text
stringlengths
44
187k
timestamp
timestamp[us]
url
stringlengths
16
3.37k
dup_ids
list
News Alert: Pinda atangaza kuanza kukutana na waandishi! | JamiiForums News Alert: Pinda atangaza kuanza kukutana na waandishi! Well, kila baada ya miezi mitatu kuwapa maelezo juu ya maamuzi ya baraza la mawaziri. However vikao vya baraza la mawaziri vinafanyika kwa kawaida mara moja kwa wiki. Pamoja na kwamba atakutana na waandishi mara nne kwa mwaka, tutashukuru kama ata-keep promise. what difference does it makes? Huyu jamaa hana tofauti yoyote na viongozi wengine. Ni same kanzu different shekh. Haina tofauti na wanaCCM wengine. suala si kukutana na waandishi wa habari ,suala ni kuja kuwaeleza watanzania mambo wasityoyajua ila serikali imeyafanya na siyo kuja kuongea mambo ambayo watanzania wanayajua. tunahitaji kuona nchi ikienda mbele na siyo kuwa hapa tulipo,nimechoka kuona nchi inaendeshwa kisannii bila ya kuwa na vision,ni bora na Mkapa alikuwa akiforsee mambo kuhusu kukusanya Kodi na masuala ya MEM na mambo ya millenia. Nimekuja kugundua ni kwanini serikali ya sasa imeshindwa kuwapa watanzania nini wanachotaka,na nadhani mhe. Rais hajui hili 1.Mabadiliko ya mara kwa mara ya Barza la Mawaziri ynaathiri utendaji Mzima wa watendaji kazi katika Wizara,naomba nikupe Mfano mmoja hapa,wakati Mhe. Msolla alipowekwa pale(hana uwezo) Wizara ya Elimu ya juu alipangua wakurugenzi wote na kuweka ambao yeye anwataka ili wamsaidie,hii inaweza kuwa sawa ila kuweka mtu mpya ni sawa na kurudisha jambo nyuma sababu itambidi mtumishi huyu ajifunze kwanza kazi ile kabla ya kuendelea mbele,wakabawa wizara sama thing happen.Na hili suala lisipochukuliwa hatu basi nchi haitaendelea,suala la uongozi serikalini limekuwa la kisiasa,akija waziri basi naye anapanga watu wake??hili suala ndilo linamuangusha JK kama hajui. 2.Tabia ya Mawaziri kuingilia utendaji kazi katika wizara,kama kutafuta makandarasi,kuweka watu wao ili wafanye kazi flani na yenyewe inachangia kuwavunja moyo watumishi wa umma,Mfano,Mama sitta alivyokuwa pale wizara ya Elimu alimpa kazi Mtoto wake ya Uconsultant wa IT ili wanafunzi waweze kupata matokeo kwa njia ya SMS,huku tayari wataalm wa pale walikuwa na Njia Mbadala ya kulifanyia kazi suala hili. nimemamliza Wakati huo huo serikali imeteua wasemaji wa wizara ambao ndio watakuwa wanatoa taarifa kwa waandishi kuhusu mambo yanayohusu wizara hizo. Salva amesema jana kuwa wameteuliwa wasemaji 22 na ni wizara ya Mambo ya Nje tu ambayo msemaji wake hajateuliwa bado; Maura Mwingira????? Mwanakijiji,Suala sio wasemaji?Je watasema ukweli kuhusu mambo yanayohusu Mstakabali wa taifa,siyo aulizwe swali ajibu,hilo muulizeni waziri. Mie nakwambia Kimbele mbele cha Salva kitamponza tu,Hivi Salva na Waziri nani Mkubwa,Manaake amekuwa akitoa kauli nzito,hasa majuzi alipoongelea suala la Balali.Aliniogopesha Kuhusu kuteuliwa ,hawajateuliwa wameongezewa kazi tu..sababu hao wote walikuwa kama Principal Information Officer wa wizara,sasa badala ya kuzunguka na safari za mawziri huku na kule sasa watakuwa wanakujibu live,hivi yule aliyekujibu Ndege inapaa yuko wapi kwa sasa??kanyamaza Pamoja na ufinyu wa kufahamu waziri mkuu, wizara na idara za serikali zinafanyaje kazi, lakini naona ugumu kuelewa umuhimu wa waziri mkuu kukutana na waandishi wa habari na hasa pale atakapokuwa anatoa majibu yasiyoridhisha. Wakati huo huo nashindwa kuelewa hawa wasemaji walioteuliwa shughuli yao itakuwa nini. 1. Je, ni kusema waziri katika wizara hiyo hawezi kufanya hiyo kazi? 2. Je, naibu waziri hawezi kufanya hiyo kazi? 3. Je, katibu mkuu shughuli yake ni nini? 4. Ina maana wizarani hakuna maofisa mahusiano (Public Relation Office/Officers)? 5. Je hawa walioteuliwa ni waajiriwa katika wizara husika au wameteuliwa watu kutoka seheme/wizara zingine kwenda kufanya hiyo shughuli? 6. Huo uteuzi ni cheo au majukumu tu? Kama ni cheo ni watanzania bado tubebe gharama hizo baada ya mawaziri, manaibu mawaziri karibu 60? 7. Ni taarifa gani watakuwa wanatoa ambazo huko nyuma kutokuwepo kwao kulifanya zishindikane kutolewa? Naomba mwanga zaidi kama kuna anayefahamu. Orodha ya magazeti ya kufungia nyama Tanzania (The meat wrapping news papers) Jukwaa la Siasa 91 Apr 11, 2019 Threads 1,379,315 Posts 33,742,579
2020-01-19T20:57:10
https://www.jamiiforums.com/threads/news-alert-pinda-atangaza-kuanza-kukutana-na-waandishi.13241/
[ -1 ]
Njia bora za asili za kukuza nywele zako na muonekano mzuri Home - Timheaven.com TIM HEAVEN Richard Edward December 08, 2016 AFYA By Richard Edward at December 08, 2016
2017-09-23T03:40:25
http://www.timheaven.com/2016/12/NYWELE.html
[ -1 ]
.............SITEMBEI NA MUME WA MTU........ ~ Wajanja club .............SITEMBEI NA MUME WA MTU........ mrembo ambaye ni mwigizaji wa Nollywood, Lizzy Anjorin amekanusha habari zilizoenea kwamba ana uhusiano wa kimapenzi na mume wa staa mwenzie Funke Akindele. Msanii huyo alidai kuwa tuhuma hizo zimemdhalilisha na anaangalia uwezekano wa kuyashtaki magazeti yaliyomtuhumu na kumshushia heshima. Habari hizo zilienezwa kwenye mitandao mingi ya kijamii nchini Nigeria na Ghana wiki moja iliyopita. Msanii huyo aliyefungua Supamaketi mpya jijini Lagos, alisema; "Hii inanishangaza sana, nashangaa kwanini watu hawataki kuniacha na maisha yangu, simjui hata huyo mume wa Funke na wala sijawahi hata kumpitia karibu sehemu yoyote ile." "Wala kwenye harusi yao sikwenda wala sina hata namba zake. Nimechoka sasa inabidi nichukue hatua za kisheria zaidi, nataka waniache na maisha yangu, wasieneze mambo ambayo si ya kweli kwa jamii," alicharuka
2017-07-21T08:41:21
http://wajanjaclub.blogspot.com/2012/07/sitembei-na-mume-wa-mtu.html
[ -1 ]
GRIEZMANN ASAINI MKATABA MPYA MNONO ATLETICO MADRID - BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE GRIEZMANN ASAINI MKATABA MPYA MNONO ATLETICO MADRID - BIN ZUBEIRY SPORTS- ONLINE Mwanzo > HABARI ZA ULAYA > GRIEZMANN ASAINI MKATABA MPYA MNONO ATLETICO MADRID GRIEZMANN ASAINI MKATABA MPYA MNONO ATLETICO MADRID Mshambuliaji wa Atletico Madrid na Ufaransa, Antoine Griezmann amesaini mkataba mpya wa kuendelea kuichezea klabu yake ya La Liga hadi mwaka 2022 PICHA ZAIDI GONGA HAPA MKATABA MPYA WA GRIEZMANN KATIKA NAMBA 2022 - Mwaka ambao utamalizika Pauni 88- Dau lake la kuuzwa Pauni 12.3 - Pato lake la msimu Pauni 235,000 - Malipo yake ya wiki 1 - Atakuwa mchezaji namba moja kulipwa mshahara mkubwa na klabu hiyo 3 - Idadi ya wachezaji wanaomzidi kupata mshahara mkubwa La Liga (Cristiano Ronaldo, Lionel Messi na Neymar) MSHAMBULIAJI Antoine Griezmann amesaini mkataba mpya wa kuendelea kuichezea Atletico Madrid hadi mwaka 2022. Lakini Mfaransa huyo amepinga klabu hiyo kupandisha dau lake na sasa itaigharimu Manchester United Pauni Milioni 88 ile ile kama ada ya uhamisho iwapo itahitaji tena kumchukua mchezaji huyo mwaka ujao. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 ameingia pia kwenye orodha ya wachezaji wanaolipwa fedha nyingi sasa akipoka Pauni 235,000 taslimu kwa wiki sawa na Pauni Milioni 12.3 kwa mwaka. Hiyo ni pungufu kidogo kutoka mshahara wa Pauni 300,000 ambao inafahamika Man United ilimuandalia. Lakini dili hilo linamfanya awe mchezaji anayelipwa zaisi Atletico Madrid na katika La Liga sasa anazidiwa na Cristiano Ronaldo, Lionel Messi na Neymar kwa mshahara mkubwa. Atletico Madrid imelazimika kumpa ofa nzuri mchezaji huyo ili abaki baada ya kufungiwa kusajili na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) hadi mwaka 2018. [email protected] BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE at 07:14 Tuesday, June 13, 2017 Item Reviewed: GRIEZMANN ASAINI MKATABA MPYA MNONO ATLETICO MADRID Rating: 5 Reviewed By: BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
2017-08-22T20:40:25
http://www.binzubeiry.co.tz/2017/06/griezmann-asaini-mkataba-mpya-mnono.html
[ -1 ]
Inatufundisha nini hii moviie ya "The Best Man" | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Inatufundisha nini hii moviie ya "The Best Man" Discussion in 'Mahusiano, mapenzi, urafiki' started by Mlawi, Oct 15, 2011. Kila mara ninapoangalia movie huwa najifunza mambo mengi. Kwa hii movie waliowahi kuiona,wake/waume, GF/BF/Nyumba ndogo etc inatufundisha nini? Muwe na siku njema. Mlawi. Taye Digs, Morris Chestnut na Sanaa Lathan. Hii movie mara ya kwanza kuiona nililia machozi. Usaliti wa kufa mtu. Unachukua mchumba wa mwenzako unalala nae halafu unatengeneza kitabu kuelezea jinsi alivyo mzuri na mwenye kujua mahaba. Just like tha NN. God have Mercy!Click to expand... Well,umenikumbusha plot ya hii movie.Inasikitisha kweli lakini mwishowe msaliti aliji-redeem kwa kusema ukweli.Alijitua mzigo wa usaliti na hilo ndilo la maana zaidi.Kwa kweli movies za Sanaa Lathan huwa ni hisia tupu,nampenda hata kuliko Angelina Jolie. Kikulacho kii nguoni mwako!! Ukikiri kwa kinywa chako umesahewa. Watu wengi wanaona aibu kukiri makosa ili nafsi zao ziwe clear. Mungu atupe moyo wa kujua makosa yetu nakukiri kwake. Ni mwaminifu sana "anaweza"
2017-07-23T15:21:52
https://www.jamiiforums.com/threads/inatufundisha-nini-hii-moviie-ya-the-best-man.182454/
[ -1 ]
TAIFA STARS WAREJEA DAR KISHUJAA BAADA YA KUING’OA KENYA MBIO ZA CHAN MWAKANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE TAIFA STARS WAREJEA DAR KISHUJAA BAADA YA KUING’OA KENYA MBIO ZA CHAN MWAKANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE Mwanzo > TFF > TAIFA STARS WAREJEA DAR KISHUJAA BAADA YA KUING’OA KENYA MBIO ZA CHAN MWAKANI TAIFA STARS WAREJEA DAR KISHUJAA BAADA YA KUING’OA KENYA MBIO ZA CHAN MWAKANI KIKOSI cha timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars kimerejea leo Dar es Salaam kishujaa badaa ya kutinga hatua ya mwisho ya mchujo wa kuwania tiketi ya Fainali za Michuano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN) mwakani nchini Cameroon.. Hiyo ni baada ya ushindi wa penalti 4-1 dhidi ya Kenya jana jioni Uwanja wa Moi Kasarani mjini Nairobi, Kenya, kipa mkongwe Juma Kaseja akiibuka shujaa baada ya kupangua penalti ya Michael Kibwage kufuatia kurejeshwa kikosini baada ya miaka sita. Waliofunga penalti za Tanzania ni mabeki Erasto Nyoni, Paul Godfrey ‘Boxer’, Gardiel Michael na mshambuliaji Salum Aiyeee. Rais wa TFF, Wallace Karia (aliyesimama) akiwa na wachezaji wa Taifa Stars Kenya walipata penalti moja tu, ambayo ilifungwa na Cliffton Miheso Ayisi, huku nyingine wakikosa Michael Kibwage na Joash Achieng Onyango. Sasa Tanzania itakutana na Sudan katika hatua ya mwisho ya mchujo wa kuwania tiketi ya CHAN ya mwakani nchini Cameroon, mechi ya kwanza ikichezwa Dar es Salaam Septemba 20 na marudiano Oktoba 18 Khartoum. Makocha Mrundi, Ettienne Ndayiragijje wa Azam FC na Wasaidizi wake, Juma Mgunda wa Coastal Union ya Tanga na Suleiman Matola wa Polisi Tanzania wanarejea kwenye klabu zao kwa maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu kwa sasa sawa na wachezaji. Baadaye Ndayiragijje anatarajiwa kuwa na kikao na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuwasilisha ripoti ya hatua iliyopita na programu ya maandalizi ya mchezo ujao dhidi ya Sudan. Item Reviewed: TAIFA STARS WAREJEA DAR KISHUJAA BAADA YA KUING’OA KENYA MBIO ZA CHAN MWAKANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
2019-08-24T15:56:09
http://www.binzubeiry.co.tz/2019/08/taifa-stars-warejea-dar-kishujaa-baada.html
[ -1 ]
Ashpalt Paver vipuri, Milling Machine vipuri, Road Roller Spares - Lihui Kuangalia Kati Bidhaa zetu Suzhou Lihui Engeering Mashine Co, Ltd ilianzishwa mwaka 2012, ambayo iko katika Sino-German mji-Taicang. Sisi hasa R & D na kuzalisha vipuri kwa ajili ya mashine ya ujenzi wa barabara kama mashine ya kusaga, Asphalt Paver, roller barabara nk Na pia sisi ni mtaalamu katika mikopo, mitumba mauzo mashine. 1.ashpalt Paver: kufuatilia pedi, kufuatilia roller, kufuatilia mnyororo, conveyor mnyororo, screed sahani, sehemu ya umeme, nk 2, mashine ya kusaga: kukata chombo, mmiliki, milling ngoma, conveyor ukanda, pedi ya kufuatilia, nk 3 , barabara roller: mpira buffer, dawa pua, pampu ya maji, nk ... Mbali na kuwa na mstari kamili ya bidhaa mashine ya barabara na vipuri mashine ya kusaga, Asphalt Paver, barabara roller, ikiwa ni pamoja na trackpads, kufuatilia mlolongo, kufuatilia roller, conveyor ukanda, milling ngoma, mmiliki chombo, tar, screed sahani, mpira bafa nk za waliofika Competitive waliofika za kukidhi mahitaji ya wateja zaidi. daraja la Sensor Vogele mfuo sensor Kusaga mashine dawa pua W2000 kuendesha gari gear W1900 maji pampu kina sensor
2019-06-19T04:27:14
http://www.szlehui.com/sw/
[ -1 ]
Sababu zinazoweza kusababisha magonjwa mbalimbali ya moyo - Daktari Mkononi by Jagadi Ntugwa MD4 🇹🇿 Magonjwa ya moyo yako katika makundi mbali mbali yakiwemo yafuatazo: Mapigo ya moyo yasiyo na mpangilio stahiki, Kufeli kwa moyo, Moyo kutokupata damu ya kutosha, Magonjwa ya valvu za moyo, Maambukizi katika moyo, Hitilafu za moyo za kuzaliwa nazo na mengineyo mengi. Zifuatazo ni sababu zinazoweza pelekea kupata au kuwa katika hatari ya kupata magonjwa ya moyo. -Umri mkubwa; Umri kadri unavyokuwa mkubwa ndivyo mishipa ya damu inavyozidi kuharibika na kuwa dhaifu na misuli ya moyo pia hutanuka. -Jinsia; Wanaume wana hatari ya kupata matatizo ya moyo zaidi kuliko wanawake, lakini kwa upande wa wanawake hatari huongezeka baada ya kuacha kupata siku zao. -Historia ya magonjwa ya moyo katika familia pia humfanya mtu kuwa katika hatari ya kupata matatizo ya moyo, kwa mfano shinikizo la damu na moyo kutanuka. -uvutaji sigara; uvutaji sigara husababisha kuharibika kwa kuta za mishipa ya damu na kuongeza uwezekano wa mafuta kujishikiza kwenye kuta zake na kuzuia damu kupita vizuri matokeo yake shinikizo la damu linaweza kutokea na pia shtuko la moyo. -Vyakula; Vyakula vya mafuta,chumvi nyingi hasahasa chumvi mbichi hupelekea matatizo ya moyo, kwa mfano kukosekana kwa oksijeni kwenye moyo na shinikizo la damu. -Kisukari; Kisukari pia kisipotibiwa vyema kinapelekea matatizo ya moyo. -Uzito uliozidi pia unaongeza hatari ya matatizo ya moyo. -Ukosefu wa mazezi; Hupelekea mafuta mengi kubakia kwenye mwili hivyo kama matokeo matatizo ya moyo hutokea. -Ukosefu wa usafi wa kutosha; Hii inaweza pelekea ya vimelea mbalimbali vinavyoathiri moyo kama vile bakteria na virusi. -Maambukizi kwa mama mjamzito; Maambukizi ya virusi kama vile “Rubella” husababisha kuzaliwa kwa watoto wenye tundu katika moyo. Zipo sababu nyingine pia zinazosababisha magonjwa ya moyo kama vile kubadilika kwa vina saba,ulevi kwa kinamama wajawazito(Inaathiri mtoto ambaye hajazaliwa),madawa mbali mbali,magonjwa ya mfumo wa hewa na mengineyo mengi. Kuwa pamoja nasi katika ukurasa wetu kwa Elimu zaidi na tutakujuza mengi zaidi, tunahimiza pia kuuliza maswali pale ambapo panahitaji ufafanuzi zaidi. Previous Post Zifahamu sababu za jino kung’olewa Next Post Jinsi ya kupunguza hatari ya kupata magonjwa ya moyo na shinikizo la damu
2020-07-04T21:22:36
https://daktarimkononi.com/2018/01/30/sababu-zinazoweza-kusababisha-magonjwa-mbalimbali-ya-moyo/
[ -1 ]
wpf glyphsBesides Simba scores you can follow 1000+ football competitions from 90+ countries around the world on FlashScore.com. Just click on the country name in the left menu and select your competition (league results, national cup livescore, other competition). Simba SC scores service is real-time, updating live. Apr 08, 2018 · Tayari JKT Tanzania wameshawasili mjini humo wakiwa wamekamilisha maandalizi yao kuelekea pambano hilo litakaloanza saa 10 kamili jioni. Mshindi wa mechi hiyo ataungana na Mtibwa Sugar FC katika hatua ya fainali itakayopigwa June 2 2018 kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha. Mabingwa watetesi @SimbaSCTanzania wamemaliza muzunguko wa kwanza wakiwa na point 50' wakiwa wamecheza michezo 19. Wameshinda mechi 16. Wametoka sale mechi 2 Tanzania Prisons na Yanga SC wamefungwa mchezo 1. Dhidi ya Mwadui FC. KESHO Simba inaanza mzunguko wa pili watacheza na JKT Tanzania kwenye Uwanja wa Taifa saa 10:00. Jioni. BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE contains reliable and researched stories as well as effective, attractive and eye catching pictures of various events both locally and internationally. bbc mitikasi leo ijumaa 17.01.2020; january 17, 2020. millard ayo. rc gambo “sina mpango na ubunge, rais magufuli amenipendelea” ... simba sc vs jkt tanzania ... Teams Mwadui Simba SC played so far 7 matches. Mwadui won 2 direct matches. Simba SC won 4 matches. 1 matches ended in a draw. On average in direct matches both teams scored a 2.43 goals per Match. Mwadui in actual season average scored 0.87 goals per match. In 7 (70.00%) matches played at home was total goals (team and opponent) Over 1.5 goals. Klabu ya soka ya Atletico Madrid kupitia katika kurasa zake za mitandao ya kijamii imethibitisha kwamba mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa Antoine Griezmann hatokuwa na timu hiyo kwa msimu ujao licha ya kwamba mkataba wake unaisha mwaka 2023. Aug 29, 2019 · Shuhudia leo Samba football Simba vs JKT Tanzania. ... Leo ndio umeibuka Pacha. ... kabla ya kuhamia Simba! Maana kumbukumbu zangu zinaonesha hakufunga goli lolote ... 1 1:00 GOLI LA FRAGA VIERA.SIMBA 0-1 JKT TANZANIA. GOLI LA SIMBA LEO.JE LILIKUA HALALLI?? 2 LIVE KTN News Live Stream - Nairobi, Kenya; 3 8:48 Unforgettable 30 Goals In Football History Impossible To Forget #1 Jan 31, 2015 · Ligi Kuu Tanzania Bara imeendelea leo January 31 katika viwanja mbalimbali ikiwemo Uwanja wa Taifa Dar, ambapo timu ya Simba Sports Club walikuwa wakipambana na JKT Ruvu kusaka point tatu muhimu za ushindi. Mpaka dakika tisini zinakamilika matokeo yalikuwa hivi, Simba SC walikuwa na goli 2 wakati JKT Ruvu walishinda goli 1. Matokeo hayo ni nafuu […] Repost Haji Manara. Washabiki wa Simba wamenijia ghafla leo ofisini na kunikabidhi shilingi milioni moja ambazo zilichangwa kwa hiyari na Group moja la Watsap la Yanga wakati nilipoumwa macho,ili pesa hzo nizirejeshe baada ya baadhi ya Wanayanga kuendeleza masimango eti wao ndio walinitibia india!! BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE contains reliable and researched stories as well as effective, attractive and eye catching pictures of various events both locally and internationally. Repost Haji Manara. Washabiki wa Simba wamenijia ghafla leo ofisini na kunikabidhi shilingi milioni moja ambazo zilichangwa kwa hiyari na Group moja la Watsap la Yanga wakati nilipoumwa macho,ili pesa hzo nizirejeshe baada ya baadhi ya Wanayanga kuendeleza masimango eti wao ndio walinitibia india!! Ligi kuu ya Tanzania bara imeendelea leo kwa michezo kati ya Simba dhidi ya JKT na Azam FC vs Prisons. Michezo hiyo iliyoisha hivi punde matokeo ni kwamba Simba wamepigwa 3-2 katika dimba lao la nyumbani la uwanja wa taifa. Azam FC nayo imetoka sare ya 2-2 na Tanzania Prisons. Repost Haji Manara. Washabiki wa Simba wamenijia ghafla leo ofisini na kunikabidhi shilingi milioni moja ambazo zilichangwa kwa hiyari na Group moja la Watsap la Yanga wakati nilipoumwa macho,ili pesa hzo nizirejeshe baada ya baadhi ya Wanayanga kuendeleza masimango eti wao ndio walinitibia india!! dada wa simba ampangia kikosi kocha wake baada ya kupata kipigo kutoka kwa jkt tanzania All sports, all the time, all Tanzania, Africa and the rest of the world. All sporting previews, results, reviews, breaking news, transfers and updates. bbc mitikasi leo ijumaa 17.01.2020; january 17, 2020. millard ayo. rc gambo “sina mpango na ubunge, rais magufuli amenipendelea” ... simba sc vs jkt tanzania ... » The team with the most games with the sum of goals Under 2.5 : JKT Tanzania (16 matches) , Under 1.5 Tanzania Prisons ( 22 matches) , Under 3.5 Biashara Mara United (25 matches) » The team with the most games with the sum of goals Over 2.5: Lipuli (19 matches) , Over 1.5 Simba SC ( 13 matches) , Over 3.5 Simba SC (7 matches) Simba na Azam kuvaana leo , Yanga VS Mgambo JKT… Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara inaendelea Jumamosi baada ya mapumziko ya takribani mwezi mmoja kupisha michuano ya kimataifa. Nyasi za viwanja sita zitawaka moto kesho, lakini macho na masikio ya wengi vitaelekezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, ambako vigogo Simba SC watakuwa wanamenyana ... 1 1:00 GOLI LA FRAGA VIERA.SIMBA 0-1 JKT TANZANIA. GOLI LA SIMBA LEO.JE LILIKUA HALALLI?? 2 LIVE KTN News Live Stream - Nairobi, Kenya; 3 8:48 Unforgettable 30 Goals In Football History Impossible To Forget #1 Feb 07, 2020 · LIVE SIMBA SC VS JKT TANZANIA. MAJERUHI WA LEO SIMBA SC. KIKOSI CHA SIMBA. - Duration: 1:09. Kitochi Tv 557 views. 1:09. Ligi kuu ya Tanzania bara imeendelea leo kwa michezo kati ya Simba dhidi ya JKT na Azam FC vs Prisons. Michezo hiyo iliyoisha hivi punde matokeo ni kwamba Simba wamepigwa 3-2 katika dimba lao la nyumbani la uwanja wa taifa. Azam FC nayo imetoka sare ya 2-2 na Tanzania Prisons. Teams Mwadui Simba SC played so far 7 matches. Mwadui won 2 direct matches. Simba SC won 4 matches. 1 matches ended in a draw. On average in direct matches both teams scored a 2.43 goals per Match. Mwadui in actual season average scored 0.87 goals per match. In 7 (70.00%) matches played at home was total goals (team and opponent) Over 1.5 goals. Tanzania - Simba Sports Club - Results, fixtures, squad, statistics, photos, videos and news - Soccerway DAR ES SALAAM, TANZANIA. VINARA na mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL), ‘Wekundu wa Msimbazi’ Simba, wanashuka dimbani leo kuumana na Polisi Tanzania, kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, wakipania ushindi ili kutanua pengo la pointi katika jaribio la kutetea taji hilo kwa mara ya pili. , Simba SC JKT Tanzania live score (and video online live stream*) starts on 7.2.2020. at 13:00 UTC time at National Stadium stadium, Dar es Salaam, Tanzania in Premier League - Tanzania. Here on SofaScore livescore you can find all Simba SC vs JKT Tanzania previous results sorted by their H2H matches. , » The team with the most games with the sum of goals Under 2.5 : JKT Tanzania (16 matches) , Under 1.5 Tanzania Prisons ( 22 matches) , Under 3.5 Biashara Mara United (25 matches) » The team with the most games with the sum of goals Over 2.5: Lipuli (19 matches) , Over 1.5 Simba SC ( 13 matches) , Over 3.5 Simba SC (7 matches) Gtx backplateFollow Simba latest results, today's scores and all of the current season's Simba results. We use cookies and other technologies to improve your experience on this website. By continuing to browse our site you agree to our use of these technologies. Ratiba ya ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2019/2020, Ratiba ya VPL leo hii ni Ratiba ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL). Vodacom Premier League Table (VPL) 2019/2020: Ligi kuu Bara - Tanzania - Results, fixtures, tables. Vodacom Premier League Table (VPL) - Ratiba ya ligi kuu Tanzania bara Simba na Azam kuvaana leo , Yanga VS Mgambo JKT… Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara inaendelea Jumamosi baada ya mapumziko ya takribani mwezi mmoja kupisha michuano ya kimataifa. Nyasi za viwanja sita zitawaka moto kesho, lakini macho na masikio ya wengi vitaelekezwa Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, ambako vigogo Simba SC watakuwa wanamenyana ... Klabu ya soka ya Atletico Madrid kupitia katika kurasa zake za mitandao ya kijamii imethibitisha kwamba mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa Antoine Griezmann hatokuwa na timu hiyo kwa msimu ujao licha ya kwamba mkataba wake unaisha mwaka 2023. Posted by habarizotempya February 7, 2020 Leave a comment on Mambo 10 nilioyaona Simba vs JKT 1: Abdallah Mohammed Baresi👏 Ushindi wa JKT ulianza kwenye kitabu chake cha ufundi. Ile 4-2-2-2 iliimeza kabisa 4-2-1-3 ya Sven. Plot 46/4 Nyerere Road, PO Box 2517 Dar Es Salaam, Tanzania (+255) 0764 700 222; [email protected] Apr 03, 2019 · Leo Jumatano ya April 3 2019 ulikuwa uchezwe mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara msimu wa 2018/2019 kati ya Simba SC dhidi ya JKT Tanzania katika uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro, mchezo huo ulikuwa ni wakiporo. Kutoka uwanja wa Jamhuri Morogoro ulipokuwa uchezwe mchezo huo wa Simba SC dhidi ya JKT Tanzania kujaa maji, basi […] Follow Simba latest results, today's scores and all of the current season's Simba results. We use cookies and other technologies to improve your experience on this website. By continuing to browse our site you agree to our use of these technologies. Tanzania kuwajua wapinzani wake leo! Mapinduzi Cup. Simba wamekosa kombe la Mapinduzi kwa sababu hizi.. Mapinduzi Cup. ... Simba SC vs JKT Tanzania SC: 08/02/2020 0 - 1. Feb 07, 2020 · LIVE SIMBA SC VS JKT TANZANIA. MAJERUHI WA LEO SIMBA SC. KIKOSI CHA SIMBA. - Duration: 1:09. Kitochi Tv 557 views. 1:09. Aug 29, 2019 · matokeo ya simba sc vs jkt tanzania august 29-2019 MABINGWA watetezi, Simba SC wameanza vyema msimu mpya wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya JKT Tanzania jioni ya leo Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam. Posted by habarizotempya February 7, 2020 Leave a comment on Ligi kuu Tanzania bara na Kenya kuendelea leo Vodacom Premier League Saa 10 jioni Simba SC Vs JKT Tanzania Teams Mwadui Simba SC played so far 7 matches. Mwadui won 2 direct matches. Simba SC won 4 matches. 1 matches ended in a draw. On average in direct matches both teams scored a 2.43 goals per Match. Mwadui in actual season average scored 0.87 goals per match. In 7 (70.00%) matches played at home was total goals (team and opponent) Over 1.5 goals. bbc mitikasi leo ijumaa 17.01.2020; january 17, 2020. millard ayo. rc gambo “sina mpango na ubunge, rais magufuli amenipendelea” ... simba sc vs jkt tanzania ... Simba SC previous match was against Biashara United FC in Premier League, match ended with result 3 - 1 (Simba SC won the match). Simba SC fixtures tab is showing last 100 football matches with statistics and win/draw/lose icons. There are also all Simba SC scheduled matches that they are going to play in the future. Tanzania - Simba Sports Club - Results, fixtures, squad, statistics, photos, videos and news - Soccerway Onkyo9mm smg parts nameDmt india reddit Simba SC previous match was against Biashara United FC in Premier League, match ended with result 3 - 1 (Simba SC won the match). Simba SC fixtures tab is showing last 100 football matches with statistics and win/draw/lose icons. There are also all Simba SC scheduled matches that they are going to play in the future. Feb 07, 2020 · LIVE SIMBA SC VS JKT TANZANIA. MAJERUHI WA LEO SIMBA SC. KIKOSI CHA SIMBA. - Duration: 1:09. Kitochi Tv 557 views. 1:09. Aug 29, 2019 · matokeo ya simba sc vs jkt tanzania august 29-2019 MABINGWA watetezi, Simba SC wameanza vyema msimu mpya wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya JKT Tanzania jioni ya leo Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam. Tanzania - Simba Sports Club - Results, fixtures, squad, statistics, photos, videos and news - Soccerway » The team with the most games with the sum of goals Under 2.5 : JKT Tanzania (16 matches) , Under 1.5 Tanzania Prisons ( 22 matches) , Under 3.5 Biashara Mara United (25 matches) » The team with the most games with the sum of goals Over 2.5: Lipuli (19 matches) , Over 1.5 Simba SC ( 13 matches) , Over 3.5 Simba SC (7 matches) Repost Haji Manara. Washabiki wa Simba wamenijia ghafla leo ofisini na kunikabidhi shilingi milioni moja ambazo zilichangwa kwa hiyari na Group moja la Watsap la Yanga wakati nilipoumwa macho,ili pesa hzo nizirejeshe baada ya baadhi ya Wanayanga kuendeleza masimango eti wao ndio walinitibia india!! Feb 07, 2020 · LIVE SIMBA SC VS JKT TANZANIA. MAJERUHI WA LEO SIMBA SC. KIKOSI CHA SIMBA. - Duration: 1:09. Kitochi Tv 557 views. 1:09. Teams Mwadui Simba SC played so far 7 matches. Mwadui won 2 direct matches. Simba SC won 4 matches. 1 matches ended in a draw. On average in direct matches both teams scored a 2.43 goals per Match. Mwadui in actual season average scored 0.87 goals per match. In 7 (70.00%) matches played at home was total goals (team and opponent) Over 1.5 goals. Ya gajban pani mp3Avatar of bane 5eOpen sights
2020-04-02T10:10:26
https://zthg.zswerbkowice.eu/simba-vs-jkt-tanzania-leo.html
[ -1 ]
Ajali Archives – Radio Jambo Tag: Ajali Watu 3 wafariki baada ya lori mbili kugongana ana kwa ana Posted on June 15, 2020 June 15, 2020 by nickson tosi Watu watatu wanaripotiwa kufariki baada ya lori mbili kuhusika kwenye ajali katika kivukio cha Sagana, barabara kuu ya Makuyu – Makutano kaunti ya Kirinyaga. Akithibitisha tukio hilo, kamanda wa polisi kaunti hiyo Aden Alio amesema malori hayo mawili yaligongana ana kwa ana na kusababisha moto mkubwa uliochangia vifo vya watu hao. Kulingana na Alio, gari lingine aina ya Toyota Probox lilishika moto japo dereva akafanikiwa kuokoa maisha yake. Spika Lusaka hupokea simu kabla ya kufanya uamuzi- Murkomen Miili ya watu waliopoteza maisha yao sasa imepelekwa katika chumba cha kuhifadhi maiti cha Murang’a huku uchunguzi ukiendelea kufanywa. Posted in Featured on homepage slider, Latest, NewsTagged Ajali, Radio Jambo Watu 5, waaga dunia katika ajali ya barabara kuu ya Nyeri hadi Nanyuki Posted on June 3, 2020 June 3, 2020 by Grace Muia Watu watano wamepoteza maisha yao baada ya kupata ajali katika barabara kuu ya Nyeri kuelekea Nanyuki, polisi wakithibitisha ajali hiyo walisema kuwa lori na gari ndogo ziligongana ana kwa ana katika eneo la Narumoru. Ajali hiyo ilitokea Jumanne jioni. Kulingana na National Transport and Safety Authority (NTSA) mwaka huu watu wengi wamepoteza maisha yao kupitia ajali za barabara kuliko mwaka jana. Aprili NTSA iliripoti kuwa waendesha pikipiki 262 wamepoteza maisha yao kupitia ajali za barabara kuanzia mwanzoni mwa mwaka huu. Pia kulingana na data za NTSA watembea kwa miguu 309 wamehusika katika ajali za barabara huku 86 wakipoteza maisha yao. Posted in Featured on homepage slider, Latest, NewsTagged Ajali, Nanyuki, Nyeri Aghalabu watu watatu wameaga dunia kutokana na ajali mbaya ya bara barani Posted on May 23, 2020 May 23, 2020 by nickson tosi Watu watatu wanaripotiwa kuaga dunia na wengine kuuguza majeraha baada ya matatu waliyokuwa wakisafiria kugongana ana kwa ana na Lori mchana wa leo endeo la Londiani. Tanzia! Mchezaji wa zamani wa timu ya kitaifa ya raga Allan Makaka ameaga Maafisa wa polisi wamefika eneo la tukio huku majeruhi wakikimbizwa katika hospital ya Nairobi. Taarifa hizi zinajiri saa chache tu baada ya Makanga Shisiali aliyekuwa mchezaji wa timu ya taifa ya raga kuaga dunia kupitia ajali mbaya kwenye bara bara ya Mombasa usiku wa kuamkia hii leo. Uhuru amuomboleza Chief Inspector wa polisi Pius Kipserem Posted on March 17, 2020 by Yusuf Juma Rais uhuru Kenyatta ametuma ujumbe wa kuifariji familia,jamaa na rafiki za Chief Inspector wa Police Pius Kipserem Cheboswony. Safaricom yaondoa tozo kwa malipo ya mpesa ya kiasi cha chini ya 1000 Cheboswony, aliyega dunia jumatatu katika ajali ya barabarani kwenye barabara ya Oljororok-Dundori Road huko nyandarua alikuwa akismamamia Ikulu ndogo ya Sagana ana alikuwa amehudumu katika huduma ya polisi kwa miaka 28 .Katika ujumbe wake rais amesema taifa limempoteza afisa wa usalama aliyekuwa wa kujituma na ambaye kujitolea kwake kulimfanya kupendwa na wenzake. Teremsheni: Benki ,kampuni za simu zatakiwa kupunguza gharama ya malipo yanayofanywa kupitia simu na kadi Rais amesema ameiombea familia ya marehemu ili wapate kufarijika baada ya msiba huo . Posted in Featured on homepage slider, Latest, NewsTagged Ajali, Chief Inspector wa polisi Pius Kipserem Mkasa :Watu 15 wafariki katika ajali barabara kuu ya Mombasa-Malindi Posted on March 16, 2020 March 15, 2020 by Yusuf Juma Watu 15 wameaga dunia baada ya kutokea ajali mbaya kwenye barabara ya Mombasa kwenda Malindi katika eneo liitwalo Tororo . Ajali hiyo ilitokea mwendo wa saa kumi na mbili jioni siku ya jumapili na ilihusisha Lori lililokuwa likienda Mombasa ambalo lilibadilisha mkondo kwa ghafla na kugongana ana kwa ana na matatu ya abiria . Madreva wote ni miongoni mwa walioaga dunia papo hapo ilhali manusura watatu wapo katika hospitali ya wilaya ya kilifi wakiwa na majeraha mabaya . Kamanda wa polisi wa pwani Rashid Yakub amesema lori hilo halikuwa na mizgo wakati wa ajali .Miili ya waliofariki imepelekwa katika hifadhi ya maiti ya hospitali ya kilifi Posted in Featured on homepage slider, Latest, NewsTagged Ajali, lori.maafa.Rashid Yakub.Mombasa, Malindi Shock!Siku niliyotakiwa ‘kulala’na maiti ya mume wangu kabla hajazikwa Posted on February 25, 2020 by Yusuf Juma Nduku Nzilani hakuweza kutabiri yatakayomfika wakati penzi lake tamu ambalo lilianza kunawiri katika chuo kikuu akiwa nje ya taifa na mkenya mwenzake kutumbukia kuwa tukio la kumpa huzuni na majonzi tele . Akiwa na umri wa miaka 24 wakati huo nchini Australia akisomea Sheria ,Nduku alikutana chuoni na mkenya mwenzake ,kijana mtanashati sana na mpole kutoka Ukwala ,Siaya . Iwapo umewahi kuishi nje ya Kenya unaweza kufahamu hisia hii ya kuwa mbali na nyumbani kasha ukutane na mtu ambaye yuatoka Kenya .Ni jambo zuri san aka sababu mnaweza kuzungumza mengi kwa wakati mmoja ikaonekana ni kana kwamba mmejuana maisha yenu yote .Hivyo ndivyo ilivyokuwa kati ya Nduku na Derick Ochola.‘Kila kitu kilikuwa sawa tulipokutana na nilijua kuanzia mwanzo kwamba huyu diye ninayemtaka kama mpenzi wa muda mrefu’. Anasema Nduku . Ochola naye hakuchelewa kwani baada ya kukutana hapa na pale chuoni alimtaka waweze kupatana pia nje ya chuo ,na ikawa rasmi kwamba walikuwa wanapendana hivyo basi shughuli zao nyingi wakawa wanazifanya pamoja . Alipowajulisha jamaa zake wakati wa likizo kwamba amekutana na mkenya mwenzake ambaye wamependana na wanapanga kufunga ndoa baada ya masomo yao ,familia nzima ilijawa furaha na kweli wakati huo kila kizuri cha maisha kilionekana! Mwanamme Kamili? Jamaa akiri kuwa na bibi WATATU huku wawili kati yao wakilala pamoja naye katika kitanda kimoja! Baada ya miaka miwili ambapo wote sasa walikuwa wamemaliza kusoma na kupata kazi ,walikubaliana kurejea Kenya ingawa kwa muda kidogo Nduku alibaki Australia . walifunga ndoa ya kanisani wakiwa ng’ambo nan i jamaa zao wachache ndio walioweza kuishuhudia ndoa hiyo ingawaka walituma picha na kanda za video kwa wengi wa waliokuwa Kenya wakati huo . Ilikubaliana kwamba wangefanya harusi nyingine wakiwa Kenya na pia kufuatilizia na hafla ya kitamaduni ili kuashiria sasa kwamba wamekuwa mke na mume na hayo yakafanyika wakati wote walipokuja Kenya . Uchawi?‘Niliambiwa nitayarishe uji wageni wanakuja,Kumbe ni Nyoka aliyefaa kunywa uji!’ Kwa bahati mbaya miezi sita tangu waje Kenya kuishi na kuanza familia yao nyumbani ,Ocholla alihusika katika ajali ya barabarani wakati gari alilokuwa akiendesha kugongana na trela kwenye barabara kuu ya Nairobi kwenda nakuru na ilikuwa kipindi cha pasaka 2016. Nduku hakujua kuhusu kifo cha mumewe hadi alipoona kwenye mitandao ya kijamii kwamba kuna watu waliofariki kwenye ajali iliyotokea eneo la kabati .Kilichomshika jicho ni rangi ya mojawapo ya magari yaliyohusika kwenye ajali hiyo-gari dogo jekundu..na kwa hofu yake akaiangalia picha ile kwa karibu ili kuona nambari ya usajili na hapo ndipi ulimwengu wake ulizima kwa dakika kama tano.Hakuweza kupumua waka kuzungumza na akasalia kama bubu asijue cha kufanya . Alipopata ujasiri kitu cha kwanza alichofanya ni kmpigia mume wake simu lakini haikukereza kwani alikuwa mteja. Nusura nijitie kitanzi,Asema Maureen Waititu Hakuhitaji tena ufafanuzi kwamba alikuwa mjane .mume wake alikuwa ashafariki na hilo likathibitishwa na shemeji yake ,kakake mumewe ambaye alimpigiasimu akimueleza anakuja kumchukua hadi Nakuru wautambue mwili kasha matayarisho ya kumzika yaanze.Safari ya huzini ,simanzi na mshangao ilikuwa ndio imeanza kwa Nduku. Kwa ufupi ,kando na kuomboleza kifo cha mumewe kabla ya maazishi Nduku aliarifiwa kuhusu mila za watu wa akina mumewe na hakuelewa kilichokuwa kikifanyika hadi mkesha wa kuzikwa kwa Ocholla. Nduku aliambiwa kwamba atalala katika chumba kimoja na mwili wa mume wake na wakati wa mchakato huo ,anafaa kupata ndoto ya kushiriki tendo la ndoa naye.Maskini mtoto kutoka Matuu ,alishangaa ,akashindwa la kufanya lakini kaambiwa huo ni utamaduni wa jamii ya Waluo . Siku za jadi wajane katika jamii hiyo walitakiwa kufanya hivyo kabla ya waume zao kuzikwa ili ‘wasafishwe’ kwa matayarisho ya kurithiwa. Mume wangu alishiriki ngono na mamangu mzazi ,mwanamke asema ‘Niliambiwa kwamba endapo ningepata ndoto ya kushiriki tendo la ndoa na mume wangu kabla hajazikwa basi ningekuwa huru na tayari kuolewa tena’ anasena Nduku . Anaongeza ‘ Iwapo ndoto haingekuja basi njia nyingine ya tambiko ingetumiwa ili kunifanya niwe ‘msafi’ kabla ya maazishi’ Ili kufupisha masimulizi yake ,hakuna aliyemtayarisha Nduku kwa yote yaliomfika kuanzia kifo cha mume wake na utamaduni wa watu wake.Alipokuwa hai alikuwa akimdokezea baadhi ya mila hizo lakini kwa sababu alikuwa msomi ,Ocholla hakuwa akizipa uzito sana mila za watu wa jamii yake lakini palipo na wazee ,utamaduni hausahaulikwi hivi hivi .Je,ni zipi mila za jamii nyingine ambazo kwako umeziona kuwa na kushangaza? Ungefanya nini iwapo unhejipata katika hali ya Nduku? Posted in Conversation Sports Wrap, Latest, NewsTagged Ajali, Australia, mila, ndoa, Utamaduni Jamaa aumia vibaya katika ajali kwenye barabara ya Waiyaki Posted on February 23, 2020 by Brian Ndungu Jamaa mmoja aliumia vibaya baada ya gari kumgonga kabla ya kutoweka katika barabara ya Waiyaki way, jumapili. Kumekuwa na msongamano wa magari katika barabara hiyo, karibu na daraja la St Mark’s. Inasemekana dereva huyo alijipeleka mwenyewe hadi kituo cha polisi cha Parklands ili kuandikisha taarifa. Mashahidi wanasema kuwa Jamaa huyo alikuwa hapo kwa mda wa masaa mawili na iliwabidi wafunge barabara ili aweze kuhudumiwa. Jamaa huyo alikuwa akivuka barabara na mguu wake uliumia vibaya. Hawezi zungumza na Inasemekana hana uwezo wa kuskia wala kuzungumza. Mhudumu wa bodaboda alisema kuwa hawawezi mkimbiza hospitalini kwa hofu kuwa wataandikisha taarifa. Posted in Featured on homepage slider, Latest, NewsTagged Ajali, Wachezaji wa Afc Leopards hawajalipwa huku mzozo wa uongozi ukiendelea Spidi ya kifo! (+ Video )Tulimuambia asiondoke, Mashahidi wasema kumhusu jamaa aliyefariki katika ajali mbaya ya Lang’ata Road. Posted on February 17, 2020 February 17, 2020 by Yusuf Juma Ufichuzi umetolewa kuhusu ajali mbaya ya barabarani iliyotokea mwishoni mwa wiki katika barabara ya Lang’ata iliysababisha kifo cha mwanamme mmoja . Mashahidi wanasema walimshauri asiondoke kutoka hoteli ya Weston akiwa mlevi na atulie kidogo au atafute mtu wa kumpeleka nyumbani lakini juhudi zao ziliambulia patupu . Spidi ya kifo pic.twitter.com/2IFRJfjswh — Yusuf Juma (@YusufJumaKenya) February 17, 2020 Devil Worship? Makachero wamtaka Boni Khalwale kufafanua madai baada ya maafa katika shule ya Kakamega . Alifahamu kwamba alikuwa mlevi chakari lakini hakutaka usaidizi wa yeyote na akaliendesha gari la Mercedes-Benz kwa kasi. Hatima yake baadaye ilifahamika baada ya gari hilo kushika moto baada ya kugonga ua la uwanja mdogo wa ndege wa Wilson . Naibu OCPD wa Lang’ata John Samburumo amesema dereva huyo alikuwa akiliendesha gari hilo kwa kasi sana . Mtasema Mchoke! Mamake Diamond Awachoma wakosoaji wake kwa vijembe mtandaoni. Amesema alikuwa akitoka hoteli ya Weston mwendo wa saa moja na dakika 20 asubuhi na alionekana kuwa mlevi. Gari jingine lililokuwa limeegeshwa ndani ya uwanja wa ndege wa Wilson pia liligongwa . Gari hilo baadaye lilishika kasi upande wa mbele .Mwili wake ulipelekwa katika hifadhi ya maiti ya City . Posted in Featured on homepage slider, Latest, NewsTagged Ajali, Lang'ata Road, Weston Hotel Mtu mmoja afariki kutokana na ajali mbaya katika barabara ya Lang’ata Posted on February 16, 2020 February 16, 2020 by Brian Ndungu Mtu mmoja alifariki katika ajali kwenye barabara ya Lang’ata jijini Nairobi. Polisi wanasema huenda mwendazake alikuwa mlevi alipokuwa akiliendesha gari lake kutoka hoteli ya Weston. Gari lake lilibingirika mara kadhaa Kabla ya kuwaka moto kabla ya kuingia kwenye ua wa uwanja wa ndege wa Wilson karibu na shule ya upili ya Sunshine. Hayo yakijiri, msaidie mwanao kufahamu kuwa kanuni unazompa anapotumia mtandao na wakati hautumii zinastahili kudumishwa saa zote. Mtaalamu wa masuala ya kimitandao Bright Gameli anakushauri kumfunza kufikiria kwa umakini kabla ya kuweka maarifa yao au kuanza urafiki na mtu yeyote kwenye mitandao ya kijamii. Kwingineko, je ni mambo yepi ambayo rafiki zako wanafahamu kuhusu uhusiano kati yako na mpenzi wako? Mtaalamu wa uhusiano Cylus Kiriinya anakushauri kutokuwa na mazoea ya kuweka mambo yenu ya ndani zaidi kwenye mitandao ya kijamii kwani huenda yakawapelekea kuchokozwa chokozwa. Posted in Featured on homepage slider, Latest, NewsTagged Ajali, Langata BURIANI BRYANT: Picha za baada ya ajali ya ndege iliyomuua Kobe Bryant,bintiye na watu wengine 7 Posted on January 28, 2020 January 29, 2020 by Yusuf Juma Picha zilizopigwa baada ya ajali ya ndege ya helikopta iliyosababisha kifo cha staa wa zamani wa NBA Kobe Bryant zimetolewa. Ndege ya Bryant ilianguka katika bonde kutoka umbali wa futi 1000 baada ya rubani kujaribu kupaa juu zaidi ili kuepuka ukungu siku ya jumapili. LUCKY ESCAPE:Kobe Bryant na Mkewe walikuwa na makubaliano ya kutosafiri ‘pamoja’ katika helikopta . Picha zilizopigwa baada ya ndege hiyo kuanguka zinaonyesha mabaki ya ndege hiyo yakiteketea. Shahidi aliyezipiga picha hizo amesema aliona vifaa vya helikopta vikitapakaa kila mahali kisha baadaye mlipuko mkubwa uliofuatwa na moto. Msinitishe:Rais Kenyatta asema hatotikiswa na yeyote katika kuwaunganisha wakenya . Rubani Ara Zobayan alikuwa ametaka kupewa idhini na kukubaliwa kupaa katika hali iliyokuwa na ukungu mwingi akiwa juu kwa umbali wa futi 1400 muda mfupi kabla ya ajali hiyo kutokea. Wachunguzi wamesema hapakuwa na kifaa maalum cha kunakili safari ya ndege hiyo bali kipakatilishi kidogo kilichokuwa kikitumiwa kuonyesha mkondo wa safari ya ndege hiyo. Maafisa wa usalama wanatumia farasi kushika doria katika eneo la mkasa la Calabasas, California ili kuwazuia waporaji kufika huko . Moto ndani Jubilee: Jubilee yajitenga na mkutano wa wanachama wa Tangatanga mjini Naivasha Posted in Featured on homepage slider, Latest, NewsTagged Ajali, kobe bryant
2020-07-06T20:51:44
https://radiojambo.co.ke/tag/ajali/
[ -1 ]
Job Ndugai – MwanaHALISI Online Tag Archives: Job Ndugai Masalu Erasto September 1, 2013 3,116 Views NINAYOSEMA leo sikutumwa na mtu, chama au kiongozi yeyote, Â ni yangu mwenyewe na ninayasema kwa wadhifa wangu mpya kama Msemaji Mkuu wa CHADEMA kwa mambo ya mitaani, barabarani, vijiweni na ... Masalu Erasto September 1, 2013 2,297 Views
2020-01-25T02:45:47
http://mwanahalisionline.com/tag/job-ndugai/
[ -1 ]
Trump ameagiza ukaguzi makini kufanyika mipakani | Ishi Kistaa Home News Trump ameagiza ukaguzi makini kufanyika mipakani Trump ameagiza ukaguzi makini kufanyika mipakani Rais wa Marekani, Donald Trump amewaagiza maafisa wa usalama wa mipakani kuwakagua kwa makini watu wanaoingia Marekani. Kauli hiyo ya Trump inakuja baada ya mahakama ya rufaa kukataa ombi la serikali ya Marekani la kurejesha amri ya kuwazuia wahamiaji ambapo ofisi ya mwanasheria mkuu imepewa nafasi hadi leo kujibu maamuzi hayo. Trump amesema kuwa mahakama ambayo imezuia hatua hiyo inafanya vigumu kuimarisha usalama katika mipaka ya Marekani na kumshtumu jaji aliyetoa uamuzi huo kwamba analiweka taifa hilo mashakani. Pia ameongeza kwa kusema kuwa iwapo kutakuwa na tukio lolote jaji huyo na mfumo wake wote wa mahakama utalaumiwa. Awali mahakama ya kijimbo ilikataa ombi la serikali la kuhalalisha marufuku hiyo kwa mataifa saba ya waislamu kutoingia nchini Marekani. Mataifa hayo saba yaliyopigwa marufuku raia wake wasiingine nchini Marekani ni Iran, Iraq, Syria, Yemen, Somalia, Sudan na Libya. Previous articleYanga kuwafuata Wacomoro Ijumaa Next articleNelly Kamwelu amekiri kudanganya umri kwenye mashindano ya miss Tanzania 2008 Watuhumiwa watano mbaroni kwa kuvamia mkutano wa CUF Mrema amuwashia moto Lowassa
2020-01-27T11:57:26
http://www.ishikistaa.com/trump-ameagiza-ukaguzi-makini-kufanyika-mipakani/
[ -1 ]
Ukatili na unyanyasaji wa kingono marufuku UN: Ripoti | Habari za UN Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres (wa pili kutoka kulia) akihutubia mkutano wa ngazi ya juu kuhusu unyanyasaji na ukatili wa kingono. Ripoti hiyo ya mtazamo mpya unaochukuliwa na Umoja wa Mataifa kukomesha uhalifu huo imejumuisha taarifa za madai ya ukatili huo unaodaiwa kufanywa na operesheni za ulinzi wa amani na operesheni zingine za kisiasa , mashirika ya Umoja wa mataifa na vikosi vya kimataifa visivyo vya Umoja wa Mataifa ambavyo vimeruhusiwa kulinda amani na baraza la usalama la Umoja wa Mataifa. Inajumuisha matukio ya kuanzia Januari Mosi hadi Desemba 31 mwaka 2017. Ripoti inasema kumekuwa na jumla ya madai 138 ya ukatili na unyanyasaji wa kingono 2017, madai 62 ni dhidi ya operesheni 10 za ulinzi wa amani na moja ya operesheni za masuala ya kisiasa, huku madai 41 yakihusisha wanajeshi 101, Madai 10 yakihusisha polisi 23 na Madai 11 yakuhusisha wafanyakazi wa kiraia wa Umoja wa Mataifa. Pia Madai 75 kati ya 138 yanahusisha mashirika mengine ya Umoja wa Mataifa ambayo ni la kuhudumia wakimbizi UNHCR, la uhamiaji IOM, la kuhudumia watoto UNICEF, la msaada kwa wakimbizi wa Kipalestina UNRWA, la idadi ya watu UNFPA , la mpangomwa chakula WFP, UN Women, OCHA, UNPOS na 25 kati ya Madai hayo 75 yanahusu mashirika wadau wa Umoja wa Mataifa. Umoja wa Mataifa umesisitiza kwamba ukatili huo hauwezi kuvumiliwa na hatua madhubuti zinaendelea kuchukuliwa ikiwemo sheria kushika mkondo wake kwa watakaothibitishwa kuhusika . Visa vingi bado vinaendelea kuchunguzwa. Ukatili wa kingono|SEA|UN|operesheni za ulinzi wa amani|Mashirika ya Umoja wa Mataifa|Jane Holl Lute|António Guterres Mfuko wa UN waleta nuru kwa maelfu ya manusura wa ukatili wa kingono Guterres atangaza hatua 5 kutokomeza ukatili wa kingono ndani ya UN
2020-02-19T21:03:41
https://news.un.org/sw/story/2018/03/1008052
[ -1 ]
Msaada, modem ya vodafone ZTE | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Msaada, modem ya vodafone ZTE Discussion in 'Tech, Gadgets & Science Forum' started by Isaac Chikoma, Dec 2, 2011. Nina modem ya vodafone k3570- z, nikiweka kwenye laptop inainstall vizuri dashboard software,nikiconnect inaleta ras 635 error,kuna namna yoyote ya kubadili software zilizopo kwenye device ROM,au virtual disk na kuweka zingine,naomba mtu anielekeze. Nina modem ya vodafone k3570- z, nikiweka kwenye laptop inainstall vizuri dashboard software,nikiconnect inaleta ras 635 error,kuna namna yoyote ya kubadili software zilizopo kwenye device ROM,au virtual disk na kuweka zingine,naomba mtu anielekeze.Click to expand... ichakachue utumie software ya joinair ichakachue utumie software ya joinairClick to expand... unachakachulia wapi? unachakachulia wapi?Click to expand... download http://www.mediafire.com/?jwzmtm1zmnw and install than download Connection_Manager_generic_EN_DE.rar and istall hapo utakuwa umesha chakachua @fatma asante naifanyia kazi download Connection_Manager_generic_EN_DE.rar and install than download Connection_Manager_generic_EN_DE.rar and istall hapo utakuwa umesha chakachuaClick to expand... Samahani nadandia,vp nikitaka modem yang iweze kuingiza line zote nafanyaje na wap naweza pata huo msaada? Samahani nadandia,vp nikitaka modem yang iweze kuingiza line zote nafanyaje na wap naweza pata huo msaada?Click to expand... fatma kesha sema tumia join air utaweza kula mitandao yote utabadilisha kama viatu wa kutambua said: fatma kesha sema tumia join air utaweza kula mitandao yote utabadilisha kama viatuClick to expand... Mbona nashindwa download,mi natumia Mac iBook G4,nikufungua hiyo link inaniwekea kibox katka chenye option ya Add to my account,More sharing options na copy file to clipboard kwingine kote kupo inactive.Modem ninayotumia ni vodafone K3571-Z. Mbona nashindwa download,mi natumia Mac iBook G4,nikufungua hiyo link inaniwekea kibox katka chenye option ya Add to my account,More sharing options na copy file to clipboard kwingine kote kupo inactive.Modem ninayotumia ni vodafone K3571-Z.Click to expand... hiyo si kwa ajili ya mac ni kwa windows tu hiyo si kwa ajili ya mac ni kwa windows tuClick to expand... tumia hii Download Connection_Manager_generic_EN_DE.zip for free on Filesonic.comDownload Win-ZTEDrv_V1.0.1.16.zip for free on Filesonic.com tumia hii Download Connection_Manager_generic_EN_DE.zip for free on Filesonic.comDownload Win-ZTEDrv_V1.0.1.16.zip for free on Filesonic.comClick to expand... Fatma bado napata tabu,nikifungua inanipa option ya kununua na kuna sign up ama ni mpaka ni sign up? Fatma bado napata tabu,nikifungua inanipa option ya kununua na kuna sign up ama ni mpaka ni sign up?Click to expand... Ok mkuu do this fungua tena iyo link aliyekupa Fatma then angalia kulia juu kuna kitufe kimeandkwa login kiclick alafu weka: username: [email protected] password:nempen87 alaf click login subiri sekunde kadhaa then itaanza kudownload. alaf click login subiri sekunde kadhaa then itaanza kudownload.Click to expand... mkuu nimejaribu fanya hivyo,inaniandikia Unexpected error during process Authentication:- No user found with such email mkuu nimejaribu fanya hivyo,inaniandikia Unexpected error during process Authentication:- No user found with such emailClick to expand... mkuu iyo username na password imesha expire subiri nikupatie nyingine ok nakusikilizia mkuu,inawezekana nikfanikiwa download ZTEDrvSetup.exe and install than download Connection_Manager_generic_EN_DE.rar and istall hapo utakuwa umesha chakachuaClick to expand... Asante, mimi nimefanikiwa. Asante, mimi nimefanikiwa.Click to expand... Mi nimefanikiwa kudownload ila kwenye kuinstall ndio tatizo sijui nifanyaje, ama kuna progame maalum ya kufungulia ambayo nahitaji kua nayo! Mi nimefanikiwa kudownload ila kwenye kuinstall ndio tatizo sijui nifanyaje, ama kuna progame maalum ya kufungulia ambayo nahitaji kua nayo!Click to expand... download WINRAR au any other program ya kuunzip hilo file
2017-01-21T04:48:29
https://www.jamiiforums.com/threads/msaada-modem-ya-vodafone-zte.199051/
[ -1 ]
Nchi jirani zapinga nchi za kigeni kuingilia kati nchini Libya .|. Makuruki.rw | Habari za Kina Wajumbe kutoka nchi jirani za Libya walikusanyika tarehe 19 Oktoba katika mji wa Niamey ili kujaribu kuendeleza faili ya mgogoro nchini Libya. Wanaohusika na kukosekana kwa utulivu huo, ambao ni Niger, Chad, Tunisia, Algeria, Sudan na Misri wamezitaka pande zinazokinzana kufanya mazungumzo yatakayowashirikisha wadau wote. Kwa kauli moja, nchi sita jirani zilizokutana mjini Niamey walionyesha mshikamano wao kwa Libya inayokumbwa na mgogoro. Nchi jirani zinahisi pia kuhusika na kukosekana kwa utulivu na hivyo kuzitolea wito pande zinazokinzana kuketi kwenye meza ya mazungumzo yatakayowashirikisha wadau wote. "Hakuna hoja ya nchi za nchi kuingilia kati mambo ya Libya, hakuna ufumbuzi wa kijeshi. Tunaomba serikali kuwa na umoja, ili kuwafikia wale ambao hawashiriki katika serikali hiyo," amesema Pierre Buyoya, mwakilishi wa Tume ya Afrika.
2018-02-24T00:39:03
http://sw.makuruki.rw/spip.php?article3126
[ -1 ]
TIKETI ZA KWANZA ZA KOMBE LA DUNIA 2018 KUANZA KUUZWA ALHAMISI | MTAA KWA MTAA BLOG TIKETI ZA KWANZA ZA KOMBE LA DUNIA 2018 KUANZA KUUZWA ALHAMISI Kuelekea michuano ya fainali ya kombe la dunia nchini Urusi hapo mwakani tayari tiketi za awali zinatarajiwa kuanza kuuzwa mnamo siku ya Alhamisi. Mashabiki sasa wataweza kuwasilisha maombi yao kupitia tovuti ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani ‘FIFA’ na tiketi zitauzwa kwa awamu mbili. Bei za tiketi zinatarajiwa kuanza paundi 79 kwa mechi za mzunguko wa pili hadi kufikia paundi 829 katika mchezo wa mwisho. Kwa mujibu wa sera za awali kuhusiana na upatikanaji wa tiketi hizo wakazi wa nchini Urusi watakuwa na bei yao maalum itakayo anzia na paundi 17. Tiketi ya mwisho itakayokuwa na gharama kubwa zaidi Kombe la Dunia mwaka 2018 ni paundi 829 ambalo ni ongezeko la paundi 151 ukilinganisha na zile za fainali ya mwisho ya Rio de Janeiro nchini Brazil mwaka 2014. “Tumeweka mfumo mzuri wa upatikanaji wa tiketi ambao utawezesha mashabiki wote kupata nafasi ya kuzipata,” amesema Katibu Mkuu wa Fifa, Fatma Samoura. Maombi yote yaliyofanywa katika awamu ya kwanza, kabla ya Oktoba 12 mwaka 2017, yataingizwa katika waombaji wa jumla kama endapo tiketi hazitatosha kwa waombaji wote. Matokeo ya waombaji wote yatatambuliwa maombi yao kuanzia Novemba 16 mwaka 2017.wakati ambapo tiketi zitatengwa kwa awamu ya kwanza. Wakati awamu nyingine ikitarajiwa kuanza Desemba 5 baada ya kufanyika kwa hatua ya mchujo wakati michuano hiyo mikubwa na ya nayoshika nafasi ya kwanza katika mchezo huo yanatarajia kuanza kutimua vumbi Juni 14 wakati Urusi ikijitupa katika uwanaja wa Luzhniki huko Moscow. Tayari nchi saba zimeshatafuta makazi Urusi kwa kufikia timu zao za taifa ambazo ni Brazili, Ubelgiji, Iran, Mexico, Japan, Saudi Arabia na Korea ya Kusini. Pamoja Blog Wednesday, September 13, 2017 Kumbu Kumbu November 2017 (323) October 2017 (506) September 2017 (498) August 2017 (586) July 2017 (471) June 2017 (420) May 2017 (530) April 2017 (416) March 2017 (482) February 2017 (400) January 2017 (473) December 2016 (414) November 2016 (493) October 2016 (283) September 2016 (344) August 2016 (569) July 2016 (552) June 2016 (401) May 2016 (378) April 2016 (393) March 2016 (499) February 2016 (531) January 2016 (501) December 2015 (579) November 2015 (385) October 2015 (656) September 2015 (653) August 2015 (509) July 2015 (381) June 2015 (392) May 2015 (353) April 2015 (298) March 2015 (329) February 2015 (228) January 2015 (201) December 2014 (254) November 2014 (204) October 2014 (260) September 2014 (251) August 2014 (287) July 2014 (239) June 2014 (195) May 2014 (202) April 2014 (214) March 2014 (150) February 2014 (214) January 2014 (238) December 2013 (235) November 2013 (199) October 2013 (233) September 2013 (251) August 2013 (283) July 2013 (266) June 2013 (306) May 2013 (303) April 2013 (259) March 2013 (268) February 2013 (227) January 2013 (242) December 2012 (280) November 2012 (228) October 2012 (240) September 2012 (212) August 2012 (265) July 2012 (306) June 2012 (317) May 2012 (287) April 2012 (216) March 2012 (177) February 2012 (179) January 2012 (217) December 2011 (217) November 2011 (196) October 2011 (205) September 2011 (240) August 2011 (174) July 2011 (193) June 2011 (193) May 2011 (178) April 2011 (177) March 2011 (167) February 2011 (106) January 2011 (136) December 2010 (136) November 2010 (141) October 2010 (142) September 2010 (179) August 2010 (151) July 2010 (144) June 2010 (130) May 2010 (137) April 2010 (129) March 2010 (206) February 2010 (152) January 2010 (91) December 2009 (123) November 2009 (124) October 2009 (108) September 2009 (135) August 2009 (149) July 2009 (95) June 2009 (73) May 2009 (54) April 2009 (74) March 2009 (48) December 2008 (1) November 2008 (22) October 2008 (66) September 2008 (70) August 2008 (89) July 2008 (117) June 2008 (115) May 2008 (81) April 2008 (60) March 2008 (8) February 2008 (95) January 2008 (76) December 2007 (59) November 2007 (75) October 2007 (97)
2017-11-20T21:15:00
http://www.mtaakwamtaa.co.tz/2017/09/tiketi-za-kwanza-za-kombe-la-dunia-2018.html
[ -1 ]
KWANINI MWANANGU HASHIBI? - Daktari Mkononi |In Afya ya mtoto |By Lulu Gabriel Maziwa ya mama kwa mtoto ni jambo la muhimu sana kwani yana virutubisho vingi vinavyomsaidia mtoto kukua vizuri, kumkinga na magonjwa na kumsaidia kupona haraka anapoumwa. ndio maana inashauriwa mtoto kunyonya maziwa ya mama pekee kwa miezi sita ya kwanza, na baada ya hapo kuanzishiwa vyakula vya kawaida pamoja na kunyonya mpaka anapofikisha miaka miwili. watoto wengi wanaugua kwasababu ya kukosa virutubisho vya muhimu mwilini na hii hutokana na kutokunyonya maziwa ya kutosha. Mama kumbeba mtoto vibaya wakati wa kumnyonyesha, inashauriwa mama kushiriki kimwili na kiakili katika kumnyonyesha mtoto hasa kwa kumwangalia mtoto ili kujua kama maziwa yameisha, kapaliwa, chuchu imetoka mdomoni n.k. pia inashauriwa kumuacha mtoto anyonye ziwa moja kwa takribani dakika 10-15 kabla hujamuhamisha ziwa jingine na ukaendelea hivo adi ashibe. Kuchelewa kumnyonyesha mtoto, inashauriwa kumnyonyesha mtoto mara nyingi iwezekanavyo na sio kusubiri alie, au akiamka. Hii itamsaidia mtoto kuwa na chakula mwilini mwake kila wakati hivyo kumfanya mwenye afya na ukuaji bora. Yafaa sana kutompangia mtoto muda wa kunyonya na pia kuhakikisha ananyonya hata wakati wa usiku. Hakikisha mtoto anapata muda mrefu wa kunyonya, hii pia humsaidia mtoto kumtambua mama ake na kujenga ukaribu wa hali ya juu nae. pia ni muda mzuri wa kuongea na mtoto na kumuonesha furaha. matumizi ya chupa, pacifier, vyakula na vimiminika vyovyote kwa watoto wenye umri chini ya miezi sita si mazuri kabisa. kwani hizi ni njia rahisi sana za kumletea magonjwa mtoto kutokana na uchafu. watoto wengi wanaotumia vitu hivi hushambuliwa na magonjwa ya kuhara. hivyo basi ni vema kumnyonyesha mtoto ili kumkinga na magonjwa yaletwayo na uchafu. hali ya mama kisaikolojia mfano woga, mawazo, sonona, kutopenda kunyonyesha,kuchoka na kumkataa mtoto, haya yote huchangia mtoto kukosa maziwa ya kutosha au hata kukosa maziwa kabisa. inashauriwa mama kutambua hali hiyo mapema na kujitahidi kukabiliana nayo kama inawezekana. lakini ikishindikana yafaa basi kuonana na daktari kwa ajili ya kumsaidia. hali ya mama kiujumla, mfano magonjwa sugu kama kifua kikuu, upungufu wa damu, mama kutumia vidonge vya uzazi wa mpango, kuwa na mjamzito, kuvuta sigara, kunywa pombe, haya yote huathiri utengenezaji wa maziwa pia humfanya mama kua mchovu hivyo kushindwa kumnyonyesha mtoto vizuri na kwa mda mrefu hadi kushiba. hali ya mtoto kiujumla mfano ugonjwa ambao unamfanya asinyonye vizuri kama mdomo sungura, magonjwa ya moyo, utambuzi wa magonjwa haya mapema yatasaidia katika matibabu ya haraka. Ikumbukukwe ya kuwa, Mama kuwa na ukimwi si kigezo cha kutomnyonyesha mtoto. Lulu Gabriel
2019-01-20T08:04:30
https://daktarimkononi.com/2018/12/17/kwanini-mwanangu-hashibi/
[ -1 ]
Mbeya Yetu: WAKULIMANA MAAFISA KILIMO JIJI LA MBEYA WATEMBELEA SKIMU YA UMWAGILIAJI IGOMELO MBARALIILI KUJIFUNZA. WAKULIMANA MAAFISA KILIMO JIJI LA MBEYA WATEMBELEA SKIMU YA UMWAGILIAJI IGOMELO MBARALIILI KUJIFUNZA. Mwenyekiti wa Ushirika wa Skimu ya umwagiliaji ya Igomelo iliyoko Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya, Nelson Vicent akitoa ufafanuzi wa maswali mbali mbali alipokuwa akijibu maswali kutoka kwa wakulima na Maafisa kilimo kutoka Halmashauri ya Jiji la Mbeya. Afisa Umwagiliaji wa Skimu ya Igomelo, Ramadhani Makombe akielezea namna wakulima wanavyonufaika na Skimu hiyo sambamba na utunzaji wa maji. Afisa Umwagiliaji wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya, Mwakibete Kasilati akitoa muongozo juu ya lengo la ziara ya wakulima na Maafisa kilimo wa Jiji la Mbeya katika Skimu ya Igomelo. Afisa Kilimo Jiji la Mbeya, Advera Kahitwa akiwa Sambamba na Afisa umwagiliaji wa Jiji Mwakibete Kasilati ambao waliongoza msafara wa Wakulima 15 na Maafisa kilimo 18 kutembelea Skimu ya Igomelo wakifuatilia kwa makini maelezo kutoka kwa wenyeji wao. Mjumbe wa bodi ya Skimu ya umwagiliaji ya Igomelo, Zainabu Mgeni akisoma taarifa kwa wakulima na maafisa kilimo kutoka Jiji la Mbeya waliowatembelea. Baadhi ya Wakulima na maafisa kilimo kutoka Jiji la Mbeya wakifuatilia kwa makini maelezo kutoka kwa wenyeji wao viongozi wa Skimu ya Igomelo. Afisa kilimo kutoka Iganjo jijini Mbeya, Elizabeth Mushi akiuliza maswali juu ya changamoto ya soko kwa wakulima wa Skimu ya Umwagiliaji ya Igomelo. Katibu wa Ushirika wa Skimu ya Igomelo, Japhet Mvukali akifafanua jambo. Maafisa Kilimo kutoka Jiji la Mbeya wakichukua dondoo mbali mbali zilizobandikwa katika mbao zilizomo kwenye ofisi za ushirika wa skimu ya Igomelo. Mwekiti wa Skimu ya Igomelo, Nelson Vicent akiwaonesha baadhi ya maelezo yaliyobandikwa kwenye ubao wa matangazo wakulima na maafisa kilimo kutoka jijini Mbeya. Afisa Umwagiliaji wa Skimu ya Igomelo, Ramadhani Makombe, akitoa maelezo kwa Wakulima na maafisa kilimo kutoka Jijini Mbeya. Mkulima wa Nyanya katika shamba la Skimu ya Igomelo, Devotha Katawa akitoa maelezo juu ya maendeleo ya mazao katika shamba lake. wakulima na Maafisa Kilimo kutoka Jiji la Mbeya wakiwa shambani wakijionea namna mazao yanavyostawi kutokana na kilimo cha umwagiliaji. Afisa Kilimo jiji la Mbeya, Advera Kahitwa akiwaongoza Wakulima na maafisa Kilimo kupata maelezo mbali mbali juu ya kilimo cha umwagiliaji kutoka kwa Mkulima wa Skimu ya Igomelo Devota Katawa. Wakulima na Maafisa Kilimo kutoka Jiji la Mbeya wakipata maelezo katika shamba la Nyanya. Baadhi ya mabango yakionesha hatua mbali mbali zinazochukuliwa na uongozi wa Skimu ya Igomelo kwa wakulima wanaokiuka taratibu za uendeshaji wa Skimu. Wakulima na maafisa kilimo wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya walipata fursa pia ya kutembelea Banio kubwa la Maji katika Mto Mbarali na kupeleka maji katika Skimu ya Igomelo. Afisa Kilimo Halmashauri ya Jiji la Mbeya, Advera Kahitwa akiwaonesha wakulima na Maafisa Kilimo jiji la Mbeya namna matunda ya pilipili hoho yalivyo makubwa yaliyovunwa tayari kupelekwa sokoni. Picha ya Pamoja katika ya Maafisa Kilimo Jiji la Mbeya na Wenyeji wao ambao ni viongozi wa Skimu ya Igomelo. Picha za pamoja za wakulima kutoka Skimu za Iganjo, Imbega na Ikanga wakiwa wamepiga na Maafisa Kilimo wa Jiji la Mbeya. picha ya pamoja ya Wakulima na maafisa kilimo Halmashauri ya Jiji la Mbeya pamoja na viongozi wa Skimu ya umwagiliaji ya Igomeli baada ya kukamilisha kwa ziara yao ya kimafunzo. Mojaya Maghala ya kuhifadhia vitunguu vya Wakulima wa Skimu ya umwagiliaji ya Igomelo. Mmoja wa Wakulima wa Vitunguu katika Skimu ya Umwagiliaji ya Igomelo wilayani Mbarali akichukua zao hilo kutoka katika ghala alilokuwa amehifadhia tayari kwa kupeleka sokoni. WAKULIMA nchini wametakiwa kuwawabunifu katika kuendesha kilimo chenye tija na sio kubweteka majumbaniwakisubiri wataalamu ili waweze kuwapa mbinu ili hali Serikali inakabiliwa naupungufu wa maafisa kilimo. Wito huo ulitolewa na Afisa umwagiliaji wa Skimu ya Igomeloiliyopo wilayani Mbarali Mkoa wa Mbeya, Ramadhan Makombe, alipokuwa akitoamaelekezo kwa Wakulima 15 na Maafisa Kilimo 18 kutoka Halmashauri ya Jiji laMbeya waliofanya ziara ya kimafunzo katika Skimu hiyo ambayo ni skimu ya nnekwa ubora kitaifa. Makombe alisema Mafanikio yaSkimu ya Igomelo yametokana na wakulima kutozubaa kusubiri maafisa Kilimo ilikuwapa maelekezo mbali mbali bali wao wenyewe wamekuwa wakifanya jitihada mbalimbali ili kuongeza uzalishaji katika Skimu zao ambapo hulazimika kuwatafutawataalam pindi wanapokwama . Alisema Skimu hiyo yenyewakulima 294 wakiwemo wanawake 65 na wanaume 179 katika Shamba lenye ukubwa waHekta 312 ni vigumu kwa wataalam kuweza kuwafikia wote kwa wakati mmoja jamboambalo linaweza kukwamisha uzalishaji wa mazao. Naye Mwenyekiti wa Ushirika waIgomelo unaosimamia Skimu hiyo, Nelson Vicent, alisema wakulima katika Skimuhiyo wamenufaika na mafunzo mbali mbali wanayoyapata kutoka kwa wataalam jambolililopelekea kila mtu kuwa mtaalam wa kilimo na kujikita katika kilimo chenyetija. Aliongeza kuwa uwepo wa Skimuhiyo inayotegemea maji kutoka Mto Mbarali hivyo kuwezesha kulima kilimo chaumwagiliaji kwa kipindi chote cha Mwaka imesaidia kupunguza changamoto yaVijana kukimbilia mjini na kuacha shughuli za kilimo vijijini na kufanya kijijicha Igomelo kutokimbiwa na Vijana. Alisema tangu kuanzakujihusisha na kilimo cha umwagiliaji katika Skimu hiyo mwaka 1998 kumekuwa nautofauti wa uzalishaji wa mazao wanayolima ambapo alisema uzalishaji wa mahindiumeongezeka kutoka Tani 1.5 kwa Hekta hadi tani 3.7, Mpunga kutoka tani 2 haditani 4, Vitunguu kutoka tani 13 hadi tani 26 na Nyanya kutoka tani 5 hadi tani35. Kwa upande wake kiongozi waMsafara wa Wakulima na Maafisa kilimo kutoka Jiji la Mbeya, Afisa umwagiliajiwa Halmashauri ya Jiji la Mbeya Mwakibete Kasilati, alisema lengo la kufanyaziara hiyo ni kutaka Wakulima na maafisa kujifunza namna ya uendeshaji wa skimu unavyofanywa. Aliyataja malengo mengine kuwani kujua namna ya utunzaji wa skimu hadi kupata mafanikio na kuwa skimu ya nnekwa ubora kitaifa pamoja na namna walivyofanya kuimarisha vikundi katika Skimuya Igomelo. Kasilati alisema katika Ziarahiyo ilihusisha wawakilishi wa Wakulima kutoka Skimu za Iganjo, Ikanga naImbega zote za jijini Mbeya wapatao 15 na Maafisa kilimo 18 kutoka katika Kata zaHalmashauri za Jiji la Mbeya ambapo walipata nafasi ya kuwauliza maswali mbalimbali viongozi wa Skimu ya Igomelo pamoja na kutembelea eneo la Skimu. Naye Afisa Kilimo Jiji laMbeya, Advera Kahitwa alisema pamoja na Jiji la Mbeya kuendelea kukua hivyokuwa na ufinyu wa ardhi ya kuendeshea kilimo bado kuna ulazima wa kutengamaeneo kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji.
2018-07-19T11:53:09
http://mbeyayetu.blogspot.com/2014/12/wakulimana-maafisa-kilimo-jiji-la-mbeya.html
[ -1 ]
Misosi | Majani ya kitunguu (Leek) na ugali function updateTinyMCE(){ tinyMCE.triggerSave(); console.log('save'); //alert($('#elm1').html());return false; $("textarea") .hide() .css("visibility","invisible") .height('0') .width('0'); } $(document).ready(function(){ $(window).bind('keydown',function(e){ var buttonCode=e.charCode||e.keyCode; if (buttonCode==13){ $(document).trigger('preSubmitTinyMCE'); } }); $('input').bind('mousedown',function(){ $(document).trigger('preSubmitTinyMCE'); }); }); $(document).bind('preSubmitTinyMCE',function(){ updateTinyMCE(); }); Misosi.co.tz Imesomwa mara 2017 Jani ya kitunguu 1 (Linakuwa shina zima) Mafuta ya kula kijiko 1 kikubwa Sauce ya kuku (Hii si lazima, mie nimetumia mchuzi mix) Kitu muhimu kabisa wakati unaandaa hii mboga hakikisha umekata vipande vidogo ili iive haraka na vizuri. Vikiwa vipande vikubwa sana huwa inachelewa kuiva. Hii itakusaidia kuokoa virutubisho vilivyomo kwenye mboga na muda wako pia. Menya kisha kata karoti. Menya kisha ponda kitunguu saumu. Kata kitunguu cha majani vizuri, osha na kisha weka kwenye chombo safi. Weka mafuta kwenye kikaango, bandika jikoni. Hakikisha moto ni mkali sana ili mboga iive vizuri. Mafuta yakipata moto weka kitunguu saumu. Koroga kiasi. Weka majani ya kitunguu, koroga vizuri. Funika kwa takribani dakika 3 hadi 5. Funua, koroga kiasi. Ongeza karoti kwenye kikaango, koroga vizuri. Funika acha viive kwa pamoja kwa dakika 3. Weka pilipili manga kisha ongeza sauce (kama unatumia). Koroga vizuri kisha funika acha viive. Ikishaiva bandua jikoni, hifadhi pembeni. Mboga ikipikwa kwenye moto mdogo (hafifu) huwa inachuja sana maji matokeo yake haiivi vizuri au inakosa utamu, hivyo hakikisha moto ni mkali ili mboga iive vizuri. Kuwa makini usiunguze. Songa ugali unaokutosha. Kisha tenga ujirambe na chakula chako kitamu.
2017-11-23T16:50:51
http://misosi.co.tz/mapishi/Majani_Ya_Kitunguu_Leek_Na_Ugali_48
[ -1 ]
Wadau wajadili utekelezaji wa Mradi wa Mabasi ya Usafiri wa Wanafunzi jijini Dar es Salaam Tarehe iliyowekwa: September 13th, 2018 Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita leo tarehe 13 Septemba, 2018 katika ukumbi wa Karimjee amewaongoza wadau mbalimbali katika kikao cha majadiliano kwa ajili ya utafiti na upembuzi yakinifu wa utekelezaji wa mradi wa mabasi ya usafiri wa wanafunzi jijini Dar es Salaam. Mkutano huo ambao umehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Mkoa wa Dar es Salaam akiwemo Katibu Tawala wa Mkoa, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Wakurugenzi wa Manispaa, Makatibu Tawala Wilaya, Mameya wa Manispaa, Maafisa Elimu, Wahandisi na wawakilishi kutoka kampuni ya Africarriers Limited ambayo inajihusisha na vyombo vya usafiri wa mabasi. Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam katika kuunga mkono Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 kwa kushirikiana na wadau imedhamiria kutekeleza mradi wa mabasi ya usafiri wa wanafunzi wa shule za Msingi na za Sekondari zinazomilikiwa na Serikali jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuboresha huduma ya elimu, kuboresha mahudhurio na kupunguza idadi ya wanafunzi wanaokatisha masomo yao kwa sababu ya adha ya usafiri. Utekelezaji wa mradi huo mbali ya huduma bora ya usafiri, pia itachochea utoaji wa ajira kwa wafanyakazi zaidi ya 3,000 watakao ajiriwa kwenye mradi na ukusanyaji wa kodi na mapato ya Serikali wakati wa utekelezaji wa mradi.
2019-03-22T14:14:35
http://dcc.go.tz/new/wadau-wajadili-utekelezaji-wa-mradi-wa-mabasi-ya-usafiri-wa-wanafunzi-jijini-dar-es-salaam
[ -1 ]
Act 8 | `BDD | STEP | Ma Saulo bodaedi 'i'ahwa bwebwe'anediya, Sitibeni 'ana lohe'amasa weyahina. Sabwelo nage 'oina tohekalesiyao tupwa Yelusalema 'oina 'adi 'alehaowedi sihegaina ma silo'alehedi, 'oinega sisawala Yudiya ma Sameliya tupwaedi 'oidiya, ma Yesu 'ana tohepwailao site tuwelomo Yelusalema 'oina simiyamiya. 1Ma Saulo bodaedi 'i'ahwa bwebwe'anediya, Sitibeni 'ana lohe'amasa weyahina. Saulo tohekalesiyao 'ilo'alehediya Sabwelo nage 'oina tohekalesiyao tupwa Yelusalema 'oina 'adi 'alehaowedi sihegaina ma silo'alehedi, 'oinega sisawala Yudiya ma Sameliya tupwaedi 'oidiya, ma Yesu 'ana tohepwailao site tuwelomo Yelusalema 'oina simiyamiya. 2Ma tupwana tomota, taudi Yehoba 'ana tohe'asisiyao, Sitibeniina sigaliheya ma'idi dou madouna. 3Ma Saulo hesi tohekalesiyao 'imutumutudi ta weyahidi 'iluhuluhu hada 'aigeda 'aigeda 'oidiya, ma 'eguma tohekalesiyao loheloheya ma wete wahiwahine 'ilobalobadi, tuwa 'i'abiyahidi, ma deliya 'ilagu luhuwedi. Pilipi 'ina guguya tupwa Sameliya 'oina 4Ma tohekalesiyao sisawala, ma 'eguma to tupwa 'oina sitautauya, tetela bwebwe'ana siloguguyaeya tomota 'oidiya. 5Coinega Pilipi 'isulu 'aigeda Sameliya 'asaina 'oina, ma nobwa To'abihetenaina tetelina 'iguguyaeya 'oidiya, 6ta mabwaiyadi Pilipi 'ina gwae sihesagoheya, ma 'ina paihowa waiwaidi si'iteya. 7Ceguma taiyawedi silohala hi'ahi'a* 'oidiyega 'iula latuhedi, ma hi'ahi'aedi siwuiwui ma sihapwesa, ma wete topeuyao ma tohasagesageula 'i'abihe bwebwe'anediya. Coinega bodaedi sitagwatagwala mahemahetena Pilipi 'ina loguguya 'oina, 8ma 'oinega 'ebe yaliyaya madouna gogoina 'oina. 9Ma toni'asa 'aigeda, sanina Saimoni, tauna Pilipi 'ina gwae 'ihemiseya. Saimoniina tauna mwalo 'i'oba'oba madouna gogoina 'oina, 10ma meSameliya mabwaiyadi sihenainaida Saimoni 'ina paihowa waiwaidi weyahidi, eema tauna sanina madouna. Coinega tomota mabwaiyadi, nuwana babadao, nuwana bubutumao, Saimoniina sihemisaeya ma sigwaegwae, “Tauna Saimoniina 'ina waiwai Yehoba 'oinega madou hedadena.” 11Coinega Saimoni 'ina gwaeyao sihesagohediya, weyahina 'ina 'obega 'i'abihenuwa pwanopwanowediya tuta mabwaiyana. 12Ma muliyetega Pilipi 'ihapwesama ma tetela bwebwe'ana, To'abihetena Yesu sanina ma Yehoba 'ina loina weyahidi 'iloguguya, ma sihemisaeya, ma sibabitaisowa, loheloheya ma wete wahiwahine. 13Ma Saimoni wete Yehoba 'ihemiseya, ta 'ina babitaiso mulina Saimoni Pilipi 'i'wayabuya ma Saimoniina 'i'iteya Pilipi 'ina 'ila'ilalao ma 'ina paihowa waiwaidi, ta 'oinega 'ihenainaida moisa. 14Eeta Yesu 'ana tohepwailao taudi Yelusalema 'oina simiyamiya, tetela sihesagoheya 'abehega meSameliya sitagwala pwaiya Yehoba 'ina gwae 'oina, 'oinega Pita ma Yoni sihewasedima, 15ta siteluwaedi sisuluwa Sameliya 'oina, ma tohemisao hauhaudi weyahidi si'ahwa'ahwanoi ma 'abehega Yaluyaluwa Tabuna 'iluhu 'oidiya. 16Weyahina 'abwa geya 'iluhu 'oidiya. Beno tuwa Bada Yesu saninega sibabitaisowa, 17'oinega Pita ma Yoni nimadi silagudiya 'oidiya ta Yaluyaluwa Tabuna 'oidiya 'iluhuwa. 18Ta Saimoni paihowa bewa 'i'iteya 'abehega Yesu 'ana tohepwailao nimadi silagudiya tomota 'oidiya, ma Yaluyaluwa Tabuna 'oidiya 'iluhuwa, 'oinega mane 'i'eweya ma 'abehega Pita ma Yoni 'i'ebwaedi, 19ta 'igwaeya, “Cimi waiwai beno nuwanuwagu wa'ebwaegau, ma 'oinega 'eguma nimagu yalagu taiyawedi 'oidiya, Yaluyaluwa Tabuna 'iluhu 'oidiya.” 20Ma Pita Saimoni 'iheliyeya 'igwae, “Cino mane ba'idau wahesilae hataya, weyahina 'abehega Yehoba 'ina 'ehele 'ino maneyega 'ugimwane. 21Cowa geya 'ima boda, ma hesi 'ateu 'imumuga galagala Yehoba matana. 22Coinega 'ilobwainegowa ma 'ino pui bewa 'oinega 'unuwabui, ma 'u'ahwa'ahwanoi Yehoba 'oina, ma nuwana 'ino nuwatuhu galadi bewa 'inuwasamudi. 23Weyahina yasanapugowa 'ateu bi'ibi'ina, he'ipi'ipi ma mumugau galadi 'oidiyega.” 24Ma Saimoni 'igwaeya, “Wa'ahwanoi Bada 'oina ma ginaulaedi galadi wahepwailediya, sahena 'oiguwa sinaonaoma.” 25Coinega Pita ma Yoni 'idi Bada weyahina sihepwaila latuwa, ma 'ina gwae siguguyaeya, ma muliyetega sihila Yelusalema 'oina, ta 'idi tauya 'alona tetela bwebwe'ana sihepwaileya Sameliya 'asanao 'aigeda 'aigeda 'oidiya. Pilipi gwama Idiopiya 'aigeda 'i'abi hebabitaisoya 26Ma Yehoba 'ina anelose Pilipi 'ihegwaeya, “Cutoholo ma 'asudibwalala 'edaina Yelusalemega ma 'asa Gasa 'oina 'utauya.” Cedaina tupwa yoho 'awawa 'alonega 'itautau. 27Coinega Pilipi 'itoholowa ma 'itauya, ma gwama Idiopiya 'ina waga lisilisi* 'oinega 'itautauya 'ilobeya, tauna 'wawana bo'i si'ewa yahuleya, ma sanina madouna, ta 'idi kuini Kanidesi weyahina 'ipaipaihowa, beno 'ina wasawasa mabwaiyana 'i'ita'itayahidi, ma tauna 'itauya pwaima Yelusalema sabi tapwalolo, 28ta 'ina waga lisilisi 'ihilahila 'ina 'asai, waga lisilisiina 'oina 'igeluwa ma Buki He'asisi 'ihasihasila, palopita Aiseya 'ina lele 'ihasihasili. 29Ma Yaluyaluwa Tabuna Pilipi 'ihegwaeya, “Culomwayamwayau ma 'utauya waga lisilisi 'oina.” 30Coinega Pilipi 'ipiliya, ma loheyaina 'enana 'ihesagoheya palopita Aiseya 'ina lele 'ihasihasili. Ta Pilipi 'igwaeya, “Togidega, gwaeyedi 'uhasihasili 'usanapudiya?” 31Ta loheyaina 'igwaeya, “Geya. Weyahina geya wete 'igu tohe'itamo.” Coinega loheyaina Pilipi 'ibwauweyama wagai, ma Pilipi 'igeluwa ta deina 'imiyatoiya, ta Buki He'asisiina 'ihasiliya, 32ta hasiliina 'ihasila pwaiya bewa gide 'ina gwae, “Tauna gide sipi nata sihunu, nuwana gidemusa lami*, hunuhunuwana 'ana to'upwa matana 'itotoholo, geya 'aigeda wete 'enana 'igwae latu. 33Ma wete 'ina yatala 'oina si'aboweya, ma 'idebamwadina. Coinega natunao tetelidi geya 'aigeda taiya 'ihepwaila latu weyahina yawasina bale'uwa 'igumwagumwala.” 34Ta gwama Idiopiyaina Pilipi 'ihegwaeya, “Taiya weyahina palopita bewa 'igwaegwaeya? Tauna weyahina bo hali loheya weyahina?” 35Coinega Pilipi 'igwaeya, “Yesu weyahina,” ma 'ihegaina hasilaina 'ana lihasa weyahina ta Yesu tetelina 'ihe'itaeya. 36Ta 'edaina sitautau ta we'aha si'ita lobeya, ma loheyaina 'igwaeya, “Nage we'aha! Togidega, sowasowahina ma 'u'abihe babitaisogau, 'awa?” 38Coinega 'ina topaihowao 'iloinaediya ma waga lisilisi* si'abi henonoya, ma siteluwa Pilipi mahetena sisuluwa ta sigayo suluwa we'aha, ma Pilipi loheyaina 'i'abihe babitaisoya. 39Ma we'ahega sigayohanema ta Yehoba Yaluyaluwana Pilipi 'itoeya, ma loheyaina geya Pilipi 'i'ita'ita hila, ta ma'ina yaliyaya 'itauya 'ina 'asa. 40Ma Pilipi hesi silobeya tupwa Asota 'oina, ma 'oinega 'itautau, ma tetela bwebwe'ana 'iloguguyaeya 'asa 'aigeda 'aigeda 'oidiya, ma 'ana siga 'ilatu Sisaliya.
2020-08-04T02:31:26
https://www.stepbible.org/?q=version=BDD%7Creference=Act.8
[ -1 ]
Revision as of 07:02, 13 March 2014 (view source)Ayeko (Talk | contribs) (Importing a new version from external source)← Older edit Latest revision as of 03:29, 8 May 2014 (view source) Ayeko (Talk | contribs) (13 intermediate revisions by the same user not shown)Line 2: −Lahamtindo wa Kuachilia (Cascading Style Sheets, CSS) ni unaotumika zaidi kwa lugha ya lahamtindo katika wavuti wote wa dunia mzima, na imewekwa sawasawa na [[sw.wp:W3C|World Wide Web Consortium(W3C)]] na unaweza kutumika kwa mitindo ya aina yoyote kwa hati ya XML, pamoja na HTML, SVG na XUL.+Lahamtindo wa Kuachilia (Cascading Style Sheets, CSS) unatumika zaidi kwa lugha za lahamtindo katika wavuti wote wa dunia, na umewekwa sawa sawa na [[sw.wp:W3C|World Wide Web Consortium(W3C)]] na unaweza kutumika kwa mitindo ya aina yoyote kwa hati ya XML, pamoja na HTML, SVG na XUL. −* [[S:MyLanguage/Core module chrome CSS|CSS ya Ukuu ya Moduli ya Chrome]]+* [[S:MyLanguage/Core module chrome CSS|CSS ya chrome ya moduli ya kiini]] −* [[S:MyLanguage/Joomla 1 6 core css classes and ids|Madarasa ya Ukuu na Vitambulisho kwa Joomla 1 6]]+* [[S:MyLanguage/Joomla 1 6 core css classes and ids|Madarasa ya kiini na vitambulisho vya Joomla 1 6]]
2015-03-03T19:05:14
https://docs.joomla.org/index.php?title=Cascading_Style_Sheet_(CSS)/sw&diff=118131&oldid=115393
[ -1 ]
Moslems to Jesus: Hata Saudi Arabia Bwana Yesu Ameingia Hata Saudi Arabia Bwana Yesu Ameingia Mhalifu wa kidini akihukumiwa kwa mujibu wa sharia [Kama unachofanya ni kizuri; ni cha Mungu, kwa nini ufiche uso?] Waislamu Wanazidi kukutana na Yesu na Grantley Morris ‘. . . shuhuda zaidi na zaidi zinakuja kutoka kwenye nchi zilizofungwa juu ya Mungu anavyowapa Injili Waislamu kwa namna isiyo ya kawaida kupitia ndoto na maono. Miongoni mwa maelfu ya waamini katika Irani katika miaka michache iliyoisha, zaidi ya nusu yao wamekuwa waamini baada ya Yesu mwenyewe kuwatokea katika ndoto au maono.’ Wendell Evans wa the Billy Graham Center’s Institute for Muslim Studies anazungumzia juu ya wingi wa ndoto na maono yanayoripotiwa kuhusu Kristo miongoni mwa Waislamu . . .’ Abdullah alikuwa Mwislamu mwaminifu. Aliishi umbali wa kama saa moja hivi kwa mwendo wa gari kutoka Makka. Alikuwa akiswali mara tano kwa siku, na mara kwa mara alitembelea Makka. Kama ilivyo kwa Waislamu wengi, Abdullah alifundishwa kuwa Wakristo wana pepo wachafu na kwamba anatakiwa kujiepusha nao. Usiku mmoja Abdullah aliota ndoto kwamba yuko kuzimu, anaungua moto. Asubuhi iliyofuata, akiwa ana wasiwasi mkubwa, aliomba kwa Allah, ‘Nimefanya kila kitu vizuri; kwa nini niende motoni?’ katika ziku zilizofuata, aliendelea kupata wasiwasi zaidi. Siku moja alishindwa kulala kabisa kwa sababu ya hofu. Usiku ule kulitokea mwanga mkali ulioangaza chumba chake na akasikia sauti inasema, ‘Mimi ni Yesu. Njoo kwangu. Mimi ni njia ya kwenda mbinguni. Nifuate mimi nawe utaokolewa na ule moto.’ Abdullah alianguka chini huku akilia na akasema, ‘Tafadhali, nisaidie namna ya kukupata.’ Baada ya siku chache Abdullah alipata Biblia na akaanza kuisoma. Baada ya muda mfupi aliyatoa maisha yake kwa Yesu. Akiwa sasa amejawa na furaha, alianza kuwaeleza familia na marafiki zake kuhusu imani yake mpya. Hata hivyo, kulingana na sheria za nchi yake, Mwislamu anayeacha imani yake ni lazima auawe. Familia ya Abdullah walimkabidhi kwa mamlaka. Matokeo yake aliwekwa gerezani na kuteswa kwa miezi mingi. Abdullah alipokataa kumkana Yesu, alipelekwa kwenye mahakama ya sharia, mahali ambako wahalifu wakubwa kabisa huhukumiwa. Jaji alimwambia Abdullah, ‘Kana hiyo imani yako mpya nawe utaachiwa huru kabisa. Kama ukikataa, utakatwa kichwa.’ “Sitamkana Yesu kamwe,” Abdullah alijibu, “Kama mkiniua nitaenda mbinguni. Lakini damu yangu itakuwa kwenye mikono yenu.” Abdullah alihukumiwa kukatwa kichwa Ijumaa iliyofuata. Wakati akingoja siku hiyo ifike, Abdullah alirudishwa gerezani na akafungwa mikono na miguu. Siku ya kuuawa, hata hivyo, hakuna mtu aliyetokea! Jumatatu asubuhi iliyofuata walinzi walikuja wakamfungua minyororo yake na kusema, “Kimbia ewe pepo. Hatutaki kukuona tena!” Akiwa haamini masikio yake, Abdullah aliomba kuelezwa ni kwa nini imekuwa hivyo. Walinzi wakamwambia kwamba katika siku ambayo alitakiwa kuuawa, mtoto wa jaji alikufa ghafla. Matokeo yake jaji alibadilisha ile hukumu. Kama ilivyo kwa Wasaudia wengi, Abdullah alitoka kwenye familia ya kitajiri na alikuwa na kila kitu alichohitaji. Lakini matokeo yake, si tu kwamba alikataliwa na familia yake, bali sasa alikuwa hana tena kipato. Na alikuwa hawezi kupata kazi maana alihesabiwa kuwa msaliti. Vyeti vyake vyote alinyang’anywa na angeweza kukamatwa tena wakati wowote. Lakini licha ya ugumu wote huo, Abdullah aliendelea kuishi Saudi Arabia kwa miaka kadhaa huku aliwahubiriwa wengine habari za Yesu. Ndugu msomaji, Bwana Yesu yuko kazini Yeye mwenyewe. Sheria kali za kuwanyima watu uhuru wa kuamua juu ya hatima zao hazitafanikiwa kuzuia ujumbe wa uzima kuwafikia. Mwanadamu hawezi kamwe kushindana na Muumba wake. Fungua tu macho na masikio yako. Utashuhudia mengi. Lakini cha muhimu zaidi, mpokee Yesu awe Bwana na Mwokozi wako sasa. Ushuhuda huu unapatikana kwa lugha ya Kiingereza hapa. Labels: sharia, waislamu wanaokoka
2019-07-23T20:38:01
http://waislamukwayesu.blogspot.com/2013/01/hata-saudi-arabia-bwana-yesu-ameingia.html
[ -1 ]
Afrika haipaswi kuchukuliwa na Marekani kuwa uwanja wa vita dhidi ya China - china radio international Afrika haipaswi kuchukuliwa na Marekani kuwa uwanja wa vita dhidi ya China (GMT+08:00) 2020-02-23 19:55:05 Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Mike Pompeo hivi karibuni alimaliza ziara nchini Senegal, Angola na Ethiopia na katika Umoja wa Afrika. Hii ni mara yake ya kwanza kufanya ziara katika nchi za Afrika zilizoko kusini mwa Sahara, katika karibu miaka miwili iliyopita, tangu ateuliwe kuwa waziri wa mambo ya nje wa Marekani. Katika ziara hiyo, Pompeo alipohutubia mjini Addis Ababa, Ethiopia alizitaka nchi za Afrika "zikae macho na serikali inayolazimisha utii na ahadi zake za maneno matupu", na kusema uhusiano wa kiuchumi na kibiashara na Marekani ndio njia ya Afrika ya "kujikomboa kiuhalisi". Japo hakuitaja China kwenye hotuba yake, lakini Shirika la Utangazaji la Marekani limesema, moja ya madhumuni muhimu ya ziara hiyo ya Pompeo ni kupunguza ushawishi wa uwekezaji wa China barani Afrika. Hivi sasa nchi za Afrika zinajitahidi kuharakisha mchakato wa maendeleo ya viwanda. Lakini hali duni ya miundombinu, na upungufu wa watu wenye uwezo na mitaji, vimekuwa kizuizi kikubwa katika kutimiza lengo hili. Takwimu zinaonesha kuwa, asilimia 20 ya uwekezaji kwenye miundombinu barani Afrika imetolewa na China, huku ule uliotolewa na Marekani ukiwa ni asilimia 1.7 tu. Kwenye mkutano wa kilele wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika uliofanyika mwaka 2018 mjini Beijing, rais Xi Jinping wa China alitangaza "hatua nane" za kuimarisha ushirikiano na Afrika, ikiwemo kutoa nafasi nyingi zaidi kwa wanafunzi wa Afrika kusoma na kufanya mawasiliano ya elimu nchini China. Kutokana na takwimu zisizokamilika, mwaka jana wanafunzi wa Afrika wanaosoma nchini China wamefikia elfu 60, na China imekuwa nchi ya pili yenye wanafunzi wengi zaidi wa Afrika duniani baada ya Ufaransa. Wakati huohuo, mwanzoni mwa mwezi huu, rais Donald Trump wa Marekani alitangaza kuzidishwa kwa kikwazo katika utoaji wa viza kwa watu wa nchi za Afrika, zikiwemo Nigeria, Sudan na Tanzania. Hatua hiyo itaathiri robo moja ya Waafrika wanaotaka kwenda Marekani. Kabla ya hapo, serikali ya Marekani imepunguza misaada na uungaji mkono wa kifedha kwa nchi za Afrika, na hata rais Trump alitukana nchi hizo ni kama "nchi za shimo la choo". Haki ya kujiendeleza ni haki ya kimsingi ya binadamu. Bara la Afrika lina nchi nyingi zaidi zinazoendelea, nia ya Waafrika ya kujiendeleza na kujiamulia njia ya kujiendeleza inapaswa kuheshimiwa na jumuiya ya kimataifa. Wakati wa vita baridi, Marekani ilizitaka nchi nyingine zichague kuwa katika upande wa Marekani au wa Urusi wa Kisovieti. Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya hivi karibuni alipohojiwa na wanahabari wa Marekani alisema, mawazo ya vita baridi yamepitwa na wakati, nchi za Afrika hazipaswi kutatizwa tena na machaguo hayo. Serikali ya China kwa mara nyingi imesisitiza kufurahia ushirikiano wowote unaonufaisha uchumi, jamii na maisha ya watu barani Afrika. Mtafiti wa Taasisi ya Brookings mjini Washington Addisu Lashitew alisema, uwekezaji wa China barani Afrika ni safi sana, kama Marekani ikitaka kuwa mwenzi halisi wa Afrika, inatakiwa kuheshimu haki yake ya kuchagua wenzi wengine wa kufanya ushirikiano, ikiwemo China.
2020-04-01T12:35:03
http://swahili.cri.cn/141/2020/02/23/1s193608.htm
[ -1 ]
DUCE kwawaka | JamiiForums | The Home of Great Thinkers DUCE kwawaka Kuna mtafaruku hapa duce,wanafunzi wa mwaka wa tatu wamejikuta wote wanadaiwa ada licha ya kuwa wanapaswa kulipiwa na bodi ya mikopo.chuo kinatupia lawama bodi na bodi inatupia lawama chuo.hali siyo shwari. Pesa zimepelekwa kwa Ally Hadaw..kaaaaazi kwelikweli Kwa hiyo hatima yao ni nini? POLENI NDIO tz KULIKO UIJUAVYO serikali aina pesa CCM and JK at work:shut-mouth: waambie wasubiri budget yao inasomwa leo jioni zitapatikana Kama vp,wanafunzi wapachimbe tu...wakisubiri wataambiwa:subirini Bajeti ijayo. CCM is now our real enemy..! Kuna mtafaruku hapa duce,wanafunzi wa mwaka wa tatu wamejikuta wote wanadaiwa ada licha ya kuwa wanapaswa kulipiwa na bodi ya mikopo.chuo kinatupia lawama bodi na bodi inatupia lawama chuo.hali siyo shwari.Click to expand... mwaka wa pili nani aliwalipia? kwa nini leo ndo watupiane mpira? waache upuuzi huo watu waendelee na shughuli bana. bodi ya mikopo ni serikali, chuo nacho cha umma sasa si watalipana wao kwa wao..wawaache vijana wamalize chuo waje tupo mtaani tunawasubiri kwa mapambano.. Kama vp,wanafunzi wapachimbe tu...wakisubiri wataambiwa:subirini Bajeti ijayo. CCM is now our real enemy..!Click to expand... ushauri wako ni wakishetani kwani huwatakii kheri. kwavile suala ni baina ya bodi na chuo hilo ni jepesi sana kwa wanafunzi wala hawana sababu ya kuanza kujiingiza katika mawazo ya kipumbafu kama ya kwako. ushauri wako ni wakishetani kwani huwatakii kheri. kwavile suala ni baina ya bodi na chuo hilo ni jepesi sana kwa wanafunzi wala hawana sababu ya kuanza kujiingiza katika mawazo ya kipumbafu kama ya kwako.Click to expand... Kwa nini wasijiingize wakati wamezuiwa kufanya mitihani? unataka wafanye nini? wafyate mkia warudi nyumbani bila kufanya mtihani? Kama swala ni la board na chuo kwa nini wameshindwa kufikia muafaka? Jiangalie usije ukawa unamawazo ya kipumbavu zaidi ya mwenzako. Hii issue ndo inaendelea hapa UDOM. Watu huwa wanasaini ada kila mwaka leo wamebandika barua yakuwasitishia wanafunzi 1500 mkopo barua hiyo imeandikwa kutoka chuoni kwenda Heslb. Wapo mwaka wapili na watatu. Juhudi zao hazijazaa matunda mpaka sasa management inapigiana mpira thread iko jukwaa la sheria inaelezea mkasa huo. Ni uzembe wa chuo huo, wanakula hela na kudai hawajazipata. In reality walitakiwa kuwapataarifa wanafunzi kuhoji kuhusu malipo yao kabla ya hapo. Pia ni mpango wakuchelewesha na kuiba pesa za field. HAPO CHA MSINGI NI KUWA HESLB IS A PUBLIC INSTITUTION & DUCE IS A PUBLIC INSTITUTION na Public yenyewe ndio pamoja na hao wanafunzi cha msingi wasetoff then wanafunzi waendlee na shule..... enheeeeee wapi KOVA??? KOVA NA VIJANA WAKE WANAHITAJIKA FASTER hapa DUCE Kuwa mwalimu Tanzania ni tabu sana,sasa matatizo yanaanzia chuoni!Poleni walimu wangu. magamba mkubwa weh
2017-07-25T17:00:55
https://www.jamiiforums.com/threads/duce-kwawaka.143735/
[ -1 ]
Dr Benson Banna: Kweli CHADEMA sasa inakubalika sana... | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Dr Benson Banna: Kweli CHADEMA sasa inakubalika sana... Discussion in 'Jukwaa la Siasa' started by only83, Oct 5, 2011. Yule msomi na kiongozi wa REDET toka chuo kikuu cha DSM Dr Benson Banna hatimaye amekiri wazi kuwa CHADEMA sasa inakubalika. Tofauti na kawaida ya Dr Banna kuonekana mara nyingi kulalia upande mmoja hasa wa CCM jana akiteta ofisini kwake, Dr Banna alisema wazi kwa mwenendo unavyoonekana na namna chama hiki kinavyoendelea kushika kasi kuna uwezekano mkubwa wa CHADEMA kushika dolla katika uchaguzi wa 2015. Kama kitashikilia uzi na kuendelea kupambana kujenga mizizi hasa vijijini... Watanyosha tu maelezo. Amesema watafanya lini tena utafiti wao wa umaarufu wa vyama vya siasa na wagombea? Aseme au asiseme hiki kitu ni hakika na kweli, na wala haihitaji msomi mwenye PhD kuweza kulitambua hili. Nadhani kwa sababu ya ushabiki wake kwa CCM alichelewa sana kuliona hili. Hakutakiwa kusubiri Igunga ndo apate uhakika sisi tusiokuwa na PhD tulishaliona hili siku nyingi kwa hiyo anachojaribu kukieleza leo kwenu ni kama marudio masikioni mwetu. Labda asububiri kikao cha NEC ya CCM akawaeleze hayo. Huyu coward wa CCM aseme nini sasa! anajua walichokifanya na anawasisi na what next kwa hiyo inamlazimu atafute neno la kupoza tu. Mwizi ndiyo huwa anakuwa wa kwanza kukuhurumia. Mpaka naye Nape aje atoe majibu kama hayo na kuomba tiketi kuvaa magwanda. Yule msomi na kiongozi wa REDET toka chuo kikuu cha DSM Dr Benson Banna hatimaye amekiri wazi kuwa CHADEMA sasa inakubalika,tofauti na kawaida ya Dr Banna kuonekana mara nyingi kulalia upande mmoja hasa wa CCM jana akiteta ofisini kwake,Dr Banna alisema wazi kwa mwenendo unavyoonekana na namna chama hiki kinavyoendelea kushika kasi kuna uwezekano mkubwa wa CHADEMA kushika dolla katika uchaguzi wa 2015,kama kitashikilia uzi na kuendelea kupambana kujenga mizizi hasa vijijini... Mwanzo thread nyingi zilikuwa za tathmini ya Igunga kuwa chadema itashinda 74% , sijui 55% nk ila hivi sasa sizioni tena hizo takwimu , vp mkuu tathmini yenu imeishia wapi ? Kushindwa nikushindwa tu hayo yote ni maneno yakujifariji , nia na madhumuni ilikuwa nikushinda uchaguzi, huu haukuwa uchaguzi wa kutafuta popularity ulikuwa ni uchaguzi wakutafute mwakilishi wa wananchi, sasa hayo maneno inakubalika sijui nn ni kama marehemu amekufa then unaanza kusema alikuwa mtu maarufu sana nk haimsaidii wakati huo Mwenyewe nimeisikia hiyo kwenye kipindi cha magazeti,nimeshangazwa nai Benson Bana yule yule au mwingine!ipo siku hata NAPE atakubaliana na ukweli!let us wait & see! magwanda mazuri natamani liwe vazi la taifa Godlisten Masawe Verified User ✅ Yeye ndo anagundua leo hili, sisi tusiokuwa na PHD tumeligundua hili miaka mingi iliyopita. Kamanda Mbowe na Makamanda wote nchini hakuna kulala mpaka kieleweke. Vazi la Taifa gani? Moshi? Mungu wa mbinguni asikuhesabie dhambi na uovu huu mkuu maana hujui unaloandika Tumia akili kidogo, uchaguzi umekwisha hapa ni tathmini baada ya uchaguzi. Unapoingia mashindanoni kusudi kubwa ni kushinda; kushindwa ni sehemu ya matokeo. Mbona CCM uchaguzi mkuu 2010 walidai watashinda kwa kishindo lakini wakapata matokeo ambayo hawakutegemea. Kumbe nyani haoni kundule. Thread iliyopo hapa ni kauli ya 'Bunsen Burner' ambaye tunamfahamu kuwa ni mnajimu wa CCM, leo hii utabiri wake upepo umegeuka. Thanks Banna ingawa kwa Dr. kama wewe is too late kwani vipofu walikwishaona, viziwi walikwishasikia, viwete walishatembea wakafika kabla yako. Mkuu umesahau kuwa nnauye jr alishataka kuvaa magwanda pale ubungo akatoswa?Hizi kelele zote ni hasira tu za kukataliwa.Baada ya kuona ugumu yeye na wanafiki wenzeke wakataka kuasisi CCJ wakasalitiana dk za mwisho. Huyu Dr Burner (Bana) huwa simuelewi kabisa, huenda amesomea mwezini huyu Messages: 13,948 CDM na ijipange sasa! Hasa vijijini ili mambo yawe safi Mkuu, Nape ameshatoa majibu kuwa wapiga kura wengi (kama 120,000) hawakujitokeza kupiga kura kwa kuwa waliogopa kumwagiwa tindikali. Sasa hizo asilimia 74 sijui 55 zingefikiwaje? kazi ipo 2015 tunangoja mpambano Sasa hivi tunatafuta takwimu za fedha za Serikali zinapokwenda mpaka inashindwa kununua madawati.
2018-01-18T08:42:15
https://www.jamiiforums.com/threads/dr-benson-banna-kweli-chadema-sasa-inakubalika-sana.179266/
[ -1 ]
wikiendi ukweni!... | JamiiForums | The Home of Great Thinkers wikiendi ukweni!... Discussion in 'Mahusiano, mapenzi, urafiki' started by Mbu, Jun 13, 2008. ...umeenda ukweni kuchumbia rasmi, baada ya utambulisho na wenyeji kuwapa muda 'mjisikie mpo nyumbani' , Baba mkwe anakutupia swali la papo kwa papo; ..." eti kijana, iwapo tumepata ajali majini, na uwezo wako kumuoka mtu mmoja tu, utamuokoa nani kati yangu, mama mkwe, mkeo au mwanao?" Ingelikuwa weye ungejibu nini? mke...kwani nimekuja kuoa ukoo hapa??!!lkama mtoto tutapata wengine kibwena as long as the factory is still working!!hao wakwe wakajipumzikie tu kwanza wameshakula chumvi mingi!! Sasa kama naweza kumuokoa mtu mmoja, si nitajiokoa mwenyewe. Au? mke kwanza Of coz mke, kama yeye atahitaji mambo ya kuokoana amwokoe mkewe si kila mtu na wake bana? khs mtoto tutatafuta mwingine. so simpo! Mie ningemjibu hivi : - Nitamuokoa Mke wangu. Majibu yenu yanamaanisha wengi wenu ni realists kuliko idealists, nawahakikishia, iwapo mke ndiyo angepewa nafasi ya uokoaji angemuokoa mwanawe kwanza! ... hehehe yah its possible ka mke angepewa nafasi angetoa jibu hilo....so wat does it mean wajimini???we love wake zetu more than hw they love us cz upendo wao umehamia kwa watoto?? ...ndio maana mimi hapo sijaona bado busara ya kumuokoa mke, any way, tuvute subira watu wazidi 'kujikaanga'. mtoto kwanza ati,hakuna hata kufikiria.mke anaweza kujitahidi akjiokoa mwenyewe.najua hata yeye atapiga kelele,"baba nanihii muokoe mtoto". paulsifa said: ↑ akishakuwa na nguvu ya kusema baba nanihii muokoe flani basi huyo sio wa kuokolewa tena...mtoto si waweza pata mwingineee lakiniii sasa waweza pata mume mwingine wa hata kuweza mlea mwanao the way mlivyokuwa mwamlea mkiwa wawili?! lets be wema jamanii mlikula kiapo cha kuwa bega kwa bega kwa mema na mabaya so hapo ndo mahala pa ku prove hw u can b for each other Ebwana hiyo ajali wakati inatokea we utakuwa wapi?anyway ukweli nikwamba mke ndo atakuwa wa kwanza then kama nafasi ina kuwepo basi mtoto atafuata ikishindikana ntajitahidi kutafuta mwingine.yote mipango ya mungu. Mi ntaokoa mke kwanza.....mtoto ni majaliwa tu na mungu akipenda tutapata mwingine. Bsbs mkwe na mkewe watabaki wanaokoana wenyewe ...yaani hapa kuna wengine wanaona maji yamejaa nusu gilasi, na kuna wanaoona maji yamepungua nusu gilasi,... raha kweli kweli! enhe, nawasikiliza tu mnavyojikaanga! tuendelee kuchangiana mawazo... ...umetoa 'mwangaza'... je, unausimamia ukweli huu? NANOO Member nitamuokoa mwanangu hapo..ooppps kumbe wameulizwa madume Jamani hamjambo humu nimeingia bila kupiga hodi Heshima yenu ndugu NANOO said: ↑ ...NANOO karibu bibie, hujambo weye? jibu lako marhaba kabisa, ndio maana nikawaambia 'wenzangu' upande wa pili wa shilingi umuhimu ni tofauti... Karibu kwenye mdahalo! ...Mimi ningejibu (ki-diplomatikali!); Mzee sitaweza jibu hilo, bado SIJAOA! kwi kwi kwi asilimia 90% ya wanaume / kaka zetu humu JF wameonjeshwa au kulishwa limbwata wallahi .. kila mtu mke mke .. mtoto je . . nyie mmeshakula maisha mpeni mtoto nafasi naye ... mimi huniambii chochote bwana namuokoa mwanangu ... Mimi nitamjibu hivi'; kwa leo mkwe wangu siwezi kukujibu, ila jibu litakuja siku hiyo hiyo ambayo tutakuwa tumepata hiyo ajali ya majini. Hapo ndio nitajua nitamuokoa nani....
2018-01-22T09:15:17
https://www.jamiiforums.com/threads/wikiendi-ukweni.14358/
[ -1 ]
KISHINDO LEO: Katiba Mpya imeiva, Mabaraza kukutana mwezi Juni - Warioba Katiba Mpya imeiva, Mabaraza kukutana mwezi Juni - Warioba Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba (kushoto) Mwenyekiti wa Tume hiyo Jaji Jospeh Warioba amesema jijini Dar es Salaam kuwa katika kuandaa rasimu hiyo, Tume yake haitapokea shinikizo kutoka taasisi, asasi, makundi au vyama vya siasa. Kuhusu hatua inayofuata baada ya chaguzi hizo, Jaji Warioba alisema Tume inaendela kupokea majina kutoka kwa Mamlaka za Serikali za Mitaa na ya wananchi wote waliopendekezwa kutoka katika Kata na Shehia na kazi hiyo inatarajia kukamilika ifikapo tarehe 30 Aprili mwaka huu (2013)
2018-02-25T03:49:18
http://kishindoleo.blogspot.com/2013/04/katiba-mpya-imeiva-mabaraza-kukutana.html
[ -1 ]
Jeshi la Polisi lawakamata Panya Road 1508 – MwanaHALISI Online Washiriki wa kundi la Panya Road Jeshi la Polisi lawakamata Panya Road 1508 Posted by: Masalu Erasto January 6, 2015 0 2,301 Views KAMISHNA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova kwa kushirikiana na Makamanda wa kipolisi wa mikoa ya Ilala, Kinondoni na Temeke wamefanikiwa kuwakamata vijana 1508 wanaofanya uhalifu wa makundi maarufu kama “panya road”, anaripoti Sarafina Lidwino. Akizungumza na MwanaHALISI Online, Kova alisema msako huo ulioanza Januari 3, 2015 hadi sasa wemeshawakamata watuhumiwa hao ambao wanatokana na makosa mbalimbali yakiwemo upigaji debe, wavuta bangi, ukahaba, mirungi na kamari. Kova alisema watuhumiwa 959 kati ya hao 1508, tayari wamefikishwa katika mahakama mbalimbali jijini Dar es Salaam, huku 430 wameachiwa kwa dhamana na 119 wameachiwa huru baada ya kutokuwa na hatia. Alisema watuhumiwa wengine walioachiwa huru kutokana na kutokuwa na ushahidiwa kuhusika na matukio hayo ya ‘panya road’, lakini pia Jeshi la polisi litakuwa nyuma yao ili kuweza kufatilia nyendo zao. KAMISHNA wa Polisi, Kanda Maalum, Dar es Salaam, Suleiman Kova, amedai kuwa jeshi hilo limewakamata viongozi watatu wa kundi la uhalifu la “Panya Road.” Waliokamatwa, ni Halfan Nurdini (24) na Said Mohamed (22), ambao ni wakazi wa Tandale; na Mohamed Nangula (19), mkazi wa Mburahati kwa Jongo. Anaripoti Sarafina Lidwino. Kamanda Kova amesema, jeshi lake limejiridhisha kuwa watuhumiwa hao watatu ndiyo vinara wa kupanga uhalifu unaonywa na genge hilo. Mwishoni mwa wiki iliyopota, kundi la Panya Road, lilizusha tafrani kubwa jijini baada ya kuendesha kichapo, uporaji, vitisho na uhalifu wa kila aina. Previous: Hakuna atakayezuia Panya Road Next: Majaribio ya dawa ya Ebola yaendelea Liberia Usomaji MwanaHalisi, Mseto warahisishwa
2018-08-19T04:19:30
http://mwanahalisionline.com/jeshi-la-polisi-lawakamata-viongozi-wa-panya-road/
[ -1 ]
PICHA 10: Diamond na Mafikizolo ndani ya Bunge Dodoma leo, Wabunge walivyotoka nje kupiga picha – Millardayo.com PICHA 10: Diamond na Mafikizolo ndani ya Bunge Dodoma leo, Wabunge walivyotoka nje kupiga picha May 12 2016 kundi maarufu la muziki kutoka Afrika Kusini Mafikizolo pamoja na staa wa bongofleva Diamond Platnumz walipata mwaliko wa kuingia Bungeni Dodoma ambapo wakali hawa wapo Dodoma kwa ajili ya kuidondosha burudani Chuo kikuu Dodoma. ULIIKOSA VIDEO YA SHOW YA DIAMOND LAS VEGAS MAREKANI ILIYOVUNJA REKODI YA WAHUDHURIAJI? TAZAMA HII VIDEO HAPA CHINI Related ItemsBungeniDiamond Platnumzhabari daily ← Previous Story Msiba: Tasnia ya Filamu Tanzania imepata msiba, R.I.P Mchekeshaji Kinyambe Next Story → PICHA 10: Taarifa rasmi za kifo cha Kinyambe kutoka katika familia yake Uyole Mbeya
2020-04-05T20:39:19
https://millardayo.com/nd862/
[ -1 ]
Mzee wa Mshitu: TACCEO YALAANI KITENDO CHA POLISI KUVAMIA OFISI YAO NA KUWAKAMATA WAANGALIZI WA UCHAGUZI MKUU "Uangalizi kwa kutumia tehama haujaanza mwaka huu kwani, tangu mwaka 2010 kulikuwa na utaratibu huu, mambo yaliyofanyika hivi sasa tunashindwa kuelewa tatizo ni nini," alisema
2017-07-26T20:32:52
http://charaz.blogspot.com/2015/10/tacceo-yalaani-kitendo-cha-polisi.html
[ -1 ]
Aqeedah | Books on Islam and Muslims | Al-Islam.org Imani na Mafundisho (ya Imani) Elimu na Jamii Historia na Siasa Sheria & Ibada Qur’ani & Hadithi Maisha ya Kiroho na Falsafa Aqeedah
2017-06-25T01:45:26
https://www.al-islam.org/sw/taxonomy/term/1949
[ -1 ]
STRAIKA: RONALDO AWEKA NAMBA ZA MAFANIKIO YAKE KWENYE KIATU CHAKE... AVAA KIATU KIMEANDIKWA "1-9-14-19-27-55-60" KWENYE MECHI NA SOCIEDAD RONALDO AWEKA NAMBA ZA MAFANIKIO YAKE KWENYE KIATU CHAKE... AVAA KIATU KIMEANDIKWA "1-9-14-19-27-55-60" KWENYE MECHI NA SOCIEDAD Ronaldo akishangilia baada ya kuwatungua Barca Kiatu cha CR chenye namba 1-9-14-19-27-55-60 CRISTIANO Ronaldo alionekana akiwa amevaa kiatu kipya cha Nike CR Mercurial IX kwa mara ya kwanza jana katika mechi dhidi ya Real Sociedad kwenye Uwanja wa Bernabeu. Kiatu hicho kimeorodhesha mafanikio yote ya Cristiano ya msimu wa 2011-12, kwenye namba 1-9-14-19-27-55-60 zilizoandikwa kwa pembeni. Namba 1 inamaanisha taji lake la kwanza la La Liga, 9 na 14 zinamaanisha magoli (9)aliyofunga katika mechi (14) alizoichezea timu yake ya taifa, 19 inamaanisha rekodi yake mpya kuwa mtu wa kwanza katika historia ya La Liga kuzifunga timu zote 19 wapinzani wao wa Ligi Kuu ya Hispania, 27 ni umri wake, 55 ni idadi ya mechi za kimashindano alizocheza msimu huo akiwa na Madrid na 60 ni idadi ya magoli aliyoifungia Real katika michuano yote.
2017-10-16T23:48:17
http://straikamkali.blogspot.com/2013/01/ronaldo-aweka-namba-za-mafanikio-yake.html
[ -1 ]
The CEO Culinary Artist Tanzanian Executive chef Issa Kapande: JIFUNZE KUPIKA UJI WA ULEZI KWA KUONGEZA LADHA YA VIUNGO 120 gram unga wa ulezi 480 gram maji masafi 1/4 kijiko kidogo cha chai cardamom powder ( Unga wa hiriki) Chukua sufuria kisha weka maji chemsha mpaka yawe ya vugu vugu kisha weka unga na uanze kukoroga maji yakiwa ya vugu vugu yanasaidia unga wako usishikamane na kuweka mabonge mabonge. Endelea kukoroga mpaka unga uchanganyike vizuri kisha ongezea unga wa hiriki ndani yake. Posted by Issa Kesu at 3/11/2011 01:46:00 PM Mbona hakuna maelezo, tutapika vipi sasa??? Asante sana kaka kwa recipe zako,zinatusaidia sana.naomba tuonnyeshe jinsi ya kupika calamari rings,maana nazionea hotelini tu natamani kweli niwe nazipika nyumbani. yammyyyyy uji wa ulezi. Asante Chef Issa kwa hizi recipes. Im feeling so hungry after seeing these pictures. Ngoja niende nyumbani kumpikia shemejio. Nimejifunza mapishi mengi sana kwenye hii website yako, unatusaidia wengi kuweka ndoa zetu sawa. Ubarikiwe kaka. Monday, March 21, 2011 9:29:00 PM Kaka hongera maana sasa nafaidi maandazi na mapishi yako mengine. Tks alot Tuesday, April 12, 2011 2:42:00 PM Asante kwa kutufundisha kuukaanga unga kabla ya kupika.Yaani nina unga wa ulezi nilitoka nao Tanzania miezi sita iliyopita, nitajaribu technique yako weekend hii, jee kama sina unga wa iliki ninaweza weka vanilla extract badala yake? Saturday, May 28, 2011 4:43:00 AM
2019-01-19T02:55:08
http://activechef.blogspot.com/2011/03/jifunze-kupika-uji-wa-ulezi-kwa.html
[ -1 ]
Kilimanjaro Official Blog: SERIKALI YATAKIWA KUTOA MAELEZO YA UBOVU WA JENGO LA OFISI YA MKUU WA WILAYA YA SIHA. SERIKALI YATAKIWA KUTOA MAELEZO YA UBOVU WA JENGO LA OFISI YA MKUU WA WILAYA YA SIHA. MOSHI serikali wilayani Siha mkoani Kilimanjaro imetakiwa kutoa maelezo yenye vielelezo vya kutosha kwa maandishi kuhusu ubovu wa jengo la ofisi ya mkuu wa wilaya hiyo ambalo limemlazimu mkuu huyo kuhamia jengo jinguine la idara ya maji ilikupisha ukarabati. Agizo hilo limetolewa na kamati ya kudumu ya bunge ya tawala za mikoa na serikali za mitaa wakati wa majumuisho ya ukaguzi wa miradi ya maemdeleo wilayani hapo. Mwenyekiti wa kamati hiyo Mh. Jonh Iwanji amesema kamati hiyo imetoa siku saba kwa serikali wilayani hapo kuwasilisha taarifa mbele ya kamati hiyo kwaajili ya kuchukuliwa hatua stahiki zaidi. Naye mkuu wa wilaya ya hiyo Dr. Charles Mlingwa amekiri kuhama katika jengo hilo baada ya wataalamu kutoka chuo kikuu kupitia wakala wa ujenzi wa majengo ya serikali nchini kumwagiza aondoke ili kupisha ukarabati wa jengo hilo lililokuwa likihatarisha usalama wake. Kwa upande wake kaimu meneja wa wakala wa ujenzi wa majengo ya serikali mkoani Kilimanjaro Bw. Audax Ngimbwi amesema mkandarasi wa jengo hilo ni JKT Suma na tayari hatua za awali zimechukuliwa ikiwa ni pamoja na kuagizwa kulikarabati jengo hilo.
2017-09-23T07:36:33
http://kingjofa.blogspot.com/2013/10/serikali-yatakiwa-kutoa-maelezo-ya.html
[ -1 ]
Raia Mwema - Tume ya Katiba: Mtihani wa pili wa Kitaifa kwa Jaji Warioba Makala Tume ya Katiba: Mtihani wa pili wa Kitaifa kwa Jaji Warioba Maggid Mjengwa Toleo la 234 11 Apr 2012 JAJI Mstaafu, Joseph Sinde Warioba, kwa mara ya pili katika historia ya nchi, amepewa na Rais aliye madarakani, Jakaya Mrisho Kikwete, heshima ya kutwishwa jukumu kubwa linaloweza, ama kubadili sura na mwelekeo wa Taifa la Tanzania au kuliacha likiwa limenasa kwenye tope zito. Ndiyo. Jaji Warioba amepewa jukumu zito la kuongoza Tume ya Kurekebisha Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Itakumbukwa, baada ya nchi kuzama katika vitendo vya rushwa huku viongozi wakiongoza katika kutenda dhambi hiyo, Mwalimu Nyerere alimnadi sasa rais mstaafu, Benjamin Mkapa kama Mr Clean’- Bwana Msafi. Na katika moja ya kauli zake, Mkapa alipata kutamka kuwa hatokuwa na suluhu na rushwa. Umma ukaingiwa na matumaini makubwa pale Mkapa alipomteua Jaji Warioba kuongoza Tume ya Kuchunguza mianya ya Rushwa na kupendekeza njia ya kuiziba mianya hiyo. Jaji Warioba aliifanya kazi yake. Hata hivyo, ripoti ile ya Jaji Warioba ikaishia kukusanya vumbi kwenye makabati ya watendaji serikalini. Mapendekezo ya Ripoti ya Warioba hayakupata kufanyiwa kazi. Na ajabu ya kauli ya Mkapa ya kwamba hatokuwa na suluhu na rushwa, ni ukweli kuwa, leo yeye ni mmoja wa wanaotuhumiwa kutumia vibaya Ikulu. Hivyo, Jaji Warioba ana mtihani mgumu. Kwamba Tume yake ya Katiba itakuja na rasimu. Kuna wanayoyataka wananchi wengi yawemo kwenye Katiba mpya. Lakini, kuna tofauti ya wanayoyataka wananchi ambayo Serikali haiyataki hata kama haisemi kwa sauti kuwa haiyataki. Mchakato huu wa kuandika Katiba Mpya utakuja kuthibitisha ninayoyaandika hapa. Ndipo hapo, Jaji Warioba na wajumbe wenzake wa Tume watakapokabiliwa na mtihani mgumu. Kuchagua ni upande gani wa kusimama, na kwa maslahi ya nani. Hakika, tulipofikia sasa, kikubwa kinachokosekana miongoni mwetu Watanzania ni IMANI. Mchakato mzima wa kudai Katiba Mpya, tangu ulivyoanza miaka ya 1990, ulitawaliwa na hali ya kutoaminiana. Hali hiyo ingalipo. Na kukosekana kwa imani kunachangiwa na hofu. Mara nyingi ni hofu ya walio kwenye madaraka kupoteza mamlaka yao. Hivyo basi, changamoto ya kwanza kabisa kwa Tume iliyoundwa ni kufanya kazi ya kuandaa rasimu ya Katiba itakayowarudishia imani Watanzania juu ya dhamira ya Serikali ya kutaka kuwapo kwa Katiba itakayoifanya Tanzania iwe nchi ya kisasa. Serikali nyingi Afrika hazipendi kuwapo kwa Tume Huru za Uchaguzi kwa vile hutoa nafasi kwa walio kwenye upinzani kuingia madarakani. Na kwa vile hawana imani nao , kwa maana ya wapinzani, mara nao watakapoingia madarakani, basi, Serikali hizo huona ni vema kutokuwepo kwa Tume Huru za Uchaguzi. Hilo la mwisho linawabakishia matumaini ya kuendelea kubaki madarakani. Maana, anayeamua hatma ya uchaguzi si mpiga kura, bali muhesabu kura. Kama Tume hii iliyoundwa itapendekeza kuundwa kwa Tume Huru ya Uchaguzi, basi, huo utakuwa ni mwanzo wa mapinduzi makubwa ya kuifanya nchi yetu kuwa ya kisasa zaidi. Nahofia, Tume Huru ya uchaguzi isije ikasubiri mpaka tuchinjane kwanza kwa kutuhumiana kuibiana kura kwenye chaguzi. Tatizo ambalo lingeweza kumalizwa mapema kwa kuweka Tume Huru ya Uchaguzi itakayoaminika na pande zote zinazoshiriki chaguzi. Itakayoaminika na wananchi. Tukumbuke, kuwa imani ikikosekana hususan kwa vyama vya siasa na wananchi dhidi ya Serikali katika kuandika Katiba hii, basi, kutaufanya mchakato huu wa kuandika Katiba Mpya uwe ni wa gharama kubwa bila matunda tarajiwa kwa umma. Kuna wakati Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki- Moon alitamka; kuwa tatizo kubwa la serikali nyingi si nakisi ya bajeti bali nakisi ya imani ya wananchi kwa serikali hizo. Ndiyo, kupungua kwa imani. Ndiyo, inahusu imani na ni wajibu wa Serikali na Chama cha Mapinduzi kuirudisha imani ya wananchi kwa Serikali na chama hicho. Nimepata kuandika, kuwa nchi yetu iko njia panda. Mbele yetu kuna njia mbili; moja inaelekea tunakopita sasa. Kwenye hali ya ’ kujifunga’ na kubaki tulipo bila kupiga hatua za haraka za maendeleo huku baadhi, wakiwamo viongozi, wakiwa na udhibiti mkubwa wa hali ya mambo. Njia nyingine inaelekea kwenye uhuru zaidi wa wananchi na uwezo wa kuwadhibiti na kuwawajibisha viongozi wao. Ni njia inayoelekea kwenye ustawi wa nchi. Watanzania wengi kwa sasa wana kiu kubwa ya kuianza safari ya kuipita njia ya pili. Njia yenye uhuru zaidi na matumaini ya ustawi wa Taifa. Njia itakayotufanya tuondokane kabisa na njia ya kwanza, njia inayotufunga na kutubakisha hapa tulipo. Tume iliyoundwa na Rais Kikwete itusaidie kutupitisha kwenye njia ya pili; Njia yenye uhuru zaidi na matumaini ya ustawi wa Taifa. " Bila Utawala Bora, bila kuwa na demokrasia, bila kuheshimu Haki za Kibinadamu, mafanikio ya kiuchumi hayatawezekana." Rais hakupigiwa makofi ya nguvu. Ndiyo, wengi wa viongozi waliokuwa wakimsikiliza Rais kwenye ukumbi ule wa Saint Gasper pale Dodoma ni wana-CCM. Bila shaka kuna waliokuwa wakifikiria Ukuu wa Wilaya wao na Ukuu wao wa Mkoa. Walifikiria nyadhifa zao. Mambo ya kupanua demokrasia ikiwamo uwepo wa vyama vingi kwao ina tafsiri ya kutishia vibarua vyao! Lakini, katika hicho alichotamka Rais ndipo palipokuwa na hoja ya msingi kabisa. Ni ukweli, kuwa wenzake na Kikwete walio wengi ndani ya CCM hawaamini kwa dhati katika demokrasia, hususan demokrasia ya vyama vingi. Nimepata kuandika, kuwa kwa hili la rushwa na ufisadi, kuna wachache ndani ya CCM ambao chama hicho wamekigeuza kuwa shimo la panya- watoke wakatafune mali ya wananchi, kisha wakimbilie shimoni kwa maana ya kwenye chama. Na shimoni ndiko kwenye kulindana. Na hii ndiyo sababu ya msingi ya kupungua umaarufu kwa chama hicho tawala miongoni mwa Watanzania, na hususan, kundi kubwa la vijana. Maana, ni ukweli, wengi wanaotuhumiwa kushiriki ufisadi wamo ndani ya chama tawala . Ni wenye mahusiano mazuri au kama inavyosemwa siku hizi, ni marafiki wa CCM. Si tumepata kusikia ikitamkwa; ” Ukitaka biashara yako ikunyokee, njoo CCM!” Hapa ndipo inapokuja dhana yangu ya uwepo wa ubaguzi wa kisiasa katika nchi yetu. Ubaguzi huu wa mathalan, ’ hawa ni wenzetu’ na ’ wale ni maadui zetu’ umejengeka katika misingi ya kulindana katika maovu. Wenye kuendekeza ubaguzi huu ndio wenye kugombania fito wakati tunajenga nyumba moja. Profesa wa uchumi, Jeffrey Sachs ana mfano hai wa Poland. Katika kushauri kuinuka kiuchumi kwa Poland, Profesa Sachs aliwaambia; ” Political power must be shared ”. Kwamba kuna umuhimu wa vyama kuwa na utayari wa kugawana madaraka ya uongozi wa kisiasa. Ndiyo, yule fundi umeme, Lech Walesa, wa chama cha wafanyakazi na aliyeanzisha vuguvugu la mapinduzi ya kujikomboa kutoka Ukomunisti aliambiwa na Profesa Jeffrey Sachs; ” Chama chako cha Solidarity kiwe radhi kuunda serikali ya mseto na Chama Cha Kikomunisti”. Na ikawa hivyo, kimoja kikatoa Waziri Mkuu na kingine Rais. Kwa hatua hiyo ukaja utulivu wa kisiasa. Poland ikaanza kupiga hatua za maendeleo ya kiuchumi. Hakika hakuna uchumi unaokua bila uwepo wa utulivu wa kisiasa. Kina Jaji Warioba wahakikishe wanaleta Katiba itakayohakikisha, mbali ya mambo ya mengine, inatupa Tume Huru Ya Uchaguzi. Soma zaidi kuhusu: Katiba MpyaWarioba Tufuatilie mtandaoni: Katiba mpya ikiwa na Tume Huru ya Uchaguzi inawezekana Tume ya Warioba isije ikawa kama Tume ya Warioba Ilani ya madai ya wanawake katika Katiba mpya: Tume itasikiliza? Jaji Warioba: Wanaharakati wanageuza mawazo yao juu ya Katiba mpya yaonekane ni ya wananchi Toa maoni yako Jamani kama ni kutoa maoni basi toeni kwa kiswahili. Kiingereza gani alichotumia kutoa maoni huyo hapo juu!!! Huo ni ujuha. Kuhusu matokeo, nadhani serikali imelenga kufurahisha wapiga kura. 16 hours 22 min Yametolewa maoni mengine 3 ziada Makala Pendwa
2013-05-22T10:02:29
http://www.raiamwema.co.tz/tume-ya-katiba-mtihani-wa-pili-wa-kitaifa-kwa-jaji-warioba
[ -1 ]
Aprili 8, 2020 - 1:00 alasiri Aprili 7, 2020 - 11:51 asubuhi Duru za Lebanon zimesema, shirika la ujasusi la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Mossad na vibaraka wake ndio wanaoshukiwa kuhusika na mauaji ya kamanda wa Hizbullah Muhammad Ali Yunus. Aprili 2, 2020 - 12:37 alasiri Waziri wa Hija wa Saudi Arabia amewataka Waislamu kote duniani kuchelewesha maandalizi ya ibada ya mwaka huu ya Hija hadi pale hali ya mambo kuhusiana na maambukizi ya virusi vya corona duniani itakapobaika vyema. Aprili 1, 2020 - 7:05 alasiri Jumatatu ya jana tarehe 30 Machi ilisadifiana na mwaka wa 44 wa Yaumul Ardh (Siku ya Ardhi) huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu. Tarehe 30 Machi mwaka 1976, viongozi wa utawala ghasibu wa Israel walipora maelfu ya hekari za ardhi za Wapalestina katika eneo la al-Khalil lililopo kaskazini mwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu. Katibu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema, hatua yoyote ya kijeshi itakayochukua Marekani nchini Iraq itakuwa sawa na hujuma inayofanywa na kundi la kigaidi na ukufurishaji la DAESH (ISIS). Machi 31, 2020 - 4:43 alasiri Harakati ya Al-Nujabaa ya nchini Iraq, imeitahadharisha Marekani kuhusu uvamizi wowote tarajiwa ndani ya ardhi ya nchi hiyo ya Kiarabu. Machi 30, 2020 - 12:04 alasiri Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbulah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah anasema athari za ugonjwa wa COVID-19 (corona) zinaweza kupita zile za Vita vya Kwanza na vya Pili vya Dunia na kuibua mfumo mpya duniani. Harakati ya Hizbullah ya Iraq imesema kuwa, hatua chafu za Marekani dhidi ya nchi hiyo, hazitakuwa na taathira yoyote kwenye muqawama wa Wairaki. Machi 30, 2020 - 11:54 asubuhi Mrithi wa Ufalme wa Abu Dhabi, katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) Mohammad bin Zayed Al-Nahyan amempigia simu Rais Bashar al Assad wa Syria huku jeshi la Syria likiwa linakaribia kupata ushindi kamili katika vita dhidi ya makundi ya kigaidi yanayopata himaya ya kigeni nchini humo. Machi 28, 2020 - 11:48 asubuhi Makundi na harakati za mapambano ya ukombozi huko Palestina zimepongeza sana pendekezo lililotolewa na harakati ya wananchi wa Yemen ya Ansarullah kuhusu suala la kubadilishana mateka wa Saudi Arabia na Wapalestina wanaoshikiliwa nchini Saudia. Adnan al Zurfi aunga mkono harakati ya al Hashd al Sha'abi Waziri Mkuu wa serikali ya mpito ya Iraq ameiunga mkono harakati ya kujitolea ya wananchi wa Iraq ya al Hashd al Sha'abi. Mtandao wa wafungwa wa kisiasa Saudia wataka wanaharakati waachiwe huru kwa hofu ya corona Ukurasa wa mtandsao wa wafungwa wa kisiasa nchini Saudi Arabia umetoa wito wa watu kushiriki kwa wingi katika kampeni ya kuwaunga mkono wanaharakati wa haki za binadamu, waandishi wa habari, maulamaa na wafungwa wote wa kisiasa wanaoshikiliwa katika jela za Saudi Arabia. Machi 28, 2020 - 11:38 asubuhi Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameiasi Marekani kubadili mienendo yake ili mripuko wa ugonjwa wa covid-19 ambalo ni janga la kimataifa lisilochagua taifa, usigeuke na kuwa mgogoro wa daima. Machi 26, 2020 - 11:12 asubuhi Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amedai kuwa serikali za Russia na China zinajiepusha kutoa taarifa sahihi za virusi vya Corona. Sisitizo la Pakistan na Bangladesh la kuondolewa vikwazo dhidi ya Iran Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan na Bangladesh wamesisitizia ulazima wa kuondolewa vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu y Iran. Harakati ya Hizbullah ya Iraq yafichua njama mpya za Marekani nchini humo Harakati ya Hizbullah ya Iraq ambayo ni sehemu ya makundi kadhaa ya kujitolea ya wananchi yanayounda Harakati ya 'Hashdu sh-Sha'abi' imetahadharisha kuhusiana na juhudi za Marekani za kutekeleza njama hatari dhidi ya Iraq na kuwataka wanamuqawama wa nchi hiyo kukabiliana na nia na malengo machafu ya adui Mmarekani. Machi 26, 2020 - 11:06 asubuhi Makumi ya walowezi wa Kizayuni wameuvamia tena Msikiti wa al-Aqswa huko Palestina wakisaidiwa na askari wa jeshi la utawala haramu wa Israel na kuuvunjia heshima msikiti huo ambao ni kibla cha kwanza cha Waislamu. Machi 26, 2020 - 10:57 asubuhi Machi 25, 2020 - 11:37 asubuhi Yemen yakaribisha pendekezo la Katibu Mkuu wa UN la kusitisha vita na kukabiliana na corona Mkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Yemen amekaribisha pendekezo lililotolewa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa la kusitishwa vita duniani kote na kuelekeza juhudi zote katika kukabiliana na kirusi cha corona. Uvamizi wa Saudi Arabia nchini Yemen umeua zaidi ya watu elfu 16 Machi 24, 2020 - 11:28 asubuhi Katika kipindi cha miaka mitano ya uvamizi wa muungano vamizi wa Saudi Arabia nchini Yemen, zaidi ya watu elfu 16 wameuawa na wengine zaidi ya elfu 25 wamejeruhiwa. Pakistan yaitaka Marekani iondoe vikwazo vyake dhidi ya Iran Machi 23, 2020 - 4:15 alasiri Waziri Mkuu wa Pakistan amemtaka Rais Donald Trump wa Marekani aiondolee vikwazo Jamhuri ya Kiislamu hasa baada ya kuibuka virusi vya Corona. Machi 22, 2020 - 3:56 alasiri Kuachiliwa huru na kutoroshwa Amer Al-Fakhoury, kibaraka mwenye uraiapacha wa Lebanon na Marekani, ilikuwa ndio maudhui kuu ya hotuba aliyotoa Sayyid Hassan Nasrullah, Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon usiku wa kuamkia jana. HAMAS: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran ni dhulma kubwa Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Kiislamu ya Palestina HAMAS usiku wa kuamkia leo amezungumza kwa simu na Dk Mohammad Javad Zarif, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu na kulaani vikali vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran. Wakati dunia imetingwa na janga la corona, Korea Kaskazini yafanya jaribio jengine la makombora ya balestiki Machi 21, 2020 - 3:20 alasiri Jeshi la Korea Kusini limetangaza kuwa, Korea Kaskazini imefanyia majaribio makombora mawili ya balestiki ya masafa mafupi. Nasrullah: Maadui wanataka kuondoa imani ya wananchi kwa kambi ya Muqawama Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema, maadui wanafanya kila njia ili kuyumbisha imani iliyopo baina ya Muqawama na wananchi, ambao ndio watoaji msukumo halisi kwa mhimili wa muqawama. Hamas yaziomba taasisi za kimataifa ziwasaidie mateka wa Kipalestina Machi 19, 2020 - 3:47 alasiri Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imeziomba taasisi za kisheria za kimataifa zichukua hatua za kuwanusuru mateka wa Kipalestina katika jela za utawala wa Kizayuni waq Israel kutokana na kukithiri maambukizo ya virusi vya corona katika jela hizo.
2020-04-10T19:22:08
https://sw.abna24.com/service/asia/5594/archive.html
[ -1 ]
Ujenzi | Bagamoyo District Council Idara ya Ujenzi na zimamoto katika Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo inaongozwa na Mkuu wa Idara hiyo Eng. Simu Na. Halmasahuri ya Wilaya ya Bagamoyo ina kilometa za Barabara 544.73 kati ya hizo Km 69 ni Barabara za Kitaifa (Trank Road), Km 63 Barabara za mkoa (Reginal Road) na Km. 412.73 ni Barabara za Wilaya ambapo Km 16.8 ni barabara za Lami, Km 36.10 ni barabara za changarawe na Km 359.83 ni barabara za udongo. Katika mwaka wa fedha 2014/2015, Halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo iliidhinishiwa jumla ya Tshs. 2, 019, 727,200.00, kupitia mradi wa MIVARF ili kufanya ukarabati wa Barabara za Kisauke – Matipwili kilomita 8.5 imekamilika toka mwezi wa sita 2016, Kiwangwa – Wami/Mambohela kilomita 15 ipo hatua za mwisho za ukamilishaji. Katika mwaka wa fedha 2015/2016, Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo pia iliidhinishiwa jumla ya Tshs. 717, 600,000.00, kutoka Mfuko wa barabara kwa ajili ya kazi za matengenezo ya barabara za Wilaya kwa mchanganuo ufuatao:- AINA YA MATENGENEZO GHARAMA (TSHS:) 1. Matengenezo ya kawaida (Routine Maintenance) km 54.00 118,800,000.00 2. Matengenezo ya sehemu korofi (Spot Improvement) km 35.00 105,000,000.00 3. Matengenezo ya maalumu (Peridic Maintenance) km 18.50 370,000,000.00 4. Madaraja na Makalavati (Bridge & Culverts) 46,320,000.00 5. Usimamizi 77,480,000.00 JUMLA KUU 717,600,000.00 Aidha, katika mwaka wa fedha 2016/2017, Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo imeidhinishiwa Jumla ya Tshs: 795,200,000 kwa ajili ya matengenezo ya Barabara kwa mchanganuo ufuatao:- 1. Matengenezo ya kawaida (Routine Maintenance) km 64.43 193,290,000.00 2. Matengenezo ya sehemu korofi (Spot Improvement) km 19.32 77,280,000.00 3. Matengenezo ya maalumu (Peridic Maintenance) km 13.1327 ,380,000.00 4. Madaraja na Makalavati (Bridge & Culverts) 154,620,000.00 5. Road Inventory and Adrics 5,000,000.00 6. Usimamizi 37,630,000.00 JUMLA KUU 795,200,000 MAJUKUMU YA IDARA YA UJENZI NA ZIMAMOTO Kufanya makadirio ya ujenzi wa barabara, madaraja na majengo ya Halmashauri Kuhakikisha mtandao wa barabara unapata matengenezo kwa wakati na unapitika wakati wote. Kuandaa bajeti ya matengenezo ya barabara za Halmashauri. Kutoa ushauri kwa Mkurugenzi juu ya ujenzi wa aina mbali mbali unaoendelea ndani ya Halmashauri. Kutoa ushauri kwa watu binafsi juu wa ujenzi mbali mbali unaoendelea ndani ya Halmashauri. Kuandaa michoro mbali mbali ya majengo, barabara na madaraja. Kufanya usanifu (designing) ya majengo na madaraja. Kuandaa mpango wa marekebisho au maboresho ya miundo mbinu iliyochakaa kulingana na bajeti iliyotengwa. Kusimamia kazi za ujenzi wa majengo, barabara na madaraja zinazotekelezwa na wakandarasi au jamii.
2017-11-22T20:05:49
http://bagamoyodc.go.tz/ujenzi
[ -1 ]
Ripoti yaonyesha Tanzania na Kenya zaongoza kwa idadi ya mabilionea Afrika mashariki - Bongo5.com Kenya na Tanzania zinaongoza kwa idadi ya watu matajiri katika jumuiya ya Afrika mashariki kulingana na utafiti. Kulingana na ripoti ya 2019 kuhusu utajiri barani Afrika iliochapishwa mwezi Septemba na benki ya AfrAsia, Kenya inaongoza ikiwa na mabilionea 356, Ikifuatiwa na Tanzania ambayo ina mabilionea 99. Uganda ni ya tatu ikiwa na matajiri 67 huku Rwanda ikifunga orodha hiyo na mabilionea 30. Image captionFedha — Mo Dewji Foundation (@DewjiFoundation) September 21, 2018 Hawa ndio vijana watatu kutoka Tanzania wenye ushawishi zaidi barani Afrika 2019 Watanzania 17 wachaguliwa kuwania tuzo za AFRIMMA 2019 nchini Marekani, Diamond aongoza kwa ‘nominations’ August 6, 2019 - 2:14 pm
2019-10-20T04:07:56
http://bongo5.com/ripoti-yaonyesha-tanzania-na-kenya-zaongoza-kwa-idadi-ya-mabilionea-afrika-mashariki-10-2019/
[ -1 ]
TAKUKURU YAKABIDHI MILIONI 52 KWA MKOA WA KATAVI | Masama Blog Home » NEWS AND UPDATES » TAKUKURU YAKABIDHI MILIONI 52 KWA MKOA WA KATAVI TAKUKURU YAKABIDHI MILIONI 52 KWA MKOA WA KATAVI Fedha Tsh. 52,500,000/- zilizorejeshwa kutoka kwa makarani wa pamba wasio waaminifu Naibu Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Katavi Christopher Nakua akimkabidhi mkuu wa mkoa wa Katavi fedha zilizorejeshwa kutoka kwa makarani Na Ripota wetu Katavi Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Katavi imekabidhi kiasi cha shilingi milioni 52.5 kwa mkuu wa mkoa wa Katavi; fedha ambazo zimepatikana kutoka kwa makarani wa zao la pamba wa Chama cha Msingi Mpanda kati wasio waamifu walioandika majina feki na kisha kujilipa fedha hizo wao wenyewe Bwana Christopher Nakua ni Naibu Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Katavi amesema kazi hiyo imefanyika kwa kipindi Januari hadi Desemba mwaka uliopita ambapo makarani hao walitumia majina hayo kujilipa Aliongeza kuwa walifanya ufuatiliaji wa siri na kubaini mchezo mchafu unaofanywa na makarani hao .“Naamini fedha hizi tunazokabidhi leo zitafanya kazi kubwa ya maendeleo kwa vyovyote utakavyoona wewe mkuu wa mkoa” alisema Nakua Akizungumza mara baada ya kupokea fedha hizo mkuu wa mkoa wa Katavi Juma Homera alisema hawatawafumbia macho watu wanaokiuka sheria Aidha alisema fedha hizo zitatumika kutengeneza madawati 2080 ya shule za sekondari ili kupunguza tatizo la madawati katika shule hizo Nao viongozi waliohudhuria katika hafla hiyo fupi ya makabidhiano wakiwemo wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama mkoa wameahidi kuendelea kuusimamia mkoa wa katavi katika kuhakikisha unasonga mbele “Tutaendelea kushirikiana katika kufichua maovu na hii si tu kwa pamba bali pia na wahalifu wengine” alisema Kamanda wa Polisi mkoa Benjamin Kuzaga Naye Katibu Tawala wa Mkoa wa Katavi Abdallah Malela aliahidi kusimamia utengenezaji wa madawati hayo “Tuna upungufu wa madawati zaidi ya 6000 katika sekondari zetu, kwa hiyo madawati yatakayotengenezwa yatapunguza changamoto hiyo” alisema Malela from MICHUZI BLOG https://ift.tt/2RfOCkr Thanks for reading TAKUKURU YAKABIDHI MILIONI 52 KWA MKOA WA KATAVI
2020-07-03T22:41:56
https://www.masamablog.com/2020/01/takukuru-yakabidhi-milioni-52-kwa-mkoa.html
[ -1 ]
Kenya, Uganda na TZ zashuka viwango vya FIFA – Taifa Leo HARAMBEE Stars ya Kenya imeteremka chini nafasi moja hadi nambari 112 kwenye viwango bora vya Shirikisho ka Soka Duniani (FIFA), ambavyo vimetangazwa Alhamisi. Uganda imetupwa chini nafasi nane hadi nambari 82 duniani, Sudan imeshuka nafasi mbili hadi nambari 128 nayo Rwanda imeporomoka nafasi 13 hadi nambari 136. Tanzania iko chini nafasi tatu hadi nambari 140, Burundi imeteremka nafasi mbili hadi nambari 148 nayo Ethiopia iko chini nafasi tano hadi nambari 151. Malimbukeni Sudan Kusini, Djibouti, Eritrea na Somalia wamepaa nafasi moja kila mmoja hadi nambari 156, 197, 206 na 206, mtawalia. Stars ya kocha Sebastien Migne, ambayo iko nchini India kwa Soka ya Hero Continental, iliteremka kutoka nafasi ya 111 hadi 112 baada ya kulemwa na Swaziland 1-0 Mei 25 na kunyamazisha Equatorial Guinea 1-0 Mei 28 mjini Machakos. Ushindi wa Swaziland, hata hivyo, haukuwasaidia kuimarisha msimamo wao kwani wameshuka nafasi tatu hadi nambari 134 duniani. Equatorial Guinea imepaa nafasi mbili hadi nambari 143. Wapinzani wa Kenya katika mechi za kufuzu kushiriki Kombe la Afrika (AFCON) mwaka 2019, Ghana, Sierra Leone na Ethiopia wamepaa nafasi tatu hadi nambari 47, kuteremka nafasi nane hadi nambari 111 na kushuka nafasi tano hadi nambari 151, mtawalia. Kuna mabadiliko mawili katika mduara wa 10-bora duniani ambapo Poland imeruka juu nafasi mbili hadi nambari nane nao mabingwa wa dunia mwaka 2010 Uhispania wameshuka nafasi mbili hadi nambari 10. Ujerumani, Brazil, Ubelgiji, Ireno, Argentina, Uswizi na Ufaransa wamesalia katika nafasi saba za kwanza, mtawalia. Tunisia inasalia nambari moja barani Afrika, lakini imetupwa chini nafasi saba hadi nambari 21 duniani. Senegal ni nambari mbili Afrika. Imepaa nafasi moja hadi nambari 27 duniani. DR Congo inasalia ya tatu Afrika na 38 duniani. Morocco inashikilia nafasi ya 41 duniani baada ya kuruka juu nafasi moja nayo Misri pia imepaa nafasi moja hadi nambari 45 duniani. Katika mataifa yanayoshiri Hero Continental Cup, wenyeji India wamesalia katika nafasi ya 97 duniani. Ilizaba Chinese Taipei 5-0 Juni 1 na Kenya 3-0 Juni 4. Itapambana na New Zealand hapo Juni 7. New Zealand imeruka juu nafasi 13 hadi nambari 120 duniani nayo Taipei imeshuka nafasi mbili hadi nambari 123. Kenya na Taipei zitavaana uwanjani Mumbai hapo Juni 8. Timu mbili kutoka orodha ya India, Kenya, New Zealand na Taipei zitakabiliana katika fainali mnamo Juni 10.
2018-06-24T08:44:30
http://taifaleo.nation.co.ke/index.php/kenya-uganda-na-tz-zashuka-viwango-vya-fifa/
[ -1 ]
HUU NDIO UTAJIRI WA KANYE WEST | Njibahood.com HUU NDIO UTAJIRI WA KANYE WEST Njiba Hood Kanye went ni producer, rapper, fashion designer na actor kutoka nchi ya Marekani, kutongana na mtandao wa celebrity net worth Rapper huyu mwenye miaka 38 kutoka Atlanta anautajiri wa kiasi cha dola milioni 145. Kanye west ambaye aliamua kuacha shule akiwa collage na kuamua kufanya muziki kama kazi, alianza kwa kusainiwa katika record lebo ya Jay Z inayoitwa Roc-A-Fella Records kama rapper. baada ya hapo alifanikiwa kutoa albamu takribani saba ambazo ni kama vile “The College Dropout,Late Registration”, “Graduation”, “808s & Heartbreak”, “My Beautiful Dark Twisted Fantasy” ambazo zimefanikiwa kuwa ndani ya chati ya billiboard top 100 kwenye namba moja hadi kumi. Albumu hizi ziliuza sana duniani kwa mafanikio makubwa. NI Mfanyabiashara anayemiliki Fatburger restaurants ambazo zinapatikana katika eneo la Chicago pia huwa anatengeneza viatu vya mpira katika kampuni ya nike vinavyoitwa air yeezy vilevile ana foundation yake ambayo husaidia watoto wa Africa, Amerika katika kuinua vipaji vyao. Kanye West ameshinda tuzo 40 zikiwemo za 21 Grammys, saba BET awards, na mbili za American Music Awards. Kanye kwa sasa amemuoa mwanamitindo Kim Kardashian na wana mtoto mmoja wa kike anayeitwa North West. ← Previous Story MOTIVATION SPEECH SAID BY AMERICAN RAPPER DRAKE Next Story → WATCH FULL AMERICA VS INDIA(GREEKU VEEREDU NEW MOVIE 2016 Historia ya Hekima Raymond Historia ya Kiss Daniel HISTORIA YA VANNESA MDEE a.k.a V. MONEY
2017-08-18T01:20:01
http://njibahood.com/huu-ndio-utajiri-wa-kanye-wes/
[ -1 ]
Huu sio utapeli kweli? Hapa mjini kumezuka kwa sasa sijui niite bahati nasibu au la katika sijui niita makampuni kama FOREVER la marekani NA POWER CLUB kutoka Italy. Kwa kifupi mtu unaweka kiasi flani cha pesa mfano kwa forever ni 450,000/= baabdae unapanda vyeo na kila ukipanda vyeo kw akuingiza watu chini yako... Kuzama chumvini kuna madhara kiafya? Katika vitu ambavyo huwa navipa kipaumbele basi ni kuzamia chumvini wanawane. Ila umkute demu anajua kupakwosha kule. ...unaweza kuzama ukaibuka na magugumaji. Sasa napenda kujua madhara yake. Vigogo wa Kenya marufuku Uingereza Waziri mmoja katika serikali ya Kenya na mshirika wa karibu wa rais Mwai Kibaki amepigwa marufuku kuingia Uingereza kwa madai ya rushwa, ikiwa ni siku chache kabla ya uchaguzi mkuu. Ubalozi wa Uingereza mjini Nairobi umeyafahamisha mashirika yote makubwa ya ndege kutomchukua waziri wa mazingira... The Best antvirus Wakuu mimi naomba kujua which one is the best antvirus maaana zinakuja nyingi kila kukicha na viruses wanazaliwa upya kila dakika. help me please Kada wa CCM lupango kwa kubaka Kada wa CCM afungwa kwa kubaka na Charles Ndagulla, Moshi KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mfanyabiashara maarufu mjini Moshi, Fred Minja (60), amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela, baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka mwanafunzi wa darasa la nne. Hukumu hiyo ilitolewa juzi na...
2020-02-23T19:16:22
https://www.jamiiforums.com/search/5819691/
[ -1 ]
Uhasibu - Wikipedia, kamusi elezo huru Uhasibu (kwa Kiingereza: accounting) ni upimaji wa hali ya kifedha ya shirika au biashara. Baada ya upimaji huo, mhasibu ana jukumu la kuwasilisha taarifa kwa wanaohusika. Mfumo wa uhasibu unaofanyika hivi leo ulianzishwa na mwanahisabati wa Italia kwa jina Luca Pacioli mwaka 1494. Uhasibu, ambao wengi huuita 'lugha ya biashara', hupima matokeo ya kiuchumi ya shirika na baadaye kuwajulisha washika dau. Anayefanya kazi ya uhasibu huitwa mhasibu. Uhasibu unaweza kugawanywa mara tano: Uhasibu wa kifedha (financial accounting) Uhasibu wa kimeneja (management accounting) Ukaguzi kutoka nje (external auditing) Uhasibu wa ushuru (tax accounting) 1 Uhasibu wa kifedha 2 Uhasibu wa Kimeneja 3 Ukaguzi wa nje 4 Uhasibu wa ushuru 5 Kutafuta mhasibu anayefaa Uhasibu wa kifedha[hariri | hariri chanzo] Uhasibu wa kifedha ni utengenezaji wa ripoti kuhusu fedha za shirika fulani. Ripoti hizi hutumika na watu wa nje ambao wangependa kuwekeza katika shirika lile au kulikopea . Uhasibu wa Kimeneja[hariri | hariri chanzo] Uhasibu huu hufanyika ili kuwezesha mameneja kufanya maamuzi kuhusu shirika. Ukaguzi wa nje[hariri | hariri chanzo] Ukaguzi wa nje au external auditing ni uhakiki kwamba yaliyofanywa na mhasibu ni kweli. Mahasibu wanaofanya ukaguzi wa nje huajirika na shirika kuja kufanya hesabu za hasibu wako kuona kwamba hakufanya makosa na hamna utapeli wowote isiende kuwa mhasibu wako akudanganya. Uhasibu wa ushuru[hariri | hariri chanzo] Uhasibu wa ushuru ni upimaji wa ushuru ambao shirika lafaa kulipa kwa serikali. Kutafuta mhasibu anayefaa[hariri | hariri chanzo] Mashirika mengi huwaza jinsi ya kutafuta mhasibu anayefaa katika shirika zao awafanyie hesabu na kuona kwamba pesa zinatumika sawa. Je, ni yapi wanafaa kuangazia wanapoajiri mhasibu: Maoni ya wengine walioajiri mahasibu Unapoajiri mhasibu, wafaa ufanye utafiti kwa wengine waliowaajiri ujue ni yupi anayefaa Taaluma na kisomo yake Katika uhasibu kuna wale walio na uspesheli wa ushuru, umeneja, ukaguzi wa nje, mauzo au fedha. Ni vizuri uhakikishe kwamba yule ambaye unaajiri ana taaluma inayoendana na kazi unayotaka afanye. Pia ni vizuri umchague aliye na kisomo cha juu zaidi ikiwezekana kwa maana huenda akawa anayajua maswala ibuka katika taaluma ile na atakusaidia shirika lako lifuate maagizo yaliyoko kwenye nchi yako. Ukifanya hivi utampata yule aliye na best accountancy na atakusaidia katika kutatua yaliyopo kwenye shirika. Tajriba ya kazi Mhasibu wako awe na tajriba au uzoefu mwingi wa kazi asiwe ametoka moja kwa moja chuoni. Je, unajua kitu kuhusu Uhasibu kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Uhasibu&oldid=1043534" Ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 11 Septemba 2018, saa 14:20.
2019-03-23T04:37:21
https://sw.wikipedia.org/wiki/Uhasibu
[ -1 ]
odds bora za basketball mitandaoni Tanzania - Kubeti michezo mitandaoni Tanzania Parimatch Home > blog > odds bora za basketballmitandaoni Tanzania – Kubeti michezo mitandaoni Tanzania Parimatch Zinazobamba kwenye odds bora za basketball odds bora za basketball ni kitu gani: ufafanuzi wa kina Wakamalia hutengeneza beti zao kwa bookmakers waliokuwa wazuri na odds bora za basketball ni miongoni mwa wanaowezesha. Duniani kote, au umaarufu wa odds bora za basketball Kawaida michezo haina mipaka. Maslahi ya kawaida pamoja na odds bora za basketball huwa inaunganisha watu. Unatumia muda wako kutazama timu unazozitegemea zaidi, ni jambo zuri zaidi kwani linawafanya watu wawasiliane kupitia mashabiki wa michezo hiyo pamoja na wale wanaopenda kubeti soka. Kwa upande mwingine hii ina msaidia mtumiaji kupata marafiki wenye tabia kama zake. Pamoja na hayo pia, ni dream job. Unaweza kukusanya pamoja vile unavyovipenda na ukapata pesa. Hiyo ndio sababu betting inaendelea ikiwemo odds bora za basketball ambayo imekuwa maarufu ulimwenguni kote. Mamilioni ya mtandao wa michezo ya kubahatisha imeonyesha thamani ya kweli ya odds bora za basketball. Hivyo basi unaweza ukachagua aina ya michezo na uangalie juu ya ujuzi ulionao katika kubashiri. Kwa mfano umepata ugumu kwenye kusuka mkeka katika michezo hii: Sisi ni Mabingwa, au Jamii ya odds bora za basketball Tukizungumzia juu ya mwenendo wa kisasa wa michezo, odds bora za basketball ndio ya kwanza itatajwa. Ni rahisi kujisajili, inavutia na ufanisi mkubwa- masuala ya kubeti michezo hutoa faida nyingi. Jaribu hii! kubeti virtual sports tanzaniamitandaoni Tanzania – Kubeti michezo mitandaoni Tanzania Parimatch odds za beti za tennismitandaoni Tanzania – Kubeti michezo mitandaoni Tanzania Parimatch
2020-07-04T20:29:19
https://thebeauty.co.tz/sw/best-basketball-odds
[ -1 ]
Utindio wa ubongo au Cerebral Palsy ni ugonjwa wa aina gani? - BBC News Swahili Utindio wa ubongo au Cerebral Palsy ni ugonjwa wa aina gani? Paula Odek Africa Health https://www.bbc.com/swahili/habari-48255678 Haki miliki ya picha Maria Njeri Image caption Maria Njeri Maria Njeri alizaliwa miaka 26 iliyopita akiwa na tatizo la utandio wa ubongo, kwa lugha ya kimombo cerebral palsy (CP). Njeri alitembea akiwa na umri wa miaka minne na alikuwa akitembea na kuanguka mara nyingi. ''Nilijiunga na shule ya chekechea nikiwa na miaka 6 katika shule ya kawaida bila kupatwa na matatizo yoyote na baadaye nikajiunga na shule ya msingi ya kawaida na hapo ndipo nilianza kugundua kwamba mimi ni tofauti.'' Maria Njeri alisema Lakini wakati huo wote nilikuwa chini ya uangalizi mkubwa wa mamangu kwani nilikuwa nikiugua mara kwa mara na kulazwa hospitalini. Nilipokuwa katika shule ya msingi watoto wengine walikuwa wakiniambia kwa nini mimi huongea hivyo? Mbona mimi hutembea hivyo? Na jibu langu kila wakati lilikuwa 'mimi hutembea hivyo na hata kuongea kwani sikujua nilikuwa tofauti.' anasema Njeri. Maswali hayo Njeri anaeleza kuwa yalizidi na alianza kutengwa huku watoto wenzake wakikataa kucheza na hata kutembea na yeye na hapo anasema akaanza kujiuliza 'kwa nini niko hivi?' Maswali hayo yote kutoka kwa wanafunzi wenzake anasema yalimuumiza sana kwa sababu hakutaka kuwa tofauti na kwa muda huo, alikuwa haelewi na hajui namna ya kuishi na palsy. Mimi sikutaka kuwa tofauti na watoto wengine 'Hapo ndipo nikamwambia mamangu kwamba sitaki kuwa na celebral palsy na akanijibu kwamba kama sio mimi nani atakuwa nayo?' Hapo Njeri anaeleza ndipo alipopata sababu ya kuishi. Lakini hayo yote yalipita na akamaliza shule ya msingi na kujiunga na shule maalum ya watu wenye ulemavu. Shule hiyo maalum ilikuwa ikiwashugulikia watoto kila mmoja jinsi anavyoweza kuelewa masomo tofauti. 'Mimi nilikuwa na kasi ndogo ya kushika mambo tofauti darasani lakini pindi tu ninapoelewa basi mimi huwa sawa na wanafunzi wengine, kwani masomo hayo hayakuwa tofauti na masomo yanayofunzwa katika shule za kawaida'. Anasema ugonjwa huo haukumzuia kujiunga na chuo kikuu na kutimiza ndoto yake ya kuisaidia jamii kwa kuhitimu na shahada ya ustawi wa jamii. 'Sina uhakika ni umri gani ambapo mzazi wangu aliniarifu kwamba niko tofauti na watoto wengine lakini hakuniambia nina celebral palsy, lakini akasisitiza kwamba hali hii haitayatatiza maisha yangu ya kawaida kama vile kwenda shule au kucheza'. Image caption Njeri amehitimu na shahada ya ustawi wa jamii. •Ni tatizo la ubongo ambalo huathiri watoto na husababishwa wakati damu inapovuja kwenye ubongo. •Mtoto anapoanza kupoteza fahamu punde baada ya kuzaliwa au mwezi wa kwanza wa kuzaliwa. •Jeraha kwenye ubongo linaweza kusababisha matatizo ya kuongea na ugumu wa kufahamu mambo. Aina tofauti za utindio wa ubongo Kuna aina tofauti za utindio wa ubongo lakini inayofahamika zaidi ni Spastic cerebral palsy ambayo husababisha viungo na misuli kuganda. Hali hii humfanya mtoto kuwa na uchungu mwingi na mifupa hushindwa kulainika hivyo huchukua muda kabla ya mtoto kutembea. 'Mimi ningependa kuwashukuru wazazi wangu kwa kunipenda kama mtoto mwengine yule hawakuona tofauti yoyote'. Baada ya kuyapitia yote Njeri aliamua kuanzisha wakfu ili aweze kuihamasisha jamii na kuwafahamisha kwamba mtoto anayezaliwa na tatizo la utindio wa ubongo anaweza kuishi kama mtoto mwengine yule. Njeri amesisitiza kwamba jamii inastahili kuwapokea watoto wanaozaliwa na hali hiyo na hata wazazi wao na kwamba utindio wa ubongo ni kama ugonjwa wowote ule.
2019-05-20T10:50:09
https://www.bbc.com/swahili/habari-48255678
[ -1 ]
Online Roulette kwa Money | Roulette SMS | Kucheza £ 5 Free | Free No Deposit Online & simu ya Roulette! Online & simu ya Roulette – Jinsi ya Kuongoza | £205! TopSlotSite.com Roulette Online Phone Billing | Mfukoni Fruity simu za £ 10 + 400% Bonus! Free Roulette Mchezo Hakuna Amana Bonus | mFortune Desktop & Mobile Casino Simu ya Roulette Pay na Bill Simu | Elite Casino Bonus!! Simu ya Roulette Free Bonus | Spin Jini Casino 50 spins simu za Roulette Mobile Casino Michezo | £ 5 & £ 100 za PocketWin Bonus! Roulette Online No Amana Inahitajika! | Sana Vegas Free spins Casino Roulette App Free!| simu Michezo | £ 5 + £ 225 FREE! Free Michezo Roulette & Free spins Bonus | Casino next! Roulette mchezo kwa Free | Vera & John Mkono Casino Real Roulette Free £ 5 Bonus | Vegas Mkono Casino Jumla Gold Casino Roulette Free Bonus | £ 200 + Amana Cash Kutoa! Best Roulette Sites Uingereza! | Bwana. Mobi Free Casino Bonus Online Casino No Amana Bonus & Simu Real Money | Betfair £ 10 FREE! Best Simu Roulette | Conquer Casino Free spins Bonus! Free Roulette Michezo | Jack Gold Mkono Casino | £ 1K Bonus Roulette Free Game Bonus | 18Bet £ 1,000 Karibu Casino Home » Online Roulette kwa Money | Roulette SMS | Kucheza £ 5 Free Free Roulette Michezo kwa mFortune Mkono Casino! Online Roulette kwa Fedha Si Kukusanya Tu Virtual Chips lakini pia, unapata Thrill – Kunyakua £ 800 Free Casino Cash Thrill wa Real Money Roulette kwenye Kasino Live Kucheza online Roulette fedha ni kama kusisimua na rahisi vile kucheza Roulette fedha katika kasinon kuishi. bets mchezaji rangi, Nambari au mchanganyiko wa hiyo Mnaweka Chip wako meza au waliona muuzaji wa casino virtual itakuwa spin gurudumu na kutambua mpira Kama katika hali halisi ya mpira polepole kuanza kupoteza kasi na ardhi na idadi Hivyo kuamua hatma kama wewe kushinda katika online mazungumzo ya fedha Tofauti katika Roulette Real Money na Mambo ya kuvutia Kupata £ 5 Kama Free Game Roulette Bonus Na 400% Mechi Amana Bonus! The Online Roulette fedha itatoa mbalimbali na ya kuvutia za tofauti kwamba mchezaji kutaka kuchagua. toleo la Ulaya- Kuna moja zero tu katika Roulette Ulaya, kufanya nyumba makali kuhusu 3%. Ni bora bet kwa Red, Black au nguzo. Hata hivyo, ni rahisi kidogo kwa kucheza kwa Kompyuta kucheza online Roulette fedha. Kunyakua Bonasi na Matangazo na Inacheza Online Roulette kwa Money Wakati Coinfalls Best Ukaguzi Kucheza Roulette! £ 5 Free Game Roulette Bonus soma Ukaguzi Cheza sasa! £ $ € 5 + £ 200 Online Roulette Bonus! soma Ukaguzi Cheza sasa! Free Roulette Michezo kwa mFortune Mkono Casino! soma Ukaguzi Cheza sasa! £ 5 + 100% Roulette Mobile Amana Bonus soma Ukaguzi Cheza sasa! £ 5 simu za mikopo kwa Best Online / Mobile Roulette! soma Ukaguzi Cheza sasa! £ 10 Free Bonus Roulette Online! soma Ukaguzi Cheza sasa! 100% kukaribisha ziada! Hadi € 500 bure Amana mechi Bonus soma Ukaguzi Cheza sasa! £ 5 Bure Fruity King Roulette Bonus! soma Ukaguzi Cheza sasa! 100% Amana mechi Bonus hadi $ / £ / € 200. soma Ukaguzi Cheza sasa! Free spins + Up Amana mechi Bonus Kwa £ 200! soma Ukaguzi Cheza sasa! Free Roulette na / au kupokea 100% Match-Amana Bonus! soma Ukaguzi Cheza sasa! Real Roulette| £ 5 Free + £ 225 Amana mechi Bonus soma Ukaguzi Cheza sasa! toleo la Marekani- kawaida Las Vegas mtindo wa kucheza Roulette kutoa ziada mara mbili sifuri kwa kucheza na. Hii itaongeza nyumba makali ya mchezo kwa karibu 5%. tofauti hii ni maarufu sana hasa kwa sababu ya kulipa-Outs ni kubwa sana. Kidogo zaidi ya hatari kwa mchezaji mpya kucheza online Roulette fedha. toleo Kifaransa- Hii ni tofauti kidogo kutoka Roulette Ulaya. sheria ni sawa. faida ya tofauti hii ni kwamba mchezaji anapata kuweka bima bet. Wanaweza hivyo kupata nusu fedha nyuma kama sehemu ya mpira juu ya sifuri. nafasi hiyo, bora katika kupata fedha halisi online Multi-Ball And Multi Wheel Casino Roulette Online Multi-Ball na Multi gurudumu Casino Roulette Online–mbalimbali ya mpira Roulette basi mchezaji kucheza na mipira mitatu ya gurudumu moja. Ni fursa nzuri ya kuboresha tabia mbaya ya muda mrefu na kushinda fedha halisi katika Roulette. mbalimbali gurudumu mfumo kwa upande mwingine itaruhusu mchezaji kucheza kwenye magurudumu nane tofauti kwa wakati mmoja. Hakuna haja ya awali kwa ajili ya gurudumu moja na kuacha inazunguka na kutabiri bahati yako. Mtu anaweza mara moja kuruka kwa gurudumu lingine moja. Roulette Real Money Live katika Roulette SMS Mbali na hapo juu, fedha halisi Roulette inaweza alishinda kwa betting juu ya meza kuishi katika kasinon kupitia online Roulette kasinon. mchakato katika moja, Tofauti tu ni kwamba gurudumu itakuwa spin katika kasinon kuishi. Online Roulette fedha anapata kuvutia zaidi. Kupata Bonuses na Ofa na Inacheza Roulette kwa Free Wakati Coinfalls Online Free & Simu ya Roulette Ukaguzi - Related Posts: Hakuna Amana Top Simu ya & online Roulette – Free Cash Malipo! online Roulette – Jinsi ya Kuongoza | £ 205 FREE TopSlotSite.com! Casino Roulette Online | Topslotsite | Hadi £ 200 Cash Best Online Roulette Real Money | Gold Ulaya | £ 200 Free spins! Casino Roulette Mchezo | Top Slot Site Casino | Bonus £ 20 Roulette Real Money | Fruity King Roulette | £ 5 Free Bonus
2017-08-18T22:08:38
http://www.roulettefreebonus.com/sw/online-Roulette-fedha-mazungumzo-sms/
[ -1 ]
SAUTI YA KATAVI 97.0 MPANDA FM RADIO: July 2014 TID amtusi Ray C baada ya kumuomba wazungumze, "B**ch leave me alone...' Mmiliki wa Top Band, TID amegeuka mbogo baada Ray C kumuomba kupitia Instagram wazugumze. Mwimbaji huyo ambaye anadaiwa kuwa mmoja wa wasanii wanaotumia dawa za kulevya huenda alihisi Ray C anataka kumletea habari za kumsaidia kuachana na matumizi ya dawa hizo kupitia Methadone. “Come let’s talk Tid ur the best musian in east Africa pls lets talk @tidmnyama.” Aliandika Ray C. Ingawa Ray C hakufafanua katika comment yake aliyoiweka kwenye post ya picha ya TID inayotambulisha Refix ya wimbo wake ‘Asha ‘ uliofanywa na Lamar, TID aliporomosha matusi akimtaka aachana nae kabisa. “B*tch leave me alone am not ur type also I don’t need shit from you. Ur mistake is urs nakuomba can u just f**k off, help ur boyfriend, I have never liked you, full stop.”Ameandika TID Hata hivyo mashabiki walioandika comments zao walimshambulia tena TID kutokana na kile alichomjibu Ray C ambaye hakutaja kabisa nia ya kutaka kuzungumza na Mnyama TID. Posted by mpanda radiofm at Tuesday, July 01, 2014 TRA waanza rasmi ukaguzi na urasimishaji wa kazi za muziki na filamu Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imetangaza kuanza rasmi ukaguzi na urasimishaji wa kazi za muziki na filamu kwa kubandika stika maalum kwenye kazi za wasanii hao. Taasisi za serikali zilizopewa jukumu la kurasimisha kazi za sanaa ya muziki na filamu zimeanza kukagua na kukamata kazi zote ambazo hazina sifa ya kuuzwa ndani au kupelekwa nje ya nchi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TRA kwa kuzingatia sheria ya ushuru wa bidhaa iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2012 na kupitishwa kwa kanununi zake mwaka 2013, inamtaka kila mfanyabiashara wa kazi za muziki na filamu kuhakikisha kuwa bidhaa yake ina stempu ya ushuru wa bidhaa inayotolewa na TRA kabla ya kusambazwa. Taarifa hiyo imefafanua kuwa wasanii wote wa muziki wanapaswa kupitia hatua zote za awali kwa kuipeleka kazi yao BASATA, COSOTA kabla ya kuifikisha TRA kwa ajili ya kununua stempu/stika maalum ya utambulisho wa ushuru. Kwa wasanii wa filamu wanapaswa kupitisha kazi zao kwenye bodi ya filamu na COSOTA kabla ya kufika TRA kununua stika. Imeeleza kuwa zoezi hilo litafanyika kwa kazi zote za ndani na za nje ya nchi na kwamba zitatofautiana rangi tu za stempu/stika zitakazoitambulisha. -Filamu kutoka nje ya nchi-rangi ya kijani (green) -Muziki toka nje ya nchi –rangi bluu (blue) =Filamu zinazotengenezwa ndani ya nchi-Zambarau (violet) -Muziki wa ndani ya nchi –rangi ya pink “Stempu hizi zitapatikana ofisi za idara ya fedha, makao makuu TRA. Kila kazi yaani CD, DVD au kanda zitatolewa stempu mbili zenye namba moja katika mtiririko maalum wa namba (serial number). Stempu moja hubandikwa katika kasha na nyingne kwenye CD/DVD au Kanda. Utaratibu unamtaka mhusika anaehitaji stempu kuwasilisha maombi tofauti kwa kila kazi husika. Hairuhusiwi kuwekwa stempu zilizoombwa kwa ajili ya kazi moja kwenye kazi nyingine hata kama kazi hizo zimetolewa na mzalishaji au msambazaji mmoja.” Inaeleza taarifa hiyo. Mke wa T.I amkimbia Floyd Mayweather kwenye BET Red Carpet Mke wa rapper T.I, Tiny hakutaka ugomvi mwingine utokee kwenye tuzo za BET baada ya kumkimbia kiaina bondia Mayweather aliyekuwa anajaribu kumuita. Video iliyochukuliwa na na Hip Hollywood inamuoenesha Floyd Mayweather akijaribu kumuita Tiny wakati wapo wote kwenye red carpet, lakini Tiny anaonesha kushitukia na kukatisha interview yake haraka kisha akaondoka. Bado Mayweather alionesha nia ya kutaka kumgusa mkono lakini Tiny aliendelea kuchapa mwendo na kujiunga na T.I. Hata hivyo baada ya kuingia ukumbini, mchekeshaji Chris Rock ambaye alikuwa MC aliendelea kufanya utani kuhusu ugomvi wa T.I na Mayweather uliotokea mwezi mmoja uliopita baada ya Mayweather kuonekana akiwa na Tiny kwenye picha kadhaa kitendo ambacho hakikumfurahisha kabisa rapper huyo. Nakaaya: Baada ya kupata mtoto amenipa nguvu ya kufanya muziki tena Mwimbaji aliyefanya vizuri kwenye game na nyimbo kama Mr. Politician, Nakaaya Sumari amerudi tena kwenye game na kuachia wimbo mpya unaoitwa Blessing ambao amesema ni maalum kwa ajili ya mtoto wake. Akiongea na Bongo Dot Home ya 100.5 Times Fm, Nakaaya ambaye aliwahi kushiriki mashidnano ya kuimba ya Tusker Project Fame, amesema kuwa alikuwa amekata tamaa na muziki lakini baada ya kumpata mwanae amepata nguvu ya kurudi tena kwenye game. “Baada ya kumpata mwanangu imenipa changamoto na imenipa motisha ya kufanya muziki wangu tena. Kwa sababu kuna time ilifika nikawa nimeshindwa kufanya muziki tena nilikuwa sitamani tena kufanya muziki na nilikuwa nimeachana nao.” Amesema Nakaaya. # Akifafanua kuhusu hilo amesema aliona kuwa ni bora afanye muziki wake ambao mwanae atakapokuwa na kuanza kuelewa atajivunia badala ya kusimuliwa kuwa mama yake alikuwa anafanya muziki. Amesema tayari ameshakamilisha albam yake aliyoipa jina la Blessing na wanasubiri wakamilishe video na kisha waendelee kuachia wimbo mmoja mmoja. Nikki Mbishi aeleza sababu za kuisogeza mbele project ya Ufunuo na collabo aliyofanya na Collo Rapper wa Tamaduni music, Nikki Mbishi ambaye aliwafanya mashabiki wake waisubiri kwa hamu siu ya June 16 ambayo ilikuwa inaonekana kwenye akaunti zake za Twitter na jina project yake ya ‘Ufunuo’. Nikki Mbishi ameeleza kuwa tarehe hiyo ilikuwa tarehe ya kuzaliwa ya mwanae Malcom amapo alikuwa ameiweka kama siku muhimu kwake. Hata hivyo rapper huyo ameeleza kuwa alilazimika kutotoa Ufunuo siku hiyo kwa kuwa rapper mwenzake One The Incredible alikuwa amepanga kauchia mradi wake June 11 kwa hiyo ratiba ingekuwa nzuri kibiashara. “Ile tarehe ilikuwa tarehe ya kuzaliwa kwa Malcom kwa hiyo niliiweka tu vile lakini nilikuwa najua siwezi kufanya hivyo kwa sababu One pia alitangaza kutoa kazi yake. Kwa hiyo One angetoa tarehe 11 mwezi wa 6 na mimi nikatoa tarehe 16 mwezi wa 6 ingekuwa sio biashara ni utoto kwa kuwa tungekuwa tunashindana sisi wenyewe kuuza.” Amesema Nikki Mbishi. Hata hivyo, kutokana na sababu zilizo juu ya uwezo wao, One The Incredible pia alishindwa kutoa kazi yake kama ilivyopangwa. Nikki Mbishi amewaahidi mashabiki wake kuwa mwisho wa mwaka huu ni lazima aitoe albam ya Ufunuo kwa ajili yao. Katika hatua nyingine, Nikki ameeleza kuhusu collabo waliyofanya na King wa Rap Kenya, Collo kuwa ilikuwa ngoma waliyofanya pamoja mwaka jana na imekaa pending kwa muda mrefu huku kichwani kwake kukiwa na mipango tofauti na kwamba hana uhakika kama ataichia hivi karibuni. Mashabiki wamshambulia Amber Rose kwa kumtaja Wiz Khalifa kuwa mwanaume mwenye mvuto zaidi duniani Kuna msemo wa Kiswahili uliozoeleka kuwa muwamba ngoma huvutia kwake. Wazungu wenyewe wanasema uzuri upo kwenye macho ya anaeangalia kitu hicho. Baadhi ya mashabiki ambao hawaamini hayo yaliyoandikwa hapo juu wamemshambuli kwa kejeli mrembo Amber Rose baada ya kupost picha ya mpenzi wake rapper Wiz Khalifa kwenye Instagram na kumtaja kuwa mwanaume mwenye mvuto zaidi duniani. “The sexiest man on Earth.” Aliandika Amber Rose. Wengine walisema kuwa amewatukana wanaume kama Trey Songz. “Speaking as a man and an inhabitant of earth I take offence to that statement." Aliandika shabiki mmoja anaetumia jina la deanxod. Wengine waliandika comments zenye matusi pia. Justin Bieber atoa msaada katika ajali ya gari iliyowahusisha watoto wa Mayweather Justin Bieber aambaye amewahi kuingia katika matukio ya ajali ya gari mara kadhaa, Jumapili iliyopita aligueka kuwa msamalia mwema na kutoa msaada wa haraka kwa watoto wa bondia Floyd Mayweather waliopata ajali ya gari. Kwa mujibu wa TMZ, muda ambao watoto hao wanapata ajali ya gari huko Los Angeles, Floyd alikuwa kwenye tukio la red Carpet ya tuzo za BET na alipewa taarifa kwa njia ya simu na Justin Bieber. Inaelezwa kuwa magari mengi yaligongana katika eneo hilo na kuhusisha gari walilokuwemo watoto wa Mayweather. Justin alikuwa katika eneo hilo na alikimbia kwenye tukio hilo na kuwachukua watoto hao haraka na aliwaeleza polisi kuwa ni watoto wa rafiki yake. Watoto hao hawakupata majeraha makubwa, mtoto mmoja alichanika kidogo kwenye mdomo wa chini na Justin aliamua kuwafariji kwa kuwaimbia wimbo wake mpya kabla hajawapeleka kwa baba yao. Inaelezwa kuwa baada ya kuwafikisha watoto hao kwa Floyd. Justin alirudi katika eneo hilo na kuwaarifu polisi kuwa watoto hao wameshafika kwa baba yao. TID amtusi Ray C baada ya kumuomba wazungumze, "B*... TRA waanza rasmi ukaguzi na urasimishaji wa kazi z... Mke wa T.I amkimbia Floyd Mayweather kwenye BET Re... Nakaaya: Baada ya kupata mtoto amenipa nguvu ya ku... Nikki Mbishi aeleza sababu za kuisogeza mbele proj... Mashabiki wamshambulia Amber Rose kwa kumtaja Wiz ... Justin Bieber atoa msaada katika ajali ya gari ili... Sherehe za Thanksgiving Marekani na mgahawa unaosaidia wahamiaji Brooklyn New York. - Sherehe za Thanksgiving Marekani na mgahawa unaosaidia wahamiaji Brooklyn New York.
2017-11-24T05:33:23
http://mpandaradio.blogspot.com/2014/07/
[ -1 ]
YAYA TOURE AGOMA KUBAKI UWANJANI, AKASIRISHWA NA PELLEGRINI | ShaffihDauda Home Ligi EPL YAYA TOURE AGOMA KUBAKI UWANJANI, AKASIRISHWA NA PELLEGRINI YAYA TOURE AGOMA KUBAKI UWANJANI, AKASIRISHWA NA PELLEGRINI Kweli hakuna kazi ngumu kwa kocha kama kuwa na kikosi chenye wachezaji maarufu wenye majina kama Yaya Toure. Baada ya jana Toure kuifungia goli la ushindi timu yake ya Manchester City kwa penati katika dakika ya 89 alifanyiwa sub, kitendo kilichomkasirisha na kuamua kuondoka uwanjani. Yaya Toure alionekana kunyoosha kidole kwa jazba na ilikua ngumu kwa kocha wake Manuel Pellegrini aliyejaribu kumkumbatia lakini Toure akiwa mwenye hasira alipitiliza katika tunnel na kuingia katika vyumba vya kubadilishia nguo. Haijafahamika mara moja nini kiliendelea huko chumbani baada ya mchezo kati ya Toure na kocha wake Manuel Pellegrini. Katika mchezo huo City wakiwa katika kiwango kibovu kabisa walilazimika kusubiria penati iliyosabibishwa na Raheem Sterling katika dakika ya 89 kupata goli la ushindi na kufanya matokeo kuwa 2-1 dhidi ya Norwich waliopanda daraja msimu huu. Previous articleMASHABIKI CHELSEA WAMBAKIZA MOURINHO Next articleCHEKI HIGHLIGHTS ZA SAMATTA NA ULIMWENGU WAKIWA NA TP MAZEMBE Vs USM ALGER
2018-09-19T12:38:31
http://shaffihdauda.co.tz/2015/11/01/yaya-toure-agoma-kubakia-uwanjani-akasirishwa-pellegrini/
[ -1 ]
Ripoti ya shirika la waandishi wasio na mipaka 2008 | Matukio ya Kisiasa | DW | 13.02.2008 Ripoti ya shirika la waandishi wasio na mipaka 2008 Shirika la waandishi wasio na mipaka limetoa leo ripoti yake 2008 leo ,juu ya hali ya waandishi habari mwaka jana 2007 . Waandishi habari 80 waliuwawa 2007 ,idadi kubwa kabisa katika muda wa miaka 13. Ripoti hiyo ya Shirika la waandishi wasio na mipaka linalojulikana kwa lugha ya kifaransa kama " Reporter Sans Frontieres" kwa mara nyengine tena limeziorodhesha nchi za kiafrika ambako waandishi habari wamekumbwa na hali ngumu na hata kuuwawa. Hizo ni Somalia, Zimbabwe, Niger na Tchad. Uhuru wa vyombo vya habari umeendelea kukandamizwa pia huko Korea kaskazini, Sri Lanka na pia katika mataifa ya Asia ya kati, Turkmenistan na Uzbekistan. Ni watawala katika nchi hizo na nyengine nyingi ambao ndiyo wanaobeba dhamana ya hali hiyo ya kuwakandamiza raia wao wenyewe. Kama alivyoandika mwana falsafa wa kiingereza katika karne ya 19 John Stuart kuwa " taifa linalowakandamiza watu wake wadogo, lisishangae siku moja kuona kwamba hao wadogo wanashindwa kufanya lolote kubwa kwa sababu ya kukangamizwa huko." Katika wakati huu wa utandawazi ukandamizaji katika nchi kadhaa ndiyo kwanza umezidi makali. Lakini mbali na sababu za kisiasa kuna pia sababu za kiuchumi katika ukandamizaji wa uhuru wa vyombo vya habari. Kufungwa midomo waandishi habari, hufungua milango ya rushwa , upendeleo, na urasimu. Mwisho yote huzoroteshwa na dola. Ni jambo lisiloweza kuaminika kuona uhuru wa vyombo vya habari unakandamizwa katika awamu muhimu katika nchi fulani na hivyo kuzusha wasi wasi kwa usalama na maendeleo. Hii ndiyo hali inayokutikana mjini Mosko wakati Urusi ikielekea kwenye uchaguzi wa rais mwezi Machi. Maafisa wanataka lazima mgombea wa chama tawala ajinyakulie zaidi ya 70 asili mia ya kura. Ndiyo maana dola inadhibiti vituo vya redio na televisheni kumpigia debe Dimitri Medvedev achukuwe nafasi ya kiongozi wa taifa kama mrithi wa Vladimir Putin. Ukweli ni kwamba Putin hataki mgombea wake ashindwe na anajua jinsi ya kuvidhibiti vyombo vya habari. Chini ya yote haya , hatimae Viongozi wa mataifa ya magharibi katika mkutano ujao wa kilele hawana budi kutuma ujumbe makhsusi kwa rais ajaye kwamba hii sio njia ya kidemokrasi ya kushika madaraka. Bila shaka Urusi itasonga mbele kwa sababu ya utajiri wake wa mali asili na nguvu zake za kijeshi. Lakini wakati wa kuzingatia ni sasa na kama mtu anaheshimu utajiri mkubwa wa utamaduni wa nchi hiyo na wasomi wake, inafaa pia kuangalia jinsi waandishi habari werevu walioonyesha ujasiri wao mnamo miaka ya 90, sasa wanafanya kazi katika mazingira na kiwango gani. Urusi ni sehemu ya Ulaya na ni jukumu la ulaya kutupia jicho hatari inayozikabili haki za binaadamu na uhuru wa vyombo vya habari. Tarehe 13.02.2008 Mwandishi Soric, Miodrag Kiungo http://p.dw.com/p/D71x 23.03.2018 Matangazo ya asubuhi 23.03.2018 Mgombea pekee katika uchaguzi wa rais utakaofanyika Jumatatu nchini Misri, Abdel Fatah el Sisi amewahi kufanya mikutano miwili ya kampeini katika mji mkuu Cairo// Umoja wa Ulaya umetoa idhini kwa kwa kampuni kubwa ya kutengeneza madawa ya nchini Ujerumani ya Bayer kuichukua kampuni ya Monsanto. Mkutano wa Viongozi wa Umoja wa Ulaya waanza Brussels 22.03.2018 Viongozi wa Umoja wa Ulaya wanakabiliwa na ajenda iliyo na masuala chungu nzima wakati wakijitayarisha kujadili hatua ya Uingereza kujitoa katika Umoja huo katika mkutano wa siku mbili mjini Brussels. Wahariri wajadili tangazo la Merkel 22.03.2018 Wahariri wa magazeti ya Ujerumani (22.03.2018) wamejishughulisha na tangazo la serikali la kansela Angela Merkel, kashfa ya data ya Facebook na muungano kati ya kampuni ya dawa ya Ujerumani Bayer na Monsanto.
2018-03-23T08:26:56
http://www.dw.com/sw/ripoti-ya-shirika-la-waandishi-wasio-na-mipaka-2008/a-3125293
[ -1 ]
Gazeti la Jamhuri | Tunaanzia wanapoishia wengine - Part 670 Jamhuri May 18, 2016 Sasa si ukwepaji kodi tena, bali ni ukwapuaji kodi2016-05-18T06:53:57+00:00 Makala Hatimaye Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, amewasilisha kiwango na ukomo wa bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2016/2017. Waziri ameliambia Bunge kuwa mwaka ujao wa fedha zitatumika Sh trilion Kati ya fedha hizo, mapato… Jamhuri May 18, 2016 Ushirikiano wa TANU na ASP kabla ya 1964 (3)2016-05-18T06:53:38+00:00 Makala Serikali ya Tanganyika ilichukua msimamo wa kuwa kusaidia ASP baada ya mwaka 1960 na kabla ya mwaka 1964 kwenye uchaguzi Zanzibar. Tanganyika ilitaka kutoa msaada wa hali na mali kwa ASP ili ishinde uchaguzi wa mwaka 1961 na wa mwaka… Jamhuri May 18, 2016 Mwafrika bado “Le Grande Enfante”2016-05-18T06:51:59+00:00 Makala Enzi za ukoloni, Wafaransa walitawala zaidi nchi zile za Afrika Magharibi. Mtindo wao wa kutawala ulikuwa tofauti sana na ule wa Waingereza tunaolijua sisi huku Afrika Mashariki. Kwa Wafaransa waliwachukulia Waafrika wasomi kama wenzao ndiyo maana Waafrika wasomi waliweza kuwa… Jamhuri May 18, 2016 Yah: Serikali lazima itishe watu ili mambo yaende2016-05-18T06:51:24+00:00 Kuna wakati niliwahi kumsikia Mwalimu Julius Nyerere akihutubia wananchi juu ya kulipa kodi. Katika hili alisema serikali ni lazima wawe wakali ili kila mtu aweze kulipa kodi, kodi ni kwa maendeleo ya nchi na watu wake, haiwezekeni Serikali icheke na… Jamhuri May 18, 2016 Umoja wa dhati ni muhimu2016-05-18T06:49:50+00:00 Makala Jumapili iliyopita wafanyakazi kote nchini waliadhimisha Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani, Mei Mosi. Kitaifa ilifanyika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma ambako wananchi na wafanyakazi walikusanyika kuwakumbuka wafanyakazi duniani, waliokataa dhuluma na kukata minyororo ya mateso na kuweka misingi ya kudai haki… Jamhuri May 18, 2016 Tujikomboe kutoka kwenye utumwa wa mawazo2016-05-18T06:49:22+00:00 Makala Leo natafakari maana isiyo rasmi ya uzungu; maana ambayo hutumika sana kwenye matumizi ya kila siku ya lugha ya Kiswahili. Ni uzungu kama sifa ya kubainisha tabia nzuri ya binadamu miongoni mwa jamii. Siku kadhaa zilizopita, nilisimamisha gari pembeni mwa…
2019-11-18T12:11:00
http://www.jamhurimedia.co.tz/page/670/
[ -1 ]
Pasteur Ntumi: Nitakuja kuzindua zoezi la kupokonya silaha, lakini mnipe uwezo - Afrika - RFI Pasteur Ntumi: Nitakuja kuzindua zoezi la kupokonya silaha, lakini mnipe uwezo Na RFI Imechapishwa 22-08-2018 Imehaririwa 22-08-2018 Saa 09:00 Pasteur Ntumi alikutana Jumatano, Agosti 21, na tume ambayo inasimamia zoezi la kupokonya silaha huko Pool. © RFI Kiongozi wa waasi wa zamani Nchini Congo Brazzaville Frédéric Bintsatmou, anayefahamika kwa jina maarufu Pastor Ntumi, ameitaka serikali ya nchi hiyo kumwezesha kuwakusanya wapiganaji wake ili awanyanganye silaha zao alizowapa wakati wa uasi nchini humo. Zaidi ya miezi nane baada ya kusainiwa makubaliano yaliyosaidia kumalizika kwa vita vya Pool mnamo mwezi Desemba 2017, Frédéric Bintsatmou, ameonekana hadharani kwa mara ya kwanza Jumanne, Agosti 21, 2018 katika moja ya ngome zake huko Pool. Frédéric Bintsatmou alikutana na tume ambayo inasimamia operesheni ya kupokonya silaha ambapo yeye ni mmoja wa maafisa wa tume hiyo. Kiongozi wa wapiganaji wa zamani wanaojulikana kama "ninjas" alitoa baadhi ya malalamiko na kuomba serikali kutafuta suluhisho. Kwanza kusema, Séraphin Ondélé, Rais wa Tume, anauliza Mchungaji Ntumi kuwaalika vijana kuweka mikono yao kwa amani yenye ufanisi. "Ninakuja kwako kuomba wito wako wa amani, simu yako ya kuchukua silaha kwa sababu hakuna amani bila silaha zilichukuliwa," anasema. Akijibu kuhusu maswali yalioulizwa, kiongozi wa zamani wa waasi alijiunga na mpango huo na alitaka kuwa sherehe ya kupokonya silaha ifanyika hivi karibuni huko Mayama lakini akiomba serikali kuboresha mazingira. "Ikiwa tuna silaha na tumetaka kuepo na amani, silaha hiyo haina maana. Tunapaswa kuiweka chini, tunapaswa kuikabidhi, "alisema Pasteur Ntumi. Pasteur Ntumi aliiomba serikali kumpa uwezo wa kutosha kwa zoezi la kupokonya silaha wapiganaji wake wa zamani. Pia alitaka kushughulikiwa sababu halisi ya mgogoro wa Pool, pia ameitaka serikali kukubali kujenga miundo mbinu yote iliyoharibiwa wakati wa mapigano. Silaha inaweza kurejeshwa, lakini hali ambayo ilisababisha mtu kuchukua silaha, ikiwa haikupatiwa ufumbuzi, itakua kama wanyama waliopigana. Nilitoa mapendekezo yangu. Ninahitaji majibu. Napenda wanijibu kuhusu kile nilichoomba. Nilisema: Nitakuja Mayama kuzindua zoezi la kupokonya silaha. Lakini mnipe uwezo. Sitaki kufanya mambo kwa siri, " alisem aPasteur Ntumi Wapaiganaji 7,500 wanatarajiwa kupokonywa silaha na warejeshwe katika maisha ya kiraia na wengine wasajiliwe katika idara za usalama. Maelfu ya raia bado hawajarudi nyumbani. Mkutano wa Jumanne unaweza kuwa ni hatua ya mwanzo. Pasteur Ntumi amekuwa akiongoza uasi kwa miaka miwili katika eneo la Pool la kusini mwa Congo. Mnamo mwezi Desemba 2017, makubaliano ya kusitisha mapigano yalifikiwa kati ya serikali ya Brazzaville na kiongozi huyo wa waasi. Guterres: Hatima ya wanajeshi wa Congo … Majeshi ya Congo Brazzaville yatakiwa …
2019-07-19T01:31:49
http://sw.rfi.fr/afrika/20180822-pasteur-ntumi-nitakuja-kuzindua-zoezi-la-kupokonya-silaha-lakini-mnipe-uwezo
[ -1 ]
RASMI: Huawei wazindua mfumo wao endeshi mpya wa ‘Harmony-OS’, Waahidi kuwapoteza Android sokoni - Bongo5 | PressTZ - Your Number 1 Source of Aggregated Online Content RASMI: Huawei wazindua mfumo wao endeshi mpya wa ‘Harmony-OS’, Waahidi kuwapoteza Android sokoni By: Bongo5 / Posted: Friday 9th August 2019 Hatimaye kampuni ya Huawei imezindua rasmi mfumo wake endeshi (Operating System) ujulikanao kwa jina la Harmony-OS utakaotumika kwenye simu zao za Huawei. Mfumo huo umezinduliwa leo Agosti 9, 2019 kwenye mkutano wa wabunifu wa kampuni hiyo nchini China, ikiwa ni mizezi michache imepita tangu Kampuni hiyo ifutiwe kibali cha kutumia mfumo endeshi wa Android. Akiongea kwenye mkutano huo, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Richard Yu amesema kuwa mfumo huo utakuwa wa spidi zaidi kwenye simu na Smart TV kuliko hata ule wa Android. Yu amesema kuwa mfumo wa HarmonyOS ulianza kutengenezwa mwaka 2017 ulijulikana kwa jina la HongmengOS kabla ya leo kuzinduliwa. Mfumo wa HarmonyOS utaanza kutu... Continue reading ->
2019-08-26T03:01:01
http://presstz.net/rasmi-huawei-wazindua-mfumo-wao-endeshi-mpya-wa-harmony-os-waahidi-kuwapoteza-android-so-53355741
[ -1 ]
Mfumuko wa Bei kwa Mwezi Julai 2019 Wabaki Asilimia 3.7 | JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA News August 9, 2019 0 Comment Kaimu Mkurugenzi wa Sensa ya Watu na Jamii, Ruth Minja akizungumza na waandishi wa vyombo vya habari wakati alipokuwa akitoa taarifa ya mfumuko wa bei kwa kipindi cha mwaka ulioishia mwezi Julai 2019. Kulia ni Kaimu Meneja wa Takwimu za Ajira na Bei, Gregory Millinga. Mkutano huo ulifanyika leo Ijumaa Agosti 9, 2019. ← Makamu Wa Rais Mhe. Samia Akutana na Kufanya Mazungumzo na Balozi wa Rwanda Nchini Dkt. Abbasi Aonya Usambazaji Habari za Uongo, Picha Zisizo na Staha Ajali ya Moto Morogoro →
2019-12-16T10:36:26
http://blog.maelezo.go.tz/mfumuko-wa-bei-kwa-mwezi-julai-2019-wabaki-asilimia-3-7/
[ -1 ]
Korea Kaskazini Yaripoti Kisa cha Kwanza cha COVID-19 - Mulastar Mulastar News Korea Kaskazini Yaripoti Kisa cha Kwanza cha COVID-19 Korea Kaskazini Yaripoti Kisa cha Kwanza cha COVID-19 Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un ameitisha kikao cha dharura kufuatia mtu mmoja aliyeshukiwa kuwa na virusi vya COVID-18 kuingia nchini humo kinyume cha sheria. Kulingana na vyombo vya habari vya serikali mtu huyo aliingia nchini humo akitokea Korea Kusini na iwapo itathibitishwa kitakuwa ni kisa cha kwanza kutangazwa na serikali ya Korea Kaskazini ambayo imedhibiti maradhi hayo na taifa hilo hadi sasa halikuwa na maambukizi yoyote. Kulingana na shirika la habari la serikali, KNCA Kim ameitisha kikao hicho cha dharura pamoja na kutangaza kuzuwia watu kubakia majumbani mwao katika mji wa mpakani wa Kaesong. KNCA limearifu kwamba mtu huyo amefanyiwa vipimo kadhaa vilivyotoa majibu yenye utata na hivyo kuwekwa karantini katika mji huo kama hatua ya awali. Hata hivyo haikuwa wazi iwapo alichukuliwa vipimo vya COVID-19.
2020-08-03T17:24:21
https://www.mulastar.com/2020/07/korea-kaskazini-yaripoti-kisa-cha.html
[ -1 ]
Mzee wa Mshitu: TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE (JKCI) YATOA HUDUMA YA UPIMAJI WA MOYO KWA MTOTO ALIYEPO TUMBONI KWA MAMA YAKE (FETAL ECHO)
2018-05-26T09:53:03
http://charaz.blogspot.com/2017/04/taasisi-ya-moyo-jakaya-kikwete-jkci.html
[ -1 ]
Hotuba ya Amiri wa Hizb ut Tahrir, Mwanachuoni Mkubwa, Ata Bin Khalil Abu Al-Rashtah Kuhusiana na Tukio la Kumbukumbu ya 99 ya Kuvunjwa Dola ya Khilafah – Hizb ut Tahrir Tanzania
2020-04-04T02:02:18
http://hizb.or.tz/2020/03/23/hotuba-ya-amiri-wa-hizb-ut-tahrir-mwanachuoni-mkubwa-ata-bin-khalil-abu-al-rashtah-kuhusiana-na-tukio-la-kumbukumbu-ya-99-ya-kuvunjwa-dola-ya-khilafah/
[ -1 ]
Posted by BAHARI YA MAARIFA at 9:54:00 AM Mbele March 26, 2013 at 5:27 AM Hello, habari hii hukuiandika wewe, bali niliandika mimi, nikaiweka kwenye blogu yangu, kama inavyoonekana hapa. Kama ulisahau kuweka chanzo cha habari, inaeleweka. Kama hukujua kwamba unapaswa kuweka chanzo, basi kuna tatizo. Haturuhusiwi kufanya hivyo, kwa mujibu wa taratibu na sheria za haki miliki. Tafadhali rekebisha suala hilo.
2017-10-19T16:37:36
http://mangiayoub.blogspot.com/2013/03/buriani-chinua-achebe.html
[ -1 ]
Je unataka kujua siri ya wazee hawa juu ya vipaji vyao? tazama video hii na uweze kuelimika. Polisi yawazuilia watoto wa wanachama wa Harakati ya Kiislamu Nigeria Polisi nchini Nigeria imewatia mbaroni na kuwazuilia makumi ya watoto wa wanachama wa Harakati ya Kiislamu ya nchi hiyo. Mwandishi wa habari wa kanali ya Press TV mjini Abuja ameripoti kwamba, watoto hao wanazuiliwa na polisi ya Nigeria kwa zaidi ya siku mbili sasa. Vyom... Je wajua kwamba Calestous Juma aliaga dunia akiwa profesa wa kwanza kutoka nchini Kenya kwenye Chuo Kikuu cha Harvard, Marekani? Calestous Juma alizaliwa tarehe Juni 9, 1953 – na kufarikiDesemba 15, 2017) alikuwa mvumbuzi na mtafiti wa sayansi kutoka nchini Kenya aliyefundisha kwenye Chuo Kikuu cha Harvard, Marekani. Katika maisha yake kama mtafiti na mwalimu wa chuo alishughulika na maswa... Mwanamuziki maarufu nchini Tanzania Ali Kiba, alizaliwa tarehe 26 mwezi wa 11 mwaka wa 1986 [siku kama ya leo tarehe 26 mwezi 11 mwaka wa 1986 msanii alikiba alizaliwa] Ali Saleh Kiba (anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Ali Kiba; pia: King Kiba; alizaliwa 1986) ni mwanamuziki wa Tanzania, mwimbaji na mtunz... Je wajua Ziwa Turkana ndio ziwa kuu katika jangwa ulimwenguni? Ziwa Turkana ni ziwa lililopo kaskazini mwa Kenya. Halina mto unaotoka, hivyo maji yanayoingia yanapotea kwa njia ya uvukizaji. Ni ziwa kubwa la Kenya lakini linapatikana kaskazini ndani ya Ethiopia. Ni ziwa la jangw... Je wajua kwamba wanafunzi katika nchi ya Kenya hufunzwa kwa lugha ya Kiingereza? Je wajua undani wa Hifadhi ya kisiwa cha Saanane kilichopo mkoani Mwanza Kisiwa cha Saanane (Saanane Island National Park) ni hifadhi ya taifa la Tanzania na ni hifadhi ndogo yenye eneo la kilomita za mraba 2.18, na iko umbali wa kilometa 2 kusini magharibi kutoka katikati ya jiji la Mwanza, katika Ghuba ya Ziwa Victoria nchini Ta... Airbus A220-300: Ndege mpya itakayonunuliwa na Tanzania ni ndege ya aina gani? Ndege mpya ambayo itakuwa karibuni zaidi kununuliwa na serikali ya Tanzania kwa ajili ya kutumiwa na Shirika la Ndege la Air Tanzania inakaribia kukamilika kutengenezwa. Ndege hiyo, ambayo inaundwa na kampuni ya utengenezaji wa ndege ya Airbus, itakuwa ya muundo wa A220... Kipo kati ya vimondo vizito... Je wajua kwamba Hifadhi ya Ngorongoro imepokelewa katika orodha ya urithi wa dunia ya UNESCO? Ngorongoro ni eneo kubwa nchini Tanzania, lenye umbali wa takriban kilomita 180 kutoka Arusha; pia ni hifadhi ya taifa inayojulikana kote duniani. Kuna jumla ya wanyamapori wakubwa takriban 25,000, wakiwa pamoja na vifaru, viboko, ny... Mwaka wa 1987 tarehe 22 mwezi wa 11 Mike Tyson alivunja rekodi katika historia ya mchezo wa masumbwi kwa kuwa kijana mdogo mwenye uzito wa juu akiwa na umri wa miaka 20 Michael Gerard Tyson (amezaliwa 30 Juni 1966) ni mpiga ngumi wa uzito wa juu duniani unaotambuliwa na Shirikisho la Ngumi Duniani (WBC). Ni bondia wa kwanza kuwahi kutwaa taji hilo akiwa na umri mdogo. Mike alizaliwa katika mji wa Brooklyn New... Mwaka wa 1497 tarehe 22 mwezi wa 11 Vasco da Gama anapita nchi ya kusini mwa afrika katika safari yake ya baharini kutoka ureno kwenda Uhindi. Vasco da Gama alikuwa baharia na mpelelezi kutoka Ureno. Alikuwa Mzungu wa kwanza aliyefika Uhindi kwa kuzunguka Rasi ya Tumaini Jema kusini mwa Afrika. Upande wa dini, alikuwa Mkristo wa Kanisa Katoliki, tena mwanachama... JE WAJUA MTI ULIYO MUHIMU ZAIDI KIUCHUMI AFRIKA MAGHARIBI Mchikichi ni kati ya miti iliyo muhimu zaidi kiuchumi duniani. Matunda yake huleta mawese ambayo hutumika sana kama mafuta ya kupikia, pia kwa ajili ya madawa mbalimbali, na siku hizi hutumika kama diseli. Mchikichi ni kati ya... Nedim Yasar: Jambazi sugu auawa baada ya kustaafu na kuandika kitabu Denmark Aliyekuwa kiongozi wa kundi la wahalifu ambaye aliandika kitabu kuhusu jinsi aliishi maisha yake, ameuawa kwa kupigwa risasi siku moja kabla ya kutolewa kitabu chake. Nedim Yasar, 31, alipigwa rasasi wakati akitoka kuzindua kitabu hicho siku ya Jumatatu kwenye mji mkuu... Mjukuu wa Mangi Meli afanyiwa vipimo vya kinasaba DNA ili kutafuta fuvu la babu yake na Mtemi wa Wachaga nchini Ujerumani Mjukuu wa Mangi Meli, amefanyiwa vipimo vya kinasaba vitakavyosaidia kusaka fuvu la chifu huyo aliyenyongwa na wakoloni wa Kijerumani mwaka 1900 Mangi Meli alinyongwa baada ya kuongoza mapambano dhidi ya utawala wa kikoloni na baadae kichwa chake kukatwa na kupelekwa Uj...
2019-12-12T04:30:08
https://www.mzunguko.com/home/author/mzunguko.cm
[ -1 ]
Zawadi tele kwa wateja wa Vodacom - Mwananchi Sun Dec 03 21:45:00 EAT 2017 Vodacom kuwazawadia wateja Kwa kutumia M-Pesa unaepuka uwezekano wa kupewa noti bandia, kupoteza fedha au kuibiwa. Kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom kuelekea msimu wa sikukuu za mwishoni mwa mwaka inawazawadia wateja wake fedha, muda wa maongezi na MB. Vodacom inatoa zawadi hizo kwa watumiaji wa M-Pesa wanaoitumia kufanya ununuzi. Kampuni hiyo Novemba 30,2017 imezindua kampeni inayojulikana ‘Pesa ni M-Pesa’ ambayo itawawezesha watumiaji wa M-Pesa katika kufanya malipo ya huduma na bidhaa kupata zawadi hizo. Taarifa ya Vodacom imesema kwa zawadi ya fedha, zitaingizwa kwenye akaunti za M-Pesa. “Wakati tukifurahia msimu wa sikukuu ambapo watu wengi hufanya ununuzi, Vodacom itakuwa ikiwazawadia wateja wake fedha wanapolipa kwa kutumia M-Pesa,” amesema Sitoyo Lopokoiyit, mkurugenzi wa biashara kwa mtandao wa Vodacom. Amesema kampeni hiyo inayofanyika nchi nzima inalenga kuongeza uelewa kwa umma kuhusu urahisi wa kulipa kwa kutumia M-Pesa. “Tunataka wateja wajue kuwa, kulipa kwa M-Pesa ni rahisi na salama. Huhitaji kubeba burungutu la fedha unapokwenda kufanya ununuzi. M-Pesa inasaidia kuokoa muda wa kwenda kwenye ATM au kupanga foleni benki,” amesema Lopokoiyit. Akizungumzia urahisi wa huduma ya M-Pesa meneja masoko na biashara kwa mtandao wa Vodacom, Noel Mazoya amesema, “Kwa kutumia M-Pesa unaepuka uwezekano wa kupewa noti bandia, kupoteza fedha au kuibiwa.”
2018-08-15T01:22:52
http://mobile.mwananchi.co.tz/Habari/Vodacom-kuwazawadia-wateja/1597580-4212466-format-xhtml-2vypyfz/index.html
[ -1 ]
NOAA Print on Demand Charts for U.S. Pacific Coast - page 9 Waterproof NOAA Chart 19383: Kaua'i Nawiliwili Bay SKU: NO_19383WP Waterproof NOAA Chart 19382: Port Allen Island of Kaua'i SKU: NO_19382WP Waterproof NOAA Chart 19332: Kealakekua Bay to Hönaunau Bay SKU: NO_19332WP Waterproof NOAA Chart 18554: Lake Pend Oreille SKU: NO_18554WP Waterproof NOAA Chart 19341: Hana Bay Island of Maui SKU: NO_19341WP Waterproof NOAA Chart 19331: Kailua Bay Island Of Hawai'i SKU: NO_19331WP Waterproof NOAA Chart 19329: Mahukona Harbor and approaches Island Of Hawai'i SKU: NO_19329WP Waterproof NOAA Chart 18589: Port Orford to Cape Blanco;Port Orford SKU: NO_18589WP Waterproof NOAA Chart 18588: Coquille River Entrance SKU: NO_18588WP Waterproof NOAA Chart 18583: Siuslaw River SKU: NO_18583WP Waterproof NOAA Chart 18556: Nehalem River SKU: NO_18556WP Waterproof NOAA Chart 18764: San Clemente Island Pyramid Cove and approaches SKU: NO_18764WP Waterproof NOAA Chart 18762: San Clemente Island SKU: NO_18762WP Waterproof NOAA Chart 18758: Del Mar Boat Basin SKU: NO_18758WP Small Format NOAA Chart 18758: Del Mar Boat Basin SKU: NO_18758SF Waterproof NOAA Chart 18774: Gulf of Santa Catalina;Delmar Boat Basin-Camp Pendleton SKU: NO_18774WP Waterproof NOAA Chart 18773: San Diego Bay SKU: NO_18773WP Waterproof NOAA Chart 18772: Approaches to San Diego Bay SKU: NO_18772WP Waterproof NOAA Chart 18765: Approaches to San Diego Bay;Mission Bay SKU: NO_18765WP SKU: NO_18765SF Waterproof NOAA Chart 18757: Santa Catalina Island;Avalon Bay;Catalina Harbor;Isthmus Cove SKU: NO_18757WP Waterproof NOAA Chart 18756: Santa Barbara Island SKU: NO_18756WP
2020-02-23T22:59:25
https://www.paracay.com/pacific-coast-charts/page-9/
[ -1 ]
Maisha : Wazee waiomba serikali kuimarisha huduma za afya katika kituo cha Bukumbi,Mwanza - Wazalendo 25 Blog Home AFYA HABARI JAMII MAISHA MATUKIO Maisha : Wazee waiomba serikali kuimarisha huduma za afya katika kituo cha Bukumbi,Mwanza Maisha : Wazee waiomba serikali kuimarisha huduma za afya katika kituo cha Bukumbi,Mwanza Gadiola Emanuel April 26, 2016 AFYA, HABARI, JAMII, MAISHA, MATUKIO,
2017-10-23T15:26:29
https://wazalendo25.blogspot.com/2016/04/maisha-wazee-waiomba-serikali.html
[ -1 ]
dj sek: MAWAZIRI WA ZAMANI, BASIL MRAMBA NA DANIEL YONA SASA KUTUMIKIA KIFUNGO CHA NJE,KWA KUFANYA USAFI HOSPITALI YA PALESTINA skip to main | MAWAZIRI WA ZAMANI, BASIL MRAMBA NA DANIEL YONA SASA KUTUMIKIA KIFUNGO CHA NJE,KWA KUFANYA USAFI HOSPITALI YA PALESTINA MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeridhia waliokuwa Mawaziri wastaafu Basil Mramba na Daniel Yona kutumikia adhabu ya kifungo cha nje kwa kufanya usafi katika maeneo ya kijamii ikiwemo Hospitali ya Sinza Palestina. Mkuu wa wilaya auawa na Majambazi Jana usiku majira ya saa 3 majambazi yaliingia kwa aliyekuwa Mkuu wa wilaya Ephraim Mbaga na kukatisha uhai wake huko Kibaha. Mungu ailaze roho ya mareh...
2017-02-19T14:13:41
http://dj-sek.blogspot.com/2016/02/mawaziri-wa-zamani-basil-mramba-na.html
[ -1 ]
Kimwili CCM, rohoni ni Upinzani | Gazeti la Jamhuri Nimemsikia Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, akisema Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) hakina hazina ya viongozi kama iliyonayo Chama Cha Mapinduzi (CCM). Ametamba kwamba CCM inaweza kusimamisha wagombea urais 20 wenye sifa zinazofanana, lakini Chadema inamtegemea Dk. Wilbrod Slaa pekee. Kwa maelezo yake, mtu kama Mbowe, hana sifa za kuwa rais kwa sababu ni mchezesha disko la usiku! Madai haya ya Mzee Sitta si ya leo. Ameanza kuyazungumza siku nyingi. Yamechusha kuyasikia. Wakati mwingine si jambo la busara sana kwa mtoto kuingia kwenye malumbano na mtu aliyemzidi umri, lakini inapotokea mzee akapuuza hatari iliyo mbele yake; hatari ambayo mtoto anaijua, huyo mtoto asipomweleza ukweli huyo mzee, atakuwa amefanya kosa hubwa. Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, katika maandiko yake kupitia Kitabu cha Tujisahihishe aliyoyatoa Mei, 1962 (miaka 50 sasa) alisema, “Ukweli una tabia moja nzuri sana, haujali mkubwa wala mdogo, hujali adui wala rafiki. Kwake watu wote ni sawa. Pia ukweli unayo tabia ya kujilipiza kisasi kama ukipuuzwa. Ukiniona nataka kupiga teke jiwe kwa kuwa unafikiri kuwa ni dongo au mpira, natumaini utanionya. Lakini nikilipuuza onyo lako kwa sababu eti wewe ni mdogo au kwa sababu sikupendi, nikalipiga teke, basi litanivunja dole japo ningekuwa nani. Ukweli haupendi kupuuzwapuuzwa.” Mwisho wa kunukuu. Nukuu hii nimeitumia ili Mzee Sitta na wahafidhina wengine ndani ya CCM wasidhani kuwa nawakosea adabu kuwakosoa. Pili, Baba wa Taifa, kwa kutambua kuwa kuna watu wanaoacha kujadili hoja ya msingi na kurukia mambo yasiyoendana kabisa na ukweli wa mambo, kupitia kitabu hicho hicho cha Tujisahihishe, alisema, “Wakati mwingine mtu tunayempinga huwa ana makosa kweli, lakini hoja tunazotoa ni za kibinafsi na hazihusiani kabisa na hoja zake. Nikisema mbili na tatu ni sita, nakosa. Lakini ni bora kunionyesha kwamba pengine nafikiri tunazidisha kumbe tunajumlisha. Ni kweli mbili mara tatu ni sita, lakini mbili na tatu ni tano, siyo sita. Lakini ukijaribu kuwashawishi wenzetu wakatae mawazo yangu na kukubali yako kwa kusema kuwa meno yangu ni machafu, au natoa kamasi daima, utakuwa unatumia hoja ambazo hazina maana. Huu ni mfano wa upuuzi, lakini mara nyingi hoja tunazotumia kuwashawishi watu wakatae mawazo ya wale tusiowapenda, au kukubali mawazo yetu huwa hazihusiani kabisa na mambo tunayoyajadili.” Mwisho wa kunukuu. Hapa utaona kuwa hoja kwamba Mbowe ni mcheza au mwendesha disko, hazihusiani kabisa na suala la kumpata Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Dunia imeshuhudia mataifa mengi duniani yakiongozwa na watu waliopitia mazingira na kazi mbalimbali (wakiwamo tunaowaita waasi). Kuna mataifa yameongozwa na wana muziki. Yapo yaliyoongozwa na wacheza mieleka. Sidhani kama kuna mtu kazaliwa, kaa bila kufanya shughuli yoyote, mwisho wa siku akaipata kazi aliyopangiwa akingali tumbani, yaani kazi ya urais. Hata Mzee Sitta mwenyewe si ajabu alikuwa mchunga mbuzi kabla ya kuijua siasa! Je, tuseme sasa kuwa hafai kuwa rais kwa sababu amepata kuwa mchunga mbuzi? Kichwa cha makala yangu, “Kimwili ni CCM, rohoni ni Chadema”, kinajieleza vizuri. Sitta anajidanganya kwa nadharia zake za kwamba Chadema anayoiona sasa ndiyo Chadema baada ya kuingia madarakani. Mara zote nadharia hizi zimethibitika kinyume kabisa. Kwa mfano, wazee waliokuwapo wakati wa harakati za TANU kudai Uhuru wa Tanganyika wanasema Mwalimu Nyerere na wapambanaji wengine walipuuzwa na kubezwa mno. Wabezaji hawakuwa Wazungu, Waarabu, machotara na Wahindi pekee, bali hata Waafrika weusi. Hawa ni wale walioamini kuwa hakuna Mwafrika anayeweza kuwang’oa wakoloni. Mwafrika alionekana kuwa dhaifu katika kila idara. Kigezo cha elimu kilitumika kama moja ya nyenzo za kuhalalisha fikra hizo potofu. Wapo waliohoji, “Wanataka Uhuru, wakiupata nchi itaongozwa na nani ilhali hakuna wasomi?” Maneno hayo hayakuwakatisha tamaa wapambanaji mahiri wakiwamo kina mama kama Bibi Titi Mohamed ambao hawakuwa na elimu kubwa. Baada ya Uhuru wakapatikana watu wenye sifa ya kuwa viongozi, hata kama kwa idadi walikuwa wachache. Wakawamo watu kama kina Dereck Bryceson, Amir Jamal, Alnuur Kassum na kadhalika. Hawa wakaungana na wenzao weusi kuliongoza taifa jipya la Tanganyika. Hii maana yake nini? Maana yake ni kwamba wakati wa harakati za mapambano ya kudai Uhuru si Wazungu, Wahindi au machotara wote waliotaka kuonekana wakiwa mstari wa mbele moja kwa moja. Wapo walioamua kuonekana mbele, lakini wapo walioiunga mkono TANU kimya kimya na wakaamua kujitokeza hadharani baada ya mambo kuiva. Hili ni somo kwa Sitta na wenzake. Wasidhani kwamba nguvu hii ya Chadema, CUF na vyama vingine ni nguvu inayoonekana na kuishia majukwaani. Nyuma ya Chadema, CUF na vyama vingine vya upinzani kuna jeshi kubwa mno la Watanzania wanaowaunga mkono, tena Watanzania wa rangi zote. Kuna Watanzania wenye uwezo mkubwa kifedha na kiuongozi wanaovisaidia vyama hivi. Hawa ni wale ambao kama ilivyokuwa wakati wa kupambana na wakoloni wa Kiingereza, hawataki kujionyesha moja kwa moja majukwaani. Kama ni sifa ya kuwania urais, Sitta asubiri “muziki” mwaka 2015 au 2020 ndipo aseme. Sitta anataka kutuaminisha kuwa Mbowe ni mchezesha disko. Sawa. Kwani kuchezesha disko ni dhambi? Disko inamzuia vipi mtu kuliongoza taifa? Je, wale wanaocheza disko au dansi nao tuseme hawana maana wa la uwezo wa kuongoza? Maudhui yangu hapa ni kuwa Mzee Sitta asidhani kwamba haya mambo yataendelea hivi kama yalivyo. Wala asijipe matumaini kuwa kwa uongozi legelege ndani ya CCM na hata Serikali, kunaweza kuwazuia watu kumchagua DJ kuwaongoza. Madagascar wamefanya hivyo. Wananchi wa Madagascar kama unataka kukosona nao sasa, mseme vibaya Rais wao mchezesha disko, Andry Rajoelina. Wanampenda kwa sababu amekidhi kile kinachotakiwa na wengi – maisha bora kwa kila (Mmadagascar). Tena wapo wanaohoji kuwa imekuwaje kwa muda mrefu hawakuweza kufunuliwa au kupewa maono ya kuongozwa na DJ! Anachokiona Sitta sasa kwa Chadema na vyama vingine vinavyoipinga CCM si mambo ya kupuuza. Kuna mambo ambayo wananchi wa kawaida wanaona heri kutawaliwa na yeyote awaye, alimradi asiwe kichaa! Kusema hivyo si kwamba nabeza mazuri yaliyopatwa kufanywa na CCM kwa miaka yote hii, la hasha. Yapo mazuri yaliyofanywa, lakini wananchi wangetaka kuona mazuri zaidi. Mara zote Serikali ilipofanya jambo jema, wananchi wameonekana kufufua mapenzi na matumaini yao kwa CCM. Lakini pale Serikali ilipozembea au kupuuza kushughulikia kero zilizo wazi, wananchi wameonekana kuwa tayari kuongozwa, acha na DJ, bali hata na mwendawazimu! Lakini wakati mwingine binadamu wametaka mabadiliko tu kwa sababu ndivyo walivyoumbwa. Sitta na wenzake wanaweza kujiuliza, hivi inakuwaje, licha ya Serikali kujenga miundombinu kama vile Chuo Kikuu cha Dodoma, bado vijana wengi wanaonekana kuichukia CCM? Je, kwanini pamoja na ujenzi wa barabara za lami katika maeneo mengi nchini, bado wananchi wanaonekana kuichoka CCM? Hawaichoki kwa sababu wamo kina Sitta na wenzao bali kwa sababu wanataka mabadiliko. Kwani katika nyumba zetu hatuoni watoto wakigoma kula nyama, badala yake wakitaka maharage? Hawagomi kwa sababu wanaichukia nyama, bali kwa sababu wanataka kubadili mlo. Vivyo hivyo, CCM haiwezi kung’ang’ana kwamba itaongoza taifa hili milele. Haiwezi kwa sababu watu wanataka mabadiliko, na hakuna cha kuzuia mabadiliko. Mtoto aliyezaliwa mwaka 1990 hana habari na kitu kinachoitwa CCM, tena sana sana anayesoma historia atahoji, “Kwanini hawa waendelee kutawala kwa nusu karne sasa?” Jibu la swali hilo wanalisambaza kupitia maandamano ambayo vijana wengi wanashiriki bila kuogopa mitutu na mabomu ya polisi waliovaa mavazi ya kutisha mithili ya askari wa Kirumi. Alimradi mfumo wa vyama vingi vya siasa upo kikatiba, basi tuukubali. Kubezana ndiko kunakoufanya mfumo huu uonekane sasa kama ni wa vurugu. Kubwa kuliko yote na ambalo Sitta mwenyewe analijua ni kauli za baadhi ya wabunge na mawaziri shupavu ambao bila kujali yatakayowapata ndani ya CCM, hujitokeza hadharani kukikosoa chama hicho. Siri za vigogo zinazovuja kila siku zinatolewa na wale wanaoamini kuwa DJ anaweza kuwa afadhali kuliko mcheza disko! Wenye lugha yao wanasema, “Everything changes, nothing ever stays the same.” Wengi ni CCM kimwili tu, kiroho wako Upinzani! Previous: Baraza la Kata Kwashemshi tupewe semina Next: Sumatra na porojo za kujikosha Waliotafuna mabilioni Moshi wapagawa Amani ya nchi mikononi mwa wahariri na Tume NUKUU ZA WIKI 62
2019-03-23T09:04:37
http://www.jamhurimedia.co.tz/kimwili-ccm-rohoni-ni-upinzani/
[ -1 ]
Ni wakati wa viongozi wa afrika kuiangalia afrika ijayo-Samia - Boss Ngasa Official Website Home Unlabelled Ni wakati wa viongozi wa afrika kuiangalia afrika ijayo-Samia Ni wakati wa viongozi wa afrika kuiangalia afrika ijayo-Samia Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema huu ni wakati Viongozi wa Afrika kuiangalia Afrika ijayo hivyo hakuna budi viongozi wa sasa kuandaa mazingira ya Afrika bora na salama. Makamu wa Rais ameyasema hayo kabla ya kumalizia sehemu ya mwisho ya Mkutano wa Africa Now Summit 2019 unaofanyika kwenye hoteli ya Munyonyo Commonwealth Resort, Kampala nchini Uganda. Makamu wa Rais amesema mkutano huo umeangalia suala zima la ongezeko la watu na uelewa wa vijana katika maendeleo ya nchi zao haswa wakati huu wa uchumi wa viwanda ambapo pia kuangalia mitaala ya elimu inayotolewa sasa kama inakidhi mahitaji ya kisayansi na kiteknolojia. "Lazima sasa tuangalie hii idadi ya watu isije ikawa chanzo cha kuleta vurugu katika nchi zetu bali iwe chanjo cha nguvu kazi kujenga nchi zetu”alisema Makamu wa Rais. Makamu wa Rais amesisitiza kuwa Afrika ya sasa inahitaji Viongozi ambao hawajitazami wao bali wanatazama wananchi wao katika makundi yao kama Vijana, Wanawake na Walemavu. Makamu wa Rais pia alikutana na kuzungumza na Naibu Rais wa Kenya Mhe. William Ruto ambapo baada ya kikao hicho Makamu wa Rais amesema Tanzania na Kenya ni majirani pamoja na kuwa kwenye jumuiya ya Afrika Mashariki lakini wao kama nchi jirani lazima wahakikishe uhusiano wao unasimama imara na kukuza ushirikiano. Ni wakati wa viongozi wa afrika kuiangalia afrika ijayo-Samia Reviewed by jaqueline victorv on Thursday, March 14, 2019 Rating: 5
2019-03-21T23:51:14
http://www.bossngasatz.com/2019/03/ni-wakati-wa-viongozi-wa-afrika.html
[ -1 ]
Sumo: DECI, VUNAVUNA DECI, VUNAVUNA Maelfu ya watu walifurika jana kupinga hatua ya BoT kupiga mkwara tasisi ya Deci inayowapandisha mbegu wananchi na kuwapa mavuno ya mapesa! lakini cha kujiuliza sual ala watu wote hawa litaishaje? Limekaa vibaya kiuchumi, kisiasa na kijamii. Maamuzi ya busara yanatakiwa sijui iendelee tuone mwisho ama serikali ijaribu kulinda Integrity ? Posted by Mzee wa Sumo at 9.4.09 "Haloo we Mtanzania!..Hii ni DECI vs Mamilioni ya Kikwete..Unachagua ipi?" Hii ndio jamii iliyojengwa na CCM kipindi chote ilichokaa madarakani,yaani wananchi wanapenda kupata pesa za bure bila kufanya kazi,vp kama idadi hyo ya watu iliyojitokeza DECi kama ingeamua kufanya uzalishaji,nadhani nchi ingekuwa mbali. CCM wanatubania educatin ili tuwe mambumbu kama hivi. Hivi kweli wadau hii DECI ni ya kweli au wakubwa wameamua tu,kuvuruga mawasiliano tukiangalia kwa namna moja au nyingine Deci inasaidia sana kuna mwanafunzi nasoma nae chuo yupo mwaka watatu sasa na anajisomesha kwa kutumia deci. Nilivyosikia wakubwa ndio wameingilia kati jamani watanzania sie>
2017-12-15T13:57:52
http://mpoki.blogspot.com/2009/04/deci-vunavuna.html
[ -1 ]
Wachezaji watakaokosekana na watakaorejea kikosini Yanga dhidi ya Biashara - KWATA UNIT SPORTS & ENTERTAINMENT Home sports Wachezaji watakaokosekana na watakaorejea kikosini Yanga dhidi ya Biashara Wachezaji watakaokosekana na watakaorejea kikosini Yanga dhidi ya Biashara Previous articleMatokeo Azam Fc vs Mbao Fc TPL leo 7.12.2018 Next articleTetesi za usajili Simba Dirisha dogo leo 8 December 2018
2019-05-26T23:04:16
https://www.kwataunit.co.ke/2018/12/wachezaji-watakaokosekana-na-watakaorejea-kikosini-yanga-dhidi-ya-biashara.html/34519/
[ -1 ]
SHUHUDIA HAPA JINSI MAHAFALI YA TIA 2016 DAR ES SALAAM YALIVYOFANA,ANGALIA WAHITIMU WAKIFURAHIA KWAITO NA WIMBO WA DARASA..WAMEPENDEZAAA | Masama Blog SHUHUDIA HAPA JINSI MAHAFALI YA TIA 2016 DAR ES SALAAM YALIVYOFANA,ANGALIA WAHITIMU WAKIFURAHIA KWAITO NA WIMBO WA DARASA..WAMEPENDEZAAA Mgeni rasmi katika mahafali hayo alikuwa Naibu Gavana wa Benki kuu ya Tanzania Dk.Natu Mwamba hapa akisikiliza Risala toka kwa mkuu wa mafunzo alipokuwa akielezea kuhusu idadi ya wahitimu na changamoto zinazokabili Taasisis kwa sasa ikiwemo kuiomba Serikali kuendelea kusaidia kadri ya uwezo wake ili Taasisi hiyo iweze kufikia Malengo ya kutoa mafunzo ngazi ya Shada ya uzamili(Masters) Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) Dk.Joseph Kihanda (katikati akiskiliza kwa makoni Brass Band ambapo yeye kama mkuu wa Taasisi ameelezea Mengi aliyoyafanya kwa Muda mfupi aliokaa katika Taasisis hiyo ikiwemo kutoa Fursa kwa wafanyakazi wengi zaidi kujiendeleza kimasomo hasa ngazi ya Masters na PHD Ambapo hadi sasa waalimu wapatao 12 wanasoma PHD katika hatua mbalimbali,Amejitahidi kuboresha Miundombinu ikiwemo Madarasa ya Kisasa na Ujenzi wa jengo jipya la Ghorofa 6 litakalokuwa na uwezo wa kuchukua wanafunzi zadi ya 3,000 kwa mara moja na mengine mengi. Baadhi ya wafanyakazi wakiongozwa na Afisa Habari wa Taasisi hiyo Bi.Lilia Rugaitika wakifuatilia kwa umakini Tukio hilo Waadhiri Mbalimbali Akiwemo Mr Msabi,Dk.Aniceth Mpanju ,Mr Justin ,Mr Marobe na Mr Bajjet nao wakiskiliza kwa umakini wakati mahafali yakiendelea Mhitimu wa Shahada ya Ugavi na Manunuzi (BPLM ) Bi. Grace Nyamziga akifurahia kwa pamoja na wenzake wa Shahada ya Uhasibu (BAC) baada ya Kuhitimu Wahitimu mbalimbali wakifuatilia kwa umakini Wahitimu wa Shahada ya Ugavi na Manunuzi (BPLM )Bwana Hazrat Mandamo akifurahia jambo na Bi. Rosalia Kisongo wakifurahia kwa pamoja baada ya Kuhitimu leo Mhitimu wa Shahada ya Ugavi na Manunuzi (BPLM ) Bi. Radhia akifurahia kwa pamoja na wenzake wa Shahada ya Uhasibu (BAC) baada ya Kuhitimu leo ANGALIA HII VIDEO WAKICHEZA MZIKI KWA PAMOJA KWA FURAHA,WIMBO WA DARASA UNAOITWA MUZIKI
2017-01-25T01:23:32
http://www.masamablog.com/2016/12/shuhudia-hapa-jinsi-mahafali-ya-tia.html
[ -1 ]
Toyota WILL - Wikipedia, kamusi elezo huru Toyota WILL ni mfululizo wa pekee wa magari ya kampini ya Toyota ulioanzishwa kwa kuhudumia masoko yaliyo nje ya masoko ya kawaida ya kampuni hii. Huwa na magari aina tatu ya kibinafsi , kwa kuzingatia ufundi wa Toyota. Mtindo huu ulitengenezewa masoko ambayo hayakushughulikiwa na Toyota na kugundua vile magari ambayo si ya kawaida yanavyouza. Jamii ya Scion ya Amerika hutumia dhana sawa. Picha:Toyota Will Vi.jpg WILL Vi[hariri] Toyota WILL Vi ni gari dhabiti, inayochnganya mitindo ya magari tofauti. Mataa ya mbele na boneti huwa sawa na Citroen C2, wakati kioo cha nyuma ni sawa na magari kutoka miaka ya 1960 kama vile 105E Ford Anglia na Citroen Ami 6, na ya paa ya mtindo wa kijikunja na buti swa na Renault 4CV Gari ina gia ya kujiendesha na kiti aina ya benchi katika mbele katika benchi kupasuliwa mbele, na injini ya 2NZ 1300 cc kutoka Vitz / yaris ambayo ni msingi yake. WILL VS[hariri] Kaka yake mkubwa Vi, Toyota VS WILL ilikuwa miaka mbele na wapinzani katika miundo iliyoanzishwa mwaka wa 2001. Katika miaka ijayo, magari mengine kadhaa yamechukua miundo ya Will VS , hasa Vauxhall Astra 2004 na Renault Megane. Uvuvio wa mtindo wa WILL VS inasemekana kutoka Lockheed F-117 Nighthawk Stealth Fighter. Pamoja na mafanikio yake katika soko ya Kijapani , ambapo WILL VS ilikuwa na mkunjo,mtindo huu haukuuzwa ng'ambo. Uundaji wa VS iliisha mwaka wa 2004 na mfano wa kuiga haukutolewa ambao ulikata tamaa ya mashabiki. Hata hivyo, baadhi husema kwamba kulikuwa hakuna haja ya kuiga VS WILL angalau kwa muongo kwa kuwa muundio wake ulikuwa maarufu ambao baadhi ya magari ya hivi karibuni yanaiga muundo huu. Hii ni pamoja na muundo wa sura, aerodynamic Anglès, Projector-style miundo ya mataa (kama mapinduzi katika 2001), kidhibiti mbio na taa ya LED. WILL VS ilikuja ikiwa na aina tatu ya trimu Iliyo juu katika mitindo hiyo ilikuw
2013-12-05T22:25:01
http://sw.wikipedia.org/wiki/Toyota_WILL
[ -1 ]
DKT MWANJELWA AWATAKA WAKUFUNZI WA VYUO VYA KILIMO NCHINI KUTOFANYA KAZI KWA MAZOEA Posted On Monday, 25 December 2017 04:38 Written by mjengwablog Kwa upande wake Kaimu Mkuu wa Chuo cha Kilimo Mtwara Ndg Elias L. Maijo alimpongeza Naibu Waziri huyo wa Wizara ya Kilimo kwa kuaminiwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt John Pombe Magufuli na hatimaye kuteuliwa kumsaidia katika majukumu yake ambapo pia ameahidi kutekeleza maelekezo yote yaliyotolewa More in this category: Raila Odinga: Nitaapishwa mapema mwaka 2018 kama rais wa watu SHEIN AWAPA KILA MMOJA KIWANJA, SH. MILIONI TATU ZANZIBAR HEROES
2018-01-17T07:08:33
http://mjengwablog.com/jamii/item/32645-dkt-mwanjelwa-awataka-wakufunzi-wa-vyuo-vya-kilimo-nchini-kutofanya-kazi-kwa-mazoea.html
[ -1 ]
Ways To Refresh Your Wardrobe This Ramadan | AfroSwagga Mwezi Mtukufu wa Ramadhani una kuja na ina semekana itakuwa tarehe 27, ina wezekana ulikua busy hukuweza ku-refresh kabati lako kwa ajili ya Mwezi huu Mtukufu wa Ramadhani basi sisi tuna kupa tips chache za nini kibaki, nini kiondolewe katika kabati lako. Replace Min- Skirt/Dress na Baibui au Dira – kwa sababu ni mwezi Mtukufu na katika Mwezi huu watu huwa wana jistiri basi kile chochote kinacho onyesha maungio yako kikunje vizuri na kiweke upande mwingine wa kabati huku pale ulipo zitoa ukiweka ingizo jipya la baibui au Dira. Kaftan/vimono/long coat remain the same – husi ziondoe katika kabati lako kaftan, vimono na long coat utazihitaji ukiwa una taka kuvaa kitu cha kukubana au office wear, una weza kuvaa suruali ndani na top ndefu nje uka vaa koti, vimono au kaftan na ukawa ume jistiri cha kuhakikisha tu ni kwamba havikubani maungio Replace crop tops na Long shirt – zile ambazo ulikuwa una ziita shirt dress au shift dress zina weza kukusaidia msimu huu hasa pale unapo hitaji kuvaa skin jeans au bandage long skirt hizi zina weza kufunika maungio na kukufanya uonekane ume jistiri Replace Leggings with Palazzo Trouser – leggins hazina sehemu ya kufit linapo kuja swala la stara kwa sababu ni nyepesi si kama jeans huwezi hata kuzivalia long shirt, nazo zikunje ziweke upande mwingine wa kabati na fungua ukurasa mpya na suruali za Palazzo kizuri kuhusu palazzo ziko comfortable na hazichongi mwili Maxi skirt/Dress ni must have – kama wewe si mpenzi wa mambo mengi hizi zitakusaidia mno una put on nakuondoka iwe kazini, kwenye sherehe au mihangaiko yako ya kawaida Replace all the wig’s & weaving’s with Hijab’s – ondoa wig zako na weaving na panga hijab’s kwa ajili ya kujifunika nywele zako
2018-02-25T15:37:55
http://afroswagga.com/mitindo/ways-to-refresh-your-wardrobe-this-ramadan/
[ -1 ]
10 Abaturage basaga ibihumbi 18 batuye umurenge wa Gashanda, mu karere ka Ngoma, baravuga ko bashimira Leta y’u Rwanda yashyize imbagara mu kwegera abaturage no kubegereza serivise. Niyonsenga Elianna, na we yagize ati “Kujya kwipimisha inda, tujya Kibungo, byatuvunaga cyane. Iyo udafite amafaranga ni ukuzamuka ubusozi, kandi nta n’imodoka wabona, ku buryo byari ibibazo nko ku muntu ufite inda nkuru, akaba yanagirira ibindi bibazo mu nzira. Kuba rero hano hari kubakwa ikigo nderabuzima, turabibonamo igisubizo kinini, kandi turabishimira ubuyobozi cyane cyane Perezida wacu Paul Kagame.Hano ho ni hafi cyane, mvuye mu rugo nza nakoresha nk’iminota 30, nteze nka moto banca amafaranga 300 gusa.”
2017-07-21T16:42:02
http://www.imvahonshya.co.rw/utuntu-n-utundi/article/ngoma-abarenga-ibihumbi-18-bivurizaga-kure-begerejwe-ikigo-nderabuzima
[ -1 ]
Nyumbani2012Mart08 (Alhamisi) Siku: Machi 8, 2012 Eurasia Rail.2 Fair, Waziri wa Mwanga, Clowns Fair katika mikono ya Waandishi wa Habari Wanawake na Wanawake katika Fair kusambazwa kwa wanawake. Waziri wa Uchukuzi, Masuala ya baharini na Mawasiliano Binali Yildirim alisema, eneo letu ni kuongeza mtandao wa reli kufikia kilomita 26 ". [Zaidi ...] Meya Topbaş Alileta Usahihi kwa Metrobus ya Pink Meya wa Metropolitan wa Metropolitan Kadir Topbas alisema kwamba walihamisha nusu ya bajeti ili kusafirisha metrobus ya Pink pia imefafanua. Kadir Topbas, Meya wa Manispaa ya Istanbul Metropolitan, iliyoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Uchumi katika Kituo cha Umma cha Sutluce [Zaidi ...] TÜVAŞAŞ amefungua kibanda chake katika Fair Fair ya Eurasia. Uturuki Wagon Viwanda Inc. (TÜVASAŞ), Eurasia Reli Reli, Mwanga Reli Systems, alijiunga Miundombinu na Vifaa Fair. Meneja Mkuu wa TÜVASAŞ İbrahim Ertiryaki alipanga hafla hiyo katika Kituo cha Istanbul Expo na kupanga maonyesho takriban 20 kutoka nchi 200. [Zaidi ...] Mfumo wa Reli wa Gaziantep, ambayo ilijengwa na Manispaa ya Gaziantep Metropolitan, ulikamilisha mwaka wake wa kwanza katika huduma. Mfumo wa reli ya Gaziantep Light ambayo ilijengwa na Manispaa ya Gaziantep Metam imekamilisha mwaka wake wa kwanza katika huduma. Meya wa Gaziantep Asım Güzelbey, Mfumo wa Reli ya Mwanga katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika katika eneo la ghala, sasa [Zaidi ...] 2. Reli ya Eurasia, Teknolojia ya Mwanga ya Mwanga, Maonyesho ya Miundombinu na Vifaa ni karibu na kampuni za 20 200 kutoka nchi. Mwaka huu kwa mara ya pili 2. Kampuni kutoka nchi za 20 karibu na 200 zinashiriki katika Reli ya Eurasia, Mifumo ya Reli ya Taa, Miundombinu na Faida ya vifaa. Katika haki iliyoandaliwa na Türkel Fuarcılık katika Kituo cha Expo cha Istanbul, jumla [Zaidi ...] Nokia na DurmazlarAlishiriki katika Hifadhi ya Reli ya Eurasia na tram ya kwanza iliyothibitishwa ya "Silkworm". Siemens Machi 08-10 2012 katika Istanbul Expo Yesilkoy Merkezi'ndedüzenlen Eurasia Reli Reli Nuru Rail, Miundombinu na Vifaa Fair, pamoja na kazi zao na mafanikio katika Uturuki, bidhaa za ubunifu na teknolojileriil mafanikio nje ya nchi [Zaidi ...] Mfumo wa İzmir Suburban System (İZBAN), ambao unamilikiwa kwa pamoja na Jimbo la Reli na Manispaa ya Metropolitan, uliongezea uwezo wa kubeba abiria elfu 18 kwa siku hadi 12 elfu kwa muda mfupi kama mwezi wa 150. Meneja Mkuu wa İZBAN Selçuk [Zaidi ...] Tukio la Siku ya Wanawake wa Kimataifa, Wanawake wa Reli za Mitaa katika Konya. Jamhuri ya Uturuki State Railways (TCDD) Wanawake Jukwaa 8 ambao walihudhuria tukio iliyoandaliwa na Siku ya Kimataifa ya Wanawake mwezi Machi kutokana na Waziri Usafiri Binali Yildirim na mkewe Semiha Yildirim wanawake, High Speed ​​Train [Zaidi ...] Siku ya Wanawake ya Kimataifa ya Antalya kutokana na bure ya Antalya Nostalgia Tram na Minicity kwa wanawake. Tramu ya Antalya Nostalgia - TramVAY NA MICHEZO BURE WA Manispaa ya Metropolitan, 8 Machi Siku ya Kimataifa ya Wanawake kwa sababu ya tramu ya wanawake ya nostalgia iliyotolewa bure. Tramu ya nostalgia ambayo inaendesha kati ya Kituo cha Makahaba na Makumbusho [Zaidi ...] Network Speed ​​Rail Network 10 itaendelea Kilomita elfu. Matengenezo ya miundombinu ya TCDD yalikuwa ya gharama kubwa kwa sekta binafsi. Utunzaji wa reli ya Jimbo la barabara zilizopo na ujenzi wa barabara kwa treni za mwendo kasi hukata kazi ya kampuni za reli binafsi. Upotezaji wa mzigo wa 50 kwenye usafirishaji wa reli umepotea kwa sababu ya kufungwa kwa barabara. TCDD, 2012 [Zaidi ...] Fadi za Reli Utaalam wa Reli: Taaluma kuu za reli zinaweza kuorodheshwa kama ifuatavyo: Meneja mkuu wa reli ya reli ya matrekta (TATA) WAZIRI WA MIFUGO WA KIWANDA CHA MIFUGO (KIWANGALIA) WAZIRI WA BARAZA LA TICKET (BODI) [Zaidi ...] Binali Yildirim, Waziri wa Usafiri, Mambo ya Bahari na Mawasiliano, alisema kuwa tunalenga kukamilisha Marmaray mwishoni mwa 2013. Binali Yıldırım, Waziri wa Uchukuzi, Maswala ya bahari na Mawasiliano, alisema kuwa Mradi wa Marmaray unaendelea na akasema, "Mradi wa Marmaray unaendelea na tunakusudia kuimaliza mwishoni mwa 2013". Binali Yıldırım, Waziri wa Uchukuzi, Masuala ya bahari na Mawasiliano, [Zaidi ...]
2020-02-28T18:34:21
https://sw.rayhaber.com/2012/03/08/
[ -1 ]
Posted on: May 4th, 2018 UWEKAJI JIWE LA MSINGI  - UJENZI WA BARABARA YA KIDATU - IFAKARA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Joseph Magufuli leo tarehe 4 Mei 2018 ameweka jiwe la Msingi la...
2020-08-05T16:32:46
http://morogoro.go.tz/news/95
[ -1 ]
.......PARTY YA KIMYA KIMYA...... ~ Wajanja club .......PARTY YA KIMYA KIMYA...... 6:55 AM wajanjaclub OMOTOLA Jalade ameolewa na kapteni wa ndege aitwaye, Matthew Ekeinde na wamezaa naye watoto wanne. Ana wafuasi 727, 963 kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook na 75, 893 kwenye Twitter. Wafuasi hao ni wengi kuliko wa msanii yeyote wa kike nchini Nigeria.
2018-01-19T15:22:43
http://wajanjaclub.blogspot.com/2012/08/party-ya-kimya-kimya.html
[ -1 ]
WAANDISHI WA HABARI ZA KILIMO TANZANIA (TAJF) WAKUTANA MALAIKA BEACH RESORT JIJINI MWANZA KUPANGA MIKAKATI | LIBENEKE LA KASKAZINI Home / Habari / MATUKIO / WAANDISHI WA HABARI ZA KILIMO TANZANIA (TAJF) WAKUTANA MALAIKA BEACH RESORT JIJINI MWANZA KUPANGA MIKAKATI POLISI KENYA WAZUIA MSAFARA WA KUMPOKEA RAILA ODINGA UWANJA WA JOMO KENYATTA AKITOKEA MAREKANI. - Gladys Wanga dares police to shoot her in airport confrontation KENYA: Polisi wamezuia wafuasi na viongozi wa upinzani waliokuwa wamepanga kwenda uwanja ... MATUKIO (3761) Habari (2537) Burudani (459) SIASA (375) MICHEZO (176) Biashara (163) utalii (82) MATUKIO HABARI (26) HABARI MATUKIO (20) Afya (14) matukio burudani (12) matukio biashara (6) ELIMU (4) POLISI (3)
2017-11-17T17:28:08
https://woindeshizza.blogspot.com/2017/06/waandishi-wa-habari-za-kilimo-tanzania.html
[ -1 ]
RONALDO NDANI REAL SAFARINI UJERUMANI KUWAFUATA DORTMUND - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE RONALDO NDANI REAL SAFARINI UJERUMANI KUWAFUATA DORTMUND - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE Mwanzo > HABARI ZA ULAYA > RONALDO NDANI REAL SAFARINI UJERUMANI KUWAFUATA DORTMUND RONALDO NDANI REAL SAFARINI UJERUMANI KUWAFUATA DORTMUND Wachezaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo na Raphael Varane wakiwa kwenye ndege kwenda Ujerumani kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya wenyeji, Borussia Dortmund kesho PICHA ZAIDI GONGA HAPA Item Reviewed: RONALDO NDANI REAL SAFARINI UJERUMANI KUWAFUATA DORTMUND Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
2020-05-26T03:40:14
http://www.binzubeiry.co.tz/2017/09/ronaldo-ndani-real-madrid-safarini.html
[ -1 ]
Nani aliyeua gari la umeme? Nani aliyeua gari la umeme? Kwa Kifaransa - Usafiri, Mkono Nani aliyeua gari la umeme? Nani aliyeua gari la umeme? Kifaransa Machi 14 2011 26 mai 2016 Christophe Nani aliyeua gari la umeme? Nani aliyeua gari la umeme? Toleo la Kifaransa Hati kamili juu ya kutoweka, katika 2005, ya EV1 kutoka kwa General Motor. Video inayohusiana: gari la umeme, gari la siku zijazo au zilizopita? - Mjadala juu ya waraka Nani aliyeua gari la umeme? - Kichwa cha habari kuhusu kesi ya EV1 ya GM - Kashfa ya EV1 na magari mengine ya umeme - Forum juu ya magari na usafiri wa umeme - Video inayohusiana: gari la umeme, gari la siku zijazo au zilizopita? Pakua faili (usajili wa jarida inaweza kuhitajika): Nani aliyeua gari la umeme? kwa Kifaransa ← Gari ya Umeme na Ushawishi: GM Uchambuzi wa Ushindwa wa EV1, Ambao Aliuawa Gari ya Umeme Maisha ya mimea ya nyuklia na aina mpya za reactors → Maoni ya 1 juu ya "Nani aliyeua gari la umeme? Nani aliyeua gari la umeme? Kifaransa " Pierre Morin alisema: Oktoba 9 2016 1 33 kwa h dk Video imefungwa katika nchi yangu kwa sababu ya hati miliki ...
2018-11-17T09:11:48
https://sw.econologie.com/who-killed-electric-car-qui-tue-voiture-electrique-francais/
[ -1 ]
MICHUZI BLOG: IDARA YA UHAMIAJI WAFANYA USAFI KITUO CHA WATOTO WENYE MAHITAJI MAALUM, SHULE YA MSINGI MATUMAINI '; if(img.length>=1) { imgtag = '
2018-03-20T17:52:07
https://issamichuzi.blogspot.com/2018/02/idara-ya-uhamiaji-wafanya-usafi-kituo.html
[ -1 ]
Mchezo Risasi 'em katika! Online. Kucheza kwa huru Unachezwa: 1540 Kucheza mchezo Risasi 'em katika! Online: Maelezo ya mchezo Risasi 'em katika! mchezo wa ajabu kwa mashabiki wa soka. Wewe ni inayotolewa heshima simulator penalti. Itakuwa kila kitu unahitaji kwa mchezo huu, yaani tisa pointi mbalimbali kwa mgomo, idadi kubwa ya majaribio, makipa nzuri na wasanii si chini nzuri adhabu. kifungu cha mchezo, utakuwa na viboko kumi tu, hivyo kufikiria kazi.. Kucheza mchezo Risasi 'em katika! online. Kiufundi na tabia ya mchezo Risasi 'em katika! Mchezo Risasi 'em katika! aliongeza: 28.12.2013 mchezo unachezwa: 1540 mara Michezo kama mchezo Risasi 'em katika! Download mchezo Risasi 'em katika! Embed mchezo Risasi 'em katika! katika tovuti yako: Risasi 'em katika! Kuingiza mchezo Risasi 'em katika! kwenye tovuti yako, nakala ya kanuni na kuweka katika kanuni html ya tovuti yako. Pia, kama wewe kama mchezo Risasi 'em katika!, nakala na kutuma kiungo kwa rafiki au rafiki yako yote, kushiriki mchezo na dunia! Pamoja na mchezo Risasi 'em katika!, pia alicheza katika mchezo:
2018-11-18T21:42:24
http://sw.itsmygame.org/1000011527/shoot-em-in_online-game.html
[ -1 ]
Okwi, Chirwa moto bado mdogo Wachezaji Emmanuel Okwi na Obrey Chirwa wanashindana kufunga ndani ya ligi, lakini ushindani wao bado haujawa na maana sana kwa kuwa mpaka mzunguko wa kwanza unamalizika, idadi ya mabao yaliyofungwa kwenye ligi ni ndogo ikilinganishwa na misimu miwili iliyopita. Mshambuliaji wa Simba, Okwi amefunga mabao 12, akifutiwa na Chirwa wa Yanga, John Bocco (Simba), Habib Kyombo (Mbao) na Mohammed Rashid (Prisons) kila mmoja akifunga mabao saba hadi sasa lakini mabao yao hayajafanya mzunguko wa kwanza wa msimu huu kuwa juu zaidi. Tofauti na misimu miwili iliyopita, msimu wa 2015/2016 jumla ya mabao yaliyofungwa kwenye mzunguko wa kwanza yalikuwa ni 251, msimu uliofuata wa 2016/2017 mabao yaliyofungwa kwenye mzunguko wa kwanza yalikuwa ni 241 wakati msimu huu unaoendelea, umeshuhudiwa ukiwa na mabao machache zaidi kwenye mzunguko wa kwanza ambayo ni 207. Yanga msimu uliopita ilifunga jumla ya mabao 57 katika ligi nzima ambayo yaliisaidia kuipa ubingwa mbele ya Simba iliyolingana nayo kwa pointi, ina kazi kubwa ya kuimarisha safu yake ya ushambuliaji kwenye mzunguko wa pili ili isiigharimu kutokana na rekodi mbaya ya ufungaji iliyoweka kwenye mzunguko wa kwanza. Hadi mzunguko wa kwanza msimu huu unamalizika mwishoni mwa wiki iliyopita, Yanga ilikuwa imefunga mabao 20 tu tofauti na msimu uliopita ambapo ilimaliza mzunguko wa kwanza ikiwa na mabao 31. Ukiondoa Yanga, safu nyingine za ushambuliaji ambazo zimetepeta zaidi kwenye mzunguko wa kwanza msimu huu kulinganisha na msimu uliopita ni Azam FC, Kagera Sugar, Mtibwa Sugar, Ndanda FC, Stand United na Ruvu Shooting. Katika msimu uliopita, Azam FC ilimaliza mzunguko wa kwanza ikiwa na mabao 21 na sasa imefunga 14, Kagera ilifunga mabao 16 na msimu huu imefunga saba, Mtibwa Sugar ilifunga jumla ya mabao 19 kwenye mzunguko wa kwanza wakati msimu huu imefunga mabao 11. Ndanda ilifunga mabao 13 na sasa imeziona nyavu za wapinzani mara tisa, Stand ilifunga mabao 15 na msimu huu imefunga mabao matano wakati Ruvu Shooting ilifunga mabao 14 na sasa hivi imefunga mabao tisa. Wakati timu nyingine zikionesha kutetereka kwenye safu ya ushambuliaji msimu huu, Simba imeimarika zaidi. Msimu huu Simba imefunga mabao 35 hadi mzunguko wa kwanza ulipokamilika wakati msimu uliopita timu hiyo ilikuwa imefunga mabao 26 tu katika mzunguko wa kwanza. Kocha Msaidizi wa Azam, Iddi Cheche alisema ligi ni ngumu na kila timu imejiandaa vizuri na ndio maana inakuwa vigumu kupata ushindi wa mabao mengi. “Sisi kama Azam FC tuna malengo yetu tumejiwekea na ili yatimie ni lazima tupate ushindi kwenye mechi. Huo ndio mkakati wetu wa kwanza halafu baada ya hapo ndio hayo mambo mengine yatafuata,” alisema Cheche. Kocha wa Msaidizi wa Simba Mrundi, Masoud Djuma alisema ukame wa mabao unachangiwa na ubora wa timu zinazoshiriki msimu huu. “Maisha yanabadilika, hivyo usitegemee kuona timu ilivyocheza jana, ndio ije kucheza leo au kesho na hili ndilo ninaloliona kwenye ligi. Timu zinaimarika siku hadi siku na ndio maana ligi inakuwa ngumu,” alisema Djuma.
2018-02-20T17:41:32
http://bongofc.com/home/news/3157
[ -1 ]
Utata ulivyoibuka baada ya watu wa Brazil kuzuiwa kutumia WhatsApp.. – Millardayo.com Utata ulivyoibuka baada ya watu wa Brazil kuzuiwa kutumia WhatsApp.. Lakini mbali ya watu wengi kukosoa uamuzi huo, Boss wa Facebook ambae ndiye mmiliki wa WhatsApp pia, Mark Zuckerberg alilaani kitendo hcho kwa kuandika haya >>> ‘Nashtushwa kwamba jitihada zetu kulinda siri za watu kunapelekea Jaji mmoja kuamua maamuzi haya mabaya kuadhibu kila mtu aliye ndani ya Brazil anayetumia WhatsApp‘- Mark Zuckerberg. ← Previous Story Takwimu ya wajane duniani kwa mwaka 2015 imenifikia, hii hapa yote.. Next Story → Hii ndio kali yenyewe, unakojolea ukuta alafu mkojo unakurudia mwenyewe (+Video)
2020-02-25T18:19:09
https://millardayo.com/brzl1812/
[ -1 ]
Event Venues and Vendors in Tacoma, Washington Venues and Vendors in Cities Near Tacoma, WA Lakewood, WA (48)University Place, WA (4)Steilacoom, WA (4)Spanaway, WA (13)Puyallup, WA (115)Milton, WA (10)Fox Island, WA (5)Dupont, WA (7)Federal Way, WA (79)Sumner, WA (19)Anderson Island, WA (4)Pacific, WA (1)Graham, WA (20)Redondo, WA (2)Bonney Lake, WA (9)Orting, WA (8)Auburn, WA (66)Longbranch, WA (1)Roy, WA (4)Gig Harbor, WA (48)Lakebay, WA (2)Vashon, WA (13)
2013-12-09T00:49:33
http://www.eventective.com/USA/Washington/Tacoma/local.html
[ -1 ]
Wakala wa Ulinzi Zanzibar wajinadi kwa wawekezaji, wafanyabiashara - ZanziNews Home HABARI MATUKIO Wakala wa Ulinzi Zanzibar wajinadi kwa wawekezaji, wafanyabiashara Wakala wa Ulinzi Zanzibar wajinadi kwa wawekezaji, wafanyabiashara zanzinews.com 9:35 PM Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Ulinzi Zanzibar Luteni Kanali Jabir Hamza, akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Kikwajuni mjini Zanzibar. Mwenyekiti wa Bodi ya Wakala wa Ulinzi Zanzibar Kanali Mstaafu Makame Mabrouk Hassan, akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Kikwajuni mjini Zanzibar. Waandishi kutoka vyombo mbalimbali vya habari, wakifuatilia mazungumzo ya viongozi ya Wakala wa Ulinzi wa Serikali yaliyofanyika katika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Kikwajuni mjini Zanzibar. (Picha na Miza Othman- MAELEZO) Na Ali Issa-MAELEZO WAKALA wa Ulinzi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, umesema kuwa umeundwa kwa lengo la kutoa huduma bora za ulinzi zinazoendeshwa kisasa. Akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi, Mkurugenzi Mtendaji wa wakala huo Kanali Jabir Hamza, amesema serikali imechukua hatua hiyo baada ya kubaini kasoro zinazowapa mwanya wahalifu kuhujumu miradi katiia maeneo ya uwekezaji hasa utalii na mengine. Kanali Hamza amesema kuwa, wakala huo ambao ni taasisi ya serikali upo kisheria, ukiwa umeanzishwa chini ya kifungu cha sheria namba mbili ya mwaka 2015. Alifahamisha kuwa, kuja kwa wakala huo ni njia iliyokusudiwa kutoa ulinzi kwa kutumia silaha za kijeshi na kuwahamasisha wamiliki wa kampuni na miradi kuondokana na ulinzi wa silaha za kienyeji kama marungu. “Katika ulimwengu huu ambao wahalifu wanabuni mbinu mpya kila uchao, hatuwezi kuendelea kulinda kwa magongo kwani ulinzi wa aina hiyo hauna usalama kwa walinzi wala wanaolindiwa,” alisema. Hata hivyo, Mkurugenzi huyo alisema wakala huo haukuja kwa nia ya kuzifuta kampuni binafsi zinazotoa huduma za ulinzi, bali upo kwa ajili ya kuzielekeza kampuni hizo kwa kutoa miongozo itakayozifanya zibadii mfumo wao wa ulinzi. Aidha alisema, lengo la wakala huo ni kuepusha majanga ya kutekwa kwa walinzi wasiokuwa na silaha za kisasa wala ujuzi wa kupambana na wahalifu, hali inayosanabisha kuibiwa mali za wawekezaji na wafanyabiashara wengine, na hata kushambuliwa kwa silaha za moto na mapanga. Alieleza matumaini yake kuwa, kampuni nyengine za ulinzi zina haki ya kutoa huduma, lakini wakala wake utaendelea kuwashajiisha wamiliki wa mali na miradi kutumia ulinzi wa uhakika kwa kuwa kazi hiyo inafanywa kibiashara na serikali inategemea mapato. Mbali ya mapato, kwa serikali, Kanali Hamza alisema, fedha zinazopatikana pia zinasaidia kugharamia mahitaji mengine ya Jeshi la Kujenga Uchumi. Kwa upande mwengine, alisema kuundwa kwa wakala huo, kutasaidia kupunguza uhaba wa ajira kwani litatoa fursa kwa vijana hasa waliopata mafunzo kupitia Jeshi la Kujenga Uchumi, kuajiriwa na kwa wale waliofikia umri wa miaka 27 kupewa ajira za mkataba. Nae Mwenyekiti wa Bodi ya Wakala huo Kanali mstaafu Makame Mbarouk Hassan, alisema kazi yao nyengine ni kuvipa elimu na miongozo vikundi vinavyoendesha ulinzi kwa njia ya doria. Aidha, alisema kwa kuwa serikali inategemea zaidi sekta ya utalii kiuchumi ambapo mara kadhaa wageni wamekuwa wakishambuliwa, wakala huo ndio muarubaini wa kukomesha vitendo hivyo vinavyoitia doa Zanzibar. Alitumia fursa ya mkutano huo na waandishi wa habari, kuomba ushirikiano wa kutosha kutoka kwa kampuni na watu binafsi akiwahakikishia kuwa huduma zao zinalindwa na mikataba iliyotengenezwa na wanasheria wa serikali
2019-08-21T22:50:47
http://www.zanzinews.com/2018/03/wakala-wa-ulinzi-zanzibar-wajinadi-kwa.html
[ -1 ]
Wikiloc - Kahili Ridge Trail, Kauai Hawaii trail - Omao, Hawaii (United States)- GPS track Hiking (Best Hiking trails in United States → Hawaii → Omao ) 665 36 41 Viewed 2639 times, downloaded 11 times Feb 4, 2012 11:56 amKahili Ridge Trail Condos in Kauai Kahili Ridge Trail Blog Hi, found this interesting trail: Kahili Ridge Trail, Kauai Hawaii https://www.wikiloc.com/hiking-trails/kahili-ridge-trail-kauai-hawaii-2488270 Regards, Wikiloc - GPS trails and waypoints of the World
2018-03-18T01:50:35
https://www.wikiloc.com/hiking-trails/kahili-ridge-trail-kauai-hawaii-2488270
[ -1 ]
5,471 1,225 Reactions: The pexie, PRJ2012 and Iyegu Miss Kyalla Nakumbuka nilikuwa mpole tu lkn sionewi na mwanamkee, ata akiwa bonge na mkubwaje mwanamke napigana nae lkn staki walimu wajue naenda kupigana hukoo viwanjani, lkn mwanaume ata akiwa mdogo vp sithubutu ata kurusha ngumi niliwaogopa balaa Sitasahau darasa la pili nilikutana namvuta bangi mmoja akanikalisha chini huku akinisihi nisiogope kisha kuanza kuomba nimpe changu na yeye anipe chakee nikamwambia mpaka tuende hospital vikakatwee na kipindi hicho nilitaman sana kuzaliwa mwanaumee nikaenda kusema nyumbani wakacheka kuzimia lkn sijuelewa, nilikuja kuelewa alimaanisha nini nikiwa form one hahahahaaa Sitasahau jamani nilikuwaga naakili primary lkn pacha wangu hajui ata kutofautisha daftar la kiswahili na english au sayancee hahahaa nilikuwa naumia sana akichapwa au akipewa adhabu nzitoo Sitasahau kakaangu alimaliza la saba na sisi kukataa kwenda chekechea eti na sisi tumemaliza bushiii hahaaa Sitasahau zile msituumizieeee inapochezwa mechi ya la sita na la sabaa au shule tofaut na vingine vingiiiii Yah,tena ili isifutike ilikuwa inaandikwa kwa kungu hapo itakaa milele haifutiki.... Nakumbuka wakati wa kuvaa nguo za shule nasahau kuvua skert ya kushindia nikifika njian najikuta nimevaa skirt mbili navua nachimbia shambani kwa watu nikitoka napitia siku nikasahau nilikochimbia ilikuja kuonekana msimu wa kulima ikiwa imeozaa hahahaaa 15,871 2,000 Kuna jamaa nlmwambia nionyeshe faga soni ilipo alikaa mpaka jioni Ni jamaa angu sana now Reactions: koncho77, Miss Kyalla and Mwifwa 35,148 2,000 Sio s/msingi tu hata sekondari aliyosoma mdogo wangu kwa niaba yangu ilikuwa ni hivo hvo timbwili timbwili. Hii ilitufanya tuwe na uwezo wa kutambua miji mikuu ya kila nchi na kufaham kila nchi iko upande upi wa dunia. Nakumbuka primary tulikua tunasoma Mimi na Dada yangu.... Tulikua tunatoka saa kumi hatukuwa tumelipiwa ela ya lunch shuleni Kuna madam mmoja Mungu amlinde akatuambia mda wa lunch ukifika tuwe tunakula freee Kama vile tumelipa Tena na majina yetu yakasndikwa kwenye daftari la waliolipa ela ya chakula.... Kuna baadhi ya walimu Ni ma heaven sent etiiii 12,311 2,000 Umenikumbusha mbali na hii kitu aisee! Nilikuwa bingwa wa kutoroka kazi za nje hasa za kilimo na kufyatua tofali. Mwalimu Kimbengele wa somo la hisabati pale Naura Primary school alikuwa na tabia ya kumuita mwanafunzi mbele ya darasa na kumuambia asolve hesabu fulani, ukikosea yeye alikuwa anachapa fimbo kwenye vigimbi ilikuwa hatari tupu, huyu mwalimu alikuwa anaishi mtaa wa Bondeni pale Arusha mjini na alikuwa na mtoto wake anaitwa Hamza. Sijui kama mwalimu huyu bado yuko Arusha. Dah dunia ni ndogo!!! Alifundishaga pia na Meru Primary, Na yuko Arusha bado ila kwa sasa nahisi anaishi kisongo sina uhakika sana though Leo hii kuna mwanafunzi yuko mwaka wa nne chuo, ila ukimwambia burma ni nchi jirani na ipi, hajui hata iko wapi. Nakumbuka nilikua siingii darasana naenda kushinda mtoni mpka masomo yanaisha jioni narud hom kama nimetoka shule ilikua karibu na mitihani mwez wa tano ila nikaja nikashika nafasi ya tatu likizo mwez wa 6 13,699 2,000 Majina kwenye Atlas,,,tumetoka mbali jmn Hii I'd yako n kichekesho tosha Nyela mumo dah nmecheka mm huu mtindo wa kutaja maneno makubwa halafu watu wanakomaa kutafuta tumaandishi tudogo Kusahau baiskeli shule Reactions: Khantwe and mkorinto Mildotty Jaman mi nakumbuka nlisoma shule flan ipo pale Kahama.. kuna siku nlichezea kichapo jaman mpk nkajikolea jaman kisa tu nliongea kwa utan tukiwa mstarini kwamba mwalimu anachawa duh huwa siwez kabisa kusahau kitu hko naona ni kama jana tu nmefanyiwa jambo hlo!! MI Tanzania Kuiba Pencil then unaibadili rangi kwa wino wa Pen Daah... Darasa la sita nilijishaua kutaka kugerezea kwenye mtihani... Sikuwai jaribu na siku niliojaribu nilikamatwa hapohapo, nikapelekwa staff room... Nilichapwaaa. ... Sijarudia tena kubeba vitu kwenye mtihani Nyingine tulikamatwa mimi na rafiki yangu tunachezeana zile fimbo sintasahau... Tulichangiwa na walimu kuchapwa 120,053 2,000 Mlikuwa mnachezeanaje? Unaweza kufafanua angalau kidogo? Tulikua tunashikana nunu Threads 1,403,500 Posts 34,425,112
2020-03-31T13:35:02
https://www.jamiiforums.com/threads/wakumbuka-nini-enzi-za-shule-ya-msingi.49305/page-17
[ -1 ]
DIRA YANGU.: RUSHWA UGANDA RUSHWA UGANDA Inasemekana eti Serikali ya MU7 iliingia madarakani 1986 ikiwa na mawazo ya kimapinduzi ambayo sasa yanadaiwa yamepotea njia.Huko Uganda kashfa kubwa ya rushwa imesababisha mawaziri vigogo kuwwekwa ndani, ni kisa kinachofanana na kile cha mheshimiwa Dito kupewa dhamana kwa kesi ya mauaji.Kisa hiki ni mfano hai wa siasa za kulindana zinapofika ukingoni. Posted by Innocent Kasyate at 7:17 am MAUAJI YA SUMU KWA WANASIASA Harusi za gharama muhimu? JANET MUSEVENI KATIKA KASHFA YA GLOBAL FUND WIKI HII UGANDA NOBLE MAYOMBO-ASKARI SHUJAA UGANDA
2017-08-19T16:41:04
http://funguajicho.blogspot.com/2007/05/rushwa-uganda.html
[ -1 ]
Tatu au Mama Tama, akihudumia mteja dukani kwake Tandahimba. Obama, uhamasishaji vimenitoa kiuchumi LINAPOTAJWA jina Barack Obama wapo wanaokumbuka jambo moja pekee nalo ni, Rais wa zamani wa Marekani. Lakini kwa Tatu Abdallah Mahupa (Tama),... Wanasayansi wagunduzi mmea tiba na kichocheo nyuki kuongeza asali MAONYESHO ya wanasayansi chipukizi mwaka huu, yamewaibua wasichana na kuthibitisha kuwa mabinti... Moja ya vituo vya kufua umeme nchini ambavyo vimejengwa miaka ya karibuni kupunguza uhaba wa nishati mkoani Katavi. Umeme Stieglers: Mlango wa kufikia dira ya maendeleo DIRA ya maendeleo ya Tanzania inaelekeza kuifanya kuwa nchi ya viwanda na ya uchumi wa kati... BAADA YA KUACHA KULA UNGA: Asimulia yaliyojificha katika maisha yake DAWA za kulevya ni tatizo. Vijana wengi wanaharibikiwa, tatizo ambalo tafsiri yake ni ya... Namna uzito wa mwili inavyopunguzwa Ili mtu apunguze uzito wa mwili wake anapaswa kufanya maozezi ya mara kwa mara. Imekuwa jambo la... SIKU YA MAZINGIRA AFRIKA:Hatujafanikiwa kutunza mazingira – Dk. Ningu LEO ni siku ya mazingira barani Afrika, Tanzania ikiwa sehemu mojwapo. Nachingwea katika operesheni ya kumilikisha vijiji utajiri wa misitu MSEMO wa penye miti hapana wajenzi, sasa unatoweka kwa jamii za vijiji vilinavyomiliki misitu... Walemavu Zanzibar wanapoambiwa wakache udako badala ya kushiriki siasa KILA kinapofika kipindi cha Uchaguzi Mkuu wadau mbalimbali hujitokeza kutaka kutoa elimu ya... Kwa nini CCM inataka Cuf iendelee kusema Zanzibar? HALI ya kisiasa Zanzibar imeendelea kuwa ya utata na sasa Chama cha Wananchi (Cuf) ambacho ni... Lindi, Mtwara ‘kucheere’ waamka kulima ufuta Kilimo cha mboga kinachofanyika kwenye mabomba au treyi zinazohifadhi na kupitisha maji kiitwacho hydroponiki ni teknolojia ya kisasa isiyotumia udongo kuotesha mazao. Pichani mboga jamii ya letusi zilizozalishwa kwenye bustani maalumu isiyo na udongo. Vijana wapaa kwa kilimo ‘haidroponiki’ Ni aibu karne ya 21 Mara inapokataa choo
2019-08-25T17:08:04
https://www.ippmedia.com/sw/makala?page=727
[ -1 ]
KAMPUNI YA BUSINET AFRICA YADHAMIRIA KUENDELEZA ZAO LA ALIZETI MKOANI SINGIDA - HABARI NA MATUKIO Home HABARI HABARI NA MATUKIO HABARI ZA BIASHARA KAMPUNI YA BUSINET AFRICA YADHAMIRIA KUENDELEZA ZAO LA ALIZETI MKOANI SINGIDA KAMPUNI YA BUSINET AFRICA YADHAMIRIA KUENDELEZA ZAO LA ALIZETI MKOANI SINGIDA Kajunason at November 23, 2019 HABARI, HABARI NA MATUKIO, HABARI ZA BIASHARA, Meneja wa Mradi wa Kampuni ya BusinetAfrika Irene Njovu, akizungumza na waandishi wa habari mjini Singida jana, katika kikao cha wadau wa zao la alizeti kilichofanywa na kampuni hiyo kwa ajili ya kuongeza uzalishaji wa zao hilo. Kikao kikiendelea . Meneja wa Mradi wa Kampuni ya BusinetAfrika Irene Njovu, Irene Njovu, akisisitiza jambo kwenye kikao hicho. Na Waandishi Wetu, Singida. KAMPUNI ya BusinetAfrica imedhamiria kuwasaidia Wakulima Mkoani Singida namna ya Kutengeneza maandiko ili waweze kupata mikopo kwenye Mabenki itakayowasaidia katika shughuli za kilimo. Kampuni hiyo imewakutanisha pamoja viongozi wa vyama vya ushirika kutoka kila wilaya za mkoa huo, wakulima wa zao la alizeti na wasindikaji wa zao hilo kwa lengo la kuwaunganisha na taasisi za Kifedha ili waweze kufanya kazi kwa pamoja. Akizungumza na waandishi wa habari jana baada ya kikao hicho Meneja wa Mradi wa Kampuni hiyo, Irene Njovu alisema kampuni hiyo imekuja na mradi wa kuwasaidia wakulima wa zao la alizeti kupata mikopo kwa kuwaunganisha na Benki ya Kilimo na Maendeleo Tanzania (TADB) kuwaelekeza taratibu zinazotakiwa ili waweze kupata mikopo. "Tumekuja na mradi wa kuendeleza zao la Alizeti Mkoa wa Singida na tumeamua kuwaunganisha wakulima na taasisi za kifedha hususani benki yao ili waweze kupata mikopo katika msimu huu wa kilimo". alisema Njovu. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Ushirika 'SIFACU' Mkoa wa Singida, Yahaya Hamis alisema kutokana na wakulima wengi pamoja na Viongozi wa vyama vya ushirika kutokujua kuandika maandiko ili kupata mikopo, kwa kupitia mradi huo watakuwa na ufahamu na kuanza kuandika maandiko yatakayosaidia kupata mbegu bora na kuongezeka uzalishaji wa zao hilo. Hata hivyo wakulima wameshukuru kwa hatua hiyo lakini hofu yao wameona mradi huo umechelewa, hivyo wameomba taasisi za kifedha hususani Benki ya Kilimo na Maendeleo Tanzania (TADB) ambayo ndio wameunganishwa nayo kutoa mikopo mapema ili waweze kupata mbegu bora kwa wakati kabla msimu haujaisha, huku wasindikaji wakiwa na matumaini ya kupata malighafi ya kutosha baada ya mradi huo kuwafikia.
2019-12-09T03:20:43
https://www.kajunason.com/2019/11/kampuni-ya-businet-africa-yadhamiria.html
[ -1 ]
Makabiliano makali yazuka kwenye Chuo Kikuu cha Hong Kong - Asia - RFI Na RFI Imechapishwa 18-11-2019 Imehaririwa 18-11-2019 Saa 15:09 Wanafunzi wamehamishwa na polisi kutoka Chuo Kikuu cha Hong Kong Novemba 18, 2019. REUTERS/Thomas Peter Makabiliano makali kati ya wanafunzi na vikosi vya usalama yaliyozuka tangu Jumapili usiku na kuendelea kwa siku ya leo yamezua wasiwasi mkubwa Hong Kong. Kwa mujibu wa mashuhuda, hali ni tete karibu na Chuo Kikuu cha Hong Kong. Kila upande unajaribu kukabiliana na mwengine, hali ambayo wadadisi wanasema inatishia mustakabali wa eneo hilo. Waandamanaji wanajaribu kukimbilia katika maeneo salama baada ya Chuo kikuu cha Hong Kong kuzingirwa na vikosi vya usalama. Vikosi vya usalama vya Hong Kong vimewashambulia waandamanaji wanaodai demokrasia, ambao walikuwa wakijaribu kutoroka kutoka Chuo Kikuu walichokichoma moto leo, katika mojawapo ya ghasia mbaya kushuhudiwa katika msururu wa maandamano yaliyodumu kwa karibu miezi sita sasa. Shule zimefungwa, na usafiri wa reli na wa barabara umetatizika kutokana na vizuizi vilivyowekwa na waandamanaji. Wakati huo huo China ambayo Hong Kong iko chini ya himaya yake imeonya kuwa haitaendelea kuvumilia upinzani wao. Hayo yanajiri wakati Mahakama mjini Hong Kong leo imeamua kuwa amri tata ya kutofunika nyuso kwa kutumia barakoa wakati wa maandamano ni kinyume na katiba. Marufuku dhidi ya kufunika nyuso ilitangazwa mwezi Oktoba na kiongozi wa Hong Kong, Carrie Lam, ambaye alianisha lengo lake kuwa ni kusaidia kukabiliana na maandamano ya vurgu yanayoukumba mji huo kwa muda wa miezi kadhaa sasa.
2020-01-25T22:27:20
http://sw.rfi.fr/asia/20191118-makabiliano-makali-yazuka-kwenye-chuo-kikuu-cha-hong-kong
[ -1 ]
01-Mapenzi Ya Ahlus-Sunnah Juu Ya Ahlul-Bayt: Utangulizi | Alhidaaya.com Ukurasa Wa Kwanza /Mapenzi Ya Ahlus-Sunnah Juu Ya Ahlul-Bayt /01-Mapenzi Ya Ahlus-Sunnah Juu Ya Ahlul-Bayt: Utangulizi 01-Mapenzi Ya Ahlus-Sunnah Juu Ya Ahlul-Bayt: Utangulizi Mmoja katika wana falsafa wa zamani alisema: “Haki yote haiwezi kumilikiwa na upande mmoja, wala makosa yote hayawezi kuwepo upande mwingine, bali kila upande husibu sehemu yake. Mfano wa kundi la vipofu waliopelekwa mbele ya tembo wakatakiwa wamguse mwili wake, kisha kila mmoja aelezee umbile lake. Katika muda mfupi waliopewa, hapana aliyewahi kukamilisha kuushika mwili wote. Kila mmoja alifanikiwa kugusa sehemu tu. Aliyeushika mkonga akidhani kuwa amemshika tembo wote akasema: “Mwili wa tembo ni mrefu mfano wa gogo la mti”, Aliyeshika mgongo akasema: “Hapana, bali mwili wa tembo ni mfano wa jabali dogo”, Aliyeshika sikio akasema: “Nilivyouona mimi mwili wa tembo ni mpana, duara na laini”. Kila mmoja anahadithia juu ya ile sehemu aliyodiriki kuishika katika muda mfupi ule akidhani anatoa maelezo kamili. Wote wamesema kweli, lakini kila mmoja amehadithia sehemu tu ya ukweli anaoujua yeye akidhani kuwa ndio ukweli wote.” Hitilafu husababishwa na mambo mengi, yakiwemo upeo wa kufahamu, kupenda, matamanio ya nafsi, mielekeo ya elimu, ya kifikra, kuiga waliotangulia, kupenda umaarufu, kupenda ukubwa, hitilafu za ustaarabu. Wengine huiga waliyowakuta nayo wazee wao, na wengine wanafuata mafundisho ya walimu wao wanaowaamini n.k. Na wengine huiendeleza hitilafu kwa sababu ya ubishi au kiburi tu, hata kama wataiona haki mbele yao. Si vibaya kuhitilafiana, kwa sababu Allaah Ametuumba kila mmoja na akili yake pamoja uwezo wake wa kufahamu. Allaah Anasema: وَلَوْ شَاء رَبُّكَ لَجَعَلَ النَّاسَ أُمَّةً وَاحِدَةً وَلاَ يَزَالُونَ مُخْتَلِفِينَ .إِلاَّ مَن رَّحِمَ رَبُّكَ وَلِذَلِكَ خَلَقَهُم «Na Mola wako Angelipenda Angewafanya watu wote wakawa umma mmoja. Lakini hawaachi kukhitalifiana, Isipokuwa wale ambao Mola wako Amewarehemu; na kwa hiyo ndio Allaah Amewaumba.» Huud-118-119 Anasema Al Hasan Al Basry: وَلِذَلِكَ خَلَقَهُمْ maana yake ni kuwa; Amewaumba ili wakhitalifiane. Wenye kukhitilifiana wanaweza kusikilizana na kufahamiana ikiwa hapana chuki baina yao, lakini chuki inapoingia, hayapatikani tena masikilizano wala kufahamiana. Chuki inaondoa mapenzi na inavunja uhusiano mwema na inaendeleza bughudha na kuondoa uwezekano wowote wa masikilizano. Imepokelewa kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) usiku mmoja aliamka uso wake ukiwa mwekundu huku akisema: لا إِلهَ إِلاّ الله، وَيْلٌ للعَرَبِ، مِنْ شَرَ قَدِ اقْتَرَب Laa ilaaha illa Allaah, Ole wao Waarabu kwa shari iliyo karibu Alirudia maneno haya mara tatu. Maulamaa wanasema kuwa;‘Hii ilikuwa ishara kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) juu ya hitilafu itakayotokea baada yake’. Hitilafu iliyopo hivi sasa baina ya Shia na Sunni inakula kibichi na kikavu. Mamia ya Waislamu wanauliwa kila siku huko Iraq, na wanaendelea kuuliwa, na mamilioni wengine wamejeruhiwa. Mamilioni wamekwishaihama nchi yao, na mamilioni hawana kazi wala bazi. Lebanon, nchi iliyojaa neema, nchi ya elimu na ziraa. Nchi ya historia na sanaa, leo kila kitu kimesimama katika nchi hii kwa sababu ya fitna ya umadhehebu. Nchi haina serikali, ina majeshi mawili, kila moja linadai kuwa wao ndio wenye kuipenda nchi. Ina makundi mawili, kila moja linalituhumu jingine kuwa ni vibaraka. Watu hawaelewi wanapelekwa wapi, kila siku mapambano ya risasi na mabomu. Huko Yemen, maelfu ya watu wamekwishapoteza maisha yao katika mapambano baina ya majeshi ya serikali na makundi ya watu wa kabila la Houthi wenye kufuata madhehebu ya Shia Ithnaashariyah. Hii ni fitna iliyopenyezwa katika mwili wa Waislamu kwa ajili ya kuwagawa. Inatumiliwa na kuchochewa na wale wasiopenda kuuona umma wao umetulia huku ukipiga hatua katika kuziendeleza nchi zao na kuwaelimisha watu wao. Na katika kila pembe ya ulimwengu chuki hizi zinaanza kupasua njia kidogo kidogo na ni Allaah peke Yake Anaelewa wapi yataishia. Mambo yaliyotokea miaka elfu moja mia nne iliyopita yanaendelea kuwagawa na kuwafarikisha Waislamu hadi hivi sasa katika karne hii ya satellite na computer. Umma huu ni Umma mmoja, Mungu wetu ni Mungu Mmoja, na Dini yetu ni moja na Mtume wetu ni mmoja, Lengo letu ni moja na adui yetu ni mmoja, kwa nini basi hatuungani tukawa kitu kimoja? Ikiwa kuwapenda watu wa nyumba ya Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) ni Ushia, basi sisi sote ni Mashia, na ikiwa kuwapenda Masahaba (Radhiya Allaahu ‘anhum) ni Usunni, basi sote tuwe Masunni. Waislamu hawatakuwa na kheri yoyote ikiwa watawachukia watu wa nyumba ya Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) ambao Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) ametuamrisha tuwaswalie kila tunapomswalia. Na Waislamu hawatakuwa na kheri yoyote ikiwa watawachukia Sahibu zake Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) (Radhiya Allaahu ‘anhum), ambao baada ya kufariki dunia Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam), wao ndio walioibeba bendera na kuueneza Uislamu kila pembe ya ulimwengu. Waislamu wanatakiwa waone fahari kubwa kila wanapotajwa Masahaba hawa watukufu (Radhiya Allaahu ‘anhum), kwa sababu wao ndio waliotuletea Uislamu. Wao ndio waliotufikishia Qur-aan tukufu ambayo ni Nuru itokayo kwa Mola wetu. Allaah Amewajaalia wao kuwa ndiyo sababu ya kutufikia dini hii kote huku tuliko. Kwa juhudi yao kubwa na kujitolea kwao mhanga kwa hali na mali waliuwezesha Uislamu kuingia na kuenea na kufuatwa na kupendwa Arabuni kote, Iran, Asia, Afrika hadi Ulaya na Marekani. Wangelikuwa watu hawa ni makafiri basi wangelituletea ukafiri badala ya Uislamu. Wangelituletea misalaba na masanamu badala ya Qur-aan na Swalah na salamu amani. Tunamshukuru Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) kuwa hitilafu baina ya madhehebu ya Kiislamu si katika kiini cha dini na asili ya mafundisho yake, kama vile kuabudiwa Allaah Mmoja na kwamba Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) ni Mtume Wake. Hitilafu haikuwa juu ya Qur-aan tukufu, kwani AlhamduliAllaah Waislamu wote kwa pamoja wanaamini kuwa Qur-aan hii tuliyonayo hivi sasa ndiyo ile ile aliyoteremshiwa Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) miaka elfu moja mia nne iliyopita. Tunaelewa kuwa walikuwepo baadhi ya Maulamaa wachache wa madhehebu ya Kishia mfano wa Nuwriy At-Tubrusiy aliyeandika kitabu ‘Faswlul Khitwaab fiy ithbaat tahriyf kitaab Rabbil Arbaab’, akidai ndani ya kitabu hicho kuwa Qur-aan hii tuliyonayo ilibadilishwa na kupunguzwa na kuzidishwa. AlhamduliAllaah katika wakati wetu huu hapana tena anayeziamini kauli hizo hata miongoni mwa wengi kati ya Mashia, kiwa si wote, na kama watakuwepo basi watakuwa wachache sana. Tunamshukuru Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) pia kuwa hitilafu hii haikuwa katika kuharamisha au kuhalalisha mambo yanayojulikana katika dini kuwa ni ya dharura kama vile uharamu wa Pombe, kula nyama ya nguruwe n.k. Juu ya kuwa hapana shaka yoyote kuwa ipo hitilafu juu ya baadhi ya mambo yanayohusiana na Itikadi ‘Aqiydah’. Hapana shaka yoyote kuwa ipo hitilafu juu ya baadhi ya mambo yanayohusiana na Itikadi ‘Aqiydah’, kama vile kumuomba mwengine asiyekuwa Allaah na kuyatukuzu makaburi ya watu wema. Naelewa pia kuwa wapo wanaojinasibisha na Ahlus Sunnah wenye kuwaomba wengine wasiokuwa Allaah na kuyatukuza makaburi ya watu wema, lakini tofauti iliyopo baina ya Sunnah na Shia ni kuwa Maulamaa wa Ahlus Sunnah wanayakemea na kuyakataza mambo haya, wakati maulamaa wa Shia wanayanyamazia na kuyapa kipaumbele. ‹ 00-Mapenzi Ya Ahlus-Sunnah Juu Ya Ahlul-Bayt: Yaliyomo up 02-Mapenzi Ya Ahlus-Sunnah Juu Ya Ahlul-Bayt: Al-Mahdi Na 'Umar ›
2020-05-28T22:46:11
http://www.alhidaaya.com/sw/node/3478
[ -1 ]
MRISHO'S BLOG: RC KILIMANJARO AKUTANA NA WATENDAJI WA SERIKALI KATIKA KIKAO CHA UTENDAJI KAZI. RC KILIMANJARO AKUTANA NA WATENDAJI WA SERIKALI KATIKA KIKAO CHA UTENDAJI KAZI. Mkuu wa mkoa wa Kilimajaro,Amosi Makala akizunumza na wakuu wa wilaya ,wakurugenzi,Wakuu wa taasisi mbalimbali za umma katika kikao cha utendaji kazi kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya mkuu wa mkoa. Wakuu wa wilaya za mkoa wa Kilimanjaro wakiwa katika kikao hicho,kutoka kuslia ni Mkuu wa wilaya ya Hai,Anthony Mtaka, Helman Kapufi (Mkuu wa wilaya ya Same) Novautus Makunga (Mkuu wa wilaya ya Moshi) na Lembris Kipuyo (Mkuu wa wilaya ya Rombo). Baadhi ya wakurugenzi wakiwa katika kikao hicho. Watendaji wengine wa serikali wakifuatilia hotuba ya mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro alipokutana nao . Katibu tawala mkoa wa Kilimanjaro,Severine Kahitwa akizungumza katika kikao hicho. Wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama mkoa wa Kilimanjaro. Baadhi ya watendaji wa taasisi za umma,kushoto ni Mkurugenzi wa Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Moshi,Joyce Msiru. Badhi ya watumishi katika ofisi ya mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro. KATIKA kutekeleza kauli mbiu ya Rais wa tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,John Magufuli ya “Hapa Kazi tu” serikali mkoani Kilimanjaro imetangaza kusitisha likizo na ruhusa zote kwa watumishi wake katika kipindi cha siku kuu za Krismasi na mwaka mpya. Agizo hilo linakuja wakati tayari baadhi ya watumishi wa serikali kuanza taratibu za kuomba likizo na ruhusa kwa ajili ya kwenda kushiriki siku kuu za mwisho wa mwaka za Krismasi na mwaka mpya. .Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Amos Makala alitangaza uamuzi huo jana wakati wa kikao cha kazi alichoitisha na wakuu wa wilaya zote za mkoa, wakurugenzi, kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa na watendaji wengine wa serikali. “Mh Rais ametoka kwenye kampeni hajapumzika,Makamau wa rais ametoka kwenye kampeni hajapumzika ,Waziri mkuu pia vivyo hivyo sasa sisi ni nani twende kwenye mapumziko ya siku kuu ya Krismasi.”alihoji Makala. “Kwa maana hiyo ili haya tunayotaka ya elimu bure ,kukabiliana na Kipindupindu ,kwa madaraka niliyopewa kama mkuu wa mkoa nasitisha likizo zote,kwa Wakuu wa wilaya ,Wakurugenzi na wakuu wote wa idara ili mambo haya yaweze kutekelezwa,tumesema Hapa ni kazi tu”aliongeza Makala. Alisema utekelezaji wa agizo la rais la kufanya usafi siku ya sikuu ya Uhuru inayofanyika Desemba 9 kila mwaka ,mapambano ya ugonjwa hatari wa Kipindupindu ambao umeendelea kusambaa sehemu kubwa ya nchi hayawezi kusubiri hadi watusmishi wa serikali watoke likizo. Posted by Mrisho's Photography at 3:37 PM LOOK FOR YOUR STORY HERE December 10 (7) December 3 (7) November 26 (6) November 19 (4) November 12 (13) November 5 (7) October 29 (7) October 22 (6) October 15 (36) October 8 (15) September 24 (5) September 17 (10) September 10 (16) September 3 (2) August 27 (3) August 20 (12) August 13 (13) August 6 (16) July 30 (13) July 23 (5) July 16 (11) July 9 (17) July 2 (16) June 25 (5) June 18 (3) June 11 (9) June 4 (19) May 28 (22) May 21 (23) May 14 (9) May 7 (8) April 30 (18) April 23 (12) April 16 (15) April 9 (8) April 2 (16) March 26 (18) March 19 (8) March 12 (1) March 5 (8) February 26 (13) February 19 (7) February 12 (6) February 5 (1) January 29 (6) January 22 (8) January 15 (11) January 8 (28) January 1 (17) December 25 (11) December 18 (22) December 11 (10) December 4 (10) November 27 (35) November 20 (14) November 13 (29) November 6 (24) October 30 (18) October 23 (23) October 16 (20) October 9 (24) October 2 (31) September 25 (23) September 18 (30) September 11 (32) September 4 (23) August 28 (18) August 21 (21) August 14 (27) August 7 (22) July 31 (19) July 24 (22) July 17 (33) July 10 (29) July 3 (36) June 26 (26) June 19 (35) June 12 (26) June 5 (25) May 29 (31) May 22 (26) May 15 (29) May 8 (35) May 1 (30) April 24 (28) April 17 (32) April 10 (29) April 3 (34) March 27 (26) March 20 (36) March 13 (48) March 6 (32) February 28 (32) February 21 (26) February 14 (37) February 7 (27) January 31 (15) January 24 (17) January 17 (21) January 10 (35) January 3 (22) December 27 (26) December 20 (25) December 13 (29) December 6 (41) November 29 (36) November 22 (29) November 15 (33) November 8 (42) November 1 (44) October 25 (28) October 18 (47) October 11 (34) October 4 (53) September 27 (42) September 20 (29) September 13 (26) September 6 (37) August 30 (31) August 23 (41) August 16 (24) August 9 (25) August 2 (23) July 26 (16) July 19 (30) July 12 (32) July 5 (20) June 28 (24) June 21 (21) June 14 (19) June 7 (25) May 31 (20) May 24 (24) May 17 (17) May 10 (22) May 3 (13) April 26 (13) April 19 (10) April 12 (3) April 5 (6) March 29 (6) March 22 (4) March 15 (7) March 8 (6) March 1 (7) February 22 (5) February 15 (8) February 8 (6) February 1 (9) January 25 (5) January 18 (7) January 11 (5) January 4 (9) December 28 (4) December 21 (7) December 14 (10) December 7 (7) November 30 (10) November 23 (3) November 16 (5) November 9 (11) November 2 (9) October 26 (11) October 19 (9) October 12 (4) October 5 (11) September 28 (21) September 21 (10) September 14 (13) September 7 (9) August 31 (9) August 24 (9) August 17 (10) August 10 (14) August 3 (12) July 27 (16) July 20 (13) July 13 (14) July 6 (11) June 29 (18) June 22 (15) June 15 (18) June 8 (6) June 1 (9) May 25 (10) May 18 (6) May 11 (9) May 4 (9) April 27 (10) April 20 (8) April 13 (14) April 6 (21) March 30 (21) March 23 (10) March 16 (14) March 9 (13) March 2 (12) February 23 (14) February 16 (16) February 9 (13) February 2 (15) January 26 (29) January 19 (23) January 12 (30) January 5 (17) December 29 (9) December 22 (9) December 15 (11) December 8 (6) December 1 (4) November 24 (13) November 17 (12) November 10 (12) November 3 (11) October 27 (9) October 20 (10) October 13 (9) October 6 (17) September 29 (13) September 22 (15) September 15 (15) September 8 (9) September 1 (13) August 25 (9) August 18 (9) August 11 (13) August 4 (13) July 28 (18) July 21 (8) July 14 (1) July 7 (4) June 30 (11) June 23 (11) June 16 (12) June 9 (6) June 2 (2) May 26 (11) May 19 (6) May 12 (13) May 5 (14) April 28 (10) April 21 (7) April 14 (5) April 7 (14) March 31 (6) March 24 (15) March 17 (7) March 10 (12) March 3 (11) February 24 (10) February 17 (12) February 10 (16) February 3 (11) January 27 (11) January 20 (19) January 13 (12) January 6 (9) December 30 (19) December 23 (8) December 16 (11) December 9 (18) December 2 (20) November 25 (20) November 18 (16) November 11 (20) November 4 (19) October 28 (14) October 21 (15) October 14 (16) October 7 (8) September 30 (17) September 23 (17) September 16 (9) September 9 (18) September 2 (17) August 26 (2) August 19 (8) August 12 (6) August 5 (9) July 29 (7) July 22 (10) July 15 (9) July 8 (11) July 1 (10) June 24 (7) June 17 (13) June 10 (17) June 3 (18) May 27 (10) May 20 (9) May 13 (5) May 6 (9) April 29 (13) April 22 (8) April 15 (9) April 8 (11) April 1 (6) March 25 (3) March 18 (8) March 11 (7) March 4 (12) February 26 (9) February 19 (10) February 12 (12) February 5 (7) January 29 (1) January 22 (4) January 15 (5) January 8 (7) January 1 (10) December 25 (10) December 18 (13) December 11 (12) December 4 (15) November 27 (15) November 20 (13) November 13 (9) November 6 (23) October 30 (16) October 23 (28) October 16 (26) October 9 (3) October 2 (15) September 25 (12) September 18 (17) September 11 (22) September 4 (28) August 28 (20) August 21 (20) August 14 (21) August 7 (10) July 31 (26) July 24 (15) July 17 (13) July 10 (10) July 3 (14) June 26 (8) June 19 (10) June 12 (12) June 5 (6) May 29 (6) May 22 (4) May 15 (2) May 8 (5) May 1 (3) April 24 (1) April 17 (6) April 10 (7) April 3 (1) March 27 (3) March 20 (5) March 13 (6) March 6 (1) February 27 (9) February 20 (6) February 13 (8) February 6 (7) January 30 (2) January 23 (3) January 16 (3) January 9 (7) January 2 (6) December 26 (9) December 19 (8) December 12 (10) December 5 (8) November 28 (8) November 21 (11) November 14 (11) November 7 (13) October 31 (18) October 24 (11) October 17 (10) October 10 (10) October 3 (10) September 26 (10) September 19 (4) September 12 (10) September 5 (8) August 29 (8) August 22 (6) August 15 (6) August 8 (8) August 1 (7) July 25 (7) July 18 (4) July 11 (5) July 4 (3) June 27 (3) June 20 (5) June 13 (3) June 6 (6) May 30 (6) May 23 (8) May 16 (9) May 9 (10) May 2 (9) April 25 (4) April 18 (6) April 11 (4) April 4 (11) March 28 (8) March 21 (8) March 14 (8) March 7 (5) February 28 (7) February 21 (12) February 14 (4) February 7 (7) January 31 (5) January 24 (4) January 17 (6) January 10 (8) January 3 (4) December 27 (6) December 20 (10) December 13 (6) December 6 (7) November 29 (10) November 22 (8) November 15 (13) November 8 (6) November 1 (4) October 25 (6) October 18 (9) October 11 (11) October 4 (12) September 27 (10) September 20 (9) September 13 (13) September 6 (7) August 30 (5) August 23 (5) August 16 (6) August 9 (8) August 2 (4) July 26 (10) July 19 (14) July 12 (11) July 5 (7) June 28 (11) June 21 (10) June 14 (5) June 7 (14) May 31 (8) May 24 (4) May 17 (6) May 10 (3) May 3 (4) April 26 (5) April 19 (6) April 12 (6) April 5 (4) March 29 (5) March 22 (7) March 15 (5) March 8 (4) March 1 (7) February 22 (5) February 15 (6) February 8 (6) February 1 (10) January 25 (7) January 18 (8) January 11 (5) January 4 (4) December 28 (10) December 21 (7) December 14 (9) December 7 (11) November 30 (12) November 23 (12) November 16 (8) November 9 (6) November 2 (9) October 26 (8) October 19 (8) October 12 (6) October 5 (8) September 28 (7) September 21 (8) September 14 (5) September 7 (17) August 31 (12) August 24 (18) August 17 (21) August 10 (19) August 3 (9) July 27 (7) July 20 (9) July 13 (11) July 6 (11) June 29 (18) June 22 (11) June 15 (9) June 8 (10) June 1 (11) May 25 (12) May 18 (9) May 11 (13) May 4 (7) April 27 (11) April 20 (12) April 13 (7) April 6 (6) March 30 (13) March 23 (5) March 16 (2) March 9 (4) March 2 (8) February 24 (9) February 17 (1) February 10 (6) February 3 (7) January 27 (10) January 20 (7) January 13 (10) January 6 (2) December 30 (2) December 23 (9) December 16 (10) December 9 (11) December 2 (9) November 25 (17) November 18 (12) November 11 (17) November 4 (12) October 28 (10) October 21 (20) October 14 (15) October 7 (19) September 30 (10) September 23 (17) September 16 (11) September 9 (16) September 2 (19) August 26 (8) August 19 (15) August 12 (16) August 5 (18) July 29 (10) July 22 (8) July 15 (9) July 8 (8) July 1 (2) June 17 (1) June 3 (2) May 27 (3) January 7 (1)
2017-12-15T13:59:45
http://abdallahmrisho.blogspot.com/2015/11/rc-kilimanjaro-akutana-na-watendaji-wa.html
[ -1 ]
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amesema siku akiletewa Muswada wa Sheria ya Vyombo vya Habari atausaini muda huo huo ili uanze kufanya kazi mara moja - MISHE MISHE MEDIA Home Unlabelled Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amesema siku akiletewa Muswada wa Sheria ya Vyombo vya Habari atausaini muda huo huo ili uanze kufanya kazi mara moja Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amesema siku akiletewa Muswada wa Sheria ya Vyombo vya Habari atausaini muda huo huo ili uanze kufanya kazi mara moja by Kuluti Mc 6:46:00 PM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amesema siku akiletewa Muswada wa Sheria ya Vyombo vya Habari atausaini muda huo huo ili uanze kufanya kazi mara moja Reviewed by Kuluti Mc on 6:46:00 PM Rating: 5
2018-04-22T06:20:36
http://www.africanmishe.com/2016/11/rais-wa-jamhuri-ya-muungano-wa-tanzania.html
[ -1 ]
Mafanikio yoyote yana sababu (12) | Gazeti la Jamhuri Kujali ubora (excellence) ni sababu ya mafanikio. Kutia fora ni sababu ya mafanikio. Ni kufanya jambo liwe bora zaidi. “Hakuna aliyewahi kujutia kwa kutoa kitu kilicho bora zaidi,” alisema Sir George Stanley Halas (1895 – 1983). Huyu aliitwa “Bwana Kila Kitu” alikuwa mchezaji wa mpira wa miguu, kocha na mmiliki wa Timu ya “Chicago Bears” ya Marekani. Majuto ni mjukuu, lakini huwezi kujutia ubora. Sally Baucus Boydstun alisema, “Nilipokabiliana na changamoto ya mradi mpya kazini, nilitafuta ushauri wa meneja wetu namna ya kusonga mbele. Baada ya kupitia mapendekezo yake, nilimuuliza aniambie kanuni yake ya mafanikio. Alijibu kwa tabasamu: ‘Ninalolifanya, nalifanya vizuri sana. Na lile ambalo sifanyi vizuri, silifanyi kabisa.” Kufanya vizuri sana ni siri ya mafanikio. Mwanafunzi akipata maksi za juu mwalimu anamwandikia maneno: umefanya vizuri na si umesema vizuri. Mwanamuziki wa kweli anajitahidi kufanya vizuri sana mbele ya watazamaji wake, hata kama wasikilizaji wanajua mambo ya muziki au hawajui. Kamati ya harambee ya kusaidia maskini ilimuomba Enrico Caruso aliyekuwa na sauti nyembamba, kuimba kwenye maonyesho ya muziki au burudani ambayo ilikuwa kwa ajili ya kuchangisha pesa ya kusaidia watu. Mwenyekiti alisema, “Bwana Curuso hatutegemei mengi kutoka kwako kwa vile ili ni jambo la ukarimu. Jina lako tu litavuta umati wa watu unaweza kuimba nyimbo chache ambazo zinahitaji juhudi kidogo na utaalamu kidogo.” Curuso alijiweka sawa na kujibu: “Curuso hafanyi kazi ya kiwango cha chini kuliko anavyoweza kufanya vizuri sana.” Curuso alitilia mkazo ubora wa kazi na kazi kufanywa vizuri sana. Andrew Carnegie mmiliki mkubwa wa viwanda na mfadhili mkubwa alitoa hotuba kwa wanafunzi waliokuwa wanahitimu huko Marekani. Alisema kuwa vijana wako katika makundi matatu: wale ambao hawafanyi kazi zao zote, wale ambao wanadai kufanya kazi zao kwa maneno, na wale ambao wanafanya kazi na kufanya kitu kidogo zaidi. Alisema, “Ni kitu kidogo zaidi kinachoshinda. Fanya kazi yako na kazi kidogo zaidi, kesho itajishughulikia yenyewe.” Jambo kubwa hapa ni neno “zaidi.” Jambo unalolifanya livuke kiwango kwa sifa kama ukubwa, uzuri sana. Unachofanya kivuke kiwango kinachotakiwa. Unavyozalisha vivuke idadi inayohitajiwa. “Zaidi” ionekane katika kila kitu maishani. Usiwepo tu, ishi. Usisikie tu sikiliza. Usitazame tu, ona. Usisikilize tu elewa. Usifikiri tu, tafakari. Usitembee tu, talii. Usile tu, furahia chakula. Usipange tu tekeleza. Usinene tu bali neno litwae mwili. Hata usipokuwa Mama Teresa wa Calcutta, kwa mazuri unayofanya wewe kuwa zaidi. Kuwa Damian zaidi. Kuwa Jacinta zaidi. Kuwa Nassor zaidi. Kuwa Yakobo zaidi. Kuwa Abu-Bakr zaidi. Kuwa Aishati zaidi. Katika uwanja wa kompyuta hata usipokuwa Steve Jobs bali kuwa wewe zaidi. “Kila kazi ni kujichora kwa mtu aliyeifanya. Weka sahihi yako kwenye kazi yako kwa ubora,” alisema Jessica Guidobono. Kila kazi unayoifanya inabeba jina lako. Tunafanyaje mambo vizuri zaidi? Kwa kawaida tunajifunza kusimama kwa kusimama. Tunajifunza kutembea kwa kutembea. Tunajifunza kukimbia kwa kukimbia. Tunajifunza kufanya vizuri kwa kufanya vizuri. Rudia rudia kufanya vizuri zaidi mpaka kuwe desturi. Ukweli huu ulibainishwa na mwanafalsafa wa Kigiriki Aristotle: “Tunakuwa kile tunachofanya kwa kurudiarudia, ubora, si tendo bali desturi.” Confucius (551 KK – 479 KK) wa China alisema, “Nia ya kushinda, shauku ya mafanikio, hamu kubwa ya kufikia uwezo wako wa juu wa lile unaloweza kufanya… hizi ni funguo za kufungua mlango wa mtu binafsi kufanya vizuri zaidi.” Faustin Kamugisha 2018-03-08 Previous: Mfumo wetu wa elimu haufai Next: Dodoma yakabiliwa na upungufu wa nyuma
2019-08-23T20:44:14
http://www.jamhurimedia.co.tz/mafanikio-yoyote-yana-sababu-12/
[ -1 ]
Jabari ni kati ya makundinyota yanayoonekana vema kwenye anga ya usiku kusini na pia kaskazini mwa Dunia. Nyota saba angavu sana zinakumbukwa kirahisi na watazamaji wa anga. (miaka ya nuru) Kundinyota za Zodiaki Akarabu (Nge) - Scorpius * Asadi (Simba) - Leo * Dalu (Ndoo) - Aquarius * Hamali (Kondoo) - Aries * Hutu (Samaki) - Piscis * Jadi (Mbuzi) - Capricornus * Jauza (Mapacha) - Gemini * Kausi (Mbuzi) - Capricornus * Mizani - Libra * Nadhifa (Mashuke) - Virgo * Saratani (Kaa) - Cancer * Tauri (Ng'ombe) - Taurus * Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Jabari&oldid=1049667" Ukurasa huu umebadilishwa kwa mara ya mwisho tarehe 24 Novemba 2018, saa 14:49.
2019-02-16T13:45:14
https://sw.wikipedia.org/wiki/Jabari
[ -1 ]
Diary Yangu : Akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki wa kweli-64 hitimisho-8 Akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki wa kweli-64 hitimisho-8 Shangazi na Maua walipofika hospitalini, waliingia moja kwa moja hadi sehemu wanaposubiria watu kuingia kuwaona wagonjwa, kwasababu walishafikihs taarifa zao kuwa wanakuja kumuona huyo mgonjwa, haikuwa na shaka kwao, kwahiyo walisubiri muda wao ufike, kwasababu taratibu zilivyo pale, humuwezi kingie watu wengi kwa pamoja wanatakiwa watu wachache wachache, na wakati wamekaa kusubiri huo muda dakitari anayeshughuli na mgonjwa wao akafika. ‘Nyie ndio akina nani, maana nimeambiwa kuwa …mmh, ok... basi subirini kidogo, maana kama nilivyokuambia mgonjwa bado hajafiki hatua ya kuzindukana vyema, keshaonyesha hiyo dalili, ila kichwa hakijaa vyema,…kwahiyo nawaomba mkiingia msimsemeshe, nyie mwangalieni tu, halafu kama mtataka kusema nay eye msubiri baadaye sana….sawa, haya karibuni huku…’akasema yule dakitari huku akimuacha Maua akiwa yupo nyuma, akiwaangalia watu wawili aliowahi kuwaona kule hotelini. Wakati wanaingia ndani mara yule docta akapokea simu, na wakati wanaongea na huyo mtu kwenye simu, akasema; ‘Docta Rose, kwani kuna matatizo makubwa, ni nani huyo, …nitawaarifu polisi, maana dunia hii imeharibika,…’akakata simu na kuongea na sehemu nyingie kuonyesha kuwa anaongea na polisi na baadaye akawageukia shangazi na Maua, akasema ingia chumba hiki, na kama nilivyowaambia msimsemeshe huyo mgonjwa, mtamkuta docta mwenzangu atawasaidia ngoja, nina jambo la kufanya mara moja. ‘Shangazi kuna mtu ana jina la Rose, umemsikia huyo docta akisema, ….na inaonekaan kuna matatizo yanamkabili…halafu shangazi wale watu niliokuamabia wanaonekana kama wanatufuatilia nimewaona wakiwa hapo mapokezi, kila mara wanatutupia macho…nahisi uwoga,isije ikawa wanatufuatilia mimi, na jinsi alivyoongea huyo dakitari inanitia wasiwasi, na alivyoniangalia kama vile ananijua au alitaka kusema jambo….’akasema Maua kwa sauti ya pole pole wakati wanaingia ndani. Ndani ya kile chumba alikuwepo dakitari akimalizia kazi zake za kumweka sawa yule mgonjwa, akatizam mashine ya kupumulia na ile iliyopo ukutani ikionyesha alama za mapigo ya moyo, na baadaye akawageukia Shangazi na Maua akasema; ‘Mgonjwa hali yake ni njema kabisa, keshaonyesha dalili za kuzindukana, lakini hatutaki asumbuliwe na ningewashaur, kama hamtakuwa na uvumilivu mumuangalia mara moja halafu mrudi baadaye…’akasema yule dakitari, na shangazi akakubali na kumsogelea yule mgonjwa, na wakati huo Maua alikuwa kasimama mbali kidogo kwenye mlango. ‘Maua wewe usimsogelee mgonjwa , ngoja kwanza nimwangalia mwenyewe kwanza…’akasema shangazi na Maua akakubali kwa shingo upande na kusimama mbali kidogo, ambapo huwezei kumuona mgonjwa vyema kwa jinsi alivyolazwa. Shangazi alipofika pale kitandani alipolazwa mgonjwa, mapigo ya moyo karibu yasimame, lica ya kiwa sehemu kubwa ya kichwa imefunikwa na vitambaa, lakini usoni alioekana dhahiri, akasema kwa sauti ndogo; `kweli hikuwa jinamizi siku ile, ndio yeye…’akatabasamu, lakini moyoni akawa na mshaka makubwa, akasema tena kwa suti ndogo; `utusamehe sana, kwasababu kila mmoja alijua wewe ni marehemu, na mengi yaliyotokea sio makosa yetu, …nasikitika sana kuwa yaliyotokea yametokea, naomba uyakubali tu, kama yalivyo, mungu akujalia upone …’akamsogela na kmgusa mkono, huku akikumbuka siku ile ya harusi alipofika, … Alikuwa kasimama mlangoni, akigonga, na nia yake ilikuwa kumgongea Maua kuwa anakuja kama yupo tayari, kwani muda ulikuwa karibu unafika ingawaje alipta taarifa kutoka kwa mpambe wake, kuwa amewasilina na msfara wa bwana harusi watachelewa kidogo, ndio maana yeye hajafika mapema huko alikokwenda wasiwe na wasiwasi. Hakupendezeshwa na hiyo hali ya Maua kubakia peke yake kwa muda mrefu, akaona ni vyema aingie ndani avae na awe naye hadi atakapokuja huyo mpambe, na akiwa anagonga mlango akahisi kuna mtu kasimama nyuma yake, ..na cha ajabu alihisi mwili ukimsisimuka, na kwa uzoefu wake kuna jambo lislo la kawaida, akageuza kichwa taratibu kuangalai nyuma yake, huku akiomba dua yake anayoijua ya kujikinga na mabaya. ‘Shikamoo shangazi, naomba uwe na moyo wa ujasiri, na uikubali hii hali ya kuniona mimi kama kawaida, ingwaje wengi inawashinda, nakuomba sana, utilize moyo wako, ..mimi ni….’ Kabla yule mtu hajamaliza kuongea, shangazi alishaanza kutimua mbio, lakini alitulia hatua mbili akasimama na kugeuka kumwangalia tena yule mtu, huku akijiuliza kama nikikimbia na kumuacha mwanangu na hili jinni au mzuka, itakuwaje kwake. ‘Wewe ni nani na kama umekuja kwa nia mbaya potela mbali huko ulipotoka, nakijinga na ubaya wako…’akaanza kusoma dua yake ya maombi, lakini yule mtu akasema kwa sauti ya chinichini.. ‘Shangazi usipoteze muda, kwani kwa taarifa nilizozipata ni kuwa Maua anaolewa na rafiki yangu Maneno, na nilikuwa naomba niongee naye kwa dakika chache, kwanza ni kutaka kujua kweli kaamua kwa moyo wake iwe hivyo, na pili ni kumtaarifu ukweli waangu kuwa sikufa kama nilivyoskika watu wakiongea, bahati nzuri nilioongea nao hawanijui kama wangelikuwa wananijua kungetokea matafaruku, na anomba wasinijue wengi, kwani hata ndugu zangu sitaki wanijuw akwa hivi sasa,…tafadhali shanagzi, mimi sio mzuka, jini au kibwengo, mimi ndiye haswa…nimponea kimiujiza ya mungu. ‘Wewe ni mhuja kweli…?’akauliza kwa sauti ndogo. ‘Ndio mimi shangazi , niliponea nchi ya jirani, nikawa naishi huko bila kuwa na kumbukumbu yoyote, hadi majuzi tu, nilipopata fahamu zangu, nikasafiri kibahati hadi hapa, yote yaliyotokea huko kwa ujumla siyajui, kwasababu kwa muda mwingi nilikuwa sijijui,..ndio maana sikuweza hata kuwapigia simu, nashangaa mwenzangu hakuweza kuvumilia na kuamua kuolewa, imekuwaje shsngazi hadi kunifanyia hivyo….?’ Akasema Mhuja, Shangazi kwa kuchelea kuwavuta watu kuja hapo, akamvuta pembeni huyo mtu, na kuhakikisha kuwa hakuna mtu anayeweza kuwaona, na akaanza kumhoji vyema, ili kuhakikisha kuwa huyo ni mtu kweli au ni jinamizi la mtu, akikumbuka tukio la yule Tajiri, na alipomhoji na hata kujaribu kurizika kuwa kweli huyo ni mtu, wala sio jinamizi, akasema kwa kauli ya kusua sua; ‘Mhu-ja , bado naogopa hata kutaja jina lako, maana sijaamini,…ni muda umepita na sijui kwanini , hata simu… ila nakumbia hivi, haya yaliyotokea ni mapenzi ya mungu, na kilichopangwa na mungu huwezi kabisa kukizuia, sio kweli kuwa mwenzako alishindwa kuvumilia, ungelijua kazia aliyopitia hadi kufika hii leo usingelisema hayo kabisa, na nakuomba, umuachie kabisa aolewe, kama kweli unampenda, nasema hili kama shangazi yako, vinginevyo, …anaweza hata kujiua, nakuomba ukubali hilo, na kwanini nasema hivyo, ipo siku nitakusimulia mwenyewe, lakini sio leo,…’akasema shangazi, ambaye walijuana vyema na Mhuja na alijua Mhuja atamuamini, kama kweli ndiyo yeye. ‘Shangazi wewe nimekuchukulia kama mama yangu na katika watu ninaowaamini wewe ni namba moja, na uisemapo jambo lako naliheshimu sana, ..lakini nakuomba tafadhali,na mimi nakuomba unisikilize na uniamini kama tunavyoaminiana, naomba tafadhali, ningelifurahi, angalau nionane na Maua, …kwanza nina hamu ya kuona sura yake, kama kweli ndiyo yeye, maana akili yangu imeingiwa na utata fulani, …’akasema huku anatikisa kichwa kama vila anaondoa kitu fulani kimeganda kweney ubongo ambacho hakieleweki. ‘Pili shangazi nataka kusikia kauli yake mwenyewe , nataka kuskia kutoka kwenye kinywa cheke Maua akitamka kwa mdomo wake, kuwa kweli kakubalina na ndoa, ili moyo wangu uridhike, ..najua kama mumefiki hii hatua, sitaweza kugeuza kitu, hasa ikizingatiwa kama nlivyosikia anayemuoa ni rafiki yangu mpendwa, …’ akasema huku moyoni akiwaza, kuwa kama ataamua kuweka ubabe na kusema hakuna ndoa hapa, mimi ndiye mume halali, matokeo yake kutazuka mgongano, na vyovyote iwavyo, hawatakuwa na mahusiano mema tena kati yake na rafiki yake. ‘Nimewaza mengi shangazi, …na inabidi nikubali kushindwa ili kuondoa migongano, ….hayo yote nimeyawaza kwa undani, lakini hata hivyo ndoa yangu ipo, …na mimi ndiye natakiwa kuivunja, kwahiyo kabla haijafikia hatua hiyo naomba nionane na Maua, nitaongea naye kidogo tu, akitoa kauli ninayoihitaji, basi nitaondoka bila kupingamizi…nakuahidi hilo shangazi’akasema Mhuja, lakini shangazi hakukubali kwa haraka, kwanza bado alikuwa hana imani kuwa huy mtu kweli ni mtu haswa. Walibishana kwa muda hadi shangazi akaona haina haja ya kumzuia ndipo wakakubaliana kuwa aingie aongee naye na asilete kipingamizi chochote na akubali kuivunja hiyo ndoa, kwasababu kubwa ambayo shangazi hakutaka kuisema, lakini Mhuja alijua ipo sababu kubwam ndio maana shangazi akafiki auamuzi huo, na moyoni alisema lazima ataitafuta hata kama kakubali kuivunja hiyo ndoa, …hata kama itachukua miaka mingi lazima atarudi kuja kuulizia ni kwanini akatendewa hivyo… Baada ya muda mwingi wa Mhuja akiwa ndani akiongea na Maua, shangazi aliingiwa na wasiwasi na ilionyesha dhahiri kuwa msafara wa kuona unakuja, na wakati ule mpambe alishafika, lakini, shangazi akamuita pembeni na kumwelezea mambo mengine, ili kupoteza muda, na alipoona muda unazidi kuisha akamtuma mpambe kiujanja kuwa akanunua kifaa fulani duka la jirani, halafu akwagongea Maua na Mhuja, na hata kuufungua mlango, kuwaMhuja atoke. Mhuja alitoka akiwa kanyong’onyea, kabisa kuonyesha kuwa alikuwa hajapata jibu alilolitaka, yeye akamvuta pembeni na kumwambia aondoke maeneo yale, na yeye bila ubishi akasema; ‘Shangazi nimekubali ombi lako, najua una sababu ya msingi, ingawaje nitaumia sana, ila ipo siku nitarudi, na nahitaji maelezo ya kina, nimekubali kuivunja hii ndoa kutokana na wewe na pia Maua hakuwa tayari kunijibu swali langu,najua ni kwasababu ya mshituko,bado hajaamini, natumai akiniona mara ya pili ataamini….hata hivyo, sina ubaya naye, kwasababu nampenda sana, na nitaendelea kumpenda kwa moyo wangu wote,…najua shangazi huwezi kunifanyia hivyo kama kweli hakuna sababu nzito, naitaka kuijua hiyo sababu, hata kama sio leo…nakwenda huko nilipotoka, nikija tena nataka kuijua hiyo sababu…’akasema Mhuja. ‘Ipo Sababu kubwa sana,…. tafadhali kubali na hili, na vunja ndoa yako, na nakuomba uondoke haraka iwezekanavyo, kwani nakuhakikishia kuwa ipo sababu kubwa sana, niamini hivyo mwanangu,mimi nisingeweza kukubali jambo kama hili litokee, niamini hivyo…’akasema shangazi huku machozi yakimlenga lenga. ‘Sawa nimekuamini shangazi,…hata hivyo tafadhali msimwambia Maneno, au ndugu zangu kuwa mumewahi kuniona, kwani inabidi nirudi huko, nikaage, na kujua nini kilitokea, najua kuna watu nina deni nao, na…nakumbuka kuona jambo kubwa huko ambalo nataka kwenda kulihakikisha, …najua kuna mtu ananisubiri sana,ngoja nirudi huko kabla hakujahribika. Na naahidi kuwa nikiwa tayari, nitakuja tena kuonana na nyie, hasa kwako na Maua….’akasema na kuondoka huku naye machozi yakimlenga lenga, hakuamini kuwa ni kweli... Baadaye shangazi akawa kama haamini, kuwa kweli huyu mtu alikuja kwake, aliona kama ilikuwa ni jinamizi au ndoto, kwani kilichomshangaza zaidi ni pale alipokwenda kuulizia kwao, na kujikuta watu wakimshangaa, na walipomuulizia zaidi akasema aliota ndoto kuwa kamuona huyo jamaa, na yeye mara nyingi akiota ndoto zinakuwa kama kweli, watu wakiishia kumcheka, na akiwa njiani kurudi kwake akawa anawaza hilo tukio, na kujiuliza kwanini hakuta kuwaona ndugu zake kama kweli alikuwa ni yeye, mwisho wa siku alichukulia kama ni moja ya majaribio tu yalitokea ambayo alitakiwa kuyasahau, kama kweli yupo hai atakuja tena, kama ni jinamizi, basi liishie huko huko lilipotokea. ‘Nawaombeni msimwambie chochote rafiki yangu, nina maana, rafiki yangu Maneno au hata mkionana na ndugu zangu msiwaambie lolote kwa hivi kwa sasa, kwani sijajiandaa kwa hilo, hata hivyo afya yangu bado ni tete, sitapenda kuja kuwaumiza mara ya pili....’ haya maneno yalimkaa sana kichwani kila mara anapotaka kusema lolote kuhusu huyu mkwewe aliyepotea, na yalikuwa yakimuumiza sana moyoni. Shangazi alijitahidi sana kutokusema lolote, kama alivyoahidi hata kumshauri Maua naye kutokusema lolote kwa Maneno kuwa alionekana mtu kama Mhuja, na hapo alijaribu kumuonyesha Maua kuwa huyo anaweza aisiwe ni Mhuja, ni mtu kaja anafanana naye na kurubuniwa tu, kwahiyo asiwaze sana kuhusu kuwepo kwake, labda itokee mara ya pili. ‘Lakini mimi nimemuona kwa macho yangu, na akasema mumeongee na kukubalina hili, kweli shangazi tunyamaze hivihivi, mimi naona kuna haja ya kuwaambia ndugu zake, ili atafutwe …’akasema Maua. ‘Utawaambia yupo wapi, na je una uhakika kuwa ndio yeye, na kama ndio yeye, mbona umekubali kuolewa na mtu mwingine…na hata hivyo, mwenyewe katuomba tusiseme lolote, na hiyo inaonyesha kuwa kuna jambo, au kama ni yeye kweli, ana maana yake…timiza wajibu kama alivyoweza kutimiza wake, kwa amepnzi yake kwako, akaacha kuleta fujo, au kufanya lolote, na wewe kaaa kimiya…sawa?’ akasema shangazi mtu. Na wote wawili wakakubalina kukaa kimiya, na hili kweli lilifanikiwa hadi pale walipokutana na Inspekta alipoileta hiyo taarifa ya kuwa yupo mgonjwa nchi ya jirani. Na huyo mgonjwa huenda anwahusu, kwani alielezwa na Inspekta kama mume wa Rose, na hili jina likawa chachu ya kugundulika mengi yaliyokuwa yamejificha ndani ya hii familia. ‘Shangazi vipi nije hapo na mimi nimuone huyo mgonjwa, maana nakuona unaongea peke yako…?’akauliza Maua na kumfanya shangazi ashituke toka katika lindi la mawazo mazito, na wakati huo huo,aliuona vidole vya mkono vya yule mgonjwa vikitikisika na hapo akawa kama kashikwa na mshituko na kigugumizi, huku moyoni akisema, `sio wakati muafaka wa kuonana uso kwa uso na huyo mgonjwa’, akaanza kurudi kinyume nyume. ‘Kwa hali niliyoiona hapa wewe usije kwanza huku kaa hapo hapo, …unajua Maua nakushauri, twende kwanza tukirudi baadaye ndio utamuona huyu mgonjwa, …hasa akizindukana, … nakuomba unielewe hivyo Maua, wewe huhitajiki kupata mshituko wowote kwa sasa, …umenielewa Maua, kaa hapo hapo…’akasema shangazi na wakati huo alikuwa akirudi kinyume nyume hatua moja moja bila kuangalia nyuma, kwani akili yake ilikuwa ikitafakari kuhusu huyo mgonjwa, na alipogeuka kumwangalia Maua akajikuta ypo naye sambamba na macho yake yakiwa yanaaanglia kitandani. ‘Wee Maua mbona hunielewi, nikmekambiaje, sasa unaona…ohh, balaa hili sasa..’akasema shangazi akiruka kusimama mbele ya Maua ili asiweze kumuona huyo mgonjwa pale kitandani, lakini alikuwa keshachelewa, macho ya Maua yalishatua kitandani na akiiona ile sura…sura ikamwingia akilini, …. ‘Oh, jamani kumbe ndiye yeye…oh,….’ Maua akasema maneno hayo, na alipojaribu kuvuta subira, ikakataa, na ingawaje wakati huo shangazi alikuwa keshawahi kusimama mbele yake lakini hikusaidia kitu, alishaoana, giza likatanda machoni na kujikuta akielea hewani,…shangazi akamdaka, lakini uzito ulikuwa mwingi kwa shangazi ,wote wakaenda chini, … ‘Sasa hili balaa ndani ya nchi ya watu, sasa…’shangazi akawa anahangaika kuinuka na kumweka sawa Maua na mlango ukagongwa na kufunguliwa, shangazi alipoinua uso kutizama aliyeingia, akajikuta akiziba mdomo, kwa mshangao na kutahayari…! NB: Mambo yanaelekea mwishoni, unaonaje seheu hii, je unaweza kukisia aliyeingia ni nani? Nahisi aliyeingia ni Dk Rose Rose kapata kura moja wengine mnasemaje unahisi ni nani aliyeingia humo? wow ni rose kaingia huyo pls m3 tupe utamu huyo ni rose kaingia dah pameishia patamu. Duuhhh ndugu wa mimi,yaani wewe ni mwisho duuhh mtu wangu Mungu akubariki sana tuu,Pamoja ndugu yangu!
2017-10-18T18:38:47
http://miram3.blogspot.com/2011/12/akufaaye-kwa-dhiki-ndiye-rafiki-wa_15.html
[ -1 ]
Johnny Depp: kurekodi mpya kumtuhumu kushambuliwa kwa mwili wa Amber Heard - teles Johnny Depp: kurekodi mpya kumtuhumu kushambulia kwa mwili Amber Heard By TELES RELAY On Aprili 30, 2020 Bob Sinclar: fujo kubwa karibu na DJ wake kuweka saa… Ishara ya moyo wa Salatiel George Michael: zawadi hizo za siri alizotoa wakati wa ... Vita vya kisheria kati ya Johnny Depp et Amber Heard ni mbali zaidi. Baada ya mapenzi ya miaka mbili - waliolewa kutoka 2015 hadi 2017 -, wapenzi wa zamani wanavunana : wanashtaki kila mmoja unyanyasaji wa ndani. Inahakikisha kuwa Johnny Depp alikuwa mkali anamkataa mara kwa mara na anadai hiyoalikuwa mtu wa vurugu katika uhusiano wao (alitambua akiwa ameshampiga tayari wakati ilikuwa nje ya udhibiti). Kama yeye anamshtaki baba wa Lily-Rose Depp wakuwa na mashahidi waliolipa, aliamua kumshambulia kashfa. Tangu talaka yao, Johnny Depp et Amber Heard wanajaribu kudhibitisha kuwa hawana hatia. Katika vita hii isiyo na mwisho, rekodi mpya ilifunuliwa na Daily Mail itaongeza mafuta kwenye moto. Ilianzia Mei 21, 2016, wakati wa mzozo mpya kati ya wanandoa. Katika huyu mwanamke, ambaye alitaka kubaki bila jina, anapiga simu 911 ili msaada aweze kufika nyumbani kwa Johnny Depp et Amber Heard. "Lazima niripoti shambulio ambalo linafanyika kwa sasa katika Broadway ya 849 katika jengo la Mashariki, hii ni ghorofa namba 3"anaelezea mwanamke. Mwishowe ilionyesha kuwa rafiki wa karibu wa Amber Heard. "Ninajua hii inafanyika na ninahitaji kubaki bila majina tu. Tafadhali tuma mtu hapa », ameongeza. Alipoulizwa na mtu kwenye simu ikiwa mtu huyo alikuwa akimpiga, alijibu: « Ndio, anamshambulia kwa mwili ". Johnny Depp: mabosi wake kando yake Licha ya tuhuma hizi, Johnny Depp anaweza kutegemea msaada wa wanawake fulani ambao wameashiria maisha yake. Hakika, wengi wao hawafikirii kuwa shujaa wa Maharamia wa Caribbean kuwa mtu mwenye jeuri. Mkewe wa zamani Vanessa Paradis hakika kwamba hajawahi kunyanyua mkono wake kwake. Hivi majuzi, mwigizaji Winona Ryder ambaye pia alishiriki maisha yake hakusita kumtetea hadharani. Jiandikishe kwenye jarida la Closermag.fr kupokea habari mpya za bure Makala hii ilionekana kwanza https://www.closermag.fr/people/johnny-depp-un-nouvel-enregistrement-l-accuse-d-avoir-attaque-physiquement-amber-1107200 TELES RELAY 46648 posts 0 comments Mapigo ya kifalme: Wakati unaumiza sana Diana aligundua ndoa imekuwa 'msiba' wazi Kamera-coronavirus: Focaco (msingi wa watumiaji wa Cameroonia) ni risasi katika kampuni za bima Bob Sinclar: fujo kubwa karibu na DJ yake iliyowekwa Arc de Triomphe George Michael: zawadi hizo za siri alizotoa kwa miaka Jinsi upendo wa Charles kwa Camilla ulivyomuacha hasira ya mwenzi wake - na haikuwa Diana
2020-08-12T15:17:53
https://sw.teles-relay.com/2020/04/30/johnny-depp-rekodi-mpya-inamtuhumu-kuwa-ameshambuliwa-amber-ya-mwili-alisikika/
[ -1 ]
Investments Op | Same District Council Same District Council Toggle navigation Planning Statistics & Monitoring Agricutural,Irrigation & Coorperation Work & Fire Rescure Customer Client Service Charter Investments Op FURSA ZA UWEKEZAJI ZILIZOPO KATIKA WILAYA YA SAME Halmashauri ya Wilaya ya Same ni miongoni ya wilaya 6 katika Mkoa wa Kilimanjaro ambayo ina fursa za uwekezaji katika maeneo mbalimbali, ikiwemo sekta ya kilimo, madini, usafiri, utalii, ujenzi, uvuvi, ufugaji, mifugo, viwanda, biashara, huduma za jamii (Elimu, Afya na Maji), Utamaduni na Michezo. Uwekezaji kitaifa pia unalenga katika kuwezesha maendeleo ya nchi lakini pia kwa wakazi kufaidika na fursa mbalimbali. 1.1 Idadi ya wawekezaji waliopo na aina ya uwekezaji. Jina la mwekezaji Willy Enterprises Madini ya boxite Mwembe/Chome Mwekezaji anachimba madini hayo na kupeleka katika nchi ya Kenya Umoja wa wakulima Mamba Kilimo cha tangawizi ambapo 70% ya Tangawizi Tanzania inazalishwa Same Umoja wa ushirika una wanachama zaidi 600 Kiwanda cha Tangawizi Kiwanda kimesimama Miller International Agrovet Kijiji cha Ruvu Jiungeni Miller inamiliki eneo la zaidi ya ekari 400. Anamiliki zaidi ya ekari 200. Utalii/Asili Kata ya Mshewa Uwekezaji unafanya shughuli za utalii wa asili Kiwanda cha vikombe Kata ya Same Kiwanda hakifanyi kazi kwa ufanisi kutokana na uongozi. Makampuni ya simu ya Airtel, Haloteli Tigo, Vodacom na Zantel Mashirika ya Fedha Huduma ya ya fedha NMB, CRDB, Same Kaya SACCOs, CWT, Amacha, BRAC n.k. 1.2 Vivutio vya uwekezaji vilivyopo. Aina ya kivutio cha uwekezaji Kinachotakiwa kufanyika Mbuga ya Taifa ya Mkomazi yenye ukubwa wa km2 3245 Wanyama wa aina mbalimbali, ndege na eneo lenye miti ya asili Uwekezaji wa Hoteli Uchimbaji wa madini kama Jasi katika Kata ya Makanya na Boxite Kata ya Mwembe/Chome Eneo la uchimbaji jasi, green garnet, green tourmaline, rhodilite na boxite. Uwekezaji wa kiwanda cha saruji Bwawa la Kalemawe na Karamba yapo katika kata ya Kalemawe. Aina ya samaki kama vile: Tilapia, perege, kambale na mkunga. Bwawa ili lina kilomita za mraba 3. Uwekezaji wa ufugaji wa kisasa wa samaki na kilimo cha umwagiliaji Msitu wa Chome hekta 14,283. Aina ya miti, vipepeo, nyuki, ndege, mbega, nyani, tumbili na maji yanayotiririka kwa mwaka mzima. Kuboresha msitu wa Chome ili kuwa kivutio cha utalii Mto Pangani unaopita katika Kata ya Ruvu wenye urefu wa km 91, maji yanafaa kwa kilimo cha umwagiliaji na ufugaji wa samaki. Uwekezaji katika kilimo cha kisasa hasa kilimo cha mbogamboga na nafaka Huduma za Malazi (Hoteli) Katika Wilaya tuna wawekezaji katika huduma za malazi km Elephant Motel, Orlando, Nzoroko n.k. Uwekezaji katika hoteli kwa kuwa mji unakua 1.3 Maeneo yaliyotengwa kwa uwekezaji. Halmashauri ya Wilaya ya Same imetenga jumla ya ekari 250 kwa shughuli za uwekezaji kama ifuatavyo:- Ekari 150 eneo la Kitamri Kata ya Stesheni kwa ajili ya ujenzi wa viwanda Ekari 100 eneo la Kata ya Makanya Kijiji cha Makanya kwa ajili ya ujenzi wa kiwanda cha saruji, Gypsum, uvunjaji wa kokoto na uvunaji wa umeme wa upepo. 1.4 Mkakati wa Halmashauri ya uendelezaji wa fursa za uwekezaji. Halmashauri imeandaa mpango wa kujenga mazingira kwa makundi ya wakulima na wafugaji wadogo kuchangamkia fursa hizi badala ya kuelekeza jitihada kubwa katika uwekezaji kutoka nje. Halmashauri ina utaratibu wa kuwashirikisha wawekezaji kutoka nje wawekeze katika msingi wa ubia na wazalishaji wadogo, kwa maana ya wakulima na wafugaji katika vikundi vyao. Msingi wao mkubwa ukiwa ni rasilimali ardhi. Wanaweza kuingia katika ubia na wawekezaji toka nje kwa namna ambayo wanakuwa na sauti katika maamuzi na hivyo kuwepo unufaikaji wa pande zote mbili zinazohusika'. Hii itawezesha vikundi vya uzalishaji kuwa na hisa katika wawekezaji wakubwa hivyo kuzalisha kwa tija zaidi. Halmashauri inawezesha vikundi vya wajasiriamali wadogo kwa kuwapa mikopo ya riba nafuu ili kuwa na fursa za wazalishaji wadogo vijijini. Halmashauri kwa kushirikiana na wawekezaji kuimarisha miundombinu ya barabara na mawasiliano ya simu katika maeneo ya Wilaya ya Same. 2.0 Mkakati wa kuwa na viwanda Wilayani. Ili kuhakikisha kwamba Wilaya inakuwa na Viwanda hasa Viwanda vya kati ili kutekeleza Sera ya Taifa ya Tanzania kuwa nchi ya Viwanda, yafuatayo yamefanyika:-. Uwekezaji wa kiwanda cha saruji katika Kata ya Makanya, ambapo mkakati ni kumpatia mwekezaji wa kampuni ya A to Z toka Arusha. Taratibu za kupata eneo katika Kata ya Makanya ( Vikao vya awali vya kijiji cha Makanya vimekwisha fanyika). Kilimo cha Miwa Uwekezaji wa kilimo cha miwa Kampuni ya Kilimanjaro Biochem Limited (KBL) inayomiliki kiwanda cha utengenezaji wa spiriti katika Wilaya ya Mwanga kimeanza maandalizi ya kuwa na mikataba na wakulima ili waweze kulima miwa katika Kata ya Ruvu. KBL inahitaji kulimiwa miwa kiasi cha ekari 2000 na wameanza mazungumzo na wakulima wa maeneo ya Kata ya Ruvu. Endapo wakulima wataridhia mikataba hiyo, kampuni hiyo imepanga kujenga kiwanda katika eneo la Ruvu Muungano cha kukamua miwa na kusafirisha ikiwa maji ya miwa (syrup). Kiwanda hicho kitakuwa na uwezo wa kuajiri wafanyakazi zaidi ya 200. Ombi la KBL liliwasilishwa kwenye kamati ya Fedha, Utawala na Mipango na kupewa Baraka na kamati. TENDER ANNOUNCEMENT LGA/049/NC/G/C2017/2018 LET US PROTECT OUR WILDLIFEMay 17, 2017 "BINTI JITAMBUE, JITHAMINI, SOMA KWANZA"April 30, 2017 DEDApril 30, 2017 LET'S FIGHT FOR ELIMINATION OF SCHOOLS' PREGNANCY PROBLEMApril 01, 2017 View All Contact Us The Way Through Mkomazi Nationa Park or District Hospital Postal Address: P.O.Box 138 Telephone: +255 27 2758034 Fax: +255 27 2758190 Email: [email protected] or [email protected] Mobile: +255 687 786576 Quick Links Copyright ©2017 Same DC . All rights reserved. Designed By ICT Unit
2017-06-29T07:11:38
http://samedc.go.tz/fursa-za-uwekezaji
[ -1 ]
Duh, hii ni hatari! Kumbe wananchi walikusudia kumuua mkuu wa Wilaya | JamiiForums | The Home of Great Thinkers Duh, hii ni hatari! Kumbe wananchi walikusudia kumuua mkuu wa Wilaya Discussion in 'Jukwaa la Sheria (The Law Forum)' started by GAZETI, Apr 15, 2012. Kwa taarifa nilizonazo kutoka Tandahimba ni kwamba wananchi walikusudia kumuua mkuu wa wilaya hiyo Bi Hasna Mwilima kutokana na majibu mabovu aliyowajibu wakulima hao walipotaka kujua kuhusu malipo ya korosho zao walizokopwa. Zoezi hilo lilifeli baada ya mashine ambayo walikuwa wanatumia kukatia miti na kuziba barabara kushindwa kufanya kazi kutokana na kuharibika baada ya kufanya kazi muda mrefu. Lengo lilikuwa ni kukata mwembe mkubwa na kuziba barabara inayotoka kwa bosi huyo wa wilaya ili waweze kumshambulia vizuri. Sijui tunaelekea wapi na KISIWA CHETU CHA AMANI. Hii kali, nahisi ndo' tunakoelekea; watawala wanpojiona wao ni wafa;me na hivyo kutoa majibu ya kejeli na mauzi kwa wananchi wakijua aliyewateua hawezi kutengua uteuzi wao (Kwa sababu wazijuazo wao). Mwisho wananchi watachoka na ya-Tandahimba yatajirudia sehemu nyingine. Wito wangu kwa serikali kushughulikia madai ya wanachi hawa haraka iwezekanavyo. Nawasilisha haba na haba hujaza........................ Kama leo wakitaka kumpiga DC i hope kesho watampiga yula jamaa wa pale magogoni Laiti Hawa Watu wangejua ungekuta wamemchagua Mbunge ambaye angewatetea Maslahi Yao!! Poa Mchelea Mwana Kulia Mwisho Hulia yeye!! Nawapa pole ila next Time wasifanye Makosa!! Ujasiri wa usiotarajiwa toka kwa Matanzania huo ... "Everything has got its breaking point" ... Na fikiri hata kwa Mtanzania hilo sasa linaelekea kuwa kweli!!! Jambo la kwanza kuhusu wananchi kutaka kumuua mkuu wa wilaya ni jambo la kusikitisha sana na ni la aibu kubwa,lazima tufahamu kwamba tuna nchi yenye katiba na sheria na mahakama na vyombo vya ulinzi na usalama ambavyo tunajivunia,kama mkuu huyo inavyodaiwa kuwa alijibu maneno ya kuudhi wananchi au kuwakejeli basi ingefaa wananchi hao wajitokeze kwa pamoja na kufanya kampeini kabambe ya kutaka mkuu huyo aondolewe katika wilaya hiyo au aombe radhi na baadae wasimamishe kesi na kama amekuwa mkuu kwa kuchaguliwa na wananchi basi kipindi chake kikimalizika wasimchaguwe tena,lakini sio kutafuta mbinu za kumuuwa,hiyo sio hatua ya kibusara na kidemokrasia, kama kila kiongozi akiwakosea wananchi anauliwa basi hapatakuwa na kiongozi tena nchini. Au mnasemaje wazee? DarkPower said: Jambo la kwanza kuhusu wananchi kutaka kumuua mkuu wa wilaya ni jambo la kusikitisha sana na ni la aibu kubwa,lazima tufahamu kwamba tuna nchi yenye katiba na sheria na mahakama na vyombo vya ulinzi na usalama ambavyo tunajivunia,kama mkuu huyo inavyodaiwa kuwa alijibu maneno ya kuudhi wananchi au kuwakejeli basi ingefaa wananchi hao wajitokeze kwa pamoja na kufanya kampeini kabambe ya kutaka mkuu huyo aondolewe katika wilaya hiyo au aombe radhi na baadae wasimamishe kesi na kama amekuwa mkuu kwa kuchaguliwa na wananchi basi kipindi chake kikimalizika wasimchaguwe tena,lakini sio kutafuta mbinu za kumuuwa,hiyo sio hatua ya kibusara na kidemokrasia, kama kila kiongozi akiwakosea wananchi anauliwa basi hapatakuwa na kiongozi tena nchini. Au mnasemaje wazee?Click to expand... umeongea ukweli ila ukidadisi vizurh serikali yetu chini ya ccm utagundua kuwa hata raia ukiongea au ukiandamana unaweza usisikilizwe na matokeo yake huyo kiongozi m bovu anahamishwa kwa wananchi wengine na jiulize anachoenda kukifanya kule nini wakati ameacha varangati huku na ukisema mumfungulie kesi itakuwa unajisumbua manake kesi itapigwa danadana mpaka mwishoni wananchi mnachoka na kukata tamaa na mahakama .mimi nawaunga mkono hao raia Mkuu Ulichosema ndicho hasa kilitakiwa kufanyika, but hao wananchi si vichaa wala wajinga. Unapokuwa na taifa ambalo limepoteza uwajibikaji then unatakiwa uyategemee haya na mengine mengi! si wameona OCD aliyekatwa kule Serengeti kwa wizi wa madini akibadilishiwa kituo cha kazi badala ya kushtakiwa?? au unadhani hawakuona Madaktari waliotaka waziri wa afya awajibishwe na kushindwa kutimiza wajibu wake akilindwa na wakubwa kwa nguvu zote. Haya ni baadhi ya mambo yanayowapa wananchi hasira na kuchukua sheria mikononi mwao kitu ambacho si sawa. ILI kuyakomesha haya Serikali ina wajibu wa kuamka na kutenda haki pia kurudisha ile dhana ya uwajibikaji. Wananchi hawaviamini tena vyombo vya ulinzi na usalama kwani havifanyi kazi ya kuwalinda, vimekuwa sehemu ya matatizo; wananchi wanakwenda kutoa taarifa za uhalifu polisi lakini polisi hao hao wanashirikiana na wahalifu sasa wananchi watakosa kuchukua sheria mkononi? Serikli ya ccm ni serikali ya watawala na sio serikali ya wananchi! Angeondoka na watu 30 navyomjua huyo mama ana barreta na pia ana 9mm take care! Ndo faida ya kuwasukuma watu mpaka mwisho. People have been pushed to the edge, and they have nothing to loose anymore! Tutaona mengi! Huyu mama alikuwa dc wa Hai baadaye 'Mkulu' alimteua kuwa katibu mkuu wa UWT ccm kule wenzake walimtimua muda mfupi tu baada kufanya madudu kibao. Na JK hakumtupa mteule wake kwani siku chache tu 'alimrejeshea' u dc wake na kumpangia Tandahimba. Kwa hiyo wananchi wasifikiri ataondolewa kirahisi hata akifanya utumbo wa aina yoyote kwa kuangalia 'trend' hapo juu. She is leaning on somebody (Mkulu) Laiti Hawa Watu wangejua ungekuta wamemchagua Mbunge ambaye angewatetea Maslahi Yao!! Poa Mchelea Mwana Kulia Mwisho Hulia yeye!! Nawapa pole ila next Time wasifanye Makosa!!Click to expand... ndo hao ukiwauliza mlimchagua nan watakwambia ccm haraf wanalalamika vp mbunge wao hajasema chochote vp mbunge wao yupo au kasafir au yupo bize na kampen za ubunge wa east afrika Ndo faida ya kuwasukuma watu mpaka mwisho. People have been pushed to the edge, and they have nothing to loose anymore! Tutaona mengi!Click to expand... Wahenga walisema .... Ukimfukuza sana Mjusi mwishoni hugeuka nyoka ndo hao ukiwauliza mlimchagua nan watakwambia ccm haraf wanalalamika vp mbunge wao hajasema chochoteClick to expand... wakati wa uchaguzi Tandahimba alishinda mbunge wa CUF,lakini kama mjuavyo "mambo ya kuchakachua"akatangazwa mbunge CCM.Tena kulitokea vurumai lisilo la kawaida,hadi polisi toka wilaya nyingine walipelekwa kusaidia kutuliza vurugu,na huyohuyo mkuu wa wlilaya ikabidi aende kujificha sehemu. a cornered mouse can bite a cat nasikitika kwamba umechangia wakati huijui tandahimba! Acha nikujuvye kidogo, tandahimba ccm haikubaliki hata kidogo, huyo mkuu wa wilaya kapora ushindi wa mbunge aliyechaguliwa na wananchi kwa tiketi ya cuf akamtangaza wa ccm! Hata huyo wa ccm hakanyagi tandahimba akichelea maisha yake! Na kesi dhidi yake iko mahakamani, leo tena dc huyo huyo anawaletea upuuzi wananchi!!! kwa kweli hili swala was in the pipeline, it was coming and i think the time is now! the masses are resorting to killing and assassinating leaders!!!! may seem extreme but it is a sign of how stretched the masses' patience has been! it is always the case when the leaders forget their responsibilities and think that they are supreme over the masses. hata akiwa na beretta au 9mm, the masses always win! she now needs to be careful or at least she should humble herself. - 0 people likes
2017-05-01T03:00:15
https://www.jamiiforums.com/threads/duh-hii-ni-hatari-kumbe-wananchi-walikusudia-kumuua-mkuu-wa-wilaya.251111/
[ -1 ]
17 - AckySHINE MiniSites | Best of 2019 01 Jun 2017 10:01: Makala zilizoandikwa na Melkisedeck Leon Shine machache ya kukueleza…soma makala yote Leo nimekuletea matumizi ya mbegu ya parachichi yenyewe yaani ile inayokuwa katikati ya tunda la parachichi.soma makala yote Ndoa ni makubaliano kati ya watu wawili wenye jinsia mbili tofauti kuishi pamoja kama mume na mke.soma makala yote wa tindikali tumboni ambayo husababisha maumivu ya tumbo.soma makala yote ndo anapokea simu.soma makala yote Unaweza kufanya uchunguzi wa kutosha kuhusu tabia, muono na imani ya rafiki yako hata kama mnaishi mbalimbali. Unaweza kumuuliza maswali kuhusu mahali anapoishi na familia yake kwa ujumla. Jaribu kufanya mawasiliano ya karibu zaidi ili uweze kumdadisi, na yeye aweze kujieleza mwenyewe kwa undani zaidi kuhusu yeye mwenyewe.soma makala yote na huwezi kufananisha na ile ya wavulana.soma makala yote KUNA kitu ambacho wengi wetu huwa hawakifikirii nacho ni makalio. Makalio yetu ndiyo yanatoa shepu fulani kwa mwanamke katika vivazi na ukiyaachia ovyo yanaweza kukuletea mushkeli na kama ukiyatengeneza kama yale makalio yanayosifiwa sana na watu wa Televisheni ya Jeniffer Lopez hayawezi kufua dafu.soma makala yote Hoho (green pepper)soma makala yote 🌟 Maswali na majibu ya sasa ya Imani katoliki 🌟 Hot-short-posts • 05 Apr 2018 16:30, 05 Apr 2018 16:30 ago; vichekesho-bomba,: VICHEKESHO-VYA-XMASS • 25 Oct 2016 15:36, 25 Oct 2016 15:36 ago; katekisimu,: Lengo kuu la visakramenti ni lipi? • 01 Jul 2016 17:50, 01 Jul 2016 17:50 ago; _default,: Recent Updates in AckySHINE Website • 16 Sep 2016 23:41, 16 Sep 2016 23:41 ago; vichekesho-bomba,: VICHEKESHO-VYA-HIVI-PUNDE • 17 Apr 2018 16:55, 17 Apr 2018 16:55 ago; funny-pictures,: Really hilarious pictures forever • 17 Apr 2018 12:14, 17 Apr 2018 12:14 ago; funny-pictures,: Definitely funny pictures for this week • 13 Dec 2018 04:40, 13 Dec 2018 04:40 ago; picha-bomba,: Haya ndiyo matatizo ya mwanamke kuolewa na mume mwaminifu • 21 Aug 2017 09:09, 21 Aug 2017 09:09 ago; katoliki-f,: MIJADALA-YA-WAKATOLIKI • 25 Apr 2015 11:18, 25 Apr 2015 11:18 ago; wiki,: UPENDO WA MUNGU • 27 Jun 2019 14:45, 27 Jun 2019 14:45 ago; urembo-na-mitindo,: Tiba mbadala ya chunusi na vipele usoni • 05 Aug 2016 08:05, 05 Aug 2016 08:05 ago; mapishinalishe,: Fahamu kuhusu kitambi na uzito uliopitiliza • 21 May 2017 11:09, 21 May 2017 11:09 ago; ads-sd,: S11 • 12 May 2018 05:55, 12 May 2018 05:55 ago; featured-jokes,: Current-jokes-for-all • 15 Nov 2016 12:23, 15 Nov 2016 12:23 ago; vichekesho-na-picha,: HIZI-USIPITWE • 10 Dec 2018 01:29, 10 Dec 2018 01:29 ago; mix,: Nothing is permanent in this life, be humble • 18 Aug 2017 23:24, 18 Aug 2017 23:24 ago; vichekesho-na-picha,: WAHENGA-NA-VITUKO • 21 Oct 2016 04:00, 21 Oct 2016 04:00 ago; katekisimu,: Je, Kanisa linaweza kutuondolea dhambi yoyote? • 08 Apr 2018 13:41, 08 Apr 2018 13:41 ago; vichekesho-na-picha,: VITUKO-VYA-WAJANJA • 08 Jan 2015 21:35, 08 Jan 2015 21:35 ago; wiki,: Jinsi ya kugundua upungufu wa virutubisho shambani • 26 Jun 2018 01:31, 26 Jun 2018 01:31 ago; vichekesho,: Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani • 08 Apr 2018 14:07, 08 Apr 2018 14:07 ago; vichekesho-na-picha,: VIHOJA-VYA-IJUMAA • 01 Mar 2015 05:21, 01 Mar 2015 05:21 ago; wiki,: Ualbino unarithiwa vipi? • 12 May 2018 13:45, 12 May 2018 13:45 ago; featured-jokes,: Most-popular-new-gags • 02 Jun 2019 04:38, 02 Jun 2019 04:38 ago; mapishinalishe,: Mambo ya kufanya unapostuka usiku ili kulinda afya yako • 13 Jul 2018 05:46, 13 Jul 2018 05:46 ago; nav,: Top Pictures • 30 May 2018 05:16, 30 May 2018 05:16 ago; jokes,: Where do kids in New York City learn multiplication? • 21 Jul 2017 00:59, 21 Jul 2017 00:59 ago; katoliki-music,: Twakukimbilia Maria • 12 May 2018 15:50, 12 May 2018 15:50 ago; featured-jokes,: Real-amazing-Friday-posts • 10 May 2019 13:46, 10 May 2019 13:46 ago; masomo-ya-misa,: MASOMO YA MISA, MEI 10, 2019 IJUMAA: JUMA LA 3 LA PASAKA • 08 Sep 2017 17:40, 08 Sep 2017 17:40 ago; adds,: Mtafute ndugu yako hapa • 11 May 2018 11:23, 11 May 2018 11:23 ago; featured-jokes,: Funny-new-posts • 27 Jun 2019 13:27, 27 Jun 2019 13:27 ago; urembo-na-mitindo,: Madhara ya Kujichubua • 09 Jun 2016 00:18, 09 Jun 2016 00:18 ago; picha-bomba,: Madhara ya kulala na kuota ndo haya • 09 Jan 2018 16:51, 09 Jan 2018 16:51 ago; mypictures,: 79 • 01 Sep 2017 23:48, 01 Sep 2017 23:48 ago; featured-katoliki,: Dondoo za leo za Kanisa • 29 Oct 2016 01:32, 29 Oct 2016 01:32 ago; vichekesho,: Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure • 05 Apr 2018 20:04, 05 Apr 2018 20:04 ago; vichekesho-bomba,: VISA-VYA-KATIKATI-YA-JUMA • 18 Apr 2018 15:36, 18 Apr 2018 15:36 ago; funny-pictures,: Really enjoyable pictures for this hour • 07 Sep 2016 05:54, 07 Sep 2016 05:54 ago; mahusiano,: Soma Hii itakusaidia sana • 06 Oct 2015 17:25, 06 Oct 2015 17:25 ago; vichekesho,: Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake • 15 Feb 2017 08:49, 15 Feb 2017 08:49 ago; featured-videos,: Videos Kali zilizotengenezwa kwa ajili yako tuu • 11 Mar 2015 05:09, 11 Mar 2015 05:09 ago; wiki,: Kwa nini watu wanaotumia dawa za kulevya hukonda? • 05 Apr 2018 18:25, 05 Apr 2018 18:25 ago; vichekesho-bomba,: VITUKO-VYA-KIMJIN-MJINI • 04 Aug 2017 00:38, 04 Aug 2017 00:38 ago; videos-kali,: ANGALIA-VIDEO-NA-WAHENGA • 11 May 2018 12:35, 11 May 2018 12:35 ago; featured-jokes,: Humorous-Monday-gags • 15 Jan 2017 14:56, 15 Jan 2017 14:56 ago; videos,: Cheki chui wakipiga wao kwa wao kinachotokea • 06 Oct 2015 22:46, 06 Oct 2015 22:46 ago; vichekesho,: Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi? • 18 Apr 2018 05:22, 18 Apr 2018 05:22 ago; funny-pictures,: Definitely entertaining pictures for your friends • 06 Oct 2015 17:04, 06 Oct 2015 17:04 ago; vichekesho,: Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!? • 05 Apr 2018 17:18, 05 Apr 2018 17:18 ago; vichekesho-bomba,: VITUKO-VYA-TANZANIA • 16 Feb 2017 05:42, 16 Feb 2017 05:42 ago; featured-videos,: Hizi ndizo videos kali whatsapp kwa sasa • 13 Jan 2017 05:40, 13 Jan 2017 05:40 ago; katekisimu,: Kwa Sakramenti ya Daraja Padri anapata mamlaka gani? • 14 Jun 2019 12:18, 14 Jun 2019 12:18 ago; mafumbo,: Unapima maisha yangu kulingana na ninavyokuhudumia, mimi ni nani? • 30 May 2018 06:52, 30 May 2018 06:52 ago; jokes,: Why was the computer cold? • 12 Feb 2017 11:58, 12 Feb 2017 11:58 ago; videos,: Huyu kuona zimwi, ungekua ni wewe ungefanyaje? • 19 Aug 2017 13:55, 19 Aug 2017 13:55 ago; vichekesho-na-picha,: CHEKA-KITUKO-NA-WAHENGA • 08 Jan 2015 21:22, 08 Jan 2015 21:22 ago; wiki,: Jinsi ya kutunza nyanya kwa faida • 26 Jun 2016 17:30, 26 Jun 2016 17:30 ago; picha-za-kuchekesha,: PICHA ZINAZOPETA KWENYE MTANDAO MWAKA HUU • 21 Aug 2017 03:25, 21 Aug 2017 03:25 ago; katoliki-f,: DONDOO-ZA-DINI • 08 Apr 2018 13:45, 08 Apr 2018 13:45 ago; vichekesho-na-picha,: VITUKO-VYA-KUKUBADILISHA-MOOD • 18 Apr 2018 15:26, 18 Apr 2018 15:26 ago; funny-pictures,: Good enjoyable pictures to change your mood • 20 Sep 2016 17:33, 20 Sep 2016 17:33 ago; katoliki-picha,: Mtakatifu Karoli Lwanga • 13 Jan 2017 07:38, 13 Jan 2017 07:38 ago; videos,: Huyu dereva wa hili gari kweli mtaalamu kwa hiki anachofanya • 10 Sep 2016 23:00, 10 Sep 2016 23:00 ago; vichekesho,: Huyu mme ni shida • 21 Aug 2017 23:15, 21 Aug 2017 23:15 ago; katoliki-f,: BLOG-YA-WAKRISTO • 25 Jan 2017 13:58, 25 Jan 2017 13:58 ago; katekisimu,: Injili ni nini? • 21 Dec 2015 13:52, 21 Dec 2015 13:52 ago; vichekesho,: Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!! 11 May 2018 11:30, 11 May 2018 11:30 ago; featured-jokes,: Funniest-jokes-forever, soma zaidi 17 Apr 2018 11:52, 17 Apr 2018 11:52 ago; funny-pictures,: Truly funny pictures for her, soma zaidi 08 Jan 2015 16:10, 08 Jan 2015 16:10 ago; wiki,: Jinsi ya kumuanzisha chakula mtoto, soma zaidi 12 Jan 2017 14:24, 12 Jan 2017 14:24 ago; videos,: Watoto wenye vipaji vya kucheza mziki, soma zaidi 28 Oct 2017 03:35, 28 Oct 2017 03:35 ago; sms,: SMS nzuri kuhusu maana ya mapenzi, soma zaidi 22 Jul 2017 11:44, 22 Jul 2017 11:44 ago; vichekesho-bomba,: ZA-LEO-LEO, soma zaidi 20 Aug 2015 14:56, 20 Aug 2015 14:56 ago; wiki,: madhara ya pombe kwa mama mjamzito, soma zaidi 01 May 2018 03:57, 01 May 2018 03:57 ago; jokes,: What is Dracula’s favorite fruit?, soma zaidi 08 Feb 2017 13:52, 08 Feb 2017 13:52 ago; videos,: Huku kujiamini kwa huyu kimepitiliza, mwangalie anachofanya, soma zaidi 11 Oct 2016 04:43, 11 Oct 2016 04:43 ago; katekisimu,: Ni nanai ana kosa kumuabudu Mungu?, soma zaidi 27 May 2019 14:42, 27 May 2019 14:42 ago; masomo-ya-misa,: MASOMO YA MISA, MEI 28, 2019: JUMANNE, JUMA LA 6 LA PASAKA, soma zaidi 25 Sep 2017 23:03, 25 Sep 2017 23:03 ago; featured-katoliki,: Posti za kweli za dini Katoliki, soma zaidi 02 May 2017 16:50, 02 May 2017 16:50 ago; featured-katoliki,: Mafundisho ya dini ya Kweli, soma zaidi 20 Aug 2017 06:30, 20 Aug 2017 06:30 ago; katoliki-f,: MASWALI-YA-WAKATOLIKI, soma zaidi 17 Apr 2018 10:58, 17 Apr 2018 10:58 ago; funny-pictures,: Good funny pictures of a month, soma zaidi 24 Jan 2017 01:02, 24 Jan 2017 01:02 ago; videos,: Cheki huyu jamaa anavyomtishia mwenzake, tutajauana presha bure hivi hivi, soma zaidi 20 Mar 2018 08:25, 20 Mar 2018 08:25 ago; mix,: 15 Ways to Assess Your Relationship Stage, soma zaidi 02 Jul 2016 08:59, 02 Jul 2016 08:59 ago; _default,: Dondoo za Afya na Mapishi, soma zaidi 12 May 2018 16:29, 12 May 2018 16:29 ago; featured-jokes,: Worth-Friday-jokes, soma zaidi 17 Apr 2018 12:26, 17 Apr 2018 12:26 ago; funny-pictures,: Worthy funny pictures for today, soma zaidi 12 Feb 2017 13:34, 12 Feb 2017 13:34 ago; videos,: Dawa ya wanaume wanaopenda kuwachabo wanawake ndio hii, soma zaidi 21 Dec 2015 14:04, 21 Dec 2015 14:04 ago; mix,: I want to be a TV, soma zaidi 12 Apr 2018 18:42, 12 Apr 2018 18:42 ago; pictures,: Other uses of torch, soma zaidi 18 Apr 2018 05:05, 18 Apr 2018 05:05 ago; funny-pictures,: Categorically entertaining pictures for this year, soma zaidi 26 Jun 2018 01:27, 26 Jun 2018 01:27 ago; vichekesho,: Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi, soma zaidi 21 Sep 2017 10:40, 21 Sep 2017 10:40 ago; mapishinalishe,: Mapishi mazuri ya Uji wa ulezi, soma zaidi 15 Feb 2017 10:36, 15 Feb 2017 10:36 ago; featured-videos,: Videos fupi kali za twitter, soma zaidi 07 Jan 2017 22:47, 07 Jan 2017 22:47 ago; videos,: Swala ni noma, kumbe na yeye anajua kupiga, cheki anavyomfanyia huyu mtu, soma zaidi 21 Sep 2017 13:41, 21 Sep 2017 13:41 ago; mapishinalishe,: Jinsi ya kutibu chunusi za usoni kwa kutumia Parachichi na asali, soma zaidi 17 Apr 2018 15:42, 17 Apr 2018 15:42 ago; funny-pictures,: Worthy funny pictures for funny, soma zaidi 16 Jan 2019 12:16, 16 Jan 2019 12:16 ago; adds,: Huu hapa ujumbe mtamu wa kumtumia mpenzi wako kumshukuru, soma zaidi 18 Jun 2016 06:52, 18 Jun 2016 06:52 ago; picha-nzuri,: PCHA-TUU, soma zaidi 21 Sep 2017 22:13, 21 Sep 2017 22:13 ago; featured-katoliki,: Posti za msingi za Kanisa Katoliki, soma zaidi 12 May 2018 17:41, 12 May 2018 17:41 ago; featured-jokes,: Recent-weekend-jokes, soma zaidi 16 Feb 2018 12:50, 16 Feb 2018 12:50 ago; featured-sms,: MESEJI-NZURI-BOMBA-ZA-MAHABA, soma zaidi 13 Mar 2016 20:19, 13 Mar 2016 20:19 ago; sayansinatekinolojia,: Kwa nini watu wengine wanabaki maskini?, soma zaidi 17 Feb 2017 05:30, 17 Feb 2017 05:30 ago; featured-videos,: Videos mpya online kwa mwaka huu, soma zaidi 12 May 2018 13:20, 12 May 2018 13:20 ago; featured-jokes,: Very-good-weekend-tales, soma zaidi 08 Sep 2017 17:18, 08 Sep 2017 17:18 ago; featured-katoliki,: Makala za sasa za dini Katoliki, soma zaidi 12 May 2018 17:42, 12 May 2018 17:42 ago; featured-jokes,: Recent-gags-ever, soma zaidi 11 Mar 2019 16:01, 11 Mar 2019 16:01 ago; dedication,: Rafiki, soma zaidi 05 Nov 2017 03:52, 05 Nov 2017 03:52 ago; katoliki-cotent,: Mungu ni mwema hata tunapokua wadhambi, soma zaidi 12 May 2018 17:52, 12 May 2018 17:52 ago; featured-jokes,: Hot-Friday-jokes, soma zaidi 25 Jan 2017 14:01, 25 Jan 2017 14:01 ago; katekisimu,: Watoto wa Nuhu ni wepi?, soma zaidi 15 Feb 2017 08:48, 15 Feb 2017 08:48 ago; featured-videos,: Videos zinazotazamwa sana na wengi kwa wiki hii, soma zaidi 31 Dec 2018 15:11, 31 Dec 2018 15:11 ago; deleted,: Tengeneza kadi ya Mwaka Mpya hapa, soma zaidi 08 Apr 2018 14:06, 08 Apr 2018 14:06 ago; vichekesho-na-picha,: VIHOJA-VYA-JUMATATU, soma zaidi 18 Apr 2018 16:28, 18 Apr 2018 16:28 ago; funny-pictures,: Categorically enjoyable pictures for your wife, soma zaidi 25 Dec 2015 17:34, 25 Dec 2015 17:34 ago; huruma,: Picha ya Huruma ya Mungu, soma zaidi 12 May 2018 15:47, 12 May 2018 15:47 ago; featured-jokes,: Real-amazing-Monday-jokes, soma zaidi 23 Jan 2017 00:49, 23 Jan 2017 00:49 ago; videos,: Mbwa wakiwinda na kumfukuza sungura, cheki sungura anavyokamatwa na ujanja wote, soma zaidi 08 Jan 2015 16:27, 08 Jan 2015 16:27 ago; wiki,: Jinsi ya kufuga mbuzi kisasa, soma zaidi 08 Jul 2017 04:13, 08 Jul 2017 04:13 ago; mapishinalishe,: Jinsi ya kutengeneza Cookies Za Tende Na Tangawizi, soma zaidi 12 May 2018 17:33, 12 May 2018 17:33 ago; featured-jokes,: Worth-gags-forever, soma zaidi 08 Jun 2015 14:32, 08 Jun 2015 14:32 ago; sala,: NOVENA YA HURUMA YA MUNGU SIKU YA TANO, soma zaidi 19 Mar 2018 06:48, 19 Mar 2018 06:48 ago; sms,: Meseji ya kumkumbusha mpenzi wako kuwa unampenda, soma zaidi 14 Jan 2017 01:00, 14 Jan 2017 01:00 ago; katekisimu,: Neema ya Msaada ni nini?, soma zaidi 09 Apr 2017 03:19, 09 Apr 2017 03:19 ago; katoliki,: Mitego ya Shetani katika maungamo, soma zaidi 08 Jun 2015 12:55, 08 Jun 2015 12:55 ago; sala,: SALA KWA BIKIRA MARIA WA MATESO, soma zaidi 04 Jun 2018 15:47, 04 Jun 2018 15:47 ago; jokes,: Where do polar bears keep their money?, soma zaidi 18 Apr 2018 18:07, 18 Apr 2018 18:07 ago; funny-pictures,: Best humorous pictures for this week, soma zaidi 05 Jul 2019 17:44, 05 Jul 2019 17:44 ago; masomo-ya-misa,: MASOMO YA MISA, JUMAMOSI, JULAI 6, 2019: JUMA LA 13 LA MWAKA, soma zaidi 09 Jan 2015 05:42, 09 Jan 2015 05:42 ago; wiki,: Kurasa zote, soma zaidi 29 Jul 2016 05:34, 29 Jul 2016 05:34 ago; mahusiano,: Hii ndio sababu kwa nini mabinti wengi hawaolewi, soma zaidi 22 Dec 2017 12:59, 22 Dec 2017 12:59 ago; sms,: SMS nzuri ya ujumbe wa kumtumia mchumba au mke wako mtarajiwa kumwambia asisikilize ya watu, soma zaidi 24 Jul 2017 03:19, 24 Jul 2017 03:19 ago; vichekesho-bomba,: CHEKA-WAHENGA-KWA-KICHEKESHO, soma zaidi 04 Nov 2018 04:16, 04 Nov 2018 04:16 ago; mypictures,: 128, soma zaidi 12 May 2018 15:48, 12 May 2018 15:48 ago; featured-jokes,: Real-amazing-weekend-jokes, soma zaidi 04 Mar 2017 09:42, 04 Mar 2017 09:42 ago; katoliki-music,: Mateso yako, soma zaidi 25 Sep 2017 23:28, 25 Sep 2017 23:28 ago; featured-katoliki,: Posti za leo za Katoliki, soma zaidi 09 Dec 2018 19:11, 09 Dec 2018 19:11 ago; ads-sd,: Biblia kuhusu Kifo, soma zaidi 16 Feb 2018 13:32, 16 Feb 2018 13:32 ago; adds,: Look for Monitoring and evaluation (M&E) expert?, soma zaidi 13 May 2018 14:00, 13 May 2018 14:00 ago; jokes,: What often falls in winter, but never gets hurt?, soma zaidi 18 Aug 2017 23:38, 18 Aug 2017 23:38 ago; vichekesho-na-picha,: CHEKA-MHENGA-VITUKO, soma zaidi 10 Oct 2017 13:32, 10 Oct 2017 13:32 ago; featured-marafiki,: TAFUTA-NDUGU-WALE-MLIOPENDANA-SANA, soma zaidi 09 Jun 2019 04:23, 09 Jun 2019 04:23 ago; methali-na-vitendawili,: Fimbo yangu nzuri iliotea kwenye miiba, soma zaidi 10 Mar 2015 20:21, 10 Mar 2015 20:21 ago; katoliki,: Litania ya Huruma ya Mungu, soma zaidi
2019-11-13T00:32:28
http://www.ackyshine.com/mypictures:17
[ -1 ]