text
stringlengths 44
187k
| timestamp
timestamp[us] | url
stringlengths 16
3.37k
| dup_ids
list |
---|---|---|---|
CUF kufa kifo cha mende? – MwanaHALISI Online
Posted by: Faki Sosi August 7, 2016 0 4,977 Views
CHAMA cha Wananchi (CUF) ni kama kipo kuzimu. Kimelegea, kimechuja na kwa sasa kimegota, anaandika Faki Sosi.
CUF ya Prof. Ibrahim Lipumba, aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho taifa kabla ya kujiweka pembeni, si hii inayoongozwa na Twaha Taslima ambaye amebeba mikoba ya uenyekiti kwa ‘dharura’.
Wapo wanaochekelea kuiona CUF ya sasa ikikosa miguu ya kusimama, ikipoteza mvuto na mvumo wake katika siasa za nchini hii.
Wapo wanaotamani CUF ifutike leo kesho, wapo wanaovutiwa na mwenendo wa kuchechemea wa CUF kwa sasa lakini pia wapo wanaotamani Taslima awe mwenyekiti wa taifa wa chama hicho.
Si kwa mwema, isipokuwa ni kwa imani kwamba, Taslima ndio njia sahihi ya kuzima nuru ya CUF kwenye uwanja wa siasa nchini.
Dalili hizo zipo wazi, tangu Taslima aingie madarakani chama hicho hakijulikani kinafanya nini, kina mipango gani na kina mwelekeo upi? Chama hicho kwa upande wa Bara ni kama kimebemendwa.
CUF inayovuma ni ile ya Zanzibar chini ya Maalim Seif Sharif Hamad, Katibu Mkuu wa chama hicho. Kwa sasa unapozungumzia CUF unazungumzia Zanzibar. CUF ya Bara ipo ziiii!
Sababu ni kwamba, CUF ya Bara baada ya Prof. Lipumba haijapata mbadala, anayeshika mikoba yake hana sifa, uwezo, ubunifu na hata uono wa kisiasa.
CUF ya Bara kwa sasa inajifichwa kwenye kwapa la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Inategemea huruma ya matamko ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Chama cha NCCR-Mageuzi ili kusikika.
CUF ya Taslima imepoa, haina harakati kama zile zilizokuwa zikifanywa na Prof. Lipumba. Watendaji wa CUF kwa sasa wanaishi kwa majungu.
Baadhi yao wana fikra finyu kuhusu mwelekeo wa chama hicho. Unapozungumza nao hawaoneshi mwelekeo wa chama hicho, wanachojali ni kwamba ‘wapo huru’.
Prof. Lipumba alijiuzulu Agosti mwaka jana kwa madai kuwa, viongozi wenzake wanne kutoka Ukawa kumkaribisha ndani ya umoja huo Edward Lowassa na kisha kumteuwa kuwa mgombea wake wa urais.
Na ndipo Taslima akatwaa nafasi hiyo kwa muda. Kinachofanyika ndani ya chama hicho hakieleweki, mwelekeo wa CUF unatia mashaka.
Taslima ana utofauti mkubwa na Prof. Lipumba kwenye siasa za ushindani katika nchi hii, ni kwa kuwa Prof. Lipumba alikuwa na uwezo wa kuchambua na kuandika mambo ya kijamii, kiuchumi na kisasa jambo ambalo halipo kwa kaimu mwenyekiti wa sasa (Taslima).
Prof. Lipumba ana ushawishi mkubwa na kwa watu wengi tofauti na Taslima ambaye mpaka sasa sehemu kubwa ya Watanzania hawamjui, hawajawahi kumuona na pia uwezo wake hauonekani.
Kwa bahati mbaya Magdalena Sakaya, Naibu Katibu Mkuu (Bara) hana uwezo wa kuhuisha harakati za CUF.
Lipo la kujifunza kwa Chadema wakati walipoamua kumtwaa Lowassa ambaye alikuwa amechafuka kutokana na kauli zao za awali.
Tathimni ndani ya Chadema zilionesha kuwa Lowassa bado ‘keki’ kwa taifa. Licha ya baadhi ya viongozi wa chama hicho kutotaka kumpokea lakini alijiunga na chama hicho hivyo kuwa mwiba kwa CCM.
Chadema ilisoma alama za nyakati na kwa kuwa, lengo la siasa ni mafanikio, ilimtwaa Lowassa ambaye mafanikio yake ndani ya Chadema na Ukawa hakuna anayeweza kubeza.
Chadema ilimpoteza Dk. Willibrod Slaa kwa kuwa, thamani yake mbele ya Lowassa ilikuwa ndogo.
Turudi CUF, thamani ya Taslima ni kubwa kuliko Prof. Lipumba katika mazingira ya sasa? Sihitaji jibu.
Bila shaka, uamuzi wa kukurupuka, uliojaa chuki, husda na ujinga uliotamalaki unaweza kuizika CUF.
Pamoja na kutangaza nia ya kuitaka nafasi ya uenyekiti, lakini kwa sasa Taslima sio mtu sahihi kwa nafasi hiyo vinginevyo chama hicho kitakufa kifo cha mende.
CHAMA cha Wananchi (CUF) ni kama kipo kuzimu. Kimelegea, kimechuja na kwa sasa kimegota, anaandika Faki Sosi. CUF ya Prof. Ibrahim Lipumba, aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho taifa kabla ya kujiweka pembeni, si hii inayoongozwa na Twaha Taslima ambaye amebeba mikoba ya uenyekiti kwa ‘dharura’. Wapo wanaochekelea kuiona CUF ya sasa ikikosa miguu ya kusimama, ikipoteza mvuto na mvumo wake katika siasa za nchini hii. Wapo wanaotamani CUF ifutike leo kesho, wapo wanaovutiwa na mwenendo wa kuchechemea wa CUF kwa sasa lakini pia wapo wanaotamani Taslima awe mwenyekiti wa taifa wa chama hicho. Si kwa mwema, isipokuwa ni kwa…
Previous: Katoliki, Malinyi waingia mgogoro
Next: Chadema yaja juu
Ukawa waipa talaka CCM
Mtoto wa Mbunge Chadema aibua mjadala kesi ya Mbowe, wenzake
| 2018-09-24T00:07:23 |
http://mwanahalisionline.com/cuf-kufa-kifo-cha-mende/
|
[
-1
] |
Mwanaume Mwenye Maumbile ya Ajabu ~ T-Mark
Mwanamume mmoja mwenye uume mbili, amezungumza na BBC kuhusu anavyoiishi na hali yake hio.Anajulikana tu kama 'Triple D,' na ana umri wa miaka 25 kutoka nchini Mashariki mwa pwani ya Marekani na anadai kuwa amekuwa na uhusiano wa kimapenzi na wanawake 1,000.Mwanamume huyu anaugua ugonjwa ujulikanao kama 'Diphallia' ambapo mwanamume anazaliwa na uume mbili.Kulingana na shirika la kimataifa la afya,BMJ, mwanamume mmoja kati ya milioni tano, duniani huzaliwa na hali hio.
"maisha yangu hayatawahi kuwa sawa tena ikiwa nitajitambulisha kwa dunia nzima, '' alisema Triple D.Hata hivyo BBC ilikubali kubana jina lake na hata kutoonyesha sura yake.Anasema hataki kuwa kichekesho kwa jamii hasa anakoishi.Katika siku za uchanga wake, wazazi wake walimwambia kutokana na maumbile yake , yeye alikuwa mtoto mwenye maumbile ya kipekee.Anakumbuka wazazi wake wakimketisha chini na kuanza kumuelezea kwamba asidhubutu kucheza mchezo wa 'kalongo' na watoto wenzake na wala asidhubutu kuvua nguo zake za ndani mbele ya watu wengine.
Kutokana na mawaidha ya wazazi wake, aliweza kuweka hali yake kama siri kubwa sana, lakini alipokuwa katika shule ya upili wanafunzi wenzake waligundua siri hio na hapo anasema alipitia masaibu si haba.''Mwanzoni, sikutaka watoto wengine shuleni kujua hali yangu kwani sikutaka kumuudhi yeyote. ''Natamani sana wazazi wangu wangeniambia na kunitahadharisha kuwa watu huchekelea kitu wasichokielewa.''Sikutaka wanaume wenzangu kuhisi vibaya kwamba hawana uume mbili kama mimi na kuanza kunionea kijicho, au kuanzia kunifanyia stihizai na kunichekelea kwamba mimi sio mtu wa kawaida'' alisema 'Triple D'.Alipokua na umri wa miaka 16, alitaka kufanyiwa upasuaji na kuondolewa uume mmoja kwa sababu watu hasa wasichana walianza kunitazama sana katika sehemu yangu ya siri.''Natamani sana wazazi wangu wangenishauri kuhusu hali yangu basi nisingeopa gata kidogo.''Alipohojiwa kwa nini ni rahisi kwake kuzungumzia hali yake wakati akiendelea kubana jina lake? Alijibu na kusema kila mahali ninapokwenda, kila mtu atanifahamu na kuwa na matarajio makubwa kwangu.Triple D amechapisha kitabu kwa jina: ''Double Header: My Life With Two Penises'', yaani maisha yangu na uume mbili pamoja na anavyokabiliana na hali yake. Anasema sehemu zake hizo zinafanya kazi vyema na kwamba hajabahatika kuwa na uhusiano wa kimapenzi uliodumu kwa mda mrefu.Kwake changamoto kubwa ni kununua nguo zake za ndani Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest
| 2017-07-26T20:46:52 |
http://tmark-turn.blogspot.com/2015/01/mwanaume-mwenye-maumbile-ya-ajabu.html
|
[
-1
] |
IJUE HISTORIA YA MUZIKI WA DISCO TANZANIA - SUFIANIMAFOTO
Home Burudani IJUE HISTORIA YA MUZIKI WA DISCO TANZANIA
IJUE HISTORIA YA MUZIKI WA DISCO TANZANIA
Muziki wa Disco unasafari ndefu maDj wengi wa zamani walikua wanamuziki wa bendi na baadae kubadili mwelekeo na kuwa maDj kwa mfano Dj Sweet Francis na Dj Addy Sally chimbuko lao walitokea kwenye bendi na baadae miaka ya 1970 wakahamisha mawazo yao na kuwa maDj wakati huo kukiwa na Disco la Banda Beach, Sea View na madisco mengine Kilimanjaro Hotel Summit. KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
Dj Mactwist hakudumu sana na badala yake Dj.Addy Sally akawa Dj hapo Sansui disco. Mwezi Nov.1973 Dj Sweet Frncis akapata mkataba mwingine wa kupiga disco Lusaka Zambia katika Club Lagondol.
Madisco mengine aliyopiga ni - Masuka Motel - Morogoro- Butiama Hotel - Shinyanga.
- Pamba Roof Hotel Mwanza- Oysterbay Hotel - Club Mix- XTC - Oysterbay Hotel- La Dolce Vita.
Luke Joe Jun 9 (2 days ago) to issa, Mubelwa, Cassius, pamojapure, me Translate message Turn off for: Swahili naomba mtumie hii asante
Luke Joe Jun 9 (2 days ago) to issa, Mubelwa, Cassius, pamojapure, me Translate message Turn off for: Swahili samahani naomba mtumie hii .
| 2018-10-24T00:36:07 |
http://www.sufianimafoto.com/2018/06/ijue-historia-ya-muziki-wa-disco.html
|
[
-1
] |
El Ninyo - Wikipedia, kamusi elezo huru
(Elekezwa kutoka El Nino)
El Ninyo (kutoka Kihispania El Niño tamka "ninyo"), pia El Nino ni tukio la halihewa linalotokea kwenye nusutufe ya kusini ya dunia kila baada ya miaka kadhaa. Dalili za El Ninyo ni kuongezeka kwa mvua kushinda hali ya kawaida.
El Ninyo ni tukio la eneo la Bahari Pasifiki lakini athari zake zinaweza kugusa maeneo mengine na pia Afrika ya Mashariki iliwahi kuona mvua mkali kutokana na El Ninyo.
Jina El Ninyo kwa Kihispania lamaanisha "mtoto" kwa maana "mtoto Yesu" kwa sababu hutokea wakati wa Krismasi yaani sherehe ya kuzaliwa kwa Yesu. Jina lilibuniwa na wavuvi wa Peru walioona uhaba wa samaki baharini wakati wa tukio hili.
Jina kamili la kitaalamu ni "El Ninyo-mbembeo wa kusini" (El Niño-Southern Oscillation (ENSO)).
El Ninyo hutokea kama halijoto ya maji kwenye uso wa bahari ya Pasifiki inapanda juu ya kiwango cha kawaida. Mkondo wa maji ya vuguvugu unatokea kila mwaka mnamo wakati wa Krismasi kwenye pwani la Ecuador na Peru na kwa kawaida hudumu wiki chache. Lakini kila baada ya miaka 2-5 unaendelea kwa miezi kadhaa.
Kuwepo kwa maji ya vuguvugu kunaongeza mvuke hewani ambayo ni msingi wa kuongezeka kwa mvua katika maeneo fulani pamoja na ukame usio kawaida katika sehemu nyingine. Australia na Asia ya Kusini Magharibi huwezi kuona ukame lakini jangwa la Peru kuona mvua nyingi. Katika Afrika ya Mashariki yote miwili inaweza kutokea ama ukame au mvua nyingi. Mabadiliko haya yanaathiri kilimo.
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=El_Ninyo&oldid=936368"
Ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 22 Novemba 2014, saa 20:29.
| 2020-05-30T00:18:51 |
https://sw.wikipedia.org/wiki/El_Nino
|
[
-1
] |
JPM : STENDI ZOTE ZITAKAZO JENGWA ZIWE NA MAENEO YA MAMA LISHE , BODABODA NA WAFANYABIASHARA WADOGO…AISIFU MANISPAA MORO KWA UBUNIFU
RAIS Dk John Magufuli amemwagiza waziri wa nchi ofisi ya Rais Tamisemi, Suleiman Jaffo kuhakikisha stendi mpya za mabasi katika halmashauri nchini zinatenga maeneo ya mama lishe,baba lishe na wafanyabishara wadogo wa machinga.
Rais alitoa agizo kwa Waziri huyo kuwa halmashauri za wilaya ambazo haitaonesha kufuata agizo hilo zisipewe fedha za Serikali katika mpango wa ujenzi wa stendi za kisasa nchini.
Agizo hilo alilitoa Mei 6, mwaka huu wakati wa uzinduzi wa mradi wa kituo cha mabasi msamvu, unaosimamiwa na kampuni ya Msamvu Properties Company (T) Limited ambapo mfuko wa LAPF ulisaini makubaliono na Manispaa ya Morogoro.
Alisema kuwa kutokana na mpango mzuri wa mradi wa stendi ya mabasi ya msamvu kuwa wa kisasa na kwa vile serikali imekuwa inatoa fedha za ujenzi wa stendi kama hiyo kwenye halmashauri za wilaya nchini, serikali imeamua kulichukua deni lote lililokuwa ina daiwa na mfuko wa LAPF na kulipwa na serikali.
Alisema kuwa baada ya kukabidhiwa stendi hiyo na LAPF ,Manispaa iweke utaratibu wa kuona kwamba kila mfanyabiashara mdogo anapata nafasi ya kufanya biashara katika kwa kufuata utaratibu na si kuwabagua.
Alisema kuwa amekubali kuja kufungua standi hiyo, lakini hakufurahishwa na kitendo cha kuwabagua ,hivyo ni budi watu wanyonge wathaminiwe kama walivyo wafanyabiasha wakubwa na wakati.
Hata hivyo Rais alishangazwa na taarifa ya LAPF ya makusayo ya kiasi cha sh milioni tatu kwa siku wakati idadi ya ya magari yanayoingia kwa siku ni kati ya 500 -540 na yanalipa ushuru wa sh 2,000 kwa basi moja ukiacha magari madogo.
Rais alisema anadhani kwa idadi ya magari kiwango hicho kinaweza kuongezeka zaidi na jambo hilo analiachia uongozi wa bodi ya uendeshaji wa kituo hicho cha mabasi Msamvu.
Alisema kuwa stendi hiyo ni uwekezaji hivyo utaratibu wa kusimamia makusanyo ya mapato na yataongezeka kutokana na utaratibu utakao wekwa kuruhusu kada zote za wafanyabiashara.
Hata hivyo alisema kuwa, mkoa wa Morogoro umekuwa na bahati kubwa kwa vile upo kati ya Dar es salaam jiji la kibiashara na jijim la Dodoma makao mkuu ya serikali na Ujenzi wa reli ya kisasa yenye mwendo kasi utaifanya uwe wa kimkakati zaidi kukua kwa uchumi wake na wanachi kupata kipato kikubwa.
"wananchi waitumke fursa hii ya jiongrafia iliyopo katika masuala ya kibiashara"alisema Rais.
Hata hivyo ameipongeza halmashauri ya Manispaa ya Morogoro kwa kubuni mradi huo mkubwa na wakisasa wakuigwa
Naye Mwenyekiti wa bodi, Eliudi Sanga katika taarifa yake ya mradi huo alisema kituo hicho baada ya kukamilika awamu ya kwanza kwa gharama ya sh bilioni 12, kilianza rasmi kazi Novemba 2016.
Alisema awamu ya pili imefanyiwa tathimini ikihusisha ujenzi wa eneo la mabasi ya ndani ya mkoa na eneo lipo hatua za mwisho kukamilika litakuwa na uwezo wa kuegesha mabasi 40.
Mwenyekiti wa bodi hiyo ambaye ni Mkugugenzi mkuu wa mfuko wa LAPFo alisema pia ujenzi wa maduka madogo 80 ulioanza juni 2018 kwa gharama ya sh milioni 768.4 , ambapo pia kituo hicho kimelipa kodi ya serikali sh milioni 152 kuanzia mwaka 2010.
Alisema makubaliono kati ya L APF na Manispaa ya Morogoro umiliki wa hisa ulikuwa ni asilimia 60 kwa Mfuko wakati Manispaa ni hisa ya asilimia 40.
Hata hivyo alisema , wazo la ujenzi wa kituo bora cha mabasi Manispaa ya Morogoro lilianza mwaka 2008 baada ya kuona kuwa kituo kilichokuwepo awali kilikuwa na mapungufu mengi na hakikuwa kinakusanya mapato ya kuridhisha.
Alisema ,mapato ya wakati huo yalikuwa ni wastani wa Sh 350,000 kwa siku na baada ya kuanza kusimamia hivi sasa yamefikia sh milioni tatu kwa siku na kampuni inatarajia kukusanya kiasi cha Sh bilioni 3.11 katika mwaka huu wa fedha 2017/2018 ukilinganishwa na zilizokuwa zikikusanywa Sh milioni 515.5 mwaka 2013.
“ Tunatarajia kuanzia mwaka ujao wa fedha wanahisa wataanza kupata gawiwo” alisema Sanga.
Naye Waziri Jaffo alisema kuwa uzinduzi wa stendi ni mwendelezo ambapo baadhi zimefunguliwa ni stendi tatu ambazo ni Korogwe, Singida na ya Morogoro.
Hata hivyo alisema kuwa ,tayari serikali na wahisani imejipanga kwa kwa ajili ya kujenga stendi za mabasi za kisasa katika halmashsuri nane nchini ikiwemo ya mji wa Songea.
Alisema fedha hiyo ya ujenzi wa stendi ni baada ya Tamisemi kusaini mkataba wenye thamani ya sh bilioni 156 kwa miradi mbalimbali ikiwa ni pamoja na ujenzi wa stendi nane.
| 2019-03-22T06:53:19 |
http://morogoromc.go.tz/new/jpm-stendi-zote-zitakazo-jengwa-ziwe-na-maeneo-ya-mama-lishe-bodaboda-na-wafanyabiashara-wadogoaisifu-manispaa-moro-kwa-ubunifu
|
[
-1
] |
Waziri Wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu aliyesimama akiongea na baadhi ya wafanyakazi wa Taasisi ya Mifupa nchini MOI wakati wa uzinduzi wa Benki ya damu iliyodhaminiwa na Ubalozi wa Kuwait leo jijini Dar es salaam, Kulia ni Balozi wa Kuwait Bw. Jasem Ibrahim Al-Najem.
Waziri Wa Afya,Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu akizindua Benki ya damu iliyodhaminiwa na Ubalozi wa Kuwait leo jijini Dar es salaam akiwa na Balozi wa Kuwait Bw. Jasem Ibrahim Al-Najem.
| 2019-09-16T10:43:26 |
http://afyablog.moh.go.tz/2017/11/waziri-wa-afyamaendeleo-ya-jamiijinsia.html
|
[
-1
] |
MICHARAZO MITUPU: Samatta akimaliza kazi Taifa, kupewa kiwanja chake Mkuranga
Samatta akimaliza kazi Taifa, kupewa kiwanja chake Mkuranga
MBWANA Samatta kesho Jumamosi ataiongoza Taifa Stars kuvaana na Misri, kwenye pambano la kuwania kwenda Gabon katika fainali za Afcon 2017, lakini Jumapili atakuwa katika sherehe moja kamambe.
Nahodha huyo wa Stars, atakuwa anakabidhiwa kiwanja cha ekari tano kilichopo kijiji cha wasanii Mwanzega, Mkuranga.
Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA), Cassim Taalib 'Teacher' alisema jijini Dar es Salaam kuwa maandalizi yamekamilika na Mbwana amewasili nchini kwa mechi ya timu ya TAifa ya Tanzania (Taifa Stars) na Misri utakaochezwa Jumamosi.
Alisema sherehe hizo zitaambatana na ugawaji wa nyumba na misingi ya nyumba kwa wasanii 35 ambao wanafikisha ya wanachama 180 waliokwisha kabidhiwa nyumba zao.
Alisema sherehe za kugawa nyumba zinafanyika kwa mara ya tano kutoka ujenzi huo uanze katika kijiji hicho ambapo wanachama 185 wamekabidhiwa nyumba zao walizojengwewa kwa njia ya kuchangishana.
Alisema mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni, Michezo na Sanaa, Nape Mnauye ambaye atakuwa waziri wa pili kutembelea kijiji hicho baada ya Naibu wake, Anna Wambura kutembelea mapema mwaka huu.
| 2018-07-23T07:18:49 |
http://micharazomitupu.blogspot.com/2016/06/samatta-akimaliza-kazi-taifa-kupewa.html
|
[
-1
] |
WordPress / eCommerce / WooCommerce2Checkout Payment Gateway for WooCommerce— Add-On kwa WorldWideScripts.netKujiunga na kulisha wetu kukaa hadi tarehe!Mpya! Kufuata yetu kama unataka!★★★★★Sehemu hii inapatikana katika 37 lugha nyingine!ArabicBengaliCatalan/ValencianDanishDutchEnglishEsperantoFinnishFrenchGermanGreekGujaratiHindiIndonesianItalianJapaneseKannadaKoreanMalayNorwegianPersianPolishPortugueseRomanian/Moldavian/MoldovanRussianSimplified ChineseSpanish/CastilianSwedishTagalogTamilTeluguThaiTraditional ChineseTurkishUkrainianUrduVietnameseKuishi PreviewViwamboAds
Gateway Website: https://www.2checkout.com Mchakato Malipo na Mikopo kadi Online 2checkout kurasa Checkout customized kuruhusu wateja wako kufanya manunuzi yoyote ya 8 njia ya malipo, lugha 15, na 26 sarafu. Unaweza kulipwa katika kadhaa ya fedha na mbinu nyingi ikiwa ni pamoja na, Fedha umeme Transfer kwamba huenda moja kwa moja kwa akaunti yako ya benki, kimataifa Wire Transfer, au 2Checkout asili Payoneer MasterCard. Change logi 2014/03/27 - toleo 2.1 * Mwisho 2checkout SDK * Campat na woo2.1 * Change jina darasa * Support inline Checkout 2013/08/30 - toleo 2.0.2 * Maelezo ni pamoja na SKU info 2013/08/30 - toleo 2.0.1 * Omba filter kwa ajili ya kuangalia msaada sarafu kazi * Omba filter kwa ajili ya kupata param 2013/07/31 - toleo 2.0.0 * Matumizi ya maktaba ya 2checkout * Matumizi Pass Kupitia Bidhaa param 2013/04/05 - toleo 1.2.1 * Kuongeza chaguo kununua hatua * Lugha ya Custom msaada 2013/03/07 - toleo 1.2.0 * Sambamba na Woocommerce 2.0 * Lawama moja utaratibu Checkout * Fix mdudu: kujaza address2 na simu maadili 2012/11/26 - toleo 1.1 * Sahihi baada nyuma url 2012/04/10 - toleo 1.0 * Kwanza Release DownloadVipengele vingine katika jamii hiiKila sehemu ya mwandishi huyuMaoniMara kwa mara kuulizwa maswali na majibuMaliCreated:11 Julai 12Badiliko la Mwisho:14 Juni 14, Sambamba BrowsersKeywordseCommerce, Items wote, 2checkout, gateway, moduli, malipo, php, Plugin, woocommerce, wordpress
| 2017-04-28T04:33:57 |
https://sw.worldwidescripts.net/2checkout-payment-gateway-for-woocommerce-40796
|
[
-1
] |
RDC, 14 janvier 2020
Ba FARDC bazali koluka mokonzi ya ba ADF moko atikali
Mampinga ya ekolo Congo démocratique basakoli ete bazali komibongisa mpo na "kobeta egogo ya suka na motu ya ba ADF", elobi molobeli ya ba FARDC général Richard-Kasonga.
Martin Fayulu alobi esengeli kotambola le 17 janvier mpo ezali mokolo ya kopesa losako na Patrice Emery Lumumba moto ya yambo aboyaki balkanisation ya RDC. VOA Lingala ebengaki Martin Fayulu mpo na kolimbola malabo apesaki lobi loleki na bokutani na bapanzi sango.
Bato 18 bakufi na bitumba na mine ya or ya Salamabila (Maniema)
Bana mingi bazalaki kati na bato 18 baye bakufaki na bitumba kati na mampinga ya RDC na basimba minduki, na mine ya or (wolo) ya Salamabila, na Maniema, eyebisi bayi eklezia mpe bakonzi ya esika eye.
Bayi société civile basengi botikami ya syndicaliste akengamaki mpo na kosenga bokengi na Lumbubashi
Na Lubumbashi, na etuka ya Haut-Katanga, bilenge bakitaki o’bala nsima na liwa ya moto moko mardi na maboko ya bato mabe. Nzokande babundi ya makoki ya bomoto basengi botikami ya synficaliste Joseph Kapepula oyo akangamaki nsima na kobenga bato kokita o’balabala mpo na bozangi bokengi. Toyoka Me Tim
Police ezali kotinda mardi na parquet ba étudiants libwa mpe bato basusu, ekangaki na mobulu na Université ya Kinshasa. Tolanga ndimbola ya mokambi ya police na engumba mokonzi Kinshasa, Commissaire divisionnaire adjoint Gén. Sylvano Kasongo.
| 2020-01-24T10:21:59 |
https://www.voalingala.com/z/5744/2020/1/14
|
[
-1
] |
Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation: Mkutano wa ushirikiano kati ya Afrika na Jamhuri ya Korea kufanyika Addis Ababa
Mkutano wa Nne wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi za Afrika na Korea ujulikanao kama Korea-Africa Ministerial Forum unaotarajiwa kufanyika kwa mara ya kwanza Barani Afrika, Addis Ababa, Ethiopia tarehe 06 na 07 Desemba, 2016. Mikutano mitatu ya kwanza ilifanyika Seoul, Korea mwaka 2006, 2009 na 2012.
Katika kipindi hicho, Tanzania itapokea kiasi cha Dola za Kimarekani milioni 300 ikiwa ni asilimia 17.1 ya msaada utakaotolewa Barani Afrika, hivyo kuifanya Tanzania kuwa nchi inayoongoza Barani Afrika kupokea misaada kutoka Jamhuri ya Korea. Nchi nyingine ni Msumbji, Ethiopia na Angola.
Msaada huo unategemea kufadhili miradi katika sekta za umeme, viwanda na TEHAMA.
Sanjari na Mkutano huo, ujumbe wa Tanzania utafanya mkutano wa pande mbili na ujumbe wa Serikali ya Korea kuzungumzia masuala ya ushirikiano baina ya nchi zetu mbili. Tanzania itatumia fursa hiyo kuiomba Korea kuongeza kasi ya utekelezaji wa miradi mipya ikiwemo mradi wa Daraja la Selander ambao unatarajiwa kuanza mwaka 2017 na kukamilika 2020.
Aidha, ushiriki wa Tanzania kwenye mkutano wa Afrika na Korea ni fursa muhimu ya kukuza mahusiano baina ya nchi zetu mbili hususan katika Nyanja ya uchumi. Serikali ya Korea ilitoa ahadi ya kuongeza uwekezaji Barani Afrika hususan katika sekta za nishati, miundombinu na viwanda.
Miradi ambayo Tanzania imefaidika tokea kuanzishwa mikutano hii mwaka 2006 ni pamoja na mradi wa kuendeleza kilimo cha Mwani Zanzibar wenye thamani ya Dola za Kimarekani milioni 3.6 na Awamu ya Pili ya Mradi wa Huduma ya Uchunguzi wa Afya ya Uzazi Jijini Dar es Salaam wenye thamani ya Dola za Kimarekani milioni nne (4).
Miradi mingine ambayo Jamhuri ya Korea imeshirikiana na inaazimia kushirikiana na Tanzania ni:-
· Ujenzi wa Mradi wa Daraja la Kikwete kwenye Mto Malagarasi Mkoani Kigoma ambao umekamilika; Ujenzi wa Hospitali ya Kimataifa iliyopo eneo la Mloganzila; Dar es Salaam na Hospitali ya Mama na Mtoto iliyopo Chanika, Dar es Salaam.
· Kadhalika, hivi karibuniTanzania imesaini
o Makubaliano ya kupanua miundombinu ya Majitaka jijini Dar es Salaam; na
o Makubaliano ya kutekeleza miradi utakaofadhiliwa kwa pamoja na benki ya Maendeleo ya Afrika na Serikali ya Jamhuri ya Korea.
Dar es Salaam, 01 Desemba, 2016.
| 2018-02-21T14:54:28 |
http://foreigntanzania.blogspot.com/2016/12/mkutano-wa-ushirikiano-kati-ya-afrika.html
|
[
-1
] |
Pakua: Citroën Xsara: kuimarisha na kupima kit chombo cha doping maji
Pakua: Citroën Xsara: mkutano na mtihani wa doping kit na maji
Bunge na mtihani wa mti wa ecopra kwenye Citroën Xsara
Pakua faili (usajili wa jarida inaweza kuhitajika): Citroën Xsara: mkutano na mtihani wa doping kit na maji
← Pakua: Conflans-Sainte-Honorine: Basi ya Renault Mwalimu imeongezeka kwa maji huko Mairie
Pakua: Land Rover Defender na sindano ya maji katika 77 →
| 2018-12-18T13:46:41 |
https://sw.econologie.com/telechargement-citroen-xsara-montage-essai-kit-dopage-eau/
|
[
-1
] |
Pesa si msukumo ulionileta QPR-Ferdinand - BBC News Swahili
Pesa si msukumo ulionileta QPR-Ferdinand
https://www.bbc.com/swahili/michezo/2014/07/140718_rio_ferdinand
Image caption Rio Ferdinand ni mmoja wa wachezaji wakongwe waliokuwa wakichezea Man United
'Nimepata mikataba chungu nzima, lakini kwangu msuko si pesa? Hayo maneno yake Rio Ferdinand,
akizungumzia kutia kwake saini mkataba na klabu ya QPR.
Kama si hela basi kipi kimempa raha hiyo mlinzi huyo wa zamani wa Man Utd na kikosi cha Unigereza?
Amesisitiza kusema-'Offa hizo kemkem zilimiminika kutoka kote ulimwenguni tena nyengine za mapesa mengi lakini mimi raha yangu ni kucheza katika Premier League, nahisi nnakipaji kitakachosaidia kuiweka klabu hii katika nafasi nzuri katika ngazi ya Premier League."
Basi kama kweli kwa Ferdinand hela si hoja.Katika soka kama vile katika maswala mengine mengi hela ni hoja. Na kutathmini kujua je msimu huu nani ana pochi zito na atalifungua kwa kisiasi gani na kwa manfaa gani mambo ni kama hivi.
Liverpool tayari imevuna £75m kutoka Barcelona alikohamia mchezaji wao Suarez. Lakini je wataipiku Tottenham ambao msimu uliopita ilipata £80m kwa fidia ya uhamiaji wa mchezaji wao wa mwaka Gareth Bale alipokwenda Real?
Image caption Je Drogba atahamia tena Chelsea?
Wengineo kama hao hao Spurs waligharamika si haba kwa kuleta wachezaji wengine lakini wakaishia kumaliza nje ya nne bora.
Je ndio sababu Msimu huu haiajatoa hata peni kusajili mchezaji mpya?
Nao vigogo mwenye pochi kubwa Man Unitedna na kocha wao mpya Van Gaal wanasubiriwa ikiwa wataongeza vinara wengine wa soka baada ya kuwatwaa Luke Shaw na Herrera.
Arsenal nao vipi? Tayari Wenger ameshatoa £35m kwa Alexis Sanchez atoke Barcelona na bado kuna wachezaji kama wanne hivi wanaowamezea mate.
Na je eti Jose Mourinho anawaza kumrudisha Didier Drogba Chelsea kunakoonekana kuwa na upungufu wa washambuliaji? Huku tayari akiwa kesha mpata Diego Costa , Cesc Fabregas na Luis Felipe.
Mabingwa Man City hawajaachwa nyuma , lakini je....watafanikiwa kumshawishi Yaya Toure abaki nao baada ya Toure kitishia kuondoka kutokana na sintofahamu ya mwezi uliopita? .
| 2018-07-21T14:06:00 |
https://www.bbc.com/swahili/michezo/2014/07/140718_rio_ferdinand
|
[
-1
] |
SERIKALI mkoani Mwanza, imewataka wananchi kuchukua tahadhali kuhusiana na tishio la ugonjwa wa Ebola ambao umeripotiwa kuuwa watu kadhaa nchi jirani ya Uganda. Tahadhali hiyo ilitolewa jana na Mkuu wa mkoa wa Mwanza,Mhandisi Evarist Ndikilo, alipozungumza waandishi wa habari kuhusuiana na ugonjwa huo. Alisema serikali ya mkoa kwa kushirikiana na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, imepanga mikakati ya kukabiliana na tishio la ugonjwa huo hatari unaouwa kwa haraka.
“Ukiangalia jiji letu la Mwanza lina mwingiliano mkubwa kutokana na kuwa kitovu cha biashara kwa nchi za Maziwa Makuu, hivyo wananchi wanapaswa kuchukua tahadhali kwa kujikinga na kutoa taarifa pindi wanapomwona mtu mwenye dalili za ugonjwa huo,”alisema Ndikilo
Alisema shirika la Afya Duniani (WHO) tayari limethibitisha kuwepo kwa ugonjwa wa Ebola nchini Uganda, katika Wilaya ya Kibule, Magharibi mwa nchi hiyo ambapo watu 26 wameriptiwa kuambukizwa na kati yao 14 wamefariki dunia kwa kuambukizwa ugonjwa huo tangu Julai 28, mwaka huu.
“Hatua za kuchukua ni kuongeza kasi ya ufuatiliaji, kufanya ukaguzi bila usumbufu kwa wageni wanaosafiri kwa ndege, meli na mabasi kuingia nchini, kutoa elimu kwa wananchi na watumishi wa afya na upatikanaji wa vifaa vya kinga;”alisema
Alisema ili kuwalinda wananchi, vipeperushi na vijarida vinavyohusu ugonjwa huo wa Ebola vitasambazwa ili wananchi wapate ufahamu wa dalili zake lakini pia wawe tayari kutoa taarifa pndi wanapomhisi mtu mwenye dalili za gonjwa huo.
“Pamoja na juhudi za serikali, kupitia vyombo vya habari eneo la mikoa ya Kanda ya Ziwa tuchukue tahadhali kuhakikisha wananchi wanafahamu tatizo hili kwa kusoma vipeperushi na kupashana habari,”alisema Mkuu huyo wa mkoa
Tayari watu 14 wamefariki dunia katka wilaya ya Kibule Magharibi mwa nchi ya Uganda tangu kuzuka kwa ugonjwa huo Julai 28 mwaka huu.
Mwaka jana mtu mmoja aliliripotiwa kufa nchini humo kutokana na kuambukizwa virusi vya ugonjwa wa Ebola.
Mbali na Uganda, miaka kadhaa iliyopita Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) iliwahi kukumbwa na ugonjwa huo na watu kadhaa kuripotiwa kufa.
Tofauti na miaka ya nyuma ambapo ukionekana kuokota makopo utawekwa kwenye kundi la watu wenye akili fulani but now days ni dili tena linalowahusisha wenye akili zao watengenezao fedha. Jamaa huyu muuza fagio yu mkarimu saana kwa wateja wake na ana lugha ya mvuto kwa biashara aliniambia jina lake any wayz wanaojua watanikumbusha....
Mara baada ya taarifa kutoka kwenye mitandao mbalimbali zikimzungumzia MRISHO Khalfan Ngassa kuuzwa Simba kwa dau la Sh. Milioni 25 nao Azam kukiri kuwa tayari wamekamilisha dili huku winga huyo akikanusha taarifa hizo hivyo kuwaweka njia panda wapenda michezo wengi nchini. Sports Extra ya Clouds Fm kupitia watangazaji wake Ibrahim Masoud 'Maestro' na Jof Leah wamelifuatilia sakata hilo na hatimaye kwa kina wamekuja na taarifa kamili juu ya winga huyo. Kusikiliza bofya hapa chini:-
JANA Dk Mwakyebe alipiga marufuku
suala la kuchimba dawa safarini na hasa wale wasafirio na mabasi yaendayo
mikoani ambapo mabasi husimama pori na kuwaruhusu watu kwenda kujisaidi
maarufu kwajina la kuchimba dawa.
Utamaduni huo umeota mizizi katika
barabara zote kuu iwe Dar Lindi Mtwara, Dar Iringa Mbeya Tunduma, Dar Iringa
Songea, Dar Mwanza na kwingineko nchini.
Akiongea wakati akijibu hoja za
wabunge wakati wa kuhitimisha mjadala kwa wizara yake Dk Mwakyembe amesema basi
lolote litakalokamatwa limesimama porini kwa ajili ya kuchimba dawa, kosa la
kwanza atapewa onyo, la pili atapigwa faini kubwa na la tatu atafungiwa
akatafute/ akafanye biashara nyingine.
Kauli hi imekuja wakati tukijua kwamba
njia zote kuu za barabara ziendazo mikoni hakuna vituo maalum vya kupumzika abiria
na kuchimba dawa na hata kama vipo hakuna vyoo na au vyoo havitoshi au havina
usafi wa kutosha ukiacha vile vilivyopo kwenye mahoteli ya njiani.
Wadau hii imekaje... kipi
kingeanza kupiga marufuku kusimamisha mabasi njiani au kungeanza mradi wa
kujenga vyoo kwenye maeneo yale maarufu kwa kuchimba dawa?
Mwalimu Msungu Majibu :- @Mwezi
uliopita nimesafiri kwa basi kutoka Dar hadi Tanga, Tanga hadi Arusha, Arusha
hadi Dar, Dar hadi Songea, na Songea hadi Dar. Haiwezekani kufanya safari
yoyote ya aina hiyo bila kuchimba dawa, na sisi wengine tunahitaji hata mara
mbili au zaidi.
Napinga kabisa, na kwa nguvu zote uamuzi huu wa Mheshimiwa Mwakyembe.
Nitakubaliana naye tu iwapo sehemu za kuhudumia wasafiri zitakuwa tayari
zimejengwa, kama ilivyo sehemu kama Marekani. Mheshimiwa Mwakyembe ashinikizwe kutengua amri yake hiyo leo hii.
@Nini vipaumbele vya wizara yake
Mwakyembe? Suala la uchimbaji dawa kwangu mimi binafsi ni la baadae sana na angeliongelea
mara tu baada ya kuweka miundo mbinu safi vikiwemo vyoo kwenye vituo kadhaa.
Atachanganya mambo!! Suala la kuchimba dawa ni minor sana. Sent from my BlackBerry
@Mweshimiwa inaonekana dhahiri siku nyingi zaidi ya
miaka mingi hajapanda usafiri wa basi zaidi ya hivi majuzi kuakti (kutengeneza picha) picha la mweshimiwa kupanda treni naye akiwa stering wa
lile muvi. Muheshimiwa kazoea kupanda gari binafsi lenye hewa safi na kiyoyozi
akijichagulia vyakula vya kula safarini tena hii ni kwa mara moja moja kwa
safari ndefu, mara zote yeye ni juu kwa juu na pipa aka ndege,,, sasa sie akina
kajamba nani kwenye basi lenye watu zaidi ya 60 kila mtu na tumbo lake na maji
yake huyu yamechemshwa yule hayajachemshwa kisha vyakula vya njiani vya bana
matumizi, karanga na makande makavu (ngararuu) wafanya mchezo.
Alipaswa kufanya utafiti kwanza na kujua umbali wa kituo na kituo kwani
maeneo mengi ni pori na hata ukikuta vijiji vyoo ni vya kaya havikidhi mahitaji
ya nyomi ya wasafiri.
Serikali kupitia wizara yake ingetengeneza kwanza utaratibu wa kujenga vyoo kwa
utaratibu ule ule wa utafiti kupitia madereva kugundua ni maeneo gani korofi
kwa maana kwamba maeneo ambayo abiria wengi husumbua kuchimba dawa kisha katazo
likafuata.
Mie mwenyewe huwa nainjoi kuchimba dawa yaaani hata nisipochimba dawa
basi nita piga picha basi tulilopanda, miti ya porini nini na nini na nini
...daaaah hakika kwa hili nitamisi sana hako kazoezi. Kwa mpango huu tutajinyea sana safarini. Mwakyembe kachemka.
Jipange. g to tha s.
@Interesting discussion. Wasioona
adha ya kuchimba dawa ni sisi "wahuni" ambao tomezoea popote tu
unasimama unatoa maungo yako na kukojoa au kunanii peupe. Mtu yeyote mstaarabu
hawezi kushabikia kukojoa au kupata haja kubwa vichakani!!!! Mwakyembe kwa
jinsi nilivyomuelwa hajakataza mabasi kusimama njiani abiria wapate kukojoa,
alichosema yeye ni kuwa hayaruhusiwi kusimama porini ambapo kina mama, wazee na
watoto wote wanalazimika kupata haja zao mithili ya wanyama. Mnaotetea kuchimba dawa porini naombe mtangaze maslahi yenu
kwenye hili isije ikawa ni wapiga nanii!!!! Du Veda.
@Ni akili kidogo tu inahitajika kwa wenye mabasi. Leo hii Ndenjela Bus inasimama
stendi ya Makambako na kutoa dakika 10 abiria kujisaidia na kunywa chai
wakati wengine wakifukuzana kuwahi pale porini!!!
Felix. @Hapa dokta naye kaenda mbali, sasa kuchimba dawa na wizara yake wapi na wapi?
Nilidhani hoja hii angeitoa daktali mwenzake Telezia wa Makamu wa Rais!!
Labda angesema mabasi yawe na vyoo ndani kwani ni jambo lisilowezekana mtu
kupanda basi Dar kwenda Mtwara ujisaidie Nangurukuru ndiyo kwenye vyoo urefu
wa kilomita zaidi ya 200!!!
Nahodha wa TSC Madukuru akimkabidhi zawadi kutoka tanzania, meya wa jiji la Brackenheim nchini Ujerumani. Badge ya TSC Academy pamoja na Zawadi kinyago kutoka Nyumbani Tanzania aliyokabidhiwa meya
Timu ya TSC Sports Academy U20, Yawatoa
kamasi Vijana wenzao wa Ujerumani
Timu ya TSC Sports Academy (U20) ya Jijini Mwanza, Iliyoko
kwenye ziara ya michezo hasa mpira wa miguu, Imeendelea kutisha kwa kutoa dozi
kwa baadhi ya timu inayokutana nazo kwenye manshindano mbalimbali.
Katika Mashindano ya maarufu ya Insel Cup 2012 yanayofanyika
kila mwaka katika mji wa Mannheim
yakishirikisha timu mbalimbali kutoka Ulaya na hapa Ujerumani. Mashindano haya
ya timu za miaka 20 yana umri wa miaka 55 toka yaanzishe katika mjii huu.
Mashindano ya Mwaka huu yalishirikisha timu za
Maccabi Haifa-U20 ambao ni mabingwa wa vijana inchini
Israel, Hijduk Split – U20 Mabingwa wa vijana Croatia, TSC Hoffenheim – U20
ambao wanashiriki na kushka nafasi bora za juu katika msimamo wa ligi ya vijana
hapa Ujerumani, 1860 Munich timu ngumu kabisa ya vijana na moja ya timu tano
bora hapa Ujerumani, timu nyingine ni wenyeji Waldhof Mannheim-U20 na Karsruher
SC zote za hapa Ujerumani.
TSC Academy Ilipangwa
kundi A na timu za Maccabi Haifa, 1860 Munich, TSG Hoffenheim na kundi B
lilikuwa na timu za Hijduk Split ya Croatia, Karlsruher na Waldhof Mannheim
TSC Academy 2 –2 1860 Munich, TSC Academy 1- 1 TSG
Hoffenheim, TSC Academy 0- 1 Maccabi Haifa Mshindi group hili
alikuwa 1860 Munich Point 4, akifuatiwa
na Maccabi Haifa point 3 na TSC Academy point 2 magoli 3, TSC Hoffenheim Point
2 magoli 2
Na katika msimambo wa Jumly TSC ilishika nafasi ya 5 baada
ya kucheza mechi nyingine ambayo tulicheza na Waldof Mannheim na kutoka 1-1.
Kwa ujumla vijana walionyesha mchezo mzuri na kuvutiwa na
mawakala na timu zote zilizokuwa katika mashindano, kwa maana ya kwamba TSC
Academy ndio timu peek ambayo ilikuwa haishiriki ligi yoyote ya vijana kwetu
Tanzania, lakini timu nyingine zinashiriki ligi kuu za vijana za nchi zao,
wachezaji wa TSC waliongara sana kwenye mashindano hayo ni Abubakari Hasimu –
wa TSC Academy ambaye alipewa zawadi ya kipa bora na vifaa vyenye thanmani ya
EURO 400 kutoka kwa kampuni ya kutengeneza vifaa vya magolikipa hapa
Pia wachezaji wengine ni, Miraji Madenge, Striker, Karlos Protus
Centre back, Emily Mugeta left back, frank Sekule, Japhet Makalai na Saidi Juma.
Pamoja na kuwa kivutio kwa watu huku Ujerumani pia tumeweza
kuitangaza nchi yetu na mpira wetu vizuri sana, kwani watoto na watu wazima
wamekuwa wakitusupport sana, na kuchangia vitu mbalimbali vikiwemo viatu na
mipira.
Lalini pia tumeweza kutembelea mashule mambalimbali na
kifanya presentation juu ya mradi wetu wa michezo, ikiwa ni pamoja na
kuwaonyesha video mambalimbali za maisha ya nyumbani kuhusiana na soka, elimu
na maisha ya kila siku, baadhi ya shule tulizo tembelea ni mapoja na shule za
primary, secondary na chekechea. Pia tuliwafundisha kupika ugali, kushona
mipira na vitu vingine vingi.
Pia tulikaribishwa kwenye hafla zote na mameya wa miji
tuliyotembelea na kucheza mashindania, Meya wa Mannheim, Meya wa Brackenheim,
na meya wa Wurzbarg
Mkurugenzi TSC. Albert G.Sengo
Johnson Mzava (Kushoto) pamoja na Pastor Faye Pastor Faye Chandler, wakiimba nyimbo za injili ndani ya studio yao iliopo Washington DC.
Mzava akipata picha ya pamoja na mdhamini wa pendolake katikati pamoja na Pastor Faye Pastor Faye Chandler, wa kwanza kushoto pamoja na dogo Barack Johnson Mzava aliebebwa!
Mzava almarifu Aminiel, akizungumzia historia yake kwa ufupi, pamoja na
uzinduzi wa Album ya nyimbo za Injili wakiwa pamoja na mdhamini wa pendo lake Pauline Johnson Mzava pamoja na pastor Faye Chandler jiji Washington DC Nchini Marekani (Picha na http://swahilivilla.blogspot.com/)
Mrembo wa mkoa wa Mwanza 2012/13 atapatikana ijumaa ya agosti 31 katika viwanja vya Yatch Club Mwanza.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na muaandaji wa kampuni ya Sisi Entertainment John Doto, amesema shindano hilo linalovuta hisia za wengi ndani ya mkoa wa Mwanza na kanda ya ziwa kwa ujumla, litashirikisha warembo tariban 20 kutoka wilaya zote za mkoa Mwanza. John Doto amesema warembo wote watakaa kambini kwa wiki mbili, ambapo kambi rasmi itaanzatarehe 20 agosti mwaka huu katika hoteli ya Isamilo Lodge. Shindano la Redds Miss Mwanza 2012/13, lilisogezwa mbele kufuatia mwezi mtukufu wa Ramadhani. Wakiwa kambini warembo watapata fursa ya kujifunza Mitembeo, Tabasamu, ufahamu wa kujieleza pamoja na kuvumbua vipaji mbalimbali. John Dotto pia amesema warembo watakua na ziara ya kwenda kwenye mbuga za wanyama Serengeti, kutoa misaada kwa watoto yatima, vikongwe pamoja na kufanya usafi kwenye moja ya Hospitali Jijini Mwanza na moja ya barabara za Mwanza. Kwa miaka ya hivi karibuni, Mkoa wa Mwanza umekua ukitoa warembo wanaofanya vizurimashindano ya Taifa. Itakumbukwa Mwaka 2008 Nasreem Karim na Mwaka 2009 Miriam Gerald waliweza kushika Mataji ya Miss Tanzania wakitokea mkoa Mwanza.
Na Shomari Binda Musoma,Kikosi cha maangamizi cha timu ya soka ya Waandishi wa Habari Mkoani Mara leo kitashuka katika uwanja wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii Buhare nje kidogo ya Manispaa ya Musoma kucheza mchezo wa kujipima nguvu ikiwa ni maandalizi ya Bonanza la michezo litakaloandaliwa na Waandishi wa Habari wa Mkoa huo katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani.Akizungumzia mchezo huo nahodha msaidizi wa kikosi cha wanahabari Mara Augustine Mgendi alisema maandalizi yote kuhusiana na mchezo huo yamekwisha kukamilika na kikosi kizima cha timu hiyo kipo tayari kwa ajili ya kukabiliana na wanachuo hao.Alisema wachezaji wote wapo katika hali nzuri baada ya kufanya maandalizi ya kutosha kwa ajili ya mchezo huo na ameahidi kikosi hicho kufanya vizuri katika mchezo kama ambavyo wamekuwa wakifanya katika michezo yao iliyotangalia katika siku za nyuma.Aliongeza kuwa tayari kikosi cha maangamizi cha timu ya wana habari kimeshawekwa hadharani ambacho kitashuka dimbani hapo kesho kwa ajili ya mchezo huo ambao umekuwa ni gumzo katika maeneo mbalimbali ya mji wa Musoma kutokana na tambo kutoka upande wa timu zote mbili.Mgendi aliwataja wachezaji watakaoanza katika mchezo huo kuwa ni kipa Cales Katemana,Makiwa Jumanne,Mabere Makubi,,George Maratu,Thomas Dominic,Paschal Michael,Lima Masinde,Richard Luhende,Shomari Binda,Augustine Mgendi pamoja na Fazil Janja.Wachezaji wengine wataokuwa katika kikosi hicho ni Patrick Derick,Ahmed Nandonde,Emanuel Chibasa,Bigambo Jeje,Maxmilian Ngesi,Ahmad Kitumbo,Maxmilian Dominick,Dick Mohamed pamoja na Robert Simkoko.Huu utakuwa mchezo wa pili katika siku za hivi karibuni kwa kikosi hicho cha wanahabari Mara ambapo katika mchezo uliotangulia waandishi hao waliwaadabisha wahesabu fedha wa benki ya NBC tawi la Musoma kwa kuwatandika mabao 3-0 mchezo uliofanyika katika viwanja vya posta mjini Musoma.Kwa upande wake Katibu wa timu ya Waandishi wa Habari Mara Beldina Nyakeke akizungumzia kuhusiana na Bonanza alisema lengo lake ni kuleta hamasa ya michezo katika mji wa Musoma na Mkoa wa Mara kwa ujumla na kuwaomba wadau mbalimbali wa michezo kutoa ushirikiano katika kufanikisha.Bonanza hilo linatarajiwa kufanyika katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhamani kwa kushirikisha timu kutoka taasisi mbalimbali ambazo zitakuwa tayari katika kushiriki na litafanyika kwa siku moja.
Mara baada ya taarifa kutoka kwenye mitandao mbalimbali zikimzungumzia MRISHO Khalfan Ngassa kuuzwa Simba kwa dau la Sh. Milioni 25 nao Azam kukiri kuwa tayari wamekamilisha dili Kipindi cha Sports Extra na Clouds Fm kimezungumza na wahusika kwa kina na kutoa uchambuzi wake kuhusu hilo sakata. Bofya hapo juu kusikiliza...
Meza kuu na heshima za wimbo wa Taifa letu ndani ya Jubilee hiyo ya shule ya msingi Nyakahoja kutimiza miaka 50. Gwaride la wanafunzi wa kike wa shule ya msingi Nyakahoja likipita heshima mbele ya halaiki ya watu waliohudhuria sherehe za kutimiza miaka 50 Shule ya msingi nyakahoja Mwanza. Hapa ni mwendo wa vipaji vya mmoja mmoja wanafunzi wa Prep Two.
Ngoma za asili toka kwa wanafunzi wa shule ya msingi Nyakahoja zilihusishwa kwenye Maadhimisho ya 50. Mc Mahiri mwenye sauti ya 'radi' Baba Paroko aliyesimamia zoezi hilo kikamilifu Mwanzo mwisho.
Nikiwa na second bon wangu Cuthbert anayesoma shuleni hapo. Albert G.Sengo
| 2017-02-27T11:59:23 |
http://gsengo.blogspot.com/2012_07_29_archive.html
|
[
-1
] |
Mnyika, La hasha rais Kikwete si dhaifu bali..... | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Kijana Msomali, Jun 19, 2012.
Yaaah This presendent is weak, poco convincente,débil, flojo, ضعيف غير حكيم
Neno dhaifu alitoshi kwa huyu bwana kumuelezea inabidi tutumie na lugha za wenzetu
Kijana Msomali habari ya asubuhi? Ukiwa huko huko Mogadishu tafadhari fuatilia na uifahamu kiundani mada unayotaka kuichambua kabla hujaanza kufuka. Samahani kama ntakuwa nimekukwaza kijana wa Sheikh Shariff, napita tu.
Kijana Msomali habari ya asubuhi? Ukiwa huko huko Mogadishu tafadhari fuatilia na uifahamu kiundani mada unayotaka kuichambua kabla hujaanza kufuka. Samahani kama ntakuwa nimekukwaza kijana wa Sheikh Shariff, napita tu.Click to expand...
Maneno MbofuMbofu...njoo na hoja ama kale mihogo na ulale...
"anaangushwa na taasisi serikali, ambayo ndani yake kuna mawaziri,manaibu waziri,makatibu wakuu, wanasheria wa serikali,wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya,wakurugenzi wa manispaa,makatibu tawala na wafanya kazi wavivu wa taasisi za serikali. "
Hao unaosema ndio wanaoangusha taasisi ya uraisi wanateuliwa na nani? - 6 people likes
Rais ni dhaifu kwendelea kuwachekea chekea wezi wa mali za umma ni dalili ya udhaifu ameshindwa kuongoza watendaji waliopo chini yake.
Sana sana nami nakuunga mkono kuwa siyo dhaifu katika maswala haya. ila kwenye uongozi nabaki na myika kuwa JK ni dhaifu. Tena saaaaaana. most ever. - 6 people likes
Ni dhaifu kuliko wadhaifu wote niliowahi kuona na kusikia.mkulo kaondoka kwa nguvu ya hoja na wala sio rahisi wako huyo dhaifu,kaambukiza udhaifu kila sehemu,ni hodari wa kuzalisha tu,maana antekeleza mpango wa kuongeza ildadi ya watu flani hivi.
ni dhaifu ukatae ukubali,ndio ukweli!sababu,coz hao wote waliokoserikalini yy ndo mwenye mamlaka ya kuwateua!ss inapofika majali wameshidwa lutekeleza majukum yao na rais anatambua hilo,y anashindwa kuwachukulia hatua?tunachoshuhudia mafisadi wanazidi kuitafuna nchi yetu!ni dhaifu!
Mnyika ungefuta kauli yako ningerudisha kadi yangu ya Chadema, ukweli lazima usemwe hata kama ni mchungu.
Kumbuka rais wa Tanzania ni Imperial presidency. Watendaji wote wa serikali anawateua yeye.Udhaifu wake unawaambukiza na wengine. So "like father like son"
Sioni hoja hapa ya kuijadili. Haihitaji uwe kipanga kujua udhaifu wa Kikwete.
View attachment 56860
CCM hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Dogo wabunge wako wanashinda kutukana chama cha upinzani.
Kikwete ni dhaifu kwani alisema anajua orodha ya wauza dawa za kulevya hadi leo kimya,pia ni dhaifu kwani katika wizi kwenye halmashauri zetu hakuna ailiguswa;mkulo,luhanjo,jairo wote wanakashifa na wanakula bata mtaani,baba riz wewe ni dhaifu ni ngumu kumeza ila huo ndio ukweli.
Mtoa mada uko mbali sana na ukweli kwani yeye ndiye anayechagua hao mawaziri,wakuu wa mikoa,wilaya na wakurugenzi anauwezo nao sana tu kwani yeye ndiye aliyewachagua. kama wanamuangusha ni udhaifu tena mkubwa kuliko unavyofikiria
| 2017-01-24T01:24:55 |
https://www.jamiiforums.com/threads/mnyika-la-hasha-rais-kikwete-si-dhaifu-bali.280684/
|
[
-1
] |
NAIBU WAZIRI WA MALISILI NA UTALII,MHANDISI RAMO MAKANI AZUNGUMZA NA WAKAZI WA KIJIJI CHA MSHIRI WILAYANI MOSHI KUHUSU ENEO LA NUSU MAILI | KAMANDA WA MATUKIO
| 2017-08-19T13:04:18 |
http://richard-mwaikenda.blogspot.com/2017/08/naibu-waziri-wa-malisili-na.html
|
[
-1
] |
Rahabu Alimwamini Yehova | Wafundishe Watoto Wako
Sasa ngoja tuwazie tupo ndani ya jiji la Yeriko. Jiji hili liko katika nchi ya Kanaani. Mahali hapa watu hawamwamini Yehova. Mwanamke anayeitwa Rahabu anaishi katika jiji hili.
Rahabu alipokuwa msichana mdogo, alisikia hadithi kuhusu jinsi Musa alivyoyatenganisha maji ya Bahari Nyekundu na kuwaongoza Waisraeli kutoka Misri. Pia, alisikia jinsi ambavyo Yehova aliwasaidia Waisraeli washinde vita dhidi ya maadui zao. Sasa anasikia kwamba Waisraeli wamepiga kambi karibu na Yeriko!
Rahabu aliwaficha wapelelezi kwa sababu alimwamini Yehova
Jioni moja, Waisraeli wawili wanaingia Yeriko ili kulipeleleza jiji. Wanafika kwenye nyumba ya Rahabu. Naye anawakaribisha ndani ili walale. Usiku, mfalme wa Yeriko anagundua kwamba wapelelezi wako ndani ya jiji na wameenda nyumbani kwa Rahabu. Kwa hiyo, mfalme anawatuma watu ili wakawakamate. Rahabu anawaficha wapelelezi hao darini na anawaambia watu waliotumwa na mfalme: ‘Wapelelezi hao walikuwa hapa, lakini tayari wameondoka jijini. Ikiwa mtawafuata sasa, mnaweza kuwakamata!’ Je, unajua kwa nini Rahabu anawaficha wapelelezi hao?— Kwa sababu anamwamini Yehova na anajua kwamba atawapa Waisraeli nchi ya Kanaani.
Kabla wapelelezi hawajaondoka kwenye nyumba ya Rahabu, waliahidi kwamba Rahabu na familia yake hawataharibiwa wakati jiji la Yeriko litakapoharibiwa. Je, unajua wanamwambia afanye nini?— Wanamwambia hivi: ‘Chukua kamba hii nyekundu, na uining’inize nje ya dirisha lako. Ikiwa utafanya hivyo, kila mtu aliye nyumbani mwako atakuwa salama.’ Rahabu anafanya kila kitu ambacho wale wapelelezi walimwambia afanye. Je, unajua kilichotokea baadaye?—
Yehova alimwokoa Rahabu na familia yake
Siku chache baadaye, Waisraeli wanalizunguka jiji kimyakimya. Kwa siku sita wanalizunguka jiji mara moja kwa siku. Lakini katika siku ya saba, wanalizunguka jiji mara saba. Kisha wote wanapaaza sauti kubwa. Yehova anaziangusha kuta za jiji. Lakini nyumba ambayo kamba nyekundu inaning’inia dirishani haianguki! Je, unaiona nyumba hiyo?— Rahabu na familia yake wako salama!
Unajifunza nini kutoka kwa Rahabu?— Rahabu alimwamini Yehova kwa sababu ya mambo yote mazuri ambayo alikuwa amejifunza kumhusu. Wewe pia unajifunza mambo mengi mazuri kuhusu Yehova. Je, unamwamini Yehova kama Rahabu alivyomwamini?— Tunajua kwamba unamwamini!
Rahabu alisikia hadithi gani alipokuwa msichana mdogo?
Rahabu aliwasaidiaje wapelelezi Waisraeli? Kwa nini aliwasaidia?
Wapelelezi walimwahidi nini Rahabu?
Unajifunza nini kutoka kwa Rahabu?
| 2017-07-24T19:17:51 |
https://www.jw.org/sw/machapisho/vitabu/wafundishe-watoto-wako/rahabu-alimwamini-yehova/
|
[
-1
] |
12.11.2017 ~ 11.10.2018
Katika mashindano ya Turkish Airlines open 2017 mjini Antalya Justin Rose ndio amejipatia ushindi.
Mashindano haya yaliyoandaliwa na Turkish Airlines yakiwa ni mashindano ya nane ya Rolex barani Ulaya yamemuwezesha Justin kujipatia ushindi.Nafasi ya pili imechukuliwa na Dyllan Fritelli pamoja na Nicolas Colsaerts.
Kwa upande mwingine katika mashindano hayo timu ya Uingereza imevunja rekodi.Timu hiyo imeweza kupiga mpira wa golf ndani ya sekunde 32.7 na kuvunja rekodi ya dunia.
Rekodi zilizopitwa zilivunjwa na Ufaransa 34.87 na Afrika kusini 32.9.
Tutizame mashindano ya mchezo wa kuteleza barafuni yaliyofanyika Pekin China.Timu ya Gabriella Papadakis na Guillaume Cizeron kwa pointi 200.43 na kuvunja rekodi ya dunia.Timu hiyo hiyo ilipata pointi 119.33 katika mashindano ya bure.
Sasa tutizame mchezo wa tenisi
Roger Federer mchezaji tajiri zaidi katika ulimwengu wa tenisi.Federer amekuwa ni mchezaji anaelipwa zaidi katika mashindano ya ATP.
Federer milioni $109,853,682
Novak Djokovic milioni $ 109,805,403
Rafael Nadal milioni $ 91,199,322
Steff Graf,ni mchezaji anatambulika kuwa mahiri katika mchezo wa tenisi kwa wanawake.Amelazimika kukaa mbali na mashindano baada ya kujifungua.Hii imempa fursa Serena Williams 36 kuweza kuivunja rekodi katika mashindano ya 24 ya Grand Prix.Anasubiria tena katika mashindano Australia.
Mashindano ya mwisho na muhimu kabisa ya pikipiki yamefanyika Qatar.Katika mashindano hayo ya mita 300 Lucas Mahias aliweza kumaliza wa kwanza na kuwa bingwa.Katika raundi ya mwisho Kenan Sofoğlu amemaliza katika nafasi ya tatu na wa pili katika duniani.
Sofoğlu hakuweza kushiriki katika baadhi ya mashindano kutokana na majeraha aliyokuanayo.
Matokeo yalikuwa kama hivi:
Bingwa Lucas Mahias 190 pointi
Kenan Sofoğlu 161
Jules Cluzel 155
Sherindan Morais 141
Na katika nafasi ya tano Federico Caricasulo 118
Tumtizame Felipe Massa ni mchezaji kutoka Brazil ambae ameweza kuwa katika mashindano ya Formula 1 kwa miaka 15 ,kushinda katika mashindano 11, na kushiriki mara 41.Baada ya kuagana na mashindano hayo mchezaji mwenzake Valtteri Bottas alihamia timu nyingine na kumlazimu Massa kurudi uwanjani.Hata hivyo Felipe Massa mwenye umri 36 anaonekana kutobadili mawazo yake na kusimamia uamuzi wake wa kutorudi uwanjani.
Bonaventure Kalou achaguliwa kuwa Meya mpya jiji la Vavoa
Bonaventure Kalou achaguliwa kuwa Meya mpya jiji la Vavoa nchini İvory coast
Timu ya Uturuki kuchuana na timu ya taifa ya Urusi mechi ya 3 UEFA
Timu ya taifa ya Uturuki kuchuana na timu ya taifa ya Urusi katika mechi ya 3 ya ligi ya UEFA
Thierry Henry ateuliwa kuwa kocha mpya Monaco
Mchezaji wa zamani wa kimataifa wa Ufaransa Thierry Henry ateuliwa kuwa meneja mpya wa Klabu ya Monako
Putin ampongeza Khabib Nurmagomedov
Pongezi kwa mwanamasumbi Muislam anayetokea Dagistan Urusi Khabib Nurmagomedov zaedelea kuminika.
Trump atishia kuiadhibu Saudia iwapo itakuwa imehusika na kutoeka kwa Jamal Khashoggi 14.10.18 02:14:00
Mtaa kunakojengwa ubalozi mpya wa Marekani mjini Ankara wapewa jina la Malcolm X 13.10.18 09:13:00
"Kutoweka kwa Khashoggi ni jambo kubwa mno" 14.10.18 11:35:00
Watu 20 wauwa katika shambulizi nchini Afghanistani 14.10.18 01:32:00
Idadi ya watu waliofariki katika maporomoko ya ardhi Indomesia yazidi kuongezeka 14.10.18 10:23:00
YALIOJIRI LEO OKTOBA 15. 2018 SAUTI YA UTURUKI
Mvua zasazabisha mafuriko ya maafa nchini Ufaransa
Dhoruba kali ya Michael yakumba eneo la Kusini-Mashariki mwa Marekani
Rais Erdoğan azindua mskiti mkubwa barani Ulaya mjini Köln nchini Ujerumani
Rais Erdoğan achangia mlo wa asubuhi na kansela wa Ujerumani wakizungumza kuhusu ushirikiano
| 2018-10-15T16:57:41 |
http://www.trt.net.tr/swahili/michezo/2017/11/11/ulimwengu-wa-michezo-844909
|
[
-1
] |
News about Uhuru And Ruto Cry | Read all 36 related News on TUKO ▷ Tuko.co.ke
Elections Latest Politics Tuko TV! Swahili Entertainment FEEDBACK Uhuru And Ruto Cry Al-Jazeera highlights how Kenyans 'EMBARRASS' President Uhuru (video)
Al-Jazeera highlights how Kenyans 'EMBARRASS' President Uhuru (video) Furaha ya Joe Kadenge baada ya Uhuru kumtimizia OMBI lake la mwisho! (picha)
Uhuru ampa Joe Kadenge ujumbe huu wa kushangaza kutokana na ombi lake
Uhuru atoa ONYO kali kwa Raila Odinga katika hotuba yake ya Mwaka Mpya (VIDEO)
Uhuru mourns politican who was forced to resign to pave way for him
Ruto repeats his favorite casual wear for 50th birthday(photos)
Everything you missed from William Ruto's 50th birthday celebration
Everyone is wondering whre DP Ruto was hiding while Uhuru was weathering the Millie Odhiambo storm. Turns out Kenya’s DP was born today, December 21,...........
Uhuru sparks laughter, 'insults' Millie Odhiambo back
President Uhuru Kenyatta has finally responded to Mbita MP Millie Odhiambo's insults that elicited mixed reactions among Kenyans. On Tuesday afternoon, Odhiambo
Did Ruto's hand touch the wrong place? (photo)
A photo of Deputy President William Ruto meeting Labour Party leaders is making rounds online while triggering an interesting theory. In the photo Ruto's hand..
Tension in the Jubilee camp as Moi is set to make a MAJOR announcement
KANU chairman Gideon Moi is set to make a major announcement on whether or not he would be joining the National Super Alliance Speaking on Friday, December 16,
Gavana ageuka na kukana kuwahi kumuunga Uhuru mkono
Rais Uhuru Kenyatta amepata pigo kubwa siku chache baada ya kuzuru Ukambani; Siasa zinazidi kunoga huku uchaguzi mkuu ukikaribia.Pata habari kamili- Tuko.co.ke
Hii hapa VIDEO ya Uhuru Kenyatta alipokunywa gesi ya kutoa machozi
Kiongozi wa upinzani Raila Odinga alitupiwa gesi ya kutoa machozi wakati wa maandamano dhidi ya IEBC. Rais Uhuru Kenyatta pia amewahi kufyatuliwa gesi hiyo.
Rais Uhuru na Ruto wataadhibiwa vikali 2017 kwa sababu ya makosa haya (habari kamili)
Mbunge huyo ni mkosoaji mkuu wa Rais Uhuru Kenyatta ambaye alikataa kusimama bungeni kama ishara ya heshima wanajeshi wa KDF waliouwawa katika mkasa wa El-Adde.
Uhuru can't defeat NASA the normal way - Mutahi Ngunyi
Uhuru lost to NARC, a super alliance in 2002 and Ngunyi believes he needs a new approach to win from NASA in 2017. That new approach is by creating a Prime Mini
The president, speaking at the Teachers Cooperative Building in Kericho on Friday 9, denied allegation that Jubilee is currently have internal wrangles.
Remember when our dear President openly declared that the opposition could comfortably “meza mate” (Salivate) while they enjoyed their fair share of the meat?
An Anglican bishop has blasted President Uhuru Kenyatta, Deputy William Ruto and CORD leader Raila Odinga for trading insults in the recent days. Stop dragging us in your insults, bishop lectures Uhuru, Ruto and Raila
Orange Democratic Movement (ODM) leader Raila Odinga has accused President Uhuru Kenyatta and his deputy William Ruto of leading the country to violence. Raila Uhuru and Ruto will burn this country- Raila Odinga
Ruto amtusi Raila? Wakenya wakasirishwa na matamshi ya naibu wa rais
Uchaguzi mkuu unapokaribia, wanasiasa wanazidi kurushiana cheche za maneno na kukashifiana vikali.Sasa viongozi wa serikalini na wa upinzani wakabiliana vilivyo
Mlinzi wa William Ruto ajifyatua risasi
Afisa wa utawala ambaye pia ni mlinzi wa naibu wa rais William Ruto alijifyatua risasi siku ya Jumatatu Novemba 22. Habari kamili, soma Tuko.co.ke . Mlinzi wa William Ruto ajifyatua risasi
Things turn very ugly for DP Ruto in Rift Valley (video)
A video has emerged showing a section of Rift Valley leaders attacking Deputy President William Ruto as residents cheer them on. They want Uhuru to tame him.
Ruto hits Raila and CORD below the belt again
Deputy President William Ruto hit back at the opposition over its continued attacks on the Jubilee administration and corruption allegations.
Speaking at the T
William Ruto akitafuna MAHINDI CHOMA na picha zingine 9 za kusisimua kumhusu naibu rais!
Naibu Rais William Ruto amesisitiza wazi kuwa maisha yake yalivyoanza katika uchochole, na kwamba licha ya mamilioni aliyonayo sasa yeye bado ni 'hustler'.
Raila was tied with a belt for women who've just delivered in fake Kalenjin tradition
It has emerged that Raila Odinga may not be a Kalenjin elder after all. The belt used on him, popularly in post maternity, was the wrong one for installation. Raila was tied with a belt for women who've just delivered in fake Kalenjin tradition
Shock in Nyeri as grandfather demands KSh 1.8 million to bury his grandson
Tension is high in Nyeri county after a victim of terror attack was denied a final resting place by his grandfather.Police had to intervene to settle the issue
Presidential Election 2017 In Kenya Raila Odinga News Uhuru Kenyatta News ODM party latest news in Kenya Mike Sonko Latest News Uhuruto 2017 Uhuruto News Wiper Party Latest News William Ruto Weeps William Ruto Sues Boniface Mwangi Millie Odhiambo Life Uhuruto Signposts Raila attacks Uhuru over Afya House scandal Mark Too dead Kenyan Women And Money Jaguar And Uhuru Corruption In Jubilee William Ruto Vs Boniface Mwangi Ruto Addresses Corruption Allegations Boniface Mwangi VS William Ruto defamation law suit Advertise with us Tags Categories Privacy Policy Social
| 2017-07-25T12:35:07 |
https://www.tuko.co.ke/tag/uhuru-and-ruto-cry.html
|
[
-1
] |
Tuma Mafaili Kati ya Android na Kompyuta Bila Waya
You are at:Home»Maujanja»Jinsi»Tuma Mafaili Kati ya Android na Kompyuta Bila Waya Kirahisi
By ecay on March 19, 2015 Jinsi, Kompyuta, Maujanja, Teknolojia
Kama wewe ni mtumiaji wa Android basi inawezekana tayari unajua kwa kiasi gani mfumo huu huru unavyobadilisha jinsi tunavyotumia simu zetu katika zama za sasa. Mara nyingi tuna- tuma mafaili kati ya android na kompyuta kwa kutumia waya.
Hii ni njia haraka zaidi kwa mafaili makubwa ila je, kuna njia rahisi zaidi ya kufanya hivyo, hasa ukiwa mbali na kompyuta? Tumepata mbili kwa ajili yako.
Utakachohitaji:
Es Explorer : Kwa ajili ya kutuma mafaili kwa mtandao wa eneo la karibu(LAN) na FTP.
ES Explorer Remote Manager: Kwa ajili ya kufanya simu yako kuwa ‘seva ya FTP’ na kuhamisha mafaili kwa njia ya FTP.
Es Explorer ni app ya Android tulioielezea kama app muhimu ya kushughulikia mambo mengi kwenye simu za Android. Moja ya vitu hivyo ni ku- tuma mafaili kati ya simu na kompyuta. Es Explorer inasaidia kufanya hivi kwa njia za LAN na FTP.
SOMA PIA: Apple yathibitisha kuwa inatengeneza magari.
Hamisha kwa LAN:
Kwanza, hakikisha kwamba kompyuta yako ina faili la ku-shirikishana (shared folder) ambalo unataka kutumia kwa ajili ya vitu kati yake na kifaa kingine au mtu mwingine. Unaeweza pia kubadili mipangilio ya kushirikisha ili uweze kutumia diski flani au kabati (folder) utakalo.
Pili, Hakikisha simu na kompyuta yako zimeungana na wayalesi iloyopo au ya kurusha kutoka kwenye simu yako.
Kwenye androidi yako, fungua ES Explorer na elekea kwenye menu ya kushoto na fungua kipengele cha Network->LAN.
Bonyeza ‘scan’ kupata orodha ya kompyuta zilizomo kwenye mtandao eneo la karibu au unaweza kuingiza anuani za kompyuta unayotaka kwa ‘ku-add server’ kwa kubonyeza ‘New’ kwenye menu ya chini.
Bofya kompyuta yako na weka jina na pasiwedi yako kama unavyotumia kuingia kwenye kompyuta yako. Ukifanikiwa, androidi yako itakuwa na uwezo wa kuona, kupakua na kuweka chochote kilicho kwenye diski au kabati iliyoshirikishwa na kompyuta hiyo.
Unaweza sasa kurudi kwenye kipengele cha ‘Local’ cha ES Explorer na kuhamisha mafaili unayotaka kwenda kwenye kompyuta.
Hamisha kwa FTP:
Remote Manager ni kipengele kidogo chenye uwezo wa kufanya simu yako ya mkononi ya Androidi kuwa seva ya FTP.
Kufanya simu kuwa seva
Ingia kwenye kipengele cha Remote Manager.
Kwenye menu ya chini bofya ‘Settings’ na weka mpangilio unaokupendeza zaidi, kisha rudi na bofya ‘Turn On’ kuanzisha seva yako. Utaona pia anuani ya seva hiyo.
Weka njia ya mkato ili kila uwashapo simu na kompyuta kwenye mtandao huu zijiunge moja kwa moja.
Kuhamisha Mafaili kwenda kwenye Simu
Kwa urahisi, weka njia ya mkato ya simu yako kwenye kompyuta yaako ya Windows kwa kuingia My Computer, bonyeza kitufe cha Kulia kwenye kipanya kwa ajili ya menu alafu chagua ‘add a network location’ kama inavyoonesha picha hapa chini.
Ingiza anuani ya IP, jina na pasiwedi kama ulivyoziainisha kwenye Remote Manager na utakuwa na idhini ya kuona, kuchukua au kuweka mafaili unayotaka kwenye simu yako.
Tunatumaini tumekuongezea ujanja leo wa kuweza kufanya mawasiliano kati ya kompyuta na anroidi yako rahisi zaidi. Una maswali? Maoni? Usisite kuwasiliana nami kupitia [email protected] na pia kutpitia mitandao yetu ya jamii facebook, twitter na instagram.
Picha Na: HowToGeek , technologypress
Move to Android: Apple Kutengeneza App ya Kusaidia...
Mambo Ya Kufanya Pale Kompyuta Inapoganda (Freeze)...
| 2018-02-22T04:57:36 |
http://teknokona.com/androidi-tuma-mafaili-kati-ya-simu-yako-na-kompyuta/
|
[
-1
] |
HTML5 / MediaRabid Video Player with Thumbnail preview — Add-On kwa WorldWideScripts.netKujiunga na kulisha wetu kukaa hadi tarehe!Mpya! Kufuata yetu kama unataka!Sehemu hii inapatikana katika 37 lugha nyingine!ArabicBengaliCatalan/ValencianDanishDutchEnglishEsperantoFinnishFrenchGermanGreekGujaratiHindiIndonesianItalianJapaneseKannadaKoreanMalayNorwegianPersianPolishPortugueseRomanian/Moldavian/MoldovanRussianSimplified ChineseSpanish/CastilianSwedishTagalogTamilTeluguThaiTraditional ChineseTurkishUkrainianUrduVietnameseKuishi PreviewViwamboAds
Hakikisho ya
Player. . Hakikisho ya jenereta Picha ndogo
Kuchukua video yako mchezaji ngazi ya pili kwa kutoa njia ya kuangalia mbele kabla ya video ni kabisa kubeba. Kujengwa juu ya mchezaji videojs kutoa kuanzisha rahisi na styling.
Mitindo yote ni externalized na hivyo, mchezaji yenyewe ni rahisi sana Customize.
Picha ndogo Preview Generator:
Mfuko downloadable pia ina jenereta thumbnail ambayo inachukua video yako na hutoa mfululizo wa sprites picha. Jenereta anatumia php kuokoa images. Hivyo, wewe ama haja ya kupeleka jenereta kwenye kompyuta yako au kwenye server ndani kama Wamp au MAMP . Ingawa, mimi ilipendekeza kuwa mwenyeji kwenye server za mitaa kama jenereta tusubiri untill video kamili ni kuwa kubeba kabla ya kuzalisha thumbnails na itakuwa ni kwa kasi zaidi kwenye server mitaa kuliko kwenye server yako kuishi mtandao .
DownloadVipengele vingine katika jamii hiiKila sehemu ya mwandishi huyuMaoniMara kwa mara kuulizwa maswali na majibuMaliKuundwa:16 Oktoba 12Badiliko:16 Oktoba 12Sambamba Browsers:IE9 , Firefox , Safari, Opera , ChromeProgramu Version:HTML5, jQueryHigh resolution:HapanaFiles Pamoja:JS JavaScript , HTML, CSS , PHPKeywordsHTML5, php, thumbnails, thumnbail, video perview, video mchezaji
| 2016-12-04T10:09:43 |
https://sw.worldwidescripts.net/rabid-video-player-with-thumbnail-preview--41490
|
[
-1
] |
ETI WANAUME HAWAWEZI KUVUNJA UNGO...UWONGO MTUPU WANAWEZA
Watafiti makini wa blog hii wamegundua kuwa wanaume wengi wana nyanyaswa kijinsia halafu hawasemi. Kwa hiyo bodi ya wakurugenzi ya Blog imetoa maagizo kuwa blog hii iwe mtetezi wa wanaume ambao wananyanyaswa bila kosa lolote, na kwa kuwa tu maskini wamezaliwa wanaume, hii sio haki kabisa kikatiba. Wanaume huwa wananyanyasika halafu kwa aibu au mara nyingine baada ya kipigo kikali wananyamaza tu hawasemi kumbe wanaumia ndani kwa ndani. Blog hii ambayo imefungwa mtambo wa kurekibisha tabia leo unaanza ukombozi wa wanaume kwa sentensi ya kudhalilisha sana eti 'WANAUME HAWAWEZI KUVUNJA UNGO'. Hakuna kitu cha kudhalilisha kama hiki, na wanaume wengi hukaa kimya na kumezea tu wanaposikia sentensi hii dhalimu. Labda utaniuliza kwa nini wanaume wanakubali kudhalilishwa namna hii? Utafiti umeonyesha kuwa wanaumbe ni viumbe wapole sana wasiopenda fujo, hivyo wakisikia neno hilo huwa hawabishi wanajinyamazia tu. Lakini je ni kweli mwanaume mwenye nguvu zako timamu huwezi kuvunja ungo? Utafiti umeonyesha wanaume wanaweza kabisa kuvunja ungo ila hawataki tu, mwanaume akiukamata vizuri ungo anaweza kuuvunja hata kwa mikono na akishindwa ataukanyagakanyaga kwa miguu lazima uvunjike. Hivyo basi wanaume wote kwa pamoja tusimame tuseme kwa pamoja ''TUNAWEZA KUVUNJA UNGOOOOOO
Yusuph Mcharia said…
| 2018-03-24T17:34:56 |
https://chekanakitime.blogspot.com/2013/06/eti-wanaume-hawawezi-kuvunja-ungouwongo.html
|
[
-1
] |
HABARI NA MATUKIO: RAIS MHE.DKT.JOHN MAGUFULI AREJEA NCHINI KATIKA UWANJA WA NDEGE WA MWANZA AKITOKEA NCHINI UGANDA
RAIS MHE.DKT.JOHN MAGUFULI AREJEA NCHINI KATIKA UWANJA WA NDEGE WA MWANZA AKITOKEA NCHINI UGANDA
Rais Mhe.Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkuu wa MKoa wa Mwanza John Mongella mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza akitokea Nchini Uganda alipohudhuria mkutano wa 19 wa wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Rais Mhe.Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) MKoa wa Mwanza ndugu Anthony Dialo mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza akitokea Nchini Uganda alipohudhuria mkutano wa 19 wa wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Rais Mhe.Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa ndugu Kheri Jamesn mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza akitokea Nchini Uganda alipohudhuria mkutano wa 19 wa wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Rais Mhe.Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na Naibu Waziri wa Ardhi ,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe.Angelina Mabula mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza akitokea Nchini Uganda alipohudhuria mkutano wa 19 wa wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Rais Mhe.Dkt John Pombe Magufuli akitazama ngoma mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza akitokea Nchini Uganda alipohudhuria mkutano wa 19 wa wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Rais Mhe.Dkt John Pombe Magufuli akizungumza na baadhi ya Viongozi na Wafanyakazi wa uwanja wa ndege wa MKoa wa Mwanza mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza akitokea Nchini Uganda alipohudhuria mkutano wa 19 wa wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Rais Mhe.Dkt John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Naibu Waziri wa Ardhi,nyumba na Maendeleo ya Makazi Angelina Mabula,Mkuu wa MKoa wa Mwanza John Mongella na wacheza ngoma waliofika kumlaki uwanjani hapo mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza akitokea Nchini Uganda alipohudhuria mkutano wa 19 wa wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
KUMBUKUMBU March 2008 ( 80 ) April 2008 ( 53 ) May 2008 ( 40 ) June 2008 ( 38 ) July 2008 ( 75 ) August 2008 ( 23 ) September 2008 ( 54 ) October 2008 ( 13 ) November 2008 ( 5 ) January 2009 ( 15 ) February 2009 ( 4 ) March 2009 ( 6 ) April 2009 ( 1 ) May 2009 ( 1 ) June 2009 ( 12 ) July 2009 ( 14 ) August 2009 ( 6 ) September 2009 ( 25 ) October 2009 ( 7 ) November 2009 ( 10 ) December 2009 ( 18 ) January 2010 ( 20 ) February 2010 ( 5 ) June 2010 ( 18 ) September 2010 ( 13 ) November 2010 ( 1 ) March 2011 ( 13 ) April 2011 ( 144 ) May 2011 ( 154 ) June 2011 ( 144 ) July 2011 ( 115 ) August 2011 ( 170 ) September 2011 ( 90 ) October 2011 ( 101 ) November 2011 ( 155 ) December 2011 ( 146 ) January 2012 ( 165 ) February 2012 ( 127 ) March 2012 ( 164 ) April 2012 ( 154 ) May 2012 ( 183 ) June 2012 ( 162 ) July 2012 ( 186 ) August 2012 ( 133 ) September 2012 ( 148 ) October 2012 ( 179 ) November 2012 ( 213 ) December 2012 ( 206 ) January 2013 ( 228 ) February 2013 ( 208 ) March 2013 ( 166 ) April 2013 ( 187 ) May 2013 ( 240 ) June 2013 ( 194 ) July 2013 ( 148 ) August 2013 ( 171 ) September 2013 ( 188 ) October 2013 ( 212 ) November 2013 ( 175 ) December 2013 ( 158 ) January 2014 ( 130 ) February 2014 ( 153 ) March 2014 ( 237 ) April 2014 ( 250 ) May 2014 ( 241 ) June 2014 ( 200 ) July 2014 ( 295 ) August 2014 ( 221 ) September 2014 ( 207 ) October 2014 ( 266 ) November 2014 ( 210 ) December 2014 ( 228 ) January 2015 ( 166 ) February 2015 ( 182 ) March 2015 ( 216 ) April 2015 ( 225 ) May 2015 ( 228 ) June 2015 ( 283 ) July 2015 ( 245 ) August 2015 ( 226 ) September 2015 ( 212 ) October 2015 ( 246 ) November 2015 ( 212 ) December 2015 ( 231 ) January 2016 ( 220 ) February 2016 ( 221 ) March 2016 ( 238 ) April 2016 ( 214 ) May 2016 ( 160 ) June 2016 ( 210 ) July 2016 ( 254 ) August 2016 ( 312 ) September 2016 ( 313 ) October 2016 ( 270 ) November 2016 ( 258 ) December 2016 ( 210 ) January 2017 ( 194 ) February 2017 ( 193 ) March 2017 ( 268 ) April 2017 ( 215 ) May 2017 ( 213 ) June 2017 ( 278 ) July 2017 ( 247 ) August 2017 ( 228 ) September 2017 ( 227 ) October 2017 ( 290 ) November 2017 ( 234 ) December 2017 ( 257 ) January 2018 ( 208 ) February 2018 ( 209 ) March 2018 ( 238 ) April 2018 ( 192 ) May 2018 ( 261 ) June 2018 ( 171 )
JESHI LA POLISI LAMTIA MBALONI ANAYETUHUMIWA KUMUUA MHADHIRI UDOM MAREHEMU ROSE
JESHI la Polisi mkoani Dodoma linamshikilia mtuhumiwa wa mauaji ya aliyekuwa mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Rose Manfredy Mnde...
NJOMBE YAZINDUA KAMPENI YA HUDUMA, ELIMU NA USAJILI WA WALIPAKODI WAPYA
Mkuu wa Wilaya ya Njombe Bi. Ruth Msafiri akichangia jambo katika uzinduzi wa Kampeni ya Huduma, Elimu na usajili wa Walipakodi wapya Mkoa...
KATIBU MKUU SIHABA NKINGA AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA ABBOTT FUND
AMSHINDILIA MWENZAKE MISUMARI KISOGONI KISA....
ANZISHENI KAMPENI ZA KUHAMASISHA UPIMAJI WA VVU-MAJALIWA
| 2018-06-20T09:33:57 |
http://www.kajunason.com/2018/02/rais-mhedktjohn-magufuli-arejea-nchini.html
|
[
-1
] |
RAIS JAKAYA KIKWETE AMETANGZA RASMI LEO KUHUSU KIFO CHA SIMBA WA VITA MZEE RASHIDI MFAUME KAWAWA MAPEMA ASUBUHI IKULU, JIJINI DAR. RAIS JK AMETANGAZA PIA SIKU SABA ZA MAOMBOLEZO KITAIFA AMBAPO BENDERA ZITAPEPEA NUSU MLINGOTI NCHI NZIMA. MAANDALIZI YA MAZIKO YANAENDELEA NA JK KAOMBA SUBIRA NA ITATANGAZWA WAKATI WOWOTE MAMBO YAKISHAKAMILIKA.MZEE KAWAWA AMEFARIKI AKIWA NA UMRI WA MIAKA 80. MZEE KAWAWA ALIKUWA MPENZI MKUBWA WA MICHEZO. HAPA AKIWA REFA KATIKA MCHEZO WA WABUNGE NA MAWAZIRI ENZI HIZO MZEE KAWAWA AKIWA NA TAIFA STARS MZEE KAWAWA ENZI ZA UHAI WAKE ALIPOTEMBELEA UWANJA MPYA WA TAIFA
Posted by Amri Massare (Maximo) at 7:21 AM
Amani Misana mwenye tisheti nyekundu Mtangazaji wa Radio Times akitoka katika kaburi baada ya kumlaza mama yake katika mwandani wa mapumziko ya milele katika makaburi ya Magomeni Jijini Dar es Salaam, Bi Asia ambaye nini Mama wa Amani Misana na Hussein Juma (DJ JUICE) ambao ni wafanya wa Radio TIMES FM, Alifariki jana mkoani Tanga Ndugu, Jamaa, Marafiki na Wafanyakazi wa Radio Times FM wakisaidia shughuli ya mazishi ya Mama yake Amani Misana mtangazaji wa Radio wa Times FM pamoja na DJ Juice. Amani Misana Mwenye tisheti nyekundu akishudia ndugu jamaa marafiki na watangazaji wa Radio Times Fm wakilihifadhi vema kaburi la mama yake, Bi Asia. Shekhe Akisoma Talakini mara baada ya mazishi EEEH MWENYEZI MUNGU ILAZE ROHO YA MAMA YETU ASIA MAHALA PEMA PEPONI AMINA!!!
Posted by Amri Massare (Maximo) at 6:07 AM
Wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars wakifanya mazoezi katika uwanja wa karume jijini Dar es Salaam ikiwa ni maandalizi ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Ivory Cost utakaopigwa hapo Januari 4 katika uwanja wa Taifa.
Mwenye mpira ni mchezaji wa kimataifa wa Tanzania anayeichezea klabu ya Vancouver Whitecaps ya nchini Canada, NIzar KhalfANI.
Timu ya taifa ya Ivory Cost inatarajiwa kuwasili jijini Dar es Salaam siku ya Jumamosi ambapo itacheza michezo miwili, mchezao wa kwanza itacheza na Taifa Stars Januari 4 na mchezo wa pili itacheza na timu ya taifa ya Rwanda Januari 7.
Posted by Amri Massare (Maximo) at 8:48 AM
Jumla ya shilingi bilioni 7 zimetengwa na Serikali pamoja na Sekta binafsi kwa ajili ya maandalizi ya wageni watakaokuja Tanzania kabla ya kuanza kwa Michuano ya Kombe la Dunia litakaloanza mwezi Juni hapo mwakani Nchini Afrika Kusini.
Akizungumza na waandishi wa Habari katika ukumbi wa mkutano wa Wizara ya Miundo Mbinu,Mwenyekiti wa Kamati ya Rais ya FIFA Mheshimiwa Shukuru Kawambwa amesema kamati yake inayoundwa na Mawaziri 2 na Manaibu Waziri 3 imeandaa mikakati kabambe kuhakikisha wageni watakuja nchini kwa kuuona na kucheza katika Uwanja wetu Wataifa kabla ya kuanza Michuano hiyo mikubwa ya Kombe la Dunia.
Amesema hatua zilizochukuliwa ni pamoja na mkakati wa kitaifa wa kuhakikisha Tanzania inanufaiki na fainali za kombe la Dunia 2010, na kusema ikiwa ni kuvutia timu shiriki kuja hapa nchini kabla ya kwenda Afrika kusini ambapo tunaamini timu hizo za taifa zitakuja na mashabiki wake ambao watalazimika kulala katika mahoteli yetu lakini wanaweza kupata fursa ya kutembelea sehemu za utalii.
Amesema Kuandaa vivutio ambavyo vitawashawishi watalii ama mashabiki ambao watakuja hapa nchini kabla ya fainali na baada ya fainali za Dunia 2010.
Ameongeza kuwa njia nyingine itakayotumika ni pamoja na kutumia matangazo katika magazeti, tovuti, picha za video na vijarida mbali mbali ambavyo vitakuwa vikielezea vivutio vya utalii wa Tanzania.
Naye Raisi wa Shirikisho la Soka la Tanzania Leodga Chilla Tenga amesema mpaka sasa wanaendelea kuwasiliana na Nchi ambazo zitashiriki Michuano hiyo ambayo ni mara ya kwanza kufanyika Afrika ijapokuwa kuna ushindani wa hali ya juu katika kufanikisha hilo.
Posted by Amri Massare (Maximo) at 8:32 AM
Waziri wa habari Utamaduni na michezo George Huruma Mkuchika ameipongeza Kamati ya Olimpic kwa jitihada zake za kuhakisha Tanzania inashiriki katika michuano ya Jumuiya ya Madola Oktoba mwakani Mjini Delh nchini India.
Mkuchika ameyasema hayo wakati wa mapokezi ya kifimbo cha malkia wa Pili wa Uingereza.
Mkuchika amesema kutoakana na heshima kubwa iliyoipata Tanzania kwa kukimbiza kifimbo hicho kwa misimu minne mfululizo na hivyo ana iamani kwamba itakuwa changamoto kwa wanamichezo na kuhakikisha wanafanya vizuri katika michuano ijayo.
Posted by Amri Massare (Maximo) at 8:19 AM
Watanzania wametakiwa kuiunga mkono Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars katika mchezo wake wa kirafiki na Ivory Coast hapo Januari 4 utakaofanyika katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es salaam majira ya saa moja na nusu usiku.
Akizungumza na Waandishi wa Habari katika ukumbi wa TFF Katibu Mkuu wa Shirikisho la soka la Tanzania Fredrick Mwakalebela amesema timu ya Ivory Coast itawasili Jumamosi ya wiki hii ikiwa na msafara wa watu hamsini na watafikia hotel ya Kempisk.
Amesema Ivory Coast itacheza michezo miwili mmoja na Taifa Stars Januari 4 na mchezo mwingine itacheza na Timu ya Taifa ya Rwanda Januari 7 kwenye uwanja wa Taifa.
Akitaja viingilio vya mchezo huo Mwakalebela amesema viingilio vitakuwa ni vya aina saba tofauti, ambavyo ni Kijani mzunguko sh 5000, Bluu Mzunguko sh7000, Rangi ya Chungwa nyuma ya magori 10,000.
Rangi ya Chungwa mkabala na jukwaa kuu sh 20,000,
Viti maalum VIP C 30,000
Viti maalum VIP B 40,000
Viti maalum VIP A 50,000
Posted by Amri Massare (Maximo) at 6:03 AM
Abeti Masikini "The Nightengale of Zaire" alipokuwa akitamba enzi zake
*Mkali wa kike wa muziki kizazi kipya anayetisha sasa
*Ni baada ya akina mama kushindwa 'kuzalisha' vipaji
*JB Mpiana 'alizima' zake, amkubali kwa asilimia zote
katika safu hii ya wanamuziki na muziki wa Afrika, hasa wa nchini Kongo ambao kwa kiasi kikubwa umeteka soko la muziki karibu Afrika yote, nitazungumzia sauti za gharama za akina mama.
Nimekuwa nikijiuliza maswali mengi yaliyokosa majibu ni kwanini wanamuziki wa kike, nyota waliowahi kuwika miaka ya nyuma nchini Kongo kutoka enzi ya akina Abeti Masikini hadi leo washindwe kuwarithisha kipaji hicho kwa mabinti wa kizazi cha sasa?
Hii imekuwa ni tofauti kubwa kwa upande wa wanaume, ukizungumzia kutoka enzi ya akina Dkt. Nico Kasanda, Luambo Rwanzo Franco Makiadi, uje enzi za akina Papa Wemba, Bozi Boziana, Aurus Mabele, Koffi Olomide, 'ushuke' kwa akina JB Mpiana, Werrason Makanda, Alain Mpela, na sasa wanaotamba katika kizazi kipya akina Ferre Gola 'Shetani' na Fally Ipupa.
Hao niliowataja wote nitawaelezea katika makala yatakayofuata baada ya haya, katika kuwachambua wanamuziki wa kiume wa Kongo, wakali na wenye sauti za gharama, kuanzia ya kwanza kama ya Mandal Chante, Lora Mwana Dindo na Papa Wemba hadi nzito za akina Madilu System, sasa nirudi kwa malkia hao wa Kongo.
Ni ukweli usiopingika kwamba wanamuziki wa kiume wamekuwa wakirithishana ama iwe rasmi, mfano kutoka kwa mzazi hadi mtoto kama ilivyo kwa Dindo Yogo aliyerithiwa na mtoto wake Lora Dindo Yogo, Vick Longomba aliyerithiwa na Lovy Longomba na Awilo Longomba, au urithi usio rasmi kwa maana ya kizazi cha wanamuziki kujizalisha chenyewe kihistoria.
Kama nilivyoeleza tumeshuhudia makundi mengi yakichuana na kuleta ushindani mkubwa wa muziki tangu enzi za akina Dkt. Nico hadi leo hii tunaendelea kushuhudia akina Fally Ipupa wanavyochuana na Ferre Gola na wengine wengi.
Hali hii iko tofauti kwa wanawake, ushindani uliokuwepo enzi ya akina Abeti Maskini, enzi ya akina Mbilia Bel alivyokuwa akilumbana na wifi yake M'Pongo Love na baadaye Faya Tess, leo hii hakuna. Meje 'MJ 30' aliyejitiwisha mikoba ya T Shala Mwana akimwaga radhi kwa kunengua bila nguo ya ndani (sehemu iliyozzibwa) ndiye anayekuja juu kwa sasa nchini Kongo.
Hakuna kizazi cha wanamuziki wa kike cha kujisifia tangu hao akina Mbila Bel na Tshala Mwana walipowika na kuondoka zao katika ushindani na sasa wakipiga muziki wa 'vilabuni' tu hata kama wanatoa albamu, lakini muziki wao si wa ushindani na wanaendelea kuwepo katika anga la muziki hata katika umri wao mkubwa ni kutokana na kukosa upinzani au ushindani wa kweli kwa wasanii wa kike wabichi.
Je, vipaji vyao hivyo vimerithiwa na akina nani? Hata kama si katika muziki wa dansi, tuzungumzie tu muziki wa kizazi kipya kama wa Zouk ambao kwa Wakongo (unapigwa na wanawake zaidi), nani anatisha? Ni wachache na zaidi nitakuelezea binti mmoja matata sana anayeibukia na kutisha katika fani hiyo kwa sasa.
Ni pengine ni kutokana na uhaba huo wa vipaji kwa upande wa watoto wa kike, na ndiyo maana wengi walikuwa wakifikiri kuwa, Monique Seka 'Queen of Afro-Zouk' ni raia wa Kongo, baada ya kutamba sana na albamu yake ya Missounwa.
Mwanamama huyu alitamba sana katika muziki wa Zouk, huyu ni mzaliwa wa Ivory Coast, alipoibukia katika anga la muziki, wengi walidhani ni 'toleo jipya' la muziki wa kizazi cha Kongo, lakini huyu ni raia wa Ivory Coast.
Ndiyo maana hapo juu nimeainisha kuwa akina mama hawa wa Kongo waneshindwa 'kuzalisha' kilicho bora kwa maana kushindwa kuibuka kwa mabinti wakali wa kizazi kipya katika muziki wa Kongo, lakini pia nikasema kuwa, hata kwa muziki wa kizazi kipya imekuwa tabu, kwa maana ni mwanamke gani kwa sasa nchini Kongo anayetamba kama ilivyo kwa akina Fally Ipupa, au kama ilivyokuwa enzi za akina M'Pongo Love?
Kwa sasa huyo anayetisha anajulikana zaidi kwa jina la Meje Bula 30 pia MJ 30. Binti huyu ni mkali wa miondoko ya Zouk, anatisha kama alivyokuwa anatisha Tshala Mwana katika miondoko ya Mutuashi, lakini binti huyu naye amekuwa akimwaga radhi na zaidi ya Tshala Mwana, yeye anacheza bila nguo ya ndani na kumwaga radhi!
Nadhani kama ni kumrithi Tshala Mwana, huyu atakuwa zaidi ya urithi. Ukiachilia mbali na huyo, binti mwingine ambaye naweza kusema ni wa muziki wa kizazi kipya ni Tata Muasi, huyu anafanya muziki wa rhumba na ni mwanamuziki pekee wa kike wa Kongo anayefanyakazi zake Uingereza.
Tata Muasi amejijengea umaarufu nchini Uingereza kiasi cha kuitwa 'Queen of African rumba' au Malkia wa rhumba la Kiafrika na hasa, baada ya kuachia albamu yake katika CD na DVD Novemba 3, 2007 inayojulikana kwa jina la Mimitah.
Ukiondoa wasanii hawa mabinti wawili wanaotesa kwa sasa, ambapo nitawazungumzia baadaye katika makala haya, zaidi ya hao hakuna, na labda tuangalie malkia wa Kongo katika uimbaji na hata unenguaji waliotamba tangu miaka ya 1960, wakati wa akina malakia Abeti Masikini.
*Abeti Masikini
Mkali huyu alizaliwa mwaka 1956, huko Kisangani, Congo (DRC). Kwa miaka 9 ya kwanza katika maisha yake, baba yake alikuwa akimfundisha kupiga kinanda (organ).
Kisha baadaye akaanza kuimba kwaya ya Kanisa la Kilomoto na katika matamasha yaliyohusisha familia. Uimbaji wake ulikuja baada ya yeye kuvutiwa na mwimbaji mmoja wa Kifaransa aliyeitwa Edith Piaf. Malkia wa miondoko ya Mutuashi, Tshala Mwana, picha ya kushoto alivyokuwa akitamba enzi za ujana wake na picha ya kulia ni ya juzi alivyotumbuiza hapa nchi Tanzania, Desemba mwaka huu alipokuja na JB Mpiana.
Juhudi zake Abeti, zilimfanya aweze kushinda mashindano ya vipaji ya kuimba yaliyoandaliwa na Piaf. Wengine waliomvutia hadi kujikita zaidi katika muziki ni wanamuziki wa kike Miriam Makeba wa Afrika Kusini na Mireille Matheiu wa Ufaransa.
Ushindi alioupata katika mashindano ya vipaji ya uimbaji yalimfanya Abeti ajulikane sana jijini Kinshasa na muda mfupi akapachikwa jina la kisanii na kuanza kuitwa "the Nightengale of Zaire".
Mwaka 1971, alikutana na mtengeneza muziki (prodyuza) raia wa Togo aliyeitwa Gerard Akueson. Akueson alikuwa akifanya kazi na msanii Bella Bellow, mwanamuziki wa Togo, ambaye ndiye aliyekuwa anamrekodia kazi katika studio yake.
Baada ya kukutana na prodyuza huyo, akajikuta akiimarika zaidi katika muziki wa Kiafrika hasa katika miondoko ya 'soukous parfume' na baadaye rhumba.
Mwaka 1972 alialikwa na Bruno Coquatrix, kufanya onesho katika ukumbi wa L'Olympia, Ufaransa na mambo aliyofanya katika onesho hilo yalikuwa ni makubwa na kuwa chanzo cha mafanikio yake katika muziki.
Katika onesho hilo la mafanikio, Abeti 'alikamua' ipasavyo mbele ya watazamaji wapatao 3,000, waliohudhuria na huo ukawa mwanzo wa mafanikio yake makubwa.
Mwaka 1974 akachaguliwa kuwa balozi wa Umoja wa Mataifa (UN), kutokana na kufanya vizuri katika albamu yake ya 'Bibile' kwa ushirikiano mkubwa na Gerald Akueson.
Maonesho mengine yaliyompatia heshima kubwa mwanamuziki huyu ambaye hapa Tanzania anafahamika zaidi kwa kibao chake cha 'Makayabu' ni aliyoyafanya China, hasa wakati wa mgomo wa Tien An Men Square mwaka 1989.
Hata hivyo maisha ya msanii huyu yalikomaa mwaka 1991, Abeti alifia jijini Paris, Ufaransa baada ya kuugua kwa muda mrefu na ilizuliwa kuwa msanii huyo alikufa kwa maradhi ya UKIMWI, japo hakuna taarifa zilizo rasmi kuhusu tetesi hizo.
Albamu yake ya Souvenirs Souvenirs ilitolewa miaka mitano, baada ya yeye kufariki, ilitolewa chini ya lebo ya Blue Silver katika CD mwaka 1996. Albamu zake nyingine ni Bibile ya mwaka 1975, 10e anniversair, 1er best of, En Colere, Je suis fache na Scandale de jalousie.
Kwa kifupi huyo ndiye Abeti Masikini, mmoja wa malkia wa Kongo aliyekuwa na kipaji au sauti ya gharama ambayo bado haijarithiwa na wasanii mabinti waliokuja au wanaoendelea kuja baada ya yeye kutoweka. Pengine katika muktadha huo, tumtupie jicho msanii, malkia mwingine wa Kongo aitwaye M'Pongo Love.
Je wanamuziki wa Tanzania tunajifunza nini hapa?
SOMA GAZETI LA MAJIRA KILA SIKU
BONDIA Rashid Matumla mshabiki wa timu ya Simba na joseph Marwa mshabiki wa timu ya Yanga (kg 76) wametamba kuoneshana kazi katika pambano lao la kirafiki litakalofanyika 1 januar 2010 katika uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
Akizungumza kwa njia ya simu Marwa amesema atampa Matumla kichapo ambacho ajawai kuchapwa tangia ahanze ngumi kwani anajiamini kwa mazoezi aliyofanya nae Matumla amesema kuwa anasubili siku itimie tu kwani yeye ni mtu wa vitendo na si vinginevyo
Pambano hilo limeandaliwa na Ramadhani Uhadi na kuratibiwa na Shumbili Dawa litasimamiwa na chama cha ngumi za kulipwa Tanzania (TPBC).
Akizungumza Dar es Salaam jana mdhamini wa pambano hilo Uhadi alisema maandalizi ya mapambano hayo yamekamilika.
Uhadi alisema mapambano hayo yatatanguliwa na mapambano ya utangulizi kati ya Francis Miyayusho (bingwa wa afrika) na rashidi Ally (bingwa wa Tanzania) (kg54), Chiwa Hussein na Sweet Kalula(kg48), Mbaruku Kheri na Ramadhani Kido (kg 79) na Freddy Sayuni na Omary Ramadhani(kg51).
Aidha mpambano uho uliopangwa kufanyika katika uwanja wa Uhuru unatarajia kuanza mapema na kutakuwa na ulinzi wa uwakika kwa watu na mali zao.
Posted by Amri Massare (Maximo) at 4:32 AM
Raisi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tamzania Leodegar Tenga, akiwa amekishika kifimbo cha Malkia, Dar es salaam wakati wa kukimbiza kifimbo hicho kutoka uwanja wa Uhuru kuelekea Ikulu.(Picha na Rajabu Mhamila) Hapa Raisi wa TFF Leodga Chilla ameanza kutimu mbio na Kifimbo. Maafande wa Jeshi la Polisi nao hawakuwa nyuma, wanakumbushia mchakamchaka wa Depo Wasanii wa bendi ya Afrikan stars 'Twanga pepeta' wakiwajibika wakati wa sherehe za kukimbiza kifimbo cha malkia kuelekea Ikulu Dar se salaam jana.(Picha na Rajabu Mhamila)
Posted by Amri Massare (Maximo) at 6:05 AM
Posted by Amri Massare (Maximo) at 5:31 AM
Gazeti huru la kila siku gazeti la Majira leo limeadhimisha miaka 16 tangu kuzaliwa kwa gazeti hilo.
Gazeti la Majira lilitoka kwa mara ya kwanza mtaani siku ya Jumatatu tarehe 27 mwaka 1993, kama linavyoonekana hapo juu pichani.
Posted by Amri Massare (Maximo) at 6:47 AM
Kapteni wa klabu ya Yanga Abdi Kassim Baby kulia akimkabidhi kombe Mwenyekiti wa klabu ya Yanga Imani Madega (katikati)katibu mkuu Laurence Mwalusako(kulia)baada ya kutwaa uchampion wa michuano ya kombe la Tusker kwa kuifunga klabu ya SOFAPAKA 2-1 katika mchezo wa fainali uliyochezwa uwanja wa Uhuru, jijini dar es Salaam. Wachezaji wa Yanga wakifurahia baada ya kulitwaa kombe la Tusker. Waziri wa habari, utamaduni na michezo George Huruma Mkuchika akimkabidhi kapteni wa klabu ya Yanga kombe la Tusker baada ya kumalizika kwa mchezo wa fainali ambapo Yanga iliitandika Sofapaka 2-1. kkutoka kushoto ni golikipa wa Yanga Obren Curcovic, Nadir Haroub "Canavaro", Kigi Makasi na Athumani Iddi "Chuji" wakishangilia baada ya kuvalishwa medali. Kapteni wa klabu ya Sofapaka iliyomaliza ikishika nafasi ya pili akichukua hundi ya Milioni Ishirini. Wachezaji wa Sofapaka wakiwa Hoi baada ya kuzabwa na Yanga 2-1 katika mchezo wa fainali ya kombe la Tusker. Mashabiki wa klabu ya Yanga wakishangilia baada ya kipyenga cha mwisho kupulizwa huku Yanga ikishinda 2-1. Katibu mkuu wa klabu ya Simba Mwina Seif Kaduguda akipokea hundi ya Shilingi milioni kumi ikiwa ni zawadi ya mshindi wa tatu. kama wanaimba vile "Jamani Raha, Jamani Raha eeee Jamani raha, jamani Rahaa eeeeeeeee" IFAHAMU SOFAPAKA KATIKA HISTORIA YAO YA SOKA, KLABU NGENI LAKINI INAYOPATA MAFANIKIO KWA HARAKA, kwanza hii ndiyo maana ya SOFAPAKA.
SOTE (kama) FAMILIA (kwa) PAMOJA KUAFIKIA AZIMIO ndio kirefu cha SOFAPAKA, klabu ya soka iliyoanzishwa kutoka na timu ndogo ya kanisa la M.A.O.S Ministries jijini Nairobi chini ya usimamizi wa Pastor Jimmy Carter Ambajo mwaka 2002.
Klabu hii, ambayo pia ina timu ya wanawake SOFAPAKA QUEENS, imekuwa ikishiriki katika michuano ya kanisa hadi mwaka 2004 wakati mfadhili mkuu ambaye sasa ndiye Rais wao Elly Mboni Kalekwa, mfanyabiashara tajiri mzaliwa wa Congo Kinshasa.
SOFAPAKA, maarufu kama Watoto wa Mungu, iliundwa na timu ya vijana wanaoishi kwenye mazingira magumu, kabla ya kuanza kununua wachezaji nyota kutoka vilabu vingine vikubwa.
Mwaka huu wamenyakua ubingwa wa Kenya na kuwa timu ya mfano sio kwa Kenya tu bali Afrika Mashariki kwa ujumla, hususan Tanzania kwani ni klabu changa lakini imefanya makubwa na kuna kila dalili itafika mbali.
Pamoja na kuukosa ubingwa wa Tusker 2009, wadau wa soka kwa pamoja tunaipongeza SOFAPAKA kwa kuwa timu ya mfano Afrika Mashariki na Kati.
Posted by Amri Massare (Maximo) at 8:59 AM
Kundi la OFFSIDE TRICK likikamua katika onyesho la Mitikisiko na Ngoma chini lililoandaliwa na wafanyakazi wa Radio Times FM, na kufanyika katika ukumbi wa Traventine Magomeni. Hawa ni mashabiki wa Mduara wa kilicheza goma la "Poole samaki poole" Wanamvyo mla jicho Wanavyo mgeuza geuza Isha Ramadhani na mama yake walifunika ile mbaya na Mama nipe radhi East African Melody ndiyo walikuwa wameshikilia usukani wa Burudani
Posted by Amri Massare (Maximo) at 4:06 AM
BENDI kongwe ya muziki wa dansi nchini Msondo Music bandi watafanya ziara ya utambulisho wa albam yao mpya ya huna shukrani ambapo Msemaji wa bendi hiyo Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kwamba Bendi hiyo kwa sasa ipo mikoa ya kusini kuwapa wapenzi burudani katika kutakiana heri ya mwaka mpya
Alisema katika utambulisho huo kwa mashabiki wa Msondo pia watapata nyimbo mpya kabisa zilizotungwa kwa ajiri ya albam ya mwaka 2010
Akielezea maandalizi zaidi Mhamila alisema licha ya kutambulisha albam bendi hiyo pia wamejipanga kutoa zawadi kwa mashabiki wao, ambapo albam yao mpya,iliyoingia sokoni hivi karibuni kuuzwa mtaani pia wameombwa kununuwa albam hiyo wapate kusikiliza majumbani mwao kwa ajiri ya sikukuu katika ziara hiyo ya utambulisho wa albamu siku ya alhamisi watakuwa Lindi katika ukumbi wa Comit Center, ijumaa Mtwara watapiga katika ukumbi wa Jakaya aidha jumamosi watapiga Masasi katika ukumbi maarufu na jumamosi watakuwa nachingwea katika ukumbi wa nachngwea pub, katika mkesha wa mwaka mpya watakuwa Rwangwa.
Alisema nyimbo zitakazotambulishwa katika dhihara hiyo ni pamoja na wimbo uliobeba albam hiyo, Huna shukrani uliotungwa na Saidi Mabera,Kiapo (husein jumbe) aki yangu ipo wapi (Uluka Uvuluge) Mama Cos, uliotungwa na marehemu (Josephe Maina) Albino (Juma Katundu) Machimbo Isihaka Kitima dj papa upanga) na Cheo ni Dhamana (Eddo Sanga)
Aidha aliwataja wanenguaji watakaokuwa wanatoa burudani katika safu hiyo kuwa ni Amina Said 'quen Emmy' Nacho Mpendu 'mama Nzawisa' na Amiri Saidi 'Dongo' aidha rapa wa bendi hiyo Romani Mng'ande 'Romario' atawachenguwa mashabiki watakaofika katika onesho hilo wakiongonzwa na mkurugenzi wa bendi hiyo Muhidini Gurumo,na kiongozi wa bendi hiyo Saidi Mabela
Posted by Amri Massare (Maximo) at 3:19 AM
Have a lovelly Marry Chrismass!
I Wish this Christmas that may The Most High, Our Heavenly Father be glorified and to the Men on Earth be peace and the Music of Christmas be played that shall never cease
Mr. Amry Massare
Posted by Amri Massare (Maximo) at 4:42 AM
Fainali ya michuano ya kombe la Tasker sasa itawakutanisha Mabingwa wapya wa Kenya na mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania Bara, Yanga itakayopigwa siku ya Jumapili katika uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Yanga wamepata nafasi ya kucheza fainali baada ya kuitgandika Simba jumla ya magoli 2-1 katika nusu fainali ya pili iliyochezwa katika uwanja wa Taifa kwa dakika 120 baada ya kumalizika dakika 90 wakiwa sare ya goli 1-1. Pamoja na kupata nafasi hiyo Yanga kucheza fainali, lakini pia imevunjwa mwiko wa kufungwa na Simba katika michuano hiyo ikiwa ni pamoja na kulipa kisasi cha kufungwa na watani wao wa jadi katika mchezo wa mzunguko wa kwanza wa ligi kuu Tanzania Bara msimu huu.
Ushindi huo wa kwanza kwa kocha Kostadin Papic kwa simba, pia amevunja mwiko wa kocha Mzambia Patrick Phiri wa Simba kwani kocha huyo hakuwahi kufungwa na Yanga tangu aanze kuifundisha SImba.
Jerison Tegete ndiyo alikuwa wa kwanza kuwainua mashabiki wa Yanga katika dakika ya 67 kwa shuti kali lililomshinda mlinda mlango wa Simba Juma Kaseja, ikiwa ni kazi nzuri iliyofanywa na Abdi Kasim "Babi" NDeremo na vifijo vya Yanga havikudumu kwa muda mrefu kwani dakika ya 79 Hilary Echesa alizawazisha bao hilo kwa njia ya penati baada ya mchezaji Bakari Mbegu kumwangusha Emmanuel Okwi. Goli la ushindi la Yanga lilifungwa na Shamte Ally aliyeingia akitokea benchi kuchukua nafasi ya Abdi Kassim "Babi" dakika 116 na kupeleka msiba mtaa wa Msibazi na kuwavurugia sherehe za X-MASS
| 2018-05-22T19:13:57 |
http://viwanjani.blogspot.com/2009/12/
|
[
-1
] |
Tunda azungumzia 'issue' ya kutoa mimba | Zotekali Blog
Tunda azungumzia 'issue' ya kutoa mimba
Mlimbwende Tunda ambaye ni gumzo kwenye mitandao ya kijamii kutokana na urembo wake, amekana taarifa za kutoa ujauzito ambao alionekana nao,...
Hivi karibuni mrembo huyo amekuwa akipost picha zinazomuonyesha na tumbo kubwa, hali iliyoibua gumzo kwa mashabiki kuwa huenda mrembo huyo anatarajia kupata mtoto.
Entertainment Tunda
Zotekali Blog: Tunda azungumzia 'issue' ya kutoa mimba
https://2.bp.blogspot.com/-vq-wwkZhYkk/Wb5ZQG4JzhI/AAAAAAAADwg/WbDlX9xSPl4tLKUN74xyPnlnPrPr80YVQCK4BGAYYCw/s640/21688818_1422266251143874_3256079947650826240_n.jpg
https://2.bp.blogspot.com/-vq-wwkZhYkk/Wb5ZQG4JzhI/AAAAAAAADwg/WbDlX9xSPl4tLKUN74xyPnlnPrPr80YVQCK4BGAYYCw/s72-c/21688818_1422266251143874_3256079947650826240_n.jpg
http://www.zotekali.com/2017/09/tunda-azungumzia-ya-kutoa-mimba.html
| 2018-02-20T23:44:36 |
http://www.zotekali.com/2017/09/tunda-azungumzia-ya-kutoa-mimba.html
|
[
-1
] |
UN yajadilia mkataba wa Paris wa mabadiliko ya tabianchi | Uchumi na mazingira | DW | 07.11.2016
UN yajadilia mkataba wa Paris wa mabadiliko ya tabianchi
Wajumbe kutoka mataifa 196 wanakutana nchini Morocco ambako wanajadiliana juu ya utekelezaji wa mkataba wa mabadiliko ya tabianchi uliopitishwa katika mji mkuu wa Ufaransa, Paris mwezi Desemba mwaka jana.
Wakati wa ufunguzi wa kongamano hilo, waziri wa mazingira wa Ufaransa Segolene Royal alisema kuwa wamewezesha kile kilichoonekana kutowezekana na baadaye kukabidhi uongozi wa kongamano hilo kwa waziri wa mashauri ya kigeni wa Morocco Salaheddine Mezouar.
Royal alitangaza kuwa mataifa 100 yaliidhinisha mkataba huo wa Paris uliopitishwa kuwa sheria Ijumaa iliyopita , hii ikiwa ni historia ya kutekelezwa kwa haraka kwa mkataba wa kimataifa .
Alitoa wito kwa mataifa mengine kufanya hivyo kufikia mwishoni mwa mwaka huu.
Mazungumzo hayo ya wiki mbili mjini Marrakesh yanalenga kujadilia malengo yaliowekwa mjini Paris ambapo mataifa mbali mbali yaliwasilisha mipango binafsi ya kupunguza kiwango cha hewa inayochafua mazingira.
Habari hizi zinajumuisha kuhakikisha mataifa yanazingatia ahadi zao za kupunguza hewa hizo na kuhakikisha dola bilioni 100 zinapatikana kila mwaka kusaidia mataifa mbali mbali kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi.
Katika bara la Afrika ndiyo yaliokithiri mno na kwamba ni bara hili linaloathirika zaidi bila yakujali hasa kutokana na majanga yanayosababishwa na ukataji wa miti .
Siasa za Marekani katika mkataba huo
Lakini huku wajumbe elfu 15 wakikutana katika mazungumzo hayo ya siku 12 huko Marrakesh, macho yote yameangaziwa nchini Marekani ambako wananchi wanapiga kura na matokeo ya uchaguzi huo yanaweza kumfanya Trump Kuwa rais mpya wa nchi hiyo-Rais Barack Obama ameshaonya kwamba linapohusu suala la viwango vya joto duniani hasara inaweza kuwa kubwa endapo Trump ataingia ikulu. Aliongeza kusema kuwa," ufanisi wote tuliopata kuhusiana na mabadiliko ya tabianchi pamoja na mkataba wa Paris ambao umechukuwa muda mrefu kuafikiwa; kilele chake kitakuwa katika kura ya hapo kesho". Alimwambia Bill Maher, kiongozi wa kipindi cha Runinga siku ya Ijumaa.
Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha Democratic HillaryClinton ameahidi kuzingatia sera ya ndani kuhusu nishati na maazimio ya kimataifa ya mabadiliko ya tabianchi yalioafikiwa na Obama . Hata hivyo wataalamu katika kikao hicho cha Marrakesh wanasema kuwa Donald Trump hawezi kutekeleza madai yake ya kufutilia mbali mkataba huo lakini ushindi wake unaweza kurejesha nyuma ufanisi ulioafikiwa kufikia sasa.
Mwandishi: Tatu Karema/AP/DPA
Mada Zinazohusiana Umoja wa Mataifa - UN, Marine Le Pen, Francois Fillon
Kiungo http://p.dw.com/p/2SIRk
Mkutano wa mabadiliko ya Tabianchi waanza Bonn 09.05.2017
Mkutano wa Mabadiliko ya Tabianchi waendelea 04.12.2015
| 2017-08-23T16:58:39 |
http://www.dw.com/sw/un-yajadilia-mkataba-wa-paris-wa-mabadiliko-ya-tabianchi/a-36296768
|
[
-1
] |
Pokemon Tattoos Design Idea Kwa Wanaume na Wanawake - Tattoos Art Mawazo
sonitattoo Agosti 19, 2016
Hakuna njia tunaweza kujadili gamers za tattoo bila kuzungumza juu ya tattoos za pokemon. Linapokuja michezo ya Pokemon ina ghafla kuwa maarufu.
Tattoo ya Pokemon Kwa Wapenzi-Wapenzi
Pokemon tattoo inaweza kutumika kama umuhimu wa kuimarisha urafiki. Ikiwa una rafiki ambaye ni mpenzi sana kwa moyo wako, njia moja unaweza kufanya uhusiano wa kusisimua ni kwenda kwa #Pokemon tattoo.
Pokemon Tattoo juu ya Ngumi
Gone ni siku ambapo ni watoto tu ambao wanaangalia tu na kufahamu viumbe vya pokemon. Viumbe vimekuwepo kwa kipindi cha zaidi ya miaka 20 na ni tu kuwa maarufu zaidi hata miongoni mwa watu wazima. Je, unapenda hii #tattoo ya pokemon kwenye ngumi? Watu wengi ambao wanataka kuonyesha jinsi wanavyoweza kuitumia.
Pokemon tattoos juu ya tumbo
Wanaume na wanawake wanaweza kutumia tattoo ya pokemon upande wa tumbo zao. Unaweza kupamba mwili wako na kiumbe chochote cha pokoni. Ikiwa unaweza kutumia msanii mwenye vipaji kuingiza aina yako ya pokemon kwenye mwili wako, unaweza kuwa na tattoo nzuri zaidi kwenye mwili wako.
Pokemon Tattoo nyuma
Pokemon tattoo nyuma inaweza kuwa moja ya tattoos zaidi kwamba unaweza kupata mwenyewe. Kuna aina tofauti za tatto ambayo unaweza kutumia nyuma yako.
Pokemon Tattoo kwenye miguu
Pokemon tattoos juu ya miguu haiwezi kukosa. Vile viumbe vyema vinapendeza kuona ambayo ndiyo sababu watu wengi wanatumia tattoo kwenye miguu yao. Je! Ungependa picha hizi?
Pokemon Tattoo juu ya mikono
Mikono ni sehemu moja ya mwili ambapo Pokemon tattoo inaweza kutumika bila majuto yoyote. Wakati unataka kufanya tofauti na tattoo ya Pokemon, mojawapo ya maeneo ambayo unaweza kunywa ni juu ya mikono. Wewe ni dhahiri utaenda kuitumia kwenye mikono yako.
Nzuri ya Pokemon Tattoo
Unapotaka wino tattoo nzuri juu ya mwili wako, fikiria ya Pokemon. Kuna njia ambazo unaweza kufanya hivyo kutokea kwa kupata Pokemon ambayo inaweza kuwa tofauti #kubuni juu ya mwili wako.
Furaha ya Pokemon Tattoo
Kila mtu anataka kuwa na furaha. Kwa tattoo ya Pokemon, unaweza kutumia yoyote ya tattoo ya Pokemon ili iwe na furaha hiyo. Wote unahitaji kufanya ni kupata furaha na kushangilia kwenda Pokemon tattoo juu ya mwili wako.
Pokemon Tattoo kwa wanawake
Sio tu wavulana ambao wanatumia tatoo la Pokemon ili kuzingatia wenyewe. Hata wanawake sasa wanatumia aina hii ya tattoo kusimama nje katika umati.
Kubwa Kuangalia Pokemon Tattoo
Je! Wewe ni mtu mwenye upendo mkali? Je, ungependa kufanya kujifurahisha wakati wa changamoto? Ikiwa unafanya basi unaweza kutumia tattoo hii ili uone baridi.
Ukusanyaji Mkuu wa Tattoos ya Pokemon
Labda, huwezi uhakika wa viumbe vya Pokemon kutumia nyuma yako. Unaweza kuwa na mkusanyiko mkubwa wao nyuma yako na wataonekana kuwa mzuri wakati utawaonyesha.
Multiple Pokemon Tattoos juu ya mkono
Unaweza kutumia viumbe watatu wa Pokemon mkononi mwako. Matumizi ya Tattoos ya Pokemon kwenye mkono ni rahisi sana kuonyesha wakati ulipo kwa umma.
Upendo Tattoos ya Pokemon
Ikiwa unapenda, picha za Pokemon zinaweza kuwa nini unachoweza kutumia. Tu kujenga yako customized Pokemon tattoo ambayo itakuwa na maneno inscriptions kwenye Pokemon yako.
Cute Pokemon Tattoos kwa Wanawake
Kuzungumzia juu ya tabia na sifa kwa wanawake, unaweza kutumia mpango kama huu kuangalia kama nzuri na ya moto.
Ladies Tattoo Pokemon Tattoos
Kufanya kwamba tattoo Pokemon kipekee juu ya mguu wako. Wanawake hupenda tatoo nzuri na huwezi kupenda aina hii ya tattoo chini.
Wapendwa Wapendwa wa Pokemon Tattoos
Pata tattoos za Pokemon vinavyolingana kwenye mapaja yako ili ufikie uhusiano wako kwenye ngazi inayofuata unapoandika aina hii ya tattoo pamoja.
Best marafiki Pokemon Tattoos
Unda dhamana ya urafiki na marafiki zako wakati watu wanakwenda kwa vitambulisho kama hii. Kila wakati unapokutana, hizi Tattoos za Pokemon zitafanya kuzungumza zaidi kwa ninyi wanaume.
Watoto wa tattoo za Pokemon
Tunapenda familia na njia moja tunaweza kuiambia hadithi zetu za familia ni kama tunaweza kutumia tattoos za Pokemon kwenye miili yako.
Wanawake ni furaha ya kuwa na urafiki na upendo kuwakumbusha hasa linapokuja sura za wino. Kuangalia Tattoos hizi za Pokemon na kuchagua aina yako ya tattoo kwa upendo.
Wanandoa wa Pokemon Tattoo
Pata tattoos mbili za Pokemon kwenye mabega yako kuthibitisha upendo wako kwa kila mmoja.
Watumiaji wa Pokemon Tattoos
Je, wewe ni mpenzi wa uzima? Unataka kuwa na tattoo ambayo itathibitisha kwamba unataka kuokoa au kupenda maisha? Kisha kwenda kwa tattoo hii.
Mchezo Pokemon Tattoo
Kujifanya kujisikia vizuri wakati unakwenda kwa tattoo hii ya Pokemon tattoo kwenye miguu yako.
Tattoo ya Pokemon ya Wrist
Pokemon ni viumbe vidogo vilivyogeuka kuwa sanaa ya shabiki. Pikachu ni moja ya viumbe imevunja mtandao. Unajua kwamba programu ya simu, Pokemon Go imekuwa programu ambayo karibu kila mtu anataka kupata.
Kubwa Tattoo Kubwa
Hakuna mwisho wa kile unachoweza kufanya na Pokemon ambayo ndiyo sababu wanaume na wanawake sasa wanatumia Pokemon kama vidole.
Beautiful Tattoos ya Pokemon kwa Wanawake
Je! Hupenda tattoo hii? Unaweza kupata tattoo hii na kubadilisha mwili wako kuonekana.
Wapenzi wa Gari Tattoos za Pokemon
Hakuna mtu atakayekosa linapokuja kuwa na tattoos za Pokemon. Hata wapenzi wa gari hawawezi kuacha upendo huu.
Mapambo ya Pokemon Tattoos
Leo, Pokemon imekuwa mwelekeo kwamba hata wale ambao si mashabiki wao sasa ni inking katika sehemu tofauti ya miili yao.
Tattoos zisizo nahau za Pokemon
Unapopiga picha hizi, unaweza urahisi kusimama wakati unapokutana na wapenzi wengine wa tattoos.
Tattoos ya Pokemon kwa Marafiki
Kuleta marafiki zako pamoja wakati una Tattoos za Pokemon sawa na hii
Amazing Pokemon Tattoos kwa wanaume
Hakuna mtu anayeweza kupata bora zaidi kuliko msanii mwenye vipaji ambaye atajenga tattoo hii kwako.
Hot Pokemon Tattoos kwa Wasichana
Wanawake wote wanataka kuangalia sexy. Tattoos za Pokemon ni moja ya tattoos ambazo zitakupa muonekano wa kudanganya wakati wao ni wingi kwenye sehemu sahihi.
Checkout na tumbo Pokemon tattoo kwamba ni cute na ya kushangaza.
Wanawake Cool Pokemon Tattoos
Mabadiliko ya kuangalia yako kwa kuchora mzuri wa tattoo kama hii na utaipenda kama mwanamke.
Kucheza kwa Tattoo Pokemon
Miguu inaweza kuwa moja ya sehemu ambapo unaweza kuwa na kucheza hii na furaha yote Pokemon tattoo.
Tattoos ya Pokemon kwa Wanawake
Unaweza kupata mwanamke mdogo zaidi wakati unatumia aina hii ya tattoo.
Tattoos ya Pokemon kwa wanaume
Watoto wataipenda tattoo hii kwa sababu ni nzuri na yenye rangi. Mikono ni nafasi nzuri kwao.
Kutayarisha Pokemon Tattoo
Je, ungependa kupiga matepi ya Pokemon? Unaweza kuangalia picha hizi na kujenga mwenyewe.
Inatisha Pokemon Tattoo
Unaweza kupata kwamba kutisha Pokemon tattoo ambayo itasema hadithi yako nyeusi bila kuzungumza wakati wino hii tattoo.
Mikono yote ya Pokemon Tattoos
Kupata kitu kigeni wakati unaenda kwa aina hii ya mkono wa Pokemon tattoo mwenyewe na hata na marafiki.
Furaha Tattoos ya Pokemon
Mwisho wa tattoo yetu ya tattoo ni ya furaha. Furahia na tattoo yako wakati unapata hii.
Kumbuka: Chanzo cha picha zote kupitia https://www.tumblr.com
cherry maua tattoonjiwa za njiwatanga ya ndowekupiga picha za kitambaalotus maua tattooUwekaji Tattootattoo ya infinitytattoos dadatattoos ya shingoTattoos za tajitani za mauaTattoos za taiMchoro wa tattooTattoos ya MoyoTattoos za kikabilasemicolon tattootattoos ya mguutattoos ya malaikacute tattoosrose tattoosTattoos za mwezividole nyumaTatto kwa wasichanatattoos kipepeoalama za zodiac tattoostattoos ya dreamcatchertattoo ya watercolortattoos wawilimawazo ya tattookatuni za pakatani za sleevekupiga pichaantore tattoostattoos ya ndegetembo tembotani za fuvukubuni mehndijoka tattoorafiki bora wa tattooscompass tattootani za simbatattoo ya almasitattoos za juavidole vya mkonohenna tattookifua cha kifuatani za mikonoTattoos kwa wanaumejicho tattooTattoo za Ankle
| 2018-07-22T12:53:54 |
https://tattoosartideas.com/sw/pokemon-tattoo/
|
[
-1
] |
Kampeni za CCM Moshi Mjini na picha za kuchakachua | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Forums General Forums Jukwaa la Siasa Uchaguzi Tanzania
Kampeni za CCM Moshi Mjini na picha za kuchakachua
Discussion in 'Uchaguzi Tanzania' started by Kizimkazimkuu, Sep 20, 2010.
Kizimkazimkuu JF-Expert Member
Joined: Nov 8, 2007
Nimeelezwa na jamaa aliyekuwapo uwanja wa mashujaa Moshi katika kampeni za JK Moshi kuwa hali haikuwa kama picha zilizoonyeshwa TBC1 ktk taarifa za habari. Ukweli ni Kuwa CCM walitangaza kuwa mkutanno ungeanza saa 8 lakini BURUDANI ZITAANZA KUANZIA SAA TANO ASUBUHI. Umati ulijaa kuona burudani na ze Comedy na Mkuu aliingia saa 11 jioni badala ya saa 8. Alipoanza tu hotuba, watu wengi wakaanza kutawanyika. Jamaa akaniambia kama nilikuwa makini ningeangalia picha, ni obvious ile picha ilikuwa edited. Ilikuwa ikimuonyesha Kikwete kutokea mbele na then crowd bila kuewa na picha iliyoweka view ya Kikwete na crowd yote similarly kama wanavyofanya kwa SLAA (siku wakipenda) wanamuonyesha pekee yake then wanachagua angle yenye watu wachache na watoto.Lakini hali ya kisiasa CCM wana hali mbaya HAI (Mh.Fuya Kimbita), SIHA (Agrey Mwanri) na Moshi mjini (Justin Salakana). Hapa Ndesamburo kaahidiwa na vijana kuwa kura watampa but awaache tu wapeperushe bendera na mabango ya CCM, Wanahasira mno na kukatwa jina la mfanyabiiashara ''mtoto wa mjini'' Athumani Ramole (Buni).
Mlachake JF-Expert Member
Messages: 2,924
Likes Received: 633
Iringa wanasema hawadanganyiki na Zecomedy. walimtaka mwakalebela. wamemkosa sasa watampa msigwa wa chadema. Hapa kweli ccm walijikaanga!
Sir R JF-Expert Member
Messages: 2,177
Manyara ni kuwazomea tu hawa CCM
PakaJimmy JF-Expert Member
Messages: 16,236
Likes Received: 309
Hooooray!
Ukombozi uko jirani!
Sasa hv aukiangalia TBC muda mwingi wanamweka Amiri Jeshi Mkuu(jk) akiongelea habari za jeshi, kumbe ndo wanamuuza kiaina kwa watu!(what a shame)!
Lakini ndo huyo hauziki, wala hanunuliki!
Pengo JF-Expert Member
Mtaaibika!Najua mtakimbia katika hili jukwaa mara baada ya matokeo kutangazwa!
WAMURUBHERE JF-Expert Member
du mwaka huu kazi ipo km kweli ccm walitekeleza ilani yao kwa nn wanatumia pesa nyingi hivi kwenye kampeni! shiit!
Nyunyu JF-Expert Member
Joined: Mar 9, 2009
Messages: 4,370
Pengo said: ↑
Mkuu Pengo, hakuna wa kukimbia ndugu yangu.
Suala zima la wizi wa kura twalijua even before 31/10!!!
Ukweli ni kuwa hali ya upepo wa kisiasa CCM ni mbya sana; taka usitake...
MANI Platinum Member
Messages: 6,412
Likes Received: 1,871
WAMURUBHERE said: ↑
Wamurubhere hata kuitaja wanaiogopa waliahidi maisha bora kwa kila mtu. Sasa wanajisifu na mambo ambayo ni wajibu wa serekali kufanya(kotokana na kodi zinazotozwa) kujenga shule,barabara,hospitali ingawaje nazo sio katika viwango stahiki.
PayGod JF-Expert Member
Joined: Mar 4, 2008
na watachakachua hadi, vitu visivyochakachuliwa ?
Bhbm JF-Expert Member
Kizimkazimkuu said: ↑
Dah kwa kweli inatia moyo sana kuona wananchi wako makini sana mwaka huu na wanahasira na mabadiliko. Kama kweli watu wako makini namna hii kufuatilia hadi picha kujua ipi ni photoshop na ipi ni halisi, inamaana hata kufuatilia na kudhibiti wizi wa kura tutaweza safari hii. Go Dr. Slaa Gooooooo
Lukolo JF-Expert Member
Messages: 5,137
Ninaamini kwamba CCM mtaiba kura maana hiyo ndiyo tabia yenu. Ila nina amini pia kwamba mwaka huu tunaweza kuzipiga Tanzania. Nina wasiwasi mkubwa sana kwamba yaliyotokea Kenya mwaka 2007 yanakuja Tanzania iwapo CCM haitataka kuridhika na matokeo na ikaamua kuiba kura. Kwa bahati mbaya sana hao mnaowaita usalama wa taifa ambao daima huwa wanaipigia magoti CCM, mwaka huu wapo upande wa Slaa. Physically wanamuunga mkono JK, spiritually wapo na Slaa bega kwa bega. Kumbuka kuna yale makombora 20 ambayo Dr Slaa bado hajayavurumusha. Tunasubiri angalau wiki mbili kabla ya uchaguzi ndipo tuyarushe. Mtakula jeuri yenu mwaka huu.
PakaJimmy said: ↑
Hhahaha kaka bidhaa imeshaexpire haiuziki kaka. ccm mwaka huu hawana chao anguko kubwa lawasubiri october na wakianguka hawainuki tena milele.
Katika hali ya kuonyesha kukata tamaa na kuamua kujaribu mbinu chafu, lilikuwepo jaribio la kuwapa kadi za Chadema wanafunzi wa vyuo (kwa hakika mwanafunzi wa chuo cha ushirika amenithibitishia hili) ili wazirudishe siku ya JK na itangazwe wasomi wa vyuo vikuu wamehama CHADEMA...... nadhani hili lilifanikiwa. Pia ikumbukwe kuwa ziara ya JK Moshi iliahirishwa was supposed to be there earlier, nadhani kutoa nafasi ya kutayarisha mazingira ya kufunika fedheha. Umati mkubwa unamfuata huyu jamaa sababau ya Zecomedy, walipomaliza tu wachaga wakarudi kwenye shughuli zao....SASA TUSUBIRI UMATI WA UKWELI SIKU YA TAREHE 22 SEPTEMBER atakopoingia SLAA katika venue ile ile aliyoitumia JK, Mashujaa Ground.
Chapakazi JF-Expert Member
Messages: 2,881
ivi wewe nawe chichiem?
Edwin Mtei JF Gold Member
Wanaochakachua picha kwa kuonyesha kwamba J.K. amepata umati mkubwa ktk mikutano yake ambapo ukweli sivyo, hawamsaidii mgombea wa CCM. Aidha wanaoleta washangiliaji kwa malori ya fuzo na mabasi kushangilia hawamsaidii J.K. Kama J.K. hatambui umati na washangiliaji ktk T.V. ni wa kughushi, ataendelea kudhani kwamba umma unampenda kumbe ni vinginevyo. Waacheni ccm waendelee kujidanganya.
Nawashauri wanaChadema na Dr. Slaa waendelee na kampeni zao za kuwaambia WaTz. ukweli bila kujali picha za kuchakachua zinazoonekana ktk TV au ktk magazeti. Wachambue kwa umakini sababu za matatizo ya nchi na kupendekeza majawabu ya kisayansi. Chadema hatuwezi kukumbatia nguvu za giza na za kishirikina. Tujue kwamba wapiga kura ni wale watu halisi wanaosikiliza hotuba. Tuwaheshimu. Tuwaridhishe kwa mantiki.
Hakuna kulala, Mpaka kieleweke.
Mwafrika JF-Expert Member
Messages: 5,490
Edwin Mtei said: ↑
Wazo zuri sana hili mzee Mtei,
Juzi nimeongea na mzee mmoja aliyehudhuria moja ya mikutano ya Dr Slaa kanda ya ziwa. Huyo mzee ambaye amekuwa mwanachama wa ccm kwa miaka mingi sana (toka enzi za TANU) aliniambia kuwa, kuhudhuria mkutano wa Dr Slaa ni kati ya maamuzi bora kabisa aliyowahi kufanya maisha yake.
Issue iliyomgusa sana kuliko zote, ni ile ya kuwa na magari ya kifahari ya thamani ya milioni mia mbili wakati hospitali karibu zote nchini hazina dawa za kutosha.
CHADEMA endelezeni kuwafumbua wananchi macho. Hii ndiyo inaitwa elimu ya uraia. Hakuna mtu (esp ccm na corrupt media ya Tanzania) atakayefanya kwa niaba yetu.
MUNGU awabariki na kuwalinda kwa kazi nzuri sana mnayoifanya kwa ajili ya nchi yetu.
Topics 1,119,523
Posts 25,149,559
| 2018-01-23T02:27:41 |
https://www.jamiiforums.com/threads/kampeni-za-ccm-moshi-mjini-na-picha-za-kuchakachua.74423/
|
[
-1
] |
Jamii- Bongo Posts
Home » Jamii
Category - Jamii
Mada zinazoelezea na kutoa suluhisho za matatizo mbailmbali yanayotokea katika jamii.
Mada zinahusu sanaa,maisha,michezo na utamaduni.
Tabia ya mtu inatokana na malezi aliyoyapata kwa kiasi kikubwa toka kwa wazazi,pia toka kwa walimu mashuleni, mafundisho ya dini,na toka kwa watu anaoonana nao na kuchangamana nao kila siku za maisha yake hasa wakati wa umri mdogo. Kulea watoto …
Kutowajibika,Uzembe,Rushwa na Ufisadi: Je ni Utamaduni wa Watanzania?
Nchi nyingi za Afrika zilipopata uhuru wake katika miaka ya 60 zilikuwa na malengo ya kujenga uwezo wa kujitegemea kwa viongozi wazelendo na kwa wananchi wake kwa ujumla. Kujenga taifa jipya lililo huru lenye kufanya kazi ili kujiletea maendeleo yake …
Jando na Unyago ilikuwa ni shule ya malezi bora kwa vijana ambao walikuwa wanahama toka rika ya watoto kuwa watu wazima. Mafunzo ya jando kwa wavulana yaliendana na kutahiriwa na hata kwa wasichana katika baadhi ya makabila. Makabila maarufu katika …
Historia ya Bongo Flava Muziki wa Bongo Flava unachukuliwa kuwa na asili ya Tanzania,japo ulikirudi nyuma utagundua muziki huu ulikuwa wa kuiga muziki wa nje hasa kutoka Marekani wenye vionjo vya Kufokafoka yaani “Rap”. Tunakumbuka bendi ya Mawingu miaka ya …
Katika dhama za mawe mpaka mwanzoni mwa karne ya 19 kabla ya kuja kwa wazungu waafrika walikuwa na utamaduni wao-mfumo wa jinsi ya kuishi ukijumuisha lugha,ibada na mavazi. Teknologia katika karne hizi ilikuwa chini sana ukilinganisha za mabara mengine yaliyoendelea …
Madhara ya Mwezi Katika Hisia na Tabia za Binadamu:Kuna Ukweli?
Kwa miaka mingi imekuwa ikiaminika kuwa kuna madhara ya mwezi kwa binadamu na wanyama pia. Na kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya nafasi ya mwezi katika mzunguko wake na mwenendo wa tabia na hisia za binadamu. Tafiti mbali mbali zinaonyesha …
Lionel Messi Ashinda Tuzo ya Mchezaji Bora wa Kombe la Dunia 2014. Je Alistahili?
Lionel Messi akiwa na Tuzo ya Mchezaji Bora wa Kombe la Dunia 2014 Hatimaye kombe la dunia 2014 limeisha na bingwa amepatikana-Ujerumani, wengi walitegemea hilo kutokana na jinsi timu hiyo ilivyokuwa ikifanya vizuri. Argentina na Messi wao wamekosa kombe,inasikitisha kwa …
| 2018-02-23T18:21:12 |
http://bongoposts.com/jamii/page/2/
|
[
-1
] |
Kwanini tulidanganywa Obama ni Mkenya? | JamiiForums
Kwanini tulidanganywa Obama ni Mkenya?
#DUNIAYAKO No.1
Tuliambiwa kijana anaitwa Obama, kijana mweusi kutoka Afrika Mashariki, Kenya. We! Utachekwa. Muulize aliyekuwa makamu wa raisi Dick Cheney atakuambia Obama ni nani, mbele ya macho ya wapiga kura watu hawa wawili aliyekuwa makamu wa rais Dick Cheney na raisi wa Marekani kwa tiketi ya Democratic, Barack Obama wanamitizamo tofauti yenye mawazo na nadharia zinazo pingana, lakini nyuma ya mapazia jamaa hawa ni ndugu wanashirikiana babu mmoja.
Mke wa Cheney alipokuwa anahojiwa na MSNBC alisema kuwa wakati anafanya utafiti wa kukusanya taarifa mbalimbali juu ya kitabu chake kipya anacho kiandaa kinachokwenda kwa jina la ‘Blue Skies, No Fences’ amegundua kuwa mume wake na kijana wa Democratic wanashirikiana babu wa vizazi nane vilivyopita. Anasema mwana mama huyo,
“Hii ni hadithi ya ajabu kwa wa-Marekani kwamba babu mmoja, mtu anayetokea Maryland anaweza kuwa ndiyo sababu wa mkondo wa familia ambayo imechukua njia tofauti kama familia ya Dick na Obama”.
Lakini mtu huyu mweusi Obama anayo undugu wa damu na mtu mweupe na mmoja wa viongozi mashuhuri kwenye serikali za Marekani.
Obama na Cheney wanauhusiano kupitia kwa Mareen na Duvall waliyehamia kutoka Ufaransa mnamo karne ya 17. Lakini kijana huyu anayetajwa kama mtu mweusi haishii hapo kwa Cheney peke yake, Obama ni ami (mtoto wa mjomba/shangazi) wa 11 wa rais aliye muachia kiti hicho, W. Bush, wanarithishana wapendavyo. Bush na Obama wanashirikiana ndugu walio ishi Massachusetts karne ya 17, mababu na bibi hao
wakubwa ni Samuel Hinckley na Sarah Soole, kwa hiyo kama ilivyo damu ya Bush na ya Obama nayo inarudi mpaka kwa Malkia wa Uingereza naye anaibeba mpaka kwa Firauni wa misri, naye anairudisha nyuma mpaka katika Babylon ya kale. Obama ni kijana mwingine aliyekuja kuipigisha hatua ajenda kubwa kuliko.
Tizama Hapo Bush na watu ambao anayo husiana nao kwa damu, imeitwa demokrasia lakini ukweli systeam ni ile ile ya kifalme, lazima uwe na damu hiyo ndiyo unakuwa rais, na siyo kura ndiyo inakuchagua.
Uchunguzi uliofanywa kwenye kitengo maalum cha kuchambua koo za familia na mahusiano yao kidamu kinachoitwa The New England Historic Genealogic Society kilikuja na hadithi ile ile pale kilipo zichunguza familia za waliokuwa wagombea watatu kwenye kinyang’anyiro cha kiti cha urais cha Marekani. Uchunguzi huo ulionesha kuwa Obama si kwamba ana undugu na Bush peke yake na aliyekuwa makamu wake wa rais lakini pia undugu wake unaungana na aliyekuwa waziri mkuu wa Uingereza Winston Churchill.
Uchunguzi huo pia unamuonganisha aliyekuwa mgombea mwenza wa Obama, Hillary Clinton na muimbaji maarufu wa muziki wa pop Madonna ambaye naye kafanya kazi nzuri za kimasonia kwenye nyimbo zake nyingi. Wakati huo huo Obama na mcheza filamu maarufu wa Hollywood, Brad Pitt wanashea mjomba mmoja aliyekufa mwaka 1769. Brad Pitt naye anatumiwa vizuri na Freemason katika kazi zake mbalimbali za filam, wakati huo huo rafiki wa kike wa Pitt ambaye naye ni mcheza filamu Angelina Jolie anahusiana na mjomba wa tisa wa Hillary Clinton ambaye alifariki mwaka 1718.
Kila kitu kinafuata mtandao kama alivyosema mwana masonia mwingine Bill Gates, kama tulivyoona watu hawa hawaowani kiholela. John McCain yeye na aliyekuwa mke wa raisi aliyemaliza muda wake Laura Bush wanashea mjomba mmoja, mmjomba wa sita kwenye mkondo wa ukoo huo.
Mchunguzi wa familia hizi bwana Christopher Child, anasema kuwa Obama anauhusiano pia na walio kuwa marais wa Marekani kama George H. W Bush, Gerald Ford, Lyndon Johson, Harry Truman na aliyekuwa kamanda wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe ndani ya Marekani Robert Lee.
Hillary kwa upande wa mama yake yeye ni Mfaransa mwenye asili ya Canada, ambapo anaunganishwa na waimbaji wengine wawili Celine Dion na Aanis Morissette. Wakati Obama mama yake ni mtu mweupe kutoka Kansas.
Sipendi nikuchoshe sana mdau wetu tukutane post inayofuata, tuangalie nikweli oboma ni mkenya au tulidanganywa? #Duniayako
Ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni, hii ni dugu moja bhanah!
Reactions: Maukiddo, Lukataluko, ISIS and 1 other person
5,225 2,000
Hahaha wenye nchi walidhani hiyo inge mdiscredit, ikala kwao. Sisi mavuvuzela tulidhani angetuletea dollar tukimuita mkenya, eti mwenzetu.
Reactions: tracebongo and briophyta plantae
13,639 2,000
Na wewe uliamini kweli?
Ngozi nyeusi nyeusi ni nyeusi
Mtu mweusi mwangalie anavyocheka hadi afumbe macho
Reactions: AmorePowers, sikongefdc, uporo wa wali ndondo and 2 others
21,550 2,000
Will it add some penny in your pocket!?
Reactions: AmorePowers, Proved, mfate42 and 3 others
Kwamba trump Ni damu moja na obama
Reactions: briophyta plantae and tracebongo
Obama ni mswahili mwenye bahati tu
Reactions: mng'ato, briophyta plantae and tracebongo
Nakazia hapa.
Reactions: Proved and briophyta plantae
Ulicho Kifanya Ni Kunitoa Dar Ukanipeleka Mwanza Ukani Zungusha Hadi Zanzibar Tukatokea Mtwara.
Kwakweli Hapa Nilipo Nina Kizungu Zungu Si Mchenzo.
Reactions: Ambiele Kiviele, Proved, The Book and 5 others
Ndugu tangu subiri muendelezo, utaielewa taratibu tu.
Reactions: munemod
Mi sijaelewa maana ninachokiona hapo ni late miaka ya 1700 kurudi nyuma sasa kipindi hicho leo Unasemaje ni mjomba wa fulani wkt vizazi karibia 7+ vimeshapita?
The Tape Root is Adam & Eve!
Reactions: y-n and briophyta plantae
Nilipoona tu andiko la damu ya malkia wa uingereza damu take kwenda mpaka ancient Egypt.
Hapohapo nimedharau andiko lako nikajua ndo mauongo yaleyale
Reactions: Proved, kwa-muda, Invigilator and 2 others
Nipe maelezo kidogo hapa mkuu
hivyo vitabu vya ajabuajabu ni njia tu ya kuwapiga pesa wajinga, ukitafuta undugu wa watu miaka 300 iliyipita basi unaweza kukuta wasukuma wote ni ndugu.
Reactions: Proved, Invigilator, briophyta plantae and 4 others
Huo undugu wa miaka dahari unatusumbua akili kutafakari tunachojua Obama asili yake ni Kogelo Kenya awe aliununua kabla hajazaliwa ili aje kuwa Rais wa Marekani au ilikuaje sisi hayatuhusu. Mambo ya kuanza kuchoshana na upembuzi yakinifu yanatumaliza damu tu.
Reactions: The Book, Invigilator, briophyta plantae and 1 other person
21,052 2,000
Neno lililonijia kichwani.
Maendeleo hayana chama,hahah
Reactions: The Book and briophyta plantae
Obama hadi kwa malkia sijui nn ndo nn...nimerudia kusoma mara 7 nikakumbuka usimwamini mtyu yeyote mwenye hii dunia
Umeshasema Obama hiyo tosha kujua huyu jamaa wa mitaa ya London ehh sorry Kisumu.
Kwanini nchi zilizoendelea nyingi za Ulaya na Marekani Serikali zao zina bajeti ya ujenzi wa nyumba za wananchi wao? Habari na Hoja mchanganyiko 3 Yesterday at 10:49 PM
Kwanini wasiokunywa pombe wengi hutaniwa ni Wasabato Habari na Hoja mchanganyiko 5 Saturday at 10:24 PM
Kwanini hatutengenezi barabara za zege tunakomaa na rami? Habari na Hoja mchanganyiko 32 Friday at 2:25 AM
Ni kwanini mtu ukifanikiwa au ukipiga hatua fulani katika maisha ndugu na jamaa ndo huanza kukutafuta Habari na Hoja mchanganyiko 11 Thursday at 12:15 PM
Kwanini nchi zilizoendelea nyingi za Ulaya na Marekani Serikali zao zina bajeti ya ujenzi wa nyumba za wananchi wao?
Kwanini wasiokunywa pombe wengi hutaniwa ni Wasabato
Kwanini hatutengenezi barabara za zege tunakomaa na rami?
Ni kwanini mtu ukifanikiwa au ukipiga hatua fulani katika maisha ndugu na jamaa ndo huanza kukutafuta
Threads 1,381,776
Posts 33,811,405
| 2020-01-27T06:12:30 |
https://www.jamiiforums.com/threads/kwanini-tulidanganywa-obama-ni-mkenya.1521462/
|
[
-1
] |
RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI APOKEA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA USHAURI WAKE WA KUWASAMEHE WATUHUMIWA WA UHUJUMU UCHUMI WALIO TAYARI KUTUBU NA KURUDISHA FEDHA NA MALI | Blogu Rasmi ya Ofisi ya Rais
← WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. KASSIM MAJALIWA AFAFANUA UTEKELEZAJI WA MAAGIZO YA MHE. RAIS DKT. MAGUFULI KUHUSU MAPENDEKEZO YA KUPATA UFUMBUZI WA MIGOGORO YA MATUMIZI YA ARDHI NCHINI RAIS MHE. DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AMUAPISHA MKURUGENZI WA TUME YA UCHAGUZI (NEC) PAMOJA NA MKUU WA ITIFAKI (CHIEF OF PROTOCAL) IKULU JIJINI DAR ES SALAAM →
| 2020-08-14T19:15:55 |
http://blog.ikulu.go.tz/?p=31534
|
[
-1
] |
Shambulio katika uwanja wa ndege lauwa watu 41 Istanbul | Matukio ya Kisiasa | DW | 29.06.2016
Shambulio katika uwanja wa ndege lauwa watu 41 Istanbul
Washambuliaji wa kujitowa muhanga wamewauwa zaidi ya watu 41 na kujeruhi wengine 140 katika shambulio dhidi ya uwanja wa ndege wa Ataturk mjini Istanbul katika mfululizo wa miripuko ya mabomu dhidi ya Uturuki.
Idadi ya watu waliouwawa katika shambulio la uwanja wa ndege wa Istanbul imeongezeka na kufikia 41. Awali Waziri Mkuu wa Uturuki Binali Yidirm amesema watu 36 wameuwawa hapo jana wakiwemo washambuliaji watatu wa kujitowa muhanga ambao waliwasili katika uwanja wa ndege huo kwa kutumia taxi na kujiripuwa mara tu baada ya kuanza kufyatuwa risasi.Waziri wa sheria wa Uturuki Bekir Bozdag awali alisema watu 147 wamejeruhiwa lakini idadi hiyo imeongezeka na kufikia 239.
Akizungumza na waandishi wa habari katika uwanja wa ndege huo baada ya kutokea kwa shambulio hilo hapo jana Waziri Mkuu wa Uturuki Binali Yidrim amesema kundi la Dola la Kiislamu linaonekana kuhusika na shambulio hiilo
Binali amesema "Uchunguzi wa vikosi vyetu vya usalama unaashiria kwamba shambulio hilo la kigaidi limetekelezwa na kundi la Daesh na licha ya kwamba uchunguzi unakielekezea kidole kundi hilo la Dola la Kiislamu uchunguzi huo bado unaendelea.Uwanja wa ndege unafunguliwa tena kwa safari saa nane usiku na safari za ndege zitarudi katika hali ya kawaida."
Kwa mujibu wa maafisa polisi ilifyatuwa risasi kujaribu kuwazuwiya washambuliaji wawili kabla hawajafika kituo cha ukaguzi wa usalama katika ukumbi wa kuwasili abiria katika uwanja wa ndege huo lakini waliripuwa mabomu yao. Afisa wa Uturuki amesema wengi waliouwawa walikuwa ni raia wa Uturuki lakini pia kuna wageni miongoni mwa watu waliouwawa.
Shambulio lafanana na la Brussels
Wazir Mkuu wa Uturuki Binali Yildirim.
Shambulio hilo kwa kiasi fulani linafanana na shambulio la kujitowa muhanga lililofanywa na wanamgambo wa kundi la Dola la Kiislamu katika uwanja wa ndege wa Brussels hapo mwezi wa Machi na kuuwa watu 16 kabla ya shambulio jengine kuuwa watu wengine 16 siku hiyo hiyo katika njia ya reli ya chini ya ardhi katika mji mkuu huo wa Ubelgiji.
Mashahidi walirepoti kusikia milio ya risasi kutoka sehemu mbali za uwanja wa ndege huo wa Atartuk ambao ndio uwanja wa ndege mkubwa kabisa nchini Uturuki na wa tatu kwa kuwa na harakati kubwa za safari za kimataifa barani Ulaya.
Rais Recep Tayyip Erdogan amelani shambulio hilo la kigaidi dhidi ya raia wasiokuwa na hatia.
Uwanja wafunguliwa tena
Hali baada ya shambulio katika uwanja wa ndege wa Ataturk Istanbul.
Ndege tayari zimeanza kutuwa tena katika uwanja wa ndege huo leo ajafiri baada ya uwanja wa ndege huo kufungwa kabisa kwa masaa kadhaa hapo jana kufuatia shambulio hilo la kigaidi.Mamia ya safari zilifutwa kufuatia shambulio hilo.
Shirika la ndege la Uturuki ambalo limefuta zaidi ya safari 340 limekuwa likiwarejeshea abiria fedha zao au tiketi mbadala lakini bado kuna mkanganyiko kwa wasafiri wengi.
Shambulio hilo la jana ni baya kabisa kuwahi kushuhudiwa nchini humo kwa zaidi ya muongo mmoja mjini Istanbul.Kundi la Dola la Kiislamu limekuwa likilaumiwa kwa kuhusika na mashambulio kadhaa nchini Uturuki katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita.
Mwandishi : Mohamed Dahman/dpa/AP
Mada Zinazohusiana Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, PKK, AKP
Maneno muhimu Istanbul, Binali Yildirim, Ataturk, Uturuki
Kiungo https://p.dw.com/p/1JFUH
Waturuki waelekea kumuadhibu Erdogan na chama chake 01.04.2019
Matokeo ya uchaguzi wa serikali za mitaa yanaonesha chama cha AKP cha rais Recep Tayyip Erdogan kimeshindwa vibaya Ankara na kinaelekea kuupoteza pia mji wa kibiashara wa Istanbul
Ujerumani yaongoza Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa 02.04.2019
Zamu ya Ujerumani kama mwenyekiti wa baraza la usalama la Umoja wa Mataifa, Uchaguzi wa mabaraza ya miji nchini Uturuki na juhudi za kuwahimiza watu wachangie viungo vya mwili ni miongoni mwa mada magazetini .
Erdogan: Tunasubiri matokeo ya uchunguzi kuhusu Khashoggi 08.10.2018
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesema atasubiri matokeo ya uchunguzi kuhusu kutoweka kwa mwandishi wa habari Khashoggi kabla kufanya maamuzi. Polisi wanaamini Khashoggi aliuawa na maafisa waliotumwa Istanbul
| 2019-04-22T13:08:27 |
https://www.dw.com/sw/shambulio-katika-uwanja-wa-ndege-lauwa-watu-41-istanbul/a-19364105
|
[
-1
] |
Maswali yaendelea kusalia kuhusu makubaliano yaliyofikiwa DRC
Imechapishwa: 02/01/2017 - 08:40
Askofu Fridolin Ambongo, kutoka baraza la maaskofu wa kanisa katoli (Cenco), akitia saini makubaliano ya kisiasa mwishoni mwa juma.rs 1 January 2017, Kinshasa. REUTERS/Kenny Katombe
Licha ya kutiwa saini kwa makubaliano ya kisiasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC, mwishoni mwa juma, maswali yameendelea kuwa mengi kuliko majibu ya kile kilichokubaliwa na wanasiasa chini ya upatanishi wa maaskofu wa kanisa katoliki nchini humo.
Mwishoni mwa juma, ujumbe wa maaskofu wa kanisa katoliki walifanikiwa kuzishawishi pande zinazokinzana nchini DRC, kufikia makubaliano na kutia saini mkataba utakaoshuhudia kumalizika kwa mvutano wa kisiasa kuhusu muhula wa rais Joseph Kabila.
Chini ya makubaliano haya, ambapo rais Kabila kwa mujibu wa katiba ya nchi hiyo alitakiwa kuondoka madarakani Desemba 20 mwaka huu, sasa atasalia madarakani hadi pale uchaguzi mwingine utakapofanyika mwishoni mwa mwaka huu.
Katika kipindi cha miezi 12, kile kinachoitwa baraza la mpito litaundwa, na litaongozwa na kiongozi wa upinzani Etienne Tshisekedi na waziri mkuu atateuliwa kutoka upande wa upinzani.
Mkuu wa baraza la maaskofu wa kanisa katoliki nchini DRC, Marcel Utembi, amesema makubaliano haya ni muhimu na yanatoa taswira chanya ya utangamano wa kisiasa nchini humo.
Waangalizi wa kimataifa wamepongeza kufikiwa kwa makubaliano haya, ingawa wameonya kuhusu kazi kubwa iliyoko mbele.
Mkuu wa sera za mambo ya kigeni wa umoja wa Ulaya, Federica Mogherini, katika taarifa yake kwa vyombo vya habari, amesema makubaliano haya lazima yawe ya wazi kuelekea kufikia maridhiano ya kitaifa.
Hata hivyo maswali kadhaa muhimu yameendelea kusalia, moja, ni lini makubaliano haya yataanza kutekelezwa? mbili, Utaratibu utakaotumika kuwapata viongozi utasimamiwaje licha ya kuanishwa kwenye makubaliano? swali la tatu, ni kwanini ujumbe wa muungano wa vyama vinavyomuunga mkono rais Kabila havikutia saini?
Uhalali wa makubaliano haya uko wapi ikiwa tayari kuna makubaliano mengine yaliyohusisha wanasiasa wa upinzani na mashirika ya kiraia ambayo nayo yalitiwa saini na hata kumruhusu rais kabila kukaa madarakani hadi mwaka 2018 na tayari ameshateua waziri mkuu mpya?
Haya ni baadhi ya maswali mtambuka ambayo wataalamu wa siasa za kimataifa na wapatanishi wa kimataifa wanahoji, lakini hata hivyo ikiwa yatatiliwa maanani, basi itashuhudiwa kumalizika kwa mvutano wa kisiasa.
DRC-JOSEPH KABILA
Makubaliano ya kihistoria yatiliwa sahihi DRC kumaliza mzozo wa kisasa
Itifaki ya mkataba wa makubaliano kusainiwa DRC
Mazungumzo DRC: Maaskofu kuwasilisha mkataba wa makubaliano kwa Joseph Kabila
Ujumbe wa Ulaya wakutana kwa mazungumzo Bobi Wine
| 2020-08-13T09:56:28 |
https://www.rfi.fr/sw/afrika/20170102-maswali-yaendelea-kusalia-kuhusu-makubaliano-yaliyofikiwa-drc
|
[
-1
] |
Ajiri wale bora Wataalam wa AutoHotkey in July 2020 | Freelancer
Ajiri an AutoHotkey Expert
Pata Wataalam wa AutoHotkey Sasa
| 2020-07-06T20:52:51 |
https://www.freelancer.co.ke/hire/autohotkey/
|
[
-1
] |
Rweyunga Blog: PEDRO KUREJESHWA UINGEREZA KWA MATIBABU BAADA YA KUGONGANA NA OSPINA CHINA
PEDRO KUREJESHWA UINGEREZA KWA MATIBABU BAADA YA KUGONGANA NA OSPINA CHINA
Mchezaji wa Chelsea, Pedro atarejea Uingereza na kuachana na ziara ya maandalizi ya msimu mpya baada ubongo wake kutikisika na kuumia usoni katika mchezo wa kirafiki walioibuka na ushindi wa magoli 3-0 dhidi ya Arsenal huko Beijing.
Pedro mwenye miaka 29, alilazimika kupelekwa hospitali baada ya kugongana na golikipa wa Arsenal David Ospina katika mchezo huo uliochezwa jana.
Taarifa ya klabu ya Chelsea imesema mchezaji huyo wa kimataifa wa Hispania alikuwa chini ya uangalizi usiku mzima wa jana.
Kipa wa Arsenal David Ospina akigongana na Pedro wakati akiruka kupangua mpira
Pedro akiwa kwenye maumivu makali huku damu zikimchuruzika puani baada ya kugongana na kipa Ospina
| 2018-02-19T17:53:42 |
http://rweyunga.blogspot.com/2017/07/pedro-kurejeshwa-uingereza-kwa-matibabu.html
|
[
-1
] |
Kutools kwa Outlook - Vifaa vyema vya 100 + vinavyotumika kwa Outlook 2019-2010 au Ofisi ya 365
Kutools kwa Outlook Inajumuisha vipengee vya 100 + na amri za Outlook 2019, 2016, 2013, 2010 au Ofisi 365 (Outlook).
Muda halisi wa muda wa kutumia Outlook 2019 - 2010 au Office 365 (Outlook)!
Leseni ya Uhai, Tumia Milele.
Kuboresha Bure na Usaidizi wa Miaka 2.
Fedha za Siku ya 60 Dhamana ya nyuma.
24x7 Huduma ya Huduma ya Barua pepe.
MyCommerce (Imependekezwa)*
Hifadhi pesa yako na leseni ya kiasi
Leseni ya kiasi ni wazi kwa mtu yeyote anunua leseni zaidi ya moja ya programu yetu kupitia MyCommerce. Bei ya leseni ya kiasi haipatikani. Kwa habari zaidi, tafadhali wasiliana nasi kwa: [email protected].
Laini ya Leseni Discount% USD EUR Paundi AUD CAD JPY
Bei ya sarafu tofauti inatofautiana kulingana na viwango vya kubadilishana fedha.
Maelezo Zaidi ya Malipo
Kupitia MyCommerce (Imependekezwa) Via PayPal
Bei & Fedha Fedha nyingi zinapatikana. Bei inatofautiana kulingana na kiwango cha sasa cha ubadilishaji.
Mbinu zilizopo za malipo
Kadi ya mikopo,
Kuhamisha Benki / Wire,
Angalia / Uagizaji wa Fedha,
Fax - Kadi ya Mikopo,
Amri ya Utunzaji.
1. Maelezo ya leseni itatumwa kwako kwa barua pepe mara tu utaratibu umekamilika. Unaweza Angalia hali ya utaratibu au kupata ankara or Haikupokea leseni.
* 2. Tafadhali kumbuka kutakuwa na kitu katika gari la ununuzi lililoitwa "Huduma ya Kupanuliwa Iliyoongezwa" iliyochaguliwa kwa default. Unaweza tu kuondoa kipengee hiki kwa kubonyeza kifungo mbele ya jina la bidhaa kwenye orodha ya ununuzi, au kukikaza lebo ya "Ondoa".
3. Ongeza CD ya Backup ya Order yako ni hiari. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: Weka CD ya salama.
* 1. Tunatayarisha utaratibu kwa kibinafsi, na info ya leseni itatumwa kwako kwa barua pepe katika siku mbili za biashara (2). Unaweza kushusha programu hii kutoka kwenye tovuti yetu.
* 2. Ikiwa haipati maelezo ya leseni baada ya siku mbili za biashara (2), tafadhali jaribu kutazama folda yako ya taka ya akaunti yako ya barua pepe au tafadhali tembelea Haikupokea leseni.
Tafadhali jisikie huru kutuma barua pepe kwa [email protected] ikiwa una maswali yoyote au matatizo ya kutumia programu yetu.
| 2019-02-24T00:49:18 |
https://www.extendoffice.com/sw/order/kutools-for-outlook.html
|
[
-1
] |
Wilaya ya Tunduru - Wikipedia, kamusi elezo huru
Mahali pa Tunduru (kijani) katika mkoa wa Ruvuma.
Wilaya ya Tunduru ni wilaya moja ya Mkoa wa Ruvuma. Kwa upande wa kusini Tunduru inapakana na Msumbiji, upande wa magharibi na wilaya ya Namtumbo, kaskazini na mkoa wa Lindi na upande wa mashariki na wilaya ya Masasi (Mtwara).
Wakazi walio wengi ni Wayao.
Wilaya ina tarafa 7 ambazo ni Mlingoti, Nalasi, Nakapanya, Nampungu, Matemanga, Lukumbule, Namasakata na Mbesa kwa Tunduru mjini.
Tunduru kuna chuo cha biblia cha Kanisa la Biblia Tanzania katika kiungo cha Nanjoka. Shule za sekondari ni Tunduru Sekondari, Mataka, Frank Weston na Masonya,
Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 247,976 [1].
Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Tunduru kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Kata za Wilaya ya Tunduru - Mkoa wa Ruvuma - Tanzania
Jakika | Kalulu | Kidodoma | Ligoma | Ligunga | Lukumbule | Majengo | Marumba | Masonya | Matemanga | Mbati | Mbesa | Mchangani | Mchesi | Mchoteka | Mchuluka | Mindu | Misechela | Mlingoti Magharibi | Mlingoti Mashariki | Mtina | Muhuwesi | Nakapanya | Nakayaya | Nalasi Magharibi | Nalasi Mashariki | Namasakata | Namiungo | Nampungu | Namwinyu | Nandembo | Nanjoka | Ngapa | Sisikwasisi | Tuwemacho
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Wilaya_ya_Tunduru&oldid=930490"
Last edited on 23 Agosti 2014, at 09:10
| 2020-03-31T18:06:34 |
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Wilaya_ya_Tunduru
|
[
-1
] |
Musharraf kuondoa utawala wa hali ya hatari Desemba 16 | Habari za Ulimwengu | DW | 30.11.2007
Musharraf kuondoa utawala wa hali ya hatari Desemba 16
Rais Pervez Musharraf wa Pakistan amesema kwamba anakusudia kuondowa utawala wa hali ya hatari nchini humo hapo tarehe 16 mwezi wa Desemba na kurudisha utawala wa katiba.
Ametangaza nia yake hiyo mjini Islamabad baada ya kuapishwa kwa kipindi kipya cha miaka mitano madarakani akiwa rais wa kiraia.Musharraf hapo Jumaatano amejiuzulu wadhifa wake wa mkuu wa majeshi akiwa chini ya shinikizo la kimataifa.
Wakati uchaguzi wa bunge ukiwa umepangwa kufanyika nchini humo hapo tarehe nane mwezi wa Januari Musharraf amevitaka vyama vyote vya kisiasa kushiriki uchaguzi huo ambapo mpinzani wake mmoja waziri mkuu wa zamani Benazir Bhutto amesema chama chake kitashiriki uchaguzi huo lakini kina haki ya kujitowa inapobidi kufanya hivyo.
Bhutto anasema wanashiriki uchaguzi huo katika hali ya kupinga kwamba hali ni ngumu dhidi ya upinzani lakini wanahisi iwapo watasusia uchaguzi huo hapo tena serikali itakuwa haina haja ya kuuhujumu uchaguzi huo na dunia itakuja kusema kwamba uchaguzi ulikuwa wa haki.
Hata hivyo wazir mkuu mwengine wa zamani Nawaz Sharif ames ema muungano wake wa vyama vya upinzani utasusia uchaguzi huo.
Tarehe 30.11.2007
Kiungo http://p.dw.com/p/CUxD
| 2017-09-21T14:46:14 |
http://www.dw.com/sw/musharraf-kuondoa-utawala-wa-hali-ya-hatari-desemba-16/a-2978927
|
[
-1
] |
(showing articles 21481 to 21500 of 37921)
12/17/16--07:04: _KATIBU TAWALA MKOAN...
12/17/16--07:25: _Waziri wa Elimu ait...
12/17/16--12:20: _Mkurugunzi wa Idara...
12/17/16--12:30: _NAIBU WAZIRI WA FED...
12/17/16--12:36: _BELLE 9 AZINDUA WIM...
12/17/16--12:56: _YANGA YA LWANDAMINA...
12/17/16--12:57: _VIJANA 150 WAKUTANA...
12/17/16--21:32: _VJUSO VYA MAGAZETI ...
12/17/16--21:36: _Vyuo India vyaeleza...
12/17/16--21:49: _SUALA LA UKEKETAJI ...
12/18/16--04:32: _TIMU YA KIJITONYAMA...
12/18/16--04:37: _ Zaidi ya wanawake...
12/18/16--04:51: _PROF. MBARAWA AAGIZ...
12/18/16--05:19: _Mke wa Rais Mama Ja...
12/18/16--05:41: _ WAZIRI MKUU KASSIM...
12/18/16--06:00: _WAZIRI MKUU AUNDA T...
12/18/16--07:07: _Newz Alert:Msanii D...
12/18/16--07:54: _MSIMAMO WA LIGI
12/18/16--11:59: _WAZIRI LUKUVI ATUA ...
12/18/16--12:01: _ Zanzibar na kampun...
older | 1 | .... | 1073 | 1074 | (Page 1075) | 1076 | 1077 | .... | 1897 | newer
12/17/16--07:04: KATIBU TAWALA MKOANI MARA AHITIMISHA MAFUNZO KWA WADAU WA FILAMU MKOANI HUMO.
Katibu Tawala mkoa wa Mara, Adoh Mapunda (katikati) akizungumza hii leo kwenye kilele cha mafunzo ya siku tatu kwa wadau wa filamu mkoani humo. Mafunzo hayo yalianza juzi Disemba 14,2016 kwenye ukumbi wa shule ya Sekondari Mara Mjini Msoma.
Yaliandaliwa na Bodi ya Filamu nchini kwa lengo la kuwajengea welezi wanatasinia wa filamu ili kuzalisha kazi zenye ubora na hivyo kukidhi ushindani katika soko la ndani na nje ya nchi ambapo zaidi ya washiri 200 walionufaika na mafunzo hayo wamepatiwa vyeti. Tayari mafunzo ya aina hiyo yamefanyika mikoa ya Morogoro na Mwanza na yataendelea katika mikoa mingine.
Wanatasnia wa filamu mkoani Mara wakimsikiliza Katibu Tawala mkoani humo, Adoh Mapunda, wakati akifunga mafunzo ya siku tatu kwa wanatasnia hao. Ameahidi kutoa fulana (Tshirt) 250 kwa ajili ya wanatasnia wa filamu mkoani Mara waliohudhuria mafunzo hayo ambapo zitawasaidia hususani kuwa na sare ya aina moja wakikutana kwa pamoja
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bi.Nuru Millao, amesema sekta ya filamu ina mchango mkubwa katika kukuza uchumi wa wanatasnia wake na taifa kwa ujumla hivyo Bodi za filamu mikoani zihakikishe zinasimamia maendeleo ya tasnia hiyo.
Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu nchini, Bi.Joyce Fisso, amebainisha kwamba wadau wa filamu wakiwemo watayarishaji, waongozaji, wahariri pamoja na waigizaji wamefundishwa vyema mafunzo hayo ili kuzalisha kazi bora.
Mgeni rasmi, Katibu Tawala mkoani Mara, Adoh Mapunda (wa pili kulia), akipokea cheti cha utambuzi kutoka kwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bi.Nuru Millao
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bi.Nuru Millao, akipokea cheti cha utambuzi
Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu nchini, Bi.Joyce Fisso
Mmoja wa wakufunzi wa mafunzo hayo, Bi.Deograsia Ndunguru, kutoka Chuo Kikuu Dodoma, akipokea cheti cha utambuzi kutoka Bodi ya Filamu nchini.
Rais wa Shirikisho la Filamu nchini, Simon Mwakifwamba, akipokea cheti cha utambuzi kutoka Bodi ya Filamu nchini.
Mwanahabari Genoveva kutoka Idara ya Habari Serikalini, akipokea cheti cha utambuzi kutoka Bodi ya Filamu nchini.
Katibu wa Chama cha Waigizaji mkoani Mara, Johnson Ibambai, akipokea cheti cha utambuzi kutoka Bodi ya Filamu nchini.
Mwakilishi wa Mkuu wa Shule ya Sekondari Mara, akipokea cheti cha utambuzi kwa niaba yake kutoka Bodi ya Filamu nchini.
Mwanahabari Amicus Butunga, akipokea cheti cha utambuzi kwa niaba ya TBC kutoka Bodi ya Filamu nchini.
Mwanahabari George Binagi akipokea cheti cha utambuzi kwa niaba ya 102.5 Lake Fm kutoka Bodi ya Filamu nchini.
Katibu Tawala mkoa wa Mara, Adoh Mapunda (mwenye suti) na viongozi wengine wakiwa pamoja na washiriki wa mafunzo ya filamu mkoani Mara wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Katibu Tawala mkoa wa Mara, Adoh Mapunda (mwenye suti) na viongozi wengine wakiwa pamoja na washiriki zaidi ya 200 wa mafunzo ya filamu mkoani Mara wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Mwigizaji Dan Msimamo kutoka Tarime amesema mafunzo hayo yatawasaidia kuinua ubora wa filamu mkoani Mara na hivyo kukuza soko lake
Mwigizaji Justar Lucas kutoka Tarime amesema mafunzo hayo yamewaongezea weledi na kutambua kwamba filamu ni ajira na ikitumika vyema husaidia kukuza kipato cha wanatasnia wa filamu na taifa kwa ujumla.
Mwigizaji Innocent Mbalwa kutoka Bunda ameishukuru Serikali kupitia Bodi ya Filamu kwa kutoa mafunzo hayo ambapo amesema yatafungua milango mipya kwenye tasnia ya filamu mkoani Mara.
Mwigizaji Jackline James kutoka Musoma amesema mafunzo hayo yamemsaidia kutambua kwamba filamu ni ajira tofauti na alivyokuwa akidhani awali kwamba tasnia hiyo ni sehemu ya burudani.
Katibu Tawala mkoani Mara, Adoh Mapunda, amewahimiza wanatasnia wa filamu mkoani humo kuwa wabunifu katika uzalishaji wa kazi zao ili kupanua soko la filamu ndani na nje ya nchi.
Mapunda ametoa rai hiyo hii leo, wakati akihitimisha mafunzo ya siku tatu kwa wanatasnia wa filamu mkoani Mara, yaliyoandaliwa na Bodi ya Filamu nchini ili kukuza welezi katika uzalishaji wa kazi bora na zenye maudhui yanaykubalika katika jamii.
"Ubunifu ndio unahitajika hivi sasa, watu wengi wanahitaji ubunifu binafsi na siyo "kucopy" na "kupaste" kazi za wengine". Amesisitiza Mapunda na kuongeza kwamba serikali itatoa ushirikiano wa dhati katika kuboresha tasnia hiyo ya filamu kwani hivi sasa hutoa ajira na kukuza uchumi kwa taifa.
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nuru Millao, ameziagiza Bodi za Filamu za mikoa kuhakikisha kwamba zinatimiza wajibu wake ipasavyo ili kuboresha zaidi sekta hiyo.
Naye Katibu Mtendaji Bodi ya Filamu nchini, Joyce Fisso, amewahimiza wadau wa filamu mkoani Mara wakiwemo watayarishaji, waongozaji, wahariri pamoja na waigizaji walionufaika na mafunzo hayo, kuyatumia vyema ili kukuza soko lao la filamu.
Kwa upande wake Rais wa Shirikisho la Filamu nchini, Simon Mwakifwamba, amewasisitizia hao kutumia mafunzo hayo ili kuzalisha filamu na vipindi vya luninga vyenye ubora ili kunufaika na uhitaji uliopo.
Akisoma maazimio ya wanatasnia wa filamu mkoani Mara, Katibu wa Chama cha Waigizaji mkoani humo, Johnson Ibambai, ametaja baadhi ya maazimio hayo kuwa ni pamoja na kuiomba serikali kuweka mitaala ya filamu kuanzia shule za msingi na vyuo vya ufundi VETA ili kusadia utoaji wa elimu hiyo ya filamu.
12/17/16--07:25: Waziri wa Elimu aitunuku nishani Global Education Link
WAZIRI wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi Stadi, Profesa Joyce Ndalichako ameitunuku nishani ya uzalendo kampuni ya Global Education Link (GEL) kutokana na mchango inaotoa katika maendeleo ya elimu nchini.
Nishani hiyo aliitoa leo wakati akizindua mkutano mkuu wa 11 wa Umoja wa Wakuu wa Shule za Sekondari nchini (TAHOSSA) mkoani Dodoma.
Mkurugenzi wa Global Education Link (kulia) akipokea tuzo kutoka kwa Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na ufundi Stadi Prof. Joyce Ndalichako.
Rais wa Wakuu wa Sekondari Tanzania (TAHOSSA), Bonus Ndimbo alisema GEL imekuwa ni mdau mkubwa wa maendeleo katika elimu, sio tu kwa TAHOSSA hata kwa nchi kwa ujumla.
“Tunaipongeza sana Global Education Link, kwani imekuwa karibu na jamii, imekuwa karibu na sekta ya Elimu na maendeleo ya nchi kwa ujumla,” alisema Katibu Mkuu wa TAHOSSA Diana Matemu.Global Education Link ni kampuni iliyoanzishwa Mwaka 2006 kwa lengo la kuwaunganisha wanafunzi wa Tanzania wanaotaka kusoma vyuo vikuu vya nje.
Tangu imeanza shughuli zake kwa miaka 10 sasa, zaidi ya wanafunzi 5400 wamefaidika kwa kuunganishwa na vyuo mbalimbali vilivyoko Marekani, Canada, Uingereza, Afrika Kusini, Ukraine, India, Urusi, Malaysia, China na nyinginezo.
Mkurugenzi Mkuu wa Global Education Link (GEL), Abdulmalik Mollel akizungumza na Wakuu wa Sekondari Tanzania baada ya kupewa nafasi ya kipekee ya kuwawakilisha wadau mbalimbali wa elimu waliokaribishwa katika mkutano huo mbele ya Waziri wa Elimu, Sayansi na Ufundi stadi Prof Joyce Ndalichako.
Baadhi ya washiriki wa mkutano wa Wakuu wa Shule za Sekondari Tanzania (TAHOSSA) wakimsikiliza Mkurugenzi wa Global Education Link, Abdulmalik Mollel (hayuko pichani).
Akizungumza baada ya kukabidhiwa nishani hiyo, Mkurugenzi Mkuu wa Global Education Link (GEL), Abdulmalik Mollel alishukuru na kusema anafanya hivyo kwa lengo la kusaidia Serikali na Watanzania kwa ujumla katika kuharakisha maendeleo nchini.
Kikubwa ambacho Mkurugenzi wa GEL alisema ni kuwa mpango wa mafunzo kwa wanafunzi utasaidia kuwafanya wanafunzi kuchagua kozi ambazo zitakuwa na tija kwao na taifa kwa ujumla.
12/17/16--12:20: Mkurugunzi wa Idara ya Habari MAELEZO HASSAN ABBAS ALAMBA NONDOZZZZ YA PhD
Mkurugenzi wa Idara ya Habari – MAELEZO - Dkt. Hassan Abbass akikitunukiwa Shahada yake ya Uzamivu ya Mawasiliano ya Umma (PhD) kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino Tanzania (SAUT) wakati wa Mahafali ya 16 ya chuo hicho leo Jijini Mwanza.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari – MAELEZO - Dkt. Hassan Abbass akipokea shada la maua mara baada ya kutunukiwa Shahada yake ya Udaktari wa Mawasiliano ya Umma kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino Tanzania (SAUT) wakati wa Mahafali 16 ya chuo hicho leo Jijini Mwanza.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari – MAELEZO - Dkt. Hassan Abbass (kushoto) akifurahia jambo na mmoja wa Wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (SAUT) Fr. Francis Ng’atigwa mara baada ya kutunukiwa Shahada yake ya Udaktari wa Mawasiliano ya Umma kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino Tanzania (SAUT) wakati wa Mahafali 16 ya chuo hicho leo Jijini Mwanza
Mkurugenzi wa Idara ya Habari – MAELEZO - Dkt. Hassan Abbass (wanane kutoka kushoto mstari wa mbele) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wahitimu wenzake mara baada ya kutunukiwa Shahada yake ya Udaktari wa Mawasiliano ya Umma kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino Tanzania (SAUT) wakati wa Mahafali 16 ya chuo hicho leo Jijini Mwanza.
12/17/16--12:30: NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO DKT. ASHATU KIJAJI AHIMIZA MAENDELEO VIJIJINI
Mkuu wa mradi wa Agra, ambaye pia ni Mhadhiri katika Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini-Dodoma, Dkt. Mark Msaki (kushoto), akitoa ufafanuzi kwa Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) (Katikati) wakati akikagua maonesho ya taaluma, huduma na bidhaa kabla ya kutunuku tuzo mbalimbali kwa wahitimu 829 katika Mahafali ya 30 ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini, Kituo cha Mwanza. Kushoto kwa Dkt. Kijaji na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Angelina Mabula (Mb).
Mwanafunzi wa kiume wa Stashahada Mwaka wa Pili wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini, Kituo cha Mwanza, akielezea kuhusu mafunzo wanayoyapata chuoni hapo na namna elimu hiyo inavyosaidia kuendeleza vijiji walivyokwenda kufanya mazoezi kwa vitendo mkoani Mwanza, wakati Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) (Hayupo pichani) alipotembelea na kukagua maonesho hayo ya taaluma, huduma na bidhaa zinazotolewa na chuo hicho.
Mwanafunzi wa kike wa Stashahada Mwaka wa Pili wa Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini, Kituo cha Mwanza, akielezea kuhusu mafunzo wanayoyapata chuoni hapo na namna elimu hiyo inavyosaidia kuendeleza vijiji walivyokwenda kufanya mazoezi kwa vitendo mkoani Mwanza, wakati Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) (kushoto) alipotembelea na kukagua maonesho hayo ya taaluma, huduma na bidhaa zinazotolewa na chuo hicho.
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) (kushoto), akionesha moja ya machapisho yaliyotolewa na Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini wakati alipotembelea na kukagua maonesho ya taaluma, huduma na bidhaa kabla ya kutunuku tuzo mbalimbali kwa wahitimu 829 katika Mahafali ya 30 ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini, Kituo cha Mwanza.
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) (kushoto), akisikiliza kwa makini maelezo yaliyokuwa yakitolewa na Mkufunzi wa Chuo cha Mipango na Maendeleo Vijijini Bw. Ezekiel Kanire, (aliyeshika kipaza sauti) wakati alipotembelea na kukagua maonesho ya taaluma, huduma na bidhaa kabla ya kutunuku tuzo mbalimbali kwa wahitimu 829 katika Mahafali ya 30 ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini, Kituo cha Mwanza. Kushoto kwa Dkt. Kijaji na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Angelina Mabula (Mb).
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) (kushoto), akiangalia kipeperushi chenye maelezo ya faida za kutumia kitunguu swaumu kwa binadamu wakati Mkulima wa zao la vitunguu swaumu kutoka Wilayani Mbulu Mkoani Manyara, Bw, Boniface Bura, (aliyeshika kipaza sauti), akitoa maelezo namna Chuo chas Mipango ya Maendeleo Vijijini kilivyomsaidia kuongeza thamani ya zao hilo, wakati Naibu waziri huyo alipotembelea na kukagua maonesho ya taaluma, huduma na bidhaa zinazotolewa na Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini, Kituo cha Mwanza.
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) (kushoto), akisikiliza kwa makini maelezo yaliyokuwa yakitolewa na mkulima wa zao la vitunguu swaumu kutoka Wilayani Mbulu Mkoani Manyara, Bw. Boniface Bura, (aliyeshika kipaza sauti), alipotembelea na kukagua maonesho ya taaluma, huduma na bidhaa zinazotolewa na Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini, Kituo cha Mwanza, kabla ya kutunuku tuzo mbalimbali kwa wahitimu 829 wa Chuo hicho wakati wa Mahafali ya 30 yaliyofanyika mara ya tano katika Kituo hicho cha Mwanza.
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) (kushoto), akipokea zawadi ya Kitunguu swaumu kilichosindikwa, kwaniaba ya Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli iliyotolewa na Mkulima wa zao hilo kutoka Wilayani Mbulu Mkoani Manyara, Bw. Boniface Bura, anayenufaika na mradi wa kuwawezesha wakulima vijijini wa Mivaraf, ikiwa ni ishara ya kuunga mkono Jitihada za Serikali ya Awamu ya Tano ya Viwanda.
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) (kushoto), akizungumza na vyombo vya habari baada ya kumaliza kutembelea na kukagua maonesho ya taaluma, huduma na bidhaa kabla ya kutunuku tuzo mbalimbali kwa wahitimu 829 katika Mahafali ya 30 ya Chuo Cha Mipango ya Maendeleo Vijijini, Kituo cha Mwanza.
12/17/16--12:36: BELLE 9 AZINDUA WIMBO WAKE MPYA WA 'GIVE IT TO ME' USIKU HUU JIJINI DAR
Msanii wa Muziki wa kizazi Kipya, Abelnego Damian maarufu kama Belle 9 akizungumza wakati wa uzinduzi wa wimbo wake mpya uliofahamika kwa jina la 'Give It To Me' usiku huu. Kulia ni Mdau wa Muziki wa Kizazi Kipya na Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete. Hafla hii imefanyika usiku huu katika bustani ya Nyumba ya Mbunge huyo, Kawe jijini Dar.
Mbunge Jimbo la Chalinze na Mdau wa Muziki wa Kizazi Kipya, Ridhiwani Kikwete akizungumza machache ikiwemo na kumpongeza msanii huyo,katika hafla ya uzinduzi wa Video yake ya wimbo mpya uliofahamika kwa jina la 'Give It To Me' Jijini Dar es salaam leo.
Baadhi ya Wasanii mbalimbali waliofika kwenye hafla hiyo wakimpongeza msanii mwenzao Belle 9
12/17/16--12:56: YANGA YA LWANDAMINA YAIGARAGAZA JKT RUVU 3-0
MABINGWA watetezi wa ligi kuu Vodacom Yanga imefanikiwa kupanda hadi kileleni mwa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya JKT Ruvu jioni ya leo Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
Kwa ushindi huo, Yanga inafikisha pointi 36 baada ya kucheza mechi 16 na kuishusha Simba iliyomalizia kileleni mzunguko wa kwanza kwa pointi zake 35.
Winga Simon Msuva aliweza kuwa nyota wa mchezo huio baada ya kufanikiwa kuifungia timu yake goli mbili katika dakika ya 57 na 90 huku lingine akipiga pande safi linalomshinda beki Michael Aidan na kuingia nao nyavuni dakika ya 38.
JKT Ruvu waliweza kucheza kandanda safi na wakionekana kutumia mashuti ya mbali kuweza kujaribu nafasi ya kufunga huku mshambuliaji wake Atupele Green akikosa nafasi mbili za wazi.
Mkurugenzi wa Ufundi wa Yanga, Mholanzi Hans van der Pluijm alikuwepo jukwaa kuu kufuatilia mchezo, wakati kiungo mpya kutoka Zambia, Justin Zulu pia akiwa jukwaani kwa sababu bado hajapatiwa kibali cha kufanya kazi nchini.
Baada ya mchezo, kocha msaidizi Juma Mwambusi amesema kuwa waliingia uwanjani na mpango wakushinda na wamefaniklisha hilo ingawa mchezo ulikuwa mgumu sana kwao.
Mechi hiyo ilichezeshwa na Hery Sasii akisaidiwa na Hellen Mduma na Kassim Mpanga wote wa Dar es Salaam.
Matokeo mengine ni:
Mwadui 1-0 Toto Africans Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza, Mbeya City 0-0 Kagera Sugar Uwanja wa Sokoine, Mbeya na Ruvu Shooting 1-1 Mtibwa Sugar Uwanja wa Mabatini, Mlandizi, Pwani.
Kikosi cha Yanga kilikuwa;
Deo Munishi ‘Dida’, Juma Abdul, Haruna Niyonzima, Mwinyi Hajji Mngwali, Kelvin Yondan, Vincent Bossou, Simon Msuva, Thabani Kamusoko/Geoffrey Mwashiuya dk84, Donald Ngoma, Amissi Tambwe/Said Juma ‘Makapu’ dk55na Deus Kaseke/Obrey Chirwa dk90
JKT Ruvu: Hamisi Seif, Michael Aidan, Edward Charles, Yussuf Chuma, Kelvin Nashon/Naftal Nasho dk66, Rahim Juma, Ally Bilal/Mussa Juma dk77, Hassan Dilunga, Najim Magulu, Atupele Green/Saad Kipanga dk77 na Edward Joseph.
Kikosi cha Yanga SC leo dhidi ya JKT Ruvu FC
Kikosi cha JKT Ruvu SC leo dhidi ya Yanga FC
Mshambuliaji wa Yanga SC,Deus Kaseke (katikati) akiwatoka mabeki wa timu ya JKT Ruvu leo katika uwanja wa Uhuru mchezo uliomaizika kwa Yanga SC kuibuka na ushindsi wa goli 3-0 leo jijini Dar es Salaam.
Mshambuliaji wa timu ya JKT Ruvu ,Naftal Nashon (wakwanza kulia) akimtoka beki wa timu ya Yanga leo katika uwanja wa Uhuru mchezo uliomaizika kwa Yanga SC kuibuka na ushindsi wa goli 3-0 leo jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Mambo ya Ndani Mwigulu Nchemba akijadiliana jambo na Mbunge wa Chalinze, Ridhiwan Kikwete wakati wa mechi ya ligi kuu kati ya JKT Ruvu na Yanga leo Jijini Dar es salaam.
Kiungo mpya kutoka Zambia, Justin Zulu (katikati) akiwa jukwaani kwa sababu bado hajapatiwa kibali cha kufanya kazi nchini.
12/17/16--12:57: VIJANA 150 WAKUTANA KAHAMA KWENYE BONANZA LA MICHEZO LILILOANDALIWA NA AGPAHI
12/17/16--21:32: VJUSO VYA MAGAZETI YA LEO JUMAPILI DESEMBA 18, 2016
12/17/16--21:36: Vyuo India vyaeleza vinavyoweka ulinzi vyuoni
BAADHI ya maofisa kutoka vyuo vikuu vya India ambao wamekuwa wakishirikishi maonyesho ya vyuo vya nje yaliyofanyika tarehe 14 hadi 15 Desemba Dodoma, wameeleza namna vyuo nchini mwao vinavyoweka kipaumbele katika ulinzi wa wanafunzi wao.
Ofisa kutoka Chuo Kikuu cha Lovely (LPU), Love Kumar alisema, katika maonyesho hayo yaliyoandaliwa na Kampuni ya wakala wa vyuo vya nje, Global Education Link (GEL) kuwa kwa mfano katika chuo chake kuna kamera nyingi zilizofungwa katika maeneo mbalimbali kuchunguza kila kinachoendelea.
“Tunatamani kuona watu wanakuja kwetu na kusoma kwa amani, India ni nchi ya amani. Hata hivyo tumeweka zaidi ya kamera 4000 kuhakikisha kila kitu kinaangaliwa kwa ufasaha” aliongeza Kumar.
Naye Mratibu wa wanafunzi wanaotoka nje kutoka Chuo Kikuu cha Maharishi Markandeshwar, Rashmi Garg alisema hali ni hivyo pia katika chuo hicho. Alifafanua kwamba sababu ya kufunga vifaa vya ulinzi ni kuendelea kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa.
Mojawapo ya majengo ya Chuo Kikuu cha Lovely nchini India. Global Education Link (GEL) ni mwakilishi rasmi wa chuo hiki hapa nchini.
Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa Global Education Link (GEL), Abdulmalik Mollel, aliwahakikisha Watanzania kwamba kampuni yake inafanya inaloweza kuhakikisha Watanzania wengi zaidi wanakwenda nje ya nchi kupata ujuzi ambao watarudi nao nchini kwa ajili ya kusaidia kukuza maendeleo.
12/17/16--21:49: SUALA LA UKEKETAJI MKOANI MARA BADO NI CHANGAMOTO KUBWA
Baadhi huamini kwamba msichana akikeketwa huleta heshima kwake na kwa familia na huwa tayari kwa ajili ya kuolewa na hivyo kuwapatia wazazi mahari (ng'ombe). Hatua hii husababisha baadhi ya mabinti kukosa fursa ya kuhitimu masomo yao na kujikuta wakiolewa, Aidha kwa kupenda ama kulazimishwa na wazazi/walezi wao.
Suala la unyanyapaa miongoni mwa wasichana waliokeketwa na ambao hawajakeketwa ni jambo ambalo pia huongeza msukumo wa wasichana kutaka kukeketwa. Mbaya zaidi, unyanyapaa huo huenda hadi kwa baadhi ya wanaume kukataa kuwaoa wale ambao hawajakeketwa na hivyo kusababisha ugumu wa kutokomeza suala hilo.
Tayari Ngariba mmoja aitwaye Angelina ppCharles (50) amehukumiwa kifungo cha miaka miwili gerezani kwa kosa la kumfanyia ukeketaji mmoja wa wasichana wilayani humo huku wengine wawili wakidaiwa kukabiliwa na kesi ya aina hiyo. Hukumu hiyo imetolewa na Hakimu Mkazi Mfawidhi, Mahakama ya Wilaya ya Tarime, Mhe.Martha Mpaze.
Hata hivyo utafiti uliofanywa mwishoni mwa mwaka jana na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania, TAMWA kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa linalojihusisha na idadi ya watu duniani, UNFPA, kwenye mikoa 13 nchini ikiwemo Mara, umebaini kwamba katika maeneo mengi nchini, wanajamii wanazo mbinu mpya za kuhakikisha wanatimiza malengo yao ya kukumbatia mila potofu ikiwemo ukeketaji.
Utafiti huo ulibaini kuwa, suala la kuwapaka unga usoni wasichana wilayani Tarime ni kuuficha tu ukweli kwamba wasichana hao hawakeketwi wakati ukweli ni kwamba hukeketwa.
12/18/16--04:32: TIMU YA KIJITONYAMA VETERANS WAFANYA MKUTANO WA KUPATA VIONGOZI WAPYA
TIMU ya Kijitonyama Veterans yenye maskani yake Kijitonyama, leo imefanya uchaguzi mkuu na kupata viongozi wapya wa kuingoza timu hiyo kwa kipindi cha miaka mitano.
12/18/16--04:37: Zaidi ya wanawake 900 wajasiriamali wapigwa msasa
· Kwa mafunzo ya kibiashara na huduma za kifedha kutoka Vodacom Tanzania,Technoserve, ExxonMobil
Zaidi ya wanawake 900 wanaomiliki biashara ndogo ndogo wamehitimu mafunzo ya ujuzi wa biashara na huduma za kifedha kupitia mradi wa Business Women Connect (BWC) unaofadhiliwa na ExxonMobil Foundation na kutekelezwa kwa ushirikiano baina ya TechnoServe, Vodacom Tanzania, Benki ya Dunia (kitengo cha Gender Innovation) pamoja na kitengo cha Maendeleo ya Dunia.(Centre for Global Development).
Mradi wa BWC ulizinduliwa Octoba mwaka 2015 ukiwa na lengo la kuwasaidia wanawake 3,000 wanaomiliki biashara ndogo ndogo kujiongezea kipato kupitia huduma ya Vodacom ya M-Pawa pamoja na kuwapatia mafunzo ya ujuzi wa biashara na uelewa wa huduma za kifedha. Mradi huu umelenga wanawake wa mikoa ya Dodoma na Mbeya.
Sherehe za mahafali ya wahitimu hawa zilifanyika mwishoni mwa wiki mkoani Dodoma na Mbeya na kuhudhuriwa na mwakilishi wa Katibu Tawala Mkoa akimwakilisha Rehema Madenge na Katibu Tawala Mkoa wa Mbeya akimwakilisha Mariam Mtunguja.
Wahitimu walimaliza mafunzo ya miezi 3, wakiwa wamepata ujuzi wa jinsi ya kupanua biashara na faida, ufanisi katika kazi, kutunza kumbukumbu za fedha, uandaaji wa biashara pamoja kuweka akiba salama kupitia M-Pawa.
Utafiti uliofanya na InterMedia na Benki ya Dunia unaonyesha kuwa asilimia 70 ya watanzani wanamiliki simu za mikononi, wakati asilimia 60 bado hawapo kwenye mfumo rasmi wa kutunza pesa benki. Wakati wanawake wakiathirika zaidi na ufinyu wa nafasi za kutumia mfumo wa kuhifadhi fedha kupitia simu za mikononi, hivyo kuwazuia kukuza biashara zao.
Wakati huo huo, tafiti inaonyesha kuwa wanawake ni watunzaji wazuri wa fedha hata wenye kipato kidogo au kisicho cha uhakika, wanawake wanaweza kutunza asiimia 10 mpaka 15 ya mapato yao hivyo kuwapa urahisi wa kutumia M-Pewa wanawake wanajiongezea uwezo wa kudhibiti pesa zao, kukuza vipato na kuwekeza kwenye familia na biashara zao.
“Tunaamini kuwa wanawake wanaomiliki biashara ndogo ndogo wakipewa ujuzi wa kutunza fedha pamoja na ujuzi wa kibiashara wanaweza kupata nafasi za kukuza biashara. Kukua kwa mitaji yao ya biashara hakuwanufaishi wao peke yao bali pamoja na familia zao na jamii kwa ujumla,” alisema Mkurugenzi wa TechoServe Tanzania, Dr Alexandra Mandelbaum.
‘Tumefurahi kuona mradi ukifikia hatua hii muhimu, tunapoendelea kutafiti manufaa yanayoweza kuletwa na huduma za akiba kwa simu na mafunzo ya biashara kwa wanawake. Tafiti mbalimbali zinaonyesha kwamba wanawake ni kiungo muhimu kwenye maendeleo ya jamii na mradi huu unaleta mwanya wa kuongeza wigo wa kiuchumi kwa wanawake wanaofanya biashara ndogondogo, kitu ambacho kitaboresha maisha yao hivyo kuwawezesha kuboresha jamii zinazowazunguka’ Aliongea Mark Fraser, Rais wa EMEPTL (ExxonMobil Exploration and Production Tanzania Limited)
Kwa updande wake Afisa mkuu wa huduma za kifedha wa Vodacom Tanzania, Sitoyo Lopokoiyit alisema, “Tunafurahi kushirikiana na wadau wa maendeleo kama Technoserve na ExxonMobil Foundation kuhakikisha kuwa makundi yote kwenye jamii yanaingia kwenye mfumo rasmi wa kifedha kupitia huduma za Vodacom. Ushirikiano huu una mchango mkubwa kwenye juhudi za Vodacom za kuwaleta watanzania wengi karibu zaidi na huduma bora za kifedha’
12/18/16--04:51: PROF. MBARAWA AAGIZA BARABARA YA MAKUTANO-NATA KM50 KUKAMILIKA
Ujenzi wa barabara ya Makutano-Nata KM 50 inayojengwa kwa kiwango cha lami, wilaya ya Butiama, mkoani Mara ukiendelea.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akitoa maagizo kwa Mhandisi Mshauri Eng. Domicus Mapunda wa Kampuni ya Ujenzi ya Mbutu Bridge JV inayojenga barabara ya Makutano-Nata KM 50 kwa kiwango cha lami mkoani Mara wakati alipokagua mradi huo.
Mhandisi Mshauri Eng. Domicus Mapunda wa Kapuni ya Ujenzi ya Mbutu Bridge JV akitoa ufafanuzi kwa Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa kuhusu mradi wa ujenzi wa barabara ya Makutano-Nata KM 50 inayojengwa kwa kiwango cha lami mkoani Mara wakati alipokagua mradi huo.
Kaimu Meneja wa Kiwanja cha Ndege cha Musoma Bi. Faraja akimuonesha Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa (kushoto), ramani ya eneo la kiwanja cha ndege hicho, alipokagua kiwanja hicho mkoani Mara. Muonekano wa barabara ya changarawe ya kuruka na kutua ndege katika Kiwanja cha Ndege cha Musoma. Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa akitoa maelekezo kwa Kaimu Meneja wa Kiwanja cha Ndege cha Musoma Bi. Faraja kuhusu eneo litaloongezwa kiwanja hicho, mkoani Mara.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa amewapa miezi minne Wakandarasi Wazawa wa Kampuni ya Ujenzi ya Mbutu Bridge JV inayojenga barabara ya Makutano-Nata kukamilisha km 18 kati ya 50 za barabara hiyo kwa kiwango cha lami.
Agizo hilo limetolewa na Waziri huyo, alipokuwa akikagua mradi huo wa barabara inayoanzia makutano kupitia Butiama, Nyamuswa hadi Sanzate ambao upo katika mkoa wa Mara, na kutoridhishwa na kasi ya ujenzi wake ambayo imesuasua kwa takriban miaka 3 sasa.
“Nataka mwezi Aprili mwakani sehemu ya barabara hii iwe imeshakamilika kwa kiwango cha lami na wananchi waanze kufurahia matunda yake, hatuwezi kusubiri kwa muda wote huo kuwavumilia kukamilisha mradi huu”, amesema Prof. Mbarawa.
Amesisitiza kuwa nia ya Serikali ya kuboresha barabara hiyo ni kupunguza gharama za usafirishaji, kuboresha makazi, kukuza uchumi kwa maeneo yaliyo kando ya Barabara hiyo na kuhamasisha utalii kwenye mbuga za Wanyama za Serengeti na Ngorongoro.
Naye, Meneja wa Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS), Mkoa wa Mara Eng. Japherson Nnko amesema kuwa barabara hiyo itakapomalizika itakuwa na njia ya magari yenye upana wa mita6.5, mabega ya barabara ya mita 1.5 kila upande na Daraja kubwa la Kyarano lenye urefu wa mita 37.5.
Katika hatua nyingine, Serikali imesema itawapa kipaumbele makandarasi wazawa kuweza kushiriki katika mradi wa ujenzi wa reli mpya ya kisasa (Standard Gauge), inayotarajiwa kuanza hivi karibuni katika maeneo mbalimbali nchini.
Aidha, Serikali imewataka Makandarasi hao kujitokeza kwa wingi kuchangamkia fursa kwa kuomba zabuni za ujenzi huo na kuziimarisha kampuni zao ikiwemo kuwa na vifaa vilivyo bora ili kupambana na soko la kibiashara na makandarasi wa nje.
Sambamba na hayo, Waziri Prof. Mbarawa amekagua Uwanja wa Ndege wa Musoma na kusema kuwa Serikali imejipanga kuhakikisha inapanua na kujenga kwa kiwango cha lami uwanja huo hususani njia ya kuruka na kutua ndege kutoka KM 1.6 ya sasa hadi KM 1.8 ili kuruhusu ndege kubwa zenye uwezo wa kubeba abiria 70 kutua katika uwanja huo.
Waziri Prof. Mbarawa amemaliza ziara yake ya siku mbili mkoani Mara ambapo amekukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa na Wizara yake katika Wilaya ya Bunda, Butiama, Musoma Mjini na Serengeti.
Imetolewa na Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, kitengo cha Mawasiliano Serikalini
12/18/16--05:19: Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli aungana na wana Parokia wenzake kusali ibada ya Jumapili
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akipokea komuniyo kutoka kwa Padre Paul Haule wa Kanisa la Mtakatifu Petro lililopo Oysterbay Jijini Dar es Salaam.
1Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiwa katika Ibada ya Jumapili katika Kanisa la Mtakatifu Petro lililopo Oysterbay Jijini Dar es Salaam. wa kwanza kulia kwake ni Dada yake Ester Enock na anayefuata ni Mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa.
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akifuatilia Mahubiri yaliyotolewa na Padre Paul Haule wa Kanisa la Mtakatifu Petro lililopo Oysterbay Jijini Dar es Salaam.
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akizungumza na baadhi ya waumini akiwemo muuza magazeti maarufu Bw. Bonge nje ya Kanisa la Mtakatifu Petro, Oysterbay Jijini Dar es Salaam.
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akisalimiana na Mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa nje ya Kanisa la Mtakatifu Petro, Oysterbay Jijini Dar es Salaam.
Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Janeth Magufuli leo Jumapili ameungana na Wakristo wenzake wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Petro iliyopo Oysterbay Jijini Dar es Salaam ikiwa ni wiki kadhaa tangu alipougua na kulazwa hospitali.
Akiwa mwenye afya njema na furaha Mama Magufuli aliyekuwa pamoja na Mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa wamesali ibada ya asubuhi katika kanisa hilo na baadaye kusalimiana na waumini nje ya kanisa.
Baada ya kumalizika kwa Ibada, baadhi ya Waumini wa Kanisa hilo wameelezea furaha yao ya kumuona Muumini mwenzao akiungana nao katika ibada na wamemuombea afya njema.
"Nimejisikia furaha sana kumuona Mama Magufuli amekuja Kanisani akiwa na afya njema na uso wa bashasha, na ninamuombea kwa Mungu aendelee kumsimamia" amesema Mama Mabula.
"Nimeshukuru sana kumuona Mama yangu Mama Magufuli, Mwanajumuiya mwenzangu leo Kanisani, huku afya yake ikiwa imetengemaa zaidi, tunamshukuru sana Mwenyezi Mungu na tunamuombea aendelee kumpigania afya yake izidi kuwa imara" amesema Thomas Simon.
"Kwa kweli siku ya leo kwangu mimi ninafuraha sana kwa kumuona Mama akiwa kanisani, na zaidi Mama wote wawili kwa sababu pia amekuja Mke wa Mhe. Waziri Mkuu, kwa hiyo kwetu sisi ni furaha sana kama Parokia, tunafurahi sana tunaposhirikiana na viongozi wetu" ameongeza Epifania Ngonyani.
Mwezi uliopita Mama Janeth Magufuli aliugua na kulazwa katika wodi ya Sewahaji iliyopo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili ambako alipata matibabu kwa siku mbili na kisha kuruhusiwa.
12/18/16--05:41: WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AWAKUNA WAPINZANI KIKAO CHA MAJUMUISHO ZIARA YA ARUSHA
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika kikao cha majumuisho ya ziara yake ya mkoa wa Arusha kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Arusha, Desemaba 18, 2016. Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika kikao cha majukmuisho ya ziara yake ya mkoa wa Arusha kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Arusha, Desemaba 18, 2016. Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo na kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Arusha, Lekule Laiza.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya Wenyeviti wa halmashauri za mkoa wa Arusha wakisikiliza kwa makini hotuba ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ya majumuisho ya ziara yake ya mkoa huo kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Arusha Desemba 18, 2016.
Wabunge wa Arusha wakifuhia hotuba ya majumuisho ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ya kuhitimisha ziara yake ya mkoa huo kwenye ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha , Desemba 27, 2016. Kutoka kushoto ni Mbunge wa Arumeru Magharibi, Gipson Mesiek, Mbunge wa Viti Maalum Amina Mollel na Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nasari. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Baadhi ya Wenyeviti wa halmashauri za mkoa wa Arusha wakisikiliza kwa makini hotuba ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ya majumuisho ya ziara yake ya mkoa huo kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Arusha Desemba 18, 2016. 9Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nasari, akionyesha ishara ya kukubaliana na maneno ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipotoa hotuba ya majumuisho ya ziara yake mkoani Arusha kwenye ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Desemba 28, 2016. Kushoto ni Mbunge wa Viti Maalum, Amina Mollel.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo (kushoto) wakizungumza na Mbunge wa Monduli, Julius Kalanga (wapili kulia) na Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Monduli, Isaac Joseph (kulia) baada ya Waziri Mkuu kumaliza kikao cha majumuisho ya ziara yake mkoani Arusha kwenye ukumbi wa Mkuu wa mkoa huo, Desemba 18, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Meya wa jiji la Arusha,Mstahiki,Kalisti Lazaro (kulia) baada ya kumaliza mkutano wake wa majumuisho ya ziara ya Arusha kwenye ukumbi wa Mkuu wa mkoa wa Arusha, Desemba 28, 2016. Wapili kushoto ni Mbunge wa Arumeru Magharibi, Gipson Mesiek na wapili kulia ni Mbunge wa Monduli, Julius Kalanga.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Meya wa jiji la Arusha, Mstahiki KalistiLazaro (wapili kulia) na wabunge wa upinzani waliohudhuria katika mkuano wake wa ajumuisho ya ziara ya mkoa wa Arusha kwenye ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Desemba 28, 2016. Wengine kutoka kushoto ni Mbunge wa Arumeru Magharibi, Gipson Mesiek, Mbunge wa Monduli, Julius Kalanga na Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nasari. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Meya wa jiji la Arusha, Mstahiki KalistiLazaro (wapili kulia) na wabunge wa upinzani waliohudhuria katika mkuano wake wa ajumuisho ya ziara ya mkoa wa Arusha kwenye ukumbi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Desemba 28, 2016. Wengine kutoka kushoto ni Mbunge wa Arumeru Magharibi, Gipson Mesiek, Mbunge wa Monduli, Julius Kalanga na Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nasari.
12/18/16--06:00: WAZIRI MKUU AUNDA TUME YA KUCHUNGUZA TAARIFA ZA UHAMISHO WA FARU JOHN,AAGIZA KABURI LAKE LITAFUTWE.
Amesema timu hiyo ya wataalamu tayari imeshafika Sasakwa VIP Grumet kwa ajili ya kutafuta kaburi na kuchukua vinasaba vya masalia ya faru John na kisha watakwenda kwenye Hifadhi ya Ngorongoro kuchukua vinasaba vya watoto wake na kuvilinganisha na pembe hiyo ili kubaini kama kweli pembe aliyopelekewa ni ya faru John au laa.
Waziri Mkuu ametoa kauli hiyo leo (Jumapili, Desemba 18, 2016) wakati wa majumuisho ya ziara yake ya kikazi mkoani Arusha. Ziara hiyo ililenga kukagua utekelezaji wa shughuli za maendeleo na kuona utoaji wa huduma kwa wananchi.
"Tume niliyounda kwa ajili ya uchunguzi wa faru John imetua VIP Grumet Serengeti kujiridhisha kama kuna kaburi la faru John na kama lipo wachukue vinasaba na baada ya hapo watakwenda Creter na kuchukua vinasaba vya watoto wa faru John na kuvipima kwa pamoja. Lengo ni kutaka kubaini kama pembe iliyowasilishwa kwangu Disemba 9 mwaka huu ni ya faru John,” amesema.
Waziri Mkuu amesema wakati faru John akiwa V I P Grumet taarifa zilisema ni mgonjwa na daktari alipompima mara ya kwanza akabaini faru huyo hakuna na ugonjwa wowote.”Daktari alimpima tena kwa mara ya pili taarifa zikasema tena si mgonjwa ghafla wakasema amekufa. Hili haliwezekani,”.
Waziri Mkuu amesema ameiagiza timu hiyo kufanya kazi ya uchunguzi wa taarifa hizo kikamilifu kwa sababu Serikali imetumia fedha nyingi kuwaleta faru hao kutoka nchini Afrika Kusini. Ni lazima nyara hizo za Serikali zilindwe kwa manufaa Taifa.
Kikao hicho kilihudhuriwa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe na baadhi ya watendaji wa wizara yake, Baada ya kupokea taarifa hiyo Waziri Mkuu alisema taarifa hiyo itafanyiwa kazi na wataalamu wa ofisi yake.Akisoma taarifa hiyo mbele ya Waziri Mkuu, Prof. Maghembe alisema hadi kufikia Desemba 2015 wakati faru John anahamishwa alikuwa na watoto 26 (sawa na asilimia 70.2) ya faru wote waliokuwepo ndani ya kreta.
“Kati ya faru 37 waliokuwepo ndani ya kreta, watoto wake walikuwa 26 sawa na asilimia 70.2. Uamuzi wa kumuondoa John ulikuwa ni muhimu ili kuwezesha kuongezeka kwa faru weusi na kupunguza tatizo la ‘inbreeding’ ndani ya Hifadhi ya Ngorongoro,” alisema Waziri Maghembe. Baada ya kuhamishiwa Sasakwa, Waziri Maghembe alisema Julai 10, 2016 afya ya faru John ilianza kudorora na alikufa tarehe 18 Agosti, mwaka huu.
JUMAPILI, DESEMBA 18, 2016.
12/18/16--07:07: Newz Alert:Msanii Darassa na wenzake wanusurika kifo baada ya kupata ajali kahama,mkoani Shinyanga.
Baadhi ya Wananchi wakilitazama gari hilo baada ya kupata ajali
Muonekano wa gari alilopata nalo ajali Msanii huyo na Wenzake,
Habari zilizoifikia Globu ya Jamii hivi punde zinaeleza kuwa Mwanamuziki wa Hip Hop Bongo ambaye ametokea kutikisa kwa kiasi kikubwa kupitia ngoma yake kali ya Muziki, Sharrif Thabit ‘Darassa’ amenusurika kifo baada ya kupata ajali mbaya maeneo ya Ntobo barabara ya kuelekea Mgodi wa Bullyanhulu Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga.
Habari zimeeleza kuwa ndani ya gari hilo aina ya Toyota Harrier yenye namba za usajili T503 DGQ, ambalo dereva hakufahamika mapema, Darassa alikuwa ameambatana na Director wake, Hanscana pamoja na producer wake, Abba Process na wote wametoka salama.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Darassa amethibitisha kupata ajali hiyo, na kama aonekanavyo kwenye hiyo clip ya video sehemu ya tukio ya ajali hiyo akimshukuru Mungu kwa kutoka salama yeye pamoja na wenzake.
Chanzo cha ajali hiyo bado hakijajulikana mpaka sasa.
12/18/16--07:54: MSIMAMO WA LIGI
12/18/16--11:59: WAZIRI LUKUVI ATUA MKOANI MARA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI
Na Hassan Mabuye .
(Kitengo cha Mawasiliano - Wizara ya Ardhi)
Hadi sasa Mhe. Lukuvi ndani ya mwezi huu wa Desesmba ameishatatua migogoro ya ardhi ya Mkoa wa Kigoma na wilaya zake za Kigoma mjini, Kasulu na Kibondo na katika Mkoa wa Shinyanga na wilaya zake za Kishapu na Shinyanga mjini na katika mkoa wa Geita amefanya ziara wilayani Chato.
12/18/16--12:01: Zanzibar na kampuni ya ZTE ya China zimetiliana saini Mkataba wa ushirikiano katika uendelezaji wa miradi
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi (kushoto) na Rais wa Kampuni ya ZTE ya Mji wa Shengzhen Nchini China Bwana Zhang Rejun kulia wakitia saini Mkataba wa ushirikiano katika uendelezaji wa miradi itakayotumia mfumo wa Teknolojia ya Kisasa ya Mawasiliano Makao Makuu wa ZTE Mjini Shengzhen China.
Balozi Seif kushoto akibadilishana hati na Rais wa ZTE Bwana Zhang Rejun baada ya kutia saini Mkataba wa Ushirikiano wa uendelezaji wa miradi itakayotumia mfumo wa Teknolojia ya Kisasa ya Mawasiliano.
Mtaalamu wa Ufundi wa Kampuni ya ZTE Bibi Radhika Devi wa kwanza kutoka Kushoto akimkaguza Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif na Ujumbe wake katika vitengo mbali mbali ndani ya Makao Makuu ya Kampuni hiyo Mjini Shengzheng. Kushoto ya Balozi Seif ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar Mh. Mohamed Ahmed Salum na Katibu Mkuu Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora Bibi Asha Ali Abdulla.
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Kampuni ya Kimataifa ya Mitandao ya Kisasa ya Mawasiliano ya ZTE ya Mji wa Shengzhen Nchini Jamuhuri ya Watu wa China zimetiliana saini Mkataba wa ushirikiano katika uendelezaji wa miradi itakayotumia mfumo unaokubalika Kimataifa kwa hivi sasa.
Miradi hiyo itakayotumia mfumo waTeknolojia ya Kisasa { TEHAMA } ni pamoja na Mradi wa Mawasiliano Serikalini { E Goverment } huduma za umeme, usafiri, miji mipya, afya pamoja na huduma za Kijamii ikiwemo utaratibu wa udhibiti wa ukusanyaji wa Mapato ya Serikalini.
Saini ya Mkataba huo imetiwa na Rais wa Kampuni ya ZTE Bwana Zhang Rejun wakati upande wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imetiwa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ambaye yuko Nchini China kwa ziara rasmi ya Kiserikali ya siku Tano.
Akizungumza na Uongozi wa Kampuni hiyo ya ZTE kwenye Makao Makuu yake Mjini Shengzhen Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi alisema Zanzibar inaendelea kuipa fursa zaidi Kampuni ya ZTE katika mtazamo wake wa miradi ya maendeleo inayotarajia kuanzisha hapo baadaye.
Balozi Seif alisema hatua hiyo ya Serikali imekuja kutokana na Uongozi wa juu wa Kampuni ya ZTE kuonyesha juhudi kubwa za kuendelea kuunga mkono harakati za kuimarisha miradi ya Maendeleo zinazotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar aliishukuru na kuipongeza Kampuni ya ZTE kwa kasi kubwa ya uwajibikaji wa watendaji wake katika mfumo wa Teknolojia ya kisasa ya mawasiliano unaoonekana kukubalika na Mataifa mengi Duniani zikiwemo pia Nchi za Bara la Afrika.
Balozi Seif aliutolea mfano mradi Mkubwa wa mawasiliano Serikalini {E Goverment } ambao ulisimamiwa na Kampuni hiyo kwa upande wa Zanzibar ukikamilika katika awamu ya kwanza.
| 2019-12-06T19:20:09 |
http://jiachie1.rssing.com/chan-7007640/all_p1075.html
|
[
-1
] |
UAMINIFU NA UWAJIBIKAJI KWA WAFANYAKAZI WA OFISI YA NYARAKA NDIO KITU MUHIMU – ZANZIBAR BROADCASTING CORPORATION
UAMINIFU NA UWAJIBIKAJI KWA WAFANYAKAZI WA OFISI YA NYARAKA NDIO KITU MUHIMU
09/08/2018 28/08/2018 Amina Salum
Naibu waziri wa habari utalii na mambo yake mh, chumu kombo khamis amesema uaminifu na uwajibikaji kwa wafanyakazi wa ofisi ya nyaraka ndio kitu muhimu katika sehemu yao ya kazi ili kuleta ufanisi wa taasisi hiyo.
Amesema idara ya nyaraka ndio sehemu muhimu ya kuhifadhi na kuhakiki kumbu kumbu mbali mbali ili ziweze kutumika kwa matumizi ya baadae ikiwa ni pamoja na kusaidia kufanya tafiti mbali mbali.
Mh, chumu ameyasema hayo huko ukumbi wa nyaraka na mambo ya kale wakati akizungumza na wafanyakazi wa ofisi hiyo.
Akizungumzia suala la utunzaji wa maeneo ya kihistoria amesema eneo la mkama ndume lina kila sababu ya kurudishwa katika uhalisia wake hivyo ni vyema kuwashirikisha wananchi katika suala la utunzaji wa eneo hilo.
Naye afisa mdhamini wa wizara ya habari utalii na mambo ya kale pemba khatib juma mjaja amemuhakikishia naibu waziri huyo kwamba ofisi yake itatoa kila aina ya msaada utakao hitajika ili lengo la uwepo wa ofisi ya nyaraka liweze kufikiwa ikiwa ni pamoja na kujenga mshikamano miongoni mwa wafanyakazi wa taasisi hiyo.
Kwa upande wao wafanyakazi hao wameahidi kushirikiana na kufanya kazi kwa uaminififu na uadilifu ili kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kama ilivyokusudiwa.
← MAONYESHO YA KILIMO YAMETOA MWAMKO MKUBWA KWA WAKULIMA NA WANANCHI
ZANZIBAR KUZIENDELEZA TIMU ZAO ZILIZOKWENDA KWENYE MASHINDANO YA UMISSETA →
UCHUNGUZI DHIDI YA KESI ZA UDHALILISHAJI WA KIJINSIA
05/03/2017 subira ame Comments Off on UCHUNGUZI DHIDI YA KESI ZA UDHALILISHAJI WA KIJINSIA
SERIKALI IMEPATA MAFANIKIO BAADA YA WANAFUNZI WENGI WALIOJIUNGA NA KISOMO
02/03/2018 Amina Salum Comments Off on SERIKALI IMEPATA MAFANIKIO BAADA YA WANAFUNZI WENGI WALIOJIUNGA NA KISOMO
BODI YA HOSPITALI BINAFSI IMEMALIZA ZOEZI LA UKAGUZI WA VITUO VYA AFYA
15/04/2018 Mwanaid juma Comments Off on BODI YA HOSPITALI BINAFSI IMEMALIZA ZOEZI LA UKAGUZI WA VITUO VYA AFYA
| 2018-11-17T15:20:21 |
http://zbc.co.tz/uaminifu-na-uwajibikaji-kwa-wafanyakazi-wa-ofisi-ya-nyaraka-ndio-kitu-muhimu/
|
[
-1
] |
WAKULIMA WAMESIFU HATUA ZINAZOCHUKULIWA NA SERKALI ZA KUWAPATIA MAENEO NA MBOLEA BURE – ZANZIBAR BROADCASTING CORPORATION
27/12/2017 21/05/2018 Mwanaid juma
Wakulima wa zao la mpunga cheju wamesifu hatua zinazochukuliwa na serkali za kuwapatia maeneo yakilo hicho na mbolea bure iliwaweze kuzalisha ili waweze kuzalisha mazao bora na yenye tija kwao na taifa kwa ujumla
wakulima hao wameyasema hayo baada ya uongozi wa halmashauri kuwatembelea kiliom cha mpunga cha umwagiliaji maji kwa lengo la kuangalia hatua zilizo fikia za uzalishaji pamoja na vipi wananufaika na mradi huo
wamesema mafanikio makubwa wanayoyapata yanatokana na utaalamu wanao patiwa kutoka kwa watalamu wa kuzalisha mazoa mengi zaidi ukilinganisha na hapo awali ambapo hatua hiyo imewapa matumaini makubwa ya kutaka zanziba kuwa na mchele wake zan rice kutokana na ushirikiano wanao upata kutoka kwa viongozi waoa
Akitowa maelekezo juu ya kilimo cha mpunga kwa kutumia mbegu ya subang kutoka indonesia mkuu wa kilimo cha umwagiliajki maji cheju ali uzia amesema kilimo cha umwagiliaji maji kinapunguza gharama na kutumia muda mwingi hiyo wamewataka wakulima kujikita zaidi kwa kilimo hichop ambacho kwa ssasa kina mafanikio zaidi
afisa zamana sekta ya kilimo wilaya ya kati hassan juma amesema lengo ni kusaidia jamii juu ya kilimo bora na kuwapatia elimu ya matumizi ya mbolea ili waweze kuzalisha kilimo bora na kinachoendana na wakati
← WAUGUZI NA MADAKITARI KUTUMIA LUNGA NZURI PALE WANAPOKUWA WAKITEKELAZA MAJUKUMU YAO
WAKAAZI WA FUNDO WAMERIDHISHWA KWA KUPELEKEWA HUDUMA YA UMEME →
KUKOSEKANA KWA NISHATI YA MAFUTA NA UMEME KUNAWEZA KUPUNGUZA UINGIAJI WA WATALII
17/01/2018 Amina Salum Comments Off on KUKOSEKANA KWA NISHATI YA MAFUTA NA UMEME KUNAWEZA KUPUNGUZA UINGIAJI WA WATALII
BAADHI YA WAFANYAKAZI WA TRA NA ZRB WANAREJESHA NYUMA JUHUDI ZA SERIKALI
04/04/2017 subira ame Comments Off on BAADHI YA WAFANYAKAZI WA TRA NA ZRB WANAREJESHA NYUMA JUHUDI ZA SERIKALI
TTCL IMEZINDUA HUDUMA MPYA ZA MAWASILIANO YA INTANENTI
29/11/2017 Amina Salum Comments Off on TTCL IMEZINDUA HUDUMA MPYA ZA MAWASILIANO YA INTANENTI
162279Jumla ya Waliotembelea:
534Waliotembelea Leo:
6395Waliotembelea wiki ilopita:
14136Waliotembelea kwa Mwezi:
| 2018-06-18T13:35:18 |
http://zbc.co.tz/wakulima-wamesifu-hatua-zinazochukuliwa-na-serkali-za-kuwapatia-maeneo-na-mbolea-bure/
|
[
-1
] |
AMSHA AMSHA KUTOKA UWANJA WA TAIFA, ASKARI WAIMARISHA ULINZI - SUFIANIMAFOTO
Home Michezo AMSHA AMSHA KUTOKA UWANJA WA TAIFA, ASKARI WAIMARISHA ULINZI
AMSHA AMSHA KUTOKA UWANJA WA TAIFA, ASKARI WAIMARISHA ULINZI
Muhidin Sufiani Saturday, February 25, 2017
Askari wakiimarisha ulizni katika Geti kubwa la kuingilia ndani ya Uwanja wa Taifa kushuhudia mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba na Yanga unaotarajia kuanza majira ya saa 10: 00 jioni.
Askari wakiwakagua mashabiki kabla ya kuingia uwanjan
Baadhi ya mashabiki wakikata tiketi
mashabiki wakikata tiketi
Mashabiki wa Yanga wakiwa katika usafiri kuelekea uwanjani
ukataji wa tiketi
Folrni ya kuingia uwanjani
Ulinzi mkali kuingia uwanjani
Sehemu ya mashabiki wa Simba waliokwishaingia ndani ya Uwanja muda huu
Sehemu ya mashabiki wa Yanga waliokwishaingia ndani ya uwanja muda huu
Askari leo wakiwa na aina tofauti na ilivyozoeleka kufanya ulinzi ambapo leo huwatazama mashabiki jukwaani kama nchi zilizoendelea
Askari akiwa tayari kwa kazi leo haina kuangalia mpira ni kazi tu
Leo ni ulinzi tu
Leo askari ni hadi majukwaani
Askari wakiwa majukwaani kuimarisha ulinzi.
Baadhi ya askari wakigawana majukumu
Shabiki akiwa njiani kuelekea uwanjani
Black Friday 2018: Top Deals We can expect here in Tanzania - *The countdown has begun! You know it is near and it can be seen everywhere. The excitement is building, the spirits are rising. Yes, it is time fo...
| 2018-10-23T14:04:31 |
http://www.sufianimafoto.com/2017/02/amsha-amsha-kutoka-uwanja-wa-taifa.html
|
[
-1
] |
sheikh Yahya Hussein, anajenga heshima yake au anajidhalilisha? | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
sheikh Yahya Hussein, anajenga heshima yake au anajidhalilisha?
Namna ambavyo sheikh anavyotumia vyombo mbalimbali vya habari na mawasiliano kunadi unajimu wake, ni kama yuko kwenye promosheni ya biashara yake.
Kweli wasikilizaji wa unajimu wake wameongezeka sana, wengine wakimpuuza na wengine wakimsifu.
Je tukiliangalia kwa undani, heshima ya huyu mtabiri imeongezeka au imeporoka katika kipindi cha miaka hii mitano 2005-2010?
WAMTUMAINIO Bwana ni kama MLIMA SAYUNI Hawatatikisika milele yote.
SHEIKH YAHYA HAMTUMAINI BWANA, BADALA YAKE MAJINI NA MASHETANI NDIO TUMAINI LAKE,
THATS WHY HESHIMA YAKE KWENYE JAMII INAPOROMOKA KILA KUKICHA.
once a man and twice a child, ktk maisha ukizeeka unarudia utoto, naona sasa huyu mzee sasa anarudia utoto
Sisi tunaona kama anajidhalilisha, ikulu inamuona anastahili sifa na utukufu
Jamani kama kawaida yangu muono wangu ni tofauti .
ingawa mimi siamini mambo ya unajimu lakini ninaheshimu taaluma na wataalam. Kuhusu huyu mzee kuporomoka au kutoporoma ni nadharia ambayo kwa 'wanatafakuri' haipendezi sana ila cha msingi "'prove him wrong' na namna ya kuthibitisha aliyoyasema kuhusu uchaguzi mkuu ujao [nadhani hili limekera wengi] basi ni busara kungoja hadi uchaguzi upite na hapo ndipo tunapoweza kujadili kwa kina yale yote aliyoyasema na ndipo tutakapokuwa na haki ya kumbeza au kumsifu
Namna ambavyo sheikh anavyotumia vyombo mbalimbali vya habari na mawasiliano kunadi unajimu wake, ni kama yuko kwenye promosheni ya biashara yake.Click to expand...
Kwani alishwahi kuwa na heshima?
Leo katabiri kuwa hamna uchaguzi.
Nadhani huyu mzee zimemruka. Anyways yuko kwenye biashara. Sasa mbona utabiri wake unajipinga? Hana point achaneni naye!
Pia alitabiri kikwete atashinda ushindi wa kishindo, sijui atashindaje bila uchaguzi?
Tena alisema kuwa atakaye mpinga kikwete kwenye uchaguzi atakufa... Sijui ni uchaguzi upi?
Huyu jamaa anajichanganya sana yeye na kauli zake.
Kama kweli yeye ni mtabiri mbona hajawahi kutabiri lini yeye atakufa?
Kazi kuiombea mabaya nchi na watu wasiokuwa na hatia.
ATUAMBIE YEYE ANAKUFA LINI?
Kwani alishawahi kuwa na heshima?Click to expand...
Kwa mujibu wa vyanzo mbalmbali vya habari:
=Aliwahi kutabiri vita dhidi ya Nduli Iddi Amini, ikatokea
=Aliwahi kutabiri moto kuwaka juu ya maji ikatokea kule Goma DRC
=Aliwahi kutabiri Mwanamuziki mwenye upara kufariki ghafla akiwa ******, utabiri huo ukamuangukia Brenda Fasi wa kule Afrika ya Kusini
=Aliwahi kutabiri Mwanmuziki maarufu kutoka nchi jirani aliyefungwa kuachiwa huru, wengi walidhani angekuwa ni Babu Seya, lakini utabiri huo ukamuangukia Papa Wemba wa kule DRC aliyefungwa kule nchini Ufaransa kutokana na kuingiza wahamiaji haramu kupitia Bendi yake.
=Aliwahi kutabiri Rais wa awamu ya tatu Mheshimiwa Benjamini Mkapa kuongezewa muda wa kuongoza nchi hata bada ya muda wake kuisha, wengi wakapiga kelele, lakini mwishowe ikatokea bada ya kifo cha mgombea mwenza wa chama kama sikosei TLP au Chadema na uchaguzi ukasogezwa na hivyo Rais wa wakati huo Mheshimiwa Mkapa akajikuta akiendelea kuongoza kwa muda zaidi ya kipindi chake, utabiri huo ulitimia.
=Alitabiri kifo cha Makamu wa Rais Hayati Dr. Omari Ali Juma na utabiri huo ulitimia.
Kwa kifupi zipo tabiri nyingi ambazo zilithibitishwa kutokea na hizi ni miongoni mwa tabiri hizo.
Kwa kifupi utabiri ni utaratibu wa kudadavua kitu ambacho aidha kinaweza kutokea au kisitokee kulinga na mazingira.
Taaluma hiyo ni ya kujifunza na mtu yeyote anaweza kujifunza akipenda.
Lakini hata hivyo umri nao unaweza kuchangia kiwango cha ufanisi kupungua na ndio sababu ya Sheikh Yahya kupoteza umaarufu, na ndio maana hata serikali kuweka umri wa waajiri wetu kustaafu, kutokana na kuchoka kiakili na kimwili. Hata hivyo hilo limeshindikana kutokana na watu wengi waliostaafu kutoka serikalini kukimbilia kwenye siasa. Inashangaza kidogo kwa kuwa kama mtu ameshindwa kwenye utumishi wa umma atawezaje uleta tija kwenye siasa.
Naona sasa ninachanganya mada, ngoja niishie hapa. - 0 people likes
Naye ni UwT....kwa mujibu wa kitabu ''THE DARK SIDE OF NYERERE''...
naona sasa ninachanganya mada, ngoja niishie hapa. Click to expand...
Suala ni je ana hitajika katika jamii? Utabiri unasaidia nini hasa ? Kufa mtu ni wajibu na sote tutakufa...nchi badala ya kusikiliza planners and other experts juu ya future wanamsikiliza huyu....mbona hjawahi kutabiri Dar kuwa na foleni mbaya?
| 2017-01-24T13:24:51 |
https://www.jamiiforums.com/threads/sheikh-yahya-hussein-anajenga-heshima-yake-au-anajidhalilisha.56307/
|
[
-1
] |
2009-04-26 14:02:06
Kipa nguli nchini, Juma Kaseja wa Yanga amesema ligi ya msimu huu ilikuwa ngumu na yenye ushindani mkubwa tofauti na ligi nyingine zilizopita.
Kaseja aliliambia LeteRAHA ugumu huo uliongezwa chachu kwa wachezaji kuwa na ushindani binafsi, na pia timu kwa timu nazo zilikuwa zikishindana ili kujiweka katika nafasi nzuri kimsimamo.
``Ligi ilikuwa ya kiwango cha juu, timu zilipishana kwa pointi chache na kila mmoja alijitahidi kumpita mwenzake ili awe juu katika msimamo,``alisema Kaseja.
Alisema ushindani huo uliwalazimisha timu yake ya Yanga kucheza kwa bidii ili kujikusanyia pointi mapema kabla ya kumalizika kwa mzunguko wa kwanza.
``Sisi tulicheza tukiwa na taswira ya ule usemi wa biashara asubuhi na ndio maana tulichangamka na kumaliza mzunguko wa kwanza tukiwa na pointi nyingi zaidi ya timu nyingine, na hata mzunguko wa pili uliendelea hivyo hivyo,`` alisema Kaseja.
Akitoa mfano wa ushindani na kiwango cha juu cha soka katika mojawapo ya mechi ni kilichoonyeshwa mwishoni mwa wiki na watani wa jadi Simba na Yanga, ambapo wachezaji walionyesha mchezo mzuri usiokuwa na rafu za makusudi kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.
``Mimi nimecheza mechi za watani nyingi, lakini sikuwahi kuona mechi nzuri kama hii iliyopita wachezaji wamecheza kwa nidhamu na hata soka lilionekana, na ndio maana wapenzi walifurahi kwa kuona soka zuri lisilokuwa na vurugu,`` alisisitiza Kaseja.
| 2019-04-21T18:49:15 |
http://kurayangu.com/ipp/raha/2009/04/26/135579.html
|
[
-1
] |
Breaking news: Milipuko yatokea kigamboni | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Breaking news: Milipuko yatokea kigamboni
Discussion in 'Habari na Hoja mchanganyiko' started by MULANGILA, Mar 27, 2012.
MULANGILA Member
Wana JF, Kuna milipuko kama nane imetokea eneo la Kigamboni Dar. Mimi nipo mtaa wa Samora naona wingu kubwa la moshi eneo la Kigamboni. Haijafahamika kama yanatokea eneo gani kule Kigamboni. Mwenye taarifa zaidi atujuze.
Najua kule kuna kambi za jeshi ila sina uhakika kama wana stock kama za Gongola Mboto aka GOMS
Likes Received: 22,396
Historia imejirudia tena, ilianza Mbagala, ikaenda Gongo la Mboto sasa Kigamboni, subirini iundwe tume ya uchunguzi
MULANGILA said: ↑
hata usihofu nilikuwa dirishani wakati mlipuko ikitokea hivyo nimeona vizuri, ni ktk kambi ile ya jeshi inayotazamana na bandari. Mara nyingi mizinga hupigwa pale kama kuna matukio yanayoruhusu kufanyika kwa milipuko kama hiyo mjini. kama vile kupokea wanamaji toka nje ya nchi, n.k
Duu imbombo ngafu sina ndugu k/gmboni ningeuliza,isije ikawa kambi ya mzinga au navy zimelipuka!!
Da! Mupenzi wangu yuko huko jamani..
mwenye habari kamili znazothibitisha kuwa ni mabomu atujuze
du, afadhali Danni umenipoza moyo, usitake kuadasiwa kutana na huo muziki hauna staili ya kucheza
Duh! Nilisoma tangazo kuwa yatalipuliwa mafataki lakini ni kuanzia saa 1 jioni leo, ngoja tusikie nn kinaendelea
yameshapoa
Kombora moja linaweza tua hapo kwa magogoni kwa JK au kakimbia?
nauza kiwanja kigamboni gezaulole
Milipuko ishakua kawaida sasa.
Kweli kumetokea milipuko ila nimepata taarifa rasmi kuwa ilikuwa ni mambo ya kawaida ya kijeshi. Walikuwa na mgeni pale kwenye kikosi cha jeshi ambaye alistahiki kupewa military salute ya gunshots!
sigma... Acha hizo
Jamani naishi huko msitutishe!
Labda ndo wanayafanyia majaribio kwanza kabla ya muda huo kufika!!
Are you serious? Hebu ni-PM tubonge kibiashara zaidi.
Daah, jamaa wamesababisha nipige mbizi
Kimepimwa? Size gani? Bei kiasi gani funguka tufanye biashara alpha!
| 2018-01-24T10:08:43 |
https://www.jamiiforums.com/threads/breaking-news-milipuko-yatokea-kigamboni.239229/
|
[
-1
] |
Cabluri Telefoane Mobile 4world Ieftine
Cabluri telefoane mobile 4world
Cablu 4World 08965 USB 3.0 tata la microUSB v3.0 tata 3m Albastru
Cablu 4World USB Lightning iPhone 5-iPad 4-iPad mini 100cm Alb
Cablu audio 4World iPhone - iPod mufa 3.5mm Alb
Compatibilitate: Apple 30-pin
cabluri telefoane mobile 4world ieftine ieftin
| 2017-10-23T09:54:31 |
http://www.dc-shop.ro/cabluri-telefoane-mobile/4world/1a-1
|
[
-1
] |
Mchezo Romance ni katika machela Online. Kucheza kwa huru
Mchezo Romance ni katika machela
Unachezwa: 2330
Kucheza mchezo Romance ni katika machela Online:
Maelezo ya mchezo Romance ni katika machela
Msaada msichana wa kuchagua outfit kwamba ingekuwa kukaa vizuri na guy favorite katika machela. . Kucheza mchezo Romance ni katika machela online.
Kiufundi na tabia ya mchezo Romance ni katika machela
Mchezo Romance ni katika machela aliongeza: 03.01.2012
mchezo unachezwa: 2330 mara
Michezo kama mchezo Romance ni katika machela
Download mchezo Romance ni katika machela
Embed mchezo Romance ni katika machela katika tovuti yako:
Romance ni katika machela
Kuingiza mchezo Romance ni katika machela kwenye tovuti yako, nakala ya kanuni na kuweka katika kanuni html ya tovuti yako. Pia, kama wewe kama mchezo Romance ni katika machela, nakala na kutuma kiungo kwa rafiki au rafiki yako yote, kushiriki mchezo na dunia!
Pamoja na mchezo Romance ni katika machela, pia alicheza katika mchezo:
| 2019-03-19T17:46:31 |
http://sw.itsmygame.org/999969512/romanticism-is-in-a-hammock_online-game.html
|
[
-1
] |
Marko 2 | Biblia na Internet | Libongoli ya Mokili ya Sika
2 Nzokande, nsima ya mwa mikolo akɔtaki lisusu na Kapernaume mpe bayokaki ete azali na ndako.+ 2 Bongo bato mingi bayanganaki, bongo esika ezalaki lisusu te, ata pembeni ya porte, mpe abandaki kolobela bango liloba.+ 3 Mpe bato bayelaki ye mokatatali moko, bato minei bakumbi ye.+ 4 Kasi lokola bakokaki te kokómisa ye epai ya Yesu mpo na ebele ya bato yango, balongolaki nsamba likoló ya esika ye azalaki, mpe nsima ya kofungola nzela bakitisaki litɔkɔ oyo mokatatali yango alalaki.+ 5 Mpe ntango Yesu amonaki kondima na bango+ alobaki na mokatatali ete: “Mwana, masumu na yo elimbisami.”+ 6 Nzokande bakomeli mosusu bazalaki wana, bafandaki mpe bazalaki kokanisakanisa na mitema na bango ete:+ 7 “Mpo na nini moto oyo azali koloba ndenge wana? Azali kofinga. Longola Nzambe ye moko, nani mosusu akoki kolimbisa masumu?”+ 8 Kasi Yesu, lokola ayebaki na mbala moko na elimo na ye ete bazalaki kokanisakanisa ndenge wana na kati na bango, alobaki na bango ete: “Mpo na nini bozali kokanisakanisa makambo wana na mitema na bino?+ 9 Nini eleki pɛtɛɛ, koloba na mokatatali: ‘Masumu na yo elimbisami,’ to koloba: ‘Tɛlɛmá, lɔkɔtá litɔkɔ na yo mpe tambolá’?+ 10 Kasi mpo bóyeba ete Mwana ya moto+ azali na bokonzi ya kolimbisa masumu awa na mabele,”+—alobaki na mokatatali yango ete: 11 “Nalobi na yo: Tɛlɛmá, lɔkɔtá litɔkɔ na yo, mpe kende epai na yo.”+ 12 Bongo atɛlɛmaki, mpe na mbala moko alɔkɔtaki litɔkɔ na ye mpe abimaki na miso na bango nyonso,+ bongo bango nyonso bakamwaki mpenza, mpe bakumisaki Nzambe, balobi: “Naino tomoná likambo ya boye te.”+ 13 Lisusu abimaki pembeni ya mbu; mpe ebele nyonso wana ya bato bakobaki koya epai na ye, mpe abandaki koteya bango. 14 Kasi ntango azalaki koleka, amonaki Levi+ mwana ya Alfe afandi na biro ya mpako, mpe alobaki na ye ete: “Landá ngai.”* Mpe atɛlɛmaki, alandi ye.+ 15 Na nsima, afandaki na mesa na ndako ya Levi, mpe ebele ya bakɔngɔli-mpako+ ná basumuki bafandaki elongo na Yesu ná bayekoli na ye, mpo bazalaki mingi mpe babandaki kolanda ye.+ 16 Kasi bakomeli ya Bafarisai, ntango bamonaki ye azali kolya elongo na basumuki ná bakɔngɔli-mpako, babandaki koloba na bayekoli na ye ete: “Azali nde kolya elongo na bakɔngɔli-mpako ná basumuki?”+ 17 Ntango Yesu ayokaki bongo, alobaki na bango ete: “Baoyo bazali nzoto makasi bazalaka na mposa ya monganga te, kasi nde baoyo bazali na maladi. Nayaki kobenga bayengebene te, kasi basumuki.”+ 18 Nzokande bayekoli ya Yoane mpe Bafarisai bakilaka bilei. Bongo bayaki mpe balobaki na ye ete: “Mpo na nini bayekoli ya Yoane mpe bayekoli ya Bafarisai bakilaka bilei, kasi bayekoli na yo bakilaka bilei te?”+ 19 Mpe Yesu alobaki na bango ete: “Ntango mobali ya libala azali elongo na bango, baninga ya mobali ya libala bakoki kokila bilei te,+ boye te? Ntango nyonso oyo bazali elongo na mobali ya libala, bakoki kokila bilei te.+ 20 Kasi mikolo ekoya ntango mobali ya libala akolongolama epai na bango, mpe bongo bakokila bilei na mokolo wana.+ 21 Moto moko te abambaka eteni ya elamba ya sika na elamba ya kala; soki asali bongo, ekobendana, ya sika ekobenda ya kala, mpe kopasuka yango ekokóma mabe koleka.+ 22 Lisusu, moto moko te atyaka vinyo ya sika na milangi ya kala ya mposo ya nyama; soki asali bongo, vinyo ekopanza milangi ya mposo ya nyama, mpe vinyo ekobeba ná milangi ya mposo ya nyama mpe lokola.+ Kasi batyaka vinyo ya sika na milangi ya sika ya mposo ya nyama.”+ 23 Nzokande ekómaki ete azalaki koleka na bilanga ya blé na sabata, mpe ntango bazalaki koleka bayekoli na ye babandaki kobuka+ mitó ya blé.+ 24 Bongo Bafarisai balobaki na ye ete: “Talá! Mpo na nini bazali kosala likambo oyo esengeli kosala te na sabata?”+ 25 Kasi alobaki na bango ete: “Botángá naino ata mbala moko te oyo Davidi+ asalaki ntango akelelaki mpe ayokaki nzala, ye ná bato oyo bazalaki elongo na ye?+ 26 Ndenge akɔtaki na ndako ya Nzambe, na lisolo oyo etali Abiatare+ nganga-nzambe mokonzi, mpe alyaki mampa ya kolakisa,+ oyo bato mosusu basengeli kolya te,+ longola kaka banganga-nzambe, mpe apesaki lisusu ndambo na bato oyo bazalaki elongo na ye?”+ 27 Bongo alobaki na bango lisusu ete: “Sabata esalemaki mpo na moto,+ kasi moto mpo na sabata te;+ 28 yango wana Mwana ya moto azali Nkolo ata ya sabata.”+
| 2017-08-21T13:10:06 |
https://www.jw.org/ln/mikanda/biblia/bi12/mikanda/marko/2/
|
[
-1
] |
Rais Magufuli awashukuru madaktari wa 'Save the child's Heart' | Azam | Habari | Swahili
Rais Magufuli awashukuru madaktari wa 'Save the child's Heart'
Jennifer Sumi | 08 Nov 2018, 12:27 pm
Rais John Magufuli akizungumza na madaktari wa 'SAVE THE CHILD'S LIFE' na wa Hospitali ya JKCI na MOI Ikulu jijini Dar es Salaam
Rais John Magufuli amewashukuru madaktari takribani 30 kutoka nchini Israel na Marekani ambao wamekuja nchini kwaajili ya kuokoa maisha ya watoto wa Kitanzania na kusema ndilo kusudi la kuwaita Ikulu kama njia ya kuwaonesha shukrani zake kwao.
Rais Magufuli ameyasema hayo Ikulu jijini Dar es Salaam, alipokutana na wataalamu hao wa SAVE THE CHILD’S HEART walioambatana na wenzao wa Tanzania kutoka Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) na MOI.
Rais Magufuli katika hotuba yake mbali na kuwashukuru wataalamu hao, amemwelekeza Naibu waziri wa Afya, Faustine Ndugulile kumfikishia shukrani zake kwa watoa huduma za afya nchini na kuwatia moyo, akiwataka wafanye kazi kwa moyo kwani anatambua kazi wanayoifanya na inafanya kila linalowezekana kutatua changamoto zilizopo.
"Nazijua changamoto mlizonazo, lakini hatuwezi kuzimaliza kwa siku moja, na ndiyo maana tunajitahidi kuongeza bajeti ya afya kila mwaka." alisema Rais Magufuli.
Amesema Serikali yake inajivua ushirikiano uliopo kati yake na mataifa mengine na kuwataka madaktari hao kuja nchi pia kama watalii badala ya kuja kufanya kazi tu.
Katika kuhimiza suala la utalii nchini, Rais Magufuli, amewapa ofa wataalamu hao ambao wanatarajiwa kukaa nchini hadi Novemba 10 kwenda kujionea vivutio vilivyopo mbugani na kupumzika huko kwa siku tatu iwapo wataridhia.
Rais Magufuli ameishukuru Israel kwa nafasi za mafunzo wanayowapa wataalamu wa ndani nchini mwao na kuomba kama idadi hiyo inaweza kuongezeka katika tasnia nyingine sanjari na kukaribisha wawekezaji wa vifaa tiba na dawa huku akiwahakikishia uwepo wa soko la uhakika nchini na nje ya nchi.
Rais Magufuli pia amemkabidhi Balozi wa Israel nchini, Barua ya shukrani aliyomwandikia Waziri mkuu wa nchi hiyo, Benjamin Netanyau, sambamba na kutoa zawadi kwa madaktari hao wa SAVE THE CHILD'S HEART na wa ndani pia.
Awali Naibu Waziri wa Afya, Faustine Ndugulile alisema, mpaka sasa Israel imefanikiwa kuwasomesha madaktari Saba pamoja na kuwapatia mafunzo wauguzi sita.
“Hii inadhibitisha kwamba badala ya kutupatia samaki, wao wanatufundisha kuvua ili kupunguza gharama za matibabu.” Alisema Naibu waziri.
“Hadi sasa tunapozungumza watoto takribani 60 walishatibiwa nchini Israel na kuendesha kambi takribani nne”
”Wagonjwa wanaotarajiwa kuonwa ni 50. Kwa upande wa gharama Ndugulile amesema, uwepo wa wataalamu hao nchini huokoa fedha nyingi kwani iwapo wakipelekwa nje ya nchi wanatumia dola milioni 29 lakini wakitibiwa nchini wanagharimu dola 2000.
Gambo awatoa hofu wakazi wa eneo linalojengwa hospitali
Marufuku kutumia wakandarasi miradi ya Wizara ya Afya: Serikali
JPM amjulia hali waziri mkuu mstaafu Dkt. Salim Ahmed Salim
| 2019-01-17T18:07:51 |
http://news.azamtv.com/sw/news/rais-magufuli-awashukuru-madaktari-wa-save-the-childs-heart-27803
|
[
-1
] |
KIDUCHU BLOG: FANYA HAYA BASI SIKU YA WAPENDANAO MPENDWA WANGU..
Pamoja na ukweli kwamba Valentine day ni fursa ya kuoneshana upendo na amani kwa wote bila kujali umri, jinsia na uhusiano wa kama vile kaka na dada, mama na mtoto n.k. naomba niruhusu niipe safu hii ya uwanja wa mapenzi haki yake.
Kwa wale walioshibana na kupendana kwa dhati ni nafasi yao kuweza kudhihirisha mapenzi yao kwa maneno na vitendo. Lakini kwa wale wenye mapenzi yanayolegalega, huitumia nafasi hii kufufua penzi lililopoteza matumaini ya uhai ili waweze kufurahi tena katika sayari ya mapenzi kama kawa!
Aisee, mapenzi matamu! Asikwambie mtu hasa yanapopata wenye kuyajulia hukaribia kuleta uchizi kwa kunoga kwake, lakini pia hugeuka shubiri kwa wale wanaoamua kuyakoroga kwa makusudi. Mapenzi ni sanaa, mapenzi ni utundu, ubunifu na hayataki kukurupuka.
Mpendwa wangu, usikubali siku hii ya Valentine ikupite “kavu kavu” wewe na mpenzi wako, yaani hakuna haja na hairuhusiwi kisheria kutafuta visababu vitakavyowafanya mnuniane, msemezane vibaya na kadhalika ili kupisha siku hii maalum ipite salama bila ya rabsha.
Peaneni zawadi
Zawadi, kwa lugha ya wenzetu “gift” ina maana kubwa sana katika mapenzi. Haijalishi ndogo au kubwa, pipi kijiti,maua au funguo za gari ni muhimu na ina nafasi kubwa sana katika siku kama ya leo.
Tokeni pamoja
Italeta raha wapendanao mkafanya mtoko kwa kutembelea sehemu mpya isiyozoeleka kwenu ili kuifanya siku yenu hii iwe ya kumbukumbu, kwani kubadilisha mazingira kutachochea hisia tamu za mapenzi kati yenu.
Lugha laini
Lugha laini na maneno matamu yanayotoka kwa sauti yenye mvuto wa mapenzi ni moja ya sehemu muhimu ya kuonesha hisia zako za mapenzi ya dhati kwa mwenzi wako.
Kukumbushana nyakati tamu za nyuma
Maisha ya mapenzi ni safari ndefu, kuna milima na mabonde, mafanikio na changamoto mbalimbali, matamu na machungu, lakini kwa siku maalum kama hii mnaweza kukumbushana siku ambazo mlikuwa na furaha
Tathmini ya maisha yenu
Si vibaya pia mkatumia siku hii kutathmini maendeleo yenu ya maisha ya kimapenzi na kupanga mikakati mipya itakayoimarisha penzi lenu.
Ifanyeni siku ya suluhu
Kwa wale waliokwaruzana kwenye mapenzi yao, nadhani ni siku muhimu kwao kutafuta suluhu kati yao na hatimaye kusameheana na kuanza ukurasa mpya wa mapenzi yao.
Lakini wakati huohuo, nawakumbusha wale wanaoihusisha siku hii na suala la ngono zembe bila kujali athari za janga la Ukimwi. Nawaomba waachane na ulimbukeni huo kwani mapenzi hayaishii tu kwenye ngono.
imewekwa na AGNESS ANDERSON muda 6:16 PM
Mzee wa Changamoto February 3, 2010 at 4:56 PM
Beres Hammond alisema "it feels GREAT to win another LOVE, but when when you lose the one closest to your heart, EVERYONE CAN HEAR YOU THINKING LOUD"
Kwangu na mke wangu siku ya wapendano ni leo. Namaanisha KILA LEO.
Na namshukuru Mungu kuwa naye hapendi kwa Tarehe. Nadhani siku ya Feb 14 si ya kusherehekea. Tulistahili kuwa na SIKU YA KUWAJALI WENYE UHITAJI badala ya kuibadili siku ya Feb 14 kuwa na anasa, matumizi na kuambukizana magonjwa.
Mie SIKU YANGU NA WAKATI WA KUPENDANA NA WANGU NI SASA. Yaani sekunde hii niandikayo.
Twapendana kwa kiduchukiduchu. Yaani penzi la kila sekunde. Si mzigo saana maana mwaka umegawiwa kwa sekunde. Sasa wale wasubiriao Feb 14 ndio watoe penzi la mwakaaaaa. Kazi kwao
Blessings Sis Kidu...
| 2017-11-19T17:28:58 |
http://kiduchu.blogspot.com/2010/02/fanya-haya-basi-siku-ya-wapendanao.html
|
[
-1
] |
Kobongola mikanda mpe kosakola na bisika ya bato ebele | Indonésie lelo oyo
Bambula nyonso oyo epekiseli ezalaki, bandeko ya Indonésie balandaki toli ya Yesu ya ‘kozala ekɛngɛ lokola banyoka kasi na ngambo te lokola bibenga.’ (Mat. 10:16) Kasi ntango epekiseli esilaki, esɛngaki bandeko mingi báyekola kosakola “na mpiko.”—Mis. 4:31.
Na ndakisa, bandeko mosusu bazalaki kobanga kosakola ndako na ndako; bazalaki kosepela kaka kozongela bato mpe koyekola na bango Biblia. Bamosusu mpe bazalaki koboya kosolola na Bamizilma. Bandeko mingi bazalaki koloba ete bazali bakristo na esika báloba ete bazali Batatoli ya Yehova mpe bazalaki kosalela Babiblia oyo mangomba ya bokristo ebimisá na esika ya Libongoli ya Mokili ya sika * ya monɔkɔ ya Indonésien. Bamosusu bazalaki kokakatana kokabola mikanda ebele.
Bandeko batikalaki na bizaleli yango mosusu ata nsima ya epekiseli. Bandeko mosusu bazalaki kolanda bonkɔkɔ ya bato ya Indonésie: kokangama na likambo te mpo na koboya mindɔndɔ, mpe kokeba na moto nyonso. Ndenge nini bandeko bakokaki kosembolama?
Yehova asalisaki bango na nzela ya bandeko oyo bakɔmɛli na elimo, oyo bayaki kopesa bango toli na boboto. (Ef. 4:11, 12) Na ndakisa na 2010, ndeko Stephen Lett ya Lisangani ya Mikóló-Bakambi ayaki kolendisa bandeko básalelaka Libongoli ya Mokili ya Sika mingi mpo na kosalisa bato báyeba nkombo ya Nzambe. Ndeko Misja Beerens oyo azali misionɛrɛ alobi boye: “Diskur ya ndeko Lett esimbaki mitema ya basakoli ebele. Bamonaki ntina ya komimonisa polele lokola Batatoli ya Yehova mpe ya kosakola Liloba ya Nzambe na mpiko.”
Bamizilma mingi ya Indonésie bamonaka ete Batatoli ya Yehova mpe bazali na kati ya mangomba ya bokristo. Na yango, Mosala ya Bokonzi ya Indonésie epesaki bandeko malako oyo: “Mbala mingi koyebisa ete ozali Motatoli ya Yehova mbala moko na ebandeli ya lisolo elekaka malamu. . . . Tozali bamonisi ya Yehova, mpe tolingi ete nkombo mpe mokano na ye eyebana na teritware na biso!” Shinsuke Kawamoto, oyo asalaka na Betele ya Indonésie alobi boye: “Malako wana ya polele mpe ya mayele ebotaki mbuma ya malamu. Bamizilma ebele bazali koluka koyeba makambo etali Batatoli ya Yehova. Balukaka koyeba ntina oyo tozalaka ndenge mosusu; yango epesaka biso nzela ya koteya bango.”
Balendisaki mpe basakoli bákabolaka mingi Linɔ́ngi ya Mosɛnzɛli mpe Lamuká! Ndeko Lothar Mihank, mokambi ya komite ya filiale alobi boye: “Mpo bato báyeba biso, basengeli kotángaka bazulunalo na biso. Bazulunalo elɛmbisaka ‘mabele’ (mitema) mpe esalaka ete bato básepela na nsango malamu. Soki tozali kokabola yango ebele, tozali kopesa bato ebele libaku ya koyekola makambo ya Yehova.”
Kosakola na bisika ya bato ebele ezali kobota mbuma
Na 2013, Betele ya Indonésie ebandaki lolenge mibale ya kosakola oyo Lisangani ya Mikóló-Bakambi endimaki: kosakola na bisika ya bato ebele na bingumba minene mpe kosakola na bisika ya bato ebele na teritware ya lisangá. Mayele wana ya kosakola ezali kosalisa bato ebele ya Indonésie báyoka nsango malamu.
Moko ya bisika ya liboso epai batandaki bamesa mpo na kosakola na bingumba minene ezalaki na zando moko monene esika batɛkaka baaparɛyi na Jakarta occidental. Na nsima, masangá ekómaki kosakola na bashario mpe na bamesa na bisika ya bato nyonso na bateritware na bango. Na mbula moko mpamba, basalelaki bashario mpe bamesa koleka 400 mpo na kotanda mikanda na bingumba ya Indonésie. Ebotaki mbuma nini?
Yusak Uniplaita, nkulutu ya lisangá moko ya Jakarta alobi boye: “Liboso tóbanda kotanda mikanda na bisika ya bato ebele, lisangá na biso ezalaki kosɛnga bazulunalo 1 200 na sanza. Sanza motoba na nsima, tokómaki kosɛnga bazulunalo 6 000 na sanza. Sikoyo, tosɛngaka bazulunalo 8000 na sanza. Tokabolaka mpe babuku mpe mwa babuku ebele.” Na engumba Medan, na Sumatra du Nord, mwa babongisi-nzela batandaki mikanda na bashario na bisika misato. Na sanza ya liboso, bakabolaki babuku 115 mpe bazulunalo soki 1 800. Sanza mibale na nsima, babongisi-nzela soki 60 na bisika nsambo bakabolaki babuku koleka 1 200 mpe bazulunalo 12 400. Jesse Clark, oyo azali misionɛrɛ, alobi boye: “Mayele wana ya sika ya kosakola ezali kosepelisa bandeko mingi mpe ezali komonisa ete bokoli ekoki kosalema lisusu mingi na Indonésie. Kosakola na bisika ya bato ebele ekokoba kosalema awa!”
Kosakola na minɔkɔ ya mboka
Indonésie ezali na kati ya bikólo oyo ezali na minɔkɔ ya mboka ebele mpenza. * Atako bato mingi balobaka monɔkɔ ya Indonésien, bato mingi mpe balobaka minɔkɔ ya mboka mpo yango nde esimbaka mpenza mitema na bango.
Ekipi ya babongoli na monɔkɔ ya Batak-Toba, na Sumatra du Nord
Na 2012, Betele elukaki koyeba malamu ndenge ya kosalisa bato wana oyo balobaka minɔkɔ ndenge na ndenge. Ndeko Tom Van Leemputten alobi boye: “Tobandaki liboso kobongola mikanda na minɔkɔ 12 ya Indonésie oyo bato soki milio 120 balobaka. Ntango bandeko oyo babongolaka na monɔkɔ ya Javanais bamonaki ndenge trakte ya liboso na monɔkɔ yango ekozala, balelaki na esengo. Nsukansuka, bazwaki bilei ya elimo na monɔkɔ na bango!”
Kasi, masangá mingi ekobaki kosala makita na monɔkɔ ya Indonésien, ata na bisika oyo bato mingi balobaka minɔkɔ ya mboka. Ndeko Lothar Mihank alobi boye: “Na 2013, ngai ná mwasi na ngai Carmen tokɔtaki liyangani moko ya mikolo mibale na esanga Nias, na Sumatra du Nord. Bato 400 oyo bazalaki na liyangani yango bazalaki koloba monɔkɔ ya Niha, kasi baplan ya badiskur nyonso ezalaki ya Indonésien. Nsima ya kosolola na bandeko oyo bakosala badiskur, toyebisaki bayangani ete lobi badiskur ekosalema na monɔkɔ ya Niha. Na mokolo yango, bato koleka 600 batondaki wana.” Ndeko Carmen abakisi: “Ezalaki komonana ete bayangani bazalaki kolanda badiskur malamu na monɔkɔ ya Niha koleka ndenge balandaki mokolo ya liboso ntango badiskur ezalaki kosalema na Indonésien. Bazalaki koyoka na esengo nsango ya Biblia na monɔkɔ ya mboka na bango, mpe bakangaki ntina na yango.”
Bazali koteya baba moko nsango malamu
Ata bababa na Indonésie bakoki sikoyo “koyoka” solo na monɔkɔ na bango. Kobanda 2010, ekipi ya babongoli na elobeli ya bababa ya Indonésie babimisi mwa babuku 7 mpe batrakte 8 na elobeli ya bababa ya Indonésie. Longola yango, biro ya filiale esalaki bakelasi 24 na elobeli ya bababa mpe bandeko koleka 750 bayekoli monɔkɔ yango. Lelo oyo, ezali na masangá mpe bituluku 23 na elobeli ya bababa ya Indonésie. Ezali kosalisa bababa soki milio 3 oyo bafandaka na Indonésie báyeba Nzambe mpe bázwa elikya.
Lelo oyo na Indonésie, bandeko oyo babongolaka mikanda bakabolami na baekipi 37. Babongoli bazali 117 mpe bandeko mosusu 50 basungaka bango na makambo ya tekiniki na bisika 19 na Indonésie.
^ par. 2 Biblia mobimba Libongoli ya Mokili ya Sika na monɔkɔ ya Indonésien ebimaki na 1999. Babongoli basalaki mosala makasi mbula nsambo na ntango ya epekiseli mpo na kosilisa yango. Bambula na nsima, babimisaki bavolimi mibale ya buku Étude perspicace des Écritures mpe CD-ROM Watchtower Library na monɔkɔ ya Indonésien; mosala monene mpenza!
^ par. 2 Na Indonésie, minɔkɔ ezali 707, na ɛsti na yango, na ekólo Papouasie-Nouvelle-Guinée minɔkɔ ezali 838.
MOSALA YA KOBONGOLA MIKANDA
INDONÉSIEN ezali monɔkɔ oyo bato mingi balobaka
Bato balobaka soki minɔkɔ 707 na Indonésie
DEPARTEMA YA KOBONGOLA MIKANDA:
BAEKIPI 37: babongoli 117
Babongolaka na MINƆKƆ 24
Basalaka na BISIKA 19
ELOBELI YA BABABA:
Kobanda 2010, baekipi mibale ebimisi MWA BABUKU nsambo mpe BATRAKTE mwambe
BAKELASI 24 YA ELOBELI YA BABABA esalemaki mpe bandeko koleka 750 BAYEKOLI yango
Indonésie: Kosakola nkombo ya Yehova na mpiko
| 2018-01-20T15:16:49 |
https://www.jw.org/ln/mikanda/babuku/buku-mobu-2016/indon%C3%A9sie/kobongola-mikanda-kosakola-esika-ya-bato-ebele/
|
[
-1
] |
Benki ya NIC Tanzania ya fungua tawi jipya Zanzibar – Mwanaharakati Mzalendo
Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Dk.Khalid Salum Mohamed akihutubia waageni waalikwa na waandishi wa habari katika hafla ya uzinduzi wa tawi jipya la benki ya NIC Tanzania, Zanzibar.
Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya NIC Tanzania, Margaret Karume, akiongea na wageni waalikwa katika hafla ya uzinduzi wa tawi jipya la benki ya NIC Tanzania, Zanzibar.
Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar Dk.Khalid Salum Mohamed akikata utepe katika uzinduzi wa tawi jipya la benki ya NIC Tanzania,lililopo katika jengo la Muzammil Centre, Zanzibar.
21 Februari 2019, Zanzibar, Benki ya NIC Tanzania imefungua tawi jipya Zanzibar hii leo ikiwa sehemu ya mikakati ya kukuza mtandao wake, kuongeza wateja warejareja na kukuza mfuko wake wa biashara ndogo ndogo.
Huduma ya intaneti ya Vodacom imerejea majira...
| 2020-02-24T03:23:36 |
https://mwanaharakatimzalendo.co.tz/2019/02/benki-ya-nic-tanzania-ya-fungua-tawi.html
|
[
-1
] |
STAMICO yapata mafunzo ya Zimamoto Wafanyakazi wa Shirika la Madini..
Home » Events » Kaimu Mkurugenzi wa STAMICO akutana na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo
Kaimu Mkurugenzi wa STAMICO Mhandisi John Nayopa amekutana na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali Dakta Hassan Abbasi, aliyemtembelea ofisini kwake kwa lengo la kufahamiana naye na kuzungumzia namna ya kuimarisha ushirikianao katika upashanaji habari za STAMICO kwa Watanzania.
Kaimu Mkurugenzi wa STAMICO Mhandisi John Nayopa akipata maelezo ofisini kwake jijini Dar es Salaam; kutoka kwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dakta Hassan Abbasi, kuhusu majukumu ya Idara ya Habari Maelezo na Mfumo wa Upashanaji Habari na Mawasiliano Serikalini
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dakta Hassan Abbasi (kushoto) akikabidhi Jarida la Nchi Yetu toleo la Novemba 2017 kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa STAMICO Mhandisi John Nayopa alimpomtembelea ofisni kwake jijini Dar es Salaam, hivi karibuni. Jarida hilo linaratibiwa na Idara ya Habari Maelezo (Picha kwa hisani ya STAMICO).
“ Kulingana na ukuaji wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Idara yangu inaweza kutoa mafunzo ya kuanzia kwa wataalamu wako kuhusu Sayansi ya Mitandao ya Kijamii na uendeshaji wake; Mawasiliano kwa Umma wakati wa Majanga (Crisis Communication); pamoja na Sera na Miongozo ya matumizi ya Mitandao ya Kijamii” Alifafanua Dakta Abbasi.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dakta Hassan Abbasi (kushoto) akitoa maelezo kwa ufupi kuhusu Jarida la Nchi Yetu toleo la Novemba 2017 kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa STAMICO Mhandisi John Nayopa alimpomtembelea ofisni kwake jijini Dar es Salaam, hivi karibuni (Picha kwa hisani ya STAMICO)
Col. Eng. Sylvester D. Ghuliku
Ag. Managing Director [+]
Plot No: 417/418 UN Road
Twitter: @STAMICOTZ
Tanzania Mining Commision
Tanzania Gemmological Centre
Online Mining Portal
Copyright © 2018 State Mining Corporation. All Rights Reserved.
| 2018-10-20T01:14:03 |
http://www.stamico.co.tz/kaimu-mkurugenzi-wa-stamico-mhandisi-john-nayopa-akutana-na-mkurugenzi-wa-idara-ya-habari-maelezo-dakta-hassan-abbas-kuzungumzia-ushirikiano-katika-upashanaji-habari/
|
[
-1
] |
Tufahamu – Tanzania Nzima
Watu wengi nchini Tanzania hutumia muda mwingi kutafuta taarifa na habari muhimu katika mitandao ya kijamii. Wanataka kwenda na wakati na kuielewa vyema dunia na mambo yanayotokea katika jamii zao za Kitanzania. Kwa bahati mbaya, tumegundua kwamba wengi wao wamekosa tovuti ambayo ni rahisi kwao kutumia na yenye habari nzuri—za papo kwa papo.
Ndio maana Tanzania Nzima Media. kampuni mpya inayowapa watu taarifa sahihi ili kuwasaidia kuboresha maisha yao, imeanzisha tovuti hii—www.tanzanianzima.com tunawaungnisha watu wote pamoja na jamii kwa njia ya habari za papo kwa papo, zilizofanyiwa utafiti na ambazo zimekamilika kabisa. Dhamira yetu ni kukuza uchumi na kuboresha maisha ya kijamii kwa watu wote.
| 2018-03-24T23:18:11 |
http://tanzanianzima.com/about-us/
|
[
-1
] |
IDRIS SULTAN amtania Nedy MUSIC - lilOmmy.com
Home RICH MAVOKO IDRIS SULTAN amtania Nedy MUSIC
IDRIS SULTAN amtania Nedy MUSIC
Creator / 11:10
Mara nyingi Idris Sultan amekuwa akiwatania mastaa wenzake kwenye account zake especially instagram, nyuma kidogo amekua akimtania sana Bill Nass, msanii wa Bongo Fleva kwa kuposti picha za mikoni yake ambayo walikutana nae kwenye harusi ya Alikiba wakiwa wote pamoja na kutumia neno moja tu, Aliyafinya
Sasa leo ameangukia tena kwa Msanii wa Bongo Fleva, Nedy Music baada ya kuja na style mpya ya nywele,
Idris ameposti mtindo huo wa Nedy Musci na ameandika kuwa utazani Tambi ukizingatia kipindi hiki ni cha mfungo wa mwezi wa ramadhani na tambi ni moja ya vyakula au futari katika mwezi huu na amezifanisha muonekano wake na nywele za Nedy.
Ukipita haraka haraka na Ramadhan hii utajua ni tambi za kukaanga. Au konsekshen yangu ipo kwenye ftari ?
A post shared by Idris Sultan 🇹🇿 (@idrissultan) on May 17, 2018 at 10:07am PDT
LULU DIVA: Rich MAVOKO ni Very HANDSOME, Ana FULL PACKAGE ( Ni Mwanaume HALISIA)
lulu diva ONA RICH MAVOKO
| 2018-05-23T12:56:29 |
http://www.lilommy.com/2018/05/idris-sultan-amtania-nedy-music.html
|
[
-1
] |
MATUKIO @ MICHUZI BLOG: RAIS MAGUFULI AFANYA UAPISHO WA MWENYEKITI NEC, KAMISHNA WA MAADILI NA MAJAJI WA MAHAKAMA YA RUFANI
Ally Abdalla Ally said...
Huu uteuzi hauna Sura ya Muungano katika Appeal Judges
| 2018-01-19T01:51:45 |
https://michuzi-matukio.blogspot.com/2016/12/rais-magufuli-afanya-uapisho-wa.html
|
[
-1
] |
MAJINA YA VIJANA WA KIDATO CHA SITA 2013 NA VIKOSI WALIVYOPANGIWA KWENDA JKT - KILINYEPESI BLOG
» MAJINA YA VIJANA WA KIDATO CHA SITA 2013 NA VIKOSI WALIVYOPANGIWA KWENDA JKT
MAJINA YA VIJANA WA KIDATO CHA SITA 2013 NA VIKOSI WALIVYOPANGIWA KWENDA JKT
DO YOU WANT TO STUDY IN INDIA ? ADMISSION OPEN FOR...
MO AWA MTANZANIA WA KWANZA KUTAMBULIKA NA JARIDA ...
Skylight Band na Swagga za Usiku wa Kiafrika ndani...
Feza Kessy - Amani Ya Moyo (Official Music Video)
Africa: G8 pledges strong support for AfDB infrast...
VIDEO:Bomu Arusha Mkutano ChademA 15 JUNE
Skylight Band yazidi kuwachizisha mashabiki wake n...
The Bongo Project X Party ''Colleges Rave'
Mabomu ya Machozi Yarindima tena Leo Mkoani Arusha...
Energy in Africa: Schneider Electric Pledges for S...
Video ya mahojiano aliyofanyiwa Mtanzania aliekama...
BBC: Uchumi wa Kenya kukuwa kwa 8%
Rise and fall of Africa Festival Wurzburg in Germa...
President Bongo Announces $200 Million Fund to Fin...
PHOTOS: MAZISHI YA MAREHEMU LANGA KATIKA MAKABURI ...
Various Artists -- " GOODBYE " (AN OFFICIAL TRIB
REDDS MISS KINONDONI TALENT 2013 KUFANYIKA ALHAMIS...
Mwandishi wa Habari Burundi akamatwa.
Uingereza yawatendea haki Mau Mau
MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI JOSHUA NASSARI APIGWA ...
ZITTO: Kutokana na tukio la kinyama lililotokea Ar...
Mara waitikia wito wa Siku ya Mchangiaji Damu Duni...
Tanzania - Côte d'Ivoire | CAF African Qualifiers ...
BREAKING NEWZZZZZZZZZ MLIPUKO MWININE ARUSHA MUDA ...
African Youth at the forefront of the 2nd edition ...
CEMAC Heads of State Announce Two Regional Policy ...
Emerging Africa: How the Global Economy's 'Last Fr...
Jumla ya vitanda 15 vyenye thamani ya shilingi mil...
GARI INAUZWA BEI POA KABISA
TAARIFA YA MICHANGO KWA AJILI YA KUSAFIRISHA MWILI...
REDD'S MISS KINONDONI 2013 KUFANYIKA KATIKA HOTELI...
VIDEO:LADY JAY DEE 13 ANNIVERSARY IN MUSIC LIVE SH...
SOMA HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA MHESHIMIWA DKT. WIL...
MAJINA YA VIJANA WA KIDATO CHA SITA 2013 NA VIKOSI...
WATANZANIA WAKARIBISHWA SIKU YA WACHANGIA DAMU DUN...
USIKOSE IJUMAA HII NYUMBANI LOUNGE MIAKA 13 YA LAD...
Rais wa Zanzibar Dr Ali Shein Azindua mradi wa uim...
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete Awasili New York Kw...
Kauli 9 za awali za Ubalozi wa Tz kuhusu huyu Mtan...
OBAMA:THE NEW FACE OF AMERICA by Ayoub mzee
AfDB Governors Announce Bank’s Return to its Headq...
TASWIRA ZA MAZISHI YA MSANII KASHI
HATIMAYE LWAKATARE WA CHADEMA APATA DHAMANA
Mwanalibeneke Othman Michuzi kafanya vitu vikubwa ...
KESI YA LWAKATARE YAAHIRISHWA, KUSIKILIZWA KESHO A...
Nelson Mandela victim of death hoax on Twitter
VIDEO: Diamond – Najuta kumuingiza Jokate kwenye m...
Tumsikilize Ras Jhiko Man kuhusu Mafisadi wa Kazi ...
AAR, MUGABE PRIMARY SCHOOL IN WORLD ENVIRONMENETAL...
Mastaa walivyofurika kwenye birthday party ya Vane...
WASANII WAKITUMBUIZA KWENYE JUKWAA LA KTMA 2012/13...
WASHINDI WA TUNZO ZA KTMA 2012/13 ZILIZOFANYIKA US...
Magdalena Olotu anyakua taji la Redd's Miss Kigamb...
Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013 LIVE.
TAIFA STARS YAAHIDI KUFANYA KWELI KATIKA MCHEZO WA...
MOROCCO VS TANZANIA - 2014 FIFA WCQ. LIVE STREAMI...
HOYCE TEMU AKONGA NYOYO ZA WASHIRIKI WA SEMINA YA ...
Skylight Band yazidi kufanya vyema katika burudani...
TASWIRA KATIKA PICHA WATANZANIA WALIVYO MUAGA MARE...
Rais Jakaya Kikwete Aendelea na Ziara Yake Ya Kika...
South Africa selects Gemalto for its national elec...
Safari ya Mwisho ya Marehemu Albert Mangwea
MWILI WA ALBERT MANGWEA ULIVYOPOKELEWA AIRPOT JANA...
The Big Decision Big Brother Africa The Chase
WATU WENGI WAJITOKEZA KUPOKEA MWILI WA MAREHEMU AL...
BREAKING NEWSssssssMAJAMBAZI WAUA MMOJA WAJERUHI W...
AJALI MBAYA YA MAGARI IMETOKEA ENEO LA NANE NANE D...
MKUTANO MKUU WA 12 WA MWAKA WA VITUO VYA ELIMU KWA...
Ngwea Afrika kusini - Maandalizi kusafirisha mwili...
TBL YAKABIDHI KISIMA CHA SH. MIL. 41 MBARALI,MBEYA...
Alice Issack Anyakua Taji la Redd's Miss Dar City ...
| 2014-03-09T00:32:04 |
http://kilinyepesi.blogspot.com/2013/06/majina-ya-vijana-wa-kidato-cha-sita.html
|
[
-1
] |
Asilimia kubwa ya Wakristo ni wachawi na washirikina - M-MEDIA Tz
Home / HABARI / Asilimia kubwa ya Wakristo ni wachawi na washirikina
Asilimia kubwa ya Wakristo ni wachawi na washirikina
Massacky Media Tz March 20, 2018 HABARI
Muungano wa makanisa nchini Kenya umetangaza kuwa, uchawi na ushirikina umekumbatiwa zaidi na Wakenya, kuliko wanavyomuamini Mungu.
Hayo yamesemwa na Askofu Peter Mburu, mwenyekiti wa muungano huo katika kongamano lililopewa jina la kuombea taifa katika uwanja wa Safaricom Kasarani jijini Nairobi na kuongeza kuwa, uchawi na ushirikina kwa ajili ya kusaka maisha mazuri, utajiri na vyeo, ni mambo ambayo yamekumbatiwa sana na Wakristo. Kwa mujibu wa Askofu Mburu, asilimia kubwa ya wafanyabiashara, wafanyakazi katika nyadhifa tofauti za umma na binafsi, wanasiasa na wengine wengi wameshikamana na uchawi kwa kuutumia kama kinga yao ya maisha. Wafuasi wa dini ya Kikristo wakiwa kanisani
“Katika muungano wetu tumeweza kuwasimamisha kazi jumla ya wahubiri 23 tangu Januari 2017 baada ya kunaswa wakishiriki vitendo vya ushirikina. Waumini wetu wengi wamekiri waziwazi kwamba, wanajihusisha na ushirikina ili kujipa ahueni ya kimaisha,” Amasema Askofu Mburu. Kongamano hilo ambalo linamalizika leo Jumanne limetuma ujumbe kwa ofisi za serikali, mabunge na asasi nyingine kwamba ndani ya idara hizo kunashuhudiwa kiwango kikubwa cha uchawi na ushirikina. Kwa upande wake Padri Joseph Wamalwa wa Kanisa Katoliki Kaunti ya Nairobi amesema kuwa ongezeko la ushirikina na uchawi miongoni mwa Wakenya linadhihirika kutokana na visa mbalimbali vinavyoshuhudiwa kila mara ikiwemo vitendo vya kulishwa nyasi, matukio ya unyofoaji kiholela wa sehemu za siri na pia mauaji ya walemavu wa ngozi (Zeruzeru), huku Wakristo wengi wakinaswa wakiwa wamevaa hirizi mwilini kwa dhana ya kujikinga na mikosi ya kijamii, kiuchumi au kisiasa. Sehemu ya uchawi
Padri Wamalwa amefafanua zaidi kwa kusema, mwaka jana Shirika la The Pew Research Centre la nchini Marekani lilitoa ripoti ikionyesha kuwa, Wakenya wengi bado wanaabudu miungu ya jadi, kutoa kafara, kujihusisha na ushirikina mbalimbali sambamba na kuamini mapepo ya kuzimu. Amesema: “Ripoti hiyo inaonyesha kuwa Kenya iko mbele kuliko nchi kama Jamhuri ya Demokrasia ya Congo, Ethiopia, Nigeria, Zambia na Rwanda katika kuamini ushirikina na uchawi.” Pia amesema, asilimia kubwa ya Wakristo na Wakenya waliohojiwa wamekiri kuvaa hirizi na pia kwenda kwa waganga wa kienyeji.
Asilimia kubwa ya Wakristo ni wachawi na washirikina Reviewed by Massacky Media Tz on March 20, 2018 Rating: 5
| 2018-11-19T01:51:19 |
http://www.massackymedia.com/2018/03/muungano-wa-makanisa-kenya-asilimia.html
|
[
-1
] |
Kesi ya Luu yafika patamu Dar – MwanaHALISI Online
Elizabeth Michael (Lulu) akitokea katika Mahakama Kuu
Kesi ya Luu yafika patamu Dar
Posted by: Faki Sosi 25 days ago 0 1,216 Views
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imepokea ushahidi wa mganga wa tiba mbadala Josephine Mushumbusi aliyekuwa akimtibu Steven Kanumba matatizo ya moyo, anaandika Faki Sosi.
Maelezo ya ushahidi huo yalitolewa na askari aliyemrekodi Mushumbusi aliyemhoji Aprili 23 Aprili 2012.
Mbele ya Jaji Sam Rumanyika wakili Peter Kibatala aliiomba Mahakama kupokea ushahidi wa Sajenti E103 Nyangea aliyerekodi maelezo ya Mushumbus ambaye hakufika mahakamani kutokana na kuwapo nje ya nchi.
Sajent Nyagea amesoma maelezo aliyojiridhisha kuwa ndiyo aliyorekodi kama ushahidi.
Akisoma maelezo hayo ya Mushumbuzi aliyeeleza ambaye alisema kuwa Kanumba alifika kwenye kituo chake kinachoitwa Precious kilichopo Bunju Dar es Salaam mwezi Agosti mwaka 2011.
Alieeza kuwa Kanumba alienda kwenye kituo hicho na kumfanyia vipimo vya mwili mzima na kubaini kuwa Kanumba ana matatizo ya moyo pamoja na kuwa na Rehemu mwilini mwake.
Ameeleza kuwa Kanumba alibainika kuwa anafanya mazoezi ya kutanua misuli na kwamba alimshauri aache kwa sababu yangeweza kumsababishia matatizo ya kupooza au kufariki.
Shahidi huyo alieleza kwamba Kanumba aliwahi kulalamika maumivu makali ya moyo.
Akisoma maelezo hayo Sajenti alieleza kuwa Mushumbusi alimshauri Kanumba arudi siku nyingene kwa kuwa siku hiyo muda ulikuwa umeisha .Baada ya hapo Jaji Rumanyika aliahirisha kesi hiyo hadi kesho kwa ajili kusikiliza maoni ya wazee wa baraza.
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imepokea ushahidi wa mganga wa tiba mbadala Josephine Mushumbusi aliyekuwa akimtibu Steven Kanumba matatizo ya moyo, anaandika Faki Sosi. Maelezo ya ushahidi huo yalitolewa na askari aliyemrekodi Mushumbusi aliyemhoji Aprili 23 Aprili 2012. Mbele ya Jaji Sam Rumanyika wakili Peter Kibatala aliiomba Mahakama kupokea ushahidi wa Sajenti E103 Nyangea aliyerekodi maelezo ya Mushumbus ambaye hakufika mahakamani kutokana na kuwapo nje ya nchi. Sajent Nyagea amesoma maelezo aliyojiridhisha kuwa ndiyo aliyorekodi kama ushahidi. Akisoma maelezo hayo ya Mushumbuzi aliyeeleza ambaye alisema kuwa Kanumba alifika kwenye kituo chake kinachoitwa Precious kilichopo Bunju Dar es Salaam…
Previous: Serikali yatangaza bomoa bomoa Dar-Arusha
Next: Lulu afikwa maji ya shingo kesi ya Kanumba
Putin akoleza mahaba kwa Trump
Ajali ya basi na lori yaua 11, kujeruhi 26
Polisi wajiapiza kusaka wauaji
| 2017-11-19T12:31:17 |
http://mwanahalisionline.com/kesi-ya-luu-yafika-patamu-dar/
|
[
-1
] |
Mauaji shule ya Florida, Marekani | Mada zote | DW | 15.02.2018
Mauaji shule ya Florida, Marekani
Wakaazi wa Florida huko Marekani watakusanyika leo kuwaomboleza watu 17 waliouwawa na mtu mmoja aliyekuwa amejihami kwa bunduki katika shule moja mjini humo. Maafisa wa usalama kwa sasa bado wanachunguza jinsi mwanamume huyo mwenye umri wa miaka 19 aliyekuwa mwanafunzi wa zamani wa shule hiyo Nikolas Cruz alivyopenya na kuwashambulia wanafunzi na walimu.
Tazama vidio 01:24
Kiungo https://p.dw.com/p/2skKD
Tarehe 15.02.2018
Muda 01:24 dakika.
Maneno muhimu Florida, Marekani
15.02.2018: Taarifa ya Habari ya Asubuhi 15.02.2018
Timu ya soka ya Mbilikimo Kenya 17.05.2018
18.02.2018: Matangazo ya Mchana 18.02.2018
Taarifa ya Habari ya Asubuhi 11.09.2017 11.09.2017
Kimbunga Irma chatua Florida 10.09.2017
Kimbunga Irma kimepiga nyanda za chini za mlolongo wa visiwa vya Florida Keys mapema leo, kikiandamana na upepo mkali wa kilomita 215 kwa saa. Mamia ya maelfu ya wakazi hawana huduma za nguvu za umeme
Kimbunga Irma chaendelea kupiga Florida 11.09.2017
Kimbunga Irma kimeendelea kupiga jimbo la Florida nchini Marekani kikiangusha winchi, kuharibu barabara na kuwaacha mamilioni ya watu bila umeme.
| 2018-08-19T00:56:18 |
https://www.dw.com/sw/mauaji-shule-ya-florida-marekani/av-42600461
|
[
-1
] |
VINYESI VYATAPAKAA OFISI YA WALIMU, WALIMU WASHINDWA KUFUNDISHA SHULE YA MSINGI JUHUDI ILEMI - MBEYA ~ CHIMBUKO LETU
VINYESI VYATAPAKAA OFISI YA WALIMU, WALIMU WASHINDWA KUFUNDISHA SHULE YA MSINGI JUHUDI ILEMI - MBEYA
Walimu wanaofundisha katika Shule ya msingi Juhudi Ilemi, Kata ya Iganzo jijini Mbeya wameendelea kupata adha ya vinyesi vya ajabu vya binadamu, ambapo Machi 15 mwaka huu majira ya asubuhi viti vyote vinavyokaliwa na walimu vilikutwa vimepakazwa vinyesi na harufu kali kutanda Ofisi hiyo ya walimu.
Mbali na hili pia mapazia yakiwa yamechomwa na moto wa ajabu unaohusishwa na imani za kishirikina, kwani milango ya ofisi hiyo ilifungwa kwa kufuri na nje akiwepo mlinzi.
Mwalimu Mkuu wa shule hiyo Bwana Charles Mveya amesema tukio hilo ni mfulululizo wa matukio 17 yaliyofanyika mapema mwaka huu tangu likizo ilipoisha na shule kufunguliwa Januari mwaka huu.
Hali hiyo ilipelekea wazazi kuamua kuitisha mkutano huyo ili kujadili mstakabali mzima wa jambo hilo kwa kuhusisha Afisa Elimu wa Jiji la Mbeya, Wachungaji na wazazi, ambapo vitendo hivyo vilikoma kwa muda wa wiki moja tangu ulipoisha mkutano.
Hata hivyo mkutano uliofanywa hivi karibuni ulimtuhumu Mwalimu Kyando, kuwa ndiye mhusika wa matukio haya kwa lengo la kupata wadhifa wa Mwalimu Mkuu.
Mkutano huo haukumalizika vema kwani baadhi ya wazazi na wananchi walimsakama mwalimu huyo na baada ya kumpata walimpiga na kuokolewa na Jeshi la Polisi, ingawa wananchi walifanya uharibifu mkubwa nyumbani kwake naye kulazwa katika Hospitali ya Rufaa iliyopo jijini hapa.
Ofisi ya Elimu jiji iliingilia kati baada ya kumhamishwa Mwalimu Kyando katika shule hiyo na hivi sasa anaishi mafichoni akiwa na familia yake baada ya kutoka hospitalini.
Aidha Afisa Elimu wa Mkoa Bwana Juma Kaponda, amelazimika kufika shuleni hapo na kujionea hali halisi na adha kubwa kwa walimu wake huku wazazi wasijue kinachoendelea shuleni hapo.
Naye, Katibu wa Muungano wa Jamii Tanzania (MUJATA) alifika shuleni hapo na kuahidi kuwa asasi yake itabidi iingilie kati, ili kukomesha vitendo hivyo baada ya Mashehe na wachungaji kushindwa.
Mbali na matukio hayo shule hiyo ni miongoni mwa shule zinazoongoza kwa kufaulisha wanafunzi kimkoa na kitaifa kwa hiyo matukio hayo yanaweza kuharibu morali ya walimu na wanafunzi alibainisha mmoja wa walimu wa shule hiyo.
Kwa upande wake Mkuu wa wilaya ya Mbeya Bwana Evans Balama, inaendelea na uchunguzi wa tukio hili ili wanafunzi wasiathirike kimasomo na kuwatoa hofu walimu na kuendelea kufundisha huku serikali ikiliangalia kwa kina jambo hili.
| 2017-08-17T17:27:15 |
http://chimbukoletu.blogspot.com/2012/03/vinyesi-vyatapakaa-ofisi-ya-walimu.html
|
[
-1
] |
Shabani Kado amesaini Makuburi SC Ndondo Cup 2017 | ShaffihDauda
Home Kitaifa Shabani Kado amesaini Makuburi SC Ndondo Cup 2017
Shabani Kado amesaini Makuburi SC Ndondo Cup 2017
Shabani Kado
Golikipa wa Mwadui FC ya ligi kuu Tanzania bara Shabani Kado, amesajiliwa na Makuburi SC kwa ajili ya kuitumikia timu hiyo kwenye michuano ya Ndondo Cup iatakayoanza rasmi kesho kwa hatua ya makundi.
Kado amesaini mkataba leo mbele ya viongozi wa Makuburi SC na kukabidhiwa jezi yake yenye namba moja mgongoni tayari kabisa kwa ajili ya kuiongoza Makuburi kwenye michuano ya Ndondo Cup msimu huu 2017.
Zoezi hilo limefanyika maeneo ya Tabata Makuburi ikiwa ni maandalizi ya mwisho kabisa kabla ya kuanza kwa hatua ya makundi. Ikumbukwe Kado ni golikipa mwenye uzoefu kwenye mpira wa Tanzania akiwa amewahi kushinda tuzo ya golikipa bora wa ligi kuu Tanzania bara pamoja na kuitumikia timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars.
Kado amesema ameamua kujiunga na Makuburi SC kwa sababu ndio sehemu anayoishi kwa hiyo anawaunga mkono viaja wa mtaani kwao.
“Mimi ni mkazi wa maeneo haya ni sehemu ambayo nimekulia, wachezaji wengi wa timu hii nimekuwa nao hivyo nimeamua kujiunga na wenzagu kui-support timu ya nyumbani” – Kado.
Kado atakuwa goli kesho Jumamosi kwenye mechi ya ufunguzi wa Ndondo Cup 2017 hatua ya makundi ambapo Makuburi SC itakuwa ikicheza dhidi ya Stim Tosha kwenye uwanja wa Kinesi pale Shekilango jijini Dar es Salaam.
Ukiachana na Kado, Makuburi SC pia imetambulisha wachezaji wake wengine ambao itawatumia katika msimu huu wa Ndondo Cup 2017.
Previous articleMpira maalum umezinduliwa kwa ajili ya Ndondo Cup 2017
Next articleKwanini Ronaldo anataka kuondoka Madrid, tetesi za Man United haziepukiki
| 2018-02-23T12:23:00 |
http://shaffihdauda.co.tz/2017/06/16/shabani-kado-amesaini-makuburi-sc-ndondo-cup-2017/
|
[
-1
] |
HABARI KUU Maswali Matatu Ambayo Watu Wangependa Kumwuliza Mungu
JE, NI KAZI YA UBUNI? Mjusi Mwenye Ngozi Yenye Miiba Inayofyonza Unyevu
MAONI YA BIBLIA Mageuzi
NCHI NA WATU Kutembelea Uzbekistan
KUTOKA KWA WASOMAJI WETU Unapolazimika Kurudi Nyumbani
KUUTAZAMA ULIMWENGU Kuimulika Familia
SOMA KATIKA Kiafrikana Kialbania Kiamhara Kiarabu Kiarmenia Kiazerbaijani Kiazerbaijani (cha Kisirili) Kibemba Kibulgaria Kicheki Kichewa Kichina (Kilicho Rahisi) Kichina (cha Kitamaduni) Kidachi Kidenishi Kiebrania Kiestonia Kiewe Kifaransa Kifiji Kifini Kigeorgia Kigiriki Kihiligaynoni Kihispania Kihosa Kihungaria Kiiceland Kiiloko Kiindonesia Kiingereza Kiitaliano Kijapani Kijerumani Kikaonde Kikirghiz Kikorea Kikroatia Kilingala Kilithuania Kiluvale Kimakedonia Kimalagasi Kimyanmar Kinorwei Kinyarwanda Kipolishi Kireno Kirumania Kirundi Kirusi Kisamoa Kisebuano Kisepedi Kiserbia Kiserbia (cha Roma) Kisilozi Kisinhala Kislovaki Kislovenia Kiswahili Kiswahili (cha Kongo) Kiswedi Kitagalogi Kithai Kitigrinya Kitok Pisin Kitonga Kitsonga Kitswana Kituruki Kitwi Kiukrania Kiurdu Kivietnam Kizulu Sesotho (Lesotho) kichitumbuka
Kuta za Itchan Kala katika Khiva
TRANSOXIANA. Nchi Katikati ya Mito. Tartary. Turkistan. Majina mengi yametumiwa ili kutambulisha eneo ambalo leo linatia ndani Uzbekistan, “Nchi ya Wauzbeki.” Tangu mapema karne ya 15, majiji ya Uzbekistan yaliwafaa wafanyabiashara waliosafiri katika barabara iliyounganisha China na Bahari ya Mediterania. Pamba hutumiwa zaidi katika viwanda vya nguo nchini humo. Mazulia mazuri yaliyotengenezwa kwa kutumia pamba, sufu, au hariri huuzwa pia.
Historia inaonyesha kwamba watu mbalimbali wamechangia utamaduni wa Uzbekistan. Watawala maarufu na majeshi yao yenye nguvu walipita katika milima na majangwa ya nchi ya Uzbekistan. Watu hao wanatia ndani Aleksanda Mkuu, aliyekutana na mpenzi wake Roxane; Genghis Khan, kutoka Mongolia; na Timur (anayejulikana pia kama Tamerlane), mwenyeji wa eneo hilo, aliyetawala mojawapo ya milki kubwa zaidi katika historia.
Nguo za asili
Minara yenye rangi zinazovutia yenye makuba yaliyofunikwa na vigae vyenye rangi ya bluu hufanya miji ya kisasa ya Uzbekistan ivutie. Majengo hayo mengi hutumiwa kama shule.
Barabara iliyounganisha China na Bahari ya Mediterania. Barabara hiyo ambayo inapita katika eneo ambalo leo ni Uzbekistan, ilikuwa maarufu sana katika ulimwengu wa biashara. Ilianza kutumiwa muda mrefu hadi njia mpya ya kwenda India kupitia bahari ilipofunguliwa mwishoni mwa karne ya 15 W.K.
Kutengeneza mazulia ya hariri
Bahari ya Aral. Kwa kuwa mkondo wa maji ya Bahari ya Aral uligeuzwa na kutumiwa katika kilimo cha umwagiliaji—ambayo iliwahi kuwa ziwa la nne kwa ukubwa duniani—inaanza kutoweka. Nchi ya Uzbekistan inashirikiana na nchi zingine kutatua tatizo hilo.
Alfabeti za Uzbekistan zinazobadilika. Lugha mbalimbali zilitumiwa katika nchi hii lakini baada ya uvamizi wa Waislamu katika karne ya nane, Kiarabu kilianza kutumiwa. Baada ya nchi hii kuunga mkono Muungano wa Sovieti, alfabeti za Kilatini zilianza kutumiwa kwa mara ya kwanza na kisha herufi za Kisirili zikaanza kutumiwa mwishoni mwa miaka ya 1930. Mwaka wa 1993, sheria mpya iliyotungwa ilianzisha alfabeti za Uzbekistan inayotegemea maandishi ya Kilatini.
Kibanda cha matunda yaliyokaushwa katika soko
Idadi ya Watu: Milioni 30
Mji Mkuu: Tashkent
Hali ya Hewa: Kavu na mvua kidogo na unyevu kwa kiasi fulani
Nchi: Eneo tambarare kuelekea upande wa magharibi na milima kuelekea upande wa mashariki
| 2017-10-22T08:10:05 |
https://www.jw.org/sw/machapisho/magazeti/g201510/kutembelea-uzbekistan/
|
[
-1
] |
Natafuta Mke halisi wa kuoa ALIYEOKOKA | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Natafuta Mke halisi wa kuoa ALIYEOKOKA
Discussion in 'Love Connect' started by Kidoma, Aug 23, 2012.
Habari kwenu wana JF.
Nimekuwa nikijiuliza kwa mda hivi ya kwamba ndani ya GT yupo mdada aliyeokoka? kama ni kweli tafadhali fuatilia maelezo haya na kama yamekugusa usisite kufanya kile ambacho moyo wako utakusukuma kufanya.
Natafuta mchumba, nataka tuoane, ikiwa tu tuta match na fixn baina yetu na ikiwa tu Mungu anaweka kibali chake.
IKUMBUKWE KWAMBA, MARRIAGE ARE MADE IN HEAVEN what wa do ni kuthibitisha kile kilichokwisha andaliwa.
Unaweza kutaka ujue mimi ni mwanaume wa namna gani, usiwe na haraka, kabla ya hapo ntapenda nikufahamishe aina ya mrembo ninayemhitaji ili ukijikuta unaelekea kwenye sifa hizo then utawajibika kunijua mm ni nani na kisha tujenge mahusiano ya awali kuelekea kunako.
Aina ya mdada huyo ni sharti awe ndani ya ABCD.... zangu kama ifuatavyo:
SHARTI la kwanza ni LAZIMA awe ameokoka: kama mm na kama ambavyo nuru havichangamani na giza, Unaweza kutaka kupritend katika hilo but I sure it wont work out, then u better dare not.
KIGEZO A: Age
Napendelea kuwepo interval ya atleast 10 yrs hivi, hivyo umri wako u range kati ya miaka 25 na 35.
KIGEZO B: BEHAVIOUR
KIGEZO C: CHARACTER na KIGEZO D: DISCIPLINE
Vigezo vyote vitatu kwa pamoja vinavunjwa na yule aliyeokoka kiukweli maana so long you are saved, you become shaped on that kwa viwango vinavyokubalika kibinadami na kiMungu. Hivyo tabia, mwenendo na adabu vinatengenezeka kwa Yesu tuu.
KIGEZO E: EDUCATION
Kiwango cha elimu flani si kigezo ila ni vizuri na inanipendeza kuwa na mdada flani aliyepitia kwenye vidato flani na vyuo kadhaa ikiwezekana. Actually shule ni muhimu sana kwangu. Pia si lazima awe mfanyakazi kwa sasa but ni vizuri awe kwenye position ya kuwa na kazi.
KIGEZO F: FAMILY HISTORY
Ntapenda nifaham familia yako kiundani dhidi ya mahusiano ya ndani na jamii inayowazunguka, Uwepo wa magonjwa ya urithi nk. siyo lazima sana lakini ni jambo zuri ninalolizingatia .
KIGEZO: GENERAL MORPHOLOGY
Mdada huyu ni vema awe mzuri au mtanashati na mrembo kwa kiwango cha tafsiri yangu na kiwango kile cha jumla. Ni jambo gumu kulielezea maana sometimes liko embarassing but ni zuri na linaeleweka mno kwa wengi.
Naelewa inaweza kuwa vigumu kukupata wewe kwa kufikia 100% ya vigezo hivyo; hata hivyo, dont hestitate, vigezo hivyo will always be regulated just in case kitu LOVE kimetamalaki!
Hali kadhalika, kwa kuwa hata wewe unaweza kuwa na vigezo vyako; nitakupa kwa kifupi juu yangu, umri wangu unaelekea miaka 40, urefu wangu ni sentimeta 165 hivi, rangi yangu nasikia ni maji ya kunde, m sijui; nimeajiriwa in medical field na pia wakati huohuo niko chuo nasomasoma flan. Kubwa zaidi ya yote NIMEOKOKA!
PLZ, KARIBU SANA! Nakutegemea mno if in case umegundua tunaweza kumatch na kufixn in one another.
Unatafuta mke aliyeokoka, BUT Dhehebu gani hasa ungependelea?
hahah uokovu uko wa aina nyingi awe ameokoka na nn ndugu
mmmh, yaani natamani kukuchanganua, ila basi tu.
I advice to visit Kasmatic fellowships, there are a lot beautful commited ladies BUT anyway you MUST consult GOD first.
Mimi sifa zote ninazo lakini kwetu tuna historia ya ukichaa itakuwa kikwazo? Halafu mbona hujaelezea unapendelea wajihi gani, hata wenye mahips tumboni utawakubali?
Lengo kuu haswa la kuwa na mke ni lipi?
Mimi ni Muislamu safi, niliyeokoka, sifa zote ninazo lkn ni mlokole wa kiislamu!!!
Je ninakufaaa?? km ndiyo, twende kwa PM.
Aiseee baba yangu nenda kwa kakobe ukajinyakulie wako
ni niko na mama yako wa kichaga ajaokoka ila anajieshimu anakusalimia hapa
Naomba kuungana na mkuu Kongosho, hata mimi kunakitu nataka kuandika hapa ila nashindwa
RIVI SHIRIMA said:
hahah uokovu uko wa aina nyingi awe ameokoka na nn nduguClick to expand...
ahaaa ndugu, mbona nimeeleza kwenye uzi ya kwamba wokovu ni sharti no 1 but inafuata ABCDEF na G.
Au wewe unataka umaanishe k2 gani?
Naomba kuungana na mkuu Kongosho, hata mimi kunakitu nataka kuandika hapa ila nashindwaClick to expand...
sasa tedo na kongosho mnachoogopa kusema ni ninin? tililikeni mjiachie na mnipashe ikiwa mna ujumbe mahususi na mnaodhani unanifaa na hata ule wenye negative na/au hata positive criticism ikiwa mmeona inafaa!
mchukue bi kiroboto hana mume na kaokoka
Je ninakufaaa?? km ndiyo, twende kwa PM.Click to expand...
Nadhan ilinifuata vizuri, sina uzoefu na uelewa na walokole wa kiislam safi nimekuwa nikidhani walokole wa kiislam ni wale waislam wa itkad au iman kali.
kama ni hivyo, na kama matukio ya kijahidina ni kweli yanafanywa na waislam wemye iman kali itakuwa vigumu kwangu lakini kama tafsiri yangu ya mokole wa kiislam haiko sahihi na hali halisi
plz come for pm 4 more info
Mhhhh?Sasa ndo Umefunuliwa na roho? au?maana hilo Tangazo halifanani na mtu aliyeokoka kabisaaa.....Jaribu tena baadae..
mchukue bi kiroboto hana mume na kaokokaClick to expand...
Bi kiroboto si unamaanisha yule wamjengoni?
if yes si kweli hajaolewa na wala hana mume
ame adopt watoto 2, ana mwanaume flani kigologolo ctaki kumtaja.
lakini mama kiroboto age yake imepitiliza kiwango cha menopause ndo maana haachi kuripuka kutokana na disturbance zza upungufu wa hormone zinazomletea stress mara kwa mara
hivyo, bi kiroboto kwangu si mke labda awe shungamammy ambavyo vyote havina nafasi kwangu
hata hivyo japo sina kipimo sidhani bi kiroboto kwa matukio yake ya kuretain ubunge anakidhi viwango vya ulokole!!
Mhhhh?Sasa ndo Umefunuliwa na roho? au?maana hilo Tangazo halifanani na mtu aliyeokoka kabisaaa.....Jaribu tena baadae..Click to expand...
Mwana sayun, sijafunuliwa na roho, ninatafuta.
hata hivyo nasikitishwa na wale wanocrictisize wanakuwa wengi kuliko wale wenye constructive ideas
hata hivyo msisite kumwaga kile kilicho mioyoni mwenu maana kimjazacho mtu ndicho kimtokacho
sasa mwana sayun, umeniona kabisa sijaokoka, na kwa hiyo majibu hayo umefunuliwa? au umetabiri?
hata hivyo yuyaache hayo
kama una sifa nilizozieleza hapo ehhe mwana ssayuni usisite kuni pm huo wasiwasi wake utaujua mbele ya safari na utaamua baada ya hapo
sawa mwana sayun?
Sasa wewe ina maana hapo kanisani kwenu hao walokole wenzako wooote huja waona hadi uje huku???
Utakutana na stippers humu zina jifanya zime okoka!...
Sasa wewe ina maana hapo kanisani kwenu hao walokole wenzako wooote huja waona hadi uje huku???Utakutana na stippers humu zina jifanya zime okoka!...Click to expand...
Mandingoooo!kwanza nashukuru kwa mchango wako, very constructive. tena nashukuru kwa tahadhari kuu uliyonipa; naahidi kuifanyia kazi ingawa najua siwezi kuwa 100% ktk kukabiliana na stippers, hackers and alike.pili ni kwamba mpaka ninakuja huku, inamaanisha kwamba mwenye sifa kama hizo sijampata!Ni kitu inanipa changamoto kwa hakika.
Kidoma said:
PLZ, KARIBU SANA! Nakutegemea mno if in case umegundua tunaweza kumatch na kufixn in one another.Click to expand...
Mbona requirements/ criteria zinaonesha unataka asiyekuwa mlokole!
| 2016-12-07T14:56:55 |
http://www.jamiiforums.com/threads/natafuta-mke-halisi-wa-kuoa-aliyeokoka.312338/
|
[
-1
] |
Tanzania yatangaza siku 3 za maombolezo baada ya boti kuzama - Sabahionline.com
Tanzania yatangaza siku 3 za maombolezo baada ya boti kuzama Na Deodatus Balile, Dar es Salaam
Serikali ya Tanzania imetangaza siku tatu za maombolezo baada ya meli iliyokuwa imebeba abiria 290 kuzama katika bahari yenye mawimbi makali siku ya Jumatano (tarehe 18 Julai) baada ya kuondoka Dar es Salaam ikielekea Zanzibar.
Waathirika wa ajali ya boti wakipelekwa ufukweni kutoka katika boti ya uokoaji huko Zanzibar. Chombo hicho kilizama siku ya Jumatano (tarehe 18 Julai) katika mawimbi makali karibu na Zanzibar. [Na Issa Yussuf/AFP]
Mchakato wa mabadiliko ya katiba Tanzania waanza
Watanzania wapokea mpango wa serikali wa kuondoa msongamano wa magari jijini Dar es Salaam
Mfumo wa Sheria Tanzania unafanywa kuwa wa kisiasa, wachambuzi wasema
Boti ya MV Star Gates ilizama karibu na Kisiwa cha Chumbe kiasi cha saa 7:50 mchana, kwa mujibu wa Mwinyihaji Makame Mwadini, waziri wa dola katika ofisi ya rais na mwenyekiti wa Baraza la Mpinduzi la Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
"Tumepeleka waokoaji na boti tano katika eneo la tukio ili kusaidiana na waokoaji wengine," alisema. Jeshi la majini na Msalaba Mwekundu ni miongoni mwa waokoaji katika ajali hiyo. Kwa mujibu wa orodha ya wasafiri, abiria 290 na mabaharia walikuwa katika boti hiyo, ikiwa ni pamoja na watoto 30 na baadhi ya watalii, AFP iliripoti.
Mpaka sasa miili 38 imeshaokolewa, wakati 114 bado hawaonekani, maafisa walisema. Boti katika eneo hilo mara nyingi hubeba abiria zaidi ambao hawakuandikishwa katika orodha rasmi, kwa hivyo idadi ya watu waliokuwemo ndani -- na miili itakayohesabiwa hatimaye -- inaweza kuwa kubwa zaidi. Rais wa Zanzibar Ali Mohamed Shein alisema siku tatu za maombolezo zitaanza Alhamisi, huku bendera zikipepea nusu mlingoti. "Hili ni janga la taifa na ninatangaza siku tatu za maombolezo ili kuwafariji jamaa na marafiki wakati tunafanya kila linalowezekana kujua ukweli," Shein alisema katika mkutano na waandishi wa habari.
Naye Spika wa Bunge la Taifa Anna Makinda aliahirisha Bunge siku ya Alhamisi, ili kuwapa wabunge nafasi ya kushiriki katika msiba na shughuli za uokoaji.
Waziri wa Mambo ya Ndani Emmanuel Nchimbi aliomba mwongozo wa kusitisha kikao cha bunge kilichokuwa kinajadili bajeti ya wizara yake ili kutoa wakati kwa wabunge kutoka Zanzibar kuungana na familia zao. Nchimbi aliiambia Sabahi kuwa alimpeleka Inspekta Jenerali wa Polisi Said Mwema kuimarisha shughuli za uokoaji huko Zanzibar.
Kaimu Katibu wa Bunge John Joel aliiambia Sabahi kuwa ofisi yake ilitoa ndege kutoka Dodoma kwenda Zanzibar kwa ajili ya wabunge wa Zanzibar.
Miili iliyookolewa itapelekwa katika Viwanja vya Maisara vya Zanzibar, ambako ilipelekwa miili mengine, wakati Spice Islander, iliyozama mwezi wa Septemba 2011, ambapo karibu watu 200 walifariki na kuacha mamia ya majeruhi. Zaidi ya watu 600 walinusurika katika ajali hiyo. MV Star Gates ni meli ya pili inayomilikiwa na kampuni ya Sea Gull Sea Transport Ltd. kuzama, baada ya MV Fatih kuzama katika bandari ya Malindi huko Zanzibar mwezi Mei 2009, na kuua watu sita.
Jamaa wa abiria waliokuwa bado hawajaonekana walikusanyika katika bandari ya Dar es Salaam.
"Kama unavyoonana hapo, tumechanganyikiwa. Hatujaonyeshwa ofisi za meli ambako jamaa zetu walinunua tiketi, na wahusika hawatoi habari zozote na hatuna njia ya kufika kulikotokea tukio," Salum Ahmad Salum aliiambia Sabahi huku anatokwa machozi.
Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Waziri Mkuu William Lukuvi alisema kuwa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam itatumika kama kituo cha kuwajulisha jamaa habari za abiria waliopotea na wakazi wengine wa jiji. Aisha Mwinyikai Salum, aliyefika kutoka Zanzibar kwa boti siku ya Jumatano, aliiambia Sabahi kuwa bahari ilikuwa na mawimbi makubwa kutokana na upepo mkali, ambapo anafikiri kuwa hiyo ndio ilikuwa sababu ya ajali. Msemaji wa polisi ya Zanzibar Mohamed Mhina alisema upepo ndio uliokuwa sababu. "Hali ya hewa ilikuwa mbaya sana," aliiambia AFP, na kuongeza kuwa hali hiyo ndiyo iliyosababisha shughili za operesheni kusimamishwa usiku. Kawaida, kiasi cha boti 12 husafiri kutoka Dar es Salaam kwenda Zanzibar kila siku, kila moja ikifanya safari nne za urefu wa maili 39 za baharini. Unaonaje kuhusu makala hii?
Ni aibu kuwa tumekuwa na ajali 3 kama hizi ndani ya muda wa miaka mitatu. Najiuliza ni lini serikali itakuwa makini kuhakikisha usalama wa watu wake? Upepo si sababu ya kufanya meli izame, bali ni kupakia kupita kiasi. Tunahitaji kuchukuliwe hatua madhubuti dhidi ya wale wanaohatarisha maisha kwa ajili ya pesa. Mabomu yatalipuka kwa mfululizo, meli yatazama na kitu pekee utakachosikia ni "poleni sana jamani, lilikuwa kosa kubwa" au hiki au kile, lakini hakuna yeyote ambaye atalaumiwa na maisha huendelea.
mahumahubtaa
Ni huzuni kwa serikali, imetokea kwa mara ya pili, inapaswa kuboresha ulinzi wa mwambao. KHAMIS KUTOKA ZANZIBAR.
Wakati umefika kwa watu hawa kujua kuogelea ili waweze kutoroka; wakati hatari kama hizo zikitokea serikali pia ihakikishe kuwepo kwa boti nyingi kwa ajili ya watumiaji wa bahari.
Hizi ajali zimekuwa too much, na ukifuatilia zaidi unagundua kuwa meli /magari yalikuwa makuu kuu...tumekuwa dampo la vitu vibovu kwa kutafuta unafuu wa bei, na matokeo yake yatatuangamiza wenyewe...Ni msiba mkubwa sana kwa taifa, poleni sana wafiwa, na mungu azilaze mahala pema peponi roho za marehemu!
Mungu awape moyo wale wote waliopoteza wapendwa wao, jamaa na marafiki kutokana na janga la boti, hiki ni kipindi cha majaribu kwao.
| 2013-05-23T06:42:47 |
http://sabahionline.com/sw/articles/hoa/articles/features/2012/07/19/feature-01
|
[
-1
] |
Taarifa Kutoka JWTZ Kuhusu Wanajensi wa Tanzania Kutuhumiwa Kuhusika na Unyanyasi wa Kingono Congo | MPEKUZI
Taarifa Kutoka JWTZ Kuhusu Wanajensi wa Tanzania Kutuhumiwa Kuhusika na Unyanyasi wa Kingono Congo
Aidha, JWTZ limetekeleza na limeendelea kutekeleza majukumu kama hayo katika nchi mbalimbali duniani kama vile Msumbiji, Liberia, Visiwa vya Comoro (Anjouan), Lebanon, Sudan katika jimbo la Darfur na sehemu nyingi kama hizo.
Katika kutekeleza majukumu hayo JWTZ limeyatekeleza kwa nidhamu na weledi wa hali ya juu.JWTZ limekuwa moja ya majeshi mengi yanayofanya vizuri na kutoa mchango mkubwa katika Ulinzi wa amani katika nchi ambazo limetekeleza majukumu hayo.
Kufuatia tuhuma hizo, JWTZ kwa kushirikiana na Umoja wa Mataifa unafanya uchunguzi wa kina ili kujiridhisha na ukweli wake. JWTZ halitasita kuchukua hatua kali kwa watakaobainika katika tuhuma hizo.
JWTZ bado lipo imara na linaendelea kutekeleza majukumu yake nchini Congo kwa kufuata sheria na taratibu za Umoja wa Mataifa. Imetolewa na Kurugenzi ya Habari na Uhusiano
| 2017-01-23T16:52:36 |
http://www.mpekuzihuru.com/2016/04/taarifa-kutoka-jwtz-kuhusu-wanajensi-wa.html
|
[
-1
] |
Words that rhyme with rafsanjani
5 syllable words that rhyme with rafsanjani
4 syllable words that rhyme with rafsanjani
almadani bisiani bongiovanni castellani cinquemani cipriani colaianni cristiani damiani digiovanni fabiani frediani gallerani gemignani giovanni giuliani graziani guiliani kahalani larijani marchesani mariani mastrianni mastroianni nakatani pirestani punxatauney satriani sirianni spaziani teherani viviani
3 syllable words that rhyme with rafsanjani
2 syllable words that rhyme with rafsanjani
deprogram, dione, mutations, macisaac, schwede, swearingen, jeter, chevis, breasted, captures, swelters, stenglein, kilobytes, such, grated, malhotra, earhart, rody, organizing, providence, dog.
| 2019-07-23T12:03:43 |
https://www.poemofquotes.com/tools/rhyme-generator/RAFSANJANI
|
[
-1
] |
Ushirikiano wa Marekani na Saudi Arabia dhidi ya Hizbullah ya Lebanon
Alkhamisi, 21 Aprili 2016 09:23
Gazeti la al-Akhbar linalochapishwa nchini Lebanon liliandika jana Jumatano kwamba sheria ya kuiadhibu Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya nchi hiyo Hizbullah iliyopitishwa na Congress ya Marekani na kuidhinishwa na Rais Barrack Obama wa nchi hiyo mwaka mmoja uliopita imeanza kutekelezwa.
Licha ya kuwa chuki ya Marekani na watawala vibaraka wa nchi za Kiarabu dhidi ya Hizbullah ya Lebanon si jambo geni lakini kushadidishwa kwa chuki na uadui wa watawala hao dhidi ya harakati hiyo ya Kiislamu katika mazingira ya hivi sasa ni jambo la kuzingatiwa. Hizbullah ni moja ya makundi yaliyo na athari kubwa katika mapambano ya harakati za Kiislamu dhidi ya maadui wa Uislamu. Wapinzani wakuu wa Hizbullah wakiongozwa na Marekani na Saudi Arabia daima wamekuwa wakitekeleza njama za kukabiliana na kundi hilo la Kiislamu lililo na athari kubwa katika matukio ya Mashariki ya Kati. Chuki na uadui wa nchi hizo dhidi ya Hizbullah umeongezeka sana katika siku za hivi karibuni kufuatia hatua ya harakati hiyo ya Kiislamu ya kuiunga mkono serikali halali ya Rais Bashar al-Asad wa Syria na juhudi zake za kuisaidia isiangushwe na magaidi wanaoungwa mkono na nchi za kigeni. Hivi karibuni Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi na Jumuiya ya Nchi za Kiarabu ambapo Saudi Arabia ina ushawishi mkubwa katika jumuiya mbili hizo, ziliiweka Hizbullah katika orodha ya eti makundi ya kigaidi. Kufuatia hatua hiyo shirika la setalaiti la Nilesat la Misri lilifungamana na jumuiya mbili hizo katika kusimamisha urushaji wa vipindi vya televisheni ya al-Manar inayomilikiwa na Hizbullah. Vilevile Saudi Arabia ambayo ina ushawishi mkubwa katika Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC ambayo ina makao makuu yake huko mjini Jeddah Saudia, ilichochea na kuingiza kipengee cha uadui dhidi ya Hizbullah katika taarifa ya mwisho ya jumuiya hiyo huko mjini Istanbul Uturuki.
wakati huohuo Wizara ya Mambo ya Ndani ya Saudia ilitangaza mwezi Machi uliopita kwamba kila mtu atakayeficha mfungamano wa watu na Hizbullah atachukuliwa kuwa ni gaidi. Kwa mujibu wa sheria iliyotangazwa na wizara hiyo kila mtu anayeishi Saudia na kupatikana kuwa na uhusiano na Hizbullah atafukuzwa nchini humo. Sambamba na kutekelezwa sheria hiyo ya uadui dhidi ya Hizbullah na Saudi Arabia na washirika wake wa Kiarabu katika eneo, Marekani nayo imechukua hatua kama hiyo dhidi ya harakati hiyo ya Kiislamu. Obama hivi sasa yuko ziarani Saudi Arabia kwa ajili ya kuimarisha uadui huo dhidi ya Hizbullah. Kwa mujibu wa sheria ya kuiadhibu Hizbullah, hakuna mtu anayeruhusiwa kuiunga mkono kifedha au vingine harakati hiyo ya Lebanon na ikiwa atapatikana na kosa hilo basi atawekwa kwenye orodha ya watu wanaopaswa kuadhibiwa. Baadhi ya makamanda na viongozi wa ngazi za juu wa Hizbullah akiwemo Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa harakati hiyo na vilevile mashirika ya harakati hiyo na wafanyabiashara wanaotuhumiwa na Marekani kuwa wanashirikiana na Hizbullah, wote wamewekwa kwenye orodha ya watu wanaopasa kuadhibiwa. Televisheni ya al-Manar, Radio Nuru, taasisi na mashirika ya kandarasi, jumuiya za misaada na hata maduka ya mauzo jumla yamewekwa kwenye orodha hiyo, ambapo baadhi ya mashirika hayo yako katika nchi kama vile Brazil, Paraguay, Chile, China, Hong Kong, Lebanon, Marekani, Gambia, Nigeria na Iraq. Wakati huohuo Wizara ya Hazina ya Marekani imezipa baadhi ya taasisi za nchi hiyo jukumu la kufuatilia na kuhakikisha kwamba sheria hiyo inatekelezwa vilivyo na kisha kutoa ripoti kwa Congress ya Marekani.
Kwa kutekeleza sheria hiyo dhidi ya Hizbullah, Marekani imechukua hatua nyingine ya kuiridhisha Saudi Arabia na bila shaka kupata fursa ya kuuzia utawala huo wa Aal Soud silaha zaidi na hivyo kujidhaminia pato la kuendeshea shughuli zake. Licha ya kuzidishwa uadui huo dhidi ya Hizbullah ya Lebanon lakini kama alivyosema Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, pamoja na kuwepo vitisho vya kimatendo na propaganda chungu nzima dhidi ya Hizbullah leo hii harakati hiyo ya Kiislamu imeimarisha uepo na dhihirisho lake lililokomaa katika ulimwengu wa Kiislamu, na wala kulaaniwa kwake katika karatasi isiyo na thamani yoyote na utawala fasidi na kibaraka hakuna umuhimu wowote.
Zaidi katika kategoria hii: « Wapinzani wa Syria wagongana vichwa Saudia Rouhani na al Abadi wajadili mapambano dhidi ya ugaidi »
| 2017-11-23T16:51:42 |
http://kiswahili.irib.ir/habari/mashariki-ya-kati/item/56521-
|
[
-1
] |
theNkoromo Blog: UWT MKOA WA DAR ES SALAAM, WAFANYA ZIARA KIGABONI, TEMEKE, WAPOKEWA KWA KISHINDO, WAMFAGILIA RAIS DK. MAGUFULI KWA KUZUNGUMZA NA WAFANYABIASHARA NCHNI.
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) mkoa wa Dar es Salaam, Dorothy Kilave akizungumza na Wajumbe Wa Kamati ya Utekelezaji wa Jumuiya hiyo Wilaya ya Kigamboni, alipofanya ziara ya Kikazi katika Wilaya hiyo na Temeke, leo. Dorothy ambaye alifuatana na Katibu wa UWT mkoa wa Dar es Salaam, Tatu Malyaga na Wajumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya UWT mkoa huo, amesisitiza kuwa ni lazima viongozi watambue kuwa muda wa maandalizi ya ushindi wa CCM katika uchaguzi mkuu ujao ni sasa.
Posted by: Bashir Nkoromo at 3/20/2018
| 2019-08-24T20:55:31 |
http://bashir-nkoromo.blogspot.com/2018/03/uwt-mkoa-wa-dar-es-salaam-wafanya-ziara.html
|
[
-1
] |
Jinsi Richmond/Dowans walivyoizunguka TANESCO NA TAIFA | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Jinsi Richmond/Dowans walivyoizunguka TANESCO NA TAIFA
Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Mzee Mwanakijiji, Jan 26, 2011.
UJASIRI WA UFISADI
Mkataba kati ya TANESCO na Richmond Development wa tarehe 23 Juni, 2006 wa kuingiza majenereta ya umeme kufuatia upungufu wa nishati hiyo uliokuwa umekithiri nchini mwaka 2006 ulihamishiwa kwa kampuni ya Dowans Holdings S.A tarehe 14 Oktoba, 2006 mwezi mmoja kabla bila ya kuihusisha TANESCO kama ilivyotakiwa kwa mujibu wa kifungu 15.12 cha mkataba huo.
Kifungu hicho cha Mkataba kilikuwa kinaruhusu mkataba huo uliokuwa na thamani ya dola milioni 172.5 kuahulishwa kwenda kwenye kampuni nyingine baada ya makubaliano ya pande hizo mbili tena kwa maandishi.
Sehemu ya kifungu hicho cha mkataba huo ambao FP inao kinasema wazi kuwa "Neither party may assign this agreement or grant any security interest, charge, lien, or other encumbrance in this Agreement other than by mutual agreement between the parties in writing". Kwa maneno mengine, mkataba ulikataza pande zote mbili (TANESCO na RDC) kuhaulisha jukumu lolote au jambo lolote linalohusiana na mkataba huo kwenda kwa kampuni au chombo kingine pasipo makubaliano ya maandishi kati ya pande hizo mbili.
Hivyo kitendo chochote kwa upande wa TANESCO au Richmond kuhamisha mkataba au majukumu yake kwenda kwa chombo kingine bila ridhaa ya kimaandishi ya mwenzake ilikuwa ni uvunjaji wa mkataba huo. Hata hivyo, katika taarifa ambazo Kamati Teule iliyoundwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuchunguza Richmond ilipatiwa chini ya kiapo kampuni ya Richmond ilihamisha mkataba wake kwa Dowans Holding S.A tarehe 23 Disemba, 2006. Mlolongo wa matukio kwa mujibu wa ripoti ya Kamati teule hadi kufikia RDC kuhamisha unaonesha kuwa Shirika la Ugavi wa Umeme la Tanzania lilifichwa ukweli wa kilichokuwa kinaendelea kwani haikujua kuwa wakati wote inafikiria ugumu wa kuhamisha mkataba huo kwenda Dowans kampuni ya Richmond tayari ilikuwa imeshauhamisha mkataba huo.
Kwa mujibu wa ripoti hiyo iliyosomwa kwa kile kilichodaiwa na aliyekuwa Waziri Mkuu Bw. Edward Lowassa kuwa ni "kwa mbwembe" inaonesha kuwa TANESCO waliandikia RDC barua tarehe 27 Oktoba, 2006 ya tahadhari kuwa RDC ilikuwa inaonesha kushindwa kutekeleza masharti ya mkataba (default notice) iliyotaka majibu kufuatia mapungufu kadhaa ambayo TANESCO waliyaona. Ripoti hiyo inasema kuwa kwa mujibu wa TANESCO mapungufu hayo yalikuwa ni pamoja na "kushindwa kwa kampuni hiyo kusafirisha angalau mtambo wa kwanza wa wastani wa unit 22 kW kuja Tanzania; kushindwa kwa kampuni hiyo kutoa taarifa za mara kwa mara za maendeleo ya utekelezaji wa mradi; uwepo wa kampuni hiyo Marekani kihalali; uwezo wa kampuni hiyo kitaalamu na kifedha kuweza kutekeleza Mkataba huo wa umeme wa dharura katika muda muafaka."
Lengo la taarifa hiyo ilikuwa ni kutaka majibu kutoka RDC ya kwanini TANESCO isione kuwa Richmond wameshindwa kazi na hivyo kuvunja mkataba. Barua hiyo ya tahadhari haikujibiwa. Kwa mujibu wa Ripoti ya Mwakyembe shirika la TANESCO likaandika barua nyingine za tarehe 17 na 23 Novemba, 2006 "kuikumbusha (Richmond) kuhusu hoja zake za awali (za barua ya Oktoba 27, 2006) ambazo hazikujibiwa na kudai maelezo kuhusu taarifa za kwamba kampuni hiyo haikuwa na mahusiano na Pratt & Whitney iliyotegemewa sana kubeba sehemu kubwa ya majukumu ya mradi."
Hata hivyo barua zote hizo tatu hazikujibiwa wala hoja zilizoibuliwa na TANESCO kupewa majibu yenye ushawishi wa ukweli na mvuto wa kiakili. Na siku hiyo ya Novemba 23, 2006 Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO alijieleza kwa Waziri juu ya tatizo lililokuwa linaonekana kuhusu uwezo wa Richmond. Tarehe 28 Novemba, 2006 yaani siku tano baada ya barua ya Mkurugenzi wa TANESCO Waziri wa Nishati Bw. Nazir Karamagi alimpigia simu aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TANESCO Balozi Fulgence Kazaura kumtaarifu kuwa kampuni ya Richmond ilikuwa inakusudia kuhaulisha mkataba wake kwenda kampuni "nyingine" na hivyo alitaka kujua kama mkataba uliruhusu uwezekano huo.
Ripoti ya Mwakyembe inasema kuwa "Tarehe hiyo hiyo 28 Novemba 2006 uongozi wa TANESCO ulimshauri Mwenyekiti wa Bodi kama ifuatavyo:- (i) Mkataba kati ya Richmond Development Company LLC na TANESCO hauruhusu kukabidhi majukumu ya Mkataba kwa Kampuni nyingine isipokuwa kwa maafikiano ya pande mbili za Mkataba (Kifungu 15.12)." Tarehe 4 Disemba, 2006 (chini ya siku kumi tangu Karamagi adokeze nia ya Richmond kuhamisha mkataba) TANESCO walipokea barua kutoka Richmond ambayo ilionesha kuwa kampuni hiyo ilitaka "kutumia haki yake chini ya Kifungu 15.12 cha Mkataba ili kuhamisha majukumu yake yote ndani ya Mkataba huo kwenda kwa DOWANS Holdings, S.A. Aidha, Richmond Development Company LLC ilieleza kwamba tarehe ambayo TANESCO itaridhia mapendekezo hayo iwe ndiyo tarehe rasmi ya kuhamisha mafao na majukumu yote kwa DOWANS Holdings, S.A na kwamba DOWANS Holdings, S.A itawasilisha vielelezo vya utambulisho wake kwa TANESCO"
Hata hivyo, barua hiyo ambayo TANESCO waliipokea Disemba 4, inaonesha kuwa iliandikwa Novemba 9, karibu mwezi mmoja kabla. Siku moja kabla ya kupokea barua ya Dowans kutaka kuhamishia mkataba wake kwa Dowans yaani tarehe 8 Disemba, 2009 TANESCO ilikuwa imeiandikia Benki ya Citibank isaidie kufanya uchunguzi wa kujua kampuni ambayo Richmond ilikuwa inataka kuhamishia mkataba wake ilikuwa ni kampuni gani na yenye uwezo gani kwani "la "kwani japokuwa masharti ya Mkataba yanaruhusu Mkataba kuhamishwa, TANESCO ingependa kufahamu hasa ni nani anayehamishiwa Mkataba huo"
Kamati Teule haikufanikiwa kupata majibu ya Citibank ila iliambiwa kulikuwa na shinikizo toka Wizarani "kuwa viongozi wa Wizara kama kawaida yao waliishinikiza TANESCO kukubaliana na ombi la Richmond Development Company LLC la kuhamisha mkataba." Ni kutokana na hilo tarehe 21 Disemba, 2006 TANESCO ikaiandikia kampuni ya Richmond kukubali uhaulishaji wa mkataba huo kwenda kwa Dowans kwa barua yenye SEC. 388/12/206 ambapo pamoja na mambo mengine ilitaka "ipate hati ya uthibitisho kutoka Dowans Holdings, S.A ya kuridhia uwajibikaji kamilifu katika kutekeleza Mkataba wa tarehe 23 Juni, 2006, kati ya TANESCO na Richmond Development Company LLC." Hivyo tarehe 23 Disemba 2006 Mkataba ukaingiwa kati ya TANESCO na Dowans S.A ambao ulikuwa ni kuhamishia mkataba kati ya TANESCO na Richmond kwenda kwa Dowans Holdings S.A. Kwa mujibu wa ripoti ya Kamati Teule kusainiwa kwa mkataba huo kati ya TANESCO na Dowans Holding S.A kulileta mambo matatu muhimu ; kwanza, "Tarehe 23 Disemba 2006 ndiyo siku rasmi ambayo Richmond Development Company LLC imekabidhi rasmi majukumu yake ya utekelezaji wa Mkataba kati yake na TANESCO kwa Dowans Holdings S.A"; Pili, "Dowans Holdings, S.A itatekeleza majukumu ya Mkataba uliotiwa saini kati ya TANESCO na Richmond Development Company tarehe 23 Juni, 2006 kwa masharti yote kama yalivyo katika Mkataba"; na tatu, "Malipo halisi na madeni ndani ya Mkataba kati ya TANESCO na Richmond Development Company LLC, sasa yatakwenda kwa Dowans Holdings, S.A kuanzia tarehe 23 Disemba, 2006." Hata hivyo kulikuwa na tatizo; Richmond Development Corporation LTD ilikuwa tayari imeshahamisha mkataba wake na TANESCO kwenda kwa Dowans miezi karibu miwili nyuma. Yaani, RDC iliingia mkataba na Dowans Holdings S.A tarehe 14 Oktoba, 2006 bila ya kushirikisha, kutaarifu au kwa namna yoyote ile kupata maridhiano ya kimaandishi toka kwa TANESCO kinyume cha kipengele cha 15.12 tulichokiona hapo juu. Hii ina maana kuwa mazungumzo yote yaliyofuatia hadi TANESCO kukubali kuwa Richmond ihamishe mkataba kwenda kwa Dowans SA katika barua ya Disemba 21, 2006 yalikuwa ni kanyaboya, au danganya toto kwani wakati TANESCO inaingia ikiamini (in good faith) kuwa Richmond ilikuwa bado haijahaulisha mkataba kwa Dowans, Dowans iliingia ikijua kuwa tayari imekwisha fanya hivyo. Kampuni ya Richmond ilihamisha mkataba wake kwenda Dowans tarehe 14 Oktoba, 2006 ikikabidhi majukumu yake yote iliyokuwa imekubaliana na TANESCO kwenda kwenye kampuni hiyo inayodaiwa kuwa ni ya Costa Rica. Mkataba huo uliingiwa kabla tu ya mitambo ya kwanza kusafirishwa kwa ndege kupelekwa Tanzania. Siku hiyo hiyo wakati Richmond inahamisha mkataba wake wa Juni 23, 2006 na TANESCO kwenda Dowans Holdings S.A ilihamisha vile vile mkataba wake wa Septemba 25, 2006 kati yake na Vulcan (Vulcan Advanced Mobile Powers Systems, LLC na Vulcan Power Group, LLC) wa ununuzi wa mitambo toka kampuni hiyo kwenda kampuni ya Dowans Holdings S.A. Ni muhimu kutaja kuhamishwa kwa mkataba wa Richmond na Vulcan kwenda Dowans S.A kwa sababu mara baada ya mkataba huo kuhamishwa kwa Dowans S.A kampuni hiyo ililipa Vulcan dola milioni 7.5 na ikanunua mtambo wa kwanza wa gesi ambao uliingizwa nchini mwishoni mwa 2006 na kupokelewa kwa shangwe. Wakati baadhi ya magazeti yaliripoti kuwa "mitamo ya Richmond yawasili" ukweli ni kuwa mitambo hiyo ilikuwa ni ya kampuni ya Dowans Holdings S.A ambayo ndiyo ilinunua na kugharimia kuingizwa kwake nchini. Hili hata hivyo linaleta matatizo makubwa mawili ya kisheria ambayo yote yanahusiana na malipo ya shilingi bilioni 94 ambayo kampuni ya Dowans S.A inatarajiwa kulipwa siku chache zijazo kufuatia hukumu ya Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi (International Court of Arbitration). Tatizo la kwanza ni kuwa wakati aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini Bw. Nazir Karamagi alipozungumza na aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya TANESCO Balozi Fulgence Kazaura Novemba 28, 2006 kuulizia kama mkataba wa Richmond unaruhusu kuhamishwa kwenda kampuni nyingine, kampuni ya Richmond ilikuwa tayari imekwisha hamisha mkataba huo kisheria kwenda Dowans Holdings S.A. Hii ina maana kuwa yote yaliyofuatia hapo hadi baadaye TANESCO kukubali kuhamisha mkataba kwenda Dowans kwa barua yake ya Disemba 21, 2006 yalikuwa ni mazingaombwe tu ya kujaribu kutimiza matakwa ya kifungu cha 15.12 cha mkataba wa Richmond na TANESCO kama tulivyoona hapo juu. Ilikuwa ni muhimu kwa Richmond kutimiza kifungu hicho kwa sababu vinginevyo mkataba kati yake ya Dowans usingekuwa halali kwani ungekuwa umehaulishwa kinyume cha makubaliano. Hili linatuleta kwenye kuelewa kwanini jitihada zote za TANESCO kuitaarifu Richmond kuwa ilikuwa inaelekewa kushindwa kutekeleza mkataba hazikuzaa matunda. Inafafanua kuwa kwanini barua za Oktoba 27, Novemba 17, 23 na 29 kwenda kwa Richmond hazikujibiwa na badala yake maelekezo ya Waziri Karamagi (Novemba 28, 2006) kwa Kazaura kuwa "Richmond Development Company LLC walikuwa wanataka kuhamisha majukumu yao yaliyobaki katika Mkataba wa uletaji mitambo na uzalishaji umeme wa dharura kwa kampuni nyingine." Majibu yaliyotolewa siku ile ile kwenda kwa Waziri kuwa " Kifungu cha 15.12 cha Mkataba huo hakiruhusu kukabidhi majukumu ya Mkataba kwa Kampuni nyingine isipokuwa kwa maafikiano ya pande mbili za Mkataba." Hili lilithibitisha tatizo ambalo Richmond waliligundua baada ya kuingia mkataba na Dowans Oktoba 14, 2006 bila kuwashirikisha TANESCO. Hivyo, mpango wa "kuwashirikisha TANESCO" ukaingizwa na hatimaye TANESCO wakakubali na "mkataba" ukahamishwa "rasmi" kwenda Dowans Disemba 23, 2006 kama Ripoti ya Mwakyembe ilivyoonesha. Hii ina maana Richmond ilivunja mkataba na TANESCO pale ilipoamua kuhamisha mkataba wake huo kwenda kwa Dowans Oktoba 14, 2006 bila ya ridhaa, ushauri, makubaliano ya kimaandishi kati yake na TANESCO kama kipengele cha 15.12 cha Mkataba kilivyotaka.
Richmond ilijua kuwa imefungwa na kipengele kingine ambacho kiliweka wazi kuwa endapo ingehamisha mkataba huo bila ya kuihusisha TANESCO basi itakuwa imejiingiza matatani. Kipengele hicho ni cha 12.1e ambacho ni sehemu ya mambo ambayo yatafanya Richmond kuwa imeelekea kushindwa kutekeleza mkataba. Hivyo, Richmond ilikuwa haina jinsi nyingine kwa sababu isingeweza kuiambia TANESCO kuwa tayari imeingia mkataba na Dowans kwani itakuwa ni sababu tosha kwa TANESCO kuvunja na isingeweza kuvunja tena na mkataba na Dowans S.A kwani tayari Dowans walishaingia gharama za kununua majenereta toka Vulcan. Njia rahisi ilikuwa kuanzisha mazingaombwe ya "kuhaulisha mkataba kwenda kampuni nyingine".
Hili hata hivyo linatuingiza kwenye tatizo kubwa la pili ambalo linahusiana moja kwa moja na malipo ya Bilioni 94 kwenda Dowans S.A siku chache zijazo. Kesi iliyoamuriwa na ICC-ICA ilizingatia kati ya mambo mengi uhalisia na uhalali wa mkataba wa Dowans. Sehemu kubwa ya hukumu hiyo ilishughulikia ukweli kuwa mkataba uliokuwa umeingiwa na TANESCO na Dowans wa Disemba 23, 2006 ulikuwa ni halali. Katika hukumu hiyo kilichoangaliwa ni makubaliano ya kuhamisha mkataba kutoka kwa Richmond kwenda Dowans Holdings S.A kama yalivyoanzishwa na mawasiliano ya simu kati ya Waziri Nazir Karamagi (akiwa Calgary, Canada) kwenda kwa aliyekuwa mwenyekiti wa bodi Balozi Kazaura Novemba 28, 2006. Kuna mambo ambayo tuna uhakika nayo na ambayo ni msingi wa hatimaye kukataa kuwalipa Dowans S.A na Dowans Tanzania Limited tuzo iliyotolewa na Mahakama ya Usuluhishi wa Kibiashara (ICC). Mambo yafuatayo ni ya kuzingatia.
Wakati Karamagi anawasiliana na Kazaura kuulizia kama mkataba wa Richmond/TANESCO unaruhusu kuhamishika alikuwa tayari na taarifa kuwa Richmond walikuwa tayari wameshahamisha mkataba kwenda Dowans, SA Oktoba 14,2006 (mwezi mmoja na nusu kabla)
Majibu ya TANESCO siku ile ile kwenda kwa Kazaura ikitaja uwepo wa kifungu cha 15.12 kwenye mkataba kinachozuia kuhaulisha mkataba bila ya ridhaa ya maandishi toka kwa TANESCO inatuonesha kuwa TANESCO walikuwa hawajui kuwa Richmond walikuwa tayari wamehamisha mkataba wao kwenda Dowans Holdings S.A Oktoba 14, 2006
TANESCO wakiwa wamepewa jina la kampuni iliyokusudiwa kuhamishiwa mkataba ya Dowans S.A wanawasiliana na wawakilishi wa kampuni hiyo ili kupata taarifa za uwezo na uhalisia wa kampuni hiyo kuweza kuchukua mkataba. Na wanawaandikia barua Citibank ili iwasadie kufanya uchunguzi wa uhalisia na uwezo wa kampuni hiyo. Barua hiyo inaandikwa Novemba 8, 2006. Barua hiyo aidha haijibiwi au hakuna ushahidi wa kuwepo kwa majibu yake.
Novemba 9, 2006 kampuni ya Richmond wanawaandikia barua rasmi TANESCO kuwajulisha nia yao ya kutaka kuhamisha mkataba kwenda kampuni nyingine wakitumia haki yao ya kifungu cha 15.12 cha Mkataba. Hii ndiyo barua ambayo inawafikia TANESCO Disemba 4, 2006. Hapa kuna jambo la kutafakari kidogo. Kwanini barua iliyoandikwa Novemba 9, 2006 iwafikie TANESCO Disemba 4, 2006? Yawezekana iliandikwa baada ya kugundua kuwa mkataba umeshahamishwa kwa Dowans S.A Oktoba 14, 2006 lakini TANESCO hawakuwa na taarifa hivyo walihitaji kutengeneza mazingira ya taarifa?
Pendekezo la nne hapo juu linaonekana lina ukweli kwa sababu ni tarehe 28 Novemba, 2006 ndipo Karamagi anaulizia kama mkataba unaruhusu kuhamishika; na anapoambiwa kuwa haiwezekani isipokuwa kwa ridhaa ya pande zote mbili chini ya kifungu 15.12 ndipo siku sita baadaye (Disemba 4, 2006) barua iliyoandikwa Novemba 9, 2006 inafika TANESCO ikiwa na nia ya ya kuhamisha mkataba chini ya haki za 15.12. Barua hiyo ya Richmond ilisema kuwa kampuni iliyokusudiwa ilikuwa ni Dowans S.A na kuwa kampuni hiyo mpya itajitambulisha yenyewe kwa TANESCO.
Novemba 14, 2006 Dowans S.A inawaandikia TANESCO ikijitambulisha kuwa ndiyo kampuni ambayo imekusudiwa kurithi mkataba wa Richmond na TANESCO. Wakati Dowans S.A inaandika barua hii tayari ilikuwa imeshaingia mkataba na Richmond Oktoba 14, 2006. Lilikuwa jukumu la Richmond na Dowans S.A kuitaarifu TANESCO kuwa mkataba umekwishachukuliwa. Hilo hata hivyo lingekuwa kinyume na kifungu cha 15.12. Dowans iliandika barua kana kwamba ilikuwa haijachukua mkataba huo bado na hivyo kudanganya ili kupata faida ya aina fulani kinyume na sheria yetu ya Mikataba ya 2002. Kuna mambo ambayo TANESCO ingeweza kujua kuhusu kampuni ya Dowans lakini suala la kuwa ilikuwa tayari imekwishaingia mkataba lilikuwa ni suala la kujulishwa na Richmond au Dowans wenyewe. Ni sawasawa na mtu ambaye kwa muda wote wa uchumba na hatimaye siku ya harusi anafunga ndoa akiamini kuwa anayefunga naye ndoa hakuwa tayari amefunga ndoa na mtu mwingine ambayo ilikuwa bado halali kisheria. Ndoa inaweza kufungwa lakini endapo ikaja kujulikana kuwa yule mwingine alificha ukweli kuwa tayari alikuwa katika ndoa halali basi ile ndoa ya pili inafutiliwa mbali (annulled) kwani haikuwahi kuwepo.
Barua ya Dowans ya Disemba 8, 2006 inaondoa shaka kabisa kuwa Dowans waliwaficha TANESCO ukweli kuwa tayari kampuni ya Costa Rica ilikuwa tayari imekwisha funga "ndoa" na Richmond kuchukua mkataba wake na TANESCO bila ridhaa ya kimaandishi na TANESCO. Barua hii kwa mujibu wa hukumu ya ICC (kifungu cha 517) iliomba kibali cha kuhamisha mkataba na kutoa taarifa mbalimbali kuhusu kampuni hiyo na kampuni ya Portek Group.
Ni kutokana na mabo hayo hapo juu ndipo tunaona makosa makubwa ya hukumu ya ICC. Hukumu hiyo kifungu cha 518 ambacho kinatupilia hoja ya "kutokuwa wa kweli" iliyotolewa na TANESCO dhidi ya Dowans inadai kuwa yote yaliyosemwa kwenye barua hayo yalikuwa ni kweli (factual). Hukumu hiyo inasema kuwa "based on the evidenced presented before the Tribunal, all these (yale yaliyodaiwa kwenye barua ya Disemba 8, 2006) representations were proven to be factual – what the letter of 8 December purpoted to present was actually in the dossier accompanying the letter. This is substantiated by the fact that the Tribunal was presented with evidence that DHSA and RDVECO requested the consent of TANESCO to the assignment (of the contract)" Hukumu hiyo ikadai katika kifungu cha 519 kuwa "based on the evidence adduced before the Tribunal these representations presented in the dossier of 8 December 2006 were statements of fact, were true". Yaani, " kulingana na ushahidi uliotolewa katika mahakama yaliyosemwa katika barua ya Disemba 8, 2006 yalikuwa ni madai ya uhakika, yalikuwa kweli". Ni kutokana na msimamo huo wa mahakama hiyo hoja kuwa Dowans haikuwa mkweli wakati inataka kuchukua mkataba wa Richmond ilitupiliwa mbali katika kifungu cha 524. Baada ya kutupilia mbali hoja hiyo kwa makosa mahakama hiyo ikaangalia kile ilichoamininishwa kuwa ndio makubaliano ya kuhamisha mkataba toka Richmond kwenda Dowans.
Katika kifungu cha 533 cha hukumu hiyo inaoneshwa kuwa kulikuwa na makubaliano ya kuhamishia mkataba kati ya TANESCO na Richmond kwenda Dowans kwa barua iliyoandikwa Disemba 21, 2006 (kama tulivyoona hapo juu). Na hili lilikuwa kweli kwani ni tarehe 23 Disemba, 2006 mkataba huo ukapelekwa kwa Dowans. Na hata uamuzi wa baadaye wa TANESCO kukubali mkataba uhamishiwe toka Dowans S.A kwenda Dowans Tanzania Limited ulitegemea uhalali wa kitendo cha Disemba 21 na 23, 2006. Hili linaturudisha kwenye hoja ya msingi kabisa ambayo inatufanya tuulize maswali yafuatayo:
Kama Richmond ilikuwa tayari imeshahamisha mkataba wake na TANESCO kwenda Dowans S.A Oktoba 14, 2006 ni kitu gani kilikuwa kinafanyika kwa majadiliano ya kuanzia Novemba 9 hadi TANESCO kukubali kuhamishwa mkataba Disemba 21, 2006?
Richmond ilipowasiliana na TANESCO kueleza nia yake ya kutaka kuhamisha mkataba kwenda Dowans wakati tayari ilikuwa tayari imeshauhamisha mkataba huo kisheria kwanini haikuweka wazi jambo hilo kwa TANESCO kama kifungu cha 15.12 kinavyotaka?
Kampuni ya Dowans S.A ililipia na kuingiza mitambo ya kuzalishia umeme mwishoni mwa Oktoba 2006 baada ya kufanya hivyo ikiamini inatekeleza makubaliano yake na Richmond ya Oktoba 14, 2006 yaliyohusisha kurithi mkataba wa TANESCO na ule wa Vulcan. Kwa maneno mengine, Dowans ilianza kutekeleza mkataba wake na Richmond ikiamini ilikuwa inatekeleza mkataba wa TANESCO. Kwanini, Dowans haikuiambia TANESCO kuwa imechukua mkataba kutoka Richmond na badala yake kutenda kana kwamba ilikuwa haijapata mkataba huo bado?
TANESCO isingeweza kujua kwa namna yoyote ile kuwa Richmond imeshaingia mkataba na Dowans Oktoba 14, 2006 isipokuwa kwa kuambiwa na Richmond yenyewe na Dowans S.A. Ni kwa sababu hiyo uongozi wa TANESCO ulijitahidi kuzuia mkataba kuhamishwa lakini wakajikuta "wanasukumizwa" na Wizara na hatimaye kukubali. Ukweli ni kuwa TANESCO hawakuwa na njia nje ya hapo kwani mkataba tayari ulikuwa umeshahamishwa.
Kutokana na haya yote ambayo tunayo sasa hivi na tunayajua kwa uhakika ni kitu gani kinahalalisha kuwalipa kampuni ya Dowans S.A? Kwa vile tayari wamekwishalipwa zaidi ya bilioni 100 hadi hivi sasa na bado majenereta ni yao na kuna dalili kuwa wanapanga kuyakodisha tena kwetu kupitia kampuni nyingine ni wazi kuwa ni viongozi gani wenye dhamira safi katika Tanzania wanaoweza kuhalalisha malipo ya bilioni 94 zaidi? Mkataba wenyewe wa miaka miwili ulikuwa ni wa bilioni 172.5 (japo majenereta yenyewe kuyanunua moja kwa moja ilikuwa chini ya bilioni 60) na tukilipa bilioni 94 kama ilivyoamuriwa na serikali ni wazi kuwa kampuni ya Dowans S.A na washirika wake watakuwa wamekomba zaidi ya shilingi bilioni 200 kwa majenereta ya bilioni 60! Hiki ni kilele cha ufisadi, ni kutamalaki kwa uzembe na kutukuzwa kwa kutokuwajibika.
Kutokana na uzito wa ushahidi ambao tumeupendekeza mbele ya wasomaji na Watanzania wenzetu tunajikuta tunabakia na mapendekezo yafuatayo tu:
Serikali isilipe hata senti moja na iamue kujitoa kwenye Mahakama ya Usuluhishi na badala yake Bunge letu liimarishe sheria zetu za usuluhishi wa kibiashara ili mikataba yote inayohusiana na umma inapotokea matatizo iamuliwe kwa sheria zetu wenyewe.
Mitambo ya Dowans ambayo tayari tumeshalipia zaidi ya gharama yake kuiingiza nchini ikamatwe na kutaifishwa kwa kutumia madaraka ya Rais (Executive Order) au kwa sheria nyingine yoyote ile.
Watendaji wote wa Dowans S.A na Dowans Tanzania Limited ambao walikuwepo wakati Dowans S.A inarithi mkataba wa TANESCO kutoka Richmond kwenye makubaliano ya Disemba 23, 2006 watimuliwe nchini, watangazwe kuwa ni "watu wasiotakiwa" personae non grata. Wapewe si zaidi ya masaa 24.
Rostam Aziz ambaye ndiye amekuwa kinara wa kuitetea Dowans na ambaye mapema mwaka huu (Januari 5, 2011) alikiri kuwa yeye ndiye aliyewashawishi Dowans kuja nchini na ambaye ndiye aliyepewa nguvu ya kisheria (Power of Attorney) kutumika kwa niaba ya Dowans Holdings S.A alikuwa anajua na alipaswa kuwa anajua kuwa Dowans S.A walikuwa tayari wamechukua mkataba wa Richmond na TANESCO. Akiwa ni Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye aliapa kulinda na kutetea sheria na Katiba ya nchi yetu alipaswa kuonesha uzalendo kwa kuitaarifu TANESCO (shirika la umma) juu ya jambo hilo. Akiwa ni mtu ambaye angenufaika kwa namna moja au nyingine na uwepo wa Dowans nchini (akiwa ni mshirika na rafiki wa mmoja ya wamilikiwa wa Dowans S.A) Rostam hakuliweka na hadi hivi sasa hajaweka Tanzania mbele katika suala hili. CCM inatakiwa imvue uanachama na serikali imshtaki kwa makosa mengi ambayo tungeweza kuyafafanua kutokana na kushiriki kwake.
Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini Bw. Nazir Karamagi naye ahojiwe na ikibidi ashtakiwe kwa kushiriki kwake kuificha TANESCO ukweli kuwa mkataba wa TANESCO kuhamishiwa kwa Dowans S.A na Richmond. Bw. Karamagi alijua alipaswa kujua kuwa mkataba ulikuwa umekwishahamishiwa kwenda Dowans kutokana makubaliano ya Oktoba 14, 2006. Kwani, ni yeye aliyetoa taarifa kwa TANESCO juu ya nia ya Richmond kuhaulisha mkataba wake kwenda Dowans S.A na alisisitiza kuwa iwe hivyo licha ya mapingamizi ya Shirika hilo la Ugavi.
Mwanasheria Mkuu wa Tanzania awajibishwe kwa kutetea malipo haya ambayo ni wazi ni kinyume cha sheria.
Huduma yote iliyotolewa na majenereta ya Dowans S.A ichukuliwe kuwa ni huduma ya bure kwani Mkataba uliosainiwa Disemba 23, 2006 haukuwa na maana yoyote kisheria kwani Dowans S.A ilikuwa imekwishajifunga kinyume na kifungu cha 15.12 na Mkataba wake na Richmond wa Oktoba 14, 2006. Ukweli huu uko wazi kwani katika kesi yake dhidi ya Richmond huko Houstona Marekani, Kampuni ya Dowans haitaji kabisa mkataba wa Disemba 23, 2006 bali inatambua kuwa iliingia makubaliano na Richmond ya kuchukua mkataba wa TANESCO tarehe 14, Oktoba 2006.
Watanzania wote wenye dhamiri njema wapinge kwa nguvu na namna zote malipo haya ya kidhalimu na kutaka wale wote waliojitokeza kuyatetea wawajibike wao wenyewe au wawajibishwe na vyombo halali. Malipo haya ni kinyume na maadili, ni ya kimabavu na yanadhalilisha utu wa Mtanzania.
SWALI PEKEE AMBALO LINAWEZA KUVUNJA HOJA HII WAULIZWE DOWANS S.A na watetezi wa malipo haya haramu ni hili - Ni lini Dowans Holdings S.A. walirithishwa mkataba wa Richmond/Tanesco?
Kutoka kwenye FIKRA PEVU
NB: NOTISI KWA WAHARIRI: Kunukuu habari hii au sehemu yake: "Kwa mujibu wa tovuti mpya ya Fikra Pevu inayomilikiwa na mtandao maarufu wa JamiiForums.com"... Nimeongeza Ripoti ya Mwakyembe pamoja na Mkataba wa Richmond/Tanesco maana naona watu wanarudia rudia vitu ambavyo tulivimaliza kuzungumzia miaka mitatu iliyopita. Attached Files:
Rich-Monde.pdf
richmondfinal.pdf
Soon and very soon when the Parliament begins!
Never before Tanzanians will see fire in the parliament like what they will see in the forthcoming session.
And guess what from both within and outside CCM. Everybody is tired now.
Dowans; Katiba Mpya; Mauaji ya Arusha etc are just few to mention.
aaah sasa legality ya hiyo hukumu inatoka wapi? Hv jaman tanesco wana lawyers kweli au wakat wa kutoa utetezi wao walioverluku hvo vifungu yan day afta day nackia mambo mapya kuhsu hyo issue. Nategemea kusikia hata hiyo kesi haikuamuliwa huko icc hilo pia possible
jamani uzalendo kwa watz uko likizo au ulishapigwa ridandas ? Haiwezekani lawyers wa kitz wakasimamie kesi km hii hlf isemekane tanesco wamebwagwa lzm nao wameahidiwa kupata mgao.
Shame upon them!!!!!!?
aaah sasa legality ya hiyo hukumu inatoka wapi? Hv jaman tanesco wana lawyers kweli au wakat wa kutoa utetezi wao walioverluku hvo vifungu yan day afta day nackia mambo mapya kuhsu hyo issue. Nategemea kusikia hata hiyo kesi haikuamuliwa huko icc hilo pia possibleClick to expand...
Inategemea kama hao lawyers "wanapata fursa yao kwa wakati muafaka" kufanya kazi yao.
Kama mabadailiko kutoka Richmond kwenda Dowans hayakuwa legal, ina maana kuna possibility ya Tanesco kuikana Dowans? Halafu wengi wetu tumekuwa tukisikia kuwa Richmond ilikuwa ni kampuni hewa kwa maana kwamba ilikuwa mifukoni mwa watu wajanja. Sasa inakuwaje kampuni hewa ihamishie umiliki wake kwa Dowans? Hivi hiyo mahakama ya kimataifa haikuyaona hayo au it was non of their business? Je, hivi kuna uwezekano mahakama ya kimataifa nayo ikawa inapokea rushwa??
Thanks M M Mwanakijiji for useful post.
Kama mabadailiko kutoka Richmond kwenda Dowans hayakuwa legal, ina maana kuna possibility ya Tanesco kuikana Dowans? Halafu wengi wetu tumekuwa tukisikia kuwa Richmond ilikuwa ni kampuni hewa kwa maana kwamba ilikuwa mifukoni mwa watu wajanja. Sasa inakuwaje kampuni hewa ihamishie umiliki wake kwa Dowans? Hivi hiyo mahakama ya kimataifa haikuyaona hayo au it was non of their business? Je, hivi kuna uwezekano mahakama ya kimataifa nayo ikawa inapokea rushwa??Click to expand...
Mahakama ya Kimataifa inajua yale tu ambayo yanaletwa mbele yake; yaani ushahidi unaoletwa mbele yake. Mahakama haifanyi uchunguzi nje ya ushahidi ulipo pale. Ni jukumu la pande zinazoshtakiana kudisclose information yoyote ambayo ni relevant kwa kesi. Tanesco hawakujua kuwa wakati DG anasaini anaandika barua kuwa Dowans irithishwe mkataba wa Richmond Disemba 21, 2006 wao Dowans na Richmond walikuwa wamekwisharithishana mkataba oktoba 14 na Dowans wameshaanza kutekeleza kwa kulipia mitambo ya Vulcan iliyoingizwa nchini Oktoba mwishoni 2006.
Dowans walitakiwa kuwaambia ICC kuwa mkataba wake na Tanesco ulirithiwa Oktoba 14. Bahati isingeweza kufanya hivyo kwa sababu ingefichua kuwa ilirithi mkataba bila idhini ya Tanesco.
Asante kwa taarifa.Hii issue ya Dowans hii kuna mtu itamuandama hadi kaburini kama wataendelea kuidharau au kuifanyia mzaha. Enough is enough! Tuanze kuogopa kidogo watanzania
The most weirdest thing katika huu mjadala wa RICHMOND ambao naona watu wana kila document ni kuwa husikii majina ya:
1. Tender process ilivyokuwa
2. TENDER VALUATION ilivyofanywa
3. Katika Valuation team hakuna anaytajwa
4. Final report ya Valuation team
5. Mapendekezo yaliyopelkwa kwa DG wa TANESCO
6. Majina ya wanasheria wa TANESCO walioridhia haya
7. Majina ya waliokuwa consulted kule WIZARA YA NNISHATI
8. Majina ya waliohusika kule WIZARA YA SHERIA 9. Ushauri wao kwenye hili jambo
10.Role ya PRIVATE law firms kuishauri TANESCO
11. Mchanganuo ulivyofanywa mpaka kuwateua hawa private lawfirms na sababu...PPA ilifuatwa na je PPRA waliridhia?
12.Majina ya hao wahusika from the private law firm
13. Walilipwa Kiasi gani per hour?
14. Comments za DG wa TANESCO zilikuwa zipi?
15. Wanasheria wizara ya NISHATI walikuwa akina nani na walimpa ushauri gani waziri?
16. Wahusika wa PPRA ambao walikuwa consulted na comments zao
naona kila kukicha tunajadili maamuzi ya kesi na hao wanao likisha hizi documents mbona hawaleti full mzigo includi hayo majina?
Unles JF is not as influential as it used to back in the day when people used to trust it with leaked docs...Kulikoni au kitumbua kishaingia mchanga?
Au kama wanavyosema wanywamwezi kuwa the GAME HAS BEEN RIGGED!!
Unless kuwepo public inquiry into this fiasco
We can't be fooled 4 ever, one day yes!
Kwanza kwenye hii kesi tanzania iliwakilishwa na nani? Tumjue ili tujue uelewa wake kwenye masuala ya sheria, na ikiwezekana awajibishwe kwa kukiuka maadili ya kazi kwa kujua au kutojua
Hapa kuna problem! sisi tunapata hizi nyeti kila kukicha thanks kwa MM Mwanakijiji and co, lakini sadly mwananchi wa kawaida mwenye shida ya ku access net hajui kinachoendelea, There is a need for JF kuanzisha gazeti au Radio ya kuwaelimisha wadanganyika who needs this urgent outreach help!hawa ni wananchi ambao akili zimegandamana na wanahitaji msaada mkubwa sana wa kuwa empower! remember there is no room kwa udini!. Tunahitaji strategies za ziada kwa kuwaelimisha ndugu zetu wa vijijini.
KWA UTHIBITISHO HUU WA WIZI MGONGONI MWA DOWANS, SERIKALI IJIUZULU MARA MOJA
Kwa mtaji wa taarifa hii KUTHIBITISHA VIONGOZI WETU SERIKALINI kutulazimisha visivyohalali kulipa Dowans na hatimaye hii siri nzito kutufikia walipakodi masikioni basi kwa pamoja Watanzania hatuna lingine tena
Kwa pamoja tunasema Kikwete, Rostam Azizi, Nimrod Mkono, Nazir Karamagi, Balozi Maajar, Ngeleja, Chenge, Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madalali wenu wengine wengi zaidi, tunasema MJIUZULU MARAMOJA!!!!
Na nyinyi vyama vya upinzani, asai za kiraia na wanaharakati mbali mbali mkiendelea kunyamazia zaidi HICHI KITHIBITISHO CHA WIZI WA KODI ZETU iliokua iliokua ikilazimishwa na Kikwete na CCM na hatimaye Mungu kutuletea uthibitisho huu, basi watu tutawageukeni na nyinyi na kuonana wabaya hapa! Kwa taarifa hii Serikali ya CCM ijiuzulu sasa hivi na wala si kusubiri zaidi. Hii na hatarii!!!
Dowans walitakiwa kuwaambia ICC kuwa mkataba wake na Tanesco ulirithiwa Oktoba 14. Bahati isingeweza kufanya hivyo kwa sababu ingefichua kuwa ilirithi mkataba bila idhini ya Tanesco.Click to expand...
Utaniwia radhi kwa kuuliza tena na labda tena na tena. Nadhani ni jambo la kawaida na linalokubalika kwamba endapo mahakama imetoa uamuzi ambao wewe huridhiki nao, unaweza ku-appeal ili haki itendeke. Sasa nimewasikia Mzee Sitta na Dr. Mwakyembe wakieleza bayana kuwa Richmond na mrithi wake Dowans ni makampuni ya kitapeli. Binafsi siwezi kupuuza kauli za viongozi hao kwa sababu nina hakika wakati ule wa sakata la Richmond walipata fursa ya kujua mengi kuhusu utapeli huo kuliko hata walichokiandika na kusomwa bungeni. In other words, ninamchukulia Dr. Mwakyembe as a reliable source of data kuhusu utapeli wa hayo makampuni. Sasa ninachojiuliza, ni je, kama kweli viongozi wetu ni wazalendo, walishindwaje kutumia fursa ya ku-appeal na kupeleka ushahidi mbele ya mahakama unaoonyesha kuwa dowans ni kampuni ya kitapeli tu. Ni kitu gani kimezuia Mwanasheria wetu asichukue hatua hiyo? Je, kipengele ulichogusia kwamba kumbe urithishanaji kati ya Richmond na Dowans ulifanywa kabla hata ya kufikia maridhiano kati ya Tanesco na Richmond, hakiwezi kuwa ni sababu tosha ya kuonesha utapeli wa Dowans? Je, tukiamua kama nchi kutolipa Dowans tutapata madhara gani ambayo wananchi wetu wa kawaida yatawaathiri zaidi ikilinganishwa na madhara watakayopata endapo serikali itajikamua na kulipa mabilioni hayo?
Mi nilikuwa nadhani ni mizaha pale tunaposema kuwa mawaziri wetu huwa wanasaini mikataba bila kuisoma...nimeyaona live sasa...Richmond walifanya kitendo hicho makusudi wakijua hakuna ambae angeshtukia kitendo hicho...and very positively, as expected, wakubwa wetu wa serikali wanaona ukiukaji huo mkubwa siyo ishu, wamekazania DOWANS walipwe haraka sana...wataalamu wa sheria za mikataba mko wapi? Who are these Rex attorneys na wanatumikia sheria za dunia ipi?...tutapata majibu soon.
mkuu....Slidingroof...kabla ya hayo.... concern kubwa katika hili ni pre tender process...je kulikuwa na pre qualification .... tendering mode ilikua ni selective tendering tungependa kujua hayo
ningependa kujua transparency ya both pre tendering and tendering stage ilikuaje.....Click to expand...
tumewahi fikiria haya....?
Nachukia ufisadi kwelikweli. Hivi kijana Ngeleja Mganga anafikiri nini kuhusu hili?
Ana umri mdogo, madhambi haya ni makubwa na yatakaa karne nyingi bila kufutika ataficha wapi uso wake hapo baadaye?
Sehemu ya kifungu hicho cha mkataba huo ambao FP inao kinasema wazi kuwa Neither party may assign this agreement or grant any security interest, charge, lien, or other encumbrance in this Agreement other than by mutual agreement between the parties in writing. Kwa maneno mengine, mkataba ulikataza pande zote mbili (TANESCO na RDC) kuhaulisha jukumu lolote au jambo lolote linalohusiana na mkataba huo kwenda kwa kampuni au chombo kingine pasipo makubaliano ya maandishi kati ya pande hizo mbili.
Hivyo kitendo chochote kwa upande wa TANESCO au Richmond kuhamisha mkataba au majukumu yake kwenda kwa chombo kingine bila ridhaa ya kimaandishi ya mwenzake ilikuwa ni uvunjaji wa mkataba huo. Hata hivyo, katika taarifa ambazo Kamati Teule iliyoundwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuchunguza Richmond ilipatiwa chini ya kiapo kampuni ya Richmond ilihamisha mkataba wake kwa Dowans Holding S.A tarehe 23 Disemba, 2006.
Soma Zaidi kwenye FIKRA PEVUClick to expand...
aahgrrrrrrrr!, nadhani mwanasheria mkuu huko aliko akiipata hii tumbo halitakaa sawa. Lakini anywayz ujasiri wa kifisadi huwapofusha kabisa hao watawala wetu.
| 2017-01-24T09:48:58 |
https://www.jamiiforums.com/threads/jinsi-richmond-dowans-walivyoizunguka-tanesco-na-taifa.105970/
|
[
-1
] |
Moldova - Mtayarishaji Bei
Mtayarishaji Bei 132.00 131.10 132.00 96.60 Index-Pointi [+]
Mabadiliko Ya Bei Uzalishaji 2.10 1.50 40.30 -4.90 Asilimia [+]
Sasa, maadili, data ya kihistoria, utabiri, takwimu, chati na kalenda ya kiuchumi - Moldova - Mtayarishaji Bei.
| 2019-08-18T04:43:59 |
https://sw.tradingeconomics.com/moldova/producer-prices
|
[
-1
] |
Simba yatua Mwanza | The Official Website of Simba Sports Club
KIKOSI kamili cha Simba kimetua jijini Mwanza leo asubuhi na kupata mapokezi ya aina yake kutoka kwa wapenzi na washabiki wa timu hiyo.
Simba imewasili Mwanza kwa ajili ya kuonyesha washabiki wake Kombe la Ligi Kuu ya Vodacom ililotwaa msimu uliopita na pia kucheza mechi mbili za kirafiki mjini Mwanza na Shinyanga.
Kesho, Simba itacheza na Toto African ya Mwanza katika Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza na keshokutwa itacheza na Express FC ya Uganda katika Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga.
Karibu wachezaji wote wa Simba watakaotumika katika Kombe la Kagame na Ligi Kuu ya Vodacom msimu ujao wamekuja Mwanza na Shinyanga kama sehemu ya maandalizi ya michuano hiyo. Club News
| 2017-04-30T15:03:27 |
http://simba.co.tz/news/club-news/2012/06/22/simba-yatua-mwanza.html
|
[
-1
] |
Kwingila Bikomo—Le Kukidi na Mvubu?
TANGA MU Angele Dingala Drehu Falanse Hmong (wa Bazungu) Kiafrikaans Kiakoli Kialameni Kialbane Kialema Kiamarike Kiaymara Kibemba Kibilgare Kibishlama Kichichewa Kichitonga Kichitumbuka Kichiyao Kicitonga(lwa mu Malawi) Kidangme Kidanwa Kiefik Kieshipanyole Kieshitoni Kiewe Kifinwa Kiga Kigarifuna Kigbo Kiguarani Kihebelu Kihiligaynone Kihongrwa Kiikrenye Kiiloko Kiindonezi Kiislande Kiitali Kijampani Kijeorji Kikachikel Kikachokwe Kikamba Kikaonde Kikatalana Kikazak Kikechua (kya mu Bolivi) Kikhosa Kikongo Kikore Kikreole kya Haiti Kikroate Kikuyu Kileton Kilituani Kiluba Kiluganda Kilumani Kilunda Kilunyankore Kiluo Kilusi Kiluvale Kimalagashe Kimam Kimambwe-Lungu Kimasedwane Kimaya Kimazateke kya mu Huautla Kimbundu Kimongole Kimore Kimyama Kinahuatl (kya Bonso) Kinahuatl (kya mu Huasteka) Kindebele (kya mu Zimbabwe) Kinepali Kinerlande Kingabere Kingidiki Kinorveje Kinyanja Kinyarwanda Kinzema Kiosete Kipapiamento (kya Aruba) Kipapiamento (kya Kirasao) Kipolone Kipolotige Kirgiz Kirundi Kisango Kisebuano Kisepedi Kiserbi Kiserbi (kya mu Loma) Kishinwa Mandaren (Kipēla) Kishinwa Mandaren (kya Kala) Kishona Kisidama Kisilozi Kisinhala Kislovake Kislovene Kisonge Kisranantongo Kisuedwa Kiswahili Kiswahili (kya mu R.D.Congo) Kitagaloge Kitatare Kitcheke Kitetela Kithai Kitigrinya Kitirk Kitlapanek Kitok Pisine Kitotonake Kitsonga Kitswana Kituvalu Kitwi Kitzotzile Kiumbundu Kivietname Kiwalise Kiwayuunaiki Kiyoruba Kizande Kizapotek (kya Isthme) Kizulu Kongo Krio Kyalabu Sesotho (ya mu Lesotho) Tshiluba
Alex wetūkija bininge kitatyi kya kandija kalato kakwabo mu motoka wa sosiete ikwasha bantu kuviluka kwine kwaingilanga. Wiipangula amba, ‘Le kyonepenenekele mu kano kaji kampikwa kamweno kavule i kika? Le nkekala biyampe kitatyi’ka? Bwami būmi bwadi bwa kwikala biyampe bininge shi nkyadipo ñingila!’
Pamo bwa Alex watelwa’u, bantu bavule dyalelo kebasakangapo kwingila bininge. Mulongolodi umo wa myotoka witwa bu Aaron unena amba: “Bantu bavule balañanga’mba kwingila mingilo ‘ya makasa’ i kwitūkija bulēme. Ngikadila yabo i ya: ‘Ñingilanga uno mwingilo’tu mwanda wakwilaijija’po.’”
Mwanda waka bantu bavule bamonanga’mba kebafwaninwepo kwingila mingilo mikomo? Padi batononwanga na byobya byobemvwana ku bisanji, bine bimwekejanga divule dine amba būmi “buyampe” i bobwa bwa katutu ne bwa ku makasa kufuke. Matthew wingilanga mingilo ya makasa, unena amba, “bantu balañanga’mba shi wingila bininge mwanda wa mwa kwikadila, popene ukakomenwa.” Nzamu umo witwa bu Shane nandi wamwene muswelo umo onka. Unena amba: “Kwingila difuku dituntulu ne kupebwa mfutwa mibwane ya difuku’dya i kintu kekisakangapo bantu kulonga.”
Ku mutamba mukwabo, bantu bavule banekenye, na bubine bengilanga bikomo. Mūbaki umo wa myaka 25 witwa bu Daniel unena amba, “Mona’mba kwingila bininge kuletanga mpalo mivule, nakampata shi ilongwa na bitungo bilumbuluke.” Andre wa myaka 23 witabija uno mwanda na kunena amba: “Nkulupile amba katōkwe ne nsangaji bitambanga ku kwingila. Kwingila bityetye kekukakufikijapo ku nsangaji ya kitatyi kilampe—kukakuletela’nka masusu a nyeke!”
Le bantu badi pamo bwa ba Daniel ne Andre batamije mumweno muyampe mu mwingilo mukomo muswelo’ka? Mu kīpi’tu, baingidije misoñanya ya mu Bible mu bwabo būmi. Pa kyaba kya kutyumuna mutyima pa mingilo mikomo, ino Bible ukankamika kwikala na kininga ne kūminina. Bible ketulombolangapo’tu’nka kwingila kete, ino witulombolanga bintu bivule. Witulombolanga kadi ne muswelo wa kusangela mwingilo wetu.
Le i misoñanya’ka ya mu Bible ibwanya kukukwasha usangele mwingilo obe? Tukulomba ubandaule’ko misoñanya imo isambilwe’po mu kishinte kilonda’ko.
| 2018-10-23T18:09:37 |
https://www.jw.org/lu/bilupwilwe/mapepala/wp20150201/mwingilo-mukomo-muyampe/
|
[
-1
] |
TETESI ZA SOKA LA ULAYA TAR 14.11.2017 - EDUSPORTSTZ | Habari za Ajira, Mapenzi, Michezo, Elimu, Kilimo, Technology, Siasa na Mziki,
others Sports TETESI ZA SOKA LA ULAYA TAR 14.11.2017
TETESI ZA SOKA LA ULAYA TAR 14.11.2017
by Farumedia on 14 November in others, Sports
GETTY IMAGESImage captionGareth Bale
Real Madrid wameamua kumuuza mshambuliaji wa Wales, Gareth Bale, 28, mwishoni mwa msimu. (AS - in Spanish)
Aliyekuwa mchezaji wa Tottenham na Southampton Bale anaweza kurejea katika Premier League ikiwa atafurahia kufanya hivyo. (Mirror) AFPImage captionNabil Fekir
Arsenal wanakaribia kukamilsha dili ya kumsajili mshambuliaji wa Lyon, Nabil Fekir kwa pauni milioni 60 ambaye kuwasili kwake kutafufua kuondoka kwa Mesut Ozil, 29 na Alexis Sanchez, 28.
Mshambualiaji wa Atletico Antoine Griezmann amesema kuwa ana nia ya kuhamia Paris St-Germain. Anasema kuwa kucheza klabu moja na Neymar na pia Kylian Mbappe itakuwa ndoto. (Telefoot via the Independent) Emre Can
Borussia Dortmund wana naia ya kumsaini mchezaji wa Liverpool Emre Can, huku mkataba wa mchezaji huyo wa kiungo cha kati mwenye miaka 23 ukitarajiwa kukamilika mwishoni wa msimu. (Times - subscription required)
Rangers wanamwinda meneja wa Northern Ireland Michael O'Neill, 48, ambaye pia anatafuwa na Scotland. (Telegraph)
Meneja wa Wales Chris Coleman, 47, ataihama timu ya taifa ikiwa chama cha kandanda cha wales, hakitawapa mikataba ya kudumu wafanyakazi wenzake (Star) Ahmed Musa
Mshambuliaji wa Leicester City Mnigeria Ahmed Musa, 25, huende akahamia Hull City mwezi Januari. (sport-express.ru)
Mshambuliaji wa Bolton Wanderers Gary Madine, 27, anataka mshambuliaji mwenzake Adam Armstrong, 20, kubaki klabu hiyo kwa mkopo kutoka Newcastle United. (Bolton News)
By Farumedia a la/s 14 November
| 2019-05-25T19:44:52 |
https://www.edusportstz.com/2017/11/tetesi-za-soka-la-ulaya-tar-14112017.html
|
[
-1
] |
Mapigano yapamba moto Ukraine | Matukio ya Kisiasa | DW | 14.02.2015
Mapigano makali yaendelea Ukraine Jumamosi (14.02.2015) na kutishia makubaliano ya kusitisha mapigano wakati serikali na Marekani zikiishutumu Urusi kwa kuchochea mashambulio ya waasi kuteka ardhi zaidi kabla ya suluhu.
Mwanajeshi wa Ukraine.
Mkuu wa polisi wa mji mkuu wa Kiev Vyacheslav Abroskin amesema mashambulizi ya mizinga bila ya kusita yamekuwa yakiutekeza mji wa Debalitseve ambacho ni kituo kikuu cha usafiri wa reli kinachoshikiliwa na vikosi vya serikali.
Abroskin ameandika kwenye ukurasa wake wa Facebook mtandaoni kwamba waasi wanauangamiza mji wa Debaltseve ambapo maeneo ya makaazi ya watu na majengo yamekuwa yakishambuliwa bila ya kusita na mizinga.
Kikosi cha wapiganaji wa kujitolea cha Azov pia kimeripoti kuwepo kwa mapigano makali mashariki mwa mji muhimu unaoshikiliwa na serikali wa Mariupol na kwamba kijiji cha Shyrokyne kimeharibiwa kabisa na mashambulizi ya mabomu.
Makubaliano ya amani hatarini
Rais Petro Poroshenko.
Rais Petro Poroshenko wa Ukraine ameonya hapo Ijumaa kwamba kupamba moto kwa mapigano kumeyatumbukiza makubaliano yaliofikiwa katika mji wa Belarus Minsk baada ya mazungumzo ya muda mrefu na Rais Vladimir Putin wa Urusi katika hatari kubwa kabla ya hata kuanza kutekelezwa.
Akizungumza kwa lugha ya Kingereza Poroshenko amesema baada ya makubaliano hayo ya Minsk operesheni ya Urusi imepamba moto sana.
Usitishaji huo wa mapigano unatazamiwa kuanza saa sita usiku Jumamosi utakuwa mtihani wa kwanza wa kujitolea kwa serikali ya Ukraine na waasi wanaoegemea upande wa Urusi kwa makubaliano hayo mapya ya amani yaliosainiwa Alhamisi.
Lakini wakati serikali ya Ukraine na Marekani zikidai kwamba Urusi ilikuwa inaongoza mashambulizi hayo ya waasi ya kuteka ardhi zaidi huku vikosi vya serikali vikijichimbia kuyahami maeneo hayo,kuna hofi hofu iwapo suluhu hiyo itazingatiwa.
Poroshenko usiku huu anatazamiwa kuzungumza na Rais Barack Obama wa Marekani,Kansela Angela Merkel wa Ujerumani na Rais Francois Hollande wa Ufaransa wakati Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa likitarajiwa kukutana Jumapili kwa kikao cha dharura.
Makubaliano yasiokuwa na mwamko
Kifaru cha kikosi cha serikali ya Ukraine.
Marekani imesema jeshi la Urusi limeweka idadi kubwa ya mizinga na zana za kuvurumishia maroketi ambapo wanatumia kushambulia maeneo yanayoshikiliwa na vikosi vya serikali.
Msemaji wa usalama wa Ukraine Andriy Lysenko amesema kwamba waasi wakisaidiwa na jeshi la kawaida la Urusi wamekuwa wakijaribu kufanikisha malengo muhimu ya kimkakati kutanuwa eneo la ardhi wanayoishikilia kabla ya kuanza kwa usitíshaji huo wa mapigano.
Lysenko amesema wanajeshi saba wameuwawa na 23 kujeruhiwa katika mapigano ya kipindi cha saa 24 zilizopita wakati waasi na maafisa wa serikali wanasema raia watatu wameuwawa.
Serikali ya Ukraine na mataifa ya magharibi yamekuwa yakiishutumu Urusi kwa kupeleka silaha na wanajeshi nchini Ukraine kuwasaidia waasi.Ikulu ya Urusi imekuwa ikikanusha mara zote madai hayo lakini waasi hao wanaoegemea upande wa Urusi wamekuwa wakijivunia silaha za kisasa zinazotumiwa na majeshi ya kawaida na mara nyingi wamekuwa wakivizidi nguvu vikosi vya Ukraine.
Marekani kutuma silaha Ukraine
Waasi mashariki mwa Ukraine.
Obama ameonya kwamba ataanza kupeleka silaha Ukraine iwapo makubaliano hayo ya mapya ya amani yatasambaratika.
Ngurumo za mashambulizi mazito ya mizinga pia zimekuwa zikisikika kwenye mji ulio ngome kuu ya serikali wa Donetsk.
Merkel ameionya Urusi kwamba Umoja wa Ulaya ambayo umeiwekea Urusi vikwazo kadhaa kutokana na mzozo huo haiondowi uwezekano wa kuchukuwa hatua zaidi iwapo makubaliano hayo ya suluhu yatashindwa.
Kundi la G7 laonya
Viongozi wa nchi wanachama wa kundi la G7.
Mataifa ya Kundi la Mataifa Saba yenye Maendeleo Makubwa ya Viwanda Duniani G7 ya Canada, Ufaransa,Ujerumani,Italia, Japani, Uingereza na Marekani pia yameelezea wasi wasi wao juu ya umwagaji damu huo na kulimbikizwa kwa silaha mashariki ya Ukraine.
Kundi hilo limeonya kwamba liko tayari kuchukuwa hatua kali kwa yoyote yule atakayekiuka masharti ya makubaliano hayo.
Makubaliano hayo tete yalikuwa yakionekana kama matumaini mazuri ya kukomesha mzozo huo ambao umeuwa watu 5,480 na kuuweka mvutano kati ya mataifa ya mashariki na magharibi katika hali mbaya kabisa kuwahi kushuhudiwa tokea kumalizika kwa Vita Baridi lakini mashaka yameendelea kuwepo baada ya kusambaratika kwa mpango wa makubaliano ya amani kama huo uliopita.
Viongozi wa waasi ambao mataifa ya magharibi wanawaona kuwa ni vibaraka wa Urusi wamesema makubaliano hayo mapya yanaleta matumani ya amani lakini wameonya kwamba hakutokuwa na mazungumzo zaidi iwapo makubaliano haya ya sasa yatashindwa.
Maneno muhimu Ukraine, Poroshenko, Obama.G7
Kiungo http://p.dw.com/p/1EbqK
| 2018-02-18T04:17:20 |
http://www.dw.com/sw/mapigano-yapamba-moto-ukraine/a-18258400
|
[
-1
] |
Bayern Munich, PSG robo fainali UEFA - BBC Swahili
Bayern Munich, PSG robo fainali UEFA
http://www.bbc.com/swahili/michezo/2015/03/150312_uefa_result
Image caption Bayern Munich siku walipopambana na AC Roma
Timu ya Bayern Munich ya Ujerumani na Paris St. Germain ya Ufaransa zimesonga mbele katika hatua ya robo fainali ya Michuano ya Klabu Bingwa barani Ulaya kufuatia matokeo waliyayapata usiku wa kuamkia leo.
Wakicheza kwa kujiamini Bayern Munich ilidhihirisha kuwa ni moto wa kuotea mbali katika mashandano hayo baada ya baada ya kuwapa kichapo cha mbwa mwizi wapinzani wao Shakhtar Donetsk ya Ukrine cha magoli 7- kwa mtungi.
Magoli ya Bayern Munich yalitiwa kimiani na Thomas Muller, Jerome Boateng ,Franck Ribery,Holger Bastuber, Robert Lewandowski na Mario Gotze.
Nayo Paris St. Germain ya Ufaransa imesonga mbele hatua ya robo fainali baada ya kuwaondoa Chelsea katika mashindano hayo japo timu hizo zilitoka sare ya magoli mawili kwa miwili lakini magoli ya ugenini iliyoyafunga hapo jana ndio yaliyowanufaisha Paris St. Germain.
Hivyo mshindi katika mechi hiyo ilibidi kupatikana katika dakika thelathini za nyongeza baada ya dakika tisini za kawaida kumalizika huku timu zote zikiwa zimefungana goli moja kwa moja.
Wakiwa na matumaini ya kuingia robo fainali Chelsea ndio waliokuwa wa kwanza kupata goli kupitia Gary Cahill katika 81 lakini Mlinzi wa zamani wa Chelsea David Luiz akafutilia ndoto hizo mbali baada ya kusawazisha goli hilo katika dakika ya 86.
Na hivyo hadi dakika 90 za kwanza zinamalizika Chelsea 1 na Paris St. Germain 1 na hivyo kulazimika kucheza dakika 30 nyingine ili kumpata mshindi.
Hata hivyo siku ya kufa nyani miti yote huteleza kwani mbali na Chelsea tena kuwa wa kwanza kupata goli kwa njia ya penalti kupitia kwa Eden Hazard katika dakika 96 na kufufua matumaini ya kusonga mbele, ndoto hizo tena zilifutiliwa mbali pale mlinzi mwingine wa Paris St. Germain Thiago Silva alipopachika goli liliisukumia moja kwa moja Chelsea nje ya mashindano hayo.
| 2017-12-17T00:46:45 |
http://www.bbc.com/swahili/michezo/2015/03/150312_uefa_result
|
[
-1
] |
Wakuu nina maswali.. | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Wakuu nina maswali..
Discussion in 'Mahusiano, mapenzi, urafiki' started by St. Paka Mweusi, Aug 7, 2011.
Katika yale mambo yetu ilinitokea mwenzangu kuwa ananihabarisha kila kinachoendelea,sababu sifa yake kuu ilikuwa ni kuongea kwa kulalamika wakati wa shughuli.Kilichonishangaza ni kuwa mwenzangu alinihabarisha mara nne kuwa nimemfikisha palipo kabla hata mimi sijamaliza awamu ya kwanza.Sasa ninajuliza inawezekana?Na kuna yeyote ambaye alishatokewa na hali hiyo?Au ilikuwa ni njia ya kuhakikisha kuwa mtakatifu anaibiwa vizuri?
Ulikuwa unaibiwa mchana kweupe. May be foreplay yako ilikuwa nzuri ila kama ilikuwa shallow na kakuambia hivyo mhh nina wasi wasi hapo
Ulikuwa unaibiwa mchana kweupe. May be foreplay yako ilikuwa nzuri ila kama ilikuwa shallow na kakuambia hivyo mhh nina wasi wasi hapoClick to expand...
Foreplay haikuwa nzuri sana ila kulikuwa na tatizo la Time factor.
Mkuu Invisible nakuona hapa chini,unasemaje kaka kwa hili?
Mh pole changa lamacho hilo
Asa asengekusifia ivyo ungempaje hela?
Hayo mambo tuachie sisi!
Katika yale mambo yetu ilinitokea mwenzangu kuwa ananihabarisha kila kinachoendelea,sababu sifa yake kuu ilikuwa ni kuongea kwa kulalamika wakati wa shughuli.Kilichonishangaza ni kuwa mwenzangu alinihabarisha mara nne kuwa nimemfikisha palipo kabla hata mimi sijamaliza awamu ya kwanza.Sasa ninajuliza inawezekana?Na kuna yeyote ambaye alishatokewa na hali hiyo?Au ilikuwa ni njia ya kuhakikisha kuwa mtakatifu anaibiwa vizuri?Click to expand...
beware of fake orgasms
Mhhhh fake, fake, fake.........mara nne cha kwanza tu?
Kuna Wanawake wana effect yan akiona dik ashajimaliza so ni kawaida
Mmm! huyu hata kudanganya hajua na hata kama alitoka jela basi mara nne hata haja vuta pumzi? alitaka pesa ya kwendea Twanga pepeta.
kuna wanawake jaman wana matatizo njoöni chuoni mpate courze
Inaonekana mkubwa ni mtaalam sana wa kuzigusa kuta za uke,ndio maana mwana mama anafikia kileleni mara nne, usimuache huyo, kuna wengine hata mara moja hatujawasikia kufika kileleni.Huyo kama ni mwizi basi ni mwizi mzuri......!!
Samahani wakuu nimerudi nilikuwa natazama Tomorrow never dies,sasa tuendelee
Mmm! huyu hata kudanganya hajua na hata kama alitoka jela basi mara nne hata haja vuta pumzi? alitaka pesa ya kwendea Twanga pepeta.Click to expand...
Lakini kaka mimi mwenyewe nina tatizo yaani first round chini ya dk 3o bado sijaimaliza na wakati mwingine inakwenda mpaka 45 dk na ndio maana nikaona nipate msaada kwa huyu mwenzangu.
HBO nao kwa marudio
Na vilevile nimeuliza wakuu,kama kuna yeyote ambaye alishatokewa na hali hiyo anisaidie....hii ni kwa jinsia zote.
HBO nao kwa marudioClick to expand...
Naomba unifafanulie hapo.
Lakini kaka mimi mwenyewe nina tatizo yaani first round chini ya dk 3o bado sijaimaliza na wakati mwingine inakwenda mpaka 45 dk na ndio maana nikaona nipate msaada kwa huyu mwenzangu.Click to expand...
Paka Mweusi, apart from hard drinks, do you take a 'spliff' or anything of that kind before mounting your bike?
There must be something unusual somewhere, au unavaa double protection? Hapa stimulation huwezi pata.
There must be something unusual somewhere, au unavaa double protection? Hapa stimulation huwezi pata.Click to expand...
Mkuu nimependa uchambuzi wako lakini kwa ufupi tu ni kuwa situmii kilevi cha aina yeyote na wala sipigi puff(ganja) na kwa bahati mbaya sana siku hiyo sikuvaa sox kabisa..
| 2017-07-21T01:10:35 |
https://www.jamiiforums.com/threads/wakuu-nina-maswali.161816/
|
[
-1
] |
AUBAMEYANG AMPIGIA DEBE WIZKID | Mtanzania
Home Burudani AUBAMEYANG AMPIGIA DEBE WIZKID
AUBAMEYANG AMPIGIA DEBE WIZKID
NYOTA wa soka kutoka klabu ya Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang, ameonekana kumpigia debe mkali wa muziki wa Afrobeat kutoka nchini Nigeria, Wizkid, baada ya kuvaa jezi yenye nembo yake ya Starboy.
Hivi karibuni msanii huyo alitangaza kufungua duka lake la nguo huko jijini Los Angeles nchini Marekani na kudai kuwa atafanya hivyo sehemu mbalimbali duniani ili aweze kuwafikia mashabiki zake.
Katika maduka hayo kutakuwa na baadhi ya nguo zenye nembo yake ya Starboy, ambazo kwa sasa zipo mitaani, lakini kupitia ukurasa wa Instagram wa Aubameyang raia wa nchini Gabon, aliposti picha akiwa amevaa jezi yenye nembo ya Starboy na kudai anamshukuru msanii huyo kwa kumpa jezi hiyo.
Mbali na mchezaji huyo kushukuru, lakini alikwenda mbali zaidi na kuwataka mashabiki zake kwenye mtandao huo wa Instagram wafuate linki ambayo aliiweka kwa wale ambao wanataka jezi hizo za Wizkid.
Previous articleFCC: TUNAELIMISHA WALAJI KUHAKIKISHA HAWAPOTEZI HAKI ZAO
Next articleJUSTIN BIEBER, HAILEY NDOA YAKARIBIA
| 2019-02-22T06:22:25 |
http://mtanzania.co.tz/aubameyang-ampigia-debe-wizkid/
|
[
-1
] |
38. Safari ya kijeshi dhidi ya Banuu Sulaym | Firqatu Nnajia
Baada ya siku saba yeye mwenyewe kwa nafsi yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akawashambulia Banuu Sulaym. Aliikaa huko kwa muda wa siku tatu kisha akarudi. Hakukutokea vita vyovyote. Wakati huo alimwacha Sibaa´ bin ´Urfutah kama khalifah huko al-Madiynah. Kuna maoni mengine yanayosema vilevile kwamba alikuwa ni Ibn Umm Maktuum.
38. Safari ya kijeshi dhidi ya Banuu Sulaym Baada ya siku saba yeye mwenyewe kwa nafsi yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akawashambulia Banuu Sulaym. Aliikaa huko kwa muda wa siku tatu kisha akarudi. Hakukutokea vita vyovyote. Wakati huo alimwacha Sibaa´ bin ´Urfutah kama khalifah huko al-Madiynah. Kuna maoni mengine yanayosema vilevile kwamba alikuwa ni Ibn Umm Maktuum. Mhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Kathiyr ad-Dimashqiy Mfasiri: Firqatunnajia.com Marejeo: al-Fusuwl fiy Siyrat-ir-Rasuwl, uk. 54 Imechapishwa: 10/10/2018 http://firqatunnajia.com/38-safari-ya-kijeshi-dhidi-ya-banuu-sulaym/
Previous: Maelezo ya Hadiyth “Hakika kila kitendo kinategemea na nia… “
Next: 39. Vita vya uji
| 2018-12-11T11:47:00 |
http://firqatunnajia.com/38-safari-ya-kijeshi-dhidi-ya-banuu-sulaym/
|
[
-1
] |
Hapa ndio kila kitu: AZAM YABANIWA NA AFRICAN LYON,WATOKA SULUHU SHAMBA LA BIBI JIONI YA LEO
AZAM YABANIWA NA AFRICAN LYON,WATOKA SULUHU SHAMBA LA BIBI JIONI YA LEO
KLABU Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, jioni ya leo imeshindwa kufungana na African Lyon katika mchezo wa kwanza wa raundi ya pili ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) uliofanyika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.
Azam FC iliingia kwenye mchezo huo ikiwa na mabadiliko makubwa baada ya kujumuishwa kikosini kwa wachezaji watano waliosajiliwa katika dirisha dogo la usajili, ambao ni beki Yakubu Mohammed, kiungo mkabaji Stephan Kingue Mpondo, winga Joseph Mahundi na washambuliaji Yahaya Mohammed, Samuel Afful.
Kipindi cha kwanza kasi ya mchezo ilionekana kuwa chini kwa pande zote mbili, lakini kama si uhodari wa kipa wa Africal Lyon, Youthe Rostand, wa kuokoa michomo huenda Azam FC ingemaliza kipindi hicho ikiwa imefunga mabao matatu kupitia kwa nahodha John Bocco, Afful na Yahaya.
Mabingwa hao wa Ngao Jamii, waliweza kucheza vema kipindi cha pili hasa baada ya kuingia viungo wawili Frank Domayo na Salum Abubakar ‘Sure Boy’ na kutoka Afful dakika 53 na Mahundi dakika ya 60, ambapo Azam FC ilionekana kupeleka mashambulizi mengi langoni mwa Lyon, ambao muda mwingi wa mchezo walikuwa wakicheza kwa kujihami.
Dakika ya 73, Yahaya alikaribia kuiandikia bao la uongozi wa Azam FC kama si shuti kali alilopiga kugonga mwamba na kuokolewa na mabeki, nyota huyo aliipata nafasi hiyo baada ya kutengenezewa pande safi na Bocco.
Mwamuzi wa mchezo huo alilazimika kuongeza dakika 11 za nyongeza kufuatia mchezo huo kusimama kwa takribani dakika saba kupisha kipa wa Lyon, Rostand kutibiwa ambaye alishindwa kuendelea na kukimbizwa hospitali baada ya kupata maumivu ya mbavu akiwa kwenye harakati za kuokoa shuti lililopigwa na Shomari Kapombe.
Hadi mpira unamalizika timu hizo ziliweza kutoka uwanjani zikiwa hazijaweza kufungana, matokeo ambayo yanaifanya Azam FC kufikisha jumla ya pointi 26 ikibakia nafasi ya tatu na kuzidiwa pointi 12 na Simba inayoongoza kwa pointi 38 huku nafasi ya pili ikishikwa na Yanga (36).
Mara baada ya mchezo huo, kikosi cha Azam FC kitapumzika kwa siku ya kesho kabla ya kurejea mazoezini keshokutwa Jumanne kujiandaa na mchezo ujao wa ligi dhidi ya Majimaji utakaofanyika Uwanja wa Majimaji mjini Songea, mkoani Ruvuma.
| 2017-09-21T03:13:01 |
http://heavytalio.blogspot.com/2016/12/azam-yabaniwa-na-african-lyonwatoka.html
|
[
-1
] |
“Tazama! Ninafanya Vitu Vyote Kuwa Vipya” (Ufunuo 21) | Mkaribie Mungu
Mnara wa Mlinzi | Desemba 2013
Je, unatamani kuwa na afya njema na kuishi muda mrefu wewe na familia yako? Je, unatamani kuishi kwenye ulimwengu usio na maumivu, mateso, na kifo? Jambo hilo linawezekana. Hivi karibuni kutakuwa na ulimwengu wenye uadilifu, kwa sababu Yehova Mungu ameahidi. Ona jinsi kusudi hilo litakavyotimia kama inavyoonyeshwa na andiko la Ufunuo 21:3-5.—Soma.
“[Mungu] atafuta kila chozi kutoka katika macho yao.” (Ufunuo 21:4) Mungu atafuta machozi ya aina gani? Si machozi ya furaha wala yale yanayosafisha macho yetu. Ahadi hiyo ya Mungu inazungumzia machozi yanayotokana na mateso na huzuni. Si kwamba Mungu atakausha tu machozi hayo bali atayafuta kabisa kwa kuondoa mambo yote yanayosababisha kilio, yaani, mateso na huzuni.
“Kifo hakitakuwapo tena.” (Ufunuo 21:4) Kifo ndicho chanzo kikuu cha machozi ya huzuni. Yehova atawakomboa wanadamu watiifu kutokana na utumwa wa kifo. Jinsi gani? Kwa kuondoa kisababishi kikuu cha kifo, yaani, dhambi tuliyorithi kutoka kwa Adamu. (Waroma 5:12) Yehova atawafanya wanadamu kuwa wakamilifu kwa msingi wa dhabihu ya fidia ya Yesu. * Kisha, adui wa mwisho, kifo, ‘ataangamizwa.’ (1 Wakorintho 15:26) Wanadamu waaminifu wataishi kama Mungu alivyokusudia, yaani, milele wakiwa na afya kamilifu.
“Wala maumivu hayatakuwapo tena.” (Ufunuo 21:4) Ni maumivu ya aina gani yatakayoondolewa? Maumivu yote ya kiakili, kihisia, na kimwili yanayosumbua mamilioni ya watu, ambayo yanatokana na dhambi na kutokamilika hayatakuwapo tena.
Hivi karibuni hakutakuwa tena na machozi, maumivu, wala kifo. Huenda ukauliza ‘Lakini itakuwa wapi?’ ‘Je, labda ahadi hiyo ya Mungu inahusu maisha ya mbinguni?’ Hapana. Fikiria sababu hizi. Kwanza, maneno yanayotangulia ahadi hiyo yanasema “hema la Mungu liko pamoja na wanadamu,” na wanadamu huishi duniani. (Ufunuo 21:3) Pili, ahadi hiyo inazungumzia ulimwengu ambao “kifo hakitakuwapo tena” yaani ulimwengu uliokuwa na kifo lakini hakipo tena. Mbinguni hakujawahi kuwa na kifo, lakini kimekuwapo kwa muda mrefu hapa duniani. Hivyo, ni wazi kwamba ahadi ya Mungu ya maisha bora itatimia hapa duniani..
Mungu atafuta machozi yote yanayosababishwa na mateso na huzuni
Yehova anataka tuamini ahadi yake ya kuleta ulimwengu wenye uadilifu. Baada tu ya kufafanua baraka zitakazokuja, anatuhakikishia hivi: “Tazama! Ninafanya vitu vyote kuwa vipya.” Kisha anaongezea hivi: “Maneno haya ni ya uaminifu na ya kweli.” (Ufunuo 21:5) Kwa nini usijifunze jinsi wewe na wapendwa wako mnavyoweza kuwa kati ya waabudu wenye furaha watakaoona ahadi ya Mungu ikitimia?
Usomaji wa Biblia unaopendekezwa mwezi wa Desemba
1 Petro 1-5; 2 Petro 1-3; 1 Yohana 1-5; 2 Yohana 1-13; 3 Yohana 1-14; Yuda 1-25–Ufunuo 1-22
^ fu. 5 Ili ujifunze mengi kuhusu dhabihu ya fidia ya Kristo, ona sura ya 5 ya kitabu Biblia Inafundisha Nini Hasa? kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova.
Desemba 2013 | Je, Tunamhitaji Mungu?
MNARA WA MLINZI Desemba 2013 | Je, Tunamhitaji Mungu?
https://assetsnffrgf-a.akamaihd.net/assets/a/wp/SW/20131201/wpub/wp_SW_20131201_lg.jpg
| 2017-07-26T03:57:37 |
https://www.jw.org/sw/machapisho/magazeti/wp20131201/kufanya-vitu-vyote-kuwa-vipya/
|
[
-1
] |
Makaliery TabbyM Stay in Truth: Njama ya mapinduzi yapikwa Guinea Bissau
Duru za jeshi la Guinea Bissau, Afrika Magharibi, zinaeleza kuwa watu waliokuwa na silaha wameuwawa kwenye shambulio dhidi ya kambi ya jeshi nje ya mji mkuu, Bissau.
Inaarifiwa mapambano yaliendelea kwa saa nzima.
Waandishi wa habari wanasema shambulio hilo lilofanywa usiku wa manane, litazidisha wasiwasi Guinea Bissau, ambako jeshi lilipindua serikali mwezi wa Aprili.
Fujo za mara-kwa-mara nchini Guinea Bissau zimeifanya nchi hiyo kuwa pahala pa kupitisha magendo ya mihadarati, baina ya Amerika Kusini na Ulaya.
| 2017-02-21T14:19:57 |
http://makaliery-t.blogspot.com/2012/10/njama-ya-mapinduzi-yapikwa-guinea-bissau.html
|
[
-1
] |
Shafiq Batambuze asaini miaka miwili na mabingwa wa Kenya.
Beki wa Kushoto wa zamani wa klabu ya Singida United Shafiq Batambuze amesaini miaka miwili kujiunga na Mabingwa wa SOka nchini kenya Gor Mahia. Shafiq Batambuze anachukua nafasi ya Mganda Mwenzake Godfrey Walusimbi ambaye alisajiliwa na Kaizer Chief ya Afrika Kusini. Batambuze Pia amewahi kucheza ligi ya Kenya kabla ya kujiunga na Singida United akicheza [&hellip
Published by admin on October 17, 2018 1:59 PM
Mourinho kwa Pogba: hakuna mchezaji mkubwa kuliko Man United.
Kocha wa Manchester United Jose Mourinho amethibitisha kuwa kiungo wake Paul Pogba atacheza kwenye mchezo wa kesho dhidi ya West ham ingawa amesisitiza hakuna mchezaji mkubwa zaidi ya klabu. Hii inakuja baada ya picha fupi ya video kusambaa siku ya Jumatano ikiwaonyesha wawili hao wasioiva katika chungu kimoja wakikwaruzana. Mourinho amesema ana mahusiano mazuri na [&hellip
Published by admin on September 29, 2018 9:07 AM
Published by admin on August 24, 2018 12:14 PM
Ligi Kuu Tanzania Bara kuanza bila mdhamini.
Bodi ya Ligi Tanzania Bara (TPLB) imesema msimu ujao wa Ligi Kuu Soka Tanzania Bara utaanza bila mdhamini mkuu wakati mipango ya kumpata mdhamini huyo ikiendelea kufanyika. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi, Boniface Wambura ligi itaanza Agosti 22, mwaka huu kama kawaida chini ya wadhamini ya wenza Azam TV na Benki ya KCB. [&hellip
Published by admin on August 16, 2018 9:35 AM
Barcelona yatwaa ubingwa wa Super Cup.
Klabu ya Barcelona, imetwaa ubingwa wa kombe la Super Cup,kwa kuifunga Sevilla kwa magoli 2-1 katika mchezo uliochezwa nchini Morocco. Sevilla ndio walianza kuzifumania nyavu za wapinzani wao kwa kufunga goli ka kuongoza katika dakika ya tisa ya mchezo kupitia kwa mchezaji wake Pablo Sarabia. Beki kisiki wa Barcelona, Gerald Pique, akasawazisha goli hilo katika [&hellip
Published by admin on August 14, 2018 9:46 AM
Yanga imemuaga Canavaro.
Klabu ya Yanga iliandaa mchezo wa majaribio dhidi ya timu ya Daraja la Kwanza Mawezi maalumu kwa ajili ya kumuaga mchezaji wao Nadir Haroub ‘Canavaro’. Canavaro aliyeitumikia Yanga zaidi ya miaka 10, amestaafishwa msimu huu na kupewa nafasi ya Meneja kwenye kikosi hicho na sasa jezi yake namba 23 na hatimye jezi hiyo aliikabidhi kwa [&hellip
Published by admin on August 14, 2018 8:15 AM
Uuzaji wa kipa Alisson kuelekea Liverpool hauonyeshi ukosefu wa tamaa , kulingana na mkurugenzi wa kandanda katika klabu ya Roma Monchi ambaye amekiri kwamba uhamisho wa mchezaji huyo wa Brazil ulikuwa mgumu kwa mashabiki kuelewa. Liverpool imeamua kumnunua kipa huyo kwa dau la £66.8m . Roma inasema kuwa Alisson tayari amewasili katika klabu hiyo ya [&hellip
Published by admin on July 20, 2018 7:58 AM
Azam FC Mabingwa Tena Kombe La Kagame Msimu Wa 2018, Baada Ya Kuichapa Simba 2-1 Uwanja. Wa Taifa.
Klabu ya Azam Fc imefanikiwa kutetea tena ubingwa wa Michuano ya Afrika Mashariki na Kati Maaarufu Kombe la Kagame baada ya kuwafunga Simba magoli 2-1 Mchezo uliomalizika katika uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam. Shabani Idd Chilunda ambaye ameibuka Mfungaji bora wa Michuano hiyo baada ya kupachika jumla ya magoli 8 alianza kuwanyanyua mashabiki [&hellip
Published by admin on July 14, 2018 8:17 AM
Croatia 1-2 England.
Mashabiki wa Croatia walisherehekea usiku kucha baada ya taifa lao kuwaondoa England kutoka kwa michuano ya Kombe la Dunia Urusi na kufuzu kwa fainali kwa mara yao ya kwanza kabisa, England waliomboleza. Croatia walipata ushindi wa 2-1 baada ya mechi kumalizika sare ya 1-1 muda wa ziada. Mashabiki walijaza uwanja ulio katikati mwa mji mkuu [&hellip
Published by admin on July 12, 2018 6:25 AM
Kombe la Dunia: Neymar aiondoa Mexico, Brazil yatua robo fainali.
Neymar hakuchelea kung’ara kwenye mechi iliyotabiriwa kuwa na uwezo wa kukatiza maazimio ya Brazil kuliinua Kombe la Dunia mara yao ya 6 . Nyota huyo amefanikiwa kuitingia timu yake Brazil 2-0 dhidi ya Mexico. Mexico iliwatatiza mabeki wa Brazil Neymar hakuwa na uoga mbele ya lango na kila alipoona mwanya, alifyatua kombora. Kufikia sasa Neymar [&hellip
Published by admin on July 3, 2018 8:52 AM
| 2020-02-25T16:02:16 |
http://www.ibn-tv.co.tz/sw/category/news/sports-news/
|
[
-1
] |
Ya Wageni kwa Yedikuyular | RayHaber
NyumbaniTURKEYPwani ya Mediterranean ya Kituruki46 KahramanmarasMwingi wa wageni wa Jedikuyular
Mwingi wa wageni wa Jedikuyular
21 / 01 / 2019 46 Kahramanmaras, Pwani ya Mediterranean ya Kituruki, GENERAL, TURKEY, TELPHER
Mtiririko wa wageni katika Kituo cha Yedikuyular Ski, kilichojengwa na Manispaa ya Metropolitan ya Kahramanmaraş, unaendelea.
Kituo cha Yedikuyular Ski, ambapo familia zilikumbwa wakati shule zinaingia likizo ya muhula, watu wanaendelea kuchunga kutoka mkoa na mkoa unaozunguka.
Kahramanmaraş iko katika eneo la umbali wa kilomita 13 ya kituo cha mji wa Kahramanmaraş, kituo cha kwanza na cha pekee cha mkoa, ambacho kina tofauti ya kuwa eneo la kwanza na la pekee la Yedikuyular. Watu kutoka Gaziantep, Şanlıurfa, Hatay, Adana, Osmaniye, Adıyaman. Wanafurahi kuja kutoa shukrani zao kwa wale ambao wamechangia.
Mita za 3 ambapo unene wa theluji hupata raia wa Yedikuyular ambao huenda katika mkoa huo, camellias wa Manispaa ya Kahramanmaraş katika mkoa huo, nyama za barbeque na sosi zinaweza kutumia muda kwa kupika na vifaa vya Kituo cha Kituo cha Yedikuyular.
Tünektepe TV za cable na Vifaa vya jamii
Kuongezeka kwa wageni kwenye makumbusho ya kituo cha Malıköy
Tnenektepe Teleferik imepata wageni katika tamasha hilo
Bursa Uludağ Sikukuu ya Wageni
Mshtuko wa Wageni Denizli Cable Car na Bağbaşı Plateau
| 2019-12-14T03:14:17 |
https://sw.rayhaber.com/2019/01/kula-chakula/
|
[
-1
] |
ROCKERSPORTS: Madalali wa Korti wakamata basi la TFF kisa deni la milioni 140
KWA MAWASILIANO ZAIDI TUMIA BARUA PEPE [email protected] AU TUPIGIE KUPITIA NAMBARI 0767166607 AU 0717166607. KARIBU SANA. 66666666607 AU 0717166607 Thursday, August 14, 2014
Madalali wa Korti wakamata basi la TFF kisa deni la milioni 140
Basi la Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania(TFF)
limekamatwa na madalali kwa amri ya mahakama kutokana na deni la sh milioni 140 ambazo TFF inapaswa kulipa kabla ya kurejeshewa basi hilo.
Amri hiyo imetokana na deni hilo la kampuni ya
Punchline ya Kenya iliyokuwa ikichapa tiketi za kuingilia uwanjani kuanzia
Mpaka kukumatwa kwa basi hilo ni kwamba TFF ilikuwa imekwisha kulipa sh. milioni 70 katika deni hilo.
Taarifa ya afisa habari na mawasiliano wa TFF Bonface Wambura imesema kuwa TFF inafanya Jitihada kumaliza deni hilo. Pia wanachunguza mwenendo mzima uliosababisha kuwepo deni hilo.
Tukio kama hilo liliwahi kutokea mwaka jana kama picha ya chini inavyoonekana Pichani juu ni picha iliyopigwa mwaka jana ambapo kutokana na deni la malimbikizo ya malipo ya makazi ya waamuzi katika hoteli ya SAFINA waliochezesha michuano ya Chalenji mwaka
2011, ilipelekea basi dogo la shirikisho la soka nchini TFF walilopewa na NMB kufungwa mnyororo ndani viunga vya uwanja wa kumbukumbu ya Karume ambapo deni hilo lilifikia zaidi ya shilingi milioni 51.
Breakdown ya kampuni ya Flamingo Auction Mart linatekeleza amri ya mahakama ya Kivukoni Kinondoni ya kukamtwa kwa mabasi mawili likiwemo moja kubwa lililotolewa na kampuni ya bia ya Kilimanjaro, deni hilo hatimaye lilimalizwa na sasa mahakama ina amrisha kukamatwa kwa basi kubwa kama ilivyo tolewa taarifa na msemaji wa TFF Bonface Wambura.
| 2017-06-27T12:21:28 |
http://rockersports.blogspot.com/2014/08/madalali-wa-korti-wakamata-mabasi-ya.html
|
[
-1
] |
UZINDUZI WA TAMASHA LA KUOMBEA AMANI TAIFA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU KUFANYIKA OKTOBA 4, 2015 UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR ES SALAAM | BUKOBA WADAU
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion, waandaaji wa matamasha mbalimbali kama lile la Krismas na Pasaka, Alex Msama (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es Salaam leo asubuhi kuhusu uzinduzi wa Tamasha la kuliombea Taifa kuelekea ucahguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu utakaofanyika Oktoba 4, 2015 Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
| 2018-01-17T13:06:11 |
http://www.bukoba-wadau.com/2015/08/uzinduzi-wa-tamasha-la-kuombea-amani.html
|
[
-1
] |
Taarifa kwa vyombo vya habari (uchomaji mabanda moto zanzibar) | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Taarifa kwa vyombo vya habari (uchomaji mabanda moto zanzibar)
Suala la tukio la pwani mchangani la kuchomwa moto mambanda ya wafanya biashara linapotoshwa kwa makusudi na watu wasioitakia Zanzibar kheri.
Sikweli kama mabanda hayo yaliochomwa ni 70. kama livyoripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari, idadi ni 29.
Wamiliki wa mabanda hayo si wabara kama inavyo elezwa 27 ni ya wazanzibar na mawili tu ndio ya wabara.
Sikweli kua tukio hilo ni la kisiasa bali ni la kijamii baada ya malalamiko ya wananchi kulalamika kutokana na vitendo vya ubakaji,umalaya,ulevi,mauaji, biashara ya unga,
Si suala la kuvunja muungano kwani baada ya malalamiko hayo na kuthibitishwa na vyombo husika serikali za mitaa iliwataka wafanya biashara hao kuondoka katika eneo hilo ifikapo tarehe 01/05/2011 wawe wameondoka katika eneo hilo sasa je serekali za mitaa zilitaka kufunja muungano?
Sikweli kuwa wabara wanafukuzwa au kunyanyaswa Zanzibar ,wapo wafanya biashara wengi mji mkongwe marikiti wauza njugu,wanaofanya kazi mashambani za kulima mbona hawa hawajabughudhiwa?
Jibu hawajafanya vitendo au biashara za uhuni unga,ulevi, nk.Na hii hoja ya kuwa wazanzibari wapo bara mbona habughudhiwi suala ni wazanzibar gain wanaofanya biashara ya ulevi,unga ubakaji,ukahaba,halafu serikali ikawaachia kwa kisingizio cha muungano?
Suala nani kachoma na kwanini kachoma liko mahakamini tuiwachie mahakama iamumuwe kwa mujibu wa sheria.
Masikitiko yetu makubwa na yenye masuala mengi bila jawabu ni kauli ya waziri wa mambo ya ndani mh:Shamsi Vuai Nahodha kukurupaka na kuwa hawa waliochoma ni wahalifu ,wanataka kufunja muungano na yeye kama waziri atahakikisha waliohusuka wanachukuliwa hatua. Sasa suala kuhusu hawa wafanya biashara kharamu,ambao wanachi na vyombo vya serikali vimeamua wahame,je mbona hawa hakutaja sababu zilizopelekea kupewa amri ya kuhama?
Kumeanza kujitokeza watu kutaka kujenga fitna ili wazanzibar wanze chuki na viongozi wao na kuidhofisha serikali na kuirejesha nchi ya Zanzibar katika matatizo yale ya nyuma.
Kwa miaka 46.kuanzia mwaka 1961 hadi mwaka 2005, Zanzibar imeshaingia katika chaguzi sita zinazohusisha vyama vingi vya siasa, lakini matokeo ya chaguzi zote hizo ni kudhalilika kwa waislamu,dini yao na utamaduni wao.
Hakuna uchaguzi wowote wa vyama vingi ambao umepita Zanzibar, bila ya kuwacha athari mbaya kwa wazanzibari.matokeo yake ni kuwa kila uchaguzi mmoja unapofanyika huwa msingi umechimbwa kwa jengo la mateso na mfarakano kwa uchaguzi ujao.
Uchaguzi wa 1995 uliofanyika baada ya miaka zaidi ya 30 tangu mapinduzi ya 1964 na kufutwa kwa vyama vingi,haukupunguza chochote katika madhila ya waislamu wa Zanzibar,isipokuwa kuongeza. Fitina ya upemba na uunguja ilipaliliwa na taasisi za dola na matokeo yake yakawa ni kuwafanya waislamu wan chi hii waangaliane kwa misingi ya maeneo wanayotoka na sio kwa Mungu Mmoja wa Haki wanayemuuamini na kumuuabudu. Badala ya kusimama na kalima tukufu ya laa ilaah illallah,muhamadarasuulullah, waislamu wa Zanzibar wakawa wanasimama na kauli za upemba na uunguja,uarabu na uafrika na ubwana na utumwa!
Uchaguzi wa mwaka 2000 na 2005 mambo yakawa ni yale yale. Tena majeshi yakamwagwa mitaani yakiwa na silaha za kivita. Rais wa wakati huo wa Tanzania, ambaye ni Amiri jeshi mkuu,Benjamin mkapa, alipoulizwa na waandishi wa habari sababu za kupeleka majeshi na vifaru Zanzibar,naye aliwauliza kulikuwa na sababu gain kwa wamarekani kupeleka wanajeshi iraq. Kwa hivyo nchi ya waislamu ya Zanzibar ikawa imevamiwa na majeshi ya kigeni kama vile iraq ilivyokuwa imevamiwa na marekani. Matokeo yake ikawa ni muendelezo wa kile Rais Jakaya kikwete alichokuja kukiita "mpasuko" wa Zanzibar .
Hata baada ya matokeo ya chaguzi hizo na matokeo kutangazwa, waislamu wakawa wakifuatwa majumbani na misikitini kupingwa na kudhalilishwa kupita kiasi. Matokeo yake, makundi ya vijana wa kiislamu wakaanza kuhama visiwa hivi na kukimbilia ughaibuni,ambako wameselelea hadi leo. Miongoni mwa athari za vijana hao wa kiislamu wa kizanzibari kuselelea ugenini ni kupoteza kwa maadili ya dini yao na hivyo kuudhoofisha Uislamu.
Kwetu sisi huu ni mpasuko baina ya Waislamu, ambao mashiko yake hayako katika uislamu lakini athari zake zinawapata waislamu wa Zanzibar, tunaamini kwamba Zanzibar inapigwa vita kwa sababu ya Uislamu wake.
Tukumbuke kulijitokeza taasisi za kigeni jumuiya ya madola na pia kamati ya vyama vya siasa vyote vilishidwa kuziba mpasuko huo.hii imetokana na wengine hawakuwa na nia nzuri na Zanzibar.
Sasa kumeanza kujitokeza watu kutaka kuidhofisha juhudi hii yote kwa kisingizio cha kuwa serikali iliyopo haina la maana.na kuanza kuwakashfu viongozi wa juu kuwa waregevu. Hawa tunawahisabu ni maaduwi wa Zanzibar . Na upo wasisiwasi kuwa baadhi ya viongozi wa bara hawakupendezewa na hali hii na wengine wakataka kuwafurahisha kwa vitendo na kauli ili waonekane wao wema, au bora kuliko wengine. Na hii imetutia wasiwasi zaidi baada ya afisa wa ubalozi wa marekani alioko Zanzibar kuanza kupita kuhoji watu kuhusu uwoni juu ya serikali na tukio la pwani mchangani. Hatua ya afisa huyu, inaweza kusababisha mgawanyiko, tuko macho na hatua za ya afisa huyo, na tukibaini kuna uchochezi au fitna hatuto weza kumvumlia.
Tunatamka wazi hatuko tayari kumnyamazia kiongozi au yoyote awe wa nje au ndani kutaka kuleta fitna na mgawanyiko miongini mwetu
Suala la ugumu wa maisha kupanda kwa bei bidhaa,bserikali inalielewa na tunaamini Rais wa Zanzibar na baraza lake wako makini kulitafutia ufumbuzi, huku tukiamini mabadiliko yatapatikana.
Kumekuwa na kauli nyingi tokea kamati ya bunge kuja Zanzibar , kukusanya maoni kuhusuru rasimu ya marekebisho ya katiba. Na wazanzibar wakaonesha msimamo wao kuhusu mustakbal wa nchi yao , na kuukataa mswada huo, imekuwa ni kosa mpaka viongozi wa Dini wakaitwa wahuni.
Mengi yamesemwa na hoja mbali mbali zinatolewa kulazimisha wazanzibari kukubali Muungano, tunasema miaka 47 ya Muungano huu umedumu kwa heshima na ustahamilivu wa wazanzibar, na kwa muda wote wamezibwa watu mdomo kuhoji au kukosowa kuhusu Muungano. Tunasema karne hizo zimekwisha.
Nasaha zetu iko haja kujadiliwa upya muungano na pande zote mbili na kushauriwa watanganyika na wazanzibar kuhusu mfumo wa muungano wanaoutaka. Kinyume na hivyo kunaweza kukazuka mgogoro mkubwa na unaoweza kuleta uvunjifu wa amani
Tunatowa wito kwa serikali ya Zanzibar kulitatuwa tatizo la wafanya biashara wa jua kali ambao kwa muda wa miezi mine maduka yao yamefungwa, ingawa shauri lao lipo mahakamani. Serikali ifikirie njia ya kuwaokowa wafanya biashara hao ili kuondosha dhana potofu na maaduwi wakapata njia ya kuitia sumu jamii.
NAIBU AMIRI (JUMIKI) - 0 people likes
SASA nyie taasisi ya Dini mnahusikaje, au inakuwaje muwajibike kutoa hii ripoti...
au mlihusika? haya ni mambo ya kiutawala, viachiwe vyombo husika, kama polisi na mahakama vishughulikie..
Kulingana na hayo yaliyoandikwa, hao jamaa wao ni kila kitu. Watafiti, wanasiasa, mahakama na kila kitu.
[*]Sikweli kama mabanda hayo yaliochomwa ni 70. kama livyoripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari, idadi ni 29.
[*]Wamiliki wa mabanda hayo si wabara kama inavyo elezwa 27 ni ya wazanzibar na mawili tu ndio ya wabara.
[*]Sikweli kua tukio hilo ni la kisiasa bali ni la kijamii baada ya malalamiko ya wananchi kulalamika kutokana na vitendo vya ubakaji,umalaya,ulevi,mauaji, biashara ya unga,(Hao wabara ndio walikuwa wakifanya haya yote,tena peke yao?? au?)
ulevi,unga ubakaji,ukahaba,halafu serikali ikawaachia kwa kisingizio cha muungano?
[*]Suala nani kachoma na kwanini kachoma liko mahakamini tuiwachie mahakama iamumuwe kwa mujibu wa sheria.
Masikitiko yetu makubwa na yenye masuala mengi bila jawabu ni kauli ya waziri wa mambo ya ndani mh:Shamsi Vuai Nahodha kukurupaka na kuwa hawa waliochoma ni wahalifu (Kama hawakuwa wahalifu, waitwe nani? Mashujaa? au) Kauli za Mh:Nahodha zimewachukiza waislamu na wazanzibar na wameanza Kumtafsiri kuwa ni miongoni mwa wasioitakia mema Zanzibar .Click to expand...
Nyie mna issue nyingi sana kuliko tunavyofikiri...
Nimesikitishwa na kauli yenu kama taasisi ya kidini kuwaona wabara kama ni watenda dhambi kuliko wazanzibar. Mnataka kutuambia wabwia unga, malaya (makahaba) na mashoga, wote ni wabara?? na je wanayafanya hao peke yao kama wabara bila kushirikiana na wazinzabar...
na nyie kama taasisi ya kidini kwa nini msiwahuburie wabadilike, kuliko kuwachomea mabanda yao..Mngewaua basi, tujue moja..
Nia yenu ni kuitangaza Zanzibar kama Islamic state, ni bora mfanye hivyo kuliko kuzunguka point..
Pia mnatudhalilisha 'wabara' kwa kauli zenu chafu za kutuona sisi ni watenda dhambi sana..
Ahsante kwa habari za upande wa wachomaji, lakini jifunzeni kutuhumu na si kuhukumu.
Mbona hawajasema kwa nini JK ameipongeza Marekani kwa kumuua Sheikh Osama
is zanzibar an Official Islamic Republic !!???
These Zanzibaris want to eat their cake and still have it!! Haiwezekani!
JUMUIYA YA UAMSHO NA MIHADHARA YA KIISLAMUClick to expand...
Kwani hii jumuiya inatoa tamko kama nani au kwa niaba ya nani?
Hii inatoa tamko kama nijumiya ya waislamu zanzibar kwa kuwakilisha wanachi kama ni organization ambayo isiyo ya kiserikali na inapambana na mabo ya kijamii,zanzbar asimilia 99 ni waislamu fahamu hilo. Tunawaheshimu sana hawa vongozi wetu.
Kwani hii jumuiya inatoa tamko kama nani au kwa niaba ya nani?Click to expand...
au mlihusika? haya ni mambo ya kiutawala, viachiwe vyombo husika, kama polisi na mahakama vishughulikie..Click to expand...
Sasa hii LHRC ni chombo cha kiutawala au vipi? JUMIKI ni Taasisi iliosajiliwa rasmi na ina haki ya kutoa maoni yake. Huo ni uhuru wao wa Kikatiba (yetu, sijui yenu).
UPUUZI MTUPU!↲
Uchaguzi wa mwaka 2000 na 2005 mambo yakawa ni yale yale. Tena majeshi yakamwagwa mitaani yakiwa na silaha za kivita. Rais wa wakati huo wa Tanzania, ambaye ni Amiri jeshi mkuu,Benjamin mkapa, alipoulizwa na waandishi wa habari sababu za kupeleka majeshi na vifaru Zanzibar,naye aliwauliza kulikuwa na sababu gain kwa wamarekani kupeleka wanajeshi iraq. Kwa hivyo nchi ya waislamu ya Zanzibar ikawa imevamiwa na majeshi ya kigeni kama vile iraq ilivyokuwa imevamiwa na marekani. Matokeo yake ikawa ni muendelezo wa kile Rais Jakaya kikwete alichokuja kukiita mpasuko wa Zanzibar .
Sasa kumeanza kujitokeza watu kutaka kuidhofisha juhudi hii yote kwa kisingizio cha kuwa serikali iliyopo haina la maana.na kuanza kuwakashfu viongozi wa juu kuwa waregevu. Hawa tunawahisabu ni maaduwi wa Zanzibar . Na upo wasisiwasi kuwa baClick to expand...
Sasa hii LHRC ni chombo cha kiutawala au vipi? JUMIKI ni Taasisi iliosajiliwa rasmi na ina haki ya kutoa maoni yake. Huo ni uhuru wao wa Kikatiba (yetu, sijui yenu).Click to expand...
Uhuru wenu ndo unawafanya muwatukane 'wabara' (watanganyika)??? Mmesajiliwa kama taaisisi ya kidini au ya kijamii?
Yaani nyie wazanzibari mnajichanganya wenyewe tu
Yaani nyie wazanzibari mnajichanganya wenyewe tuClick to expand...
Watanganyika wametukanwa wapi na nani?
Hao Jumiki wangetusaidia kutueleza, ni mafundisho yepi katika uislamu yanaruhusu Raia kujichukulia sheria mkononi bila kufuata mamlaka ya nchi?.
Watueleze tujifunze, ni mafundisho gani ya uislamu yanaruhusu kuharibu mali ya "mkosaji", bila ya kuleta mashahidi, na kesi mbele ya "kadhi" au mamlaka ya sheria?, maana hata huo uzinifu lazima ulete mashahidi wanne ati!.
Hao Jumiki wanaleta Siasa mbele ya mambo ya kisheria, nadhani hao si wa kuwatilia maanani katika suala hili.
Sheria ichukue mkondo wake, na Wazanzibari waache Ubaguzi!.
Nakuunga mkono mkuu, kwakuwa 99% ni waislam hakuna haja ya kutii mamlaka ya kiserikali, mtu akifanya ndivyosivyo anaadhibiwa mara moja na al-shabab kwa maagizo ya kiongozi wa kiislam. Nashangaa kwanini serikali inapoteza pesa nyingi kuchagua viongozi wakati watu hawawatii. Nashauri viongozi wote wa kisiasa na kiserikali waondolewe wabaki mashehe na maimam waongoze nchi.
Hii inatoa tamko kama nijumiya ya waislamu zanzibar kwa kuwakilisha wanachi kama ni organization ambayo isiyo ya kiserikali na inapambana na mabo ya kijamii,zanzbar asimilia 99 ni waislamu fahamu hilo. Tunawaheshimu sana hawa vongozi wetu.Click to expand...
Ingelikuwa vizuri iwe islammic state,,,,Nyerere alitupindua mwaka 1964 alihofia zanzibar kuinuka kiunchumi,na kuona choyo kabisa,pia kuwa ni islamic state katika east africa mashariki,na nyerere alikuwa mkatoliki,ilikuwa ni zamira zake ku distory uislamu east africa mashariki,ikiwa sehemu hizo , zanzibar na ilikuwa uganda wakati wa eddi amini,usilamu ulitanda katika nchi ya uganda kabla nyerere hakupindua serikali ya eddi amini.
Nakuunga mkono mkuu, kwakuwa 99% ni waislam hakuna haja ya kutii mamlaka ya kiserikali, mtu akifanya ndivyosivyo anaadhibiwa mara moja na al-shabab kwa maagizo ya kiongozi wa kiislam. Nashangaa kwanini serikali inapoteza pesa nyingi kuchagua viongozi wakati watu hawawatii. Nashauri viongozi wote wa kisiasa na kiserikali waondolewe wabaki mashehe na maimam waongoze nchi.Click to expand...
Watanganyika wametukanwa wapi na nani?Click to expand...
Ina maana wewe hujasoma hiyo habari hapo juu??
Sheria ichukue mkondo wake, na Wazanzibari waache Ubaguzi!.Click to expand...
Na hilo la kutaka Sheria ichukue mkondo wake ndio JUMIKI inalotaka lifanyike na sio nyinyi kuanza kupandikiza chuki.
JUMIKI inatahadharisha, isitolewe hukumu kabla uchunguzi kamili kufanyika.
Pili kuwaonya viongozi wa kisiasa kutoa hukumu wakati kesi iko Mahkamani.(refer matamshi ya Makamo wa Pili wa Rais na Waziri wa Mambo ya Ndani).
Au mkitaka mpate nafasi ya kuwavunjia maduka hao mnaowaita Wapemba mpate kuwaibia?
Angaieni sana, msije mkakosa pa kukopa tu.
ingelikuwa vizuri iwe islammic state,,,,nyerere alitupindua mwaka 1964 alihofia zanzibar kuinuka kiunchumi,na kuona choyo kabisa,pia kuwa ni islamic state katika east africa mashariki,na nyerere alikuwa mkatoliki,ilikuwa ni zamira zake ku distory uislamu east africa mashariki,ikiwa sehemu hizo , zanzibar na ilikuwa uganda wakati wa eddi amini,usilamu ulitanda katika nchi ya uganda kabla nyerere hakupindua serikali ya eddi amini.Click to expand...
duh, ilim madrasa kaaaz kwel kwel
| 2016-12-05T08:58:55 |
http://www.jamiiforums.com/threads/taarifa-kwa-vyombo-vya-habari-uchomaji-mabanda-moto-zanzibar.137636/
|
[
-1
] |
MKWASA AWACHIMBA MKWARA MAFARAO | BOIPLUS Blogspot
» MKWASA AWACHIMBA MKWARA MAFARAO
MKWASA AWACHIMBA MKWARA MAFARAO
KOCHA Mkuu wa Taifa Stars, Charles Boniface Mkwasa amesema kwamba mchezo ujao dhidi ya Mapharao wa Misri utakuwa ni fainali ya kuamua taifa litakalofuzu katika fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) mwakani kutoka kundi G.
Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumalizika kwa mechi yao ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Harambee Stars uliofanyika jana Uwanja wa Moi Kasarani, Mkwasa alisema kuwa anaamini kwamba Misri wamekuwa wakiwafuatilia kila hatua.
"Najua Misri wanatufuatilia. Na hata Kenya kwa siku zote tatu ilikuwa hivyo hivyo. Najua Misri wanahitaji sare ili wafuzu kwa fainali hizi lakini hawataipata Tanzania," alisema Mkwasa ambaye timu yake itacheza na Misri Jumamosi uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam. Misri wana pointi saba, Taifa Stars ina pointi moja na hivyo wa kuibania au kupindua matokeo ya Misri isiende AFCON mwakani basi ni Stars hasa kama itawafunga Mapharao hao kabla ya kwenda kucheza na Nigeria Septemba.
"Kama nilivyosema, Misri wanakuja wanahitaji pointi moja. Lakini sisi tunahitaji pointi tatu. Mchezo wa leo unatosha kuona mapungufu (upungufu). Maana ilikuwa mechi ngumu iliyojaa nyota wote wa Kenya ambao ni professionals, lakini mimi nilikuwa na 'local based players' na matokeo yamekuwa hayo.
"Tulianza kufunga bao, lakini wakarudisha. Bora mchezo umeishia hivi maana najua Wakenya hawana uvumilivu, tungewafunga hapa sijui kama tungetoka salama, hawatafanikiwa kwa sababu soka ni mchezo wenye mifumo tofauti. Hivyo tulivyocheza na Kenya sivyo nitakavyocheza na Misri, nitakuwa na mfumo tofauti," alisema na kuongeza.
"Bado tunaendelea kujenga timu yetu, wengi ni vijana kama mlivyoona na wengine ni mara ya kwanza wanacheza. Nimewapa nafasi na mmeona uwezo wao, bila shaka tutafanya vema maana wengine ni U-21 wako kwenye kikosi. Huko mbele tutakuwa na timu nzuri," alisema Mkwasa akimtolea mfano Shiza Ramadhani ambaye alipewa nafasi kwa mara ya kwanza katika kikosi cha kwanza akichukua winga ya kulia.
"Unasema hamkuwa na mchezaji wa kulipwa katika mechi hii, basi mna kikosi kizuri. Wengi ni vijana, wanaweza kama mkicheza kwa kubana kama mlivyotubana hapa, Misri mnaifunga na hata hao Nigeria, si ajabu nikasikia mnakwenda AFCON mwakani. Ninaitakia kila la kheri timu hii na Watanzania katika harakati zao. Sisi mwaka huu tumepotea kabisa, hatuna matumaini tena, tunajipanga ndiyo maana nimekuja kutetea taifa langu, hata kama tumekosa nafasi," alisema Wanyama anayekipiga Southampton ya England.
Katika mchezo huo, Taifa Stars iliwakosa nyota wake Mbwana Samatta anayechezea Genk ya Ubelgiji kwa kuwa alikuwa na mchezo muhimu wa kuwania kufuzu fainali za ligi ya Europa ngazi ya klabu Ulaya pamoja na Thomas Ulimwengu anayekipiga TP Mazembe waliokuwa na mchezo mkali dhidi ya AS Vita.
Naye nahodha wa Taifa Stars katika mchezo huo, Mwinyi Kazimoto alisema kwamba mchezo dhidi ya Kenya, umeonyesha picha ya kinachotakiwa kufanyika katika michezo ijayo inayoikabili timu hiyo baada ya kusifu maandalizi, mapokezi mazuri na sapoti kutoka kwa mashabiki wa Kitanzania, hasa wale waliosafiri umbali mrefu kutoka Dar es Salaam kwenda Nairobi, Kenya kuishangilia Stars. Posted by
| 2016-12-05T18:34:02 |
http://boiplus.blogspot.com/2016/05/mkwasa-awachimba-mkwara-mafarao.html
|
[
-1
] |
array(0) { } Radio Maisha | Wakazi wa Eastleigh na Oldtown waonywa dhidi ya kupuuza maruku ya kutoka na kuingia humo
Wakazi wa mitaa ya Eastleigh Nairobi na old Town Mombasa wameonya vikali dhidi ya kupuuza marufuku ya kutotoka na kuingia kwenye mitaa hiyo.
Katibu Mkuu wa Utawala katika Wizara ya Afya Dakta Rashid Aman amesikitika kwamba licha ya kuanza kutekelezwa kwa marufuku hayo wakazi wa Eastleigh wameonekana wakijaribu kutumia njia za mikato na kuingia kwenye mitaa jirani.
Rashid amesema iwapo Wakenya wataendelea kupuuza maagizo hayo basi huenda ikawa vigumu kudhibiti maambukizi ya korona kutokana na hali kwamba waathiriwa wengine hawaoneshi dalili za virusi hivyo. Amewahimiza Wakenya kuwaripoti wanaokwepa kutoka mitaa ya Eastleigh na Oldtown ili wakabiliwe kwa mujibu wa sheria.
Leo hii maafisa wa usalama wameimarisha doria mtaani humo kuhakikisha hakuna anayeingia wala kutoka. Kumekuwapo na vizuizi kumi na kimoja vya barabarani kwenye ameneo ya kuingilia na kutoka mtaani Eastleigh, hasa kwenye idadi kubwa ya watu.
Vizuizi viko kwenye eneo la Duka kuu Rikana na St Theresa Barabara hizi huunganisha mtaa wa Eastleigh na Shauri Moyo, Makongeni na Pangani .
Kulikuwa na kizuizi kwenue barabara ya Waruinge , Mzunguko wa Kariokor r, Hospitali ya Kina mama kujifungua ya Pumwani Mna mzunguko wa Medina Mall.
RELATED TOPICS: KORONAMARUFUKUONYO
| 2020-07-07T17:00:50 |
https://www.standardmedia.co.ke/radiomaisha/news/2001370518/wakazi-wa-eastleigh-na-oldtown-waonywa-dhidi-ya-kupuuza-maruku-ya-kutoka-na-kuingia-humo
|
[
-1
] |
Tume ya Usalama - Tume inakaribisha kupitishwa kwa hatua mpya za kukanusha magaidi na wahalifu njia na nafasi ya kutenda - EU Reporter: EU Reporter
Bunge la Ulaya limepitisha mipango miwili muhimu ya Umoja wa Usalama iliyopendekezwa na Tume ya driftskompatibilitet na watangulizi wa kulipuka. Hatua hizi mpya zitaruhusu mifumo ya habari ya EU kwa usalama, uhamiaji na usimamizi wa mpakani kufanya kazi pamoja kwa akili zaidi na itaimarisha sheria za EU juu ya watangulizi wa kulipuka.
Uhamiaji, Mambo ya Ndani na Kamishna wa Uraia Dimitris Avramopoulos alisema: "Umoja wa Usalama unaendelea kwa kasi na zana nyingi, vitendo na sheria zinazowekwa ili kulinda wananchi wetu kwa mipaka yote. Ninakaribisha kwamba Bunge la Ulaya limetoa mwanga wake wa mwisho wa kijani leo ili kuhakikisha kwamba mifumo yetu yote ya habari inaweza kuzungumza na kwamba magaidi na wahalifu hawawezi tena mikono yao juu ya kemikali za hatari ili kuzalisha mabomu ya kibinafsi. Hii ni Ulaya bora. Hii ni Ulaya ambayo inalinda. "
Kamishna wa Usalama wa Umoja wa Ulaya Julian King alisema: "Vipindi hivi vinaashiria jambo muhimu zaidi katika kazi yetu kuelekea Umoja wa Usalama wa kweli na wa kweli. Uingiliano utasaidia wale wanaofanya kazi mbele ili kuweka raia wa EU salama - kuhakikisha polisi na walinzi wa mpaka wanapata ufanisi wa habari wanayohitaji, ikiwa ni pamoja na kupambana na udanganyifu wa utambulisho, huwawezesha kufanya kazi zao vizuri. Na sheria mpya juu ya waandamanazi wa kupuka ni sehemu muhimu ya kazi yetu katika kufungua nafasi ambayo magaidi wanafanya, wakiwazuia kupata upatikanaji wa njia wanazotumia kuumiza. "
Bora kulinda wananchi wa Ulaya imekuwa kipaumbele cha kisiasa tangu mwanzo wa mamlaka ya Tume ya Juncker - kutoka kwa Rais Mwongozo wa Kisiasa wa Juncker wa Julai 2014 karibuni Anwani ya Umoja wa Umoja wa 12 Septemba 2018. Hatua zilizopitishwa zitapunguza kasi juhudi zinazoendelea katika ngazi ya EU ili kuboresha usalama wa ndani na kufungua nafasi ambapo wahalifu na magaidi wanafanya kazi.
Mpangilio wa ushirikiano utakuwa:
Piga data iliyopo kwa click moja kupitia Hifadhi ya utafutaji ya Ulaya: Walinzi wa mipaka na polisi, kwa skrini moja, wanaweza kutekeleza na kuchunguza nyaraka za utambulisho dhidi ya mifumo yote ya habari ya EU husika, kulingana na haki zao za kupatikana zilizopo;
Bora kuchunguza udanganyifu wa utambulisho: Walinzi wa mipaka na polisi hivi karibuni wataweza kutambua wahalifu hatari kwa urahisi kwa njia ya huduma inayolingana ya biometri ambayo itatumia picha za vidole na picha za usoni ili kutafuta mifumo ya habari zilizopo, na kwa njia ya kitambulisho cha utambulisho cha kawaida ambacho kitahifadhi data ya kijiografia ya wananchi wasio EU . Kwa kuongeza, detector ya utambulisho nyingi itashughulikia na mara moja itabiri mtu yeyote ambaye anatumia utambulisho wa ulaghai au nyingi;
Kulinda haki za msingi: Ushirikiano haubadili sheria juu ya upatikanaji na madhumuni ya upungufu yanayohusiana na mifumo ya habari ya EU. Kwa hiyo haki za msingi zinabaki kulindwa.
Wakati EU tayari ina sheria kali zilizopo juu ya upatikanaji wa watangulizi wa kemikali ambayo inaweza kutumika kuzalisha mabomu ya kibinafsi, kanuni ya kuimarisha itakuwa:
Piga kemikali za ziada: Orodha ya vitu vikwazo imesasishwa ili kuingiza asidi ya sulfuriki, kiungo katika mabomu yaliyotumiwa katika shambulio la uwanja wa ndege na barabara kuu ya Brussels mwezi Machi 2016, pamoja na nitrati ya amonia.
Kuimarisha leseni na uchunguzi: Kabla ya kutoa leseni kwa mwanachama wa umma kwa ajili ya kununua vitu vikwazo, kila Nchi ya Mwanachama itahitaji kuangalia uhalali wa ombi kama hilo na kufanya uchunguzi wa usalama kwa makini, ikiwa ni pamoja na ukaguzi wa historia ya makosa ya jinai.
Halmashauri ya sasa inapaswa kupitisha maandiko ya Kanuni mbili mpya zinazoanzisha mfumo wa ushirikiano wa mifumo ya habari ya EU kwa usimamizi wa usalama, mipaka na uhamiaji, pamoja na Kanuni ya kuimarisha juu ya uuzaji na matumizi ya watangulizi wa mabomu. Maandiko hayo yatakuwa saini iliyoshirikishwa na Rais wa Bunge la Ulaya na Urais wa Mzunguko wa Halmashauri, iliyochapishwa katika Jarida rasmi na utaingia katika nguvu siku ishirini baadaye.
Udhibiti wa watangulizi wa mabomu utatumika mara moja. Sheria ya ushirikiano itawezesha eu-LISA kuanza kuendeleza na kuondokana na vipengele vya kiufundi kwa mifumo husika ya IT. Hizi zinajumuisha Mfumo wa Habari wa Schengen (SIS) ulioimarishwa, Mfumo wa Habari wa Visa (Visa), Mfumo wa Habari wa Taarifa za Uhalifu wa Ulaya (ECRIS-TCN), Mfumo wa Kuingia na Utoaji wa EU (EES) na Mfumo wa Taarifa za Usafiri na Ulaya ETIAS). Kazi inatarajiwa kukamilika na 2023.
Tume ya Juncker imetanguliza usalama kutoka siku moja. Agenda ya Ulaya juu ya Usalama huongoza kazi ya Tume katika eneo hili, kuweka hatua kuu ili kuhakikisha majibu ya EU yenye ufanisi dhidi ya ugaidi na vitisho vya usalama, ikiwa ni pamoja na kukabiliana na upungufu wa radicalization, kuimarisha uhuru, kukataa magaidi njia za kutenda na kuboresha kubadilishana habari. Tangu kupitishwa kwa Agenda, maendeleo makubwa yamefanywa katika utekelezaji wake, kwa njia ya kuelekea kwa ufanisi na wa kweli Union Security.
Mnamo Aprili 2016, Tume iliwasilisha Mawasiliano juu ya mifumo ya habari na nguvu zaidi ya mipaka na usalama, kuanzia majadiliano juu ya jinsi ya kufanya mifumo ya habari ya EU kufanya kazi vizuri ili kuboresha usimamizi wa mpaka na usalama wa ndani. In huenda 2017, Tume ilipendekeza njia mpya ya kufikia ushirikiano kamili wa mifumo ya habari ya EU kwa usimamizi wa usalama, mpaka na uhamaji kwa 2020 na kufuatiwa na mapendekezo ya kisheria katika Desemba 2017. Bunge la Ulaya na Baraza limefikia makubaliano ya kisiasa juu ya mapendekezo ya Tume katika Februari 2019.
Waandishi wa habari Release - Umoja wa Usalama: Tume imefungua mapungufu ya habari ili kulinda raia bora
Waandishi wa habari Release - Umoja wa Usalama: Tume inakaribisha makubaliano ya kisiasa juu ya sheria mpya za watangulizi wa kulipuka
MAELEZO - Umoja wa Usalama: Kufunga pengo la habari
MAELEZO - Taarifa za EU
jamii: Frontpage, Ulinzi, dharura, EU, Tume ya Ulaya, Ulinzi wa Ulaya Agency (EDA), Bunge la Ulaya, Usalama, ugaidi
« #Greece - Free #ParthenonMarbles kutoka gerezani ya Uingereza Museum ''
Tume ya #EUUSTrade inakubali mwanga wa kijani wa Baraza kuanza mazungumzo na Marekani »
| 2020-01-21T10:59:20 |
https://sw.eureporter.co/frontpage/2019/04/18/securityunion-commission-welcomes-adoption-of-new-measures-denying-terrorists-and-criminals-the-means-and-space-to-act/
|
[
-1
] |
MADHARA YA PEDI KWA MAMA NA DADA ZETU
Mada za usafi wa mwanamke ni pana sana siwezi kumaliza kusema kila kitu, hivyo leo nitajikita zaidi katika matumizi sahihi ya pedi na mambo ya kuzingatia kabla ya kununua pedi. Wadada wengi wamekuwa wakitumia pedi na kuziacha zikizagaa mitaani hali inayofanya nijiulize kama tu ameshindwa kujua sehemu sahihi ya kuhifahi au kutupa pedi aliyotumia yeye mwenyewe,
*ASANTENI*
*PLEASE SHARE NA WENGINE WALIJUE HILO* ..
MADHARA YA PEDI KWA MAMA NA DADA ZETU Bongo Life 5 of 5
Kumekuwa na ongezeko kubwa la magonjwa ya mfumo wa mkojo (UTI) na uzazi kwa wanawake, hii inasababishwa na sababu nyingi ikiwemo ya kukosa u...
MADHARA YA PEDI KWA MAMA NA DADA ZETU Afya Yako BongoLife [0 Reviews] MADHARA YA PEDI KWA MAMA NA DADA ZETU
https://www.bongolives.com/2019/08/madhara-ya-pedi-kwa-mama-na-dada-zetu.html https://lh3.googleusercontent.com/-EImDIxfni34/XVUP7PagXxI/AAAAAAAACtg/zQzi7vBCEvckxvCMHF_t8g-kWIf6hpXpQCLcBGAs/s1600/IMG_1839.JPG MADHARA YA PEDI KWA MAMA NA DADA ZETU
BongoLife : MADHARA YA PEDI KWA MAMA NA DADA ZETU
https://lh3.googleusercontent.com/-EImDIxfni34/XVUP7PagXxI/AAAAAAAACtg/zQzi7vBCEvckxvCMHF_t8g-kWIf6hpXpQCLcBGAs/s1600/IMG_1839.JPG
https://lh3.googleusercontent.com/-EImDIxfni34/XVUP7PagXxI/AAAAAAAACtg/zQzi7vBCEvckxvCMHF_t8g-kWIf6hpXpQCLcBGAs/s72-c/IMG_1839.JPG
https://www.bongolives.com/2019/08/madhara-ya-pedi-kwa-mama-na-dada-zetu.html
| 2019-08-22T06:48:26 |
https://www.bongolives.com/2019/08/madhara-ya-pedi-kwa-mama-na-dada-zetu.html
|
[
-1
] |
Imani za kishirikina zinapogubika chaguzi na uongozi | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Imani za kishirikina zinapogubika chaguzi na uongozi
Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Dr. Chapa Kiuno, Nov 13, 2009.
Joseph Mihangwa
IMANI za kishirikina kutawala nyakati za chaguzi za kuwania nafasi za kisiasa na uongozi, sasa limekuwa jambo la kawaida lisilotisha wala kuonea aibu miongoni mwa wagombea. Waganga wa jadi, wapiga ramli na wanajimu, wamekiri hilo wakisema kuwa kipindi hicho ni cha mavuno kwao ambapo wagombea hupigana vikumbo kujaribu kuangalia hatima ya harakati zao, kwa hofu na mashaka ya kutojiamini.
Jambo hili si la kinadharia tena. Huko Tanga, wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2005, wagombea ubunge kadhaa walikutwa kwa mganga wa jadi wakimnyonyofoa kuku hai manyoya, huku wakitamka maneno fulani fulani ya kukariri [incarcatations] waliyofundishwa na mganga huyo, tukio lililohusishwa na imani za kishirikina.
Mwaka huo huo, huko Geita, Mkoani Mwanza, wagombea uongozi watarajiwa kadhaa, walikurupushwa na Sungusungu kwa mganga wa jadi wakiwa nusu uchi, wakatimka mbio za mkurupuko na kutokomea vichakani kuficha aibu ya kukutwa katika hali hiyo.
Na kama tutakavyoona baadaye katika makala haya, tarehe za Uchaguzi Mkuu wa 2005, zilibadilishwa mara mbili kupata siku mwafaka, kitendo ambacho kinahusishwa na wengi na imani za kishirikina.
Hata baada ya uchaguzi kumalizika na wabunge kuchukua nafasi zao, inadaiwa kuwa, mbunge mmoja alinaswa na kamera za ukumbi wa Bunge akiganga usiku bungeni baada ya kikao cha Bunge cha siku hiyo, pengine kwa lengo la kuimarisha nafasi na mambo yake bungeni.
Haya ni matukio machache tu kati ya mengi kuonyesha kwamba imani za kishirikina zimekuwa sehemu ya utamaduni katika kuwania na kulinda nafasi za uongozi kwa viongozi.
Moja ya madhara yatokanayo na imani za kishirikina hapa nchini ni lile wimbi la mauaji ya vikongwe na walemavu wa ngozi [albino], ambalo Serikali imeapa kulipiga vita kwa nguvu na silaha zote ilizo nazo ghalani. Lakini, inapokuwa kwamba viongozi na watunga sheria na sera za nchi hii, wao wenyewe ndio waumini wa ushirikina, Serikali itapata wapi ubavu kupiga vita imani hizo? Pengine ni kwa sababu hii vikongwe na albino wameendelea, na wataendelea kuuawa na Serikali ipo na vyombo vyake vya dola.
Kwa waumini wa biashara ya ushirikina, hakuna kisichowezekana isipokuwa kwa nguvu ya giza; kwao rushwa pekee haitoshi kuokoa jahazi, bali hiyo ni nyenzo ndogo tu ndani ya injini kuu ya ushirikina.
Historia imejaa mifano mingi hai ya watawala kujihusisha na imani za kishirikina zenye hatima ya maangamizi kwao na kwa jamii. William Shakespeare, Mwandishi mahiri wa Uingereza, anatuhabarisha katika kitabu chake Macbeth juu ya Jemedari mmoja wa Jeshi la Scotland [1500], Macbeth, ambaye wakati anarejea kutoka uwanja wa vita, alikoyasambaratisha majeshi ya waasi, akiwa na mpiganaji mwenzie, Banquo, alisimamishwa na vibibi vizee vichawi vitatu [weird sisters], vikamtabiria kuwa angekuwa Mfalme baada ya hapa na baadaye.
Na kuhusu Banquo, vibibi hivyo vilimwambia kuwa, ingawa alikuwa mdogo kwa Macbeth, lakini angekuwa mkuu zaidi kwa sababu watoto wake wangekuwa wafalme ingawa yeye asingekuwa.
Utabiri huu uliibua tamaa ya Macbeth ya kutawala; na wakati huo huo wakamtia hofu ya kupokonywa utawala na watoto wa Banquo, na hivyo akaamua kumuua Banquo ili kujisafishia njia.
Kikwazo kilichobaki kwa Macbeth baada ya kumuua Banquo, alikuwa mtawala madarakani, Mfalme Duncan. Kwa hiyo alimwalika kwa chakula cha usiku nyumbani kwake naye Duncan akakubali, na kwa ushawishi wa mkewe [mama Macbeth] Mfalme alikubali kulala kwa Jemedari wake baada ya tafrija.
Na ili kutimiza ndoto yake, na kwa kujasirishwa na Mama Macbeth, Macbeth alimuua Mfalme wake kwa upanga usingizini na kujivika taji la utawala, ili utabiri wa wachawi wake utimie.
Lakini, kama ilivyonenwa na wahenga, kwamba, kilichopatikana kwa upanga lazima kilindwe kwa upanga, na kwamba auaye kwa upanga atakufa kwa upanga, ndivyo utawala na kifo cha Macbeth kilivyokuja hima.
Lakini ni tofauti kidogo kwa Julius Caezar [Siza], mtawala wa Rumi ya kale, ambaye Shakespeare, katika kitabu chake kingine kiitwacho Julius Caezar anamuonyesha mtawala huyo jasiri kama ntu mwenye kuamini na kutoamini ushirikina, lakini, hasa hasa ujasiri ndio uliotawala maisha yake. Hebu tuone kwa kifupi tu jinsi Shakespeare anavyomwomnyesha Caezar, pale wahasimu wake wa kisiasa [Marcus Britus, Cassius, Casea, Trebonius, Ligarius, Decius Brutus, Cimber na Cinna] walipopania kumuua:
Caezar [kwa mpiga ramli]: Una habari gani za kunambia? Sema tena. Naye mpiga ramli anamuonya Caezar, Jihadhari na tarehe za katikati ya Machi; lakini Caezar anampuuza akisema, Ni mwota ndoto; na tumwache.
Lakini mmoja wa wauaji wa Caezar, Brutus, alishafahamu kwamba mtawala huyo alikwishakubali ushirikina, kwani siku waliyopanga kumuuwa alikuwa na wasiwasi kama Caezar atatokea, alisema: Sijui kama Caezar atatokea [ili tummalize], kwa sababu siku hizi kajawa ushirikina, kaiacha imani yake ya zamani.
Na usiku huo Caezar alisumbuliwa na ndoto mbaya, anasema: Mara tatu [nimeita] mke wangu Calpurnia kalia usingizini yala! Yala! Wanamuua Caezar. Nenda ukawaambie watabiri watambike na waniletee mawazo yao ya matokeo.
Na mawazo ya watabiri yalisema: Caezar asijaribu kutoka nyumbani leo [15 March]; mhanga tuliopasua ulikuwa bila moyo
.. akifanya hivyo atakufa.
Ni ujasiru tu Caezar unaovuka mipaka ya ushirikina unaofanya atoke nje, anasema: Nini chaweza kuepukwa ambacho kimedhamiriwa na miungu wenye enzi? Woga hufa mara nyingi kabla ya vifo vyao; mashujaa hawaonji kifo ila mara moja
Hatari yajua wazi kwamba Caezar ni hatari kali kuzidi hatari; na Caezar atatoka nje.
Licha ya kutahadharishwa kwa mara nyingine na mtabiri wake, mke wake na wapendwa wake wengine, kwamba asitoke nje Machi 15; Caezar alipuuza, akatoka kwenda kukutana na wafitini hao waliomwasi, bila kujua nia yao mbovu; akauawa sawia.
Kama utabiri wa mtabiri wa Caezar ulikuwa wa kweli, au kama lilikuwa ni jambo la kubahatisha na kubabaisha tu, kama la mwota ndoto, na kama Caezar mwenyewe alivyosema mwanzo, ni jambo linalozua maswali mengi kuliko majibu kwa jamii za kale na jamii yetu ya sasa juu ya imani za kishirikina.
Mtabiri wa Ufaransa, Michelle Nostra Damus, aliyezaliwa mwaka 1503, naye ametokea kuichanganya dunia ya washirikina na ushirikina. Yeye alitabiri kwa usahihi kabisa juu ya Mapinduzi maarufu ya Ufaransa ya 1789 dhidi ya Serikali ya Kimwinyi ya Mfalme Louis wa XVI, miaka 160 kabla ya mapinduzi; na jinsi yalivyotokea, na juu ya Louis na mkewe Marie Anttoinete kukamatwa wakitoroka na kurejeshwa Paris, wakanyongwa.
Nostra Damus alitabiri pia kwa usahihi kabisa, vita vya Napoleon [1795 1815] kufuatia mapinduzi ya 1789; na kuzaliwa kwa Adolf Hitler, dikteta wa Ujerumani; na jinsi alivyozua vita ya pili ya Dunia. Vivyo hivyo, alitabiri kwa usahihi mno kuuawa kwa Rais wa Marekani, John F. Kennedy, kwa kutaja kwa usahihi siku, na mahali: Texas, Novemba 22, 1963, mtu aliyemuuwa akiwa kwenye ghorofa ya pili; na jinsi watakavyomkamata na kumtuhumu mtu asiye na hatia hiyo [Lee Oswald], wakati muuaji halisi ametuama bila hofu.
Michelle Nostradamus alitabiri kwa usahihi pia juu ya kuibuka, kutawala na kuanguka kwa Shah wa Iran mwaka 1979 na mtu atakayemwondoa madarakani. Aliandika hivi: Mvua, njaa, vita kabla havijaisha Uajemi; imani kuu [Uislamu] utamuasi mtawala [Shah]; nayo itaanzia Ufaransa; kuleta mwisho wa mtawala; nayo imani kuu [Uislamu] itatawala. Usahihi wa utabiri huu ni kwamba, mapinduzi yaliyomwondoa mtawala wa Iran [Taifa la Kiislamu] Shah Pahlavi, kibaraka mkubwa wa Marekani, mwaka 1979, yalibuniwa, kupangwa na kuongozwa na Ayatollah Khomein akiwa uhamishoni nchini Ufaransa; mapinduzi yanayodhaniwa kuwa ndilo chimbuko la mwamko mpya wa dunia ya Kiislamu dhidi ya sera na utamaduni wa nchi za Magharibi, kutokana na tamko lake kwamba, Vita hii si ya Iran [Uislamu] na Marekani pekee bali ni kati ya Iran na Wapagani Makafir wote, kwa maana ya watu si wote wanaofuata dini ya Kiislamu.
Nostradamus, wala Watabiri wa Macbeth na Julius Caezar, walioingizwa katika orodha ya Mitume au Watakatifu kwa maono yao na kwa mujibu wa imani za dini za mapokeo. Inapokuwa hivyo, wote hawa wanaangukia ndani ya kapu moja la imani za kishirikina, kwa maana kwamba dini zote za asili ni za Kishetani.
Tunaweza kuwasamehe wenzetu wa enzi za Rumi, Uingereza na Ufaransa ya kale, kwa udhanifu huu, kwa sababu hicho ndicho kilikuwa kiwango cha maendeleo yao; lakini vipi kwa jamii yetu ya leo, ya Sayansi na teknolojia, kwa siasa kutawaliwa na imani za kishirikina? Je, Tanzania na Afrika kwa ujumla inaishi miaka ya 1500 ya Rumi na Uingereza? Je, ni ushirikina kweli, kwa muumini wa dini za mapokeo kubeba Biblia kwapani Jumamosi au Jumapili; au Kurani siku ya Ijumaa, wakati huo huo amesheheni hirizi kwapani na kiunoni? Tunamdanganya Mungu yupi asiyejua mawazo ya mwanadamu? [assassinations]
Hebu tuangalie jinsi ushirikina wa enzi za kina Caezar na Macbeth unavyotawala sasa mustakabali wetu wa kisiasa na Afrika kwa ujumla, kwa gharama ya demokrasia, amani na utulivu; tukianzia na Rais wa kwanza wa Togo, marehemu Sylvanus Olympio.
Siku chache kabla ya kuuawa kwa Rais huyo, Januari 13, 1963, alionywa na mtabiri wake asisaini hati yoyote ya Kiserikali siku ya 12 Januari; naye kama Macbeth, hakutii onyo hilo. Siku hiyo alitia sahihi hati nane, na jioni akajipumzisha Ikulu, bila kujua kilichomsubiri.
Usiku huo huo, saa za mapambazuko, Januari 13, 1963; kikundi cha Maafisa wa Jeshi la Togo, kilishambulia Ikulu kwa silaha kali; Olympio aliweza kutoroka na kukimbilia kwenye Ubalozi wa Marekani uliokuwa ukitizamana na Ikulu yake; lakini wakati akigonga lango kuu la Ubalozi huo ili afunguliwe kujisalimisha, Wanajeshi walimwona, na kummiminia risasi, akafia langoni mwa Ubalozi huo.
Mauaji ya Olympio yalifungua mlango kwa mauaji ya Viongozi wa kisiasa barani Afrika, chini ya dhana ya Mapinduzi ya Kijeshi; na utamaduni uliokuja kujulikana kama Sundhurst Culture, kwa maana ya kunyakua madaraka kutoka kwa watawala wa kiraia, pale ilipoonekana kwamba demokrasia haipewi nafasi na watawala hao.
Naye Rais Leopold Sedar Senghor wa Senegal, mwaka 1972, alionywa na Mtabiri wake mwezi mmoja kabla, kwamba, Desemba 17, 1972, ilikuwa siku mbaya kwa usalama wake, na akashauriwa aondoke Dakar, ili aitumie siku hiyo kwa ziara kwenye mji wa Thies.
Senghor alikubali; akaondoka na saa chache baadaye, kikosi cha Jeshi lake kilishambulia na kuvamia Ikulu wakimtafuta ili kumkamata na kumuuwa. Na katika kesi hiyo ya kupoteza muda wakimtafuta, vikosi vingine vya usalama vilijiimarisha na kuzima jaribio hilo la mapinduzi kwa nguvu kubwa na kuinusuru Serikali yake.
Hapa nchini, wakati mmoja, Rais wa Kwanza, Mwalimu Julius K. Nyerere kwa kujiamini kwake, kama alivyojiamini Caezar, alisema: Ni mtu kichaa pekee, ambaye anaweza kufikiria kuipindua Serikali yangu au kujaribu kudhuru uhai wangu; wengi waliyahusisha majigambo hayo na nguvu za kishirikina kutoa kinga kwake; akaweza kudumu madarakani muda mrefu, kwa kuheshimiwa na kuogopwa, pengine kuliko Kiongozi yoyote barani Afrika.
Imani hii potofu inathibitishwa pia na Watuhumiwa 19 wa kesi ya Uhaini, kwa kutaka kuipindua Serikali ya Mwalimu, kesi iliyodumu kwa miezi 10 na kumalizika Desemba 28, 1985; pale walipodai Mahakamani kuwa, kama isingekuwa kile kiona mbali [uchawi] cha mama mzazi wa Mwalimu, mpango wao wa kuipindua Serikali, kati ya Juni 1982 Januari 1983, usingebainika; na kwamba mpango huo ulishindwa kwa nguvu ya mzimu wa mama huyo.
Mashitaka dhidi ya Wanajeshi hao yalikuwa kwamba, wote kwa pamoja, kwa kushirikiana na raia mmoja, Bw. Pius Mtakubwa Lugangira, kwa majina mengine Father Fom au Uncle Tom [aliyeweza kutoroka nchi bila kukamatwa]; na mtu mwingine, Mohamed Mussa Tamim au Martin Tamim [aliyeuawa na vyombo vya Usalama wakati akikaidi kukamatwa], walikula njama kumuuwa Rais [Nyerere], kumwondoa madarakani na kuipindua Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Walikabiliwa pia na shitaka mbadala la kuficha kosa la uhaini, kwa kushindwa kutoa taarifa kwa mamlaka inayohusika, huku wakielewa juu ya mpango wa kuipindua Serikali.
Wapo pia wachochezi wachache [kina Brutus], waliopotoka kwa kufikiri kwamba, Serikali ya awamu ya Kwanza ilidumu madarakani na nchi kuwa ya amani na utulivu, umoja na mshikamano, eti kutokana na Mwalimu kuutumia Mwenge wa Uhuru na mbio za Mwenge huo kwa madhumuni ya kishirikina kuwaondolea Watanzania uwezo wa kufikiri, kujiamini na kauli ya kuhoji utawala wake. Hawa, wanapashwa sasa kuficha nyuso zao kwa aibu, hasa wanapofahamu kwamba, Mwalimu alikuwa mcha Mungu, na sasa kuna harakati zinazoendelea za kumtangaza Mtakatifu.
Nao umaarufu wa mbio za Mwenge wa Uhuru na mantiki yake kwa mustakabali wa Taifa hili, sasa unazidi kuongezeka miaka 10 baada ya kifo cha Mwalimu.
Ukiondoa matukio kadhaa yakiwamo ya Wagombea wa nafasi za uongozi wa siasa kukutwa kwa Waganga wa jadi katika mikao ya kukanganya, na sasa kauli za ushirikina kuanza kusikika katika kumbi za Bunge; ni kwa kiwango gani Serikali na Watawala kwa ujumla wameingia katika mkenge huu? Kwa kubwaga manyanga kwa imani za kishirikina? Hebu tuangalie kwa ufupi tu matukio yafuatayo:
Wakati wa mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa 2005, Watanzania walishuhudia mfano wa Machi 15 ya Julius Caezar, kwa tarehe za uchaguzi kubadilishwa mara mbili kuepuka tarehe ya hatari kwa Caezar, hatua inayoweza kuhusishwa na imani za kishirikina kwa Viongozi wa Serikali.
Awali, uchaguzi huo ulipangwa kufanyika Oktoba 30, lakini ulisogezwa mbele hadi Desemba 18, kufuatia kifo cha Mgombea Mwenza wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo [CHADEMA], hayati Jumbe Rajab Jumbe.
Ilielezwa kuwa hatua hiyo ilikuwa ni kukiwezesha Chama hicho kupata muda mzuri kuteua mgombea mwenza mwingine. Lakini Zanzibar kwa upande wao, waliendelea na uchaguzi kama ulivyopangwa, licha ya kwamba mgombea mwenza wa Urais wa CHADEMA ndiye Makamu wa Rais mtarajiwa wa Jamhuri ya Muungano, ambayo Zanzibar ni sehemu yake.
Wiki hiyo hiyo, wakati Desemba 18 tayari imekwishatangazwa kuwa tarehe ya Uchaguzi Mkuu, kipindi kimoja cha Jumamosi, cha Televisheni ya Channel Ten, kilifanya mahojiano na Mnajimu [mtabiri] mashuhuri Afrika Mashariki, Sheikh Yahya Hussein, kuhusu unajimu wake juu ya uchaguzi Mkuu huo tarajiwa nchini.
Mnajimu huyo alibainisha kuwa uchaguzi Zanzibar ungekuwa shwari, lakini akaonya, Ole wake atakayeingia madarakani kwa njia ya wizi wa kura, kwani hatamaliza kipindi cha miezi sita madarakani. Kura ziliibwa, na washindi kwa njia hiyo bado wamo madarakani bila hofu yoyote; utabiri wa Sheikh Yahya ulikuwa wa kishirikina.
Kuhusu uchaguzi Tanzania Bara, alitabiri kuwa ungekuwa huru na wa haki; lakini akaonya na kutahadharisha [kama mtabiri wa Caezar] kwamba, Desemba 18 iliyopangwa kwa uchaguzi, ilikuwa tarehe mbaya, na kwamba lolote lingeweza kutokea.
Bila shaka, kwa utabiri huo, Serikali [Tume ya Uchaguzi NEC] iliingiwa na kiwewe, kwani haraka haraka siku tatu tu baada ya utabiri huo Tume ilibadili siku ya uchaguzi kuwa Desemba 14.
Sababu zilizotolewa, kwamba Tume ilifupisha muda huo kwa siku nne ili kupunguza gharama kwa Serikali na kwa Wagombea, hazikuwa za msingi wala mwafaka kwa hoja hiyo; kwani Watanzania walitaka uahirishwe kwa muda mfupi zaidi kabla mori wa uchaguzi haujapoa, na kwa vyama vya Siasa kupenyeza mchezo mchafu.
Isitoshe, Desemba 14, tofauti na Desemba 18, ilikuwa siku ya kazi, na hivyo uchumi wa nchi ungeathirika kutokana na uzalishaji kusimama. Ukweli, Serikali haikuwa inapunguza gharama, bali kinyume chake.
Na kama ilikuwa na lengo hilo, angalau Desemba 11 ilikuwa tarehe mwafaka zaidi, kwa sababu haikuwa siku ya kazi. Yawezekana kwamba Serikali ilikwishaonywa na Sheikh Yahya mapema, kwamba Desemba 11, kama ilivyokuwa Desemba 18, nayo ilikuwa balaa kama Machi 15 ya Caesar; Desemba 17 ya Rais Senghor, au Januari 12 ya Rais Olympio; kwamba lolote lingeweza kutokea?.
Tunashindwa kujizuia kuamini kwamba, unajimu wa Sheikh Yahya ulipewa nafasi isiyostahili katika uchaguzi huo, kutokana na kwamba awali, alitabiri kuwa, kabla ya Uchaguzi Mkuu kufanyika, mmoja wa Wagombea atafariki, na kweli Jumbe akafariki.
Alitabiri pia kwamba, Rais ajaye atakuwa na uso wa mviringo, na hapo bila shaka akaifanya NEC isalimu amri kwa utabiri wa Desemba 18 kwenda Desemba 14.
Kama ni kweli sasa kwamba siasa nchini mwetu zimeanza kutekwa na imani za kishirikina, kama tulivyoeleza hapo mwanzo; basi demokrasia na utawala bora umo matatani na mashakani.
Kwa sasa, jamii yetu inakabiliwa na majanga matatu makubwa ya kutisha Ukimwi unaoteketeza watu wetu, na kulipunguzia Taifa nguvu kazi, kama ilivyokuwa zama za enzi za biashara ya utumwa; rushwa na ufisadi vinavyonyonga haki na kupora rasilimali za Taifa. Ushirikina nao sasa unatafuta kujisajili kama janga la nne kutuletea Viongozi wababaishaji, wasiojiamini Mashetani wanyonya damu; wasiothamini jasho na nguvu ya umma inayowaweka madarakani, bali wenye kuweka imani na matumaini kwa mafundi wao huko Bagamoyo.
Kiongozi wa ngazi yoyote ile, aingiaye madarakani kwa imani ya nguvu za giza kama Macbeth, hutawala kwa hofu, hasira, kutojiamini na kutowaamini wengine, na hivyo kwa mkono wa damu.
Na kadri kalamu ya wino wa damu inavyotema maandishi kwenye kurasa ngumu za maovu, uonevu, ukandamizaji na udikteta, siku za Mwandishi huyo [mtawala] huhesabika haraka madarakani.
Inapokuwa hivyo, jinamizi juu ya jinsi na namna ya kuachia ngazi bila hofu ya kuzomewa au kuwajibishwa [kwa maovu yake], huwa ni agenda nzito na ngumu; matokeo yake ni kwa Viongozi wengi kungangania madarakani kwa kubadili Katiba; na kufanya hivyo, watahakikisha wanabadili Katiba kuwakinga wasishitakiwe au kwa kuwajibishwa kwa ufisadi na maovu yao ya nyuma. Katiba yetu ni moja ya Katiba hizo mbovu, zinazokingia kifua watawala mafisadi na wahujumu wa Taifa eti [ibara 46 (1): Wakati Rais atakapokuwa ameshika madaraka yake kwa mujibu wa Katiba [hii], itakuwa ni marufuku kumshitaki au kuendesha mashtaka ya aina yoyote juu yake Mahakamani kwa ajili ya kosa lolote la jinai na vivyo hivyo [ibara 46 (2)] kwa mashauri ya madai.
Tumeyaona haya kwa watawala madikteta kama kina Mabotu Sese Seko [Zaire/DRC], Jean Badel Bokassa [Afrika ya Kati], Marcias Nguema [Guinea ya Ikweta] na Iddi Amin Dada [Uganda] ambao, kwa imani zao za kishirikina, walifikia hatua ya kula nyama ya binadamu ili kudumisha tawala zao, lakini mwisho wa yote, waliyatema madaraka [kama Macbeth] kwa aibu kubwa.
Na hao Viongozi washirikina wa leo wakoje? Shaaban Robert, katika shairi lake Nilinde, anawachambua ifuatavyo:
Ni weledi wa kusema, [viongozi] watu wa leo,
Na elimu na hekima, si haba kwao,
Bali hawana huruma, katika moyo,
Na fahari na heshima, ni chache kwao,
Kisha naweza kumuua, sumu wanayo.Lakini anaendelea kuwaita wajinga; kwa sababu kwa imani za ushirikina, hutaka madaraka kwa kujasirishwa na imani potofu; anasema: Wajinga hutaka nguvu, hata miliki ya enzi, Vitu vyenye maumivu, kwao ni maangamizi,
Nguvu na enzi ni povu, kwa walio maizi,
Hupendwa na wapumbavu, walegevu wa ujuzi. Nguvu si kitu cha sifa, enzi ina wazimu,
Kwa wasio kifafa, wenye akili timamu,
Ni mambo yenye maafa, kila namna magumu,
Matunda yake kashfa, hapana lililo tamu.Tungependa kuona miongoni mwetu Viongozi safi wa Taifa lisilo na uozo wa kiroho; Taifa linalomjua Mungu; Viongozi wanaojali kauli-mbiu ya mpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe, na mtendee mwenzako kama ambavyo ungependa utendewe wewe.
Ni uongozi wa hii pekee utakaoweza kujenga na kudumisha utawala wa Sheria, Utawala Bora na demokrasia ya kweli.
| 2017-01-21T15:43:24 |
https://www.jamiiforums.com/threads/imani-za-kishirikina-zinapogubika-chaguzi-na-uongozi.43751/
|
[
-1
] |
JE NAWEZA KUPATA MADHARA NAPOVUTA MOSHI WA SIGARA HATA KAMA MIMI SIVUTI? - Daktari Mkononi
JE NAWEZA KUPATA MADHARA NAPOVUTA MOSHI WA SIGARA HATA KAMA MIMI SIVUTI?
Utafiti unaonyesha kwamba uvutaji wa pili wa sigara kitaalamu kama second hand au passive smoking huleta madhara ya kiafya kwani ni mchanganyiko wa moshi unaotoka mdomoni mwa mvutaji kitaalamu kama mainstream smoke na moshi unaotoka kwenye sehemu ya mwisho ya sigara kitaalamu kuitwa sidestream smoke.
Madhara ya muda mrefu yatokanayo na uvutaji wa pili ;
asilimia 20 hadi 30 ya watu wasiovuta sigara wakikaa katika mazingara ya watu wanaovuta sigara huweza kupata kansa ya mapafu
Kujihatarisha na magonjwa ya moyo
Uvutaji wa pili wa muda mrefu husababisha damu iliyo kwenye mzunguko kuganda na kutengeneza mabonge bonge yanayoweza kukuhatarisha na magonjwa ya moyo
Lakini pia uvutaji wa pili hupunguza kiwango cha kemikali zinazokukinga na magonjwa mbalimbali katika mwili wako
Kwa mama mjamzito husababisha kujifungua kabla ya muda
Kama wewe ni mvutaji wa sigara kumbuka kwamba moshi wa sigara husambaa kwa haraka sana kwa njia ya hewa na hivyo mtu yeyote anaweza akauvuta na akapata madhara ya kiafya,hivyo basi ni vema unapovuta sigara usogee mbali kidogo na watu wengine ili kuepusha madhara hayo
Kwa ambaye sio mvutaji epuka mazingira ambayo watu wanavuta sigara
Kama ni katika kichumba kidogo basi fungua dirisha kuruhusu hewa itoke ili usipate madhara makubwa
| 2019-01-20T08:02:28 |
https://daktarimkononi.com/2018/12/11/je-naweza-kupata-madhara-napovuta-moshi-wa-sigara-hata-kama-mimi-sivuti/
|
[
-1
] |
Vukani: PAMOJA NA MUNGU KUITENDEA FAMILIA YA MZEE NGONYANI MIUJIZA, ASIFIWE HATUNAYE TENA!
Mnamo siku ya Jumatano ya Machi 3, 2010, dada Yasinta aliweka makala pale kibarazani kwake akimshukuru Mungu kwa kuitendea familia yao miujiza.
Ni kweli Mungu aliitendea familia yao miujiza kwa kufanikisha upasuaji wa moyo wa mdogo wake Asifiwe pichani hapo juu. Walihangaika sana kutafuta tiba ya mdogo wake na hatimaye walijikuta wakiwa Muhimbili ambapo alitakiwa kufanyiwa upasuaji huo.
Ni katika kipindi hicho niliwasiliana sana na Yasinta pamoja na Asifiwe mwenyewe ambaye leo nimepata taarifa za kustusha na kusikitisha kuwa hatunaye tena.
Nimeona niweke makala hii ya dada Yasinta hapa kibarazani kwangu kama kumbukumbu ya msiba huu mzito ambao kwa kweli umeniacha mdomo wazi.
Nakumbuka mwaka 1996, kuna tukio la kushangaza kidogo lililotokea katika tasnia ya Michezo kule nchini Italia na kuushangaza ulimwengu.
Tukio hilo lilimtokea mchezaji wa Kimataifa aitwae Nnwanko Kanu. Huyu alikuwa ni mchezaji wa Timu ya taifa ya Nigeria, ambaye alikuwa akichezea timu ya Ajax ya Uholanzi.
Ni baada ya Kuiwezesha nchi yake kutwaa kombe la Olympic, hapo mnamo mwaka 1996, ndipo alipopanda kilele cha mafanikio na kununuliwa na timu maarufu ya kule Italia inayoshiriki ligi ngumu ya almaarufu kama Serial A.
Mchezaji huyu alinunuliwa na timu ya Inter Milan na ni wakati alipokuwa akifanyiwa vipimo vya afya,(Medical Check Up) ndipo matokeo ya vipimo hivyo vilipoushangaza ulimwengu. Nnwanko Kanu aligundulika kuwa na matatizo ya moyo na alitakiwa kufanyiwa upasuaji haraka sana ili kunusuru afya yake.
Leo napenda kumshukuru Mwenye Enzi Mungu, Madaktari, Manesi na watu wote kwa Juhudi zao katika kumuhudumia mdogo wetu Asifiwe, sisi tunasema kwamba kwa uwezo wake ameweza kuisimamia kazi hiyo ya madaktari na kufanikisha upasuaji huo.Pia shukrani nyingi sana kwa daktari Mrs. Mushi wa kule Peramiho yeye ndiye aliyetupa ushauri wa kumpeleka Asifiwe, Kwanza katika kliniki moja hapa Dar ya Dr. Johnson M. Lwakatare. na ndipo tukapata rufaa ya kwenda Muhimbili .
Na Koero Mkundi at 12:13 PM
ni vigumu kuamini.
Naiombea faraja familia ya Ngonyani katika kipindi hiki kigumu.
Pia namwomba Mwenyezi Mungu aipokee roho ya Asifiwe na kuihifadhi pahala pema.
Hizi ni habari mbaya sana.
Mungu Akupumzishe salama Asifiwe kwani umetangulia tu. Na poleni sana wafiwa. Mungu Awashike mkono na kuwatia nguvu katika kipindi hiki kigumu.
| 2018-02-25T04:12:09 |
http://koeromkundi.blogspot.com/2011/03/pamoja-na-mungu-kuitendea-familia-ya.html
|
[
-1
] |
Umoja-Mataifa - Uagizaji
2019-06-06 12:30 PM Uagizaji Apr $257.64B $263.32B
2019-07-03 12:30 PM Uagizaji May $266.16B $257.64B
2019-08-02 12:30 PM Uagizaji Jun $261.5B $266.0B
2019-09-04 12:30 PM Uagizaji Jul $261.4B $261.8B
2019-10-04 12:30 PM Uagizaji Aug $261.4B
2019-11-05 12:30 PM Uagizaji Sep
2019-12-05 01:30 PM Uagizaji Oct
Sasa, maadili, data ya kihistoria, utabiri, takwimu, chati na kalenda ya kiuchumi - Umoja-Mataifa - Uagizaji.
| 2019-09-23T13:29:55 |
https://sw.tradingeconomics.com/united-states/imports
|
[
-1
] |
Kyocera: Simu janja inayojichaji kutumia umeme jua
Samsung waja na diski ya SSD yenye ujazo mkubwa zaidi, ni ya TB 30
YouTube GO – App ya YouTube isiyokula data sana
Roboti kutumika kuwahudumia wazee nchini Japani
Nokia kuja na simu yenye kicharazio cha QWERTY
Rais wa kampuni ya simu za HTC ajiuzulu
Facebook inapoteza vijana Marekani, Snapchat inazidi kuwapata
Google waliuza simu za Pixel takribani milioni 4 mwaka 2017
You are at:Home»simu»Kyocera: Simu janja inayojichaji kutumia umeme jua (Solar)! #Teknolojia
Kyocera: Simu janja inayojichaji kutumia umeme jua (Solar)! #Teknolojia
By Mato Eric on June 1, 2016 simu, Teknolojia
Simu janja zinazojichaji zenyewe kwa kutumia teknolojia ya umeme jua (solar power)? – Kama muvi vile ila ukuaji wa teknolojia unalileta jambo hili muda si mrefu katika simu tutakazonunua.
Kampuni ya utengenezaji simu ya Kyocera Corp ya nchini Japani imeonesha simu yao ambayo bado haina jina ikiwa na uwezo wa kujichaji kutumia teknolojia ya umeme jua (solar) ambayo imetengenezwa ndani ya kioo (display) chake.
Kwa sasa kwa kila chaji ya dakika tatu kupitia mwanga wa jua, utapata takribani dakika moja ya chaji ya kuongea (kupiga na kupokea simu).
Simu hii imetambulishwa kama vile ni simu ya kazi, kokote utakapoenda ata kama ni mbali na umeme…utakuwa salama
Simu janja hiyo iliyotambulishwa na kampuni ya Kyocera inatumia teknolojia ya kioo spesheli cha uzalishaji umeme jua kilichotengenezwa na kampuni ya kifaransa – Sunpartner Technologies.
Kampuni ya Sunpartner imekuja na teknolojia ya kioo chembamba chenye uwezo wa kutengeneza umeme jua.
Kupitia Kioo chenye uwembamba wa ukubwa wa 0.5mm na uwezo wa kuona upande wa pili(transperancy) kwa asilimia 90, kioo hicho ambacho kinaweza kukidhi mahitaji ya teknolojia ya simu janja ambayo imeshika kasi kwa sasa bila usumbufu wowote.
SOMA PIA: Nokia 3310 (2017) ina Tatizo litakaloifanya kutonunuliwa kwa baadhi ya Nchi #Uchambuzi
Teknolojia hii imepewa jina la “Wysips Crystal”…
Ingawa teknolojia hiyo inaweza ikawa bado haijapata umaarufu kuweza kuiondoa kwenye soko la ushindani teknolojia ya hivi sasa ya kuchaji simu (the plug-and-charge) lakini inaleta ushindani mkubwa na labda makampuni makubwa ya utengenezaji simu kama vile Samsung, Huawei na wengine wanaweza fikiria kuitumia mbeleni.
Suala la kuishiwa chaji ni jambo lisilopendwa na wengi
Je una mtazamo gani juu ya teknolojia hizi? Suala la kuisha kwa chaji haraka kunawasumbua watu wengi wanaotegemea simu janja zao kwa matumizi mengi
Simu Janja Bora Za Mwaka 2015!
Skype Kutafsiri Lugha Moja kwa Moja Kwenye Mazungu...
Ushahuri Bora kuhusu Mambo ya Kufanya juu ya Simu ...
Undani wa namba ‘108’ kwenye app ya Si...
Samsung kupata hasara kutokana na milipuko ya simu...
App ya Wiki – Fling : Tuma Meseji kwa Watu 5...
Nokia 6: Kuingia madukani mwezi Julai
Apps 10 Muhimu Kwa Ajili ya Simu za Nokia Asha
Google waliuza simu za Pixel takribani milioni 4 m...
TeknoKona Mwaka 2015: Fahamu Makala 10 Yaliyosomwa...
Expiry Date? – Apple: Simu mpya ya iPhone in...
Hii ndio simu ya Nokia 3310 katika upya wake mwaka...
Jinsi Ya Kujizuia Na Uraibu (Addiction) Wa Kutumia...
Emoji Mpya Kuja kwa Watumiaji wa simu za Android h...
Undani wa Nokia 8 na kupata masasisho ya Android 8...
Ukiona haya, Fahamu muda wa Kubadilisha Betri la s...
WhatsApp kutopatikana tena kwa Mamilioni ya simu! ...
Mambo ya Kufanya Kuweza Kutunza Chaji ya Simu yako...
Android Ni Nini Haswa?
Unamiliki iPhone 6s!? Hii inakuhusu
Samsung Galaxy S9 kuwa simu za mwisho za toleo la Samsung S?
USB OTG ni nini? Je simu yako ina #teknolojia hii? - Fahamu
Kuusoma ujumbe uliofutwa na aliyeutuma kwenye WhatsApp inawezekana!
Ipate Simu Yako ya Android Kupitia Google Search
YouTube GO - App ya YouTube isiyokula data sana
FAHAMU: Jinsi Ya Kuwa Na Jina Moja Facebook!
FAHAMU: Jinsi Ya Kuandika Barua Pepe (E-mail) Kama Mtaalam!
Matangazo Yamezidi? Jinsi Ya Kuondoa Matangazo Ya Kimtandao Kwenye Kompyuta!
Siri 3 Za 'Folder' Ambazo Kila Mtumiaji Wa Windows Inabidi Azijue!
Njia Za Kujilinda Na Kuepuka Kupokea Barua Pepe (E-mail) Za Spam!
Ripoti TCRA: Idadi ya watumiaji wa Intaneti yaongezeka Kufikia milioni 23
Ifahamu Simu ya Tecno R6 LTE! #Uchambuzi
Afya Android Anga App Apple Apps betri BlackBerry data Facebook Gemu Google Huawei instagram Intaneti ios iPhone Kompyuta magari Marekani maujanja Microsoft Mitandao Ya Kijamii Mtandao mtandao wa kijamii Ndege nokia programu Programu Endeshaji Samsung Sayansi simu SnapChat Tanzania Teknolojia Tigo Twitter Uchambuzi Udukuzi Usalama Video WhatsApp Windows Windows 10 Youtube
| 2018-02-24T20:14:33 |
http://teknokona.com/kyocera-simu-janja-inayojichaji-kutumia-umeme-jua/
|
[
-1
] |
Karibu mpenzi mskilizaji wa kipind chetu leo kataik historia, kipindi chetu hukuzungumzaia aadhi ya matukio muhimu yaliotokea ktaika histoira.
Ikiwa leo ni Januari 9 mwaka 2019, katika kipindi chetu tutakuzungumzia baadhi ya matukio yaliotokea miaka iliopita tarehe kama ya leo.
Januari 9 mwaka 1916 mapigano ya Seddülbahir yalimalizika. Mapigano ya Seddülbahir ylikuwa mapigano makubwa yalitokea Çanakkale.
Januari 9 mwaka 1936 Chuo kikuu cha Ankara kitengo cha lugha , Historia na Jiografia kulianzishwa hafla ambayo baba wa taifa la Uturuki Atatütk alishiriki. Katika hotuba yake waziri wa elimu Saffet Arıkan alisema kuwa wanafunzi wa Uturuki watasafisha kwa mara nyingine utamaduni ulioharibika ulimwenguni.
Januari 9 mwaka 1951 , makao makuu ya Umoja wa Mataifa . Eneo ambalo kunapatikana makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York ni eneo la kimataifa chini ya makubaliano ya kimataifa na sheria ya majimbo Marekani.
Januari 9 mwaka 1991 utandikaji wa reli mjini Cairo nchini Misri ulimalizika na treni yake ya kwanza ilianza kazi zake za uchukuzi.
Januari 9 mwaka 1991, uvutaji sigara katika vypombo vya uchukuzi wa umma ulipigwa marufuku . Matangazo ya aina yeyote ya sigara pia yalipigwa marufuku.
Tagi: uchukuzi , sigara , Uturuki
| 2019-01-17T23:04:54 |
http://www.trt.net.tr/swahili/vipindi-anuwai/2019/01/09/leo-katika-historia-1121474
|
[
-1
] |
GGM WAKUSANYA BIL 13 KUPITIA KILI CHALLENGE
HomeNEWSGGM WAKUSANYA BIL 13 KUPITIA KILI CHALLENGE
Bongo Exclusive June 24, 2019
Washiriki wa Changamoto ya kupanda Mlima Kilimanjaro ijulikanayo kwa jina la Kili Challenge 2019 wakishuka wakiwa na Bendera ya Taifa huku wakiimba nyimbo mbalimbali za hamasa mara baada ya kuhitimisha safari ya siku saba ya kupanda mlima huo.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Dkt Anna Mghwira pamoja na Mkuu wa mkoa wa Geita ,Robert Gabriel wakiwa wamepokea Bendera ya Taifa kutoka kwa washiriki 64 wa changamoto ya kupanda Milima Kilimanjaro ambapowashiriki hao waliipandisha bendera hiyo kileleni.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Dkt Anna Mghwira aliyekuwa mgeni rasmi katika hafla ya mapokezi ya washiriki 64 wa tukio la Kili Challenge 2019 akizungumza mara baada ya kuwapokea.
Mkuu wa Mkoa wa Geita ulipo Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM) Robert Gabriel akizungumza katika hafla fupi ya kuwapokea washiriki 64 wa changamoto ya kupanda Mlima Kilimanjaro kwa lengo la kuchangisha fedha kwa ajili ya mapambano dhidi ya Ukimwi.
Makamu wa Rais wa Kampuni ya AngloGold Ashanti wamiliki wa Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM) Simon Shayo akizungumza wakati wa hafla hiyo.
Baaadhi ya Washiriki wa Changamoto ya Kili Challenge 2019.
Kaimu mkurugenzi wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Nchini,(TACAIDS),Jumanne Isango akizungumza wakati wa hafla hiyo.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ,Dkt Anna Mghwira akitoa burudani kwa kuimba nyimbo wakati wa mapokezi ya Washiriki 64 wa Changamoto ya kupanda Mlima Kilimanjaro ijulikanayo kama Kii Challenge 2019 .
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ,Dkt Anna Mghira akiwa ameongozana na Mkuu wa Mkoa wa Geita ,Robert Gabriel ,Katibu tawala mkoa wa Kilimanjaro ,Mhandisi Aisha Amour pamoja na Makamu w Rais wa Kampuni ya AngloGold Ashanti,Simon Shayo wakielekea kutembelea mabanda ya maonesho yaliyokuwepo katika lango la mlima Kilimanjaro la Mweka .
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjao ,Dkt Anna Mghwira akimkabidhi Mkuu wa mko wa Geita ,Robert Gabriel kumbukumbu ya kishika Funguo ( Key Holder) wakati akitembelea moja ya mabanda ya maonesho yaliyokuwa katika lango la Mweka wakati washiriki wa Changamoto ya Kupanda Mlima Kilimanjaro (Kili Challenge 2019 ) wakishuka kutoka kilele cha Uhuru.Nyuma ya Mkuu wa Mkoa wa Geita ni Makamu wa Raisi wa Kampuni ya AngloGold Ashanti wamilki wa Mgodi wa Dhahabu wa Geita.Simon Shayo.
Mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ,Dkt Anna Mghwira akiwa katika picha ya pamoja na Washiriki 64 wa changamoto ya kupanda Mlima Kilimanjaro pamoja na kuuzunguka kwa Baiskeli kwa lengo la kuchangisha fedha za Mapambano dhidi ya Ukimwi mara bada ya kuwasili katika lango la Mweka .
Mgeni rasmi katika hafla ya kuwapokea Washiriki 64 wa changamoto ya kupanda Mlima Kilimanjaro na kuuzunguka kwa Baiskeli kwa lengo la kuchangisha fedha za Mapambano dhidi ya Ukimwi ,Mkuu wa Mkoawa Kilimanjaro akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wengine wenzake na wadau .
Na Dixon Busagaga.
.Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira,amewataka wageni kutoka Nje ya nchi, kwa ajili ya shughuli za kijamii, Katika Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro, kuepuka kuingilia shughuli za mlima huo.
Mbali na hilo, Mkuu huyo pia aliutaka Uongozi wa Wilaya zinazozunguka Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro na Shirika la hifadhi za Taifa TANAPA, kumaliza migogoro inayohusu eneo la hifadhi hiyo,ikiwemo ya Nusu Mail,ambayo imekuwa ikihusisha wananchi wanaozunguka eneo hilo.
Mghwira ameyasema hayo leo wakati akizungumza kwenye hafla ya kuwapokea wanaharakati 64,waliopanda Mlima kilimanjaro,kwa ajili ya kuchangisha fedha za mapambano dhidi ya Virusi vya Ukimwi,Kampeni ambayo imeandaliwa na Mgodi wa madini ya Dhahabu Geita (GGM).
"Ipo migogoro ya Nusu maili,ambayo imekuwa ikizungumzwa kila wakati lakini haiishi,niombe viongozi wa Wilaya na Tanapa,waimalize.Niombe pia wageni kutoka nje ya nchi,ambao wanakuja kwetu,kwa shughuli hasa za kijamii,kujifunza kutoka kwetu,na wasituingilie sana kwenye eneo hili"amesema Mghwira
Aliongeza kuwa"Kila wakati tumekutana na mazingira ya wageni kujiingiza kwenye masuala ya mlima na shughuli zinazofanyika hapa na kutuletea utata mgumu,sababu tunaposhughulika na
Wageni kutoka nje ya nchi,mahusiano yake yanakuwa tofauti kidogo na namna ya kufanya maamuzi"
Mkuu huyo alitumia pia nafasi hiyo, kueleza kuwa,Ukimwi bado ni Tishio mtambuka na umegusa na kuathiri kila nyanja ya maendeleo na kuwataka wadau kushirikiana na serikali,kumaluza tatizo hilo.
Mkuu wa Mkoa wa Geita Robert Gabriel,alisema katika mapambano dhidi ya Ugonjwa wa ukimwi,watoto wa Kike wameonekana kuwa wahanga wakubwa,na kuitaka jamii na wadau,kushiriki kulinda kundi hilo.
Kaimu mkurugenzi wa Tume ya Kudhibiti Ukimwi Nchini,(TACAIDS),Jumanne Isango, amesema kunahitajika ubunifu,ili kuongeza hamasa zaidi,katika kuupanda Mlima Kilimanjaro,kwa ajili ya kuchangisha Fedha za Mapambano dhidi ya Ukimwi.
Kwa upande wake Makamu wa Rais wa Kampuni ya AngloGold Ashanti kupitia mgodi wa Dhahabu Wa Geita,Simon Shayo alisema zadi ya Bil 13 zimekusanywa katika kampeni hiyo tangu ianze na kuungwa mkono na zaidi ya mashirika yasiyo ya kiserikali 40.
“Tunafurahi kweli na tunashukuru kwa washirika wetu wote na tutaendelea kushirikiana kufanya kila liwezekanalo na kwa ambao pia wangependa kujiunga katika vita hivi hii inamaanisha wakihamsika wapandaji zaidi itasababisha watu binafsi na jamii zaidi kuunga mkono na mpango wa Kili Challenge.”alisema Shayo.
Shayo aliwashukuru wafadhili wa changamoto hiyo na wote walishiriki kupanda na kwamba jitihada walizoonesha ni muhimu katika kuchochea tukio hilo wakiwemo waendesha baiskeli ambao waliamua kuweka roho zao juu ili kuhakikisha Tanzania kupitia Kili Challenge inafikia sifuri 3 mwaka 2030.
| 2019-08-23T01:07:11 |
https://news.bongoex.com/2019/06/ggm-wakusanya-bil-13-kupitia-kili.html
|
[
-1
] |
Ban ataka kukomeshwa kwa ghasia Misri
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amewataka wananchi wa Misri kujiepusha na matukio yanayoweza kuwatumbukiza kwenye umwagaji wa damu wakati huu wakiwa kwenye vugu vugu la maandano ya amani, lakini pia ameitaka serikali ya Misri kutambua kuwa hii ni fursa ya pekee ambayo inapaswa kuitumia kutanzua kero za wananchi wake.
Timu ya wataalamu wa Umoja wa Mataifa inaanza uchunguzi wa ukiukaji wa haki za binadamu nchini Tunisia.
Sudan Kusini wamepiga kura kwa wiki kujitenga:UM
Dalili za awali zinaonyesha kwamba watu wa Sudan Kusini wamepiga kura kwa wingi kuunga mkono kujitenga kutoka Kaskazini na kuwa taifa huru.
Wachezi nyota wa cricket waunga mkono vita vya ukimwi
Wachezaji nyota wa mchezo wa cricket Virender Sehwag kutoka India na captain wa timu ya taifa ya Sri Lanka Kumar Sangakkara wameunga mkono kampeni za Umoja wa Mataifa za kukabiliana na ugonjwa wa UKIMWI kwa kuvaana dimbani.
UN-HABITAT yatunukiwa kwa utatuzi wa migogoro DR Congo
Shirika la makaazi la Umoja wa Mataifa UN-HABITAT limekabidhiwa tuzo na jamii ya Mahagi iliyo kwenye wilaya ya Ituri mashariki mwa Congo kutokana na juhudi zake za kutafuta amani na utatuzi wa mizozo ya ardhi.
UM washangazwa na dhuluma dhidi ya watoto Ivory Coast
Mjumbe maalum wa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya watoto na mizozo ameelezea kushangazwa kwake kufuatia kuendelea kwa ghasia nchini Ivory Coast yakiwemo madai ya mauaji , kuwalemaza na utekaji nyara wa watoto tangu kuanza kwa mzozo nchini humo.
Mamilioni kupoteza uwezekano wa kupata dawa za kurefusha maisha: UM
Mwakilishi maalumu wa Umoja wa mataifa kuhusu haki ya afya Anand Grover ameonya kwamba mswada wa makubaliano ya biashara huru baina ya muungano wa Ulaya na India (FTA) huenda ukawazuia watu kote duniani kupata fursa ya dawa za kuokoa na kurefusha maisha.
Ban akutana na viongozi wa Cyprus wa upande wa Uturuki na Ugiriki
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon leo amekutana na viongozi wa Cyprus ya upande wa Uturuki na upande wa Ugiriki mjini Geneva.
Mkuu wa UNHCR aomba dola milioni 280 kusaidia wakimbizi wa Iraq
Kamishina mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi Antonio Guterres aliyerejea kutoka Iraq amezindua ombi jipya la dola milioni 280 kuwasaidia wakimbizi wa Iraq.
Serikali ya mpito ya Somalia lazima imalize mwezi Augusti: Mahiga
Mwakilishi maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia Dr Augustine Mahiga ametangaza kwamba mkutano wa ngazi ya juu kuhusu Somalia utafanyika mjini Addis Ababa Ethiopia sambamba na ule wa muungano wa Afrika ulioanza leo.
| 2020-06-02T15:25:28 |
https://news.un.org/sw/news/topic/women/date/2018/audio/0/video/0/date/index%252Ehtml/date/2011-01?page=3
|
[
-1
] |
Bagamoyo iliyosahaulika inavyolikosesha taifa mapato | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Bagamoyo iliyosahaulika inavyolikosesha taifa mapato
Na Florence Majani
Unapoingia katika mji wa Bagamoyo unalakiwa na taswira ya mji nyamavu, usio na purukushani wala shughuli nyingi.Hii ni tofauti sana na hapo zamani. Kwani hata Mjerumani Franz Ferdinand Mueller, mnamo mwaka 1888 aliusifia mji huu kwa mapana na kusema:
Bagamoyo ni mji wenye bandari kuu katika upwa wa Tanganyika, mji wenye mitaa myembamba, mawe ya ajabu, nyumba za waafrika, soko lenye purukushani, na vito vya thamani
Maneno ya Franz yanahakiki ukweli kuwa, hapo zamani Bagamoyo lilikuwa ni jiji katika nchi ya Tanganyika.
Lakini Bagamoyo hii, hivi sasa imepwaya, haina wafanyabiashara zaidi ya hoteli chache, wasanii wa vinyago wanaofanya kazi katika mazingira duni na wafanyakazi wa idara ya maliasili katika majengo ya makumbusho.
Pamoja na kubeba kumbukumbu adhimu na yenye kusisimua, Bagamoyo haina umaarufu kama ule wa makumbusho ya visiwa vya Zanzibar, Olduvai Gorge au mbuga za wanyama za Ngorongoro. Na hilo linathibitishwa na idadi ndogo ya watalii wanaoingia hapo kwa mwaka.
Na kwa hilo Bagamoyo, mji wa kale ambao ni maarufu sana duniani kutokana na kutambuliwa na shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni UNESCO kama moja ya urithi wa dunia unashindwa kupata pato la kutosha kupitia sekta ya utalii.
Ndani ya mji wa Bagamoyo zipo mali kale chekwa ambazo ni vivutio tosha vya utalii kuliko makumbusho mengine yoyote hapa Tanzania. Ni sehemu inayobeba historia ya Tanganyika na uhusiano wake na nchi nyingine duniani. Kwa nini Bagamoyo imesahaulika?
Mkurugenzi wa Maliasili,Utalii na Mazingira Donatious Kamamba anasema, kubwa linaloyafanya makumbusho ya Bagamoyo yasivume kama mengine, ni kukosekana kwa matangazo. Hayatangazwi vya kutosha na ndiyo maana unaona hata wageni wanaofika hapa ni wachache iwe wa ndani hata nje.
Hata Waziri wa Maliasili, Ezekiel Maige naye alipasua lake na kudai kuwa, Wizara ya Maliasili ina bajeti finyu isiyotosheleza mahitaji na pia, hatua ya hazina kuitaka TANAPA kuchangia asilimia 10 ya mapato nayo imepunguza uwezo wa wizara wa kutangaza vivutio kwa nguvu kubwa zaidi.
Ukweli ni kwamba, Bagamoyo ilitakiwa iwe na umaarufu kama ule wa zamani, enzi za biashara ya utumwa, na pembe za ndovu. Bagamoyo ilikuwa ni kituo kikuu cha biashara na hapa kuna historia kubwa.
Umaarufu wa Bagamoyo uliofikia upeo na kama makao makuu ya serikali ya kwanza ya mkoloni wa Kijerumani aliyeitawala Tanganyika haupaswi kupotelea upotelee hewani mithili ya moshi wa moto wa kuni au nyasi kuni, bali unatakiwa kuenziwa na kutukuzwa.
Jambo jema ambalo serikali na watanzania wanalopaswa kufahamu kuhusu Bagamoyo kuwa ni moja ya miji michache sana duniani ambayo imeteuliwa na UNESCO kuwa urithi wa duniani. Hii inatokana na mji kuwa na historia iliyotukuka na inayotakiwa kuhifadhiwa kwa faida ya dunia. Bagamoyo, kwa hiyo ni mji wa kimataifa.
Makumbusho ya Bagamoyo yalianzishwa mwaka 1957 na hata sheria ya maliasili ya mwaka 1994 ilisisitiza zaidi kuwa, vitu vyovyote vilivyotengenezwa kabla ya mwaka 1863 vinatakiwa kuwa kumbukumbu za utamaduni. Sheria inampa madaraka waziri kutangaza chochote kinachoweza kuwa kumbukumbu ya taifa.
Kwa nini Bagamoyo ni kivutio kikubwa?
Bagamoyo kuna historia kubwa mno kwa watanzania na dunia kwa ujumla. Inasadikiwa kuwa hapa ndipo dini zote mbili kuu yaani Uislamu na Ukristo zilipoingilia kwenda bara na ushahidi upo wa kanisa la kwanza katika mji huo pamoja na msikiti wa zamani sana unaokadiriwa kuwa na miaka 800.
Caravan Serai: hoteli ya misafara ya watumwa
Unapofika Bagamoyo kilomita 70 kutoka Dar es Salaam aghalabu utakutana na jengo hili ambalo lilijengwa mwaka 1860 na mhindi mashuhuri, Magram Awadh.
Hili ni eneo ambalo misafara ya watumwa ilikuwa ikikutana. Hapa ilikuwa ni sehemu ya makutano kwa ajili ya biashara zote. Ni eneo la kumbukumbu ya biashara ya pembe za ndovu na watumwa katika karne ya 19.
Ndani ya Caravan Serai utakuta picha za misafara ya watumwa, mali ambazo wafanyabiashara wa Kiarabu na Kihindi walibadilishana kwa watumwa na hali kadhalika zawadi ambazo machifu wa Kiafrika walipewa na wakoloni kwa kubadilishana na pembe za ndovu, shanga na dhahabu. Machifu wa kiafrika walipewa nguo za pamba, bakuli za udongo na vioo.
Mbali ya Caravan Serai, lipo jengo linalotambulika kama Ngome Kongwe, hii lilijengwa na Abdallah Selemani Marhab na mtu huyu alilitumia kama makazi yake.
Kutokana n uzuri na ukubwa wake, jengo hili baadaye lilitumiwa na Sultani wa Zanzibar kama makazi yake mnamo mwaka 1884 hadi 1919.
Kadri dunia ilivyokuwa ikibadilika ndivyo matumizi ya jengo hili la Ngome Kongwe yalivyobadilika, baadaye jengo lilitumika kama ngome ya jeshi la Wajerumani. Hata hivyo mwaka 1919 lilitumika kama gereza hadi mwaka 1974. Na mwaka 1974 hadi 1992 lilitumika kama makao makuu ya polisi ya wilaya ya Bagamoyo na sasa linamilikiwa na idara ya mambo ya kale.
Kibanda cha Kinyamkela
Lakini pia, kipo kibanda cha Kinyamkela. Hiki ni kibanda cha ajabu ambacho wakazi wa Bagamoyo walikitumia kufanya matambiko mbalimbali yakiwemo kuomba kuondokewa na balaa, kuponywa maradhi na kuomba heri katika kibiashara au jamii. Bagamoyo ulikusanya watu na wafanyabiashara kutoka nchi nyingi zikiwemo bara Hindi, Uarabuni, Uajemi na hata Ulaya. Ni eneo ambalo limemeza siri nyingi ambazo pengine nyingine zinawagusa mababu wa babu zetu na kugusa kwa undani kabisa juu ya historia yetu. Hivyo basi makumbusho haya kama anavyosema mbunge wa Kahama, James Lembeli kuwa ni urithi wa dunia- ni dhahabu isiyokwisha - ni tunu dhabiti kwa kizazi cha sasa na kijacho- hivyo hayana budi kutunzwa na kutangazwa.
Ahhh nyumbani ni nyumbani hata kama kukiwa ni juu ya mlima ni nyumbani tu....................
| 2017-04-28T10:48:27 |
https://www.jamiiforums.com/threads/bagamoyo-iliyosahaulika-inavyolikosesha-taifa-mapato.219738/
|
[
-1
] |
ILIKUWA furaha kwa wafungwa 5,533, walioachiwa na Rais John Magufuli kwenye maadhimisho ya miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara, huku vifi jo na machozi ya furaha yakiwabubujika raia hao, walioanza kuachia jana, kutoka magereza mbalimbali nchini.
Mithili ya bibi harusi anayeingia ukumbini, ndivyo ilivyokuwa kwa wafungwa wa kike, waliaachiwa kwenye magereza mbalimbali, ambao walibubujikwa machozi ya furaha wakati waaachiwa na kuungana na familia zao.
Wakizungumza katika Gereza la Butimba mkoani Mwanza, baadhi ya wafungwa walioachiwa huru, walisema wanashukuru kuachiwa kwao na sasa wamebadilika kitabia kutokana na mafunzo mbalimbali, waliyopata wakiwa gerezani na wako tayari kuishi katika jamii.
“Namshukuru Rais Magufuli kwa msamaha huu, nakiri kwamba gerezani kumetufundisha mengi, naahidi kuwa mama bora, nimejutia makosa yangu”, ni kauli ya Rachel Josia, mkazi wa Kibara Bunda mkoani Mara, aliyekuwa akibubujikwa machozi.
Mama huyo alifungwa miaka mitano kwa kosa la kupigana na kumtorosha mtoto. Vailet Rashidi ambaye ni mkazi wa jijini Mwanza, alihukumiwa kifungo cha miaka mitano kwa kesi ya mauaji, alisema hana zawadi ya kumpa Rais Magufuli, bali anamshukuru kwa kutoa msamaha na kuahidi kufanya kazi kwa bidii ili kumuunga mkono.
Mbali ya kumshukuru Rais Magufuli, pia wamewaomba radhi watanzania kwa vitendo viovu, walivyofanya na kwamba sasa wamejirekebisha. Walisema gerezani kulikuwa shule ya ufundi, ambayo imewapa mafunzo mengi yakiwemo ya ufundi. Waliahidi kuendeleza vipaji vyao uraiani.
Akizungumza kwa furaha baada ya kuachiwa huru nje ya gereza hilo, Timothy Silas mkazi wa Kaliua mkoani Tabora, ambaye alifungwa miaka 30 kwa kesi ya unyang’anyi, alisema anamshukuru Rais Magufuli kwa kuwasamehe bila ya kujali makosa waliyofanya.
“Tunamshukuru sana Rais wetu Magufuli, tunaomba msamaha kwa viongozi wetu wote wa serikali, vyama vya siasa, viongozi wa dini na wananchi, tumejutia makosa yetu,” alisema Silas. Silas alisema binafsi alijutia kosa lake, lakini alipoingia gerezani hajajuta kukaa humo kwa miaka 20, kwa sababu akiwa humo alipata mafunzo ya ufundi uashi na anajivunia elimu hiyo.
“Kosa najutia, ila nashukuru gerezani palibadilika na kuwa shule kwangu, nimejifunza ufundi uashi, najivunia kujenga majengo ya nyumba mbalimbali za watumishi katika jeshi la magereza mkoa wa Mwanza, jengo la Kituo cha Polisi cha Nyamhongoro wilayani Nyamagana, baadhi ya vyoo katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando, sijatoka bure,”alisema Silas.
Aliwapongeza viongozi wa dini, waliokuwa wakihubiri katika gereza hilo kuwa wamewajenga kiroho na kimaadili, akiwemo yeye mwenyewe ambaye kwa sasa ni Mchungaji wa Kanisa la Wasabato (SDA). Alisema yeye alikuwa akitoa huduma za kiroho ndani ya gereza.
“Nafurahi na namshukuru sana Rais John Magufuli na sasa naenda nyumbani kuungana na familia yangu, Mwenyezi Mungu amlinde na ampe maisha marefu,” alisema.
William Ngosa ambaye ni mkazi wa jijini Mwanza, aliyehukumiwa kifungo cha miaka 30 kwa kosa la kuvunja na kuiba mwaka 2,000, alisema awali alifungwa miaka 15 jela, lakini baada ya kukata rufani, rufani yake haikuzaa matunda na ndipo alipohukumiwa miaka 30 kwa kosa hilo na amekaa gerezani kwa miaka 19.
“Natoa shukurani zangu za dhati kwa Rais Magufuli, tuliposikia ametangaza msamaha kwetu wafungwa wote tulifurahi, nashukuru pia uongozi wa Magereza kwa kututunza na kutulea kimaadili,” alisema Ngosa na kuomba jamii iwapokee, kwani sasa ni raia wema.
Mkoani Ruvuma, jumla ya wafungwa 181 waliachiwa kutoka magereza sita ya mkoa huo, huku baadhi yao wakisema wanajutia makosa yao na kuahidi sasa kuwa mfano mzuri kwenye jamii.
Akizungumza kwa niaba ya wenzake, mmoja wa wafungwa hao, Gallus Ndunguru alimshukuru Rais Magufuli kwa uamuzi wa kuwasamehe na kumuomba kuwaangalia wenzao waliobaki, kwani wapo wanaotumikia vifungo bila hatia.
Ndunguru aliahidi kuwa mfano mzuri kwa jamii inayowazunguka na kwamba ataenda kushiriki kazi za kujitolea na kujiletea maendeleo, kwani muda waliokaa gerezani umewafundisha mambo mengi mazuri na kuwapa mafunzo ya ufundi.
Mkoani Tabora, jumla ya wafungwa 207 wameachiwa huru huku baadhi ya waliosamehewa, wakikiri kufungwa kutokana na vitendo viovu walivyofanya. Walisema sasa wanajutia, kwa kushawishika kuingia kwenye makundi ya ulevi wa kupindukia.
Baadhi ya wafungwa hao walioachiwa kwa msamaha huo na kujutia makosa yao ni Sonda Mayumbi, aliyetumikia kifungo cha miaka 19 jela kutokana na kosa la kumpa mimba mwanafunzi.
“Najutia kosa langu kwa sababu limenigharimu maisha yangu ya ujana, nilifungwa kutokana na makundi na ulevi wa kupindukia uliosababisha kutumikia kifungo cha muda mrefu gerezani,”alisema Mayumbi.
Alisema alishawishika kufuata makundi ya ulevi uliopitiliza, ambao ulimshawishi kufanya jambo lolote baya bila woga.
Aliwaasa vijana nchini, kutumia muda wao vizuri na kuepuka makundi, kama alivyofanya yeye na kupoteza ujana wake gerezani na sasa ametoka nguvu zikiwa zimepungua, na sio kijana tena.
Agoma kuachiwa huru Wakati wenzao wakifurahia kutoka magerezani, hali ilikuwa tofauti katika gereza la Ruanda mkoani Mbeya, ambako mfungwa Merad Abraham aliyeachiwa kwenye msamaha huo, amegoma kutoka kwa madai hana mahali pa kuishi.
Badala yake, mtu huyo ameomba ahamishiwe Gereza la Ukonga, jijini Dar es Salaam.
Merad alikuwa akitumikia kifungo cha miaka 30 gerezani, kwa kosa la kubaka na adhabu yake ilikuwa inaisha Juni 20 mwakani na alifungwa Juni 20 mwaka 2000.
Kwa sasa mfungwa huyo amepelekwa kwenye zahanati ya gereza hilo kwa ajili ya matibabu, baada ya kugoma kuondoka, kwani amejijeruhi kwa jiwe usoni, kama msisitizo wa kukataa kuachiwa huru.
Mkoani Dodoma msamaha wa Rais Magufuli umewapa kicheko wafungwa 385 ambao wameachiwa huru na kuungana na familia zao uraiani, wakiwemo 114 wa Gereza la Isanga.
Akizungumza mara baada ya kuachiwa huru, Abdallah Ramadhan (55) Mkazi wa Singida aliyefungwa kwa kosa la kubaka mwaka 2000, alisema alibambikiwa kesi ya kubaka akiwa na miaka 35.
Ramadhan ambaye alikuwa anatumikia kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la ubakaji huku akiwa ametumikia miaka 19, amemuomba Rais John Magufuli kuwakumbuka na kuwapa msamaha wafungwa wengine, kwa sababu hali ndani ya gereza sio nzuri.
“Namshukuru Rais pamoja na wenzangu kwa kuweza kutupa msamaha, tumefarijika lakini kule bado kuna wazee na mahabusu wanateseka, kwa kifupi maisha ya kule sio mazuri hili liangaliwe,” alisema
Alisema wakati anatumikia kifungo chake, amejifunza mambo mengi, huku akionesha kusikitishwa na kifo cha mke wake. “Nimeambiwa mke wangu alifariki, nimeumia sana, nilimuacha akiwa na watoto wangu wawili wadogo leo ni miaka 19, nina hamu ya kwenda kuungana na watoto wangu japo mama yao katangulia mbele za haki,”alisema Ramadhan.
Aliongeza: “ Nimuombe sana Rais, hili la watu kubambikiziwa kesi aliangalie, mimi niliingiza mifugo shambani nikabambikiziwa kesi ya kubaka nikafungwa miaka 30 nimekuwa kwenye maumivu makali mno,”alisema Ramadhan.
Ramadhan alisema atakuwa balozi mzuri wa kufanya kazi kwa bidii kutokana na mafunzo, ambayo ameyapata wakati akiwa gerezani.
“Msamaha tuliopewa na Rais iwe chachu kwao ya kwenda kuwa walimu wa nidhamu katika mitaa wanayoenda kuishi” alisema.
Jijini Dar es Salaam, jumla ya wafungwa 293 wamepata msamaha huo wa Rais Magufuli, ambapo Mkuu wa Magereza jijini humo, Julius Ntambala alibainisha kuwa wafungwa hao walianza kuachiwa huru jana na kulakiwa na ndugu zao.
Alisema kuwa leo wataachiwa wengine na kuwa watakuwa wakiachiwa taratibu na hadi kufikia kesho kutwa, wote watakuwa wameachiwa kutoka magereza ya Keko, Segerea na Ukonga.
Alisema, kuna taratibu za kawaida za kiutendaji, zinazofanywa na uongozi wa gereza katika kuwaachia wafungwa hao, huku akibainisha kuwa wote watatolewa kama ilivyoagizwa.
Alisema,”Kesho (leo) tunaendelea kuwaachia wafungwa wengine hadi idadi kamili ya kuwaachia wafungwa wote 293 wa Mkoa huu wa Dar es Salaam na wote wataachiwa ili wakaungane na familia za wapendwa wao”.
Akitoa taarifa, Mkuu wa Magereza wa Mkoa wa Dodoma, Keneth Mwambije alisema wafungwa 385 walioachiwa kwa msamaha wa Rais, walikuwa miongoni mwa wafungwa waliopata mafunzo mbalimbali ya ujenzi, kilimo na kazi za mkono, kama ufumaji wa vitambaa na vikapu.
Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongela aliongozana na Kamati ya Ulinzi na Usalama kwenda Gereza la Butimba ambako alisema amehakikishiwa wafungwa wote waliosamehewa wataachiwa huru.
Aliwashukuru wafungwa walioachiwa huru gerezani hapo, kwa kuonesha utulivu na kwamba hatua yao ya kupatiwa msamaha na Rais Magufuli, inatokana na upendo wake kwa Watanzania hasa wanyonge.
Kamishina Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini, Phaustine Kasike alimshukuru Rais John Magufuli kwa msamaha huo mkubwa na wa kihistoria aliuotoa kwa mara ya kwanza hapa nchini.
Alisema msamaha huo una utofauti na misamaha ya nyuma, ambayo iliwahi kutolewa kwa wafungwa nchini, ambayo ilijikita katika kuangalia aina ya makosa na kesi kama vile za unyang’anyi, wizi wa kutumia silaha, ulawiti na uhujumu uchumi, lakini msamaha wa mwaka huu uliotolewa umejikita katika kuangalia muda wa kifungo.
Aliwataka wafungwa waliopata mafunzo wakiwa magerezani, waende wakatumie ujuzi walioupata kwenye makazi yao katika kufanya kazi kwa bidii, kwa kuzingatia kanuni na sheria za nchi pasipo tena kujihusisha kwenye vitendo vya uhalifu.
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Christina Mndeme aliyeshuhudia kuachiwa kwa wafungwa kutoka magereza mawili ya Songea na Kitai, kati ya magereza sita mkoani humo, aliwataka walioachiwa huru kuwa mfano bora kwenye jamii.
Mndeme ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama, aliwataka kutumia mafunzo waliyopata wakiwa gerezani kuzalisha mali,ikiwemo shughuli za kilimo kama njia pekee ya kujikomboa na umaskini.
Pia, Mndeme alimuomba Kamishina wa Magereza nchini, kuliongezea Gereza la Kitai idadi ya wafungwa kwa kuwa ni miongoni mwa magereza ya kimkakati nchini yaliyopewa jukumu la kuzalisha chakula.
Alisema kuachiwa kwa wafungwa kwenye gereza hilo, kumepunguza nguvu kazi ya kilimo.
Wakati wakuu hao wa mikoa wakisema hayo, Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Agrey Mwanri aliwataka wafungwa waliopata msamaha kwenye mkoa wake, kufanya kazi kwa bidii na jamii inayowazunguka na kuachana na vitendo viovu.
Mkoani Songwe, wafungwa 96 ni miongoni mwa wafungwa waliopata msahama wa Rais Magufuli, alioutoa juzi kwenye maadhimisho ya miaka 58 ya Uhuru jijini Mwanza.
Mmoja wa wafungwa waliopata msamaha huo katika Gereza la Mbozi, Victoria Adam alimshukuru Rais Magufuli akisema gereza lilikuwa darasa kwake, ametoka akiwa na ujuzi na sasa anakwenda kuwa raia mwema.
Mfungwa mwingine, Fred Daud alisema anajutia kosa lake na sasa anaahidi kuwa raia mwema na atakwenda kufanya kazi kwa bidii uraiani.
Alisema gereza ni sehemu ya urekebishaji tabia na yeye amerejirekebisha.
Aliwashauri vijana wote wafanye kazi halali, ambazo hazitawaletea matatizo kwa kuwa kazi halali zipo nyingi. Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Nicodemus Mwangela alitembelea baadhi ya magereza yaliyoachia wafungwa na kuwashauri kuwa raia wema na kuwatia moyo waliobaki kubadilika tabia .
Kamishna Msaidizi wa Magereza, Laizack Mfaume Mwaseba alisema amekuwa akipokea malalamiko ya ucheleweshaji wa nakala za hukumu kutoka kwa wafungwa na amekuwa akiwasiliana na mahakimu ili waweze kuzitoa nakala hizo, kwa kuwa ucheleweshaji huo unawanyima wafungwa haki ya kukata rufaa.
Juzi kwenye Sherehe za Miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania Bara mkoani Mwanza, Rais Magufuli alitoa msamaha wa kihistoria kwa wafungwa 5,533 nchini.
Mikoa na idadi ya wafungwa na mahabusu waliosamehewa ni: Kagera (713), Dodoma (385), Morogoro (365), Mara (260), Mbeya (259), Kigoma (252), Tanga (245), Geita (230), Rukwa (214), Arusha (208) Dar es Salaam(293) na Manyara 207. Mikoa mingine ni Tabora (207), Mwanza (190), Ruvuma (181), Singida (139), Simiyu (136), Lindi (299), Pwani (128), Iringa (110), Songwe (96), Katavi (74), Shinyanga (74) na Njombe 70.
Imeandikwa na Nashon Kennedy,Mwanza, Anastazia Anyimike,Dodoma, Evance Ng’ingo,Dar, Muhidin Amri, Songea na Lucas Raphael, Tabora.
| 2020-08-03T15:08:11 |
https://habarileo.co.tz/habari/2019-12-115df085103fc22.aspx
|
[
-1
] |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.