text
stringlengths 44
187k
| timestamp
timestamp[us] | url
stringlengths 16
3.37k
| dup_ids
list |
---|---|---|---|
Yafanyike Mashambulizi Mangapi Dhidi ya Watalii Ili Afrika Magharibi Iandae Mkakati wa Pamoja wa Kikanda? · Global Voices in Swahili
Yafanyike Mashambulizi Mangapi Dhidi ya Watalii Ili Afrika Magharibi Iandae Mkakati wa Pamoja wa Kikanda?
Tafsiri imetumwa 2 Aprili 2016 9:49 GMT
Tuma hii: Eneo la fukwe huko Grand-Bassam, Côte d'Ivoire, eneo lililoshambuliwa na magaidi Machi 13. Picha: Oluniyi Ajao (CC BY-SA 2.0)
Na Jemila Abdulai. Toleo la makala hii lilichapishwa kwa mara ya kwanza kwenye Circumspecte.com. Tujadadili kidogo kuhusu shambulio la kigaidi la Machi 13 nchini Ivory Coast. Hususani kile ambacho nchi ya Ghana pamoja na nchi nyingine za Kiafrika zinaweza kujifunza au kufanya. Kwa wale wasiofahamu, takribani watu 16 walipoteza maisha tarehe 13 Machi katika eneo la Grand-Bassam, nchini Ivory Coast.
Mji mkuu wa zamani wa Ivory Coast na eneo linalotambulika na UNESCO kama la kihistoria, Grand-Bassam ni moja ya maeneo yanayotembelewa sana na fukwe iliyo umbali wa masaa machache kutoka Abidjan, mji mkuu wa Ivory Coast. Kwa nchi ya Ghana, Grand Bassam ingaliweza kufananishwa na Ada Foah au Ufukwe wa Labadi. Nchini Senegali, Grand Bassam yao ingeweza kuwa ni Kisiwa cha Gorée au moja ya fukwe nyingi zilizopo Dakar. Lakini hakuna hata moja ya haya ni jipya. Muswada wa filamu ni uleule, mwigizaji tofauti. Kuhusu mkakati, washambuliaji (Al-Qaeda, kwa muktadha huu) wameendelea kuwa na mikakati ile ile.
“Kwa nchi ya Ghana, Grand Bassam inaweza kufananishwa na Ada Foah au ufukwe wa Labadi . Nchini Senegali, Grand Bassam yao inaweza kuwa ni Kisiwa cha Gorée au moja ya fukwe nyingi maarufu zilizopo Dakar.”
Mkakati huu upoje haswa? Ni kushambulia maeneo ambayo mara kwa mara yanatembelewa na wageni wa nchi za kigeni na hoteli za kitalii, maeneo yanayotembelewa sana, maduka makubwa na maeneo ya burudani. Wameshafanya hivi huko Burkina Faso na Mali, huko Tunisia na Kenya, na sasa nchini Ivory Coast. Mkakati huu unaweza kuwa na malengo tofauti kidogo kwa kila nchi (kwa mfano kulingana na mahali nchi ilipo), lakini lazima kwa kiasi kikubwa lengo linakuwa ni moja: kuvuta hisia za watu na vyombo vya habari ili kusaidia kusikilizwa kwa matakwa yao ya kisiasa. Ni kwanini maeneo yanayolengwa ni yale ya wageni na watalii? Wanachohitaji ni kuona vyombo vya habari vya kimataifa na si vya ndani vikitangaza matukio hayo. Kushambulia maeneo kama haya inamaana kuwa nchi nyingi zaidi zinahusihwa. Kwa mfano, miongoni mwa wahanga wa shambulizi la Ivory Coast walikuwemo raia wa Ujerumani, Ufaransa, Cameroon, Mali na Burkina Faso. Shambulio moja, nchi sita ziliathirika (na bila ya kuhesabu majeruhi). Shambulio la Januari 2016 lililotokea nchini Burkina Faso lilisababisha vifo vya watu 18 wa mataifa tofauti. Hii ni mbali na kuhesabu idadi kubwa ya raia wazawa ambao pia waliathirika.
Jambo jingine ni kuwa, makundi haya yanaonekana kufuatilia habari zinazotangazwa zaidi kwenye vyombo vya habari. Burkina Faso ilikuwa na machafuko ya wenyewe kwa wenyewe kabla ya kushambuliwa . Mali imekuwa ikitajwa sana kwenye vyombo vya habari tangu kutokea kwa kifo cha Gaddafi, na kuripotiwa kwa kiasi kikubwa kwa maeneo yake ya kihistoria yaliyotambuliwa na umoja wa Mataifa. Na baadae, Ivory Coast ilipata kujadiliwa kwa uzuri sana kwenye vyombo vya habari, hususani tangu wakati wa uchaguzi mkuu wa Oktoba 2015. Siku za hivi karibuni, Ivory Coast imeizidi Nigeria kwa kuwa nchi inayopendelewa zaidi kwa masuala ya uwekezaji katika eneo la ukanda wa chini.
Kwa hiyo, kama mfuliozo wa matukio haya upo wazi kabisa na azma yao ni ileile, swali linalofuata ni kuwa serikali za Kiafrika zinafanya nini ili kukomesha hali hii, kukabiliana au kujiandaa kwa mashambulizi? Washambuliaji wapo kimkakati-kwa kiwasngo cha kuwasiliana vyema-ni kwa kiasi gani nasi tunajipanga hivi?
Shambulizi la Novemba 2015 la Paris lilipotokea, maeneo yote ya Ulaya na Marekani waliingia kwenye tahadhari kubwa na kuimarisha ulinzi, kama ambavyo walivyopaswa kufanya kwa mara nyingine mara baada ya kutokea kwa shambulizi la wiki hii huko Brussels. Baada ya kutokea kwa shambulizi la Paris, polisi wa Uingereza walisambaza video na taarifa kwa raia kuhusu kile walichopaswa kukifanya wakati wa shambulizi la kigaidi.
Afrika ya Magharibi imeshakabiliwa na mashambulizi matatu ya kigaidi kwa siku za hivi karibuni (bila kuijumuisha Nigeria). Nchini Ghana, angalao, mbali na dondoo za kwenye vyombo vya habari na majadiliano mafupi ya moja kwa moja kuhusu ulinzi, sijaona taarifa yoyote ya kina ya ufuatiliaji kuhusu mashambulizi ya aina hii, au kipi kifanyike endapo kutatokea mashambulizi kama haya.
“Afrika ya Magharibi imeshakabiliwa na mashambulizi matatu ya kigaidi kwa siku za hivi karibuni (bila kuijumuisha Nigeria). Nchini Ghana, angalao, mbali na dondoo za kwenye vyombo vya habari na majadiliano mafupi ya moja kwa moja kuhusu ulinzi, sijaona taarifa yoyote ya kina ya ufuatiliaji kuhusu mashambulizi ya aina hii, au kipi kifanyike endapo kutatokea mashambulizi kama haya.”
Kwa mfano, ni kwa namna gani tunaweza kutoka kwenye majengo kama vile hoteli au maeneo ya kazi pindi yanapotokea mashambulizi kama haya? Tumeshaainisha maeneo ya kutokea ya miji na majiji mengine makubwa? Kuna mfumo wa Kitaifa au wa kikanda wa ishara za mapema au mkakati wa maeneo yanayoleangwa zaidi kama vile hoteli na maeneo ya vivutio? Tumeshatoa mafunzo kwa wawajibikaji wa kwanza kabisa kama vile polisi na waokoaji? Hivi, mkakati wetu ni upi na uko wapi?
Nimekuwa nikiuliza maswali haya tangu shambulio la 2013 kwenye maduka ya Westgate ya jijini Nairobi nchini Kenya. Upo wapi mkakati wa kikanda wa Afrika kuhusu ulinzi na ugaidi? Kama upo, mamlaka za kikanda kama vile ECOWAS na Umoja wa Afrika zinafanya nini kuhakikisha raia wa nchi wanachama wanaufahamu wa mikakati inayochukuliwa?
Upo wapi makakati wetu unaofanana na ule wa ushirikiano uliofanywa na mataifa ya Ulaya mara baada ya nchi za Ulaya kushambuliwa? Bila shaka Marekani inaweza kuwa na ulinzi imara zaidi huko Afrika ya Magharibi, lakini kuna kandarasi zozote za ushirikiano na serikali za kiafrika?
Mwisho wa siku, taarifa, kuchukua tahadhari na kufanya maandalizi ndio mambo yatakayosaidia kuokoa maisha ya watu. Nchi ya Ghana inapakana na nchi za Burkina Faso na Ivory Coast, kama ulikuwa hujui-zipo karibu sana kwa ajili ya kusaidiana. Senegali ni miongoni mwa nchi ambazo zinapaswa kuwa na tahadhari ya hali ya juu. Ghana ni miongoni mwa nchi zilizo na maeneo mengi yanayotembelewa sana na wageni na watalii pamoja na watu kutoka katika jamii mbalimbali za kimataifa. Pia, ina jamii za watu wasiotambulika na waliotayari kutumiwa na magaidi wanaotafuta wanachama wapya. Bila kujali ishara matarajio makubwa ya “amani” yetu, huu utabaki kuwa ukweli. Maisha nchini Ghana siyo rafiki kwa kila mmoja. Tupo hatarini kama ilivyo kwa mataifa ambayo tayari yameshashuhudia mashambulizi.
Kipi kinaweza kufanyika? Sihitaji hata kulitazama sana hili kwa undani wake: Katika lugha za makabila ya watu wa Ghana, kama vile Twi, Ewe, Dagbani, Fante, na Ga, neno “gaidi” linaweza kuitwaje? Raia wa kawaida wa Ghana anafahamu kuwa “Al-Kayida”, siyo tu ngoma ya Ashanti iliyozoeleka, lakini pia inaibua hisia na kuwakilisha kitu cha kuogopesha na kilicho cha hatari? Ikitokea mtu akapiga kelele za “Al-Qaeda”, je watu ndio wataendelea kunogesha ngoma, au wataacha kuendelea kucheza na kukimbia?
Raia wa Ghana wamefuatilia kwa ukaribu matukio ya mashambulizi kwenye nchi za jirani? Tumeshaelimishwa au kupata taarifa za kutosha kuelewa mambo ya msingi kama vile kupayuka au kusali “katika jina la Yesu” kunaweza kusiwe ndio namna suluhisho pekee pale watu wanapovamiwa, kwani magaidi mara nyingi wamekuwa wakiwalenga Wakristo? Watu, hususani watoto, watafahamu kuwa wanalazimika kukaa mbali na sauti za risasi, au watafikiri kuwa ni sauti tu za masalia ya wafyatua fataki wakati wa sikukuu ya Krismasi?
Hatari haipo mbali sana kama tunavyoweza kufikiri. Bado hatujakuwa na maandalizi yoyote kama tunavyopaswa kufanya. Na kama alivyotangulia kusema mgombea Urais wa mwaka 2012 nchini Ghana, kuwa mahsambulizi yana nafasi ndogo sana ya kwenye amani ya ndani au uhusiano ulipo kati ya makundi ya kidini. Kuna mambo tunayopaswa kuyafanya kwa haraka. Kama vile watu kuelimishwa, kuwepo na namna za kuelezea matukio ya kigaidi kwa lugha za makabila, kuwatahadharisha watu na kadhalika.
Tunaweza pia kuyachukulia kwa uzito wake matukio ya nchi nyingine kama vile Ivory Coast, Mali na Burkina Faso, badala ya kuzindua kampeni za “kuombea nchi X”. Tunahitaji pia kutofautisha taratibu na alimradi. Kwa nini kwa sasa kuna misururu mingi ya magari ya raia na ya kijeshi? Pale dharura ya kwlei itakapokuwa imejitokeza, tutawezaje kutofautisha? Ugaidi unaenea haraka sana pale kunapokosekana upashanaji wa taarifa na kukosekana kwa maelewano.
Mashambulizi yanapotokea mahali, isiwe ni tukio la kusema “asante Mungu, siyo sisi”. Kinyume chake, matukio haya yanapaswa kuwa ni namna ya kutufanya tuwaze kuwa “sisi tungefanya nini, endapo….”
Video ya YouTube ifuatayo iliandaliwa na mwandishi huyu kwa kumbukumbu ya wote waliotangulia mbele ya haki. Pia ni kwa ajili ya kuzihamasisha nchi za Afrika kuungana pamoja kwa ajili ya kukabiliana na ugaidi:
Jemila Abdulai ni mwanzilishi na mhariri wa Circumspecte.com, jukwaa la kidigitali linashughulika na uchambuzi na mambo yanayohusiana na Afrika na Waafrika. Kama mtaalam wa masuala ya habari na Maendeleo ya Kimataifaa, amefanya kazi katika maeneo mbalimbali ya Afrika na ana shahada ya uzamili ya Sanaa ya Uchumi wa Kimataifa & Masuala ya Kimataifai kutoka chuo kikuu cha Johns Hopkins University SAIS.
Tuma hii: twitter facebook reddit googleplusEmail Kwa ajili ya kuchapisha Imeandikwa naGuest Contributor
Kiungo cha makala haya kutokea kwenye tovuti nyingine: | Terrorism in Côte d’Ivoire: How Many More Attacks Before A Regional Strategy & Action? […] APRIL 2: A Swahili version of this article was published by Global Voices. Read it HERE. […]
14 Aprili 2016, 11:47 AM Sitisha majibu jiunge na Mazungumzo Mwandishi, tafadhali jiandikishe »
Imeandikwa naGuest Contributor
Afrika Kusini mwa Jangwa la SaharaCote d'IvoireGhana
Mahusiano ya KimataifaUandishi wa Habari za KiraiaVita na MigogoroThe Bridge
| 2016-12-04T16:31:01 |
https://sw.globalvoices.org/2016/04/yafanyike-mashambulizi-mangapi-dhidi-ya-watalii-ili-afrika-magharibi-iandae-mkakati-wa-pamoja-wa-kikanda/
|
[
-1
] |
Nilikuwa Muasi – Kisha Nimetubu – Namuomba Allaah Mume Mwema- Je Allaah Ataniitikia Du’aa Yangu? | Alhidaaya.com
Ukurasa Wa Kwanza /Nilikuwa Muasi – Kisha Nimetubu – Namuomba Allaah Mume Mwema- Je Allaah Ataniitikia Du’aa Yangu?
Nilikuwa Muasi – Kisha Nimetubu – Namuomba Allaah Mume Mwema- Je Allaah Ataniitikia Du’aa Yangu?
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28 nilifanya uzinzi kipindi cha nyuma lakin toka mwaka 2006 mwishon nilitubu na kujiweka mbali na zinaa mpaka sasa je, maomdi ninayoomba kwa mwenyezi mungu anipe mume awe mwaminif kama mimi nitapata?
Shukrani zetu za dhati kwa swali lako kuhusu kutubia, kujirekebisha baada ya kuasi kwako. Ni jambo linalofahamika kuwa Allaah Aliyetukuka ni Msamehevu sana kwa kiasi ambacho Anasamehe madhambi yote. Allaah Aliyetukuka Anasema: “Sema: Enyi waja Wangu walio jidhulumu nafsi zao! Msikate tamaa na rehema ya Allaah. Hakika Allaah Husamehe dhambi zote. Hakika Yeye ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu” (az-Zumar [39]: 53). Na tena pale Alipotaja madhambi kadhaa ambayo Anamkubali mja huyo pindi anapotubia. Bali si hivyo tu ila hata hayo mabaya Huyabadilisha yakawa mema. Anasema Aliyetukuka: “Na wale wasio mwomba mungu mwengine pamoja na Allaah, wala hawaui nafsi aliyo iharimisha Allaah isipokuwa kwa haki, wala hawazini - na atakaye fanya hayo atapata madhara, Atazidishiwa adhabu Siku ya Kiyama, na atadumu humo kwa kufedheheka. Isipokuwa atakaye tubu, na akaamini, na akatenda vitendo vyema. Basi hao Allaah Atayabadilisha maovu yao yawe mema. Na Allaah ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu. Na aliye tubu na akafanya mema, basi hakika huyo ametubu kweli kweli kwa Allaah” (al-Furqaan [25]: 68 – 71).
Ikiwa umefanya madhambi, ukatubia ni kama kwamba huna tena madhambi tena hivyo kuwa msafi kama ule wakati ulipozaliwa na mamako. Kwa hiyo, baada ya hapo ukiomba Allaah Aliyetukuka bila shaka Atakujibu kwa lile ulilo liomba bila ya tatizo lolote lile.
| 2019-11-20T12:55:12 |
http://alhidaaya.com/sw/node/4670
|
[
-1
] |
OKWI: NISUBIRINI UWANJANI NIWANYOOSHE - Celebrity Swaggz I Official Website '+l+"
Home » »Unlabelled » OKWI: NISUBIRINI UWANJANI NIWANYOOSHE
OKWI: NISUBIRINI UWANJANI NIWANYOOSHE
KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi amefunguka kwa sasa anaendelea na mazoezi na kikosi hicho ambapo mashabiki ambao wana hofu na uwezo wake wamsubiri uwanjani kwenye mechi dhidi ya Rayon Sport ya Rwanda, kwenye mechi ya Simba Day.
Mganda huyo amefanikiwa kurejea kwa mara nyingine ndani ya Simba kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Villa ya Uganda ambapo kwa sasa yupo nchini Afrika Kusini kwenye kambi ya timu hiyo chini ya kocha wake, Joseph Omog raia wa Cameroon.
Akizungumza na Championi Jumatatu, Okwi mmoja wa wachezaji waliokuwepo kwenye ubingwa wa mwisho wa Simba, amesema anaendelea na mazoezi na wenzake kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa Simba Day dhidi ya Rayon ambao ndiyo utakuwa wa kwanza ndani ya kikosi hicho tangu kurejea kwake.
“Tunaendelea na mazoezi ya pamoja ya kujiandaa na msimu ujao, lakini kwa wale ambao wana hofu juu ya nini nitakachokifanya basi niwaambie kuwa nitawaonyesha makali yangu kwenye mechi ya Simba Day ambayo itakuwa ya kwanza kwetu nchini Tanzania,” alisema Okwi aliyewahi kucheza soka la kulipwa Denmark.
Said Ally | Championi Jumatatu| Dar es Salaam
| 2018-01-20T08:38:53 |
http://www.celebrityswaggz.com/2017/07/okwi-nisubirini-uwanjani-niwanyooshe.html
|
[
-1
] |
SIRI YA KIGOGO ALIYESTAAFISHWA NA JPM KUKAA MADARAKANI MUDA MREFU - Habari Online na Elimtaa
Habari Online na Elimtaa 2017 at 01:57PM Blogger IFTTT June 25 Uncategorized SIRI YA KIGOGO ALIYESTAAFISHWA NA JPM KUKAA MADARAKANI MUDA MREFU
SIRI YA KIGOGO ALIYESTAAFISHWA NA JPM KUKAA MADARAKANI MUDA MREFU
Elimtaa Tv 2:02:00 pm 2017 at 01:57PM Blogger IFTTT June 25 Uncategorized
Siku chache baada Rais Magufuli kumtaka Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Maji Dar es Salaam (DAWASA), Archard Mutalemwa astaafu, imefahamika kuwa mkataba wake ulikuwa umalizike Oktoba mwaka huu.
Jumatano wiki hii Rais Dkt Magufuli alimuagiza Mutalemwa kustaafu kutokana na kuwa madarakani kwa muda mrefu tangu yeye akiwa shule ya sekondari amekuwa akimsikia kiongozi huyo.
Mtu wa karibu na kiongozi huyo amesema kuwa alistaafu mwaka 2012 na tangu hapo amekuwa akifanya kazi kwa mkataba ambapo mkataba wake wa miaka miwili aloongezewa mwaka 2015 na Rais Mstaafu Dkt Jakaya Kikwete ulikuwa umelizike Oktoba mwaka huu. Alieleza zaidi, Mutalemwa alisema kuwa mkataba wake ukimalizika asingetaka kuongeza tena, na kwamba angeachia nafasi hiyo.
“Alitimiza miaka 60 mwaka 2012, na alitakiwa kustaafu mwaka huo, lakini alipata mkataba wa kuendelea kusalia madarakani kwa miaka mitano ukiwa na kifungu cha kuongeza muda,” kilisema chanzo hicho cha habari ambacho hakikutaka jina lake liweke wazi kwani hakuwa amepewa mamlaka ya kuzungumzia tukio hilo.
Agizo la Rais Dkt Magufuli la kumtaka Mutalemwa kistaafu limemkuta wakati akimalizia muda wa miezi michache iliyosalia kabla ya kuondoka.
Rais alitoa agizo hilo wakati akizungumza na wananchi katika mkutano wa hadhara eneo la Mlandizi Mkoa wa Pwani alipokuwa akifungua mradi mkubwa wa maji wa Ruvu Juu.
Mutalemwa alitakiwa kustaafu ili kulinda heshima yake ambapo Rais Magufuli alimwamba, kuendelea kukaa madarakani zaidi kutapelekea watu kumtafutia jambo la kumchafua. Wakati mwingine sura yako inaweza isizeeke, ila umri ukawa umeenda, hivyo ni vizuri kustaafu kwani ukikaa mahali sana watu watakuzoea, alisema Rais Magufuli.
DAWASA ilituhumiwa na kiongozi huyo wa nchi kuwa, licha ya kupewa fedha za kutosha kusambaza maji Dar es Salaam, Kibaha na Bagamoyo, lakini zimekuwa zikitumika vibaya kutokana na uongozi mbovu.
Chanzo: The Citizen
from Blogger http://ift.tt/2t5lem6
| 2018-02-22T03:06:23 |
https://eliabu.blogspot.com/2017/06/siri-ya-kigogo-aliyestaafishwa-na-jpm.html
|
[
-1
] |
Rweyunga Blog: TAMASHA LA KUSHAJIISHA ELIMU YA MAFUNZO YA SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UHANDISH WA HESABU LAZINDULIWA ZANZIBAR
| 2018-04-26T00:05:33 |
http://rweyunga.blogspot.com/2017/07/tamasha-la-kushajiisha-elimu-ya-mafunzo.html
|
[
-1
] |
Amakuru Yanditswe na: Nsanzimana Ernest 13 July 2018 Yasuwe: 1803
Perezida Donald Trump wa Leta Zunze Ubumwe z’Amerika yasezeranyije ko agiye gufasha mu kurangiza amakimbirane yo ku mugabane w’Afurika arangwa n’ ubugome n’ubugizi bwa nabi.
Perezida Trump yagize ati: "Afurika kuri ubu ifite urusobe rw’ibibazo abantu bake bonyinye bashobora kwiyumvisha. Birababaje cyane, hari ubugizi bwa nabi n’urugomo."
Yavuze ko intego ye ari ukubaka igisirikare gikomeye cy’Amerika, hanyuma kikagarura amahoro ku isi.
Amerika isanzwe ikora mu bikorwa byo guhangana n’iterabwoba no guha imyitozo igisikare cyo mu bihugu bimwe na bimwe byo muri Afurika mu kurwanya intagondwa zigendera ku mahame akaze y’idini ya kisilamu mu karere k’ubutayu bwa Sahara.
Trump w’imyaka 72 y’amavuko, yavuze aya magambo ubwo yari mu kiganiro n’abanyamakuru i Buruseli mu Bubiligi muri iki cyumweru, aho yari mu nama y’iminsi ibiri y’ibihugu by’Uburayi n’Amerika bihuriye mu muryango w’ubwirinzi wa OTAN.
Ni bo basirikare benshi Amerika yari itakaje mu gitero kibereye ku mugabane w’Afurika, nyuma yabo yatakaje muri Somalia mu myaka 25 ishize mu gikorwa cya gisirikare cyiswe "Black Hawk Down."
15 November 2018 Yasuwe: 2204 0
13 November 2018 Yasuwe: 1148 0
11 November 2018 Yasuwe: 1302 0
9 November 2018 Yasuwe: 766 0
7 November 2018 Yasuwe: 716 0
| 2018-11-19T02:47:31 |
http://umuryango.rw/amakuru/mu-mahanga/politiki/article/perezida-trump-yiyemeje-kurangiza-amakimbirane-yo-muri-afurika
|
[
-1
] |
Simu haiwezi ikawa kikwazo kwenye mahusiano yenu,kama ukizingatia haya. - timheaven
Home / MAHUSIANO / Simu haiwezi ikawa kikwazo kwenye mahusiano yenu,kama ukizingatia haya.
Simu haiwezi ikawa kikwazo kwenye mahusiano yenu,kama ukizingatia haya.
by Richard Edward on July 27, 2017 in MAHUSIANO
Natumaini wote tunakumbuka kuwa miaka ya nyuma, hususa ni wakati simu za mkononi zilipokuwa hazijaingia nchini, matatizo kwa wanandoa au wapendanao yalikuwa machache sana kulinganisha na sasa baada ya ujio wa simu.
Wachambuzi wa masuala ya uhusiano wamekuwa wakitaja simu kama kichocheo kikubwa cha wapendanao au wanandoa kugombana.
Isikupite Hii: Kama wewe ni mke wa mtu jiepushe na haya
Simu ndizo zinazoleta uhasama na kuvunja ndoa nyingi. Simu ndizo zinawafanya watu wengi waliopo kwenye uhusiano kugombana.
Bahati mbaya sana, kati ya kesi nyingi za simu, zipo ambazo zinakuwa na ukweli lakini nyingine huwa hazina ukweli.
Mtu anaanzisha ugomvi kwa sababu tu ujumbe wa kimahaba umeingia kwenye simu ya mke au mumewe.
Hahitaji kuhoji. Anapoona tu ujumbe umeingia, kinachofuata ni ugomvi kwa mwenzi wake. Atamtukana, atampiga na atafanya kila linalowezekana kuhakikisha anaondoa hasira zake kwa kile alichokiona.
Ukizingatia haya, simu haiwezi kuwa kikwazo kwenye Mahusiano yenu.
Kumbe pengine angejipa nafasi ya kutafakari, akahoji, labda hata wasingefikia hatua ya kugombana. Anaanzisha ugomvi kumbe yule aliyetuma ujumbe huo, mwenzi wake wala hamjui.
Amekosea namba, ujumbe ukaingia kwenye simu ya mpenzi wake. Wapo ambao wakiona ujumbe huo wa kimahaba, eti wanakaa kimya na kujisemea kimoyomoyo; “ngoja na mimi nitamuoneshea.”
Eti ataruhusu uhusiano na mtu mwingine ili wawe ngoma droo na mwenzake. Hilo ni tatizo kubwa. Unafanya malipizi kwa mtu ambaye hajafanya kosa.
Matokeo yake ni nini? Mwenzi wako atakapokugundua umefanya hivyo kwa makusudi, mtagombana na hata kufikia hatua ya kuachana.
Suala la kwanza unalopaswa kufanya kabla hujaingia kwenye uhusiano, mchunguze vizuri mhusika. Hakikisha ni mtu mwenye moyo wa kuridhika.
Ninaposema moyo wa kuridhika nina maana gani? Awe tayari ameshaamua kuwa ‘serious’ na mtu mmoja. Macho yake si ya kutangatanga. Hababaishwi na kila mwanamke au mwanaume amuonaye. Mtu wa aina hiyo hafai. Atakupotezea muda.
Atakusababishia ugomvi kila wakati mbele ya safari. Anzisha uhusiano na mtu aliyetosheka na ujana.
Isikupite Hii: Mambo Ya Kuzingatia Kabla Ya Kuingia Katika Ndoa Au Mahusiano.
Kuna baadhi ya watu huingia kwenye uhusiano wakiwa angali hawajamaliza ujana, hao ni hatari sana. Hawatulii. Kila anayemuona mbele yake anatamani awe wake. Ni vyema mkazungumza mapema mikakati yenu na kila mmoja akampima mwenzake kulingana na safari ya uhusiano wenu.
Ukishafanikiwa kuwa na mtu mwenye sifa hizo, kinachofuata ni suala la uaminifu. Jenga imani kwa mwenzako. Mfikirie katika fikra chanya zaidi na si hasi. Muamini kwamba hawezi kukusailiti.
Ukimuwazia mwenzako katika mazuri ni rahisi hata kukabiliana na wazushi watakaokuletea maneno ya uongo ili kukugombanisha na mwenzi wako.
Isikupite Hii: Teso (25) Kubwa Sana Katika Maisha Ya Mwanadamu
Unapomtengenezea mazingira ya kumuamini zaidi mtu, unampa nafasi ya kukufanya wewe kama sehemu ya maisha yake. Unamfanya ahisi kukusaliti ni kukupa maumivu mazito. Hiyo inasaidia kuleta amani katika uhusiano.
Mnapoaminiana, hamuwezi kuwa watu wa kukaguana simu kila wakati. Hamtakuwa na hofu ya kupokea simu mnapokuwa pamoja. Yale mambo ya kwenda kuzungumzia chooni au kumkatia simu yule anayepiga hayatakuwepo.
Kubali au kataa lakini ukweli ni kwamba unapoamua kuwa kwenye uhusiano makini, lazima ujitoe. Hakikisha huna makandokando maana ukiwa nayo, hata kama unajua kujificha kiasi gani, za mwizi wanasema ni arobaini, ipo siku utaumbuka tu.
By Richard Edward kwa July 27, 2017
| 2018-07-17T00:07:52 |
https://www.timheaven.com/2017/07/simu-chanzo-mahusiano.html
|
[
-1
] |
Hong Kong chini ya kiwingu cha sheria mpya ya usalama | Matukio ya Kisiasa | DW | 07.07.2020
Kampuni kubwa za teknologia za Facebook, Google na twitter, zilisema jana kuwa zimekataa maombi ya serikali ya Hong Kong ama idara ya polisi ya kutoa habari kuhusu watumiaji wa mitandao hiyo.
Katika taarifa, kampuni inayomiliki mtandao wa Facebook na huduma yake maarufu ya kutuma ujumbe ya WhatsApp zimekataa maombi hayo hadi itakapofanya tathmini ya sheria hiyo ambayo inahusu uangalifu kamili wa haki rasmi za binadamu na mashauriano na wataalamu wa haki za binadamu. Mipango hiyo ya kudhibiti shughuli za intaneti ilijumuishwa katika nyaraka ya serikali ya kurasa 116 iliyotolewa jana usiku.
Licha ya hakikisho kwamba ni watu wachache watakaolengwa na sheria hiyo, maelezo mapya yanaonesha kuwa haya ndio mabadiliko makali zaidi katika haki na uhuru wa Hong Kong tangu eneo hilo kukabidhiwa serikali ya China kutoka Uingereza mwaka 1997.
Pompeo akashifu kuhusu hatua za kiholela dhidi ya wakazi wa Hong Kong
Hapo jana jioni, waziri wa mambo ya nje wa Marekani, Mike Pompeo, alikashifu hatua za kiholela za kuwadhibiti wanaharakati, shule na maktaba tangu sheria hiyo ilipoidhinishwa. Wakati huo huo, Kiongozi wa Hong Kong Carrie Lam amesema leo kwamba kamati mpya ya usalama wa kitaifa iliyoundwa hivi majuzi itafanya shughuli zake kwa njia ya siri kulinda usalama wa kitaifa chini ya sheria mpya iliyowekewa eneo hilo na serikali ya China wiki iliyopita.
Wakati wa kikao na wanahabari hii leo, Lam alishindwa kutoa hakikisho kwa wanahabari hao baada ya wasiwasi kuibuliwa kuhusu kutokuwa na uwazi wa makosa yanayohusiana na vyombo vya habari.Lam aliongeza kuwa hatimaye , wakati na ukweli utadhihirisha kwamba sheria hiyo haitahujumu haki na uhuru wa kibinadamun na kwamba sheria hiyo itadumisha udhibiti kwa Hong Kong. Ames Sheria hii itahakikisha kwamba sera hii muhimu ya nchi moja mifumo miwili inaweza kuendelea na Hong Kong kufurahia udhibiti na ufanisi wa muda mrefu.
Maelezo ya kutumiwa kwa sheria hiyo yalitolewa jana jioni na kuipa idara ya polisi nguvu zaidi chini ya sheria hiyo ya usalama wa kitaifa inayojumuisha uwezo wa kukamata vifaa vya elektroniki, kuingia katika majengo bila vibali, kufungia mali na kuthibiti matembezi ya watu. China iliweka sheria hiyo mpya kulenga kupingwa kwa mamlaka, hali ya kutaka kujitenga, ugaidi na kushirikiana na vikosi vya kigeni.
Mada Zinazohusiana Marekani, Benki Kuu ya Marekani, Chama cha Republican, Donald Trump, Mike Pence, CIA, NAFTA, NRA - Chama cha wamiliki wa bunduki cha Marekani, Mike Pompeo
Maneno muhimu hong kong, china, Marekani, Carrie Lam, Mike Pompeo
Kiungo https://p.dw.com/p/3eu7B
Hong Kong:Waandamanaji watawanya kwa gesi ya kutoa machozi 24.05.2020
| 2020-08-14T06:10:47 |
https://www.dw.com/sw/hong-kong-chini-ya-kiwingu-cha-sheria-mpya-ya-usalama/a-54077837
|
[
-1
] |
ZANZIBAR NI KWETU: Umeme Juu Zanzibar kwa asilimia 20!
Umeme Juu Zanzibar kwa asilimia 20!
Shirika la umeme Zanzibar ZECO limeamua kuongeza bei ya kuuzia umeme kwa asilimi 20 kuanzia leo.
Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari, Waziri wa ardhi, maji, nishati na mazingira, Bi Salama Aboud Talib akitangaza mabadiliko ya bei hizo, amesema watumiaji wa majumbani wenye uwezo ambao wanatumia hadi uniti 50 sasa watanunua umeme kwa shilingi 79 kwa uniti badala ya bei ya zamani ya shilingi 66.
Amesema watumiaji wanaozidi uniti 51 sasa watalipa shilingi 480 kwa uniti badala ya shilingi 400 walizokuwa wakilipia.
Aidha amesema watumiaji wa kawaida wa huduma za jamii ambao wanatumia uniti moja hadi 1,500 sasa watanunua uniti moja ya umeme kwa shilingi 266 badala ya shilingi 222.
Amesema watumiaji watakaozidi uniti 1,500 watalipia umeme kwa shilingi 288 badala ya bei ya zamani ya shilingi 240 kwa uniti,watumiaji wa viwanda vidogovidogo watalipia shilingi 206 kwa uniti badala ya bei ya zamani ya shilingi 172.Amesema kwa watumiaji wa viwanda vikubwa itakuwa shilingi 169 kwa uniti badala ya shilingi 141 na taa za njiani ambapo bei ya zamani ilikuwa shilingi 222 kwa uniti bei mpya kwa sasa itakuwa shilingi 266 kwa uniti.
Hata hivyo waziri huyo amesema serikali imezingatia mabadiliko hayo na hali ya maisha ya wananchi wake na sekta yengine ili kuepusha kuwabebesha mzigo mkubwa wa maisha.
| 2017-12-18T18:42:29 |
http://zanzibarnikwetu.blogspot.com/2016/11/umeme-juu-zanzibar-kwa-asilimia-20.html
|
[
-1
] |
WAKULIMA SONGEA WALIA NA UHABA WA MBOLEA YA UREA KUKOSEKANA - MSUMBA NEWS BLOG
WAKULIMA SONGEA WALIA NA UHABA WA MBOLEA YA UREA KUKOSEKANA
Baadhi ya Wakulima wakiiomba kuangalia namna ya upatikanaji wa mbolea aina ya Urea .
Hali ya mazao ilivyo shambani
BAADHI ya Wakulima wa Songea mkoani Ruvuma wameiomba Serikali ya Wilaya na Mkoa kukaa meza moja ya mazungumzo na mawakala wa usambazaji wa pembejeo kwa wakulima ili kuzuia adhari isijitokeze kwa wakulima.mwandishi Amon Mtega anaripoti kutoka Ruvuma
Ombi hilo wamelitoa juzi wakati wakizungumza na Msumbanews kuhusiana na changamoto ya upungufu wa mbolea aina ya Urea ambayo inadaiwa kuadimika kwenye mkoa huo na kuwafanya wakulima hao kuhangaika namna ya kuipata.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti mmoja wa wakulima Firbet Komba ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Mbingamharule Wilaya ya Songea amesema kuwa kunakila sababu ya Serikali ya Wilaya na mkoa kukaa meza moja na mawakala hao ili kutatua changamoto zilizopo hasa za uadimikaji wa mbolea ya Urea ambayo inaongoza kutumiwa na wakuliama wengi mkoani humo .
Amesema kuwa hadi sasa mbolea hiyo imekuwa ikipatikana kwa shida na kama ikipatikana imekuwa haiwatoshelezi wakulima jambo ambalo alidai kuwa limekuwa linawapa hofu wakulima hao kuharibika mazao yao (Mahindi) kwa kukosa mbolea hiyo.
Kwa upande wake mmoja wa mawakala wa usambazaji wa pembejeo hizo Wilayani humo Tito Mbilinyi(Mwilamba)amesema kuwa tatizo la upatikanaji wa mbolea aina ya Urea ni kubwa hivyo mawakala wamekuwa wakihangaika namna ya kufanikisha kuzipata ili kuokoa mazao ya wakulima.
Mbilinyi amesema kuwa inafikia wakati baadhi ya wahitaji wamekuwa wakiwalalamikia wasambazaji wakidhani kuwa labda mbolea hiyo imefichwa kwa kutaka kuiuza bei ya juu tofauti na maelekezo ya Serikali ,kumbe sivyo.
Amesema kuwa kufuatia changamoto hiyo ya ukosefu wa mbolea ya Urea ,mawakala wapo tayari kukaa meza moja na uongozi wa Serikali na Wilaya ili kulitatua tatizo hilo na kuwafanya wakulima waweze kupata huduma ya pembejeo.
Ameeleza kuwa yeye anasambaza pembejeo katika Vijiji zaidi ya kumi vilivyopo Wilaya ya Songea na vya Wilaya ya Namtumbo kwa kuwapelekea kwenye maeneo yao ili kuwapunguzia adha wakulima hasa wenye mitaji midogo.
| 2020-06-05T19:52:37 |
http://www.msumbanews.co.tz/2020/01/wakulima-songea-walia-na-uhaba-wa.html
|
[
-1
] |
Plugin hii itawezesha wewe kuunganisha Google Plus Connect utendaji katika WordPress yako mwenyewe tovuti. Hiyo ina maana watumiaji wanaweza kuungana katika WordPress yako kwa kutumia akaunti zao Google Plus na kupata halisi user WordPress kuundwa. Zilizopo watumiaji WordPress anaweza pia ambatisha akaunti zao Google Plus na kuwa na uwezo Plus baada ya kuwa kuungana na Google badala ya kutumia user yao / password.
Plugin hii ni pamoja na 2 vilivyoandikwa moja kutumiwa kuonyesha sanduku kuungana (au kushikamana kama mtumiaji Google Plus akaunti ni wanaona), na mwingine moja kuonyesha watumiaji kushikamana mwisho.
- Inawezesha watumiaji kuungana na akaunti zao Google Plus
- Inawezesha watumiaji wa kujenga akaunti WordPress kutumia sifa zao Google Plus
- Inawezesha watumiaji (na watumiaji admin) kuingia kwa blog, kwa kutumia akaunti ya Google Plus
- Inawezesha wewe ambatisha akaunti Google Plus kwa WordPress yako ya kwanza admin mtumiaji
- 2 vilivyoandikwa tayari kutumiwa (moja kwa functionalities kuungana na moja kuonyesha watumiaji kushikamana iliyopita)
- Unaweza Customize jinsi watumiaji wengi ni kuonyeshwa katika vilivyoandikwa
- Hali ya Binafsi mkono wheb kwa kuonyesha watumiaji
- Shortcode msaada wa kuunganisha utendaji kuungana katika ukurasa wowote
- Shortcode msaada wa kuonyesha watumiaji kushikamana iliyopita katika ukurasa wowote
eCommerce, Vitu wote, google plus, Google Plus API, google plus kuungana, google plus Plugin, googleplus, kuingia kwa google plus, wordpress google plus
| 2017-11-23T00:01:59 |
https://sw.worldwidescripts.net/google-plus-connect-for-wordpress-39613
|
[
-1
] |
Welcome To Gombera Site: FURAHIA KUNGONOKA BILA KUFIKIA MSHINDO
Welcome To Gombera Site
Tembelea blog hii uweze kupata habari mbalimbali zilizochambuliwa kwa kina na wachambuzi wetu,pia unaweza kujiunga na blog kwa kubonyesha link iliyo upande wa kushoto iliyoandikwa followers.
Andika habari uitafutayo katika box hapo chini kisha bonyeza search kama hakuna matokeo bonyeza THE WEB kisha soma habari uitakayo
FURAHIA KUNGONOKA BILA KUFIKIA MSHINDO
Furahia kungonoka bila mshindo....inawezekana! Kama unauzoefu na vilevile unapenda ngono (sio kungonoka na kila mtu, nazungumzia wewe na mpenzi wako mmoja tu unaempenda) unaweza kufurahia "muunganiko" wa mwili wako na wa mpenzi wako hasa kama wote mnajua miili yenu vema, yaani vipele vilipo....pale ukishikwa au kumshika mwenzio ananyegema au kupata raha fulani hivi ya kimapenzi.
Kumbuka kuwa Ngono ni kitendo cha kukutanisha viungo venyu vya uzazi (mwili) na sio kufika kileleni hivyo kufurahia au kupata raha (sio utamu ni raha hehehehe utamu mambo mengine, nitafute nitakuambia) bila kufikia mshindo inawezekana kabisa....by the path ni kutokana na uzoefu wangu.
Unajua kuwa kuna wakati unafanya ngono/mapenzi au niseme mnapelekana kwa muda wa saa nzima na ushehe na hakuna anaefika kileleni lakini wakati hili likifanyika unahisi kufurahia ile hali ya ukaribu, kushikana, papasana, kubadilishana mate/kubusu, kulambana na muunganiko wa viungo venu vinavyopendana kwa dhati ambapo kwa wakati huo wewe na yeye "manavimuvuzisha" nje-ndani au juu-chini au mduara (kukata kiuno) kama sio huku na kule na baadae ndio mmoja anawahi kileleni au manafika wote.....unauzoefu na hili? Unaelewa sasa na zungumzia nini eeh?
Ila tatizo linalojitokeza kwa watu wengi ambalo linaweza kupelekea watu kupinga ninachokisema hapa ni kuwa, unapokuwa nampenzi wako au unapofikiria swala la kufanya ngono akili yako inakuwa "tuned" kwenye "lazima nimfikishe kileleni mpaka akome au aombe radhi".....kwani umeambiwa ni adhabu? au "lazima tufike mara tatu" na matokeo yake mnapo anza kufanya mnakuwa mme-focus kwenye kufika kileleni na sio kufurahia miili yenu.
Kwa wale wanaume ambao Mungu kawa jaalia kwenda mwenzo mrefu na wanajua tofauti ya "sex na love making" ndio wazuri katika hili ikiwa tu kamuandaa mpenzi wake (mwanamke) nampenzi huyo (mwanamke) anajua kujizuia kufika kileleni na hapo nyote wawili mtafurahia tendo bila kufika kileleni mapaka mtakapochoka "kubilingishana" ndio mnajiachia na kufika pamoja au moja baada ya mwingine.
Ikiwa wewe ni mwanamke ambae kwa bahati mbaya huwezi kufika kileleni ukiwa umeingiliwa (uume kuwa ndani) basi hii ndio inakufaa zaidi kama wewe na mpenzi wako mnajua kuchezeana vizuri na kwa ustadi.
Unachotakiwa kufanya ili kufurahia hili ni kujiandaa kiakili, kimwili na vilevile mazingira....
Nitakuja kumalizia hilo nikifika nyumbani,.....wacha nimalizie kutumikia watu hapa!
Oh hey! ile mbinu ya mwisho ya kumfanya jamaa atangaze ndoa ambayo ili-base kwenye Poll itafuata pia, karibu sana
Welcome To Gombera Site Feel At Home
WASANII NA WACHEZAJI WA BONGO SHULE MUHIMU
Mshiriki wa Shindano la Big Brot...
UZINDUZI WA VODACOM MISS TANZANIA 2011 @ KILIMANJA...
Dida akwaa skendo mpya ya ngono
DALILI TATU KUWA ANACHOROPOKA NJE
Nini cha kufanya, siku ya kwanza! "Dinah mi nina ...
SERIKALI:STUDIO YA JK NI KWA AJILI WASANII WALIOIO...
HUYU NDIYE MISS TABATA MWAKA 2011
Blogger anakuja kwa kasi ya ajabu
| 2014-03-08T06:37:02 |
http://gomberablog.blogspot.com/2011/06/furahia-kungonoka-bila-kufikia-mshindo.html
|
[
-1
] |
SERIKALI imekuwa ikipoteza mapato ya kati ya Sh. bilioni nne hadi tano
kwa mwaka, kufuatia uuzwaji wa mbuzi kwa magendo kupelekwa Kenya.
Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki na Mkuu wa Wilaya ya Longido, Frank Mwaisumbe. Alisema serikali imekuwa ikikosa mapato ya Sh. bilioni nne hadi tano kwa kipindi cha miaka mingi kutokana na mifugo hiyo kwenda kuuzwa Kenya, kupitia mpaka wa Namanga.
Hata hivyo, alisema serikali hadi kufikia mwaka jana wamefanikiwa kudhibiti uuzwaji wa mifugo nje ya nchi ili kuokoa fedha zilizokuwa zinapotea.
“Mbuzi walikuwa wakiuzwa kwa njia za magendo na njia halali, lakini
njia ya magendo ilikuwa ikiuza mbuzi wengi zaidi, tumechukua hatua kama
serikali ya kudhibiti na tumekuwa wakali sana na tumeshaeleweka sasa
mambo yanakwenda vizuri,” alisema Mwaisumbe.
Alisema ilibidi serikali kuwa wakali ili kurudisha hali ya
uhalali wa biashara ya mbuzi na wakati mwingine walikuwa wakitaifisha
mifugo iliyokamatwa kutoka kwa wafanyabiashara waliokuwa wakiuza kwa njia za magendo.
“Tukikamata mbuzi na kugundua wanauzwa kwa magendo tunawataifisha maana siwezi kuona serikali inakosa mapato kutokana na tamaa za watu
wachache, suala hili niko makini naomba wafanyabiashara wanielewe,
mapato ndio yanamsaidia Rais John Magufuli katika juhudi zake za
kuelekeza Watanzania kwenye uchumi wa kati na kupunguza
umaskini,” alisema Mwaisumbe.
Hata hivyo, Mwaisumbe alisema ameshawezesha wafanyabiashara hao,
kuunda vikundi vya watu kati ya 30 hadi 45 na kuvirasimisha ili kukaa
kwa kuangalia mianya ya upotevu wa mapato ya serikali, sambamba na kufanya tathmini ya mafanikio ya wafanyabiashara.
Alisema vikundi hivyo vitawasaidia kuwa na umoja ambao utaunganisha nguvu za pamoja na hata kusafirisha kwa pamoja mbuzi hao, kwa njia halali ili
nchi ipate kodi kwa ajili ya maendeleo ya watu wake wakiwamo wafugaji na wafanyabiashara wa mifugo.
“Tumedhibiti kwa asilimia 90 uuzwaji holela wa mbuzi wa magendo, lakini kwa ushirikiano wa pamoja, wafanyabiashara matarajio yetu ni kufikia
asilimia 100,” aliongeza Mwaisumbe.
Spika awataka kuwekeza upandaji miti
Neema ruzuku yaja kwa wenye mifugo
| 2020-02-19T05:00:49 |
https://www.ippmedia.com/sw/biashara/magendo-mifugo-yainyima-serikali-mapato
|
[
-1
] |
RafikiElimu FOUNDATION: Mradi Wa Elimu Ya Ujasiriamali Mijini & Vijijini Kuzinduliwa tarehe 01 NOVEMBA 2012.
Posted by rafiki elimu at 5:23 AM
| 2017-12-12T02:42:52 |
http://rafikielimu.blogspot.com/2012/10/mradi-wa-elimu-ya-ujasiriamali-mijini.html
|
[
-1
] |
MASHIRIKA YA KIMATIAFA YAOMBWA KUISAIDIA TANZANIA KUWAUNGANISHA RAIA WAPYA NA WATANZANIA WENGINE - MTAZAMO NEWS
Home JAMII MASHIRIKA YA KIMATIAFA YAOMBWA KUISAIDIA TANZANIA KUWAUNGANISHA RAIA WAPYA NA WATANZANIA WENGINE
Mtazamo News Tv Friday, May 19, 2017 JAMII,
| 2017-08-17T01:49:35 |
http://www.mtazamonews.com/2017/05/mashirika-ya-kimatiafa-yaombwa.html
|
[
-1
] |
Chocolate zinavyohusishwa na ‘uwezo wa akili’ kwa wanafunzi darasani – millardayo.com
Chocolate zinavyohusishwa na ‘uwezo wa akili’ kwa wanafunzi darasani
#NIPASHE Utafiti mpya umebaini kuwa ulaji mzuri wa chocolate unaweza kuongeza uwezo wa kufikiri pic.twitter.com/yDk7TAI8y8
— millard ayo (@millardayo) August 27, 2016
Wakati wazazi wengi nchini wakihaha kudhibiti ulaji holela wa vitu vitamu kwa watoto wao ili kuimarisha afya ya kinywa. utafiti mpya wa hivi karibuni umeibuia mapya baada ya kubainika kuwa ulaji mzuri wa chocolate unaweza kuongeza uwezo wa kufikiri na hivyo kutoa fursa kwa watoto kufanya vizuri darasani.
Aidha, utafiti huo umebaini vilevile kuwa ulaji wa chocolate husaidia kupunguza kasi ya kawaida ya kuzeeka kwa walaji itokanayo na kuongezeka kwa umri. Ripoti ya utafiti huo ilitolewa hivi karibuni, inabebwa na utambulisho usemao ‘ulaji wa chocolate huongeza utendaji kazi wa ubongo” na kwamba ”unaweza kusaidia mtu kutozeeka haraka licha ya umri kuzid kumtupa mkono’
Utafiti huo uliochapichwa mwezi huu katika jarida la Appetite, umebaini kuwa kumbukumbu na uwezo wa kufikiria ufumbuzi wa mambo magumu kuwa katika kiwango cha juu kwa watu wanaokula chocolate kwa wingi. Matokeo hayo yameripotiwa kutoathiriwa na umri wa mlaji, uzito wa mwili wala aina nyingine za ulinganifu wa jumla wa kiafya .
Inaelezwa zidi kuwa utafiti huo unaonyesha kuwapo kwa uhusiano mkubwa kati ulaji wa kila mara wa chocolate na matokeo ya majaribio kuhusu uwezo wa uubongo katika kufikiri hata hivyo utafiti huo haujathibitishwa kwa asilimia 100 juu ya uhakika wa kisayansi juu ya kile kilichobainishwa.
Aidhja imeonekana watu wanotumia zaidi chocolate walikuwa na lishe bora zaidi na pia kunywa pombe kwa kiasi kidogo, na makundi yote yalitegemea uwezo wa kukumbuka mambo kupitia kiwango chao cha ulaji wa Chocolate.
Unaweza kupitia habari nyingine kubwa kwenye magazeti ya Tanzania hapa chini
#MWANANCHI Polisi jana walipambana na watu wanaosadikiwa ni majambazi kwenye nyumba iliyoko eneo la Vikindu Mkuranga pic.twitter.com/w2RXb0qNxJ
#MWANANCHI Ofisa usalama wa JNIA, Bernard Obeto kizimbani kwa mashtaka sita yakiwemo manne ya kughushi Nyaraka pic.twitter.com/oX1xt8LxAM
#MWANANCHI Serikali kuongeza mabasi mapya165 yaendayo haraka kwa wakazi wa Dar kwenye maeneo yasiyo na huduma hiyo pic.twitter.com/92V4WFwnQi
#MWANANCHI CHAUMA yaunga mkono Serikali kuhamia Dom wasema itaokoa bil 4 zilizokuwa zikipotea kutokana na msongamano pic.twitter.com/nZfCst62rg
#MWANANCHI Wanawake 24 hufa kila siku kwa uzazi, watoto wanaodaiwa kufa ni 144 na wanawake wanaopata matatizo ni 720 pic.twitter.com/Xx4NMSGlKK
#NIPASHE JPM amemtuma Waziri Mkuu, Majaliwa kumwakilisha mkutano wa sita wa maendeleo ya Afrika unaofanyika Nairobi pic.twitter.com/MTuSJKw4li
#NIPASHE PPF kanda ya ziwa yawaburuza waajiri 11 mahakamani kwa kushindwa kuwasilisha michango ya wanachama pic.twitter.com/orRTJdI6ic
#NIPASHE Ajali za pikipiki Mkuranga zimesababisha hospitali ya wilaya kutumia kiasi kikubwa cha damu na kuishiwa pic.twitter.com/JJWVzuBadh
#NIPASHE Mgogoro wa wakulima na wafugaji Kongwa Dom, watoto wa wafugaji wadaiwa kupewa pipi za sumu wanapoenda shule pic.twitter.com/c9KvCxAK0b
#JamboLEO Muuaji polisi ni komando, aua tena mkuu kikosi cha kupambana na ujambazi, wanawake wawili, mtoto wakamatwa pic.twitter.com/WzWUzLWRN3
#JamboLEO Kilichotokea Vikindu kilikuwa sawa na vita iliyodumu kuanzia saa nane usiku hadi saa 12 asubuhi. pic.twitter.com/JZtCJf9vTu
#JamboLEO Mkazi wa Dar, Mohamed Mohamed kizimbani akidaiwa kumiliki mihuri 54 ikiwamo ya sekta mbalimbali nyeti pic.twitter.com/nYNBi34K9v
#JamboLEO CCM yamtaka Lowassa kutoa ushahidi wa nakala za kura alizoibiwa na chama hicho. pic.twitter.com/JLsF4Peci0
#MTANZANIA Wizara ya ardhi imeanza kuhakiki hati miliki za viwanja kupitia mfumo unganishi wa taarifa za ardhi pic.twitter.com/uyUcbotN1A
#HabariLEO Baraza la vyama limeitaka CHADEMA kuwa na utulivu na kupeleka dukuduku zake zote September 3 na 4 pic.twitter.com/MpC6BZla0h
ULIKOSA UCHAMBUZI WA MAGAZETI KUTOKA AYO TV AUGUST 27 2016? UNAWEZA KUANGALIA VIDEO HII HAPA CHINI
← Previous Story Habari kubwa kutoka kwenye magazeti ya Tanzania August 26 2016
Next Story → Top ten ya habari kubwa kutoka kwenye magazeti ya Tanzania August 28 2016
| 2017-12-18T16:43:47 |
http://millardayo.com/choco53/
|
[
-1
] |
AFISA TARAFA AMKOMALIA DIWANI WA CUF MIKOPO YA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU | MALUNDE 1 BLOG
Home » habari , siasa » AFISA TARAFA AMKOMALIA DIWANI WA CUF MIKOPO YA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU
AFISA TARAFA AMKOMALIA DIWANI WA CUF MIKOPO YA VIJANA,WANAWAKE NA WALEMAVU
| 2020-05-31T20:32:53 |
https://www.malunde.com/2019/06/gavana-shilatu-ashangazwa-na-diwani.html
|
[
-1
] |
Bachelors Club: Tuzungumze | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Discussion in 'Mahusiano, mapenzi, urafiki' started by platozoom, Jul 29, 2012.
Nimeandika haya kufuatia mazungumzo na baadhi yao kama mimi ambao wameshakata tamaa kuoa kutokana na changamoto kadhaa za wazi wanazoziona kutoka kwa waliooa.
Najua kwamba kila jumamosi ama jumapili au Ijumaa kuna ndoa zinafungwa lakini nafahamu pia kuna Jumatatu, Jumanne, Jumatano, Alhamisi, Ijumaa na Jumamosi wanandoa wengi wanalia juu ya mahusiano mabaya ndani ya ndoa zao na mengine yanavunjika kabisa. Hili si tu linakatisha tama mabachala kama sisi lakini pia linatengeneza sintofahamu kubwa kuhusu hii taasisi muhimu katika maisha.
Mtambuzi kapost mada nzuri kuhusu ishu inayofanana na hii fuata hii link [FONT="]https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/299720-mwanamke-je-unatafuta-mchumba-fuata-kanuni-hii-hakika-utapata-mchumba-mwenye-tabia-uzitakazo%85%85.html[/FONT]
[FONT=&]Bila kukwaruzana kwenye ndoa zetu inaweza ikawa vigumu sana kwetu kubandua tabaka la uongo lililotufunika ambalo humfanya kila mmoja kati yetu kushindwa kuona na kumfahamu mwenzake katika tabia yake halisi. Bila kukwaruzana, kila mmoja wetu atajidanganya kwamba anamfahamu mwenzake kama alivyo wakati siyo kweli.
Tunapokwaruzana tunapata nafasi ya kufahamiana vizuri katika hali halisi.[/FONT][FONT=&]Inabidi tujue kwamba hakuna binadamu aliyekamili, yaani asiyekosea, kama ilivyo dunia yenyewe. Kwa hali hiyo hakuna ndoa ambayo haina makosa, kwa sababu ndoa ni binadamu hao ambao siyo kamili. Kwa hiyo, mtu anapotarajia kuwa au kuishi kwenye ndoa isiyo na kukwaruzana, ni sawa na mtu huyo kutarajia kukutana na binadamu ambaye ni kamili, yaani asiyekosea.[/FONT][FONT=&]Kutarajia kuwa na ndoa ambayo haina kukwaruzana kunaelezwa kuwa ni chanzo kizuri sana kwa ndoa nyingi kulegelege au kuanguka kabisa.
Mtu anapoingia kwenye ndoa akitarajia kwamba huko hatapambana na maudhi au kero za aina fulani, ni lazima ajue kwamba, hatadumu kwenye ndoa yake kwa sababu ndoa hiyo anayoitarajia haipo. [/FONT][FONT=&]Mtu ambaye hakubali au angalau hataki kuelewa kwamba, ndoa ni lazima iwe na mikwaruzo anaweza kukabiliwa na tatizo lingine baya zaidi kwenye ndoa yake. Kwa kutokujua au kuepuka kukwaruzana, hawezi kuwa tayari kukubali kujadili migogoro ya kindoa ili kupata ufumbuzi.
Hawezi kulikubali hilo kwa sababu haamini kwamba ndoa yenye kukwaruzana ni ndoa.[/FONT][FONT=&]Wakati mwingine rafiki, ndugu au jamaa zetu hutusimulia jinsi ndoa zao zisivyo na kukwaruzana kama kwamba ni za malaika watupu. Bila kujua, huwa tunajikuta tumewaamini. Tunapowaamini huwa tunachukulia kukwaruzana kuliko kwenye ndoa zetu kama jambo au kitu ambacho hakikutakiwa kuwepo.
Hapo hujikuta tukitamani kuondoka kwenye ndoa hizo kwa matarajio kwamba tunaweza kukutana na "malaika" ambao tutajenga nao ndoa zisizo na doa.[/FONT][FONT=&]Hata pale ambapo tunasema wanandoa wanapendana sana, bado ndoa yao ni lazima itakuwa na kukwaruzana.
Lakini wanachofanya hawa na ambacho huenda wengine hawafanyi ni kujadili tofauti hizo sawia na kuamua kuzisahau na hapo wote kukubali kujifunza kutokana na tofauti hizo.[/FONT]Wale walio tayari kujadili tofauti zao sawia ndiyo ambao ndoa zao huwa na afya sana hadi wengine kushangaa kama siyo pamoja na kuona wivu.
Wale wanaodhani ndoa ni mahali pa kila jambo kwenda kama mtu atakavyo, ndoa zao hupogoka vibaya na kufa kwa kishindo........
Hapo hujikuta tukitamani kuondoka kwenye ndoa hizo kwa matarajio kwamba tunaweza kukutana na malaika ambao tutajenga nao ndoa zisizo na doa.[/FONT][FONT=&]Hata pale ambapo tunasema wanandoa wanapendana sana, bado ndoa yao ni lazima itakuwa na kukwaruzana.
ni suala la upatikanaji na matumizi ya pesa ndani ya nyumba:
nani anatafuta, anatafuta kwa njia gani? nani anatumia,
anatumia kwa kupata vitu gani? nani anaset priorities?
Kuna mengine pia, ngoja niwapishe wana ndoa wataje,
mi nimeleta hili ambalo limesha fanyiwa utafiti (source)
Ngoja ni kwambie platozoom, mimi huwa nina kanuni yangu ya 50% and that is our motto in ma house hata mgeni akija unaweza ukakutana na hili neno "nusu nusu" utashangaa sana ila liko established kwamba katika chochote kile ili upate furaha nacho lazima ucontribute by 50% na pia katika kosa lolote lazima wewe umecontrribute by 50% so to me before hujanza kumlaumu na kutupia lawama mwenzi just look at yourself and assess your nusu umeitimiza kweli?
kumbuka hata leo nikikukaribisha nyumbani kwangu ili ufurahie ugeni wako kwangu u have to play your 50% honestly and be reassured kwamba you will enjoy. sasa hapo na mimi nikiplay zile nusu yangu lazima utapata furaha tu na hutoboreka . sasa huo ni mdfano tu wa maisha ya kawaida waweza pia kuurelate kwenye maisha ya ndoa.
| 2018-01-23T18:16:46 |
https://www.jamiiforums.com/threads/bachelors-club-tuzungumze.299499/
|
[
-1
] |
Watu zaidi ya 400 wanasubiri kunyongwa Tanzania,LHRC waendelea kupinga adhabu ya kifo,Hii hapa Kauli yao leo - HABARI24
Home / Uncategories / Watu zaidi ya 400 wanasubiri kunyongwa Tanzania,LHRC waendelea kupinga adhabu ya kifo,Hii hapa Kauli yao leo
Watu zaidi ya 400 wanasubiri kunyongwa Tanzania,LHRC waendelea kupinga adhabu ya kifo,Hii hapa Kauli yao leo
Wakati leo ulimwengu mzima ukiadhimisha siku ya kupinga Adhabu ya kifo kituo cha sheria na haki za Binadamu nchini Tanzania LHRC wameendelea kusisitiza kuwa ni wakati sasa wa serikali kufuta adhabu hiyo ambayo ipo na kutafuta adhabu mbadala kwenye makosa ya jinai na kwa wafungwa waliopo,vikiwemo vifungo vya muda mrefu.
Akizungumza na wanahabari leo makao makuu ya shirika hilo Kijitonyama Jijini Dar es salaam Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC Bi Hellen Kijo Bisimba amesema kuwa adhabu ya kifo ni adhabu ambayo inakwenda kinyume na haki za Binadamu,ambapo amesema kuwa adhabu hiyo imekua ikiathiri kwa kiwango kikubwa haki ya msingi ya kuishi kwa kuwa ni adhabu inayodhalilisha utu wa Binadamu.
Ameongeza kuwa Tanzania imeridhia mikataba mbalimbali ya kikanda na kimataifa ambayo inaweka wajibu wa kulinda haki hiyo pamoja na kuipa ulinzi ndani ya sheria za nchi ambapo ametaja mikataba hiyo kuwa ni pamoja na Tamko la kimataifa la haki za Binadamu la mwaka 1948 ibara ya 3,Mkataba wa haki za kiraia na kisiasa wa mwaka 1966 (ICCPR) ambao katika ibara ya 6 umeeleza bayana kwamba “Kila mtu anayo haki ya asili ya kuishi haki hii italindwa chini ya sheria na mtu yeyote hatakuwa na mamlaka kuondoa uhai wa mtu kiholela” huku pia mkataba wa Africa wa haki za binadamu na haki za watu wa mwaka 1981 nao katika ibara ya 4 imeanisha “kila binadamu anastahili heshima ya utu wake na haki hiyo haipaswi kuvunjwa”
Ameongeza kuwa kutokana na mkikataba hiyo ambayo Tanzania ni mmoja kati ya mataifa yanayofwata ni lazima tuondoe adhabu ya kifo nchini kwani inakwenda kinyume na mikataba hiyo ya kimataifa na kikanda.
Aidha ameongeza kuwa adhabu ya kifo nchini Tanzania haikuanzia nchini kwetu bali ni sheria ambayo ililetwa na wakoloni ambapo adhabu hiyo imeainishwa kwenye sheria ya kanuni ya adhabu sura ya 16 “Penal Code” ambayo nayo ililetwa na utawala wa kikoloni mwaka 1945 na kuendelea kuwa moja ya sheria zetu hata baada ya uhuru wa Tanzania licha ya marekebisho ya mwaka 2002.
Takwimu zinaonyesha kuwa hadi kufikia mwaka 2015 jumla ya watu 472 walikuwa wamehukumiwa kunyongwa ambao kati yapo 452 ni wanaume na 20 ni wanawake,na kati ya hao wanaosubiri kunyongwa ni 228 na wengine 244 wanasubiri maamuzi ya Rufaa zao.ambapo licha ya adhabu kutokutekelezwa nchini kwa Takribani miaka 22 na miaka 24 ya kwanza ya uhuru Taarifa zinaonyesha kuwa ni watu 72 ambao walishawahi kunyongwa kutokana na adhabu hiyo..
Akitaja sababu ambazo zinawafanya wanaharakati hao kupinga adhabu hiyo ya kifo Bi Hellen Kijo Bisimba pamoja na sababu nyingi ambazo wamezitaja amesema kuwa adhabu ya kifo ni adhabu ya kinyama,na isiyo na staha,ni adhabu ya kibaguzi maana wanaopatikana na hatia na kupewa adhabu hii mara nyingi huwa ni maskini wasioweza kuwa na mawakili,lakini pia hakuna ushahidi wa moja kwa moja ambao unaonyesha kuwa adhabu hii inazuia watu wengine kutokutenda makosa kama hayo.
Wakati tukiadhimishwa adhabu hii ya kifo nchini Tanzania Taarifa zinaeleza kuwa duniani kote adhabu hii imeshafutwa katika mataifa yapatayo 140 na kwa mujibu wa shirika la kimataifa la Amnesty kati ya nchi hizo 140 nchi 17 ni nchi za Africa zikiwemo Rwanda,Burundi,Msumbiji,Visiwa vya shelisheli,na Madagascar,Namibia,na Africa kusini pamoja na nchi nyingine,jambo ambalo LHRC wanaeleza sasa ni wakati wa Tanzania kuiga mfano huo na kufuta sheria hiyo Kandamizi na kutafuta mbadala wa adhabu nyingine kali kwa watuhumiwa wa makosa makubwa.
Watu zaidi ya 400 wanasubiri kunyongwa Tanzania,LHRC waendelea kupinga adhabu ya kifo,Hii hapa Kauli yao leo Reviewed by HABARI24 TV on 8:25:00 AM Rating: 5
| 2017-10-21T10:16:00 |
http://habari24.blogspot.com/2016/10/watu-zaidi-ya-250-wanasubiri-kunyongwa.html
|
[
-1
] |
THE SUPERSTARS TZ: RAY AITUHUMU SEREKALI AWAOMBA MASHABIKI WASILALAMIKE KUHUSU FILAMU ZA MAPENZI..ASEMA NYUMA YA PAZIA KUNA MAMBO
RAY AITUHUMU SEREKALI AWAOMBA MASHABIKI WASILALAMIKE KUHUSU FILAMU ZA MAPENZI..ASEMA NYUMA YA PAZIA KUNA MAMBO
Ray akiwa kazini
Muigizaji nyota na mwenye mafanikio ndani ya bongo amefunguka na kuitupia serekali lawama kwa kushindwa kusimama kwa ajili ya maslai ya msanii na kumuacha akionewa na kukosa uhuru wa sanaa yake ambayo ni kioo na ni darasa kwa wengine.
Gresi mapunnda sister mkuu akitowa maelezo kwa watawa
Ray ameandika katika moja ya status zake jambo lililofanya wengi kutafsiri status hiyo na sakata linaloendelea kati yake na wakristo walionyesha kutopendezwa na filamu ya ray ijulikanayo kama sister mery,ambayo imechezwa katika mazingira ya dini ya kikristo ambapo ray amecheza kama faza na uwoya na johari na wengine wamecheza kama masister.
Filamu hiyo ambayo imeshakamilikia kila kitu ilitegemew kutoka mwezi wa kumi na mbili mwaka jana ila kutoka na matatizo ya hapa na pale filamu hiyo ilizuiliwa na kufikia hatua ya sakata hilo kufika bodi ya filamu na pale basata baada ya ray kwenda kuwastakia ila chaa jabu wanaonekana kama wameshindwa kupambambana ili filamu hiyo iweze kuingia sokoni.
Mzee masinde ndiye alicheza kama baba askofu
johari akiwajibika
Kumbukumbu zinaonyesha kuwa hii ni filamu ya pili kwa ray kuingia katika mizozo baada ya ile iliyohusisha dini ya kiislamu iliyokwenda kw jina la Divoce ambayo waislamu nao walitowa malalamiko wakidaia haikuwa sahihi kwa ray kutengeneza filamu ile japo kwa baadae walimtaka ray aipeleke kwa mashekhe wakaitazame kama haitakuwa inaupotosha uislamu na baada ya kujiridhisha kuwa hakuna jambo baya walimruhusu kuitowa kwa baraka zote.
Akizungumza na sisi mtu wa karibu na ray ametuambia kuwa ni kweli filamu hiyo ina migogoro iliyosababisha ray kukutana na katibu wa kadinal pengo na kufikia hatua ya kutokuelewana kitu kilichofanya ray aandike barua katika ngazi husika akipinga kuzuiliwa kwa filamu yake hiyo.
Katika ukurasa wake ray ameandika ujumbe huu ulionyesha dhahiri anaumia kwa kitendo kile
Ray Kigosi Wadau m2ache 2endelee kucheza movie za nmapenzi coz Tanzania amna uhuru wa uigizaji so msilalamike nyuma ya pazia ni hatari sana
Like · · Share · @RayTheGreatest1 on Twitt · 38 minutes ago via Twitter · Watafiti wa maswala ya sanaa waliongea na sisi na kusema si sawa huku wengine wakieleza kuwa kwa kawaida nchi zote jambo la kuziya filamu ni jambo la bodi na siyo mtu mmoja au kikundi flani maan ikiwa hivyo basi hata hizi story zinazochezwa kuhusu wachawi wanafunzi kutowa mimba ukimwi na watoto wa mitaani,majambazi na mambo kadha wa kadha basi ingebidi tuwapelekee waone ili waruhusu hii sio sawa.
Ray akitowa maelekezo kwa wasanii
Vijana wakiwajibika
mark mwanasanaa anayeishi na kufanya sanaa yake marekan amesema yeye anachojua kama bodi haitaki hiyo filamu huwa wanapiga gharama wanakurudishia pesa zako kisha unaambiwa uifute ile filamu sasa nitashaangaa sana kama munamuambia ray asitoe filamu ambayo katumia mamilioni ya shilingi alafu mumuambie hamuitaki yeye pesa yake anaipataje.
Katika hili ray aliwahi kukaririwa na vyombo vya habari kwakuilalamikia serekali kwa kutokujali msanii anapopata matatizo ray ameeleza kusikitishwa kwake kwa kile alichokiita kutokujitambua kwakuwa msanii anapopatwa na tatizo kama hilo mara nyingi bodi husika ndio inapambana kwa hilo sasa leo eti mimi ndio na hangaika wakati tuna kosota tuna bodi ya filamu.
Tulipata nafasi ya kumpigia mwakifwamba ambaye ni raisi wa shirikisho la filamu nchini tanzania na kukiri kulipata hilo mezani kwake na analishughulikia kuhakikisha msanii wake hapotezi haki zake Tulipomuhoji johari kuhusu nguo zilizotumika katia filamu hiyo alisema kila kitu unachokiona ni cha kampuni tuligharamia kila kitu sasa nitashangaa sana kama watasema tumetumia nguo zao sisi kila kitu nichetu alisema johari kwa msisitizo
SITER MARY YA MZULIA RAY BALAA.....SOMA KILICHOMKU...
HAWA NDIO WASANII WALIOKIMBIZA SOKONI 2012 KANUMBA...
RAY AITUHUMU SEREKALI AWAOMBA MASHABIKI WASILALAMI...
HUYU NDIYO YULE MBUNGE SHAROBARO NA MWENYE VITUKO ...
PICHA 5 ZA RAIS KIKWETE AKIWA MAKAO MAKUU YA ...
SIKUKUU YAZIDI KUMSOTESHA LULU MICHAEL GEREZANI ...
| 2016-12-10T16:32:05 |
http://thesuperstarstz.blogspot.com/2013/01/ray-aituhumu-serekali-awaomba-mashabiki.html
|
[
-1
] |
Ilitumwa mnamo 21 Januari, 2016 - Iliwekwa upya mnamo 29 Agosti, 2017
159Imependwa 125 Maoni
Ametuma 21 Januari, 2016
na Nate Vickery - 18 Aprili, 2018
na L. Freire - 29 Novemba, 2017
na TomCoulter - 25 Novemba, 2017
na janewilliams2657 - 22 Novemba, 2018
na Arlene C. - 20 Oktoba, 2017
ya Angela Gaddi - 20 Januari, 2016
| 2019-01-18T09:12:39 |
https://www.freelancer.co.ke/community/articles/free-design-resources
|
[
-1
] |
Chris Brown kaja na mzigo mwingine, dakika zako tatu kuupitia hapa.. -‘Back to Sleep’ (+Video) – Millardayo.com
Chris Brown kaja na mzigo mwingine, dakika zako tatu kuupitia hapa.. -‘Back to Sleep’ (+Video)
Zikiwa zimebaki siku chache kufikia uzinduzi wa album yake mpya, Royalty staa wa muziki wa R&B, Chris Brown amerudi kwa mara nyingine wiki hii na ujio wa mzigo wa latest single yake ‘Back to sleep’.
Official countdown kuelekea uzinduzi wa album ya saba ya Chris imeanza rasmi huku tukihesabu siku 4 kufikia tarehe 18 December 2015, tarehe ambayo album hiyo itakuwa mtaani kwa watu wote wenye support na love ya nguvu kwa Chris Brown na muziki wake… Album mpya ya Chris inabeba singles kama Liquor, Zero, Fine By Me, Wrist na Anyway.
Ninazo hapa chini dakika tatu za mdundo wa Chris Brown, kuzinasa bonyeza play hapa chini kwenye hii video yenyewe.
← Previous Story Godzilla anayo furaha kukualika kusikiliza hii single yake mpya…-‘I get high’ (+Audio)
Next Story → Kutana na Dj Mdogo mwenye umri wa miaka mitatu Afrika Kusini…(+Video)
| 2020-04-02T00:39:15 |
https://millardayo.com/chrisbrown1512/
|
[
-1
] |
KINGOTANZANIA:: HABARI, PICHA NA MATANGAZO: AJALI; WATU KUMI WAMEFARIKI DUNIA NA MAJERUHI SABA KATIKA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA ENEO LA MBALIZI.
AJALI; WATU KUMI WAMEFARIKI DUNIA NA MAJERUHI SABA KATIKA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA ENEO LA MBALIZI.
Hivi ndivyo ambavyo Daladala hiyo ilivyojibamiza muda mchache uliopita Eneo hili la ubavuni ndipo eneo ambalo Daladala hiyo iliingia na Kujigonga Gari hilo aina ya Tata likiwa limepaki pembeni Muda mchache baada ya kupata ajali hiyo
Eneo ambalo Daladala hiyo iliyofumuka Viti vikiwa vimeharibika baada ya ajali kutokea Hivi ndivyo Daladala hiyo iliyokuwa ikitoka Mwanjelwa kuja Mbalizi ilivyo Haribika Baada ya ajali hiyo
Mashuhuda wakiwa wamelizunguka daladala hiyo kushuhudia kllichotokea Hapa ndipo eneo ambapo ajali imetokea , Askari wa usalama wa barabarani wakiendelea kufuatilia ajali hiyo
Ilikuwa ni Ajali mbaya Mashuhuda Baadhi ya Majeruhi wakiwa wanatolewa katika Hospitali ya Ifisi kuelekea Hospitali ya Rufaa Mbeya ……………………………………………………………..
kumi wakiwemo watoto wawili wamefariki dunia papo hapo na wengine saba wamejeruhiwa vibaya katika ajali iliyohusisha magari mawili.
hiyo ilitokea jana majira ya saa nne asubuhi ikihusisha gari ndogo ya abiria maarufu daladala lenye namba za usajili T 237 BFB aina Toyota Hiace na gari kubwa aina ya Fuso lenye namba za usajili T 158 CSV.
mujibu wa mashuhuda wa ajali hiyo wamesema ajali hiyo ilitokea maeneo ya Mbalizi baada ya Hiace iliyokuwa ikitokea Mbeya mjini kuelekea Mbalizi kulivaa Fuso ilikuwa ikiingia barabarani.
inasemekana dereva wa Hiace gari yake ilimshinda kutokana na kutelemka mlima mkali wa Mbalizi inagawa pia walimtupia lawama dereva wa Fuso ambaye alikuwa akiingia barabarani bila kuchukua tahadhari.
Mkuu wa Hospitali teule ya Ifisi Mbalizi, Sikitu Mbilinyi, ambako Majeruhi na marehemu walikimbizwa hapo alithibitisha kupokea majeruhi 7 ambapo alisema kati yao ni wanawake 3 na wanaume 4.
kati ya majeruhi hao wawili wamepewa rufaa kwenda hospitali ya Rufaa Mbeya kutokana na kuhitaji msaada zaidi huklu wengine wakiendelea kupatiwa msaada wa haraka ili kunusuru hali zao.
hivyo majina ya majeruhi na marehemu hayajaweza kupatikana mara moja kutokana na kuwa katika hali mbaya ambapo Dereva wa Fuso akitokomea mara
baada ya tukio.
PICHA NA JEM Posted by
| 2017-07-25T20:37:56 |
http://kingotanzania.blogspot.com/2014/08/ajali-watu-kumi-wamefariki-dunia-na.html
|
[
-1
] |
Ndiyo, ekaristi ni kafara ambayo Yesu alimtolea Baba msalabani na anaendelea kumtolea kwa wokovu wetu.. soma zaidi 👉katekisimu
La! Hakuna mahali pa lazima pa kumuadhimishia Mungu, kwa kuwa yeye hafungwi na mahali… soma zaidi
Hapana, ibada zetu zisiishie katika kusadiki, kwa kuwa tangu Agano la Kale Mungu aliagiza matendo mbalimbali ya ibada yanayolisha imani… soma zaidi
2. Dhambi nyepesi (Dhambi ndogo).. soma zaidi
| 2019-07-18T00:39:01 |
http://www.ackyshine.com/katoliki-f:blog/tag/wako
|
[
-1
] |
ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI MWAKA WA MASOMO 2012/2013 (86606)ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA STASHAHADA MWAKA WA MASOMO 2012/2013 (83609)Wanafunzi waliochaguliwa kuingia kidato cha tano na Chuo cha Usimamizi wa Maji 2012- Wavulana (81363)Wanafunzi waliochaguliwa kuingia kidato cha tano na Chuo cha Usimamizi wa Maji 2012- Wasichana (65204)AJIRA MPYA YA WALIMU WA SHAHADA WA SHULE ZA SEKONDARI MWAKA 2012/13 (43365) Selections
Home Documents More Documents>> Jobs and Tender
| 2013-05-22T12:41:33 |
http://www.moe.go.tz/index.php?option=com_docman&task=cat_view&gid=416&Itemid=622
|
[
-1
] |
Afya za wana Appolo zinaendeleaje ? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Afya za wana Appolo zinaendeleaje ?
Discussion in 'Habari na Hoja mchanganyiko' started by Ng'wanang'walu, Oct 16, 2011.
Ng'wanang'walu
Habari wana JF, ni matumaini yangu makubwa muwenye afya njema , poleni kwa wale afya si njema sana Mungu awabariki napate kurudia afya zenu ilituweze kulisukuma mbele gurudumu la maendeleo la nchi yetu.
siku chache zilizo pita tukio la kuugua huyunaibu wazili wa ujenzi na kupelekwa huko India kwa uchunguzi na matibabu zaidi, lakini mpaka sasa hivi mpaka sasa kama kuna anaye jua hali ya kiongozi wetu kuwa anaendeleaje? Tukio hili kwanza binafisi limekuwa ni Gumuzo kilapande ya nchi hii ni nanma gani watanzania walivyo guswa na hili jambo, ninachokiona hapa iwapo kama kweli itathibitika yakuwa kweli alilishwa sumu, nchi na genge hilo ndani ya chama itakuwa katika wakati ngumu sana, kwamba sasa chama hiki cha ccm ndo mwisho wake, kinasambaratika kama ukomuniisti huko ulaya ya mashariki ulivyo sambaratika ndani ya mikono ya Michael Grobacho akiwa moja ya viongozi waliokuwa wamepandikizwa na maadui zao wa magharibi, nachelea kuuliza hawa jamaa nao nani kawatuma? Na kwa misingi ipi na kwafaida ya nani? Tukio la kuugua Mwandosya hadi kupelekwa India halikusikika zaidi kama la Mwakwembe, na iliripotiwa kuwa ana ugonjwa kama wa hayati JK. Nyerere, watu tukakosa imani ya afya ya huyu mzee, na pengine kwenda mbali labda ndo magonjwa ya viongozi wetu, viongozi hapa nchini wenye mapenzi ya nchi ndo wanao onekana yakuwa wanapigwa vita kali na kundi la waporaji wa rasilimali za nchi hii wengine waliwahi hata kuzuiwa kugombea nafasi ya Urasi wa nchi hii na Muasisi wa nchi hii.
Na sasa ndo tunawaona ndo vinara wa mbinu chafu za kuondoa roho za wapigania haki katika taifa hili changa, nafika mbali zaidi katika kuwaza yakuwa kama walizuiwa kuwa hawafai kushika madaraka kama hayo na wakaona huyo ndo kikwazo kwao inawezekana mbinu hizo hizo wanazo zitumia kwa sasa kutaka kuwa toa roho wanao onekana ni kwazo kwao pia waliwahi tumia mbinu hizo hizo nawakafanikiwa kuingia madrakani kwa ulaini naakuanza kula mema ya nchi, nasasa wamejitokeza tena wanaowapinga hivyo wanaendeleza kamchezo kao hako kakinyama bila kujari mstakabali wa maendeleo ya Tanzania kwa ujumla.
Hivyo basi naomba waumini wa dini zote kuiombea nchi hii watu hawa wenyeroho mbaya na nchi hii wasipate nafasi ya kushika madaraka tena na wananchi waamuke nakutowapigia kura tena.
Kaka hii hali ya sasa ya nchi hii inatisha sana,ni mkono wa Mungu tu ndio unaotupigania.Naamini wana Appolo Mungu atawaponya tu,kwani mwenye haki ataishi kwa haki yake na dhalimu ataishi kwa udhalimu wake.Tupo pamoja katika maombi kwa ajili ya wanaappolo.
| 2016-10-28T20:10:50 |
http://www.jamiiforums.com/threads/afya-za-wana-appolo-zinaendeleaje.182860/
|
[
-1
] |
Manchester United yapata pigo tena - SOKA STADIUM
Manchester United yapata pigo tena
Home » Unlabelled » Manchester United yapata pigo tena
Klabu ya soka ya Manchester United imepata pigo baada ya kiungo wake wa kutegemewa Muingereza Michael Carrick kupata majeraha ya misuli na atakuwa nje kwa muda wa wiki nne,hayo yamesemwa na kocha wa timu hiyo Louis Van Gaal katika mkutano na waandishi wa habari hii leo.
Carrick amekuwa mchezaji muhimu katika kikosi cha United tangu aliporejea akitokea majeruhi mwezi November na kuisaidia timu yake kushinda michezo sita mfululizo baada ya kuanza vibaya msimu huu.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 33 atakosa mchezo wa kesho dhidi ya Leicester City na michezo mingine sita ya ligi kuu nchini Uingereza katika mwezi February.
Carrick ambaye muda mwingine alikuwa anatumika kama beki wa kati kutokana na matatizo ya majeruhi ya timu hiyo, kuumia kwake ni pigo katika timu hiyo lakini kocha wa timu hiyo Van Gaal amesema kuwa hato sajili mchezaji mwingine katika kipindi hiki cha uhamisho wa wachezaji.
Van Gaal amesema kuwa klabu yake kwa sasa haina mpango wa kununua mchezaji yeyote bali timu hiyo kwa sasa ipo katika mchakato wa kuuza wachezaji amabo wamekuwa hawana nafasi katika kikosi hicho.
Manchester United kesho itashuka dimbani kupambana na Leicester City huku wakiwa na kumbumbuku ya kufungwa goli 5-3 na timu hiyo mwezi September mwaka jana katika mechi ya ligi kuu nchini humo.
| 2018-09-24T17:59:51 |
http://sokastadium.blogspot.com/2015/01/manchester-united-yapata-pigo-tena.html
|
[
-1
] |
Ujambazi wa silaha Dar, Mkuu wa shule avuliwa madaraka, mwanafunzi aozeshwa..#Magazetini – Millardayo.com
Ujambazi wa silaha Dar, Mkuu wa shule avuliwa madaraka, mwanafunzi aozeshwa..#Magazetini
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimelaani ujumbe wenye maudhui ya ubaguzi ulioandikwa kwenye bango lililobebwa na mmoja wa wananchi waliojitokeza katika maadhimisho ya sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Taarifa iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari na Mkuu wa Mawasiliano na Umma wa CCM, Daniel Chongolo, ilieleza kwamba chama hicho kimesikitishwa na ujumbe huo na kuwaomba radhi Watanzania.
“Tumesikitishwa sana na ujumbe huo uliokuwa katika bango hilo, CCM kinaomba radhi kwa ujumbe huo, kinapinga na kinakemea kabisa fikra, hisia na mitazamo yoyote yenye maudhui ya kibaguzi.
“Ujumbe huo si tu kuwa una maudhui ya kibaguzi, bali pia unaenda kinyume kabisa na falsafa na shabaha ya waasisi wa Mapinduzi hayo matukufu ya mwaka 1964 na unapingana na misingi na itikadi ya CCM inayohimiza umoja na mshikamano wa kitaifa,” alisema Chongolo katika taarifa yake.
Hatua hiyo ya CCM imekuja baada ya wananchi mbalimbali kupitia mitandao ya kijamii kulaani bango hilo ambalo walionya kuwa halina nia njema na mshikamano wa Taifa.
Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, alisema siasa za namna hiyo hazifai na zinapaswa kulaaniwa na kila mpinga ubaguzi nchini.
“Nitashangaa sana kama wakubwa CCM hamtaomba radhi kwa siasa hizi mbaya kabisa ‘What will be the stop’,” alisema Zitto ambaye pia ni mbunge wa Kigoma Mjini.
Kutokana na tafrani hiyo ya ubaguzi, nacho Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimelaani kile walichodai chembechembe za ubaguzi wa aina yoyote visiwani humo.
Taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Idara ya Mawasialino wa chama hicho, Tumaini Makene, ilieleza kwamba Chadema kwa kusimamia misingi ya utaifa hasa haki, uadilifu, utu, umoja na uzalendo haiko tayari kuona Taifa linafikishwa huko na hata kuhatarisha maisha ya jamii nzima ya Watanzania.
“Chadema tunalaani na kupinga kwa nguvu zote mipango, mikakati, tabia na chembechembe za ubaguzi wa aina yoyote, ukiwemo huu wa kisiasa ambao sasa unaanza kusakafiwa kwa ubaguzi wa rangi.
“Kwa sababu tunaamini wanaobeba ajenda hii hawataishia hapo bali watazidi kutugawa Watanzania pia kwa ukanda, ukabila, udini kama wamekuwa wakijaribu kuchochea,” alisema Makene.
Kutokana na kauli hiyo, alisema wanamkumbusha Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu, kuhakikisha anawachukulia hatua wale wanaoeneza chuki na hatari ya kuvurugika kwa amani kwa ujumbe wa kibaguzi.
Mwili wa marehemu Leticia Nyerere unatarajiwa kusafirishwa kutoka Marekani kuja nchini kesho kwa ajili ya mazishi yaliyopangwa kufanyika katika Kijiji cha Butiama mkoani Mara.
John Shibuda ambaye ni msemaji wa familia ya Musobi Mageni, alisema kuwa mwili wa marehemu Leticia utasafirishwa kutoka Marekani alipofariki dunia na baadaye utaagwa katika nyumba ya Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere, Msasani jijini Dar es Salaam siku ya Ijumaa.
“Mwili wa marehemu unatarajiwa kusafirishwa kuelekea Musoma siku ya Ijumaa kwa ajili ya mazishi na suala lililokuwa limechelewesha ni pamoja na kupatikana haraka cheti cha kifo nchini Marekani,” alisema Shibuda.
Naye Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa aliyekwenda kutoa salamu za pole nyumbani kwa Mwalimu Nyerere, Msasani, aliwaasa ndugu na jamaa wa marehemu kuendelea kumwombea marehemu huku akisisitiza kuwa Leticia alikuwa ni mchapakazi wakati alipokuwa ni mbunge.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kimepokea kwa masikitiko makubwa msiba wa Leticia aliyewahi kuwa mbunge wake katika Bunge lililopita.
Taarifa ya Chadema iliyosainiwa na ofisa habari wa chama hicho, Tumaini Makene ilisema: “Tunatoa pole kwa familia, ndugu jamaa na marafiki katika wakati huu mgumu wa kuondokewa na mpendwa wao.
“Mwenyezi Mungu awatie moyo wa ujasiri na subira katika wakati huu mgumu wa majonzi ya msiba huo.”
Taarifa hiyo ya Chadema ilisema kama chama watamkumbuka Leticia kwa mchango na ushiriki wake wakati wote alipokuwa mwanachama wao huku akiwa miongoni mwa watu waliopata fursa za kuwa wabunge kupitia chama hicho.
Leticia ambaye alikuwa mbunge wa viti maalumu katika Bunge la 10, alifariki dunia Januari 9 mwaka huu katika Hospitali ya Doctors Community iliyopo MaryLand nchini Marekani ambako alikuwa amelazwa tangu mwishoni mwa mwaka jana akitibiwa maradhi yaliyokuwa yakimsumbua.
Aliolewa na mtoto wa Baba wa Taifa, Madaraka Nyerere mwaka 1996 na kufanikiwa kupata watoto watatu ingawa baadaye walitengana na kuhamia nchini Marekani ambako alichukua uraia na kuishi kabla ya kurejea nchini ambapo mwaka 2010 aliteuliwa na Chadema kuwa mbunge wa viti maalum kwa miaka mitano.
Msemaji wa familia ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku alisema juzi kuwa mwili wa marehemu Leticia unatarajiwa kusafirishwa kutoka nchini Marekani kwa ajili ya maziko.
Hatimaye Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha, jana ameonekana hadharani katika maadhimisho ya sherehe za miaka 52 ya Mapinduzi zilizofanyika kwenye Uwanja wa Amaan mjini Unguja.
Jecha ambaye inaaminika alikuwa mafichoni tangu alipotangaza kufuta matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar Oktoba 28, mwaka jana, alionekana ameketi kwenye jukwaa kuu la viongozi, jirani na Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, Rais wa Jamhuri ya Muungano, Dk. John Magufuli na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein.
Kuonekana kwa Jecha hadharani kumezua mijadala mitaani na hata katika mitandao ya kijamii, huku wengi wakihoji alikuwa wapi mara baada ya kufuta matokeo ya uchaguzi.
Watu mbalimbali wamekuwa wakihoji kuonekana kwa Jecha hadharani jana, siku ambayo Dk. Shein alitumia maadhimisho ya Mapinduzi kutangaza kwamba uchaguzi wa marudio Zanzibar iwe isiwe utafanyika.
Oktoba 28, mwaka jana majira ya saa sita mchana kwenye Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar zilizopo Kilimani mjini Unguja, ilikuwa ndiyo siku ya mwisho kuonekana Jecha hadharani.
Siku hiyo huku akiwa chini ya ulinzi wa vijana wawili wanaoaminika kuwa ni makomandoo wa Jeshi la Ulinzi wa Tanzania (JWTZ) waliovaa kiraia, Jecha alitangaza kuufuta uchaguzi wa Zanzibar mbele ya vyombo vichache vya habari.
Alitumia dakika mbili tu kuvitangazia vyombo hivyo vya habari juu ya adhima yake ya kuufuta uchaguzi na kutoa sababu zilizomfanya kufanya hivyo ikiwamo kuharibiwa kwa uchaguzi kisiwani Pemba.
Hata hivyo, baada ya kumaliza kutoa taarifa yake kwa vyombo hivyo, Jecha hakutaka kuulizwa maswali.
Oktoba 27, mwaka jana ikiwa ni siku moja kabla ya kutangaza kufuta matokeo ya uchaguzi, Jecha pia hakuonekana kwenye kituo cha kutangaza matokeo kilichokuwa katika Hoteli ya Bwawani kwa kile kilichodaiwa alipata matatizo ya kiafya na hivyo kumwachia kazi hiyo Makamu Mwenyekiti wa ZEC, Jaji Abdulhakim Ameir Issa.
Siku hiyo majira ya saa kumi jioni, askari wa JWTZ walizingira kituo cha Bwawani na kuwaamuru watu waliokuwa ndani kutotoka nje na hata wale walioko nje ya kituo hicho kutosogea.
Watu waliokuwa ndani ya kituo hicho wengi wao walikuwa waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vya ndani na nje ya nchi pamoja na baadhi ya wawakilishi wa vyama vya siasa waliofika kusikiliza matokeo ya uchaguzi.
NI roho mkononi. Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kwa sasa juu ya hali ya usalama ilivyo katika Jiji la Dar es Salaam na maeneo kadhaa nchini pindi mtu anapokuwa amebeba kiwango kikubwa cha fedha.
Matukio ya ujambazi kwa kutumia silaha katika jiji hilo yamekuwa sugu na kusababisha wananchi wanaopeleka au kutoa fedha benki kuvamiwa, kujeruhiwa au kuuawa mchana kweupe na majambazi wanaotumia pikipiki aina ya Boxer.
Hali hiyo inawafanya watumiaji wa huduma za benki zilizo ndani ya jengo la Mlimani City maisha yao kuwa hatarini, hasa wale wateja wanaotoa fedha nyingi kutokana na kukumbwa na matukio ya kuuawa na kuporwa fedha.
Jengo hilo lenye matawi ya benki sita, limekuwa likikumbwa na matukio ya mauaji kwa wateja wanaotoa fedha nyingi na majambazi.
Matukio mengi ambayo yamekuwa yakitokea kwa wateja hao, majambazi wamekuwa wakitumia pikipiki aina ya Boxer ambayo ina uwezo mkubwa wa kukimbia.
Miongoni mwa matukio ya kusikitisha yakihusisha moja ya benki zilizopo Mlimani City ni lile lililotokea juzi ambapo mtu mmoja aliuawa na taarifa zake kuzagaa kwenye mitandao ya jamii.
Inaelezwa kuwa mtu huyo aliuawa na majambazi wakati akitoka kwenye moja ya benki ndani ya jingo hilo kuchukua kiasi cha Sh milioni 10 na kuanza safari ya kuelekea eneo la Tegeta Salasala ambako alikuwa akifanya shughuli za ujenzi wa nyumba yake.
Taarifa iliyosambaa mitandaoni inasema kwamba tukio hilo lilitokea jirani na mtoa taarifa hiyo aliyeamua kuwatahadharisha wananchi wengine kutochukua fedha nyingi katika benki zilizo eneo hilo.
Mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo alisema kwamba mtu huyo alipotoa fedha hizo, majambazi walianza kumfuata kwa nyuma, wakampita na kumzuia kwa mbele.
“Majambazi walipomzuia kwa mbele walimtaka atoe milioni 10 aliyochukua benki, baada ya kutoa hiyo fedha ndipo walimpiga risasi,” alisema mtoa taarifa huyo ambaye hakupenda kutajwa jina lake gazetini.
Taarifa zilizosambaa kwenye mitandao ya kijamii zinaeleza kwamba katika matukio hayo yanayotokea mfululizo, hivi karibuni maeneo ya Bamaga jirani na Hongera Bar, mtu mmoja na mkewe walivamiwa na majambazi walipokuwa wanatoka kuchukua fedha kiasi cha Sh milioni 13 katika benki mojawapo iliyopo Mlimani City.
Baada ya watu hao kuchukua fedha, majambazi yaliwafuata kuanzia hapo Mlimani City hadi Bamaga na kuwataka wawape fedha.
Inaelezwa kwamba jambo lililosaidia, mtu huyo alikuwa amezitenganisha fedha hizo na kuwapa laki 5, lakini walipatwa na hasira na kumhoji kuhusu fedha nyingine alikokuwa amezipeleka hali iliyofanya wampige risasi begani.
Hali hiyo ilimfanya mke wake awaongeze laki moja, na wakafanikiwa kubaki na kiasi kingine cha fedha walizokuwa wamezificha kwenye mlango wa nyuma.
Taarifa nyingine inaelezea kwamba mama mmoja aliyejulikana kwa jina la Mama Joshua alivamiwa na majambazi baada ya kuchukua fedha kiasi cha milioni 4 kwenye benki mojawapo ya Mlimani City.
Inaelezwa kwamba baada ya mama huyo kufika eneo la Kwa Kakobe, majambazi walimpita na kumsimamisha baada ya kujifanya kuwa wanamjua na aliposimama walimlazimisha kutoa kiasi hicho cha fedha alichokitoa benki na akawapa kunusuru maisha yake.
Kwa sasa benki zilizopo Mlimani City zinaonekana kuwa eneo hatari la kutolea fedha nyingi kutokana na taarifa kwamba upo uwezekano wa kuwapo kwa wafanyakazi wa baadhi ya benki hizo kushirikiana na majambazi.
Tukio jingine lilitokea mwaka jana na kushuhudiwa na gazeti hili, ambapo mtu mmoja alipigwa risasi mbili majira ya saa 6 mchana na kuporwa fedha akiwa katika gari maeneo ya Sinza Kijiweni karibu na Baa ya Deluxe.
Dereva aliyekuwa akiendesha gari hilo lililoshambuliwa namba T 236 DDT aliyefahamika kwa jina moja la Abasi, alisema fedha ambazo majambazi hao walichukua zilitolewa benki moja ya eneo la Mlimani City.
“Baada ya kuingia na kuegesha gari hapa jirani na hopitali hii ya watoto, alikuja mtu mmoja aliyekuwa amevaa koti jeusi akiwa ameshuka kwenye pikipiki aina ya Boxer na alipofika alisogelea gari letu na kufunua koti lake alilokuwa amebeba bunduki ya SMG,” alisema.
Alisema mtu huyo alimwelekezea silaha mtu aliyekuwa nyuma ya gari na kumwamuru kutoa fedha, lakini akaambiwa hakukuwa na fedha ndani ya gari.
“Baada ya kuona anabisha alimpiga risasi ya kwanza, akageuza SMG kwangu nikakimbia, akafyatua lakini hakunipata ndipo nikasikia risasi nyingine ikipigwa.
“Baada ya muda kulikuwa kimya na niliporudi tena nikakuta majambazi wakiwa wameshaondoka na mkoba wa fedha ‘briefcase’ na kutokomea nao hali iliyofanya wananchi kusogea na kumsaaidia mzee ambaye alikuwa amejeruhiwa vibaya kwa risasi,” alisema Abasi.
MTANZANIA ilipomuuliza dereva huyo kiasi cha fedha kilichoibiwa alisema majambazi hao waliondoka na kiasi kidogo cha fedha na si zote Sh milioni 10.
Tukio jingine lililotokea mwaka jana lilihusisha majambazi kumpora mama mmoja kiasi cha shilingi milioni 10 na kutokomea kusikojulikana.
“Alipotoka benki, majambazi hayo yalimfuata na kuligonga gari lake na ndipo dada huyo aliposimama ili aangalie nani kagonga gari yake ambapo jambazi mmoja alishuka na kumpiga risasi ya kifuani na kutokomea na kiasi hicho cha pesa,” alisema shuhuda wa tukio hilo.
Tukio jingine lilitokea eneo hilo Agosti 22, mwaka juzi likimuhusu Edson Cheyo mmiliki wa Kampuni ya Sowers African iliyopo jirani na Mlimani City aliyeporwa Sh milioni 18.
Cheyo alipigwa risasi ya kifuani na begani na majambazi waliomvamia wakiwa wamepanda pikipiki na walichukua fedha zote na mwenyewe kufariki dunia akiwa anapelekwa hospitali ya Mwananyamala.
Tukio jingine la mauaji ni lile la Sista Brigita Mbanga, mkazi wa Makoka pamoja na dereva Mack Patrick ambao waliuawa eneo la Ubungo Kibangu wakati wakitoka kuchukua fedha Mlimani City.
Wananchi wamekuwa wakihoji ni kwa jinsi gani majambazi hao hupata taarifa za mtu aliyekwenda benki ama kuweka au kuchukua fedha.
Hata hivyo, imekuwa ikidaiwa kuwa baadhi ya benki nchini zimekuwa zikidaiwa kuajiri baadhi ya wafanyakazi walio kwenye mtandao wa majambazi kutokana na wateja wengi kupigwa risasi na kufa wakitoka kuchukua pesa.
“Haiwezekani hata mtu anapovamiwa na majambazi kabla ya kuuawa au kujeruhiwa huambiwa tupe miliooni 10 ambazo ndiyo zilizochukuliwa benki. Je, jambazi amejuaje kama wewe una kiasi hicho cha fedha?” alisema mmoja wananchi anayefanya shughuli zake Mlimani City.
Mkazi wa Tabata Kimanga, Dar es Salaam, Salum Mashati, alisema: “Haiingii akilini, utasikia mtu kaporwa fedha akitoka benki. Eti majambazi wanasema kabisa toa hizo milioni 20, wanajuaje kuwa una kiwango hicho? Huenda watu wa benki wanashiriki uhalifu huu.”
Hata hivyo, meneja wa tawi moja la benki lililopo Mlimani City, ambaye hakupenda jina lake litajwe, alikanusha madai hayo na kusema hawana ushirikiano na majambazi hao wanaofanya uhalifu katika maeneo hayo.
“Si kweli kwamba benki zinashirikiana na majambazi kufanya uhalifu huu. Kwanza wahudumu (bank tellers) hawaruhusiwi kuingia na simu wanapohudumia wateja.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillus Wambura, alipotakiwa kuelezea namna polisi ilivyojizatiti kudhibiti matukio hayo yanayotokea katika benki hizo, alisema hakuna tukio hata moja ambalo limewahi kutolewa taarifa polisi.
“Hivi kweli inawezekanaje tangu kumeanza kutolewa taarifa hizo hakuna taarifa iliyowahi kutolewa polisi na mengi ya matukio ambayo yemekuwa yakiripotiwa yakifanyiwa ufuatiliaji yanakutwa ni uzushi, kwani hakuna tukio linalotokea hapa Dar es Salaam na wahusika walimalize kwa kukaa kimya,” alisema Kamanda Wambura.
Uchunguzi zaidi unaonyesha kuwa endapo hali hiyo haitadhibitiwa haraka, huenda wananchi wakapatwa na hofu ya kuweka fedha zao benki kwa kuogopa kuporwa na kupigwa risasi wakienda kuzichukua.
Hivi karibuni Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, DCP Simon Sirro, alikiri kuwapo kwa baadhi ya wafanyakazi wa benki wenye mtandao na majambazi, huku akisema jeshi lake limeweka mikakati kuhakikisha mtandao huo unasambaratishwa mara moja.
“Ni kweli kwamba baadhi ya mabenki, si yote, yameajiri baadhi ya wafanyakazi, si wote wenye mtandao na majambazi. Kwahiyo hata wao ni majambazi tu.
“Sasa tumejipanga vizuri ikiwa ni pamoja na kukamata pikipiki zinazohusika katika uhalifu. Pia tumeamua kuweka makachero nje na ndani ya mabenki, wapo polisi wa miguu, pikipiki na magari. Nina uhakika tutawadhibiti,” alisema Kamanda Sirro.
Wafanyabiashara wa Soko la Sabasaba mkoani Dodoma wamemwomba Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, kuwafuta kazi watendaji wa Serikali ambao wameuza nyumba za Serikali kinyume cha sheria.
Wafanyabiashara hao walisema wamekuwa wakifanya biashara katika soko hilo kwa muda mrefu, lakini hivi sasa wanashangaa kuelezwa kuwa wanatakiwa kuhama kwani jengo hilo limeuzwa kwa mtu binafsi.
Walidai jengo hilo lilikuwa likimilikiwa na Wizara ya Afya kwa muda mrefu, lakini wanashangazwa na hatua ya Serikali kuliuza kwa mtu binafsi badala ya kutoa nafasi kwa wananchi kujikwamua kiuchumi kwa kufanya biashara zao.
Akizungumza kwa niaba ya wafanyabiashara wenzake, Huseni Michuzi, alisema kwa muda mrefu wapo katika eneo hilo, lakini wanashangaa Serikali kuwataka kuhama wakidai eneo hilo si halali kwao.
“Hili ni soko, hapa tunafukuzwa tupo zaidi ya watu 15, tunaambiwa hili eneo kauziwa mtu binafsi, sasa tunajiuliza mtu binafsi anaweza kuuziwa mali ya Serikali? Tunamwomba Waziri Lukuvi awafute kazi wote waliohusika na dili hili kwani wametumia madaraka yao vibaya,” alisema.
Kwa upande wake Mwenyekiti wa soko hilo, Athumani Makole, alisema alipokea malalamiko ya wafanyabiashara 15 wakitakiwa kuhama katika eneo hilo ambalo linadaiwa ni mali halali ya Solomoni Munuo.
“Lile eneo lilikuwa likimilikiwa na Wizara ya Afya kwa ajili ya maonyesho ya Nanenane, baadae ofisi ya Mkuu wa Mkoa ilitupa maelekezo kuwa ni eneo la walemavu sasa tunashangaa Munuo kudai ni eneo lake,’’ alisema.
Kwa upande wa aliyeuziwa jengo hilo, Munuo, alisema eneo hilo ni mali yake aliyokabidhiwa kihalali na Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu Dodoma (CDA) kwa kushirikiana na manispaa baada ya kuona jengo hilo halitumiki.
Akifafanuzi kuhusu suala hilo, Ofisa Masoko wa Manispaa ya Dodoma, Steven Maufi, alisema kutokana na vielelezo vilivyo eneo hilo ni mali ya Munuo hivyo ana haki ya kuwaondoa watu waliokuwa mbele ya nyumba yake.
“Hilo ni eneo halali la Munuo ndiyo maana tukaamua kuwaondoa wafanyabiashara walio mbele yake, lakini pia wamekuwa wakisababisha uchafu kutokana na kumwaga chini takataka,’’ alisema.
Wakati, Rais John Magufuli, akifikisha siku ya 70 ofisini leo tangu kuapishwa kwake Novemba tano mwaka jana, gazeti hili limebaini kuwa mpaka sasa amepanda ndege mara moja tu na kutoka nje ya jiji la Dar es Salaam mara mbili tu.
Taarifa hizo ambazo zilithibitishwa na mmoja wa wasaidizi wa Rais Magufuli, zinaeleza kwamba, jana ndiyo ilikuwa mara yake ya kwanza kupanda ndege tangu aingie madarakani.
Katika safari yake ya jana, Rais Magufuli alitumia ndege kutoka Dar es Salaam kwenda Zanzibar kuhudhuria sherehe za maadhimisho ya miaka 52 ya Mapinduzi ya visiwa hivyo.
Kwa mujibu wa kikokotozi cha mtandaoni (Distance calculator), umbali wa kutoka Dar es Salaam mpaka Zanzibar ni kilomita 73.43.
Muda wa kutoka Dar es Salaam kwa ndege kwenda Zanzibar, kikokotozi hicho kinaonyesha ni dakika 14 mpaka dakika 20 kutegemea na ukubwa wa ndege na mwende kasi inayotumia.
Jana Rais Magufuli alikuwa miongoni mwa viongozi wa kitaifa waliokuwapo kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar kuuungana na Rais Ali Mohamed Shein katika kusherehekea kilele cha maadhimisho ya sherehe za Mapinduzi.
Wengine waliokuwapo ni Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan; Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa; marais wastaafu wa Tanzania, Ali Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete na Rais Mstaafu wa Zanzibar, Abeid Amaan Karume.
Uchunguzi wa Nipashe umebaini kuwa, safari iliyomtoa Rais Magufuli kutoka Magogoni, Ikulu jijini Dar es Salaam hadi Zanzibar ni ya pili tangu alipoapishwa Novemba 5, 2015 baada ya kushinda kwa asilimia 58.46 ya kura halali zilizopigwa katika uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25, mwaka jana.
Mbali na safari hiyo, safari nyingine ni ile aliyotumia usafiri wa barabara kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma kufungua Bunge la 11 na kupendekeza jina la Waziri Mkuu.
Katika safari hiyo ya Dodoma ambako ndipo makao makuu ya nchi na kuliko na Ikulu ya pili kwa ukubwa ya Chamwino ukitoa ile ya Magogoni, Rais Magufuli baada ya kuzindua Bunge Novemba 20, 2015 alikaa kwa siku kadhaa kabla ya kurejea Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa kikokotozi cha umbali, kutoka Dar es Salaam mpaka Dodoma ni kilomita 583.64 ambazo kwa gari linalotembea wastani wa mwendo kasi wa kilomita 112 kwa saa, litatumia saa tano na dakika 12 kumaliza safari hiyo.
Wakati leo akifikisha siku ya 70 ofisini, Rais Magufuli hajawahi kusafiri nje ya nchi na mara kadhaa amekuwa akitimiza ahadi yake ya kuhakikisha kuwa mabalozi wa Tanzania katika nje ya nchi wanaliwakilisha taifa kwenye baadhi ya mikutano ili kuondokana na gharama zinazoepukika.
“Lazima tukubaliane kuwa katika kubana matumizi kuna faida na hasara zake, ndiyo maana hata kutosafiri kwake kutakuwa na faida nyingi lakini kunaweza kuwa na hasara kidogo. Ila lazima tu tukubaliane ukitaka kwenda mbiguni lazima kwanza ufe, vivyo hivyo ukitaka kubana matumizi kutakuwa na hasara zake,” alisema mmoja wa wasaidizi wa kiongozi huyo.
Wakati akizindua Bunge, Rais Magufuli alisema safari za nje zimeligharimu taifa Sh. bilioni 356.3, ambazo kati yake Sh. bilioni 183.1 zilikuwa kwa ajili ya tiketi za ndege, Sh. bilioni 68.6 ziligharamikia mafunzo na Sh. bilioni 104.5 zilikuwa za posho.
Rais Magufuli ambaye amebana safari za nje za watumishi wa umma, aliliambia Bunge kwamba, fedha hizo zingeweza kujenga kilometa 400 za barabara ya lami.
Licha ya safari hizo za kikazi, Rais Magufuli pia alisafiri kutoka Dar es Salaam hadi Msoga, mkoani Pwani kwenye msiba wa dada wa Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete.
Mpaka sasa, licha ya watumishi wengi wa serikali kuomba kusafiri nje ya nchi na kunyimwa kibali, serikali imewasimamisha kazi watumishi wanne wa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), kwa kwenda nje ya nchi bila kibali maalumu cha Ikulu.
Itakumbukwa pia kuwa, mpango wa Rais Magufuli wa kubana matumizi, ulifanya utaratibu wa kusherehe siku ya Uhuru ibadilishwe na watu kuadhimisha siku hiyo kwa kufanya usafi badala ya kwenda uwanja wa taifa kuangalia gwaride na halaiki ambayo huwa inagharimu mabilioni.
Kutokana na kuahirishwa kwa shamrashamra hizo, Sh. bilioni nne zilizookolewa na kuelekezwa kwenye utanuzi wa barabara ya Bagamoyo eneo la Mwenge mpaka Morocco ambako kazi hiyo inaendelea kwa sasa.
Mpango huo wa kubana matumizi ya serikali, pia ulifanya sherehe ya kufungua Bunge ifutwe na fedha zake kuelekezwa kununua vitanda vya wagonjwa kwa ajili ya Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Hatua ya Rais Magufuli kutosafiri mara kwa mara huku pia serikali yake ikidhibiti safari za nje kwa viongozi na watumishi wote wa serikali imekuwa ikiwavutia watu wengi nchini na kwingineko nje ya Tanzania, akiwamo mgombea urais wa upinzani nchini Uganda, Dk. Kizza Besigye.
Katika moja ya mikutano yake ya kampeni akiwa kwenye wilaya ya Agago, nchini humo, Besigye alisema akiingia Ikulu atafuata nyayo za Rais Magufuli kwa kupiga marufuku safari holela za nje ya nchi na kuongeza kuwa ataiuza ndege anayoitumia mpinzani wake, Rais Yoweri Museveni, aina ya Gulfstream V Jet.
Licha ya rekodi ya Rais Magufuli ya kutosafiri kwenda Ulaya na nchi nyingine za nje ya Tanzania hata mara moja tangu aingie madarakani kuwavutia wengi, baadhi ya watu waliozungumza na Nipashe wamedai kuwa hali hiyo ni balaa kubwa la kiuchumi kwa wasaidizi wa Rais ambao wengi wangetamani asafiri zaidi kama ilivyo kwa wakuu wengine wengi wa nchi za Kiafrika waingiapo madarakani.
Kutokana na rekodi ya safari za Magufuli, ni wazi kuwa hadi sasa, wasaidizi wa Rais huyo wa awamu ya tano watakuwa wamehusika katika safari za kutoka jijini Dar es Salaam kuelekea kwenye Ikulu ndogo ya Chamwino, Dodoma na Unguja visiwani Zanzibar alikokuwa jana.
“Rais yeyote anaposafiri ni lazima aambatane na timu ya watu kadhaa wa karibu yake. Kama Rais anasafiri mara kwa mara, ni wazi kwamba hawa pia hunufaika kwa safari hizi ambazo huambatana na posho nzuri za safari. Hata hivyo, kwa hawa (wasaidizi) wa Rais Magufuli hali iko tofauti… Rais amesafiri mara chache na hivyo wao pia watakuwa wameguswa na ratiba hiyo kwa kusafiri mara chache,” chanzo kimoja kiliiambia Nipashe jana kuhusiana na safari za Rais.
Baadhi ya vyuo vikuu nchini viko hatarini kufutwa baada ya serikali kuamua kuvipitia ili kujiridhisha kama vina sifa stahiki.
Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Prof. Joyce Ndalichako, aliliambia gazeti hili kwamba uamuzi huo unakuja baada ya kubaini kwamba licha ya vyuo vingi kuwa na ithibati, bado baadhi havina sifa ya kuwa vyuo vikuu.
Kwa mujibu wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), takriban vyuo vikuu 60 ithibati na vinahesabika kuwa ni vyuo vikuu kamili.
“Hatutaki vyuo ambavyo vipo vipo tu. Tutavikagua upya kuangalia kama vinakidhi vigezo na hata uhalali wa ithibati vilivyopewa,” alisema Prof. Ndalichako.
Aliongeza kuwa vyuo vitakavyothibitika kuwa havifai vitafungwa bila kusita kwa kuwa serikali haitaki Watanzania wafanyiwe majaribio katika elimu. Alisema ni bora ijulikane wazi kuwa hakuna chuo kikuu kuliko kumpeleka mwanafunzi mahali halafu akatoka mtupu.
“Kuwa na vyuo vingi ambavyo havina sifa, kunachangia kuwa na vijana wengi mtaani ambao hawana ajira, jambo ambalo linawaongezea hasira,” alisema Ndalichako.
Prof. Ndalichako alisema serikali itaangalia pia taratibu zinazotumiwa kutoa ithibati kwa sababu kumekuwa na kilio kikubwa kwa umma, wengi wakilalamika kuwa wanafunzi wanamaliza vyuo vikuu wakiwa hawana na uwezo hafifu.
“Kila mtu analalamika, lakini tumechukua hatua gani? Je, tumekaa chini na kuangalia vigezo na kuona ili mtu awe na chuo anatakiwa kuwa na sifa gani? Anatakiwa awe na watu wa aina gani?.
“haiwezekani mtu mwenye shahada moja amfundishe mwanafunzi wa shahada ya kwanza. Wa kumfundisha huyu anatakiwa angalau awe na shahada ya uzamili, ingawa nayo haitoshi… inatakiwa angalau asilimia 50 ya walimu wa kila chuo kikuu wawe na Ph.D (shahada ya uzamivu),” alisema.
Profesa Ndalichako pia alisema kuna vyuo ambavyo mtu akienda kufundisha hata kwa saa moja tu, anaingizwa kwenye orodha ya walimu waajiriwa.
“Tunaposema walimu, tunamaanisha wale ambao wameajiriwa na chuo. Tunaposema tunaangalia ubora wa elimu, itabidi tuangalie utoaji wa ithibati na kujiridhisha kwamba mambo ambayo tunasema yanatakiwa yawepo ili chuo kiitwe chuo kweli yawepo.
‘Kuna wengine wanafanya chuo kama sehemu ya maonyesho. Siku ile unaenda kukagua unakuta maabara na vitu vingine, kumbe vyote vimeazimwa,” alisema Profesa Ndalichako.
Alisema taasisi zilizopewa dhamana ya kusimamia ubora wa elimu ya juu lazima ziwe na mfumo wa kukagua na kufuatilia mara kwa mara na si kuangalia tu wanafunzi wakiwa vyuoni, bali hata baada ya kumaliza na kwenda kwenye soko la ajira ili kusikia waajiri wanawazungumziaje.
Alisema ili kufikia lengo la Tanzania yenye viwanda na uchumi wa kati, kama ambavyo serikali ya awamu ya tano inatamani, lazima viwango vya elimu viangaliwe upya.
Nipashe ilipotaka kujua sababu za Profesa Ndalichako kutorudi Baraza la Taifa la Mitihani la Tanzania (Necta) baada ya kumaliza likizo ya mwaka mmoja bila malipo, alisema ni kwa sababu aliamua kujiendeleza kielimu.
“Necta nilikaa miaka tisa, niliona mambo mengi niliyotamani kufanya nimefanya, hivyo nikaona pia kitaaluma watu niliowaacha chuo kikuu (Dar es Salaam) wakiwa walimu wenzangu ni maprofesa. Nikaoana na mimi nijiendeleze kitaaluma,” alisema.
Ili kupata daraja la uprofesa, wanataaluma ambaye amefikia hatua ya mhadhiri mwandamizi, anapaswa kufanya utafiti wa kitaaluma na ushauri elekezi. Utafiti wake huo unatakiwa kuchapishwa kwenye majarida ya kitaaluma kitaifa na kimataifa.
Kutokana na kiu yake hiyo serikali ilimkubalia na baada ya likizo, alirudi chuo kikuu baada ya kuomba na wakamkubalia.
“Nisingerudi hata huu uprofesa nisingeupata. Kwa hiyo kila jambo lina sababu yake na hata nisingeteuliwa (kuwa Waziri) ningejiendeleza kwa sababu sasa hivi mimi ni Associate Profesa (Profesa Mshiriki), lakini nisingeteuliwa kulikuwa na miradi mingine ya utafiti ambayo nimeanza kuitafuta.
“Nilishapata ruzuku kutoka taasisi moja ya Canada na kupata ruzuku ya dola za Marekani 248, 000 (Sh. milioni 530) kwa ajili ya utafiti niliokuwa nifanye Tanzania na Uganda kuangalia walimu wanavyofanya upimaji wwa wanafunzi na humo ndani ningepata machapisho pia,” alisema.
Aliongeza kuwa mwezi wa 12 kuna ruzuku nyingine ambayo ni ya Uingereza, kwenye taasisi iitwayo ESRC aliomba ili afanye utafiti kwenye eneo hilo hilo la upimaji ambalo ndilo eneo lake la kitaaluma.
“Utafiti huu nilikuwa nifanye kwenye shule zilizo kwenye watu wengi ambazo kwa kawaida mahitaji ni meingi kuliko uhalisia. Kwa mfano, uwiano wa mwalimu na wanafunzi haulingani na vitu vingine na nilishapata pauni 697,000 (Sh. bilioni 2.17), kati yake pauni 193,000 (Sh. milioni 599.85) ingekuja kwangu na nyingine kwenye vyuo vya nje ambavyo tungeshirikiana,” alisema.
Alisema licha ya kuwa eneo hilo halipo kwenye wizara yake moja kwa moja, ameanza mazungumzo na mwenzake wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), ambapo pamoja na mambo mengine, wataangalia madeni ya walimu na namna ya kuyalipa.
Rais mstaafu, Jakaya Kikwete akiambatana na mkewe Salma, jana walimtembelea Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye aliyelazwa katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) Muhimbili.
Kikwete ambaye alifika hospitalini hapo saa 11 jioni, alianza kuwasalimia baadhi ya wagonjwa waliolazwa na baadaye kuingia wodi aliyolazwa Sumaye.
Baada ya kuingia katika chumba hicho, Kikwete alikaa kwenye kochi pamoja na Sumaye kisha kumpa pole na kumtania Sumaye aliyekuwa na mkewe Esther kuwa amenenepa japokuwa anaumwa.
Sumaye alisema ana siku ya tano hospitalini hapo na kuelezea furaha yake kwa ujio huo wa Kikwete. “Japokuwa nilikuwa katika hali mbaya ila sasa hivi naendelea vizuri. Pia, nakupongeza mheshimiwa (Kikwete) kwa kuadhimisha miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar,” alisema Sumaye.
Mbali na Kikwete, Waziri Mkuu, Kassim majaliwa na mkewe nao walimtembelea kiongozi huyo jana. Kaimu Mkurugenzi wa JKCI, Profesa Mohamed Janabi alisema kila siku hali ya Sumaye inaimarika. Juzi, Rais Magufuli alimtembelea Sumaye na kumpa pole huku akimuombea apone haraka
Wakati Serikali na wadau mbalimbali wa watetezi wa haki za wanawake na watoto wakihimiza elimu kwa mtoto wa kike, mama mmoja mkoani hapa anatuhumiwa kutaka kumuozesha mtoto wake mwenye miaka 13 (jina linahifadhiwa) baada ya kupokea mahari ya Sh600,000 na ng’ombe wanne.
Tukio hilo lilitokea leo katika Mtaa wa Chikole, Kata ya Msalato Manispaa ya Dodoma. Mama huyo anadaiwa kutaka kumfungisha ndoa binti huyo kwa kijana mmoja anayeishi mtaani hapo.
Hata hivyo, mpango huo wa ndoa ulitibuliwa na Mwenyekiti wa Mtaa huo, Nashoni Chinywa ambaye baada ya kupata taarifa aliamua kuwaita polisi wauzuie.
Akizungumzia tukio hilo, mama wa mtoto huyo, Mdala Mazengo alisema aliamua kumuozesha binti yake baada ya kumtaarifu kuwa amepata mchumba. Naye mtoto huyo alidai kukutana na kijana huyo mwenye umri wa miaka 20 mtaani hapo na kumuahidi kufunga naye ndoa.
Hata hivyo, baadhi ya majirani walidai kuwa mama huyo ambaye ni mjane, ana tabia ya kuwaozesha watoto wake wa kike wakiwa na umri mdogo.
Chinywa alisema baada ya mahojiano, mama huyo alikiri kufanya kosa hilo baada ya kuchoshwa na tabia za watoto hao kwani hata dada yake alibebeshwa mimba akiwa nyumbani.
Hata hivyo, alisema kuwa hatua zaidi za kisheria zitachukuliwa baada ya Kamati ya Serikali ya Mtaa kukutana na Kamati ya Maendeleo ya Jamii kujua ni hatua gani zichukuliwe dhidi ya mama huyo.
“Alikataa shule, sasa yeye mwenyewe aliniambia amepata mchumba na mimi niliamua kumuozesha kwa kuwa wao wenyewe wamependana,” alisema Mdala Mazengo na kuongeza: “Walishatoa barua ya posa na kesho ndiyo tulikuwa tunapanga mahari ya kulipa, wao walikuwa wanataka kunipa mahari kidogo, sasa wakati tunabishana ndipo mwenyekiti na maaskari wakafika hapa nyumbani na kutukamata.” Walidai kuna mtoto mwingine alimuozesha akiwa na miaka 14.
← Previous Story #StoriMAGAZETINI January 13 2016 Tanzania, Udaku, Hardnews na Michezo kuna hizi leo
Next Story → Yalichoandika Magazeti 22 ya Tanzania leo January 14 2016, Udaku, Hardnews na michezo
| 2020-06-05T01:15:23 |
https://millardayo.com/newsmgzt013/
|
[
-1
] |
Mahakama ya hakimu mkazi Tarime mkoani Mara imewahukumu kifungo cha miaka 18 jela ama kulipa faini ya shilling million 315 raia kutoka nchini China kwa kukutwa na viroba tisa vyenye mchanga na boksi moja la madini wakisafirisha katika gari namba KBW 515 Toyota land Cruiser.
Kufuatia mkurugenzi wa mashitaka nchini DPP kutoa kibali cha kusikiliza kesi ya utakatishaji fedha na uhujumu uchumi na kukutwa na madini kinyume cha sheria Raia watatu wa China. Mahakama ya hakimu mkazi Tarime mkoani Mara imewatia hatiani watu hao watatu kwa makosa mawili kila mmoja na kuwahukumu kifungo cha miaka 18 ama kulipa faini ya shilling millioni mia tatu kumi na tano za Kitanzania huku gari walilokuwa nalo aina ya lend Cruiser namb KBW 515 L likitaifishwa.
Akisoma hukumu hiyo hakimu mkazi wa mahakama hiyo mheshimiwa Veronica Mgendi amesema kuwa washitakiwa hao watatu kwa pamoja walitenda makosa hayo kinyume cha sheria za nchini hivyo adhabu hiyo liwe fundisho. Awali wanasheria wa serikali wametoa maelezo ya shitaka hilo mbele ya mahakama hiyo wakisema kuwa washitakiwa hao watatu kwa pamoja wilayani Tarime walikuwa na gari ambalo limesheheni mali hiyo kinyume cha sheria. Mnamo tarehe 12/6/2019 raia hao walikamatwa Nkenge wilayani Tarime wakiwa na mchanga kilo 3.75 wa madini ya aina mbali mbali wakiyasafirisha bila kibali.
| 2019-12-12T05:20:45 |
http://startv.co.tz/startvweb/553-raia-kutoka-nchini-china-watumikia-kifungo-cha-miaka-18-au-faini-milioni-315
|
[
-1
] |
NIMEAMUA KUMUACHA MPENZI WANGU SABABU YA SIMU | Moto Moto News
NIMEAMUA KUMUACHA MPENZI WANGU SABABU YA SIMU
Nimegundua wanawake sio viumbe wazuri hata kidogo,nina umri wa miaka 36 na mchumba wangu ana umri wa miaka 34,tumekutana miezi minne iliyopita na uhusiano wetu ulikuwa mzuri kwani nilimwamini na kwa kweli ana uwezo kunizidi,mtakumbuka miezi ya hapo nyuma nilileta mada hii hapa,ilikuwa ni true story kabisa
Kitu kimoja ambacho huyu dada amekuwa akinisumbua nacho ni simu zake mbili za mkononi,huko nyumba tumewahi kugombana mara kadhaa kwa ajili ya simu,yaani anazificha na hataki kabisa mimi nizishike japokuwa kila simu ina password
Jana usiku nililala kwake lakini asubuhi nilipoamka nikagundua simu zake hazipo hapo chumbani kwake,nikamuuliza simu zako ziko wapi?
Akachukua begi lake la mkononi na ku search ndani yake hakuna kitu,halafu akawa kama ameshtuka na kusema nilizisahau kwenye gari jana jioni,nikachukua fungua za gari na kwenda kuzichukua lakini sikuona kitu
Nilipomuuliza zaidi akawa mkali na kuniwakia eti simwamini kwa sababu ya simu,kilichonishangaza ni kwa nini awe mkali kuulizwa habari ya simu??niliamua kuondoka asubuhi ile ilikuwa saa kumi na moja na kuchapa yeboyebo zangu kurudi kwangu
Nimeamua kumwacha kwa sababu japo nilishaanza kumwamini lakini trust yangu imeuwawa na kitendo cha yeye kuficha sana simu
kwani hizo simu zina nini cha siri??nilikuwa nataka tufunge ndoa kabisa mwaka huu lakini kwa mpango huo nitakaa alone milele hapa duniani
Bora niishi peke yangu kuliko kuwa na mwanamke mwenye siri
this is true story!!!!
| 2019-02-18T19:37:57 |
http://www.motomotonews.com/2017/06/nimeamua-kumuacha-mpenzi-wangu-sababu.html
|
[
-1
] |
HABARI MSETO BLOG: BENKI YA CRDB YAKABIDHI MSAADA WA MADARASA MATATU NA MADAWATI KATIKA SHULE YA MSINGI MSASANI DAR ES SALAAM
Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Bi. Tully Mwambapa, akimuongoza mgeni rasmi Meya wa Kinondoni, Benjamini Sitta, katika hafla ya Benki ya CRDB kukabidhi msaada wa madarasa matatu pamoja na madawati 45 kwa ajili ya wanafunzi wenye uhitaji maalumu katika Shule ya Msingi Msasani iliyopo jijini Dar es Salaam.
Muonekano wa jengo la kisasa lenye madarasa matatu yaliyojengwa na Benki ya CRDB kwa ajili ya Wanafunzi wenye Uhitaji Maalum katika Shule ya Msingi Msasani.
Wanafunzi wenye Uhitaji Maalum wakisikiliza hotuba za viongozi wakati wa hafla hiyo.
Baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Msasani wakiwa katika hafla hiyo.
Kutoka kushoto ni Katibu wa Siasa, Uenezi Kata ya Msasani, Jane Mwambebule, Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Makangira, Suzana Msangi.
Wanafunzi wenye Uhitaji Maalum katika Shule ya Msingi Msasani wakiimba nyimbo wakati wa kumkaribisha mgeni rasmi Meya wa Kinondoni, Benjamini Sitta katika hafla ya kukabidhi madarasa matatu pamoja na viti 45.
Mwalimu Mkuu Shule ya Msingi Msasani, Edward Mollel, akitoa hotuba yake.
Wanafunzi wakionyesha furaha yao baada ya kukabidhiwa jengo la madarasa matatu pamoja na viti 45.
Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Bi. Tully Mwambapa, akizungumza katika hafla ya Benki ya CRDB kukabidhi msaada wa madarasa matatu pamoja na madawati 45 kwa ajili ya wanafunzi wenye uhitaji maalumu katika Shule ya Msingi Msasani iliyopo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Meya wa Kinondoni Benjamini Sitta.
Meya wa Kinondoni, Benjamini Sitta, akitoa hotuba yake wakati wa hafla ya makabidhiano ya jengo la madarasa matatu kwa ajili ya wanafunzi wenye uhitaji maalum.
Wanafunzi wenye Uhitaji Maalum wakisikiliza hotuba ya Meya wa Kinondoni kupitia kwa mkalimali wao.
Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Bi. Tully Mwambapa, akimpongeza mgeni rasmi baada ya kutoka hotuba yake.
Mgeni rasmi akielekea katika uzinduzi wa jengo la madarasa matatu.
Mgeni rasmi Meya wa Kinondoni, Benjamini Sitta (katikati), akikata utepe kuashiri uzinduzi wa jengo la madarasa matatu lililojengwa kwa msaada na Benki ya CRDB kwa ajili ya Wanafunzi wenye Uhitaji Maaulum katika Shule ya Msingi Msasani.
Meya wa Kinondoni, Benjamini Sitta pamoja na Mkurugenzi wa Masoko Benki ya CRDB, Tully Mwambapa, wakionyesha furaha yao sambamba na wanafunzi wa Shule ya Msingi Msasani baada ya kuzindua jengo la madarasa matatu.
Bi. Tully Mwambapa, akimshukuru Meya wa Kinondoni, Benjamini Sitta, baada ya kuzindua rasmi jengo la madarasa matatu.
Meya wa Kinondoni akipata maelezo kutoka kwa Bi. Tully Mwambapa.
Bi. Tully Mwambapa (katikati), akionyesha furaha yake pamoja na wanafunzi wenye Uhitaji Maalum. Kulia ni Meya wa Kinondoni, Benjamini Sitta.
Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Bi. Tully Mwambapa (kushoto), akimuonyesha Meya wa Kinondoni, Benjamini Sitta, moja ya ya chumba cha darasa lililojengwa na Benki ya CRDB kwa ajili ya wanafunzi wenye Uhitaji Maalum.
Meya wa Kinondoni, Benjamini Sitta (kulia), Mkurugenzi wa Masoko, Utafikti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Bi. Tully Mwambapa, Ofisa Elimu Taaluma Manispaa ya Kinondoni, Bi. Shida Kiaramba wakiwa katika picha ya pamoja na Wanafunzi wenye Uhitaji Maalum.
Mwalimu wa Wanafunzi wenye Uhitaji Maalum akiwa darasani.
Mkurugenzi wa Masoko wa Benki ya CRDB, Bi. Tully Mwambapa, akikumbatiana na wanafunzi baada kupiga picha ya pamoja.
Wanafunzi wakionyesha furaha yao.
Mkurugenzi wa Masoko wa Benki ya CRDB, Bi. Tully Mwambapa (kushoto), akiagana na Katibu wa Wazazi Kata ya Msasani, Maria Mtweve.
Mkurugenzi wa Masoko wa Benki ya CRDB, Bi. Tully Mwambapa (kushoto), akiagana na Katibu wa Siasa, Uenezi Kata ya Msasani, Jane Mwambebule.
Meya wa Kinondoni, Benjamini Sitta, akiagana na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Makangira, Suzana Msangi.
Imewekwa na: Francis Dande Tarehe: 6.4.18
| 2018-05-21T01:29:43 |
http://francisdande.blogspot.com/2018/04/benki-ya-crdb-yakabidhi-msaada-wa.html
|
[
-1
] |
Wakandarasi wazalendo kupewa kipaumbele lakini… - Maganga One Blog
» Wakandarasi wazalendo kupewa kipaumbele lakini…
Wakandarasi wazalendo kupewa kipaumbele lakini…
Alisema wakandarasi wengi wazalendo wana uwezo mkubwa wa kutekeleza miradi mikubwa ya ujenzi hivyo aliiomba serikali iweke kipaumbele kwa kuwapa miradi hiyo. Vile vile, aliwageukia wakandarasi ambao wamekuwa na kawaida ya kutekeleza miradi chini ya kiwango na wengine kutokomea mara baada ya kulipwa fedha za awali za ujenzi.
| 2017-07-23T10:45:30 |
https://magangaone.blogspot.com/2017/05/wakandarasi-wazalendo-kupewa-kipaumbele.html
|
[
-1
] |
Isikupite hii game ya Simba SC Legends vs Yanga SC Legends, tambo za Dua Saidi na Lunyamila – Millardayo.com
Isikupite hii game ya Simba SC Legends vs Yanga SC Legends, tambo za Dua Saidi na Lunyamila
Inawezekana ukawa ni moja kati ya mashabiki wa soka ambao haujawahi kuwaona au umewakumbuka kuwaona wakina Edibily Lunyamila na Dua Said na wengine wengi wakicheza soka enzi basi game uhondo huo unarudi tena weekend hii.
Yanga Legends na Simba SC Legends watakuwa Lindi Mtwara Jumapili hii ya August 18 2019 kucheza mchezo wao wa kirafiki na kutoa burudani kwa watu wa Lindi ambao hawajawahi kuwaona lakini pia wapo ambao hawajawaona kwa muda mrefu hiyo ikiwa ni siku ya uzinduzi wa Mashujaa FM ya Lindi.
← Previous Story VIDEO: Mwalimu Kashasha katoa tathmini kwa Yanga hii dhidi ya Township Rollers
Next Story → Teknolojia mpya ya Gym imeingia Afrika Mashariki, Tanzania ndio nchi Pekee
| 2019-08-25T08:57:49 |
http://millardayo.com/fgt54rfr/
|
[
-1
] |
LDS Living Video / Media Production Internship (Fall 2019) - NAB Onyesha Habari na Mtangazaji Beat, Mtangazaji rasmi wa NAB Show - NAB Onyesha LIVE
Nyumbani » kazi » LDS Living Video / Media Production Internship (Kuanguka 2019)
Ufunguzi wa kazi: LDS Living Video / Media Production Internship (Fall 2019)
kampuni: DBC - Kitabu cha Deseret
eneo: Salt Lake City UT US
Kama uzalishaji wetu wa ndani, utatumia ubunifu wako, nadharia ya mawasiliano, mbinu ya utengenezaji wa video, ustadi wa uuzaji wa media ya kijamii, muundo wa picha, matukio ...
SJGolden - Maneno na Mishale 2019 08-10-
uliopita: Audio na Visual Msaidizi wa Uzalishaji
next: Mratibu wa Media ya Dijiti kwa wakati wote
| 2019-08-18T12:57:59 |
https://sw.broadcastbeat.com/lds-hai-ya-utengenezaji-wa-vyombo-vya-habari-vya-video-iko-2019/
|
[
-1
] |
KNCU kukopa zaidi ya Sh2 bilioni msimu huu wa kahawa - Mwananchi
KNCU kukopa zaidi ya Sh2 bilioni msimu huu wa kahawa
Wajumbe wasema hatua hiyo itasaidia kujiimarisha kiuchumi
Moshi. Licha ya takriban miaka 10 kupita kwenye hali ngumu ya madeni, Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Kilimanjaro (KNCU) kimeruhusiwa kukopa mpaka Dola 1 milioni za Marekani kwa ajili ya ununuzi wa kahawa msimu huu ili kukisaidia kujiimarisha.
KNCU kililazimika kuuza shamba lake la Garagarua mwaka jana lenye ukubwa wa heka 3,429 kwa Sh9.3 bilioni ili kulipa madeni.
Kati ya fedha hizo, Sh5.2 bilioni zililipwa Benki ya CRDB kama deni na riba ya mkopo, huku mwekezaji aliyekuwa amewekeza katika shamba hilo akilipwa Sh3 bilioni kama fidia.
Katika azimio lililopitishwa katika mkutano mkuu wa 34 wa KNCU, meneja wa chama hicho, Honest Temba alisema wataanza ununuzi wa kahawa mnadani muda mwafaka.
Katika msimu huu wa mwaka 2018/19, Serikali imetangaza kuanza kutumika kwa mfumo wa stakabadhi ghalani katika ununuzi wa kahawa hatua ambayo Temba alisema itaondoa madeni ya vyama vya msingi.
Mrajisi msaidizi wa vyama vya ushirika mkoani Kilimanjaro, John Henjewele alivitaka vyama vya msingi kusimamia ubora wa kahawa kuhakikisha inaandaliwa kwa kuzingatia viwango vilivyowekwa ili kupata bei nzuri sokoni.
“Tunakwenda kwenye biashara ya kimataifa, naomba vyama vya msingi vizingatie ubora kwani tunatambua ili kahawa iweze kupata bei nzuri lazima iwe na ubora wa hali ya juu,” alisema.
Naye mwenyekiti wa Chama cha Msingi cha Mwika Kusini Mashariki, Fanuel Silayo alisema uamuzi wa mkutano mkuu wa kukopa fedha benki kununua kahawa utaongeza faida kwa KNCU na kubadilisha muonekano wa chama.
jinamizi la madeni
Katika matumizi ya fedha za shamba la Garagarua, Sh133.5 milioni zilitumika kulipa kodi; ufuatiliaji na gharama za kitaalamu Sh236 milioni, ushuru wa stempu Sh93 milioni; na kodi ya ardhi Sh16 milioni.
Mwaka huu, chama hicho kilikuwa na mpango wa kuuza shamba lingine la Lerongo lenye ukubwa wa heka 581 ili kunusuru benki yake ya Ushirika Kilimanjaro (KCBL) isifungwe.
Benki Kuu ya Tanzania (BoT), iliipa benki hiyo miezi sita kuongeza mtaji wake kutoka Sh1.5 bilioni wa sasa hadi Sh5 bilioni, vinginevyo ingeifunga kama ilivyofanya kwa baadhi ya benki nchini.
Hata hivyo, akihutubia mkutano wa hadhara huko Serengeti mkoani Mara Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, alizuia uuzwaji wa shamba hilo hadi Serikali itakapomaliza kuhakiki mali za vyama vya ushirika nchini.
| 2018-11-12T18:10:00 |
http://mobile.mwananchi.co.tz/biashara/KNCU-kukopa-zaidi-ya-Sh2-bilioni-msimu-huu-wa-kahawa/1597664-4606524-format-xhtml-10xnu71z/index.html
|
[
-1
] |
utani: 2011
Yaliyomkuta mlokole porini
Mlokole mmoja alikuwa anafukuzwa na simba porini. Alipojua kuwa hataweza kumwacha simba akamwomba Mungu ili simba yule naye aokoke. Aliamini simba mlokole hatoweza kumla.
"Baba naomba simba huyu aokoke!"
Basi akadondoka chini akasikilizia. Kwa kuwa alikuwa na imani simba yule akaokoka kweli. Akamtia kucha za mgongo na kusali.
"Baba, nakushukuru kwa mlo huu wa mchana........."
Posted by Bin Bor at 8:04 AM No comments:
Deadlock circle
Boss says to secretary: For a week we will go abroad, so make arrangements.
Husband makes a call to secret lover: My wife is going abroad for a week, so let's spend the week together.
Secret lover makes a call to small boy whom she is giving private tuition: I have work for a week, so you need not come for class.
Small boy makes a call to his grandfather: Grandpa, for a week I don't have class 'coz my teacher is busy. Let's spend the week together.
Grandpa (the 1st boss;) ) makes a call to his secretary: This week I am spending my time with my grandson. We cannot attend that meeting.
Secret lover makes a call to small boy whom she is giving private tuition: This week we will have class as usual.
Grandpa makes a call to his secretary: Don't worry this week we will attend that meeting, so make arrangements
The secretary calls the husband..........
Posted by Bin Bor at 1:58 AM No comments:
Frank Mwaminifu
Frank "mwaminifu"
mamaa akazimiaaaazzzzzzzzzzzzzzzzzzzz
Posted by Bin Bor at 7:06 AM No comments:
Majambo mbaya kitandani
Harry alipochoka kufanya kazi zake akazima taa, akambusu mkewe, akalala na usingizi mzito ukampitia. Mara akamwona mwanamme amesimama kitandani.
"Toka hapa nani wewe unakuja kitandani kwangu?"
"mimi ni mtakatifu Petro na hapa si kitandani kwako bali ni mbinguni"
"Ina maana nimekufa? Mbona mimi bado kijana? Naomba unirudishe duniani."
"Inawezekana, lakini siwezi kukurudisha kama mtu, labda nikurudishe kama mbwa au kuku"
Harry akakumbuka mbwa anavyopata taabu ya kulinda, " Bora nirudi kama kuku"
Mara akajikuta yuko kwenye banda, akiwa kuku jike na matakoni kunawaka moto. Akamwona jogoo pembeni, akamwambia shida yake.
"Kaka ninasikia moto matakoni, inakuwaje?"
"Kwani hujawahi kutaga weye?" Jogoo akamjibu kwa maringo.
"Sijawahi"
"Chuchumaa, kamua kwa nguvu yai litoke."
Basi akakamua, yai la kwanza likatoka, akakamua tena yai la pili hilo! Akiwa anataka kukamua yai la tatu akasikia sauti ya mke wake.
"Harry, pumbavu wewe, unakunya kitandani!"
Posted by Bin Bor at 5:41 AM No comments:
Padri amkimbia muumini
"padri naungama dhambi zangu, leo nimefanya dhambi kubwa sana"
"bosi wangu aliniita nyumbani kwake akaniambia amegundua nimeiba shilingi milioni 50, akasema nisipotoa maelezo ya kutosha atanipeleka polisi. Sasa ukweli mimi naogopa kufungwa, nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke yetu, nikachomoa bastola nikamuua. Yesu atanisamehe?"
"nikajifungulia geti mwenyewe nikaenda nyumbani, wakati napanga kuja kuungama mtoto wa bosi akabisha hodi nikawaza mambo gani tena. Akasema amerudi nyumbani na kukuta yaloyotokea, lakini akanionyesha diary ya baba yake inayoonesha kuwa nilikuwa na appointment naye kabla hajafa. Nikamuuliza nani mwingine anajua, akasema ameanzia kwangu kisha atakwenda polisi. Nikatazama huku na huku nikagundua tuko wawili peke yetu nikamuua. Diary nikaichoma moto. Yesu atanisamehe na hilo?"
"padri, Yesu atanisamehe kwa hilo?"
padri kwa taabu akajibu
"nilitazama huku na huku nikagundua kuwa tuko wawili peke yetu........"
Posted by Bin Bor at 5:40 AM No comments:
| 2018-03-17T04:34:07 |
http://zejokes.blogspot.com/2011/
|
[
-1
] |
WANANCHI UKONGA WAGOMEA FIDIA KIDUCHU BOMBA LA GESI
Mwenyekiti wa Kamati ya kufuatilia malalamiko ya wananchi wa mji mpya relini Bw. Omari Msusa (kushoto) akihojiwa na vyombo vya habari kuhusu fidia wanayotakiwa kulipwa huku Mbunge wa Jimbo la Ukonga Dar es Salaam, Bi,Eugen Mwaiposa akimsikiliza kwa makini.
Mbunge wa jimbo la Ukonga Dar es salaam, Bi,Eugen Mwaiposa (kulia) akisikiliza malalamiko ya wananchi wa eneo la Mji Mpya Relini jimboni kwake jana wakilalamika kutaka kulipwa fidia ndogo ambazo hazilingani na thamani ya nyumba zao.
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mji Mpya Relini, Ilala Dar es Salaam Bw. Geofrey Chacha (aliyesimama) akitoa malalamiko ya wananchi mbele ya mbunge wa Jimbo la Ukonga, Bi. Eugen Mwaiposa (wa pili kushoto) wanaolalamikia kuhusu tathmini ya fidia ndogo inayopitishwa ili kupisha upanuzi wa bomba la gesi linalotoka Mtwara. Na Mwandishi wetu
WANANCHI wa Mji mpya Relini wilaya ya Ilala waliopitiwa na mradi ya bomba la gesi ya Mtwara wamemuomba Mbunge wa Jimbo la Ukonga, Bi. Eugen Mwaiposa awasilishe bungeni hoja ya kukataa mradi huo kutokana na kupunjwa fidia ya nyumba na mali zao wanayotakiwa kulipwa. Wakizungumza na kutoa maazimio hayo katika mkutano wa dharura walioitisha na kuhudhuriwa na mbunge wao, wananchi hao walisema awali walikubali mradi huo kwa manufaa ya taifa lakini baada ya kuletewa dodoso la kutathmini mali na nyumba zao wamegundua kuna ujanja unatumika kuwanyima haki na kuwafanya kuwa masikini maisha yao yote. Waliendelea kudai kuwa mpaka sasa hawajui serikali imemkabidhi nani jukumu la kuthamini nyumba zao kwani kampuni nyingi za ujanja ujanja zimejitokeza kutaka kuwathamini lakini kwa kiwango cha chini ambacho hakiwezi kumpatia makazi mengine. Bw. Josephat Haule alisema waathirika wenzao katika Kata za Kivule, Pugu Kwalala na Mbande wao wamethaminiwa vizuri na wanatarajia kupata fedha za kujenga nyumba nyingine kutokana na gharama kuwa juu lakini wao nyumba iliyojengwa kwa sh. mil 57 anathaminiwa alipwe sh. mil. 11 na nyumba zenye thamani ya sh. mil. 10 wanataka alipwe sh, mil 3. Bw. Robert Pius alisema kutoka taarifa ya Serikali itolewe ya kutangaza kupitisha bomba la gesi eneo hilo waathirika wote walisimamisha uendelezaji wa makazi hayo na kusubiri kupewa haki zao lakini ni mwaka wa pili sasa hakuna taarifa zenye ukweli zinazowafikia hivyo kuwafanya waishi kama wanya aina ya digidigi porini, Mbunge Mwaiposa akizungumza na wananchi hao aliahidi kushirikiana nao kujua ukweli wa kampuni gani iliyopewa jukumu la kuthamini nyumba na mali zao kwani anachofahamu ni kuwa Kampuni ya Kilwa Energy iliyopewa jukumu hilo awali hakiwa na uwezo wa kifedha kuwalipa wananchi kwa wakati. Aliahidi kushirikiana na Kamati ya wananchi hao kushughulikia madai yao kwenda Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwenda kumuona Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, kwenda kumuona Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na ikishindikana wanakwenda kumlalamikia Rais Jakaya Kikwete. Alisema wananchi wanateseka kwa vile kuhamisha makazi kutoka sehemu moja kwenda nyingine kunarudisha maendeleo nyuma na kama anavyofahamu Serikali ya Rais Kikwete ni sikivu na yenye kufanya kazi kwa ufasaha hajui sababu za wananchi wake kushindwa kutimiziwa ahadi zao katika kiwango kinachostahili. "Wananchi wangu wanadhiki, wanashida ya fedha lakini si kwa malipo kidogo kiasi hicho, tunapiga picha tuoneshe umma thamani ya nyumba na kiasi wanachotakiwa kulipwa ili wakaendelee na maisha yao sehemu nyingine" alisema Bi. Mwaiposa. Bi. Mwaiposa alikiri kuona nyumba zilizothaminiwa kwa fedha kidogo ambazo haziwezi kununua kiwanja kingine ambavyo kwa sasa katika maeneo hayo vinauzwa kati ya sh. mil. 10 mpaka sh. mil. 15 kwa kiwanja cha nusu hekari. HABARI NA GLOBAL PUBLISHER
Labels: WANANCHI UKONGA WAGOMEA FIDIA KIDUCHU BOMBA LA GESI
| 2017-08-20T07:54:50 |
http://allyshams.blogspot.com/2014/01/wananchi-ukonga-wagomea-fidia-kiduchu.html
|
[
-1
] |
MAZAZI YA MTUME (S.A.W.W)
2 Voti 05.0 / 5
2017-12-27 12:16:05
utafiti kutoka kwa inetrnet
MAULID YA KUZALIWA KWA MTUME (S.A.W.W)
Napenda kuchukua nafasi hii muhimu kudhihirisha furaha kubwa niliyonayo moyoni kwa kuzaliwa muokozi wa Mwanadamu Mtume wa Uislaam Muhammad (s.a.w.w). Bwana Mtume (S.a.w.w) alizaliwa tarehe 12 Mfunguo Sita Rabiul Awwal mwaka wa tembo uliosadifiana na mwaka 570 Miladia kama ambavyo Waislaam wengi wa Madhehebu ya Kisuni wanavyoamini.Na kundi lingine la Waislamu ambalo linaundwa zaidi na Waislamu wa madhehebu ya Kishia wao wanaamini kwamba, Mtume wa Uislamu alizaliwa tarehe 17 Mfunguo Sita Rabiul Awwal mwaka huo huo wa tembo.Hivyo kuanzia tarehe 12 hadi 17 (sawa na wiki moja) ni masiku ya Waislaam wote ulimwenguni kusherehekea kwa kuzaliwa Mtume wao (s.a.w.w) bila kujali tofauti ilipo ya kihistoria kuna siku ya kuzaliwa kwake.Suala hili la kuunganisha tarehe mbili ziwe rasmi kwa Waislaam wote bila kujali madhehebulimekuwa ni bora zaidi kuliko kuutumia muda huo kubishana bishana kuna tarehe sahihi ya kuzaliwa kwake (s.a.w.w),suala hili limepelekea kuwepo hali ya umoja kwa Waislaam kwani hukutana kuanzia tarehe 12 hadi 17 kwa lengo la kukumbusha kunako uzawa wa Mtume (s.a.w.w) na kujadili mambo mbali mbali ya Kiislaam , kupeana nasiha mbali mbali na kukumbushana kwani hakika ya ukumbusho ni wenye kuwafaa Waumini.Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislaam ya Iran Imam Khomeini (Mwenyeezi Mungu Amrehemu) ndiye mwasisi wa fikra hii ya kuziunganisha pamoja tarehe mbili yaani(12 na 17) ziwe tarehe rasmi kwa Waislaam kukutana na kusherehekea siku ya kuzaliwa Bwana Mtume (s.a.w.w) ambapo masiku hayo yaliyobaina ya tarehe mbili aliyapatia anuani ya "WIKI YA UMOJA".
Baada ya utangulizi huo ningependa kuchukua nafasi hii kuwapongeza Waislaam wote Ulimwenguni kote kwa mnasaba wa kuzaliwa Mtume Muhammad (s.a.w.w).Kwa wale wapenzi wa Mtume (s.a.w.w) siku ya leo ya kuzaliwa Mtume wao (s.a.w.w) huichukulia kuwa ni siku muhimu sana ukilinganisha na masiku mengine ,kwani Mtume (s.a.w.w) ni Nuru katika Umma huu,Mtume (s.a.w.w) ni Rehma katika umma huu,Mtume (s.a.w.w) ni Kiigizo chema katika umma huu,Mtume (s.a.w.w) ni Mwokozi wa Mwanadamu katika umma huu, Mtume (s.a.w.w) ni Mwenye Huruma zaidi kwa umma huu,Mtume (s.a.w.w) ni sababu ya kuwepo amani katika umma huu na hilo amelithibitisha Allah (s.w) katika Qur'an Tukufu, nikiashiria katika madhumuni ya Aya hiyo alisema (s.w) kwamba "anasita kuwaadhibu (waovu katika umma huu) maadam Mtume (s.a.w.w) ni mmoja kati ya watu wa umma huu"
Laiti kama si hivyo basi kulingana na madhambi ya baadhi ya watu katika umma wanayoyafanya kwa sasa au waliyoyafadha,nadhani yamezidi mara kumi yale madhambi yaliyofanywa na watu waliotangulia kabla ya umma huu wa Mtume (s.a.w.w) kama vile wale watu aliowangamiza Allah (s.w)
katika zama za Nabii Luutu,Nabii Swalehe,Nabii Nuh (a.s),walifanya madhambi Allah (s.w) akakasirika kwa vitendo vyao akaamua kuwaangamiza,lakini ukilinganisha madhambi ya sasa ni makubwa zaidi kuliko yale ya zama hizo,kwanini Allah (s.w) mpaka leo hii hajauangamiza umma huu? Ni kwa sababu katika umma huu yumo mbora wa viumbe ,Sayyid wa Manabii na Mitume,wa Mwisho katika listi ya Manabii na Mitume Bwana wetu Muhammad (s.a.w.w), huyu ndiye Mtume Muhammad (s.a.w.w) ambaye ndiye sababu ya Allah (s.w) kutouadhibu umma huu kulingana na makamu ,cheo,daraja, na nafasi aliyokuwa nayo kwa Allah (s.w).Hivyo Mtume (s.a.w.w) ni amani kwa Umma huu pia ni Rahma kwa walimwengu wote,kwani kamtoa Mwanadamu kwenye giza na kumuingiza katika Nuru.Mtume (s.a.w.w) alikuwa mpole,hadi Allah (s.w) akasisitiza na kukumbusha kunako upole kwa kusema:
"فَبِما رَحْمَة مِنَ اللّهِ لِنْتَ لَهُمْ وَ لَوْ كُنْتَ فَظًّا غَليظَ الْقَلْبِ لاَنْفَضُّوا مِنْ حَوْلِ"
Maana yake: Basi ni kwa sababu ya rehema itokayo kwa Mwenyezi Mungu ndio umekuwa laini kwao. Na lau ungeli kuwa mkali, mwenye moyo mgumu, bila ya shaka wangeli kukimbia. (Suura Aali Imraan, Aya ya 159-).
Hapa Mwenyeezi Mungu anadhihirisha akhlaq na tabia ya hali ya juu aliyokuwa nayo bwana wetu Mtume (s.a.w.w),hakuwa mkali,alipenda watu watu walimpenda,aliishi baina yao alikula nao walikula nae,kila mtu alijihisi yuko huru kuongea na Mtume (s.a.w.w) hakuogopwa kama smba kwani tabia zake na na jinsi alivyokuwa akiishi na watu ni mambo yaliyopelekea watu wamtambue siku zote kuwa ni mtu laini kwao mwenye kuwasikiliza na kutatua matatizo yao,na hii ndio siri na sababu kubwa iliyopelekea Mtume (s.a.w.w) aweze kufikisha kwa ukamilifu ujumbe wa Allah (s.w) kwa walimwengu wote.kwani laiti kama angelikuwa mtu mwenye jeuri,mkali kupindukia,mwenye maneno makali kama upanga ,mwenye moyo mgumu kama jiwe asiyeingilika,basi ingelikuwa tabu watu kukubali ujumbe aliokuja nao kutoka kwa Allah (s.w).
Huyu ndiye Mtume (s.a.w.w) ambaye leo hii tunasherehekea na kukumbuka kuzaliwa kwake.hakika alikuwa mtu ambaye tukiamua kumzungumzia hatuwezi kummaliza maana tutakesha bila kumaliza,amekusanya sifa zote nzuri na hatuwezi kumsifia kwa kiwango kinachotakiwa kiukamilifu ispokuwa yule anayemjua zaidi Mtume (s.a.w.w) ndiye mwenye uwezo huo ambaye ni Allah (s.w).Salamu ziwe juu yako ewe Mjumbe wa Mwenyeezi Mungu (s.a.w.w) na kwa watu wa Nyumba yako waliotwaharishwa (a.s).
Ni neema kwa kubwa ya Mwenyeezi Mungu (s.w) kwa waja wake kuwatumia Mjumbe aliyebeba ujumbe wake ambaye kaitwa Mbinguni kwa jina la Ahmad na Ardhini kwa jina la Abal-Qaasim Muhammad (s.a.w.w).Kwa hakika Mtume (s.a.w.w) amefanikiwa kuufikisha Ujumbe huo kwa waja wa Mwenyeezi Mungu (s.w) kwa mafanikio ya hali ya juu na kwa ukamilifu kama alivyotakiwa kufikisha.Ujumbe huo wa Allah (s.w) alioubeba Bwana Mtume (s.a.w.w) umekamilishwa kwa kutangaza Wilaya kwa Ahlul-bayt wake (a.s) ambao ni Mwasii na Makhalifa wake baada yake katik Umma wake (s.a.w.w).Suala hili la kutangaza Wilaya kwa Ahlul-bayt (a.s) lilikuwa ni suala muhimu ambalo lilichukuliwa kuwa ndio litakalo kamilisha kikamilifu ufikishaji wa Ujumbe alioteremshiwa ambapo laiti kama asingefikisha hilo basi angehesabika kuwa hajafikisha ujumbe alioteremshiwa na yote aliyoyafanya katika kipindi cha miaka 23 ingelikuwa kazi bure,!!
Mwenyeezi Mungu (s.w) anamwambia Mtume (s.a.w.w) katika Qur'an Tukufu akisema:
"Ewe Mtume fikisha uliyotoremshiwa kutoka kwa Mola wako,na usipofanya hivyo utakuwa hujafikisha ujumbe wake"
Ujumbe aliotakiwa kuufikisha kwa Mujibu wa Wanazuoni na Wafasiri wa Qur'an Kutufu ni:
"Kumtangaza Amirul-Muuminin,Imam wa Mashariki na Magharibi Simba wa Mwenyeezi Mungu, Imam Ali Bin Abi Twalib (a.s) kuwa ni Wasii wake na Khalifa wake baada yake".
Baada ya Mtume (s.a.w.w) kulitekeleza hilo kwa kumtangaza Imam Ali (a.s) mbele ya mkusanyiko mkubwa wa maswahaba akiwemo Abu bakri (R.a) na Umaru (R.a) pamoja na Uthman (R.a),Mwenyeezi Mungu akatangaza rasmi kuwa sasa dini imekamilika na nimekuridhieni dini ya Uislaam iwe dini yenu.Anasema Mwenyeezi Mungu (s.w) kuhusu hilo katika Suuratul Maidah,Aya ya 3, namna hii:
"Basi kwa sababu ya Reheme ya Mwenyeezi Mungu umekuwa laini kwao,na kama ungelikuwa jeuri (,mkali ,mshari) mwenye moyo mgumu,(watu ) wangekukimbia".
اليوم أکملتُ لکُم دِيناکُم وأتمَمتُ عَليکُم نِعمَتِي،وَرَضِيتُ لَکُم الإسلامَ دِيناً
"Leo nimewakamilishieni dini yenu,na kuwatimizieni neema yangu,na nimewapendeleeni Uislaam uwe dini yenu"
Tunamshukuru Allah (s.w) kwa kutukamilishia dini yetu na kutimiza neema yake kwetu pamoja na kuridhia na kutupendeleea Uislaam uwe dini yetu,pia tunamshukuru Allah (s.w) kwa kutujalia tukawa miongoni mwa wale waliopata bahati ya kuitikia wito na kuupokea Ujumbe wa Allah (s.w) aliokuja nao Bwana wetu Mtume (s.a.w.w) pasina kuuliza kwani nini wala kufanya khiana.Pia tunamuomba Allah (s.w) atujalie tuwe miongoni mwa wale wenye kuidhihirisha haki na kuitenga na batili.Pia hatuna budi kumshukuru Allah (s.w) aliyetujalia tukawa miongoni mwa wale waliopata bahati ya kushikamana na Wilaya ya Imam Ali bin Abi Twalib (a.s) na Ahlul-bayt (a.s) kwa ujumla.
Ujumbe wangu mzito kwa siku ya leo kwa waislaam wote ulimwenguni ni hadithi tukufu ya Mtume (s.a.w.w) inayoitwa "HADITHU-THAQALAYNI" ambapo Mtume wetu (s.a.w.w) ametutaka tushikamane na vizito viwili hivi:
Tukifanikiwa kushikamana na vizito hivi viwili kama Mtume wetu (s.a.w.w) alivyotutaka tufanye,basi tutafaulu hapa duniani na kesho akhera.
KITABU CHA MWENYEEZI MUNGU (QUR'AN) NA KIZAZI CHAKE KITUKUFU (ITRA) AHLUL-BAYT WAKE
| 2018-02-19T02:23:54 |
http://alhassanain.org/swahili/?com=content&id=548
|
[
-1
] |
Shaffih Dauda in Sports.: PREVIEW: GALATASARY VS CHELSEA - MOURINHO DHIDI YA VINYAGO ALIVYOVICHONGA MWENYWE
PREVIEW: GALATASARY VS CHELSEA - MOURINHO DHIDI YA VINYAGO ALIVYOVICHONGA MWENYWE
Galatasaray AŞ walifungwa 5-0 wakati Chelsea FC walipokwenda Uturuki kwa mara ya mwisho, ingawa hivi sasa wana mtu anayeijua vizuri Chelsea Didier Drogba, mshindi wa UCL na Chelsea mwaka 2012. Gala chini ya kocha mpya Roberto Mancini watakuwa wakitumaini kulipiza kisasi.
Mechi zilizowakutanisha nyuma. • Tore André Flo aliipa Chelsea uongozi wa mabao mawili katika mchezo wa makundi baina ya timu hizi miaka 15 iliyopita akifunga kwenye kila lango ndani ya vipindi viwili. Mabao mengine kipindi cha pili yalifungwa na Gianfranco Zola na Dennis Wise pam naoja Gabriele Ambrosetti.
• Vikosi vilivyocheza kwenye mechi hiyo iliyopigwa kwenye dimba la Ali Sami Yen Spor Kompleksi mnamo 20 October 1999 vilikuwa:Galatasaray: Mehmet Bölükbasi, Popescu, Emre Belözoğlu, Arif Erdem, Okan Buruk, Fatih Akyel (Ümit Davala 46), Hagi (Hasan Şaş 46), Tugay Kerimoğlu, Hakan Ünsal, Hakan Şükür (Saffet Akyüz 65), Capone.Chelsea: De Goey, Ferrer, Leboeuf, Desailly, Le Saux, Deschamps (Wise 66), Morris, Poyet (Petrescu 66), Babayaro, Flo, Zola (Ambrosetti 75).
• Mchezo uliochezwa London mnamo 28 September 1999 uliisha kwa ushindi wa 1-0 kwa Chelsea bao la Dan Petrescu dakika 52. • Kipigo cha mabao 5-0 cha nyumbani kwa Galatasary kilikuwa cha pili katika michezo nane dhidi ya timu za EPL. Wakiwa wameshinda dhidi ya Liverpool katika michezo miwili katika hatua ya makundi msimu wa 2006/07 (3-2) na Manchester United FC (1-0) msimu uliopita - rekodi yao ya nyumbani W3 D3 L2. Yote dhidi ya timu za EPL W3 D7 L7. • Mnamo msimu wa 1999/2000 Galatasaray iliifunga Arsenal FC 4-1 kwenye hatua ya penati kwenye fainali ya UEFA Cup jijini Copenhagen ambayo iliisha bila kufungana kwenye muda zaida, ikiwa timu ya kwanza ya Uturuki kushinda mashindano hayo ya UEFA.
• Katika mchezo wao wa mwisho na klabu ya kutoka Uturuki, Chelsea walifungwa 2-1 na Fenerbahçe SK msimu wa katika robo fainali, lakini wakashinda 2-0 nyumbani na kusonga mbele. Pia walikutana na Beşiktaş JK katika hatua ya makundi msimu wa 2003/04, walifungwa 2-0 Stamford Bridge lakini wakashinda 2-0 ugenini.
Habari za timuDavid Luiz ana majeruhi ya paja na John Obi Mikel ana majeruhi lakini hajulikani na alikosa mchezo wa wikiendi iliyopita, Oscar ana tatizo la enka.
Aydın Yılmaz ana tatizo la enka na Gökhan Zan ana majeruhi ya misuli wote wamepona na watacheza leo. at
| 2017-07-22T14:57:38 |
http://shaffih.blogspot.com/2014/02/preview-galatasary-vs-chelsea-mourinho.html
|
[
-1
] |
SHINDANO LA MISS TANZANIA LAFUNGIWA MIAKA MIWILI | larrybway91
SHINDANO LA MISS TANZANIA LAFUNGIWA MIAKA MIWILI
larrybway91 / December 25, 2014 Hasheem Lundenga, Mkurugenzi wa kampuni ya Lino Agency ambao ni waandaji wa shindano la Miss Tanzania
Wizara ya habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kupitia Baraza la Sanaa la Taifa ‘BASATA’ imelifungia shindano la Miss Tanzania kwa miaka miwili kutokana na sababu mbalimbali za ukiukwaji wa taratibu walizojiwekea, ikiwemo udanganyifu mkubwa unaojitokeza kila mwaka kwenye shidano hilo.
Maamuzi hayo yamechukuliwa na BASATA, ambapo Kaimu Mtendaji wa Baraza hilo Godfrey Mngereza amesema maamuzi hayo yalifikiwa baada ya kukaa kikao cha tathmini ambapo Kamati ya Miss Tanzania ilishindwa kujibu hoja za msingi za wadau na kukiri kuwepo udhaifu katika uendeshaji wa shindano hilo. “Baada ya kupitia maelezo yote na taarifa ya tathmini ya shindano hilo ni vyema tulisimamishe kwa muda ili mwandaaji ajipange upya, atakaporejea arejee kwa nguvu na kuandaa shindano lenye hadhi kubwa kuliko ilivyo hivi sasa” alisema Mngereza.
Share this:Click to share on Twitter (Opens in new window)Share on Facebook (Opens in new window)MoreClick to share on Google+ (Opens in new window) December 25, 2014 in Entertainment. Tags: ''Miss Tanzania yafungiwa miaka miwili'', ''shindano la miss Tanzania lafungiwa miaka miwili'', 'Godfrey Mngereza', 'Lino Agency', 'Wizara ya habari, BASATA, Hasheem Lundenga, Utamaduni na Michezo', Vijana
REDD’S MISS TANZANIA 2013 YAZINDULIWA RASMI.
SEVERINA LWINGA ATWAA TAJI LA MISS TANZANIA PERSONALITY 2013.
REDDS MISS TANZANIA 2012 KUTIMUA VUMBI JUMAMOSI TAREHE 03 NOVEMBA 2012.
← PICHA : BEYONCE, BLUE IVY WASHEREKEA BIRTHDAY YA JAY Z KATIKA KISIWA CHA ICELAND USIKU WA WAFALME : DIAMOND, MZEE YUSUPH WAPAGAWISHA MAELFU YA MASHABIKI DAR LIVE SIKUKUU YA CHRISMAS →
| 2017-06-24T01:48:48 |
https://larrybway91.wordpress.com/2014/12/25/shindano-la-miss-tanzania-lafungiwa-miaka-miwili/
|
[
-1
] |
Aloha Go,,wBuyBuy, Global Online Shopping, mpakani eCommerce, online ununuzi maduka, Global eCommerce jukwaa, International online ununuzi, kuuza Overseas, Kuuza kwa China, kuuza kwa Beijing, wanunuzi wa China, kuuza na Shanghai, kuuza na Japan, kuuza kwa Russia, kuuza Canada, kuuza kwa Afrika, kuuza kwa Brazil, kuuza kwa india, kuuza na Marekani, kuuza kwa ulimwengu, upanuzi wa nje ya nchi, Japan lenses, Japan rangi lenses, nje ya nchi kuagiza, wBuyBuy Global
41.11 Dola ya Marekani
36.54 Dola ya Marekani
| 2018-12-16T22:07:14 |
https://wbuybuy.com/aloha-go/sw/
|
[
-1
] |
CCM - the Tanzanian's Grand Old Party (GOP) | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
CCM - the Tanzanian's Grand Old Party (GOP)
Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by President Elect, Oct 2, 2011.
CCM ndio chama kikubwa na kikongwe zaidi nchini Tanzania - Grand Old Party (GOP).
Je CCM imefeli katika kuzikonga nyoyo za wananchi wetu wazalendo wa Taifa hili? Kama jibu ni 'ndio', basi uongozi wa juu una wajibu wa kulijua hilo na kurekebisha hali ya mwamko wa siasa ili kugusa dhamira na matakwa ya wananchi, huku wakifahamu wananchi wanataka nini.
Kama jibu ni 'sio', basi isibweteke, bali iongeze juhudi zaidi katika kulinda mafanikio yaliyoletwa na CCM kwa mustakabali wa maendeleo ya taifa letu la Tanzania.
Jibu ni NDIYO, CCM wanafahamu sana matakwa ya wananchi, lakini kutokana na ubinafsi na ufisadi
uliokidhiri wamefunga macho na masikio. Viongozi karibu wote wa ngazi za juu ni mafisadi
hakuna wa kumhukumu mwingine. Inakuwaje kiongozi anatuhuma nzito lakini hawajibiki wala kuwajibishwI?
Uswahiba umezidi, kujivua GAMBA imekuwa ni sawa na '"love story''''.
Chama hiKi kimedhihirisha kwa umma hakiwezi kufanya maamuzi MAGUMU.
Tuombe MUNGU kiporomoke tupate angalau watu/chama chenye taste mpya ya maendeleo. sio CCM wanao
tudanganya bado tuko kwenye mfumo wa UJAMAA NA KUJITEGEMEA, wakati viongozi wake ambao hata hawajawahi
kufanya biashara ya nyanya ni ma-billionare.
KISIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Kuporomoka, kufa, kuvunjika, au kusambaratika kwa CCM ni wazo hasi. Wazo chanya ni CCM kuwa imara zaidi na kusimamia serikali yetu kwa umakini zaidi.
Kubadili uongozi wa juu kabisa; Mwenyekiti wa Taifa, Makamu wake na Katibu Mkuu, ndio njia chanya ya kutuvusha kutoka hapa tulipo.
Kama Thabo Mbeki angeng'ang'ania uenyekiti, serikali ya ANC ingeondolewa madarakani na upinzani, lakini alipomwachia Jacob Zuma, ANC ilipeta kwenye uchaguzi mkuu.
Hivyo basi, endapo JK hataachia uenyekiti wa chama mwaka ujao, CCM itakuwa na hali ngumu sana 2015.
Namsihi sana Mwenyekiti wa CCM Taifa asigombee cheo hicho mwakani, ili tuwe na 'check & balance' kwa serikali yetu.
RED Tafadhali rekebisha, umeanzia kombo. Umetumia kigezo gani kusema ccm ni chama kikubwa Tz? Pili, ni mantiki gani umetumia kukilinganisha na vingine ktk umri i.e. ukongwe....maana kabla ya kuruhusiwa kwa hiana kuanzishwa kwa mfumo wa siasa ya vyama vingi ccm kilikuwa chenyewe tu. Kwa hiyo kutumia neno "ukongwe" maana ya umri sio mahala pake kama hoja ni levelled comparability. Unalinganisha vipi kutokwepo na kuwepo?
Kwa upande mwingine sasa, kuwepo kwa ccm na utawala wao/wake kwa Tz kwa miaka yote 50 kumekuwa ni balaa, janga na mzigo wa kila MTz mpenda haki, amani na maendeleo.
Mafanikio ya ccm ni haba sana, ya kulaghai na ambayo kwa ufupi ni aibu tupu. Wewe jaribu kufikiria rasilimali watu, maliasili na jiografia ya Tz kama vingetumika angalau 10% Tz leo ingekuwa wapi. Muda ambao walipewa (afforded) ni mwingi sana. Jiulize uwe na miaka 50 halafu uitwe mtoto .....je hilo sio tusi na udhalilishaji mkubwa?
Unajua ktk lugha kuna tofauti ya maana & matumizi ya maneno mbalimbali; sasa ccm wao kudumaza hii nchi hukuita amani, utulivu & maendeleo! Yale mambo waliyotuimbisha zamani mashuleni ya maadui wa Taifa ni hadithi maana hao maadu si tu kuwa bado wapo bali wameongezeka wingi na uwezo. ccm walisema ni vita sasa wameshindwa na hao maadui vibaya sana basi wakiri na kujisalimisha.
Fikisha ujumbe kwao kuwa, the only thing we want now is CCM OUT!!!
Wewe maoni yako ni nini? Si unaishi humu humu nchini?
| 2018-01-22T09:03:26 |
https://www.jamiiforums.com/threads/ccm-the-tanzanians-grand-old-party-gop.178120/
|
[
-1
] |
HR/CUF kukukubali kujiunga na Chadema kambi ya upinzani ni Hatari | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
HR/CUF kukukubali kujiunga na Chadema kambi ya upinzani ni Hatari
Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by LAT, Nov 28, 2010.
Naomba niende kwenye msingi wenyewe bila maelezo mengi... Kuhusu yaliyojiri kwenye mdahalo wa jana
Baada ya Mh. Hamad Rashid kujibiwa hoja zake kwa kina na Mh. Freeman mbowe ampapo iliwekwa bayana kabisa kwamba kitendo walichofanya chadema ni Protest which is the right and freedom of expression na pia ilifanyika mbele ya watanzania wote na mkuu wao wa nchi wakiwemo wawakilishi wa kimataifa, jaji mkuu... na mwanasheria mkuu... Mh. Mbowe pia alifafanua kuwa hakuna kifungu chochote cha sheria za nchi zinazomtaka mtu kutambua matokeo ya uchaguzi
Haya yalitokana na madai ya Mh. Hamad Rashid kudai kuwa hawawezi kuungana na chama kisichomtambua rais wa nchi..... na chama kisichokua na sera ya serikali ya umoja wa kitaifa
ninajiuliza.... mwenyewe
je sera ya chama kuhusu serikali ya umoja wa kitaifa inaweza kutekelezeka bila kubadili katiba ambayo hairuhusu hili
Mh. RH kwa akili yake ya kawaida anajifanyisha kwamba hakuelewa maana ya kitu CHADEMA walichofanya
CUF kuna double standards.... katibu wao mkuu ni Makamu wa kwanza wa rais visiwani.... hivyo ni part and parcel of the isles government.... je wabunge wa CUF kunauwezekano wakatumwa hoja za msingi zilizo tengenezwa kwa pamoja na CUF na CCM hivyo kuugawa upinzani..... hauoni CUF wapo mguu nje mguu ndani
je.. serikali ya umoja wa kitaifa mara nyingi inatokea wakati gani.... au basi uelewa wa HR unahitilafu..... je serikali mbadala sio serikali ya mseto?
Kwa maono yangu,Kuanzia jana usiku Mh. Hamad Rashid anakubali na anaweka milango wazi kwenye kuungana katika kambia ya upinzani na chadema, Mini ninaona jambo hili ni Hatari sana kwa kambi ya upinzani...kwa sababu ameshawatenga na kuwachanganya vyama vingine kama NCCR na TLP..... jee hii si tactic ya CCM ya Divide and Rule?
Hii haijatulia kabisa, kwa upande wangu cuf kwa sasa ni kama serilikali sasa sijui wanataka kuwa upinzani kwa lipi, hebu ngoja tuangalie, lakini chadema wanapaswa kuwa makini la sivyo mambo yao yakwamishwa sana na hawa ccm b
Huyu Mbowe ni mmoja wa viongozi Corrupt ndani ya TZ. Vyama vyote vya Upinzani TZ pamoja na CCM, vyote vimejaa na viongozi ambao ni CORRUPT, LIERS, and JOKERS.
Huyu Mbowe ni mmoja wa viongozi Corrupt ndani ya TZ. Vyama vyote vya Upinzani TZ pamoja na CCM, vyote vimejaa na viongozi ambao ni CORRUPT, LIERS, and JOKERS.Click to expand...
pole pole.... be relevant to the thread
Msimamo wa CHADEMA ni sahihi kuwa wao wana wabunge wa kutosha kuweza kuongoza kambi ya upinzani bungeni kwahiyo hawana sababu ya msingi kutaka kuungana na vyama vingine ambavyo ni cronnies wa CCM!! Kazi ya chadema itakuwa ngumu sana bungeni iwapo watanasa kwenye huu mtego waliowekewa wa kushinikizwa kuungana na vyama ambavyo ni matawi ya CCM!! Chadema should go it alone for an effective opposition!
Ki-MSIMAMO CDM wako makini na wanaonekana kwamba wao wanafahamu nini wanachofananya! Kuonyesha kwamba wako makini hata maelezo yao yamejaa USHAWISHI WA KISHERIA na KI-KANUNI! Wao hawapingi ili mradi kupinga! Kwa mfano:-
Wameeleza wazi kwamba wao walichokifanya Bungeni ni "KUPROTEST" na kumuonyesha JK kwamba hawakubaliani na NJIA ZILIZOMPA USHINDI na walitaka hilo liwe wazi kwa kila mtu
Wameeleza wazi kwamba wao WALIKUWA TAYARI KUSHIRIKIANA NA VYAMA VINGINE VYA UPINZANI....tatizo ni kwamba vyama vyenyewe VILIWATENGA na kuanzisha kambi yao!! Kwa mantiki hii wakaamua WAENDELEE KUUNDA KAMBI YAO
Sasa hawa CUF wao ni WABISHI TU, ni watu wa shari, wanatakak tu kushindana na kuleta ufa ndani ya upinzani! Kimsingi tayari wameshakuwa sehemu ya dola/serikali, wamejipunguzia sifa ya wao kuwa "wapinzani" maana wameshirikiana na serikali kule Zanzibar.
Najiuliza masuala mengi sana, namshngaa HR anapotaka kila chama kikubaliane na SERA YAO....this is bull shit!!
Duh! kila nikisoma thread hizi za chadema na cuf na kusoma michango ya watu napata kitu kimoja, wengi bado hawajui maana ya serikali ya mseto, na hawajui maana ya upinzani hasa!
what happened in zanzibar is desirable in Bara, however, this will not eliminate the title of oppositon party, serikali na vyama ni vitu viwili tofauti.
At a glance in mainland Slaa or should I say chadema where supposed to have atleast three ministries to lead on! Serikali ya mseto is not an option ia must! CUF have done so in zanzibar, eti kuwa na serikali moja ya mseto kunaua upinzania YES and only yes kama hao opposion lengo lao ni uongozi tu! but NO and big no kama tu lengo la viongozi ni kuweza ku-achieve certain remakable golas These kinds of governments are common in many countries!!!1 guys ebu amkeni acheni kutuaibisha duh!!
Serikali ya mseto is not an option ia must! CUF have done so in zanzibar,Click to expand...
please kaka ..... zanzibar kuna serikali ya umoja wa kitaifa.... sawa sawaaa
Sikupenda body language ya HR hata kidogo maana ilikuwa inaamsha hisia hasi kwa wafuasi wa CUF. Na ni dhahiri sasa kwamba CUF ni chama pinzani kwa CDM. Hoja za CDM zimejaa mantiki na kutowaelewa CDM ni wendawazimu tu!
Tumulize Mh. RH kwani CUF walivyoingia ktk maridhiano kule znz bila kuwashilikisha wapinzani wezao walikuwa wanajisikiaje? Msimamo wa CDM upo sawa!
Cuf wamenunuliwa.Wanalazimisha sera yao iwe sera ya vyama vyote.Ni kama vile malengo yao kisiasa yametimia.Hawa jamaa sio wapinzani tena.CUF ni hatari kwa opposition nchini.Wanaongea kishabiki,chadema wanaongea kimantiki
HR/CUF SIYO MJINGA ILA CUF WAMEUMIZWA SANA!
In any politics especially serious political party timing ni kitu muhimu saana na HR/CUF analielewa hilo na kitendo cha CHADEMA kuitumia ile fursa adimu pale Bungeni na kutoka nje huku macho na masikio ya Watanzania na watu mashirika ya kima-taifa, kidini na taasisi mbalimbali wakitega masikio na macho yao kumsikiliza Rais akitoa mwongozo wa serikali yake na ghafula CHADEMA chini ya FREEMAN ELIKAEL MBOWE ana overshadow kila kitu na ku mfunika Rais na maswaiba wote si swala dogo hilo ni pigo ki siasa.
Hilo ni jeraha kubwa mno kisiasa ni , nafasi inayotokea mara moja kwa kila miaka mitano ni watu wenye akili ndogo sana wanaoweza kulipinga hili huu ni ushindi kwa CHADEMA na CCM,CUF na wana siasa Duniani wanaelewa hayo "window of opportunity" umewaweka CHADEMA mahali pazuri kisiasa baada ya kuteka nyara anga zote za habari na jina lao kuwe a "Household name" overnight kwa gharama ndogo ya sacrifice kubwa ya Wabunge waelewa.
CUF kama majeruhi wamekosa Front pages amabazo walikuwa nazo na wakadhani zitaongezeka kwani hata magazeti ya CCM yangeendelea kuwapamba. hiyo ndo hasira ya HR/CUF.
BaadMAALIM SEIF KUTENGENEZEWA ulaji hawa wote wametoswa na habari zao hazitauzika tena kwani wamejiweka kwenye ka dirisha kadogo ka kuzungumza na Mwenyekiti/Katibu wamejifunga mdomo na hii ni hatari kwa chama chochote cha ki siasa.
HR/CUF ongeeni nao lakini kwa ushirikiano hawafai hata kukaribishwa kwenye Coffee table ya CHADEMA.Watawahujumu.
CUF BARA UONE HUO MTEGO NA ANGALIENI MTAKUWA WAPI MIAKA MITATU IJAYO, CHUKUENI HATUA KWANI ZANZIBAR ITAKUWA ZANZIBAR BARA ITAKUWA BARA TUKUTANA KWENYE MUUNGANO MPYA NA SAFI AMBAO HAUTAHITAJI KUWA NA CUF BUGURUNI.
CHADEMA IMEFIKISHA MESSAGE NA MSIMAMO NA MADAI YAO DUNIANI KOOOTE NA NCHI NZIMA KWA MUDA ULE MFUPI.
CHADEMA KIMEANDIKA HISTORIA NA KUCHUKUA FRONT LEAD YA KUDAI KATIBA NA NEC MPYA KWANI CUF KWA SASA WANACHODAI NI KIRAKA KIDOGO TU KWENYE KATIBA KWANI ILIYOPO IMEWAFAA NA WAMEAMUA KUUNGANA.
MUUNGANO WA CUF NI BOMU LA MUDA LITAKALO PASUKIA HUKU BARA KWANI CUF/BARA WATAKAPO JUA HAWANA STAKE KWENYE MUUNANO ULIOWATENGENEZEA MASLAHI VIONGOZI WAO WA VISIWANI WATAAMUA KUJITENGA KWA KUIDAI TANGANYIKA YAO NA CHADEMA WAIT AND SEE.
mimi nadhani ni sahihi kabisa kama alivyosema Mh. Mbowe kwamba HR/CUF imechanganyikiwa kutokana na mkanganyo mkubwa wa kikatiba baada ya MUAFAKA kati ya CCM na CUF zanzibar.... hatimaye wamebadilisha katiba ya Zanzibar ku accomodate MUAFAKA THUS... what is the effect to the UNION ..... everything is dumb...... and silent and CUF and CCM zanzibar intentionally did not want to root on this because it could have been a blessing for the opposition....
kikubwa hapa ni kuweka wazi kuwa CUF ni wapinzani bara lakini Zanzibar sio wapinzani..... je hii sio mkanganyiko na double standards ?
tonyk2 amelielezea vizuri sana ili la chadema kususia hotuba ya JK; watu wengine inabidi wajilipue nakuteketeza maelfu ya wengine ili ujumbe wao uweze kufikia jumuia ya kimataifa, kwa chadema imeweza kufikisha ujumbe wake katika medani ya kimatifa kwa njia ya amani, bila ya kupoteza roho ya mtu yeyote. Huo siyo ushidi mdogo, ni mwendawazimu au yule mwenye mtindio wa ubongo hasiyeyaona mafanikio hayo. Kuhusu hoja ya waberoya kuwa Afrika inahitaji kuwa na serikali za mseto kama ile ya Zanzibar hoja yake hiyo haina ukweli wowote. Katika nchi zilizoendelea, kuunda serikali ya mseto maana yake ni vyama vya siasa husika kukaa pamoja na kukubaliana kuunganisha sera za vyama hivyo wakati wa uhai wa serikali hiyo ya mseto. Kwetu huku serikali ya mseto nikuchukua watu wachache kutoka kwenye chama cha upinzani na kuwapa uwaziri. Utaratibu huo hauna manufaa yeyote kwa taifa mbali na kuwapa ulaji wahusika ili kuwaziba midomo.
Nawasihi sana chadema wasiungane na cuf kwa sababu mbili tu ya msingi kwamba:-
1. Wameingia dhambi ya kuvunja katiba ya muungano wa tanzania kinyemela na kwa kigezo kwamba wananchi wa zanzibar wameridhia ilhali hawajaridhia kuvunjwa sheria mama! [wameongeza kipengele cha makamu wawili wa rais kinyume na tamko la katiba ya jamhuri ya muungano inayoongelea waziri kiongozi]
2. Wamedhamilia kugonganisha/kugombanisha vyama vya upinzani na chama tawala ilhali kinachotakiwa ni hoja mbadala kati ya chama tawala na vyama vya upinzani. Wanagombanisha kwa kuungana na chama tawala kuunda serikali wakati huo wakiiambia jamii kuwa wao ni wapinzani wa serikali! Je, utapinga wazo lako mwenyewe na ukaeleweka?
mkuu .... mimi nipo nyuma yako nikitoa angalizo la kwamba je kikao cha wawakilishi officially kina upinzani na ni nani?
kama Tanzania ni moja basi kwa nini katiba iruhusu pande mbili kuwa na mfumo tofauti wa muundo wa serikali.... pamoja na kwamba zanzibar wamesha declare kwamba ni nchi..
from as of today nitawaita CUF = FUC, hawa FUC hasa HR hawafai tumeongea mengi stay away from them
CUF wamepoteza haki ya kuwa chama cha upinzani Zanzibar. Je, 2015 kama Maalim Seif akigombea urais na akashindwa atalalamikia serikali wakati ye ni kiongozi wake? Au tume ya uchaguzi ambayo ipo chini yake?
| 2017-07-26T11:24:08 |
https://www.jamiiforums.com/threads/hr-cuf-kukukubali-kujiunga-na-chadema-kambi-ya-upinzani-ni-hatari.91786/
|
[
-1
] |
NI MARA CHACHE SANA KIPATO CHA MTU KUZIDI UELEWA WA MTU HUYO | BUKOBA WADAU
Wakati mmoja tajiri alisema: kama fedha zote duniani zikikusanywa na kugawiwa sawa kwa watu wote, baada ya kipindi kifupi, fedha hizi zitakuwa zimerudi mifukoni mwa matajiri walionazo leo!!!
Ni vigumu sana, kutunza na kumiliki kwa kwa muda mrefu, mali au utajiri ambao haukutokana na kuongezeka kwa uelewa wa mtu husika.
maisha ya mtu sasa, ni matokeo ya uelewa wa mtu wa jana.....hili mtu huyu awe na maisha tofauti kesho, basi ni sharti mtu huyu aanze kuongeza uelewa LEO.
JAMBO KUBWA NI KUHAKIKISHA KILA SIKU MTU HUYU ANAONGEZA THAMANI YAKE.
kumbuka kila mtu analipwa sokoni kulingana na thamani aliyonayo hapo sokoni....stori hii fupi inatuonesha ukweli huu:
Kumbe ulemavu wa viuongo, unene, uwembamba, ufupi, urefu, na sura bora....vyote hivi havina nguvu ktk kusababisha mtu kuongezeka kimaisha....ulemavu mkubwa wa mafanikio unaanzia kwenye uelewa.
Badala ya Nick kijana mlemavu wa viungo kuangalia udhaifu alionao, yeye aliamua kuangalia nguvu ya vichache alivyo navyo na kuvitumia vema, na hivyo kuweka historia kubwa.
TATIZO LA WATU WENGI NI KULALAMIKA NA WASIVYO NAVYO, BADALA YA KUANGALIA VILE WALIVYONAVYO NA KUAMUA KUVITUMIA VYEMA....KILA MTU KUNA KITU ALICHONACHO LEO, AMBACHO AKIANZA KUKITUMIA VEMA, MAISHA YA MTU HUYU YANABADILIKA KABISA.....EBU PATA DK CHACHE UJIULIZE, UNA NINI MKONONI?
NA HILI UJUE NGUVU YAKO HALISI, LAZIMA UCHUKUE MUDA WA KUTOSHA KUJIFAHAMU, BADALA YA KUCHUKUA MUDA MWINGI KUWAFAHAMU NA KUWA MASHABIKI WA WATU WENGINE......tuliwashabikia watu wengi tangu hapo awali.....wapiganaji wakubwa, wachezaji wakubwa, wanasiasa wakubwa, matajiri wakubwa, wanamziki wakubwa, waigizaji wakubwa......hata hivyo watu wale wa kale, sasa hawapo tena kwenye ramani, wamejitokeza wengine ambao nao watapita....kamwe mfumo huu hautakwisha..
Cha kujiuliza ni lini utaanza kuwa shabiki wa maisha yako na kipaji chako?
TUNAWATAKIENI JUMAMOSI NJEMA
Posted by Bukobawadau at 1:17 PM
| 2019-05-19T20:41:26 |
http://www.bukoba-wadau.com/2014/09/ni-mara-chache-sana-kipato-cha-mtu.html
|
[
-1
] |
Tangazo la Zabuni: Seti za YHT zitarekebishwa | RayHaber | raillynews
« Tangazo la Zabuni: Uboreshaji wa Tunu No 3 Kati ya Vituo vya Muratbağı-Palu
Tangazo la Zabuni: Huduma ya Ushauri wa Uhandisi wa Upanuzi wa Ankaray itachukuliwa »
Seti za YHT zitarekebishwa
KUTAKA YA MAENDELEZO NA MAFUNZO YAKATI
Kifungu cha 1 - Taarifa ya Mmiliki wa Biashara
1.1. Mmiliki wa biashara;
a) Jina: Jamhuri ya Uturuki ya Jimbo la Reli Usafiri Co Kurugenzi Mkuu
b) Anwani: Wilaya ya Altındağ, Wilaya ya Hacı Bayram, Hipodrom Caddesi, Hapana: 3
Gar-Ankara / Uturuki
c) Nambari ya simu: 90.312.309 05 15/71549 - 71579 - 71309
e) Anwani ya barua-pepe: [email protected]
d) Nambari ya Fax: 90.312.309 13 53
f) Jina la jina / kichwa cha wafanyikazi husika: Je! Mhandisi wa KURT, Muuguzi ManagerAHİN Meneja wa Tawi
1.2. Wafanyabiashara wanaweza kupata habari kuhusu zabuni kwa kuwasiliana na wafanyakazi kutoka kwa anwani na nambari zilizo hapo juu.
Kifungu 2- Taarifa juu ya Somo la Mkataba
Huduma ya somo la zabuni;
a) Jina: 12 CAF 65000 Series YHT Sets na 12 SIEMENS Velaro Series SetsYH Sets za kazi zote za Usogezaji, Uharibifu, Urekebishaji na Ununuzi wa Uchoraji.
b) Usajili wa GCC Hapana: 2020 / 231827
c) Wingi na aina: 12 CAF 65000 Series YHT Sets na 12 SIEMENS Velaro Series SetsYHT Seti za Kazi Zote za Mafuta, Uharibifu, Ukarabati na Uchoraji Kazi wa Uchoraji.
d) Mahali pa hatua: Inaonyeshwa kwenye kiambatisho cha Maelezo ya Kiufundi.
e) Maelezo mengine:
Kifungu cha 3- Taarifa za zabuni
Habari juu ya zabuni:
a) Utaratibu wa Zabuni: Zabuni ya wazi
b) Anwani ya ununuzi: Kurugenzi kuu ya TCDD Idara ya Ununuzi na Nyumba ya Udhibiti ya Jumba la Mkutano wa Tume ya Zabuni ya Umma (4052 No. B) / Altındağ, kitongoji cha Haci Bayram, Hippodrome Caddesi, No: 3 Gar-Ankara / Uturuki
c) Tarehe ya zabuni: 03.06.2020
d) Wakati wa zabuni: 14: 30
e) Mahali pa Mkutano wa Kamati ya Zabuni: Kurugenzi kuu ya TCDD Idara ya Ununuzi na Mali ya Udhibiti ya Jumba la Mkutano wa Tume ya Zabuni ya Umma (4052 No. B) Altındağ, kitongoji cha Haci Bayram, Hippodrome Caddesi, No: 3 Gar-Ankara / Uturuki
Ilani ya Zabuni: Vipengee vya ununuliwa vitununuliwa (Matengenezo na ukarabati wa Sura za YHT…
Tangazo la zabuni: Huduma za Matengenezo na Matengenezo ya YHT Sets zitapata
Ilani ya Ununuzi: Ununuzi wa Sehemu za Spare (Utunzaji na Urekebishaji wa DMU Sets ya Sura ya ve
Ilani ya Zabuni: Huduma za matengenezo na matengenezo ya Hati za Treni za Juu zitapatikana…
Taarifa ya Ununuzi: Kituo kitajengwa kwa ajili ya matengenezo ya seti za Treni E23000
Uingizwaji wa matengenezo na ukarabati wa seti za treni ya dizeli aina ya MT 30000…
Usafishaji wa reli za treni na seti ya treni
Piga kura ya utafiti wa rangi ya YHT
Ufafanuzi wa Ufundi wa vipimo vya Siemens YHT
Matangazo ya zabuni: zabuni ya kitengo cha 15000 cha viti vya seti za aina ya DMU 100
Ilani ya Ununuzi: Matengenezo ya Umri wa mwaka 1 wa Polatlı-Konya YHT Line…
Tahadhari ya zabuni: Matengenezo ya Matengenezo na Matengenezo ya Bridge ya YHT
Tangazo la zabuni: EXTINGUISHISHA matengenezo na matengenezo ya Tugboat ya Tugboat
| 2020-06-01T06:31:26 |
https://sw.rayhaber.com/jitihada/zabuni-za-kutangaza-zabuni-yht-zitarekebishwa/
|
[
-1
] |
Ubatizo wangu una maana? | Bible Toolbox
Nilibatizwa miaka mingi iliyopita. Hii ina maana gani sasa? Je ina maana yeyote? Kwa mimi ubatizo una maana kubwa wakati nikiwa mtoto nilibatizwa sikuwa na la kufanya sikujua, wala kufanikiwa au kubadilisha. Hata kama ni kitu kidogo. Kama nikiwa ndani ya kutokamilika, kutokujua au kuwa mzuri- nilikuwa wa kutosha kwa Mungu. Nilikuwa mwenye haki kwa sababu Yesu alikufa kwa ajili yangu na alizipatanisha dhambi zangu. Ilikuwa hivyo na iko hivyo sasa. Hivi ndiyo ubatizo unavyonikumbusha mimi.
Vipi kama kila asubuhi tungeweza kusema sisi wenyewe ubatizo una maana gani, kama nilivyo mimi ni mali ya Mungu na ninakwenda mbinguni kama nilivyo, ninawezakupata suluhisho kwa Yesu. Sasa hii inaleta furaha na heshima. Hili ni jambo ambalo linaleta nguvu na kuishi kama mkristo na kuishi kwa mapenzi ya Mungu hata kama kwa kiasi kidogo.
Biblia inafundisha kwamba tumeokolewa kwa neema. Kwa kuokolewa kwa neema ina maana kwamba tunaweza kuwa mali ya Mungu pasipo kuwa na kuchangia na kuipata mbingu kama jinsi tulivyo na yote hii ni kwa sababu ya kazi ya Yesu msalabani. Kila mtu aliyebatizwa na kuamini katika Yesu ataokolewa kwa neema.
“Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani, ambayo hiyo haikutokana na nafsi zenu, ni kipawa cha Mungu."
(Efeso 2:8 SAV)
| 2020-07-14T17:28:16 |
https://www.bibletoolbox.net/sw/majibu/ubatizo-wangu-una-maana
|
[
-1
] |
Real Madrid wakataa “vipesa” vya United kwa ajili ya mchezaji huyu. | ShaffihDauda
Home Kimataifa Real Madrid wakataa “vipesa” vya United kwa ajili ya mchezaji huyu.
Real Madrid wakataa “vipesa” vya United kwa ajili ya mchezaji huyu.
Vita kati ya Real Madrid na Manchester United katika usajili imechukua sura mpya baada ya Real Madrid nao kulipiza kile ambacho Manchester United waliwafanyia kwa mlinda lango wao David De Gea.
Wiki iliyopita kuliibuka taarifa kwamba Real Madrid walijaribu kutuma ofa kwa Manchester United kwa ajili ya De Gea lakini United waliikataa ofa hiyo na kuwaambia Real Madrid wakaongeze dau hadi euro 66m.
Sasa wiki hii nayo United wametuma ofa kwa Real Madrid kujaribu kumsajili mshambuliaji wao Alvaro Morata ambaye tayari amekosa nafasi ya kudumu katika kikosi cha kocha Zinedine Zidane.
Manchester United wametuma ofa ya euro 52m lakini Real Madrid wamekataa kiasi hicho cha pesa na kuwaambia wakaongeze tena euro 26.6m ili kumpata Alvaro Morata ambaye pia anafukuziwa na Chelsea na Ac Millan.
Kutokana na ukubwa wa kikosi cha mabingwa hao wa champions league na kutokana na dakika chache ambazo Morata amekuwa akizipata uwanjani ni wazi kwamba Mhispania huyo anataka kuondoka ili kwenda sehemu ambako anaweza kupata nafasi ya kucheza.
Jose Mourinho anapambana sana kutafuta mshambuliaji mkubwa lakini madau yao yamekuwa hayashikiki, Mourinho anamtaka Lukaku pia ambaye habari zinadai anarudi Stamford Bridge lakini pia Mourinho anafuatilia kwa makini sahihi ya Andrea Belotti wa Torino.
Bado haijfahamika kama Jose Mourinho bado atatuma ofa nyingine kwa Real Madrid au ataachana na mpango wa kumnunua Morata au labda huenda akamtumia David De Gea kama sehemu ya kumnasa Alavaro Morata.
Previous articleVideo: Machache kutoka kwa mtanzania anaecheza Nakuru All Stars ya Kenya
Next articleGerard Pique aishambulia tena Real Madrid.
| 2018-09-22T16:42:59 |
http://shaffihdauda.co.tz/2017/06/07/real-madrid-wakataa-vipesa-vya-united-kwa-ajili-ya-mchezaji-huyu/
|
[
-1
] |
Matokeo jimbo la Arumeru mashariki yatakua hivi | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Matokeo jimbo la Arumeru mashariki yatakua hivi
Discussion in 'Chaguzi Ndogo' started by beko, Mar 9, 2012.
ndugu wadau wa JF, yafuatayo yatakua matokeo ya kura za ubunge jimbo la Arumeru. Hii ni kwa Mijibu wa utafiti binafsi nilioufanya kabla hata ya kampeni kuanza
CHADEMA betwee 65%-70%
CCM arround 30%
All other parties less than 5%
Mkuu nadhani CHADEMA 85% -90%
Hali ni tete huko,na kuna nimesikia Mkapa kagoma kuzindua kampeni je ni kweli?
haya si mawazo ya mtu mwenye akiri timamu mwenye kujua siasa za tz
Mi natabiri hivi Ccm 63 %
Chadema 35 %
usiwe hna haraka ccm wanapanga kuiba kura
Natamani kila kitu kiende kama unavyotabiri shekhe.
CHADEMA watashinda lakini CCM watachakachua na siyoi atatangazwa mshindi.
Mkuu Beko, asante kwa utabiri, uchaguzi Arumeru ulishamalizika zamani na matokeo ndio kama hayo ila the other way round!. Kinachoendelea sasa ni kutimiza tuu matakwa ya kufuatwa kwa taratibu, sheria na kanuni!.
Hali ni tete huko,na kuna nimesikia Mkapa kagoma kuzindua kampeni je ni kweli?Click to expand...
Hata mimi nimesikia kuwa mzee Mkapa kakataa kuzindua kampeni.
HUTAKI UNAACHA.Click to expand...
ansante sana marehem sheikh yahya
Mkuu Beko, asante kwa utabiri, uchaguzi Arumeru ulishamalizika zamani na matokeo ndio kama hayo ila the other way round!. Kinachoendelea sasa ni kutimiza tuu matakwa ya kufuatwa kwa taratibu, sheria na kanuni!.Click to expand...
Vipi % itakayoharibika na zitakazoibiwa na ccm?
CHADEMA watashinda lakini CCM watachakachua na siyoi atatangazwa mshindi.Click to expand...
This time sahau kusikia chadema wakilalamika kwamba wamechakachuliwa huku meru wanashinda kwa ushindi ambao hautafaa kuchakachua na wamepanga safu za makamanda kila kijiji mawakala ni wazoefu kumbuka wale waliosimamia lema, mbowe na ndesamburo wakashinda wote watakuwa arumeru............. this time ushindi ni lazima, wanaccm wengi mpaka mabalozi washaikana ccm na wameahidi kuchagua CDM wengine wanafanya kimya kimya tu hawajitangazi ila sisi tulioko nao vijijini tunajua hata juzi pale kata ya maji ya chai kuna wajumbe walikoswakoswa na chadema & TAKUKURU waliporudi vijijini wameona wanahatarisha maisha yao kwa kuisaidia ccm ( wameshaanza kuogopa)
Unamuwakilisha nani? nyie ndiyo huwa mnalia na kudai matokeo yamechakachuliwa baada CCM kupata 65% to 90% itakavyokuwa Arumeru mashariki.
Mkuu nadhani CHADEMA 85% -90%Click to expand...
Great thinker siku zote haleti hoja ya kudhani humu. Fanyeni utafiki makini ndiyo urudi hapa wewe na huyu aliyeleta huu uzi.
Another Sheikh Yahaya at work!
Alloo hali ni tete huku kwetu Arumeru, Vituo vya Polisi na FFU vimehamia mtaani kwetu, sijui ni kwa nini hawa jamaa wana mawazo finyu! Afu kumbukeni huu ni uchaguzi ni kati ya CDM na Chama cha Lowassa, CCM wameshajiengua kwenye hiki kinyang'anyilo, Ndo mana Mzee Mkapa kawa mwelevu na kuamua kuwachunia kuja kuzindua campeni. Heko CDM mana Uongozi wa Arumeru upo mkononi mwenu! Nichukue nasfi hii kuwaalika wananchi wote wa Tz kuhudhuria uzinduzi wa Campeni wa kumnadi mgombea wetu mahili na mpiganaji wa kweli, Kijana Joshua Nassarii!
Kura za kweli za CCM 20% watakazoiba(kuchakachua)35% Jumla ya kura za ccm ni 55% na hawa CDM kura zote ni 40% uwezo wa kuchakachua hawana. Asilimia zitakazobaki na zile zilizochakachuliwa za ccm ni kura zitakazo haribika.Sasa ccm watatumia mwanya huo wa kuharibika kwa kura kuchakachua. Ni mtazamo tu!!
Kura za kweli za CCM 20% watakazoiba(kuchakachua)35% Jumla ya kura za ccm ni 55% na hawa CDM kura zote ni 40% uwezo wa kuchakachua hawana. Asilimia zitakazobaki na zile zilizochakachuliwa za ccm ni kura zitakazo haribika.Sasa ccm watatumia mwanya huo wa kuharibika kwa kura kuchakachua. Ni mtazamo tu!!Click to expand...
Unaishi wapi ndugu yangu??? Upo Arsh au upo mikoani? Sidhani kama kweli unaifahamu vzr halisi iliyopo Arumeru! Pole sana, rudi tena ukafanye utafiti upya! Kwa taarifa yako CDM itapita bila kizuizi chochte!
| 2016-12-09T15:32:54 |
http://www.jamiiforums.com/threads/matokeo-jimbo-la-arumeru-mashariki-yatakua-hivi.231651/
|
[
-1
] |
High Speed Internet Service Airway Heights WA | Airway Heights Rural Internet Provider Exede 99001
HughesNet Zip Codes in Airway Heights 99001 Other HughesNet Internet Satellite Provider areas Zip Codes Near Spokane County: White Swan WA, Zillah WA, Chattaroy WA, Cheney WA, HughesNet Satellite Internet Colbert WA, Deer Park WA, Edwall WA, Elk WA, Fairchild Air Force Base WA, HughesNet Satellite Internet Fairfield WA, Ford WA, Four Lakes WA, Freeman WA, Greenacres WA, HughesNet Satellite Internet Lamont WA, Latah WA, Liberty Lake WA, Marshall WA, Mead WA, HughesNet Satellite Internet Medical Lake WA, Mica WA, Newman Lake WA, Nine Mile Falls WA, Otis Orchards WA, HughesNet Satellite Internet Reardan WA, Rockford WA, Spangle WA, Sprague WA, Tekoa WA, HughesNet Satellite Internet Tumtum WA, Valleyford WA, Veradale WA, Waverly WA, Wellpinit WA, Schools in the area: Sunset elementary 12824 w 12th st No service
Internet Providers in: Airway Heights AL, AK, AZ, AR, CA, CO, CT, DE, FL, GA, HI, ID, IL, IN, IA, KS, KY, LA, ME, MD, MA, MI, MN, MS, MI, MT, NE,NV, NH, NJ, NM, NY, NC,ND, OH, OK, OR, PA, RI, SC, SD, TN, TX, UT, VT, VA, WA, WV, WI, WY.
| 2017-03-30T04:47:55 |
http://www.novoseek.com/hughesnet/washington/a/airway-heights/
|
[
-1
] |
Dkt. Mwakyembe Apongeza Vyombo Vya Habari kwa Kutangaza Vyema Mkutano wa 39 wa SADC. | JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Dkt. Mwakyembe Apongeza Vyombo Vya Habari kwa Kutangaza Vyema Mkutano wa 39 wa SADC.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza na waandishi wa Habari hawapo pichani jana jijini Dar es Salaam.
Na Shamimu Nyaki WHUSM- DODOMA
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe amevipongeza Vyombo vya Habari nchini kwa kazi kubwa ya kiuzalendo na weledi wa hali ya juu katika kutangaza Mkutano wa 39 wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) uliomalizika jana Jijini Dar es Salaam.
Dkt. Mwakyembe ametoa pongezi hizo jana Jijini hapo ambapo amesema kuwa uandishi wa habari wa kujenga na kukosoa ambao una lengo la kurekebisha unahitaji kupongezwa kwakua unasaidia jamii na Serikali katika kuleta maendeleo ya haraka kwa Taifa.
“Waandishi wa Habari mbali na kuutangaza Mkutano wa 39 wa SADC lakini pia wametumia taaluma yao kutangaza fursa za uwekezaji zinazopatikana hapa nchini kupitia sekta mbalimbali ikiwemo Uwekezaji katika viwanda, Utalii, Uchukuzi na nyinginezo,” alisema Dkt. Mwakyembe.
Ameongeza kuwa Uwenyekiti wa Tanzania ambao unaendeshwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli umeleta ari na matumaini mapya ambayo yatasaidia nchi wanachama kuondoa vikwazo vingi vya kibiashara na mawasiliano ya karibu baina ya nchi wanachama na kujenga ustawi wa uchumi kwa nchi hizo.
Aidha Mhe. Mwakyembe amesema kuwa baada ya lugha adhimu ya Kiswahili kutangazwa rasmi kuwa miongoni mwa lugha nne zinazotumika ndani ya Jumuiya hiyo, amewataka Watanzania kutumia fursa hiyo kutangaza bidhaa za lugha hiyo ikwemo uandishi wa vitabu vya kiada, ufundishaji wa lugha hiyo, kuuza Sanaa zinazotokana na lugha hiyo kwa nchi wanachama wa jumuiya hiyo.
Mkutano wa Jumuiya ya Kusini mwa Afrika SADC kwa Wakuu wa nchi na Viongozi wa Serikali umefanyika kuanzia Agosti 17- 18,2019 ambapo mambo mbalimbali yanayohusu nchi hizo yalijadiliwa ikwemo namna bora ya kuimarisha biashara ndani ya nchi hizo ambapo Tanzania imeteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo kwa kipindi cha mwaka mmoja kuanzia mwezi Agosti mwaka huu.
Dk.Shein Amuapisha Naibu Katibu Biashara na Viwanda →
| 2019-12-15T21:40:55 |
http://blog.maelezo.go.tz/dkt-mwakyembe-apongeza-vyombo-vya-habari-kwa-kutangaza-vyema-mkutano-wa-39-wa-sadc/
|
[
-1
] |
Colombia - Mafuta ghafi Uzalishaji
Urari Wa Biashara Ya -1.12 -1.65 0.81 -1.97 Usd - Bilioni [+]
Uagizaji 4.20 4.91 6.08 0.28 Usd - Bilioni [+]
Mauzo Ya Nje 3.32 3.08 5.71 0.02 Usd - Bilioni [+]
Ya Nje Madeni Ya 135817.79 135758.31 135817.79 36431.04 Usd - Milioni [+]
Mafuta Ghafi Uzalishaji 854.00 892.00 1035.00 356.00 BBL/D/1K [+]
Masharti Ya Biashara Ya 132.63 133.93 165.96 73.87 Index-Pointi [+]
Sasa, maadili, data ya kihistoria, utabiri, takwimu, chati na kalenda ya kiuchumi - Colombia - Mafuta ghafi Uzalishaji.
| 2019-12-06T07:59:26 |
https://sw.tradingeconomics.com/colombia/crude-oil-production
|
[
-1
] |
www.ngarakwetu.blogspot.com: UZINDUZI WA DAYOSISI BIHARAMULO,ASKOFU WA KWANZA VITHALIS YUSUPH SUNZU
Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikan Tanzania Dk.Jacob Chimeledya ametaka serikali kufanya marekebisho baadhi ya sheria ambazo zimekuwa kandamizi kwa jamii pamoja na kuiangazia upya mikataba yote inayohusu rasimimali za umma yakiwemo madini ili ziwe na manufaa kwa wananchi.
Askofu Chimeledya ametoa kauli hiyo kwenye ibada ya kuzindua dayosisi Mpya ya Biharamulo na kuwekwa Wakfu kwa Askofu wa kwanza wa Dayosisi hiyo Askofu Vithalis Yusuph.
Bila kutaja sheria husika ,Alisema baadhi ya sheria zikiwemo sheria paamoja na mikataba iliyoingiwa na serikali inaumiza wananchi na hivyo ifaa ifanyiwe marekebisho ili rasilimali hizo ziwanufaishe wananchi.
Alisema Tanzania bado ina mikataba mibovu hasa katika sekta ya madini kwani rasilimali hizo haziwanufaishi wananchi kama zilivyotolewa na mwenyezi Mungu kwa ajili wanadamu.
Alishauri serikali kuwa, kama kuna mikataba iliyoingiwa ni mibovu heri ikafanyiwa marebisho kuliko kuendelea kupoteza rasilimali nyingi za watanzania kwa manufaa ya watu wachache.
Aidha kusuhu sheia za mwanamke Askofu huyo alisema katika sheria nyingine mbovu ni sheria ya motto hasa wa kike ambapo baadi yake zimekuwa kandamizi kwa motto wa kike kwani zimekuwa hazimlindi mtoto wa kike katika mazingira ya leo na hivyo kuwa kandamizi kwake.
“Tunaomba sheria zirekebishwe zikiwemo za kulinda haki za mtoto wa kike katika mazingira ya leo.Tunaona baadhi ya sheria haziendani kabisa na utu wa kibinadamu na zimekandamizi kwa mtoto hasa wa kike”alisema Askofu.
Hata hivyo,alisema kanisa linaunga mkono juhudi za serikali inayoongozwa na Rais John Pombe Magufu katika kupigania rasilimali za nchi yakiwemo madini,na kuongeza kuwa kanisa litaendelea kumuombea.
“Tunatambua kazi nzuri zinazofanywa na rais Wetu Magufuli za kupigania rasimali za nchi,lakini cha msingi tunaomba kasoro zilizopo kwenye mikataba ya madini na sheria zingine mbovu zifanyiwe marekebisho…zipo kanuni nyingi ambazo zimetumifika hapa tulip oleo”alisema Askofu.
Aidha,Askofu wa Dayosisi ya Biharamulo katika Hotuba yake mara baada ya kusimikwa kuwa Askofu wa Dayosisi hiyo ya 28,alisema Watanzania walio wengi wanaishi katika mazingira magumu na ili kuondokana na hali hiyo Viongozi wa dini na serikali wana wajibu wa kuwahudumia wananchi kwa ushirikiano.
Katika kuonyesha kukerwa na tabia za utumikishwaji wa watoto,Askofu Yusuph alisema, kanisa la Angilikani Dayosisi ya Biharamulo halitakubali kuona motto anatumikishwa katika ajira hatarini za migodini,kwenye migahawa na kuchunga mifugo.
Akizungumzia changamoto za wananchi wa Biharamulo mbele ya Mgeni Rasim Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mstaafu Ezekiel Kyunga,alisema wakazi wa wilaya hiyo wanakabiliwa na tatizo la upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama.
Alisema kutokana na hali hiyo baadhi yao wamekuwa wakishinda usiku wamanane wakitafuta huduma ya maji sehemu mbalimbali na hata maji wanayotumia hayako salama kwa ajili ya Afya zao.
Aliongeza kuwa kanisa litashirikiana na serikali kuhakikisha huduma ya maji safi na salama kutoka Ziwa Victoria inapatikana kwani kanisa hilo linatambua juhudi za serikali za kuwaletea wananchi maendeleo.
Kwa upande wake Mgeni Rasmi Ezekiel Kyunga ambaye pia ni Mkuu wa mkoa wa Geita aliyemwakilisha Rais wa John Pombe Magufuli katika Hafla hiyo alisema,serikali itahakikisha inashughulikia kero za wananchi na kuwataka viongozi wa dini kutoa ushirikiano katika mkakati wa serikali ya awamu ya tano ya kuwaletea wananchi maendeleo.
Amewataka vongozi dini kuhakikisha wanatumia nafasi zao katika kueneza injili ili kuwa Taifa lenye kumpendeza Mungu na kupunguza uharifu unaojitokeza.
Kuhusu maji,alisema serikali iko tayari kushirikiana na kanisa hilo kuhakikisha wananchi wa Biharamulo wanapa huduma ya maji safi na salama,na kudai kuwa anatambua juhudi za kanisa hilo kutumia rasilimali fedha kuwahudumia wananchi ikiwemo elimu,Afya na Maji.
Shughuli za kusimikwa kwa Askofu huyo zilifanyikwa kwa kuzingatia miongozo ya kanisa hilo ikiwemo kula kusoma hati mbalimbali za viapo ili kulitumikia kanisa hilo.
Hafla hiyo ilihudhuriwa na Viongozi mbalimbali wa dini kutoka dayosisi za Tanzania viongozi wa serikali wakiwemo wakuu wa wilaya pamoja waumini wa dayosisi za Biharamulo na Kagera.
Posted by Juventus Juvenary at Sunday, June 25, 2017
| 2018-07-21T13:27:47 |
http://ngarakwetu.blogspot.com/2017/06/dayosisi-ya-biharamulo-yazinduliwa.html
|
[
-1
] |
STRIVE FOR LIFE: Naomi Campbell kutoa ushahidi dhidi ya Charles Taylor
Naomi Campbell kutoa ushahidi dhidi ya Charles Taylor
Mwanamitindo Naomi Campbell, anatarajiwa kutoa ushahidi katika mahakama ya jinai huko the Hague kwenye kesi inayomkabili rais wa zamani wa Liberia Charles Taylor.
Bi Campbell inadaiwa alipokea almasi kutoka kwa rais huyo wa zamani kama zawadi mwaka 1997 -- ingawa amekanusha.
Bwana Taylor anayekabiliwa na kesi ya mauaji ya kivita katika mahakama maalum kuhusu Sierra Leone huko the Hague, inadaiwa alimkabidhi Bi Campbell almasi kama zawadi mnamo mwaka huo akiwa nchini Afrika kusini kwa mwaliko wa rais mstaafu Nelson Mandela.
Hata hivyo Taylor amekanusha madai hayo na ndio sababu kuu ya bi Campbell kutakiwa kutoa ushahidi katika kesi hiyo.
Madai hayo pia yamesemekana kuwa sababu ya kesi dhidi ya Yaylor kwa vitendo vyake, wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe katika nchi jirani ya Sierra Leone.
Upande wa mashtaka ungetaka kuthibitisha kuwa bwana Taylor alihusika katika biashara ya kubadilishana silaha na kupewa Almasi zilizopatikana kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Sierra Leone
Posted by EDNA at 12:03
Ndio nasema, wewe fanya zambi ukiwa madarakani lakini kilio cha wanyonge kitakuandama ipo siku haki itatawala na kufikishwa mbele ya pilato. Jamaa alijua kuwa haya yatampata? awapi unapokuwa madarakani huwezi kukumbuka haya!
| 2017-12-11T04:01:27 |
http://ednaohman.blogspot.com/2010/08/naomi-campbell-kutoa-ushahidi-dhidi-ya.html
|
[
-1
] |
SERIKALI YAAHIDI KUSHIRIKIANA NA MASHIRIKA NA WADAU WA HABARI KUTOKOMEZA VITENDO VYA UKATILI KWA WAANDISHI WA HABARI | H@ki Ngowi
Mkuu wa ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Zulmira Rodrigue...
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) katika tasnia ya Habari na Mawasiliano, Ayub Rioba akiwasilisha mada ya wajibu wa vyombo vya habari huku akitolea mfano wa moja ya habari iliyobeba kichwa cha habari "Uhuru wa habari watikiswa Zimbabwe" katika moja ya magazeti ya Serikali wakati wa mkutano wa kitaifa wa mashauriano kuhusu hali ya usalama wa waandishi wa habari, uzinduzi wa kikosi kazi cha usalama wa waandishi wa habari na uandishi unaozingatia maadili ulioandaliwa na UNESCO.
Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Tanzania Daima, Neville Meena akiuliza swali kwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Assah Mwambene (hayupo pichani) katika mkutano wa kitaifa wa mashauriano kuhusu hali ya usalama wa waandishi wa habari, uzinduzi wa kikosi kazi cha usalama wa waandishi wa habari na uandishi unaozingatia maadili sambamba na kuadhimisha "International Day to #EndImpunity" ulioandaliwa na UNESCO.
Mkuu wa ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Zulmira Rodrigues akitoa maoni katika katika mkutano wa kitaifa wa mashauriano kuhusu hali ya usalama wa waandishi wa habari, uzinduzi wa kikosi kazi cha usalama wa waandishi wa habari na uandishi unaozingatia maadili sambamba na kuadhimisha "International Day to #EndImpunity" ulioandaliwa na UNESCO.
H@ki Ngowi: SERIKALI YAAHIDI KUSHIRIKIANA NA MASHIRIKA NA WADAU WA HABARI KUTOKOMEZA VITENDO VYA UKATILI KWA WAANDISHI WA HABARI
http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/IMG_2832.jpg
http://www.hakingowi.com/2015/11/serikali-yaahidi-kushirikiana-na.html
| 2018-04-22T02:43:45 |
http://www.hakingowi.com/2015/11/serikali-yaahidi-kushirikiana-na.html
|
[
-1
] |
SHUHUDIA TUKIO LA KUPATWA KWA MWEZI 2017 – Binagi Media Group
SHUHUDIA TUKIO LA KUPATWA KWA MWEZI 2017
Leo jumatatu Agosti 07,2017 mabara mbalimbali katika sayari ya dunia ikiwemo Afrika yatashuhudia tukio la asili la kupatwa kwa Mwezi ambapo sayari hii ya Dunia itakuwa kwenye mstari mmoja kati ya jua na mwezi.
Hili ni tukio muhimu linalotarajiwa kufuatiliwa na watu wengi hata hapa nchini kwani wamekuwa wakilisoma kwenye vitabu na machapisho mbalimbali bila kujionea uhalisia wake kwa macho hivyo linapotokea huwa ni wasaa mzuri kwa kila mmoja kulishuhudia kwa macho.
Inasadikika kwamba mwaka huu kupatwa kwa Jua kutaonekana kwenye mataifa mengi zaidi duniani na kwamba nchi za Afrika Mashariki zitalishuhudia kwa uzuri zaidi bila hata kuhitaji vifaa vya kitaalmu (majira ya saa mbili usiku kwa saa za Afrika Mashariki), ingawa itakuwa tofauti kwa bara la Amerika ambako tukio hilo halitaonekana kiurahisi.
Tukio jingine ambalo huvutia wengi duniani (ingawa halitokei leo) ni lile la Kupatwa kwa Jua (solar eclipse) ambalo ni tukio la Jua kutoonekana ama kuonekana kisehemu kidogo tu angani wakati wa mchana.
Hutokea wakati Mwezi unapita kati ya Jua na Dunia na hivyo kufunika Jua. Matokeo yake ni kupungua kwa Jua hadi kutoonekana tena hadi kufikia hali ya giza wakati wa mchana. Tukio hili hutokea kwa dakika chache tu.
Kupatwa kwa Jua kunatokea kama dunia, mwezi na jua zinakaa kwenye mstari mmoja mnyoofu yaani wakati mwezi unapita kati ya dunia na jua.
Imeandaliwa na BMG kwa msaada wa mitandao mbalimbali
← Previous Story ISOME RIPOTI MPYA YA TAASISI YA MISA TANZANIA
| 2018-03-24T19:40:23 |
http://www.bmghabari.com/shuhudia-tukio-la-kupatwa-kwa-mwezi-2017/
|
[
-1
] |
Nishati Ya Chini Ya Nishati Kuokoa
Home > Bidhaa > Nishati Ya Chini Ya Nishati Kuokoa (Jumla ya 24 Bidhaa kwa Nishati Ya Chini Ya Nishati Kuokoa)
Nishati Ya Chini Ya Nishati Kuokoa - mtengenezaji, kiwanda, muuzaji kutoka China
Sisi ni maalumu Nishati Ya Chini Ya Nishati Kuokoa wazalishaji na wasambazaji / kiwanda kutoka China. Ya jumla Nishati Ya Chini Ya Nishati Kuokoa na ubora wa juu kama bei ya chini / bei nafuu, mojawapo ya Nishati Ya Chini Ya Nishati Kuokoa bidhaa za kuongoza kutoka China, ZHEJIANG FIZZ NEW ENERGY CO.,LTD .
Nishati Ya Chini Ya Nishati Kuokoa jumla kutoka China, Direct Buy kutoka China wazalishaji wa kuongoza kwa bei nafuu kiwanda. Pata bidhaa Nishati Ya Chini Ya Nishati Kuokoa jumla kwenye ZHEJIANG FIZZ NEW ENERGY CO.,LTD na kupata ubora wa juu Nishati Ya Chini Ya Nishati Kuokoa moja kwa moja kutoka kwa wauzaji wa jumla wa China Nishati Ya Chini Ya Nishati Kuokoa na wasambazaji. Tuma mahitaji yako ya kununua & Pata majibu ya haraka.
| 2020-06-04T18:36:50 |
http://sw.ywfizz.com/dp-nishati-ya-chini-ya-nishati-kuokoa.html
|
[
-1
] |
PressReader - Dimba: 2017-10-11 - OKWI AWAKALIA KOONI 4 LIGI KUU
OKWI AWAKALIA KOONI 4 LIGI KUU
Dimba - 2017-10-11 - Mbele - NA MARTIN MAZUGWA
KASI ya ufungaji mabao inayoonyeshwa na mshambualiaji wa Simba, Emanuel Okwi, imeanza kuwatia presha nyota wanne wanaowania kiatu cha dhahabu msimu huu ambao wamekuwa wakimhofia mkali huyo.
Okwi anaongoza katika orodha ya wafungaji akiwa na mabao sita, akifuatiwa na Mohamed Rashid wa Tanzania Prisons mwenye mabao manne, ambaye amekabidhiwa viatu vya Victor Hangaya, aliyetimkia Mbeya City.
Wengine ni Shiza Kichuya mwenye mabao matatu, ambaye msimu uliopita ndiye alikuwa mfungaji bora katika kikosi cha Simba kwa kuweka nyavuni mabao 13, huku Mbaraka Yusuph wa Azam FC, ambaye alikuwa akiichezea Kagera Sugar, akimaliza msimu na mabao 12.
Nyota hao kila mmoja malengo yake ni kuhakikisha anakuwa mfungaji bora, lakini kasi aliyonayo Okwi, anawatisha, licha ya kwamba wanapambana mpaka dakika ya mwisho.
Akimzungumzia Mganda huyo, Kocha Mkuu wa Simba, Joseph Omog, amesema anafarijika sana kuwa na mtu mwenye uchu wa kufunga mabao, hiyo ikiashiria kwamba anaweza kuwa mfungaji bora.
"Okwi atakuwa miongoni mwa wachezaji nitakaowatumia mara kwa mara kutokana na uwezo wake ndani ya Uwanja, anafunga mabao na ninaamini anaweza akawa mfungaji bora," alisema.
Okwi alifunga mabao katika mchezo dhidi ya Ruvu Shooting na Mwadui FC, lakini akashindwa kufunga katika michezo miwili dhidi ya Mbao FC, na Stand United, lakini sasa ameahidi kufanya vizuri mchezo ujao dhidi ya Mtibwa Sugar, Jumapili ya wiki hii.
"Kufunga au kutofunga ni sehemu ya mchezo, ila naamini nitarudi kivingine katika mchezo ujao, ambao ni muhimu kwangu na kikosi kizima cha Simba,” alisema.
| 2018-02-22T13:40:25 |
http://www.pressreader.com/tanzania/dimba/20171011/281711204869363
|
[
-1
] |
BBC Swahili - Habari - Malema ahusishwa tena na ufisadi
Imebadilishwa: 11 Oktoba, 2012 - Saa 13:28 GMT
Alisema kuwa uchunguzi uliofanywa na mhifadhi wa mali ya umma, Thuli Madonsela kuhusu kampuni yake kupewa zabuni na serikali , ilimpata na hatia ya ufisadi bila yeye mwenyewe kuwepo.
Aliongeza kuwa Bbwana Malema na mshirika wake wa kibiashara wanaomiliki kampuni hiyo, walijinufaisha kwa vitendo fisadi vya kampuni yenyewe na idara ya usafiri ya serikali.
Ripoti ilisema kuwa kampuni hiyo ilishinda zabuni ya dola milioni 51 mnamo mwaka 2009 licha ya kwamba ilikuwa imeendesha shughuli zake tu kwa mwezi mmoja, haikuwa na wafanyakazi wala mali au kupata faida yoyote.
| 2018-05-25T06:14:51 |
http://www.bbc.com/swahili/habari/2012/10/121011_malema_kampuni.shtml
|
[
-1
] |
BAJETI KUU YA SERIKALI YAPITISHWA KWA KISHINDO MJINI DODOMA - MAENDELEO VIJIJINI
Home / UCHUMI / BAJETI KUU YA SERIKALI YAPITISHWA KWA KISHINDO MJINI DODOMA
BAJETI KUU YA SERIKALI YAPITISHWA KWA KISHINDO MJINI DODOMA
Maendeleo Vijijini 6/21/2017 05:00:00 PM UCHUMI
Mbunge wa Jimbo la Mtama, Mhe. Nape Mnauye akimpongeza Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb), kwa kufanikisha kuandaa na hatimaye kupitishwa kwa Bajeti ya kihistoria ya shilingi trilioni 31.7 ya Mwaka wa Fedha 2017/2018, mjini Dodoma
Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango (Mb) na Naibu wake Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi waandamizi wa Wizara hiyo baada ya Bunge kupitisha Bajeti Kuu ya Serikali ya Shilingi trilioni 31.7 mjini Dodoma.
| 2018-04-26T18:54:51 |
http://maendeleovijijini.blogspot.com/2017/06/bajeti-kuu-ya-serikali-yapitishwa-kwa.html
|
[
-1
] |
Kenya vs Tanzania: Taifa Stars yalipiza kisasi dhidi ya Harambee Stars ▷ Tuko.co.ke
Kenya vs Tanzania: Taifa Stars yalipiza kisasi dhidi ya Harambee Stars
3 months ago 2694 views by Adlyne Wangusi
-Tanzania wamefuzu katika raundi ya pili ya mashindano ya CHAN
-Mechi hiyo iliamuliwa kupitia mikwaju ya penalti baada ya timu zote mbili kutoka sare tasa katika muda wa kawaida wa mchezo
-Tanzania watavaana na Sudan katika fainali ya kufuzu kwa mchuano huo
Timu ya taifa ya Tanzania ya Taifa Stars, wamejipatia tiketi ya kushiriki katika raundi ya pili ya michuano ya Kombe la Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za nyumbani (CHAN), baada ya kuwacharaza Kenya 4-1 kupitia mikwaju ya penalti katika dimba iliyosakatwa ugani Kasarani, Jumapili, Agosti 4.
Timu zote mbili zilikuwa na hamu ya mchezo kufuatia sare tasa katika mkondo wa kwanza wa mechi hiyo iliyoandaliwa jijini Dar Es Salaam, Tanzania.
Habari Nyingine: Jose Mourinho abashiri kuwa Tammy Abraham na Kurt Zouma ndiyo watangaa Chelsea msimu mpya
Habari Nyingine: Lionel Messi apigwa marufuku kucheza mechi za kimataifa kwa miezi 3
Kenya, ambao walikuwa wakipigiwa mpato katika mkondo wa pili wa mashindano hayo, walishindwa kutumia nafasi hiyo katika dakika za kwanza za mchezo huku wakiwa wenyeji wa mechi hiyo, Tanzania kwa upande wao waliandikisha matokeo bora na kulazimu mechi hiyo kutamatika kwa droo tasa.
Vijana hao wa Sebastien Migne, walianza mashambulizi katika kipindi cha kwanza, lakini wakashindwa kutwaa ushindi katika kipindi cha pili huku Whyvonne Isuza akipoteza nafasi murwa ya kufunga bao kunako dakika ya 77.
Hata hivyo, wageni katika safu yao ya ulinzi waliweza kuwazuia Stars kutopenya kuingia katika ngome yao huku wakishikilia mechi hiyo kukamilika kwa sare tasa katika dakika za lala salama.
Lakini huku mkondo wa kwanza wa mechi hiyo ukitamatika droo tasa, mechi hiyo iliamuliwa kupitia mikwaju ya penalti ambapo Tanzania ilinyakuwa ushindi.
Nyoni, Nyanganya na Gadiel ndiyo waliokuwa wafyatuzi wa Taifa Stars, huku Miheso ndiye aliyeweza kuonja nyavu pekee, ambapo Joash Onyango na Kibwage wakikosa kutinga mabao.
Tanzania kwa sasa itakutana na Sudan katika raundi ya mwisho ya mechi ya kufuzu kwa mashindano hayo.
Sports NewsTanzania NewsSports Betting in Kenya NewsLatest Harambee Stars News Now
Mwanamke ahadithia kwa huzuni vile mumewe alifariki siku 3 baada ya harusi yao
| 2019-11-16T02:46:37 |
https://kiswahili.tuko.co.ke/312133-kenya-tanzania-taifa-stars-yalipiza-kisasi-dhidi-ya-harambee-stars.html
|
[
-1
] |
Tanzania Kuanza Kuuza Masafa ya Mawasiliano kwa Njia ya Mnada Kuanzia Mwakani. | MPEKUZI
Tanzania Kuanza Kuuza Masafa ya Mawasiliano kwa Njia ya Mnada Kuanzia Mwakani.
Alisema pia Jumuiya hiyo imekuwa na mikakati mizuri ya ushirikiano kwenye masuala ya kukabiliana na uhalifu wa kimtandao na jinsi ya kushirikiana.
Alisema nchi nyingi zimeweka mikonga ya taifa na kama serikali watapeleka huduma kwenye hospitali na maeneo mbalimbali ya nchi, pamoja na kutengeneza maudhui, kwani katika nchi hakuna maudhui ya kutosha na kutakuwa na mkakati wa kutosha wa kuweza kutayarisha maudhui kwa njia ya kiswahili ili watu wengi wanaufaike na elimu inayotolewa.
Naye Dk Taylor aliipoongeza Tanzania kwa kupiga hatua katika sekta ya mawasiliano na kuongeza kuwa nchi za Afrika zimeanza kuuza masafa kwa njia ya mnada na katika hilo anaamini Tanzania itafanikiwa kutokana na kupiga hatua katika nyanja ya mawasiliano.
| 2017-08-23T08:07:57 |
http://www.mpekuzihuru.com/2016/06/tanzania-kuanza-kuuza-masafa-ya.html
|
[
-1
] |
HABARI KATIKA PICHA... - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE HABARI KATIKA PICHA... - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
Mwanzo > Untagged HABARI KATIKA PICHA...
Kocha Salum Mayanga wa Mtibwa Sugar akimbembeleza mchezaji wake Yussuf Mgwao
Vivosile wa Yanga, Emanuel Mpangala katikati na Majjid Suleiman kulia na Lucas Kisasa kushoto mambo.
Item Reviewed: HABARI KATIKA PICHA... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
| 2020-05-29T17:32:39 |
http://www.binzubeiry.co.tz/2009/04/habari-katika-picha.html
|
[
-1
] |
Msuya na Dhana Mawaziri Wakuu Kukosa Urais Tanzania
September 3, 2014 | Chanzo: Nipashe Leave a Comment
Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais Mstaafu, Cleopa David Msuya amesema kushindwa kwake katika jaribio la kutaka kuwa mgombea wa nafasi ya urais mwaka 1995 kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni ishara ya ukomavu wa kidemokrasia na siyo kweli kwamba aliponzwa na cheo cha Uwaziri Mkuu.
Akizungumza na NIPASHE katika mahojiano maalum yaliyofanyika nyumbani kwake jijini Dar es Salaam Alhamisi, Msuya alisema kuwa licha ya kutoteuliwa kugombea urais, bado ukweli unabaki kuwa hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya nafasi aliyokuwa akiishikilia ya uwaziri mkuu na uwezekano wa mtu kuteuliwa au kutoteuliwa kuwa mgombea wa nafasi hiyo.
Bali, Msuya alisema kuwa kushindwa kwake ni dalili ya kukomaa kwa misingi ya demokrasia kwani vinginevyo, ingetarajiwa kuwa yeye ndiye ashinde na kuwa mgombea wa CCM kwa vile wakati huo (mwaka 1995) alikuwa ndiye Waziri Mkuu na hivyo ‘system’ ingemuwezesha kutimiza lengo lake.
“Hii ni dalili kwamba demokrasia inachukua nafasi yake… otherwise (vinginevyo), ningeshinda mwaka 1995 kwa kutumia system,” alisema Msuya.
Katika uteuzi ndani ya CCM mwaka 1995, jina la Msuya lilipenya mchujo mkali uliohusisha vigogo kadhaa na kuingia katika orodha ya majina matatu ya mwisho yaliyopigiwa kura kwenye Mkutano wa Halmashauri Kuu (NEC), wengine wakiwa ni rais wa sasa Jakaya Mrisho Kikwete na Benjamin William Mkapa aliyeibuka mshindi na baadaye kuwa Rais wa Tanzania kufuatia ushindi wake dhidi ya wagombea wa vyama vya upinzani.
Msuya alisema tangu baada ya kupatikana kwa uhuru wa Tanganyika mwaka 1961, uchaguzi uliotoa fursa ya wazi kwa kila mwanachama wa CCM kugombea nafasi ya urais umefanyika mara mbili tu katika miaka ya 1995 na 2005 na hivyo, haamini kuwa ni sahihi kudai kwamba mawaziri wakuu huwa hawapati nafasi ya kugombea.
Akifafanua, Msuya alisema kabla ya uchaguzi wa vyama ving8i mwaka 1995, jina la mgombea urais lilikuwa likiteuliwa na kamati kuu (CC) ya CCM na hivyo hakukuwa na utaratibu wa kila mwanachama mwenye sifa kuwa na ruhusa ya kuchukua fomu ili kugombea.
Aidha, katika miaka mingine ya uchaguzi, marais waliokuwa madarakani waliteuliwa moja kwa moja na CCM ili kumalizia vipindi vyao viwili na hivyo, Mkapa alipitishwa bila kupingwa mwaka 2000 na Kikwete mwaka 2005.
Msuya alitoa ufafanuzi huo kufuatia hisia kwamba kihistoria, watu waliowahi kuwa mawaziri wakuu huwa hawana nafasi ya kuteuliwa kuwa wagombea urais.
Tangu Tanganyika ipate uhuru mwaka 1961, nafasi ya uwaziri mkuu imeshikiliwa na watu tisa, wa kwanza akiwa ni Mwalimu Nyerere aliyekaa kwa mwaka mmoja tu kabla ya kumwachia Rashid Kawawa kisha yeye (Nyerere) akaandaa nchi kuwa Jamhuri mwaka 1962.
Mbali na Msuya, mawaziri wakuu wengine ni Edward Sokoine ambaye wengi walitarajia kuwa angemrithi Mwalimu Nyerere, lakini maisha yake yalikatizwa na ajali ya barabarani Aprili 12, 1984.
Wengine ukiacha Kawawa ambaye baada ya kurejea kwa mfumo wa vyama vingi alikuwa amekwisha kuwa mtu mzima mwaka 1992 hivyo kupoteza hamasa ya kuwania kiti hicho, ni Jaji Joseph Warioba ambaye mwaka 1995 alijaribu lakini hakufanikiwa na John Malecela aliyejaribu pia bila mafanikio miaka ya 1995 na 2005.
Mwaka 2005, Waziri Mkuu Mstaafu ambaye alishikilia wadhifa huo kwa miaka 10 mfululizo chini ya Rais Mkapa, Frederick Sumaye, naye alijitosa katika mbio hizo, lakini aliishia NEC baada kupata kura kidogo akizidiwa na akina Kikwete, Profesa Mark Mwandosya na Dk. Salim Ahmed Salim. Kikwete aliibuka mshindi dhidi ya Dk. Salim na Profesa Mwandosya kwenye mkutano mkuu wa uchaguzi wa mwaka 2005.
KILA MTU ATABEBA MSALABA WAKE
Wakati akiwa Waziri wa Fedha, Msuya aliwahi kuibua gumzo kubwa baada ya kusema kuwa ‘Kila mtu atabeba msalaba wake mwenyewe’. Akifafanua kuhusu kauli hiyo, Msuya alisema kuwa nia yake ilikuwa ni kuwataka Watanzania wawe na fikra za kujitegemea, hasa kwa mambo ya ziada ambayo ni vigumu kuiachia serikali peke yake.
“Nilisema vile kwa vile nilikuwa Waziri wa Fedha. Tumeleta bajeti pale, bungeni… wakati ule nguo ilikuwa ni bigger item, maana hatukuwa na viwanda vingi vingine… basi tulibandikiza kodi kwenye khanga, na vitenge na nini… sasa watu wakawa wana argue (wanajenga hoja) kwamba ooh, sasa kama mimi nina wake wawili, sasa kama bei hii ya nguo kodi umeweka… sasa ntashindwa kuwavisha wote na nini,” alisema na kuongeza:
“Ndipo na mimi nikasema jamani, kila mtu atabeba mzigo wake… kama umeamua kuoa mama wawili, basi ndivyo ilivyo nguvu yako, lakini concept (dhana) tunataka kufundisha mtu ni kwamba, kwa mambo ambayo tunaweza kufanya… ni elimu kwa watoto, kama ni afya… lakini sasa ikija, kwamba wewe unaamua uwe na wake wawili au watatu… au unywe pombe… sasa hii lazima tuseme ni uamuzi wako, na ukubali consequences (athari) zake… ni katika lile la kusema watu wajitegemee.
“Nilisema hiyo iwe sehemu ya … ku encourage (kuhamasisha) Watanzania tuwe tunajitegemea,” alisema Msuya.
Aidha, alisema fikra hizo za kutaka watu wajitegemee ziliendelezwa pia enzi za utawala wa Rais Mkapa, ambaye yeye alihamasisha dhana hiyo kwa kauli kwamba ‘mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe’.
“Eenh… labda nieleze tu, rais aliyefuata, moja kati ya aliyelizungumzia hilo hilo ni Mheshimiwa Mkapa.Nakumbuka wakati mmoja alisema mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe… siku moja alikuwa anatembelea hapo Kisarawe, akakuta mwananchi mmoja pale amejitahidi, amejenga nyumba yake nzuri katika jamii ambayo nyumba zilikuwa za ovyo ovyo tu, lakini aliandika pale juu mtaji wa maskini ni nguvu zake… akisema mimi nimeweza kujenga nyumba hii kutokana na nguvu zangu…Rais Mkapa akachukua hii na kusema huyu ameweza kujenga nyumba hii kwa nguvu zake, ni jambo zuri katika jamii, na akaitumia hiyo,” alisema Msuya.
“Lakini mpaka leo tunayo… kwa mfano ni pathetic (aibu) kukuta kila kitu kinachozungumzwa kwenye baadhi ya hotuba za wananchi wetu wakizungumza na viongozi wetu… kila kitu ni serikali. Hivi hii serikali inapata wapi fedha? Kwa kweli kama…huu mtazamo wa kitaifa hatuubadilishi, kusema we shall do it our way (tutafanya wenyewe), hatuwezi kufanikiwa.”
Alitoa mfano wa Japan, akisema kuwa wamepiga hatua zaidi kiuchumi kwa sababu hiyo ya raia wake kujengewa misingi ya kuamini kuwa anaweza kujiletea mabadiliko na siyo kutegemea kila kitu kutoka kwa serikali.
KUPOROMOKA KWA SHILINGI
Kuhusiana na kasi kubwa ya kuporomoka kwa shilingi ya Tanzania kulinganisha na fedha za kigeni kama dola ya Marekani, Msuya alisema kiuchumi, siyo kila wakati jambo hilo linapotokea huwa baya kwa taifa.
Alisema hiyo ni kutokana na ukweli kuwa thamani ya fedha ya nchi inapokuwa ya juu sana inaweza kuathiri mauzo ya bidhaa zinazozalishwa ndani.
“Isiwe too heavy (isiwe na thamani kubwa sana) … maana ikifika hapo, bidhaa zenu hazitauzika nje,” alisema.
Aidha, Msuya alisema tatizo kubwa linalochangia kuporomoka kwa shilingi ya Tanzania ni matumizi yetu kulinganisha na kile tunachoingiza.
“Kwanini thamani ya fedha yetu inashuka…kimsingi, suala lake ni very simple (rahisi sana). Tungekuwa tunauza vitu vingi nje, tukapata fedha nyingi, ku cover matumizi yetu yote, fedha yetu haingeshuka…what is happening now (kinachotokea sasa), ni reflection (ni taswira) ya udhaifu wetu kwamba ….we are importing far too many things than is necessary (tunaagiza vitu vingi zaidi ya inavyopaswa),” alisema.
“Nenda hapo dukani, katika vitu vyote utakavyokuta vimewekwa hapo madukani, vingi ni vitu kutoka nje,” alisema.
Alisema siyo vizuri kiuchumi kuruhusu bidhaa kutoka nje kuingia nchini hata kama zinapatikana hapa nchini zikiwamo sukari, saruji, mchele na mafuta.
Msuya ambaye mbali na uwaziri mkuu aliwahi pia kuongoza wizara mbalimbali zikiwamo za Fedha na Uchumi na Viwanda na Biashara, alisema ipo haja ya kuwekwa kodi kubwa kwa baadhi ya bidhaa ili kulinda viwanda vya ndani na kupunguza kasi ya kuporomoka kwa shilingi na pia kuvipa uwezo zaidi viwanda ambavyo mwishowe vitaendelea kutoa ajira kwa Watanzania.
ALIYONENA MSUYA
Ifuatayo ni sehemu ya maelezo ya Msuya wakati akizungumza na NIPASHE kuhusiana na kauli ya ‘kila mtu atabeba msalaba wake’ na kushuka kwa thamani ya shilingi.
Labda two things (vitu viwili)… labda, kwanza fikra za jumla kuhusu uchumi wetu. Tulipopata uhuru mwaka 1961, hali ya uchumi wa Tanganyika haikuwa nzuri.
Tulikuwa, kwa balance of payment, yaani mauzo ya nje kwa kahawa, katani na mazao yale tuliyokuwa tunazalisha, na ununuzi wetu wa vitu tulivyokuwa tunaagiza kutoka nje, tulikuwa tunabalance lakini, ni kwamba ni, kwa sababu development (maendeleo) ilikuwa very low (ndogo), siyo kwamba ilikuwa ni health, ilikuwa ni umaskini… na baada ya uhuru, general feeling (mawazo ya jumla) ya watu ilikuwa kwamba tunataka kwenda mbele, tupate maendeleo ya haraka. Maendeleo kwa wakati ule, tulitafsiri kwa kuondoa matatizo yetu makubwa matatu… ujinga, maradhi na umaskini.
Na struggle (mapambano) yote iliyotokana wakati huo mpaka sasa hivi kuwa ni kujaribu kutafsiri maendeleo… mimi niseme niki combine (kuchanganya) kipindi nilichokaa kama waziri ndani ya serikali… nilichokaa ndani ya serikali ya Tanganyika na Tanzania…. imenipa nafasi kubwa ya kutoa mchango wangu mkubwa.
Kwanza kwenye wizara inaitwa Maendeleo ya Jamii na Utamaduni, baadaye kwenye Ardhi na Makazi Mapya, baadaye nikaenda Uchumi na Mipango, baadaye nikaenda Fedha… baadaye Viwanda… Waziri Mkuu, nikarudi Fedha na Uchumi, baadaye nikawa tena Waziri wa Viwanda na Biashara…baadaye tena nikachaguliwa kuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais. Na ndiyo nikastaafu, kuanzia 1995 nikawa back bencher … nikapata nafasi ya kuona nini cha kuchangia.
Challenge (changamoto) kubwa, tokea wakati ule na sasa, ni hiyo… nini tufanye, taifa letu lisogee mbele.
Kila mnapoamka mnafeeling ya poor… na wakati ule, katika sera za kuahidi uhuru… kwa maana ya Tanu, na Afro Shiraz kwa Zanzibar…you have to promise your people (mlipaswa kuahidi watu wenu) kwamba you’ill make life better (kwamba mtapata maisha mazuri)…kwa hiyo public (umma) ilikuwa na matumaini hayo.
Tumekwenda hivyo…mpaka about, by the time nakwenda kugombea ubunge (mwaka 1975)… hali ya uchumi ilikuwa mbaya. Tulifika mahali hata dukani huwezi kukuta toilet paper, huwezi kukuta tooth brush, huwezi kukuta nyembe, huwezi kukuta… ilikuwa watu kuhangaika.
Ikaja, tukaanza kitu inaitwa kurekebisha uchumi… how to win back (mtarejesha vipi) misaada ili tufufue uchumi na tuweze ku-regain (kupata nafuu)… sasa kilichotufikisha hali mbaya zipo sababu nyingi.
Moja ilikuwa ni hali mbaya tu ya kidunia. Kwa mfano, bei ya mafuta ya petroli ilipanda ghafla karibu mara mbili. Sasa watu wamesahau hivi… mwaka 1973 mpaka 1979 bei ziliruka kwelikweli.
Kwa hiyo tukajikuta kwamba fedha tunayotumia kununua mafuta yaleyale ilikuwa imezidi mapato yetu yote ya kigeni, kwa hiyo in terms of foreign exchange (fedha za kigeni) ilikwenda yote nje kununua mafuta.
Mada: Siasa
More in Siasa
Vigogo Chadema Wamkwepa Ndesamburo
Homa ya uchaguzi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) imewatikisa baadhi ya vigogo wake mkoani Kilimanjaro baada ya...
| 2018-08-14T23:57:04 |
https://www.kijijini.com/2014/09/msuya-na-dhana-mawaziri-wakuu-kukosa-urais-tanzania/
|
[
-1
] |
Cruyff Trainers / Shoes Cruyff T Shirts Cruyff Track Tops / Sweatshirts Cruyff Jackets Cruyff Joggers / Track Pants Cruyff Sale Items TOTAL PRODUCTS 35 | SHOWING 1 OF 35 SAVE FOR LATER
TOTAL PRODUCTS 35 | SHOWING 1 OF 35 Cruyff Trainers Barcelona, Spain. 1979
| 2014-09-15T04:06:46 |
http://www.mainlinemenswear.co.uk/section.php?xSec=363&jssCart=a7b98c6f4d444177bb4ea9a4f3b35444
|
[
-1
] |
Najisikia Kupwaya (7)
Kwa wasomaji wapya; WAKO njiani kuelekea kituo cha polisi baada ya kukamatwa baani wakati wa usiku. Njiani, Fema alikuwa sambamba na Tausi huku akichanganyikiwa hususan, alipofikiria mambo yatakavyokuwa mbele ya safari. Ungana na Mtunzi Wetu TOM CHILALA, usikie Fema mwenyewe anasimulia nini.
Mara ninasikia mlio wa viganja unaoshirikia mtu kuniiita. Ninapogeza macho, yanatua na kuganda juu ya mtoto wa watu, mjamzito, Tausi.
Tausi alikuwa kasimama mbele ya ile baa ijulikanayo kama EYATERA mjini hapo. Alikuwa kavalia sare ile ya watumishi wa baa. "Aaah! Hivi Tausi wangu amekuwa baa medi?!" Nikamaka na kubaki mdomo wazi.
Ingawa hadi sasa ninakiri kuwa nilifanya kosa la kumkubali shetani kwa jaribio kidogo lakini ninachokuambia, ni kile nilichokisema nikijipa nguvu. Sioni sababu ya kukuficha eti nijikoshe kwako.
"Pesa ni pesa. Hata kama umezipata kwa kumuuza mkeo, au mboga za majani. Zote ni pesa tu. Hata kama ni zile ulizozipata kwa umalaya au kwa kuuza Biblia, bado pesa ni pesa, mradi tu, zitakusaidia maana SHIDA HAINA ADABU."
Ndivyo nilivyojifariji kwa maneno baada ya kumuona eti TAUSI sasa ni baamedi; watu ambao katu maishani kwangu, sikupenda kuwa karibu nao lakini sasa, potelea mbali, si ni Tausi wangu bwana, nifanye nini; nimkane, haiwezekani labda yeye.
Yalikuwa sasa yamebakia takribani majuma mawili ili utimie muda tuliokusudia kutekeleza mipango yetu.
Hata hivyo, ukweli kuwa siku ya kifo cha nyani miti yote huteleza, ukajidhihilisha. Ninasema hivyo, maana hata mimi nilipigwa butwaa nilipoambiwa na Tausi mwenyewe kuwa, kazini kwao (katika baa), kumetokea upotevu wa pesa.
Sasa, wafanyakazi wote walikuwa wamefukuzwa na kunyimwa mishahara yao. Si hata wewe unajua baamedi wanavyonyanyswa utafikiri hata waajiri wao hawaoni umuhimu wa kuwa nao?
Sasa, tabu ikaongezeka maradufu. Madeni yakawa madeni. Kila kona yenye duka, tulikuwa tukidaiwa kwa ahadi ya kulipa mwisho wa mwezi. Sasa itakwaje!
Hata hivyo, akiba haiozi. Japo ni kidogo, lakini pesa ile kidogo tuliyokuwa tukibangaiza na kudunduliza, ikatumika kidogo kupunguza ukali. Tena tunashukuru kuwa, tulikuwa watu wazima tunaojua maana ya kuvumilia.
Kwa hali yote hiyo, kumbuka kuwa tumbo la Tausi linazdi kuongezeka ukubwa. Tukaamua kusafiri kiujanja ujanja huku tukiwakwepa waangalizi wa treni hadi tukamudu kufika kijiji tulichokitaka. Tena sikitaji ingawa ni maeneo ya kule nyumbani. Naogopa maana wale wazee wa pale wataanza kumtania baba na kumkumbusha hasira.
Nimkamtanguliza Tausi pale kijijini kwetu. Yeye akaenda nyumbani kwao na mimi nikaenda kupumzika kwa rafiki yangu Victor, kijiji jirani kabla ya kukifikia chetu. Njia hii ilikuwa na lengo la kuwapoteza boya wazazi wangu, ili wasijue kinachoendelea baina yangu na Tausi.
Baada ya kuridhika na muda wa mapumziko, nami sasa niliingia pale nyumbani huku nimejitwika mizigo yangu. "Habari za masomo?" Baba akaniuliza. Nami nikajibu, "Nzuri tu." " Vipi mitihani?" Baba akaendelea na maswali ambayo sio siri, yalikuwa yanazidi kunichanganya na kuniongezea kiwewe.
"Aaa! Yalikuwa ya hivyo hivyo tu; ya wastani." Nikajibu huku nikihofu kuwa huenda maswali hayo ni mitego ya baba na kwamba, huenda tayari ana taarifa zote juu ya kufukuzwa kwetu shule, kufungwa na sasa hata hiyo mimba ya Tausi anajua asili yake ni nini.
"Nilipata barua yako ya kutaka uchumba kwa huyu mtoto wa huyu Mzeee...Aaa. Nani huyuuu...Mzee Mwangulupe." Baba alianza mazungumzo hayo baada ya chakula cha jioni cha siku hiyo. Kisha akaendelea, "Mwanangu, ukoo ule sio ukoo wa kuoa. Ni ukoo mbaya wenye mchezo wa usiku. Ukoo huo umeenea wachawi; hivi unaona ulivyo; nani ameendelea pale, watu wote wanaukimbia, wewe unataka kujipeleka pale! Hutaki ukoo wako ukue?"
" Narudia tena; kama kweli wewe ni mwanangu wa kuzaa, msijaribu kufanya uhusiano wowote na binti wa mji ule."
Msimamo wangu na wa baba, ikahitilafiana. Wakati yeye hataki kwa sababu anazozitaja, mimi naona kwa Tausi, nimefika. Kwanini nimsaliti na kumkana mtoto wa watu.
Basi, kutokana na hali hiyo ya kuwekewa kauzibe, nililazimika kuendesha urafiki wa kificho baina yangu na Tausi. Wakati huo, kila mmoja wetu alikuwa akifanya kila awezalo, kuona malengo yetu yanafanikiwa kufikia kilele cha matazamio.
Sio siri, kadiri siku zilivyokwenda, ndivyo penzi letu lilivyozidi kunoga. Hata hivyo, nilianza kushangaa na kujiuliza kuwa, iweje kadiri siku zinavyopita, ndivyo uchangamfu wa Tausi ulizidi kupungua kwangu. Sasa, Tausi alizidi kuonekana kupungua kiafya na kujawa na mawazo mengi.
Sio mimi peke yangu niliyesumbuliwa na hali hiyo ya Tausi, bali pia ndugu, jamaa na marafiki wote waliojua namna uhusiano wetu unavyoendeshwa kwa siri. Kila mmoja alikuwa na wasiwasi wa sirisiri moyoni mwake. Hata hivyo, wengine hawakufaulu kujizuia.
Hata baada ya kupewa majibu na Tausi ambayo ni dhahiri hawakuridhika nayo, wengine waliniendea na kuniuliza kulikoni tena.
Sikuwa na cha kusema badala ya kuwahakikishia kuwa sikujua kitu; nilikuwa kwenye usiku wa giza kama ilivyokuwa kwao. Ni dhahiri kuwa, sikuwahi kumuuliza undani wa hali hiyo kwani nilijidhania kuwa ninajua sababu kumbe...(jaza jibu).
Watu walizidi kunichimbachimba. Nami, ehee; uzalendo ukanishinda. Nikasema hapa, huenda tayari wamejua wanalojua. Heri nami nichimbechimbe.
"Tausi! Tausi! Hivi hasa una lipi linalokusibu nawe unanitenga na kutokunishirikisha? Hivi unadhani kama ukipata tatizo, mshukiwa wa kwanza atakuwa nani?"
"Tausi! Ujue kuwa mimi sio mtoto mdogo, na wala si mgeni kwako. Ninakufahamu wazi; hiyo sio hali yako ya kawaida. Tafadhali mpenzi nieleze tatizo lako, nishirikishe kwa mazuri na mabaya," nikabembeleza zaidi.
Ghafla, tausi alianza kutiririsha machozi. Hali hiyo, ikanionesha kuwa huenda "nimechemsha’ katika mazungumzo na maswali yangu. " Yaani mimi, sijui heri nife tu," akasema huku machozi yakimtoka. Alikuwa kainamisha kichwa. Akasema, "najuta kupenda, najuta kuzaliwa".
Maneno hayo yakanifanya labda nijisikie kujiandaa "kurudisha kadi" yaani, kuvunja urafiki baina yangu na Tausi. Ilibidi nifikie hatua hiyo kwa kuwa sikujua kauli zake zilikuwa zinalenga kuhitimishwa na uamuzi gani. Sio siri, kama kweli ingekuwa kuwa uamuzi wa Tausi ulielekea huko nilikodhani, ningekoma ubishi maana kwangu mimi, ndio kwanza nilikuwa nimekolea sawasawa.
"Tausi: inaonekana dunia zetu zimewahi mno kutengana. Kwa muda huu tu, hata busara za kawaida zinakataa. Yani Tausi leo hii unadiriki kunificha? Mbona dunia zetu zimewahi kurudishiana kadi mithili ya makahaba wa mjini na "matandiko ya kukodi?" nikatamka maneno ambayo sio siri, yalimwingia sawia akilini; yakamtoa nyoka shimoni.
"FEMA; imeniwia kazi ngumu kukueleza. Sio kwamba ni kwa kuwa sikupendi, bali ninatafuta namna nzuri ya kukufikishia ujumbe huu ambao pasi na shaka, unaweza kukusikitisha ama pengine hata kukuudhi," Tausi akatulia kidogo kumeza mate na kisha, akaendelea.
"...ama kweli dunia hii sijui ni nini na ni nani kayaleta haya. Uzushi umekuwa uzushi. Watu wamekuwa wazushi utafikiri wanaharishia midomoni. Inasikitisha sana uzushi eti siku hizi umekuwa kama fasheni. Ukiugua ukoma, wanazusha eti una UKIMWI. Usipotaka maisha ya anasa, wanasema wewe ni bahiri. Mkipendana na mkeo, wanasema umepewa dawa."
"...Ukiwa mzee sana, wanazusha eti wewe ni mchawi; mtu akifa kijijini, wanasema umemroga wewe. Ukiwa na pesa, wanasema wewe ni kibaka na mwizi sugu. Ama kweli, dunia inaumbua." Tausi akaanza tena kulia.
Nilizidi kutumia kila njia niwezayo kumshawishi ili aachane na mambo ya kike; mambo ya kulialia.
"Fema, zimepita siku nyingi mama akinionya na kunikanya juu ya mambo yale anayoambiwa na majirani. Mpenzi Fema, siwezi kukuficha mambo ambayo ninasikia yakisemwa huku nikijua bayana kuwa ni uzushi," Tausi akatulia kidogo kumeza mate.
" Eti ninyi wachawi; tena eti kwenu kuna asili ya magonjwa mabaya. Watu wananikemea na kunisuta eti umenfanyia dawa za kwenu ndio maana wanazuia uhusiano wetu lakini mimi ninang’ng’ania tu; sisikii," akatulia na kuniangalia usoni ili kubaini umakini wangu.
"...la ajabu, wanasema kwamba baba yako ndiye mwenyekiti wa miliki yote ya wachawi katika eneo hili. Itaendela Toleo lijalo
| 2017-07-21T06:40:31 |
http://kiongozi.tripod.com/K2001/riwayaokt.2.htm
|
[
-1
] |
Home > Bidhaa > Fresh Best Qulality Ya Pear (Jumla ya 24 Bidhaa kwa Fresh Best Qulality Ya Pear)
Fresh Best Qulality Ya Pear - mtengenezaji, kiwanda, muuzaji kutoka China
Sisi ni maalumu Fresh Best Qulality Ya Pear wazalishaji na wasambazaji / kiwanda kutoka China. Ya jumla Fresh Best Qulality Ya Pear na ubora wa juu kama bei ya chini / bei nafuu, mojawapo ya Fresh Best Qulality Ya Pear bidhaa za kuongoza kutoka China, Jining Fuyuan Fruits And Vegetables Co., Ltd..
Tag: Qulality ya Pear nzuri , Fresh Best Qulality Ya Pear
1. Peari ina vitamini B tajiri, inaweza kulinda moyo, kupunguza uchovu, kuongeza uwezekano wa myocardial, kupunguza shinikizo la damu. 2. Peari ina sukari na asidi ya taniki na viungo vingine, inaweza kuchanganya na kikohozi, na ina athari ya...
Fresh Best Qulality Ya Pear jumla kutoka China, Direct Buy kutoka China wazalishaji wa kuongoza kwa bei nafuu kiwanda. Pata bidhaa Fresh Best Qulality Ya Pear jumla kwenye Jining Fuyuan Fruits And Vegetables Co., Ltd. na kupata ubora wa juu Fresh Best Qulality Ya Pear moja kwa moja kutoka kwa wauzaji wa jumla wa China Fresh Best Qulality Ya Pear na wasambazaji. Tuma mahitaji yako ya kununua & Pata majibu ya haraka.
| 2019-07-17T22:38:36 |
http://sw.fuyuanfv.com/dp-fresh-best-qulality-ya-pear.html
|
[
-1
] |
UTABIRI - URARI WA BIASHARA YA - ASIA
Armenia -151.00 2020-04 -176 -176 -211 -230
Azerbaijan 1636262.10 2019-12 2419000 2419000 2108900 2108900
Bangladesh -135.70 2020-01 -60 -15 -145 -145
Bhutan -8927.70 2019-06 -5000 -5000 -9000 -9000
Brunei 731.70 2020-02 180 180 211 280
Cambodia -1819.00 2019-11 -2200 -1950 -1400 -1400
China 453.39 2020-04 600 550 130 490
Timor Ya Mashariki -120.11 2020-01 -49243 -49243 -46722 -46722
Georgia -234.80 2020-04 -461 -461 -490 -496
Hong-Kong -23337.00 2020-04 -55000 -35000 -59000 -59000
India -6760.00 2020-04 -14200 -9300 -14100 -9200
Indonesia -344.70 2020-04 700 300 300 -200
Iran 12983.00 2018-06 6550 5150 4000 4000
Iraq 41524.00 2018-12 30259 30259 31398 30259
Israeli -1788.20 2020-04 -1960 -1960 -1590 -2080
Japan -930.40 2020-04 500 -180 910 1000
Jordan -587700.00 2020-01 -767000 -717000 -752415 3979000
Kazakhstan 2365.00 2020-03 2700 2610 3380 3530
Kuwait 2090.00 2019-12 2558 2539 2535 2512
Kyrgyzstan -116.20 2020-03 -275 -259 -192 -238
Laos 20.37 2019-09 -437 -437 -362 -362
Lebanon -588.53 2020-03 -1336 -1323 -1300 -1300
Macau -3140700.00 2020-03 -6000000 -6000000 -7086235 -6980000
Malaysia 12300.00 2020-03 15100 18500 11200 11200
Maldivi -234.30 2019-11 -215 -205 -200 -220
Mongolia -87.00 2020-04 124 124 35 31
Myanmar 233.50 2019-11 210 250 -170 -170
Nepal -110703.10 2020-02 -109991 -110382 -110773 -112582
Korea Ya Kaskazini -1688.00 2017-12 -1679 -1679 -1719 -1679
Oman 465.20 2019-12 300 440 390 450
Pakistan -369468.00 2020-04 -458000 -310000 -330000 -330000
Palestina -335.30 2020-03 -363 -363 -382 -397
Philippines -2380460.00 2020-03 -2350000 -375000 -3480000 -4190000
Qatar 7587.00 2020-03 18630 19232 15770 19414
Saudi-Arabia 121276.00 2019-12 27300 48500 63347 67645
Singapore 2627.40 2020-04 1800 3400 6800 3300
Korea Ya Kusini -950.00 2020-04 4100 9500 5800 5800
Sri-Lanka -573.90 2020-02 -500 -450 -820 -610
Taiwan 2267.00 2020-04 4000 2600 3400 2400
Tajikistan -184.70 2019-11 -166 -194 -210 -187
Thailand 2462.33 2020-04 4300 500 690 600
Turkmenistan 7222.00 2018-12 4074 4074 4074 3827
Falme Za Kiarabu 274600.00 2019-12 530000 530000 530000 530000
Uzbekistan -4291.70 2019-09 1870 1870 1800 1800
Vietnam -128.00 2020-04 500 1000 1600 1000
Yemen -7409.45 2018-12 -9228 -9228 -9500 -9228
utabiri - Urari wa Biashara ya - Utabiri kwa Viashiria Uchumi Ikiwa ni pamoja na Utabiri Long-Term na ya muda mfupi.Asia -utabiri - Urari wa Biashara ya - Utabiri kwa Viashiria Uchumi Ikiwa ni pamoja na Utabiri Long-Term na ya muda mfupi.
| 2020-05-25T18:46:56 |
https://sw.tradingeconomics.com/forecast/balance-of-trade?continent=asia
|
[
-1
] |
325 Waiahiwi - Makawao/Olinda/Haliimaile
475 Hana - Hana
148 (Jun 28, 2017)
4933 Kahekili - Wailuku
2 (Nov 21, 2017)
93 (Aug 22, 2017)
2210 olinda - Makawao/Olinda/Haliimaile
105 (Aug 10, 2017)
1949 W KUIAHA - Haiku
511 (Jun 30, 2016)
2372 Baldwin - Makawao/Olinda/Haliimaile
418 (Oct 01, 2016)
454 Ohukai - Kihei
454 Wailau - Lahaina
470 Ulaino - Hana
680 (Jan 13, 2016)
| 2017-11-23T22:12:07 |
http://www.realestatemauihawaii.com/Results.php?prop_type%5B%5D=Residential&sort_type1=LivSQFT&sort_direction1=DESC&per_page=&&change_sort_type1=LandSQFT
|
[
-1
] |
wavuti: 07/22/16
Kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Julai 23, 2016
DC Polepole ataja Kata za wilaya ya Ubungo na kutoa namba ya mawasiliano
Tanzania secure loan from Poland to finance $110 million tractor factory
Dar es Salaam — Tanzania has secured a $110-million soft loan from Poland to establish a tractor assembling factory that will enhance the agriculture sector, the government has confirmed.
The Permanent Secretary in the Ministry of Industry, Trade and Investment, Dr Adelhem Meru, said the factory, which is expected to be constructed in Kibaha, would take-off before the next financial year.
"The construction will start soon and we expect to produce about 2,400 tractors annually for local consumption and sell to other East African countries," he said at the Tanzania- Poland Business Forum that brought together various investors.
Dr Meru added that this will be one of the largest factories of its kind in East Africa.
"We expect that it will create between 150 and 200 jobs once production starts," he said.
Kura kobisi wewe...
[update] Congolese singer Koffi Olomide kicks his female dancer at Jomo Kenyatta International Airport
UPDATE: This is what transpired at the airport on artiste's return to Congo
Mbwa akimnusuru kifo mtu aliyeshambuliwa na chui huko Bunda
MTU mmoja, Makang’ha Mandazi (32), amenusurika kuuawa na chui aliyetoka katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti na kuvamia makazi ya watu katika kijiji cha Kihumbu, kata ya Hunyari, wilaya ya Bunda, mkoani Mara.
Mandazi mkazi wa kijiji hicho, alinusurika kifo baada ya mnyama huyo kumvamia nyumbani kwake juzi saa 4:00 asubuhi na kuanza kushambuliwa huku akiwa ameangushwa chini, lakini akaokolewa na mbwa wake aliyemng’ata mkia mnyama huyo hatari.
Akizungumzia tukio hilo lililovuta hisia za watu wengi kijijini hapo, Diwani wa Kata ya Hunyari, Magina Josephat, alisema lilitokea katika kijiji cha Kihumbu.
“Alinusurika kifo baada ya kuokolewa na mbwa wake aliyemng’ata mkia mnyama huyo, hali ambayo ilipelekea kumwachia na kuanza kushambuliana wanyama wenyewe na kutoa nafasi kwa majeruhi huyo kukimbia kuokoa maisha yake,” alisema.
Alisema wakati chui huyo kupambana na mbwa, wananchi walifika katika eneo la tukio na kuanza kumshambulia na kufanikiwa kumuua.
Josephat alisema Mandazi amejeruhiwa vibaya sehemu mbalimbali za mwili wake na amelazwa hospitalini kwa matibabu.
Diwani huyo alisema wanyama wakiwamo tembo wamekuwa wakitoka mara kwa mara katika hifadhi hiyo na kuleta mdhara kwa wananchi, pamoja kushambulia mazao ya wakulima mashambani mifugo yao.
Kufuatia hali hiyo aliiomba serikali kuwadhibiti wanyama hao na kuwasihi askari wa wanyamapori wanapopewa taarifa juu ya wanyama hao wawe wanawahi mapema kufika katika eneo la tukio ili kuokoa masiaha ya watu na mazao yao.
Ofisa Wanyamapori katika Halmashauri ya Wilaya ya Bunda, Marwa Kitende, alisema baada ya kupata taarifa hiyo walifika mapema katika eneo la tukio na kutoa mwongozo juu ya ulipaji fidia kwa mwananchi aliyejeruhiwa.
Alisema tayari wataalamu wanafanya uchunguzi wa kina kama mnyama huyo alikuwa na kichaa au la na kwamba ngozi yake kwa sababu ni nyara ya serikali imehifadhiwa sehemu maalumu na kuongeza kuwa wamekuwa wakifanya doria za mara kwa mara kwa ajili ya kudhibiti wanyama hao wanaotoka hifadhini.
HESLB yatoa akaunti za kurejesha mikopo kwa wanufaika wote
Jinsi ya kutengeneza gauni la mtoto kutoka kwenye shati la mtu mzima/mkubwa
Unaweza pia kuweka nakshi na mifuko kama ilivyo kwenye video ifuatayo...
Taarifa ya habari ChannelTEN Julai 22, 2016
Please email your CV and a short letter of motivation (reference “PM PHCU Tanzania” to: [email protected]
Only short-listed candidates will be contacted. For further information about the role and the project, email Dr. Karolin Pfeiffer: [email protected]
Kagera University opening January 2017
THE official opening of the Karagwe University of Agriculture (KUA), which was scheduled to kick off in October, this year, has been re-scheduled to January, next year due to logistics problems, it has been disclosed.
The Karagwe Diocese under the Evangelical Lutheran Church (ELCT) is undertaking construction of the Karagwe University of Agriculture (KUA), which is expected to take the first intake of students in January, next year.
Bishop Benson Bagonza of the Karagwe Diocese told the ‘Daily News’, in an exclusive interview that the university would absorb about 300 students in the first intake pursuing degree courses in Agriculture, Livestock, Information Technology (IT) and Environmental Science.
“The construction works were being undertaken under three phases. Under Phase One, various activities were being implemented including construction of lecture halls. We are finalising plans to get registration from the central government to enable the university to kick off in January, next year,” he said.
According to Dr Bagonza, the total cost of the project was estimated to cost 14.5bn/- upon completion, making KUA the first university offering agriculture degrees in the Lake Zone regions of Mwanza, Kagera, Simiyu, Geita, Shinyanga and Mara.
“The aim of opening the university was to mitigate shortage of agricultural experts facing the nation. We hope the contribution will have an impact on the nation’s development,” he said.
DC Polepole ataja Kata za wilaya ya Ubungo na kuto...
Tanzania secure loan from Poland to finance $110 m...
Kesi 12 za makosa ya kuhujumu uchumi zaiingizia se...
[update] Congolese singer Koffi Olomide kicks his ...
Mbwa akimnusuru kifo mtu aliyeshambuliwa na chui h...
HESLB yatoa akaunti za kurejesha mikopo kwa wanufa...
Imani anaainisha mambo 4 ya msingi kuyajua kabla h...
Jinsi ya kutengeneza gauni la mtoto kutoka kwenye ...
Job: Project Manager - Maternal and Child Health, ...
| 2018-11-16T20:04:17 |
https://www.wavuti.com/2016_07_22_archive.html
|
[
-1
] |
yusuph hamisi mwitu, namtafuta majiruka,manet,luku,dangiwe..
natokea kingoma na tafuta marafk zang
Mimi ni yusuph hamisi mwitu, namtafuta majiruka,manet,luku,dangiwe..
Jina: yusuph hamisi mwitu.
dar~es~salaam.
Amina Aly💨
hamfry simiyu💨
Elpidius Kilian Likonoka📝
Funniest-Friday-posts, read
Real-amazing-Friday-tales, read
Ujumbe wa kweli wa Dini wa Kweli, read
Really funny pictures to brighten your day, read
VIDEOS-TATA, read
JINSI-YA-KUKUTANA-NA-MARAFIKI-WA-ZAMANI, read
Watoto wa Nuhu ni wepi?, read
Best entertaining pictures For your husband, read
VIDEOS-KWA-MHENGA preview. 03 Aug 2017 05:53, (videos-kali). VIDEOS-KWA-MHENGA
• VITUKO-VYA-IJUMAA. 05 Apr 2018 18:09, (vichekesho-bomba: ). VITUKO-VYA-IJUMAA
• Main English. 04 Aug 2017 06:59, (_default: ). Main English
• Tafuta Marafiki Ndugu Jamaa Na Mliosoma Pamoja. 02 Mar 2018 12:17, (kutafutana: ). Tafuta Marafiki Ndugu Jamaa Na Mliosoma Pamoja
• . 27 May 2017 03:37, (file: ). [http://www.ackyshine.com/file:slide27 ]
• Tafuta Rafiki Uliyesoma Pamoja. 11 Oct 2017 14:15, (kutafutana: ). Tafuta Rafiki Uliyesoma Pamoja
• john ngwembele, namtafuta mwajuma mwamkenja
• , namtafuta Urusula mapunda
• noela shairi, namtafuta mariam leonardo
• beby loga, namtafuta namtafuta sofiya bint mdose
• peter mapesa malagila, namtafuta
• VITUKO-VYA-KUJIENJOI-LEO. 08 Apr 2018 13:27, (vichekesho-na-picha: ). VITUKO-VYA-KUJIENJOI-LEO
• Upendo mkuu wa Yesu. 03 Mar 2018 06:33, (katoliki-cotent: ). Upendo mkuu wa Yesu
• . 13 Jan 2017 07:43, (file: ). [http://www.ackyshine.com/file:video-2957 ]
• Tafuta Marafiki. 14 Mar 2018 19:46, (kutafutana: ). Tafuta Marafiki
| 2018-05-21T22:26:46 |
http://www.ackyshine.com/kutafutana:3022
|
[
-1
] |
Tangawizi Ya Dhydrated China Manufacturers & Suppliers & Factory
Tangawizi Ya Dhydrated - mtengenezaji, kiwanda, muuzaji kutoka China
(Jumla ya 24 Bidhaa kwa Tangawizi Ya Dhydrated)
Tangawizi Ya Dhydrated Tangawizi ya Dhydrated Kuelezea Tangawizi ya Dhydrated Tangawizi ya lishe Tangawizi Bora ya Bei Tangawizi Mpya Mpya Tangawizi Jipya Bora Tangawizi safi ya Fat
| 2020-05-27T09:48:44 |
http://sw.fuyuanfv.com/dp-tangawizi-ya-dhydrated.html
|
[
-1
] |
Rweyunga Blog: MANCHESTER UNITED YAIFUNGA MANCHESTER CITY UGENINI
MANCHESTER UNITED YAIFUNGA MANCHESTER CITY UGENINI
Timu ya Manchester United imepata ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Manchester City katika mchezo uliochezwa Houston nchini Marekani.
Romelu Lukaku na Marcus Rashford walifunga magali hayo mbele ya mashabiki 67,401 katika dimba la NRG.
Lukaku aliyesajiliwa hivi karibuni alimpita kipa wa City Ederson Moraes na kufunga goli akinasa pasi ya Paul Pogba katika dakika ya 37.
Rashford naye akaongeza goli la pili baadaye akinasa pasi ya Jesse Lingard na kufanya matokeo kuwa magoli mawili huku Manchester City wakishindwa kutikisa nyavu.
Mshambuliaji Marcus Rashford akijaribu kumpita Kyle Walker
Kipa David De Gea akizuia mchomo wa mshambuliaji Aguero
| 2018-02-20T21:40:21 |
http://rweyunga.blogspot.com/2017/07/manchester-united-yaifunga-manchester.html
|
[
-1
] |
ULIMWENGU HATIHATI KUWAVAA MAFARAO KESHO - BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE ULIMWENGU HATIHATI KUWAVAA MAFARAO KESHO - BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE
Mwanzo > TAIFA STARS > ULIMWENGU HATIHATI KUWAVAA MAFARAO KESHO
ULIMWENGU HATIHATI KUWAVAA MAFARAO KESHO
MSHAMBULIAJI wa TP Mazembe ya DRC, Thomas Emmanuel Ulimwengu 'Rambo' jana hakufanya mazoezi na timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kwa sababu ya maumivu ya mguu.
Ulimwengu baada ya kuwasili na wachezaji wenzake Uwanja wa Taifa, alijaribu kufanya mazoezi ya awali ya kuamsha misuli kidogo, kabla ya kushindwa kuendelea na kutoka nje.
Madaktari wa Taifa Stars walijaribu kuhangaika naye kumrejesha uwanjani, lakini hakuweza kabisa kurudi mazoezini.
Daktari Mkuu wa Taifa Stars, Gilbert Kigadye akasema Ulimwengu aliumia juzi Taifa Stars na jana ameshindwa kabisa kufanya mazoezi.
Thomas Ulimwengu akiwa ameketi nje Uwanja wa Taifa jana kushuhudia wenzake wakifanya mazoezi, huku yeye akipatiwa tiba na Madaktari wa Taifa Stars
“Tunachofanya hapa ni kumpatia tiba ya kuondoa maumivu na kumpumzisha ili pate ahueni. Si maumivu makubwa, aligongwa kidogo tu,”alisema Dk Kigadye.
Item Reviewed: ULIMWENGU HATIHATI KUWAVAA MAFARAO KESHO Rating: 5 Reviewed By: BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
| 2017-08-17T09:47:25 |
http://www.binzubeiry.co.tz/2016/06/ulimwengu-hatihati-kuwavaa-mafarao-kesho.html
|
[
-1
] |
Katibu Wa Halmashauri Kuu ya Taifa, CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye:Orodha Ya Mh, Tundu Lissu inalenga Kupotosha Tuhuma za Rushwa Zinazowakabili Baadhi ya Wabunge. ~ CHIMBUKO LETU
| 2017-10-23T06:09:49 |
http://chimbukoletu.blogspot.com/2012/08/katibu-wa-halmashauri-kuu-ya-taifa-ccm.html
|
[
-1
] |
Romy Jons Atoa Ushauri Huu Kwa Wasanii Wasio Na Madj Wao - SeeTheAfricanLink
Home / Entertainment / Romy Jons Atoa Ushauri Huu Kwa Wasanii Wasio Na Madj Wao
Romy Jons Atoa Ushauri Huu Kwa Wasanii Wasio Na Madj Wao
Wasanii wa Marekani na nchi nyingine duniani wamekua na utaratibu wa kuwa na Djs wao ambao wana ambatana nao kila sehemu wanapoenda kufanya show na hii inaongeza ubora na umakini kwenye performance zao.
Kwa hapa Bongo hatuna list ndefu ya wasanii wenye huo utamaduni, zaidi kwa haraka ukiuliza msanii gani anafanya hivyo wengi watamtaja Diamond Platnumz ambae ana Dj wake, Romy Jons.
Dj huyo maarufu zaidi ambae pia ni ndugu wa Diamond, ametoa ushauri kwa wasanii ambao hawana ma Dj wao hapa Bongo kama anavyofanya Diamond. Romy amesema msanii akiwa na Dj inampa urahisi kutokana na kwamba wanakuwa wamefanya mazoezi pamoja na wanakua na Chemistry nzuri zaidi.
“Mimi Diamond haniambii kwamba hapa minya watu waitikie au hapa achia watu wasiitikie.. inakuwa tayari tushajuana kwamba ikitoka nyimbo hii,inakuja nyimbo nyingine".
Pia amesema sio mbaya msanii kutokua na Dj kwani pia pesa ndogo wanazolipwa wasanii kwenye show ndio zinawafanya wasifanye baadhi ya mambo ya kimaendeleo kwenye muziki wao.
| 2018-06-22T11:35:36 |
http://www.seetheafrica.com/2016/12/romy-jons-atoa-ushauri-huu-kwa-wasanii.html
|
[
-1
] |
HAFLA YA TGGA KUWAAGA GIRL GUIES WA RWANDA, UGANDA NA MADAGASCAR - HABARI24
Home / HABARI ZA KIJAMII / HAFLA YA TGGA KUWAAGA GIRL GUIES WA RWANDA, UGANDA NA MADAGASCAR
HABARI24 TV 5:03:00 PM HABARI ZA KIJAMII
Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Tanzania Girl Guides (TGGA), Anna Anna Abdallah akimkabidhi zawadi Girl Guides kutoka Uganda, Rachel Baganyire wakati wa hafla ya kuwaaga Girl Guides kutoka Rwanda, Uganda na Madagascar kwenye Hoteli ya Courtyard Protea, Seaview, Dar es Salaam. Girl Guides hao walikuwa nchini kwa muda wa miezi 6 kwa programu ya kubadilisha uzoefu katika masuala ya utamaduni, maadili na uongozi.
HAFLA YA TGGA KUWAAGA GIRL GUIES WA RWANDA, UGANDA NA MADAGASCAR Reviewed by HABARI24 TV on 5:03:00 PM Rating: 5
| 2017-08-17T15:29:38 |
http://habari24.blogspot.com/2017/07/hafla-ya-tgga-kuwaaga-girl-guies-wa.html
|
[
-1
] |
MICHARAZO MITUPU: Kivumbi England, Arsenal kesho, Man City, Chelse J'pili
Kivumbi England, Arsenal kesho, Man City, Chelse J'pili
KIVUMBI cha Ligi Kuu ya England kinatarajiwa kuendelea tena kesho wakati Arsenal watakapokuwa ugenini kuvaana na wenyeji wao Aston Villa, huku kazi nzima ikiwa Jumapili.
Arsenal iliyotoka kukong'otwa mabao 2-0 na Borussia Dortmund katika Ligi ya Mabingwa Ulaya watawafuata Villa ambayo haijapoteza mchezo wowote mpaka sasa ikiwa nafasi ya pili katika msimamo nyuma ya Chelsea wanaoongoza wakiwa na pointi 12, Villa ikiwa na 10.
Arsenal inayokamata nafasi ya saba itahitaji ushindi ili kurejea kwenye mbio zao za kutaka kutwaa ubingwa licha ya kukabiliwa na majeruhi katika kikosi chao.
Mechi nyingine za kesho Jumamosi zitakuwa ni kati ya vibonde QPR waliozabuliwa mabao 4-0 wiki iliyopita na Manchester United itakapokuwa nyumbani kuialika Stoke City, huku Liverpool itaifuata West Ham ikiwa inaugua kipigo ilichopewa wiki iliyopita na Aston Villa.
Ratiba kamili ya kesho ni;
14:45 QPR v Stoke
17:00 Aston Villa v Arsenal
17:00 Burnley v Sunderland
17:00 Newcastle v Hull
17:00 Swansea v Southampton
19:30 West Ham v Liverpool
15:30 Leicester v Man United
15:30 Tottenham v West Brom
18:00 Everton v Crystal Palace
18:00 Man City v Chelsea
Ratiba nyingine ya ligi hiyo;
Jumamosi Septemba 27
14:45 Liverpool v Everton
17:00 Chelsea v Aston Villa
17:00 Crystal Palace v Leicester
17:00 Hull v Man City
17:00 Man United v West Ham
17:00 Southampton v QPR
17:00 Sunderland v Swansea
19:30 Arsenal v Tottenham
Jumapili Septemba 28
18:00 West Brom v Burnley
Jumatatu Septemba 29
22:00 Stoke v Newcastle
| 2018-07-22T16:32:57 |
http://micharazomitupu.blogspot.com/2014/09/kivumbi-england-arsenal-kesho-man-utd.html
|
[
-1
] |
Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 58 | MPEKUZI
Riwaya Kali: POWER - Sehemu ya 58
Nikawatumia meseji ya Qeen na Latifa, nikiwaomba muda wa mchane nikakutane nao mwenge ili niweze kuongozana nao kuelekea alipo ficha Clara. Kila mmoja akanijibu atakuwa tayari japo sijawaeleza ni wapi tunakwenda. Mlango wa ofisini kwangu ukafunguliwa na Biyanka akaingia, akayatazama mafaili yaliyo jazana ofisini kwangu.
“Usijali mke wangu, nitajitahidi kuzifanya kazi zote mwenyewe.”
“Ndio, nitazifanya taratibu kwa sas anahitaji muda wa kupumzika kidogo kisha nitaendelea na majukumu mpenzi wangu”
Biyanka akanibusu mdomoni kisha akatoka ofisini kwangu. Nikamuona Ethan akiwa amekaa kwenye moja ya sofa zilizopo hapa ofisini.
“Umesema mtego gani?”
“Tayari amesha anaza kukutilia mashaka”
“Mashaka ya nini?”
“Anahitaji kufahamu ni kitu gani ambacho kinaendelea kwa maana jana ulivyo toka hotelini kuna muhudumu alimtumia meseji kwamba umetoka”
“Kwahiyo amewahonga wahudumu ili waweze kunichunguza?”
“Ndio na hapa alihitaji uweze kutoka ili afahamu unaelekea wapi, angekufwata nyuma kwa nyuma na taksi na wewe akili yako ilisha panga kukutana na wale wasichana wako. Ingekuwa ni bonge la tatizo katika siku ya leo”
“Mmmmm kazi kweli kweli, je mtoto yupo wapi?”
“Tayari yupo sehemu salama, ila nahitaji tuelekee sisi wenyewe sasa hivi, hao wasichana wako kwa sasa achana nao. Umenielewa?”
Ethan akanisogelea na kunishuka kifuani mwangu, nikamshuhudia akiingia mwilini mwangu na mwili wangu wote ukaanza kusisimka na kujawa na nguvu ya ajabu. Sikuweza kulishangaa hili kwani si mara ya kwanza kwa Ethan kuweza kufanya hivi. Kufumba na kufumbua nikajikuta nikielea angani kwa kasi huku magorofa ya jiji hili la Dar es Salaam tukiyaona kwa chini sana. Tukafika kwenye moja ya kisiwa ambacho kina miti mingi sana na katikati kuna nyumba moja tu. Tukashuka ardhini na Ethan akatoka mwilini mwangu.
“Hapa ndipo ulipo muweka Clara?”
“Ndio amelala kwa sasa humo ndani hajaniona”
“Kuna usalama kweli?”
“Ndio kwa maana wale vijana nime waua. Sasa wewe utakuwa ni mtu wa kumshawishi aendelee kuishi hapa na asidhubutu kuinigia jiji la Dar es Salaam kwani itakuwa ni hatari sana.”
Tukaongozana na Ethan hadi ndani. Japo hii nyumba kwa nje ina onekana ni ya kawaida sana ila kwa ndani ni nyumba moja nzuri. Ina kila kiti kizuri kinacho hitajika katika nyumba nzuri, nikaingia chumbani na kumkuta Clara akiwa bado usingizini. Nikaka taratibu pembeni ya kitanda chake na nikaanza kumuita kwa sauti ya upole sana. Clara akafumbua macho yake, tukatazamana kwa sekunde kadhaa huku akionekana kujaribu kuitathimini sura yangu. Clara akaka kitako na kwa haraka akanikumbatia huku akimwagikwa na mchozi.
“Ethan umekuja kuniokoa tena”
“Ndio mdogo wangu. Nimekueleta sehemu salama”
“Hii ni nyumba ambayo nimekununulia, ipo huku porini kisiwani. Nina imani kwamba hapa hakuna adui ambaye anweza kukufikia”
Clara akaanza kuangaza huku na kule ndani ya chumba hichi. Chumba hichi kimejaa midoli mingi ambayo kwa mtoto kama Clara inaweza kumuondolea mawazo pale atakapo amua kuanza kucheza nayo.
“Twende ukaone huku”
Nilizungumza huku nikinyanyuka kitandani, Clara akashuka kitandani na nikamuonyesha bafu lililomo humu ndani ya chumba chake, kisha nikamtoa hadi sebleni, nikampelekea jikoni kisha nikatoka naye nje ambapo nyumba hii imezungukwa na bustani nzuri sana za maua.
“Kila kitu unacho kiona hapa mdogo wangu ni mali yako”
“Kweli kaka Ethan?”
“Ndio mdogo wangu. Kitu ninacho kihitaji ni wewe kuwa salama”
Clara alizungumza huku akinikumbatia kwa nguvu na kuanza kulia. Nikamnyanyua na kurudi naye sebeleni, nikamalisha kwenye moja ya sofa kisha nikaka kwenye sola lililopo mbele yake na tukaanza kutazamana.
“Naamini unamfahamu maadui wanao kuwinda si ndio?”
“Unamfahamu nani na nani?”
“Kwa majina siwafahamu”
“Ohoo ngoja kwanza”
Nikatoa simu yangu mfukoni na kuanza kumuonyesha Clara picha ya kwanza ya mzee Poul Mkumbo. Clara akastuka sana huku macho yakimtoka.
“Ni huyu?”
“Eheee ni huyu”
Nikamuonyesha Clara picha ya Biyanka. Pia akastuka sana.
“Huyu dada amekufanya nini?”
“Aliniteka”
“Alikuteka?”
“Ndio na alinikabidhi kwa watu ambao siwafahamu na walitaka kuniua na sikujua ni nini kilicho weza kutokea”
Clara alizungumza kwa sauti iliyo jaa mtetemesho. Nikamtazama Ethan aliye kaa sofa jengine na Clara hakuweza kumuona.
“Unamkumbuka aliye kusaidia?”
Clara akatingisha kichwa akimaanisha kwamba hakumbuki.
“Sawa. Unaweza kupika?”
“Kule jikoni kuna kila kitu, nitakuwa ninakuja kukujulia hali kila baada ya simu moja”
Nikatazama simu ya mezani.
“Hiyo simu utaitumia kuwasiliana nami kila pale utakapo kuwa na haja nami”
“Sawa kaka Ethan”
Nikatoa kadi yangu ya biashara ambayo ina namba ya simu na kumkabidhi Clara. Nikaagana naye kisha tukoandoka na Ethan. Katika muda mfupi tu tukafika ofisini kwangu huku kidogo nikiwa na furaha.
“Ngoja nikusaidie”
Ethan alizungumza huku akika kwenye kiti changu, akaanza kupitia faili moja baada ya jengine huku akiifanya kazi hiyo kwa kasi kubwa sana. Ndani ya dakika kumi akamaliza kila kitu, kwa ishara akaniomba niweze kukaa kwenye kiti changu.
“Vipi unaonanaje kampuni yangu?”
“Inakwenda vizuri, ila inabidi uwaambie watu wanao shuhulika na maswala ya matangazo wazidishe ubunifu katika matangazo yao. Pia muboreshe vifurushi vya internet, viwe vikubwa ila kwa bei nafuu sana”
“Sawa nimekupata rafiki yangu”
“Kitu kingine kuwa makini na hao wanawake wako. Siku ukiwagonganisha, kutachimbika”
“Wewe cheke. Camila anakula tizi, sasa siku akija kukupiga mimi sinto kutetea kwa maana huo ni ugomvi wa mke na mume nitakaa pembeni”
“Hivi unahisi kwamba Camila anaweza kufahamu juu ya haya mahusiano yangu mapya”
“Hata sasa hivi akihitaji kufahamu anaweza kufahamu, ila shukuru Mungu nimefunga ufahamu wake wa akili katika maswala ya mahusiano. Wewe mwenyewe nina imani kwamba una fahamu jinsi alivyo na wivu”
“Ndio“
“Haya, namuona mke wako feki anakuja kukuchukua mukale luch baadae”
Kitendo cha Ethan kupotea hapa ofisini, Biyanka akaingia huku akiwa na furaha sana.
Nilimchangamkia huku nikinyanyuka kwenye kiti changu na kumlaki kwa kumkumbatia.
“Baba amenipigia simu muda mchache ulio pita na kudai kwamba amemkamata yule mtu aliye kutumia meseji za vitisho”
Niliitikia kinafki tu kwa maana nina elewa kila kitu kinacho endelea.
“Ndio na kwa sasa yupo polisi kwa mahojiano huku wenzake ambao walikuwa wamemkamata mtoto, wawili wameuwawa huku yeye akiwa amekamatwa na polisi”
“Mtoto sijui wamempeleka wapi hapa ndioa anaendelea kuminywa na askari wapelelezi, kwani afande Kimaro hajakupigia simu?”
“Hapana hajanipigia”
Nikaitoa simu yangu mfukoni na kwa bahati mbaya nikaikuta ikiwa imezima chaji.
“Ohoo imezima chaji”
“Ndio maana nahisi alikupigia sana hajakupata hewani”
“Basi twende huko polisi”
“Mmm sasa hivi ni saa saba, twende tukapate chakula cha mchana kisha ndio tueleke huko polisi”
“Sawa, tukirudi hivi niandalie kikao na watu wanao dili na kitengo cha matangazo”
“Wewe anda kikao mke wangu”
“Sawa, basi ninaomba dakika tano nikawape taarifa”
Biyanka akatoka ofisini humu na kuniacha peke yangu. Nikafungua droo na kutoa chaji yangu na kuichomeka simu yangu huku nikijaribu kuiwasha. Simu ilipo fanikiwa kuwaka, nikawatumia meseji Qeen na Latifa na kuwajulisha kwamba hatuto weza kwenda sehemu niliyo waahidi kwenda mchana wa leo.
“Tayari mume wangu”
Biyanka alizungumza huku akiwa amefungua mlango. Tukatoka humu ofisini na kueeka eneo la magesho. Tukaeleka kwenye moja ya mgahawa, tukapata chakula cha mchana kisha tukaelekea kitua kikuu cha polisi. Tukapokelewa na afande Kimaro ambaye moja kwa moja akatupeleka hadi kwenye chumba cha mahujiano. Nikajikuta nikiachia msonyo mkali sana hadi Biyanka na afande Kimaro wakashangaa.
“Tuliza jazba mume wangu, acha polisi wafanye kazi yao”
Biyanka alizungumza huku akinishika mkono wangu wa kulia, akihisi msonyo wangu unahusika na hasira kumbe sivyo kwani mtu waliye mkamata hapa ni tofauti kabisa na yule ambaye Biyanka alikuwa ampiga vizungu.
“Wanampiga kweli atazungumza?”
Nilimuuliza afande Kimaro huku tukiwa tumekaa katika chumba cha pilia na katikati kuna kioo kikubwa ambacho sisi tunaweza kuwaona watu waliopo katika chumba hicho cha mahojiano ila wao hawawezi kutuona sisi tulipo katika chumba hichi cha wasililizaji.
“Ndio kwa kumpiga vile ni lazima atataja ni nani ambaye amemuagiza”
“Ila naona kama haito saidia”
“Hiyo ni adhabu moja tu Ethan, ila kuna adhabu nyingine nyingi sana ambazo zitafwata ni lazima atataja”
Afande Kimaro alizungumza huku akijichekesha chekesha. Laiti watu hawa wangekuwa wanajua kwamba nina fahamu ujinga wao wote wala wasinge kubali hata kukaa karibu na mimi.
“Badilisha adhabu”
Afande Kimaro alizungumza huku akiminya moja ya batani. Askari wawili walio ndani ya chumba hicho nikawaona wakivaa gloves mikononi mwao.
“Samahani, munaweza kunipa dakika hata moja nikazungumza naye?”
Biyanka na afande Kimaro wakanitazama kwa mshangao, kisha wakatazamana na Biyanka akakubali kwa ishara ya macho.
“Sawa ila inabidi askari hao waweze kubaki ndani ya chumba hicho”
“Hapana nahitaji watoke kabisa na vifaa vyao hivyo vya mateso. Nahiji wakalishe kwenye kile chumba wamfunge tu pingu basi”
“Ila huyo tuliye mkamata Ethan ni mtu hatari ni jambazi moja hatari sana”
“Usijali nitakuwa salama”
“Ila mume wangu h…..”
“Hapana mke wangu, niamini, nitakuwa sawa”
Afande Kimaro akawaamuru vijana wake kufanya vile nilivyo hitaji. Nikavua koti langu la suti na kumkabidhi Biyanka, nikavua saa yangu hii ya dhahabu ambayo niliinunua dola elfu ishirini na tano na nikamkabidhi pia Biyanka.
Nilizungumza huku nikianza kuelekea katika mlango wa kuingia katika chumba hichi. Nikaikunja mikono ya shati langu, nikaburuza kiti kimoja cha chuma na kukiweka mbele yake. Nikatazama kamera nne tatu zilizo weka kwenye kona za hichi chumba.
Jamaa huyu aliye jaa majaraha mwili mzima akanitazama kwa macho yaliyo jaa huzuni kubwa sana. Kwajinsi tu anavyo onekana kwenye macho yake hana hata sifa ya ujambazi. Nikanyanyuka na kuanza kumzunguka jamaa huyu kama mara nne hivi huku nikiendelea kumdadisi huku nikihakikisha kwamba udadisi wangu hauwezi kunaswa na kamera hata moja iliyo kwenye chumba hichi kwani kila kiti kina rekodiwa. Nikajikuta nikitabasamu mimi mwenyewe huku nikikaa kwenye kiti nilicho kuwa nimekalia hapo awali.
| 2019-08-17T10:42:43 |
http://www.mpekuzihuru.com/2019/01/riwaya-kali-power-sehemu-ya-58.html
|
[
-1
] |
Viongozi serikalini nao kujivua gamba - JamiiForums
Viongozi serikalini nao kujivua gamba
Thread starter Umslpogaaz
By Jukwaa Huru on July 29, 2011
KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC), Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema baada ya kumalizika kwa mchakato wa kuvua gamba ndani ya chama, mpango huo utahamia kwa viongozi wa Serikali ambao si waadilifu na wameonekana ni mzigo kwa Taifa. Nnauye alisema hayo juzi wakati akijibu maswali ya baadhi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Ushirika na Biashara (MUCCoBS) na Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Askofu Stephano Moshi (SMMUCO).
Wanafunzi hao walitaka kufahamu msimamo wa CCM kwa baadhi ya mawaziri akiwemo Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja waliyedai ameshindwa kutekeleza majukumu yake na wizara yake kusababisha mgawo wa umeme ambao pia unaathiri uchumi wa Taifa.
Pia walihoji sababu za Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk. Hussein Mwinyi kutojiuzulu licha ya mabomu kulipuka katika kambi ya Mbagala na baadaye Gongo la Mboto na kuua wananchi wasio na hatia.
"Chama kimewabana baadhi ya viongozi wake waliokuwa wajumbe wa Halmashauri Kuu na Kamati Kuu, wamejivua gamba…leo hii wapo baadhi ya mawaziri akiwemo Ngeleja ambao pamoja na kutofanya vizuri hawataki kuwajibika," alisema.
Akizungumzia kauli hiyo, Nnauye alisema chama kimepanga kujisafisha na pamoja na mchakato kuendelea ndani ya chama lakini suala la kujivua gamba ndani ya Serikali haliepukiki.
"CCM ni chama makini sana na ninyi mnajua, hilo lisiwape shaka tunafanya mambo kwa hatua moja baada ya nyingine…hao watendaji mnaodhani wanaachwa watavuliwa gamba kama ilivyotokea kwa wengine," alisema.
Hata hivyo, hoja ya Ngeleja kujiuzulu ilishawahi kujibiwa ambapo suala la mgawo wa umeme lilifafanuliwa kuwa lilitokana na ukame uliopunguza maji katika mabwawa ya kufua umeme na hivyo kupunguza uzalishaji wa nishati hiyo.
Pia ilifafanuliwa kuwa mgawo huo umechangia na uwekezaji mdogo katika sekta hiyo kwa muda mrefu wakati mahitaji yamekuwa yakiongezeka kwa kasi kubwa.
Kuhusu kujiuzulu kwa Dk. Mwinyi, wakati wa bajeti ya wizara hiyo, alifafanua kuwa kiongozi anapaswa kuwajibika kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake na sio baada ya ajali kutokea katika wizara yake.
13,706 2,000
Nadhani watakuwa wamemnukuu vibaya...
huwezi kutumia maneno haya tena..."KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC), Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema baada ya kumalizika kwa mchakato wa kuvua gamba ndani ya chama, mpango huo utahamia kwa viongozi wa Serikali ambao si waadilifu na wameonekana ni mzigo kwa Taifa..."
Npe Nape Nepi Nipe Napo~
Umslpogaaz said:
Chama kimewabana baadhi ya viongozi wake waliokuwa wajumbe wa Halmashauri Kuu na Kamati Kuu, wamejivua gamba
leo hii wapo baadhi ya mawaziri akiwemo Ngeleja ambao pamoja na kutofanya vizuri hawataki kuwajibika, alisema.
CCM ni chama makini sana na ninyi mnajua, hilo lisiwape shaka tunafanya mambo kwa hatua moja baada ya nyingine
hao watendaji mnaodhani wanaachwa watavuliwa gamba kama ilivyotokea kwa wengine, alisema.
mmeshamaliza kuvua gamba? duh ehee
Ye kama nani awe na mamlaka ya kuwawajibisha watumishi wa uma?
| 2019-04-20T00:55:26 |
https://www.jamiiforums.com/threads/viongozi-serikalini-nao-kujivua-gamba.365410/
|
[
-1
] |
Kujua Mawazo na Mitazamo Yenu Wenyewe ni Muhimu | INJILI YA KUSHUKA KWA UFALME
Kujijua wenyewe ni kujua ni vitu gani vilivyopo mawazoni na katika maoni yenu vinavyompinga Mungu na havilingani kabisa na ukweli na havina ukweli. Kwa mfano, kujua kiburi cha wanadamu, kujidai, uwongo, na udanganyifu—hizi ndizo tabia potovu ambazo ni rahisi kutambua. Kwa kuongezea, kila mtu ana kiburi na udanganyifu, ingawa kwa viwango tofauti. Hata hivyo, mawazo na maoni ya watu sio rahisi kujua; si rahisi kama kujua tabia za watu. Hivi ni vitu vilivyokita mizizi. Kwa hivyo, wakati umepata mabadiliko kidogo katika tabia na tabia yako ya nje, bado kuna vipengele vingi vya kufikiria, maoni, mitazamao yako, na elimu ya utamaduni ambayo umepokea ambavyo viko kinyume na Mungu na ambavyo bado hujafukua. Vitu kama hivyo ndivyo asili ya kumpinga kwako Mungu.
Umetoholewa kutoka kwa “Ni kwa Kujua Maoni Yako Yaliyopotoka Tu Ndipo Unapoweza Kujijua Mwenyewe” katika Kumbukumbu za Maongezi ya Kristo
Iliyotangulia:Kanuni za Msingi za Kutatua Asili ya Mtu
Inayofuata:Jinsi Mungu Apimavyo Mabadiliko Katika Tabia za Watu
| 2020-02-18T13:04:22 |
https://sw.kingdomsalvation.org/knowing-own-perspectives-is-key-lyrics.html
|
[
-1
] |
Nyerere alihusika na siasa za Zanzibar kabla ya Mapinduzi?! | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Nyerere alihusika na siasa za Zanzibar kabla ya Mapinduzi?!
Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Gaijin, Jul 18, 2010.
katika pita pita zangu kutafuta vitabu vinavyohusiana na harakati za kutafuta uhuru Tanzania nimekutana na kitabu hiki UKWELI NI HUU (KUUSUTA UONGO) kilichoandikwa na Amani Thani ambae alikuwa muasisi wa chama cha Zanzibar Nationalist Party. Kitabu hicho amekiandika 1994 akiwa ukimbizi Dubai
kwenye kitabu hicho ambacho kinahusiana zaidi na Zanzibar, magogeni wote wa siasa kuanzia kina Karume, Ali Muhsin, Babu na Nyerere wanatajwa. Sijakimaliza kukisoma lakini muandishi anasema haya ambayo yamenivutia hadi sasa 1) Babu alisomeshwa (short course) na ZNP lakini alikigeuka chama na akataka kishindwe katika uchaguzi. 2) Nyerere alihusika moja kwa moja na maamuzi yaliyokuwa yakifanywa na chama cha Afro Shiraz Party Kabla ya Uhuru (ambayo yalirudisha nyuma upatikanaji wa uhuru wa Zanzibar) na alikuwa miongoni mwa waliokianzisha chama hicho (behind the scenes). 3) Pia amezungumzia suala watu waliokimbia Zanzibar baada ya mapinduzi, kurudishwa kwa nguvu na Nyerere huku akijua kuwa wanaenda kuuwawa. Kinazungumzia kuhusu mateso ya jela alizokaa muandishi na mambo mengine ....
Sasa najiuliza hivi...............
1. hivi Nyerere alihusika kweli au Amezuliwa?
2. Kwa Asilimia ngapi yaliyoandikwa humo yana ukweli wowote? Hebu nijuzeni kidogo manake wengine historia ya nchi yetu inatupiga chenga Kitabu hicho kwa kiingereza bofya chini The Nobility of Zanzibar
3) Pia amezungumzia suala watu waliokimbia Zanzibar baada ya mapinduzi, kurudishwa kwa nguvu na Nyerere huku akijua kuwa wanaenda kuuwawa.Click to expand...
This is a known fact, mfano mmoja ni Kassim Hanga ambaye Nyerere alimrudish Zanzibar huku akijua wazi kabisa kwamba Karume atamfanyia summary execution.
This is a known fact, mfano mmoja ni Kassim Hanga ambaye Nyerere alimrudish Zanzibar huku akijua wazi kabisa kwamba Karume atamfanyia summary execution.Click to expand...
Hanga alijichimbia kaburi lake mwenyewe alipoamua kumwuunga mkono Kambona katika njama za kupindua serikali. Ilikuwa yeye ndiye achukue nafasi ya Karume Zanzibar.
Discussion hii nilishaichoka sasa; watu wa Zanzibar wanaipenda sana. Tukifunga thread moja wanaazisha thread nyingine. Wanapenda sana kumzungumza Nyerere kuliko hata viongozi halisi waliowaletea mapinduzi yale na kuingiza visiwa hivyo kwenye muungano. Sijaona mtu anaandika lolote kuhusu uongozi wa Karume, Babu, Natepe, Okelo, Thabit Kombo, na viongozi wengine wa zanzibar wakati huo. Historia ya Zanzibar yote imekuwa ni ya Nyerere tu.
Mkuu Gaijin: Kitabu hicho unachosema, tulishakijadili sana hapa, na niliwahi kuleta PDF version yake ya Kiswahili. Ukisaka thread za mwaka 2007 utapata majibu mengi sana.
Hanga alijichimbia kaburi lake mwenyewe alipoamua kumwuunga mkono Kambona katika njama za kupindua serikali. Ilikuwa yeye ndiye achukue nafasi ya Karume Zanzibar.Click to expand...
ebu tembelea hapa napo wshao.blogspot.com. pengine utaongeza uelewa.ni habari ambazo hazijawahi kukanushwa maana mii nawe hatukuwepo enzi hizo japo yote kwa yote hayasaidii chochote zaidi ya kukumbusha machungu ingawa ni muhimu kwa kumbukizi" ni wetu sote mungu ni wetu sote
Kichunguu samahani kwa kuwakwaza....
Sikujua Kama kimeshajadiliwa humu nitakisaka..... Maana upsnde wangu muandishi kaniachia shock. Kaandika with too much emotions za ukweli au uongo nitaweza pata msaada labda nikisoma hiyo thread uliyosema
Watu kama hawa huna haja ya kuwanukuu kwa sababu ni vichaa kama wale Makaburu wanaodai kwamba hapakuwepo na Ubaguzi South. Historia ya Zanzibar pekee ndiyo inayoweza kukupa picha kamili..Nimemsoma jamaa kwa kiasi kidogo sana nikamjua kwamba ni mzushi na mwarabu ambaye anajaribu kuonyesha Uzuri wa utawala wa Sultan. Kama kweli kulikuwa hakuna Ubaguzi Zanzibar ilikuwaje vyama vyote cvilivyoanzishwa vilikuwa ktk makundi ya RANGI na sio imani ya kiitikadi au vinginevyo?.
hakua asiyejua kwamba ZNP kilikuwa chama cha pro Arabs ambacho kiliungana na kile cha Pemba kuwashinda Afro Shiraz. Huyu jamaa pia anadai kwamba Nyerere ndiye alisaidia kuanzishwa kwa Afro Shiraz party - Muulizeni Afro Shiraz ilianzishwa mwaka gani na kina nani kwa ujumla walikuwa waasisi? Kazungumzia pia kuhusu Abdulrahman Babu alishomeshwa na ZNP? iliwezekana vipi ikiwa chama hicho kilianzishwa mwaka 1955 wakati Babu mwaka 1951 alikwenda UK kusomea Philosophy na English Literature na aliporudi toka masomoni mwaka 1957 alijiunga na ZNP na kuwa Secretary General.. babu aliondoka ZNP kwa sababu chjama hiki kiliendeshwa kwa misingi ya rangi naye akiwa na imani ya itikadi ya kushoto (maxisim)..Umma party ndio chama pekee kilichokuwa kikifuata mrengo wa kushoto (A left wing movement) wengine woote RACE played a role big time.
Maswala ya watu kurudishwa Zanzibar na kuuawa ni maswala ya Wazazibar wenyewe.. Huu ni Unafiki mkubwa sana ambao sielewi umetokea wapi na hasa ndugu zangu Waislaam ambao kwa kila hila wanajaribu kumpaka mwalimu kwa kila baya hali ni wao wenyewe walijimaliza. Ebu semeni ukweli namtu ajitokeze kukana haya.. Sii kina Chaulembo, Adam Nassib na masheikh wengine makada wa TANU waliopiga vita Uislaam hadi kuvunjika kwa EAMWS. Hivi sii kweli Waislaam waliokuwa wanachama wa TANU wakati wa Nyerere ndio walikuwa wakipiga vita vikali Uislaam kwa sababu na kulilia madaraka na nyadhifa serikalini?. Na ndio wao waliopendekeza kuundwa kwa Bakwata badala ya EAMWS..Marehemu Karume hata kudiriki kusema Kufunga Ramadhan haikuwa swala la Faradh (lazima)..
Lakini maajabu ya Mussa waislaam wako radhi kusamehe wabaya wao wenyewe na kutafuta mchawi, kama hawa jamaa wa ZNP wanavyozidi kuweka mashaka (brain wash) ktk vichwa vya Wazanzibar.. Sina hakika kama walikuwepo uchaguzi wa mwaka 1959 au 1961 au hata kujua vurugu na uhasama uliokuwepo baina ya Afro Shiraz na ZNP. Mkimbizi gani atakimbilia Oman hali yeye asili yake ni Oman!..aseme karudi kwao.
Ujinga mwingine haufai kuzungumziwa mwacheni mzee wetu Marehemu Nyerere apumzike mahala pema peponi..
ebu tembelea hapa napo wshao.blogspot.com. pengine utaongeza uelewa.ni habari ambazo hazijawahi kukanushwa maana mii nawe hatukuwepo enzi hizo japo yote kwa yote hayasaidii chochote zaidi ya kukumbusha machungu ingawa ni muhimu kwa kumbukizi" ni wetu sote mungu ni wetu soteClick to expand...
Speak for yourself. Mimi nilikuwepo enzi hizo. Nilimfahamu Hanga, nilimfahamu Kambona na nilimfahamu Nyerere. Hata Karume niliwahi kumwona kwa mbali.
Mkandara ........ Huu utandawazi una madhara makubwa sana. Unaweza hata usitie nie ya kukutana na kina Amani Thani lkn ukakwaana nao Kama hivyo na ukajikuta unaingiwa na Shaka moyoni mwako
tatizo linakuja Mimi Kama gaijin nna amini maneno yaliyokuwemo kwenye karatasi. Watu wengi pia nafikiri wanaamini Hilo pia. Uhaba wa vitabu vya historia ya Tanzania linatuchanganya. Labda pia vitabu vipo Ila raia hatulazishwi au kupendekezwa kuvisoma. Tunapoona jambo lipo hush-hush sana na conspiracy theories kibao kuibuka tunaanza kuamini vitabu/maneno ya extremists tu. Wanaoipamba sana historia na wanao ikashifu.
Hebu tupeni list ya vitabu vya neutralists tupate kujifunza cha ukweli. Vijana tunapotea
Hebu tupeni list ya vitabu vya neutralists tupate kujifunza cha ukweli. Vijana tunapoteaClick to expand...
Hapo uone wadhalimu walivyokosa aibu na kiu ya kuwanyanyasa na kuwanyonya wanyonge haiishagi.
Iweje zanziba ambako hata utumwa ulishamiri leo uniambie hakukuwa na ubaguzi? Ndo Zanziba ileile mwarabu alikuwa anamwamrisha mweusi kukwea mnazi ili amtungue kwa kujaribu uwezo wa bunduki yake? Ndo waarabu walewale walokusanya watumwa toka kigoma Tabora tunaambiwa huko Zanz walikuwa malaika kiasi huwezi kujua nani mweusi na yupi mweupe kwenye jamii?
Wliofanya mapinduzi walikuwa wote wakazi wa Zanzibar. Inaingiaje akilini kuwa watapindua serikali ili wajitese?
Huyu na wapambe wake wote waendelee kuteseka waliko kwa kukosa nafasi ya kuwatesa na kuwanyanyasa wenye nchi yao. Kama hiki nacho chaitwa kitabu basi kazi tunayo!
Mkuu mara nyingi unaposoma kjitabu mara nyingi unaituma akili yako kuelewa mwandihsi alikuwa na lengo gani kama kuelilisha au kukuza Fitna na mara zote mimi naposoma kitabu au historia inayoegemea upande mmoja huiacha kama ilivyo kwani mara zote kila story ina pande mbili..na kumbuka tu kwamba maneno yaliyopo ktk karatasi sii utafiti wa kisayansi isipokuwa mtazamo wa mhusika kulingana na upande gani wa senyenge alisimama.
Na hakika kukosa kuweka kumbukumbu ndilo tatizo la nchi zetu kwa sababu imekuwa ni aibu kuzungumzia Utumwa au kutawaliwa. Hakuna Mtanzania anayeweza kukueleza kwa undani Utawala wa Mreno, Mjarumani au Muingereza kwa fikra huru za Watanzania isipokuwa hisia zake mwenyewe. Sawa kabisa na leo ukisoma vitabu vya Marekani kuhusu Iraq na ukisoma wapambe wa Saadam utakuta historia mbili tofauti. Kisha napo kuna Kudish, Sunni na Shiah woote wataandika sii kwa fikra huru zisizofungamana ila historia inayohusu machungu yao..
Na binadamu tuna desturi ya kupenda kuuza vitabu hivyo kama magazeti habari za uongo hununulika zaidi ya ukweli kwani ukweli wa historia yetu unauma sana kuusikia na hakika wazee wetu wameshiriki kwa aina fulani kuneemesha yote yaliyotukia. Na hata haya yanayotokea wakati huu wa JK tutakuja yapamba sifa/kashfa za kinafiki hali sisi wenyewe ni part ya Utawala huu toka mwalimu Nyerere,Mwinyi na Mkapa. Na trust me, historia yetu itaelezwa zaidi mabaya wa hao viongozi na watu waliokuwa against them kuliko kujieleza wao wenyewe ktk nafasi zao waliweza kufanya mabaya yapi.
Kuna documents nyingi tu unaweza kuzipata kupitia vyombo vya habari kama Zanzinet na fanya kufuatilia links zao na kusoma mchanganuo mbalimbali wa mawazo. Najua wewe mtu mzima unaweza kuchambua mchele na kutupa pumba..
Mkuu Gaijin: Kitabu hicho unachosema, tulishakijadili sana hapa, na niliwahi kuleta PDF version yake ya Kiswahili. Ukisaka thread za mwaka 2007 utapata majibu mengi sana.Click to expand...
Naomba ukiweke tena ndugu yangu hiyo PDF maana wengine tulikuwa hatujaingia JF mwaka 2007, please!
| 2016-10-22T13:43:08 |
http://www.jamiiforums.com/threads/nyerere-alihusika-na-siasa-za-zanzibar-kabla-ya-mapinduzi.67273/
|
[
-1
] |
Jengo la Tanesco ubungo kubomolewa - Tabell
Home » News » Jengo la Tanesco ubungo kubomolewa
Jengo la Tanesco ubungo kubomolewa
Dar es Salaam. Rais John Magufuli amemwagiza Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) kuweka alama ya X kwenye jengo la Shirika la Umeme (Tanesco) na sehemu ya jengo la Wizara ya Maji na Umwagiliaji ili kupisha ujenzi wa daraja la juu katika eneo la Ubungo (Ubungo Interchange).
Rais Magufuli ametoa agizo hilo leo Jumatano baada ya kuwasili jijini Dar es Salaam akitokea Chato alikokwenda baada ya kumaliza ziara ya siku tatu nchini Uganda.
Amewataka Tanroads kuwapa taarifa wahusika kuhusu kubomolewa kwa majengo yao ili wapate eneo la kutosha kwa ajili ya ujenzi wa mradi huo unaolenga kupunguza foleni katika jiji la Dar es Salaam.
“Sasa mimi nataka ikiwezekana leo au kesho muweke X jengo la Tanesco…muweke X sehemu ile ya mwanzo ya Wizara ya Maji,” amesema Rais Magufuli huku akishangiliwa na wananchi waliojitokeza katika eneo hilo.
Kiongozi huyo Serikali amesema kwamba Sheria ya Hifadhi ya Barabara ilianza tangu mwaka 1932, ikafanyiwa mabadiliko mwaka 1959, 1964 na 1967.
“Sheria ni msumeno, Serikali ikifanya kosa inasulubiwa, Rais akijenga kwenye Road Reserve (hifadhi ya barabara) anachukuliwa hatua hizo hizo,” amesema Rais Magufuli wakati wa ziara hiyo.
Wakati wa Serikali ya Awamu ya Nne, Rais Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi wakati huo aliagiza kubomolewa kwa jengo la Tanesco, hata hivyo, aliyekuwa waziri mkuu, Mizengo Pinda alizuia kubomolewa kwa jengo hilo na mengine yaliyokuwa kwenye hifadhi ya barabara.
Aliyenaswa na dawa za kulevya JKIA aendelea kuzitoa tumboni.
Rais Magufuli akataa kunyonga
Wabunge upinzani wapotea bungeni.
Takukuru yawahoji madiwani waliojiuzulu Arusha
← Hatimaye mhasibu wa TAKUKURU ajisalimisha polisi.
(2.30MB)Download Queen Darleen – TOUCH.mp3 →
| 2020-08-13T06:26:34 |
https://tabelltz.com/2017/11/15/jengo-la-tanesco-ubungo-kubomolewa/
|
[
-1
] |
Hatarini kufungwa kwa
kusoma barua pepe ya mkewe.
Walker Leon (33) wa Rochester Hills jimbo la Michigan nchini Marekani anaweza kufungwa miaka 5 jela akikutwa na hatia mahakamani ya kufungua na kusoma barua pepe ya mkewe. Walker alianza kuwa na mashaka na mkewe; Clara Walker kuwa anafanya ugoni. Akaingia kwenye barua pepe ya mkewe kwa kutumia jina tumizi na nywila ya mkewe na akathibitisha mashaka yake ya kuwa mkewe alikuwa na mwanamme wa nje. Walker alipomvaa Clara kwa ugoni wake; Clara akajibu mapigo kwa kumshtaki mumewe. Kesi iko mahakamani na kama Walker akikutwa na hatia, kifungo chake ni miaka 5
Inasemekana asilimia 45 ya wanandoa wanachunguliana barua pepe zao.
Posted by Chama Cha Watanzania Oslo - CCW Oslo at Wednesday, October 26, 2011
| 2017-09-25T00:41:07 |
http://watanzaniaoslo.blogspot.com/2011/10/hatarinikufungwa-kwa-kusomabarua-pepe.html
|
[
-1
] |
Mazishi ya Jenerali wa Iran, baadhi wamepoteza maisha. - Channel Ten
Mazishi ya Jenerali…
Mazishi ya Jenerali wa Iran, baadhi wamepoteza maisha.
Kituo cha televisheni cha serikali ya Iran kimeripoti kutokea kwa mkanyagano wakati wa mazishi ya jenerali Qassem Soleiman katika mji aliozaliwa, ambapo watu kadhaa wamepoteza maisha na wengine kujeruhiwa.
Mapema leo Wairani walianza kukusanyika kwa maelfu katika mji wa Kerman kwa ajili ya hatua za mwisho za mazishi ya Jenerali huyo aliyeuawa Ijumaa iliyopita katika shambulizi la Marekani nchini Iraq.
Picha za televisheni zimeonyesha idadi kubwa ya waombolezaji waliojitokeza katika miji ya Tehran, Qom, Mashhad na Ahvaz kwenye kutoa heshima za mwisho kwa kiongozi huyo wa kikosi maalum cha Quds – tawi la nje la jeshi la Iran.
Kuuawa kwa Jenerali Soleimani kumezua vita vya maneno kati ya Iran na Marekani, kila upande ukiapa kuchukua hatua za kulipiza kisasi.
Akizungumza mbele ya kundi la waombolezaji katika mji wa Kerman alikozaliwa Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa jeshi la mapinduzi la Iran, Hossein Salami, ametishia kuteketeza maeneo yanayopata msaada kutoka Marekani kufuatia kuuawa kwa Jenerali Soleiman.
Kauli yake inaakisi matakwa ya viongozi na maafisa wa ngazi ya juu wa Iran akiwemo kiongozi mkuu wa taifa hilo Ayatollah Ali Khamenei kutaka kulipiza kisasi dhidi ya Marekani kutokana na mauaji hayo.
TMA yatoa taarifa kuhusu ongezeko la hali ya joto.
Miradi inayotekelezwa yaboresha mandhari ya jiji Dsm.
| 2020-01-25T06:21:41 |
http://www.channelten.co.tz/2020/01/07/mazishiiran/
|
[
-1
] |
NAMNA YA KUKABILIANA NA HOFU MAISHANI | Mtanzania
Home Afya na Jamii NAMNA YA KUKABILIANA NA HOFU MAISHANI
NAMNA YA KUKABILIANA NA HOFU MAISHANI
NILIPOFIWA na mama yangu miaka kadhaa iliyopita mtazamo wangu wa maisha ulibadilika. Mama hakuwa mgonjwa. Hatukumwuuguza, kifo chake kilitokea ghafla katika wakati ambao familia tulimhitaji. Ombwe la kumkosa mama nililinitengenezea hofu kubwa. Nikawa na maswali mengi yasiyo na majibu: Kwanini Mungu aliamua kumchukua mama yangu katika kipindi ambacho anajua fika ninamhitaji zaidi? Nikajiuliza tena na tena maisha yatakuwaje bila mama?
Tangu nilipopata taarifa za msiba nilianza kukitazama kifo kwa mtazamo tofauti. Nilianza kuwa na wasiwasi nisiouelewa. Ingawa awali nilifahamu kuna kufa kwa kila binadamu na wakati mwingine niliwafariji wenzangu waliokuwa wameondokewa na wapendwa wao, sikuwahi kufikiri kuna siku ingetokea kwangu. Baada ya kuondokewa na mama yangu ufahamu wangu ulianza kukichukulia kifo kwa uzito tofauti. Nilianza kuelewa maana ya kifo na hofu ilinisumbua.
Kwa kipindi cha karibu mwaka mzima baadae, haikuwa inapita siku sijafikiri kuhusu mama. Ingawa hakuna aliyejua kwa hakika kuwa ninawaza nini lakini nilikuwa na mahangaiko ya ndani kwa ndani. Kuna wakati nilijinyima baadhi ya mambo kwa sababu tu ya wasiwasi wa kutokumtendea haki mama. Nakumbuka siku chache kabla ya kifo chake tulikuwa tumezungumza kwamba angehudhuria mahafali yangu. Tuliweka mipango sawa. Tukio la Mungu kumchukua ghafla lilinijaza hofu na kuniondelea msisimko wa kuhitimu. Sikuwa na nguvu wala motisha ya kuendelea na mpango huo.
Hofu ni mkusanyiko wa wasiwasi unaotokana na hisia za kutokutimia kwa makusudio yetu. Unaweza kuwa na matarajio ya kufanya jambo fulani vizuri lakini mazingira yanapobadilika na kuongeza uwezekano wa matarajio hayo kutotimia, unajawa hofu. Ukiruhusu hali hii ikutawale unaweza kujikuta unajitengenezea mazingira ya kuwa na sonona. Kwa kawaida, hofu hutuondolea ujasiri na hivyo kukutatisha tamaa. Ukishakata tamaa unakosa matumaini ya maisha.
Kwangu hofu ilitokana na kifo cha mpendwa wangu. Kwako inaweza kuwa hofu ya kupoteza kazi. Inawezekana unaenda kazini lakini ndani yako unajua kabisa huna amani. Muda wote kuna mawazo yanakunyemelea yakikukumbusha kuwa si muda mrefu utafutwa kazi. Huna sababu ya msingi lakini hujui kwanini unawaza kuna mtu atakufuta kazi saa yoyote. Unaweza kuitwa na bosi wako kuulizwa kitu cha kawaida kuhusu utendaji wako, lakini kwa sababu tayari una mawazo kuwa yanatafutwa mazingira uondolewe kazini, hata lugha yako inaweza kuwa na matatizo. Utajibu maswali kwa kujitetea, ukijihami, ukilalamika, ukishutumu na tabia nyingine hasi ambazo kweli zinaweza kumfanya bosi wako ahisi una kasoro. Hapa tunaona, wakati mwingine hofu inaweza kutokana na kutojiamini.
Pia hofu inaweza kutokana na mambo kutokwenda kama ulivyotarajia. Umeanzisha biashara na inakwenda vizuri lakini huna amani kabisa. Kichwani ni kama umeweka mkanda unakuimbia kuwa saa yoyote mambo yataanza kwenda mrama. Unapokutana na changamoto fulani fulani ambazo na wafanyabiashara wenzako wanakutana nazo, unajikumbusha, “Si unaona? Kama nilivyokuwa nafikiri. Biashara inajifia hii.” Kumbe ni mawazo yako tu yanakusumbua na yanakufanya utafute ushahidi kuwa unachokiwaza ni kweli.
Unaweza kuwa mwanafunzi unajiandaa na mtihani lakini hupati usingizi kwa sababu kila wakati fikra zako zinakukumbusha kuwa huwezi kufanya vizuri. Ni kama kuna mtu anakuzomea kichwani kwako kuwa huwezi kufanya chochote. Na kwa vile hofu ina nguvu, unaweza kujaribu kusoma, unashangaa kweli haviendi. Unatumia nguvu nyingi kusoma mambo unayoyasahau hata kabla hujayatumia. Tafiti zinasema hofu ya kushindwa mtihani inachangia kwa kiasi kikubwa wanafunzi kushindwa kufanya vizuri mtihani yao. Wazo kwamba wanajiandaa kushindwa mtihani hujenga taswira halisi vichwani mwao inayowanyonya nguvu za kujiandaa ipasavyo.
Wakati mwingine ni mambo uliyowahi kukutana nayo katika maisha. Nina rafiki yangu aliyewahi kunusurika ajali mbaya iliyochukua uhai wa watu aliokuwa nao kwenye gari moja. Bwana huyu hadi leo hatamani kusafiri nje ya mji wake. Kila anapokumbuka yaliyowahi kumtokea, anaomba udhuru asisafiri. Unaweza kupata shida kumwelewa lakini hofu ya namna hii ni kitu halisi kwake. Sasa ni rahisi kumshauri “Acha woga kaka. Mungu alishakunusuru na ajali. Jitahidi kusahau.” Huelewi anachopitia. Ndio maana katika unasihi tunasisitiza kutokukurupuka kutoa ushauri kienyeji kwa sababu hatuelewi hali halisi za wenzetu tunaotaka kuwashauri.
Namfahamu kijana mmoja anayeogopa kuoa. Umri umeenda na haonekani kuwa na mawazo ya kutafuta mwenzi wa maisha. Ukimkumbusha aoe anasitisha uhusiano na wewe. Unaweza kufikiri ana matatizo fulani ya kiafya lakini ukifanikiwa kuelewa unaweza kuhitimisha kuwa, “Ningepitia aliyoyapitia huyu jamaa huenda na mimi ningekuwa na msimamo kama wake.” Tunakuwa wepesi kuwahukumu wenzetu kwa sababu wakati mwingine hatuwaelewi.
Kwa ujumla hofu ipo. Kila mtu ana kiwango chake. Wasiolewa wanaogopa umri unaenda na hawajaolewa, waliooa wanaogopa miaka inaenda na hawajabarikiwa mtoto. Wenye watoto wanaoogopa watakuwaje wakiwa watu wazima. Swali ni je, tunawezaje kukabiliana na hofu? Usikose makala ijayo panapo majaaliwa.
Previous articleSERIKALI UJERUMANI YAFICHA SIRI YA WAJAWAZITO WASIOPENDA KUJULIKANA
Next articleMTOTO HAPASWI KUCHAPWA, ANASIKILIZWA NA KUELEKEZWA – DORCAS
| 2019-07-16T10:48:42 |
http://mtanzania.co.tz/namna-ya-kukabiliana-na-hofu-maishani/
|
[
-1
] |
DANNY MWAKITELEKO KAFARIKI DUNIA-TUNAJIFUNZA NINI? - Mtangazaji
Home / Unlabelled / DANNY MWAKITELEKO KAFARIKI DUNIA-TUNAJIFUNZA NINI?
DANNY MWAKITELEKO KAFARIKI DUNIA-TUNAJIFUNZA NINI?
Marehemu Danny Mwakiteleko, kulia akiwa mjini Arusha hivi karibuni akihudhuria Mkutano Mkuu wa Wahariri Tanzania, kushoto ni baadhi ya wahariri wenzake kutoka vyombo mbalimbali vya habari.(Picha na THE HABARI)
Gari la Marehemu Danny Mwakiteleko baada ya ajali
Wana habari wa Tanzania, na waungwana wengine wote,
Huu ni msiba mwingine mkubwa kwetu. Kifo cha Danny Mwakiteleko, kama vilivyo vifo vingine vya ajali, ni cha kustua mno na kwa kweli kinasikitisha. Ajali aliyoipata ilikuwa ya kutisha na ilipofikia hatua ya kufanyiwa operesheni ya kichwa kwenye hospitali yetu hii ya Muhimbili tunayoijua, kwa kweli ilitisha kupita kiasi. Pole kwa wanafamilia yake, wafanyakazi wenzake wa New Habari Corporation, wanahabari wenzake, ndugu, jamaa na marafiki. Huyu bwana niliwahi kufanya naye kazi miaka mingi huko nyuma, na ninakumbuka mwaka jana nilipokuwa nyumbani nilimpitia ofisini na tukaenda kupata ugali mchana pamoja; ni vigumu kuamini kwamba haiwezekani tena kuwasiliana naye. Basi, hatuna la kufanya katika hatua hii kwa ajili ya Danny zaidi ya kutoa pole kwa wafiwa na kumwomba Mungu awape faraja.
Lakini baada ya masikitiko, kuna haja ya Watanzania kujiuliza iwapo sasa tumekubali kabisa kwamba ajali zitutawale. Hii hali si nzuri -- ya kukubali kila siku kwamba - Kila mtu ana siku yake; ni mapenzi ya Mungu; siku ikifika huwezi kuikwepa; ajali haina kinga, ...... na maneno mengine ya kishirikina na kiroho, na hata kisiasa kama: "Tusilaumu, wote tutakufa." Hapana.
Wazungu husema kwamba Mwafrika ni mtu anayesukumia kila kitu kwa Mungu kwa sababu anaamini yeye hawezi kurekebisha hali inayomkabili, mathalani, umeme ni tatizo Tanzania kwa sababu Mungu hakuleta mvua; lakini hatusemi kwamba ni Mungu huyo huyo aliyetupa njia lukuki mbadala na akili na muda. Sasa wengi wetu, kuanzia rais hadi wauze nyanya, tunalalamikia kudra za Mwenyezi Mungu. Ndivyo ilivyo kwenye ajali - tunaamini kwamba ni mapenzi ya Mungu lori lisilokuwa na taa wala kiakisi mwanga kusimama barabarani (siyo pembeni) usiku wa giza nene na kisha mwendesha gari kuliingia na kupoteza maisha - - Watanzania tunaamini kuwa ni "mapenzi ya Mungu." Dah!
Wamarekani baada ya kuona ajali ni tatizo mwaka 1967 walianzisha Bodi ya Taifa ya Usalama wa Usafiri (NTSB) licha ya kuwa wana serikali za mitaa, polisi, na mamlaka za leseni zinazoangalia usalama huo huo. Mathalani, ingawa wana Mamlaka ya Usafiri wa Anga (FAA), lakini bado Bodi hii inafanya uchunguzi kila inapotokea ajali ya ndege. Bodi hii huchunguza vyanzo vya ajali za barabarani, relini, majini, angani, na na kwenye mabomba ya mafuta, kisha kutoa ushauri/amri/uamuzi/kuongoza sera, n.k. ili kulinda maisha ya watu.
Sisi nasi tuna Mamkala ya Usafiri wa Anga, na pia tuna Mamlaka ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), na polisi yetu; lakini vitu hivi havikidhi mahitaji mwa jinsi vilivyo. Je, kwa nini tusivibadilishe muundo wake, utaalam wake, na uwezo wake, au ikibidi kuunda kingine kama walivyofanya wenzetu? Juzi juzi hapa Marekani jimboni Virginia, basi moja la watalii lilipinduka asubuhi na kuua watu wanne baada ya dereva kusinzia na kuacha njia. Ilipofika saa saba mchana kampuni ya mabasi hayo ilifungwa Marekani nzima na NTSB kwa tuhuma za kudharau kanuni za usalama. Sisi ikitokea ajali, kwa mfano wiki hii mabasi mawili yamewaka moto katika ajali ambazo ukielezwa hata maelezo hayaingii akilini, lakini viongozi wetu na sisi tutaishia kusema: "Kazi ya Mungu." Kwa Marekani watu wasingelala kwa mabasi mawili kupata ajali za namna hii.
Tuna uwezo wa kufanya kitu ili kupunguza ajali hizi, tukianzia na kukubali kwamba kuna tatizo kwenye seti nzima ya suala la usalama barabarani, yaani barabara zetu, vyombo vyetu, madereva, abiria, watembea kwa miguu, polisi, serikali, n.k. Hii ya kumsukumia Mungu kila kitu inaishia kuthibitisha maneno ya Wazungu kwamba Waafrika ni watu bure kabisa - - wanaamini matatizo yao lazima yatatuliwa na Mungu.
Tanzania bila ajali inawezekana, lakini kwanza tuanze na Tanzania bila ukuku wa mawazo.
Mobhare Matinyi-USA
1.Hulka za watumiaji wa barabara: (madereva na abiria yaani wasafiri wenyewe...)
2. Ubora wa miundombinu (jinsi barabara zilivyoandaliwa...(barabara zetu hazina ubora wa kuhimili mwendokasi ambao baadhi ya madereva hulazimisha)
3. Imani zetu... huwa hatujaamini kuwa maisha ni ya muhimu.
4. Ukosefu wa elimu ya vyombo vya moto...na thamani tunayopatia vyombo hivi ukilinganisha na maisha ya wanadamu.
5. Mengineyo.
| 2020-01-25T01:23:36 |
http://www.mtangazaji.com/2011/07/wosia-wa-bure-kwa-watanzania-baada.html
|
[
-1
] |
Sauti ya Jamii – Diamond Plantinumz ajipata kwenye Spotlight!!!
Jul 19, 2015 Admin Wasanii, Yanayojiri 2,734
Wakati mwingine huenda ukajiona kama kwamba hauna usemi sana katika Sanaa. Ningependa kuchukua fursa hii kuwapongeza mafans wote wa muziki na uigizaji kwa kazi nzuri mliyoifanya na kufaulisha tukio la MAMA Awards 2015. Kushiriki kwenu katika mpango mzima wa kuwapigia kura mastaa wetu kuliweza kuyapeleka mambo shwari kabisa.
Hii ni sauti ya jamii ambayo ni sharti iwe kioo kwa jamii nzima; najua unashindwa kuelewa ni kwanini natoa shukrani ilihali sikuwa mmoja wa wahusika waliopanga tukio hilo la MTV Africa Music Awards maarufu kama ‘MAMA Awards’. Ni tukio lililokuwa Durban Africa Kusini hapo jana usiku. Tunafaa kukuhusisha ndio ujue unao umuhimu wa hali ya juu.
Bila shaka Vijana wetu Sauti Sol waliweza kutuonyesha ushirikiana katika mitandao yote ya kijamii. Waliweza pia kuichora picha nzuri kuwa hata wasipotwaa tuzo, kuna siku yao. Walipakia picha zao huku wakipongeza wapinzani wao walioibuka washindi. Diamond Plantinum amefanya kazi si haba kwani alikuwa mojawapo wa waliopeleka tuzo nyumbani; yaani Afrika Mashariki. Alitunukiwa tuzo la Best Live performer.
Naigeria walionyesha kuhodhi MAMA Awards 2015 kwa kuzitwaa tuzo saba. Tazama orodha ya walioshiriki katika tukio hilo na walioibuka washindi;
Davido (Nigeria) – MSHINDI
Yemi Alade (Nigeria) – MSHINDI
P-Square (Nigeria) – MSHINDI
Patoranking (Nigeria) – MSHINDI
Cassper Nyovest (South Africa) – MSHINDI
AKA, Burna Boy, Da LES & JR: “All Eyes On Me” (SA/Nigeria) – MSHINDI
Mavins: “Dorobucci” (Nigeria) – MSHINDI
Diamond Platnumz (Tanzania) – MSHINDI
“Nafukwa” – Riky Rick; Director: Adriaan Louw – MSHINDI
Jeremy Loops (South Africa) – MSHINDI
DJ Arafat (Ivory Coast) – MSHINDI
Ary (Angola) – MSHINDI
Trevor Noah (South Africa) – MSHINDI
Nicki Minaj – MSHINDI
P-Square – MSHINDI
Je kwa maoni yako ulikuwa unatarajia nani angechukua ushindi tuzo lipi?
Sherehe baada ya ushoga kuhalalishwa. #CokeStudioAfrica kumfanyia staa wa Uganda #Keko Kile huwezi imagine.
| 2019-06-24T11:09:21 |
http://www.sautiyajamii.com/diamond-plantinumz-ajipata-kwenye-spotlight/
|
[
-1
] |
Ufunguo Rafiki yangu fahamu kwamba kitabu hiki ni miongoni mwa vitabu vyenye thamani ulivyowahi kupewa katika maisha yako.
Kitabu hiki ni wito kutoka kwa RAB wako; ni ufunuo maalum! Bila kujali asili yako;kazi yako ; shughuli zako; wala dini unayofuata, jua kwamba RAB wako anakusubiri na mlango wake uko wazi kabisa kukupokea.
Usishangae ukauliza mlango wa RAB wako uko wapi; mlongo “HUO” upo kwako; kwenye moyo wako! Nyuma ya mlango unaofunguka kutoka kwako kuja kwako!...
Mlango huu ni mlango wa DUA na DHIKIRI!... Ni mlango ufungukao kutoka moyoni mwako kuelekea kwa RAB wako.
Ni mlango wa HAJA na kumuelekea RAB wako!..
Achana na MUNGU unayemdhania kuwepo Mawinguni na kando yako; Muelekee ALLAH asiye na mwisho wala mpaka; Tambua kwamba YEYE yupo kila mahali katika kila chembe; na jitahidi KUMTAFUTA ndani ya moyo wako!..
Kisha taka kutoka KWAKE chochote utakacho!.. Mwenza, kazi, lishe;Ukipenda Mola, ukipenda shifa!...
Fahamu kwamba kitu pekee kitakachokufikisha kwenye haja yako ni DUA na DHIKIRI.
Rafiki yangu jua kwamba ALLAH ambaye yupo katika kila chembe kwa sifa zake zote; na ambaye hakuna kilichopo isipokuwa yeye, ATAKUJIBU KUTOKA KWAKO KUJA KWAKO!
Ujue kwamba WEWE ni “KHALIFA” katika ardhi!... Je unahabari kuhusu nguvu kubwa zilizowekwa katika UBONGO WAKO kama KHALIFA? ...
Je unahabari kwamba unaweza ukaufanyisha kazi mfumo ulio ndani yako kwa kutumia DUA na DHIKIRI, na kwa kutumia UBONGO wako wenye sifa za ajabu?
Je unaujua mfumo wa dua uliozawadiwa kwako kama “SILAHA YENYE NGUVU KABISA”?
Mafukara, wanyonge na watu wengine wengi, kwa kutumia DUA na DHIKIRI, wamewaangamiza WATAWALA wengi MADHALIMU!.
Kuna masikini wengi wamepata utajiri mkubwa kwa kutumia DUA na DHIKIRI!...
Wapo wengi wenye matatizo, dhiki, maradhi, mihangaiko na mateso wamepata uokovu na afueni kwa kutumia DUA na DHIKIRI!...
Rafiki yangu fahamu kwamba...
UNACHO kifaa ambacho ni silaha yenye nguvu kuliko zote duniani.
Kwa kujifunza namna ya kuitumia silaha hii yenye nguvu kabisa KATIKA UBONGO WAKO, KATIKA MOYO WAKO unaweza ukafikia mazuri na mema yote ya, hii dunia unayoishi na maisha ya baada ya kifo!..
Hali kadhalika unaweza ukaamua kutoutumia mfumo huu wa DUA na DHIKIRI, ukauacha upate kutu na kuutelekeza, kwa kufanya hivyo ni wewe pia ndiye utakayebeba adhabu yake milele!...
Huu ni mfumo ambao wewe umepewa bure!.. Ni zawadi!..
Humuhitaji mtu yeyote kwa ajili ya DUA na DHIKIRI na wala huna ulazima kumtumia mtu kama wakili!..
Ukitaka tumia kitabu hiki; ukitaka elekea kwa namna unayoipenda mwenyewe!.. Lakini hakikisha unajifunza namna ya kutumia kifaa hiki chenye thamani kuliko vyote duniani cha DUA na DHIKIRI..
Utaona namna dunia yako itakavyopendeza.
As Sayyid Ahmed HULÛSİ
| 2017-05-23T06:51:37 |
http://www.ahmedhulusi.org/kw/articles/ufungou.html
|
[
-1
] |
Kichwa cha mwandishi aliyetoweka chapatikana baharini Sweden | TANURU LA FIKRA BlogNews
Home Uncategories Kichwa cha mwandishi aliyetoweka chapatikana baharini Sweden
Image captionMwandishi Kim Wall kulia
Kichwa cha mwandishi wa Sweden Kim Wall kimepatikana , miezi miwili baada ya kupotea katika ziara na raia mmoja wa Denmark.
Waogeleaji walipata mifuko iliokuwa na kichwa chake, miguu na nguo katika eneo la Koge Bay kusini mwa mji wa Copennhagen kulingana na inspekta mkuu wa polisi wa eneo hilo Jens Moller Jensen.
Vilipatikana karibu na pale mwili wa Wall ulipokuwa siku chache tu baada ya kupanda katika manuwari tarehe 10 Agosti.
Bwana Marsden mwenye umri wa miaka 46 amekana kumuua bi Moller Jensen akisema mabegi hayo yaliopatikana yalikuwa yamechanganywa na kupimwa uzani na vipande vya vyuma.
''Jana alfajiri tulipata begi ambalo lilikuwa na nguo za Kim, suruali ya ndani na viatu.katika begi hilo hilo kulikuwa na kisu na kulikuwa na mabomba ya magari'' .
Matokeo ya uchunguzi yamebaini kwamba kichwa hicho ni cha bi Wall na kwamba hakina ishara za kwamba fuvu lake la kichwa liliumizwa ama hata kupigwa.
Matokeo hayo yanaenda kinyume na taarifa za Marseden kwamba alifariki baada ya kugonga kichwa chake katika mlango.
Bi Wall ,30, alionekana mara ya mwisho akiwa hai jioni ya Agosti 10 wakati alipokuwa akiondoka na bwana Marsden katika manowari aliotengeza mwenyewe kuhusu habari aliokuwa akiandika kuhusu safari hatari aliotaka kufanya.
Mpenziwe alipiga kamsa siku ya pili baada ya kutorudi kutoka kwa safari yake.
Awali bwana Marsden alisema kuwa alimsafirisha na kumwacha akiwa salama mjini Copenhagen , lakini baadaye akabadilisha taarifa yake na kusema kwamba alimzika baharini baada ya ajali mbaya na alikuwa amepanga kujiuwa kwa kuizamisha manowari yake.
| 2017-10-21T19:43:09 |
http://www.tanurulafikra24.com/2017/10/kichwa-cha-mwandishi-aliyetoweka.html
|
[
-1
] |
UCHAGUZI WETU 2015: Muhtasari Na.4 ya Siku ya Uchaguzi – Election Day Brief No. 4
UCHAGUZI WETU 2015
UchaguziWetu2015
Muhtasari Na.4 ya Siku ya Uchaguzi – Election Day Brief No. 4
Taarifa hizi zinatokana na ripoti za waangalizi kwenye vituo vya kupiga kura, hadi saa moja na nusu jioni, siku ya uchaguzi. Takwimu zote ni za awali, zinaweza kubadilishwa kadri ripoti za waangalizi wengine zitakavyoingia.
These figures come from reports of observers in polling stations, collected up to 7.30pm on polling day. The data are preliminary figures, and may be subject to later changes as more observers submit reports.
Maeneo waliyopo waangalizi waliotoa ripoti
Locations of reports
Maeneo ambapo kuna ripoti za wapiga kura wasioona kutokusaidiwa kupiga kura
Areas where blind voters were not assisted to vote
Maeneo ambapo kuna ripoti za wapiga kura wenye ulemavu kutokupewa upendeleo
Areas where people with disability were not given priority in the queue
Maeneo ambapo kulikuwa na taarifa za dalili za kampeni karibu na Kituo cha Kupiga Kura
Areas where there were reported signs of campaigning close to polling stations
Maeneo ambapo kuna ripoti za upungufu wa vifaa vya kupigia kura katika vituo
Areas where there are reports of missing polling station materials
Maeneo ambapo kulikuwa na ripoti za majina ya wapigakura kukosekana katika Daftari la wapigakura vituoni
Areas where there were reports of names of people with voter cards missing from voter lists
Taarifa hizi zinatokana na ripoti za waangalizi kwenye vituo 5,770 vya kupiga kura, hadi saa moja na nusu jioni, siku ya uchaguzi. Takwimu zote ni za awali, zinaweza kubadilishwa kadri ripoti za waangalizi wengine zitakavyoingia.
Wachambuzi na waangalizi wa CEMOT wanaendelea kufuatilia na kuthibitisha data hizi.
Mafumbo Kashai Shuleni, Bukoba Mjini
Hakuna daftari la wapigakura
Limetatuliwa
Shule ya Msingi Mavurunza, Kata ya Saranga, Kibamba
Majina yapo hakuna msimamizi
Karatasi zimepungua
Tatizo limetatuliwa
Kimara Stop over, Kibamba
Karatasi zimepungua zimepelekwa 2,000 watu wako 6,000
Suluhu haijapatikana na polisi wako kwenye eneo
Uchanguzi umeahirishwa hadi kesho
Mbezi Maramba 2, Kibamba
Masanduku ya kura hayajafika hadi mchana
Kwembe, Kibamba
Baadhi ya majina hayapo kwenye daftari
Mwongozo, Mwananyamala Kwa Kopa
Vifaa havijakamilika
Vifaa vimekamilishwa
Hakuna mihuri
Imepelekwa
NB: Masuala mengi yaliyoripotiwa ni upungufu wa vifaa ambavyo maeneo mengi vimepelekwa
Simu zilizopokelewa toka saa 2 hadi 2 usiku ni 141
Nyingi ni kuhusu fursa za kupiga simu kwenye kituo tofauti na watu walikojiandikishia pamoja na masuala yaliyoripotiwa kwenye whatsapp hususan Jimbo la Kibamba
This report was jointly prepared by two institutions forming CEMOT; namely, Tanzania Civil Society Consortium on Election Observation (TACCEO) and Tanzania Election Monitoring Committee (TEMCO).
INTERIM REPORT INTRODUCTION The 2015 general election in Tanzania is the fifth after re-introduction of multiparty politic...
2015 Elections Media Monitoring Report: September 18 – 24, 2015
Introduction Media monitoring has been a core activity of the Council and thus it was found to be prudent for it to specific...
Taarifa hii imeandaliwa kwa pamoja na taasisi mbili zinazounda CEMOT ambazo ni Tanzania Civil Society Consortium on Election Observation (TACCEO) na Tanzania Election Monitoring Committee (TEMCO).
TAARIFA YA AWALI UTANGULIZI Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 ni uchaguzi wa tano tangu Tanzania tuliporejea kwenye mfumo wa vyama vingi. U...
Muhtasari Na. 2 ya Siku ya Uchaguzi–Election Day Brief No. 2 1pm, Oktoba 25, 2015
Taarifa hizi zinatokana na ripoti za waangalizi 6,579 kati ya 9,000 (73%), hadi saa 6 mchana (12 noon), siku ya uchaguzi. Takwimu zot...
Ushiriki wa wanawake katika Uchaguzi wa 2015
Utangulizi Ushiriki wa wanawake katika vyombo vya maamuzi umebainishwa katika mikataba yote ya kimataifa, na kikanda ambayo Tanzania ime...
Tamko la CEMOT kuhusu zoezi la kutangaza matokeo linaloendelea
Oktoba 27, 2015 Kituo cha Uangalizi wa Uchaguzi (CEMOT) kimepokea taarifa mbalimbali kutoka kwa waangalizi wake wapatao 10,050, mitanda...
REPORT SIX | 2015 Elections Media Monitoring Report
Introduction Media monitoring has been a core activity of the Council and thus it was found to be prudent for it to specifically moni...
We need to Re-define the role of representatives
Prof. Ruth Meena While presidential candidates list practical solutions for the problems facing the voters, the parliamentary and counci...
Kukosekana kwa majina ya wapiga kura kunaweza kusabablisha vurugu wakati wa uchaguzi
Na Ruth Meena Mkurugenzi wa Baraza la Habari ndugu Kajubi Mukajanga akiwa kwenye mahojiano na Radio One, (22.10.2015) amehimiza Tume ya U...
Taarifa hizi zinatokana na ripoti za waangalizi kwenye vituo vya kupiga kura, hadi saa moja na nusu jioni, siku ya uchaguzi. Takwimu z...
| 2017-09-23T03:56:58 |
http://uchaguziwetu2015.blogspot.com/2015/10/muhtasari-na4-ya-siku-ya-uchaguzi.html
|
[
-1
] |
Watanzania na majukumu yao nje ya nchi, matokeo na ratiba.
Ni wikiend nyingine kwa wawakilishi wa Tanzania kwenye soka la Kimataifa wakitafuta njia na tiba za kuzisaidia timu zao kuweza kufanya vizuri na hatimaye kufikia malengo yao.
Jumamosi ya Oktoba 14 Mtanzania Mbwana Samatta alikuwa dimbani kuisaidia Timu yake ya KRC Genk kuchukua alama tatu dhidi ya Royal Excel Mouscron lakini mambo yakawa magumu na kujikuta wakitoka sare ya bao 1-1.
Mchezo huo ambao ulipigwa katika uwanja wa Nyumbani wa Genk, Luminus Arena ulishuhudia Samatta akipiga dakika zote 90, lakini alishindwa kabisa kuisadia timu yake ambayo ndio ilikuwa ya kwanza kufungwa katika dakika ya 42 kupitia kwa Dorin Rotariu kabla ya kusawazisha katika dakika ya 81 kupitia kwa Marcus Ingvartsen.
Sare hiyo inawafanya Genk ambao tayari wamecheza michezo 10, kuwa Nyuma ya alama 13 dhidi ya kinara wa ligi hiyo kwa sasa Club Brugge ambaye anaongoza akiwa na alama 24.
Unaweza kuwa msimu mbaya sana kwa Mbwana Samatta kwani toka kuanza kwa Ligi wameshinda michezo miwili pekee, wakitoka sare mara tano na kufungwa mara 3, dalili ambayo inawaondoa kabisa kwenye mbio za ubingwa msimu huu.
Aidha msimu uliopita Mbwana Samatta alimaliza ligi akiwa na mabao 13 lakini msimu huu amefanikiwa kufunga mabao matatu mpaka sasa.
Michael John Lema.
Watanzania wengine watazitumikia timu zao leo Jumapili ambapo katika ligi kuu ya Austria maarufu kama Bundesliga Timu ya Michael John Lema, Strum Graz itakuwa na kibarua kigumu majira ya saa 11:30 jioni pale itakapowakaribisha wakongwe Austria Wien.
Graz watahitaji ushindi katika mchezo ili kuwatoa Salzburg kileleni, ambao walishinda jana dhidi LASK na kufikisha alama 24, alama mbili zaidi ya zile walizonazo Strum Graz.
Nchini Kenya Watanzania Abdlah Hamis na Abdul Hilal watakuwa vibaruani kupeperusha bendera ya Tanzania katika harakati za kutafuta alama tatu muhimu katika Timu zao.
Abdlah Hamisi anayeichezea Sony Sugar watakuwa na mchezo mkali dhidi ya Nzoia Sugar FC ikiwa ni Dadi ya sukari.
Sony Sugar wanashuka dimbani katika mchezo huo wakiwa na alama 34 na kukalia katika nafasi ya 10 ilihali wapinzani wao Nzoia Sugar wao wakiwa nafasi ya 8 huku wakiweka kibindoni alama 39.
Mtanzania Mwingine Abdul Hilal anayeichezea Tusker FC atakuwa na kibarua kigumu pale timu yake itakapokuwa na shughuli pevu ya kuwakabili vijana wa Muhoroni Youth.
Tusker ambao ni mabingwa watetezi hawapo katika nafasi nzuri huku ligi hiyo ikiwa katika duru la lala salama, ambapo mpaka sasa wakiwa wamecheza michezo 27 wamekusanya alama 40 pekee, huku wakiwa katika nafasi ya 7.
Kule Moroko kwake Simon Msuva, watakuwa na mchezo wa Ligi leo ambapo Difaa El Jadida watakuwa nyumbani kuwakaribisha Chabab Rif Hoceima.
El Jadida wanaenda katika mchezo wakiwa wana alama 4 katika michezo miwili ambayo wamecheza hadi hivi sasa katika ligi hiyo ya Moroko.
Afrika Kusini.
Kwake Abdi Banda pamoja Kipa Deogratius Munish wenyewe watakuwa na Mapumziko mafupi wikiendi hii, wakitarajiwa kuanza tena mikimiki ya ligi kuu ya Afrika Kusini Oktoba 17.
Banda anayeichezea Baroka FC wenyewe watakuwa na mchezo siku ya Oktoba 18, na watacheza na Lamontville Golden Arrows.
Ikumbukwe Baroka ndio wanaongoza Ligi wakiwa na alama 15 baada ya michezo 7 wakishinda 4 na wakitoka sare katika michezo 3.
Wakati Deogratius Munish yeye atakuwa mzigoni kuisaidia timu yake ya Tuks FC inayomilikiwa na Chuo Kikuu cha Pretoria, timu hiyo inashiriki ligi daraja la Kwanza.
Msumbiji.
Naye Uhuru Suleiman anayeichezea União Desportiva do Songo ya Msumbiji Leo watakuwa na mchezo wa kumalizia malizia ligi hiyo maarufu kama Mocambola dhidi ya Chibuto.
Tayari timu ya Songo anayoichezea Uhuru Suleiman imekwisha nyakua taji la ligi hiyo msimu huu Kwani mpaka sasa ina Alama 62 huku timu zikiwa zimesaliwa na michezo miwili kukamilisha ligi hiyo.
Mchezo huo utapigwa majira ya saa 10 jioni kwa saa za Msumbiji huku Tanzania ikitarajiwa kuwa ni saa 11 jioni.
Michael John Lema (SK Sturm Graz/Austrian Bundesliga)
Fred to keep United waiting
24 May, 13:05
Madrid ace not interested in PL move
25 May, 14:05
| 2018-05-27T10:12:24 |
https://www.futaa.com/tz/article/140287/watanzania-na-majukumu-yao-nje-ya-nchi-matokeo-na-ratiba
|
[
-1
] |
VIDEO: Sera mpya itakayoratibu gharama za kodi za kupangisha nyumba yaja – Millardayo.com
VIDEO: Sera mpya itakayoratibu gharama za kodi za kupangisha nyumba yaja
Leo October 2, 2017 ikiwa ni siku ya makazi duniani, katika maadhimisho yake nchini yaliyofanyika ukumbi wa Karimjee DSM, Naibu Waziri wa Ardhi, Angelina Mabula amewataka wananchi kujiandaa kutoa mapendekezo kwenye sera mpya itakayoweza kuratibu gharama za upangishaji wa nyumba.
“Baadhi ya mapendekezo hayo ni upatikanaji wa nyumba za gharama nafuu, ardhi iliyowekwa miundombinu yote muhimu, usalama wa miliki, kuhimiza tafiti za uzalishaji wa vifaa vya ujenzi nchini kwa bei nafuu, usafi wa mazingira, na upatikanaji wa mitaji na mikopo ya nyumba yenye riba nafuu.” – Angelina Mabula
Related ItemsAyoTVhabari dailyTZA HABARIWizara ya Ardhi
← Previous Story Shambulio lililouwa 50 kwenye Tamasha la muziki Marekani (+Pichaz)
Next Story → Mkurugenzi wa Utafiti na Mipango TanTrade kahukumiwa miaka mitatu jela
| 2020-08-04T17:55:36 |
https://millardayo.com/makaz002/
|
[
-1
] |
viongozi wa dunia watuma Salam za rambirambi kwa viongozi wa Singapore - Amerika - RFI
Singapore Barack Obama Marekani
Imechapishwa 23-03-2015 • Imehaririwa 23-03-2015 Saa 13:04
| 2019-03-25T15:50:34 |
http://m.sw.rfi.fr/amerika/20150323-viongozi-wa-dunia-watuma-salama-za-rambirambi-kwa-viongozi-wa-singapore
|
[
-1
] |
TAMKO RASMI LA CHAMA CNDD-FDD LA TAREHE 03 OKTOBA, 2015 | Cndd-Fdd
Home » Tangazo » TAMKO RASMI LA CHAMA CNDD-FDD LA TAREHE 03 OKTOBA, 2015
TAMKO RASMI LA CHAMA CNDD-FDD LA TAREHE 03 OKTOBA, 2015
Jumuiya ya nchi za Ulaya imechukulia baadhi ya warundi hatua za uchokozi zisizofariji kinyume na sheria
Tarehe 01 Oktoba, 2015 Jumuiya ya Umoja wa Ulaya ilikutana Ubelgiji ambapo ilichukuwa hatua zisizo wazi na zisizofaa dhidi ya warundi wanne (4) wa kabila moja la wahutu. Hatua hizo zinawakataza watajwa hao kuingia katika nchi wanachama wa Jumuiya hiyo na kuzuia mali zao zinazoweza kuwa katika mataifa hayo 28 yanayounda Jumuiya hiyo.
Chama CNDD-FDD, kilistuka na kushangaa baada ya kusikia hatua hizo; kwa sababu adhabu hizo zinakumbusha historia mbaya ya yaliyoisibu nchi ambapo ubaguzi ulikithiri nchini na umwagaji wa damu uliokuwa ukisababishwa na kundi dogo lililotawala nchi kwa muda wa miaka 40 ukiondoa miezi 3 tu ya uongozi wa hayati Rais Melchior Ndadaye. Kitu cha kusikitisha ni kwamba kila yalipotokea mauaji nchini umoja huo wa nchi za Ulaya walifumba macho na hakuna aliyesimamishwa katika wahusika au kukamatwa na kuchukua hatua kwa maovu ya mipango ya kuangamiza warundi wa kabila moja. Kuna maswali mengi ya kujiuluza. Je, hao hawakuchukuliwa hatua kwa sababu ni washirika wao? Je sheria za wakati ule katika Jumuiya ya Umoja wa Ulaya ni tofauti na sheria za leo ? Je nchi hizo ziliogopa kuchukuwa hatua kwa waovu kwa sababu ni kabila lisiloguswa ? Je watu hao wanne wanaotajwa walifanya yanayofanana na ya wale walioandaa mauaji ya kimbali na kuizushia serikali ? Je hatua hiyo ambayo haikujulishwa serikali ndiyo sheria za Jumuiya ya Ulaya wanazolazimisha mataifa ya Afrika , Caraibe na Pacifique (ACP) kufuata n.k
Mikutano ya nchi za Afrika , Caraibe na Pacfique (ACP) iliyofanyika Bruseli Ubelgiji kuanzia tarehe 22-27 Septemba, 2015 ambapo agenda ya Burundi ilijadiliwa kwa kurejea tangazo lililoandaliwa na Kamati ya nchi hizo katika Kisiwa cha FIJI katika mji wa Suva mwezi Juni. Wakati wote huo katika vikao vyote hakuna suala la kuwachukulia watu hatua lililojadiliwa. Katika kikao cha mwisho cha Bruseli Ubelgiji kuanzia terehe 22-27 Septemba wawakilishi wa Burundi walionyesha wazi kwamba uchaguzi ulikwenda vizuri, uongozi ukaundwa kwa kuzingatia ushauri wa mataifa ya kikanda, Jumuiya ya Afrika Mashariki, Umoja wa Afrika, Umoja wa Nchi za Ulaya, Umoja wa Mataifa na mashirika mbalimbali. Hivyo haieleweki baada ya hapo zije sheria na hatua za ghafla dhidi ya Warundi bila taarifa yoyote kwa serikali ili ifanye lolote au kutoa maelezo.
Masuala ya siasa yanajibiwa kisiasa na mambo ya sheria yanashughulikiwa kisheria kama ambavyo mahesabu hufuata kanuni zake.
Adhabu zilizochukuliwa dhidi ya warundi wanne (4) wa kabila moja la wahutu si kwa mujibu wa sheria zinazofahamika duniani ; kwani hakuna sheria zinazolenga kabila moja. Ifahamike wazi hata waliochukuliwa hatua hawakujulishwa ili wajieleze. Yeyote anaweza kufikiria misingi ya hatua hizo kama ilivyotajwa hapo juu. Ni dhahiri kuna kundi la watu lilojiweka juu ya sheria tuzijuavyo na kudanganya watekelezaji wake katika njia zisizofaa kwa kuzingatia kuwa maamuzi yenyewe yalichukuliwa sirini bila serikali kuwepo.
Kitu kingine cha kushangaza ni namna sheria hizo zilivyochukuliwa kwa lengo la kubomoa mamlaka ya jeshi la polisi. Kwani badala ya kukamata kiongozi mkuu, wanalenga wa chini yake kwa sababu ni mhutu aliyekuwa katika chama CNDD-FDD ;
Wachunguzi wa mambo wanajua muundo wa Jeshi la Ulinzi na Usalama wa taifa kwa kuzingatia makubaliano ya kusimamisha vita ya tarehe 16 Novemba 2003. Kuchukulia hatua waliokuwa katika chama CNDD-FDD tena wa kabila moja ni dhahiri Jumuiya ya Umoja wa Ulaya walikuwa kinyume na mwafaka huo wa kuleta amani. Ni wazi ingawa NGENDAKUMANA Leonard alikwenda katika wanaoipinga serikali ya Burundi haaminiki katika kuunga mkono kundi hilo la kabila jingine ; kwani hakusema mabaya kuliko yaliyosemwa na Pacifique Ninahazwe, Jenerali Ndayirukiye Cyille, Vital Nshimirimana, Alexis Sinduhije, Marguerite Barankitse na wengineo ;
Inasikitisha kuona waliotoa amri ya maandamano haramu walitumia watoto katika uovu, kuwapa madawa ya kulevya yote hayo ni kinyume na sheria na haki za binadamu ; baadhi yao walipoteza maisha. Waandaaji wa maandamano hayo bado wanapokelewa na kuhifadhiwa katika nchi za Jumuiya ya Umoja wa Ulaya. Kuna hoja ya kujiuliza! Hao hao waliwatumia vijana kushambulia warundi wasio na hatia hususan wanachama wa CNDD-FDD (Abagumyabanga) na polisi; wakaua na kuchoma watu na vitu. Wanahabari waliotumwa na nchi hizo walikuwa wakiangalia na kupotosha ukweli wa taarifa ; hupokelewa katika mataifa hayo. Inamaanisha kuwa walishindwa kazi waliyotumwa na kuwarejesha. Na hapa yeyote anaweza kujiuliza kitu ;
Kutoheshimu vyombo vya sheria (Mahakama ), kuandama baadhi ya watu ili kubomoa mamlaka za polisi zilizowekwa kwa shida huku wakijisahaulisha makosa ya walioandaa maandamo haramu na kutaka kuiangusha serikali, wasitambue wito na nia njema ya serikali na msimamo wake kwa Taifa. Ni dhahiri njia za sheria zinatumika ili kufikia malengo ya kisiasa. Haya ni bayana kwa kuwa sheria zinapindishwa kwa makusudi ili kundi hilo liweze kufikia azma yake.
Serikali iliyochaguliwa kidemokrasi haina matatizo na yeyote.
Asasi za kiraia kama vile Initiative et Changement, OLUCOME na mengine, katika mikutano yao na mazungumzo na waandishi wa habari walikuwa wakieleza kuwa maandamano yaliyoambatana na mauaji yaliyokithiri yaligeuka njia ya kutaka kufanya mapinduzi ya serikali iliyochaguliwa na wananchi. Hayo yakifanywa na wanasiasa wa sera mbadala na viongozi wa vyama sugu dhidi ya serikali waliotengeneza uhasama. Ni mawazo ya kuzubaisha watu kwani budi tufahamu kuwa wananchi ndio wenye uwezo wa kuchagua viongozi.
Kama ambavyo warundi na mataifa ni mashuhuda, maandamano haramu yaliyoambatana na mauaji, yalianza mara tu baada ya wanachama (abagumyabanga) kumteua aliyepeperusha bendera ya chama katika uchaguzi wa Rais Mheshimiwa Petero NKURUNZIZA katika Kongamano la Mkutano Mkuu wa Chama tarehe 25 Aprili 2015. Mkutano huo ulifuatia mikutano ya wanachama iliyafanyika mashinani, tarafani na mikoani kote nchini .Wapinzani kutoridhishwa na uteuzi wa wanachama wa mgombea kiti cha Urais ni kujiaibisha mbele ya umma wapenzi wa demokrasi. Inashangaza sana kwani aliyepitishwa alikuwa wa CNDD-FDD kukiwakilisha chama hicho si vya upinzani. Kwa hiyo madai ya baadhi ya mashirika kwamba hayapiganii maslahi ya kisiasa ni uongo wanaojazwa na viongozi wa vyama wale waliokata tamaa, wasio na sera, wasiopenda kuimarika kwa demokrasi nchini. Kwa upande mwingine vyama hivyo vina matatizo na wananchi kwa sababu ya kuandaa maandamano na vurugu vilivyogharimu maisha ya watu na kuharibu mali za wananchi hadi kutaka kuipindua serikali iliyochaguliwa na wananchi wenyewe.
Jumuiya ya Umoja wa Ulaya haitaki mazungumzo katika nchi ya Burundi :
Chama CNDD-FDD kinashangazwa na hatua za uchokozi zilizochukuliwa na mataifa ya Ulaya ya kuwabagua na kuwatenga baadhi ya warundi bila kuwashirikisha au kuwauliza wahusika ; wakati mazungumzo ya wadau wote yakiandaliwa. Kando ya kuwaunga mkono wanaotaka kusambaratisha mamlaka za polisi ambapo hadi leo wameshindwa, nchi hizo zimeamua kuchukua hatua zilizo tofauti na matakwa ya serikali ya Burundi ya kukutanisha warundi wote katika mazungumzo. Wakati huo hakuna wazo jingine jipya mbali na kutatiza mazungumzo kwani waliochukua hatua hawakupata walichodhamiria ambacho ni kuiangusha serikali iliyochaguliwa na wananchi hatimaye uwepo uongozi wa serikali ya mpito ya kugombania madaraka. Ili nchi hizo zipate mwanya wa kuhujumu uchumi wa nchi. Waliokusudiwa kuongoza serikali ya mpito ni dhaifu wasio na uwezo hivyo kufungulia milango washirika wao ;
Ieleweke wakati mataifa jirani, Jumuiya ya Afrika Mashirika , Umoja wa Afrika, Mashirika ya Kimataifa na Umoja wa Mataifa pamoja na mikutano mingi iliyofanywa ili kupata ufumbuzi wa matatizo ya Burundi katika mashirika ya Ulaya na penginepo, wote wanakubali kuwa njia ya mazungumzo ni pekee kwa kuleta amani nchini ; mara utasikia hawa na wale wanajitoa katika mchakato wa mazungumzo, badala ya kutoa mchango wao ili kuharakisha zoezi hilo wao wanatatiza kwa njia hii au nyingine, kuwachosha warundi. Haya yanatu kumbusha historia mbaya ya Burundi ;
Historia ya Burundi
Kama tulivyojulisha katika matangazo ya chama CNDD-FDD , masuala ya Burundi yamekuwa yakiingiliwa na mataifa ya nje tangu Uhuru wa nchi hadi leo. Mwaka 1961 Mfalme Prince Louis Rwagasore aliuawa kwa sababu ya kupigania uhuru ; uhusika wa baadhi ya nchi za Ulaya ulitajwa na ndiyo sababu hakuna kilichofuatia. Mwaka 1965 waziri mkuu wa kwanza Petro Ngendandumwe alitabiriwa kifo kabla kupitia radio Sauti ya Amerika, mara akauawa na watu wengine wengi, na wengine kukimbia nchi; lakini Jumuiya ya Ulaya ilikaa kimya. Mwaka 1972 na 1973 serikali ya Kapteni Michel Micombero iliua watu kwa mauaji yaliyokithiri ya kimbali. Vilio na kelele za waliokuwa wananyanyaswa havikupewa thamani katika Jumuiya ya Ulaya, huku wakiwepo washauri wa waliokuwa madarakani kutoka nchi hizo. Mwaka 1988 katika tarafa za Ntega na Marangara serikali ya Buyoya nayo iliua watu wapatao elfu tano na kiasi cha watu elfu hamsini kuikimbia nchi kwa misingi ya ukabila asilolipenda ; huku Jumuiya ya Ulaya ikitazama tu bila kumchukulia hatua ikiwa ni pamoja na wenzake. Mwaka 1993 baada ya ushindi katika uchaguzi wa demokrasi, Rais Ndadaye hakujua kuwa yuko na wasaliti waliotumiwa na baadhi ya mataifa ya Ulaya ; ndipo alipouawa katika jaribio la kutaka kumrejesha madarakani Petro Buyoya. Tangu wakati huo wananchi walisimama imara, wakauawa, ikawa vita hasa. Kujitetea kwa wananchi hakukuwafurahisha baadhi ya mataifa ya Ulaya kwani baadhi yao walisema mengi kupiga vita ukombozi wa wananchi kwa sababu ya kuunga mkono vibaraka wao. Je, Jumuiya ya Ulaya ilikuwa wapi mwaka 1996 na1997 wakati zaidi ya warundi elfu tano walipouawa kikatiri na FPR-INKOTANYI wa Rwanda kwenye mto ukivuka kuelekea mjini SHABUNDA katika nchi jirani ya DR. Congo; ni wakati FPR walipotaka kuikamata nchi ya DRC. Wawakilishi wa wakimbizi hao walipiga kelele wakiomba msaada kwa mashirika na mataifa yakiwemo Mataifa ya Jumuiya ya Ulaya, hakuna usaidizi wowote waliopewa hata kulaani maovu huo. Ina maana wakimbizi hao walikuwa wamekwisha hukumiwa kifo. Inasikitisha!
Ingawa chama CNDD-FDD kilifikia makubaliano na serikali waliokuwa wanapinga baadhi ya mataifa hayo ya Ulaya hawakuridhishwa na maelewano hayo kwani walijua washirika wao wa siku nyingi watapoteza madaraka kamili. Kwa hiyo si ajabu leo kuona yale mataifa tuliotaja ya Jumuiya ya Ulaya yakichukua hatua ya kutaka kuvunja yaliyotokana na mwafaka wa makubaliano hayo na mamlaka za ulinzi na usalama.
Mwaka 2015, baada ya chama CNDD-FDD kumpitisha Mheshimiwa Rais Petro Nkurunziza ili aipeperushe bendera ya chama katika uchaguzi, baadhi ya Mataifa ya Jumuiya ya Ulaya hawakupendezwa na uteuzi huo, wakaamua kuunga mkono waziwazi walioandaa maandamano haramu na jaribio la kutaka kuipindua serikali. Watu wakauawa, wao wakafumba macho, uzushi na uongo mwingi dhidi ya serikali wakaziba masikio. Mikutano yote iliyofanyika kuhusu agenda za Burundi, wao walitoa shutuma na kuchochea ubaya kwa lengo la kusambaratisha chama na serikali yake. Wakati katika nchi mfano Burkina Faso, Mali na katika mataifa mengine wanapinga sana utumiaji wa nguvu za kurejesha au kuweka serikali za mabavu. Hawakuishia hapo, kwani mataifa hayo yalisitisha misaada iliyoahidiwa nchi ya Burundi kwa faida ya maadui ili kumaliza uongozi wa CNDD-FDD na kushika madaraka. Huu ndio ukweli wa mambo;
Kwa kuzingatia yote yaliyotajwa hapo juu, chama CNDD-FDD kinatamka yafuatayo:
Chama kinaomba Jumuiya ya nchi za Ulaya kusitisha hatua zilizochukuliwa kwani matokeo yake yatakuwa ya kuwatenganisha Warundi kama ilivyoelezwa badala yake walete misaada waliosimamisha kwani waliadhibu wasiohusika; na kutoisaidia nchi ya Burundi ni sawa na kuunga mkono wapinzani;
Chama kinaomba wafadhili kusimamisha misaada na usaidizi wowote kwa waliotaka kuiangusha serikali, kwani bado wanaoendeleza mipango hiyo; badala yake uhisani uwe kwa faida ya maendeleo ya wananchi;
Chama kinaagiza kukamatwa wale wote waliotaka kuiangusha serikali iliochaguliwa na wananchi; baadhi yao wamejificha katika mataifa ya Ulaya. La sivyo wasimamishwe na kurejeshwa nchini ili sheria ichukue mkono wake;
Nchi za Jumuiya ya Ulaya zinaombwa kulipa fidia ya hasara kwa serikali kutokana na kusitisha misaada iliyoahidiwa na kutolewa. Hali hiyo ilisababisha kusimama kwa miradi ya pesa hizo;
Chama kinaomba mataifa ya Ulaya kutofautisha masuala ya kisiasa na ya kisheria (mahakama) ili haki itendeke kwa yahusuyo nchi ya Burundi na kwa mataifa mengine;
Chama kinakwenda kuanzisha bila kukawia mazungumzo ya wananchi wote yatakayofanyika Burundi na kushirikisha kwa uhuru warundi wote; na kwamba hahitajiki msuluhishi yeyote;
Chama kinajulisha kuwa mazungumzo hayatakiuka sheria au kuwa mbadala wa sheria/mahakama;
Chama kinajulisha kuwa hatua zilizochukuliwa na Nchi za Jumuiya ya Ulaya za adhabu kwa baadhi ya warundi wa kabila moja ni kuzubaisha wananchi na mataifa ili kutatiza mchakato wa mazungumzo. Hakuna awezaye kushinda utashi na mapenzi ya wananchi, kwani wakipendacho kinakuwa;
Chama hakikubaliani na hatua zinazochukuliwa dhidi ya Burundi bila kushirikishwa au kujulishwa ili kiweze kutoa msimamo wake;
Chama kinawahimiza wananchi kuendeleza mshikamano katika umoja, wajilinde na wanaotaka kuwazubaisha na kuwagawa katika makundi, kwani umoja ni nguvu itakayowafikisha kwenye ushindi kamili;
Chama kinaendelea kuimarisha amani na utulivu nchini, kwani ni nguzo yamaridhiano ya warundi na nguvu ya kung’oa mizizi ya aina yoyote ya ubuguzi nchini.
Chama kinaendeleza uhusiano na ushirikiano mwema na udugu na mataifa jirani na mataifa, hata kama kuna uchokozi; kwani chama CNDD-FDD kinajishughulisha zaidi na amani ya Burundi.
Tangazo limetolewa Bujumbura, tarehe 03 Octoba, 2015.
na Mheshimiwa Mbunge Pascal NYABENDA,
Mwenyekiti wa Chama CNDD-FDD.
IBIMENYESHEJWE N’UMUGAMBWE CNDD-FDD KU WA 3 GITUGUTU 2015 Oct 3, 2015
MOT D’OUVERTURE DE LA CONFERENCE SUR LA GOUVERNANCE ET LE DEVELOPPEMENT ECONOMIQUE PAR LE SECRETAIRE GENERAL DU PARTI CNDD-FDD Mar 23, 2017
Le parti CNDD-FDD célèbre sa victoire aux élections de 2015. Sep 13, 2015
Communiqué N° 018/2015 du Parti CNDD-FDD du 24 mai 2015 Mai 24, 2015
| 2018-01-18T21:37:59 |
https://cndd-fdd.org/2015/10/03/tamko-rasmi-la-chama-cndd-fdd-la-tarehe-03-oktoba-2015/
|
[
-1
] |
Utashi wa kisiasa haukutosha kwa mageuzi ya haki katika #Moldova - Mwandishi wa EU: Mwandishi wa EU
Serikali ya Sandu-ya-pro ilikuwa na nia ya kuondoa miundo ya nguvu ya oligarchic, lakini ilichukuliwa na uzoefu mdogo wa kisiasa.
Mshiriki wa Chuo, Urusi na Programu ya Eurasia
Maia Sandu huko Ujerumani mnamo Julai. Picha: Picha za Getty.
Ukosefu wa utashi wa kisiasa kutekeleza sheria ya mabadiliko ya sheria mara nyingi ndio sababu ya mageuzi hayatekelezwi kikamilifu. Kesi ya Moldova inathibitisha kwamba katika jamii ambazo masilahi yenye nguvu bado yanaendelea, uokoaji wa kisiasa ni muhimu pia kama mapenzi ya kisiasa.
Madalali wa zamani na wapya wa nguvu wa kisiasa huko Moldova walipiga mpango dhaifu mnamo Juni ili kumtoa Vladimir Plahotniuc. Plahotniuc alikuwa ameunda mtandao wa ufisadi na ulinzi kwa msaada wa Chama cha Kidemokrasia, ambacho alichukulia kama gari la kibinafsi na ambacho kilimruhusu yeye na kikundi kidogo cha uchumi kujitajirisha kutoka kwa taasisi za serikali na biashara za serikali, kwa madhara ya raia wa Moldova na afya ya mchakato wao wa kisiasa.
Maia Sandu, kiongozi mwenza wa kambi ya uchaguzi ya ACUM, basi aliunda serikali ya teknolojia na njia ya kutekeleza ajenda ya mageuzi ya Moldova ya Moldova. Ijapokuwa imeundwa na mawaziri walio na uadilifu na nia ya kisiasa ya kutekeleza mabadiliko ya mabadiliko, udhaifu wake mkubwa ulikuwa mshirika wake wa muungano - Chama cha Kijamaa cha Kijamaa cha Urusi na kiongozi wake rasmi, Igor Dodon, rais wa Moldova.
Sasa Wanajamaa - waliotishiwa na jinsi marekebisho muhimu ya mfumo wa haki yangeathiri masilahi yao - wameungana na washirika wa zamani wa Plahotniuc, Chama cha Kidemokrasia, ili kuiondoa ACUM, wakitumia unyonge wa chama hicho kukosekana kwa siasa.
Marekebisho yameingiliwa
Ilikuwa wazi kila wakati muungano utakuwa wa muda mfupi. Rais Dodon na wanajeshi wanaounda ushirikiano waliungana ili kujinunulia wakati, kwa matumaini kwamba wanaweza kuzuia mageuzi makubwa zaidi na kufunga mikono ya mawaziri wa ACUM. Katika kipindi kisichozidi miezi mitano, serikali ya Sandu ilianzisha marekebisho muhimu katika mfumo wa mahakama, yenye lengo la kuharibu mitandao ya walinzi wa Plahotniuc lakini pia ikaathiri wanajamaa, ambao kwa kiwango kikubwa pia walifaidika kutoka kwa hali ya zamani.
Mstari huo mwekundu ulikuja juu ya mabadiliko ya dakika ya mwisho katika mchakato wa uteuzi wa mwendesha mashtaka mkuu uliopendekezwa na Sandu mnamo 6 Novemba, ambayo Wanajamaa walidai kuwa haikuwa ya Katiba na waliwapa dhamana ya kuweka hoja ya kutokuwa na imani na serikali ya Sandu. Hii iliungwa mkono kwa urahisi na Chama cha Kidemokrasia, ambacho kilionekana kutishiwa na ofisi ya mwendesha mashtaka huru na akaona nafasi ya kurudi madarakani.
Kwa hivyo, dhamira ya kisiasa ya kuleta mageuzi imeonekana haitoshi kwa kukosekana kwa mkakati wazi wa jinsi ya kushughulikia maswala ya serikali ya zamani ambayo watashtakiwa na masilahi yao ya dhamana yametishiwa. Hapa, ukosefu wa uzoefu wa kisiasa wa ACUM unawaruhusu. Kwa mikono yao iliyofungiwa tangu mwanzo katika umoja dhaifu na Wanajamaa, ACUM haikuweza kuzuia uharibifu kati ya taasisi za serikali na umoja wao, na hawakuweza kupata makubaliano ya kuendelea na njia kali zaidi za kukabiliana na ufisadi.
Chini ya siku mbili baada ya serikali ya Sandu kuwa nje, serikali mpya iliapishwa mnamo 14 Novemba. Waziri Mkuu Ion Chicu alikuwa mshauri kwa Rais Dodon kabla ya kuchukua madarakani na waziri wa zamani wa fedha chini ya serikali ya mkono wa Plahotniuc-Pavel Filip, kama sehemu ya baraza la mawaziri ambalo lilikuwa na washauri wengine wa rais na watendaji wakuu wa ngazi za juu na mawaziri kutoka enzi ya Plahotniuc.
Kipaumbele cha juu kwa serikali ya Chicu ni kushawishi jamii ya kimataifa kuwa inajitegemea kutoka kwa Rais Dodon, na kwamba 'watetezi' wake watafanya mabadiliko ya serikali ya Sandu. Hii ni muhimu kuhifadhi msaada wa kifedha wa washirika wa Magharibi, ambao serikali ya Moldova hutegemea sana, haswa na kampeni za uchaguzi wa rais mwaka ujao, wakati watakaotaka kuunda nafasi ya kifedha kwa wapiga kura kadhaa.
Lakini ndani ya wiki yake ya kwanza ofisini, Chicu anaonekana kuwa hana uwezo wa kutembea kwenye mstari huu. Kurejea katika mchakato wa awali wa kuchaguliwa kwa uchaguzi wa mwendesha mashtaka ishara kwamba chapisho linaweza kujazwa na uteuzi wa Rais Dodon. Isitoshe, ziara ya kwanza ya Chicu nje ya nchi ilikuwa Russia, ikidaiwa ni mchangiaji mkubwa wa kifedha wa Chama cha Wanajamaa. Pamoja na Wanajamaa sasa kushika urais, serikali, meya wa Chisinau, na kiti cha spika wa bunge, hatari ya kuongezeka kwa ushawishi wa Urusi kwenye maamuzi muhimu ya kisiasa ni kweli sana.
Serikali iliyoongozwa na Rais Dodon inahatarisha kurudisha Moldova kule ilivyokuwa kabla ya Juni, na mageuzi ya kisiasa ya kuiga wakati wa kutumia vibaya madaraka kwa faida ya kibinafsi. Hatari kubwa ni kwamba badala ya kuendelea na mchakato wa mageuzi ya kurudisha Moldova kwenye njia yake ya kujumuisha Ulaya, serikali mpya inaweza kuzingatia kuimarisha mfumo wa zamani wa doria, wakati huu na Rais Dodon juu ya piramidi.
Serikali mpya ya wachache, inayoungwa mkono na Wanademokrasia, ni ya asili zaidi kwa Rais Dodon na kwa hivyo ina nafasi zaidi ya kuishi, angalau hadi uchaguzi wa rais katika vuli ya 2020. Wanajamaa wote na Wanademokrasia watajaribu kutumia wakati huu kuunda tena njia zao za kukamata rasilimali za serikali. Lakini pamoja na Wanajamaa kutegemea kura za Democrats bungeni, hii ni kichocheo cha kutokuwa na utulivu zaidi wa kisiasa.
Sawa na Moldova, majimbo mengine kadhaa katika nafasi ya baada ya Soviet kama vile Ukraine na Armenia yamekuwa na vikosi vipya vya kisiasa kuanza madaraka na utashi wa kisiasa na kuamuru kutekeleza mageuzi magumu ya kuimarisha utawala wa sheria na kupambana na ufisadi wa kimfumo katika nchi zao. Kile wanacho pamoja ni ukosefu wa uzoefu wa kisiasa wa jinsi ya kuunda mabadiliko, wakati wasomi wa zamani, walikuwa wakifikiria kwa miguu yao kutetea masilahi yao, kuhifadhi uhusiano wao na ushawishi wa kiuchumi na kisiasa.
Moldova ni mfano mzuri wa kwanini siasa zitahitaji kuungwa mkono na mkakati ulio wazi wa jinsi ya kushughulikia masilahi yaliyotishiwa ili vikosi vipya vya kisiasa viweze kujisimamia madarakani na mageuzi kuwa endelevu. Wakati nafasi inakuja tena kwa viongozi wapya kuja madarakani, ni muhimu wameandaliwa kisiasa ili kuitumia haraka na kwa busara.
Tags: eu, featured, full-picha, Moldova
jamii: Frontpage, Chatham House, EU, Moldova, Maoni
« Jukwaa mpya la biashara na makubaliano ya kushirikiana kuleta #Kazakhstan na EU karibu
Tume inaashiria miaka kumi ya ushirikiano wa mahakama na polisi kati ya nchi wanachama »
| 2020-01-25T10:26:56 |
https://sw.eureporter.co/frontpage/2019/11/29/political-will-was-not-enough-for-justice-reform-in-moldova/
|
[
-1
] |
Jelly nogatochki: kipengele kipya katika wanablogu wa uzuri
Waablogi wa uzuri hawashangaa ulimwengu kwa muda mrefu na mawazo yao ya uongo? Pia tulidhani hivyo na bado tulipata riwaya ya ajabu katika ulimwengu wa manicure. Wakati huu ulimwengu ulishangaa na bwana wa manicure kutoka Korea Kusini, ambaye aliwapa wasichana muda mrefu, misumari wazi, kwa kuonekana
Bango 07.08.2018 20.08.2018 Kuvutia, Uzuri, Fashion
Picha za 6 na kitu kizuri wakati wa majira ya joto - skirt yenye harufu
Sketi yenye harufu nzuri ni mastjoe katika WARDROBE ya kila mwanamke kijira hiki. Kwa skirti kama hiyo unaweza kuunda picha zote za biashara kali na vizuri vya majira ya joto. Tunakupa picha za 6 na sketi hiyo kwa kila ladha. Suede skirt na harufu inaonekana ...
Bango 22.07.2018 24.07.2018 Kuvutia, Uzuri, Fashion
Bango 17.07.2018 24.07.2018 Kuvutia, Uzuri
Bango 17.07.2018 24.07.2018 Kuvutia, Uzuri, Fashion
Nini kuvaa katika majira ya joto
Majira ya joto ni wakati pekee unapoweza kumudu kuvaa nguo ndogo, kuruhusu mwili kupumua. Lakini hata chini ya hali hiyo, wanawake wengi wanaweza kuharibu picha zao na mambo ambayo sio nje ya mtindo, lakini wamekuwa antitrains. Imekuwa nusu mwaka tayari, ...
Bango 12.07.2018 24.07.2018 Kuvutia, Uzuri, Fashion
Wanawake wa Kifaransa wachache hutumikia mlo huu, siku za 10 zinatosha
Wanafafizi wa Kifaransa wamejenga chakula kwa wanawake na wanaume wenye uzito mkubwa sana. Kazi yake ni kuongeza kimetaboliki, kuchoma mafuta ya ziada na kuzuia uzito katika siku zijazo. Na muda ni siku 10. Mtu ambaye amezoea kula vibaya, akienda kwa afya
Bango 22.06.2018 27.06.2018 mlo, Kuvutia, Uzuri
Vita ya bikini: ndivyo ambavyo wanaogeuka wanapendelea vichwa vya kifalme
Wawakilishi wa familia ya kifalme ya Uingereza wamekuwa wakizingatiwa kuwa wanapendelea. Wanawake wote wanataka kujisikia kama kifalme, kwa hivyo duchess na mavazi ya malkia huhusishwa na ustadi na ufanisi. Lakini ndivyo wanawake hawa wanavyopendelea kuvaa
Bango 12.06.2018 27.06.2018 Kuvutia, Uzuri, Fashion
Kwanza 1 5 kutoka12345»
| 2018-09-23T04:23:17 |
https://mamaclub.info/sw/category/krasota/
|
[
-1
] |
Nani atasimamia nidhamu ndani ya CCM? | Gazeti la MwanaHalisi
Nilipomuuliza alijuaje kwamba rafiki yangu ni fisadi alijibu, “Kwani hukuona shati lake? Shati lake ni la kijani lile, yule ni CCM.” Kauli ya binti huyu mwenye umri wa miaka 13 iliniacha hoi nisijue la kusema.
Nikabaki najiuliza, amepata wapi habari kuwa watu wenye mavazi ya kijani ni mafisadi? Ameambiwa na nani kuwa mafisadi ni wanachama na wapenzi wa CCM?
Nilijiuliza pia je, mtoto huyu anayesoma bweni katika shule hizi zinazoitwa ‘intaneshino’ ingawaje hazina ‘uintaneshino’ wowote kaambiwa na walimu wake shuleni kuwa mafisadi wote ni CCM na kwamba utambulisho wao ni mavazi ya kijani?
Je, inawezekana maneno yale ya kuhusisha rangi ya kijani, uanachama wa CCM na tabia ya ufisadi kayapata mitaani anapokuja nyumbani kwenye likizo hizo fupi za mwishoni mwa wiki wanazoita wao ‘visiting day’?
Au habari za uanachama na upenzi wa CCM kuhusishwa na ufisadi zimepatikana kwenye redio na runinga zinapotangaza maandamano ya CHADEMA huku polisi wakiua watu kwa madai kuwa wanatii amri ya wakubwa?
Sikupata majibu ya maswali haya, na bado naendelea kujiuliza kama watoto wetu wamepata wapi mawazo haya kwamba CCM ni chama cha mafisadi na watu wanaovaa au wanaopendelea kuvaa mavazi ya kijani kwanza ni CCM na pili ni mafisadi?
Kwamba sasa watoto wanaosoma na wasiosoma kuchukulia suala la ufisadi limebuniwa, limetekelezwa na linadumishwa na watu wanaopendelea mavazi ya kijani na ambao wote ama ni wananchama au ni wapenzi wa chama tawala, inapaswa kuwatia hofu watawala na wana CCM.
Kwamba sasa ufisadi, uhujumu, wizi na ubadhirifu wa mali ya umma ni matatizo yanayoletwa na watawala ambao wote wameteuliwa na watawala kwa kigezo kuwa ni wanachama wa CCM inapaswa kuwatia wasiwasi wana CCM.
Wakati ningali natafakari uanachama na ukereketwa wa CCM vimepataje sifa ya kuchukiwa na watoto wa siku hizi, zikapatikana habari Makamu Mwenyekiti wa CCM, Pius Msekwa, naye kakumbwa na kashfa.
Kwa mujibu wa habari hizo zilizotolewa bungeni, Msekwa ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCA) amekuwa akifanya mambo yanayopaswa kufanywa na mtendaji mkuu wa hifadhi hiyo kama kuruhusu ujenzi wa mahoteli ya kitalii mbugani. Tuhuma zinasema Msekwa amekuwa akifanya kiholela na kinyume cha sheria! Msekwa amepuuza madai hayo.
Kwa wasiomfahamu vizuri Msekwa, ni yule bwana mkubwa katika CCM ambaye alipata kuwa Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri kwa miaka mingi na baadaye kuwa spika kamili akirithi nafasi ya Adam Sapi Mkwawa.
Amekuwa spika kwa miaka mingi hadi aliposhindwa katika kinyang’anyiro cha Januari 2006 kwa Samwel Sita.
Msekwa alikuwa katika kamati ya waungwana watatu walioteuliwa kuunganisha kambi mbili zilizokuwa zinasigana ndani ya kambi ya wabunge wa CCM – kundi moja la wabunge wa CCM wakipinga ufisadi na mashabiki wao na jingine la wabunge wa CCM wakituhumiwa kwa ufisadi na mashabiki wao.
Msekwa pia ndiye muungwana aliyeonekana anafaa kuwahoji watuhumiwa wakuu wa ufisadi ndani ya CCM ambao baadaye waliamriwa kujiuzulu nafasi zao za uongozi wa chama hicho tawala katika zoezi maarufu waliloliita “kujivua gamba.”
Watuhumiwa hao wanaojulikana kama “mapacha watatu” waliohojiwa na Msekwa ni aliyekuwa mbunge wa Igunga na mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM, Rostam Aziz na Waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya Richmond na mbunge wa Monduli, Edward Ngoyai Lowassa. Pia yumo mwanasheria mkuu wa zamani na mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge, maarufu kama mzee wa vijisenti.
Hadi hivi karibuni Chenge alikuwa mwenyekiti wa kamati ya maadili ya halmashauri kuu ya CCM! Hapo ndipo CCM ilipofikishwa na tuhuma za ufisadi zisizokwisha.
Kila mwaka zinatolewa tuhuma za ufisadi bila uongozi wa CCM kuchukua hatua kwa watuhumiwa kiasi kwamba sasa chama hicho kinaonekana mbele ya macho hata ya watoto wa shule za msingi kuwa ni chama cha mafisadi!
Kutokushughulikia tuhuma za ufisadi na tabia ya uongozi wa CCM kuonekana kuwatetea watuhumiwa eti hakuna ushahidi wa kuchukua hatua za kisheria na watuhumiwa wengine kupandishwa vyeo wakawa wakuu wa nidhamu kwenye chama hicho ndiko kulikokifikisha chama katika hatua hii ya kuchukiwa hata na watoto wa shule za msingi!
Wakati uongozi na wanachama wa CCM wanashangaa kutokubalika kwao kwa vijana wa vyuo vikuu, kule kunakotolewa digrii, shahada za uzamili na shahada za uzamivu, stashahada na astashahada, nashangaa kutokubalika kwa CCM hata kwa watoto wa shule ya msingi na chekchea!
Siku moja Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, alinung’unikia katika mkutano CCM kukosa mvuto kwa vijana yaani wanavyuo waliokataa hadharani kukiunga mkono chama hicho, lakini sasa anapaswa kunung’unika chama chake kuchukiwa na watoto siyo wanavyuo tu.
Wanavyuo ni watu wazima wenye uwezo wa kufanya uamuzi kama chama kipi ni bora kulingana na sera na tabia ya viongozi na wananchama wake hivyo wakiamua kutounga mkono chama fulani, basi hilo linaelezeka siyo watoto wadogo.
Kufikia hatua watoto wadogo kuchukia chama cha siasa maana yake mvuto wake hauzungumziki tena, hicho ni chama kilicho katika hatua za mwisho za kusambaratika. Dalili ni hizo kuwa wanaotegemewa kuhoji watuhumiwa wa ufisadi nao wanatakiwa kuhojiwa kwa tuhuma za kuhujumu nchi!
Kama Msekwa ambaye alionekana Mr. Clean ndani ya CCM naye anatuhumiwa, nani msafi aliyebaki katika CCM atawahoji watuhumiwa waliopo ndani ya CCM waliokwiba wanyama hai na kuwapakia kwenye ndege KIA?
Nani mtu msafi CCM atakayehoji wenzake? Mtu ambaye hakuchukua nyumba za serikali kwa bei sawa na bure! Mtu ambaye hahusiki kwenye kashfa ya ndege ya rais; hahusiki kwenye kashfa ya rada; hahusiki kwenye kashfa ya migodi; Meremeta, Mwananchi Gold, Deep green, majengo pacha ya Benki Kuu; hahusiki kuiba kura; hakukodiwa ndege na Barrick?
Simwoni hata mmoja, maana CCM imefika ukingoni, imekwisha.
CCM haina uzalendo, inatorosha twiga?
Msekwa ‘mtegoni,’ nani atakayebakia?
Rostam Makamba Lowassa Pinda Dowans Slaa Kikwete Richmond Mkapa Sitta Uchaguzi CHADEMA CUF CCM Chenge
Nape: Sauti ya upweke nyikani (3)
Matola: Kisago cha Yanga mazoezi kwa Waarabu (3)
Baada ya albino, nani? (3)
Bahi wasema ‘chalemaa, wauchee’ watafiti wa uranium (3)
Aliyemteka Ulimboka huyu hapa (83,563)
Bajeti kiinimacho (58,344)
Rais Kikwete aumbuka (32,495)
Lowassa, Rostam kumzima Kikwete (30,554)
Madudu mengine ya Kikwete haya hapa (29,856)
Sitta amtikisa Kikwete (25,442)
Wezi wa Dowans hawa (19,816)
Rostam ndiye Dowans (19,166)
| 2019-07-20T14:38:36 |
http://mwanahalisi.co.tz/nani_atasimamia_nidhamu_ndani_ya_ccm
|
[
-1
] |
ASKARI 1 WA MAREKANI WAUAWA NA WENGINE WAWILI WAJERUHIWA NA AL SHABAAB SOMALIA. | Zotekali Blog
ASKARI 1 WA MAREKANI WAUAWA NA WENGINE WAWILI WAJERUHIWA NA AL SHABAAB SOMALIA.
Askari mmoja wa Marekani ameuawa kwa kufyatuliwa risasi katika operesheni ya pamoja ya US na jeshi la Somalia dhidi ya ngome ya wanamgamb...
Askari mmoja wa Marekani ameuawa kwa kufyatuliwa risasi katika operesheni ya pamoja ya US na jeshi la Somalia dhidi ya ngome ya wanamgambo wa kundi la al-Shabaab.
Kamandi ya Jeshi la Marekani barani Afrika (Africom) imeripoti kuwa, mbali na mwanajeshi huyo kuuawa, wengine wawili wamejeruhiwa katika operesheni hiyo iliyofanyika katika eneo la Barii, yapata maili 40 magharibi mwa mji mkuu Mogadishu.
Robyn Mack, Msemaji wa Africom ameliambia shirika la habari la AFP kuwa, wanajeshi hao wa Marekani wameuawa na kujeruhiwa katika operesheni iliyofanyika Mei 4.
Hivi karibuni Rais Donald Trump wa Marekani aliidhinisha kutumwa makumi ya askari wa US nchini Somalia, idadi kubwa kuwahi kutumwa na US katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika, tangu mwaka 1993.
Itakumbukwa kuwa, Marekani iliviondoa vikosi vyake nchini Somalia mwaka 1993, baada ya wanajeshi wake wasiopungua 18 kudhalilishwa kwa kuuawa na kisha miili yao kuburutwa ardhini katika mji mkuu Mogadishu.
Zotekali Blog: ASKARI 1 WA MAREKANI WAUAWA NA WENGINE WAWILI WAJERUHIWA NA AL SHABAAB SOMALIA.
https://4.bp.blogspot.com/-DxV0bLplHOs/WQ_Efqe2PCI/AAAAAAAAa0I/dkWpy6bDIGQr_niAbwQerwcDWlHb7mERQCLcB/s1600/1494052924-4bmvb7e23b61ffny7k_800C450.jpg
https://4.bp.blogspot.com/-DxV0bLplHOs/WQ_Efqe2PCI/AAAAAAAAa0I/dkWpy6bDIGQr_niAbwQerwcDWlHb7mERQCLcB/s72-c/1494052924-4bmvb7e23b61ffny7k_800C450.jpg
http://www.zotekali.com/2017/05/askari-1-wa-marekani-wauawa-na-wengine.html
| 2017-11-17T22:52:33 |
http://www.zotekali.com/2017/05/askari-1-wa-marekani-wauawa-na-wengine.html
|
[
-1
] |
JERRY MURO AFIWA NA BABA YAKE MZAZI | larrybway91
larrybway91 / July 31, 2015 Mkuu wa Idara ya habari na mawasiliano wa Yanga, Jerry Muro, amefiwa na baba yake mzazi, mzee Cornel Muro usiku wa kuamkia leo.
Kifo cha baba Mzazi wa Muro kimetokea katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili hapo jana mishale ya saa 3 usiku baada ya kusumbuliwa kwa muda mrefu saratani ya koo la chakula.
Kwa taarifa na matukio zaidi ya picha endelea kutembelea Blogu yako ya Larrybway91.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa, Jina La Bwana libarikiwe
Share this:Click to share on Twitter (Opens in new window)Share on Facebook (Opens in new window)MoreClick to share on Google+ (Opens in new window) July 31, 2015 in News. Tags: 'Jerry Muro', Jerry Muro afiwa na baba yake Mzazi', Mkuu wa Idara ya habari na mawasiliano Yanga, YANGA
YANGA YAVUNJA MKATABA NA KASEJA
JERRY MURO AZUNGUMZIA MUSTAKHABALI WA KASEJA NA YANGA
← MGOMBEA MWENZA : JOHN POMBE MAGUFULI MGOMBEA URAIS C.C.M 2015 VIDEO : PALE KWAITO LINAVYOKOLEA NA KUPELEKEA KUMPIGA MWELEKA MREMBO HUYU →
| 2017-06-24T01:49:52 |
https://larrybway91.wordpress.com/2015/07/31/jerry-muro-afiwa-na-baba-yake-mzazi/
|
[
-1
] |
DC KONGWA APIGA MARUFUKU UCHUNGAJI WA MIFUGO KATIKA MAENEO YA HIFADHI | Full Shangwe Blog
Home Mchanganyiko DC KONGWA APIGA MARUFUKU UCHUNGAJI WA MIFUGO KATIKA MAENEO YA HIFADHI
MKUU wa Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, Deo Ndejembi ameagiza Wakala wa Misitu (TFS) wilayani humo kushirikiana na wenzao wa Wilaya ya Kiteto kuhakikisha wanatokomeza uharibifu wa mazingira katika Kata ya Njoge iliyopo mpakani mwa wilaya hizo mbili.
DC Ndejembi ametoa agizo hilo katika mkutano wa hadhara na wanakijiji wa eneo hilo ambapo ameagiza yoyote atakaekutwa akichunga mifugo au kufanya kilimo kwenye maeneo ya hifadhi kuchukuliwa hatua za kisheria.
Akizungumza katika mkutano huo, DC Ndejembi amesema suala la utunzaji mazingira ni la lazima kwa sababu linahusu uhai wa kila mwananchi.
Amewataka TFS kutoa elimu ya uhifadhi mazingira kwa wananchi wilayani Kongwa na pia kuunda kamati ya mazingira itakayokua na kazi ya kusimamia utunzaji wa mazingira kwenye maeneo ya hifadhi.
” Ndugu zangu uharibifu wa mazingira ndio unaochangia hata kukosekana kwa mvua kwenye maeneo yetu lakini pia kunaua vyanzo vya maji, ndio maana hapa kila tukileta wachimbaji wa maji wanagundua maji yapo chini sana kwa sababu ya uharibifu wa mazingira.
Nitoa maagizo kwa TFS kusimamia utunzaji wa hifadhi kutoa elimu kwa wananchi na yeyote ambaye atakutwa anachunga mifugo yake au kufanya kilimo kwenye maeneo ya hifadhi achukuliwe hatua za kisheria,” Amesema DC Ndejembi.
Katika mkutano huo pia, DC Ndejembi amempongeza Rais Dk John Magufuli kwa kutekeleza ahadi yake ya kuinyanyua kiuchumi Tanzania baada ya kufanikisha kufikia uchumi wa kati ndani ya kipindi cha miaka mitano.
” Ndugu zangu wa Kongwa tuna kila sababu ya kumpatia kura nyingi sana Rais wetu katika uchaguzi mkuu unaokuja, kwa sababu alituahidi kuifanya Nchi yetu kuwa Nchi ya uchumi wa kati ifikapo 2025 lakini matokeo yake tumefikia lengo mwaka huu, haya ni mafanikio makubwa sana.
Rais wetu amefanya mengi makubwa, ujenzi wa Reli ya Kisasa, Ujenzi wa Bwawa la Umeme la Mwl Nyerere, kusambaza umeme kila Kijiji (REA), Elimu bila malipo na miradi mingine mikubwa nchini imesababisha kutuinua kama Taifa kufikia uchumi wa kati,” Amesema DC Ndejembi.
Kwa upande wake Meneja wa TFS, Wilaya ya Kiteto, Elias Sweti ameahidi kushirikiana na wenzake wa Kongwa kutoa elimu ya utunzaji wa hifadhi na mazingira kwa wananchi wa mpakani mwa wilaya hizo sambamba na kuunda kamati ya mazingira itakayoshirikisha wananchi wenyewe.
Previous articleKampuni ya Serikali ya Uanzishaji na Uendeshaji wa mifuko ya uwekezaji UTT-AMIS yazindua tawi Arusha
Next articleKANYASU AWATAKA WAMILIKI WA HOTELI ZA KITALII KUTOA HUDUMA BORA
| 2020-08-13T13:59:21 |
https://fullshangweblog.co.tz/2020/07/03/dc-kongwa-apiga-marufuku-uchungaji-wa-mifugo-katika-maeneo-ya-hifadhi/
|
[
-1
] |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.