text
stringlengths 44
187k
| timestamp
timestamp[us] | url
stringlengths 16
3.37k
| dup_ids
list |
---|---|---|---|
Mambo ya Kuzingatia Unapotaka Kusafiri na Mtoto. - ZanziNews
Home HABARI MATUKIO Mambo ya Kuzingatia Unapotaka Kusafiri na Mtoto.
Mambo ya Kuzingatia Unapotaka Kusafiri na Mtoto.
Sidhani kama kuna mtu hajawahi kukumbana na kadhia ya watoto kwenye chombo cha usafiri iwe ni basi, meli, ndege, treni au usafiri nafsi. Ni mara ngapi umewahi kusafiri halafu ukaketi pembeni na mtoto ambaye yeye analia tu safari nzima huku mzazi akiwa hana njia yoyote ile ya kumnyamazisha? Nadhani utakuwa una kumbukumbu nzuri tu ya namna ulivyokwazwa.
Zipo sababu nyingi ambazo husababisha watoto kuwa wasumbufu wakiwa njia na kwa kawaida hiyo ni asili yao kutokana na umri au udadisi walionao. Jumia Travel imemekukusanyia mbinu zifuatazo ili kuzuia hali hiyo kutojirudia tena pindi utakasafiri.
Jipange mapema kwa safari. Maandalizi ni muhimu kwenye jambo lolote lile ili uweze kufanikiwa. Vivyo hivyo kwenye safari yoyote ile inabidi ujipange mapema hususani kama unatarajia kusafiri na watoto wadogo. Yapo mahitaji mengi ya kuzingatia unapokuwa safarini na watoto tofauti ukiwa wewe mwenyewe. Watoto wanahitaji uangalizi na umakini wa hali ya juu. Hivyo basi hakikisha kama haujawahi kusafiri na watoto basi ni vema ukaulizia kwa waliowahi kufanya hivyo ili ujue mambo ya kuzingatia na kutarajia.
Wasiliana na kampuni unayoarajia kusafiri nayo. Zipo taratibu tofauti zilizowekwa na makampuni mbalimbali ya usafiri pale linapokuja suala la kusafiri na watoto. Kama mzazi unaweza ukafikiri kwamba watoto hawatozwi nauli na mambo yakawa tofauti. Imetokea mara kadhaa unakuta wazazi wanasafiri na watoto wao na wakalazimishwa kuwalipia nauli kama watu wazima. Hivyo ili usije kushtukizwa na jambo hili ni vema ukafanya utaratibu mapema.
Kata tiketi mapema. Baada ya kujipanga na safari yako na kujua taratibu zote za kufuata ni vema ukakata tiketi yako mapema iwe ni basi, meli au ndege. Hii itakuepusha na maandalizi ya dakika za mwisho ambayo yanaweza kukusababishia ukakosa usafiri. Mbali na hapo kukata tiketi mapema kunaweza kukusaidia ukapata kwa bei rahisi na pia kuchagua kuketi mahali utakapopenda wewe. Lakini pia itakupatia muda wa kujipanga na mahitaji mengine pindi ukiwa safarini.
Beba begi la nguo za watoto. Tofauti na watu wazima kwa watoto wadogo inahitaji kubeba nguo za ziada. Ukiwa njiani mtoto anaweza kujisaidia, kutapikia au kujichafua pindi anakula au unamlisha. Hivyo haitopendeza kusafiri na mtoto safari nzima akiwa mchafu. Katika kuchagua nguo za kubeba hakikisha unabeba zile zilizo muhimu tu ili kuepuka mzigo usiwe mzito.
Pakia chakula cha njiani kwa ajili ya watoto. Unaposafiri na mtoto mdogo ni vema ukatambua kwamba siku zote yeye huhitaji kile anachokitaka muda na wakati ule ule. Kwa hiyo ili kuepuka usumbufu kwa abiria wengine pale mtoto anapohitaji chakula hakikisha umebeba kwenye begi lako. Mtoto mdogo haelewi kwamba kula ni mpaka mfike kituo fulani au ufike mwisho wa safari. Mara nyingi watoto wakikosa kile wanachokihitaji hulia jambo ambalo huwakera abiria wengi.
Beba vitu vya kuchezea. Kwa kuwa safari nyingi huchukua muda na umbali mrefu kumalizika hakikisha kwenye mizigo yako umejumuisha vitu vya kuchezea au kumtuliza kwa ajili yake. Unaweza kubeba midori anayoipendelea, vifaa vya michezo au vitabu. Vitu hivyo vitasaidia kumtuliza kwa umbali na muda fulani hata kama sio safari yote. Ukiwa na mtoto ambaye hasumbui au hupendelea kulala zaidi basi utakuwa umebarikiwa sana lakini inajulikana watoto wengi ni wasumbufu.
Usisahau kubeba dawa. Kwenye safari mambo mengi hutokea mojawapo ni afya kubadilika ghafla. Huwa inatokea mara kadhaa ukakuta abiria anatoka salama lakini kufika katikati ya safari akaumwa na kichwa, tumbo kuchafuka au kusikia kizunguzungu. Msaada pekee katika kukabiliana na changamoto hizo ni kubeba dawa. Na kwa mtoto pia hakikisha unamuona mtaalamu wa kiafya ili kupata ushauri juu ya changamoto gani zinaweza kumkumba mtoto safarini na namna ya kukabiliana nazo.
Kama mdau wa huduma za usafiri kwa njia ya mtandaoni ndani na nje ya Tanzania, Jumia Travel inatarajia kuzindua vifurushi ambavyo vitalenga wanafamilia. Kupitia huduma hii mpya itakayozinduliwa hivi karibuni, wanafamilia hawatokuwa tena na wasiwasi juu ya kusafiri na watoto wao ambapo mara nyingi huwa ni changamoto kubwa. Kwani kupitia ushirikiano na maelefu ya hoteli wanayoshirikiana nayo nchi nzima wamelirahisisha suala hilo kwa kutenga gharama nafuuu kabisa.
| 2017-09-21T10:38:57 |
http://www.zanzinews.com/2017/08/mambo-ya-kuzingatia-unapotaka-kusafiri.html
|
[
-1
] |
Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI: Mtoto wa MJINI anaweza kudhania UMEMTUKANA ukimuita ``MKULIMA´´ .:-(
Tekenya mawazo na VIJANA FM.
LABDA ni rahisi kugeuza MANENO yageuke VITENDO ka...
SOMO- kama unafuatilia YANAYOMKUTA Mtukufu Rais BA...
Aongeaye KIPARE kwa sauti ya KISUKUMA anaweza kust...
Ukichunguza GWAGURO CHAFU unaweza kugundua kuna ma...
Tangazo: CHEKA UPASUKE!
Katika siasa za TANZANIA ZA UCHAGUZI mtu akisema-...
Leo katika shukrani: AHKSANTE MJUSI!
Tukiangalia UTU kwa kuangalia MAANDALIZI ya MSICHA...
VYAKULA vinazidi kuwa BANDIA kama sura za WAIGIZA ...
Kitu chanya kiduchu katika RIPOTI kuhusu TANZANIA...
Mtoto wa MJINI anaweza kudhania UMEMTUKANA ukimuit...
Katika kutetea haki ya watu KUJISAIDIA HADHARANI!:...
Nawasiwasi na UNDANI wa sifa MTU apewazo kama zil...
Ukichunguza ni wapi BINADAMU hutolea hasira zao wa...
Hebu tumsikilize tena NYERERE....
Labda ni KWELI hakuna KUKU WAWILI WAKIENYEJI wafan...
NI silika ya kawaida ya KIBINADAMU PIA kwa mtu k...
UTAMU wa ASALI usifuatilie NYUKI ASIYEJUA KUOSHA ...
STORI za MAKANDE hunoga zaidi kama UMSIMULIAYE mac...
Katika kufananisha MTANDAO na BIBLIA,...
HISTORIA ya WACHAGA ikiandikwa na MCHAGA ni rahisi...
NI rahisi kuamini kuwa YESU alikuwa havuti BANGI ...
Kama CHAKULA kingekuwa KINAONJWA tumboni na utumbo...
LABDA pigisha lugha yako PUNYETO , mie we' SIKUE...
Ni rahisi kuongelea uwezekano wa kuwa RAIS NYERERE...
DUNIA imejaa MAKELELE ya WENGINE na usipoangalia ...
Nawatakieni EID MUBARAK wadau WOTE bila ubaguzi...
Jicho katika MAISHA YA BINADAMU kama tukichukuli...
SI lazima WAJANJA wanamjua MTUNDU!:-(
Simulizi za aina tofauti tofauti za MNATO!
Pamoja na yote, BINADAMU huanza kuzeeka AKIZALIWA...
Labda MUNGU siku hizi anawasikiliza WACHINA zaidi...
STAILI ya KUJISHEBEDUA ya MTU mbele ya MPENZI ikih...
NDUGU wananchi, KUGOMBEA ubunge ghali kwa hiyo mki...
Wakati unauhakika unaonja kwa MARINGO,...
Msichana MASHARUBU!:-(
Mtoto wa MJINI anaweza kudhania UMEMTUKANA ukimuita ``MKULIMA´´ .:-(
Kuna uwezekano JEMBE linauwezo wakumtupa MKULIMA,...
... kama mambo yote kimuonekano MWENYE trekta ndio mjanja kuliko mtumia jembe.:-(
Na kwa kuwa wajanja wanatumia PENI na KOMPUTA hata katika kuiba HATA ya WAKULIMA,...
.... yaweza kueleweka ukikuta VIJANA KIJIWENI huku wakikuona UNACHEMSHA katika jitihada zako za kuwaambia wakashike jembe huku wanashuhudia waheshimiwao katika TAIFA wako mbali na JEMBE.:-(
Kwani unabisha MKULIMA WA JEMBE na FISADI MTUMIA PENI wakishindana katika utamaduni wetu mpya wa UMISS aka FASHENI SHOO labda kiulaini tu ni FISADI ndio atashinda hata angalau kwa kufikiriwa ndiye mwenye paja laini?
Hata bila kuchunguza sana utastukia kuna shughuli zinadharaulika TANZANIA !:-(
Na tokea watajirikao haraka haraka KWA NJIA ZISIZO HALALI kuonekana WAJANJA,...
.... karibu shughuli zote hata AMBAZO ZILIKUWA ZINAHESHIMIKA ambazo HUWEZI KULIA vizuri OFISINI ukatajirika KIRAHISI zimepungua heshima zikiwemo:
...nk ,
Ndio kuna waoanishao bado UKULIMA na vitu NISHAI,....
.....na labda kumbuka hilo ukiwa unatafakari waongeleao sera za KILIMO KWANZA huwa wanamlenga nani na wanageuzaje swala zima la MVUTO wa UKULIMA ambao TANZANIA ndio inaudai ni UTI WA MGONGO.
Ndio UKULIMA ni mgumu na JAMII inaabudu wapendao ulaini wa shughuli na lolote gumu kama HALINA pesa kuonekana NISHAI,...
...na kwa bahati mbaya JAMII haifunzi watu kufikiria MAMBO kiundani kwa hizyo ni MWENYE BUSARA KUDHARAULIWA kirahisi kisa hawezi kununua BIA na kutuliza mawazo yeye anakunywa GONGO.:-(.
Si ukiwa MWIZI na bonge la BENZI unaweza kusikilizwa kuliko ukiwa MKUU wa SHULE ya KIJIJI mwenye busara na baiskeli yako tu ya zamani ya aina ya SWALA?
Ukitaka kujua TANZANIA tuko matatani,.....
... angalia hata hizi PROFESHENI muhimu tu zitazamwavyo:
Walimu ambao ndio tegemeo la TAIFA katika kuondoa ujinga, wanadharauliwa hasa kisa hata mishahara yao tu haiwawezeshi kuishi vizuri.
Mapolisi walindao amani , hawana amani WAO WENYEWE kwa kuwa hawawezikutegemea kazi wakaishi vizuri.
Manesi wahudumiao WAGONJWA ndio kabisaa hata sijui wanapata wapi nguvu za kuhangaika na wagonjwa NA MATAPISHI YAO bila kusahau UHARISHO siku nyingine, DAMUDAMU KWA SANA, ....wakati wanadharaulika na mishahara yao ndio hivyo tena .:-(
Wakulima ndio hivyo tena - MJINI unaweza hata kukosa mchumba kwa kujulikana we MKULIMA kitu ambacho ni cha ajabu kwa kuwa bila WAKULIMA maakuli hakuna.:-(
Angalau sikuhizi WACHUNGAJI katika ujasiliamali wakujianzishia MAKANISA unaweza kujikuta WANAOFANIKIWA KUWATISHA vizuri WAUMINI WAO kuhusu JEHANAMU wanaweza wakajikuta WANAPATA sadaka nyingi kwa hiyo VIPRADO na angalau tu MVINYO wa nyumbani ambao hukatwa katika bajeti ya MVINYO wa KANISANI unaweza kukuta haukosekani nyumbani kwa MCHUNGAJI.:-(
NAWAZA TU KWA SAUTI MHESHIMIWA usikonde!
Hebu Jermiah arudie -Wizi Mtupu
Bonta aendelee katika ndude - Nauza Kura Yangu
Au tu Ras Lion na Joni Woka wabadili mkao kwa-HII KITU
Aliyetonesha kidonda: Simon Kitururu Muda: Wednesday, September 22, 2010
chib 1:46 am
Mtoto wa mjini kumuita mkulima!!!, ha ha haaaaa. Umenikumbusha visa vya shuleni enzi hizo..
Hata na redio ya mkulima maarufu kama dudu proof
Chacha o'Wambura a.k.a Ng'wanambiti! 7:46 am
..ni sawa na kumwambia mporipori...lol!
asichojua mtu ni kuwa mkulima yaweza kuwa chochote kama mmoja wa viongozi kujiita mtoto wa mkulima kisha ukastukia dili kuwa ni bonge la fisadi :-(
Markus Mpangala 2:01 pm
Duh!!!!! mwanafalsafani
SIMON KITURURU 4:13 pm
@CHIB: :-)
@Kadinali CHACHA o'WAMBURA:Ndio hapooo sasa!:-(
@Mkuu Markus: Mmmh!
| 2018-02-21T05:21:34 |
http://simon-kitururu.blogspot.com/2010/09/mtoto-wa-mjini-anaweza-kudhania.html
|
[
-1
] |
Samatime: Wakenya Wasema "Mr.Nice anafaa kuheshimiwa, anakipaji special ambacho kinafaa kutunzwa"
Wakenya Wasema "Mr.Nice anafaa kuheshimiwa, anakipaji special ambacho kinafaa kutunzwa"
Siku chache baada ya record lebel ya Grand Pa ya Kenya kutangaza kumsaini Mr. Nice, DNA ambae pia ni member wa lebel hiyo amefunguka kuhusu jinsi walivyompokea member huyo mpya katika familia ya Grand Pa.
Akizungumza na Milazo 101 ya Radio One amesema Mr. Nice anafaa kuheshimiwa kutokana na uwezo wake na kwamba ana kipaji special ambacho kinafaa kutunzwa. Amefafanua kuwa wao ndio waliomtafuta mwanamuziki huyo ambae wanaamini bado anapendwa sana na fans wake hususani nchini Kenya.
“Mr. Nice hakuomba nafasi tulimtafuta sisi, kwa sababu tunatambua kipaji chake na tunajua kwamba wasanii sio kama karatasi ya choo, sio kama mtu akinyamaza amepotea na tena hana kazi. May be unakuta labda hako na management ama kuna issue flani ya kibinafsi mtu akanyamaza. Mr. Nice ndiyo kabisa kutoka Tanzania ianze yeye ndiye alifanya bongo ikajulikana Afrika mashariki na anafaa apewe nafasi tena na tena na tena.”
Alifunguka zaidi kuwa Grand Pa kwa kushirikiana na Mr. Nice wanaweza kumrudisha Yule Mr. Nice wa kipindi kile.
“Grand Pa kwa kushirikiana na Nice anaweza akarudi, Grand Pa yenyewe haiwezi. Nice mwenyewe alifanya nyimbo ambazo sasa hivi bado zinagongwa Kenya baada ya miaka nane miaka kumi unajua, it means jamaa bado ako na kipaji special ambacho kinafaa kutunzwa. Wasanii wengi wanavipaji lakini wanakosa kufaulu because hawana Management, ndo hivyo sasa Mr. Nice yuko ndani ya Nyumba tunafanya nae.”
Hata hivyo uongozi wa Grand Pa umemzuia kwa muda Mr. Nice kuzungumza na Media kwa sababu za kiutawala hadi pale watakapoanza tour yake nchini Kenya hivi karibuni.
Posted by Sabato Manyama at 1:25 PM
| 2018-02-23T14:38:21 |
http://samatym.blogspot.com/2013/04/wakenya-wasema-mrnice-anafaa.html
|
[
-1
] |
1Sa 25 | Neno | STEP | Basi Samweli akafa, nao Israeli wote wakakusanyika na kumwombolezea; wakamzika nyumbani kwake huko Rama. Kisha Daudi akatelemka kwenye Jangwa la Maoni.
Daudi, Nabali Na Abigaili
1 Basi Samweli akafa, nao Israeli wote wakakusanyika na kumwombolezea; wakamzika nyumbani kwake huko Rama.
Kisha Daudi akatelemka kwenye Jangwa la Maoni. 2 Mtu mmoja huko Maoni, aliyekuwa na mali huko Karmeli, yeye alikuwa tajiri sana. Alikuwa na mbuzi elfu moja na kondoo elfu tatu, aliokuwa akiwakata manyoya huko Karmeli. 3 Jina la mtu huyo aliitwa Nabali na jina la mkewe aliitwa Abigaili. Alikuwa mwanamke mwenye busara na mzuri wa sura, lakini mumewe, ambaye alikuwa wa ukoo wa Kalebu, alikuwa mwenye hasira na mchoyo katika utendaji wake.
4 Wakati Daudi alipokuwa huko jangwani, akasikia kuwa Nabali alikuwa anakata kondoo manyoya. 5 Basi akatuma vijana kumi na kuwaambia, “Pandeni kwa Nabali huko Karmeli na msalimieni kwa jina langu. 6 Msalimieni mkimwambia: ‘Amani iwe kwako! Amani iwe kwako pamoja na wa nyumbani mwako! Pia amani iwe pamoja na vyote ulivyo navyo!
7 “ ‘Nasikia kuwa huu ni wakati wa kukata kondoo manyoya. Wachunga mifugo wako walipokuwa pamoja nasi, hatukuwatendea mabaya na wakati wote waliokuwa huko Karmeli hakuna cho chote chao kilichopotea. 8 Waulize watumishi wako nao watakuambia. Kwa hiyo uwatendee wema vijana wangu, kwani tumekuja wakati wa furaha. Tafadhali wape watumishi wako na mwanao Daudi cho chote kitakachokuja mkononi mwako kwa ajili yao.’ ”
9 Watu wa Daudi walipofika wakampa Nabali ujumbe huu kwa jina la Daudi. Kisha wakangojea.
10 Nabali akawajibu watumishi wa Daudi, “Huyu Daudi ni nani? Huyu Mwana wa Yese ni nani? Watumishi wengi wanakimbia kutoka kwa bwana zao siku hizi. 11 Kwa nini nichukue mkate wangu, maji yangu na nyama niliyochinja kwa ajili ya wakata manyoya wangu, na kuwapa watu ambao hakuna anayejua wanakotoka?”
12 Watu wa Daudi wakageuka na kurudi. Walipofika, wakaarifu kila neno. 13 Daudi akawaambia watu wake, “Jifungeni panga zenu!” Basi wakajifunga panga zao, naye Daudi akajifunga upanga wake. Watu kama mia nne hivi wakapanda pamoja na Daudi, na watu mia mbili wakabaki na vifaa.
14 Mmoja wa watumishi akamwambia Abigaili, mkewe Nabali: “Daudi alituma wajumbe kutoka jangwani kumpa bwana wetu salamu zake, lakini akawavurumishia matukano. 15 Hata hivyo watu hawa walikuwa wema sana kwetu. Hawakututendea mabaya, na wakati wote tulipokuwa nje huko mashambani karibu nao, hatukupotewa na kitu cho chote. 16 Usiku na mchana walikuwa ukuta wakituzunguka wakati wote tulipokuwa tukichunga kondoo zetu karibu nao. 17 Sasa fikiri juu ya jambo hili na uone unaweza kufanya nini, kwa sababu maafa yanakaribia juu ya bwana wetu na nyumba yake yote. Yeye ni mtu mwovu kiasi kwamba hakuna mtu awezaye kuzungumza naye.”
18 Abigaili akafanya haraka, akachukua mikate mia mbili, viriba viwili vya divai, kondoo watano waliochinjwa vipimo vitano vya bisi, vishada mia moja vya zabibu kavu, mikate mia mbili ya tini, akavipakia juu ya punda. 19 Kisha akawaambia watumishi wake, “Tangulieni, mimi nitakuja nyuma yenu.” Lakini hakumwambia Nabali mumewe.
20 Ikawa alipokuwa amepanda punda wake kwenye bonde la mlima, tazama, Daudi na watu wake wakawa wanatelemka kumwelekea, naye akakutana nao. 21 Daudi alikuwa amesema, “Ilikuwa ni kazi bure kuchunga kwangu kote mali za huyu mtu huko jangwani hivi kwamba hakuna cho chote chake kilichopotea. Yeye amenilipa baya kwa ajili ya wema. 22 BWANA na amshughulikie Daudi, tena kwa ukali, ikiwa kesho asubuhi nitambakizia mwanaume hata mmoja aliye hai miongoni mwa watu wake wote!”
23 Abigaili alipomwona Daudi, akashuka haraka kwenye punda wake, akainama kifudifudi uso wake mpaka nchi mbele ya Daudi. 24 Akamwangukia miguuni pake na kusema: “Bwana wangu, kosa hili na liwe juu yangu mwenyewe. Tafadhali mruhusu mtumishi wako aseme nawe. Sikia kile mtumishi wako atakachosema. 25 Bwana wangu na asimjali huyo mtu mwovu Nabali. Yeye anafanana na jina lake; jina lake ni Mpumbavu, nao upumbavu huenda pamoja naye. Lakini kwangu mimi, mtumishi wako, sikuwaona hao watu waliotumwa na bwana wangu.
26 “Basi sasa, kwa kuwa BWANA amekuzuia, wewe bwana wangu, kutokumwaga damu na kutolipiza kisasi kwa mikono yako mwenyewe, hakika kama BWANA aishivyo na kama uishivyo, maadui zako na wote wanaokusudia kumdhuru bwana wangu wawe kama Nabali. 27 Nayo zawadi hii ambayo mtumishi wako amemletea bwana wangu, wapewe watu wanaofuatana nawe. 28 Tafadhali samehe kosa la mtumishi wako, kwa kuwa BWANA kwa hakika atafanya imara jamaa ya kifalme kwa bwana wangu, kwa sababu anapigana vita vya BWANA. 29 Hata ingawa yuko mtu anayekufuatia kuondoa uhai wako, usiruhusu baya lo lote kuonekana kwako siku zote za maisha yako, uhai wa bwana wangu utafungwa salama kwenye furushi la walio hai na BWANA Mungu wako. Lakini uhai wa adui zako atavurumishwa kama vile jiwe kutoka kwenye kombeo. 30 BWANA atakapokuwa ameshamtendea bwana wangu kila kitu chema alichoahidi kumhusu yeye na kumweka kuwa kiongozi wa Israeli, 31 bwana wangu hatakuwa na dhamiri inayolemewa na mzigo kwa kumwaga damu kusiko na sababu, au kujilipizia kisasi yeye mwenyewe. BWANA atakapomletea bwana wangu mafanikio, umkumbuke mtumishi wako.”
32 Daudi akamwambia Abigaili, “Ahimidiwe BWANA, Mungu wa Israeli aliyekutuma kunilaki leo. 33 Ubarikiwe kwa uamuzi wako mzuri na kwa kunizuia nisimwage damu leo na kulipiza kisasi kwa mikono yangu. 34 La sivyo, hakika kama BWANA, Mungu wa Israeli, aishivyo, ambaye amenizuia nisiwadhuru, kama usingekuja haraka kunilaki, hakuna hata mwanaume mmoja wa Nabali angeachwa hai kufikia mapambazuko.”
35 Ndipo Daudi akapokea kutoka mkononi mwake kile alichokuwa amemletea, naye akasema, “Nenda nyumbani kwako kwa amani; nimesikia maneno yako na kukujalia ombi lako.”
36 Abigaili alipokwenda kwa Nabali, alikuwa ndani ya nyumba yake akifanya karamu kama ile ya mfalme. Naye alikuwa ana furaha nyingi, akiwa amelewa sana. Kwa hiyo Abigaili hakumwambia mumewe kitu cho chote mpaka asubuhi yake. 37 Basi asubuhi, Nabali alipokuwa amelevuka, mkewe akamwambia mambo yote, nao moyo wake ukazimia, akawa kama jiwe. 38 Baada ya siku kumi, BWANA akampiga Nabali, naye akafa.
39 Daudi aliposikia kwamba Nabali amekufa, akasema, “Ahimidiwe BWANA, ambaye amenitetea shauri langu dhidi ya Nabali kwa kuwa alinitendea kwa dharau. Amemzuia mtumishi wake asitende mabaya na BWANA ameuleta ubaya wa Nabali juu ya kichwa chake mwenyewe.”
Kisha Daudi akatuma ujumbe kwa Abigaili kumwomba awe mke wake. 40 Watumishi wa Daudi wakaenda mpaka Karmeli na kumwambia Abigaili, wakisema, “Daudi ametutuma kwako kukuchukua uwe mkewe.”
41 Akainama chini uso wake mpaka ardhini, akasema, “Mjakazi wako yuko hapa, tayari kuwatumikia na kuwanawisha miguu watumishi wa bwana wangu.” 42 Abigaili akainuka kwa haraka, akapanda punda wake, akihudumiwa na wajakazi wake watano, akaenda pamoja na wajumbe wa Daudi, naye akawa mkewe. 43 Pia Daudi alikuwa amemwoa Ahinoamu wa Yezreeli, wote wawili wakawa wake zake. 44 Lakini Sauli alikuwa amemwoza Mikali binti yake, aliyekuwa mkewe Daudi, kwa Palitieli mwana wa Laishi, aliyekuwa mtu kutoka Galimu.
| 2019-01-20T17:09:35 |
https://www.stepbible.org/?q=version=Neno%7Creference=1Sa.25
|
[
-1
] |
JOSHUA NASSARI AMJIBU POLEPOLE - KIJUKUU CHA BIBI K | Habari na Matukio
Uncategories JOSHUA NASSARI AMJIBU POLEPOLE
JOSHUA NASSARI AMJIBU POLEPOLE
Mbunge wa Arumeru Mashariki kupitia CHADEMA, Joshua Nassari amefunguka kwa kumjibu Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole kwamba amemsikia alichokizungumza na kuahidi akirudi Tanzania ataweka ukweli wote hadharani.
Nassari amebainisha kupitia ukurasa wake maalum wa facebook jioni ya leo baada ya kusikia kauli kutoka kwa Humphrey Polepole ikidai kama kweli viongozi wa upinzani wanaushahidi wa rushwa ama kununuliwa madiwani waliohamia CCM wakitokea CHADEMA basi wanapaswa kuweka hadharani kwa kutaja hata majina ya wahusika na sio kulingishia.
"Nimemsikia ndugu Polepole. Nipo Nairobi, nikirejea tu nyumbani Tanzania nitaweka hadharani ushahidi huu, usiokuwa hata na chembe moja ya shaka. Ili tuone kama kweli CCM itachukua hatua kwa wateule wa rais", ameandika Nassari.
Hayo yote yamekuja baada ya kupita takribani siku mbili tokea mbunge Joshua Nassari kudai ana ushahidi usiotia shaka juu ya madiwani ambao wamepokelewa na Rais Magufuli wakati alipokuwa katika ziara yake mkoani Arusha kuwa wamenunuliwa na kupewa rushwa na siyo kwamba wamehama kwa lengo la kukubali kazi zinazofanywa na serikali ya awamu ya tano.
| 2018-03-24T02:30:22 |
http://www.kijukuu.com/2017/09/joshua-nassari-amjibu-polepole.html
|
[
-1
] |
Contributions by Hon. Ahmed Juma Ngwali (12 total)
MHE. AHMED JUMA NGWALI: Mheshimiwa Mwenyekiti, nashukuru kwa kunipa fursa hii. Kwanza nianze kwa kumpongeza Msemaji wa Kambi ya Upinzani kwa hotuba yake ambayo pamoja na mambo mengine neno Ngariba lilizua taharuki. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba nianze na hoja yangu kwa kutumia Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nyuma huku kwenye Katiba katika orodha ya Mambo ya Muungano orodha ya kwanza, Kifungu Na. 15 kinachohusu mafuta na gesi, ambacho hivi karibuni mwaka 2015, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha sheria tatu, Sheria ya Petroleum, Sheria ya Mafuta na Gesi ya Revenue na Sheria ya Ustawi wa Mafuta na Gesi. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, jambo ambalo linanisikitisha sana dhamira na lengo ya sheria hizi tatu ilikuwa ni kwamba, zinapitishwa sheria, baada ya kupitishwa sheria tunapitisha Katiba mpya, baada ya kupitishwa Katiba mpya, mafuta yanaondolewa katika Mambo ya Muungano. Jambo la kusikitisha ni kwamba, sheria zinaendelea kufanya kazi, kila mmoja kwa upande wake, lakini bado Katiba inatambua kwamba mafuta na gesi ni mambo ya Muungano. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, jambo hili ni la ajabu sana, Serikali ya Jamhuri ya Muungano kwa mara ya kwanza kabisa na kwa ajabu kabisa, katika Sheria ya Oil and Gas Revenue Management Act ya mwaka 2015, Kifungu Na. 2 (2) kimetoa mamlaka kwa Baraza la Wawakilishi kutunga sheria, zinazohusiana na mambo ya revenue za mafuta na gesi. Jambo ambalo tunajiuliza Bunge la Jamhuri ya Muungano linapata wapi mamlaka ya kuitungia sheria, maana yake kuliagiza Baraza la Wawakilishi litunge sheria. Maana yake ni kwamba unafanya Baraza la Wawakilishi wanatunga sheria kwenye Mambo ya Muungano, jambo ambalo ni kinyume na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 64 (3). (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, chukua Katiba uangalie, kwa hivyo sasa jambo hili limetutia mashaka sana na Baraza la Wawakilishi tayari wameshatunga Sheria ya Oil and Gas ya mwaka 2016, sheria Na 6, Sheria ambayo inafanana kabisa copy and paste na sheria ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa hivyo, Legislature mbili zina sheria mbili za oil and gas. Jambo ambalo ukisoma Katiba Ibara ya 63 ile sheria ya Zanzibar inakuwa batili.
Mheshimiwa Mwenyekiti, ninavyofahamu mimi na wanaojua sheria na watu wengine, Baraza la Wawakilishi la Zanzibar, linatunga sheria kutokana na Katiba ya Zanzibar, kwa hivyo, kuiamuru maana yake hata ungeiamuru kwa mfano, sheria ile madhali imepewa amri na sheria nyingine ile sheria itakuwa ndogo haiwezi kuwa sheria sawa na hii. Kwa hivyo, jambo hili linaleta utata. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, jambo lingine hata ukizitazama hizo sheria zenyewe lengo lilikuwa ni kuyaondoa mafuta katika Muungano, lakini sheria zile ukiziangalia zote zinasema sheria hizi zitatumika Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar, sasa unajiuliza ikiwa lengo kuyaondoa mafuta katika Muungano mbona hizi sheria bado ni za kimuungano,. Hilo ndilo jambo ambalo ni la kujiuliza. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, jambo lingine ambalo ni la kushangaza Katiba mpya ambayo ilikusudia kuja kuondoa hayo mambo ya mafuta na gesi katika Mambo ya Muungano haipo. Ukitizama Ilani ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2015-2020, nimeipitia ukurasa kwa ukurasa, hakuna mahali popote panapozungumzia kutakuwa na Katiba mpya. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, ukitazama ahadi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hakuna mahali popote ambapo kaahidi kuleta Katiba, ukifuatilia maneno yake, maneno yake yalisema kabisa kwamba Katiba siyo ajenda yake, lakini jambo la mwisho hata ukitazama fedha zilizotengwa kwenye bajeti hakuna fedha kwa ajili ya Katiba mpya. Kwa maana hiyo, Katiba mpya haipo. Kwa hivyo, zile sheria kuendelea kufanya kazi pande tofauti ni makosa, ni kuvunja Katiba na ninyi watu mnaohusika na Muungano mpo, Mawaziri mpo, Mwanasheria Mkuu upo! Pia unatunga sheria za Muungano mambo ya mipaka baharini huweki, sasa mafuta ambayo yatagundulika baharini itakuwaje? (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba kupendekeza kwamba, kwa sababu pesa hamna za kuanzisha Katiba mpya, leteni Katiba hii ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tutumie kipengele Namba 98(1)(b) tuondoe mambo ya mafuta katika mambo ya Muungano. Itakuwa kazi rahisi sana, tutapiga kura tu third majority kwa kila upande kwa Muungano, tutaliondoa jambo hili. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, jambo la pili ambalo nataka nilisemee ni suala zima linalohusu fedha za misaada, nakusudia kusema GBS pia na nizungumzie suala zima linalohusu Pay As You Earn na mambo mengine. Fedha hizi za Pay As You Earn zimekuwa ni tatizo kubwa sana, haziendi kwa wakati unaotakiwa Zanzibar, kwa hivyo Zanzibar inapata shida sana kwenye fedha hizi. Tunawaomba fedha hizi zifike kwa wakati unaotakiwa ili Zanzibar ipate kufanya shughuli zake.
Pili; fedha ambazo zinatoka katika Institution za Muungano ambazo zina-genarate fund, hizi fedha haziendi kabisa, tunaomba Serikali ya Muungano kwamba fedha hizi mzipeleke kwa wakati.
Mheshimiwa Mwenyekiti, jambo lingine ni Wizara ya Fedha, miradi ambayo imeiva Zanzibar ni miradi ya International kama UN na mambo mengine na misaada mbalimbali inayotoka nje za nchi. Mnapopelekewa miradi ile iliyoiva Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha anachelewesha sijui kwa makusudi tuseme ama vipi, lakini ile miradi inakaa mpaka inafika wakati sasa hata gharama hiyo ya miradi yenyewe inakuwa imekwenda sana. Kwa hivyo tuiombe Serikali jambo hili pia nalo mlifanyie kazi. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, kuna suala la fedha za Mfuko wa Jimbo; fedha za Mfuko wa Jimbo zinazokwenda Zanzibar hazijawahi kukaguliwa, nasema tena hapa kwamba hazijawahi kukaguliwa kwa miaka saba, hii ni kutoka na sheria. Ndiyo maana Jaji Warioba alipokuja na Tume yake akasema, tuna sababu ya kuwa na Serikali tatu, kwa sababu sheria haimruhusu Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali wa Jamhuri ya Muungano kukagua fedha zile katika Hazina ya Zanzibar, kwa hivyo, fedha zile hazijakaguliwa na aje mtu anisute. Kwa hivyo, fedha za Serikali zinatoka kutoka Serikali Kuu ya Jamhuri ya Muungano, kwanza zinachelewa, zinakopwa na Serikali ya Mapinduzi, lakini hazikaguliwi, kwa hivyo sasa ifanywe kama ambavyo imefanywa kwa MIVARF. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, kwenye MIVARF baada ya kukamilisha utaratibu wa mchakato wa tenda wa kufanya kazi pesa za MIVARF ambazo zinatolewa na Benki ya Afrika pamoja na IFAD zinakwenda moja kwa moja katika akaunti ya……..
MHE. AHMED JUMA NGWALI: Mheshimiwa Naibu Spika, nashukuru.
Mheshimiwa Naibu Spika, sina ugomvi na Waziri lakini najua dhamira yake pia katika maslahi ya Taifa. Nataka niishauri Wizara pamoja na nchi kwa ujumla, nikumbushe kwamba mwaka 1997 Waziri Amani Karume wakati huo akiwa Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi pamoja na Waziri William Kusila kwa upande wa Tanzania Bara waliunda kamati ambayo ilikuwa ikiongozwa na Profesa Mahalu. Kamati ile pamoja na mambo mengine ilikuwa ikichunguza mambo ya Maritime Law. Kamati ile ilitoka na mapendekezo kwamba kuwe na chombo cha pamoja ambacho kitaweza kusimamia mambo ya marine kati ya Zanzibar na Tanzania Bara, kwa sababu kiujumla mambo ya marine siyo mambo ya Muungano.
Mheshimiwa Naibu Spika, jambo lile lilidharauliwa na wala halikufanyiwa kazi, kwa hiyo, mwaka 2001 SUMATRA wakatunga Sheria ya SUMATRA na wenzao Zanzibar wakawa wamenyamaza kimya. Lakini mwaka 2003 wakatunga ile sheria ya The Merchant Shipping Act. Sheria ya SUMATRA ikatoa mamlaka kwa Mamlaka ya SUMATRA kuweza kusajili meli. Mwaka 2006 Zanzibar walivyoona kwamba aah, hawa
wenzetu tayari wameshatunga sheria na mambo yanaendelea na wao wakatunga Sheria ya Maritime Transport Act ambayo ilifuatiwa na sheria baadae mwaka 2009 ya Zanzibar Maritime Authority (ZMA).
Mheshimiwa Naibu Spika, kwa sababu ushauri ule ulidharauliwa kilichotokea SUMATRA wakawa wanasaliji meli inapeperusha bendera ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Zanzibar wakawa wanasajili meli zinapeperusha bendera ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, lakini katikati hapa hakuna chombo chochote ambacho kinawaongoza, kila mmoja anafanya vyake. Kama kuna chombo kilikuwa kinawaongoza nafikiri Mheshimiwa Waziri atuambie.
Mheshimiwa Naibu Spika, Zanzibar wakasajili meli za Iran ambazo ziliwekewa vikwazo na Umoja wa Mataifa, meli zile zikaleta mzozo mkubwa. Kwa hiyo, baada ya kusajiliwa kwa meli zile wakafanya ujanja ujanja wenyewe kwa wenyewe wakalimaliza lile suala.
Mheshimiwa Naibu Spika, kama haitoshi, baadaye Zanzibar wakasajili tena meli ambazo zilikamatwa na cocaine katika Bahari ya maji ya Uingereza ikiwa na tani tatu za cocaine. Kile chombo hakipo, baada ya kudharau ule ushauri haikupita muda sana, ikakamatwa meli ya Gold Star kule Italy ikiwa na tani 30 za bangi. Kwa hiyo, kile kitendo cha kukataa ule ushauri kwa sababu hili jambo siyo la kimuungano ukitoka katika foreign affairs linaingia jambo la Muungano.
Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali ya Tanzania imekuwa ikiendelea kupata aibu na wanaofanya hivyo mimi nawajua na wanafanya kwa lengo gani. Viongozi waandamizi wa Zanzibar wanashiriki kikamilifu katika kuhakikisha kwamba wanajipatia fedha kwa njia ambazo hata Taifa kuligharimu haina tatizo.(Makofi)
Mheshimiwa Naibu Spika, juzi nilikuwa nazungumza na viongozi wa Zanzibar kuhusu hili jambo, wakaniambia kwamba baada ya matukio hayo kwanza wakaweka mfumo wa kielektroniki ambao sasa IMO wanakuwa wanaziona meli zikisajiliwa. Ule mfumo password waliyonayo SUMATRA, Zanzibar wakaitaka password SUMATRA hakuwapa. Nakubaliana nao wasiwape kabisa, kimsingi hapo sina tatizo.
Mheshimiwa Naibu Spika, Zanzibar wanasema ukipitia sheria yao ile ya Maritime Transport Act, kifungu namba 8 wanadai kwamba 8(1) ukija (e) ukisoma huku kinasema kama ni Zanzibar wenye mamlaka ndiyo waliosajiliwa na International Maritime Organisation (IMO), SUMATRA wao hawajasajiliwa na IMO, kwa hiyo haki ya kupata password ni ya kwao.(Kicheko/Makofi)
Mheshimiwa Naibu Spika, ninamshauri tu Mheshimiwa Waziri kwamba kwanza password wasipewe, pili; lazima tutengeneze chombo katikati hapa ambacho kitatusaidia kufanya mambo haya yasitokee tena. Kwa sababu kuna watu pale kazi yao wanatumia hii sehemu ya kusajilia meli kwa kujipatia kipato binafsi. (Makofi)
Kwa hiyo, Mheshimiwa Waziri nikushauri kwamba ukae na timu yako mambo haya ni hatari kwa Taifa ili uweze kulitatua tatizo hili kiuangalifu kabisa. (Makofi)
Mheshimiwa Naibu Spika, jambo la pili ni bandari kuhusu suala la flow meter. Tatizo la flow meter lilikuwa ni kubwa sana katika nchi hii, mafuta yakiibiwa kulikuwa kuna vituo vya mafuta havina idadi. Bandari sasa na watu wengine wameanza wanataka pale flow meter iliyopo pale Kigamboni iondolewe ipelekwe TIPER, maana yake mahali ambako palikuwa pakiibiwa mafuta ndipo sasa wanataka flow meter iondolewe wapate kuiba mafuta.
Mheshimiwa Naibu Spika, sasa ujajiuliza flow meter hii tumeifunga kwa dola za kimarekani milioni 16 mwaka mmoja uliopita, bandari wamepeleka watu sita training, wawili kutoka TRA, wawili kutoka Vipimo na wawili kutoka Bandari, wamepelekwa training kwa ajili ya operation ya flow meter, lakini watu hao hawapo wamehamishwa kwenye flow meter.
Mheshimiwa Naibu Spika, flow meter ile wanashusha mafuta machafu, flow meter inapiga alarm wanakwenda kuzima alarm, wanashusha mafuta machafu. Hawana dhamira njema, ukiwauliza wanakwambia pale flow meter ilipo itaharibika mara moja kwa sababu mafuta yanakuwa hayajatulia machafu, nani kawambia walete mafuta machafu! (Makofi)
Mheshimiwa Naibu Spika, wanasema kwa sababu ya Kenya zile bomba ziko mbali na matenki yako mbali ndiyo flow meter ina uwezo wa kudumu siyo kweli. Kenya kwanza mabomba yote ni ya Serikali kutoka Mombasa mpaka Nairobi. Mabomba yanayopitisha mafuta ya Kenya tena yapo juu yanaonekana, ya Tanzania yako chini yamejificha yako chini kabisa, sasa watu wana uwezo mkubwa wa ku-bypass mafuta yale wakayachukua. Mheshimiwa Waziri hili usilikubali hawa wanataka kuiba mafuta kwa shinikizo la makampuni ya mafuta ili waweze kuiba mafuta. Kwa hiyo, suala hili Mheshimiwa Waziri lazima uwe mwangalifu.
Mheshimiwa Naibu Spika, halafu kwa nini watu mmewasomesha, Uingereza, South Africa, mmewasomesha Marekani kuhusu flow meter halafu mnakwenda kuchukua watu wengine mbali mnakuja kuwaweka sasa ambao hawajaenda training mahali popote. Wamepelekwa training miezi mitatu, kwa hiyo, lengo hasa ni kuiba mafuta. (Makofi)
Mheshimiwa Waziri hili ukilikubali basi utaingia kama yule Waziri mmoja aliyeandika kwa maandishi kwamba suala la flow meter zisimamishwe ili wapime kwa kijiti wapime kwa kijiti, wanapima kwa kijiti halafu nchi hii bwana! (Makofi)
Mheshimiwa Waziri, dhamira yako naijua vizuri sana.
MHE. AHMED JUMA NGWALI: Mheshimiwa Mwenyekiti, nashukuru. Mimi nianze na ripoti ya ukaguzi wa fedha ambayo TFF wenyewe waliwataka TAC wafanye na waliwakabidhi tarehe 19 Januari, 2016 ripoti namba A/1/2015/2016. Ripoti hii ukifungua ukurasa wa 28 kuna fedha ambazo zimetumiwa na TFF kupitia Rais wake Jamal Malinzi ambazo haziko kwenye document na fedha hizo wamelipana wao wenyewe na pia wakakopeshana wao wenyewe. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, fedha ambazo amelipwa Michael Richard Wambura bila kuwa na ushahidi wowote ni shilingi milioni sitini na saba mia tano na senti hamsini na nne. Fedha ambazo imelipwa kampuni ya Panchline Tanzania Ltd. ambazo hazina ushahidi wowote na hizi kampuni ni kampuni zao wenyewe tunajua, ni shilingi milioni mia moja na arobaini na saba laki moja hamsini na nne mia mbili ishirini na tisa. Fedha nyingine ambazo zimelipwa zikiwa hazina ushahidi ni fedha ambazo wamelipwa Atriums Dar Hotel Ltd. ambazo zilikuwa ni USD 28,000 sawasawa na shilingi milioni hamsini na tisa, ukifanya grand total pesa zote ambazo hazina mahesabu yoyote na zinaliwa ni shilingi milioni mia mbili sabini na nne na kitu kidogo. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, hii ni ripoti, ukitaka ushahidi Mheshimiwa Dkt. Mwakyembe nitakukabidhi, ripoti ya ukaguzi ambayo Wizara kwa vyovyote mnajua, Baraza la Michezo linajua lakini pia TAKUKURU wanajua lakini Serikali imekaa kimya haijasema chochote. Kwa hiyo, naomba Wizara kwa jambo hili ilichukue ilifanyie utaratibu na wakati wa ku-wind- up nitataka majibu. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, ripoti nyingine ya ukaguzi ni hii ya fedha za wadhamini, tarehe siioni vizuri lakini imefanywa na ma-auditor wa Breweries. Ukiipitia ripoti hii TFF wametafuna fedha za wadhamini zaidi ya shilingi bilioni 5.5 na hii ripoti nitakupa. Tena hii ni ripoti ya ukaguzi, haya maneno hayatoki kwenye kichwa tu kwa sababu ya mapenzi ama vipi. Tumalize jambo la TFF twende mambo mengine. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi nina masikitiko sana, mimi ni mpenzi mkubwa wa soka, lakini sidhani kwa mtindo huu inaweza kukua wala sifikirii, wala sina mawazo hayo mimi nina mawazo mengine ambayo nitapendekeza baadaye. Kwanza nionesha namna gani soka haiwezi kukua.
Mheshimiwa Mwenyekiti, fedha ambazo wanakusanya TFF kwa ajili ya kukuza mpira wa miguu zinatoka FIFA ambazo ni fedha kidogo, ni dola 250,000 kwa mwaka. Fedha zinazopatikana Serikalini mnazijua hata kufika hazifiki lakini fedha zinazopatikana kutoka CAF ambazo sio nyingi ndiyo zinazotegewa lakini mpira hauwezi kuendeshwa na fedha hizo ni kidogo sana. Fedha nyingine ni za makusanyo za usajili wa kadi na fomu, wanasema players transfer fee, players contract registration fee, fedha kidogo sana hizo, league participation fee, fine as appeal maana yake hata ile fine ya timu ya Simba imo hapa, sponsorship deals na hizi ni mpaka zitokee na sales market right. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, mimi nipendekeze na kwa mtindo huu tusifikirie kimaskini kama anavyofikiria Mheshimiwa Mwamoto kwamba twende zetu huko vijijini tukatafute wachezaji, hapana, tuiunganishe Wizara yako na Wizara ya Viwanda ili ile dhana ya Rais Magufuli kwamba tuwe na tuwe na uchumi wa viwanda iweze kufanya kazi. Tufanye kitu ambacho nchi nyingi wamefanya wamefanikiwa wanaita sports industries ambapo inakusanya michezo yote, hockey imo humo, mwendesha baiskeli yumo humo kila kitu kimo humo. Leo unataka kukuza michezo, unaletewa jezi kutoka China, unakwenda kununua mpira Pakistan, huo mpira unakuwaje? (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, nina masikitiko makubwa sana, tunafanya vibaya sana katika Olympic, vibaya tena vibaya sana. Mheshimiwa nikuulize kitu kimoja, kuna Wanyamwezi wengi sana, samahani Wanyamwezi, pamoja na Wasukuma basi tunashindwa hata kupata mtu wa kurusha tufe? Mheshimiwa Waziri unashindwa hata mtu wa kurusha mkuki, vifua vyote vile, nguvu zote? Mheshimiwa Waziri tukienda kwenye ngumi kila siku tunapigwa, basi nguvu zote tulizonazo tupigwe siye tu kila siku? (Kicheko/Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, sababu ni kwamba hatujaandaa watu wetu, hatujaandaa sekta ya michezo. Kwa hiyo, mimi nipendekeze tena tunapokuwa na hiyo sport industry tunakuwa na michezo mingi ndani, tusifikiri kimaskini, lazima tupate fund kubwa, tutumie PPP, tupate ma-expert, tuwashawishi watu, Serikali iingilie kati pamoja na sekta binafsi ili tuwekeze tuwe na Olympic Park, tuweze kukuza hiyo michezo vinginevyo tutakuja kusema Jamal Malinzi kapiga hela, tutasema maneno ambayo hayawezi kutusaidia. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo cha msingi tupate hiyo sport industry inaweza kutusaidia sana. Maana yake ni kwamba tutajenga viwanda ambapo mipira ya michezo yote tutaweza kuzalisha sisi wenyewe, tutaweza kuzalisha jezi sisi wenyewe, viatu tutaweza kutoa sisi wenyewe, ngozi za ng’ombe tunazo tunaweza kufanya kila kitu sisi wenyewe, hapo hiyo soka inayozungumziwa ndiyo inaweza kukua, tusifikiria kimaskini. Tukishakuwa na hiyo sport industry ndiyo tunaweza kufanya kitu, lakini ukisema leo tukatafute watu sijui Shinyanga, sijui wapi tuunde timu ya Taifa, sio rahisi kabisa. Kwa hiyo, mimi napendekeza hilo. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, jambo lingine ambalo ni muhimu sana, nirudi tena pale TFF. TFF ni Tanzania Footbal Fedaration maana yake ni kwamba Zanzibar ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, tulitakiwa sisi tupate Makamu Mwenyekiti ama mbadilishe jina liwe jina lingine lakini mkisema ni chombo cha Tanzania halafu Zanzibar hawana ushiriki katika jambo hili inakuwa haliko sawa. Nafikiri tukae tuangalie upya namna gani tutawashirikisha Zanzibar katika hiyo TFF pamoja na kwamba Mheshimiwa Ally Saleh anasema siyo vizuri, lakini tutakaa pamoja tutalizungumza jambo hilo. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, la mwisho nizungumzie sanaa, sanaa imezidi imevuta mipaka sasa. Maana nyimbo sasa zinazoimbwa zilivyokuwa na matusi kama ninyi wenyewe Serikali hampo, sijui BASATA wanao-control wanafanya kazi gani? Michezo ya kuigiza (bongo movie) hizi, watu wanakaa wamevua mashati, wanabusiana, wanafanya mambo ya ajabu ajabu, huwezi kukaa na familia yako ukatizama, huwezi kukaa na mtu yeyote ukatizama na nyie mpo na nyie mnatizima, tatizo lenyewe na ninyi mnatizama. Hiyo ndiyo shida, utafikiri kama hatuna control. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, japo dakika zangu hazijaisha lakini baada ya kusema hayo niseme kwamba siungi mkono hoja mpaka Mheshimiwa Waziri atakapojibu hoja zangu, ahsante.
MHE. AHMED JUMA NGWALI: Mheshimiwa Naibu Spika, kwanza mimi nioneshe masikitiko yangu makubwa kwa Wizara ya Viwanda. Kimsingi niseme tu kwamba Kamati ya Bunge ambayo inasimamia viwanda na biashara ni Kamati ambayo inatakiwa imshauri Rais kuhusu mambo ya viwanda lakini kamati hiyo haijawahi kwenda hata gerezani kukagua viwanda wala haijawahi kwenda Kenya, China wala India; sasa sijui inamshauri vipi Mheshimiwa Waziri na viwanda vyake. Kwa hiyo, mimi nioneshe tu masikitiko yangu kwamba jambo hili si sahihi kwa kweli.
Mheshimiwa Naibu Spika, leo hasa nilitaka kuzungumzia maeneo kama mawili ama matatu na hasa nataka kuongelea Tanzania and China Logistic Centre ya Kurasini. Mara ya kwanza mradi huu ulizungumzwa katika ile China-Africa Corporation mwaka 2009 kule Cairo. Mradi huu mwaka 2012 ulianza kuingia katika Bunge na kuwashawishi Wabunge. Katibu Mkuu wa Viwanda sasa Dkt. Meru alikuwa wakati huo mimi nikiwa kama Mjumbe wa Kamati ya Viwanda na Biashara alikuwa haondoki katika Kamati kama vile yeye ni Mjumbe wa Kamati na kuishawishi Kamati ikubali huu mradi wa Kurasini.
Mheshimiwa Naibu Spika, tulianza kutathmini ile thamani ya wale watu ambao wanatakiwa kulipwa fidia, uthamini ule. Uthamini wakati huo ukawa shilingi bilioni 60, tukashawishiwa kwamba lazima tufanye uthamini haraka haraka ili muda usije ukaongezeka huyu mwekezaji akakimbia. Hata hivyo tukakaa kwa miaka mitatu baadaye, tulipokuja kulipa shilingi bilioni 60 tukaambiwa fedha zimeongezeka shilingi bilioni 40 tena. Kwahivyo, tumelipa shilingi bilioni 101 badala ya shilingi bilioni 60; lakini baadae tukaambiwa mradi huo haupo, mradi huo umekwenda wapi ooh yule mbia kaondoka.
Mheshimiwa Naibu Spika, sasa kuna shilingi bilioni hizo zote zimelipwa wala huo mradi wenyewe haupo na tukashawishiwa kuambiwa kwamba mradi huu utaingiza ajira za moja kwa moja milioni 25 na ajira indirect zaitakuwa laki moja. Kwa hiyo, sisi tukaingia katika malumbano makubwa na Serikali kwenye jambo hili kutaka EPZA wapewe pesa ili huu mradi uweze kwenda. Mheshimiwa Mwijage mradi uko wapi? Mradi huna. Ukisoma huu mpango wa mwaka mmoja huoni hasa kipi ni kipi na Serikali ya China wakati ule ilisema kwamba itatoa shilingi bilioni 600 tukilipa shilingi bilioni 60, jambo ambalo mmetudanganya, hakuna kitu kinachoendelea baada ya miaka minne. (Makofi)
Kwa hiyo, Mheshimiwa Mwijage nataka ujibu hasa, usije ukatuambia maneno ya ajabu ajabu, uje ujibu hasa kwa nini mradi huo haupo na fidia imetolewa na fedha zimeongezeka na lini mradi huu utaanza na upo katika mpango wa mwaka mmoja, sidhani kama katika mpango huu tunaweza kuona jambo hilo, hilo la kwanza. (Makofi)
Mheshimiwa Naibu Spika, nilikuwa nazungumzia Mini Tiger Plan ambao mimi nina interest kwa sababu mradi ule ikiwa utasimama basi na Zanzibar itafunguka kiuchumi. Kwa hiyo, huu ni mradi kila siku nilikuwa ninauombea dua, ulikuja nao mwaka 2002. Ule mradi ukasema kwamba una awamu mbili; awamu ya kwanza ni kulipa fidia hekta 2500 lakini tufanye kwa ujumla, mpaka sasa kumelipwa shilingi bilioni 26.6; zinahitajika kulipwa shilingi bilioni 51.1 lakini mradi haupo na baadhi ya watu 1700 wamelipwa fidia na wengine hawajalipwa. (Makofi)
Mheshimiwa Naibu Spika, sasa nataka kujua kwamba huu mradi upo? Ukitizama kitabu chenu cha Mpango wa Maendeleo ya mwaka mmoja utakuta kwamba hata huyo mwekezaji hayupo. Wakati ule tulikuwa tukiambiwa Oman na China wapo watakuja, na lakini Mheshimiwa Rais pia mwenyewe kasema kwamba hiyo sio priority yake. Pale palikuwa pana mradi wa bandari na viwanda lakini humu ndani mnasema kwamba mtajenga barabara katika eneo hilo la Bagamoyo, reli, umeme na maji. Ni reli gani itakayokwenda kule kwa mwaka mmoja? Jamani tuwe realistic katika mambo haya. (Makofi)
Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hivyo, Mheshimiwa Mwijage utujibu, na huu mradi upo? Isije ikawa kama tulivyofanyiwa Kurasini, watu walikuwa wana deal yao wakalipwa fidia na baada ya kulipwa fidia mradi ukapotea na huku mnataka muwalipe watu fidia halafu mradi upotee kama ambavyo mmetufanyia huku.
Mheshimiwa Naibu Spika, milioni 400 CBE zimetafunwa na Mkurugenzi wa Fedha pamoja na Mkuu wa Chuo. Jambo hilo alilisema Mheshimiwa Waitara mwaka wa jana hapa, lakini hakuna ripoti yoyote. Badala ya kwenda kufanya ukaguzi Dar es Salaam ambapo ndiko zilikoliwa ninyi mkaenda mkafanya ukaguzi Dodoma na Mwanza, inawezekanaje? Fedha zimeliwa kwa wengine mnakwenda kufanya ukaguzi kwa wengine…
MHE. AHMED JUMA NGWALI: Mheshimiwa Naibu Spika, nimeipokea taarifa hiyo kwa upendo sana. (Makofi)
Mheshimiwa Naibu Spika, twende sasa katika misamaha ya kodi. Nakubaliana na alichosema jana ndugu yangu Mheshimiwa Serukamba kuhusu misamaha ya kodi na kodi ambazo zinasumbua hasa upande wa Tanzania Investment Centre. Lakini ukija sasa kwenye maeneo ya uwekezaji SEZ misamaha ya kodi ambayo ipo haina haja ya kuongezwa tena, ni mingi sana. Naomba nisome baadhi ya misamaha ya kodi ambayo inawavutia wawekezaji katika eneo la uwekezaji la SEZ. Msamaha wa malipo ya kodi ya ushuru kwa mashine, vifaa, magari ya mizigo, vifaa vya ujenzi na bidhaa nyingine yoyote ya mtaji mkubwa itakayotumika kwa madhumuni ya maendeleo ya miundombinu ya uwekezaji katika maeneo maalum ya SEZ, huo ni msamaha wa kwanza. Lakini msamaha wa pili ni msamaha juu ya malipo ya kodi kwenye kampuni katika kipindi cha miaka kumi, msamaha wa tatu ni msamaha juu ya malipo ya kodi ya zuio la kodi, gawio na riba kwa miaka kumi, msamaha juu ya malipo ya kodi ya malipo kwa miaka kumi, msamaha wa ushuru wa forodha, kodi ya ongezeko la thamani na kodi nyingine; msamaha wa malipo ya ushuru wa stamp kwenye vyombo vyote vinavyofanya hivyo na mambo mengine.
Mheshimiwa Naibu Spika, hali ya upendeleo ya uhamiaji hadi wa watu watano katika kipindi cha mwanzo cha uwekezaji na baadae wakizingatia masharti wataongezwa; msamaha wa malipo ya VAT. Kwa hiyo, kuna misamaha katika SEZ ambayo ni mingi sana EPZA, hakuna haja ya kuongeza misamaha kwenye eneo hilo. Tuangalie zaidi kwenye TIC tujue ni namna gani tunafanya. (Makofi)
Mheshimiwa Naibu Spika, eneo la tatu ni kuhusu PVoC; tunazungumza ile Pre-shipment Verification of Conformity. Eneo hili ilipitishwa programu ya kuzuia bidhaa bandia kuingia ndani ya nchi, tukapitisha hiyo na TBS ikapitisha. Lakini jambo la ajabu toka mwaka 2012 bidhaa bandia zimezagaa katika Tanzania, TBS, FCC na FDA wapo. Sasa namna gani bidhaa zinazagaa? TBS aidha hawafanyi kazi yao vizuri kwa sababu kwanza kuna tatizo, tatizo lililopo ni kwamba TBS wanazuia sub-standard lakini hawana uwezo wa kuzuia fake kwa sababu substandard na fake ni vitu tofauti. (Makofi)
Mheshimiwa Naibu Spika, kitu kikiwa chini ya kiwango na kitu fake vinatofautiana kabisa, kwamba ikiwa chini ya kiwango maana yake ni kwamba kile kitu sio halisia lakini halisia, unaweza kitu original kimetengenezwa na Kampuni ya Sony akakitengeneza mtu katika eneo vile vile kuliko kile lakini hicho kikawa ni fake na si sub-standard.
Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo bidhaa bandia Mheshimiwa Mwijage kila kona ya Tanzania inatusumbua. Mkiulizwa kila siku mnasema mnawafanyakazi kidogo na kuna vituo vingi, maana kuna vituo 38 au 48 lakini mnadhibiti vipi bidhaa fake? Hiyo ndio issue yetu tunataka. TBS wamekwenda mbali Tanzania mpaka tunaingiza mafuta machafu, TBS wanakwenda kukagua wanaruhusu mafuta machafu yanaingia. (Makofi)
Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo, mimi leo nilikuwa na hayo lakini nimwambie tu Mheshimiwa Mwijage… (Makofi)
NAIBU SPIKA: Ahsante sana Mheshimiwa Ngwali.
MHE. AHMED JUMA NGWALI: Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza nataka kuendeleza pale ambapo pameachwa na Mbunge wa Mkinga, Mheshimiwa Dunstan Kitandula juzi Jumamosi alipokuwa akichangia. Niseme tu kwamba Mheshimiwa Dunstan Kitandula alikuwa ni Makamu Mwenyekiti wangu wa Kamati ya Uchumi, Viwanda na Biashara katika msimu uliopita ikiongozwa na Mwenyekiti makini, Mheshimiwa Luhaga Joelson Mpina. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, nina hoja mbili tu na zote zitahusu mambo ya uvuvi. Nilipochukua kitabu hiki nilikuwa nikiangalia kwenye cover ya kwanza hapa nikaona hii eco culture, nilipoiona nikaona mambo mazuri, nikafungua ndani hakuna kitu kabisa, niseme ukweli. Unapozungumzia eco culture huwezi kuzungumzia kutengeneza bwawa fulani ambapo mabwawa yenyewe yametengenezwa na wananchi, lakini unazungumzia dhana pana sana ambayo ni lazima Serikali iwe imejipanga katika kuhakikisha kwamba hiyo eco culture (ufugaji wa samaki) ambao sasa hivi karibu nusu ya watu duniani wanakula samaki wa kufuga, inafanikiwa.
Mheshimiwa Mwenyekiti, ili uwe na eco culture lazima uwe na fishing habours ambazo hutuna. Katika bajeti ya mwaka 2016/2017, ametenga shilingi milioni 500 pesa za ndani kwa ajili ya utafiti pamoja na shilingi milioni 24 za nje kwa ajili ya utafiti. Hebu tukitoka Waziri nitampa clip, Kenya wametenga bilioni 6.6 kwenye eco culture sasa lazima uwe na hizo fishing ports ambazo zitakuwa na dry dock, kutakuwa kuna maji ya kutosha, kutakuwa na facilities zote, ndiyo unaweza kufanya jambo hilo.
Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini pia inatakiwa uwe na fisheries laboratory, hakuna lab zozote za kukagua hao samaki kama wana viwango au hawana. Inatakiwa kuwe na fish market, soko la nje na la ndani la kuuza samaki hao lakini pia ahamasishe walaji wa samaki kwa sababu kiwango cha kimataifa sasa hivi cha ulaji wa samaki, kila mtu anatakiwa ale kilo 20 kwa mwaka, Tanzania tunakula nusu yake, tunakula kilo nane kwa mwaka. Kwa hiyo, lazima fedha hizo zitengwe kwa ajili ya kuhamasisha watu wale samaki.
Mheshimiwa Mwenyekiti, pia unatakiwa uwe na ile fish landing site. Sehemu ambayo utaweka hizi eco culture zako, ufugaji wa samaki ambayo imefanyiwa uchunguzi wa kutosha lakini na mazingira lazima yawe yameandaliwa, sijui kama Sekta ya Mazingira wana study yoyote waliyotoa juu ya suala hilo la ufugaji wa samaki. Vilevile unatakiwa uwe na viwanda vya kuchakata hao samaki, huna. Unatakiwa uwe na cold chain facilities pamoja na ice plant, huna. Sasa hao samaki jamani wana mipango gani, watuoneshe hiyo mipango ambayo kweli wanayo kwa ajili ya huo ufugaji wa samaki. Hamna mipango yoyote na haimo humu, humu wameandika tu, wamekaa na wataalam kaandikiwa Waziri, wame-copy sijui mahali gani, wameweka, hakuna kitu, hiki hapa kitabu hakuna chochote ndani yake, hiyo ilikuwa hoja yangu ya kwanza.
Mheshimiwa Mwenyekiti, hoja yangu kuu inahusu uvuvi katika Bahari Kuu. Uvuvi katika Bahari Kuu, hicho nacho ni kichekesho cha mwaka. Kwanza nataka kujua, wametoa leseni ngapi kwa mwaka huu na meli ngapi zilizokuja kuvua katika Bahari Kuu na meli ngapi zilizokamatwa lakini na mapato. Nataka kujua katika Bahari Kuu mwaka 2016/2017 wamepata kiasi gani? Nilikuwa nikizungumza na Zanzibar Makao Makuu juu ya suala la mapato wakaniambia na ni uhakika, vinginevyo itakuwa wamefanya tofauti hawakuwaambia wenzenu wa Zanzibar.
Mheshimiwa Mwenyekiti, mwaka 2015/2016 fedha zilizopatikana katika uvuvi wa Bahari Kuu ilikuwa ni Dola za Kimarekani milioni 2.9 lakini mapato 2016/2017 yameshuka mpaka dola laki 6.9, mapato yameshuka. Watuambie kwa nini mapato yakashuka kwa kiwango hicho, ni kwa nini vinginevyo watakuwa wanafanya tofauti, Zanzibar hawajui.
Mheshimiwa Mwenyekiti, halafu tatizo lenyewe hizo pesa zinagawiwa katika mafungu matatu; 50 percent inakwenda kwenye mamlaka, asilimia 30 inakwenda kwa Jamhuri ya Muungano na asilimia 20 inakwenda Zanzibar. Sasa ukizigawa hizo pesa, dola 600,000 maana yake Mamlaka zinakwenda kama dola 300,000, ukija ukigawa 30 percent maana yake zinakwenda kama dola 100,000 na kidogo Jamhuri ya Muungano, Zanzibar zinakwenda dola 60,000. Sasa niulize, jamani ni kweli wako serious? Mapato ya Bahari Kuu nchi inapata dola 100,000, sawasawa na msimamizi wa ghala la unga la Bakhresa? Nchi inapata dola 100,000 mapato ya Bahari Kuu?
Mheshimiwa Mwenyekiti, halafu sasa walipoona hilo hawaliwezi, wakaja tena na jambo la ajabu, wakaja kubadilisha regulations. Wanasema wanataka kubadilisha regulations kwenye sehemu za kodi lakini tuzungumzie kuhusu bycatch, tuzungumze pia na mabaharia. Hizo regulations ambazo wamebadilisha, wanataka sasa kwamba wale wavuvi wanaovua Bahari Kuu, zile meli zikishapata samaki wale bycatch eti ichukue ije iwauzie katika nchi husika. Sasa mtu anavua katika Bahari Kuu mbali huko aje na meli mpaka ufukweni ambapo hiyo bandari yenyewe huna kwanza lakini na hiyo gharama ya mafuta na mambo mengine atazipata wapi.
Mheshimiwa Mwenyekiti, halafu uvuvi wa tuna ni uvuvi wa ndoano kwa hiyo haiwezekani. Halafu utajuaje kwamba wamepata bycatch wangapi, wala huna utafiti, wewe unaona meli ikiingia inakwenda kuvua utajuaje sasa, huwezi kujua. Kwanza nataka kujua ni meli ngapi zilizovua safari hii? Hizo meli zenyewe za kuvua hakuna.
Mheshimiwa Mwenyekiti, muda unakwenda mbio, nizungumzie suala zima la meli za uvuvi. Tanzania imesajili meli za nje ambazo zinapeperusha Bendera ya Tanzania 407, 407 ukizitia pale Dar es Salaam pote pale baharini zikipeperusha Bendera ya Tanzania huwezi kuona kitu. Katika hizo meli 407, Waziri hajui meli za uvuvi zilizosajiliwa ni ngapi au Waziri atuambie meli za uvuvi zilizosajiliwa ambazo zinazopeperusha Bendera ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambazo yenyewe haikusajili Jamhuri ya Muungano wala Zanzibar haikusajili imesajiliwa na Kampuni ya Feltex iliyopo Dubai, kwa hiyo hajui. Pia hajui ana mabaharia wangapi anasema sasa, katika hizo kanuni wanazobadilisha wataingiza mabaharia katika meli ambazo zitakuja kuvua, nani unampa leseni halafu unamwekea masharti, haiwezekani. Hata hizo kanuni mnazozibadilisha ni kiini macho tu. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, watafanya vilevile kama lilivyokuwa zao la ngozi, zao hilo tuliweka 20 percent kodi kusafirisha nje, halafu tukaweka 40 percent kodi kusafirisha nje, lakini viwanda hakuna. Mwisho mwaka 2012 tukaweka kodi asilimia 90 ambayo ngozi ikawa inasafirishwa kwa njia ya magendo kwa sababu hata ukiiacha hapa inaoza. Sasa ndiyo hilo wanalofanya wao, wataweka kodi kubwa, wataweka sheria nyingi, mapato hayo wanayoyapata, hiyo 100,000 watakuwa hawapati, hilo ndilo tatizo lao. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, ukisema asilimia 90 kama ya ngozi…
MHE. AHMED JUMA NGWALI: Mheshimiwa Mwenyekiti, nashukuru na nianze na hoja yangu kwenye ukurasa wa 47 kitabu cha bajeti kwenye maneno madogo sana ambayo nataka kuzungumzia kuhusu Electronic Revenue Collection System; ambayo mfumo mpya ulianzishwa hivi karibuni, mfumo ambao kimsingi nakubaliana nao na nakubaliana nao kwa sababu kabla ya uanzishwaji wa mfumo huu makampuni ya simu yalikuwa yakikusanya fedha wenyewe baadae wakiwaita Serikali ndio wakiaanza kugawana mapato. Pamoja na kuwepo mfumo wa TTMS lakini mfumo wa TTMS ulikuwa haukusanyi kodi, hiyo ndio kasoro Mheshimiwa Zungu alipigia kelele sana ulikuwa haukusanyi kodi.
Kwa hiyo, sasa kilichoendelea nikwamba makampuni ya simu yalikuwa na uwezo mkubwa sana wakufanya ambavyo wanajua dhidi ya kodi ya Serikali. Na hasa napongeza hata kwa upande wa Zanzibar sasa kwa upande wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ukiingiza vocha maana yake kodi ya Serikali pale pale inachukuliwa na kwa upande wa Zanzibar ukiingaza vocha kodi inachukuliwa pale pale inakwenda ZRB, kwa hivyo kiufupi nikukubaliana na Serikali kwenye jambo hili ni jambo zuri na linafaa kuungwa kuungwa mkono.
Mheshimiwa Mwenyekiti, jambo la pili nilikuwa nazungumzia suala la michezo ya bahati nasibu. Michezo ya bahati nasibu sasa hivi pamoja nakuleta negative impact katika jamii, lakini imekuwa ni sehemu ambayo kama Serikali watakaa pamoja kuifanyia kazi ni sehemu ambayo inapatikana kodi kubwa sana kwa Serikali. Kwa mfano, sheria iliyokuweko sasa inawapa Gaming Board kukusanya kodi, lakini kwa mchezo ambao ulivyoendelea lazima tubadilishe sheria, TRA kwa sababu wanamtandao mpana wao ndio waweze kukusanya kodi kila maeneo. Kwa hiyo, Mheshimiwa Waziri na habari hii unaijua vizuri, nadhani katika bajeti ijayo kwa sababu nafikiri tumechelewa katika bajeti ijayo lazima tubadilishe sheria.
Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa hivi ile GGR manaake ile Gambling Gross Gambling Revenue ambayo tunakusanya kwenye betting peke yake tuna- charge asilimia sita, asilimia sita ambayo kwa mujibu wa makadirio ya Gaming Board kwa mwaka huu kwa mwaka 2016/2017 basi tungeliweza kukusanya shilingi bilioni 24. Lakini kwa mujibu wa makadirio ya mwaka 2017/2018 tutaweza kukusanya shilingi bilioni 39 nukta kadhaa, lakini tukiongeza kutoka kwenye sport betting asilimia sita kwenda asilimia 20 pekeyake tutaweza kukusanya shilingi bilioni 37 kwa hivyo hilo ni eneo moja. Lakini katika casino pia tuna-charge sasa hivi katika pato ghafi la kamari tuna-charge asilimia 15, lakini tukiongeza tukifika asilima 20 manaa yake tutaweza kukusanya shilingi bilioni 20. Kwa hiyo hapo bado hatujaenda katika zile za slot machine; slot machine kwa sasa tunachaji shilingi 32,000 kwa slot machine moja.
Kwa hivyo lakini tukipeleka kwenye 60,000 tunaweza ku-charge shilingi bilioni 2.7 pia tunaweza kwenye upande wa competation yaani lottering Mheshimiwa Waziri wa Fedha tunapoteza fedha, lazima tubadilishe sheria. Sheria ile tubadilishe ili isiwe inamilikiwa na mtu mmoja, tuongeze watu ambao wataweza kuendesha lottery ya Taifa ili tuweze kukusanya shilingi bilioni 10 na inawezekana kabisa.
Kwa hiyo, Mheshimiwa Waziri mimi ningeomba katika bajeti ijayo jambo hili tukae jumla ya fedha ambazo tutazikusanya itafika shilingi bilioni 69 naa na kama TRA watakusanya vizuri basi tunaweza kufika hata shilingi bilioni 100.
Mheshimiwa Mwenyekiti, jambo la tatu tuzungumzie suala la medical tourism, sports tourism na beach tourism. Medical tourism wenzetu wa Kenya wametenga kwa pesa za Tanzania shilingi bilioni 22. Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametuonesha njia, tunayo ile Jakaya Kikwete Cardiac Institute tunapokea wageni mbalimbali ambao wanakuja pale sasa kupata matibabu. Lakini ina double impact ya kwanza tunapata fedha moja kwa moja kutoka kwa wageni. lakini wageni wale wakifika pia wanatumia fedha kwa ajili ya mawasiliano, wanasafiri, wanakula tunapata pesa nyingi kutoka kwao. Lakini kinachosikitisha mpaka sasa Serikali haikutenga fedha yoyote katika eneo hili jambo ambalo tukilinganisha na trains za standard gauge pamoja na ndege ambazo Serikali wanazinunua tukiweza kuimarisha sekta ya afya katika nchi yetu na mzunguko wa nchi zilizotuzunguka hiyo itaweza kutusaidia sana na itaisaidia Serikali kuongeza mapato.
Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini pia Mheshimiwa Waziri tunachokizungumza hapa ni kwamba hata sasa, hata hawa wataalamu ambao wanaendesha hiyo Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete bado hatuna wa kutosha kutoka nchini kwetu tunaagiza watu mbalimbali wanakuja kufanya, hatujawekeza fedha kuwasomesha watu wetu katika eneo hilo. Kwa hivyo mimi niiombe Serikali kwamba katika jambo hili ijitahidi inavyopaswa lakini iweze kuwekeza fedha kwa mfano, Tanzania sasa hivi kwa mujibu wa takwimu za karibuni wanasafirisha Watanzania wanaokwenda India kutibiwa karibu watu 23,000. Ukitizama Kenya wanakwenda karibu watu 40,000; ukitizama Sudani watu 8,000; ukitizama Nigeria karibu watu 34,000 wanakwenda, sasa tungeifanya sisi tungepata fedha nyingi sana. ili Mheshimiwa Waziri nikushauri kwamba bajeti ijayo uhakikishe kwamba unatenga fedha katika eneo hili kwa ajili ya maslahi ya Tanzania na watu wetu na afya itaboreka nina uhakika sana. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, nirudie tena suala la blue economy, Ethopia hawana hata bahari, bahari yao ndogo sana kule pembeni pembeni lakini wana meli commercial ship 18 Tanzania tumezungwa na bahari hatuna commercial ship hata moja. Mizigo yote yanapita baharini asiimia 95 hili ni eneo situ kwamba kila kitu kifanywe na Serikali lakini Serikali itakapoonyesha dhamira basi stakeholders watakuja kufanya hiyo shughuli si lazima mfanye ninyi, kwa hivyo eneo hilo nalo pia lina tatizo.
Mheshimiwa Waziri aqua culture yaani ufugaji wa samaki. Uganda wanatumia ziwa Victoria pekeyake aqua culture inachangia pato la Taifa asilimia 7.5 tuna maziwa tuna Victoria, Tanganyika, tuna Nyasa tuna na bahari yaani acro culture hatuchangii hata shilingi 100 katika Pato la Taifa haiwezekani, lazima Mheshimiwa Waziri tukubali maeneo mengine ya kuweka fedha.
Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini la mwisho Mheshimiwa Waziri ambalo niliseme ni kuhusu mambo ya madini; na mimi kwenye madini ni seme kidogo ili na mie niweke kumbukumbu sahihi. Usalama wa Taifa wako wapi? Mali zote hizo zilizoibiwa siku zote Usalama wa Taifa wako wapi? Na nini jukumu la usalama wa Taifa katika nchi? Ikiwa Usalama wa Taifa wameacha mambo yote haya yameharibika kiasi hiki, hata sisi pia siwanaweza kutuuza?
Kwa hiyo, nafikiri usalama wa Taifa wajitathimini wasitake kumbebesha mtu mwingine msalaba wakati wao wana access ya kujua mambo mengi yanayotendeka katika nchi. Kwa hiyo jukumu la usalama wa Taifa, Mheshimiwa Rais kimsingi tunakubaliana naye katika mambo ya kupambana na watu ambao wanafanya tofauti lakini hakikisha Kitengo/ Taasisi cha Usalama wa Taifa inarekebishwa.
Mheshimiwa Mwenyekiti, nakushukuru asante sana.
MHE. AHMED JUMA NGWALI: Mheshimiwa Mwenyekiti, nikushukuru. Kwanza nimpongeze Mheshimiwa Waziri wa TAMISEMI, anafanya vizuri, lakini Katibu Mkuu, mzee Iyombe, ni miongoni mwa watu mahiri ambao wanalazimu watambulike katika utumishi wao.
Mheshimiwa Mwenyekiti, nianze na e-Government, Wakala wa Serikali Mtandao (eGA). Kabla ya kusema chochote napendekeza moja kwa moja kwamba Serikali ituletee Muswada wa sheria hapa Bungeni tuibadilishe eGA kuwa mamlaka. Nayasema hayo kwa sababu kama wakala hana uwezo wa ku-enforce, yeye kazi yake ni kushauri, hawezi kudhibiti wala hawezi kufanya kitu chochote ambacho hata mlaji anapokataa kufuata zile regulations na ile miongozo; kama wakala hana uwezo wa ku-enforce sheria.
Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo niiombe Serikali ilete Muswada wa sheria hapa tubadilishe. Kwa sababu gani; kwa sababu katika dunia ya sasa ukitazama research iliyofanywa na cyberspace, inavyofika 2025, internet users watakuwa 4.7 billion, wanafunzi waliohitimu kwenye hisabati, sayansi, engineering, technology, watafika milioni kumi na sita kwa mwaka. Ongezeko hilo linahitaji uwepo wa chombo ambacho kitaweza kukabiliana na mabadiliko hayo (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, eGA ikiendelea kubaki kuwa wakala haiwezi kabisa kukabiliana na mwendelezo huo mkubwa wa teknolojia. Kwa hiyo, niiombe Serikali ilete hapa Muswada na kama Serikali hawakujibu hili jambo tunaweza kupambana. Kadri teknolojia inavyoongezea ndivyo uhalifu unavyoongezeka. Idadi ya watu inavyoongezeka na uhalifu wa mtandao unaongezeka, hatujui sasa eGA wametengewa kiasi gani cha kuwawezesha kukabiliana na hali ya teknolojia inavyobadilika; hilo la kwanza.
Mheshimiwa Mwenyekiti, Kenya ambapo tunawazidi kwa idadi ya watu ambao wanakwenda kwenye milioni 50 sasa hivi watumiaji wa intaneti ni asilimia 85, wana about watu milioni ishirini na tisa. Uganda ingawa wana watu milioni arobaini lakini wanakwenda kwenye asilimia 42, Tanzania bado tumebaki kwenye asilimia 38, jambo ambalo linatufanya; kwanza eGA yenyewe ipo kwenye Serikali, haipo mahali popote, haipo nationwide. Kwa hiyo, hiyo ni sababu ya kwamba kama hatukuwekeza mapema, kama hatukuwekeza leo, tutajuta kesho. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, nilimalize hili nije kwenye Usalama wa Taifa; na hapa ndipo ambapo mara zote huwa nalisemea suala la Usalama wa Taifa. Usalama wa Taifa nafikiri hawana Kitengo cha Economic Intelligence Unit. Mheshimiwa Rais anasema katika mkutano na wafanyabiashara kwamba kuna kiwanda cha sukari hewa kilichokuwa kikiagiza sukari, Usalama wa Taifa hawajui. Baada ya kiwanda kuagiza na kuleta ndipo habari zinapatikana, kabla hawajaleta Usalama wa Taifa haukuiarifu Serikali kwamba jambo hili halipo.
Mheshimiwa Mwenyekiti, tunaingia mikataba ambayo inaumiza nchi, why Usalama wa Taifa hauiambii Serikali? Au, je, kitengo hiki kwanza kipo na kama kipo kina uwezo gani? Je, teknolojia ipi ambayo inatumia? Mtuambie. Kama ni hivyo kimetengewa kiasi gani kwa ajili ya kuokoa uchumi wa nchi?
Mheshimiwa Mwenyekiti, nitawapa mfano; kwenye tenda hizi za Serikali, mfano flow meter Mheshimiwa Waziri Mkuu alikwenda kule kwenye flow meter bandarini, akasema kwamba hii flow meter itafanya kazi baada ya wiki mbili, flow meter haijafanya kazi hadi leo.
Mheshimiwa Mwenyekiti, Mheshimiwa Rais akasema flow meter hii lazima ifanye kazi, flow meter haikufanya kazi. Tenda ya kwanza imepelekwa, mtu mmoja kapeleka kampuni sita, kampuni sita zikawa saba wakati wa submission akaondoa kampuni zote tano ikabakia moja; Serikali haijui. Wafanyabiashara wale wa mafuta wanachezea, tenda ikafutwa ikawekwa tenda nyingine, consultant akapewa bilioni mbili tenda ikaenda ikafutwa, Usalama wa Taifa sasa hivi wao ndio wameichukua tenda ili wafanye wao, haiwezekani. Haiwezekani hivyo, lazima tubadilike. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, Usalama wa Taifa, Mheshimiwa Waziri, nishauri kwamba hiki kitengo kisishughulike na haya mambo madogo madogo huyu kaandika nini yule kaandika nini, mambo madogo, wasimamie maslahi mapana ya nchi. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, nimalize na Usalama wa Taifa nije kwenye hoja yangu ya tatu ambayo ni Shirika la Elimu Kibaha. Shirika hili liliingia mikataba mitatu na ndiyo maana nasema Usalama wa Taifa wana matatizo. Katika mkataba wa kwanza ulikuwa na hekta 310 ambazo Serikali imepangisha Shirika la Elimu Kibaha kwenye ile ardhi kwa miaka 66 kwa shilingi milioni 120. Sasa ardhi inapangishwa kwa miaka 66 kwa milioni 120, kweli jamani? Hizo pia zilipwe cash ili dola isije ikapanda kwa sababu iko in terms of dollars. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini mkataba wa pili wa Kisarawe, kwa Mheshimiwa Waziri Jafo, pamoja na Kibamba, kuna hekta 110 umeingiwa pale na huyu Mkurugenzi kachukuliwa hatua kaondolewa tu; pamoja na yote haya aliyoyafanya lakini kachukuliwa kaondolewa kawekwa pembeni, hakuna hatua yoyote iliyofanyika. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, Usalama wa Taifa sasa itabidi tusaidie sisi; pale Tanzania Internal Logistics Center, Kurasini, pale Serikali imelipa fidia hela nyingi, nasahau kichwani kidogo, lakini baada ya kuwekeza hayo makubaliano na China mwisho wamewekwa kiwanda cha misumari. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, Serikali imelipa bilioni sitini, niziache, lakini sasa logic yangu ni hii kwamba why unawekeza kiwanda cha misumari badala ya kuwekeza ile hub ambayo Mheshimiwa Mwijage alituambia Afrika Mashariki ndiyo itakuwa hub kubwa; kwa sababu Usalama wa Taifa hawajui kwamba hizo pesa zilizotolewa na Serikali bilioni mia moja kwamba zinafanya kazi anapewa nani. Zilikwenda kwenye mifuko ya watu na sasa kwa taarifa nilizonazo wamewekeza kiwanda misumari. (Makofi)
Mheshimiwa Mwenyekiti, mwisho niseme kuhusu hili ambalo tunalizungumza, juu ya vijana wetu wa Pemba waliochukuliwa. Tuiombe Serikali ya Muungano, sisi ni wenzenu, tukae pamoja tuone hili jambo, ni jambo dogo sana, hakuna sababu ya jambo kama hili tukapiga kelele kila wakati kuwaambia jamani hivi na hivi, hebu tukae pamoja tuone tunalitatuaje; kwanza ni kupatikana hawa watoto.
| 2019-12-14T14:16:47 |
https://www.bunge.go.tz/polis/members/496/contributions
|
[
-1
] |
KILICHOENDELEA LEO MAHAKAMANI KATIKA KESI YA MBOWE NA VIGOGO WENGINE CHADEMA | MALUNDE 1 BLOG
Home » siasa » KILICHOENDELEA LEO MAHAKAMANI KATIKA KESI YA MBOWE NA VIGOGO WENGINE CHADEMA
Malunde Thursday, February 14, 2019
Kesi namba 112/2018 inayowakabili baadhi ya viongozi wakuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akiwemo Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe na wabunge wengine saba wa chama hico, imeendelea leo, Alhamisi, Februari 14, kwa kutajwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.
Kesi hiyo iliyokuwa ikisikilizwa na Hakimu Mkazi Mkuu, Wilbard Mashauri ambaye aliteuliwa kuwa Jaji, ilitajwa leo mbele ya Hakimu Mfawidhi, Kevin Mhina, ambapo shauri la kesi hiyo limeitishwa kwa ajili ya kutajwa na bado linasubiri rufaa ya kupinga dhamana iliyokatwa na upande wa mashtaka dhidi ya Mbowe na mbunge wa Tarime Mjini, Ester Matiko, ambayo itaanza kusikilizwa Februari 18, 2019 katika Mahakama ya Rufaa.
Hakimu Mhina ameahirisha kesi hiyo hadi Februari 28, 2019 kwa ajili ya kutajwa huku akieleza kuwa itapangiwa hakimu mara baada ya rufaa kusikilizwa.
Novemba 23, 2018 Jaji Mashauri alipokuwa hakimu mkazi mkuu wa mahakama ya Kisutu alifuta dhamana kwa Mbowe na Matiko kutokana na kukiuka masharti ya dhamana.
Baada ya uamuzi huo, washitakiwa hao wanaowakilishwa na wakili Peter Kibatala walikata rufaa mahakama kuu kupinga kufutiwa dhamana.
Upande wa Serikali ukiongozwa na mwanasheria, Paul Kadushi ulikata rufaa katika mahakama ya Rufaa kupinga uamuzi uliotolewa na kuiomba mahakama kuacha kuendelea kusikiliza rufaa hiyo kwa sababu haina mamlaka.
Imechapishwa na Malunde at Thursday, February 14, 2019
| 2019-02-18T11:08:36 |
https://www.malunde.com/2019/02/kilichoendelea-leo-mahakamani-katika.html
|
[
-1
] |
MLEKANI SPORTS NEWS: Mamlaka ya Viwanja vya Ndege waadhimisha Siku ya Mazingira kwa kufanya usafi Terminal Three leo
Mamlaka ya Viwanja vya Ndege waadhimisha Siku ya Mazingira kwa kufanya usafi Terminal Three leo
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Salim Msangi (kulia) na Kaimu Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu wa TAA, Mohamed Ally wakifanya usafi nje ya jengo la kuwasili na kuondokea abiria mashuhuri (VIP) leo wakati wafanyakazi wa mamlaka hiyo wakiadhimisha Siku ya Mazingira .
MAKAO Makuu ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) itatoa tuzo kwa mameneja wote watakaofanya vizuri katika utunzaji wa mazingira.
Hayo yalisemwa leo na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TAA, Salim Msangi wakati wafanyakazi wa mamlaka hiyo wakifanya usafi nje ya Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Dar es Salaam (JNIA) Terminal 3 kuadhimisha Siku ya Mazingira.
Siku ya Mazingira Duniani inafanyika kesho nchini Canada wakati kitaifa itafanyika mjini Butiama mkoani Mara, ambapo Makamu wa Rais Samia Hassan Suluhu anatarajiwa kuwa mgeni rasmi.
Msangi alisema kuwa, aliwataka mameneja wa viwanja vyote nchini kutunza mazingara, ambapo aliahidi kuwa atatoa tuzo kwa yule atakayefanya vizuri zaidi.
Fulana iliyobeba ujumbe wa Mazingira wa Mwaka huu.
Baadhi ya mabosi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), wakifanya usafi leo jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Kaimu Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Ndani wa mamlaka hiyo, Irene Sikumbili, mwanasheria wa TAA, Ramadhani Maleta na Mohamed Ally, Kaimu Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu.
Mbali na kufanya usafi wa kufyeka nje ya Terminal 3, pia wafanyakazi hao wa TAA Makao Makuu, waliweka mbolea na kupalilia miti waliyopanda mwaka 2014 katika eneo la kufikia na kuondokea abiria la watu mashuhuri la VIP kwenye uwanja huo eneo la Terminal Two.
Kila mwaka wafanyakazi hao wa TAA wamekuwa wakifanya usafi au utunzaji wa mazingira katika maeneo tofauti tofauti.
Akifafanua kuhusu tuzo, Msangi alisema kuwa ataanzisha tuzo na atakayeshinda atapewa tuzo hiyo itakayoshindaniwa na viwanja vyote kupitia mameneja wao.
“Nitaanzisha tuzo na meneja atakayeshinda nitamzawadia na pamoja na wafankaazi wake ili kuhamasisha viwanja vingie nao wafanye vizuri ili washindi mwaka unaofuata, “alisema Msangi.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege, Salim Msangi.
Pia alizitaja shughuli zingine wanazofanya ili kutunza mazingira ni pamoja na kudhibiti maji taka yanayotoka viwajani, ambapo wana mabwawa yanayokusanya maji yote, ambayo yanakuwa trited na kuwa safi kwa ajili ya matumizi mengine ya binadamu.
Alisema kuwa mbali na hiyo pia wana mfumo mwingine ambao hutenganisha maji na mafuta ili kulinda mazingira, ambapo usalama wa anga unachangia karibu asilimia mbili ya uchafuzi wa mazingira kutokana na ndege kutoa hewa ya ukaa.
Wafanyakazi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege wakifanya usafi leo.
Mkuu wa Kitengo cha Mazingira wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Jofta Timanya akihojiwa na ITV leo.
Wafanyakazi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) baada ya kumaliza kufanya usafi leo nje ya jengo la Uwanja wa Kimataifa wa Ndege la Julius Nyerere (JNIA) Terminal Three leo.
Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania, TAA, Salim Msangi (kulia) akizungumza na mwanasheria wa mamlaka hiyo, Ramadhani Maleta leo kabla ya kufanya usafi nje ya Jengo la kuwasili na kuondokea abiria mashuhuri, VIP, la Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, JNIA, leo.
Posted by Mlekani Cosmas at 09:02
| 2018-03-18T23:11:26 |
http://mlekani.blogspot.com/2017/06/mamlaka-ya-viwanja-vya-ndege.html
|
[
-1
] |
Mohamed Said: JIONI MOJA NA MAALIM SEIF SHARIF HAMAD
JIONI MOJA NA MAALIM SEIF SHARIF HAMAD
Mohamed Said August 13, 2016 0
Maalim Seif akizungumza na Mwandishi (haonekani kwenye picha) nyumbani kwake
Mwandishi akimkabidhi Maalim Seif kitabu cha Kumbukumbu za Ali Muhsin
Barwani ''Conflict and Harmony in Zanzibar.''
Kumtembelea Maalim Seif nyumbani kwake ni mfano Waingereza wangesema ‘’a walk in the park,’’ Kiswahili chake labda mtu ungesema unatoka chumbani kw.ako unakuja sebuleni yaani ni wepesi usiomithilika. Maalim nimefahamiananae kwa mara ya kwanza 1992 nilionananae Starlight Hotel Titi Street, Dar es Salaam. Hizi zilikuwa siku za mwanzo za siasa za vyama vingi. Miaka mingi imepita na hapa katikati tukionana kwa mbali sana na kwa muda mfupi mfupi ile ya kupeana salaam, Waswahili wanausemi, ‘’salaam ya Mungu,’’ ikiwa na maana mnasalimiana kisha mnapitana kila mtu na hamsini zake. Lakini namini Maalim akinisoma na wakati mwingine akinisikia katika vyombo vya habari, pia wakati mwingine akipata salaam zangu kupitia jamaa na marafiki. Lakini mimi Maalim nimenfuatilia kwa karibu na nimempiga picha nyingi sana kwa kiasi ya miaka ishirini na zaidi.
Leo nimepata bahati ya kumfikia nyumbani kwake Sharif Shamba nje na mbali na matarumbeta na shamrashamra za mikutano na mengineyo. Ilikuwa starehe tukinywa kahawa na kucheka mfano tuko barzani tunapumzika. Lakini tabu kukutana na mtu kama Maalim Seif ukaacha kumdodosa lau kwa mbali kwa namna ya maskhara. Najua kitabu cha Ali Muhsin kakisoma kilipochapwa tu mwaka wa 1997 lakini niliona nimepelekee kuchokoza upya fikra zake. Mimi binafsi katik kitabu cha Ali Muhsin moja ya sehemu iliyokamata fikra zangu ni pale anapohadithia yale aliyokutananayo katika jela mbalimbali za Tanganyika wakati alipofungwa baada ya mapinduzi. Nikamrushia Maalim swali, ''Maalim tupate basi kitabu makhsusi ulipokuwa kifungoni.'' Kacheka kidogo. Nilikuwa nimemkumbusha mbali. Jibu lake lilikuwa, ''In Shaallah.'' Sikumuacha karibu nikaongeza na ''Memoirs...'' yaani kumbukumbu za maisha yake. Mara ya mwisho kuwa jirani sana na Maalim ilikuwa mwaka wa 2012 Bwawani Hotel nikiwa na TV Imaan tulikokwenda kumsikiliza Maalim akizungumza kuhusu hali ya Zanzibar na mategemeo ya wananchi.
Maalim alikuwa sasa yuko serikalini. Nakumbuka shida niliyowapa walinzi pale nilipoingia katika chuma cha faragha alipokuwa Maalim Seif, Mzee Hassan Nasoro Moyo na viongozi wengine. Mimi nilikuwa nje na wala sikuwa na nia ya kuingia ndani ya chumba kile kwani mtangazaji na mtu wa kamera tayari walikuwa ndani ya chuma kile wakishughulika. hawa vijana wote wana vitambulisho shingoni vinaning'inia na watu wa usalama weshawaruhusu. Mimi sina chochote lakini Ismail Jussa ndiye kanishika mkono tunazunguma basi hadi mle chumbani nikawa sasa uso kwa uso na Maalim. Ikawa sasa tunazungumza hili na lile, ''easy.'' Sasa nimefungua ''tablet,'' yangu nampiga picha Maalim na wakati mwingine kumwelekeza ''pose,'' niitakayo. Kumbe jamaa wa Usalama kidogo weshafanya wasiwasi wa kutaka kunijua mie nani. Mara niko kwa Mzee Moyo tunazunguza na kucheka. Lakini jamaa wa Usalama bado hawajanijua mie nani. Mara nimerukia Eddy Riyami basi ikawa kwao wao ni tafrani kidogo. Nilipotoka nje tu wakanifikia kwa maswali...
Jicho halisahau kile ambacho jicho la kamera liliona. Naomba kamera yangu ikuchukue katika barabara ya kumbukumbu turudi nyuma zaidi ya miaka ishirini iliyopita pale nilipoanza kufuatilia nyayo za Maalim na wale aliokuwa pamoja na yeye...
Fatilia ukurasa huu...In Shaallah tunautengeneza....
Mwandishi akiwa Viwanja Vya Jangwani akifuatilia mkutano wa CUF na kupiga picha
mwaka wa 2000
Historia mpya ya Zanzibar bila shaka watakapokuja kuandika watafiti wa historia ya visiwa hivi itatoa umuhimu wa pekee katika uchaguzi wa mwaka 1995. Kwa mara ya kwanza wananchi wa Zanzibar walitikisa na pengine mtu unaweza kusema walivunja ngome ya dhana ya, ''Mapinduzi Daima.'' CCM Zanzibar walishindwa uchaguzi ule. Imewezekana vipi kwa kipindi cha miaka mitatu tu ya uhai wa CUF ikaweza kuwa na nguvu ya kupambana kukishinda katika sanduku la kura chama kilicho na dola na fursa zote zinazokwenda na dola. Tume ya Uchaguzi Zanzibar ilishindwa kutoa matokeo ya uchaguzi kwa siku tatu. Yaliyobakia ni historia. Endapo Maalim ataandika kumbukumbu zake sura hii ya uchaguzi wa mwaka wa 1995 utakuwa na mengi ya kusisimua. Mwandishi alikuwapo Zanzibar kipindi kile na aliiona hali ya Zanzibar kwa jicho lake. Kitu ambacho anakikumbuka ni siku baada ya matokeo kucheleweshwa akiwa amekaa Malindi akamuona Baraka Shamte katika magwanda ya kijani akipita barabarani huku akipiga makelele mathalan ya mtu aliyepagwawa akisema, ''We have won the election we are going to form the government.'' Lakini kitu cha ajabu hata wale CCM waliokuwa wamezagaa katika vikundi vidogo vidogo walikuwa kama wamenyeshewa na mvua. Walikuwa kimya wakizungumza kwa sauti za chini. Taarifa zilikuwa zimewafikia kuwa Maalim Seif Sharif Hamad kashinda uchaguzi na kamwangusha Komando Salmin Amour.
Kalenda ya Maalim Seif kuingia Ikulu Zanzibar 1995 ilikuwa imewekwa kwenye
maskani maarufu CUF ''Jaws,'' Stone Town
Mwaka wa 2012 baada ya miaka 17 kupita na hali ya siasa za Zanzibar kubadilika, Maalim na CUF wakipata nguvu kila kukicha nilifanya mahojiano ya televisheni na Baraka Shamte, kada mkubwa wa CCM na mwana ASP. Wakati huu Maalim alikuwa Makamu wa Rais wa Zanzibar. Nimepata kumjadili Baraka Shamte mara kadhaa katika mitandao ya kijamii. baraka Shamte ni mtu mwenye histroia kubwa katika historia ya Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka wa 1964. Baraka Shamte ametunukiwa nishani ya miaka 50 ya mapinduzi.
Mwandishi Akifanya Mahojiano na Baraka Shamte Kada Maarufu wa CCM Nyumbani
Kwake Mkunazini Zanzibar Kuhusu Historia ya Mapinduzi. Baraka Shamte ni Mtoto wa
Mohamed Shamte Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Kwanza wa Zanzibar
Aliyepinduliwa Katika Mapinduzi ya 1964
Uchaguzi wa Mkuu Zanzibar 1995 Mwandishi akiwa nje ya kituo cha kupiga kura
Darajani siku ili mvua kubwa ilipiga
Shaaban Mloo na Kabourou kampeni za uchaguzi wa 2000
Kushoto: Prof. Ibrahim Lipumba, Shekue, Mama Ummie na Ummie biti yake.
Nilipokutana na Maalim kwa mara ya kwanza aliniuliza uwezekano wa CUF kupata wanachama Bara. Fikira ya Maalim ilikuwa ni kuwapata wazee wetu wa Dar es Salaam kuunga mkono chama. Mimi nikamwambia kuwa wazee wetu tuwaache kwa sasa tulenge vijana. Nakumbuka nilirudi tena kwa Maalim na baadhi ya vijana wachache viongozi na tukabadilishana mawazo.
Vijana hawa walikuwa wametokea chama cha National Reconstruction Alliance ambako mwenyekiti alikuwa Prof. Malima na alipokufa ikawa vijana wamepwelewa. Sasa Alipopatikana Prof. Lipumba moto ukawaka upya na matumaini mapya yakaibuka. Mwandishi ndiye ailiyemtambulisha Prof. Lipumba katika mkutano mkuu wa CUF. Tulikuwa tunaingia katika uchaguzi mkuu wa 1995. Mwandishi ndiye ailiyemtambulisha Prof. Lipumba katika mkutano mkuu wa CUF. Tulikuwa tunaingia katika uchaguzi mkuu wa 1995. Kwa kuwa mwandishi hakuwa mjumbe katika mkutano ule alisubiri nje ya ukumbi pale Star Light hadi usiku wa manane ndipo alipoingizwa mkutanoni kwa kazi hiyo tu kisha akatoka nje kupisha mkutano uendelee. Siku zile kwa shida ya fedha CUF wakifanya mikutano yao usiku na asubuhi wajumbe wanapanda mabasi kurejea makwao. Naamini Maalim hakujuta kwa kuletewa vijana badala ya wazee wetu kwani kila alipopita mikoani na vijijini alipokelewa na vijana hawa. Baadae zilitufikia taarifa kuwa wapinzani wetu walishangazwa ni lini tulijenga mtandao ule wa nchi nzima na bila shaka swali hili pia lilikuwa kichwani kwa Maalim. Iko siku In Shaallah tutaelezana ni vipi hawa vijana walipatikana na tulikuwa na hadi anuani zao pamoja na nyumba na mtaa...ni hadithi ya kusisimua sana...
Vijana wanachama wa NEMA mstari wa mwisho wapili kutoka kushoto waliosimama
ni Shaaban Mzuzuri, mwandishi, Salehe Yongo (marehemu) na Adam Juma.
Tulikuwa sisi ndiyo waasisi wa ''mtandao.''
Mtandao wa Kikwete, Lowassa, Rostam wa 2005 uliomtia madarakani Jakawa Kikwete ulikuja miaka kumi baada yetu ila tofauti ilikuwa moja tu. Sisi ni watu masikini ya Mungu hatukuwa na fedha kilichokuwa kikitusukuma ni mapenzi ya nchi yetu na ari ya kupigania usawa na haki kwa kila mwananchi bila ya ubaguzi.
Mwandishi akiwa IDM Mzumbe akikitangaza kitabu cha Abdul Sykes 1999
Uchaguzi. wa mwaka wa 1995 ulitufunza mengi na kilipotoka kitabu changu, ''The Life and Times of Abdulwahid Sykes (1924- 1968) The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika,'' kitabu kilifungua mlango mwingine wa kuwafikia vijana wa Kiislam wasomi. Kitabu kilifungua historia mpya haijapatapo kuandikwa popote na kubwa zaidi ya yote mchango wa Waislam katika uhuru wa Tanganyika..Vijana walipatwa na butwaa kusoma kuwa TANU haikuasisiwa kama walivyokuwa wakifundishwa katika historia na Nyerere bali na marehemu Abdulwahid Sykes. Historia waliokuwa vijana wakisomeshwa toka shule ya msingi hadi chuo kikuu ikaporomoka kwa kasi ya ajabu. Harakati hizi mpya za chama kingine nje ya CCM ikapata wafuasi wapya.
Sasa likazuka tabaka lau kama ni dogo la wasomi vijana wa Kiislam ambao kwa yale waliyoyasoma katika kitabu kile wakahisi wao na wazee wao ni jamii iliyodhulumiwa kwani haiwezekani Waislam wapiganie uhuru kwa kiasi kile kisha mwishowe uhuru wenyewe usiwanufaishe kitu. Hapa ndipo nilipogundua kosa nililafanya la kuandika kitabu kwa Kiingereza badala ya Kiswahili na hivyo kukosa wasomaji wengi.
Sheikh Hassan bim Amir akipeana mkono na Julius Nyerere katika
sherehe ya kuweka jiwe la msingi la Chuo Kikuu Cha Waislam 1968
Kwa upande wa vijana wa Kizanzibari nao walishangazwa kusikia kuwa Sheikh Hassan bin Amir Mzanzibari alipigania uhuru wa Tanganyika bega kwa bega na Julius Nyerere na akina Abdul Sykes. Mwandishi akaalikwa Chuo Kikuu Cha Zanzibar akatoe mada kuhusu Sheikh Hassan bin Amir. CUF haikuwa na tabu kwa vijana wasomi Zanzibar. Lile lilikuwa jimbo lao salama. Shida ilikuwa katika vyuo vikuu Bara. Katika uchaguzi wa 1995 tulimsindikiza Prof. Lipumba aliyekuwa mgombea urais wa Bara kwa tiketi ya CUF. Hivi vyuo vikuu Bara ni ngome ya Ukristo kwani Waislam hawajaweza kufikia hata asilimia kumi. Wanafunzi waliokuja kumsikiliza Prof. Lipumba walikuja zaidi katika kumkejeli kuliko kumsikiliza kama mgombea urais na mchumi bingwa. Lakini uchaguzi wa mwaka wa 2000 umma uliojitokeza katika mikutano ya Prof. Lipumba ulitisha CCM. Hasa mapokezi ambayo hayajapata kuonekana siku alipotoka Mwanza kuja Dar es Salaam wakati wa uchaguzi.
http://www.mohammedsaid.com/2013/12/mufti-sheikh-hassan-bin-ameir-1880-1979.html
Posted by Mohamed Said at August 13, 2016
| 2018-12-10T23:15:20 |
http://www.mohammedsaid.com/2016/08/jioni-moja-na-maalim-seif-sharif-hamad.html
|
[
-1
] |
hatari-ALIYEZIKWA AKIWA HAI AFUKULIWA NA KUKUTWA AMEKUFA CHUNYA MBEYA - HABARI24
Home / Uncategories / hatari-ALIYEZIKWA AKIWA HAI AFUKULIWA NA KUKUTWA AMEKUFA CHUNYA MBEYA
hatari-ALIYEZIKWA AKIWA HAI AFUKULIWA NA KUKUTWA AMEKUFA CHUNYA MBEYA Reviewed by HABARI24 TV on 7:51:00 AM Rating: 5
| 2018-04-27T06:44:29 |
http://habari24.blogspot.com/2013/04/hatari-aliyezikwa-akiwa-hai-afukuliwa.html
|
[
-1
] |
'Al-Shabaab' yateka basi na kuua abiria Watatu Kenya | MPEKUZI
'Al-Shabaab' yateka basi na kuua abiria Watatu Kenya
Watu watatu wameuawa huku wengine kadhaa wakijeruhiwa baada ya watu wenye silaha wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa kundi la kigaidi la al-Shabaab kuteka nyara basi la abiria katika kaunti ya Lamu, pwani ya Kenya.
Irungu Macharia, Kamishna wa Kaunti ya Lamu amethibitisha kutokea shambulizi hilo na kubainisha kuwa, basi hilo la abiria lilikuwa linatokea mjini Mombasa likielekea Lamu kabla ya shambulizi hilo.
Inaarifiwa kuwa, watuhumiwa wa kundi la al-Shabaab wamefanya shambulizi hilo la kushtukiza katika eneo la Nyongoro lililoko karibu na wilaya ya Witu, kaunti ya Lamu.
Mapema mwezi uliopita, watu 10 waliuawa katika shambulizi jngine dhidi ya basi la abiria lililofanywa na genge la kigaidi la al-Shabaab katika kaunti ya Wajir, kaskazini mashariki mwa Kenya mpakani na Somalia.
| 2020-07-08T14:33:53 |
http://www.mpekuzihuru.com/2020/01/al-shabaab-yateka-basi-na-kuua-abiria.html
|
[
-1
] |
Plot inauzwa 20m Goba kwa mosha in Dar Es Salaam | ZoomTanzania
Ad ID: 1469678
Plot inauzwa 20m Goba kwa mosha
Kinondoni, Goba Dar Es Salaam Ipo pale kwa mosha mitaa ya kwa awadhi mita 400 toka lami kupitia kwa awadhi Goba
Ina ukubwa wa mita 25/23
Member Since 14. Jun '17 45 Total Ads / 41 Active Ads
| 2019-09-20T12:02:50 |
https://www.zoomtanzania.com/land-for-sale/plot-inauzwa-20m-goba-kwa-mosha-1469678
|
[
-1
] |
MBWA MWITU NA PANYA ROAD WAMKASIRISHA KAMISHNA KOVA,AUNGURUMA WIKIEND HII,SASA NI JINO KWA JINO HADI KUKOMESHA WAHUNI HAO - HABARI24
Home / Uncategories / MBWA MWITU NA PANYA ROAD WAMKASIRISHA KAMISHNA KOVA,AUNGURUMA WIKIEND HII,SASA NI JINO KWA JINO HADI KUKOMESHA WAHUNI HAO
MBWA MWITU NA PANYA ROAD WAMKASIRISHA KAMISHNA KOVA,AUNGURUMA WIKIEND HII,SASA NI JINO KWA JINO HADI KUKOMESHA WAHUNI HAO
HABARI24 TV 4:01:00 PM
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanya msako na doria katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo,Ili, kuthibiti makundi ya uhalifu wa aina mbalimbali ikiwa ni pamoja na vijana wahuni wasio na kazi maalum maarufu kwa jina na MBWA MWITU au PANYA ROAD ambao wamekuwa wakipelea Uvunjifu wa Amani katika,Maeneo mbalimbali.
Hayo,yalisemwa leo Jijini Dar es Salaam,na Kamanda wa Kanda maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova,wakatika wa Kikao cha Dharula alichokitisha na Makamanda mbalimbali wa Jeshi hilo Jijini Hapa chenye lengo la kupambana na Vikundi vya Hivyo vya Uharifu.
Ambapo Jeshi hilo limewatoa Hofu wakazi wa Dar es Salaam baada yaTaarifa za Awali kwenye Vyombo vya Habari kuhusu Vikundi hivyo.
Ambapo Kamishna Kova alisema Maeneo yote vijana hao waliopo kama vile Kigogo, Magomeni, Tabata, Manzese na maeneo ya Mbagala, wamepangwa askari wa kutosha wa doria ili kuthibiti mlipuko wowote wa vitendo vya kihuni vyenye ishara ya uhalifu vinavyoleta hofu kwa wananchi.
Kova,Alizidi kusema vijana hao hawana uwezo tena wa kufanya uhalifu katika makundi yao kutokana na mpango kazi uliopangwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum.
Aidha,Kova alisema kwa umakini wa Jeshi hilo katika Kupambana na Vitendo hivyo vya Uharifu, teyari Jeshi hilo teyali Limewatia Nguvuni, viongozi (Ring Leaders) sita (06) wa vikundi hivyo .
Kamishna Kova,aliwataja Vijana hao,ambao ni ATHUMAN S/O SAID, Miaka 20, Mkazi wa Kigogo,JOSEPH S/O PONELA, Dereva Bodaboda, Mkazi wa Kigogo Mkwajuni,CLEMENT S/O PETER, Miaka 25, Fundi Selemara, Mkazi wa Kogogo,ROMAN S/O VITUS, Miaka 18, Mfanyabiashara, Mkazi wa Kigogo. MWINSHEHE S/O ADAM, Miaka 37, Mkazi wa Temeke Mashine ya maji,pamoja na DANIEL S/O PETER, Miaka 25, Mkazi wa Yombo.
Katika Hatua Nyingine Jeshi Hilo la Polisi limesema
Pamoja na kuthibiti vitendo hivyo kutoka kwa vijana hao, umeibuka mtindo wa watu, kutuma ujumbe mfupi au simu za mkononi wakieleza uvumi kwamba maeneo yao yamevamiwa na makundi Mbwa Mwitu au Panya Road.
Vilevile Jeshi hilo lilisema Mtindo huo wa uvumi umeenea sana maeneo ya Kigogo, magomeni, mansese na Tabata. Jeshi la Polisi limetoa onyo kali kuhusu mtindo huo ukome kwani watu hao wanasababisha hofu kwa wananchi bila sababu na huku, Jeshi la hilo la Polisi likibainisha kuwa hakuna tukio lolote ambalo limefanyika maeneo hayo au kuripotiwa kituo chochote cha Polisi katika kipindi cha wiki hii ambapo uvumi umeenea sana.
Uchunguzi umebaini kwamba chanzo cha uvumi huu ni kwamba tarehe 18/05/2014 na 20/05/2014 palitokea mauaji ya vibaka wawili waliohusishwa na makundi haya na kwamba kulikuwa na hofu kuwa baada ya mazishi ya vijana hao
vijana wenzo wangeweza kulipiza kisasi ndio maana pakawa na uvumi wa jumbe mbalimbali zilizoleta hofu.
MBWA MWITU NA PANYA ROAD WAMKASIRISHA KAMISHNA KOVA,AUNGURUMA WIKIEND HII,SASA NI JINO KWA JINO HADI KUKOMESHA WAHUNI HAO Reviewed by HABARI24 TV on 4:01:00 PM Rating: 5
| 2018-05-22T10:09:54 |
http://habari24.blogspot.com/2014/05/mbwa-mwitu-na-panya-road-wamkasirisha.html
|
[
-1
] |
BAADA YA MNUNUZI WA TUMBAKU KUPATIKANA MWENYEKITI KACU AWAPONGEZA WAKULIMA KWA UVUMILIVU. - KIJUKUU CHA BIBI K | Habari na Matukio
Uncategories BAADA YA MNUNUZI WA TUMBAKU KUPATIKANA MWENYEKITI KACU AWAPONGEZA WAKULIMA KWA UVUMILIVU.
BAADA YA MNUNUZI WA TUMBAKU KUPATIKANA MWENYEKITI KACU AWAPONGEZA WAKULIMA KWA UVUMILIVU.
MWENYEKITI WA KACU EMMANUEL CHEREHANI.
Wakulima wa Tumbaku katika halamshauri ya Ushetu Wilayani Kahama mkoani Shinyanga wameupongeza uongozi wa KACU na serikali kwa ujumla katika kufanikisha mpango wa kununua tumbaku zilizokuwa zimebaki kwa wakulima ambazo zilizalishwa nje ya makisio.
Wakizungumza na Kijukuu Blog wananchi hao wamesema KACU na serikali wamefanya juhudi kutafuta masoko kwaajili ya kununua tumbaku iliyokuwa imebaki kwa wakulima licha ya hasara waliyopata baada ya tumbaku kushindwa kununuliwa kwa wakati.
Wamesema kuwa kutokana na kuchelewa kununuliwa kwa tumbaku zao imesababisha kuchelewa kupata pesa kwaajili ya kununua chakula na matumizi mengine ikiwemo kupeleka watoto shule kutokana na kwamba wakulima wengi wanategemea zao la tumbaku kama zao la biashara .
Nae Masolwa Donald mkazi wa ulowa no.3 ameipongeza serikali kupata mnunuzi wa tumbaku zao ambapo ameiomba serikali na uongozi wa KACU kuongeza juhudi ya kutafuta wanunuzi wengi watakao weza kunua tumbaku nyingi kulingana na uzalishaji wa wakulima.
Kwaupande wake mwenyekiti wa Kacu Emanuel Cherehani kwanza amewapongeza wakulima wake kwa uvumilivu licha ya adha walizopata ,ambapo amesema KACU ,wanunuzi na Serikali wamkubaliana kununua tumbaku iliyobaki na kwamba soko litaanza tarehe 24 novemba mwaka huu.
Hata hivyo Cherehani amewataka wakulima kuzingatia utaratibu bila kuweka uchafu kwenye mitumba ili soko liende kama lilivyo pangwa kwani mnunuzi ametoa siku 20 za kununua tumbaku hizo,ambapo bei ya ni wadolla 1.5 kwa tumbaku ya kawaida .
Ameongeza kuwa kwasasa wamefanya makisio na kutoa maelekezo kwa viongozi wa vyama vya msingi kusimamia makadirio ya tumbaku itakayozalishwa kwa msimu huu ili kuondoa usumbufu kama ulivyo jitokeza msimu uliopta wa kubakiza tumbaku ya ziada. Kwa wakulima.
| 2019-01-21T19:57:26 |
http://www.kijukuu.com/2017/11/baada-ya-mnunuzi-wa-tumbaku-kupatikana.html
|
[
-1
] |
Mkullo: Maisha yangu yako hatarini! | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Mkullo: Maisha yangu yako hatarini!
Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Mtumiabusara, Jan 22, 2011.
WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo, amewashukia watendaji wa ofisi yake kwamba wanahatarisha maisha yake kwa kuvujisha siri za wizara hiyo.
Mkulo alitoa kauli hiyo baada ya gazeti hili hivi karibuni kuripoti kuwa alikodi ndege kwenda Dodoma na kumuagiza dereva wake amfuate kwa shangingi lake aina ya G8.
Waziri huyo alisema hayo jana wakati akifungua mkutano wa baraza la wafanyakazi katika wizara hiyo kwenye ukumbi wa BZ, ulioko nje kidogo ya mji wa Morogoro.
Bila kutaja majina, waziri huyo mwenye dhamana ya fedha, alisema utafiti wake umeonyesha kuwa wavujishaji wakuu wa siri katika wizara yake ni wakurugenzi, makamishina na watendaji wa kati..
"Hivi karibuni gazeti moja (Tanzania Daima Jumatano), likaamua kufuatilia safari ya waziri na dereva wake toka Dar es Salaam kwenda Dodoma baada ya kukodiwa ndege kwa gharama ya dola 5,000 bila kufanya uchunguzi kwa sababu gani ilifanyika hivyo...lakini ilikuwa imesukwa na baadhi ya watendaji wetu, tena wamo humu ili wamchafue Mkulo," alisema.
Katika hotuba hiyo iliyokuwa fupi lakini iliyorefushwa na ufafanuzi wa taarifa hiyo iliyoonyesha kumkera sana Waziri Mkulo hivyo kumlazimu kutumia zaidi ya dakika 30 kutoa ufafanuzi juu ya mazingira ya kukodiwa ndege hiyo, Mkulo alisema hana mamlaka ya kujiamulia kukodi ndege na kuongeza kuwa tangu awe waziri, amekodiwa ndege mara nane tu.
Mkulo ambaye alionyesha kukerwa sana na taarifa hiyo, alisema wizara iliamua kumkodia ndege hiyo yeye na dereva wake kwenda Dodoma kutokana na majukumu yaliyokuwa yakimkabili likiwemo la kulazimika kukutana na baadhi ya mabalozi na mawaziri wa fedha toka nje ya nchi ambao walikuwa wanaliingizia taifa takriban dola za Kimarekani milioni 100.
"Akaandaliwa mwandishi uwanja wa ndege Dar es Salaam apige picha ndege anayopanda waziri na kule Dodoma akaandaliwa mwandishi kupiga picha ndege atakayoshuka waziri...ni hatari sana; hebu fikiria kama wangekuwa maharamia mimi si nigeuawa kwa dola 5,000 zinazodaiwa nimefuja!?" aliongeza.
Akitahadharisha juu ya kutokuwa na siri katika utumishi hususan serikalini katika wizara nyeti kama hazina ambayo ni roho ya nchi, Mkulo alisema kama hakuna usiri wa nyaraka katika serikali yoyote waelewe kuwa hakutakuwa na utawala.
Alisema nyaraka za serikali sasa zimezagaa mitaani hususan kwenye masoko likiwemo la Kariakoo jijini Dar es Salaam zikitumika katika matumizi yasiyo sahihi kwa wafanyabiashara ndogondogo wakiwemo wauza vitumbua na karanga.
Awali Naibu Waziri wa Fedha, Gregory Teu, akiwasalimia wafanyakazi katika mkutano huo jana alisema mbali na kulitumikia taifa kama mkaguzi na mdhibiti wa mali za serikali amebaini kuwa wizara hiyo inakabiliwa na tatizo la matumizi makubwa kuliko mapato jambo linalosababisha kushindwa kufikia malengo.
Waziri Mkulo mwenye dhamana ya fedha nchini, alikodi ndege ya Shirika la Tanzania Air, yenye namba za usajili 5HTZC na kuwasili katika uwanja wa ndege wa mjini Dodoma, majira ya saa nane mchana.
Wakati Waziri Mkulo akipasua anga la Dodoma kwa ndege ya kukodi, siku hiyo hiyo, dereva wake alilazimika kujaza mafuta shangingi la waziri huyo na kuweka kibindoni posho yake kumfuata bosi wake mjini Dodoma.
Taarifa hiyo ambayo ilimkera sana Waziri Mkulo, ilidai kuwa ndege hiyo ilikodishwa kwa dola za Kimarekani 5,000, sawa na sh milioni 7.5.
Njia nyingine ya Viongozi wa CCM kutafuta Sympathy kwa Wananchi. Huyu Jambazi amechukua ndege, trip nne na hatujui nyingine ngapi haja repoti na vitu vingine alivyoibia watanzania. Leo hii anazungumza utumbo mbele ya wapenda nchi waliofichua hili jambo...kama hakufanya kosa mbona hukusema mapema? Kwa hiyo kutokana na hili jambo Mkulo haoni makosa makubwa kafanya? Kweli CCM Viziwi...
Sasa viongozi wa CCM na Serikali ni victims wa changes Zinazo kuja? Ngoja ni Kutaarifu Mr Mkulo, nchi zenye Katiba ya nguvu unatakiwa kujihudhuru kabla ya yote. Pili repoti ikitoka na unatakiwakwenda jela na kurudisha pesa ulizo tumia. Ondoa upuuzi kulia kwako...Wanawake wanajifungua wakilala chini Muhimbili wewe unatumia ndege kwenda mikoani Tanzania? Mr Mkulo angalia Katiba zinapofanya kazi:
matawi JF-Expert Member
Failure to plan is plan to fail, nina uhakika ratiba ya kukutana na mabalozi alikuwa nayo 1 year ago. Kiherehe cha kukodi ndege kimetokea wapi. Yaani inanikera sana kuona waziri hawi mfano wa kuwa na displine. Au ni zile digree za kufoji?
matawi said: ↑
Ni kweli, mahafali na huo mkutano vyote vilipangwa, hakuna dharula hata moja hapo. Hoja kubwa kwa nini gari limfuate dodoma wakati kule magari yapo?
Mtumiabusara said: ↑
Mkulo alisema kama hakuna usiri wa nyaraka katika serikali yoyote waelewe kuwa hakutakuwa na utawala.
Usiri huo na utawala huo ndio uliotuletea Richmond, Dowans, n.k....
Amekuwa waziri kwa miaka mitatu na nusu. Haya tuna Mawaziri 30 asuming kila mmoja amekodi mara nane tu @ 8 zidisha mara $5000 (wastani) = $ 1,200,000 (Tsh Billion 18)! kukodi ndege tu!! Kama siyo ubadhirifu ni nini?? Halafu anakomaa komaa
Naamini Siri za sekali ni zile zenye manufaa kwa Taifa, Si vinginevyo. Kesi ya Dowans imeendeshwa kwa siri hapo Movenpick, matokeo yake tumeyaona.
Likes Received: 2,263
Wizi mtupi kule kuna hazina ndogo kwanini atumie gari la dar wakati ameisha kodi ndege??kwahiyo kaunguza diesel bure!dar to dom
+5000usd?=watumishi siyo wasiri??shame on him!
Hawajali kabisa maslahi ya nchi wao wanatumbua tu mapesa hovyo hovyo ambayo yangeweza kufanyia mambo ya maana chungu nzima. Wanapigiwa kelele kila siku na walipa kodi lakini inaelekea hawataki kabisa kusikia vilio vyao na kuendelea na matumizi yasiyo na tija kila siku iendayo kwa Mungu.
...... Mkulo alisema hana mamlaka ya kujiamulia kukodi ndege na kuongeza kuwa tangu awe waziri, amekodiwa ndege mara nane tu.
nakulilia tanzania
mkulo ambaye alionyesha kukerwa sana na taarifa hiyo, alisema wizara iliamua kumkodia ndege hiyo yeye na dereva wake kwenda dodoma kutokana na majukumu yaliyokuwa yakimkabili likiwemo la kulazimika kukutana na baadhi ya mabalozi na mawaziri wa fedha toka nje ya nchi ambao walikuwa wanaliingizia taifa takriban dola za kimarekani milioni 100
baba omba omba watoto omba omba na huku wankula hela za yatima.....
Lakini naye aache uzushi, amekuiwa obama. Sasa kama junior kama huuyu anafanya mambo ya siri kaisi hiki, mkuu wake itakuwaje. Pengine kila siku ule msafara unao tuboa morogoro road ni danganya toto tuu, mtu mwenyewe kesha fika na hecopta yake mapema sisi tunahangaika kupak magari pembeni mkuu apite, kumba ni raia tuu wenye magari ya ikulu , kutembea chalinze.
Kimsingi wizara imeshindwa kuelezea kwa nini walikodi ndege na gari likaenda Dodoma pamoja na kuwa Waziri alikuwa na majukumu mengine muhimu Dar es salaam. Hivi Manaibu waziri wanafanya kazi gani kama kila sehemu inabidi waziri mwenyewe awepo
friendsofjeykey Senior Member
The man has the audacity to justify anavyofuja pesa za uma
kwa nini akasirike hii waste of public funds kuwekwa kwenye public domain?
kwani kule dodoma asingepata gari la kumzungusha? kulikuwa na umuhim gani wa yeye kufuatwa ga GARI tena sio moja from DAR...hapo kulikuwa na per diem za dereva wake, mafuta, misosi pale segera na malazi...
This comes from a man with a fake degree ambaye hajawahi kusimama kukanusha kuhusu hili,
This also come from a man ambaye hajawahi kuweka wazi kuhusu utata wa uraia wake, No wonder anatumia ARROGANT na INSENSITIVE language dhidi ya WAUZA MAANDAZI na VITUMBUA....Kariakoo ambako tunaishi sie WASWAHILI
Kwani aliona taabu gani kutumia analogy nyingine badala ya maneno ya wafunga vitumbua na maandani na kariakoo? why not kwao huko KILOSA if not MALAWI?
Of course this is the man in charge of our economy and cares less about watu wa chini
Hata mimi sioni mantiki ya kila sehemu lazima yeye awepo kule dodoma angeenda naibu waziri yeye asubirie dar hao mabalozi waliosema wanaiingizia nchi...twajua ku justfy tu huko.
Sidhani mahafali yana manufaa sanaa hadi kukodi ndege kwa garama kubwa vile ,ila Mkulo anakuwa hajui hata kujenga hoja sikuzote sijui hata kwa wafadhili inakuwaje watakuwa wanatushangaa sana....mtu bogus vile eti waziri wa fedha au ndio ile dhana ya majuha wawili kila mmj anamuona mwenzake afadhali
friendsofjeykey said: ↑
Kuhusu gari ni lazima na vyema kwenda; huo ndio ulikuwa usafiri sahihi nadhani moja ya hoja zao kununua hizo V8 ilikuwa ni mwendo kasi mkubwa, kama gari lisinge enda Dom ni utata zaidi maana lazima arudi Dar angetutia hasa nyinge ya $5,000; kwa hiyo gari haliepukiki hapo.
Tatizo kubwa hapa ni kukodi ndege safari ya saa 6; kwa ujinga wake wa kushindwa ku-plan safari imetupa gharama $5,000 sijui ni karo ya wanafunzi wangapi!? alafu anaonyesha ni mpuuzi zaidi anasema ameshawai kukodi ndege mara nne tu!!!! Jamani hatuna Rais amtimue huyu mtu, TAKUKURU haina wataalam wenye uwezo wa Kiuchunguzi mbona kosa liko wazi sasa Mramba walimkamata wa nini kama siyo unafki; yani Mkulo ni mbumbumbu kiasi hicho hajui kwamba siku ina saa 24 na wiki siku 7 na mwezi siku 30-31 azipange vyema hasiumize hii nchni maskini?
Amesema mara nane tu, siyo nne mkuu
Likes Received: 1,053
Phew! Hivyo ni vijisent tu wazee serikalini...nyie ni wanafunzi?
Messages: 15,171
Likes Received: 1,900
Hili ni pigo la lAANA nchi yetu imepigwa!!;
HERI KWAO WAZALENDO wanaokemea hali hii kwa njia yeyote waliyo nayo mikononi mwao
na laana hii iwakute wote wanaofanya ufisadi kwa vitendo na mawazo, wanaoona na kukaa kimya....
NA WOTE WENYE MWILI TUSEME AMINA!!!
MLEKWA Senior Member
Ikiwa Sokoine aliekuwa Waziri
Mkuu alikua akipanda gari na mwisho kugongwa jee wewe Mkulo CCM inatia Kichefu chefu
Mkullo aache matumizi mabaya na usalama wake utakuwepo............................
Na ni vyema akafahamu hakuna siri katika wizi wa mali ya umma...............................
| 2018-01-20T23:46:32 |
https://www.jamiiforums.com/threads/mkullo-maisha-yangu-yako-hatarini.105061/
|
[
-1
] |
MBUNGE WA MTAMA NAPE NNAUYE AKUTANA NA RAIS MHE. DKT. JOHN POMBE MAGUFULI NA KUMUOMBA MSAMAHA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM | Full Shangwe Blog
Home Mchanganyiko MBUNGE WA MTAMA NAPE NNAUYE AKUTANA NA RAIS MHE. DKT. JOHN POMBE...
MBUNGE WA MTAMA NAPE NNAUYE AKUTANA NA RAIS MHE. DKT. JOHN POMBE MAGUFULI NA KUMUOMBA MSAMAHA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wanahabari mara baada ya mazungumzo yake na Mbunge wa Mtama Nape Nnauye Ikulu jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU
Previous articleRAIS DKT. SHEIN AZINDUA MPANGO SHIKIRISHI WA KUTOKOMEZA KIPINDUPINDU ZANZIBAR
Next articleWAANDISHI WA HABARI NCHINI WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA TAASISI ZINAZOJIHUSISHA NA TAFITI KUPATA TAARIFA SAHIHI
| 2019-09-23T11:42:30 |
https://fullshangweblog.co.tz/2019/09/10/mbunge-wa-mtama-nape-nnauye-akutana-na-rais-mhe-dkt-john-pombe-magufuli-na-kumuomba-msamaha-ikulu-jijini-dar-es-salaam/
|
[
-1
] |
Fukuoka Growth 2017-2018: 005. 外国人材が活躍できるまち、福岡 Fukuoka, Where Foreign Talents Succeed | 福岡アジア都市研究所
[HOME] >> 調査研究報告・刊行物 >> 刊行物 >> Fukuoka Growth 2017 >> Fukuoka Growth 2017-2018: 005. 外国人材が活躍できるまち、福岡 Fukuoka,…
| 2019-05-20T12:23:19 |
http://urc.or.jp/fukuoka-growth-2017-post05
|
[
-1
] |
GHAFLA NIMEPAKUMBUKA GEZA ULOLE NA BUNJU ARENA ~ NIJUZEHABARI BLOG
Home / Michezo / GHAFLA NIMEPAKUMBUKA GEZA ULOLE NA BUNJU ARENA
7:43:00 AM Michezo
GHAFLA NIMEPAKUMBUKA GEZA ULOLE NA BUNJU ARENA Reviewed by joseph Michael on 7:43:00 AM Rating: 5
| 2018-08-19T23:26:48 |
http://www.nijuzehabari.co.tz/2018/03/ghafla-nimepakumbuka-geza-ulolr-na.html
|
[
-1
] |
Jinamizi la pombe hatari Murang’a – Taifa Leo
KAUNTI ya Murang’a kwa muda sasa imekuwa ikekejeliwa kama iliyo na walevi ambao hutumiwa kujaribu makali ya kileo kipya sokoni.
Mwaka wa 2014 Kaunti ya Murang’a ilitangaza ulevi kuwa janga la kaunti.
Imekuwepo gumzo katika baadhi ya maeneo kote nchini kwamba walevi wa kutoka Murang’a wakionja pombe na waipitishe jua kwamba ina makali ya kukubalika na wateja wengine.
Wakiikataa, rejea kwa maabara yako uiimarishe.
Ni katika hali hiyo ambapo kwa sasa kuna msako mkubwa unaondelezwa baada ya kuripotiowa kuwa watu wawiwili wameaga dunia katika Kaunti ndogo ya Maragua baada ya kubugia pombe za sumu katika mtaa wa Gakoigo ulioko katika viunga vya mji wa Maragua.
Kwa mujibu wa Kamishna wa Kaunti hiyo, Mohammed Barre, wawili hao ambao ni wanaume wa kati ya umri wa miaka 28 na 32, waliaga dunia Jumanne na ambapo mara yao ya mwisho kuonekana walikuwa wameonekana wakibugia pombe za kipimo katika mtaa huo wa Gakoigo.
“Ripoti za kimatibabu zinaonyesha kuwa wawili hao walikuwa wamekanywa unywaji wa pombe kutokana na hali yao ya kiafya. Lakini walikuwa wakiendelea na kukaidi na ndipo walilemewa na athari za ulevi na wakaaga dunia,” akasema Barre.
Alisema misako iliyozinduliwa kutokana na tetesi zilizojiri za raia zimeishia kunaswa kwa washukiwa 106 tangu siku hiyo, wote wakiwa ni wale ambao wanakaidi masaa yaliyo halali ya kushirikisha biashara ya mabaa na pia walevi ambao wanakiuka sheria.
Ni hali ambayo imemshinikiza gavana Mwangi wa Iria kutoa ilani spesheli ya kuweka vikwazo vya kuzima biashara huru ya aina mbalimbali za pombe katika soko la kaunti hiyo.
Ilani hiyo inasema kuwa ni lazima baadhi ya wafanyabiashara wa kutengeneza pombe wawe wakisajiliwa na kutafuta idhini maalumu ya kuingiza bidhaa zao katika Kaunti ya Murang’a.
Ilani hiyo ambayo tayari imewasilishwa kwa kitengo cha utoaji leseni cha Kaunti hiyo inasema kuwa, “kila mfanyabiashara na kampuni yake ya pombe kwa pamoja wanafaa kutuma maombi rasmi kwa bunge la Kaunti hii kwa mujibu wa sheria mpya za pombe ambazo nimeidhinisha.”
Amesema kuwa bunge la kaunti ndilo litakuwa likitekeleza utafiti kuhusu ufaafu wa bidhaa hizo za pombe na hatimaye baada ya kuandaa mijadala bungeni, litakuwa na dhamana ya ama kupitisha au kuangusha maombi hayo.
Hatua hiyo amesema itawalenga wamilki wa viwanda vya kibinafsi vya kutengeneza pombe au mtu binafsi ambaye anajihusisha na uasambazaji wa pombe kwa kandarasi.
Amesema kuwa kampuni tajika ambazo zimetekelezewa ukaguzi wa ubora na ufaafu na serikali kuu hazitaathirika katika mwelekeo huu mpya wa masharti.
Yeyote atakayenaswa amekiuka sheria hizo atakuwa hatarini ya kutozwa faini ya Sh2milioni au kifungo cha miaka mitano gerezani.
“Wakati wamilki wa mabaa halali katika Kaunti hii wataamua kutusaidia kupambana na pombe hizo haramu, wateja watafurika katika mabaa yao hivyo basi kuzidisha faida zao. Kwa msingi huu, ni lazima pia wamiliki wa mabaa katika Kaunti hii wajumuishwe katika vita hivi,” akasema.
Alisema kuwa kwa sasa pombe haramu haswa zile zinazouzwa kwa chupa za plastiki huletwa kutoka Kaunti za Kiambu, Nairobi na Nakuru na akaonya kuwa serikali ya Kaunti hiyo itakuwa macho kuzima biashara hizo.
Mwakilishi wa wadi ya Ichagaki, Julius Ndung’u ambaye eneo lake limekuwa likiangaziwa mara kwa mara kama ngome ya biashara haramu ya pombe tayari ametangaza kuwa atakumbatia kwa dhati mwelekeo huo mpya wa Kaunti.
“Yeyote anayepambana na jinamizi la pombe haramu ni kipenzi kikuu kwa wadi yangu. Huyo ni wa kuungwa mkono hata ikiwa ni kwa vita vya kimwili. Atakayewaokoa vijana wetu kutokana na hatari ya pombe za mauti ni shujaa kwa macho yangu na ya wenyeji wa Kauntyi yote kwa ujumla,” akasema.
Sekta haramu ya pombe za sumu ikishirikishwa na ufisadi mkuu miongoni mwa maafisa wa kiusalama tayari imeorodheshwa kama iliyo na uwezo wa kumaliza watu 100, 000 katika Kaunti hii ya Murang’a kati ya 2019 na 2030.
Kwa mujibu wa aliyekuwa Mwenyekiti wa mamlaka ya uhamasisho na mapambano dhidi ya Ulevi (Nacada) John Mututho, kitaifa pombe hatari zinaua vijana 200, 000 kila mwaka, vijana ao hao wakifuja utajiri wa
Sh15 bilioni kila mwaka kusaka ulevi.
“Hizi ni takwimu ambazo nimeandaa kwa wizara ya masuala ya ndani nikiomba kuwe na mikakati maalum ya kupambana na kero hili. Ni takwimu ambazo tuliandaa kusaidia serikali kupambana na janga hili kati ya
2015 na 2020 lakini hakuna lolote limeonekana kutekelezwa,” akaambia Taifa Leo katika mahojiano maalum.
Bw Mututho alisema kuwa uchumi wa taifa kila mwaka hupoteza takriban
Sh10 bilioni zaidi katika sekta hii ya pombe za sumu.
“Hizo ni takwimu za kipindi hicho cha hadi 2020 ambapo tulidadisi kuwa uchumi hupoteza Sh5 bilioni kila mwaka kupitia bili za kiafya za waathiriwa wa pombe za sumu huku mauti yakiathiri familia hizo takriban Sh2 bilioni katika kipindi hicho nazo Sh3 bilioni zikipotea kutokana na ukwepaji wa kulipa ushuru kwa serikali kuu,” akasema.
Bw Mututho aliteta kuwa sekta hii ni vigumu kuithibiti kwa kuwa “imejaa mabwanyenye, maafisa wakuu serikalini na wakora wa kila aina ambao wako na uwezo wa kujikinga dhidi ya mkono wa sheria.”
Alisema kuwa Nacada nayo imetekwa nyara na mitandao ya ufisadi na haina uwezo wowote kwa sasa wa kutekeleza mikakati ya kuokoa taifa dhidi ya ulevi kiholela na unaosihia mauti, akiishutumu kwa kugeuka kuwa fisadi kwa hazina ambazo hupokezwa kupambana na janga hili la ulevi.
“Kwa sasa, wanaoendesha biashara hii ya mauti ni baadhi ya maafisa wa polisi, wengine ndani ya Nacada, walio katika mamlaka ya utoaji leseni katika serikali za Kaunti, baadhi ya wakubwa wa serikali za Kaunti na wafanyabiashara walio na pesa mfukoni kiasi cha kutowajibikia sheria,” akasema.
Bw Mututho alisema kuwa sekta hii ya pombe za sumu huwapa maafisa mafisadi takriban Sh100 milioni kwa siku kupitia hongo.
“Huu ni udadisi ambao ulifanywa na Nacada kwa ushirikiano wa Mpango wa kiusalama wa Nyumba Kumi mwaka wa 2018 ambapo maafisa wa usalama walikuwa wakipokezwa pesa tasilimu na mitandao ya pombe hizo za sumu ili kuilinda dhidi ya mkono wa sheria,” akasema.
Ni ufichuzi ambao aliyekuwa Mkurugenzi wa Nyumba Kumi, Joseph Kaguthi anaunga mkono akisema vita dhidi ya pombe za sumu, mara nyingi hulemazwa katika safu ya maafisa wa usalama.
“Jumbe kutoka mashinani kuhusu urejeo wa pombe hatari mwaka wote wa 2018 zilionyesha waziwazi kuwa maafisa wa usalama mashinani huzunguka kwa mabaa wakipokezwa hongo ili pombe hatari ziuzwe bila masharti,” akasema Kaguthi.
Anasema kuwa jumbe hizo zilikuwa zikiandamana na hata usajili rasmi wa magari ya polisi ambayo yalikuwa yakinaswa kila jioni yakizunguka mitaani kupokezwa mlungula wa kulinda hata walanguzi wa mihadarati, sio tu washirikishi wa pombe hatari..
“Hizi ni habari ambazo tulikuwa tunawapasha wakuu wa polisi ili wazishughulikie lakini hakuna la maana lilionekana kutekelezwa na kwa sasa, sekta ya pombe za sumu ni sawa na serikali mashinani,” asema Kaguthi.
| 2019-10-19T07:44:24 |
https://taifaleo.nation.co.ke/?p=31404
|
[
-1
] |
Mradi wa maji wachunguzwa Geita - china radio international
Mradi wa maji wachunguzwa Geita
(GMT+08:00) 2019-01-18 18:48:44
Takukuru mkoani Geita imeunda kamati ya kuchunguza mradi wa maji wa Nyamtukuza wilayani Nyang'hwale kutokana na kujengwa zaidi ya miaka mitano bila kukamilika.
Mradi huo unaojengwa kwa gharama ya Sh15 bilioni uliondolewa mikononi mwa halmashauri hiyo Novemba mwaka jana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na kurudishwa wizarani lakini bado unasuausa huku vijiji zaidi ya 17 vikiwa havina maji vikitegemea kukamilika kwake.
Mkuu wa Takukuru mkoa wa Geita, Thobias Ndaro alisema kamati hiyo ina siku tatu tangu ianze kazi na inategemewa kukamilisha mwezi huu mwishoni.
Akizungumzia miradi mingine, Ndaro alisema taasisi hiyo inaendelea kuchunguza miradi inayojengwa kwa fedha za Miradi ya Jamii (CSR) wakiwamo watumishi wa Mgodi wa Dhahabu Geita (GGM) ambao mkuu wa mkoa huo aliagiza kuzuiwa kwa hati zao za kusafiria na kuchunguzwa.
Alisema uchunguzi huo ukikamilika na ikibainika kuna ubadhirifu sheria itachukua mkondo wake na endapo watakua hawana kosa Takukuru itaishauri Serikali .
Alisema kwa kipindi cha miezi mitatu iliyopita taasisi hiyo imefanikiwa kuokoa Sh16 milioni kutoka TRA. Aidha, Ndaro alisema Takukuru inafuatilia fedha za miradi yenye thamani ya Sh10 bilioni katika halmashauri za Geita, Chato na Bukombe ili kuhakikisha fedha hizo zinatumika kama ilivyokusudiwa.
| 2019-03-21T10:50:27 |
http://swahili.cri.cn/141/2019/01/18/1s182079.htm
|
[
-1
] |
SABABU ZA KABILA LA WAMASAI KUKEKETA WANAWAKE, NA HALI ILIVYO SASA - Kajunason | PressTZ - Your Number 1 Source of Aggregated Online Content
SABABU ZA KABILA LA WAMASAI KUKEKETA WANAWAKE, NA HALI ILIVYO SASA
Ukeketaji ni kitendo cha kukata au kuondoa sehemu ya nje ya viungo vya uzazi vya mwanamke ambacho hufanywa na mtu maalumu ajulikanae kama ngariba ambae huwa ameteuliwa na jamii Fulani kwa lengo la kufanya shughuli ya ukeketaji kwa wanawake au mabinti wanaopatikana katika jamii hiyo.
Ruvuma Tv imepata nafasi ya kuzungumza na Masai ambaye ameelezea sababu zinazopelekea kukeketwa kwa wanawake wa kimasai na hali ilivyo kwa sasa kuhusu ukeketaji.
| 2018-10-21T14:21:04 |
http://presstz.net/sababu-za-kabila-la-wamasai-kukeketa-wanawake-na-hali-ilivyo-sasa-40116832
|
[
-1
] |
Sharon stone fakes - best sex photo
Australian nudist girls Black women porn gifs Heidi shepherd porn Leah remini porno Naked tennis player
Sharon stone fakes - Sharon Stone Nude Pics & Videos, Sex Tape < ANCENSORED
Emma Stone Naked Fakes. «prev; 48/97; next» Emma Stone Nude Fakes · Emma Stone Porn Fakes Nude Sharon Stone Naked Fakes · Emma Stone.
Just what are they trying to say? Harding, of course, was a real-life perpetrator of female-on-female crime, having her Olympic rival Nancy Kerrigan kneecapped — and though the movie exonerates her, Harding has sharon stone fakes to at least having knowledge of a plot.
Kerrigan later sharon stone fakes the FBI told her they believed Harding eharon the mastermind and showed her image xxx detailing a plot to have her killed. The obvious fix for killer trash trucks.
View author archive email the author Get author RSS feed. Kirk Douglas left is honored at the Golden Globes. Tone-deaf Emmys all sttone ignore Hollywood's MeToo plague.
Sharon stone fakes Hentai is a Japanese word, which in the Western world, describes Japanese animated "anime" pornography.
Previous Pornstar - Use arrow keys to navigate. Next Pornstar - Sharon stone fakes arrow keys to navigate. Biography You probably recognize Sharon Stone as one of the hottest American celebrities of all time.
Sharon Stone Pornstar Porn Subscribe. Craving the most amazing pornstars on the web having the hottest sex?
Look no further than keezmovies. This sharon stone fakes porn tube has been synonymous with the highest quality erotica for years and offers any discerning XXX viewer a dizzying array of steamy content to choose from.
Sharon stone fakes Sharon Otieno atokwa na machozi gavana Obado akijibu mashtaka mahakamani. Mamake mwanafunzi wa chuo kikuu cha Rongo aliyeuawa Sharon Otieno, Melida Auma, Jumatatu, Septemba 24 alishindwa kusitiri uchungu wa kumpoteza mwanawe katika syone ya Milimani alipokuwa akifwatilia kesi ya mauaji ya mwanawe.
Faked zilizodhamiriwa uboreshaji wa Pumwani Maternity zilitumwa katika akaunti ya Kidero - Mike Sonko. Gavana linda park naked kaunti ya Nairobi Mike Mbuvi Sonko amemwangazia mtangulizi wake Evans Kidero, kuhusu madai ya wizi wa mamilioni ya fedha za uboreshaji wa hospitali ya Pumwani Maternity inayokabiliwa na ukosefu wa vifaa na wafanyakazi.
Mlinzi wa Obado aliyekuwa akiviziavizia sharon stone fakes ya Mahakama sharon stone fakes Milimani akamatwa.
Mlinzi huyo wa gavana alikamatwa kuhusiana na kifo cha mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Rongo, Sharon Otieno. Simu ya John Chacha ilikuwa katika eneo la tukio wakati wa kuuawa kwa Sharon na alipelekwa katika ofisiza DCI sharon stone fakes.
Mashabiki wamsuta Bahati kwa kutumia kutengana kwake na mpenziwe kuuza wimbo wake. Jeri ryan tits ya msanii Bahati na mkewe Diana Marwa kuangaziwa kwenye kipindi chao cha runinga, mashabiki wa msanii huyo walimshambulia kwa madai kuwa alitumia habari sharon stone fakes kutengana kwao kuupa umaarufu wimbo wake mpya cakes.
Umri wamfanya hasimu wa Zari kurusha konde, adai zari ni mzee kuliko anavyodai. Mange amekuwa akimshambulia sana na kumwanika Zari na wakati sharon stone fakes alidai kwa mama huyo wa watoto watano kila mara kuwa katika migogoro hasa wakati akisema ametengana na Diamond Platnumz, ilikuwa njia ya kutafuta umaarufu.
Wafuasi wa Obado wafanya maandamano wakidai kuachiliwa huru kwake. Biashara zilisitishwa Migori baada ya wafuasi wa Gavana Okoth Obado kujitosa barabarani mnamo Jumapili, Septemba 23, wakidai kuachiliwa huru kwa kiongozi wa kaunti anayekabiliwa na utata kutoka kizuizini cha polisi.
Gavana Okoth Obado alikula na sharon stone fakes na wahalifu kwenye seli alikozuiliwa.
Hadhi sharon stone fakes gavana wa Migori Okoth Obado haikuzingatiwa alipokamatwa Fucking mom tumblr, Septemba 21 na kuzuiliwa kuhusiana na mauaji ya mpenzi wake Sharon Otieno.
Aliripotiwa kula chakula kulichoandaliwa kwa washukiwa wengine na kulala sakafuni. Picha 10 motomoto za 'kipusa mpya' wa Ababu Namwamba.
Guardiola matatani baada ya Juventus kupanga kumnyang'anya kiungo muhimu sharon stone fakes Man City Guardiola matatani baada ya Juventus kupanga kumnyang'anya kiungo muhimu wa Man City Marcos Alonso ana mpango wa kuondoka Chelsea kurudi Real Madrid? Babes Sharon lee anal Ass hipster girl naked boobs Sharon stone fakes lee anal Big boobs busty Milf sharon kane Asian beauty big tits Classy Asian hottie Sharon Lee drives herself to orgasm 8: Big blonde blowjob Hot blonde sharon wild sucking and fucking a big cock!
Babes brunettes retro Sharon Mitchell - Now that's what I call service!
Sharon stone fakes blondes hardcore Sharone Wild Big boobs breasts Busty cougar sharon kane Vintage Sharon Mitchell - Desperate Women sharon stone fakes Anal asian bollywood acctress boobs Bubble-asses Asian Sharon Lee enjoys rear bang gets cum on tits 9: Anal german threesomes Sharon Da Valle - Anal 3some Anal asian chinese Sharon lee anally penatrated asian Amateur classic retro Amateur sharon Anal blondes interracial Sharon Wild German hardcore pornstars Sharon Traum Big boobs blondes lesbians Sharon da Vale getting her pussy fisted 3: Babes teens threesomes Sharon And Star get Sharon stone fakes Blondes Sharon and a Man Anal asian group sex Sharon Lee Anal Hardcore pov Sharon European female for Cayenne and sharon lesbian scene Black blonde dick Sharon wants it black Indian solo stockings Indian Teen Sharon Stripteasing
Description:May 11, - The star was honored as Mother of the Year at the Associates for Breast and Prostate Cancer Studies' annual Mother's Day Luncheon in.
Views:68134 Date:14.07.2018 Favorited Supergirl: 9754
Tags: Nude midget pics Kari byron porn
Meztiktilar 16.07.2018 at 05:26 says:
Taugis 23.07.2018 at 12:15 says:
Dimi 02.08.2018 at 04:27 says:
| 2018-11-21T15:37:51 |
https://brunomiguelpereira.info/sharon-stone-fakes.php
|
[
-1
] |
ZAMARADI: THE LOST ADAM - moja kati ya filamu nilizozipenda kwa mwaka huu...
THE LOST ADAM - moja kati ya filamu nilizozipenda kwa mwaka huu...
Nimeangalia filamu nyingi sana kwa mwaka huu na hiyo ni kutokana na kazi yangu pia.. Kiukweli kuna improvements nyingi sana kwenye filamu zetu kwasasa lakini mara nyingi kitu ambacho huwa kinatuangusha ni STORY za filamu zetu.. nyingi ziko too shallow, na haya mambo ya part one na two ndio kabisa yanazidisha u-shallow kwenye filamuLakini pamoja na kwamba story nyingi ziko Shallow, bado kuna watu ambao wanaendelea kufanya vizuri kwenye filamu, ambapo hata kama story ni ya kawaida utakutaSCRIPT yake imesimama na hata DIRECTOR anakuwa ameitendea haki kiasi kwamba unaangalia filamu na unaona kabisa kwamba hii filamu imedirectiwa..Moja kati ya filamu nilizoziona na zikanifurahisha kwa mwaka huu.. ni filamu ambayo imedirectiwa na Mtitu Game ambayo inaitwa THE LOST ADAM..Kikubwa ni Uchezaji wa baadhi ya watu humo ndani.. ni kwamba wamefanya vizuri sana nikianzia na ROSE NDAUKA ambae amevaa uhusika vilivyo kabisa, JACOB STEVEN(JB) pia amefanya vizuri sana na naweza kusema huyu ni mtu ambae kwa movies zake nilizowahi kuangalia naweza kusema Hajawahi kuniangusha.. pia kuna Patcho Mwamba, Hemed Suleiman na wengine wengi ambao kila mtu amekamua kwa nafasi yake..Kikubwa nampongeza sana Director wa hii filamu kwa kazi aliyoifanya kwani ukiangalia filamu yenyewe unaona kabisa kwamba imekuwa directed na mtu ambae yuko serious na anaijali kazi yake, ila zaidi angalia hiko kipande hapo juu ambacho ni MOJA kati ya SCENES nilizozipenda sana kwenye hii Filamu..
hii movie ni nzuri mno,rose ndauka ameubeba uhalisia vilivyo,na si yeye peke yake,wote walio act wamejitahidi mno.na mwisho wa mchezo ni kama surprise mkewe biggie kujitokeza.huwa napenda michezo ambayo mwisho wake hujui utaishia vipi.maana kuna movie nyengine,ikianza tu,unajua mwisho unaishia vipi.kama ulivy6osema zama,pongezi pia kwa director.
Du Zamaradi picha (movie) imesimama ingawa kuna parts ambazo hazipo connected na hiyo movie yenyewe Mfano pale Rose anapokimbia na kuanza kutapika, na pale anapoenda kutambulishwa kwa maadili ya kibongo hauwezi kwenda kutambulishwa kwa wazazi ukiwa umevaa vile, kwa hilo hakuwa katika uwalisia wa kitanzania, nashukuru kuona kwamba JB akuwangushi sio wewe tu hata mimi namkubali sana mtu huyo,
nimeikubali zam ngoja niende dukani nikanunue
dada kazi yako nzuri sana ila kama presenter kuna maneno inabidi uwe mwangalifu sana hautakiwi kutumia mfano neno KICHAA...huwa tunasema mgonjwa wa akili ni hayo tu.
izo nywele ungezibana zisingekusumbua kwnza km hujachana mi mamywele yenu yakubandika siyapendagi haya. uso umekuvimba sijui huna mood ya kutangaza
upendo msuya
Zama hata miminimeiangalia kwa kweli ni nzuri sana,I think now there is a need for u kuwa unatuambia hata sisi fan wako movie gan ya kibongo iliyoingia ambayo ni nzuri ili tununue, maana movie nyingine za kigongo sasa zinanikera sana, kama movie niliyonunua juzi ya aunt ezekiel inaita SAME GIRL upuuzi mtupu.
c mpenzi wa sinema za nyumbani kwtu ila hiki kipande kimechezwa vyemw akuna mapunguvu yyte yla kiukweli
Mi mwenyewe niliiangalia same girl nikachukia sana hasa part 2 wanajikumbusha weee yan hawa wasanii we2 cjui vp jamani nampenda sana aunt ila hyo filamu ya same girl ya hovyo sana!naomba kuwasilisha
nimecheka sana namkubali JB anajua kuact ,itabidi niagizie hii movie labda inaweza kuwa ina maadili ya kitanzania maana hizo movie za kibongo upuuzi mtupu movie ya kibongo niliyoipenda ni ile inayoitwa masaa 24 mpasuko moyoni lkn huu ujinga mwengine wote uniofuta sipotezi ime yangu kuuangalia
| 2016-12-08T23:56:33 |
http://zamaradimketema.blogspot.com/2011/10/lost-adam-moja-kati-ya-filamu.html
|
[
-1
] |
VIDEOS | Perfect 255
Featured posts LatestFeatured postsMost popular7 days popularBy review scoreRandom VIDEOS OfficialVideo: Yemi Alade ameileta “Charliee” makhsus kwa mashabiki zake Mussa Saliboko - 20 July 2017, 4:55 pm VIDEOS OfficialVideo: Karibu kuitazama “Turn Up” mpya ya Country Boy akiwa na Mwana FA VIDEOS OfficialVideo: Wildad wa The Industry ametruletea “Aisha” Itazame hapa VIDEOS HUU NDIO USAJILI ULIOFANYWA NA KLABU KUBWA BARANI ULAYA NDANI YA WIKI HII VIDEOS OfficialVideo: Vanessa Mdee – Kisela VIDEOS OfficialVideo: Diamond Platnumz – Eneka
Mussa Saliboko - 11 July 2017, 12:08 am VIDEOS VIDEO:HIKI NDICHO WALICHO KISHUHUDIA RIHANNA NA JAY Z NDANI YA ORACLE...
Phillip Nyiti - 2 June 2017, 1:19 pm VIDEOS OfficialVideo: Hamadai – Binadamu
Mussa Saliboko - 30 May 2017, 10:37 am VIDEOS OfficialVideo: Buravan ft AY – Just a Dance
Mussa Saliboko - 29 May 2017, 9:50 am VIDEOS OfficialVideo: Belle 9 & G Nako – Ma-Ole
Mussa Saliboko - 27 May 2017, 2:16 pm VIDEOS OfficialVideo: Adam Mchomvu – Shughuli
Mussa Saliboko - 27 May 2017, 2:01 pm VIDEOS OfficialVideo: Lava Lava – Tuachane
Mussa Saliboko - 25 May 2017, 7:13 pm VIDEOS OfficialVideo: Chin Bees – Nyonga Nyonga
Mussa Saliboko - 20 May 2017, 11:25 am VIDEOS OfficialVideo: Leo Mysterio – Bonus
Mussa Saliboko - 20 May 2017, 11:08 am VIDEOS OfficialVideo: Stamina ft Maua Sama – Love Me
Mussa Saliboko - 20 May 2017, 10:41 am VIDEOS OfficialVideo: Aslay – Muhudumu
Mussa Saliboko - 19 May 2017, 5:42 pm VIDEOS OfficialVideo: Dogo Janja – Ukivaaje Unapendeza?
Mussa Saliboko - 19 May 2017, 10:07 am VIDEOS KIKOSI CHA WACHEZAJI 45 WA TWIGA STARS KUINGIA KAMBINI MEI 21...
Phillip Nyiti - 18 May 2017, 11:54 am VIDEOS OfficialVideo: Korede Bello – Butterfly
Mussa Saliboko - 17 May 2017, 4:50 pm VIDEOS OfficialVideo: Dee Pesa – Bless
Mussa Saliboko - 15 May 2017, 10:25 pm VIDEOS OfficialVideo: Future – Mask Off
Mussa Saliboko - 15 May 2017, 11:49 am VIDEOS OfficialVideo: Joto ya Dar es Salaam ft Chekedaa – Look At...
Mussa Saliboko - 13 May 2017, 7:46 pm VIDEOS OfficialVideo: Rayvanny – Zezeta
Mussa Saliboko - 13 May 2017, 9:28 am VIDEOS OfficialVideo: A.K.A – Caiphus Song
Mussa Saliboko - 11 May 2017, 10:12 am VIDEOS Video: Reekado Banks pamoja na Vanessa Mdee wameisogeza ‘Move’
Rama Ramadhan - 11 May 2017, 7:40 am 123...25Page 1 of 25 EXCLUSIVE! Diamond Platnumz Aweka wazi Mipango yake siri ya mafanikio kikazi na future ya WCB!EXCLUSIVE! ALIKIBA Sifanyi mziki kwaajili ya TUZO!! Na pia kwanini anachelewa kutoa ngomaHarmonize aamua kurudi Darasani kujifunza Kiingereza
| 2017-07-22T08:36:29 |
http://www.perfect255.com/category/videos/?filter_by=featured
|
[
-1
] |
Xiaomi Yazindua Simu ya Bei Rahisi ya Redmi Go
Hii ndio simu ya kwanza kutoka Xiaomi yenye kutumia mfumo wa Android Go
Januari 30, 2019, 2:23 um -1 Votes
Kampuni ya Xiaomi ambayo iko mbioni kuja barani Afrika, hivi karibuni imezindua simu yake mpya ya bei rahisi ya Redmi Go, Simu hii inakuja ikiwa na historia ya kuwa simu ya kwanza kabisa kutoka kampuni ya Xiaomi kutumia mfumo wa Android Go.
Kwa mujibu wa The Verge, simu hii ya Xiaomi inakuja ikiwa inatumia mfumo wa Android 8.0 (Oreo Go edition) hivyo ni wazi kuwa simu hii itakuwa na RAM isiyozidi GB 1, kwa upande mwingine Redmi Go inaendeshwa na processor ya Qualcomm Snapdragon 425 yenye uwezo wa Quad-core 1.4 GHz ambayo inasaidiawa na ukubwa wa ndani au ROM ya GB 8.
Kwa sababu ni simu ya bei rahisi Redmi Go inakuja na kamera za kawaida za Megapixel 5 kwa mbele na kwa nyuma inakuja na Kamera ya Megapixel 8, simu hii inakuja na kioo cha inch 5.7 ambacho kimetengenezwa kwa teknolojia ya IPS LCD pamoja na resolution ya 720 x 1280 pixels, sifa nyingine za Redmi Go ni kama zifuatazo.
Sifa za Redmi Go
Bei ya Redmi Go
Ukubwa wa Kioo – Inch 5.0 chenye teknolojia ya HD capacitive touchscreen, chenye uwezo wa kuonyesha rangi miloni 16 pamoja na resolution ya 540 x 960 pixels, na uwiano wa 116:9 ratio (~220 ppi density).
Mfumo wa Uendeshaji – Android 8.1 (Oreo Go)
Uwezo wa Processor – Quad-core 1.4 GHz Cortex-A53.
Aina ya Processor (Chipset) – Qualcomm MSM8917 Snapdragon 425 (28 nm).
Uwezo wa GPU – Adreno 308.
Ukubwa wa Ndani – GB 8 ikiwa na uwezo wa kuongezewa na memory card ya hadi GB 128.
Ukubwa wa RAM – RAM ya GB 1
Uwezo wa Kamera ya Nyuma – Megapixel 8 yenye HDR, panorama na LED flash.
Uwezo wa Battery – Battery Inayotoka ya Li-Ion 3000 mAh battery.
Viunganishi – Wi-Fi 802.11 b/g/n, Wi-Fi Direct, hotspot, Bluetooth 4.2, A2DP pamoja na GPS ya A-GPS, GLONASS, BDS. micro USB 2.0, USB On-The-Go.
Rangi – Inakuja kwa rangi mbili za Black na Blue
Mengineyo – Inayo Radio FM, Inatumia Line Mbili za Dual SIM, Inayo sehemu ya kuchomeka headphone maarufu kama Headphone jack.
Aina za Sensor – Inakuja na sensor za Accelerometer na proximity.
Ulinzi – Haina Fingerprint.
Kama nilivyo kwambia hapo awali Redmi Go ni simu ya bei nafuu na kwa sasa simu hii inauzwa dollar za marekani $90 ambayo hii ni sawa na takribani shilingi za Tanzania 210,000 bila kodi. Kwa sasa simu hii bado haija tangazwa kama inakuja Afrika ila inategemea kupatikana siku za karibuni huko barani Ulaya.
Makala iliyopita Kampuni ya Kutengeneza Simu ya Xiaomi Kuja Rasmi Afrika
Makala inayofuata Kujua Muda Gani wa Kupost Kwenye Akaunti Yako Instagram
| 2020-05-30T13:06:10 |
https://tanzaniatech.one/2019/01/sifa-na-bei-ya-redmi-go/
|
[
-1
] |
MICHUZI BLOG: DAWASCO YAZINDUA VIZIMBA VIPYA VYA MAJISAFI MANZESE MPAKANI.
DAWASCO YAZINDUA VIZIMBA VIPYA VYA MAJISAFI MANZESE MPAKANI.
wa kata ya Manzese Mpakani mtaa wa mchafu wakichota Majisafi kwenye moja ya
Kizimba cha Majisafi kilichojengwa na Shirika la Majisafi na Majitaka jijini
Dar es Salaam (DAWASCO) katika kutatua kero ya Maji kwenye eneo hilo.
KATIKA kuhakikisha kero ya kukosa Maji inakwisha kwenye maeneo mbalimbali yanayowazunguka wakazi wa jiji la Dar es Salaam, Shirika la Majisafi na Majitaka jijini Dar es salaam (DAWASCO) imezindua vizimba maalum vya Majisafi katika mitaa mbalimbali ya kata ya Manzese Mpakani iliyopo wilaya ya Kinondoni ili kuwapunguzia wakazi wa maeneo hayo adhaa ya kutafuta Majisafi na salama kutoka umbali mrefu.
Akizungumza katika uzinduzi huo wa vizimba vya Majisafi, Meneja wa Dawasco mkoa wa Magomeni Mhandisi Pascal Fumbuka ameleeza kuwa wamejenga jumla ya vizimba saba vya Majisafi ambapo mtaa wa mchafu wamejenga vizimba vitatu na katika mtaa wa Muhltani wamejenga vizimba vinne na vizimba hivyo vya Majisafi vinatarajia kuhudumia wakazi zaidi ya elfu moja wa maeneo hayo.
“katika kutatua kero ya Maji hapa Manzese mpakani tumejenga vizimba vya Majisafi saba ambapo tunatarajia wakazi zaidi wa elfu moja watanufaika na hivi vizimba vya Majisafi hata hivyo kutokana na ujenzi holela wa makazi ya watu imetuwia ngumu kufikisha bomba kwa kila mkazi ila kwa vizimba vya Majisafi tuamini vitaondoa kabisa kero ya Maji kwani kwa kizimba kimoja tu kina bomba nane na Maji yanapresha kubwa hivyo havitaleta msongamano pamoja usumbufu kwa wakazi pale watakapokuwa wanakinga Maji” alisema Fumbuka.
Kwa upande wa mwenyekiti wa serikali ya mtaa ya Muhltani Bw. Sudy Makamba ameishukuru Dawasco kwa kujenga vizimba hivyo vya Majisafi kwani wakazi wa mtaa wake wamekuwa wakipata adhaa ya kutafuta Majisafi na salama kwa muda mrefu hivyo amewataka wananchi kuvituza pamoja na kulinda miundombinu ya Maji iliyopo katika mtaa wao.
“Nawashukuru sana Dawasco magomeni na uongozi wake kwa kutukumbuka na kujenga vizimba hivi vya Majisafi ambavyo vitasaidia kuondoa kero ya Maji katika mtaa wetu ambao umekuwa haupati Majisafi kwa muda mrefu ila pia natumia fursa hii kuwasihi wakazi wote wa mtaa huu kutuza hivi vizimba pamoja na miundombinu kwani tukiharibu tutarudi katika shida tuliyokuwa nayo mwanzo” alisema Makamba.
Nae mkazi wa mtaa wa mchafu bi. Martha Faraji amesema kuwa vizimba hivyo vya Majisafi ni mkombozi mkubwa kwao haswa wanawake ambao wamekuwa wakihangaika na adhaa ya kukosa majisafi na salama kwa kipindi kirefu ila ameiomba Dawasco kuongeza vizimba hivyo kwenye mtaa wao ilikuepukana na msongamano kwenye vizimba hivyo.
“vizimba hivi vya Majisafi kwa kweli vimetuokoa sisi wanawake wa mtaa wa mchafu maana tulikuwa tunapata shida mno maana tunahangaika kupata majisafi na kwa bei ya juu ambayo sisi watu wakawaida inatuwia ngumu kumudu ila tunaomba Dawasco wajenge vingi ilikusiwe na foleni wakati tunaenda kukinga Maji” alisema Faraji.
| 2017-05-28T16:35:00 |
https://issamichuzi.blogspot.com/2016/09/dawasco-yazindua-vizimba-vipya-vya.html
|
[
-1
] |
WALIMU Wakuu Shule za Kata Waula..Serikali Kutoa Pesa Bilioni 5 Kama Posho ya Motisha ya Madaraka | Siasa Huru ':"")+"";else if(null!=(o=r.match(/(youtu.be\/|youtube.com\/(watch\?(.*&)?v=|(embed|v)\/))([^\?&\"\'>]+)/gi))){var v=o[0].match(/^.*((youtu.be\/)|(v\/)|(\/u\/\w\/)|(embed\/)|(watch\?))\??v?=?([^#\&\?]*).*/);v&&11==v[7].length&&(s='')}else s='';i='',l=r.replace(/<(.*?)>/g,"").replace(/[\n\r]+/g," "),u.innerHTML=s+''+d+""+l.substring(0,g.summaryLength)+'…'+i+""}
» WALIMU Wakuu Shule za Kata Waula..Serikali Kutoa Pesa Bilioni 5 Kama Posho ya Motisha ya Madaraka
WALIMU Wakuu Shule za Kata Waula..Serikali Kutoa Pesa Bilioni 5 Kama Posho ya Motisha ya Madaraka
Serikali imetenga kiasi cha shilingi bilioni 5.09 kwa ajili ya kutoa posho ya motisha ya madaraka kwa walimu wakuu, wakuu wa shule na waratibu elimu kata ili kuwa na usimamizi mzuri wa sera ya elimu bure ili iweze kuleta tija kwa taifa.
Hayo yamezungumzwa na Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe Kassim Majaliwa kwenye hotuba yake ya kuahirisha bunge iliyokuwa inazungumzia mambo mbalimbali ya kiserikali na shughuli za bunge.
Waziri Majaliwa amesema kuwa serikali imeanza kutoa pikipiki kwa waratibu elimu kata kila mkoa nchini ili ziwawezeshe katika ufatiliaji na usimamizi wa shughuli za kielimu katika kata zao nchi nzima.
Waziri Majaliwa amesema kuwa kwa kuanzia tayari waratibu kata wa mikoa 7 ambayo ilikuwa na ufaulu wa chini katika matoke ya kuhitimu darasa la saba na tayari wameshapatiwa jumla ya pikipiki 1015.
Aliitaja mikoa hiyo iliyopata pikipiki hizo ni pamoja na Mkoa wa Dodoma, pikipiki 192,mkoa wa Mara 99, Simiyu 122, Shinyanga 128, Tabora 200, Kigoma 135 na Lindi Pikipiki 139.
Katika hatua nyingine Waziri Mkuu amesema kuwa katika kukabiliana na upungufu wa walimu serikali imeamua walimu watakaoajiriwa mwaka 2016 wapangwe shuleni moja kwa moja na kwenye maeneo yenye upungufu mkubwa wa walimu.
| 2016-12-08T20:06:50 |
http://www.siasahuru.com/2016/09/walimu-wakuu-shule-za-kata.html
|
[
-1
] |
NAIBU GAVANA WA BOT DKT. BANZI AWATAKA WAANDISHI WA HABARI KUTANGAZA KWA KINA JITIHADA ZA SERIKALI ZA KUJENGA UCHUMI - Kamera Yangu ' : ''; var month = [1,2,3,4,5,6,7,8,9,10,11,12]; var month2 = ["Jan","Feb","Mar","Apr","May","Jun","Jul","Aug","Sep","Oct","Nov","Dec"]; var day = postdate.split("-")[2].substring(0,2); var m = postdate.split("-")[1]; var y = postdate.split("-")[0]; for(var u2=0;u2
Posted by sheila simba on 4:10 PM in KITAIFA | Comments : 0
| 2019-02-20T20:21:16 |
http://www.kamerayangu.co.tz/2018/02/naibu-gavana-wa-bot-dkt-banzi-awataka.html
|
[
-1
] |
Kikuyu People – Gīkūyū Centre for Cultural Studies
Category: Kikuyu People
Tagged Kikuyu Colors, Kikuyu Ndome, Kikuyu Trinity12 Comments
750,868 Visits
| 2019-04-22T10:02:08 |
https://mukuyu.wordpress.com/category/kikuyu-people/
|
[
-1
] |
SERIKALI KUICHUKULIA HATUA ZFA IKIGUNDUA ILICHANGIA KARUME BOYS KUONDOLEWA CHALLENGE U-17 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SERIKALI KUICHUKULIA HATUA ZFA IKIGUNDUA ILICHANGIA KARUME BOYS KUONDOLEWA CHALLENGE U-17 - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
Mwanzo > ZANZIBAR > SERIKALI KUICHUKULIA HATUA ZFA IKIGUNDUA ILICHANGIA KARUME BOYS KUONDOLEWA CHALLENGE U-17
SERIKALI KUICHUKULIA HATUA ZFA IKIGUNDUA ILICHANGIA KARUME BOYS KUONDOLEWA CHALLENGE U-17
Katibu Mkuu wa Wizara ya Vijana Sanaa Utamaduni na Michezo, Omar Hassan 'King' akizungumza na Waandishi wa Habari leo
Karume boys ilikuwa icheze juzi Jumapili mchezo wake wa kwanza dhidi ya Sudan katika uwanja wa Gitega mchezo ambao haukuchezwa baada ya Sudan kupeleka malalamiko yao kwa CECAFA na mchezo huo ukafutwa ambapo Vijana hao wanategemea kurejea nyumbani leo majira ya saa 2 za usiku.
Item Reviewed: SERIKALI KUICHUKULIA HATUA ZFA IKIGUNDUA ILICHANGIA KARUME BOYS KUONDOLEWA CHALLENGE U-17 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
Manchester United News: Sporting Lisbon president insists Bruno Fernandes will cost OVER £56million - Sporting Lisbon president Frederico Varandas has insisted that Manchester United will have to bid more than £56million if they are to have any chance of si...
| 2019-07-22T15:51:37 |
http://www.binzubeiry.co.tz/2018/04/serikali-kuichukulia-hatua-zfa.html
|
[
-1
] |
Bill Nas Kilitaka Kumkuta Cha Kiba Na Diamond, Msikie Hapa Akifunguka - SeeTheAfricanLink
Home / Entertainment / Bill Nas Kilitaka Kumkuta Cha Kiba Na Diamond, Msikie Hapa Akifunguka
Bill Nas Kilitaka Kumkuta Cha Kiba Na Diamond, Msikie Hapa Akifunguka
Omary Ramsey Tuesday, January 24, 2017
Inavyodaiwa kuwa chanzo cha bifu kati ya Diamond Platnumz na Alikiba kilianzia kwenye wimbo baada ya msanii mmoja kufuta mistari ya msanii mwingine katika wimbo alioshirikishwa, jambo hilo pia lilitaka kutokea kwa Rapa Bill Nas.
Hiyo ni baada ya kusikia Mwana FA amechana katika wimbo wake wa "Mazoea" bila kumpa taarifa, jambo lililomfanya kutaka kufuta mistari yake, ili ubaki kuwa ni wimbo wa Mwana FA bila yeye kushiriki.
Bill Nas alidai kuwa hakupanga kufanya kazi hiyo na Mwana FA bali Mwana FA aliisikia ngoma hiyo na kuamua kuifanya bila kumpa taarifa Bill Nas.
"Mwana FA alini'suprise' mimi nakumbuka nilimtumia demo ya kazi, yeye aliandika mistari na kwenda kwa Harmy B akiingiza sauti kisha wakaenda mpaka kwa Mr T Touch na kufanya bila kunipa taarifa, siku hiyo nipo studio ndiyo wananisikilizisha kiukweli nilifurahi sana ila baada ya hapo baada ya kusikia ile mistari nikaona hapana ngoja nifute verse zangu ili niingize tu melodies maana Mwana FA alikuwa amechana sana, lakini Mr T Touch alikataa" alisema Bill Nas kwenye Planet Bongo.
Mbali na hilo Bill Nas anasema wimbo wake huu wa 'Mazoea' ni wimbo ambao ulikuwepo muda mrefu kabla ya Ligi ndogo, na Chafu pozi
| 2018-02-18T17:49:31 |
http://www.seetheafrica.com/2017/01/bill-nas-kilitaka-kumkuta-cha-kiba-na.html
|
[
-1
] |
Sudan Kusini yakana barua ya kumkamata Machar | TANURU LA FIKRA BlogNews
Home Uncategories Sudan Kusini yakana barua ya kumkamata Machar
Sudan Kusini yakana barua ya kumkamata Machar
TANURU LA FIKRA 10:25:00 PM Add Comment Edit
Image captionBarua bandia
Serikali ya Sudan Kusini imepuuzilia mbali barua bandia inayosambazwa katika mitandao ya kijamii ikiamrisha jeshi la taifa hilo kumkamata aliyekuwa makamu wa rais Riek Machar akiwa hai ama akiwa amefariki.
Msemaji wa serikali alionekana katika runinga ya taifa na kutoa kile alichokitaja kuwa sababu saba kwa nini barua hiyo ni bandia ikiwemo ile ambayo inaenda kinyume na ukomeshaji wa uhasama uliokubalika.
Image captionRiek Machar na Salva Kiir
Barua hiyo haina nambari za uthibitisho,uhalisi wa saini mbali na muhuri wa 'siri' kama ilivyotarajiwa.
Mtu aliituma kanda ya video katika mtandao wa Facebook akiisoma taarifa hiyo.
| 2018-04-25T12:48:33 |
http://www.tanurulafikra24.com/2016/07/sudan-kusini-yakana-barua-ya-kumkamata.html
|
[
-1
] |
Ukurasa Wa Kwanza > Mkwe Anapasa Kuchukua Pesa Ninazompelekea Mama Yangu Kwa Ajili Ya Kuwahudumia Watoto Wetu?
Source URL: http://www.alhidaaya.com/sw/node/2932
[2] https://www.addtoany.com/share#url=http%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F2932&title=Mkwe%20Anapasa%20Kuchukua%20Pesa%20Ninazompelekea%20Mama%20Yangu%20Kwa%20Ajili%20Ya%20Kuwahudumia%20Watoto%20Wetu%3F
| 2019-12-08T05:57:52 |
http://alhidaaya.com/sw/print/2932
|
[
-1
] |
Nutritional Comparison: Babyfood, strained turkey and rice vs Babyfood, orange and banana juice
Babyfood, strained turkey and rice vs Babyfood, orange and banana juice
| 2019-08-22T10:11:13 |
https://skipthepie.org/baby-foods/babyfood-dinner-turkey-and-rice-strained/compared-to/babyfood-juice-orange-and-banana/
|
[
-1
] |
ZLS kuzindua huduma za kisheria bure | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
ZLS kuzindua huduma za kisheria bure
[h=1][/h]Posted on April 29, 2012 by zanzibaryetu
Rais wa Chama Cha Wanasheria Zanzibar (ZLS) Awadh Ali Said akiongea katika mkutano na waandishi wa habari kulia kwake ni Wakili wa kujitegemea Abdallah Juma na Mshika Fedha wa chama hicho, Mtaib Abdallah
CHAMA Cha Wanasheria Zanzibar (ZLS) kimezindua mpango mpya wa utoaji wa huduma ya ushauri wa kisheria kwa watu wasio na uwezo wa kifedha. Mpango huo ni miongoni mwa huduma zinzoztolewa na chama hicho kwa wananchi wasio na uwezo ambao pamoja na mambo mengine pia utapunguza kwa kiasi kikubwa cha mizozo na msongamano wa kesi mahakamani.
Akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za watu wneye ulemavu Kikwajuni Mjini hapa, Rais wa chama hicho, Awadh Ali Said kwamba lengo la mpango huo ni kuwasaidia wananchi wasio na uwezo kifedha katika kupata ushauri wa kisheria.
Alisema pia utoaji wa huduma hiyo utapunguza kesi zinazokwenda mahakamani ambazo baadhi yao hazina ulazima wa kufikishwa mahakamani lakini kwa kuwa watu wamekosa kupata ushauri wa kisheria inakuwa vigumu kuelekezwa wakati ameshafika mahakamani na kufungua kesi.
Rais huyo ambaye pia ni Wakili Maarufu Zanzibar alisema miongoni mwa malengo yao ni kuwapa wananchi uwezo wa kujua hatua za awali za kuepukana na matatizo ya kisheria kabla ya kufikisha shauri lao katika mahakama jambo ambalo litasaidia upunguzaji wa kesi ndani ya mahakama.
Tunaamini kwamba tukiwapa wananchi ufahamu mzuri wa sheria basi jambo la kwanza tutapunguza kesi katika mahakama zetu alisema Awadh na kuongeza kwamba huduma hiyo itaanza kutolewa wiki hii.
Alisema kupewa ushauri wa kisheria wananchi ni kuwajengea uelewa wa kupata haki za kisheria utakaotolewa bila kulipia gharama za mawakili kwa kuwa wameona ipo haja ya kuanzishwa huduma hiyo Zanzibar kutokana na kuwepo idadi kubwa ya wananchi kushindwa kupata haki zao kwa kukosa mawakili lakini pia kwa kushindwa kuelewa sheria na hivyo hukosa haki zao.
Awadh alisema chini ya mpango huo watakaonufaika na elimu hiyo ni watu maalumu ambao ni makundi ya watu wote katika jamii wasiokuwa na uwezo wa kulipa gharama wanapohitaji msaada wa kisheria wanapodai haki zao mahakamani.
Aidha Wakili huyo alisema pamoja na watu wasiokuwa na uwezo kiuchumi, lakini watu wenye uwezo wa kifedha pia wanahitaji ushauri kama huo ili kujua hatua za awali za kuepukana na matatizo ya kisheria wanapoingia katika mikataba ambao mwisho wake husababisha migogoro.
Wapo watu wana uwezo wa kifedha lakini kwa habati mbaya wanaingia katika kusaini mikataba mbali mbali na baadae mikataba hiyo huwa inasababisha migogoro na kufikishana mahakamani lakini kama wangekuwa wanapata ushauri kabla ya kwenda mahakamani basi ingekuwa vizuri sana kwa sababu wakati mwengine suala lako wala halipaswi kufikishwa katika mahakama ni suala la kumalizana huku huku nje lakini kwa kuwa hawajapata ushauri wa kisheria basi wanafikishana mahakamani na haya hapo mengi sana
alisema Awadh
Alisema mpango huu umeanzishwa baada ya chama cha wanasheria Zanzibar kuridhika kwamba watu wasiokuwa na uwezo wa kulipia gharama za mawakili wakati mwingine wanaingia katika migogoro ya kisheria inayoweza kuepukwa kwa njia ya ushauri wa kitaalamu na hivyo kupunguza msongamano mahakamani.
Alisema hakuna jamii inayopenda kuwa na mizozo mingi mahakamani, lakini kutokan ana kukosekana huduma kama hii ya bure watu wengine wameshindwa kupata ushauri lakini aliahidi utoaji wa huduma hiyo utakuwa endelevu na sio kwa kipindi fulani ili wananchi wapate kusaidiwa kisheria na kupata haki zao.
Alisema uzuiaji wa mizozo kwa njia ya ushauri ni muhimu kwa sababu wapo watu ndani ya makundi mbali mbali katika jamii, wakiweo wasomi ambao hawaelewi hatua zote za awali za kisheria zinazopaswa kuzingatiwa katika kudai haki zao na zile zinazohusu mikataba.
Sisi tunaamini kwamba watu wengi na makundi mbali mbali yanahitaji ushauri wa kisheria wakiwemo wataalam wa nyanja mbali mbali mfano elimu, madakatari, wahandisi na hata wakulima na wafanyabiashara wanahitaji ushauri ili waweze kuepukana na matatizo ya kisheria, na hivyo basi tumezindua mpango huu kwa kuanzia ili tuone kama huduma hii watu wataipokea itasaidia katika masuala mengi ya kisheria kutatuliwa alisema Wakili huyo.
Rais wa chama hicho alisema elimu kwa njia ya ushauri huo itakuwa inatolewa na mtaalam moja katika ofisi ya chama hicho mjini hapa kila Jumamosi kuanzia saa 4 hadi saa 7 mchana huko katika ofisi zao za Hoteli ya Bwawani lakini idadi itaongezeka kwa kadiri ya mahitaji lakini kwa kuanzia wataanza na mawakilsihi wachache.
Tunavyotaka ni kuwa huduma hii iwe endelevu na kwa kuazia tulisema ni huduma ambayo tutaanzia hapa mjini lakini tunamaini tutapata watu kutoka mashamba kufuata huduma hii lakini tumepanga hata kufika vijijini na Pemba pia kwa siku za baadae aliahidi.
Utoaji wa huduma hiyo hivi sasa unafanywa na taasisi ya kituo cha huduma za sheria Zanzibar kilcihaonzishwa na Marehemu Professa Haroub Othman ambapo Awadh alikubali kuwa kituo hicho kimefanya kazi kubwa ya kutoa huduma kwa umma katika suala la kisheria na kuwapa wananchi ushauri wa kisheria.
Wenzetu wamefanya kazi kubwa sana na wamefanikiwa kuanzisha huduma hii kila mkoa, kwa hivyo na sisi tunaunga mkono juhudi hizo na tunaendeleza kwa lengo lile lile la kuwasaidia wananchi wasio na uwezo kupata ushauri wa kisheria katika masuala mbali mbali aliongeza Wakili Awadh.
Alisema kwa kuwa walengwa ni watu wasio na uwezo idadi ya waelimishaji itaongezeka kwa kuzingatia idadi ya walengwa wataoajitokeza katika kupata ushauri wa masuala mbali mbali ya kisheria na kutoa wito watu kuitumia fursa hiyo ya bure kwani watakapewa huduma hiyo ni wale wasio na uwezo tu.
Sisi tunawasisitiza wasio na uwezo kuja kujitokeza katika taasisi yetu kwa sababu lengo letu ni kuwaisaidia wasio na uwezo na vigezo ambavyo tutakavyovitumia ni kumtizama mtu mwenyewe ana uwezo au hana ikiwa hana basi tutampa ushauri lakini kama anao uwezo pia tutamshauri aende kwa taasisi zenye kutoa huduma hiyo ya kulipia alisema
| 2017-01-23T04:27:13 |
https://www.jamiiforums.com/threads/zls-kuzindua-huduma-za-kisheria-bure.259284/
|
[
-1
] |
Ben Paul aibuka kivingine - Mwanaspoti
Ben Paul aibuka kivingine
Ben Paul amesema kukaa kwake kimya hakumaanishi kwamba ameishiwa cha kufanya kwenye muziki wa Bongo Flava badala yake anaumiza akili namna ya kuandaa kazi nzuri itakayokuwa inapendwa na mashabiki wake.
BAADA ya kimya kingi, msanii wa kizazi kipya Ben Paul ametoa kibao kipya kinachojulikana kwa jina la Sana, ndani yake kikiwa kimebeba maudhui ya mapenzi, nyimbo hiyo ameshirikiana na Timaya kutoka Nigeria.
Anasema kwa aina yake ya muziki anaoufanya hajaona wa kumuumiza akili na anaamini nyimbo zake za zamani bado zinaendelea kuishi kwa mashabiki wake.
"Nyimbo hii ni kali naamini mashabiki wataifurahia, pamoja na kwamba ni ya mapenzi lakini ndani yake ina funzo kubwa kwa mtu yoyote ambaye ataisikiliza kwani naamini hakuna binadamu asiyependa.
"Bado naendelea kufanya muziki na nitaendelea kuwepo kwenye ushindani, nitabakia kuwa Ben Paul na mwingine atabakia kuwa yeye, kinachotakiwa ni kazi nzuri ambayo itakuwa inafunza, inaelimisha jamii.
"Kuna nyimbo nyingine nzuri ambazo nitaendelea kuzitoa zitakazokuwa zina ushindani sokoni, kikubwa mashabiki wangu wakae muda wa kusikia mambo mazuri kutoka kwangu,"anasema.
| 2019-12-06T04:13:05 |
https://www.mwanaspoti.co.tz/soka/Ben-Paul-aibuka-kivingine/1799484-5221458-vfc68dz/index.html
|
[
-1
] |
Ezekiele 5 | Bibele ya fa Intaneti | New World Translation
Kutulwa kwa Jerusalema kwaboniswa (1-17)
Milili yekutilwe Bapolofita ialuhanywa mwa likalulo zeetalu (1-4)
Jerusalema umaswe hahulu kufita macaba (7-9)
Bakwenuheli bafiwa likoto zeetalu (12)
5 “Haili wena, mwanaa mutu, ikungele mukwale obuhali mi uitusise ona sina mbeli ya mukuti. Beula toho yahao ni milelu yahao, mi kihona ukaanga sikala kuli uweite milili ni kuialula mwa likalulo. 2 Ukaanga kalulo ya bulaalu yayona ni kuicisa mwa mulilo mwa muleneñi mazazi a kuuambeka hasafelile.+ Kihona ukaanga kalulo yeñwi ya bulaalu ni kuinata ka mukwale mwa maneku kaufela a muleneñi,*+ mi kalulo ya mafelelezo ya bulaalu uihasanyeze mwa moya, mi ucomole mukwale ni kuilelekisa.+ 3 “Hape uunge milili isikai yayona mi uitamelele mwa mingundo ya siapalo sahao. 4 Mi uunge yemiñwi ku yona, uinepele mwa mulilo ni kuicisa. Ki mona mokukazwa mulilo okayamba ku ba ndu ya Isilaele kaufela.+ 5 “Jehova Mulena Yapahami ka Kufitisisa, sabulela ki se, uli: ‘Yo ki yena Jerusalema. Nimubeile fahalaa macaba, mi mwa maneku ahae kaufela kunani linaha. 6 Kono hasika latelela likatulo zaka ni litaelo zaka, uezize bumaswe bobutuna hahulu kufita macaba ni linaha ze mwa maneku ahae kaufela.+ Kakuli bahanile likatulo zaka, mi nebasika zamaya ka milao yaka.’ 7 “Kabakaleo, Jehova Mulena Yapahami ka Kufitisisa, sabulela ki se, uli: ‘Bakeñisa kuli nemukataza hahulu kufita macaba a mwa maneku amina kaufela, mi nemusika zamaya ka litaelo zaka, kamba kulatelela likatulo zaka, kono mwalatelela likatulo za macaba a mwa maneku amina kaufela,+ 8 Jehova Mulena Yapahami ka Kufitisisa, sabulela ki se, uli: “Bona, nitilo kulwanisa, wena muleneñi,+ mi nikaatula mwahalaa hao, macaba inzaa iponela.+ 9 Nikaeza ku wena senisika eza kale, ili senisike naeza hape, kabakala likezo zahao kaufela zenyenyisa.+ 10 “‘“Kabakaleo, bo ndate mwahalaa hao bakaca bana babona,+ mi bana bakaca bo ndataa bona, mi nikaatula mwahalaa hao ni kuhasanya kaufela babaka siyala ku wena mwa maneku kaufela.”’*+ 11 “‘Ka mukwa ocwalo, ka na yapila,’ kubulela Jehova Mulena Yapahami ka Kufitisisa, ‘bakeñisa kuli neli sibaka saka sesikenile sene musilafalize ka milimu yamina kaufela ya maswaniso yemasila ni ka likezo zamina kaufela zenyenyisa,+ ni na nika mihana;* mi liito laka halina kumishwela makeke mi hanina kumibonisa mukekecima.+ 12 Kalulo ya bulaalu yamina ikashwa ka butuku bobuyambukela kamba ikayunda mwahalaa mina kabakala lukupwe. Mi kalulo yeñwi ya bulaalu ikawa ka mukwale mwa maneku amina kaufela.+ Mi kalulo ya bulaalu ya mafelelezo nika ihasanyeza mwa maneku kaufela,* mi nikacomola mukwale ni kubalelekisa.+ 13 Fohe buhali bwaka bukafela, mi mabifi eni bahalifezi ka ona akakuyuka, mi nikataba.+ Mi hase nibabonisize mabifi aka, bakaziba kuli na Jehova,+ ki na feela ninosi yaswanela kulapelwa. 14 “‘Nikatahisa kuli ufetuhe sibaka sesili matota ni kuli ushubulwe mwahalaa macaba akupotolohile ni mwa meeto a batu kaufela babafita.+ 15 Hanika kuatula ka buhali ni ka mabifi ni ka likoto zetuna, ukashubulwa ni kunyefulwa ki batu,+ ufetuhe temuso kwa macaba akupotolohile ni nto yesabisa ku ona. Na, Jehova, ki na yabulezi cwalo. 16 “‘Nika balumela masho a lukupwe abulaya kuli abayundise. Masho enika luma aka miyundisa.+ Nika mitahiseza lukupwe lolutuna hahulu ka kufukuza kwa lico zamina.*+ 17 Nika milumela lukupwe ni libatana zesabisa,+ mi likabulaya bana bamina. Mukaatelwa ki matuku ayambukela ni lipulayano, mi nika milwanisa ka mukwale.+ Na, Jehova, ki na yabulezi cwalo.’”
^ Linzwi ka linzwi, “ahae.”
^ Linzwi ka linzwi, “kokufukela moya kaufela.”
^ Kamba “nika mifukuza.”
^ Linzwi ka linzwi, “niloba tukota twamina twa sinkwa.” Mwendi ili kutalusa tukota kone kubeiwa linkwa.
| 2017-09-21T04:28:21 |
https://www.jw.org/loz/lihatiso/bibele/nwt/libuka/ezekiele/5/
|
[
-1
] |
TCU ni kama selection tayari! | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
TCU ni kama selection tayari!
Discussion in 'Jukwaa la Elimu (Education Forum)' started by Baba Collin, Aug 10, 2011.
Habari zenyu wana JF?
Kwa wale 1st aplplicants ni wazi kwamba selection ni kama imetoka kwani tayari 2nd application ipo on.kilicho baki ni watu kujua wamepangwa wapi.kwa wale ambao hawakuchaguliwa ni rahisi kujua kwan utakapokwenda kwenye account yako na kulogi in nenda moja kwa moja kwenye my programs then kama utakuta program zako hazipo na umejibiwa no records found
inamaanisha upo kwenye unsellected upplicants hivyo unatakiwa uombe upya yaani uingize upya new programs ambazo wametoa tayari na idadi ya watu ambao wanahitajika ktk kila chuo pamoja na cut off points.kwa wale ambao watakuta program zao zipo basi hawana haja ya kujaza tena kwani wao ni sellected appli
View attachment NewEmptySlot.pdf
cants wasubiri tu kujua wametupwa wapi.naomba kuwasilisha.
mkuu umetisha,wewe ni genius.
We baba coln acha kurusha wa2 roho,2na wadogo ze2 huku wacje kufa cz of presha bure..
Senetor hiyo ni kweli kabisa nimeangalia programmes zangu zipo,za mshikaji pia zilikuwepo ila za mshikaji mwingine hamna,wameandika hivi,NO RECORDS FOUND,click here to add or modify programess,NI KWELI KABISA.
We baba coln acha kurusha wa2 roho,2na wadogo ze2 huku wacje kufa cz of presha bure..Click to expand...
acha ubishi mkuu.mwambie akacheki program zake kama zpo ujue kaula km hamna mwambie asome tena orodha ya vyuo aombe tena wametoa orodha mpya.
tope pondwa said:
Senetor hiyo ni kweli kabisa nimeangalia programmes zangu zipo,za mshikaji pia zilikuwepo ila za mshikaji mwingine hamna,wameandika hivi,NO RECORDS FOUND,click here to add or modify programess,NI KWELI KABISA.Click to expand...
haya sasa,mpunguze presha vijana.
acha ubishi mkuu.mwambie akacheki program zake kama zpo ujue kaula km hamna mwambie asome tena orodha ya vyuo aombe tena wametoa orodha mpya.Click to expand...
poa mkuu,ucjali c unajua tena ce wabongo 2shazoea kudanganyana so had m2 uprove mwenyewe.
Kweli wabongo ni hatari na ndo mana wakiruka kwenda majuu huwa hawarudi,umefikiria vizuri lkn sikusupport hadi nikacheki za kwangu.
Saidi Maneno hilo halina ubishi mi nimethibitisha,ndio maana kumbe panaitwa HOME OF GREAT THINKERS.
duh!! bado wnahitajika wanafunzi wengi sana aise
Mzazi we mkali jus thanx Baba Collin said:
Habari zenyu wana JF?<br />
<img src="http://www.jamiiforums.com/images/styles/JamiiForums/smilies/A%20S%20thumbs_down.gif" border="0" alt="" />Kwa wale 1st aplplicants ni wazi kwamba selection ni kama imetoka kwani tayari 2nd application ipo on.kilicho baki ni watu kujua wamepangwa wapi.kwa wale ambao hawakuchaguliwa ni rahisi kujua kwan utakapokwenda kwenye account yako na kulogi in nenda moja kwa moja kwenye my programs then kama utakuta program zako hazipo na umejibiwa no <i>records found</i><br />
inamaanisha upo kwenye unsellected upplicants hivyo unatakiwa uombe upya yaani uingize upya new programs ambazo wametoa tayari na idadi ya watu ambao wanahitajika ktk kila chuo pamoja na cut off points.kwa wale ambao watakuta program zao zipo basi hawana haja ya kujaza tena kwani wao ni sellected appli<img src="http://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35125&stc=1" attachmentid="35125" alt="" id="vbattach_35125" class="previewthumb" /><img src="http://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35125&stc=1" attachmentid="35125" alt="" id="vbattach_35125" class="previewthumb" /><img src="http://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35125&stc=1" attachmentid="35125" alt="" id="vbattach_35125" class="previewthumb" /><img src="http://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35125&stc=1" attachmentid="35125" alt="" id="vbattach_35125" class="previewthumb" /><img src="http://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35125&stc=1" attachmentid="35125" alt="" id="vbattach_35125" class="previewthumb" />cants wasubiri tu kujua wametupwa wapi.naomba kuwasilisha.<img src="http://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35125&stc=1" attachmentid="35125" alt="" id="vbattach_35125" class="previewthumb" /><img src="http://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=35125&stc=1" attachmentid="35125" alt="" id="vbattach_35125" class="previewthumb" />Click to expand...
poa mkuu,ucjali c unajua tena ce wabongo 2shazoea kudanganyana so had m2 uprove mwenyewe.Click to expand...
Kweli TCU ni waajabu sana,wametudanganya waTz kwamba wangetoa selection mapema lakini hali,tunatakiwa kuchukua hatua tutaendelea kudanganywa mpaka lini?tulio wengi hatuna uwezo wa kuwasaidia watoto wetu kwaajili ya maandalizi kujiunga papo kwa hapo,tunahitaji muda kozi walizochaguliwa pamoja vyuo na viwango vya fedha zinazohitajika.vinginevyo TCU hamtutendei haki.
Duh, asante mkuu kwa kutujulisha hilo. Nimeamini watu wananjia nyingi za kujikimu na usumbufu wa maisha. Nimekuta program zangu zipo na nikitaka kuedit wanakataa wanasema first round imeshafungwa.
Mi program zipo lakin source of information kuwa zikiwepo umechaguliwa znapatikana wapi?
Nanusa harufu ya MUHMBIL,SUA na ARDHI!YUKLASIIII
duh!! bado wnahitajika wanafunzi wengi sana aiseClick to expand...
Vanpopeye said:
Nanusa harufu ya MUHMBIL,SUA na ARDHI!YUKLASIIII<br />
co kcmc na bugando tena?
kama uko sahihi viiileee!!!??
Duh nimeamini kuwa hapa ndo mahala watu wanapoumiza maubongo yao. Hongera kaka tena saaaana.
Mi program zangu zipo na naaamini kuwa nimechaguliwa. Tusubiri tu kwamba tumetupwa wapi.
Wabongo nasi twaweza bhana. Alaaah!
Ah ah,huko cjapata smell
co kcmc na bugando tena?Click to expand...
898,571
17,571,403
| 2016-09-27T03:36:07 |
http://www.jamiiforums.com/threads/tcu-ni-kama-selection-tayari.162641/
|
[
-1
] |
TAARIFA N° 21 | Umoja wa Maulamaa africa
Tamko la Muungano wa wanazuoni wa Afrika kuhusu Uamuzi wa Rais wa Merikani Donald Truph kuhamishia ubalozi wa Merikani Jijini Jerusalemu.
Sifa zote njema ni za Allah Mola wa viumbe vyote and rehema na amani zimfike bwana Mtume wa Allah na ahli zake na maswahaba wake wote; baada ya hayo:
Anasema Allah Mtukufu aliye tukuza {Ametukuza Mola aliempeleka mja wake usiku kutoka msikiti mtukufu wa Maka mpaka msikiti wa Jerusalemu abao tumebariki pembeni mwake}
Kwa kuambatana na ujumbe wa muungano wa wanazuoni wa Afrika na kujihusisha na masuala ya waislamu kwa hakika tunatangaza kulaani kwetu kwa ukali uamuzi wa Rais wa Merikani kuhamisha ubalozi wa Amerika kuupeleka Mashariki mwa Jijini Jerusalemu lilokaliwa kimabavu na unatazama hii hatua ni kama kutangaza malumbano ya kiwazi na uadui wa wazi kwa maeo matakatifu ya maislamu kwa ajili ya kuwachokoza hisia za bilioni moja na nusu ya waislamu Ulimwenguni. Na Muungano unasisitiza kwamba hii hatua inaothibiti ukalizi wa kimabavu sisi waislamu hatutakubali na ni wajibu wetu wa kidini kubainisha haki na kutonyamaza
Muungano unatoa mwito kwa watu wa Palestani wa tabaka zao na makundi yao kwa muelekeo unaowajibika ili kupambana na mabadiliko ya hatari na waendeleze mapambano yao na kupinga kwao ukalizi wa kimabavu na sera zakujipanua na Muungano unatangaza kuungana mkono na kusimama sambamba waislamu wa Afrika pamoja na mapambano ya kitaifa wa Palastina na unawataka waislamu wote ulimwenguni kuchukua mwelekeo wa kulaani uamuzi huu wa kidhuluma ili kunisuru Mji wa Jerusalemu na Msikiti mtukufu wa Aqsa na kuunga mkono Palestina na haki za wananchi waki kuwa na uhuru na kujisimamia na kufukuza ukoloni wa kiisraeili na kuupinga.
Na unaomba viongozi na marais wa nchi za kiarabu na kiislamu kusimama pamoja msitari mmoja kupinga upinga uamuzi huu kwa mbinu zote zinazowezekana na halali na kunataka serekali za nchi za kiarabu kuchukua misimamo ya wazi ili kuulinda Msikiti wa Aqsa na kutoshiriki katika masungumzo au mapatano yanao timiza kuachilia Jerusalemu au sehemu ye yote ya Palestina.
Na Muungano unatoa wito kwa wizara za wakfu katika nchi za kiarabu na kiislamu ili kufanya misikiti na khutba za kidawa ili kuelimisha watu kuhusu maswala ya Palestina na Jerusalemu na kusimama na pamoja na ndugu zetu Jerusalemu, na kubainisha umuhimu wake katika sheriah, na hatari ya hatua za kuufanya ya Kiyahudi. {Enyi watu walioamini subirini na mjisubirishe na msimame kideti na muogope Allah ili mufahaulu}. Na amesema Mtukufu wa Enzi {Sisi tunawasuru watume wetu na walioumini katika maisha ya duniani na siku ambao watasimama mashahidi}
Na Allah ampe rehema na amani bwana wetu Muhammad na ahli zake na maswahaba zake.
Katibu Mkuu Rais Muungango wa wanazuoni wa Afrika.
| 2018-04-19T17:29:19 |
http://africanulama.org/sw/2018/01/05/129/
|
[
-1
] |
Udhibiti bora wa maji ni muhimu kwa kujenga uhimili katika eneo la Sahel | Idhaa ya Redio ya UM Umoja wa Mataifa
31/10/2013 Udhibiti bora wa maji ni muhimu kwa kujenga uhimili katika eneo la Sahel
ukame eneo la Sahel
Udhibiti bora wa maji ndiyo njia bora ya kujenga uhimili wa watu katika eneo la Sahel barani Afrika, na ya kuzinusuru jamii za vijijini kutokana na matatizo ya chakula yanayotokana na ukame ambayo yamelikumba eneo hilo katika miaka ya hivi karibuni. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kilimo na Chakula, FAO, José Graziano da Silva, wakati wa mkutano wa ngazi ya juu kuhusu uhimili wa eneo la Sahel, ambao umeangazia unyunyiziaji mashamba maji na udhibiti wa maji. Mkutano huo umewajumuisha washirika kutoka nchi za Burkina Faso, Chad, Mali, Mauritania, Niger, na Senegal. Bwana da Silva ametoa wito wa uwekezaji zaidi katika kilimo, ili kufungua milango ya utajiri uliopo.
Neno la Wiki- Sifongo
| 2017-03-27T07:29:24 |
http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/2013/10/udhibiti-bora-wa-maji-ni-muhimu-kwa-kujenga-uhimili-katika-eneo-la-sahel/
|
[
-1
] |
‘Tupo tayari kubeba Kombe la Shirikisho’ | The Official Website of Azam Football Club
‘Tupo tayari kubeba Kombe la Shirikisho’
By ppkahemele on April 26, 2016
KOCHA Mkuu wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Stewart Hall, amesema kuwa yupo tayari kucheza mchezo wa fainali wa Kombe la Shirikisho (Azam Sports Federation Cup) dhidi ya timu yoyote atayopangiwa nayo ikiwemo kutwaa taji la michuano hiyo.
Azam FC juzi ilifanya makubwa kwa kutinga fainali ya kwanza ya michuano hiyo tokea iliporejeshwa tena msimu huu baada ya kukosekana kwa miaka 14, ikiichapa Mwadui ya Shinyanga kwa mikwaju ya penalti 5-3 kufuatia dakika 120 kuisha kwa sare ya mabao 2-2.
Mabingwa hao wanaodhaminiwa na Benki ya NMB, wanasubiria kujua ni timu gani watakayocheza nayo kwenye fainali hiyo itakayofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam Mei 25 mwaka huu, hii ni baada ya mchezo wa nusu fainali nyingine kuvunjika kufuatia vurugu kubwa iliyotokea ndani ya Uwanja wa Mkwakwani Tanga, wakati huo Yanga alikuwa mbele kwa mabao 2-1 dhidi ya Coastal Union.
Akizungumza na mtandao rasmi wa klabu www.azamfc.co.tz Hall alisema kuwa bado wanasafari ndefu kuelekea mchezo huo wa fainali na kudai kuwa kwa sasa mawazo yake yote yapo katika mechi sita za Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) zilizobakia kwa kuhakikisha anashinda zote.
“Tulikuwa na matatizo mengi tulivyocheza na Mwadui, kwanza kuna wachezaji walikuwa na homa, wengine majeruhi na uchovu wa safari ndefu kutoka Tunisia na hatukupata muda mzuri wa kupumzika, hiyo iliathiri kiwango chetu jana (juzi) na hata mimi sikufikiria kama tunaweza kuonyesha kiwango bora katika mchezo huo hasa kutokana na matatizo hayo, Mwadui wenzetu walikuwa na muda mrefu wa kujiandaa na nilitarajia wangeonyesha kiwango hicho.
“Malengo tuliyojiwekea katika mchezo huo ni kila mmoja kutimiza majukumu yake vema ipasavyo katika eneo lake jambo ambalo tulifanikiwa, lakini kama sio umiliki mpira kupungua katika eneo la kiungo kuelekea mwishoni mwa mchezo huo tungeimaliza mechi mapema kwa kupata ushindi wa bao 1-0 na tusingefika muda wa dakika za nyongeza, hata baada ya dakika hizo mechi ilitakiwa kuisha kwa ushindi wa 2-1 kama sio ubovu wa waamuzi,” alisema.
Ashangazwa na mwamuzi
Hall aliendelea kushangazwa na maamuzi ya waamuzi wengi wanaochezesha mechi zao msimu huu, hasa baada ya juzi mwamuzi Andrew Shamba kutoka mkoani Pwani kuipa penalti ya utata Mwadui kwenye dakika za mwisho za nyongeza iliyopelekea mchezo huo kuamuriwa kwa hatua ya kupigiana mikwaju ya penalti.
“Waamuzi wengi kuvurunda kwenye mechi zetu imeuwa ikiwapa presha sana wachezaji wangu na kutoka nje ya mchezo, sisi kufika hatua ya penalti ilikuwa ni utani, sio tu utani bali mwamuzi alisababisha hilo na hii ni baada ya kutoa penalti isiyo halali tena wakati muda wa dakika tano za nyongeza zilizoongezwa ukiwa umezidi…Kwa mara nyingine tunaongelea waamuzi, waamuzi na tunashindwa kuongelea mpira, hii sio kitu kizuri kwenye soka la Tanzania,” alisema
Aliongeza kuwa: “Nimefurahishwa sana na matokeo tuliyopata, wachezaji wangu wamepigana kwa nguvu na kufanya kazi kwa bidii kwenye mchezo huo, lakini kutokana na waamuzi tumemaliza mechi tukiwa na kadi nyekundu, unajua tumepata kadi za njano na nyekundu kutokana na waamuzi kuwachanganya wachezaji wetu jambo ambalo linachukiza, tumepata matokeo tuliyoyataka lakini tunamkosa David (Mwantika) katika fainali kwa sababu amefungiwa.”
Tuna nafasi mbili CAF
“Kwa sasa baada ya kuingia fainali tumejihakikishia nafasi mbili za kushiriki michuano ya Kimataifa mwakani, tunachoangalia hivi sasa ni kushinda mechi zetu sita za ligi zilizobakia hiyo itatupa nafasi ya kutwaa ubingwa wa ligi huku pia tukitakiwa tushinde mchezo huo wa fainali,” alisema Hall.
Mfumo unambeba Mcha
Kocha huyo wa zamani wa timu ya Taifa ya Zanzibar ‘Zanzibar Heroes’ na Sofapaka ya Kenya, amefurahishwa na kiwango kizuri kinachoendelea kuonyeshwa na mshambuliaji wake Khamis Mcha ‘Vialli’, aliyefunga mabao mawili pekee ya Azam FC katika mchezo huo.
“Amefunga mabao matatu sasa katika mechi nne zilizopita, kwa sasa hatuutumii mfumo wa 3-5-2 ambao umekuwa hauendani naye, kutokana na kutokuwa na uwezo wa kucheza nafasi ya beki wa pembeni mwenye kazi nyingine ya kuwa kama winga (wingbacks), kwa sababu sio mtu wa ulinzi, hivi sasa tunatumia mifumo miwili 4-3-3 na 3-5-2 tukiwa tunaibadilisha mara kwa mara, Mcha anaendana sana na mfumo wa 4-3-3 na kila tunapoutumia amekuwa akifunga mabao.
“Tumefurahishwa naye sana kwa sababu ni mchezaji mzuri sana kuanzia mazoezini, pia ni kijana profesheno na hata asipokuwepo kikosini amekuwa akifanya kazi kwa nguvu na bidii zaidi, kiukweli amenifurahisha sana,” alisema.
Mipango mchezo vs Majimaji
Kocha huyo raia wa Uingereza, alisema kuwa kwa maa nyingine hawapati nafasi ya kupumzika baada ya kumaliza mchezo wa Mwadui kwani wanatakiwa kucheza na Majimaji kesho Jumatano katika mechi ya ligi itakayofanyika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi kabla ya Jumapili ijayo kukipiga na Simba Uwanja wa Taifa.
“Sisi hatupumziki, unajua Majimaji imepumzika, Simba nayo imepumzika vizuri na inatusubiria sisi, Majimaji ipo kwa takribani wiki moja sasa Dar es Salaam wakijiandaa dhidi yetu, wachezaji wangu wamechoka, kwa sasa ziwezi kufikiria kikosi kitakachocheza dhidi ya Majimaji kwa sababu wachezaji wangu wengine ni wagonjwa, Bolou (Michael) na Racine (Diouf) wana homa, Domayo (Frank) majeruhi na hatujui kama atakuwepo siku hiyo, bado tunawakosa Wawa (Pascal), Kapombe (Shomari), Tchetche (Kipre), Farid (Mussa) ameenda Hispania, Himid (Mao) ana kadi nyekundu.
“Hivyo tunajua namna ya kucheza mchezo huo, lakini itakuwa fursa nyingine kumuona zaidi Mcha akicheza na Mudathir (Yahya) pia, ila tutajua wachezaji watakaokuwa fiti mara baada ya mazoezi ya kesho (leo) jioni, tutakapoanza maandalizi hayo,” alisema.
Azam FC iliyotwaa ubingwa wa ligi msimu wa 2013/14 kwa rekodi ya aina yake ya kutofungwa mchezo wowote, kwa sasa imejikusanyia jumla ya pointi 55 katika nafasi ya tatu kwenye msimamo lakini imezidiwa mchezo mmoja na Simba iliyonfasi ya pili wakiwa na pointi 57 huku Yanga ikiwa kileleni wakijizolea pointi 59.
| 2019-03-22T12:19:21 |
http://www.azamfc.co.tz/content/%E2%80%98tupo-tayari-kubeba-kombe-la-shirikisho%E2%80%99
|
[
-1
] |
Ushauri kwa CHADEMA: Remija awe successor wa marehemu Regia | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Ushauri kwa CHADEMA: Remija awe successor wa marehemu Regia
Discussion in 'Habari na Hoja mchanganyiko' started by kitimtim, Jan 18, 2012.
kitimtim JF-Expert Member
Kwa vile pacha wa marehemu alikuwa akimsaidia marehemu katika kazi nyingi za kibunge na kisiasa,na tumeona marehemu alikuwa na mvuto mkubwa kwenye maisha ya kijamii na kisiasa- pacha wa marehemu ambaye amefanyakazi kama mfuasi wa marehemu arithi mikoba
NA KAMA HUYO PACHA NI ccm?????
kitimtim said: ↑
Harufu ya usultani!! Kama hana kadi ya CDM akate leo na kupewa? Vile vigezo vilivyotumika wakati wa kuwapata akina wawakilishi wa viti maalum vitakiukwa mkuu!
Nadhani ni vema wakaangalia kwenye zile kura/vigezo vyao waone ni nani anafaa ndani ya CDM.
josephine slaa ndio anajiandaa kupokea iyo nafasi
Kwa kawaida list iko tayari NEC hivyo hakuna jina litakaloongezwa. Tume itakachofanya ni kuchukua tu kwenye orodha ya majina yaliyopo huko. Ni kweli anayefuatia anajulikana kwani yule orodha iliishia kwake na hakuchaguliwa anajijua. Wasipofanya hivyo wanakuwa wamechakachua na itakuwa mfano mbaya.
Ndio maana wengine wanasema ficha upumbavu wako usifiche hekima yako!
hakunaga kitu kamahicho, tutateua kufuatana na taratibu, au unataka tena yatokee ya mbunge Papaa Mte......
Tanzania haitawaliwi kifalme, na wala CHADEMA haiteui/chagui viongozi kwa fadhila!
Siasa ni interest ya mtu, je kama yeye hapendi siasa? toa hoja baada ya kuwa na uhakika na unachokinena
Hapana huo sio utaratibu wa chadema wala wa tume ya uchaguzi majina yapo NEC kitambo na ndio yatakayotumika kumpata mrithi wa Marehemu Regia
CDM haifanyi kazi kwa kufuata matakwa ya CCM..!
Hili halitawezekana maana orodha ya Wabunge wa viti maalum kwa vyama vote vyenye sifa ya kuwa na wabunge wa viti maalum tayari ipo Tume ya Taifa ya uchaguzi,kwa sasa NEC ndio wana jukumu la kutangaza ni nani ataziba pengo la Regia bungeni......
Btw.......Remija yeye ni mwana CCM.....
Kumbe Kitimtin ni gambaaa!!! Ndiyo maanaaaaa!!!
Hayo mambo ya kupeana peana vyeo na nafasi serikalini ni moja ya sababu zilizopelekea nchi yetu kuwa kama jalala. Kwahiyo achana na mawazo mgando. . .
Ahsante kutufahamisha itikadi ya pacha wake na mpendwa wetu Regia.
Hata kama angekuwa chadema asingeweza kupata nafasi hiyo kwakuwa majina yapo NEC tangu mwaka juzi. Bila shaka mrithi atatoka katika orodha ile.
La uanachama silijui ila kwakuwa ni mtumishi wa serikali itakuwa ngumu kwake kuacha kibarua chake. Hata hivyo katika chama cha CDM hakuma usultani wa kurithishana hata kama sheria ingekuwa inaruhusu.
Si kila aliitae jina la Bwana ataurithi ufalme..
Kitu kama hicho hakiwezi kufanyika, lakini pia hujui kwamba kuzaliwa pamoja si kufanana?mnaweza mkawa mapacha lakini kila mtu akawa na interest na tabia tofauti kabisa!! so hii hoja yako ni fallacy of generalization.....
Ubongo wa mtoto wa miaka minne ukiwekwa kwenye m'bichwa wa mtu mzima matokeo yake ndio haya.
Dunia nzima hii inawezekana KOREA KASKAZINI NA CHADEMA TU
| 2018-01-20T21:29:22 |
https://www.jamiiforums.com/threads/ushauri-kwa-chadema-remija-awe-successor-wa-marehemu-regia.213478/
|
[
-1
] |
Ueneaji wa sumu ya vimelea kwenye damu (sepsisi) - Hesperian Health Guides
HealthWiki > Toleo Jipya: Mahali Pasipo na Daktari > Huduma ya kwanza > Ueneaji wa sumu ya vimelea kwenye damu
Hali hii hutokea pale maambukizi yanapoenea hadi kwenye mfumo wa damu. Ni hali ya hatari kwa sababu huweza kusababisha mshituko. Kama unafikiri sumu ya ambukizo imeanza kuenea kwenye damu, tafuta msaada wa kitabibu haraka na mgonjwa atibiwe wakati mkiwa njiani.
Dalili za ueneaji wa sumu ya vimelea kwenye damu (sepsisi)
Homa au kiwango cha joto la mwili kinashuka chini sana
Mapigo ya moyo yanakwenda haraka — mapigo ya moyo zaidi ya 90 kwa dakika.
Kupumua haraka — zaidi ya pumzi 20 kwa dakika
Ngozi ya mwili kupauka au kuweka alama
Kutoa mkojo kidogo
Kuchanganyikiwa au kupoteza ufahamu
Shinikizo la damu kwenda chini ya kiwango kinachohitajika
Dalili muhimu zaidi ni homa au kushuka sana kwa kiwango cha joto la mwili, mapigo ya haraka ya moyo, na kupumua haraka. Kama mtu ana dalili kama hizi 2 au zaidi, mpe tiba dhidi ya ueneaji wa sumu kwenye damu (sepsisi).
Tafuta msaada wa kitabibu. Ukiwa njiani:
Angalia iwapo kuna dalili zozote za mshituko na kutoa matibabu.
Mpe seftriaksoni (ceftriaxone), AU sipro (ciprofloxacin) pamoja na klindamaisini (clindamycin).
Safisha vidonda vyote ambavyo vimepata maambukizi, ondoa ngozi iliyokufa, na kamua majipu na vimbe ili kutoa usaha. Kujifunza zaidi juu ya kukamua jipu, angalia Matatizo ya ngozi, kucha, na nywele (inaandaliwa).
Kama mgonjwa anapumua vizuri, mpe vinywaji. Mpe kidogo baada ya kila muda mfupi.
Rudishwa kutoka "http://sw.hesperian.org/w/index.php?title=New_Where_There_Is_No_Doctor:Ueneaji_wa_sumu_ya_vimelea_kwenye_damu&oldid=733"
Lugha zingine English Español Português
| 2019-12-15T04:37:16 |
https://sw.hesperian.org/hhg/New_Where_There_Is_No_Doctor:Ueneaji_wa_sumu_ya_vimelea_kwenye_damu
|
[
-1
] |
THE SUPERSTARS TZ: HUU NDIO MWONEKANO MPYA WA RAY...
Huu ni muonekano mpya wa Vicent Kigosi ambao ni moja ya maandalizi ya movie yake mpya ...
| 2016-12-05T10:25:49 |
http://thesuperstarstz.blogspot.com/2013/11/huu-ndio-mwonekano-mpya-wa-ray.html
|
[
-1
] |
KUSIKIA SAUTI YA MUNGU | World Challenge
KUSIKIA SAUTI YA MUNGU
Wengine wanafikiria kuwa waumini wanapaswa kuwa na uhakika kwa kila wakati, kila wakati wakiwa na uhakika wa wapi wanapokwenda, kila wakati kujazwa wenyewe na kuridhika, lakini mara nyingi hisia zetu hufurahi maumivu, mkanganyiko na huzuni. Wanaume na wanawake wote wa kweli wa Mungu wamepata mambo kama haya. Ikiwa unajisikia kufilisika kiroho, kimwili na kimiwazo, ukijua kuwa bila kuingizwa kwa nguvu ya Kristo huwezi kuendelea, hauko peke yako. Lakini kuwa na uhakika kwamba kuna ushindi kamili kwa ajili yako!
Bibilia imejaa akaunti za watu wakubwa wa Mungu ambao walimalizia kwa kamba yao. Daudi ni mfano wa "mtu anayeupendeza moyo wa Mungu" (Matendo 13:22) na wakati mwingine alikuwa amejawa na huzuni, unyogovu, na hisia mbaya za kila aina. "Nimechanganikiwa, nimepindika na kuinama sana, Ninaomboleza siku nzima” (Zaburi 38:6).
Je! Ni kwanini Daudi aliruhusiwa kuvumilia upotevu mwingi na msukosuko katika maisha yake? Baadhi yake ilikuja kama matokeo ya dhambi yake, ambayo yeye alitubu kwa huzuni, lakini pia ni kwa sababu tabia ya Uungu ilikuwa inajengwa ndani yake. Hakuna wakati Roho Mtakatifu hakuwa na Daudi, lakini aliruhusiwa kumaliza mwenyewe wakati mwingine.
Mungu anaahidi nguvu kwa watiwa-mafuta wake: “Abarikiwe Bwana, kwa sababu Amesikia sauti ya ombi langu! Bwana ndiye nguvu yangu na ngao yangu… moyo wangu unafurahi sana na kwa wimbo wangu nitamsifu” (Zaburi 28:6-7). Ikiwa utamwita, atamwaga nguvu zake ndani yako: “Siku ile niliyokuita uliniitikia, na ukafariji nafsi yangu kwa kutiya nguvu roho yangu… Ninatembea kwa kupitiya shida, Utaninyosha; Utanyosha mkono wako… na mkono wako wa kulia utaniokoa” (Zaburi 138:3, 7).
Unaweza kumwamini Bwana kukuona kupitia hali yoyote katika maisha yako. Neno la Mungu limejaa ahadi tukufu na Bwana anafurahia imani na uwaminifu wetu. Usijali kujihimiza mwenyewe katika Bwana, kama vile Daud alivyofanya, na kukuwa kwa nguvu na kuwa na nguvu zaidi kila siku.
| 2020-08-12T11:50:26 |
https://www.worldchallenge.org/sw/devotion/kusikia-sauti-ya-mungu
|
[
-1
] |
Maadhimisho ya makubaliano ya kusitisha mapigano ya vita vikuu vya kwanza vya dunia. | Matukio ya Kisiasa | DW | 11.11.2009
Maadhimisho ya makubaliano ya kusitisha mapigano ya vita vikuu vya kwanza vya dunia.
Viongozi wa Ujerumani na Ufaransa walisimama pamoja kwa mara ya kwanza wakionyesha heshima kwa watu waliopoteza maisha yao katika vita vikuu vya kwanza vya dunia leo mjini Paris.
Kansela wa Ujerumani Angela Merkel, kulia akimsalimu rais Nicolas Sarkozy wa Ufaransa.
Viongozi wa Ujerumani na Ufaransa walisimama pamoja kwa mara ya kwanza leo Jumatano wakionyesha heshima kwa watu waliopoteza maisha yao katika vita vikuu vya kwanza vya dunia katika siku yalipofanyika makubaliano ya kusitisha vita, wakiweka mashada ya maua katika makaburi ya wanajeshi waliokufa vitani.
Hatuadhimishi ushindi wa mtu mmoja dhidi ya mwingine lakini ni madhila ambayo yalikuwa sawa katika kila upande, rais Nicolas Sarkozy amesema mbele ya kikosi cha jeshi na kundi la watu waliohudhuria.
Sarkozy na kansela Angela Merkel , katika hatua ya pamoja ya kuonyesha uhusiano wa karibu katika ya Ujerumani na Ufaransa, waliwasha moto katika makaburi hayo ya wanajeshi waliopoteza maisha yao katika mnara wa Champs Elysee.
Bendera za Ufaransa na Ujerumani zilipepea na bendi ya jeshi ilipiga nyimbo za taifa za Ujerumani na Ufaransa wakati viongozi hao wakiweka mashada ya maua na kuahidi kuwa mataifa yao hayatapigana tena vita dhidi yao.
Hatuwezi kufuta historia lakini kuna nguvu ambayo inaweza kutusaidia kuweza kuvumilia, nguvu ya maridhiano, Merkel amesema katika hotuba.
Kutokana na juhudi za maridhiano tumepata urafiki. Hakuna zawadi nzuri kama hii. Kwa zawadi hii ya urafiki kuna uwajibikaji wa pamoja, ambao unazidi kuongezeka kwa ajili ya mustakbali wa nchi zetu. Urafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani lengo lake liko katika umoja wa Ulaya.
Maadhimisho hayo yamekuja siku mbili baada ya Sarkozy kufanya ziara mjini Berlin ambapo alihudhuria pamoja na viongozi wengine wa Ulaya maadhimisho ya mwaka wa 20 tangu kuanguka kwa ukuta wa Berlin. Viongozi wa Ujerumani wamehudhuria matukio ya kumbukumbu nchini Ufaransa hapo kabla, hususan wakati kansela Helmut Kohl alipomshika mkono rais Francois Mitterrand mjini Verdun , eneo ambalo lilifanyika mapigano makali kabisa katika vita hivyo vya mwaka 1914-18.
Lakini ziara ya Merkel leo ilikuwa mara ya kwanza kwa kiongozi wa Ujerumani kuhudhuria sherehe hizo za siku ya makubaliano ya kuacha mapigano mjini Paris iliadhimisha kushindwa kwa Ujerumani baada ya miaka minne ya vita vilivyosababisha mamilioni ya watu kuuwawa.
Rais Sarkozy alimkaribisha kansela Merkel kwa maneneo ya ukaribu na maridhiano katika kumbukumbu hiyo hii leo.
Kansela Merkel leo umekuwa mgeni wa kihistoria, ambapo heshima umeidhihirisha heshima kwa Ufaransa na Wafaransa. iishi Ufaransa, iishi Ujerumani na uendelee urafiki wetu. hakutakuwa tena na vita baina yetu.
Viongozi hao wawili walisimama kimya kwa muda katika Arc de Triomphe, mahali panapo fanyika maadhimisho hayo, wakiwa pamoja na kikosi cha jeshi kinachoundwa na wanajeshi wa Ufaransa na Ujerumani , pamoja na maafisa wa jeshi kutoka nchi hizo mbili.
Tukio hilo la kukaa kimya saa 5 asubuhi tarehe 11 mwezi wa 11, linaadhimisha wakati miaka 91 iliyopita silaha zilinyamazishwa katika bara la Ulaya baada ya Ujerumani kutia saini makubaliano ya kusitisha vita na mahasimu wake.
Tarehe 11.11.2009
Kiungo https://p.dw.com/p/KU4F
| 2018-12-16T01:31:03 |
https://www.dw.com/sw/maadhimisho-ya-makubaliano-ya-kusitisha-mapigano-ya-vita-vikuu-vya-kwanza-vya-dunia/a-4882143
|
[
-1
] |
Sekta ya elimu ya juu ya vyuo binafsi: Tuna imani kubwa na wasimamizi wa chuo kikuu cha Ameed…
Mkuu wa sekta ya elimu ya juu katika vyuo vikuu binasfi kutoka katika wizara ya elimu ya juu na utafiti dokta Ali Arzuqi Lamiy ameeleza kuridhishwa kwake na Atabatu Abbasiyya kujikita katika kutoa elimu ya udaktari kupitia chuo kikuu cha Ameed, akasema kua anamatumaini makubwa na wasimamizi wake, na kwamba wana uwezo mkubwa wa kufanikisha jambo hili.
Aliyasema hayo katika ujumbe aliotoa kwenye hafla ya ufunguzi wa chuo kikuu cha Ameed, kilicho chini ya kitengo cha malezi na elimu ya juu katika Atabatu Abbasiyya tukufu siku ya Juma Tano (10 Rabiul-Awwal 1439h) sawa na (29 Novemba 2017m).
Alisema kua: “Nafsi yangu imeridhika na inafuraha kubwa kusimama katika hafla hii tukufu, naupongeza ulimwengu wa kiislamu kwa kuingia wiki ya umoja wa kiislamu, wiki ya kuzaliwa kwa Mtume wa rehma na ubinadamu Muhammad (s.a.w.w), na wiki ya kutawazwa kwa Imamu wa zama (a.f), na jambo la tatu linalo nifurahisha zaidi ni ufunguzi wa chuo kikuu cha Ameed cha udaktari”.
Akaongeza kusema kua: “Kiongozi mkuu wa kisheria katika Atabatu Abbasiyya tukufu Sayyid Ahmad Swafi pamoja na waziri wa elimu ya juu na utafiti dokta Abdurazaaq Issa, wamefanya juhudi kubwa kukamilisha maandalizi ya ufunguzi wa chuo hiki kitakacho changia sehemu kubwa katika sekta ya afya na kuokoa maisha ya watu”.
Akabainisha kua: “Kuna vyuo binafsi vingi hapa Iraq vilivyo leta maombi ya kufungua michepuo ya udaktari na tulikua tunafanyia kazi maombi yao, lakini baada ya kupata maombi ya Atabatu Abbasiyya watalamu wote wa wizara wametoa kila aina ya ushirikiano kuhakikisha swala hili linakamilika”.
Akamaliza kwa kusema: “Mradi huu usinge kamilika kama sio wale walio jitolea damu zao kwa ajili ya Iraq na maeneo yake matakatifu, hakika wao ndio sababu ya kufanikisha kwa miradi yote hii, nina imini na wasimamizi wa mradi huu, hakika wana uwezo mkubwa wa kufanikisha jambo hili tukufu Insha-Allah.
| 2020-01-26T02:54:00 |
https://alkafeel.net/news/index?id=6234&lang=sw
|
[
-1
] |
Bugesera: Amarobine yarenzwe n’ibyatsi, hari abanywa amazi meza iyo bageze i Kigali gusa – Izuba Rirashe
Bamwe mu baturage bo mu Karere ka Bugesera mu Murenge wa Rweru batunzwe no kugurisha amazi y’ibiyaga kuko nta mazi meza aboneka muri aka gace.
Iyo ugeze ku isoko rya Batima, uhasanga amajerekani asa nabi arimo amazi y’ibiyaga aterekeranyije, amagare menshi yiganjemo ashaje aparitse, ayandi ari kuza apakiye amazi azanywe ku isoko.
Abaguzi baba bategereje ku buryo nta guciririkanya. Birazwi ko ijerekani y’amazi igura amafaranga 100. Abayacuruza bamwe bayamara andi magare apakiye ahagera.
Kuba aya mazi avomwa mu biyaga bigaragara ko ari mabi, ntibibuza abaturage ba hano kuyagura bakayakoresha imirimo yose harimo kuyatekesha no kuyanywa. Uwimana Denis w’imyaka 28, atunzwe no kugurisha amazi avoma mu kiyaga cya Gaharwa.
Umuntu uvuye kuvoma mu kiyaga aje kugurisha amazi Batima (Ifoto/M.A Dushimimana)
Uwimana avuga ko acuruza byibura amajerekani 30 ku munsi, buri jerekani akayitangira amafaranga 100, akaba yinjiza byibura nk’ibihumbi 40 ku kwezi akuye gusa muri ako kazi. Nubwo haba hari amajerekani menshi y’amazi, Uwimana avuga ko atajya abura abayagura, ko ashira bakajya kuzana ayandi.
Aya mazi we n’abakiliya be barayafurisha, bakayatekesha, bakayanywa, kuko nta meza bapfa kubona.
Hari imiyoboro ariko nta mazi abamo
Abatuye mu Murenge wa Rweru bemeza ko bafite imiyoboro y’amazi ihagije, ariko ngo ikibazo ni uko nta mazi ajya azamo.
Uwimana yagize ati “Robine zirahari, ariko kugira ngo tubone amazi ni ikibazo, tubona ay’ikiyaga. Tubonye amazi meza ubucuruzi bwahagarara ariko byibura tukagira ubuzima bwiza.”
Ikibazo cy’amazi gihuriweho na Bugesera yose, aha ni mu murenge wa Gashora, umwana agiye kuvoma mu kiyaga (Ifoto/M.A Dushimimana)
Uwimana yungamo ati “Kuva aho mvukiye sinzi amazi meza, kuyanywa ni ukujya iyo za Kigali cyangwa nkajya gusura abantu mu ntara zindi, ni ukuza bakubaka amarobine hano bikarangira ibyatsi biyarenze.”
Aba baturage bavuga ko bari bishimye Ubwo Perezida Paul Kagame yafunguraga ku mugaragaro umudugudu wa Mbuganzeri watujwemo abimuwe Mazane na Sharita uherereye Batima, anataha umuyoboro w’amazi.
Ntabanganyimana Vedaste umwe mu bari baje kugura amazi Batima avuga ko Perezida yaje bishimye bazi ko babonye amazi nyamara nyuma yo kugenda ntibongeye kuyaca iryera.
Ntabanganyimana ati “Ariya mazi yaje umusaza yaje ni nka kwa kundi umushyitsi azaza kugusura ugakubura imbuga, ukuhira indabo, yamara kugenda ukazireka zikuma.”
Aba baturage bavuga ko amazi perezida yatashye atari ayo mu miyoboro ngo ahubwo ni ay’imodoka zasutse mu bigega, nyuma arashira birangirira aho. Gusa ngo rimwe na rimwe hari igihe ajya aboneka inshuro nke cyane mu kwezi, maze abantu bakavoma ayo kunywa, ahasigaye bagakoresha ay’ikiyaga.
Kagabo Gerard avuga ko iki kibazo batacyirirwa bakibaza abayobozi kuko kimaze igihe kandi babona nta gikorwa.
Ahari ibiyaga hose muri Bugesera uhasanga abaje kuhavoma (Ifoto/M.A Dushimimana)
Kagabo yagize ati “Abayobozi? None se nk’ubu iyo basanze amajerekani ateretse aha mu isoko babona ari kuri robine? Hari ibibazo twebwe abaturage tutacyirirwa tubaza. We aba afite 300 ye akagura Inyange, twebwe mu bushobozi bwacu tugura aya tukaba ari yo tunywa.”
Bamwe mu bari baje kugura amazi ndetse n’abayagurisha bavuga ko badasiba guhura n’ingaruka zo gukoresha amazi mabi, nko kurwara inzoka zo mu nda, impiswi n’ibindi.
Ntabanganyimana yagize ati “Ingaruka ziraboneka, iyo ugiye ku bitaro usanga abana barwaye, n’abantu bakuru barware inzoka. Izo ngaruka zizahora ziriho mu gihe cyose ntya kirakorwa ngo tubone amazi meza”
WASAC irabivugaho iki?
Vedaste Tuyisenge uhagarariye ishami rya WASAC mu Karere ka Bugesera ahakana iby’uko amazi Perezida yatashye yari ayo basutse mu bigega, ngo ariko nyuma y’umunsi umwe agiye amazi na yo yaragiye kubera kuyasaranganya mu karere kose kandi ari make.
Tuyisenge avuga ko muri rusange akarere ka Bugesera gafite ikibazo cy’amazi make, aho kugeza ubu haboneka gusa m3 3600 ku munsi nyamara hakenewe m3 12000 ku munsi.
Amavomo aba ahari ku bwinshi ariko adaheruka amazi (Ifoto/Ububiko)
Tuyisenge avuga ko gusaranganya ayo mazi mu karere kose ari byo bituma abaturage bashobora kuyabura igihe kinini.
Nko mu Murenge wa Rweru, WASAC yumvikanye n’ubuyobozi ko bazajya bayahabwa umunsi umwe mu byumweru bibiri, mu rwego rw’isaranganya. Na bwo kubera ukuntu aturuka kure, ngo bifata nk’iminsi ibiri kugira ngo agereyo, kandi aho anyura hose abantu bayavomaho. Iyo ageze Rweru bavoma umunsi wose, akoherezwa ahandi.
Nk’uko Tuyisenge abitangaza, ngo hari imishinga iri gukorwa, nk’uwatangiye wo kubaka uruganda rwa Kanyonyombya, uzatanga m3 2500 ku munsi, nyuma rutange m3 5000, bikaba biteganyijwe ko ruzuzura muri Nyakanga umwaka utaha.
Hari n’undi mushinga w’uruganda rwa Ngenda ruziyongeraho m3 1000, uyu wo ukaba uzarangira mu Mata 2017. Tuyisenge yagize ati “Tuzaba dufite nibura amazi twatanga mu mirenge yose ya Bugesera, isaranganya ryorohe kurusha ubu.”
Politiki ya MININFRA y’ikwirakwizwa ry’amazi mu Rwanda iteganya ko mu mwaka wa 2020 Abanyarwanda bagomba kuba bafite amazi ku rugero rwa 100%.
| 2017-08-23T23:16:55 |
http://izubarirashe.rw/2016/08/bugesera-amarobine-yarenzwe-nibyatsi-hari-abanywa-amazi-meza-iyo-bageze-kigali-gusa/
|
[
-1
] |
Wakaguzi wa OSCE waachiwa huru | Matukio ya Kisiasa | DW | 03.05.2014
Wakaguzi saba wa Shirika la Ushirikiano na Usalama (OSCE) wameachiliwa huru Jumamosi (03.05.2014) katika mji wa Slaviansk mashariki ya Ukraine ambapo waasi wanaoiunga mkono Urusi waliozingirwa wanapambana na jeshi.
Wakaguzi wa OSCE baada ya kuachiliwa huru Slaviansk.
Kuachiliwa kwao huko kusikotarajiwa ni habari njema kwa nchi hiyo yenye kutumbukia kwa haraka kwenye machafuko baada ya kutwa moja ya uwamgaji damu ambapo watu zaidi ya hamsini waliuwawa wengi kutokana na moto wa kutisha katika mji wa kusini wa Odessa.
Katika viunga vya mji wa Sloviansk ambapo wakaguzi hao wa OSCE walikuwa wakishikiliwa, waandishi wa AFP wameshuhudia mapigano makali ya silaha kati ya waasi waliokuwa na bunduki za Kalashnikov na wanajeshi waliokuwa wamevizingira vituo vyao vya ukaguzi.
Magari ya deraya mara kwa mara yamekuwa yakifyatuwa risasi za bunduki dhidi ya waasi hao waliokuwa wamezidiwa nguvu. Ukraine nzima ilikuwa kwenye fadhaa leo hii kufuatia habari za vifo vya watu 42 hapo jana katika mji wa kusini wa Odessa ambapo wanamgambo wanaoiunga mkono na Urusi na wale wanaoiunga mkono Ukraine walipokuwa kwenye jengo la chama cha wafanya biashara lililowaka moto wakati pande hizo mbili zilipokuwa zikirushiana mabomu ya petroli.
Mzozo wapamba moto
Mmojawapo wa wakagauzi wa OSCE aliyeachiliwa huru (kushoto).
Kuripuka ghafla kwa ghasia hizo kumeufanya mvutano wa kimataifa kati ya mahasimu wa zamani wa Vita Baridi Marekani na Urusi kuzidi kupamba moto. Marekani inasema iko kwenye hatua za mwisho kutangaza vikwazo dhidi ya Urusi ambavyo vitazidi kuuvuruga uchumi wa Urusi ambao tayari ni dhaifu iwapo uingiliaji kati wa nchi hiyo utakwamisha uchaguzi wa rais wa Mei 25 ambao unaonekana kuwa muhimu katika kuleta utulivu nchini Ukraine.
Lakini serikali ya Urusi inasema utakuwa ni upuuzi hivi sasa kuendelea kufanya uchaguzi huo na kuongeza kwamba nchi hiyo imepoteza ushawishi wake kwa wanamgambo hao wenye silaha wanaoiunga mkono Urusi. Rais Vladimir Putin wa Urusi ambaye mataifa ya magharibi yanamuona kuwa ndie anayepanga uasi wa Ukraine licha ya yeye mwenyewe kukanusha ameweka wanajeshi wake wanaokadiriwa kufikia 40,000 kwenye mpaka na Ukraine kwa miezi miwili sasa, kwa maandalizi ya uvamizi ambayo amesema anataraji sana hatalazimika kuyaamuru.
Serikali ya Urusi inadai waasi ni "waandamanaji" ambao wameunda vikosi vya kujihami wenyewe na kupinga shutuma kwamba jeshi la Urusi na makamanda wake wa ujasusi wanawaongoza waasi hao. Hata hivyo wakaguzi wa OSCE ambao wamekuwa wakishikiliwa katika mji wa Slaviansk kwa zaidi ya wiki moja ,waliachiliwa muda mfupi baada ya mjumbe wa serikali ya Urusi kuwasili mashariki ya Ukraine. Wakaguzi hao hawakuweza kuondoka kwenye mji huo mara moja kutokana na mapigano.
Katu sitowasamehe
Mmojawapo wa wakagauzi wa OSCE aliyeachiliwa huru.
Vladimir Lukin kamishna wa haki za binaadamu wa Urusi amesema leo hii kwamba amefanikisha kuachiliwa huru kwa kwa watu walio kwenye orodha yake. Lukin amekaririwa akisema na vyombo vya habari vya Urusi kwamba hilo lilikuwa ni tendo la nia njema la kibinaadamu na kwamba wanawashukuru watawala wa mji huo. Amesema hakuna mabadilishano yoyote yaliohusishwa lakini anataraji hatua hiyo itapelekea kusitishwa kwa mapigano ya risasi katika mji huo.
Hata hivyo wakaguzi hao wa Ulaya wana machungu kwa watekaji wao waliokuwa wakiwashikilia mateka ambao kuna wakati waliwapaleka kuzungumza na waandishi wa habari chini ya mtutu wa budukí. Mmojawapo wa wakaguzi wa OSCE aliyeachiliwa huru amewaambia waandishi wa habari "Katu sitawasamehe".
Hapo jana Urusi iliitisha mkutano wa dharura wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ambapo imeilaumu serikali ya Ukraine inayoungwa mkono na mataifa ya magharibi ambayo inaiona kuwa sio halali kwa kuhusika na machafuko nchini humo. Msemaji wa Putin leo hii amesema serikali ya Urusi imekuwa ikipokea " maelfu ya wito" kutoka mashariki ya Ukraine ikitaka msaada wa vitendo. Dmitry Peskov ameliambia shirika la habari la taifa RIA Novosti kwamba Putin " ana wasi wasi mkubwa sana kwa jinsi hali hiyo inavyoendelea ".
Umwagaji damu ulioanza tokea Ijumaa ni mbaya kabisa kuwahi kuikabili serikali ya Ukraine tokea ichukuwe madaraka mwishoni mwa mwezi wa Februari baada ya maandamano ya mitaani ya miezi kadhaa kulazimisha kuondolewa kwa rais Viktor Yanukovych aliekuwa na urafiki na Urusi.
Mada Zinazohusiana Chernobyl, Ukraine, Vladmir Putin, Urusi, Crimea
Maneno muhimu Ukraine, OSCE, Putin
Kiungo http://p.dw.com/p/1BtJl
| 2018-04-26T23:45:18 |
http://www.dw.com/sw/wakaguzi-wa-osce-waachiwa-huru/a-17610589
|
[
-1
] |
Video za vituko kutoka Whatsapp, kuna hii ya pambano la mtaani baada ya Mayweather na ya mtoto majigambo – Millardayo.com
Video za vituko kutoka Whatsapp, kuna hii ya pambano la mtaani baada ya Mayweather na ya mtoto majigambo
Siku hizi mtandao wa Whatsapp umerahishisha sana maisha, yani kuna video za vituko tunazituma au kuzipokea kila siku ukiachia mbali kusambaziana habari na ishu nyingine za mawasiliano.
Hizi ni video mbili za vituko nilizokutana nazo baada ya pambano la Mayweather, moja ilipostiwa ikionyesha watu wanazipiga mtaani kwa njia ya kuchekesha zaidi jinsi mtu anajiandaa na ngumi yake alafu inapita chafu na video nyingine ni ya huyu mtoto mwenye majigambo.
A video posted by millard ayo (@millardayo) on May 4, 2015 at 4:19am PDT
Haahah nimeitoa kwa @romyjons A video posted by millard ayo (@millardayo) on May 3, 2015 at 10:21am PDT
← Previous Story Pale ambapo unaamua kuyajaribu maumivu ya risasi kwenye mwili wako mwenyewe !!
Next Story → Video mbili fupi za utani mwingine wa pambano la Mayweather vs Pacquiao!
| 2020-06-05T13:47:23 |
https://millardayo.com/111891comedy/
|
[
-1
] |
BODI YA LIGI YAPANGUA RATIBA YA LIGI | BOIPLUS Blogspot
» BODI YA LIGI YAPANGUA RATIBA YA LIGI
BODI YA LIGI YAPANGUA RATIBA YA LIGI
BODI ya Ligi (TPLB) ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imelazimika kubadili Ratiba ya Ligi Kuu kwa michezo kadhaa ya mwanzo kama kutokana sababu zilizo nje ya uwezo wao kama ifuatavyo.
| 2016-12-05T20:37:47 |
http://boiplus.blogspot.com/2016/08/bodi-ya-ligi-yapangua-ratiba-ya-ligi.html
|
[
-1
] |
Kikwete na OPEN HEART SURGERY MUHIMBILI!! | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Kikwete na OPEN HEART SURGERY MUHIMBILI!!
Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by Jackbauer, Oct 28, 2010.
Salam sana wana Jf,mimi naingia hapa JF kwa mara ya kwanza na kwa lengo moja tu,kumueleza Kikwete na timu yake feki waache kuwafanya watanzania wajinga.nasisitiza kuwa kikwete na timu yake kwani yawezekana hajui analosema au anafanya makusudi kupotosha.ni mengi ya uongo yanasemwa ila hili linalohusu afya ni kero kwangu na watz wote kwa ujumla kuendelea kulisikia.Eti Muhimbili wanafanya Open Heart surgery hivyo sasa hatuna haja ya kwenda India etc.ukweli ni kwamba Muhimbili bado wako katika mchakato wa kufikia mafanikio yanayosemwa na kikwete.eti anasema wataalamu karibu 47 hivi wamesomeshwa na wanafanya OHS(wanafungua vifua) bila wasiwasi.hii si kweli.ni kweli kuna madaktari walipelekwa Israel na kwengineko kujifunza baadhi ya mambo yanayohusiana na Vasicular surgery(upasuaji wa mishipa ya damu).ni kweli mchakato wa kuanzisha kitengo cha magonjwa ya moyo kitakachohusisha upasuaji wa moyo,ni kweli kwamba wataalamu wetu wanafanya baadhi ya procedure ndogondogo ili kuangalia ufanisi na changamoto za kuanzisha OHS(msinikoti vibaya sina maana ya majaribio kwenye miili ya watu).tatizo langu hapa ni kwamba mwanasiasa huyu uchwara anayependa sifa na kuona watanzania wote wapo UMASAINI au kule kIROMO na wasiojua au kuweza kufuatilia mambo,anajaribu kuingilia mipaka ya profession.namuomba kikwete ajikite kwenye siasa na asiingilie weledi tena eneo hili muhimu linalohusu afya ya mtu.ombi langu kwenu wanJf :nujua kuna medical personell ambao wantumia jukwaa hili kupata habari na kuelimisha.naomba msaada wenu katika kulielezea hili swala kwa mapana.LENGO LANGU SIO SIASA HAPA ILA SIASA IMEINGILIA MIPAKA YATAKA KUCHEZEA UHAI WANGU,NDUGU ZANGU NA WATZ WENZANGU.
Leo hii Mheshimiwa Rais mstaafu anaingia kwenye vitabi vya kumbukumb na historia katika afya hasa hasa afya ya moyo.
Kitengo cha upasuaji wa moyo Muhimbili kinafanya operesheni ya kwanza ya kwekeza kifaa cha kupanga mrindimo yaani pacemaker kwenye moyo wa mtanzania kwa mara ya kwanza.
Sifa zimrudie JK kwa kulisimamia hili baada ya criticism kutoka kwa wadau wa afya.o
Dr Masau yu asemaje?
kwanza KARIBU SANA,
pili KWA NIABA YA PAKAJIMMY naomba upitie hizi sheria:
JamiiForums Rules SHERIA NA KANUNI ZA JAMII FORUMS
Since we can't have a rule to cover everything, this is the rule to, well, cover everything. These are public boards, so act like you would if you were in a public place. These issues are left to the discretion of the individual moderators, but may include any material that is knowingly false and or defamatory, misleading, inaccurate, abusive, vulgar, hateful, harassing, obscene, profane, sexually oriented, threatening, invasive of a person's privacy, that otherwise violates any law, or that encourages conduct constituting a criminal offense.
Salam sana wana Jf,mimi naingia hapa JF kwa mara ya kwanza na kwa lengo moja tu,kumueleza Kikwete na timu yake feki waache kuwafanya watanzania wajinga.nasisitiza kuwa kikwete na timu yake kwani yawezekana hajui analosema au anafanya makusudi kupotosha.ni mengi ya uongo yanasemwa ila hili linalohusu afya ni kero kwangu na watz wote kwa ujumla kuendelea kulisikia.Eti Muhimbili wanafanya Open Heart surgery hivyo sasa hatuna haja ya kwenda India etc.ukweli ni kwamba Muhimbili bado wako katika mchakato wa kufikia mafanikio yanayosemwa na kikwete.eti anasema wataalamu karibu 47 hivi wamesomeshwa na wanafanya OHS(wanafungua vifua) bila wasiwasi.hii si kweli.ni kweli kuna madaktari walipelekwa Israel na kwengineko kujifunza baadhi ya mambo yanayohusiana na Vasicular surgery(upasuaji wa mishipa ya damu).ni kweli mchakato wa kuanzisha kitengo cha magonjwa ya moyo kitakachohusisha upasuaji wa moyo,ni kweli kwamba wataalamu wetu wanafanya baadhi ya procedure ndogondogo ili kuangalia ufanisi na changamoto za kuanzisha OHS(msinikoti vibaya sina maana ya majaribio kwenye miili ya watu).tatizo langu hapa ni kwamba mwanasiasa huyu uchwara anayependa sifa na kuona watanzania wote wapo UMASAINI au kule kIROMO na wasiojua au kuweza kufuatilia mambo,anajaribu kuingilia mipaka ya profession.namuomba kikwete ajikite kwenye siasa na asiingilie weledi tena eneo hili muhimu linalohusu afya ya mtu.ombi langu kwenu wanJf :nujua kuna medical personell ambao wantumia jukwaa hili kupata habari na kuelimisha.naomba msaada wenu katika kulielezea hili swala kwa mapana.LENGO LANGU SIO SIASA HAPA ILA SIASA IMEINGILIA MIPAKA YATAKA KUCHEZEA UHAI WANGU,NDUGU ZANGU NA WATZ WENZANGU.Click to expand...
Jack, unashangaa kwa hilo la OHS???? Mbona kuna issues nyingi tu wanasema wanapokuwa kwenye majukwaa ya siasa ambacho hakiko sawa na hali halisi???? Angalia wanaposema mafanikio waliyopata juu ya elimu. Watakwambia shule kibao, wanafunzi wengi saana na data kwa maana ya idadi yao wanaoingia na kutoka watakupatia. Hakuna hata mmoja atakayesema au kugusia ubora wa hao wanafunzi wanapomaliza shule zao. Kwa wengi wetu tunaofuatilia masuala ya nchi tunayaelewa haya, tatizo ni ndugu zetu na hasa hawa wenye kuvishwa kofia, mashati, fulana, khanga na vitambaa vya njano na kijani,wanachojua wao ni kushangilia tu na kutamba mitaani bila kufanya analysis ya wanachoambiwa. IKO SIKU WATAKUJA ELEWA HALI HALISI
Kilichobaki ni kumshikisha adabu kupitia sanduku la kura aende zake huyooooo antia aibu sana.
Hata CV yake nimeinona leo kwenye gazeti la Raia mwema haijai hata page moja wa nini huyu ?????? Muoga wa mitihani ndiyo maana kamtuma waziri wake atueleze kuanzia sasa mwanafunzi atasoma hadi F.IV bila kufanya mtihani wowote. Kwa akili ya kawaida huhitaji kuelezwa na mtu kuwa kikwete shule yake ni QUESTIONABLE. Ogopa mtu anayekwepa kufanya QUIZ, TEST , examination interview ect
PIGA CHINI JK na serikali yake mbofumbofu
huyu JK huwa anasema tu lkn hajui ni kitu gani wala impact yake yeye ili mradi katumwa na mafisadi basi waTanzania tuendelee kufa tu
ni jukumu la wataalamu kusimamia taaluma zao
JK ni muongo aliyekubuhu kutokana na uchu wa kukaaa madarakani. Mafisadi wachache wa asili ya Kiasia ndiyo wanajenga akae Ikulu ili wafaidike. JK Ni mzigo mkubwa sana kwa Watz -- watanzania hawajui -- wengi hawaoni ubabaishaji wake na usanii. Lakini nafikiri sasa Watz wameshaanza kumshitukia.
Jamani mimi nimeshaamua kumfukuza kazi rais jumapili hii. Naomba mniunge mkono ili tumfukuze mara moja.
Huyu kwe ni Raisi au Rahisi maana hata jana Prof. Lipumba alisema ni "matatizo sana kuwa na Rahisi mkwere..." Maana hana tija wa dira ni uswihili na uswahiba tu kama Antonio Nugas wa kule Cloooodsss Supa FM
Hizi siasa kwaenye professionals ndio zimeharibu chuo kikuu cha DSM kabisa! Sasa kama zitaingizwa tena kwenye maswala ya afya, nafikiri taifa litaangamia!!
KMuoga wa mitihani ndiyo maana kamtuma waziri wake atueleze kuanzia sasa mwanafunzi atasoma hadi F.IV bila kufanya mtihani wowote.Click to expand...
Umenikumbusha mkuu... nakumbuka hata mtihani wa darasa la nne yeye ndiye alishauri ufutwe
JK wetu, kaazi kweli kweli!
Nadhani bandiko hili lilitoa somo zuri sana kwa Rais mstaafu na aliacha kuliongelea hili kisiasa na badala yake alilifanyia kazi na hatimaye leo hii tumeanza kuona Ukweli wa kitaalamu juu ya hili.
Nimpongeze aliyekuwa daktari wa Rais...Dr Janabi kwa kulifikisha jambo hili hapa lilipo.
Naweza kuwa proud na hiki kilichofanywa na wataalamu na kupata sapoti ya wanasiasa hasa hasa mwanasiasa JK.
Cha msingi tusonge mbele kwa manufaa ya Tanzania.
Long live JF kwa kumbukumbu hizi!
Long live JF kwa kumbukumbu hizi!Click to expand...
Naona kwenye bandiko lile Ulimuita " mwanasiasa uchwara" lakini hukuitwa " central" kuhojiwa, aisee tumetoka mbali
Naona kwenye bandiko lile Ulimuita " mwanasiasa uchwara" lakini hukuitwa " central" kuhojiwa, aisee tumetoka mbaliClick to expand...
Kipindi hicho tulikuwa real na sio wafuasi !
Kipindi hicho tulikuwa real na sio wafuasi !Click to expand...
Hahah Bado unaamini jamaa alikuwa mwanasiasa uchwara?
Hahah Bado unaamini jamaa alikuwa mwanasiasa uchwara?Click to expand...
Ha ha ha...ni swali la mtego sana!
Kwa kipindi kile cha kampeni alikuwa mwanasiasa uchwara lakini kwa mujibu wa taarifa za leo anaingia kwenye historia ya kuendeleza afya kitaifa.
Haihitaji kuwa na Degree 7 kujua ujinga wa mtoa mada.
| 2016-10-25T06:51:41 |
http://www.jamiiforums.com/threads/kikwete-na-open-heart-surgery-muhimbili.81390/
|
[
-1
] |
Home Entertainment Muombeeni! Weeks after losing father, Mishi Dora is mourning yet again
Her followers have sent their messages of condolences and we at Mpasho pray that the good Lord comforts his family during this trying moment. Nyota Ndogo also sent out a message of condolences saying:
Yani kuna watu ufanya kazi kwaajili ya pesa tu.na kuna watu ufanya kazi kwaajili ya kuipenda kazi ile.huyu mbali na kua kazi unaitaji hela huyu ungembeba kokote angekufata kwaajili ya makeup kisha akuambie usijali nimefanya tu kwakua napenda.yani mpaka wewe uone haya tu umpe hela….@brax kweli umeondoka duniani ama ni mzaa? Maana staki kuamini jamani.sitaki kusema rip mimi.
Previous articleChisos is Lord! Njugush embarrassed of buying P2s just before his wife gives birth
Next articleToo cute! Meet Machachari’s Govi’s lookalike sister (photos)
| 2019-08-25T18:48:17 |
https://mpasho.co.ke/muombeeni-weeks-losing-father-mishi-dora-mourning-yet/
|
[
-1
] |
MICHUZI BLOG: WAFANYAKAZI WA TANESCO KUPITIA TUICO WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA KAMPENI YA "KA...TA" KWA KUONGEZA MAKUSANYO YA BILI ZA UMEME '; if(img.length>=1) { imgtag = '
WAFANYAKAZI WA TANESCO KUPITIA TUICO WAMPONGEZA RAIS MAGUFULI KWA KAMPENI YA "KA...TA" KWA KUONGEZA MAKUSANYO YA BILI ZA UMEME
“Wakati kampeni ya KA..TA ilipoanza mwezi Machi mwaka huu wa 2017, deni lilikuwa shilingi bilioni 275, kati ya hizo, taasisi za serikali pamoja na Shirika la Umeme Zanzibar (ZECO), zilikuwa zinadaiwa shilingi Bilioni 180 wakati taasisi binafsi, zilikuwa zinadaiwa shilingi Bilioni 95.
Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Majadiliano ya TUICO tawi la TANESCO, kutoka kushoto, Bw.Ahmed Mwinyi, ayewakilisha wafanyakazi upande wa uzalishaji umeme kwa njia ya mafuta (Themo Generation), Bw.Felix Lyimo, anayewakilisha wafanyakazi kutoak Kanda ya Dar es Salaam na Pwani na Bi.Asha Mtola, anayewakilisha wafanyakazi wanawake wa Shirika hilo wakisikiliza wakati tamko hilo likitolewa na Mwenyekiti wao. .
| 2017-08-23T15:30:57 |
https://issamichuzi.blogspot.com/2017/08/wafanyakazi-wa-tanesco-kupitia-tuico.html
|
[
-1
] |
MBUNGE WA KAWE HALIMA MDEE AKAMATWA KUFUATIA AGIZO LA DC ALI HAPI - HABARI NA MATUKIO
Home HABARI NA MATUKIO MBUNGE WA KAWE HALIMA MDEE AKAMATWA KUFUATIA AGIZO LA DC ALI HAPI
MBUNGE WA KAWE HALIMA MDEE AKAMATWA KUFUATIA AGIZO LA DC ALI HAPI
Mbunge wa Kawe jioni la leo amekamatwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni kufuatia agizo la Mkuu wa Wilaya la kutaka akamatwe kufuatia matamko ya kumkashfu Rais Dkt. John Pombe Magufuli aliyoyatoa jana wakati alipofanya mkutano na waandishi wa habari.
Katibu wa CHADEMA jijini Dar es Salaam, Henry Kilewo amesema Mbunge huyo wa Kawe na Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake la CHADEMA (BAWACHA), ni kweli amekamatwa na Polisi na kupelekwa kituoni Oysterbay.
“Wapi kakamatwa? Sisi tunachojua ni kuwa tunatekeleza agizo la Mkuu wa wilaya mengine muulize kamishna wa kanda maalum, nimetimiza wajibu wangu,” amesema.
Hii ni MESEJI yake mara baada ya kukamatwa!
"Wamekuja polisi kunichukua home! As we speak naelekea kituo cha polisi, probably Oysterbay Au Central. Wasaidizi wangu watakuwa na taarifa zaidi za ninakoelekea!
Mapema leo, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ally Hapi alitoa agizo la kukamatwa kwa Mbunge wa Jimbo la Kawe, Halima James Mdee mara moja kwa kosa la kumkashifu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli.
DC HAPI AIAGIZA POLISI KUMTIA MBARONI MBUNGE HALIMA MDEE
"Sitamvumilia mwanasiasa yeyote atakayethubutu kutoa kauli za matusi dhidi ya Mhe. Rais, au zenye kutaka kuleta uchochezi katika wilaya yangu."
| 2019-04-24T04:28:22 |
http://www.kajunason.com/2017/07/mbunge-wa-kawe-halima-mdee-akamatwa.html
|
[
-1
] |
TUNAWAPONGEZA wanajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa kukamilisha agizo la Rais John Magufuli la kujenga nyumba za makazi ya askari Magereza, Ukonga jijini Dar es Salaam.
Tunawapongza kwa sababu, kazi ya kijenga nyumba na kuzikamilisha kwa muda sio jambo dogo.
Tumeona wakandarasi wengi wakiingia mikataba ya ujenzi wa majengo makubwa na mwisho kuishia kubeba lawama za ama kuchelewesha kazi bila sababu za msingi, au kushindwa kumaliza kabisa.
Kazi hii ya ujenzi wa nyumba hizo ilikuwa imepelekwa kwa wabobezi wa ujenzi, yaani Wakala wa Majengo nchini (TBA) tangu mwaka 2016 kwa gharama ya Sh bilioni 10 na baada ya ujenzi huo kusuasua, ndipo Machi mwaka huu, Rais Magufuli akaamua kuwakabidhi JWTZ kukamilisha kazi hiyo.
Ikumbukwe, ni wanajeshi hao hao waliokamilisha kwa muda waliopewa na Rais Magufuli wa kujenga ukuta wa mirerani, jambo ambalo Watanzania wengi walidhani ni kazi ngumu isiyowezekana, lakini kwa uwezo mkubwa wakaweza kuikamilisha tena kwa ustadi mkubwa.
Hawa ndio wanajeshi wa Watanzania ambao hawashindwi wanapokuwa katika kutimiza majukumu yao ukiacha mbali ya majukumu mazito ya kulinda mipaka ya nchi, watu na rasilimali za taifa.
Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Brigedia Jenerali Charles Mbuge, alisema jana kuwa jeshi limeshakamilisha ujenzi wa nyumba hizo tangu Oktoba 15 mwaka huu ambazo ni maghorofa 12.
Tunafuraha kwamba kukamilika kwa ujenzi wa maghorofa hayo kunatoa fursa kwa familia 172 za askari na maofisa magereza kuishi ndani yake.
Kwa mujibu wa Brigedia Jenerali Mbuge, wakati wowote atakwenda kuzikagua nyumba hizo na akijiridhisha atampa taarifa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF), Jenerali Venance Mabeyo, ili naye azikague na kisha amwombe Rais Magufuli aweze kuzifungua rasmi.
Akasema japo alimwahidi Rais kuzikamilisha nyumba hizo katika kipindi kisichozidi miezi miwili na nusu tangu akabidhiwe Machi 16 mwaka huu, lakini kutokana na changamoto ya upatikanaji wa fedha haikuwezekana kukamilisha ujenzi ndani ya muda aliosema.
Kwa mujibu wa Mkuu huyo wa JKT, kama nyumba hizo zingejengwa kama alivyotaka Rais Magufuli tangu mwanzo, zingeweza kuchukua familia 326.
Wakati alipotembelea ujenzi wa nyumba hizo Machi 16 mwaka huu, Rais Magufuli alichukizwa na kitendo cha TBA kushindwa kukamilisha ujenzi kwa zaidi ya miaka miwili tangu wakabidhiwe kazi hiyo mwaka 2016.
JWTZ wameshafanya mambo mengi ambayo ni vigumu kuyaorodhesha, kwani ni hao hao waliopewa kazi ya kusimamia hata zao la korosho kwa muda mfupi kama jinsi Rais Magufuli alivyoelekeza kwa kutumia nguvu na rasilimali zao, hivyo itoshe tu kusema kwamba tuna imani sana na jeshi hilo.
siku 25 zilizopita Mhariri
siku 26 zilizopita Mhariri
mwezi 1 uliopita Tahariri,
| 2019-12-06T15:40:13 |
https://www.habarileo.co.tz/habari/2019-11-045dbfc6adb4424.aspx
|
[
-1
] |
Bustani ya Bustani | Habari inayofaa kwa kila mtu.
Rangi: bustani-bustani
Tafadhali jibu ambaye alinunulia miti ya maua na mimea kutoka Esipova L. A. Niliamuru kiasi kikubwa, ninaogopa nitadanganywa
Tafadhali jibu, ambaye alinunua vipande vya maua na mimea kutoka Esipova L. A. Niliamuru kiasi kikubwa, ninaogopa kwamba watawadanganya sana sana wakati 100% ya kulipia kabla ya Vitalu vya Nursery ya Yesipova Larissa tayari hufanya ...
Mbegu "Tafuta", "Aelita", "Gavrish", nk - ni bora zaidi? Kwa mfano, ikiwa mbegu ni maua, basi ni bora kuchukua nani?
Mbegu "Tafuta", "Aelita", "Gavrish", nk - ni bora zaidi? Kwa mfano, ikiwa mbegu ni maua, basi ni bora kuchukua nani? Aelita aliteka soko, sisi tu tunauza gavrish, na ...
Actinidia. Wapanda bustani wapi, ni nani kati yenu aliyekua tayari? Je! Umekulia liana kubwa? Unamtunzaje?
Actinidia. Wapanda bustani wapi, ni nani kati yenu aliyekua tayari? Je! Umekulia liana kubwa? Unamtunzaje? Ninakua miaka 7 ya actinidia Kolomikta. Kukua kwa nguvu, tu wanandoa wa mwisho tu ...
Nyoka ni nini?
Nyoka ni nini? Majani ya wadudu wanakula Afidi, sio nyuzi. Aphid ni wadudu wa kunyonya wa ukubwa hadi 2 mm na mwili wa rangi ya yai (rangi ya machungwa, nyekundu, nyeusi au kijani). Inawezekana zaidi ya aphid ...
Jinsi ya kulinda sorrel kutoka kwa uvamizi wa mende za kijani 3-4 mm kwa ukubwa? Bila kemia. Kula sorrel wote.
Jinsi ya kulinda sorrel kutoka kwa uvamizi wa mende za kijani 3-4 mm kwa ukubwa? Bila kemia. Kula sorrel wote. Moja ya magonjwa ya kawaida ya sorrel ni mildy mildew. Ili kuzuia ugonjwa huu ...
jinsi ya kutumia mbegu za tangawizi katika ugonjwa wa kisukari
jinsi ya kutumia mbegu nyekundu kwa ugonjwa wa kisukari Hapa kuna kile Tamara Yuranskaya, mtaalamu wa mimea ya mimea ashauri: "Nilichagua mbegu za nyekundu (kupanda safroni), nyasi ya mbuzi (galega) na centaury. Inabadilisha, ninatumia ...
Je! TUI inakua kwa kasi gani? Ikiwa unachukua 20 ndogo, kwa sababu fulani, 1.5 kubwa ambazo zilipandwa mwaka huo hazikuta mizizi?
jinsi ya kukua kwa kasi kama unachukua 20cm ndogo, kwa sababu fulani mwaka huo, zile kubwa zilizopandwa 1.5m hazikua na mizizi? Thuja ni kondeni, conifers zote, ikilinganishwa na kuni ngumu, huchukua mizizi vibaya. Kwa hivyo, wakati wa lazima wakati wa kutua ...
Ni kweli kwamba mizeituni mweusi haipo katika asili, na wale mizaituni mweusi tunayouza kwa maduka, walijenga?
Je! Ni kweli kwamba mizeituni nyeusi haipo katika maumbile, na mizeituni nyeusi ambayo inauzwa katika maduka yetu ni ya rangi? Mizeituni Nyeusi iliyoiva ni nyeusi huitwa "mizeituni nyeusi", na mizeituni ya kijani ...
Mchele hukuaje?
Mchele hukuaje? http://ru.wikipedia.org/wiki/Rice Rice (Kilatini Au # 253; za) ni aina ya mimea ya kila mwaka na ya kudumu ya familia ya nafaka; utamaduni wa nafaka. Kichwa: Neno la mchele lilionekana Urusi peke yake mwishoni mwa karne ya 19, ikiwa ni ya ...
Fennel na bizari ni sawa?
Fennel na bizari ni sawa? fennel na bizari, chervil, cilantro, cumin, anise kutoka familia moja. Fennel inakua katika scape. Vitunguu vya kijani na mbegu. Dill hutofautiana na ukweli kwamba ...
Nini nafaka?
Nini nafaka? Mbegu ya ubora wa chini, uliotengwa kwa ajili ya kulisha wanyama (farasi, kwa mfano). ni nafaka isiyofaa kwa lishe ya binadamu kwa suala la vigezo, lakini inafaa sana kwa kulisha wanyama ...
Roses ya chai - ni rangi gani? Ikiwezekana - picha.
Roses ya chai - ni rangi gani? Ikiwezekana - picha. chai ya rose ina rangi ya njano .. Picha C. chai ya Semina ni rangi kati ya upole manjano na peach. Hisia ya Pastel ya ajabu! Ninapenda ...
Jinsi ya kukua tulips katika sufuria?
Jinsi ya kukua tulips katika sufuria? Tulips hauhitaji sufuria kubwa. Vikombe vilivyo na kipenyo cha 13 vinafaa, tazama, ardhi lazima iondolewe, mchanga. Kwa mchanganyiko kuchukua ardhi 30%, 40% humus, na ...
Jinsi ya kufunika roses kwa majira ya baridi?
Jinsi ya kufunika roses kwa majira ya baridi? Best matawi spruce matawi! Ndiyo, itakuwa nzuri ikiwa umeelezea wapi unapoishi! Hapa, kwa mfano, sisi, katika Wilaya ya Primorsky, tunapunguza roses, tukiacha 10, tazama ...
Je, kuna mtu aliyepanda aina ya nyanya - Siri na Kiwango? Shiriki maoni yako
Je! Kuna mtu yeyote aliyepanda aina za nyanya - kitendawili na Flash? Shirikisha maoni yako nyekundu nyekundu iliyopandwa. Jambo kuu sio kukimbilia kupanda miche, inakua haraka sana, vinginevyo itakua na ikakua mizizi mbaya. hii ni ...
ni aina gani za malenge na ladha ya melon na ladha ya mananasi inaweza kukua novice katika. x
ni aina gani ya malenge na ladha ya tikiti na ladha ya mananasi unaweza kukuza anza na. x Malenge ya kupendeza zaidi ni nutmeg. Matunda ya malenge haya sio kitamu tu, bali pia ...
ONION SEVOK. Je! Ni daraja bora na yenye manufaa? Kwa vitongoji. Asante.
ONION SEVOK. Je! Ni daraja bora na yenye manufaa? Kwa vitongoji. Asante. Stuttgarthen sio vitunguu mkali. Kawaida. Kama Strigunovsky. Wamevunjika moyo katika vitunguu nyekundu na nyeupe. Lakini alipenda kwa mashavu. Mwaka huo ...
Je, ni aina gani ya kijiko cha kuchagua? Kuna mengi yao sasa, macho hukimbia kutoka kwa uteuzi mkubwa. Au labda hakuna tofauti?
Je, ni aina gani ya kijiko cha kuchagua? Kuna mengi yao sasa, macho hukimbia kutoka kwa uteuzi mkubwa. Au labda hakuna tofauti? Nilinunua mbegu nyingi za dill .. Na mwaka huo ilikuwa ni ...
SOS! Jinsi ya kuokoa balbu za gladiolus kabla ya kupanda kutoka thrips?
SOS! Jinsi ya kuokoa balbu gladiolus kutoka thrips kabla ya kupanda? Umwagaji moto kwa vitunguu V. PAVLOV Katika msimu wa vuli, ulichimba balbu za gladioli, ukauka na kuweka kwenye uhifadhi. Kuugua kwa nguvu - hadi chemchemi ...
Ni tofauti gani kati ya nitrati na nitrites?
Ni tofauti gani kati ya nitrati na nitriti? asidi mabaki NITRATES, chumvi na ekari za asidi ya nitriki HNO3. Chumvi ni fuwele; mbolea, mordants wakati wa kukausha, vifaa vya milipuko. Amonia, alkali na alkali ya ardhini nitrati ...
ukurasa 1 ukurasa 2 ... ukurasa 19 Next Page
Maswali ya 28 katika hifadhidata inayozalishwa kwa sekunde za 0,396.
| 2020-08-05T13:04:25 |
https://sw.info-4all.ru/semya-i-dom/zagorodnaya-zhizn/huzuni-ogorod/
|
[
-1
] |
MIAKA 2 YA KILABU CHA USHAIRI BONGO « MWENYEMACHO DOT COM
« OHOOOOO!
MIAKA 2 YA KILABU CHA USHAIRI – TUSELEBUKE »
MIAKA 2 YA KILABU CHA USHAIRI BONGO
Jumamosi ya tarehe 3/11 wanajumuiya ya ushairi wa kibongo (Fanani Flava) tulijumuika kusherehekea kutimia kwa miaka miwili ya kilabu cha wanaushairi wa bongo pale Alliance Francaise. Kama kawaida hatukuionea keki huruma hata kidogo, tuliishughulikia inavyotakiwa. Mwenye nguo ya rangi ya dhahabu ndiye muasisi wa kilabu chetu, Neema Kambona.
Pia mwanaushairi matata, mkali wa free style, Sunday, alituongoza katika swala zima la kuwaalika waliotutangulia mbele ya haki (ancestors) kwa kumwaga mvinyo kidogo sakafuni. Hii ni ishara ya kuwavuta watu kama kina Shaaban Robert, Andanenga na Sitti binti Saad karibu nasi, wanaushairi wa kisasa.
This entry was posted on November 5, 2007 at 8:51 am and is filed under Africa, Art, Bongo, Burudani, Elimu, Fotografia, Mikutano, Photography, Poetry, Sanaa, Tanzania, Ushairi. You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0 feed. You can leave a response, or trackback from your own site.
2 Responses to “MIAKA 2 YA KILABU CHA USHAIRI BONGO”
Hongereni wana kilabu cha ushairi Bongo.Vitabu vya Shaban Robert bado vinatumika kufundishia mashuleni?
Tunashukuru Egidio, vitabu vya Shaaban bado vinatumika, si unajua huyu ndio Kiswahili Laurate? Yani kama vile alivyo Shakespear kwenye Kiingereza
| 2017-08-17T13:37:10 |
https://mwenyemacho.wordpress.com/2007/11/05/miaka-2-ya-kilabu-cha-ushairi-bongo/
|
[
-1
] |
Wazalishaji maziwa walia na utitiri wa taasisi za maziwa - habari - swahilihub.com http://www.swahilihub.com/image/view/-/5118064/medRes/2345462/-/q21u5pz/-/maziwa+pic.jpg
Wazalishaji maziwa walia na utitiri wa taasisi za maziwa
Na Fina Lyimo, Mwananchi [email protected]
Imepakiwa - Thursday, May 16 2019 at 13:36
Moshi. Serikali imeombwa kupunguza taasisi zinazosimamia sekta ya maziwa nchini, kwani ni moja ya vikwazo vya kukua kwa sekta hiyo.
Pia, Serikali imetakiwa kuwasaidia wadau wakuu wa sekta hiyo ili maziwa yanayosindikwa yafike sokoni kwa urahisi na kwa gharama nafuu.
Akizungumza katika uzinduzi wa jukwaa la maziwa mkoani Kilimanjaro, katibu mkuu wa chama cha wasindikaji maziwa Tanzania (Tampa), Yohana Kubini alisema kwa sasa taasisi zinazosimamia sekta hiyo ni 24 ambazo huongeza gharama za uendeshaji.
Kubini alisema maziwa yanayozalishwa kwa mwaka ni lita 2.4 bilioni lakini yanayosindikwa ni lita milioni 35, kwa kuwa ndiyo yanayofika kwenye mfumo rasmi.
“Tampa ilifanya utafiti wa kuangalia gharama za usindikaji maziwa nchini na zilionekana ni kubwa, hivyo iliamua kujikita ndani zaidi kubaini gharama hizo zinaongezwa na utitiri wa taasisi zinazosimamia sekta hii,” alisema.
Kuhusu soko, alisema kwa takwimu zilizopo nchi yanajitosheleza kwa asilimia 50 na yanayosalia yanatoka nje.
Mshauri wa sera kutoka Shirika la Maendeleo la Uholanzi (SNV) Renatus Mbamilo alisema walifanya kazi ya kuunganisha wafugaji wilayani Hai na Siha, kwa kuunda vikundi ambavyo vimeunda chama cha msingi.
Awali, mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira alisema Serikali ina mpango mkakati kuhakikisha suala la lishe bora linafanyiwa kazi.
| 2019-05-25T04:53:26 |
http://www.swahilihub.com/habari/Wazalishaji-maziwa-walia-na-utitiri-wa-taasisi-za-maziwa/1306772-5118058-10nh5mb/index.html
|
[
-1
] |
Mchezo Sniper Online. Kucheza kwa huru
Mchezo Sniper
Unachezwa: 3149
Kucheza mchezo Sniper Online:
Maelezo ya mchezo Sniper
Katika giza kamili, itabidi tu kuona vituko ya sniper yake bunduki. Kupata lengo yako - stikmen nyeusi, wala kugusa stikmenov kijani - wao ni marafiki. Na panya gari mbele karibu na mji kutafuta lengo. . Kucheza mchezo Sniper online.
Kiufundi na tabia ya mchezo Sniper
Mchezo Sniper aliongeza: 17.12.2014
mchezo unachezwa: 3149 mara
Mchezo Rating: 3.37 nje 5 (30 makadirio)
Michezo kama mchezo Sniper
Spider-Man: Uokoaji wa
Spayper: risasi fuvu
Usiku Maisha Demo
Haunted House risasi
Mafunzo kwa ajili ya bao
Download mchezo Sniper
Embed mchezo Sniper katika tovuti yako:
Kuingiza mchezo Sniper kwenye tovuti yako, nakala ya kanuni na kuweka katika kanuni html ya tovuti yako. Pia, kama wewe kama mchezo Sniper, nakala na kutuma kiungo kwa rafiki au rafiki yako yote, kushiriki mchezo na dunia!
Pamoja na mchezo Sniper, pia alicheza katika mchezo:
| 2018-09-20T15:31:32 |
http://sw.itsmygame.org/1000033709/sniper_online-game.html
|
[
-1
] |
Posted on: May 21st, 2020 Sanare apiga marufuku hoja zilizopitwa na wakati Na Andrew Chimesela - Morogoro Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare amelitaka Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi ...
Posted on: May 20th, 2020 Madiwani watakiwa kuhamasisha ukusanyaji mapato Na Andrew Chimesela, Morogoro Baraza la madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ulanga limeaswa kuwa na utamaduduni wa kuwahamasisha ...
DC, DED ULANGA WAPONGEZWA
Posted on: May 18th, 2020 SANARE AWAPONGEZA DC, DED ULANGA Na Andrew Chimesela – Ulanga, Morogoro Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Loata Ole Sanare amewapongeza Mkuu wa Wilaya ya Ulanga Ngollo Malenya na Mkurugenzi Mtendaji wa H...
RC SANARE AWATAKA WAFANYABIASHARA SUKARI KUFUATA UTARATIBU
RC Sanare awatuliza waliovamiwa na tembo, awapa pole
Idara ya Fedha Mvomero yatakiwa kuongeza kasi ya ukusanyaji mapato
Halmashauri ya Kilosa yatakiwa kuongeza jitihada ukusanyaji mapato
| 2020-07-03T19:45:39 |
http://morogoro.go.tz/news/5
|
[
-1
] |
...ninachokumbuka ni ,,,,,,,,,,,,,, | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
...ninachokumbuka ni ,,,,,,,,,,,,,,
Discussion in 'Habari na Hoja mchanganyiko' started by kilimasera, Mar 25, 2011.
Wanamuziki wa kundi la Five Star Modern Taarab walionusurika kwenye ajali wameeleza kuwa vishawishi na masikhara kwa dereva ndivyo vyanzo vikuu vya ajali ile mbaya iliyowaua wenzao 13. Wakizungumza na wanahabari kwa nyakati tofauti jijini Dar es Salaam jana, wasanii hao walisema kuwa dereva huyo alikuwa kwenye mwendo wa kasi na alikuwa akipewa sifa na baadhi ya wasanii waliokuwa kwenye msafara huo uliokuwa umegubikwa na utani miongoni mwao. Baadhi ya walionukuliwa: Kiongozi wa Five Star, Ally Jay alisema: "Baadhi yetu tulikuwa tumekunywa lakini sio kuwa tulilewa kushindwa kujitambua, mfano mimi nilikunywa bia mbili tu, dereva naye ni binadamu alikuwa kwenye mwendo mkali sana, naweza kusema vishawishi ndio vilivyoleta maafa yote ingawa pia kila jambo linapangwa na Mungu."
"Siku zote huyu dereva anaitwa Chala Boy mimi huwa sipendi uendeshaji wake anaendesha spidi (mwendo mkali) sana tulikuwa na madereva wawili tulipokuwa tunatoka Kyela (Mbeya) nilitaka dereva msaidizi ndiye atuendeshe, lakini kama unavyojua wenzangu walinipinga kwa madai kuwa atawalaza njiani, ndio huyu dereva mkuu akaendesha toka kule Kyela alikuwa kwenye spidi sana hata tulipomwambia punguza mwendo yeye ndio kwanza alifanya masihara."
"Unajua watu wazima wanapokutana hususani wasanii wanakuwa na mambo ya kitoto hata hao watoto wenyewe wana afadhali, zile hadithi, masihara ndivyo vilivyompa kichwa dereva akawa spidi zaidi, na kwa vile ndio tulimzoea na siku zote ndo tunasafiri naye wengine walifurahia uendeshaji wake..."
"Dereva yupo hai, simu yake ninayo mimi kwani baada ya ajali mimi niliweza kuokota simu nne za wenzangu na moja ilikuwa ya kwake kwani muda mfupi nikiwa nasaidia kutoa maiti alinipigia na kujitambulisha ni yeye akadai anaenda hospitali ya Morogoro, lakini mpaka hivi ninapozungumza nawe wewe hatujamuona wala hatujui yupo wapi, ila tunajua yupo hai." Msanii Shaban Azizi 'Mfupa' alisema:
"Dereva tulimwambia usiendeshe kasi akawa hasikii tulikuwa tukielekea Songea tukitokea Kyela, nusura tule mzinga (tuanguke) pale kwani kuna kona moja mbaya aliiingia vibaya na kusababisha gari letu kuyumba, Kitonga yote ile Ruaha alikuwa spidi, na baadhi yetu walikuwa wakimpa kichwa achape ilale tuwahi kufika kwa vile tulikuwa tumemzoea tuliona ni kawaida, tulipofika Mikumi tulikutana na tembo, lakini bahati nzuri aliwahi kufunga breki." "Muda ule Issa Kijoti (marehemu) alikuwa amekaa mbele akarudi nyuma na kumpisha mbele Rajabu Kondo na yeye akakaa nyuma kabisa ya gari na Mwanahawa Ally. Tembo walipovuka nasi gari letu likapita, lakini dakika tano tu baada ya kuwavuka wale tembo ndio tukapata ajali na wenzetu kupoteza maisha, mpaka sasa siamini kilichotokea naona kama nipo ndotoni."
Msanii Zena Mohamed alisema: "Tulitoka vizuri kwa furaha zote, shoo yetu ilifanikiwa tulikuwa tunataniana sana , tulipofika Songea tukagundua kuwa shoo yetu ya Songea ilikuwa imeshatolewa hela na Hamer Q alikuwa amechukua Shilingi 1,000,000 na bila kutuambia, na muda huo yeye alishukia Iringa hakwenda nasi Songea na wala hakusema kama ameshachukua hela ya shoo ile na Issa Kamongo ndio tuligundua kuwa alisaini Hamer Q apokee hizo hela, sasa kwenye gari mazungumzo karibu njia yote yalikuwa ni kuhusu suala hilo."
"Tulitaniana kwa kweli, watu wawili tu kwenye lile gari, yaani Mwanahawa Ally na Rajabu Kondo ndio waliokuwa wanamsihi dereva asiendeshe kwa kasi, lakini wengine walifurahia na waliendelea na simulizi zao tena kama Haji Mzaniwa alikuwa akipiga kelele kabisa akimwambia dereva chapa ilale, hatujaona ongeza na dereva naye akazidi spidi, sijui kilichotokea ninachokumbuka ni sauti ya ya Issa Kamongo alipiga kelele kwa nguvu akisema, Chala 'unatuuaa' nilijikuta chini sijui chochote kilichoendelea baada ya hapo, mpaka sasa sijawa sawa."
Ajali hiyo ilitokea usiku wa kuamikia juzi maeneo ya Mikumi, Morogoro na wasanii 13 walipoteza maisha huku watano wakiwa majeruhi.Kufuatia ajali hiyo, wasanii mbalimbali wa bendi za muziki wa dansi na taarabu wamepanga kufanya tamasha maalum Mei Mosi la kuwaenzi wasanii wenzao waliopoteza maisha kwenye ajali hiyo ambayo haijawahi kutokea nchini.
Inasikitisha sana. Tunawaombea kwa Mwenyezi Mungu awalaze pema peponi marehemu wote wa ajali hii, na awajalie neema na uponaji wa haraka wale wote walionusurika, pia awajaze imani na nguvu ya kulikabili tukio hili wale wote walioguswa na msiba huu. Amina
Inasikitisha sana. soo sad
| 2017-01-21T19:56:06 |
https://www.jamiiforums.com/threads/ninachokumbuka-ni.120951/
|
[
-1
] |
Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation: M23 yachakazwa
KIKUNDI cha waasi cha M23 kinachopambana na jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), kimeripotiwa kupigwa vibaya na kutikisa nguvu za kikundi hicho kutokana na baadhi ya wapiganaji wake kuripotiwa kupoteza maisha.
Mapigano baina ya M23 na Jeshi la Serikali ya DRC linalosaidiwa na Kikosi Maalumu cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa (MONUSCO), yameibuka upya ndani ya wiki hii.
Habari za kiintelijensia ambazo gazeti hili limezipata zinasema kuwa, kutokana na shambulio hilo, Serikali ya Rwanda imelazimika kuingilia kati kusaidia waasi hao kwa kupeleka bataliani mbili zenye jumla ya askari 1,700 huko DRC, ili waweze kukabiliana na nguvu ya majeshi ya DRC, Monusco na Brigedi ya Majeshi ya Kulinda Amani ya Umoja wa Mataifa yenye mamlaka ya kujibu mapigo (FIB).
Kwa mujibu wa vyanzo hivyo vya habari, Rwanda imepeleka bataliani hizo mbili zenye askari 850 kila moja saa 24 zilizopita na kwamba wamevuka mpaka kuingia DRC katika eneo la Kibumba, lakini wanashindwa kusonga mbele.
Habari zaidi zinasema sababu ya Rwanda kupeleka askari wake hao ni kusaidia M23 ambao walipigwa sana Agosti 23 na 27, mwaka huu katika eneo la vilima vya Kibati na haijulikani kama kweli waasi hao wako katika eneo hilo au wamekwishakimbia kutokana na kipigo walikichopata.
“M23 walitandikwa sana Agosti 23 na 27 katika eneo la vilima vya Kibati, na wala haijulikani kama wapo hai au vipi, ndio maana sasa hivi Rwanda imepeleka batalioni zao kuwapa nguvu, lakini wanashindwa kusonga mbele maana hawajielewi kwa sababu ya kipigo walichopata,” kilisema chanzo kimoja cha habari.
Kwa mujibu wa vyanzo hivyo vya habari, eneo la Kibati ndilo eneo kubwa la M23 ambalo wamekuwa wakitumia kuhifadhi silaha zao za kivita, lakini wakati wa mapambano majeshi ya DRC, MUNUSCO na FIB yalisambaratisha kabisa ngome hiyo ya waasi.
FIB inaundwa na askari wengi wa Afrika Kusini na Tanzania. Habari zaidi zinasema kwa sasa majeshi ya DRC, Monusco na FIB yanawasubiri kwa hamu askari hao wa Rwanda kuingia uwanja wa vita ili kukabiliana nao kama walivyokabiliana na waasi wa M23.
“Taarifa tulizonazo hivi sasa Rwanda inajiuliza iwapo isonge mbele kupambana au irudi nyuma, ikifikiria pia kipigo walichopata M23,” kilisema chanzo kimoja cha habari.
Inaelezwa kwamba, kutokana na kipigo walichopata M23 siku chache zilizopita kimepelekea Rwanda kujikuta ikikiri na kusema ukweli juzi kuwa inakisaidia kikundi hicho cha waasi.
Vyanzo hivyo vya habari viliendelea kusema kuwa, mwaka jana mwezi Mei, Baraza la Usalama la UN katika ufuatiliaji wake lilibaini majeshi ya Rwanda kushiriki vurugu zinazoendelea ndani ya DRC, hali iliyosababisha Nchi za Maziwa Makuu kuingilia kati ili kuleta suluhu bila kuishirikisha Rwanda ambayo ilionekana kuwa na maslahi ndani ya mgogoro huo.
Katika hatua nyingine, taarifa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa zilisema, Waziri Bernard Membe alikutana na Mabalozi wa Mataifa matano ambayo ni wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ili kujadili masuala mbalimbali ya Kikanda na hasa mgogoro wa DRC.
Kwa mujibu wa taarifa hizo, Waziri Membe alipokutana na mabalozi hao alishukuru Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwa kutoa tamko la kulaani vikali tukio la kuuawa kwa mlinzi wa Amani wa Tanzania na kutuma salamu za pole kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na familia ya marehemu.
Waziri Membe pia aliomba baraza hilo kuitaka Rwanda kuacha kuingiza majeshi yake DRC kwa nia ya kusaidia waasi wa M23 na kuongeza kuwa linapokuja suala la FIB wito wao ni “akishambuliwa mmoja, wameshambuliwa wote.”
Mabalozi aliokutana nao Waziri Membe ni kutoka Urusi, Uingereza, Ufaransa, Marekani na China, nchi ambazo zinajulikana kama wajumbe wa kudumu wa Baraza hilo la Usalama.
Wakati huo huo, Waziri Membe alisema Rais Yoweri Museveni ameitisha kikao cha dharura cha Nchi za Maziwa Makuu, mjini Kampala ili kujadili mgogoro huo wa DRC kitakachofanyika Septemba 4 na Septemba 5, mwaka huu. Alisema Septemba 4 utakuwa mkutano wa Mawaziri na Septemba 5 utakuwa mkutano wa Marais wa nchi hizo.
Katika hatua nyingine, jeshi la Afrika Kusini limetamba kuwa lipo tayari kuongeza nguvu kwa wapiganaji wa Monusco kwa kuwa wanaamini wana jeshi imara lenye uwezo wa kuchakaza `wakorofi’.
Kauli hiyo imetolewa na Luteni Jenerali wa Jeshi la Afrika Kusini, Derrick Ngwebi alipozungumza na wapiganaji katika kambi ya Thaba Tshwane, jijini Pretoria. “Tuko imara na tayari kwa lolote huko DRC. Hatuna chembe ya shaka,” alisema na kuongeza kuwa, Umoja wa Mataifa umewaomba Afrika Kusini kuongeza zana za kivita huko Mashariki kwa DRC.
“Kikosi cha mizinga kinatoka Tanzania na kimeshatua DRC. Kwa upande wa helikopta za kivita Umoja wa Mataifa ulituomba tujiandae, nasi tumefanya hivyo na nawahakikishieni, kazi itafanyika,” alisema Ngwebi na kuongeza kuwa, imeshatanguliza askari na helikopta tatu za kivita wakati ikijipanga kupeleka helikopta zaidi na za kisasa za kivita.
Wiki iliyopita, Rais Jacob Zuma aliliambia Bunge la Afrika Kusini kuwa nchi yake imeshapeleka askari 1,345 huko Mashariki na DRC.
Posted by Nje Tanzania at 8:50 PM
| 2017-12-15T00:28:07 |
http://foreigntanzania.blogspot.com/2013/08/m23-yachakazwa.html
|
[
-1
] |
Joni 9 YBY - Yu makoya Jisesimamo anu moloko widanaki, - Bible Search
Joni 8 Joni 10
Joni 9
Jisesikaho omudala likonebo wemidana le pana ketaibo.
1Yu makoya Jisesimamo anu moloko widanaki, we makoya dolada ohumanaukati omuda likonebo etaibo wemidanaya muda-elaiye. 2Sakoya nomudaiyoko, wewenalalesiya Jisesida maya loka itiki monoka ujapa wete yamalae, ekahida lihimalalimo omudala likaibo we soto piye. Eimola lihimalamohe ito dolako aholakosida lihimanipomoe. 3Liki layoko, Jisesimamo sa-loko lo biye: Yatoka nesalimo samiye. Ito dolako aholako lihimanipomo samiye. Omaimidana elewoleyala maya ya weloya soto pitiye loko omudala likaibo weya soto piye. 4Ma mikau wewenasiya holiyagoya yowanu likiki lubukaya yowanu lamae. Asakoya ahone noli hibo wemidana yowanula maya olotigo lekoko, alikaya onawa suwokadeko yowanula lamekolune. 5+ Nemoya maya mikau minobo onawaloya ma mikau wewenasida lenipoya minakoloe. 6Loko lokoko, mika maya leko etehu okoko akula jeko aya omudala likaibo wemidana omudalalo maya hiletoko sa-loko lo meko oli hiye: 7Emoya woko no mako Siloamuye loko nebo noku maya noku udoko humawaka maya nokalawe oko le hulo. Aya no uliwamidana monawaya koha puti-minaboe loko ne. Loko liyoko, woko nokalawe oko omudala maya halatokaiyoko nisiye. 8Sakoya omudala maya halatiyoko, iwelasi ito omutoko ehadamu wako noliyoko mudaikaka abo wewenamasiya muda-elikiki ehadamu wako wako loko humeko minokaka ibo we maya nehe, liki lae. 9Liki layoko, maloka wewenamasiya oo, aya we maya nebowae, liki layoko, maloka wewenamasiya o'e, ayakidana we mako netiye liki layoko, aya wemamo sa-itahe nemo aya we maya minobowae. 10Liyoko emoya nenaha aniyoko omudaka yaitaya halatiye. 11Liki layoko, sa-loko lo biye: We mako Jisesiyo loko nebo welimoya uha maya etehu oko nomudanelo maya hilenetokoko woko Siloamuye loko nebo noku maya woko nokalawe o loko noli hekaiyoko woko nokalawe oyoko nomudane maya pana kiye. 12Loko liyoko, aya wewenamasiya loka itiki aya weya nakahauka maya ne, liki layoko, aya wemamo nemo muda-elamoe loko liye.
Palasisi wewenasiya omudala pana kibo wemidana monawala ohu jebo.
13Loko liyoko, aya wemidana maya ilimi-liki Palasisi wewena minabotoka maya wae. 14Jisesikaho omudala le pana ketaiboya holi onawau maya sa-iye. 15Sa-iyoko Palasisi wewenamasiya nisiki omudala pana kibo wemidana maya aku loka itiki layoko, sa-loko lo biye: Aya welimoya uha maya nomudanelo hilenetaiyoko, woko nokalawe joyoko nomudane maya pana kiye. 16Loko liyoko, Palasisi we malokasiya Jisesidamuya sa-liki lae: Lemo holi onawate maya le opa okaka noinako, aya weya Omailokati minamiye. Liki layoko malokasiya sa-liki lae: Emoya lahelametibo we netiboya mamidana yowanuya nena nenako maya litiye. Liki likiki ona moliki mini maloka maloka ae. 17Sa-ikiki omudala le pana ketaibo wemidana maya eimokaya nenae loko ata nokene liki layoko, Omaimidana epaloti ga lokaka we netiye loko liye. 18Sa-okaiyoko Juda wewenasida ujapa wenipolesiya omudala likonebo we maya pana kekaiyo liki elewole iki data kamiki dolako aholakosida maya ju likiki sa-liki loka ibitae: 19Ipatipo maya omuda likonebo etoibo ne liki nilaihe. Ito aya ipatipo maya nehe. Nena nena okoko omudala maya pana kiye. 20Liki layoko, dolako aholako maya lemo ipate maya ne loko ele-minoiye. Ito omudala likaibo etoibo maya ne loko ele-minoiboya, 21olotiya nenaha okoko omudala maya pana kihelae. Ito ekahimamo omudala le pana kihe, yawaya elamoiye. Emoya lasola nehe, olopa we maya neyo, eimolada yaitaya loka italowo, lo soto molatiyo. 22Liki laiboya Juda wewenasida ujapa wesiya alo sa-liki li hukaboto ne: Wewena makolimoya Jisesiya lahelamibo nesauti huka limitibo we ne loko letibo wewenamidana maya monoka mosetatune liki labo maya nenako likiki, dolako aholako maya Juda wewenasida ujapa wesidamuya domoda wokaiyoko, 23ipateya olopa we maya neyo, loka italowo liki laiye.
24Liki likaiyoko, omudala pana kibo wemidana maya aku ju likayoko, nisiyoko sa-liki loka itae: Emoya Omaimidana omudaloya wehe loko lo. Lemoya aya welimoya lahelamibo yowanu lekaka noiyoko noludawo we nenako, uliwa le sawa jamo. 25Liki layoko, aya wemamo lahelamibo yowanu lekaka we nehe, yawaya elamoe, Nemoya omutoko nomudaneya likonebo we maya minoboya olotiya pana kekaiyoko wati okoe lokogo noloe. 26Loko liyoko, aku loka itiki nena nenako maya omudaka le pana ketaiye. 27Liki layoko, alo maya lo libekobo maya neha, edimoya elamahe. Akuya nenahamu loyoko eletune liki nilae. Edimokiya Jisesida unala ipalale yuha lolo etune liki nilahe. 28Loko liyoko, auhala miki sa-liki lae: Emoya aya wemidana oluhola minane. Lemoya Moseseda ouvamela minune. 29Omailimoya Moseseda ga maya lo mibo ne loko ele-minudawoya, aya wemidana etabolawaya lemo muda-minupao. 30Liki layoko, aya wemamo sa-loko lo biye: Nemo nomudane le pana kenetaibo wemidana etabolawaya elamune liki niahe. Nemoya ija nolibetoe. 31Lemoya sa-loko elekaka noune: Omailimoya lahelamabo wewenasidaya dilipe lalo etibo nesa leko minamiboya, makoko wewenalimoya Omaimidana epoka loetoko gala ele litiboya Omailimo ilime wati ekolaiye. 32Ito hapa yeikala maya mika api oko soto pibototiya omudala likonebo we makomidana we makolimo le pana ketaiye liki layoko, ma elamudawo maya ne. 33Sa-onenako, maya weya Omailokati lemametidanako, yamidana yowanuya lemetine. 34Loko liyoko, sa-liki lae: Ebili lahelamadawo soto pedawo maya neboya yalika yatoka eko yowekoko monoka lemekolo lape, liki likadanaki ipisiki hulae.
Dukamidana omudala likaibo ga.
35Jisesimamo ipisiki hulae liki labo ga maya elekoko lasolasima minoko aya wemidana maya muda-elokoko sa-loko loka oetoko liye: Emoya okulumauti we utimidanamuya elewole oko ata nokepe. 36Loko liyoko, aya wemamo we lalo nesa yamalae, ladawo wemidana nilipekadeko muda-elokoko elewole oko nata ke mituwe. 37Loko liyoko, Jisesimamo emoya mudanelo-minadawo we ga lo noemobo we maya minobolae. 38Loko liyoko, aya wemamo we napane yamalae, olotiya elewole oko nata nokoe. Loko lokoko, i bola heko iguka maya udaiye. 39Sa-iyoko, Jisesimamo sa-loko lo miye: Nemoya muki wewenasida monawanipohena maya ona molobetatuwe loko ma mikau lemobo maya nenako, dukamidana omudala minamibo wewenasiya li pana kiki mudatayo, ito lukamidana omudala likaibo ne liki labo wewena maya likonedeko ayamidana yatoka mini-liki yowiki minatayo. 40Loko liyoko, Palasisi wewena maloka minabosiya loka itiki lae: Olo, maya we yamalae, lemoya lukamidana omudala likonebo minupe. 41Liki layoko, Jisesimamo sa-loko lo biye: Edimoya omudatipo likonebo minatidanako, lihimatipoya minametipa, dukamidana omudala maya pana kene liki likaka nianako, lihimatipo maya aha minakolaiye, loko liye.
| 2018-05-25T14:21:02 |
http://bibles.org/yby-YBY/John/9
|
[
-1
] |
MATUKIO @ MICHUZI BLOG: MKURUGENZI MKUU NSSF AJIONEA MIRADI YA SHIRIKA KATIKA MAONYESHO YA SABASABA 2016
MKURUGENZI MKUU NSSF AJIONEA MIRADI YA SHIRIKA KATIKA MAONYESHO YA SABASABA 2016
Muonekano wa Banda la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), katika Maonyesho ya Biashara ya 40 ya Kimataifa jijini Dar es Salaam. Ofisa Masuala ya Bima wa NSSF, Peter Isack akitoa ufafanuzi kwa kuhusu majukumu ya kitengo chake kwa Mkurugenzi
Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Prof. Godius Kahyarara (kushoto), wakati mkurugenzi huyo alipotembelea banda la NSSF katika maonyesho ya Sabasaba. Ofisa Uwekezaji wa NSSF, Moringe Nyerere akitoa maelezo kwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la
Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Prof. Godius Kahyarara
(kushto), juu ya viwanja vinavyouzwa na NSSF vilivyopo eneo la Kiluvya.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la
(kulia), akiangalia michoro ya nyumba ambayo ni sehemu ya miradi ya shirika
hilo. Wa pili kulia ni Ofisa Uwekezaji wa NSSF, Moringe Nyerere.
Msimamizi wa Mradi wa Mtoni Kijichi, Mohames
Kimbe akitoa maelezo kwa Mkurugenzi
Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Prof. Godius Kahyarara.
Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Prof. Godius Kahyarara (wa
pili kulia), kuhusu mradi wa nyumba za Kijichi. Kulia ni Ofisa Uhusiano Mwandamizi wa NSSF, Salim Kimaro na Juma Kintu kutoka Idara ya Uhusiano.
Ofisa Uhusiano Mwandamizi, Salim Kimaro (kushoto) na Ofisa Uhusiano wa NSSF, Aman Marcel wakimuonyesha Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Prof. Godius Kahyarara kifaa maalum kinachotumiwa na wanachama kutoa maoni yao kuhusu huduma zinazotolewa na shirika hilo. Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Prof. Godius akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutembelea banda la NSSF.
| 2017-01-20T11:58:45 |
https://michuzi-matukio.blogspot.com/2016/07/mkurugenzi-mkuu-nssf-ajionea-miradi-ya.html
|
[
-1
] |
What Is Wliochaguliwa Kujiunga Na Chuo Cha Mifugo Morogoro 2011 2012? Askiver
Tweet what is wliochaguliwa kujiunga na chuo cha mifugo morogoro 2011 2012?
Possible Answer 23 Aug 2012 ... WAKALA WA VYUO VYA MAFUNZO YA MIFUGO (LITA) KWA MWAKA WA MASOMO 2012 / 2013. 1. KAMPASI YA TENGERU ASTASHAHADA ... - read more
Wednesday, 3 August 2011 ... MWAKA WA MASOMO 2011 / 2012. 1. CHUO CHA MAFUNZO YA MIFUGO TENGERU – SLP 3101 ARUSHA, SIMU 0754313517. - read more
What Is Waliochaguliwa Kujiunga Na - Askiver DocsWaliochaguliwa Kujiunga Na Chuo Cha Mifugo 2013 Studio Handbook. ... mafunzo ya mifugo (lita) kwa mwaka wa masomo 2012 / 2013 1. kampasi ya tengeru .
Waliochaguliwa Kujiunga Na Chuo - Askiver DocsChuo Cha Ualimu Morogoro - free Ebooks download ... Waliochaguliwa Kujiunga Na Chuo Cha Mifugo 2013 Studio Handbook. ... VYUO VYA UFUNDI NA CHUO CHA USIMAMIZI WA MAJI MWAKA 2012 WASICHANA (SHULE ... KUJIUNGA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA UFUNDI NA CHUO CHA MAJI , MWAKA 2011 ...
ARANSE: August 201231 Ago 2012 ... MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA CHUO CHUO CHA UHASIBU ARUSHA ... Applicants into the first round of applications for 2012-2013 ... Taasisi ya Mifugo Morogoro, Ukiriguruna Chuo cha Mifugo Mpwapwa.
Read WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA VYUO VYA ...Read WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA VYUO VYA MIFUGO ... VYUO VYA MAFUNZO YA MIFUGO (LITIs) KWA MWAKA WA MASOMO 2011 / 2012 1. CHUO CHA MAFUNZO YA MIFUGO TENGERU SLP 3101 ARUSHA, SIMU ...
wahitimu wa kidato cha iv waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ...30 Jul 2011 ... ... KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU DARAJA 3A CHETI MWAKA 2011/2012 ... kuripoti vyuo walivyopangiwa tarehe 15/08/2011. ... Waliochaguliwa watatumiwa maelekezo kamili ya kujiunga na chuo kupitia anuani zao. ... KATESH MANYARA BOX 396 SUMBAWANGA BOX 1680 MOROGORO BOX ...
Chuo Cha Ualimu Bustani - 2SnapShot.comWaliochaguliwa Kujiunga Na Chuo Cha Ualimu 2011 at Website Informer CHUO CHA UALIMU ILONGA,MOROGORO. ... Waliochaguliwa Chuo Cha Mifugo Na Kilimo Cassano Bari Codice Fiscale Waliochaguliwa ... read this pdf majina ya waliochaguliwa kujiunga na chuo kikuu cha dar es salaam 2011 2012 0 at Free ...
ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA ...6 Aug 2012 ... ORODHA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YA CHETI MWAKA WA MASOMO 2012/2013. MAELEKEZO ...
TAGAZO LA NAFASI ZA KUJIUNGA NA CHUO20 Machi 2014 ... Mkuu wa chuo cha Ardhi Tabora anapenda kutangaza nafasi za kujiunga ... WAOMBAJI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA VYUO VYA ARDHI ... TABORA AND MOROGORO FOR THE ACADEMIC YEAR 2014. ... Kuanzia mwaka wa fedha 2012/2013 Viwango Viwango vipya vya kodi ya pango la Ardhi .
MPYA KABISA: WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI ...2 Mei 2014 ... TANGAZO LA MAFUNZO YA UALIMU CHETI -2014 (146.88 kB ... wanafunzi wanaochaguliwa kujiunga na mafunzo ya ualimu ngazi ya Cheti ni ... kwa ajili ya Cheti na wenye ufaulu wa alama 26 au 27 (mwaka 2004 hadi 2012) .... Kasulu, Korogwe, Morogoro, Mpwapwa, Tukuyu, Songea, Butimba, Klerruu ...
Ministry of Community Development, Gender and Children ...Chuo cha Uyole kilichochopo Mkoa wa Mbeya, katika Wilaya ya Mbeya Mjini .... Kujiunga na Vyuo vya Maendeleo ya Jamii Stashahada na Cheti 2011 / 2012 ... na Cheti cha Awali kwa mwaka wa masomo 2011/2012. selection_list.pdf ... Buhare · Missungwi · Mlale · Monduli · Mabughai · Ruaha · Rungemba · Tengeru ...
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA... - Veterinary ...TANGAZO LA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KAMPASI ZA WAKALA WA VYUO VYA MAFUNZO YA MIFUGO (LITA) KWA MWAKA WA MASOMO 2013 / 2014 ... Helena Butwansi Yovenary ke 1025 Morogoro Serikali ...... wanatakiwa kufika kwenye Kampasi husika tarehe 01/ 09 / 2012 kabla ya saa 12 jioni
hotuba ya bajeti 2012 - Ministry of Communication...kwa mwaka 2011/2012 na Malengo ya Wizara katika bajeti ya mwaka ... waliochaguliwa na walioteuliwa katika kipindi cha mwaka uliopita kuwa ..... Shinyanga, Morogoro, Mara, Iringa na Kagera ambapo ..... na Teknolojia Mbeya kuwa Chuo Kikuu cha Sayansi na ... mdogo kujiunga na taasisi za sayansi na teknolojia.
waliochaguliwa kujaz..KITUO CHA KAZI ALICHOPANGIWA. 1 Mahinda ... Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika. 2 Kulwa ... MOROGORO ..... Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi.
Download - Parliament of TanzaniaFEDHA 2012/2013 NA MWELEKEO WA KAZI KWA MWAKA. WA FEDHA ..... waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza katika Wilaya ... ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya mazao, mifugo na ... Halmashauri za Mikoa ya Iringa, Mbeya, Njombe, Morogoro na ... Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo kimeendelea na.
| 2015-11-30T11:39:39 |
https://www.askiver.com/what-is-wliochaguliwa-kujiunga-na-chuo-cha-mifugo-morogoro-2011-2012.html
|
[
-1
] |
Nelson Mandela - sauti ya uhuru | Mada zote | DW | 06.12.2013
Nelson Mandela - sauti ya uhuru
Neleson Mandela, babu wa Afrika Kusini na shujaa wa mapamabano dhidi ya ubaguzi wa rangi amefariki dunia. Mmoja wa wafungwa maarufu zaidi wa kisiasa wa zama zake, alikuja kuwa rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini.
Kwaheri, Nelson Mandela
Waafrika Kusini wengi watamkumbuka Mandela kwa tabasabu. Walizoea kumuita kwa jina lake la ukoo "Madiba." Kuliko mtu yeyote, Mandela aliunda historia ya taifa jipya la Afrika Kusini. Baada ya kukaa korokoroni kwa karibu miongo mitatu, alichaguliwa kuwa rais wa kwanza mweusi nchini Afrika Kusini.
Mwafrika wa kwanza kuasisi kampuni ya uwakili
Nelson Rolihlahla Mandela alizaliwa Julai 18, 1918 mashariki mwa mkoa wa Cape nchini Afrika Kusini. Baada ya kumaliza shule, aliamua kusomea sheria. Akiwa mwanafunzi alijihusisha zaidi na masuala ya siasa, na mapambano dhidi ya ubaguzi. Mwaka 1952, alifungua kampuni ya kwanza ya uwakili ya waafrika akiwa pamoja na Oliver Tambo mjini Johannesburg.
Mfumo wa ubaguzi wa rangi, ambao ulikuwa ukiwatenganisha waafrika na wazungu katika kila kitu, uliathiri kwa kiasi kikubwa maisha ya utoto na hata ujana wa Mandela.
Mandela mwanamasumbwi
Katika umri mdogo, Mandela alikuwa mpenzi mkubwa wa mchezo wa ndondi. "Katika ulingo, hadhi, umri, rangi ya ngozi au utajiri havijalishi," alisema kuhusu mapenzi yake kwa mchezo huo. Aliendelea kujiweka fiti hata alipofungwa: Kama sehemu ya ratiba yake ya kila siku, alibeba vitu vizito na kufanya mazoezi mengine ya kutunisha misuli.
Ahukumiwa kwenda lupango
1964: Jeshi la Polisi likiwarudisha nyuma watu waliokusanyika mbele ya mahakama ambako mashtaka dhidi ya Mandela na wanaharakati wengine wa kupinga ubaguzi wa rangi ilikuwa ikiendeshwa. Katika kesi hiyo iliyopewa jina la Rivonia, Mandela alihukumiwa kifungo cha maisha jela kwa sababu ya harakati zake za kisiasa.
Miongo gerezani
Mandela alitumikia miaka 18 katika chumba chenye ukubwa wa mita za mraba tano kilichopo katika gereza la kisiwa cha Roben. Alipewa nambari ya utambulisho 46664. " Nilikuwa nafahamika kama nambari," Mandela alisema baada ya kuachiwa huru.
Wakati Mandela akiwa gerezani, mapambano dhidi ya ubaguzi yaliendelea. Mke wake wakati huo, Winnie Mandela (katikati), alikuja kuwa kiongozi wa mapambano dhidi ya serikali ya weupe wachache.
Dunia yahamasika...
...na hatma ya Afrika Kusini. Tamasha la hisani kwa ajili ya Nelson Mandela lilifanyika katika uwanja wa Wembly mjini London mwaka 1988. Wanamuziki maarufu kimataifa waliadhimisha mwaka wa 70 wa kuzaliwa kwake, na walipaza sauti za kupinga ubaguzi. Karibu watu 70,000 walihudhuria tamasha hilo lililodumu kwa saa 10 na kutangazwa katika mataifa zaidi ya 60.
Hatimaye awa huru
Tarehe 11 Februari, 1990 - baada ya miaka 27 - Mandela aliachiwa kutoka gerezani. Picha hii inamuonyesha pamoja na mke wake Winnie wakiinua mikono juu kuonyesha kujivunia mapambano ya watu weusi dhidi ya utawala wa kibaguzi wa watu weupe.
Arejea katika siasa
Mwezi Mei mwaka 1990, Mandela alirudi katika uongozi wa chama cha Afrika National Congress (ANC) na kuongoza mazungumzo pamoja na rais wa wakati huo Frederik Willem de Klerk (kushoto). Mazungumzo hayo yalisafisha njia kwa Afrika Kusini bila ubaguzi. Mwaka 1993, yeye pamoja na de Klerk walipokea tuzo ya amani ya Nobel.
Washirika wa Mandela
Oliver Tambo (kushoto) na Walter Sisulu (kulia) walikuwa miongoni marafiki wa karibu zaidi wa Mandela. Kwa pamoja waliazisha kikundi cha vijan wa chama cha ANC mwaka 1944, na kuandaa maandamano dhidi ya utawala. Sisulu alihukumiwa maisha jela, Tambo alikaa uhamishoni kwa miaka 30. Baada ya 1990, wote walishika nyadhifa za juu katika ANC.
Rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini
Tarehe 10 Mei, 1994 iliingia katika historia. Baada ya uchaguzi wa kwanza wa kidemokrasia uliofanyika mwezi Aprili, Mandela aliapishwa kuwa rais wa kwanza mwafrika. Alitumikia wadhifa huo hadi mwaka 1999, aliporithiwa na Thabo Mbeki.
Maridhiano na si kisasi
Mwaka 1996, Mandela aliunda Tume ya Ukweli na Maridhiano TRC, kusaidia kushughulikia uhalifu uliyotendwa wakati wa utawala wa kibaguzi. Tume hiyo iliongozwa na Askofu Mkuu wa Afrika Kusini Desmond Tutu. Kazi ya tume hiyo ilikosolewa na wahanga wengi, ambao hawakukubali kwamba wale waliowatendea unyama na kukiri hadharani kutenda unyama huo hawakuadhibiwa.
Maandalizi ya kombe la dunia
Mei 15, 2004 ilitangazwa kuwa Afrika Kusini ndiyo ingekuwa mwenyeji wa mashindano ya kombe la FIFA la dunia mwaka 2010. Hapa Mandela akibeba kombe kwa furaha. Taifa zima liliripuka kwa furaha kutokana na mchango wake alipoisaidia Afrika Kusini kuwa mwenyeji wa tukio hilo kubwa kabisaa la kimichezo, na la kwanza kufanyika katika bara la Afrika.
Je, taifa la upinde wa mvua limefeli?
Mwaka 2008, chuki dhidi ya wageni na vurugu viliibuka katika maeneo mengi ya madongo poromoka katika miji ya Afrika Kusini, ambamo wahamiaji wengi waliuawa. Swali liliulizwa: Je, hili bado ndiyo taifa la upinde wa mvua lililoasisiwa na Mandela, ambako kila mmoja anaishi kwa amani"? Je, taifa la upinde wa mvua limefeli?.
Miaka ya mwisho ya Mandela
Wakati wa miaka ya mwisho ya maisha yake, Mandela alitoweka katika maisha ya hadhara na kutumia muda mwingi na familia yake. Hapa anaonekana akiadhimisha mwaka wake wa 93 wa kuzaliwa akiwa na wajukuu zake pamoja na vitukuu.
Idadi ya picha 16
Mwandishi Katrin Ogunsade / Iddi Ismail Ssessanga
Maneno muhimu mandela, dead, south africa, nelson mandela, madiba, apartheid, icon
Kiungo https://p.dw.com/p/1ATzM
| 2019-04-22T14:28:18 |
https://www.dw.com/sw/nelson-mandela-sauti-ya-uhuru/g-17274896
|
[
-1
] |
Sophia Mbeyela - Wikipedia, kamusi elezo huru
Sophia Mbeyela
Sophia Mbeyela (amezaliwa tar.) ni mwanamke Mtanzania ambaye, pamoja ya kuwa na uwezo wa kuelimisha jamii, pia ameweza kujitoa kuwasaidia watoto wenye mahitaji maalumu walio katika makundi matatu nayo ni albino, walemavu wa viungo na yatima. [1][2]
Sophia alisoma katika shule ya msingi ya Jeshi la Wokovu iliyopo jiji la Dar es Salaam ambapo alihitimu darasa la saba mwaka 2002. Baada ya kuhitimu, Sophia alipata nafasi ya kuendelea na shule ya sekondari. Aliweza kuendelea na shule mbalimbali ikiwemo shule ya Sekondari Jangwani. Badae pia aliweza kujiunga na chuo. [3]
Sophia ni mwalimu wa shule za sekondari nchini. [4] Ni mkurugenzi wa Shirika lisilo la kiserikali kwa watu wenye ulemavu(PLPDF).Amefanikiwa pia kua ni mwanzilishi wa asasi ya Madam Sophy Charity. Taasisi hii aliyoianzisha Sophia, ni taasisi isiyo ya kiserikali inayodhamiria kujishughulisha kutimiza malengo ya kusaidia watu walio na mahitaji maalumu ili kuweza kuwatia moyo ili waweze kujiona ni sawa kama watu wengine ili badae waweze kuwa mabalozi wazuri. [5]
Kwa kupitia taasisi yake ya Madam Sophy, Sophia ameweza kutembelea baadhi ya shule za sekondari ikiwemo shule ya sekondari ya Jangwani iliyopo jijini Dar es Salaam ambapo alifanikwa kutoa kutoa msaada wa vitabu vya masomo mbalimbali. [6]
↑ www.mwananchi.co.tz
↑ www.kamerayetu.co.tz/2016/03/madam-sophy-charity-events-yazinduliwa.html?m=1
↑ https://allafrica.com/stories/201610760334.html
↑ https://globalpublishers.co.tz/madam-sophey-charity-movement-yatoa-msaada-shule-ya-jangwani
Je, unajua kitu kuhusu Sophia Mbeyela kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Sophia_Mbeyela&oldid=1057308"
Last edited on 7 Machi 2019, at 20:30
Ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 7 Machi 2019, saa 20:30.
| 2020-08-13T17:11:48 |
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Sophia_Mbeyela
|
[
-1
] |
Shule ya Upili ya Wavulana ya Starehe - Wikipedia, kamusi elezo huru
Shule ya Upili ya Wavulana ya Starehe
Shule ya Upili ya Wavulana ya Starehe (maarufu kama "STAREHE") ni shule ya bweni na kutwa, ya wavulana pekee, katika eneo la Nairobi, Kenya.
Shule ilianzishwa mwaka 1959 na Dr Geoffrey William Griffin, MBS,OBE, Geoffrey Gatama Geturo na Joseph Kamiru Gikubu. Ilianza kama kituo cha kuwaokoa watoto. Starehe na Shule yaBrookhouse ni shule za pekee za Kiafrika Afrika, kusini mwa jangwa la Sahara na kaskazini ya mto Limpopo zinazotambulikana kama wanachama wa Round Square zinazotambulikana kama wanachama wa Round Square.
Starehe imeelezewa na BBC kama labda shule bora nchini Kenya.[1]
1 Taasisi ya Hisani
1.1 Kujiunga na shule
3 Mapokeo
3.1 Baragumu
3.2 Muziki
3.2.1 Bendi ya Shule ya Upili ya Wavulana ya Starehe
3.2.2 Malazi
5 Mabweni
6 Wimbo wa Shule
7 Lakabu za Starehe
8 Wageni Waheshimiwa na Walezi wa Starehe
9 Orodha ya baadhi waliokuwa wanafunzi wa Starehe ambao sasa ni mashuhuri (si kamilifu)
10 Starehe Uingereza
Taasisi ya HisaniEdit
Shule ya Upili ya Wavulana ya Starehe ni ya kipekee kati ya shule za Kenya huru kwa sababu asilimia 70 husoma bila malipo, na wale wengine hulipa kiwango cha chini cha karo. Hili linatokana na makubaliano ya uasisi wake kama shule ya hisani. Karo ya shile hulipwa kutokana na mapato ya mzazi, huku shule ikigharamia kiasi fulani, ili wanafunzi kutoka matabaka tofauti ya jamii wapate masomo ya umma yaliyo makamilifu, ya hali ya juu, high-quality, ambayo labda yangekuwa zaidi ya uwezo wao kimapato.
Mchakato wa kuingia shuleni huanzia na kupokelewa kwa matokeo ya mtihani wa kitaifa KCPE na hupendelea kuteua wanafunzi ambao wanaonyesha uwezo wa kufaidika kielimu kutokana na mazingira mufti ya shule hii.
Shule hii huendeshwa na Kamati Kuu ambayo mwenyekiti wake ni Patrick Obath, aliyekuwa Mkurugenziwa kampuni ya wa Kenya Shell and BP, wathamini wakuu wa shule hii tangu ilipoanzishwa.
Hitaji la kuhakikisha mustakabali wa shule hii kwa sasa unashughulikiwa na waliokuwa wanafunzi wa shule hii pamoja na Raios wa nchi ya Kenya na marafiki wa dhati pamoja na wanaojitolea.
Kujiunga na shuleEdit
Kuteuliwa kuingia shuleni ni kwa mashindano huria katika mtihani. Wanaotaka kujiunga na shule hii hujaza "Fomu za Manjano" kabla ya tarehe 31 Julai katika mwaka unaotangulia mwaka wanaotaka kujiunga na shule. Kila mwaka, takriban maombi 20,000 hupokelewa na ni wanafunzi 210 tu wanaoteuliwa kujiunga na wanafunzi wengine na takriban nafasi 6 huachwa kwa ajili ya wanafunzi wasiojiweza kabisa ambao huenda hawakuwa na nafasi ya kutuma maombi lakini wakaupita mtihani.
Wanaotuma maombi huteuliwa kulingana na mapato ya wazazi na matokeo yao katika mtihani wa kitaifa wa KCPE. Uteuzi unategemea matokeo haya tu.
Shule ya Upili ya Wavulana ya Starehe ilikuwa ni matokeo ya maono ya Geoffrey William Griffin, akisaidiwa na Joseph Gikubu, na Geoffrey Geturo. Mwanzo wake ilikuwa hali ya hatari iliyotangazwa na Gavana wa kikoloni Kenya wakati wa mapambano ya Mau Mau mwaka 1952 kulikosababisha kufurika kwa mayatima maskini na wasiokuwa na makao mitaani.
Wavulana 17 wa kwanza waliingia shuleni kutoka Kituo cha Kuokua Watoto cha Karikor, Nairobi, na shule yenyewe ilikuwa katika vibanda viwli vya mabati vilivyoruzukiwa na kampuni ya Shell and BP mwaka 1959. Baada ya miezi michache shule ilihamia eneo lake la sasa, Starehe, Nairobi.
Jina "STAREHE" ni neno la Kiswahili lenye maana ya 'Utulivu', 'Amani', au 'Faraja', likimaanisha mahali ambapo wavulana yatima wangeweza kupata furaha katika msingi wake wa kikabwela. Pia ni jina la mahali ambapo shule hii ipo.
Shule hii ni mwanachama wa Roundsquare shirika la kimataifa la shule zinazotoa elimu kwa wanafunzi kutoka matabaka mbalimbali, wengi wakiwa maskini.
MapokeoEdit
Shule hii inajulikana mno kwa sababu ya sare yake: maarufu kama 'Red na Blue',kaptula ya buluu na shati jekundu, zinazovaliwa na tai nbyeusi na bleza au sweta ya kizibau.
Mwingiliano na jamii pamoja na kushikamana na nchi huzingatiwa, huku kila likizo ya mwezi ikitumika kwa ajili ya huduma za bure kwa jamii katika hospitali, zahanati au afisi za serikali au katika asasi nyingine yoyote ambayo wanafunzi wanapendekeza. Huduma hii inafahamika kama Voluntary Service Scheme, na ni njia ya kuishukuru na kuiauni jamii.
Starehe huwa na mechi ya kisasi dhidi ya shule ya Lenana kabla ya Dhifa ya Jioni ya Waanzilishi.
BaragumuEdit
Kila asubuhi ili kukaribisha mwanzo wa siku ya masomo, kila jioni kumaliza siku ya masomo, na kila wakati bendi ya shule inahitaji mkutano wa wanabendi wake, baragumu inayohusika hupigwa na mtaalam wa kazi hiyo kutoka kwenye bendi ambaye hupata uluwa fulani kutokana na nafasi yake. Mifano ya uluwa ni pamoja na kutembea kwenye barabara kuu za shule badala ya kukimbia kama wengine Starehe na kupata kibali cha kutohudhuria gwaride la kawaida kama wengine.
Shule ya Upili ya Wavulana ya Stareheina. Hili limekuwa dhahiri katika ushindi mwngi katika Tamasha za muziki nchini Kenya unaofanyika kila mwaka nchini. Mafanikio yamekuwa katika ngazi za kibinfasi na katika ngaziya shule kwa jumla.
Kanisa la shule lina viti 1,000 pamoja na piano kubwa , iliyo moja kati ya piano mbili kubwa zilizo shuleni (nyingine ikiwa kwenye ukumbi wa mikutano). Kwaya ya shule imefanikiwa imefanya mafanikio mengi na hivyo ana sifa yachuma ni bora. Katika historia ya shule,wanafunzi wengi wenye vipawa vya kimuziki wamefanikiwa katika mashindano ya kibinafsi na mitihani na kuacha taathira kubwa katika jamii ya kimuziki ya Kenya. Baadhi yao ni wanachama wa Okestra ya mji wa Nairobi.
Shule hi ina kwaya nyingine nyingi ndogo na mipangilio ya ala za muziki, pamoja na sherehe ya kila mwaka House Singing Competition kuitwa "Interhouse Halisi Gala", uliofanyika tarehe ya mwisho usiku wa shule ya kwanza ya muda mrefu. Idara ya Muziki hupangilia matamasha haya kila mwaka, kutoa fursa kwa kuchipuka kwa vipawa vya kimuziki.
Bendi ya Shule ya Upili ya Wavulana ya StareheEdit
Hii ni bendi maarufu kitaifa, na imepata sifa za kimataifa, baada ya kucheza katika taasisi mbalimbali na kutumbuiza katika maadhimisho ya kitaifa. Bendi hi iliongoza maandamano ya mazishi ya Dk Griffin mwaka 2005.
Historia ya muziki saa Starehe ni mkono na marafiki wa Starehe pamoja [http://www.mdmt.org.uk/ Martyn Donaldson Halisi Trust (MDMT). Shirika hili lipo nchini Uingereza na hutuma walimu wawili wa muziki wa kujitolea kila mwaka kuja Starehe. Shirika hili pia huwaalika wanafunzi kutoka Shule ya wasichana ya Starehe na Shule ya wavulana ya Starehe kutuimbuiza hadhira nchini Uingereza.
MalaziEdit
Ingawa kuna tetetsi nchini kwamba malazi ya hapa ni ya starehe, hili si jambo la kweli. Wanafunzi huoga maji baridi, kawaida ya shu. Elimu ya Starehe husisitiza ufanisi wa kielimu, kuwajibika na nidhamu. Maandishi kwenye mlango wa Ukumbi wa Mikutano husoma hivi: The path of duty is the way to Glory (Njia ya Wajibu ni njia ya Utukufu). Wanafunzi wanahitajika kutekeleza majukumu ya kila siku ambayo ni pamoja na kusafisha mabweni yao na shule vile vile maeneo yanayozunguka mabweni, madarasa na maabara. Hili hasa hutendeka katika ngazi ya kidarasa na kulingana na kidato.
NidhamuEdit
Starehe hufuata cheo makao mfumo gavana kulazimisha high nidhamu viwango kwa mwanafunzi wake wa mwili. Mwanafunzi anaweza kuwa kiranja tu kuanzia mwaka wa pili shuleni. Hata hivyo, wao hawawi viranja kamili kamwe. Wao huwa na daraja la kiranja-mdogo hadi Mkurugenzi anapotangaza kupandishwa kwao madaraka. Kupandishwa madaraka kupitia ngazi za daraja hutegemea hulka na kuwajibika, ambako hutathminiwa na Viranja wa Shule (ambao hujulikana kama Makapteni wa Mabweni) ambao huunda Jopo la Viranja Wakuu wa Shule. Yeyote anayependekezwa kuwa kiranja huchuchung Maamuzi mengi hutegemea kupigwa kura na kuchaguliwa kwa pendekezo la wengi. Hata hivyo, mamlaka yan kumteua au kumwachisha kazi kiranja ni ya Mkurugenzi tu, ambaye hupewa mawaidha na Jopo la Viranja Wakuu.
Kiranja Mkuu wa na manaibu wake wawili mara nyingi inafahamika kama 'Red Lions'. Manaibu wawili ni sawa katika cheo. The House Viranja Wakuu kuchukua malipo ya bweni 12 ya nyumba na idara nyingine katika shule kama vile maktaba, michezo idara, Chapel na mkutano. Kila bweni huchukuliwa kuwa nyumbani kwa mwanafunzi katika miaka yake yote minne akiwa shuleni. Hapa, atakuwa akifanya urafiki na mwamana utakaomwelekeza na kumdumisha katika maisha yake yote Starehe. Mara nyingi, wanafunzi huelekea kujihusisha sana na mabweni yao hata baada ya kuondoka. Chini ya Vijanja wadogo, kuna wanafunzi wa kawaida au 'commoners' Viranja hutambulika vifuatavyo kulingana na madaraka yao:
Kapteni wa Shule- Nembo ya Simba Mwekundu juu ya Utepe za shaba kwenye koti.
Naibu wa Kapteni wa shule - Pia huwa na nembo ya simba mwekundu lakini huw ana Utepe moja kwenye koti.
Viranja wa Mabweni - Pini ya dhahabu ya Nembo ya Simba.
Kiranja mwandamizi - Pini ya dhahabu yenye nembo ya nyota.
Viranja- nembo(kijivu kuvuka bakora).
Viranja wadogo
Kupanda kimadaraka kunaonyeshw akwa kutuzwa kwa nembo na pini zilizo hapo juu. Hizi huvaliwa upande wa kulia wa mkono wa koti .
Wasio na madaraka hugawanyika kulingana na mwaka waliojiunga na shule. Wale walio katika Kidato cha Kwanza na cha pili huitwa Wavulana Vijulanga na wale wa kidato cha tatu na nne ni Wavulana Wakomavu. Starehe ina viwango vya juu vya nidhamu vinavyotekelezwa na mfumo mwafaka wa adhabu na hutofautiana kwa ukali kulingana na kosa lililotendwa. Walimu, Wafanyikazi wenye malaka ya kiutawala na viranja wanaruhusiwa kuwapa adhabu wanafunzi. Mwanafunzi ambaye anahisi kuwa yeye ameadhibiwa kimakosa na kiranja anaweza kukata rufaa kwa mwanafunzi juu rasmi. Hata hivyo, lazima afuate ngazi za mamlaka. Adhabu hizi kwa ujumla huhusisha kazi za mikono. Kama kanuni ya jumla, adhabu inayotolewa na mwalimu haina rufaa ila kuwe na sababu nzuri sana. Rifaa kama hizi hutolewa na Mwalimu Mkuu.
Wakati adhabu ya viboko ilikuwa ingali imeruhusiwa nchini Kenya, ni Mkurugenzi tualiruhusiwa kutumia miwa saa Starehe. Hii ilikuwa ili ajue makosa makubwa yaliyotendeka shuleni.[2]
Dkt. Griffin alitofautiana na serikali kuhusu kupiga marufuku matumizi ya kiboko shuleni, akitaja kwamba serikali ilikuwa ikikubali shinikizo la kimataifa bila kufikiria kwa kina matokeo yake. Alisema kwamba hilo lingesababisha kuongezeka kwa ukosefu wa nidhamu na kushusha kiwango cha elimu.
MabweniEdit
Mabweni ya Starehe yamepewa majina kulingana na waruzuku wakuu katika nyakati mbalimbali pamoja na watu maarufu katika historia ya Kenya wanaohusika na shule hii.
Kuna mabweni 12 ambayo wanafunzi wapya huingizwa kila mwaka:
Gikubu - jina la mwanzilishi-mwenza Joseph Gikubu
Ngala - jina la marehemu Ronald Ngala, waziri katika serikali ya Jomo Kenyatta
Geturo - jina la mwanzilishi-mwenza Geoffrey Gatama Geturo
Shaw House - jina la marehemu Patrick David Shaw, afisa mkuu wa polisi wa kutisha aliyewaondoa wezi na wanyang'anyi jijini Nairobi. Alikuwa msaidizi wa Mkurugenzi wa Starehe akihusika na maswala ya utawala hadi alipoaga dunia.
Horsten - jina la marehemu Balozi wa Kideni aliyekuwa mruzuku mkuu wa shule.
Mboya - jina la marehemu Thomas Joseph Mboya aliyekuwa mlezi wa shule na waziri mtukuka katika serikali ya Jomo Kenyatta
Shell - jina la mruzuku mkuu wa Starehe tangu kuanzishwa kwake,kampuni ya mafuta ya Shell-BP
Chaka - jina la shujaa maarufu na mfalme wa Kizulu Shaka Zulu.
Njonjo - jina la aliyekuwa Mkuu wa Sheria, waziri wa Haki na Maswala ya Kikatiba katika serikali za Jomo Kenyatta na Daniel Arap Moi Toroitich, Charles Njonjo.
Kirkley - jina la rafiki wa Starehe, Sir Lesley Kirkley
Muriuki - jina la mmojawapo wa wanachama waliohudumu kwenywe Halmashauri ya Shule kwa muda mrefu sana, Nick Muriuki Mugwandia
Kibaki - jina la mlezi wa Shule tangu mwaka 1969 na Rais wa tatu wa Jamhuri ya Kenya Mh. Mwai Kibaki
Wimbo wa ShuleEdit
Mmojawapo wa nyimbo za Starehe (Forty Years On) umeandikwa kutokana na wimbo rasmi wa shule ya Harrow.
1 These are the years when we are helped and guided Taught by Starehe to know and judge and do; Prepared for the future, encouraged and provided,
Strengthened to serve: Natulenge Juu!
2 Brought to the school to join a thousand others All with one purpose, quick and keen and true;
Boldy we follow in the footsteps of our brothers,
Proudly we wear our dress of red and blue.
3 Honour the School, a way of life which fires us,
Lifts up our spirits, sets us all ablaze,
Teaches and trains, rebukes and inspires us,
Planting the seed to serve us all our days.
4 We pledge ourselves, when this our generation
Must in its turn the weight of government bear,
To all mankind, through service to our nation,
Head, heart and hand in justice, zeal and care.
5 These are the years when we are helped and guided Taught by Starehe to know and judge and do;
Prepared for the future, encouraged and provided,
Lakabu za StareheEdit
Baadhi ya misimu ya Starehe hufanana na za shule nyingine lakini hutofautiana kwa namna fulani. Orodha ifuatayo huenda si kamilifu lakini inaonyesha simo ambazo wanafunzi wa Starehe hutumia katika mazungumzo.
Boss: njia ya kijanja ya kumwita Mkurugenzi. Hata hivyo, kwa baadhi ya wanafunzi, mtajo wa jina hilo unaleta mizizimo. Licha ya hayo, jina hilo linaonyesha heshima ya dhati.
Cop (s) (Kopa/Makopa, Karao/Makarao): kiranja/viranja
To get Fixed (Kufiksiwa): kuahidiwa kupata adhabu.
Murram: pure ni chakula cha kawaida cha Chumba cha Maakuli, kinachotayarishwa kuwa kama kokoto za barabarani. Pilipili huongeza ladha katika murram.
A Cheque (Cheki): kibarua chenye maandishi anachopewa nliyefanya kosa na mwenye mamlaka. Kinaweza "kupokezwa hela" baada ya anayeandikiwa kukitia sahihi; na baada ya adhabu kutendeka. Kwa mfano wa mwalimu ana uwezo wa kuandika mwanafunzi yoyote Cheki kwa Mwalimu Msimamizi wa Kidato (au Mkurugenzi) kwa sababu yoyote - kama vile kukosa kumakinika darasani.
Rabble (Rabo): mwanafunzi wa kidato cha kwanza ambaye anahitajika kujua wimbo wa shule na wimbo wa Forty Years On katika wiki kadhaa za mwanzo. Cop anaweza kumwambia Rabblekuimba wimbo wa shulke, (kwa mfano aya ya 3) na akishindwa atapata adhabu. Marabble hukimbia kuelekea katika Ukumbi wa Mikutano kwa ajili ya gwaride la jioni na kukaa kwenye fomu za mbele ilihali wanafunzi wa vidato vya juu hutembea kuelekea Ukumbini na kukaa kwenye viti vya nyuma. Wanafunzi wa vidato vya juu pia huondoka ukumbini kabla ya marabble. Pia, Wanafunzi wa vidato vya juu hupewa chakula mwanzo katika Chumba cha Maakuli. Rabbles pia kuvaa kaptula, kwenda kwa katika mazoezi baada ya gwaride na kulala saa 3:30 usiku; baada kipindi cha kusoma kwa ziada. Kuteswa kwa namna yoyote au ni namna ungentlemanly tabia na wala inatekelezwa wala kuruhusiwa, sembuse condoned.
Across: upande mwingine wa shule kubwa ambapo wanafunzi wa vidato vya juu huwa na masomo yao. Wanaweza kujipumziosha katika uwanja wakati wa mapumziko.
Starehe Forest: kisitu kidogo sehemu ya Across karibu na eneo la riadha. Baadhi ya wanafunzi hudhani ni salama 'kwa faragha' lakini wamekuwa wakigundulika mara kwa mara na viranja waangalifu.
Mining (Kumine): Kusafisha vyoo, jukumu walilotengewa Marabble.. Hata hivyo, wanafunzi wenye tabia mbovu wa vidato vya juu wanaweza pia kupewa 'Madini Duty'.
To be Pushed (Kusukumwa): Huku hakutamaniki. Ni kuletwa mbele ya Mkurugenzi kwa ajili ya suluhisho la haraka. Kwa mfano, mwanafunzi wa muziki ambaye haendi kufanya mazoezi bila sababu maalum anaweza kusukumwa kwa Boss. Katika nyakati za kitambo, huku kulikuwa pamoja na kupigwa viboko.
Campaigner: jina la kejeli la kumwita mwanafunzi anayejipendekeza na hivyo kuutatiza udugu. Kwa mfano, anayeuliza maswali ya kipuzi darasani ili atambulike na mwalimu akijua vyema kwamba kengele ya kishuka iligonga dakika tano zilizotangulia.
Baraza: kikao kama cha Bunge ambako malalamishi, matakwa, pongezi na masuala ya shule yanaweza kutolewa, kujadiliwa na suluhisho kutafutwa kwa kufuata itifaki ya kidiplomasia. Huhitimishwa kwa wimbo pamoja na piano, vinubi au ala nyingine za muziki za kupulizwa.
Mugumo stump (Mugumo): mti unaofikiriwa kuwa mtakatifu katika kabila la Wakikuyu. Hupatikana sehemu moja ya uwanja wa jumuia na huwa mahali pa mikutano mingi ya dharura. Kwa sasa, kisiki hicho kimesogezwa hadi kwenye Uwanja wa "First Eleven" na sehemu hiyo sasa inajulikana kama "Palipokuwa Mugumo Stump"
Tukutane baada ya Bugles: Baada ya gwaride, bendera ya shule hushushwa kufuatia muziki wa baragumu (kila mtu akiwa wima) Kwa hivyo, mtu akikwambia kwamba mkutane baada ya Bugles, maana yake ni kwamba umwone baada ya Gwaride.
!). Viranja hupendela kusema hivi kumtisha mwanafunzi asiye na cheo kumpeleka kwa Boss.
sodi (sodium): anayeogopa kuoga maji baridi (akiogopa kuyeyuka).
Kwenye Patrol: kuwa nje ya shule bila ruhusa (yaani kutokuwepo bila idhini). (Ni kosa kubwa sana).
Lion/Simba: Kiranja anayehusika na usafi. Huogopwa sana na anaweza kuwaamuru hata wanafunzi wa vidato vya juu kufagia barabara.
Kunyoa /Kushave: kutopewa kiwango cha chakula au alama unachostahili. Kwa mfano,ni kawaida kwa walimu 'kunyoa' alama kwenye insha bora - ambayo kuishia na alama ya takriba asilimia 60% chini. Hutumika kwa chakula katika Chumba cha Maakuli vile vile.
Rec Room: Chumba cha mapumziko kwenye kila bweni ambapo wanachama wote wa bweni wanaweza kucheza tenisi, kutazama runinga (wikendi tu), kupiga pasi, kufanya mikutano n.k.
Kukatia/Kuhook: Hali ya kuweza kumshawishi msichana anapoitembelea shule yenu.
Kuslice/Kuhijack: Kunyang'anywa msichana uliyekuwa umehook.Unaweza pia kusema ume "De-hook".
Weapon/Silaha: kijiko kinachotumika kulia (baadhi ya wanafunzi huvibeba mifukoni).
Kuosha DH: mojawapo ya adhabu. Inahusisha kiranja kunyunyizia kiwango kikubwa cha sabuni kwenye sakafu ambayo utasugua na kisha kupiga deki kisha atatazama kabla ya kukuruhusu kukamilisha adhabu hiyo. Starehe hung'ara daima.
Working Party: kikosi cha wanafunzi kwenye adhabu hii ambao hufanya kazi alasiri nzima ya Jumamosi. Kwa mfano, kukusanya nyasi (zilizokatwa majuzi na trekta) katika makundi ni adhabu ya kawaida ya Working Party ya Kwanza ya muhula - ambayo mara nyingi hupewa wale wanaoingia shuleni wakiwa wamechelewa bila sababu mahsusi.
Drill/Drili: aina nyingine ya adhabu ambayo inahusisha kufanya mazoezi magumu ya viungo vya mwili. Husimamiwa na kiranja na hufanywa Jumanne na Alhamisi wakati wa mapumziko - mara nyingi ikiwa na hadhira kubwa.
Drili Maalumu: Ni drili (tazama juu) ngumu kuliko ya kawaida na si rahisi kufanyika. Kutokana na uzito wake, inasimamiwa na Viranja Wakuu. Hupewa kikundi cha wanafunzi ambao mmoja ametenda kosa lakini wanamkinga. Miungano ya namna hiyo huleta "Tabia za Kiumati" ndiyo sababu huwa kali, ingawa inajulikana pia kwamba kuwadumba wenzako si tabia ya kiungwana.
Stripe: Utepe mwekundu unaotuzwa baada ya kukamilisha mafunzo ya kuogelea unaowekwa kwenye nguo ya kuogelea. Ni lazima kuogelea kila wikendi hadi utakapopata utepe huu. Kuupata utepe huu kunahitaji kupiga malapa kwa ujuzi ndani ya maji kwa wakati maalum uliotengwa. Wale wasio na utepe huu hawawezi kuogelea katika sehemu yenye kina kirefu ya kidimbwi.
Mbio za masafa marefu: lazima mbio za masafa marefu zifanyike kwa wanafunzi wa shule nzima katika muhula wa kwanza. Kwa kawaida nia za mbio hizo ni kuduru Eastleigh kupitia Mlango Kubwa hadi Pangani, kisha Kariokor na kisha kurejea Starehe -kisha kuoga kwa maji baridi shadidi na labda kuosha vyoo.
Gwaride: ni lazima na kuwepo kwa kila mmoja kunahakikishwa bila kelele. Kiranja anatembea kwenye safu na kusikia wanafunzi wakizisema nambari zao kulingana na sajala la darasani. Namnbari isiyosemwa ina maana kwamba mwenye we hayupo. Wanafunzi wanapiga foleni ya gwaride kwa ajili ya kukaguliwa kwa njia ya kijeshi.
Roll Call: ni kuhakikisha kwamba wanafunzi wote wapo shuleni kulingana na mabweni kunakofanyika saa 12.00 jioni wakiwa wameketi kuzunguka uwanja wa jumuia. Wanafunzi wa vidato vya kwanza na pili hukaa chini (safi sana) nao wale wa kidato cha tatu na nne husimama. Majina ya mwisho huitwa. Waliotumiwa barua hupewa. Wanafunzi wa vidato vya tatu na nne kwa kawaida hupata barua zao wakati wa mapumziko ya asubuhi.
! Baada ya mashindanoya michezo, washindi huyakejeli mabweni shinde kwa kushangilia kwa sauti.
Katika civilian(civile): nguo zisizo sare rasmi ya shule. Ni wanafunzi wa kidato cha tatu na nne tu wanaoweza kuondoka shuleni bila sare ya shule. Mwanafunzi wa kidato cha kwanza au cha pili anayepatikana katika nguo zisizo sare ya shule nje ya shule huwekwa kwenye "Patrol" (Tazama "Patrol" hapo juu)
JIna la Faili/File Number: Ni kitambulisho cha mwanafunzi. Wakati wa kutoa adhabu, kiranja huuliza tu nambari ya faili ya mtuhumiwa. Mkosaji atahitaji kutazama "Bango la Matangazo" ili kuhakikisha kwamba "amefiksiwa" kwa ajili ya adhabu. Usipomkumbusha kiranja ambaye alikuahidi adhabu "kukufiksi" ni kosa kivyake na linaweza kuadhibiwa upya. Kuweka majina kwa ajili ya adhabu hufanyika katika Chumba cha Viranja. Kunao waliowekwa kwenye adhabu kwa "Kumtoroka Simba (tazama Simba/Lion" hapo juu) ilihali Simba hakuwa amewaambia kufanya chochote.
Combiner/Mchanganyi: Mwanafunzi asiyetaka kula anaweza kukuambia umlie chakula, kwa utakuwa umechanganya milo ile miwili. Wanafunzi wanaokosa kuhudhuria milo bila ruhusa wanaweza kuambiwa kulipa fidia kwa ajili ya kuharibu chakula - ingawa "kimechanganywa".
Kazi ya hiari: huhusisha huduma kwa jamii katika siku zote za likizo. Wanafunzi wa Starehe huipenda sana.
Kukariri aya:
Ni adhabu nyingine kwa anayevunja masharti kuhusu lugha. Kwa madhumuni ya kielimu, wanafunzi wanatakiwa kuzungumza kwa Kiingereza kila siku ya wiki isipokuwa Jumapili. Hii ni kwa sababu masomo yote huwa katika Kiingereza na ni lazima kila mmoja ajizoeze lugha hiyo. Katika adhabu ya kukariri aya, mwadhibiwa hupewa shairi, mfano wa 'IF' poem la Rudyard Kipling. Mwadhibiwa atahitaji kulishika akilini na kulikariri kwa kiranja anayehusika na adhabu hii.
Mazoezi ya nyimbo: hufanyika kila Alhamisi baada ya wakati wa mkutano wa jioni katika Ukumbi wa Mikutano. Wanafunzi huruhusiwa kuondoka tu baada ya wimbo huo kujulikana kikamilifu na kuweza kuimbika vizuri.
Wakati wa Michezo: Wakati huu ni baina ya saa 10.30 na saa 12 jioni.Wanafunzi wote wa kidato cha kwanza na cha pili lazima waende kucheza kwenye uwanja ulio sehemu ya pili ya shule la sivyo wanaweza kuwekwa kwenye adhabu ya "Patrol". Wanafunzi wa kidato cha tatu na nne wanaweza kwenda maktabani. Wengine huelekea mjini.
Mpiga picha: anayepiga picha shuleni kama bishara yake ya binafsi. Kamera bora huleta biashara bora pia.
Mbuzi: mikutano ya kila mwezi ya waliokuwa wanafunzi wa Starehe inayofanyika hasa Parklands Sports Club mjini Nairobi; miongoni mwa maeneo mengine duniani.
Gata: hiini mipira inayovaliwa kwenye soksi ili kuziwekelea ziwe juu, zikionyesha rangi za shule kwenye soksi hizo. Ni lazima kuvaliw ahata kama soksi ziko juu. Wanafunzi wa Starehe wanajulikana kama wanafunzi safi.
Colours: tuzo la kutambuliwa katika michezo. Ni kama kupata Uteuzi Maalum kwa huduma shuleni katika nyanja fulani, kwa mfano pira wa magongo. Hutolewa rasmi katika Ukumbi wa Mikutano na kushonwa kwenye koti la mshindi na mshoni wa shule.
Wajibu: kila mwanafunzi ana wajibu angalau mmoja katika eneo lolote kwa kipindi fulani. Kuwajibika ni jukumu la kila mwanafunzi wa Starehe. Kuwa mwanafunzi wa Starehe kwenyewe ni wajibu unaolindwa na kila mmoja.
Ivory Tower: Ofisi ya Mkurugenzi. Ina sakafu ya mbao ngumu na makombe na ngao zimejaza mashubaka. Ni chumba chenye uluwa na utajiri wa nafasi yake.
Jopo la Viranja Wakuu: linajumuisha Mkurugenzi pamoja na viranja wakuu wa shule, manaibu wao, Simba na Viranja wakuu wa mabweni. Mikutano jopo la viranja wakuu hufanyika siku ya Jumapili jioni baada ya chakula cha jioni.
Uwanja wa Jumuia/Quad: Eneo lenye nyasi ambako ni viranja wakuu na walimu wanaweza kukanyaga. Hakuna ishara inayotoa amri hii lakini yeyote anayejifunza Starehe huishika amri hii kwa haraka sana. Wanabendi hutumbuiza kwenye uwanja huu kila Ijumaa na wanafunzi wengine wanaweza kukanyaga kwenye eneo hili baada ya "Ibada ya Mwisho ya Kuondoka"
Ibada ya Mwisho ya Kuondoka: Hii ni ibada ya huzuni na mazingatio ambapo Mkurugenzi huwapa "Kiapo" wale wanaoondoka shuleni na kuwapa vyeti vyao vya Kuondoka shuleni.
Kubrizi: Ni kukosa msichana wakati wa hafla shuleni au nje ya shule.
Kufloti: Kutoweza kuelewa maelezo ya mwalimu darasani.
Kugitch: Ni kuelewa.
Ngebe/Gass: upuzi. Wakati mtu anasema kitu ambacho sni upuzi, anasemekana kwamba ametoa gass au ngebe.
Mea: Kuwa mkomavu!. Mara nyingi huambiwa aliyesema jambo ambalo ni upuzi kwa wengine.
Quarter Maji Mlo wa kipekee shuleni Starehe. Ni robo mkate na kabeji lililopikwa kupita kiasi na kujazwa maji. Wengine hukiita chakula hiki .25 Water
Wageni Waheshimiwa na Walezi wa StareheEdit
Mzee Jomo Kenyatta - Rais Kwanza wa Kenya
Daniel Arap Moi - Rais wa Pili wa Kenya
HE Mwai Kibaki - Rais wa Kenya Tatu (Mlezi wa sasa)
Mwanawe Malkia - HRH Princess Anne
Hayati Indira Gandhi - Waziri Mkuu wa India, binti yake Jewarharlal Nehru (hakuna uhusiano na Mahatma Gandhi)
Mwanawe Malkia na Mkewe-The Earl na Countess ya Wessex
Mwanawe Malkia-HRH Prince Edward, Duke of Kent
Mfalme Constantine II wa Ugiriki
Sonia Gandhi - Mke wa HE Rajiv Gandhi (Aliyekuwa Waziri Mkuu wa India) Mwenyekiti wa Chama cha Congress
Generali Yakubu Gowon - Rais wa zamani wa Nchi (Mkuu wa Serikali ya Kijeshi) wa Nigeria 1966-1975
Apostolic Nuncio Giovanni Tonucci, ambaye alipangilia zaidi ya ruzuku 16 za shule.
Seneta Robert Kennedy
The Most Rev Dk Manase Kuria, Askofu wa muda mrefu wa Kanisa na Anglikana.
Askofu Mkuu Desmond Tutu, Mshindi wa Tuzo la Nobeli
Muhammad Ali (zamani Cassius Clay), Bondia mtukuka wa dunia wa muda mrefu.
Dos Edson Arantes Nascimento (Pelé), mwanasoka wa Brazili aliyeliongoza taifa hilo kupata Kombe la Dunia
His Eminence Kadinali Maurice Michael Otunga, Kadinali wa Kwanza wa Kikatoliki kutoka Kenya.
His Grace Archbishopskofu Raphael S. Ndingi Mwana'a Nzeki - Askofu Mkuu wa zamani wa Nairobi
Charles Mugane Njonjo - Mkuu wa Sheria wa zamani wa Kenya, rafiki wa Dr Geoffrey Griffin na mruzuku.
Tom Mboya - mlezi wa kwanza wa Starehe na waziri katika serikali ya Jomo Kenyatta.
Orodha ya baadhi waliokuwa wanafunzi wa Starehe ambao sasa ni mashuhuri (si kamilifu)Edit
Prof George Magoha - mtafiti kuhusu dawa ya Viagra Naibu wa Chansela wa Chuo Kikuu cha Nairobi
Josphat Mwaura - Mkurugenzi Mtendaji, KPMG Afrika Mashariki
Raphael Tuju - aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje
Peter Kenneth - Naibu Waziri
Paulo Ereng '- Msindi wa dhahabu ya Olimpiki - 1988 Seoul Summer Olympics
Julius Kipng'etich - Mkurugenzi wa Huduma ya Wanyamapori nchini KWS
Gurracha Galgallo - Naibu Waziri wa zamani, Wizara ya Afya. Alikufa katika ajali ya ndege (alikuwa kiranja wa bweni la Pat Shaw)
KINUTHIA Murugu - aliyekuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Vijana na Michezo (aliaga dunia baada ya kushambuliwa na majambazi)
Starehe UingerezaEdit
Shule ya Wavulana ya Starehe ilihitimisha miaka 50 mnamo mwaka 2009. Shule ya wasichana ilizinduliwa mnamo mwaka 2005. Katika mwaka huo wa Jubilei ya Dhahabu, Starehe ya Uingereza ilizindua mwito wa miaka miwili na nusu ili kujaribu kuruzuku mustakabali wa shule hizi mbili- wito unaoiotwa STarehFuture Appeal. Ufadhili unahitajika kujenga au kuboresha vifaa vya shule na kujenga Wakfu wa Griffin. Ruzuku hii inatarajiwa kuhakikisha kwamba kutakuwa na nafasi za bure katika shule zote mbili milele. Fedha zinazopatikana Uingereza zinatarajiwa kuongezea fedha zinazopatikana kwa kuchangisha nchini Kenya.
↑ [1] ^ "Kenyan Schools spare the rod", BBC News Online, 21 Agosti 2001.
↑ [2] ^ "Rising Student unrest blamed on poor managers", Daily Nation, Nairobi, 7 Agosti 2000.
Tovuti rasmi ya Shule ya Wavulana ya Starehe
Ushirika na Roundsquare
Hotuba ya Siku ya Waanzilishi
Ubora katika Mitihani
Tuzo la Prof Magoha
Starehe.org - tovuti ya Starehe Future Rufaa
StareheFuture
Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Shule_ya_Upili_ya_Wavulana_ya_Starehe&oldid=1086644"
| 2020-06-04T05:27:31 |
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Shule_ya_Upili_ya_Wavulana_ya_Starehe
|
[
-1
] |
DK MANDAI: Waziri Ummy Mwalimu akikabidhiwa tunzo ya heshima na Coastal Union kwa kuisaidia kurudi ligi kuu
Waziri Ummy Mwalimu akikabidhiwa tunzo ya heshima na Coastal Union kwa kuisaidia kurudi ligi kuu
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (kushoto) akipokea cheti kutoka kwa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Klabu ya Coastal Union, Salim Bawaziri ikiwa ni kutambua mchango wake wa kuisaidia timu hiyo kupanda daraja hadi kucheza ligi kuu msimu ujao, tuzo hiyo walikabidhiwa pia Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Mazingira na Muungano, January Makamba na naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Jumaa Aweso, Asas ya Iringa na Mo Dewji.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu (kushoto) akipokea tuzo ya heshima ya kutambua mchango wake kwa kuipandisha timu ya Coastal Union kucheza Ligi kuu msimu ujao kutoka kwa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Klabu hiyo, Salimu Bawaziri mapema leo kwenye viwanja vya CCM Mkwakwani mjini Tanga wakati alipofungua mashindano ya Ligi ya Banda Cup.
Waziri wa Afya,Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu
akiowanesha wanahabari (hawapo pichani), tuzo aliyokabidhiwa na klabu ya Coastal
Union kwa kuipandisha kucheza Ligi kuu msimu ujao, kushoto ni Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Shinyanga (CCM), Azzah Hamadi Hilali. (PICHA KWA HISANI YA BLOG YA KIJAMII YA TANGA RAHA)
Posted by Kayombo at 14:10
| 2018-05-23T18:47:37 |
http://www.dkmandai.com/2018/05/waziri-ummy-mwalimu-akikabidhiwa-tunzo.html
|
[
-1
] |
2018 ~ Manyanda Healthy™
Tumia Kula Mboga Mboga Kujiepusha na Ukosefu wa Choo
Miongoni mwa mboga hizo ni mchicha ambao una virutubisho muhimu katika mwili wa bindamu kwa kuufanya mwili kuwa imara na kupambana na maradhi mbalimbali.
| 2018-04-26T19:08:49 |
http://www.manyandahealthy.com/2018/
|
[
-1
] |
SuperD Boxing Coach: NGUMI ZILIVYOPIGWA MWANANYAMALA NDANI YA MFUNGO WA RAMADHANI
NGUMI ZILIVYOPIGWA MWANANYAMALA NDANI YA MFUNGO WA RAMADHANI
Bondia JuliasKisarawe kushoto akipambana na Patrick Nne wakati wa mchezo wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Kisarawe alishinda kwa point Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Mwinyi Mzengela kushoto akimtupia konde la kushoto bondia Georege Manywele wakati wa mpambano wao wa kumaliza ubishi uliofanyika katika ukumbi wa CCM Mwijuma Mwananyamala mwishoni mwa wiki iliyopita Mzengela alishinda kwa K,O ya raundi ya nne picha na
Bondia Josepher Mbowe akipambana na Mfaume Alkaida wakati wa mpambano wao mbowe alishinda katika raundi ya pili picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Posted by Superd Boxing Coach at 2:21 PM
| 2018-02-21T23:00:02 |
http://superdboxingcoach.blogspot.com/2014/06/ngumi-zilivyopigwa-mwananyamala-ndani.html
|
[
-1
] |
Katika kujiandaa na mechi hiyo, jana jioni Yanga inayofundishwa na Mwinyi Zahera ilishuka dimbani kusaka kasi mpya kwa kuwakabili wenyeji Sumbawanga United katika mchezo wa kirafiki uliopigwa...
Katunda amenusurika kwenda jela baada ya kulipa Sh. 300,000 aliyotakiwa kulipa au kutumikia kifungo hicho. Hukumu hiyo ilitolewa juzi na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Kilombero,...
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Simba, Haji Manara, picha na mtandao
*** Aussems, wachezaji waishuhudia ikiiua UD Songa, sasa kuanzia Zambia Desemba...
14 na 16 mwaka huu, imeelezwa. Simba ambayo imesonga mbele katika mashindano hayo baada ya kuitoa Mbabane Swallows ya Eswatini zamani Swaziland kwa jumla ya mabao 8-1, jana ililazimika kusubiri...
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa TFF, Clifford Ndimbo, picha na mtandao
Wagombea Yanga kusailiwa leo Dar
Uchaguzi wa Yanga utafanyika Januari 13, mwakani kwa kutumia katiba mpya ya mwaka 2018. Taarifa iliyotolewa jana jijini na Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa TFF, Clifford Ndimbo, imewataka...
Veta yajiweka sawa uchumi wa viwanda
Hayo yalibainishwa wakati wa mahafali ya 29 ya Chuo cha Veta mkoani Singida. Mjumbe wa Bodi ya Veta Kanda ya Kati, Fatuma Malenga, alieleza umuhimu wa taaluma ya ufundi, akisema hivi sasa...
Akizungumza kwenye kikao cha tathmini ya Operesheni Nzagamba awamu ya pili iliyofanyika kwa siku 50 jijini Dodoma, Waziri Mpina alisema Katiba ya Tanzania, Ilani ya Uchaguzi ya CCM na sheria za nchi...
Kocha Mkuu wa Kagera Sugar, Mecky Maxime, picha na mtandao
Maxime: Huyu Chama ataibeba sana Simba
Chama alifunga mabao mawili katika ushindi wa 4-0 katika mechi ya marudiano dhidi ya Mbabane Swallows iliyochezwa juzi na akifunga bao wiki iliyopita wakati Simba ikipata ushindi wa mabao 4-1...
Wanawake wapaza sauti kupinga ubaguzi sokoni
Hayo yalibainishwa jana jijini na Samora Julius, kutoka shirika lisilo la kiserikali la Eguality For Growth katika kilele cha Siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia kwa Wanawake.Samora ambaye alikuwa...
KOCHA Mkuu wa Mtibwa Sugar, Zuberi Katwila, picha na mtandao
Mtibwa yaipigia hesabu KCCA Caf
KCCA inatarajia kuikaribisha Mtibwa Sugar katika mechi ya kwanza ya raundi ya awali ya mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika itakayochezwa Desemba 15, mwaka huu kwenye Uwanja wa Lugogo jijini...
Akisoma tamko la Azaki mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Mtandao Policy Forum, Japhet Makongo, alisema upungufu walioubani upo katika vipengele vinavyohusu maana...
Wajipanga kurejesha wanyamapori katika hifadhi
Akizungumza na wandishi wa habari wakati akitoa taarifa ya uboreshaji wa ikolojia na vivutio vya utalii vya hifadhi hiyo, Mhifadhi Mkuu, Pius Mzimbe, alisema wameshaanza kurejesha wanyama kama...
Deni la CRDB lavuruga Halmashauri Jiji la Mbeya
Hayo yalisemwa jana na Mkurugenzi Mtendaji wa Jiji la Mbeya, James Kasusura, alipozungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, ambapo alisema soko hilo lilitarajiwa kuwahudumia Watanzania na raia...
Takukuru kupitia Naibu Mkurugenzi Mkuu wake, Brigedia Jenerali John Mbungo, ilimtaka kiongozi huyo kufika ofisini kwake kutoa ushahidi wa tuhuma alizozitoa kuwa kuna kampuni tatu za chuma zimewahonga...
Gari likipita lingine katika eneo la hatari. PICHA: MTANDAO.
Safari ndefu zimejaa ‘mauzauza’ ya vifo , Kilio; Sumatra, Tanroads, matajiri tatizo
Katika makala hii ya Ana kwa Ana, dereva mkongwe, Jamal Makosh, aliyehojiwa, ana ufafanuzi wa kina kuhusu ajali na picha kamili ya hali ilivyo ya usalama barabarani. Fuatilia: Mwandishi: Wewe ni...
Naibu Waziri wa wizara ya elimu smz, Mmanga Mjengo Mjawiri, (aliyesimama) picha na mtandao
SMZ yafunguka kuvuja mitihani
Naibu Waziri wa wizara hiyo, Mmanga Mjengo Mjawiri, alisema hayo jana alipokuwa akitoa ufafanuzi kuhusu suala la kufutwa kwa mitihani ya kidato cha pili baada ya kubainika kuwa imevuja. Alisema...
Vyakula vya aina mbalimbali. PICHA MTANDAO.
Unajua namna mlo kamili unavyopatikana?
Taasisi ya Chakula na Lishe Bora Tanzania (TFNC), inasema ulaji unaofaa unazingatia milo mikuu mitatu: Kifungua kinywa, chakula cha mchana na usiku. Milo hiyo inaelezwa inafaa kuwa mchanganyiko...
Shirikisho hilo limesema halikubaliani na kikokotoo kipya cha malipo ya mkupuo ya asilimia 25 kwa wastaafu na pensheni ya kila mwezi ya asilimia 75 itakayobaki kwa kuwa tangu mwanzo walipendekeza...
Tamko hilo limetolewa na Rais wa Tucta, Tumaini Nyamuhokya wakati akizungumza na waandishi wa habari mjini Morogoro baada ya kumalizika kwa kikao cha kikatiba.Amesema walishirikishwa vizuri kwenye...
Pia, kimesema Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Bashiru Ally hana akaunti ya mtandao wa kijamii wa Twitter.Chama hicho tawala kimetoa taarifa yenye ufafanuzi huo leo Jumatano Desemba 5, 2018 ikiwa ni...
Mkurugenzi Mtendaji wa TIC, Geoffrey Mwambe, ameyasema hayo leo wakati akizungumzia mafanikio ya miaka mitatu tangu Rais John Magufuli aingie madarakani.Amesema miradi hiyo ambayo ipo ya kuanzia...
| 2018-12-10T07:37:55 |
https://www.ippmedia.com/sw/nipashe?page=4
|
[
-1
] |
Kamata kamata yaendelea nchini Uturuki | Matukio ya Kisiasa | DW | 27.07.2016
Kamata kamata yaendelea nchini Uturuki
Taarifa hiyo iliyokaririwa na shirika la habari la Dogan la nchini Uturuki inasema idadi hiyo ndogo ya askari walioshiriki katika jaribio la kuipindua serikali inathibitisha kwamba sehemu kubwa sana ya wanajeshi walizipinga njama hizo.
Tamko la jeshi la Uturuki pia limefahamisha juu ya zana za kijeshi zilizotumika wakati wa jaribio la kuiangusha serikali.
Waasi walitumia ndege 35, ikiwa pamoja na 24 za kivita.Pia walitumia helikopta 37 na saba kati ya hizo zilikuwa za kufanyia mashambulio.Jeshi la Uturuki pia limesema katika taarifa kwamba vifaru 74, magari mengine ya kijeshi na manowari tatu zilitumika katika jaribio.Jeshi la Uturuki lenye wanajeshi wapatao 680,000 ni la pili kwa ukubwa katika jumuiya ya NATO.
Wakati huo huo hati za kuwezesha kukamatwa kwa watu zaidi zilitolewa nchini Uturuki. Kwa mujibu wa habari, hati hizo zimewalenga maafisa 47 wa zamani na waandishi wa habari waandamizi wa gazeti linaloitwa "Zaman" kwa madai kwamba watu hao wanayo mawasiliano na kiongozi wa kidini Fethullah Gulen anaeishi uhamishoni nchini Marekani.
"Gulen ndiye kiranja wa jaribio"
Kiongozi wa kidini Fethullan Gulen anaeishi Marekani
Guleni anatuhumiwa kuwa ndiye alieundaa mpango wa kuipundua serikali. Shirika la habari la serikali,Anadolu limeripoti kwamba aliekuwa mwandishi wa makala, wa gazeti la "Zaman " amewekwa kwenye kuzuizi cha nyumbani.
Gazeti hilo linalotuhumiwa kuhusiana na vugu vugu la Kiongozi wa kidini, Gulen lilivawiwa na polisi na kuzuiwa kufanya kazi mnamo mwezi wa Machi.Mapema wiki hii waandishi habari wengine 42 walikamatwa na 16 miongoni mwao waliwekwa mahubusi kwa ajili ya kuhojiwa.
Kwa mujibu wa habari mpaka sasa watu zaidi ya 13, 000, hasa kutoka jeshini, wametiwa ndani nchini Uturuki tangu kufanyika jaribio la kuipindua serikali.Wakati huo huo askari wa Uturuki waliokimbilia Ugiriki wanafanya matayarisho ya kuomba hifadhi ya ukimbizi nchini humo.
Wakili wao amesema Hahn amesema hali inabadilika badilika nchini Uturuki .Watu wanasubiri kuona iwapo adhabu ya kifo itarudishwa .Wakili huyo anaewatetea askari wanneamesema kuwa wanajeshi hao wanaogopa kurejea nchini Uturuki kwa sababu wamemwambia kuwa watateswa ikiwa watarudi nchini huko.
Mwandishi:Mtullya abdu,dpa/afp
Mada Zinazohusiana Jumuiya ya Kujihami (NATO), Recep Tayyip Erdogan, PKK, Uturuki
Maneno muhimu Uturuki, Erdogan, Istanbul, NATO
Kiungo http://p.dw.com/p/1JWkM
| 2017-11-21T22:39:59 |
http://www.dw.com/sw/kamata-kamata-yaendelea-nchini-uturuki/a-19430450
|
[
-1
] |
SHEKH PONDA AACHIWA HURU NA MAHAKAMA | AZIZI COMPUTER DOCTOR
Mahakama ya Kisutu leo hii imetoa hukumu ya Shekh Ponda kwa kumuhukumu kifungo cha nje cha mwaka mmoja (1) na kuwaachia huru wenzake 49, kutokana na hukumu hiyo kauli yake ya Allah ndio hakimu mkuu kuliko wote ameidhihirisha pale alipowaona wafuasi wake wakimlaki kwa furaha huku wakiendelea kupiga TAQBIR na kusema hakika Allah ndiye pekee wa kumuomba na kila uongo na Unafiki utajitenga na ukweli utajidhihirisha!!! wakati ukifika hakuna wakupinga! alimalizia kwa kusema ALLAH AQBAR!!
Ulinzi mkali uliimarishwa ili kudhibiti hatua yoyote isiyo ya kawaida ktk kumlaki shekh Ponda ambae amekadiriwa kua na wafuasi takribani 10,000 kwa mkoa wa Dar es salaam pekee na wengine wakiwa mikoani, kutokana na hilo ulinzi ktk eneo la mahakama uliimarishwa na kua tayari kwa lolote litakalojitokeza kutokana na furaha za wafuasi hao wa Shekh Ponda.
Baadhi ya Umati wa wafuasi wa Shekh Ponda mjini Dar es salaam
| 2018-07-15T20:56:10 |
http://azizicompdoc.blogspot.com/2013/05/shekh-ponda-aachiwa-huru-na-mahakama.html
|
[
-1
] |
PHP Scripts / MiscellaneousGeo Locator v.0.1— Add-On kwa WorldWideScripts.netKujiunga na kulisha wetu kukaa hadi tarehe!Mpya! Kufuata yetu kama unataka!★★★★★Sehemu hii inapatikana katika 37 lugha nyingine!ArabicBengaliCatalan/ValencianDanishDutchEnglishEsperantoFinnishFrenchGermanGreekGujaratiHindiIndonesianItalianJapaneseKannadaKoreanMalayNorwegianPersianPolishPortugueseRomanian/Moldavian/MoldovanRussianSimplified ChineseSpanish/CastilianSwedishTagalogTamilTeluguThaiTraditional ChineseTurkishUkrainianUrduVietnameseKuishi PreviewViwamboAds
Mwisho 2012/05/25 - Kuondolewa vitambulisho short php Geo Locator v.0.1 - Multilingual geo mtoa habari kuhusu IP na (au) hostnames kulingana na Google Maps na Maxmind GeoIP. Safi na ya kisasa kubuni na Halali XHTML na CSS Halali. Kutumia: PHP5, CSS, Google Maps, Maxmind GeoIP databases.It inaweza kutumika kwa simu za Maxmind GeoIPLiteCity database (download za simu za juu www.mixmind.com) au kwa biashara Maxmind GeoIPCity, Maxmind GeoIPOrganization na Maxmind GeoIPISP database. Inavyoonekana information: 1. Location juu ya Google Map 2. IP mitaani 3. Hostname 4. Nchi Kanuni 5. 3 Barua Nchi Kanuni 6. Nchi Bendera 7. Nchi Jina 8. Jimbo / Mkoa 9 Mji 10. Posta 11. Metro Kanuni 12. Eneo 13. Latitude 14. Longitude 15. Muda Eneo la 16. tovuti Shirika - (haja Maxmind GeoIPOrganization) 17. Mtoa Huduma Internet - (haja Maxmind GeoIPISP) Multilingual interface ikiwa ni pamoja na lugha 8 (rahisi kuongeza lugha ya ziada): 1. English 2. Uholanzi 3. Ujerumani 4. Kifaransa 5. Italia 6. Urusi 7. Hispania 8. Swedesh DownloadVipengele vingine katika jamii hiiKila sehemu ya mwandishi huyuMaoniMara kwa mara kuulizwa maswali na majibuMaliKuundwa:15 Novemba 10Badiliko:Mei 26 12High Azimio:HakunaSambamba Browsers:IE9, IE10, IE11, Firefox, Safari, Opera, Chrome, makaliFiles Pamoja:CSS, PHPProgramu Version:PHP 5.xKeywordseCommerce, eCommerce, Vitu zote, geo, geo na hostname, geo na ip, geolocator, Jina la mpangishaji, IP, locator, multilingual
| 2017-06-27T19:14:08 |
https://sw.worldwidescripts.net/geo-locator-v01-38504
|
[
-1
] |
Mtoto mwenye karama za ajabu aibuka jijini | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Mtoto mwenye karama za ajabu aibuka jijini
Mtoto Sheikh Sharif Yusufu Mohammed
Maelfu ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, jana walipigana vikumbo kugombea kupata huduma ya mtoto mwenye umri wa miaka 12 anayeaminika kuwa na karama ya uponyaji kutoka kwa Mwenyezi Mungu dhidi ya magonjwa yote yanayomsumbua mwanadamu.
Nipashe ilifika jana asubuhi katika Mtaa wa Luponda, ulioko Magomeni Makuti, Wilaya ya Kinondoni na kushuhudia maelfu ya watu wa rika na jinsia tofauti wenye maradhi tofauti wakiwa wamefurika ndani na nje ya nyumba inayotumiwa na mtoto huyo kutolea huduma zake, wakisubiri kuhudumiwa.
Mtoto huyo, Sheikh Sharif Yusufu Mohammed, ambaye ni mwanafunzi wa darasa la saba katika Shule ya Msingi ya Kiembesamaki, visiwani Zanzibar, amekuwa akitoa huduma yake kwa njia mbalimbali, ikiwamo kuwaombea dua (maombi) wagonjwa ili kupona maradhi yanayowasumbua.
Dua hiyo husomwa na Sheikh Sharif kwa awamu mbili tofauti; moja ikiwa ni kwa watu wote, ambayo huisoma kwa kushirikiana na wasaidizi wake na nyingine humsomea mgonjwa mmoja mmoja, huku akiwa amemuwekea mkono kichwani.
Wasaidizi wengine wa mtoto huyo ni Sheikh Salim Khamisi, maarufu kama "A'inan Mardhwiyyah", Sheikh Maulana Habshiy na Sheikh Sultan Khamisi (bwana dawa).
Njia nyingine inayotumiwa na mtoto huyo katika kuwahudumia wagonjwa, ni kuwapatia maji kwa matumizi ya kunywa kwa masharti, baada ya kuyaombea maji hayo.
Baadhi ya wagonjwa waliozungumza na Nipashe, walidai wanaamini huduma inayotolewa na mtoto huyo ni ya uhakika kwa vile kila aliyebahatika kuhudumiwa naye, alipona, wakiwamo watu waliokuwa wakisumbuliwa na maradhi sugu na yasiyotibika.
Mmoja wa wasaidizi na kaka ya mtoto huyo, Sheikh Salim Khamisi, alisema miongoni mwa wagonjwa waliokwishahudumiwa na mdogo wake, ni pamoja na mama mjamzito, mkazi wa Mabibo, jijini Dar es Salaam aliyedumu na ujauzito kwa miaka minne.
Alisema baada ya kuhudumiwa na Sheikh Sharif, hivi sasa mama huyo yuko hospitali na kwamba, uchunguzi wa kidaktari umethibitisha kuwa ana ujauzito wa watoto mapacha na anatazamiwa kujifungua wakati wowote kuanzia hivi sasa.
Kwa upande wake, Sheikh Sharif alisema karama aliyonayo, amejaliwa na Mwenyezi Mungu na kwamba, kwa karama hiyo kamwe hawezi kuthubutu kujiita yeye ni Nabii wala Mtume kwa vile anaamini kuwa Nabii Muhammad (S.A.W.) ndiye Mtume wa mwisho.
Wasaidizi wengine wa mtoto huyo ni Sheikh Salim Khamisi, maarufu kama "A'inan Mardhwiyyah", Sheikh Maulana Habshiy na Sheikh Sultan Khamisi (bwana dawa).Click to expand...
How come Funky Sheikh Alhadj Ndjabr El Duder hayumo?
Hivi huyu mtoto hakuwi au ni mwingine; na kwa nini wa miaka 12. Maanake kuna mmoja naye aliwahi kuzunguka baadhi ya mikoa akiwa na umri huu! Kwa nini anatoa masharti katika kutumia hayo maji ya kunywa kwa hao wagonjwa? Shetani ndio maarufu kwa kutoa masharti!!!
Mkisikia yupo kondeni msiende
mkisikia yupo milimani msitoke
Aliye shambani asirudi kufuata koti lake nyumbani
hawa Shekh Sharif wapo wangapi? mbona zamani alikuwapo mwingine akihubiri hadi huko Kongo na akamsirimisha Kabila Sr.
Kwani hiki cheo cha sheikh hata watoto wanapewa tu? kinatokana na nini?kusomea?
duh! Hii kali maana hata muhamad hakuwahi kuponya magonjwa kwa jina la mwenyezi mungu...huyo dogo inakuwaje yeye apewe uwezo huo !! Hii ni noma....
Ha ha haaaaaaaaaa.... Noted mkuu
Dalili za mwisho wa dunia
Hata shetani naye hujigeuza na kujifanya malaika wa nuru. Asomaye na afahamu...
Kwa maana hapana jina lingine walilopewa wanadamu, litupasalo sisi kuokolewa kwalo isipokuwa JINA LA YESU.
uyo kaingiwa na mapepo tu. ukifika pale, taja jina la Yesu kama haujaona amekuwa chali chini anatoa mapovu. kama shetani ameweka magonjwa kwenye miili ya watu, anao pia uwezo wa kuyatoa hayo magonjwa ili kuwapiga upofu wanaofuata njia hiyo waone kama wanamfuata Mungu kumbe siyo. Mkitaka idhihirike kama kweli uyo mtoto anatumiwa na huyo mnayemwita mnyazimungu, tajeni Jina la Yesu, ataruka mashetani hadi akome...manake mashetani kiboko yao ni Jina la Yesu tu.
Hivi huyu mtoto hakuwi au ni mwingine; na kwa nini wa miaka 12. Maanake kuna mmoja naye aliwahi kuzunguka baadhi ya mikoa akiwa na umri huu! Kwa nini anatoa masharti katika kutumia hayo maji ya kunywa kwa hao wagonjwa? Shetani ndio maarufu kwa kutoa masharti!!!Click to expand...
hawa Shekh Sharif wapo wangapi? mbona zamani alikuwapo mwingine akihubiri hadi huko Kongo na akamsirimisha Kabila Sr.Click to expand...
Kwani hiki cheo cha sheikh hata watoto wanapewa tu? kinatokana na nini?kusomea?Click to expand...
duh! Hii kali maana hata muhamad hakuwahi kuponya magonjwa kwa jina la mwenyezi mungu...huyo dogo inakuwaje yeye apewe uwezo huo !! Hii ni noma....Click to expand...
Ha ha haaaaaaaaaa.... Noted mkuuClick to expand...
Dalili za mwisho wa duniaClick to expand...
Kwa maana hapana jina lingine walilopewa wanadamu, litupasalo sisi kuokolewa kwalo isipokuwa JINA LA YESU.Click to expand...
uyo kaingiwa na mapepo tu. ukifika pale, taja jina la Yesu kama haujaona amekuwa chali chini anatoa mapovu. kama shetani ameweka magonjwa kwenye miili ya watu, anao pia uwezo wa kuyatoa hayo magonjwa ili kuwapiga upofu wanaofuata njia hiyo waone kama wanamfuata Mungu kumbe siyo. Mkitaka idhihirike kama kweli uyo mtoto anatumiwa na huyo mnayemwita mnyazimungu, tajeni Jina la Yesu, ataruka mashetani hadi akome...manake mashetani kiboko yao ni Jina la Yesu tu.Click to expand...
Na nyinyi walokole si mnae Mchungaji Kakobe na mchungaji rwakatare Wanaye watowa watu Mapepo Wachafu? Mchungaji Kakobe na mchungaji rwakatare ni Manabii wa Uongo hao wanaotowa Watu Mapepo Wachafu. Mathayo/ Chapter 24
4Yesu akawajibu, "Jihadharini msije mkadanganywa na mtu.
5 Maana wengi watatokea na kulitumia jina langu wakisema: `Mimi ndiye Kristo,` nao watawapotosha watu wengi.
11 Watatokea manabii wengi wa uongo watakaowapotosha watu wengi.
siku za mwisho tutasikia mengi...........BIBLE IMESEMA na hilo ni moja tu bado mengi yaja kaeni mkao wa kula
ukisoma matendo ya mitume some where utaona kuna mtu alikuwa akifanya miuziza kwa kutumia uchawi wake na kutibu wagoinjwa lakini alipo kuja Filipo mtume wa Yesu alim- BREACH huo uchawi wake ukadispappear halafu watu wengi wakaponywa kwa jina la Yesu. then wakaja Petro na mwanafunzi mwingine kuombea Ujazo wa Roho Mt. wale ambao walikuwa wamempokea Yesu, wote wakajazwa na matedno ya Mungu yakaonekana. yule mtu naye akaenda kwa Petro akitaka ampe pesa ili naye Petro ampe hizo karama za Roho Petro akamtimua.
Ndiye yule yule wa miaka ya 1990's au ni mwingine?
kaingiwa na majini huyo, anahitaji msaada wa haraka. akikataa msaada, tunamtandika tu kwa Jina lipitalo majina yote, Jina la Yesu Kristo Mwana wa Mungu aliye hai...utasikia kanatoa mapovu sasaivi.
Ni kwa uweza za Allah!
Asikiaye na Afahamu! Maana wataokea wengi....Watasema Bwana hatukutoa pepo kwa jina lako...hatukuponya magonjwa kwa jina lako ndipo atasema...ONDOKENI KWANGU SIWAJUI NINYI
| 2016-10-24T05:37:05 |
http://www.jamiiforums.com/threads/mtoto-mwenye-karama-za-ajabu-aibuka-jijini.72489/
|
[
-1
] |
"The Way You See The Problem Is The Problem": Asiyewajibisha na awajibishwe
Asiyewajibisha na awajibishwe
Wenzetu waJapan wanawajibishana saana. Na ni nchi nyingi zinazofanya hivi pia. Lakini kwa Tanzania inakuwa ni jambo la aibu kuona watu hawataki kuwajibika hata pale inapotoea kuna umuhimu wa kufanya hivyo. Kibaya zaidi ni kuwa hata kuwajibishana nalo ni jambo la nadra kutokea. INASIKITISHA.Kuanzia sandakalawe ya MAFISADI mpaka sasa hakuna anayeonekana kuwa tayari kuwajibisha mtu, na pia hakuna aliye tayari kuwajibika. Sasa leo nimesoma kwa Kaka Evarist Chahali kuhusu WIZI ULIOTOKEA IKULU ambao haukushitukiwa mpaka baada ya mtu kunyakua ua tena (kwa mujibu wa mtuhumiwa) kwa lengo la kupima usalama wa rais bofya hapa kuisoma. Kisha nikasoma namna ambavyo KOMPYUTA YA MKUU WA POLISI NCHINI NA YA OFISI YA MKEMIA MKUU WA SERIKALI zilivyoweza kuibiwa bofya hapa kuisoma.Na mpaka sasa hakuna linaloonekana kuendelea katika kuwawajibisha wahusika.Natamani kuamini kuwa hakuna anayejua lolote kuhusu chochote kinachoendelea juu ya wizi huu wa (pengine) sehemu nyeti kuliko zote kwa usalama na usiri wa mambo mengi ya nchi lakini nashindwa. Najua kuna wanaohusika na sitoshangaa kujua kuwa ukweli wa wahusika unawahusisha waheshimiwa ambao wanataka kupoteza baadhi ya data ambazo wanaamini zitaweza kuwaumbua.Kama ni kweli kuwa hakuna wa kuwajibika katika wizi wa Ikulu, basi Rais awajibike kwa kutojijali na vivyo hivyo kwa Mkemia mkuu na IGP kuwa wakikosa wa kuwawajibisha basi wao wenyewe wawajibike.Ni aibu, ni dharau na ni kuendekeza mambo yanayozidi kuhatarisha ukuaji wa nchi yetu.NAACHA
Hawana utamaduni huo. Nd'o maana hata baada ya tukio la milipuko, wapo bado wanadunda.Ni hayo tu!
Kwa kweli ni aibu na inasikitisha na inaonyesha kwa nini nchi yetu haina maendeleo.
hivi kompyuta au tarakishi zao ziliibiwa au ziliibwa? kipi kiswahili sahihi? wajibika kwa kosa hilo tafadhali
Sina hakika na kiswahili sahihi juu ya hili Kamala. Ntyamuuliza Prof Matondo na ninaamini kwa lolote litakalokuwa sahihi, kuna atakayejifunza. Lakini naamini pia kuwa hiyo haikuwa msingi mkuu wa maelezo ya post hii. Shukrani kwa kuniwajibisha
kamala ndio unakosoa wenzako? kweli nyani haoni kundule. Mbona blog yako ina makosa kibao na hawakusemi
Hello Laurel,commented on the post of work belowGood evening to youMarlow
anony, wasionisema ndio wanaosababisha makosa yaendelee kuwapo. naamini mzee wa C/moto hawezi kurudia kosa hili kwani mwisho wa kosa ni pale unapolitambua na kulikubali hivyo tayari kurekebisha.ndio maana jamaa wanaendelea kuwa mafisadi kwa sababu hamuwasemi.we sema tu na matokeo ni makuubwa tu!
Ni kweli Kamala. Kwangu haijalishi umeniambia kwa "tone" na madhumuni gani, lakini as long as nimeelewa nilichokosolewa, jitihada itakuwa ni kuhakikisha sirejei kumpa mkosoaji nafasi ya kunikosoa. Haimaanishi kuwa sitaki kukosolewa, LA HASHA. Ninalomaanisha ni lile nililofundishwa na mwalimu wangu kuwa "pale unapoweza, usimpe mtu nafasi ya kukukosoa" na pia wangu wa moyo amekuwa akiniambia mara kwa mara kuwa "unakuwa mjinga ni wakati wa kwenda, wakati wa kurudi unakuwa mwerevu". Maana yake ni kuwa unapofanya makosa unajifunza na kisha unahakikisha halirejei. Asante kwako Kamala kwa kukosoa na kwako Anon kwa kuuliza kwani kumemfanya muulizwa aeleze la maana. Blessings to y'all
| 2016-12-09T13:30:39 |
http://changamotoyetu.blogspot.com/2009/05/asiyewajibisha-na-awajibishwe.html
|
[
-1
] |
Simulizi za Majonzi: THE DARKEST HOURS (SAA ZA GIZA TOTORO)- 2
Kwa kipindi kirefu ndoto zangu zilikuwa ni kusoma na kuja kuwa daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake na watoto, na nilisukumwa kuupenda udaktari kutokana na jinsi nilivyokuwa namuona mama yangu akiteseka kwa kipindi kirefu kitandani, akiwa hana uwezo wa kufanya kitu chochote kutokana na maradhi yaliyokuwa yanamsumbua.
Hata hivyo, ndoto zote hizo ziliyeyuka kutokana na matatizo niliyopitia na japokuwa baadaye niliamua kuachana na mambo hayo, siku hiyo nilijikuta nimetamani tena kufanya jambo kwa ajili ya kujitetea.
Hakuna kitu ambacho nilikuwa nakichukia kwenye maisha yangu kama kuonewa, shida na matatizo niliyopitia maishani mwangu vilinifanya niwe na roho ya aina yake, ambayo wakati mwingine nikikasirika utaona ni bora ukutane na mnyama mkali wa porini kuliko mimi.
Niliendelea kuitazama ile bunduki huku tabasamu la kifo likiwa bado limetanda kwenye uso wangu, nikainua macho na kutazama juu angani huku ile bunduki nikiwa nimeishikilia vilevile, nikaitazama tena na kujaribu kuikoki, ikakubali na kutoa mlio fulani ambao kwa kipindi kirefu ulikuwa unaashiria jambo baya na kila nilipousikia ujue kuna jambo baya lilikuwa linaenda kutokea.
Unaweza kujiuliza, nini hasa kilichotokea kwenye maisha yangu kiasi cha kufanya ndoto zangu za udaktari ziyeyuke na kujikuta nikiishia kuwa mtumiaji mzuri wa bunduki za kivita wakati hata jeshini sijawahi kupitia?
Nikisema mtumiaji mzuri wa bunduki namaanisha hivyo, kwenye suala zima la kulenga shabaha na kufanya mashambulizi ya kushtukiza, wenyewe wanaita ‘ambush’ nilikuwa vizuri kwelikweli kiasi kwamba kipindi nilipoamua kujikita kwa asilimia mia moja kwenye kazi hiyo, licha ya umri wangu mdogo nilikuwa tegemeo kwelikweli.
Ilikuwa ikitokea ‘kazi’, basi lazima nitakuwa miongoni mwa watu wawili au watatu ambao ndiyo wanaoongoza msafara. Baada ya hapo, niligeuka huku na kule kutazama kama kuna mtu alikuwa ananitazama, nilipogundua kwamba niko peke yangu, harakaharaka nililirudisha lile sanduku palepale lilipokuwa na kulifunga vizuri, kwa kutumia ‘chepe’ nikafukia na kuparudishia kama palivyokuwa awali.
Kwa muda wote huo, zana yangu nilikiwa nimeivaa begani. Nilirudishia miche ya mipapai ambayo ilikuwa juu ya eneo hilo kama njia ya ‘kuwazuga’ askari wasijue chochote kilichokuwa kinaendelea kisha harakaharaka nikarudi mpaka ndani, nikachukua begi dogo lililokuwa darini na kutoka nje.
Begi hilo lilikuwa na vifaa maalum ambavyo kwa harakaharaka ungeweza kudhani labda ni vya ufundi wa umeme, lakini kimsingi vilikuwa ni vifaa kwa ajili ya kusafishia bunduki.
Harakaharaka nilianza kuifungua silaha hiyo na kwa sababu tayari nilikuwa na uzoefu wa namna ya kuifungua na kuifunga upya kwa muda mfupi, ndani ya dakika chache tu nilikuwa nimeshaifungua, nikaanza kuisafisha kwani haikuwa imetumika kwa muda mrefu kiasi.
Wakati nikiendelea na kazi hiyo, kwa mbali nilianza kusikia muungurumo kama wa gari au pikipiki kubwa ukija kwa kasi kubwa. Kengele ya hatari ikalia ndani ya kichwa changu, kwa kuwa nilikuwa nakaribia kumaliza, niliamua kuifunga hivyohivyo, harakaharaka nikairudishia na kuivaa begani.
Nikachukua koti langu la kazi, refu na jeusi kisha nikafunga mlango na kuzunguka nyuma ya nyumba, nikakimbia na kuyapita yale makaburi na kutokomea kwenye vichaka vilivyokuwa mita kadhaa kutoka pale nyumbani.
Nikaenda kupanda juu ya mti mrefu wa mkaratusi, nikawa natazama kwa mbali kuangalia muungurumo niliokuwa nausikia ulikuwa unatokea wapi kwa sababu haikuwa kawaida kwa magari kuja huko tulikokuwa tunaishi.
Nilichokuwa nimekihisi ndicho kilichokuwa kimetokea, niliona pikipiki mbili aina ya Honda, zile kubwa kama zinazotumika kwenye mashindano zikija kwa kasi kubwa huku wanaume wanne wenye miili mikubwa wakiwa wamepakizana wawili wawili.
Walikuja kwa kasi kubwa mpaka pale nyumbani kwetu, ile pikipiki ya kwanza ikasimama upande wa kulia na ile nyingine upande wa kushoto kisha wote wanne wakateremka huku wakiwa wamevaa kofia maalum za kuficha nyuso zao.
Japokuwa walikuwa wamejiziba nyuso zao, niliweza kuhisi moja kwa moja kwamba ni watu niliokuwa nawafahamu kwa jinsi miili yao ilivyokuwa na jinsi walivyokuwa wakitembea. Unajua kama mtu umewahi kufanya naye kazi kwa karibu, hata ikitokea akajaribu kujibadilisha, ni rahisi sana kumgundua, hivyo ndivyo ilivyotokea kwangu.
Nitakuja kueleza kwa kirefu baadaye ni kwa namna gani mimi na watu hawa tulifahamiana lakini chanzo cha yote, kilikuwa ni mtu mmoja tu. Mtu ambaye awali niliamini kwamba anaweza kunisaidia kuutua mzigo mzito niliokuwa nao kichwani lakini mwisho akaishia kunibadilisha na kuwa kiumbe mwingine tofauti kabisa.
Basi nikiwa pale juu ya mti, niliwashuhudia watu wale wakigonga mlango kwa fujo kama walivyofanya jana yake, na walipoona kimya, walivunja mlango na kuingia ndani kibabe.
Nikiwa sielewi hili wala lile, nilimuona mmoja kati yao akirudi pale kwenye pikipiki, nikamuona akifungua kidumu kilichokuwa na kimiminika ndani yake ambacho kwa mbali sikuweza kugundua ni nini. Akarudi ndani kwa wenzake na kufumba na kufumbua, nilishtuka kuona moshi mwingi ukianza kutokea madirishani napembeni ya paa.
Wale watu wakatoka haraka nje, wakadandia pikipiki zao na kuziwasha, wakasogea mita kadhaa na kugeuka tena nyuma, nadhani ili kuhakikisha kama walichokusudia kukifanya kinaenda kama walivyokuwa wamepanga.
Nilishindwa kujizuia pale juu ya mti kutokwa machozi, baada ya kuona nyumba yetu kuukuu ikiteketea kwa moto huku wale washenzi wakigongesheana mikono kwa furaha na kuondoka kwa kasi kubwa na pikipiki zao.
Nilikuwa na uwezo wa kufanya kitu lakini niliona si busara kwa sababu naweza kujikuta naharibu zaidi mambo. Basi niliendelea kushuhudia nyumba yetu ikiteketea huku moshi mkubwa ukiwa umetanda angani, na kwa jinsi moto ulivyokuwa mkali, sikuweza kuokoa chochote.
Nilishuka na kukaa nje, mita kadhaa kutoka moto ulipokuwa unawaka kwa nguvu, nikawa nimejishika tama huku moyoni nikiwa na uchungu usiomithilika. Kwa ilivyoonesha, mtu aliyekuwa nyumaya matukio yote hayo, alikuwa akitamani kuniona napata shida kubwa pengine kuliko binadamu yeyote aliyewahi kuishi.
Kilichonifikirisha zaidi, kama mtu au watu waliokuwa wanayafanya haya walikuwa na lengo la kuniua, kwa nini jana yake walipokuja hapo nyumbani na kumteka Saima, hawakunipiga risasi na kuniua kabisa wakati walikuwa na uwezo wa kufanya hivyo? Kwa nini waliniacha niendelee kuishi?
Kwa jinsi nyumba zilivyokuwa zimejengwa hapo kijijini kwetu, na kwa sababu sikupiga kelele zozote za kuomba msaada, wanakijiji walikuja kuanza kukusanyika wakati moto ukiwa unaelekea kuzimika baada ya kuwa umeteketeza kila kitu. Kwa sababu ninazozijua mwenyewe, sikutaka kuzungumza na mtu yeyote, nikawahi kuondoka kabla hawajafika na kurudi kule vichakani.
Nilikuwa nahitaji muda wa kukaa peke yangu, kutafakari juu ya kilichotokea na kuchukua uamuzi wa nini cha kufanya. Kwa hiyo niliendelea kujichimbia kule vichakani, machozi yakinitoka na kuulowanisha uso wangu, nikawa natafakari nini cha kufanya.
Nilikaa huko mpaka giza lilipoanza kuingia, nikavaa koti langu na kuhakikisha kama kitendea kazi changu kipo kwenye hali nzuri, nikaianza safari ya kuelekea mjini kwa sababu katika kutafakari, niliamua kwamba dawa ya tatizo siyo kulikimbia, ni kukabiliana nalo.
Kwa kuwa nilikuwa na picha ya watu waliokuja kuchoma ile nyumba yetu na nilikuwa nafahamu wapi kwa kuwapata, niliamua kuwafuata hukohuko ili kama mbwai iwe mbwai!
Huu ni uamuzi wa kijasiri sana ambao unahitaji kweli uwe na moyo wa kishujaa kuuchukua kwa sababu watu niliokuwa nawafuata hawakuwa wa mchezomchezo lakini ilikuwa ni lazima niende.
Niliamua kutembea kwa miguu kwa sababu kwa hali niliyokuwa nayo, kama ningeamua kupanda gari basi ingekuwa rahisi kwa watu kunishtukia kwamba nilikuwa na chuma begani na pengine kunikamatisha kwa polisi.
Baada ya kutembea kwa muda mrefu, hatimaye niliwasili jijini Dar es Salaam na moja kwa moja nilienda Manzese Tip Top, kwenye maskani ya mmoja kati ya wale vijana aitwaye Ismail au Suma Baunsa kama tulivyozoea kumuita.
Suma alikuwa akiendesha biashara ya kuuza vinywaji kwenye grosari moja pale Manzese Tip Top na sifa kubwa ya grosari yake ilikuwa ni kuuza kila aina ya pombe unayoitaka, kwa saa ishirini na nne. Kwa nje ungeweza kudhani kwamba ni nyumba ya mtu lakini kumbe ndani kulikuwa na ukumbi mkubwa ambako pombe zinauzwa usiku kucha na mchana kutwa.
Nilijua kwa vyovyote lazima Suma atakuwa kwenye ofisi yake akisherehekea na wenzake kwa sababu mara zote, hata kipindi ambacho tulikuwa tukishiriana nao kabla sijaamua kuachana na hayo mambo na kuendelea na maisha yangu, tulikuwa tukipiga ‘ishu’, tunakaa nao kwenye chimbo hilo kuwakwepa polisi na kiukweli hapo ndipo nilipojifunzia kunywa pombe, kula mirungi na kuvuta bangi.
Baada ya kufika eneo hilo, nilijua nikipitia mlango wa mbele, ni rahisi mabaunsa wake kunishtukia na pengine kunizuia kuingia, kwa hiyo kwa sababu nilikuwa nazijua njia za mkato za kuingilia ndani, nilitazama huku na kule na nilipojiridhisha kwamba hakuna aliyekuwa akinifuatilia, niliruka ukuta mrefu wa uani, nikatua ndani kimyakimya.
Nikaingia kwenye moja kati ya vyoo vya wanaume vilivyokuwa huko uani, nikaikoki vizuri bunduki yangu na kuikamata vizuri mkononi, nikatoka huku nikitembea kwa staili ya kuyumbayumba ili watu waamini nilikuwa miongoni mwa wateja na nilikuwa nimelewa. Muziki ulikuwa ukipigwa kwa sauti ya juu huku watu wengi wakiwa wanakunywa pombe, kutafuna mirungi, kujidunga madawa ya kulevya na kila aina ya ufuska, huku wengine wakifanya matendo yasiyostahili kufanywa hadharani na wanawake waliokuwa ndani ya grosari hiyo ya aina yake.
Nilichezesha macho kwa kasi kubwa na hatimaye nilifanikiwa kumuona Suma akiwa amekaa na mwanamke mmoja mnene aliyevalia nusu utupu, wakiwa wananyonyana ndimi. Nikateleza kama nyoka na kumfikia, kufumba na kufumbua tulikuwa tukitazamana naye, ana kwa ana huku bomba la AK47 nikiwa nimelikandamiza kwenye ubavu wake wa kushoto.
Je, nini kitafuatia? Usikose Jumatatu kwenye Championi Jumatatu.
| 2019-11-13T20:31:47 |
http://simulizizamajonzi7113.blogspot.com/2018/08/the-darkest-hours-saa-za-giza-totoro-2.html
|
[
-1
] |
Murray atolewa kombe la Rogers | Gazeti la Jamhuri
Murray atolewa kombe la Rogers
Bingwa wa Wimbledon katika mchezo wa tenisi, Andy Murray ameshindwa katika mashindano ya mchezo huo baada ya kufungwa mpinzani wake Ernests Gulbis katika raundi ya tatu ya kombe la Rogers Cup mjini Montreal.
Gulbis raia wa Latvia ambaye kwa sasa anashika nafasi ya 38 katika orodha ya wachezaji bora wa tenisi duniani,alishinda kwa seti mbili katika ushindi mfulululizo wa matokeo ya 6-4 6-3.
Mashindano hayo ya Montreal yenye ushindani wa kila aina kutokana na wachezaji kukamiana ni ya kwanza kwa Murray tangu ashinde ubingwa wa Wimbledon mwezi uliopita.
Hata hivyo baada ya kukosa ushindi, Murray alisema hana wasiwasi bali anajiona kama mchezaji mwenye kibarua cha kujifua zaidi kabla ya kushiriki katika kabla ya mashindano mengine ya ubingwa wa tenisi ya Marekani.
Murray, ameshawahi kushinda mara mbili nchini Canada lakini safari hii Gulbis alimkatiza katika safari yake ya kunyakua ubingwa, Hii ni mara ya kwanza kwa Gubis kumshinda Murray katika mechi sita walizokutana.
Awali wapinzani wakubwa wa Murray,Rafael Nadal na Novak Djokovic walionyesha viwango vya hali ya juu baada ya kushinda mapambano yao. Kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 24 Canada imewakilishwa katika robo fainali na wachezaji wawili Vasek Pospisi na Milos Raonic.
Previous: YITYISH AYNAW:
Wanaokuzunguka wanaathiri mafanikio yako!
CHADEMA YATANGAZA KUSITISHA KAMPENI ZA UCHAGUZI WA WABUNGE
Rais Magufuli usitumie nguvu kumkabili Lowassa
| 2018-07-21T00:14:46 |
http://www.jamhurimedia.co.tz/murray-atolewa-kombe-la-rogers/
|
[
-1
] |
Shambulio la bomu Brussels, mtuhumiwa auawa | JamiiForums
Wanajeshi wa Ubelgiji wamemuua kwa kumpiga risasi mlipuaji wa bomu wa kujitoa muhanga, katika kituo kikuu cha reli mjini Brussels.
Idara ya polisi imesema kuwa mtu huyo alikuwa amevalia kile kilichoonekana kuwa mkanda wa vilipuzi na kuwa kulitokea mlipuko mdogo.
Waendesha mashtaka wanasema kuwa mshukiwa huyo amefariki.
Watu waliokuwa katika kituo Kikuu cha mabasi mjini Brussels na eneo la karibu la mnara ambalo hufurika watalii wote waliondolewa.
Wanajeshi wamekuwa wakilinda doria mjini Brussels tangu mwaka uliopita kulipotokea shambulio la kujitoa mhanga katika eneo la Uwanja wa ndege na kwenye mfumo wa usafiri wa chini ya ardhi.
Du ulaya Sasa umekuwa uwanja wa vita
Kwa sasa ulaya imekuwa main target ya magaidi.Nchi kama ufaransa,uingereza,ujerumani na ubelgiji wamekuwa wahanga wakubwa
Acha wapigwe tu
Acha Na Wenyewe Waishi Kama Libya Iraq Syria Kwa Sababu Wao Ndiyo Chanzo Cha Yote Kabla Hawajavamia Hizo Nchi Waarabu Waliishi Kwa Amani Kabisa Hapakuwahi Kuwa Na Wakimbizi Acha Waisome Namba Halafu Magaidi Hawajui Inatakiwa Waende Viwanja Vya Mpira Kama Pale Wembley Lipua Wote Waliomo Na Wenyewe Waone Uchungu Sishabikii Ugaidi Ila Kwa Hili La Wazungu Acha Watandikwe tu Hakuna Namna Wao Ndiyo Chanzo
Ukifanya mabaya kwa mwenzako usitegemee mazuri, hawa jamaa ndio wameleta vita, magonjwa na matatizo kedekede kwa nchi zetu za ulimwengu wa tatu, nadhani ile tabia ya kupigana wenyewe kwa wenyewe imewachosha wameshagundua adui wao ni nani, yetu macho
wanatumwa na marekani
Ulaya wamejitakia wenyewe haya....waliunga mkono ugaidi huko Libya walipomwangusha Ghadafi...wakaunga mkono huko Afghanistani...huko Syria nako wakaunga mkono ugaidi dhidi ya serikali....Wakampindua Saddam Hussein wa Irak na kumuua kwa kuwasaidia wapinzani wa Saddam Hussein ...Yaani wazungu bure kabisa...wanaunga mkono vikundi hivyo vya ugaidi na kufifadhilii...Sasa mambo hayo yamewarudia wenyewe...Wakati anakufa Gadhafi alibashiri hivyo kwamba waliomwangusha wakiwemo wazungu watajuta....Sasa ugaidi umeingia huko ulaya...Maelfu ya wakimbizi wa Libya na Syria wamekimbilia huko ulaya...Wazungu hawakujua kuwa kwa kuiangusha serikali ya Libya na kuleta vurugu Syria, wakmbizi wangeanza kummiika ulaya....It was a blunder and still it is a blunder....Kinachotokea ulaya kwa sasa ni mwanzo tu wa makubwa zaidi yanayokuja au yatakayowafika hao wazungu....Can you imagine somewhere magaidi wanaandaa bomu la nyuklia??? Can you you imagine magaidi wakilipua mitambo ya nyuklia huko Europe au USA????
Wacha na wenyewe waonje joto la jiwe, walipokuwa wanakimbizana kwenda mashariki ya kati na Afrika kasikazini kuonyesha siraha zao kana kwamba kuna tuzo huko hawakujua kwamba hata wanaopigwa ni binadamu!!!
Unachopanda, ndio utakachovuna
Tena Watandikwe Kabisa Hakuna Cha Huruma
40 yake ilifika...Embu weka picha tuone
Nigeria: Watu 30 wafariki kwa shambulio la bomu wakati wakiangalia mpira International Forum 13 Jun 17, 2019
Watu 10 wauawa katika shambulio la bomu la kujitoa muhanga International Forum 5 Jun 3, 2019
NIGERIA: Watu 60 wauawa katika shambulio la ISWAP International Forum 5 Jun 14, 2020
BURKINA FASO: Watu 15 wauawa na wengine kujeruhiwa kwa shambulio la bunduki International Forum 0 May 30, 2020
Nigeria: Watu 30 wafariki kwa shambulio la bomu wakati wakiangalia mpira
Watu 10 wauawa katika shambulio la bomu la kujitoa muhanga
NIGERIA: Watu 60 wauawa katika shambulio la ISWAP
BURKINA FASO: Watu 15 wauawa na wengine kujeruhiwa kwa shambulio la bunduki
| 2020-07-06T21:36:16 |
https://www.jamiiforums.com/threads/shambulio-la-bomu-brussels-mtuhumiwa-auawa.1271810/
|
[
-1
] |
Maisha ya Instagram ni Zaidi ya Maigizo..Watu Wanajua Kula Raha Asikwambie Mtu Jionee Mwenyewe | HABARI ZA WALIMWENGU
Home » » Maisha ya Instagram ni Zaidi ya Maigizo..Watu Wanajua Kula Raha Asikwambie Mtu Jionee Mwenyewe
Maisha ya Instagram ni Zaidi ya Maigizo..Watu Wanajua Kula Raha Asikwambie Mtu Jionee Mwenyewe
Written By stephen kavishe on Friday, October 10, 2014 | 2:51 PM
Instagram ni zaidi ya uionavyo, watu wanajua kula raha asikwambie Mtu jionee mwenyewe...maisha mazuri hadi unashawishika kutaka kujua zaidi wanafanya nini...ntajaribu kuwatafuta hawa watupe siri ya mafanikio yao.
1. Vera Sidika anapenda clubs yaani mdada yeye ni full ku party. What I like from her she has a talent ni mchoraji balaa anaonekana msomi pia alisema karudi shule big up @queenveebossette naomba tuongee zaidi kuhusu vipaji vyako naamini watu watabaki vinywa wazi..
2. Starlisha huyu naye ni mrembo wa instagram yeye anapenda kula sehemu nzuri, kupiga picha
akiendesha magari mazuri na selfie za kumwaga. Mungu ni mkubwa kapunguza mabifu, sikuhizi yeye ni mshauri na mhamasishaji wa masuala mbali mbali ya maendeleo, hii inampa heshima safi sana @chaggabarbie naomba nijue siri ya utulivu wako, inapendeza sana.
3. Huddah kama hayuko airport, hotelini basi swimming pool @huddahthebosschick unapenda kuogelea we mtoto, umekaa kibiashara tu mara photo shoot, lebel yako ya mavazi iko hewan na mengine atleast unaonekana unafanya kazi. Hizo bikini ukiziweka sokoni utauza sana. Hongera
4. Masogange, picha nyingi yuko kitandani, kama sio kitandani bafuni kama sio nje ya nyumba then anarudi kitandani anajipiga mapicha weee hadi analala. Hongera nawe @officialagnes Mungu kakupendelea sana.
Kuna wengine humu nashindwa kuwaelezea kwakweli...sitaki kujua sana maisha binafsi ya mtu ila natamani kujifunza au tujifunze kupitia hao "mastaa" Hakuna asiyependa kupiga mapicha all the time kalala, anaogelea, kwenye mahoteli makubwa na maboti anaenjoy maisha kama mnaweza kupiga mapicha hayo jamani tuonesheni na kazi zenu nasi tutamani kufikia huko??.
| 2017-11-23T01:54:51 |
http://www.bewithjeddy.com/2014/10/maisha-ya-instagram-ni-zaidi-ya.html
|
[
-1
] |
i s a a c k i n . com: TAHADHARI POLIS KUULIZA ID-CARD NDANI YA TRENI
KUMEKUWA NA MATUKIO MENGI YA WATU (HASA WAHAMIAJI)KULALAMIKA KWAMBA SASA WAKIWA NJIANI AMA NDANI YA TRENI WAMEKUWA WAKIKUTANA NA POLIS NA KUULIZWA VITAMBULISHO.HILI SWALA LIMEKUWA KUBWA KIASI SASA LIMEFIKA KATIKA VYOMBO VYA HABARI.
SIJAWAHI KUKUTANA NA HIYO SITUATION LAKINI KUNA SIKU NILIWAHI KUSHUHUDIA WABONGO WAWILI WAKIWA WAMEKAMATWA NA POLIS NDANI YA TUNNELBANA WAKIULIZWA VITAMBULISHO,NILIPOWAULIZA WAKASEMA NI SWALA LA TICKET LAKINI HATA KAMA NI TICKET NIKASHANGAA IWEJE WAJE POLIS KUWAFATILIA BADALA YA MAVAKT WA KAWAIDA HAWA TUNAWAONA HUMO KILA SIKU.
PIA SIKU ZA HIVI KARIBUNI NIMEKUWA NIKIONA POLIS WENGI HUMO NDANI YA TUNNELBANA NA MA-TORG NIKAJUA WAKO KATIKA MINGLE ZAO ZA KILA SIKU.POLIS WAKIULIZWA WAMEDAI KWAMBA WAO WANAFUATA ODDER TU YA KUFATILIA ILLEGAR IMMIGRANT KWA HIYO WAKO KAZINI.
HIVYO HALI HALISI NDIO HIYO JAMANI KUWENI WAANGALIFU.
HABARI HIYO UTAIPATA BOFYA HAPA NA HAPA
| 2017-04-30T01:12:22 |
http://isaackin.blogspot.com/2013/02/tahadhari-polis-kuuliza-id-card-ndani.html
|
[
-1
] |
Video za wapenzi wa jinsia moja la Latin » Chama »Ugly kukomaa redneck slut fucks bareback
Wasichana Zaidi. Ongea na wasichana x Hamster Live sasa! Ili kutazama video unahitaji kuwezesha Javascript kwenye kivinjari chako. Ongea na x Hamster Live. Acha maoni Maoni P p 7.
Slut Fucks Bareback na aina nyingi za vyoo
'mashoga mzee wa mashoga' Tafuta - sw.360uz.info
Wazazi: Gaymaletube. Kinga watoto wako kutoka kwa maudhui ya watu wazima na uwazuie ufikiaji wa wavuti hii kwa kutumia vidhibiti vya wazazi. Aina zote zilikuwa na umri wa miaka 18 au zaidi wakati wa onyesho. Jamii maarufu za Mashoga za Picha za Ngono Inapakia Redneck porn 5, 5, matokeo kupatikana Filter na: Tarehe iliyoongezwa masaa 24 yaliyopita. Siku 2 zilizopita.
Horny Granny Anahitaji Densi Sita. Mchoro wa mchoro wa tattoo na Blowjob. NorrisJ anashusha mlezi wake Sammantha Tamu. Red grannys kunyoa kunyolewa. Granny's vijana Stud huko Jersey.
Wazazi: Wazee. Kinga watoto wako kutoka kwa maudhui ya watu wazima na uwazuie ufikiaji wa wavuti hii kwa kutumia vidhibiti vya wazazi. Aina zote zilikuwa na umri wa miaka 18 au zaidi wakati wa onyesho.
Lebo: mbaya + kukomaa + redneck + slut + fucks + bareback
A.D | 29.03.2019
Swiss-ng'ombe | 23.03.2019
Kazi yangu ya kufanya kazi usiku mmoja alinialika mahali pake kuwa na vinywaji na akanijia na kuniambia alikuwa ni shoga na nini cha kumnyonya jogoo wangu kwa hivyo nikamwacha na tumaini hili halinifanya niwe shoga kwa sababu nilifurahiya
Kitambaa | 26.03.2019
Ubora wa filamu ya Pooe na uhariri. Sio risasi kama gr8 kama hiyo
| 2020-02-17T07:03:41 |
https://sw.360uz.info/party/3340-ugly-mature-redneck-slut-fucks-bareback.php
|
[
-1
] |
SEHEMU YA 8 | Uhamishaji wa embryo - ivfbabble
Mzunguko mzima wa IVF sasa unategemea uhamishaji huu dhaifu. Hii kawaida hufanyika kwa siku ya 2, 3, 5 au 6 ifuatayo ukusanyaji wa yai na inajumuisha kuweka kiinitete (au viini) kupitia bomba lililoingizwa ndani ya uke wako na kuwekwa karibu na katikati ya uterasi.
Umri wako, idadi ya mayai yaliyokusanywa na miongozo yako ya kliniki itaamua ni kamasi ngapi zinahamishiwa.
Embryos yoyote yenye afya isiyotumiwa inaweza kuandaliwa kwa majaribio yajayo.
Mshipi zaidi uliowekwa ndani ya tumbo lako huongeza nafasi yako ya kuwa mjamzito, lakini pia kuna hatari zaidi. Kama vile mimba nyingi na maswala yanayowezekana ya kiafya. Uhamisho wa kiinitete (SET) kawaida ndiyo njia bora ya kwenda, haswa mwanzoni. Lakini jadili hili na kliniki.
Kabla ya uhamishaji, nguzo imepigwa. Hii inaweza kusababisha kiwango kidogo cha maji wazi au ya umwagaji damu muda mfupi baadaye. Kwa hivyo usijali, ni kawaida kabisa.
Kuna hatari ndogo ya kuambukizwa kwa siku chache, kwa hivyo epuka bafu za moto na ushikilie kwenye maji.
Je! Niwe kitandani?
Unapaswa kuchukua vitu rahisi kwa siku nzima kuhamisha uhamishaji. Lakini kupumzika kwa kitanda kwa muda mrefu hakujathibitishwa kuwa na msaada. Unaweza kurudi katika hali ya kawaida ya kazi siku inayofuata. Kwa maumbile, kiinitete huelea kwa uhuru kwenye cavity ya endometrial kwa siku kadhaa kabla ya kuingizwa na ni sawa katika IVF. Kupumzika kitandani kwa muda mrefu kunapendekezwa tu ikiwa kuna hatari ya kuongezeka kwa Hyperstimulation ya Ovari, kliniki yako itakujulisha unahitaji kufanya nini.
Je! Ni vyakula gani vina maana ya kusaidia kuingizwa?
Hakuna uthibitisho wa kisayansi kwamba lishe maalum huongeza nafasi za kufaulu. Lakini lishe yenye afya, yenye usawa iliyojaa nafaka nzima, protini konda, na matunda na mboga kila wakati itakufanya vizuri. Pia kudumisha kiwango kizuri cha Vitamini D ni muhimu, kupitia virutubisho pamoja na mwangaza wa jua!
Kwa nini kutumia progesterone katika kipindi hiki ni muhimu?
Ovari sio kila wakati huunda progesterone ya asili wakati wa IVF. Ambayo mwili wako unahitaji kuunga mkono upeo wa uterasi na kusaidia kutunza ujauzito mapema. Katika kesi hii kliniki yako itakushauri uchukue pessari za progesterone, au shots ya IVF (sindano za mara moja za usiku).
Je! Gundi ya kiinitete inafanya kazi?
Hii ina uvumi kusaidia kiinitete kujishikamana na uterasi. Sio gundi sana na matokeo hayamalizi kuwa kweli hii inafanya kazi. Lakini ni rahisi ($ 100 - £ 200), kwa hivyo ikiwa mizunguko yako ya awali ya IVF haikufanikiwa, inaweza kuwa inafaa kujadili na kliniki yako kama chaguo linalowezekana.
Tags: IVF ilielezea, Mchakato wa IVF, Matibabu ya IVF
| 2020-07-02T21:17:01 |
https://sw.ivfbabble.com/2016/11/stage-8-embryo-transfer/
|
[
-1
] |
Niungeni mkono | JamiiForums | The Home of Great Thinkers
Niungeni mkono
Discussion in 'Uchaguzi Tanzania' started by PHILLIP MOGENDI, Aug 25, 2010.
PHILLIP MOGENDI
NIMEFANIKIWA KUWA MGOMBEA WA KITI CHA UBUNGE WA JIMBO LA KINONDONI, DAR-ES-SALAAM KUPITIA TIKETI YA CHADEMA.
NILIZALIWA WILAYANI KINONDONI, NIKASOMA CHUO KIKUU CHA DAR-ES-SALAAM, NIMEJENGA WILAYANI KINONDONI NA NAISHI WILAYANI KINONDONI PIA.
BAADA YA DIGRII YANGU YA KWANZA YA SAYANSI YENYE MKAZO WA MAHESABU NA TAKWIMU NILIAJIRIWA NA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KAMA KATIBU MSAIDIZI WA BUNGE. NILIFANYA KAZI PIA KAMA KATIBU KAMATI ZA BUNGE NA KUSIMAMIA KAMATI YA MAHESABU YA SERIKALI- PAC NA KAMATI YA MASHIRIKA YA UMMA- POC. NILIKUWA MSAURI WA WABUNGE KWENYE KAMATI HIZI WAFANYE KAZI KUZINGATIA KANUNI ZA BUNGE. NILIFANIKIWA KWENDA KUSOMA MAREKANI DIGRII YA PILI INAYOITWA KWA KIZUNGU MASTERS OF MANAGEMENT INFORMATION SYSTEMS - MMIS. NILIRUDI OFISI YA BUNGE BAADA YA MASOMO. NILRUDI TENA MAREKANI KUSOMA STASHAHADA YA KIMATAIFA YA USIMAMIAJI MIRADI NA KUFAURU MITIHANI NA KUWA SIFA YA MTAALAMU MENEJA MSIMAMIAJI MIRADI. NIKAFANYA KAZI KWENYE MAKAMPUNI MAWILI YA MAREKANI LILE LA HEWLETT PACKARD- HP KULE HOUSTON, TX NA BAADAE KWENYE KAMPUNI LIITWALO GUIDESTONE FINANCIAL RESOURCES LILILOKO JIJI LA DALLAS, TX KAMA MENEJA MSIMAMIAJI MIRADI. BAADA YA HAPO NILIAMUA KUJIAJIRI NA KUUNDA KAMPUNI IITWAYO CORPORATE DELIVERY SERVICE, LLC HUKO WICHITA, KANSAS NA MWAKA ULIOPITA NILIRUDI TANZANIA NA KUUNDA KAMPUNI IITWAYO PHINYA GROUP OF COMPANIES (T) LIMITED.
NI MANI YANGU KUWA KWA UZOEFU WANGU BUNGENI, ELIMU YANGU NA UWEPO WANGU MAREKANI KWENYE DEMOKRASIA PEVU KUNANIFANYA NIWE NA ARI YA KUJA KUOMBA RIDHAA YA WANACHI WA KINONDONI KUWATETEA NA KUWATATULIA SHIDA ZAO KWA KUSIMAMIA MAENDELEO YA MANISPAA YA KINONDONI KWANI MUNGE ALIYEPEWA NAFASI HIYO AMESHINDWA KUSIMAMIA MIRADI NA MAENDELEO KWA UJUMLA YA KINONDONI AIDHA KWA SABABU YA UWEZO WAKE KIELIMU AU KWA KUTOKUWAJALI WANANCHI WALIOMPA FURSA HIYO. ELIMU YA USIMAMIAJI MIRADI WA KIMATAIFA NILIYONAYO NI HAZINA NITAKAYOITUMIA KWA MANUFAA YA WANA-KINONDONI ILI KUDHIBITI MATUMIZI YA MAPATO YA WALIPA KODI. KUNA KERO NYINGI SANA ZINAZOTUSIBU KINONDONI AMBAZO KWA UMAKINI NILIONAO NIKIPEWA RIDHAA YA WNAKINONDONI NITAZISHUPALIA NA KUZITATUA KWA MANUFAA YA WAPIGA KURA WANGU.
NAOMBA MAONI YENU JUU YA NIA YANGU HIYO. PIA NAOMBA USHIRIKIANO WAKO WA HALI NA MALI ILI NIWEZE KUFANIKIWA KUFANYA KAMPENI MAKINI NA ITAKAYOLETA USHINDI. NI BORA TUMPATE MBUNGE MWENYE ELIMU NA UZOEFU WA KUTOSHA WA SHUGHULI ZA KIBUNGE BADALA YA KUENDELEA KUMRUDISHA MTU YULE ALIYEKWENDA KUJIFUNZA BUNGENI NA HIVI LEO ANARUDI KUWAOMBA KURA WANAKINONDONI NA BILA AIBU ANADAI KUWA KIPINDI CHA MIAKA MITA ALIKUA AKIJIFUNZA NA SASA APEWE ILI AKAFANYE KAZI!
NAOMBA MSAADA WAKO WA KIFEDHA NA WAWEZA KUTUMA FEDHA KUPITIA CRDB PLC ACCOUNT NUMBER 01J2021601301 JINA NI PHILLIP NYANCHINI MOGENDI.
PIA WAWEZA KUWASILIANA NAMI MOJA KWA MOJA KUPTIA EMAIL [email protected], www.phillipmogendi.com na simu: 0719 24 9858, 0767 24 9859, 0786 24 9859.
| 2017-01-20T02:20:43 |
https://www.jamiiforums.com/threads/niungeni-mkono.71092/
|
[
-1
] |
MKURUGENZI WA KAMPUNI YA TRUMARK AKUTANA NA VIONGOZI WA JOGGING DAR | MALUNDE 1 BLOG
Home » habari » MKURUGENZI WA KAMPUNI YA TRUMARK AKUTANA NA VIONGOZI WA JOGGING DAR
MKURUGENZI WA KAMPUNI YA TRUMARK AKUTANA NA VIONGOZI WA JOGGING DAR
Mkurugenzi wa Kampuni ya Trumark inayojishughulisha na masula ya vijana, Agnes Mgongo akizungumza wakati wa mkutano na viongozi wa Klabu za Jogging Mkoa wa Dar es Salaam uliohusu kutathmini maandalizi ya Tamasha la Wezesha Sport Tanzania litakalofanyika Desemba 2 mwaka huu.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Trumark, Agnes Mgongo akizungumza katika mkutano huo.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Trumark, Agness akibadilishana mawazo na Mwenyekiti wa KIJA, Ahmad Mussa.
Katibu wa Chama Cha Jogging Wilaya ya Kinondoni (KIJA) ,Alhaji Seif Muhere, akiteta jambo na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Trumark, Agnes Mgongo.
Wenyeviti na Makatibu wa Jogging Klabu za wilaya tano za Jiji la Dar es Salaam pamoja na wakurugenzi wa Kampuni za Trumark, Agnes Mgongo na Elizabeth Masaba wa On Fitnes wakiwa kwenye kikao hicho.
MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Trumark, Agnes Mgongo amekutana na viongozi wa Klabu za Jogging za Mkoa wa Dar es Salaam na kufanya nao mazungumzo kutathmini maandalizi ya Tamasha la Wezesha Sport Tanzania linalotarajiwa kufanyika Desemba 2 mwaka huu katika Viwanja vya Posta Kijitonyama.
Akizungumzia tamasha hilo kwa niaba ya Mkurugenzi wa Kampuni ya Power On Fitnes, Elizabeth Masaba ambaye wameandaa pamoja tamasha hilo, Mgongo alisema lengo lao ni kuhamasisha jamii kufanya kazi au biashara kwa ufanisi na kuwaburudisha.
"Nilikaa na mwenzangu Masaba tukajadiliana namna tunavyoweza kuwakusanya watu kwa wingi ili tuwahamasishe kufanya kazi zao kwa ufanisi ndipo tukaona tufanye tamasha hili la Wezesha Sport Tanzania," alisema Mgongo.
Mgongo ametoa rai kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam na mikoa ya jirani kujitokeza kwa wingi kwenye tamasha hilo ambalo litawaacha wakiwa wamenufaika kwa mengi.
Aliongeza kuwa licha ya kuwahamasisha kuhusu suala la ufanisi kwenye maeneo yao ya kazi watapata burudani kupitia michezo mbalimbali ya jogging, mpira wa miguu, pete, kuvuta kamba, kukimbiza kuku, muziki na mingine mingi.
Katika hatua nyingine viongozi wa kalabu hizo wametoa kilio chao kwa serikali iwaunge mkono kama inavyofanya kwenye michezo mingine.
Kilio hicho kimetolewa na Katibu wa Chama cha Jogging Wilaya Kinondoni (KIJA), Alhaji Seif Muhere ambao ni wenyeji wa tamasha hilo katika kikao cha viongozi wa jogging wa wilaya tano za jijini Dar es Salaam pamoja na wakurugenzi wa Kampuni ya Trumark, Agnes Mgongo na Elizabeth Masaba wa Power On Fitnes.
Kikao hicho kilichofanyika mwishoni mwa wiki kilikuwa mahususi kwa ajili ya kufanya tathmini ya maandalizi ya tamasha hilo.
Akizungumza baada ya kikao hicho, Muhere alisema kama serikali itavitazama vikundi vya jogging na kuvisaidia, vinaweza kufanya mambo mengi ya kimaendeleo.
"Serikali ikivisapoti vikundi vya jogging kama inavyofanya kwenye michezo mingine, vitafanya mambo makubwa ya kimaendeleo kama kuanzisha viwanda vidogo na biashara mbalimbali," alisema Muhere.
Muhere ametoa kilio chake kwa serikali kuwasaidia kwani vikundi vingi vya joggig havina vifaa vya michezo kama jezi na mitaji ya kufanya shughuli za kimaendeleo.
Mwenyekiti wa Chama Cha Jogging Wilaya ya Kinondoni, Ahmad Mussa alisema, kwa kuwa kwenye vikundi vya jogging kuna wataaluma kama madaktari, walimu, wahandisi, askari na wengine wengi kwa kushirikiana nao wanaweza kufanya shughuli za kimaendeleo zitakazoliingizia fedha taifa kupitia kodi.
| 2018-12-19T02:01:09 |
https://www.malunde.com/2018/11/jogging.html
|
[
-1
] |
Zari The Bosslady akava jarida la True Love East Africa | HELLO!
Zari The Bosslady anazidi kung’ara ,mrembo huyo ataonekana tena kwenye jarida la True Love East Africa ambapo amezungumzia mambo mengi yakiwemo maisha yake.
Picha ya Zari The Bosslady.
Mr Blue: Siwezi Kumkandia Diamond nimeanza kumsapoti tokea hajawa star
| 2019-02-18T11:08:10 |
http://www.hello.co.tz/2435-zari-the-bosslady-akava-jarida-la-true-love-east-africa/
|
[
-1
] |
Baada ya kashfa na mwaka huko Australia, Bowen inalenga NBA - TELES RELAY
HOME " Nyingine Baada ya kashfa na mwaka huko Australia, Bowen inalenga NBA
CHICAGO - Brian Bowen anatarajia kurudi NBA katikati ya uchunguzi wa FBI ambao umeshuka mpira wa kikapu wa chuo.
Fikiria wiki hii kuacha muhimu kwa kuchanganya.
"Watu wanajua hali hiyo. Watu dhahiri wanajua kilichotokea, "alisema. "Hawana huduma kuhusu hilo. Wanataka kujua mimi kama mtu. Wanataka kujua mimi kama mchezaji wa mpira wa kikapu na ndiyo sababu nimekuja hapa. "
Bowen mdogo anajaribu kupata kazi hiyo. kufuata baada ya kufungwa na kashfa ambayo imemzuia kucheza mpira wa kikapu wa chuo. Miezi saba iliyopita, baba yake, Brian Sr., alishuhudia kuwa amekubali kulipa mchezo wa dola za 100 000 na Adidas kwa kurudi kwa kujitolea kwa mwanawe kucheza huko Louisville. Tayari kuna majaribio ya shirikisho katika kashfa, na NCAA inaangalia shule mbalimbali kwa sababu ya kuanguka.
Brian Bowen II anatarajia kushawishi timu ya NBA ili kumsimamia Juni 20 baada ya kucheza msimu huko Australia. 19659002] "Nina akili nyingi zaidi kuliko nilivyofikiria," alisema wiki hii kwa pamoja. "Pamoja na yote ambayo nimeishi, nikamchochea na najua kwamba ninaweza kushinda vitu vingi. Mimi ni lazima niiangalie kama nilichukua siku baada ya siku na kutambua kwamba kuna watu katika hali ambazo ni mbaya zaidi kuliko yangu mpaka mwisho wa maisha yangu. Ninajaribu kucheza mpira wa kikapu. "
Mchezaji wa Saginaw, Michigan, Bowen alionekana kuwa Njia ya NBA alipoingia huko Louisville miaka miwili iliyopita. . Hii ilibadilika baada ya malalamiko ya shirikisho akisema kuwa baba yake alikubali kukubali pesa chini ya meza ya Adidas ikiwa mtoto wake alijiunga na makardinali. Bowen Sr. pia alisema mwezi wa Oktoba kuwa alikuwa amepokea 1 300 USD kutoka kwa msaidizi wa zamani wa Louisville kama sehemu ya mkataba wa kupata mtoto wake kuisaini shule yake.
Young Bowen hakuwa na jina lake katika malalamiko. Maelezo hayo yalionyesha wazi kwamba wachunguzi walimtaja
Kesi hiyo imesababisha kusimamishwa kwa Louisville kutoka Bowen na kufukuzwa kwa kocha wa Pantheon Rick Pitino. Bowen alihamishiwa South Carolina Januari 2018 na alikuwa na uwezo wa kufundisha, lakini aliamua kuondoka wakati NCAA iliamua kuwasahau zaidi msimu uliopita. , kumalizika Agosti na Ligi ya Taifa ya Mfalme wa Mpira wa Mpira wa Australia, Sydney Kings. Ilikuwa ni uzoefu halisi, elimu katika shamba na mbali na yote.
Aliweza kucheza pamoja na Andrew Bogut, bingwa wa NBA na Jimbo la Golden, na akajaribu jinsi ilivyokuwa vigumu uchaguzi wake. Kocha Andrew Gaze, ambaye alikuwa anacheza na San Antonio, alikuwa mbele yake tangu mwanzo: kama Bowen alidhani angeenda kuwa sehemu ya timu kubwa, vizuri, nadhani nini? tena.
Bowen aliifanya hata kuvutia zaidi. Hiyo ni kwa sababu anadhani anapaswa kuondoka makao makuu ya NBA.
"Huwezi kucheza kila mchezo kila usiku," alisema. "Huwezi kucheza zaidi ya dakika 25 kila usiku. Ninataka tu kuwa tayari na hiyo, kucheza na wapiganaji hawa. Na jaribu kuchagua akili zao. "
Maisha huko Sydney yalikuwa ya thamani kwa mtu mzima ambaye anajaribu. kupata njia yake. Ilichukua muda wa kutumiwa kuona magari upande wa kushoto wa barabara na kugeuza na maneno "ngumu", kama alivyoiweka, kama "brittle" kwa "kifungua kinywa".
Kutafuta mchungaji kutumikia Mohawk yake ilikuwa kipaumbele kingine. Alikuta mbili. Pia alijaribu kangaroo; kwa rekodi, haikuonja kuku.
"Sio kweli sio mbaya," alisema. "Ni kama nyama ya nyama ya nyama ya nyama, lakini ni mellow zaidi."
Alikosa pia Shack Rib katika Saginaw, barbeque inayojulikana hivi karibuni imeharibiwa na moto. Lakini bila shaka angependa kucheza kwenye NBA. Alifikiria mchanganyiko huu kama aina ya reintroduction.
Alisisitiza kuwa alikuwa mchezaji bora zaidi kuliko yule aliyeonyeshwa katika mchanganyiko mwaka jana, akiwa na kugusa bora na kumtia vizuri mpira. Ana nguvu kimwili na kiakili.
Bowen ni chini ya mkataba na Sydney kwa msimu ujao, ambayo ina maana kwamba timu ya NBA inapaswa kurejesha mkataba au kuificha. Lakini ni wazi ambapo anataka kuwa.
"Kulikuwa na pointi nyingi ngumu, kwa wazi, na vyombo vya habari, na kila kitu kilichokosa," alisema Bowen. "Lakini mimi kupigana. Na nilitambua kwamba ningeweza kupigana mambo mengi. "
Upatikanaji wa Digital Premium
kutoka 99 u00a2
RN kujiunga RN Je, umejisajili? Ingia .
Wasomaji wote wa Star Tribune bila usajili wa Access Digital wanapokea idadi ndogo ya vitu bure kila siku ya 30. Mara baada ya kikomo cha makala kufikiwa, tunawauliza wasomaji kujiandikisha usajili ikiwa ni pamoja na Upatikanaji wa Digital ili kuendelea kusoma. Ufikiaji wa Digital umejumuishwa katika usajili wote juu ya siku nyingi za utoaji nyumbani, Jumapili + Digital na Premium Digital Access. Baada ya kipindi cha utangulizi wa mwezi wa 1 Premium Access Access, utashtakiwa $ 14,99 kwa mwezi. Unaweza kuona chaguzi zote za usajili au kuungana na usajili uliopo ici
RN "}," kuanza ":" https: / / users.startribune.com / uwekaji / 1 / mazingira / 3 / kikomo / kuanza "}, {" id ":" nag "," hesabu ": 7," hatua "" lightbox "," bubu ": kweli," action_config ": {" height ": null," upana ":" 630px "," redirect_on_close ": null," template ":" {% kupanua "ganda"%} rnrn {% kuzuia%} mitindo rn
RN {% endblock%} {% rnrn kuzuia ukurasa wa%} {# rnrn rn {{kikomo - Idadi - 1}} {{rnrn form.flow_form_open ({NextAction 'firstSlide'}, null, null, '_top') }} {{rn form.btn ( 'Register sasa')}} {{r form.flow_form_close ()}} rnrn
{{Rn form.get_general_error_messages ([ 'Thibitisha'])}} {{rn form.flow_form_open ({NextAction 'login'}, [ 'Thibitisha'] login fomu '' _top ')}} rn
Bado una {{kikomo - count-}}} makala
U00a0 U00a0 U2022a00 U0a00 r
{{Form.get_general_error_messages ([ 'Thibitisha'])}} {{rn form.flow_form_open ({NextAction 'login'}, [ 'Thibitisha'] login fomu '' _top ')}}} rn
Zaidi ya 70% off!
9915 u00a2 wakati wa wiki za kwanza za 4
RN form.flow_form_open {{({NextAction 'firstSlide'}, null, null, '_top')}} {{rn form.button ( "Hifadhi sasa"), 'btn nag tn-b')} {rn} form.flow_form_close {()}} rn
rn {% endblock%} rnrn {n}% kuzuia mwisho}} rn {{mzazi ()}} rn RN {% endblock%} "}," kuanza ":" https: / / users.startribune.com / uwekaji / 1 / mazingira / 3 / nag / kuanza "}, {" id ":" x "," kuhesabu " : 4, "hatua", "kupuuza", "bubu": kweli, "action_config": uongo, "anza": "https: / / watumiaji .startribune.com / uwekaji / 1 / mazingira / 3 / x / kuanza" }, { "id": "mbalimbali kuanza", "simu": 3, "hatua", "fly_in", "bubu": kweli, "action_config": { "eneo": "bottom_left", "slide_direction": "chini", "group_id": null, "display_delay": "0", "collapse_delay": "10", "model": "
Kutoka tu
3.79 99 U00a2 kwa wiki
Kuokoa RN
"}," kuanza ":" https: / / users.startribune.com / uwekaji / 1 / mazingira / 3 / multi-start / start "}]};
Makala hii ilionekana kwanza http://www.startribune.com/after-a-scandal-and-a-year-in-australia-bowen-targets-nba/510082542/
1994 ilikuwa jela la maamuzi yangu mwenyewe - New York Times
Manuel Valls, candidat à la mairie de Barcelone, à la traîne dans les sondages – VIDEO
| 2019-05-22T07:18:14 |
https://sw.teles-relay.com/2019/05/18/apres-un-scandale-et-une-annee-en-australie-bowen-vise-la-nba/
|
[
-1
] |
Arsenal wapotea njia - Tanzania Sports
18th September 2018 Last update at 12:08 pm
Matumaini ya Arsenal kutwaa ubingwa katika Ligi Kuu ya England (EPL)
msimu huu yaliyokuwa yameanza kuwa makubwa yamezidi kupotea baada ya
kupoteza mechi muhimu dhidi ya Manchester United.
Kijana mwenye umri wa miaka 18, Marcus Rashford wa United alifunga
mabao mawili wakicheza nyumbani Old Trafford, kwenye mechi
iliyomalizika kwa Man U kushinda 3-2. Arsenal walianza kwenda vibaya
kwa kufungwa na Chelsea, kabla ya kutibuliwa pia na Barcelona kwenye
mechi ya mkondo wa kwanza ya 16 bora katika Ligi ya Mabingwa Ulaya
(UCL) nyumbani Emirates; wlaifungwa 2-0.
Arsenal wanaonekana bado kujiamini, kwani kwenye mechi dhidi ya
Barcelona wiki jana, walicheza vyema lakini wakashindwa kutumia vizuri
fursa kadhaa walizopata na wangeweza kuibuka na ushindi.
Wakati wakitazamwa na wengi, shinikizo pia likiwa kwao ili waweze
kupanda na kuwakuta vinara wa ligi – Leicester na wapinzani wao wa
London Kaskazini – Tottenham Hotspur, walishindwa kuondoka walau na
pointi moja ugenini Jumapili hii.
Rashford alianzishwa na kocha Louis van Gaal dhidi ya timu ya FC
Midtjylland Alhamisi kwenye mechi ya Kombe la FA na akafunga mabao
mawili. Mchezaji wa zamani wa Man U, Danny Welbeck naye aliwazodoa
Mashetani Wekundu kwa kuwafunga tena, lakini Ander Herrera aliwafunga
Arsenal. Mesut Ozil alirejesha matumaini kwa kupachika bao lakini
United walisimama imara hadi mwisho na kushinda mechi hiyo.
Arsenal hawajatwaa ubingwa tangu 2004, na kwa matokeo ya Jumapili hii
wanabaki nafasi ya tatu wakiwa na pointi tano pungufu ya vinara na
tatu nyuma ya Spurs. Man U wamepanda hadi nafasi ya tano, wakiwa na
ushindi wa kwanza katika mechi tatu za EPL.
United walikuwa na kikosi cha vijana bila wazoefu wengi na Arsenal
walishindwa kutumia fursa hiyo kuonesha wana nia kweli ya kutwaa
ubingwa. Leicester walipata ushindi mwembamba dakika za mwisho dhidi
ya Norwich na Spurs wakawashinda Swansea ikimaanisha Arsenal wana kazi
ngumu zaidi.
Kocha Arsene Wenger ameshuhudia timu yake ikiyumba kwenye mashindano
matatu tofauti, kwani walitoshana nguvu na Hull kwenye michuano ya
Kombe la FA, hivyo kuwa na mechi moja ya ziada; kwa ajili ya marudiano
kujua iwapo wataingia robo fainali au la. Hili linaweza pia
kuwaongezea majeruhi.
Wakati kaimu nahodha msaidizi wa klabu hiyo, Per Mertesacker alisema
tatizo lao kubwa ni kwenye ushambuliaji, mambo yalikuwa tofauti
Jumapili hii na Wenger alilalamika jinsi walivyokubali mabao mawili
marahisi kufungwa. Mertesacker alikuwa benchi, nafasi yake
ikachukuliwa na Gabriel.
Mechi ijayo Arsenal watacheza na Swansea, wakati United watapepetana
na Watford walio katika nafasi ya 10.
Posted under: All Articles, Featured, Ligi kuu ya England, Man Utd, Pspf, Sport, Sports, Sports News
Tags: arsenal, EPL. Liverpool, Manchester United F.C.
| 2018-09-22T15:09:43 |
https://www.tanzaniasports.com/2016/02/29/arsenal-wapotea-njia/
|
[
-1
] |
Pineaple Cutter Dar Es Salaam | ZoomTanzania
Utambulisho wa Tangazo: 1684483
Popote ulipo itakufikia
Msimu wa mananasi, Usipate tabu ya kumenya mwisho ujikate kidole, Tumewaletea Pineapple Cutter, Ni rahisi kutumia na unapata shape nzuri ya kuvutia. Kwa Tsh 15,000/= tu. Unajipatia hata mwanao atamenya?
Mwanachama tangu 30. Nov '15 6 Total Ads / 6 Active Ads
| 2020-04-03T08:11:35 |
https://www.zoomtanzania.com/sw/vifaa-jikoni/pineaple-cutter-1684483
|
[
-1
] |
MATONDO: HAKA NDIKO KABINTI KANGU KA MWISHO. NA LEO KAMEFIKISHA MIAKA MINNE !!!
HAKA NDIKO KABINTI KANGU KA MWISHO. NA LEO KAMEFIKISHA MIAKA MINNE !!!
Kanaitwa Johari Long'hwe Matondo (Hilo jina la kati wazungu hawawezi kabisa kulitamka hata uwape nini). Na jana Mungu alikajalia kufikisha miaka minne. Kana afya njema, kana akili shuleni na ni kabinti kanakompenda Mungu sana. Kila siku asubuhi huwa kana tabia ya kusali. Utakasikia kaking'aka: "Hey, we haven't prayed yet!" Basi hapo hata wakubwa huwa tunaona aibu na familia nzima huwa tunakusanyika na kusali pamoja. Furaha na amani iliyoje !!!
Mara nyingi utakasikia kakinitakia mema: "Dad, You are going to have a good day today". Nami hapo huondoka nikiwa na nguvu mpya, ari mpya na kasi mpya. Ati, ni nini kinachoweza kushindana na sala ya kimalaika cha Mungu kama hichi? Ni uovu gani unaoweza kupambana na sala ya mtoto mdogo asiye na doa bado kama huyu?
Tunamuomba Mungu Aendelee kukakaondolea uovu wote na Akazidi kukashushia mibaraka tele na maisha marefu yenye furaha na heri. Amina !!!
Posted by Masangu Matondo Nzuzullima (MMN) at Monday, March 12, 2012
Yasinta Ngonyani March 12, 2012 at 11:52 AM
kaka huwa hawasemagi mwa mwisho ..LOL. Nadhani atakuwa sista huyu shangazi yangu.HONGERA SANA kwa kutimiza miaka.
NN Mhango March 12, 2012 at 4:48 PM
Long'hwe nakutakia afya njema hasa wakati huu wa kuadhimisha siku yako ya kuzaliwa. Happy Birthday to you Long'hwe. Kinehe mayu?
Matondo umeniacha hoi,yaani binti yako alikosakosa kuzaliwa siku niliyozaliwa.
kamala Lutatinisibwa Lutabasibwa March 12, 2012 at 5:46 PM
KAONGELE SANA BANA.
Rachel siwa Isaac March 12, 2012 at 8:34 PM
Hongera sana Shangazi Johari, Mungu azidi kukubariki na kukutumia,uwe na wakati mwema,Hongera pia wazazi Mungu azidi kusimamia malezi yenu!!!!Kamwisho????
Subi Nukta March 17, 2012 at 4:13 AM
Mungu akubariki binti Johari Long'hwe ukue katika hekima yote ukimpendeza Mungu na Wanadamu. Wazazi wako waendelee kuona na kupata faraja kwa kuwa nawe!
Baraka Mfunguo March 30, 2012 at 2:15 PM
Kuna vitu vingi alivyonavyo mwanadamu lakini kamwe hawezi kumfikia mtoto. Watoto hawana hila wala hatia katika mienendo yao bali hukumbana nayo. Na ndivyo wahenga walivyosema "Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo". Hongera sana Johari na hongera sana Profesa Matondo kwa kumwezesha mwanao kuweza kutimiza malengo yake.
| 2017-12-17T11:36:37 |
http://matondo.blogspot.com/2012/03/haka-ndiko-kabinti-kangu-ka-mwisho-na.html
|
[
-1
] |
Sudan kuwalipa fidia waathiriwa na mlipuko wa ugaidi balozi za Marekani Tanzania na Kenya - Bongo5.com
Sudan kuwalipa fidia waathiriwa na mlipuko wa ugaidi balozi za Marekani Tanzania na Kenya
Mahakama ya juu nchini Marekani imeiamuru Sudani kuwalipa fidia baadhi ya waathiriwa wa shambulio la mabomu mwaka 1998 katika balozi za Marekani nchini Kenya na Tanzania liliotekelezwa na wapiganaji wa kundi la al-Qaeda.
Zaidi ya watu 200 walifariki na maelfu kuathiriwa katika mashambulio hayo.
Sudan ilishutumiwa kwa kuipatia al-Qaeda na Osama Bin Laden usaidizi wa kiufundi na ule wa kifedha.
Uamuzi huo wa mahakama ya juu unawahusha raia wa Marekani, wafanyakazi wa balozi hizo na wanakandarasi.
Uamuzi huo unajiri wakati ambapo serikali ya Sudani inapigania kuondolewa katika orodha ya Marekani ya mataifa yanayofadhili ugaidi.
Sudan ‘yakana kuhusishwa na ugaidi’
Uamuzi huo ulioungwa mkono na majaji wengi unamaanisha kwamba takriban $800m kati ya $4bn ambazo ziliamrishwa na mahakama hiyo kuwafidia mwaka 2011 zimerejeshwa , Christopher Curran, ambaye alikuwa anaiwakilisha Sudan amenukuliwa na Ruters akisema.
Kuna jengo la kumbukumbu katika mji kuu wa Kenya Nairobi
Miaka tisa iliopita, jaji wa mahakama ya kijimbo mjin Washington alisema kwamba Sudan inafaa kulipa takriban $6bn kama fidia $4bn kama adhabu ya makosa , lilisema gazeti la The New York Times.
Mwaka 2017 , Sudan ilifanikiwa kuupinga uamuzi huo ikihoji kwamba walipatiwa fidia hiyo chini ya marekebisho ya sheria ya 2008 ambayo haiwezi kusimamia kitu kilichotokea miaka 20 iliopita.
Mahakama ya juu iliamua siku ya Jumatatu kwamba bunge la Congress lilisema ilikuwa inawezekana kutumiwa.
Kama kawaida , Sudan iliwaonea huruma waathiriwa wa ugaidi, lakini ikasisitiza kwamba haikuhusika na makosa yoyote yaliofanyika kuhusiana na kitendo hicho, alisema bwana Curran.
Kesi ya kutoa adhabu kwa Wakenya na raia wengine ambao hawakuajiriwa moja kwa moja na ubalozi pamoja na jamaa wa familia zisozotoka Marekani naa wale waliopata majeruhi ama kuuawa katika mashambulio hayo walirudishwa katika mahakama ndogo.
Mathew McGill ambaye alikuwa anawakilisha waathiriwa , alisema: Tuna matumaini kwamba hatua hiyo itasaidia Sudan kuafikia siluhu ya haki kwa waathiriwa wote.
Dola bilioni 6 za kulipa fidia hazikuwa na mgogoro wowote katika kesi hiyo na mwezi Februari iliripotiwa kwamba Sudan ilikuwa katika mazungumzo kuhusu kitita hicho ili kulipwa.
Wakati huo Sudan ilikuwa imekubali kuzifidia familia 17 za wanamaji walofariki wakati meli yao USS Cole iliposhambuliwa na al-Qaeda katika bandari ya Yemen 2000.
Haya yalikuwa masharti muhimu yaliowekwa na Marekani kwa Sudan kuondolewa katika orodha ya mataifa mabaya suala ambalo lingeruhusu vikwazo kuondolewa.
Serikali mpya nchini Sudan iliochukua madaraka kufuatia kupinduliwa kwa rais wa muda mrefu Omar el Bashir iko tayari kuimarisha uhusiano na Marekani hatua ambayo itasaidia kuifanya nchi hiyo kuondolewa vikwazo na kumaliza kutengwa kwa uchumi wake.
Bashir ambaye kwa sasa yuko kizuizini baada ya kuhukumiwa kwa ufisadi alikuwa madarakani wakati balozi hizo na meli ziliposhambuliwa.
| 2020-06-06T15:12:10 |
http://bongo5.com/sudan-kuwalipa-fidia-waathiriwa-na-mlipuko-wa-ugaidi-balozi-za-marekani-tanzania-na-kenya-05-2020/
|
[
-1
] |
Israel Yagiriza Irani ku Gutana mu Mitwe ku Rubibe rwa Israel, na Libani
Imodoka z'igisirikare ca Israel ziriko zirasha ku rubibe hagati ya Israel na Libani
Urubibe hagati y’ibihugu vya Israel, na Libani, rwari rutekanye, uno musi ku wa kane, umusi umwe inyuma y’ugutana mu mitwe,,kwahitanye abasirikare babiri b’igihugu ca Israel, n’umusirikare ajejwe gucungera umutekano w’ishirahamwe mpuzamakungu O-N-U.
Umushikiranganji wa mbere wa Israel, Benjamin Netanyahu, yagirije Irani, ku gitero cabaye, ku musi wa gatatu, ku rubibe n'igihugu ca Libani.
Netanyahu, yatangaje, ku musi wa kane, ko Israel izobandanya kwivuna abarondera kuyigeramira bose, baba bari hafi canke kure.
Urubibe hagati ya Israel, na Libani, rwari rutekanye, ku musi wa kane, umusi umwe inyuma y'ugutana mu mitwe, kuri urwo rubibe, kwahitanye abasirikare babiri b'igihugu ca Israel, n'umusirikare ajejwe gucungera umutekano, w'ishirahamwe mpuzamakungu, O-N-U.
Ugutana mumitwe, kwabereye ku rubibe rw’ivyo bihugu bibiri, ku musi wa gatatu, kwatanguye igihe umurwi w’abarwanyi, ufise icicaro mu gihugu ca Libani, Hezbollah, wakoresha amarokete, mu gitero, ku modoka z’igisirikare z’igihugu ca Israel.
Israel yishuye n’ibitero vy’indege z’ingwano, na vya muzinga.
Inyuma y’inama yo mu mwiherero, y’urwego rw’ishirahamwe O-N-U rujejwe kwubahiriza umutekano kw’isi, kuri ukwo gutana mu mitwe, urwo rwego rwariyamirije iyicwa ry’umusirikare ajejwe gucungera umutekano, w’ishirahamwe O-N-U.
AmbasaderI w’igihugu ca Espagne, mw’ishirahamwe O-N-U, Roman Oyarzun, yatangaje ko Reta yiwe ishaka itohoza, akaba yagirije igihugu ca Israel, ku rupfu rw’uwo musirikare ajejwe gucungera umutekano w’ishirahamwe O-N-U.
Umunyamabanga mukuru w’ishirahamwe O-N-U, Ban Ki-moon, yarerekanye impungenge, ku gutana mu mitwe kwabaye, ku musi wa gatatu, n’amarokete yarashwe, mu ntara ya Golan, avuye muri Syria, ku musi wa kabiri, mu vyatumye kandi ibitero vy’indege z’ingwano, z’igihugu ca Israel, mu kwishura.
| 2018-01-18T17:57:43 |
https://www.radiyoyacuvoa.com/a/2618462.html
|
[
-1
] |
DC MBONEKO AWAAGIZA MAOFISA KILIMO KUACHIA VITI MAOFISINI
HomeNEWSDC MBONEKO AWAAGIZA MAOFISA KILIMO KUACHIA VITI MAOFISINI
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga,Mhe. Jasinta Mboneko akizungumza kwenye mkutano na wananchi wa kijiji cha Manyada Kata ya Usanda kwa kusikiliza kero zao na kuzitatua na kuwaagiza maofisa kilimo watembelee wakulima na kutoa elimu ya kilimo cha kisasa kuanzia ngazi ya maandalizi ya mashamba. Picha zote na Marco Maduhu - Malunde1 blog
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga,Mhe. Jasinta Mboneko, akiwataka wananchi wa kijiji cha Manyada kuacha tabia ya kuharibu mazingira kwa kukata miti hovyo, huku akiagiza pia viongozi wa kijiji kujenga tabia ya kusoma mapato na matumizi.
Mtendaji wa kijiji cha Manyada Kata ya Usanda halmashauri ya wilaya ya Shinyanga, John Clement akisoma taarifa ya kijiji hicho, na kuelezea kuwepo na changamoto ya ukamilishwaji wa jengo la zahanati, miundombinu mibovu ya barabara, umeme, pamoja na ukosefu wa maji safi na salama hasa kutoka Ziwa Victoria.
Mwananchi John Joshua akiuliza swali kwenye mkutano wa mkuu wa wilaya ya Shinyanga,Mhe. Jasinta Mboneko wa kusikiliza kero zao na kuzitatua na kuuliza juu ya upatikanaji wa maji safi salama hasa mradi wa maji kutoka Ziwa Victoria na kuondokana na matumizi ya kutumia maji yasiyo salama.
Mwananchi John Daniel akiuliza swali kwenye mkutano wa mkuu wa wilaya ya Shinyanga,Mhe. Jasinta Mboneko na kuhoji juu ya fedha za ahadi za Rais John Magufuli shilingi Milioni 50 kwa kila kijiji.
Mwananchi Lukuliko Shija akiuliza swali kwenye mkutano wa mkuu wa wilaya ya Shinyanga,Mhe. Jasinta Mboneko juu ya sekta ya elimu, ujenzi wa vyumba vya madarasa kwenye shule ya msingi Manyada.
Mwananchi Terezia Bundala, akiuliza swali kwenye mkutano wa mkuu wa wilaya ya Shinyanga,Mhe. Jasinta Mboneko, juu ya ukamilishwaji wa Zahanati ya kijiji hicho ili ipate kuwasaidia kimatibabu na kuondokana na umbali mrefu wa kufuata huduma za afya.
Diwani wa kata ya Usanda ,Mhe. Forest Nkole akijibu maswali yaliyoulizwa na wananchi kwenye mkutano huo wa mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko wa kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua.
Mtendaji wa Kata ya Usanda Emmanuel Maduhu akijibu swali la gharama za ujenzi wa zahanati ya kijiji hicho ambalo liliulizwa na wananchi na kujibu imeshatumia fedha za Serikali Shilingi Milioni 18.5 ukitoa nguvu za wananchi na hadi kukamilika kwake zinahitajika zaidi ya Shilingi Milioni 40.
Kaimu Meneja Wakala wa Maji Safi Vijijini (RUWASA) Alfred Pesa akijibu maswali ya miradi ya maji ambayo yameulizwa na wananchi wa kijiji cha Manyada kwenye mkutano wa mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko wa kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua.
Dkt. Joseph Ngowi akimwakilisha Mganga mkuu wa halmashauri ya wilaya ya Shinyanga, akijibu maswali ya idara ya afya ambayo yameulizwa na wananchi wa kijiji cha Manyada kwenye mkutano wa mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko wa kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua.
Msimamizi wa umeme Vijijini (REA),Helly Twaha ambaye ni akimwakilisha meneja wa Tanesco mkoa wa Shinyanga, akijibu maswali ya umeme ambayo yameulizwa na wananchi wa kijiji cha Manyada kwenye mkutano wa mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, wa kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua.
Mkuu wa idara ya ardhi,Thomas Tukay akimwakilisha mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Shinyanga, akijibu maswali yaliyoulizwa na wananchi wa kijiji cha Manyada kwenye mkutano wa mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko wa kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua.
Wananchi wa kijiji cha Manyada Kata ya Usanda halmashauri ya wilaya ya Shinyanga, wakiwa kwenye mkutano wa mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko wa kusikilizwa kero zao na kupatiwa ufumbuzi.
Wananchi wa kijiji cha Manyada Kata ya Usanda halmashauri ya wilaya ya Shinyanga, pamoja na baadhi ya wataalamu,wakiwa kwenye mkutano wa mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko wa kusikilizwa kero zao na kupatiwa ufumbuzi.
Awali Mtendaji wa Kata ya Usanda halmashauri ya wilaya ya Shinyanga Emmanuel Maduhu(kushoto) akimwelezea mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko namna wananchi walivyojitolea kujenga Zahanati ya kijiji hicho na hatua walipofikia.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga,Mhe. Jasinta Mboneko (kulia) akiangalia Jengo la Zahanati ya Kijiji cha Manyada ambalo limejengwa kwa nguvu za wananchi likiwa limepasuka nyufa mara baada ya tetemeko la ardhi kupita eneo hilo, kushoto ni Dkt. Joseph Ngowi akimwakilisha mganga mkuu wa halmashauri ya wilaya ya Shinyanga.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga,Mhe. Jasinta Mboneko akiwa msibani na kutoa salamu za pole kwa diwani wa Kata ya Mwamala Hamisi Masanja, ambaye amefiwa na mtoto wa kaka yake, ambapo awali ilikuwa afanye mkutano wa hadhara kwenye Kata hiyo kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua, lakini baada ya kukuta msiba ilibidi aahirishe mkutano huo na kwenda msibani.
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga,Mhe. Jasinta Mboneko, ameendelea na ziara yake ya kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua ambapo amewaagiza maofisa kilimo kuacha tabia ya kukaa maofisini bali waanze kutembelea wakulima, na kuwapatia elimu ya kilimo cha kisasa kuanzia maandalizi ya shamba hadi mavuno.
Akizungumza wakati wa ziara yake leo Agosti 29,2019 kwenye kijiji cha Manyada kata ya Usanda halmashauri ya wilaya ya Shinyanga, mkutano uliofanyika kwenye jengo la Zahanati ya kijiji hicho ameagiza maofisa kilimo wote kuacha tabia ya kukaa maofisini.
Amesema hivi sasa wakulima wanapaswa kuanza kupewa elimu ya maandalizi msimu ujao wa kilimo, kuanzia namna ya kupata mbegu bora, kuandaa mashamba, madawa mazuri ambayo watatumia, pamoja na kulima kilimo cha kisasa chenye tija, ambacho kitawapatia mavuno mengi na kuinuka kiuchumi.
“Naagiza maofisa kilimo wote wa halmashauri ya wilaya ya Shinyanga, acheni tabia ya kukaa maofisini, bali tembeleeni wakulima na kuwapatia elimu ya kilimo cha kisasa chenye tija, kuanzia maandalizi ya shamba, pembejeo bora ambazo watazitumia hadi mavuno, ikiwa tunataka wakulima wanufaike na kilimo chao kuinuka kiuchumi,”amesema Mboneko.
“Pia nawaomba wakulima wa zao la pamba, mrudishe fedha za Pembejeo ambazo mlikopeshwa kwenye msimu wa kilimo uliopita, ili Serikali ipate fedha za kununua Pembejeo zingine ambazo zitawasaidia kwenye msimu ujao wa kilimo,”ameongeza.
Katika hatua nyingine amewapongeza wananchi wa kijiji hicho cha Manyada, kwa kujenga jengo la zahanati kwa nguvu zao wenyewe, ambalo limeshapauliwa na kuwataka wananchi waendelee kujitokeza kuchangia shughuli za maendeleo akibainisha kuwa, Serikali itawaunga mkono kukamilisha miradi hiyo.
Naye mtendaji wa kijiji cha Manyada John Clement, akisoma taarifa ya kijiji ametaja changamoto ambazo zinawakabili wananchi wa kijiji hicho kuwa ni kutokamilika ujenzi wa Zahanati, umeme wa REA kutoenea maeneo yote, pamoja na ubovu wa barabara.
Nao baadhi ya wananchi wa kijiji hicho cha Manyada wamepongeza ziara hiyo ya mkuu wa wilaya ya Shinyanga Jasinta Mboneko, ambayo imewapatia matumaini ya kutatuliwa kero zao, zikiwamo za miradi ya maji, barabara, umeme, elimu, pamoja na afya.
| 2019-09-18T22:38:25 |
https://news.bongoex.com/2019/08/dc-mboneko-awaagiza-maofisa-kilimo.html
|
[
-1
] |
Current Users Online: 32009
Topic: UHANITHI baada ya kitovu cha mtoto kukatika na kudondokea sehemu zake za siri
20th May 2008 18:39
Wandugu, Napenda kufahamu kitaalamu juu ya imani au uvumi kuwa mtoto mchanga anapozaliwa lazima mzazi na hasa mama ahakikishe kuwa kitovu cha mtoto huyo kitakapokauka na kudondoka basi kisiguse sehemu nyeti za huyo mtoto. Inasemekana kuwa ikitokea kuwa kitovu hicho kimedondoka na kugusa sehemu hizo nyeti basi mtoto huyo kama ni wa kiume atakuwa bwabwa na kama ni wa kike nae atakuwa msagaji? (hatakuwa na feeling za kuhitaji mwanaume)..
Nahitaji maelezo ya kitaalamu na hasa kwenu nyie wataalamu wa tiba kuhusu hili kwani yanazungumzwa lakini hakuna justification ya kitaalamu inayotolewa zaidi ya kuonekana ni mapokeo ya imani tu.
Kitaalamu hilo suala la kitovu kinapoangua na kugusa sehemu nyeti za mtoto na kumfanya awe hanidhi si ukweli. Mie nahisi ni mila za baadhi ya makabila.
Kitaalam mtoto kila anapokuwa katika kipindi fulani basi kuna mambo lazima atapitia,sasa mzazi ambaye atamkataza huyu mtoto kufanya haya mambo yanaweza kumuhathiri kisaikologia.
Mfano watoto wengi katika umri fulani huwa wanacheza kama vile wazazi katika familia,mtoto wa kiume baba na mtoto wa kike ni mama,so hawatakiwi kukatazwa,kwani ni mambo ya kupitia na baadae wataacha.
Pia kuna umri fulani watoto huwa wanajisaidia haja kubwa au ndogo pasipo kujielewa,mzazi hautakiwi kumpiga na kumtisha mtoto, kwasababu hiyo ni hali kutokana na kutokomaa kwa mfumo wake wa fahamu,pindi mzazi utapokuwa unampiga na kumtishia ili aache hiyo tabia ni kweli ataacha ila yaweza kuwa ikamuathiri ukubwani.
24th May 2008 15:44
Re: Nini uhusiano wa kitovu na uhanithi???
Inadaiwa kuwa kitovu cha mtoto aliyezaliwa huwa kinaandamana na mikosi na mabalaa mengi kutoka kwa mama. na ndio maana hutakiwa kuzikwa ardhini (kwa kiasili) na sio kutupa sehemu yoyote. Maelezo haya hayana utaalamu wo wote ila ni mambo ya kimila tu. ajabu ni kuwa makabila mengi hapa nchini yanaamini hivyo!
24th May 2008 21:27
2nd June 2008 15:00
zamani wazazi waliambiwa kuwa kitovu kikidondokea kwenye sehemu za uzazi itasababisha uhanithi kuwatisha kinamama ili wawe waangalifu na kidonda cha mtoto mchanga kitovuni, wasisahau kukiangalia na maendeleo yake kuepusha vifo vya infection, lakini hakuna uhusiano
kvelia, MIGNON, Maty and 1 others like this.
10th September 2008 14:20
Mtoto akiangukiwa na kitovu
Hii nilipata kuisikia siku nyingi kidogo ya kwamba kama mtoto mdogo ataangukiwa na kitovu(Kile kijipande cha nyama kinachodondoka baada ya kitovu kukauka na kupona siku kadhaa baada ya mtoto kuzaliwa),sasa hicho kijipande kikimuangukia sehemu zake za siri,basi kama mtoto huyo ni wa kiume hatoweza kuattain erection maisha yake yote.
Huyu aliyeniambia akazidi kusema,ndo mana wakina mama uwa makini sana vitovu hivi,vinadondokea wapi?Mnaoshinda mawodini na mahospitalini tuambieni,jee hii ni kweli na kama ni kweli what is the mechanism behind.
10th September 2008 14:27
Re: Mtoto akiangukiwa na kitovu
By Baba watatu
...Bora Baba watatu umeweka hii thread hapa tunaweza kupata ufumbuzi wa kitaalam kuhusu hiyo mi naiita imani au mtazamo wa mashaka. Niliwahi kuichomeka thread inayohusiana na hili jambo lakini kwa mshangao ikayeyuka.....Haya matabibu mtujuze kuna connection gani kati ya kuangukia kitovu sehemu ya siri ya mtoto na uhanithi.
Baba watatu, wengine hudai hata kwa mtoto wa kike pia ikimtokea anapokuja kupevuka hatakuwa na msisimko wa mapenzi??????????????
10th September 2008 15:11
Jambo la kujiuliza Baba watatu na Kipanga ni Je kuna mtu mzima aliyekuwa na matatizo ( kutopata erection au kutokuwa na msisimko) ambaye alisema nilipokuwa mtoto kitovu kiliangukia sehemu za siri? Kwa jamii yetu ninavyoielewa, mtu hawezi kusema matatizo yake au kwenda kuuliza mama kuwa nilipokuwa mdogo kitovu kiliangukia wapi. Pia jinsi akina mama kwa imani wanavyo protect hicho kitovu kisiangukie pabaya, ni ajabu kuwa watu wengi wana hayo matatizo. Je, wote hao vitovu viliangukia pale??
...Ndio maana tulitaka wataalamu wa tiba watujuze kwani imeshakuwa mazoea kuwa mtu akishindwa ku-erect inaaminika aliangukiwa na kitovu sasa mimi binafsi nashindwa kuelewa kitovu kina nini mpaka kiathiri erection ya mtu ingawa kiukweli erection inaendana sana na jinsi brain inavyosense kile kitendo kinachotegemewa kufanyika (mapenzi/sex)
Unajua hata wakati mtoto wangu wa pili anazaliwa bibi yake mzaa mimi alimfatilia sana huyo mtoto hadi alipohakikisha kitovu kimekauka na kimedondokea maeneo aliyoita mwenyewe salama....Mi nilikuwa mtazamaji tu kwani si mama wala bibi wa mtoto aliyekuwa tayari kunielezea nini kinachoendelea.....WANA JF hebu tutoeni tongo tongo basi....
19th August 2009 10:53
Kudondokewa na kitovu
Nimepata kusikia huko uswahilini kuwa, eti mtoto wa kiume akidondokewa na kitovu chake ndo basi tena. Yaani jogoo halitapanda mlima. Mimi sioni uhusiano wa kisayansi hapo. Je kuna ye yote ajuaye anisaidie/atusaidie kupata ukweli wa jambo hili?
19th August 2009 16:33
Join Date : 15th September 2007
Re: kudondokewa na kitovu
kitovu kudondoka ndio kufanya nini wandugu
19th August 2009 16:45
Hata mimi niliposikia nikakosa jibu,lakini ni jambo la kawaida mitaani kusikika hasa huku Pwani.
19th August 2009 20:05
kituvo kikidondokea uume kwa mtoto mchanga, basi jogoo hilo litakuwa haliwiki na kama litawika basi litakuwa na walakini. Hizo ni imani za kale
19th August 2009 20:28
Sehemu nyingi tu wanaamini hivyo. Ni kweli kabisa. Kitovu kikiangukia uume wa mtoto mchanga wakati kinapokatika mara baada ya mtoto kuzaliwa mtoto hukua bila nguvu za kiume. Ndo maana wamama huwa wako makini sana na watoto wao. Yaani ndo basi tena, jogoo hatapanda mtungi. Sababu zenyewe ni za kisaikolojia zaidi. Mtoto anakuwa affected kitovu kikigonga uume kinapokatika.
20th August 2009 17:04
Hii hadithi imakuwa ikisimuliwa for ages, especially kwa wanawake. Na hata pale unapotoka kujifungua nurses wanakwambia namna ya kuangalia kitovu cha mtoto, kusafisha mpaka kikauke, na hapo ndipo wanakwambia kwamba uwe makini kitovu kisidondoke kwenye uume wa mtoto. Sasa hili ni la ki-medical au ki-imani?
20th August 2009 17:21
mhhhh mwenzangu hata mimi nilipojifungua mwanangu niliambiwa hivyohivyo, ila bwana i culdnt dare kubisha, nikasema hata kama siamini sitaki mwanangu awe ndo test na ukizingatia psychology ya mama anapotoka tu kujifungua akili yote inakuwa kwa mtoto na hutaki baya lolote litokee juu yake,basi nilikuwa nawatch kile kitovu kama nini sijui, kilikatika siku ya saba ndio nikaanza hata kulala usingizi, nadhani ni imani tu ila mama akiambiwa hivyo huwa anaamini kwa wakati ule, nani anyetaka mtoto wake asiwe rijali? akamletea mkwe na vijukulu jamani?
20th August 2009 17:30
mimi nilisikia kitovu kikimdondokea mtoto wakike kwenye sehemu zake za siri atakuwa anajikojolea mpaka ukubwani sasa sijui kweli.
20th August 2009 18:28
20th August 2009 21:11
ni kweli ni vigumu kudharau suala hili, hata my wife wangu alipata shida sana kwani alielekezwa hivyo pale Mhimbili, na hatukudhubutu kufikiria kudharau kwani suala lenyewe linagusa mahali pabaya sana (kama Rais Mstaafu Mzee Mwinyi alivyokuwa akisema).
20th August 2009 21:41
Hii ni mila ya siku nyingi sana, na imerithishwa kizazi hadi kizazi.
Madhumuni haswa ya kina mama kuambiwa hivyo, ni kuwataka wawe makini sana na kidonda kilichopo hapo (Kitovuni), kwani wakifanya mchezo na kidonda kikipata athali yoyote (Bacteria na Vijidudu vya Pepo punda), Mama anaweza kumkosa mtoto wake.
Ili wazazi (wakina mama) wawe makini na kumuangalia mtoto, ndio ikaja dhana hiyo ya Kitovu cha mtoto kiangaliwe sana ili kisije kumuangukia mtoto na kuwa na matatizo hayo yaliyo tajwa, na hii ni kuwa tunazingatia sana urijali na kuendeleza familia zetu.
21st August 2009 00:47
Naweza kukubaliana na wewe,yaani wana-draw attention ya wazazi juu ya kidonda. Kitovu kinapodondoka hakina tena communication na sehemu nyingine ya mwili,kwanza huwa kimekufa,sasa taarifa toka kwenye kitovu mfu kwenda kwenye mwili hai ni ngumu kidogo. Kateni nondo tuendelee kufaidi.
Kinyama kutoka ukijisaidia haja kubwa
| 2013-05-23T07:46:43 |
http://www.jamiiforums.com/jf-doctor/293629-uhanithi-baada-ya-kitovu-cha-mtoto-kukatika-na-kudondokea-sehemu-zake-za-siri.html
|
[
-1
] |
Jini kabula amwanika wa ubani wake - LEKULE BLOG
Jini kabula amwanika wa ubani wake
Sostenes Lekule Wednesday, December 30, 2015 BURUDANI
MSANII wa filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ hivi karibuni alimwanika mpenzi wake kwenye mtandao wa kijamii wa WhatsApp na kuambatanisha na maneno ya kimahaba.
Jini Kabula aliweka picha ya mpenzi wake huyo ambaye hakutaka kumtaja jina huku akiambatanisha na maneno ya kimahaba na alipoulizwa kuhusu suala la ndoa alisema halipo bali ni marafiki tu.
“Huyu ni rafiki yangu sana na niliweka picha tukiwa pamoja kwenye profile yangu na kuandika maneno yale kwa sababu nilijisikia tu kuyaandika, suala la ndoa halipo na wala sifikirii maana maisha haya yenyewe ni ndoa tosha,” alisema Jini Kabula
| 2018-07-22T12:28:45 |
https://sosteneslekule.blogspot.com/2015/12/jini-kabula-amwanika-wa-ubani-wake.html
|
[
-1
] |
Kipa mkongwe wa Harambee Stars, Mahmoud Mohammed aonja mauti - BANA MICHEZO/SPORTS (KE)
Home Swahili Trend Kipa mkongwe wa Harambee Stars, Mahmoud Mohammed aonja mauti
by Beki Geoffrey Mwamburi August 29, 2017
Marehemu Mahmoud Mohammed aliyekuwa kipa wa timu ya taifa ya soka Harambee Stars. Picha/Kwa hisani ya Sumba Bwire, karani wa FKF, tawi la Pwani kusini
Aliyekuwa kipa wa timu ya taifa ya soka Harambee Stars mkongwe Mahmoud Mohammed ameaga dunia.Kulingana na ripoti, atazikwa alasiri ya leo katika maziara ya Allidina karibu na hospitali kuuya pwani maarufu Coast General.
Mwendazake aliaga dunia hapo jana usiku akiwa na miaka 68 nyumbani kwake Sega, hii ni baada ya kurejea kutoka India alipofanyiwa matibabu ya ziada.
Mahmoud Mohammed aliyeishi Mombasa aliugua kiharusi na ugonjwa wa moyo na kulazwa kwa siku kadhaa.
Mohammed aliidakia Stars kwenye kombe la Gossage miaka ya 70 akiwa na Joe Kadenge, Jonathan Niva, William Chege Ouma na marehemu James Sianga.
Ametajwa kama moja wapo ya makipa bora kuwahi kushuhudiwa katika ukanda wa pwani akiwa pamoja na somo yake Mahamoud Abbas maarufu Kenya One.
Mahmoud alicheza pamoja na Anthony Makunda, Kadir Farrah, Ahmed Breik, John Nyawanga, James Siang'a , Dan Anyanzwa miongoni mwa wengine.
Abbas mwaka jana aliwasilisha wito kwa serikali kuu akiwemo rais Uhuru Kneyatta alipokuwa akisaka usaidizi wa fedha za kugharamia matibabu yake nchini India na wito huo ukapokelewa na Rais aliyetoa mchango wa pesa taslimu kisha baadae akamchangia mkongwe Joe Kadenge.
Marehemu ambaye ni baba wa watoto wanne aliisakatia Stars baina ya mwaka wa 1968 na 1974 baada ya kugunduliwa kwa talanta yake akiwa na miaka 19 alipomaliza masomo katika shule ya Arab Boys na ile ya upili ya Khamis.
Alipiga soka lake la kwanza dhidi ya Zanzibar Tanzania kwenye dimba la Afrika Mashairki akiwa na miaka 23 kabla ya kujiunga na timu ya taifa kwenye kipute cha mataifa bingwa Afrika mwaka wa 1972 kilichoandaliwa nchini Cameroon.
Mahmoud alitembelea mataifa mengi ikiwemo Ujerumani alipokaa huko kwa kipindi cha mwezi mmoja unusu kabla ya kurejea nyumbani mwaka wa 1999.
Alipata maumivu ya moyo mwaka wa 2005 kabla ya kuandamwa na kiharusi mwaka wa 2015 ugonjwa uliomfanya kupooza upande mmoja wa mwili.
Kipa mkongwe wa Harambee Stars, Mahmoud Mohammed aonja mauti Reviewed by Beki Geoffrey Mwamburi on August 29, 2017 Rating: 5
Trend (79) Swahili (56) Soccer (20) Celebrity (5) Celebs (1)
Zidane needs either Sadio Mane or Jodan Sancho to boost forward -Real Madrid
Real Madrid manager Zinedine Zidane. PHOTO | BBC Real Madrid is keen on signing one of the two players after they were unable to sig...
Romelu Lukaku scores 4 goals on his first match appearance
Romelu Lukaku in inter Milan. PHOTO | SKY SPORTS Romelu Lukaku first game at inter Milan scored four goals. It's awakening tim...
Liverpool to thrash Chelsea on UEFA super cup - Sadio Mane
Sadio Mane with Vigil Van Djik. PHOTO | SKYSPORTS Liverpool star Sadio Mane will bring a difference in the squad today when they w...
Mesut Ozil and Kolasinac to miss Arsenal opening due to robbery charges
Ozil misses Arsenal opening. PHOTO | SKYSPORTS Arsenal to start their season without two great players. The players will not be part of the ...
30 years without being in UEFA champions, Wolves back to battle with Torino in Europa playoffs
After more than 30 years without being in Europa leagues, Wolverhampton will play with Torino in the Europa League playoffs. Finished ...
| 2019-08-19T14:03:51 |
https://www.sports.bana.co.ke/2017/08/kipa-mkongwe-wa-harambee-stars-mahmoud.html
|
[
-1
] |
MAHAKAMA YATUPILIA MBALI KESI YA ZITTO NA WENZAKE KUPINGA MUSWADA | Dar Mpya Online TV
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeifuta kesi iliyofunguliwa na Kiongozi wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe na wenzake wa vyama vya upinzani waliyokuwa wakiitaka mahakama hiyo kuzuia kusomwa kwa Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Vyama vya Siasa wakidai kuwa uko kinyume na katiba ya nchi.
“Mahakama imeondoa shauri letu dhidi ya serikali kupinga muswada wa sheria ya vyama vya siasa na kifungu cha 8(3) cha sheria ya Haki na Wajibu ( BRADEA ) kwa sababu ya maombi hayo mawili kuunganishwa. Kufuatia uamuzi huo wa mahakama tumeagiza mawakili leo wafungue kesi mpya ya BRADEA” amesema Zitto na kuongeza kwamba;
Aidha Zitto Kabwe amesema hawatokata tamaa na wataendelea kuupinga muswada huo.
Katika hatua nyingine, Kesi ya ‘uchochezi’ inayomkabiili Mbunge wa Kigoma Mjini, Zito Zuberi Kabwe imeahirishwa mpaka Januari 29, itakapoitwa kwa ajili ya kwenda kusikilizwa
Kesi hiyo ya Jinai namba 327 ya Mwaka 2018 inayomkabili Kiongozi huyo, leo tarehe 14 Januari 2019 katika Mahakama ya Kisutu, Jijini Dar es salaam ilifika kwa ajili ya kutajwa na kutolewa maamuzi ambayo yalitolewa na Hakimu Mkazi, Janeth Mtega baaada ya kusikiliza hoja za pande zote mbili (Mashtaka na utetezi).
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi CCM, Humphrey Polepole ameweka wazi mipango ya...
| 2019-01-18T17:30:58 |
https://www.darmpya.com/mahakama-yatupilia-mbali-kesi-ya-zitto-na-wenzake-kupinga-muswada/
|
[
-1
] |
MBAPPE ANAYEWAPELEKA MBIO VIGOGO WA HISPANIA, REAL NA BARCA - BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE MBAPPE ANAYEWAPELEKA MBIO VIGOGO WA HISPANIA, REAL NA BARCA - BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE
Mwanzo > HABARI ZA ULAYA > MBAPPE ANAYEWAPELEKA MBIO VIGOGO WA HISPANIA, REAL NA BARCA
MBAPPE ANAYEWAPELEKA MBIO VIGOGO WA HISPANIA, REAL NA BARCA
Mshambuliaji Mfaransa, Kylian Mbappe anayetakiwa na vigogo wa Hispania, Barcelona na Real Madrid kwa dau la Pauni Milioni 160 akiwa mazoezini na timu yake, Monaco jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Item Reviewed: MBAPPE ANAYEWAPELEKA MBIO VIGOGO WA HISPANIA, REAL NA BARCA Rating: 5 Reviewed By: BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
| 2017-10-18T00:10:32 |
http://www.binzubeiry.co.tz/2017/08/mbappe-anayewapeleka-mbio-vigogo-wa.html
|
[
-1
] |
Subsets and Splits
No community queries yet
The top public SQL queries from the community will appear here once available.