text
stringlengths
44
187k
timestamp
timestamp[us]
url
stringlengths
16
3.37k
dup_ids
list
Waziri wa Fedha Kenya ajisalimisha - Mwanahalisi | PressTZ - Your Number 1 Source of Aggregated Online Content HENRY Rotich, Waziri wa Fedha nchini Kenya amejisalimisha kwa maafisa wa upelelezi, saa kadhaa baada ya Noordin Haji, Mkurugenzi wa Mashtaka kuagiza akamatwe. Inaripoti mitandao ya kimataifa … (endelea). Rotich amejisalimisha katika makao makuu ya Idara ya Upelelezi nchini Kenya leo tarehe 22 Julai 2019, kuitikia wito wa Haji. Ni kuhusu tuhuma zinazomkabili za kukiuka muongozo ...
2019-08-19T09:55:15
http://presstz.net/waziri-wa-fedha-kenya-ajisalimisha-52666369
[ -1 ]
Yajue matukio ya mwaka 2011...pia matukio ya nyota yako kwa undani. Topic: Yajue matukio ya mwaka 2011...pia matukio ya nyota yako kwa undani. 31st December 2010 12:34 Location : DAR-ES-SALAAM. Posts : 1,247 Rep Power : Ndugu wapendwa wana jf! Kila mtu na zawadi yake kwa anaempenda au anaowapenda. Zawadi yangu kama mtaalam wa tasnia hii nimewafikishieni hii zawadi yangu kwa upendo wang wote!! Kwa mwaka 2011. annual horoscope2011.doc (77.0 KB, 65 views) Spiritualist & Astrologist. 31st December 2010 12:35 Re: Yajue matukio ya mwaka 2011...pia matukio ya nyota yako kwa undani. sasa ndiyo nani huyu? Mtaalamu wa tasnia gani sasa? 31st December 2010 12:36 31st December 2010 12:44 HUYU NDIE HUYO HUYO UNAESOMA MAELEZO YAKE. Tasnia ya Occult science. kifupi ukisha soma hiyzo makala utajua ni nini kinaongelewa. Last edited by Maalim Jumar; 23rd January 2011 at 22:11. 31st December 2010 12:54 eeh jaman mbona sielew mim?naona mijipicha tu 31st December 2010 13:02 By Maalim Jumar HUYU NDIE HUYO HUYO UNAESOMA MAELEZOM YAKE. Genekai. I never believe in horoscopic predictions. 31st December 2010 13:15 Haya unayojaribu kutabiri uwe uanakuwa specific siyo eti sema wapi kutakuwa na hayo maradhi gani yataletaichachafya dunia, viongozi wepi watapata misukosuko, hali ya hewa itakuwa mbaya wapi, majanga yatatokea wapi kipindi kipi, wakimbizi toka nchi gani acha kutuibia unageneralize mambo hayo yote ni sawa kama 2010 tu, eti watu wataacha kwenye mahusianao mbona hiyo ipo sema fulani ataachana na mtu wake\, 31st December 2010 13:26 alishatabir mambo gan yakatokea exactly as he said? 31st December 2010 13:53 Kwanini usiamini utabiri? Ukinielezea 7bu ...huenda nikajitahidi kukufanya uweze kupenda ku-prediktiwa. 31st December 2010 14:02 Sikuzoeshwa kusema uongo espicialy katika tasnia hii ya utabiri. Ila nakushauri anza kusoma hayo na ufuatilie utajua ukweli. Wengi wanaielewa kazi yangu na kuwasaidia....naamini ndio mara ya kwanza kukutana na makala zangu. Kazi kubwa si kueleza jambo moja au mawili ndani ya mwaka mzima...lakini kazi kubwa ya jujivunia ni kuelezea na kudafanua mambo ya kila siku yanayo husu jamii. Hivyo ukifaham nyota yako itakua vizuri uisome matukio yako. Wapi utaweza kuisoma kila siku za wiki ...ndani ya gazeti la mwananchi uk wa nyota. Pia kama upo TZ tumia simu yako ya mkononi...mtandao wowote...fanya yafuatayo: andika neno MAALIM acha nafasi MSHALE tuma kwenda 15771. Ondoa neno Mshale andika Nyota yako. Huduma hiyo utaipata kila utapotuma msg. 31st December 2010 14:06 Usisome kama barua! Jitahidi usome kama Great Thinker. Nimeeleza vizuri...siwezi kutaja kila mahali...ila nimetaja kwa vizuri...ni upande gani na hiyo itahusu dunia. Muhim utazamie kwa hapo ulipo sasa...utatosheka. Pia endelea kufuatilia hayo nlio yaeleza. 31st December 2010 14:11 Umefungua picha Rose! Ulitaka uone nini hapo? Fungua maelezo...yalioanzia...annual year .... Utaelewa 22nd January 2011 23:10 Naona mambo hayaendi uzuri ndo maana sijaposti chochote ila nipe habari za UVCCM wanataka kutueleza nini Reply With Quote 23rd January 2011 07:36 Posts : 4,781 Rep Power : Lini mafisadi papa watakufa? Dowans ni ya nani? 23rd January 2011 08:19 Posts : 1,016 Rep Power : By Nguli Jabali hii ndo yenyewe. pia maalim atufanyie mahesabu tumjue anaemiliki dowans. 23rd January 2011 21:41 Naona mambo hayaendi uzuri ndo maana sijaposti chochote ila nipe habari za UVCCM wanataka kutueleza nini Angalia kwenye matukio ya mwaka mpya nime-attach as annual Prediction. 23rd January 2011 21:47 Labda unataka kujua kama nami nawajua.... haihitaji tena namba. Last edited by Maalim Jumar; 23rd January 2011 at 22:00. 24th January 2011 00:41 Posts : 21,358 Rep Power : 15592777 Likes Received7035 tena atufanyie hayo mahesabu mmiliki awe anatudai maelf badala ya mabilioni. 24th January 2011 01:27 haieleweki hii 24th January 2011 01:32 PREDICTION OF ANNUAN YEAR 2011. Twamshukuru mwenyezi mungu kwa kwa kutujaalia afya njema.Waliopo kwenye maradhi na matatizo mbali mbali twawaombea kwa mwenyezi mungu shifaa na kuepukana na dhiki walizo nazo. Mwaka huu wa 2011 utaanzia siku ya jumamosi miongoni mwa siku saba (7) za wiki . Siku hii kitaalamu inatawaliwa na sayari iitwayo zuhali (Saturn) miongoni mwa siri iliyonayo sayari hii ni kutofanikisha mambo mazuri … ni sayari nyepesi kufanikisha mambo yanayohusu uharibifu wowote. Kuonekana kwa sayari hii huashiria ugumu ambao hudumu kwa muda mrefu kwenye matatizo mbali mbali. Imeitwa kitaalamu (nahsatul akbar) au (great misfortune) au mkosi mkubwa. Inamaanisha iwapo itakuandama kwenye mambo yako ya kimaisha au jingine itakua ugumu kupata faraja kutoka kwenye jambo hilo.Utapohitaji kutoka kwenye balaa hilo itahitaji subra na jitihada za ziada bila kukata tamaa. Utakuta kati yetu imewakumba na wamekosa utatuzi ulio muafaka mara nyingi wameishia kukata tama… jambo ambalo kitaalamu ni makosa…hakika nyota hii ya zuhali inayo maelezo marefu. Sayari hii inayo maangalizi ya aina mbili takriban kama zilivyo sayari zingine ambazo ni chanya (positive) au hasi (negative). Mwaka huu utatawaliwa na nyota inayoitwa simba( Leo) nyota hii imeingia kwenye utawala wa sayari iliopo ndani ya siku ya jumamosi. Nyota ya simba inahukumiwa na nyota iitwayo jua (sun) nyota hii ya simba huonekana upande wa mashariki wa dunia. Upande huo zinapatikana nyota tatu(3) ambazo ni (i) Kondoo (ii) Simba (iii) Mshale. Nyota hizo zote zinazo nguvu zake za asili ambayo ni moto kitaalamu twaziita (muthalathat nariyyat) au (Triangle fierry). Ukiangalia kwa mwaka huu 2011 au tangu mwaka 2009 – 2010- ilikua ni bakht (fortune) ambayo imetokea duniani kwa kua hizi nguvu za asili ya moto huashiria mabadiliko ya ajabu japo yanapokosekana huashiria huzuni ya ajabu. Pia waliozawa tarehe hizi kwa kila mwezi, mwaka huu wa 2011 mafanikio kwao yamechukua nafasi kubwa iwapo hawatozingirwa kwa mabalaa (mikosi) nazo ni 8-17-26 na hizi tarehe huashiria nguvu kubwa kwenye mipango yenu. Mwaka huu utatuashira haya yafuatayo: VURUGU:Mwaka huu si vyema kuanzisha ugomvi aina yeyote iwe majumbani,kazini,mitaani,majim boni hata watawala wa nchi mbali mbali…kwa kua kuanzisha huko hakutaleta natija(faida) pia kutakua na kudumu kwa visasi visivyo mafanikio kwa muanzishiwa au mwanzishaji. Mambo haya yatatokea mwaka huu mara kwa mara zaidi itakua kuanzia mwezi pili(Feb) na mwezi sita (June) na mwezi wakumi (Oct). MIGOGORO:Mizozo na kutengwa /kutenga hili litahusisha kuachwa/kuacha kwenye mahusiano. Kufukuzwa kazi na kukosa jambo muhimu haya zaidi yatatokea mwanzo wa mwaka huu 2011 na mwisho wa mwaka huu 2011. WAKIMBIZI: Duniani wakimbizi watjitokeza kuwa ni wengi hasa waliopo upande wa mashariki wa dunia. Hali hii itatokea zaidi. MARADHI: Watu watasumbuka kwa maradhi ya mgongo na kichwa na tumbo, Haya yatasumbua walimwengu hasa zaidi mwanzo wa mwaka 2011 na mwisho wa mwaka 2011. HALI YA HEWA:Dunia itakua si shwari na hivyo hivyo itanyesha mvua kubwa itayosababisha uharibifu mkubwa. VIFO: Hali za huzuni hadi kusababisha vifo kwa vikongwe wengi duniani na wenye heshima zao na hivyo hivyo vifo vya kuhuzunisha vitajitokeza zaidi mwezi wa kwanza (Jan) na mwezi wa nane (Aug) na mwezi wa kumi na moja (Nov) itakua ni ajili ya maradhi ya mlipuko. KUKAMATWA: jua hili litatokea mwanzo wa mwezi wa kwanza (04.Jan.2011) itaonekana zaidi mashariki ya kati Afghanistani,China na maeneo mengineyo hapo. ( 01.June.2011.01.July.2011). Mwezi utakamatwa 15.June.2011) MAUAJI: ya kinyama yatajitokeza ambayo yatahuzunisha ulimwengu kama ajali za ndege,meli,treni,magari vyombo vitavyotumia moto zaidi. Hali hiyo itayotokea mwezi wa tano na mwezi wa saba. SAFARI: nyingi hazitokua salama ispokua kwa kuanzishwa kwa maombi maalumu. VIONGOZI: Duniani watakumbwa na taabu nyingi katika utawala wao hali hiyo itaanzia mwanzo wa mwezi wa nne(April) na kuendelea. HITIMISHO: Yanaweza kuepukwa hayo kwa kuzidisha maombi(Du3’a) mara kwa mara. Kunaweza valiwa vito ambavyo vitasaidia kuweka mambo shwari. Vito hivyo vinaitwa (RUBBY) au ( BLUE SUPPHIRE) vito hivyo vivaliwe kwa kufuata utaratibu maalumu. MWENYEZI MUNGU IBARIKI TANZANIA,BARA LA AFRIKA NA DUNIA YOOTE! AAMIIN. MAWASILIANO KWA MTABIRI: MOB PHONE: 0713-351781. 2-Ng’ombe(Taurus) Aprili 21-Mei 21. Mwaka huu maradhi yatazidi kukuandama.Utazidi kua mnyonge…utasengenywa(kutetwa). utakua kwenye wakti wa kujikatia tamaa.unahitaji kupewa ushauri na kupatiwa utatuzi zaidi.Namba yako ya bahati mwaka huu ni 22. Mwaka huu ni mwafaka kujihudumia kwenye afya au kujichunguza hali ya mwili wako/akili(mawazo)yako.unayo nafasi kuanzisha biashara/uchumba/kujenga…yatatimia ukiwa huna mikosi(mabalaa).Namba yako ya bahati mwaka huu ni 23. AFYA: Utasumbuliwa zaidi maradhi ya manjano(Jaundice) moyo(Bp) hali hiyo itakukosesha utulivu. Pia utaongeza ukorofi…jitahidi upate utatuzi wa hayo. AFYA: Jitahidi ufuate utatuzi tatizo ulilo nalo Jitahidi uombewe du’aa kwa ajili ya afya yako ya kiakili.Ugonjwa wa haja ndogo na viungo vya uzazi vitasumbua. MAPENZI: Yataendelea kwa upendo.Misaada mingi itapatikana kutoka kwa mpenzi wako.Pia marafiki zako watakusaidia kudumisha haya mahusiano yako.Vizuri kujua kama huna mikosi …kama mikosi unayo hayo hayatotimia. MAPENZI: Katika uhusiano huu hakuna ukweli kabisa!.Vizuri uwe mwenye subira kwa yote utayoyaona au kusikia …japo kwakoitakua ugumu wa kuamini…ni vizuri utilize hasira zako. Mwaka ni mzuri kwenu hasa wenye kuhitaji wapenzi wa uhakika na wakweli.Mliopo kweye mahusiano mizozo itakua ni mingi…pia yahitaji uvumilivu ili kudumisha mahusiano yenu ya upendo.Mwaka huu jitahada ni nyingi kwenye hili(Growing spiritual).Namba yako ya bahati ni (11). Forum ipi unaanza nayo ukifungua jf Makumira wagoma By Maalim Jumar in forum Habari na Hoja mchanganyiko Last Post: 7th June 2011, 14:00 Matukio Haya 7 Bomba Wikiendi hii � 27 May 2011 Last Post: 26th May 2011, 11:45 Chadema Iringa Mei 19, 2011: Picha na Matukio By Edson in forum Jukwaa la Siasa Last Post: 20th May 2011, 17:39 Matukio yatakayofanya tuukumbuke 2011 By mzambia in forum Habari na Hoja mchanganyiko Last Post: 1st January 2011, 10:50 Matukio ya kukumbukwa katika mwaka 2008 By Balantanda in forum Habari na Hoja mchanganyiko Last Post: 1st January 2009, 23:24
2014-04-24T18:49:40
http://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/99068-yajue-matukio-ya-mwaka-2011-pia-matukio-ya-nyota-yako-kwa-undani.html
[ -1 ]
IEBC yafanya mabadiliko kwa maafisa wake Septemba 05, 2017 Menyekiti wa IEBC, Wafula Chebukati (katikati aliyevaa koti nyeusi) akizungumza na waandishi wa habari. Menyekiti wa tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini Kenya, Wafula Chebukati, Jumanne alitangaza uteuzi wa timu ya maafisa sita ambao alisema watasimamia shughuli za uchaguzi wa tarehe 17 mwezi Oktoba mwaka huu. Katika taarifa kwa waandishi wa ghabari. Chebukati alisema ametumia kipengele cha 138 cha katiba ya Kenya kufanya uteuzi huo. Hayo yanafuatia kauli ya Kiongozi wa upinzani nchini Kenya, Raila Odinga, kwamba muungano wa upinzani, NASA, hautashiriki katika uchaguzi huo wa marudio, iwapo hakuna "hakikisho la kisheria na kikatiba kwamba uchaguzi huo wa huo utakuwa huru na wa haki." Odinga, ambaye aligombea urais mapema mwezi jana kwa tikiti ya muungano wa upinzani, NASA, ametoa shinikizo kwamba ni sharti maafisa sita wa tume ya uchaguzi na mipaka, IEBC, waondolewe kabla ya uchaguzi huo kufanyika. Tume ya IEBC ilitangaza tarehe 17 Oktoba kama siku ya uchaguzi huo wa urais, baada ya mahakama ya juu kubatilisha uchaguzi uliompa ushindi rais Uhuruu Kenyatta katika uamuzi uliotolewa siku ya Ijumaa. Upinzani unashikilia kwamba tume hiyo imegubikwa na dosari na haiwezi kusimamia uchaguzi huo kabla ya kufanyiwa mabadiliko. Wanasiasa wa chama kinachotawala cha Jubilee wanmesema kuwa wako tayari kushiriki kwenye uchaguzi huo. Katika uteuzi huo wa IEBC, nafasi ya afisa mkuu wa kusimamia uchaguzi huo imechukuliwa na Marjan Hussein Marjan, ambaye alikuwa naibu wake afisa mkuu anayekabiliwa na tuhuma za dosari, Ezra Chiloba. Shughuli za upigaji kura zitasimamiwa na Dkt Sidney Namulungu huku masuala ya mikakati ya tume hiyo yakisimamiwa na Bi Nancy Kariuki. Idara ya mawasiliano na teknolojia, iliyosimamiwa na marehemu Chris Msado, sasa itasimamiwa na Albert Gogo. Bernard Misati Moseti ndiye atakayesimamia mafunzo ya maafisa wa IEBC huku Silas Rotich akisimamia kituo cha kitaifa cha kuratibu masuala ya upigaji kura na kutangaza matokeo ya kura ya urais.
2018-02-24T00:25:58
https://www.voaswahili.com/a/iebc-yafannya-mabadiliko-ya-maafisa-wake/4016224.html
[ -1 ]
Pia amewataka wanakijiji hao kutokuwaogopa viongozi wao na kuwaambia kama wameshindwa kutekeleza majukumu yao ambayo waliyahaidi wakati wakiomba Ridhaa ya kuongoza kwani ni wajibu wao kuakikisha wanawatumikia wananchi ambao waliwaomba kura wakati wa kampeni. Baada ya kuandamwa na matokeo mabovu kwa muda mrefu, hatimaye Sunderland wameshuka daraja kwa mara ya nne katika ligi kuu ya Uingereza Epl. Alikuwa Joshua King aliyeweka machozi kwenye mashavu ya mashabiki wa Sunderland kwani bao lake dakika ya 88 liliwaonesha Sunderland mlango wa kutokea Epl. Baada ya mchezo huo, kocha wa Sunderland David Moyes alisema hana mpango wa kuondoka katika klabu hiyo bali anataka kupambana ili kuirudisha tena ligi kuu. Katika mchezo huo uliochezeshwa na refa Mathew Akrama wa Mwanza, Azam FC ilipata pigo dakika ya 15 baada ya kiungo wake mchezeshaji, Salum Abunakar ‘Sure Boy’ kutolewa kwa kadi nyekundu ya moja kwa moja baada ya kumchezea rafu mshambuliaji wa Simba, Ibrahim Hajib. Muungano mkuu wa upinzani nchini NASA, hatimaye leo umemtangaza mgombea wake wa urais aliyekuwa akisubiriwa kwa muda mrefu. Muungano huo umemtangaza kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga kuwa mgombea wake wa urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Agosti 8 mwaka huu. Katika hafla iliyofanyika kwenye uwanja wa kihistoria wa Uhuru Park jijini Nairobi na kuhudhuriwa na maelfu ya wafuasi wa muungano huo, Raila alitajwa kuwa mgombea urais wa NASA na Kalonzo Musyoka mgombea wake mwenza ili kuchuana na Rais Uhuru Kenyatta katika uchaguzi mkuu wa Agosti 8. Katika hotuba aliyotoa baada ya kuteuliwa, Raila Odinga ameahidi kushusha bei za vyakula na kupambana na ufisadi. Aidha ameahidi kuifanyia mabadiliko sekta ya umma na kuwepo serikali za mitaa zenye nguvu zaidi. Hata hivyo kutokana na muundo wa mgao wa madaraka uliopangwa na muungano wa NASA, Raila hatokuwa na madaraka mutlaki endapo atachaguliwa kuwa rais mpya wa Kenya katika uchaguzi mkuu wa tarehe 8 Agosti. Katika muundo huo, kiongozi wa chama cha Amani Musalia Mudavadi atakuwa Waziri Kiongozi anayehusika na Uratibu wa Serikali. Naye kiongozi wa chama cha Ford Kenya Moses Wetangula atakuwa Naibu Waziri Kiongozi anayehusika na uratibu wa sekta ya uchumi. Kiongozi wa Chama cha Mashinani Isaac Ruto, atakuwa Naibu mwengine wa Waziri Kiongozi, atakayehusika na utawala na uratibu wa sekta ya huduma za jamii. Muundo huo wa makubaliano yaliyofikiwa baina ya vyama tanzu vinavyounda muungano wa upinzani wa NASA unaonyesha kuwa rais atagawana madaraka na washirika wake wakuu ikiwemo katika suala la uteuzi wa baraza la mawaziri kupitia mashauriano na makubaliano Kampuni binafsi za migodi zimekuwa zikikiuka mikataba ya kazi na pia zikiwakandamiza na kuwanyanyasa wafanyakazi. - Jeh ni lini Serikali itafanya ukaguzi wa mikataba kwa kampuni zinazofanya kazi migodini? Thursday, April 27, 2017 BURUDANI. No comments Kupitia ukurasa wake wa Twitter Maulidi Kitenge ameandika hivi... "Kiba na Diamond wameshindwa kuonesha uzalendo kwa Serengeti Boys wamegoma kuimba wimbo wa hamasa licha kuwepo kamati ya hamasa.inasikitisha" Rais Jose Eduardo dos Santos wa Angola amesaini dikrii inayoruhusu tarehe 23 Agosti mwaka huu kuwa siku ya kufanyika uchaguzi mkuu nchini humo. Taarifa iliyotangazwa na idhaa ya serikali hapo jana imesema kuwa, uchaguzi mkuu utafanyika Agosti 23, ambapo Dos Santos anatazamiwa kuachia ngazi baada ya kuwa rais wa nchi hiyo kwa karibu miongo minne. Rais aapa kuulinda Muungano, Majumba ya kifahari ya Lugumi yakamatwa, Lissu na Kabudi watoana jasho dk 20. Halima Mdee amwangukia spika Ndugai, JPM: Atakayejaribu kuvunja Muungano atavunjika yeye, CUF Lipumba yawakuta makubwa. Habarika na dondoo hizi za magazeti ya leo hapa;
2018-02-22T11:10:36
http://gsengo.blogspot.com/2017_04_23_archive.html
[ -1 ]
Kikwete asema serikali ni ya CCM Registered Members: 129,770 Current Users Online: 21264 Topic: Kikwete asema serikali ni ya CCM 5th July 2011 15:28 Posts : 7,601 Rep Power : Likes Received3727 Likes Given2861 Kwa upande wake, Rais Kikwete alisema kuwa wananchi wa Jimbo la Kigoma Kaskazini wamemchagua Zitto kuwa mbunge wao, lakini pamoja na hilo Zitto hana serikali, bali Serikali ni ya Chama Cha Mapinduzi haina kinyongo kwa yoyote. Alisema ndiyo maana licha ya kutekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM, imeamua kujenga barabara hiyo kwa kiwango cha lami kwa lengo la kuwaletea maendeleo wananchi wote bila kinyongo wala ubaguzi. Kwa uelewa wangu serikali ni wananchi ambao wana haki yao na kuchagua viongozi wa kuiongoza. CCM imeunda serikali baada ya kushinda uchaguzi na wala si kwamba serikali ni ya CCM. Na ndani ya serikali kuna wanachama wa vyama mbalimbali vya siasa na watumishi wengine wasio wanachama wa chama cho chote cha siasa. Kauli ya Rais Kikwete kusema serikali ni ya CCM anawadanganya wananchi. Last edited by Candid Scope; 5th July 2011 at 16:01. wasaimon 5th July 2011 15:31 Likes Given241 Re: Kikwete asema serikali ni ya CCM Kweli serikali ni ya wanachi ila chama kinachoshinda ndicho kinapata fulsa ya kuiongoza hiyo serikali. Sasa basi serikali inaongozwa na ccm na wala serikali si mali ya ccm. 5th July 2011 15:32 Location : Malampaka Posts : 8,002 Rep Power : Likes Received781 By Candid Scope Hizo ndiyo siasa anazozijua Rais wetu .Na si yeye pekee bali ma CCM yote yanawaza hivi hivi .Kuwaeleza vinginevyo utaiwa mhaini .Kama unabisha ongeza sauti usikie 5th July 2011 15:36 Posts : 14,678 Rep Power : Likes Received6327 Baada ya kufungua barabara alikosa cha kuongea, ikabidi aanze mambo ya uswazi! 5th July 2011 15:37 Posts : 46 Rep Power : acha waendelee kujifariji kwani kufunmba na kufumbua watakuwa hawana la kujitetea. Yangu macho na masikio ndo hayo!! 5th July 2011 15:44 Join Date : 28th March 2009 Posts : 351 Rep Power : Kikwete usisahau fedha zilizotumika si ada ya wana-CCM aka Magamba bali ni kodi ya watanzania wakiwamo waliomchagua Zitto Kabwe. Siku nyingine ukifungua barabara au mradi wowote uwashukuru wananchi kwa kulipa kodi unayowezesha ujenzi wa miradi hiyo. Si ilani ya CCM bali ni kodi za wananchi zimewezesha ujenzi huo! Mtizamo lazima ubadilike, ni haki yao na wala si fadhila ya CCM! Mkasika and Candid Scope like this. ...so that our politicians do politics instead of thievery and our beloved thieves do thievery, not politics; ... (Jenerali Ulimwengu) 5th July 2011 15:45 Kwa kifupi anaukweli ndani yake kwani nchi inaongozwa na chama kilichotengeneza serikali. Therefore ilani ya chama hicho ndiyo inyoongoza serikali. 5th July 2011 15:46 Posts : 717 Rep Power : Likes Received104 baba kwa mipasho huyu!!!! 5th July 2011 15:53 Rubani wa ndege anapoajiriwa kuendesha ndege maana yake anahodhi kabisa ndege ni yake? Kama serikali ingekuwa ni mali ya CCM iweje kuwepo na vyombo na idara mbalimbali za kuilinda na kuiongoza ambazo hazina itikadi za kichama kama mahakama na vyombo vya usalama? Si kila mara ilani ya uchaguzi ya chama kilichoshika usukani wa kuongoza serikali inatekelezeka, na mara kadhaa tumeshuhudia ilani ya vyama vya upinzani kutekelezeka kama madai ya katiba mpya, suala la posho nk. Hayo yanadhihirisha maana ya serikali nini. Hizi semina elekezi wanaelekezana nini? 5th July 2011 15:57 Wanachama wa ccm wanakawaida ya kuhodhi kila kitu na kuona wanapowajibika kwa wananchi ni hisani kwa wananchi. Tunahitaji Chadema waongeze kasi kuelimisha umma wajue majukumu ya serikali kwa wnanchi. 5th July 2011 16:20 Join Date : 22nd February 2010 Location : CHINI YA MBUYU Posts : 1,904 Rep Power : Likes Received564 Zed tatizo hapa ni kuwa elimu ya uraia haipo kwa wengi na watu wanashindwa kutofautisha kati ya wajibu wa serakali kwao.Kama serekali inakusanya kodi niwajibu kutoa hizo huduma kwa wananchi wake sasa serikali haitufadhili kwa kujenga barara wala shule kwani hata serekali ya mkoloni ilifanya hivyo. Ni jukumu letu kuelimisha umma nini wajibu wa serakali kwao. Zed and Candid Scope like this. " TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA" 5th July 2011 16:36 Somo la uraia Chadema walishaanza katika mikutano yao kwamba yanayofanywa ni serikali ni stahiki yao na ni kutokana na kodi zao. CCM haipendi somo la uraia litolewalo na Chadema ndio maana wanapinga maandamano na mikutano ya Chadema kwa nguvu zote 5th July 2011 16:43 Join Date : 5th January 2010 Location : B.O.T Posts : 3,425 Rep Power : Likes Received486 Wasiwasi wa kupopolewa .....Chuma cha reli hakishiki kutu... CCM mkwepa kodi mkubwa Tanzania Wbunge wote wapewe wafundishwe Sheria Mbunge wa CCM aishambulia serikali, asema ahadi zake hazitekelezeki By Mpandafarasi in forum Jukwaa la Siasa Last Post: 20th September 2011, 13:04 Warioba aogopa serikali 3 asema ni changamoto.Hoja dhaifu. By GHIBUU in forum KATIBA Mpya Last Post: 30th July 2011, 16:50 Waziri Mansour ataka Serikali 3, asema 2 ni butu By abdulahsaf in forum Tanzania 2010-2015 Last Post: 14th July 2011, 00:33 Nyerere asema walimu wa chuo kikuu wanatakiwa kiukosoa serikali By Gurudumu in forum Jukwaa la Siasa Last Post: 23rd December 2010, 20:00 Hofu yatanda Serikali lakini Meghji asema si kweli By Lunyungu in forum Habari na Hoja mchanganyiko Last Post: 29th March 2007, 12:33
2013-05-18T11:52:16
http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/152195-kikwete-asema-serikali-ni-ya-ccm.html
[ -1 ]
August 18, 2017 – Full Shangwe Blog August 18, 2017 MCHANGANYIKO 0 Naibu Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Mhandisi Hamad Masauni (katikati) akipata maelekezo ya jinsi kifaa cha kieletroniki cha kubaini magonjwa ya magari kinavyofanya kazi kutoka kwa Fundi Yakubu Kibingo wa karakana ya MT. Depot. Kushoto kwa Waziri ni Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na … August 18, 2017 SIASA 0 Makamu wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili kwenye ukumbi wa OR Thambo mjini Pretoia,Afrika ya Kusini tayari kuhudhuria Mkutano wa Troika Mbili za Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika SADC na Troika ya SADC kwa … Muonekano wa jengo la madarasa mawili lililojengwa na mgodi wa Acacia Bulyanhulu katika shule ya msingi Lwabaganga katika halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoa wa Shinyanga. Moja ya vitanda viwili vya kisasa kwa ajili ya wagonjwa kilichotolewa na mgodi wa Bulyanhulu katika kituo cha afya Bugarama halmashauri ya Msalala-Picha na … August 18, 2017 MICHEZO 0 Mkuu wa wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Mhe.Miraji Mtaturu ametoa ufafanuzi kuhusiana na ligi ya “Ikungi Elimu Cup 2017” itakayozinduliwa kesho Agosti 19,2017 katika uwanja wa shule ya sekondari Ikungi wilayani humo. Mhe.Mtaturu kaeleza sababu za kuanzishwa kwa ligi hiyo na namna itakavyosaidia kuhamasisha wananchi pamoja na wadau mbalimbali … Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani, ambaye pia ni Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni (katikati) akiwa na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Dkt. Mussa Mgwatu (kushoto) na Mkurugenzi wa Uzalishaji na Matengenezo Temesa, Mhandisi Sylvester Simfukwe (kulia), wakati … August 18, 2017 BURUDANI 0 This is a prayer for our beloved country Kenya and a call to all Kenyans to unite together. While many may have varied ways of championing for peace love and unity, this is my little contribution to this cause… Below is youtube link to the video of the song. https://youtu.be/FScFgeFrDmI Na Mwamvua Mwinyi,Chalinze KITUO cha afya cha Chalinze, Bagamoyo mkoa wa Pwani kimeanza kutoa huduma ya upasuaji kwa akinamama wajawazito wenye mahitaji hayo. Utekelezaji huo umebainika baada ya mbunge wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Kikwete kutaka kupatiwa uhakika wa jambo hilo,katika baraza la madiwani. Ridhiwani alisema anasikia sikia kwa baadhi ya … Mwamuzi maarufu katika mchezo wa kandanda nchini Somalia amepigwa risasi na kuuawa karibu na nyumbani kwake mjini Mogadishu. Osman Jama Dirah, ambaye alisimamia mechi za kanda na kimataifa, aliuawa akiondoka msikitini kurejea kwake nyumbani katika mtaa wa Wardhigley. Taarifa zinasema wanaume wawili waliokuwa na bastola walimfatulia risasi mara kadha. Mchezaji … TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MWANZA KWA VYOMBO VYA HABARI LEO TAREHE 18.08.2017 MTU MMOJA MVUVI ANASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI KWA TUHUMA ZA MAUAJI DHIDI YA MVUVI MWENZAKE YALIYOTOKANA NA KUMCHOMA NA KITU CHENYE NCHA KALI MAENEO YA SHINGONI WILAYANI UKEREWE. KWAMBA TAREHE 17.08.2017 MAJIRA YA … Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwa na mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nnje wa CUBA Bibi Ana Teresa mara baada ya kuwasili jana August 17/2017 katika Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Havana kwa ajili ya ziara ya kikazi Nchini Cuba Waziri Mkuu Kassim Majliwa na Mkewe Mary Majaliwa … Kaimu katibu mkuu wa umoja wa Vijana wa CCM Shaka Hamdu Shaka akizungumza na kikundi cha wajasiliamali kikundi cha ushoni Mchanga mdogo Mkoa wa Kaskazini pemba wilaya Wete. Kaimu katibu mkuu wa umoja wa Vijana wa CCM Shaka Hamdu Shaka(wa kwanza kushoto) akishiriki ujenzi wa Jengo la maskani Mtambwe Wilayani … NA WAMJW-RUKWA. WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya jamii,jinsia ,Wazeee na watoto Ummy Mwalimu amemuagiza Mganga mkuu wa mkoa wa Rukwa kuboresha huduma za afya katika ngazi zote ilikuwasaidia wananchi wa mkoa huo kulingana na sera ya afya. Hayo ameyasema leo wakati wa ziara yake ya kukagua huduma za Afya katika … Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Sanaa kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bibi. Leah Kihimbi akizungumza kwa niaba ya Waziri Dkt. Harrison Mwakyembe katika mkutano wa wadau katika kuchangia ushiriki wa Tanzania katika Tamasha la Utamaduni la Afrika Mashariki (Jamafest) leo Jijini Dar es Salaam. Tanzania inatarajiwa … HALMASHAURI ZAAGIZWA KUKAMILISHA MPANGO WA TAIFA WA VIPIMO KWENYE ZAHANATI NA VITUO VYA AFYA. Na Prisca Libaga Maelezo -Arusha Serikali Imeziagiza halmashauri zote nchini ambazo hazijakamilisha mpango wa taifa wa kutoa huduma ya vipimo kwenye Zahanati na Vituo vya Afya kuhakikisha vinakamilisha huduma hiyo ndani ya miezi mitatu kuanzia leo. Agizo hilo limetolewa Leo na Naibu waziri wa afya, Dkt. Hamis Kigwangalla, katika ziara ya siku tano, kutembelea … WANAOISHI PORI TENGEFU LA LOLIONDO WATAKIWA KUONDOKA Na Mahmoud Ahmad Arusha Waziri wa maliasili na utalii Jumanne Maghembe amewataka wananchi wanaoishi pori tengefu la loliondo kuondoka katika pori hilo ili kupisha shughuli za uhifadhi. Aliyasema hayo katika Hafla ya kuwatunuku vyeti wamiliki wa hotel zinazokidhi viwango vya ubora vya kuwalaza wageni. Amesema kuwa, Zipo hekari elfu mbili … Waziri wa Ujenzi Uchukuzi na Mawasiliano , Profesa Makame Mbarawa akizungumza na watendaji wa Mfuko wa mawasiliano kwa wote (UCSAF) pamoja na Wadau wa kampuni za simu zilizokubali kutekeleza miradi ya ujenzi wa miundombinu ya mawasiliano vijijini hapa nchini( hawapo pichani), Jijini Dar es Salaam. Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa … Mbunge wa Ubungo,Saed Kubenea akizungumza na Wanafunziwa Darasa la Tatu wa Shule ya Msingi Makuburi wakati alipokwenda kukagua ukarabati wa Madarasa wa shule hiyo unaotokana na mfuko wa jimbo na fedha za Halmashauri ambapo jumla ya fedha zaidi ya Milioni 88 zimetolewa na Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya ubungo na … ZIARA YA RAIS DK.SHEIN MKOA KUSINI UNGUJA Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akikata utepe jana kulifungua Tawi la CCM Kizimkazi Dimbani Wilaya ya Kusini Unguja wakati wa ziara yake katika Wilaya hiyo,(kushoto) Mwandawa Said Nassor, Baadhi ya wanachama wa Tawi la CCM Kizimkazi … KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA MAENDELEO YA JAMII JINSIA WAZEE NA WATOTO B IBI SIHABA NKINGA AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA WA MTOTO WILAYA YA MUFUNDI. Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto anayeshughulikia Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Bibi Sihaba Nkinga akiwasili katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mufundi wakati alipotembelea Mkoani Iringa. Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto anayeshughulikia Idara Kuu … Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro akisalimiana na Kamishna Mstaafu Paul Chagonja wakati wa sherehe zilizoambatana na Gwaride maalumu la kuwaaga makamishna wastaafu watatu, gwaride lililofanyika katika viwanja vya Chuo cha Maafisa wa Polisi Dar Es Salaam ambapo wastaafu hao walisukumwa kwenye gari maalumu na Makamishna Wasaidizi … Kamishna wa Madini Tanzania, Mhandisi Benjamin Mchwampaka (mbele), Kamishna Msaidizi wa Nishati anayeshughulikia Maendeleo ya Nishati, James Andilile (wa kwanza kulia mstari wa mbele) ambaye ameeleza kuhusu uwekezaji katika masuala ya umeme kwa kutumia makaa ya mawe. Kikao hicho kimefanyika leo tarehe 18 Agosti, 2017 katika ukumbi wa Wizara ya … CCM Z’BAR YAIPONGEZA SMZ KWA KUONGEZA WASTAAFU PENSHENI. Na Is-haka Omar, Zanzibar. CHAMA Cha Mapinduzi Zanzibar kwa moyo mkunjufu kinapongeza na kuisifu kitendo kilichofanywa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kuongeza pencheni kwa Wastaafu waliomaliza utumishi wao wakipokea mshahara wa kima cha chini serikalini. Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na Katibu wa Kamati … VIDEO;KATIBU MKUU WIZARA YA AFYA MAENDELEO YA JAMII JINSIA WAZEE NA WATOTO BIBI SIHABA NKINGA AFANYA MAZUNGUMZO NA BARAZA LA WATOTO August 18, 2017 BIASHARA 0 Mkurugenzi wa Mkuu wa TIB Corporate Bank,Frank Nyabundege akizungumza wakati wa Jukwaa la Biashara lililofanyika kwenye ukumbi wa Hotel ya Regal Naivera Jijini Tanga Mkuu wa Kitengo cha Masoko na Mahusiano ya Benki ya TIB Corporate ,Theresia Soka akizungumza wakati wa Jukwaa hilo Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo,Dokta Harrison Mwakyembe … PROFESA MRUMA ATEULIWA MWENYEKITI KAMPUNI YA MAFUTA (TIPER) WANAFUNZI WA LUCK VICENT WAREJEA KUTOKA NCHINI MAREKANI WALIKOKUWA WAKITIBIWA MAJERAHA YA AJALI Ndege iliyowaleta wanafunzi hao kutoka nchini Marekani mara baada ya kutua kwenye uwanja wa ndege wa Kilimanjaro International Airpot mkoani Kilimanjari leo. Wanafunzi wawili miongoni mwa watatu waliorejea leo kutoka kwenye matibabu nchini Marekani Baadhi ya wanafunzi wamejitokeza kuwapokea manusura watatu wa ajali ya basi la wanafunzi wenzao wa Shule … Mkuu wa wilaya ya Kishapu, Mheshimiwa Nyabaganga Taraba akizungumza katika kikao cha kuhamasisha utambuzi, usajili na upigaji chapa kwa maofisa mifugo na watendaji kata na vijiji (hawapo pichani). Ofisa Mifugo anayeshughulikia afya na tiba, Farles Mwenura akionesha kifaa maalumu cha kupigia chapa ng’ombe kwa maofisa mifugo na watendaji kata na … MRADI WA MAFUNZO KAZI KWA VIJANA WAFUNGULIWA ZANZIBAR. Waziri wa Kazi Uwezeshaji,Wazee,Vijana,Wanawake na Watoto Moudline Cyrus Castico kushoto akisalimiana na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wawekezaji Utalii Zanzibar Seif Masoud Miskry mara baada ya kuwasili katika Ufunguzi wa Mradi wa mafunzo kazi kwa vijana ambapo jumla ya vijana 56 wameingizwa katika mradi huo uliofanyika katika Hoteli ya Sea Clife … Katibu Mkuu Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto anayeshughulikia Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Bibi Sihaba Nkinga akizungumza na Maafisa Maendeleo ya Jamii na Maafisa Ustawi wa Jamii Mkoani Iringa wakati alipofanya ziara Mkoani hapo kuangalia utekelezaji wa Sera ya Maendeleo ya Jamii. Katibu Tawala … SHIRIKA la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) limekabidhi vifaa vya radio kwa radio za jamii nne vyenye thamani ya mamilioni ya shilingi. Unesco imesema kwamba utoaji wa vifaa hivyo umelenga kuongeza usikivu wa mawimbi ya radio katika maeneo ya vijijini. Shughuli ya kukabidhiana imefanyika Agosti 17 …
2018-03-21T04:52:18
https://fullshangweblog.com/home/2017/08/18/
[ -1 ]
Wanawake wa Kiislam watakiwa kuutumia afya zao kwa ajili ya Allah – Mwanamke wa Kiislam Wanawake wa Kiislam watakiwa kuutumia afya zao kwa ajili ya Allah Waislam wametakiwa kuzitumia vizuri afya zao wakiwa wazima kwa kukithirisha kufanya ibada kabla hayajawafikia mauti au maradhi. Wito huo umetolewa na Ukhty Mwanaate Juma alipokuwa akiwasilisha mada juu ya Jichumie mambo matano kabla ya matano katika Shura ya walimu wanawake wa madrasa za Qur-an iliyofanyika Novemba 7 huko katika ukumbi wa Al Madrasat Falaah Kijangwani. Amesema Binaadamu hawezi kuutumia vizuri muda wake kwa kumuabudu Mola wake katika wakati wa maradhi hivyo ni vyema kujiandaa sasa kwa kukithirisha ibada ili asijute akiwa mgonjwa. “Unaweza ukawa mgonjwa huwezi hata kunywa tone la maji mwenyewe, huwezi hata kujiondosha ulipo mpaka ubebwe… hapo utajutia afya yako ambayo hukuitumia vizuri ipasavyo, ipasavyo jichumie kwa afya yako, mema kwa ajili ya Akhera yak oleo, afya ni taji juu ya kichwa cha mwenye afya halioni isipokuwa mgonjwa,” alifahamisha Ukhty Mwanaate. Amewahimiza Waislam kuwa wakarimu, kuacha ubahili, kufanya mema kama walivyofanyiwa na Mwenyezi Mungu na kutoa misaada kwa mafakiri, masikini, na kutozuia haki yao hiyo ikawa ni sababu ya Mwenyezi Mungu kumzuilia mtu katika kupata riziki zake. “Nini unajua kuhusu dini yako na Mtume wako? Kwa fadhila zako, ewe Muislam wakati ni rasilimali yako kwa hivyo usiupoteze katika mambo ya kipuuzi na michezo, jua kuwa utaulizwa kuhusu hayo,” alisisitiza. Shura hiyo imeandaliwa na Jumuiya ya Umoja wa Kiislam, Uchumi, Elimu na Maendeleo (UKUEM) wanawake chini ya Al- Madrasat Falaah ya Kijangwani. Previous PostPrevious Mahujaji wanawake watakiwa kuwa mfano bora kwa Ucha Mungu Next PostNext “Vijana zidisheni mapenzi kwa Mola wenu” UKUEM
2017-11-19T04:37:09
https://mwanamkezanzibar.wordpress.com/2009/11/10/wanawake-wa-kiislam-watakiwa-kuutumia-afya-zao-kwa-ajili-ya-allah/
[ -1 ]
Obote, Museveni wamepindua Katiba | Gazeti la Rai Home Makala Kimataifa Obote, Museveni wamepindua Katiba Obote, Museveni wamepindua Katiba ZIMWI la mapinduzi lililowahi kuliandamana bara la afrika katika kipindi cha miaka 50 iliyopita kwa sasa limepungua. Hakuna mapinduzi ya jeshi katika nchi za kiafrika, lakini ipo dhana nyingine ya kupindua nchi bila umwagaji damu. Miongoni mwa waliowahi kufanya mapinduzi dhidi ya Katiba ni aliyekuwa Rais wa Uganda, Milton Obote. Obote ni miongoni mwa wanasiasa waliochukua jukumu ya kuitupilia mbali Katiba ya wananchi na kujimilikisha utawala wan chi pasipo matakwa ya wapigakura. Kwmaba hapakuhitajika uchaguzi ili kumpa mamlaka ya kutawala kama ambavyo demokrasia inavyotaka. Tukio la kupinduliwa katiba lilifanyika miaka 50 iliyopita na Milton Obote ambaye wananchi wa Uganda walifanya sherehe za kumbukumbu kumkumbuka rais huyo wa zamani. Milton Obote aliisimamisha katiba na kujigeuza mtu muhimu zaidi nchini Uganda, uamuzi ambao uliibadili mweleko wa historia ya Uganda na kushawishi mustakabali wa taifa hilo mpaka leo hii. Rais Yoweri Museveni au Iddi Amin kabla yake, historia ya Uganda imeghubikwa na watu walioingia madarakani kwa msaada wa kijeshi, hali ambayo inachangia kuwa na mfumo tofauti wa kidmokrasia ambao unamlazimisha rais kutoachia madaraka upesi au kuruhusu demokrasia kongwe kutawala ndani ya mataifa yao. Si Museveni peke yake hata jirani yake Rwanda, Paul Kagame ametumia mbinu ya kupindua Katiba hali ambayo imesababisha wananchi waone hakuna kiongozi mwingine thabiti kuliko Kagame na Museveni. Nchini Uganda mwanasias wa kambi ya upinzani kama Kizza Besigye amekuwa katika mapambano ya muda mrefu kuhakikisha taifa lao linakuwa kwenywe mkondo wa demokrasia iliyokomaa au kuachiwa ichukue nafasi yake. Aidha, Uganda haijawahi kubadilishana madaraka kwa njia ya amani, kwani tangu 1986 imekuwa ikitawaliwa na Yoweri Museveni hivyo kila uchaguzi anaibuka mshindi. Msingi wa jambo hilo uliwekwa na Milton Obote. Aprili 15, 1966 sawa na miaka 50 iliyopita, Obote aliisimamisha katiba ya Uganda na kujitangaza kuwa rais. Tukio hilo lilimaanisha Obote alifanya mapinduzi dhidi ya Katiba ya nchi hiyo. Aidha, alimlazimisha kwenda uhamishoni Mfalme wa Baganda Edward Mutesa II, na rais wa Uganda wakati huo. Kabila la Baganda lililopendelewa zaidi na Wakoloni wa Kiingereza. Akiwa Naibu waziri mkuu wa Uingereza wakati wa Ukoloni, Winston Churchill alisema kabila la Baganda walikuwa watu wastaarabu. Ni ufahamu huu kwamba Baganda walikuwa watu maalumu, uliochochea harakati za Wasomi wa Kiganda kutaka madaraka. Milton Obote alikuwa mtu wa Kabila la Walang’o kutoka kaskazini mwa Uganda, na alikuwa akipinga madai ya Baganda kuwa na haki za kuchukuwa madaraka na pia urithi wa zama za ukoloni. Kupitia muungano wake wa Uganda People’s Congress (UPC) uliokuwa na wanachama kutoka nchini kote, lifanikiwa kushinda wingi bungeni. Tofauti na Kabaka Mutesa aliyekuwa na maono ya kuendeleza utamaduni wa ukoloni, wanasiasa wa wakati huo waliona fursa kwa Obote kuweka mwanzo mpya. Fikra zake za kisiasa alizipata nchini Kenya, ambako alikuwa bega kwa bega na rais wa baadaye wa taifa hilo mzee Jomo Kenyatta kuongoza mwamko mpya wa Kiafrika. Kwa kumpeleka uhamishoni mfalme wa Buganda, Obote alijihakikishia uungwaji mkono wa raia wa Uganda kutoka eneo la kaskazini na pia waliokuwa katika maeneo mengine ya Uganda wasio na uhusiano na ufalme wa Buganda. Historia inasema mapinduzi ambayo yalisababisha kukosekana serikali za kiraia. Hata hivyo mwaka 1971 Obote alipinduliwa na Iddi Amin na akakimbilia uhamishoni nchini Tanzania, ambako alianza harakati za kutaka kurudi madarakani tangu mwaka 1980, kabla ya kuondolewa tena miaka sita baadae na rais wa sasa Yoweri Museveni. Museveni mwenyewe ambaye alitokea kwenye tawi la vijana la chama cha Obote cha UPC, ametumia njia mbalimbali kuzigawa jamii ambazo Obote alizihodhi kabla yake. Kupitia jeshi lake la waasi ambao kwa sehemu kubwa walikuwa wanatokea Magharibi mwa Uganda, alifanikiwa kulishinda jeshi la serikali lililokuwa linadhibitiwa kwa sehemu kubwa na maafisa kutoka kaskazini hasa Walango na Wacholi. Kuanzia mwaka 1986 Museveni alifanikiwa kujenga mfumo ambao unamhakikishia kukaa madarakani mwa miongo kadhaa. Lakini mbinu zake zinafanana sana na za Obote kwa njia kadhaa. Katika mapambano dhidi ya kundi la waasi wa LRA kaskazini mwa Uganda, Museveni anarudia ulinganifu kati ya makundi ya wakaazi mbalimbali, na anaongeza bajeti ya jeshi kila mara. Na kama ilivyokuwa kwa Obote, anawaacha huru wanajeshi wake, hata wakati baadhi yao wametuhumiwa kwa kufanya unyama kaskazini mwa nchi. Previous articleChanzo halisi cha majina ya Tanganyika,Afrika Next articleJPM tishio CCM S. Arabia yachukizwa kuchaguliwa wabunge wa Kiisilamu nchini Marekani ANC kuendelea kutikiswa na EFF Mohamed Al-Qahtani msaliti wa Osama aliyehojiwa kwa saa 48 BENKI YA NBC YACHANGIA UJENZI WA KITUO CHA POLISI RUANGWA MKOANI... Serikali kujenga kituo cha pamoja cha madini Mirerani Makala1048 Latest News552 kitaifa260 Habari253 Habari kuu134 Makala Kimataifa125 Maoni73
2019-02-20T15:47:28
http://www.rai.co.tz/obote-museveni-wamepindua-katiba/
[ -1 ]
DUP ya Ireland ya Kaskazini inasema bado ni wakati wa mpango wa #Brexit mpaka - Mwandishi wa EU: Mwandishi wa EU DUP ya Ireland ya Kaskazini inasema bado ni wakati wa mpango wa #Brexit mpaka Guest mchangiaji | Septemba 16, 2019 Chama cha Kaskazini mwa Ireland ambacho wanachama wa 10 wa Parli wanaunga mkono serikali ya Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson wanaamini mpango unaweza kufanywa katika wiki zijazo ili kudumisha mpaka wazi katika Ireland, mwanachama mwandamizi alisema Jumapili (15 Septemba), anaandika Conor Humphries. Njia inayojulikana kama backstop ya kushikilia mpaka wa mshono wa Ireland baada ya Brexit imethibitisha kizuizi muhimu cha kukubaliana na mpango wa talaka wa EU-UK, ambao unahitajika ili kuzuia kutokea kwa Briteni kutoka Jumuiya ya Ulaya mnamo 31 Oktoba. "Wakati kati ya sasa na 31 Oktoba inamaanisha kuwa nafasi ya kupata suluhisho bado," mjumbe mkuu wa Chama cha Demokrasia Jeffrey Donaldson aliandika katika Jumapili huru, Gazeti la Jumapili linalouzwa vizuri zaidi nchini Ireland. "DUP imejitolea kufanikisha mpango huo na hamu moja iko ndani ya serikali ya Uingereza," alisema. Donaldson alisema, hata hivyo, kulikuwa na upinzani mkubwa kati ya wanaharakati wa Uingereza katika Ireland ya Kaskazini kwa ombi la EU la sasa la "kurudi nyuma". Pendekezo hilo linaweza kuweka Ireland Kaskazini kwa ufanisi ndani ya umoja wa forodha wa EU na soko moja, na kuunda vizuizi vya biashara na Uingereza. "Tunahitaji kukubali mpangilio mbadala wa kulinda biashara ya mipakani na kushirikiana kwa njia ya suluhisho za vitendo ambazo hazikiuki kanuni za msingi za Mkataba wa Belfast / Ijumaa," alisema, akizungumzia mpango wa amani wa 1998 ambao unahitaji idhini kati ya jamii ya muungano wa pro-Briteni na utaifa wa Ireland. Donaldson alisema hakuna washirika wa umoja wa wa kaskazini mwa mkutano wa Kaskazini unaounga mkono mgongo, na "ukweli mgumu wa kisiasa" ni kwamba "kitu chochote kisichoamuru uungwaji mkono wa jamii haifaulu". « Wanademokrasia wa Liberal rasmi kupitisha sera ya #StopBrexit Uingereza inaweza kuhitaji kura ya maoni ya pili ya #Brexit, anasema PM Cameron wa zamani »
2019-11-20T20:23:13
https://sw.eureporter.co/frontpage/2019/09/16/northern-irelands-dup-says-still-time-for-brexit-border-deal/
[ -1 ]
Wasomi, wanasiasa wataka uchaguzi tu wapingana na Ponda - Mzalendo.net Wasomi, wanasiasa wataka uchaguzi tu wapingana na Ponda Aurea Semtowe na Kelvin Matandiko – Mwananchi Jumatatu, Novemba 26, 2018 Kauli ya katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda kuwa kufanya Uchaguzi Mkuu mwaka 2020 kwa Katiba na Tume ya Uchaguzi ya sasa ni hatari na kushauri kuuahirisha, imeibua moto kila kona. Wanasiasa na wasomi waliozungumza na Gazeti la Mwananchi jana (Jumapili, Novemba 25) wamepinga hoja ya Sheikh Ponda na kutaka uchaguzi ufanyike kwa mujibu wa katiba ila muundo wa Tume ya Uchaguzi ndio utazamwe upya. Kauli za wasomi na wanasiasa hao ni kubainisha kuwa hoja ya Ponda inaweza kutumiwa na chama tawala, CCM kuendelea kubaki madarakani. Sheikh Ponda alitoa kauli hiyo Ijumaa, Novemba 23 katika mahojiano maalumu na Gazeti la Mwananchi, kipindi ambacho kumekuwa na mjadala wa katiba na tume huru ya uchaguzi hasa baada ya Rais John Magufuli kusema serikali haijatenga fedha kwa ajili ya katiba. Pia, kwa nyakati tofauti, aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba na Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku wamekuwa wakisisitiza umuhimu wa katiba mpya. Mchakato wa katiba mpya ulioasisiwa na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete mwishoni mwa mwaka 2011, uliishia kwenye Bunge Maalumu la Katiba ambalo licha ya kupitisha Katiba Inayopendekezwa, hadi sasa haijapigiwa kura ya maoni. Katibu Mkuu wa Chama cha AFP, Rashid Rai alisema pamoja na udhaifu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), kusitisha uchaguzi ni kuhalalisha CCM iendelee kuongoza hadi katiba mpya itakapopatikana. Katibu Mkuu wa Chama cha Kijamii (CCK), Renatus Muhabi alisema haikubaliki kusitisha uchaguzi huo na badala yake bunge litumike kufanya marekebisho ya vipengele katika katiba ili ipatikane tume huru ya uchaguzi. Katibu Mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally alisita kuonyesha upande wowote katika mtazamo huo, akisema Sheikh Ponda ametumia uhuru wake kutoa maoni: “Waache watu wahoji, ni uhuru wao kutoa maoni, mie sina maoni katika hilo.” Aliyekuwa mgombea urais wa CCK katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, Dk Godfrey Malisa alisema si sahihi kusitisha uchaguzi, kwamba wapenda demokrasia waungane kushinikiza upatikanaji wa tume huru ya uchaguzi kabla ya uchaguzi huo. “Lakini ikishindikana kufanyika maboresho ya kupata tume basi hoja ya Sheikh Ponda itakuwa na mashiko kwa hapo baadaye,” alisema Malisa. Katibu Mwenezi wa Ada Tadea, Felix Makuwa alisema suala la katiba mpya ni kupoteza fedha za Watanzania na muda wa kuendelea na masuala mengine ya kitaifa. Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Vincent Mashinji alisema katiba ni hitaji la lazima lisilohitaji utashi wa wanasiasa na endapo hakutakuwa na marekebisho ya mfumo wa tume ya uchaguzi, hali itakuwa mbaya zaidi katika uchaguzi mkuu ujao. “Mabadiliko ya katiba hususan kwenye mfumo wa tume ya uchaguzi ndiyo suluhu ya kuondoa vurugu zisijitokeze uchaguzi ujao, bila hatua hiyo tunahitaji busara ya hali ya juu sana kutuvusha eneo hilo vinginevyo tutaingia kwenye matatizo,” alisema Dk Mashinji. Hata hivyo, Dk Mashinji alisema kusitisha uchaguzi mkuu ujao ni jambo lisilowezekana kwa kuwa lipo kikatiba. Aliyekuwa Katibu Mkuu wa NCCR, Samwel Ruhuza alisema hoja ya Sheikh Ponda ni mtego usiokubalika kwa vyama vya siasa vya upinzani. Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, Profesa George Shumbusho alisema suala la kuahirisha uchaguzi kwa ajili ya kutokuwepo kwa katiba mpya ni gumu kutokea labda Rais Magufuli aridhie kuwa hadi katiba itakapopatikana. “Kwetu sisi ni ngumu kufanya hivyo, tutaahirisha uchaguzi mara ngapi kushinikiza katiba mpya ikiwa kiongozi wa nchi amegoma kutoa hela ya kugharamia mchakato huo, hatuna la kufanya zaidi ya kusubiri mpaka pale atakapofanya hivyo,” alisema Profesa Shumbusho. Mwenyekiti wa Baraza la Katiba Zanzibar, Profesa Abdul Sheriff alisema kwa mujibu wa katiba iliyopo ni ngumu kuahirisha uchaguzi, lakini serikali inapaswa kuzingatia upatikanaji wake pamoja na tume huru ya uchaguzi. “Wananchi waliotoa maoni yao hayajasikilizwa na matokeo yake zoezi hili lilikuja kukwama ukingoni,” alisema Profesa Sheriff na kuongeza: “Sijui vipi tutaweza lakini kama serikali yenyewe haikuwa tayari ni ngumu kwetu kuamua kitu na Watanzania wataona kama maoni yao yamepuuzwa.” Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu cha Ruaha, Profesa Gaudence Mpangala aliunga mkono hoja ya Sheikh Ponda, akisema kwa katiba ya sasa na tume ya uchaguzi, uchaguzi ujao hautakuwa wa haki. Mradi wa Lipumba kumng’oa Maalim Seif wakumbana ... MAALIM SEIF AWASILI SENEGAL KUSHIRIKI MKUTANO MKUU ... Shirika la utangazaji la Taifa lapewa onyo
2019-07-24T05:33:06
https://www.mzalendo.net/habari/wasomi-wanasiasa-wataka-uchaguzi-tu-wapingana-na-ponda.html
[ -1 ]
MTAZAMO WANGU (MAC TEMBA Jr) -Editor Contact email is [email protected]: NONDOZ..... NONDOZ..... Ooh my Lord thanks so much for this year 2009,ki ukweli namsukuru mungu sana kwa mwaka huu ulio na rehema na baraka nyingi sana zisizoweza kusimulika ,nimeweza kuoa February,Kupata mtoto wangu kipenzi samantha mwezi wa sita,na finally kupata Degree yangu ya HRM pale chuoni Institute of Social work(ISW) Thanks to my God,my family especially my wife Zhane aka Tamary pamoja na wazazi wangu wa pande zote....Mungu ni mwema sana. Posted by The Editor :Edwin Mac Temba at 2:36 AM
2018-03-23T18:51:47
http://mactemba.blogspot.com/2009/12/nondoz.html
[ -1 ]
Uchumi wa Zimbabwe waongezeka kwa asilimia 0.4 mwaka jana - ASILI YETU TANZANIA Home NEWS Uchumi wa Zimbabwe waongezeka kwa asilimia 0.4 mwaka jana Uchumi wa Zimbabwe waongezeka kwa asilimia 0.4 mwaka jana by ASILI YETU TANZANIA Saturday, January 14, 2017 Benki ya Dunia imesema kutokana na athari ya ukame, na kupunguza matumizi ya jumla ya fedha, ongezeko la uchumi la Zimbabwe kwa mwaka 2016 liliongezeka kwa asilimia 0.4 tu, ambalo ni la chini zaidi kuanzia mwaka 2009. Ripoti iliyotolewa na Benki hiyo katika kipindi kipya cha mustakabali wa uchumi wa dunia imekadiria kuwa, uchumi wa Zimbabwe utaongezeka kwa asilimia 3.8 mwaka huu, lakini serikali ya Zimbabwe ilikadiria kuwa uchumi wake utaongezeka kwa asilimia 1.7 tu. Uchumi wa Zimbabwe waongezeka kwa asilimia 0.4 mwaka jana Reviewed by ASILI YETU TANZANIA on Saturday, January 14, 2017 Rating: 5
2017-12-14T20:41:20
http://victormachota.blogspot.com/2017/01/uchumi-wa-zimbabwe-waongezeka-kwa.html
[ -1 ]
Mwanamke anachukuliwaje kwenye miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika? | Masuala ya Jamii | DW | 14.07.2011 Mwanamke anachukuliwaje kwenye miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika? Tanganyika ilipata uhuru wake mwaka 1961 kutoka kwa Waingereza na baadaye kujiunga na Zanzibar mwaka 1964 kuunda Muungano wa Tanzania, lakini nafasi ya mwanamke katika mapambano ya uhuru huo haitajwi sana. Mfuasi wa chama tawala nchini Tanzania, CCM Hawra Shamte anaangalia taswira na nafasi ya mwanamke kutoka harakati za uhuru wa Tanganyika hadi kuundwa kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mtayarishaji: Hawra Shamte Kiungo http://p.dw.com/p/RZlc
2017-12-18T15:36:27
http://www.dw.com/sw/mwanamke-anachukuliwaje-kwenye-miaka-50-ya-uhuru-wa-tanganyika/a-6572348
[ -1 ]
Editor-in-Chief – Page 198 – Pemba Live Al-Shabaab yadai kuhusika na mlipuko Mogadishu uliouwa 6 Maafisa wa serikali mjini Mogadishu, mji mkuu wa Somalia, wanasema bomu liliripuka katika jengo la makao makuu ya wilaya na kuuwa watu wasio pungua sita na kujeruhi wengine 16. Mlipuko huo ulikuwa umelenga makao makuu ya wilaya ya Hodan huko Mogadishu. Video iliyochukuliwa kwa kutumia simu kwenye eneo hilo inaonyesha wingu kubwa linalotokana na mlipuko ambao ulifika juu sana hewani. Walioshuhudia wamesema mlipuko huo Jumatatu na kusababisha uharibifu mkubwa katika jengo la makao hayo makuu. Afisa wa polisi Ibrahim Mohamed ameliambia shirika la habari la Ufaransa AFP, “Mlipuko huo ni mkubwa.” Kikundi cha wapiganaji wa al-Shabaab kimedai kuhusika na shambulizi hilo kwa kutuma ujumbe kupitia wenye akaunti yao ya mitandao ya jamii. Hii ni mara ya pili kikundi hicho TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI WIZARA YA ARDHI, NYUMBA MAJI NA NISHATI ZANZIBAR Tume ya Utumishi Serikalini inatangaza nafasi za kazi katika Wizara ya Ardhi, Nyumba, Maji na Nishati kama ifuatavyo:- 1.Mhandisi Ujenzi (Civil Engineers) Daraja la II “Nafasi 3” – Unguja “Nafasi 2 Pemba” Sifa za Waombaji: •Awe ni Mzanzibari. •Awe amehitimu Shahada ya Kwanza ya Muhandisi Ujenzi kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. 2.Msanifu Majengo (Architect Building) Daraja la II “Nafasi 2” -Unguja na “Nafasi 2” - Pemba Sifa za Waombaji: •Awe ni Mzanzibari. •Awe amehitimu Shahada ya kwanza katika fani ya Msanifu Majengo kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar 3.Mthamini Majengo (Qualtity Surveyor) Daraja la II “Nafasi 1” – Unguja na “Nafasi 1” - Pemba Sifa za Waombaji: •Awe ni Mzanzibari. •
2018-12-12T01:59:23
https://www.pembalive.info/author/pembalive/page/198/
[ -1 ]
Ajiua baada ya kukamatwa na viroba. - Mwana Wa Makonda Home HABARI Ajiua baada ya kukamatwa na viroba. Ajiua baada ya kukamatwa na viroba. Mohamed Ramadhan Makonda Wednesday, March 08, 2017 HABARI, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma (Kushoto) akifafanua suala hilo. Mfanyabiashara na muagizaji wa pombe za viroba, Festo Mselia, amekutwa amejiua kwa kujipiga risasi ikiwa ni siku moja baada ya Jeshi la Polisi kuendesha msako na kukamata shehena ya pombe katika ghala alililokuwa akilimiki mjini Dodoma. Katika vita ya kupambana na matumizi ya pombe za vifungashio aina ya viroba vilivyopigwa marufuku, jeshi la polisi mkoa wa Dodoma limefanikiwa kukamata shehena hiyo ya katoni 1,400 ikiwa na thamani ya shilingi bilioni moja katika ghala la mfanyabiashara huyo. Mfanyabiashara huyo aliyejiua ni wakala mkuu wa uagizaji na usambazaji wa pombe hizo akiwa anamiliki 'store' ya Mselia Intapreses. Awali katika msako huo ulioongozwa na Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma, Lazaro Mambosasa, alimtaka mfanyabiashara huyo kuendelea na shughuli zake, huku akiamuru shehena hiyo isiuzwe wala kutumika wakati akisubiri maelekezo mengine. Mambosasa amesema jeshi linaendelea na uchunguzi kabla ua kutoa taarifa rasmi. By Mohamed Ramadhan Makonda at Wednesday, March 08, 2017
2018-05-25T09:14:31
http://mwanawamakonda.blogspot.com/2017/03/ajiua-baada-ya-kukamatwa-na-viroba.html
[ -1 ]
theNkoromo Blog: RAIS DK. MAGUFULI AFUNGUA MRADI MKUBWA WA MAJI SENGEREMA MKOANI MWANZA RAIS DK. MAGUFULI AFUNGUA MRADI MKUBWA WA MAJI SENGEREMA MKOANI MWANZA . Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Sengerema mjini wakati akielekea Chato mkoani Geita. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mwanachama mpya wa CCM ambaye alikuwa Kada maarufu wa CHADEMA kanda ya Ziwa Hamis Tabasamu wakati akihutubia wakazi wa Sengerema mara mara baada ya kuzindua mradi mkubwa wa maji katika kijiji cha Nyamazugo, Sengerema mkoani Mwanza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Geita mara baada ya kuwasili mkoani humo. PICHA NA IKULU
2018-04-20T14:29:34
http://bashir-nkoromo.blogspot.com/2017/07/rais-dk-magufuli-afungua-mradi-mkubwa.html
[ -1 ]
You are at:Home»Habari360»CCM yatoa neno Nassari kuvuliwa ubunge, Chadema washtuka By Habari360 on March 15, 2019 Habari360 Arusha. Sakata la kuvuliwa ubunge kwa mbunge wa jimbo la Arumeru, Mashariki Joshua Nassari (Chadema) limepokewa kwa hisia tofauti mkoani Arusha, ambapo wakati CCM ikipongeza, Chadema wameeleza kushtushwa na wananchi wanataka ukweli wa jambo hilo uwekwe wazi. Wakizungumza na Mwananchi kwa nyakati tofauti leo Ijumaa Machi 15, 2019, viongozi wa vyama vya CCM na Chadema, wananchi na viongozi wa Serikali kila upande umeeleza hatua ya Spika kutangaza kuvuliwa ubunge kwa mtazamo tofauti. Katibu Mwenezi wa CCM mkoa wa Arusha, Shabani Mdoe alisema, Nassari amevuna alichopanda kwani alitaka ubunge ili kutekeleza maslahi yake badala ya kuwatumikia wananchi. “Nassari si bungeni tu hata jimboni haonekani na kilichotokea ni funzo kwa wabunge wote watambue wanachaguliwa kuwatumikia wananchi na si kujali maslahi yao,” alisema. Alisema wananchi wa Arumeru Mashariki pia wamejifunza wanapochagua wawakilishi wao, wachague watu ambao wana uwezo na si vijana kama Nassari ambaye alikuwa bado anataka kwenda kusoma na kuishi na familia yake. “Tunampongeza Spika Ndugai kwa uamuzi wake lakini pia ametoa elimu kwa wanaotaka kuwa wabunge lazima wawe wamejiandaa kutetea watu na kama wanaona hawajakamilisha mambo yao binafsi ni bora kutogombea,” alisema. Mwenyekiti wa Chadema jimbo la Arumeru Mashariki, Gadiel Mwanda licha ya kueleza kusikitishwa na uamuzi wa Spika, aliwataka wananchi wa Arumeru kuwa watulivu kwani suala hilo linashughulikiwa. “Tunapita katika wakati mgumu sana, tunaomba wananchi wawe watulivu, Nassari alitoa sababu za kutokuwepo bungeni na tunafuatilia jambo hili kwa kushirikiana na viongozi wa kitaifa na wanasheria,” alisema. Hata hivyo, wakati viongozi hao wa kisiasa wakilipokea suala hilo kwa mitazamo ya kisiasa, baadhi ya wakazi wa jimbo la Arumeru Mashariki, wametaka ukweli wa jambo hilo ujulikane na kama mbunge wao amefanya makosa kweli wanaunga mkono Spika. Jeremiah Kaaya mkazi wa Usa River jimbo la Arumeru Mashariki alisema, uamuzi wa Spika wameupokea kwa sura mbili kwanza, kutaka wabunge wawajibike lakini pia huenda kuna mambo ya kisiasa. “Mimi sipingani na Spika ila kama ni kweli Nassari hakwenda bungeni bila taarifa adhabu ni sawa lakini kama alitoa taarifa basi tunaomba ukweli ujulikane,” alisema. Elias Pallangyo mkazi wa Kikatiti wilayani Arumeru, alisema Nassari amekuwa kimya kwa muda mrefu hivyo, kama alikuwa na matatizo ya kifamilia alipaswa pia kuwaeleza wananchi na Bunge. “Ni kweli mbunge wetu amekuwa kimya, tuliambiwa awali anasoma Uingereza lakini baadaye tumesikia kumbe mke wake alikuwa anaumwa sasa, ajitokeze kusema ukweli,” alisema. Ester Minja mkazi wa Tengeru, alitaka vyama vya siasa kuwa na utaratibu wa kuwasimamia wabunge wao, kushiriki vikao vya Bunge na kurejea majimbo ili kuondoa migogoro isiyo ya lazima. “Mimi bungeni siwaonagi wabunge wengi tu, siku nyingine viti vinabaki tupu sasa vyama vya siasa ndio vimewapeleka hawa wabunge bungeni lazima viwe vikali na kuwachukulia hatua kuliko sasa kuliingiza Taifa hasara ya kufanyika chaguzi za marudio,” alisema Minja Hata hivyo, imebainika kuwa, Nassari licha ya kutohudhuria vikao kadhaa vya Bunge pia katika vikao vya kamati ya ushauri mkoa wa Arusha (RCC) na kikao cha Barabara mkoa Arusha, mahudhurio yake ni hafifu. Ofisa habari katika ofisi ya mkoa wa Arusha, Alice Mapunda alisema katika vikao vya mwisho wa mwaka, Mbunge huyo hakuonekana. Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano, Job Ndugai juzi, ametoa taarifa ya jimbo hilo kuwa wazi kutokana na mbunge huyo, kutoonekana katika vikao vitatu mfululizo vya Bunge na kumtaarifa mkurugenzi Tume ya Uchaguzi kutangaza jimbo hilo kuwa wazi. Hivi ndivyo Mbowe alivyomzungumzia Lowassa Mwenyekiti wa chama cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe amezungumzia kuondoka kwa mwanachama wake Edward Lowassa kwenda CCM huku akimtaka kusema ukweli huko aliko. Previous ArticleMADAKTARI WA CHINA WASAIDIA VITABU NA VIFAA TIBA ZANZIBAR Next Article TRAILER RASMI LA SERIES YA GAME OF THRONE SEASON 8 HILI HAPA, INATOKA APRIL 14
2019-03-22T04:18:25
https://habarimpya.com/featured-2/habari360/ccm-yatoa-neno-nassari-kuvuliwa-ubunge-chadema-washtuka
[ -1 ]
SOMA KATIKA Afrikaans Batak (Karo) Batak (toba) Biak Chibemba Drehu Hmong blanc Ibanag Karen sgaw Kiacholi Kiajemi Kialbania Kiamharike Kiarabu Kiarmenia Kiaukan Kiaymara Kiazebaijani Kiazebaijani cha Kisirili Kibashkir Kibaule Kibikole Kibislama Kibulgaria Kichayao Kicheki Kichichewa Kichinois mandarin (simplifié) Kichinois mandarin (traditionnel) Kichitonga Kichitonga (Malawi) Kichitumbuka Kichokwe Kichua (Imbabura) Kichuvache Kidangme Kidanishi Kidigor Kiebrania Kiefik Kiestonia Kiewe Kifaransa Kifiji Kifini Kifon Kiga Kigarifuna Kigiriki Kigreenland Kiguarani Kigujarati Kigun Kihausa Kihiligaynon Kihindi Kihiri motu Kihispania Kiholanzi Kihungaria Kiiban Kiigbo Kiiloko Kiindonesia Kiingereza Kiiselandi Kiisoko Kiitaliano Kijapani Kijava Kijeorjia Kijerumani Kijolabal Kikabiye Kikamba Kikampuchia Kikannada Kikaonde Kikatalan Kikazath Kikechua (Ancash) Kikechua (Ayakucho) Kikechua (Bolivia) Kikechua (Cuzco) Kikiribati Kikirigizi Kikol Kikongo Kikorasia Kikorea Kikrioli cha Haiti Kikrioli cha Morisi Kikrioli cha Shelisheli Kikurde cha Kisirili Kikurde kurmanji (Caucase) Kikuyu Kikwangali Kikwanyama Kilitwania Kilomwe Kiluba Kilunda Kiluo Kiluvale Kimabwe-Lungu Kimakua Kimalagasi Kimalayalamu Kimalayi Kimalta Kimamu Kimapudungun Kimarati Kimasedonia Kimaya Kimazateke cha Huautla Kimbunda Kimbundu Kimongolia Kimoore Kinahuatl (Guerrero) Kinahuatl (Huasteca) Kinahuatl (Puebla ya Kaskazini) Kinavajo Kindebele Kindebele (Zimbabwe) Kindonga Kinepali Kinia Kiniue Kinorwe Kinyaneka Kinyanja Kinyarwanda Kinzema Kioromo Kiosete Kipangasinan Kipapiamento (Aruba) Kipapiamento (Kurasao) Kipijin cha Visiwa vya Solomon Kipolandi Kirarotongane Kireno Kiromania Kirundi Kirunyankore Kirusi Kirutooro Kisamoa Kisango Kisaramakan Kisebuano Kisepedi Kiserbia Kiserbia (Kiroma) Kisetswana Kishona Kisidama Kisilozi Kisinghale Kislovakia Kislovenia Kisonge Kisranan tongo Kiswahili Kiswahili (Congo) Kiswati Kiswedi Kitagalog Kitahiti Kitai Kitamul Kitelugu Kitigrinya Kitirke Kitiv Kitok pisin Kitongien Kitshwa Kitsonga Kitwi Kitzeltal Kiukraini Kiumbundu Kiurhobo Kivenda Kiwalis Kiwaray-Waray Kiwayuunaiki Kiwolaitsa Kixhosa Kiyoruba Kizotzil Kizulu Kongo Lhukonzo Lingala Luganda Ngangela Otetela Sesotho (Afrique du Sud) Sesotho (Lesotho) Tshiluba Tétoum Dili Uruund Zande Maandishi Njia mbalimbali za kuchukua vichapo vya kielektronike MUNARA WA MULINZI Na. 4 2017 | Biblia Inasema Nini Juu ya Uzima na Kifo?
2019-03-22T18:24:11
https://www.jw.org/swc/vichapo/magazeti/munara-wa-mulinzi-na4-2017-mwezi-wa-7/herufi-kiebrania-yod/
[ -1 ]
Graphic Design Intern at UNDP March 2019 | Kijiwe Cha Wasomi | Nafasi za Kazi |Nafasi za Ajira Tanzania Home » Ajira , Ajira 2019 , Ajira Zetu , Careers , Employment , International , Jobs , Kazi 2019 , KaziBongo , Nafasi za Kazi Dar es Salaam , Tanzania , Tayoa , UNDP , Vacancies , Vijana Jobs , Zoom Tanzania » Graphic Design Intern at UNDP March 2019 Thanks for reading Graphic Design Intern at UNDP March 2019 Labels: Ajira, Ajira 2019, Ajira Zetu, Careers, Employment, International, Jobs, Kazi 2019, KaziBongo, Nafasi za Kazi Dar es Salaam, Tanzania, Tayoa, UNDP, Vacancies, Vijana Jobs, Zoom Tanzania
2020-04-02T15:52:37
https://www.kijiwe.co.tz/2019/03/graphic-design-intern-at-undp-march-2019.html
[ -1 ]
Ziada faida kuu ya chartering ndege yako mwenyewe ni siri na usiri. Zaidi ya ndege iliyoidhinishwa, that you don't have to bother about somebody overlooking your neck at your laptop's monitor. Wakati una iliyoidhinishwa ndege mwenyewe, wewe ni katika uhuru kukaribisha binafsi yako mwenyewe ushirikiano abiria. Wakati ndege ni kuajiriwa na kampuni yako, mwenza wako wageni watakuja kuwa marafiki wako binafsi, depending on who's deputed from the company traveling along with you. Private Jet Charter Flight Huduma In Chicago, IL 872-210-5100 Enda kwa https://www.wysluxury.com/chicago/ kwa eneo nyingine karibu na wewe
2018-12-13T10:39:53
https://www.wysluxury.com/private-jet-charter-illinois/?lang=sw
[ -1 ]
Wanamazingira wa Siberia Wachoshwa na Mamlaka za Nchini Kwao, Waomba Msaada Kwa Leonardo DiCaprio · Global Voices in Swahili Wanamazingira wa Siberia Wachoshwa na Mamlaka za Nchini Kwao, Waomba Msaada Kwa Leonardo DiCaprio Tafsiri imetumwa 20 Aprili 2017 21:46 GMT Wana mazingira wa Krasnoyarsk wakata rufaa kwa Dr. DiCaprio. Picha: Vkontakte Kulingana na hadithi maarufu wanazojifunza Warusi shuleni, katika karne ya 11 watu wa Urusi walialika “mameneja” kutoka Skandinavia kuja na kutawala ardhi yao. Waliitwa “Wa-Varangia” wakuu wa kabila (wakitokea katika mamlaka za Sweden na Norway iliyostaarabika) wakiwa na ujuzi katika uongozi bora na walisaidia sana katika Urusi ya zamani,hadithi inaendelea. Enzi ya Wavarangia ilikuja na kuondoka, lakini baadhi ya Warusi leo bado wanatafuta mkombozi kutoka nje. Katika mji wa Krasnoyarsk, ambao ni mji wa tatu kwa ukubwa, huko Siberia, wanamazingira wa humo walimpata mwanaume wao: Nyota wa Hollywood, Leonardo DiCaprio. Ili kuvuta umakini juu ya uchafuzi wa hali ya hewa unaokabili nyumba zao, wanaharakati hao hivi karibuni waliweka bango kubwa likionesha uso mzuri wa Leonardo DiCaprio na maneno yenye wakha yanayosomeka “Leon, iokoe Krasnoyarsk kutoka kwenye mkaa!” Hiki kilikuwa kitendo kipya kabisa katika kampeni dhidi ya vinu vya kufulia nishati zilizodumu kwa miaka kadhaa sasa. Kwa mfano mwezi uliopita, wananchi waliitisha maandamano wakitaka vinu vya makaa ya mawe vizimwe na itumike gesi asilia, ambapo wanamazingira wanaamini kuwa itapunguza uchafuzi wa hali ya hewa. Muanzilishi wa shirika la Uhifadhi wa Wanyamapori mwaka 1998 na balozi wa Mabadiliko ya Tabia Nchi katika Umoja wa Mataifa, Leonardo DiCaprio anasifika kwa kazi zake za Uanamazingira. Wakati akipokea tuzo yake ya Oscar mwaka jana, alitoa hotuba yake akilenga katika masuala ya tabia nchi. Wanamazingira wa Krasnoyarsk kuelekeza kilio chao kwa DiCaprio inawakilisha mwenendo wa ulimwengu mzima, ambapo wanaharakati hutumia miaka kadhaa wakiziwinda mamlaka ambazo hazina mwitikio, kabla hazijakata rufaa kwa jumuiya za kimataifa, na kwa wakati huu wakimtumia mtu maarufu duniani kuvuta umakini katika suala lao. Mwanazuoni Ethan Zuckerman (mshirika-mwanzilishi wa Global Voices) aliunda “kanuni ya paka mzuri ya uanaharakati wa dijitali,” ambayo inapendekeza kwamba kati ya picha nzuri za paka na picha (selfie) za wakati wa chai ya saa nne, ndipo muundo mpya wa wanaharakati wa kijamii wanaweza kustawi. Kwa kuning'iniza mabango yakukata rufaa kwa Leonardo DiCaprio, wanamazingira wa Krasnoyarsk hawaweki msisitizo wa moja kwa moja kwa maafisa wa mamlaka za miji lakini tangazo hilo linaweza kulileta jambo hilo katika ufahamu wao kwa njia isiyo ya moja kwa moja, na labla yaweza kuwa njia bora zaidi kuliko utamaduni wa migomo ya nje ya ukumbi wa mji. Tatizo la kawaida kwa kampeni kama hizi huwa ni kupambana kuondoa mapambano haya wenye skrini ya kompyuta kwenda mitaani. Kuna uwezekano pengine kile kilichokuwa msaada kwa kampeni za Krasnoyarsk kikaweza kuwa na kwa Dicaprio kutangaza suala la mji huo. Na wakati huo huo, watumiaji wa mitandao nchini Urusi wanafanya mzaha juu ya wito huo wa umma wa Krasnoyarsk. “Ingekuwa bora zaidi kama wangetafuta msaada kwa Chuck Norris. Leo anaweza kushughulika na masuala ya kwenye maji pekee,” baadhi ya watu walitania. Wakionesha ufahamu na kuvutiwa na uigizaji wa DiCaprio, wengine waliandika katika maoni yao mitandaoni: “Wangemwita Tarantino aje kusaidia uhalifu mitaani.” Imeandikwa naAnastasia Denisova 20 Aprili 2017Harakati za Mtandaoni 1 Aprili 2017Marekani 31 Oktoba 2016Ulaya Mashariki na Kati Kashfa Nyingine Yalikumba Kanisa la Orthodox la Nchini Urusi Kufuatia Kasisi Kuonekana na Saa Yenye Thamani ya $40,000 Soma makala hii katika Malagasy, русский, Español, Français, Ελληνικά, English
2017-11-20T20:46:46
https://sw.globalvoices.org/2017/04/wanamazingira-wa-siberia-wachoshwa-na-mamlaka-za-nchini-kwao-waomba-msaada-kwa-leonardo-dicaprio/
[ -1 ]
UHURU KENYATTA AMTISHA RAILA ODINGA UCHAGUZI MKUU KENYA | MTANDA BLOG Home / kimataifa / slider / UHURU KENYATTA AMTISHA RAILA ODINGA UCHAGUZI MKUU KENYA UHURU KENYATTA AMTISHA RAILA ODINGA UCHAGUZI MKUU KENYA Juma Mtanda 10:19 AM kimataifa , slider Edit RAIS Uhuru Kenyatta, Jumatatu alidai kuwa katu hawezi kushindwa na kiongozi wa NASA, Raila Odinga kwenye Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Jumanne ijayo. Akizungumza kwenye mikutano ya kisiasa katika kaunti za Kisii na Bomet, Rais Uhuru aliyeandamana na naibu wake William Ruto, alisema ni kichekesho kwa NASA kudai kuwa watamshinda. “Kama nilimshinda nilipokuwa nakabiliwa na kesi ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) mwaka 2013, atanishinda vipi sasa hivi nikiwa ndani ya Serikali?” alihoji. Aliwataka wakazi wa Kisii wasipotoshwe na Raila, na wajitokeze kwa wingi Agosti 8 wampe nafasi nyingine ya kukamilisha maendeleo aliyoyaanzisha. Alikuwa akizungumza katika uwanja wa michezo wa Gusii ambako pia alisema kuwa eneo la Etago litakuwa kaunti ndogo. “Watu wa jamii ya Kisii nawaomba mnipigie kura na nitazidi kufanya kazi na nyinyi hadi nitakapomaliza muhula wangu,” alisema Rais Uhuru. Alijipiga kifua huku akisema kuwa tangu mwaka 2013 Jubilee imewafanyia kazi watu wa jamii ya Abagusii bila ya kujali kama walimuunga mkono katika uchaguzi mkuu uliopita. Pia alisema kuwa reli ya kiwango cha SGR ambayo imeunganisha Nairobi na Mombasa, itajengwa na kupitia Kaunti ya Kisii ikielekea Kisumu.
2018-03-19T18:06:17
http://jumamtanda.blogspot.com/2017/08/uhuru-kenyatta-amtisha-raila-odinga.html
[ -1 ]
3K 400mm * 500mm Fiboli kamili ya kabati ya Carbon Matte Glossy China Manufacturer Maelezo:Bomba la nyuzi za kaboni,Karatasi ya nyuzi za kaboni ya 3K,Vipande vya sahani za Matte glossy Home > Bidhaa > Karatasi ya nyuzi za kaboni > Karatasi kamili ya nyuzi ya Carbon > 3K 400mm * 500mm Fiboli kamili ya kabati ya Carbon Matte Glossy 3.0x400x500mm Karatasi ya nyuzi ya Carbon ya Carbon Futa CNC 3K 400mm * 500mm Fibati kamili ya kabati ya Carbon Matte Glossy inatumika sana katika: Anga, Upataji wa Ulinzi, vifaa vya matibabu, vifaa vya mwisho, bidhaa za michezo, vifaa vya burudani, mawasiliano ya simu, inapokanzwa umeme, utengenezaji wa mashine na uwanja mwingine. Kama vile: ndege, rutuba, makombora, gari, meli, mbio sana, vilabu vya gofu, viboko vya uvuvi, baiskeli, sahani za mapambo, koni ya Sauti ya Premium, bodi ya mapambo ya wazee, racket ya tenisi, kitanda cha CT, upanga wa gurudumu, na upanga, msuguano na vifaa vya kuziba. Ikiwa unahitaji muundo wa Karatasi ya Nyuzinyuzi ya 3.0x400x500mm kwa Kukata CNC, tafadhali jisikie huru kuwasiliana nami, nitajaribu bora yangu kukusaidia. Huduma: OEM & ODM na Huduma ya Kukata CNC Na Uchapishaji wa Rahisi.CNC Hardware Carbon Fiboli iliyoimarishwa ya sahani ya karatasi ya FRP Wasiliana Sasa CNC kukata sahani za nyuzi 100 za kaboni kwa drone Wasiliana Sasa Karatasi ya kaboni iliyotengenezwa na kabuni / huduma za kukatwa kwa cnc Wasiliana Sasa Karatasi ya nyuzi ya kaboni CNC kukata Wasiliana Sasa 500mm * 500mm * 2mm 3k karatasi za kaboni nyuzi za kaboni Wasiliana Sasa Sahani ya kaboni ya kaboni kwa ukarabati wa ukuta Wasiliana Sasa Sahani ya kaboni ya OEM Wasiliana Sasa Bora sahani ya kiwango cha juu cha kaboni Wasiliana Sasa Bomba la nyuzi za kaboni Karatasi ya nyuzi za kaboni ya 3K Vipande vya sahani za Matte glossy Bomba la nyuzi ya kaboni Bomba la nyuzi za kaboni Uk Bomba la nyuzi za kaboni 1/8 Bomba la nyuzi ya kaboni 3K Umbo la nyuzi za kaboni
2020-01-18T15:25:58
https://www.hobbycarbon.com/sw/full-carbon-fiber-sheet/52398350.html
[ -1 ]
UN:Dunia imepoteza dira kuhusu mabadiliko ya tabia nchi – Pemba Live UN:Dunia imepoteza dira kuhusu mabadiliko ya tabia nchi Rais wa Nepal Bidhya Devi Bhandari amewaambia wajumbe wanaohudhuria mkutano wa kimataifa wa kujadili mabadiliko ya tabianchi nchini Poland COP24 kuwa nchi yake imekuwa ikikabiliwa na athari zisizostahili za mabadiliko ya hali ya hewa licha ya kuwa nchi hiyo haitoi kwa kiwango kikubwa gesi chafu ya Carbon. Makubaliano yaliyofikiwa mwaka 2015 mjini Paris, Ufaransa ya kupunguza kiwango cha joto duniani hadi chini ya nyuzi mbili kwa kupunguza gesi chafu ya Carbon inayotoka hasa viwandani, yanahitaji mataifa tajiri kufadhili miradi ya kupunguza uchafuzi wa mazingira ya kima cha dola bilioni 100 kwa mwaka ifikapo mwaka 2020 ili kuzisaidia nchi zinazoendelea kuweza kufikia malengo ya kutumia nishati isiyochafua mazingira. Lakini mataifa maskini yanalalamika kuwa nchi tajiri ambazo kwa sehemu kubwa ndiyo zinazotumia nishati zinazochafua mazingira kama makaa ya mawe, hazijachukua hatua za kutosha kuzisaidia kukabiliana na ongezeko la joto duniani. Nchi tajiri zalaumiwa Makubaliano yaliyofikiwa Paris yalipata pigo kufuatia uamuzi wa Rais wa Marekani Donald Trump kujiondoa kutoka makubaliano hayo na kuna hofu kuwa hakuna utashi wa kisiasa kutoka pia mataifa mengine tajiri kushughulikia kitisho hicho cha mazingira, huku mazungumzo chungu nzima kuhusu tabia nchi yakijikokota. Hakuna taifa hata moja la kundi la nchi ishirini zilizoendelea na zinazoinukia kiuchumi G20 iliyotuma wajumbe wa ngazi ya juu katika mkutano huo wa Umoja wa Mataifa wa COP24 ulioanza rasmi jana Jumatatu. Ulimwengu hivi sasa unashuhudia majanga kama mafuriko, vimbunga, kuongezeka kwa kina cha maji ya bahari, mikasa ya moto katika misitu na ukame mbaya. Birika linalotoa taswira ya jinsi ulimwengu unavyotokota Hapo jana, Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres aliyaonya mataifa karibu 200 yanayohudhuria mkutano huo wa COP24 kuwa mpango wao wa kujaribu kupunguza viwango vya joto duniani umepoteza njia akiongeza kuwa licha ya kushuhudia athari za mabadiliko ya tabia nchi kote duniani bado watu hawachukui hatua za kutosha wala kupiga hatua za haraka kuepusha majanga. Ripoti kadhaa za Umoja wa Mataifa zimetahadharisha kuwa viwango vya gesi ya Carbon viko juu mno, rekodi ambayo haijashuhudiwa katika kipindi cha miaka milioni tatu huku miaka minne iliyopita ikitajwa kuwa yenye joto zaidi katika historia ya dunia. Kundi la wanasayansi 90 huru mwezi Oktoba mwaka huu lilionya kuwa binadamu sharti wapunguze utoaji wa gesi chafu kutoka viwandani kwa hadi asilimia hamsini katika kipindi cha miaka 12 ijayo ili kuepuka kuongezeka zaidi kwa viwango vya joto ambavyo vitasababisha majanga makubwa mno duniani. PrevMaalim Seif: Yanayotokea chini ya Magufuli, hatujawahi kuyaona Tanzania NextDk. Shein: Tunaendelea kuchukua juhudi kupambana na maradhi
2018-12-12T01:58:25
https://www.pembalive.info/undunia-imepoteza-dira-kuhusu-mabadiliko-ya-tabia-nchi/
[ -1 ]
DC Ruth Msafiri Ashiriki Ibada Maalumu ya Maombi Dhidi ya Mauaji na Utekaji Watoto Njombe – Mjengwablog DC Ruth Msafiri Ashiriki Ibada Maalumu ya Maombi Dhidi ya Mauaji na Utekaji Watoto Njombe Mkuu wa Wilaya ya Njombe Ruth Msafiri jana ameshiriki katika ibada ya kuhitimisha mfungo na Maombi yakuombea mkoa wa Njombe yaliyofanyika kwa wiki moja katika kanisa la Tanzania Assemblies of God T.A.G lililopo mtaa wa Melinze halmashauri ya mji wa Njombe mkoani humo. “Mwananchi wa Njombe wa kawaida tu kipato chake hakipungui milioni tano kwa mwaka hii ipo Njombe mji tu kwa Tanzania,sasa haya mambo mabaya yanatokea ili tupigwe katika uchumi wetu ni lazima tuungane katika hili na tunataka taifa hili liinuliwe kupitia Njombe”alisema Msafiri ← Previous Story Wizara Ya Afya Maendeleo Ya Jamii Jinsia Wazee Na Watoto Yatoa Tamko Mauaji Ya Watoto Njombe. Next Story → TUME YAENDESHA WARSHA VYUO VYA ARDHI KUHUSU DHANA YA USHIRIKISHWAJI KATIKA UPANGAJI WA MATUMIZI YA ARDHI
2019-04-20T23:03:39
http://mjengwablog.com/dc-ruth-msafiri-ashiriki-ibada-maalumu-ya-maombi-dhidi-ya-mauaji-na-utekaji-watoto-njombe/
[ -1 ]
Picha za makahaba bongo Picha Za Kufirana Na Kutombana Directory Picha Za Kufirana Video za kutombana za kibongo Picha Za Kufirana Na Kutombana. News za wanaume kufirana - DNSEver-powered Free Sub-Domain Za Utupu Sz Web Search At Hot.
2014-10-25T10:09:18
http://www.pulsitemeter.com/picha/picha-za-makahaba-bongo.html
[ -1 ]
MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AKUTANA NA MABALOZI WA SAUDI ARABIA, IRELAND NA MOROCCO KWA NYAKATI TOFAUTI DAR ES SALAAM - PAMOJA BLOG Home > Habari > Matukio > MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AKUTANA NA MABALOZI WA SAUDI ARABIA, IRELAND NA MOROCCO KWA NYAKATI TOFAUTI DAR ES SALAAM 10/11/2017 03:22:00 PM Habari, Matukio
2018-07-17T00:23:18
http://www.pamoja.co.tz/2017/10/makamu-wa-rais-mhe-samia-akutana-na.html
[ -1 ]
MlongoKihoma: MWAKILISHI WA VIJIMAMBO ATLANTA, GEARGIA RACHEL UDOBA ALA NONDO YA SCIENCE IN HUMAN SERVICE KUTOKA KAPLAN UNIVERSITY MWAKILISHI WA VIJIMAMBO ATLANTA, GEARGIA RACHEL UDOBA ALA NONDO YA SCIENCE IN HUMAN SERVICE KUTOKA KAPLAN UNIVERSITY Mwakilishi wa Vijimambo Atlanta, GA akikabidhiwa Nondo yake na mkuu wa chuo Rachel Udoba akielekea jukwaani Mwakilishi wa Vijimambo Atlanta, GA Rachel Udoba akipanda jukwaani kujiunga na wahitimu wenzake tayari kwa kupokena kwa Nondo yake. Mahafali wakimsikiliza mkuu wa chuo (hayupo pichani) Rachel Udoba akiwa na nondo yake. Rachel Udoba akipata picha kabla ya kuelekea jukwaani. Rachel Udoba katika picha ya pamoja na binti yake Theo Goda Rachel Udoba akipata picha kabla ya mahafali hiyo. Rachel Udoba akiwa kwenye picha ya pamoja na Bi. Glory kwenye mahafali hiyo. Wageni waliohudhuria mahali hiyo wakishuhudia wapendwa wao wakikamata nondoz wanachuo wakiwa jukwaani mara tu baada ya kupokeashada zao. Rachel Udoba akielekea nje baada ya ya kukamata nondo yake. Rachel Udoba na binti yake Theo katika picha ya pamoja
2019-08-23T15:57:36
https://www.mlongokihoma.com/2016/12/mwakilishi-wa-vijimambo-atlanta-geargia.html
[ -1 ]
February 24, 2018 – Full Shangwe Blog February 24, 2018 MCHANGANYIKO 0 Naibu waziri wa madini Stanlaus Nyongo Akizungumza na Wakazi Wa Kijiji Cha Nyakabale wakati wa ziara yake Mkoani Geita. Naibu waziri wa madini Stanlaus Nyongo akishiriki zoezi la kupanda mawe ya dhahabu. Naibu waziri wa madini Stanlaus Nyongo akizungumza na diwani wa kata ya Mgusu Patory Ruhusa. Naibu … February 24, 2018 MICHEZO 0 Na Anitha Jonas – WHUSM,Dar es Salaam Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) Gianni Infantino na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) Ahmad Ahmad wakiri kuelewa hali ya Zanzibar pamoja na kuzingatia Sheria wamesema wanaona mazingira Maalum ya Zanzibar. Kauli hiyo imetolewa leo jijini … VIONGOZI NA WATENDAJI WA UMOJA WA WANAWAKE UWT WASHAURIWA KUENDELEZA UTAMADUNI WA KUWATEMBELEA WANANCHI MAKAMU Mwenyekiti wa UWT Taifa-Thuwayba Kisasi (kushoto) akimkabidhi muasisi wa UWT Bi. Salama Majaliwa alipotembelewa nyumbani kwake Mwera na uongozi wa Umoja huo. VIONGOZI mbali mbali wa UWT wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Umoja huo Taifa Ndugu Thuwayba Kisasi wakiwa nyumbani kwa muasisi wa UWT Bi. Salama Majaliwa wakibadilishana mawazo. … EVOD MMANDA MKUU WA WILAYA YA MTWARA MJINI AKAGUA UJENZI WA MAJENGO YA HALMASHAURI YA NANYAMBA Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mjini Bw. Evod Mmanda akizungumza na wananchi wa kijiji cha Majengo halmashauri ya mji Nanyamba baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa kituo cha afya kijijini hapo leo. Meja Mwamfupe wa SUMA JKT akitoa taarifa ya ujenzi wa ofisi za halmashauri ya mji Nanyamba leo … RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI AREJEA NCHINI AKITOKEA UGANDA , APOKELEWA UWANJA WA NDEGE WA MWANZA NA MKUU WA MKOA WA MWANZA Rais Mhe.Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkuu wa MKoa wa Mwanza John Mongella mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza akitokea Nchini Uganda alipohudhuria mkutano wa 19 wa wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Rais Mhe.Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama … Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi,Vijana na Ajira Mhe. Anthony Mavunde akifungua mkutano mkuu wa Skauti Tanzania. Washiriki wa mkutano. Washiriki wa mkutano. Makamu wa Rais wa Skauti Tanzania Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Aboubakary Zubeiry akizungumza kwenye mkutano mkuu wa Skauti. Skauti Mkuu Mama Mwantumu Mahiza akizungumza kwenye mkutano … February 24, 2018 BIASHARA 0 Mkurugenzi wa Kituo Cha Uwekezaji TIC na Mwenyekiti wa Kamati Uzinduzi wa Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Wachumi Tanzania Economics Society Of Tanzania (EST) Bw. Godfrey Mwambe akipokea katiba ya Chama hicho kutoka kwa Vick Msima Meneja Msaidizi Idara ya Uhusiano wa Umma na Itifaki (BOT)kwa ajili ya uzinduzi rasmi … Waziri Wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt.Harrison Mwakyembe akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani kuhusu mambo mbalimbali serikali iliyozungumza na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani Gianni Infantino na Rais wa CAF Ahmad Ahamad alipokuwa nchini kwa ajili ya mkutano wao leo jijini Dar es Salaam. … February 24, 2018 MCHANGANYIKO, Uncategorized 0 Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla akisalimiana na viongozi wa TANAPA alipotembelea Hifadhi ya Taifa ya Ausha jana na kukagua shughuli mbalimbali za uhifadhi hususan maeneo yenye migogoro kwa lengo la kuyatafutia ufumbuzi wa kudumu. Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangalla akikagua mazingira ya Hifadhi ya … RAIS MHE.DKT.MAGUFULI AREJEA NCHINI KATIKA UWANJA WA NDEGE WA MWANZA AKITOKEA NCHINI UGANDA ALIPOHUDHURIA MKUTANO WA 19 WA WAKUU WA NCHI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI BMT:YASITISHA MATUMIZI YA ADA MPYA KWA WAANDAAJI WA MBIO ZA MARATHON SHIRIKISHO la Riadha Tanzania (RT), limepokea tamko la Baraza la Michezo la Taifa (BMT), kuhusu mada tajwa hapo juu Februari 20, 2018 kwa barua yenye Kumbukumbu namba: BMT/A/2/Vol. 18/69, pia kupitia vyombo mbalimbali vya habari. BMT imeagiza kusitishwa ada hizo hadi Machi 5 itakapotoa maelekezo mengine baada ya kukutana na … Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, leo Februari 24/2018 ameagana Ofisini kwake Dar es salaam na Mabalozi wanao kwenda kuiwakilisha Tanzania katika nchi walizo pangiwa,kulia ni Balozi anaye kwenda Nchini Sweden.Dr Wilbroad Slaa .na kushoto ni Balozi anayekwenda nchini Nigeria Balozi Muhidin Ally Mboweto. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Balozi … Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Joelson Mpina (mwenye koti jekundu)akimsikiliza Waziri wa Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Hamad Rashid Muhamed ofisini kwake leo wakati alipofanya ziara ya kikazi katika Kisiwa Unguja. Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Kusimamia Uvuvi wa Bahari Kuu(DSFA),Hosea Gonza … Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiondoka katika uwanja wa ndege wa Entebe mara baada ya kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC ambao ulimalizika hapo jana jijini Kampala nchini Uganda. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John … Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akionyeshwa baadhi ya Vichachuzi na Mwenyekiti wa Kikundi cha Wafugaji wanaomiliki Kiwanda cha maziwa Paulo Malongo, wakati alipotembelea kiwanda hicho chenye uwezo wa kuchakata lita 1000 za maziwa kwa siku. Mmiliki wa Kiwanda cha Dew Drop Azizi Sudi akimuonyesha Mkuu wa Mkoa wa … SERIKALI KUIFUTIA LESENI MGODI WA UCHIMBAJI MADINI WA EL HILAL Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Profesa Simon Msanjila,( wa tatu kushoto) akionywesha baadhi ya mitambo ya Mgodi wa uchimbaji almasi ya El Hilal iliyopo Mwadui, Shinyanga. Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Profesa Simon Msanjila,( wa pili kushoto)akikagua eneo ambalo linatumiwa na Mgodi wa El Hilal kuchimba Madini ya Almasi. Katibu … Kaimu Katibu Mtendaji Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA) Bibi. Consolata Mushi (kushoto) akizungumza wakati wa uzinduzi wa Bodi mpya ya BAKITA pamoja na uzinduzi wa kanzi data ya wataalamu wa Kiswahili jana Jijini Dar es Salaam. Katikati ni Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe … Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe.Anthony Mtaka(kushoto) akipokea hundi ya shilingi milioni 25 iliyotolewa na Kampuni ya SIMON GROUP kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya elimu kutoka kwa Ndg.Leonald Kitwala ambaye aliyekabidhi kwa niaba ya Mkurugenzi wa Kampun hiyo Ndg.Robert Kisena Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Bariadi, Mhe.Robert … Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini Tanzania (RITA) Bi.Emmy Hudson akizungumza na viongozi wa Mkoa wa Simiyu wakati wa ufunguzi wa Semina ya Viongozi hao yenye lengo la kuwapa uelewa wa kina juu ya mpango maboresho ya usajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wenye … NA K-VIS BLOG/Khalfan Said, MOSHI MADAKTARI na watoa huduma kutoka Kanda ya Kaskazini, waliokuwa wakishiriki mafunzo ya siku tano (5), ya kufanya tathmini ya mfanyaakzi aliyepata ulemavu uliotokana na ajali na magonjwa yatokanayo na kazi amesema wamepata nyezo muhimu itakayowasaidia kutekeleza majukumu hayo kwa usahihi na haraka. … Naibu Waziri wa Madini nchini Mhe Doto Mashaka Biteko akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Mkomola 2, Kata ya Kipande, Wilayani Nkasi akiwa katika ziara ya kikzai Mkoani Rukwa, Leo 23 Februari 2018. Picha Zote Na Mathias Canal-Wazo Huru Blog Mhandisi Joseph Mwakabage Meneja Mradi wa Mradi wa uzalishaji wa umeme …
2018-11-16T01:32:09
https://fullshangweblog.com/home/2018/02/24/
[ -1 ]
Global Voices in Swahili » Serikali ya Bangladesh Yazima Mitandao ya Intaneti na Kufungia Tovuti 35 · Global Voices in Swahili » Print Tafsiri imetumwa 11 Agosti 2016 18:32 GMT 1 · Imeandikwa na Zara Rahman Imetafsiriwa na Gloria Sizya Mada za Habari: Bangladesh, Censorship, Teknolojia, Uandishi wa Habari za Kiraia, Uhuru wa Kujieleza Gazeti laBangladesh Daily Star siku ya [2] August 4, 2016 liliripoti kuwa Tume ya Udhibiti wa Mawasiliano ya Simu ya Bangladeshi iliamuru waendeshaji wa mitambo ya mitandao ya Internet ya kimataifa kufungia tovuti za habari zipatazo 35. Mpango wa kuzima internet ulitangazwa Agosti 1 na kuwasilishwa kama mkakati wa kiusalama. Hili linafanyika kufuatia uvamizi wa kikatili uliofanyika mapema Julai katika enei la kuokea mikate la Holey Artisan, ambapo mateka wapatao 20 waliuawa [3]kama sehemu ya shambulio la kigaidi lililokuja katika kipindi ambacho vurugu zinaongezeka nchini [4]. Pamoja na mtandao wa intaneti huduma nyingine pia zilikatwa. Makampuni ya uendeshaji wa simu za mikononi yaliripotiwa kupimwa [5] uwezo wao kuzima miito ya sauti na ISPs pia waliambiwa wafungie baadhi ya tovuti. Haijaeleweka vizuri kama tovuti hizi ndio zile zile zilizoamriwa kufungiwa hapo Agosti 4. Wananchi wanapambana kuona jinsi kuzimwa huko kwa mitandao kutakavyokuwa na matokeo chanya katika usalama wao, lakini changamoto zimeonesha kukwama kwa mkakati huo. Wananchi wa Bangladeshi wameeleza masikitiko yao na hasira zao kupitia mitandao ya kijamii kwa mtumiaji mmoja wa mtandao wa Facebook [6]kuandika: Huko Twitter, kundi la haki za kiteknolojia Access Now [7] ziliita vitendo hivi kuwa “potofu” kama sehemu ya kampeni yao ya kimataifa kupinga kuzimwa kwa huduma ya internet, #ziwasheni [8]. YA KUSHTUKIZA: Leo Bangladesh imetangaza “mpango” wa kuzimwa kwa mtandao wa internet. Huu ndio mtazamo wetu. #Usizimwe [9] pic.twitter.com/0gVp1ndX8I [10] — Access Now (@accessnow) Agosti 1, 2016 [11] Hii sio mara ya kwanza mitandao kuzimwa kwa makusudi nchini Bangladeshi. Novemba 2015, serikali ya Bangladeshi ilifungia kurasa za mitandao ya kijamii [12] ikiwemo Facebook, Viber na Whatsapp kwa kipindi cha karibu wiki nne. [13]. Siku ya kwanza ya marufuku hiyo, huduma za internet zilikatwa nchi nzima kwa muda unaokadiriwa ni dakika 75. Mara moja baadaye, Mahmood alisema kuwa kuna makosa yalijitokeza na kuzimwa kwa mitandao hiyo ilikuwa ni matokeo ya “kutokuelewana” [14] Msukumo huu mpya wa kuwaondoshea wananchi mtandao wa interneti unatia hofu sana, hasa kwa Bangladesh ambapo uhuru wa kujieleza unaendelea kuwa chini ya vitisho [15], kote mitandaoni na katika maisha ya kila siku. Mwaka 2011, Umoja wa mataifa ulitangaza kuwa upatikanaji wa huduma za Internet kuwa haki ya msingi katika haki za binadamu. [16]. Ni wiki nne tu zimepita, Baraza la Umoja wa Mataifa linalosimamia Haki za Binadamu ijumaa lilipitisha azimio lisilo la kisheria likilaani nchi zinazozuia au kukwamisha upatikanaji wa huduma za Interneti. [17] Licha ya kujirudia kwa ukiukwaji huu wa haki za kiteknolojia, madai ya serikali kuwa inasonga mbele kuelekea ” Bangladeshi ya Kitenolojia” [18] yameendelea. URL to article: https://sw.globalvoices.org/2016/08/serikali-ya-bangladesh-yazima-mitandao-ya-intaneti-na-kufungia-tovuti-35/ [2] Bangladesh Daily Star siku ya : http://www.thedailystar.net/backpage/btrc-orders-blocking-35-news-sites-1264981 [3] ambapo mateka wapatao 20 waliuawa: http://archive.dhakatribune.com/2016/jul/01/hostage-situation-holey-artisan-bakery-gulshan [4] vurugu zinaongezeka nchini : https://globalvoices.org/2016/07/29/a-police-raid-in-bangladesh-leaves-nine-suspected-militants-dead-isis-or-not-isis/ [5] yaliripotiwa kupimwa : http://bdnews24.com/bangladesh/2016/08/02/bangladesh-launches-internet-blackout-drill-for-emergencies-like-dhaka-attack [6] mtumiaji mmoja wa mtandao wa Facebook : https://www.facebook.com/msabbirhossain/posts/10154381242946797?pnref=story [7] Access Now: https://www.accessnow.org [8] kampeni yao ya kimataifa kupinga kuzimwa kwa huduma ya internet, #ziwasheni: https://www.accessnow.org/keepiton/ [9] #Usizimwe: https://twitter.com/hashtag/KeepitOn?src=hash [10] pic.twitter.com/0gVp1ndX8I: https://t.co/0gVp1ndX8I [11] Agosti 1, 2016: https://twitter.com/accessnow/status/760155686156247040 [12] serikali ya Bangladeshi ilifungia kurasa za mitandao ya kijamii: https://globalvoices.org/2015/11/30/bangladesh-keeps-blocking-social-media-threatens-new-surveillance-tactics/ [13] kwa kipindi cha karibu wiki nne. : https://globalvoices.org/2015/12/14/bangladesh-unblocks-all-social-media-services-for-now/ [14] ni matokeo ya “kutokuelewana”: http://www.thedailystar.net/frontpage/sudden-shutdown-follows-verdict-174646 [15] uhuru wa kujieleza unaendelea kuwa chini ya vitisho : https://globalvoices.org/specialcoverage/bloggers-under-fire-the-fatal-consequences-of-free-thinking-in-bangladesh/ [16] upatikanaji wa huduma za Internet kuwa haki ya msingi katika haki za binadamu. : http://techland.time.com/2011/06/07/united-nations-report-declares-internet-access-a-human-right/ [17] likilaani nchi zinazozuia au kukwamisha upatikanaji wa huduma za Interneti.: http://thehill.com/policy/technology/286236-un-rights-council-condemns-internet-blocking [18] ” Bangladeshi ya Kitenolojia”: http://www.digitalworld.org.bd/digital-bangladesh-and-ict
2019-09-16T05:21:02
https://sw.globalvoices.org/2016/08/serikali-ya-bangladesh-yazima-mitandao-ya-intaneti-na-kufungia-tovuti-35/print/
[ -1 ]
MMMHH HII SASA NI AIBUU..!! MAVAZI YA NUSU UTUPU YA MSANII LINNAH ...SOMA HAPA KUJUA ZAIDI | Cleaf Da Pro Ducer WAZIRI MKUU AWEKA JIWE LA MSINGI JENGO LA HALIMASHAURI MALINYI Home » Uncategories » MMMHH HII SASA NI AIBUU..!! MAVAZI YA NUSU UTUPU YA MSANII LINNAH ...SOMA HAPA KUJUA ZAIDI MMMHH HII SASA NI AIBUU..!! MAVAZI YA NUSU UTUPU YA MSANII LINNAH ...SOMA HAPA KUJUA ZAIDI Staa wa Bongo Fleva, Estelina Sanga. KUNA mambo mengine yanafanywa na wasanii wetu yanachanganya sana akili, kiasi cha kukufanya ufikiri mara mbili kama huwa wanafanya tafakuri kabla ya kusema au wanafanya makusudi kwa malengo maalum? Wakati mwingine unadata zaidi unaposikia kauli kama hizo zimetolewa na mtoto aliyelelewa katika aina ya maisha unayoamini yana maadili na vitu kama hivyo. Estelina Sanga, maarufu kama Linah, ni binti mdogo, ambaye ndiyo kwanza anaanza kuogelea katika umaarufu wa muziki wa kizazi kipya baada ya kuibuliwa pale Tanzania House of Talent (THT). Hana kazi nyingi sana alizofanya vizuri zinazoweza kukushawishi kuwa namzungumzia staa wa levo za kina Mwasiti kwa mfano. Kuna chache alizofanya mwenyewe kama Atatamani, Janjaruka, Nia yangu na baadhi alizoshirikishwa kama ile ya Barnaba, Wrong Number na ule alioshirikiana na kijana aliyewahi kutoka naye kimapenzi, ambaye pia ni zao lingine la THT, Amini wa Mtima wangu. Haonekani kuwa na ‘jihad’ katika kazi, kwani katika siku za hivi karibuni, amekuwa akiripotiwa zaidi katika matukio. Siku chache zilizopita alifika ofisini kwetu na kufanya mahojiano na kituo chetu cha televisheni, kinachorusha matangazo yake kupitia mtandao, yaani Global TV Online. Alizungumza mambo mengi yanayohusu kazi zake za kimuziki, malengo yake, changamoto bila kusahau jinsi anavyoishi na jamii inayomzunguka. Katika mahojiano hayo, hakuondoka bila kuwaachia ‘kitu’ baadhi ya watazamaji wa televisheni hiyo, nikiwemo mimi. Alisema anapenda kuvaa nguo fupi (vimini) na zile za mpasuo kwa sababu anapenda kuliona paja lake na kwamba analipenda! Sijui, labda wapo walioona jambo hilo la kawaida tu, tofauti na mimi. Kwangu niliitilia mashaka kauli ile, kwa sababu ina ukakasi. Kwamba analipenda paja lake, Wazungu wanasema hiyo ni obviously, yaani lazima, kwa sababu itakuwa ni kituko cha mwaka kumkuta binadamu anayechukia kiungo chake, kiwe vyovyote kilivyo. Lakini kama mtu analipenda paja lake, kitu ambacho ni kizuri sana, ndiyo ulianike nje lionwe na kila mtu? Halafu paja ni kiungo ambacho katika mazingira na utamaduni wetu, ni nyeti. Sasa inapotokea binti mmoja, ambaye niliwahi kusikia kwamba ni mtoto wa kasisi, anasema kwamba anahusudu kuonyesha ‘live’ kiungo chake nyeti hadharani, ni lazima utilie shaka akili yake. Akili yangu ya kawaida inaniambia kwamba mtu mwenye kukipenda kiungo chake, hasa kile nyeti, angekihifadhi, watu wasije wakakiona na kukiharibu! Kwa mtoto wa kike kama Linah, ningeamini kama analipenda paja lake kama lisingekuwa linaonekana ovyo, angelihifadhi hata kwenye baibui! Msichana, tena aliyezaliwa mwaka 1990, anayelipenda paja lake angelificha, ili kulinusuru na wanaume wakware, wenye uchu wa wanawake wanaojianika kama Linah. Tafsiri nyepesi kwa maneno ya nyota huyu wa Bongo Fleva ni kwamba halipendi paja lake, analionyesha kwa watu ili waliharibu. Kama Linah anakwenda Club akiwa paja nje na pale tunajua kuna watu wenye hela zao wanaokosa watu wa kuwasaidia matumizi, unaweza kupata hisia kitu gani kitatokea? Ni wazi kuwa analianika ili watu walione, wavutiwe nalo na baadaye ashirikiane nao kuliharibu. Ningemshauri kama mdogo wangu kwamba wakati mwingine ni bora kukaa kimya na kuwaacha watu wakujadili wenyewe pasipo kutoa kauli zinazoweza kuwaongoza kukujadili. Na labda, uvaaji wa nguo fupi na mipasuo tata, haiwezi kumsaidia kupandisha mauzo au uwezo wa kazi zake. Kama msanii, anaweza kuvaa mavazi hayo katika maeneo yenye kuruhusu, ambayo mara zote huwa ni usiku, lakini kuachia paja lako mbele ya kadamnasi, kwa madai kuwa unalipenda, nadhani siyo sawa. Posted by Unknown on Monday, September 29, 2014, Add Comment 0 Response to "MMMHH HII SASA NI AIBUU..!! MAVAZI YA NUSU UTUPU YA MSANII LINNAH ...SOMA HAPA KUJUA ZAIDI"
2019-09-16T08:55:37
http://cleafproducer.blogspot.com/2014/09/mmmhh-hii-sasa-ni-aibuu-mavazi-ya-nusu.html
[ -1 ]
15 Yohane aliwaambia watu habari zake, akasema kwa sauti, "Huyu ndiye niliyemtaja wakati niliposema: <Anakuja mtu mmoja baada yangu ambaye ni mkuu kuliko mimi, maana alikuwako kabla mimi sijazaliwa."> 23 Yohane akawajibu, "Mimi ndiye yule ambaye nabii Isaya alisema habari zake: <Sauti ya mtu imesikika jangwani: Nyoosheni njia ya Bwana."> 28 Mambo haya yalifanyika huko Bethania, ng'ambo ya mto Yordani ambako Yohane alikuwa anabatiza. 30 Huyu ndiye niliyesema juu yake: <Baada yangu anakuja mtu mmoja aliye mkuu zaidi kuliko mimi, maana alikuwako kabla mimi sijazaliwa!> 33 Mimi sikumjua, lakini yule aliyenituma nikabatize watu kwa maji alikuwa ameniambia: <Mtu yule utakayemwona Roho akimshukia kutoka mbinguni na kukaa juu yake, huyo ndiye anayebatiza kwa Roho Mtakatifu.> 1 Siku ya tatu kulikuwa na arusi mjini Kana, mkoani Galilaya. Mama yake Yesu alikuwapo, 2 naye Yesu alikuwa amealikwa arusini pamoja na wanafunzi wake. 3 Divai ilipokwisha, mama yake akamwambia, "Hawana divai!" 4 Yesu akamjibu, "Mama, usiniambie la kufanya. Saa yangu bado." 5 Hapo mama yake akawaambia watumishi, "Lolote atakalowaambieni, fanyeni." 6 Hapo palikuwa na mitungi sita ya mawe, ambayo kila mmoja uliweza kuchukua kiasi cha madebe mawili au matatu. Ilikuwa imewekwa hapo kufuatana na desturi ya Kiyahudi ya kutawadha. 7 Yesu akawaambia, "Ijazeni mitungi hiyo maji." Nao wakaijaza mpaka juu. 8 Kisha akawaambia, "Sasa choteni mkampelekee mkuu wa karamu." 9 Mkuu wa karamu alipoonja hayo maji, kumbe yalikuwa yamegeuka kuwa divai. Yeye hakujua ilikotoka, (lakini wale watumishi waliochota maji walijua). Mkuu wa karamu akamwita bwana arusi, 10 akamwambia, "Kila mtu huandaa divai nzuri kwanza hata wakisha tosheka huandaa ile hafifu. Lakini wewe umeiweka divai nzuri mpaka sasa!" 11 Yesu alifanya ishara hii ya kwanza huko Kana, Galilaya, akaonyesha utukufu wake; nao wanafunzi wake wakamwamini. 12 Baada ya hayo, Yesu alishuka pamoja na mama yake, ndugu zake na wanafunzi wake, wakaenda Kafarnaumu ambako walikaa kwa siku chache. 13 Sikukuu ya Wayahudi ya Pasaka ilikuwa imekaribia; hivyo Yesu akaenda Yerusalemu. 14 Hekaluni aliwakuta watu wakiuza ng'ombe, kondoo na njiwa, na wavunja fedha walikuwa wamekaa kwenye meza zao. 15 Akatengeneza mjeledi wa kamba, akawafukuza wote nje ya Hekalu pamoja na kondoo na ng'ombe wao, akazimwaga sarafu za wenye kuvunja fedha na kupindua meza zao. 16 Akawaambia wale waliokuwa wanauza njiwa, "Ondoeni vitu hivi hapa. Msiifanye nyumba ya Baba yangu kuwa soko!" 17 Wanafunzi wake wakakumbuka kwamba Maandiko yasema: "Upendo wangu kwa nyumba yako waniua." 18 Baadhi ya Wayahudi wakamwuliza Yesu, "Utafanya muujiza gani kuonyesha kwamba unayo haki kufanya mambo haya?" 19 Yesu akawaambia, "Vunjeni Hekalu hili, nami nitalijenga kwa siku tatu." 20 Hapo Wayahudi wakasema, "Hekalu hili lilijengwa kwa muda wa miaka arobaini na sita. Je, wewe utalijenga kwa siku tatu?" 21 Lakini Yesu alikuwa anaongea juu ya Hekalu ambalo ni mwili wake. 22 Basi, alipofufuliwa kutoka wafu, wanafunzi wake walikumbuka kwamba alikuwa amesema hayo, wakaamini Maandiko Matakatifu na yale maneno aliyokuwa akisema Yesu. 23 Yesu alipokuwa Yerusalemu kwa sikukuu ya Pasaka, watu wengi walimwamini walipoona ishara alizozifanya. 24 Lakini Yesu hakuwa na imani nao kwa sababu aliwajua wote. 25 Hakuhitaji kuambiwa chochote juu ya watu, maana aliyajua barabara mambo yote yaliyomo mioyoni mwao. 1 Kulikuwa na kiongozi mmoja Myahudi, wa kikundi cha Mafarisayo, jina lake Nikodemo. 2 Siku moja alimwendea Yesu usiku, akamwambia, "Rabi, tunajua kwamba wewe ni mwalimu uliyetumwa na Mungu, maana hakuna mtu awezaye kufanya ishara unazozifanya Mungu asipokuwa pamoja naye." 3 Yesu akamwambia, "Kweli nakwambia, mtu asipozaliwa upya hataweza kuuona ufalme wa Mungu." 4 Nikodemo akamwuliza, "Mtu mzima awezaje kuzaliwa tena? Hawezi kuingia tumboni mwa mama yake na kuzaliwa mara ya pili!" 5 Yesu akamjibu, "Kweli nakwambia, mtu asipozaliwa kwa maji na Roho, hawezi kamwe kuingia katika ufalme wa Mungu. 6 Mtu huzaliwa kimwili kwa baba na mama, lakini huzaliwa kiroho kwa Roho. 7 Usistaajabu kwamba nimekwambia kuwa ni lazima kuzaliwa upya. 8 Upepo huvuma kuelekea upendako; waisikia sauti yake, lakini hujui unakotoka wala unakokwenda. Ndivyo ilivyo kwa mtu aliyezaliwa kwa Roho." 9 Nikodemo akamwuliza, "Mambo haya yanawezekanaje?" 10 Yesu akamjibu, "Je, wewe ni mwalimu katika Israel na huyajui mambo haya? 11 Kweli nakwambia, sisi twasema tunayoyajua na kushuhudia tuliyoyaona, lakini ninyi hamkubali ujumbe wetu. 12 Ikiwa nimewaambieni mambo ya kidunia nanyi hamniamini, mtawezaje kuamini nikiwaambieni mambo ya mbinguni? 13 Hakuna mtu aliyepata kwenda juu mbinguni isipokuwa Mwana wa Mtu ambaye ameshuka kutoka mbinguni. 14 "Kama vile Mose alivyomwinua juu nyoka wa shaba kule jangwani, naye Mwana wa Mtu atainuliwa juu vivyo hivyo, 15 ili kila anayemwamini awe na uzima wa milele. 16 Maana Mungu aliupenda ulimwengu hivi hata akamtoa Mwana wake wa pekee, ili kila amwaminiye asipotee, bali awe na uzima wa milele. 17 Maana Mungu hakumtuma Mwanae ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali aukomboe ulimwengu. 18 "Anayemwamini Mwana hahukumiwi; asiyemwamini amekwisha hukumiwa kwa sababu hakumwamini Mwana wa pekee wa Mungu. 19 Na hukumu yenyewe ndiyo hii: Mwanga umekuja ulimwenguni lakini watu wakapenda giza kuliko mwanga, kwani matendo yao ni maovu. 20 Kila mtu atendaye maovu anauchukia mwanga, wala haji kwenye mwanga, maana hapendi matendo yake maovu yamulikwe. 21 Lakini mwenye kuuzingatia ukweli huja kwenye mwanga, ili matendo yake yaonekane yametendwa kwa kumtii Mungu." 22 Baada ya hayo, Yesu alifika mkoani Yudea pamoja na wanafunzi wake. Alikaa huko pamoja nao kwa muda, akibatiza watu. 23 Yohane pia alikuwa akibatiza watu huko Ainoni, karibu na Salemu, maana huko kulikuwa na maji mengi. Watu walimwendea, naye akawabatiza. 24 (Wakati huo Yohane alikuwa bado hajafungwa gerezani.) 25 Ubishi ulitokea kati ya baadhi ya wanafunzi wa Yohane na Myahudi mmoja kuhusu desturi za kutawadha. 26 Basi, wanafunzi hao wakamwendea Yohane na kumwambia, "Mwalimu, yule mtu aliyekuwa pamoja nawe ng'ambo ya Yordani na ambaye wewe ulimshuhudia, sasa naye anabatiza, na watu wote wanamwendea." 27 Yohane akawaambia, "Mtu hawezi kuwa na kitu asipopewa na Mungu. 28 Nanyi wenyewe mwaweza kushuhudia kuwa nilisema: <Mimi siye Kristo, lakini nimetumwa ili nimtangulie!> 29 Bibiarusi ni wake bwanaarusi, lakini rafiki yake bwana arusi, anayesimama na kusikiliza, hufurahi sana anapomsikia bwana arusi akisema. Ndivyo furaha yangu ilivyokamilishwa. 30 Ni lazima yeye azidi kuwa maarufu, na mimi nipungue. 31 "Anayekuja kutoka juu ni mkuu kuliko wote; atokaye duniani ni wa dunia, na huongea mambo ya kidunia. Lakini anayekuja kutoka mbinguni ni mkuu kuliko wote. 32 Yeye husema yale aliyoyaona na kuyasikia, lakini hakuna mtu anayekubali ujumbe wake. 33 Lakini mtu yeyote anayekubali ujumbe wake anathibitisha kwamba Mungu ni kweli. 34 Yule aliyetumwa na Mungu husema maneno ya Mungu, maana Mungu humjalia mtu huyo Roho wake bila kipimo. 35 Baba anampenda Mwana na amemkabidhi vitu vyote. 36 Anayemwamini Mwana anao uzima wa milele; asiyemtii Mwana hatakuwa na uzima wa milele, bali ghadhabu ya Mungu hubaki juu yake." 1 Mafarisayo walisikia kwamba Yesu alikuwa anabatiza na kuwapata wanafunzi wengi kuliko Yohane. 2 (Lakini ukweli ni kwamba Yesu hakuwa anabatiza ila wanafunzi wake.) 3 Basi, Yesu aliposikia hayo, alitoka Yudea akarudi Galilaya; 4 na katika safari hiyo ilimbidi apitie Samaria. 5 Basi, akafika Sukari, mji mmoja wa Samaria, karibu na shamba ambalo Yakobo alikuwa amempa mwanawe, Yosefu. 6 Mahali hapo palikuwa na kisima cha Yakobo, naye Yesu, kutokana na uchovu wa safari, akaketi kando ya kisima. Ilikuwa yapata saa sita mchana. 7 Basi, mwanamke mmoja Msamaria akafika kuteka maji. Yesu akamwambia, "Nipatie maji ninywe." 8 (Wakati huo wanafunzi wake walikuwa wamekwenda mjini kununua chakula.) 9 Lakini huyo mwanamke akamwambia, "Wewe ni Myahudi; mimi ni mwanamke Msamaria! Unawezaje kuniomba maji?" (Wayahudi hawakuwa na ushirikiano na Wasamaria katika matumizi ya vitu.) 10 Yesu akamjibu, "Kama tu ungalijua zawadi ya Mungu na ni nani anayekwambia: <Nipatie maji ninywe,> ungalikwisha mwomba, naye angekupa maji yaliyo hai." 11 Huyo mama akasema, "Mheshimiwa, wewe huna chombo cha kutekea maji, nacho kisima ni kirefu; utapata wapi maji yaliyo hai? 12 Au, labda wewe wajifanya mkuu kuliko babu yetu Yakobo? Yeye alitupa sisi kisima hiki; na yeye mwenyewe, watoto wake na mifugo yake walikunywa maji ya kisima hiki." 13 Yesu akamjibu, "Kila anayekunywa maji haya ataona kiu tena. 14 Lakini atakayekunywa maji nitakayompa mimi, hataona kiu milele. Maji nitakayompa yatakuwa ndani yake chemchemi ya maji ya uzima na kumpatia uzima wa milele." 15 Huyo mwanamke akamwambia, "Mheshimiwa, nipe maji hayo ili nisione kiu tena; nisije tena mpaka hapa kuteka maji." 16 Yesu akamwambia, "Nenda ukamwite mumeo uje naye hapa." 17 Huyo mwanamke akamwambia, "Mimi sina mume." Yesu akamwambia, "Umesema kweli, kwamba huna mume. 18 Maana umekuwa na waume watano, na huyo unayeishi naye sasa si mume wako. Hapo umesema kweli." 19 Huyo Mwanamke akamwambia, "Mheshimiwa, naona ya kuwa wewe u nabii. 20 Babu zetu waliabudu juu ya mlima huu, lakini ninyi mwasema kwamba mahali pa kumwabudu Mungu ni kule Yerusalemu." 21 Yesu akamwambia, "Niamini; wakati unakuja ambapo hamtamwabudu Baba juu ya mlima huu, wala kule Yerusalemu. 22 Ninyi Wasamaria mnamwabudu yule msiyemjua, lakini sisi tunamjua huyo tunayemwabudu, kwa maana wokovu unatoka kwa Wayahudi. 23 Lakini wakati unakuja, tena umekwisha fika, ambapo wanaoabudu kweli, watamwabudu Baba kwa nguvu ya Roho; watu wanaomwabudu hivyo ndio Baba anaotaka. 24 Mungu ni Roho, na watu wataweza tu kumwabudu kweli kwa nguvu ya Roho wake." 25 Huyo mama akamwambia, "Najua kwamba Masiha, aitwaye Kristo, anakuja. Atakapokuja atatujulisha kila kitu." 26 Yesu akamwambia, "Mimi ninayesema nawe, ndiye." 27 Hapo wanafunzi wake wakarudi, wakastaajabu sana kuona anaongea na mwanamke. Lakini hakuna mtu aliyesema: "Unataka nini?" au, "Kwa nini unaongea na mwanamke?" 28 Huyo mama akauacha mtungi wake pale, akaenda mjini na kuwaambia watu, 29 "Njoni mkamwone mtu aliyeniambia mambo yote niliyotenda! Je, yawezekana kuwa yeye ndiye Kristo?" 30 Watu wakatoka mjini, wakamwendea Yesu. 31 Wakati huohuo wanafunzi wake walikuwa wanamsihi Yesu: "Mwalimu, ule chakula." 32 Lakini Yesu akawaambia, "Mimi ninacho chakula msichokijua ninyi." 33 Wanafunzi wake wakaulizana, "Je, kuna mtu aliyemletea chakula?" 34 Yesu akawaambia, "Chakula changu ni kufanya anachotaka yule aliyenituma na kuitimiza kazi yake. 35 Ninyi mwasema: <Bado miezi minne tu, na wakati wa mavuno utafika!> Lakini mimi nawaambieni, yatazameni mashamba; mazao yako tayari kuvunwa. 36 Mvunaji anapata mshahara wake, na anakusanya mavuno kwa ajili ya uzima wa milele; hivyo mpandaji na mvunaji watafurahi pamoja. 37 Kwa sababu hiyo msemo huu ni kweli: <Mmoja hupanda na mwingine huvuna.> 38 Mimi nimewatuma mkavune mavuno ambayo hamkuyatolea jasho, wengine walifanya kazi, lakini ninyi mnafaidika kutokana na jasho lao." 39 Wasamaria wengi wa kijiji kile waliamini kwa sababu ya maneno aliyosema huyo mama: "Ameniambia mambo yote niliyofanya." 40 Wasamaria walimwendea Yesu wakamwomba akae nao; naye akakaa hapo siku mbili. 41 Watu wengi zaidi walimwamini kwa sababu ya ujumbe wake. 42 Wakamwambia yule mama, "Sisi hatuamini tu kwa sababu ya maneno yako; sisi wenyewe tumesikia, na tunajua kwamba huyu ndiye kweli Mwokozi wa ulimwengu." 43 Baada ya siku mbili Yesu aliondoka hapo, akaenda Galilaya. 44 Maana Yesu mwenyewe alisema waziwazi kwamba, "Nabii hapati heshima katika nchi yake." 45 Basi, alipofika Galilaya, Wagalilaya wengi walimkaribisha. Maana nao pia walikuwa kwenye sikukuu ya Pasaka, wakayaona mambo yote Yesu aliyotenda huko Yerusalemu wakati wa sikukuu hiyo. 46 Yesu alifika tena huko mjini Kana, mkoani Galilaya, mahali alipogeuza maji kuwa divai. Kulikuwa na ofisa mmoja aliyekuwa na mtoto mgonjwa huko Kafarnaumu. 47 Basi, huyo ofisa aliposikia kuwa Yesu alikuwa ametoka Yudea na kufika Galilaya, alimwendea akamwomba aende kumponya mtoto wake aliyekuwa mgonjwa mahututi. 48 Yesu akamwambia, "Msipoona ishara na maajabu hamtaamini!" 49 Huyo ofisa akamwambia, "Mheshimiwa, tafadhali twende kabla mwanangu hajafa." 50 Yesu akamwambia, "Nenda tu, mwanao yu mzima." Huyo mtu akaamini maneno ya Yesu, akaenda zake. 51 Alipokuwa bado njiani, watumishi wake walikutana naye, wakamwambia kwamba mwanawe alikuwa mzima. 52 Naye akawauliza saa mtoto alipopata nafuu; nao wakamwambia, "Jana saa saba mchana, homa ilimwacha." 53 Huyo baba akakumbuka kwamba ilikuwa ni saa ileile ambapo Yesu alimwambia: "Mwanao yu mzima." Basi, yeye akaamini pamoja na jamaa yake yote. 54 Hii ilikuwa ishara ya pili aliyoifanya Yesu alipokuwa anatoka Yudea kwenda Galilaya. 1 Baada ya hayo kulikuwa na sikukuu ya Wayahudi, naye Yesu akaenda Yerusalemu. 2 Huko Yerusalemu, karibu na mlango uitwao Mlango wa Kondoo, kulikuwa na bwawa la maji liitwalo kwa Kiebrania Bethzatha, ambalo lilikuwa na baraza tano zenye matao. 3 Humo barazani mlikuwa na wagonjwa wengi wamekaa: vipofu, viwete na waliopooza. Walikuwa wakingojea maji yatibuliwe, 4 maana mara kwa mara malaika alishuka majini nyakati fulani na kuyatibua. Mtu yeyote aliyekuwa wa kwanza kuingia majini baada ya maji kutibuliwa, alipona ugonjwa wowote aliokuwa nao. 5 Basi, hapo palikuwa na mtu mmoja aliyekuwa mgonjwa kwa muda wa miaka thelathini na minane. 6 Naye alipomwona huyo mtu amelala hapo, akatambua kwamba alikuwa amekaa hapo kwa muda mrefu, akamwuliza, "Je, wataka kupona?" 7 Naye akajibu, "Mheshimiwa, mimi sina mtu wa kunipeleka majini wakati yanapotibuliwa. Kila nikijaribu kuingia, mtu mwingine hunitangulia." 8 Yesu akamwambia, "Inuka, chukua mkeka wako utembee." 9 Mara huyo mtu akapona, akachukua mkeka wake, akatembea. Jambo hili lilifanyika siku ya Sabato. 10 Kwa hiyo baadhi ya Wayahudi wakamwambia huyo mtu aliyeponywa, "Leo ni Sabato, si halali kubeba mkeka wako." 11 Lakini yeye akawaambia, "Yule mtu aliyeniponya ndiye aliyeniambia: <Chukua mkeka wako, tembea."> 12 Nao wakamwuliza, "Huyo mtu aliyekwambia: <Chukua mkeka wako, tembea,> ni nani?" 13 Lakini yeye hakumjua huyo mtu aliyemponya, maana Yesu alikuwa amekwisha ondoka mahali hapo, kwani palikuwa na umati mkubwa wa watu. 14 Basi, baadaye Yesu alimkuta huyo aliyeponywa Hekaluni, akamwambia, "Sasa umepona; usitende dhambi tena, usije ukapatwa na jambo baya zaidi." 15 Huyo mtu akaenda, akawaambia viongozi wa Wayahudi kwamba Yesu ndiye aliyemponya. 16 Kwa vile Yesu alifanya jambo hilo siku ya Sabato, Wayahudi walianza kumdhulumu. 17 Basi, Yesu akawaambia, "Baba yangu anafanya kazi daima, nami pia nafanya kazi." 18 Kwa sababu ya maneno haya, viongozi wa Wayahudi walizidi kutafuta njia ya kumwua Yesu: si kwa kuwa aliivunja Sheria ya Sabato tu, bali pia kwa kuwa alisema kwamba Mungu ni Baba yake, na hivyo akajifanya sawa na Mungu. 19 Yesu akawaambia, "Kweli nawaambieni, Mwana hawezi kufanya kitu peke yake; anaweza tu kufanya kile anachomwona Baba akikifanya. Maana kile anachofanya Baba, Mwana hukifanya vilevile. 20 Baba ampenda Mwana, na humwonyesha kila kitu anachokifanya yeye mwenyewe, tena atamwonyesha mambo makuu kuliko haya, nanyi mtastaajabu. 21 Kama vile Baba huwafufua wafu na kuwapa uzima, vivyo hivyo naye Mwana huwapa uzima wale anaopenda. 22 Baba hamhukumu mtu yeyote; shughuli yote ya hukumu amemkabidhi Mwana, 23 ili watu wote wamheshimu Mwana kama vile wanavyomheshimu Baba. Asiyemheshimu Mwana hamheshimu Baba ambaye amemtuma. 24 "Kweli nawaambieni, anayesikia neno langu, na kumwamini yule aliyenituma, anao uzima wa milele. Hatahukumiwa kamwe, bali amekwisha pita kutoka kifo na kuingia katika uzima. 25 Kweli nawaambieni, wakati unakuja, tena umekwisha fika, ambapo wafu wataisikia sauti ya Mwana wa Mungu, nao watakaoisikia, wataishi. 26 Kama vile Baba alivyo asili ya uhai, ndivyo pia alivyomjalia Mwanawe kuwa asili ya uhai. 27 Tena amempa mamlaka ya kuhukumu kwa sababu yeye ni Mwana wa Mtu. 28 Msistaajabie jambo hili; maana wakati unakuja ambapo wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake, 29 nao watafufuka: wale waliotenda mema watafufuka na kuishi, na wale waliotenda maovu watafufuka na kuhukumiwa. 30 "Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe. Mimi nina hukumu kama ninavyosikia kutoka kwa Baba, nayo hukumu yangu ni ya haki. Nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe, bali apendavyo yule aliyenituma. 31 Nikijishuhudia mimi mwenyewe, ushahidi wangu hauwezi kukubaliwa kuwa wa kweli. 32 Lakini yuko mwingine ambaye hutoa ushahidi juu yangu, nami najua kwamba yote anayosema juu yangu ni ya kweli. 33 Ninyi mlituma ujumbe kwa Yohane naye aliushuhudia ukweli. 34 Si kwamba mimi nautegemea ushahidi wa wanadamu, lakini nasema mambo haya ili mpate kuokolewa. 35 Yohane alikuwa kama taa iliyokuwa ikiwaka na kuangaza, nanyi mlikuwa tayari kufurahia mwanga huo kwa kitambo. 36 Lakini mimi nina ushahidi juu yangu ambao ni mkuu zaidi kuliko ule wa Yohane. Kwa maana kazi ninazofanya, kazi alizonipa Baba nizifanye, ndizo zinazonishuhudia kwamba Baba ndiye aliyenituma. 37 Naye Baba aliyenituma hunishuhudia. Ninyi hamjapata kamwe kusikia sauti yake, wala kuuona uso wake, 38 na ujumbe wake haukai ndani yenu maana hamkumwamini yule aliyemtuma. 39 Ninyi huyachunguza Maandiko Matakatifu mkidhani kwamba ndani yake mtapata uzima wa milele; na kumbe maandiko hayohayo yananishuhudia! 40 Hata hivyo, ninyi hamtaki kuja kwangu ili mpate uzima. 41 "Shabaha yangu si kupata sifa kutoka kwa watu. 42 Lakini nawajua ninyi, najua kwamba upendo kwa Mungu haumo mioyoni mwenu. 43 Mimi nimekuja kwa mamlaka ya Baba yangu, lakini hamnipokei; bali mtu mwingine akija kwa mamlaka yake mwenyewe, mtampokea. 44 Mwawezaje kuamini, hali ninyi mnapenda kupokea sifa kutoka kwenu ninyi wenyewe, wala hamtafuti sifa kutoka kwake yeye aliye peke yake Mungu? 45 Msifikiri kwamba mimi nitawashtaki kwa Baba. Mose ambaye ninyi mmemtumainia ndiye atakayewashtaki. 46 Kama kweli mngemwamini Mose, mngeniamini na mimi pia; maana Mose aliandika juu yangu. 47 Lakini hamuyaamini yale aliyoandika, mtawezaje basi, kuamini maneno yangu?" 1 Baada ya hayo, Yesu alivuka ziwa Galilaya (au Ziwa Tiberia). 2 Umati mkubwa wa watu ulimfuata kwa sababu watu hao walikuwa wameona ishara alizokuwa akifanya kwa kuwaponya wagonjwa. 3 Yesu alipanda mlimani, akaketi pamoja na wanafunzi wake. 4 Sikukuu ya Wayahudi iitwayo Pasaka ilikuwa imekaribia. 5 Basi, Yesu na alipotazama na kuona umati wa watu ukija kwake, alimwambia Filipo, "Tununue wapi mikate ili watu hawa wapate kula?" 6 (Alisema hivyo kwa kumjaribu Filipo, kwani alijua mwenyewe atakalofanya.) 7 Filipo akamjibu, "Mikate ya denari mia mbili za fedha haiwatoshi watu hawa hata kama ila mmoja atapata kipande kidogo tu!" 8 Mmoja wa wanafunzi wake aitwaye Andrea, nduguye Simoni Petro, akamwambia, 9 "Yupo hapa mtoto mmoja aliye na mikate mitano ya shayiri na samaki wawili; lakini hivi vyatosha nini kwa watu wengi kama hawa?" 10 Yesu akasema, "Waketisheni watu." Palikuwa na nyasi tele mahali hapo. Basi, watu wakaketi, jumla yapata wanaume elfu tano. 11 Yesu akaitwaa ile mikate, akamshukuru Mungu, akawagawia watu waliokuwa wameketi; akafanya vivyo hivyo na wale samaki, kila mtu akapata kadiri alivyotaka. 12 Watu waliposhiba Yesu akawaambia wanafunzi wake, "Kusanyeni vipande vilivyobaki visipotee." 13 Basi, wakakusanya vipande vya mikate ya shayiri walivyobakiza wale watu waliokula, wakajaza vikapu kumi na viwili. 14 Watu walipoiona ishara hiyo aliyoifanya Yesu, wakasema, "Hakika huyu ndiye nabii anayekuja ulimwenguni." 15 Yesu akajua ya kuwa watu walitaka kumchukua wamfanye mfalme, akaondoka tena, akaenda mlimani peke yake. 16 Ilipokuwa jioni wanafunzi wake waliteremka hadi ziwani, 17 wakapanda mashua ili wavuke kwenda Kafarnaumu. Giza lilikuwa limeingia, na Yesu alikuwa hajawafikia bado. 18 Ziwa likaanza kuchafuka kwa sababu upepo mkali ulikuwa unavuma. 19 Wanafunzi walipokuwa wamekwenda umbali wa kilomita tano au sita, walimwona Yesu akitembea juu ya maji, anakaribia mashua; wakaogopa sana. 20 Yesu akawaambia, "Ni mimi, msiogope!" 21 Walifurahi kumchukua Yesu katika mashua; na mara mashua ikawasili nchi kavu walipokuwa wanakwenda. 22 Kesho yake umati wa watu wale waliobaki upande wa pili wa ziwa walitambua kwamba kulikuwa na mashua moja tu pale, na Yesu hakuingia katika mashua pamoja na wanafunzi wake, ila wanafunzi hao walikuwa wamekwenda zao peke yao. 23 Mashua nyingine kutoka Tiberia zilifika mahali hapo watu walipokula ile mikate, Bwana alipokwisha mshukuru Mungu. 24 Basi, hao watu walipogundua kwamba Yesu na wanafunzi wake hawakuwapo mahali hapo, walipanda mashua, wakaenda Kafarnaumu wakimtafuta. 25 Wale watu walipomkuta Yesu ng'ambo ya pili wa ziwa walimwuliza, "Mwalimu, ulifika lini hapa?" 26 Yesu akawajibu, "Kweli nawaambieni, mnanitafuta si kwa kuwa mmeona ishara, bali kwa sababu mlikula ile mikate mkashiba. 27 Msikishughulikie chakula kiharibikacho; kishugulikieni chakula kidumucho kwa ajili ya uzima wa milele. Mwana wa Mtu ambaye Baba amemthibitisha atawapeni chakula hicho." 28 Wao wakamwuliza, "Tufanye nini ili tuweze kuzitenda kazi za Mungu?" 29 Yesu akawajibu, "Hii ndiyo kazi anayotaka Mungu muifanye: kumwamini yule aliyemtuma." 30 Hapo wakamwambia, "Utafanya ishara gani ili tuione tupate kukuamini? Utafanya kitu gani? 31 Wazee wetu walikula mana kule jangwani, kama yasemavyo Maandiko: <Aliwalisha mkate kutoka mbinguni."> 32 Yesu akawaambia, "Kweli nawaambieni, Mose hakuwapeni mkate kutoka mbinguni; Baba yangu ndiye awapaye ninyi mkate halisi kutoka mbinguni. 33 Maana mkate wa Mungu ni yule ashukaye kutoka mbinguni na aupaye ulimwengu uzima." 34 Basi, wakamwambia, "Mheshimiwa, tupe daima mkate huo." 35 Yesu akawaambia, "Mimi ndimi mkate wa uzima. Anayekuja kwangu hataona njaa; anayeniamini hataona kiu kamwe. 36 Lakini niliwaambieni kwamba ingawa mmeniona hamniamini. 37 Wote anaonipa Baba watakuja kwangu; nami sitamtupa nje yeyote anayekuja kwangu, 38 kwani nimeshuka kutoka mbinguni si kwa ajili ya kufanya matakwa yangu, ila kutimiza matakwa ya yule aliyenituma. 39 Na matakwa ya yule aliyenituma ndiyo haya: nisimpoteze hata mmoja kati ya wale alionipa, ila niwafufue wote Siku ya mwisho. 40 Maana anachotaka Baba yangu ndicho hiki: kila amwonaye Mwana na kumwamini awe na uzima wa milele; nami nitamfufua Siku ya mwisho." 41 Basi, Wayahudi wakaanza kunung'unika kwa kuwa alisema: "Mimi ni mkate ulioshuka kutoka mbinguni." 42 Wakasema, "Je, huyu si mwana wa Yosefu? Tunawajua baba yake na mama yake! Basi, anawezaje kusema kwamba ameshuka kutoka mbinguni?" 43 Yesu akawaambia, "Acheni kunung'unika ninyi kwa ninyi. 44 Hakuna mtu awezaye kuja kwangu, Baba aliyenituma asipomvuta kwangu; nami nitamfufua mtu huyo Siku ya mwisho. 45 Manabii wameandika: <Watu wote watafundishwa na Mungu.> Kila mtu anayemsikia Baba na kujifunza kutoka kwake, huja kwangu. 46 Hii haina maana kwamba yupo mtu aliyemwona Baba, isipokuwa yule aliyetoka kwa Mungu; huyo ndiye aliyemwona Baba. 47 Kweli, nawaambieni, anayeamini anao uzima wa milele. 48 Mimi ni mkate wa uzima. 49 Wazee wenu walikula mana kule jangwani, lakini walikufa. 50 Huu ndio mkate kutoka mbinguni; mkate ambao anayekula hatakufa. 51 Mimi ni mkate hai ulioshuka kutoka mbinguni. Mtu yeyote akila mkate huu ataishi milele. Na mkate nitakaompa ni mwili wangu ninaoutoa kwa ajili ya uzima wa ulimwengu." 52 Ndipo Wayahudi wakaanza kubishana kati yao: 53 Yesu akawaambia, "Kweli nawaambieni, msipokula mwili wa Mwana wa Mtu na kunywa damu yake, hamtakuwa na uzima ndani yenu. 54 Anayekula mwili wangu na kunywa damu yangu anao uzima wa milele nami nitamfufua siku ya mwisho. 55 Maana mwili wangu ni chakula cha kweli, na damu yangu ni kinywaji cha kweli. 56 Aulaye mwili wangu na kunywa damu yangu, akaa ndani yangu, nami nakaa ndani yake. 57 Baba aliye hai alinituma, nami naishi kwa sababu yake; vivyo hivyo anilaye mimi ataishi pia kwa sababu yangu. 58 Basi, huu ndio mkate ulioshuka kutoka mbinguni; si kama mana waliyokula babu zetu, wakafa. Aulaye mkate huu ataishi milele." 59 Yesu alisema hayo alipokuwa akifundisha katika sunagogi kule Kafarnaumu. 60 Basi, wengi wa wafuasi wake waliposikia hayo, wakasema, "Haya ni mambo magumu! Nani awezaye kuyasikiliza?" 61 Yesu alijua bila kuambiwa na mtu kwamba wanafunzi wake walikuwa wananung'unika juu ya jambo hilo, akawauliza, "Je, jambo hili linawafanya muwe na mashaka? 62 Itakuwaje basi, mtakapomwona Mwana wa Mtu akipanda kwenda kule alikokuwa kwanza? 63 Roho ndiye atiaye uzima; binadamu peke yake hawezi. Maneno niliyowaambieni ni Roho, ni uzima. 64 Hata hivyo, wako baadhi yenu wasioamini." (Yesu alisema hivyo kwani alijua tangu mwanzo ni kina nani wasioamini, na pia ni nani atakayemsaliti.) 65 Kisha akasema, "Ndiyo maana niliwaambieni kwamba hakuna awezaye kuja kwangu asipowezeshwa na Baba yangu." 66 Kutokana na hayo, wengi wa wafuasi wake walirudi nyuma wasiandamane naye tena. 67 Basi, Yesu akawauliza wale kumi na wawili, "Je, nanyi pia mwataka kwenda zenu?" 68 Simoni Petro akamjibu, "Bwana, tutakwenda kwa nani? Wewe unayo maneno yaletayo uzima wa milele. 69 Sisi tunaamini, na tunajua kwamba wewe ndiwe yule Mtakatifu wa Mungu." 70 Yesu akawaambia, "Je, sikuwachagua ninyi kumi na wawili? Hata hivyo, mmoja wenu ni Ibilisi!" 71 Yesu alisema hayo juu ya Yuda, mwana wa Simoni Iskarioti; maana huyu alikuwa ndiye atakayemsaliti, ingawa alikuwa mmoja wa wale kumi na wawili. 1 Baada ya hayo, Yesu alikuwa akitembea katika Galilaya. Hakutaka kutembea mkoani Yudea kwa sababu viongozi wa Wayahudi walikuwa wanataka kumwua. 2 Sikukuu ya Vibanda ya Wayahudi ilikuwa imekaribia. 3 Basi ndugu zake wakamwambia, "Ondoka hapa uende Yudea ili wanafunzi wako wazione kazi unazozifanya. 4 Mtu hafanyi mambo kwa siri kama anataka kujulikana kwa watu. Maadam unafanya mambo haya, basi, jidhihirishe kwa ulimwengu." 5 (Hata ndugu zake hawakumwamini!) 6 Basi, Yesu akawaambia, "Wakati wangu ufaao haujafika bado. Lakini kwenu ninyi kila wakati unafaa. 7 Ulimwengu hauwezi kuwachukia ninyi, lakini mimi wanichukia kwa sababu mimi nauambia wazi kwamba matendo yake ni maovu. 8 Ninyi nendeni kwenye sikukuu hiyo. Mimi siendi kwenye sikukuu hiyo, maana saa yangu ifaayo haijafika." 9 Alisema hayo kisha akabaki huko Galilaya. 10 Baada ya ndugu zake kwenda kwenye sikukuu, Yesu naye alikwenda, lakini hakuenda kwa hadhara bali kwa siri. 11 Viongozi wa Wayahudi walikuwa wanamtafuta kwenye sikukuu hiyo; Wakauliza: "Yuko wapi?" 12 Kulikuwa na minong'ono mingi katika umati wa watu. Baadhi yao walisema, "Ni mtu mwema." Wengine walisema, "La! Anawapotosha watu." 13 Hata hivyo hakuna mtu aliyethubutu kusema, habari zake hadharani kwa kuwaogopa viongozi wa Wayahudi. 14 Sikukuu hiyo ilipofikia katikati, Yesu naye alikwenda Hekaluni, akaanza kufundisha. 15 Basi, Wayahudi wakashangaa na kusema "Mtu huyu amepataje elimu naye hakusoma shuleni?" 16 Hapo Yesu akawajibu, "Mafundisho ninayofundisha si yangu, bali ni yake yeye aliyenituma. 17 Mtu anayependa kufanya yale anayotaka Mungu, atajua kama mafundisho yangu yametoka kwa Mungu, au mimi najisemea tu mwenyewe. 18 Yeye anayejisemea tu mwenyewe anatafuta sifa yake mwenyewe; lakini anayetafuta sifa ya yule aliyemtuma, huyo ni mwaminifu, na ndani yake hamna uovu wowote. 19 Je, Mose hakuwapeni Sheria? Hata hivyo, hakuna hata mmoja wenu anayeishika Sheria. Kwa nini mnataka kuniua?" 20 Hapo watu wakamjibu, "Una wazimu wewe! Nani anataka kukuua?" 21 Yesu akawajibu, "Kuna jambo moja nililofanya, nanyi mnalistaajabia. 22 Mose aliwapeni ile desturi ya kutahiri. (Si kwamba desturi hiyo ilitoka kwa Mose, bali ilitoka kwa mababu). Sasa ninyi humtahiri mtu hata siku ya Sabato. 23 Ikiwa basi, mtu hutahiriwa hata siku ya Sabato kusudi Sheria ya Mose isivunjwe, mbona mnanikasirikia kwa sababu nimemfanya mtu kuwa mzima kabisa siku ya Sabato? 24 Msihukumu mambo kwa nje tu; toeni hukumu ya haki." 25 Baadhi ya watu wa Yerusalemu walisema, "Je, yule mtu wanayemtafuta wamuue si huyu? 26 Tazameni sasa! Anawaonya hadharani, wala hakuna mtu anayemwambia hata neno. Je, yawezekana kuwa viongozi wametambua kweli kwamba huyu ndiye Kristo? 27 Kristo atakapokuja hakuna mtu atakayejua mahali alikotoka, lakini sisi tunajua alikotoka mtu huyu!" 28 Basi, Yesu alipokuwa anafundisha Hekaluni alipaaza sauti na kusema, "Ati mnanijua; hata nilikotoka mnakujua! Hata hivyo, sikuja kwa mamlaka yangu mwenyewe; ila yeye aliyenituma mimi ni wa kweli, nanyi hamumjui. 29 Lakini mimi namjua kwa sababu nimetoka kwake, naye ndiye aliyenituma." 30 Basi, watu wakataka kumtia nguvuni, lakini hakuna mtu aliyethubutu kumkamata kwa sababu saa yake ilikuwa haijafika bado. 31 Wengi katika ule umati wa watu walimwamini, wakasema, "Je, Kristo akija atafanya ishara kubwa zaidi kuliko alizozifanya huyu?" 32 Mafarisayo waliwasikia watu wakinong'ona maneno hayo juu ya Yesu. Basi, wao pamoja na makuhani wakuu wakawatuma walinzi wamtie nguvuni. 33 Yesu akasema, "Bado niko nanyi kwa muda mfupi, kisha nitamwendea yule aliyenituma. 34 Mtanitafuta lakini hamtaniona, maana pale nitakapokuwa ninyi hamwezi kufika." 35 Viongozi wa Wayahudi wakasema wao kwa wao, "Mtu huyu atakwenda wapi ambapo hatutaweza kumpata? Atakwenda kwa Wayahudi waliotawanyika kati ya Wagiriki, na kuwafundisha Wagiriki? 36 Ana maana gani anaposema: <Mtanitafuta lakini hamtanipata, na mahali nitakapokuwa ninyi hamwezi kufika?"> 37 Siku ya mwisho ya sikukuu hiyo ilikuwa siku maalum. Yesu alisimama, akasema kwa sauti kubwa, "Aliye na kiu na aje kwangu anywe. 38 Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: <Anayeniamini mimi, mito ya maji yenye uzima itatiririka kutoka moyoni mwake!"> 39 (Alisema hayo kumhusu Roho ambaye wale waliomwamini yeye watampokea. Wakati huo Roho alikuwa hajafika kwa sababu Yesu alikuwa hajatukuzwa bado.) 40 Baadhi ya watu katika ule umati walisikia maneno hayo, wakasema, "Kweli mtu huyu ndiye yule nabii!" 41 Wengine wakasema, "Huyu ndiye Kristo!" Lakini wengine walisema, "Je, yawezekana Kristo akatoka Galilaya? 42 Maandiko Matakatifu yasemaje? Yanasema: <Kristo atatoka katika ukoo wa Daudi, na atazaliwa Bethlehemu, mji wa Daudi!"> 43 Basi, kukatokea mafarakano juu yake katika ule umati wa watu. 44 Baadhi ya watu walitaka kumtia nguvuni lakini hakuna aliyejaribu kumkamata. 45 Kisha wale walinzi wakarudi kwa makuhani wakuu na Mafarisayo; nao wakawauliza, "Kwa nini hamkumleta?" 46 Walinzi wakawajibu, "Hakuna mtu aliyepata kamwe kusema kama asemavyo mtu huyu!" 47 Mafarisayo wakawauliza, "Je, nanyi pia mmedanganyika? 48 Je, mmekwisha mwona hata mmoja wa viongozi wa watu, au mmoja wa Mafarisayo aliyemwamini? 49 Lakini umati huu haujui Sheria ya Mose; umelaaniwa!" 50 Mmoja wao alikuwa Nikodemo ambaye hapo awali alikuwa amemwendea Yesu. Basi, yeye akawaambia, 51 "Je, Sheria yetu humhukumu mtu kabla ya kumsikia kwanza na kujua anafanya nini?" 52 Nao wakamjibu, "Je, wewe pia umetoka Galilaya? Haya, kayachunguze Maandiko Matakatifu nawe utaona kwamba Galilaya hakutoki kamwe nabii!" 53 Basi, wote wakaondoka, kila mtu akaenda zake;
2017-11-19T10:38:51
http://tracts.com/JOHNSWA01.html
[ -1 ]
MAGAZETI YA LEO JUMATANO OCTOBER 24-2018 HAYA HAPA | Dar Mpya Online TV October 24, 2018 John Marwa WAFANYABIASHARA SOKO LA SIDO MBEYA WAPEWA SIKU MBILI KULIPA KODI YA PANGO. Fahamu yote yaliyojiri katika Magazeti ya Tanzania leo Februari 14, 2019. Hapa unapata habari zote zilizopewa...
2019-02-17T05:17:28
https://www.darmpya.com/magazeti-ya-leo-jumatano-october-24-2018-haya-hapa/
[ -1 ]
Latest News Tz: JK- Tunajua biashara ya dini inalipa, lakini msiivuruge Tanzania RAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa mtindo wa kufanya fujo na kusababisha uvunjifu wa amani kwa visingizio vya dini nchini ni biashara inayolipa na ndiyo maana wakereketwa wa kufanya hivyo hawaishi. Hata hivyo, akaonya kwamba Serikali katu haitawavumilia wanaotaka kuwavuruga Watanzania kwa kutumia dini zao. Kikwete aliyasema hayo wakati wa kuwasilisha ripoti ya Mchakato wa Nchi za Afrika Kujitathmini zenyewe katika nyanja za Demokrasia, Utawala Bora na Uchumi (APRM) nchini Ethiopia mwishoni mwa wiki iliyopita. Alisema ni jambo la kushangaza kuona kuwa wadau wanatumia dini kuiyumbisha nchi kwa vigezo kuwa ni miongoni mwa nchi zilizodumisha amani kwa muda mrefu. Alisema kutokana na hali hiyo, Serikali yake haitayumba wala kusita kupambana ipasavyo na wafanya fujo hao ikiwa ni pamoja na kutumia njia za busara wakati wa kutoa uamuzi na hatua za kisheria. “Kuna baadhi ya watu wanatumia vigezo vya kidini kwa ajili ya kufanya vurugu za kuhatarisha amani, Serikali haitaweza kuwavumilia, badala yake tutatumia njia mbalimbali ili kushughulikia matatizo hayo ikiwa ni pamoja na kutumia busara na hatua za kisheria,” alisema Kikwete. Alisema mapendekezo yaliyotolewa na APRM ya kusimamia kwa uangalifu tofauti za kidini nchini ameyachukua kwa mikono miwili. Alisema kitendo cha Tanzania kuwa na amani na utulivu kwa muda mrefu ni bahati iliyotokana na kutokuwapo kwa ugomvi wa kikabila, kidini ama yale ya kutokana na rangi za watu. Alisema hali hii inatokana na ukweli kuwa sera iliyopo haina ubaguzi kwa wananchi kwa misingi ya kabila, dini, rangi ama sehemu anakotoka Mtanzania, ni sera nzuri na wanaidumisha. Kwa mujibu wa Kikwete, uzuri kuhusu dini katika Tanzania ni kwamba kila mmoja ana uhuru wa kuabudu na kwamba Serikali haina dini. “Tunajua fika kuhusu hatari zinazoweza kusababishwa na baadhi ya wanasiasa na viongozi wa dini wenye malengo ya kuchochea fujo za kidini, hatuwezi kuyumba wala kusita kupambana ipasavyo na watu wa namna hiyo,” alibainisha. Alisema ikiwa wataona uchochezi wa kidini unafikia kiwango cha kuhatarisha amani ya nchi ama uvunjifu wa amani na sheria na dola itachukua mkondo wake ili haki iweze kutendeka.
2017-09-20T02:00:16
http://latestnewstz.blogspot.com/2013/01/jk-tunajua-biashara-ya-dini-inalipa.html
[ -1 ]
CCM yajichimbia msituni | JamiiForums | The Home of Great Thinkers CCM yajichimbia msituni Discussion in 'Uchaguzi Tanzania' started by Mzito Kabwela, Aug 6, 2010. Habari za Uhakika zinasema kuwa, viongozi wooote waandamizi wa CCM hivi sasa wapo kwenye mkakati madhubuti kuhakikishisha kuwa Dk Slaa hafui dafu kwa JK. CCM imeshtushwa kwa kiwango cha juu kukubalika kwa kiasi kikubwa kwa Dokta Slaa na Chama chake. Moja kati ya Mikakati iliyowekwa ni kuhakikisha pesa inamwagwa kama njigu kwenye "maeneo korofi" kisiasa Pia vyombo vya habari vyote isipokuwa Tanzania Daima vitatumika kueneza propaganda ya uwongo dhidi ya Mgombea huyo wa CHADEMA. Imeelezwa kuwa katika mkakati huo wa kummaliza Dokta Slaa ambaye hadi sasa Mkutano Mkuu wa Chama chake hauja mpitisha kugombea Urais, watapenyezwa Mamluki wengi kutoka CCM na miongoni mwao ni wale walioshindwa ubunge kupitia kura za maoni. Mtoa habari muhimu na anayeaminika alisema, yapo maeneo maalum ambayo wagombea ubunge wameonekana "kushindwa" lakini kiuhalisia hawakushindwa bali ni mbinu chafu ya kuwahadaa watanzania kwa kutaka watu hao wahamie CHADEMA ili wavuruge. Ujio wa ghafla wa Mabere Marando CHADEMA pia unahusishwa na mkono wa CCM. Ukimya wa CCM hivi sasa si wa kupuuza. Katika hatua nyingine, moja kati ya propaganda zitakazoenezwa ni maisha binafsi ya Dokta Slaa, ya Kifamilia na ya Kiimani pia. Wito wangu: Wanachadema wawe tayari kujibu mapigo. Chadema mna matatizo makubwa sana ,hivi CCM awache shuguli zake zote aizungumze Chadema ,mbona kaazi ! watakuja na siasa za uchafu tu, UDINI NA UKABILA LAKINI LAZIMA TUWAAMBIE "HATUDANGANYIKI" Chadema mna matatizo makubwa sana ,hivi CCM awache shuguli zake zote aizungumze Chadema ,mbona kaazi !Click to expand... wana shughuli gani zaidi ya hii?? (wameshaiba kura zao wenyewe kwenye maoni) Ulishaona wapi watu wanapigia kura maoni.........bull S*** ........Katika hatua nyingine, moja kati ya propaganda zitakazoenezwa ni maisha binafsi ya Dokta Slaa, ya Kifamilia ........Click to expand... Hapo penye rangi, hivi ikitokea na Slaa kaamua kuyataja ya Mgombea wa CCM mambo yahusianano na hayo patakalika? Uchaguzi mwaka huu utakuwa mtamu sana... ila CCM wakae chonjo kwa vile ushindi wa mgombea wao hauna uhakika, hata watu ambao mpaka sasa walikuwa neutral au wameshakata tamaa wameamshwa na ari na moyo dhabiti ya wanaCHADEMA na mgombea wao.... Badala ya kutaka kumwangusha kwa hila na fitna mgombea wa Chadema, CCM ingefanya tathmini ya kweli kwa nini mgombea wao hakubaliki.... Ile janja ya kumtumia mnajimu Sheikh Yahya kuwatisha watu wasichukue form kumpinga Kikwete ndani ya ccm [ama sivyo wangepotea] ndio hiyo inayowatesa sasa; kwani wale mahasimu wake ndani ya chama ndio watakaomfanyizia!! Wananchi asilimia fulani hawadanganyiki kwa sasa kutokana na CCM kuvurunda so kura wanajua ni siri ,so acha wawape hizo senti acha wanachama wa CCM wahamie Chadema ila kura ni siri wanajua watakavyo piga after message of change from Chadema lol Katika hatua nyingine, moja kati ya propaganda zitakazoenezwa ni maisha binafsi ya Dokta Slaa, ya Kifamilia na ya Kiimani pia. Wito wangu: Wanachadema wawe tayari kujibu mapigo.Click to expand... Mtazamo wangu ni kuwa: ole wao waingie kwenye maisha binafsi, watajuta maana tumechoka na sisi tumeshashiriki sana kwenye maisha mipango yao binafsi. Nitatoa hadharani. ewe mtanzania unaeshiriki kwenye hili kwa basically maslahi ya RA and etal kuweni macho maana kesho CHADEMA inaweza kuwa kimbilio lako. Kumbuka CCM sio kampuni, na wenyewe nao ni nyie wote wale wasiokuwa na sauti leo but kesho yatabadilika. mzito hii ni vita ya wote pamoja na wewe kama unaamini katika changes. Kampeni chafu zimeshaanza, hasa za kutumia udini, lakini mimi naona kuwa huu ni mkakati ambao utawaletea tatizo kubwa, Mwaka 2005 walitumia njia hii ya udini kwa kuwaghilibu waislamu kuwa watawaletea mahakama ya kadhi jambo ambalo haliwezekani chini ya katiba ya sasa. Tabia ya kuwatumia waislamu kama mtaji wao wa kupatia kura kisha wanawaacha kwenye mataa itawatokea puani kwani tafsiri yake ni kuwa CCM inawaona Waislamu wa Tanzania kama ni wenye ufahamu mdogo hivyo wanaweza kuwatumia kwa manufaa yao bila wao kugundua kuwa wana tapeliwa. KUENDELEA KUWATUMIA WAISALAMU KAMA DARAJA LAO NI MATUSI MAKUBWA KWA WAISLAMU , HIVYO WAADHIBU KWA KUWANYIMA KURA. mbona kunakubezana humu tena, kila mtu ana uhuru wa kuamua chama chake au humu ni lazima uwe mpinzani ndo ukubalike,? sioni kama ni sawa, maana mwenzetu ametoa hoja yake ya kumpinga slaa, na chadema anabezwa sio sawa, mnatuogopesha, inatakikana watu tuwe na uhuru wa maoni. wengine sisi ni freelance we just want our opinions to be heard, - 0 people likes Ni kweli wameanza mikakati. hata hivo kufanikiwa kwake kutakuwa dhaifu kwani hadi watakapotibu majeraha ya kura ya maoni, mda utakuwa umeshaenda mno... Hatari ya mamluki kutoka CCM isipuuzwe. Hata mimi nina wasiwasi na Mabere Marando. Tuangalie walipo waanzilishi wengi wa NCCR-MAGEUZI. Wengi walirudi CCM na kuzawadiwa kwa kazi yao nzuri waliyofanya katika upinzani. Kumbuka akina Lamwai, Nsanzugwanko, Bagenda, Wassira, Makogoro, nk. Kwa hiyo kama kutakuwa na wimbi la wanaCCM kuhamia CHADEMA ipo hatari ya chama kuvurugwa au siri na mikakati ya CHADEMA kutolewa kwa CCM. Mabere Marando aangaliwe kwa taadhari.
2016-12-02T18:46:00
http://www.jamiiforums.com/threads/ccm-yajichimbia-msituni.69063/
[ -1 ]
Wahujumu uchumi 467 watubu, bilioni 107 kurudishwa – Dar24 8 months ago Comments Off on Wahujumu uchumi 467 watubu, bilioni 107 kurudishwa Leo Septemba 30, Rais Magufuli amepokea taarifa kuhusu ushauri alioutoa juu ya kuwasamehe washtakiwa walio uhujumu uchumi wa nchi na wapo tayari kutubu na kurejesha fedha na mali walizohujumu ambapo taarifa hiyo imeripotiwa na Mkurugenzi wa Mashataka DPP, Biswalo Mganga ambaye ametangaza jumla ya washtakiwa 467 wapo tayari kurudisha jumla ya shilingi Bilioni 107 na zaidi. ”Katika kipindi hiki ofisi yangu imepokea barua za washtakiwa 467 wa kesi za uhujumu uchumi wanaomba kukiri makosa yao na kurejesha fedha walizowaibia watanzania” amesema DPP Mganga. Katika taarifa hiyo amesema kuna makundi mawili ambapo, kundi la kwanza ni wale washtakiwa ambao wapo tayari kurudisha fedha muda wowote kuanzia sasa hivi kwa shilingi na dola, lakini pia lipo kundi la washtakiwa waliotayari kurudisha fedha kwa awamu kadri watakavyokubaliana kwa mujibu wa sheria. Umoja wa Mataifa waipongeza Tanzania kwa hili Ambapo jumla ya shilingi Bilioni 7, dola 2,523,704.58 sawa na bilioni 5 zipo tayari kurudisha wakati wowote kuanzia hivi sasa, huku bilioni 94 zipo tayari kulipwa kwa awamu. ”Mhe Rais kati ya washtakiwa hao jumla ya shilingi bilion 7, 884, 901, 526 wapo tayari kurudisha muda wowote hata sasaivi, washtakiwa wengine ambao wapo tayari kurudisha wao kesi zao zipo kwenye dola, dola 2,523,704.58 sawa na bilioni 5 na milioni 717, wapo tayari kurudisha” amesema Mganga. Hatua hiyo ni kufuatia ushauri alioutoa rais Magufuli Septemba 22, 2019 wakati akiwaapisha baadhi ya viongozi aliowachagua ambapo alitoa siku 7 kwa Mkurugenzi wa mashtaka kutoa ruhusa kwa washtakiwa wa makosa ya uhujumu uchumi kutubu na kurudisha fedha zote wanazodaiwa. Aidha baadhi ya wananchi waliokuwa wanafuatilia kipindi hiko ambacho kilikuwa kinarushwa mubashara katika runinga na baadhi ya mitandao ya kijamii wamepongeza na kusifia juhudi na jitihada za rais Magufuli katika kufanya makusanyo ya fedha za nchi.
2020-06-01T11:49:34
http://www.dar24.com/wahujumu-uchumi-467-watubu-bilioni-107-kurudishwa/
[ -1 ]
Nokia 3310 (2017) ina Tatizo litakaloifanya kutonunuliwa kwa baadhi ya Nchi #Uchambuzi - TeknoKona Teknolojia Tanzania You are at:Home»Nokia»Nokia 3310 (2017) ina Tatizo litakaloifanya kutonunuliwa kwa baadhi ya Nchi #Uchambuzi Nokia 3310 (2017) ina Tatizo litakaloifanya kutonunuliwa kwa baadhi ya Nchi #Uchambuzi By Siyan on April 10, 2017 Nokia, simu, Teknolojia Tarehe ya uuzwaji wa simu ya Nokia 3310 (2017) unazidi kukaribia kwa kasi, lakini habari mpya kuhusu simu hiyo kunaweza kuathiri uuzwaji wake katika baadhi ya nchi Duniani. Nokia inatarajiwa kuuzwa kuanzia mwezi Mei mwaka huu. Simu hiyo iliyotoka kwa mara ya kwanza mwaka 2000 na kuuzwa Takribani 126 milioni, ujio wake mpya umewafurahisha wapenzi wengi wa Simu za Nokia. Pamoja na makala nyingi kuandikwa kuhusu ujio wake, Kwa mujibu wa mtandao wa Nokia simu hiyo ya 3310(2017) itakuwa na 2G Bands. Ujio huo mpya wa simu ya Nokia 3310(2017) unaweza kuingia dosari kwa baadhi ya nchi kutokana na simu hiyo kutumia Teknolojia ya 2G pekee, ambapo Frikwensi zake ni 900 MHz na 1800 MHz. SOMA PIA: Instagram Yafikisha Watumiaji Milioni 800 Kwa Mwezi! 2G ni teknolojia iliyotamba sana miaka ya 1990 ambapo inamuwezesha mtu kupiga/kupokea simu, kutuma/kupokea ujumbe mfupi . Teknolojia ya 2G ambayo pia huitwa teknolojia ya SMS, pia huwezesha kutuma ujumbe wenye picha, ambao huitwa MMS (multimedia messaging service). Teknolojia ya 2G kwa baadhi ya nchi tayari mfumo huo umeondolewa. Mfano nchini Australia kampuni ya Telecom Telstra imezima 2G tangu mwaka jana Desemba, ambapo Vodaphone ya Australia nayo wanataraji baadae mwaka huu kuzima 2G. Japani kampuni za KDDI iliondosha 2G machi 2008, Softbank Machi 2010, NTT DOCOMO Aprili 2016. Nchi za Canada, Singapore, Taiwan, Marekani na Switzerland tayari baadhi ya makampuni ya mawasiliano yamezima 2G. Kwa nchi ambazo baadhi ya kampuni za Mawasiliano zimezima na zinazotaraji kuzima 2G itakuwa ngumu kwa wananchi wake kukubali kununua simu hizo kwa kuwa hazitaweza kufanya kazi. Orodha ya baadhi ya kampuni na nchi ambazo zimeshaondosha 2G na zinazotaraji kuondosha angalia picha iliyo chini. SOMA PIA: Teknolojia ya FaceID kuruhusu uso mmoja tu kusajiliwa Hata hivyo pamoja na nchi kadhaa kuanza kuzima 2G kwa nchi za Afrika inaonekana bado Teknolojia ya 2G ina nafasi na itahitaji muda kuzimwa. Hivyo simu hiyo ya 3310(2017) ina nafasi ya kuuzwa zaidi kwa nchi za Afrika na zile ambazo bado Teknolojia ya 2G inaenedelea kutumika. Kwa changamoto hii pengine Nokia wanaweza kubadili gia angani kwa kuboresha toleo hilo ili liweze kukidhi mahitaji ya wengi. Nini maoni yako kuhusu changamoto hiyo ya Nokia 3310 (2017) kwa baadhi ya nchi ambazo zimeanza kuzima mfumo wa 2G.
2018-01-21T12:46:29
http://teknokona.com/nokia-3310-2017-ina-tatizo-litakaloifanya-kutonunuliwa-kwa-baadhi-ya-nchi-uchambuzi/
[ -1 ]
Usitumie Madawa ya kuongeza nguvu za kiume kumfurahisha mpenzi wako, Ipo siku utakuja juta. - JamiiForums Usitumie Madawa ya kuongeza nguvu za kiume kumfurahisha mpenzi wako, Ipo siku utakuja juta. 241 495 180 Kuna aina nyingi ya dawa zinanazotumiwa na wanaume kuongeza nguvu ya kufanya tendo la ndoa, Dawa hizi huongeza mzunguko wa dama kwenye uume na kuufanye usimame imara kwa muda mrefu. Mwanaume anapotumia dawa hisi hasa pale anapokuwa hana tatizo la kudumu la upungufu wa nguvu za kiume, hujisikia imara sana na mwenye utulivu na kujiamini zaidi pale anapokuwa na mpenzi wake wakati wa tendo la ndoa. Wataalamu wa afya ya uzazi wamengundua kuwa, matumizi ya muda mrefu wa dawa hizi kwa mtu asie na Tatizo la nguvu za kiume husababisha madhara makubwa, humfanya mwanaume kutojiamini, hudhoofisha misuli ya uume, wasiwasi wakati mwingine maniii kutoka hovyo, Mwanaume aliezoea kutumia dawa hizi akihisi ni kumfurahisha mpenzi wake, huathirika sana kisaikolojia pale anapozikosa na kumfanya kushindwa kabisa kufanya tendo la ndoa kwa hofu kuwa atapafomu chini ya kiwango. Ni vizuri kuepuka matumizi ya hizi dawa kwani si rafiki kwa afya ya uzazi kwa wanaume. Wasiojiamini ndio wanafanya hivyo 94,586 268,520 280 Utamu mnapenda nguvu hamna ngoja waje uliowashauri Likes: dasi besi 2,708 2,210 280 Bahati nzur sifaham hizo dawa da wakuu me nilitumiaga hivyo ndani ya mwaka mmoja kila napokutana na mwanamkee ehe mwaka huu mwenzi wa 9 ndyo nimeacha nimepta sana shida kuizoea hali yangu lakn sasa nashukur naendelea vizur Mm nilifikir utaliongelea kitaalamu, ukionyesha side effects za hayo madawa, kwanza ni madawa gani, composition yake ni nn....hizo side effects zinasababishwa na nn etc... Funguka zaidi mkuu... Likes: radicals Watu wamekosa kujiamini, wana kuwa over excited , they should calm down and make the show great Side effects kuu Ni Anatomical and psychological, anatomical effects Ni kuwa hudhoofisha misuli ya uume, erectile Muscles, hii huufanya uume kuwa dhaifu mno na kushindwa kusimama kwa mida mrefu. Psychological effects, humfanya mtumua kujijengea hisia kuwa pasipo hizo dawa hataweza fanya lolote, matokeo yake huwa addict. help me my Jesus 104 45 45 Ainisha aina za hayo madawa bac Usizijie kabisa mkuu. Ni hatari sana 8,790 1,240 280 Dogo acha uongo ungetaja hata sawa mojawapo na kuielezea tungekupa side effect huwezi kumeza midawa ya kifua kikuu bila kushauriwa na Daktari usitumie kitu kwa kusikia tu hayo madawa mengi yanaharibu mpaka mishipa ya uoni wa macho kupandisha pressure nk zipo kuanzia gram 20, 50gm na 100gm pia zinatumiwa na wenye matatizo ya sukari na pressure sasa mtu huna unaenda kutumia ikipanda na kugoma kushuka utamlilia nani na bibi huna? mleta mada funguka usaidiwe Umeongea vizuri sana unajua kama ni mtaalam wa dawa lazima uulize maswali kama haya mtoa uzi tuambie ni dawa gani hizo au ni zile ambazo tunazijua sie Niacheo uongo gani sasa, kuna aina nyingi sana ya hizi dawa sokoni... Kampuni ya dawa ya Cipla inaingiza dawa inaitwa Erecto, 50mg,100mg etc, madawa ya yalilenga watu wenye matatizo ya nguvu za kiume hasa wenye kisukari ( erectile dysfunction) kibaya sasa vijana na wazee wasio na hii shida wamekuwa wakitumia ili Tu kuwafirahisha wapenzi wao sasa madhara Ni makubwa kuliko faida wanayoipata. Threads 1,212,982 Posts 28,462,489
2018-10-15T16:46:13
https://www.jamiiforums.com/threads/usitumie-madawa-ya-kuongeza-nguvu-za-kiume-kumfurahisha-mpenzi-wako-ipo-siku-utakuja-juta.1354434/
[ -1 ]
Tukijipanga fursa kwa kila msichana inawezekana - MAKALA - swahilihub.com http://www.swahilihub.com/image/view/-/4802612/medRes/2138341/-/2ix6io/-/kike.jpg Tukijipanga fursa kwa kila msichana inawezekana Mkurugenzi Mkuu wa Tasisi ya Her Initiative, Lydia Charles akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari ya Kawe wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Kike Duniani kwa kutoa elimu ya afya ya Uzazi na kuwapima afya wanafunzi Na Maniza Zaman Imepakiwa - Friday, October 12 2018 at 10:57 Kwa Muhtasari Asilimia 40 ya wasichana wanaoingia sekondari ndio humaliza kidato cha nne Baada ya kumaliza shule, Calista, akiwa na umri wa miaka 18, alianza kujishughulisha na biashara ya kuuza matofali ya udongo kijijini kwao mkoani Mbeya. Alishindwa kwenda sekondari kwa sababu wazazi wake hawakuwa na uwezo wa kumlipia ada. Hata hivyo, Calista alielewa kuwa uuzaji wa matofali haikuwa kazi aliyoipenda kwa dhati. Alichopenda yeye kilikuwa ni kuwa fundi umeme. Wengi wakawa wanamcheka alipowaeleza kuhusu ndoto yake hiyo, wakimwambia kwamba ufundiumeme ilikuwa kazi ya wanaume. Kilichomsaidia ni kwamba alikuwa na bahati ya kuwa na mama ambaye alimtia moyo wa kuitimiza ndoto yake. Na kweli ikawa hivyo baada ya kumwandikisha chuoni. Calista alitumia miezi tisa kufundishwa juu ya kuunganisha umeme, kuweka nyaya za umeme na kutengeneza vifaa vya umeme. Hatimaye alihitimu mafunzo yake na kuwa fundi umeme anayeaminika kijijini kwao. Tangu wakati huo, Calista amekuwa akijiwekea akiba ya fedha kidogokidogo kwa lengo la kununua ardhi na kujijengea nyumba. Lengo hilo, nina hakika, litatimia. Ikiwa jana mataifa yote nchini yaliadhimisha Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike, nakumbuka maisha yangu mwenyewe ya huko nyuma. Mimi kama mtoto kike, nilikuwa na fursa nzuri. Nilikuwa na fursa ya kuchagua kufanya nilichotaka. Nilikulia kwenye mazingira salama. Nilitiwa moyo na kuungwa mkono na wazazi wangu wote pamoja na walimu na jamii iliyonizunguka. Ilikuwa ni fursa iliyoje. Siishi kujiuliza; hivi maisha yangu yangekuwa vipi nisingekulia katika mazingira haya? Ningefanya nini iwapo katika kila hatua niliyopiga kulikuwa na vizingiti, huku nikiishi kwa hofu? Hapa Tanzania, robo ya wananchi wake ni wasichana wenye umri wa chini ya miaka 18. Hawa wana ndoto na matumaini. Wanachohitaji ni fursa, kusikilizwa na kuungwa mkono katika kujifanyia uamuzi sahihi. Tunapaswa kuwa kitu kimoja katika kuhakikisha kwamba kisa cha binti wa Kitanzania ni kisa cha matumaini, kisiwe kisa cha fursa zilizokosekana. Takwimu zinaonyesha kwamba ni asilimia 40 tu ya wasichana wanaoingia sekondari, huendelea hadi kumaliza kidato cha nne. Asilimia kama 30 ya wasichana wa Tanzania huolewa wakiwa na chini ya umri wa miaka 18, huku asililmia 27 wakipewa ujauzito wangali wadogo. Ukatili na ushambuliaji wa kingono dhidi ya wasichana unafikia asilimia 11 kwa mabinti wenye umri kati ya miaka 15 na 19. Asilimia 80 ya vijana wadogo wanaopata maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi (VVU) ni wasichana. Hali hii haifai iachwe kubaki hivi ni lazima ibadilike! Kwa mwaka 2018, maudhui ya Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike ni “Tuwe Naye: Binti Mwenye Ujuzi”. Huu utakuwa ni mwanzo wa juhudi za mwaka mzima za kuwaleta pamoja wadau katika kuangalia mahitaji makuu na fursa kwa manufaa ya wasichana. Msisitizo uliowekwa na Serikali juu ya umuhimu wa kuwajengea vijana uwezo, unatoa fursa ya kuleta mabadiliko na kuboresha mwelekeo wa maisha ya mabinti wa Kitanzania. Mabadiliko haya yanahitaji moyo na kila mmoja wetu kuona thamani na uwezo wa msichana Yatahitaji kila mmoja wetu aone umuhimu wa kumlea badala ya kumdhalilisha au kumshambulia; tumhamasishe kuliko kumwadhibu. Tumsikilize binti zaidi ya vile tunavyompa amri, tumpe nafasi na kumshirikisha na kumwacha huru zaidi.
2019-02-16T04:14:54
http://www.swahilihub.com/habari/MAKALA/1310220-4802606-pv39hv/index.html
[ -1 ]
Ijambo rya Prezida Trump ku Musi w'Ukwikukira Ntiryumvikanwaho Ingoro Kongre y'Amerika ikoreramo i Washington, DC Prezida wa Reta Zunze Ubumwe za Amerika, Donald Trump, afise imigambi y’uguhimbaza italiki 4 z’ukwezi kw’indwi, mu kwerekana inguvu za gisirikare za Amerika. Ni umusi Amerika yibuka igihe yaronka intahe yayo y’ukwikukira. Bitegekanijwe ko Prezida Trump ashikiriza ijambo abanyamerika ku musi w’intahe y’ukwikukira ari ku cibutso ca Lincoln i Washington DC. Amerika yaronse iyo ntahe mu mwaka w’i 1776, yikuyeko ubukoloni bw’Abongereza ico gihe. Mu bihe vya vuba, abaprezida ba Amerika bahisemwo guhimbaza uwo musi mu kugira uruhara mu bikorwa bitarimwo ikuba mu birori vy’uguhimbaza uwo musi bibera mu kibanza citwa, “National Mall”. Mu bisanzwe nta mugambwe kanaka canke umunyapolitike kanaka ibirori vy’uguhimbaza uwo musi bishimikirako. Ibiherutse gutohozwa vyerekana ko abanyamerika batari bake ata kibanza bafise ku vyuko Prezida Trump ashikiriza ijambo ku musi w’uguhimbaza uwo musi. Ibice 81 vy’abo mu mugambwe w’abarepublika, ibice 55 kw’ijana vy’abatagira umugambwe bahengamiyeko n’ibice 27 vy’abademokrate barashigikiye ko prezida ashikiriza ijambo ryiwe. Yamara kubera igikorwa c’ukwiyamamariza amatora yo mu mwaka w’i 2020 kiza caratanguye, bamwe mu bahinga mu vy’amateka bafise impungenge ko Prezida Trump ariko yinjiza politike mu birori vy’uyu mwaka vy’uguhimbaza ukwikukira kwa Amerika.
2019-11-20T14:45:15
https://www.radiyoyacuvoa.com/a/4983114.html
[ -1 ]
Mhando:Tutawafikia Watanzania wote Mhando:Tutawafikia Watanzania wote Kaimu Mkurugenzi Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Michael Mhando amesema lengo la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ni kuwafikia na kuwahudumia asilimia 50 ya Watanzania wote ifikapo mwaka 2020. Mhando ameyasema hayo alipokuwa akikabidhi kadi za mfuko huo kwa wafanyabiashara na wavuvi wa feri ya magogoni. Mobile Menu
2017-06-22T22:19:58
http://nhif.or.tz/index.php/blog/45-watanzania-tutawafikia
[ -1 ]
ATC kwafukuta sakata la mahujaji | JamiiForums ATC kwafukuta sakata la mahujaji ATC kunahitaji mabadiliko makubwa ya uongozi na pia katika baraza la mawaziri nalo utendaji wake ni wa kukatisha tamaa nalo linahitaji mabadiliko makubwa SERIKALI inatarajia kufanya mabadiliko makubwa ya uongozi katika Shirika la Ndege Tanzania (ATC) baada ya kuwapo kwa kile kinachodaiwa ‘uzembe’ wa kiutendaji ndani ya shirika hilo. Uchunguzi wa Tanzania Daima, umebaini mabadiliko hayo yatatokana na matatizo yaliyotokea wakati wa usafirishaji wa mahujaji wa Tanzania na nchi jirani kwenda Makka, Saudi Arabia, ambao walikuwa watumie ATC kwa safari hizo. Mabadiliko hayo yanatokana na kuwepo kwa taarifa za ‘uzembe’ wa baadhi watendaji wa shirika hilo, katika kuratibu safari ya mahujaji ambayo ililitia aibu taifa, hali iliyosababisha serikali kuingilia kati na kuwasafirisha na kuwarejesha nchini mahujaji hao. Chanzo cha kuaminika cha habari hizi kiliiambia Tanzania Daima kuwa pamoja na ATC kutokuwa na uwezo wa kuwasafirisha mahujaji, lakini mipango ya kuratibu safari hiyo haikuwa makini kama ilivyopangwa. “Hivi sasa ofisi hazikaliki kutokana na kuwapo kwa taarifa za kuwepo kwa mabadiliko makubwa ya uongozi ATC,” kilitabanaisha chanzo hicho. Katibu Mkuu wa Miundombinu, Omari Chambo, alipoulizwa kuhusu suala hilo, alisema liko juu ya uwezo wake, hivyo si rahisi kufahamu mpaka atakapopewa taarifa na viongozi wake. Alisema kama uchunguzi utafanyika na kugundulika kuna uzembe uliosababishwa na baadhi ya watendaji wa ATC, serikali haitasita kuwawajibisha wahusika. “Sina taarifa za kufanyika kwa mabadiliko hayo, kama kitu hicho kipo, basi kinafanyika na wakubwa wangu na nitapata taarifa mambo yatakapokamilika, lakini kwa sasa sijui chochote,” alisema Chambo. Alisema, anachofahamu hivi sasa ni mazungumzo kati ya ATC na kampuni iliyopewa zabuni ya kuwasafirisha mahujaji, Al-Wasam ya Saudi Arabia, ili kurudisha gharama zilizotolewa na serikali. Alibainisha kuwa, viongozi wa ATC walifanya safari kwenda kwenye shirika hilo kufanya majadiliano hayo ambayo anaamini yatakwenda vizuri. “Unajua ATC waliingia mkataba wa kibiashara na wale jamaa na nina imani watalipwa haki yao kulingana na mkataba waliowekeana,” alisema. Kuhusu kiasi cha fedha kilichotumiwa na serikali kuwasafirisha mahujaji hao, Chambo hakuwa tayari kubainisha na kusema ni mapema mno kutaja kiasi hicho. “Tulichokifanya sisi ni kuhakikisha mahujaji wanakamilisha ibada yao kulingana na taratibu za dini, mambo mengine yatakuja baadaye, lakini kwa sasa kila kitu tuwaachie watu wa ATC,” alisema Chambo. Aidha, ‘uzembe’ huo unadaiwa kufanyika baada ya Bodi ya Wakurugenzi chini ya Uenyekiti wa Balozi Mustafa Nyang’anyi kushindwa kupata ndege ya uhakika na kwa haraka, kwa ajili ya mahujaji hao. Hali hiyo ilisababisha mahujaji hao zaidi ya 1,000 kuchelewa kufika Makka kuanza ibada ya hijja ambayo ni moja kati ya nguzo tano za dini ya Kiislamu. Mahujaji wa Tanzania na wengine kutoka nchi jirani mwishoni mwa mwaka jana, walisota katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kwa siku kadhaa kutokana na kutopatikana kwa ndege ya kuwasafirisha kwenda Saudia. Hali hiyo ilijitokeza baada ya ATC kushindwa kuileta ndege iliyodai kuwa iliikodi kwa ajili ya kuwasafirisha mahujaji hao. Hali hiyo ilisababisha serikali kuchukua jukumu la kuwasafirisha mahujaji hao na kisha kuunda kamati ya kuwarejesha nchini. Hata hivyo, ndege iliyokodiwa na serikali kutoka Kampuni ya AL-Wassam, ilishindwa kuhimili safari za mahujaji hao baada ya kuharibika. Hiyo ilikuwa ni ndege pekee kati ya tatu ambazo zilitafutwa, ambayo ilifanikiwa kupeleka kundi la kwanza la mahujaji 379, lakini ilipokuwa ikiwafuata wengine ilipata hitilafu za kiufundi na jitihada za kuitengeneza zilikwama baada ya kuelezwa kuwa vinahitajika vipuri vingine kutoka Afrika Kusini. Hata hivyo, katika safari hiyo ya kundi la kwanza, serikali ilijikuta ikilazimika kulipa faini ya dola 6,000 kutokana na ndege hiyo kuchelewa kufika kulingana na ratiba iliyokuwa imepangiwa. Miongoni mwa mahujaji waliosotea safari hiyo ni baba mkwe wa Rais Jakaya Kikwete, shemeji yake, Meya wa Manispaa ya Kinondoni na viongozi wengine ambao walichelewa kufika Makka kwa zaidi ya siku saba, baada ya tarehe ya safari, huku wengine wakiahirisha safari hiyo. Mahujaji hao walianza kurejea nchini Desemba 29 mwaka jana, na mahujaji wa mwisho waliingia nchini mwishoni mwa wiki iliyopita, huku wakiwa wamepata adha ya kubadilishiwa ndege mara kadhaa. M TTCL, Benki ya Posta, ATC, TRL taswira ya ujamaa Jukwaa la Siasa 51 Mar 6, 2019 ATC (atcl) tusirudi tena kama uzi huu wa 2010 unavyosema Jukwaa la Siasa 5 Dec 23, 2018 ATC Sasa Yaanza Kuleta Heshima ya Nchi, Yapunguza Tanzania Kufanywa Shamba la Bibi, FastJet Yapumulia Mashine, Soon Itafungasha Virago!. Jukwaa la Siasa 275 Sep 26, 2018 S Baada ya kuwatimua wenye vyeti feki, walioua ATC, waliotajwa kwenye ripoti za makinikia na katika kashifa nyingine, nao wasitishiwe pensheni na mafao Jukwaa la Siasa 16 Sep 25, 2018 J Prof. Kabudi: Mwaka 1980 Nyerere alinunua ndege mbili za ATC Kwa cash Jukwaa la Siasa 46 Sep 1, 2018 TTCL, Benki ya Posta, ATC, TRL taswira ya ujamaa ATC (atcl) tusirudi tena kama uzi huu wa 2010 unavyosema ATC Sasa Yaanza Kuleta Heshima ya Nchi, Yapunguza Tanzania Kufanywa Shamba la Bibi, FastJet Yapumulia Mashine, Soon Itafungasha Virago!. Baada ya kuwatimua wenye vyeti feki, walioua ATC, waliotajwa kwenye ripoti za makinikia na katika kashifa nyingine, nao wasitishiwe pensheni na mafao Prof. Kabudi: Mwaka 1980 Nyerere alinunua ndege mbili za ATC Kwa cash Threads 1,363,866 Members 520,586 Posts 33,299,219
2019-12-05T14:55:49
https://www.jamiiforums.com/threads/atc-kwafukuta-sakata-la-mahujaji.8910/
[ -1 ]
JOHN MNYIKA: Nimemwandikia Spika Bunge liwezeshe ufumbuzi wa mgogoro wa gesi asilia Ili kuliwezesha Bunge kutumia mamlaka na madaraka hayo katika Mkutano wa Kumi wa Bunge unaotarajia kuanza mwishoni mwa mwezi huu wa Januari 2013 katika kipindi hiki ambacho Nchi haina Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, nimemwandikia barua Spika atumie mamlaka na madaraka yake mujibu wa Kanuni ya 116 na Kanuni ya 114 fasili ya 14 ya Kanuni za Kudumu za Bunge kuelekeza mgogoro huu ushughulikiwe na Kamati mojawapo ya kudumu za Bunge wakati wa vikao vinavyoendelea hivi sasa Dar es salaam na vitavyofanyika Dodoma ili pande zote mbili; serikali na wananchi ziweze kuitwa kueleza madai na maelezo yake ufumbuzi wa haraka uweze kupatikana. Itakumbukwa kwamba katika Mkutano wa Nane wa Bunge Spika alitangaza kuwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imevunjwa na kwamba majukumu yaliyokuwa yakishughulikiwa na kamati hiyo yatashughulikiwa na kamati nyingine kwa mujibu wa madaraka na mamlaka ya Spika; hata hivyo mpaka sasa Spika hajatimiza wajibu huo hali ambayo imeacha ombwe la usimamizi katika kipindi hiki chenye migogoro mingi katika sekta za nishati na madini. Mgogoro kati ya Serikali na wananchi kuhusu utafutaji, uvunaji, usafirishaji na utumiaji wa gesi asilia kutoka Mtwara usingefikia kiwango cha sasa iwapo Spika angetekeleza mapendekezo niliyoyatoa kwa nyakati mbalimbali kuanzia mwezi Oktoba mwaka 2012 wa kutaka kuzibwa kwa ombwe la usimamizi kutokana na utekelezaji wa miradi kuendelea bila kuwa na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ambayo ingepaswa kuishauri na kuisimamia Serikali. Irejewe kwamba nilimwandikia barua Spika mwezi Oktoba mwaka 2012 kumkumbusha kutumia madaraka hayo lakini mpaka sasa hakuna hatua zozote zilizochukuliwa wala barua kujibiwa; hivyo kwa kuwa mgogoro umezidi kuongezeka na kuanza kuleta athari naamini barua nitayomuandikia sasa ataifanyia kazi kwa haraka. Izingatiwe kwamba katika barua hiyo nilitoa mwito kwa Spika atumie madaraka na mamlaka yake kutangaza kwa umma kamati nyingine ya kudumu ya Bunge itayoshughulikia nishati na madini ikiwemo masuala ya gesi asili kwa sasa kufuatia hali tete na tata kuhusu sekta ndogo ya gesi asilia nchini na kwa kuzingatia umuhimu na unyeti wa sekta hiyo katika uchumi wa nchi na maisha ya wananchi. Pamoja na mambo mengine nilipendekeza Spika aelekeze kamati hiyo kupokea na kujadili Taarifa ya Utekelezaji wa Maazimio ya Bunge ya mwaka 2011 kuhusu Sekta Ndogo ya Gesi Asili ikiwemo juu ya hatua iliyofikiwa katika kushughulikia tuhuma za ufisadi, madai ya mapunjo ya fedha za mauzo ya Gesi asili na hatua iliyofikiwa katika maandalizi ya sera, mpango mkakati, sheria ya gesi asili na utekelezaji wa miradi ya miundombinu ya gesi ikiwemo ujenzi wa bomba. Itakumbukwa kwamba siku moja kabla ya maandamano ya wananchi wa Mtwara yaliyofanyika tarehe 27 Disemba 2012, nilieleza kusudio langu la kutumia kifungu cha 10 cha Sheria ya ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge kutaka nakala ya mkataba wa mkopo wa masharti kiasi cha Dola za Marekani bilioni 1.225 (shilingi trilioni 1.86) kutoka China. Pia nilitaka nakala za mikataba wa mradi wa miundombinu ya gesi asilia ambayo itahusisha ujenzi wa mitambo ya kusafishia gesi asilia katika mikoa ya Lindi na Mtwara na ujenzi wa bomba kuu la kusafirishia gesi asilia la inchi 36 kutoka Mtwara kupitia Lindi, Pwani hadi Dar es Salaam lenye umbali wa kilometa 532. Nilieleza kusudio la kuchukua hatua hiyo kwa sababu mpaka sasa Wizara ya Nishati na Madini haijatekeleza pendekezo nililowasilisha bungeni tarehe 27 Julai 2012 kwamba kutokana na unyeti wa mradi huo kwa mustakabali wa nchi na maisha ya wananchi wa sasa na baadaye Serikali ilipaswa kuwasilisha bungeni na kuweka wazi kwa umma mkataba wa mradi husika. Pendekezo hilo lingetekelezwa toka wakati huo lingeepusha maandamano na mgogoro kwa kuwa majadiliano yangefanyika kuanzia bungeni na Bunge kuishauri na kuisimamia serikali kuanzia katika hatua za awali kuhakikisha kwamba maslahi ya taifa yanalindwa katika hatua zote na pia wananchi wakiwemo wa Mtwara wananufaika kutokana na fursa za uwekezaji huo mkubwa. Ifahamike kwamba Tarehe 27 Julai 2012 nilieleza bungeni kuwa pamoja na ujenzi wa mitambo miwili ya kusafishia gesi asili Mnazi Bay na Songo Songo kama sehemu ya mradi wa ujenzi wa Bomba la Gesi; niliitaka Serikali kueleza ni miradi ipi inayoambatana na mradi huo ambayo imepangwa kuwanufaisha wananchi wa mikoa ya Lindi na Mtwara ikiwemo kuharakisha utekelezaji wa mradi wa kuzalisha umeme wa MW 300 Mtwara na MW 230 wa Somanga Fungu (Kilwa); hata hivyo Serikali haikutoa ufafanuzi wa kuridhisha bungeni. Kwa mantiki hiyo badala ya Rais na Serikali kulaumu na kupotosha ni muhimu yeye na serikali wakajisahihisha kwa udhaifu ulioonyeshwa wakati wa maandalizi ya mikataba ya miradi husika bila kuzihusisha kamati za kisekta za Bunge kuanzia mwaka 2011 na wakati wa uzinduzi wa mradi tarehe 8 Novemba 2012 Mkoani Dar es salaam wa kuendeleza usiri; hali ambayo imechangia katika migogoro inayoendelea inayohitaji wabunge na bunge kuingilia kati kuwezesha ufumbuzi wa haraka. Posted by John Mnyika at 12:02 AM muheshimiwa mbunge pole kwanza kwa jukumu kubwa taifa lililokupa la kutetea haki za raia, bado wananchi wa Goba tunalia na swala la maji na umeme ingawa maji tunaona ni gumu lakini tunapata kwa watu wanaouza na magari haina shida sana tumeshazoea. Umeme muheshimiwa ndio kimbembe na tumeshachanga michango iko tangu desemba lakini tanesco bado hawatuletei umeme, hili ni tatizo kutokana na kwamba hata shughuli za kiuchumi ni vigumu kuendesha, achilia mbali hilo vitendo vya wizi vimekithiri kutokana na giza, watoto wanasomea vibatari which s not good kwa macho yao, plz chadema tunajua ni watenda kazi na mtatusaidia juu ya hili, na wananchi wa Goba tutawapa kura zetu, CHADEMA OYEEE! Nadhani wanachokitaka watu wa Mtwara kitafaidisha wajanja wachache. CHADEMA na kambi nzima ya upinzani kuweni makini maana wakubwa/wajanja wameshashika maeneo tayari kujenga vitega uchumi au kuuzia wawekezaji. Mwananchi wa kawaida atafaidi vipi gesi hiyo? Je ni kwa kuajiriwa kuwa kibarua,houseboy/girl kwa wakubwa hawa? Maendeleo ya viwanda yanakuja na tabia za ajabu ambazo mtwara hawajawahi kuona n.k. MIMI NINGESGAURI CHADEMA/UINZANI WASIMAMIE MSIMAMO KUWA UUNDWE MFUKO(FUND) UTAKAOGHARIMIWA NA PERCENT YA MAPATO YA GESI KA KAZI YAKE KUBWA IWE NI MIUNDOMBINU YA HUDUMA ZA JAMII KAMA BARABARA/MAJI/SHULE/ZAHANATI NA HATA IKIBIDI SCHOLARSHIPS KWA WATOTO WENYE KIPAJI LAKINI WAZAZI HAWANA UWEZO. Mssingie kwenye mtego huu wa viwanda bila kujua ni ajira ngapi zitawanufaisha watu wa mtuwara kwa ukweli. Viwanda vitajengwa na malalamiko yatakuwa mbona hatupati kazi. baraka henry said... tatiz langu ni huu usili mkubwa wa mikataba ya gesi na vitu vingine vinavyohusika moja kwa moja maisha ya watz wote, ila lai yangu ni kwamba wanachoongea wanamtwara siyo majibu wanayos ccm selikari yao,, kwa hili la gesi naomba viongozi wasikulupuke kama kwamba wanaenda kipiga miswaki meno yao yao,,
2017-12-17T21:12:04
http://mnyika.blogspot.com/2013/01/nimemwandikia-spika-bunge-liwezeshe.html
[ -1 ]
1839; Kiraka Juu Ya Kiraka… – Kisima Cha Maarifa 1839; Kiraka Juu Ya Kiraka… Kama nguo imeharibika na ukaweka kiraka, halafu kiraka hicho kikaharibika tena, wote tunajua kwamba hapo suluhisho siyo kuweka tena kiraka, bali kununua nguo nyingine mpya kabisa. Jambo hili la msingi kabisa huwa tunashindwa kulitumia kwenye maisha yetu ka kila siku. Ni mara ngapi umekuwa unakutana na tatizo au changamoto fulani, ← #TAFAKARI YA ASUBUHI; WEMA UNAANZIA KWENYE IMANI. #TAFAKARI YA USIKU; IMANI NA KUSUDI… →
2020-05-26T17:21:45
https://www.kisimachamaarifa.co.tz/2020/01/13/1839-kiraka-juu-ya-kiraka/
[ -1 ]
DIGNITY Kwanza| Resources WASIFU WETU DIGNITY Kwanza-Community Solutions, ni shirika lisilo la kiserikali ambalo limesajiliwa hapa Tanzania chini ya sheria ya mashirika yasiyo ya kiserikali ya mwaka 2005. DIGNITY Kwanza imeanzishwa na kikundi cha watu binafsi ambao walikuwa wanafanya kazi katika shirika la Asylum Access Tanzania (AATZ) ambalo lilikuwa linafanya kazi Tanzania na kusitisha shughuli zake mwezi Juni mwaka 2018. DIGNITY Kwanza imeanzishwa ili kuweza kuendeleza huduma ambazo zilikuwa zikifanywa na AATZ kama, huduma ya kisheria, kuinua jamii kwenye maswala ya kiuchumi na maisha katika jamii. DIGNITY Kwanza haitaendelea kuhudumia wakimbizi tu bali itahudumia pia jamii ya makundi yaliyo katika mazingira hatarishi na wasiojiweza. Maono yetu tunaiona Tanzania ni sehemu ambayo mtu anaishi kwa utu na uhakika wa kupata fursa ambayo itamuwezesha kujikimu na kuchangia maendeleo katika kujenga taifa. Dhamira yetu ni kulinda na kukuza utu wa binadamu kwa makundi yaliyotengwa na yanayoishi katika mazingira magumu kuwapa maendeleo ya kijamii na kiuchumi kupitia elimu, misaada na kuwawezesha. NINI KILICHOPO KWENYE JINA? . Utu wa ubinadamu na maendeleo ni pande mbili za sarafu moja. Wakati kila mtu katika jamii anaweza kuishi kwa kuheshimiwa utu wake, maendeleo yake kijamii na kiuchumi ni muhimu yazingatiwe. Kwa bahati mbaya imekuwa mwenendo haswa katika nchi zinazoendelea, kutibu dhana hizi mbili kama za kipekee. Mpango wa maendeleo na miradi haijatengenezwa kuunda hali inayoheshimu, kulinda na kuthibitisha utu wa binadamu, wakati haki za binadamu, ambayo ni sehemu muhimu ya heshima ya binadamu inachukuliwa kama kikwazo kwa maendeleo. Kwasababu hiyo, kikundi fulani cha watu hukataliwa na kuathirika, na wanakabiliwa na shida kama vile kukiukwa kwa haki zao za msingi, umaskini uliokithiri, kutengwa, ufikiaji mdogo wa huduma za kijamii, ukosefu wa ajira na upungufu wa fursa za kujikimu na kuchangia vya kutosha katika ujenzi wa taifa. DIGNITY Kwanza tunaamini kwamba haki za watu zikilindwa, kila kitu kitajiweka mahala pake, hiyo ndiyo ‘’DIGNITY Kwanza’’. HUDUMA TUNAZOTOA . 1. Msaada wa kisheria kwa mtu mmoja mmoja na makundi (ushauri wa kisheria, elimu na uwakilishi) 2. Uwezeshaji wa jamii na msaada 3. Maendeleo na misaada ya kibinadamu. 4. Utetezi, kukuza uelewa na ushawishi WALENGWA . 1. Wakimbizi, waombahifadhi, wahamiaji walio katika mazingira hatarishi. 2. Watu wasio na utaifa na watu walio katika hatari ya kukosa utaifa. 3. Watu wanaoishi katika umaskini uliokithiri (na uangalizi maalum kwa wanawake, watoto na vijana) Our social pages updates Tanzania useful links Refugees Agency NRC TANZANIA OXFAM INTERNATIONAL TANZANIA MAENEO YETU MAKUU YA KIMKAKATI Haki ya kiuchumi na kijamii Utawala Bora na uwajibikaji DIGNITY Kwanza was founded to ensure the continuation of AATZ services such as legal assistance, community empowerment and livelihoods programs to its clients. DK will not only continue to serve refugees but will extend its services to a wider group of marginalised and vulnerable populations. At DIGNITY Kwanza, we strongly believe that once people’s dignity is safeguarded, everything else will fall into place; hence the name “DIGNITY Kwanza”. Please subecribe to our monthly newsletter for more updates and awareness © 2020 DIGNITY Kwanza. All rights reserved | Design by Legacy Impresion Company
2020-07-02T22:33:14
http://dignitykwanza.org/resources.html
[ -1 ]
Anika Moa and Benny Tipene - Otorohanga - NZHerald Events Kihikihi Town Hall, Lyon St, Kihikihi, Otorohanga
2019-02-16T02:19:26
http://events.nzherald.co.nz/2014/anika-moa-and-benny-tipene/waikato
[ -1 ]
» Ukame mkubwa south Afrika-Wakazi wa Cape Town hatarini kuishi bila tone la maji kunywa kunzia june Ukame mkubwa south Afrika-Wakazi wa Cape Town hatarini kuishi bila tone la maji kunywa kunzia june Afrika kusini imetangaza ukame unaoshuhudiwa Cape Town – mji unao elekea kuishia bila ya hata tone la maji – kuwa janga la kitaifa. Serikali ilitoa tangazo hilo baada ya kukagua upya ukubwa na athari ya ukame huop wa miaka mitatu. Umeathiri vibaya majimbo matatu ya majimbo tisa nchini humo. Uamuzi huo umejiri wakati Cape Town umetangaza kuwa hatua za kupunguza matumizi ya maji, zinazohitaji kila raia asitumie zaidi ya lita 50 za maji kwa siku – imesaidia kuisogeza mbele “Day Zero” siku ambayo mji utakuwa hauna hata tone la maji hadi Juni 4. Miji 11 iliyo kwenye hatari ya kukumbwa na ukosefu wa maji ya kunywa kama Cape Town, Ni wiki chache tu zilizopita tarehe iliyotolewa wakati mabomba yalitarajiwa kukauka Cape Town ilikuwa ni Aprili 12. Unaruhusiwa kuweka matangazo yanayohusu 1.kuuza/kukodisha gari, 2.kuuza/kukodisha nyumba, 3.Kuuza /kukodisha kiwanja, 4.kuuza / kukodisha nguo, 5.kuuza vifaa vya electronics kama Simu, Computer, na matangazo mengine Karibu mitandaoni classfied website —-online market….
2018-03-20T21:09:03
http://mitandaoni.co.tz/2018/02/14/ukame-mkubwa-south-afrika-wakazi-wa-cape-town-hatarini-kuishi-bila-tone-la-maji-kunywa-kunzia-june/
[ -1 ]
Mwanzo wa Binadamu, maswali ni mengi kuliko majibu. Je, ukweli ni upi? - JamiiForums Mwanzo wa Binadamu, maswali ni mengi kuliko majibu. Je, ukweli ni upi? Yaani wale panya wanotumika kufanyia utafiti masuala mengi yenye kumgusa binadamu, kwani kinasaba panya hawa wanakaribiana na binadamu. hayo yote ni manadharia yanayotoka akilini mwetu lkn binafsi natumai the universe/ulimwengu unamajibu! dunia ni part ndogo sana iliyo kwenye ulimwengu sasa kuujua ukweli inatupasa tuufahamu ulimwengu vyema,bongo zetu zinauelewa hivyo tunaweza kufanya tafiti tukaelewa what is what... kama dunia ipo kwenye ulimwengu basi ulimwengu utakuwa na viashiria vyote vya kila kitu kilichopo duniani. nashauri binadamu tuelekeze nguvu ktk kutafiti ulimwengu there we can get a lot of things! Likes: nusuhela, Ambiele Kiviele and Shubiri Pori Kwanza nikupongeze kwa kuwa mtafiti maana nimeona watanzania wengi ukionyesha njia ya kujaji kitu watakuambia unapingana Na wazungu ulimwengu wote wanaamini wewe nani hadi ukatae' Mimi nilishakutana Na maswali kama hayo kwa watanzania wengi nikaona wananivunja moyo nikaamua kufanya tafiti zangu kimya kimya..... Come to your topic. Hiyo nadharia ya kusema binadamu wa kwanza alikuwa nyani yaani nauona ni uongo ambao kama ningekuwa mwalimu wa history ningeona aibu kuufundisha lakini sijui kwanini walimu wetu huwa wanafundisha kitu ambacho wanajua kabisa ni uongo,nilishawahi kuhoji kama binadam wa kwanza alikuwa nyani ni nani aliyeandika historia yake au ni yeye mwenyewe alikuwa anaelewa kuandika historia kama tunavyoandika Sisi Na Sisi tumebadilika mbona wao hawabadiliki tu yani vitu vingine kuamini ni upuuzi kabisa Binaadamu hatuna mwanzo wala mwisho! 118 59 45 Hiv kuna tofaut kati ya Dunia na Ulimwengu yeah,kwa mfano ulimwengu wa muziki,wa mpira,ujasusi lakin vyote vinafanyika juu ya dunia Alafu kuna ulimwengu wa roho
2019-03-21T00:09:14
https://www.jamiiforums.com/threads/mwanzo-wa-binadamu-maswali-ni-mengi-kuliko-majibu-je-ukweli-ni-upi.1158530/
[ -1 ]
MICHUZI BLOG: WATEJA WA AIRTEL MONEY KULAMBA BIL. 3 ZA AIRTEL '; if(img.length>=1) { imgtag = ' WATEJA WA AIRTEL MONEY KULAMBA BIL. 3 ZA AIRTEL Akiongea na waandishi wa habari, Meneja Uhusiano wa Airtel Bw, Jackson Mmbando alisema “Tunayofuraha kutoa gawio la faida la shilingi bilioni 3 kwa wateja wetu na wakala nchi nzima. Tunaamini gawio hili la faida litawawezesha wateja wetu kutatua mahitaji yao ya kifedha na hivyo kuthibitisha dhamira yetu ya kuendelea kutoa huduma za kifedha” Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu mpango wa kugawa gawio la faida ya shilingi billion 3 kwa wateja wa Airtel Money na mawakala wake nchi nzima ikiwa ni faida yao kutokana na kutumia Airtel Money kuanzia Januari hadi juni mwaka huu. Kulia ni Meneja wa Airtel Money, Asupya Nalingigwa. Meneja wa Airtel Money, Asupya Nalingigwa akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) jinsi Mr Money wa Airtel Money atakavyogawa faida ya shilingi billion 3 kwa wateja wa Airtel Money na mawakala wake nchi nzima ikiwa ni faida yao kutokana na kutumia Airtel Money kuanzia Januari hadi juni mwaka huu kushoto ni Meneja wa uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando.
2018-01-20T08:44:45
https://issamichuzi.blogspot.com/2016/08/wateja-wa-airtel-money-kulamba-bil-3-za.html
[ -1 ]
Ministry of Education, Science and Technology - TAARIFA KWA UMMA :TAMKO LA NAIBU WAZIRI KUHUSU TSSF Jumatano, 15 Novemba 2017 04:22 TAARIFA KWA UMMA :TAMKO LA NAIBU WAZIRI KUHUSU TSSF Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mheshimiwa William Tate Ole Nasha amesimamisha mara moja shughuli za utoaji mikopo zilizokuwa zinafanywa na Taasisi ya Tanzania Social Support Foundation (TSSF). Hatua hiyo imefikiwa baada ya Wizara kujiridhisha kuwa vitendo vilivyokuwa vinafanywa na taasisi hiyo ni kinyume na sheria, vilevile taasisi imeudanganya umma kuwa ina uwezo wa kutoa mikopo jambo ambalo siyo la kweli. Naibu Waziri ameyasema hayo mara baada ya kukutana na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo Bw. Donati Silla na Katibu Tawala wake Bw. Marwa Chacha kwa lengo la kuchambua nyaraka mbalimbali za Tasisi hiyo. Katika uchambuzi huo imebainika kuwa mchakato wote uliokuwa unafanywa na Taasisi hiyo ni wa kilaghai kwa lengo la kuwahadaa wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu. Katika uchambuzi huo imebainika kwamba Taasisi hiyo haina uwezo wa kifedha wa kutoa mikopo kwa wanafunzi wa Elimu ya Juu. Katika mahojiano na viongozi hao imebainika kwamba jumla wa wanafunzi 198 tayari wamerubuniwa na kujiunga na mpango wa mikopo wa taasisi hiyo. Naibu Waziri Ole Nasha ameelekeza kusitishwa kwa akaunti zote ambazo zimekuwa zikitumika kufanya miamala mbalimbali ya fedha. Akaunti hizo zinasemekana kuwa zimefunguliwa katika Benki za CRDB, NMB, na EXIM. Aidha Mheshimiwa Naibu Waziri ameviagiza vyuo vyote vya Elimu ya juu kutopokea wanafunzi kwa barua zinatoka TSSF, na kuwa Wizara itaendelea kutoa taarifa kwa umma kuhusu wanafunzi 198 ambao tayari wako vyuoni na waliahidiwa kupatiwa mikopo na taasisi hiyo. Tayari watuhumiwa akiwemo Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo Bw. Donati Silla na Katibu Tawala wake Bw. Marwa chacha wanashikiliwa na Jeshi la polisi kwa uchunguzi zaidi. 14, Novemba 2017. Read 33682 times
2019-07-21T07:02:30
http://www.moe.go.tz/index.php/sw/component/k2/item/1437-taarifa-kwa-umma
[ -1 ]
Martin Kadinda's Official Fashion Blog: Mvutokwanza Fashion Ambassador 2011?? Zamaradi mketema.. apart from Kazi yake utangazaji.. she can make it to the top of fashion industry!! Fashionista Anayechipukia Pennyl Mungilwa, She always dare to go her Way....with much suprises during her live Tv show!! Nansy Sumari...Former Miss World Africa....Well known in fashion Industry and soon ataitunuku Tanzania zawadi nzurii..Guess what is it??5. jokate Mwegelo... former miss Tz finalist.......with strong personality and wellknown in fashion industry in tanzania.Ukiwa ni mdau namba moja wa glog hii... pls help me to choose fashion ambassodar wa blog hii kwaka ujao, fashion ambassodar atakayechaguliwa na nyinyi, mvuto kwanza itahakikisha anawakilisha muonekano wa kweli wa kimavazi ili awe mfano wa kuigwa na wasichana wote naopenda fashion na hawajui wapi pakuweza kuona the way of being a star in your own wardrobe!! this means Mvutokwanza blogspot itatoa assistance on styling her in the best she suppose to!! Anonymous22:00jokate rocks hakuna mwingineReplyDeleteAnonymous09:57jokate au zamaradi...ReplyDeleteAnonymous21:50JokateReplyDeleteAnonymous05:23jokate MwengeloReplyDeleteAnonymous09:14Nancy SumariReplyDeleteAnonymous04:01Jokate dudeeeeeeeReplyDeleteErick Mark01:19ambassador au ambassodar?.....#HARD TO CHOOSE#ReplyDeleteAnonymous15:48nancy sumariReplyDeleteAdd commentLoad more...
2015-08-01T01:24:25
http://www.martinkadinda.com/2010/12/mvutokwanza-fashion-ambassador-2011.html
[ -1 ]
Urusi - Ripoti ya ugaidi Urari Wa Biashara Ya 12508.00 11823.00 20356.00 -203.00 Usd - Milioni [+] Sasa Akaunti 12100.00 33692.00 39286.00 -3774.00 Usd - Milioni [+] Uagizaji 19968.00 19769.00 32481.00 2525.00 Usd - Milioni [+] Mauzo Ya Nje 32476.00 31592.00 50248.00 4100.00 Usd - Milioni [+] Ya Nje Madeni Ya 482.40 467.80 732.80 151.30 Usd - Bilioni [+] Capital Mtiririko 31354.85 32711.99 32845.00 -47789.81 Usd - Milioni [+] Gold Akiba 2119.20 2113.00 2119.20 343.41 Tani [+] Mafuta Ghafi Uzalishaji 10835.00 10895.00 11051.00 5707.00 BBL/D/1K [+] Fedha Kutoka Nje 375.00 317.00 436.00 44.00 Usd - Milioni [+] Sasa, maadili, data ya kihistoria, utabiri, takwimu, chati na kalenda ya kiuchumi - Urusi - Ripoti ya ugaidi.
2019-08-17T14:49:30
https://sw.tradingeconomics.com/russia/terrorism-index
[ -1 ]
MICHUZI BLOG: MICHUZI TV: NARGIS MOHAMED NA NAFUE NYANGE WAFUNGUA DARASA LA UREMBO KWA NJIA YA DIGITALI MICHUZI TV: NARGIS MOHAMED NA NAFUE NYANGE WAFUNGUA DARASA LA UREMBO KWA NJIA YA DIGITALI Mshiriki wa Miss Tanzania 2014, Nargis Mohamed na Nafue Nyange wameamua kufungua shule ya urembo watakayokuwa wakitoa elimu kwa njia ya mtandao. Akizungumza jijini Dar es Salaam Nargis alisema kuwa wameamua kuandaa mafunzo hayo maalum katika fani ya urembo ili kuweza kuwawezesha wanawake na vijana waweze kujikwamua kiuchumi. Nargis aliongeza kuwa mafunzo hayo maalum yamewalenga watu wote na wanaweza kuyapata kidigitali, ikiwemo kwa njia ya simu au mtandao kwa gharama ya shilingi elfu kumi (10,000) tu za Kitanzania kwa mwezi. "Mafunzo hayo hayachagui jinsia; nia yetu kubwa sisi ni kuwawezesha wenzetu kwa kuwapa ujuzi ili waweze kujiinua kiuchumi kama wajasiliamali na kujijenga kimaisha sambamba na mpango wa serikali yetu kujenga ajira na kujikwamua kutoka kwenye umaskini," alisema Nargis. Kwa upande wake Nafue Nyange aliongeza kuwa mafunzo hayo yanapatikana kwa bei nafuu kabisa kupitia tovuti ya www.glammadamlive.com Pia anawaomba watanzania wasajili wataweza kufanya malipo kupitia Vodacom M-pesa na Tigo Pesa. Kwa wale walio nje ya nchi wanaweza kutumia kadi tofauti kama VISA, MasterCard, American Express. Miss Tanzania 2014, Nargis Mohamed (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari leo nia yao ya kuanzisha darasa la urembo la kidigitali. Pembeni ni Mjasiliamali Nafue Nyange. Mjasiliamali Nafue Nyange akisisitiza jambo. Wednesday, March 15, 2017
2017-06-26T01:45:21
https://issamichuzi.blogspot.com/2017/03/miss-tanzania-2014-nargis-mohamed-na.html
[ -1 ]
Baada ya Kimbunga Nock-Ten, Mashahidi Wapanga Kazi ya Kujenga Upya SOMA KATIKA Kiafrikana Kialbania Kiarmenia Kicheki Kichina (Kilicho Rahisi) Kichina (cha Kitamaduni) Kidachi Kidenishi Kiestonia Kifaransa Kifini Kigeorgia Kigiriki Kihispania Kihosa Kihungaria Kiiloko Kiindonesia Kiingereza Kiitaliano Kijapani Kijerumani Kikirghiz Kikorea Kikroatia Kilithuania Kimyanmar Kinorwei Kipolishi Kireno Kirumania Kirusi Kisebuano Kisepedi Kiserbia Kiserbia (cha Roma) Kisinhala Kislovaki Kislovenia Kiswahili Kiswedi Kitagalogi Kithai Kitswana Kituruki Kiukrania Kivietnam Kiyoruba MANILA, Filipino—Mashahidi wa Yehova nchini Filipino wameanzisha mradi wa kutoa msaada kwa ajili ya kurekebisha na kujenga upya nyumba zilizoharibiwa na Kimbunga Nock-Ten (wenyeji walikiita “Nina”). Jason Dotimas (kushoto) na Bethel Alvarez (kulia), wajitoleaji Mashahidi wa ujenzi, wakijenga upya Jumba la Ufalme lililo kwenye mji wa Polangui, Filipino. Wote walisafiri kilomita zaidi ya 650 ili kusaidia kazi ya kutoa msaada. Katika Desemba 25, 2016, Nock-Ten, kimbunga kibaya sana, kilikumba eneo la Bicol, na kusababisha uharibifu mkubwa. Kulingana na ripoti fulani, dhoruba hiyo iliwaua watu 10 na kuharibu majengo zaidi ya 390,000. Ingawa hakuna Shahidi wa Yehova aliyekufa au kuumia sana, nyumba zaidi ya 300 za Mashahidi na majengo wanayofanyia ibada 24 (yanaitwa Majumba ya Ufalme) yaliharibiwa. Ofisi ya tawi ya Mashahidi wa Yehova nchini Filipino walianzisha kamati ya kutoa msaada iliyofanya kazi katika jiji la Naga City ili kuwasaidia Mashahidi walioathiriwa. Dean Jacek, msemaji wa Mashahidi wa Yehova nchini Filipino alisema hivi: “Kufikia sasa, wajitoleaji wamerekebisha nyumba 271 na Majumba ya Ufalme 22. Vikosi vyetu vya kutoa msaada wa ujenzi vitaendelea kufanyia kazi nyumba 38 zilizosalia na Majumba ya Ufalme 2. Tuna lengo la kukamilisha kazi hiyo kufikia mwishoni mwa Aprili 2017.” Nyumba zilizokamilishwa. Wakitumia mbinu ya kukusanya na kutengeneza mapema sehemu mbalimbali za nyumba, nyumba inaweza kujengwa kwa siku sita. Kazi ya ulimwenguni pote ya Mashahidi wa Yehova, kutia ndani kutoa msaada, inasimamiwa na Baraza Linaloongoza na kutegemezwa na michango ya hiari. Kati ya Mashahidi wa Yehova zaidi ya milioni 8 ulimwenguni pote, 209,000 wanaishi nchini Filipino.
2017-12-15T14:42:58
https://www.jw.org/sw/habari/habari/kulingana-na-eneo/filipino/kimbunga-nock-ten-kazi-ya-kujenga-upya/
[ -1 ]
Kocha wa Ivory Coast awatishia waarabu waarabu | ShaffihDauda Home Kimataifa Kocha wa Ivory Coast awatishia waarabu waarabu Kocha wa Ivory Coast awatishia waarabu waarabu Na Bosha Nyanje. Mchezo wa mwisho wa kufuzu kucheza kombe la Dunia mwakani kati ya Ivory Coast na Morocco unaotarajiwa kuchezwa mwezi ujao mjini Abidjan utakuwa zaidi ya fainali kutokana na uhitaji mkubwa wa ushindi kwa timu zote mbili Kocha Mkuu wa Ivory Coast Marc Wilsmot anauona mchezo huwa kuwa mgumu zaidi kutokana na hali ya timu yake ambayo inahitaji ushindi ili iweze kufuzu ilihali Morocco wakihitaji Sare tu kwenda Urusi 2018. Ivory ambao walikuwa wakiongoza kundi C kabla ya mchezo wao dhidi ya Mali ulioisha kwa suluhu wameshuka mpaka nafasi ya pili mbele ya Morocco ambao waliwafunga Gabon goli 3. “Tunashukuru tuliweza kupata walau pointi dhidi ya Mali, licha ya kuwa na majeruhi wengi lakini tulijitahidi kucheza kwa ubora na kumiliki mpira kwa sana dhidi ya Mali timu ambayo ni ngumu zaidi kuchezanayo hasa ikiwa nyumbani” Marc alinukuliwa “Ilikuwa ni mara ya kwanza kwa muunganiko wa viungo wale kucheza pamoja kutokana na majeruhi tuliyokuwa nayo ila nadhani tunayo fainali ya kucheza Abidjan mwezi ujao tunahitaji ushindi “aliongeza Ikumbukwe kuwa mara ya mwisho Ivory Coast kushinda kwenye ardhi ya nyumbani kwenye mchezo dhidi ya Morcco ilikuwa ni June 5 mwaka 1995 ilposhinda goli 2-1 Ivory Cost imefanikiwa kushinda jumla ya michezo mitano kati ya 18 iliyocheza na Morocco huku ikipata sare saba na kufungwa mara sita. Previous articleSiku ya mwisho kwa bara la America Kusini Next articleMJADALA NDANI YA SPORTS XTRA: Stars inahitaji nini ili ifanye vizuri? Dickson Daudi kipenzi cha Maximo aliyevunjwa mguu 2007, amewaficha, Ngoma, Ajib, Chirwa, Bocco, Liuzio,...
2017-10-18T16:32:51
http://shaffihdauda.co.tz/2017/10/10/kocha-wa-ivory-coast-awatishia-waarabu-waarabu/
[ -1 ]
FREE ZANZIBAR PEOPLE FROM MKOLONI MWEUSI: LAZIMA TUSHINDE 2015 HATA KAMA TUTAUWA. TUTA MUUWA NANI KIMYA CHATANDA KATIKA KIKAO LAZIMA TUSHINDE 2015 HATA KAMA TUTAUWA. TUTA MUUWA NANI KIMYA CHATANDA KATIKA KIKAO SIKU moja mwanasiasa mmoja wa Uganda aliyekuwa akiishi London alikuwa amejimwaga kwenye sofa sebuleni mwake akipiga soga na shemeji yake huku akiangua vicheko na kujifaragua. Mara simu ikalia; akanyosha mkono kuichukuwa kwenye meza iliyokuwa pembezoni mwa sofa. Alipoisikia sauti ya aliyepiga simu ghafla akanyanyuka, simu mkononi, akasimama kwa ukakamavu. Akaanza kutetemeka akimwitikia mpiga simu kwa heshima na taadhima utadhani aliyepiga simu alikuwa mbele yake, ilhali alikuwa kilomita elfu sita ushey kutoka sebuleni mwake. Alifanya aliyoyafanya kwa sababu sauti ya mpiga simu ilimtisha. Ilimtia woga. Kiasi imtishe kwani ilikuwa ya Rais wa siku hizo wa Uganda, Jenerali Idi Amin Dada aliyejibandika cheo cha U-Field Marshal (Jemadari Mkuu) na vyeo vingine vya ajabu ajabu kama kile cha ‘Mshindi wa Milki ya Uingereza’. Mkasa huo nilihadithiwa na shemejiye huyo mwanasiasa. Ingawa mwanasiasa mwenyewe ni rafiki yangu wa miaka mingi sikuthubutu kumuuliza iwapo kadhia hiyo ilikuwa ya kweli au ya kubuni. Sikutaka, na hadi sasa sitaki, kumtahayarisha. Mwanasiasa huyo alikuwa mfuasi mkubwa wa Milton Obote ambaye Idi Amin alimpindua. Amin alikuwa ni hasimu yao na wakila njama za kutaka kumbwaga. Ndiyo maana nikashangaa nilipohadithiwa namna alivyoipokea simu ya Idi Amin huku akiwa anamtetemekea. Amin alikuwa dikteta aliyekuwa nayo hiyo sifa ya kupenda kutetemekewa. Kuna baadhi ya madikteta wenye kutaka hata picha zao ziwe zinaenziwa na kutetemekewa. Mtu anaweza akakamatwa na kupandishwa mahakamani kwa kosa la kuiharibu au kutoiheshimu picha ya Rais. Hiyo ni moja ya sababu zinazowafanya mawaziri wawe wanashindana kuweka mapicha ya viongozi wao ofisini mwao na majumbani mwao. Si ajabu ikiwa kuna wenye kuzipigia saluti picha hizo. Hufanya hivyo si kwa kutaka lakini kwa sababu ya woga kwani woga ukidekezwa unaweza ukamfanya mtu mwenye akili zake afanye mambo yasiyoingia akilini. Madikteta wengine hujipa majina yenye kutisha. Mfano ni wa Marais wa Syria baba na mwana, Hafez na Bashar Al Assad. Babu wa Hafez alikuwa pandikizi la mtu aliyekuwa na miguvu hata watu wakawa wanamwita kwa jina la Al Wahhish yaani “Mnyama Mwitu”. Inaonyesha kwamba alilipenda jina hilo la utani kwani alikuwa akilitumia kuwa ndilo jina rasmi la ukoo wake mpaka babake Hafez alipoligeuza. Badala ya kulitumia jina la Al Wahhish akawa anatumia jina la Al Assad yaani “Simba”. Na simba ni simba, lazima aogopwe. Madikteta hupendelea sana kutumia maguvu na vitisho. Na kila wakati hukumbusha kwamba watayang’ang’ania madaraka. Mfano mzuri ni wa Mohammed Siyad Barre, Rais wa mwisho wa Somalia kabla ya nchi hiyo kusambaratika. Alipokuwa Rais alikuwa hachoki kukumbusha kwamba aliposhika madaraka mji wa Mogadishu ulikuwa na barabara moja tu iliyojengwa na Wataliana. “Mkijaribu kunilazimisha nijiuzulu, nitauacha mji huu kama nilivyoukuta. Nimenyakua madaraka kwa bunduki; na ni bunduki tu itayoniondosha,” akisema Barre. Alichokusudia ni kwamba alikuwa radhi kuutwanga mji mzima wa Mogadishu kwa mabomu na kuufanya urejelee hali yake ya zamani. Jingine alilokusudia ni kwamba ni bunduki tu itayomg’oa madarakani. Na hayo ndiyo yaliyotokea Januari 26, 1991. Madikteta na watawala wa mabavu, kwa jumla, mambo yao huwa yanafananafanana. Matamshi hayo ya Siyad Barre, kwa mfano, yanalingana na yaliyotamkwa na mjumbe mmoja wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kutoka Zanzibar katika Bunge Maalumu la Katiba aliyesema kwamba kwao Zanzibar serikali ya CCM katu haitobadilishwa kwa karatasi (yaani kwa upigaji wa kura). Siyad Barre pia alikuwa na mambo mawili matatu yaliyofanana na yale ya dikteta Adolf Hitler wa Ujerumani. La kwanza ni sharubu; Siyad Barre akipenda kuweka sharubu kama zile za Hitler. La pili, kama Hitler alikuwa na umahiri wa kuhutubu na uhodari wa balagha. Siyad Barre akiweza kuhutubu kwa muda wa saa nyingi, akiwapumbaza wasikilizaji wake wasibanduke walipo. Dikteta akijuwa namna ya kuitumia lugha. Nimeambiwa kwamba siku zote hotuba zake zilikuwa za kutungwa papo kwa papo. Alikuwa haziandiki kabla ya kuzitoa na wala hakuwa akizitayarisha na mapema. Lakini akijuwa namna ya kuzungumza na ndiyo maana alikuwa akiwavutia maelfu ya Wasomali wenzake. Pengine haikuwa sadfa kwamba utotoni mwake alipokuwa akichunga mbuzi na ng’ombe akiitwa kwa utani “Afweyne”, yaani “Domo kubwa”. Jina hilo lilimganda mpaka kufa kwake ijapokuwa vibaraka waliokuwa wakijipendekeza kwake walijaribu kumbandika majina mengine yenye heshima kama vile “Baba wa Hekima” au “Jalle Siyad” (Comrade Siyad). Japokuwa kiwango chake cha elimu kilikuwa cha chini Siyad Barre alikuwa mtu mwenye akili. Na mwenyewe akijiona kuwa ni mwenye akili sana kiasi cha kuwafikiria Wasomali wenzake wote kuwa ni wendawazimu. Ndiyo maana siku moja alisema: “Kinyume na wanavyofikiri watu wengi mimi si Rais wa taifa. Mimi ni mkurugenzi wa hospitali ya wendawazimu.” Kwa kuyasema hayo akimaanisha kwamba Somalia ni hospitali ya wendawazimu na Wasomali ndio wendawazimu wenyewe. Yeye, akiwa pekee mwenye akili, ndiye aliyekuwa akiwasimamia na kuwashughulikia. Hivyo ndivyo walivyo madikteta. Wanajiona watakavyo. Na mara nyingi huwaona wananchi wenzao kuwa ni wendawazimu au mende au watoto. Rais wa zamani wa Kenya, Daniel arap Moi, akipenda kusema kuwa Wakenya wote ni watoto wake, hata ajuza waliokuwa wamempita kwa umri. Yeye ndiye aliyekuwa baba yao. Siyad Barre alikuwa mtu wa vituko. Akipenda, kwa mfano, kufanya mikutano ya usiku wa manane na mawaziri wake na mabalozi wa nchi za nje. Alikuwa na andasa za kuwaita wende Villa Somalia, Ikulu ya Mogadishu, ambako akiwaweka macho usiku kucha kwa mikutano isiyokuwa na kichwa wala miguu. Hakuna aliyekuwa akimweza Barre ingawa kuna wasemao kwamba akisuguliwa roho na mkewe mkubwa, Mama Khadija Maallin. Udikteta wa Siyad Barre ulisababisha mengi yaliyo maovu huko Somalia. Athari zake ziko bayana hadi leo ambapo inaonyesha magaidi wa Al Shabaab wameazimia kuwalenga wabunge pamoja na jengo la bunge. Serikali ya Somalia inasisitiza kwamba imeidhibiti hali ya mambo Mogadishu na kwamba kwa msaada wa majeshi ya Muungano wa Afrika imewashinda nguvu magaidi wa Al Shabaab. Lakini matukio ya hivi karibuni yanaonyesha hali nyingine. Yanaonyesha kwamba mji wa Mogadishu haukutulia asilani. Mji huo umekaa kama ulioingia wazimu. Haujijui haujitambui. Na ukenda kuuzuru huenda ukakufanya nawe uingiwe na kichaa. Hujui ukalale hoteli gani; hujui ukatarazaki wapi. Hujui bomu litaripuka wakati gani; hujui washambulizi waliojitolea mhanga watashambulia wakiwa wamepanda motokaa au wamepanda punda. Ilimradi unakuwa na wasiwasi moto mmoja. Ukaidi wa Siyad Barre wa kung’ang’ania madaraka ndio chanzo cha hii hali ya sasa ya Somalia. Mtawala huyo aliifisidi Somalia akiifanya kama milki yake binafsi pamoja na jamaa zake. Wanawe walikuwa na vyeo vya juu katika serikali: Maslah, mtoto wake wa kiume, alikuwa Katibu Mkuu wa Serikali;Ayanle alikuwa Mkuu wa Utawala katika Ofisi ya Rais; Abdullahi alikuwa naibu waziri wa afya; Hassan alikuwa Msimamizi wa kikosi kimoja cha kijeshi mjini Mogadishu. Mtoto wake mwiengine wa kiume Dirrie alikuwa Mshauri wa Rais kuhusu mambo ya fedha. Siyad Barre aliwapachika pia mabinti zake katika uongozi wa serikali: Hawa alikuwa Waziri wa Utalii na Maendeleo na Anab alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kitengo cha Bajeti ya Taifa. Jamaa zake wengine waliokuwa na vyeo vikubwa ni pamoja na nduguye, Abdirahman Jama, aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje,na wakweze watatu: Ahmed Suleiman Abdulle alimpa uwaziri wa Mambo ya Ndani na uenyekiti wa kamati ya usalama; Abdirahman Hassan alikuwa Kamanda wa Jeshi la Polisi na Mohamed Said ‘Morgan’ alikuwa waziri mdogo wa ulinzi. Inasemekana kwamba mkewe Mama Khadija Maallin alikuwa Mkurugenzi wa Hangash, Idara ya Ujasusi wa Kijeshi. Hivyo ndivyo madikteta wetu wapendavyo kufanya, kuzifisidi nchi zetu. Uroho wao huwafanya viongozi wengine watamani nao wawe madikteta ijapokuwa wenyewe wanajitambua kwamba ni dhaifu kwa kila hali. Ndipo wanapoanza kutoa vitisho kutaka watu wawaogope. Na wanapoona kuwa watu hawatishiki tena huanza kupanga njama hata ikiwa zitasababisha vifo. Ngoma, tunaambiwa, hailazwi basi wacha niwape niliyonong’onezwa Jumamosi. Nasikia katika kikao kimoja cha ndani cha viongozi wa CCM/Zanzibar hivi majuzi mmoja wao (jina ninalihifadhi) alisimama na kwa hamasa akasema: “Lazima tushinde uchaguzi wa 2015 hata kama tutaua.” Ni matamshi yaliyowashtua wengi kwenye kikao hicho. Bahati nzuri ingawa aliyeyatamka ni kiongozi mzito alikemewa vikali. Kuna aliyekuwa na busara, uzalendo na ujasiri aliyemuuliza atawaua kina nani? Kimya kikatanda katika ukumbi wa mkutano. Huyo kiongozi mzito alikuwa na hisia zile zile kama za Siyad Barre za ukaidi wa kung’ang’ania madaraka kinyume cha matakwa ya wananchi. Anatamani awe dikteta kama Siyad Barre au Idi Amin. Anataka wenzake waliokuwa wakimsikiliza wamuone yuko imara na ni mtu kuogopwa. Roho za watu hazina maana kwake. Yenye maana ni roho ya chama chake na jinsi uhai wa chama hicho utavyomnufaisha yeye na wenzake. Potelea mbali nchi ife, potelea mbali watu wafe. Kiongozi huyu mzito na aukumbuke mwisho wa Siyad Barre. Haukuwa mwema kwake, kwa wenzake na wala kwa nchi yake ambayo kila uchao inaendelea kusononeka.
2018-02-26T01:35:05
http://free-zanzibar.blogspot.com/2014/07/lazima-tushinde-2015-hata-kama-tutauwa.html
[ -1 ]
Usomaji wa tarakilishi ya kila siku ya kisaikolojia 13th Aprili 2017: Zawadi Kutoka kwa Mbingu - usomaji wa akili wa mtandaoni Online masomo ya akili > Video > Usomaji wa tarakilishi ya kila siku ya kisaikolojia 13th Aprili 2017: Zawadi Kutoka kwa Mbingu Usomaji wa tarakilishi ya kila siku ya kisaikolojia 13th Aprili 2017: Zawadi Kutoka kwa Mbingu Megan Aprili 13, 2017 VideoTagged aquarius, Mapacha, kansa, capricorn, da ..., Gemini, leo, libra, wazi, Pisces, psychic, wapanda farasi kusubiri, sagittarius, scorpio, tanya upendo buddha, taurus, siri, Virgo5 Maoni kwenye usomaji wa sauti ya kila siku ya psychic 13th Aprili 2017: Zawadi Kutoka KWA HEWA ** KUFUNDA KWA MUDA WAKATI ** https://www.paypal.com/cgi-bin/webscr?&cmd=_xclick&[Email protected]¤cy_code = GBP & kiasi = 35 & item_name = usomaji wa bei ya zamani PATA 40% Oka huko Harristown Psychic SAA 30% Off at Bigfoot Psychic Tumaini la ELiZaBETH anasema: Aprili 13, 2017 katika 12: 49 pm nakupenda sana. Nashukuru sana kwa kushiriki zawadi zako. asante kwa video ???? Livia Annarilli anasema: Pigeonlvbrd anasema: Sikukuu njema!!! ????
2019-11-13T14:34:18
https://sw.psychicbonus.com/daily-psychic-tarot-reading-13th-april-2017gifts-from-the-heavens/
[ -1 ]
MR. BOBOS CLASS: MAGARI MADOGO HATARI-Utafiti! "Yana bei nafuu, yanatumia mafuta kidogo. Lakini usalama wake katika ajali ni mdogo" WASHINGTON, MAREKANI:Wanaomiliki magari madogo wanaweza kuwa wananufaika na utumiaji mdogo wa mafuta na pia unafuu wa bei za vyombo hivyo vya usafiri, lakini sekta ya bima inasema yanaongoz akwa kugongana na magari makubwa. Kwa mujibu wa matokeo ya utafiti wa ajali yaliyotolewa jana, Taasisi ya Bima ya Usalama wa barabara Kuu ilibaini kuwa madereva wa magari yaliyotolewa mwaka 2009 ya smart ''for two'', ''Honda fit'' na ''Toyota Yaris'' wanaweza kupata majeraha ya miguuni na kichwani kutokana na gari hizo kugongana na malori au magari ya saizi ya kati. ''Kuna sababu nzuri za watu kununua gari ndogo. Yana bei nafuu yanatumia mafuta kidogo. Lakini usalama wake katika ajali ni mdogo'' alisema Adrian Lund, Rais wa Taasisi hiyo. Watengenezaji wa magari madogo walisema utafiti huo ulitokana na ajali zilizosababishwa na uendeshaji wa kasi ambazo hutokea kwa nadra sana barabarani. Pia walisema utafiti huo umerejesha hoja ya zamani ya sekta ya bima dhidi ya haja ya kuwa na magari ambayo yanatumia mafuta vizuri......(habari zaidi, Mwananchi, 20 April, 2009). Posted by Tram Almasi at 8:45 AM Labels: Magari, Utafiti
2017-09-26T19:59:51
http://ajali-traumaclass.blogspot.com/2009/04/magari-madogo-hatari-utafiti.html
[ -1 ]
First Prev 3172 of 3191 6,439 2,122 280 Jan 11, 2019 #63,421 Kwahiyo wanakuja au tunapewa moyo tuuuu?? Likes: Maxmizer and DullyJr 4,086 4,042 280 Jan 11, 2019 #63,422 Yani nina Morata na Lacazzete halafu nampiga benchi Lacazzete Morata acheze. My friend pass me that kush! Likes: joseph1989, Ollachuga Oc and Daudi1 Jan 11, 2019 #63,423 Achana naye huyo Morata si ashabaki jina tu Jan 11, 2019 #63,424 NGOJA NIKWAMBIE KITU KUHUSU MTU HUYU. Anafahimika kwa jina la Sven Mislintat. Kazi yake ni kuzunguka maeneo mbalimbali duniani kutafuta wachezaji wenye vipaji halisi vya vya kucheza soka. Kazi hii inafahamika kama Skauti. Sven Mislintat kwa sasa anafanya kazi kama skauti mkuu wa Arsenal. Mwaka mmoja umepita tangu aanze kufanya kazi hii akiwa Arsenal. Mwaka 2009 alimbidi asafiri mara sita kwenda nchini Japan, akiwa kama skauti mkuu wa Borussia Dortmund. Safari za kwenda Japan zilikua ni kwa ajili ya kumfatilia kijana mmoja wa miaka 20. Shinji Kagawa. Alimuona mara ya kwanza, akamuona mara ya pili, tatu, nne, tano, sita bado hakujiridhisha na kile alichokua anakiona. Akatafuta video zaidi ya kumi za kijana huyu. Akiwa na jopo la maskauti wenzake walijiridhisha na uwezo wake. Baadae akapeleka ripoti yake kwamba Shinji Kagawa asajiliwe. Majira ya kiangazi mwaka 2010, Borussia Dortmund ikalipa Euro laki tatu na nusu kumsajili. Miaka miwili baadae aliuzwa kwenda Manchester United kwa gharama ya Euro milioni 15. Faida ya zaidi ya Euro milioni 14. Huku nyuma Kagawa aliondoka akiwa ameisaidia Borussia Dortmund kushinda mataji mawili ya Bundesliga. Naam. Hii ilikua ni kazi yake Sven Mislintat. Mbali na Kagawa, Sven Mislintat alihusika kuwaleta wachezaji wengi kwenye kikosi cha Borussia Dortmund. Robert Lewandowski, Mario Gotze, Matts Hummels, Marco Reus, Pierre-Emerick Aubameyang, Jakub Blaszczykowski, Ilkay Gundogan, Raphael Guerreiro, Ousmane Dembele, Neven Subotic, Sven Bender na Henrikh Mkhitaryan ni baadhi ya wachezaji hao. May 2016, Sven Mislintat alikamilisha dili la kumleta Osmane Dembele kutoka nchini Ufaransa kwenye klabu ya Rennes. Osmane akajiunga na Borussia Dortmund. Mwaka mmoja baadae, aliuzwa kwenda Barcelona kwa gharama ya Euro milioni 105 ambazo zingeweza kuongezeka hadi Euro milioni 145. Hii inabaki kuwa biashara nzuri zaidi aliyowahi kuifanya. Ndani ya mwaka mmoja tu, Borussia Dortmund walipata faida ya zaidi ya Euro milioni 100. Ni pesa nyingi sana ambazo zilitokana na kazi kubwa aliyoifanya Sven Mislintat kwa kumleta Osmane nchini Ujerumani. Ingawaje kwa sasa hafanyi kazi hiyo pale Borussia Dortmund, klabu inanufaika na wachezaji aliowahi kuwaleta. Wiki iliyopita Christian Pulisic alisaini mkataba na kuichezea Chelsea msimu ujao akitokea hapo. Mkataba uligharimu Euro milioni 64. Pulisic kama ilivyo kwa wachezaji wengi wa Borussia Dortmund ni kijana aliyeletwa na Sven Mislintat. Mahmoud Dahoud, Julian Weigl, Manual Akanji, Dan-Axel Zagadou, Maximilian Phillip, Jacob Bruun Larsen, Alexander Isak na Sergio Gomez ni baadhi ya wachezaji vijana ambao ni ‘potential’ nzuri kwa Borussia Dortmund hivi sasa. Kuna bwana’mdogo anaitwa Jordan Sancho pia. Ni muda tu unaosubiriwa ili aweze kuondoka Dortmund. Amekua na msimu mzuri hadi sasa. Huyu nae ni zao la Sven Mislintat alimleta kutoka Manchester City. Kama ataondoka, basi Dortmund itapata fedha nyingi pia, kama ilivyokua kwa Christian Pulisic. Huyu jamaa husafiri nchini nyingi duniani. Husafiri hadi nchi za Afrika pia. Alishawahi kusafiri hadi Afrika Kusini kumuangalia kijana Tashreeq Matthews aliyekua anacheza klabu ya vijana ya Ajax Cape Town. Hivi sasa Tashreeq ni mchezaji wa Borussia Dortmund. Nchini Ujerumani alifahamika kama ‘diamond eyes’. Macho ya almasi. Alipewa jina hili kutokana na uwezo wake mkubwa wa kuvitambua vipaji vya vijana wadogo. Klabu nyingi zilimuhitaji. Bayern Munich ilimuhitaji sana. November 2017 alijiunga na klabu ya Arsenal akiziba nafasi iliyoachwa na Steven Rowley ambaye alikua skauti mkuu wa Arsenal tangu mwaka 1996. Baada ya Steven Rowley kuondoka, Arsenal ihitataji mtu sahihi atakaye ‘fit’ vizuri kwenye nafasi aliyoiacha. Kumbuka Rowley alikua ‘master’ kwenye kazi. Arsenal ilisifika kuwa timu inayozalisha vijana wengi wenye vipaji halisi vya soka. Kazi kubwa ilifanywa na Steven Rowley. Alipoondoka akaja, Sven Mislintant ambaye ni ‘master’ pia kwenye kazi hii. Lucas Torreira na Matteo Guendouzi ni wachezaji walioletwa Arsenal na huyu jamaa. Pierre-Emerick Aubameyang, Henrik Mikhtaryan, Konstantinos Mavropanos, Sokratis Papastathopoulos na Bernd Leno ni baadhi ya sajili zilizofanyika baada ya ushauri kutoka kwake. Anatarajiwa kufanya mambo makubwa akiwa Arsenal pia kama ilivyokua kwa Steven Rowley. Alipokua anafanya mahojiano hivi karibuni alisema atafurahi kama akifanikiwa kumpata mchezaji mwenye akili ya Andres Iniesta. Huyu ndiye Sven Mislintant. Jamaa iliyebeba mafanikio ya Borussia Dortmund kwa kipindi chote alichofanya kazi. Wachezaji aliowaleta kwa kiasi kikubwa waliisaidia Borussia Dortmund kushinda ubingwa wa ligi kuu nchini Ujerumani, mara mbili mfululizo mwaka 2011 na 2012. Mwaka 2013 Borussia Dortmund iliingia fainali ya UEFA Champions League pia. Sasa anafanya kazi kama skauti mkuu wa Arsenal Likes: k.shuku kibosho, Sizinga, Maxmizer and 3 others Jan 11, 2019 #63,425 Huyo ni mgonjwa wa akili Jan 11, 2019 #63,426 Confirmed,date and time Likes: Maxmizer, AROON, kidi kudi and 1 other person Jan 11, 2019 #63,427 View attachment 991769 Tunamsubiri kwa hamu na aje. Likes: McDonaldJr and Uteere Uteere Jan 11, 2019 #63,428 waleteee Jan 11, 2019 #63,429 HII NDIO NAFAS NINAYOAMIN AKIPEWA AICHEZE ,BAS DUNIA ITATAMBUA KIPAJI CHA HUYU DOGO 󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Maitland-Niles reveals his desire to the winger for Arsenal: “I’d like to be a winger. I feel more comfortable there... ...I like to think of myself as a winger at 25 years old, starting every week for Arsenal, scoring and assisting goals.” [Sky Sports] #AFC Likes: UMBWE1 and Maxmizer Jan 11, 2019 #63,430 Confirmed: Arsenal will wear their mint third kit against West Ham in tomorrow’s early kick-off. [PL] Jan 11, 2019 #63,431 Mkuu usije kubadili gia angani tu nasema, tarehe tajwa bado wiki mbili tu Jan 11, 2019 #63,432 Itakuwa bahat mbaya, ila kiufund sion wakitoka Japo lolote laweza kutokea Jan 11, 2019 #63,433 Hapo umenena kijana, Manchester United sio ya Kocha Mourinho tena ni kocha mpya ambae amekuja kwa hatua nzito nzito. Kushinda hiyo mechi inabidi mcheze kama ile Arsenal iliyompiga Van Gaal 3-0 katika siku ile sio Arsenal tunayoijua Jan 11, 2019 #63,434 View attachment 991708 Msiwaige Monaco bana, Mkiwa kama Monaco Arsenal itakuwa ile ile tuliyoifahamu AHHAHHAHAHHAHAHA Jan 11, 2019 #63,435 Hatuwez kuwa hivo, sis sio level hizo, na hatuna tamaduni hizo, kwa sasa Na chin ya huyu jamaa tunatarajia makubwa maana huwa hakosei kwenye wachezaji, Jan 11, 2019 #63,436 Kama umewafatilia man u kipimo halis kinaanzia kwa tot Ukiangalia man u wanajipandia tu mbele , kwa tot ndio kipimo halis Jan 12, 2019 #63,437 DullyJr na wenzako! Nawatakia mafanikio mema ktk mechi ya leo dhidi ya WHU Sio mechi rahisi lkn kwa umoja wenu mtashinda! Likes: AROON, McDonaldJr, Maxmizer and 2 others Jan 12, 2019 #63,438 Hawa wanatakiwa kupigwa kwa namna yeyote ile Manyumbu wazidi kukaa mbali na sisi maana sidhani kama watatoka salama kwa Tottenham kesho 940 1,231 180 Jan 12, 2019 #63,439 I hope spurs na utd wote wapoteze watapokutana kesho Jan 12, 2019 #63,440 Itakuwa ni nzuri kama wote wakitoka sare ili kila mmoja apoteze pointi 2
2019-01-22T08:27:53
https://www.jamiiforums.com/threads/arsenal-the-gunners-special-thread.871/page-3172
[ -1 ]
Nmb yaanzisha kilimo account - JamiiForums Nmb yaanzisha kilimo account Bank ya NMB imeanzisha kilimo account ambayo imezinduliwa mwenzi wa kumi na moja katika mkoa wa mtwara. CEO wa nmb amesema account hiyo ya kilimo itakuwa na interest ya 6% na itakuwa haina mantanance fees. Nia ya hiyo ya account ni kumsaidia mkulima kusave fedha na baadae kutumia hiyo fedha kununua pembejeo za kilimo 524 11 35 Afadhali sasa serikali ina pay forward kwa kuwakumbuka wakulima. Pamoja na sera ya kilimo kwanza kama wakulima (kiukwelii) watafaidika na mikopo hii basi tutegemee miaka ya hivi karibuni GDP ya taifa la Tanzania itapanda kutoka na mauzo ya bidhaa za kilimo nchi za nje. ni mwanzo mzuri ,nitafutailia 694 169 60 sijakuelewa vizuri mkuu iyo akaunt ipo branc zote za nmb au mtwara pekee. Ni huduma nzuri, nadhani kama itafanyika ktk branch zote Tanzania nzima basi wakulima watafaidika sana wameanza na mtwara kama pilot branch, alafu baada ya hapo itaenea nchi zima, kwenye matawi yote Hii ni habari njema sana...
2018-12-10T13:02:57
https://www.jamiiforums.com/threads/nmb-yaanzisha-kilimo-account.95193/
[ -1 ]
545 Seattle, WA Cabinetry and Cabinet Makers Click to call7.9 miles from 98109, WA Click to call48.9 miles from 98109, WA Click to call35.9 miles from 98109, WA Interior finish millwork and fine cabinetry Click to call29.6 miles from 98109, WA At Gentry Custom, we understand how important your home is to you. Construction on it should be done with the utmo... Click to call21.2 miles from 98109, WA Click to call34.2 miles from 98109, WA Click to call19.9 miles from 98109, WA 98109 · Seattle, WA · Kitsap County, WA · Bellevue, WA · Renton, WA · Shoreline, WA · Redmond, WA · Kirkland, WA · Edmonds, WA · West Lake Sammamish, WA · Sammamish, WA · Lynnwood, WA · Burien, WA · Bothell, WA · SeaTac, WA · North Creek, WA · Bainbridge Island, WA · Inglewood-Finn Hill, WA · Cottage Lake, WA · Mercer Island, WA · more...
2020-01-20T17:00:54
https://www.houzz.com/professionals/seattle-wa-cabinetry-and-cabinet-makers-pflctus-bo~t_11829~r_100285335?fi=105
[ -1 ]
MESSI APIGA HAT TRICK, PENALTI MBILI BARCA IKIILAZA REAL 4-3 BENRABEU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MESSI APIGA HAT TRICK, PENALTI MBILI BARCA IKIILAZA REAL 4-3 BENRABEU - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE Mwanzo > Untagged MESSI APIGA HAT TRICK, PENALTI MBILI BARCA IKIILAZA REAL 4-3 BENRABEU MESSI APIGA HAT TRICK, PENALTI MBILI BARCA IKIILAZA REAL 4-3 BENRABEU MSHAMBULIAJI Lionel Messi amepiga hat-trick usiku huu Barcelona ikishinda 4-3 dhidi ya Real Madrid katika mchezo wa La Liga uliofanyika Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Andres Iniesta alianza kuifungia Barcelona dakika ya saba, Karim Benzema akaisawazishia Real dakika ya 20 na kufunga la pili dakika ya 24. Barcelona ikazinduka na kupata bao la kusawazisha dakika ya 42 kupitia kwa Messi, lakini Mwanasoka Bora wa Dunia, Cristiano Ronaldo akaifungia Real bao la tatu dakika ya 55 kwa penalti. Gwiji wa klabu: Lionel Messi akiibusu nembo ya jezi ya Barcelona baada ya kufunga bao la ushindi katika El Clasico Messi akiwanyooshea kidole mashabiki wa Barcelona baada ya kufunga, huku Gerard Pique (katikati) na Alexis Sanchez wakimfuata Sergio Ramos akishangilia bao la tatu la Madrid na Ronaldo (kushoto) wakati nyota huyo wa Madrid anaonekana akiruka kulia Messi akafunga mara mbili mfululizo kwa penalti dakika za 65 na 84 kukamilisha hat trick yake Barcelona ikifufua matumaini ya kutetea ubingwa wake msimu huu. Real Ilimpoteza beki wake Sergio Ramos aliyetolewa nje kwa kadi nyekundu dakika ya 63 kwa kumuangusha Neymar kwenye eneo la hatari, wakati Pepe, Di Maria, Alonso, Modric na Ronaldo wote walionyeshwa kadi za njano na kwa upande wa Barcelona, Fabregas na Busquets pia walionywa kwa kadi za njano. Kwa matokeo hayo Real inabaki na pointi zake 70, ingawa inaendelea kuongoza La Liga kwa wastani wa mabao, ikiwa inalingana pointi na Atletico Madrid, ambayo mapema iliifunga Real Betis 2-0, mabao ya Gabi dakika ya 58 na Diego Costa 64, wakati Barcelona inabaki nafasi ya tatu licha ya kufikisha pointi 69. Barca na Real zimecheza mechi 28 kila moja, wakati Atletico imecheza mechi moja zaidi. Kikosi cha Real Madrid kilikuwa: Diego Lopez, Pepe, Ramos, Cristiano Ronaldo, Benzema/Varane dk64, Bale, Marcelo, Xabi Alonso, Carvajal, Modric/Morata dk90 na Di Maria/Isco dk85. Barcelona: Valdes, Alves, Piqué, Mascherano, Jordi Alba, Sergio, Xavi, Iniesta, Fabregas/Sanchez, dk78, Messi na Neymar/Pedro dk69. Lionel Messi akifunga katikati ya msitu wa wachezaji wa Real Javier Mascherano na kipa Victor Valdes wakiwa chini, huku Benzema akitimka kushangilia baada ya kufunga Karim Benzema amefunga mabao mawili Benzema akigombea mpira wa juu na Mascherano Neymar akiwatazama Pepe na Fabregas wakifanyiana ubabe Fabregas na Pepe wote waliishia kuanguka na wote wakaonyeshwa kadi za njano Bale akipambana na Iniesta Cristiano Ronaldo akilalamika baada ya kuchezewa rafu Mashabiki wawili wa Real Madrid wakiwa na bango la kumtukuza Cristiano Ronaldo "Ameumbwa peponi". [email protected] Mahmoud Bin Zubeiry at 07:14 Monday, March 24, 2014 Item Reviewed: MESSI APIGA HAT TRICK, PENALTI MBILI BARCA IKIILAZA REAL 4-3 BENRABEU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
2020-05-29T15:58:28
http://www.binzubeiry.co.tz/2014/03/messi-apiga-hat-trick-penalti-mbili.html
[ -1 ]
Indian Reap cambodia - eneo, hoteli, hali ya hewa, uwanja wa ndege, vitu vya kufanya Tai Reap ni mji mkuu wa Mkoa wa Tai Reap kaskazini magharibi mwa Kambogia. Ni mji maarufu wa mapumziko na lango la mkoa wa Angkor. Tai Reap leo kuwa eneo maarufu la watalii lina hoteli nyingi, hoteli, mikahawa, na biashara zinazohusiana sana na utalii. Hii inadaiwa sana kwa ukaribu wake na mahekalu ya Angkor, kivutio maarufu zaidi cha watalii nchini Cambodia. Kodi ya Reap iko wapi? Tai Reap, rasmi Minareap ni mkoa wa Kambodia, ulioko kaskazini magharibi mwa Kambogia. Imepakana na majimbo ya Oddar Meanchey kaskazini, Preah Vihear na Kampong Thom mashariki, Battambang upande wa kusini, na Banteay Meanchey magharibi. Mji wake mkubwa na mkubwa ni Sod Reap. Ni kitovu kikuu cha watalii huko Kambodia, kwani ni mji wa karibu na templeti maarufu za Angkor Kwa nini utembelee Mina Reap? Kwa kijani kibichi, mtindo wa maisha na utamaduni. Lakini sababu kuu ya kuja kwa Mina Reap ni kutembelea mahekalu mazuri ya Angkor Wat, mnara mkubwa zaidi wa kidini ulimwenguni, kwenye tovuti inayopima hekta za 162.6. Hapo awali ilijengwa kama Hekalu la Hindu lililopewa mungu wa Vishnu kwa Dola ya Khmer, ilibadilishwa pole pole kuwa hekalu la Wabudhi hadi mwisho wa karne ya 12th. Je, Kuvuna ni salama? Kuvuna tena labda ni salama salama zaidi huko Kambodia. Imekuwa sehemu ya utalii na inahudumia ipasavyo. Wakati uhalifu mdogo sio bahati mbaya, ikiwa mtu atakuwa na akili juu yao moja atakuwa salama. Je! Unakaa muda gani kukaa katika Mina Reap? Uvunjaji wa mguu hauwezi kufunikwa katika siku moja. Utahitaji angalau siku tatu au nne kufunika anga kubwa ya mahekalu ya Angkor na vivutio vingine katika eneo hilo. Wakati wa kutembelea Mina Reap? Mawakala wa kusafiri wenye bidii watakuambia kuwa hakuna wakati mbaya wa kutembelea Mina Reap. Ambayo ni ya kweli, kwa muda mrefu ikiwa unaweza kubadilika na jinsi unavyotumia wakati wako mara tu utakapofika hapa. Msimu kavu huanzia Desemba hadi Aprili, wakati monsoon kutoka Mei hadi Novemba huleta hali ya hewa ya unyevu na unyevu mwingi. Wakati mzuri wa kutembelea Mina Reap ni katika Desemba na Januari, wakati siku hizo zina hakika kuwa jua na kavu. Jua tu kuwa huu ni msimu wa utalii wa hali ya juu, kwa hivyo utajikuta inajaa zaidi kila mahali na bei itakuwa kubwa. Je, ni umbali gani kutoka pwani ya Mina Reap? Usafishaji wa Mina hauna pwani. Fukwe za Kambogia mara nyingi hupuuzwa ili kupendeza Thailand. Lakini polepole, hakika, visiwa vya idyllic vya nchi na mchanga mweupe wa Sihanoukville wanajulikana na wapenzi wa pwani ulimwenguni. Umbali kutoka kwa Mina Reap kwenda Sihanoukville ni karibu 532km (maili ya 350) na barabara. Ni kwa sababu ya uhamishaji huu wa umbali mrefu (masaa ya 10-15 kwa barabara) kwamba wasafiri wengi huchagua kutosafiri kwenda Sihanoukville kabisa. Chaguo haraka sana ni kuchukua ndege, ambayo inachukua saa 1. pwani ya cambodia Tai Reap vs Phnom Penh Kati ya sehemu mbili maarufu nchini Kambodia, Mina Reap inaonekana kama mahali pazuri pa kustaafu. Wakati Phnom Penh inawakilisha mabadiliko, Mina Reap inachukua kiini cha uhifadhi. Kuvuna tena inaweza kuonekana kama kijiji cha maji nyuma kwa kulinganisha na Phnom Penh katika suala la fursa za kibiashara. Mina huvuna kwa phnom penh: 143 maili (231 km) Unaposafiri kutoka Phnom Penh hadi Sod kuvuna una chaguzi tofauti za 4: Unaweza kuchukua basi - masaa ya 6 Tumia kidogo zaidi na uchukue teksi - masaa ya 6 Kitabu ndege - 50 dakika Chukua feri inayovuka Tonle Sap Lake- 4 hadi masaa 6 Mina Kuvuna kwa Thailand Umbali wa kusafiri kwa Bangkok ni karibu km 400. Kati ya miji hii inafanya kampuni kadhaa za kuaminika za basi, na unaweza kuchukua: Basi moja kwa moja kutoka kwa Mina Reap kwenda Bangkok. (6 hadi masaa 8) Agiza ndege - saa ya 1 Mina Kuvuna kwa Vietnam Umbali wa kusafiri kutoka Saigon hadi Sod Reap ni karibu km 600 na ardhi. Kutoka Ho Chi Minh unaweza kusafiri: Kwa basi (12 - masaa 20, inategemea kusimamishwa kwa Phnom Penh) Unaweza kitabu ndege moja kwa moja (saa 1) Hoteli ya Reap Kuna mamia ya hoteli katika Siem Reap. Kijadi au kisasa, kwa bajeti ndogo au isiyo na ukomo, kutoka nyumba ya wageni hadi hoteli ya nyota ya 5, kila mtu atapata furaha. Uwanja wa ndege wa Tai Reap Nambari ya uwanja wa ndege kuvuna: REP kutoka uwanja wa ndege hadi Angkor Wat: Dakika za 17 (5.8 km) kupitia Uwanja wa Ndege kutoka uwanja wa ndege hadi katikati mwa jiji: 20 - Dakika ya 25 (10 km) Unaposafiri umbali wa 9km kutoka Uwanja wa Ndege wa Tai Reap kwenda katikati mwa jiji, unayo chaguzi za 3: Teksi ya baiskeli si kuvuna uwanja wa ndege
2019-11-20T20:50:25
https://sw.gem.agency/Siem-kuvuna/
[ -1 ]
JUKWAA LA KIUCHUMI LA KIFALME NCHINI KUANZA KESHO JIJINI DAR ES SALAAM | MTAA KWA MTAA BLOG JUKWAA LA KIUCHUMI LA KIFALME NCHINI KUANZA KESHO JIJINI DAR ES SALAAM Mchungaji maarufu, mfanya biashara na mwanzilishi wa Huduma ya Bill Winston (wa pili kulia), kutoka Marekani akiwasili katika Hotel ya Hyatt KIlimanjaro Dar es Salaam leo ambapo atatoa mada katika Mkutano Mkubwa wa Kiuchumi wa siku tatu pamoja na Maombi ya Kitaifa 2017 unaotarajiwa kuanza jijini humo kesho. Mkutano huo unaandaliwa na taasisi ya Kingdom Leadeship Network Tanzania (KLNT). Pamoja naye kutoka kushoto ni, Mkurugenzi Mtendaji wa KLNT, Isaac Mpatwa, Mratibu wa Kamati ya Maandalizi, Carol Mbaga na Katibu Mkuu wa KLNT, Dk. Charles Sokile Mwenuyekiti wa bodi ya wadhamini wa Kingdom Leadeship Network Tanzania (KLNT) Bishop Bernard Nwaka (katikati) akijadiliana jambo na ni mwanasheria wa KLNT Fred Ringo (kulia) na Katibu Mkuu wa KLNT, Dk. Charles Sokile.
2017-08-17T09:48:40
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2017/03/jukwaa-la-kiuchumi-la-kifalme-nchini.html
[ -1 ]
Panasonic Moving Blade N210060117aa China Manufacturers & Suppliers & Factory Panasonic Moving Blade N210060117aa - mtengenezaji, kiwanda, muuzaji kutoka China (Jumla ya 24 Bidhaa kwa Panasonic Moving Blade N210060117aa) N210060117AA Panasonic AI MoodING Blade Mfano wa Mfano.: N210060117AA N210060117AA N210119015AA Panasonic AI KUUZA KIWANGO Nambari ya Sehemu: N210060117AA N210119015AA Jina la kitu: KUFUATA BIASHARA Hali: Bidhaa mpya kutoka Uchina Brand: Mashine ya Panasonic Shenzhen Keith Electronic Equipment Co, Ltd "iko katika Wilaya ya Baoan, Shenzhen. Ni muuzaji wa vifaa vya AI na SMT, vipuri,... Mfano wa Mfano.: N610008758AA N610063804AA Nambari ya Sehemu : N610008758AA N610063804AA Jina la kitu : IO LOAD BOARD Hali : Orignal MPYA Mahali pa Asili : Janpan Shenzhen Keith Electronic Equipment Co, Ltd "iko katika Wilaya ya Baoan, Shenzhen. Ni muuzaji wa vifaa vya AI na SMT, vipuri, vinywaji na vifaa vya matumizi vya kusaidia nchini China. Kwa miaka... Mfano wa Mfano.: N510019399AA N643MBF0-609 N510009595AA N510019399AA Panasonic AI BALL SCREW Nambari ya Sehemu: N510019399AA N643MBF0-609 N510009595AA Jina la kitu: BALL SCREW Hali: Mpya Mpya Bidhaa: Mashine ya Panamel AV131 Shenzhen Keith Electronic Equipment Co, Ltd "iko katika Wilaya ya Baoan, Shenzhen. Ni muuzaji wa vifaa vya AI na SMT, vipuri, vinywaji na vifaa... Mfano wa Mfano.: N510065514AA N510065514AA Panasonic AI VALVE Nambari ya Sehemu: N510065514AA Jina la kitu: VALVE Hali: Mpya Mpya Brand: Mashine ya Panasonic Shenzhen Keith Electronic Mfano wa Mfano.: 104132102103 N610115312AA 104132102103 N610115312AA Panasonic AI LEVER Nambari ya Sehemu: 104132102103 N610121531AA 104132102101 104132102102 108712101801 N210057771AA N610115312AA Jina la kitu: LEO Hali: Mpya Mpya Bidhaa: Mashine ya Panamel AV131, AVK3, AVK, N210154808AB COMB kwa Panasonic CM / NPM mashine Mfano wa Mfano.: N210154808AB N210154808AA N210154808AB COMB kwa Panasonic CM / NPM mashine Nambari ya Sehemu: N210154808AB Jina la kitu: COMB Hali: Bidhaa mpya kutoka Uchina Bidhaa: Mashine ya Panasonic CM402, CM602, NPM Shenzhen Keith Electronic Equipment Co, Ltd "iko katika Wilaya ya Baoan, Shenzhen. Ni muuzaji wa vifaa vya AI na SMT, vipuri, vinywaji... N210081355AB HALI ya Panasonic CM / NPM mashine Mfano wa Mfano.: N210081355AB N210081355AB HALI ya Panasonic CM / NPM mashine Nambari ya Sehemu: N210081355AB Jina la kitu: PLATE Hali: Bidhaa mpya kutoka Uchina Bidhaa: Mashine ya Panasonic CM402, CM602, NPM Shenzhen Keith Electronic Equipment Co, Ltd "iko katika Wilaya ya Baoan, Shenzhen. Ni muuzaji Panasonic Moving Blade N210060117aa Panasonic MOVING BlADE N210060117AA Panasonic MOVING BlADE N210060116AA Panasonic COMB N210116209AA Panasonic AI N210081573AA Panasonic NPM N510004561AA Panasonic NPM Sehemu N610001303AA Panasonic BOARD N610022081AA
2020-08-06T18:57:37
https://www.aismtks.com/sw/dp-panasonic-moving-blade-n210060117aa.html
[ -1 ]
Utafiti : KUZAA OVYO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO | MALUNDE 1 BLOG Home » habari , mapenzi » Utafiti : KUZAA OVYO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO Utafiti : KUZAA OVYO CHANZO CHA UGONJWA WA MOYO Malunde Thursday, January 10, 2019 Na Hassan Daudi na Mitandao Imechapishwa na Malunde at Thursday, January 10, 2019
2019-08-19T18:11:47
https://www.malunde.com/2019/01/kuzaa.html
[ -1 ]
Mke darasa la 7 | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Mke darasa la 7 Discussion in 'Mahusiano, mapenzi, urafiki' started by kashengo, Jan 29, 2012. Habari zenu wapendwa MMU...naomba kujuzwa uzoefu (xperiensi) na mikakati kama mtu ana elimu ya juu kiasi amempenda na ameoa mwanamke elimu yake ndogo kama hiyo anaweza kumwendeleza vip ili apate VISION relative na yule mumeme japo kidogo! Ampeleke elimu ya jioni,polytechnics au Biashara? Ushauri its serious!!! Swali, anapenda kusoma? Maana unaweza mpleka mtu shule kumbe huko hayuko. Akisoma atasumbua Swali, anapenda kusoma? Maana unaweza mpleka mtu shule kumbe huko hayuko.Click to expand... shule zina aina madam X? Si kuna hata za kujifunza kushona na kudarizi? Akisoma atasumbuaClick to expand... mmm! Hii yako iko stereotypic Kaka, sio mwanaume tu anaweza kusomesha mkewe, nimeshuhudia mwanamke kasomesha mumewe na wako level moja sasa na maisha yanaendelea. Muhimu zungumza nae, ujue interest zake ili umpeleke shule ya kumsaidia kuzipata. Siku hizi elimu ni backup tu, la msingi ni kuepuka utegemezi. Kwa hiyo kama ana interest ya kushona ama kupika usimuendeleze awe engineer! Kila la kheri. Kaka, sio mwanaume tu anaweza kusomesha mkewe, nimeshuhudia mwanamke kasomesha mumewe na wako level moja sasa na maisha yanaendelea. Muhimu zungumza nae, ujue interest zake ili umpeleke shule ya kumsaidia kuzipata. Siku hizi elimu ni backup tu, la msingi ni kuepuka utegemezi. Kwa hiyo kama ana interest ya kushona ama kupika usimuendeleze awe engineer! Kila la kheri.Click to expand... thanx king'ast duh ila ukimsomesha kaa ukijua vijana siku hz watundu so watakupigia... tena sio stereotype as u said huyo shemeji akifika darasani atagundua ww huna lolote, najua ss hv mpaka unafikiria kumsomesha ni mavitu unayopewa ila akipandisha kidato atagundua unamfuja... mwache home asikilize taarabu.... vp ongeza elimu yako au love inakuchanganya Ushauri its serious!!!Click to expand... Impossible, minimum qualifications for everything nowdays aje na FORM 4 certificate, meaning even Fm 4 Div 0 hafai kuolewa, coz they are vacuum minded, empty headed, dark brain, hamtaelewana kamwe, 7bu most of time ataona unamdharau kisa unamshauri vitu vingi or kumwelekeza mara nyingi so ataona unamwona wa chini, na mwanamke ukisha mtia anataka awe LEVEL MOJA NA WW, so ni ngumu mno, impossible, no humanity hapa, funguka uone ukweli, sasa hivi NDOA UWE NA CHETI MINIMUM FM4 . iwe umefaulu tena, i am out.... Mwanamke kama kaolewa na mtu msome hata yeye atataka kuwa msoma, wewe hujui wanawake wanapenda mashindano. Yani mimi wife wangu siku zote anapenda kuona mimi na elimu ndogo kuliko yake ....Big up to my wife :biggrin: Impossible, minimum qualifications for everything nowdays aje na FORM 4 certificate, meaning even Fm 4 Div 0 hafai kuolewa, coz they are vacuum minded, empty headed, dark brain, hamtaelewana kamwe, 7bu most of time ataona unamdharau kisa unamshauri vitu vingi or kumwelekeza mara nyingi so ataona unamwona wa chini, na mwanamke ukisha mtia anataka awe LEVEL MOJA NA WW, so ni ngumu mno, impossible, no humanity hapa, funguka uone ukweli, sasa hivi NDOA UWE NA CHETI MINIMUM FM4 . iwe umefaulu tena, i am out....Click to expand... form four kigezo cha mwanamke wa kuoa? Nadhani iyo ha-apply kwa wote...usitulazimishe mwache home asikilize taarabu.... vp ongeza elimu yako au love inakuchanganyaClick to expand... kuna kitu kingine hapa..kama mwanamke alishindwa kuendelea sababu za kifedha? Au kifamilia? Vp hapo? alafu presidaa huo ni ubagudhi... Yani mimi wife wangu siku zote anapenda kuona mimi na elimu ndogo kuliko yake ....Big up to my wife :biggrin:Click to expand... then tufanye ma-bizinesi tu asisome? Hilo rahisi endapo yenye mwenyewe yuko tayari kujiendeleza kimasomo japo apate ufahamu wa mambu muhimu zaidi ya kujiendeleza kama kazi au biashara. Pia itategemea kama anauellewwa wa haraka. Kamwe siwezi kumsomesha mwanamke ambaye ni mpenzi wangu, ni sawa na kumuotesha mbawa ili akukimbie na amekukubali kutokana na uduni wake, pia kwa badae ataona unamfatilia kwa kuwa umemsomesha, zaidi ataona umetumia umaskini wake wa kutokuwa na pesa za kujilipia kumpata, wanaliwa sana hawa watu huko mashuleni/vyuoni, Pia itategemea kama anauellewwa wa haraka.Click to expand... Kusoma sometimes ni access japokuwa siyo kama zamani, hebu jiridhishe kuhusu uelewa wake ili uweze kufanya conclusion kama ukitaka kumuendeleza au mkija kuzaa mambo yakakuwa siyo mabaya. wanaliwa sana hawa watu huko mashuleni/vyuoni,Click to expand... hata nikimwendeleza haifiki level hizo mkuu...tunampiga brash tu ya mambo madogo madogo Kusoma sometimes ni access japokuwa siyo kama zamani, hebu jiridhishe kuhusu uelewa wake ili uweze kufanya conclusion kama ukitaka kumuendeleza au mkija kuzaa mambo yakakuwa siyo mabaya.Click to expand... then tufanye ma-bizinesi tu asisome?Click to expand... Sasa vipi ukimbilie bussiness bila yeye kusoma, inabidi wewe umsomeshe kwanza...afu mbona wengi tu wake zao wameishia la saba na wameisha chukua mpaa ma master degree sababu walijiendeleza, hata yeye anaweza kufika huko.
2016-12-11T00:52:59
http://www.jamiiforums.com/threads/mke-darasa-la-7.217413/
[ -1 ]
WAFANYAKAZI WA MV LIEMBA WATAKIWA KUWAJIBIKA - HABARI ZA JAMII Home / Unlabelled / WAFANYAKAZI WA MV LIEMBA WATAKIWA KUWAJIBIKA Dotto Mwaibale 7:33 PM Muonekano wa meli kongwe ya MV. Liemba ikiwa imetia nanga katika bandari ya Kigoma, meli hiyo imetakiwa kuongeza safari zake kutoka awamu tatu hadi kumi kwa mwezi. Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Prof. Makame Mbarawa, amewataka manahodha na mabaharia wa meli ya MV. Liemba kufanyakazi kwa ubunifu na uadilifu ili kuiwezesha meli hiyo kujiendesha kibiashara.Akizungumza na wafanyakazi wa meli hiyo Prof. Mbarawa, ameelezea kuridhishwa na mabadiliko yanayoendelea katika meli hiyo na kuwataka wasibweteke bali waongeze ubunifu.
2017-10-20T19:38:16
http://www.habarizajamii.com/2017/07/wafanyakazi-wa-mv-liemba-watakiwa.html
[ -1 ]
Mfuko wa jimbo kuboresha sekta ya Elimu, Afya na Maji wilayani Tanganyika Mbunge wa jimbo la Mpanda vijijini wilayani Tanganyika Mhe. Moshi Kakoso ameahidi kuendelea kusaidia wananchi wa jimboni kwake kwa kujikita katika vipa umbele vitatu kwanza. Kakoso ameyasema hayo katika kikao cha Baraza la madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda lililofanyika Oktoba 12, 2017 katika ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda. “Kila kijiji cha wilaya ya Tanganyika nimehamasisha na kuchangia fedha za kuanzisha mfuko wa maji. Na lengo la kuwa na mfuko wa maji wenye hela katika vijiji vyetu ni kuwa tayari kwa kupokea miradi ya maji kipindi itakapotokea”. Alisema Mhe.Kakoso Naye mwenyekiti wa kamati ya Elimu, Afya na Maji mhe.Frank Kibigas “amesema, Katika shule zote 52 zilizotembelewa hali ya utoaji wa chakula cha mchana kwa wanafunzi hairidhishi,Uhamasishaji umefanywa mwitikio unaridhisha isipokuwa kwa baadhi ya maeneo hali bado hairidhishi kama wazazi na walezi walivyoahidi wakati wa kupanga suala hili. Hata hivyo bado hali ya utoro katika shule za msingi katika Halmashauri ya wilaya ya Mpanda ni mkubwa, Serikali za Vijiji ndio wanaotakiwa kuwachukilia hatua wazazi wa watoto watoro lakini hawafanyi hivyo wanapopelekewa majina na walimu Wakuu. Hali hii imejenga usugu kwa suala hili. Aidha swala hili kwa sasa ni changamoto kubwa na linahitaji utatuzi wa kina. Idara imependekeza kuwa iwe agenda ya kudumu kwenye vikao vya maendeleo vya vijiji na kata ambapo wenyeviti wa maeneo husika watawakilisha taarifa za utekelezaji Kwa kuwa lengo kuu la madiwani ni kuhamasisha maendeleo ya wananchi, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Mpanda Bw. Romuli Rojas John aliwapongeza waheshimiwa madiwani kwa kuwa na moyo wa uzalendo wa kuhamasisha wananchi kujitolea katika kuchangia na kutekeleza shughuli za kimaendeleo. Hadi sasa viongozi kwa kushirikiana na wananchi wamejenga vyumba vya madarasa na ofisi za walimu vipatavyo 97 Wananchi wa Tanganyika wamlaki Makalla Mpanda DC yawezesha hati 1,022 Mnyagala, Nkungwi Wafugaji nyuki Tanganyika wafundwa
2018-10-19T00:33:57
http://www.mpandadc.go.tz/new/baraza-la-madiwani-tanganyika
[ -1 ]
WAPUUZENI WANAOPINGA MPANGO WA VIFURUSHI – RC GAMBO | Full Shangwe Blog Home Mchanganyiko WAPUUZENI WANAOPINGA MPANGO WA VIFURUSHI – RC GAMBO Previous articleRAIS DKT. MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI NA KUWAAPISHA MABALOZI WATEULE 4 IKULU JIJINI DAR ES SALAAM. JANUARI 14, 2020 Next articleTAARIFA KUTOKA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
2020-07-11T14:35:15
https://fullshangweblog.co.tz/2020/01/14/wapuuzeni-wanaopinga-mpango-wa-vifurushi-rc-gambo/
[ -1 ]
CANON 1300D Dar Es Salaam | ZoomTanzania Utambulisho wa Tangazo: 1418933 Mwanachama tangu 8. Jul '15 59 Total Ads / 29 Active Ads
2019-06-16T01:10:18
https://www.zoomtanzania.com/sw/kamera-za-dslr/canon-1300d-1418933
[ -1 ]
Nyumbani STARS AFRICAN Hadithi za Bukayo Saka za Watoto na Untold Biography Ukweli Hadithi za Bukayo Saka za Watoto na Untold Biography Ukweli. Mikopo kwa Arsenal FC LB inatoa hadithi kamili ya Genius ya Soka inayojulikana kwa jina la utani "Sakinho". Ukweli wetu wa Bukayo Saka utoto wa hadithi ya ujana na Untold Biography ukweli unakuletea akaunti kamili ya matukio muhimu kutoka wakati wa utoto wake hadi leo. Maisha na kuongezeka kwa Bukayo Saka. Sifa kwa Jua na Nettheroy Ndio, kila mtu anamwona kama mtoto anayetazama-uso mwenye uso mzuri na matarajio makubwa ya mpira wa miguu. Walakini, ni wachache tu wanaofikiria wasifu wa Bukayo Saka ambayo ni ya kuvutia sana. Sasa bila ado zaidi, wacha tuanze. Ukweli wa Hadithi ya Uwana wa Bukayo Saka Untold Biography - Maisha ya awali na Familia Bukayo Saka alizaliwa mnamo Siku ya 5th ya Septemba 2001 kwa wazazi wa Nigeria katika jiji la London, Uingereza. Wazazi wake ni wahamiaji wa Nigeria ambaye kabla ya kuzaliwa aligundua Nigeria kuishi London ili kutafuta maisha bora na fursa zaidi kwa watoto wao ambao hawajazaliwa. Baada ya kuzaliwa kwake, wazazi wake waliitwa "Bukayo"Ambayo ni jina lisilo na maana linalomaanisha"Anaongeza furaha ”. Bukayo ni jina linalotumiwa mara kwa mara na kabila la Yoruba kusini magharibi mwa Nigeria. Hii kwa maana inamaanisha kuwa Busayo Saka ana asili ya familia yake kutoka kabila la Yoruba la Nigeria. Saka alikulia katika mji mkuu wa Uingereza London katika hali ya chini ya familia ya darasa la chini. Baba yake na mama yake walikuwa kama wahamiaji wengi wa Nigeria ambao hawakuwa na elimu bora ya kifedha lakini walifanya kazi za chini na mara nyingi waligombana na pesa kutunza mahitaji ya familia huko Uingereza na nyuma nchini Nigeria. Ukweli wa Hadithi ya Uwana wa Bukayo Saka Untold Biography - Kuendeleza elimu na kazi Kama tu Wanigeria wengi London, familia za Bukayo Saka zilitamani sana mpira wa miguu. Ilikuwa mapenzi yao kwa mpira wa miguu na hamu isiyo na mwisho ya kuongeza kiwango cha maisha yao ambayo ilisababisha kufikiria Bukayo kuwa na elimu ya mpira wa miguu London. Hwazazi wanaopenda mpira wa miguu waliounga mkono Arsenal, ni kawaida kwa Bukayo vijana kuzingatia akili yake kuifanya katika taaluma ya kilabu. Ilikuwa baba ya Bukayo Saka ambaye alichukua jukumu la pekee la kuhakikisha mtoto wake anakaa msingi na unyenyekevu katika harakati zake za kupata jaribio la mafanikio ya kitaaluma. Kwa maneno ya Bukayo; 'Baba yangu alikuwa msukumo mkubwa kwangu. Kuanzia nilipokuwa mchanga, kila wakati alinilinda ' Maombi ya taaluma ya mpira wa miguu ya Arsenal yalipatikana tu kwa wanafunzi wenye talanta kweli. Kwa sababu wazazi wake walijua Bukayo ana nini inachukua, hawasita kuomba. Heri skuli ya Arsenal ilipiga simu na alithibitisha dhamana yake, akipitisha majaribu yao. Kwa wakati huu, kiburi cha wazazi wake na watu wa familia hakujua mipaka. Ukweli wa Hadithi ya Uwana wa Bukayo Saka Untold Biography - Maisha ya Kazi ya Mapema Saka alianza kazi yake na Arsenal's Hale End academy haikuwa rahisi kwani ilikuwa kujazwa na sadaka nyingi kutoka kwake na wazazi wake. Kwa maneno yake; "Ilikuwa shida sana kwa wazazi wangu kunisaidia kufika hapa lakini walitoa kila wakati wao na kunipatia mafunzo" Mapigano haya yalimpa Saka na motisha mingi ambayo ilimsaidia kufanya kazi kwa bidii wakati wote na hakikisha alitoa bora zaidi. Kama wachezaji wenzake, Saka alichukua sanamu. Wakati wengine walienda na Thierry Henry, Dennis Bergkamp, nk, alichukua hadithi ya zamani ya Uswidi na Arsenal, Freddie Ljungberg ambaye tayari alikuwa kocha wa vijana kwenye kilabu. Freddie Ljungberg alisaidia Bukayo Saka kuwa kile alivyo leo. Sifa ya Picha- Football365 Kama mchezaji wa taaluma ya U15, Freddie Ljungberg alimpa Bukayo Saka sehemu bora ya ushauri. Alimsaidia Saka kuendelea kuwa mnyenyekevu na kufanya kazi kwa bidii kwani aliamini kuwa mtoto mdogo hakuweza kuwa mchezaji wa juu. Ukweli wa Hadithi ya Uwana wa Bukayo Saka Untold Biography - Hadithi ya Fursa ya Fame Kila kitu Freddie Ljungberg alitabiri juu yake kilitokea. Wakati Saka akigeuka umri wa miaka 17, alipewa mkataba wa kitaalam na Arsenal na kupandishwa chini ya upande wa 23. Pia, baada ya safu ya maigizo ya kuvutia, Saka aliitwa pia katika kikosi cha juu cha kilabu. Wakati akiwa na timu ya wakubwa, alianza kutafuta fursa katika mchezo wa ushindani wa kukatisha kazi yake na kupambana na ushindani. Kuzungumza juu ya ushindani, kutenganisha Alex Iwobi na Haruni Ramsey ilikuwa changamoto kubwa kuliko wenzake wa masomo Reiss Nelson. Msingi wa kugeuza uliokusubiriwa kwanza ulikuja kwenye Mwisho wa 2018 / 2019 Europa League ambapo Saka kwanza aliacha alama yake na utendaji mzuri. Ukweli wa Hadithi ya Uwana wa Bukayo Saka Untold Biography - Kuinua Hadithi ya Fame Mwisho wa msimu wa 2018 / 2019 uliona wote wawili Haruni Ramsey na Alex Iwobi akiiacha Arsenal kwa Juve na Everton mtawaliwa. Hii ilimpa Bukayo chumba kuwa na ushindani mdogo, na mtu mmoja tu katika kada yake kushindana kwa nafasi ya mrengo wa kushoto. Mnamo 19 Septemba 2019 aliona Bukayo Saka akiwa na makali katika pambano kati yake na Reiss Nelson. Ulijua?… Siku hiyo, hakufunga tu, pia alitoa wasaidizi wawili wa kupendeza wakati Arsenal ilishinda 3-0 dhidi ya Eintracht Frankfurt katika mchezo wao wa kwanza wa kikundi cha 2019-20 UEFA Europa League. Chini ni kipande cha ushahidi wa video. Wakati Bukayo Saka alipotimiza ndoto yake ya utoto ya kufunga bao lake la kwanza la Arsenal, alimpatia baba yake simu ya haraka ya FaceTime. "Sikuweza kuongea naye kwa sababu makocha walinitaka niingie kwenye umwagaji wa barafu ili nipone haraka baada ya mchezo. Tunaweka tu vijiti vyetu kwa kila mmoja" Alisema. Badala ya kubomoka na mwanzo wa kawaida, winger wa kushoto alienda kutoka kwa nguvu kwenda kwa nguvu. At Miaka ya 18 na 125 siku, umri wa miaka ulikuwa mchezaji wa kwanza wa mchezaji mkongwe wa Arsenal kwenye historia ya Ligi ya Premia kuanza pambano la Man Utd vs Arsenal. Pia aliwashangaza mashabiki kwenye mechi hiyo kwa kutoroka Ashley Young. Kama wakati wa kuandika, Bukayo Saka anaonekana na mashabiki wengi kama ahadi nzuri ijayo kwa kizazi cha mrengo wa kushoto wa Arsenal baada ya Freddie Ljungberg. Wengine, kama wanasema, sasa ni historia. Ukweli wa Hadithi ya Uwana wa Bukayo Saka Untold Biography - Mahusiano ya Uhusiano Kwa kufanikiwa na kuongezeka kwa mahitaji makubwa ya mpira wa miguu ya Kiingereza, ni hakika kwamba mashabiki wengi lazima waliuliza ikiwa Bukayo Saka ana Mpenzi wa kike au mke. Ndio! uso wake mzuri wa mtoto pamoja na mtindo wake wa kucheza hakika ungemweka juu kwa mchumba wa msichana. Mahojiano ndani ya Msichana wa Bukayo Saka. Sifa kwa Sortitoutsi Baada ya uchunguzi kadhaa, inaonekana Bukayo Saka ni mmoja (wakati wa kuandika). Tunajua kuwa kwa sababu ya hali ya kusamehewa ya mpira wa miguu wa Kiingereza, Saka lazima alipendelea kuzingatia kazi yake badala ya kutafuta rafiki wa kike au mtu kuwa mke wake. Kwa wakati huu, tunaweza kusema kwamba Saka amefanya bidii kuzuia uangalizi wowote kwenye maisha yake ya kibinafsi. Ukweli huu hufanya kuwa ngumu kwa wanablogu kama sisi kupata habari juu ya maisha yake ya upendo na historia ya uchumba. Walakini, bado inawezekana kwamba anaweza kuwa na rafiki wa kike lakini hapendi kuifanya iwe wazi, angalau kwa sasa. Ukweli wa Hadithi ya Uwana wa Bukayo Saka Untold Biography - Maisha binafsi Kujua ukweli wa Maisha ya Kibinafsi ya Bukayo Saka kukusaidia kupata picha bora ya utu wake mchanganyiko mbali na mambo ya mpira. Ukweli wa maisha ya Kibinafsi. Mikopo kwa Twitter Kupata kukutana naye, utagundua Bukayo Saka anaishi na anatumia mbinu ya kuishi maisha ya kupangwa. Pia, yeye ni mtu wa kupendeza sana na mwenye chini ya ardhi ambaye huwa wazi kwa mashabiki sana. Wakati katika mafunzo, yeye huzingatia maelezo madogo zaidi na inahakikisha kwamba hakuna kitu kinachobaki kwa bahati nzuri. Kurudi nchini Nigeria na hata huko Uingereza, marafiki wa Bukayo Saka na watu wa nchi wanamuona kama hazina ya kitaifa ambayo inapaswa kulindwa kwa gharama zote. Tazama video hapa chini. Ukweli wa Hadithi ya Uwana wa Bukayo Saka Untold Biography - Maisha ya Familia Bukayo Saka anajivunia ukoo wake na mzizi wa Nigeria kwa nyakati nzuri na mbaya. Kama mpangaji, anafurahi kupata njia ya familia yake kuelekea uhuru wa kifedha shukrani zote FOOTBALL. Bukayo Saka wanafamilia na jamaa; mama yake, baba, kaka, dada, mjomba, shangazi, hivi sasa wanapata faida ya kuwa na mikono yao wenyewe kwa msaada wa maswala ya kandanda ya Kiingereza. Kwa sasa, all wa familia yake na ndugu zake wote ilifanya uamuzi wa kutotafuta kutambuliwa na umma licha ya njia nyingi za kuunganishwa kwenye media ya kijamii. Ukweli wa Hadithi ya Uwana wa Bukayo Saka Untold Biography - LifeStyle Utendaji juu ya lami na raha yake ni ulimwengu mbili tofauti kwa Bukayo Saka mbali kama mtindo wake wa maisha unavyohusika. Ingawa anaamini kutengeneza pesa katika mpira wa miguu ni muhimu, lakini msingi wake mkali umemsaidia kutunza pesa zake angalia na kupangwa. Kama wakati wa kuandika, Bukayo Saka hairuhusiwi kuishi maisha ya wazi kwa urahisi na wachache wa magari ghali, nyumba nk. Bukayo Saka Maisha Katika ulimwengu wa kisasa wa magari ya gari lenye magodoro na machapisho mengi ya media ya kijamii yanayoonyesha utajiri na mtindo wa maisha ghali, tunaweza kusema kwamba Bukayo Saka ni kiboreshaji kiburudisho. Ukweli wa Hadithi ya Uwana wa Bukayo Saka Untold Biography - Mambo yasiyo ya kweli Haikuwa Nigeria pekee kwenye Chuo hicho: Chuo cha Arsenal FC ni haraka kuwa nyumbani kwa wachezaji wengi wa asili ya Nigeria. Hivi karibuni tangu wakati wa uandishi, mtaalam huyo alitoa biashara ya usomi kwa talanta nne za kuahidi na mizizi ya Nigeria - Kutoka kushoto kwenda kulia ni pamoja na Arthur Okonkwo, Armstrong Okoflex, James Olayinka na Xavier Amaechi. Nyota zingine za Nigeria kwenye Chuo hicho. Sifa kwa Jua, BBC, ArsenalCore na Flickr Dini: Kama inavyoonekana hapa chini, maelezo yake ya Instagram yanasomeka "Mtoto wa Mungu"Na manukuu haya ni sawa na ya mwenzake Joe Willock. Kwetu, kuna uwezekano mkubwa kwamba dini ya Bukayo Saka ni Ukristo. Dini ya Bukayo Saka- Imefafanuliwa. Mikopo kwa IG JINSI YA KUFUNA: Asante kwa kusoma Hadithi yetu ya Utoto wa Bukayo Saka pamoja na ukweli wa hadithi za Untold. Katika LifeBogger, sisi kujitahidi kwa usahihi na haki. Ikiwa unapata kitu kisichoonekana vizuri, tafadhali shiriki nasi kwa kutoa maoni hapa chini. Tutaweza daima kuheshimu na kuheshimu mawazo yako. Peter Crouch Hadithi ya Watoto Plus Facts Untold Biography Ryan Sessegnon Hadithi ya Watoto Plus Facts Untold Biography
2020-01-17T21:40:04
https://lifebogger.com/sw/hadithi-ya-utoto-pamoja-na-ukweli-wa-wasifu-usiojulikana/
[ -1 ]
Rais: Jeshi lipewe zabuni - Mwananchi Rais: Jeshi lipewe zabuni Rais John Magufuli akisalimiana na Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Phaustine Kasike baada ya kuwasili katika eneo la Mashamba ya Mahindi ya Gereza la Kilimo na Mifugo la Kitai lililopo Mbinga mkoani Ruvuma. Picha na Ikulu By Elizabeth Edward na Joyce Joliga, [email protected] Dar es Salaam/Ruvuma. Rais John Magufuli ametaka watendaji wa serikali kulitumia jeshi katika miradi ya dharura ili ifanyike kwa haraka na ufanisi. Alisema hayo wakati wa kufungua kiwanda ambacho kina uwezo wa kusaga tani 20 za mahindi kwa saa 24, na hivyo kuwa na uwezo wa kuondoa tatizo mikoa ya kusini ambayo ni maarufu kwa kilimo cha nafaka. Rais Magufuli aliyasema hayo jana wilayani Mbinga wakati akifungua kiwanda cha kuchakata mahindi kinachomilikiwa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT). Tani 20 ni takriban theluthi mbili ya shehena ya lori moja (semi trailor). Rais Magufuli, ambaye anaendelea na ziara katika mikoa ya kusini, alisema anafahamu kuwa kuna sheria ya manunuzi inayohusisha utangazaji wa zabuni, lakini akasema inatoa mwanya huo wa ununuzi wa dharura. “Katika sheria hii kuna kazi ambazo huhitaji kutangaza. Daraja likikatika huwezi kutangaza. Sasa mtumie hizi kazi za dharura muwaweke wanajeshi,” alisema. “Hata ukitaka kutengeneza kiwanda cha mahindi sema emergency (dharura), ukitaka kutengeneza barabara sema emergency. Sijasema kwamba tender (zabuni) zisitangazwe, lakini kama inawezekana kuchomekeachomeka tu. Itasaidia vijana wetu kupata ajira.” Magufuli azindua kiwanda cha nafaka Kifungu cha 65 cha Sheria ya Manunuzi ya Umma kinasema ofisa masurufu anaweza kufanya manunuzi ya aina hiyo iwapo ataona kufanya hivyo ni kwa masilahi ya umma katika masuala yanayotishia uhai, afya, usalama au kuwepo kwa majanga ya asili au kutishia kuendelea kufanya kazi kwa Serikali au taasisi inayotaka kufanya manunuzi. Hata hivyo, sehemu zinazofuata zinaweka masharti ya jinsi ya kutekeleza manunuzi ya dharura, ikiwa ni pamoja na kuidhinishwa na wakala pamoja na mlipaji mkuu wa Serikali. “Ukienda China na Misri kuna miji imejengwa na wanajeshi na sisi tunapaswa kubadilika. Wakati wa usalama, hakuna vita, ni lazima tuyatumie majeshi yetu kuimarisha miundombinu kwa sababu hata gharama ni ndogo lakini hata fedha zikienda huko zitawasaidia,” alisema. “Waziri wa Nishati, kama kuna sehemu unataka kupeleka umeme kwa haraka, tumia jeshi likaweke nguzo huko na watu wapate nishati hiyo haraka. Kwa nini uhangaike kutangaza zabuni siku 45? Nasisitiza miradi ile ya haraka mtumie mbinu. “Na nyie makamanda wa jeshi (JWTZ) na JKT mkisikia kuna kazi hizo za dharura ombeni haraka mkazifanye kwa sababu mnahusika na emergency. Hiyo itasaidia kupeleka nchi haraka.” Alikuwa akifungua kiwanda cha kusaga nafaka kilichojengwa na kinachomilikiwa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT). Kiwanda hicho kina uwezo wa kusaga nafasi tani 20 kwa siku na hivyo kuwa sehemu ya suluhisho kwa wakazi wa mikoa ya Ruvuma, Mbeya, Rukwa, Iringa na Songwe, ambayo huzalisha nafaka kwa wingi. “Ni matumaini yangu kuwa wakulima wa mahindi mkoani Ruvuma watapa soko la uhakika na jeshi litanunua mahindi hayo kwa bei nzuri,” alisema Rais. Awali, Mkuu wa Majeshi, Jenerali Venance Mabeyo alisema kiwanda hicho kitasaidia kutoa soko la kuaminika kwa wanaokizunguka kikosi cha JKT Mlale na mkoa mzima wa Ruvuma Alisema soko la uhakika litasaidia kuongeza uzalishaji wa zao la mahindi kwa wakazi wa mkoa huo mahiri kwa kilimo cha zao hilo. Jenerali Mabeyo alimuahidi Rais kuwa jeshi litaendelea kufanyia kazi maelekezo wanayopewa na wataendelea kuunga mkono juhudi za serikali za kujenga uchumi wa viwanda.
2019-10-22T19:44:45
https://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/Rais--Jeshi-lipewe-zabuni/1597296-5063192-iaagvs/index.html
[ -1 ]
STAMICO SASA KUMEKUCHA NA MAKAA YA MAWE: Bodi ya STAMICO na STAMIGOLD zajadili mustakabali wa Mgodi wa dhahabu wa Biharamulo Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la.. Home » News and Events » STAMICO SASA KUMEKUCHA NA MAKAA YA MAWE: Yaanza kuuza makaa hayo kwa kasi ili kukidhi mahitaji ya viwanda vya saruji ili kukuza pato la Taifa. Yakiri kuwa na akiba ya makaa ya mawe ardhini ya kuchimba kwa zaidi ya miaka mia moja. Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) limeanza rasmi kuuza makaa ya mawe tarehe 6 Julai 2017, yanayozalishwa katika Mgodi wake wa Kabulo ili kukidhi mahitaji ya watumiaji wakiwemo viwanda vya saruji na nguo na hivyo kukuza pato la Taifa. “Nchi yetu ina rasilimali nyingi za madini yakiwemo makaa ya mawe, hivyo tunapenda kuwahikishia wenye viwanda vinavyotumia makaa hayo hususani viwanda vya Saruji (Cement), kwamba nchi ina makaa ya kutosha hivyo Serikali haitoshindwa kutosheleza mahitaji na makaa yam awe huku ikitekeleza kwa vitendo azma yake kujenga Tanzania yenye viwanda, ili kukuza uchumi wa Taifa” Alifafanua Bwana Komba. Malori ya Kampuni ya Lake Cement yakipakia Makaa ya Mawe katika eneo la mauzo ya makaa hayo, lililopo umbali wa kilometa mbili kutoka katika barabara kuu ya Mbeya, iendayo nchini Malawi. Eneo hilo la mauzo lipo katika kijiji cha Kasumulu, Wilaya ya Kyela, mkoa wa Mbeya. Mkaa hayo ya Mawe yanazalishwa na Shirika la Madini la Taifa (STAMICO), katika mgodi wake wa Makaa ya Mawe wa Kabulo, ulipo katika kijiji cha Kapeta, Wilaya ya Ileje mkoa wa Songwe. Amesema STAMICO kupitia mradi huo, itaendelea kuimarisha viwango vya uzalishaji wa makaa ya mawe ili kuwafikia wateja wote kulingana na mahitaji yao. ============================================MWISHO================================================
2017-09-23T00:10:14
http://www.stamico.co.tz/stamico-sasa-kumekucha-na-makaa-ya-mawe-yaanza-kuuza-makaa-hayo-kwa-kasi/
[ -1 ]
Kesi ya Shamimu upelelezi haujakamilika - Daily Active UPANDE wa mashtaka katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya Heroin Hydrochloride inayomkabili mmiliki wa Blog 8020 Fashion, Shamim Mwasha (41) na mumewe, Abdul Nsembo(45) umedai upelelezi wa kesi hiyo bado haujakamilika. Wakili wa Serikali, Wankyo Simon alieleza hayo jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi, Kelvin Mhina, ambapo alidai shauri hilo lilikuja kwa ajili ya kutajwa lakini upelelezi haujakamilika na kuiomba Mahakam kupanga tarehe nyingine. Baada ya kutoa maelezo hayo, Wakili wa utetezi, Charles Kisoka akishirikiana na Hajra Mungula walidai shauri hilo halina dhamana na kuomba upande wa mashtaka kuharakisha upelelezi. Wakili Wankyo alieleza amesikia kilichozunguzwa na upande wa utetezi, hivyo watawahimiza wenzao wa upelelezi wafanye haraka na tarehe ijayo wataeleza upelelezi ulipofikia. Baada ya maelezo hayo, Hakimu Mhina aliahirisha kesi hiyo hadi Juni 10 mwaka huu, washitakiwa wamerudishwa rumande kwa sababu kesi yao haina dhamana. Washtakiwa hao ambao ni wakazi wa Mbezi Beach, wanatuhumiwa kwa shtaka moja la kusafirisha dawa za kulevya. Shamim na mumewe wanatuhumiwa kusafirisha dawa hizo za kulevya, Mei 1 mwaka huu wakiwa eneo la Mbezi Beach, Wilaya ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam kinyume na sheria ya uhujumu uchumi. Tags: #ShamimuAshikwa, 1, Abdul Nsembo, Shamim Mwasha Arsenal fans to boycott Europa League final?
2020-06-02T19:05:12
https://www.dailyactive.info/2019/05/27/kesi-ya-shamimu-upelelezi-haujakamilika/
[ -1 ]
China yasukuma mbele hali mpya ya kufungua mlango kwa pande zote - china radio international China yasukuma mbele hali mpya ya kufungua mlango kwa pande zote (GMT+08:00) 2017-12-19 17:29:30 Ripoti iliyotolewa kwenye mkutano mkuu wa 19 wa Chama cha kikomunisti cha China, ilisisitiza kuwa China itaendelea kushikilia sera ya kufungua mlango, na mlango wake utaendelea kuwa wazi zaidi katika siku zijazo. Katika zama mpya China inatakiwa kutekeleza vipi sera hiyo na namna ya kusukuma mbele ufunguaji mlango, limekuwa ni suala linalofuatiliwa sana na wataalamu wa China na wa nje. China ikiwa ni nchi inayochukua nafasi ya kwanza na ya pili duniani kwa uuzaji bidhaa na uagizaji bidhaa, na nchi inayoendelea inayovutia kwa wingi zaidi uwekezaji kutoka nje, sera yake hiyo inafuatiliwa sana kwenye jumuiya ya kimataifa. Mkurugenzi mtendaji wa taasisi ya utafiti ya Benki ya Hengfeng Bw. Dong Ximiao anasema, "Kufungua mlango kwa pande zote kunahitaji kufanyika kwenye sekta mpya na kwa njia mpya. Sekta mpya, kwa mfano China imetangaza itapunguza vizuizi kwa mashirika ya nje kuwekeza katika hisa, bima, benki na mfuko nchini China. Vizuizi vingi vya zamani vimefutwa au kupunguzwa masharti. Pia kunahitaji njia mpya, yaani kwa sekta za jadi, sasa kuna baadhi ya njia mpya zinazoweza kuvutia uwekezaji kutoka nje na kupanua ufunguaji mlango. Kwa mfano wa kutumia fursa ya "Ukanda mmoja na njia moja", na kuhamasisha makampuni ya China kutumia masoko ya nje, zamani sera ilikuwa inalenga zaidi nchi za Ulaya na Amerika, hivi sasa pia imeongeza nguvu ya kufungua mlango kwa nchi za Afrika na Ulaya ya kati na ya mashariki." Wakati wa kufungua mlango zaidi, kujenga eneo la majaribio la biashara huria pia ni moja ya njia mpya zinazojaribiwa. Kampuni ya Ernst & Young ni moja ya makampuni ya huduma ya kimataifa yaliyoingia mapema nchini China, mdau wa huduma za kodi wa kampuni hiyo Bw. Pang Jiade amesema kutokana na maendeleo ya kasi ya uchumi wa China, mabadiliko yaliyotokea kwenye soko la China yameinufaisha sana kampuni ya Ernst & Young. "Katika miaka kadhaa iliyopita, China imeanzisha eneo la biashara huria, na kuendelea kupunguza vifungu kwenye orodha ya maeneo yaliyopigwa marufuku. Hivi sasa wateja wetu wanaweza kuingia kwenye soko la China kwa uhuru zaidi, na sisi pia tumewezeshwa kutoa huduma bora zaidi, wakati huo huo, tumeona makampuni mengi zaidi ya nje yanaingia China." Kuanzisha maeneo ya majaribio ya biashara huria ni mfano mmoja tu wa juhudi za China kutafuta njia mpya za kufungua mlango. Wataalamu wanaona kuwa China pia itatumia fursa ya Ukanda mmoja na njia moja na kurekebisha mfumo wa udhibiti wa orodha ya maeneo yaliyopigwa marufuku, ili kufungua mlango zaidi. Profesa Wang Yifei wa chuo cha mahusiano ya kimataifa cha Chuo kikuu cha Renmin amesema katika zama mpya, kufungua mlango si kama tu kunatokana na mahitaji ya maendeleo ya China yenyewe, na bali pia ni kutafuta ushawishi zaidi kwenye jukwaa la kimataifa. "Zamani ufunguaji mlango na mageuzi vilikuwa vinaungana, ili kufungua mlango kwa nje na kufuatana na mwelekeo wa kimataifa, kwa hivyo tuliendelea kurekebisha mifumo ya usimamizi na sheria, hata mawazo ya utendaji. Ufunguaji mlango wa leo unalenga kuongeza nguvu ya ushindani ya mfumo wa China, kufungua mlango si kama tu kunatafuta soko, na bali pia kunainua hadhi na nguvu ya ushawishi wa China, na wa nchi zinazoendelea kwa ujumla, hii ndiyo ni hali mpya tunayodhamiria kujenga."
2018-10-23T02:16:21
http://swahili.cri.cn/141/2017/12/19/1s170333.htm
[ -1 ]
MICHUZI BLOG: WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AZINDUA MELI MBILI ZA MIZIGO BANDARI YA ITUNGI WILAYANI KYELA MKOA WA MBEYA '; if(img.length>=1) { imgtag = ' WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AZINDUA MELI MBILI ZA MIZIGO BANDARI YA ITUNGI WILAYANI KYELA MKOA WA MBEYA
2017-08-21T02:41:37
https://issamichuzi.blogspot.com/2017/07/waziri-mkuu-kassim-majaliwa-ziarani.html
[ -1 ]
Tolerance.ca® - "Ensemble" ya Kautmbi esengi Tshisekedi kopesa eyano na "question ya illégitimité " "Ensemble" ya Kautmbi esengi Tshisekedi kopesa eyano na "question ya illégitimité " Lisanga "Ensemble pour le changement" ya Moïse Katumbi esengi na na président Félix Tshisekedi kosala nyonso mpo na kopesa eyano na "question ya illégitimité" (likambo ya kozanga kondimana epayi ya bana ya mboka).
2019-05-26T16:15:43
https://www.tolerance.ca/ArticleExt.aspx?ID=439622&L=fr
[ -1 ]
Uchina na Marekani wajadili uchumi wao - BBC Swahili Uchina na Marekani wajadili uchumi wao http://www.bbc.com/swahili/habari/2010/10/101024_china_usa Image caption Waziri wa fedha wa Marekani Geithner Waziri wa Fedha wa Marekani, Timothy Geithner, amekutana na Makamo wa Waziri Mkuu wa Uchina, Wang Qishan, nchini Uchina, akiwa njiani kutoka mkutano wa mawaziri wa fedha wa nchi za G20, uliofanywa Korea Kusini. Mawaziri hao ndio wanaoushughulika na uchumi katika nchi zao, na wanakutana mara kwa mara. Wanasiasa hao ndio wamepewa jukumu la kupunguza mvutano kuhusu biashara baina ya Marekani na Uchina. Taarifa ya ubalozi wa Marekani mjini Beijing ilisema maafisa hao wawili, walijadili piya matayarisho ya mkutano wa viongozi wa mataifa ya G20, utaofanywa Korea ya Kusini, mwezi ujao. Wanasiasa nchini Marekani, wamekuwa waki-ishinikiza serikali ya Rais Obama, kuwa i-ichagize Uchina iruhusu sarafu yake ya yuan, iachiwe kupanda kulingana na soko. Katika mkutano wa mawaziri wa fedha wa G20, uliofanywa mwisho wa juma hili, wakuu walikubali kuacha kushindana kushusha thamani ya sarafu zao, na kwamba IMF itasimamia makubaliano hayo. Wadadisi wanaona, makubaliano hayo yamezimua mabishano, katika kile kinachoitwa, vita vya sarafu. Wadadisi wanasema makubaliano hayana uzito, kwa vile hayakupewa muda maalumu kutekelezwa. Lakini gavana wa benki kuu ya Uchina, amekiri kuwa nchi yake inahitaji kupandisha thamani ya yuan, lakini ifanye hivo taratibu.
2017-12-12T06:59:16
http://www.bbc.com/swahili/habari/2010/10/101024_china_usa
[ -1 ]
Papa Francisko:Mungu na jirani ni sura mbili katika medali moja! - | Vatican News Wakati wa sala ya Malaika wa Bwana Papa anasema:Kupenda Mungu ni kuishi naye na kwa ajili ya kile ambacho ni chake na alichofanya (ANSA) Papa Francisko:Mungu na jirani ni sura mbili katika medali moja! Mungu ambaye ni upendo, alituumba kwa upendo na ili sisi tuweze kupenda wengine na kubaki tumeungana naye. Itakuwa ni uongo kujidai unampenda jirani bila kumpenda Mungu na unampenda Mungu bila kumpenda jirani! Ni tafakari ya Papa, wakati wa sala ya Malaika wa Bwana, tarehe 4 Novemba 2018 Kitovu cha Injili ya Dominika hii ( Mk 12,28b-34), kuna amri ya upendo: upendo wa Mungu na upendo wa jirani. Mwandishi alimuuliza Yesu: “ni amri ipi kuu kuliko zote?”. Yeye alijibu kw akikiri imani ya kila mwisraeli aliyokuwa anafungua na kufuga siku yake ambayo inaanza na maneno ya “Sikiliza Israeli! Bwana Mungu wetu ni Mmoja (Kumb 6,4). Kwa namna hiyo Israeli inahifadhi amri yake kwa uhakika wa msingi wake wa kuamini ya kwamba yupo Bwana mmoja na Bwana huyo ni wetu kwa maana anajihusisha nasi katika agano lisilotengenishwa, alitupenda, anatupenda na daima atatupenda. Na katika msingi huo wa upendo wa Mungu unaotokana na sisi kwa kupewa amri mbili; mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, kwa akili yako na kwa nguvu zako zote(…), mpende jirani yako, kama nafsi yake ( Mk12,30-34). Ndiyo mwanzo wa tafakari ya Neno la Mungu, ya Baba Mtakatifu Francisko, wakati wa sala ya Malaika wa Bwana Jumapili, tarehe 4 Novemba 2018, kwa waamini na mahujaji waliofika katika kiwanja cha Mtakatifu Petro mjini Vatican. Mungu na jirani ni sura moja katika medali Baba Myakatifu Francisko akiendelea kufafanua Injili ya Siku anasema: Kwa kuchagua maneno mawili yaliyosemwa na Mungu kwa watu wake na kuyaweka pamoja, Yesu alifundisha mara moja na daima kwamba upendo kwa ajili ya Mungu na upendo kwa ajili ya jirani, ni vitu viwili visivyotengena na zaidi vinasaidiana mmoja na mwingine. Japokuwa vimeweka kila mmoja katika nafsi yake, lakini vina sura mbili katika medali moja kwa maana vikiishi kwa pamoja ndiyo nguvu ya kweli ya waamini! Kupenda Mungu ni kuishi naye na kwa ajili ya kile ambacho ni chake, na kile ambacho Yeye mwenyewe anafanya. Mungu wetu anajitoa kwetu bila kubakiza, anasamehe bila mpaka, anayo mahusiano yanayohamasisha na kufanya ukue. Kwa njia hiyo kupenda Mungu ina maana ya kuwa na mtaji ambao ni msingi wa nguvu zake ili uwe mhudumu wake katika hutoaji wa huduma bila kujibakiza kwa jirani na kutafuta kusamehe bila mpaka, kwa kuhamasisha kujenga uhusiano wa umoja na kindugu, amethibitisha Baba Mtakatifu. Aidha Baba Mtakatifu Francisko, amefafanua ya kwamba: mwinjili Marko, hana wasiwasi wa kutaka kufafanua ni nani jirani, kwa sababu jiarani ni mtu ambaye mimi ninakutana naye katika safari, katika siku zangu za kila siku. Na kwamba hiyo haina maana ya kuchagua jirani, kwa maana huo si mtindo wa ukristo au kwa kufikiria kuwa jirani yangu ni yule ninaye mchagua hapana! Hiyo si tabia ya ukristo bali ni ya upagani; Kinachotakiwa ni kuwa na macho ya kumwona na kuwa na moyo wa kumtakia mema. Ni kukuwajibisha kumwona kwa mtanzamo wa Yesu, kujikita katika kusimsikiliza daima na kuwa karibu na mwenye kuhitaji. Mahitaji ya jirani yahitaji majibu ya dhati Mahitaji ya jirani yanahitaji kwa hakika majibu ya dhati Baba Mtakatifu anathibitisha na kuongeza : lakini kabla ya yote wanahitaji ushirikishwaji. Kwa sura ya jirani tunaweza kusema mwenye njaa, anahitaji, si sahani ya supu, bali hata tabasamu, asikilizwe na hata kumwombea, labda inawezekana kusali kwa pamoja. Injili ya sikua Baba Mtakatifu anabainisha, inawaalika wote kuelekeza mtazamo si tu katika dharura ya ndugu ya masikini zaidi, bali hawali ya yote kuwa makini kwa ajili ya mahitaji ya lazima ambayo ni ukaribu kidugu kwa maana ya maisha na huruma. Huo ndiyo wajibu wa jumuiya kwa maana, inahitaji kuhepuka hatari za kuwa jumuiya inayoishi kwa kuanzisha mambo mengi, lakini bila kuwa na mahusiano; kuna hatari ya jumuiya kuwa kituo cha huduma lakini bila kuwa wasindikizaji kwa maana kamili na ukristo amethibitisha Baba Mtrakatifu. Tuombe Mungu ambaye ni upendo , alituumba kwa upendo na ili sisi tuweze kupenda wengine na kubaki tumeungana naye. Itakuwa ni uongo wa kujidaidi kupenda jirani bila kumpenda Mungu; na vileviel ni kujidanganya bure kwa kujidai unampenda Mungu bila kumpenda jirani. Ukuu wa aina mbili wa upendo, kwa ajili ya Mungu na jiranni katuka umoja wake unayo tabia ya mfausi wa Kristo. Bikira Maria atusaidie kupokea na kushuhudia katika maisha ya kila siku mwanga wa mafundisho hayo. 05 November 2018, 10:48
2019-01-17T17:45:24
https://www.vaticannews.va/sw/pope/news/2018-11/papa-francisko-mungu-na-jirani-ni-sura-mbili-katika-medali-moja.html
[ -1 ]
Mwakilishi Mteuli Kupitia CCM Jimbo la Jang'ombe Ndg Ramadhan Hamza Chande Akabidhiwa Cheti Cha Ushindi. - ZanziNews Home HABARI MATUKIO Mwakilishi Mteuli Kupitia CCM Jimbo la Jang'ombe Ndg Ramadhan Hamza Chande Akabidhiwa Cheti Cha Ushindi. Mwakilishi Mteuli Kupitia CCM Jimbo la Jang'ombe Ndg Ramadhan Hamza Chande Akabidhiwa Cheti Cha Ushindi. AFISA wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Wilaya ya Mjini Mwanapili Khamis Mohamed (kulia) akimkabidhi Cheti cha udhibitisho wa Ushindi wa nafasi ya Uwakilishi Mwakilishi mteule wa Jimbo la Jang’ombe Ramadhan Hamza Chande (kushoto) , aliyekuwa Wakala wa Mgombea wa CCM katika Uchaguzi huo Rajab Uweje Yakoub (wa pili kushoto). MWAKILISHI mteule wa Jimbo la Jang’ombe Ramadhan Hamza Chande akionyesha Cheti cha udhibitisho wa ushindi wa Uwakilishi kupitia Uchaguzi Mdogo wa Jimbo hilo uliofanyika Jana. Wakala wa Mgombea Uwakilishi wa CCM Ndugu Rajab Uweje Yakoub (wa pili kushoto) akisaini Cheti cha udhibitisho wa ushindi wa Uwakilishi cha Mwakilishi mteule wa CCM Jimbo la Jang’ombe. MWAKILISHI mteule wa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Jimbo la Jang'ombe Ndugu Ramadhan Hamza Chande leo amekabidhiwa rasmi Cheti cha udhibitisho wa ushindi wa nafasi ya Uwakilishi wa Jimbo hilo. Akizungumza mara baada ya kukabidhiwa Cheti hicho Mwakilishi mteule huyo Ramadhan Hamza ameahidi kufanya kazi kwa uadilifu na kwa kufuata miongozo na taratibu zote za kisheria kwa maslahi ya wananchi wote wa Jimbo hilo. Amewashukuru wananchi na wanachama wa CCM wa Jimbo hilo kwa kumpatia ridhaa yangu kuongoza Jimbo hilo kupitia utaratibu halali wa kidemokrasia. "Nitawatumikia kwa uadilifu wananchi wote wa Jang’ombe bila ya ubaguzi wowote kwani naamini bila yenu nyinyi kuridhia kunipa nafasi hii nisingeweza kushinda katika mchakato huu wa kisiasa uliokuwa na ushindani mkubwa. Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi ya mwaka 2015/2020 tayari nishakabidhiwa muda wowote nitaanza kutekeleza mpango kazi wangu kwa lengo la kutekeleza ahadi nilizoahidi katika kampeni.”,ameeleza Chande. Kwa upande wake aliyekuwa Msimamizi Mkuu wa Uchaguzi wa Jang'ombe ambaye pia ni Afisa wa ZEC Wilaya ya Mjini Bi.Mwanapili Khamis Mohamed amemsisitiza kiongozi huyo kufanya kazi zake kwa majibu wa taratibu na kanuni za kisheria ili kutimiza matakwa ya wananchi waliomchagua. Mwakilishi huyo aliyeshinda nafasi hiyo jana kwa kura 6,581 sawa na asilimia 90.5 katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Jang'ombe uliofanyika kwa amani bila ya kujitokeza matukio ya uvunjifu wa sheria za Uchaguzi na nchi kwa ujumla.
2019-05-27T03:38:26
http://www.zanzinews.com/2018/10/mwakilishi-mteuli-kupitia-ccm-jimbo-la.html
[ -1 ]
Machapisho ya Mashahidi wa Yehova—Kutumia Picha ili Kuwasaidia Wasomaji Wetu Kutumia Picha ili Kuwasaidia Wasomaji wa Machapisho Yetu Machapisho mengi ya Mashahidi wa Yehova yana picha za rangi zinazovutia ambazo zinaambatana na habari inayozungumziwa, hata hivyo haikuwa hivyo zamani. Toleo la kwanza la Zion’s Watch Tower, lililochapishwa mwaka 1879, lilikuwa na picha chache sana. Kwa makumi ya miaka, machapisho yetu yalikuwa na maandishi mengi, na mara mojamoja kukiwa na mchoro au picha ya rangi nyeupe na nyeusi. Mengi ya machapisho yetu siku hizi yana picha nyingi sana. Wachoraji na wapiga picha wetu wamechora na kupiga picha nyingi sana, na miongoni mwa picha na michoro hiyo ni ile unayoona katika machapisho yetu na tovuti hii. Kufanya utafiti mwingi na wa kina kunasaidia sana ili kupata picha ambazo zinafundisha historia na kweli muhimu za Biblia. Kwa mfano, fikiria picha inayoonyeshwa katika makala hii, ambayo imetumiwa kwa mara ya kwanza katika sura ya 19 ya kitabu “Kutoa Ushahidi Kamili” Kuhusu Ufalme wa Mungu. Hiyo ni picha ya jiji la kale la Korintho. Inalingana na masimulizi yaliyo katika sura ya 18 ya kitabu cha Biblia cha Matendo, mtume Paulo yuko mbele ya be’ma, au kiti cha hukumu. Watafiti waliwapatia wachoraji mambo waliyopata katika ugunduzi wao wa kiakiolojia, mambo yanayohusiana na mahali ambapo kiti hicho kilikuwepo na rangi ya marumaru zilizotumiwa kujenga mahali hapo ambapo huenda ndipo Paulo alifikishwa mbele ya Gallio. Pia, watafiti waliwajulisha kuhusiana na mavazi ya Waroma wa karne ya kwanza ili kwamba liwali Gallio (ambaye amesimama katikati ya picha) achorwe akiwa amevaa mavazi ya kifahari. Akiwa amevaa kanzu ndefu ambayo ina pindo kubwa la zambarau na viatu vinavyoitwa calcei. Pia, watafiti walitaja kuwa Gallio aliposimama be’ma, inaonekana kwamba alielekeza uso wake upande wa kaskazini-magharibi, ili ikiwezekana mchoraji awe na wazo kuhusiana na uelekeo wa mwanga katika picha hiyo. Kupanga Vizuri na kwa Utaratibu Tunazipanga picha na kuzihifadhi kwenye faili ili kuzitumia tena kukiwa na uhitaji. Kwa miaka mingi, tulihifadhi michoro kwenye bahasha kubwa, michoro iliyo katika chapisho moja ilihifadhiwa katika bahasha moja. Picha zilihifadhiwa kulingana na habari inayozungumziwa. Kadiri mafaili hayo yalivyoongezeka, ndivyo kutafuta au kuitumia tena picha kulivyoendelea kuwa jambo gumu zaidi. Mnamo 1991, tulikamilisha kuunda programu ya kompyuta ambayo ingerahisisha sana kazi ya kutafuta michoro na picha hizo, na hivyo kutosheleza mahitaji yetu. Programu hiyo inaitwa Huduma za Mfumo wa Picha, hadi kufikia sasa imehifadhi zaidi ya picha 440,000. Zaidi tu ya picha ambazo tayari zimetumiwa katika machapisho yetu, maelfu ya picha za ziada zimehifadhiwa kwa lengo la kuzitumia katika machapisho yatakayotolewa wakati ujao. Programu hiyo imerekodi mambo kama vile, lini na mahali ambapo kila picha imetumiwa, jina la kila aina ya picha ambayo imetumiwa, na wakati au tarehe ya picha. Sasa kuna uwezekano wa kutafuta haraka picha zinazofaa kwa ajili ya machapisho mapya yanayoandaliwa. Nyakati nyingine tunawaomba wamiliki wa picha fulani waturuhusu tutumie picha hususa tunayohitaji. Kwa mfano, labda tunataka picha ya pete au bangili za sayari ya Zohali ili tuitumie kwenye makala fulani katika gazeti la Amkeni! Wasaidizi wetu wanatafuta picha hususa inayofaa na kisha wanawasiliana na mmiliki wa picha hiyo ili kuomba ruhusa ya kuitumia. Baadhi ya wamiliki huturuhusu kutumia picha bila malipo yoyote, kwa sababu wanatambua kazi yetu ya elimu ya Biblia ya ulimwenguni pote. Wengine wanataka tuwalipe kiasi fulani cha pesa au tuonyeshe mahali ambapo tumeitoa picha hiyo. Baada ya kufikia makubaliano, picha hiyo inatumiwa katika chapisho lililokusudiwa na kisha kuingizwa katika programu yetu ya kuhifadhia picha. Leo, baadhi ya machapisho yetu yamejaa picha. Kwa mfano, katika tovuti hii tuna hadithi za Biblia zilizochorwa; na broshua Msikilize Mungu ambayo ina rangi zinazovutia sana inapatikana kwenye tovuti hii na pia imechapishwa. Broshua hiyo inafundisha mambo muhimu ikitumia maneno machache sana. Machapisho hayo na mengine mengi tunayochapisha na yale yanayopatikana mtandaoni, yote yanazungumzia Biblia. Kupiga Picha Zinazofafanua Habari
2017-06-29T15:29:30
https://www.jw.org/sw/mashahidi-wa-yehova/utendaji/uchapishaji/picha-machapisho-ya-mashahidi-wa-yehova/
[ -1 ]
Rhode Island: Mwongozo wa Jinsi ya Kusafiri Mjini| Uber Rhode Island: Pata usafiri. Safiri. Gundua. Ni rahisi kupanga safari kwenye Uber. Linganisha njia za usafiri na uone yanayotendeka karibu nawe. Unaelekea mahali tofauti? Angalia miji yote ambako Uber inapatikana. Rhode Island: chagua usafiri Kuchukuliwa kwenye T. F. Green Airport Jua mahali utamkuta dereva wako na upate maelekezo kamili ya jinsi ya kupata eneo la kuchukuliwa. Safari za T. F. Green Airport Angalia viwanja vyote vya ndege App ile ile, popote uendapo Tumia vipengele unavyofurahia nyumbani ukiwa safarini, vikiwemo usaidizi wakati wowote, ufuatiliaji wa GPS na usaidizi wakati wa dharura. Tunavyoshirikiana na miji Uhusiano wetu na wewe huenda unaanza kwa kubonyeza simu, lakini ni wa undani zaidi katika miji. Lengo letu ni kuwa kielelezo kwa wengine ili kuboresha maisha na kujenga miji nadhifu na inayofaa zaidi siku za usoni. Tunatoa data isiyokutambulisha kwa wasanifu wa miji na viongozi wa eneo lako kuwasaidia katika uamuzi wao unaohusiana na kujenga miundombinu na usafiri wa umma. Hatua ya kusaidia kuzuia kuendesha gari ukiwa mlevi au bila uangalifu inayowahimiza watu kufanya uamuzi bora inaweza kuimarisha usalama barabarani kwa manufaa ya kila mtu. Kuboresha miji Kuanzia kusaidia kupunguza utoaji wa hewa ya kaboni na kuimarisha usafiri wa umma, ushirikiano wetu pamoja na serikali za maeneo tunakohudumu husaidia kuboresha miji zaidi. Uber hairuhusu madereva kunywa pombe au kutumia dawa za kulevya wanapotumia App ya Uber. Ikiwa unaamini kuwa dereva wako ni mlevi au ametumia dawa za kulevya, tafadhali mwambie aghairi safari hiyo mara moja. Huenda magari ya kibiashara yakatozwa kodi zaidi na serikali, matozo hayo yatazidi ya ada ya vibali. Baada ya dereva kumaliza safari, tafadhali ripoti maoni yoyote wakati unakadiria safari yako katika programu ya Uber kwa kutuma barua pepe kwa [email protected], kutembelea help.uber.com au kupiga simu 800-664-1378. Kodi ya mauzo ya asilimia 7 ukiwa Rhode Island itaongezwa kwenye safari zote zinazoanzia au kukamilika katika jimbo hilo. Safari za kutoka Uwanja wa ndege wa T.F. Green zitatozwa ada ya ziada ya $3.
2019-12-07T07:17:05
https://www.uber.com/global/sw/cities/providence/
[ -1 ]
Ndesamburo:Ingeitishwa kura ya maoni kabla ya Bunge la Katiba | BUKOBA WADAU Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo, amesema kabla ya Bunge la kutengeneza Katiba, serikali ingeitisha kura ya maoni ya wananchi juu ya muundo wa Muungano. Ndesamburo ambaye pia ni Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, alisemahaoni mwelekeo wa kupata Katiba kwa kuwa suala lenye ukakasi ambalo ni muundo wa Muungano bado halijashughulikiwa nje ya Bunge kwa wananchi kutoa maoni ya wanachokitaka. Alisema kwa sasa muundo wa serikali mbili uliopo unazungumzia Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, lakini cha kushangaza serikali ya Tanganyika haipo na haijulikani itaundwa lini na wananchi wake hawajaulizwa lolote. "Kwenye Katiba hii pamoja na mambo mengine suala kubwa ni Muungano...kabla ya kuja hapa serikali ingekusanya kura ya maoni ya wananchi tujue wangapi wanataka muundo upi wa muungano, Tanganyika haipo ila tunaizungumzia," alisema Ndesamburo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Kilimanjaro. Alisema kwa sasa ni ngumu kupata wapiga kura theluthi mbili kutoka kila pande za Muungano huku serikali ya Tanganyika ikiwa haipo ikiingizwa katika serikali ya jumla na Zanzibar ikijitegemea kama nchi. Rasimu ya Tume ya Mabadiliko ya katiba, imependekeza muundo wa serikali tatu kama suluhisho la kudumu la kero za Muungano kwa kuwa muundo wa serikalio mbili uliopo una kasoro nyingi ambazo kuzitibu kunahitaji gharama ya muda na fedha nyingi. Posted by Bukobawadau at 9:27 AM
2018-01-23T04:00:48
http://www.bukoba-wadau.com/2014/03/ndesamburoingeitishwa-kura-ya-maoni.html
[ -1 ]
UNMISS yafunga safari kufahamu vitisho wapatavyo wakazi wa Yei | Habari za UN UNMISS yafunga safari kufahamu vitisho wapatavyo wakazi wa Yei Alice Senna Philip, mwenyekiti wa kikundi cha wanawake jimboni Yei nchini Sudan Kusini akizungumza mbele ya ujumbe wa ngazi ya juu wa UNMISS ulioongozwa na mkuu wao David Shearer. Ujumbe huo ulitembelea eneo hilo. Nchini Sudan Kusini, ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini humo, UNMISS umechukua hatua ya kufunga safari na kukutana na jamii hasa kwenye maeneo yenye mzozo ili kuweza kupata simulizi zao kuhusu vitisho ambavyo wanakutana navyo na hatimaye waweze kufahamu hatua mahsusi za kuepusha ghasia. Mji mkuu wa Sudan Kusini, Juba, msafara wa walinda amani wa Umoja wa Mataifa wanaohudumu kwenye ujumbe wa UNMISS ukiondoka alfajiri kuelekea mji wa Yei ambao kila uchao kunaripotiwa ghasia. Safari yao ya kilometa 155 imewakutanisha na taswira za mashambulizi ya hivi karibuni kutoka vikundi vilivyojihami sambamba na barabara zisizopitika kwa urahisi kutokana na mvua kubwa za hivi karibuni. Katika msafara huo walikutana na gavana wa jimbo la Yei Emmanuel Anthony Adil ambaye alizungumzia shambulio hilo akisema, “hebu na wasikie wito wa amani, hususan ulinzi wa raia. Huwezi kulenga raia ambao wako hatarini, mtu ambaye anahangaika kujikimu maisha yake. Aende sokoni na wewe unamlenga. Nadhani hiki ni kitendo cha uoga uliopitiliza. Lakini tumekubaliana hivi karibuni na UNMISS kuwa tutashirikiana ili raia wajisikie salama na waweze kuendelea na shughuli zao barabarani na miji mikubwa jimboni.” UNMISS inastaajabu kuwa eneo hili lina rutuba na lina uwezo wa kujikwamua kiuchumi lakini cha kusikitisha ni mapigano yanayoendelea yanafurumusha watu, lakini kuna matumaini kama asemavyo Luteni Jenerali Shailesh Tinaikar, mkuu wa kikosi cha UNMISS, “jambo chanya ni kwamba wananchi wanarejea. Tunaona wanarejea taratibu vijijini lakini bado vijiji vingi vimesalia vitupu, nyumba ziko tupu. Tunatumai kuwa baada ya muda tutaweza kurejesha usalama na watu watahamasika kurejea kwenye ardhi hii na kuendelea na kazi yao ya kujenga tena maisha yao.” Uongozi wa eneo hili unakadiria kuwa wakimbizi wapatao 7,000 hivi karibuni wamerejea kutoka nchi jirani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC na Uganda. Wengi wao wamekuta makazi yao yameporwa na hivyo kulazimika kuishi na jamaa zao, Joyce Kiden ni mwakilishi wa kikundi cha wanawake wa eneo la Lainya ambaye anasema kwamba, “tunataka amani iwepo, hususan kwetu sisi wanawake ambao ndio tunaumia, tunabeba watoto, tunapikia watoto na hakuna shule za watoto. Tunakaa tu bila mpango wowote kwa sababu ya vita.” UNMISS|Juba|sudan kusini|Yei UNMISS yatathimini hali ya Yei Sudan Kusini Kwa ajili ya usalama wao, wakimbizi wa ndani 3500 wahamishiwa kambi nyingine Sudan Kusini:UNMISS
2020-01-24T06:27:15
https://news.un.org/sw/story/2019/08/1064071
[ -1 ]
MBEYA YASHIKA NAFASI YA 2 KWA KUWA NA MAKANISA MENGI AFRIKA. - RUMAFRICA FOR ALL NATIONS » MBEYA YASHIKA NAFASI YA 2 KWA KUWA NA MAKANISA MENGI AFRIKA. MBEYA YASHIKA NAFASI YA 2 KWA KUWA NA MAKANISA MENGI AFRIKA. Jiji la Mbeya ni la pili kwa wingi wa madhehebu barani Afrika likiongozwa na Lagos lililopo Nigeria. Kwa mujibu wa Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Paul Ntinika, jiji hilo lina makanisa 450 na Mtaa wa Sae pekee una madhehebu tisa huku Mtaa wa Simike ukitajwa kuongoza kwa vituo vya maombezi. Meya wa Jiji la Mbeya, Mchungaji David Mwashilindi ambaye ni kiongozi wa Kanisa laInternational Evangerism Assemblies of God, amesema migogoro ndani ya madhehebu, uroho wa madaraka na utapeli ni miongoni mwa sababu ya watu kuamua kuanzisha madhehebu kila kukicha. Meya huyo ambaye pia ni msimamizi wa kanisa hilo katika mikoa ya Ruvuma, Iringa, Njombe na Rukwa, amesema hakuna ubaya wa kuwa na madhebu mengi kama yanaanzishwa kwa kufuata utaratibu, sheria na misingi ya Mungu. Amesema madhehebu mengi ya kilokole jijini humo yaliibuka baada waamini kuamua kujitenga madhehebu yao ya awali kutokana na migogoro. “Kuna madhehebu yanamiliki vyuo vya wachungaji wanaosomea kwa mujibu wa maadili ya Mungu, kama Lutherani, Wakatoliki, Moravian, Wasabato na la kwangu, lakini tatizo wapo wachungaji wa kujipachika ambao mara nyingi wanatiliwa shaka kwa vitendo vyao,” amesema meya huyo. VIJUSO VYA MAGAZETI YA LEO JUMANNE APRIL 25,2016
2017-04-25T04:33:27
http://rumaafrica.blogspot.com/2016/11/mbeya-yashika-nafasi-ya-2-kwa-kuwa-na.html
[ -1 ]
Kuhusu Sisi - Foshan Fumei Seating Co, Ltd kesi yetu viti ukumbi viti Cinema viti Shule dawati Foshan Fumei Seating Co, Ltd ni imara katika 2007. Sisi utaalam katika kuendeleza na kuzalisha auditorium kiti, maigizo kiti, terraced darasa dawati na kiti, uwanja wa ndege mwenyekiti na sinema kiti. Kampuni inachukuwa mita 23,000 mraba na semina bustani style na kila aina ya vifaa vya hali ya juu. kampuni yetu kuwa na baadhi ya kitaaluma, ubora wa usimamizi na maendeleo ya wafanyakazi. Wao kujishughulisha na kuboresha na kuhakikisha ubora wa bidhaa, zinazotoa bidhaa style na kubuni na kufanya kampuni yetu kwenda zaidi. Wao kuhakikisha kuwa bidhaa zetu zote zitatumwa kwa wateja na Mbinu kwa haraka iwezekanavyo. Tuna baadhi ya tawi ndani katika Beijing, Tianjin, Shanghai, Guangzhou, Liaoning, Ha'erbin, Jilin, Shandong, Zhengzhou, Suzhou, Fujian, Wuhan nk Bidhaa zetu pia nje ya Marekani, Australia, Russia, Mashariki ya Kati, Afrika, Kusini Asia ya Kati na baadhi ya nchi nyingine. Kukaa lengo la sasa na kuangalia mbele kwa siku zijazo, sisi ni kamili ya kujiamini na kuanzisha mpango wa maendeleo wa muda mrefu kwa dhati matumaini ya kushirikiana na marafiki duniani kote, kufikia kushinda na kushinda nia ya wewe na mimi . Sisi kuamua kushirikiana na wateja wapya na wa zamani wa kujenga msingi karne ya umri na kipaji baadaye. Simu: 0086-13924802689
2018-11-14T00:04:23
http://www.fumeiseating.com/sw/about-us/
[ -1 ]
FMUSER FC-6401 DVB-S / S2 SD / HD Decoder na 2CI (DVB-S / ASI ndani, ASI / AV / HDMI / YPbPr / SDI / IP nje) - FM transmitter & TV Transmitter & IPTV Encoder China muuzaji > Bidhaa > DTV Headend Vifaa > Decorder > Maoni Kisasa cha FMUSER FC-6401 DVB-S / S2 SD / HD na 2CI (DVB-S / ASI ndani, ASI / AV / HDMI / YPbPr / SDI / IP nje) Jumla: 702 USD Dondoo: 627 USD Meli: 75 USD FMUSER FC-6401 DVB-S / S2 SD / HD Decoder na 2CI (DVB-S / ASI katika, ASI / AV / HDMI / YPbPr / SDI / IP nje) DVB-S / S2 SD / HD Decoder na 2CI Msimbo wa satellite wa SD-6401 SD / HD na ugawaji wa CI una 1 * DVB-S / S2 RF na 1 * Pembejeo za pembejeo za ASI na inasaidia MPEG4 AVC / H.264 na MPEG2 video encoding. Dalili ya pembejeo ya DVB ya satelaiti itakuwa imepangwa kwa mkondo wa TS na kutolewa kwa AV, ASI, SDI, HDMI, YPbPr, au interface ya IP. Ina mipaka ya 2 CI, inayounga mkono kadi za 2 CAM. Inatoa ishara yenye nguvu ya kupokea, kushuka na kukataza, ambayo inakidhi mahitaji mbalimbali ya maombi. Ni moja ya vifaa vya kuu vya kichwa vya mwisho vya digital kwa kupokea na kufungwa kwa programu za satelaiti. 1. Saidia pembejeo ya DVB-S / S2 au ASI 2. Msaada wa 2 CI 3. Msaada AV, ASI, SDI, HDMI, YPbPr, IP pato 4. Saidia mchango wa sauti (32KHz, 44.1KHz, 48KHz) 5. Ufuatiliaji wa muda halisi wa ishara ya pembejeo na pato 6. Udhibiti wa LCD / Kinanda kwa jopo la mbele na usimamizi wa mtandao kupitia Ethernet 1. Kuweka Chanzo 5. Hariri PSI << [Decorder]FMUSER FC-6403 4in1 ASI SD / HD Decoder (ASI ndani, 4 * AV + 4 * HDMI nje) >>
2019-12-14T15:16:34
http://sw.fmuser.org/dtv-headend-equipment/decorder/FMUSER-FC6401-DVBSS2-SDHD-Decoder-with-2CI-DVBSASI-in-ASIAVHDMIYPbPrSDIIP-out/
[ -1 ]
MARBURG: Milipuko ya Magonjwa ya ajabu Uganda, Wanatengeneza virusi na kuvipandikiza kwa waafrika. | JamiiForums | The Home of Great Thinkers MARBURG: Milipuko ya Magonjwa ya ajabu Uganda, Wanatengeneza virusi na kuvipandikiza kwa waafrika. Discussion in 'JF Doctor' started by Top Thinker, Oct 30, 2012. Kwa wale ambao ni wafuatiliaji wa mambo mbali mbali yanayohusiana na silaha za kibaiolojia, watakuwa wanajua ni namna gani ambavyo silaha hizi zinafanyiwa majaribio. Nakumbuka wakati flani nilikuwa naangalia series ya 24 kile kipande cha Redemption wakati Jack Bauer yupo Africa, mliona jinsi mission iliyokuwa inafanywa na General Juma na watu wake, kuwafanyia watu majaribio kwa kuwa contaminate na virus ambao wanasababisha magonjwa ya ajabu. Kuna tetesi kwamba hata Uganda, jambo linaloendelea ndio hilo, kwa sababu mara kwa mara kila ugonjwa wa ajabu unaosababishwa na virus wa ajabu huibuka nchini humo, Mpaka sasa wamekufa watu zaidi ya 80 kwa ugonjwa wa Marburg. ebola-outbreak-in-uganda_57500_600x450.jpg Kuna tetesi kwamba hata Uganda, jambo linaloendelea ndio hilo, kwa sababu mara kwa mara kila ugonjwa wa ajabu unaosababishwa na virus wa ajabu huibuka nchini humo, Mpaka sasa wamekufa watu zaidi ya 80 kwa ugonjwa wa Marburg.Click to expand... Hiyo inaweza kuwa kweli mdau. Pamoja na jitihada kubwa zilizofanywa kuzuia mjadala mimi bado mpaka leo naamini kuwa hata virusi vya ukimwi (VVU) vilitengenezwa na Wazungu/Wamarekani na kupandikizwa huku Afrika. Siyo tu walitaka kutufuta kutoka uso wa dunia lakini vile vile makampuni yao yamefaidika kwa kufanya biashara za kondom, madawa ya kupima virusi, n.k. Na bado wanatutumia kufanya utafiti ambao mwingine unaweza kuwa na lengo la kuboresha ukali wa virusi na siyo kuviua. Ni imani yangu.
2017-07-26T09:27:14
https://www.jamiiforums.com/threads/marburg-milipuko-ya-magonjwa-ya-ajabu-uganda-wanatengeneza-virusi-na-kuvipandikiza-kwa-waafrika.346991/
[ -1 ]
WHO: Mikakati inafaa kuwekwa kupunguza vifo vinavyotokana na ajali za barabarani | Masuala ya Jamii | DW | 07.12.2018 WHO: Mikakati inafaa kuwekwa kupunguza vifo vinavyotokana na ajali za barabarani Ajali za barabarani humuua mtu mmoja kila baada ya sekunde 24, huku vifo milioni 1.35 vinavyosababishwa na ajali za barabarani vikiripotiwa kila mwaka kote duniani. Limesema Shirika la Afya Duniani WHO Idadi ya ajali za barabarani imeongezeka kwa laki moja katika muda wa miaka mitatu, huku ajali hizo zikitajwa kuwa zinazoongoza katika vifo vya watoto na vijana wa kati ya umri wa miaka mitano na ishirini na tisa, limeeleza Shirika la Afya Duniani WHO kwenye ripoti yake mpya. Mkuu wa shirika hilo, Tedros Adhanom Ghebreyesus, amesema ajali zinaweza kuzuiwa iwapo mikakati mwafaka itawekwa. Tedros amesema,"Vifo hivi ni malipo yasiyokubalika kwa watembeaji. Hakuna sababu ya hatua kutochukuliwa. Hili ni tatizo lililo na ufumbuzi uliothibitika. Ripoti hii ni mwito kwa serikali na washirika kuchukua hatua madhubuti ya kutekeleza mikakati hii." Ripoti hiyo ya WHO kuhusu usalama barabarani iliyotathmini data kutoka mwaka 2016, imeonesha kuwa hali inaendelea kuwa mbaya. Katika ripoti yake ya mwisho iliyotathmini data ya mwaka 2013, idadi ya vifo vilivyosababishwa na ajali za barabarani ilikadiriwa kuwa milioni 1.25 kila mwaka. Lakini licha ya kuongezeka kwa vifo vinavyotokana na ajali za barabarani, viwango vya vifo ikilinganishwa na kuongezeka kwa idadi ya watu na magari duniani imeimarika katika miaka ya karibuni. WHO imesema juhudi za usalama barabarani katika mataifa yenye kipato cha wastani na cha juu zimesaidia kukabili hali hiyo. Kadhalika imesema hatua hiyo imetokana na sheria bora kuhusu athari kuu ikiwemo mwendo kasi, kuendesha gari ukiwa mlevi na kutofunga mkanda. Miundombinu salama na kutengwa kwa barabara za waendao kwa miguu pamoja na barabara za baiskeli na viwango bora vya magari pia zimetajwa kuwa sababu zinazochangia kuimarisha hali barabarani. Hata hivyo, licha ya mataifa mengi kuboresha juhudi zake katika kukabili ajali za barabarani, mataifa maskini bado yanasalia nyuma. Kulingana na ripoti hiyo, mataifa yenye pato la chini yamedhihirisha kuwa vifo vinavyotokana na ajali ni mara tatu zaidi kuliko katika mataifa yenye pato kubwa. Viwango vya vifo hivyo katika mataifa ya Afrika vimetajwa kuwa asilimi 26.6 kwa watu laki moja, ikilinganishwa na Ulaya ambapo ni asilimia 9.3. Wapita njia na waendeshaji baiskeli wanachangia asilimia 26 ya ajali za barabarani, na idadi hiyo ni asilimia 44 katika ukanda wa Afrika. Waendeshaji pikipiki pamoja na abiria wao wanachangia asilimia 28 ya vifo vya barabarani, lakini idadi hiyo nia ya juu eneo la kusini mashariki mwa Asia ambapo ni asilimia 43. Maneno muhimu WHO, Ajali za barabarani Kiungo https://p.dw.com/p/39eZr
2018-12-16T10:24:25
https://www.dw.com/sw/who-mikakati-inafaa-kuwekwa-kupunguza-vifo-vinavyotokana-na-ajali-za-barabarani/a-46629943
[ -1 ]
Maafisa wa TAKUKURU waitangaza kampeni ya kupinga rushwa za barabarani bungeni | JamiiForums Maafisa wa TAKUKURU waitangaza kampeni ya kupinga rushwa za barabarani bungeni Pichani ni maafisa hao walioongozwa na Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma - TAKUKURU, Joseph Mwaiswelo, wakiwa na Waziri Mkuchika pamoja na naibu waziri wake Dkt Mary Mwanjelwa.​ Maafisa 53 wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa - TAKUKURU wameshiriki kikao cha bunge lengo likiwa ni kuitangaza kampeni ya ‘UTATU’ inayoshirikisha TAKUKURU, Jeshi la Polisi pamoja na wadau katika kuzuia na kupambana na vitendo vya rushwa barabarani. Maafisa hao walioongozwa na Mkurugenzi wa Elimu kwa Umma wa TAKUKURU, Joseph Mwaiswelo, wakiwa na Waziri Mkuchika pamoja na Naibu Waziri wake Dkt Mary Mwanjelwa. Kampeni hiyo ya ‘UTATU’ ni muunganiko wa pande Kuu tatu: TAKUKURU, Jeshi la Polisi na Wadau ambapo lengo lake kuu ni kuzuia rushwa za barabarani ambayo imebainika ni kisababishi kimojawapo cha ajali zinazotokea barabarani. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (TAKUKURU) leo imefanya maongezi ya kimkakati na Wadau mbalimbali wakiwemo Sekta Binafsi, Sekta za Umma, Asasi za Kiraia, Taasisi za Dini, Vyombo vya Habari, Viwanda vya Uchapaji na Uchapishaji, Kampuni za Simu, Wamiliki wa Vyombo vya Usafiri... S Simiyu: Ng'ombe zaidi ya 1484 wadaiwa kufa mikononi mwa Maafisa wa Pori, huku wengine wakiuzwa kwa Shilingi laki moja Habari na Hoja mchanganyiko 9 Yesterday at 3:23 PM Maafisa wa TAKUKURU wamemilikishwa bastola? Habari na Hoja mchanganyiko 4 Oct 21, 2019 Watatu wapandishwa kizimbani kwa kujifanya Maafisa wa TAKUKURU na kuomba rushwa Habari na Hoja mchanganyiko 2 Jul 17, 2019 Mhasibu Mwandamizi wa Mamlaka ya Elimu nchini pamoja na Maafisa 11 wa CRDB Wafikishwa Mahakani na TAKUKURU Habari na Hoja mchanganyiko 7 Oct 8, 2018 TAKUKURU imulike Interview ya Maafisa Watendaji-Masasi Habari na Hoja mchanganyiko 1 Oct 16, 2017 Simiyu: Ng'ombe zaidi ya 1484 wadaiwa kufa mikononi mwa Maafisa wa Pori, huku wengine wakiuzwa kwa Shilingi laki moja Maafisa wa TAKUKURU wamemilikishwa bastola? Watatu wapandishwa kizimbani kwa kujifanya Maafisa wa TAKUKURU na kuomba rushwa Mhasibu Mwandamizi wa Mamlaka ya Elimu nchini pamoja na Maafisa 11 wa CRDB Wafikishwa Mahakani na TAKUKURU TAKUKURU imulike Interview ya Maafisa Watendaji-Masasi
2020-02-19T20:26:09
https://www.jamiiforums.com/threads/maafisa-wa-takukuru-waitangaza-kampeni-ya-kupinga-rushwa-za-barabarani-bungeni.1651945/
[ -1 ]
Ummy Mwalimu: Tumeanza Kupata Maambukizi Ya Ndani Ya Virusi Vya Corona, Tuongeze Tahadhari | MPEKUZI Ummy Mwalimu: Tumeanza Kupata Maambukizi Ya Ndani Ya Virusi Vya Corona, Tuongeze Tahadhari “Tafiti zimeonesha kuna uwezekano wa Virusi vya Corona vinaweza kuenezwa kwa njia ya hewa hivyo tutaleta muongozo wa kuanza kutumia Barakoa (Mask) kwa jamii ili kuzuia maambukizi kuenena kwa njia ya hewa” alisema
2020-06-06T18:18:22
http://www.mpekuzihuru.com/2020/04/ummy-mwalimu-tumeanza-kupata-maambukizi.html
[ -1 ]
Rais Kikwete ashiriki mazishi ya Mtoto wa Jaji Mkuu mjini Tanga | JESTINA GEORGE Home / Uncategories / Rais Kikwete ashiriki mazishi ya Mtoto wa Jaji Mkuu mjini Tanga
2017-08-19T20:43:37
http://www.jestina-george.com/2015/08/rais-kikwete-ashiriki-mazishi-ya-mtoto_26.html
[ -1 ]
Ia ni da sa mai raica na kena rabailevu na vuravura taucoko ka kaya, “Na cava na tamata me vakatautauvatataki rawa kei na lagilagi ni veika buli?” A kaya Vakataki Koya na Kalou ni sai keda na vuna a buli kina na vuravura taucoko! Na Nona cakacaka kei na lagilagi—na inaki ni vuravura t
2015-02-28T14:55:52
https://www.lds.org/general-conference/2011/10/you-matter-to-him?lang=eng&clang=fij&media=video
[ -1 ]
Matukio mbalimbali Subscriptions picha ni Plugin kwa WordPress kwamba utapata kuongeza customizable sanduku michango popup na blog yako au tovuti. Hushughulikia 7 matukio: juu ya ukurasa mzigo, juu ya nje kiungo click, juu ya maudhui nakala, na mazingira menu, kwenye kitabu chini, juu ya wavivu, juu ya click. Mara baada ya kufufuka, popup anauliza wageni kuwasilisha majina yao na e-mail. Hizi data ni kuokolewa katika database na / au kuwasilishwa kwa MailChimp, AWeber, GetResponse, iContact, Kampeni Monitor na MyMail. Data zote kuokolewa inaweza kuwa nje kama CSV-file kutumiwa na mfumo mwingine wowote jarida. Version 2.20 iliyotolewa 1. AWeber mkono 2. MyMail mkono Customizable: seti ukubwa, rangi, opacity, picha background na hata hariri CSS. Kisasa dirisha dukizi: vivuli, pembe pande zote, nk Msikivu design: dirisha dukizi inaonekana nzuri juu ya vifaa ndogo screen. MailChimp, AWeber, GetResponse, iContact, Kampeni Monitor na MyMail mkono: maelezo ya mawasiliano yanaweza kuwasilishwa kwa autoresponders kupitia API yao. CSV Export: data wote wanaweza kuwa nje kama CSV-file kutumiwa na mifumo yoyote jarida. 7 kujiunga madirisha dukizi katika Plugin moja: matumizi yao separetely au wakati huo huo bila migogoro. OnPageLoad popup inaonekana mara moja user wazi ukurasa katika browser. OnClickExternalLink popup inaonekana mara moja user bonyeza kiungo yoyote ya nje juu ya ukurasa. OnCopyContent popup inaonekana mara moja user nakala sehemu ya ukurasa wako katika clipboard (kwa kutumia Ctrl + C au kwa njia ya mazingira menu). OnScrollDown popup inaonekana mara moja user kitabu chini ukurasa wa sasa kwa uhakika fulani. OnIdle popup inaonekana baada ya kuelezwa kipindi cha kuto. OnContextMenu popup inaonekana mara moja user wito mazingira menu (haki click mouse). OnClick inaonekana mara moja user click juu ya kiungo na popup class="megasubscribepopup_click" sifa. Kumbuka wageni: OnPageLoad na popups OnScrollDown unaweza kuonyeshwa mara moja tu kwa ziara. OnPageLoad autoopen na kuchelewa autoclose: unaweza configure vigezo hizi pia. Kukubali shortcodes: Ingiza shortcodes yoyote ndani ya boksi popup. Kumbuka wageni Subscribed: Plugin anakumbuka watumiaji ambao tayari alishiriki ukurasa (kwa kutumia kuki). Kuchagua ukurasa nini kushiriki: watumiaji wanaweza kushiriki ama ukurasa wa sasa au kuchaguliwa ukurasa. Show au kujificha karibu kifungo: wazi sanduku popup kama modal dirisha. Tovuti au kuchaguliwa kurasa nzima: wazi sanduku popup kwa ajili ya tovuti nzima au kwa ajili ya kurasa kuchaguliwa. Caching Plugins kirafiki: Plugin anatumia PHP na JavaScript ili kuepuka matatizo na Caching Plugins. Easy kufunga: kufunga na kuamsha Plugin kama Plugins nyingine yoyote. Tafsiri tayari: Plugin wanaweza kutafsiriwa kwa lugha yoyote. Front End Utendaji njia bora ya kuelewa wazo la Multi Matukio Subscriptions picha ni kuona mfano hai. Bonyeza "Live Preview" au kutembelea demo kiungo. Kuna unaweza kuona yote kujiunga popups (juu ya ukurasa mzigo, juu ya nje kiungo click, juu ya maudhui nakala, na mazingira menu, kwenye kitabu chini, juu ya wavivu, juu ya click). Wakati wazi demo ukurasa, utaona OnPageLoad popup. Basi unaweza bonyeza nje kiungo # 1 au kiungo nje # 2 chini ya "Demo" sehemu na utaona OnClickExternalLink popup. Kujaribu nakala sehemu yoyote ya yaliyomo ndani clipboard na utaona OnCopyContent popup. Kitabu chini ya ukurasa huu na utaona OnScrollDown popup. Je, si kugusa panya, keyboard au screen kwa sekunde 30 na utaona OnIdle popup. Haki click mouse na utaona OnContextMenu popup. Mwishoni unaweza click mwingine demo kiungo chini ya "Demo" sehemu na kuona OnClick popup. Kufunga na kuamsha Plugin. Mara baada ya kuanzishwa, inajenga menu item "Matukio Multi Subscriptions picha" chini ya menu sehemu "Settings" katika upande wa kushoto safu katika eneo admin. Bonyeza upande wa kushoto menu "Multi Matukio Subscriptions picha >>> Settings" na kufanya mipangilio inayohitajika. Kuweka kuonyesha mode, rangi, ukubwa, maudhui, nk Kama kuchaguliwa "Homepage na kuchaguliwa posts / kurasa" au "posts Baadhi / kurasa" kuonyesha mode juu ya ukurasa wa mipangilio, basi unaweza hawawajui posts hasa / kurasa kuwa kufunikwa na Plugin utendaji. Go baada ya / ukurasa mhariri na kuweka checkboxes "Multi Matukio Subscriptions picha" (mtazamo screenshot chini). 2 Agosti 12, Badiliko la Mwisho eCommerce, Items wote, Aweber, kampeni kufuatilia, e-mail, barua pepe, getresponse, icontact, mailchimp, masoko, mymail, jarida, pop, popup, kukuza, kujiunga, michango
2018-03-20T19:07:38
https://sw.worldwidescripts.net/e0c1-allinone-subscribe-popup-40953
[ -1 ]
Jinsi Ya Kula Karoti China Manufacturers & Suppliers & Factory Jinsi Ya Kula Karoti - mtengenezaji, kiwanda, muuzaji kutoka China (Jumla ya 24 Bidhaa kwa Jinsi Ya Kula Karoti) Jinsi Ya Kula Karoti Jinsi ya Kupika Karoti Jinsi ya kula Taro Jinsi ya kupika karoti Jinsi ya Kukuza Taro Jinsi ya Kupika Viazi Jinsi ya kula Corn Corn Kazi ya Juu ya Karoti
2020-07-08T21:42:41
http://sw.fuyuanfv.com/dp-jinsi-ya-kula-karoti.html
[ -1 ]
NAPOLI WATWAA COPPA ITALIA BAADA YA KUIPIGA JUVE KWA PENALTI 4-2 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE NAPOLI WATWAA COPPA ITALIA BAADA YA KUIPIGA JUVE KWA PENALTI 4-2 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE Mwanzo > HABARI ZA ULAYA > NAPOLI WATWAA COPPA ITALIA BAADA YA KUIPIGA JUVE KWA PENALTI 4-2 NAPOLI WATWAA COPPA ITALIA BAADA YA KUIPIGA JUVE KWA PENALTI 4-2 Wachezaji wa Napoli wakisherehekea na taji la Coppa Italia baada ya ushindi wa penalti 4-2 kwenye mchezo wa fainali dhidi ya Juventus usiku wa Jumatano Uwanja wa Olimpico Jijini Roma kufuatia sare ya 0-0. Paulo Dybala na Danilo walikosa penalti kwa upande wa Juve, wakati Napoli walifunga penalti zao zote nne za mwanzo kumpa kocha Gennaro Gattuso taji la kwanza baada ya kuwa kocha wa timu hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA [email protected] Mahmoud Bin Zubeiry at 07:14 Thursday, June 18, 2020 Item Reviewed: NAPOLI WATWAA COPPA ITALIA BAADA YA KUIPIGA JUVE KWA PENALTI 4-2 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
2020-07-05T03:52:30
http://www.binzubeiry.co.tz/2020/06/napoli-watwaa-coppa-italia-baada-ya.html
[ -1 ]
Mashosti: JINSI YA KUTOA MIMBA KWA KUTUMIA VIDONGE VYA MISOPROSTOL JINSI YA KUTOA MIMBA KWA KUTUMIA VIDONGE VYA MISOPROSTOL Yafuatayo ni maelekezo kuhusu matumizi ya vidonge vya Misoprostol (vidonge hivi hupatikana kwa majina ya Misotac, Citotec au Kontrac): * Tahadhari za kuchukua * Jinsi gani vidonge hivi vinatumika * Vipimo bora vya dawa na matumizi yake * Matokeo gani wanawake watarajie * Madhara/matatizo yanayoweza kujitokeza Kutumia vidonge vya Misoprostol (Misotec, Cytotec au Kontrac) peke yake hufanikiwa kutoa mimba kwa asilimia 80 hadi 90. Taarifa hii inatokana na utafiti uliofanywa na Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO). Baadhi ya wanawake hujaribu kutoa mimba kwa kuingiza vifaa vyenye ncha kali au vitu vichafu tumboni au kwa kujipiga makonde tumboni. Vitendo hivi ni hatarishi na kamwe mwanamke yeyote asifanye hivyo, kwa kuwa vinaweza kusababisha majeraha yenye athari kubwa tumboni, ikiwa pamoja na kuvuja damu nyingi na hivyo kuleta kifo. Maamuzi ya kutoa mimba ni jambo gumu sana kwa wanawake walio wengi. Iwapo huwezi kumweleza muhudumu wako wa afya kuhusu kutoa mimba au njia nyinginezo, tunashauri ujadili suala hilo na rafiki unayemwamini au ndugu wa karibu. Haswa tunashauri binti au wasichana kuongea na wazazi /mzazi wao/wake au mtu mzima anayemwamini kuhusu hali yake, uamuzi alionao na jinsi ya kutekeleza utoaji mimba. Iwapo mwanamke yeyote anadhamira ya dhati ya kukatiza mimba yake na hana njia nyingine ya kumwezesha kufanya hivyo, ni vyema asome kwanza maelekezo haya kwa makini. Ni vyema pia iwapo atayajadili na mmoja kati ya marafiki zake. Wala usijaribu kutekeleza jambo hili peke yako. gonga hii link a kuendelea...JINSI YA KUTOA MIMBA KWA KUTUMIA MISOPROSTOL na TAADHARI ZA KUCHUA Posted by Amina Design at 1:26 AM
2018-02-20T03:13:45
http://mashosti.blogspot.com/2009/09/jinsi-ya-kutoa-mimba-kwa-kutumia.html
[ -1 ]
Utakapojua Hujui Ndipo Utakapojua: Nyerere ataka kijiji, Kikwete mji Nyerere ataka kijiji, Kikwete mji Nyerere hakutaka Butiama iwe makao makuu Na Beldina Nyakeke, Musoma CHIFU wa Kabila la Wazanaki, Japhet Wanzagi amesema azma ya Rais Jakaya Kikwete kukifanya kijiji cha Butiama kuwa makao makuu ya Wilaya ya Musoma Vijijini, inapingana na mpango wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere. Wanzagi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Ukoo wa Burito Nyerere, amesema mpango wa Mwalimu Nyerere ulikuwa ni kuifanya Butiama kuwa kijiji cha historia, kinyume na azma hiyo ya Rais Kikwete. Chifu huyo alisema hayo alipozungumza na waandishi wa habari kuhusu kauli ya Rais Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) aliyoitoa wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Halmashauri Kuu ya chama hicho kijijini Butiama hivi karibuni. Wanzagi alisema kimsingi hapingani na azma ya Rais Kikwete ya kutaka kumuenzi Mwalimu Nyerere kwa kufanya mambo mbalimbali, ikiwamo kukifanya kijiji cha Butiama kuwa makao makuu ya wilaya, lakini akasisitiza kuwa anao ushahidi ingawa si wa maandishi ambao kabla ya kifo chake, Mwalimu Nyerere aliwahi kumweleza nia na madhumuni ya kukifanya kijiji hicho kuwa cha kihistoria. Alisema katika nia hiyo, Mwalimu Nyerere alipendekeza kijiji cha Kiabakari kilicho jirani na Butiama ndio pawe makao makuu ya wilaya. Wanzagi alisema endapo serikali itaamua kukifanya kijiji hicho kuwa makao makuu ya wilaya, upo uwezekano wa kuchanganya mila na desturi za makabila mbalimbali kijijini hapo kutokana na muingiliano wa watu watakaohamia katika mji huo hali ambayo Mwalimu Nyerere hakupenda iwepo. "Ninao ushahidi japo si wa maandishi. Na sijui hata kama Mama (Mama Maria) anajua kuwa mzee hakupeda kijiji cha Butiama kuwa mji. Maana aliniambia kuwa Butiama itakapokuwa mji, basi kutakuwepo na muingiliano wa watu wa makabila mbalimbali na kupoteza uasilia wa kijiji chetu ambapo alitolea mfano jiji la Dar es Salaam, ambalo kutokana na muingiliano wa watu, wenyeji wa pale, yaani wazaramo, wamehama na kusogea nje kabisa ya jiji," alisema. Katika hotuba yake wakati wa ufunguzi wa mkutano wa NEC, Rais Kikwete alisema ili kumuenzi Mwalimu Nyerere, serikali itakapofikia uamuzi wa kuigawa wilaya ya Musoma Vijijini, Butiama lazima kiwe makao makuu ya wlilaya na kuungwa mkono na mkutano huo na kuiagiza serrikali kufanya haraka kutekeleza pendekezo hilo. Katika hatua nyingine, Chifu Wanzagi, aliitaka serikali kuwawezesha wakulima kwa kuwapa mahitaji muhimu ikiwa ni pamoja na pembejeo ili kuboresha kilimo. Habari hii nimeichukua kutoka Tovuti ya Mwananchi kwa sababu za kihistoria. Nimeona ni vema iwekwe mahali ambapo hata tukiitaka kufanyia marejeo tutaipata, maana tovuti ya Mwananchi haitunzi habari zilizopita. - Mhariri. Posted by Ansbert Ngurumo at 10:08 pm Labda Kikwete anadhani huko ndiko kumuenzi Nyerere Kugeuza miji kuwa vijiji kuna athari kubwa kuliko faida kwa wenyeji. Mfano ni jinsi Jiji la Dar linavyomeza makazi ya watu. Mfano watu walihamia maeneo ya geza ulole na vijij vingine na kufungua mashamba bila kupewa hatimiliki. Leo hii wanafukuzwa kisa ni jiji na ardhi haina makaratasi hivyo serikali huchukua bila fidia ya mali wala shughuli mbadala kwa wakazi. Je mtu anaweza kunza upya kila miaka kumi huku umri ukimpiga kofi. Je hatuwezi kujenga satellite cities zinazotenganishwa na maeneo ambayo watu wanaendelea na shughuli zao za kilimo na kufuga? Mbona wenzetu Ulaya, hususa magharibi hakuna minyororo ya kuta za sementi? Ni ulafi na kuharibu historia. Nitashukuru watu wa Butiama mkikataa kijiji chenu kugeuzwa mji. Angalieni Kung'ombe inavyotaka kumezwa na BUNDA. Si kila kipya ni maendeleo. Mwinyi amtosa Kikwete? Bado Sisi
2018-03-25T01:05:08
http://ngurumo.blogspot.com/2008/03/nyerere-ataka-kijiji-kikwete-mji.html
[ -1 ]
September 11, 2019 Views: 28 “Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu, na kwake Yeye hakika tutaregea.” Kwa nyoyo zenye kuamini Qadhaa ya Mwenyezi Mungu, harakati ya Kiislamu ya Hizb ut Tahrir /Kenya, inawatangazia Ummah wa Kiislamu wote kwa ujumla na hasa Waislamu nchini Kenya; Abdallah Boga (Mola amrehemu) alipatwa na mauti Jumanne, 10 Septemba 2019. Licha ya kuwa na umri mkubwa Boga alijiunga na Hizb ut Tahrir – chama Kiislamu cha kiulimwengu cha kimfumo ambacho kinalingania kurudisha tena maisha ya Kiislamu kupitia kusimamisha Khilafah kwa njia ya Mtume (saw). Maradhi yake hayakumregesha nyuma kutotekeleza jukumu lake na wala hatusifu yeyote mbele ya Mwenyezi Mungu (swt). Kwa hakika nyoyo zetu zimejaa huzuni na macho yakitoa machozi kwa kuondokewa na baba na ndugu yetu, twamuomba Mola amsamehe na amrehemu. Ewe Mwenyezi Mungu twakuomba ukirimu mashukio yake na kukunjua kaburi lake. Hatimaye, tunaipa pole familia ya marhum na kuiombea kwa Mwenyezi Mungu muweza awape moyo wenye kusubiri na kuwalipa ujira na utulivu wakati huu wa huzuni. Twamuomba Mwenyezi Mungu kumbadilishia nyumba bora na familia bora na kutukusanya sisi pamoja naye chini ya bendera ya Mtume (saw) Siku ya Kiyama. Jumatano, 12, Muharram 1441 H
2019-12-12T00:37:42
http://hizb.or.ke/sw/2019/09/11/tangazo-la-kifo-cha-mmoja-ya-walinganizi-wa-kiislamu-kenya-2/
[ -1 ]