text
stringlengths
44
187k
timestamp
timestamp[us]
url
stringlengths
16
3.37k
dup_ids
list
MALIASILI ZETU: Serikali imeombwa kulinda usalama wa Tembo‏ Serikali imeombwa kulinda usalama wa Tembo‏ Serikali imeshauriwa kuiomba China kutekeleza ahadi yake ya kufunga masoko yote ya meno ya Tembo ili kuweza kulinda usalama wa muda mrefu wa wanyama hao kwani nchi hiyo ni mtumiaji mkubwa wa meno hayo na kwa kufunga biashara hiyo kutapelekea kuanguka kwa haraka kwa biashara katika sehemu nyingine ulimwenguni. Ombi hilo limetolewa leo na Taasisi inayopinga uwindaji haramu wa tembo wakati wakisoma barua yao ya wazi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli mbele ya waandishi wa habari katika ukumbi wa mikutano wa Idara ya Habari uliopo jijini Dar es Salaam. Akisoma barua hiyo Shubert Mwarabu ambaye ni mratibu wa kampeni ya okoa Tembo wa Tanzania alianza kumpongeza Mhe. Rais kwa kuchaguliwa kuwa rais wa awamu ya tano na kuisihi Serikali kutumia urafiki wa kihistoria kati yake na China kufunga masoko ya meno ya Tembo yaliyopo nchini China. Alisema takribani asilimia 90 ya meno ya Tembo toka Tanzania yanauzwa China, ambapo biashara halali ya meno ya Tembo inatumika kama mwavuli wa biashara haramu ya meno ya Tembo ambacho ndio chanzo kikuu cha tatizo la ujangili wa Tembo. “Tunakuandikia barua leo kukuomba kuchukua hatua juu ya suala la kupungua kwa kasi idadi ya Tembo nchini kutokana na ujangili kwa ajili ya biashara haramu ya meno ya Tembo”. “Kutokana na Ripoti ya Sensa ya TAWIRI 2014 Miaka hamsini iliyopita, kulikuwa na Tembo 300,000 nchini Tanzania. Mwaka 2009, kulikuwa na Tembo 109,000. Leo, inakadiriwa kuna Tembo 43,000 tu waliobaki – upungufu wa asilimia 60 ndani ya miaka mitano tu”, alisema Mwarabu. Aliendelea kusema wanatambua hatua zilizofanyika kukabiliana na tatizo la ujangili. Uundaji wa mikakati ya kitaifa dhidi ya ujangili, juhudi za Kikosi Kazi cha National and Transnational Serious Crimes Investigation Unit (NTSCIU) na kuongeza rasilimali kwa mamlaka ya wanyamapori ni hatua muhimu. Alisisitiza, “Nchi yetu imekuwa mstari wa mbele katika uhifadhi wa Tembo hapo kabla. Mwaka 1989, Tanzania iliongoza jitihada za kupiga marufuku biashara ya meno ya Tembo ulimwenguni tulipochukua hatua kukomesha mauaji ya Tembo, dunia nzima ilituunga mkono. Ni lazima turejeshe upya dhamira yetu kwa ahadi tuliyojiwekea kwa hatua ya kimataifa zaidi ya miaka ishirini iliyopita, na kuleta ukomo wa biashara yote ya meno ya Tembo”. “Tunaiomba serikali kuwakamata na kuwashitaki wafanyabiashara wakubwa wa meno ya Tembo nchini, bila kujali utaifa, hadhi au mamlaka, kuteketeza hadharani ghala ya meno ya Tembo Tanzania – inayosadikika kuwa kubwa kuliko yote ulimwenguni kwani ni gharama kutunza na kulinda ghala la meno ya Tembo Tanzania”.
2018-05-26T23:49:14
http://www.maliasilizetu.com/2015/11/serikali-imeombwa-kulinda-usalama-wa.html
[ -1 ]
TANZANIA: Nina imani mashabiki zangu watanifanya nishinde tuzo za #EATV – Bright - News | Mdundo.comHomeChartsArtistsNewsPlaylistsSearchLoginLogout play TANZANIA: Nina imani mashabiki zangu watanifanya nishinde tuzo za #EATV – BrightGet Mdundo android appTweet16.11.2016 Msanii Bright ambaye anawania tuzo ya msanii bora chipukizi kwenye #EATVAwards, amesema ana imani mashabiki wake ndiyo watakaompa ushindi, kutokana na suport kubwa anayoipata kutoka kwao. Akizungumza kwenye kipindi cha 5SELEKT cha EATV, Bright amesema anaamini mashabiki wake watambeba kwenye kupiga kura na hatimaye kuweza kuwabwaga wasanii wenzake kwenye kipengele hicho, kwani wao ndiyo watu wa mwisho wenye maamuzi juu yeye kushinda au la."Nina fanbase kubwa sana, mashabiki wangu wanaona kazi yangu wananikubali, na nina imani wao ndiyo watanifanya nishinde kwa kunipigia kura, kwani siku zote wananiunga mkono kwenye kazi zangu", alisema Bright. Bright ambaye mpaka sasa ana kazi moja tu ambayo ndiyo imemfanikisha kupenya kwenye #EATVAwards, amesema anajiamini kuwa atashinda tuzo hizo, ingawa kwake ni changamoto kubwa. "Najiamini kwanza nafanya kitu kikubwa, watu wanajua, watanzania wanajua kuwa nafanya kitu kikubwa, kwa hiyo ni uaminifu tu kwa sababu biashara yangu ina uzika, lazima niipeleke sokoni. Pia Bright amewataka wasanii wengine chipukizi kuwa na uthubitu na kuishi katika ndoto zao kwa vitendo. Unaweza kutazama video ya Bright iitwayo 'Nikutunzie': Pakua app ya Mdundo sasa: smarturl.it/mdundo_ig_play_tz← Navy Kenzo profile & musicLeave your commentMdundo weekly Top 5 Download 1 Nikki Mbishi - I'm Sorry JK 3:56 Download 2 Darasa - Weka Ngoma 4:39 Download 3 Collo - Bazokizo ft Bruz Newton 3:15 Download 4 Willy Paul - Tiga wana feat. Size 8 3:46 Download 5 Navy Kenzo - Kamatia 3:12Top 5 storiesNEW MUSIC (TANZANIA): Midundo Mipya Toka Bongo!02 DecemberTANZANIA: Ningekuwa Diamond nisingejiita simba - Darassa04 JanuaryCHARTS: TOP 10 TANZANIAN SONGS04 DecemberNEW MUSIC (TANZANIA) – Sikiliza hii mpya kwa mwaka 2016 toka kwa Linex ‘Kwa Hela’15 JanuaryTANZANIA: Maneck aliwahi kunitosa - Darassa09 January Other newsKENYA: DID KENYAN QUEEN OF RAP STL CRUSH EXZHIBIT IN A RAP BATTLE?16 JanuaryKENYA: THE BEST OF KENYA AND TANZANIA - KHALIGRAPH JONES X YOUNG KILLER COLLABO COMING SOON16 JanuaryUGANDA: Concert Fever Raves Around Kampala!16 JanuaryKENYA: JAGUAR THANKS POXI PRESHA12 JanuaryKENYA: SQUAD GOALS INSPIRED BY JAGUAR10 JanuaryKENYA: SUDI BOY TELLS OF LIFE AFTER LOOSING HIS WIFE10 JanuaryTANZANIA: Maneck aliwahi kunitosa - Darassa09 JanuaryTANZANIA: Tuzidi kumsapoti Ben Pol - AY09 JanuaryTANZANIA: (New Video) – Snura Mushi – Shindu09 JanuaryTANZANIA: (New Video) – Young Killer – Sinaga Swagga09 JanuaryTANZANIA: Ben Pol awachana wanaoichukia #Muziki04 JanuaryTANZANIA: Ningekuwa Diamond nisingejiita simba - Darassa04 JanuaryTANZANIA: Kwamujibu wa manager wa Young D, rapper huyo amerejea tena kwenye dawa za kulevya04 JanuaryTANZANIA: Feza Kessy awalilia Chid Benz pamoja na Nando03 JanuaryTANZANIA: 2017 miujiza inaendelea - Darassa03 JanuaryTANZANIA: VIDEO – Huyu Yesu03 JanuaryTANZANIA: 2017 ni mwaka mzuri sana kwangu na nawaahidi makubwa - Nikki mbishi02 JanuaryTANZANIA: Nimechoshwa kuzungushwa – Young Killer02 JanuaryTANZANIA: Madawa ya kulevya yamuathiri mshiriki wa Big Brother Nando02 JanuaryTANZANIA: Songa anakwenda alipo Darasa – Nay Wa Mitego20 DecemberTANZANIA: Belle 9 nae achukua vionjo vya Saida Karoli20 DecemberTANZANIA: DARASSA SURVIVES GRIZZLY ROAD ACCIDENT20 DecemberTANZANIA: LADY JAYDEE'S WEDDING BELLS RINGING20 DecemberKENYA: WILLY PAUL BELITTLES HATERS20 DecemberUGANDA: WIZKID ARRESTED IN UGANDA20 DecemberTAZANIA: MR. NICE BREAKS SILENCE TO CLEAR FALSE RUMORS15 DecemberKENYA: JIMMY GAIT FINALLY BREAKS SILENCE13 DecemberKENYA: AKOTHEE DENIES VYING FOR POLITICAL SEAT13 DecemberLOVE: CELEBRATING 8 YEARS OF NOTHING BUT LOVE IS NAVY KENZO13 DecemberKENYA: ARTISTS WIN BIG AT THE PULSE MUSIC VIDEO AWARDS13 DecemberKENYA: LIVING LEGEND JUACALI TO FEATURE IN SOON TO AIR TV SHOW13 DecemberKENYA: CINDY SANYU SET TO PERFORM IN KISUMU09 DecemberKENYA: VICTORIA KIMANI'S 1st LOVE09 DecemberKENYA: TEEZEH TELLS HIS LIFE STORY IN NEW HIT SONG 'HALLELUYAH'09 DecemberKENYA: SIZE 8 AND BABY LADASHA ARE MAKING MILLIONS09 DecemberUGANDA: UGANDAN SONGSTRESS FILLE DENIES PREGNANCY RUMORS09 DecemberTANZANIA: Wimbo wa Cash Madame ni mahsusi kwa wanawake wanaojitegemea.07 DecemberTANZANIA: Diamond na Zari wapata mtoto wa pili07 DecemberTANZANIA: Kazi zipo nyingi zinakuja, sema siwezi kuahidi ni lini - Billnas07 DecemberTANZANIA: Rama Dee aelezea uhusiano wa umri mkubwa wa msanii na kuchuja kimuziki06 DecemberTANZANIA: Darasa afunguka juu ya mitazamo ya mashabiki kumtaja kuwa rapa namba 1 kwa sasa06 DecemberTANZANIA: RICH MAVOKO GETS INTERNATIONAL AIRPLAY06 DecemberKENYA: KHALIGRAPH JONES IS GOING INTERNATIONAL06 DecemberKENYA: KAMBUA SIGNS MAJOR DEAL AS BEAUTY AMBASSADOR05 DecemberKENYA: SAUTI SOL AND VICTORIA KIMANI NOMINATED FOR THE SOUNDCITY MVP AWARDS 201605 DecemberKENYA: CREATIVES WIN BIG AT THE KISUMU TEENIZ CHOICE AWARDS05 DecemberKENYA: 'I WAS NOT IMPRESSED' TANZANIAN MUSICIAN TELLS ERIC OMONDI05 DecemberKENYA: KING KAKA GETS AMBASSADORIAL ROLE FROM UNICEF05 DecemberKENYA: VICTORIA KIMANI RELEASES HER NEW ALBUM 'SAFARI' AT THE TRIBE05 DecemberUGANDA: WIZKID'S SHOW IN KAMPALA POSTPONED05 DecemberNext page Home · About us · Join as an artist · Terms of use · Privacy policy ·
2017-01-17T00:50:53
http://mdundo.com/news/10151
[ -1 ]
Siwezi kuhudhuria tamasha la Diamond - AliKiba | MUHABARISHAJI Home Habari Na Matukio Siwezi kuhudhuria tamasha la Diamond – AliKiba Siwezi kuhudhuria tamasha la Diamond – AliKiba Msanii wa muziki, AliKiba amesema hawezi kushiriki kwenye tamasha la Diamond Platnumz kwa sababu na yeye anatafuta mafanikio na hana ugomvi na msanii huyo. Akizungumza na waandishi wa habari jana Kiba amesema, “Ninamuheshimu kwa namna anavyoutangaza muziki, lakini siwezi kutumbuiza kwenye tamasha lake kwa sababu na mimi natafuta mafanikio yangu, ”amesema Kiba. Amesema atafanya ziara aliyoiita ‘Unforgatable’ nchini nzima akiweka kambi za kupima afya kila mkoa kwa magonjwa yasiyo ya kuambukiza. Kiba amelazimika kutoa ufafanuzi kuhusu suala hilo mara ya pili, wiki iliyopita Diamond alisema uongozi wa lebo ya WCB unafanya mazungumzo na Kiba ili akatumbuize kwenye tamasha la Wasafi Festival linalofanyika leo kwenye viwanja vya Posta Kijitonyama Jijini Dar es Salaam, Tanzania. Previous articleWanafunzi waaswa kuzingatia kilichowapeleka chuoni Next articleMbunge ataka kipaumbele sekta ya kilimo
2019-12-12T11:23:18
https://www.muhabarishaji.com/2019/11/siwezi-kuhudhuria-tamasha-la-diamond-alikiba/
[ -1 ]
Taarifa ya Mamlaka ya Dawa na Chakula TFDA kuhusu Dawa bandia zilizokamatwa ~ Siasa Huru Home Siasa, TFDA No comments MADAWA bandia na yasiyo sahihi kwa matumizi ya binadamu yamekamatwa maeneo ya Kanda ya Ziwa na Nyanda za Juu Kusini baada ya kufanyika ukaguzi maalum wa kutafuta dawa bandia katika maeneo hayo iliyofanyika hivi karibuni.
2017-01-18T01:35:23
http://www.siasahuru.com/2016/10/taarifa-ya-mamlaka-ya-dawa-na-chakula.html
[ -1 ]
MIKE TYSON ANAVYOJIANDAA KUREJEA ULINGONI UZEENI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE MIKE TYSON ANAVYOJIANDAA KUREJEA ULINGONI UZEENI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE Mwanzo > NDONDI > MIKE TYSON ANAVYOJIANDAA KUREJEA ULINGONI UZEENI Bondia mstaafu, Mike Tyson mwenye umri wa miaka 53 (kushoto) akiwa gym kujijndaa kurejea uliangoni tangu alipopigana kwa mara ya mwisho Juni 11, mwaka 2005 na kushindwa kwa pinti na Kevin McBride ukumbi wa MCI Center Jijini Washington. Promota wa ngumi Jijini Melbourne, Brian Amatruda amempa Tyson ya kurudi ulingoni kwa pambano na gwji wa Rugby, Sonny Bill Williams nchini Australia PICHA ZAIDI GONGA HAPA [email protected] Mahmoud Bin Zubeiry at 07:14 Wednesday, May 06, 2020 Item Reviewed: MIKE TYSON ANAVYOJIANDAA KUREJEA ULINGONI UZEENI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
2020-08-04T19:49:16
http://www.binzubeiry.co.tz/2020/05/mike-tyson-anavyojifua-kujiandaa.html
[ -1 ]
DR. NTUYABALIWE FOUNDATION YAHIMIZA WANAFUNZI KUSOMA VITABU | PAMOJA BLOG » Miss Tanzania » DR. NTUYABALIWE FOUNDATION YAHIMIZA WANAFUNZI KUSOMA VITABU 5/06/2017 04:10:00 PM Awali Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Mwl. Bernadicta Lyimo, alitoa shukrani kwa Dr. Ntuyabaliwe Foundation kwa mchango wake wa vitabu kwa ajili ya maktaba hiyo, na kuomba kupatiwa mtaalam wa kutunza maktaba, ikiwezekana mwalimu mmoja akasomeshwe taaluma hiyo. Naye Afisa Taaluma Fatma Mwiru akimwakilisha Afisa Elimu wa Wilaya ya Kinondoni, amewataka waalimu kuwasaidia wanafunzi kupata vitabu mbalimbali, kwa kuwashirikisha wadau wa elimu, wachapishaji vitabu pamoja na wahisani. Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Mwl. Bernadicta Lyimo akizungumza alipokuwa akimkaribisha Mama Jacqueline Mengi.[/caption] Aidha Mama Jaqueline Mengi amesema Dr. Ntuyabaliwe Foundation ilianzishwa mwaka jana ikiwa na lengo la kuchangia katika sekta ya elimu, ambapo iligundua shule nyingi za msingi zinakabiliwa na uhaba wa maktaba na vitabu. Shule ya Msingi Makumbusho inakuwa ya shule ya pili katika wilaya ya Kinondoni na ya kwanza katika kata ya Makumbusho, kusaidiwa ujenzi wa maktaba na msaada wa vitabu na Dr. Ntuyabaliwe Foundation, ikitanguliwa na Shule ya Msingi Hananasifu. Mkurugenzi wa Dr. Ntuyabaliwe Foundation Mama Jacqueline Mengi alipowasili katika shule ya msingi Makumbusho jijini Dar es Salaam. Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Mwl. Bernadicta Lyimo akimkaribisha ofisini kwake Mkurugenzi wa Dr. Ntuyabaliwe Foundation Mama Jacqueline Mengi. Katikati ni Afisa Taaluma Fatuma Mwiru aliyemwakilisha Afisa Elimu wa Wilaya ya Kinondoni katika uzinduzi huo. Mkurugenzi wa Dr. Ntuyabaliwe Foundation Mama Jacqueline Mengi akibadilishana mawazo na Afisa Taaluma Fatuma Mwiru aliyekwamilisha Afisa Elimu wa Wilaya ya Kinondoni. Picha juu na chini ni Mkurugenzi wa Dr. Ntuyabaliwe Foundation Mama Jacqueline Mengi akizungumza na wanafunzi wa shule msingi Makumbusho kabla ya uzinduzi huo. Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Mwl. Bernadicta Lyimo akimwongoza Mkurugenzi wa Dr. Ntuyabaliwe Foundation Mama Jacqueline Mengi kuelekea eneo la uzinduzi wa maktaba hiyo. Mkurugenzi wa Dr. Ntuyabaliwe Foundation Mama Jacqueline Mengi pamoja na Afisa Taaluma Fatuma Mwiru, aliyemwakilisha Afisa Elimu wa Wilaya ya Kinondoni wakikata utepe kuashiria uzinduzi wa jengo la maktaba hiyo. Mkurugenzi wa Dr. Ntuyabaliwe Foundation Mama Jacqueline Mengi akisoma moja ya vitabu vya hadithi kwa baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Makumbusho waliowakilisha wenzao katika uzinduzi huo. Mkurugenzi wa Dr. Ntuyabaliwe Foundation Mama Jacqueline Mengi na Afisa Taaluma Fatuma Mwiru, aliyemwakilisha Afisa Elimu wa Wilaya ya Kinondoni kwa pamoja wakizundua rasmi eneo la kuhifadhia vitabu ndani ya maktaba hiyo. Baadhi ya wageni waalikwa akiwemo Miss Tanzania 2008 Nasreen Karim (wa pili kulia). Baadhi ya watoto wa shule ya msingi Makumbusho wakisoma vitabu mbalimbali vilivyotolewa msaada na Dr. Ntuyabaliwe Foundation. Picha juu na chini ni Mkurugenzi wa Dr. Ntuyabaliwe Foundation Mama Jacqueline Mengi pamoja na walimu na wajumbe wa kamati ya shule wakikagua vitabu katika maktaba hiyo. Mkurugenzi wa Dr. Ntuyabaliwe Foundation Mama Jacqueline Mengi katika picha na walimu pamoja na wajumbe wa kamati shule. Mkurugenzi wa Dr. Ntuyabaliwe Foundation Mama Jacqueline Mengi katika picha ya pamoja na baadhi ya wanafunzi waliowakilisha wenzao. Mkurugenzi wa Dr. Ntuyabaliwe Foundation Mama Jacqueline Mengi katika picha ya pamoja na walimu na wajumbe wa kamati ya shule. Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Mwl. Bernadicta Lyimo (katikati) akionyesha waandishi wa habari na wageni waalikwa (hawapo pichani) muonekano wa awali kabla ya jengo hilo kukarabatiwa Dr. Ntuyabaliwe Foundation. Kushoto ni Mama Mengi na kulia ni Mjumbe wa Kamati ya Shule, Haji Shabani Kibwana. Mkurugenzi wa Dr. Ntuyabaliwe Foundation Mama Jacqueline Mengi akifurahi na kuimba na wanafunzi wa shule ya msingi Makumbusho baada ya kukamilika kwa shughuli ya uzinduzi wa maktaba shuleni hapo.
2017-05-29T09:31:04
http://www.pamoja.co.tz/2017/05/dr-ntuyabaliwe-foundation-yahimiza.html
[ -1 ]
Ni Vita ya mafundi Maurcio Pochettino vs Jurgen Klopp, Kane vs Salah, moto unaendelea kuwaka DSTV | ShaffihDauda Home Ligi EPL Ni Vita ya mafundi Maurcio Pochettino vs Jurgen Klopp, Kane vs Salah,... Ukichukua na mchezo wao wa mwisho msimu uliopita, Liverpool wameshinda mechi 5 zao za mwisho EPL na kama watashinda mechi ya kesho baasi itakuwa ya 6 mfululizo na hii ni kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2014. Katika michezo 9 ya nyumbani(EPL) ya Tottenham wameshinda michezo 8 huku mchezo pekee ambao walipoteza ilikuwa zidi ya Man City, mechi ambayo walifungwa 2-1 mwezi April. Pamoja na kufunga sana lakini Harry Kane hajawahi kufunga katika mechi 5 mfululizo za Tottenham nyumbani, kama akiifunga Liverpool ataingia kwenye kundi la Jermain Defoe na Son Heung Min ambao ni nyota pekee kuwahi kufanya hivyo. Wembley sio mahala pazuri kwa Liverpool kwani tangu baada ya kuifunga Everton 2-1 kwenye nusu fainali ya FA mwaka 2012 hawajawahi kupata ushindi katika mechi zao zote 4 zilizofuatia Wembley. Na kwa taarifa yako tu ni kwamba ukiacha mechi kati ya Everton na Arsenal(151), mchezo kati ya Liverpool na Tottenham unafuatia kwa kuwa na idadi nyingi ya mabao 149 katika EPL.
2018-12-16T09:24:19
http://shaffihdauda.co.tz/ni-vita-ya-mafundi-maurcio-pochettino-vs-jurgen-klopp-kane-vs-salah-moto-unaendelea-kuwaka-dstv/
[ -1 ]
Yaap kujiachia ni kama kawa banaa, hapa nikiwa na rafiki zangu kina AUNT EZEKIELE, SAJENT, NDENDE na winga wa timu ya Simba UHURU SELEMAN... Nikiwa na Swahiba wangu ambaye ni Golikipa namba moko wa timu ya Simba na Taifa Starz JUMA KASEJA JUMA... 'Hii ni Chocolate Flava' Mie na mtaalam BOB JUNIOR, rais wa 'MASHAROBARO' nchini haaa ahaaaa... Yeeaaah, hapa nikiwa na rafiki yangu kitambo sana wkt natangaza East Africa TV, mdogo wangu DOMINICK NYALIFA pamoja na mtaalam KONDO ambaye ni producer pale EATV ya jijini Dar... Posted by KINYAIYAS ENTERTAINMENT at 12:48 AM
2018-12-17T11:42:28
http://kinyaiyas.blogspot.com/2011/08/jiachie-na-ben-kinyaiya.html
[ -1 ]
VODACOM TANZANIA YASHINDA TUZO YA UWEKEZAJI KATIKA JAMII - NOLNIZ Home > Untagged VODACOM TANZANIA YASHINDA TUZO YA UWEKEZAJI KATIKA JAMII VODACOM TANZANIA YASHINDA TUZO YA UWEKEZAJI KATIKA JAMII Vodacom Tanzania imejishindia tuzo ya Uwekezaji Bora Endelevu katika Jamii kwa Makampuni ya Afrika Mashariki kutokana na mradi wake wa kusaidia wajasiriamali wadogo wanawake vijijini wa MWEI. Hafla ya kukabidhi tuzo hizo ilifanyika jana usiku jijini Dar es salaam Pichani ni Balozi wa Marekani nchini Tanzania Alfonso Lenhardt akisoma tuzo ya Uwekezaji Bora Endelevu katika Jamii kwa Makampuni ya Afrika Mashariki 2- Chini ni Ofisa Mkuu wa Mahusiano na Mauzo kwa Wateja wakubwa wa Vodacom Tanzania Mwamvita Makamba, Balozi wa Burundi nchini Issa Ntambuka(Kulia).Kushoto ni Meneja wa Vodacom Foundation katika masuala ya ustawi wa jamii Mwamvua Mlangwa anaeusimamia mradi huo 2012© Nolniz Blog® VODACOM TANZANIA YASHINDA TUZO YA UWEKEZAJI KATIKA JAMII Reviewed by Nolniz on Wednesday, April 18, 2012 Rating: 5 Vodacom Tanzania imejishindia tuzo ya Uwekezaji Bora Endelevu katika Jamii kwa Makampuni ya Afrika Mashariki kutokana na mradi wake wa kusai... Download | Malaika Feat. Mesen Selekta - Sare [Audio] Download | Corbin Feat. Mesen Selekta - Gokilo [Audio] Download | Langa (Vocoliser) - Wivu Wivu [Audio] Download | A.Y ( @aytanzania ) - EL CAPO [Audio] Download | Baba Levo Ft Amonaizy - Baba La Baba [Audio]
2020-07-13T07:28:55
https://www.nolniz.net/2012/04/vodacom-tanzania-yashinda-tuzo-ya.html
[ -1 ]
MHESHIMIWA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI AKABIDHI HATI ZA VIWANJA VYA DODOMA KWA WAWAKILISHI WA KIMATAIFA – SJ POST Posted on July 30, 2018 by SJ POST. Bookmark the permalink. ← MHESHIMIWA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI ATOA MKONO WA POLE KWA BWANA ERIC SHIGONGO KWA KUFIWA NA MAMA YAKE MZAZI MAMA ASTERIA KAHABI KAPELA KESHO KIPINDI MAALUM CHA MAENDELEO YA TRENI MPYA YA KISASA (SGR) KUANZIA SAA 1 USIKU TBC1 →
2019-05-23T00:44:31
https://sjposters.wordpress.com/2018/07/30/mheshimiwa-rais-john-pombe-magufuli-akabidhi-hati-za-viwanja-vya-dodoma-kwa-wawakilishi-wa-kimataifa/
[ -1 ]
Precisionair Vacancy | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Precisionair Vacancy Discussion in 'Nafasi za Kazi na Tenda' started by Belo, Nov 10, 2009. Please send your C.V to the following email address: [email protected] http://www.precisionairtz.com/careeropportunities.asp Kazi zimetulia wadau changamkieni mfukunyuzi unajitahidi sana kutupa mambo mapya, hivyo hivyo kaka, http://www.precisionairtz.com/careeropportunities.aspClick to expand... Kaka mbona umewapiga watu changa la macho??? Hizo post ni za tangu September kama ckosei? Kaka hizi zipo ni current tazama gazeti la leo the gurdian Tatizo la hao watu ni moja Kuna watu wana Qualification zingine hazi toshi laki kazi wanaiweze angalia IT wengi kama wanajua Oracle Database ni mashirika mangapi yanatumia iyo System ya Oracle Database. Yaaani ukiangalia watu wanaotoa matangazo ya kazi utacheka kweli mfano wana mtaka Accountant mwenye CPA hebu niwaulize, Institute Of Accountant nchi kwetu wengi wao ni Advance Diploma in Accounts, Post Graduate CPA ni yakuhesabu humu nchi ila kazi zilivyotapakaaaa kwa magazeti zahitaji wenye CPA teh teh inashangaza sana. CPA yenyewe wahasibu wetu wanavyo ipigia story kuwa huwa wengi wanakamatwa na kuifanikisha iyo either uache kazi ukasome na huku mfadhili huna jamani. Same to IT mtu ana degree ati mpeleke kazini akakutane na mtu ana Advance deploma ya IT anamtoa jasho mwene hito Degree yake hajui kictu na vyou vinavyotoa IT Courses vyakuhesabu Centers za kufanyia mitihani ya Microsoft zenywe ziko Dar tu jamani hapotunajiangamiza au kudanganyana na huko mikoani kama mwanza mbeya Kigoma hata kama kuna kazi na mtu ana degree haendi uta mkuta mtu ana Advance deploma ya IT wakati kazi ilimtaka mtu wa Degreeee CPA yenyewe wahasibu wetu wanavyo ipigia story kuwa huwa wengi wanakamatwa na kuifanikisha iyo either uache kazi ukasome na huku mfadhili huna jamani. Same to IT mtu ana degree ati mpeleke kazini akakutane na mtu ana Advance deploma ya IT anamtoa jasho mwene hito Degree yake hajui kictu na vyou vinavyotoa IT Courses vyakuhesabu Centers za kufanyia mitihani ya Microsoft zenywe ziko Dar tu jamani hapotunajiangamiza au kudanganyana na huko mikoani kama mwanza mbeya Kigoma hata kama kuna kazi na mtu ana degree haendi uta mkuta mtu ana Advance deploma ya IT wakati kazi ilimtaka mtu wa DegreeeeClick to expand... Napata wasiwasi na ufahamu wako wa juu dunia inayokwenda!!!! Mzee wa vitendo, Nilicho kiandika hapo juu nakielewa fika na wala usiwe na wasi wasi na ufahamu wangu mkuu,Nilichokieleza hapo ni kwa ufupi sanaaa wala sikutaka kuingia ndani zaidi na kutoa facts, Zunguka mjomba utabaini. Kwahiyo ukiona matangazo ya kazi wanataka mtu mwenye proffesional walizotaja na kama unazo baadhi nyingine huna huombi kazi? Lazima wa aim kwenye proffesional wanayotaka, ila normally wanaoomba ni pamaoja na wale wasio na hiyo unayotaka, then interview ita decide. Wataalam wengi wa IT hawana hayo madegree ila ndo wamejaa kwenye mikazi kibao, wapo fiti na wanapiga nyanga kwelikweli. Same to IT mtu ana degree ati mpeleke kazini akakutane na mtu ana Advance deploma ya IT anamtoa jasho mwene hito Degree yake hajui kictu na vyou vinavyotoa IT Courses vyakuhesabu Centers za kufanyia mitihani ya Microsoft zenywe ziko Dar tu jamani hapotunajiangamiza au kudanganyana na huko mikoani kama mwanza mbeya Kigoma hata kama kuna kazi na mtu ana degree haendi uta mkuta mtu ana Advance deploma ya IT wakati kazi ilimtaka mtu wa DegreeeeClick to expand... tehe tehe man mentality mbaya sana hiyo......IT is all about development dude sio uwe na masters li degree lako lakini huwezi ku deliver mambo.....ninachojua kwa TZ kuna mambo kibao kwenye sekta ya IT ni useless katika IT..... Tatizo la hao watu ni moja Kuna watu wana Qualification zingine hazi toshi laki kazi wanaiweze angalia IT wengi kama wanajua Oracle Database ni mashirika mangapi yanatumia iyo System ya Oracle Database.Click to expand... Yah man sikuwa nimeiona hii.....kuna jamaa ana OCP DBA hana pa kuifanyia kazi sana sana ana istall antivirus na kufanya kaz ndogo ndogo ambazo sio level yake...... One has to adopt to the local IT industry. kama wewe ni Oracle certified, basi inamaanisha you know SQL. Therefore you should market yourself accordingly. If I was the hiring manager and I see you have a certification, then to me it means two things: 1. If the certification has a direct bearing on the advertised job, then I can put you to work with minimum training. 2. If the certification is an important qualification in the IT industry but not directly relevant to the job at hand, then I will consider the candidate a person who can be easily trained. So either way, the candidate wins. Flexibility and adaptability is what will make you marketable in any industry, and not just IT. My 2 mkwanjas
2016-10-26T19:42:40
http://www.jamiiforums.com/threads/precisionair-vacancy.43399/
[ -1 ]
OFISI YA MKUU WA MKOA RUKWA: TUME YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA (TCRA) KUZIMA MFUMO WA ANALOJIA LEO MACHI 31, SUMBAWANGA TELEVISION (STV) KUTOONEKANA TENA KUPITIA ANTENNA Posted by Hamza Temba at 7:26 AM
2018-03-21T20:44:20
https://rukwareview.blogspot.com/2015/03/tume-ya-sayansi-na-teknolojia-tcra.html
[ -1 ]
Kyrgyzstan - Pato la Taifa Constant Bei Pato La Taifa Mwaka Kiwango Cha Ukuaji 6.40 5.30 16.40 -20.08 Asilimia [+] Jumla Ya Pato Zisizohamishika Ukuzaji Rasilimali 41555.80 69959.60 69959.60 5731.00 Kilo - Milioni [+] Sasa, maadili, data ya kihistoria, utabiri, takwimu, chati na kalenda ya kiuchumi - Kyrgyzstan - Pato la Taifa Constant Bei.
2019-10-15T07:09:06
https://sw.tradingeconomics.com/kyrgyzstan/gdp-constant-prices
[ -1 ]
ZITTO KABWE AMJIBU MH MAGUFULI. - KIJUKUU CHA BIBI K | Habari na Matukio Uncategories ZITTO KABWE AMJIBU MH MAGUFULI. ZITTO KABWE AMJIBU MH MAGUFULI. Tumepokea kwa MSHTUKO na masikitiko makubwa kauli ya Rais kwamba vyama vya siasa havipaswi kufanya siasa isipokuwa wakati wa Kampeni na kupitia bungeni. Kimsingi kauli ya Rais ni kauli yenye nia ya kuvunja Sheria ya Vyama vya siasa inayolinda uwepo wa mfumo wa vyama vingi na kuhimiza vyaMA vya siasa kufanya shughuli za siasa katika msimu wote ili kuthibitisha uhai wao. Hatua zozote za kuua demokrasia ni kuua Umoja, Amani na Mshikamano wa wananchi na Taifa, ambayo ndiyo misingi ya maendeleo ya nchi yetu kijamii, kisiasa na kiuchumi. Tunatoa wito kwa wananchi wote kushikamana na kusimama imara katika kipindi hiki kigumu ili kulinda demokrasia.
2017-09-23T21:47:03
http://www.kijukuu.com/2016/06/zitto-kabwe-amjibu-mh-magufuli.html
[ -1 ]
Mwakyembe awafukuza kazi waliomsaidia Agness Masigange kupitisha madawa ya kulevya | MPEKUZI Mwakyembe awafukuza kazi waliomsaidia Agness Masigange kupitisha madawa ya kulevya Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Harrison Mwakyembe ametoa agizo kwa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (TAA) kuwafukuza kazi na kuliagiza jeshi la Polisi nchini kuwaunganisha na wengine kwenye kesi mahakamani ili kujibu mashitaka ya jinai, wale wote waliohusika katika kuuwasaidia Agness Gerald na mwenziye Mellisa Edward kupitisha dawa za kulevya aina ya Crystal Methamphetamine "TIK" au "Meth" au "USAN" kilogramu 180 kuelekea Afrika Kusini Julai 5, ambako walikamatwa katika kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha O. R. Tambo nchini humo. Waziri Mwakyembe ametoa agizo hilo leo, ofisini kwake, mbele ya waandishi wa habari wakati alipowaita ili kuufahamisha umma kuhusu hatua zilizochukuliwa na Wizaa yake kuhusu suala la dawa za kulevya. Waliofukuzwa ni Koplo Ernest, Yusuph, Jackson, Juliana Tadei na Mohamed ambao walihusika katika kuwasaidia Agnes Gerald (Masogange) na mwenzake Mellisa kupitisha dawa za kulevya kuelekea Afrika Kusini ambako walikamatwa Blog Archive March (340) February (486) January (508) December (438) November (427) October (440) September (399) August (446) July (391) June (354) May (375) April (317) March (291) February (307) January (371) December (366) November (351) October (363) September (340) August (403) July (384) June (421) May (486) April (499) March (478) February (404) January (444) December (375) November (317) October (335) September (271) August (250) July (284) June (352) May (325) April (345) March (383) February (339) January (341) December (246) November (239) October (310) September (289) August (369) July (313) June (322) May (333) April (260) March (294) February (251) January (205) December (262) November (240) October (262) September (278) August (226) July (284) June (256) May (262) April (245) March (238) February (168) January (236) December (164) November (134) October (219) September (303) August (376) July (539) June (551) May (827) April (562) March (258) February (149) January (146) December (127) November (173) October (269) September (205) August (734) July (411) June (241) May (8) April (20)
2018-03-20T09:37:57
http://www.mpekuzihuru.com/2013/08/mwaktembe-awafukuza-kazi-waliomsaidia.html
[ -1 ]
RAHA ZA PWANI BLOG: DKT. REGINALD MENGI KUMZAWADIA MILIONI 10 MSHINDI WA WAZO LA BIASHARA LA 3N People zainul mzige To BCC me Today at 5:20 AM Habari za jioni tafadhali pokea CODES. DKT. REGINALD MENGI KUMZAWADIA MILIONI 10 MSHINDI WA WAZO LA BIASHARA LA 3N People zainul mzige To BCC me Today at 5:20 AM Habari za jioni tafadhali pokea CODES. Kwa mujibu wa Dk. Reginald Mengi kupitia kurasa wake wa twitter, alitangazia umma kuwa Shindano hilo jipya lijulikanalo kwa kifupi -3N, ikiwa ni kifupisho cha ‘Nitabuni wazo la biashara, Nitatekeleza, na Nitafanikiwa’, ambapo mshindi wa kwanza wa mwezi Januari anatarajiwa kutangazwa siku hiyo ya alhamisi Februari 12. Dk. Mengi aliweka ujumbe huo twittter : “Kutokana na sababu zisizozuilika mshindi wa Januari wa shindano la 3N atatangazwa Februari 12 saa 5 asubuhi. Samahani kwa usumbufu wowote”.
2017-11-21T02:39:38
http://saidpowa.blogspot.com/2015/02/dkt-reginald-mengi-kumzawadia-milioni.html
[ -1 ]
Ligi Kuu ya Zanzibar KVZ na Kimbunga Timu ya KVZ Imeshinda 2--0. - ZanziNews HOME Ligi Kuu ya Zanzibar KVZ na Kimbunga Timu ya KVZ Imeshinda 2--0. Benchi la Timu ya KVZ likiongozwa na Kocha wake Mkuu Msoma wakifuatilia mchezo wao wa Ligi Kuu ya na Timu ya Kimbunga uliofanyika uwanja wa Amaan Timu ya KVZ imeshinda 2--0. Beki wa Timu ya Kimbunga akiondoa mpira golini kwao huku mchezaji wa KVZ akijiandaa kuchukua mpira wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya Zanzibar mchezo uliofanyika uwanja wa Amaan Timu ya KVZ imeshinda 2--0. Kipa wa Timu ya Kimbunga akiokoa moja ya hatari golini kwake. Wachezaji wa Timu ya Kimbunga wakimlalamikia muamuzi wa pambano hilo kwa uchezeshaji wake mbaya kwa kupendelea timu pizani wakati wa mchezo huo wa Ligi Kuu ya Zanzibar uliofanyika Uwanja wa Amaan Zanzibar timu ya KVZ imeshinda 2--0
2017-03-26T14:49:21
http://www.zanzinews.com/2016/01/ligi-kuu-ya-zanzibar-kvz-na-kimbunga.html
[ -1 ]
Jioneeni kazi ya Great Thinker hapa chini... | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Jioneeni kazi ya Great Thinker hapa chini... Discussion in 'Jokes/Utani + Udaku/Gossips' started by Sizinga, May 10, 2011. Originally Posted by Mufiyakicheko amani&utulivu ingawa viongozi wengi wanahubili amani ni unafiki huwezi ukasema kunaamani watanzania wachache wanaishi maisha yaanasa wengi maisha ya dhiki wanakufa kwamalelya mlo mmoja kwasiku wanakosa elim hukuwachache wanapeleka watoto wawo ulaya tanzania tunautulivu si amani hawa wengi wakitambuwa hakizawo zamsingi amani hi yakinafiki itapotea wote tunataka amani watawara msituibie kwakisingizio cha amani mtuakisema uozo wenu mnakimbilia anatakakuvuluga amani.. Hiki ndio kiswahili gani ?? ccm wanafiki ukiwa mchapa kazi mzuli hawakutaki wanataka mafisadi tido kaibolesha tbc ametimuliwa wamewapachika watoto wa shangazi zawo.. Ipo siku huko kuchakachuwa kutawatokea puwani dawa ya watumishi wetu nikuandamana bira maandamano hakieleweki Kwamalelya=kwa malaria? Nimejionea lakini kikubwa tunatakiwa tunaojua kuandika vizuri kiswahili tumsaidie. kajitahidi kiasi chake kuonyesha hisia zake Huyo aliyea ndka hivyo naona ni gileti sinka mufiyakicheko= mfia kicheko Nazjaz, noma!! Angalia hata jina lake lilivyo,,, Lakini kaeleweka jamani, ufasaha wa herufi na sarufi labda ingekua katika mtihani wa kiswahili angekua katika matatizo. ofcoz kaonyesha hisia lakini dah...unaweza kufikiri huyu ni m-mang'ati!! Anzeni kujadili hoja yake sasa kama mmemuelewa Soma kifungu cha habari hapo juu kisha onyesha makosa kumi ya kiuandishi.... Asamehewe bure jamani uwezo wake ndiyo umeishia hapo ni mdogo wake Marcio Maximo huyo. Kwi kwi kwi! (simcheki) Mambo ya facebook nini haya! Nimependa sana ainisho lake la amani na utulivu! Uwoga wa WATANZANIA NDIYO UNAOFANYA Tanzania IONEKANE KUWA NA Amani sana! By the time tutaamka, sijui kutakuwa kumebakia nini hazina! pj,ww ni gileti sinker!wakati wengine tumeona humour,ww umeweza kuona ukweli wa anachoongea mtu. wknd nilimuangalia kocha wa timu ya taifa ya ndondi (sijui ni m-mexico),anaongea vitu vyake ila vinaeleweka.mara nyingi tunawafanya watu wakose ujasiri wa uongea kizungu kwa kuogopa kuchekwa.com on guys,there is something to learn from everyone! Mambo ya facebook nini haya!</p> <p>Nimependa sana ainisho lake la amani na utulivu!</p> <p>Uwoga wa WATANZANIA NDIYO UNAOFANYA Tanzania IONEKANE KUWA NA Amani sana!</p> <p>By the time tutaamka, sijui kutakuwa kumebakia nini hazina! Facebook wapi ndugu yangu...ni hapahapa JF..hii nimeitoa kwenye sredi humuhumu check hapa,page 3,comment namba 45 https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/133360-dk-slaa-anasa-waraka-wa-siri-ccm-afichua-wizi-wa-mabilioni-hazina.html Wewe bwana we..unawafahamu hao unaowaita Waman'gati? Acha prejudice zako, kwanza hawaitwi hivyo wanaitwa Wadatoga na pili Kiwahili chao hakifanani hivyo kwani wao si owabantu kama wewena wengine wasiojua kutofautia sound "ra" na "la". Pia kudharau watu ni kitu kibaya sana, it is an offence....heshimu watu na wewe utaheshimiwa.. Siziga, Umejuaje kama amendika Kiswahili na sio Lugha nyingine tofauti? - Hizi lugha za kikabila huku JF zinaashiria tu kwamba hata ELIMU ya msingi ina matatizo makubwa.Mie sielewi lakini ninaamini kuna tofauti ya kuongea na kuandika ili kuwasilisha ujumbe. Hivi kuwa great thinker ina maanisha nini? Nikiwa cjui kuandika kiswahili vizuri nakuwa sio great thinker? Achen hizo. Jamaa kaandika mambo ya msingi na yanaonyesha jinsi alivyo na uwezo wa kuelewa na kuchambua mambo. Msimcheke kwa lugha bali angalieni ujumbe. Hunaona kiwaili kilivyokigum? Yani mwenzenu kajitaidikuweka hujumbe wake nanyie mnamchola! Hinasikitisha kwakweli. At list he know kiswail a litro. Mh! leo! kazi ipo, hapo kwenye red kaaazi kweli kweli!!!!!!!
2018-01-23T02:58:49
https://www.jamiiforums.com/threads/jioneeni-kazi-ya-great-thinker-hapa-chini.133594/
[ -1 ]
Serena Williams Archives - Tanzania Sports 16th October 2019 Last update at 7:19 pm Serena Williams hana mpinzani Mcheza tenisi maarufu, Serena Williams ameweka rekodi kwa kufikisha taji la 21 la Grand Slam. Serena Ametwaa ubingwa wa sita wa Wimbledon na kukamilisha kile kinachoitwa ‘Serena Slam’. Mmarekani huyu…
2019-10-19T09:57:58
https://www.tanzaniasports.com/tag/serena-williams/
[ -1 ]
SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI:Elimu Zaidi Inahitajika Kuhifadhi Mazingira Nchini - HABARI ZA JAMII Home / Unlabelled / SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI:Elimu Zaidi Inahitajika Kuhifadhi Mazingira Nchini SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI:Elimu Zaidi Inahitajika Kuhifadhi Mazingira Nchini Dotto Mwaibale 4:32 AM WAKATI Mataifa mbalimbali yanaadhimisha Siku ya Mazingira Duniani yanayofikia kilele chake hapo Juni 5, 2017, takriban hekta 372,000 za misitu hupotea kila mwaka nchini Tanzania kutokana na shughuli mbalimbali. Mwandishi Beatrice Lyimo wa Idara ya Habari – MAELEZO anaelezea zaidi. Mobisol launches Flagship Store in Dar es Salaam - *Leading German off-grid solar company expands to Dar Region, celebrates having provided affordable and reliable energy to half a million people in East A...
2017-12-17T07:52:19
http://www.habarizajamii.com/2017/05/siku-ya-mazingira-dunianielimu-zaidi.html
[ -1 ]
Mchawi-wa-kijiji-part1-bongo-movie Videos - View and free download with Any Format MP3,MP4,3GP Mchawi Kijijini Full Bongo Movie Video watch and download with MP4,3GP format.You can convert online Mchawi Kijijini Full Bongo Movie video to MP3 for free download Explore more related video for Mchawi Kijijini Full Bongo Movie MCHAWI WA KURUKA 1 - FILAMU ZA KICHAWI 2... MCHAWI WA KURUKA 1 - FILAMU ZA KICHAWI 2018 LATEST SWAHILIWOOD BONGO MOVIE Video watch and download with MP4,3GP format.You can convert online MCHAWI WA KURUKA 1 - FILAMU ZA KICHAWI 2018 LATEST SWAHILIWOOD BONGO MOVIE video to MP3 for free download 2018 LATEST SWAHILIWOOD BONGO MOVIE Watch Part 2 here https://youtu.be/4sUmm53dKig Angalia sehemu ya 2 hapa https://youtu.be/4sUmm53dKig ... Explore more related video for MCHAWI WA KURUKA 1 - FILAMU ZA KICHAWI 2018 LATEST SWAHILIWOOD BONGO MOVIE Posted 12 month ago by fatuma man... MCHAWI WA KIJIJI part 1 Video watch and download with MP4,3GP format.You can convert online MCHAWI WA KIJIJI part 1 video to MP3 for free download Explore more related video for MCHAWI WA KIJIJI part 1 MZIMU WA KIJIJI 1 - NEW BONGO MOVIES | ... MZIMU WA KIJIJI 1 - NEW BONGO MOVIES | NEW SWAHILI MOVIES 2018 | AFRICAN MOVIES 2018 Video watch and download with MP4,3GP format.You can convert online MZIMU WA KIJIJI 1 - NEW BONGO MOVIES | NEW SWAHILI MOVIES 2018 | AFRICAN MOVIES 2018 video to MP3 for free download Part 1 : https://youtu.be/eGfOkwEgbxo Part 2 : https://youtu.be/5UwZ73oMYOY NEW BONGO MOVIES 2018 | NEW SWAHILI MOVIES | AFRICAN MOVIES is your ... Explore more related video for MZIMU WA KIJIJI 1 - NEW BONGO MOVIES | NEW SWAHILI MOVIES 2018 | AFRICAN MOVIES 2018 MCHAWI WA KURUKA 2 - FILAMU ZA KICHAWI 2... MCHAWI WA KURUKA 2 - FILAMU ZA KICHAWI 2018 LATEST SWAHILIWOOD BONGO MOVIE Video watch and download with MP4,3GP format.You can convert online MCHAWI WA KURUKA 2 - FILAMU ZA KICHAWI 2018 LATEST SWAHILIWOOD BONGO MOVIE video to MP3 for free download 2018 LATEST SWAHILIWOOD BONGO MOVIE Watch Part 1 here https://youtu.be/Jya7G125xqk Angalia sehemu ya 1 hapa https://youtu.be/Jya7G125xqk ... Explore more related video for MCHAWI WA KURUKA 2 - FILAMU ZA KICHAWI 2018 LATEST SWAHILIWOOD BONGO MOVIE Posted 6 day ago by ZAINABU AL... Mgeni wa Kijiji Part 1B Bongo Movie Mgeni wa Kijiji Part 1B Bongo Movie Video watch and download with MP4,3GP format.You can convert online Mgeni wa Kijiji Part 1B Bongo Movie video to MP3 for free download Explore more related video for Mgeni wa Kijiji Part 1B Bongo Movie Mgeni wa Kijiji Part 1 Bongo Movie Mgeni wa Kijiji Part 1 Bongo Movie Video watch and download with MP4,3GP format.You can convert online Mgeni wa Kijiji Part 1 Bongo Movie video to MP3 for free download Explore more related video for Mgeni wa Kijiji Part 1 Bongo Movie Explore more related video for KIJIJI CHA WACHAWI PART 1-FILAMU ZA KICHAWI|BONGO MOVIES ZA KICHAWI| MOVIE ZA KICHAWI MKOBA WA MAMA(UCHAWI WA KURITHI) PART 1-BONGO MOVIES ZA KICHAWI | FILAMU ZA KICHAWI | BONGO MOVIES Video watch and download with MP4,3GP format.You can convert online MKOBA WA MAMA(UCHAWI WA KURITHI) PART 1-BONGO MOVIES ZA KICHAWI | FILAMU ZA KICHAWI | BONGO MOVIES video to MP3 for free download Baada ya mama yake kufariki, binti arishiwa mikoba ili aendeleze kazi ya mama yake ya uchawi katika kijiji chao.Binti huyu anamuambia dada yake kuhusu ... Explore more related video for MKOBA WA MAMA(UCHAWI WA KURITHI) PART 1-BONGO MOVIES ZA KICHAWI | FILAMU ZA KICHAWI | BONGO MOVIES Posted 3 month ago by YACHUBOY_ ... Mchawi wa kijiji(MAWENJE)👿👌subscri... Mchawi wa kijiji(MAWENJE)👿👌subscribe Video watch and download with MP4,3GP format.You can convert online Mchawi wa kijiji(MAWENJE)👿👌subscribe video to MP3 for free download like #comment #subscribe. Explore more related video for Mchawi wa kijiji(MAWENJE)👿👌subscribe Posted 5 month ago by Kiswawood ... Mgeni wa kijiji 2018 bongo movies Kiswaw... Mgeni wa kijiji 2018 bongo movies Kiswawood Video watch and download with MP4,3GP format.You can convert online Mgeni wa kijiji 2018 bongo movies Kiswawood video to MP3 for free download Explore more related video for Mgeni wa kijiji 2018 bongo movies Kiswawood Posted 8 month ago by Nic Mus Mzimu Hatari part 1 New Bongo Movie Video watch and download with MP4,3GP format.You can convert online Mzimu Hatari part 1 New Bongo Movie video to MP3 for free download Explore more related video for Mzimu Hatari part 1 New Bongo Movie MZIMU WA KIJIJI 2 - NEW BONGO MOVIES | ... MZIMU WA KIJIJI 2 - NEW BONGO MOVIES | NEW SWAHILI MOVIES 2018 | AFRICAN MOVIES 2018 Video watch and download with MP4,3GP format.You can convert online MZIMU WA KIJIJI 2 - NEW BONGO MOVIES | NEW SWAHILI MOVIES 2018 | AFRICAN MOVIES 2018 video to MP3 for free download Explore more related video for MZIMU WA KIJIJI 2 - NEW BONGO MOVIES | NEW SWAHILI MOVIES 2018 | AFRICAN MOVIES 2018 Posted 10 month ago by MNATO Tv MCHAWI WA KIDIGITAL MCHAWI WA KIDIGITAL Video watch and download with MP4,3GP format.You can convert online MCHAWI WA KIDIGITAL video to MP3 for free download USISAHAU KUSUBSCRIBE NA KULIKE. Explore more related video for MCHAWI WA KIDIGITAL Posted 2 year ago by KONJE TV O... Mrembo wa kijiji 01 (village queen) Video watch and download with MP4,3GP format.You can convert online Mrembo wa kijiji 01 (village queen) video to MP3 for free download Ni filamu ya kitanzania ya kusisimua hutochoka kuitazama. Explore more related video for Mrembo wa kijiji 01 (village queen) Mchawi wa Kijiji mwenye maajabu Mchawi wa Kijiji mwenye maajabu Video watch and download with MP4,3GP format.You can convert online Mchawi wa Kijiji mwenye maajabu video to MP3 for free download Mchawi wa Kijiji mwenye maajabu. Explore more related video for Mchawi wa Kijiji mwenye maajabu Tags MP4 Mchawi-wa-kijiji-part1-bongo-movie ,Mp4 HD Mchawi-wa-kijiji-part1-bongo-movie ,funny Mchawi-wa-kijiji-part1-bongo-movie ,Download HD Mp4 Mchawi-wa-kijiji-part1-bongo-movie ,Download Latest HD Mchawi-wa-kijiji-part1-bongo-movie ,Song Mchawi-wa-kijiji-part1-bongo-movie ,Song MP3 Mchawi-wa-kijiji-part1-bongo-movie ,Movie Song Mchawi-wa-kijiji-part1-bongo-movie ,Bollywood Movie Mchawi-wa-kijiji-part1-bongo-movie ,Hindi movie songs Mchawi-wa-kijiji-part1-bongo-movie ,English movie songsMchawi-wa-kijiji-part1-bongo-movie ,Movie Mchawi-wa-kijiji-part1-bongo-movie ,MP4 Song Mchawi-wa-kijiji-part1-bongo-movie ,Bollywood Songs Mchawi-wa-kijiji-part1-bongo-movie ,Android Mchawi-wa-kijiji-part1-bongo-movie ,Bollywood News Mchawi-wa-kijiji-part1-bongo-movie ,hollywood movie Mchawi-wa-kijiji-part1-bongo-movie ,hollywood movie Song Mchawi-wa-kijiji-part1-bongo-movie ,Lollywood movie Mchawi-wa-kijiji-part1-bongo-movie ,MP3 Mchawi-wa-kijiji-part1-bongo-movie ,MP3 Mchawi-wa-kijiji-part1-bongo-movie convert ,MP3 ConvertMchawi-wa-kijiji-part1-bongo-movie Video ,3GP Mchawi-wa-kijiji-part1-bongo-movie ,3GP Mchawi-wa-kijiji-part1-bongo-movie Convert ,3GP ConvertMchawi-wa-kijiji-part1-bongo-movie Video funny pwnznham dat hoaMchawi wa kijiji part1 bongo moviejello bootymovie Bodima3gp Ragneeivo word gekmp3 ali canmp4 deep musicDaisy Marquesmp4 en directshwetamungu nimwemamw vs 23andmeJohn mgandumovie jovengroove armada355確率機run comedy scensdrbeat iskolaNikki Bellasong pugstarmp4 free CEBTACALAA downloadmichelle williamsmovie manixuan kaza an3gp muluneshhaylaz kedimm
2018-07-20T00:52:17
http://www.anyformat.net/videos/Mchawi-wa-kijiji-part1-bongo-movie/
[ -1 ]
Chelsea hawakamatiki - Tanzania Sports Chelsea hawakamatiki Israel Saria October 6, 2014, 21:54 341 Views 0 Comments *Man United waanza kung’ara Wakati Chelsea wanashikilia rekodi ya kutopoteza mchezo, Manchester United wameanza kukaa vizuri kwa kupata ushindi wikiendi hii. Chelsea waliwafunga Arsenal 2-0 licha ya Arsenal kutawala mchezo kwa asilimia 53 na kocha Jose Mourinho kukiri kwamba The Gunners waliwapa tabu. Walipata bao la kwanza dakika ya 27 kwa penati ya Eden Hazard baada ya Laurent Koscielny kumwangusha. Diego Costa ambaye Arsene Wenger wa Arsenal alikiri kuwa ni mzuri na sawa na muuaji, aliwaua kwa bao la dakika ya 78 na kukata kiu ya washabiki waliojazana uwanjani. Chelsea walipata pigo kwa kipa wao namba moja, Thibaut Courtois kupelekwa hospitali baada ya kuumia kichwa walipogongana na Alexis Sanchez. Kipa namba mbili, Petr Cech itakumbukwa kwamba alipata maumivu makubwa ya kichwa kitambo, na hadi leo hucheza akiwa amevaa ngao. Makocha Mourinho na Wenger walibwatukiana katika mzozo mkubwa kwenye eneo lao la ufundi, ikabidi mwamuzi wa akiba, Jon Moss kuwatenganisha. Wamekuwa na uhasama mkubwa kwa muda mrefu na Wenger hajapata kumfunga Mourinho katika mechi 12 zilizopita. Katika mechi ya awali Jumapili hii, Manchester United walifanikiwa kuibuka an ushindi wa 2-1 dhidi ya Everton kwa mabao ya Angel Di Maria na Radamel Falcao. United wametinga katika nne bora kwa mara ya kwanza katika kipindi cha zaidi ya mwaka. Steven Naismith alifunga bao na nusura Everton wasawazishe dakika za lala salama kupitia kwa Bryan Oviedo aliyewafunga msimu uliopita, kama si uimara wa kipa David De Gea. Everton hawapo vyema msimu huu, kwani wameshinda mechi moja tu kati ya saba walizocheza. Mchezaji John Stones wa Everton na Timu ya Taifa ya England aliumia goti na hivyo kuondolewa kwenye kikosi cha taifa, na nafasi yake itachukuliwa na Calum Chambers wa Arsenal. Katika mechi nyingine, Tottenham waliwafunga Southampton 1-0 na West Ham wakawashinda Queen Park Rangers 2-0. ArsenalChelseaEverton Man City safi, Liverpool waamka Di Matteo kocha mpya Schalke
2020-08-03T23:35:50
https://www.tanzaniasports.com/chelsea-hawakamatiki/
[ -1 ]
Taarifa ya Mamlaka ya Dawa na Chakula TFDA kuhusu Dawa bandia zilizokamatwa - 2jiachie - Official Site Taarifa ya Mamlaka ya Dawa na Chakula TFDA kuhusu Dawa bandia zilizokamatwa Afya Yetu Taarifa ya Mamlaka ya Dawa na Chakula TFDA kuhusu Dawa bandia zilizokamatwa Na Ally Daud-Maelezo bandia na yasiyo sahihi kwa matumizi ya binadamu yamekamatwa maeneo ya Kanda ya Ziwa na Nyanda za Juu Kusini baada ya kufanyika ukaguzi maalum wa kutafuta dawa bandia katika maeneo hayo iliyofanyika hivi karibuni. yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) Bw. Hiiti Sillo wakati wa kutoa Matokeo ya ukaguzi maalum wa dawa uliofanyika katika mikoa ya Kanda za Ziwa na Nyanda za Juu Kusini. “Kutokana na ukaguzi maalum tulioufanya katika Kanda za Ziwa pamoja na Nyanda za Juu Kusini wa kutafuta dawa bandia na zisizo sahihi kwa matumizi ya binadamu tumefanikiwa kukamata dawa bandia za aina tano ambazo zipo kwenye makundi mawili ya Dawa za malaria na Viua vijasumu(Antibiotics)” alisema Bw. Sillo. Bw. Sillo amesema kuwa ukaguzi huo maalum umeweza kusaidia kukamata dawa ya malaria aina ya vidonge vya Quinine ambayo inadaiwa kutengenezwa katika kiwanda cha Elys Chemical nchini Kenya na nyingine zinatengenezwa hapa nchini katika kiwanda cha Shelys Phamaceuticals Ltd. na hayo Bw. Sillo amesema kuwa pamoja na kukamata dawa bandia pia zoezi hilo lilifanikiwa kubaini na kukamata dawa zilizoisha muda wa matumizi , zisizosajiliwa na zenye ubora duni zenye thamani ya Tsh. Milioni 17.463. Sillo ameongeza kuwa Ukaguzi huo ulitokana na kuwa na taarifa za awali ambazo zilionyesha uwepo wa dawa bandia katika maeneo ya Geita na Mara mwezi Agosti na Septemba mwaka huu na kusistiza kwamba zoezi hilo la ukaguzi linaendelea nchini kote na watakaokutwa na hatia watachukuliwa hatua stahiki. upande wa Msajili wa Baraza la famasi Bi. Elizabeth Shekalaghe amesema kuwa wataalamu wa madawa watakaokutwa na hatia ya kusambaza na kuhudumia dawa bandia watafutiwa usajili na kuacha kutoa huduma kwa mujibu wa sheria ya dawa , chakula na vipodozi. “Wataalamu wa dawa ambao wanasambaza na kuhudumia dawa bandia watafutiwa usajili na kuacha kutoa huduma kwa mujibu wa sheria ya dawa , chakula na vipodozi pindi watapogundulika” alisema Bi. Shekalaghe. hilo la Ukaguzi maalum wa dawa bandia ulianza Oktoba 4 mwaka huu linafanywa kwa ushirikiano wa TFDA, Jeshi la polisi pamoja na Maafisa kutoka Baraza la Famasi litakuwa endelevu ili kuhakikisha dawa bandia zinatoweka nchini. Item Reviewed: Taarifa ya Mamlaka ya Dawa na Chakula TFDA kuhusu Dawa bandia zilizokamatwa Rating: 5
2017-03-28T19:37:30
http://www.2jiachie.com/2016/10/taarifa-ya-mamlaka-ya-dawa-na-chakula.html
[ -1 ]
MICHEZO – Page 2 – Swahili Fred Masengesho Aug 29, 2018 0 Picha: Mabingwa wa Arsenal watia hadharani jezi yenye ujumbe ‘Visit… Mecky Kayiranga Jun 24, 2017 0 Inasubiriwa ikiwa Lionel Messi atalipa kitita cha fedha kwa ajili ya kukwepa kifungo cha miezi 21 ambacho alihukumiwa na mahakama ya Uhispania kwa kosa la kulagai kodi. Baada ya Mahakama ya kutoa uamuzi wake wa ikiwa Messi atalazimika… Mecky Kayiranga Jun 21, 2017 0 Wakati huu wa likizo ambapo wachezaji wasiokuwa kwenye mashindano ya Kombe la Shirikisho la Mabara inakuwa ni wakati timu nyingi zinapata fursa ya kujiaanda huku zikijaribu kuimarisha viungo vyake. Kwa hivyo, Bwiza.com imezunguuka magazeti… Mecky Kayiranga Jun 19, 2017 0 Katika kombe la mabara ambalo limeanza jumamosi tarehe 18 huku russia ikiwachapa Australia bao 2-0 kwenye siku ya kwanza. Juma pili hii ambako kulipigwa mechi mbili,ndipo ilipotokea ubishi na malamiko kuhusu mfumo mpia wa fifa wa Uamuzi… Mecky Kayiranga Jun 16, 2017 0 Ligi ya soka ya Rwanda imemalizika jana tarehe 15 mwezi Juni ikiziacha timu kali Kiyovu Sports na APR FC na msimu mbaya huku mahasimu wao Rayon Sports wakisherehekea Ubingwa walioshinda hivi karibuni mwezi jana. Baada ya miaka 50… Kwa kuandika kwenye ukurasa wake wa twitter “ kuna wakati inakuwa bora kukaa kimya” Ronaldo amejibu madai ya kudanganya kodi baada ya muda kutokuwa na neno. Jumatanu hii ya tarehe 13 ndipo mwendesha mashtaka wa Uhispania alipowasilisha… Mecky Kayiranga Jun 15, 2017 0 Ratiba ya EPL musimu wa 2017/2018 inatarajiwa kuanza mwisho wa wiki wa tarehe 12-13 mwezi wa nane. Chelsea ambao ni mabingwa wataanza kwa kucheza na Burnley, Arsenal wakimenyana na Leister City, Manchester United waikaribisha Westerham… Mecky Kayiranga Jun 11, 2017 0 Antonio Conte alifanya kosa ambalo huweza likaafiri Chelsea na hata wachezaji baada ya mshambuliaji wake Diego Costa kuweka wazi kwamba amefahamishwa na meneja kuwa hayuko tena katika mipango yake. Kwa mjibu wa habari hii kutoka… Mecky Kayiranga Jun 10, 2017 0 Jarada la forbes la Marekani, Forbes Magazine, lachapisha orodha ya wachezaji tajiri kuliko wengine wote wa michezo mbalimbali huku Christiano Kiungo mshambuliaji wa Real Madrid akiongoza. Mchezaji- Mchezo- Mshahara pamoja na fedha… Mecky Kayiranga Jun 5, 2017 0 Leo hii meneja mkuu wa timu ya soka ya Rwanda, Antoine Hey ametangaza kikosi ambacho kitasafiri kwenda kucheza na Central Africa( Nchi ya Afrika ya Kati) katika michuano ya kuwania tikiti ya kufuzu michezo ya AFCON 2019 ambayo itachezewa… Mecky Kayiranga Jun 3, 2017 0 Ikiwa leo ni fainali ya Ligi ya mabingwa Ulaya tutasubiri iwapo Real Madrid itakuwa mabingwa kwa mara ya 12 ama Juventus watalaza na kujitolea ubingwa kwa mara ya 3 ya historia yake. Pambano hili lishakuwa la kihistoria kwa kuwa timu… Mecky Kayiranga May 31, 2017 0 Kulingana na orodha kutoka utafiti wa Kampuni ya KMPG, Manchester United ya Uingeleza ndio inayoongoza klabu hizi ikiwa na thamani ya bilinioni 3. Katika utafiti huo uliozingatia vigezo mbali mbali vikiwemo umarufu wa timu, uwezo wa… Mecky Kayiranga Apr 14, 2017 0 Mshambuliaji wa zamani wa Chelsea na Ivory Coast Didier Drogba amejiunga na timu ya soka inayocheza katika ligi kuu ya kandanda nchini Marekani- Phoenix Rising kama mchezaji na pia mmiliki. Drogba mwenye umri wa miaka 39, hajasakata… Mecky Kayiranga Apr 11, 2017 0 Shirika la mchezo wa mchezo wa mikono (Volleyball) wa Rwanda (FRVB) wametayarisha mashindano ya kukumbuka kwa mara ya 23 mauaji ya Kimbari dhidi ya Watusi, yatakayoanza mwezi juni 2017. Mkutano wa ujumla ulio fanyika mwisho wa mwaka 2016…
2019-06-25T06:01:34
https://swahili.bwiza.com/category/michezo/page/2/
[ -1 ]
Haya hapa Maajabu Mengine ya Dunia ~ Yuvinusm 9:38 AM MAAJABU Kumekua na taarifa nyingi kutoka nchini India kuhusu mtoto wa mwaka mmoja anayeitwa Akash. Taarifa za mtoto huyo zimevuma sana kwa kuwa ana tofauti kubwa na watoto wengine wa mwaka mmoja. Mtoto Akash ameanza kuonyesha dalili zote za kubalehe. Kwa kawaida ulimwenguni kote tunatambua kuwa mwanadamu hubalehe na kuvunja ungo akiwa na umri wa kati ya miaka 10 mpaka 13. Kwa mujibu wa taarifa hizo mtoto Akash ambaye ana mwaka mmoja anaonyesha mabadiliko yote yanayoonekana kwa mvulana aliyebalehe. Wazazi wake walipompeleka hospitali mtoto huyo alipimwa na kukutwa na kiasi kikubwa cha homoni za kiume kinacholingana na kiasi kile kinachokutwa kwa kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 25. Ingawa habari ya mtoto huyo imevutia watu wengi kwa kuwa ni moja ya matukio yasiyo ya kawaida kuwahi kutokea duniani ninapenda kuchukua fursa hii kukutaarifu kuwa yeye sio mtoto wa kwanza kubalehe mapema na wala hatokua wa mwisho. Hali iliyomtokea mtoto huyu inatambulika kama balehe iliyowahi au kwa kitaalam precocious puberty. BALEHE ILIYOWAHI (PRECOCIOUS PUBERTY) NI NINI Ki-baiolijia binadamu huzaliwa wakiwa hawana uwezo wa kuzalisha wala kuzaa. Kwa wengi uwezo huo hupatikana wanapofika umri wa miaka kuanzia 10 mpaka 13. Inapotokea binadamu wa kike (msichana) akavunja ungo (kuanza kutoa mayai yaliyo tayari kuchavushwa na kutengeneza mtoto) akiwa na umri wa chini ya miaka nane (8) huwekwa kwenye kundi la waliowahi kuvunja ungo. Inapotokea binadamu wa kiume (mvulana) akabalehe (akaanza kuwa na uwezo wa kutoa mbegu ambazo zinaweza kuchavusha yai la kike na kutengeneza mtoto) kabla ya kufika umri wa miaka tisa (9) nao huwekwa kwenye kundi la waliowahi kubalehe. Balehe iliyowahi au balehe ya mapema au kwa kitaalam precocious puberty ni balehe iliyotokea kabla ya umri wa miaka 8 kwa wasichana na miaka 9 kwa wavulana. Hali hii si kawaida kutokea na kwa wengi ambao hubalehe mapema huwa wana sababu iliyosababisha wakawahi kubalehe. BALEHE HUTOKEA VIPI Mabadiliko ya mwili wakati wa balehe hutokea chini ya muongozo wa ubongo na homoni maalum za jinsia (sex hormones). anapofikisha umri wa kubalehe ubongo hutoa homoni inayoitwa Gonadotropin-releasing Hormone (Gn-RH) ambayo hufanya kazi ya kuamrisha tezi ya Pituitary iliyo kwenye ubongo ili tezi hiyo izalishe homoni za jinsia (sex hormones). Tezi za Pituitary huanza kutoa homoni mbili ambazo ni Luteinizing hormone (LH) na Follicle Stimulating hormone (FSH). Homoni hizo ndio huhusika na uhamasishaji wa uzalishaji wa homoni za kike (Estrogen) kwa wasichana na za kiume (Testosterone) kwa wavulana. Homoni za kike yaani Estrogen husimamia mabadiliko ya kike kwa wasichana na homoni za kiume Testosterone husimamia mabadiliko ya kiume kwa wavulana. MABADILIKO YA MWILI WAKATI WA BALEHE Mabadiliko yafuatayo hutokea wakati wa balehe (kuvunja ungo kwa wasichana) Mwili kurefuka kwa kasi Sauti kuwa nzito Kuanza kuota ndevu, nywele za kwapani na nywele za sehemu za siri Kukua kwa maumbile ya kiume Kifua kutanuka Kubadilika harufu ya mwili Kutoka chunusi Kupata hamu ya kufanya ngono Mtoto Akasha ambaye ni mvulana ameonyesha mabadiliko niliyoorodhesha hapo juu akiwa na umri wa mwaka mmoja ndio maana ameushangaza ulimwengu. WASICHANA (HUVUNJA UNGO) Kuanza kuona damu ya hedhi Sauti kuwa laini (ya kike) Matiti kuanza kukua kwa kasi Kuota chunusi Kuanza kuota nywele za kwapani na nywele za sehemu za siri Kuwa na muonekano wa kike NINI HUSABABISHA BALEHE IKATOKEA KABLA YA WAKATI (PRECOCIOUS PUBERTY) Kwa wengi ambao hali hii hutokea huwa ni vigumu kutambua sababu hasa iliyopelekea wakabalehe mapema lakini kwa ujumla sababu zimewekwa kwenye makundi makubwa mawili. SABABU ZA KATI (CENTRAL PRECOCIOUS PUBERTY) mtiririko wa utoaji wa homoni za jinsia Hizi ni sababu za kwenye ubongo, uti wa mgongo au tezi zinazohusika na uzalishaji wa homoni za jinsia (sex hormone). Sababu hizo ni kama zifuatazo; Uvimbe kwenye ubongo au uti wa mgongo Mapungufu ya kuzaliwa nayo (mfano kichwa kikubwa yaani hydrocephalus) Mtoto kupigwa na mionzi yenye sumu kwenye ubongo au uti wa mgongo Ajali ya ubongo au uti wa mgongo Maradhi ya kurithi ya tezi za adrenal Maradhi ya tezi ya shingo (thyroid gland) SABABU ZA PEMBENI (PERIPHERAL PRECOCIOUS PUBERTY) Hizi ni sababu zinazohusiana na homoni za jinsia moja kwa moja yaani Estrogen kwa wasichana na Testosterone kwa wavulana. Kwenye kundi hili la mara nyingi homoni kutoka kwenye ubongo huwa ziko katika kiwango cha kawaida tu. Tatizo hutokea kwenye maeneo homoni za jinsia zinapozalishwa au kutengenezwa. Tatizo hutokana na hitilafu kwenye tezi za kike (Ovaries kwa wasichana), korodani (kwa wavulana), tezi za Adrenal na tezi za Pituitary. Sababu huwa ni kama zifuatazo; Uvimbe kwenye tezi za Adrenal au Pituitary ambazo huzalisha homoni za kike (Estrogen) na kiume (Testosterone). Kuongezewa homoni za kiume (Testosterone) au za kike (Estrogen) kutoka nje kupitia vitu kama mafuta ya kupaka au dawa mbali mbali zenye homoni hizi. Kwa wasichana pekee: Uvimbe kwenye tezi ya uzazi (Ovarian tumor) Kwa wavulana: Uvimbe kwenye chembe hai zinazotengeneza mbegu (Germ cells) au kwenye chembe hai zinazotengeza homoni za kiume (Testosterone). Matatizo ya kijenetiki ya kuzaliwa nayo. Haya ni matatizo ya kijenetiki ambayo hutokea wakati wa uumbaji wa mtoto akiwa tumboni kwa mama yake. Matatizo ya namna hii husababisha balehe itokee mapema zaidi kati ya mwaka mmoja (1) mpaka minne (4) baada ya kuzaliwa. KINA NANI WAKO HATARINI ZAIDI KUBALEHE MAPEMA Watoto wenye uzito mkubwa kupindukia Watoto wanaopakwa mafuta yenye homoni za kike au za kiume Watoto wenye maradhi mbali mbali hususani yanayohusu tezi za pituitary, adrenal pamoja na thyroid (tezi ya shingo). Watoto wanaotibiwa saratani kwa njia ya mionzi MADHARA YA BALEHE YA AINA HII Watoto ambao wanapitia balehe mapema yaani precocious puberty hupata changamoto mbili kuu Kuwa wafupi wa kimo (kutorefuka sana): Kutokana na kubalehe mapema kabla ya umri sahihi watoto hawa hurefuka wakati huo wa balehe mpaka kufikia kimo kifupi zaidi ya kile cha wale ambao walibalehe muda sahihi wa miaka kuanzia 10. Kutokana na kubalehe akiwa na umri mdogo mhusika hurefuka kwa kasi na baada ya kumaliza kipindi cha balehe uwezekano wa kurefuka kwa kiwango kikubwa hupungua sana kutokana na kukokamaa kwa mifupa. Watoto wengi wanaobalehe mapema huishia urefu wa chini ya futi 4. Athari za kisaikolojia: Kutokana na kupitia hali hii kabla ya watoto wengine wa rika lake, watoto wengi hupata athari za kisaikolojia. Athari hizi huweza kuonekana kwa muda mrefu na wengi huhitaji matibabu ya kisaikojolia ili waweze kukubaliana na kilichotokea na kuweza kuishi maisha yao ya kawaida bila kuwaza hali yao yakubalehe mapema. TATIZO HUGUNDULIKA VIPI Zaidi ya kuonekana akibadilika na kuonyesha dalili za kubalehe watoto wanaopitia hali hii hutakiwa kupelekwa hospitalini ambako wataonwa na daktari bingwa ambaye atasikiliza historia ya mabadiliko hayo ya mtoto pamoja na kumfanyia vipimo vya kawaida na baadae ataratibu ufanyaji wa vipimo muhimu kuangalia wingi wa homoni za jinsia kwenye miili ya watoto Kipimo cha wingi wa homoni za jinsia ni kipimo kitakachothibitisha kuwa mabadiliko yanayomtokea mtoto ni balehe. Pia vipimo vingine vyenye lengo la kugundua sababu hasa ya balehe kutokea mapema ni lazima vifanyike. Vipimo hivi vitasaidia kujua namna ya kukabiliana na mabadiliko yatakayokua yanamtokea mtoto. Matibabu yanayolenga kuondoa chanzo cha tatizo: Matibabu haya yanalenga kutibu chanzo cha tatizo (kwa mfano kama chanzo ni uvimbe kwenye tezi za adrenal basi matibabu yatahusisha kuondoa uvimbe huo). Matibabu ya kupunguza kasi ya mabadiliko ya balehe: Matibabu haya yanalenga kupunguza kasi ya mabadiliko yanayoonekana wakati wa balehe. Matibabu haya huhusisha upunguzaji wa nguvu ya homoni za jinsia. KUHUSU MTOTO AKASH huyu amefanyiwa vipimo na sababu ya tatizo mpaka sasa haijafahamika hivyo matibabu anayopewa sasa yako kwenye kundi la pili na yanalenga kupunguza nguvu ya homoni za kiume na hivyo kupunguza kasi ya mabadiliko ya mwili yanayotokea kutokana na uwepo homoni hizo (mabadiliko ya wakati wa balehe). Hali hii ya balehe ya mapema hutokea kwa watoto wengi hapa nchini kwetu na ni vyema kama wazazi, walezi wa majirani tujitahidi kuwapunguzia matatizo ya kisaikolojia watoto hawa kwa kukaa nao karibu na kuwahakikishia kuwa hakuna jambo baya ambalo litawatokea. Watakua vizuri tu na wataweza kuendesha maisha yao kama kawaida. Watoto hawa pia ni vyema itambulike kuwa wanaweza kupata watoto kama ilivyo kwa watu waliopata balehe wakiwa na umri sahihi wa balehe. Hii ina maanisha ni vyema kuwapa elimu ya uzazi na kuhakikisha wanatambua kuwa wao wako tofauti na watoto wengine.
2016-10-25T03:06:22
http://www.yuvinusmblog.com/2016/08/haya-hapa-maajabu-mengine-ya-dunia.html
[ -1 ]
VIJIMAMBO: WAZIRI LUKUVI. HAKUNA MAKAZI HOLELA YATAKAYOBOMOLEWA JIJINI MWANZA. Waziri ameziagiza halmashauri za Jiji la Mwanza na Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza, kuhakikisha zinakamilisha zoezi la upimaji na urasimishaji makazi yaliyojengwa kiholela hadi ifikapo june 30 mwakani. Na BMG Na George Binagi-GB PazzoWaziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Willium Lukuvi, ameziagiza halmashauri za Jiji la Mwanza na Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza, kuhakikisha zinakamilisha zoezi la upimaji na urasimishaji makazi yaliyojengwa kiholela hadi ifikapo june 30 mwakani.Waziri Lukuvi ametoa agizo hilo hii leo Jijini Mwanza alikofanya ziara ya kujionea utekelezaji wa urasimishaji makazi yaliyoendelezwa kiholela Jijini Mwanza ambapo amebainisha kwamba Serikali haina mpango wa kuwavunjia wananchi makazi yaliyojengwa kiholela na badala yake imeandaa mpango huo ili kutambua makazi hayo na kuwapatia wananchi hati miliki ya makazi yao.Aidha amewatahadharisha wananchi kwamba, mpango wa kurasimisha makazi yaliyojengwa kiholela hautayahusisha makazi yaliyojengwa kwenye maeneo hatarishi ikiwemo kwenye mabonde, miinuko, mafuriko pamoja na hifadhi za barabara.Baadhi ya wananchi Jijini Mwanza ambao makazi yao yamerasimishwa na kupewa hati ya umiliki, wameipongeza serikali kwa hatua hiyo ambapo wameomba kasi ya zoezi hilo kuongezeka ili wananchi zaidi ya elfu 35 ambao makazi yao hayajapimwa, yaweze kupimwa na kupatia hati za umiliki kwa wakati kama Waziri Lukuvi alivyoagiza.Mkuu wa mkoa wa Mwanza, John Mongella, amemuhakikishia Waziri Lukuvi kwamba hadi kufikia mwezi Januari mwaka ujao, zoezi la kupima makazi yaliyojengwa kiholela na kuyarasimisha katika Jiji la Mwanza na Maspaa ya Ilemela, litakuwa limekamilika.
2017-01-18T16:00:30
http://lukemusicfactory.blogspot.com/2016/10/waziri-lukuvi-hakuna-makazi-holela.html
[ -1 ]
SOMO: NGUVU YA MUNGU, (IBADA YA JUMAPILI FEB 11- 2018) – efathaministry MTUME NA NABII JOSEPHAT ELIAS MWINGIRA; 1Yohana 5:4-6 “Kwa maana kila kitu kilichozaliwa na Mungu huushinda ulimwengu; na huku ndiko kushinda kuushindako ulimwengu, hiyo imani yetu. Mwenye kuushinda ulimwengu ni nani, isipokuwa ni yeye aaminiye ya kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu? Huyu ndiye aliyekuja kwa maji na damu, Yesu Kristo; si katika maji tu, bali katika maji na katika damu. Naye Roho ndiye ashuhudiaye, kwa sababu Roho ndiye kweli. Kwa maana wako watatu washuhudiao mbinguni, Baba, na Neno, na Roho Mtakatifu, na watatu hawa ni umoja. Kisha wako watatu washuhudiao duniani, Roho, na maji, na damu; na watatu hawa hupatana kwa habari moja. Tukiupokea ushuhuda wa wanadamu, ushuhuda wa Mungu ni mkuu zaidi; kwa maana ushuhuda wa Mungu ndio huu, kwamba amemshuhudia Mwanawe.” Neno lolote niwafundishalo siyo mapenzi yangu bali ni mapenzi yake BABA wa Mbinguni. Mwaka huu ni mwaka wa NGUVU, mtu akiwa na NGUVU USHINDI ni wa kwake, mfano; kwenye eneo la mapambano yeyote mwenye NGUVU kuliko mwingine ndiye atakaye kuwa mshindi; au kwa wanariadha yeye mwenye nguvu kuliko wengine ndiye atapata medali ya dhahabu, USHINDI unatokana na NGUVU, mnyonge kamwe hatawahi kuwa MSHINDI; NGUVU ndiyo msingi wa USHINDI wetu. Mara zote walio wanyonge wanashindwa kwa sababu ya unyonge wao, mwaka huu Mungu ameridhia tupate NGUVU zake ili tupate KUSHINDA. Nguvu ndiyo msingi wa USHINDI, hivyo unahitaji nguvu katika akili zako, mawazo yako, maamuzi yako, kwenye biashara zako ili uweze kushinda, mara nyingi unapata hasara kwa sababu wewe ni dhaifu katika biashara yako, au umepewa talaka kwa sababu ni dhaifu katika ndoa yako. Hujaoa kwa sababu huna nguvu ya kusababisha wadada wakupende au hujaolewa kwa sababu huna nguvu ya kuwavuta wakaka wakuoe, huwezi kupata mtoto kwa sababu huna nguvu ya kutengeneza mtoto. Nguvu ni nini basi? Ni kile unacho kihitaji, yaani ni kiwezesho cha kupata kile unacho kihitaji. Nguvu ni ya muhimu sana katika maisha yetu ya kila siku. Nguvu ni nini? Zaburi 62: 11 “Mara moja amenena Mungu; Mara mbili nimeyasikia haya, Ya kuwa nguvu zina Mungu,” Nguvu ni ya MUNGU na inamilikiwa na YEYE tu, nani anaibeba hiyo nguvu? Matendo 1:8 “Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, na katika Uyahudi wote, na Samaria, na hata mwisho wa nchi.” inamaana kuwa huwezi kupata Nguvu kama Roho Mtakatifu hayupo pamoja nawe maana yeye ndiye anaye beba hiyo NGUVU, pasipo Nguvu huwezi kushinda chochote. Nguvu ya uovu itakupeleka kuzimu, unaweza kuifurahia hapa kwa kitambo tu lakini utaishia kuzimu kwa sababu waovu mwisho wao ni shimoni. 1Yohana 5:4 ‘Kwa maana kila kitu kilichozaliwa na Mungu huushinda ulimwengu; na huku ndiko kushinda kuushindako ulimwengu, hiyo imani yetu.’ NGUVU ya MUNGU ni kwa ajili ya kukusaidia wewe kupata USHINDI, ushindi ambao tunauhitaji ni wa kushinda ulimwengu si kushinda mbingu. Kwa nini tuushinde ulimwengu? 1Wakorintho 2:1-5 “Basi, ndugu zangu, mimi nilipokuja kwenu, sikuja niwahubiri siri ya Mungu kwa ufasaha wa maneno, wala kwa hekima. Maana naliazimu nisijue neno lo lote kwenu ila Yesu Kristo, naye amesulibiwa.Nami nalikuwako kwenu katika hali ya udhaifu na hofu na matetemeko mengi. Na neno langu na kuhubiri kwangu hakukuwa kwa maneno ya hekima yenye kushawishi akili za watu, bali kwa dalili za Roho na za nguvu, ili imani yenu isiwe katika hekima ya wanadamu, bali katika nguvu za Mungu.” Inamaana kuwa nguvu hii imetujia kupitia Roho Mtakatifu, je! tunampataje huyo Roho? Kwa kupitia imani; tukiwa na Imani tunaweza kumpokea Roho Mtakatifu, lakini bila imani hatuwezi kumpokea Roho Mtakatifu ambaye ndiye mbeba nguvu za Mungu. Tukimpokea Roho Mtakatifu inamaana kuwa tunayo NGUVU na tunaweza kuidhihirisha NGUVU ya Mungu huku duniani. Kwa nini tuushinde ulimwengu? Kwa sababu huku duniani kuna mkuu wa anga anaye miliki Dunia, hivyo ili tuweze kushinda tunahitaji NGUVU ya Mungu. Waefeso 2:1 “Nanyi mlikuwa wafu kwa sababu ya makosa na dhambi zenu; ambazo mliziendea zamani kwa kuifuata kawaida ya ulimwengu huu, na kwa kumfuata mfalme wa uwezo wa anga, roho yule atendaye kazi sasa katika wana wa kuasi;” Inamaana kuwa ulimwengu huu una namna ya maisha na kuna mkuu wa anga akiitawala dunia akiwamiliki watu na akiwatumia hao watu kwa ajili ya mapenzi yake mwenyewe. Yeye anawatumia huku akiwatesa, akiwatishia, akiwafanya wawe na maradhi, washindwe, wasiwe na thamani, wawe hovyo na wasio na muelekeo. Mkuu wa anga anamiliki dunia na anafanya kile ambacho anakitaka huku duniani, bila NGUVU ya MUNGU huwezi kumshinda. Wakati mwingine unakuta mtu anatamani kufanya jambo lakini hawezi; kwa nini? Kwa sababu Yule mkuu wa anga hajamruhusu, mpaka ujitoe au kujisalimishe kwake. Sasa sisi tulio wana wa MUNGU ili tuweze kushinda ulimwengu na tuweze kumiliki tunahitaji NGUVU ya MUNGU ili tuweze kuushinda ulimwengu huu na kutuwezesha kumiliki hapa Duniani. NGUVU YA MUNGU NI YA MUHIMU SANA KATIKA MAISHA YAKO. Zaburi 106:37 “Naam, walitoa wana wao na binti zao Kuwa dhabihu kwa mashetani.” Huyu mkuu wa anga anakufanya wewe kupata njia ambayo utafurahia ya dunia, atakwambia uwatoe watoto wako, wazazi wako na hata ndugu zako ili kwamba upate mali, ndiyo unaweza ukafanya hivyo na ukafanikiwa lakini unapaswa kujua kuwa ni kwa kitambo kidogo tu na mwisho wako ni Jehanam ya moto wa milele. Unakuta watu wana mali nyingi sana lakini hawataki kumwabudu Mungu na ukiwaambia waokoke hawataki hata kusikia habari ya wokovu, kwa nini? Kwa sababu wao ni watumishi wa mkuu wa anga na kuzimu ndipo mahali pao pa milele. Unaweza kuwaona wanamafanikio na vyote wanavyo vihitaji, ndio wamefanikiwa lakini katika mafanikio mabaya. Uliye mwana wa MUNGU hayo mafanikio siyo kwa ajili yako kwa sbabau wewe ni wa Mbinguni, hivyo ili ufanikiwe unahitaji NGUVU ya MUNGU. Waamini wengi wasio jua hayo wanabaki kwenye umaskini, siyo kwa sababu hakuna fedha, la! Bali wanakosa nguvu ya kuwawezesha kupata mali. Unapoanza kupokea kitu kutoka kwa Mungu, unapaswa kuongeza muda zaidi wa kuomba na kukaa na Roho Mtakatifu, unakuta watu wengi wakisha pata mali wanapunguza kumwabudu Mungu matokeo yake wanaishia katika umaskini. Usichoke kuwa na Roho Mtakatifu bali furahia kuwa naye, maana ni yeye tu atakaye kupa njia ya kufikia mafanikio yako, pasipo yeye huwezi kupata chochote. 1Yohana 5:4 “Kwa maana kila kitu kilichozaliwa na Mungu huushinda ulimwengu; na huku ndiko kushinda kuushindako ulimwengu, hiyo imani yetu.” Je! Wewe unaimani gani? Imani ya Mungu ina njia ya kuipata nguvu; tutajuaje kuwa una imani ya Kristo Yesu? Utaushinda ulimwengu. Tatizo lililo kubwa kwa watakatifu wanapokwenda mbele za Mungu wanaongea kuhusu matatizo yao wenyewe hawaongelei Upendo, uzuri, msamaha, rehema, fadhili za MUNGU, haki ya Mungu, hawaongelei kuhusu utakatifu wa Mungu na Neno la Mungu, wokovu, ukombozi wa Mungu; bali mara zote wanaongelea kuhusu ndoa zao, watoto wao, na matatizo yao na mara nyingi wamekuwa wakiongelea kuhusu utendaji wa ibilisi, wachawi, wanaongelea kuhusu familya zao. Hawaongelei kuhusu Mungu. Bwana Yesu aliwafundisha wanafunzi wake na kuwaambia kuwa waombe kwa Baba yao wa Mbinguni, Kama unataka kumuona Mungu katika maisha yako, Mara zote ongelea kuhusu Ukuu wake, Upendo wake, unapo yaongelea hayo mbingu itakuwa na wewe na itasababisha kukuletea vitu kutoka Mbinguni. Tunapo ongelea kuhusu BABA wa Mbinguni, inamaana kuwa BABA huyu ni Yule anayejua namna ya kuwalea na kuwatunza watoto wake, anajua kuwatangulia watoto wake, ni BABA anayejua kuwaandalia vitu vizuri watoto wake. Baba huyo ni mume wa wajane, anawapigania anawalisha na kuwaponya. Yeye ni BABA wa yatima, anawajali, anawasomesha, anawalisha, anawapa mahitaji yao yote. Baba ninaye muongelea ni mponyaji, ndiyo BABA huyo aliye Mbinguni anawaponya na maradhi mbali mbali. Baba ninaye muongelea ni BABA mwenye msamaha, wenye dhambi wanajua, walikuwa wanateseka na dhambi lakini YEYE aliwasamehe, laana ilikuwa juu yao lakini walipomkimbilia YEYE aliwasamehe na wamejazwa na Roho Mtakatifu. Ibilisi hana kitu chochote hapa duniani ila anacho kitumia ni ujinga wako wa kutokujua nini cha kufanya ili yeye akae mbali na wewe. Nini ufanye ili yeye akae mbali na wewe? Hakikisha unaishi maisha ya Utakatifu, kwa sababu Utakatifu ni tabia ya Mungu, ukiishi maisha hayo itasababisha Roho Mtakatifu atakaa ndani yako; na yeye akiwa ndani yako USHINDI kwako umehakikishiwa. Hakuna kitakacho sababisha uharibifu kwenye maisha yako tena. Bwana Yesu akasema kwa wewe kulinda utakatifu wako, kama mkono wako unakufanya utende dhambi kata, kama ni jicho lako ling’oe, hii inamaana kuwa utakatifu ndiyo msingi na ndiyo maana Yesu alikufa msalabali ili sisi tupate Utakatifu. Ni Utakatifu peke yake ndiyo unafukuza dhambi ikae mbali na wewe, Mungu amekupa wewe kuchagua kati ya Utakatifu au uovu, sasa ni kazi yako wewe kuchagua, kama unataka nguvu ya uovu itafute utaipata ila jua kuwa kuzimu kunakusubiria. Lakini kama unataka kwenda Mbinguni hakikisha unafanya chochote kile ili uupate Utakatifu, kaa mbali na dhambi, acha kusema uongo, acha wizi, uwe Mtakatifu, chochote ukipatacho hakikisha unatoa fungu la kumi. Ukawe mwenye haki wa Mungu, kama una watoto wawili au watatu hakikisha mmoja unamtoa kwa Mungu ili amtumikie. Huwezi kupata nguvu kama haushiki utakatifu na haki ya Mungu. Je! Unataka ibilisi akae mbali na wewe? Hakikisha unapo amka asubuhi fikiri ni jinsi gani utakwenda kuutunza utakatifu wako, hakikisha unapotoka nyumbani kwako tunza kinywa chako kisinene uongo, iambie miguu yako isiende mahali popote pale ambapo Mungu hajakuruhusu, yaambie macho yako yasiangalie uovu, yaambie masikio yako yasisikilize uovu, kisha sema na nafsi yako iwajibike kwa Mungu. Kwa kufanya hivyo inakusaidia wewe kupata NGUVU na chochote utakacho kifanya kitastawi na kufanikiwa. Anza leo kuishi maisha MATAKATIFU na kutunza UTAKATIFU wako. UJUMBE: NEEMA YA MUNGU (MCH. BONIFACE EVARIST – EFATHA MINISTRY MBING... SOMO: UTAKATIFU (IBADA YA JUMAPILI TAREHE 18/2/2018)
2018-02-19T23:30:23
http://www.efathaministry.org/somo-nguvu-ya-mungu-ibada-ya-feb-11-2018/
[ -1 ]
wadau angalie star tv sasa hivi | JamiiForums | The Home of Great Thinkers wadau angalie star tv sasa hivi Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by kimboka one, Dec 4, 2011. wadau tazameni star tv kuna makala nzuri inaonesha umasikini mkubwa wa watanzania ili tunapoitazama tanzania hasa waliyoko mjini wajue kuna nini huku vijijini Mkuu wengine tulipo, Star TV haikamati... Star Tv siku hizi chenga tupu. Mambo ya Startimes bana... hiki kipindi kinawaumbua ccm. hii cd naomba copy wampe kikwete halafu asimame jukwaani aseme maisha bora kwa kila mtanzania. Hivi ndo vipindi vinavyopaswa kuonyeshwa kwenye tv zetu. hii ni kashifa kwa ccm zaidi ya ile movie ya mapanki. watanzania Mungu atusaidie. walimu wanatembea kilometa 7 kutoka nyumbani kwenda shuleni kila siku. njia yenyewe kama njia za nguchilo. acheni walimu wagome. Mia wadau tazameni star tv kuna makala nzuri inaonesha umasikini mkubwa wa watanzania ili tunapoitazama tanzania hasa waliyoko mjini wajue kuna nini huku vijijiniClick to expand... Mkuu kipindi kinaanza saa ngapi na kinaonyeshwa lini na lini? nmekipenda sana. Mia kumtahili mtoto bila ganzi akalia ni aibu kwa mama na baba ake kuna mmasai kasema hivyo na kuongeza neno la Mungu ndo litabadilika lakini sio Mila. Mia Hapo ndipo tulipofikia.Wenye nchi wanaishi maisha kama wanyama wakati wachache waliopewa dhamana ya kuwaongoza wanajali mitumbo yao.Kazi kuchekacheka na kuzomea wenzao kama malaya vile.Wakilala usiku wanaota posho tu. sasa watanzania nikiwambia tuache ushabiki wa vyama hamnielewi ona wenzetu wanavyoteseka sisi tunashabikia mabilinea wabunge wetu ambao kila kukicha wanatafuta njia ya kuongeza mishahara yao wakati wengine hawajui ata kidonge cha panado ni nini? Hapa lazima JK abadili channel! Ila yeye alisema anapenda kuangalia African Magic
2017-01-17T09:32:47
https://www.jamiiforums.com/threads/wadau-angalie-star-tv-sasa-hivi.199639/
[ -1 ]
Kinachoendelea Venezuela kinatutia shaka: Ofisi ya haki za binadamu | Habari za UN Americas|Culture and Education|Economic development|Hapa na pale|Human rights|Law, crime|Peace and security|Women, children, population
2018-02-22T20:46:34
https://news.un.org/sw/story/2014/02/371972-kinachoendelea-venezuela-kinatutia-shaka-ofisi-ya-haki-za-binadamu
[ -1 ]
array(0) { } Radio Maisha | Kizungumkuti chatanda kuhusu kijana aliyedaiwa kufariki dunia baada ya kuanguka kutoka kwa ndege ya Kenya Airways Kampuni moja ya uwakili inatarajiwa kulifungulia mashtaka Shirika la Kimatifa la Habari la Sky News kwa kuchapisha taarifa za uongo kuhusu jamaa aliyeanguka kutoka kwenye ndege ya KQ nchini Uingereza. Hatua hii inafuatia kugunduliwa kwamba jamaa mbaye picha zake zilitumiwa katika taarifa hiyo kuashiria kuwa ni Paul Manyasi, Raia wa Kakamega anazuiliwa rumande nchini Kenya. Cedric Shivonge tayari amezungumza na vyombo vya habari akiandamana na babaye, Isaac Betti huku hatua hiyo ikikifanya kuwa vigumu zaidi kitendawili cha ni nani hasa aliyeanguka kutoka kwenye ndege hiyo na taarifa ya Sky News ilitoka wapi RELATED TOPICS: Paul Manyasisky news
2020-08-10T15:34:03
https://www.standardmedia.co.ke/radiomaisha/news/2001350239/kizungumkuti-chatanda-kuhusu-kijana-aliyedaiwa-kufariki-dunia-baada-ya-kuanguka-kutoka-kwa-ndege-ya-kenya-airways
[ -1 ]
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania(TMA), Dk Agnes Kijazi ametoa tahadhari za mwelekeo wa msimu wa mvua | Mutalemwa Blog Home » HABARI KITAIFA » Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania(TMA), Dk Agnes Kijazi ametoa tahadhari za mwelekeo wa msimu wa mvua Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania(TMA), Dk Agnes Kijazi ametoa tahadhari za mwelekeo wa msimu wa mvua Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania(TMA), Dk Agnes Kijazi ametoa tahadhari tano za mwelekeo wa msimu wa mvua katika kipindi cha Oktoba hadi Desemba mwaka huu kutokana na mvua chache zinazotarajiwa kunyesha katika maeneo mengi nchini. Akizungumza leo na waandishi wa habari ofisini kwake jijini hapa ,Dk Kijazi alisema vipindi vigumu vinatarajiwa kusababisha uvyevu unyevu mdogo hatua itakayoathiri ustawi wa mazao ya kilimo, mito na mabwawa kupungua maji yake kutoka hali iliyopo kwa sasa na mlipuko wa magonjwa kutokana na uhaba wa maji. “Athari nyingine ni mafuriko yatakayojitokeza kupitia mvua kubwa zitakazotokea kwenye maeneo yasiyokuwa na uoto mwingi, pia kutakuwa na uhaba wa malisho ya mifugo ya wanyama katika maeneo mengi, hatua hiyo ya kupungua kwa mvua inatokana na kupungua kwa joto katika maeneo ya Bahari ya Pasifiki,”alisema. Filed Under: HABARI KITAIFA on Wednesday, September 7, 2016
2018-07-20T03:16:18
http://mutalemwa-masgider.blogspot.com/2016/09/mkurugenzi-mkuu-wa-mamlaka-ya-hali-ya.html
[ -1 ]
MBUTA NANGA BLOG-MAGAZINE/ SINCE 2011 TOP IN TOWN': BY FLORA LYIMO ~BLOGS HEADLINES NEWS'' DIDA MITIKISIKO YA PWANI '' MSANII MWINGINE WA BONGO MOVIE RECHO HAULE HATUNAE TENA ''
2017-09-20T13:03:27
http://missfbknitwearlyimo.blogspot.com/2014/05/by-flora-lyimo-blogs-headlines-news.html
[ -1 ]
Images about #afroeast on Instagram #afroeast photos & videos Kwa mahitaji ya simu mpya na used iphone tuchek @genuine_iphones @genuine_iphones Genuine_iphone . #AfroEast #watapatatabusana 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌 #zarithebosslady #wcb_tweets #wcb #wcb_for_life 👈👈🔫 #wcb4life #washikajizangu #simu #hamisamobetto wasafi #wasafimedia #wasafifm #block99 #babaako #kaakitaalam #nitakukerazaidi #chibudangote #alikiba #kingkiba #eastafricaweddings #kinondoni #daressalaam #masaki #unyama #unyamweziniempire #otilebrown #verasidika poshqueen #biriani #biriani_kuku #gainwithmchina 🐯 #followforfollowback #likeforlikes #likeforcomment #beyonce #instagood #instagram #singer #fashion #girl #diamondplatnumz #afroeast #harmonize #rayvanny #udaku #udakutz #jicholauswazi #beautiful #wasafimedia #thestorybook #jumalokole #alikiba #wemasepetu #ireneuwoya #vanessabryant #vanessamdee #wasafimedia #wasafitv #cloudsmedia #like4likes #singing #beyonce #harmonize #kondeboynews #kondegang #kondeboy #hainistui #kushotokulia #jeshi 👽 #jesh #sayonatwist #sayona #samagoal77 #samatta #samatha #millardayo #globalpublishers #rickmedia #sammisagonews #wasafi #wasafitv #cloudstv #singeli #afrobeats #xxlcloudsfm #nandy #ommydimpoz #tango #nandy #kenya #kondegang4everybody #hujanikomoa #afroeast . #freestyle Nimejifurahisha nakuifurahisha Nafsi yangu nimefurahi binafsi #Tafuta furaha yako pia #AFROEAST #bedroom @harmonize_tz #wasafi #is hot #88 .9wasafi fm #jonijoo #aliya #mtu imara #mwamba #n .k#... #payas badman #kizomba #afroeast #wcb4life #..... .Now Wasafi Tv Filamu hii ya Kusisimua ya TheGreat Steven Kanumba ambayo inaelezea Visa vya halisi tunavyopitia Binadamu katika kutafuta Maisha !. Mikasa ,Familia, Uchawi, Mapenzi , Pesa nk! NI SEHEMU GANI AMBAYO UNAISUBIRI ZAIDI KUIONA KATIKA MOVIE HII YA DevilKingdom ? #harmonize #kondeboynews #kondegang #kondeboy #hainistui #kushotokulia #jeshi 👽 #jesh #sayonatwist #sayona #samagoal77 #samatta #samatha #millardayo #globalpublishers #rickmedia #sammisagonews #wasafi #wasafitv #cloudstv #singeli #afrobeats #xxlcloudsfm #nandy #ommydimpoz #tango #nandy #kenya #kondegang4everybody #hujanikomoa #afroeast Mama myra mie🍑🔥 . . . . . #KwaMatangazoKaribuDM . #sammisagoupdates #chibudangote #babalao #comedy #tigofiesta #diamondplatnumz #WatapataTabuSana #wcb4life #mshumaa #wasafitv #millardayoupdates #mwananchiupdates #idrissultan #kwiochallenge #yanga #simba #soudybrown #bongofiveupdates #samatta #tango #sayonatwist #stayhomechallenge #mejakunta #carrymastory_tz #jeje #afroeast #corona @kabanzapeter performing #Bedroom by @harmonize_tz as shot and directed by @arthurkenn_ ARTHURCUTS #bedroomchallenge #bedroomrapchallenge @jembenijembe @harmonize_tz #bedroom #afroeast @afroeast2020 Here we are again nominated as a best photographer of the year plz ur support https://www.instagram.com/p/B-rVLyBAgqA/?igshid=1vzhy7g3i7eaw The link take you place to vote for me @og_professionals #jeje #gere #nguvuyaumma #chaliyartothe 🌍 #covid #lunya #og_soka #washikajizangu #wakulungwa #jeshi 👽 #kondegang #kondeboy #babalao #simbainsierraleone #stayhomechallenge #stayhome #mafundi #africanculture #afroeast #photographers #canonphotography #mwanza #nangwandasijaona #naivasha Tuna ishi ki Box nje ya marengo yetu #Usizoee #kingkiba 👑 #alikoç #AlikibaUnforgettable #alikibaunforgettabletour #TigoFiesta2019 #RockstarAfrica #Kingsmusic4life #SuportedByKiba #ommyDimpoz #dullahplanet #diamondplatnumz #kingkiba 👑 #AliKiba # #Afroeast #jeje #challengeaccepted #Bedroomchallenge Mdogo wetu @elizabethmichaelofficial umetulia sana naona kaka @majizzo kakutuliza umetulizika tuliiii ❤️❤️ #style #travel #tanzaniaweddings #samata #happy #covid_19 #love #photooftheday #diamondplatnumz #visittanzania #tanzania 🇹🇿 #nairobi #tbt #chombokwahewa #morogoro #zanzibar #lion #kilimanjaro #igerskenya #hiiniyetusote #ngorongoro #blessed #danceafrica #masterbedroom #success #wasafifestival #afroeast #hiiniyetusote #lifegoeson Search 'Wakanda Media' on Youtube & Instagram for AfroBeats and daily Music Updates (link in bio) #FOLLOW @wakandatzee @wakandamediatz • ⭕n W - TRENDS TAG your Friend to sHare Full Video Link On BiO ⭕n TP WAKANDA MEDIA Llist NOW Tag Your Friend to Share with Em💦 link on Bio 🚀🚀 Search 'Wakanda Media' on Youtube & Instagram for AfroBeats and daily Music Updates (link in bio) #bugana #Udaku #KingKiba #dozenselection #Sana #Tumewasha #HiiNiYetuSote #MillardAyoUPDATES #bongo5updates #showmewhatyougot #DizzimUpdates #AfricanRockstar #Babakasema #wemasepetu #Uno #cloudstv #shilawadu #SammisagoNEWS #Tumewasha #kondeboy #SanaaImezaliwaUpya #DaudaTransferUpdates #bongo5updates #ChomboKwahewa #watapatatabusana #Nguvuyauma #ubuyujackpot #diamondplatnumz #rayvanny #shilawadu #wasafi #afroeast #ETrending Rais wa Konde Gang @harmonize_tz. Album yake ya #AfroEast ni moja kati ya Album zilizofanya vizuri sana kwenye platforms za usambazaji wa muziki duniani. Kwako wewe wimbo upi unaupenda zaidi kwenye Album ya #AfroEast ? 58 948 3 hours ago @ebitoke is back ivi nyie mbona mnatuenjoy sana kwani @kitengecomedian ni kaka yako? Au bwana ako ! Alafu mbona povu jingi sana ... Wakati Nafanya Hii Ngoma Lengo lilikuwa Kupima Uwezo Wangu Wa Kufikiri Hasa Kwenye Sound Unique ...!!! Ambayo Mtu Akisikia Anasikia Kitu Kipya Kwenye #Bongoflavour And #AfroEast Kwaujumla Lakini Pia Kuzingatia Matakwa Ya Watu Yani Ngoma Iwe Kalii...!!! Ifumuke Mtaani I think We Made It ...!!! Au Unazani Hii Ngoma Inafanana Na Ngoma Gani Yeyote Ile Uliyowahi Kuisikia Mana Watu wanamasikio Bana....??? 👂👂👂 Ehee..!!!! Nambie Au hata Video Inafanana Na Chupa Gani Ndani Na Nje Ya Africa ...??? Bedroom Let's Go...!!! Link on Bio @afroeast2020 Dancers: @meka_oku @nieka_og •@jenybsg @dance_isabi @dance @petitafro @afro @afrobeast_ @afro_champ @afrodance1 @afrodance.intl @maimouna.afrodance @afrodance_to_the_world @afrodance_to_the_world @kj__afrodance @jayy.afrodance @dance.dynamics @t_africa_dance #move #harmonize #afroeast #afrodance #afrobeats #afrohouse #afrofuzao #afrobeatsdancenyc #abdnyc #afrobeatdancer #lionelvero #afro #fuzao #afropop #ndombolo #coupédécalé #kuduro #azonto #pantsula #paris #afrobeatz #invictuscrew #dancehall #hiphop #hiphopdance #hiphopmusic #dancer #dancechallenge #afroz #afroninja Masikhra masikhra mara project ina kamilika 😂😂😂😂 #AfroEast #simbafamilywcb #tamba #bedroom #onelove BLESS....!!! UP....!!!! @audiomack 🤴🎹🎹 VERIFIED AFROBEATS #BEDROOM NUMBER (1.) 🐘 My number one song (1) in africa @devkondeboy @kondegang #harmonize #kondizilla #kondeboynews #kondeboy #clouds #cloudsfm #cov19 #kondegang4everybody . #afroeast #officialalikiba #yoperemix #washikajizangu #bongotrendings #ubuyu #bongo5updates #millardayoupdates #rickmedia #jumalokole #dizzimonline #jeje #DizzimUpdates #udakutz #millardayoupdates #jamiiforums #kondeboyforeverybody2020 KONDEBOY 🔥🔥🔥 Chombo kwa mashine toka Tanzania mpka Congo Goma linaitwa #AFRICAMOJAREMIX 🔥🔥🔥 Toka kwa @l.rice_official ft #Konde Sasa ingia kwenye #bio ya @l.rice_official kuangalia full 💣⚒️ #AFROEAST Cc @harmonize_tz @kondegang @choppa_tz @mjerumani_255 Audio| Y TONY Get it on www.micharazo.com Link kwa bio👆 Mama myra @gigy_money_og . . . #KwaMatangazoKaribuDM . #WatapataTabuSana #wcb4life #mshumaa #wasafitv #millardayoupdates #mwananchiupdates #idrissultan #kwiochallenge #yanga #simba #soudybrown #bongofiveupdates #samatta #tango #sayonatwist #stayhomechallenge #mejakunta #carrymastory_tz #jeje #afroeast Kutoka kwa @diamondplatnumz kesho anatambulisha msanii mpya kwenye label yake ya #wcb . Je unahisi msanii uyo Atakuwa wa Kike au Wakiume?? Dancers: @kid_momo Director: @dizo_chuma_dance #car_connection1 Bei milion 13.8 tu New tyre sport rims 0652545577 #kwiochallenge #yanga #simba #soudybrown #bongofiveupdates #samatta #tango #sayonatwist #astonvilla #mejakunta #carrymastory_tz #jeje #afroeast #sammisagoupdates #chibudangote #babalao #ireneuwoya #tigofiesta CLASSIC DRESS JIPATIE NGUO NZURI KWA BEI NAFUU KABISA KARIBUNI SANA MIKOANI TUNA TUMA PAMOJA NA NCHI ZA JIRANI #kenya 🇰🇪 #burundi 🇧🇮 SEHEMU NI MOJA TU..! ITAKAYO KUFANYA UPENDEZE KISASA NA KUPATA MUONEKANO WA TOFAUTI @unyamwezin_fashion TUNA PATIKANA MWANANYAMALA KOMA KOMA OPPOSITE NA USWAZI FOOD CALL 📲0747984596 #unyamwezini_fashion #shoes #fashion #graphicdesign #cardib #grammys #afroeast #china #trending #selenagomez #SIMBA #millardayoupdates #iloveyou #tiktok #covid_19 #superwomen #wasafi #morning #corona #lv #malikiawanguvu #zanzibar #quarantine #stayhome #Toosieslide Compressive Insuarance Nothing But Good Vibe Only #BedRoom #AfroEast 🐘🐘🐘🐘 🍑🍑🤣🤣🤣🔫🔫🔫🔫🕺💃🕺💃🕺🕺💃💢💢💢🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃👯👯👯👯👯👯👯👯👯👯👯 =_= #JEJEVIBES #AFRICA #jejebrush #jejebrushchallenge #gere #yope #yoperreosolachallenge #Repost #jeje #diamondplatnumz #wasafifestival2019 #afroeast #kondegang #alikiba #corona #stayhome #wasafitv #block89 #babalao #missbuza #marlian #NBG Shukrani sana ndugu zangu @simulizinasauti Mwenyezi Mungu azidi kutuongoza vyema kupeleka mziki mbele zaidi 🌍🌎🌏 #AFROEAST Cc @harmonize_tz @kondegang @mjerumani_255 @choppa_tz jeshiiiiiiiiiii😉😉 harmonize anatamba na album yake ya #afroeast CREATING SOME POSITIVE VIBES #kinginthesouth 🦂🔥⚡🔥 🙏Mungu Azidi Kuwasimamia Katika NDOA Yenu Na Mahusiano Yenu Kwa Ujumla @sarah__tz & @harmonize_tz 🤗 Maana Wengi Wanaovalishwa Pete Tunaona Wanaondoka Na Watoto Bila NDOA😊 #MdomoKoma #KondeGang #ShabikiWaHarmonize #BedRoom #Jeje #AfroEast #AfroEastAlbum #Udaku #Corona #Corona #AfroEast le récent album du tanzanien #Harmonize est le plus streamé au monde en ce moment sur #Deezer & #Audiomack Thank you so much Bro @that_fire_la to take your time to creat that reaction video #BedRoom 🙏🙏🙏from to the album called #AfroEast but welcome Tanzania My Bro @that_fire_la In Swahili karibu Tanzania @that_fire_la 😂😂😂 Cc @harmonize_tz @kondegang @mjerumani_255 Jordan Air Jordan 3 AJ3 Zoo chlorophyll Nix Black Cement Mocha CK4344 🐆Tsh 146k 🇹🇿/USD 63🐆 🚚✈️Delivery all over the world 🌏🌎🌍 @USD 30 per kick 🚚✈️ #aj3 #airjordan #nike #brkicks #sneakers #sneakers2019 #sneakerstz #brand #og #mnyamwezishoes #mnyamwezishoes #diamondplatnumz #nikkiwapilli #johmakini #nandy #afroeast #gnako #adammchovu #fiesta #nikkiwapilli #vanessamdee #stayhome #wemasepetu #hamisamobetto #vanessamdee #gere #teamo #WasafiFestival2019 #rayvanny #jeje The world of success favours only the seekers, not the needers and not even the deservers!! #afroEast #seekeriffic 🤞🏾 #quarantineandchill #gaintrick #gainwithmchina #gainwithxtiandela #gainwithbundi #gainwiththeepluto #afro #east Shemela @rehymonroe #afroeast 🎶 @kondegang ☠️ 🤠🤠🤠🤠this is too much bro @nizzo_bogojo Daah @maroonent @tvetanzania @gnakowarawara @rossendauka @tidmusic @efcbtv #FeelTheSocialExperience . #kipajichakokiwandachako #maroonent #bongomovie #simba #washkajizangu #millardayoupdates #tanzania #huunimwakawako #harmonize #davido #chioma #nigeria #Lagos57 #vanessamdee #rotimi #diamondplatnumz #burnaboy #oluwaburna #afroeast We Still Moving On Number1 Stream Album @afroeast2020 #AfroEast #KondeGang #ShabikiWaHarmonize Kuna athari zozote??? . . . #KwaMatangazoKaribuDM . Resident evil 3 mpya imetoka ijumaa tarehe 3 njo ujipatie kwa bei rahisi sawa na bure sh 75,000 tu na kama ukitaka na game zingne utapunguziwa bei na utapata bonus ya game zingine free 🆓 🔥️🔥️🔥 Karibu tupo Dar karibu na Don Bosco Osterbay Game zote zipo #game #missbuza #Teamo #Jeje #jejechallange #Afrobongo #afroeast #kondeboy #KondeGang #coronamemes #corona #coronavid19 #covid #MillardAyoUPDATES #millardayo #millardayoupdates #tamba #jamiiforums #simulizinasauti #DizzimUpdates #Diamondplatnumz #missbuzahomechallenge FOLLOW @mellowgang_tz @mellowgang_tz Tutapatana huko piah 🇹🇿🏃🏃🏃 #jeje #tamba #afroeast #wasafi #cloudstv Pumzika kwa amani Legend Steven Kanumba. Kuna vingi tuna miss toka kwenye kipawa chako. I love black women, they strong, work the hardest, love the best, and extremely stubborn. But I love them. Cc JD #blackmufasa #missextraflavasoundsgood #blackgirlmagic #somethingbetter #bongo #radiogirl #goodvibesonly #afroeast #harmonize #smile #staysafe #efcbtvUpdates Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson amelazwa chumba cha mahututi baada ya afya yake kuendelea kua mbaya kutokana na Virusi vya Corona #FeelTheSocialExperience . #efcbtvUpdates #bongomovie #simba #washkajizangu Klm 61533 Price 10.8ml🔥 #kwiochallenge #yanga #simba #soudybrown #bongofiveupdates #samatta #tango #sayonatwist #astonvilla #mejakunta #carrymastory_tz #jeje #afroeast #sammisagoupdates #chibudangote #babalao #ireneuwoya #tigofiesta #astonvilla #mejakunta #carrymastory_tz #jeje #afroeast #sammisagoupdates #chibudangote #babalao #ireneuwoya #tigofiesta Nipeni ujuzi kwa hilo jamani #vituko #vichekesho #cheka #chekatu #umbea #umbeausioumiza #wakulungwa #wakulungwaonduty #tududedude #makorokochostudio1 #kingkiba #alikibaunforgettabletour #samakibafoundation #wcb4life #jeje #tamba #missbuza #afroeast #afroeastalbum2020 #kondeboy #kondemusicworldwide #kondegang #kondegang4everybody 19 86 12 hours ago YOOO!!! MORNING ❤ WATCH MY NEW 🎞 #homa NEW MUSIC 🎻🎺🥁🎧 NEW VIBE🔊 LINK ON BIO ENJOY THE MUSIC🚀🚀🙏🏼 #afrobeats #africa #afro #afromusic #rnb #rnbmusic #afroeast #lifestyle #life #lifequotes #Die #Afroeast @harmonize_tz Toyota vitz Full Ac Chini haigongi Bei milio 5.5 Location kigamboni No:BET Price 5 mil For The Fire In You 🔥✨☄️ Dressed by - @mobettostyles #afroeast #dress #africa 1,228 82,840 17 March, 2020 Anaitwa hamisa kishepu. #danceafrica #masterbedroom #success #wasafifestival #afroeast #alikiba #hiiniyetusote #lifegoeson 17 1,284 6 April, 2020 Nyimbo Gani Una Rudi Rudi Kwenye Album Ya #AfroEast ??? 🔥💣🔫 7 227 6 April, 2020 Kwaa mahitaji ya simu mpya na used iphone tuchek 18 1,241 3 April, 2020 6 1,212 4 April, 2020 Ile africanacity ya ile bank ya absa ndio hii ? Au tusubiri nyingine ?? Follow huyu @mastory_ya_mjini @mastory_ya_mjini @mastory_ya_mjini . 10 1,136 28 March, 2020 Follow her @witty_lym @witty_lym @witty_lym . 3 440 3 April, 2020 5 902 4 April, 2020
2020-04-07T20:10:21
https://www.imgrumsite.com/hashtag/afroeast
[ -1 ]
Mgimwa akabidhi mifuko 400 ya Saruji na bati 150 kwa ajili ya Ujenzi – Habari 360 Mgimwa akabidhi mifuko 400 ya Saruji na bati 150 kwa ajili ya Ujenzi Mbunge wa Mufindi Kaskazini Mhe. Mahamoud Mgimwa amekabidhi jumla ya mifuko ya saruji 400 na bati 150 kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa madarasa ya shule za msingi pamoja na zahanati za Kata ya Mapanda kwa lengo la kuboresha maendeleo ya wananchi wa jimbo hilo. “Nimetoa jumla ya mifuko ya saruji 400 na bati 150 kwa ajili ya kuhamasisha ujenzi na ukarabati wa madarasa katika shule na zahati za kata hii ikiwa ni mwamzo tu nitaendelea kutoa saruji nyingine na bati hata vitu vingine ili kulifanya jimbo la Mufindi Kaskazini kupata maendeleo kwa kasi” alisema Mgimwa. “Mimi lengo langu inapofika kipindi cha uchaguzi ninakuwa nimetatua kero zote za wananchi na kujihakikishia napewa ridha ya kuongoza kipindi kingine kwa maendeleo ya wananchi wa jimbo la mufindi kaskazini na kuongeza kuwa hatakusikia kuwa kuna kitu kinasababisha migogoro ya kugombea ardhi katika jimbo hili la Mufindi Kaskazini” alisema Mgimwa. Obedi Madembo, Peter Kaguo, Christopher Ngunda,Thobias Luvinga na Fransisco Mfaume ni wenyeviti wa vijiji vya kata ya Mapanda walimpongeza mbunge huyo kwa kazi kubwa anayoifanya ya kuwatafutia wananchi mandeleo kwa kutumia nguvu zake zote. “Hata ukiangalia mwandishi utagundua gharama alizozitumia mbunge zimewaondolea wananchi kuchangia kabisa hivyo bila mbunge huyu mzigo wote huu ulikuwa unawaangukia wananchi wa vijiji vyote vya kata ya Mapanda” walisema wenyeviti wa vijiji vya kata ya Mapanda. ← Previous Story Polisi DSM: Matukio ya Ki-uhalifu yamepungua Mwaka 2017 Next Story → TANESCO yawaomba Radhi Wateja Wanaotumia Mfumo E-PAYMENT
2018-06-21T23:28:49
http://www.habari360.co.tz/mgimwa-akabidhi-mifuko-400-ya-saruji-na-bati-150-kwa-ajili-ya-ujenzi-na-ukarabati-wa-majengo-ya-shule-na-zahanati/
[ -1 ]
Moja ya maduka Japan kubwa elektroniki Yamada Denki sasa anapokea Bitcoin Yamada Denki, moja ya maduka ya Japan kubwa elektroniki, imetangaza wao ni kukubali Bitcoin kama njia ya kulipa. Ni kwa kushirikiana na Bitflyer, na kuadhimisha maendeleo mapya, Bitflyer anakupa zawadi ya 500 yen kwanza 500 wateja kulipa kwa forex virtual. Korea ya Kusini muuzaji na e-biashara kubwa WeMakePrice kukubali 12 cryptocurrencies ya kePrice, anafahamika zaidi kama Wemepu, moja ya Korea ya Kusini kubwa e-commerce majukwaa na wauzaji kubwa ina mpango wa kukubali 12 cryptocurrencies, ikiwa ni pamoja na Bitcoin, kwa kushirikiana na Bithumb, nchi kubwa cryptocurrency kubadilishana. WeMakePrice inaongeza cryptocurrencies kwa malipo zilizopo jukwaa yake OneThePay. Mara baada ya muungano umekamilika, watumiaji WeMakePrice zilizopo itakuwa na uwezo wa kununua bidhaa na huduma kwa kutumia cryptocurrencies. Katika mahojiano na Korea Kusini vyombo vikuu vya habari plagi HanKyoReh, msemaji WeMakePrice alisema kuwa kampuni hiyo kufikia uamuzi wa kuunganisha cryptocurrencies kama sehemu ya mpango mpana kupunguza mchakato wa malipo kwa watumiaji wa jumla. "…kufanya malipo rahisi zaidi kwa wateja wetu na wateja. Tunaona programu za simu fintech, pointi, na cryptocurrencies kama njia bora ya malipo,"Alisema msemaji wa. kampuni hiyo taarifa rasmi zilizotajwa: "Huduma ya malipo Bitcoin… Huduma bora na urahisi. " BTCC unaopatikana kwa mfuko Hong Kong makao uwekezaji blockchain Bitcoin madini na kubadilishana conglomerate BTCC imekuwa unaopatikana kwa mfuko unnamed Hong Kong makao blockchain uwekezaji. rasilimali itasaidia mfuko BTCC ya lengo ya kimataifa kama exits soko Kichina. biashara BTCC imekuwa decimated na udhibiti ufa-chini katika China, ambayo marufuku biashara ya cryptocurrency katika masoko ya msingi katika nchi. Beijing sasa ina Bitcoin madini katika bunduki vituko yake, kulingana na ripoti ya hivi karibuni katika FT na kwingineko. Msemaji wa BTCC alisema: “Sisi kwa sasa si kutoa taarifa juu ya mfuko wala kiasi cha rasilimali kukulia.” BTCC kubadilishana kufanyiwa biashara zaidi ya $25 bilioni thamani ya sarafu katika 2017. BTCC ya Mobi mkoba, ilikuwa zilizoanzishwa Machi 2017, sasa ina wateja kutoka 180+ nchi, aliongeza msemaji. Katika taarifa BTCC mwanzilishi Bobby Lee alisema: “upatikanaji wa leo ni hatua ya ajabu kwa BTCC kwamba linatambulisha yote ya kufanya kazi kwa bidii zaidi ya miaka michache iliyopita. Mimi ni msisimko sana juu ya rasilimali huu inatoa BTCC kwenda kwa kasi na hima kukuza biashara yetu katika 2018 na zaidi.” Korea ya Kusini mipango kanuni ni cryptocurrencies Je Korea ya Kusini ... Familia ya kifalme ya ... Baada uliopita:blockchain News 28 Januari 2018 Post next:blockchain News 30 Januari 2018
2018-05-22T08:26:31
http://traynews.com/sw/news/blockchain-news-29-january-2018/
[ -1 ]
Chadema Blog: Lema: Polisi wakitumika kisiasa na CCM, Ukawa tutajilinda wenyewe Lema: Polisi wakitumika kisiasa na CCM, Ukawa tutajilinda wenyewe Kambi ya upinzani imesema italazimika kujilinda katika mikutano ya kampeni za uchaguzi mkuu, endapo polisi wataendelea kutumiwa kisiasa na kuwaacha green guards wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kufanya fujo kwenye mikutano yao. Msemaji mkuu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Godbless Lema, alisema hayo alipokuwa akisoma hotuba ya kambi hiyo kuhusu makadirio ya mapato na matumizi ya fedha ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2015/16. Alisema vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Watanzania (Ukawa), vinatoa tahadhari kwa CCM, endapo wamepanga njama zozote zile kuhujumu vyama vyao katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, mwaka huu. “Njama hizo zitadhibitiwa ipasavyo kwa sababu upinzani wa sasa hivi una nguvu kuliko wakati mwingine wowote,” alisema. Alisema kwa kuwa taifa linaelekea kwenye uchanguzi mkuu, na kwa kuwa kipindi cha uchaguzi ni kipindi ambacho amani ya nchi inatakiwa kulindwa kwa nguvu zaidi kuliko vipindi vingine, upinzani unatoa angalizo kuhusu kutochezea haki za mwananchi kujiandikisha kuwa mpiga kura na kutofanya mzaha na uwepo wa Tume Huru ya Uchaguzi. UCHOCHEZI WA KIDINI NA KIKABILA Lema alisema tatizo la udini na ukabila limeendelea kuwa hatari kwa ustawi wa amani ya nchi na hilo ni janga kubwa ambalo linaratibiwa na CCM na washirika wake kwa maslahi ya kisiasa. “Wakati uchochezi huu wa kidini na kikabila ukifanyika, Usalama wa Taifa wanajua, polisi wanajua lakini hawachukui hatua yoyote. “Nadhani wanafikiri kwamba ni mkakati mzuri wa ushindi kwa CCM lakini kumbe ni mkakati unaohatarisha hali ya usalama na amani nchini,” alisema. TUME YA UCHUNGUZI WA KIMAHAKAMA Alisema kwa kipindi chote cha miaka 10 ya serikali ya awamu ya nne, kambi ya upinzani imepigia kelele na kulaani mauaji ya raia wasio na hatia yanayofanywa na vyombo vya dola hususan, polisi. Alisema kambi hiyo imeikumbusha serikali kuunda Tume ya Uchunguzi wa Kimahakama kuchunguza vifo hivyo kwa mujibu wa sheria ya kuchunguza vifo vyenye utata. Alisema inasikitisha kuona tangu mchakato huo uanze, serikali haitoi mrejesho wa namna zoezi hilo linavyoendelea. “Ni wananchi wangapi wameshapata vitambulisho hivyo, ni lini kila raia wa Tanzania atakuwa amepatiwa kitambulisho chake cha taifa, na ni fedha kiasi gani zimetumika hasi sasa katika mchakato huo,” alisema. MAZINGIRA NA AFYA ZA MAHABUSU NA WAFUNGWA Alisema serikali imeshindwa kupunguza msongamano wa mahabusu na wafungwa magerezani kwa kubuni adhabu mbadala za nje kwa makosa madogo madogo badala ya vifungo. Alisema serikali hii imeshindwa pia kufanya upelelezi wa kesi zinazowakabili watubumiwa wa makosa mbalimbali kwa wakati na hivyo kusababisha msongamano wa mahabusu magerezani. Kuhusu afya alisema wanaitaka serikali kuchukua hatua za haraka kupunguza msongamano wa wafungwa na mahabusu magerezani sambamba na kuboresha lishe na huduma za afya kwa wafungwa na mahabusu.
2018-02-19T17:54:24
http://chademablog.blogspot.com/2015/05/lema-polisi-wakitumika-kisiasa-na-ccm.html
[ -1 ]
Zidane: Siwahofii Bayern Munich - Mwanaspoti Zidane: Siwahofii Bayern Munich Zidane ambaye amewahi kufanya kazi na Kocha wa Buyern Munich akiwa msaidizi wake akiwa Los Blancos, amesema wachezaji wake wanatakiwa kujiandaa kisaikolojia ili kuhakikisha wanaibuka na ushindi kwenye mechi hizo. Madrid, Hispania. Kocha wa Real Madrid, Zinedine Zidane amesema mechi kubwa iliyopo mbele yao dhidi ya Buyern Munich, robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, wachezaji wake hawana haja ya kuwa na hofu kwa kuwa aliyatarajia hayo kutokea wakati wa kupanga ratiba. Tangu amekuwa na kikosi hicho cha Santiago Bernabeu, ameiwezesha timu yake kuibuka na mataji msimu uliopita.
2018-02-18T03:14:54
http://www.mwanaspoti.co.tz/spoti-majuu/Zidane--Siwahofii-Bayern-Munich/1799706-3854738-to5l73z/index.html
[ -1 ]
Full mipasho bungeni | JamiiForums | The Home of Great Thinkers YAMEKUWA HAYO?!! Mipasho hadi Bungeni jamani?..Mh Chombo Vs Tundu Lissu! Tujuze zaidi wengine tunaendelea na mikakati ya kuhakiksha jairo hasumbuliwi na kamati teule ya bunge WoS, Salama. Hebu mwaga mchele na sisi njiwa wa mtaani tufaidi, Tv zetu hazikamati bunge. Siamini ninachokiona. Tumefikia hapo... Wabunge wanatupiana vijembe, wabunge wanaponda usomi wa Waziri Kivuli?! Tujuze zaidi wengine tunaendelea na mikakati ya kuhakiksha jairo hasumbuliwi na kamati teule ya bungeClick to expand... Duh, kweli msuba umechanganya. Lete habari kiundan!!usilete mipasho hapa Mbona unakuja na vichwa vya habari tu? Lete habari kamili. bunge la magamba sawa na kilabu cha ulanzi kule image,ilula kwa lukuvi Si wengine hatuna star times, tupe in detail. mbona mnaweka vitu robo robo? tuambieni basi ni kimeongelewa mpaka mkakipa hadhi ya mipasho! wengine huku kwetu Tanesco wameshafanya mambo kama kawa. Kweli ni full mipasho maana hata posti yenyewe imeletwa kimipasho... Mbunge anatetea Zanzibar na kuonya "Mpuuzi' yeyote atakayejaribu kuifanya Zanzibar iwe inferior. - Hii lugha haina staha ndani ya Bunge Mbunge mwingine kamponda waziwazi Waziri wa Sheria na Katiba kwamba sijui kasomea wapi ...na maneno mengine ya kukosa staha. Hakuna juhudi ya kupunguza ukali huu ilizaa matunda... japo kuna wabunge kama Tundu Lissu..( aliyelengwa moja kwa moja na mipasho hiyo kwa kuitwa TUNDU LUSSU!) walisimama kutaka muongozo. Haya ni kwa uchache... Mh Spika kawataka wawe na uvumilivu.. Wabunge 2 toka zanzibar wametoa maneno makali, matusi na dhihaka dhidi ya Lisu. Lisu akasimama kuomba utaratibu lkn spika Anne Makinda kamzuia kasema tuvumiliane. Rai yangu kwa spika..next time Mbunge toka CDM au upinzani wowote exluding CUF akitoa maneno makali na matusi kama haya dhidi ya CCM naomba pia tuvumiliane. Hii si sahihi kwa mbungekusimama bungeni na kuanza kumshambulia mtu kwa matusi na kejeli! Hii ni baada ya mh Tundu Lisu kutukanwa na wabunge wawili wa Zanzibar pia mh Spika kukataa muongozo ktk haya! This is not right! Kweli ni full mipasho maana hata posti yenyewe imeletwa kimipasho...Click to expand... Una hakika...?Udaku umekusibu tu... wewe umeshaambiwa kuna mipasho...ukita details tumia lugha yenye staha badala ya kutafuta mipasho na wewe! Taarifa ni kuwa kwenye uchangiaji katba na sheria Spika katoa majina ya wachangiajia kutoka zenj wawili kisha na wao kuanza kumshambulia maoni ya upinzani kuhusu muungano kuwa rais wa zazibar aruhusiwe kuingilia mambo ambayo yanahusu muungano na sii vinginevyo ila wachangiaji hao wameponda maoni hayo na matusi kwa watanzania bara Hii si sahihi kwa mbungekusimama bungeni na kuanza kumshambulia mtu kwa matusi na kejeli! Hii ni baada ya mh Tundu Lisu kutukanwa na wabunge wawili wa Zanzibar pia mh Spika kukataa muongozo ktk haya! This is not right!Click to expand... Vipi Mama Kommu na Mary Nagu? Hebu tujuze zaidi, what really happened? HOJA ILIYO HOT NI ILE INAYOHUSIANA NA SERIKALI YA ZANZIBAR ..NA SERIKALI YA MUUNGANO...Mbunge wa ZNZ analinganisha Muungano na ndoa..anasema "ukioa mke unaangalia ana sifa..na siyo huyu ana makalio makubwa au madogo."... hivyo udogo wa ZNZ si ishu....iheshimiwe. Mh Tundu Lissu analengwa.....anaambiwa haelewi nini maana ya Urais wa kifalme! iTS REALLY HOT! Hao wala urojo hata wamtukaneje Lissu, jamaa hataacha kusema ukweli daima.
2017-04-27T07:53:45
https://www.jamiiforums.com/threads/full-mipasho-bungeni.166902/
[ -1 ]
Mtoto wa miaka miwili ni mmoja ya walionusurika ajali ya ndege ya TransAsia – Millardayo.com Mtoto wa miaka miwili ni mmoja ya walionusurika ajali ya ndege ya TransAsia Mtoto wa kiume wa miaka miwili ni mmoja ya watu walionusurika kufariki katika ajali ya ndege ya TransAsia iliyoua watu 31 huko Taiwani baada ya kukosa mwelekeo na kuanguka mtoni katika mji wa Taipei. Mpaka sasa tayari watu 15 wameokolewa ikiwemo watoto wengine wanne ambao umri wao haujatajwa huku watu wengine 12 hawajulikani walipo. Waokoaji wakimchukua mtoto huyo baada ya kumwokoa kutoka kwenye ndege hiyo Mtoto huyo alikutwa akilia nje ya ndege hiyo na kuchukuliwa na waokoaji kisha kumkimbiza hospitali. Ndege hiyo iliyokuwa na abiria 58 ilipita karibu na magari na kudondoka mtoni muda mfupi baada ya kuruka kutoka uwanja wa ndege wa Songdshan, Taipei kuelekea uwanja wa ndege wa Kinmen nje ya Taiwan huku chanzo cha ajali kikiwa bado hakijajulikana. https://www.youtube.com/watch?v=yRdjgEbkCkA ← Previous Story Hii ni taarifa ya idadi ya watu ambao hufariki kila siku kwa Saratani Tanzania Next Story → Mkusanyiko wa stori kubwa zilizopewa headlines kwenye Magazeti ya leo February 6, 2015 ziko hapa
2019-12-10T11:28:31
https://millardayo.com/mtoto-feb5/
[ -1 ]
Ujerumani 1-0 Marekani - BBC Swahili Ujerumani 1-0 Marekani http://www.bbc.com/swahili/michezo/2014/06/140626_germany_us_wc2014 Image caption Thomas Muller mfungaji bao la Ujerumani Baada ya mvua kubwa iliyonyesha Recife na kusababisha mafuriko kutishia kuahirishwa kwa mechi baina ya Ujerumani na Marekani, hatimaye hali ya anga ilikuwa murwa kwa mechi hiyo ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu haswa kwa Marekani ambao walikuwa wanahitaji sare ya aina yeyote na kuomba kuwa Black stars ya Ghana wanakunguwaa iliwao waweze kusonga mbele ktika kundi G. Na baada ya mbivu na mbichi kubainika Ujerumani na Marekani zote zilijikatia tikiti ya kushiriki mechi za raundi ya pili licha ya Ujerumani kushinda mechi hiyo kwa bao moja bila ya jibu. Bao la pekee lilifungwa na Thomas Muller . Image caption Ujerumani na Marekani zafuzu kwa raundi ya pili Mshambulizi huyo wa Bayern Munich aliifungia Ujerumani bao lake la 9 katika mechi sawa na hizo . Fauka ya mvua kubwa iliyonyesha mapema taswira katika uwanja wa Arena Pernambuco ulioko Recife ilikuwa n ushindani mkubwa baina ya Marekani na Ujerumani. Kufuatia matokeo hayo Marekani sasa watakwenda el Salvador ilikuchuana na Ubeljiji jumanne ijayo katika mechi yao ya kundi la pili huku Washindi wa kundi hilo Ujerumani wakiratibiwa kumaliza udhia dhidi ya mshindi wa pili katika kundi H yaani ( Algeria ama Urusi)
2017-12-14T01:33:02
http://www.bbc.com/swahili/michezo/2014/06/140626_germany_us_wc2014
[ -1 ]
Hapa ni nini cha kutarajia Kutoka kwa Msimu wa Moto wa 2019 - Habari za Mgogoro wa Hali ya Hewa | Habari za Mgogoro wa Hali ya Hewa Imeandikwa na Rob Jordan Kawaida ni ya kawaida kwa ajili ya moto wa Magharibi, na moto unaozidi zaidi na zaidi unaoharibika, wanasema wataalam. Lakini kuelewa hatari inaweza kusaidia kuepuka maafa. Katika Magharibi mwa Amerika, mamilioni ya watu wanaishi katika maeneo ya hatari ya moto wa moto wa mwitu kwa sababu ya kavu ya joto, joto la joto na mafuta mengi ya kikaboni katika wildlands karibu. Watafiti wanasema hiyo ni kichocheo cha maafa. Mwaka huu, Kituo cha Moto cha Taifa cha Interagency kinatabiri msimu mkubwa wa moto mwitu kwa maeneo yaliyo karibu na Pwani ya Magharibi kutoka California hadi Canada kutokana na mazao makubwa ya nyasi na mimea mingine inayotengenezwa wakati wa baridi ya mvua. Kwenye California, matumizi makubwa zaidi, Gesi ya Pasifiki & Umeme, tayari imeanza kukata madhara ya kuzuia nguvu za hatari ambayo huathiri mamia ya maelfu ya wateja katika miezi ijayo. Wakati huo huo, madai ya bima ya uharibifu ulioharibika sehemu za California Novemba iliyopita ulipungua hivi karibuni $ 12 bilioni-jumla ambayo inawakilisha kupoteza kwa kiuchumi kikubwa kwa hali ya serikali kutoka kwa moto. Ni Nini kitatokea ikiwa Mafuta ya amazon yanaendelea kuwaka? Hapa, wataalam Chris Field, mkurugenzi wa Taasisi ya Mazingira ya Stanford Woods; Rebecca Miller, mwanafunzi wa PhD katika Programu ya Intermisciplinary Emmett katika Mazingira na Rasilimali; na Michael Goss, wenzake wa utafiti wa kisasa katika Shule ya Dunia, Nishati na Mazingira ya Sayansi, kujadili nini cha kutarajia kutoka msimu wa moto wa mwitu mwaka huu na baadaye: Ni mwenendo gani tumeona katika msimu wa moto wa hivi karibuni? Miller: Tumeona mwelekeo huko California kuelekea mwitu mkubwa zaidi na uharibifu zaidi. Katika kipindi cha miaka miwili iliyopita, California iliona nne kubwa ya 20 na nane ya 20 zaidi ya maafa ya moto katika historia yake. Katika 2017 na 2018, karibu asilimia 3 ya hali nzima ilikuwa moto wakati fulani, eneo sawa na asilimia 80 ya Connecticut. Mabadiliko ya hali ya hewa ni Kuhatarisha Ubora wa Hewa kote Nchini Je! Kuna kitu chochote kuhusu msimu wa moto ujao ambao unaweza kuwa nje ya kawaida? Shamba: Sisi ni wakati ambapo kila msimu wa moto ni uwezekano wa kuwa nje ya kawaida. Mchanganyiko wa mabadiliko ya hali ya hewa, kuongezeka kwa maendeleo katika interface ya miji ya wildland, na mkusanyiko wa mafuta kutoka kwa miongo kadhaa ya ukandamizaji wa moto kwa kiasi kikubwa huongeza hatari ya moto ambayo ni kubwa na yenye hatari. Mwandishi wa zamani wa California Jerry Brown alielezea hali hii kama "isiyo ya kawaida." Tunahitaji kutambua kwamba, huko California, tunakabiliwa na hatari halisi kwamba kila msimu wa moto utakuwa kati ya uharibifu zaidi, au hata uharibifu zaidi, kwenye rekodi. Isipokuwa tutafikia tatizo, hatari ya moto katika 2030 au 2040 inaweza kufanya miaka michache iliyopita kuangalia utulivu. Tishio kutoka kwa Gesi Mpya za CFC Kupatikana Katika Hewa Ni mambo gani na hali ambazo zinaweza kusababisha hatari ya moto wa moto katika miezi inayofuata? Goss: Utabiri wa Kituo cha Utabiri wa Hali ya Utabiri wa Hali ya Kijiografia na Ulimwenguni wa Ulimwenguni kwa Agosti. Hii inaweza kupunguza snowpack katika upeo wa juu, na kusababisha uendeshaji mdogo na kuathiri kukausha kwa mafuta ambayo hutegemea runoff. Zaidi ya hayo, hali mbaya huweza kukausha mimea. Hii inaweza kuimarisha kanda kwa hatari ya moto wa moto wa mwitu, ingawa moto na hali ya hewa ya haraka, kama vile matukio yenye nguvu ya upepo, pia huwa na jukumu muhimu. Nyakati za moto za mwitu mwingi ambazo tumeziona hivi karibuni huko California zimekuwa, kwa sehemu, zimesababishwa na mchanganyiko wa joto na kavu na kavu na kuanguka, baada ya kuanza kwa kawaida kwa msimu wa mvua na upepo wa pwani ambazo zimefanyika wakati mafuta ya mafuta yaliyowa . Shamba: Hasa California, hatari kubwa ya moto ni katika kipindi cha upepo mkali wa moto kama upepo wa Santa Ana au Diablo. Upepo huu wa moto, kavu unaweza kufuta mafuta mazuri kwa kiasi kikubwa kwamba huwa karibu kupuka, ambao huathiriwa na moto. Katika maeneo ya moto ya California, kuna vyanzo vingi vya kupuuza, kutoka kwa umeme kwa sigara zilizopotezwa na campfires ambazo hazijapigwa kwa cheche kutoka kwa vifaa au mstari wa nguvu. Kwa kiasi gani baridi ya kawaida ya mvua, kama ya California tu uzoefu, inasababisha msimu wa majira ya moto wa msimu? Shamba: Kwa ujumla, mwaka wa mvua kama 2019 husababisha hatari kubwa ya moto kwenye maeneo ya udongo na sehemu za chini za hali ambapo unyevu wa ziada huongeza ukuaji wa nyasi na mafuta mengine mazuri. Lakini katika milima ya juu, theluji ya kawaida ya juu ya barafu itayeyuka baadaye kuliko kawaida, kupungua kwa urefu wa muda ambao misitu ni kavu ya kutosha kuchoma. Lakini hatari kubwa kuwa moto wa misitu inakuwa mbaya ni kuhusiana na mkusanyiko wa mafuta kwa miaka kadhaa. Hizi "ngazi ya nishati" inaruhusu moto kuhama kutoka chini hadi taji ya msitu, ambako inaweza kusonga haraka, kuruka vikwazo na kuua kila mti katika njia yake. Je, jamii na watu binafsi wanaweza kufanya nini ili kupunguza hatari za moto wa moto? Miller: Mojawapo ya mafanikio zaidi ya kuandaa watu binafsi kwa maafa ni uratibu katika ngazi ya ndani: wajirani wanaongea na majirani, na majirani kusaidia majirani. Wildfires haifuati mipaka ya mamlaka, hivyo serikali za mitaa, jamii na wamiliki wa nyumba binafsi wanahitaji kufanya kazi pamoja ili kupunguza hatari zao. Mipango kama Firewise USA inisaidia wakazi wa mitaa kuandaa vitongoji vyao kujiandaa na kulinda kutokana na moto wa moto kwa kusafisha mabaki, nyumba za kupima na vifaa vya ujenzi vya moto, na kuendeleza mipango ya dharura inayojumuisha njia za uokoaji. Kwa kiwango cha mtu binafsi, wamiliki wa nyumba wanaweza kulinda mali zao kwa kuanzisha nafasi inayoweza kuzuia eneo la karibu na nyumba zao za mimea-au kuchukua nafasi ya sehemu za nyumba zao, kama tiles za paa au vents, na chaguo zaidi vinavyoweza kupinga moto. Shamba: Kwa muda mrefu, kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa itakuwa muhimu. Ikiwa ulimwengu unaendelea kuwa na joto kwa viwango vinavyotarajiwa na uzalishaji wa juu kupitia karne ya 21, ni vigumu kufikiria kwa ufanisi kusimamia hatari ya moto wa moto katika California. Sambamba na kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa, jamii zinaweza kufanya kazi kubwa ili kupunguza nishati ya ngazi inayoongeza hatari ya moto wa maafa. Kuchomwa kwa madaraka inaweza kuwa njia salama na yenye ufanisi ya kupunguza nishati, hasa wakati mkusanyiko sio mkubwa sana. Ambapo nishati ni nzito sana ambazo hazikuwekewa moto, hazina ya kuponda misitu ni hatua muhimu ya kwanza. Katika hali nyingine, nyenzo zilizoondolewa kwa kuponda zinaweza kutumika kama mafuta ya kizazi cha nguvu au matumizi mengine. Sehemu nyingi za misitu ambazo zimeona kupungua kwa shughuli za mavuno ya miti katika miongo ya hivi karibuni zinaweza kutoa fursa za kiuchumi kutokana na uwekezaji katika kupunguza mafuta. chanzo: Chuo Kikuu cha Stanford Pigano Kwa Mkondo wa Jet Uko Juu ya Vichwa vyetu Whiplash ya hali ya hewa: Je! Polar Vortex Inaleta Chini Ya kufungia, Je! Hali ya Hewa Iliyounganika Imeshikamana na Mabadiliko ya Tabianchi? Dipole: 'Niño ya Hindi' ambayo Imeleta Ukame Sana kwa Afrika Mashariki Kwa nini ni vigumu sana kugundua vidole vya kidole vya joto juu ya mvua za monsoon
2020-08-14T10:18:04
https://sw.climateimpactnews.com/impact/weather/2344-here-s-what-to-expect-from-2019-fire-season
[ -1 ]
Maamuzi ya Yanga baada ya serikali kuzuia wasitumie uwanja wa Taifa – Millardayo.com Maamuzi ya Yanga baada ya serikali kuzuia wasitumie uwanja wa Taifa Ikiwa zimepita siku 2 toka serikali kupitia kwa waziri wa habari, sanaa, utamaduni na michezo Nape Moses Nnauye kutangaza kuufungia uwanja wa Taifa Dar es Salaam kutumia kwa vilabu vya Simba na Yanga, leo October 4 2016 klabu ya Dar es Salaam Young Africans imetangaza kuomba uwanja mbadala watakaotumia kuchezea mechi zao. Yanga kupitia barua waliyoitoa leo iliyoandikwa na katibu mkuu wao imeomba kuutumia uwanja wa Amaan Zanzibar kama uwanja wao wa nyumbani, katika kipindi hiki ambacho wamezuiwa kutumia uwanja wa Taifa. Kama utakuwa unakumbuka vizuri waziri Nape alitangaza maamuzi ya kuzizuia timu za Simba na Yanga kwa muda usiojulikana kuutumia uwanja wa Taifa Dar es Salaam kutokana na vurugu na uharibifu uliotokea siku ya mchezo wao wa watani wa jadi uliomalizika kwa sare ya goli 1-1, ila mashabiki walivunja viti na wengine mageti ya kuingilia. Baada ya waziri Nape kuzuia Yanga na Simba kutumia uwanja wa Taifa, Yanga imeomba kutumia uwanja wa Amaan Zanzibar kama uwanja wa nyumbani. pic.twitter.com/x7NV63e687 — millard ayo (@millardayo) October 4, 2016 ULIPITWA NA MAAMUZI YA WAZIRI NAPE KUHUSU YANGA NA SIMBA? TAZAMA HAPA ← Previous Story Jibu la Balotelli alipoulizwa kuhusu Jurgen Klopp Next Story → Dili la Neymar FC Barcelona bado halijakamilika
2018-04-19T15:52:45
http://millardayo.com/2u8iua1-2/
[ -1 ]
Ukurasa Wa Kwanza > Suratul-An'aam Isomwe Siku 40 Kuondosha Mitihani Ya Dunia? Du'aa Aanpopatwa Mtu Na Janga Au Balaa [2] Source URL: http://www.alhidaaya.com/sw/node/924 [2] http://www.alhidaaya.com/sw/node/%201162 [3] https://www.addtoany.com/share#url=http%3A%2F%2Fwww.alhidaaya.com%2Fsw%2Fnode%2F924&amp;title=Suratul-An%27aam%20Isomwe%20Siku%2040%20Kuondosha%20Mitihani%20Ya%20Dunia%3F
2019-12-13T11:08:17
http://www.alhidaaya.com/sw/print/924
[ -1 ]
KAMUSOKO BADO ‘ANAVUTANA’ NA YANGA KUHUSU MKATABA MPYA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE KAMUSOKO BADO ‘ANAVUTANA’ NA YANGA KUHUSU MKATABA MPYA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE Mwanzo > YANGA > KAMUSOKO BADO ‘ANAVUTANA’ NA YANGA KUHUSU MKATABA MPYA KAMUSOKO BADO ‘ANAVUTANA’ NA YANGA KUHUSU MKATABA MPYA KIUNGO Mzimbabwe, Thabani Scara Kamusoko bado anavutana na uongozi wa klabu hiyo juu ya mkataba mpya, kufuatia kumaliza wa awali wa miaka miaka miwili. Kamusoko ndiye mchezaji pekee hana uhakika wa kuendelea kuichezea Yanga msimu ujao kati ya waliokuwepo kwenye kikosi cha timu hiyo msimu uliopita, ambao wapo kwenye mipango ya kocha Mzambia George Lwandamina. Bin Zubeiry Sports – Online inafahamu kwamba mazungumzo baina ya Kamusoko aliyejiunga na Yanga mwaka juzi akitokea FC Platinums ya kwao, Zimbabwe na uongozi yanaendelea vizuri na wakati wowote pande hizo mbili zitatangaza ndoa yao mpya. Wachezaji wengine wote muhimu wakiwemo washambuliaji Mzambia, Obrey Chirwa, Mzimbabwe Donald Ngoma na Mrundi, Amissi Tambwe. Thabani Kamusoko bado anavutana na uongozi wa klabu hiyo juu ya mkataba mpya, kufuatia kumaliza wa awali wa miaka miaka miwili Hata hivyo, kwa sasa ni wachezaji 16 tu ndiyo wapo mazoezini Yanga SC kwa sasa wakiendelea na maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, chini ya kocha Lwandamina. Wachezaji ambao hawapo ni pamoja na majeruhi watatu, kipa Benno Kakolanya, kiungo Deus Kaseke na mshambuliaji Donald Ngoma. Beki Hassan Kessy na winga Simon Msuva wapo na kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars ambacho kesho kinakwenda Kigali, Rwanda kwa ajili ya mchezo wa marudiano na Rwanda mwisjoni mwa wiki kuwnaia tiketi ya CHAN 2018 nchini Kenya, baada ya sare ya 1-1 Jumamosi mjini Mwanza. Item Reviewed: KAMUSOKO BADO ‘ANAVUTANA’ NA YANGA KUHUSU MKATABA MPYA Rating: 5 Reviewed By: Bin Zubeiry Sports - Online
2018-07-22T22:24:34
http://www.binzubeiry.co.tz/2017/07/kamusoko-bado-anavutana-na-yanga-kuhusu.html
[ -1 ]
BASATA WADAI DIAMOND KAITUKANA SERIKALI KUMJIBU NAIBU WAZIRI - MALUNDE 1 BLOG Home burudani BASATA WADAI DIAMOND KAITUKANA SERIKALI KUMJIBU NAIBU WAZIRI BASATA WADAI DIAMOND KAITUKANA SERIKALI KUMJIBU NAIBU WAZIRI Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), Godfrey Mngereza amesema mwanamuziki Nassib Abdul maarufu Diamond amefanya makosa kumjibu Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Juliana Shonza akifananisha kitendo hicho na kuitukana Serikali. Diamond Platnumz na naibu waziri huyo waliingia katika vita ya maneno baada ya Serikali kufungia nyimbo 15 mwezi uliopita, zikiwemo mbili za mwanamuziki huyo. Mngereza amesema Diamond anapaswa kuelewa kwamba maneno machafu anayoyatoa dhidi ya waziri huyo ni sawa na kuitusi serikali jambo ambalo hata ukienda katika sheria za kimtandao anaweza kujikuta anaingia matatizoni. Mngereza amesema wamesikitishwa na kauli ya Diamond na kusisitiza kwamba ni vyema akafuata taratibu katika kulalamikia suala hilo ikiwemo kuandika barua kama alivyomuelekeza Waziri Shonza. Ameongeza kuwa si lazima msanii aandikiwe barua pale anapokosa kama ambavyo Diamond ameeleza katika ukurasa wake wa Twitter, kwamba Shonza angemwandikia barua kabla ya kumfungia. Amebainisha kuwa si kila mwanamuziki anayefanya makosa huwa anaandikiwa barua. Katika malalamiko yake, Diamond amesema naibu waziri huyo amekuwa akikurupuka kufungia nyimbo na pia kutowaandikia barua rasmi ndio maana ameamua kuyazungumza kwenye redio na mitandao ya kijamii. Jana Waziri Shonza alisema hawezi kujibizana na Diamond kwa sababu alichofanya si maamuzi yake binafsi na kwamba kama anaona ameonewa apeleke malalamiko yake kwa maandishi. BASATA WADAI DIAMOND KAITUKANA SERIKALI KUMJIBU NAIBU WAZIRI Reviewed by Malunde on Wednesday, March 21, 2018 Rating: 5
2018-08-15T21:00:19
https://www.malunde.com/2018/03/basata-wadai-diamond-kaitukana-serikali.html
[ -1 ]
MATUKIO @ MICHUZI BLOG: MBIO ZA ROTARY DAR MARATHON ZAPIGA HODI Dar es Salaam. Mwaka huu unaweka alama ya maadhimisho ya miaka 10 ya Mbio za Rotary Dar, tukio la hisani ambalo limekuwa likiweka rekodi kubwa katika usajili kila mwaka. Kupitia mbio hizo,miradi mbalimbali ya huduma za kijamii imekuwa ikitekelezwa kwa miaka tisa mfululizo iliyopita kupitia fedha ambazo huwa zinachangwa ikiwemo upandaji miti zaidi ya 26,000,utoaji wa huduma ya maji safi ya kunywa shuleni, Ujenzi wa wodi ya saratani ya watoto katika Hospitali ya Taifa Muhimbili na kituo cha maendeleo ya ujasiriamali Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Mwaka huu, matembezi ya hisani na mbio za Rotary Dar zinalenga kukusanya fedha kwa ajili ya kufanikisha ujenzi wa kliniki maalum katika Hospitali ya CCRBT itakayowezesha utoaji huduma na kupunguza gharama zinazotolewa kwa watu wenye ulemavu. Mbio za Rotary Dar ni juhudi za pamoja baina ya klabu nane za Rotary jijini Dar es Salaam ambazo zimekuwa zikiungwa mkono kwa ufadhili mkubwa wa Benki M na Pepsi. Akizungumza kuhusu tukio hilo, Mwenyekiti wa Bodi wa Mbio za Rotary Dar, Bi. Sharmila Bhatt amesema, "Tunaamini ushirikiano wa kimkakati tuliokuwa nao na Benki M ulikuwa na mafanikio makubwa jambo lilopelekea muelekeo mzuri na kutoa motisha kwa wafadhili wengine katika ambao wanatuunga mkono mwaka huu," alieleza na kuongeza kuwa, "mwaka huu Pepsi nao wameongeza hatua nyingine zaidi kwa ajili ya kutangaza michezo Tanzania kwa kutoa ufadhili wa jumla kwa Mtanzania mwanaume na mwanamke atakayefanya vizuri katika mbio za kilomita 42.2, ambapo watapelekwa kushiriki mbio za Beirut Marathon nchini Lebanon. Haya ni mafanikio makubwa kwa Mbio za Rotary Dar, kukubalika na kuweza kutoa Watanzania watakaoshiriki riadha kwa kupewa ufadhili kwa ajili ya mbio za Kimataifa". Pia alitaja wadau wengine muhimu katika ufadhili huo wa Mbio za Rotary Dar kuwa ni Ashton Media, Toyota, ALAF, Zoom Tanzania, Resolution Insurance,Clouds Media Group, Azam Media, Plasco Limited, Insignia, Night Support, Ashers na Soft Tech. Bi. Bhatt alitumia pia fursa hiyo kumtambulisha Balozi wa Mbio za Rotary Dar 2018, msanii wa kike anayevuma zaidi nchini Bi. Vanessa Mdee al-maarufu Vee-Money ambaye atashiriki katika matembezi na mbio hizo ikiwemo kutoa hamasa na motisha kwa washiriki wa tukio hilo ili wajitokeze kwa wingi. Akizungumza na waandishi wa habari, Bi.Vanessa ameeleza kuupokea ubalozi huo kwa moyo mweupe huku akiahidi kuunga mkono tukio hilo. "Ninafarijika sana kupewa fursa kubwa kama hii na nimeamini kuwa ninaweza kufanya jambo kuhusiana na tukio hili kwa jamii. Ninaahidi kututumia ushawishi wangu ili kuvutia washiriki wengi zaidi. Nikitambua kuwa kila mshiriki atakayeshiriki katika tukio hili, uchangiaji wake utawezesha kusaidia wengine,"amesema. Kwa upande wake Mwenyekiti wa Mbio za Rotary Dar 2018, Rotarian Catherinerose Barretto aliwahakikishia Watanzania kuwa, kila kitu kinaenda vizuri, kama kilivyopangwa. Aliongeza kuwa, Oktoba 14, 2018 itakuwa siku ya kumbukumbu kwa michezo na siku ya tukio la kifamilia katika historia ya Tanzania. Kwa mujibu wa Bi. Barretto miaka 10 ya Mbio za Rotary Dar zinatarajiwa kuwavutia zaidi ya washiriki 16,000. Amesema, tukio hilo litahusisha matembezi ya familia kilomita tano, matembezi ya kilomita tisa, mbio za kilomita 21.1, mbio za kilomita 42.2, baiskeli na shughuli nyingine nyingi za kufurahisha. "Tunatarajia kuwa na washiriki kutoka Kenya,Uganda, Rwanda, Malawi, Afrika Kusini na Ethiopia, "amesema. Bi. Barretto alikumbushia kuwa, kauli mbiu ya tukio hilo itaendelea kuwa, "Ponya Maisha, Badilisha Jamii" ikiwa ni mwaka wa tatu wakichangisha fedha kwa ajili ya kuisaidia Hospitali ya CCBRT iweze kutoa huduma kwa ufanisi zaidi. Kwa mujibu Mkurugenzi wa Uendeshaji wa CCBRT, Bi. Brenda Msangi kujengwa kwa kiliniki ya kisasa hospitalini hapo kutasaidia kuimarisha juhudi za utoaji huduma ikiwa matarajio yao ni kuhudumia Watanzania wengi zaidi miaka ijayo. "Mbio za Rotary Dar kila wakati zimekuwa zikifikiria namna ya kuisaidia hospitali yetu katika uendeshaji wa shughuli zetu. Na matokeo yake ni kuwa jamii kubwa ya Watanzania inanufaika kupitia moyo wao wa kujitoa,"amesema Msanii wa kike anayetamba zaidi nchini, Vanessa Mdee al-maarufu Vee-Money ambaye pia ni Balozi wa wa Mbio za Rotary Dar kwa mwaka huu akizungumza leo (Oktoba 02, 2018) jijini Dar es salaam wakati wa hafla ya kutangaza rasmi maandalizi ya mbio za Rotary Dar zitakazofanyika Oktoba 14 mwaka huu (Siku ya Mwalimu Nyerere). Vanessa atashiriki mbio za Rotary Dar kwa mwaka huu lakini pia atatumia ushawishi alionao kuwahamasisha watu wengi zaidi kushiriki. Pamoja nae ni Mwenyekiti wa Bodi wa Mbio za Rotary Dar, Bi. Sharmila Bhatt (kulia) na Mkurugenzi Uendeshaji wa CCBRT, Brenda Msangi (kushoto). Mkurugenzi Uendeshaji wa CCBRT, Brenda Msangi (kushoto) akionyesha kipeperushi kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) leo (Oktoba 02, 2018) jijini Dar es Salaam kuelezea baadhi ya huduma maalumu zinazotolewa na hospitalini hapo wakati wa hafla ya kutangaza rasmi maandalizi ya mbio za Rotary Dar zitakazofanyika Oktoba 14 mwaka huu (Siku ya Mwalimu Nyerere). Pamoja nae ni Msanii Vanessa Mdee al-maarufu Vee-Money (katikati) ambaye pia ni Balozi wa wa Mbio za Rotary Dar kwa mwaka huu na Mwenyekiti wa Bodi wa Mbio za Rotary Dar, Bi. Sharmila Bhatt (kulia). Mwenyekiti wa Bodi wa Mbio za Rotary Dar, Bi. Sharmila Bhatt (kulia) akizungumza leo (Oktoba 02, 2018) jijini Dar es salaam wakati wa hafla ya kutangaza rasmi maandalizi ya mbio za Rotary Dar zitakazofanyika Oktoba 14 mwaka huu (Siku ya Mwalimu Nyerere). Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya mbio za Rotary Dar, Catherinerose Barretto, Mkurugenzi Uendeshaji wa CCBRT, Brenda Msangi na Msanii Vanessa Mdee al-maarufu Vee-Money ambaye pia ni Balozi wa wa Mbio za Rotary Dar kwa mwaka huu. Mwenyekiti wa Bodi wa Mbio za Rotary Dar, Bi. Sharmila Bhatt (kulia) akibadilishana mawazo na Mkurugenzi Uendeshaji wa CCBRT, Brenda Msangi baada ya mkutano na waandishi wa habari leo (Oktoba 02 2018) jijini Dar es salaam wakati wa hafla ya kutangaza rasmi maandalizi ya mbio za Rotary Dar zitakazofanyika Oktoba 14 mwaka huu (Siku ya Mwalimu Nyerere). CCBRT ndio mnufaika mkubwa wa fedha zinazokusanywa kutokana na mbio za Rotary Dar ambapo kwa mwaka mbio hizo zitakusanya fedha kwa ajili ya kufanikisha ujenzi wa kliniki maalum katika Hospitali ya CCRBT itakayowezesha utoaji huduma na kupunguza gharama zinazotolewa kwa watu wenye ulemavu. Mwenyekiti wa Bodi wa Mbio za Rotary Dar, Bi. Sharmila Bhatt (katikati) na Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya mbio za Rotary Dar, Catherinerose Barretto wakifurahia jambo na Vanessa Mdee al-maarufu Vee-Money ambaye ni Balozi wa Mbio za Rotary Dar kwa mwaka huu baada ya mkutano na waandishi wa habari uliofanyika leo (Oktoba 02, 2018) jijini Dar es salaam. Madhuni ya mkutano huo yalikuwa ni kutangaza rasmi maandalizi ya mbio za Rotary Dar zitakazofanyika Oktoba 14 mwaka huu (Siku ya Mwalimu Nyerere).
2019-11-12T00:55:17
https://michuzi-matukio.blogspot.com/2018/10/mbio-za-rotary-dar-marathon-zapiga-hodi.html
[ -1 ]
Jeshi la Marekani kupambana na Ebola - BBC News Swahili Jeshi la Marekani kupambana na Ebola https://www.bbc.com/swahili/habari/2014/10/141017_obama_ebola Image caption Meja generali Green wa jeshi la Marekani Rais wa Marekani Barack Obama amethibitisha wito wa kulitumia jeshi la nchi hiyo na wale wa akiba iwapo watahitajika kupambana na mlipuko wa ugonjwa wa Ebola Afrika magharibi. Rais Obama amesema wanajeshi hao wataongeza nguvu ya jeshi katika kutoa misaada ya kibinadamu katika eneo hilo. Kundi la kwanza la wanajeshi hao linatarajiwa kupelekwa kusaidia ujenzi wa vituo 17 vya kutolea tiba ya ugonjwa huo, katikati mwa Liberia, moja ya nchi iliyoathiriwa vibaya na ugonjwa huo. Maafisa wa kikosi cha ulinzi wameelezea agizo hilo la Raisi Obama kama agizo la muhumu ili kuongeza kasi ya kutekeleza mipango ya kwenda kuisaidia mapambano ya ugonjwa huo na itamfanya rais kutuma majeshi mengine zaidi iwapo watahitajika. Marekani imeahidi kupeleka askari wake wapatao elfu nne huko Africa Magharibi kusaidia mapambano ya kuzuia na kuumaliza kabisa ueneaji wa ugonjwa wa Ebola. Rais Obama amesema hajapinga wazo la kutekeleza katazo la kuziuia watu wanaoingia nchini Marekani kutoka nchi zilizo athiriwa na ugonjwa huo,na hadhani kama wazo hilo litafanikiwa. Ameyasema hayo mwishoni mwa mkutano aloufanya katika ikulu ya Marekani na maafisa wa shirikisho juu ya ushiriki wa nchi ya Marekani katika mapambano na ugonjwa huo. Raisi Obama amesema anaamini hatua za uchunguzi wa ugonjwa huo ni hatua nzuri. Sina sababu za kifolosofia ya kupinga katazo la safari, kama hiyo ndiyo itakuwa ndiyo njia bora ya kuwaweka raia wa Marekani salama.tatizo ni kwamba je haya ndiyo majadiliano yangu niliyoyafanya a na wataalamu walioko kwenye maeneo ya tukio yaliyoathiriwa na ugonjwa huo ni kwamba katazo la safari halina nguvu kama hatua tulizochukua hivi karibuni kupambana na ugojwa huo. Obama pia aesema yupo wazi kumteua atakayesimamia janga la Ebola Mpaka hatua hii kila mtu binafsi amefanya kazi nzuri yenye kutukuka ,kazi ambayo ni ngumu kupambana na majimaji ya ugonjwa huu. Hii inatufanya tuwe kama mtu mmoja ,kwa sehemu baada ya janga hili tunaweza kusonga mbele kama kawaida. Naye mkuu wa kitengo cha maendeleo ya kimataifa wa Marekani ameahidi kuongeza dola milioni mia moja na arobaini na mbili ili kusaidia mapambano ya ugonjwa wa Ebola huko Guinea. Bwana Rajiv Shah aliyeko nchini Guinea kwenye ziara ya kujionea hali halisi ya athari zilizoletwa na ugonjwa huo Africa Magharibi, na kusema kwamba anafikiri msaada huo utarejesha matumaini ya watu waishio nchini humo. Natangaza ongezeko la dola milioni moja na eflfu arobaini na mbili ili kuendeleza mapambano nchini Guinea katika ugonjwa wa Ebola,kwa vitengo vinavyojihusisha na ugonjwa huu,ili kuongeza ufanisi katika idara ya afya na wafanyakazi wake na kuongeza nguvu katika elimu juu ya ugonjwa huu.
2018-06-21T07:12:43
https://www.bbc.com/swahili/habari/2014/10/141017_obama_ebola
[ -1 ]
Dk Slaa: Sina mpango wa kuwania Ubunge Arumeru | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Discussion in 'Chaguzi Ndogo' started by Patriote, Feb 18, 2012. KATIBU Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa amesema hana mpango wa kugombea ubunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki.Juzi, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe alikaririwa akisema kama Dk Slaa ataamua kuwania ubunge katika jimbo hilo, chama kitaheshimu uamuzi wake akisema: “Katika suala la kugombea, utashi binafsi ni jambo la msingi... kama Dk Slaa ataamua kugombea ubunge Arumeru Mashariki, tutaheshimu uamuzi wake.” Mbowe alisema Dk Slaa amekuwa akiombwa kugombea ubunge katika maeneo mengi ikiwemo Igunga na chama hakikuwahi kumlazimisha kwani jambo la kwanza ilibidi mwenyewe aonyeshe utashi binafsi wa kutaka kuwania kiti hicho.“Dk Slaa aliwahi kuombwa akagombee Igunga lakini hakwenda. Hii ni kwa sababu anakubalika karibu kote nchini, hivyo kama atakuwa na utashi binafsi kwanza, nadhani taratibu za chama zitatumika tu kufikia uamuzi,” alifafanua. Alisema hawezi kujifunga kwenye jimbo moja wakati alishasema kuwa kazi yake ni kutetea wananchi wa Tanzania kwa ujumla kwa kukijenga chama chake.“Siwezi kujifungia kwenye jimbo moja, nilishasema kazi yangu ni kukijenga chama ili kiweze kupata wabunge wengi,” alisema Dk Slaa. Namshkuru sana sana Dk. Slaa kwa kufanya maamuzi haya yenye busara, ni ukweli usiopingika kuwa hata angeamua kugombea asingeshindwa, ila tatizo lililopo ni hawa wenzetu wangefanya michezo yao ya kila aina ili Dk. apoteze ushindi ili wapate ya kusema. Dk. endelea kukijenga chama ili 2015 tuwe na wabunge wa kutosha na hata ikibidi tuishike nchi. kwa sisi ma great thinker tunajua kuwa hawezi kushinda sasa anajikosha kosha tu hana lolote kwa sisi ma great thinker tunajua kuwa hawezi kushinda sasa anajikosha kosha tu hana loloteClick to expand... ...am happy to read it. After being put down by JK in the previous presidential vote, Slaa's appetite for public post seems to have been severely wrecked. That literally was the final time the priest-turned-politico ever contested election. Mbowe should get himself prepared to bear party's flag in the forthcoming poll because it is virtually impossible to prevail upon Slaa to re-think his decision. , Chadema ni chama chenye kuona mbali sana na nina uhakika mwaka 2015 Kitachukua nchi maana CCM wameshindwa kuwawajibisha mafisadi wao eti kinawaomba watafakari!! Sasa sisi tunasema CCM wawakumbatie mafisadi wao na Chadema kiwakumbatie wananchi. Arumeru sasa tumeamua hatutachagua mtu bali tutachagua chama na chama chenyewe ni CHADEMA. Kwahiyo nyie msiumize kichwa tuleteeni mtu yeyote lakini asiwe muislamu. Sio kwamba hatutaki uislamu au tunawachukuia hapana kwani tunajua sote tunaabudu mungu mmoja ila tu kwasababu ya culture na eneo letu na ushawishi kwa mama zetu. Kila mpenda amani anaipenda CHADEMA na tunaamini ukitaka maendeleo ya kweli ni lazima ubadilike kwani tukiendelea kuchagua CCM tutapata yaleyale ambayo hatujaridhika nayo. CHADEMA Hoyeee..... After being put down by JK in the previous presidential vote, Slaa's appetite for public post seems to have been severely wrecked. That literally was the final time the priest-turned-politico ever contested election. Mbowe should get himself prepared to bear party's flag in the forthcoming poll because it is virtually impossible to prevail upon Slaa to re-think his decision. ,Click to expand... Umeandika ki Faiza Foxy bibie Umeandika ki Faiza Foxy bibieClick to expand... Ila huyu mbona anaonekana kama vile ni Mzee zaidi ya Faiza Foxy!! Ila huyu mbona anaonekana kama vile ni Mzee zaidi ya Faiza Foxy!!Click to expand... Halafu Mzee mwenye magamba ya kutosha Kama kingunge au Mzee wa gombe "Kichenchede" (by Bigirita) Namshkuru sana sana Dk. Slaa kwa kufanya maamuzi haya yenye busara, ni ukweli usiopingika kuwa hata angeamua kugombea asingeshindwa, ila tatizo lililopo ni hawa wenzetu wangefanya michezo yao ya kila aina ili Dk. apoteze ushindi ili wapate ya kusema. Dk. endelea kukijenga chama ili 2015 tuwe na wabunge wa kutosha na hata ikibidi tuishike nchi.Click to expand... Exactly! I expected such an answer from the allmighty His excellence Dr.WPS. like ur not fool Uamuzi mzuri kwa manufaa ya chama na wanachama wake,endelea kujenga chama ili 2015 nchi izaliwe upya mikononi mwa wana-chadema,endeleza plogram Dr Slaa MaximumMagambas at work,tatizo lenu nyie wana Magamba mnaiogopa Chadema pia mnamuogopa sana tena sana Dr WP Slaa na mjue imekula ndie tumtakae zaidi 2015 Nilitegemea kauli kama hii kwa kiongozi makini mwenye Maono ya mbali Mh Dr WP Slaa,unahitajika sana na waTz mkuu wangu Dr Slaa. tumesalitiwa,tumenyonywa, tumeisha, dk ni kibiko chenu magamba, how much are you paid, hata kama ni milioni hiyo kazi ya laana,wizi ,ubabe,dhuluma, kudanganya kamwe sitaikubali daima! Dada, hivi una undugu na Mwita25 Mnafanana.. sasa nina amani sana baada ya kuipata hii habari - 0 people likes Acha kusingizia great thinker sema kwa sisi 'Magamba' Bahati yake kaona mbele, hii ndio ingekuwa pigo la pili kwake.
2017-01-19T00:46:21
https://www.jamiiforums.com/threads/dk-slaa-sina-mpango-wa-kuwania-ubunge-arumeru.224891/
[ -1 ]
TCRA yamtolea nje Mrema - Mtembezi Home Habari TCRA yamtolea nje Mrema TCRA yamtolea nje Mrema Akizungumza baada ya Mrema kuwasilisha malalamiko yake katika Mamlaka hiyo Naibu Mkurugenzi – Huduma za Bidhaa na Mawasiliano Bw. Tadayo Joseph amesema kuwa Kabla ya Mrema kufika katika mamlaka hiyo alitakiwa kuanzia ndani ya jeshi la polisi kwani malalamiko hayo yanahusu kosa la jinai. “Mzee Mrema na wananchi wengine wanaoleta taarifa za malalmiko tunawapongeza kwa hatua hiyo. Suala ambalo alilileta ni linahusu kosa la jinai. Mamlaka hii na jeshi la polisi zinafanya kazi kwa ukaribu sana. Ameshauriwa kwanza akaripoti huko kisha atapatiwa wapelelezi kabla ya kufika kwenye mamlaka hii,”. Mrema ambaye alizushiwa kifo na watu wasiofahamika siku ya Jumanne, aliahidi jana kwenye kipindi cha East Africa Breakfast kwamba angekwenda kufungua kesi TCRA na kisha kudai Bilioni 20 kutokana na matatizo pamoja na usumbufu uliosababishwa na mzushaji wa taarifa hizo. Mbali na hayo Mheshimiwa Mrema jana alisema kuwa kitendo cha kuzushiwa kifo kilimsaidia kujua ni watu gani wanampenda kweli na kina nani hawampendi, kutokana na reaction zao baada ya taarifa feki za kifo chake. Previous articleRC Wangabo atoa mwezi mmoja kuwa na mkakati wa kuzuia uvuvi haramu kuokoa viwanda vya samaki mwambao wa ziwa Tanganyika Next articleBavicha wazungumzia hoja za Lissu kwa Serikali Ujenzi Ofisi za Walimu DSM: CRDB wachangia milioni 200 mwandishi wetu - September 25, 2017
2018-02-21T07:34:20
http://mtembezi.co.tz/2018/01/11/tcra-yamtolea-nje-mrema/
[ -1 ]
Kionjo - Mti mkubwa wa mugumo wateketea katika mvua kubwa na kushangaza umma Mti mkubwa wa mugumo wateketea katika mvua kubwa na kushangaza umma 4 months ago, 16 Apr 23:17 Mti huo ulianguka baada ya kupigwa na radi usiku baada ya mvua kubwa. Uliendelea kuungua katika mvua hiyo kubwa na kuwashangaza wengi mjini Murang'a. Wazee wamekihusisha kisa hicho na kifo cha mwanasiasa mkongwe Kenneth Matiba Mti mkubwa aina ya Mugumo ulipigwa na radi katika kijiji cha Kiaguthu, kaunti ya Murang'a Ijumaa, Aprili 13, na ghafla kushika moto. Moto huo unadaiwa kutosumbuliwa na mvua kubwa iliyokuwa ikinyesha, na uliendelea kuula mti huo wenye sifa za kipekee katika jamii ya Wakikuyu kwa siku tatu. TUKO.co.ke ililitembelea eneo la tukio Jumapili, Aprili 15, na sehemu za mti huo zikiendelea kuwaka huku wenyeji wakitazama kwa umbali. Tuma neno ‘NEWS’ kwa 40227 ili kupata habari muhimu pindi zinapochipuka Habari Nyingine: Wakaaji wakiutizama kwa umbali mti aina ya Mugumo uliopigwa na radi na kuendelea kuteketea katika mvua kubwa katika kijiji cha Kiaguthu, eneobunge la Kiharu. Picha: Mark Wachira. Kuteketea kwa mti huo kumehusishwa na kifo cha mwanasiasa mkongwe Kenneth Stanley Njindo Matiba ambaye alikuwa Mbunge wa zamani eneo hilo. Joe Kanguchu ambaye ni mwanachama wa Baraza la Wazee wa jamii ya Wakikuyu, zamanbi akiwa katibu mkuu mipango wa chama cha Saba Saba Asili, wakati Matiba akiwa mwenyekiti, alilitaja tukio hilo kuwa ishara ya kifo cha mkongwe wa siasa za demokrasia ya vyama vingi. Habari Nyingine: "Miti aina ya Mugumo huishi chini ya hali ngumu na marehemu Matiba alikuwa hivyo enzi ya KANU wakati alipofungwa na jela kuharibu afya yake akipigania demokrasia ya vyama vingi. Kuendelea kuteketea kwa mti huu ni ishara ya heshima yake hata baada ya kifo,” Kanguchu aliiambia TUKO.co.ke Mti huo ulianguka katika boma la Loise Wairimu na tukio hilo lilitokea siku tano baada ya mti mwingine mkubwa wa miaka 100 kuanguka mjini Gatundu. Habari Nyingine: Miti aina ya Mugumo inatajwa kuwa takatifu mno na jamii ya Wakikuyu, na kuendelea kuteketea kwa mti huo baada ya kupigwa na radi na katika mvua kubwa kumewaacha wenyeji na maswali mengi bila ya majibu. Ripoti ya Mark Wachira- Kaunti ya Murang'a. Read Una maoni? Una habari ambayo ungependa tuichapishe? Tuma ujumbe kwa mhariri: [email protected] Ilikuwa sinema ya bure kwa wakazi wa mtaa wa Mwiki, Nairobi huku mwanadada akiamua kuling'oa gurudumu la gari la mumewe baada ya kulipata gari hilo kwa mpango wa pembeni. Jamaa huyo alijaribu kujitete ...
2018-08-15T17:25:13
http://kionjo.com/news/client/desktop/newsarticle/Wakaaji-Murang-rsquo-a-waona-mujiza-huku-mti-wa-mugumo-ukiteketea-wakati-wa-/b05e8ea0-3a2c-4470-b4b0-4c268295f77d
[ -1 ]
Polisi wazungumzia jinsi ya kumkamata Tundu Lissu | EDDY BLOG | Edwinmoshi Official Blog Polisi wazungumzia jinsi ya kumkamata Tundu Lissu By Edwin Moshi at Saturday, November 05, 2016 Jana, Novemba 4, 2016 iliripotiwa kwenye vyombo vya habari kwamba Mbunge na Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu anatakiwa kukamatwa kwa amri ya Mahakama baada ya kutotimiza masharti ya Mahakama kwa kutohudhuria kwenye kesi yake inayomkabili Kisutu, Dar. Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kupitia kwa Kamishna wake Simon Sirro imesema sababu za kwanini Tundu Lissu hajakamatwa mpaka sasa ni kutokana na Polisi kutopokea hati yoyote kutoka Mahakamani Kisutu inayoagiza kukamatwa kwa Tundu Lissu lakini ikiwafikia tu watafanya hivyo.
2018-07-17T11:45:13
http://edwinmoshi.blogspot.com/2016/11/polisi-wazungumzia-jinsi-ya-kumkamata.html
[ -1 ]
Kenya haitashinda kesi za ICC asema Ocampo - BBC News Swahili Kenya haitashinda kesi za ICC asema Ocampo http://www.bbc.com/swahili/habari/2011/03/110321_kenya_ocampo Baada ya baraza la usalama la umoja wa mataifa kukataa hoja ya serikali ya Kenya ya kutaka mahakama ya kimataifa ya ICC ihairishe kesi zinazowakabili watu wanaoshukiwa kuchochea ghasia za baada ya uchaguzi uliopita, sasa Kenya iko mbioni kutafuta njia nyingine. Na njia pekee iliyopo sasa ni kukata rufaa mbele ya mahakama hiyo. Lakini kiongozi wa mashataka Louis Moreno Ocampo akiwa ziarani London amesema haoni uwezekano wa kenya kufaulu katika hoja hiyo. Kampeni za majuma kadhaa za serikali ya Kenya za kutaka kuungwa mkono na jamii ya kimataifa ili kesi hizo ziahirishwe zilifikia kikomo siku ya Ijumaa, baada ya kikao cha baraza la usalama la umoja wa mataifa kisichokuwa rasmi, kukataa hoja hiyo ya Kenya. Sasa hatua pekee iliyosalia kwa Kenya ni kutumia ibara ya 19 ya sheria iliyobuni mahakama ya ICC , inayoruhusu nchi kupinga uamuzi wa mahakama ya ICC. Hata hivyo Kiongozi wa mashtaka katika ICC Luis Moreno Ocampo anasema ingawa serikali ya Kenya ina haki ya kukata rufaa, haoni uwezekano wa kesi kuahirishwa. Ocampo aidha aliondolea mbali hofu ya kukamatwa kwa washukiwa hao sita watakapofika mbele ya mahakama ya ICC Mjini The Hague tarehe saba na tarehe nane mwezi ujao. Lakini alikumbusha kwamba yeyote anaweza kukamatwa akiwatishia mashahidi. Ocampo alikuwa ameiandikia barua serikali ya Kenya akielezea wasi wasi wake kwamba washukiwa wawili - naibu waziri mkuu Uhuru Kenyatta na mkuu wa utumishi wa umma Francis Muthaura wanashikilia nafasi serikalini zinazowapa uwezo kuingilia ushahidi. Washukiwa wanaotarajiwa kufika mahakamani The Hague tarehe saba mwezi ujao ni aliyekuwa waziri wa elimu ya juu William Ruto, mbunge Henry Kosgey na mtangazaji wa radio Joshua Arap Sang. Bwana Kenyatta, Bwana Mutahura na aliyekuwa mkuu wa Polisi Hussein Ali. Baada ya hatua hiyo , kwa mujibu wa Bwana Ocampo , watasubiri kipindi cha miezi sita kuipa mahakama muda wa kuthibitisha mashtaka.
2018-05-23T11:44:04
http://www.bbc.com/swahili/habari/2011/03/110321_kenya_ocampo
[ -1 ]
Wachezaji hawa wamefunika Simba Vs Yanga - Spoti TV Home Sports Wachezaji hawa wamefunika Simba Vs Yanga Wachezaji hawa wamefunika Simba Vs Yanga WIKIENDI iliyopita, Sim­ba iliendelea kuandika re­kodi katika Ligi Kuu Bara msimu huu baada ya ku­fanikiwa kuifunga Yanga bao 1-0 kwenye mchezo uli­opigwa katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Ulikuwa ni mchezo am­bao uligusa hisia za wengi na kuwa na mambo mengi, lakini dakika 90 ndizo zili­weza kuamua mambo yote kwenye mchezo huo. Lakini katika mchezo huo baadhi ya wachezaji wa Simba na Yanga waliweza kufanya vema kutokana na kuonyesha viwango bora, huku wengine wakipotezwa. Baadhi yao licha ya kuwa na majina makubwa lakini walishindwa kuonyesha makali yao kwenye mchezo huo kama ambavyo imezoe­leka katika michezo mingine. Wafuatao ni baadhi ya wale ambao waliweza kuonyesha viwango bora kwenye mchezo huo. JONAS MKUDE –SIMBA Alikuwa ndiye mhimili mkuu kama siyo nguzo kwa upande wa Simba na aliweza kupam­bana na kutoa pasi ambazo zilifika vizuri kwa walengwa. Mkude alipambana kwa kiasi kikubwa na kufanikiwa kuiendesha timu na kuisaidia kuondoka na pointi zote tatu. Katika nafasi ya kiungo wa kati, alimpiku Papy Tshishimbi wa Yanga. KELVIN YONDANI – YANGA Licha ya timu yake kushindwa kupata matokeo mazuri, lakini uwezo wake wa kupambana kwa kiasi kikubwa uliweza kuonekana katika harakati za kuiokoa Yanga isipoteze mchezo. Licha ya ubora wake nda­ni ya dakika tisini, Yondani hakufanya uungwana pale al­ipomtemea mate beki wa Sim­ba, Asante Kwasi. ERASTO NYONI – SIMBA Ndiye aliyefanikiwa kuibeba zaidi Simba kutokana na bao lake alilolifunga dakika ya 38 kwa kichwa. Bao la Nyoni katika mchezo huo limeendelea zaidi kuiweka Simba kwenye nafasi nzuri ya kuwania ubingwa msimu huu. Nyoni alifunga bao hilo uki­wa ni mchezo wake wa pili wa ‘derby’ hiyo tangu ajiunge na Simba msimu huu akitokea Azam FC. Katika mchezo huo al­ionekana kuwa bora kuto­kana na kiwango ambacho aliweza kukionyesha na uwezo wake wa kucheza nafasi zaidi ya moja anapokuwa uwanjani. H A S S A N KESSY – YANGA Licha ya kupewa kadi nyekundu baa­da ya kumchezea vibaya Asante Kwasi, lakini kwa muda aliocheza wa takriban dakika 48, alikuwa moto kwani aliweza kupam­bana vyema kwa kusaidia safu ya ulinzi. Kessy kwa namna fulani ali­weza kuwadhibiti Emmanuel Okwi na Shiza Kichuya ili wasi­lete madhara katika lango lao. SHIZA KICHUYA – SIM­BA Mechi ya mzunguko wa kwanza ndiye aliyefunga bao kwa Simba katika sare ya 1-1. Safari hii ameshindwa kufunga lakini wikiendi iliyopita licha ya kutofunga, ndiye aliyetengen­eza bao lililofungwa na Erasto Nyoni na kuipa ushindi Simba wa bao 1-0. Mara kadhaa Kichuya amekuwa msumbufu kwa wachezaji wa timu pinzani na ubora wake kila siku umekuwa ukionekana kuwa juu. YOUTHE ROS­TAND – YANGA Ni kipa wa Yanga na licha ya kufungwa bao kati­ka mchezo huo, lakini tunawe­za kumtaja kuwa ni mmoja wa mashujaa wa Yanga kutokana na kazi ya ziada aliyoweza kui­fanya ili timu yake isifungwe mabao mengi. Haikuwa kazi rahisi kuwe­za kuokoa lakini alipambana na kuweza kuruhusu bao moja pekee na kama Yanga wangekuwa na kipa ambaye si imara basi huenda tunge­shuhudia mabao mengi zaidi. ASANTE KWASI – SIM­BA Sifa yake inajulikana ni beki pekee mwenye mabao mengi mpaka sasa katika Ligi Kuu Bara na kwenye mchezo dhidi ya Yanga aliweza kupambana vyema kwa kuweza kuwathibiti wapinzani wao. Ulikuwa ni mchezo wake wa kwanza kucheza dhidi ya Yan­ga akiwa na jezi za Simba, lakini kiwango chake hakikuwa cha kubeza japo alikiona cha moto kutoka kwa beki mwenzake Yondani ambaye alimfanyia kitendo kibaya cha kumtemea mate. SHOMARY KAPOMBE – SIMBA Alisaidiana vema na Mkude katika nafasi ya kiungo wa kati. Kapombe na Mkude waliweza kuibeba zaidi Simba kwenye nafasi hiyo ambapo Kapombe aliyezoeleka kucheza beki wa kulia, alifanya kazi ya ziada kui­vuruga Yanga. Previous articleBongo Muvi Wamlipua Kiba! Next articleKocha Lachantre hataki utani Simba
2018-08-14T22:02:54
https://spoti.co.tz/2018/05/wachezaji-hawa-wamefunika-simba-vs-yanga.html
[ -1 ]
Single News | Sengerema District Council Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema Majukumu ya Diwani katika Hamashauri Wakuchaguliwa Viti Maalumu Uchumi, Ujenzi na Mazingizira Ratiba ya Vikao vya Kisheria vya Halmashauri Majukumu ya Mwenyekiti wa Halmashauri Jarida Tando Majengo ya shule ya Sengerema Sekondari yazinduliwa rasmi Posted on: July 24th, 2019 Serikali imetumia zaidi ya shilingi bilioni 19 kukarabati shule kongwe 17 nchini lengo likiwa ni kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia katika shule hizo za kitaifa ambapo jukumu la uratibu wa ukarabati wa shule hizo 17 ilipewa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA). Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako wakati wa makabidhiano ya Miradi ya ukarabati wa shule hizo 17 yaliyofanyika katika shule ya sekondari ya wavulana Sengerema, wilayani Sengerema Mkoani Mwanza ambapo amesema ukarabati huo umefanywa kwa kutumia fedha za Serikali. Prof. Ndalichako amesema ukarabati wa shule hizo 17 zilizosimamiwa na Mamlaka ya Elimu Tanzania ni utekelezaji wa mpango kabambe wa serikali wa kukarabati shule zote 89 kongwe za serikali ambapo amesema mpaka sasa tayari shule kongwe 46 zimeshakamilika. Amesema serikali inaendelea na utekelezaj awamu ya tatu ya mpango huu ambapo shule nyingine 17 zitakarabatiwa mwaka huu wa fedha. Akizungumzia ukarabati wa huo Waziri Ndalichako amesema kama uamuzi wa uboreshaji wa mazingira ya kufundishia na kujifunzia katika shule kongwe usingefanyika mapema kungeweza kutokea majanga kwani hali ya miundombinu ilikuwa katika hali mbaya kwenye hasa katika mifumo ya umeme, maji safi na taka na mapaa mengi yalikuwa yameoza kabisa. Nawaambia watanzania kwamba tulikuwa na hatari ya kupata majanga makubwa kama shule hizi zisingefanyiwa ukarabati huu mkubwa kwani sehemu nyingine hali ilikuwa mbaya zingeweza kudondoka na katika baadhi ya shule mabati ambayo yalikuwa yameezekwa ni yale ambayo kiafya hayaruhusiwi amesema Waziri Ndalichako. Amesema ukarabati huu mkubwa katika shule kongwe umewezekana kufanyika kutokana na mwelekeo wa Serikali wa Awamu ya Tano ya kuhakikisha kwamba huduma kwa wananachi zinaboresha na dhamira ya serikali ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ya kuhakikisha kwamba fedha za umma zinaelekezwa kwa ajili ya maendeleo. Fedha zilizotumika katika uboreshaji huu ni matunda ya kodi za watanzania, narudia tena ni fedha za umma ambazo zimetolewa kwa ajili ya kuhakikisha kwamba watoto wa kitanzania ambao wana safari ya kupata elimu wanapata katika mazingira bora amesisitiza Ndalichako. Ndalichako amepongeza Uongozi wa Wilaya, shule na mshauri muelekezi ambao ni Chuo Kikuu cha Syansi na Teknolojia Mbeya kwa usimamizi mzuri wa mradi huo pamoja na kusimamia vizuri matumizi ya fedha za mradi huo ambapo amesema hali na ubora wa majengo inavyoonekana inaakisi thamani ya fedha zilizotolewa. Hata hivyo amewaasa wanafunzi kujenga utamaduni wa kutunza majengo na vifaa na viongozi wa shule hizo kuhakikisha pia pamoja na kutunza wanajenga utamaduni wa kufanya ukarabati mdogondogo kila wakati. Prof. Ndalichako amesema serikali inaendelea kuboresha mazingira ya ufundishaji na ujifunzaji ambapo alitolea mfano katika mwaka wa fedha ulioisha wa 2018/19 serikali kupitia Mradi wa Lipa kulingana na Matokeo EP4Rilitenga na kutoa fedha ambazo ziliwezesha kujengwa kwa madarasa 1,208, mabweni 222, matundu ya vyuo 2,141 na nyumba za walimu 99 pamoja na kutatua changamoto ya huduma ya maji safi ambapo katika baadhi ya shule visima vilichimbwa. Mkuu wa Wilaya ya Sengerema Emanueli Kipole amemshukuru waziri kwa uboreshaji wa sekta ya elimu katika wilaya hiyo kwani mambo makubwa yanafanyika katika kuhakikisha utoaji wa elimu unaboreshwa ukiondoa ukarabati wa shule sekondari ya wavulana Sengerema. Ameeleza baadhi ya miradi ambayo tayari imeshapatiwa fedha ikiwemo ujenzi na uboreshaji wa miundombinu ya shule kiasi cha milioni 254, milion 410 kwa ajili ya ukarabati wa chuo cha wananchi ambacho kilikuwa kimechakaa na sasa inajengwa ofisi ya uthibiti ubora wa shule kwa zaidi ya shilingi milioni 152 ambazo zimetolewa na wizara. Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Elimu Tanzania Prof. Maurice Mbago amemshukuru waziri na serikali kwa kuiamini Bodi ya Mamlaka hiyo kwa kuwapa kazi yakusimamia ukarabati wa shule kongwe 17 kati ya 89 na kutoa ufadhili wa asilimia 100 jambo ambalo linaonyesha ilivyodhamiria kuboresha elimu hususan mazaingira ya kufundishia na kujifunzia. Awali Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania(TEA) Bahati Geuzye alimweleza waziri kuwa TEA iliingilia makubaliana ya kiutendaji na Halmashauri za maeneo husika juu ya usimamizi wa kazi kwa kusaidiaana na wataalam elekezi katika kusimamia ili matokeo ya kazi yaweze kutokea kwa wakati. Waziri Ndalichako katika kukabidhiwa mradi huo pia alitembelea Shulle ya Sekondari ya Wasichana Bwiru iliyoko katika Wilaya ya Ilemela Mkoani Mwanza ambayo imekarabatiwa katika mradi huo ambapo ametumia nafasi hiyo kuiagiza Mamlaka ya Elimu Tanzania kuwajengea Bweni moja katika shule. Mbunge wa Jimbo hilo Mh. Angelina Mabula alimpongeza na Kumshukuru Waziri wa Elimu kwa jitihada kubwa zinazoedelea katika kuboresha mazingira ya ufundishaji na ujifunzaji katika Wilaya hiyo na kuahidi kushirikiana kuhahakikisha shule hiyo inafanya vizuri zaidi katika mitihani ya kitaifa. Shule 17 zilizokarabatiwa kwa uratibu wa TEA ni pamoja na Shule ya sekondari ya Dodoma, Mwenge sekondari singida, Sekondari ya Wasichana Ruvu, Kilakala Sekondari na Shule ya Sekondari Ilb Majina ya wanafunzi wa Darasa la saba waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Kwanza mwaka 2020 December 07, 2019 Mipaka na Majina ya Mitaa iliyoko katika Eneo la Halmashauri ya wilaya ya Sengerema katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019 September 13, 2019 Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la wapiga kura July 24, 2019 Majibu ya Usaili wa Uboreshaji wa Daftari la mpiga kura August 06, 2019 Elimu ya tahadhari ya Ugonjwa wa Corona yatolewa kwa wajumbe wa Kamati ya Magonjwa ya Mlipuko Wadau wa shughuli za Uvuvi katika Halmashauri ya Sengerema watakiwa kuzingatia taarifa zinazotolewa na Mamlaka za Hali ya Hewa Wanawake watakiwa kuwa chachu ya maendeleo katika familia na taifa kwa ujumla Mhe. Zungu akipa hadhi Kikundi cha Wajasiliamali kuwa Barozi wa Mzingira Sengerema Mhe. Mnwanizi aliyekuwa Diwani kupitia CHADEMA Sengerema ahamia CCM Jarida Tando la Halmashauri OR-Ikulu Sengerema District Council Anuani ya Posta: Box 175 Simu ya Mezani: 028 2590162 Simu: 0754650558 Barua pepe: [email protected] or [email protected] Hakimiliki@2018. Halmashauri ya Sengerema. Haki zote zimehifadhiwa
2020-04-03T20:27:17
http://www.sengeremadc.go.tz/new/majengo-ya-shule-ya-sengerema-sekondari-yazinduliwa-rasmi
[ -1 ]
Juzi ilikuwa Bilioni 300 leo kwingine wamekunywa milioni 300, mwe! - wavuti.weebly.com Juzi ilikuwa Bilioni 300 leo kwingine wamekunywa milioni 300, mwe! Habari ifuatayo imeandikwa na Sadick Mtulya na kuchapishwa katika gazeti tando la Mwananchi.co.tz Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imegundua upotevu wa shilingi milioni 300 kwenye idara ya Magareza jijini Dar es Salaam. Katika ripoti yake iliyowasilishwa jana kwenye Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali, CAG imesema fedha hizo zimepotea kwa njia ya malipo ya ankara za umeme kwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO). Ripoti hiyo imeonyesha kuwa hundi zilizotumika ni namba 000334411 ya Sh151,257,785.31 na namba 003447914 ya Sh140,881,804.61. Kutokana na upotevu huo, CAG ameagiza jeshi hilo kuandaa taarifa ya upotevu huo ili kuwasilishwa Hazina kwa utekelezaji. Mhasibu mkuu wa Wizara ya Fedha na Uchumi, Andrew Mzikila alisema kuwa pamoja na kupokea barua kutoka Jeshi la Magereza ya kutaka kufutwa kwa deni hilo, wamelipa jeshi hilo waraka namba 4 wa mwaka 2006/7 unaoeleza utaratibu mzima wa kushughulikia hasara au upotevu. Alifafanua kwamba Hazina haiwezi kufuta fedha zozote zilizotokana na upotevu au hasara hadi hapo Kamati ya Hesabu za Serikali itakaporidhia. Mbunge wa Jimbo la Mchinga (CCM), Mudhihir Mudhihir, ambaye ndiye aliyekuwa mwenyekiti wa kikao hicho, alisikitishwa na kitendo hicho cha upotevu wa fedha hizo. Nimegundua, kumbe wizi fomyula yake siku hizi ni kwa tarakimu 3 na sifuri mbili. Juzi tulisikia Bilioni 300 zimeyeyu, leo wanaripoti Milioni 300. Hii nchi hii...! Haya mwanawani endeleeni tu kufufilifimbi... bhajinga ndibho bhalibhwao. Najisikia nina wito wa kuchapa watu makonde...
2017-10-19T23:32:14
http://wavuti.weebly.com/news-blog/juzi-ilikuwa-bilioni-300-leo-kwingine-wamekunywa-milioni-300-mwe
[ -1 ]
Maombi - Ninggang Kudumu Magnetic Vifaa Co, Ltd SmCo Je Pia Jina lake na SmCo sumaku chuma, SmCo kudumu sumaku, SmCo kudumu sumaku Iron And Rare-Dunia kobalti Kudumu Magnet. Ni aina gani ya nyenzo Made Kutoka Raw Dunia Metal Samarium Na kobalti na kutayarishwa na Baada ya Ufuatiliaji wa mchakato mzigo, Kiwango, Milling, Kubonyeza Na Sintering It & rsquo; S Pia Utendaji High, Low Joto mgawo Kudumu Magnet Kwa wake High Kazi Joto & mdash; 350 Degree Centigrade. Wakati Kazi Zaidi ya 180 Degree Centigrade, ya Kiwango cha juu Energy Bidhaa BH Na Thabiti Joto ni bora zaidi ya NdFeB sumaku vya ujenzi. Ni needn & rsquo; T kuwa coated sababu ni vigumu kuwa eroded na oksijeni. SmCo sumaku sana kutumika katika nafasi Probe, Ulinzi wa Taifa na Jeshi, Microwave Ukarabati, Mawasiliano, vifaa vya matibabu, Motors, Vyombo, Various Magnetism Kueneza Vifaa, Sensor, Magnetic Processor, Magnetic Lifter na kadhalika. Bidhaa Image Tabia ya kimwili Nusu Physical Mali Ya Sintering SmCo sumaku Jina kigezo Unit SmCo1: 5 SmCo2: 17 Curie Joto K 1000 1100 Vickers Ugumu wa MPA 450-500 550-600 Inafinyaza Nguvu MPA 1000 800 Electronic Resistivity Ω.Cm 5 ~ 6 & Times, 10-5 8 ~ 9 & Times, 10-5 bending Nguvu Mpa 150-180 130-150 kukaza Nguvu Mpa 400 350 Moto mgawo wa upanuzi (10 -6 / ℃) ∥6⊥12 ∥6⊥11 Kumbuka: Zaidi ya Maalum Hesabu Msaada Kwa Consult, si kuwa Msingi Hukumu Kumbuka: unashikamana ujumla Samarium Cobalt 2: 17 Wengi lowers Mahitaji Ulijaa Magnetizing Field Ni nyenzo yenyewe HCj Thamani 2-3 Times Tabia Kulinganisha Of vya kudumu sumaku vifaa (BH) Max IHC br Tc (Kazi Joto) Max Kupambana Causticity SmCo1: 5 16-25 15-25 -0.05 200-250 Habari za SmCo2: 17 22-30 6-30 -0.03 300-350 Habari za ferrite sumaku 3-4.5 3-4.5 -0.19 200-300 Habari za AINiCo 5-10 1-1.8 -0.03 450-500 Mufti Teknolojia Na Faida za Kampuni: 1, NGYC Ina zaidi juu ya uzalishaji na ukaguzi Vifaa Sisi Je Professional SmCo sumaku Enterprise ambayo ina ukubwa Scale Na Pato Katika China. 2, kampuni yetu inaweza kuzalisha Max. Block mm 120 & Times, mm 120 & Times, 100mm Kwa Full sumaku. 3, NGYC Je Kutoa Kundi Uzalishaji Kwa High Grade YXG-32 Pamoja BH & Ge, 29MGOe. 4, NGYC wanaweza kusambaza Misa Ya SmCo sumaku Kwa High imara ya utendaji na High HK (HK & Ge, 18KOe). 5, NGYC Je Mazao SmCo sumaku Kupitia Axial Kwa Poles wengi. Nguvu Style = "rangi: # 0e5f91;"> Kama Inavyoonekana: 6, Kampuni yetu inaweza kutoa sumaku Kwa Kupotoka chini ya 2 & Deg, Kati Mitambo Axis Na sumaku Axis. Ushauri manufaa (1) Sintered SmCo kudumu sumaku vya Kuwa Tabia ya brittleness, Kukosa Ya Ductility. Hivyo Ni Isn & rsquo; T kufaa kwa ajili ya Matumizi ya As Miundo Sehemu Wakati Kuwa Iliyoundwa. Physical Specifications Of SmCo (1: 5) ni bora kuliko SmCo (2:17) & rsquo; S sababu SmCo (1: 5) Ni Rahisi Machine Wakati SmCo (2:17) Je Zaidi Brittle. SmCo kudumu sumaku Sumaku lazima ilichukua kwa makini wakati wa mchakato wa Mkusanyiko; Kukwepa ironware ya Kuzuia absorbing pande Na sumaku kuvunja mbali, Au Mbili vipande Of Irons sumaku Sababu Uharibifu matokeo absorbing Pamoja, Mbali na hilo, Ni Je Hata kusababisha Mwili-Hurt ( 2) Sintered SmCo kudumu sumaku vya Je Make Some Mgongano Kidogo katika mchakato wa kuzalisha, Ufungashaji na kutoa, hivyo kunaweza kuwa na Kuwa Baadhi Visual flaw Kutokana Ili Bit Small Pembe. Hata hivyo, ni wouldn & rsquo; T Uharibifu Specifications ya Magnetic, uthabiti wake na yake ya kupambana na yamesababisha sumaku Uwezo Mradi flaw ya doesn & rsquo; T kuathiri Kawaida Construction Au Kazi. (3) Wateja ambao wanahitaji isiyo Sumaku SmCo kudumu sumaku Lazima kuwafahamisha na vifaa binafsi Magnet kwa lengo la kabisa kinaisha Na magnetize Bidhaa zetu Au Codes. (4) Ikiwa Bidhaa Iliyoundwa Je Katika Sour Alkali Au Mbaya Kutumia Mazingira, Kampuni yetu Mei Kutoa Bidhaa Of Zn, Ni, Gold Au Wreath Oxygen plated. Sisi Feel Graceful sana Kwa Maombi yako. Karibu Kwa faksi au kufanya pepe Ushauri. Sisi ni radhi kwa kukusaidia na All Matatizo Ya Mbinu. Sisi wote Kazi Hard kujaribu kutoa SmCo kudumu sumaku vya Pamoja Juu-Quality Na Low-Bei.
2020-02-22T00:17:19
https://www.ngyc.com/sw/sintered-smco-magnet/applications/
[ -1 ]
361. IGULYA KULI B’EB’E | Sukuma Legacy Project 361. IGULYA KULI B’EB’E Imbuki ya kahayile kenako yingilile kubhuchaji bho ginhu ijo jilina solobho hanhu. Iginhu jinijo, jidulile gung’wambilija unchaji ojo, na bhanhu abho alibhachalila, ulu ujishisha chiza. Kunguyo yiniyo lulu, ulu aladume ugujishisha inhulu jinijo agupandika makoye unchaji ojo ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, ‘igulya kuli b’eb’e.’ Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumagwa kuchala nhulu hanhu, ijo jilina solobho, ukubhanhu, aliyo agakijaga ugujishisha. Umunhu ng’wunuyo agenhelejaga abhanhu bhakija ugwipandika isolobho ya nhulu jinijo, kihamo nu weyi agadumaga uguyipandika isolobho yiniyo. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wilaga giki, ‘igulya kuli b’eb’e.’ Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gujishisha chiza inhulu ijo bhagatumagwa kujichala kub’ichabho, kugiki jidule gubhambilija ugwikala bho mholele umuchalo jabho. Amosi 4:1-3 KISWAHILI: ITAKULA KWAKO Chanzo cha msemo huo chatokea kwenye upelekaji wa kitu au habari fulani kwa watu. Habari hiyo yaweza kuwa na faida kubwa kwa watu wanaopelekewa na kwa mpelekaji wake, akiifikisha vizuri. Lakini asipoifikisha vizuri, mpelekaji huyo atapata matatizo. Ndiyo maana watu humwambia hivi, ‘itakula kwako.’ Msemo huo hulinganishwa kwa mtu ambaye hutumwa kupeleka habari fulani, yenye faida kubwa kwake, na kwa wale anaowapelekea, lakini yeye huacha kuifikisha. Mtu huyo husababisha wenzake washindwe kuzipata faida za habari hiyo, na yeye pia kuzikosa faida hizo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, ‘itakula kwako.’ Msemo huo hufundisha watu juu ya kufikisha habari walizotung’wa kwa wahusika, ili waweze kuzipata habari hizo mapema kiasi cha kutosha kuwasaidie katika kuishi kwa amani na wenzao maishani mwao. Posted in Sukuma Sayings and tagged Folklore, heritage, Joe Healey, Kashinje Zacharia, legacy, mother tongue, Mwanza, myth, sayings, Shinyanga, stories, Sukuma, Tanzania, zakaria Kashinje on October 19, 2019 by Sukuma legacy. Leave a comment ← 360. UNG’WENUYU NTALE OB’ASHILIMU 362. NIPOLELEJE →
2019-11-12T21:38:51
https://sukumalegacy.org/2019/10/19/361-1guiya-kuli-bebe/
[ -1 ]
msaada,data recovery software,webcam.ya dell | JamiiForums | The Home of Great Thinkers msaada,data recovery software,webcam.ya dell Discussion in 'Tech, Gadgets & Science Forum' started by sugi, Jan 18, 2012. wana jf,naomba msaada kwa m2 mwenye software yenye kurudisha data katika HD,fLASH N.K,PIA WEBCAM YA DELL N4050(WINDOW 7)naomba anisaidie,natanguliza shukrani Search Easeus data recovery Wizard wana jf,naomba msaada kwa m2 mwenye software yenye kurudisha data katika HD,fLASH N.K,PIA WEBCAM YA DELL N4050(WINDOW 7)naomba anisaidie,natanguliza shukraniClick to expand... Kama upo Dar ni pm.nnayo software ya data recover.nikupatie Mbona kama sijaelewa kidogo? Yani unataka na software ya webcam? Anyway kama software ya webcam hii hapa ACROSOFT WEBCAM data recovery software hizi hapa just download them. EASEUS Data Recovery EASEUS Data Recovery hii ni free version haihitaji keys wala crack. install tu na uanze kutumia WinMend Data Recovery 1.3.9 & Serial Number hii inahitaj keys kuregister na keys zake zipo humo ukidownload hii pia ni free version. just install na uanze kutumia - 0 people likes hii pia ni free version. just install na uanze kutumia Click to expand... Thanx a lot mkuu Mbona kama sijaelewa kidogo? Yani unataka na software ya webcam? Anyway kama software ya webcam hii hapa ACROSOFT WEBCAMClick to expand... wakuu, naomba msaada (note: ujuzi wangu wa computer zaidi ya kuitumia ni wa mchangani kidogo) ..juzi nimempatia jamaa mmoja fundi laptop yangu anibadilishie operating system, in advance nilimuomba ahakikishe anarudisha mafaili yote yaliyokuwepo awali including e mail zilizokuwa kwenye outlook,baada ya kumaliza alifanikiwa kurudisha file zote isipokuwa mails zilizokuwa kwenye outlook ambazo ni muhimu mno kwangu, jana ameweka softwareya files recorvey ambayo tangu jana mchana hadi saa hii hiki ki- icon kinaonyesha bado haijafika nusu pamoja na kuwa imelala ikiwa on, tafadhali naomba msaadakama kuna njia nyingine rahisi ya kufanya hivi ..juzi nimempatia jamaa mmoja fundi laptop yangu anibadilishie operating system, in advance nilimuomba ahakikishe anarudisha mafaili yote yaliyokuwepo awali including e mail zilizokuwa kwenye outlook,baada ya kumaliza alifanikiwa kurudisha file zote isipokuwa mails zilizokuwa kwenye outlook ambazo ni muhimu mno kwangu, jana ameweka softwareya files recorvey ambayo tangu jana mchana hadi saa hii hiki ki- icon kinaonyesha bado haijafika nusu pamoja na kuwa imelala ikiwa on, tafadhali naomba msaadakama kuna njia nyingine rahisi ya kufanya hiviClick to expand... Pole sanaKama upo Dar tafadhali nenda DATA RECOVERY wapo Amani Place opposite ( SERENA HOTEL) Movenpick ya zamani... ila bei zao sizijui...ila jiandae na kitita kwani wapo PRIME LOCATION... pole sana mkuu. Software gani amekuwekea? Inaitwaje? Nadhani hiyo software haukuchagua unataka kurecover aina gani ya files yani umechagua unataka kurecover kila kitu ndiyo maana inachukua muda hivyo. Kama vipi download hii hapa EASEUS Data Recovery EASEUS Data Recovery hii ni free version haihitaji keys wala crack. install tu na uanze kutumia. Sasa ukianza kuitumia kurecover kuna sehemu utatakiwa uchague unataka kurecover aina gani ya file. So itabidi uchague mafile ya outlook in order to narrow the search. Pole sanaKama upo Dar tafadhali nenda DATA RECOVERY wapo Amani Place opposite ( SERENA HOTEL) Movenpick ya zamani... ila bei zao sizijui...ila jiandae na kitita kwani wapo PRIME LOCATION...Click to expand... appreciate mukubwa! niko nje ya dar hadi jumamosi,kama nitakuwa sijafanikiwa nitapitia EASEUS Data Recovery EASEUS Data Recovery hii ni free version haihitaji keys wala crack. install tu na uanze kutumia. Sasa ukianza kuitumia kurecover kuna sehemu utatakiwa uchague unataka kurecover aina gani ya file. So itabidi uchague mafile ya outlook in order to narrow the search.Click to expand... mkuu nakushukuru, yaani sijui hata inaitwaje hii waliyoniwekea..naona vinamba namba vinakimbizana tu tangu jana mchana mchana na sijaizima hii laptop,nitajaribu kutafuta wataalamu zaidi niwaepe maelekezo yako kiongozi,thanks leo nimepata kusaidiwa an hawa watu wa Data Handlers, kurecuver data zangu zote i had lost ukipata tatizo wasiliana nao leo Data recovery Tanzania. Software, Services and Solutions (+254) 020 3751400/02
2016-10-20T21:42:45
http://www.jamiiforums.com/threads/msaada-data-recovery-software-webcam-ya-dell.213285/
[ -1 ]
Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation: Waziri Mahiga apokea Nakala za Hati za Utambulisho za Mabalozi Wateule Posted by Nje Tanzania at 4:51 PM
2017-10-17T14:58:56
http://foreigntanzania.blogspot.com/2017/03/waziri-mahiga-apokea-nakala-za-hati-za_22.html
[ -1 ]
Uganda kuidhinisha Kiswahili kama lugha ya pili baada ya Kingereza - Wakenya fursa hizooo - JamiiForums Serikali ya Uganda ipo kwenye hatua za kuteua baraza la kitaifa la kuratibu matumizi ya Kiswahili na kukiidhinisha kama lugha ya pili baada ya Kingereza. Kawaida hawajawa wakikitumia Kiswahili rasmi japo kwenye baadhi ya maeneo maeneo. Ni fursa za wazi kwa walimu wa Kenya kwenda kufundisha Kiswahili maana watahitajika wanaojua kuongea Kingereza ili irahisishe kuelewesha Kiswahili. Kama kawaida Wakenya hatuchelewi kwenye mambo kama haya. In 2005, Kiswahili was proposed as the country's second official language. Reactions: ChoiceVariable and ruaharuaha Ila wasifanye Kiswahili Chao kiwe cha ajabu kama cha DRC ,ipo siku nilienda Congo lakini nilipatwa na ugumu wa mawasiliano kile Kiswahili Chao kiliniwiya kigumu Sana kukielewa aise. Reactions: G.Jacob, Gamal Sankara, Tony254 and 1 other person Kazi ipo waganda wengi hawapendi kiswahili. Reactions: logania, Gamal Sankara and MK254 10,915 2,000 Hata wakenya hawapendi Kiswahili, ila Tanzania ikiamua, wote watalazimika kukipenda. Reactions: G.Jacob, Mgagaa na Upwa, GODZILLA and 4 others Hii ilikua zamani, mambo yamebadilika. Sasa hivi kuongea Kiswahili imekua ujanja siku hizi. Waganda wanacheza bongo fleva siku hizi kama wakenya. Reactions: G.Jacob, Tim Choice, Uphill and 3 others Waganda nao wamechelewa sana Reactions: logania and Takeu style Wakenya hawapendi Kiswahili kivipi ilihali ndio primary language here?.the only difference between Kenyans and Tanzanians is that Kenyans are multilingual and able to integrate with other people easily. Reactions: ChoiceVariable, logania, Tim Choice and 2 others Kenya mnachukulia Kiswahili kama dalili ya mtu ambaye hakusoma. Vipi shughuli zote za kiserikali ziendeshwe kwa kiingereza wakati lugha rasmi ya Taifa la Kenya ni kiswahili?. Jambo la kusikitisha na kushangaza ni kwamba, viongozi wengi wa kisiasa na kiserikali hawajui kuzungumza kiswahili kabisa, ilhali mnajinasibu kwamba ni lugha ya taifa lenu, ninaihakika, zaidi ya 60% ya wabunge na mawaziri Kenya hawawezi kutoa hotuba ya Kiswahili kwa dakika 5. Reactions: G.Jacob, Lizarazu, mkorinto and 1 other person Ni vizuri kuelekea Afrika Mashariki imara. Kiswahili ya Kenya ni mbaya sana,sasa mtaenda kuwafunza kiswahili ugly kama ambavyo wakenya hupenda vitu ugly Reactions: G.Jacob, GODZILLA, eliakeem and 1 other person Sio rahisi waganda kuacha kuongea lugha yao ya kiganda wanaipenda sana sio kwamba hawajui kiswahili wengi hususani kasikazini wengi wanakijua ila kuongea hawataki Reactions: logania and MK254 Tafuta mwalimu akufundishe uandishi wa kiswahili. Reactions: NairobiWalker, logania, Karot and 2 others Ni rahisi sana kwa Wakenya kuwapiga bao Watanzania kwa fursa za kufundisha Kiswahili nje ya Afrika Mashariki lakini sio ndani ya Afrika Mashariki ambako kila mmoja anawajua kwamba Kiswahili chenu ni kibovu!! Kwa nje ya Afrika Mashariki ni rahisi kwa sababu, especially in those old days, wengi wanafahamu Kiswahili kipo zaidi Kenya!! Reactions: G.Jacob and mulwanaka Hiyo ndo kiswahili yenyu enyewe iko mbaya kama sura ya tuk tuk ya kichina kwa SGR ya uhuru Reactions: Ignas lyamuya and eliakeem Ni rahisi sana kwa Kenyans kuwapiga bao Watanzania kwa fursa za kufundisha Kiswahili nje ya East Africa lakini sio ndani ya East Africa ambao kila mmoja anawajua Kiswahili chenu ni kibovu!! Kwa nje ya East Africa ni rahisi kwa sababu, especially in those old days, wengi wanafahamu Kiswahili kipo zaidi Kenya!! Wanaofundishwa Kiswahili lazima uongee kwanza lugha wanayoielewa ili muelewane, hapo ndio huwa mtihani kwa Watanzania wazee wa 'katalist' the the the Reactions: Tim Choice and AlP0L0 Uandishi wa Kiswahili ni changamoto sana kwa Watanzania, ukizingatia huwa hamjui kuongea au kuandika kwa lugha nyingine yoyote, hata zenu za asili hamzijui, mnatia huruma. Reactions: Tim Choice and Gamal Sankara Sasa kama kwa wabongo uandishi wa Kiswahili ni changamoto,kwa wakenya si ndo balaa....maana mbukinya akiongea kiswahili unaweza tapika,akiongea kingereza unaweza cheka ufe Reactions: G.Jacob and eliakeem Kwavile mnajidanganya Watanzania hawajui Kiingereza, bila kufahamu tofauti ya Watanzania na Wakenya, ni shobo kwenye lugha ya Kiingereza!! Hivi kabisa unaamini mtu amesoma History, Kiswahili, and English kwa miaka 4, kisha akaenda A-Level akasoma History, Kiswahili, English (HKL),au (HGL) kwa miaka 2! Baada ya hapo, anaenda chuo akasoma ama Linguistic, BA, n.k, na kwa madogo wa siku hizi, wapo wengi sana waliosoma English Medium kuanzia shule ya msingi; lakini bado unaamini wote hao hawajui Kiingereza?! Unachekesha!! Unachekesha kwa sababu usichofahamu ni kwamba, wakati nyie mnaonea fahari kuongea Kiingereza hata pasipo na sababu za msingi, Watanzania wengi wanaamini kuongea Kiingereza pasipo na sababu za msingi ni ushamba na ulimbukeni!! Kwa mfano, ukinikuta nimesimama kwenye kituo cha daladala ukaniongelesha Kiingereza, amini usiamini, ama sitakujibu, na kama nitakujibu, basi nitakujibu kwa Kiswahili! Nitakujibu kwa hiyo lugha ya kigeni endapo tu utakuwa hufahamu Kiswahili!! Halafu kingine usichokijua ni kwamba, Watanzania wengi tatizo lao ni kwenye Kiingereza cha kuongea lakini sio cha kuandika!!! Kwenye kufundisha Kiswahili, Mfundishaji anahitajika kuwa na ufahamu wa kawaida wa lugha ya Kiingereza lakini anatakiwa kuwa na ufahamu wa juu wa Kiswahili, lakini sio ufahamu wa juu wa Kiingereza na ufahamu wa kawaida wa Kiswahili!! Reactions: offg76, G.Jacob, Se-ronga and 9 others Speak for yourself. Wakenya wengi hata hawajui Kingereza. Hivi kabisa unaamini mtu amesoma History, Swahili, and English kwa miaka 4, kisha akaenda A-Level akasoma History, Kiswahili, English (HKL),au (HGL) kwa miaka 2, kisha akaenda chuo akasoma ama Linguistic, BA, n.k, na kwa madogo wa siku hizi, wapo wengi sana waliosoma English Medium kuanzia shule ya msingi; lakini bado unaamini wote hao hawajui English?! Kwa mfano, ukinikuta nimesimama kwenye kituo cha daladala ukaniongelesha Kiingereza, amini usiamini, ama sitakujibu, lakini nikikujibu basi nitakujibu kwa Kiswahili! Nitakujibu kwa hiyo lugha ya kigeni endapo tu utakuwa hufahamu Kiswahili!! Kwenye kufundisha Kiswahili, Mfundishaji anahitajika kuwa na ufahamu wa kawaida wa lugha ya Kiingereza lakini anatakiwa kuwa na ufahamu wa juu wa Kiswahili, na sio ufahamu wa juu wa Kiingereza na ufahamu wa kawaida wa Kiswahili!! Hauwezi ukaijua lugha bila kuitumia, tena ukubwani, yaani unakumbana na Kingereza kuanzia kidato cha kwanza, halafu haukitumii kwenye mawasiliano, hicho kidogo unachofundishwa kinakutoka mara moja. Lugha yoyote ile lazima uitumie mara kadhaa ndio uje kuimudu. Mpo ovyoo sana kingereza watu wa ze ze ze, na hata Kiswahili uandishi wenu ovyoo sana. Hamna lugha hata moja mliyoimudu, hadi zenu za asili, asilimia kubwa kati yenu hamjui hata salamu kwa lugha zenu za asili.
2019-09-18T17:40:40
https://www.jamiiforums.com/threads/uganda-kuidhinisha-kiswahili-kama-lugha-ya-pili-baada-ya-kingereza-wakenya-fursa-hizooo.1627570/
[ -1 ]
Tahadhari na al-Mughaamisiy na al-Qaradhwaawiy | Firqatu Nnajia Tahadhari na al-Mughaamisiy na al-Qaradhwaawiy Swali: Vipi hali ya Swaalih bin ´Awwaab al-Mughaamisiy ambaye ni imamu wa msikiti wa Qubaa´ na ana darsa katika somo la tafsiri ya Qur-aan? Jibu: Mtu huyu ni mjinga. Simshauri mtu kuchukua elimu kutoka kwake. Kwa sababu si mtu ametakhasusi katika elimu ya Shari´ah kutokana na khabari zilizonifikia. Hili ni mosi. Pili ni mtu ambaye analingania katika madhehebu ya Suufiyyah[1]. Kitu kinachonifahamisha hilo ni kisa cha “al-Maqbuura”. Nimemraddi katika sahab.net kwa anwani “at-Taqriyraat al-Mastwuur”. Kisa hiki upande wa mlolongo wa wapokezi ni chenye kuanguka. Amekitoa kutoka kwa mwanachuoni moja wapo wa Taswawwuf ambaye amepindukia. Ni kisa kina mambo ya munkari mengi. Arejee huko yule anayetaka. Nimefikiwa na khabari ya kwamba amesema kuwa inafaa kuacha baadhi ya mambo ya dini kwa ajili ya kutafuta umoja. Akimaanisha kwa mfano kuacha Tawhiyd au kukataza shirki kwa sababu ya kutafuta umoja. Hili al-Qaradhwaawiy alikuwa ameshamtangulia. al-Qaradhwaawiy ni kiongozi aliyepindukia kabisa katika upotevu. Si kiongozi anayelingania katika uongofu. Ana mambo ya kufuru. Lau ningesema maneno haya aliyoyasema al-Qaradhwaawiy basi ningekufuru. Kwa hivyo ni wajibu kwa watu kutahadhari na Swaalih bin ´Awwaab; ambaye ni imamu wa msikiti wa Qubaa´ kama ambavyo vilevile ni wajibu kutahadhari na al-Qaradhwaawiy na kutahadharisha wote wawili. [1] Tazama http://firqatunnajia.com/taswawwuf-zote-ni-mbaya/ Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=tH_ar2erh7E Tahadhari na al-Mughaamisiy na al-Qaradhwaawiy Swali: Vipi hali ya Swaalih bin ´Awwaab al-Mughaamisiy ambaye ni imamu wa msikiti wa Qubaa´ na ana darsa katika somo la tafsiri ya Qur-aan? Jibu: Mtu huyu ni mjinga. Simshauri mtu kuchukua elimu kutoka kwake. Kwa sababu si mtu ametakhasusi katika elimu ya Shari´ah kutokana na khabari zilizonifikia. Hili ni mosi. Pili ni mtu ambaye analingania katika madhehebu ya Suufiyyah[1]. Kitu kinachonifahamisha hilo ni kisa cha “al-Maqbuura”. Nimemraddi katika sahab.net kwa anwani “at-Taqriyraat al-Mastwuur”. Kisa hiki upande wa mlolongo wa wapokezi ni chenye kuanguka. Amekitoa kutoka kwa mwanachuoni moja wapo wa Taswawwuf ambaye amepindukia. Ni kisa kina mambo ya munkari mengi. Arejee huko yule anayetaka. Nimefikiwa na khabari ya kwamba amesema kuwa inafaa kuacha baadhi ya mambo ya dini kwa ajili ya kutafuta umoja. Akimaanisha kwa mfano kuacha Tawhiyd au kukataza shirki kwa sababu ya kutafuta umoja. Hili al-Qaradhwaawiy alikuwa ameshamtangulia. al-Qaradhwaawiy ni kiongozi aliyepindukia kabisa katika upotevu. Si kiongozi anayelingania katika uongofu. Ana mambo ya kufuru. Lau ningesema maneno haya aliyoyasema al-Qaradhwaawiy basi ningekufuru. Kwa hivyo ni wajibu kwa watu kutahadhari na Swaalih bin ´Awwaab; ambaye ni imamu wa msikiti wa Qubaa´ kama ambavyo vilevile ni wajibu kutahadhari na al-Qaradhwaawiy na kutahadharisha wote wawili. [1] Tazama http://firqatunnajia.com/taswawwuf-zote-ni-mbaya/ Mhusika: Shaykh ´Ubayd bin ´Abdillaah al-Jaabiriy Mfasiri: Firqatunnajia.com Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=tH_ar2erh7E Imechapishwa: 16/03/2018 http://firqatunnajia.com/tahadhari-na-al-mughaamisiy-na-al-qaradhwaawiy/ Previous: Vijana wasiokuwa na elimu kujadiliana na Ahl-ul-Bid´ah Next: Mwanaume kutia wanja ni Sunnah
2019-07-24T09:05:54
http://firqatunnajia.com/tahadhari-na-al-mughaamisiy-na-al-qaradhwaawiy/
[ -1 ]
PressReader - Taifa Leo: 2018-10-01 - Nyota Taifa Leo - 2018-10-01 - Fumbo & Falaki - Na Sheikh Khabib Machi 21 – Aprili 20: Mambo ya kisheria yaliyokwama yanaweza kuluhishwa kwa wakati huu. Anza kufanya hivyo sasa kwa sababu huna wakati mrefu wa kutimiza kila kitu. Naona mpinzani wako akijiandaa kwa makabiliano. Aprili 21 – Mei 20: Ni siku njema kwa kila jitihada za kubadilisha maisha yako ambazo ulikuwa nazo zikakuvunja moyo. Utawapendeza watu wengine na watasikiliza kila unalowaambia. Mei 21 – Juni 21: Itakuwa siku ya furaha kwako na familia yako. Nenda kawasilishe ombi la kibali ulichonyimwa tena. Kaa katika mipango yako na utafurahia siku hii. Usiombe mtu yeyote kitu leo. Juni 22 – Julai 22: Mipango yako yote itafaulu. Weka watu wa familia yako mbele, lakini chunga wasikuvurugie mipango yako ya mahaba. Jiepushe na mambo mengine yaliyo kando na mipango yako wakatayokuletea. Julai 23 – Agosti 22: Vizingiti vyote vimeondolewa na nyota yako inaangaza nuru ya ajabu. Chaguo ni lako ikiwa utafanikiwa au la. Wacha mvutano na jirani yako uone mambo yakibadilika. Mitihani ya maisha imepungua. Agosti 23 – Septemba 23: Utakutana na mgeni afanye urafiki nawe. Hii ni fursa nadra sana katika maisha yako na ukiitumia vyema itakufaa kwa siku nyingi. Jihadhari usiseme uongo. Mgeni ni baraka. Septemba 24 - Oktoba 23: Elekeza akili zako katika masuala ya watu wako ambayo unadhani yanahitaji kuangaliwa vyema.punguza starehe ninazoona zimekulemea. Usitoe pesa zozote benki ikiwa huna mipango maalumu. Oktoba 24 – Novemba 22:Kwa mara ya kwanza katika muda wa miezi mitatu matatizo ya afya yataisha. Toka ukalipe ahadi ambayo hukutimiza kabla ya mambo kuharibika. Naona kuna masaibu meng yanayokuzunguka kutokana na deni hii. Novemba 23 – Desemba 21: Nenda ukakutane na mkubwa aliyekutimua kazi umweleze ukweli wa mambo. Usiseme uongo na uombe msamaha. Naona akikukaribisha na kukusikiliza. Huu ni wakati wa kulainisha mambo. Desemba 22 – Januari 20: Usijihusishe na shughuli za kupoteza muda. Miradi yako imekwama kwa sababu hii. Huu ni wakati mzuri wa kufanya uamuzi wa busara wa pesa. Weka mpango mzuri ili ufurahie maisha siku zijazo. Januari 21 – Februari 19: Raha uliyonayo ni ya muda tu.unashauriwa ujipange vyema mapema, ujiandalie tukio lolote la kimaisha ambalo bila shaka litakupata. Jumuika na watu walio na maono sawa na yako. Februari 20 – Machi 20: Ni wakati wa kugutuka uache kuwaamini watu wa jinsia kinyume na yako. Nyota yako inasema umepoteza muda na mali nyingi ukiwasaidia ingawa baadhi ni walaghai. Ni wakati mzuri wa kutazama mbele na kuona maisha ya baadaye yatakavyokuwa.
2018-11-15T01:42:14
https://www.pressreader.com/kenya/taifa-leo/20181001/281917364014479
[ -1 ]
ROCKERSPORTS: YUSUFU MANJI AWAAMBIA WANA YANGA KUWA UONGOZI WAKE KAMWE HAUTA MUINGILIA KIKAZI KOCHA MAXIMO YUSUFU MANJI AWAAMBIA WANA YANGA KUWA UONGOZI WAKE KAMWE HAUTA MUINGILIA KIKAZI KOCHA MAXIMO Mwenyekiti wa klabu ya Dar es salaam Young Africans Yusuph Mehboub Manji amesema katu uongozi wa klabu hiyo hautomuingilia kocha mkuu Márcio Máximo Barcellos ambaye anaendelea kukisuka kikosi chake kwa kufanya usajili wa wachezaji kutoka nje ya nchi. Manji amesema kinachofanywa na kocha huyo kutoka nchini Brazil wanakiafiki kwa asilimia mia moja na uongozi utafuata maelekezo yake pale itakapohitajika. Mpaka sasa klabu ya Dar es salaam Young Africans imeshavuka hitaji la kuwa na wachezaji watano wa kimataifa baada ya kuwasili kwa mshambuliaji kutoka nchini Brazil Geilson Santana Jaja. Wachezaji waliokuwepo kabla ya kuwasili kwa mshambuliaji huyo ni Emmanuel Okwi, Khamis Kiiza Diego, Haruna Niyonzima, Mbuyu Twite pamoja na Andrey Coutinho SAUTI YA YUSUFU MANJI
2017-12-12T16:15:38
http://rockersports.blogspot.com/2014/07/yusufu-manji-awaambia-wana-yanga-kuwa.html
[ -1 ]
MWENYEKITI WA CCM, RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE AKAGUA DARAJA LA NYERERE JIJINI DAR ES SALAAM, LEO | Politiksi Kurunzini Home HABARI POLITIKSI MWENYEKITI WA CCM, RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE AKAGUA DARAJA LA NYERERE JIJINI DAR ES SALAAM, LEO MWENYEKITI WA CCM, RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE AKAGUA DARAJA LA NYERERE JIJINI DAR ES SALAAM, LEO SeriaJr TW Tuesday, May 10, 2016 HABARI , POLITIKSI Edit Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili kukagua daraja la Nyerere, Dar es Salaam, leo STORI&PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Mstaafu Dk. Jakaya Kikwete, leo amekagua Daraja la Nyerere, Kigamboni, Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya kuona mafanikio ya utekelezaji wa Ilani ya CCM. Baada ya kuwasili kwenye daraja hilo, Dk. Kikwete akifuatana na Mkewe Mama Salma, alipokewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Joseph Nyamhanga, na Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ambapo mwanzoni alikagua miundombinu na kisha kutembea kwa miguu kwenye daraja hilo, huku Katibu Mkuu huyo akimpatia maelezo mbalimbali kuhusu daraja hilo. Nyamhanga alimwabia Dk. Kikwete kwamba Mei 14, mwaka huu, serikali itaanza kutoza tozo kwa vyombo vya usafiri vitakavyopita katika daraja hilo la Nyerere kwa lengo la kufidia gharama za matunzo na usimamizi wa endeshaji wa huduma za daraja hilo. “ Baada ya kufunguliwa kwa daraja hili na kuanza kutumika kwa kupita bila kulipa kwa vyombo vya usafiri tangu Aprili 19 2016 na sasa tunaanza rasmi kutoza tozo kwa ajili ya kukusanya gharama za usimamizi, utunzaji na uendeshaji wa daraja hili.” alisema Nyamhanga. Nyamhanga alimwambia Dk. Kikwete kwamba watembea kwa miguu watapita bure katika daraja hilo huku wenye baiskeli wakilipia Sh. 300, pikipiki Sh. 600, waendesha maguta, bajaji na magari ya kawaida (Saloon Cars) watatakiwa kulipia Sh.1500.Mabasi yanayobeba abiria 15 yatalipia Sh. 3,000, yale ya abiria zaidi ya 15 Sh. 5,000 na yale yanayobeba abiria zaidi ya 29 yatalipia Sh. 7,000. Nyamhanga aliongeza kwamba kuwa magari yenye namba za Jeshi la Wananchi (JWTZ), Jeshi la Polisi (PT), Jeshi la Magereza (MT), magari yakubeba wagonjwa, magari ya zimamoto na magari yenye vibali maalum yataruhusiwa kupita bure. Daraja hilo la Nyerere, ambalo awali lilifahamika kwa jina la Daraja la Kigamboni, limejengwa wakati Dk. Kikwete akiwa katika awamu ya mwisho ya uongozi wake wa Urais, na lilizinduliwa hivi karibuni na Rais Dk. John Magufuli na kulipa daraja hilo jina la Nyerere.
2017-08-17T15:42:15
https://arusha255.blogspot.com/2016/05/mwenyekiti-wa-ccm-rais-mstaafu-jakaya.html
[ -1 ]
HAFLA YA UFUNGAJI RASMI WA KAMBI YA WATOTO (ARIEL CAMP )ILIYOANDALIWA NA SHIRIKA LA AGPAHI MJINI BUKOBA JUNE 19,2015 | BUKOBA WADAU HAFLA YA UFUNGAJI RASMI WA KAMBI YA WATOTO (ARIEL CAMP )ILIYOANDALIWA NA SHIRIKA LA AGPAHI MJINI BUKOBA JUNE 19,2015 Baadhi ya waalikwa wakati wa utambulisho. Baadhi ya wafanyakazi wa shirika la AGPAHI kutoka kushoto (Liberator Kagenzi na Cecilia Yona) Madaktari kutoka Chama cha Madaktari wa Watoto Tanzania -kutoka kushoto ni Dr. Festo Manyama na Dr. Maimuna Ahmed wakimsikiliza Mgeni Rasmi, Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mh. John Mongella. Hotuba fupi ya mheshimiwa Mgeni Rasmi John V. K. Mongella · Meneja wa Miradi wa AGPAHI – Shinyanga & Simiyu, Napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa Rehema kwa kutuwezesha kukutana pamoja siku ya leo. Pia, napenda kuushukuru uongozi wa AGPAHI kwa kuandaa kambi hii ya watoto na kunikaribisha kushiriki katika siku hii muhimu ya kufunga rasmi kambi ya watoto iliyofanyika kwa muda wa wiki moja. Ninayo furaha kubwa sana kuwa nanyi hapa na nachukua fursa hii kuwakaribisheni Mkoa wa Kagera. Vile vile, ninapenda kuwashukuru wageni waalikwa kwa kuweza kufika hapa, hii inaashiria kuwa mnatambua na mnathamini umuhimu wa kuwajali watoto hawa. Nimefahamishwa kwamba, shirika la AGPAHI lilianza huduma za malezi na kuwakutanisha watoto katika vikundi baada ya kuanzishwa kwa Shirika lenyewe mwaka 2011. Nawapongeza kwa kuunda vikundi vidogo vidogo vya watoto katika vituo vya kutolea huduma za afya ambapo hadi sasa, mmenieleza mna jumla ya vikundi vipatavyo 35 vya watoto kwenye mikoa ya Shinyanga na Simiyu vyenye jumla ya watoto 1541. Kutokana na kuundwa kwa vikundi hivi, AGPAHI iliweka utaratibu wa kuendesha kambi ili kuwakutanisha watoto kutoka kwenye vikundi mbalimbali kwa lengo la kujifunza kuhusu afya na stadi za maisha na pia kubadilishana uzoefu. Pia, kambi hizi huwajenga vijana na kuwafanya mabalozi wa huduma za watoto katika jamii. Kambi hizi za watoto zimekuwa zikifanyika mara moja kwa mwaka na kambi hii ni ya Tano kufanyika. Kambi mbili za mwanzo zilifanyika mkoani Mwanza na kambi ya tatu na ya nne zimefanyika mkoani Kilimanjaro; na kambi ya tano mkoani Kagera. Nimefurahishwa na jitihada hizi za shirika la AGPAHI kwani zinawajenga watoto kisaikojia na kuboresha afya za watoto katika nyanja mbali mbali. Kupitia mkusanyiko huu, nawaomba wadau wengine wa afya na haki za watoto kuiga jitihada hizi, kwa kuwapa huduma stahiki na kuwalea watoto wetu katika maadili yanayokubalika. Vilevile, nachukua fursa hii, kuwasihi watoto mzingatie masomo ikiwa ndio msingi mkuu wa maisha ya baadae. Nimefahamishwa kuwa, shirika la AGPAHI hivi punde litawapatia mahitaji ya shule ikiwemo sare za shule na madaftari ili muweze kusoma vizuri. Pia nawaomba mzingatie kanuni za afya ikiwemo ufuasi mzuri wa dawa kama mnavyoelekezwa na wataalam wa afya na endeleeni kuwa wanachama wazuri katika vikundi vya watoto vinavyosimamiwa na AGPAHI. Natambua kuwa katika kipindi cha wiki moja mmeweza kujifunza mambo mbalimbali ikiwemo - stadi za maisha na mabadiliko ya tabia kutokana na msukumo wa kundi, taarifa sahihi kuhusu VVU na UKIMWI, usafi binafsi, elimu ya ujana, mahusiano na Uzazi wa Mapango, ufuasi mzuri wa dawa, lishe, jinsi ya kuwasiliana, huduma na msaada wa kisaikolojia. Pamoja na mafunzo mliyojifunza katika kambi hii, mmeongeza wigo wa jiografia yenu kwa kusafiri kuja Mkoa wa Kagera na kufanya matembezi ya kwenda kwenye kiwanda cha sukari cha Kagera, kuona mto Kagera, makumbusho ya vita vya Idd Amin hadi mpaka wa Tanzania na Uganda. Pia, napenda kuwashukuru walezi ambao wamesafiri na watoto kutoka mikoa ya Shinyanga na Simiyu. Naomba mpeleke shukrani kwa walezi wengine waliobaki kwa kazi nzuri wanazozifanya za kuunda vikundi vya watoto, kuwalea watoto katika maadili mazuri ya kitanzania na kuwaelimisha juu ya huduma za afya. Mwisho napenda kuwaaga watoto na walezi na nawatakia safari njema mnaporudi nyumbani. Pia, nawatakieni masomo mema. Baada ya kusema hayo machache, sasa napenda kutamka rasmi kuwa, Kambi ya Ariel mwaka 2015 mkoani Kagera imefungwa. MC muongozaji wa shughuli hii Bw. Emilian Ng'wandu. Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la AGPAHI Bw. Laurean .R.Bwanakunu kwenye ufungaji rasmi wa Kambi ya Ariel. Afisa Mawasiliano wa shirika la AGPAHI, Jane Shuma akitolea jambo ufafanuzi. Hotuba fupi ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la AGPAHI Bw. Laurean .R.Bwanakunu kwenye ufungaji rasmi wa Kambi ya Ariel, leo Ijumaa June 19,2015 Mgeni Rasmi, shirika la AGPAHI lilianza huduma za malezi na kuwakutanisha watoto katika vikundi vidogo vidogo baada tuu ya kuanzishwa kwake. Vikundi hivi vipo katika vituo vya kutolea huduma za afya (yaani CTC) ambapo hadi sasa tuna jumla ya vikundi vipatavyo 35 (vikundi 19 kwa mkoa wa Shinyanga na vikundi 16 kwa mkoa wa Simiyu). Vikundi hivi vina jumla ya watoto 1,541.wanatoka katika vituo mbalimbali kwenye halmashauri zote za mikoa ya Shinyanga na Simiyu. Mgeni Rasmi akikabidhi zawadi kwa watoto Dada Edwiga Zumba akitoa maelezo kwa mgeni Rasmi jinsi watoto walivyo elezea miti yao ya maisha. Dr.Festo Manyama akipokea cheti cha ushiriki kutoka AGPAHI. Dada Holo Bassu,mhudumu kutoka zahanati ya Itinje mara baada ya kupokea cheti cha ushiriki. Kaka Mbanga Kaijunga kutoka zahanati ya Negezi nae akipokea cheti chake cha ushiriki. Zoezi la kukabidhi vyeti vya ushiriki likiendelea kwa Wahudumu kutoka katika vituo mbalimbali vya afya vinavyoshirikiana na shirika la AGPAHI. Mwandishi wa habari kutoka Tanzania Daima Irene Mark akipokea cheti cha ushiriki. Mwandishi Enjoy Mavuri kutoka kampuni ya The Guardian akipokea cheti cha ushiriki Mama Grace Buberwa akitazama cheti chake cha ushiriki alichopewa na AGPAHI. Wafanyakazi wa AGPAHI katika picha na mfanyakazi wa ELCT Hotel Bukoba (Aristides Musheshe) Dada Liberator Kagenzi akiendelea na kazi Msaikologia Jasson Lwankomezi akiteta na watoto. Dr.Haruna kutoka hospital ya mkoa nae alikuwa mmoja wa waalikwa. Mwanahabari Irene Mark mbele ya Camera yetu.
2018-12-17T19:36:08
http://www.bukoba-wadau.com/2015/06/hafla-ya-ufungaji-rasmi-wa-kambi-ya_21.html
[ -1 ]
Muleba - Wikipedia, kamusi elezo huru Mahali pa Muleba katika Tanzania Majiranukta: 1°50′26″S 31°39′22″E / 1.84056°S 31.65611°E / -1.84056; 31.65611 Ramani ya Muleba mjini Muleba ni mji mdogo na makao makuu ya wilaya ya Muleba katika Mkoa wa Kagera, Tanzania yenye postikodi namba 35501 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 18,464 waishio humo.[2] Kaigara shule ya msingi na Rubungo shule ya msingi ni kati ya shule maarufu sana na za zamani zilizokuwepo tokea zama za ukoloni, shule hizi zilikuwa na upinzani wa jadi katika taaluma na michezo na wanafunzi wa shule nyingine waliwaogopa sana wanafunzi kutoka shule hizo. Waziri wa ardhi nyumba na makazi Anna Tibaijuka alisoma Kaigara Shule ya Sekondari enzi za ukoloni. Je unajua kitu kuhusu Muleba kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Muleba&oldid=1027850" Ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 7 Aprili 2018, saa 07:35.
2020-07-07T16:43:13
https://sw.wikipedia.org/wiki/Muleba
[ -1 ]
BARAZA LA USALAMA LA UMOJA WA MATAIFA LATOA RIPOTI YA HALI YA KISIASA NCHINI BURUNDI - KIJUKUU CHA BIBI K | Habari na Matukio Uncategories BARAZA LA USALAMA LA UMOJA WA MATAIFA LATOA RIPOTI YA HALI YA KISIASA NCHINI BURUNDI
2018-02-25T01:52:02
http://www.kijukuu.com/2017/08/baraza-la-usalama-la-umoja-wa-mataifa.html
[ -1 ]
:: Watumishi Wanne Wa Idara Ya Forodha Mjini Tunduma Wasimamishwa Kazi Watumishi wanne wa Idara ya Forodha Mjini Tunduma wasimamishwa kazi. Mpango amewataja watumishi hao kuwa ni pamoja na Harrison Mwampashi, John Makorere,Stephene Josia na Frank Kessy na kuviagiza vyombo vyote vya Ulinzi na Usalama mpakani hapo viwahoji huku wakiwa wamesimamishwa kazi.
2017-10-19T14:42:56
http://www.itv.co.tz/news/local/2358-48332/Watumishi_wanne_wa_Idara_ya_Forodha_Mjini_Tunduma_wasimamishwa_kazi.html
[ -1 ]
BENKI KUU YA MIZANIA - ORODHA YA NCHI - KASKAZINI Argentina 4690844.15 2018-06 3784664 4690844 446266 Usd - Milioni Kila Mwezi Bolivia 128901.22 2018-06 129131 142201 23852 Bob - Milioni Kila Mwezi Brazil 3367787519.00 2018-05 3224968015 3367787519 6.4 BRL Maelfu Kila Mwezi Canada 111556.00 2018-06 110853 111556 2226 Cad - Milioni Kila Mwezi Chile 24850.00 2018-05 25215 27125 10731 Clp - Milioni Kila Mwezi Colombia 161095.00 2017-12 166396 179500 17218 Cop - Bilioni Kila Mwezi Mexico 3600534022.00 2018-07 3569633881 3881189549 9740027 Mxn Elfu Kila Mwezi Umoja-Mataifa 4259935.00 2018-07 4272520 4473864 672444 Usd - Milioni Kila Wiki Urugwai 103914.00 2018-06 100203 109103 5143 Uyu - Milioni Kila Mwezi Venezuela 27271857586.00 2018-01 17291026746 88898814098 93091827 Vef Elfu Kila Mwezi Benki Kuu ya mizania - Orodha ya Nchi - Sasa maadili, maadili uliopita, utabiri, takwimu na chati.Kaskazini -Benki Kuu ya mizania - Orodha ya Nchi - Sasa maadili, maadili uliopita, utabiri, takwimu na chati.
2018-08-18T20:29:51
https://sw.tradingeconomics.com/country-list/central-bank-balance-sheet?continent=america
[ -1 ]
JWTZ linatoa huduma za afya katika hospitali zake mbalimbali nchini ambazo hutibu wanajeshi na raia bila kubagua. Hospitali hizi zina wataalamu stahili na vifaa vya kisasa ili kukabiliana na magonjwa hata yale ambayo ni sugu. Huduma za afya ni moja ya maeneo ambayo JWTZ linajivunia kwani katika eneo hili watanzania wengi wamehudumiwa katika maeneo tofauti. Huduma za afya ya uzazi na mapambano ya kuzuia maambukizi ya virusi vya UKIMWI na nyinginezo zimekuwa zikitolewa kwa wananchi wote. Malengo ya Jeshi ni kuzidi kujiimarisha katika kutoa huduma za afya kwa watanzania wote. Hili linaenda sambamba na kusomesha madaktari wengi zaidi na kununua vifaa tiba vya kisasa. Matumaini makubwa ya Jeshi ni kuwa, madaktari hawa au hospitali hizi, zitumike kutoa matibabu kwa watanzania wote hasa wakati wa matatizo mbalimbali ikiwemo migomo. Itakumbukwa kuwa, mara kadhaa kunapokuwepo na migomo ya madaktari na Serikali imekuwa ikitumia madaktari wa Jeshi kuokoa maisha ya makumi kwa mamia ya watanzania katika tiba ya dharura. Kwa mfano, tulishuhudia madaktari wa Jeshi wakitoa matibabu katika vitengo vya utabibu vya hospitali ya Muhimbili wakati wa mgomo mwaka 2012. Madaktari hao mabingwa waliopelekwa Muhimbili walikuwa wa fani tofauti ikiwemo upasuaji, magonjwa ya watoto, na hata wataalamu wa magonjwa ya akinamama na magonjwa mengine mbalimbali. Maendeleo ya huduma za kijamii Jeshini Uboreshaji wa huduma za Wanajeshi katika kipindi cha miaka 50 tangu kuanzishwa kwa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania, kumekuwa na mkazo wa hali ya juu kuhakikisha kuwa huduma bora na za msingi zinapatikana kwa urahisi ili kuwaandaa wanajeshi kuwa tayari wakati wowote kutimiza wajibu kwa Taifa. Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania linalo tawi maalum la tiba Jeshini (CMS). Toka kuanzishwa, tawi hilo limekuwa na majukumu mbalimbali kama vile kusimamia utoaji wa huduma za tiba kwa wanajeshi katika viwango stahili. Majukumu mengine ni kusimamia upatikanaji, uhifadhi na ugawaji wa dawa na vifaa tiba katika vituo vyote Jeshini, Kusimamia uendeshaji wa shughuli za baraza la tiba Jeshini, Kusimamia utawala na uendeshaji wa shughuli za afya na tiba Jeshini pamoja na kusimamia utawala na uendeshaji wa shughuli za Chuo cha mafunzo ya fani ya Afya na tiba Jeshini.Tawi la tiba Jeshini linasimamia utawala na uendeshaji wa shughuli zote za mabaraza ya uchunguzi kwa wanajeshi, familia za wanajeshi na wananchi ambao hupata tiba katika hospitali za Jeshi. Tawi la Tiba linalo wajibu wa kuwasiliana na taasisi za uraiani zinazohusika na mambo ya afya kuhusu namna ya uboreshaji na utoaji wa huduma za tiba Jeshini. Tawi la tiba Jeshini linasimamia na kuratibu wanafunzi madaktari wanaofanya mafunzo kwa vitendo katika hospitali za Jeshi. Aidha, tawi hilo pia linasimamia uandaaji wa makadirio ya matumizi ya fedha kwa ajili ya shughuli za utoaji huduma za tiba Jeshini. Huduma za tiba kwa Wanajeshi zinatolewa kwa mujibu wa kanuni za kijeshi kwa utaratibu wa kuzingatia kanuni na maadili ya kitaaluma. Lakini utaratibu wa utoaji wa huduma kwa wananchi unaendeshwa kwa wao kuchangia huduma wanazopata kwa mujibu wa mwongozo wa taifa wa uchangiaji huduma ya afya. Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imekuwa ikishirikiana na Tawi la Tiba Jeshini katika kuhakikisha kuna vifaa tiba vya kutosha ili kuongeza uwezo wa hospitali za Jeshi hususani katika huduma za upasuaji wa jumla (general surgery), ajali na mifupa (Orthopedics) pamoja na huduma za wajawazito na watoto. Hospitali ya Rufaa ya Jeshi Lugalo ina historia ndefu iliyoanzia mwaka 1955 ambapo ilikuwa chini ya miliki ya Jeshi la Malkia wa Uingereza (KAR) kwa wakati huo ikijulikana kama kituo cha mapokezi (Medical Reception Station-MRS). Kituo hicho kilichokuwa na daktari mmoja na uwezo wa kulaza wagonjwa 30 tu na kipaumbele kilikuwa ni kwa askari wa Jeshi la KAR. Baada ya Uhuru wa Tanganyika mwaka 1961 kituo hicho cha tiba kilipanuka na kuendelea kutoa huduma kwa wanajeshi wa TR. Kwa mara ya kwanza huduma hiyo ya tiba iliwahusu familia za wanajeshi na wananchi waliokuwa wanaishi jirani na maeneo hayo. Wakati wa vita vya Kagera mwaka 1978 hadi 1979 hospitali hii ilijulikana kama Lugalo Garrison Hospital, ambayo wakati huo wa vita ilipeleka jopo la wataalam wa afya na tiba katika eneo la vita. Jukumu lao lilikuwa ni pamoja na kutoa huduma za matibabu ya dharura kwa wapiganaji wa JWTZ waliokuwa katika uwanja wa medani na raia wa Tanzania na Uganda waliokuwa wakiishi katika maeneo ya uwanja wa vita. Ili kutoa huduma bora zaidi ya tiba, vilianzishwa vituo viwili vya tiba, kituo kimoja kiliwekwa mahali ilipo hospitali kuu ya mkoa wa Kagera kwa ajili ya kuwahudumia majeruhi wa vita. Kituo kingine kilikuwa sambamba na wapiganaji na baada ya kufika Kampala kituo cha tiba kiliwekwa katika hospitali kuu ya Mulago. Baada ya vita kumalizika, hospitali kuu ya jeshi ilipeleka tena timu nyingine ya wataalam wa tiba mjini Kampala katika eneo la Mbuya kuunda haspitali nyingine ambayo ilihusika na utoaji tiba kwa majeruhi waliokuwa wahanga wa vita na wananchi wa kawaida. Wakiwa katika uwanja wa mapambano, timu ya wataalam wa tiba walihusika na utoaji wa huduma za afya kwa wagonjwa mbalimbali na mazishi kwa waliofariki katika uwanja wa vita. Baada ya vita kumalizika wataalam wa tiba kutoka Tanzania walihusika na upimaji wa afya za vijana wa Uganda kabla ya kujiunga na Jeshi jipya la Uganda kuchukuwa nafasi ya Jeshi lililokuwa limesambaratishwa. Awamu ya kwanza ya ukarabati wa Hospitali ya Rufaa ya Jeshi Lugalo (GMH) ulianza rasmi mwaka 1994 kwa msaada wa serikali ya Ujerumani na kukamilika mwaka 2001. Ukarabati huo ulihusisha majengo na vifaa, Jeshi limefanya ukarabati wa hospitali zake za Kanda za Mwanza, Mbeya, Bububu - Zanzibar, Tabora, Mazao, TMA (Arusha) pamoja na kuboresha huduma za tiba kwa wanajeshi na wananchi wanaotegemea vituo vya Jeshi kwa huduma za afya. Pia upo ujenzi wa jengo la kutengeneza viungo bandia (Orthopedic workshop) unaendelea. Kufuatia upanuzi wa majengo na kupatiwa vifaa vya kisasa katika hospitali ya Rufaa ya Jeshi Lugalo, hivi sasa imekuwa na uwezo wa kutoa huduma bora zaidi kuliko ilivyokuwa awali. Hii inachangiwa na ongezeko la rasilimali watu katika fani za madaktari bingwa, uchunguzi wa mionzi, huduma za maabara, huduma za ujauzito kwa mama na mtoto (RCH), ambapo kumekuwa na ongezeko la mahudhurio ya wagonjwa wa nje kutoka wagonjwa 2000 hadi 4000 kwa mwaka 2013. Mafanikio mengine ya hospitali ni kupanuka kwa kozi za kiganga zinazotolewa na shule ya kijeshi ya tiba Lugalo ambayo inaendelea kuimarika katika utoaji wa mafunzo ya Afya katika fani mbalimbali na madaraja ya ujuzi wa tiba mbalimbali hadi mganga mkuu msaidizi Assistant Medical Officer (AMO) kufuatia kuboreshwa kwa miundombinu ya shule.
2018-07-23T11:24:14
http://www.tpdf.mil.tz/pages/health?mid=141
[ -1 ]
Usalama wa Taifa hutangaza nafasi za kazi ila sio direct kama watu tuvyofikiria | Page 21 | JamiiForums Usalama wa Taifa hutangaza nafasi za kazi ila sio direct kama watu tuvyofikiria Thread starter KalistusM 10,225 2,000 Umenikumbusha mbali.. Wewe ukaona uiapply hapo. Mhusika kama atakuwa kijana na akawa na what the agency is looking anaweza kubahatisha. Nani ajuae...Pitia hapa sehemu ya story ya John Brennan aliekuwa boss ya CIA wakati wa Obama... "While riding a bus to class at Fordham, he saw an ad in The New York Times that said that the CIA was recruiting. He decided that a CIA career would be a good match for his "wanderlust" and his desire for public service. He applied to the CIA in 1980. During his application he admitted during a lie-detector test that he had voted for the Communist Party candidate four years earlier. To his surprise, he was still accepted; he later said that he finds it heartening that the CIA valued freedom of speech" 8,131 2,000 Ukiipata naomba connection Reactions: Agent007 and Santino 21,711 2,000 Njoo nikuunganishe. Haupendi kuwa,mengi,bakhresa,moe Ila kuajiriwa,kutumwa tumwa,kujipendekeza pendekeza.Change your mindsets. Kila mtu anatamani kuwa mtu Fulani. Hata wewe hapo ulipo una ndoto zako. kwanza si kazi ya kukimbilia kwa kuwa ukileta mahaba ya kibinadam nje ya maagizo hawaitaji dpp au kisutu,wanakupa ile kitu watu wanaogopa. pia inahitaji usifanye mambo yako muda mwingi unawajibika hivyo huwezi jiajiri, ukitoka ukitoa siri wanakupa zawadi ambayo roho inapenda ukiwa na mgombea binafsi jiandae. unatakiwa hata muda wa starehe unafikiria kazi. Mimi niko tayari kuitumikia nchi yangu Nipo tayari kufanya Kazi ya in former ili mradi tu nipewe ABC za nini cha kuripoti. Kazi za Usalama wa Taifa hazitangazwi kama ajira nyingine za majeshi. Kama nia yako ni ya kweli ya kizalendo kuilinda nchi yako unaweza kuifanya hiyo kazi kwa kujitolewa kama informer kama una taarifa zenye mashiko zifikishe kwenye ofisi ya DSO hapo unapoishi na utatambulika rasmi kama informer wao. 17,427 2,000 Ndugu zangu miongoni mwa Kazi ambazo toka nikiwa Mtoto nimekuwa nikiipenda ni ya usalama wa taifa. Hata hivyo hadi leo natamani nipewe Kazi hiyo ili niweze kulitumikia taifa langu kupitia eneo hilo. Natumai nitafanya vizuri sana. Naomba kwa wale mnaojua taratibu zipi zinatumika ili mtu kupata nafasi ya kuitumikia nchi kupitia eneo hilo Hata ukilima,ukifuga,ukiwa mwalimu utakua umelitumikia taifa. Sio lazima uende huko usalama ndio utumikie taifa. Undercover. Copy that 5,271 2,000 Black BackUp said: Under that copy cover... Sio kila cover ni cover. note down fadinyo said: Unaweza ukawa unaipenda ila hauna sifa za kuajiliwaa (Intelligence yako ni low) Kama charge ya simu eeeh?mbavu zangu 1,693 2,000 VP HAKUNA MLANGO WA CHAMA 9,177 2,000 Njoo lile jengo mithili ya Mwewe pale St. Peter's, hili jina ninalitumia jf ni jina la huku uraiani. Kule natumia jina la Chifu, sema wewe ni mgeni wa Chifu utaletwa ofisini kwangu, nitakuhoji na nikiridhika, kazi umepata. Ila usije siku ya Ijumaa, maana Jumatatu ni mbali. Kumbe ni mawazo yako binafsi na sio unasema kitu chenye uhakika!!! kijana piga kazi achana na hayo mambo ya wasiojulikana eti jtatu mbali sana. Perrez Amanaya7 Upo sahihi mkuu Don jully said: Kama ndivyo ilivyo basi kuajiriwa usalama ni bahati ya mtu na sio sifa na uwezo stahiki. Kuna mambo mengi hutokea au hata matangazo mengi ya kazi hutanganzwa, sasa kujua kazi hii ni vipi na mwajiri ni nani ni jambo la msingi sana la kuzingatia la kila muombaji. Ikitokea matangazo yao ni ya namna hiyo sijui kama huwa wanapata watu sahihi au waliokusudiwa, kwa maana yeyote aliye makini haombi kazi kwa bahati nasibu ni lazima afuatilie kwanza juu ya akiombacho. NB. Kuna matapeli wengi sana mjini na kujua huyu ni tapeli sio kazi rahisi labda kama anaanza utapeli, hivyo sio rahisi kuomba kazi kama huna taarifa za msingi juu ya kazi yenyewe na wahusika ni wakina nani. Threads 1,343,300 Posts 32,779,775
2019-10-16T15:42:57
https://www.jamiiforums.com/threads/usalama-wa-taifa-hutangaza-nafasi-za-kazi-ila-sio-direct-kama-watu-tuvyofikiria.1221033/page-21
[ -1 ]
*Miss Tanzania 2008* | JamiiForums | The Home of Great Thinkers *Miss Tanzania 2008* Discussion in 'Celebrities Forum' started by Kichuguu, Jul 27, 2008. Washindani wetu wa Miss-Tanzania ni hawa; picha nimezitoa kwenye tovuti ya udaku ya Shigongo pale http://www.globalpublisherstz.com. Ingawa najua kuwa kuna vigezo vingi vitumikavyo kumtafuta mshindi, hata hivyo nina imani kuwa haiba huchangia sana kwenye ushindi. Je, ni nani kati yao ana haiba ya mvuto kwako, na kwa nini? GlobalPublishers wameahidi kutoa zawadi kwa msichana atakayekuwa na mvuto kwa watu wengi. Unaweza kwenda kwenye webite yao hapo juu kuonyesha chagua lako. Labda nitahadhalishe tena kuwa picha zote hizi ni mali ya Global Publishers, nimeziweka hapa kwa ajili ya kupanua mjadala wa mvuto wa haiba. Lilian Shayo Sylvia Mashuda Tusekile Mwakimbinga Amata Crispin Angela Luballa Anneth John Nelly Kamwele Beatrice Dengenesa Blanka Emmanuel Gloria Masangwa Florence Josephat Fay Antony Irene Salala Linda Kaaya Mariam Hajibu Devotha Desdery Pendo Laizer Nasreem Karim Rona Swai Tahya Badru Bila kumsahau mdogo wangu huyu hapa: Kichuguu Mdogo wa Kike Jamani kuna hii issue ya nelly kuwa 16yrs na kusoma form 2 mnaionaje? Hata mamake(mrusi) alipoulizwa alijibu yupo form 2 kwakua alichelewa kuanza.Sasa nelly kwanye wasifu wake anadai kamaliza form 4. Hii itakua fair kwa washiriki wengine? naskia kuna mwalimu wa shule yake asiependa udanganyifu alipeleka copy ya cheti cha kuzaliwa miss tanzania akaambiwa eti ni feki.Isewe tumepangiwa mshindi na fisadi somaiya wa shivacom (dalali wa rada) tena kama mwaka jana(ndo hua anatoe gari la mshindi). Kinto Senior Member khoryere said: ↑ Eeh!! Jamani tutakimilia wapi sasa kila mahali kuna harufu ya ufisadi??? Rona Swai na Regina Julius I would give a lil credit for the outlook and compartibility ya rangi ya nchi. Truly they represent the majority and are not westernised like some of them though. List imejaa wachaga...... ...chaguo langu ni hawa wawili, 'reception' inatosha mashaalah, hata wasiposhinda, moyoni mwangu wamefaulu . Kichuguu, hawa akina dada wote ni wazuri, ila pamoja na kuwatakia mema wote, sitoficha maoni yangu kwa kweli; i've to say i'm rather pessimistic with further competions past Miss Tanzania for any one atakayeshinda Miss Tanzania. Mnisamehe, ni maoni yangu. Akhsante. "kichuguu mdogo wa kike" anapotential kubwa!! Aisee Mwaka huu sijui... Bado sjiaona hapo... Ni kweli Steve, hata mimi nilipoangalia picha zao wote kweli nimekuwa na wasiwasi sana, ndiyo maana nikaona angalau niongeze na Kichuguu Mdogo wa Kike, teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! teh!!! Kuna wasichana kama watatu au wanne hvi ninaoona angalau angalu wanajitenga kwenye kundi ingawa siyo wa kujivunia. ...basi nawe si uwataje babuu? Samahani sikuwataja. Kwa muono wangu, wasichana wanaoweza kusonga mbele zaidi kulingana na wanavyoonekana kwenye picha zao ni hawa wafuatao: Wafuatao nao wapo karibu karibu lakini huenda hawakupozi vizuri wakati wa kupiga picha hizi:' Pendo Laizer (Backgorund yake siyo nzuri) Mariam Hajibu (Hakuonyesha tabasamu) Johari Abubakar (Tabasamu lake limekaa vibaya) Sorry guys, mimi huwa nawaona wakishachaguliwa na kuwa miss, otherwise sijaona anayemzidi mwenziwe kwa reception, tusubiri tuone talents hapo watapishana! Ila nataka kuona huwa mtoto wa askofu atafika wapi, Angela Bravo!!!!!! Jamani wapo kibao wenye mvuto sema tu hizo picha walizopiga hawajawatoa vizuri. kuna picha niliziona kwenye blog fulani hivi watoto wako bomba sana. Hivi ugawaji wa Uroda kiholela pia ni kigezo kimoja cha kushiriki Miss Tanzania? MImi binafsi naona wote hao hawana mvuto kwa hiyo Tanzania tutaendelea kuwa wasindikizaji tu.List yote hiyo hakuna mrembo mwenye mvuto hakuna kitu hapo...sijaona mtoto aliyesimama makini hapo tutaendelea kuwa KICHWA CHA WENDAWAZIMU kila mwaka tunawasindikiza wenzetu.Hakuna kitu humo bure kabisa mtakao enda mtapoteza minoti yenu ni bora mkasazidia watu wasio jiweze tu kuliko kuchangia watu hawa wa kawaida hata uzuri hawana hata sifa za kuwa warembo hakuna na hisi hawa ni best ya wabaya.Ni mtizamo tu. Nimeona kitu moja ya Jolly Club na Q Bar kabisa? Huyo Pendo Laizer ni CD kabisa jamani duuuh sema suala la uchangu siyo kigezo kinachomwondoa mshiriki mashindanoni lakini nafikiri ni vyema kama washiriki wangeangaliwa kutokana na maadili yao pia. Umenena vema kabisa... Inasikitisha sana kuona kwamba kila mashindano ya Miss Tanzania wanakuwa wamejaa mabinti ambao miili yao ni vyombo vya kujiingizia kipato... Huu ni mwenendo mzima wa mashindano haya... Karibia 70% ni vyangudoa wa namna moja ama nyengine. Ni ndio maana mwisho wa siku magazeti yanapata mengi ya kuandika. Wakimaliza hapa ni kugongana nao maeneo mbali mbali wakitumia 'Business Promotion' waliyopata bila kutumia nguvu kuiningiza vipato. Ndio kwa wengi wao Ushiriki wao katika Shindano la miss Tanzania ni njia muhimu sana ya kujitafutia masoko ya juu... ...afanailek! ...kinyamana una uhakika na unachokiongea? anyway, ...ma miss Tanzania wote waliopita inabidi na wao tuwaangalie CV zao pia wakoje, na sasa wanaifaidisha vipi jamii, isije ikawa uthibitisho wa ule msemo; "Chema chajiuza, kibaya...!" kabla ya haya mashindano ya ulimbwende kuna kigezo cha kupimwa UKIMWI kwanza? jamani...na mi namfahamu huyu Nadya Ahmed...changu kabisa nae!!itanishangaza akishinda japo uchangu haumuondolei ama kumpunguzia mshiriki vigezo! Mkuu, si vyema kumtuhumu mtu kwa kitu ambacho hahusiki nacho.Nimesema Pendo Laizer ni changudoa kwasababu nimekuwa nikimuona maeneo hayo niliyoyataja kwa mingi sasa including california dreamers (CD) enzi hizo sitaki kwenda mbali kwa kusema amewahi kutaka kuniuzia inatosha tu kusema ni changudoa. Nasikia alikuwa miss higher learning institution sijaamini kusikia kama kwanza anasoma na pia kumuona akishiriki kwenye mashindano haya.Hashimu Lundenga na Lino Agency yenu naona mna kazi kubwa ya kuwashawishi wazazi wayaone mashindano haya si uhuni ili mabinti warembo na waliolelewa katika maadili waweze kushiriki bila hivyo mashindano haya yataendelea kutawaliwa na machangu doa tuu. Its pity kushuhudia haya tunayoyashuhudia katika Miss Tanzania kwakweli nafikiri ikiwezekana mashindano haya yasimamishwe ili waandae mikakati itakayoboresha mashindano yenyewe na aina ya warembo wanaoshiriki.
2018-01-20T21:25:57
https://www.jamiiforums.com/threads/miss-tanzania-2008.16167/
[ -1 ]
Endelea kusoma: mdahalo Mkikimkiki siasa uchaguzi utawala Statement on Presidential Debates | 5549 Maoni | Iliyowasilishwa na Risha Chande Masuala ya Muungano (5 Jul 2016)
2018-04-24T10:43:51
http://twaweza.org/index.php?i=1334
[ -1 ]
FYROM: 'EU inapaswa kuchukua hatua kwa haraka ili kusaidia kuleta utulivu wa nchi' - Mwandishi wa EU: EU Reporter zamani wa Yugoslavia Jamhuri ya Makedonia imekuwa inakabiliwa na maandamano vurugu na wingi katika siku za karibuni. Hii alasiri (20 Mei) MEPs kujadiliwa hali katika nchi, ambayo kupatikana EU mgombea hadhi katika Desemba 2005, na sera EU kigeni mkuu Federica Mogherini. Kabla ya mjadala, Alojz Peterle (Pichani), Mwenyekiti wa ujumbe wa Bunge ili Balkan nchi, walionyesha maoni yake. Bunge mijadala kuzorota kwa hali katika Yugoslavia ya zamani Jamhuri ya Masedonia mchana huu. Nini unaweza EU kufanya ili kusaidia kutatua unaoendelea mgogoro wa kisiasa nchini? EU inapaswa wachukue hatua ili kusaidia utulivu wa nchi, ambayo ina wazi mtazamo wa Ulaya. interethnic, baina ya dini, baada ya kiimla na baada ya vita asili ya Balkans haipaswi kupuuzwa. mpango wa kushiriki kuu viongozi wa kisiasa katika mazungumzo ni ishara nzuri kwamba sisi ni kufanya kila juhudi ili deescalate mgogoro. dhamira yetu lazima pana na thabiti, na ushiriki katika ngazi ya juu wa kisiasa hadi ufumbuzi ni kufikiwa. Imekuwa ni miaka 11 tangu zamani wa Yugoslavia Jamhuri ya Masedonia kutumika kwa ajili ya uanachama EU. Kuna maendeleo gani ya nchi alifanya kama mgombea kutawazwa? Nchi imepata mafanikio kupigiwa mfano. Kwa kweli Tume za Ulaya na Bunge ilipendekeza kufungua mazungumzo mara tisa mfululizo. Ni kwa maslahi ya EU kwamba mtazamo wa Ulaya wa Balkans ni agizo juu ya kufuatilia. Katika kesi ya zamani wa Yugoslavia Jamhuri ya Makedonia, napenda wanapendelea kwamba matatizo baina ya nchi ni kutatuliwa wakati wa mazungumzo uliopo, kama chumba cha kusubiri haitoi nguvu za Ulaya mageuzi zinahitajika kwa ajili ya ushirikiano Balkans 'katika EU. Alojz Peterle ni mwanachama wa kundi Kislovenia EPP. Hii alasiri ya mjadala kuanza kwa mkutano hufanyika wakati baada ya 15h CET. Angalia Wabunge wa mkutano wa Taasisi ya Utafiti kwa habari zaidi juu ya mgogoro wa sasa katika zamani wa Yugoslavia Jamhuri ya Makedonia. Kufuata kikao mjadala kuishi Mkutano juu ya Yugoslavia ya zamani Jamhuri ya Masedonia Tags: Alojz, Alojz Peterle, featured, zamani wa Yugoslavia Jamhuri ya Makedonia, full-picha, FYROM, baina ya dini, Maandamano makubwa, Peterle, vurugu jamii: Frontpage, EU, Bunge la Ulaya, FYROM, Kikao « International Energy Mkataba uliosainiwa mwaka Hague milioni 100 uwezo wagonjwa 'si vizuri habari' kwenye chaguzi mpakani afya »
2019-10-23T12:48:08
https://sw.eureporter.co/frontpage/2015/05/20/fyrom-eu-should-act-decisively-to-help-stabilize-the-country/
[ -1 ]
Tume ya Mipango yatembelea Kiwanda cha Vinywaji cha Azam | Politiksi Kurunzini Home biashara HABARI Slider utawala Tume ya Mipango yatembelea Kiwanda cha Vinywaji cha Azam SeriaJr TW Friday, December 23, 2016 biashara , HABARI , Slider , utawala Edit Meneja anayesimamia Ubora wa Bidhaa, Bibi Lilian Mwashigadi (aliyevaa koti jeupe) akiwaonesha maofisa wa ukaguzi wa miradi kutoka Tume ya Mipango hatua za mwisho za uzalishaji wa juisi katika kiwanda cha uzalishaji wa vinywaji kilichopo eneo la Mwandege Mkoani Pwani. Baadhi ya mitambo ya kiwanda cha uzalishaji wa vinywaji kilichopo eneo la Mwandege Mkoani Pwani.
2018-01-22T12:15:58
https://arusha255.blogspot.com/2016/12/tume-ya-mipango-yatembelea-kiwanda-cha.html
[ -1 ]
Viongozi wa Kiislamu wana busara kuliko viongozi wa dini nyingine. Je, wanafundishwa nini kiimani? | JamiiForums Viongozi wa Kiislamu wana busara kuliko viongozi wa dini nyingine. Je, wanafundishwa nini kiimani? Mimi ni Mkristu "pure". Nimezaliwa katika familia ya Kikiristu " pure". Ila sababu huwa sipendi unafiki naomba leo nipongeze viongozi wa serikali ya JWTZ ambao ni Waislamu toka enzi za Julius Kambarage Nyerere. Nimejaribu kufatilia kwa umakini sana. Ukianzia ngazi ya urais, uwaziri na ubunge, inaonesha kama vile Tanzania imepata tunu ya viongozi waadilifu na wenye busara sana wanaotoka katika dini ya Kiislamu. Naomba nitaje kwa mjina. 1. Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi 2. Rais mstaafu J. Kikwete 2. Makamu wa Rais awamu ya 5. 3. Waziri Mkuu, Majaliwa. 4. Hussein Mohamed Bashe (MB/ Wazir) 5. Prof. Mussa Hassad (CAG) Hii list inaendelea Kibinafsi nimekuwa nikivutiwa sana na aina ya uongozi wao, ukarimu, busara zao pamoja na nguvu zao za kujenga hoja. Nimekuwa nikiamini kuwa waislamu ni dini yenye watu makatili, wauwaji na wenye roho mbaya sana. Ila hivi sasa naanza kushangaa ni mafunzo gani ya kiimani wanapewa mpaka wanakuwa watu wa namna hii katika uongozi. Africa ukiangalia list ya Marais madictators, 70% ni Wakristu. Hivi Wakristu tunashida gani? Reactions: kifusi boy, Mgagaa na Upwa, residentura and 15 others Bashe ana hekimaa? Kuna mstari mwembamba unaotenganisha unafiki na hekima/busara. Reactions: Azarel, IGWE, PNC and 2 others Umekuwa ukiamini Waislamu ni makatili na wauaji katika mazingira ya kidini au kisiasa?! Bashe ana hekimaa? Kuna mstari mwembamba unaotenganisha unafiki na hekima/busara Ni kweli huwezi kuwa na busara kama huna hekima na huwezi kuwa na hekima kama huna busara. Msihukumu viongozi wa kikristo kisa tu awamu hii tumeingizwa mkenge! Reactions: Azarel, Slim5, Tulimumu and 4 others Kidini. Sio ivyo mbna tena awamu huu wapo viongozi wengi waislam nliowataj mbao n wakristu. Umesema ukweli, ukiangalia kila awamu ya Rais Mkristo nchi inakuwa katika mtanziko, nakubaliana nawe, angalia hata Zanzibar, hawana mafusadi wala wanafiki, wakisema hatukutaki wanamaanisha na wakisema wanakutaka wanamaanisha, njoo Bara, bakuli moja la pilau mtu anabadilika kabisa. Reactions: Azarel, Slim5, Tulimumu and 13 others Sasa kwani kwenye siasa wanaongozwa na msahafu? Jecha ni mkristo bwashee? Reactions: Azarel, residentura, All TRUTH and 2 others Kwani msahafu ndyo imani. Uongozi humfanyi mtu aache imani yake unless ni mnafiki na mchumia tumbo Hata nchi ikiongozwa Na muislamu angalau kila mtu unufaika viongozi Wa kikristo ni wabinafsi hula peke yao waislamu hula Na wananchi. Mkristo akitawala ni lzm watu waisome namba,waislamu udeal Na maendeleo ya watu.Nchi zote za kiislamu zina unafuu wa maisha Kwa watu wake,90% ya madikteta ni wakristo Reactions: dos.2020, Tulimumu, residentura and 6 others Kwani kuna mwanasiasa asiyechumia tumbo?! Jecha ni mtii maagizo kama mnufaika Na sio mtoa maamuzi Reactions: shungurui and Gavana Tangu nyerere,Mwinyi akaja kutuokoa soma history Reactions: PNC, The Boss, moudgulf and 1 other person Kama Maalim Seif alivyo mda huu akimuhadithia Hayati Nyerere na jinsi alivyotoka CCM, inaonesha jamaa hakumuogopa kabisa. Naendelea kumtegea sikio.... Reactions: Extrovert and The Boss Sasa hao waliotajwa nani mtoa maamuzi? Kama unaishi subiria siku muislamu akiingia utakiri Reactions: PNC, The Boss, imhotep and 1 other person Kuna sababu iko mahala fulani na kuna mtu juu hapo kaigusia kiaina, ukiitaja hiyo sababu hapa huu uzi unaweza kufungwa au kuvunja records za viewers na wachangiaji. Siku Watanzania hasa Wakristo watakapoikubali hiyo sababu na kuweka huo upuuzi pembeni Tanzania itapiga hatua sana. Reactions: residentura, Extrovert, The Boss and 4 others Sakata la CAG: Viongozi wa Kiislamu wasema Spika ana ajenda ya siri Jukwaa la Siasa 267 Apr 16, 2019 S Mufti: Viongozi wa Kiislamu muombeeni Rais Magufuli Jukwaa la Siasa 12 May 6, 2016 Waasi waliowateka wahubiri wa kiislamu wataka milioni 84, viongozi wa Kivu wakataa Jukwaa la Siasa 0 Aug 13, 2015 Kinondoni, Dar: TAKUKURU inawashikilia viongozi wanne wa Jimbo la Ubungo(CCM) kwa tuhuma za rushwa Jukwaa la Siasa 3 Today at 4:55 PM Top 5 viongozi wangu bora 2015 Jukwaa la Siasa 40 Friday at 11:30 PM Sakata la CAG: Viongozi wa Kiislamu wasema Spika ana ajenda ya siri Waasi waliowateka wahubiri wa kiislamu wataka milioni 84, viongozi wa Kivu wakataa Kinondoni, Dar: TAKUKURU inawashikilia viongozi wanne wa Jimbo la Ubungo(CCM) kwa tuhuma za rushwa Top 5 viongozi wangu bora 2015
2020-06-01T16:00:06
https://www.jamiiforums.com/threads/viongozi-wa-kiislamu-wana-busara-kuliko-viongozi-wa-dini-nyingine-je-wanafundishwa-nini-kiimani.1702311/
[ -1 ]
T shirt ya CCM nusura imtoe roho mgambo | JamiiForums | The Home of Great Thinkers T shirt ya CCM nusura imtoe roho mgambo Discussion in 'Habari na Hoja mchanganyiko' started by Wababa, Nov 7, 2011. Jamaa mmoja mkazi wa jiji hili la mwanza anaesadikika na mgambo wa jiji nusura juzi wamtoe roho wakazi wa mtaa wa makoroboi baada ya mgambo huyo kuanza kukusanya bidhaa za wamachinga zilizokua pembezoni mwa barabara, chinga alikusanyiwa bidhaa zake walipoanza kukunjana na hapo hapo ndipo ilipogundulika tshirt aliyoivalia ndani ilikua ni ya chama cha mapinduzi, wamachinga wote waliungana na kutoa kichapo heavy kwa askari huyo ambae hana maslahi, huku wenzake watano wakimuacha kwenye mataa baada ya kuona moto wa petrol umewaka, pona pona yake ni vijana wawili wadogo wa jwtz walitokea upande wa pili na kumwombea radhi kwa watu hao waliokua wamejaa sumu...! Kutoka mwanza Mtoa tatizo ni T - Shirt au kukusanya mali za Machinga? Hebu fafanua? Walimuonea tuu, huyo jamaa ni masikini kama masikini wengine wowote wanaovalishwa Tshirt na CCM wakati wa kampeni, mimi nadhani kupokea hizo Tshirt siyo kosa labda kosa kama alikiuka taratibu zozote katika kukusanya hivyo vitu. Mbona hata mimi October niligawiwa Tshirt na CCM lakini nilipokumbuka sina kitu cha kufutia gari langu niliichukua tuu na huwa natembea nayo inanisaidia sana kufutia vumbi, je siku nikisababisha ajari mtaani nitaadhibiwa kwasababu kwenye gari kuna Tshirt ya CCM??? Hahahaaa, mwanza bana, sasa mgambo kakosa t-shet mpaka avae magamba, safi sana hizo tshirt ni mikosi ni za kuacha Tatizo lilowatia wamachinga hasira ni mgambo huyo kukusanya vifaa vyao kwa nguvu, na ndiyo walipoanza kukunjana ikagundulika afande ana gamba ndani ya jezi yake, ndiyn wamachinga mzuka ukawapanda kabisa. Mtoa tatizo ni T - Shirt au kukusanya mali za Machinga? Hebu fafanua?Click to expand... hata darasani inaelekea ulikua kilaza wewe, nini ambacho hujaelewa hapo?! Mwanza=Arusha!!Miji ya mapinduzi Tanzania Walimuonea tuu, huyo jamaa ni masikini kama masikini wengine wowote wanaovalishwa Tshirt na CCM wakati wa kampeni, mimi nadhani kupokea hizo Tshirt siyo kosa labda kosa kama alikiuka taratibu zozote katika kukusanya hivyo vitu. Mbona hata mimi October niligawiwa Tshirt na CCM lakini nilipokumbuka sina kitu cha kufutia gari langu niliichukua tuu na huwa natembea nayo inanisaidia sana kufutia vumbi, je siku nikisababisha ajari mtaani nitaadhibiwa kwasababu kwenye gari kuna Tshirt ya CCM???Click to expand... hata kama ni maskini lazima asome alama za nyakati bhana, ccm imewafanya watu kuwa na maisha magumu kila kona ya tz, tena unapofanya kosa huku umevaa tsht au kofia, ndiyo kwanza unawajaza sumu watu, Hahahaaa, mwanza bana, sasa mgambo kakosa t-shet mpaka avae magamba, safi sanaClick to expand... kuna mada imeanzishwa kule kuwa CCM siku hizi imekuwa tusi, labda jamaa walidhani huyo mgambo kawatukana kwa kuwavalia T-shirt ya tusi Safi saaaaaaaaaaaaana. Piga tu hao mafisadi. Hata mimi nikikutana na **** limevaa tshirt ya ccm usiku kwenye anga zangu lazima nimkwide tu na tshirt nachanachana. Komesha ujinga huo. wamezidi kusumbua watu ngoja akome! Mwanza=Arusha!!Miji ya mapinduzi TanzaniaClick to expand... Umesahau Mbeya nanii alipodundwa mawe aisee Kuwa CCM ni laana, wenye akili jichomoeni huko. kuna mada imeanzishwa kule kuwa CCM siku hizi imekuwa tusi, labda jamaa walidhani huyo mgambo kawatukana kwa kuwavalia T-shirt ya tusiClick to expand... Siku hizi hata watoto wa shule wanazikimbia hawazitaki kabisa. Yalikuwa yanavaliwa na akina mama hata hao siku hizi wanaziogopa kama ukoma wanasema sijuo zinaambukiza ugonjwa wa kuzomewa na kuanguka kama bosi wao. teh teh teh! siku nyingie hatorudia tena nahisi kuanzia alipopata hicho kichapo akiona t-shirt ya magamba anaweweseka na kutoka mbio!!! pole sana kwa kipigo ila ukumbuke vya dezo vinauwa.... t-shirt ulipewa bure imakugarimu ndugu yangu duh, sasa hayo magonjwa naskia dawa yake ndio mkong'oto toka kwa wananchi na vidonge vinavyoitwa CDM unatakiwa upate kimoja kutwa mara tano kwa miaka mitatu Siku hizi hata watoto wa shule wanazikimbia hawazitaki kabisa. Yalikuwa yanavaliwa na akina mama hata hao siku hizi wanaziogopa kama ukoma wanasema sijuo zinaambukiza ugonjwa wa kuzomewa na kuanguka kama bosi wao.Click to expand... elimu inapaswa itolewe msvazi ya ya kuvaa mtumishi wa umma hasa unapokuwa ktk shughuri za kiserikali Si uongo,ni kweli kichapo kilitembea,akasaidiwa.Nikiona neno sisiem kwa Mwanza,nahisi kichefuchefu,kutapika.Na nitakwenda kaburini bila kuipa sisiem kura yangu.Siiipendi,siitaki,siifeel,siitamani.....Uuuuuuwi! Uuuuuuuwi! Uuuuuuuuuuuuuuwi
2017-04-25T20:32:45
https://www.jamiiforums.com/threads/t-shirt-ya-ccm-nusura-imtoe-roho-mgambo.189956/
[ -1 ]
Mcheza filamu za kuchekesha Chaplin Alama mojawapo ya Filamu Mwandaaji wa filamu nchini Tanzania 2 Baadhi ya waigizaji maarufu 2.1 Wanaume 2.2 Wanawake 3 Waongozaji filamu maarufu Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Filamu&oldid=1119402" Last edited on 20 Julai 2020, at 14:11 Ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 20 Julai 2020, saa 14:11.
2020-08-13T21:10:23
https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Filamu
[ -1 ]
Katika mawazo ya watu, Mungu ni Mungu, na mwanadamu ni mwanadamu. Mungu haneni lugha ya mwanadamu, wala mwanadamu hawezi kunena lugha ya Mungu, na kwa Mungu, madai ya mwanadamu Kwake ni rahisi, ilhali matakwa ya Mungu kwa mwanadamu hayafikiki na hayafikiriki kwa mwanadamu. Ukweli, hata hivyo, ni kinyume kabisa: Mungu anataka tu “asilimia 0.1” ya mwanadamu. Hili si la kushangaza tu kwa kila mtu, lakini pia huwafanya wahisi kukanganyikiwa sana, kama kwamba wote wamechanganyikiwa. Ni kwa msaada wa kupata nuru kwa Mungu, na neema ya Mungu tu, ndio watu hupata maarifa kidogo ya mapenzi ya Mungu. Lakini mnamo Machi 1, watu wote kwa mara nyingine walibaki wakiwa wamekanganyikiwa na wakikuna vichwa vyao. Mungu alitaka kwamba watu Wake wawe theluji inayong’aa, si mawingu yaendayo pepe. Kwa hiyo hii “theluji inayong’aa” inahusu nini? Na “mawingu yaendayo pepe” yanaashiria nini? Wakati huu, Mungu hasemi lolote kwa makusudi kuhusu maana ya ndani ya maneno haya. Hili linawatumbukiza watu katika kiwewe, na hivyo kuongeza imani yao wanapotafuta—kwani ni matakwa maalum kwa watu wa Mungu, na si kitu kingine, na kwa hiyo kila mtu hujikuta akitumia muda mwingi zaidi kwa hiari akifikiri kuhusu maneno haya yasiyoeleweka. Kutokana na hilo, mawazo mbalimbali huchipua ndani ya akili zao, chembe za theluji ziendazo pepe zinakuja ghafla mbele ya macho yao, na mawingu yaendayo pepe angani mara moja yanatokea katika mawazo yao. Kwa nini Mungu anataka watu Wake wawe kama theluji inayong’aa, na sio kama mawingu yaendayo pepe? Maana ya kweli hapa ni gani? Maneno haya hasa yanahusu nini? “Theluji inayong’aa” haifanyi tu mandhari yaonekane mazuri, lakini pia ni nzuri kwa ardhi ya ukulima—ni nzuri katika kuua bakteria. Baada ya kuanguka kwa theluji nyingi, bakteria zote hufunikwa na theluji inayong’aa, na uwanda wote mara moja hujaa kabisa na uhai. Vivyo hivyo, watu wa Mungu hawatakiwi tu kumjua Mungu mwenye mwili, bali pia kujinyenyekeza kwa ukweli wa kupata mwili kwa Mungu, na hivyo kuishi kwa kudhihirisha ubinadamu wa kawaida. Hivi ndivyo theluji huyafanya mandhari kuonekana mazuri; hatimaye, ukomavu wa watu wa Mungu utalimaliza joka kuu jekundu, kuanzisha ufalme wa Mungu duniani, kueneza na kutukuza jina takatifu la Mungu, ili ufalme wote duniani ujazwe haki ya Mungu, hung’arisha miali ya Mungu, na kumemetuka na utukufu wa Mungu, na kila mahali kuna na maonyesho ya amani na ridhaa, furaha na utimizo, na uzuri unaofanya upya daima. Tauni mbalimbali zilizopo wakati wa sasa—tabia potovu ya kishetani, kama vile udhalimu, uhalifu na udanganyifu, tamaa mbovu na kadhalika—zote zinakomeshwa, na hivyo mbingu na dunia vyote vinafanywa upya. Hii ni maana ya kweli ya “baada ya kuanguka kwa theluji nyingi.” Wale ambao ni mawingu yaendayo pepe ni kama aina ya watu ambao hufuata kundi linalozungumziwa na Mungu; kama kuna majaribu ya Shetani, au majaribio ya Mungu, wataenda pepe mara moja, na kukosa kuwepo tena. Hata kiini chao hakitasalia, kitakuwa kimetoweka kitambo sana. Kama watu ni mawingu yaendayo pepe, hawawezi tu kuishi kulingana na sura ya Mungu, lakini pia huleta aibu kwa jina la Mungu, kwani watu kama hao wako katika hatari ya kunyakuliwa wakati wowote au mahali popote, wao ni chakula ambacho Shetani hula, na wakati ambapo Shetani anawachukua kuwa mateka, watamsaliti Mungu na kumtumikia Shetani. Hili kwa dhahiri huleta aibu kwa jina la Mungu, ni kile ambacho Mungu huchukia zaidi ya yote, na ni adui za Mungu. Hivyo, wao hawana kiini cha watu wa kawaida na hawana thamani halisi ya matumizi. Ni kwa sababu ya hili ndio Mungu huwa na matakwa kama haya kwa watu Wake. Lakini baada ya kuelewa kitu fulani kuhusu maneno haya, watu huwa hawajui wafanye nini baada ya hapo, kwani mada ya maneno ya Mungu imemgeukia Mungu Mwenyewe, ambalo huwaweka katika hali ngumu: “Kwa sababu Nilitoka katika nchi takatifu, si kama yungiyungi, ambalo lina jina tu na halina dutu kwa sababu lilikuja kutoka katika matope na si kutoka nchi takatifu.” Mbona, baada ya kuzungumza juu ya matakwa Yake kwa watu Wake, Mungu anaeleza kuzaliwa kwa Mungu Mwenyewe? Yawezekana kwamba kuna uwiano wa asili kati ya hayo mawili? Kweli, kuna uwiano wa asili kati ya hayo—la sivyo, Mungu hangezungumza hivyo kwa watu. Kati ya majani mabichi, yungiyungi huyumba nyuma na mbele katika upepo mwanana. Linapendeza machoni na kuthaminiwa sana. Watu hawawezi tu kutosheka nalo, na wana hamu sana ya kuogelea majini kuchuma kikonyo na kukitazama kwa karibu. Lakini Mungu asema yungiyungi linatoka matopeni, na lina jina tu wala si dutu. Inaonekana kwamba Mungu haweki umuhimu wowote kwa mayungiyungi, na kutokana na maneno Yake inaweza kuonekana kwa dhahiri kwamba Ana chuki kiasi fulani kwayo. Kotekote katika enzi, wengi wamemimina sifa kwa mayungiyungi kwa sababu hayo hutoka kwa uchafu pasipo mawaa, kiasi kwamba takriban hayawezi kulinganishwa, ni ya ajabu ya kushangaza. Lakini machoni pa Mungu, mayungiyungi hayana thamani—ambayo hasa ni tofauti kati ya Mungu na mwanadamu. Hii inatosha kuonyesha umbali ulioko kati ya Mungu na mwanadamu, ulio mkuu kama ule ulioko kati ya juu ya anga na chini ya ardhi. Kwa kuwa yungiyungi hutoka matopeni, virutubishi vyote linavyohitaji hutoka humo. Ni vile tu yungiyungi linaweza kujigeuza umbo, na hivyo kufurahisha macho. Watu wengi huona tu uzuri wa nje wa yungiyungi, lakini hakuna yeyote kati yao aonaye kwamba uzima ulio ndani ya yungiyungi ni mchafu na wenye najisi. Hivyo, Mungu asema kwamba lina jina tu bila dutu—ambayo ni sahihi kabisa na kweli. Na hivi hasa sivyo walivyo watu wa Mungu leo? Wao hutii na kumwamini Mungu kwa nje tu. Mbele ya Mungu, wao hujipendekeza na kujionyesha kumfanya Mungu aridhike nao; ndani, hata hivyo, wamejazwa tabia potovu ya kishetani, matumbo yao yamejaa uchafu. Hivyo, Mungu anatoa maswali kwa mwanadamu, Akiuliza kama uaminifu wake kwa Mungu umeozeshwa na uchafu, kama ni safi na kamili. Walipokuwa watendaji huduma, watu wengi walimsifu Mungu vinywani mwao lakini walimlaani mioyoni mwao. Katika vinywa vyao, walikuwa watiifu kwa Mungu, lakini mioyoni mwao, walimuasi Mungu. Vinywa vyao vilitamka maneno hasi, na ndani ya mioyo yao walificha upinzani kwa Mungu. Kulikuweko hata na wale ambao matendo yao yalikuwa ya kulingana sawa: Waliachilia uchafu kwa vinywa vyao na kuashiria kwa mikono yao, wapotovu kabisa, wakitoa onyesho wazi na lenye kufanana na kiumbe chenye uhai la uso wa kweli wa joka kubwa jekundu. Wanastahili kweli kuitwa mayai ya joka kubwa jekundu. Lakini leo, wanasimama katika nafasi ya watendaji huduma waaminifu na kutenda kama watu waaminifu wa Mungu—aibu iliyoje! Si ajabu; walitoka matopeni, kwa hiyo hawana budi ila kuonyesha tabia yao ya halisi. Kwa kuwa Mungu ni mtakatifu na safi, na halisi na wa kweli, mwili Wake unatoka kwa Roho. Hili ni wazi, na bila shaka. Sio tu kuweza kushuhudia kwa Mungu Mwenyewe, bali pia kuweza kutekeleza kabisa mapenzi ya Mungu: huu ni upande mmoja wa dutu ya Mungu. Kwamba mwili unatoka kwa Roho na sura kuna maana kwamba mwili ambao Roho anajivisha ni tofauti kimsingi na mwili wa mwanadamu, na tofauti hii hasa iko ndani ya roho zao. Kile ambacho Roho aliye na sura kinahusu ni jinsi, kutokana na kufunikwa na ubinadamu wa kawaida, uungu unaweza kufanya kazi kwa kawaida ndani, ambacho si cha muujiza kabisa, na hakiwekewi mipaka na ubinadamu. “Sura ya Roho” inahusu uungu kamili, na haiwekewi mipaka na ubinadamu. Hasa, tabia ya Mungu ya asili na sura ya kweli vinaweza kuishi kwa kudhihirishwa kabisa ndani ya mwili, ambao si wa kawaida na thabiti tu, lakini wenye uadhama na ghadhabu. Mwili wa kwanza ungeweza tu kuwasilisha Mungu wa dhana za watu, yaani, Angeweza tu kutekeleza ishara na miujiza na kunena unabii. Hivyo, Hakuishi kwa kudhihirisha kabisa uhalisi wa Mungu, na kwa hiyo hakuwa mfano halisi wa Roho mwenye sura; Alikuwa tu kuonekana kwa kweli kwa uungu. Na kwa kuwa Alizidi sana uwezo wa ubinadamu wa kawaida, Hakuitwa Mungu Mwenyewe wa vitendo kamili, bali Alikuwa na kiasi kidogo cha Mungu asiye dhahiri aliye mbinguni kumhusu, alikuwa Mungu wa dhana za watu. Hii ndiyo tofauti muhimu kati ya miili miwili. Kutoka mahali palipo juu zaidi ulimwenguni, Mungu huchunga kila mwendo wa mwanadamu, huchunga yote ambayo watu husema na kutenda. Hata kila wazo lao la ndani zaidi Hulichunguza na ubayana kabisa, bila kulipuuza—na kwa hiyo maneno ya Mungu hupenya hadi ndani ya mioyo ya watu, yakigonga kila wazo lao, na maneno Yake ni mepesi kung’amua na bila kosa. “Ingawa mwanadamu anajua Roho Yangu, yeye pia huikosea Roho Yangu. Maneno Yangu yanaweka wazi uso mbaya wa wanadamu wote, na kuweka wazi mawazo ya ndani kabisa ya watu wote, na kusababisha wote duniani kuanguka chini katikati ya uchunguzi Wangu makini.” Kutokana na hili inaweza kuonekana kwamba, ingawa matakwa ya Mungu kwa mwanadamu si ya juu, watu bado hawawezi kustahimili uchunguzi makini wa Roho wa Mungu. “Ijapokuwa mwanadamu anaanguka chini, moyo wake hauthubutu kwenda mbali Nami. Miongoni mwa viumbe, ni nani asiyekuja kunipenda kwa sababu ya matendo Yangu?” Hili hata linaashiria zaidi hekima kamili ya Mungu na kudura, na hivyo kufichua yote ambayo watu wa Mungu walifikiri walipokuwa katika cheo cha watendaji huduma: Ingawa, baada ya “biashara” iliyoishia kushindwa, “mamia ya maelfu” au “mamilioni” katika vichwa vyao ziliambulia patupu, kwa sababu ya amri za usimamizi za Mungu, na kwa sababu ya uadhama wa Mungu na ghadhabu, ingawaje waliinamisha vichwa vyao kwa huzuni, bado walimhudumia Mungu katikati ya uhasi, utendaji wao wote wa siku zilizopita ukawa maneno matupu, yaliyosahaulika kabisa; badala yake walifanya mambo kwa hiari yao ambayo yaliwafanya wao na kila mtu mwingine afurahi ili kuendelea kujiburudisha, ili kupitisha muda… Hiki ndicho kilikuwa kikiendelea kwa kweli miongoni mwa wanadamu. Hivyo, Mungu anakuwa wazi kwa mwanadamu na kusema: “Ni nani asiyekuwa na hamu kwa ajili ya kuyasikia maneno Yangu? Ni nani asiyezaliwa ndani mwake na hisia za ibada kwa sababu ya upendo Wangu?” Kusema kweli, watu wote wako radhi kukubali maneno ya Mungu, na hakuna yeyote kati yao asiyependa kusoma maneno ya Mungu—ni vile tu hawawezi kutia maneno ya Mungu katika vitendo kwa sababu wanazuiliwa na asili zao. Baada ya kusoma maneno ya Mungu, watu wengi hawawezi kustahimili kujitenga na maneno ya Mungu, na upendo kwa Mungu hufurika ndani yao. Hivyo, Mungu kwa mara nyingine Anamlaani Shetani, na mara tena Anafichua sura yake mbaya. “Enzi ambayo Shetani anaendesha ghasia na ni mdhalimu mkuu” pia ni enzi ile ile ambayo Mungu anaanza kazi Yake kuu, rasmi duniani. Kufuatia, Anaanza kazi ya kuangamiza ulimwengu. Ambalo ni kusema, kadri Shetani anavyozidi kuendesha ghasia, ndivyo siku ya Mungu inavyokaribia zaidi, na kwa hiyo ndivyo Mungu anenavyo zaidi kuhusu utukutu wa Shetani, hivyo inaonyeshwa kwamba siku ambayo Mungu ataangamiza ulimwengu inakaribia. Huu ndio utangazaji wa Mungu kwa Shetani. Kwa nini Mungu alisema tena na tena “…na, nyuma Yangu, wao wanashiriki katika zile shughuli chafu “zenye kusifika.” Je, unafikiri kwamba mwili Ninaouvaa, haufahamu chochote kuhusu matendo yako, tabia zako, na maneno yako?” Hakusema tu maneno hayo mara moja au mbili—Kwa nini? Mara tu watu wakishafarijiwa na Mungu, na wanafahamu huzuni ya Mungu kwa ajili ya mwanadamu, ni rahisi kwao kusahau yaliyopita wanapong’ang’ana kuendelea mbele. Lakini Mungu si mwenye huruma kabisa kwa mwanadamu: Yeye huendelea kujaribu kupata fikira za watu. Hivyo Huwauliza watu mara nyingi wajijue, waache upotovu wao, kutoshiriki tena katika shughuli chafu “za kusifika,” na kutowahi kamwe kumdanganya tena Mungu aliye katika mwili. Ingawa asili za watu hazibadiliki, kuna manufaa katika kuwakumbusha mara chache. Baada ya hili, Mungu anena kutokana na mtazamo wa mwanadamu ili kufichua mafumbo yaliyo ndani yake: “Nimestahimili mvua na upepo kwa miaka mingi, na vile vile Nimepitia machungu ya ulimwengu wa binadamu, lakini ukitafakari kwa karibu, hakuna kiasi cha mateso kinachoweza kumfanya mwanadamu aliye katika nyama za mwili kupoteza matumaini ndani Yangu, kama vile hakuna utamu wowote unaoweza kumfanya mwanadamu wa mwili awe bila hisia, mwenye kuvunjika moyo au mwenye kunipuuza Mimi Je, upendo wa mwanadamu Kwangu ni mdogo kiasi kwamba upo tu katikati ya ama kutokuwa na maumivu au kutokuwa na utamu?” “Yote chini ya jua ni tupu,” maneno haya kweli yana maana ya ndani. Hivyo Mungu asema kwamba hakuna chochote kinachoweza kumfanya mwanadamu akate tamaa Kwake au kumdharau. Ikiwa watu hawampendi Mungu, ni heri basi wafe; ikiwa hawampendi Mungu, basi mateso yao ni bure, na baraka zao ni tupu, na kuongezewa kwa dhambi zao. Kwa vile hakuna hata mtu mmoja anayempenda Mungu kweli, hivyo Asema, “Je, upendo wa mwanadamu Kwangu ni mdogo kiasi kwamba upo tu katikati ya ama kutokuwa na maumivu au kutokuwa na utamu?” Katika ulimwengu wa mwanadamu, mtu yeyote angewezaje kuishi bila maumivu au utamu? Mara kwa mara, Mungu asema, “Hakuna hata mtu mmoja amewahi kuuona uso Wangu kweli na amewahi kusikia sauti Yangu kweli, kwani mwanadamu hanijui kweli.” Mungu asema kwamba mwanadamu hamjui Yeye kweli, lakini kwa nini Anataka mwanadamu amjue? Je, huu si ukinzani? Kila mojawapo ya maneno ya Mungu lina lengo fulani. Kwa kuwa mwanadamu amekuwa sugu, Mungu anatumia kanuni ya kufanya 100% ya kazi Yake ndani ya mwanadamu ili hatimaye kutimiza asilimia 0.1 ndani ya moyo wa mwanadamu. Hiyo ndiyo mbinu ambayo Mungu hufanyia kazi, na Mungu lazima atende hivyo ili kutimiza malengo Yake. Hii pia ni hekima ya maneno ya Mungu kabisa. Je, mmeelewa hili? Mungu asema “Ninapozionyesha siri Zangu wazi na kufanya wazi mapenzi Yangu katika mwili, hamwoni haya yote; mnaisikiliza sauti, lakini hamwelewi maana yake. Mimi hukumbwa na huzuni kuu. Ingawa Mimi Niko katika mwili, Ninakosa uwezo wa kufanya kazi ya huduma ya mwili.” Katika suala moja, maneno haya huwafanya watu, kwa ajili ya usugu wao, kuanza kushirikiana na Mungu; katika suala lingine, Mungu hufichua sura ya kweli ya uungu Wake katika mwili. Kwa kuwa kimo cha watu ni kidogo sana, ufunuo wa uungu wakati wa kipindi ambacho Mungu yuko ndani ya mwili ni kufuatana tu na uwezo wa mwanadamu wa kukubali. Wakati wa hatua hii ya kazi, watu wengi hubaki wasioweza kuwa na ridhaa kamili, ambalo linaonyesha kwa kiasi cha kutosha vile uwezo wao wa ridhaa ni hafifu. Hivyo, uungu hautekelezi kwa ukamilifu kazi yake ya asili unapofanya kazi; hii ni sehemu ndogo tu. Hili linaonyesha kwamba katika kazi ya siku za baadaye, uungu utafichuliwa polepole kufuatana na hali ya kupatikana tena kwa mwanadamu. Uungu, hata hivyo, haukui polepole, lakini ni kile ambacho Mungu mwenye mwili anacho kimsingi, na si kama kimo cha mwanadamu. Kulikuwa na lengo na maana kwa Mungu kumuumba mwanadamu, na hivyo Mungu asema, “Kama mwanadamu angeangamizwa na ghadhabu Yangu, umuhimu wa kuumba Kwangu kwa mbingu na dunia ungekuwa nini?” Baada ya mwanadamu kupotoshwa, Mungu alipanga upataji wa sehemu ya watu kwa sababu ya kujifurahisha Kwake; si kweli kwamba watu wote wanatakiwa kuangamizwa, au kwamba watang’olewa wakikiuka hata kidogo amri za usimamizi za Mungu. Haya si mapenzi ya Mungu. Kama alivyosema Mungu, hilo halingekuwa na maana. Ni hasa kwa sababu ya “kutokuwa na maana” huku ndiyo hekima ya Mungu inafanywa kuwa wazi. Je, hakuna umuhimu mkuu zaidi kwa Mungu kuzungumza na kutenda kazi kwa njia nyingi ili kuadibu, kuhukumu, na kuwagonga watu wote, hatimaye kuchagua wale wanaompenda kweli? Na ni kwa njia hii hasa ndio matendo ya Mungu hufichuliwa, kwa hiyo uumbaji wa mwanadamu unakuwa wa maana zaidi. Hivyo, mengi ya maneno ya Mungu huelea yakienda; hili ni ili kutimiza lengo, na huu pekee ndio uhalisi wa baadhi ya maneno Yake. Inayofuata:Nyongeza ya 1: Sura ya 1 Maoni Wanayopaswa Kushikilia Waumini Kuwa na Tabia Isiyobadilika Ni Kuwa katika Uadui na Mungu Maelezo ya Kweli ya Kazi Katika Enzi ya Ukombozi Ukweli wa Ndani wa Kazi ya Kushinda (3)
2019-02-17T07:54:27
https://sw.godfootsteps.org/interpretation-of-the-ninth-utterance.html
[ -1 ]
Rwanda Yatangaza Mikakati Kabambe ya Kukabiliana Na Virusi Vya Corona....Mipaka Yote Imefungwa, Baa, Kusafiri Hovyo Marufuku | MPEKUZI
2020-08-08T12:37:46
https://www.mpekuzihuru.com/2020/03/tamko-la-waziri-mkuu-wa-rwanda-dkt.html
[ -1 ]
WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGUA MKUTANO WA MAAFISA WAANDAMIZI WA JESHI LA MAGEREZA, JIJINI DAR - JIACHIE WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGUA MKUTANO WA MAAFISA WAANDAMIZI WA JESHI LA MAGEREZA, JIJINI DAR - JIACHIE Home > TAARIFA MBALIMBALI > WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGUA MKUTANO WA MAAFISA WAANDAMIZI WA JESHI LA MAGEREZA, JIJINI DAR Item Reviewed: WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGUA MKUTANO WA MAAFISA WAANDAMIZI WA JESHI LA MAGEREZA, JIJINI DAR Rating: 5 Reviewed By: Ahmad Michuzi
2017-11-23T20:20:00
http://michuzijr.blogspot.com/2017/03/waziri-wa-mambo-ya-ndani-ya-nchi.html
[ -1 ]
MBUNGE WA JIMBO LA TANGA ALHAJI MUSSA MBARUKU ATEMBELEA KUONA ATHARI ZA MAFURIKO ENEO LA NEEMA DARAJAN | PAMOJA BLOG » MBUNGE WA JIMBO LA TANGA ALHAJI MUSSA MBARUKU ATEMBELEA KUONA ATHARI ZA MAFURIKO ENEO LA NEEMA DARAJAN Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF) Alhaj Mussa Mbaruku wa kwanza kulia akiangalia athari za miundombinu ya barabara ya Tanga hadi Pangani katika eneo la Neema ambako alikwenda kuangalia namna ilivyoharibika kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF) Alhaj Mussa Mbaruku akitazama Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF) Alhaj Mussa Mbaruku kulia akipata maelekezo kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Bacc Technicla co.Ltd ya Mkoani Dodoma , Husein Bakeme kuhusu namna wanayofanya kuondoa adha hiyo Creda likiendelea kufanya kazi ya kurekebisha barabara ya Tanga -Pangani eneo la Neema ambalo lilikuwa halipitiki kutokana na kuharibika vibaya na kusababisha magari kushindwa kupita Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF) Alhaj Mussa Mbaruku akitembelea eneo la Neema Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF) Alhaj Mussa Mbaruku kulia akiteta jambo na Diwani wa Kata ya Masiwani kushoto wakati walipotembelea eneo la Neema kujionea athari za barabara kutokana na mvua zilizonyesha Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF) Alhaj Mussa Mbaruku kulia akiwa na diwani wa Kata ya Masiwani Said Alei wakati akitembelea eneo la Neema ambalo limeathirika kutokana na mvua kubwa zilizonyesha mkoani Tanga Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF) Alhaj Mussa Mbaruku kushoto akisalimiana na wananchi wa Jimbo lake Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF) Alhaj Mussa Mbaruku akiteta jambo na wapiga kura wake mara baada ya kutembelea eneo la Neema ambalo limeathirika kwa miundombinu ya barabara kuharibika kutokana na mvua kubwa zilizonyesha jijini Tanga Labels :
2017-05-26T03:40:43
http://www.pamoja.co.tz/2017/05/mbunge-wa-jimbo-la-tanga-alhaji-mussa.html
[ -1 ]
Ajali ya MV Nyerere yang’oa kigogo SUMATRA – Dar24 3 months ago Comments Off on Ajali ya MV Nyerere yang’oa kigogo SUMATRA Rais Dkt. John Magufuli ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) Mhandisi Dkt. John Ndunguru na kuivunja bodi hiyo kuanzia leo Septemba 24, 2018. Amechukua hatua hiyo kufuatia ajali ya kuzama kwa kivuko cha MV. Nyerere iliyotokea Septemba 20, 2018 na matukio mbalimbali ya ajali za barabarani hapa nchini yanayosababisha vifo, ulemavu na uharibifu wa mali. Aidha, pamoja na hatua hiyo kamati ya uchunguzi ambayo itatangazwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa baadaye, itaendelea na uchunguzi wa ajali ya kivuko cha MV. Nyerere kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama kama ilivyopangwa. Pia utenguzi huo wa Rais Magufuli ni wa pili kuufanya tokea ilipotokea ajali ya kivuko cha Mv. Nyerere na kusababisha takribani ya watu 224 kufariki dunia kutokana na ajali hiyo. Hata hivyo, Jana Septemba 23, 2018 Rais Magufuli aliivunja Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) iliyokuwa chini ya Brigedia Jenerali Mstaafu, Mabula Mashauri kufuatia kuzama kwa kivuko cha MV. Nyerere. Habari 20 hours ago Comments Off on Video: Serikali yashinda kesi ya uvuvi haramu, Mpina atoa kauli nzito Burudani/Habari 1 day ago Comments Off on Makala: Mwanzilishi wa Miss World, mwanajeshi ‘aliyelaaniwa’ na kutusua Habari 2 days ago Comments Off on Mgogoro wa Burundi na Rwanda wazidi kufukuta
2018-12-10T07:00:45
http://dar24.com/ajali-ya-mv-nyerere-yangoa-kigogo-sumatra/
[ -1 ]
wanafunzi Muhimbili wagoma | JamiiForums | The Home of Great Thinkers wanafunzi Muhimbili wagoma Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by fangfangjt, Jan 31, 2011. source RadioONE Inapendeza sana.:clap2::clap2::clap2::clap2::clap2::clap2: Ksa cha kugoma ni nini? BTW acha wagome kama wameamua source RadioONEClick to expand... Safi sana. Na hiyo ndo msg kwa hawa viwavi jeshi wa ssm ambao wanahaha kurubuni wanafunzi wa chuo ili waendelee kutawala. Lakini nadhani sasa watu wamefikia mwisho hawadanganyiki tena. Ingekuwa vema zaidi migomo hii kuwa organized countrywide kwa ajili ya kuleta impact kubwa. Tanzania bila migomo HAIWEZEKANI!!!!! Let them do it maana nchi hii haiendi bila migomo. Safi sana, coz migomo husaidia wananchi kuichukia serikali na chichiem yah hao waliogoma ni school of medicine and dental issue ni walezi wao i mean deans ni hawawatendei haki and failure rate ya clinical years ni kubwa and problems ni lecturers ARE so harsh . Another thing kuna hela zao za fieldwork DEAN WAO anapanga kuzipunguza kutoka laki 7 hadI LAKI NNE yani huyo dean ana maamuzi as if yeye ndo VC. SOURCE mm nipo muhimbili and nasoma hapa BPHARM kwanza wamechelewa sana! This is really bad news kwa serikali yetu naona huu ni mwaka wa shetani Mbona unaleta habari nusunusu? Chanzo cha mgomo ni nini? Mbona unaleta habari nusunusu? Chanzo cha mgomo ni nini?Click to expand... Soma hii hapa chini: yah hao waliogoma ni school of medicine and dental issue ni walezi wao i mean deans ni hawawatendei haki and failure rate ya clinical years ni kubwa and problems ni lecturers ARE so harsh . Another thing kuna hela zao za fieldwork DEAN WAO anapanga kuzipunguza kutoka laki 7 hadI LAKI NNE yani huyo dean ana maamuzi as if yeye ndo VC. SOURCE mm nipo muhimbili and nasoma hapa BPHARMClick to expand... Badala ya kugoma wakati wanampa mkuu wa mafisadi degree ya heshima bila kujali alichofanya wakati kina mama wajawazito wanalala chini mahospitalini na vifo vya watoto vyazidi kuindama nchi ....dawa za malaria za kubeep hakuna dawa maalumu kila inayokuja unaambiwa ipo kwenye majaribio!!!!...Wanakuja kugoma sasa!!! WAMEKUMBUKA SHUKA KUSHAKUCHA HAO. sio mbaya hawajachelewa sana,karibuni kwenye mapinduzi ya kweli....:A S 20::A S 20::roll: Teh teh, hizi ni purely internal affairs, ila unaweza sikia "kuna mkono wa chadema"
2016-12-04T10:36:55
http://www.jamiiforums.com/threads/wanafunzi-muhimbili-wagoma.107027/
[ -1 ]
Play Cool to get and not hard to get......... | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Play Cool to get and not hard to get......... Discussion in 'Mahusiano, mapenzi, urafiki' started by MwanajamiiOne, Nov 28, 2010. Wapendwa ndugu, jamaa na marafiki......natumaini weekend kwenu ilikuwa njema kama kwangu. tumshukuru MUNGU kwa hili. Wakati nikiwa nimekaa kwangu nikiimalizia weekend hii ya mwisho wa mwezi wa november, 2010 nimejikuta nawaza mahusiano na vituko vyake. Sijui kama ni sahihi but inaweza kusaidia kujenga mahusiano ya kudumu kwa yule umpendaye......... nawaza. 1. kwa wanawake walio na ndoa/ stable relationship- dont be a nagging woman Tunaelewa kuwa (according to Babu Asprin) wanaume hawajaumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja (thats you) so expect the unexpected. Ikiwa utahisi/ utajua kuwa mwenzio si mwaminifu: There is no need of panicking............just relax and swallow your bitter pill slowly with a smile...... no matter how bitter it is. Dont show him that you have panicked kwa sababu ukimwonyesha umepanick utampa kichwa na kumfanya aamini kuwa huna confidence. Relax Dont ask him a direct question- usimwulize unatoka na nani? why have you changed, ushatoka nje ya ndoa e.t.c. maswali ya hivi yanamfanya aamini kuwa unafanya GUESS work huna unalolijua hence giving him more chance na nguvu ya kuendelea na akifanyacho. ......it doesnt matter whether its true or not we mwonyeshe kuwa unajua anachokifanya (hata kama hafanyi kitu - which is not obvious- ni mtu wako akibadilika utajua tu) mwambie straight kuwa you know what he is doing all you need from him ni USALAMA- Atake care in what ever he is doing.....tena ikiwezekana jenga tabia ya kumkinga (mwekee condoms ndani ya briefcase kila akisafiri au kwenye mfuko wa shati kila akienda kazini asubuhi). The logic behind is 1. Kama anafanya, basi atabaki anajiuliza umejuaje and to what extent do you know. 2. Kama hafanyi basi atajua unamjali na uko makini. ii. Love him more with all your heart but remember to take your brain with you. THIS IS WHAT I BELIEVE WORKS FOR WOMEN ( NOT NECESSARILY SHOULD IT BE TRUE) Sijui kwa wanaume..........should we, women be treated the same?? hio ya kumuwekea condoms ni ngumu MJI.....:bump::bump: ni kama unahalalisha vile afanyacho... unampa mixed message uko happy na afanyayo... in reality,hauko hivyo... mie kwangu itakuwa ngumu kufanya hivi...:embarrassed: Waaw... i could give u a Kiss ila naogopa manundu..:whoo::whoo: Namiini mwanamke wa aina hiyo.... haachiki hata kama yeye ndo ataondoka.. jamaaa litamfata hata kwa kifaru!! Muwekewe care condoms (condom za kike) hehehe ainkiller:ainkiller:ainkiller:ainkiller: kwa kweli hata maandiko yanasema 'mwanamke mpumbavu huivunja nyumba yake mwenyewe'.........huu ni ushauri mzuri sana..........thanx - 0 people likes kumuwekea condom haisaidii zaidi utamwongezea kasi ya kufanya hivyo................ kila kitu nakubaliana na we kabisa .... kasoro hapo tu yakumpa condom........ Have a nice weekend[/QUOT wasiwasi wangu kwa vidume mcharuko ndio vitazidisha spidi mwisho ukafa kwa preshaClick to expand... Uko sahhihi, nice advice, mwnamke kama ww mwanume hatakuacha takuwa akikuona kama amekuoa atakuwa na aibu sana ila ukijua anatoka na mwanamke mwingine usiogope kumwuliza, usisubiri akuambukize ukimwi kisa ukimya, if it reaches to extent xxxxxxxx hovyo kama kuku, una haki na wajibu wa kumlinda mme wako acha habari zingine, kama hatulii mwache plse, pia hili la kumwekea condom utavunja ndoa dada yangu ...nilivyomuelewa MwanajamiiOne ni kwamba, kila mtu anahitaji na kustahiki ---space--- maishani. Mambo ya kuchunguzana na kukabana kama mpira wa kona yamepitwa na wakati. sana sana ni kujitafutia kuyafumua magonjwa ya BP, kisukari na stroke buree... "Kunguru hafugiki!" na akifugika huyo si kunguru, njiwa, ambaye ni mwema na ataweza mapenzi "Kunguru hafugiki!"Click to expand... Hapo palipokoza wekundu... kina kaka mpo? Hicho kilichosemwa in red je ni mtambuka/ cross-cutting kwa wote wanawake na wanaume? Mjukuu nimefikiria sana je kwa upande wa mwanaume kama mwanamke ndio anafanya hivi it will be very difficult to swallow though unaweza ukasamehe lakini if it goes sidhani kama unaweza kuendelea ku-handle that situation, kwa mwanamke kuwa hivyo kama ulivyoainisha hapo juu yawezekana lakini akikutana na kidume ambaye ni mcharuko basi atakuwa anaumia sana kuna baadhi ya vitu unabidi uchukue maamuzi magumu ikifika mahali amabapo unaona kwamba enough is enough. Halafu mjukuu hiyo signature yako bana umenifurahisha sana Inategemea ni space ya nini, sio kila space unayompa mwenzi wako anaitumia kama inavyotakiwa Asante sana MJ1 kwa post nzuri sana .. Ila nikirudi kwenye swala zima la kumuwekea condoms kwenye briefcase inakuwa ngumu sana eeh mama hawa wanaume ni kama watoto wadogo na mtoto anajifunza kupitia kwa mama /baba yake anaweza kufanya kweli kwani anaamini haya mamabo ya Infidelity kwa upande wao ni sahihi . Wow... hii mada kwangu imekaa kimtindo aisee Mie mama akiniwekea kondom ataikuta hivyo hata miaka mia... using the condom uliyopewa nyumbani inahalisha na kurasimisha upigaji LOL. MJ1, i appreciate your point of view ...cha maana ni kutulia na kumuweka jamaa kwenye situation nzuri, romantic and very sensitive kisha unaanza kumpa ishara kwamba unajua afanyacho bila kuwa muwazi zaidi kasheshe ni pale ukiwa na vuvuzela, hizo zite hazifuatwi, QUESTION: JE SISI WANAUME TUKO TAYARI KUHISI NA KUKAA KIMYA? Cousin nashukuru sana kwa kurejea swali ambalo na mimi niliuliza kama wanaume tuko tayari kuhisi na kukaa kimya ingawa naona ni ishu ngumu, by the way vespa umeishazileta lol!!! Ila nikirudi kwenye swala zima la kumuwekea condoms kwenye briefcase inakuwa ngumu sana eeh mama hawa wanaume ni kama watoto wadogo na mtoto anajifunza kupitia kwa mama /baba yake anaweza kufanya kweli kwani anaamini haya mamabo ya Infidelity kwa upande wao ni sahihi .Click to expand... FL1 hujambo.... Hawezi kuwa mpumbavu hadi atumia kondom ulizomweka....believe me utazikuta ulivyozoweka...sihu ni ujumbe aupatao... Cousin nashukuru sana kwa kurejea swali ambalo na mimi niliuliza kama wanaume tuko tayari kuhisi na kukaa kimya ingawa naona ni ishu ngumu, by the way vespa umeishazileta lol!!!Click to expand... Ukweli ni kwamba tunaweza, ila inabidi tununue punching bags na mapanga na mafyekeo ili presha ikizidi unajipa kazi ya bustani au gym... ZILE VESPA ZIPO TAYARI NA CHALE MNENE KESHACUKUA MOJA, BADO WEWE Ukweli ni kwamba tunaweza, ila inabidi tununue punching bags na mapanga na mafyekeo ili presha ikizidi unajipa kazi ya bustani au gym... ZILE VESPA ZIPO TAYARI NA CHALE MNENE KESHACUKUA MOJA, BADO WEWEClick to expand... :lol::lol::lol::lol::tea::tea: mfikishie salamu zangu Kanyagio na Dr
2017-04-26T17:49:03
https://www.jamiiforums.com/threads/play-cool-to-get-and-not-hard-to-get.91840/
[ -1 ]
Fally Ipupa Kiboko, Yuko Booked Mpaka mwakani | Spoti na Starehe Fally Ipupa Kiboko, Yuko Booked Mpaka mwakani Pichani Fally Alipokuwa akiongea na wanahabari juu ya Tamasha la MTV All Star Kwa Zulu Natal huko Durban Afrika ya Kusini alipotumbuiza jukwaa moja na akina Dbanji, Snoopy Dogy na wengineo Gonga hapa. Baada ya kutoa albamu yake ambayo inatamba kwa sasa ya Power 101 Mwanamuziki Fally Ipupa ameendelea kutamba na kupanda chati kila kunapokucha huku akiwa na sho nyingi kuliko mwanamuziki yeyote wa Congo kwa Sasa. Muziki una nguvu ya kuunganisha maadui, Tarehe 25 na 26 Mwanamuziki Fally Ipupa alikuwa Mashariki mwa Kongo huko Kivu ya Kaskazini ambako alikuwa na shoo kubwa ya kufa mtu, Baadaye atapiga shoo moja huko Kinshasa mwanzoni mwa mwezi huu kabla ya kwenda Abidjan, Côte d’Ivoire tarehe 15 mwezi huu na inatazamiwa kutakuwa na maonyesho kama mawili na baadaye mwezi ujao Fally atakuwa Guinea huko Malabo hii ni December 14 na 15. Baada ya hapo mwanamuziki huyo kipenzi cha wadada anatazamiwa kwenda nchini Cameroun katika jiji la Younde ambapo anatazamiwa kuwa na maonyesho kadhaa na baadaye atakwenda jiji la maraha Dubai ambapo atakuwa na maonyesho matatu kati ya tarehe 20, 21 na 22. Fally atapumziki na kufanya shopping zake mpaka usiku wa tarehe 28 December ambapo atasafiri kwenda Libreville, Gabon ambako atakuwa na onyesho tarehe 29 onyesho ambalo limepangwa kuhudhuriwa na watu wengi ikiwa ni mwisho mwa mwaka na hii itakuwa zawadi ya mwaka mpya kwao. Fally ndiye mwanamuziki wa Congo aliye na mikataba mingi ya Show nje ya Congo kuliko mwanamuziki yeyete kwa sasa. This entry was posted on Friday, November 8th, 2013 at 10:01 am and is filed under Michezo. You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0 feed.
2016-12-10T06:57:02
https://spotistarehe.wordpress.com/2013/11/08/fally-ipupa-kiboko-yuko-booked-mpaka-mwakani/
[ -1 ]
MKOA WA SINGIDA WAWEKA MIKAKATI YA KUONGEZA UZALISHAJI WA ZAO LA ALIZETI KWA MWAKA 2018/2019 Serikali ya Mkoa wa Singida imeanza kuchua hatua katika kuhakikisha inaongeza maradufu uzalishaji wa zao la Alizeti ambalo ni zao mkakati la Mkoa huo kwa kuhakikisha upatikanaji wa mbegu bora katika msimu wa kilimo wa 2018/2019 ambazo zitasambazwa kwa Wakulima. Akifungua mkutano wa Mkakati wa Upatikanaji wa Mbegu Bora za Alizeti kwa Msimu wa 2018/2019, Mkuu wa mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi amesema moja ya mkakati wa Mkoa ni kuhakikisha Wakulima wote wa Alizeti wanapata Mbegu Bora na kwa wakati na kuondoa matumizi ya mbegu hasara. "Mkoa wa Singida kufuatana na hali ya hewa na kiasi cha mvua inachopata na aina ya udogo wake zao kuu na ambalo limeibeba Singida na linaihakikishia kuibeba Singida kwa mabadiriko makubwa sana ya kiuchumi na maendeleo ya wananchi wake ni zao la Alizeti" "Mkoa wa Singida umelima Alizeti kwa miaka mingi na ninawashukuru sana wananchi na ninawapongeza kwa namna ambavyo wamelipokea hili zao la Alizeti na wamekuwa wakilima na tunaona mabadiriko makubwa ya maisha ya Wananchi" "Leo tumeona tukutane na wadau wote wanaohusika na kilimo cha alizeti ili tuweze kufanikiwa katika kufanikisha kilimo cha alizeti kinafikia malengo na makusudi na matazamio ya Serikali yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwamba tuweze kuzalisha mafuta ya kutosha ya chakula ili kupunguza kile kiwango cha kuagiza mafuta kutoka nje, ni lazima sisi wakulima wa Alizeti kutoka mkoa wa Singida na wadau wote tuwe pamoja" "Mwelekeo wetu mkubwa ambao leo tunatoka nao hapa ni HAKIKISHO LA WAKULIMA WOTE WANAOLIMA ALIZETI KWANZA WANATAMBULIKA ILI kuwapatia mbegu bora" "Katika msimu huu ni lazima mbegu bora zipatikane na zimfikie kila mkulima ambaye atalima Alizeti msimu huu, hicho ndicho kilimo chenye tija na kilimo ambacho kitaitambulisha Mkoa wa Singida katika kilimo hiki cha alizeti" Amesema Dkt Nchimbi Dkt. Nchimbi ametaja mkakati mwingine ni kuhakikisha ununuzi wa Alizeti katika msimu ujao wa kilimo unafanywa na vyama vya Msingi vya Ushirika ili kuondoa au kupunguza tatizo la bei isiyo ya uhakika ya alizeti. Amesema uzalishaji wa Zao la alizeti ukiongezeka utawezesha Viwanda vilivyopo mkoani Singida kufanya kazi kwa mwaka mzima ambapo kwa sasa viwanda vingi vinafanyakazi katika kipindi cha miezi sita tuu kutokana na kukosa malighafi. Akizungumzia viwanda, Dkt. Nchimbi amesema kwa sasa mkoa una Viwanda 144 vya kusindika alizeti na vinahitaji zaidi ya tani 595,000 ili kukidhi mahitaji ya Viwanda hivyo. Mkuu wa Mkoa wa Singida pia amewasisitiza wakulima kuchangamkia fursa za Mikopo kutoka kwenye Taasisi za kifedha ikiwemo TADB, NMB, CRDB, TPB na Vision Fund. Kwa upande wao wakulima wa Zao la Alizeti mkoa wa Singida wameziomba Taasisi za kifedha kuwakopesha pembejeo hizo kupitia Taasisi zinazouza pembejeo hizo ili pindi watakapovuna na kuuza Zao hilo la Alizeti waweze kurejesha mikopo hiyo haraka kwani kwa sasa wakulima wengi hawana uwezo wa kununua pembejeo hizo kutokana na pembejeo hizo kuuzwa bei kubwa. Kwa upande wao Shirika lisilo la Kiserikali FAIDA MALI limeihakikishia Serikali ya mkoa wa Singida kuwa mbegu zote bora za alizeti zinazohitajika kwa Wakulima wote wanaolima Alizeti mkoani Singida zitapatikana kwa msimu huu 2018/2019 na pia wameahidi kujenga magodauni ili kuleta mbegu ndani ya mkoa ili mbegu hizo zimfikie kirahisi mkulima wa Alizeti. Mkutano wa Mkakati wa upatikanaji wa mbegu bora za alizeti msimu wa 2018/2019 mkoani Singida ulifanyika katika ukumbi wa mikutano wa RC Social na kuhudhuriwa na waheshimiwa wakuu wa Wilaya, wakurugenzi wa Halmashauri, Mkurugenzi wa Shirika la FAIDA MALI, Wawakilishi wa Makampuni ya wasindikaji wa alizeti, Wawakilishi wa Makampuni ya pembejeo, Wawakilishi wa Vyama vya Ushirika, Wataalamu kutoka Sekretarieti ya Mkoa na Halmashauri pamoja na wawakilishi wa Wakulima wa Alizeti.
2020-08-15T04:08:54
http://www.singida.go.tz/new/mkoa-wa-singida-waweka-mikakati-ya-kuongeza-uzalishaji-wa-zao-la-alizeti-kwa-mwaka-20182019
[ -1 ]
Bocco avunja rekodi ya Miaka 15 - KWATA UNIT SPORTS & ENTERTAINMENT Home simba Bocco avunja rekodi ya Miaka 15 Bocco avunja rekodi ya Miaka 15 SIKU chache baada ya Simba kutangaza ubingwa wa Ligi Kuu Bara, mshambuliaji na nahodha wa Simba, John Bocco amewashangaza wapenzi na mashabiki wa klabu hiyo baada ya kuandika rekodi ya pekee katika michuano ya Ligi Kuu Bara msimu huu. Bocco ambaye alijiunga na Simba mwanzoni mwa msimu huu akitokea Azam FC, amefanikiwa kuandika rekodi ya kutwaa makombe mawili ya ligi kuu akiwa nahodha wa timu mbili tofauti. Sasa anakuwa nahodha wa kwanza kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara akiwa na timu mbili tofauti, tangu zaidi ya miaka 15 iliyopita. Mara ya kwanza Bocco kutwaa ubingwa wa ligi kuu ilikuwa ni msimu wa 2013/14 akiwa na kikosi cha Azam FC ambapo alikuwa ni nahodha wa timu hiyo lakini pia msimu huu akiwa nahodha wa Simba. Hali hiyo imewashangaza vilivyo mashabiki wa Simba na kumuona Bocco kuwa ni mchezaji mwenye bahati ya pekee hapa nchini lakini pia akiwa nahodha pekee ambaye ameziongoza timu mbili tofauti kutwaa ubingwa wa ligi kuu tangu rekodi za zaidi ya miaka 15 iliyopita. Akizungumza nasi kuhusiana na suala hilo, Bocco alisema: “Kila kitu huwa ni mipango ya Mungu, namshukuru sana kwa hilo, lakini pia nawashukuru sana wachezaji wenzangu ambao tumekuwa tukipambana pamoja uwanjani kwa ajili ya kuhakikisha tunapata mafanikio hayo. “Hata hivyo, nichukue nafasi hii pia kuwashukuru viongozi wangu wote pamoja na mashabiki wote waliokuwa wakituunga mkono kwani ushirikiano wao huo ndiyo leo hii umenifanya nifikie mafanikio hayo lakini pia timu yangu.” Bocco mpaka sasa ameshaifungia Simba mabao 14. simba 14 May 2018 Previous articleMsimamo Makundi ligi ya Mabingwa Wa Mikoa 2018 Next articleUjumbe wa Omog na Mayanja baada ya Simba kubeba Ndoo VPL
2019-04-23T16:29:41
https://www.kwataunit.co.ke/2018/05/bocco-avunja-rekodi-ya-miaka-15.html/23833/
[ -1 ]
FUNDI WA KOMBO: STARS NA CAMEROON KATIKA PICHA LEO TAIFA, ILIKUWA FULL SHANGWE STARS NA CAMEROON KATIKA PICHA LEO TAIFA, ILIKUWA FULL SHANGWE Mbwana Samatta wa Tanzania akifunga bao baada ya kumlamba chenga kipa wa Cameroon, Efalla Komguep katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa baina ya timu hizo jioni ya leo, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Tanzania, Taifa Stars ilishinda 1-0. Beki wa Stars, Erasto Nyoni akimtoka beki wa Cameroon, Assou Ekotto Thomas Ulimwengu akiwa ameruka juu na kipa wa Cameroon, Efalla Komguep kuwania mpira wa juu Mbnwana Samatta akipambana na mabeki na kipa wa Cameroon Kiungo Frank Domayo wa Tanzania kulia akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Cameroon, Nyom Allan Wachezaji wa Tanzania wakishangilia bao lao lililofungwa na Samatta waliyemdandia Wa Mazembe, si wazembe; Thomas Ulimwengu akimpongeza mshambuliaji mwenzake wa TP Mazembe ya DRC, Mbwana Samatta kuifungia Stars leo Kikosi cha Cameroon leo Kikosi cha Stars leo Samatta akimfunga tela Ashu Clovis Thomas Ulimwengu akiwalamba chenga mabeki wa Cameroon Beki Shomary Kapombe akitia krosi huku beki wa Cameroon, Nyom Allan akiipisha Beki wa Cameroon, Aminou Bouba akimiliki mpira mbele ya kiungo wa Tanzania, Mwinyi Kazimoto Hapa ndipo Stars ilipopata penalti, beki Ngoula aliupitia mpira miguuni mwa Samatta akitokea nyuma ndani ya eneo la hatari Beki wa Cameroon, Assou Ekotoo akimiliki mpira mbele ya kiungo Mrisho Ngassa wa Tanzania Ekotto akimiliki mpira mbele ya Ngassa Beki Pierre Wome wa Cameroon akitafuta mbinu za kumpokonya mpira Samatta, huku Ekotto kulia akiwa tayari kutoa msaada
2017-10-18T03:37:02
http://fundirkombo.blogspot.com/2013/02/stars-na-cameroon-katika-picha-leo.html
[ -1 ]
Serikali kutoa elimu ya kwa Wadau wa Sanaa HomeNEWSSerikali kutoa elimu ya kwa Wadau wa Sanaa Serikali ya ahidi kuendelea kutoa elimu kwa wadau wa Sanaa nchini iliwaweze kutambua haki na thamani ya kazi zao kufuatia changamoto ya wadau hao kuuza kazi zao pamoja na umiliki. Kauli hiyo imetolewa leo Bungeni Jijini Dodoma na Naibu Waziri Juliana Shonza alipokuwa akijibu swali la msingi la Mbunge wa Kinondoni Maulid Mtulia (CCM) lililohoji serikali inamkakati gani wa kuwasaidia vijana wanaofanya kazi za sanaa na haki zao. “Serikali kupitia Bodi ya Filamu Tanzania na Baraza la Sanaa la Taifa imetoa elimu kwa wadau 5200 kuhusu masuala ya hakimiliki,hakishiriki,mikataba na makubaliano kupitia mafunzo ya kuwajengea uwezo ili waweze kuwa walinzi wa kwanza wa kazi na haki zao kwa kuingia mikataba yenye maslai,”alisema Shonza. Akiendelea kuzungumza wakati huo wa maswali na majibu bungeni Naibu Waziri huyo alitoa wito kwa wadau wote wa Sanaa kuhakikisha wanasajili kazi zao COSOTA ilikuzilinda na kuweka mazingira mazuri yatakayovirahisishia vyombo vya serikali kusimamia haki zao. Pamoja na hayo kulikuwepo na swali la nyongeza kutoka wa Mbunge wa Mikumi Joseph Haule (CHADEMA) lililohoji kuwa serikali inampango gani wa kuifanyia marekebisho sheria ya Hakimiliki na Hakishiriki ya mwaka 1999 inayosimamiwa na COSOTA kufuatia sharia hiyo kuonekana kuwa inamapungufu. Kufuata swali hilo la nyongeza Naibu Waziri huyo alifafanua kuwa kwasasa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo ipo katika mchakato wa kuihamishia COSOTA katika wizara hiyo kutoka Wizara ya Viwanda na Biashara kwani kumekuwepo na changamoto nyingi kutokana na taasisi hiyo kuwa nje ya wizara na mchakato huo utakapo kamilika serikali itajipanga kufanya marekebisho ya sharia ya Hakimiliki na Hakishiriki. Hata hivyo serikali iliendelea kutoa wito kwa wasanii wa kazi za filamu kuandaa kazi zenye ubora na kutumia njia ya mtandao kusambaza kazi zao kufuatia ukuaji wa teknolojia ili kuepuka changamoto iliyopo kwasasa ya kutembeza CD mkononi . Naibu Waziri Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mheshimiwa Juliana Shonza akijibu swali bungeni Jijini Dodoma leo Mei,14 2019 lililohoji Serikali ina mkakati gani wa kuwasadia vijana kupata haki stahiki katika kazi zao za Sanaa.
2019-08-20T08:23:49
https://news.bongoex.com/2019/05/serikali-kutoa-elimu-ya-kwa-wadau-wa.html
[ -1 ]
MATOKEO MAPYA: Kidato cha nne majanga tena | Radio Qiblaten - 103.6 fm MATOKEO MAPYA: Kidato cha nne majanga tena MATOKEO ya kidato cha nne ambayo serikali iliagiza yapitiwe upya na kufanyiwa uhakiki kwa vigezo vya miaka ya nyuma, yametolewa jana huku kukiwa na mabadiliko kidogo. Matokeo hayo mapya yalionyesha hali bado ni mbaya kwani ni watahiniwa 30,000 tu kati ya 240,909 waliopata daraja sifuri ndiyo walionufaika na ‘mbeleko’ ya serikali. Mabadiliko hayo yanaonyesha waliopata daraja sifuri wamepungua kidogo na sasa wamefikia 210,846. Matokeo yanaonyesha kiwango cha ufaulu kimeongezeka kwa asilimia 9 ambapo mara ya kwanza ilikuwa asilimia 34.5 wakati hivi sasa ni asilimia 43.08. Matokeo hayo mapya yanaonyesha kuwa takriban asilimia 61 ya watahiniwa walipata daraja sifuri awali sasa yamepungua na kuwa asilimia 56.9. Akitangaza matokeo hayo kwa waandishi wa habari jana jijini Dar es salaam, Waziri wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa, alisema hali bado ni mbaya. Kawambwa alisema kuwa jumla ya watahiniwa 480,029 walisajiliwa kufanya mtihani wa kidato cha nne mwaka jana wakiwemo wasichana 217,587 sawa na asilimia 45 .33 na wavulana 262,442 sawa na asilimia 54.67. Alisema watahiniwa waliofanya mtihani ni 458,139 sawa na asilimia 95.44 ambapo watahiniwa 21,890 sawa na asilimia 4.56 ya watahiniwa wote waliosajiliwa hawakufanya mtihani kutokana na sababu mbalimbali. Alibainisha kuwa matokeo ya watahiniwa wa shule 159,609 kati ya watahiniwa 397,138 waliofanya mitihani walifaulu ambapo wasichana walikuwa 60,751 na wavulana walikuwa ni 98,858. Kawambwa alisema ubora wa ufaulu kwa kuangalia madaraja waliyopata watahiniwa wa shule unaonyesha jumla ya watahiniwa 35,349 wamefaulu katika daraja la 1-111 ambapo kati yao wasichana ni 10,924 na wavulana ni 24,425 sawa na asilimia 43.08. Matokeo ya awali yaliyotangazwa yalionyesha kuwa kati ya watahiniwa 367,756 waliofanya mtihani wa kidato cha nne mwaka jana, waliokuwa wamefaulu kwa daraja la kwanza mpaka la tatu walikuwa 126,847 sawa na asilimia 6.4. Waliopata daraja la nne walikuwa ni 103,327 sawa na asilimia 28.1. Idadi ya watahiniwa waliotangazwa hapo awali na waliotangazwa sasa imeonyesha pia kuwa na tofauti ambapo awali waziri alisema kuwa jumla ya watahiniwa 35,349 wamefaulu katika madaraja 1-111 ambapo kati yao wasichana ni 10,924 na wavulana ni 24,425. Aliongeza kuwa katika matokeo hayo watahiniwa wa kujitegemea waliosajiliwa walikuwa 68,804 wakiwemo wasichana 34,605 sawa na asilimia 50.30 na wavulana 34,199 sawa na asilimia 49.70 ambapo alisema watahiniwa 61,001 wakiwemo wasichana 30,918 na wavulana 30,083 wamefanya mitihani wakati watahinmiwa 7,803 sawa na asilimia 11.34 hawakufanya mitihani. Alzitaja shule za sekondari zilizoshika nafasi ya kumi katika kundi la shule zenye watahiniwa 40 na zaidi ni shule ya wasichana St. Fransic iliyoko Mbeya, Marian Pwani (Wavulana) na Feza Boys Dar es Salaam. Shule nyingine ni Canosa, Feza Girls, Rosmini Girls, Anwarite Girls, St. Marys Mazinde Juu na Jude Moshono. Pia alisema matokeo ya kupangiwa shule watakazotakiwa waende yatafanyika mwezi Juni na wanafunzi wataanza kidato cha sita mwezi Julai. “Tumefanya hivyo, hatukuchakachua na matokeo haya ni halali kabisa hivyo ndiyo yatakayokuwa rasmi kutumika sehemu yoyote na si yale ya awali kama ilivyokuwa mwanzo,” alisema Waziri Kawambwa. Shule watakazopangiwa Kawamba alisema watahiniwa hao watapangiwa shule watakazotakiwa waende kuanzia kesho na wanafunzi wataanza kidato cha sita mwezi ujao. “Tumefanya hivyo hatukuchakachua na matokeo haya ni halali kabisa hivyo ndiyo yatakayokuwa rasmi kutumika sehemu yoyote na si yale ya awali,” alisema Kawambwa. Alisema pia baada ya kufanya kwa marekebisho hayo ufaulu umeongezeka kutoka asilimia 34.5 awali na sasa 43.08 huku akieleza kuwa mwaka 2001 matokeo yalikuwa juu kwa asilimia 53. Hata hivyo alisema kuanzia sasa utatumika mfumo mpya ambapo alama zote zitakuwa sawasawa na hakutakuwa na tofauti za alama katika masomo. Posted by Radio Qiblaten fm at 23:26
2017-10-17T20:32:28
http://radioqiblaten-fm.blogspot.com/2013/05/matokeo-mapya-kidato-cha-nne-majanga.html
[ -1 ]
TEA YASAINI MAKUBALIANO YA KUFADHILI MIRADI YA ELIMU NA KAMPUNI YA SUNSHINE GROUP LTD ~ K-VIS BLOG '; if(img.length>=1) { imgtag = ' Kaimu Mkurugenz Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) Graceana Shirima na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Sunshine Group Ltd Sun Tao wakibasilishana mikataba ya makubaliano wa kufadhili miradi mbalimbali ya elimu nchini mara baada ya kumaliza kuisaini leo jijini Dar es Salaam.
2017-10-18T09:15:46
http://khalfansaid.blogspot.com/2017/02/tea-yasaini-makubaliano-ya-kufadhili.html
[ -1 ]
Madiwani wa Chadema watwangana Moshi | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Madiwani wa Chadema watwangana Moshi Discussion in 'Habari na Hoja mchanganyiko' started by KIBE, Oct 25, 2012. KIBE JF-Expert Member MADIWANI wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika Manispaa ya Moshi, Kilimanjaro juzi walitwangana makonde huku kiini kikitajwa kuwa ni gari la Mstahiki Meya. kisa cha kupigana ni ubishi juu ya nani anastahili kupanda gari hilo la Meya ( mwananchi ..25/10/2012. MATOKEO YA M4C HAYO WANAGOMBANI KUPANDA GARI YA MEYA ...JE MKICHUKUA NCHI SI MTAGOMBANIA WOTE MKAKAE IKULU KIJOME JF-Expert Member Joined: Jun 7, 2012 Messages: 3,079 Hii nayo umeona ni story???Una lako jambo gamba mkubwa wewe....ptyuuuuuuuu!!!Tupa kuleee. MNYISANZU JF-Expert Member Messages: 7,056 Wasalimie kuzimu pamoja na fikra zako mfu. yaya JF-Expert Member KIBE said: ↑ Mkuu, hujawahi katika maisha yako kuona au hata kusimuliwa watoto wa baba na mama mmoja wakigomabana au hata kukipigana? MR. ABLE JF-Expert Member Acha unafiki wewe, hao madiwani walipoulizwa gazeti la Mwananchi, juu ya ugomvi huo walikana kwamba hapakuwa na ugomvi kati yao wala hakuna jambo kama hilo, hizo ni propaganda zenu magamba mkiongozwa na Mwenyekiti wenu wa madawani magamba Moshi Bw MWITA. Hata mfanyeje hamuwezi kuing'oa CHADEMA Moshi, kajaribuni kwenye miji mingine ila si Moshi. Ni kitu cha kawaida katika maisha ya binadamu,hata meno ya binadamu katika kinywa chake ugongana,na kugongana huko haina maana kuwa hayapendani! GeniusBrain JF-Expert Member Messages: 4,321 He he heeeeee kumekucha , waache wafu wawazike wafu wenzao. Hapo bado hawajapewa nchi, siku wakipewa nchi watagombea mpaka hazina ya nchi na kugombea rasilimali za nchi. Tuliisha sema cdm iko kwa maslahi binafsi na si ya nchi, kalagabaho ! MR. ABLE said: ↑ Kwa kawaida ukiisha muona mtu anabisha mpaka povu la mdomo linajaa, basi ujue habari hiyo ni ya kweli, ndivyo ulivyo fanya ww sasa hata mkikata ukweli ndo huo hakuna kuficha siri hapo limesanuka..tatizo lenu mnajiona kuwa CDM ni chama safi kuna wote vimeo tu ..kweli muda huu mnagombania kupanda gari la meya???dahh.sa hii nchi mtaweza kuingoza kweli ninyi watu si mtaaja ikulu sasa kila mtu atataka ake hapo..... kubalini ukweli CDM... SAGANKA JF-Expert Member Msikiti wa Kwamtoro Kariakoo haupiti mwezi mzima bila kuchapana.Tena wakati wanachapana ukifika huwezi kugundua nani sheikh,imamu,ustadhi wala muumini wa kawaida.sembuse madiwani. Yani humu ni usawa tu habari zote tunaweka ..mana mnakuwaga mbelembelee kuweka za ccm.... Sasa ngoma hiyo mnagombania gari ya meya mnatutia mshaka ninyi watu cdm... Mezeni nzima nzima hiyo.. Kalunguine JF-Expert Member GeniusBrain said: ↑ washaanza kuvimbiwa na vipesa vya halmashauri,eeeeeeeeeeeee Bwana Mungu Muumba wa mbingu na nchi,iepushe "inji" hii na hawa walafi na mafisadi CHADEMA jogi JF-Expert Member Messages: 19,335 Likes Received: 12,801 wanaonyesha wana uwezo mkubwa sana wa kusimamia wanachoamini kuwa ni sahihi, nawapenda sana chadema kwa sababu katika uongozi wao hawaonyeshi kuwa na kolabo ili kutufilisi, jambo ambalo ni faida kwa taifa. hongera madiwani kwa kutushirikisha kusimamia fikra kwa stail hiyo KIPAMBANUZI; hakuna mwana ccm hata mmoja anayehoji uhalali wa ccm kutumia magari ya serikali kwa shughuli za chama. wote wanakubaliana kuihalifu sheria. wana ccm wote wanakubaliana kwa vitendo kufisadi mali za taifa. hakuna kitu hawa CDM wanajipambanua et tunaweza ongoza nchi hakuna kitu wanafiki tu..MWANZA TAYARI IMEWASHINDA NA SI MUDA MREFU 2015 HAIFIKI MOSHI NAKO KUTAWASHINDA .. masomo JF-Expert Member hili ni ligamba. Halmashauri za moshi na mwanza ndio ilikuwa kipimo tisho cha cdm kweli wanaweza ongozi hii nchi au la..tumewaa hizo halmashauri lakini zimewashinda ...sasa kama kasehemu kadogo mnagombana hivyo sa mkipewa nchi... Kijapangeni upya cdm huo ndo ukweli.. ccm nao wamekuwa kama wapinzani,wanatafuta tu madhaifu ya cdm badala ya kutakeleza ahadi. malofyo Member yaya said: ↑ Mkuu, hujawahi katika maisha yako kuona au hata kusimuliwa watoto wa baba na mama mmoja wakigomabana au hata kukipigana? njaa ndizo zinawasumbua, wanajua sana anayepanda gari la meya hapa moshi mara nyingi ukishuka Meya hakuwachi patupu, angalau watoto wanaenda choo. Messages: 9,329 huyu jamaa ni mpuuzi. Ameikatisha hiyo habari ili wajifurahishe na magamba wenzie. Hata hivyo haitawasaidia sana. Chama wanachokishabikia kimeshakufa zamani! Hebu angalieni video hii Topics 1,119,670 Posts 25,152,964
2018-01-23T08:45:02
https://www.jamiiforums.com/threads/madiwani-wa-chadema-watwangana-moshi.344223/
[ -1 ]
MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2013-2014 HAYA HAPA. ~ g sengo Sunday, February 23, 2014 MICHEZO No comments MATOKEO YA WATAHINIWA WALIOFANYA MTIHANI OKTOBA MWAKA JANA HAYA HAPA CHINI. BOFYA LINK HIYO HAPO CHINI KUYATAZAMA. WAZIRI WA KILIMO DKT.TIZEBA ATEMBELEA KIWANDA CHA MICRONIX-NEWALA. - *Waziri wa Kilimo Dkt Charles Tizeba ametembelea kiwanda cha kubangua Korosho cha Micronix System Limited kilichopo Wilaya ya Newala Mkoani Mtwara na k... HII NDIYO SABABU ILIYOMUWEKA PEMBENI KWA MUDA MSANII NURU THE LIGHT - **Asema suala la ndoa kwa sasa kwake bado analitafakari...* *Na Said Mwishehe,Globu ya jamii* *UNAPOAMUA kuzungumzia au kutaja majina ya wasanii wa kike... Korea Kusini yasema iko macho kwa kaskazini - Korea kusini imesema itashughulika na Korea kaskazini kwa kile alichokiita '' Macho ya wazi'' baada ya kukamilika mpango wa kuweka timu moja ya pamoja kati...
2018-01-18T07:52:13
http://gsengo.blogspot.fr/2014/02/kuelekea-kombe-ladunia-brazil-yazindua.html
[ -1 ]
Lwimbo 72—Tuyukanyei Bubine bwa Bulopwe | Lwimbo lwa Bene Kidishitu TANGA MU Angele Aukan Batak (lwa mu Karo) Batak (lwa mu Simalungun) Batak (lwa mu Toba) Biak Damara Dayak Ngaju Dingala Drehu Esan Falanse Javanais Kabuverdianu Karen (lwa mu S'gaw) Kiafrikaans Kiaka Kiakoli Kialameni Kialbane Kialema Kialtai Kiamarike Kiaymara Kiazeri Kiazeri (kya sirilike) Kibachkir Kibasa (kya mu Kamelune) Kibaule Kibemba Kibikole Kibilgare Kibishlama Kibulu Kichichewa Kichin Haka Kichitonga Kichitumbuka Kichiyao Kichol Kichuuk Kicitonga(lwa mu Malawi) Kidangme Kidanwa Kidwala Kiedo Kiefik Kieshipanyole Kieshitoni Kiewe Kiferoye Kifidji Kifinwa Kifon Kifulfulde (kya mu Kamelune) Kiga Kigalwa Kigbo Kigokana Kiguarani Kigun Kihausa Kiherero Kihiligaynone Kihindi Kihiri Motu Kihongrwa Kiiban Kiibinda Kiikrenye Kiiloko Kiindonezi Kiislande Kiisoko Kiitali Kijampani Kijeorji Kikabye Kikachine Kikachokwe Kikalunda Kikamba Kikambodje Kikana Kikaonde Kikatalana Kikazak Kikechua (kya mu Ankash) Kikechua (kya mu Ayakusho) Kikechua (kya mu Bolivi) Kikechua (kya mu Kuzko) Kikhosa Kikishe Kikongo Kikore Kikosrae Kikreole kya Haiti Kikreole kya mu Morise Kikreole kya mu Seishele Kikroate Kikuyu Kikwangali Kikwanyama Kilahu Kilao Kileton Kilituani Kilomwe Kiluba Kiluganda Kilukonzo Kilumani Kilunda Kilunyankore Kiluo Kilusi Kiluvale Kimakua Kimalagashe Kimalate Kimalay Kimalayalam Kimam Kimambwe-Lungu Kimapudungu Kimarshale Kimasedwane Kimaya Kimazateke kya mu Huautla Kimbundu Kimedumba Kimikse Kimikstek (kya mu Guerrero) Kimore Kimyama Kinahuatl (kya Bonso) Kinahuatl (kya ku Kungala kwa Puebla) Kinahuatl (kya mu Guerrero) Kinahuatl (kya mu Huasteka) Kindau Kindebele Kindebele (kya mu Zimbabwe) Kinepali Kinerlande Kingabere Kingidiki Kiniase Kinorveje Kinyaneka Kinyanja Kinyarwanda Kinzema Kioromo Kiosete Kipalau Kipangasina Kipapiamento (kya Kirasao) Kipeleshia Kipidjin kya mu Kisanga kya Salomo Kipolone Kipolotige Kipolotige (kya Portigale) Kiponape Kirarotonga Kirgiz Kiribati Kirundi Kisamoa Kisango Kisaramakan Kisebuano Kisena Kisepedi Kiserbi Kiserbi (kya mu Loma) Kishinwa Kantoné (Kipēla) Kishinwa Kantoné (kya Kala) Kishinwa Mandaren (Kipēla) Kishinwa Mandaren (kya Kala) Kishona Kishuar Kisi Kisidama Kisilozi Kisinhala Kislovene Kisonge Kisranantongo Kisuedwa Kiswahili Kitagaloge Kitahiti Kitaraskane Kitatare Kitchouvashe Kitelugu Kitetela Kithai Kitigrinya Kitirk Kitiv Kitojolabala Kitok Pisine Kitotonake Kitshwa Kitsonga Kitswana Kituvalu Kitwi Kitzeltale Kiumbundu Kiurhobo Kivenda Kivietname Kiwalise Kiwaray-Waray Kiwolaita Kiyapese Kiyoruba Kizapotek (kya Isthme) Kizulu Kongo Krio Kriole kya mu Belize Kurde Kurmanji (lwa mu Caucase) Kyalabu Ludimi lwa Tumama lwa mu Amerika Ludimi lwa Tumama lwa mu Brezile Mingrelian Ngangela Ngiemboon Nyungwe Pidgin (West Africa) Pidgin (kya mu Cameroon) Pidgin ya mu Nijeria Quichua (Tena) Quichua (lwa mu Chimborazo) Quichua (lwa mu Imbabura) Quichua (lwa mu Pastaza) Ronga Sangir Sesotho (ya mu Afrika wa Kunshi) Sesotho (ya mu Lesotho) Soundané Tetun Dili Tshiluba Yemba LWIMBO 72 Tuyukanyei Bubine bwa Bulopwe (Bilongwa 20:20, 21) 1. Kyaba kimo twabudilwe Kuyuka dishinda dine. Yehova ko kuleta Bubine bwenda bweñenya. Twashilula ne kulonga Kiswa-mutyima kya Tata, Kutumbija Yehova, Dijina dyandi dikatakata. Tusapwila bantu bonso Mu mashinda ne ku mobo, Twibakwasha’mba bamone Ne kukūlwa na bubine. Tuningei kusalaja Mutōtelo wa Yehova, Twingidile mwa kimo Yehova Leza’nka ne ku mfulo. (Tala ne Yos. 9:9; Isa. 24:15; Yoa. 8:12, 32.) Tuyukanyei Bubine bwa Bulopwe (Lwimbo 72)
2019-05-20T21:43:28
https://www.jw.org/lu/bilupwilwe/minjiki-%C3%B1imbo/imbai-na-nsangaji/72-tuyukanyei-bubine-bwa-bubine/
[ -1 ]
Lipumba Atoa Onyo Kwa Wanaopora Mali za CUF na Kuhama nazo ACT- Wazalendo | MPEKUZI Lipumba Atoa Onyo Kwa Wanaopora Mali za CUF na Kuhama nazo ACT- Wazalendo Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amesema chama hicho hakitawavumilia wanaopora mali za chama hicho na kuzihamishia Chama cha ACT Wazalendo. Akizungumza na wandishi wa habari leo Jumanne Machi 19, Jijini Dar es Salaam, Profesa Lipumba amesema hatua hiyo ni utapeli na wizi wa wazi, hivyo chama chake kitafuata utaratibu wa kisheria kuzirejesha. “Hili ni jambo la kisheria, mali za chama zitaendelea kuwa za chama, hao wanaobadili rangi majengo ya chama ninawaambia, akili za Maalim Seif wachanganye na zao, kwa sababu jinai itawahusu wao binafsi na huyu maalim hatakuwa nao,” amesema Profesa Lipumba. Aidha, Profesa Lipumba amesema kuna watu wenye fikra nzuri ambao walikuwa wanaungana na Maalim Seif lakini hawawezi kubadilisha maamuzi yao na kumfuata ACT. “Nataka kuwambia wale wote ambao mlikuwa sambamba na Maalim Seif wenyeviti, madiwani, wabunge na wanachama wa CUF tujumuike na tuwe pamoja katika kukijenga chama chetu,” amesema.
2020-07-07T19:53:38
http://www.mpekuzihuru.com/2019/03/lipumba-atoa-onyo-kwa-wanaopora-mali-za.html
[ -1 ]
Barakah The Prince alia kufanyiwa hujuma akose views YouTube | EYOPAH Barakah The Prince alia kufanyiwa hujuma akose views YouTube Msanii wa muziki wa Bongo Flava, Barakah The Prince amedai kuwa YouTube account yake inafanyiwa mchezo mchafu ili ishusha idadi ya views. Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Sometimes’ ameiambia The Playlist ya Times Fm kuwa views za ngoma yake hiyo zimekuwa zikishuka na kupanda na hata muda mwingine comment kufutwa. “Kwa upande wa YouTube kuna mchezo mchafu unafanyika kwa sasa hivi, kwa mfano wimbo wangu kama jana ulikuwa ni namba saba kwenye trending ukiangalia video za watu wengine ni namba 40 lakini views wake ni milioni 4.4, nyingine inasoma namba 10 ukiangalia views zake ni laki 5.8 lakini mimi ambayo nina views elfu 20 ninasoma namba saba kwa nini iwe hivyo?” alihoji. “Kuna mchezo mchafu unafanyika wa ku-block views wangu hata Mx kaniambia kuna mchezo mchafu unafanyika” ameongeza. Amesema kuwa kuna baadhi ya nchini ikiwemo China mashabiki wake wamekuwa wakilalamika haiwapati video yake lakini video za wa wasanii wengine zinapatikana. Hata hivyo ameweka wazi kuwa watu wenye access ya kuendesha account yake hiyo ni Mx Carter na Seven Mosha wa RockStar4000 kutokana na makubaliano ya hapo awali, pia ameeleza kuwa yupo katika utaratibu wa kufuta account hiyo na kufungua nyingine. Ngoma ya Barakah ‘Sometimes’ video yake ilitoka October 28 mwaka huu lakini hivi sasa haipatikani YouTube (imeondolewa). Wavulana 2 wasafiri kilomita 80 chini ya basi Chin... Makamu wa Rais Samia Suluhu amuwakilisha Rais Magu... Mkufunzi wa Sevilla aliyepatikana na saratani kufa... Mhe. Kikwete atoa sababu kutohudhuria kuapishwa kw... Mabasi ya Mwendokasi Dar Yageuka shule kwa nchi za... IGP Sirro Atembelea Bandarini Kufanya Ukaguzi wa M... Nape Nnauye Atoa Neno Kwa Vyama vya Upinzani Baada... Serikali ya Zimbabwe Yatangaza siku ya kuzaliwa Ra... Agizo la Rais kuhusu hospitali nchini latekelezwa ... AC Milan yamtimua kocha Montella na kumpa usukani ... Ulinzi waimarishwa Nairobi Kenyatta akitarajiwa ku... Hatari yaongezeka nchini Indonesia kwa mlima wa vo... Ufaransa yaichapa Ubelgiji, yashinda kombe la Davi... Wanasayansi: Ziwa Victoria lipo hatarini kukauka Ufaransa yataka Libya kujadiliwa na UN Serikali yawafuata Marekani wanaoshikilia Bombardi... Mhasibu feki atiwa mbaroni kwa wizi wa Tsh. 873,00... Mwanafunzi Wa Chuo Cha Uhazili Tabora Akutwa Ameji... Serikali yaipa onyo TANESCO Kukatika Kwa Umeme Bil... Rais Magufuli Amteua Rutageruka Kuwa Mkurugenzi Mk... Mugabe Akubali Yaishe.....Ang'oka Rasmi Majina ya wanasoka wanaowania tuzo ya mchezaji bor... Taasisi iliyotangaza kutoka mikopo kwa wanafunzi y... Rais Magufuli Atoa Maagizo Mazito Kwa Waziri wa Uj... Lema ataka wabunge wa CUF ya Lipumba waondolewe Bu... Trump na Putin 'waafikiana kuwashinda Islamic Stat... Taarifa Ya Waziri Wa Afya,ummy Mwalimu Ya Mwezi Se... Rais Magufuli Na Museveni Walaani Mahakama ya Kima... Mbunge Nape Nnauye akosoa miradi ya serikali ( VI... Lowassa, Mbowe kuongoza kampeni za udiwani Chadema... Kagasheki amvaa Kigwangalla kumhusisha na rushwa Mahakama upande wa Watoto yatupilia mbali shtaka l... Wabunge Cuf Washinda Maombi Ya Zuio Dhidi Ya Lipum... Walichoongea Rais Magufuli na Rais Museveni nchini... Mjadala wa Tundu Lissu Waibuka Bungeni Bomu Lalipuka na Kuua Watano Geita Waziri Aipinga Kauli ya Rais Magufuli Mwaka 2018 nataka na mimi niitwe Mama – Gigy Money... Spika Ndugai aipa kibano serikali kuhusu mikopo ya... Hali ya kisiasa si shwari Catalonia Donald Trump amuonya Kim Jong-Un moja kwa moja Wachezaji wa Marekani wakamatwa kwa wizi China Kesi Mbili Zawasilishwa Mahakamani Kupinga Ushindi... Waziri Mkuu awataka Mawaziri na Naibu Mawaziri waj... Maamuzi ya Waziri Mpina Baada Ya Kushuhudia Mizoga... Serikali yatoa Hekta 271,882.86 kwa Ajili ya Shugh... Rais Magufuli Aipongeza TANROADS Kuokoa Bilioni 4.... Polisi wafanya upekuzi katika ofisi za ACT Wazalen... Magufuli awafuta maafisa walioshindwa kujibu kuhus... David Moyes ndiye kocha mpya wa West Ham Nyalandu Amtembelea Lowassa Ofisini Kwake ACT Wazalendo wagoma kupekuliwa, Polisi wamfuata K... Waziri Wa Afya Azungumzia Upungufu wa Dawa Nchini Jeshi la Polisi Laichukua Simu ya Zitto Kabwe Waliokosa mikopo watakiwa kukata rufaa Nape: CCM ikikataa kuambiwa ukweli ndiyo mwanzo wa... Taarifa Kwa Umma Kuhusu Shughuli Za Mkutano Wa Tis... Dk Kigwangalla afuta vibali vipya vya uwindaji vil... Mkufunzi wa West Ham abwaga manyanga Kane na Winks waondolewa kikosi cha England Khune huenda akakosa mchezo wa kufuzu kombe la dun... Mwanamke afutwa kazi kwa kuuonyesha msafara wa Tru... Saudia yadai Iran ilihusika katika shambulio la ko... Trump ziarani Korea kusini Zitto Kabwe Kufungua Kesi Mahakamani Kupinga Kuwa ... Taarifa Muhimu Toka Kurugenzi ya Mawasiliano ya Ra... Hakimu Atoa Onyo.....Atishia Kuifuta Kesi ya Vigog... Rais Magufuli Kufanya Ziara ya iku 3 Nchni Uganda Hatima ya Zitto Kabwe na Kubenea Kutimuliwa Bungen... Kauli ya Msemaji Mkuu wa Serikali Kuhusu Ndege za ... Serikali Yatangaza Kuongeza Mishahara ya Wafanyaka... NBS Yatoa Onyo Matumizi Mabaya ya Takwimu za Taifa... Wabunge Waeleza Jinsi Walivyo na Hofu Kwa Sasa Kui... Watu 26 wauawa kwa kupigwa risasi kanisani Kigwangalla amtumbua Mkurugenzi wa wanyamapori wa ... Ufafanuzi wa Benki Kuu ( BOT ) kuhusu kushuka tham... NEC: Hatuna taarifa ya Nyalandu Wanawake wapigwa marufuku kupiga ngoma Burundi Chama cha siasa ni itikadi – Mh. Nape Akaunti ya Twitter ya rais Trump ''yapotea kwa mud... Patrice Evra ampiga shabiki ‘karatee’ apewa kadi y... Tanzania yathibitisha kucheza michuano yote ya Cha... Zitto awaomba Watanzania waichangie ACT- Wazalendo... "Mimi siongei na watoto" - Nay wa Mitego ''Ugonjwa unaodaiwa kuwaua watoto wengi Afrika'' Aguero avunja rekodi huku ManCity wakiicharaza Nap... Wanaharakati wa wanyama wakosoa uchomaji wa kuku T...
2019-03-24T13:32:44
https://www.eyopah.com/2017/11/barakah-prince-alia-kufanyiwa-hujuma.html
[ -1 ]
wavuti: 08/29/15 Ufa huu kwenye daraja Wami Bunge la Watoto S/M Oysterbay Manyara warudisha "chokoraa" shule Mtangazaji wa Kipindi cha Tafakari Time, Benedicta Mrema akizungumza na Abdallah Waziri na kumkabidhi mchango wa shilingi 57,800 aliochangiwa kwa ajili ya kumuwezesha mahitaji ya shule. Wajumbe wa Bunge la watoto Oysterbay Manyara akishangilia hoja. Tumeshirikishwa taarifa hii na Krantz Mwantepele Nyumbani na Diaspora: Prince Katega - Kongamano la Biashara na Viwanda kwa Diaspora Burmingham LIVE online uzinduzi wa kampeni za UKAWA kwa Uchaguzi Mkuu 2015 Unaweza kufuatilia kwa sauti kupitia CloudsFM kwenye TuneIn au UStream Mjumbe akamatwa akinakili taarifa za shahada za wapiga kura Mjumbe wa shina namba 20 wa mtaa wa Ulongoni A, katika Kata ya Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam, amekamatwa baada ya kukutwa akiandikisha majina na namba za vitambulisho vya kupigia kura. Bunge la Watoto S/M Oysterbay Manyara warudisha "c... Nyumbani na Diaspora: Prince Katega - Kongamano la... LIVE online uzinduzi wa kampeni za UKAWA kwa Uchag... Mjumbe akamatwa akinakili taarifa za shahada za wa...
2018-11-16T13:43:14
https://www.wavuti.com/2015_08_29_archive.html
[ -1 ]
SERIKALI KUTOA AJIRA MPYA 71, 496 HIVI KARIBUNI ~ Blogu ya Wananchi SERIKALI KUTOA AJIRA MPYA 71, 496 HIVI KARIBUNI “Kwa sasa tayari wapo watumishi wameshahojiwa na kuchukuliwa maelezo yao polisi na upelelezi utakapokamilika watachukuliwa hatua mbalimbali za kisheria, ikiwemo kufikishwa mahakamani… Tunakamilisha ushahidi na tutawatangazia tutakapokamilisha,”alisema. Alisema waligundua kwamba kuna maofisa utumishi na wahasibu ambao siyo waaminifu, badala yake walikuwa wakielekeza fedha kwa ndugu zao na miradi yao na wengine walishastaafu lakini bado majina yao yalikuwa yakiendelea kupokea mishahara wakati walitakiwa kuondolewa kwenye mfumo.Alisema kwa kipindi cha Machi mosi hadi Agosti 20 mwaka huu, watumishi hewa waliogundulika ni zaidi ya 16,127 na kuisababishia serikali hasara ya mabilioni ya fedha. Kwa kipindi cha Agosti pekee watumishi hao hewa wangelipwa mishahara wangeisababishia serikali hasara ya zaidi ya Sh bilioni 16. “Uhakiki huu ni endelevu na tumegundua changamoto kubwa katika usimamizi wa mishahara ni uadilifu kwa watu waliokasimiwa madaraka. Maofisa Utumishi, Maofisa Utawala na Wahasibu wamepewa madaraka lakini wengi wao siyo waaminifu, hivyo kwa sasa tumeweka uwajibikaji kwa waajiri,” alisema.Aidha alisema wanaufanyia mfumo wao maboresho zaidi ili uweze kuchakata taarifa nyingi zaidi ambapo pia sekta ya mishahara imeshushwa katika ngazi za chini zaidi hasa katika sekta za elimu na afya ambazo zimekutwa na watumishi hewa wengi zaidi ili waweze kuwa na taarifa za mtumishi mmoja mmoja.Alisema upo muongozo ambao fedha za serikali zinaporejeshwa zinapitia hazina na kusisitiza kwamba wataendelea kuhakikisha wanasimamia fedha zote ambazo zilichukuliwa serikalini kinyume na utaratibu na isivyo halali zinarudishwa kwa mfumo sahihi. “Baada ya kukamilisha mchakato huo, hatua nyingine zitaendelea… Hii ni neema kwa waliomaliza vyuo, cha msingi wavute subira maana tutatoa ajira 71,496 kwa mwaka huu wa fedha na hatukuzifuta ajira. "Nawashauri vijana wasijiingize kwenye makundi yasiyofaa wasubiri ajira zinakuja,”alisema. Katika hatua nyingine, Kairuki alisema, wamepokea malalamiko zaidi ya 200 kutokana na ukiukwaji wa sheria ya maadili ya viongozi wa Utumishi wa Umma ambayo inamnyima mtumishi kutotumia madaraka yake vibaya. “Katika malalamiko hayo 142 yanahusu sheria ya maadili. Sekretarieti ya Maadili imefanya uchunguzi wa awali na malalamiko 12 yataanza kufikishwa Baraza la Maadili na hatua mbalimbali zinaweza kuchukuliwa ikiwemo kushushwa vyeo au kuachishwa kazi,”alisema. “Mtu yeyote ambaye anatoa nyaraka za serikali na siyo mlengwa au anayetoa nyaraka ambayo imewekewa zuio kwa mujibu wa sheria ni kosa la jinai na hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yake. Tunawasisitiza watumishi wa umma kuhakikisha wanazingatia sheria hizo na mwongozo wa utoaji nyaraka na kumbukumbu za taarifa za serikali,”alisema.
2017-04-30T09:07:12
http://www.williammalecela.com/2016/08/serikali-kutoa-ajira-mpya-71-496-hivi.html
[ -1 ]
VIDEO - Vimombo Vya Wasanii Wabongo | JamiiForums | The Home of Great Thinkers VIDEO - Vimombo Vya Wasanii Wabongo Discussion in 'Entertainment' started by Ng'wanza Madaso, Sep 23, 2009. Nyota wa filamu za Bongo, Steven KanumbaTuesday, September 22, 2009 4:04 PM Libeneke la uwezo wa wasanii wa Bongo kutema ngeli limeendelea tena na mwanadada Sporah, Mtanzania anayeendesha shoo yake kwenye televisheni moja ya Uingereza ametoa video za wasanii wa kibongo kama vile Kanumba, AY, Mwana FA wakitema ngeli walipokuwa kwenye ziara zao za kisanii nchini Uingereza. Baada ya watu na baadhi ya vyombo vya habari vya Bongo kukiongelea na wengine kukiponda sana kimombo alichotema nyota mashuhuri wa Filamu za Bongo, Steven Kanumba wakati alipoalikwa kwenye Big Brother nchini Afrika Kusini, mwanadada Sporah Njau, mbongo anayeendesha shoo yake inayojulikana Sporah Show nchini Uingereza ametoa video hizi kuonyesha kwamba Kanumba hajachooka kiiivyo kwenye kutema ngeli kama alivyoongelewa na wabongo. Sporah ametoa video za wasanii wa Bongo kama vile Ay, Mwana FA, Ali Kiba pamoja na Kanumba mwenyewe ambao aliwaalika kwenye shoo yake jijini London wakati walipofanya ziara zao za kisanii nchini Uingereza. Ali Kiba hakutaka tabu aliamua kuongea kiswahili kuepusha wadau msimnange sana na kiinglish chake. Angalia video hizo chini. Baada ya kuangalia video usikose kukipigia kura kipindi cha Sporah Show ambacho muandaaji wake Sporah Njau amechaguliwa kuwa mmoja wa watakaowania tuzo ya Best TV Presenter katika tuzo za BEFFTA Awards za nchini Uingereza ambazo hutolewa kwa watu weusi wanaotamba kwenye fani mbali mbali za muziki, filamu na fani nyinginezo kibao. Kumpigia kura Sporah click link hii chini, baada ya kuandika jina na email yako nenda kwenye kijumba cha Category chagua Best TV Presenter halafu nenda kwenye kijumba cha chini cha Nominee mchague Sporah Njau. GONGA HAPA KUMPIGIA KURA SPORAH VIDEO - Kanumba akilalamika jinsi wabongo wanavyomsema vibaya kwa sababu ya kimombo chake VIDEO - Kanumba akitema ngeli nchini Uingereza Part I VIDEO - Kanumba akitema ngeli nchini Uingereza PART II VIDEO - Kanumba akitema ngeli nchini Uingereza Part III VIDEO - Mwana FA na AY wakitema ngeli nchini Uingereza VIDEO - Ali Kiba hakutaka tabu aliamua kutema kiswahili nchini Uingereza Video zake ziko chini Last edited: Sep 23, 2009 Mmhm.. Mbona hakuna links yoyote ya video hapo? [video=youtube;4p2QYLlpdP4]http://www.youtube.com/watch?v=4p2QYLlpdP4[/video] [ame="http://www.youtube.com/watch?v=kgSqhBi-DLc"]Sporah Show - AY & Mwana FA[/ame] Mmhm.. Mbona hakuna links yoyote ya video hapo?Click to expand... Nimekuwekea hapo juu kaka umeziona? Tusiwakatishe tamaa wasanii wetu. Tuwapeni moyo hata kama wanafanya vibaya,hata kama hawaongei vizuri kimombo tusiwakatishe tamaa. Samahani Moderator, nimezichanganya parts za Sporah na Kanumba kama kuna uwezekano naomba unipangie vizuri ukianzia na Part 1,2,3 ili ziwe na mpangilio mzuri,kwani huwezi anzia part 3 ukamalizia na part 1. Natanguliza shukurani. Nimeziweka hapa kwa makusudi makubwa ili tuendelee kuwapa moyo wasanii wetu si kuwakatisha tamaa. !!!!!????Click to expand... Ndio nini, sema usikike. Nimekuwekea hapo juu kaka umeziona?Click to expand... Naam Kamanda! Naendelea kuziangalia... Enzi hizo tulipo kuwa form 3 walikuwapo mabingwa wa Kiswahili cha kuongea na kuandika. Cha ajabu sikuona mtu akichekwa kwa vile kiswahili chake ni nyanya. Ni ajabu sana kuona watu na shule zetu tunacheka wasanii wanaojieeleza kwa kiingereza cha kusuasua. Kiingereza siyo lugha rasmi ya mawasiliano Tanzania, Kiingereza ni lugha tunayo lazimika kuongea pale tutakapo pata elimu ya juu au katika biashara. Kwa wastani wasanii hawa wanaongea kiingereza average kwa watanzania wa kawaida na hata wale walo kaa UK na US kwa muda mrefu na kuishia kujifunza kiingereza cha matusi na kile cha mitaani. Kwa wastani wasanii hawa wanaongea kiingereza average kwa watanzania wa kawaida na hata wale walo kaa UK na US kwa muda mrefu na kuishia kujifunza kiingereza cha matusi na kile cha mitaani.Click to expand... ni kweli,halafu mbona poa tu wameeleweka kabisa,naona kanumba kule south alichachawa tu lakini kingereza chake wala si kibaya kiivyo Kaka nimekusikia na kukuelewa na kukusoma vizuri sana, hicho ndicho watu wanatakiwa kuelewa na sio kuwakatisha tamaa hawa wasanii wachanga ambao bado wanahitaji malezi yetu na msaada wetu ili waweze kufikia malengo waliojiwekea kwa faida yao na Taifa kwa ujumla. ni kweli,halafu mbona poa tu wameeleweka kabisa,naona kanumba kule south alichachawa tu lakini kingereza chake wala si kibaya kiivyoClick to expand... Kwa kweli amejitahidi sana,kaeleweka na kaongea kwa kujiamini. Iddi Amini alikuwa na kiinglish cha ajabu lakini alieleweka mbele ya madaktari, mikutano ya kimataifa na wananchi wake. Acheni kumdekeza Kanumba. Kanumba wee Ngosha acha kulialia uonewe huruma. Nenda kafanye hizo KOZI hasa kuongea na amini nakuambia kila sehemu utakayofika, hutahitaji kujichekeshachekesha na kusema YOU KNOW nyingi. Unafahamu Kiingereza siyo siri ila hujafanya maongezi mengi ya Kuongea. Tafuta shule na zipo kibao au hata waalimu wa kukufundisha watakufuata hata kwako so longer you pay them. Muone huyu dada, tena alikuwa binti mdogo saana wakati anafanya maajabu haya. Kilikuwa hakifahamu kabisa Kiingereza maana kinatoka Canada ya Wafaransa. Alijifungia ndani miaka miwili na alipotoka, huwezi amini alikuwa hafahamu KABISAA English. Kanumba na wenzako, tafuteni shule mpate mazoezi ya kuongea. Wengine nao watafaidika kupata kazi na nyinyi mtaweza kuimba, kuongea kwa Kiingereza kama Waingereza wenyewe. Kila kitu chawezekana dunia ya leo kama mna nia. [ame]http://www.youtube.com/watch?v=Nk6LV5pC13Q[/ame] http://www.youtube.com/watch?v=Nk6LV5pC13QClick to expand... Kaka hapo pekundu hahitaji kuwa kama mwingereza wakati yeye ni Mtanzania,hapo umekosea. Marais wa Ufaransa,Libya,Russia,China na wengineo wametumia Lugha zao ku address U.N GENERAL ASSEMBLY kwa lugha zao na nahisi kuna wengine hata kiingereza hakipandi lakini hakuna aliyewazomea au kuwaambia kwa nini wasiwe kama Waingereza?. Jivunie Lugha yako mengine ya baadae Kaka hapo pekundu hahitaji kuwa kama mwingereza wakati yeye ni Mtanzania,hapo umekosea. Marais wa Ufaransa,Libya,Russia,China na wengineo wametumia Lugha zao ku address U.N GENERAL ASSEMBLY kwa lugha zao na nahisi kuna wengine hata kiingereza hakipandi lakini hakuna aliyewazomea au kuwaambia kwa nini wasiwe kama Waingereza?. Jivunie Lugha yako mengine ya baadaeClick to expand... Ng'wanza, hebu acha kuchemsha Ngwana Madaso. Ufaransa ni lugha inayojitegemea kama Kiingereza (International). Russian ni lugha mashuhuri sana duniani hata Tanzania utapata watu wengi tu wanaongea. Kichina inatosha kufahamu kuwa Wachina ni wengi sana duniani na Rais wa China alisoma Urusi na anaongea Kirusi. Rais wa Urusi mwenyewe anaongea Kiingereza. Putin ndiyo wacha maana Shushushu lile linatema Kijeruman, Kifaransa na English. Ghadaffi alimwaga Kiarabu na hii nayo ni lugha yakimataifa. Hata Kiswahili ni lugha ya Kimataifa maana ndiyo lugha ya Africa Union kama kilivyo Kiingereza kwa EU. Haya mambo ya kulinganisha Kanumba na Marais ntakuelezea kisa kimoja. Nilishawahi kukutana na mkurugenzi wa Citibank nikiwa nchi za watu miaka ya 90. Huyu jamaa kutoka Congo Kinshasa, alikuwa akiongea English kwa sababu alisomea USA, France, Lingala, Swahili na kwa sababu alienda kufanya kazi Brazil kwa miaka 7 na kazi za chini, ilibidi ajifunze ki-Portugal. Baadaye akaja Spain kwa miaka kibaa na Kispnish kikaiba kiPortugal chote. Ila baada ya kuwa kafanya kazi kwa miaka mingi akawa amepanda sana hadi kuwa Mkurugenzi wakati mie nimekutana naye. Huwezi amini kuwa jamaa alikuwa akiongea Kiingereza tu pale kazini na kama wewe humuelewi basi acha kazi CitiBank. Na hiyo nchi haikuwa ya Kiingereza. Kanumba na hawa wengine, kama wanataka kujipanua KIKAZI basi lazima walau wafahamu Kiingereza. Itakuwa vema wakiongeza na Kifaransa. Wakija kuwa na majina basi wanaweza hata kudeka wakati wakipokea OSCAR kuwa "Mie ntaongea Kisukuma/Kiswahili maana huwa nafikiri Kiswahili".
2017-01-23T02:56:02
https://www.jamiiforums.com/threads/video-vimombo-vya-wasanii-wabongo.39375/
[ -1 ]