kushoto na kulia inavyoshirikiana mzuri.” Jaji Werema aliwaambia wabunge kuwa kazi ya kuwakilisha wananchi inahitaji uvumilivu kuliko kazi nyingine na akawataka wabunge wa pande zote kutumia lugha za kistaarabu wanapo kuwa ndani ya ukumbi wa bunge. Mtafaruku bungeni Jumatano ya wiki hii, Mbunge wa Nyamagana (Chadema), Ezekia Wenje, alitolewa bungeni na askari wa Bunge, baada ya Mwenyekiti wa Kikao, Sylivester Mabumba, aliyeongoza kikao siku hiyo kumtaka atoke nje kwa kukataa akae chini alipokuwa akiomba mwongozo. Siku moja baada ya tukio hilo, Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai, aliwatimua kikaoni wabunge watatu wa Chadema, Godbless Lema (Arusha Mjini), Mchungaji Peter Msigwa (Iringa Mjini) na Tundu Lissu (Singida Mashariki). Wabunge hao walifukuzwa kutokana na kile Naibu Spika Ndugai alichoeleza kuwa ni kukiuka Kanuni za Bunge zinazowataka kutozungumza chochote ndani ya bunge bila idhini ya kiti cha spika. Wakati Maalim Seif akiponda mwenendo wa bunge la Jamuhuri kwa hivi sasa, alilisifia Baraza la Wawakilishi na kusema kuwa wanaendelea kujenga Zanzibar mpya kwa hoja zenye kuleta manufaa kwa wananchi wa Visiwa hivyo. “Mijadala ya Zanzibar ni mizito, Baraza la Wawakilishi linaibana CCM vibaya, tofauti na Bunge la Jamhuri, kule (Baraza la Wawakilishi) hakuna kejeli wala matusi,” alisema Maalimu Seif alipokuwa akizindua kisima cha maji katika Mtaa wa Buguruni Malapa, jijini Dar es Salaam. Aliongeza kuwa maridhiano ya Zanzibar yameleta utulivu na unawafanya wawekezaji wanaotaka kuwekeza kuondoa hofu na kwamba, hakuna mvutano kwa sababu wanafanyakazi kwa pamoja. “Sisi tunaijenga Zanzibar, ninyi endeleeni kuvutana na miaka mitatu ijayo mtaona Zanzibar mpya kwa sababu tunashirikiana kwa mambo yenye maslahi ya wananchi kwani tunatambua kuwa ushirikianao ni jambo la msingi,” alisema. Alisema wabunge wanapaswa kuacha malumbano kwakuwa mtindo huo unatoa mwanya kwa Serikali kukwepa mambo muhimu. “Wabunge ibaneni Serikali kwa hoja za msingi sio kwa malumbano, mfumo wa malumbano unaipa nafasi Serikali kukwepa kujibu mambo ya msingi yanayoihusu na yenye manufaa kwa taifa,” aliongeza Maalim Seif. Pia aliwashukia watu wanaobeza maridhiano ya Serikali ya Mapinduzi kwa madai kuwa CUF sio cha upinzani tena. “Wapo watu wanaobeza maridhiano ya Serikali ya Mapinduzi na kusema eti CUF sio chama cha upinzani, maneno gani hayo? Eti sababu wanashirikiana na CCM! Sijui watu hawa wamejifunza wapi siasa, kwani nchi mbalimbali duniani katika ngazi za uongozi vyama vinashirikiana,” alisema Maalim Seif na kuongeza: “Uingereza ni mfano mzuri, ina vyama viwili tu; ‘Conservative’ na ‘Labour’, vyama vyote hivyo vinafanya kazi kwa pamoja na kushirikiana kikamilifu,” alisema. Aliongeza kuwa CUF bado ni chama cha upinzani Zanzibar na mijadala inayofanywa visiwani humo ni mizito na ina lengo la kuijenga Serikali hiyo. Pia Maalim Seif aliwashukia viongozi wa CCM wanaobeza uongozi wake na kusema kuwa, Zanzibar iko kwenye siasa nadhifu. Source Mwanachi GazetiClick to expand... Walikuwa wapi kusema kuwa serikali imekosa nidhamu? Au kuokosa nidhamu kunakotakiwa kukemewa ni kwa wabunge tu na sio kwa serikali? Ina maana wazee hawa wanaona wabunge ndio hawana nidhamu, lakini hawaoni "kukosa nidhamu" kwa bunge kunatokana na nini? Kuna wakati wazee wetu hawa tunaowaheshimu ni vema wakilinda heshima yao kuliko kuiporomoa kwa kuwashutumu wabunge bila kujali matatizo yanatoka wapi. Ni heri mapambano yanedelee bungeni kulinko yakiingia mitaani. Yanayotokea bungeni ni reflection ya feelings za wanamajimbo kuhusu hali inavyoendelea hapa nchini. Siwezi kusema bunge la zamani lilikuwa na heshima wakati kazi yake kubwa ilikuwa ni rubber stamping. Nidhamu iliyokuwepo ilikuwa ni kukaa kimya hata kama kuna uozo mkubwa upo, hata kama wananchi hawatendewi haki. Na kulinda heshima ya chama tawala at the expense of maslahi ya taifa. Utaratibu wa namna hiyo inaonekana kuwa haufai kwa kuwa umetifikisha pabaya. Inabidi maalimu Seif aambiwe ukweli kuwa Unigereza si nchi ya vyama viwili, na kuna vyama zaifi ya viwili. Sasa hivi inayotawala ni coalition of losers i.e Libe dems and conservatives, na opposition kuna Labour party. Hiyo tu inaonesha kuwa kuna vyama zaidi ya viwili.
2016-12-04T10:29:09
http://www.jamiiforums.com/threads/maalim-aliponda-bunge-la-muungano.161173/
[ -1 ]
Urusi - Matumaini ya Watumiaji Matarajio ya Kiuchumi Sasa, maadili, data ya kihistoria, utabiri, takwimu, chati na kalenda ya kiuchumi - Urusi - Matumaini ya Watumiaji Matarajio ya Kiuchumi. <iframe src='https://tradingeconomics.com/embed/?s=cc65&v=202008072300v20200716&lang=all&h=300&w=600&ref=/russia/consumer-confidence-economic-expectations' height='300' width='600' frameborder='0' scrolling='no'></iframe><br />source: <a href='https://tradingeconomics.com/russia/consumer-confidence-economic-expectations'>tradingeconomics.com</a> Matumizi Ya Kujiamini -30.00 -11.00 1.00 -59.00 Pointi [+] Rejareja Sale (Mwezi) 6.70 -28.40 23.20 -33.30 Asilimia [+] Rejareja Sale (Mwaka) -7.70 -19.20 18.80 -23.20 Asilimia [+] Matumizi Ya Matumizi 11859.00 13378.50 13654.50 2546.70 Rub - Bilioni [+] Matumizi Ya Mikopo 18072093.00 18204126.00 18204126.00 1578632.00 Rub - Milioni [+] Sekta Binafsi Ya Mikopo 49543860.00 49047038.00 49543860.00 6179836.00 Rub - Milioni [+] Benki Ya Kuwakopesha Rate 7.24 7.62 449.40 7.24 Asilimia [+] Kaya Madeni Ya Pato La Taifa 18.80 18.20 18.80 0.60 Asilimia Ya Pato La Taifa [+] Petroli Bei 0.65 0.67 1.00 0.28 Usd / Lita [+]
2020-08-10T12:17:33
https://sw.tradingeconomics.com/russia/consumer-confidence-economic-expectations
[ -1 ]
MATUKIO KATIKA PICHA MTANANGE WA YANGA vs KAGERA SUGAR JANA - SUFIANIMAFOTO Home Michezo MATUKIO KATIKA PICHA MTANANGE WA YANGA vs KAGERA SUGAR JANA MATUKIO KATIKA PICHA MTANANGE WA YANGA vs KAGERA SUGAR JANA Mshambuliaji wa Yanga SC, Simon Msuva, akipiga mpira katikati ya mabeki wa Kagera Sugar, Mohamed Fakii (kulia) na Mwaita Gereza, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, jana. Katika mchezo huo Yanga walishinda mabao 2-1 na kufikisha Pointi 62 sawa na Mahasimu wao Simba, huku wakitofautiana kwa mabao. Mshambuliaji wa Yanga SC, Simon Msuva, akipiga mpira katikati ya mabeki wa Kagera Sugar, Mohamed Fakii (kulia) na Mwaita Gereza, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, jana. Niyonzima akimfinya Ame Ally Mwashiuya akijaribu kupenya katikati ya msitu wa Kagera Sugar Beki wa Yanga, Hassan Kessy, akipiga krosi, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, jana. Ilikuwa hapatoshi kati ya Chirwa na Fakii Mshambuliaji wa Yanga Obrey Chirwa akiwania mpira na beki wa Kagera Sugar, Mwaita Gereza, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, jana. Kipa wa Kagera Sugar, Juma Kaseja, akiruka kuokoa mpira wa hatari langoni kwake, wakati wa mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, jana. KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA Chirwa akijilaumu baada ya kuksa bao la wazi Wote chini na bado Chirwa alikosa bao la wazi Mabeki wa Kagera wakiduwaa baada ya mpira kupenya katikati yao Mbaraka Yusuph (katikati) na Ame Ally (kulia) wakimdhibiti Juma Abdul Juma Abdul, akipiga krosi Viongozi wa Kagera Sugar wakimzonga mlinzi wa uwanjani baada ya mchezo huo Askari wakijaribu kuwazuia Viongozi wa Kagera Sugar Mbara Yusuph akilalamika baada ya kupewa kadi nyekundu Mbaraka akisindikizwa na walinzi baada ya kupewa kadi nyekundu
2017-12-13T11:07:48
http://www.sufianimafoto.com/2017/05/matukio-katika-picha-mtanange-wa-yanga_10.html
[ -1 ]
PSS FORUM YAWEKA MIKAKATI YA ULINZI KWA WATOTO AFRIKA | Masama Blog Home » NEWS AND UPDATES » PSS FORUM YAWEKA MIKAKATI YA ULINZI KWA WATOTO AFRIKA Ametaja familia mbadala kuwa ni pamoja na ndugu wa ukoo kulea watoto, walezi wakujitolewa na wale wanaorithi watoto kisheria.Mwakilishi wa Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF)nchini Namibia Rachel Odede amesema mazingira bora ya mtoto kukua ni kwenye familia. from MICHUZI BLOG https://ift.tt/31bdkpD Thanks for reading PSS FORUM YAWEKA MIKAKATI YA ULINZI KWA WATOTO AFRIKA
2019-10-23T00:59:22
https://www.masamablog.com/2019/09/pss-forum-yaweka-mikakati-ya-ulinzi-kwa.html
[ -1 ]
KAPTENI MKUCHIKA AUNDA KAMATI MBILI YANGA, APENDEKEZA UCHAGUZI MKUU APRILI 28 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE KAPTENI MKUCHIKA AUNDA KAMATI MBILI YANGA, APENDEKEZA UCHAGUZI MKUU APRILI 28 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE Mwanzo > YANGA > KAPTENI MKUCHIKA AUNDA KAMATI MBILI YANGA, APENDEKEZA UCHAGUZI MKUU APRILI 28 KAPTENI MKUCHIKA AUNDA KAMATI MBILI YANGA, APENDEKEZA UCHAGUZI MKUU APRILI 28 BARAZA la Wadhamini la klabu ya Yanga leo limeunda Kamati ya Usimamizi wa timu, chini ya Mwenyekiti, Mashauri Lucas na Makamu wake, Said Ntimizi. Hatua hiyo imekuja muda mfupi baada ya viongozi wawili waliobaki madarakani Yanga kujiuzulu leo na kukabidhi timu kwa Baraza la Wadhamini chini ya Mwenyekiti, Kapteni George Huruma Mkuchika, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Akizungumza na Waandishi wa Habari makao makuu ya klabu, makutano ya mitaa ya Twiga na Jangwani mjini Dar es Salaam, Kapteni George Huruma Mkuchika amewataja Wajumbe wa Kamati ya Usimamizi wa timu ni Hussein Ndama na Wajumbe, Samuel Lukumay, Hussien Nyika, Moses Katabaro na Maulid Kitenge. Aidha, Mkuchika aliyeongozana na Makamu wake, Mama Fatma Karume, mke wa Rais wa kwanza wa Zanzibar, Abeid Amaan Karume (sasa maremeu) amesema kwamba Baraza limependekeza Uchaguzi Mkuu wa Yanga ufanyike Jumapili ya Aprili 28, mwaka huu. Na Mkuchika akataja majina ya wajumbe 10 watakaounda Kamati ya Uchaguzi Mkuu wa klabu hiyo, ikichanganya wajumbe wanne waliopendekezwa na wabunge ambao ni mashabiki wa timu hiyo, huku wajumbe sita wakiwa ni miongoni mwa wale walioteuliwa awali na klabu hiyo. Hao ni Mwenyekiti Samuel Mapande, Daniel Mlelwa, Mustafa Nagal, Geoffrey Mapunda, Edward Mwakingwe, Samuel Mangesho, Issa Gavu, Venance Mwamoto, Seif Gulamali na Dunstan Kitandula. Baadaye Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe alifika makao makuu ya Yanga na kufanya mazungumzo na Baraza la Wadhamini na akasema ameridhishwa na hatua zilizochukuliwa. Mapema leo asubuhi, Viongozi wawili waliokuwa wamebaki madarakani Yanga SC, kaimu Mwenyekiti Samuel Lukumay na Mjumbe, Hussein Nyika walitangaza kujiuzulu nafasi zao makuu ya klabu, Jangwani mjini Dar es Salaam ili kupisha mchakato wa uchaguzi mkuu wa klabu hiyo. Lukumay amesema wamelazimika kujiuzulu baada ya Wajumbe wenzao wawili, Siza Lyimo na Thobias Lingalangala kujiuzulu wiki mbili zilizopita na kufanya klabu ibaki na viongozi wawili tu kati ya 13 waliochaguliwa katika uchaguzi wa juni 12, mwaka 2016 Dar es Salaam, ambao ni yeye na Nyika. “Kikubwa kilichotusababihsa tufanye hivi, ni kwamba nadhani wiki moja mbili zilizopita, tulikuwa tumebaki wajumbe wanne, lakini wenzetu wawili walijiuzulu hiyvo uchaguzi mdogo ungekuwa wa kujaza nafasi sita,”amesema Lukumay. Amesema sasa Baraza la Wadhamini na Sekretarieti ya klabu watashirikiana na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuendesha mchakato wa Uchaguzi Mkuu ambao unaanza upya. Wengine waliojiuzulu ni Mwenyekiti Yussuf Manji, Makamu Mwenyekiti, Clement Sanga na wajumbe Inspekta Hashim Abdallah, Salum Mkemi, Omary Said na Ayoub Nyenzi. Item Reviewed: KAPTENI MKUCHIKA AUNDA KAMATI MBILI YANGA, APENDEKEZA UCHAGUZI MKUU APRILI 28 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry Two Rwandans suffer horrendous abuse at the hands of Ugandan security - A citizen of Rwanda that recently was dumped at the border by members of the Ugandan military is nursing life-threatening injuries. He says he was batter... Manchester United 'contact Napoli right back Giovanni Di Lorenzo's agent' - Calcio Napoli 24 report that United have been alerted to his talents due to his versatility to play across the back four, and they have made contact with h... Bofoakwa pay moving tribute to 'loyal' former Ghana captain Kwesi Owusu - Ghanaian second tier side Tano Bofoakwa have hailed their former captain and Ghana international striker Kwesi Owusu who passed away on Monday, claiming th... Do you know all of the Ghana Premier League teams nicknames? - By Dom Agbakpe, Nickname culture is important across the footballing world and some of the clubs in the Ghana Premier League have some surprising, cool ... Stoney tackles fans' questions - We're at Wembley for the next Arsenal Reloaded! - Join us on Wednesday, April 1 from 3pm UK time to watch the full 90 minutes of our 2017 Emirates FA Cup final against Chelsea
2020-03-31T07:25:25
http://www.binzubeiry.co.tz/2019/03/kapteni-mkuchika-aunda-kamati-mbili.html
[ -1 ]
Waziri wa Uholanzi ajiuzulu baada ya kukiri alidanganya kuhusu Putin | Tovuti ya Kiswahili ya ukweli wa Afrika. Home Ulaya Waziri wa Uholanzi ajiuzulu baada ya kukiri alidanganya kuhusu Putin Waziri wa Uholanzi ajiuzulu baada ya kukiri alidanganya kuhusu Putin Halbe Zijlstra: Waziri wa Mambo ya Nje wa Uholanzi Waziri wa Mambo ya Nje wa Uholanzi, Halbe Zijlstra, aliacha kazi yake siku moja baada ya kukiri kwa alidanganya kuhusu rais Vladimir Putin. Katika mkutano wa 2016, alidai kuwa alipokuwa akifanya kazi Shell, alikutana na Putin na alisikia kuwa Putin anataka kuunganisha Urusi, Ukraine, Belarus, majimbo ya Baltic na Kazakhstan kwenye nchi moja. Kwa mujibu wa habari, mwanadiplomasia wa Uholanzi jana (Jumatatu, Februari 23) alisema kuwa uongo huo ni kosa lake kubwa katika safari yake ya siasa na kwamba nchi yake inahitaji waziri bora kuliko yeye. Kujiuzulu kwake kumekuja siku moja kabla ya kupangwa kwa ziara yake mjini Moscow ambapo alikuwa anatarajia kukutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergey Lavrov. Previous articleMtazidi kushangaa sana: Syria yaihabarisha Israel Next articleMashambulizi ya kigaidi Afrika Mashariki Binti wa Kiislamu ashambuliwa Canada, Hijabu yake yachanwa
2019-07-21T15:20:23
https://aftruth.com/swa/ulaya/9880/
[ -1 ]
WordPress: Kutengeneza Tovuti Bila Kuandika Codes | Niwezeshe.com Ni somo lenye kufundisha namna ya kutengeneza Tovuti za watu binafsi na biashara kwa kutumia wordpress, Mfumo ambao hauto kuhitaji ujifunze kuandika Codes au hauto hitaji ujuzi wa programming. Created By Wilhelm Oddo Last Updated Mon, 23-Dec-2019 Swahili Namna ya kutengeneza tovuti za aina zote na kuziuza kwa wateja Kutengeneza Kurasa na Maandiko na Zaidi kuweza tofautisha kati ya Kurasa ya tovuti na andiko katika tovuti. Namna ya kutengeneza Viunganishi, aina za maandiko na Tags na namna vinaenda isaidia tovuti katika SEO. Namna ya kuzitafuta na kuzi install themes na plugins wakati wa utengenezaji wa tovuti na namna zinavyo enda kutumika. Namna ya kujilinda na kuilinda Tovuti yako iwapo mtandaoni 16 Lessons 00:42:24 Hours Mwanzo Wa Somo 2 Lessons 00:05:18 Hours Utangulizi wa Somo 00:02:39 Kuweka / Kusimika Mfumo wa Wordpress Kusimika wordpress katika Computer (Offline) 00:02:39 Kusimika wordpress kwenye Mtandao (Online) 00:02:39 Mpangilio wa Mfumo wa Wordpress Namna ya kupanga na kupangua Mfumo mzima 00:02:39 Namna ya Kuweka "MENU" Katika wordpress 00:02:39 Kurasa na Maudhui ya tovuti Namna ya kuweka Kurasa Mpya 00:02:39 Namna ya kutengeneza Chapisho 00:02:39 Mandhari na Mpangilio wake Kupakua Mandhari Ya Bure 00:02:39 Mandhari ya Kununua na namna ya Kupakua 00:02:39 Namna ya kuhariri Mandhari 00:02:39 Uhifadhi wa Tovuti Katika Mtandano Uchaguzi na Usajiri wa Jina la Tovuti 00:02:39 Uhifadhi / U-Wenyeji wa tovuti mtandaoni "Web Hosting" 00:02:39 Ulinzi na Usalama wa Tovuti yako Nini maana ya Usalama wa Tovuti? 00:02:39 Udukuzi wa Tovuti na namna ya kujikinga "Hacking" 00:02:39 Compyuta yenye Operating system inayo fanya kazi (Windows, Mac au Linux) Iwe na Browser ya kisasa (Chrome, Firefox) Mtandao wenye kasi nzuri (kwa ajiri ya baadhi ya Moduli) Hauitaji kuwa na uzoefu wowote wa lugha yoyote ya Compyuta. 00:13:15 Hours 0 0 tshs15000 tshs8000 tshs15000 00:42:24 Hours On Demand Videos
2020-03-28T11:59:27
http://niwezeshe.com/home/course/wordpress-kutengeneza-tovuti-bila-kuandika-codes/15
[ -1 ]
Ghana: Msitu uliyopo chini ya maji mbao zake kutumika kujenga upya kanisa lililoungua moto Paris - Bongo5.com Ghana: Msitu uliyopo chini ya maji mbao zake kutumika kujenga upya kanisa lililoungua moto Paris Hamza Fumo October 12, 2019 - 6:11 pm Kampuni hiyo imewasilisha pendekezo lake kwa serikali ya Ufaransa, ikitilia mkazo kwamba kutumia mbao kutoka ziwa Volta kutasaidia kurejeshea Notre-Dame muundo wake asilia. Paa la Notre-Dame na mnara wake ilivunzika baada ya moto kuteketeza sehemo ya kanisa hilomwezi Aprili Baadhi ya mbao hizo zinasafirishw ana kuuzwa katika mataifa ya Ulaya na zingine nchini Africa Kusini, Asia na mashariki ya kati. Jinsi mbao zinavyotolewa katika Ziwa Volta kwa kutumia mashini maalum “Bog oak imekua ndani ya maji kwa muda mrefu , kwa hivyo ni imara na inadumu kwamuda mrefu” alisema katika warsha moja kabla ya kifo chake. Mbao inayopatikana chini ya Ziwa Volta huenda ikaimarisha sekta ya mbao ya Ghana Lilijengwa katika karne ya 12 na 13 na limekuwa likifanyiwa ukarabati mkubwa. Sanamu kadhaa ziliondolewa kanisani hapo ili kuruhusu ukarabati wake. Palaa la lanisa hilo lililoteketezwa na moto lilikua limetengenezwa kwa kiasi kikubwa kutokana na mbao Dkt Tristan Smith, ni mtaalamu wa kusafirisha mizigo mjini kutoka Chuo Kikuu cha kawa cha London, anakubali kuwa usafirishaji mizigo kwa kutumia bahari inasadikiwa kuwa njia salama zaidi ya usafiri linapokuja suala la kuhifadhi mazingira.
2020-05-25T15:53:48
http://bongo5.com/ghana-msitu-uliyopo-chini-ya-maji-mbao-zake-kutumika-kujenga-upya-kanisa-lililoungua-moto-paris-10-2019/
[ -1 ]
Homa Ya Korona Na Barakoa Za Uso: Utumiaji Mwema Na Ufanisi Wake | Africaparent Iwapo una shaka ya kupata virusi hatari vya homa ya korona, unapaswa kuvalia mask ya uso kujikinga? Masaa 24 tu baada ya kisa cha kwanza cha homa ya korona nchini Nigeria, bei ya masks za uso na sanitizers za mikono zilipanda sana. Na hiyo ni kama ulipata duka lolote lililokuwa na vitu hivi. Wana Nigeria wengi walipatwa na wasiwasi wa kununua vitu vya nyumba na wauzaji wengi wakaliona jambo la busara kuficha masks za uso na sanitizers za mikono. Ni nini ambacho homa ya korona na barakoa za uso zinako nacho kilicho sawa? Inaaminika kwa sana kuwa masks za uso ni hatua ya kuzuia dhidi ya COVID-19. Makala haya yata angazia na kukusaidia kupata ufanuzi zaidi ya imani hii iwapo ni kweli ama la. Angalia hapa chini. Homa ya korona na Barakoa za Uso: Hatua Ya Kuzuia ama Kupoteza Wakati? Watu mashuhuri na masks za kipekee| Google Kulingana na CDC, masks za uso za upasuaji hazita kuzuia kunusa particles za hewa zinazo sababisha maambukizo. Na wala hizi masks hazifuniki mapua yako kabisa. CDC inashauri kuwa barakoa za upasuaji ni za watu ambao tayari wana dalili za homa ya korona na lazima watoke nje; kwani kuvalia mask kunaweza saidia kuzuia kueneza kwa virusi hivi kwa kuwalinda wengine walio karibu unapo kohoa ama kuchemua. Wakala hii pia inashauri kuwa masks hizi iwapo wewe ni mtunzi wa mtu aliye athiriwa na virusi hivi. Ila, inaonekana kuwa watu hawakubaliani, kwani hata watu mashuhuri wana onyesha picha zao wakiwa na mask hizi katika mitandao ya kijamii. “Bila mchezo watu-WACHENI KUNUNUA MASK HIZI!” alisema DR. Jerome Adams, Surgeon General wa Umerikani tarehe 29 mwezi wa pili. “Hazisaidii katika kuepusha umati wa kijumla kutoka kuambukizwa #homa ya korona; ila, iwapo watunzaji wa afya hawawezi kuzipata wanapo watunza wagonjwa, inatuhatarisha sote na jamii zetu!” Katika mahojiano, Adams alisema kuwa kuvalia barakoa kuna weza ongeza hatari yako ya kupata virusi hivi. “Watu wasio jua jinsi ya kuvalia mask hizi vizuri wakati mwingi hujigusa usoni mara nyingi na kuongeza kusambaa kwa homa ya korona.” Ila watu wanazidi kununua na kuvalia barakoa za uso. Kwa nini? Baadhi ya watu wana amini kuwa kuvalia mask kuna punguza mara wanazo shika mapua na midomo yao; hata kama hakuna utafiti wa kuunga jambo hili mkono. Sababu zingine ni za kisykolojia. Mojawapo inatokana na uwoga wa kupoteza udhabiti wa virusi hivi ambavyo hatuna maarifa kuhusu kuzuia kwake. Kwa kutumia mask, hata kama haifanyo mengi, inakupatia uwezo wa kudhibiti hali; mbali na virusi hivi. Inapatia mtu binafsi hisia nyingi za udhibiti katika hali hii ambayo haiwezi thibitika. COVID-19 Na Mask Za Uso: Shirika La Afya Duniani Lina Yapi Ya Kusema Health worker screening travellers at airport | Google Kulingana na WHO, unapaswa kufahamu mambo yafuatayo kuhusu mada ya kuvalia barakoa. Iwapo una afya, unahitaji kuvalia mask pale ambapo una mtunza mtu anayesemekana kuwa na maambukizo ya 2019-nCoV. Valia mask iwapo unakohoa ama una chemua. Mask zinafanya kazi pale zinapo tumika kwa kufuatiwa na kunawa mikono mara kwa mara kwa kutumia sanitizer ama maji safi na sabuni. Iwapo unavalia mask, unapaswa kujua jinsi ya kuitumia na kuitupa kwa utaratibu. Jinsi ya Kuvalia, Kutoa na Kutupa barakoaYako Kabla ya kuvalia barakoa, nawa mikono yako kwa kutumia sanitizer iliyo na idadi inayohitajika ya kileo ama sabuni na maji. Funika mdomo wako na mapua kwa kutumia mask, hakikisha kuwa hakuna nafasi iliyobaki katikati ya uso na mask yako. Epuka kugusa barakoa unapoitumia; iwapo utafanya hivi, nawa mikono kwa kutumia sanitizer ama sabuni na maji safi. Badilisha barakoa na nyingine mpya punde tu inapo pata unyevunyevu na usitumie zaidi ya mara moja mask ambazo zinapaswa kutumika mara moja. Kutoa barakoa: itoe kutoka upande wa nyuma (usiguse sehemu ya mbele ya mask); itupe kwa kasi kwenye sanduku la taka; nawa mikono kwa kutumia sanitizer, ama sabuni na maji. Kaa na ujumbe kuhusu maendeleo ya hivi punde ya COVID-19. Fuata ushauri unaopatiwa na daktari wako, mamlaka ya afya ya umma ya mtaani ama kitaifa ama mkubwa wako jinsi ya kujilinda na wengine kutokana na virusi vya COVID-19. Mbona? Mamlaka ya Kitaifa ama Mitaani watakuwa na ujumbe ulio afikiana na tarehe iwapo COVID-19 inasambaa katika sehemu unayo ishi. Wako mahali pema zaidi kukushauri jinsi watu walioko katika sehemu unayo ishi wanacho paswa kufanya kujikinga. Jinsi ya Kujilinda na Wengine Kutoka na Maambukizi haya Haijalishi ama una valia mask kama hatua ya kujilinda dhidi ya homa ya korona, kumbuka kujilinda wakati wote. Zingatia usafi; nawa mikono yako vyema kwa kutumia sabuni na maji mara kwa mara; na utumie sanitizer ya mkono. Wakati wote unapo chemua ama kukohoa, tumia sehemu ya ndani ya kiwiko chako ama kwenye tissue kisha kuitupa bila kukawia. KAA NYUMBANI iwapo unahisi vibaya/mgonjwa, hata na dalili nyepesi kama vile kuumwa na kichwa na homa, hadi utakapo pona. Mbona? Epuka kugusana na wengine na kutembelea vituo vya matibabu kutakubalisha vituo hivi kufanya kazi vyema zaidi na kusaidia kukulinda wewe na wengine kutokana na virusi vya COVID-19 na vinginevyo. Iwapo unapata joto jingi, kukohoa ama matatizo ya kupumua, wasiliana na daktari bila kukawia kwani hii huenda ikawa ni maambukizo ya mfumo wa kupumua ama hali nyingine ya dharura. Piga simu kabla ya kwenda na umfahamishe daktari wako iwapo umetembea nchi zingine hivi karibuni ama kupatana kifizikia na watembeaji wengine. Mbona? Kupiga simu kabla ya kuenda kutampatia daktari wako nafasi ya kukuelekeza kwa kituo cha afya kinacho faa. Huku kutakusaidia kuepuka kusambaa kwa virusi vya COVID-19 na visuri vingine. Time , World Health Organization Originally Written by Lydia Ume Translated by Risper Nyakio Soma Pia: 12 Coronavirus Myths Busted! Coronavirus Myths You Should Know About Swahili COVID-19 homa ya korona Masks za uso Kuzuia Covid-19 Vidokezo Salama Vya Kuepuka Kuambukizwa Homa Ya Korona Covid-19: Jinsi Ya Kuishi Iwapo Kuna Lockdown Ya Homa Ya Korona Kenya
2020-08-12T09:19:44
https://www.africaparent.com/homa-ya-korona-na-barakoa-za-uso
[ -1 ]
TANZANIA KUANZIA RAUNDI YA KWANZA KOMBE LA DUNIA LA VIJANA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE TANZANIA KUANZIA RAUNDI YA KWANZA KOMBE LA DUNIA LA VIJANA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE Mwanzo > Untagged TANZANIA KUANZIA RAUNDI YA KWANZA KOMBE LA DUNIA LA VIJANA TANZANIA KUANZIA RAUNDI YA KWANZA KOMBE LA DUNIA LA VIJANA Na Boniface Wambura, IMEWEKWA AGOSTI 19, 2013 SAA 6: 34 MCHANA TIMU ya soka ya taifa ya Wanawake ya Tanzania ya umri chini ya miaka 20, inaanzia moja kwa moja raundi ya kwanza Kanda ya Afrika kutafuta tiketi ya kucheza Fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika mwakani nchini Canada. Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa jana (Agosti 18 mwaka huu) na Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Tanzania imepangiwa kucheza na Msumbiji ambapo mechi ya kwanza itachezwa Dar es Salaam kati ya Oktoba 25, 26 au 27 mwaka huu. Kocha wa timu ya wanawake, Rogasian Kaijage Nchi 17 za Afrika zimeingia kwenye michuano hiyo. Nchi hizo ni Afrika Kusini, Botswana, Burkina Faso, Equatorial Guinea, Ghana, Guinea Bissau, Ivory Coast, Misri, Morocco, Msumbiji, Namibia, Nigeria, Sudan Kusini, Tanzania, Tunisia, Uganda na Zambia Item Reviewed: TANZANIA KUANZIA RAUNDI YA KWANZA KOMBE LA DUNIA LA VIJANA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
2020-05-27T00:01:54
http://www.binzubeiry.co.tz/2013/08/tanzania-kuanzia-raundi-ya-kwanza-kombe.html
[ -1 ]
Kampeni za CCM Arumeru Leo Katika picha | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Kampeni za CCM Arumeru Leo Katika picha Discussion in 'Chaguzi Ndogo' started by Plato, Mar 17, 2012. wakuu,leo tena nimepitia ule uzi wa www.mjengwablog.com na nimekuta kuna picha za leo za ccm.jana niliwapasha kuhusu picha za chadema mtu akatuletea.sasa naomba mwenye kuweza atuletee hapa ili tuone tofauti ya Magamba na magwanda. Kampeni Za CCM Leo Arumeru Siamini kama hii ndiyo CCM niliyoijua.(kwa hisani ya Plato) ​ Mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM, jimbo la Arumeru Mashariki, Sioi Sumari akisalimia wananchi baada ya kuwasili kwenye mkutano wa kampeni za CCM, uliofanyika leo Kijiji cha Mikandini jimboni humo ​ Wazee wa kijiji cha Mikandini jimbo la Arumeru Mashariki wakifuatilia kwa makini hotuba ya Sioi wakati wa mkutano uliofanyika leo kwenye kijiji hicho. ​ Kinamama Mikandini wakimshangilia Sioi [TD="align: center"]Reactions:: Kama ni hivi nimeamini kweli CCM ilikufa na Nyerere. naona hao wa katikati wanatamani wanyoshe vidole viwli juu, cdm alama yao ya vyema haina mbadala Jamani wafuasi wa ccm wanaonekana ni watu waliochoka kuanzia kifikra hadi kimaisha. Picha zinatoa taswira halisi ya wanachama wa ccm waliobakia. babu wa upande wa kulia amevaa gwanda. hivi tunategemea kijiji kina watu wangapi?tujifunze kutofautisha kijiji na miji midogo.picha hizi zinaonyesha wapiga kura wa ccm yaani kina mama na wazee kwa wingi. Ccm oyeee,,,,,, babu wa upande wa kulia amevaa gwanda.Click to expand... Kwikwi kwikwi heeeeeh!!! Naona mtaji wa CCM umeonyeshwa, maana mtaji mkubwa wa hao jamaa ni wazee. Mwigulu anatembea na lori la mchele lazima watu wajae kwenda kujipatia msosi. Sanduku la kura litasema na CCM watashangaa sana siku hiyo ya ujinga wakuu,leo tena nimepitia ule uzi wa www.mjengwablog.com na nimekuta kuna picha za leo za ccm.jana niliwapasha kuhusu picha za chadema mtu akatuletea.sasa naomba mwenye kuweza atuletee hapa ili tuone tofauti ya Magamba na magwanda.Click to expand... mkuu unajua majjid anasaidia kwelikweli Kweli uwingi ni relative term lakini lazima unaonekana basi hata maji kwenye glass unaweza kusema haya maji ni mengi ingawa hayalingani na maji machache kwenye kisima lakini uwingi wake kwenye glass unaonekana, sasa kwa hali hii hata kama ni kijijini, tuseme timu ya msafara wa Sioi na kina Nchembe na wapambe wao ilikuwa na watu 30 ukiwatoa hao utabaki na kitu pale. Jamani tuwe realistic sometimes si kutetea tu kila kitu. Kwa hali hii hakika nawambia ya kwamba hali siyo yenyewe kbs kwa hw mafisadi wa laana. dah.... kweli wabongo tumechoka, yaani hao wazee wangu wamekauka kweli kwa shida za nchi hii dah.... kweli wabongo tumechoka, yaani hao wazee wangu wamekauka kweli kwa shida za nchi hiiClick to expand... wazee wameridhika na maisha yao na bado wanaamini ccm itawakwamua kuondokana na umasikini huwezi jua mipango ya mungu ujue! Natamani ALLY CHEMICAL wa Iraq angekuwepo ningemwomba apitishe lile dege lake la sumu awanyunyizie hawa wazee wanaotucheleweshea ukombozi wetu toka kwa mkoloni mweusi. Mr.Wassira na diwani aliyeshindwa wa kata ya Makuyuni_Monduli wametoka na ujumbe wa kama 16 wakiwa wamechangamka kimtindo,namaanisha wamelewa wakiwa ndani ya jezi ya chama hapa Naura Springs Motel Arusha! Wafuasi wao walikuwa wanaimba Siyoi kwa kurudia ndipo Mr. Wassira alivyo kilaza akawaambia wapaze sauti na bila ubishi watu wazima wakawa wanaimba kwa kelele hapa nje hadi Lekule ambaye ni mbunge wa Longido akaja na gari # T586ANR na kumpandisha Wassira na Sanare ambao tayari walikuwa katika ulimwengu mwingine! Afu CCM mtaji wao ndo watu waliochoka kama hao wazee hapo, wanawagawia unga na mchele wa kuganga njaa siku mbili afu uchaguzi ukipita wanawatupa kule, ila mimi siwahurumii kabisa wacha wakauke mpaka wafie mbali manake ndio njia waliochagua! Mmmh ccm imechoka...mwanza mpaka nawaonea huruma....niaibu tupu
2016-12-09T07:59:38
http://www.jamiiforums.com/threads/kampeni-za-ccm-arumeru-leo-katika-picha.234878/
[ -1 ]
Hollande kulihutubia Bunge katika siku ya pili ya ziara yake Ugiriki - Ulaya - RFI Ufaransa Ugiriki François Hollande Alexis Tsipras Imechapishwa 23-10-2015 • Imehaririwa 23-10-2015 Saa 07:56
2019-11-13T18:18:32
http://m.sw.rfi.fr/ulaya/20151023-hollande-kulihutubia-bunge-katika-siku-ya-pili-ya-ziara-yake-ugiriki
[ -1 ]
YALIYO JIRI MKOANI RUVUMA NA MKONGWE WA HABARI ADAM NINDI: October 2013 VIVUTIO VILIVYOKO KATIKA MWAMBAO MWA ZIWA NYASA VYA THIBITISHWA NA WAZIRI WA MAENDELEO YA JAMII JINSIA NA WATOTO SOFIA SIMBA Waziri wa Maendeleo ya jamii jinsia na watoto Sofia Simba akifurahia ubaridi wa maji ya ziwa nyasa wilaya Nyasa Mkoani Ruvuma Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Sofia Simba akinawa maji ya Ziwa Nyasa kuongeza Baraka kama ilivyo Desituri ya Wanyasa Kama alivyo fanya Nabii Issa au Yesu Kristo Katika Mto Yorodani ndivyo ilivyo mtokea Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto kuzama katika ziwa nyasa kuongeza baraka za kuhiji katika Ziwa nyasa Picha ya Pamoja katika ufukwe wa Ziwa Nyasa kati ya Watoto na Mheshimiwa Waziri Sofia Simba Watoto wa Mwambao wa Ziwa Nyasa wakifurahia ujio wa waziri wao Mh Sofia Simba Juma Nyumayo Mwandishi Mwandamizi wa Radio Uhuru akitoa heshima kwa Mizimu iliyiko katika Ziwa Nyasa Unamwona alivyo kakamaa Nani kama mama Mheshimiwa Sofia Simba katika ziara yake Mkoani Ruvuma alikuwa kioo cha watoto walipenda kuwa naye Muda Wote alipo kuwa hapa Ruvuma Unapo ambiwa utalii ni pamoja na vifaa vya jadi vinavyo tumika kuwekea nafaka hicho ni kikapu naungo akipewa Mheshimiwa Waziri Sofia Simba Siyo lazima kukaa kwenye kochi ndivyo walivyo mwambia mheshimiwa Waziri Sofia Simba ana weza kujipumzisha kwa kukaa kwenye utefu Watu wa Mwambao wa Ziwa Nyasa niwakalimu hakutosha kumpa vitu vya kiutalii bali wali mpa pia kitoweo Mbuzi jike Furushi unaliona mbele yako ni Dagaa wa Ziwa Nyasa wananoga kupita kiasi, Kingine hicho ni jamanda ni marufu kwa wangoni kupelekea zawadi kwa ndugu pale wanapo kuwa na Saherehe Pamoja na utalii mbalimbali uliopo mkoa wa Ruvuma pia kuna ngoma ya mganda jezi lake ni nguo nyepe tu kama unavyo ona Watu wana penda cha unaona wanavyo apa katika kujiunga na CCM Tujiulize kosa liko wapi kwa CCM Utulivu wawatoto kusikiliza Waziriwao wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto ni moja ya kuonyesha kukubaliana na Mheshimiwa Sofia Simba Hapo siyo wana salimia bali hicho ni kiapo cha kujiunga na chama cha CCM Wilayani Nyasa Mkuu wa wilaya ya Nyasa Erenest Kahindi akiwa ana tafakari jinsi ya kuweza kuleta maendeleo katika Wilaya yake Mwandisha Chipukizi Juduth Lugoye akiwa na viongozi waandamizi wa Cham,a cha Mapinduzi katika ziara Wilayani Nyasa Unasikia Dagaa Nyasa ni hao unao waona katika usanjo ,Dagaa wengi hutumbukizwa ziwani kutokana na vifaa walivyo navyo wavuvi kuwa havina uwezo wa kubeba tani nyingi za samaki au dagaa wanao vuliwa Waandishi wa Vyombo mbali mbali wakiwa kazini kuelimisha jamii kile kinacho tendeka Afisa Utumishi akiwa katika Tafakari kijiuliza jee haya anayo ya fanya Mhesmiwa Waziri na Nitayafikia. Posted by Adam Mzuza Nindi at 9:17 AM No comments: Adam Nindi, Songea. Dereva wa Shirika la Umeme TANESCO Tawi la Songea, anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kusababisha ajali katika Msafara wa Waziri wa Maendeleo Mifugo na Uvuvi Dr David Mathayo. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Deusdedit Nsmeki aliyasema hayo wakati akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu Ajali ilyotokea kutoka Mbambabay – Songea na kusababisha watu 5 kujeruhiwa ambao walilazwa Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma. Akimtaja Dereva anayeshikiliwa na Polisi amemtaja ni Ahamadi Hamisi 33 ambaye alikuwa akiendesha Gari lenye lenye No. za Usajili SU 37788 TOYOTAHilax iliyo igonga gari no stk 9906 mali ya RAS Mkoa wa Ruvuma Akiwataja waandishi wa habari walio pata ajali na kulazwa ni Joseph Mwambije, Lauf Mohamed, Lauf Mohamed, Cresensia Kapinga na Joicy Joliga na mwingine ni Abiria mmoja aliyekuwa kwenye Gari la TANESCO. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Deusdedit Nsmeki ameelezea Madereva wa Shirika la TANESCO Mkoani Ruvuma pamoja na kupewa onyo wamekuwa wakiendelea kwanda kwa mwendo kasi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Deusdedit Nsmeki amesema Madereva wa Shirika la TANESCO ambao huendesha kwa kasi gari zao, mara nyingi wapitapo mitaani wamekuwa wakizomewa na Wananchi ikiwa ni ishara ya kupinga mwendo mkali lakini hata hivyo wao huishia kuongeza mwendo . Dereva Ahamad Hamis anayeshikiliwa na Polisi anahojiwa na upelelezi utakapokamilika atapelekwa Mahakamani. Waziri wa Maendeleo, uvuvi na Mifugo Dr. David Mathayo alikuwa Ziarani Mkoani Ruvuma kwa kutoa Majibu ya Utafiti juu Samaki waliokuwa wanakufa Ovyo katika Ziwa Nyasa Wilayani Nyasa na kugundua ilitokana na Uchafuzi wa Hali ya Hewa na siyo Sumu. Posted by Adam Mzuza Nindi at 4:48 AM No comments: MKULIMA APATA MAENDELEO KUTOKANA NA KILIMO RUVUMA Mkoa wa Ruvuma ni miongoni mwa Mikoa inayotegemewa kwa upande wa Kilimo. Mkoa wa Ruvuma ambao una wakaazi 1,400,000, ambao wakaazi wake hutemea Kilimo kwa asilimia 80%. Maendeleo ya Kilimo katika Mkoa huu yalianzishwa Mwaka 1977 wakati Agizo la Mlale lilipoanzishwa kwa madhumuni ya kumfanya kila mwana Ruvuma kushiriki katika Kilimo. Miongoni mwa Wananchi waliounga mkono suala hilo ni Mzee Aizack Mwilamba ambaye alizaliwa 9.10.1966 amekuwa Mkulima toka Mwaka 1977 ambapo shughuli zake za Kilimo alianzia Kijiji cha Mgazini Kata ya Kilagano Peramiho Songea Vijijini kwa kulima Ekari 150 ambazo kila mwaka hutoa kiasi cha Tani 250 na kuendelea. Mwilamba katika uwekezaji wake ameweza kusaidia kutoa ajirakwa vijana kama anavyo onekana dada huyo hapo juu ni mfanyakazi wake ambaye anamlipa kwa kazi ya kuuza pembejeo miongoni mwa biashara zake. Mwilamba amekuwa Mtaalamu wa Mbolea ambazo haziwezi kumwangusha Mkulima, Pia amekuwa wakala wa Mbolea kwa mda mrefu ambapo yeye Pembejeo za Kilimo huweza kumpelekea moja kwa moja Mkulima Shambani. Mke wa Izacki Mwilamba akiwa katika duka la vifaa vya ujenzi (hard ware) Duka lililotokana na mtaji wa Kilimo linapatikana mtaa wa Sokoine barabara kuu ya lami iendayo Songea - Mbambabay. Mwilamba ameweza kuwa wezesha ndugu zake na kuwawezesha na wao kumiliki Miradi ya Maduka ya Pembejeo katika mtaa wa Zanzibar Manspaa ya Songea huyi ni mdogo wake akiwa katika Duka lake. Mkulima Stadi Izack Mwilamba amesema Kilimo ukikizingatia kinakutoa katika Umaskini. Hivi sasa kutokana na Kilimo ameweza Kujenga Hoteli kubwa ya Kisasa yenye Ghorofa tatu ambayo iko Stendi kuu ya Mabasi yaendayo mikoani Stendi hiyo inajulikana kwa jina la UGABE Huyo hapo juu ni mdogo wake Mkulima Izack Mwilamba akiwa katika moja ya Maduka ya Kaka yake ambalo lipo Stendi Kuu Mjini Songea. Izack Mwilamba ni Mkulima na wakala ambaye amekuwa na maduka 4 ya kuuzia Pembejeo za Kilimo Mkoani Ruvuma, Pia ni wakala wa Pembejeo katika Maeneo ya Peramiho ambapo Uwakala wake umeungwa mkono na Viongozi wa Serikali Mkoa wa Ruvuma akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabit Mwambungu na Mkuu wa wilaya ya Songea Joseph Joseph Mkirikiti. Hata hivyo amewashukuru wasambazaji wa Mbegu za Mahindi aina ya PAN kuwa mbegu zao ni Bora na zina Tija Posted by Adam Mzuza Nindi at 8:41 AM No comments: VIVUTIO VILIVYOKO KATIKA MWAMBAO MWA ZIWA NYASA VY...
2018-07-22T18:36:12
http://songeahabari.blogspot.com/2013/10/
[ -1 ]
Mfanyabiashara Peter Zakaria asomewa mashtaka mapya, anyimwa dhamana - MTILAH BLOG Home / KITAIFA / Mfanyabiashara Peter Zakaria asomewa mashtaka mapya, anyimwa dhamana Mfanyabiashara Peter Zakaria asomewa mashtaka mapya, anyimwa dhamana Matumaini ya Mfanyabiashara maarufu Kanda ya Ziwa, Peter Zakaria kupata dhamana na kuungana na familia yake yameyeyuka baada ya kurejeshwa rumande kwa kukosa dhamana katika moja ya mashtaka mapya mawili aliyosomewa leo. Wakati akisubiri uamuzi wa Mahakama kuhusu dhamana yake katika kesi ya kujaribu kuua kwa kuwapiga risasi Ahmed Segule na Isaac Bwire, leo Julai 10, Zakaria amejikuta akisomewa shtaka jipya la kumiliki bunduki aina ya shortgun na risasi tano kinyume cha sheria. Licha ya kuachiwa kwa dhamana katika shtaka la kujaribu kuua, mfanyabiashara huyo amejikuta akirejeshwa mahabusu baada ya Wakili wa Serikali, Samuel Lukelo kupinga dhamana yake katika kesi ya kumiliki silaha na risasi kinyume cha sheria. Juhudi za mawakili wa Zakaria, Kassim Gila na Onyango Otieno kuishawishi Mahakama mbele ya Hakimu mkazi mfawidhi, Rahim Mushi kumpa dhamana mteja wao leo hazikuzaa matunda baada ya shauri hilo kuahirishwa hadi Julai 12 uamuzi kuhusu dhamana hiyo utakapotolewa. Katika shtaka la kwanza, Zakaria anayemiliki kampuni ya mabasi ya Zakaria yanayosafiri kati ya mikoa ya Mwanza, Simiyu na Mara anadaiwa kujaribu kuwaua kwa kuwapiga risasi Segule na Bwire wanaodaiwa kuwa ni maofisa usalama wa taifa katika tukio lililotokea Juni 25 eneo la kituo cha mafuta kinachomilikiwa na Zakaria mjini Tarime. Mahakama imemuachia kwa dhamana katika shauri hilo baada ya kutimiza masharti ya kuwa na wadhamini watatu, wawili wakiwa watumishi wa Serikali waliosaini hati ya dhamana ya Sh10 milioni. Awali mshtakiwa alifikishwa mahakamani Julai 5 na kusomewa mashtaka hayo ambapo leo mahakama ilipanga kutoa uamuzi kuhusu dhamana. Katika shtaka la pili, mshtakiwa anadaiwa kumiliki bunduki aina ya shortgun na risasi tano kinyume cha sheria. Kosa hili halikuwa na dhamana na amerudishwa rumande hadi Julai 12.
2019-02-24T00:17:54
http://www.mtilah.com/2018/07/mfanyabiashara-peter-zakaria-asomewa.html
[ -1 ]
Mchezo jangwa jeep Online. Kucheza kwa huru Mchezo jangwa jeep Unachezwa: 2220 Kucheza mchezo jangwa jeep Online: Maelezo ya mchezo jangwa jeep Kutekeleza azma ya kuvutia juu ya barabara, ambapo ni muhimu si tu kupata na immobilize mwathirika lakini pia kuishi mwenyewe. . Kucheza mchezo jangwa jeep online. Kiufundi na tabia ya mchezo jangwa jeep Mchezo jangwa jeep aliongeza: 27.11.2011 Ukubwa wa mchezo: 2.94 MB mchezo unachezwa: 2220 mara Michezo kama mchezo jangwa jeep Kubwa lori Adventures 3 safari kuhama hama Jeshi racer Lori - Monster: Survival Jeep katika Jungle Uliokithiri malori-2 USA Kuzimu racer Hasira mpasuko Download mchezo jangwa jeep Embed mchezo jangwa jeep katika tovuti yako: jangwa jeep Kuingiza mchezo jangwa jeep kwenye tovuti yako, nakala ya kanuni na kuweka katika kanuni html ya tovuti yako. Pia, kama wewe kama mchezo jangwa jeep, nakala na kutuma kiungo kwa rafiki au rafiki yako yote, kushiriki mchezo na dunia! Pamoja na mchezo jangwa jeep, pia alicheza katika mchezo:
2018-12-13T07:33:48
http://sw.itsmygame.org/999969150/deserted-jeep_online-game.html
[ -1 ]
Juhudi za kidiplomasia katika mgogoro wa Kaukasus | Wafanyakazi wa Idhaa ya Kiswahili | DW | 12.08.2008 Juhudi za kidiplomasia katika mgogoro wa Kaukasus Juhudi za kimataifa kufumbua mzozo wa Kaukasus kati ya Urusi na Georgia zimeshika kasi.Lakini katika ufumbuzi huo,ni Ulaya na sio Marekani inayohitajiwa. Majeshi ya Urusi,Ossetia ya Kusini Nchi yenye mchanganyiko wa makabila na inayojikuta kijiografia na kisiasa katika hali kama ile ya Georgia,inahitaji hadhari na uangalifu.Hayo alielewa vizuri Eduard Schewardnadse aliekuwa rais wa Georgia mwanzoni mwa miaka ya tisini.Lakini mrithi wake,Michail Saakaschvilli hana yote mawili.Mbaya zaidi ni kuwa Rais Saakaschvili amechagua kupigana na jirani mwenye nguvu kubwa;alipoona Urusi imejibu kwa kupeleka vifaru na majeshi yake,aliomba kusaidiwa na nchi za kigeni. Ulimwengu mzima unauliza ni kitu gani kilichomfanya Saaakaschvili kuufufua mgogoro huo?Huenda ikawa ametaka kuilazimisha Marekani kuingia katika mzozo huo na Urusi.Kwani tangu miaka mingi,Georgia inapatiwa silaha na Marekani na vile vile ushauri wa kijeshi kutoka mamia ya maafisa wa Kimarekani waliokuwepo huko huko Georgia. Au,Saakaschvilli alitumaini kuwa Marekani kwa njia moja au nyingine, ingetumbukizwa katika mzozo huo na hivyo Moscow ingerudi nyuma,ili kuzuia mapambano ya moja kwa moja na Washington.Ikiwa hayo ni mambo yaliyomchochea Rais wa Georgia kutuma majeshi yake katika jimbo la Ossetia ya Kusini lililojitenga na linaloungwa mkono na Urusi,basi safari hii amekwenda kombo. Vile vile amesababisha umwagaji damu wa kikatili katika eneohilo la Kaukasus.Maelfu ya watu wamepoteza maisha yao.Maelfu wengine wameondoka makwao kukimbia mapigano.Siku moja Rais Saakaschvili hatokuwa na budi ila kuwajibika kwa maafa hayo. Kwa upande mwingine,Urusi itatumia fursa hii kuuonyesha ulimwengu mzima faida ya kusaidiwa na Marekani- msaada huo hauna manufaa -hivyo ndivyo angalau Moscow inavyoona.Kinyume na Saakaschvili aliechukua maamuzi ya haraka,Rais wa Marekani George Bush anatumia busara kutojitumbukiza vitani na dola lenye nguvu za nyuklia Urusi,kwa sababu ya mgogoro wa kimkoa.Kwani Ikulu ya Washington inaelewa vyema kuwa vita hivyo vikiendelea kwa muda mrefu,basi hatimae bei za mafuta na gesi zitaongezeka katika masoko ya dunia. Tukio kama hilo litaathiri vibaya mno uchumi wa Marekani,lakini Urusi kama mzalishaji mkubwa wa gesi na mafuta,itanufaika kwa kuingiza mabilioni ya fedha.Kijeshi,Georgia imeshashindwa vita hivi.Itaweza kujitoa kimaso maso kwa msaada wa kidiplomasia,ikiwa baada ya mapigano kusitishwa,Urusi haitoweka vikosi vyake kwenye mipaka ya Ossetia ya Kusini na Abkhazia. Mwandishi M.Soric/(P.Martin) Kiungo http://p.dw.com/p/EvVr
2017-12-14T04:09:28
http://www.dw.com/sw/juhudi-za-kidiplomasia-katika-mgogoro-wa-kaukasus/a-3557675
[ -1 ]
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 13 Machi, 2019 amekutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa Urusi ulioongozwa na Mjumbe Maalum wa Rais wa Urusi katika masuala ya Afrika ambaye ni Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Mhe. Mikhail Bogdanov, Ikulu Jijini Dar es Salaam. “Naomba ufikishe ujumbe wangu kwa Mhe. Rais Putin kuwa Watanzania wanaipenda Urusi na tunamkaribisha kuja kutembelea nchi yetu pamoja na wananchi wengine wa Urusi, tunawakaribisha pia wawekezaji waje wawekeza katika fursa mbalimbali zilizopo hapa Tanzania kwa manufaa yetu sote” Mhe. Rais Magufuli amemueleza Mhe. Bogdanov. Mazungumzo hayo yamehudhuriwa na Balozi Tanzania nchi Urusi Mhe. Mej Jen. Mstaafu Simon Mumwi na Balozi wa Urusi nchini Tanzania Mhe. Yuri Popov. Wakati huo huo, Mhe. Rais Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na timu ya wataalamu wa Tanzania na Morocco wanaoshughulikia ujenzi wa uwanja wa michezo katika Jiji la Dodoma, unaotarajiwa kujengwa kwa msaada wa Mfalme wa Morocco Mtukufu Mohammed VI. Balozi wa Morocco hapa nchini aliyeongoza ujumbe wa wataalamu kutoka Morocco Mhe. Abdelilah Benryane amesema pamoja na kuzungumzia uhusiano mzuri wa Tanzania na Morocco wamejadiliana kuhusu utekelezaji wa miradi iliyokubaliwa wakati wa ziara ya Mfalme wa Morocco hapa nchini mwaka 2016 ikiwemo ujenzi wa Msikiti wa Baraza la Waislamu Tanzania (BAKWATA) unaojengwa Jijini Dar es Salaam na kuanza kwa ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu Jijini Dodoma. Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mhandisi Patrick Mfugale amesema uwanja huo utajengwa jirani na eneo la Nanenane kando ya barabara ya Dodoma – Morogoro, utajengwa kwa mfano wa mlima Kilimanjaro na utakuwa na uwezo wa kuchukua watazamaji kati ya 85,000 na 100,005.
2019-03-22T15:04:53
https://www.ikulu.go.tz/index.php/media/press_details/5196
[ -1 ]
Gianluigi Buffon Story ya Watoto pamoja na Mambo ya Untold Biography Nyumbani STARS ZA EUROPE Gianluigi Buffon Hadithi ya Watoto Plus Mambo ya Ubunifu wa Untold Gianluigi Buffon Hadithi ya Watoto Plus Mambo ya Ubunifu wa Untold LB inatoa Hadithi Kamili ya Msajili wa Soka inayojulikana zaidi na Jina la Nickname; "Gigi, Superman". Hadithi yetu ya Gianluigi ya Watoto na Mambo ya Wasifu hukuletea akaunti kamili ya matukio yanayojulikana tangu wakati wa utoto mpaka tarehe. Uchunguzi unahusisha hadithi yake ya maisha kabla ya umaarufu, maisha ya familia na mengi zaidi na ON-Pit ukweli unaojulikana juu yake. Ndiyo, kila mtu anajua uwezo wake lakini ni wachache tu wanaozingatia Bibi ya Buffon ya LB ambayo inavutia kabisa. Sasa bila adieu zaidi, hebu tuanze. Gianluigi Buffon Story ya Watoto Plus Mambo ya Untold Biography Facts -Maisha ya zamani Gianluigi "Gigi" Buffon alizaliwa siku ya 28th ya Januari 1978, huko Carrara, Italia na Maria Stella Buffon (mama) na Adriano Buffon (baba). Kizuizi cha hadithi cha Italia kilizaliwa katika familia tajiri ya wanariadha wa Italia. Mama yake, Maria Stella, alikuwa mshambuliaji wa discus na baba yake, Adriano, mjumbe maarufu wa Italia. Kama mtoto wa nyumba, Gigi alifurahia uhusiano mzuri na wazazi wake, hasa mama yake ambaye kwa kawaida alikuwa na doa laini kwa mtoto wake wa mwisho. Chini ni picha ya Buffon ya utoto iliyopigwa na mama yake siku ya kuzaliwa kwake. Kidogo Gianluigi Buffon na Mama (Siku ya kuzaliwa kwake) Buffon alionyesha jeni la athletic bora kama mtoto, shukrani kwa wazazi wake wa riadha. Licha ya kuchanganyikiwa mapema kwenye mechi ya michezo, moyo wake ulikwenda na soka. Katika umri wa miaka sita tu, wazazi wa Buffon walijiandikisha katika shule ya mpira wa soka ya Canaletto di La Spezia ambako alikuwa na mwanzo mzuri wa kazi yake kama kiungo. Buffon Utoto Story Plus Untold Biography Facts -Muhtasari wa Kazi Ukweli huambiwa. Gigi alianza kama kiungo na kamwe kama kipa. Hii ni sawa kwa David De Gea. Mifupa ni picha ya Buffon mdogo wakati alikuwa kiungo. Vijana Buffon kama Midfielder Alicheza mechi yake ya kwanza San Sanro katika umri wa miaka 10 katika mashindano kwa wachezaji bora wa vijana kutoka Veneto. Miaka miwili baadaye, Buffon aligundua sanamu yake, mlinzi wa Cameroon Thomas N'Kono, ambaye alicheza kwenye Kombe la Dunia ya 1990. Hadithi ya Buffon Idol- Thomas N'Kono Thomas alikuwa na jukumu la mabadiliko ya Buffon kutoka kwa kiungo kwenda kwa kipa. Utoaji wa Italia nzima bado unampa deni. Buffon alifanya mabao yake ya kwanza baada ya wachezaji wote wa timu ya kwanza wakichukua majeruhi. Baada ya wiki mbili tu za mashabiki wenye kushangaza, akawa mwanzilishi wa kudumu na alihama makao sio moja tu, lakini walinzi wawili waandamizi katika timu yake. Alikuwa na umri wa 16 kwa wakati huu. Mafanikio makubwa zaidi ya mchezaji wa Italia katika Parma alikuja msimu wake wa nne katika klabu hiyo, wakati alisaidia kushinda Coppa Italia na Kombe la UEFA. Msimu huu ulikuja wakati ambapo kikosi cha Parma kilijisifu sana na Juan Sebastian Veron, Hernan Crespo, Lillian Thuram na Fabio Cannavaro. Baada ya misimu miwili zaidi ya kuvutia katika njano na bluu, Buffon alihamishiwa Juventus kwa Euro ya miaba ya 50 (rekodi kwa mlinzi wakati huo). Gianluigi Buffon Story ya Watoto Plus Untold Biography Facts-Maisha ya Familia Wachezaji wa Italia wamepwa vizuri kwa miaka. Kuwa na mama na baba ambao wanasherehekea mashindano ina maana ya kuja kutoka kwa familia ya matajiri. Hii ndiyo kesi ya Gianluigi Buffon. Hapa, tunakupa ufahamu juu ya wazazi wa Gigi. Baba: Baba wa Buffon, Adriano Buffon alikuwa mzigo wa uzito. Alizaliwa mnamo 15th Septemba 1945 huko Latisana, Italia na Masocco Giorgio (baba) na Paolini Teresa (mama). Chini ni picha ya Adriano mdogo. Baba wa Gianluigi Buffon - Adriano Buffon Baada ya kustaafu kwa riadha yake, Adriano alifanya kazi kama mwalimu wa shule ya PE. Mama: Mama wa Gigi, Maria Stella Buffon alikuwa mshambuliaji wa discus ambaye pia aliwakilisha Italia katika ngazi ya kitaifa. Alijiunga na mumewe kufanya kazi kama mwalimu wa shule ya PE baada ya kustaafu. Mama wa Gianluigi Buffon - Stella Maria Buffon Chini ni picha ya kisasa ya wazazi wa michezo ya Gigi, Mr na Bi Adriano Buffon. Mtazamo wa leo wa Wazazi wa Gianluigi Buffon SISTERS ZA ELDER: Gigi ndiye mwana pekee wa familia yake. Guendalina Buffon ni dada mkubwa kwa Gigi. Alizaliwa katika 1973. Chini ni picha ya ndugu yake na mtoto wake wa kike na Kiitaliano shujaa 'Gigi'. Guendalina Buffon na kaka yake 'Gigi' Chini ni picha ya Dada Buffon, Veronica Buffon. Alizaliwa katika 1975. Veronica Buffon alicheza mpira wa volley kwa timu ya kitaifa ya volleyball ya Italia. Digi mzee wa Gigi-Veronica Buffon UNCLE: Gigi Buffon ana mjomba aitwaye Dante Masocco. Alikuwa mchezaji wa mpira wa kikapu katika Serie A1, ambaye pia aliwakilisha timu ya taifa ya Italia. Mjomba wa Gigi Buffon, Dante Masocco COUSIN: Mchezaji wa zamani wa Inter Milan na Italia Lorenzo Buffon ni binamu wa babu wa Gianluigi Buffon. Binti wa Gigi ya Buffon -Lorenzo Buffon Gianluigi Buffon Story ya Watoto Plus Mambo ya Untold Biography Facts -Mahusiano ya Uhusiano Gigi ni tajiri na mzuri sana. Hii kwa maana ina maana kuna matatizo ya uhusiano katika maisha yake yote. Tunakupa, maelezo ya maisha yake ya uhusiano. Hadithi ya upendo wa Gigi Buffon imeanza 2005 alipopokutana na kupendezwa na Alena Seredova. Alena alikuwa mchezaji wa kwanza wa Miss Jamhuri ya Czech katika 1998 na mwakilishi wa nchi yake katika Miss World 1998. Gigi Buffon na Alena Seredova Gigi aliolewa na Alena Seredova mnamo Juni 16, 2011, huko Prague. Wana watoto wawili, Louis Thomas (aliyezaliwa 2007) na David Lee (aliyezaliwa 2009). Gigi na watoto wake, Thomas (kulia) na Daudi (kushoto) Thomas 'mtoto wake wa kwanza aliitwa jina la sanamu ya Gigi Buffon Thomas N'Kono. Anatoa muda wa kucheza na wana wote wawili. Hii hutokea sana wakati yeye akipungua. Mnamo Mei 2014, Buffon alitangaza kupata talaka na Mwenzi wake. Wao kujitenga baada ya miaka mitatu ya ndoa. Hivi karibuni alikuwa ameshikamana kimapenzi na michezo ya Italia pundit, mwandishi wa habari na mwenyeji wa televisheni Ilaria D'Amico. Kulingana na gazeti la Italia, Buffon na D'Amico ni "Kama sungura" na majirani wameanza kulalamika kuhusu kelele ya maamuzi yao ya upendo. Katika 2015, Buffon alitangaza kuwa wanandoa walikuwa wanatarajia mtoto pamoja. Mnamo 6 Januari 2016, wanandoa walitangaza kuzaliwa kwa mwana wao Leopoldo Mattia juu ya Twitter mapema jioni. Katika majira ya joto ya 2017, jozi walifanya kazi. Kabla ya uhusiano wake na ndoa na Šeredová, Buffon alikuwa amekuwa amehusishwa na sprinter kutoka timu ya kitaifa ya washindani wa Italia, Vincenza Calì. Gianluigi Buffon Story ya Watoto Plus Mambo ya Untold Biography Facts -Msimu wa 2003 / 2004 Katika 2013, Buffon alionyesha kwamba alikuwa ameteseka kutokana na matatizo ya msimu wa 2003-04, kufuatia kushindwa kwa penalti ya Juventus katika mwisho wa Ligi ya Mabingwa ya 2003, na kwa sababu ya utendaji mbaya wa Juventus msimu huo. Buffon mara kwa mara alitembelea mwanasaikolojia, lakini alikataa kuchukua dawa, na kukata tamaa yake kabla ya Euro 2004 Gianluigi Buffon Story ya Watoto Plus Mambo ya Untold Biography Facts -Biashara ya Mvinyo tu kama Andrea Pirlo na Andres Iniesta, Buffon pia anaokoa kioo cha mvinyo yake kama inavyoonekana katika picha hapa chini. Kutoka Gigi Buffon hadi Wesley Sneijder, kwa Ivan Zamorano: mara nyingi zaidi ya mabingwa wa mpira wa miguu wameona majina yao yaliyowekwa kwenye chupa ya mvinyo kama maandiko. Hivi karibuni Katika 2017, Buffon ilizindua brand yake mwenyewe ya divai chini ya jina "Buffon #1". Gianluigi Buffon Story ya Watoto Plus Mambo ya Untold Biography Facts -Rafiki kwa Papa Buffon ni Katoliki kwa imani. Yeye ni rafiki mzuri wa Papa Francis. Wawili wawili walikutana katika 2013 chini ya mwavuli wa soka na dini. Gianluigi Buffon Story ya Watoto Plus Mambo ya Untold Biography Facts -Sinema ya kucheza na Mapokezi Tangu kujitokeza kwake kama talanta ya ujuzi wakati wa ujana wake, Buffon amejulikana kwa maonyesho yake ya kawaida katika kazi yake yote. Hadithi hii imepokea sifa kutoka kwa mameneja, wachezaji, pamoja na wenzake wote wa sasa na wa zamani wa kusudi. Hii ni kwa mkusanyiko wake na utulivu wa utulivu chini ya shinikizo, pamoja na kiwango cha kazi yake, na uhai wake. Yeye mara nyingi anaonekana kuwa archetype ya kipa kisasa na imetajwa na kipaji wengine wengi baadae kama ushawishi mkubwa na mfano. Gianluigi Buffon Story ya Watoto Plus Mambo ya Untold Biography Facts -Shirt Suala la Idadi Wakati wa Parma, uamuzi wa Buffon kuvaa shati ya 88, badala ya shati yake ya awali ya 1, kwa Msimu wa 2000-01 imesababisha utata nchini Italia. Buffon, hata hivyo, alidai kuwa hajui namba za nambari za Nazi, na kusema kuwa 88 inawakilisha "mipira minne", ambayo ni alama ya tabia na sifa za mtu. Alisema kuwa walikuwa na maana ya kuashiria haja yake ya sifa hizi baada ya kuumia kabla ya Euro 2000 na kwamba pia waliwakilisha "kuzaliwa upya" kwake. Baadaye alijitolea kubadili namba, kuchagua namba ya kikosi 77. Gianluigi Buffon Story ya Watoto Plus Mambo ya Untold Biography Facts -Kutishia Sentensi ya Prison Katika 2000, Buffon aliadhibu adhabu ya gerezani ya miaka minne kwa kudanganya diploma ya uhasibu wa shule ya sekondari ili kuandikisha shahada ya sheria katika Chuo Kikuu cha Parma. Alilipa faini ya 3,500 euro katika 2001. Baadaye alielezea tukio hilo kama majuto yake makubwa. Gianluigi Buffon Story ya Watoto Plus Mambo ya Untold Biography Facts -Betting haramu Kwenye 12 Mei 2006, wakati wa urefu wa Calciopoli kashfa, Buffon alishtakiwa kupiga marufuku kinyume cha sheria kwenye mechi za Serie A, ambayo ilianza kuweka nafasi yake katika kikosi cha Kombe la Dunia cha 2006 katika hatari. Buffon aliulizwa rasmi na kukubalika kuweka bets kwenye mechi za michezo. Ilikuwa kwa sababu yake kwamba wachezaji wa mpira wa miguu walitakiwa kupiga betri tangu Oktoba 2005. Buffon iliondolewa kwa mashtaka yote Desemba 2006. Gianluigi Buffon Story ya Watoto Plus Mambo ya Untold Biography Facts -Soka ya Soka Mnamo 7 Mei 2012, Buffon alichaguliwa makamu wa rais wa Chama cha Washambuliaji wa Italia (AIC). Hii ilikuwa mara ya kwanza mchezaji mwenye nguvu alifanya nafasi hii. Mwaka huo huo, Buffon alijiunga na "Kuheshimu Utofauti" Programu, kupitia UEFA, ambayo ilipigana kupambana dhidi ya ubaguzi wa rangi, ubaguzi na uvumilivu katika soka. Gianluigi Buffon Story ya Watoto Plus Mambo ya Untold Biography Facts -Progidy yake ametabiri baadaye ya mkali mbele ya mwanadamu Gianluigi Donnarumma ambaye ana jina lake sawa. 'Mchezaji wa AC Milan Donnarumma anaweza kuwa mwana wangu' - anasema Gianluigi Buffon. Imekuwa ya utafutaji wa internet maarufu kama kama kipa wa AC Milan ni kuhusiana na Buffon. Kulingana na kipa wa AC Milan ... "Nina uhusiano mkubwa na Gigi. Yeye ananipa ushauri na kunipenda kama ndugu yake hata wewe tunaishi jina moja na sio uhusiano. Nina walijaribu kuangalia kila hatua anayofanya katika mafunzo na ninamshukuru kwa kuwa shujaa kwangu. Kila mtu anasema mimi ni mrithi wa Gigi, mwanawe au ndugu yake. Hivi sasa nimezingatia Milan tu na kufanya vizuri huko, kama ilivyo timu Nimesaidia tangu nilipokuwa mtoto. Mimi tayari niko kwenye klabu ya juu. " Sisi kujitahidi kwa usahihi na haki. Ikiwa utaona kitu ambacho hakionekani, Wasiliana nasi! Gianluigi Donnarumma Story ya Watoto Plus Facts Untold Biography Hoja Story Kean ya Watoto Plus Facts Untold Biography Hadithi ya Massimiliano Allegri ya Watoto Plus Facts Untold Biography Andrea Belotti Hadithi ya Utoto Plus Mambo ya Biografia ya Untold Roberto Pereyra Hadithi ya Watoto Plus Facts Untold Biography Giorgio Chiellini Hadithi ya Watoto Plus Mambo ya Ubunifu wa Untold vannyhenrico - Desemba 5, 2019 0 Huenda 5, 2018 Juan Cuadrado Story ya Watoto Plus Facts Untold Biography
2019-12-11T19:44:13
https://lifebogger.com/sw/Hadithi-ya-gianluigi-buffon-utoto-hadithi-plus-untold-biografia/
[ -1 ]
Kukumbuka Kusanyiko la Mashahidi wa Yehova Lililokuwa na Kichwa “Kuuzunguka Ulimwengu” Miaka hamsini iliyopita, Mashahidi wa Yehova 583 walianza safari ya majuma kumi, ambayo ingewafanya wazunguke ulimwengu. Hata hivyo hawakuwa watalii. Kusudi lao kuu lilikuwa ni kushirikiana na ndugu zao katika makusanyiko ya mwaka 1963 yaliyokuwa na kichwa “Habari Njema za Milele.” Kwa sababu wageni walisafiri ili kukutana na wageni wenzao kutoka nchi zaidi ya 20, makusanyiko haya yaliitwa Kusanyiko la “Kuuzunguka Ulimwengu.” Jambo kuu katika kila kusanyiko lilikuwa hotuba yenye kichwa “Mungu Atakapokuwa Mfalme Duniani Kote.” Nathan Knorr, kutoka katika makao makuu ya Mashahidi wa Yehova alitoa hotuba hiyo katika mengi ya makusanyiko hayo. Alifafanua hali mbaya za ulimwengu na alizungumzia kuhusu ahadi za Biblia za kurudisha paradiso duniani. Ulimwenguni pote, jumla ya watu 580,509 walihudhuria ili kusikiliza hotuba hiyo. “Kuuzunguka Ulimwengu” kwa Majuma Kumi Makusanyiko hayo yalianza huko Milwaukee, Wisconsin, Marekani. Kutoka hapo, wageni walisafiri kuelekea upande wa mashariki. Baada ya kusanyiko lililofanywa huko New York, walienda Uingereza, Sweden, Ujerumani, na Italia. Katika kila moja ya maeneo hayo, walipata fursa za kuhubiri kuhusu habari njema inayopatikana katika Biblia. Wenyeji wengi waliotembelewa walithamini sana kwamba Mashahidi wa Yehova walitenga wakati wa kuwatembelea. Mwanamke mmoja kijana huko Stockholm, Sweden, alisema hivi: “Sitasahau kamwe ziara yenu. . . . Siamini mlifunga safari hii yote ili kuja kuzungumza nami kuhusu Mungu. Mnafanya kazi nzuri sana.” Wageni hao walivunjika moyo kwa kiasi fulani walipofika huko Athens, Ugiriki. Viongozi wa kidini waliishinikiza serikali iwanyime kibali Mashahidi wa Yehova, wasifanye kusanyiko lao katika uwanja wa Panathinaikos Stadium. Lakini Mashahidi hao wenye bidii hawakukata tamaa. Kufikia mwishoni mwa mwezi wa Agosti, watu 10,000 hivi walihudhuria kusanyiko hilo ambalo lilifanywa katika nyumba za watu binafsi na katika makutaniko ya sehemu hiyo. Walipotoka Athens, wageni hao walisafiri hadi Lebanoni, Jordan, Israel, na Saiprasi. Mashahidi wenzao waliwakaribisha kwa uchangamfu, na wakati mwingine mambo waliyofanya yaliwafurahisha wageni. Huko Nicosia, Saiprasi, mgeni mmoja aliwachekesha wengine alipokuwa akizungumzia kuhusu viatu vyake: “Kila mara niliporudi kwa mwenyeji wangu na kuvua viatu vyangu . . . , vingepotea . . . , kisha baada ya dakika tano ningevipata vikiwa vimepigwa rangi na kung’arishwa!” Safari yao iliishia huko Asia na Pasifiki. Maelfu ya Mashahidi wa Yehova katika nchi za India, Burma (ambayo sasa inaitwa Myanmar), Thailand, Hong Kong, Singapore, Ufilipino, Indonesia, Australia, Taiwani, Japani, New Zealand, Fiji, na Korea walifurahia kusanyiko hilo pamoja na wajumbe kutoka nchi nyingine. Ingawa watu wengi walipangua ratiba zao ili wahudhurie kusanyiko hilo, mwanamume na mwanamke mmoja huko Yokosuka, Japani, ambao walikuwa wamepanga kuoana, walipangua ratiba yao kwa njia kubwa hata zaidi. Mwanamume huyo alipomwomba mwajiri wake ruhusa ya kuhudhuria kusanyiko la Kyoto, mwajiri wake alimwambia kwamba angepewa ruhusa kwa ajili ya kwenda tu kwenye mazishi na harusi. Kwa kuwa tayari walikuwa wamepanga kuoana, waliamua kuoana mapema kidogo. Walienda fungate kusanyikoni! Safari hiyo ya kuuzunguka ulimwengu ilikaribia kikomo mapema mwezi wa Septemba katika makusanyiko huko Hawaii na California, Marekani. Kituo cha mwisho cha safari yao kilikuwa huko Pasadena, California, ambapo hudhurio la watu kusanyikoni lilikuwa kubwa sana. Baada ya kusanyiko kulikuwa na msongamano mkubwa sana wa magari. Licha ya hayo, gazeti moja la sehemu hiyo lilimnukuu mkuu mmoja wa polisi ambaye alisema hivi: “ingawa walikuwa wengi sana walijiendesha kwa njia nzuri sana ambayo sijawahi kuona.” Faida za Muda Mrefu Faida za kusanyiko hilo zinafurahiwa hadi leo hii. Kitabu “Kila Andiko Lenye Pumzi ya Mungu Lafaa” kilitolewa katika kusanyiko hilo, na kitabu hicho kinaendelea kutumiwa katika mikutano ya Mashahidi wa Yehova. Harold King muda mfupi baada ya kuachiliwa huru kutoka gerezani huko China Wimbo mpya ulianza kutumiwa katika kusanyiko la New York. Harold King, Shahidi ambaye aliachiliwa huru kutoka gerezani katika mwaka wa 1963 nchini China, ndiye aliyeutunga wimbo huo. Kichwa cha wimbo kilikuwa “Mlango kwa Mlango.” Harold King alitunga wimbo huo alipokuwa katika kifungo cha upweke. Hadi sasa, Mashahidi wa Yehova huimba wimbo uliotokana na wimbo huo unaoitwa “Nyumba kwa Nyumba.” Leo, makusanyiko ya Mashahidi wa Yehova ni tofauti sana. Watu hukusanyika pamoja kwenye vikundi vidogo vidogo. Kuna maeneo mengi ya makusanyiko na hivyo watu hutumia muda mchache kusafiri ili kuhudhuria makusanyiko hayo. Mabadiliko hayo kutia ndani marekebisho mengine yamewasaidia watu wengi zaidi wakazie fikira programu. Zaidi ya Mashahidi wa Yehova milioni saba pamoja na wageni wao huhudhuria makusanyiko kila mwaka. Je, ungependa kuungana nasi kuhudhuria kusanyiko letu lijalo? Tafuta mahali pa kusanyiko palipo karibu nawe. Kila mwaka tunahudhuria matukio matatu ya pekee. Unaweza kufaidika jinsi gani kutokana na matukio hayo? https://www.jw.org/finder?docid=502013259&wtlocale=SW&srcid=share mailto:?body=Kukumbuka Kusanyiko Lililokuwa na Kichwa “Kuuzunguka Ulimwengu”%0a%0ahttps%3A%2F%2Fwww.jw.org%2Ffinder%3Fdocid%3D502013259%26wtlocale%3DSW%26srcid=share⊂ject=Kukumbuka Kusanyiko Lililokuwa na Kichwa “Kuuzunguka Ulimwengu”
2016-12-10T20:50:22
https://www.jw.org/sw/mashahidi-wa-yehova/makusanyiko/kusanyiko-kuuzunguka-ulimwengu/
[ -1 ]
Maelezo yote ya matango ya kukua katika chafu > Bustani Ikiwa unatembea kupitia barabara ya eneo lolote la miji, basi unaweza kupata miundo ya ajabu ya filamu, kioo au polycarbonate. Watu kwa muda mrefu wameitumia miundo hii, inayoitwa greenhouses, ili kukua aina mbalimbali za mazao wakati wowote wa mwaka. Mtazamo huu unapiga kelele sana, lakini inahitaji muda mwingi, jitihada na, kwa bahati mbaya, pesa. Lakini katika hali ya hewa ya baridi itakuwa vigumu kukua mazao mazuri, kwa mfano, matango, ambayo yanapendeza jicho lako. Kwa hiyo, bado ni thamani ya kutumia kwenye muundo huo, kwa sababu gharama hizi zitalipa kwa hali yoyote. Tango kukua katika greenhouses ni mchakato mgumu kabisa. Kuna mapendekezo ambayo yanalenga kukamilika kwa msimu wa kilimo na kupokea baada ya matango na ladha ya kushangaza na ubora wa juu. Njia yoyote ya kukua mazao mbalimbali, ikiwa ni pamoja na matango, ina faida na hasara zake. Chaguo cha chafu kinaanguka katika jamii hii, hivyo unapaswa kulipa kipaumbele kidogo kabla ya kwenda kununua filamu au karatasi za polycarbonate. Kuna faida zaidi kwa njia hii kuliko mabomba. Kwa faida Mambo kama vile uwezekano wa kukua matango wakati wa vuli na baridi, kulima mboga hizi kwa ajili ya kuuzwa, pamoja na fursa ya kukua aina zenye kuvutia zaidi ambazo zilitumika mizizi pekee katika mikoa ya kusini. Kwa hasara hata hivyo, gharama ya viwanda chafu yenyewe inaweza kuhusishwa, na gharama ni kazi na fedha. Kuna maoni kwamba matango ya kijani ni duni katika ladha ya chini ya maji. Lakini taarifa hii inatumika tu kwa wale wakulima ambao hawajali sana kuhusu ardhi yao wenyewe na kuhusu mimea inayoishi huko. Kwa uangalifu na huduma nzuri, unaweza kupata mazao hayo ya matango, ambayo, nje ya nje, kwa ubora, na kwa ladha, itakuwa mara kadhaa bora kuliko matango ya ardhi. Kabla ya kupanda mbegu au miche, unapaswa kuandaa kwa makini kijani yenyewe, ili baadaye hakutakuwa na maswali kuhusu nini mazao ni mbaya au vichaka vilikufa. Maandalizi ya chafu yanafanywa katika vuli, siku chache baada ya mavuno, na inalenga kuondosha majengo, pamoja na kuongeza kiwango cha uzazi wa udongo. Kwanza unahitaji kuangalia kama mipako yote ya muundo.Ni muhimu sana kupanga mpangilio huo katika hali ya hewa ya baridi, wakati mita inaweza kuvunja sehemu fulani ya filamu au karatasi ya polycarbonate, ambayo haifai masharti ya sura hiyo. Ni muhimu kuondoa uchafu wote na mabaki yote ya mimea ambayo yamekua katika chafu kabla, na pia kuondoa karibu 5 cm ya udongo wa juu, kwani iko katika nchi hii ambayo vimelea na wadudu vinaweza kubaki. Sambaza ardhi Unaweza kutumia sulfate ya shaba (suluhisho katika lita 10 za maji kijiko 1 cha vitriol). Matumizi ya suluhisho inapaswa kwenda kwa uwiano wa lita 10 kwa kila masaa 15-20. ardhi. Pia unahitaji kukumbuka kutumia mbolea katika kuanguka ili kuboresha udongo wa udongo. Kwa hili unahitaji mraba 1. mita inapaswa kutumiwa kwenye kilo 15 - 20 ya mbolea isiyosababishwa, 30 - 40 g ya mbolea za potashi na phosphate. Ikiwa asidi ya udongo ni ya juu, ni lazima pia kuongeza chokaa saa 0.2 - 0.5 kg, kulingana na shahada. Mbolea ya nitrojeni haipaswi kutumiwa tangu vuli. Mavazi haya yanafanywa tu katika chemchemi. Ikiwa haingewezekana kuandaa udongo wakati wa kuanguka, basi mchakato huu umeahirishwa hadi spring. Katika kesi hii, unahitaji kutumia mbolea maalum, ambayo ilikuwa chini ya matibabu ya joto ili kuepuka kuanzishwa kwa magonjwa yoyote ya vimelea au virusi. Wakati wa jua unakuja, na wakati wa upandaji utakuwa unakaribia na karibu, katika kesi ya chafu ya filamu unayohitaji kuvuta safu ya pili ya mipakohivyo kwamba hali ya joto ya usiku haifai madhara ya tango kali sana za upendo. Vitanda vya tango lazima ziwe pana upana (upana unapaswa kuwa hadi 1 m). Kuna chaguo kadhaa kwa kupanga vitanda kwa matango ya kukua. Chaguo la kwanza ni kilimo cha jadi chini, tu wewe kwanza unahitaji kufanya slide ndogo ya longitudinal, ambayo unahitaji kupanda miche. Chaguo la pili na la tatu ni matumizi ya vitanda vya juu. Katika matukio haya, ardhi haitakiwa kuzalishwa kabla, kwa sababu mbolea itakuwa msingi wa vichaka vijana. Majina ya vitanda hivi ni ya mfano - "moto" na "joto." Katika matukio hayo yote, unahitaji kufanya kuta za vijiji na urefu wa angalau sentimita 35, na umbali kati yao unapaswa kuwa sentimita 60 hadi 70. Katika kesi ya kitanda cha "moto", mchanganyiko wa ng'ombe safi na manyoya ya farasi lazima uimimishwe ndani ya moat kama hiyo (kuna haja ndogo sana za farasi). Mbolea yanahitaji kujaza udongo na safu ya cm 25, na kisha uimimina kwa maji mengi. Katika kesi hiyo, si lazima kuvuna miche mapema, lakini unaweza kupanda mbegu mara moja mara kwa mara na hesabu ya mbegu 2 kwa vizuri na misitu 4 kwa mita 1 ya mraba. m Katika kesi ya vitanda vya mbolea, badala ya mbolea, mbolea ya bustani inapaswa kutumika, yaani, sawdust, nyasi za zamani, vichwa. Wakati kila kitu kinapandwa kwenye kitanda, ni muhimu kutumia madawa ya kulevya ambayo yanaharakisha uharibifu wa jambo la kikaboni. Kwa njia hii ya kilimo, ni muhimu kuacha mbegu, lakini miche tayari imeongezeka, na kwa njia ile ile. Kwa ajili ya kulima miche ya tango, kila kitu ni rahisi. Ni bora kutumia mbegu zilizozonunuliwa, kwa sababu huwezi kupata matunda na sifa zinazostahili kutoka kwa mbegu za nyumbani. Kwanza, mbegu zinahitaji kuzunguka. Kwa kufanya hivyo, wanahitaji kuvikwa nguo na kumwaga maji kwenye joto la kawaida, lakini maji yanapaswa kufunika miche ili waweze kupata hewa. Katika maji, wanapaswa kulala chini mpaka mbegu za kwanza zimeonekana, yaani, kabla ya naklevyvaniya. Wakati mbegu zimezidi, zinapaswa kuwekwa kwenye friji, ambapo joto haliingii chini ya -2 ° C. Uliokithiri haja ya ndani ya masaa 48.Wakati siku hizi mbili zitakapopita, nyenzo za kupanda lazima ziweke mara moja kwenye udongo. Ni bora kutumia sufuria ya peat, ambayo unaweza kisha kubaki pamoja na miche, lakini vikombe vya plastiki au cassettes pia inafaa. Ni bora kununua udongo katika duka maalumu, kama katika utengenezaji wake ardhi ni utajiri hasa. Juu ya uwezo 1 unapaswa kwenda kwenye mbegu 2. Mpaka majani ya kwanza yatoke, joto la hewa linapaswa kuwa ndani ya +22 - 28 ° С. Kwa kuzingatia wakati wa kupanda, unahitaji kukumbuka kuhusu umri bora wa miche. Yeye ni siku 21 - 30. Ikiwa miche "inakaa" katika sufuria tena, basi itakuwa ngumu zaidi kwao kuchukua mizizi katika udongo, na baadhi yao yanaweza kufa. Kuna nafasi ya kuwa miche itapungua. Hii ni ishara ya uhakika ya ukosefu wa mwanga. Kwa hili unahitaji kutoa taa za ziada kutumia taa maalum. Wakati mimea ya kwanza itaonekana juu ya uso, joto litahitaji kupunguzwa kwa kiwango cha +18 - 20 ° C. Kama miche inakua katika sufuria, utahitaji kuongeza udongo. Tango ni utamaduni wa maridadi, kwa hivyo haiwezekani kupiga miche, kama utaratibu huu unaweza kuumiza mimea michache sana.Kabla ya kupanda, miche inapaswa kuwa na conductor kali kati ya urefu wa cm 30, internodes fupi, mizizi nzuri, pamoja na majani 3 - 4 ya rangi ya kijani. Pia ni ya kusisimua kusoma juu ya aina binafsi za polisi za matango. Kama kwa aina ya tango ambayo inaweza kukua katika chafu, chaguo ni kubwa sana. Yajulikana zaidi ni ilivyoelezwa hapo chini. Daraja "Murashka" Mchanganyiko wa mapema ni sehemu ya kansa (moja ambayo haihitaji kupakua). Kutoka wakati miche inakua hadi kuingia kwa matunda, wastani wa siku 42 hadi 45 hupita. Aina hii ni ya matango ya boriti. Anasafisha sredneroslye, na matawi madogo ya matawi. Matunda ni ya ukubwa wa kati, na kufikia urefu wa cm 8-12, rangi ya kijani yenye rangi ya rangi, na mazao makuu makubwa na pubescence nzuri nyeusi. Ladha ni nzuri sana, hakuna uchungu. Lengo ni la kawaida. Haiathiriwa na aina mbili za koga ya poda. Aina ya mapema, siku 39 tu hupita kutoka wakati wa kuibuka hadi wakati ambapo vichaka vinaanza kuzaa matunda. Katika mimea, aina ya kike ya maua, pamoja na kinga ya magonjwa kuu ya tango. Matunda ni nzuri, hadi urefu wa 11 cm, kupata 50-65 g uzito, gherkins halisi.Lengo ni la kawaida. Daraja "Faida" Msimu wa msimu wa kati (siku 43 - 50). Self-pollinating, aina ya maua - kike. Matunda ni nzito, yenye uzito wa 100-120 g, na kufikia urefu wa 10-12 cm, yenye ngozi nyepesi. Ladha ni bora, wala nyama wala nguruwe ni uchungu. Zelentsy inafaa kikamilifu kwa matumizi ya wote safi na kusindika. Katika upinzani wa mseto kwa aina zote za umande wa mealy, na pia kuoza mizizi huwekwa. Weka "Alekseich" Mchanganyiko wa parthenocarpic, huanza kuzaa matunda haraka sana - siku 37 - 43 baada ya shina la kwanza. Aina ya maua - kike. Miti ni nguvu sana, ya aina ya kupamba. Zelentsy ni ndogo, hadi 60 - 80 g na hadi 7 cm 8 kwa urefu. Ladha ni nzuri sana, hivyo matango ya aina hii hutumiwa katika saladi, na kwa salting au pickling. Mchanganyiko hauathiriwa na ukungu halisi au ya chini. Daraja "Emelya" Sehemu ya mwanzo, mseto, kwa ajili ya kukomaa inahitaji siku 40 - 45. Vitu ni indeterminate, ovari huwekwa katika makundi, maua ni zaidi ya wanawake, stepons huundwa sana. Matunda yana ladha nzuri. Lengo ni la kawaida. Kupanda miche inaweza kuwa katikati - mwishoni mwa Mei, wakati tishio la baridi za baridi limepita, na joto ni kubwa sana. Unaweza kuongeza misitu ya 3 - 4 kwa eneo la kitengo cha bustani ili mimea haijaishi, na hawajisiki ukosefu wa taa. Features huduma kwa matango Kutunza misitu ya tango katika chafu sio tofauti na kutunza mimea ya udongo. Wakati wa kutengeneza vitanda, unahitaji kufunga trellis imara juu ya kila mstari wa udongo ili shina za tango ziweze kutumika kando yake. Kwanza unahitaji kumfunga miche. Hii inapaswa kufanyika ndani ya siku 3 hadi 5 baada ya kupandikizwa kwenye ardhi. Wakati wa ukuaji, risasi lazima kuruhusiwa kwenye trellis, na sehemu za kinks zinapaswa kuzingana na interstices. Kuwa na uhakika wa kunyosha na kuchanga vichaka ili waweze kupata mingi sana wa mimea. Kila kichaka kinaundwa kwenye shina moja. Wakati urefu wa risasi kuu ni 20-30 cm ya juu kuliko msaada, basi ni wakati wa kunyosha. Viwango vya chini vya 2 - 3 vinapaswa kuondolewa pamoja na maua yote. Vipande vilivyofuata vya 5 - 6 vinapaswa kukatwa kwa kiwango cha karatasi ya kwanza. Majani yaliyopanda katikati ya risasi, unahitaji kukata juu ya karatasi ya pili, na yale yaliyo juu - zaidi ya tatu. Baada ya hatua hizi zimeondolewa au kupunguzwa, mmea utaanza upya mpya, wanaoitwa watoto wa pili.Hatua za chini zinahitaji kuondolewa kabisa, kati ya hizo zinapaswa kukatwa kwenye kiwango cha jani la kwanza, ambazo zile za juu zinapaswa kukatwa kwa kiwango cha pili. Ni muhimu sana kumwaga misitu katika hali ya joto, kama mimea hii haipendi "unyevu". Yote inategemea hali ya hewa. Ikiwa hali ya hewa ni joto sana na jua, basi kumwagilia lazima kufanyika kila siku na mahesabu ya 5 - 10 lita za maji kwa mita ya mraba. m. Wakati unafanyika mitaani, kumwagilia kunaweza kufanyika kila siku chache. Ni bora kufanya utaratibu huu jioni wakati joto la maji linafikia kiwango kikubwa. Udhibiti wa joto una jukumu muhimu sana katika mchakato wa kukua tamaduni ya tango. Ikiwa hali ya joto ya hewa ni ya kutosha, basi itakuwa vigumu kuiweka chini ya chafu. Ili kufanya hivyo, funika paa na karatasi za plywood au kadi. Katika kesi ya chafu ya kioo, kila kitu ni rahisi zaidi. Ni ya kutosha kukipa paa, na rangi nyeupe itaonyesha mionzi ya jua. Kupiga hewa itasaidia kusawazisha joto, hivyo saa + 15-35 ° С milango na majani ya dirisha yanaweza kushoto wazi. Ni muhimu kuangalia mara kwa mara joto la udongo, kama inapaswa kuwekwa saa 16-18 ° С.Vinginevyo, magonjwa mbalimbali na fungi hutolewa, ambayo hatua kwa hatua itaathiri misitu ya tango. Ni muhimu kuimarisha udongo wakati wa ukuaji na maendeleo ya Kuts. Mavazi ya kwanza lazima ifanyike kabla ya misitu ilianza kupasuka. Katika kesi hii, unahitaji kufanya mbolea za nitrojeni au suluhisho la mbolea ya kuku. Baada ya wiki 2, unahitaji kufuta mara ya pili, lakini mbolea za potassiamu na phosphate zinapaswa kuongezwa kwa nitrojeni. Mkuu matango haipendi "mbolea mbolea" na wanaweza kukabiliana na mbolea mbaya. Na hasa ikiwa unapanda vichaka kwenye vitanda vya juu, basi mbolea inapaswa kufanyika tu kama mapumziko ya mwisho, wakati kuna ishara za ukosefu wa kipengele kimoja. Matango kukua katika chafu sio vigumu kama inaweza kuonekana kwa mtazamo wa kwanza. Ni sawa tu kukumbuka sheria rahisi na mapendekezo ambayo itakusaidia kupata mazao mazuri, ambayo hayaonei tu kuweka meza yako, lakini pia kuuza. Mafanikio katika shughuli zako! Magazine Mkate Yellow © Copyright 2019 | Features ya matango kukua katika chafu
2019-12-09T15:09:12
https://sw.yellowbreadshorts.com/1090-features-of-cultivation-of-cucumbers-in-greenhouse.html
[ -1 ]
Pakua: Utafiti wa EFP: bei ya biofuli Tathmini ya bei ya gharama za biofuels nchini Ufaransa: kuzingatia nje ya nchi na kulinganisha na bei ya gharama ya dizeli na unleaded mafuta 95 na Alexandre Proy UFUNZOJI WA KIMAJI, TEMA 2004-2005, Mwisho wa Mradi wa Mafunzo Maneno: bei, gharama, biofuels, kulinganisha, mafuta, faida, historia, curves Pakua faili (usajili wa jarida inaweza kuhitajika): Etude de PFE : le prix des biocarburants ← Pakua: Uchunguzi wa Uchunguzi: BMW C1 Pakua: Utafiti wa TPE: magari ya GT ya kesho →
2018-12-09T22:19:09
https://sw.econologie.com/telechargement-etude-pfe-prix-biocarburants/
[ -1 ]
KOKA:AWAASA WALIMU WAKUU NA WATENDAJI KUTUNZA MADAWATI YA MISAADA Inbox x - Kamera Yangu ' : ''; var month = [1,2,3,4,5,6,7,8,9,10,11,12]; var month2 = ["Jan","Feb","Mar","Apr","May","Jun","Jul","Aug","Sep","Oct","Nov","Dec"]; var day = postdate.split("-")[2].substring(0,2); var m = postdate.split("-")[1]; var y = postdate.split("-")[0]; for(var u2=0;u2 KOKA:AWAASA WALIMU WAKUU NA WATENDAJI KUTUNZA MADAWATI YA MISAADA Inbox x Posted by sheila simba on 3:57 PM in | Comments : 0 MBUNGE wa jimbo la Mji wa Kibaha,Silvestry Koka akikabidhi madawati 537 yenye thamani ya zaidi ya mil. 37 yaliyotolewa na serikali ikiwa ni mgao wa wabunge nchini kwenye sehemu ya posho zao ,kwa mtendaji wa kata ya Mailmoja ,Thadeo Mtae baada ya kukabidhi kwa uongozi wa halmashauri ya Mji wa Kibaha(Picha na Mwamvua Mwinyi)
2018-01-20T19:10:44
http://www.kamerayangu.co.tz/2016/07/kokaawaasa-walimu-wakuu-na-watendaji.html
[ -1 ]
Kutumia kupeleleza Programu kupata mchumba Cheating – Kisheria au si?EaseMon Employee Monitor Kwa iPhone/iPad/Android | +1-844-207-5595 Kutumia kupeleleza Programu kupata mchumba Cheating – Kisheria au si? Una mchumba cheating? Ni wewe wasiwasi kuhusu kiasi cha muda wako mpendwa mmoja ni matumizi katika tarakilishi? Je, una inkling ya kwamba ‘ huenda’ kuwa udanganyifu juu yako nyuma yako? Ni vizuri ’ s wakati wa kufikiri inaimba cheating ya mwenzi wako na kujua ukweli. Ni halali au si kwa kupata mchumba cheating na kupeleleza Programu? Dalili za mke Cheating Kupata dawa ya kudhibiti uzazi katika dawa yake Baraza la mawaziri, na wewe ’ ve alikuwa gumba na. Yeye Hupangiza akaunti mpya ya barua pepe na hana ’ t kukuambia kuhusu hilo. Yeye huenda dukani kwa ajili ya mboga na huja nyumbani 5 masaa baadaye. Yeye ananunua mwenyewe chupi mpya. Yeye Hupangiza akaunti ya simu tofauti ambayo ni billed kwa ofisi yake. Kiti ya bakuli ya choo ni juu, na wakati wewe aliondoka nyumbani ilikuwa chini. Yeye ’ s unconventionally kutumia fedha kwenye nguo mpya. Uhodari ndani yenu na kutafuta ushauri kutoka kwenu. Yeye kuacha kuvaa pete yake ya harusi. Ishara ya Cheating mume Yeye hubeba kondomu, na wewe ni juu ya kidonge. Yeye anasisitiza kiti cha mtoto, vinyago, nk., huwekwa nje ya gari lake. Utapata nywele blonde muda mrefu kwenye kiti cha gari lake. Unaweza kupata michubuko yasiyoelezeka au michubuko kwenye shingo au mgongo wake. Ghafla anataka kujaribu mbinu mpya za upendo. Anafanya mengi ya usiku na mchana, lakini ni kamwe inaonyesha juu kwenye mbegu ya malipo. Yeye throws juu mengi kwa sababu tu alikula kwa bibi yake ’ s nyumbani. Nguo zake harufu ya marashi na yasiyo ya kawaida. Unaweza kuona lipstick mume wako ’ shati s. Ishara wa Cheating Yeye/yeye inaonyesha maslahi ghafla katika aina mbalimbali ya muziki. Mke ’ s wafanyakazi wenza hujisikii uwepo wako. Yeye/yeye ana Mshughuliko ghafla na mwonekano wake. Inatumia kiasi kupita kiasi muda kwenye tarakilishi wakati amelala. Kiasi cha fedha zilizoingizwa katika akaunti yako ya Cheki matone. Unaweza kupata vipengee vya mavazi ya karibu ambayo unaweza hakutoa mwenzi wako. Mwenzi wako inaonekana chini ya starehe wanaokuzunguka na ni “touchy” Kupata simu ambapo yake ya inaning'inia wakati Yeye husikia sauti yako. Yeye/yeye ana mabadiliko maalum katika mtazamo dhidi ya kila mtu katika nyumba. Yeye/yeye hutumia sauti chini au kunong'oneza kwenye simu au inaning'inia haraka. Kuanza kufuta yote inayoingia za simu kutoka ID yake. Hufuta barua zote zinazoingia wakati walitumia kujilimbikiza. Tar mapambano ili fiends nje ya nyumba. Ni haramu kutumia kupeleleza Programu kupata mchumba Cheating? Don ’ t kuwa mwathirika, Unastahili bora! Kama wewe ni mchumba ambaye washukiwa mpenzi wako kuwa na jambo, anataka kujua kama yeye/yeye ni kuwaambia ukweli au ana haja ya kugundua maelezo ya jambo, Tunapendekeza kwamba utaanza na kupeleleza mpenzi wako mtandaoni na siri ufuatiliaji kupeleleza Programu. Hata hivyo, kitu kimoja Kumbuka kabla ya kuamua kupeleleza mwenzi wako: Unaweza tu kupeleleza mwenzi wako kwa ruhusa yake, au ni haramu kama! Na bidhaa zetu kama vile Realtime kupeleleza na SpyAgent Unaweza kurekodi karibu kila kitu katika tarakilishi ikiwa ni pamoja na barua pepe uliotumwa na kupokelewa, mapigo ya vibonye, tovuti, viwambo, mazungumzo ya mazungumzo, majina ya mtumiaji, nywila, na zaidi. Ni pia inaweza kutumika kufuatilia watoto wako na wafanyakazi. Muda wa kujua ni sasa. Mwisho wasiwasi wako na kujua kweli kinachoendelea na watoto au wafanyakazi na programu chini yako! Tunapendekeza yafuatayo kwa ajili ya kuangalia watoto, wafanyakazi utalenga: Tafadhali soma juu bidhaa chini na Chagua ambayo maslahi bora. Tumefanya kazi nzuri kuainisha bidhaa ambapo orodha ya kwanza ni kawaida inayofaa zaidi kwa hali hii hasa. Spytech Realtime-kupeleleza Mbali-sakinishwa, Siri & Undetectable, Tarakilishi ya mbali kupeleleza Programu Realtime-kupeleleza ni wa hivi karibuni katika ufuatiliaji teknolojia ambayo inaruhusu kompyuta shirikishi kufuatilia PC yoyote kutoka mahali popote. Realtime-kupeleleza ni ugumu mbali (Hakuna usakinishaji kimwili zinahitajika), na kumbukumbu yake shughuli zinapatikana kutoka mahali popote – bila kujali kama PC mbali iko mtandaoni au si. Realtime-kupeleleza utapata kuona vyote shughuli magogo kutoka tarakilishi yoyote yenye muunganisho wa tovuti kutoa unaweza yako mwenyewe salama-kuingia katika tovuti ya Realtime-kupeleleza kwa logi usimamizi na kuonyesha. Realtime-kupeleleza hufuatilia PC mbali katika siri ya jumla, na cloaks yenyewe ili kuepuka kugunduliwa. Wachunguzi mapigo ya vibonye, ziara ya tovuti, Windows kutazamwa, na zaidi! Yanayohusiana na: Realtime-kupeleleza pamoja Bora kwa watumiaji wa biashara ya nyumbani/ndogo kuangalia: Kufuatilia tarakilishi ya mbali bila kufanya usakinishaji kimwili (yaani: mwanafunzi katika Chuo cha) Monita ya tarakilishi na uwezo wa kuona magogo kutoka katika eneo lolote, kwa wakati wowote, kupitia tovuti ya Realtime-kupeleleza Yetu #1 Tarakilishi kupeleleza Programu suluhisho Suluhisho namba moja kwa ufuatiliaji wa tarakilishi na ufuatiliaji mahitaji. Kumbukumbu zote mapigo yaliyorudiwa ya vibonye, maombi, Windows, tovuti, Miunganisho ya mtandao, barua pepe uliotumwa na kupokelewa, mazungumzo ya mazungumzo, matumizi ya faili, and even available on the market – zote zinapatikana ni rahisi kutumia interface. viwambo. Pia, SpyAgent unaweza kuchuja tovuti na programu tumizi toka kwa kuonwa tarakilishi yako! SpyAgent anaendesha katika siri ya jumla (kama wateule) and has a the most robust feature-set SpyAgent has built in logi utoaji kwa ajili ya ufuatiliaji wa mbali kutoka mbali – as long as you have access to your email. Yanayohusiana na: Toleo la siri SpyAgent Vilivyopita huungana kufuatilia shughuli zote wa tarakilishi watumiaji kufanya Tovuti ya fungu, programu tumizi, na shughuli za mazungumzo Mbali kuona shughuli za kompyuta kupitia barua pepe au muunganisho wa kivinjari moja kwa moja Tags: bf kupeleleza, mpenzi udanganyifu, mpenzi kupeleleza, kukamata na udanganyifu, kukamata mpenzi cheating, kupata cheating mume, kukamata udanganyifu, Catch cheating mke, Catch cheating mke, kudanganya mwenzi, udanganyifu bf, udanganyifu gf, udanganyifu mpenzi, Cheating mume, udanganyifu ishara, udanganyifu ishara, udanganyifu mwenzi, mke Cheating, GF udanganyifu, GF kupeleleza, mpenzi kupeleleza, mama wa nyumbani udanganyifu, jinsi ya kupata mke cheating, jinsi ya catch cheating wanandoa, soka ya mume, mume ufuatiliaji, mume kupeleleza, dalili za wanandoa cheating, mke ufuatiliaji wa tarakilishi, mke tarakilishi kupeleleza, Monita ya mwenzi, mke pc kupeleleza, Bwanaarusi kupeleleza, Kupeleleza Programu, soka ya mke, mke ufuatiliaji, mke kupeleleza Category: Cheating Bwanaarusi ufuatiliaji
2018-03-23T05:07:38
https://www.easemon.com/sw/spytech-cheating-spouse-software.html
[ -1 ]
Israel yabomoa makaazi ‘haramu’ yaliojengwa Palestina – Weyani Media Image captionWakaazi wanasema walipewa vibali vya kuwaruhusu kujenga na mamlaka ya Palestina Mmoja wa wakaazi hao, Ismail Abadiyeh, ameliambia shirika la AFP kuwa familia yake ‘itasalia barabarani’.Hakimiliki ya Picha @nadplo@NADPLO Waziri mkuu katika mamlaka ya Palestina Mohammad Shtayyeh amesema raia wa Palestina watalalamika katika mahakama ya kimataifa ya jinai ICC kuhusu ‘uchokozi huo mkubwa’. “Huu ni muendelezo wa kuwatoa watu kwa lazima katika makaazi yao na ardhi zao – uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya binaadamu,” ameongeza Lakini waziri wa usalama wa umma Gilad Erdan amesema mahakamaya juu zaidi ya Israel ” iliamua pasi na shka kwamba majengo hayo yalijengwa kinyume cha sheria karibu na ua wa usalama na kutishia maisha ya raia na vikosi vya usalama”. Mratibu wa misaada ya kibinaadamu katika Umoja wa mataifa Jamie McGoldrick aliiomba Israel wiki iliyopita kufutilia mbali ubomoaji huo na badala yake iidhinishe “sera za usawa za upangaji” kwa wapalestina. Israel pulls down a cluster of Palestinian homes Habari/News, KimataifaAFP, ICC, Ismail Abadiyeh, Israel, Jerusalem, McGoldrick, NADPLO, palestina, UNWeyani MediaLeave a comment
2019-11-17T22:09:16
https://weyanimedia.com/2019/07/22/israel-yabomoa-makaazi-haramu-yaliojengwa-palestina/
[ -1 ]
Delta ni jina kwa ajili ya mdomo wa mto ukiwa na umbo la la kufanana herufi ya Kigiriki Δ (=delta) sawa na pembetatu. Umbo hili hutokea kama maji ya mto yanabeba matope, mchanga na mashapo mengine hadi mdomo wake baharini. Maji ya mto yakiingia baharini hupungua mwendo wake pia nguvu ya kubeba yaliyomo ndani yake. Mashapo yanashuka chini: kwanza sehemu zake nzito nzito kama changarawe, halafu mchanga, halafu udongo. Mashapo haya yanalazwa ganda baada ya ganda na kuimarika hadi kuonekana juu ya uwiano wa maji. Sehemu hizi za mashapo yaliyoimarika zinakuwa kama kizuizi kinacholazimisha mto kugawa mwendo wake. Kwa njia hii mikono mbalimbali inatokea. Mimea inaanza kukua kwenye nchi mpya ikiwa mizizi yao inashika na kuimarisha nchi hii. Ikiwa bahari ina tofauti kubwa kati ya maji kujaa na kupwa mdomoni wa mto tena bahari haina kina kubwa hutokea mlango wa mto mwenye umbo la V (kama faneli) kwa sababu mwendo wa maji kujaa na kupwa unazuia kutelemka na kuimarika kwa mashapo. mto Niger katika Nigeria mto Zambezi katika Msumbiji Asia ina delta kubwa za Tigris-Euphrates (Irak), Indus (Pakistan), Ganga/Brahmaputra (India na Bangladesh), Krishna-Godavari na Kaveri (India), Ayeyarwady (Myanmar), Mekong (Vietnam) na Yangtse (Uchina). Ulaya kuna delta kubwa za Rhine (Uholanzi), Rhone (Ufaransa), Danubi (Romania), Ebro (Hispania), Volga na
2015-01-30T13:58:55
http://sw.wikipedia.org/wiki/Delta
[ -1 ]
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KIKAO CHA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA ~ Mzee wa matukio daima Home » » TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KIKAO CHA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA By mzee wa matukiodaima habari bila uoga16.1.18No comments Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa inapenda kuutaarifu umma wa watanzania kuwa, kutakuwa na kikao cha kawaida cha Baraza la Vyama vya Siasa, kitakachofanyika Januari 18, 2018 kuanzia saa mbili na nusu asubuhi. Kikao hichokitafanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mkwawa, uliopo katika Ofisi ndogo za Bunge zilizopo Barabara ya Shaabani Robert mkabara na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa , Jijini Dar –es salaam. Pamoja na ajenda zingine zilizoandaliwa, wajumbe wa Baraza la Vyama vya Siasa watapata fursa ya kujadili mapendekezo ya kutungwa kwa Sheria mpya ya Vyama vya Siasa, kujadili mapendekezo ya marekebisho ya Kanuni za usajili wa Vyama vya Siasa na pia watafanya uchaguzi wa viongozi wa kamati za Baraza la Vyama vya Siasa. Wajumbe wa Baraza la Vyama vya Siasa hutokana na viongozi wa kitaifa wa vyama vya siasa, ambapo kila chama cha siasa huwakilishwa na wajumbe wawili walioteuliwa na chama husika. Baraza la vyama vya Siasa ndicho chombo maalumu cha kisheria ambacho hutumiwa na vyama vya siasa kujadili masuala mtambuka ya kisiasa.
2018-06-22T12:58:25
http://www.matukiodaima.co.tz/2018/01/taarifa-kwa-umma-kuhusu-kikao-cha.html
[ -1 ]
Mahakama ya Mafisadi Kuanza Rasmi Leo | HABARI24 Home » » Mahakama ya Mafisadi Kuanza Rasmi Leo Mahakama ya Mafisadi Kuanza Rasmi Leo Written By Vuvuzela on Friday, July 1, 2016 | 7:27:00 AM Akiahirisha Bunge jana mjini Dodoma, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alisema utekelezaji wa ahadi hiyo unakwenda sambamba na kuonesha dhamira ya serikali ya kushughulikia makosa ya rushwa na kuweka misingi imara ya uwajibikaji katika sekta zote.
2018-07-17T04:14:18
https://www.habari24.com/2016/07/serikali-kuanziasha-mahakama-maalumu-ya.html
[ -1 ]
Hon. Lucy Simon Magereli MHE. LUCY S. MAGERELI: Mheshimiwa Mwenyekiti, changamoto za mifumo ya elimu ya Tanzania limekuwa tatizo sugu ambalo sasa ni bayana kwamba tunahitaji mbinu tofauti, nyenzo tofauti na mikakati tofauti. Mheshimiwa Mwenyekiti, bado Serikali haijaamua kutafiti kwa kina kujua nini hasa hitaji la Watanzania kuhusu elimu itakayokidhi. Kipaumbele cha kibajeti kwenda Wizara ya Elimu na Taasisi ya Utafiti ya COSTECH kimekuwa dhaifu na kisichokidhi haja kwa miaka mingi sana. Mheshimiwa Mwenyekiti, mitaala yetu inabadilishwa kila siku/kila mara na hivyo kuondoa consistency ya mitaala kwa Walimu na wanafunzi. Hata hivyo, kutowashirikisha Walimu katika suala la uandaaji mitaala, inaondoa ownership na vionjo na mahitaji muhimu ya ufundishaji na kujifunza. Mheshimiwa Mwenyekiti, mwaka 2016, Serikali ilifanya jitihada kubwa kuhakikisha shule zetu zote nchini zinapata madawati ya kutosha. Ni bahati mbaya sana kuwa kuna shule katika Jiji la Dar es Salaam, licha ya kuwa na msongamano wa wanafunzi madarasani, hazina kabisa madawati. Mfano halisi ni Shule ya Msingi Toangoma iliyoko Kigamboni ambayo ina watoto 540 ambao wanakaa chini. Hili ni jambo la aibu sana. Mheshimiwa Mwenyekiti, viwango vya elimu vinavyotolewa katika hatua mbalimbali za ukuaji kielimu. Watoto wetu katika shule za msingi wanaosoma katika mazingira dhaifu sana ikiwemo ukosefu wa vitabu vya ziada na kiada, ukosefu wa huduma za maji, umeme na madarasa ya kutosha. Mheshimiwa Mwenyekiti, Walimu wa hisabati na sayansi, bado ni changamoto. Idadi ya shule imeongezeka wakati hakuna maandalizi kidhi ya Walimu wa kutosha. Tunawaza kuwa Tanzania ya viwanda, lakini ikiwa hakuna Walimu wa kuandaa watoto wetu. Maslahi ya Walimu nayo bado ni kilio kikubwa kiasi kwamba Walimu waliopo kazini wamevunjika moyo sana. Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa sehemu kubwa, elimu yetu imekuwa ikitolewa kwa nadharia. Elimu muhimu ni elimu kwa vitendo. Tuboreshe maabara, vyuo vya ufundi viongezwe na mazoezi kwa vitendo yawe sehemu kubwa ya mtaala ili mambo yanayofundishwa yaweze kukaa na kudumu katika fikra za wanafunzi wetu kadri wanavyokua na kuendelea. Mheshimiwa Mwenyekiti, suala la kuhamisha Walimu wa Sekondari kurudi kuwa Walimu wa shule za msingi, halikuwa jambo la busara na tumewapeleka kama watu waliodharauliwa na kushushwa thamani na hivyo kutokuwa na moyo wa kufundisha. Kwa hiyo tujue hatujatatua tatizo, tumeliongeza.
2020-01-22T21:32:38
https://www.bunge.go.tz/polis/contributions/10800
[ -1 ]
ziro99blog: MAJINA YA ABIRIA WOTE AJALI YA BASI LILILOUA 42 MAFINGA HAYA HAPA MAJINA YA ABIRIA WOTE AJALI YA BASI LILILOUA 42 MAFINGA HAYA HAPA Ajali hiyo iliyosababisha vifo vya watu 42 wakiwemo 40 waliokuwemo katika basi na wawili katika lori hilo, ilitokea katika eneo la Changarawe takribani kilometa 5 kutoka mjini Mafinga, mkoani Iringa, katika barabara kuu ya Mafinga-Mbeya. Akizungumza katika eneo la tukio, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Ramadhani Mungi alisema watu wengine 22 wamejeruhiwa vibaya na wamekimbizwa katika hospitali ya wilaya ya Mufindi, mjini Mafinga na hospitali ya rufaa ya mkoa wa Iringa, mjini Iringa wanakoendelea kupata matibabu. Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo, Boaz Mnenegwa alisema walilazimika kuwahamishia majeruhi 15 kati ya 22 katika hospitali ya mkoa wa Iringa baada ya hali zao kuonekana ni mbaya zaidi. “Pamoja na kuvunjika sehemu mbalimbali za miili yao, wengi wao wameumia vichwani hali iliyotulazimu tuwakimbize katika hospitali ya mkoa wa Iringa ili wakapate huduma kwa ufanisi zaidi,” alisema. Akiwa ameambatana na Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza, Mwenyekiti wa Kamati ya Usalama Barabarani Mkoa wa Iringa, Salim Asas na baadhi ya wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa, Mungi alisema ajali hiyo ilitokea jana asubuhi saa tatu na nusu. Kamanda Mungi alisema taarifa zao za awali zinaonesha chanzo cha ajali hiyo ni ubovu wa barabara; huku baadhi ya majeruhi wakisema dereva wa basi hilo ambaye pia alikufa papo hapo, alikuwa kwenye mwendo kasi na hata hakuwa makini kuzingatia ishara za hatari. Mungi alisema lori na basi hilo yaligongana uso kwa uso wakati madereva wake wakishindana kuwahi kuchepuka moja kati ya mashimo makubwa yaliyopo pembezoni na katikati mwa barabara hiyo katika eneo hilo. Mmoja wa mashuhuda wa ajali hiyo, Jackson Manga alisema kama dereva wa basi hilo angezingatia ishara za taa kali alizokuwa akiwashiwa na dereva wa lori hilo, ajali hiyo isingetokea. Manga alisema katika eneo hilo lenye mteremko wa wastani, lori lilikuwa likipandisha na basi lilikuwa likishuka. Alisema ukaidi wa dereva wa basi ulisababisha dereva wa lori aingie katika shimo kubwa katika eneo hilo, hali iliyosababisha ashindwe kulimudu gari hilo kabla ya kuvaana uso kwa uso na basi hilo. “Baada ya kuvaana, kontena la futi 40 lililokuwa limepakiwa katika lori hilo liliruka juu kwa kishindo kikubwa, kubamiza na kufunika basi hilo,” alisema. Mmoja wa majeruhi wa basi hilo, Kevin Humphrey ambaye kalazwa katika hospitali ya wilaya ya Mufindi alisema; “tulisikia mshindo mkubwa baada ya basi letu kugongana na lori hilo na mshindo huo ulisababishwa na kontena iliyotoka kwenye lori hilo na kupiga juu ya basi letu.” Mwandishi alishuhudia mabaki ya basi hilo ambalo sura yake imebadilika kiasi cha kutotambulika kutokana na kuvunjwavunjwa na kontena hilo. Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza alisema; “ajali hii ni mbaya yawezekana kuliko zote kuwahi kutokea mkoani kwetu. Ni ajali inayotuacha na majonzi makubwa.” Kwa sababu ya uwezo mdogo wa hospitali ya wilaya ya Mufindi, Mkuu wa Mkoa huyo aliagiza miili 32 ambayo haijatambuliwa na ndugu zao ihamishiwe chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali ya rufaa ya mkoa wa Iringa. Uhamishaji wa miili hiyo ulifanywa na watumishi wa hospitali ya wilaya ya Mufindi kwa kushirikiana na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Mafinga. Wengine ni Ester Willy, Lucy Mtenga, Erick Shitindi, Edwiga Kamiyeye, Frank Mbaula, Mustapher Ramadhani, Kelvin Odubi, Upendo William, Charles Lusenge, Neto Sanga, Pili Vicent, Daniel, Jacob Doketa Iman Mahenge na Juma Sindu. Habari kutoka Mbeya zinaeleza kuwa wakati basi hilo linaondoka kituoni abiria waliokuwepo kwenye basi hilo walikuwa ni 37 ambao ni: Baraka Ndone ambaye ni dereva, Yahya Hassan ambaye ni kondakta, Esther Emmanuel, Henry Lugano, Lusekelo Enock, Jeremia Watson, Hamad, Olga Solomon, Neto, Theresia Kaminyoge, Frank Chiwanga, Luteni Sanga, Alfred Sanga, Doto Katunga, Juliana Bukuku, Esther Fidel, Paulina Josia. Rais Jakaya Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Amina Masenza kutokana na ajali iliyotokea eneo la Changarawe, Mafinga na kupoteza uhai wa watu zaidi ya 40 waliokuwa wakisafiri kwa basi hilo na wengine kadhaa kujeruhiwa. “Nimeshtushwa, nimesikitishwa na kuhuzunishwa sana na taarifa za vifo vya watu zaidi ya 40 huku wengine kadhaa wakijeruhiwa katika ajali hii mbaya ambayo imesababisha simanzi na majonzi makubwa kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki wa marehemu,” alisema. Aliongeza: “Huu ni msiba mkubwa na Taifa limepata pigo, hivyo naomba upokee salamu zangu za rambirambi za dhati za moyo wangu. Kupitia kwako naomba rambirambi zangu na pole ziwafikie watu wote waliopotelewa ghafla na wapendwa wao. Namuomba Mungu azipokee na kuzilaza roho za marehemu wote mahala pema peponi, amina.” Kikwete amewahakikishia wafiwa wote kuwa yuko pamoja nao katika kuomboleza msiba wa ndugu na jamaa zao, na kuwataka kuwa na moyo wa uvumilivu na subira wakati huu wanapoomboleza vifo vya wapendwa wao. Aidha, Rais Kikwete amewaombea kwa Mungu waliojeruhiwa kwenye ajali hiyo wapone haraka, ili waweze kuungana tena na ndugu na jamaa zao.
2017-12-13T01:37:02
http://ziro99.blogspot.com/2015/03/majina-ya-abiria-wote-ajali-ya-basi.html
[ -1 ]
Miaka 18 ya Kifo cha Nyerere na Elimu Bure..! - Habari | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania Home featured Miaka 18 ya Kifo cha Nyerere na Elimu Bure..! featuredUchambuzi Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. MAANDIKO ya Dini zetu yanasema kuwa; “Kila nafsi itaonja umauti katika dunia hii, mwanadamu ni mavumbi na mavumbini atarejea, hii ndiyo hali halisi ilivyo hatuna budi kuwaombea mema wale wote waliotangulia mbele ya haki kwani, ‘mbele yao nyuma yetu”. Aidha, Mwalimu alipiga vita ubaguzi, kuwa na matabaka, udini, ukanda, ukabila na kuwaunganisha Watanzania wote kwa kutumia lugha ya Kiswahili, ambayo imebaki kama alama ya ushindi ya umoja kwa watanzania. Upande wa uchumi alihimiza kufanya kazi kwa bidii, kujituma, kuwa mbunifu, mpinga rushwa, kuwa na matumizi sahihi kwa fedha za umma, kupiga vita uzembe kazini, kuwa wazalendo na kuipenda nchi yako, kuimarisha viwanda ili kukuza uchumi ambao ulimilikiwa na umma wa Tanzania, pia viwanda vilitoa ajira nyingi kwa wananchi. Mwandishi wa Makala hii amelenga kuangazia juu ya sera ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere ya “Elimu Bure” mara baada ya uhuru, ambayo ililenga kuondoa maadui wakuu watatu yaani ujinga, umasikini na maradhi. Mara baada ya uhuru wa Tanganyika Mwalimu alitambua kuwa kuna idadi ndogo sana ya wasomi, pia wananchi waliowengi walikuwa hawajui kusoma wala kuandika. Elimu ni jambo muhimu katika Taifa lolote ili kuweka msingi imara ya wasomi wenye weledi wa kutosha wanaoweza kutumia mazingira yao, katika kujiletea maendeleo na kutatua changamoto zinazowazunguka. Kutokana na changamoto za kutopata elimu na uwiano mdogo wa watu wanaojua kusoma na kuandika, mwaka 1967, Mwalimu Nyerere alitangaza Azimio la Arusha lililolenga utoaji wa ‘Elimu Bure” kwa Watanzania wote waliofikisha umri wa miaka saba kwa lengo la kuondoa ujinga, umasikini na maradhi. Mfumo wa Elimu Bure Tanzania ulioanzishwa na Mwalimu Nyerere ulilenga kusisitiza juhudi za pamoja katika kuleta maendeleo ya mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla. Pia, ulihimiza misingi ya usawa na wajibu wa kutoa huduma ambazo zinaendana na kipaji maalum katika kuhimiza elimu ya kujitegemea. Juhudi za Mwalimu Nyerere katika kuhakikisha kuwa wimbi kubwa la ukosefu wa elimu kwa Watanzania linapungua ama kumalizika kabisa zilizaa matunda kwa kiasi kikubwa kwani idadi ya wanafunzi shuleni iliongezeka ikilinganishwa na ilivyokuwa hapo awali. Mathalani, takwimu zinaonesha kuwa, Uandikishaji wa wanafunzi katika shule ya msingi ulipanda kutoka asilimia 25 ambapo asilimia 16 kwa watoto wa kike kwa mwaka 1960 hadi asilimia 72 ambapo asilimia 85 kwa watoto wa kike. Miaka 18 ya Kifo cha Nyerere na Elimu Bure..! was last modified: October 11th, 2017 by jomushi Mwalimu JK Nyerere Mbwana Samatta ndani ya EPL? Mdau Monica Joseph Awapa Changamoto Akinamama Siku... Ajali…Ajali…Ajali Haina Kinga…! Wizara ya Afya Yatoa Ndondoo Kukabiliana na... Mashindano ya Golf ya Kombe la Waitara... Sikia Zitto Alichowaambia Kigoma Baada ya Kurudi…! HakiElimu wachangia mil20 ujenzi wa kisima Sekondari... Matukio Katika Picha Tamasha la Kukuza Vipaji... Everjobs Tanzania Career Report…! Tutumie Ramadhani Hii Kuomba na Kutubu –...
2017-12-13T01:26:04
http://www.thehabari.com/miaka-18-ya-kifo-cha-nyerere-na-elimu-bure/
[ -1 ]
UN yawatuhumu wanajeshi wa DRC kuhusika na mauaji ya Kasai - M-MEDIA Tz AFRIKA UN yawatuhumu wanajeshi wa DRC kuhusika na mauaji ya Kasai UN yawatuhumu wanajeshi wa DRC kuhusika na mauaji ya Kasai by M - MEDIA TV on July 26, 2017 in AFRIKA Umoja wa Mataifa umelituhumu kwa njia isiyo ya moja kwa moja jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuwa limehusika na mauaji ya umati katika eneo la Kasai. Ripoti ya Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa Kongo (UNJHRO) imesema aghalabu ya makaburi ya halaiki yaliyogunduliwa katika eneo la Kasai yalichimbwa na 'maafisa fulani' wa jeshi la Kongo DR. Hii ni mara ya kwanza kwa Umoja wa Mataifa kulihusisha moja kwa moja jeshi la DRC na mauaji ya umati katika eneo la Kasai, katikati mwa nchi hiyo ya Kiafrika. Moja ya makaburi ya umati eneo la Kasai, DRC Mapema mwezi huu, ofisi hiyo ya UN ilitangaza kugundua makaburi mengine 38 ya umati magharibi mwa Kasai, na kufikisha idadi ya makaburi hayo yanayodaiwa kuchimbwa na jeshi la Kongo DR katika eneo hilo kufikia 80. Watu zaidi ya 3,300 wameuawa huku wengine milioni 1.4 wakifurushwa katika makazi yao tangu mwezi Oktoba mwaka jana hadi sasa, katika mapigano baina ya wanamgambo wanaomuunga mkono Kamwina Nsapu, kiongozi wa kundi la waasi katika eneo hilo na askari wa serikali ya nchi hiyo. By M - MEDIA TV at July 26, 2017
2018-02-26T01:53:55
http://massackymedia.blogspot.com/2017/07/un-yawatuhumu-wanajeshi-wa-drc-kuhusika.html
[ -1 ]
You are at:Home»Habari360»EMIRATES WAZINDUA UWANJA KWA AJILI YA EXPO 2020 KWA USAFIRI WA ANGA By Kajunason on April 30, 2019 Habari360 Previous ArticleWAFANYAKAZI WATAKIWA KUJIUNGA KATIKA VYAMA VYA KUTETEA HAKI ZAO NCHINI Next Article Sababu yatajwa wanaume wengi kukosa nguvu za kiume
2019-08-19T01:32:00
https://habarimpya.com/featured-2/kajunason/emirates-wazindua-uwanja-kwa-ajili-ya-expo-2020-kwa-usafiri-wa-anga
[ -1 ]
MAANA NA MATUMIZI Athumani B. Mauya alizaliwa mwaka 1950 katika kijiji cha Chigamba Kwa Makocho, kata ya Miono, Wilaya ya Bagamoyo. Alipata elimu ya msingi katika kijiji cha Kimange, wilaya ya Bagamoyo mwaka 1962 – 1965. Mwaka 1966 – 1968 alihudhuria shule ya kati Kikaro, Bagamoyo na hatimaye masomo ya Sekondari kidato cha I-IV Minaki mwaka 1969 – 1972 na V-VI Moshi mwaka 1973 – 1974. Kati yam waka 1975 – 1976 alitumikia Jeshi la Kujenga Taifa kabla ya kujiunga na Mafunzo ya Ualimu (Fizikia na Hisabati) katika Chuo cha Ualimu Kleruu. Mwaka 1977 aliajiriwa na Wizara ya Elimu na kufundisha katika Shule ya Sekondari Nyakato, Bukoba hadi Februari 1979; Sekondaria ya Minaki hadi 1980 alipojiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na kuhitimu Shahada ya Ualimu. Mwaka 1983 alijiunga na Taasisi ya Elimu ya watu wazima ambko anafanya kazi hadi alipostaafu, akiwa mkufunzi na Mkuu wa Idara Elimu kwa Njia ya Posta. Amewahi kuhudhuria Mafunzo ya Elimu kwa njia ya Posta, ngazi ya cheti, Chuo Kikuu cha Londaon, Uingereza mwaka 1986. Pia amepata kuandika Makala mbalimbali za Kiswahili kaika magazeti ya Majira na Mzalendo kati ya mwaka 1992 – 2004.
2019-11-15T11:15:15
https://udsm.ac.tz/web/index.php/institutes/iks/semi
[ -1 ]
Diamond Aweka Rekodi Hii Mpya Youtube Kupitia Wimbo Wake Wa ‘Nana’ - SeeTheAfricanLink Home / Entertainment / Diamond Aweka Rekodi Hii Mpya Youtube Kupitia Wimbo Wake Wa ‘Nana’ Diamond Aweka Rekodi Hii Mpya Youtube Kupitia Wimbo Wake Wa ‘Nana’ Diamond Platnumz ni moja ya wasanii wakubwa Barani Afrika kwani mbali na Tuzo za kimataifa anazokwara kila kukicha lakini pia tumeona kazi zake zinavyopokelewa vizuri hata kwenye matamasha tumeona nyomi anazojaza. Sasa kupitia wimbo wake wa Nana ambao amemshirikisha Mr Flavour ameweka Rekodi ya Video yake ya kwanza kufikisha Views Milioni 20 huku wimbo huo ukiwa na Mwaka Mmoja na Miezi 8 tu,mbele ya wimbo wake wa Number One Remix yenye Views Milioni 19 ambayo ina miaka mitatu mpaka sasa. Na mpaka sasa video ya Bongo Fleva iliyotazamwa zaidi ni ya wimbo wa ‘Sugua Gaga’ wa Shaa ambao una Views Milioni 21 hivyo tusubirie kuona Rekodi hiyo ikivunjwa mwaka huu.
2018-04-25T08:41:01
http://www.seetheafrica.com/2017/01/diamond-aweka-rekodi-hii-mpya-youtube.html
[ -1 ]
Duh..Kazi Imeanza Tena,,Vannesa Mdee Akamatawa Kwa Amri ya Makonda,Sababu Hii Hapa..!!! - Boss Ngasa Official Website Home burudani Duh..Kazi Imeanza Tena,,Vannesa Mdee Akamatawa Kwa Amri ya Makonda,Sababu Hii Hapa..!!! Duh..Kazi Imeanza Tena,,Vannesa Mdee Akamatawa Kwa Amri ya Makonda,Sababu Hii Hapa..!!! Jeshi la Polisi Dar es Salaam limemshikilia Mwanamziki Vennesa Mdee maarufu kama Vee Money kwa tuhuma za kujihusisha na dawa za kulevya. Mwanasheria wake Aman Tenga ametihibitisha kuwa mteja wake amejisalimisha mwenyewe Kituo Kikuu cha Polisi, kama ilivyoagizwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda wakati akitaja majina ya wanaojihusisha mwezi uliopita. Mwanasheria Tenga pia ametihibitisha kuwa Vanessa alikuwa Afrika Kusini kikazi wakati jina lake likitajwa na Mkuu wa Mkoa. Pia aliongeza Polisi walikwenda Nyumbani kwa Vanessa kufanya upekuzi kabla ya kumpeleka kwa Mkemia Mkuu wa serikali kwa uchunguzi zaidi. Mtanzania wa kwanza kuwa mtangazaji wa MTV VJ, Mdee, alizaliwa mwaka 1988 Arusha, alianza kufahamika zaidi mara baada ya kutangaza kwenye Redio na Luninga kwenye vipindi kama Epic Bongo Star Search na Dume Challenge na baadae kidogo wakati ananza alikuwa chini ya Lebo B'hitts. Duh..Kazi Imeanza Tena,,Vannesa Mdee Akamatawa Kwa Amri ya Makonda,Sababu Hii Hapa..!!! Reviewed by Boss Ngasa on Wednesday, March 08, 2017 Rating: 5
2018-03-21T03:06:40
http://www.bossngasatz.com/2017/03/duhkazi-imeanza-tenavannesa-mdee.html
[ -1 ]
Mazoezi 10 Yatakayoongeza Uwezo wa Akili Yako ~ Mwalimu Makoba commented");if(n_rc==true){document.write(" on "+b)}document.write(": ");if(j.length“");document.write(j);document.write("” Mazoezi 10 Yatakayoongeza Uwezo wa Akili Yako Nimekuwa nikiulizwa na wanafunzi wangu wa 'online' na wale wa 'offline', "mwalimu, tufanye nini ili tuwe na akili?" Nami nimekuwa nikiwajibu, "akili unayo, ila unahitaji mambo kadha wa kadha kuifanya ifanye kazi sawasawa." Unaouwezo wa kubadili namna akili yako inavyofanya kazi. Unaweza ukaitoa katika mwendo wa taratibu na kuiweka katika mwendo wa haraka. Uwezo wa akili yako ni kitu muhimu zaidi kwa sababu akili ndiyo kila kitu kinachokufanya uitwe mwanadamu. Leo nimekuja na majibu, miongoni mwa mambo ya kuzingatia ili kuongeza uwezo wa akili yako ni mazoezi haya: Kuongeza msamiati, kujenga picha ya mambo akilini, kuanzisha mazungumzo, kutabiri kitakachotokea baada ya muda fulani, kufanya mazoezi, kula vyakula sahihi, kuepuka ulevi, kupata usingizi wa kutosha angalau masaa sita na kusikiliza vyombo vya habari ili kuwa na uelewa wa dunia inavyokwenda. Video hii inafafanua zaidi:
2019-11-19T20:56:43
https://www.mwalimumakoba.co.tz/2018/03/mazoezi-10-yatakayoongeza-uwezo-wa.html
[ -1 ]
Tanzania AsiliaLive: OBAMA, MANDELA SIRI NZITO! OBAMA, MANDELA SIRI NZITO! MAMBO mawili ndiyo habari ya mjini kwa sasa; umahututi wa Rais Mstaafu wa Afrika Kusini, Nelson Rolihlahla Mandela ‘Madiba’ (94) na ziara ya Rais wa Marekani, Barack Husein Obama katika nchi tatu za Afrika. KUHUSU MANDELA Habari zimeeleza kuwa baadhi ya wananchi nchini mwake hawaamini kama mzee huyo yu hai pamoja na madaktari wa Hospitali ya Mediclinic Heart iliyopo Pretoria, Sauzi alikolazwa kusisitiza kwamba bado anaishi kwa kupumulia mashine. Habari kutoka kwa chanzo chetu jijini Pretoria, zimeeleza kuwa wananchi hao wanaamini serikali yao inaficha siri hiyo nzito kutokana na kuogopa kuvuruga ziara ya Obama ambaye jana (Ijumaa) alitarajiwa kutua nchini humo akitokea Senegal ambako alianza ziara yake. Imedaiwa kwamba serikali ya nchi hiyo inaamini ziara ya Obama ina faida, hivyo kitendo cha kutangaza mtu mkubwa kama Mandela ameondoka duniani itailazimu Ikulu ya Washington itengue ziara hiyo. Wengi wanaamini baada ya Obama kumaliza ziara yake kesho na kuondoka, mashine inayompa uhai Madiba itazimwa na serikali kutangaza kifo chake. WENGINE WANAAMINI SERIKALI INAJIPANGA Wakati baadhi ya raia wakiamini ziara ya Obama imesababisha serikali kuficha siri ya hatima ya Mandela, wapo wanaoamini sababu si hiyo bali ni wakati wa serikali kujipanga. Kundi hilo linadai kwamba haiwezekani serikali ya Sauzi itangaze Madiba ametangulia mbele ya haki haraka, lazima iandae mazingira ya kupokea wageni wengi, wakiwemo viongozi kutoka duniani kote watakaokwenda kuhudhuria mazishi yake. Wamesema maandalizi yake ni pamoja na kuimarisha ulinzi na kukiweka kijiji cha Mandela katika hali ya kufikika kirahisi. ETI ILITOKEA KWA NYERERE Wengine wamefikia hatua ya kusema hata katika kifo cha Baba wa Taifa, Hayati Julius Nyerere, tarehe iliyotangazwa siyo aliyokufa na kwamba haikutangazwa mapema ili kuipa serikali nafasi ya kujiandaa na ugeni wa viongozi mbalimbali wa dunia. Nyerere alifariki dunia Oktoba 14, 1999. OBAMA ATAMUONA KWA SIRI Hivi karibuni, waratibu wa ziara ya Obama walisema bosi wao huyo hatakwenda hospitalini kumjulia hali Mzee Mandela ingawa atafika kwenye Kisiwa cha Robben lilipo gereza alilofungwa mzee huyo. Hata hivyo, habari za ndani zinasema Obama atakwenda kumwona Mandela katika mazingira yoyote awe hai au la, lakini kwa siri ili utaratibu wa ziara usivurugwe. KITENDO CHA ZUMA KUAHIRISHA SAFARI Hofu zaidi imeongezeka kwa wananchi baada ya rais wa sasa wa nchi hiyo, Jacob Zuma kumtembelea Mzee Madiba hospitalini Jumatano iliyopita na kuwataka watu wamuombee kiongozi huyo ambaye ni nembo ya kupinga ubaguzi wa rangi duniani. Baada ya kutangaza hali hiyo, Zuma aliahirisha safari yake ya Msumbiji kuhudhuria mkutano uliondaliwa na Jumuiya ya Uchumi Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), wakiamini ana siri nzito juu ya Mzee Madiba alipokwenda kumwona. KWA NINI FAMILIA IWEKE KIKAO CHA SIRI NA KWENDA MAKABURINI? Hivi karibuni familia ya ukoo wa Mandela ilikutana kijijini Qunu katika Jimbo la Eastern Cape kwenye makazi ya mzee huyo na kuweka kikao cha siri kisha kwenda makaburini, jambo ambalo kwa Kabila la Xhosa hufanyika endapo wahusika wanaamini kuna mtu mzito ataaga dunia. Kitendo hicho kimesababisha wengi waamini kuwa familia hiyo ina siri nzito kuhusu rais huyo mstaafu huku ukiibuka utata wa eneo la kuupumzisha mwili wake. WACHIMBA KABURI WATINGA MAKABURINI Juzi, wachimba kaburi walifika kwenye makaburi ya familia ya Mandela wakitaka kuchimba kaburi. Hali hiyo pia imeibua hisia kuwa inawezekana wanajua ukweli juu ya Mzee Madiba. UCHUMI WA SAUZI BAADA YA MANDELA Wapo wanaoamini kuwa kama Mandela atafariki dunia, basi uchumi wa nchi hiyo utayumba kwa kuwa wawekezaji wengi walikimbilia Sauzi kwa sababu ya mzee huyo. Sababu kubwa inayotolewa na wanaoamini hivyo ni kwamba makampuni mengi kutoka ndani na nje ya Bara la Afrika yataondoka nchini humo kwa kuwa hayatakuwa na imani kwamba Afrika Kusini ni salama kutokana na mtetezi wa amani kuaga dunia. OBAMA, MANDELA NA SIRI YA NAMBA 46664 Obama anadaiwa kumkubali Mzee Madiba kutokana na jitihada zake za kisiasa na hata katika kampeni zake za kuingia White House nc hini Marekani, alikuwa akitumia namba 46664 ambazo zilikuwa za mzee huyo alipokuwa amefungwa gerezani katika Kisiwa cha Robben. Pia Mzee Madiba amekuwa akizitumia namba hizo katika kampeni ya kupinga Ugonjwa wa Ukimwi baada ya mwanaye Makgatho Mandela kufariki dunia kwa ugonjwa huo mwaka 2005. OBAMA BONGO Baada ya kumaliza ziara hiyo nchini humo, Obama anatarajiwa kutua Bongo keshokutwa ambapo atakuwepo kwa siku mbili hivyo kwa sasa Jiji la Dar ni hekaheka tupu. NDEGE YA OBAMA NI NYUMBA INAYOTEMBEA AIR For... SIMULIZI ZA MZEE MADIBA; MANDELA BONDIA ALIPOKUTAN... Mambo 20 ya kusisimua kuhusu Obama HATARI LAKINI SALAMA!
2018-07-22T05:06:51
http://asilialive.blogspot.com/2013/06/obama-mandela-siri-nzito.html
[ -1 ]
Chapakta wañuchikunata ñami hapishka DINASED llankaymanta chapakkuna. | Policia Nacional del Ecuador Chapakta wañuchikunata ñami hapishka DINASED llankaymanta chapakkuna. 24 de septiembre de 2014 - 10:25 am Ishkay killa tapuykunawan, DINASED llankaymanta chapakkuna riksishpa hapishkami runakunata Favio Herry G. M yanapak chapak mashi wañushkamanta, kay runakunata huchachishka, wañuchishkami pasak 30 Sitwa killapi, hapishkami makikuna shinallatak chakikuna watashka, llakitami rurashka chay washa shitashkami Lumbisí llakta shuk waykupi Quito Kity llukshinakunapi. Mashkakunmi kay llaki ruray rikurichun, ña wañushka aychata hapishka washa, chikan chikan tantanakuy chapakkunatami tapuykunata rurachun churashka, paykunapak llankayka ñami kashka pakta llanakay ishkay runakunata huchachinapak, shinallatak mañanapak apuk paktachiykunata wishkachichun, mandachun ayllu wasikunaman yaykunapak kay 18 kuski killa kay mañay paktachichun kachashkami. Kay huchachishkakuna kanmi, Darwin Leonardo Y. M shinallatak Angélica Mercedes C. L, runakuna, hapishkakunami chinchan suyu Mamallaktapi 17h30 sayllapi, kay punchami wishkachichun shuk killka pankata kushka, chaymi yanapak chapakkuna hapishka shuk kushikuna wasimanta llukshikukpi kay llaktapi purikushkami llakta ñanpi. Kimsa wasikunaman yaykushkami, shukpika San Bartolo llakta, shuktak La Hospitalaria shinallatak tukuripika La Argelia Alta Llakta, kay tukuri ruraykunapika hapishkami, revolver illapa ayñita, sukta muyukuna, shinallatak chikan chika imaykuna, kay llaki yawar hawa. Ña tapuykunata rurakpika rikuchishkami, kay pachakunapika yayanmi kay llaki wañuyka kanmi antawata shuwashkamanta, shinallatak mana hapishkachu kay antawata. Tukuripi tapuykunata, formulación de cargos llankayta rurakpika, wanachishkami 90 punchakunata instrucción fiscal llankayta, shinallatak juez apuk paktachipak makipi churachun. Ña wata tukuripika, DINASED llankaymanta chapakkuna hapishkami 645 huchachishkakunta kawsayta kichushkamanta, chaykunamantaka 496 kanmi ruraykuna tukushka 2014 wata, 83 kanmi ñawpa watamanta shinallatak 66 ruray kanmi rikurayay ruray llakichikunamanta.
2020-01-24T01:19:43
https://www.policiaecuador.gob.ec/chapakta-wanuchikunata-nami-hapishka-dinased-llankaymanta-chapakkuna/
[ -1 ]
Aliyedai kuzaa na askofu mapya yaibuka | HABARI ZA WALIMWENGU Home » » Aliyedai kuzaa na askofu mapya yaibuka Aliyedai kuzaa na askofu mapya yaibuka Written By Bewith Jeddy on Monday, April 27, 2015 | 12:19 PM Askofu Benson Bagonza wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe mkoani Kagera, anayedaiwa kuzaa Peace Sylvester. Peace anayedai kutelekezwa pamoja na watoto na Askofu Benson Bagonza Akizungumza na gazeti hili Jumamosi iliyopita, Peace alisema kuwa, amefuatwa na mtu aliyedai ametumwa na askofu huyo kumpa shilingi 400,000 kama nauli ya kwenda kwao Karagwe kwa ajili ya suluhu na askofu huyo. Pia Peace alibainisha kwamba, baadhi ya viongozi wa kanisa hilo wanafanya mipango ya chini kwa chini kwa kuwatumia baadhi ya waandishi wa habari ili kukutana naye kwa lengo la kumshawishi akanushe taarifa iliyotoka kwenye gazeti hili Jumatatu iliyopita. “Kuna mwandishi wa habari anaitwa…(anamtaja jina) amekuja hapa Arusha akitokea Dar kwa ajili yangu. Huyu mwandishi amekuwa akinipigia simu mara kwa mara akitaka tukutane ili anishawishi nikanushe zile habari nilizotoa kwamba nimezaa na askofu na amenitelekezea watoto, anasema ametumwa na uongozi,” alisema Peace. Aliendelea kusema kuwa, baada ya habari hiyo kutoka baadhi ya ndugu zake waliopo Karagwe waliandika barua kwenda Kituo Kikuu cha Polisi Arusha wakisema kwamba, ukoo umekaa kikao na kuamua kutomtambua Peace kama ndugu yao. Hata hivyo, Peace alisema mpaka sasa ndugu wamegawanyika juu ya hatua ya kutaka kumtenga huku baadhi yao wakifunga safari kwenda jijini Arusha kumsaidia matatizo yake na askofu. Philemon Sylvester na Charles Sylvester ambao ni kaka wa Peace (pichani juu) ndiyo wapo Arusha na kuliambia gazeti hili kwamba, barua ya kumtenga Peace wao hawaitambui na kuongeza kuwa, iliandikwa na ndugu yao mmoja kwa masilahi yake. Peace alisema Ijumaa iliyopita aliitwa na katibu mkuu wa kanisa hilo na kumshawishi ili akanushe taarifa hiyo hatua ambayo alisema kuwa alimkatalia kwa vile anachotaka ni haki ya watoto wake. Katika gazeti hili toleo la Jumatatu iliyopita, ukurasa wake wa mbele kuliandikwa habari yenye kichwa: AIBU; ASKOFU KKKT APIGA MIMBA MBILI NJE YA NDOA. Katika habari hiyo, Peace ndiye mlalamikaji mkuu akidai amezalishwa na askofu huyo watoto wawili, Piana (6) na Bariki (3) huku akitelekezewa bila huduma. Alisema suala hilo amelifikisha kwenye Kituo Kikuu cha Polisi Arusha na kufunguliwa jalada namba AR/RB/5290/2015 KUTELEKEZA FAMILIA. Katika habari hiyo, askofu huyo alijitetea kwa kusema na mwandishi wetu kwamba hajawatelekeza watoto hao ni siku za karibuni alimtumia Peace shilingi 250,000 madai ambayo Peace alikiri kupokea kiasi hicho cha pesa na kusema askofu alifanya hivyo baada ya yeye kufikisha malalamiko yake kwenye dola.
2017-12-16T16:59:14
http://www.bewithjeddy.com/2015/04/aliyedai-kuzaa-na-askofu-mapya-yaibuka.html
[ -1 ]
Hivi kwanini ng'ombe mkali ana maziwa matamu????????? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Hivi kwanini ng'ombe mkali ana maziwa matamu????????? Hivi ni kwanini lakini....................akichachamaa mwishowe wake huwa ni mtamu kama alivyonisumbua...........but why is it like this................................if she plays hard to get she gets my sole attention................but the vice versa puts me in a sleeping bag!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Can you believe this? Hivi ni kwanini lakini........yule ambaye ameniheshimu na kuona si busara kunisumbuasumbua kwa kunichapa kalenda.......huishia mimi kupoteza hamu naye mapema...............yaani siridhiki naye.......yule ambaye ndiye anaonekana mkatili machoni kwangu huishia kunivutia na kunipa penzi ambalo ninalolihitaji.......... Am I alone on this mad love confusion.......................au wengine nao tuko kwenye behewa moja? fungukeni nyote bila ya kujivunga........................au ndiyo maana kuna usemi usemao "Ng'ombe mkali maziwa yake ni matamu." ?Click to expand... This is a confession of serial heartbreaker in his own autograph..................nimeona nitoe ufafanuzi maana baadhi ya wachangiaji wanafikiri ninajiongelea mwenyewe....sorry for the inconveniences caused, so far........Frankly speaking am too preoccupied with loving GOD to behave in this manner....... Still SMHClick to expand... Hehehehee...humwachii Ruta leo eeeh? Hehehehee...humwachii Ruta leo eeeh?Click to expand... Kichwa karibu kitakatika :A S embarassed: @Ruta How old are you? A round figure will do lakini tatizo la Gaijin........she still SMH without affording me the reasons behind her strange reactions................. 1.The way a grown @$$ man writes Kichwa karibu kitakatika @Ruta How old are you? A round figure will doClick to expand... I have just picked these stories from a certain website nothing personal, though..................I am only personalizing them in order to pack them with juices.........................my age...........................well it is just a number which you can check in my profile..............well documented there............... I have just picked these stories from a certain website nothing personal, though..................I am only personalizing them in order to pack them with juices.........................my age...........................well it is just a number which you can check in my profile..............well documented there...............Click to expand... The way you write is scandalous and the juices you think are there, are not For a 50 years old man, this is sad Fungukeni wanaume msione tabu ebu tupeni ukweli.... The way you write is scandalous and the juices you think are there, are not For a 50 years old man, this is sadClick to expand... AM sorry Gaitan....you seem an innocent gal......always looking for correct aligned stories.........but the World is full of anti-Gaijan.......someone like me is all over the place...............and we ought to talk about him too........the ultimate PLAYER....tusimwogope au kuwa wanafiki kuwa hayuko kwenye jamii wakati yuko kila mahali........scandalizing him or not notwithstanding................so long as he is a relevant agent in the society.....what I have summarized there is a true confession of a serial heart-breaker in his own autograph........and am sure we have many in TZ too..... Fungukeni wanaume msione tabu ebu tupeni ukweli....Click to expand... wengi haya ndiyo huwa wanaongea wakiwa wenyewe mbali na wapenzi wao............wakija humu tukiwanukuu wanaingia mitini.......... mie mgeni hapa yerusalemu.... AM sorry Gaitan....you seem an innocent gal......always looking for correct aligned stories.........but the World is full of anti-Gaijan.......someone like me is all over the place...............and we ought to talk about him too........the ultimate PLAYER....tusimwogope au kuwa wanafiki kuwa hayuko kwenye jamii wakati yuko kila mahali........scandalizing him or not notwithstanding................so long as he is a relevant agent in the society.....what I have summarized there is a true confession of a serial heart-breaker in his own autograph........and am sure we have many in TZ too.....Click to expand... You didn't get me. Scandalous is how a university educated man with gazillion of years in public service writes. What does that say about our education system? And its Gaijin mie mgeni hapa yerusalemu....Click to expand... umepiga hodi kimyakimya tu........hebu funguka usihofu siamini hicho kitu hata siku moja! Mie nafikili ni perception yako tu, kwa maelezo yako hata wewe hujatulia so hutaki kukaa na kuamini asiekusumbua ana penzi tamu. Kiuhalisia wanawake wote wana mapenzi matamu ni sie tu wanaume kuwacontrol wakati wa tendo! Kuhusu kusumbuliwa wakati unaomba HIV inategemeana na huyo unaemuomba anakuchukuliaje, au umejipendekeza kivipi, maana wanaume tuna ukakakasi wa aina nyingi wakati wa application You didn't get me. Scandalous is how a university educated man with gazillion of years in public service writes. What does that say about our education system? And its GaijinClick to expand... hebu funguka acha kuwa hakimu na shahidi kwenye kesi yako mwenyewe........elimu kama ipo mbona umaiskini unazidi kutusumbua...................please do not overvalue the colonial education besieging the developing World..........it means nothing...........really just take it from me........................ hebu funguka acha kuwa hakimu na shahidi kwenye kesi yako mwenyewe........elimu kama ipo mbona umaiskini unazidi kutusumbua...................please do not overvalue the colonial education besieging the developing World..........it means nothing...........really just take it from me........................Click to expand... Kwa namna unavyoandika, inabidi nikubaliane na wewe, elimu yetu kweli it means nothing siamini hicho kitu hata siku moja! Mie nafikili ni perception yako tu, kwa maelezo yako hata wewe hujatulia so hutaki kukaa na kuamini asiekusumbua ana penzi tamu. Kiuhalisia wanawake wote wana mapenzi matamu ni sie tu wanaume kuwacontrol wakati wa tendo! Kuhusu kusumbuliwa wakati unaomba HIV inategemeana na huyo unaemuomba anakuchukuliaje, au umejipendekeza kivipi, maana wanaume tuna ukakakasi wa aina nyingi wakati wa applicationClick to expand... huyo unayemwongelea ni yule wa kawaida tu......................siyo serial heartbreaker............ Kwa namna unavyoandika, inabidi nikubaliane na wewe, elimu yetu kweli it means nothingClick to expand... siku zote kumbe ulikuwa hujui kuwa hii elimu ni bure kabisa......................haina maana yoyote ile kwenye maadili ya jamii?
2017-01-22T18:24:07
https://www.jamiiforums.com/threads/hivi-kwanini-ngombe-mkali-ana-maziwa-matamu.230693/
[ -1 ]
WANACHAMA 681 KUTOKA UMOJA WA VIJANA WA CCM VYUO NA VYUO VIKUU MKOA WA DAR ES SALAAM WATUNUKIWA VYETI KWA KUHITIMU MASOMO YAO - MTAA KWA MTAA BLOG Home HABARI SIASA WANACHAMA 681 KUTOKA UMOJA WA VIJANA WA CCM VYUO NA VYUO VIKUU MKOA WA DAR ES SALAAM WATUNUKIWA VYETI KWA KUHITIMU MASOMO YAO Othman Michuzi May 29, 2017 HABARI, SIASA, Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Ndg:Rodrick Mpogolo akisalimiana na Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka Mara baada ya kuwasili katika Mahafali ya Idara ya Vyuo na Vyuo Vikuu UVCCM Mkoa wa Dar Es Salaam Leo katika Ukumbi wa King Solomon Kinondoni. Naibu Katibu Mkuu CCM Bara Ndg:Rodrick Mpogolo akisalimiana na Kaimu Mwenyekiti Idara ya Vyuo na Vyuo Vikuu UVCCM Mkoa wa Dar es Salaam Asha Ferouz Mara baada ya kuwasili katika Mahafali ya Idara ya Vyuo na Vyuo Vikuu UVCCM Mkoa wa Dar Es Salaam Leo katika Ukumbi wa King Solomon Kinondoni. Posted by Othman Michuzi at May 29, 2017
2018-07-22T03:06:32
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2017/05/wanachama-681-kutoka-umoja-wa-vijana-wa.html
[ -1 ]
Maisha : Jokate aanzisha mafunzo ya ujasiriamali kwa wanafunzi wa kike - Wazalendo 25 Blog Home ELIMU HABARI JAMII MAISHA MATUKIO Maisha : Jokate aanzisha mafunzo ya ujasiriamali kwa wanafunzi wa kike Maisha : Jokate aanzisha mafunzo ya ujasiriamali kwa wanafunzi wa kike Gadiola Emanuel March 07, 2017 ELIMU, HABARI, JAMII, MAISHA, MATUKIO, Jokate Mwegelo akikabidhi zawadi kwa mmoja wa mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Majani ya Chai wakati wa mahafali ya mwaka jana ya kidato cha nne.
2017-10-17T04:11:27
https://wazalendo25.blogspot.com/2017/03/maisha-jokate-aanzisha-mafunzo-ya.html
[ -1 ]
ULIPOFIKIA MPANGO WA AFRIKA KUTUMIA PASSPORT MOJA KWA NCHI ZAKE ZOTE - RUMAFRICA FOR ALL NATIONS » ULIPOFIKIA MPANGO WA AFRIKA KUTUMIA PASSPORT MOJA KWA NCHI ZAKE ZOTE ULIPOFIKIA MPANGO WA AFRIKA KUTUMIA PASSPORT MOJA KWA NCHI ZAKE ZOTE Kila nchi duniani huwa na Passport kwa ajili ya raia wake kuweza kusafiri katika nchi za watu kirahisi, viongozi wa umoja wa nchi za Afrika kwenye vikao vyake umepanga kutambulisha matumizi ya passport moja tu itakayotumika katika nchi zote za Afrika ili kurahisisha safari za ndani ya Afrika. Wazo hili limezaliwa ndani ya ule mfumo huru wa safari za ndani ya bara la Ulayaambapo nchi zake zote hufanya safari bila visa ndani ya bara hilo. Mpaka sasa nchi 13 za Afrika zina mikataba ya safari za bila visa kwa nchi nyingine za ndani yaAfrika, ambapo raia wake usafiri bila ya visa ama kupokea visa wanapowasili. Viongozi wa nchi za Afrika watakapokutana Kigali Rwanda July 2016 watakuwa miongoni mwa watu wa kwanza kutumia passport hizo za kielektroniki. Lengo ni kurahisisha safari za ndani ya Afrika na inaaminika pia biashara za ndani zitaimarika na kukuza uchumi kwa ujumla pia kuimarisha ujamaa na mahusiano mazuri baina ya nchi hizo.
2016-12-10T16:39:51
http://rumaafrica.blogspot.com/2016/06/ulipofikia-mpango-wa-afrika-kutumia.html
[ -1 ]
KIGWANGALLA: Serikali isipofanya kweli NAJIUZULU | JamiiForums | The Home of Great Thinkers KIGWANGALLA: Serikali isipofanya kweli NAJIUZULU Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Saint Ivuga, Oct 28, 2011. [h=2] KIGWANGALLA: serikali isipofanya kweli NAJIUZULU[/h] By TZA | October 27, 2011 | HARD NEWS | No comments mbungwa wa Nzega, Khamis Kigwangalla. Mbunge wa NZEGA Tabora, Khamis Kigwangalla amesema amedhalilishwa sana kutokana na mkuu wa polisi wilaya ya Nzega, kumuweka ndani na kumnyanyasa, kumnyima nafasi ya kuwapigia simu ndugu zake, kutomruhusu aonane na watu, baada ya fujo kutokea wakati alipokwenda kusuluhisha ugomvi wa wananchi wake na wawekezaji kwenye mgodi wa madini. Kigwangalla amesema kama tatizo hilo halitatuliwa, au yeye kusikilizwa ATAJIUZULU Ubunge kwa sababu hataki kuendelea kuwa chini ya mfumo ambao unadhulumu na kukandamiza wanyonge. amesema amehuzunishwa pia kufikishwa mahakamani kwa sababu ktk maisha yake yote, hajawah kuingia kwenye mgogoro na sheria…. VURUGU kubwa zilitokea kati ya wachimbaji wadogowadogo na wawekezaji wadogo kwenye Mgodi wa Dhahabu wa Isungangwanda uliopo Kijiji cha Mwabangu, Kata ya Nata wilayani Nzega, Tabora walipokuwa wakigombea kitalu ambapo Watu kadhaa walijeruhiwa. Wachimbaji wawili wadogo walijeruhiwa na gari la Mbunge huyo Dk Hamisi Kigwangalla kuvunjwa kioo cha mbele. chanzo cha mgogoro huo ni wawekezaji kuingilia eneo la wakazi wa kijiji hicho huku akiacha eneo lake ambalo amekuwa akilimiliki kwa muda mrefu, mgogoro ambao umedumu kwa muda mrefu na Serikali ya Wilaya imeshindwa kuutatua. Kigwangalla alifika kwenye hicho kijiji baada ya kupata taarifa kuwa wawekezaji hao wana mpango wa kufanya vurugu dhidi ya wachimbaji wadogowadogo ambao wamekuwa wakimiliki eneo hilo kwa muda mrefu ambapo mbunge huyo aliwataka wananchi pamoja na wachimbaji kuwa watulivu wakati wa kutafuta suluhu ya tatizo hilo, jitihada ambazo hazikufanikiwa, ambapo pande hizo mbili zilianza kushambuliana. source.millardayo.com Picha inataka kuanza! Hakuna picha hapa... anazani nai atasikiliza vijitisho vyake? Ajiuzulu ale nyasi... Hajajiuzulu bado Bashe yuko wapi amsaidie kumfahamisha jinsi ya kujiuzulu. Magamba bana tabu tupu aende huko anatafuta umaarufu wa kizamani. Hana Ubavu anatafuta Umaarufu wa Kisiasa Kigwangalla amesema kama tatizo hilo halitatuliwa, au yeye kusikilizwa ATAJIUZULU Ubunge kwa sababu hataki kuendelea kuwa chini ya mfumo ambao unadhulumu na kukandamiza wanyonge. Amesema amehuzunishwa pia kufikishwa mahakamani kwa sababu ktk maisha yake yote, hajawah kuingia kwenye mgogoro na sheria&#8230;.Click to expand... Hon Kigwangalla; I am sorry to let you know that you are very lucky! I will xplain this!! 1. What they did to you .. its our daily routine .. that is our daily life .. its living 2. Now you know the real situation .. yes .. not the laboratory tests ..Its what is happening in the real time and space in the filled! 3. This is great opportunity in that .. you can ACT ..basing on Reality and true xprience.. Having saying that: Now should not go anywhere other than staying n your post and work for your people!! Karibu kwenye ulimwengu halisi, hivi hawa wajamaa walivyokua wakiona wabunge wa CDM wanapigwa virungu na kuswekwa ndani walidhani wao hawako bongo,? yalikua hayawahusu? leo anasema hataki kua kwenye mfumo unaodhulumu na kukandamiza wanyonge baada ya kuionja hali halisi, awe tayari maana akijiuzulu ajue kashkashi ndio zitaanza rasmi asije akataka kujiuzulu kiuhai hapo baadae (joking) Mh bila nyinyi sisiem tusingefika hapa tulipo. Ahhh bwana mdogo Khamisi Kigwangalla!!! Naona UNATISHIA NYAU!!!!!!! Ujiuzuru WAPI??? UHESHIMIWA MTAMU BANA, Malaria tu Unapanda Pipa INDIA, hebu jaribu kujiuzuru uone kama hata ukivunjika mgongo uone kama utapelekwa hata muhimbili private ward kama sio holini mwaisela tena wagonjwa watatu kitandani??? Weeeee Usijaribu kabisa. Waulize Akina Lema wa CDM, mbona hiyo ndio daily life yao????? Akijiuzulu halafu atakula na kutanua wapi? Opportunisty will awalys ramain an opportunisty!!! ameaona kuna mwelekeo wa nguvu ya "umma" kushinda 2015 ndio maaana anacheza kote kote.... Ni popo huyo!! but at least anakiri kuwa CCM and co ni washenzi lakini bado yupo kule kwa posho n other benefits.... Anajua akisema anaacha Ubunge na gharama na ushenzi ambao MAGAMBA (yeye akishiriki na kujua) wameingia kwa uchaguzi wa Igunga tu, jamaa zake wa magamba hawatakubali maana this time HATA WAKIUA WAPIGA KURA WOTE HAWAWEZI KUSHINDA NZEGA ndio maana anatikisa kiberitu ilinae awe somehow MORE RECOGNISED!!! Ahhh Dr. Ongea kama Dr halisi, tupe KPIs za statement yako ambazo ni tangible, unatoa muda gani kwa Serikali? Just a word of advice to you Mr Mp.....this ain't no time of speaking louder, but to act louder. My question to you as people's representative and prolific academician with incontestable tertiary academy qualifications, have even tried to jot down and submit your concerns to the authorities? or it's just a another Political Panorama? My question to you as people's representative and prolific academician with incontestable tertiary academy qualifications, have even tried to jot down and submit your concerns to the authorities? or it's just a another Political Panorama?Click to expand... Mchumia tumbo huyo Kwanini ujiuzulu na umechaguliwa na wananchi. If anything mwanzo wa vita ndio umeanza, sasa wewe kama kiongozi unataka kuweka silaha chini kukaacha wanajeshi (wananchi) wako vitani? Nani alikuambia kupigania haki ya mnyonge ni kazi rahisi? However, this might be a wake up call for you i.e. wakati wakufikiria kwa undani kama kweli politics is the right thing for you or medical field. Otherwise jiandae tu Mh. the road ahead is more likely to be more challenging. Talking is very easy!Even a young baby can do so. Ajiuzulu ale nyasi...Click to expand... Pamoja na kwamba naamini hawezi kujiuzulu, Hamisi sio mtu wa kushindwa kuishi asipokua mwanasiasa, he is well covered and to be he is better off a business man than a politician Nasikitika sana, kwasababu nashidnwa kumuamini Hamis, kwani angekua reliable, he is a very good fighter, ni ule unafiki wa kisiasa ndio unaonisumbua kwa huyu mdogo wangu Ama kweli,nyani haoni .........Sasa wewe Kigwangalla unasubiri nini tena wakati serikali imeshafanya kweli kwa kukuweka ndani tena chini ya ulinzi,ila madaraka matamu nyie acha tu,fanya maamuzi magumu,tatizo ni huo ubongo wako kung'ang'ania ubunge wako,nenda ubungo upate ushauri wa kazi ya kufanya.Asante kwa kuunga mkono hoja,wanaoafiki waseme ndio,wasioafiki waseme sio. Karibu chadema ndiko kwenye wapiganaji. CCM wanatetea ufisadi na mafisadi hivyo ukiwatetea wanyonge unakuwa adui wao Hamisi my friend is it possible if we can meet and relieve your headache. This is the really homy boy and this is what the rest of the people not called waheshimiwa experience every day called today. Polle sana. Itasaidia sana ukiacha ubunge kwani hata kuupata ulipitia mlango wa nyuma Huwezi kupigana vita ya kweli kudai haki ukiwa magamba. Karibu huku wapo wapiganaji wa kweli-zito,tundu lisu, lema
2017-01-18T08:24:57
https://www.jamiiforums.com/threads/kigwangalla-serikali-isipofanya-kweli-najiuzulu.186947/
[ -1 ]
Bongo Voice: DUNIA INA MAMBO JAMANI: Amezwa na nyoka hatari Anaconda ili kufanya utafiti ndani ya tumbo lake! DUNIA INA MAMBO JAMANI: Amezwa na nyoka hatari Anaconda ili kufanya utafiti ndani ya tumbo lake! Mtaalamu mmoja wa wanyama pori nchini Marekani, Paul Roslie aliamua kufanya utafiti ndani ya tumbo la nyoka mkubwa aina ya Anaconda ili kuchunguza maumbile ya ndani ya Nyoka huyo. Nyoka aina ya Anaconda (picha:Google) Lengo la utafiti huo ambao ulikuwa wa kwanza wa aina yake duniani, ilikuwa ni kuchunguza maumbulie ya ndani ya Nyoka huyo anayepatikana katika msitu wa Amazon. Hata hivyo inaarifiwa bwana Paul alilazimika kusitisha utafiti wake ambao umezua utata muda mfupi tu baada ya kuuanzisha. Watu nchini Marekani walijionea kwenye televisheni zao kipindi kilichokuwa kinapeperushwa cha mtaalamu huyo kuingia ndani ya tumbo la Anaconda akiwa amevalia vazi maalum ambalo yangesaidia kuchunguza kiwango cha joto mwilini mwake na pia kupima mipigo ya Moyo wake wakati akiwa ndani ya tumbo la Nyoka huyo. Rosolie na kikundi cha wasaidizi wake walipata Nyoka ya Anaconda mwenye uzito wa kilo 180, walipokuwa katika msitu huo. Alipanga kuwa ataonyeshwa kwenye stesheni hio akiwa anamezwa mzima mzima na Nyoka huyo. Rosolie alionekana akiingia ndani ya mdomo wa Anaconda kwa kichwa chake huku wenzake wakimtazama. Paul na vazi alilotumia kuingia ndani ya Nyoka Alikuwa amevalia vazi maalum lenye Carbon na likiwa limepakwa damu ya Nguruwe, kabla ya kujielkeza kwa Nyoka huyo kama mlo wake. “sikutana kumhangaisha mno mnyama na pia mimi mwenyewe sikutaka kujiumiza. ” “nilitaka kuhakikisha kuwa vazi langu halitamjeruhi Nyoka huyo kwa vyovyote vile.” ”Mimi mwenyewe sikuogopa hata kidogo. Watalaamu walifanyia jaribio vazi langu, kwa hivyo tulijua kuwa halitamwathiri kwa vyovyote Nyoka huyo. ” Lakini baada tu ya saa moja ya mtaalamu kuingia ndani ya tumbo la Nyoka na kuanza kubanwa, aliamua kusitisha utafiti wake akihofia kuwa angeumizwa na Nyoka huyo mkubwa. Alisikika akiwaita wenzake kwa kifaa maalum cha kupaza sauti kilichokuwa kimewekwa kwenye vazi lake na kuwamabia kuwa anaumizwa. ”Nahisi kama mifupa yangu inasagwa sagwa, njooni mniondoe hapa.” alisema Paul. Namna ambavyo Rosolie aliponea kufa baada ya kubanwa na Nyoka huyo bado ni muujiza ingawa aliweza kupata hewa kutokaa kwa vazi lake hilo kwa saa tatu.
2016-12-11T02:11:42
https://bongovoice.blogspot.com/2014/12/dunia-ina-mambo-jamani-amezwa-na-nyoka.html
[ -1 ]
WAZIRI MWAKYEMBE AWAONYA MAOFISA HABARI WA SERIKALI | Gazeti la Jamhuri WAZIRI MWAKYEMBE AWAONYA MAOFISA HABARI WA SERIKALI Waziri wa habari utamaduni sanaa na michezo Dr. Harison Mwakyembe amewaonya maofisa habari wa serikali ambao hawatangazi kazi za maendeleo zinazofanywa na serikali watachukuliwa hatua ikiwemo kufukuzwa kazi. Dr. Mwakyembe ametoa kauli hiyo wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wananchama wa chama cha maafisa mahusiano serikalini unaofanyika mkoani Arusha, nakusema maafisa habari wa serikali ambao wanatumia vifaa walivyopewa kwa matumizi yao binafsi pamoja na wale wanaokaa maofisini bila kufanya kazi nakusubiri muda wakutoka. Kwa upande wa msemaji wa serikali Dr. Hassan Abas amesema wataanza kuwapima maafisa habari kutokana na utendaji wao na tayari wameweka maelengo saba ikiwemo kujibu kero za kwenye mitandao ikiwemo twitter,instagram na facebook. Harison Mwakyembe 2018-03-13 Previous: HATUA YA ROBO FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO “AZAM SPORTS ”KUANZA IJUMAA IJAYO Next: DONALD TRUMPA AMTIMUA WAZIRI WA MAMBO YA NJE YA MAREKANI TILLEROIN Rais nakuomba utafakari upya (2) Nyerere: Huwezi Kuwadanganya Wote Mwigamba ni bomu linalosubiri wakati Serikali isijaribu kuua Tiba Mbadala RAIS DONALD TRUMP AHOFIA MKUTANO NA JONG-UN
2019-05-22T15:31:26
http://www.jamhurimedia.co.tz/waziri-mwakyembe-awaonya-maofisa-habari-wa-serikali/
[ -1 ]
Taarifa ya İZBAN ya Aziz Kocaoğlu | RayHaber | raillynews NyumbaniTURKEYPwani ya Aegean ya Kituruki35 IzmirMaelezo ya Aziz Kocaoğlu Maelezo ya Aziz Kocaoğlu 21 / 01 / 2019 35 Izmir, Treni za kuendesha gari, RAILWAY, Pwani ya Aegean ya Kituruki, GENERAL, KENTİÇİ Reli Systems, HEADLINE, TURKEY, VIDEO N Hitilafu za mgomo wa IZBAN, uliosababishwa kutokana na amri ya urais, endelea. Meya wa Manispaa wa Izmir Mjini Aziz Kocaoglu alisema makubaliano ya pamoja yataingia katika wachache. Hüseyin Ervüz, rais wa chama cha ushirika wa reli, alisema kuwa hakupokea msaada kutoka kwa Manispaa. Mgomo wa IZBAN 30 uliahirishwa kwa muda wa 60 na amri ya Rais. Tatizo ambalo wafanyakazi wa IZBAn wanalengwa na mikataba ya pamoja hubadilishwa kuwa nyenzo za kisiasa bado hazijatatuliwa. Kwa hatua hii, hatua mpya ilitoka kwenye mgomo wa Rais Aziz Kocaoglu wa Izmir Metropolitan. Timu ya Taifa ya Channel, Aziz Kocaoğlu'nun maelezo haya ya Demiryol-Je, umoja Izmir Tawi Rais Hüseyin Ervüz'e aliuliza. Ervüz Kocaoğlu'nun wenyewe hawakuwasiliana, alisema kuwa mkutano wa mwisho na Reli za Serikali ni mbaya. (NATIONAL) Habari: Free Saymaz Mashariki Aziz Kocaoglu: İZBAN, kazi ya watu wa Izmir Binali Yıldırım na Aziz Kocaoglu kufanya kazi pamoja kwa İZBAN Mwaliko kutoka Aziz Kocaoğlu hadi ufunguzi wa Metro Maelezo ya Kocaoğlu kwa Bergamali, İZBAN Meya wa Izmir Aziz Kocaoglu, na uwekezaji utafikiwa mwaka wa 2012… Meya wa Manispaa ya Izmir Meya Aziz Kocaoglu KarşıyakaMradi wa Tram huko Istanbul ini Aziz Kocaoglu, Metro alisema tunapindua Aziz Kocaoglu alizungumzia miradi ya metro na tram. Meya wa Manispaa wa Jiji la Izmir Aziz Kocaoglu kwa Tram nchini Ujerumani Aziz Kocaoglu alitoa tumaini tena kwa Izmir Metro Aziz Kocaoğlu Alitoa Habari Njema ya Buca Tram Aziz Kocaoglu katika Teleferik Aziz Kocaoğlu Alielezea Mradi wa Ishara ya Reli Aziz Kocaoglu: Tutatekeleza miradi tunayoyajua kwa usahihi bila kuathiri Wasiliana Hüseyin moja kwa moja 367 kwenye Kituo cha Treni cha Haydarpasa. Jumamosi Kwa nini sio mwisho wa kukamata?
2020-01-18T00:50:15
https://sw.rayhaber.com/2019/01/izban/
[ -1 ]